Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

X SEHEMU YA 10 MWISHO

   


X  

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA


WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 10 KATI YA 10


“Nakupenda”

“Nakupenda pia mke wangu”

Nikambusu Cauther na taratibu akavua nguo zake na akapanda kitandani akiwa hana nguo yoyote. Tukapanda kitandani pamoja, nikamkumbatia hadi akapitiwa na usingizi ndipo nami nikashuka kitandani. Nikarudi sebleni na kumkuta Nadia akiwa peke yake akitazama tv na watu wengine wote wakiwa wamesha elekea kulala, saa ya ukutani ina onenyesha sasa hivi ni tisa usiku.

“Hujalala?”

“Nalalaje ikiwa shida zangu una zijua”

Nadia alizungumza kwa sauti ya chini huku akinitazama kwa macho malegevu. Nikanyanyuka katika sofa langu nikakagua mazingira ya nyumba nzima na nikajiridhisha watu wote wamelala. Nikampa ishara Nadia ya kunifwata ninapo elekea kwa umakini. Tukaingia katika seferoom, chumba kilichopo chini ya ardhi katika nyumba hii. Hapakuwa na kuzungumza wala kupoteza muda, tukaanza kunyonyana denda huku tukivuana nguo. Hapakuwa na haja ya kumuandaa Nadia kwani tayari kitumbua chake kimesha lowana. Nikamuinamisha katika moja ya sofa na kuanza kukishuhulikia kitumbua chake. Uzuri wa chumba hichi hakitoi sauti njje na wala hakina sehemu ya dirisha. Kina oksijeni yake maalumu inayo tumika ndani ya chumba hichi na mlango wake kuufungua ni lazima uweke finger print na namba za siri ambazo ni mimi ninaye zifahamu.

Mikito mzito mizito ninayo mpatia Nadia ikamfanya apiga makelele ya raha. Hadi tunamaliza yupo hoi kabisa kiasi kwamba hata kutamani kuendelea ameshindwa.

“Kwa hiyo leo umeona unikomoe”

“Sijakokomoa ila nimekupa haki yako”

“Mmmm aisee wewe, yaani nimehisi kama una ninyofoa kizazi”

“Hahaaa pole”

“Asante aisee. Ila dada yangu ana faidi acha akupende tu jamani”

“Kweli”

“Ndio”

“Haya ila ujue huu mchezo siku ukifahamika sote tuna uwawa kwa maana sio mchezo mzuri”

“Usijali hakuna atakaye fahamu”

“Wewe sema hakuna atakaye fahamu ila wakifahamu tume kufa”

“Siwezi kutoa siri, hii ni siri ya kambi”

Nadia alizungumza huku akivaa nguo zake.

“Ina maana hadi sasa hujapata mwanaume?”

“Sihitaji mwanaume zaidi yako. Wewe ndio umenitoa bikra na wewe ndio uta kwenda kunipa ujauzito”

“Nini?”

“Umenisikia, najua upo makini sana kumwaga nje ila tambua nina kupenda kutoka moyoni Eddy sijali ndugu zangu wata nichukuliaje au wata nionaje ila ukweli ni kwamba nina kupenda na sihitaji mtu mwengine zaidi yako”

“Mmmm”

“Amini hilo mume wangu”

“Nimesha kuwa mume hatari hiyo”

“Eddy moyo wa mwanamke ni wa mwanamke tu. Mwamke akikolezwa kwenye mapenzi ana penda na akipenda hatanii ana maanisha. Tofauti na mwanaume hata atembee na wanawake mia ila ana weza kumpenda mmoja tu”

“Nimekuelwa ni wakati wa kwenda kulala, ngoja nikuangalizie mazingira”

“Sawa”

Nikajiweka sawa mavazi yangu kisha nikatoka ndani hapa, nilipo hakikisha kupa salama nikamruhusu Nadia kuondoka eneo hili na akaelekea chumbani kwake. Nikaelekea chumba cha kamera, nikamkuta kijana anaye shuhulika na maswala ya kutazama kamera hizi akiwa amelala.

“Hei”

“Mkuu samahani, nimepitiwa tu”

“Usijali nipishe”

Nikaka katika kiti nikafuta rekodi yote iliyo rekodiwa na kamera ikituonyesha mimi na Nadia tukiingia na kutoka ndani ya chumba hichi.

“Usiwe una sinzia sinzia”

“Nisamehe sana mkuu, ila kuna tatizo mkuu”

“Tatizo gani?”

“Wakati muna ingia mule ndani, mama alikuwa hapa akiwaona”

Nikahisi moyo ukinipasuka kwa presha kwa maana kujitahidi kute kuhakikisha kwamba kuna usalama kumbe mambo hayajawa siri tena.


“M…amm….ama nani?”

“Bibi Nadia”

Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi, kwa upande mmoja ni salama na upande mwengine ni hatari. Kwani laity kama angeona Cauther basi angenitoa roho.

“Una uhakika ni bibi Cauther?”

“Ndio mama yako mkwe”

“Na ilikuwaje akaingia humu ndani?”

“Alikuja na kuniuliza mbona simuoni Nadia, akaniomba niweze kumuangalizia katika cctv kamera na wakati huo ndio mkulikuwa muna ingia ndani mule.”

“Kwa nini ulishindwa kukwepesha hizo kamera.”

“Mkuu mimi sikujua kwa maana yeye ndio alinionyesha kwenye tv hiyo hapo kwamba muna elekea huko ndani”

Nikamtazama kijana huyu.

“Hakurekodi?”

“Hakurekodi”

“Sawa”

Nikatoka ndani hapa huku kichwa changu kikiwa na mawazo mengi sana. Ila nikajifariji kwamba hawezi kunifikiria vibaya kwa maana ana niamini. Nikaingia chumbani kwangu, moja kwa moja nikapitiliza bafuni nikaoga na nikarudi kitandani. Taratibu usingizi ukanipitia, asubuhi na mapema nikawa kwa kwanza kuamka, nikavaa nguo za mazoezi na kuingia gym. Nikaanza kufanya mazoezi ya nguvu huku nikifikiria namna ambavyo nita anza kumface mama mkwe.

“Za asubuhi mkwe”

Suti ya mama mkwe ikanistua sana kiasi cha kunifanya mapigo yangu ya moyo kunidunda kwa kasi kidogo ila nikajikaza na kuonyesha tabasamu pana usoni mwake.

“Shikamoo mama”

“Marahaba mkwe, umewahi kuamka leo?”

“Ndio mama, kidogo nina uweka mwili wangu sawa. Kipindi nilipo kuwa ikulu sikuwa nina pata muda wa mazoezi”

“Ohoo sawa sawa baba. Tuna weza kuzungumza?”

“Ndio mama yangu”

Tukatoka nje na kukaa katika bustani.

“Najua kinacho endelea”

“Una maanisha nini mama?”

“Nadia ana kupenda na alisha wahi kuniambia juu ya jambo hilo.”

Nikamtazama mama mkwe kwa mshangao kidogo ila nikajikausha.

“Umemtoa usichana wake hilo nina lijua pia”

“Mama”

“Usibishe baba yangu na sijakuja kukukataza musiwe na mahusiao. Hapana muna weza kuwa katika mahusiano ila sihitaji yawe mahusiano ya siri. Nina kupa kazi moja, jaribu kumshawishi mke wako na kumuambia nini kinacho endelea kati yakow ewe na mdogo wake na akikubali basi uwaoe wote wawili”

Nikazidi kujawa na mshangao huku nikimtazama mama mkwe usoni mwake.

“Mama una jua dini yangu hairuhusu?”

“Nalijua hilo ila huyu uta muoa kwa dini ya kiislamu”

“Mama mke wangu nina mpenda na sihitaji kuichanganya hii familia ndio maana mara nyingine nimekuwa nikimkanya sana Nadia sema ndio hivyo amekuwa ni mtu wa kunishinikiza kufanya kile anacho kihitaji”

“Una mpenda?”

“Ndio ila kama shemeji yangu”

Mama mkwe akanitazama kwa sekunde kadhaa.

“Una jua mimi ni mama, na katika taratibu zetu za sisi waarabu, ili binti aozwe kwa heshima na familia ziweze kufurahia heshima ya binti yao ni lazima aolewe akiwa ni bikra. Sasa binti yangu usichana wake hana una hisi ana weza kuelewa na nani?”

“Sikuhizi hizo mila hazipo mama. Dunia ya sasa hivi wana wake wengu ana olewa blila ya kuwa na bikra”

“Sawa ila ukishindwa kuzungumza na mkeo nita zugumza naye mimi.”

Mama mkwe mara baada ya kuzungumza maneno hayo. Akanyanyuka na kuondoka eneo hili na kuniacha nikimsingikiza kwa macho kwani ni jambo la kushanganza sana. Hamu ya mazoezi yote imeniishia na kujikuta nikirudi ndani, nikamkuta Cauther akimnyonyesha mtoto.

“Umeamkaje mume wangu”

Cauther alizungumza huku tukipigana mabusu ya mdomo.

“Nimeamka salama mke wangu. Sasa vipi wewe?”

“Mimi nipo salama kabisa mume wangu. Vipi malkia wagu ana endeleaje?”

“Kama unavyo muona jinsi anavyo nyonya kwa furaha”

Nikajikuta nikitabasamu huku nikimtazama mke wangu usoni mwake.”

“Baby nahitaji twende Iringa”

“Lini?”

“Leo”

“Leo hii?”

“Ndio nataka twende Makete tukakae na wale watoto kule japo hatya siku mbili”

“Mmm mume wangu, kule kuna baridi sana na mtoto si ata umwa?”

“Hawezi kuumwa, sisi tumekulia huko yeye hawezi kushindwa kuishi huko”

Cauther akanitazama kwa sekunde kadhaa.

“Sasa mbona hukuniambia toka jana mume wangu?”

“Nimepata hilo wazo leo hii asubuhi nilipo kuwa nina fanya mazozi, sihitaji kukaa Dar es Salaam wiki hii nzima”

“Sawa mume wangu hakuna tatizo.”

“Poa utafanya maandalizi ya nguo chache chache”

“Tuna kwenda na usafiri gani?”

“Tutatumia magari mke wangu. Nahitaji tufurahie maisha ya safari”

“Mkuu kukaa muda mrefu kwenye gari na mtoto na A/C za ndani ya gari mume wangu”

“Usijali tutaliangalia hilo, nataka Nadia akapajue nyumbani kwa baba yake alipo tokea.”

“Na uchanga huu ata jua nini mume wangu”

“Ata jua tu, hata akipiga picha za ukumbusho na hapo baadae tuka muonyesha si atafurahi. Kwa maana nina hofia kwamba tukisha kwenda India sidhani kama tuta kuwa na safari za kurudi nchini Tanzania mara kwa mara”

“Sawa acha niandae nguo”

“Poa baby”

Nikaoga na nikasaidiana na mke wangu kupanga nguo. Baada ya maandalizi nikawajulisha walinzi wangu na madereva wangu juu ya safari hii. Ni msafara wa gari tatu ukaandaliwa huku tukupa escort ya gari moja ya polisi ambayo ita tupekekea hadi mpakani mwa Dar es Salaam na mkoa wa Pwani na kuanzia hapo askari wa Pwani wata tupeleka hadi mpakani mwa Pwani na Morogoro na tuta pata scort ya askari wengine na wata kuwa wana pokezana kila mkoa tunao ingia. Mama mkwe pamoja na Nadia nao wakaomba kujumuishiwa kwenye safari hii huku Willy naye akiomba kwenda nasi na Judy akamruhusu. Baada ya kupata kifungua kinywa safari rasmi ikaanza majira ya saa tano asubuhi, huku mimi, mke wangu na Willy tukiwa tumepanda gari la katikati pamoja na dereva ambaye ni mlinzi wangu huku gari la nyuma akiwa amepanda mama mkwe, Nadia na dereva na gari la mbele wamepanda walinzi wangu wanne na mbele kabisa kuna defender ya polisi pamoja na pikipiki ya askari wa usalama barabarani.

“Mama kijacho hajanuna?”

Nilimuuliza Willy.

“Hajanuna kaka ila hadi nimemshawishi weee, nimetumia kama lisaa hivi”

“Hahaaha”

“Hivi kwa nini wanawake wakiwa wajawazito wana kuwa hivyo, yaani mwanamke ni mgumu sana kuelewa”

“Kawaida yetu jamani wala musituseme.”

Cauther alizungumza huku akiwa amembeba Nadia.

“Ila sasa hivi ametulia tulia si kama pale mwanzoni. Yaani alikuwa ana nisumbua, kuna siku alisha niamshaga saa nane usiku nikamunulia Yogate. Nilikasirika sana ila sikuwa na jinsi”

“Hahahaa”

“Mimi mbona nilikuwa nina timuliwa asubuhi asubuhi nikanunue kuku wa Sudy”

Tukaendelea kupiga stori huku safari ikiendelea. Cauther akawa wa kwanza kupitiwa na usingizi na kuungana na Mwanaye ambaye naye amesha lala tokea tulipo kuwa tuna toka Morogoro mjini. Gari zikaanza kupunguza mwendo na kuifaya itazame mbele. Nikaona kundi kubwa la watu wakiwa katika mishe mishe.

“Kuna nini pale?”

“Ajali muheshimiwa”

“Simamisheni gari”

(AIISSII YOU KILL ME CHAPTER FOUR(Killer) inazidi kusonga mbele. Wahi sasa ujiunge kwenye group WhatsApp 0657072588 kwa sh 4000/= tu.

Karibu sana)

Gari zote zikasimama mita mia moja kutoka eneo la ajali.

“Basi zimegongana zile ehee?”

Willy alizungumza kwa maana amekaa siti ya mbele.

“Mbona tumesimama?”

Cauther alizungumza kwa sauti ya uchovu kwani ametoka usingizini.

“Kuna ajali imetokeaa. Usishuke ndani ya gari”

Nilizungumza huku nikifungua mkanda wa siti yangu.

“Muheshimiwa usishuke kwanza”

“Musijali hakuna tatizo”

“Baba Nadia kuwa makini mume wangu”

“Usijali mke wangu”

Nikaweka vizuri koti langu la suti huku nyuma kiunoni nikiwa nimechomeka bastola yangu. Walinzi wa gari yangu ya mbele nao tayari wamesha shuka pamoja na askari polisi. Nikasogelea eneo la tukio na kuwafanya watu kushangaa uwepo wangu. Tukakuta baadhi ya maiti kama nne hivi zikiwa zimelazwa pembezoni mwa barabara huku abiria walio pata mstuko wakiwa wamekaa pembezoni mwa barabara.

“Poleni jamani”

“Tuna shukuru muheshimiwa raisi”

“Kuna majeruhi wowote wano hitaji kuwahishwa hospitalini?”

Niliuliza huku nikiwatazama wananchi hawa na mbaya zaidi ajali imetokea aneo ambalo halina makazi ya watu kabisa.

“Majeruhi wawili wamewahishwa kwenda hispitalini ambao ni dereva wa basi hili na mwengine ni dereva wa basi hili”

“Hawa maiti nao ni abiria?”

“Hapana mkuu hao ni waendesha pikipiki wakiwa na abiria wao walikuwa wana kimbizana wakitokea huku kuelekea huku. Sasa dereva wa basi hili alikuwa kwenye mwendo wa kasi sana, alipo jaribu kuwakwepa ndipo akawakusanya hawa na kugongana na basi hili.”

Abiria mmoja alitoa maelezo yaliyo elewaka.

“Mpigie RPC wa mkoa aweze kufika hapa”

“Yupo njiani mkuu”

Mmoja wa abia alizungumza

“Mulsiha mpigia hee?”

“Ndio ndio”

“Kwa hiyo walio umia ni madereva?”

“Ndio ni kama Mungu tu”

“Poleni sana”

“Tuna shukuru muheshimiwa raisi.”

Baada ya dakika kumi RPC na vijana wake wakafika eneo hili. Wakanipigia saluti huku foleni ya magari ikizidi kuongezeka kwani basi hizi zimefunga njia. Maiti zikaondolewa eneo hili na nikahakikisha kwamba abiria wote wana ondoka eneo hili kwa kufaulishwa kwenye mabasi mengine. Baada ya magari yote kuondolewa barabarani, nami na walinzi wangu tukaingia ndani ya magari yetu na kuendelea na safari.

“Bodaboda sijui ni kwa nini huwa hawajifunzi”

Nilizungumza huku nikivua koti langu.

“Kwa nini mume wangu?”

“Bodaboda ndio wamesabisha zile basi kuongana. Sijui walikuwa wana kimbiza na mwishowe wakagongwa”

“Mmmm kazi kweli kweli”

“Yaa ni balaa”

“Ila kaka una jua jeshi la polisi ndio chanzo cha hawa vijana kufa”

“Kivipi?”

“Siku hizi leseni zinatolewa kiholela sana. Hakuna ile kumtest dereva kwamba ame fuzu. Mtu akifundishwa pikipiki leo uchochoroni, kesho ana kuwa dereva na kupakiza watu. Na kama ana juana na pokisi ana mpa kitu kidogo mtu ana pewa leseni. Yaani ni tabu tupu”

“Alafu wana kufa bado wadogo”

Cauther naye alishauri.

“Basi ina bidi hili swala serikali ya sasa hivi lilisimamie kwa maana kwa stahili hii tuta poteza vijana wengi sana”

“Ni kweli kaka ina bidi hilo lipewe kipaumbele”

Majira ya saa saba usiku tukafika mkoni Njombe na moja kwa moja tukaelekea Makete katika kituo cha kulelea watoto yatima. Tukafika kituoni hapa, huku ukungu mwingi ukiwa umetawala kila eneo.

“Aisee kuna puku khaaa”

Willy alizungumza huku nikishuka naye katika gari ili kuzungumza na walinzi wanao onekana kuto waelewa walinzi wangu wawili walio shuka. Nikasogea getini na kuwafanya walinzi kustuka.

“Vipi mbona hivyo”

“Shikamoo muheshimiwa raisi”

Wazee hawa walinisalimia japo wamenipita umri na mmoja kwa kumtazama kabisa ana uwezo wa kunizaa.

“Nashukuru, tufungulieni bwana nimerudi nyumbani

Walinzi hawa wakatufungulia geti na tukaingia ndani ya eneo hili ambalo ni kubwa sana.

“Mmmm”

Nilijikuta nikiguna huku nikiona gorofa ambalo nililitolea pesa ili lijengwe lipo nusu. Mazingira mengi ya majengo ambayo nayo nilitaka yakarabatiwe nayo yao vile vile.

“Hivi baby si tulitoa pesa kujengwe hapa vizuri?”

“Ndio mke wangu”

“Sasa mboja hakujajengwa?”

“Mimi na wewe wote hatuna maswali mke wangu na mikwara yote ile hapa pesa zimepigwa mke wangu”

Nilizungumza huku nikivaa koti kubwa, tukashuka ndani ya gari na mlinzi akatufwata tulipo simama.

“Mruhusini”

Niliwaambia walinzi wangua mbao walimzuia mlinzi wangu kunisogela.

“Karibu sana muheshimiwa raisi”

“Nashukuru ehee, imekuwaje hapa. Mbona hakuna kilicho fanyika?”

“Kusema kweli sifamu muheshimiwa kwa maana mimi ni mlinzi hapa”

Nikamtazama mzee huyu kwa umakini na sura yake sasa ikaanza kunijia akilini.

“Kama nina kukumbuka vile. Wewe si ndio mzee Kamwene”

“Ndio ni mimi baba”

Nikajikuta nikitabasamu kwani huyu mzee toka nikiwa mtoti ni mlinzi wa hapa chuoni.

“Miaka yote kazi yako ndio hii hii mzee wangu?”

“Ndio baba ndio maisha yametaka niwe hivi nita fanya nini baba yangu”

Mzee huyu alizungumza kwa masikitiko kiasi cha kunifanya nimuonee huruma. Piga picha baridi la mkoa huu na hali aliyo kuwa nayo mzee huyu.

“Una miaka mingapi sasa?”

“Sabini na mbili baba”

“Kesho hakikisha tuna onana asubihi. Ehee mkuu yupo wapi?”

“Kwake”

“Wapi kwake?”

“Ni nje ya hapa”

“Nipatie namba yake”

Mzee huyu akatoa kisimu kidogo cha nokia kikiwa kimezungushiwa mpira ili betri ambalo halina hata mfuniko lisitoke.

“Andika”

“Ndio”

Mzee Kamwene akanitajia namba ya mkuu wa kituo kisha nikampigia simu.

“Haloo”

Nilisikia sauti nzito iliyo jaa usingizi ikizungumza.

“Upo wapi mzee?”

“Nani wewe?”

“Kijana wako hapa”

“Nani?”

“Nahitaji uweze kufika hapa kituoni”

“Bwana sasa hivi nimepumzika na mke wangu hivyo siwezi kuja. Nipigie asubuhi”

“Kweli”

“Kweli nini sasa, wewe ni kiziwi au?”

Mzee huyu alifoka pasipo kujua ana ongea na nani. Akakata simu, nikampigia simu tena huku nikiwa nime weka loud speaker.

“Nimesema nimelala sitaki usumbufu pumbavu wewe?”

Watu wote wakastuka namna jinsi mzee alivyo nitukana laiti kama angejua ana zungumza na nani nina hisi hata huo usingizi wenyewe ungekuwa umesha kwisha.



“Sawa muheshimiwa. Endelea kulala”

Nikakata simu huku watu wote wakinitazama. Nikatabasamu kuwaonyesha kwamba sijakasirika ila kusema kweli moyoni mwangu huyu mzee ameivuruga saa.

“Bibi yangu yupo wapi?”

Nilimuuliza mlinzi huyu uso wake ukatawaliwa na huzuni kubwa kiasi cha kunifanya nianze kuhisi mabaya juu yake.

“Yupo wapi?”

“Walimfukuza kazi miezi kadhaa iliyo pita. Na kutokana hakuwa na pakwenda na maisha yake yalikuwa ni hapa basi alifariki dunia kwa huzuni na mawazo. Madaktari walisema mishipa ya kichwani ilipasuka na kusababisha kifo. Hicho ndio nilicho kisikia kutoka kwa madaktari”

Habari hii ikanistua kiasi cha kujihisi moyo wangu ukichomoka. Kusema kweli bibi alikuwa ndio kama mama yetu kwemye hichi kituo kwani ni watu wengi sana ambao tumelelewa na yeye hususani mimi ambaye aliniokota nikiwa nimetupwa mtaroni. Machozi yakaanza kuniolenga lenga huku hasira ikizidi kunipanda.

“Nani alimfukuza?”

“Bodi ya kituo”

“Kwa nini?”

“Bibi alikuwa akiwauliza juu ya pesa zilizo tolewa kwa ajili ya ujenzi na wao wakamuona ni kama msumbufu hivyo wakamfukuza.

“Watu wa bodi ya kituo un awajua?”

“Namjua mkuu tu ila wengine siwajui”

“Kaburi la bibi lipo wapi?”

“Njoo nikuonyeshe”

Tukaondoka na mlinzi huyu hadi kwenye eneo la makaburi ya watu walio wahi kuishi kwenye kituo hichi. Eneo hili la makaburi lina zikwa watu wote walio pita kwenye hichi kitio cha Makete. Tukafik katika kaburi la bibi ambalo limefukiwa kama la watu wengine na halijajengwa hata kwa tofauli moja. Msalaba wenyewe umeliwa na mchwa kiasi kwamba tumeukuta umeinama.

“Walishindw akulijengea?”

“Sijui mkuu”

Mzee Kamweni alizungumza kwa huzini.

“Nashukuru mzee”

Tukarudi kwenye eneo yalipo magari.

“Mzee endelea na majukumu yako tuta onana asubuhi”

“Sawa”

Mimi na Willy tukaingia ndani ya gari na kumkuta Cauther na mwanaye wakiwa wamesha lala.

“Uta wafanya nini?

Willy aliniuliza kwa sauti ya upole mara baada ya ukimya wa kama dakika tano kupita bila ya kuzungumza chochote.

“Sijui Willy”

Nilizungumza huku machozi ya hasira yakinibubujika.

“Asubuhi ndio watanitambua”

“Kina nani hao baby”

Cauther alizungumza kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu.

“Ehee?”

“Kina nani watakukoma”

“Washenzi hawa wamekula zile pesa na walimfukuza bibi kazini ikiwa miaka yake yote amejitoa kufanya kazi kituoni hapa. Na sijui ni nani alitengua nafasi yake na kuamua kumfukuza.”

“Ohoo walimfukuza bibi wa watu?

“Si kumfukuza tu ila kwa sasa bibi hatupo naye duani”

“Nini!!?”

Cauther aliniuliza kwa msisitizo.

“Ndio hivyo bibi hatupo naye duniani alisha fariki dunia na hapa nimetoka kulitazama kaburi lake, wameshindwa hata kulijengea kweli?”

“S…sa. Kwa nini wamfukuze wakati aliniambia nimletee mjukuu kabla hajafa jamani”

Cauther alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.

“Sasa Nadia ata muanaje bibi yake?”

Cauther aliendelea kuzungumza kwa huzuni kubwa na kunifanya nizidi kujawa na hasira.

“Nitadili nao hawa washenzi”

“Sasa alifariki kwa tatizo gani?”

“Mawazo yalipelekea mishipa ya kichw akupasuka na akafariki dinia”

“Jamani sasa walimfukuza ili wanufaike na nini?”

“Alikuwa ana ona uchungu wa pesa za kijana wake jinsi zinavyo fanyiwa upumbavu na wapuuzi wale. Sasa nita dili nao hawa shenzi sana”

Usingizi haukuninyemelea hadi kuna pambazuka. Nikashuka ndani ya gari huku nikiwa nimevaa koti kubwa sana, kwani barini ni kali kiasi cha kufanya ukungu kuwa mwingi sana. Nikamfwata mzee Kamwende getini na kumkuta akiwa amelala.

“Shikamoo mzee”

“Marahaba”

“Ohoo pole nime kustua ulikuwa umelala?”

“Ndio, usingizi ulinipitia bwana. Niambie kijana wangu?”

“Naweza kupata wapi vafaa vya ujenzi asubuhi hii. Nataka nikajengee lile kaburi”

“Vifaa vinauzwa madukani ila kwa sasa sidhani kama maduka yamefunguliwa”

Nikatazama saa yangu ina onuyesha sasa ni saa kumi na mbili na dakika ishirini.

“Tuna weza kutembea hadi madukani?”

“Ndio hakuna tatizo”

Tukanza kutembea taratibu kuelekea madukani.

“Kwenye umri wako huu una tarajia kufanya kitu gani kingine tofauti na ulinzi?”

Nilimuuliza mzee Kamwene huku tukitembea kwa miguu.

“Mimi kila kazi nafanya, japo nina umri mkubwa ila ni mkakamavu.”

“Sawa, hivi uan watoto wangapi?

“Kwa sasa amebakia mmoja wa kike yupo mkoani Shinyanga”

“Amebakia mmoja una maana gani?”

“Nilikuwa na watoto wanne. Watatu walifariki kwa nyakati tofauti tofauti na amebakia huyo mmoja wa kike na ameolewa huko Shinyanga”

“Aise pole sana”

“Nimesha poa”

“Sasa yeye ana fanya kazi gani?”

“Ni mwalimu wa shule ya msingi”

“Ohoo sawa sawa”

Tukafika eneo la madukani na kukuta duka moja tu likiwa ndio limefunguliwa.

“Kwa nini wana chelewa kufungua maduka”

“Kipindi hichi cha baridi huwa watu wengi huchelewa kuamka.”

“Wana uza vitu gani kwenye lile duka?”

“Nguo nyuo”

Tukalisogelea duka hili.

“Habari mama”

“Sal..ama”

Mwana mama huyu akapata kigugumizi kidogo huku akinitazama. Nikakatazama kwenye moja ya ukuta wake nikaona amening’iniza picha yangu huku ikiwa na maanidhishi ya raisi wa jamuhuri ya muungano ya Tanzania Eddy Jr. Akaitazama picha ile kisha akanitazama na mimi.

“Una mabushori?”

“Eehee”

“Hembu nionyeshe”

Mama huyu akaniletea mabushori yenye rangi tofauti tofauti.

“Samahani baba”

“Bila samahani”

“Wewe ndio raisi Eddy?”

Mzee huyu akanitazama, nikamkanyaga kidogo kwa maana sitaki watu watambua kwamba nipo hapa na isistoshe nimesha toka madarakani na hata nguvu yangu ya mamlaka ya kiuongozi imepungua kwani nikiwa kama raisi mstafu kuna baadhi ya mambo huwa siwezi kuyafanyia maamuzi zaidi ya raisi aliyopo mdarakani.

“Hapana mama yangu?”

“Kweli baba, mbon auna fanana na raisi wangu kipenzi”

“Una mpenda ehee?”

“Sana nina mpenda sana raisi huyu. Kwanza ni kijana, pili ni mzuri, tatu ana chapa kazi na ana misimamo kama muasisi wa hii nchi”

“Una gloves zile ngumu?”

“Hapana zipo za kitambaa pekee”

“Sawa mama yangu. Bushori hili sh ngapi?”

“Ni shilingi elfu tano baba”

Nikafungua wallet yangu na kutoa noti za shilingu elfu kumi mbili na nikamkabidhi”

“Hiyo nyingine uta kunywa supu”

“Asante sana baba yangu. Nashukuru sana baba yangu, asante sana”

“Mimi ndio huyo kwenye picha”

Mwana mama huyu akatoka dukani kwake na akanikumbatia kwa furaha huku akiliwa kwa furaha.

“Mama usimuambie yoyote kama nipo hapa”

“Haki ya Mungus into muambia yoyote”

“Kweli?”

“Ndio baba yangu. Nafurahi leo nimemkumbatia raisi, ohoo asante Mungu wangu”

Mwana mama huyu alizungumza kwa furaha. Nikamuachi.

“Ili watuw asikujue ina bidi uvae miwani na hilo bushori”

“Kweli ehee?”

“Ndio”

(AIISSII YOU KILL ME CHAPTER FOUR(Killer) inazidi kusonga mbele. Wahi sasa ujiunge kwenye group WhatsApp 0657072588 kwa sh 4000/= tu.

Karibu sana)

“Nimeona miwani hapa dukani kwako”

“Ndio zipo baba ngoja nikupatie”

Mwana mama huyu akanichagulia moja ya miwani na akanikabidhi.

“Hiyo nimekupa kama zawadi baba yangu”

“Niseije nikawa nina kuingizia hasara?”

“Hapana baba yangu wewe chukua tu ni zawadi yangu”

Nikavaa miwani hii nyeusi pamoja na bushori hili lenye rangi nyeusi.

“Ni duka lipi wana uza vifaa vya ujenzi”

“Kuna lile la mchaga pale ila hajafungua, nahisi muda si mrefu ata fungua”

“Nashukuru sana mama yangu”

“Karibu sana baba”

“Asante”

Tukaondoka dukani hapa na kuingia kwenye moja ya mgahawa wa kawaida.

“Mzee wangu kula chochote unacho hitaji”

Nilizungumza huku tukikaa kwenye moja ya bechi. Tukaagizia supu na chapati. Kwa jinsi nilivyo vaa hapakuwa na mtu aliye nijua na uzuri ni kwamba nimekuja peke yangu bila walinzi laity ningekuwa na walinzi watu wangefahamu.

“Nasikia gari la Msenga ni milioni stini?”

Mmoja wa wateja aliye kaa na wezake wawili kwenye meza moja wakipata kifungua kinywa alizungumza.

“Duuu Milioni stini?”

“Ndio milioni stini lile gari”

“Kwa mtu kama Msenga amezitolea wapi pes azote kama si wizi”

“Si kuna mradi pale kituoni nasikia ni wawafadhili kutoka Ujerumani, wamechakatua pesa na wakagawana watu wa juu juu na Msenga akavuta zile pesa”

“Asiee kama kanunua gari la milioni stini ina maana wameingiza kiasi gani?”

“Mmmm wala sijui kwa kweli ila ina onyesha ni pesa nyingi sana”

“Msenga ndio nani?”

Nilimnong’oneza mzee huyu.

“Ni mkuu wa kituo uliye zungumza naye jana usiku”

“Okay”

“Ila jamaa nasikia kajenga sana kwao, kajenga saa kwao huko”

“Wee”

“Nasikia jamaa sasa hivi ni tajiri kutokana na kile kituo”

“Ila sijui rushwa ita isha lini pale”

“Ila jamai tuyaachei maisha ya watu. Sisi tuendelee kupambana na hali zetu”

“Ila kweli”

Watu hawa wakamaliza kula na wakaodoka eneo hili. Baada ya kumaliza kupata kifungua kinywa nikalipa kisha tukatoka ndani hapa. Tukaelekea katika duka la Mchaga, nikanunua vitu vya kujengea kaburi na tukaanza safari ya kurudi kweye kituo taratibu. Gari nyeusi aina ya BMW ikatupita kwa kasi.

“Gari ya mkuu huyo”

Mlinzi alizungumza huku gari hii ikitupotea kweye uwepo wa macho yetu. Tukafika katika kutuo, walinzi wangu wakatupokea mizigo hii. Nikaitazama gari ya mkuu wa kituo hichi ambayo ni mpya kabisa.

“Huyo mpuuzi aliye ingia na gari yupo wapi?”

Nilimuuliza mlinzi wangu.

“Ameelekea ofisini”

“Mlke wangu”

“Bado yupo kwenye gari”

Nikatembea hadi kwenye gari, nikafungua mlango na kumkuta Cauther, mama mkwe, shemeji pamoja na mtoto.

“Shikamoo mama”

“Marahaba, haabri yaw ewe”

“Salama saa mama yagu. Muna edneleaje?”

“Tumeamka salama, ila baridi kali sana huku”

“Yaani shem huku ni full kutetemeka”

“Poleni, ila by saa tano sita hivi baridi ita isha kajua katatoka toka”

“Aisee”

“Vipi mke wangu”

“Safi mume wangu. Ulienda wapi?”

“Huko kwenye mji kununua nunua baadhi ya vifaa. Nataka kwenda kujengea lile kaburi”

“Ohoo una kwenda lijengea sasa hivi?”

“Hapana baadae ila acha kwanza niwanyooshe hawa wapumbavu”

“Sawa”

“Kina nani hao mwanangu?”

Mama mkwe aliniuliza.

“Usijali mama yangu. Munahitaji nini?”

“Tuna hitaji kuoga maji ya moto kidogo kwa maana kwa hii baridi hapana jamani”

Nadia aliulizugumza na kunifanya nitabasamu.

“Acha niwaandalie mazingira”

“Sawa”

Nikaondoka eneo hili.

“Willy yupo wapi?”

“Amekwenda ofisini kwa mkuu wa kituo”

“Sawa”

Nikaelekea katika ofisi ya mkuu wa kituo hichi cha watoto yatima. Nikamkuta bwana Msenga akiwa amekaa kwenye kiti chake huku Willy akiwa amekaa kwenye kiti kinacho tazamana na bwana Msenga. Willy akanipa ipad yake.

“Kaka hiyo ndio pesa iliyopo kwenye akaunti ya kituo hichi chote”

Nikajikuta macho yakinitoka kwani akaunti ya kituo ina kiasi cha shilingili elfu sabani na mbili tu jambo ambalo ni la kushangaza sana kwani kwa shilingi elfu sabini na mbili haiwezi kuendesha maisha ya watoto walipo kwenye kituo hichi wala kuwalipa mishahara wafanyakazi wa kituo hichi.



“What’s fuc**”

Nilijikuta nikitukana huku nikimtazama mkuu huyu wa kituo aliye tawaliwa na woga.

“Hiii ni akaunti yenu au?”

Nilizungumza kwa kufoka huku nikimtazama mzee huyu.

“N…di….o mkuu”

“Miradi ya kituo hichi inagiza pesa wapi?”

Bwana Msenga akakosa jibu la kunijibu. Nikamfwata kwa kasi na nikamshika shati lake na kumnyanyua juu mzima mzima.

“Kaka”

Willy alizungumza kwani tayari alisha niaona nimekasirika. Nikachomoa bastola kiunoni mwangu na kuiweka katika paji la uso wa bwana Msangi.

“Wapi zipipo pesa?”

Bwana Msenga akazidi kutetemeka kwa woga huku akiwa amekosa la kuzunugumza kwani kipindi nina ondoka bibi ndio alikuwa mkuu wa kituo hichi na yeye alikwua ndio kaimu mkuu.

“Zipo wapi pesa zangu nilizo zitoa?”

“M…mkuu…na…a….na”

“Hunijui wewe”

Nikairudisha bastola kiunoni mwangu na nikamtandika kichwa cha pua na kumfanya bwana Msenga kupiga yowe kubwa huku damu zikimwagika puani mwake.

“Kaka uta muua”

“Acha afe mseng** huyu. Hapa ni nyumbani kwetu, kuna watoto wadogo walikuwa kama mimi, sasa wanapo kula pesa za hawa yatima una hisi wana ishije wana kwenda kustaki kwa nani?”

Nilizungumza kwa hasira huku nikimkalisha kwa nguvu bwana Msenga katika kiti chake nikanyanyua mkonga wa simu yake ya mezani.

“Wapigie wala rushwa wezako wote. Nataka kuwaona hapa sasa hivi”

“Sa….wa mkuu”

“Willy”

“Ndio kaka”

“Mpigie RPC wa hapa”

“Sawa”

Willy akampigia RPC kisha akanikabidhi.

“Habari yako?”

“Salama una zungumza na raisi mstafu Eddy Jr. Nipo Makete kwenye kituo cha watoto Yatuma. Nahitaji uje sasa hivi na askari wa kutosha. Umenielewa?”

“Sawa muheshimiwa nina fika hapo ndani ya dakika kumi”

Nikakata simu na kumrudishia Willy simu yake.

“Yule mkandarasi ni kwa nini ameacha kujenga yale majengo?”

“Ehe…”

“Ng’weee nini?”

Bwana Msangi amekuwa ni kama mtu aliye changayikiwa kwa maana hadi sasa hivi hajampigia mtu yoyote.

“Umempigia nani?”

“Ba…ba….do mkuu”

“Toa list ya wapumbavu wezako wote wa bodi na mulio kula pesa za hichi kituo. Musilete mambo ya kipumbavu”

Bwana Msenga akatoa faili lenye namba za watu wote wa bodi ya kituo hichi cha yatima. Willy akaanza kumpia mmoja baada ya mwengine na kila anaye mpigia ana zungumza na mkuu wa kituo kuhakikisha kwamba ana kuja hapa kwa haraka. RPC akafika kituoni hapa akiwa ameongozana na defender sita zilio jaa askari wa kikosi cha kuzuia ghasia F.F.U.

“Karibu sana muheshimiwa raisi Njombe”

“Nashukuru, sana jana tuliingia usiku sana ndio maana sikuweza kufikia ikulu ndogo”

“Sawa sawa muheshimiwa raisi. Vipi mbona hapa tena?”

“Nipo nyumbani”

“Nyumbani kivpi?”

Nikatabasamu kwa maana watu wengi hawafahamu historia ya maisha yangu ya utotoni.

“Nimekulia kwenye hili eneo hapa. Nilikuwa ni yatima kama watoto wengine”

“Kweli mkuu?”

“Ndio na hapa nipo nyumbani kwetu. Sasa kuna ubadhilifu mkubwa wa pesa ume fanyika hapa nahitaji hawa watu wote wa bodi wakitoka hapa tuna taifisha kila kilicho chao. Maduka, nyumba, magari na yote tuna uza na pesa zina rusi kwenye hichi kituo. Washenzi wamekula pesa na kugawana na huwezi amini wana elfu sabini na kitu kwenye akauti kuu ya kituo”

“Duuu”

“Ndio, sasa nataka kuwaonyesha kwamba mimi ni mafia kwa maana wamekula na pesa yangu washenzi hawa. Hawajui jasho nililo toa hadi kuipata ile pesa wanacho fikiria ni kunenepeana matumbo na kununua magari ambayo hayaendani na mishahara yao”

Willy akaingia ofisini hapa ambapo nipo mimi, RPC na mkuu wa kituo bwana Msenga.

“Wamesha fika wote ishirini”

“Wapo wapi?”

“Kwenye ukumbi wa mkutano na wapo chini ya ulinzi hakuna anaye toka”

“Simu wamepokonywa?

“Ndio”

“Sawa twende wewe”

Nilimuambia bwana Msenga na akanyanyuka huku shati lake likiwa limejaa damu zilizo mtoka puani mwake. Wafanyakazi wa kutuo hichi pamoja na watoto kadhaa wakastushwa sana kuniona hapa. Willy na RPC nendeni ndani mimi ngoja nizungumze na wafakazi kwanza na huyu boya chukueni simu yake”

“Sawa mkuu”

RPC alijibu huku akinipigia saluti.

“Shikamoo”

Dada mmoja ambaye ni mfanyakazi alizungumza huku akipiga goti chini kidogo.

“Marahaba. Waambie wafanyakazi wote nina kikao nao muda huu si wamesha fika?”

“Ndio muheshimiwa”

“Wote wakusanyike kwenye ule ukumbi wao”

“Sawa mkuu ngoja niwajulishe”

“Hakuna shaka”

Dada huyu akaondoka na baada ya dakika tano wafanyakazi thelathini na mbili wakakusanyika kwenye ukumbi wa eneo kituoni hapa.

“Habari zenu”

“Salama muheshimiwa raisi”

Nikawatazama wafanyakazi hawa na idadi yao kusema kweli ni ndogo na hata nyuso zao zina onyesha ni watu wenye shida na wana fanya kazi ili mradi waonekane wana fanya kazi.

“Nina imani muna nifahamu mimi ni nani?”

“Ndio muheshimiwa”

“Mimi ni nani?”

“Raisi mstafu wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania?”

“Ukiachana na hilo mimi ni mtoto wa familia hii. Mimi niliokotwa nikiwa mchanga na bibi na nikaletwa hapa, nilikulia hapa hadi nilipo amua kutoroka an wezangu na kwenda kujitafuti maisha mbele ya safari.”

Wafanyakazi hawa wakaanza kunong’onezana kwani katika kipindi nina ishi hapa hakuna hata mmoja ambaye alikuwepo.

“Kabla sijakwenda kwenye kkao cha bodi. Nahit ji kusikia ni nini kinacho wasibu. Nahitaja azungumze mmoja mmoja”

Nikamchagua mzee mmoja wa makamo kidogo.

“Muheshimiwa raisi mstafu. Mimi nina itwa Daniel Mwilongo. Ni mkuu wa shule hii ya primary hapa kituoni. Muheshimiwa raisi kwa kipindi cha miezi minne sasa, hatujalipwa mishahara yetu. Tumekuwa tuna fanya kazi kwa kujitolea sasa na hakuna aliye pata maslahi yake. Pia muheshimiwa raisi, chakula hapa kituoni ni shida, glala la chakula limeisha mazao yake kiholela holela. Wakuu walikuwa wakiuza baadhi ya maguni ya mchele na mahindi hivyo njaa mkuu hapa imekithiri. Ina fikia hatua sisi kama waalimu tuna toa chochote kidogo ili kuwalisha wale watoto na tukiwauliza wakuu hawatupi majibu ya kueleweka”

“Nashukuru nimelielewa. Je bibi alitolewa madarakain lini?”

“Kama miezi mitano hivi nyuma na toka alivyo tolewa na kupewa huyu aliye kuwa kaimu wake mambo yalianza kuyumba na kufika hapa tulipo fika. Pia muheshimiwa kuna moja ya biashara ina fanyika na kusema kweli ina tuumiza mioyo yetu”

“Biashara gani?”

“Muheheshimiwa mkuu wa kutuo huwa ana wauza wasichana walio komaa komaa kisiri kwa wazungu ambao ni watalii wanao kuja kutalii maeneo haya na nina ishahidi wa picha, video pamoja na adio niliye mrekodi mmoja wa wanafunzi wangu na nimeshindwa kustaki popote kwani mkuu wa kituo ameniambia nikifanya hivyo nita fukuzwa kazi na nita uwawa. Na ukitazama mkuu maisha yangu yana tegemea hapa kituoni”

Nikajihisi maumivu makali moyoni mwangu.

“Nipe huo ushahidi”

Mkuu huyu wa shule ya msingia kaniletea ushahidi na nikaanza kutazama video hii iliyo rekodiwa kwa siri ikiomuonyesha binti mdogo akiingizwa kwenye gari la mkuu wa shule na video ya pili ina onyesha akikabidhiwa kwa mzungu mmoja ambaye ni mzee.

“Huyu mzungu yupo?”

“Alisha ondoka mkuu na kurudi kwao huko Ulaya”

Nikaianz akuisikiliza audio.

“Walikupeleka wapi?”

Sauti ya mwalimu huyu ilisikika.

“Kwa jibabu moja la kizungungu”

Binti huyo alizungumza huku akilia kwa uchungu

“Alipo fika ikawaje?”

“Mkuu alipewa pesa na akaondoka na yule mzungu akaniingilia kijinsia huku mbele na huku nyuma”

“Ohoo Mungu wangu”

Nikajikuta nikisimamisha audio hii kwa maana ina tia uchungu hususani ukiwa ni kama baba. Leo nami nina mtoto wa kike sipati picha mpumbavu akimfanyia mtoto wangu wa kike vitu vya kipuuzi. Nikasimama huku waalimu wote wakinitazama.

“Huyu mtoto yupo?”

“Ndio mkuu, ilibidi nikamishi naye kwangu kwani hapa angezidi kuuzwa na sio mmoja ni wengi mkuu.”

“Kwa nini hamtoi ripoti polisi?”

“Hata tukitoa mkuu hakuna polisi anaye tusililiza”

“Mulitoa ripoti lini na lini?”

Wakanitajia vituo vya polisiw alivyo toa ripoti.

“Wafanyakazi wengine wapo wapi?”

“Mkuu walisha fukuzwa kazi na wengine wameacha naa kuamua kwenda kulima kuliko manyanyaso wanayo pata kutoka kwa wakuu wetu wa kazi”

“Idadi ya vijana wapo wangapi kwa sasa?”

“Kwa sasa tunao yatima elfu moja na mia mbili stini na mbili. Watatu walifariki mwezi ulio pita kwa kukosa lishe nzuri mkuu”

“Ina maana njaa?”

“Ndio mkuu”

“Matibabu?”

“Hapo mkuu ndio usiseme. Ukiumwa hata malaria una pewa parecetam. Zahanati haina pesa”

“Ilikuwaje bibi akaondolewa kwenye madaraka?”

“Ni hujuma tu mkuu. Walidai umri wake ume kwenda hivyo ana paswa kupumzika”

“Kupumzika?”

“Ndio ila bibi alikuwa na nguvu ya kuendelea kuongoza hichi kituo na pia kilicho changia bibi kutolewa ni kufwatilia miradi ambayo hapo awali ulitoa pesa mkuu ili kujengwa na magorofa pamoja na kufanyia marekebisho baadhi ya majengo”

“Mkuu wa shule tuongozane. Wengine kaendeleeni na kazi”

“Sawa”

“Hakikisheni watoto wana kaa mazingira ya utulivu na wasiogope ujio wa askari eneo hili. Kuna amani”

“Sawa mkuu”

Nikatoka ofisini hapa na mwalimu mkuu. Nikakutana na Cauther.

“Tangulia ukumbi huo mkubwa wa mkutano nina kuja”

“Sawa muheshimiwa”

“Honey upo bize wezio tuna hisi njaa. Tuna taka sehemu za kogea. Tuna hitaji kujinyoosha hata miili yetu. Mama kachoka miguu hadi imeenza kuvimba.”

“Ohoo, naomba univumilie mke wangu. Tuta kwenda hotelini pamoja, kuna swala nalishuhulikia”

“Sawa mume wangu ila utukumbuke na sisi”

“Sawa mke wangu”

“Kwanza kuna nini baby”

“Wamekula pesa washenzi. Mamilio tuliyo toa watu wameyapiga akaunti ya kituo huwezi amanini ina shilingi elfu sabini na kitu”

“Mungu wangu pesa zote zile mume wangu!!?”

“Ndio na kuna mambo mengi ya kipuuzi yana fanywa na mkuu wa kituo. Ana uza hadi watoto wa kike kwa wazungu”

“Jamaniii….sasa wata kimbilia wapi hawa watoto wa watu, ikiwa hapa ndio sehemu pekee waliyo amanini kwamba ina msaada kwenye maisha yao”

“Ndio hivyo mke wangu. Wewe subiria niwanyooshe wapumbavu”

“Haya mume wangu. Hakikisha wana zitoa hizo pesa zetu. Khaa jamania”

“Na kumtoa bibi madarakani kumepelekea hadi bibi amekufa kwa mawazo na huzuni”

“Daaa!”

“Nisubirieni kwenye gari. Nina wanyoosha”

“Sawa mume wangu”

Cauther akarudi kwenye gari nani nikaingia kwenye ukumbi mkubwa na kuwakuta wakuu wa bodi wa kituo hichi, wakasimama wote huku wakionekana kuwa na wasiwasi mwingi. Miili ya hawa watu kusema kweli ime noneana kana kama ng’ombe anaye subiria kuchinjwa. Nikaka kwenye kiti kilichopo pembeni ya Willy.

“Wamezungumza?”

“Hapana kila mmoja alionekana kuwa kimya mara baada ya kuingia”

“Sawa”

Nilizungumza huku nikimtazama mkuu ambaye amejiweka pamba puani mwake kuzuia damu zisimwagike

“Pesa zangu zipo wapi?”

Wote wakakaa kimya hukuw akimtazama mkuu wa kituo hichi.

“Ni swali la nyinyi wote, pesa zipo wapi?”

“Muheshimiwa pe…za sipi?”

Mmoja wa wazee aliniuliza kwa kigugumizi.

“Kwa hahati mbaya hamunjui vizuri. Ndio maana muna nieletea ujinga”

Nikatoa bastola nikaikoki na kuiweka juu ya meza.

“Nikikuua sina kosa. Nitatoa taaria kwamba ulikuwa unajaribu kuniua nikajilinda. Hivyo nina waliza tena pesa zangu zipo wapi. Pesa za miradi ya kituo na wadau zipo wapi. Pesa munazo uza magunia zipo. Nipendi majibu hayo mukishindwa nina anza kumpi risasi ya goti mmoja baada ya mwengine”

Wote wakaka kimya jambo lililo nifanya nikasirike sana. Nikasima kisha nikamsogelea mkuu wa shuke na nikauweka mdomo wa bastola yake kwenye pja lake na kuwatazama wote.

“Pesa mumepeleka wapi?”

“Mm…mkuu…tu…liiba”

Mkuu wa kituo alilalama.

“RPC una sikia?”

“Ndio muheshimiwa”

“Mulipesana kiasi gani?”

“Ni….nyi….ngi mkuu”

“Kwa hiyo mulikula bila kujali?”

“Ndio mkuu”

“Nani nani hawajala pesa hiyo humu ndani kati ya hizo sura?”

“Ni mkuu wa shule ya msingi tu”

“Walio salia ukimtoa RPC na kijana wangu huyo, walio salia wote wamekula?”

“Ndio muheshimiwa”

Mkuu wa shule alitoa ushirikiano kwani maumivu ya pua aliyo yapata yamempa akili sasa.

“Sasa nisikilizeni. Nina hitaji namba akaunti namba zenu wote ya kila benki, iwe ni yako, mke wako, mume wako au watoto wako. Munipatie kwa maana najua pesa hizo mumeweka kwenye akaunti za hao wengine nilio wataja. Nahitaji kila mmoja aorodheshe mali zake zote hadi bata utaje. Na kuanzia hivi sasa mali zote hizo zitakuwa mali za chuo hichi. Ukinificha, nisiwadanganye, nita kuua tena nitakuua kimamaumivu kwa kukata kipande kimoja baada ya kingine. Hapa ni nyumbani kwetu, hapa ndio kwangu. Siwezi kuona wapuuzi wanacheza na mali za nyumbani kwetu alafu nicheke. Nitawaua nina apa haki ya Mungu mutakufa, naanza na wewe orodhesha mali zako zote kwa kijana wangu hapa, akaunti namba za benki, mpesa, tigopesa kila kitu. Ukishindwa risasi ya kwanza ita pesa kwenye paja lako”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikikita mdomo wa bastola kwenye paja la mwana mama mmoja na kumfanya kutetemeka hadi akaanza kujamba jamba hovyo.



“Hata ukijamba sina msamaha wala huruma.”

Mwana mama huyu akaanza kuorodhesha mali zake anazo miliki huku akiendelea kutemeka.

“Bado, RPC mpigie mkurugenzi wa Takukuru, pamoja na mkurugenzi wa TRA. Wote nawahitaji hapa”

“Sawa muheshimiwa”

“Wakurugenzi wa mkoa huu”

“Sawa muheshimiwa”

Katika siku mbaya ambazo mafisadi hawa wamekutana nazo ni leo. Kila mmoja akaanza kuorodhesha mali zake, akaunti zake za benki, pamoja na namba zao za siri. Wakurugenzi hawa wawili nilio wahitaji wakafika katika kikao hichi.

“Nahitaji wafanyiwe uchunguzi hawa watu. Ni wahujumu uchumi, hakikisheni kwamba wana filisiwa kila walicho nacho. Hadi kuku, ili iwe funzo kwa wengine”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Baada ya Msenga na wezake kuorodhesha mali zao pesa zote zilizo kuwa kwenye akaunti zao za benki pamoja na benki za kisimu zikahamishiwa kwenye akaunti ya benki ya kituo hichi ambazo ni sawa na bilioni kumi na mbili na milioni mia nane hamsini na tano.

“Nahitaji magari yao, nyumba zao zipigwe mnada kisheria. Hatuwezi kuishi na watu mafisadi, pesa zina ingia wao wana chukua na kwenda kula na familia zao. Sasa nataka muona ugumu wa maisha waao pitia hawa watoto. Alafu jambo jengine kabla sijasahau. Kuna biashara ya ngono ina endeshwa humu ndani ya kituo.”

Watu karibia wote wakaostuka kasoro mkuu wa shule.

“Musinitumbulie macho, hembu naomba hiyo simu”

Mkuu wa shule akanipa simu yake na nikaweka audio aliyo mrekodi mtoto wa kike ambaye alikwenda kuunzwa na bwana Msenga.

“RPC”

“Ndio mkuu”

“Huyu akakae gereza lake, mwenyewe. Akakae kuzimu una nielewa?”

“Sawa mkuu”

“Pia amehusika kwenye kumtoa madarakani bibi ambaye alikuwa ndio mkuu wa chuo hichi na kafariki ina maana wanamusika kwenye kifo chake. Sasa kwa siku zote wakiwa mwahubusu nahitaji wajutie ni kwa nini walifanya upuuzi wakiwa uraiani”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Watuhimiwa wote wakasombwa kwenye defender ya polisi huku wakiwa chini ya ulinzi mkali na wakaondolewa hapa. Nikamuagiza mkuu wa shule kuitisha kikao cha dharura cha wafanyakazi wote wa kituo hichi na wakajumuika katika ukumbi nilio kuwa nafanya kikao na watu wa bodi ya chuo hichi.

“Habari ya mchana”

“Salama”

“Nina hitaji kufanya uteuzi wa muda ambao uta ongoza chuo hichi. Bwana Jonas Pilipili ata kuwa ndio mkuu wa muda wa chuo hichi na nafasi yake wa ukuu wa shule kule ata uteua kwa mtu mwengine. Wale wote ambao hana madai yao ya mishahara na marupurupu ningependa kupata orodha yao sasa hivi ili kama ni pesa ziweze kuingizwa kwenye akaunti zenu. Nahitaji kupata orodha ya mahitaji yote ya chuo hichi hususani, chakula, madawa na nguo za vijana. Nahitaji uwajibikiaji huu ufanyike ndani ya muda mfupi. Bwana Pilipili, hakikisha una unda timu itakayo kwenda kununua hivyo vitu leo. Nahitaji mambo yaende spidi, siku ya leo, hawa watoto ni taifa letu la kesho. Hivyo ni lazima tuwalee kwenye mizingi ya kumpendeza Mungu. Tuna elewana?”

“Ndio mkuu”

Waliitikia huku wakiwa na furaha sana.

“Huyu ana itwa Willy ata kuwa ndio muhasibu wa muda. Hivyo timu yako mutakayo iunda ita leta bajeti yao hapa na kutolewa na muhasibu. Sifanyi haya eti kwa sababu nilikuwa raisi, nina fanya hata yote kwa sasabu hapa ni nyumbani kwetu. Sina sehemu nyingne ya kwenda zaidi ya hapa. Hivyo siwezi kwua mpuuzi nikajenge nje ikiwa nyumbani kwetu papo vibaya hivi”

Nilizungumza kwa kujiamini na watu wote wakapiga makofi ya kufurahia.

“Leo nimeokoa zaidi ya bilioni kumi na mbili pointi nane. Muta weza kuona ni jinsi gani kituo hichi kilikuwa kina tumika kuimarisha uchumi wa watu wengine. Na hizi ni pesa zambazo ziliotolewa kwenye akaunti za Msenga na bodi yake nado mali zao kupigwa minada. Nasikia wamejenga mahoteli ya kifahari kwa kweli tuta shuhulika nao.”

“Wewe Pilipili, nimekupa hiyo nafasi, sasa niondoke na nirudi nikute umefanya madudu. Haki ya Mungu nina apia mbele ya hawa watu. Uta juta ni kwa nini ulikaa kwenye hicho kitu. Nita hakikisha nina tafuta makampuni ya nje ya nchi na yata kuja kuboresha hichi kituo. Wata kijenga kwa mifumo ya kimataifa. Jambo jengine hakikisheni kwamba kila mtu ana ana toa ripoti za kweli kwa muhasibu wangu. Endapo tukibaini umejizidishia marupurupu au miezi ya kudai mshahara basi tuta dili nanyi. Na wale wafanyakazi walio acha kazi na walio fukuzwa kwa sababu za upigaji, kesho warudi kazini na nita hitaji majina hayo. Pilipili hakikusha una lishuhulikia hilo”

“Sawa muheshimiwa”

“Kwa leo sina la ziada naombeni nikapumzike sasa”

Nikawaaga wafanyakazi hawa pamoja na watoto wa kituo hichi na nikaondoka kituoni hapa na kumuacha Willy pamoja na mlimzi mmoja ambao wata jumuika nasi usiku hotelini.

“Nimechoka sana mke wangu”

Nilizungumza huku nikijitupa kitandani kwa maana sijapata muda wa kupumzika kabisa.

“Pole sana mume wangu”

“Nashukuru, yaani hapa mwili mzima una waka moto kwa kuchoka”

“Nikufanyie masaji mume wangu”

“Ndio mke wangu”

Nikavua nguo zangu zote na Cauther akaanza kunifanyia masaji mgongo wangu wote.

“Mumne wangu una mpango gani kuboresha kile kituo kwa maana nilipata nafasi ya kuzunguka kwenye mabweni ya wasichana kwa kweli yana tisha. Mabinti wamesha vunja ungo ila hawana hat aped wana kazi ya kutumia vipande vya nguo. Mume wangu nimeumia sana”

Cauther alizungumza kwa sauti ya upole.

“Wee kweli?”

“Haki ya Mungu mume wangu. Ilibidi nikaagize pedi za milioni moja na zikaletwa pale kituoni na nikawapatia watoto. Yaani imeniuma, leo hii mimi ni mama, je kama Nadia akija kuishi maisha kama yale nita jisikiaje?”

“Mume wangu nakuomba kama una anza ujenzi boresha kwanza maisha ya wale wasichana. Wale ndio mama wa kesho”

Mke wangu alizingumza kwa hisia kali nikamgeukia na kumuona machozi yakimlenga lenga.

“Nimekusikia mke wangu, nitahakikisha ila kuwa ni sehemu nzuri na ya kupendeza”

“Asante mume wangu, nipo tayari hata kutoa nusu ya utajiri wangu kuwajengea wale watoto”

“Usijali ni utajiri wetu, nita kufanyia kila kinacho wezekana uwe na furaha mke wangu”

Tukakubaliana na mke wangu. Nikawasiliana na mkadarasi mkuu wa taifa, nikampa ramani ya kituo kizima cha Makete na nikampa siku mbili kuchora ramanni nzuri itakayo endana na mawazo tuliyo mpatia mimi na mke wangu. Baada ya siku mbili mkadarasi mkuu na timu yake wakafika hapa Makete na akanikabidhi ramani na nikaa naye mezani kuona garama zita garimu kiasi gani.

Hadi tuna fika muafuka tuka kubaliana akifanyie marekebisho kituo hichi kwa dola milioni ishirini na tano. Japo ni pesa nyingi sana ambazo sio jambo la kawaida kwa mtu au mfanyabiashara kuzitoa na kuziweka pasipo kupata faida yoyote. Mimi na mke wangu tukaandaa halfa ya kuchangia watoto hawa. Willy akatusaidia kutengeneza Makala maalumu ambayo ita washawishi watu kuchangia kituo hicho na Makala hii ina husian ana mimi pamoja na kituo hichi.

Siku ya hafla ikawadia. Katika halfa hii nimealika wafanya biashara wakubwa, viongozi serekali akiwemo raisi Simba. Ukumbi wa Serena hoteli ujaaa watu wengi na nina shukuru Mungu wameitikia wito wangu na watu hawa wengine wametoka nje ya nchi wakiwa ni marafiki wa Cauther. Wasanii wachache ambao tuliwaalika kwa ajili ya kutumbuiza, wakatumbuiza kisha ukawadia wakati wa mimi kusimama jukwaani.

“Habari ya usiku mabibi na mabwana”

Wakaitikia watu wote.

“Nina shukuru sana kwa ujio wenu. Kwa kweli umenifariji na kunifanya nionekane ni mtu mwenye thamani mbele za watu.”

Nikatabasamu kidogo huku kamera zote zikiwa kwangu.

“Nimshukuru Mungu kwa kuniweka hai hadi leo hii poia nimeshukuru Mungu kwa kunipa mke bora. Mwanamake ambate amekuwa pamoja nami kwenye shida, raha, tabu na magumu yote tuliyo pita. Honey nina kupenda sana”

Watu wote wakapiga makofi ya furaha.

“Ahaa waty wengi naamini walianza kunifahamu kipindi nilipo kuwa ni jenerali wa jeshi. Ni cheo cha juu kabisa cha jeshi kwenye hii nchi. Ila kabla ya kufika happ nilikuwa na historia kubwa sana nyuma yangu. Wengi hawaijui historia ya maisha yangu. Na kwa kila aliye fanikiwa nyuma yake ana historia kubwa. Ningependa leo muweze kufahamu kilichopo nyuma ya maisha yangu”

Taa zote za ukumbini zikazimika na screan kubwa iliyo kuwepo hapa ukumbini ikawaka. Ikaanza kuonekana picha ya kichanga kikiwa kimechafuka chafuka.

“Huyo munaye muona kwenye hiyo picha ni mimi. Hapo nilikuwa nina siku chache toka nilipo zaliwa na mama yangu aliamua kunitupa kwenye jalala huko Makete. Sijui ni kwa nini mama yangu alinitupa ila hadi leo sijui sababu hiyo.”

Ikaonekana picha ya pili nikiwa nimebebwa na bibi Helen ambaye kwa sasa ni marehemu.

“Bibi huyo ndio aliye niokota kwenye mtaro asubuhi alipo kuwa ana kwenda kazini, katika kituo cha kulelete watoto yatima cha Makete. Alinilea kama mwanaye, kilicho patikana ndio nilicho kula.”

Ikaonekana picha nyingine nikiwa na miaka miwili huku nikiwa niemchafuka.

“Kipindi hicho nilikuwa na umri wa miaka miwili, na kipindi hichi kituoni tulikubwa na njaa kubwa na ukame wa hali ya juu. Baadhi ya watoto wa dogo wa umri wangu niliambiwa walifariki. Ila Mungu alinijalia mimi na wezangu tukawa hai. Nilisoma kwa shida kwenye shule pale na ndipo nilipo kunatana na rafiki zangu hao”

Ikaonekana pixha nikiwa na marafiki zangu watatu ambao kwa sasa ni marehemu.

“Niliishi na ndugu zangu hao kama ndugu hadi pale tulipo fikia hatua na maamuzi ya kutoroka kituoni. Tulikuja hapa Dar es Salama, kutokana hakuwa na cha kufanya tuliishi kama vibaka, wapiga madili Kariakoo hadi siku moja tulipo kamatwa na mkuu mmoja wa jeshi nyumbani kwake tukiiba mali zake. Ilikuwa nafasi ya sisi kuingia jeshini.”

Nikaka kimya.

“Yaliyo endelea jeshini ni maswala ya siri ila kaka zangu walikufa kwenye moja ya mission. Mungu alinijalia nikafika kwenye ujenerali wa jeshi na nikawa raisi wa Muda. Hii ina onyesha ni namna gani ambavyo hata yatima aliye zaliwa na kulelewa kwenye vituo vya yatima ana haki na ana uwezo wa kufikia ndoto kubwa kama nilizo kiuwa nazo mimi. Kuna maelfu ya yatima wana dhurura mitaani, wengine wapo kwenye vituo kamaa kama makete. Nia waomba ndugu zangu, huu ni wakati wa kuonyesha utu wetu, huu ni wakati wa kuona kwamba kuna malfu ya ndoto za watoto yatima zikijengewa misingi mizuri basi wata ishi kwa amani, na kutimiza ndoto zao. Tuna mradi wa dola milioni ishirini na tano kujenga kituo cha watoto yatima Makete. Kituo ambacho tuta kijanga kita chukua idadi ya watoto si chini ya elfu hamsini. Ni idadi kubwa sana kwa kituo kimoja kubeba watoto wengi kama hao. Nina waomba sana tena sana mujumuike nasi kwenye ujenzi wa kituo hichi”

Nikamaliza kuzungumza na taa zote zikawaka na watu wakaanza kupiga makofi. Nikatoa maelezo ya namna gani wanaweza kuanza kuchangia na zoezi likaanza kuchangia ujenzi likaanza huku kila kinacho changiwa kikionekana kwenye tv hii kubwa. Ndani ya muda mfupi tu tukafanikiwa kukusanya dola milioni kumi na mbili. Hadi alfa hii ina isha tukapata dola milioni kumi na nane huku kuna baadhi ya watu wakitoa ahadi za kulipa siku inayo fwata.

“Mungu ni mwema kwa kweli lengo letu limesogea”

Cauther alizungumza hukua akivua nguo zake mara baada ya kufika nyumbani kwetu

“Yaa mambo yamekuwa mazuri kwa kweli. Hapa tukiongeza na pesa zetu ujenzi una anza mara moja”

“Hivi wale walio toa ahadi zia fika bei gani?”

“Zile Mungu bariki ni kama milioni tau.”

“Kwa hiyo tuna dola milioni ishirini na tatu?”

“Ndio sisi tuna ongeza milioni tatu”

“Hapo sawa”

Siku iliyo fwata wafanya biashara walio ahadi wakatoa kiwango walicho ahadi kwa kweli likwa ni jambo kubwa na la kufarijika kwa upande wetu na sikuhitaji kupoteza muda nikamlipa mkandarasi malipo ya awali na ujenzi ukaanza haraka sana huku nikihakikishi kwamba nina usimamia kikamilia na kila senti nina jua matumizi yake. Katika miezi mitatu ya awali ujenzi wa kituo ukakamilika kwa asilimi themanini na tano na zikabaki asilimia kumi na tano, ambazo hazikumaliza mwezi na ujenzi ukakamilika na baada ya ukaguzi wa kitaalamu juu ya majengo haya kukamilika, nikammalizia mkandarasi pesa zake na kituo kikabadilishwa jina kitoka makete hadi Eddy’s Internationla Chidren Center(E.I.C.C). Nikaweka mfumo maalumu wa watoto ambao bado wapo mitaani kuchukuliwa na kuingizwa kituoni ambapo idadi ya wafanyakazi ni kubwa na wana walea watoto katika misingi mizuri ya kidini na kisheria.

“Wata nikumbuka hadi kufa kwao”

Nilimuambia Willy huku tukitazama majengo ya magorofa yaliyo jemgwa kwemye kituo hichi.

“Ni kweli kaka, wata kukumbuka ume fanya kitu kilicho bora kwenye maisha ya watoto wengi sana wa mtaani”

“Mungu abariki. Sasa ni wakati wa kuelekea India”

“Hakuna tatizo ikiwa mke wangu yupo tayari tuta ongozana”

Nikawaaga waalimu na wafanyazi pamoja na watoto hawa ambao nimewaboreshea mabweni, mashule, viwanja vya michezo, huduma za afya pamoja na ulinzi, kwani kuna ukuta mkubwa sana na wenye nyaya za umeme ambazo sio rahisi kwa mtu kupita na kuna mageti saba ambayo yana lindwa na askari maalumu walio ajiriwa na kituo hichi. Pia nime hakikisha kila eneo lina fungwa cctv kamera ambazo zina wezesha kuonyesha matukio yote yanayo endelea ndani ya kituo na cctv kamera hizi nimeziunganisha na simu yangu hata kama nikiwa mbali basi nita ona kila kinacho endelea. Pia kituo kwa sasa kina mabasi sita yanayo fanya safari mkoani ikiwa ni moja ya mradi nilio wafungulia huku kukiwa na miradi mingine sita ambayo ina ingizia kipato kikubwa kituo hichi. Tukaingia ndani ya helicopter mimi na Willy na safari ya kurudi jijini Dar es Salaama ikaanza taratibu.

Tukafika Dar es Salama majira ya saa mbili usiku na helicopter hii ikatua katika kiwanja kilichopo nyumbani kwangu hapa. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kuona namba ngeni huku nikiwa nina toka ndani ya helicopter hii. Namnba hii sio ya nchi ya Tanzania, ikanibidi kuipokea.

“Haloo”

“Eddy, naona sasa akli zako zime kuwa”

Niliisikia sauti ya makamu wa raisi ambaye ni kwa kipindi kirefu sana hatujawasiliana.

“Una hitaji nini?”

“Nilihitaji tu kuisikia sauti yako.”

“Hilo?”

“Ndio ni hilo tu”

“Nashukuru”

“Jambo moja ambalo nahitajik ukupongeza ni kwamba umekuwa mwanaume sasa. Umerudisha kile nilicho kupatia kwa vijana hongera sana”

“Nashukuru”

“Najua una taka kuhamia kwenye nyumba yako nchini India”

Nikashusha pumzi kidogo.

“Nina kuomba usitoke nje ya nchi yako”

“Wewe ni nani hadi una niambia nisitoke nje ya nchi yako?”

“Eddy nakuambia usitoke nje ya nchi yako kwa usalama wako”

“Nisikilize, nimeamua kufanya maisha yangu sihitaji mtu yoyote kunishauri au kunishawishi nini cha kufanya. Nita fanya kile ninacho kihitaji. Una nielewa?”

“Nina kuelewa sana tena sana. Ila nimekuambia hili, usije ukasema kwamba sijakuambia au hajatokea mtu wa kukuambia.”

“Mbona sikuelewi?”

“Wewe ni mpelelezi na umekuwa ni mtu hatari sana. Hivyo nina kuomba usitoke nje ya nchi yako. Kama una taka kuwa na maisha marefu ya kuishi. Ishi ndani ya nchi yako full stop”

Makamu wa raisi alizungumza kwa kujiamini sana.

“Nisikilize kwa sasa nipo huru, simuogopi mwehu wa aina yoyote yule. Endapo uta jaribu kuibugudhi familia yangu, nikuambie tu ukweli nita dili na wewe na nita kuua”

“Eddy narudia tena na tena, sikuambii kwa sababu nina kutisha. Nimekutengeneza mimi, mimi ndio nina jua wapi ulipo toka hivyo tambua kwamba adui yako mkubwa sio mimi. Na adui yako mkubwa ana kusubiria utoke tu nje ya nchi yako ata kuungamiza. Mimi nimekuambia kama mtu wako ambaye alikuwa wa karibu. Tafadhali hakikisha kwamba una fwata kile nilicho kuambia, tafadhali”

Mara baada ya makamu wa raisi kuzungumza hayo akakata simu na kuniacha nikiwa nimejawa na mshangao mkubwa kwani kama yeye amenisisitizia na kuniambia kwamba yeye sio adui yake mkubwa je ni nani ambaye ni adui yangu mkubwa.


Nikaingia ndani huku nikiyatafakari maneno ya makamu wa raisi. Sikuhitaji kuyapa kipaumbele kwani kwanza nina jiamini na nina jua sio jambo la rahisi kwa mtu kuniua. Kutokana usiku wa leo tuna mualiko iluku kutoka kwa raisi Simba, nimekuta Cauther akiwa amesha niandalia nguo zangu kwa ajili ya mualiko huu.

“Mbona ume pooza mume wangu?

“Hamna baby nipo sawa”

“Kweli?”

“Ndio mke wangu”

“Ila una onekana una mawazo”

“Hakuna mwanaume anaye kosa mawazo mke wangu. Ila ni mambo ya kawaida tu”

“Saw amume wangu.”

Majira ya saa mbili usiku tukaondoka nyumbani hapa na kueleka, ikulu. Tukafika ikulu na kupolewa na raisi Simba pamoja na wafanyakazi wa ikulu ambao tulizoeana nao sana. Tukasalimiana na watu wote kisha tukaelekea katika eneo analo ishi raisi Simba ambalo ndipo nilikuwa nina ishi mimi na mke wangu.

“Pamebadilika”

Cauther alizungumza huku akitazama vitu vilivyopo sebleni hapa kwani vimebadilika kwa asilimia kubwa.

“Yaaa huwa ni utaratibu kila raisi mpya anapo ingia madarakani basi vitu vina badilika vya ndani”

“Ohoo sawa sawa”

“Karibuni sana, vipi mbona hamjaja na mtoto”

“Tumemuacha na bibi yake kidogo ameanza kuwa msumbufu msumbufu”

“Hahahaa naamini atakuwa ni binti mzuri na ataishi maisha marefu”

“Amen”

“Mzee wangu tunashukuru kwanza kwa huu mualiko na pili tumekuja kukuaga ramsi. Wiki hii tuna ondoka na kwenda kuanza maisha nchini India”

“Daa nita kumiss sana Eddy. Una jua tumefanya kazi kwa ukaribu, japo ni kwa muda mchache sana ila nimekuzoea.”

“Ni kweli mzee wangu ila utakapo nihitaji kwa maswala ya kiushauri, usisite kuniita nita kuja”

“Usijali kijana wangu na endapo mwenyezi Mungu ata nipa nafasi ya kumaliza mihula miwili basi nafasi hii itakuwa ni yako. Ina bidi urudi tena kwenye kiti cha uraisi. Kwa kipindi hichi cha miaka kumi, nina kuomba ukajifunze maswala ya utawala kwenye nchi za wezetu. Nina imani uta pata ujuzi mkubwa na uta fanikiwa kuiongoza nchi kwenye mazingira mazuri na salama”

“Sawa mzee”

“Cauther”

“Ndio baba”

“Naomba ukawe mlezi bora kwa kijana. Najua nyote ni vijana na muna pendana. Ila kila mmoja ahakikishe kwamba ana mtunza mwenzake ili hapo baadae muje kuwa watu wa kiigwa kwenye hii nchi”

“Sawa baba”

Tukakaa mezani na kupata chakula cha usiku pamoja, huku tukizungumza mambo mengi yahusiyo nchi. Baada ya chakula tukapata nafasi ya kuzungumza na raisi katika ofisi yake.

“Kabla ya kuja huku nilipokea simu kotoka kwa makamu wa raisi”

“Ana semaje huyo mshenzi?”

“Alinikanya nisiweze kutoka nje ya nchi ya Tanzania na nibaki ndani ya nchi ya Tanzania kwa maana ana sema adui yangu mkubwa ata niua?”

“Nani ni adui yako mkubwa kama sio yeye?”

“Ndio hivyo”

“Asikutishe kama uta hitaji ulinzi niambie nikupatie ulinzi wa kutosha?”

Hapana nahitaji kuwa na familia na usijali mimi mwneyewe una nijua kwamba sio mfrahisi kihivyo”

“Yaa”

“Kama niliweza kulinda nchi ya mamilioni ya watu nitashindwaje kumlinda mke wangu na mwanangu”

“Ni kweli, utakapo hitaji msaada wa aina yoyote usisiste kuniambia”

“Sawa mzee”

Majira ya saa nne usiku tukaondoka ikulu na kurudi nyumbani kwetu.

“Hujamiss kulala ikulu”

Nilimuuliza Cauther huku tukiwa njiani tukirudi nyumbani.

“Hapana sija miss kulala mume wangu. Una jua lile eneo lina tisha wee hujui tu mume wangu”

“Pana tishaje ikiwa kama ni peponi basi pale ni peponi”

“Ahaa ukiiachaga peke yagu nilikuwa nina jikaza tu. Ila nilikuwa nina ogopa kama nini”

“Hahahaa”

Tukafika nyumbani na kuwakuta watu wakiwa wamesha lala. Hatukutaka kumsumbua mtu yoyote na tukaelekea chumbani kwetu.

“Alafu nilikwua nimesaha kukuambia kitu mume wangu”

“Niambie”

“Ile kampuni tuliyo ipa kazi ya kututafuti eneo la mgahawa, walinitumia picha za maeneo mawili tofauti hivyo tuna weza kuchagua ni wapi tuna pahitaji”

“Nionyeshe”

Cauther akanikabidhi simu yake na nikatazama picha alizo tumiwa.

“Zote ni nzuri”

“Yaa ila mimi nime pambenda hapa na pia ni karibu na tuna kaa”

“Sawa mke wangu popote utakapo wewe mimi sina tatizo”

“Ndio maana nina kupenda sana mume wangu”

“Nian kupenda pia mke wangu”

Tukaoga pamoja kisha tukarudi kitandani na tukapeana haki ya ndoa ambayo kwa bahati nzuri tumekutana wote tuna penda kupeana haki ya ndoa.

***

Siku ya kuondoka nchini Tanzania ikawadia, katika safari hii tukaondoka mimi mke wangu pamoja na mtoto wetu. Willy na Judy wamebaki kutokana Judy yupo hatua za mwusho kujifungua. Tukafika nchini India majira ya saa nane usiku. Tukakodisha taksi usiku huu huu na ikatupeleka hadi kwenye eneo ambalo tumejenga jumba kubwa la kifahari na serikali ya nchi hii ya India imeweza kutupatia ulinzi wa askari polisi ambao wata kuwa wana pokezana katika kulinda. Kitu pekee ambacho tmebebea kutoka nchini Tanzania ni nguo zetu, albamu zenye picha zetu za harusi na mapambo ambayo Cauther ana pendelea nyumba yake kuonekana. Mke wangu na mtoto wakamalizia usingizi huku mimi nikiwa na jukumu la kuhakikisha kwamba nyumba hii ina kuwa kwenye ulinzi mzuri

Majira ya saa nne asubuhi tukaelekea eneo ambalo tuta fungua mgahawa. TukalinunnIMEua eneo hili kwani maisha yetu yatakuwa yana tegemea kazi hii kwani ndio kitu ambacho tumeamua kukifanya mimi na mke wangu. Tukatoa tenda ya kutenegenezewa mgahawa wetu kwa jinsi tulivyo hitaji na ujenzi ukaanza haraka sana. Tukaelekea katika ofisi za ubalozi kukutana na balozi wa Tanzania nchini hapa India.

“Karibu sana muheshimiwa raisi”

“Nashukuru, ehee kuna mpya gani hapa?”

“Mpya hakuna mkuu ni ujio wako ndio jambo jipya”

“Sawa nashukuru tuta kuwa tuna tembeleana mara kwa mara”

“Sawa muheshimiwa”

Baada ya mazungumzo mafupi na balozi huyu tukaondoka eneo hili, tukapita madukani na kununua vitu kadhaa ikiwemo gari la kuitembelea na tukarudi nyumbani.

“Kweli nimeamini una nipenda sana mume wangu”

“Kwa nini?”

“Umeacha kila kitu ambacho ulikuwa ukipita una pishwa kutokana na uheshimiwa wako ila umekuja huku tume kuwa pamoja”

“Hahaaha hiyo ndio maana halisi ya neon upendo. Una jua kuna baadhi ya wanaume hawajua mapenzi”

“Una maanisha nini?”

“Wanaume wnagi wana hisi kufwata mawazo ya mke ni jambo la kijinga au upumbavu. Ila ukweli ni kwamba mke ni chanzo cha furaha ya mwanaume. Na endpo uta msikiliza mke wako na kuamua kuwa naye pamoja una fanikiwa. Kipindi nina anza na wewe nilikuwa dereva taksi, na nilipeda kuedelea na yale maisha ila kwa bahati nzuru ulinipenda vile vile pasipo kuja historia yangu ya nyuma. Hivyo hata haya maisha nimeyapenda kwa kweli.”

“Asante sana mume wangu”

“Asante nawe pia mke wangu kipenzi”

Furaha na amania ikazidi kutawala katika maisha yangu na mke wangu. Baada ya wiki tatu mgahawa wetu ukawa tayari kwa kuanza biashara. Katika wiki hizi tatu ambazo tulikuwa tuna subiria mgahawa wetu ufae, Cauther alikuwa ana nipigisha msasa wa vyakula vya kihoteli ambavyo tuta kuwa tuna pika kwani yeye naye ni mtaaamu sana kwenye maswala ya mapishi.

Baada ya kukamilisha kununua kila kitu kinacho hitajika katika mgahawa. Tukafanya usahili wa wafanyakazi wa nne wenye asili ya hapa India na tukafanikiwa kupata wafanyakazi hawa huku mmoja akiwa mpishi na wawili wata kuwa na jukumu la kuhudumia wateja wetu huku mimi na mke wangu tukiwa na jukumu la kupika. Katika iki ya nne, toka tuwepo hapa India tukaanza biashara yetu Rasmi huku nikijitahidi kutengeneza urafiki na wasanii wa filamu na mziki wa hapa India na wengi mara kwa mara nina waalika katika mgawaha wetu na wana pata chakula huku tukipiga picha na kuziweka katika ukura wetu wa Instergram ambao una itwa CEN Reustrant, huku C ikisimama kwa jina la Cauther. E kwa jina la Eddy na N kwa jina la mtoto wetu kipenzi Nadia. Kadri siku zinavyo zidi kwenda ndivyo jinsi mgahawa wetu ulivyo zidi kupamba moto na kuanza kuwa tishio kwa migahawa mikubwa nchini hapa India.

Ndani ya miezi sita tu ya mwanzo, tukaanza kupata mahojiano mbali kutoka kwa vyombo ya habari. Umaarufu wangu na mke wangu ukazidi kupamba moto na kusababisha kitupo cha BBC kutuma waandishi wao wa hapa India kufanya mahojiano nasi.

“Kwanza niwapongeze sana kwa kufika hapa mulipo fika”

Muandishi wa habari alizungumza huku tukiwa katika bustani iliyopo hapa kwenye mgahawa wetu.

“Tuna shukuru sana”

“Mrs na Mrs Eddy. Muna jisikiaje maisha ya kutoka ikulu na kuja kuwa wapishi kwenye mgahawa wenu wenyewe”

“Ahaa ni swali zuri sana. Kabla ya kuwa raisi ndoto kubwa ya mke wangu ilikuwa ni kumiliki mgahawa. Hivyo hata nilipo kuwa nina tumikia miezi mitatu ya uongozi wa uraisi tuliplan kabisa mimi na mke wangu tukitoka ikulu basi tuweze kuwa wapishi. Kuwapikia watu chakula cha kiasili katika nchi ambayo huwezi kukuta wamepika Makande kwa wale ndugu zangu Waparee”

“Haahaha sawa sawa mrs Eddy una jisikiaje kutoka kuwa first lady hadi kuwa mpishia wa mgahawa wenu?”

“Kama alivyo tangulia kusema mume wangu. Ni ndoto yangu ambayo nilikuwa nayo kwa kipindi kirefu sana. Na nina mshukuru mwenyezi Mungu aliweza kusikia maombi yetu na leo hii ukizungumzia migahawa mitano bora hapa nchini India basi huwezi acha uutaja mgahawa wetu wa CEN”

“Je hadi sasa mgahawa wenu una wafanyakazi wangapi?”

“Kwa kuanza tulikuwa na wafanyakazi wanne ila kutokana na wingi wa watu na uhitaji wa wateja wetu. Tuna wafanya kazi thelathini”

“Wote ni Wahindi?”

“Hapana, tuna Watanzania, Wahindi. Wachina. Tumejarubu kutoa ajira kwa watu wa mataifa mbalimbali kwani hii ina tusaidia kutengeneza ajira kwa watu”

“Nilisikia kwamba mgahawa wenu ndio una walipa wafanyakazi wake vizuri kuliko migaahawa mingine?”

“Hapo kwenye migahawa mingine tusiwe waongo hatujui wafanyakazi wao wana lipwaje. Ila sisi tuna mshukuru Mungu kile tunacho kipata basi tuna gawana na wafanyakazi wetu pamoja na wale wenye uhitaji”

“Je una mpango wowote wa kuanzisha mgahawa kama huu nchini Tanzania?”

Tukatazana na mke wangu.

“Hilo ni wazo zuri tutalifikiria mimi na mke wangu”

“Sawa sawa. Watu wangependa kujua kirefu cha CEN?”

“Ohoo ngoja nijibu mimi kwa maana mimi ndio nilitoa jina”

Cauther alizungumza huku akitabasamu.

“C maana yake ni Cauther, E maana yake ni Eddy na Nadia mtoto wetu”

“Aisee hongereni sana”

“Tunashukuru”

“Bwana Eddy je una mpango wowote wa kurudi kwenye siasa na kuwa raisi tena?”

“Hapana bado sijafikiria. Maisha haya ninayo ishi yana furaha sana na amani”

“Kweli?”

“Ndio. Nina ishia na watu vizuri , sina wasiwasi na nina ona kabisa kwamba familia yangu upo salama tifautu na pale unapokuwa ni kiongozi mkubwa”

“Sawa sawa, mara nyingi huwa tuna waona nyinyi wawili, ila mtoto wenu hamjawahi kumuweka kwenye vyomgo vya habari wala kwenye mitandao yenu ya kijamii kwa nini?”

“Hahaha, huwa sipendi mwanangu kuonekana kwenye mitando ya kijamii wala vyombo vya habari ila ukifika muda sahaihi na umri sahahi wa kuonekana basi ata onekana. Ila kwa sasa waty wanijue mimi na mke wangu ina tosha”

“Tuna shukuru sana kwa muda wenu, mr na mrs Eddy”

“Asanteni na nyinyi”

Tukamaliza mazungumzoa haya na muandishi wa bahari kisha tukarudi katika ofisi yetu iliyopo eneo ihli hili la mgahawa.

“Mume wangu ina bidi wazo la muandishi wa habari tulifanyie kazi”

“Wazo gani?”

“La kwenda kufungua mgahawa nchini Tanzania?”

“Mmmm ni wazo zuri ila usimamizi je utakuwa mzuri”

“Ila si yupo Nadia kule ata simamia”

“Nadia ana mambo mengi naye pia ana mgahawa wake kweli ata weza?”

“Ata weza tu mume wangu wala usiwe na shaka katika hilo”

“Sawa jaribu kuzungumza naye”

Mlango ukagongwa.

“Karibu”

Akaingia Sudy ambaye ni miezi miwili toka aje hapa nchini India na amekuwa ni mchoma nyama mzuri sana kwenye mgahawa wetu.

“Vipi Sudy”

“Safi kaka”

“Sudy nakuona una ng’aa ume kunywa maji ya wapi? Au umesha pata mtoto wa Kihindi?”

Cauther alimtania Sudya mbaye tuna ishi naye nyumbani kwetu.

“Hahaha, wee acha shemeji. Ahaha kuna oder ya nyama choma nimepokea kutoka kwa mmoja wa wateja na muda ule mulikuwa kwenye mahojiano nikaona nisiwakatishe”

“Ehee ana taka nyama kiasi gani?”

“Ana taka nyama choma ya ng’ombe sita. Ana harusi ana muozesha binti yake”

“Yupo wapi?”

“Yupo hapa hapa ngoja nikamuite”

“Sawa”

Sudy akatoka ndani hapa.

“Mmm ng’ombe sita ni wengi sana”

“Yaa ni wengi sana na ni pesa nzuri sana mume wangu”

Mlango ukagongwa tena na Sudy akaingia ndani hapa, nikastuka sana kumuona jamaa huyu ambaye ni muuajiu aliye bobwea, japo umri wake ume kwenda ila nina mjua.

“Habari yako bwana Eddy”

Alizungumza huku akitabasamu,

“Salama habari ya wewe”

Nilizungumza huku nikijifanya na mimi nikitabasamu ili kumficha Cauther na Ally kinacho endelea.

“Namshukuru Mungu”

“Honey naomba utupishe kidogo. Sudy kaendelee na kazi”

“Sawa”

Cauther na Sudy wakatoka ofisini hapa.

“Nini kimekueleta kwa maana nina jua huna binti wa kumuoza”

“Hahaha na jua umapo niaona mimi ni nini kinacho fwata”

“So umekuja kuniua?”

“Nimetumwa kuja kukuua. Ila nimejikuta nikisitisha hili kutokana na huyu”

Jamaa huyu akatoa simu yake mfukoni na nikionyesha picha ya Nadia, mwanangu na picha hii imepigwa akiwa kwemye moja ya bustani ya nyumbani kwetu na nguo hizi anazo onekana nazo kwenye picha hii ndio tulizo muacha nazo nyumbani akiwa na bibi yake.

“Nina binti wa umri kama huu, ila yeye ni mgonjwa na yupo hospitalini na ana umwa Canser. Nilipanga kumuua yeye, bibi yake, mke wako, huyu kijana wako. Yule binti wa kitanzania na wewe. Hapo ng’ombe wangu sita watakuwa wamekamilika. Ila una kuwa ni mtu wa kwanza kukuonea huruma kwenye kazi yangu.”

“Nani amekutuma uje kunia?”

Jamaa huyu akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaingiza mkono wake mfukoni na akatoa picha na akaufunika juu ya meza yangu, akaiacha picha hii ambayo imefunikwa kisha akatoka ndani hapa, kwa haraka haraka nikaifunua hii picha nikajikuta nikistuka sana kuina hii picha na mtu aliyopo kwenye hii picha, kwa mstuko nikajikuta nikianza kutokwa na jasho huku woga na wasiwasi mwingi vikiwa vimenitawala.


‘Albashir”

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiitazama picha ya mzee huyu. Ambaye kwenye moja ya oparesheni zetu katika kikosi cha X miaka saba iliyo pita tulimuua yeye na familia yake pamojana kundi lake la Taliban na sote tulijawa na furaha kwani ni miongoni mwa magaidi walio tusumbua sana hadi kufika hatua ya kumuaa.

‘Ila si tulimuua?’

Niliwaza huku nikijipangusa jasho usoni mwangu.

‘Ndio tulimuua’

Nilijitahidi kuziweka kumbukumbu zangu sawa kichwani mwangu juu yta Albashir na kweli zinazibitisha kwamba tulimuua na tulizipiga picha zake na kuzitumua kwa wakuu wetu. Cauther akaingia ndani hapa na kwa haraka nikaificha picha hii mfukoni mwangu.

“Jiandae tuna enda nyumbani sasa hivi. Muambie Ally naye tuna ondoka”

“Kwa nini?”

“Tuna ondoka mke wangu fanya nilivyo kuambia”

Nilizunguza kwa msisitizo ulio mfanyta Cauther anidadisi kwa muda kidogo kisha akatoka ndani hapa. Nikafungua droo na nikachukua pesa za maingizo ya leo, nikaziweka katika begi kisha nikammkabidhi usimamizi mmoja wa wafanyakazi wetu ambaye ni raia wa hapa India.

“Farida yupo wapi?”

Niliuliza kwani huyu pia ni Mtanzania ambaye tulikutana naye huku nchini India na alituomba kazi na tukampatia.

“Alikwenda kununua baadhi ya mahitaji nilimtuma”

“Mpigie simu na muambie moja kwa moja aje nyumbani”

“Kuna nini mume wangu lakini una niogopesha”

“Fanya hivyo”

Nilizungumza huku nikiwasha gari na tukaondoka eneo hili. Nikanyanyua simu yangu na kupiga nyumbani kwangu na akapokea bibi wa kazi ambaye tuna muacha na Nadia.

“Bibi munaendeleaje?”

“Salama”

“Nadia yupo wapi?”

“Amemaliza kula chakula cha mchana nimemuogesha na amelala”

“Una uhakika?”

“Ndio yupo chumbani kwake”

“Walinzi nyumbani wapo?”

“Ndio wapo?”

“Sawa”

Nikakata simu huku nikitazama kioo cha pembeni ya gari langu ili nione kama kuna gari ina tufwatilia au laa.

“Nimesha mtumia meseji Farida ata kuja nyumbani. Niambie kuna tatizo gani mume wangu?”

“Nitakuambia”

“Bro una tutisha aise”

“Nitawaambia”

Tukafika nyumbani na nikaingiza gari ndani cha kwanza kufanya baada ya kushuka ndani ya gari nikatembea hadi eneo walipo walipi wa getini.

“Kuna mgeni yoyote alikuja kuniuliza?”

“Hapana?”

“Kuna namna mtu yoyote aliingia hapa?”

“Hapana mkuu, kila kitu kipo salama jinsi mulivyo ondoka ndivyo jinsi palivyo mkuu. Hakuna mgeni hakuna yoyote”

Nikawatazama walinzi hawa na nikagundua kwamba wanacho kizungumza ni kweli. Nikapiga hatu hadi kwenye eneo ambalo picha ya Nadia ilipigwa, nikalitazama vizuri na nikagundua kwamba eneo hili iliingizwa drone yenye kamera pasipo walinzi kuweza kufahamu na drone hiyo ilimpiga picha Nadia.

“Fuc** wanajua ninapo ishia”

Nilizungumza huku nikirudi ndani. Sebleni nikakutana na Cauther, Suddy na bibi wa kazi wote wakinitazama mimi.

“Nakuomba”

Nilizungumza huku nikitembea kuelekea ndani na Cauther akanifwata. Baada ya Cauther kuingia nikafunga mlango wa ndani.

“Umemuangalia mtoto kama yupo?”

“Ndio mume wangu. Niaambie nini kinacho endelea”

Nikakaa kwenye moja ya benchi la kitanda, nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama Cauther usoni mwake.

“Niambie mume wangu. Mimi nipo hapa”

Cauther alizungumza kwa sauti ya upole huku akinishika kiganja cha mkono wangu wa kushoto. Nikashusha pumzi huku nikimtazama.

“Baba umemuona yule jamaa?”

“Yupi?”

“Yule aliye kuja pale ofisini na nikakuomba uweze kutupisha?”

“Ndio ndio nimemuona”

“Yule mtu ni muuaji wa viwango vya juu. Kazi yake yeye ni kupewa kazi na utekeleza kutokana na namna aliye mpa kazi ana hitaji afanye”

“Mungu wangu sa….sa…sa alikuwa ana taka kumuua nani?”

“Sisi?”

“Sisi!?”

Cauther alistuka sana huku akinitazama.

“Ndio”

“Ohoo Mungu wangu”

“Tulia”

“Sa….sa kwa nini alitaka kutuua, kwani tumemfanya nini sisi?”

Cauther alalama huku akiwa na wasiwasi wa dhahiri.

“Nisikilize mke wangu kwa sasa jukumu langu ni kuhakikisha kwamba wewe, mtoto wetu na kila mtu anaye tuzunguka ana kuwa salama”

“Kivipi mume wangu ikiwa mtu alikuja kama mteja. Hatukujua kwamba ni muuaji kama angekutukuta sisi wenyewe si tungekuwa ni marehemu sasa hivi ehee?”

Cauther alizungumza kwa wasiwasi.

“Kwa nini atake kutuua?”

Swali la Cauther likanifanya nikae kimya kidogo huku nikimtazama.

(*

OFA YA MWISHO KUJIUNGA KWENYE GROUP WHATSAPP.

Leo 31/08/2020, ndio siku ya mwisho ya kupokea member;s wapya wa GROUP ambao wata pata ofa ya episode zilizo pita kwenye group yaani 1 hadi 13. Ukijiunga baadaya tarehe 31. Huto pata episode za nyuma na uta zinunua kwa sh 250 episode moja. Wahi sasa ofa ina isha leo ada ya group ni sh 4000 kwa mwenzi. Njooo whatsapp 0657072588.KARIBU SANA)

“Niambie mume wangu kwa nini antaka kutua?”

Nikatoa picha mfukoni mwangu na kumuonyesha Cauther.

“Anaitwa Albashir. Ni mmoja wa magaidi wakubwa duniani. Miaka saba iliyo pita tuliendesha oparesheni ya kumsaka nchini Afghanistan, kipindi nina fanya kazi katika kitengo cha X. Huyu mzee tuliweza kumuua yeye na familia yake pamoja na baadhi ya askari wake ambao walikuwa wana mlinda.”

“Sa….sasa atakuwaje awe hai?”

Cauther alizungumza huku akiwa na wasiwasi.

“Sijui mke wangu, na jamaa amenipa hii picha na kuniambia kwamba amepewa kazi ya kutuua na kisa kilicho mfanya asituue ni mtoto wetu kwani alinionionyesha picha ya Nadia kwenye simu yake na picha yake ilipigwa leo hii akiwa anacheza hapa nje na nguo zake”

“Ohoo Mungu wangu. Kwa hiyo wana jua hapa tunapoishi?”

Cauther alizungumza huku akiwa na wasiwasi mwingi sana.

“Ndio mke wangu”

“Sasa tuna fanyaje? Haki ya Mungu Eddy siwezi kuendelea kuishi hapa, haki ya Mungu vile kama wamekuja hadi hapa nyumbani wata rudi tu”

Cauther alilalama huku machozi yakimlenga lenga. Kusema kweli hili jambo sikutaka kabisa litokea kwenye familia yangu, kwani sasa mke wangu amesha tawaliwa na hofu ya kifo. Nikakaa kimya huku nikimtazama Cauther anaye lia. Akasimama kwa haraka akafungua kabati la nguo na akaanza kutoa nguo.

“Una fanya nini?”

“Nina taka kuondoka na mwanangu. Siwezi kukaa hapa Eddy”

“Wapi una kwend ikiwa sura zetu zina julikana na hatujui adui yetu ana tusaka kwa mfumo gani?”

“Una zungumzia mfumo, mfumo gani hadi ametumia kujua tunapo ishi. Eddy siwezi kukaa hapa nitakufa kwa wasiwasi”

“Hie Cauther hembu acha upumbavu. Nipe muda wa kufikiria”

“Kufikria nini. Maisha yako ya nyuma yana kuja kuvuruga maisha yako ya sasa. Umepanda uadui ndio unacho kwenda kuvuna . Una taka kuona tumeuwawa, eheee. Siwezi kufa Eddy”

Cauther alizungumza kwa hasira huku akichukua mabegi na kuyaweka mezani. Nikamshika kwa nguvu na kumsukumia kitandani hadi akashangaa.

“Nimekuambia nipe muda wa kufikiria. Sitaki ujinga. Una kwenda wapi, una hisi hii vita ni ndogo una hisi niliujua itafika hapa. Majukumu yangu yalikuwa ni kuua magaidi so una taka nisinge fanya kuhofia kwamba kuna maisha baada ya yale ehee?”

Nilifoka hadi Cauther akaanz akutemeka.

“Kama niliweza kuwalinda wannchi wangu, siwezi shindwa kuwalinda nyinyi ni bora mimi kufa kuliuko nyinyi kufa na hamuwezi kujiendea endea ili mradi muna kwenda umenisikia”

Nilifoka huku mwili ukinitetemeka kwa hasira. Ujanja wote ukamuishi Cauther. Nikasikia mlango ukagongwa.

“Nani?”

“Ni mimi kaka, mtoto amaemka”

Nilisikia sauti ya Soudy, nikapiga hatau hadi mlangoni nikafungua mlango na nikamchukua Nadia kutoka mikononi mwa Soudy na nikafunga mlango. Nikamuweka Nadia kitandani huku nikiendelea kuhema kwa hasira na nikaanza kuzunguka zunguka ndani ya chumba chetu hichi kikubwa.

“Fuc***”

Nilizungumza kwa nguvu huku nikijisikia vibaya kwani hasira imezidi kiwango. Nikatoa simu yangu mfukoni na nikaipiga picha, picha ya Albashir na nikamtumia Willy kwa njia ya Whatsapp. Baada ya kuona picha hiyo imefika huku ikiwa na tiki mbili za blue nikampigia Willy video call.

“Kaka”

“Umelala?”

“Hapana kaka, niambie”

“Umeoina hiyo picha?”

“Ndio nime iona ila sijajua ni ya nani?”

“Albashir, alikuwa ni kiongozi wa kundi la Teleban. Miaka saba iliyo pita tuliendesha oparesheni ya kumuua mimi na kile kikundi changu cha X na tulimuua na kudhibitisha kwamba amekufa. Ila leo ametumwa mtu kutua, mimi na Familia yanug yangu. Nahitaji kujua kwamba imekuwaje ametaka kuniua ikiwa alisha kufa”

“Sawa nalifanyia kazi nime muda”

“Poa”

Nikakata simu huku nikiwa na wasiwasi mwingu sana. Nikamtazama Cather aliye mkumbatia mwanaye, roho ya huruma ikaniingia kwani sikukusudia kumsukuma kwa hasira namna ile. NIkamsogelea taratibu na kukaa kitandani hapa.

“Naomba unisamehe mke wangu, sikukusudia kukusukuma vile. Nakuomba unisamehe sana. Nakuahidi haito jirudia tena na nita hakikisha kwamba muna kuwa salama”

Cauther akanitazama tu na hakutaka kunijibu chochote zaidi ya kunitazama.

“Nakuomba unisamehe”

“Eddy, nina ambatana na wewe kila sehemu. Ila umesha wahi kumfikiria Nadia hata kidogo, mtoto wetu bado mdogo. Ana hitaji hata kutimiza malengo yake una hisi ata tumiza akiwa ana ishi maisha haya ya wasiwasi na woga mkubwa kama hivi ehee?”

“Una niamini mke wangu?”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama Cauther usoni mwake.

“Ndio nakuamini mume wangu?”

“Kuna siku nilisha wahi kukuangusha?”

“Hapana”

“Basi hata kwenye hili niamini”

“Sawa mume wangu, nami naomba unisamehe kwa kuzungumza kwa hasira”

“Usijali najua”

Tukakumbatiana na mke wangu. Mlio wa simu ukatustua sote na tukaachiana. Nikaitoa mfukoni na kuona ni Willy ndio anaye piga video call.

“Ndio dogo”

“Ahaa kaka Albashir hajakufa”

“Nini?”

Nilistuka hadi Cauther na mwanaye wakanitazama.

“Ndio yupo hai na kwa sasa yupo nchini Pakistani ambao ni jarani sana na India.”

“Ngoja kwanza Willy hajakufa kivipi ikiwa tulimuua na tukadhibitisha ni yeye?”

“Aliye kufa alikuwa ni pacha wake. Pacha ambaye hakuna mtu aliye mtambua na walikuwa wakifanana sana kiasi kwamba aliye uwawa mukahisi ni yeye?”

“Nashinda kukuelewa Willy, Albashiri ni mmoja tu”

“Kaka wapo mapacha”

“Mbona alikuwa ana ishi na mke wa Albashiri mwenyewe?”

“Walikuwa wa share pia mke. Na walikuwa wana shirikiana na pacha mwenzake kutekeleza maswala ya kigaidi. Ilikuwa ni ngumu sana kuweza kutambua kwamba ni yupi Albashir wa ukweli”

(*

OFA YA MWISHO KUJIUNGA KWENYE GROUP WHATSAPP.

Leo 31/08/2020, ndio siku ya mwisho ya kupokea member;s wapya wa GROUP ambao wata pata ofa ya episode zilizo pita kwenye group yaani 1 hadi 13. Ukijiunga baadaya tarehe 31. Huto pata episode za nyuma na uta zinunua kwa sh 250 episode moja. Wahi sasa ofa ina isha leo ada ya group ni sh 4000 kwa mwenzi. Njooo whatsapp 0657072588.KARIBU SANA)

Nikahisi tumbo likinikata mithili ya mwanamke anaye ingia katika siku zake.

“Pakistani ana maisha gani?”

“Ana shiriki pia kwenye makundi ya kigaidi ambayo maskani yake ni ndani ya nchi ya Pakistani na makundi hayo yana shirikiana kabisa na serikali ya Pakistani na kwa mara kadhaa yamekuwa yakifanya mashambulizi ya kigaidi kwenye miji kama Newdell na Mumbai. Na mashambulizi yao wana yafanya sana kwenye vituo vya usafiri kama stendi, vituo vya reli na masoko yenye watu wengi”

Nikakaa kimya huku nikiimtazama Cauther anaye yasikiliza mazungumzo yetu kwa umakini sana.

“Una weza kuniambia ni wapi alipo?”

“Siwezi kujua zaidi ni wapi alipo jificha na hizo taarifa zake nimezipata kwenye kitengo cha ISI(Inter-Service Intelligence).”

“Uli hack?”

“Hapa kuna rafiki yangu mmoja yupo kwenye kitengo hicho, hivyo nilipo kuwa nina tafuta hii picha ikaonyesha ipo Pakistani ndio akanimegea hicho kimkate kidogo cha taarifa”

“Familia yangu ipo kwenye hatari Willy. Kama ametuma watu wamepeleleza na kujua hadi ninapo kaa ina maana walinifwatilia kwa siku nyingi sana na popote familia yangu itakapo kwenda basi wata iwinda”

“Sasa uta fanyaje kaka”

“Hata sijui ni wapi nikawaweke familia yangu. Ni mara mia nikafa mimi kuliko mke wangu na mwanangu kwani hawana kosa juu ya vitu nilivyo fanya nyuma”

“Irudishe Tanzania?”

“Unahisi kwamba ikirudi Tanzania ndio ata shindwa kuniwinda?”

“Ndio ata shindwa kaka ila huko ni mtihani kaka na kumbuka hauna support yoyote na umejiweka sana kwenye vyombo vya habari”

“Shem”

Cauther alizungumza huku akija eneo hili na akakaa pembeni yangu na sote tuna onekanaa kwenye video hii.

“Ndio shem poleni bwana kwa kilicho tokea”

“Usijali shemeji. Una weza kutuangalizia tiketi za ndege tukaondoka hata leo usiku”

“Ndege zipo nyingi mke wangu ila ina bidi tuhakikishe kwamba tunaondokaje na ndege kwa siri na mtu yoyote asiweze kujua ni wapi tunapo kwenda.”

“Sawa kaka nina waandali mazingira”

“Sawa sawa”

Nikakata simu.

“Tuna ondoka bila ya kuwa na mabegi la sivyo kama tuna fwatiliwa wata jua tuna toroka”

“Sawa mume wangu”

Simu yangu ikaanza kuita, ikaingia nama mpya. Nikaitazama kwa muda huku Cauther naye akiitazama.

“Pokea”

Cauther alizungumza na nikaipokea na kuweka simu sikioni huku nikikaa kimya kusikilizia ni nani anaye zungumza.

“Ni mimi”

Nilisikia sauti ya makamu wa raisi.

“Namba yangu umeitoa wapi?”

“Hilo sio jambo la kuniuliza. Nina tuma vijana wangu hapo nyumbani kwako. Wanakuja kuwachukua muda huu kwani kume andaliwa jeshi kubwa na Albashiri kuja kuwavamia usiku wa leo na kuwaua wote. Hivyo ni haraka sana ina bidi kuondoka hilo eneo. Ndani ya dakika kumi vijana wangu watakuwa wamesha fika hapo nyumbani kwako”



Nikashusha pumzi huku nikiwa nikipiga hatua hadi dirishai na nikachugulia nje huku nikiwa nimeiweka simu yangu sikioni.

“Eddy una nisikia?”

“Umejuaje Albashir ndio anaye nitafuta?”

“Nilipo kuambia kwamba usitoke nje ya nchi ulikuwa hunielewi na ukaniona mimi mjinga”

“Ila kumbuka kwamba kwenye oparesheni ya kweda kumuua Albashiri wewe na serikali ya Marekani mulihusika hivyo kama ni ulinzi nahitaji ulinzi wa kiserikali ila sio wako?”

“Eddy nisikilize. Sasa hivi huna mtu wa kukusaidia, mtu wa kukusaidia mwengine ni mimi. Una jua vita vya waarabu, hawaoni hasara kufa kwa kujitoa muhanga na wana amaini kwamba wakifa wana kwenda mbinguni. Mimi ndio msaada wako wa mwisho. Niamini mimi?”

Nikakata simu kwa maana makamu wa raisi naona ana nipotezea muda.

“Honey kusanya pesa zote. Tunaondoka sasa hivi”

Nilizungumza huku nikitoka chumbani hapa.

“Soudy, Farida yupo wapi?”

“Yupo njiani kaka”

“Mpigie simu na muambie aelekee ubalozi wa Tanzania haraka iwezekanavyo na nyinyi kusanyeni vitu vilivyo muhimu tuna ondoka sasa hivi”

“Kwema?”

“Soudy acha maswali mengi”

Nilizungumza huku nikirudi chumbani kwangu, nikafungua moja ya kabati ambalo nina hifadhia bunduki. Galfa tukasikia mlipuko mkubwa getini. Woga na wasiwasi ukatujaa, Cauther akanitazama huku akitetemeka na bado kidogo tua amuangushe mtoto.

“Njooni”

Nilizungumza huku nikimchukua mtoto na kumbeba, na mkono wangu mwengine nimemshika Cauther na nikatoka naye hadi kwenye chumba chenye mlango wa kuelekea ardhini ambapo kuna chumba cha siri kilicho tengenezwa maalumu kwa ajaili ya kijificha. Soudy na dada wa kazi wakaingia ndani ya chumba hichi.

“Wewe jeee kaka”

“Nisikilizeni chochote kitakacho tokea musifungue huu mlango”

Nilizungumza huku nikisikia milio ya bunduki.

“Kak……”

Sikutaka maswali mengi nikafunga mlango huu wa chuma na usio weza kuingiza risasi wala mlipuko wa bomu na chumba hichi kimetengenezwa kwa chumba hivyo sio rahisi kwa mtu kuingia. Nikarudi chumbani kwangu nikavaa jaketi la kuzuia risasi, nikachukua bastola nne, mbili nikazichomeka kiunoni, mbili nikazichomeka katika soksi za viatu vya mguu wa kulia na kushoto. Nikachukua mkanda wenye vifuko kumi na mbili vya kuchomieka magazine na nikauzungushia kiunoni mwangu huku ikiwa na magazine za bastola pamoja na bunduki yangu aina ya SA80. Nikachukua kisu chenye sumu kali sana ambapo endapo nikikukata hata kwa bahati mbaya basi humalizi dakika mbili tayari una kuwa umekufa. Baada ya kujiandaa vizuri, huku nikisikia milio ya risasi namna inavyo rindima. Nikawasha tv ya hapa chumbani kwangua ambayo nimeiunganisha na mfumo wa cctv kamera zote, nikaona jinsi watu karibia hamsini walio valia nguo nyeusi, huku wamejifunga vitambaa usoni mwao wakipambana na askari wanao linda nyumba yangu ambao wengi wa askari wameuwawa kwani idadi ya watu hawa ni kubwa mmoja.

‘Lazima niilinde familia yangu na wamekuja nyumbani kwangu ni lazima wafe.’

Nilizungumza huku nikitoa simu yangu mfukoni na nikaunganisha mfumo wa kamera za cctv katika simu yangu kisha nikatoka ndani hapa. Nikapanda gorofa ya juu kabisa na nikapata nafasi ya kuwaona naona wanavyo ingia kwa kasi katika nyumba yangu. Nikatoa kiwambao cha kuzuia mlio wa sauti katika mfuko wa nyumba wa suruali yangu. Nikakifunga kiwambo hichi kwenye bunduki yangu hii kisha nikaanza kuwashambulia kimya kimya.

Kitu ambacho magaidi hawa wameshau au hawajasimuliwa ni uhatari wangu, pale linapo kuja swala la kujikomboa huwa nina kuwa ni mtu wa tofauti sana. Mtu ambaye nina nina hakikisha kwamba nina toa roho ya adui yangu pasipo kujali nita itoa kwa namna gani. Nikashuka katika eneo hili na kuendelea kuwaua kimya kimya kwani wamefanikiwa kuingia ndani na ubaya ni kwamba jumba langu ni kubwa na lina maeneo mengi sana. Idadi yao ikazidi kupungua kwa kasi sana kwani wapo nilio waua kwa kuwapiga risasi na wapo nilio waua kw akuwachoma visu maeneo mbalimbali ya miili yao. Kila mmoja aliye kutana na mimi leo ndio imekuwa siku yake ya mwisho kutoa pumzi aliyo pewa bure na mwenyezi Mungu. Ndani ya muda wa kama nusu saa magaidi kama arobaini tayari nikawa nimesha waua. Nikatoa simu yangu mfukoni na nikatazama eneo walipo magaidi wengine nikawaona magaidi kama nane wakiwa wameingia kwenye chumba ambacho kina ganzi zinazo elekea ardhini na huku ndipo kilipo chumba chenye familia yangu. Kwa umakini wa hali ya juu nikatembea hadi karibu na chumba hichi na nikawaona magaidi wawili wakiwa wamesimama pembeni ya ngazi hizi huku wakiimarisha ulizi. Nikakishika vizuri kisu changu kwa mkono wa kulia. Kwa kasi ya ajabu nikaingia ndani hapa na nikawapiga mapigo matakatifu na magaidi hawa na nikawau kwa kuwachoma choma visu vya shingo. Nikachomoa bastola moja mkononi mwangu na kuanza kushuka taratibu katika ngazi hizi. Nikawaona magaidi hawa wakiweka bomu la kutega katika mlango wa chuma. Nikawapiga risasi wote kwa kasi ya ajabu na hapakuwa na hata na mmoja aliye weza kupona kwani risasi hizi zime piga katika vichwa vyao. Nikalitegua bomu hili ambalo lilibakisha dakika kadhaa sekunde hamsini kabla halijalipuka. Nikamiya batani ambayo ina niwezesha kuzungumza na mtu aliyopo ndani.

“Cauther?

(OFA YA MWISHO KUJIUNGA KWENYE GROUP WHATSAPP.

Leo 01/09/2020, ndio siku ya mwisho ya kupokea member;s wapya wa GROUP ambao wata pata ofa ya episode zilizo pita kwenye group yaani 1 hadi 14. Ukijiunga baadaya tarehe 31. Huto pata episode za nyuma na uta zinunua kwa sh 250 episode moja. Wahi sasa ofa ina isha leo ada ya group ni sh 4000 kwa mwenzi. Njooo whatsapp 0657072588.KARIBU SANA)

Nilizungumza huku nikitazama kamera iliyopo juu ya huu mlango kwani wana niona kwa ndani ambapo kuna tv kwenye moja ya ukuta.

“Ndio mume wangu”

“Mupo salama?””

“Ndio baby”

“Kazi ime baki ndogo. Naimalizia sawa honey”

“Sawa baby kuwa makini”

Cauther alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Sawa mume wangu”

Nikaminya batani hii na nikakata mawasiliano. Nikawatazama magaidi hawa, kisha nikatoa simu yangu mfukoni, nikatazama kamera hizi na nikawao magaidi walio salia. Ingekuwa si kuifunga nyumba yangu kamera za kuonekana na nyingine za siri, ingeniwia ugumu sana kuwaua hawa. Kwani wengine wameshambulia kamera zinazo onekana na zile ambazo nimezijengea kwenye sehemu mbalimbali kama ukutani na katika mapambo yaliyopo katika nyumba yangu yamewafanya magaidi hawa kupata shida kubwa sana ya kunivamia. Magaidi hawa wachache walio salia, kuwaua ime kuwa rahisi kama kusukumu mlevi katika shimo. Baada ya kukamilisha kila kitu nikaanza kazi ya kutega mabomu kwenye nyumba yangu hii kwa ndani. Nikamaliza kazi hii nikakusaya vitu vyote muhimu kisha ikaelekea katika chumba cha siri. Nikawafugulia wana familia wangu, Cauther akanikumbatia huku akiwa ametawaliwa na uwekundu utokanao na kulia.

“Wamekufa wote hao”

Nilizunguzma huku nikiwatazama.

“Soudy, beba hizo begi mbili. Tuna ondoka. Bibi utabeba hiyo begi ya mgongoni, Cauther mke wangu jikaze”

“Sawa baby”

Nikavaa begi lenye pesa, mgongoni mwangu. Nikamkabidhi Cauther, Soudy na bibi jaketi la kuzuia risasi. Kisha nikanza kuwaonyesha njia iliyopo chini ya ardhi, itakayo tuwezesha kutoka eneo hili. Urefu wa njia hii ni kama kilomita tatu, na ina pita chini ya ardhi. Mainjinia nilio wapa waitengeneze njia hii walitokea nchini Korea Kusini na ilitengenezwa kwa siri kubwa sana kwani haya yote ni kama niliyahisi yata kwenda kutokea.

“Jikazeni bado kidogo tutokee upande wa pili”

Niliwatia moyo Soudy na bibi huyu ambaye kwa kupindi chote toka tumefika hapa India amekuwa ni mlenzi mzuri sana kwa Nadia kwani kwa kipidi tumekuwa bize mgahawa. Kwa mwanga wa tochi hii kuwa iliyo ishika mkononi tukazidi kutemea hadi tukafanikiwa kutoka upande wa pili wa mji huu. Katika eneo hili la mlima, nilitengeneza gereji iliyopo chini ya ardhi ambayo nimehifadhi gari kama mbili ambazo zimetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu wa kuhakikisha dereva na abiria wake wanapo kuwa ndani ya gari hata wanapo kumbana na mashambulizi ya kijambazi basi wana kuwa salama. Tukaingia kwenye moja ya gari, nikaliendesha hadi eneo la barabara. Nikatoa simu yangu mfukoni na nikaitazama kwa sekunde kadhaa.

“Mbona umesimamisha gari mume wangu?”

“Nina ilipua nyumba nzima”

Nikatazama kamera za eneo zima la nyumba yangu na kuona miili ya majambazi na askari walipo getini ikiwa imezagaa. Kwa kamera ya juu ya goroa, ambayo ina mulika barabara inayo elekea katika nyumba yangu, nikaona gari nyingi za polisi zikikaribia kufikia. Nikaingia katika system ya mabomu haya na nikaminya batani na nyumba yangu hii niliyo tumia garama nyingi kuijenga ikaanza kulipuka huku kamera moja baada ya nyingine zikianza kunionyesha chenga chenga kwenye simu yangu na baada ya sekunde kadhaa kamera zikaandika no signal. Nikawasha gari na safari ikaanza.

“Tuna kwenda wapi mume wangu?”

Cauther aliniuliza huku akinitazama kwa macho ya masikitiko kwa maana amani tuliyo kuwa nayo kwa sasa imesha ingia doa.

(OFA YA MWISHO KUJIUNGA KWENYE GROUP WHATSAPP.

Leo 01/09/2020, ndio siku ya mwisho ya kupokea member;s wapya wa GROUP ambao wata pata ofa ya episode zilizo pita kwenye group yaani 1 hadi 14. Ukijiunga baadaya tarehe 31. Huto pata episode za nyuma na uta zinunua kwa sh 250 episode moja. Wahi sasa ofa ina isha leo ada ya group ni sh 4000 kwa mwenzi. Njooo whatsapp 0657072588.KARIBU SANA)

“Ina bidi tuishi kama watu walio kufa, hadi nitakapo hakikisha nimemaliza jukumu la kumsaka Albashir”

Nilizungumza huku nikimkabidhi Cauther simu yangu.

“Toa line na itupe na kama kuna mtu ana simu hapa atoe laini aivunje na atupe simu”

Kila mtu akafanya nilicho muagiza na line zote zikavunjwa na simu zetu tukazitupa maporini. Safari ikazidi kusonga mbele, huku giza likiwa tayari limesha tawala anga. Cauter mtoto pamoja na bibi wamepitiwa na usingizi na mtu pekee aliyopo macho ni Soudy>

“Tuna kwenda wapi kaka?”

“Goa”

“Ndio wapi?”

“Ni sehemu ambayo nina imani tuta kuwa salama kwa muda”

“Ila ni kwa nini tusirudi nchini Tanzania?”

“Kwa sasa sio rahisi kutoka nje ya hii nchi”

“Una maanisha nini?”

“Wata kuwa wana angalia ni wapi tulipo.”

“Ila ulilipua lile eneo na hivyo wata amini kama tume kufa”

“Ngoja tuangalie kinacho endelea katika vyombo vya habari”

“Vipi nikusaidie kuendesha?”

“Hapana, nipo sawa”

Majira ya saa kumi na moja alfajiri tukafika kwenye moja ya sheli. Kabla ya kushuka nikamuomba Willy kufungua begi moja la nguo na akatoa kofia pamoja na miwani. Nikavaa kofia hii, na miwani kishuka katika gari hili huku nikiwa na kiasi cha pesa. Nikalipa kwa muhudumu wa sheli ambaye kwa bahati nzuri hajaweza kunifahamu. Nikajaza mafuta tanki la gari hadi likajaa. Nikaingia ndani ya supermakert hii na nikanunua soda pamoja na biskuti kisha nikarudi ndani ya gari na safari ikaendelea.

“Umeamkaje mke wangu?”

Nilimuuliza Cauther aliye anza kufumbua fumbua macho.

“Nimeamka poa”

Cauther alizungumza huku akipiga miyayo ya usingizi.

“Tupo wapi?”

“Maharashtra”

“Tuna kwenda wapi?”

“Goa”

“Bado sana?”

“Ndio mke wangu hadi kufika Goa kuna hitajika kama masaa kumi na nne”

“Mmmmm nimekaa kwenye gari hadi makalio yana uma”

“Pole mke wangu. Tukupata Motel tuta simama kwa ajili ya kuoga. Kwa sasa kuna biskuti na soda muna weza kuzitumia kama kifungua kinywa”

“Ila mume wangu, Diana hato weza kula hivi vitu. Inabidi apate kile chakula chake”

“Sawa mke wangu ila ngoja tupate motel”

Safari ikazidi kusonga mbele na tukafanikiwa kupata motel moja ambayo ipo katika mji wa Bijapur. Bibi na Cauther wakavaa mabaibui kabla ya kushuka ndani ya gari huku mimi na Soudy tukivaa kofia pamoja na miwani. Cauther akamvisha Nadia kikofia kidogo kisha tukashuka ndani ya gari. Tukakodisha vyumba vitatu kwa ajili ya kupumzika, japo ni mchana ila kusema kweli nimechoka sana kwani sija pata muda wa kupumzika.

“Baby ona”

Cauther alinionyesha habari ya kutangazwa kwetu kwenye vyombo vya habari kwamba tumefariki dunia kwa shambulizi la kigaidi liliyo fanywa na magaidi kutoka nchini Pakistani.

“Wanajua tumekuafa?”

Nilizungumza huku nikivua viatu vyangu na kukaa kitandani. Nikaziweka bastola zangu mbili juu ya meza.

“Goa una hisi ni sehemu sahihi ya sisi kukaa kwa kipindi kama hichi?”

(OFA YA MWISHO KUJIUNGA KWENYE GROUP WHATSAPP.

Leo 01/09/2020, ndio siku ya mwisho ya kupokea member;s wapya wa GROUP ambao wata pata ofa ya episode zilizo pita kwenye group yaani 1 hadi 14. Ukijiunga baadaya tarehe 31. Huto pata episode za nyuma na uta zinunua kwa sh 250 episode moja. Wahi sasa ofa ina isha leo ada ya group ni sh 4000 kwa mwenzi. Njooo whatsapp 0657072588.KARIBU SANA)

“Ndio mke wangu”

“Kuna mtu yoyote unaye mfahamu kwenye eneo hilo?”

“Hata kama angekuwapo ila kwa sasa siwezi kumuamini mtu yoyote zaidi ya nyinyi nilio nao. Albashiri ana onekana ametumia muda mwingi sana kunifwatilia. Na isitishe ematuma timu kubwa sana ya vijana wake kuja kutua hivyo ina onyesha ana mtandao mkubwa”

Nilizungumza huku nikipiga piga paji langu la uso kwa kutumia kiganja cha mkono wangu wa kulia.

“Vipi?”

“Kichwa kina niuma”

“Nikakununulie dawa?”

“Hapana mke wangu. Nahitaji kuoga na nipumzike kama masaa mawili na tuta ingia Goa usiku huu huu”

“Sawa baby”

Nikaingia bafuni nikaoga kisha Cauther naye akaingai bafuni na nikabaki chumbani hapa na Nadia. Kutokana na uchovu mwingi sote tukajikuta tukilala, huku saa yangu ya mkononi nikiwa nimeitegesha arlam ya masaa mawili. Baada ya masaa mawili nikawa wa kwanza kuamka, nikajinyoosha viungo vyangu, nikachungulia dirishani na ulinzi upo wa kutosha. Nikabadilisha nguo na kuvaa tisheti na pensi huku kwa ndani nikivaa jaketi la kuzuia risasi. Nikavaa na kanzu juu yake na sio rahisi kwa mtu kuona kama nimevaa jaketi la kuzuia risasi. Nikamuasha Cauther na mtoto kisha nikatoka ndnai hapa nikamgongea Soudy na yeye akaamka. Nikaelekea chumbani kwa bibi na nikagonga mara kadhaa ila nikasikia ukimya ulio nipa wasiwasi. Nikafungua mlango wa chumba chake kwa tahadhari kubwa, nikachomoa bastola yangu kiunoni na nikaingia kwa kasi. Nikakuta chumba kikiwa hakina mtu. Nikafungua mlango wa chooni napo hakuna mtu. Begi ambalo bibi alishuka nalo na kuingia nalo chumbani kwake halipo. Nikatembea kwa haraka hadi sehemu ya mapokezi, nikajikuta nikipata kigugunizi cha kuuliza swali kwani bibi na mke wangu waliingia wakiwa wamevalia mabaibui.

“Naweza kukuuliza”

Nilimuuliza muhudumu wa moteli hii kwa lugha ya Kihindi.

“Bila shaka”

“Kuna bibi yoyote ametoka humu ndani?”

“Ndio”

“Amebeba nini?”

“Begi, kuna gari nyeusi ilifika eneo kama lisaa lililo pita na ndio aliyo ndoka nayo”

“Kwenye gari hilo umeweza kumuona dereva aliye kuwa ana endesha?”

“Hapana”

“Si muna CCTV kamera hapa?”

“Ndio”

“Naweza kuona?”

“Aha…”

Nikatoa pesa na kumuweka mezani. Kigugumizi cha muhudumu huyu kikaisha, nikaingia naye katika chumba cha pembeni na akanionyesha kilicho rekodiwa muda ulio pita. Tukaona gari hiyo aina ya Aud 4 ikisimama. Akashuka mwanaume aliye valia suti nyeusi, akatoa simu yake mfukoni na baada ya muda bibi wetu wa kazi akatoka. Mwanaume huyu akampokea bibi wa kazi begi la nguo zake huku akimsalimia kwa heshima na akamfungulia mlangto wa nyuma wa gari hiyo na akaingia na wakaondoka.

‘Ni nani?”

Nilijiuliza swalia ambalo kusema kweli jibu lake ni gumu sana kulipata.

‘Imekuwaje akapata simu ya kuwasiliana na hawa watu na wamejuaje tupo hapa?’

“Hembu rudisha tena nyuma”

Kijana huyu akarudisha nyuma video hii.

“Simamisha”

Akasimamisha katika eneo la picha ya mwanaume huyu.

“Una utaalamu wa mambo ya computer?”

“Ndio, nimesomea I.T.”

“Una weza kunitafutia huyo mtu na kujua ni nani?”

“Una nilipa rupee ngapi?”

“Rupee elfu tano”

“Sawa naomba kwanza”

Nikatoa noti hizi za rupee na kumkabidhi kijaana huyu. Akafungua laptop iliyopo pembeni na akanza kuminya batani na ndani ya dakika chache tukaona maelezo ya mtu tunaye mtafuta.

“Rahmu Abdulakim, ni Mpakistani na yupo kwenye kundi la Kigaidi la Taliban ambao…..wamevamia jana nyumba wa raisi wa Tanzania”

Kijana huyu alizungumza huku akisoma maelezo yaliyopo onekana jambo lililo nifanya nistuke sana na kugundua kwamba mtu aliye vujisha siri ya nyumba yangu ni huyu bibi wa kazi ambaye aliletwa nyumbani na Cauther akidai ni mfanyakazi mzuri na ata muangalia mtoto wetu kwa umakini.



“Shit….”

Nilizugumza huku nikiwa nimejawa na hasira.

“Niangalizie detail za huyo bibi?”

Kijana huyu akaminya minya computer yake ila hapakuwa na chochote kinacho muonyesha bibi huyu ni nani.

“Shukrani”

Nikatoka ndani hapa na moja kwa moja nikaeleka katika chumba changu, nikamuamsha Cauther pamoja na mtoto, nikamgogea mlango Soudy na akafungu.

“Vipi kaka”

“Tuondokeni, beba kilicho chako”

“Sawa kaka”

“Hatupumziki mume wangu?”

“Hatulali”

“Bibi yupo wapi?”

“Ni msaliti”

“Msaliti?”

“Ndio, amekuja kuchukuliwa na mmoja wa watu ambao ni magaidi. Ina onyesha ana mpango wa pembeni, kwani umemjua wapi yule bibi”

Nilizungumza huku nikiwa nimetangulia na mizigo mke wangu, mwanangu na Soudy wakinifwatia kwa nyuma.

“Sielewi mume wangu, ni msaliti kivipi mb…..”

Nikajikuta nikisita kutoka mlangoni na kumfanya Cauther kukatisha sentensi yake.

“Vipi”

Cauther aliniuliza huku akinishika kwa nyuma, kwa haraka nikaachia mabegi ya nguo niliyo yashika na nikwarukia Cauther na Nadia na kuanguka nao chini huku gari letu likipiga mzinga mkubwa utokano na bomu la kuegewa. Mlio mkali unao sikika masikioni mwangu, ukanifanya nijawe na mawenge yaliyo nifaya nitulia chini kwa dakika kama moja huku nikiwa nimewafunika mke wangu na mwanangu kwa mwili wangu. Nikamtazama Cauther na Nadia na kuwaona wakiwa salama, huku Nadia akilia kwa woga mkubwa. Nikamtazama Soudy na kumuona akiwa ameanguka chini huku akijitahidi kunyanyuka. Nikanyanyuka taratibu huku nikiwa nahisi kizugunguzungu kikali. Vioo vya madirisha vimechanguka changuka huku baadhi ya magari yaliyo karibu na gari letu nayo yakiteketea kwa moto.

Nikachomo bastola yangu kiunoni huku nikitazama eneo la nje jinsi lilivyo tapakaa moshi mwingi.

“Mupo salama?”

“Ehee….”

Cauther alijibu huku akitetemeka. Nikamnyanyua yeye na mtoto kisha nikamnyanyua na Sody.

“Umemia?”

“Hapana”

“Una uhakika?”

“Ndio kaka”

“Njooni”

Nilizungumza huku nikibebea begi lenye pesa pamoja vitambulisho zikiwemo hati za kusafiria. Nikababa na begi moja la nguo huko begi moja nilikiacha. Nikarudi kwenye chumba cha kuongezea cctv kamera na kumkuta muhudumu wa motel hii akiwa amekaa kwenye kitu huku ameduwaa.

“Hei hei”

“Mamamamaa”

Kijana huyu alistuka huku akikurupuka kiasi cha kunifanya nimpige makofi mawili matatu usoni mwake na kumtoa mawege yote.

“Umeona ni nani ametegesha bomu kwenye gari langu”

“S…..siii…..ijui”

Kija huyu alizungumza huku akitetemeka sana kwa maana tukio la mlipuko wa bomu limemstua kila mtu.

“Nahitaji kuangalia cctv kamera zako”

“Baba naogopa”

Nadia alizungumza kwa sauti ya upole huku akilia kwa uchungu. Mama yake akaendelea kumbembeleza. Kijana huyu akarudisha nyuma kamera hizi za CCTV kamera na hatukuona mtu yoyote aliye sogelea gari letu.

“Soudy”

“Naam kaka”

“Ulikaa siti ya nyuma na yule bibi ulimuona akifanya nini?”

“Yule bibi?”

“Ndio”

Hata sikumbuki alikuwa amelala tu”

“Kumbuka vizuri”

“Nilimuona na kasimu kadogo, nimekumbuka”

“Simu wote si tulitupa?”

“Ndio ila alikuwa na kasimu kadogo”

“Ina gani?”

“Nikia zile ndogo”

“Kwa nini hukuniambia?”

“Ahaa aliniambia ni kwaajili ya msaada kama tukihitaji kuwsiliana kwa maana hakatumii”

“Alishuka nayo ndani ya gari?”

“Alihofia alikachomeka katika siti ya nyuma, hakushuka nako”

“Shenzi bomu hilo la kutega”

Nilizungumza huku nikiwa nimechanganyikiwa kwa maana sijui msaada sasa hivi nita pata wapi. Nikajitafakari kwa muda kidogo.

“Una weza kuvicha IP address yako?”

“Internet protocol?”

“Ndio”

“Naweza”

“Ifunge, isiwezekanene kuwa hacked”

“Sawa”

Kijana huyu wa kihindi akafanikiwa kuifunga IP address yake.

“Nahitaji kuzungumza na mtu kupitia video call”

“Sawa”

Nikamtajia namba za whatsapp za Willy na akamapigia simu. Baada ya sekunde kadhaa Willy akapokea simu.

“Ohoo asante Mungu. Kaka upo salama?”

“Sipo salama mimi na familia yangu bado tuna endelea kuwindwa na maadui zatu. Hapa unapo tuona gari yetu imetoka kushambuliwa kwa mlipuko wa bomu. Nyanya aliyekuwa na muangalia Nadia ni mmoja wa magaidi wa Telebani”

“Mungu wangu”

“Nimeligundua hilo dakika ya mwisho na sijui ni kwa nini siku zote alishindwa kutua ikiwa tulikuwa tuna ishi naye”

“Hilo nalo ni swali la kujiuliza kaka. Nchi nzima imejawa na hataruki na watu wana omboleza kuhusiana kifo chako kaka. Mama mkwe wako amelazwa Agakhan kutokana na mstuko”

“Shem shem”

Cauther aliita huku akiinama kwenye laptop hii yenye kamera.

“Ndio shemeji. Poleni sana kwa matatizo”

“Asante naomba umfikishie mama ujumbe muambie tupo salama. Aache kustuka”

“Nita fanya hivyo kama hamtojali nimuunganishe Nadia kwa maana yupo na mama sasa hivi”

“Hembu muunganishe”

Willy akampigia simu Nadia na akapokea na tukaona picha ya Nadia.

“Hei Nadia ni mimi”

“Ohoo asante Mungu mupo salama?”

“Ndio tupo salama na hatujakufa”

“Kaka kaka, dada na shemeji wapo salama”

Tukamuona Salum akisimama pembeni ya Nadia.

“Ohoo asante Mungu mupo salmaa. Dunia nzima imetangaza kwamba mume vamiwa na jumba lenu limelipuka na sasa serikali ya India na Tanzania zina jaribu kukusanya miili iliyopo katika nyumba yenu na kuipima DNA”

Salum alizungumza huku akiwa amejawa na furaha.

“Sasa nisikilizeni, musimuambie yoyote kwamba tupo hai kwa sababu maadui bado wana tuwinda. Kitu kingine nahitaji Willy uwasiliane na raisi sasa hivi watupatie msaada wa uhakika”

“Sawa kaka”

“Kata simu na Nadia na mpigie raisi simu yake ya mkononi”

Willy akafanya kama nilivyo muambia na akampigia raisi Simba na akapoke.

“Eddy upo salma?”

“Hamsini kwa hamsini mkuu. Mimi na familia yangu bado tuna windwa na magaidi wa Telebani.”

“Nani anaye wawili?”

“Naamini una mkumbuka Albashir yule gaidi tuliye fanya oparesheni na kumuu”

“Namkumbuka huyo mshenzi si ulimuua na ukampiga risasi na mulidhibitisha kwamba amekufa?”

“Ndio tulidhibitisha kwamba amekufa ila ukweli ni kwamba tulimuua pacha wake. Albashiri mwenyewe hakufa”

“Mother fuc**”

“Ndio muheshimiwa raisi kwa sasa tupo kwenye uhatari mkubwa na simuamini mtu yoyote ndani ya India kwani hata Nyanya aliye kuwa ana muangalia binti yangu alikuwa mmoja wa magaidi wa Taliban”

“Nini imekuwaje akaingia mtu kwenye familia yako na usijue Eddy?”

“Sijui kwa maana ni bibi ambaye aliletwa na mke wangu na alikuwa ni mwema na kwa kipindi chote hicho alikuwa ni mtu mwema sana kwetu na hakuonyesha dalili yoyote kama ni mbaya na isitoshe ni mama kama wa miaka stini hivi hivyo ni ngumu sana kumdhania kwamba ni adui. Leo hii ndio nimejua”

“Sawa niambie nifanye nini?”

“Nahitaji familia yangu iweze kurudishwa nyumbani”

“Na wewe mume wangu?”

Cauther aliwahi kuniuliza.

“Nahitaji kuwazuia hawa watu”

“Hapana mume wangu tuna rudi wote nyumbani”

“Cauther mfikirie Nadia, una hisi kwamba haya maisha ana weza kuendelea kuyaishi kwa umri wake huu. Ana hitaji kurudi eneo salama”

Nilizungumza huku nikimtazama Cauther usoni mwake kwa macho makali kwa maana sasa hivi hakuna muda wa majadiliana zaidi ya kufanya maamuzi ya kiume.

“Kaka kaka, angalia huku”

Kijana huyu wa kihindi alizungumza na tukaangalia kwenye tv zilizomo humu ndani na tukaona gari nne nyeusi aina ya Range Rover Sport zikizimama nje ya Motel hii na wakashuka watu wenye silaha.

“Bakini hapa. Muheshimiwa raisi kuna wapuuzi acha niwashuhulikie.”

Nilizungumza huku nikichomoa bastola yangu nyingine na kumkabidhi Cauther ambaye nilisha mfundisha namna ya kutimia silaha.

“Asitoke mtu ndani ya hichi chumba”

“Kuwa makini mume wangu”

Cather akanipiga denda la nguvu kisha nikatoka ndani hapa. Nikaishika vizuri bastola hii na kuanza kunyata kuelekea nje. Nikafika eneo la mapokezi na nikamuona makamu wa raisi akiwa amesimama mbele ya wanajeshi hawa huku mkononi mwake akiwa ameshika kipaza sauti.

“Eddy nimekuja kukusaidia”

Makamu wa raisi alizungumza huku nikiwa nimemuweka kwenye tagert ya bastola yangu na endapo ata fanya chochote nita muua.

“Tuweke uadui pembeni na tuweka nchi kwanza. Nipo hapa kama rafiki kwako na sio kama adui. Hakuna sehemu una weza ukatoa salama wewe na familia yako. Nipo hapa kwa ajili ya kukusaidia”

Aliendelea kuzungumza na kunifanya nimtazame kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama machoni.

Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa kisha taratibu nikatoka huku nikiwa nimemuelekezea bunduki. Walinzi wake wakaninyooshea bunduki zao ila akawapa ishra ya kushusha chini bunduki zao chini.

“Najua mimi na wewe tuna uadui Eddy. Ila siwezi kuacha uwekezaji wangu kwako ukapotea kizembe namna hii.”

“Kwa nini upo hapa?”

“Nipo kwa ajili ya kukusaidia. Najua huniamini, ila kwa hili nina kuomba uniamini japo kwa dakika moja. Nilikua taarifa juu ya kuvamiwa kwako na ikawa ni kweli sema vijana wangu walichelewa kufika nyumbani kwako ila now una hali mbaya kiusalama. Nilikuambia usitoke nje ya Tanzania ila ukawa mbishi kwa nini?”

“Una jua ulicho kifanya kwenye maisha yangu na maisha ya wananchi wa Tanzania. Una pata wapi ujasiri wa kunionya kwenye chochote ambacho una kisema. Wewe ni adui kwangu”

“Ila kumbuka kwamba ulikuwa ni kama mwanangu. Nilikulea wewe kama mwanangu na nilikupa nafasi zote ulizo zihitaji”

“Haijalishi”

“Sawa ila magaidi wana itaka roho yako, huwezi kutoka ndani ya hii nchi salama.”

“Sawa nita jua nini cha kufanya”

Nikaanza kurudi nyuma hatua mbili.

“Usisahau kwamba ulipandikiziwa adui ndani ya familia yako au hujui”

Nikasita kidogo kurudi nyuma huku nikimtazaa makamu wa raisi.

“Umejauje?”

Niliuliza huku nikipiga hatua kusogelea na mkononi mwangu nikiwa bado nimeishika bastola yangu na nimeielekezea kichwani mwake.

“Najua au umesahau nina milikini nini? Nina miliki chama kikubwa duniani, chenye nguvu ya kufanya chochote kwenye nchi yoyote ile, hivyo kila detail ninayo ihitaji nina ipata”

“Kwa nini hawakuniua ikiwa walituma adui?”

Makamu wa raisi alizungumza huku akinitazama.

“Umesha wahi kuwa mpelelezi. Sifa kubwa ya mpelelezi ni kupeleleza kile alicho agizwa na bosi wake. Baad ya ya upelelezi ni kupokea oder ya kuua au kuto kuua. Hivyo Albashir ana hitaji kukukamata kwa mikono yake mwenyewe ukiwa hai wewe na mke wako na nina amini una jua maadui wanapo kukamata ni nini wanacho kifanya”

Nikamtazama makamu wa raisi.

“Kama upo tayari kushuhudia mke wako na mwanao wakibakwa mbele yako na kufanyiwa unyama na ukatili utakao mridhisha Albashir, nina geuka na nina ingia ndani ya gari langu na vijana wangu na tuna ondoka hapa na kukuacha wewe peke yako na sinto kusaidia tena”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama makamu wa raisi.

“Nihakikishie jambo”

“Jambo gani?”

“Nahitaji familia yangu iwe salama”

“Dili, wata kuwa salama na nitawalinda, nami pia nahitaji tukubaliane”

“Nini?”

“Nita kupa list ya maadui zako na nita hitaji uwashuhulikie wewe mwenyewe upo tayari”

“Usiniambie una taka kuwa raisi tena?”

“Hilo ndio wazo langu na hitaji la moyo wangu nahitaji kuwa raisi tena. Nakupa uhuru wa usalama wa familia yako na wewe una nipa uraisi”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama makamu wa raisi huku nikishsha pumzi. Nikaikumbuka kauli ya mwanangu Nadia.

“Tumekubaliana?”

“Ndio”

“Sawa tuna weka kuingia ndani na kuichukua familia yako. Siwezi kukusaliti sasa hivi nipo tayari kukusaidia”

“Ila tambua sikuamini?”

“Najua”

Tukaongozana na makamu wa raisi na kuingia ndani, mlango wa chumba cha kijana huyu ukafunguliwa na nikaingia na makamu wa raisi na kumfanya Cauther kumkazia macho mzee huyu.

“Amefwata nini hapa huyu mume wangu?”

Cauther alizungumza kwa hasira huku akimnyooshea mzee huyu bastola ya kichwa.

“Nilijiapiza kwenye maisha yangu siku nitakayo kuona ndio siku nitakayo kuua. Mwana haramu wewe usiye jua uchungu wa mke wala mume”

Cauther akaikoki bastola nikashuhudia kidole chakie kikivuta triga na kuiruhusu risasi huku ikiambatana na mlio mkubwa ulio tufanya sote tustuke.




Risasi ikapiga ukutani na imempunyua punyua makamu wa raisi, kwa haraka nikampokonya Cauther bastola hii.

“Mume wangu acha nimuue mshenzi huyu. Hawezi kutaka kutuua alafu leo hii awe rafiki kwetu”

Cauther alizungumza kwa hasira, nikamshika ikono yake kwani ana weza hata kumpiga makofi makamu wa raisi.

“Usimshike muachie”

Makamu wa raisi alizungumza, akatoa bastola yake kiunoni na akamkabidhi Cauther.

“Kama una taka kuniua niue sasa”

Makamu wa raisi alizungumza huku akiushika mkono wa Cauther ulio shika bastoka hiyo na kuiweka usoni mwake.

“Niue”

Cauther akaukaza mkono wake huku akimtazama makamu wa raisi kwa macho makali saa. Nadia aliye babwa na Soudy akaanza kulia kidogo na kumfanya Cauther aghairi zoezi lake na akaitupa bastola hiyo kisha akamchukua Cauther.

“Tuna weza kwenda sasa”

Makamu wa raisi alizungumza huku akiokota bastola yake. Nikamlipa kijana huyu kwa kazi aliyo ifanya kisha tukatoka nje mimi na familia yangu na tukaingia ndani ya gari moja pamoja na makamu wa raisi na tukaondoka eneo hili. Nikamtazama Cauther aliye kaa kimya huku akiwa amejawa na hasira inayo mfanya ashindwe hata kuzungumza. Nikamtazama mwanangu Nadia aliye jilaza mikononi mwa mama yake. Nikamtazama Soudy na kumuona akiwa amejawa na mawazo mengi sana.

“Tuna elekea wapi?”

“Ilipo private jet yangu. Tuna ondoka hapa India”

“Ndio tuna kwenda nchi gani?”

“Cuba”

“Cuba?”

“Ndio mbona una shangaa?”

“Mimi nahitaji kurudi nyumbani Tanzania”

“Hakuna usalama kwa wewe kuwepo Tanzania na familia yako. Nchi ya Tanzania kwa sasa ipo kweye taharuki, wananchi bado wana subiria kupata habari za kifo chako. Ni vyama ukaendelea kukaa mafichoni kwanza ukaacha hili vuguvygu la magaidi liweze kupita”

“Kuna watu nina wapa wasiwasi”

“Najua ila ngoja kwanza hali itulie. Najua huniamini ila niamini katika hili”

Cauther akanitazama kwa sekunde kadhaa bila ya kunisemesha chochote. Tukafika katika eneo ambapo ndege ya kifahari ya makamu wa raisi imesimama. Ni kiwanja kikubwa cha ndege ila kiona onekana kina tumiwa na watu maalumu kwani hakua ndege yoyote zaidi ya hii. Walinzi wa makamu wa raisi wakashuka na tukaingia ndani ya ndege hii kubwa.

“Jisikieni kama mupo nyumbani”

Makamu wa raisi alizungumza huku akikaa kwenye moja ya siti

“Pazuri humu”

Soudy aliuzungumza hukua kishangaa shangaa.

“Ni aige gani hii ya ndege?”

Niliuliza huku nikishangaa shangaa ukubwa wa ndege hii kwa kweli ni kubwa na ina kimbizana na ndege ya raisi wa nchi ya Tanzania.

“Airbus A380”

“Duu si sawa ya raisi wa Tanzania?”

“Ndio ila hii imenila kama dola milioi mia nne kuinunua tu, kuifanyia haya makorokoro yote humu ndani imekula dola milioni mia moja”

Tukatazamana na Cauther kwa maana pesa hizo ni nyingi sana na huyu mzee amezitumia kutengeneza ndege moja tu. Safari ikaanza taratibu na baada ya ndege kukaa sawa angani tukafungua mikanda ya siti zetu.

“Nahitaji bafu”

“Ukiingia kwenye hicho chumba hap outa ona bafu, kuna vyumba vitatu na kila chumba kina bafu lake.”

Cauther akanyanyuka na mtoto na akaingia kwenye chumba alicho elekezwa na makamu wa raisi

“Njoo tuzungumze”

Tukaingia kwenye ofisi iliyopo ndani ya hii ndege. Akaka katika kiti chake kisha nami nikaa kwenye kiti changu.

“Nipende kuchukua muda na nafasi hii kuweka mambo yetu sawa. Unanichukia najua na kweli huwezi kukosa sababu ya kunichukia ila siku zote baba na mwana wanapo korofishana ni lazima ifikie wakati wa wao kukaa chini na kutatua matatizo yao. Wewe ni sawa na kijana wangu, nimekukuza kwenye mazingira ya kijeshi toka ulipo kuwa mtoto na umekuwa hivyo hadi ukapata nafasi ya kujaribu nafasi yako kuongoza nchi japo kwa miezi mitatu tu”

“Ulijitahidi kwa uwezo wako ila viatu ulivyo kuwa umepewa ni vikubwa kuzidi mguu wako. Ulipwaya baadhi ya maeneo. Una jua ni kwa nini nchi ya Tanzania tulitoka kuwa masikini hadi kufika kuwa matajiri na pia kuwa nchi inayo ogopew ana mataifa yaliyo kuwa mababe kama Marekani, Russia, Ujerumani na China?”

Makamu wa raisi alizungumza huku akimina wisky katika glasi mbili kisha akanikabidhi glasi moja.

“Sijui”

“Kwa sababu, hapo nyuma tulikuwa na maraisi wenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwenye nyakati ngumu na nyepesi. Nilimuua raisi aliye pita kwa sababu alikuwa ni mtu wa kuyumbishwa. Bila ya mimi hakuwa na uwezo wa kuamua chochote. Hilo moja, mbili alikuwa ni mtu mzembe asiye weza kumuongoza hata mke wake”

“Ilikuwaje akaingia madarakani kama alikuwa na udhaifu huo?”

“Una jua siasa ya Tanzania ilipo fikia, imefika wakati wa ajabau sana. Mtu anapo kuwa na jina katika chama basi ana simamishwa na kugombania uraisi ikwia hana sifa hizo kwa sababu tu una kubalika ndani ya chama. Niliamua kuanzisha scorpion kwa kuhakikisha kwama tuna waondoa viongozi wasio weza kwendana na kasi ya dunia. Kwa nini Marekani ilidumu juu kwa miaka mingi? Kwa sababu walikwua na viongozi wenye uwezo wa maamuzi magumu, ndio maana una weza kuona wale viongozi waliokuwa wana onekana wana mpango wa kudhorotesha nchi walikuwa wakiuwawa kwa kupigwa risasi na wendawazimu, na nchi ina pata kiongozi mwengine”

“Una hisi huyu aliyopo madarakani hana uwezo wa kuongoza nchi?”

“Uwezo hana, yeye by professional ni mshauri wa raisi. Sijui ni nani alitoa wazo la yeye kuwa raisi”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama makamu wa raisi.

“Kama huamini, kaa mafichoni kwa mwaka mzima alafu uta sikia mambo yanayo endelea nchini Tanzania alafu ndio uta niamini”

“Ila kwa nini una penda madaraka?”

“Nina hitaji kuifanyia nchi yangu mambo makubwa. Ulinichafua na kuonekana kuwa gaidi wa dunia. Ila wewe ndio una weza kunisafisha kwa Watanzania na nikachukua madaraka kwa usalama. Sikutaka kumuua mtu wako kipindi kile cha kampeni kwa sababu sikuhitaji kujiongezea dhambi”

Nikaa kimya kwa sekunde kahdaa.

“Uta ifanyia nini Tanzania, ikiwa wewe ndio mwagaji damu za raia wasio na hatia. Tazama wale watu ulio waua kanisani kwa bomu la gesi ya sumu, sumu uliyo itumia kumuua raisi alafu leo una sema una hitaji kuwafanyia Watanzania mema”

Nilizungumza huku nikimtazama makamu wa raisi kwa msisitizo.

“Eddy umesii baadhi ya vipengele kwenye picha yako”

“Nini?”

“Ndio, katika tukio ambalo nime husika ni moja tu”

“Moja, hahahahaa una hisi mimi ni mtoto mdogo?”

“Haki ya Mungu Eddy nina kuapia, unajua haya maisha ni kama mchezo wa draft. Kuna kuliwa kete moja, mbili, tatu na kuendelea. Mimi ni moja ya kete ila kuna kingi ambaye yeye ndio master plan wa kila kitu, yeye ndio aliye zungusha huu mchezo hadi leo hii una niona mimi ni adui kwako”

“Hembu acha kujipatia sifa za bure?”

“Sio sifa za bure, nina kueleza ukweli. Adui yako mkubwa sio mimi, mimi makosa yangu yana hesabika, nilimuua raisi tena kwa kufwata maagizo na nikaahidiwa nitapewa nafasi hiyo ya uraisi ila watu waka ichekecha nafasi hiyo na nikajidhuru umakamu wa raisi na mambo yakaenda kama yalivyo kuwa”

“Una nichganganya, una ongea vitu ambavyo sivielewi”

“Uta elewa tukifika Cuba”

Mlango ukagongwa.

“Nani?”

“Namuhitaji mume wangu”

Nikanyanyuka na nikatoka nje.

“Honey mtoto ana homa kali”

“Mjukuu wangu ana sumbuliwa na nini?”

Makamu wa raisi alizungumza huku akitoka ofisini kwake.

“Ni joto lime panda”

“Hembu”

Makamu wa raisi akamuwekea mkono shingoni Nadia na kweli akamkuta na joto kali.

“Nifwateni”

Tukaingia katika moja ya chumba na makamu wa raisi akafungua moja ya kabati lililo jaa vikopo vingi. Akachukua kikopo kimoja na akatoa kidonge.

“Hichi ni kizuri kwake kwa maana akimeza hichi joto lita shuka kwa haraka”

“Hiyo ni dawa gani?”

Cauther aliuliza huku akitazama kidonge hicho.

“Ni dawa nzuri, wewe mpatie tu ata kuwa sawa”

“Mume wangu una amini?”

“Ndio mke wangu”

Cauther akanywesha mtoto dawa hii kisha wakarudi chumbani.

“Hii ni safari ya masaa mangapi?”

“Sio madaa ni siku moja na masaa mawili kwa maana tuna toka bara la Asia tuna vuka bara la Afrika kisha bara la Amerika”

“Duuu sasa hii ndege ina uwezo wa kusafiri bila ya kutua?”

“Ina uwezo huo, ila tuta tua Morocco, tuta ongeza mafuta na tuta endelea na safari”

“Sawa sawa, ngoja nikapumzike”

“Sawa Eddy ila kaa ukijiu kwamba mimi sio adui yako”

Nikamtazama mzee huyu kisha nikaingia katika chumba alichopo mke wangu.

“Vipi hali yake?”

“Joto lake limeshuka kwa haraka”

Cauther alizunguzma huku tukimtazama Nadia aliye lala.

“Mungu ni mwema ata poa”

“Ndio, ehee alikuwa ana semaje huyo jangili?”

“Ahaa ana nisisitizia kwamba yeye sio adui yangu”

“Sio adui yako kivipi ikiwa miezi mitatu ya ongozi wako aliifanya iwe migumu kama kuzimu’

“Ndio hivyo mke wangu. Ila si una jua mtu akiamua kujisafisha ata zungumza kila kitu”

“Kuwa makini mume wagu asije akacheza na akili yako kwa maana watu kama hawa huwa wana kuwa makini sana kucheza na akili za watu”

“Usijali mke wangu kipenzi, vipi ume oga?”

“Bado”

“Njoo basi tuoge”

Tukaingia bafuni pamoja.

“Baby”

“Naam”

“Una nichukia?”

“Kwa nini nikuchukie mke wangu?”

“Labda nimemshikia bastola baba yako mlezi”

“Hapana mke wangu. Si kumshikia tu hata ungemuua nisinge kwua na maswali juu yako. Aliyo yafanya kwenye maisha yangu sio mambo ya kuelekea kiurahisi namna hiyo”

“Nashukuru kwa kunielewa mume wangu. Nina kupenda sana”

“Nakupenda pia mke wangu”

Tukakumbatiana na Cauther kwa sekunde kadhaa, ambazo zikaanza kuzalisha raha ya wana ndoa, raha wanayo ipata pale wanapo kuwa wana penda kwa moyo mmoja na sio wale ambao wamelazimishwa kuwakuoana. Nikaanza kumnyonya shingo Cauther, hisia zikazidi kumpanda, tukavua nguo zote na nikaendelea kumnyoya shingo yake, nikahamia katika maziwa. Nilipo tosheka, nikemgeuza na kumuinamisha kwenye ukuta wa choo hichi na nikaanza kumnyonya mkund** na kumfanya azidi kuweweseka kwa haraka. Nikaunyanyua mguu wake kidogo na kuanza kumnyoa kitumbua chake.

“Baby nitomb** mume wangu”

Cauther alilalama na taratibu nikasimama, kisha taratibu nikaanza kumla kitumbua chache huku nikiwa nimemuinamisha. Baada ya dakika saba nikambeba Cauther na akamkalia jogoo wangu na mtanange ukaendelea. “Nako…j…oa baby”

Cauther alilalama huku akizidi kuniumbatia, nikazidi kuongeza kasi na sote tukamaliza pakmoja.

“Nakupenda sana mume wangu, mwanzo hadi sasa katika maisha yangu ya mepenzi nimejawa na furuha ya kipekee. Furaha ambayo wanawake baadhi wameshindwa kuipata, haki ya Mungu, nimepewa zawadi nzuri na mwenyezi Mungu, asante mume wangu kwa kuwa pamoja”

“Asante pia mke wangu”

Nikamshusha Cauther na sasa tukaanza kuoga kwa pamoja. Tukamaliza na kurudi chumbani na kumkuta Nadia akiwa emelala.

“Joto sasa limemuisha kabisa”

Cauther alizungumza mara baada ya kugumsa Nadia shavuni mwake.

“Ni jambo zuri kwa kweli”

“Nina njaa bbay na hiyo mechi yako imenifanya niwe na njaa sana”

“Pole mke wangu ngoja nifanye ustarabu wa chakula.”

Nikavaa na nikatoka ndani hapa. Nikawakuta Soudy na makamu wa raisi wakiwa wamekaa mezani huku wakila chakula na kucheka sana.

“Mume kuwa marafiki?”

“Ndio bwana, kijana wako ana nifurahisha kumbe ni Mpemba huyu?”

“Ndio”

“Kaka chakula kipo tayari nimeandaa chakula kile mukipendacho?”

“Kipo wapi?”

“Ngoja nikawaletee”

“Hapana wewe endelea kula, nionyeshe jikoni tu”

Soudy akanionyesha jiko lililomo ndani ya ndege hii. Nikanyanyuka na kuingia jikoni hapa, nikakuta chakula chetu kikiwa kimesha andaliwa. Nikakionja kidogo na kusubiria kwa dakika kama tatu, ikiwa ni kipimo kama kitakuwa na sumu basi inidhuru mimi na sio mke wangu. Baada ya kuridhika nikabeba chakula hichi na kuingia nacho chumbani kwangu.

“Hee masaa ishirini na sita sita angani ni mengi mume wangu”

“Yaa kikubwa ni kuvumilia tu safari tufike salama”

“Ni kweli baby”

Baada ya chakula hichi tukatoka ndani hapa na tukajumuika na makamu wa raisi pamoja na Soudy kutazama filamu inayo endelea kwenye tv kubwa iliyopo eneo hili lililo tengenezwa kwama seble.

“Mumeendana sana. Na nina penda muweze kuishi kwa amani hivyo hivyo na kisitekee kiti kiwatenganishe”

“Nashukuru”

“Cauther usinichukie kwa sababu mimi sio adui kwenu. Narudi kuzungumza hivyo kwa sababu sihitaji ujawe na roho ya chuki dhidi yangu”

“Nime kuelewa”

Sauti ya rubani ikasikika kwenye kipaza sauti akituomba tufunge mikanda kwa maana tuna karibia kutua katika uwanja wa Casablanca Mohammed V. Tukaa vizuri kwenye siti hizi na kufunga mikanda. Ndege ikatua uwanjani hapa.

“Tuta simama hapa kwa masaa manne kabla ya kuendelea na safari je muna hitaji kufanya shopping au kununua vitu binafsi niwawapatie body gurd awasindikize?”

“Mimi nahitaji nguo mume wangu siwezi kukaa na nguo moja masaa yote”

“Basi kuna gari ambazo tuna tembea nazo ngoja niwaambie marubani wafunge huko nyuma tutoe gari moja. Hati za kusafiria si munazo?”

“Ndio tunazo”

“Sawa ni nyinyi tu”

Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa.

“Una waza nini baby?”

“Nita kwenda mimi mwenyewe, nyinyi bakini hapa”

“Hapana baby huko una weza kupatwa na matatizo, sisi tuta juaje ukipata tatizo. Acha twende wote”

Nikamtazama makamu wa raisi huku machale yakinicheza sana kwani kwanza bado simuamini na pili huu una weza kuwa ni mtego, tuna weza kutoka hapa na tukakumbwa na majanga na nina weza kuicha familia yangu hapa na akaiteka na kuondoka nayo.



“Basi twendeni sote tukafanye shopping hiyo kisha tuta endelea na safari”

Makamu wa raisia alizungumza huku akitutizama. Tukakubaliana kwa pamoja na tukaodoka uwanjani hapa na kuingia katika jiji la Casalanca. Kutokana hatukuhitaji kujulikana mimi, mke wangu na mwanangu, ilimlazima Cauther kuvaa baibui na mimi nikavalia kanzu na barakashia pamoja na miwani inayo nifanya nionekana tofauti kidogo. Tukanunua vitu tunavyo vihitaji na tukarudi katika ndege na baada ya muda kidogo safari ikaendelea. Tukafika Cuba na ndege ikatua katika uwanja wa Jose Martin Int’il, La Habana Cuba. Hatukutoka uwanjani hapa kwani tukaingia katika helicopter kubwa na tuka elekea katika mji uitwao Varadero. Tararibu helicopter ikaanza kushuka kwenye uwanja mdogo wa helicopter ulipo katika jumba moja la kifahari na ulinnzi eneo hili ni mkubwa sana. Tukatoka ndani ya helicopter na mabegi yetu yakapokelewa na wafanyakazi wa ndani.

“Karibuni sana, hii ni moja ya jumba langu la kifahari kabisa, imenigarimu kama dola milioni kumi na mbili kulijenga hili”

“Mmmm”

“Mkwe mbona una guna?”

“Mbona pesa nyingi sana hizo?”

“Sina mtoto, sina mke na nina pesa nyingi hivyo naoan ni bora kuziweka kwenye sehemu kama hizi. Nina lindwa na walinzi, si chini ya mia moja. Pia hili eneo lote huwezi kulitembea kwa miguu zaidi ya vigari vidogo vidogo. Kuna kiwanja cha golf kule. Yote nita watembeza muweze kufurahia”

Tukaingia ndani ya jumba hili na kumfanya Soudy kuzidi kushangaa uzuri wa eneo hili.

“Kaka sasa huku ndio duniani. Kuna watu wana ishi jamani khaaa”

Soudy alizungumza na kutufanya sote tucheke. Tukaonyeshwa vyumba vyetu vya kulala. Baada ya kuoga ana kubadilisha nguo, tukajumuika mezani na kupata chakula cha usiku kwa pamoja, kisha tukaagana na kuingia mavyumbani mwetu.

“Honey hivi huyu mzee ana mpango gani na sisi?”

Nikakaa kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama Cauther usoni mwake.

“Siwezi kumpa hata asilimia moja ya kumuamini?”

“Ila ametusaidia saidia, sijui tugetokaje India”

“Ina bidi nimsake huyu gaidi”

“Mmmmm mume wangu usiniambie kwamba una taka kurudi tena India?”

“Una hisi tukimuacha hai, usalama wetu uta kuwepo kweli mke wangu. Ni lazima tuhakikishe kwama tuna muwahinda kwa juhudi zetu zote”

Mke wangu akanitazama kwa sekunde kadhaa.

“Nilihisi kwamba maisha yetu yatakuwa ya furaha hadi kufa kwetu ila sijui kwa nini Mungu ana amua kutuletea matatizo kama haya”

“Usijali mke wangu yata kwisha”

“Kweli mume wangu?”

“Ndio mke wangu, niamini”

Tararibu Cauther akajilaza kifuani mwangu huku akinikumbatia kwa nguvu.

“Nakupenda sana Eddy wangu. Ninapo kuwa na wewe huwa inna jihisi salama”

“Nashukuru mke wangu”

Usingizi ukatupitia. Asubuhi na mapema nikaamka, nikatoa suruali ya mezoezi pamoja na tisheti, nikavaa na raba kisha nikatoka ndani hapa.

“Wapi ilipo gym?”

Mlinzi huyu akanielekeza katika jengo lenye gym. Nikaingia ndani ya gym na nikaanza kufanya mazoezi ya kukimbia katika mashine. Nikakimbia kwa nusu saa kisha nikaanza kunyanyua vyuma na kila ninavyo nyanyua ndivyo ninavyo kumbuka jinsi uvamizi ulivyo tokea nyumbani kwangu huku nikiiona sura ya Albashir.

“Una onekana una mazoezi magumu?”

Makamu wa raisi alizungumza huku akiingia ndani hapa.

“Yaa nahitaji kumuwinda yule mshenzi”

“Peke yako?”

“Hata peke yangu nina weza kumuwinda”

“Ana jeshi kubwa sana na ni ngumu kumpata kwa maana ana kaa mapangoni na sio rahisi kuingia Pakistani”

“Sasa una taka nimsamehe na kumuacha afanye anacho kifanya?”

“Hapana sijashema hivyo”

“Ila”

“Tuna weza kutembea kidogo?”

“Ndio”

Nikasitisha mazoezi ya kunyanyua vyuma na tukaanza kutembea na makamu wa raisi kwenye barabara iliyopo kwenye eneo hili kubwa huku tukielekea pembezoni mwa bahari.

“Una jua kwa nini Albashiri alitaka kukuua?”

“Sababu ipo wazi”

“Haipo wazi”

“Una maanisha nini?”

“Una weza kusame ni kwamba amerudi kwa ajili yako. Ila alirudi kudili na Marekani, kumbuka kwamba ile oparesheni mulikuwa munaifanya chini ya muamvuali wa nchi ya Marekani na ilitulipa sisi kuweza kuichukua ile oparesheni. Ukitazama ni kwamba sasa hatuna uadui wa aina yoyote na Taliban”

Tukafika pembezoni mwa bahari na tukasimama huku tukitazama jua linavyo chomoza taratibu.

“Ipo hivi, nilianzisha Scorpion nikiwa na mkwe wako pamoja na Simba”

“Simba huyu raisi au?

“Ndio. Mimi nilikuwa na wazo wao wakalitekeleza. Tulimpatia nafasi Simba ya kuwa ndio kiongozi mkuu kwa maana yule jama kwa mawazo yake muda wote yapo sawa na akikushauri kitu ni kweli kina sogea. Mimi nilikuwa katibu baba mkwe wakoa likuwa ni mwenyekiti msaidizi.”

“Harakati za kuikuza Scorpion ilizidi kupamba moto huku Simba akiwa ndio mshawishi mkubwa na mshauri kwa amataifa mengine kujiunga nasi. Basi Organazition yetu ilizidi kupanda juu na kuwa kubwa na nguvu kwenye nchi nyingi sana. Mimi nilianzisha wazo la kuwepo kwa kikosi cha X ndio kipindi kile tuliweza kuhakikisha wewe na wezakao muna kuwa ni miongoni mwa vijana hao wa X.”

“Kwa nini mulituua?”

“Hatukuwaua, ila tulikuwa na msaliti ndani yetu?”

“Nani?”

“Simba”

“Una mzingizia kwa sababu una hitaji kiti chake au?”

“Sina haja ya kumsingizia. Eddy nina nguvu ya kufanya chochote na wakati wowote ila sikutaka kuiharibu nchi yangu kwa sababu, moyoni mwangu bado nina uzalendao na nina ipenda. Haya majumba nilipaswa kujenga nchini kwangu Tanzania ila why nimejenga nchi mbalimbali?”

“Sijui?”

“Ni kwa sababu ya Simba. Simba aliuza siri kwa magaidi walio wavamia na kuwaua. Baada ya kulitambua lile, Simba aliweza kutoka ndani ya Scorpion na watu wenye nguvu ndani ya chama kwani wao walikuwa wana msikiliza na kumpenda ndipo mimi nikchukua nafasi ya uwenyekiti na ndipo nikaanza kujenga upya Scorpion niliyo itaka mimi. Una kumbuka ile list ambayo nilikupatia ya viongozi ambao ulipaswa kuwaua nchini Ujerumani?”

“Ndio nakumbuka?”

“Sasa wale walikuwa ni miongoni mwa watu wa Simba. Simba ana chama chama chake nacho kina nguvu kubwa kama Scorpion”

“Una nichanganya?”

“Najua ni lazima uta changanyikiwa. Nilihitaji kukuingiza Scorpion ila ukajiona una akili kubwa sana ambayo ina washinda watu walio kuweka kwenye nafasi hiyo”

Nikamtazama makamu wa raisi kwa sekunde kadhaa kisha akaendelea kuzungumza.

“Ipo hivi Simba alianzisha chama chake cha siri kinacho itwa Cobra. Umesha wahi kukisikia?”

“Hapana”

“Kwa sababu wana fanya kazi kwa umakini na usiri wa hali ya juu. Cobra hawa wana ongozwa na Simba ambaye hakutaka kabisa mimi niweze kuwa raisi ndio maana alihakikisha ana kuwa karibu na wewe ana kutengenezea mazingira ya wewe kumpa nafasi ya kugombania uraisi na ananichafua mimi kwa kigezo cha X ili unichukie na unione mimi ni adui. Na hata hili la wewe kuvamiwa, yeye ndio amehusika, yeye ndio amewapa location magaidi na wakakuvamia. Jiulize mtu ambaye hakuwa na mpango na wewe kwa nini aliamua kukuanza wewe na kukutumia watu wengi ili mradi akuue?”

Nikaka kimya huku nikikosa jibu.

“Yule aliye tumwa kukuua wewe na watu wako, baada ya kupokea kazi kutoka kwa Simba, alinitafuta na akanifwata na kuniambia kwamba amepewa kazi hivyo niliwea kumlipa mara mbili na kumuambia akufwate kwenye mgahawa wako na akutonye juu ya hatari hiyo”

“Mzee unapo kwenda una nichanganyia mafaili”

Makamu wa raisi akatabasamu huku akinitazama usoni mwangu.

“Twende nikakuonyeshe kitu”

Tukaondoka pembezoni mwa bahari na kuelekea katika nyumba moja iliyopo eneo hili hili. Tukaingia ndani ya nyumba hii na ni ofisi yenye vyumba vingi vingi. Tukaingia kwenye moja ya ofisi na makamu wa raisi akawasha tv kubwa iliyopo ukutani kisha akaanza kiminya kyboard ya computer ambayo ni wireless.

“Najua hichi ninacho kwenda kukuonyesha kitakushangaza ila usishangae”

Akaweka video ambayo ina muonyesha Simba pamoja raisi aliye uwawa wakiwa wamekaa katika ofisi ya raisi.

“Hiyo ni kamera ya siri niliitegesha ofisini kwa raisi kwani mambo mengi sana walikuwa wana panga katika ofisi hiyo.”

Makamu wa rasi aka play video hii.

“Ina bidi tutumie akili nyingi sana kwenye kucheza huu mchezo”

Simba alizungumza huku akimtazama raisi.

“Ndio una jua amemrejesha huyu kijana wake Eddy ni mtu hatari sana na ni mtu ambaye ana weza kuvueruga mipango yetu ya mbeleni kama akiamua kumtumia”

Raisi alizungumza.

“Ndio ni kijana hatari na sijui aliponaje ponaje kwenye kile kifo. Yaani nina shinda kuelewa na siku zote kumbe alikuwa hapa nchini?”

“Ina bidi huyu mkora tuweze kumvuruga yeye na huyu kijana. Japo ameniokoa ila tusiangalie wema wake kwani alikuwa kwenye listi ya kufa. Ila Mungu amesadia”

“Sasa tuna mfanya nini?”

Simba alimuuliza raisi.

“Nina hitaji kumvuta karibu yangu na kuwa mtu wangu wa karibu. Nataka aniamini na uovu wote tuta mpandikiza makamu alafu baada ya hapo najua huyu kijana ni lazima ata taka kumuua tu Simba”

“Ila una jua ni jambo gumu sana kwa Eddy kumuua makamu, mtu ambaye ana muheshimu kama baba yake. Mtu ambaye alimlea toka alipo kuwa mtoto mdogo”

“Wewe niachie mimi, najua hapa tuna cheza na karata ya siri ya makamu. Endapo tukiiwahi hii karata na kumpokonya lazima ata kuwa useless hato kuwa na kiburi cha kutudindishia. Nataka nikistafu wewe ndio uchukue hii nafasi”

“Basi nakutegemea. Mpatie hata cheo kikubwa jeshini najua hato kataa?”

“Cheo gani kita mfaa”

“Hata ujenerali”

“Kwa umri wake ule?”

“Ndio uta mfaa. Hawezi kukataa, lazima ata kubalia tu”

Simba alizungumza kwa msiitizo na nikajikuta nikishusha pumzi nzito huku nikiwaangalia wazee hawa ambao kusema kweli kama nikutumia wamenitumia vya kutosha. Raisi akamimina wisky kwenye glasi mbili kisha wakagongesha glasi zao na wakanywa kwa pamoja na kuanza kucheka.

“Hiyo ni video ya kwanza. Ya pili ni hii”

Makamu wa raisi alizungumza kisha akaweka video nyingine. Ina onyesha ni siku nyingine wakiwa ofisini.

“Sasa Eddy yupo kwenye mstari. Amesha kuwa jenerali, cha kufanya sasa ni kuhakikisha ana zidi kumtengenezea mazingira magumu makamu na kuondoka”

Simba alizungumza.

“Ndio hivyo ni lazima andolewe nchini”

“Kwanza nasikia amemabana sehemu na mzee ana kwenda kuadress taifa kwamba ana achia madaraka”

“Weee?”

“Ndio Eddy mwenyewe aliniambia. Hivyo mzee anajiachia kwenye kiti cha umakamu wa raisi”

“Sasa uta mteua nani?”

“Wewe ila ngoja kwanza tukitoka Ujerumani ndio nita kutangaza rasmi kama makamu wangu wa raisi”

“Sawa mkuu. Nimeipenda hii game”

“Hahahaa akili ndio kila kitu. Yeye si ana jifanya kutembea na mke wangu, sasa sisi tuna cheza na akili za watu wake muhimu.”

“Ila yule Eddy nikimuangalia ana weza kama akatubadilika?”

Simba alizungumza.

“Hawezi”

“Kwa nini?”

“Moja ni mtu ambaye amekunywa maji ya bendera, yaani ni mzalendo na yupo tayari kufa kwa ajili ya nchi na pia yupo tayari kufa kuhakikisha ana nilinda mimi raisi. Mbili ni mtu ambaye nimemshirikisha mambo yangu ya ndani kabisa yaani, siri zangu za ndani nimemuambia”

“Aisee sasa siri zako za ndani si zitakuletea madhara kwake”

“Ahaaa wapi, kwanza alinipeleka kwa mzee mmoja yupo Zanzibar huko basi mzee kaniagua baadhi ya mambo yamekaa vizuri mwilini mwangu”

“Weee”

“Ndio na nimemuambia Eddy kwamba tukifika Ujerumani nataka kupata katoto kabichi kabichi kama ka miaka kumi na ane kwanza nishushe ngunga zangu”

“Hahahahahaha kaka nina kuona vile”

“Hahaha”

“Ila ngoja kwanza nani ata simamia maswala ya sherehe za uhuru kama makamu wa raisia ata amaua kujipiga chini?”

“Si yupo waziri mkuu. Ana simamia mbona”

“Hapo ume nena jambo”

“Ila ina bidi kuwa makini sana. Tuna kwenda Ujerumani, sidhani kama hawa Scorpion wana weza kutuacha salama waseng** wale”

“Ngoja nikupe mbinu moja”

“Nakusikiliza Simba najua kwako hakuna linalo shindikana”

“Endapo kuta tokea chochote, tuta unda timu ya vijana wetu na kuwaambia watuteke alafu kesi tuta irudisha kwa hao Scorpion na nina kuhakikishia ata liwa mtu shingo na jenerali Eddy”

“Hahahahahaa”

Walicheka kwa nguvu huku wakigongeana mikono.

“Ndio nakuambia yaani tunatekwa na vijana wana tugusa gusa kidogo baada ya hapo dhambi wana beba Scorpion”

“Hapo nimekuelewa alafu wale wale wapuuzi wa Scorpion nao wata kuwepo kwenye kikao. Una onaje tuka waua”

“Tuna wauaje ikiwa ulinzi una kuwa mkali sana?”

“Hilo niachie mimi na baada ya mlipuko wata magaidi wata jitangaza wao ndio wamehusika?”

“Kwa nini wasijitangaze kwamba wameagizwa na Scorpion.”

“Ina wezekana ila wakisema wao ndio wamehusika ita kuwa ina pewa mtazamo mkubwa vizuri”

“Hapo ume nena ila wasije wakalipua sisi tukiwa ndani?”

“Hotuba yako ni asubuhi hivyo ukimaliza tu hotuba wewe changanya miguu yako waachie kizaa zaa”

“Ndio maana nina kukubali sana Simba”

“Na hizi ngunga nilizo nazo natamani nimpate yule muarabu wa Eddy”

“Ohoo huko mimi simo, ata kuua. Mtu mwenyewe ana onekana hana masihara na mke wake. Kwa nini usimchukue huyu sekretari wako mbona naa matakao mazuri na ni mzuri tu?”

“Ngoma ya Eddy”

“Weee?”

Makamu wa raisi akanitazama kwa jicho la kuiba.

“Ndio ni goma la Eddy, hivyo sitaki kuingiliana naye kwenye mambo ya mepenzi tuna weza kuvuruga mpango mzima.”

“Aisee kazi kweli kweli”

“Hiyo ni video ya pili na akili zao zote waliweza kuzipanga juu yao na wewe ukaingia kichwa kichwa kwa kisingizio cha nchi, kumbe huku nyuma walikuwa na ajenda zao.

“Kwa nini hukuniambai mapema?”

“Hizi video nilizopata mara baada ya jamaa kufa, una hisi mimi ningefanyaje wakati wakati huo ulisha apishwa kuwa raisi ukiwa angani na isitoshe ulikuwa una nichukia?”

“Kwa nini ulilipua kile kisima cha nyuklia na ukawaua watu kanisani. Walikukosea nini?”

“Mimi sikuwaua wala sikulipua kinu chochote Singinda”

“Ni nani ikiwa ulikuwa una nipigia simu na kuniambia za vitisho?”

“Eddy Eddy Eddy, kukua kwa tenkonolojia ndio kuna lete hizi shida zote ambazo sasa hivi tume pitia.”

“Una maaisha nini?”

Makamu wa raisia akaminya moja ya batani ya kyebord hii kisha ikaonekena video nyingine ambayo yupo Simba na baba mkwe.

“Ina bidi tupige matukio makubwa ambayo tuta mforce Eddy kuchukua maamuzi makubwa”

Simba alizungumza huku wakiwa kwenye moja ya chumba ambacho sikuweza kufahamu ni sehemu gani.

“Matukio gani?”

“Kuna msiba wa mtoto wa kiongozi wa kanisa hilo. Wameleta mualiko ikulu kumualika raisi akaudhurie mazishi ya kijana huyo, ila ule mualiko nimeupiga kapuni na raisi Eddy hato weza kwenda sehemu yoyote. Sasa watu wakiwa wengi katika kanisa tuta wapitishia gesi ya sumu na kuwaua wote na baada ya hapo, msalaba una bebwa na Scorpion hilo wazo una lionaje?”

“Hilo ni wazo zuri sana na baada ya hili nahitaji utimieze ahadi yako. Nahitaji Eddy afe yeye na mwanaye. Fanya unacho fanya hakikisha ana kufa na mwanaye kwa maana sihitaji mwanangu aendelee kutomb** na yule firauni wala damu yake ibaki kwenye familia yangu”

Kauli ya baba mkwe ikanifanya niishiwe nguvu na kujikuta nikikaa kwenye kiti taratiu kwani toka nianze kuzitaza hizi video nilikuwa nimesimama ila kwa hili kwa kweli nimechezewa pata potea moja takatifu.



“Sawa usijali katika hilo nita muua tu na kifo chake hakuna mtu atakaye fahamu ni nani ambaye amemuua.”

“Alafu binti yangu aliniambia kwamba baada ya muda wake wa kuisha madarakani wana mpango wa kwenda kuishi India?”

“Sijaelezwa hilo?”

“Basi huo ndio mpango ulipo. Baada ya muda wake wa uongozi basi wana kwenda kuishi India”

“Nimepeta wazo”

“Wazo gani?”

“Una onaje tukamuulia huko huko India na baada ya hapo tuna mframe makamu wa raisi na kikundi chake cha Scorpion?”

“Hapana Scorpion kwa sasa hawana ubavu wa kushindana na sisi. Tumesha ikamata nchi na wewe umesha kuwa raisi. Hili swala tumpatie Albashiri, si una kumbuka kwamba Eddy kipindia ana ongoza kikosi cha X walimuua Albashiri?”

“Ndio”

“Sasa Albashiri hakufa”

“Una maanisha nini?”

“Albashiri yupo hai na yule aliye kufa ni mdogo wake ambaye ni doto. Albashiri yeye ni kurwa na wana fanana kwa kila kitu”

“Hembu acha kunitania?”

“Nakuambia ukweli. Pakistani nina ifahamu kama ninavyo fahamu uchi wa mke wangu”

“Hahahahaha”

“Ohoo nakuambia ukweli. Albashiri yupo hai. Hivyo tuta muambia kati ya wale watu ambao walimuulia familia yake basi yupo hai. Kesi ana ibeba Eddy, akisha ibeba basi ujue kinacho fwata ni Eddy kuuwawa kikatili. Ila nita msisitizia kabisa, binti yangu asiuwawe”

“Sawa sasa una onaje tukampandikiza mpelelezi katika nyumba ya Eddy huko India watakapo hamia”

“Mpelelezi huyo atakuwa wa nini sasa?”

“Wa kutupatia kila aina ya data ambayo Eddy ata kuwa ana fanya?”

“Hilo niachie mimi, kupitia kile kijukuu kipanya tuta jua namna gani ya kuweza kumpitisha mpelelezi huyo?”

“Sija kuelewa hapo ndugu yangu”

“Najua wakienda India wata taka mfanyakazi wa kukaa na mtoto kwani najua wata kuwa na shuhulia zao nyingine hususani mwanangua nilimdadisi na akaniambia ana hitaji kufungua mgahawa. Hivyo muda mwingi ata utumia kwenye mgahawa wake. Jambo hapa la kufanya ni kuhakikisha kwamba tuna mpandikiza mpelelezi wa atakaye kuwa ni mfanyakazi wa ndani. Hilo swala niachie mimi kwa maana kila kitu wana niamini wale”

“Sawa, tukisha muua Eddy, yule mzee mpuuzi basi ana fwata kwa maana Eddy ndio ngao yake na hadi sasa hivi Eddy hahajua kama yule mzee sio adui yake”

Video hii ikaishia hapa. Makamu wa raisi akanitazama kwa macho yaliyo jaa huruma.

“Ina maana kipindi chote hicho nilikuwa nina tumika?”

Nilizungumza kwa sauti ya upole sana.

“Ndio walikuwa wana kutumia tena walikuwa wana kutumia vibaya sana na lengo lao kubwa lilikuwa ni kuniua mimi”

Nikakumbuka siku ambayo Willy aliweza kugundua eneo ambalo makamu wa raisi alikuwepo. Tukataka kuwashambulia kwa drone zenye mabomu ila nafsi yangu iliingia uzito fulani na tukaachana na mpango huo.

“Cauther ina bidi aone hilo ambalo baba yake ana taka kulifanya juu yetu?”

“Alafu?”

“Ajue baba yake sio mtu mzuri kwetu”

“Eddy acha kufikiria kama mtoto. Fikiria kiume na mtu aliye pevuka akili yake.”

Makamu wa raisi alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama. Nikakaa kimya huku nikiwaza.

“Uliyajuaje haya yote?”

“Katika kitu ambacho nimefanikiwa kwenye kuifanya Scorpion kuwa imara na nikuwa na wapelelezi kila sehemu na kila eneo la duniani. Ndio maana kila kitu ulicho kuwa una kifanya ndani ya ikulu nilikuwa nina kijua?”

“Mboni nilipo kuwa Israel ulituma watu waje kunia na wengine walikuwa ndani ya walinzi wangu?”

“Sikutuma watu wakuue. Cobra wana tabia moja. Wana tumia utambulisho wa Scorpion ili wajulikane kama ni sisi na wakisha fanya tukio wana jua ni sisi. Mshauri wako ndio aliye sababisha kila kitu. Yule ni mtu hatari sana katika kuitumia akili yake. Ni watu wenye uwezo wa kutengeneza tatizo na akabebeshwa mwengine na mwisho wa siku mtu mwengine akaonekana mbaya”

“Raisi wa Israel yupo Scorpion au Cobra?”

“Cobra”

“Hayupo kweli Scorpion?”

“Hapana”

“Mwana mama mmoja ana itwa Camel?”

“Yule tajiri wa Israel?”

“Umemamjuaje?”

“Si mpenzi wa Simba?”

“Ndio”

“Na ni binadamu wa raisi wa Israel?”

“Nini?”

“Ni binamu yake”

“Fuc**”

“Ndio kwani imekuwaje?”

“Nilimpa mwana mama huyo kazi ya kumuua raisi Israel na kuchukau madaraka?”

“Hakuana kitu kama hicho. Ipo hivi raisi wa Israel na raisi wa India wapo kweye hicho kikudi cha Scorpion?”

“Sasa kwa nini alisema wewe ndio una husika na wewe ulikuwa una piga simu na kusema una husika?”

“Nilikuwa nina kupigia simu kwa sababu nilikuwa nina fwatilia mienendo yao na sikutaka kukuambia kwani ingekuwa ni ngumu sana kwa wewe kuweza kunielewa kwa uharaka. Nilikuwa nina subiria pointi ya wao kukuvamia ukiwa India ili iwe rahisi kwa mimi kukaa chini na wewe na kuzungumza. Je kipindi kile ningekuambia kwamba mimi sio adui yako ungenielewa?”

“Mmmm”

“Ndio maana. Mimi ni mwanajeshi na nilikuwa ni mpelelezi hivyo ina nidi wakati mwengine uwe adui kwa mwengine ili kukamilisha mission yako. Hivyo sasa hivi umesha jua adui ni nani na nani sio adui”

Nikasimama, nikapiga hatua hadi kwenye friji ndogo iliyomo humu ndani. Nikatoa chupa ya maji ya kunywa na nikarudi kwenye kiti changu.

“Yule mwanamke ambaye ulikuwa una sema ni mama yangu yupo wapi?”

“Yupo Marekani kwa sasa”

“Ni mama yangu kweli?”

“Ndio”

“Umemjuaje?”

“Niliweza kufwatilia historia yako nyuma na nilifanya upelelezi na niliweza kumpata. Kwenye maisha yako yote ya ukuaji, kama una kumbuka vizuri ulikuwa una mchukia sana mama yako hivyo ilikuwa ni ngumu sana kwa mimi kuweza kumuonyesha kwako kwani ulikuwa na kinyongo naye ndio maana niliamua kumficha na kukuonyesha kipindi kile ila mambo ndio yalikuwa kama hivyo”

“Una jua bado nashindwa kuelewa”

“Kuelewa nini?”

WASOMAJI WANGU

Anaye hitaji kuimalizia X leo. Ofa ni sh 2000/= Kupitia WhatsApp 0657072588 au Facebook Inbox

Malipo ni MPESA 0742334453 AZARIA MSULWA AU TIGOPESA 0657072588 AZARIA MSULWA

Karibu

“Kwa nini ulikubali kubeba dhambi ambazo sio zako na isitsohe ulikuwa una kiri kabsia?”

“Kwa sababu sikutaka kuifanya plan ya maadui zangu kuvumbuka. Endapo ingegutuka, niambie sasa hivi tungekuwa wapi. Wangesha kuua hata kwa mtu kujitoa muhanga akakuua. Baba yako mkwe ni adui kwako, si alikufwata na story ya kwamba alitoroka kwenye ndege na aliruka hewani sijui ndege ika lipuka?”

“Ndio”

“Kwa akili zako tu hata kama huja soma. Una wezaje kuruka hewani sekudne chache kabla bomu halijalipuka na usipate madhara. Ipo hivi, aliingia na brufcase yenye bomu ndani ya ndege. Akalitegesha lile bomu na akaruka kwenye ndege kwa sababu mkweo aliku ni mwajaeshi wa anga hivyo yupo vizuri kwenye mambo hayo. Baada ya kuruka ilichukua dakika tano kabla ya ndege kulipuka angani na dhahama hiyo yote nikaibeba mimi”

“Mmmmm”

“Ndio kama huamini, makamu wa raisi wa sasa ana kwenda kupata ajali ya kuangukiwa na kontena la lori kisha baada ya hapo baba yako mkwe ana tangazwa kuwa makaku wa raisi”

“Kama una jua hayo yote si tutoe taarifa tuone?”

“Uta muambia nani na nani ata weza kukusikiliza”

“Kuna watu ndani ya jeshi wana nisikiliza”

“Kumbuka kwamba jeshi lina fwata amri na lina msikiliza yule aliyopo madarakani. Wewe ambaye kwa sasa upon nje ya nchi hakuna anaye weza kukusikiliza”

“Kwa hiyo uta muacha yule mzee afariki?”

“Hatuna jinsi”

“Una uhakika?”

“Ndio hatuna jinsi una taka kuamini acha uamini kwenye hili. Hili swala usimuambie yoyote, wewe cha kufanya sasa hivi kaa ufikirie ni nini utakacho kifanya”

“Sawa nimekuelewa”

Nilizungumza huku nikisimama.

“Tafadhali huu mpango wao ulipo kwa makamu wa raisi wewe uache kama ulivyo”

“Nisaidie kitu”

“Kitu gani?”

“Nawahitaji wale vijaa walio kuwa kwenye timu yangu waje hapa Cuba”

“Willy, Judy na Godlove?”

“Ndio”

“Ila hao wawili ni watumishi wa jeshi bado?”

“Nawahitaji, fanya liwezekanalo?”

“Sawa”

Nikaanza kutembea kuelekea mlangoni.

“Mama yako je?”

Nikasimama na kugeuka. Nikamtazama makamu wa raisoi kwa muda kidogo.

“Ana hitaji kukuona na nilimuambia kwamba tupo hapa Cuba”

“Muambie aje”

“Sawa”

Nikatoka ndani hapa huku kichwa kikiwa kimevurugika kwa kweli.

“Hei baby uilikuwa wapi nimekutafuta sana?”

Cauther alizungumza huku akinibusu shavuni mwangu.

“Nilikuwa matembezi tembezi nina angalia mandhari ya eneo hili si una jua tupo ugenini, hivyo nilikuwa naangalia maeneo hata patanapo tokea tatizo basi tupate kwa kikimbilia”

“Sawa honey”

“Mume amkaje?”

“Mimi na mwanao tupo salama kabisa”

Nikambeba Nadia na akaniweka mkono kichwani ikwia ni ishara ya kunisalimia. Nikamtazama kwa sekunde kahdaa mwanangu na kujikuta roho yangu ikiniuma sana kwani babu yake ana taka sisi tufe.

“Mbona una mawazo mengi mume wangu?”

“Hamna baby”

“Eddy nina kujua una mawazo mume wangu. Niambie tatizo nini mume wangu?”

“Bibi yake huyu ana kuja”

“Mama ana toka Tanzania na kuja huku?”

“No ni mama yangu”

“Mama mkwe?”

“Ndio”

“Waoooo ana kuja lini?”

“Sijajua kwa maana nimeambia yupo Marekani. Pia Judy, Gody na Willy wana kuja”

“Wooo raha tukiwa sehemu moja. Alafu baby nahitaji kuwasiliana na mama nimuambie ni sehemu gani tulipo?”

“Hapana usiwasiliane na yoyotena wasijue ni wapi tulipo”

“Kwa nini mume wangu”

“Bado kuna mambo hayajakaa sawa. Acha kwanza tuangalie hali italavyo kuwa sawa”

“Sawa mume wangu nimekuelewa, nilisha andaa kifungua kinywa naomba twende tukaywe”

“Sawa mke wangu”

Tukajumuika mezani na kwa pamoja tukapata kifungua kinywa.

“Soudy”

“Naam kaka”

“Umepapenda?”

“Sana na nimeongea na muheshimiwa hapa ameniambia tuna kwenda kuvua baada ya kunywa chai”

“Wao na mimi najumuka nanyi”

“Sawa kaka”

“Leo nataka nimuone mpemba akivua samaki”

“Kanivulieni masamaki yale makubwa nahitaji mimi na mwanangu tufurahie samaki leo”

“Sawa mke wangu, tena mimi nita kuvulia samaki mkubwa”

Cauther akanibusu mdomoni. Furaha hii ya muda mfupi ina zidi kunipa mawazo mengi kwani sijui kesho yangu ita kuwaje kwani walio nitumia leo hii wana taka kuniangamiza mimi na mwanangu. Baada ya kupata kifungua kinywa tukajiandaa kwa kuvaa mavazi maalumu yanayo tumika kuzamia ndani ya maji. Tukaondoka eneo hili sisi watatu na walinzi tukawaacha. Tukapanda boti moja kubwa na tukaelekea kaskanzini mwa bahari hii kubwa.

“Umesha waza nini uta fanya?”

“Bado, je Willy na wezake vipi?”

“Nimesha watumia maelezo japo wamehoji hoji sana ila nimewaambia ni kutokana na agizo lako”

“Umewaambia ni wapi tulipo?”

“Hapana, nimewaambie wafike Marekani baada ya kufika Marekani wata jumuika na mama kisha wata kuja huku”

“Sawa”

“Kumbe ulizungumza na Simba?”

“Ndio kabla ya kuja kuniokoa niliongea naye?”

“Kwa taarifa nilizo pewa na wapelelezi wana endelea kukutafuta ndani ya India na Simba alichanganyikiwa sana mara baada ya kujua kwamba upo hai”

“Natamani kuwaua ila nakosa namna ya kuwaua”

“Kuwaua wao bado ita endelea kuwa tatizo”

“Kwa nini?”

“Ina bidi ukate mizizi kwa maana hawa Cobra bado wapo wengi sana wata kuwinda”

Tulizungumza huku Soudy akiwa mbele kabisa ya boti hili akitazama tazama baharini.

“Simamisha eneo hili”

Makamu wa raisi alizugumza, nikapungza mwendo wa boti hii nikaisimamisha. Tukashusha Nanga baharini kisha tukachukua rod(fimbo za uvuvi) na kila mtu akaanza kutega samaji.

“Kwetu Zanzibar tuna tumiaga minyoo kwenye kugegea samaki kwenye hii mishipi”

“Ila misibipi yenu si muna pata visamaki vidogo vodogo?”

“Ndio”

“Ila hili eneo lina samaki wengi na wakubwa sana”

“Ahaa?”

“Nime nasa”

Nilizungumza mara baada ya kamba yangu kuanza kuvutwa vutwa chini. Nikaanza kuizungusha kamba yangu na nikamtoa samaki mkubwa na kutufanya sote tufurahie na nikawafanya makamu wa raisi na Soudy kuongeza juhudi. Simu ya sateleite ya makamu ikaanza kuita, akaitoa kiunoni mwake alipo ining’iniza na akaipokea.

“Ndio”

“Natazama”

Akakata simu.

“Eddy njoo”

Tukaingia ndani yah ii boti na akawasha tv. Habari tuliyo kutana nayo ni ya ajali mbaya ya kontena lililo muangikia gari la makamu wa raisi wa Tanzania na kusababisha vivyo vya wale wote waliomo ndani ya gari hilo. Hapa sasa ndipo nikaanza kumuamini makamu wa raisi kwamba alicho niambie kina ukweli ndani yake.



“Duuu niliguna huku huku nikitazama tv hii.”

“Baada ya kufaya hivi baba mkwe wako ndio ana pewa nafasi ya kuwa makamu wa raisi mpya. Na wewe na mimi ndio target hivyo ina bidi tujipange”

Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama makamu wa raisi. Nikatoka ndani hapa na kuedelea kuvua samaki huku nikiwa na mawazo mengi kwani naona dunia kwa upande wangu ni kama imenielemea.

“Una waza nini?”

Makamu wa raisi aliniuliza huku akinitazama.

“Hata sijui”

“Usijali mambo yatakiwisha?”

“Hujashiriki kwenye huu mpango?”

“Upi?”

“Wa kumuu makamu wa raisi”

“Haki ya Mungu sihusiki kabisa kwenye hili. Niliujua mpango huu juzi na nilishindwa kumsaidia huyo makamu wa raisi kwa sababu nahitaji kukudhihirishia wewe kwamba kile ulicho kiona kwenye zile video ni ukweli mtu. Umejionea, baba yako mkwe asipo tangazwa kuwa makamu wa raisi nakuomba unifanye chochote utakacho”

Nikamtazama makamu wa raisi kwa sekude kadhaa na tukaikatisha mazungumzao hayo mara baada ya kumuoa Soudy akija eneo tuliko simama.

“Kaka nami nimekamata sehewa bwana”

Soudy alizungumza huku akituonyesha samaki huyo.

“Huyo samaki ana itwa Sehewa?”

Makamu wa raisi aliuliza.

“Ndio mkuu”

Tukaendelea kuvua samaki hadi tukaridhika na tukaodoka eneo hili. Tukafika nyumbani na kuwakabidhi wafanyakazi wa ndani samaki hawa kwa ajili ya kuwaandaa kwa kuwapika.

“Vipi uvuvi umekwedaje?”

“Mungu ana saidia mke wangu. Vipi za kushinda?”

“Salama mume wangu. Kuna habari mbaya nimeiona kwenye mtandoa”

“Habari gani baby?”

“Yule makamu wa raisi ameuwawa”

“Yupi?”

Nilijifanya kushangaa na kutoa kuelewa ni nini kiancho zungumzwa.

“Yule makamu wa raisi wa sasa wa nchini Tazaina ameuwawa mume wangu”

“Mungu wangu, ameuwaje?”

“Vyombo vya usalama wana dai ni ajali ya gari lake kuangukiwa na kontena ila watu wana hoji imekuwaje kweye msafara wa makamu wa raisi yawepo ma skaia ya mzigo. Yaani wengi wa watu wana seme ni ajali ya kupanga na ameuwawa mzee wa watu”

“Mmmm masikini”

“Ndio yanayo endelea nchini sasa hivi”

“Kuna mambo mengi sana ndani ya ile nchi na wasipo angalia ita anguka”

“Una maanisha nini?”

Nikamtazama Cauther huku nikiwa nimekaa kitandani.

“Watu walio taka kutuua sisi ndio walio tuwa walio muua huyo makamu wa riais”

“Jamani sasa kwa nini dunia inakuwa hivi?”

Cauther alilalama laity kama angefahamu ni watu wetu wa karibu wanao taka kutua basi angelia sana hususani kwa baba yake mzazi anaye taka kuniua mimi na mwanangu.

***

Wily na wazake wakafika hapa Cuba wakiwa wameongozana na mama yangu mzazi ambaye mara baada ya kushuka kwenye helicopter iliyo watoa uwanja wa ndege, akanikumbatia kama dakika tano hivi huku akibubujikwa na machozi ya furaha. Japo ni mama yangu ila kusema kwlei ule upendo wa kama mtoto kwa mama ni mdogo sana. Nikasalimiaa na Willy, Judy na Gody na furaha ikatawala.

“Muna mtoto mzuri”

Nilizunguzma huku nikimbeba mtoto huyu wa kiume wa Willy.

“Ndio mujiandae kupokea mahari kwa maana tume leta dume la mbegu”

“Hahahaa”

Baada ya chakula cha mchana kwani wamefika majira ya saa saba, mama akaniomba tuweze kuzungumza. Kusema kweli nime fanana na mama yangu sana. Ukimuagalia kwa haraka haraka huwezi kuuliza ni nani kwangu. Japo umri umekwenda ila ana uzuri wake wa halisi una onekana.

“Eddy”

Mama alinita kwa sauti ndogo.

“Naam”

“Kwanza nimshukuru mwenyezi Mungu kwa kuweza kunikutanisha nawe kwa mara ya kwanza mara baada ya miaka thelathini na nne si eti ehee?”

“Ndio”

“Nilikuwa nina kutazama kwenye tv namna ulivyo kuwa una iongoza nchi kwa kweli nilikuwa nina furahi sana kuweza kuona moja ya uzao wangu una ongoza nchi kubwa na yenye nguvu kama Tanzania”

Nikamtazama mama kwa sekude kadhaa kisha akaendelea kuzungumza.

“Najua una nichukia, na una niona mimi kama mnyama na muuaji. Nina kuomba unisamehe mwanangu. Kwenye maisha yangu sikutarajia kuwa mkatili kwa uzao wangu wa kwaza ila ni hali za kimaisha tu ndio zilipekea mimi kufanya vile”

Mama alizungumza na kunifanya nianze kulengwa lengwa na machozi.

“Kila mama duniani hupenda kuona uzao wake wa kwanza unna ishi kwenye maisha mazuri na ya kupendeza”

“Kwa nini ulinizaa?”

Swali langu likamfanya mama kukaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha akanishika kiganja cha mkono wangu wa kulia.

"Nilipo pata mimba yako nilikuwa na umri wa miaka kumi na nne. Nilikuwa ni msichana mdogo sana na mimba yako niliipata kutoka kwa kaka mmoja kipindi hicho alikuwa ni muuza chips. Yule kaka alinirubuni na kunipatia pesa chipsi za bure, alikuwa ana nipa vihela vya kwenda kula shule. Na kwa bahati mbaya nikapata ujauzito, ilifukuzwa shule na nyumbani pia walinifukuza. Niliumia sana na sikuwa na pa kwenda. Nililea mimba yako kwa shida nikiwa nina kaa kwa marafiki kisiri siri. Miezi tisa ilifika na nikajifungua, ulikuwa una afya njema sana na huwezi amini nilijifungua mimi mwenyewe bila msaada wa hospitali. Sikuwa na sehemu ya kukupeleka zaidi ya kutafuta njia ambayo utalelewa vizuri.”

Mama alizungumza kwa uchungu na kwa sauti ya chini iliyo nifanya nimwagikwe na machozi mengi. Nilikuwa nina jua ratiba ya kupita ya mama mmoja ambaye alikuwa ni miongoni mwa wafanyakazi wa kituo cha makete. Nilikuweka kweye mtaro huku ukiwa una lia kwa uchungu sana. Kama akili yangu ilivyo kuwa imepanga ndicho kilicho tokea. Yule mwana mama alikuokota na nikamfwatilia hadi kwenye kituo alicho kuwa ana fanyia kazi na niliamini kwa asilimia mia moja kwamba lazima utakuwa mikono salama. Nilisali na nilimshukuru Mungu”

“Kwa nini hukupeleka ujauzito kwa baba yangua?”

“Alinikataa na kunipiga na kunifukuza. Na kwa bahati mbaya mimba yako ilipo kuwa na mieizi saba, alipaya ajalia alipo kuwa ana toka kununua viazi kwa ajili ya kupika kwenye biashara yako. Alizwa kitandani miaezi mitatu na mauti yalimkuta na akafariki duniani”

Nikashusha pumzi taratibu.

“Baba yangu aliitwa nani?”

“Stevin na walizoea kumuita Steve”

Nikajipangusa machozi taratibu huku nikiushika kiganja cha mama yangu.”

“Nilihamia Dar es Salama na kutafuta maisha, ila hayakuwa mazuri kivile, ndipo nilipo rudi tena mkoani kwetu na ndipo nilikukuta ukwia na miaka miwili, nilitamani sana kukuchukua ila uwezo sikuwa nao. Niliendelea kuishi maisha ya shida hadi ninlipo kutana na huyu mzee. Alinisomesha na nikafanikiwa kupata maisha mazuri na kuishi Marekani. Nilitamani sana kuonana na wewe ila kila mara mzee alikuwa ana niletea ripoti ya wewe kutoa kunikubali.”

“Ngoja kwanza kwenye kipindi chote hicho hukuwahi kuonana na mimi?”

“Ndio sikuwahi kuonana na wewe zaidi ya leo. Najua utajiuliza wale wanawake alio kuwa ana sema ni mama zako wana tokea wapi. Walikuwa ni watu ambao walikuwa wana bandikwa sura bandia ili tuweze kujua kama bado una hasira naami au laa. Wa mwisho nilisikia ulitaka kumuua kwa kumchinja ndio maana tukaachana na huo mpango”

Nikamtazama mama kwa umakini sana na kugundua kwamba sura aliyo nayo sio sura bandia.

“Nilikuwa nina kufwatilia, ulipo kuwa kwenye mapito nilikuwa nina funga na kusali kwa ajili yako”

“Huyu mzee una muamini?”

“Kwa maisha yangu yote’

“Una jua ni adui yangu?”

“Nafahamu hilo na ni mtu ambaye asinge weza kukudhuru kirahisi”

“Ila kama aliweza kufanya machezo wa kunieletea mama feki na wewe usije ukawa ni feki?”

“Hahaha Eddy mwanangu. Nipo tayari kupima kwa daktari na ukapata viNpimo vyote kama wewe ni mama yako kweli”

“Haya mimi nimekuelewa”

“Nashukuru mwanangu. Umenisamehe?”

“Ndio mama”

Mama akanikumbatia kwa furaha.

“Nafurahi sana Mungu amenipatia nyakati kama hizi za kukutana nawe nikiwa bado hai”

“Usijali mama”

“Una mke mzuri sana mwanangu”

“Nashukuru sana mama”

“Nafurahi kuniletea mjukuu wangu na kitu kingine una mdogo wako wa kike kwa sasa ana miaka ishirini. Nilizaa na mwanaume mmoja wa Kimarekani ambaye tulidumu kwenye ndoa kwa miaka mitano na ndoa ikavunjika”

“Anaitwa nani yeye?”

“Elizabeth.”

“Na wewe una itwa nani?”

“Hahaa mimi mama yako nina itwa Nipael Shemzigwa”

“Ohoo ni kabila gani?”

“Wasambaa, sema wazazi wangu walikuwa njombe kikazi nami ndio nikazaliwa huko”

“Ndugu zako wapo?”

“Nilizaliwa mimi na kaka zangu wawili ambao tayari walisha fariki, huku bibi na babu yako nao wakilitangulia mbele za haki miaka mingi ya nyuma ila ulikuwa umesha zaliwa”

“Ohoo sawa sawa mama”

“Mke wangu ni muarabu au Muhindi?”

“Mchanganyiko”

“Ohoo sawa sawa. Je familia yao wana kupenda?”

“Kwa nini una uliza?”

“Familia za hawa wezetu wengi wao wana kuwa ni wabaguzi wa rangi hivyo sio rahisi kwa wao kukubali kumuona mtoto wao”

“Wana nipenda”

“Nafurahi kusikia hivyo ni jambo la kumshukuru Mungu”

Baada ya mazungumzo ya muda mrefu na mama, nikamuacha na mkwe wake ili waweza kufahamiana vizuri. Mimi na timu yangu ya watu watatu ninao waamini kwa maisha yangu yote tukaingia katika ofisi ya makamu wa raisi tukiwa tumeongozana naye.

“Naamini mutakuwa na maswali na mawazo juu ya kwa nini tupo hapa na mtu kama mimi ambaye wote mulioniona kama gaidi au adui kwa upande wenu”

Makamu wa raisia alizungumza kwa sauti ya upole ili maelezo yake yawe kwa uraisi zaidi, akaanza kuwaonyesha Willy na wezake video moja baada nyingine inayo husu mbinu zote za kundi hili jibya la cobra. Na ili kujidhihirisha kwamba video hizi ni halisi na sio za kutengeneza, Willy akaziakiki kama anavyo fahamu yeye mweyewe.

“Ni video halisi”

Willy aliuzungumza na kutufanya tushushe pumzi.

“Nina imani kwa pamoja tuta kwenda kufanya kazi ili kuikoa nchi yetu kwani nchi yetu haipo kweye mikono ya watu salama. Ni watu wabaya sana na walio panga mbinu mbaya ili mradi kuniangusha na kunichafua sasa ni wakati wa wao kuondoka madarakani”

“Nina swali”

Judy aliuliza.

“Ndio”

“Aha kaka hii video mke wako ana jua uadui ulipo kati yako na baba mkwe wako?”

“Sija muambia”

“Ningependa tumshirikishe kwenye hili ili yeye awe ndio mtu atakaye tuoa go ahed ya kufanya tutakacho kifanya kwa maana endapo tuta muua na akajua tambua kwamba tuta chukiwa na hadi tuje kumuelewesha na akaelewa basi ita kuwa ni mtihani mkubwa sana”

“Ni kweli unacho kizungumza Judy ila tujifunze kufanya vitu professional. Endapo tukimuambia akakataa tusifanye chochote je tuta muacha?”

Swali la makamu wa raisi likatufanya sote kumtazama.

“Kwa maana damu ni nzito kuliko maji”

“Ni kweli na mke wangu ana mpenda sana baba yake ndio maana siku aliyo siki baba yake amefia kwneye ajali ya ndege alizimia hadi kupelkea kujifungua mtoto na miezi saba, sipatii picha kama angejifungua mtoto akiwa na miezi sita au nane ingekuwa sasa hivi sina mtoto”

“Sawa mkuu nimeelewa ila kwa nini tusimuwahi kabla ya kuapishwa na kuwa makamu wa raisi?”

“Hilo lina wezakana ila lina sisi kama sisi tuwe na mpango dhabiti wa kurudi nchini na kufanya mapinduzi”

“Mukinipa nguvu basi najua Cobra haito nishinda”

“Willy”

“Naam”

“Najua hii ni mission ngumu sana tunayo kwenda kuifanya. Tuna miezi mitatu ya kujiandaa. Nahitaji sote tupate mafunzo ya hali ya juu. Tuwe na mafunzo yatakayo tufanya hii kazi tuindeshe sisi wanne”

“Sawa bro mimi nipo tayari”

Gody alizungumza kwa furaha.

“Sema mimi nipo tayari ulete uboya wako kwenye mazoezi”

Judy alizungumza.

“Uboya gani wakati una nijua kwenye mazoezi nipo fiti”

“Ila kule kwengine je?”

“Wapi?”

“Kule kwenye sita kwa sita?”

“Nyoo sasa hivi nipo bomba ni mwendo wa kula vifaranga”

“Mamae walai hili seng** kweli kwa hiyo una kula hadi watoto?”

“Sasa si wata taka wewenyewe”

“Jamani jamani kumbukeni mupo na mkuu wenu”

Makamu wa raisi alizungumza na sote tukajikuta tukicheka.

“Kusema kweli nina furaha kuwaona vijana wangu tena. Judy na shukuru kwa kuitikia wito wangu”

“Usijali mkiu”

“Niambieni nini muna taka nami nita wapatia”

“Tuta andaa listi na kesho tuta kupatia”

“Sawa niwaache muzungumze kama hamto jali”

“Hakuna shaka”

Makamu wa raisi akatoka ndani hapa.

“Hawa wajinga walijua kuchezesha drafti lao”

Willy alizungumza huku akitabasamu.

“Yaa ni kweli walijijua kutushika akili zetu. Ila kwa sasa tume weza kutoka na kujua upi ni upande sahihi

“Ila jamani nawatahadharisha. Tusimuamini mtu yoyote”

Judy alizungumza huku akitutazama.

“Una maanisha nini?”

“Gody acha using** basi, una aminije watu ambao kwa mara ya kwanza tulikuwa tuna wasaka. Kumbukeni na hizi video tumezipata kwao na ni mara nyingi walikuwa wana mpigia simu mkuu simu za vitisho, sasa leo hii tusije tukalainisha mioyo yetu haraka kama barafu lililopo juani”

“Alafu kweli?”

“Nisikilizeni”

Nilizungumza kwa sauti ya kawaida ila yenye msisitizo.

“Ipo hivi, tuna ingia msituni kwa mafunzo ya miezi mitatu, tuna toka tukiwa tumekamilika baada ya hapo, sisi ndio wenyewe ndio tuta tafuta ukweli wa mambo. Ila kabla ya kutafuta ukweli huo ni lazima nifanye jambo”

“Jambo gani hilo mkuu?”

Wote waliniuliza kwa pamoja na kunifanya nishushe pumzi taratibu huku nikipangilia kichwani mwangu ni namna gani ya kuweza kuwaeleza hilo jambo ninalo taka kulifanya.



“Nita hitaji nimuue Al-bashiri kisha ndio tuwafwate hawa mbwa wengine”

“Sawa”

Baada ya kukamilisha mipango yote na timu yangu. Nikawasilisha vitu ninavyo vihitaji kutoka kwa makamu wa raisi ili atukamilishie na siku iliyo fwata makamu wa raisi akatukabidhi katika wakufunzi maalumu walio anza kutupatia mafunzo ya kiwango cha juu. Mafunzo haya kwangu hayakuwa mageni kwani mengi nimesha yafanya miaka ya nyuma. Ila kwa Gody, Judy na Willy ni mafunzo yaliyo magumua kiasi cha kumfanya Willy kwa mara kadhaa kulia na kuomba kutoka mafunzoni ila walimkatalia. Miezi ikazidi kuyoyoma huku tukiendelea kukomazwa kwa mazoezi haya. Hadi ina isha miezi mitatu, tayari sote wanne tukawa tumeiva kwa ajili ya kazi iliyopo mbele yetu na tukarudi nyumbani kwa makamu wa raisi mA

“Jamani mume konda”

Cauther alizungumza huku akinikumbatia kwa furaha kwani ni kwa kipindi cha miezi mitatu hawajatuona kwani maisha yangu yalikuwa ni ya porini tu.

“Vipi maisha ya hapa mke wangu?”

“Mazuri tu mume wangu tuliwamiss saa”

“Hata sisi tuliwamiss sana”

“Kuna habair nzuri mume wangu”

Cauther alizungumza huku akinitazama kwa tabasamu.

“Habari gani mke wangu?”

“Baba amepewa umakamu wa raisi”

“Weee!!?”

Nilijifanya kushangaa huku nikimtazama mke wagu usoni.

“Haki ya Mungu mume wangu ngoja nikuonyesha alivyo kuwa ana apishwa”

Cauther akaweka video katika simu yake na kunionyesha jinsi baba mkwe anavyo apsishwa kuwa makamu wa raisi.

“Waooo hongera yake sana”

“Yaani tumefurahi sana mume wangu, ndoto yake imetimiwa kwa maana alikuwa na ndoto ya siku moja kuwa kiongozi wa serikali”

“Ahaa, umewahi kuzugumza naye?”

“Hapa hatukupata simu za kuwasiliana na watu wa nje”

“Sawa mke wangu, vipi mama umeishi naye vizuri?”

“Yaa ni mtu mwema na wametoka na Nadia wamwekenda kwenye mabustani ya matunda kule, wata rudi muda si mrefu”

“Sawa mke wangu”

“Mmmmm mume wnagu miezi yote hiyo huja nimiss?”

Cauther alizungumza huku akinitekenya tekenya, nikajikuta.

“Una taka kuniambia kichupa hakikajaa?”

“Hahahaha”

Tukaanza kunyonyana denda taratibu huku kila mmoja akivua nguo zake. Tukapeana haki ya ndoa na tukaoga kwa pamoja na kurudi sebleni. Mwannagu Nadia akanikimbilia na akanikumbatia kwa furaha.

“Shikamoo mama”

“Marahaba, aisee mumeisha”

“Hahaha kawaida mama”

“Mmm sio kwa kukondeana huko hadi mionekano imewabadilika wakati mulitoka hapa mukiwa na vijama nyama”

“Hahaha”

“Tumewaandalia sherehe ya kuwakaribisha nyumbani”

“Asante mama. Mzee yupo wapi?”

“Amekwenda mjini kuna kikao amekwenda kufanya, akirudi sherehe ita endelea”

“Sawa”

“Shem macho yamekuingia ndani kama una kwasha koo”

Cauther alimtania Willy.

“Hahahaha wee acha shem, una jua si lazima ufe ndio uende kuzimu, yaani tumepita kwenye kuzimu za duaniani ambazo kusema kweli kama huko kuzimu kupo kama vile, asiee acheni niokoke”

“Hhhahaa”

“Yaani asikuambie mtu shem, kule tulipo kwenda sio poa kabisa”

“Mume wangu alikuwa ana lia kama mtoto mdogo”

“Kweli shem?”

“Ohoo mbona kama mara nne hivi nilikuwa naomba kurudi ila nikawa najiuliza kama mke wangu wana weza ina kuwaje kidume cha mbegu mimi nishindwe hivyo nilijikuta nikijitahidi kwa uwezo wangu hadi tukamaliza kozi yetu ila yale mafunzo mmmm hapana”

“Poleni jamani”

“Asante Soudy sijamuona?”

“Soudy ametoka na mzee pia”

“Eeh Soudy siku hizi ana tembea na mzee?”

Niliuliza huku nikitabasamu.

“Weee acha tu siku hizi wamekuwa marafiki sana”

“Duu kazi kweli kweli”

Majira ya saa kumi na moja jioni makamu wa raisi akarudi akwia ameongozana na Soudy pamoja na walinzi wake. Tukasalimiana naye kwa furaha mara baada ya kutuona tumerudi tukiwa salama kwani katika kambi tuliyo pelekwa ina itwa Death Zone sehemu ambayo sio rahisi wanao kwenda kufanya mazoezi wana toka wakiwa hai, ila sisi tumefanikiwa kurudi hai japo kwa mara kadhaa Willy alipunyuka punyuka kufa.

“Kwanza nina furaha mumerudi salama. Pili kama nilivyo tangulia kusema kwamba tayari mkwe wako bwana mkubwa amesha pewa kitu cha umakamu wa raisi”

Makamu wa raisi alizungumza kwa sauti ya upole huku tukiwa katika ofisi yake.

(X imefika tamati kwa facebook leo hii sehemu ya 145. Kwa anaye hitaji muendelezo hadi mwisho sehemu ya 155. OFA ya kuimaliza ni sh 1500. Uta ipata facebook inbox au whatsapp 0657072588. Malipo ni MPESA 0742334453 AZARIA MSULWA AU TIGOPESA 0657072588 AZARIA MSULWA. Karibuni sana)

“Hali ya nchini Tanzania kwa sasa imebadilika, watu wana uwawa, watuw ana porwa mali. Matajiri wana filisiwa masikini wana gandamizwa kwa ufupi ni kwamba hakuna maisha ya furaha na amani kama ilivyo kwua pale awali”

Makamu wa raisi akawasha tv na tukaanza kutazama maisha yaliyopo nchini Tanzania.

“Uchumi wan chi una shuka siku hadi siku na kila anaye hoji basi ana potea. Ina bidi tufanye jambo juu ya hili. Sasa hivi Marekani imerudi kwenye ukinara wa kuwa namba moja na sisi ni namba mbili. Simba na mkwe wako wana iongoza nchi kwenye level ya kufilisika. Wana jali kuhusiana na wao na hakuna anaye jali kuhusiana na uhuru kama pale awali. Hospitalini dawa hakuna, vyama upinzani vimefutwa kiufupi wana ongoza nchi kibabe”

Willy akaingia kwenye mtandao na kutafuta ukweli wa hichi tunacho kiona kwenye vyombo vya habari.

“Duu na leo tumeshuka hadi watatu kiuchumi, China amerudi na kuwa namba mbili”

Willy alizungumza huku akituonyesha kwenye laptop yake.

“Wawekezaji wana kimbia nchini. Simba na ishi maisha ya raha mustarehe ikulu. Ikulu imegeuka na kuwa eneo la kupiga story kwa mafariki zake wanoa fwata anacho kitaka.”

Makamu wa raisi alizungumza huku akinitazama usoni.

“Hii ni picha nilizo tumiwa kwa siri, hii ni part aliiandaa raisi Simba ndani ya ikuku”

Sote tukajikuta tukishangaa kwani ni sherehe iliyo udhuriwa na wasichana wanao onekana ni malaya na wengi wao wapo uchi wa kuzaliwa na wana cheza mbele ya raisi pamoja na viongizi wake na eneo wanalo cheza ni kwenye moja ya ukumbi wa mikutano ikulu na ukumbi huo nina ujua vizuri.

“Kulifanyika jaribio la kumpindua Simba”

“Limeongozwa na nani?”

Mmoja wa viongozi wa jeshi ila alijikuta akiingia kwenye mitego ya Simba kwani alitonywa juu ya mapinduzi hayo na hii ndio video yake ya kilicho fwata. Makamu wa raisia kaweka video na nikamuona mzee huyu ambaye kipondi nilipo pewa cheo cha ujenerali wa jeshi naye alikuwa ni miongozi mwa viongozi wa jeshi. Nikamuona jinsi akiwa amening’inizwa mikono huu huku akiwa huchi. Nikamuona Simba na baba mkwe pamoja na walinzi wao wakiingai kwenye chumba hicho.

“Ulikuwa una fikiria nini kufanya uovu ulio kuwa umeupanga?”

“Najua uta nia ila huna sifa za kuwa raisi wa nchi hii”

“Hahahahahaha, una uhakika?”

“Asilimia mia moja huna sifa wala vigezo vya kuwa raisi”

“Okay basi wewe mwenye sifa leo hii nita kwenda kukuonyesha kitu kilicho wafanya wezako kupotea”

Raisi Simba aliznungumza huku akichukua kisu kidogo na akaanza kumchoma choma tumboni mzee huyu aliye lia kwa uchungu sana.2

“Nakufa kwa ajili ya nchi yangu”

Mwanajeshi huyu alizungumza kwa ukakamavu na uchungu wa hali ya juu na akaanza kuimba wimbo wa taifa ulio tufanya tujawe na hisia kali zilizo changanyika na hasira. Akaendelea kumchoma visu mzee huyo hadi ikamchana tumbo lake na utumbo wa mwanajeshi huyo umwagika chini.

“Kumekuwa na matikio meng ya kutisha kama hayo. Mtu ana weza kuficha tabia yake ila hawezi kuiacha na huyu ndio Simba ambaye badala ya kuwa hodari kwenye kukuza uchumi wa nchi amekuwa akiongoza kushusha uchumiw a nchi yetu.”

“Oneni”

Willy alizungumza huku picha kadhaa zikionyesha wananchi wakiwa wameshika mabango mengi yaliyo andikwa mrudisheni raisi Eddy. Willy akaingia kwenye mtandoa kwa Youtube na tukaona video nyingi zikiishutumu serikali iliyopo madarakani kuniua kwani hadi sasa serikali haija majibu juu ya kifo changu,

“Kwani kuna anaye jua kwamba nipo hai?”

“Hakuna hili eneo tulipo hakuna Sateleite inayo weza kukamata”

“Ila raisi nilizungumza naye kabla yaw ewe kuja kutuokoa kule India. Sasa kuna uwezekano wa wao kututafuta?”

“Ndio ila wana kutafuta ili wakuue na si wakurudishe nyumbani kama shujaa”

“Sasa tuna fanya nini?”

“Mimi nina wazo”

Willy alizungumza huku akitutazama.

“Kwenye uongozi wako, wananchi walitokea kukupenda sana ndio maana hata ulipo waletea raisi huyu mshenzi walikuamini na wakamchagua si kwasababu ya sera zake ni nzuri ni kwa sababu ni wewe ndio uliye sama. Hivyo wewe kama wewe una jukumu la kuhakkikisha kwamba wananchi wana kuamini. Una jua jaama ana kwenda kumaliza mwaka madarakani, sasa kama akimaliza madaraka ya miaka mitano niambie uchumi utakuwa wapi?”

“Duu tuta ning’inia”

“Kwa hiyo kaka. Tengeneza video clip wasihi sana wananchi kuwa upo hai?”

“Sio wazo zuri hilo”

Gody alizungumza.

“Kwa nini?”

“Kwa sababu wana wana mtafuta mkuu hapa ili wamuue sasa leo hii atoe clip ya kuwasihi wananchi huoni una wapa nafasi maadui ya kujipanga na kuongeza juhudi za kujua ni wapi alipo”

“Alicho zungumza Gody ni kweli na endapo kama Simba na mkwe wako leo hii wakifa, moja kwa moja dunia nzima ita jua kwamba muheshimiwa hapa amehusika na kifo hicho kama ata jitoa hadharani”

“Ina bidi nirudi Tanzania”

Nilizungumza na kuwafanya watu wote kustuka.

“Kwa nini?”

(X imefika tamati kwa facebook leo hii sehemu ya 145. Kwa anaye hitaji muendelezo hadi mwisho sehemu ya 155. OFA ya kuimaliza ni sh 1500. Uta ipata facebook inbox au whatsapp 0657072588. Malipo ni MPESA 0742334453 AZARIA MSULWA AU TIGOPESA 0657072588 AZARIA MSULWA. Karibuni sana)

“Ile ni nchi yangu na nina uchungu nayo. Leo wananchi wanapo pitia mateso ni lazima nifanye jambo juu yao”

“Usiendeshwe na hisia”

“Ila mzee mimi ndio chanzo cha haya matatizo kama ningekusikiliza kipindi kile nchi isinge fika huku?”

“Usijilamu kwa sababu walikuchezea akili na kutengeneza daraja la uadui kati yetu ila yote katika yote sisi pekee ndio tuna weza ku save haya mambo”

“Si una watu wa kuwaamini ndani ya ikulu?”

“Ndio”

“Nahitaji kuingia ndani ya ikulu kwa siri”

“Sidhani kama ni wazo zuri hilo Eddy.”

“Ila kaka kumbuka ulisema Albashir ndio mtu wa kwanza kudili naye mara baada ya kutoka mafunzoni”

“Ndio Willy nakumbuka?”

“Basi tuanze na huyu hii itakuwa ni salamu nzuri sana kwao baada ya kujua waliye mtuma amekufa”

Nikafikiria wazo la Willy na nikaona sawa.

“Wapelelezi wana wameona Albashiri yupo wapi kwa sasa?”

“Yupo Pakistani kwenye nyumba moja kwani toka ajulikane kwamba yupo hai hata Wamarekani wana muwinda”

“Nahitaji kuifahamu hiyo nymba”

Makamu wa raisi akampigia kijana wake aliyopo nchini Pakistani na akaanza kutupatia ushahidi wa video pamoj ana picha.

“Hiyo video nimeirekodi masaa mawili yaliyo pita”

Kijana huyo alizungumza huku tukitazama video alizo tutumia. Nikamuona Albashir ndani ya uzio wa nyumba hiyo.

“Tuna kuja Pakistani”

“Ni lazima muwe makini kama muanvyo fahamu nchi yetu”

“Ina bidi waingia kwa ndege ya kijeshi ambayo muta ruka hewani”

“Hewani?”

Willy aliuliza kwa mshangao kwa maana katika mazoezi aliyo kuwa hayapendi ni ya kuruka kutoka kwenye ndege na parachute.

“Ndio hatuwezi kuingia kwa ndege ya abiria kwani hii ni oparesheni ya kwenda kuua na sio oparesheni ya kwenda kupeleleza”

Makamu wa raisi alizungumza.

“Ina bidi tuondoke usiku huu”

“Sawa sawa, kama ni ndege ya jeshi ipo na ina uwezo wa kwenda masafa marefu.”

Baada ya kupanga mipango yote na ikakamilika. Tukafanyiwa sherehe fupi ya kurudi kutoka mazoezini na katikati ya sherehe nikawaeleza mama, Soudy na mke wangu juu ya kazi iliyopo mbele yetu.

“Jamani si mungekaa siku mbili hata tatu”

Mama alilalama.

“Najua mama ila lazima tuweze kufanya majukumu yaliyopo mbele yetu. Jambo la msingi ni nyinyi kutuombea kwa mwenyezi Mungu tuweze kukamilisha kazi yetu salama”

“Mmmm”

“Mama zoea tu, mimi nimeolewa na mwaajeshi, raisi hivyo kuna kazi huwa zina kuja galfa na nilazima azifanye. Nina waombe mukafanikiwe huko muendapo”

“Asante mke wnagu”

Baada ya sherehe hii tukaondoka na kuelekea katika kambi ya mafunzo tuliyo kuwa tunapata mafunzo. Tukachukua silaha na mavazi kwa ajili ya kazi hii. Baada ya maandalizi haya sisi wane tukaingia katika ndege kubwa ya jeshi na safari ikaanza huku Willy akiwa ndio jicho letu la tatu. Nikisema jicho la tatu nina maanisha mtu ambaye ana tusaidia kuweza kucheza na maswala ya satellite na mawasiliano na kijana aliyopo nchini Pakistani.

“Kaka”

Judy alizungumza huku akikaa pembeni yangu.

“Naam”

“Baada ya kumtoa huyu mshenzi madarakani nini kina fwata?”

Nikamtazama kwa sekunde kadhaa Judy.

“Hata sijui nita fanya nini?”

“Una onaje ukarudi madarakani?”

“Una Manisha nini?”

“Kama mkuu kule ata taka kuwa kiongozi, awe kiongizi basi muambie akuchague kuwa makamu wa raisi. Katika miaka kumi hiyo uta weza kutimiza umri wa kuwa raisi basi akisha stafu basi una kuwa makamu wa raisi wewe”

“Sina hamu ya kuwa kiongozi”

“Kwa nini?”

“Uongozi ni msalaba wa mateso. Kipindi cha miezi ile mitatu nilijuta kwa nini nimekuwa raisi. Yaani haya maisha yakipita basi nita hitaji kuishi maisha mazuri na familia yangu na nita achana na kila kitu”

“Mmmm”

“Ndio Judy na wewe ina bidi ukae na familia yako kwa sababu umesha kuwa mama”

“Ni kweli aisee. Ila hakuna kitu kizuri kwenye maisha kama kuwa mama”

“Ni kweli kwani hata mimi nilipo mpata Nadia akili ya maisha yalibadilika kwa asilimia fulani”

“Hapo umenikumbusha kitu”

“Kitu gani?”

“Una weza kweli kumuua mkwe wako?”

Swali la Judy likanifanya nikae kimya huku nikitafakari kama nikimuua na mke wangu akajua kwamba nime muua baba yake mzazi je ata nielewa kwamba alikuwa ni aduia na alihitaji mimi na mtoto wetu tufe.



MWISHO WA MSIMU WA KWANZA, ENDELEA KUFUATILIA SEASON 2


MWISHO


0 comments:

Post a Comment

BLOG