Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

AIISSII U KILL ME LEGACY SEHEMU YA 9/10

 


AIISSII U KILL ME LEGACY

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 9 KATI YA 10

 


Sikuhitaji Marieta afanye jambo la ajabu kwa dada huyu na isitoshe eneohili lina watu wengi sana ambao kwa namna moja ama nyingine wanaweza kuhatarisha maisha yetu. Nikamkimbiza Marieta na kufanikiwa kumkamata.

“Acha ujinga tazama hawa watu na kama wote wakijua kwamba tuna tafutwa, inaweza kuwa hatari kwetu”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimnong’oneza Marieta. Tukamshuhudia dada huyo akitomekea na kupotea kabisa katika mboni za macho yetu. Baada ya dakika kadhaa gari la Dany likafika katika eneo hili, tukavuka barabra upande wa pili na kuingia katika gari hili na kumkuta Jojo akiwa ndio dereva wa hili gari, tukaingia na kuondoka.

“Imekuwaje?”

Jojo aliuliza kwa shauku huku akiendelea kuendesha gari hili kwa umakini sana.

“Yaani wee acha tu”

“Unajua sisi sote tumejawa na mshangao mara baada ya kusikia kwamba munatafutwa na polisi, kitu ambacho hatukukitarajia”

“Ndio hivyo mambo yamekuwa si mambo. Ila tukifika nyumbani tutazungumza”

“Hapana Dany ametoa maagizo niwapeleke katika nyuma ya siri”

“Nyumba ya siri. Ipo wapi?”

“Kibiti”

“KIBITI!!?”

Marieta aliuliza kwa mshangao huku akimtazama Jojo usoni mwake.

“Wifi mbona umeshangaa kiasi hicho?”

“Hilo eneo si nina sikia kwamba sio salama kabisa kwa raia?”

“Hapana lipo poa tu, hakuna eneo jengine la nyinyi kwenda kuhifadhiwa kwa sasa zaidi ya huko. Hivi muna jua mume sababisha ajali ya ndege ambayo imeua watu zaidi ya mia na themanini?”

“Mmmm”

“Ndio ukweli huo wifi. Yaani hapa nchi kwa sasa imenuka, nchi kwa sasa ina msako hatari isitoshe huyu raisi mwana mama aliyopo madarakani hataki ujinga kabisa”

Jojo alizungumza kwa msisitizo. Tukafika katika mji huu wa kibiti na safari ikazidi kusonga mbele kuelekea porini.

“Huku porini kuna nyumba kweli?”

Nilimuuliza Jojo huku nikiendele kutazama tazama jinsi msitu huu ulivyo fungamana.

“Ndio ipo nyumba ambayo mutaishi nyinyi wawili hadi hali itakapo kuwa sawa”

“Haya”

Tukafika katia nyumba moja iliyo tengenezwa kwa mbao katika kuta zake. Tukashuka ndani ya gari na kuingia katika nyumba hii. Jojo akawasha taa ya sebleni na tukayaona mandhari ya hii nyumba ambayo ni mazuri kwa ndani.

“Nyumba ina vyumba viwili, seble moja, jiko, bafu na chumba kimoja ni master kinajitegemea kwa kila kitu”

Jojo alizungumza huku akivua gloves nyeusi alizo zivaa mikononi mwake. Akawasha tv kubwa iliyopo hapa sebleni na akatuweka katika chaneli ya taifa ambayo inaendelea kuonyesha jinsi vikosi mbalimbali vinavyo endelea kujitahidi katika kuokoa maisha ya watu walio pata ajali katika ndege hii. Marieta akaingia kwenye moja ya chumba na kutuacha mimi na Jojo hapa sebleni.

“Randy ni kitu gani kilicho tokea?”

Jojo aliniuliza kwa sauti ya chini huku akiwa karibu yangu. Nikaanza kumuadisia kila kitu kilicho tokea ndani ya ndege.

“Unataka kuniambia zile sindano alizo chomwa za usingizi hazijafanya kazi?”

“Ndio maana yake, yaani nina kuambia hapa nilipo hata sielewi ni kitu gani ambacho kina endelea kwa huyu mwanamke.”

“Mmmm najaribu kumtathimin kwa uwezo wangu wote wa akili ila nami nina shindwa kupata jawabu la uhakika”

“Ndio hivyo sister hapa nilipo hata mimi mwenyewe nina muogopa kwa maana nilmkuta amemng’ofoa jicho rubani, sasa sijui alikuwa anataka kulika au?”

“Mmmm chanzo cha matatizo ni yule mchungaji?”

“Kwanza yupo hai bado?”

“Yupo ICU, anayapigania maisha yake. Sijui ni kitu gani ambacho kilimtuma hadi akaamua kumfanyia maombi huyu wifi yangu”

“Unataka kuniambia kwamba yale mashetani ambayo alikuwa anaombewa ili yatoke bado yapo mwilini mwake.?”

“Yaani hata sielewi, sijui ni mashetani, sijui ni nini, yaani hapa nina jihisi kuchoka kwa kweli mdogo wangu”

Marieta akatoka katika chumba hicho huku akiwa amevalia siridia pamoja na chupi tu. Mimi na Jojo tukabaki tukiwa tunamtazama, akajitupa kwenye moja ya sofa huku akitutazama kwa tabasamu pana.

“Wifi”

“Beee”

“Upo sawa?”

Jojo alimuuliza Marieta huku akimtazama usoni mwake.

“Ndio nipo sawa”

“Kweli?”

“Ndio, kwa nini una niuliza hivyo wifi au huniamini?”

“Nina kuamini wifi yangu”

Marieta hakuonyesha dalili yoyote ya kuumwa wala kuchanganyikiwa.

“Wifi hivi humu ndani hakuna chakula?”

“Kipo nenda kwenye friji kuna kila kitu”

“Sawa”

Marieta akaondoka sebleni hapa hukua kiyatingisha makalio yake makubwa kiasi.

“Baba yupo wapi?”

“Nimemuacha hotelini na Yemi pamoja na bi Jane pamoja na mwanao”

“Mama amerudi na yeye?”

“Ndio amerudi na wote bado wanajiuliza ni kitu gani ambacho kimetokea.

“Sawa ngoja niangalie ni kitu gani ambacho kinaweza kutokea kwa wifi yako”

“Njoo nikuonyeshe kitu”

Jojo alizungumza huku tukingia katika chumba ambacho ni master room. Akafunga kabati hili la nguo, akazisogeza pembeni baadhi ya nguo zilizo ning’inizwa katika hili kabati na nikaona mlango mwengine nyuma ya kabati. Mlango huu una batani kadhaa, akaingiza namba za siri kwa kuziminya minya batani hizo na ukafunguka. Katika kabati hili la siri kuna vibunda vya pesa za kimarekani vikiwa vimepangwa vizuri huku kukiwa na bastola zipatazo sita pamoja na magazine nyingi zilizo jaa risasi.

“Silaha na pesa vipo hapa. Sisi hatuto kuwa tunakuja mara kwa mara kwa maana na sisi nilazima tutaingia katika uchunguzi wa kuchunguzwa”

“Ahaa…sawa sawa”

“Kuna jambo jengine la ziada?”

“Simu”

Jojo akatoa simu ndogo ya kufunua na kunikabidhi.

“Hizi nguo ni za nani?”

“Dan, pia zipo nguo zangu katika kile chumba kingine. Wifi anaweza kuzitumia katika kuvaa”

“Sawa sawa”

Tukatoka chumbani hapa, harufu nzuri ya chakula ikatufanya sote tuelekee jikoni na kumkuta Marieta akikaanga maini.

“Wifi uatuumiza pua zetu kwa mapishi yako”

“Hahaa hamna bwana wifi mbona hapa sijapika”

“Mmm”

“Kweli hapa sijapika ila nikianza kupika wewe mwenyewe utafurahi”

“Haya, jamani muda umekwenda, ngojeni mim niwaache ila hakikisheni kwamba hamtoki ndani pasipo ratiba ya kueleweka”

“Sawa sawa sister”

Jojo akaondoka na kutuacha sisi wawili. Nikakaa sebleni na kuanza kufwatila taarifa hii ya habari. Picha yangu na picha ya Marieta zinaendelea kutangazwa na huku dau la mtu ambaye atafanikisha kukamatwa kwetu basi atapewa dola za kimarekani laki tano ambayo ni sawa na bilioni moja ya Kitanzania. Marieta akaweka sahani ya chakula mezani kisha akarudi jikoni. Baada ya muda akarudi akiwa amebeba jagi la juisi.

“Karibu chakula mume wangu”

“Asante”

Tukapata chakula cha usiku. Mariata taratibu akaanza kunipapasa paja langu la upande wa kulia. Hakuishia hapo, akausogeza mkono eneo la jogoo wangu na kuanza kupapasa taratibu.

“Mmmm”

“Nina hamu na wewe mume wangu”

“Kweli?”

Marieta hakunijibu zaidi ya kufungua kifungo cha suruali yangu, akafungua zipu kisha na kumtoa jogoo wangu ambaye tayari alisha anza kusimama wima. Akachuchumaa mbele yangu na kuanza kumnyonya taratibu huku akijiminya minya mawaziwa yake. Japo Marieta hayupo katika mwili wake ule wa kunono ambao niliuzoea, ila hata huu mwili wake wa kukonda una leta hamasa kubwa ya kimapenzi kwangu. Nikafungua vifungo vya shati na kulivua kabisa. Nikasimama wima na Marieta akanisaidia kuvua suruali yangu na nikabaki kama nilivyo zaliwa.

Nikamlaza Marieta kwenye sofa na kuitanua miguu yake, nikafungua mikanda ya bikini yake kisha nikaanza kumnyonya kitumbua chake.

“Ohoo…ohoo aiis..ii..a…aaaoohoo…”

Marieta alilalama huku akiendelea kuyaminya minya maziwa yake.

“Ha..ha..hpo…hapo….Ra…..”

Marieta aliendelea kuzungumza kwa hisia kali sana. Nilipo jiridhisha na kumuandaa kwangu, tartaibu nikamzamisha jogoo wangu katika kitumbua chake na kukutana na joto kali sana ambalo likazidi kunipa hamsa na utamu wa kuendelea kutafuna kitumbua chake.

“Fuc**me hard baby”

Marieta alilalama huku akinishika kiuno changu kwa nguvu. Nikaendelea kumshuhulikia Marieta kwa kasi ambayo sijawahi kumfanya mwanamke wa aina yoyote. Bingilingili hizi za kwenye sofa zikazidi kunoga hadi tukajikuta tukianguka chini, ila hapakuwa na mtu ambaye alithubutu kumuachia mwezake. Nikamnyanyua Marieta huku nikisimama wima. Kwanguvu zangu nilizo barikiwa, sikushindwa kuendelea kumpatia Marieta haki anayo stahili huku nikiwa nimebaba. Matanange huu, haukuishia hapa sebleni, hukahamia chumbani katika kitanda cha tano kwa sita, tukaendelea kupeana haki inayo stahili hadi sote tukafika tamani huku kila mmoja akiwa na furaha kubwa sana .

“Haaa…nili mis penzi lako mume wangu”

Marieta alizungumza hukua akihema sana.

“Kweli?”

“Ndio mume wangu, yaani hapa umenikuna sehemu ambayo daa ni wewe tu ndio unaweza kunikuna”

“Hahahaa haya bwana. Ehee niambie ni kitu gani ambacho kina endelea katika mwili wako?”

Marieta akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akanyanyuka kifuani mwangu na kukaa kitako huku akinitazama usoni mwangu.

“Hata mimi sijui Randy. Kuna wakati huwa moyoni mwangu nina jihisi chuku, ninatamani kuua. Ninatamani kuhakikisha kwamba ninafanya jambo baya la kumdhuru hata binadamu na nikisha fanya hivyo basi roho yangu hunitulia kabisa.

“Mmmmm na huhisi kuumwa?”

“Hapana sihisi kuumwa tena ni tofauti kabisa na nilivyo lazwa hospitalini siku ile”

“Una uhakika?”

“Ndio nina uhakika mume wangu. Yaani hapa nipo safi kabisa.”

“Una kumbuka jambo lolote la maisha ya nyuma?”

“Ndio ninamkumbuka mwanangu, nina kumbuka kila jambo alilo nifanyia mama mkwe. Nakumbuka familia yangu jinsi alivyo iangamamiza katika kifo kibaya sana”

Marieta alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Gafla nikanaanza kuiona mishipa ya damu ya Marieta ikijichora vizuri mwilini mwake. Macho yake yakaanza kubadilika na mboni yake yeusi ikapotea kabisa na kuwa ya kijani mithili ya paka. Woga mwingi ukanitawala, nikatamani kushuka kitandani ila akanishika mkono wangu kwa nguvu na kuubana na vidole vyake.

“Usiniogope mume wangu”

Marieta alizungumza kwa sauti ya upole sana tofauti na hata sauti anayo itumia katika kuzungumza akiwa katika hali ya kawaida.

“Randy”

“Mmmm”

“Unaweza kuishi na mimi nikiwa katika hali kama hii?”

Nikatingisha kichwa nikimaanisha kwamba nimekubali.

“Kweli?”

“Ndio”

Nilijibu kwa kujikaza tu ila kama binadamu wa kawaida, hakika ni lazima niweze kuogopa kwani haya ninayo yaona ni maajabu mengine.

“Nakupenda mume wangu Randy. Sinto kuacha hakika. Nitakulinda na nitakuheshimu na kukujali ila ninaombi moja kwako”

“Niombe tu”

“Nahitaji kumuua mama yako. Naomba nimuue mama yako ili hii hali inayo endelea moyoni mwangu iweze kutulia kwani yeye ndio chanzo kikubwa cha kuyaharibu maisha yangu na kuwa hivi”

Ombi hili la Marieta likaniacha njia panda, nikabaki kinywa wazi na ninashindwa sijui ni mjibu nini, kwani hata kama mama yangu ametenda mambo mengi mauvo ila ana nafasi kubwa sana kwenye maisha yangu kwani bila ya yeye kunibeba tumboni mwake, leo hii nisinge kuwepo duniani.



“Sawa”

Nilijibu kwa unyonge sana huku nikimtaza Marieta usoni mwake. Tartaibu Marieta akaanza kurudi katika hali yake ya kawaida jambo ambalo linanifanya nizidi kushangaa. Marieta akashuka kitandani na kuingia bafuni na kuniacha hapa kitandani.

“Randy”

“Mmmm”

“Njoo tuoge”

Nikajishauri kwa sekunde kadhaa kisha nami nikaingia bafuni na tukaoga kwa pamoja.

***

Siku zikazidi kusonga mbele huku tukizidi kufwatilia habari juu ya kusakwa kwetu.

“Randy hivi tutaendelea kukaa humu ndani hadi lini?”

“Kwa nini unazungumza hivyo mpenzi wangu”

“Nimechoka na nina hamu ya kumuona mwanangu. Kila nikizungumza na dada yako amekuwa ni mtu wa kuniambia kesho kesho, naona hazifiki. Ndio nini”

“Ila Marieta kumbuka kwamba vikosi vya nchi mbalimbali vinaendelea kutusaka. Kila sehemu kuna chaking point tuwe wavumulivu”

“Siwezi kuendelea kuwa mvumilivu ikiwa ninataka kumuona mwanangu”

Marieta alizungumza kwa msisitizo huku akiwa amevalia suruali ya jinsi pamoja na tisheti, akiwa amejiandaa kuondoka eneo hili.

“Basi acha niwasiliane na Jojo aweze kumleta mtoto huku”

“Randy nimechoka hizo porojo zako wewe na dada yako. Hembu niambie ni mara ngapi umezungumza naye ni mara ngapi umekuwa mtu wa kutoa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu”

Nikakumbuka siku mbili zilizo pita jinsi Jojo alivyo ahidi kwamba atatuletea mtoto wetu na bahati mbaya hakuweza kutimiza ahadi yake.

“So sasa hivi unataka kwenda jijini Dar es Salaam?”

“Ndio”

“Kwa miguu?”

“ Vyoyote ili mradi niweze kufika sehemu alipo mwanangu. Siwezi kukubali kuendelea kuvumilia, ikiwa hata picha ya mtoto wangu situmiwi.”

“Poa nenda”

Nilizungumza huku nikitoka chumbani humu na kumuacha Marieta peke yake. Nikatoka nje ya nyumba hii na kuanza kuangalia mandhari ya eneo hili jinsi ilivyo zungukwa na miti mingi. Marieta akatoka ndani huku akiwa amevalia wigi jeusi pamoja na miwani nyeusi. Kichwani mwake amejitanda mtandio ulio ziacha nywele zake hizo za wigi nje kidogo. Miguuni amevaa raba za mazoezi huku mkononi mwake akiwa ameshika kipochi cheusi.

“Naondoka”

“Sawa”

Marieta akaanza kutembea katika barabara hii nyembaba iliyo nyooka. Akafika umbali fulani akasimama na kugeuka nyuma na kunitazama kwa sekunde kadhaa. Akapiga hatua mbili mbele kisha akaanza kurudi nilipo.

“Ina maana wewe huna uchungu na mtoto wetu”

“Uchunbu wa nini sasa, kwani yupo katika mikono ambayo sio salama?”

“Ila nina hamu naye?”

“Tutafute mwengine”

“Mwengine!!”

“Mbona una shangaa, kwani sina haki ya kukuambia kwamba nina hitaji mtoto kutoka kwako?”

“Mmmm”

Marieta akaka pembeni yangu. Akanishika mkono wangu wa kulia na kuuweka mapajani mwangu.

“Muda wa kuongeza mtoto mwengine bado”

“Kwa nini?”

“Wewe huoni hizi ngija ngija ambazo tunakutana nazo hapa”

“Sasa hizi ndio zinaweza kutufanya tusipate mtoto mwengine?”

“Ndio”

Nikamtaka kuzumgumza jambo ila nikanyamaza huku masikio yangu yakianza kufanya kazi ya kusikiliza kwa hisia kali mlio nilio usikia ukitokea nyuma yetu msituni.

“Shiii…nenda ndani”

Nilimuambia Marieta kwa sauti ya chini sana, kwa haraka tukasimama na sote tukaingia ndani. Tukafunga mlango kwa ndani. Nikaelekea chumbani na kufungua kabati la nguo. Nikafungua mlango wa kabati la siri kisha nikaanza kutoa bastola hizi. Marieta akaingia ndani humu na nikamkabidhi bastola mbili na magazine nne.

“Chuku hilo jaketi la kuzuia risasi”

Nilimuambia Marieta huku nikimuonyesha jaketi hilo, nililo lining’iniza ukutani. Marieta akalichukua na kulivaa kwa haraka.

Nikachukau bastola nne, mbil nikazichomeka kiunoni na mbili nikazishika mkononi. Tukarudi sebleni ambapo nikakuta Marieta amefunga mapazia yote. Nikasimama pembeni ya dirisha moja la upande ambao nilihisi sauti ambayo sikuweza kuielewa. Nikawaona wanajeshi walio valia mavazi ya kundi la Al-quida wakiendelea kuizunguka hii nyumba yetu.

“Fuc**”

“Ni kina nani?”

Marieta alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Tumwevamiwa”

“Na kina nani?”

“Wanajeshi wa kundi la Al-quida”

“Washenzi hawa nina hasira nao. Waliungana na mama yako”

“Sijui ila tuangalie ni jinsi gani tunaweza kutoka hapa”

Nilizungumza huku nikitoa simu yangu mfukoni, nikazitafuta namba ya Jojo kisha nikampigia. Jambo la kushangaza sikuweza kupata mawasiliano naye.

“RANDYYYYY…..RANDYYYYYY”

Niliisikia sauti ya Farida akiniita jambo lililo nifanya mapigo yangu ya moyo kuzidi kunienda kasi sana.

“Huja nimiss Randy”

“Hiyo sauti kama nina ifahamu”

Marieta alizungumza huku akisogea hapa dirishani na kuchungulia nje. Akaachia msunyo mkali sana mara baada ya kumuona Farida akiwa amesimama huku mbele yake wakiwa wamesimama wanajeshi wake wa kike wanne na mitutu yao ya bunduki wameielekezea ndani humu.

“Toka basi mpenzi wangu tuzungumze. Ni miaka kadhaa sasa nimekuwa nikikutafuta bila ya mafanikio. Ila leo thanks God nimeweza kukupata”

“Nitamuua huyu mshenzi”

Marieta alizungumza kwa hasira huku akikoko moja ya bastola.

“Usifanya hivyo kwanza, wapo wengi. Inabidi tuweze kuhakikisha kwamba tunatoka hapa salama au wewe unatoka hapa salama”

“Mimi peke yangu?”

“Ndo, kumbuma tuna mtoto hivyo ni muhimu sana kwa wewe kuhakikisha usalama wa mwanangu unakuwa mikononi mwako”

”Randy siwezi kutoka humu ndani na ukuacha wewe peke yako”

“Nisikilize mimi Marieta, nahitaji wewe na mwanangu muweze kuwa salama”

Marieta hakutaka hata kujishauri mara mbili. Akaanza kufyatua risasi kadhaa kuelekea alipo Farida na akafanikiwa kuwaua walinzi wake wawili huku walinzi wengine wakimtoa Farida eneo hili. Mashambulizi ya risasi yakaanza kunawiri kuelekea katika nyumba yetu huu. Vioo vya madirishani vyote vikaanza kuvunjka, kwa uzuri mbao zilizo tengenezea hii nyumba ni ngumu kiasi cha kuzifanya risasi za wanajeshi wa Al-quida kuvunja tu vioo vya madirishani.

“Umefanya nini mke wangu”

“Nini, wewe ulitaka nimuache aendele kujinadi hapa si ndio?”

“Hapana ila ona jinsi tunavyo shambuliwa”

“Wewe ni mwanaume pambana au unamuogopa huyo kimada wako”

Marieta alizungumza kwa ukali huku naye akianza kujibu mashambulizi hayo ya risasi kwa kupitia hapa dirishani.Nikaanza kulitazama eneo hili la hapa sebleni, nikaisogeza hii meza iliyopo katikati ya sebleni, nikasogeza zulia lililo funika eneohili la sebleni na kwa bahati nzuri nikafanikiwa kuona sehemu yenye mfuniko ulio fungwa kwa kufuli. Nikalivunja kufuli hili kwa kulipiga risasi.

“Vipi?”

Marieta aliniuliza huku akinitazama. Sikumjibu chochote hadi nilipo fanikiwa kufunua mfukoni huu mgumu. Nikashuhudia ngazi zinazo shuka chini, japo eneo hili la chini lina giza kiasi. Nikawasha tochi iliyopo kwenye simu yangu na kuendelea kumulika ndani humu.

“Kuna ngaz za kushuka eneo hili”

“Zipo wapi?”

Marieta akanifwata eneo hili na yeye kuchungulia humu.

“Kuna kitu chochote ambacho unahitaji kukichukua humu ndani?”

“Ehee?”

“Kachukue kitu chochote unacho hitaji kuchukua humu ndani tuondoke”

“Wee pesa”

Marieta alizungumza huku akikimbilia katika chumba tunacho lala. Baada ya dakika kama tatu akatoka akiwa amebeba begi jeusi mgongoni mwake.

“Umechukua pesa zote”

“Ndio”

“Anza kushuka, nahitaji kuilipua hii nyumba”

“Yote”

“Ndio au kuna kitu kingine ambacho ujakichukua?”

Marieta akaanza kujifikiria kwa sekunde kadha kisha akaelekea jikoni na alipo rudi mkononi mwake akawa ameshika tochi moja kubwa ambayo inatumia umeme kuchajiwa. Risasi zinazidi kurindima katika nyumba yetu.

“Ina chaji ya kutosha?”

“Ndio”

“Haya ingia, usifunge mfuniko huu”

Mrieta akatii kile nilicho muelea. Kwaharaka nikaingia jikoni nikaibeba mitungi miwili ya gesi na kurudi nayo sebleni na kuiweka katika kona moja. Nikaifungua mitungi hii na ikaanza kumwaga gesi nyingi, nikaanza kushuka kwenye ngazi nilipo fika kiwango cha kifuani. Nikaishika bastola yangu vizuri na kuanza kupiga mitungi hii risasi kadhaa na ikalipuka jambo lililo nifanya nianze kuburuzika katoka ngazi hizi za chumba hadi nikaanguka chini.

“Baby upo salama”

Marieta alizungumza huku akininnyanyua.

“Ndio nipo salama. Umeona njia?”

Marieta akanijibu kwa kumulika kwa tochi yake eneo tunalo paswa kupita. Tukaanza kuifwata njia hii iliyo chongwa chini ya ardhi huku nyuma tukiacha milipuko kadhaa ikiendelea kurindima.

“Nani ameichonga njia hii?”

Marieata aliniuliza huku akiwa ametangulia mbele.

“Hata sikujui mpenzi wangu, wewe twende tutajua mbele ya safari huko”

Tukazidi kutembea katika njia hii ambayo kuna baadhi ya eneo imepita katika miamba mikubwa ya mawe. Tukatokelezea katika eneo lenye kichaka kilicho zungukwa na nyasi nyingi. Nikachomoa bastola yangu moja na kulitazama eneo hili vizuri kwa maana bado ni porini.

“Hee hapa tunaelekea wapi mume wangu”

“Ngoja kwanza niangalie”

Kwa mbali tukaanza kuisikia mingurumo ya magari ikipita.

“Huku ndio kuna barabara”

“Yasije yakawa magari ya wale wana tutafuta”

“Hapana milo hiyo ni ya tofauti tofauti sana kwa maana kuna malori, mabasi na gari ndogo wewe sikilizia vizuri hiyo milio”

Nilizungumza huku nikimfanya Mareta naye kuweka umakini katika minguromo ya magari hayo. Tulipo ridhika kwamba eneo hilo japo ni hatari kwa kukamatwa kwetu, la kunaweza kuwa na unafuu, tukaanza kutembea kufwata milio hiyo. Tukatumia zaidi ya dakika hamsini na kufanikiwa kufika katika barabara hii iliyopo chini kabisa mwa mlima huu tulio tokea.

“Una idea yoyote hapa tumetokea wapi?”

Marieta aliniuliza huku tukiendelea kutazama magari haya yanayo pita kwa kasi sana katika barabara hii iliyo nyooka sana bila ya kuwa na kona za hapa na pale.

“Mmmmm sijajua ni wapi?”

“Tunafanyeje sasa mume wangu”

“Tuteke moja ya gari”

“Baada ya kuliteka tunakwenda wapi ikiwa sehemu hii tulipo si mimi wala wewe, hatuijui”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikiendela kuwa makini sana kwa kutazama baadhi ya mabasi yanayo endelea kukatiza jioni hii kwa kasi sana. Gafla tukiwa hapa tukaanza kuona gari nyingi za polisi zikija katika eneo hili kwa kasi kubwa na zilivyo fika katika usawa wa mlima huu zikasimama na askari wengi wakashuka kwenye magari yao na kuanza kupandisha kwenye mlima huu na kuanza kuja katika eneo hili jambo lililo zidi kutufanya tushangae sana kwani hatujui wamefahamu fahamu vipi kwamba sisi tupo kwenye kilima hichi ambacho kimezungukwa na miti mingi mirefu.



“Tuondoke”

Nilizungumza kwa haraka huku nikimshika Marieta mkono na tukaanza kurudi tulipo toka huku tukikimbia kwa mwendo wa kasi sana. Katika kukimbia tukafanikiwa kupotezana na askari hawa ambao walikuwa wakija katika kilima hichi.

“Nimechoka mume wangu”

Marieta alizungumza huku akiinama chini na mikono yake yote miwili ikishika magotini. Sikumjibu chochote zaidi ya kulichunguza eneo hili kama lina usalama au laa. Nikaona moshi mchache ukitokea eneo la mashariki mwa eneo hili tulilopo.

“Angalia”

Nilizungumza huku nikimuonyesha Marieta aneoe hilo linalo fuka moshi.

“Kutakuwa na watu hapo”

“Nahisi hembu twende tukaangalie”

Marieta akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akasimama. Tukaanza kukimbia tena hadi tukafanikiwa kufika karibu na eneo hili ambalo tukakuta kundi la wanaume kama nane hivi wakiwa wakataka mbao kwa kutumia misumeno mikubwa sana huku dada mmoja akisonga ugali kwenye moja ya sufuria kubwa.

“Hawa ni wezi wa mbao”

Marieta alizungumza huku tukiendelea kulitazama eneo hili vizuri. Tukaona moja ya lori likiwa katika eneo hil.

“Yaa kwa maana hata kukata kwao mbao ni kimya kimya. Kama wangekuwa na kibali wangetumia zile mashine za mafuta”

“Ni kweli mume wangu”

Tukiwa katika kujadiliana hapa tukaona lori moja ana ya scani likifika eneo hili. Lori hili likafimama na wakashuka watu watatu huku mmoja akiwa ni mzee kiasi huku akitembea kwa msaada wa mkongojo alio ushika. Wanaume wawili wakaacha kukata mbao na wakawasogelea wageni hao walio weza kufika katika eneo hilo.

Kwaumbali tulipo mimi na Marieta ni ngumu sana kwa sisi kuweza kusikia mazungumzo yao.

“Mume wangu unaonaje tukatumia hilo lori lao kuondoka eneo hili”

“Ila hatufahamu tupo wapi mke wangu”

“Kipi ni bora, kuendelea kuishi hapa msituni au kuondoka na kwenda pasipo julikana?”

“Mmmmm sawa nimekuelewa”

“Hapa njia ya kupita ni hii hapa, hawatu tupna kiurahisi. Tutakotea nyuma ya hili lori”

“Ngoja kwanza tuangalie hadi mwisho mazungumzo yao yanaishia wap…….”

Gafla hata kabla sijamaliza kuizungumza sentensi yangu, vijana wawili wa huyu mzee wakatoa bastola zao na kuanza kuwashambulia wakata mbao hawa. Ndani ya muda mchache saha wakawa wameshawaua wote na amesalia dada anaye pika ugali.

“What the hell……!!”

Marieta alizungumza huku sote tukiwa tumejawa na mshangao kwani hatukutarajia kuona jambo kama hili. Mzee akawaamrisha vijana wake kuanza kubeba mbao hizo na kuziingiza kwenye gari.

“Mume wangu huyu mzee atamuua yule dada”

Marieta alizungumza hukua akichomoa bastola yake moja. Nikamshuhudia mzee huyu akiwa amemuelekezea dada huyo bastola ya kichwani. Kama jinsi Marieta alivyo pendekeza wazo lake la mara ya kwanza ndivyo jinsi tulivyo anza kufanya. Tukakimbia kwa kasi hadi katika lori hilo na kujibanza pasipo watu hao kuweza kutuona. Nikampa ishara Marieta ya kuhakikisha kwamba ana mdhibiti mzee huyu huku mimi nikihakikisha kwamba nina waangamiza vijana wake walio elekea eneo zilipo mbao. Nikachomoa bastola yangu na kuiweka tayari, sikutaka kuendelea kujishauri katika kukamilisha tukio hili. Kwa haraka nikaanza kufyatua risasi zilizo elekea walipo vijana wa mzee huyo na shabaha yangu hakuweza kufanya kosa kwani risasi hizi sita nilzo zifyatua ziliweza kuwaua vijana hawa hapo hapo. Nikamshuhudia Marita akiwa amempiga mzee huyo risasi zamiguu na dada ambaye anaendelea kupika ugali yupo chini akiendelea kulia kwa woga.

“Vipi?”

Nilimuuliza Marieta huku nikimtazama usoni mwake.

“Nimuue?”

Nikamtazama mzee huyu kisha nikampiga risasi kadhaa za kifuani na akapoteza maisha hapa hapa.

“Mchukue huyo dada umuingize kwenye gari”

“Sawa”

Marieta akafanya nilivyo muagiza nikamgakua mzee huyu mifukoni mwake na kutoa simu yake pamoja na kiasi cha pesa. Nikiwa katika harakati za kuelekea kwenye gari nikaona kundi la askari likija eneo hili huku likifwatua risasi kadhaa. Marieta akawasha gari hili huku mimi nikikimbilia eneo lilipo hili lori. Nikaingia ndani ya lori hili na Marieta akaanza kuliondoa eneo ili kwa mwendo wa kasi huku tukiwaacha askari wakilifukuzia kwa miguu huku wakiendelea kufyatua risasi.

“Vipi hujaumia?”

Marieta aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu”

“Hapana”

Nikageuka nyuma na kumtazama huyu dada aliye kaa eneo lenye kiji kitanda kidogo katika lori hili. Safari ikazidi kusonga mbele huku tukifwata njia hii ya hapa porini.

“Ngoja kwanza”

“Unataka kufanyaje?”

Marieta alizungumza huku akinishangaa ninavyo toka kwenye kioo cha pemeni yangu. Huku gari likizidi kusonga mbele, taratibu nikaanza kupanda juu ya hili lori, japo ni jambo la hatari ila ni lazima nitekeleze kile nincho kifikiria. Kwaumakini wa hali ya juu nikashuka eneo la katikati ambalo limeunganisha kichwa cha lori hili pamoja na kontena moja lililopo nyuma. Nikaanza kuchomoa nyanya nene na nzito zilioz unganisha kichwa na kontena. Nipo fanikiwa kuchoma zote, nikajitahidi kwa nguvu zangu zote kuchomoa kishikizi cha kintena hilo na nikafanikiwa kulitengenisha kontena pamoja lori lake. Umakini nilio utumia katika kushuka eneo hili ndio umakini nilio utumia katika kurudi ndani ya gari.

“Wewe ni kichaa”

Marieta alizungumza kwa hasira.

“Kwa nini?”

“Kwa nini usiniambie kwamba unakwenda kutoa hilo kontena na nikasimamisha gari”

“Wewe nyuma hujui tumewaacha kina nani?”

“Hata kama ila haya ni maisha mume wangu”

“Hata kama ni maisha ila imenibidi kufanya hivyo. Pia itakuwa ni njia rahisi kuhakikisha kwamba hatukamatwi”

Nilizungumza na kumfanya Marieta kuachia msunyo mkali huku akiendelea kuendesha kichwa hichi cha lori kwa umakini sana.

“Unaitwa nani dada?”

Nilizungumza huku nikimtazama dada huyu usoni mwake. Jinsi alivyo tawaliwa kwa woga dada huyu alishindwa kanijibu swali langu.

“Sisi ni watu salama na hatuna madhara kwako. Tumekuokoa ili mradi kuhakikisa kwamba unakuwa salama. Tulishuhudia sijui ni rafiki zako wakiwawa kwa kupigwa risasi. Umenielewa?”

Dada huyu akanijibu kwa kutingisha kichwa tu. Safari ikazidi kusonga mbele na tukatokea katika barabara ya lami.

“Tunaelekea wapi mume wangu?”

Marieta aliniuliza huku akiwa amesimamisha lori hili katika barabara hii ya vumbi inato tokea msituni.

“Ngoja kwanza”

Nikatazama salio katika simu ya mzee huyu na kukuta ikiwa na salio la kutosha. Nikaingiza namba ya Professa kisha nikampigia, simu ya Professa ikaanza kuitana baada ya muda ikapokelewa.

“Haloo”

“Randy”

“Ndio professa habari yako”

“Sio salama kabisa kwa maana tuna hofu kubwa mimi na Jane hapa. Upo salama lakini?”

“Ndio”

“Sasa fanya hivi kama una simu yako uliyo pewa na Jojo hembu itupe kwa maana signal yake imevuja na imepatwa na polisi, popote utakapo kwenda ni lazima watawafwata”

“Ahaa sasa hapa ndio nina pata picha”

Nilizungumza huku nikitoa simu yangu mfukoni, kwa bahati nzuri nikakuta imezimika chaji.

“Imezima chaji kwa sasa ila nina omba unipatie msaada wako. Hapa tulipo hatufaamu ni wapi tulipo, nina omba uweze kutupatia maelekezo”

“Sawa sekunde kadhaa”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikiitazama simu hii. Nikaifungua kioo taratibu kisha nikaitupa nje.

“Hapo mulipo bado mupo Kibiti. Unataka kwenda wapi?”

“Tunataka kurudu Dar es Salaam”

“Sasa nenda upande wa kulia kwetu nyoosheni hiyo barabara moja kwa moja mutakuna na vibao vitakavyo waelekeza ni wapi kwa kuelekea”

“Asante sana Professa, vipi Jojo na baba wapo wapi?”

“Ni stori ndefu kidogo ila ukifanikiwa kufika hapa nyumbani kwangu salama nitakuadisia kila jambo”

“Professa naomba uniambie japo kidogo niweze kufahamu”

“Nitakuambia ukifika wala usijali, wewe hakikisha kwamba una fika hapa nyumbani kwangu salama”

Nikakata simu huku mapigo ya moyo yakiniaenda kasi sana. Wasiwasi juu ya familia yangu ukaanza kunitawala.

“Vipi?”

“Twende huku”

Nilimjibu Marieta kwa sauti iliyo jaami mitetemesho ya woga, jambo ambalo nina imani kwamba Marieta lazima ahisi kuna tatizo, akanitazama kwa jicho la kuiba kisha tartaibu akaliingiza gari barabarani na tukaianza safari ya kuondoka eneo hili kwa mwendo wa taratibu.

“Munataka njia salama ya kuelekea jijini Dar es Salaam”

Dada huyu alizungumza na kunifanya nimgeukie na kumtazama usoni mwake.

“Ndio”

“Kuna njia ya kuzunguka ila ni ya porini ila ina usalama kwenu kwa maana nina zifamu sura zenu, zimeenea kila sehemu na munatafutwa na polisi. Hivyo mukitembea na barabara hii ya lami kuna uwezekano mkubwa sana wa nyinyi kukamatwa”

Maneno ya dada huyu yakamfanya Marieta kupunguza mwendo wa gari taratibu kisha akalisimamisha pembeni na kumtazama.

“Wewe ni nani?”

Marieta alimtazama huku akimkazia macho.

“Mimi ni raia tu wa kawaida, ila kwa msaada mulio nipatia hivyo nami nina omba niwapatie huo msaa wa kuwapitisha barabara hiyo pasipo kustukiwa wala kukamatwa na polisi”

Tukatazamana na Marieta kwa sekunde kadhaa kisha tukakubaliana na dada huyu atuelekeze ni njia gani ambayo tunaweza kufika jijini Dar es Salaam salama salimini bila ya kuingia mikononi mwa polisi



Dada huyu akaanza kutuelekeza njia ya porinia mbayo kwa bahati nzuri gari linapita bila ya matatizo ya aina yoyote.

“Unaitwa nani”

“Ummy”

“Okay Ummy wewe ni mwenyeji wa maeneo haya?”

“Ndio pale katika wale watu walio uwawa, kuna binamu yangu, tulikuwa tunafanya kazi ya kukata mbao kwa siri huku misituni na wezake huku mimi nikiwa ndio mpishi wao”

“Ahaa”

“Yaa na hii njia tulikuwa tujapitisha mbao hizo kwa siri na kuzipelekea jijini Dar es Salaam na katika kupita sikuzote katika hii njia hakuna mtu ambaye aliweza kutukamata”

“Ahaa sawa sawa. Ila imekuwaje rafiki zako wameuwawa na yule mzee?”

“Hata mimi sifahamu, kwanza yule ndio mteja mpya sijawahi kumuona hapo awali. Ila pia nina shukuru kwa kuyaokoa maisha yangu”

“Usijali”

“Ummy tunatumia muda gani kufika jijini Dar es Salaam?”

Marieta aliuliza huku akiendelea kuongeza mwendo wa hili gari.

“Kwa njia hii tutatumia masaa kama saba hivi kufika Dar kwa maana hii una zunguka sana ila ni salama”

“Sawa”

“Ila nyinyi ni watu wema kwa nini munatafutwa?”

Swali la Ummy likatufanya tutazamane na Marieta kisha nikamtazama vizuri usoni mwake.

“Ni story ndefu ila kama umefahamu sisi ni watu wema basi nina kuomba uamini tu sisi ni watu wema hatujafanya kasa la aina yoyote zaidi ya kubambikiwa kesi”

“Haya”

Ummy akaendelea kutuelekeza njia hiyo hadi tukafanikiwa kufika jijini Dar es Salaama majira ya saa tisa usiku. Ummy akatuomba tuweze kuelekea nyumbani kwake ili azidi kutupatia msaada zaidi.

“Ila msaada ulo tupatia unatosha kabisa”

“Natambua kabisa, ila usiku huu ni hatari kwa hili jiji ukiwa unatembea na gari kama hilo kubwa ni lazima ulinzi uwe umeimarishwa kila sehemu ila asubuhi na mapema au muda wa mchana. Muna weza kutembea bila tatizo la aina yoyote na isitoshe mchana watu wanakuwa wengi sana”

Ummy aliendelea kutubembeleza. Hatukujua ana lengo gani kwetu kwa maana si vizuri kuweza kumuamini mtu kwa asilimia mia moja.

“Twende”

Marieta alikubaliana na ushauri huyo wa Ummy. Tukalitelekeza gari kwenye moja ya maegesho katika jengo moja ambalo sihitaji hata kufahamu linahusiana na nini. Tukaanza kutembea kwa miguu na kupita katika mitaa yenye vichochoro vyembamba vyembamba ambavyo kwa namna moja ama nyingine ni hatarishi kwa wakati huu wa usiku kwa ni maeneo ambayo wahalifu wadogo wadogo huwa wana jibanza kuwavamia wapiti njia.

“Hakuan vibaka huku?”

“Wapo wengi sana”

“Sasa huoni hii ni hatari kwa sasa kupita huku?”

“Mimi wana nifahamu, ndio sister wao wa mtaa hivyo vibaka wote wananijua hata tembea yangu. Ndio maana unaona tunapita kwa kujiachia na hata huku tulipo pita wapo ila wamekausha baada ya kuniona”

Ummy alizungumza kwa kujiamini sana huku tukiendelea kukatiza katika mitaa hii. Tukafika katika moja ya nyumba iliyo tulia huku taa yake ya nje ikiwa na mwanga hafifi. Ummya akafunua moja ya chungu chenye maua pembeni ya mlango huu na kutoa funguo. Akafungua mlango wake na tukaingia ndani.

“Karibuni sana na mujisikia mupo nyumbani”

Ummy alizungumza huku akiwasha taa ya hapa sebleni. Sebleni kwake ina sofa mbili, meza ya kioo pamoja na tv ndogo aliyo ining’iniza ukutani.

“Hapa kwako kuna usalama?”

Marieta alizungumza huku akifunua funua pazia na kuchungulia nje.

“Ndio usalama upo. Hakuna masnich huu mtaa. Hata polisi waje kusaka waalifu hakuna mtu anaye nyanyua kichwa chake na kuzungumza jambo na endapo tukamfahamu fulani ni snich basi ana chomwa kisu hadi kufa”

“Mmmmm!! Haya mambo hata Tanzania yapo?”

“Yapo kaka yangu, tena kwa kitaa hichi. Yapo sana, huku tunaishi kama mbele ila sema hali ya kiuchumi ndio haipo poa kivile ila kwa mambo ya tabia za hapa na pale, ahaa..kama mbele vile”

Ummya alizungumza kwa kujiamini, nikaa kwenye moja ya sofa huku bastola yangu nikiwa nimeishika mkononi.

“Sister njoo ubadili nguo kama huto jali”

Marieta akanitazama kisha wakaingia katika chumba kimoja kilichopo katika hii nyumba. Nikatafuta rimoti ya tv na nikafanikiwa kuiona, nikawasha tv hii na kuanza kufwatilia baadhi ya vipindi vinavyo endelea katika hii chenel. Marieta na Ummya wakatoka ndani humu huku wote wakiwa wamevalia Madera.

“Tumeoga broo. Unaweza kwenda na wewe kuoga”

Ummy alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Marieta akanipa ishara ya dole gumba akimanisha kwamba kila kiti kipo sawa. Nikaingia katika chumba hichi ambacho kina kitanda pamoja na kabati kubwa la nguo. Nikaingia bafuni, nikaoga haraka haraka kisha nikatoka bafuni humu na kurudi sebleni.

“Broo kuna pensi nimekuwekea pale kitandani unge ivaa”

“Usijali hata hapa nipo poa tu”

“Mume wangu kumbuka kwamba hizo nguo ni chafu”

“Usijali mke wangu. Hembu naomba hilo begi”

Marieta akanikabidhi begi ambalo tumehifadhia pesa zetu. Nikatoa kibunda kimoja nikahesabu baadhi ya noti hizi za dola mia, kisha nikamkabidhi Ummy.

“Za nini hizi bro?”

“Kwa ajili ya shukrani kwa kutufikisha hapa salama. Pia nitahitaji ukatununulie nguo za kuvaa ambazo zitakuwa ni rahisi sana kwa sisi kutembea huko mtaani pasipo kujulikana.”

“Poa poa hilo halina shaka, wacha kupambazuke. Kuna mshkaji wangu ana duka lake nitamuendea hewani kisha nitamuambia anitumie nguo hizo munazo zihitaji whatsapp kisha azilete hapa nyumbani”

“Sawa”

Nikafunga zipu ya begi hili kisha nikalivaa kifuani mwangu na taratibu nikajilaza kwenye moja ya sofa. Usingizi ukaanza kuninyemeleza taratibu, na haikupita muda mrefu nikajikuta nikilala. Mlango unao gongwa ukanistua na kunifanya niishike bastola yangu vizuri huku nikiielekezea katika mlango huo.

“Ni salama”

Marieta alizungumza huku akinyanyuka kwenye sofa na kueleeka mlangoni, akachungulia kwenye kitobo kidogo kilichopo mlangoni hapo kisha akafungua mlango huo. Akaingia Ummy akiwa ameshika mifuko miwili mikubwa yenye rangi nyeusi.

“Kumepambazuka kumbe?”

“Ndio muda mrefu sana, sikutaka kukuamsha mume wangu ulikuwa umechoka”

“Jamani nimeletea msosi pamoja na nguo zenu”

Ummy alizungumza huku akianza kuandaa kifungua kinywa hichi. Akatukabidhi nguo huku Marieta akiwa amemletea baibui jeusi lenye kitambaa maalumu ambacho anaweza kujifunga usoni mwake na kubakisha macho tu. Akakanikabidhi kanzu, karakashia pamoja na ndevu za bandia”

“Nina imani kwamba mukivaa hizo haito kuwa ngumu kuweza kustukiwa si ndio”

“Yaa ni akili nzuri uliyo itumia”

“Munaweza mikazijaribisha”

Marieta akaingia ndani na kujaribisha nguo hizo kisha akatoka huku akwia amefunika uso wake na kitambaa hicho na kubakisha macho yake.

“Hapo upo sawa”

Nami nikabadilisha nguo na kuvaa kanzu hii pamoja na ndevu hizi za bandia ambazo kwa namna moja ama nyingine zimeweza kubadilisha muonekano wangu kwa asilimia kubwa sana. Tukapata kifungua kinywa kisha Ummy akatisindikiza hadi kwenye moja ya kituo cha dalala.

“Sasa hapa munaweza kupanda gari za kwenda munapo pahitaji”

“Bora tukodishe bajaji mume wangu”

“Sawa. Ummy tunashukuru sana kwa msaada wako nina imani siku mambo haya yakiishia tutakuja kukutembelea”

“Tunashukuru sana Ummy”

“Nanyi nina washukuru kwa maana mume niwezesha nina imani sasa nitaachana na ile kazi ya kupika pika porini nitafungua biashara nyingine nzuri tu”

“Sawa sawa”

Ummy akatuitia mmoja wa waendesha bajaji na kumpa maagizo ahakikishe anatufikisha kule tunapo taka kwenda vizuri.

“Usijali sister Ummy si unajua mimi mwenyewe sina moshi kichwani”

“Haya kuwa makini na wageni wangu”

“Usijali sister”

Tukaingia kwenye bajaji hiyo na nikaanza kumuelekeza dereva huyu ni wapi tunapaswa kwenda. Safari ikaanza huku dereva akiwa mkarimu sana kwetu huku akituadithia habari mbali mbali za mambo yanayo endelea katika jiji hili la Dar es Salaam. Moja ya jambo alilo lizungumzia ni kuhusu kutafutwa kwetu na uzuri ni kwamba hatufahamu.

“Ina onekana hao magaidi ni watu hatari sana ehee?”

Nilizungumza kwa kujiamini huku nikijitahidi kuchota habari mbili tatu kutoka kwa dereva huyu.

“Yaani daa polisi sasa hivi kila kona wana kazi ya kukagua kagua magari, pikipiki hata bajaji. Yaani hao magaidi wameleta balaa kubwa sana hapa Dar”

“Mmm hawaoni kama wanawasababishia watu foleni wakiwa wana kagua gari moja moja?”

“Wanalijua hili basi yaani ni shida tupu. Na huyu mama anaye iongoza hii nchi basi ndio usiseme, kila siku unamuona akihutubia hutubia taifa mara hoo tuungane kwa pamoja kufanikisha kuwapata hao magaidi mara ohoo yaani haeleweki na yeye”

Marieta akanitazama kwa macho ya upole kwa maana huko tunapo enda hatujui kama tutafika salama.

“Ila unajua nini shehe wangu”

“Ehee?”

“Kama ni gaidi kweli hawezi kuka hapa mjini. Lazima atakwenda kujificha huko maporini. Na isitoshe tungesikia kama gaidi hao wameua askari au watu, ila hatujasikia sasa tunashindwa kuelewa hao ni magaidi au watu wakawaida tu wameamua kuwapa kick hiyo ya ugaidi. Kwa maana ukizungumzia neno gaidi, ujue unawalenga watu kama kina Osama vile”

“Hilo nalo neno”

“Ni kweli yaani huyu mama amechaguliwa juzi juzi ila naona nchi inakwenda kumshinda, hana siku nyingi. Sasa huu ni wakati wake wa kuhakikisha anashuhulika na maswala ya nchi, ila yeye ndio kwanza ana wasaka watu wawili. Yaani majeshi hadi ya Marekani yapo hapa Tanzania, ujue tunapata shida huku barabarani yaani wee acha”

Safari ikazidi kusonga mbele. Tukafika katika foleni ya Ubungona kukuta askari wengi sana wakiwa kati hili eneo huku wakikagua magari. Bajaji pamoja na pikipiki.

“Unaona sasa, wamesha anza”

Dereva alizungumza huku naye akijipanga katika foleni hii. Askari wawili wakafika katika gari lililo pembe yetu. Marieta akataka kutoa bastola yake ila nikawahi kumshika mkono wake asifanye jambo lolote kwa maana eneo hili si salama kwa kufanya tukio la shambulizi kwa maana askari wametanda kila sehemu na wote wana bunduki mikononi mwao.

Askari hao wakamaliza kukagua gari lililopo mbele yetu kisha wakaamia katika bajaji yetu.

“Tunaomba leseni yako”

Dereva huyu wa bajaji akatoa wallet yake mfukoni na kumkabidhi polisi mmoja leseni yake.

“Shehe kwenye begi humo umebeba nini?”

Askari huyu alizungumza huku akinikazia macho.

“Humu?”

“Ndio, au hujanisikia vizuri?”

“Ni pesa zangu nimetoka benki hapo na mke wangu”

“Hembu fungua”

Nikatiia amri ya askari huyu na kufungua begi hili na kumuonyesha pesa hivi ambazo akazitazama kwa macho yaliyo jaa matamanio.

“Dada onyesha uso wako”

“Samahani waheshimiwa. Katika dini yetu ya kiislam si vizuri kwa mwanamke kuonyesha uso wake hadharani bila idhini ya mume wake. Hivyo munapaswa kuniomba mimi ili niweze kumruhusu”

Nilizungumza mambo ambayo sina hata utaalamu nayo.

“Shehe hapa hatuhitaji kupata idhini yako, tupo kwenye ukaguzi wa kila mtu, sasa kama hato hitaji kuvua kwa hiyari yake atakwenda kuvulia kituoni”

“Ila afande kitu anacho kizungumza shehe hapo ni sawa. Ha….”

“Wewe baki kuwa dereva tu na usiingilie mambo yasiyo kuhusu au unataka kwenda kuozea jela na wewe?”

Dereva ikamlazimu kukaa kimya huku akiwa amejawa na woga, Marieta akanitazama na nikatoa ruhusa ya yeye kufunua kitambaa chake hicho kilicho mfunika usoni mwake na taratibu akaanza kufanya hivyo huku sala yangu ikimuomba Mungu askari hawa wasiweze kumfahamu kwa maana endapo watamfahamu kama ni yeye anaye tafutwa basi ni lazima nitafanya juu chini kumuokoa mke wanga hata ikilazimika nitamwaga damu za askari hawa.



Gafla tukasikia mlipuko mkubwa upande wa barabara inayo tokea Tabata. Mlipuko huu ukawafanya askari wote macho yao kutazama katika eneo hilo. Pasipo hata kuaga askari hawa wakaondoka huku wakikimbia, nikashuka kwenye bajaji hii na kushuhudia moshi mkubwa wa rangi nyeusi ukitawala anga kwa kasi sana.

“Kuna nini?”

Dereva huyu naye alimuuliza mmoja wa wamachinga aliye katiza katika eneo hili.

“Kaka bomu”

Machinga huyu alizungumza huku akiendelea kukimbia akijaribu kusalimisha maisha yake. Watu waliopo eneo la mbele nao wakaanza kukimbia kurudi huku tulipo sisi ambao ni upande wa kutoka Kariakoo. Dereva bajaji akazima bajaji yake na kushuka, akataka kukimbia ila nikamdaka mkono na kumzuia.

“Unakwenda wapi wewe”

“Niachie shehee hili eneo sio poa kabisa”

Muendesha bajaji huyu alizungumza huku akiutoa mkono wake kwa nguvu kwenye kiganja changu. Mlipuko mwengine ukatoke na huu umezidi hata mlipuko wa kwanza jambo lililo niogopesha hata mimi mwenyewe.

“Tunafanyaje mume wangu”

Marieta aliniuliza huku na yeye akiwa anashuka kwenye bajaji hii. Nikamshika mkono na kuanza kukimbia naye kueleka eneo la katikati yalipo mataa. Msongamano wa watu waoa okoa maisha yao kwa kukimbia ukanifanya nizidi kuung’ang’ania mkono wa Marieta huku begi lenye pesa nikiwa nimelishika vizuri sana.

Tukafanikiwa kufika katika eneo lilipo jengo kubwa la Tanesco. Tukasimama ili tuweze kutambua ni kitu gani ambacho kinaendelea kwani kukimbia tu pasipo sababu ya msingi nalo si jambo zuri.

“Unakwenda wapi mume wangu”

“Lazima nijue ni nini kinacho endelea”

“Hapana bwana tuondoke, hili eneo sio salama”

Marieta alizungumza kwa msisitizo huku akiung’ang’ania mkono wangu. Nikamtazama kwa sekunde kadhaa jinsi macho yake yalivyo jawa na wasiwasi mwingi. Nikakubaliana na wazo lake na tukaanza kuitembea barabara ya kuelekea Kimara kwa miguu. Tulipo fika umbali kidogo, tukakodisha moja ya taksi na kumuomba dereva aweze kutupeleka kule tunapo hitaji kwenda.

“Aisee nasikia watu wengi wamekufa pale Ubungo”

Dereva alianzisha mazungumzo ambao kusema kweli hata sisi wenyewe hatujui chochote.

“Sijajua?”

“Ahaa, nasikia kuna gari la jeshi ambalo lilikuwa limebeba mabomu, sasa si unajua huu msako msako wao wa ajabu, wakayaweka kwenye foleni. Sasa sijui yamefanyaje, yakajiachia nasikia watu wote walio kuwa karibu na lile gari wamekufa vibaya sana”

“Mmmmm sisi tulikuwa kwa mbali na hatujaweza kujua ni watu wangapi walio poteza maisha”

“Ila idadi itakuwa ni kubwa sana”

“Ngoja tusikilizie ni kitu gani ambacho kitatangazwa”

“Hata wakitangaza hawato weza kutoa idadi kamili ya watu walio fariki. Ila huu ni uzembe wa hawa askari. Ukaguzi wenyewe wanao ufanya ni wa kihuni huni, hapo hapo wanajipatia mia mbili mia tatu yaani ilimradi kero”

Muda wote ninao zungumza na dereva huyu Marieta amekaa kimya huku mikono yake ikimtetemeka. Tukafika katika mtaa wa karibu kabisa na anao ishi Professa. Nikamuomba dereva atushushe kwa maana sikuhitaji afahamu kwamba tuna elekea sehemu gani. Nikatoa noti ya dola mia moja na kumkabidhi.

“Duu kaka una nilipa kwa dola?”

“Ndio pesa niliyo nayo mfukoni”

Dereva huyu akaitazama tazama hii noti, alipo ridhika akaiingiza mfukoni huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake. Tukashuka ndani ya gari na dereva huyu akaondoka, nikatoa simu ya mzee tuliye muua porini na kumpigia Professa huku tukitembea kuelekea kwake.

“Tumefika”

“Sawa mlango nina ufugua.”

Professa alizungumza na kukata simu. Tukafika katika nyumba yake ambayo imejitenga kidogo na watu. Nikasukuma mlango huu wa chuma na tukaingia ndani. Tukapokelewa na bi Jane sebleni.

“Umependeza na hilo vazi lako la kishehe”

Bi Jane alinitania huku akiwa amejawa na furaha.

“Nashukuru. Pro yupo wapi?”

“Ofisini kwake. Marieta vipi”

“Salama”

Nikapitiliza moja kwa moja hadi katika ukumbi mkubwa ambao Professa ana fanya kazi zake zote. Nikakuta akitazama taarifa hiyo ya mlipuko w amabomu katika Tv yake kubwa iliyomo humu ukumbini.

“Watu wengi sana wamekufa”

Professa alizungumza kwa sauti ya upole sana huku mikono yake akiwa ameikunja kidogo.

“Ni watu wangapi?”

“Hadi sasa hivi bado haijajulikana”

“Huu ni msiba wa taifa naona sasa watu watakwenda kutusahau na hili sakata letu”

“Sakata lenu ni vigumu kusaulika”

“Kwa nini?”

“Si Tanzania tu kwamba ndio wanao livalia njuka, ila kuwa Wamarekani, Wajerumani, Wiingereza hadi wapelelezi wa Kichina wapo nchini Tanzania, kwa maana ile ajali ya ndege haikuwa ndogo kabisa”

Professa alizungumza kwa sauti ya kawaida sana.

“Ila hatukukusudia kusababisha ile ajali?”

“Nani anajua kama haukukusudia. Randy umeiingiza familia yako yote kwenye matatizo. Ile furaha ambayo ilisha anza kutawala katia yako wewe na familia yako ukweli ni kwamba imepotea”

“Familia yangu kwa sasa ipo wapi?”

Professa akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatembea kwa hatua za utaratibu hadi kwenye kiti kilichopo pembeni. Taratibu akaka huku akinitazama usoni mwake. Professa akafunua mdomo wake kidogo kama mtu ambaye ana hitaji kuzungumza jambo ila akanyamaza.

“Niambie tu professa famlia yangu ipo wapi?”

“Baba yako na mama yako waliamua kujisalimisha mikonon mwa serikali ya Marekeni”

“Walijisalimisha…..!!?”

Niliuliza huku nikiwa nimejawa na mshangao mkubwa sana usoni mwangu.

“Ndio wamejisalimisha yote hayo ni kwa ajili yako. Hawakutaka wewe uingie mikononi mwa Wamarekani hao kwa maana baba yako ni lazima angeenda kuanzisha vita upya ambayo kwa sasa sidhani kama maisha yake yangekuwa salama kwa maana kila nchi hususani Marekani imejiimarisha sana kwenye mambo ya ulinzi wa nchi yake pamoja na raia”

“Hapan hii sio sawa. Hii vita bado haijakwisha na hapakuwa na sababu yoyote ya wao kujisalimisha. Mbona wamefanya maamuzi ya kijinga kiasi hichi”

“Kama walio yafanya ni maamuzi ya kijinga basi wasinge kuzaa wewe”

Professa alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu.”

“Jojo yupo wapi na mwanangu?”

“Jojo alimchukua mwanao na kutokomea pasipo julikana”

“Nini?”

“Ndio”

“Ni mambo gani yanayo endelea hapa duniani. Hembu jaribu kumpigia simu na kumueleza kwamba nipo hapa”

“Randy ninapo kuambia kwamba sifahamu ni wapi alipo Jojo hembu litambue hilo. Kama ningefahamu basi ningemuambia aweze kuja hapa ila sifahamu”

“Unanitania Professa”

“Mimi na wewe hatujawahi kuwa na utani kwenye maswala nyeti kama familia”

Marieta akaingia ukumbina hapa pasipo hata kusalimia.

“Mwanangu amekwenda wapi wewe mzee”

Marieta alizungumza huku akimfwata kwa kasi Professa huku macho yake yakiwa yamenza kubadilika na kuwa katika hali ambayo mtu ambaye hamtambui ni lazima atamuogopa sana. Nikasimama kwa haraka na kumzuia Marieta.

“Kuna virus wamekuathiri wewe binti. Itatakiwa kutafutwa dawa ya kuwau hao virus la sivyo maisha yako yataendelea kuwa hivyo”

Professa alizungumza kana kwamba hakuna jambo lolote alilo weza kuliona. Akaelekea kwenye moja yameza iliyo jaa chupa nyingi ambazo hupatikana katika maabara za mahospitali au mashuleni. Akaanza kusoma cemikali zilizopo kwenye kila chupa moja.

“Randy inabidi niweze kupata blood sample ya mke wako”

“Professa hembu hayo mambo kwa sasa tuyaache. Nahitaji uweze kunsaidia kuweza kuipata familia yangu na mwanangu. Basi”

“Siwezi kumuacha mke wako kwenye hali kama hii na endapo hawa virus akawaambukiza kwako kwa njia ya damu basi kuna uwezekano mkubwa sana wa watu wengine kuweza kuathirika. Madhara ya hiwa virus ni hasira, mauaji na macho yake hubadilika kama hivyo ulivyo muona. Na anakuwa na nguvu ambazo si za kawaida”

Bi Jane akaingia ndani humu huku akijikongoja mithili ya mtu aliye pata kipigo kikali.

“Vipi na wewe?”

“Mkeo alitaka kuniua, kisa nimeweza kumuambia kwamba sifahamu alipo mwanaye”

Bi Jane alizungumza huku akijishika shika koo lake.

“Unaona kama anaweza kuwafanyia watu wa karibu unahisi kwa watu wengine atashindwa?”

Professa alizungumza huku akiendelea kunyanyua chupa moja baada ya nyingine huku akiendelea kuzisoma.

“Mari naomba uweze kutibiwa ugonjwa huu”

“Randy nilikuambia kwamba nitapona mara tu baada ya kumua mama yako”

“Mama yangu kwa sasa hayupo. Amekamatwa na serikali ya Marekani”

Nilizungumza kwa msisitizo na kumfanya Marieta kurudi katika hali yake ya kawaida. Akaka kwenye moja ya kiti huku akionekana kujawa na mawazo sana.

“Unaweza kunisaidia nikawa mtu wa kawaida?”

“Ndio nina weza ndio maana nimehitahi kukusaidi”

Professa alizungumza huku akianza kuvaa gloves. Akachukua sindanona iliyo chomekwa kwenye bomba lake vizuri. Akamsogelea Marieta hapa alipo kaa na kuchukua kiasi cha damu kwenye mkono wake wa kulia.

“Ngoja niipime hii damu”

Professa alizungumza huku akihamia kwenye meza nyingine iliyo jaa vipimo mbalimbali vitumikavyo mahospitalini.

“Baby unakumbuka ilikuwaje kuwaje hadi ukapata huo ugonjwa?”

Nilimuuliza Marieta huku nikivuta kiti cha Matairi na kukaa, huku nikiwa ninamtazama usoni mwake. Marieta akaka kimya huku akiwa ameyafumba macho yake.

“Yaa nimekumbuka”

“Ilikuwaje?”

“Siku ile mchungaji alipo kuwa akiniombea. Wewe na mtoto mulitoka nje na kutuacha na wale wauguzi wa hospitalini. Nakumbuka kuna muuguzi mmoja baada ya kuniona hali yangu imezidi kuwa mbaya akanichoma sindano mkononi hapa”

Marieta akanionyesha eneo la begeni.

“Alipo nichoma nilihisi maumivu makali sana na nilianza kuwavunja vunja wale wauguzi. Mchungaji alipo nihusia kwamba nisifanye hivyo, nilijikuta nikimshika na kutupa dirishani sasa sijajua kama bado yupo hai au amekufa”

“Ehee ikawaje?”

“Aliingia baba mkwe na mama mwengine, sijui alinifanya kitu gani nikajikuta nikipoteza fahamu na sikuweza kujua ni nini kinacho endelea katika chumba kile. Nakumbuka nilipo kuja kuzinduka nilijikuta nikiwa katika kitanda ndani ya ndege na nilikuwa peke yangu.”

“Nilijawa na nguvu na kukata zile kamba. Nikaenda moja kwa moja katika chumba cha marubani. Niliweza kuvunja loki ya mlango wao na kuingia ndani. Akili iliyo nituma kwa haraka jambo la kufanya ni kuwaua na ndipo pale ulipo nikuta nikiwa nimeshika jicho la mmoja wao na kukuona wewe ndipo akili yangu ikarudi katika hali ya kawaida kabisa”

Sasa hapa nikawa nimepata picha nzima ya mambo ambayo aliyafanya Marieta.

“Mume wangu sikupanga kuwa hivi, nahisi ni ile sindano niliyo chomwa na yule muuguzi”

Marieta alizungumza huku akimwagikwa na machozi mengi usoni mwake.

“Usijali mke wangu nakuelewa na ninajua si wewe uliye yafanya hivyo”

“Nina habari nzuri”

Professa alizungumza huku akija hapa tulipo.

“Nimeweza kupata ant-virus ambao wanaweza kwenda kuwaua virusi wote walipo mwilini mwa Marieta na atarudi katika hali ya kawaida.”

“Ohoo asante Mungu”

“Ila hao Ant-virus wanaweza kuchukua msaa zaidi ya sita katika kushambulia hao virus waliomo mwilini mwake. Kitu cha kufanya sasa hivi ni kuandaa mazingira ya chumba ambacho nitakizungushia nailos ngumu na kutakuwa na kitanda kimoja hivyo Randy naomba tusaidiane”

Nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kikalia na tukatenga moja ya eneo katika huu ukumbi na kuanza kufunga hema hili lililo tengenezwa kwa muundo wa nailoni ngumu sana. Tukaweka kitanda kimoja cha tatu kwa sita.

“Vua nguo zako ubaki na nguo za ndani”

Marieta akafanya hivyo na kubakiwa na sidiria pamoja na chupi. Akaingia ndani ya hili hema. Professa akaingia ndani ya hema hili na kumchoma Marieta sindano ya mkononi ambayo imejaa dawa hiyo ambayo tuna amini itamtibu Marieta. Akatoka ndani ya hema hili na kufunga zipu ngumu ya hili hema na tukaka nje huku tukimtazama Marieta. Gafla tukaanza kumuona Marieta akitokwa na mapuvu mengi mdomoni mwake huku akianza kujikunja kunja mwili wake mithili ya nyoka, mboni yamacho yake ikatoweka na macho yake yakaanza kutoa machozi ya damu jambo lililo nifanya nistuke na kuanza kuogopa kwani anaweza kupoteza maisha hali hii ikiendelea.



“Atakufa mke wangu”

Nilimuambia Profesa huku nikianza kupiga hatua kuelekea kwenye hema hili, ila Professa akawahi kunishika mkono wangu.

“Tulia pale dawa ndio inafanya kazi”

“Kazi gani ikiwa mke wangu ana teseka Professa”

“Tulia kwanza”

Kelele na maumivu anayo yapata Marieta vikanishinda kuvumilia na kujikuta nikitoka ndani hapa na kuelekea sebeleni, baada ya muda kidogo bi Jane akanifwata na kukaa katika sofa tunalo tazamana naye.

“Atakuwa sawa”

“Haya aliyo yazungumza Profesa ni kweli kuhusiana na Dany pamoja na Yemi?”

“Ndio, japo ni maamuzi magumu sana ambayo mimi na Professa tulijaribu kuwashauri ila wakawa wameamua. Basi tukashindwa na hatukuwa na uwezo wa kuendelea kuwazuia”

“Sasa kwa nini na wao wameamua kufanya hivi jamani”

“Ni kwa ajili yako. Hawa kuhitaji kuanzisha vita yoyote, kwani wangemwaga damu zisizo na hatia ndio maana wamemua kuchukua maamuzi magumu”

“Jojo naye?”

“Huyo kwa kweli sifahamu ni wapi alipo na aliondoka na mwanao”

“Ila kwa nini sasa wanaendelea kutusaka ikiwa baba na mama wamjisalimisha?”

“Kusema kweli katika hilo, hapo mimi bado sijatambua. Ila hembu tuangalie hadi mwishoni tujue ni nini kitakacho endelea”

Tukaendelea kukaa sebleni hapa kwa masaa kadhaa. Professa akaingia hapa sebleni huku akiwa na tabasamu.

“Vipi?”

“Hali ya Marieta imerudi katika ukawaida wake. Amelala pale atakapo amka basi kila atakuwa salama”

Nikanyanyuka na kuelekea ndani ya ukumbi huu na kumkuta Marieta akiwa amelala kitandani, nikaingia ndani ya heme hili na kumtazama kwa sekunde kadhaa. Nilipo ona ana hema, taratibu nikatoka ndani humu na kurudi sebleni.

“Akinyanyuka hato kuwa na matatizo yoyote?”

“Ndio atakuwa salama”

“Lile tatizo lake la figo itakuwaje?”

“Atakuwa poa pia. Nikiwa humo ndani nimeweza kupata simu kutoka kwa Jojo na amenieleza kwamba yupo nchini Kenya na anadi kwamba baba na mama yako wametoroka mikononi mwa walinzi wa Marekani”

“Wametoroka, so wamekwenda wapi?”

“Bado hajaua wapo wapi ila mambo yakiwa tayari basi nitawajulisha”

“Naomba nizungumze na Jojo”

Professa akanipatia simu yake ambayo tayari amesha mpigia Jojo.

“Hallo”

“Niambie sister?”

“Safi dogo, aise samahani sana kwa kushindwa kuweza kufika kule kwenye safe house”

“Usijali mwanangu anaendeleaje?”

“Yupo sawa tu hana matatizo ya aina yoyote. Nipo Nairobi kama inawezekana fanya juu chini uweze kuja huku peke yako”

“Peke yangu?”

“Ndio tunatakiwa kuimalizia hii kazi ambayo imebaki kidogo.”

“Kazi ipi tena?”

“Watu walio kuja kukuvamia kwenye ile safe house kule Kibiti ndio walio wafanya baba na mama kutoroka mikononi mwa Wamarekani”

“Wapo wapi kwa sasa?”

“Sio sawa kuweza kutaja ni wapi walipo kwa sasa. Ila ukija Nairobi tutazungumza”

“Sawa nimekuelewa sister”

Nikakata simu hii. Sikutaka kupoteza muda na nikamuomba Profesa aweze kuniandalia hati ya kusafiria ya bandia ambayo inaweza kuniingiza nchini Kenya bila ya tatizo lolote huku visa ambayo itaniwezesha kukaa nchini humo ikiandikwa kwamba nitakaa katika nchi hiyo kwa wiki mbili. Professa akanikamilishia kila kitu na akanibandika ndevu za bandia ambazo si rahisi kutoka na wala mtu kuweza kufahamu uhalisia wangu. Katika hati yangu ya kusafiria imeandikwa jina la Julius Massawe.

“Sihiji huyu mwanamke akiamka hapa aweze kuniona. Unaweza kunipatia gari kwa maana sihitaji kutumia ndege”

“Sawa inawezekana”

Baada ya kufanya maandalizi haya yote kwa haraka haraka. Professa akanipatia gari aina ya Range Rover Sport ambayo imejazwa mafuta ya kutosha. Nikavalia suti nyeusi nzuri ambayo Professa alinieleza kwamba ina sifa kama ya suti ambayo alisha nitengenezea kipindi cha kwanza. Suti ambayo si rahisi kuingiza risasi pale ninapo shambuliwa.

“Mke wako akiamka tumuambiaje?”

Bi Jane aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Muambieni kuna kazi nimekwenda kuifanya na hakikisheni kwamba hafahamu juu ya safari ya mimi kwenda Nairobi, ila nitampigia kumuweka sawa”

“Nimekuelewa”

“Kuwa makini katika kuendesha. Njia rahisi ya wewe kupita hii inayo pitia Tanga, utaingia Mombasa kisha moja kwa moja utaelekea Nairobi. Kwenye hilo gari kuna ramani itakayo kuelekea”

“Nashukuru sana Professa, ila mbona hii ramani inanionyesha kwamba nikipitia njia ya Arusha nina weza kuingia Nairobi haraka sana?”

“Ndio ila kwa usalama wako wa kuto kupata usumbufu wa kukaguliwa sana basi inabidi uweze kupitia njia hii ya Tanga, utapitia hororoho. Mombasa sasa huko Kenya itakuwa ni rahisi kwa wewe kuendelea na safari yako”

“Sawa nashukuru sana”

Nikamaliza kuagana na Professa pamoja na Bi Jane kisha nikaianza safari hii ya kueleeka mkoa wa Tanga huku dani ya gari hili nikiwa na pesa ya kutosha. Njiani nikasimamishwa na polisi kwa ajili ya ukaguzi na bahati nzuri hawakuweza kunifahamu. Nikafanikiwa kufika katika mpaka wa Tanzania na Kenya ulipo katika eneo la Horohoro Kenya, majira ya saa tatu usiku. Nikagongewa muhuri wa kuingia nchini humo kisha nikaendelea na safari yangu ambayo ikanigarimu masaa matatu hadi kufika katika mji wa Mombasa. Kutokana ni majira ya saa saba usiku nikachukua moja ya chumba katika hoteli nzuri iliyopo katika eneo hili.

“Unaweza kuniletea menu ya chakula?”

Nilizungumza na muhudumu wa mapokezi kwa njia ya simu.

“Sawa bosi kuna dada atailete hapo muda si mrefu”

“Haya”

Nikarudisha mkonga huu wa simu sehemu nilipo utoa. Nikavua nguo zangu na kujifunga taulo kabla sijakwenda kuoga, mlango ukagongwa, nikatembea kwa kujiamini hadi mlangoni na kuufungua.

“Habari yako”

Dada mrefu kiasi na mwenye rangi ya maji ya kunde alizungumza. Kabla ya kumjibu nikaanza kumtathimini kuanzia juu hadi mapajani mwake ambapo suruali yake nyeusi aliyo ivaa imeshikilia mapaja yaliyo jazia kiasi kwamba nikajikuta nikijawa na tamaa za kimapenzi juu yake.

“Salama”

“Nimeleta Menu ya chakula hii hapa”

“Ohoo sawa, subiri kidogo”

Nilizungumza huku niki ifungua menu hii na kuanza kutazama ni chakula gani ambacho nina kihitaji. Kila ninavyo jitahidi kutafuta chakula kizuri nina jikuta nikishindwa huku kwa mara kadhaa macho yangu yamekuwa na kazi ya kutazama maziwa yake yaliyo nona kifuani mwake.

“Muna nyama ya kuchoma ya ng’ombe?”

“Ndio”

“Nichomee kilo mbili pamoja na ndezi nne. Niletee maji ya chupa kubwa pamoja na wyne moja”

“Wyne gani?”

“Yoyote nzuri nichagulie”

“Mmmm ukisema yoyote nina weza kulete wyne ambayo huto ipenda na ikawa ni hasara kwangu”

“Usijali wewe lete wyne nzuri kama jinsi ulivyo wewe”

“Sawa”

Muhudumu huyu akaondoka hapa ndipo nikapata nafasi nzuri ya kumtazama jinsi alivyo jazia makalio yake makubwa kiasi cha kujikuta nikidondokwa na uchu wa mapanzi. Nikafunga mlango na kuoga haraka haraka na kujitupa kitandani huku nikisubiria chakula changu. Nikapata wazo la kumpigia Jojo, kutokana Professa amenipatia namba ambayo ninaweza kuitumia katia nchi za Afrika mashariki, haikuwa tabu kwangu kumpigia simu Jojo. Simu ya Jojo ikaita na nikaipokea.

“Hei sister”

“Niambie umefika wapi?”

“Nipo Mombasa kesho nitaianza safari ya kuja Nairobi”

“Sawa, nimezungumza na mama nao wapo njiani wanakuja Nairobi nina imani kwamba kesho mchana watakuwa wamefika”

“Sawa, mtoto ana endeleaje?”

“Hana tatizo amesha nizoea na leo nimezungumza na mama yake”

“Mama yake umeongea naye?”

“Ndio ila nime muambia kwamba wewe umekuja kumchukua mtoto”

“Amekuelewa?”

“Yaa amenielewa. Amekuwa ni mpole sana umemfanya nini?”

“Professa huyo ametibu tatizo lake lile na niliondoka ikiwa bado hajazinduka usingizi”

“Sawa sawa, ila hakikisha una kuwa makini hapo Mombasa kwa maana makachero wa Tanzania wamejaa wengi sana katika huo mji”

“Usajli dada yangu nipo makini sana”

“Sawa usiku mwema”

“Nawe pia”

Nikakata simu, sikukaa muda kidogo mlango ukagongwa. Nikaificha bastola yangu kwenye mfuko wa ndani wa koti langu, nikatembea kwa kujiamini hadi mlangoni.

“Nani?”

“Mimi”

Niliisikia sauti ya muhudumu huyu, taratibu nikafungu mlango huu. Nikamkuta akiwa amesimama hukua meshika sahani ambayo juu yake ameweke chupa ya wyne pamoja maji niliyo muagiza.

“Nimeleta hivi kwanza chakula kipo jikoni kinaendelea kutengenezwa.”

“Karibu sana ndani”

“Mmm sheria kidoho haituruhusu kuingia kwenye vyumba vya wateja wakiwemo ndani”

“Usijali wewe karibu ndani, usijali likitokea la kutokea basi nitazunugmza na muajiri wako”

Dada huyu akanitazama na macho yake makubwa kiasi ambayo ni ya duara kisha akaingia ndani, nikaurudishia mlango kidogo na dada huyu akaweza maji haya mezani. Kitendo chake cha kuinama nikatamani hata niyashike makalio yake kidogo, ila kabla ya kukamilisha adhima yangu akasimama bila ya kujua ni nini kinacho endelea.

“Naweza nikatoka sasa”

“Samahani unaitwa nani?”

“Zuhura”

“Ohoo samahani Zuhura tunaweza kupata kijidakika kidogo tukazungumza mimi nawe”

“Mmmm sawa ongea”

“Nahitaji usiku huu tuumalizie wote, au unasemaje?”

“Kusema kweli kaka yangu hili jambo ni gumu kidogo. Hoteli yetu hapa kuna sheria kali sana na meneja sasa hivi yupo”

“Unalipwa kiasi gani?”

“K elfu kumi”

“Ni kiasi gani kwa pesa ya kitanzani

“Kwa Tanzania ni kama laki moja nathemanini”

“Mimi nitakupa dola mia tano tulale”

Zuhura akatazama chini kwa sekunde kadhaa, taratibu nikakinyanyua kichwa chake na kusogelea karibu zaidi. Nikasizogeza lipsi zangu karibu yake kisha nikazinyonya lipsi zake kwa sekunde kadhaa na Zuwena hakuweza kufanya jambo lolote zaidi ya kutulia tu.

“Nenda kachukue chakula uje ndani”

“Sawa”

Zuhura akatoka huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake. Nikajitupa kitandani huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana. Baada ya dakika kama ishirini Zuwena akarudi akiwa na sahani iliyo jaa nyama za kuchomwa. Akaiweka mezani na taratibu tukaanza kula chakula hichi huku tukipata mvinyo huu. Uzuri ndevu zangu nilizo zivaa mashavuni mwangu hazijaweza kutoka hii ni kutokana na gundi imara iliyo shikilia vizuri.

“Unaipenda kazi yako?”

“Ndio niliyo isomea. Nina ipenda japo maslahi ni madogo”

“Ahaa sawa”

Pombe ilivyo zidi kukolea kichwani mwangu, nikasimama na kumnyanyua Zuhura, nikaanza kufanya fujo ya kuyanyonya maziwa, nikamvua nguo zake zote na kusukumia kitandani. Nikautazama mwili wake huu ulio umbika mithili ya malaika na kujikuta nikivua taulo langu na kulitupa pembeni.

“Mimi ni bikra ila sihitaji uniharibie usichana wangu”

“Bikra?”

“Ndio, usinifanye mbele. Wewe nifanye nyuma tu, mbele ni kwa ajili ya mwanaume atakaye nioa”

Nikabaki nikiwa nimejawa na mshangao mkubwa snaa kwani kwenye maisha yangu sijawahi kukutana na kituko cha namna hii.



Zuhura akamshika jogoo wangu na kumnyonya kwa sekunde kadhaa kisha taratibu akamuingiza mkundun** mwake na kunifanya nibaki katika hali ambayo kusema kweli inaniweka katika wakati wa kushangaa sana. Zuwena wala hakulijali hilo zaidi ya kuendelea kumuhudumia jogoo wangu huku wakikizungusha kiuno chake mithili ya feni. Sikuchukua muda mrefu sana nikajikuta nikifikia tamati.

“Waoo shahaw** zako za moto hadi raha”

Zuhura alizungumza kwa furaha kubwa sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Utataka tuendelee?”

“Ngoja kwanza”

Nilizungumza huku nikitafakari ujuzi wa Zuhura kwa maana, katika maisha yangu nimetembea na wanawake wengi sana ila mwanamke huyu amekuwa ni wa tofauti sana. Amenipa kitu ambacho sikuwahi kupewa na wanawake wengi.

“Mbona unaonekana kama huna furaha au hujafurahi kwa show yangu?”

“Nimefurahia, ila nina tafakari uwezo ulio barikiwa”

“Hahaa….mbona hapa nimekupa kidogo. Ukihitaji sana nitakupa sana, na kusema kweli ub**o wako umenikuna kisawa sawa. Umenifanya nitamani kurudia tena na tena”

“Mmm hivi huu ndio mfumo wenu watu baadhi wa hapa Mombasa au ni kwako?”

“Wanawake wengi wa Mombasa tunapenda kukunwa nyuma. Kumpa mwanaume mbele mara nyingi ni yule ambaye ana tuoa. Ukikutwa na bikra basi una tolewa mahari kubwa sana”

“Haka kamchezo hakana madhara?”

“Kwa mimi sijaona madhara yake kwa maana ina enjoy sana na nilianza kufanya hivi nikiwa na umri wa miaka kumi na mbili”

“Kumi na mbili!!?”

“Ndio mbona una shangaa sana?”

“Hee mbona ulikuwa ni mdogo sana?”

“Ndio nilianza mchezo huu. Sijawahi kukutana na madhara ya aina yoyote na mwanaume ambaye atanioa basi nitakuwa tayari kumpa mbele”

“Ila ulinza ukiwa na umri mdogo kwa ninI?”

“Ugumu wa maisha kaka yangu. Baba yangu alikuwa ni mvuvi hivyo alifariki baharini nikiwa na miaka kumi na moja, akatuacha mimi wadogo zangu wawili na mama. Sikuwa na jinsi kwa maana mama naye alikuwa ni mfanya biashara mdogo mdogo. Mahitaji yale ya shule yalikuwa ni magumu kwa sisi kuweza kuyapata katika wakati unao stahili. Ndio maana nilijikuta ninaanza haka kamchezo na ukimpa mwaanume huku huwa ana penda sana na anatoa kiasi kikubwa sana cha pesa”

Historia ya Zuhura kidogo ikanigusa moyoni mwangu. Maisha yake aliyo yapitia ni magumu sana na kumfanya afanye vitu ambayo kwa utamaduni wetu wa kiafrika havija zoeleka.

“Unaishi hapa Mombasa?”

“Ndio”

“Una umri gani sasa hivi?”

“Miaka ishirini na tano”

“So miaka kama kumi na nne umekuwa unafanya huu mchezo?”

“Ehee..”

“Mmm ni miaka mingi sana. Una ndoto gani kwenye maisha yako”

“Napenda kuwa mfanya biashara mkubwa wa samaki. Niwe nina boti zangu ambazo ninaweza kukodisha kwa wavuzi au niajiri vijana wanakwenda kuvulia na ninaingiza pesa nikiuza samaki. Kwahapa Mombasa biashara ya samaki ni nzuri sana na watu wengi huwa wana ipenda sana.”

“Kuanza hiyo biashara ina garimu kiasi gani?”

“Mmmm ukiwa na Kenya shilingi kama laki sita hivi unaweza anza kuifanya, kwani nitaanza hata na boti mbili zile zenye mashinde kubwa watu wakaanza kuvulia”

Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa kwa maana kama ni kiasi hicho cha pesa kwangu sio tatizo kubwa sana na nina weza kumsaidia.

“Nahitaji kwenda kupauona kwenu kisha nitakusaidia”

“Kweli”

“Ndio”

“Alafu unajua unaitwa nani?”

“Randy”

Nilimtajia jina langu halisi ila kutokana na ndevu hizi si rahisi kwa yeye kuweza kunifahamu.

“Waoo asante sana kaka yangu. Mungu akubariki”

“Amen na nitahitaji uiache kazi hii. Una umri mdogo sana, tafta mwanaume sahihi atakaye kuoa na kuanzisha familia nzuri”

“Sawa kaka yangu. Nimekutana na wanaume wengi sana, walinifanya na kukata kiu zao ila hapakuwa na mtu aliye zungumza maneno kama yako. Hapakuwa na mtu ambaye aliweza kunishauri chochote na zaidi kunipa pesa ile ambayo tulikubaliana”

“Usijali, watu tumetofautiana”

Tukaendelea kuzungumza mambo mengi sana huku tukijikuta tukizoeana kwa muda mfupi sana. Katika mzunguko wa pili, sikuhitaji kuwa mpole kwake na nikaanza kumpa mapigo mazito mazito hadi akaanza kupagawa na kuahidi kwamba hato niacha kabisa kwani nina mpa vizuri. Zuhura akazidi kwenda mbali na kuomba niweze kumuoa, niwe mume wake wa ndoa na atafanya kitu chochote nitakacho mueleza.

Kulipo pambazuka, tukaoga kwa pamoja kisha kila mtu akavaa nguo zake, nikamkabidhi dola elfu moja na kumuomba tuweze kuondoka kwa pamoja katika eneo hili.

“Ngoja nikasaini daftari la kutoka kisha nitakustua”

Zuhura akanikabidhi namba yake kisha nami nikampa namba yangu na akatoka ndani humu. Nikampigia Jojo na simu yake ikapokelewa.

“Vipi dogo umeanza safari?”

“Bado ila nipo katika harakati za kuianza safari”

“Sawa, kuwa makini barabarani kwa maana askari wa huku wana sheria kali sana. Ukikimbiza gari kwa mwendo wa kasi sana ita kugarimu”

“Usijali dada”

“Poa”

Nikakata simu na kumpigia Professa ambaye naye simu yake haikuchukua muda mrefu sana nayo ikapokelewa na tukasalimiana.

“Kuna jipya la aina yoyote?”

“Hapana, tunasubiria kuweza kupata update kutoka kwako”

“Nipo Mombasa sasa hivi nitaanza safari ya kuelekea Nairobi”

“Sawa kuwa makini nina imani kwamba habari ya kutafutwa kwako itakuwa imefika hata nchini humo”

“Sawa Profess vipi mke wangu?”

“Anaendelea vizuri”

“Sawa nitazungumza naye baade ila hakikisha kwamba hatoki ndani”

“Nimekuelewa”

Nikakata simu na kuisoma meseji kutoka kwa Zuhura anayo niarifu kwamba tayari emesha jiandaa. Nikachukua kila kilicho changu na kutoka ndani hapa. Nikakabishi kati ya kufungulia mlango mapokezi kisha nikaelekea kwenye maegesho ya magari na kuingia katika gari langu. Nikampigia simu Zuhura na kumuuliza ni wapi alipo na akanieleza yupo eneo la nje ya hii hoteli na amefanya hivyo ili wafanyakazi wazeke pamoja na viongozi wake katika hiyo hoteli wasiweze kufahamu ni kitu gani kinacho endelea.

Nikamkuta pembezoni mwa barabara, nikasimamisha gari, akaingia ndani na kuanza kunielekeza ni wapi anapo ishi na ndugu zake. Tukafika katika nyumba ya kawaida sana ambayo kwa kuitazama ni lazima utafahamu watu wanao ishi humo wana hali ngumu ya kimaisha.

“Tumesha fika nyumbani. Karibu naona maam na atakuwa amekwenda kwenye vibiashara vyake”

“Sawa, wasiliana naye aweze kuja kwa maana nina hitaji kumuomba nielekee na wewe Nairobi leo hii”

“Weee kufanya nini?”

“Kutembea tu au uhitaji kujua ninapo kwenda?”

“Nahitaji sana. Karibu ndani”

Tukashuka kwenye gari na kuingia ndani. Nikamkuta binti mwengine aliye nitambulisha ni mdogo wake. Nikasalimiana naye kwa furaha na akatuandalia kifungua kinywa. Baada ya muda kidogo mama yake akafika hapa nyumbani. Zuhura akanitambulisha kwake, nikamueleza nia na lengo langu la kusaidia Zuhura. Ikawa ni furaha kwa mama yake, nikamkabidhi mama huyu kiasi cha dola za kimarekani elfu tano.

“Zitasaidi kukuza biashara yako mama”

“Nashukuru sana kijana wangu. Mungu akubarki sana na azidi kuwafungulia njia za baraka”

“Nashukuru sana mama yangu. Ninamuomba binti yake niende naye Nairobi kisha yeye atarudi kesho kuna mambo ya biashara nilizungumza naye sasa nina hitaji aweze kwenda kuyashuhulikia”

“Sawa, mimi sina tatizo labda yeye mwenyewe”

“Mimi nipo tayari”

“Basi kabadilishe nguo za kazini kwako twende”

Zuhura akajiandaa, tukaaga na kuondoka nyumbani hapa. Safaari ya kwenda jijini Nairobi ikaanza.

“Mama yangu nina hisi toka kuzaliwa kwake hajawahi kuishika pesa ile”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu pale nina ona atakwenda kulipa madeni yake mengi tu, kwani pesa aliyo kua akiipata basi ni kulipa madeni”

“Usijali kila jambo litaisha”

“Kwa nini umeamua kunisaidia?”

“Kusaidiana kwenye maisha ni jambo la kawaida sana. Leo nimekusaidia wewe ila kesho kutwa utanisaidia wewe basi yote ni maisha”

“Ni kweli”

Safari ikazidi kusonga huku tukizidi kuzoeana. Zuhura akashindwa kabisa kuficha hisia zake na kunieleza kwamba ana nipenda kwa dhati, kitu ambacho kwa haraka haraka sikuhitaji kuweza kukia amini kwa manaa kama ningekuwa sina hata pesa sidhani kama angeweza kuniamini au kunipenda kwa kiasi hichi. Ndani ya msaa kama nane tukafanikiwa kufika jijini Nairobi na moja kwa moja tukaelekea kwenye moja ya hoteli, nikakodisha chumba.

“Kuna watu nina kwenda kuona nao jioni hii. Utabaki hapa hadi pale nitakapo kuja”

“Sawa mpenzi wangu”

“Kile kiasi cha pesa cha kuanzia bisahara hichi hapa”

Nikamkabidi Zuhura kiasi cha dola laki moja na nusu. Akanikumbatia kwa furaha huku akinibusu sana mashavuni mwangu.

“Umezitimiza ndoto zangu na kuzifanya ziwe kweli”

“Usijali.”

Nikaagana na Zuhura na kuelekea katika hoteli ambayo Jojo alinipatia maelezo. Sikuchukua muda mrefu sana nikafanikiwa kufika katika hoteli hiyo. Nikaelekea katika chumba alicho niagiza niingine. Nikawakuta Jojo, Dany pamoja na Yemi. Nikasalimiana nao kwa furaa.

“Mtoto yupo wapi?”

“Amelala ndani humo”

Jojo aliniambia, nikaingia katika chumba hicho na kumkuta mtoto wangu akiwa amelala kitandani. Sikuhitaji kumsumbua, nikarudi sebleni na kuendelea na mazungumzo.

“Ni wakati wetu sasa sisi watatu kuifanya kazi iliyopo mbele yetu. Nilazima tukifute kikundi cha Al-quida katika ramani ya dunia”

Dany alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu.

“Ni kweli, kwa maana tulihitaji hii vita iwe imekwisha ila wakafanikiwa kuwavamia wewe na mke wako kule tulipo wapeleka. Hivyo ni wakati wetu sasa kurudisha mashambulizi kwao”

Mama alizungumza kwa msisitozo.

“Ila munafahamu ni wapi walipo kikundi hicho?”

“Ndio, wamerudi Pakistani. Nimesha andaa majasusi wangu wawili wanaendelea kunipatia update za kikundi hicho, mmoja wao yupo ndani ya kundi hilo”

Mama alizungumza kwa kujiamini.

“Sawa kama kuna mtu yupo nao basi itakuwa ni rahisi kuweza kuwasambaratisha”

“Randy ule mpango wa kuwateka watoto wao ubaki pale pale. Hakikisha kesho alafajiri unafunga safari ya kuelekea nchini Misri”

“Sawa kwani bado watoto wake wapo katika nchi hiyo?”

“Ndio bado wapo. Mimi na Jojo tunaelekea nchini Pakistani. Yemi utarudi nchini Tanzania au Nigeria na mjukuu wetu”

“Sawa”

“Mpango mzima wa safari hizo upo tayari. Randy utaondoka na shirika la ndege la nchini Misri. Mimi na baba tutaondoka na ndege ya shirika la fly emirates. Mama inabidi utumie gari aliko kuja nalo Randy, kwa maana ukisema utumie ndege ni rahisi kukamatwa uwanja wa ndege”

“Ila Jojo mwanagu safari ya kuendesha hapa na Tanzania ujue ni mbali.”

“Ni kweli mama ila hakuna jinsi”

“Kuna mtu nitakukabidhi atakusaidia kukufikisha nchini Tanzania”

“Ni nani?”

“Rafiki yangu mmoja anaitwa Zuhura atakufikisha hadi mpakani, sidhani kama utashindwa kuendesha gari kutoka hapa hadi Arushaa. Arusha hadi Dar”

“Sawa ila asije akwa ni mchumba wako kwa maana na wewe kwa kufungua fungua zipu kama baba yako hapa”

Nikabaki kimya huku nikimtazama mama usoni kwa macho yaliyo jaa aibu.

“Hayo maisha ya kufungua zipu yamesha pita. Tuna kwenda kwenye vita ya mwisho kabisa kwenye maisha yetu. Vita ambayo mimi niliifanya nusu, sasa hivi tunakwenda kuikamilisha kama familia. Wafe wao au tufe sisi ni lazima kwamba tuhakikishe tunawateketeza sawa”

Dany alizungumza kwa msisitozo huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Akasimama na kuipanua mikono yake na sote kwa pamoja tukajikuta tukimkumbatia ikiwa ni ishara ya upendo na muungano ambao hauto kwenda kutetereka tena kwenye maisha yetu maisha yetu yote yaliyo salia hapa duniani.



Baada ya mipango yote nikaaga na kurudi hotelini kwa ajili ya kwenda kumchukua Zuhurua ambaye nina hitaji kumtambulisha kwao ili kama ni safari atakayo safiri na mama kurudi nchini Tanzania basi anaweza kumsaidia.

“Randy acha kunitania, unataka ukanitambulishe kwa mama na baba yako!!?”

Zuhura alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana usoni mwake.

“Ndio “

“Kwa nini umeamua kunitambulisha mapema kiasi hichi?”

“Sio mbaya ukawafahamu wazazi wangu. Kuna matatizo ya akila aina ambayo kwa binadamu yanaweza kutokea, hivyo nikishindwa kukutambulisha kwao, siku endapo likatokea tatizo kati yetu ni wapi unaweza kukimbilia?”

“Mmmm ila ni kweli. Sikuwahi kufikiria kitu kama hichi kwenye maisha yangu. Yaani hadi sasa hivi nina ona ni kama ndoto ambaoyo kila nikijaribu kuamka ila nina shindwa”

“Hahaa tambua hilo, ila kesho nitaondoka na kuelekea nchini Misri kuna wafanya biashara fulani nina kwenda kuonana nao kule sawa”

“Heee unaniacha na nani?”

“Ndio maana nina kutambulisha kwa wazazi wangu. Si unaweza kuendesha gari vizuri?”

“Mmmm yaa nina weza”

“Basi utaongozana na mama hadi Arusha, kisha mutajua nini cha kufapanga kama utataka kuelekea naye nyumbani au utarudi Nairobi kukamilisha mipango yako ya kibiashara”

“Sawa mume wangu”

Zuhura akanikumbatia kwa haraka huku taratibu akianza kunyonya lipsi zangu. Tukajikuta kwa pamoja tukiangukia kitandani, kwa haraka tukavua nguo zetu huku kila mmoja akiwa na hamu kubwa ya kuhakikisha kwamba ana pata utamu wa mwenzake.

“Nakupa bikra yangu, mume wangu”

“Kweli”

“Ndio, nifanye upendavyo”

Nikaitanua miguu ya Zuhura na kuanza kunyonya kitumbua chake nilipo hakikisha kwamba amelainika, taratibu nikaanza kuimuingiza jogoo wangu. Ugumu nilio kutanana nao katika kumuingiza jogoo wangu, hakika umedhihirisha kwamba binti huyu ni bikra. Hadi jogoo wangu ana zama ndani ya kitumbua, eneo zima la kitumbua limetawaliwa na damu nyingi kiasi. Japo ni maumivu kwa Zuhura ila nikaendelea kumshuhulikia, hadi ikafikia kipindi akazoea na kuzidi kutoa miguno ya kimahaba.

Shuhuli hii ikazidi kuwa pevu pale kila mmoja alipo tamani kuendelea mzunguko wa pili. Mzunguko ambao kila mmoja akaonyesha ujuzi wake huku kichwani mwangu nikiwazia kwamba hii inaweza kuwa ndio mara yetu ya mwisho ya mimi na yeye kupeana penzi tambu kama hili.

“Nakupenda sana Randy”

Zuhura alizungumza huku akiwa amesizungusha mikono yake yote miwili shingoni mwangu na amemkalia jogoo wangu huku akiendelea kukizungushu kiuno chake kwa kasi kubwa sana.

“Kweli?”

Nilizungumza huku jasho likizidi kunimwagika mwilini mwangu kwani si kwa shuhuli hii ambayo kwa haraka haraka mtu unaweza hisi tunalipwa kiasi kikubwa kumbe ni moja ya njia ya kuirufahisha miili yetu pamoja na hisia zetu. Tulipo hakikisha kwamba tumeridhishana tukajiandaa na kurudi hotelini nilipo waacha wazazi wangu. Nikamtambulisha Zuhura kwao na kila mmoja akatokea kupendezewa naye. Jojo na Zuhura wakalala chumba kimoja huku mimi na Dany tukibaki sebleni kwa ajili ya kupeana maelekezo ya hapa na pale. Alafajiri na mapema nikaoga na kubadilisha nguo zangu. Dany akanisindikiza hadi uwanja wa ndege wa Jomo Kenyeta na nikaianza safari ya kuelekea nchini Misri.

Safari ikatuchukua masaa kadhaa kuweza kufika jijini Cairo Misri. Kama jinsi Dany alivyo nipatia maelekezo nikapokelewa uwanaja wa ndege na dada mmoja wa kiarabu aitwaye Shamsa. Tukaingai kwenye gari lake na moja kwa moja tukaelekea hadi nyumbani kwake.

“Karibu jisikie upo nyumbani”

"Shukrani sana”

Nikaka kwenye sofa nzuri hapa sebleni huku nikiendelea kutazama mapambo mengi sana yaliyopo ndani ya hii nyumba.

“Dany ni rafiki yangu mkubwa sana, nilikutana naye kama miaka mitano hivi iliyo pita”

“Ahaa..”

“Ni mtu mmoj amzuri sana. Mkaribu kwa watu waliso mfahamu wana amani kwamba yeye ni world criminal ila kusema kweli ana roho ya kipekee sana na alinisaidia mambo mengi”

“Ni kweli”

“Una fanana sana na baba yako”

“Nashukuru sana”

“Huku kwetu hatuna vyakula kama vya afrika mashariki. Tunapendelea sana kula nyama ya ngamiaa na samaki pamoja na matunda hivyo nikuandalie nini?”

“Samaki”

“Ohoo basi twende tukapate chakula kwenye mgahawa ulipo hapa karibu ila kama umechoka sana nikuandalie chakula”

“Hapana wewe twende”

Tukatoka na Shamsa hapa nyumbani kwake na kuelekea kwenye mgahawa ambao haupo mbali sana na hapa nyumbani kwake. Tukapa chakula hichi cha usiku kisha tukarudi nyumbani kwake. Usiku huu hatakuweza kuzungumza lolote kwa kazi ambayo imeniletea hapa nchini Misri. Nikaingia katika chumba alicho nionyesha Shamsana kwamba nitakitumia kwa kipindi chote nitakacho kuwepo hapa nchini Msri.

Asubihi nikawa mtu wa kwanza kuamka, nikaelekea sebleni na kuanza kukimbia taratibu kwenye mashine maalumu ya kukimbilia iliyopo sebleni hapa huku mwilini mwangu nikwa nimevalia boksa pamoja na singlendi ndefu.

“Umeamkaje?”

Shamsa alinisalimia huku akikaa kwenye moja ya sofa.

“Salama”

“Kumbe una penda sana mazoezi?”

“Yaa nina penda sana mazoezi”

Nilizungumza na kupunguza spidi kidogo ya mashine hii na kuanza kukimbia taratibu ili niweze kupata wasaa mzuri wa kuzungumza na Shamsa ambaye amevalia nguo za mazoezi.

“Ni vizuri, sasa kazi ipo hivi. Leo majira ya asubihi tutakwenda kwenye shule ambayo wana soma wale watoto. Inabidi tuweze kuyasoma mazingira ya shule hiyo ili hata kama ni kuwateka basi tuweze kuwateka kiakili saha kwa maana katika nchi hii maswala ya ulinzi yapo imara sana. Kila kona ina kamera ya ulinzi so tusije tukaingia kwenye matatizo ya siyo ya ulazima”

Shamsa alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu.

“Sawa nimekuelewa”

Nilipo tosheka kwa kufanya mazoezi nikampisha Shamsa naye akaanza kukimbia kwenye mashine hii.

“Familia yako sijaiona hapa?”

“Ninaishi peke yangu. Mume wangu na mtoto wangu waliuwawa katika shambulizi la mlipuko miaka sita iliyo pita”

“Ohoo masikini pole sana”

“Nashukuru, nimesha zoea kuishi peke yangu ila bado nina endelea kuwafwatilia watu walio aiangamiza familia yangu”

“Unawatambua ni kina nani?”

“Adui zako ndio adui zangu”

Nikanyamaza kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama Shamsa anaye endelea kukimbia.

“Unataka kuniambai Al-quida ndio walio husika?”

“Ndio, waliwaua maelfu ya watu katika shambulizi lile na ninakumbuka ilikuwa ni siku ya sikukuu ya idd”

“Katika kipindi chote hicho ilijitahidi kuwatafuta?”

“Baba yako alinisaidia kunipatia detail ambazo kwa mimi kama mimi nisinge weza kufanya jambo lolote kwao. Ila nilijitahidi sana kuhakikisha kwamba nina wafahamu watu hao ila sikufanikiwa kuweza kuwapata”

“Sawa, nitakusaidia kuhakikisha kwamba tunamaliza hawa watu”

Shamsa alizungumza kisha taratibu akasimamisha mashine hii na kunitazama usoni mwangu.

“Hawa ni watu hatari sana. Niwatu ambao hakika hawana huruma. Ninaomba tulifanikishe hili kwa pamoja”

“Usijali Mungu atatutangulie”

Nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kikalia na kuanza kuelekea chumbani kwangu.

“Randy”

“Naam”

Niliitika huku nikigeuka na kumtazama Shamsa ambaye macho yake kidogo yamejawa na mshangao wa hali ya juu.

“Basi”

Shamsa alishindwa kuniambia kile alicho kikusudia kukiniambia. Nikaingia chumbani kwangu, nikaoga na kujianda kwa safari ya kuelekea katika shule wanayo soma watoto wa Farida. Tukapata kifungua kinywa na kuianza safari hii, ambayo haikutuchukua hata lisaa tukawa tumefika katika shule hii ya kifahari ambayo ina ulinzi mkubwa sana.

“Mmmm tutafanikiwa kuingia kweli?”

Niliuliza huku tukiwa tumelisimamisha gari katika upande wa pili wa barabara.

“Ndio maana nimekuleta hapa ili uweze kusoma mazingira ya hii shule ni mbinu gani ambayo tunaweza kuitumia ili tuweze kuingia ndani ya shule hii”

Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa huku nikitazama jinsi walinzi walio valia suti nyeusi wakikatiza katiza kati ndani ya eneo la shule hiyo ambalo lina ukuta mfupi kiasi na kuna fensi ngumu ambayo imezungushwa juu ya ukuta huo.

Tukiwa eneo hili tukashuhudia gari mbili nyeusi za kifahari aina ya Benzi zikisimama nje ya geti hila shule hiyo na baada ya muda gari hizo zikafunguliwa na kuingia ndani. Uzuri wa eneo ambali ziliweza kusimama tunazishuhudia vizuri.

“Hii shule ina viongozi wengi sana ambao hutembelea eneo hilo”

Shamsa alizungumza huku tukiendelea kusubiria ili tuweze kuwaona ni kina nani wanao shuka kwenye gari hilo. Wakashuka walinzi wanne walio valia suti nyeusi. Walipo hakikisha kwamba ulinzi upo vizuri, mlinzi mmoja akamfungulia mlango bosi wake aliye kaa siti ya nyuma. Nikajikuta nikistuka sana mara baada ya kumuona Farida akishuka kwenye gari hilo huku akiwa na amevalia mavazi ya kimaadili sana ambayo hakika si rahisi kwa mtu wa kawaida kuweza kumtambua kwambe yeye ndio kiongozi wa kikundi hatari cha kigaidi hapa duniani, Al-quida.



“Yule ndio kiongozi wao”

Nilizungumza huku nikiendelea kumkazia macho Farida ambaye ameshuka kwenye gari hilo na kupokelewa na baadhi ya watu ambao kwa haraka haraka nina imani ni waalimu.

“Amekuja kuwatembelea wanae”

Shamsa alizungumza huku tukiendelea kutazama jinsi wanavyo elekea ndani. Tukakaa eneo hili la zaidi ya dakika arobaini. Tukamshuhudia Farida akiwa na walinzi wake pamoja na wanaye mapacha wawili, wakaingia kwenye magari walio jia na taratibu wakaanza kuondoka eneo hili.

“Tuwafwatilie”

Nilizungumza kwa shauku kubwa huku nikitazama gari hizo jinsi zinavyo tokomea barabarani.

“Ngoja”

Shamsa alizungumza huku akiendelea kuzitazama gari hizo ambazo zikakata kona ya kulia na kupotea kabisa kwenye upeo wa macho yetu. Shamsa akawasha gari akageuka na kurudi katika njia ambayo tumejia.

“Mbona unaacha kuwafwatilia?”

“Tulia”

Shamsa alizungumza kwa msisitizo huku akieliendesha gari hili kwa mwendo wa kawaida. Tukatokea eneo lenye mataa mengi na kwa bahati nzuri tukaziona gari za Farida zikiwa zinapita mbele yetu huku zikielekea upande mwengine. Mataa ya upande wetu yalivyo ruhusu taratibu tukaanza kuzifwatilia gari hizo huku mbele yetu kukiwa na gari kama tatu hivi ambazo kwa namna moja ama nyingine ni ngumu sana kwa Farida na watu wake kugundua kwamba tuna wafwatilia.

“Hii nchi ina utaratibu wake na sheria zake. Wapo makini sana kwenye maswala ya uendeshaji. Hapa ujijikuta unakimbiza gari unafukuziwa haraka sana na askari”

“Ahaaa”

“Yaa ndio maana niliamua kuwapitia short cut ndio maana tukawakuta”

Tukaendelea kuzifwatilia gari hizo kwa umakini hadi kwenye moja ya hoteli kubwa sana na ya kifahari.

“Hapa ndipo walipo fikia?”

“Sijajua ila kuna rafiki yangu humo ndani nitazungumza naye aweze kuniambia ni siku ngapi watakaa katika hoteli yao”

“Mpigie basi muda huu”

“Randy acha papara. Kila kitu kina utaratibu wake na jambo ni uvunjifu wa kisheria endapo rafiki yangu ata bainika kwamba ame toa siri za wateja katika hoteli yao na inaweza kupelekea akafungwa hata miaka mitano jela”

“Mmmm munaishije sasa?”

“Tunaishi hivyo hivyo ndio maana una ambiwa kwamba Misri ndio taifa kubwa barani Afrika. Akili inahitajika hapa kukuliko nguvu. Nisubirie”

Shamsa alizungumza huku akifungua mlango wa gari. Akavuka upande wa pili ilipo hoteli hiyo na kuingia ndani. Akaka ndani humu kama dakika kumi kisha akatoka na kuingia kwenye gari.

“Tuelekee nyumbani”

Shamsa alizungumza, akawasha gari na kuondoka eneo hili. Tukafika nyumbani huku nikiwa nimejawa na shahuku kubwa ya kuhitaji kufahamu ni kitu gani ambacho amekifahamu baada ya kuingia katika hoteli ile.

“Umefahamu nini?”

“Watakaa hotelini pale kwa siku mbili. Wapo chumba namba elfu mbili na moja”

“Sawa sawa. Inabidi nikachukue chumba na mimi pale hotelini?”

“Unahisi ni uamuzi sahihi?”

“Ndio, nahitaji kuwa nao karibu. Kumbuka kazi niliyo letwa hapa ni kuhakikisha kwamba nina ondoka na vichwa vya watoto hawa. Sijakuja kupoteza muda hapa”

Nilizungumza kwa msisitizo na kumfanya Shamsa kukaa kimya kwa sekunde kadhaa.

“Ila ninahisi ni hatari?”

“Natambua ni hatari ila wale walikuwa ni wezangu. Nijawajua vizuri kwa kipindi ambacho sikuwa nao, sidhani kama kuna jambo lolote litakuwa limebadilika”

“Unataka kuniambia kwamba na wewe ulikuwa ni mpiganaji wa kundi lile?”

“Nilikuwa kule kwa sababu, ila nilitoka ndio maana hadi leo bado wana nitafuta wakihitaji kuniangamiza”

“Kwa nini ulitoka kwao?”

Nikaanza kumuelezea Shamsa historia ya maisha yangu kwa haraka haraka.

“Sawa ila kama utakuwa una jiamini kuweza kupambana nao basi pumzika kwanza hapa kisha kesho utakwenda kuchukua chumba pale”

Nikajifikiria kwa sekunde kadha akisha nikakubaliana na wazo hilo la Shamsa. Shamsa akaanda chakula na usiku, huku machana ukipita pasipo ya sisi kupata kitu chochote tumboni. Kwapamoja usiku takapata chakula hichi kizuri.

“Randy una mpenzi?”

Shamsa aliniuliza huku tukiwa tumekaa sebleni hapa tukitazama filamu ya kizungu.

“Ahaa yupo mama wa mwanangu”

“Ndio upon aye kwenye mahusiano au imebaki ile heshima kwamba ame kuzalia mwanao?”

“Mapenzi yapo hivyo hivyo tu. Mungu ana saidia”

Shamsa akanitazama kwa macho ya udadisi kidogo.

“Humpendi mke wako kwa asilimia mia moja”

“Kwa nini unasema hivyo?”

“Mimi ni daktari wa saikolojia. Hivyo nikimtazama mtu machoni mwake nina weza kupata picha nzima ya uhalisia wake.”

“Hapana umekosea”

“Sijakosea, siku mbili hizi umemsaliti mke wako. Ni uongo?”

Nikajikuta nikistuka kidogo huku nikiwa nimebaki na mshanao.

“Sema ni uongo. Sijui ume msaliti na mwanamke gani ila umemsaliti mke mke wako”

Nikaka kimya huku nikimtazama Shamsa kwa macho yaliyo jaa aibu. Akanyanyuka na kuingia chumbani kwake, baada ya muda kidogo akarudi akiwa amevalia gauni la kulalia ambalo ni jepesi sana na linamuonyesha mauongo yake ya ndani huku bikini na sidiria vya rangi nyeupe nikiwa nina viona vizuri.

“Ahaa…ngoja nikapumzike”

Nilizungumza huku nijaribu kunyanyuka kwenye sofa hili ila Shamsa akaniwahi na kunikalisha kitako.

“Unataka kwenda wapi? Wewe ni mtu mzima sina haja ya kukuambia nini unatakiwa kufanya. Toka mume wangu afariki sijawahi kutana na mwanaume wa aina yoyote na nimekuwa ni kama mtu anaye changanyikiwa kwenye swala zima la nyeg**. Nahitaji mkia wako”

Shamsa alizungumza kwa sauti nyororo huku akiwa amenikalia kwenye mapaja yangu.

“U…u…na…j…u….a”

“Hei Randy hembu acha hizo”

Shamsa ali lalama, huku akinivua tisheti yangu. Akanivua suruali yangu na nikabakiwa na boksa. Akaitanua miguu yangu na kupiga magoti mbele yangu. Taratibu akaanza kupitisha kiganja cha mkono wake wa kulia juu ya jogoo wangu huku akitoa mihemo mizito ya kimahaba.

Jogoo wangu hakuchukua hata sekunde thelathini, akasimama dede. Taratibu Shamsa akamtoa jogoo wangu ndani ya boksa.

“Waooo big cock i like it”

Shamsa alizungumza kwa mbwembwe huku akiuzungusha zungusha ulimi wake juu ya lips zake. Akanza kumnyonya jogoo wangu mithili ya mtu anaye nyonya koni. Alipo fikia hatua ya kujiridhisha, akasimama na kunishikisha mikono yangu kiunoni mwake na kuanza kukitomasa tomasa taratibu. Sikutaka kuwa mnyonge wake, nikamlaza kwenye sofa hili, nikaitanua miguu yake, nikafungua vimikanda vya bikini yake kisha nikaanza kumnyonya taratibu ikulu yake jambo lililo mpelekea kuanza kulia kimahaba. Hakumaliza hata dakika tatu akajikuta akikojo**. Sikulijalo hilo na nikaendelea kunyonya kitumbua chake huku kazi ya ulimi wangu ikiwa ni kucheza na kila upande wa kitumbua kuhakikisha kama ni kumpagawisha basi nimpagawishe kwa kiasi kikubwa. Nilipo hakikisha kwamba, amelegea tepetepe, nikamkalisha mkao wa kumuinamisha katika sofa hili kisha taratibu nikaanza kukitafuna kitumbua chake kwa utaratibu ambao hakika kila baada ya muda mchache Shamsa alijikuta akikojo**.

Nilipo hakikisha kwamba nimemridhisha kwa mwendo huu wa taratibu, sasa nikaanza kasi yangu, kasi ambayo endapo ninakutana na mwanamke mzembe basi hakika pumzi yake ni lazima itakata kwa muda kwani huwa sina kituo cha kupumzika hadi pale nitakapo hakikisha kwamba waarabu weupe wametoka wote kiunoni mwangu.

“Randy uta…ni…i…u….a”

Shamsa alilalama huku akijaribu kutoka mikononi mwangu. Mwili wake wote umetawaliwa na uwekundu ambao hakika bakora ambayo alikuwa akiitaka basi imemcharaza kikweli kweli. Nilipo muoan akama hali yake inaelekea kuwa tete, nikamchomoa jogoo wangu na kumuwahisha mdomoni mwake na akaanza kumnyonya kivivu vivu.

“Nyonya sana”

Nilimsisitizia na kumfanya azidishe kasi ya kunyonya huku mkono wangu mmoja ukiwa nyuma ya kichwa chake na kumpa msaada wa kuendelea kunyonya.

“Narudisha ndani”

“Mmmmm”

“Narudisha ndani”

“Aha…utaniua Randy”

Shamsa alilalama huku akiwa ameishiwa ujanja.

“Utanisaidieje sasa”

“Ehee”

“Utanisaidiaje ikiwa mimi hata nusu bado”

“Heee jamani, utaniua”

“Nitakuuaje sasa. Umehitaji nikupe nimekupa una sanda nini?”

“Ngoja”

 ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG