Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

AISIIIII.....U KILL ME SEASON 2 SEHEMU YA 1/10

 

AISIIIII.....U KILL ME SEASON 2 

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+ 

SEHEMU YA 1 KATI YA 10

 


ILIPOISHIA SEASON 1

Ndani ya muda alio niambia dereva tukawa tumefika katika hoteli moja kubwa, nikakuta mlolongo wa vijana wakike na wakiume wakiwa wamepanga mistari kwa ajili ya kwenda kujisajili katika mashindano haya ya kutafuta wana mitindo, na mimi nikapanga mstari nikiwa ni mshirikia wa elfu moja na mia mbili. Muda ukazidi kwenda na foleni ikazidi kosogea, vijana walipo katika eneo hili wapo wengi wamependeza, nikajitazama mweyewe nilivyo vaa na kimoyo moyo nikajishauri na kujiambia kwamba nina vigezo vya kuweza kushinda katika shindano hili.


ENDELEA

Vijana wengi walio ingia katika chumba cha usahili wengi walitoka wakiwa katika hali ya huzuni, huku wengine wakilalamika kwamba majaji wanaringa. Hali hii ikaanza kunitisha kwani kazi yangu iliyo nileta hapa ni kuhakikisha kwamba ninakuwa karibu na Yemi Okocha. Ikafika zamu yangu, na mimi nikaingia katika chumba cha ushahili, nikakuta majaji wanne watatu wakiwa wa kiume na mmoja akiwa ndio Yemi mwenyewe niliye weza kumuona kwenye picha niliyo onyesha kipindi nilipokuwa kwenye kambi ya jeshi ya Wamarekani nchini Somalia.

“Peter umetuletea nini leo” Yemi alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, swali la Yemi naamini kwamba hili ndio alio wauliza vijana wengi na wameshindwa kwani wengine wao ambao wameweza kushindwa wamevalia vizuri sana.

“Peter, Peter”

Yemi aliniita baada ya kuniona nikiwa nimeduwaa kwa sekunde kadhaa huku nikijishauri ni kitu gani ambacho ninaweza kukijibu. “Naam” “Umetuletea nini kipya hapa kama mwanamitindo chipukizi”

“Nimewaletea mbinu na namna ambavyo walinzi wa tajiri wanavyo takiwa kumlinda tajiri wao pale anapo vamiwa” “Mmmmm kivipi?” Jaji mmoja wa kiume aliniuliza huku akionekana kushangazwa sana kwa kile ambacho nimekizungumza.

“Ningemuomba jaji mmoja”

Majaji wakatazamana, akasimama jaji mmoja wa kiume aliye jazia mwili wake, akapiga hatua mbili mbele, ila Yemi akasimama na kumuomba jaji huyo arudi alipo kuwa amekaa kisha akanisogelea yeye.

“Haya nionyeshe ni jinsi gani unavyo weza kunilinda pale ninapokuwa nimevamiwa?” Nikatazama kamera zaidi ya sita zilizopo ndani ya hichi chumba na zote zinachukua tukio hili. Nikasimama nyuma ya Yemi, ambaye kusema kweli ameumbika, umbo lake limejazia makalio ya wastani, amebarikiwa urefu wa futi kama sita na nukta zake.

“Mwanamitindo anatakiwa kuwa mbunifu wa hali ya juu, hili ninalo kwenda kulifanya hapa nitakuomba uwe makini sana kwani kidogo ni hatari” “Wewe kuwa huru tu” “Kwa mfano adui anatokea mbele yako na mimi ndio mlizi na nipo nyuma yako. Ninatakiwa kufanya hivi” Kwa haraka nikamshika Yemi Okocha mabega yake na kumgeuza huku nikiwa nimemshika, akaangalia nilipo kuwa mimi, kisha na mimi nikawa sehemu alipo kuwa yeye huku mguu wangu wa kulia nikiwa nimeunyoosha usawa wa kiuno changu, nikimaanisha kwamba nimeweza kumzuia adui mwenye kisu. Yemi akiwa katika kushanga shangaa, nikampiga mtama huku nikutangulia kulala chini na akaniangukia kifuani mwangu, na kwa haraka nikamgeuza na kumlaza chini, ila nikahakikisha kwamba nguo yake hata moja haigusi chini kwani mkono yangu ilijitahidi kumshika kiunoni mwake.

“Hapa ni pale gaidi anapokuwa amefyatua risasi na mlinzi anatakiwa kuhakikisha kwamba bosi wake anaanguka chini kwa usalama” Nikamnyanyua Yemi Okocha juu na kumfanya ashushe pumzi kwani matukio yote hayo nimeyafanya katika sekunde ambazo nina uhakika hazizidi sitini. Jaji mmoja akaanza kupiga makofi, na kuwafanya wezake kumtazama kwa mshangaa kwa maana hata Yemi Okocha na yeye yupo katika hali ya mshangao mkubwa.

“Peter una kitu kikubwa ambacho vijana wengine walio kuja hapa sijapata kukiona” “Kitu gani wakati alihitaji kumuangusha jaji mkuu?” “Hapana jaji Ode. Peter anambinu ambazo vijana wengi wa kiume hapa wameingia wamejazia vifua, wamejazia mikono na kukata matumbo yao na kuwa six pack, ila hakuna anaye weza kufanya kama hichi anacho kifanya Peter. Chifu mkuu Peter ni aina ya wanamitindo wachache ambao tunawahitaji, yaani kwa mfano mdogo tu kama tukisema kwamba tunamtengenezea filamu Peter, kampuni yako jaji mkuu ninaamini kwamba itakwenda kuwa mara dufu na na hapa tulipo” Yemi akanitazama kwa sekunde kadhaa usoni mwangu, kisha taratibu akaanza kutembea kuelekea kwenye kiti chake, akaka huku akihema kidogo.

“Jaji mkuu hapa sijaona kitu chochote kutoka kwa huyu Peter” “Jaji Ode hicho unacho kizungumza ni ufinyu wa fikra, kama hamuamini, fundi mitambo hembu rudisha hili tukio niamini kwamba mutakuwa mumelirekodi vizuri” “Jaji mkuu hakuna haja ya kurudisha nyuma sijui tukio alilo lifanya, kuna watu wengine nje wanahitaji kuingia ndani” “Jamani nasema hivi kama hamjaona kitu kutoka kwa Peter na mukashindwa kunielewa kwa kile ninacho kizungumza basi ninawaambia, mimi nitajivua rasmi sasa hivi kisha nitamchukua mimi na nitamtengeneza chini ya kampuni yangu na mutaona ni kitu gani ambacho jamaa ayakifanya” Yemi Okocha akanyanyua mikono yake juu kidogo usawa wa meza ikiwa ni ishara ya kuwanyamazisha majaji hawa wawili wanao bishana kuhusiana na mimi.

“Fundi mitambo hembu rudisha tukio alilo lifanya Peter” Watu wote humu ndani tukaigeukia Tv kubwa iliyopo kwenye moja ya ukuta. Tukio nililo lifanya likaanza kuonyeshwa tena likiwa limepambwa na mziki mdogo wa filamu. Kusema kweli unaweza kusema ni tukio fulani ambalo lipo kwenye filamu, kwani hata makamera mani waliweza kutingisha vichwa vyao kwa kubaliana na tukio hilo.

“Mumeona, mumeonaa. Tazama jaji mkuu pale jinsi ulivyo geuzwa, tazama ulivyo lazwa chini pasipo wewe mwenyewe kujijua na wala kijiandaa. Tazama jinsi alivyo kushika kwa nguvu, hakuna hata nguo yako iliyo husa chini. Sasa hapo munasema munataka mwana mitindo wa ina gani jamani ahaaaaa” Jaji huyu ambaye hadi sasa sijamjua jina lake ameonekana kunikubali kwa asilimia kubwa sana.

“Peter” “Naam jaji mkuu” “Sijapata ona, una kipaji cha hali ya juu. Safi sana” Yemi Okocha alizungumza na kumfanya jaji huyu mwengine anaye nishabikia kunyanyuka na kushangilia sana, akanifwata sehemu nilipo simama, akanikumbatia huku akinipiga piga mgongoni mwangu.

“Nilisema huyu ni genius. Ode ulitaka watu wanao tukatizia katizia miguu hapa huku wakidunda dunda hahahaaaa” “Umeshinda Joo” “Peter elekea mlango ule” Yemi Okacha alizungumza huku akionionyesha mlango ambao ni tofauti na mlango wa kutokea. Nikawashukuru huku nikiwa nimetabasamu, nikaingia katika chumba nilicho onyeshwa, nikawakuta washiriki wengine walio shinda na kuchaguliwa, huku nao wakitazama matukio yanayo tokea kwenye chumba walipo majaji. Kila kijana humu alinitazama sana, nikatafuta kiti na kukaa huku nikiwa nimejawa na furaha ila moyoni mwangu nikijipongeza kwani kazi yangu sasa imesha anza.

Kila alipo toka mshiriki mmoja kwenye chumba cha majaji, kipande cha video ya tukio langu na Yemi Okocha kinaonyeshwa kwenye hii tv kubwa tuliyonayo humu ndani.

Baada ya masaa manne washiriki wakawa wamekwisha, ndani ya chumba hichi kwa haraka haraka tupo wanamitindo thelathini, wanawake wakiwa ni kumi na sita huku wanaume tukiwa kumi na nne. Yemi Okocha na jopo lake la majaji wakaingia ndani ya chumba hichi huku wakionekana wakiwa wamechoka sana.

“Tunamshukuru Mungu tumeweza kumaliza mchujo wetu kwa usalama, pia ninawashukuru nyinyi nyote kwa kuweza kufika leo na kupata nafasi hii ya kuwa chini ya kampuni yangu” Yemi alizungumza kwa sauti ya upole, kisha akaka kimya kidogo na kuendelea kuzungumza.

“Kwa leo mutaweza kulala katika hii hoteli, kesho tutaondoka hapa na tunawaambia ni wapi ambapo mutakwenda. Ila kumbukeni kwamba nyinyi ni wamaitindo ambao ni wabunifu kama rafiki yangu Peter hapo, hadi sasa kipande chake cha ubunifu wake alio nionyesha kimetazamwa na watu zaidi ya milioni kumi katika chaneli yetu iliyopo katika mtandao wa YouTube.” Wamaitindo waote wakapiga makofi ikiwemo na mimi, ila akilini mwangu ninatambua kwamba ni jambo la hatari kwani maadui zangu tayari wamesha weza kugundua ni eneo gani ambalo nipo.

“Yaani sikutegemea sana, ndani ya masaa matano kupata watazamaji wengi kama hao. Wazo la jaji Joo kwamba tumepata mtu kweli hapa tumepata mwanamitindo” Jaji Joo akanikonyeza huku akitingisha kichwa, akionekana akiwa anafurahia uwepo wangu uliopo katika eneo hili.

“Basi sisi tuawatkie usiku mwema, jaji Joo atawaongoza hadi kwenye vyumba vyenu na baada ya hapo mutapelekwa kwenye sehemu ya kula” “Tunashukuru” Jamaa mmoja alizungumza, tukatoka katika chumba hichi na kuongozana na jaji Joo, na moja kwa moj tuaanza kuonyeshwa kila mtu chumba chake.

“Peter” Jaji Joo aliniita baada ya kuingia katika chumba changu huku mimi nikiwa ndio mtu wa mwisho kabisa kuonyeshwa chumba changu cha kulala.

“Ndioo Jaji” “Hongera sana kwa kile ulicho tuonyesha, hivi ulitoa wapi wazo hili?” “Ahaa nimefikiria kwa haraka haraka, nikaona mbinu hiyo kidogo inaweza kunisaidia na kweli imenisaidia”

“Kazi nzuri Peter, ninauhakika ukijitahidi tutatengeneza pesa nyingi sana kupitia wewe. Ila kitu cha kuangalia hakikisha kwamba unasimamia kwenye maslai mazuri pale unapo ingia mkataba” “Nimekuelewa katika hilo”

“Basi tuelekee eneo la chakula” “Sawa” Tukaongozana na jaji Joo hadi kwenye ukumbi wa chakula ambapo nikawakuta wanamitindo wezangu wakiendelea kula taratibu.

“Kaa tu hapa” Jaji Joo alizungumza, nikaka kiti cha pembeni yake, nikaletewa chakula nilicho kihitaji, taratibu nikaanza kula huku kazi yangu ikiwa ni kuwasoma tabia zao wana mitindo wote waliomo ndani ya hichi chumba. Nilipo jirizisha na upelelezi wangu wa kimya kimya pasipo mtu kuelewa nikanyanyuka kwenye meza niliyo kalia na kuanza kueleka chumbani kwangu kujipumzisha kwani nimesha maliza kula.

“Hei Peter” Dada mmoja mwembaba aliniita huku akinyanyuka kwenye kiti alicho kalia. Nikasimama kumtazama jinsi anavyo nifwata.

“Ndio” “Naitwa Calx, kusema kweli nimevutiwa sana na wewe” “Ninashukuru Calx” “Ahaa naweza kupata namba yako ya simu?” “Nitakupatia asubuhi kama huto jali” “Kwa nini isiwe sasa?” “Sawa unaweza kunipatia namba yako ya simu kisha nikakutafuta mimi?” “Ndio” Calx akanipatia namba yake ya simu kisha nikaondoka eneo hili na kurudi chumbani kwangu. Nikaufunga mlango kwa ndani, nikazima taa ya chumbani kwangu na kutazama kwenye kuta zote kama kuna taa nyekundu ya kamera yoyote ambayo inaweza kutegwa humu ndani. Nikainama hadi chini ya uvungu wa kitanda kutazama kama kuna maera, ila sikufanikiwa kuona chochote. Nikawasha taa na kuanza kutafuta kama kuna kinasa sauti chochote cha kutegwa, kwani katika hoteli kubwa kama hizi hususani kwenye mashindao ya namna hii vitu hivi hutegwa kwenye vyumba vya washiriki ili kufwatilai nyendo zao. Sikuweza kufanikiwa kupata chochote, ikanibidi kuanza kukipanga vizuri chumba hichi kwani nikekichagua vibaya.

Nikataka kupiga simu Marekai ila nikasita kwani bado nafsi yangu inakataa kabisa kuweza kuamini hichi chumba kwani watu ninao shuhulika nao wana akili nyingi sana na pasipo kuwa mjanja basi ninaweza kujikuta nikistukiwa mapema sana.

Nikavua nguo zangu, nikachukua taulo na kujifunga kiunoni mwangu, nikaeleka bafuni na kuanza kuoga taratibu huku nikipanga ni jinsi gani ninaweza kujifanya nionekane bora na kuaminika mbele ya macho ya Yemi Okocha ili kuhakikisha kwamba ninafanikiwa kumteka kiakili na kufahamu kile kilicho nileta huku Nigeria.

Nikafungua mlango wa bafuni na kutoka, nikasimama mbele ya kioo kikubwa huku nikiwa sin nguo hata moja, taratibu nikaanza kujifuta maji yangu kwenye jogoo langu, huku nikiendelea kujitazama. Gafla taa ya chumbani kwangu ikazima, pasipo hata mimi kuizima, kioo cha dirishani kikavunjika na akaingia mtu aliye valia nguo nyeusi tupu huku ameficha sura yamebaki macho tu huku mkononi mwake akiwa amshika panga refu jambo lililo nifanya nijipange kwa kujihami haraka iwezekanavyo.



Mtu huyu akaanza kupiga hatua za kunizunguka jambo ambalo lililo nifanya na mimi nianze kuzunguka taratibu taratibu. Mtu huyu akaanza kunishambulia kwa kasi sana jambo lililo nifanya na mimi nianze kumkwepa kwa kasi sana huku nikiepuka sana asinikate na panga lake alilo lishika.

Katika kurupushani hizi na mtu huyu nikafanikiwa kumpiga teke la kifua nililo mfanya aanguke chini kama mzigo huku panga lake likiangukia pembeni. Sikutaka kumpa nafasi ya kunyanyuka, nikamuwahi na kumpiga kabali ya shingo huku nikijitahidi kuhakikisha kwamba ninamvua kitambaa alicho jifunika uso wake. Nikakutana na sura ya kiume ambayo sikuwahi kuiona kabisa tangu niweza kufika nchini hapa Nigeria.

 

“Ni nani aliye kutuma”   

Nilimuuliza huku nikiendelea kumkaba kwa nguvu.

“Sii……..”   

Ikanibidi kuendelea kuminya shingo yake hadi akapoteza fahamu. Kwa haraka nikanyanyuka  huku jasho jingi likinimwagika, nikapiga hatua hadi swichi, nikawasha taa ya chumbani humu, mandhari ya chumba hichi yamebadilika sana kwani ni vitu vingi vimeanguka na kuchanguka changuka. Nikajikota hadi lilipo taulo langu nikajifunga na kuingia bafuni. Nikanawa uso wangu na maji ya baridi huku nikipikijitazama kwenye kioo.

Nikarudi chumbani, nikaichukua simu yangu aina ya samsung na kumpigia Calix.

“Peter hapa”

 

“Waooo Peter, mambo vipi?”

“Nahitaji msaada wako”

“Msaada gani?”

“Njoo chumbani kwangu”

“Chumbani kwako?”

“Ndio ninakuomba msaada wako”

“Upo chumba namba ngapi?”

“Ahaa ni chumba namba………”   

Nilizungumza huku nikitembea kuelekea mlangoni, nikafungua mlango na kuchungulia kwenye kordo, sikuona mtu yoyote, nikatazama namba ya mlango wangu na kukuta ni namba mia tatu na tatu

“Nipo chumba namba mia tatu na tatu”

“Ok ninakuja”

“Sawa”

Nikaufunga mlango na kusimama pembeni ya mlango huku nikimtazama jamaa huyu aliye lala chini. Hazikupita hata dakika tano, malango ukagongwa kwa nje.

“Nani?”   

“Calx”

“Ok”

Nikafungua mlango na Calx akaingia, akaanza kushangaa jinsi vitu vilivyo changuka humu ndani, akamshangaa na mtu ambaye amelala chini.

 

“Mungu wangu, Peter kimetokea kitu gani hapa?”

“Nimevamiwa na huyu mtu hapa”

“Hajakumiza”

Calx alizungumza huku akinishika mwili wangu, akauchunguza vizuri huku akionekana kunishangaa.

“Hapana hajaniumiza”

“Itabidi tuwasiliane na uongozi wa hii hoteli”

“Unaonaje tukawasiliana na majaji walio tuleta hapa kwa maana mtu huyu ni jambazi kwa kweli”

“Sawa tena nina namba ya jaji mkkuu Yemi Okocha”

“Ninaomba umpigie”

Calx akatoa simu yake mfukoni na kumpigia jaji Yemi ambaye kwangu yeye ndio mtu muhimu aliye nifanya mimi kuweza kufika hapa.

“Habari madam unazungumza na Calx”   

“Sahamani kwa kukupigia simu usiku”

“Kuna jamaa sijui ni nani amemvami Peter”

“Ndio chumbani kwake na alikuja na panga kabisa”

“Sawa madam”

 

Calix akakata simu na kunitazama usoni mwangu.

“Madam anakuja sasa hivi”

“Sawa nashukuru kwa kumpigia simu”

“Usijali maisha ni ni kusaidianana”

“Kweli kweli”

Haukupita muda mrefu Yemi na walinzi wake wakaingia ndani ya chumba changu, nao pia wakaonekana kushangaa kuona jinsi chumba kilivyo changuka na jamaa huyu aliye lala chini na hadi sasa hivi hajapata nafuu.

“Upo salama kweli Peter?”

“Ndio jaji mkuu nipi solama”

“Ahaa pole sana”

Yemi Okocha akawapigia simu uongozi wa hii hoteli, ambao nao pia hawakuchukua muda mwingi awkafika katika chumba changu.

“Huyu mtu mbona kama ninamfahamu”

Muhudumu mmoja wa hoteli alizungumza huku akimtazama mtu huyu usoni mwake. Sote tukamtazama mtu huyu.

“Unamfahamu vipi?”

 

“Anaishi mtaani kwangu na ninasikia sikia kwamba ni jambazi na leo kama hivi amekamatwa”

“Hili swala inabidi tuwashirikishe polisi kwa maana hakuna mtu ambate anafahamu kwamba washiriki wangu kwa leo wanalala hapa”

Yemi Okocha alizungumza huku akimtazama meneja wa hii hoteli. Meneja huyu taratibua kamshika mkono Yemi na kusogea naye pembeni, mazungumzo yao hapakuwa na mtu aliye weza kuyasikia, ila mimi kazi yangu ikawa ni kutazama lipsi zao za midomo na nikafahamu kabisa ni kitu gani wanacho kizungumza. Meneja anaonekana kumuomba sana Yemi Okocha asilifikishe swala hili kwenye vyombo vya sheria, kwani linaweza kuiweka hoteli katika hali ya uchunguzi. Yemi akaniangalia kisha akanita kwa ishara taratibu nikawasogelea sehemu walipo simama.

 

“Peter meneja hapa ana aombi kwako, japo ameniomba mimi ila nikaona si vyema mimi kulichukulia maamuzi moja kwa moja nikaona ni vyema kukushirikisha”

“Zungumza tu hakuna tatizo”

“Kaka natambua kwamba umeweza kumdhibiti huyu jambazi, ila hili swala kama ikitokea tukawakabidhi askari linaweza kutuletea hali ngumu ya kibiashara. Wageni wataogopa kulala hapa watahofia kwamba ulinzi wa hii hoteli ni mdogo sana”

 

“Na kweli ni mdogo, hivi meneja, inakuwaje mtu anatoka huko alipo toka hadi hapa chumbani kwangu tena na kuvunja dirisha hili la kioo pasipo kuwa na mtu ambaye yumo ndani ya hii hoteli yako na ametoa mchongo kwa huyu jamaa na akihahisi kwamba kuna pesa kwa hawa washiriki?”

 

Swali langu likamfanya meneja kupatwa na kigugumizi na akakopoteza ujasiri wa kunijibu kabisa.

“Isitoshe kabla ya mtu huyu kuingia humu ndani alizima taa ya hichi chumba akiwa kwa nje, na kwa uelewa wangu tu wa kawaida, katika mahoteli makubwa kama haya, lazima kuna chumba kimoja ambacho kinashuhulika na maswala yote umeme, na hapa inaonekana kwamba muhusika wa kupanga mpango wa mimi kuvamiwa yumo ndani ya hii hoteli yako ukubali ama ukatae”

Nilizungumza kw amsisitizo huku nikimtazama meneja huyu.

“Meneja naona hadi sasa hivi hujazungumza kitu cha muhimu kinacho weza kumshawishi Peter na mimi nikisema kwamba nikutete, unaweza kumfanya Peter kunifikiria mimi vibaya wakati mimi wala sipo hivyo”

 

“Kweli ni…nimeelewa hapa, ila ninacho waomba huyu mtu mumshuhulikie nyinyi wenyewe kama mutaweza”

“Ahaa mimi ni mwana mitindo sio askari wala sio mwanajeshi, na walinzi wangu hawawezi kuifanya hiyo kazi, sasa unavyo hitaji tumshuhulikie unakosea meneja”

Yemi Okocha alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama meneja usoni mwake.

“Jaji mkuu huyu tunaweza kumuhoji humu humu ndani”

“Peter utaweza kufanya hivyo?”

“Ndio jaji mkuu”

“Sawa”

Tukarudi alipo lala huyu jamaa, mlango ukafungwa kwa ndani na watu wote wakawa na kazi ya kunitazama mimi kuona ni kitu gani ninakwenda kukifanya. Nikamkalisha mtu huyu kwenye kiti nikashukua upanga  wake na kuushika mkononi mwake. 

 

“Niletee maji ya baridi”

Muhudumu wa hoteli hii akakimbilia hadi sehemu iliyo na friji ndogo humu ndani, akachukua chupa ndogo ya maji na kurudi nayo nilipo kaa, nikachomoa mkanda wa suruali yangu na kumfunga mikono yake kwa nyuma jamaa huyu kwenye kiti alicho kikalia.

Nikaifungua chupa ya maji na kuanza kumwagia usoni mwake, jamaa akakurupuka kwa haraka huku akihema, ikajaribu kunyanyuka ila akashindwa, akanza kutazama mtu mmoja ndani ya hichi chumba, alipo fikisha macho yake kwa muhudumu ambaye alisema kwamba amemtambua akastuka sana. 

 

“Moses”       

Muhudumu huyu alimuuita huku akiendelea kumshangaa. Jamaa kwa aibu akajikuta akitazama chini.

“Hei Moses”

Nilimuita huku nikimnyanyua uso wake, akajaribi kukikaza kichwa chake, nikamtazama Yemi Okocha, akanikonyeza na kuniruhusu kutumia nguvu ili azungumze ni nani ambaye amemtua kuja kunivamia mimi. Nikamyanyua tena sura yake ili anitazame ila akakikaza kichwa chake, sasa hivi sikuhitaki kumbembeleza zaidi ya kutandika kofi zito la shavu lililo wastusha watu wote humu ndani ya hichi chumba. Nikamnyanyua kwa nguvu uso wake na kumtazama usoni mwake.

“Ni nani aliye kuagiza kuja kufanya uvamizi humu ndani?”

“Nenda ka....  mama yako”

Jamaa alinitukana tusi lililo nifanya nitazame chini kwa sekunde kadhaa huku nikishusha pumzi kwani hatambui ni wapi mama yangu alipo, nikanyanyua uso wangu huku ukiwa umejaa tabasamu panasana jambo ambalo natambua halikutegemewa na watu wengi ndani ya hichi chumba.

 

“Nashukuru, na nitafanya hivyo Moses. Hembu tuambie ni nani aliye kutuma?”

Moses akakaka kimya, nikalitazama panga lake nililo lichika mkononi mwangu. Pasipo na huruma nikalipitisha kwa nguvu kwenye paja lake la mguu wake wa kulia huku nikiyagandamiza makali ya upanga wake kwenye hili paja lake jambo lililo mfanya apige kelele, Calx na muhudumu wakabaki wakifumba macho yao ila Yemi, meneja na walinzi wawili wa Yemi wakabaki wakiwa wamemkazia macho Moses.

“Ni nani aliye kituma uje kunivamia  mimi?”

Moses akaendelea kulia kwa uchungu huku damu zikizidi kumwagika, nikazidi kumkata paja lake huku nikigandamiza panga hili kwa nguvu kadri niwezavyo.

 

“Ni nani aliye kutuma?”

“NI…….ME…E……NEJA”

Watu wote ndani ya hichi chumba tukamgeukia meneja aliye anza kushangaa shangaaa huku akionekana woga umemtawala usoni mwake.

“Meneja?”

Yemi Okocha alizungumza huku akimtazama meneja kwa macho ya mshangao. Kwnai hili lililo tokea hapa ni jambo lililo tushangaza sisi sote. Kwa haraka meneja akamkaba Yemi Okocha kabali kwa nyuma huku akitoa kisu kidogo mfukoni mwake na kumuwekea Yemi Okocha shingoni mwake.

“Mtu yoyote akinisogelea nitamuua jaji wenu”

Meneja alizungumza kwa msisitizo, walinzi wa Yemi wakabaki wakiwa ameduwaa tu wasijue ni nini cha kufanya kwa kitisho walicho patiwa na meneja huyu ambaye hadi sasa hivi hatujui lengo lake ni nini haswa.


       

“Unahitaji nini kutoka kwetu?”

Nilimuuliza meneja wa hii hoteli, akabaki akiwa ameduwaa duwaa huku akikaza kumkaba Yemi Okocha ambaye naye anaonekana kuto kujiweza kabisa katika swala la kupambana.

“Hilo halikuhusu”

Meneja alizungumza huku akianza kurudi nyuma nyuma kuelekea mlangoni huku akiwa amemshika Yemi Okocha. Nikataka kupiga hatu ili nimfwate Yemi ila akatishia kumkita kisu  cha shingo, ikanilazimu kusimama tu. Meneja akafungua mlango na kutoka chumbani huku, ikanibidi na mimi kutoka kwa haraka, nikamkuta meneja akiminya kitufe cha kufungulia lifti. Ilipo funguka, akamsukuma Yemi Okocha na yeye akaingia ndani na lifti ikajifunga. Kwa haraka nikamkimbilia Yemi chini alipo anguka. 

 

“Vipi umeumia?”

“Hapana”

Yemi alizungumza huku akikohoa kohoa. Nikamkanyanyua taratibu, nikatazama mshale ulipo juu ya mlango wa hii lifti unaonyesha kwamba lifti hii inaelekea juu gorofani.

“Muangalieni jaji mimi ninakuja”

Nilizungumza huku nikimuachia Yemi, nikaminya kitufe cha lifti nyingine.

“Calx naomba simu yako na ingia chumbani utaona simu yangu kitandani hapo tumia hiyo kunipigia na kuniambia kwamba lifti imesimama gorofa ya ngapi”

“Sawa Peter”

“Wapigieni simu polisi”

Nikaingia kwenye lifti na ikajifunga huku nikiwa nimeishika simu ya Yemi Calx. Nikaminya batani ya gorofa ya ishirini ambayo ndio ya mwisho kabisa ili hata kama hapo katikati kutakuwa na mabadiliko yoyote ninaweza kuminya batani ya gorofa husika na itasimama. Simu ikaita, nikaipokea kwa haraka na kuiweka sikioni.

 

“Peter amepanda hadi gorofa namba kumi na tisa”

“Poa”

Nikaminya batani ya gora namba kumi na tisa, sikumaliza hata dakika moja nikawa nimefanikiwa kufika, lifti ikafunguka na kutoka, kwenye kordo hii kumetulia sana, na hakuna mtu yoyote ambaye aliyopo kwenye hii kordo na vyumba vyote vimefungwa. Nikasikia vishindo vya miguu vikipandisha kwenye ngazi za kueleka gorofa inayo fwata. Nikaanza kuzipandisha ngazi hizi kwa kasi sana nikamuona meneja akijitahidi kupandisha ngazi hizi kwa kasi sana. Nikazidisha mwendo wa kupandisha ngazi hizi huku nikijitahidi kulikaza taulo langu mara kwa mara ili lisianguka. Meneja akazidi kukimbilia gorofa ya juu zaidi na akatokea juu kabisa ya gorofa. Meneja hakutaka kusimama zaidi ya kuzidi kukimbia kuelekea kwenye ukingo wa hili gorofa. 

 

“Meneja meneja”   

Nilimuita huku nikimkimbiza, akafika ukingoni mwa gorofa akasimama huku akinitazama. Kwa haraka nikaingia upande wa kurekodi video na kuanza kurekido tukio hili kwani sihitaji kuingia kwenye matatizo na serikali ya nchi hii.

“Niaembie meneja una tatizo gani meneja. Tafadhali simama hili swala tutalimaliza kiume hakuna chombo cha sheria ambacho kitakachoingilia”

Meneja huyu akabaki akitabasamu tu, akarudi hatua moja nyuma, na kumebaki usawa mdogo ambao akicheza vibaya basi anaanguka chini.

“Hujui unadili na watu wa aina gani”   

Meneja alizungumza kisha akajirusha kwenye hili gorofa nikakimbia kwa haraka hadi kwenye ukingo wa hili gorofa huku simu ya Calx ikiendelea kurekodi matukio haya, nikatazama chini na kumkuta meneja ndio akiangukia juu ya gari lililo simamishwa pembeni ya hii hoteli. Nikamvuta kwa karibu kutumia kamera ya hii simu, nikaona kichwa chake kilivyo pasuka kwa nyuma.

“Shitiii.”

 

Nilizungumza kwa hasira huku  nikikatisha kamera hii kuendelea kurekodi tukio hili. Nikawaona watu wakikusanyika katika gari hili, taratibu nikaanza kurudi ndani ya hili gorofa huku nikiwa nimekasirika sana. Nikarudi katika gorofani namba mbili kilipo chumba changu. Nikawakuta Yemi Okocha akiwa na baadhi ya maofisa wa polisi.

“Peter ni kitu gani kilicho tokea”

Nikamkabidhi Yemi simu huku nikimuwekea video niliyo irekodi. Yemi akaitazama, sura yake ikaonekana kujikunja kidogo, video ilipo isha akawakabidhi polisi mmoja ambaye naye pia aliitazama na kuwapatia wezake wawili.

“Yupo wapi Moses?”   

“Amesha chukuliwa na polisi anapelekwa kituoni”

“Calx na wezake?”

“Wapo katika chumba kingine, pamoja na walinzi wangu”

“Sawa sawa”

“Peter vaa nguo tuondoke katika hii hoteli tuelekee eneo salama”

“Peke yangu?”

“Tunaenda mimi na wewe, kesho washiriki wengine watakuja tutakapo kuwa”

 

“Sawa, ila kuna simu yangu kwa Calx ningeomba niweze kuichukua”

“Hii hapa ameniachia”

Yemi Okocha alizungumza huku akiitoa simu yangu mfukoni. Nikachukua suruali yangu na kuingia bafuni, nikavaa. Nikaitoa simu yangu nyingine mfukoni na kukuta ipo katika usalama mzuri. Nikamaliza kuvaa nguo zangu kisha nikatoka bafuni. Nikamalizia kuvaa viatu na tisheti yangu, nikamfwata Yemi sehemu alipo simama.

“Tayari jaji mkuu”

“Sawa twende zetu”

Tukawaacha polisi wawili humu ndani na kuongozana na polisi mmoja ambaye ndio alite kabidhiwa simu na Yemi. Tukashuka chini kabisa kwa kutumia lifti, tukatokea eneo la maegesho ya magari yaliyopo chini ya ardhi.

“Jaji walinzi wako wapo wapi?”

“Watawalinda washiriki wengine na sisi tunaelekea sehemu salama na huyu askari atatulinda”

“Tunaweza kuzungumza jaji mkuu”

“Ndio”

Tukasogea pembeni na kumuacha askari huyu akielekea kwenye gari la Yemi ambalo ni lina milango sita kama analo tumia raisi wa Marekani na baadhi ya matajiri wakubwa duniani.

 

“Kama nitakuwa ninakuvunjia heshima katika hili ninalo kwenda kulizungumza, ninakuomba unisamehe sana jaji mkuu”

“Zungumza tu Peter”

“Mimi ninaomba niweze kujivua katika haya maswala ya uwana mitindo”

Nilizungumza kwa ajili ya kumpima Yemi Okocha akili yake, japo ni jambo la hatari ambalo linaweza kuhatarisha ukaribu wangu naye ila inanibidi kufanya hivi ili hata kama ana maswali kadhaa ya kunihisi vibaya kichwani mwake, basi asipate majibu ya haraka haraka.

“Peter hicho kitu kwa sasa siwezi kukikubali kabisa, si kwajili ya hii kazi ila ni kwa ajili ya usalama wangu mimi mwenyewe”

“Kivipi jaji?”

“Peter, nimewaacha walinzi wangu kwa maana ninaona wanakula mishahara ya bure pasipo kufanya kazi ya aina yoyote. Wewe nimekujua leo ila umeonekana kujali usalama wangu kuliko wao, kwa hiyo nipo radhi kukulipa kiasi chochote cha pesa na uwe mlinzi wangu binafsi na nitakutaka wewe mwenyewe na sinto hitaji mlinzi mwengine binafsi”

 

Yemi alizuzungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu. Kimoyo moyo nikaanza kufurahia kwani mpango wangu unazidi kwenda vizuri.

“Ni bora wewe kunilinda kuliko kuacha kabisa maswala ya uwana mitindo”

“Hilo swala la kukulinda jaji mkuu mimi sina elimu nayo?”

“Hiyo hiyo ndogo uliyo kuwa nayo ndio ninayo ihitaji saawa Peter”

“Ninaomba unipe muda nifikirie”

“Sawa ila kwa sasa nitahitaji tuendelee nah ii safari”

Tukaingia kwenye gari na polisi huyu akawa na kazi ya kutuendesha. Yemi Okocha akachukua chupa ya pombe kali iliyomo ndani ya hili gari, akamimina kiasi kwenye glasi moja, akainywa yote kwa kasi huku akikunja sura yake na inaonyesha kwamba pombe hiyo ina kereketa sana kooni.

“Peter unatumia hii?”

“Hapana jaji huwa situmii kilevi”

“Kwel?”

“Yaaa”

“Hiyo itakuwa ni vizuri sana kwani walinzi wangu wale, ukiwapa pombe wanakunywa sasa kwa mfano kama leo kwa kile kililo jitokea, wamebaki wakiwa wamenitumbulia macho tu”

 

“Kwani walikuwa wamekunywa?”

“Wala sifahamu, ila wamezubaa kusema kweli.”

Sikutaka kuzungumza chochote kuepuka kuonekana kwamba imi ni mroho sana wa hiyo kazi. Tukatumia lisaa zima njani na tukafanikiwa kufika katika hoteli moja kubwa ambayo ipo pembezoni mwa bahari. Tukaagana na askari huyu na kuingia ndani ya hii hoteli.

“Mume wangu yupo humu”

“Umeolewa?”

“Yaa nimeolewa, na nina mtoto mmoja sema ninapenda kujiweka katika hali ya mazoezi ndio maana ukioniona huwezi kuamini kama nina mtoto”

Maeno ya Yemi yakanifanya nishushe macho yangu chini hadi kwenye mkono wake wa kushoto na kweli nikaona amevaa pete ya ndoa.

“Hongera kwakweli”

Nilizungumza huku nikitabasamu. Tukaingia kwenye lifti na taratibu tukaanza kuelekea juu.

 

“Peter kusema kweli wewe una roho ngumu”

“Kwa nini jaji?”

“Nimeshangaa kuona ulivyo mkata paja yule Moses, nilihisi kwamba unaweza kutania.

“Hahaaa unajua laiti nisinge fanya vile, mungenikuta na mimi ni maiti mule ndani”

“Kweli, ila natambua ni hasira uliyo kuwa nayo dhidi yake”

“Ndio”

Lifti ikafunguka katika gorofa namba tano, mlango ukafunguka na kuanza kufunguka. Tukafika kwenye moja ya chumba, Yemi akatoa kadi ya kufungulia mlango na akanikabidhi.

“Chumba chako ni hichi hapa, changu ni hichi hapa nina kadi yangu maalumu ambayo inafungua kila mlango wa hii hoteli”

“Ina maana hii hoteli ni mali yako?”

“Yaa hii ni hoteli ya mume wangu, chumba hicho hapo wanalala walinzi wangu na hichi ninalala mimi na mume wangu pale tunapo kuwa humu ndani”

 

“Sawa jaji mkuu nikutakie usiku mwema”

“Nawe pia Peter, ila zingatia kwa kile nilicho kueleza, naamini asubuhi utakuwa umenipatia jibu sahihi”

“Sawa jaji”

Nikafungua mlango huu na kuingia ndani na kuufunga kwa ndani. Nikawasha taa, chumba nilicho ingia ni kizui mara kumi ya chumba nilicho kuwa katika ile hoteli niliyo vamiwa. Uzuri wa chumba hichi, ni kikubwa sana, na kina huduma zote za nyumba ya wastani. Kuna sehemu ya jiko la kupikia, seble ndogo, choo chenye bafu ndani. Kitanda kimetengenezwa kwa muundo wa tairi kubwa. Nikakikalia kitanda hichi huku nikikiminya minya.

Nilipo hakikisha kwamba nimekagua chumba hichi vizuri, nikanyanyuka na kuelekea jikoni, nikafungua friji hili na kukuta likiwa limejaa vinywaji vingi. Nikachukua bia moja na kuifungua, nikaka kwenye kiti kirefu kilichopo hapa chumbani. Nikatoa simu aina ya iphone, taratibu nikaminya namba ya meja na kumpigia simu huku nikishusha mafunda kadhaa ya bia hii. Simu ya meja sikuipata hewani, ikanibidi kumpigia raisi Donald Bush moja kwa moja kwa namba yake ya mkononi. Simu yake ikaita na ikapokelewa.

 

“Ndio Dany”

“Habari yako?”

“Salama tu, vipi kuna hatua yoyote uliyo ipiga?”

“Ndio nipo naye kwa sasa na nimekuw amlinzi wake binafsi”

“Kazi nzuri, tena sana”

“Nashukuru muheshimiwa raisi. Hawa anaendeleaje?”

“Anaendelea vizuri, na kwasasa amekwenda Lass Vegacy na mwanagu wa kike”

“Ulinzi ni mzuri muhesimiwa?”

“Kwa hilo wala isitie shaka, yaani mwanangu ametokea kuwa rafiki mkubwa na mke wako hadi inafurahisha kwa kweli”

“Shukrani muheshimiwa r……..”

Mlango wa chumbani kwangu ukafunguliwa kwa nguvu.

“Badae muheshimiwa”

Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikikata simu na kuirudisha mfukoni mwangu, nikamuona Yemi Okocha akiingia huku analia na moja kwa moja akaka kwenye sofa na kujiinamia chini akizidi kuendelea kulia, kwa haraka nikanyanyuka kwenye kiti na kumfwata sehemua alipo kaa. Nikachuchumaa mbele yake na kumnyanyua taratibu uso wake.

 

“Kuna tatizo gani jaji”

“Ni…ni…memkuta mume wangu akiwa amelala na wasichana wawili kweliii”

Yemi Okocha alizungumza huku akizidi kulia kwa uchungu, mlango ukafunguliwa na akaingia mwanaume mrefu, huku akiwa amevalia suruali tu na hana tisheti yoyote juu yake.

“Mke wangu ninakuomba unisa…….”

Yemi Okocha kwa haraka akanishika mashavu yangu na kuanza kuninyonya lispi zangu huku machozi yakizidi kumchuruzika jambo lililo nifanya nibaki nimeduwaa kwa maana nimeingizwa kwenye kesi ambayo hainihusu kabisa.



    Nikastukia nikivutwa kwa nyuma na kuachanishwa na Yemi Okocha na nikaangukia pembeni. Mume wake akamnyanyua na kumtandika kofi zito la shavu lililo mrudisha Yemi Okocha chini. Kwa haraka nikanyanyuka na kumuwahi kumshika jamaa huyu kwa nyuma, huku nikijitahidi sana kumzuia asimpige Yemi.

 

Kutokana jamaa ana nguvu nyingi sana, akaniponyoka mikononi mwangu, akanigeukia na kunipiga kichwa kizito cha uso, nililicho nifanya nianguke chini pasipo msaada wa kuhiwahi. Kizunguzungu kikali kilicho nitawala baada ya kupigwa kichwa hichi, kikanifanya nilale chali kwa sekunde kadhaa.

“Niumeeeee”       

Nilisikia sauti ya Yemi Okocha akilia kwa uchungu, nikaka kitako, nikamuona mume wa Yemi akiwa amemkaba Yemi shingo yake, huku ameminya kwenye sofa na nisipo fanya msaada wowote basi ninaweza kushuhudia kifo cha Yemi mbele yangu. Nikajikaza kiume na kunyanyuka, nikamsogelea jamaa na kupiga kigoto cha mbavu na kumfanya kulegeza mikono yake kwenye koo la Yemi Okocha, akanigeukia huku akijaribu kurusha ngumi nzito. Jambo hili likanifanya nizidi kuwa makini sana, huku nikikwepa ngumi zake kwa ajili ya usalama wake kwa maana jamaa ananguvu nyingi sana na kamaa akinibahatisha kwa mara nyingine kunipiga basi nitajiweka katika hali mbaya hata ya kuuwawa. 

 

    Sikua na namna nyingine ya kufanya zaidi ya mimi kuanza kujilinda kwa kumzuia jamaa huyu kuwa kumpiga sehemu ambazo ziliweza kumpunguza kasi kila jinsi alivyo jaribu kunivamia. Kazi ya miguu yangu ni kurusha mateke yanayo tua kwenye mapaja yake kwa upande wa nyuma na kumnyong’onyeza. Zoezi hili likazaa matunda kwani jamaa alijikuta akipiga magoti chini pasipo kupenda kwani mapaja ya liishiwa nguvu na uwezo wa kuhimili mwili wake mkubwa.

“Mpumbavu wewee, ni nani aliye kupa ruhusua ya kumbusu  mke wangu”

Jamaa alizungumza huku akihema sana, jasho jingi likimwagika usoni mwake. Yemi akanyanyuka haraka kwenye sofa na kumrukia mume wake na kumuanguka chini. Akaanz akupiga makofi ya uso huku akimkwaruza na kucha. Hapa ndipo nilipo weza kuona hasiri ya Yemi, kwani bila ya huruma, akang’ata mumewe sikio aliye jitajidi kumtoa huku akipiga makofi ya mgongoni, ila Yemi hakuachia sikio hilo. Nilipo ona anaweza kumuumiza Yemi, ikanibidi kimshika mikono yake kwa nguvu na kumuacha Yemi amalizei anacho kifanya kwani baada ya dakika akatoka na kipande cha sikio kikiwa kinaning’inia mdomoni mwake na akakitema pembeni na kumfanya jamaa kupiga mayowe ya maumivu. Nikamuachia jamaa mikono yake na kumnyanyua Yemi Okocha na kumbeba kwa nguvu kwani bado alihitaji kumng’ata sikio la pili.

 

“Niache nimtie vilema malayaa huyu.”

Yemi alizungumza akijitahidi kujitoa mikononi mwangu, ila nikazidi kumkumbatia ili asiende kumvamia jaama ambaye kwa sasa amekaa kitako huku ameshika sikio lake lililo ng’ata akilia kwa uchungu sana.

“Malaya wewe, ulikuja kwangu ukiwa masikinii, leo nimekupa pesa, ku* na bado umenisaliti na malaya tuu wa hii hoteli na kuanzia hivi sasa nakuambia kwamba kila kitu ambacho ni changu nitakichukuaa, msen** wewe”

Yemi aliendelea kutukana huku akiendelea kujitahidi kujitoa mikononi mwangu.

 

“Peter niachee nikamuonyesheee msen... huyuuuuu. Awezi kulala na malaya ambao pesa, kula wanapata kutoka mikononi mwangu”

“Tulia Yemi, tulia adhabu uliyo mpa uliyo mpa inamtosha”

“Baado na nitakuwinda wewe. Nigeria yote hii utaiona chungu. Ku***** wewee”

Yemi aliendelea kufungulia kitabu chake cha matusi huku jasho likimwagika. Kusema kweli muwaone tu watu wakiwa wanacheka na kutabasamu, ila usije ukakutana na mtu wa aina hiyo akiwa katika kukasirika, hakika utajikuta ukiwa unaangukia pembeni.

Jamaa taratibu akanyanyuka huku akiyumba, huku sikio lake likiendelea kumvuja damu.

“Nitahakikisha ninakuua wewe malaya uliye msaidia mke wangu kunifanya hivi”

“Weeeee, weee mguse uonene. Nitamuambia baba yangu akunyoosheee. Na ninakuambia sasa kwamba huyu ndio ataichukua nafasi yako. Kwanza mwanaume gani usiye jiweze kwa chochote hadi usaidie na mwanamke.”

“Wewe ongea tuu, ila nitahakikisha huyo basha wako nina muua”

“Eheee ninaapa kwa jila la marehemu mama yangu, nitakuua hata kabla hujamgusa yeyee. Tena Peter niachie”

 

“Hapana Yemi”

Nikastulkia Yemi akining’ata mkono mwangu, nikajikuta nikimuachia kwa haraka akakimbilia sehemu yenye jiko, akachukua kisu kirefu na kuanza kukimbilia sehemua laipo simama mume wake. Mumewe kwa haraka wala hakuambiwa ni kitu gani kinacho kwenda kumtokea, kwani mlango alio uingilia aliufungua hata sikuona alipo elekea. Yemi akaufunga mlango kwa hasira huku akikikita kisu alicho kishika kwenye mlango.

“Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa”   

Yemi Okocha alipiga kelele huku akishika kichwa chake. Akaanza kubinua binua binua meza ya kioo iliyopo humu ndani akihitaji kuvunja kwa kuikanyaga jambo ambalo ni hatari kwani endapo kioo chochote kitamkata mguuni basi kutakuwa na zoezi la kuuguza kidonda. Nimamshika kiunoni mwake kwa nguvu na kuanza kumbebe juu juu.

“Peter niacheee ninahamu ya kuua mtuu”

“Achana na hilo swala Yemi, tahari imesha mpa kilema achana naye tafadhali”

 

“Peter nataka kuuaa, nataka kuuaaaaaaaaaaa………”

Yemi alizungumza huku akihema kwa nguvu, huku macho ameyatoa. Uzuri wake wote ukampotea usoni mwake. Nikamlaza kitandani kwa nguvu huku nikiendelea kumbana mikono na miguu yake ili asijaribu kunyanyuka.

“Peter, sawa nimetulia nimetulia naomba uniachie”

“Tafadhali niaahidi uto fanya kitu chochote cha kijinga”

“Ndio sinto fanya, nimesha rudi kwenye hali yangu ya kawaida”

Yemi alizungumza kwa upole. Taratibu nikamuachia Yemi Okocha huku nikikaa pembeni yake nikihema kwa kuchoka kwa maana ninatumia nguvu nyingi kumzuia mtu mwenye hasira kali. Gafla Yemi akashuka kitandani akaanza kukimbilia mlangoni, ikanibidi na mimi kunyanyuka kwa haraka, kabla hajakifikia kisu alicho kikita mlangoni nikawanikiwa kumuwahi kwa kumshika kiunoni mwake, nikamgeuza kwa hasira huku nikimtazama usoni mwake. Nikamsogeza kwa kasi hadi ukutani na kumgandamiza huku nikiwa nimeyang’ata meno yangu kwa hasira. 

 

“Si hitaji ujinga tenaa……”

Nilizungumza kwa hasira huku sauti nzito ikinitoka, jambo lililo mfanya Yemi kutulia kimya kwani nina imani hakutarajia kukutana na sura ya kutisha kama ninayo muonyesha.

“Umenielewa…….!!?”

Yemi akatingisha kichwa akisema kwamba amenielewa. Tukaendelea kutazamana kwa dakika kadhaa kisha nikamuachia. Nikachomoa kisu alicho kikita mlangoni, nikaanza kutembea kuelekea sehemu ya jiko na kumuacha Yemi akikaa chini taratibu huku akilia kwa uchungu sana. Nikarudisha kisu sehemu kilipo tolewa, nikaishika bia yangu na kuanza kuinywa kwa hasira huku nikimtazam Yemi anaye endelea kulia kwa hasira kali iliyo mtawala. Nikachukua bia nyingine kwenye friji, nikaifungua kifuniko chake kwa kutumia meno, nikaendelea kunywa. Nilipo ona kilio cha Yemi Okocha kinapungua, nikafungua friji na kuchukua chupa nyungine ya bia. Nikaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu hadi sehemu alipo kaa. Nikaka pembeni yake huku nikimkabidhi bia hii niliyo kuja, akaitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaichukua, akapiga funda moja na kuishika vizuri chupa hii.

“Mapenzi…..mapenziiiii. Nikitu kuzuri ila muda mwingine ni kitu kibaya”

 

Nilizungumza kwa sauti ya utaratibu, nikapiga fumba la bia, kisha taratibu nikashusha pumzi yangu huku nikimtazama Yemi usoni mwake.

“Mapenzi yalibadilisha maisha yangu na kuyafanya yawe mabaya kwa kiasi kikubwa. Mapenzi yalinifanya niwe mtu wa ajabu na muda mwingine nilichukiwa na kila mtu ambaye alinisikia pasipo kuniona na wala kunigundua mimi kwamba sina makosa yoyote katika kila jambo la uovu ambalo alilisikia”

“Una maaga gani?”

Yemi aliniuliza kwa sauti ya chini sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Ni historia ndefu, ila kiufupi ni kwamba kwa sasa siyahitaji mapenzi, na wala siyatamani kwani madhara yake ni makubwa sana kama hivi uliyo yaona”

“Peter”

“Ndio”

“Samahani kwa kila kilicho tokea sikutarajia kama ninaweza kukuhusisha katika huu ugomvi ambao hauna tija yoyote kwako”

“Naelewa hakuna tabu na kuja kwako humu ndani ni kwamba uliniamini na ulitambua kwamba utakuwa upo kwenye mikono salama”

 

“Kweli wewe ni mtu wa tofauti sana, toafauti na watu nilio wahi kuwaona kwenye maisha yangu, upo tayari kuyahatarisha maisha yako kwa ajili ya mtu mwengine”

“Jukumu langu kwa sasa ni kukulinda wewe”

Nilizungumza kwa kujiamini huku nikimtazama Yemi Okocha usoni mwake, kimoyo moyo furaha inazidi kunitawala kwani mpango wa kumuweka Yemi Okocha karibu yangu unazidi kukomaa.

“Kweli Peter?”   

“Ndio, lazima mume wako atahitaji kulipiza kisasi kwa kile ulicho mfanyia, Kwa hiyo kitu kikubwa ni sisi kuwa makini sana kwa kila hatua ambayo tutaipiga”

“Nashukuru Peter kwa maneno yako ya ujasiri, nitakulipa kiasi chochote cha pesa utakacho kihitaji kwenye maisha yako”

“Sawa”

Yemi Okocha akasimama, akaipandisha suruali yake iliyo kuwa imeshuka kidogo, na kuyafanya makalio yake kujibana vizuri. Akaanza kutembea kuelekea kwenye friji, akachukua chupa za bia kumi na kuziweka kwenye kikapu kidogo cha plastiki, akarudi sehemu niliyo kaa akafungua chupa mbili na kunipatia moja kisha yeye akabaki na chupa moja.

“Peter”

“Ndiooo”

“Nataka tunywe tuleweeee. Tumsahau huyu mpumbavu”

“Sawa Yemi”

 

Tukaanza kunywa kwa kushindana, mchezo ulio tufanya tumalize bia hizi haraka sana, nikanyanyuka na kwenda kwenye friji, nikaongeza bia nyingine kumi na kurudi nazo, tukaendelea kunywa kwa mashindano, kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo muona Yemi akipagawa kwa pombe kwani akaanza kufanya vituko vya kimapenzi.

Kwa mara kadhaa Yemi, akaninyonya lispi zangu huku akinisifia kwamba nina lispi nzuri. Sikuhitaji kuonyesha hisia zozote za mapenzi wala kumtamani kwani nimeweka ahadi kwa mke wangu Hawa kwamba nitajitahidi kuhakikisha kwamba ninalinda penzi lake.

Yemi akauweka mkono wa kushoto juu ya wangu, akaanza kupapasa papasa jambo lililo nifanya nianze kusisimka.

“Mmmmmm Peter”

“Eheee”

“Mimi ni bosi wako si ndioo”

Yemi alizungumza kwa sauti ya ulevi huku akiwa wamenilegezea macho yake.

“Ndio wewe ni bosi wangu”

“Kwani kuna ubaya wa sisi ku....

“Ndio wewe ni bosi wangu siwezi kufanya hivyo”

Nilizungumza kwa kujikaza tu, ila tayari jogoo wangu anasikiliazia maumivu ya kubanwa na nguo yangu ya ndani.

“Mmmmm, muongo. Kwa hiyo wewe unashindwa kuni...mimi kisa mimi ni bosi wako?”

“Ndio ninakuheshimu bosi wangu”

“Acha hizo, hembu shika hapa”

 

Yemi aliuchukua mkono wangu wa kulia na kuuweka kifuani mwake, akaanza kuushikisha ma..yake huku akinitazama usoni mwangu.

“Peter”

Yemi aliniita na nikajikuta nikishindwa kabisa kumjibu kutokana na kumeza funda la mate la kutamani sana kufanya anacho kihitaji Yemi Okocha.

“Peter, si nimekuita?”

“Yaa nimesikia bosi”

“Shika z.. langu hili liminye minye”

Yemi alizungumza huku akiusaidia mkono wangu kwa kushika na mkono wake katika kuminya ziwa lake la upande wa kulia. Yemi akashindwa kujizuia, na kujikuta akikaa kwenye mapaja yangu,

‘Hawa nisamehe, nipo kazini mama’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikikishika kiuno cha Yemi Okocha. Tukazidi  midomo yetu, nikajikaza taratibu huku nikinyanyuka chini na Yemi hakuendelea kuning’anga’ania mwili mwangu. Nikaanza kutemba hivyo hivyo kwa kujikaza hadi kwenye kitandaa, nikamvua Yemi

 


Nikajilaza pembeni huyu nikihema kwa nguvu kwani ni shuhuli kubwa, taratibu Yemi akajivuta na kulaza kichwa chake kifuani mwangu. Hatukuchukau hata dakika nyingi usingizi mzito ukatupitia.

“Baba umefwata nini chumbani kwangu!!”

Niliisikia sauti ya Yemi Okocha akizungumza kwa mshangao, nikahisi labda yupo usingizini.

“Huyu ndio aliye kufanya umsaliti mumeo”

Sauti nzito ya mwanaume ikanifanya nifumbua macho yangu, nikakutana na sura ya baba Yemi ambaye ni gaidi niliye tumwa kuja kumtafuta nchini hapa Ningeria, pembeni yake wamesimama wanajeshi wawili wakiwa na bunduki mkononi mwao, na mlangoni nikamuona mume wa Yemi Okocha akituzama kwa hasira kali huku Yemi naye amekaa pembeni yangu huku amejifunika kwa shuka kuficha maungo yake ya ndani.



“Baba sio kosa la huju kijana kulala na mimi au kumsaliti huyo mshenzi hapo”

Yemi Okocha alizungumza kwa kujiamini sana huku akimtazama baba yeke usoni, mwili mzima ukaanza kunitetemeka kwa maana hili kosa ni saawa na kufuniwa na mke wa mtu.

“Mume wako amenieleza kila kitu, kwamba amekukuta na huyu kijana na mukamvamia na kumpiga kisha hapa mumelala pamoja”

“Ni muongo, baba unajua ni jinsi gani nilivyokuwa ninampenda Thomas, unatambua ni jinsi gani nilivyo yatoa maisha yangu kwa ajili yake, hadi hii hoteli alijenga kwa pesa yangu ambayo wewe umenipatia. Leo hii nimsaliti kirahisi pasipo yeye kuanza ujiang”

 

Yemi alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Sikuhitaji hata kujitingisha kwa maana kunaweza kuniletea matatizo na isitoshe kwamba nimepoteza ujasiri kabisa na sina uwezo wa kupambana kabisa.

“Baba mimi ni mwanao wa pekee. Haya ni mahusiano na maamuzi yangu binafsi, sinto penda wewe uyaingilie”

“Lakini mwanangu hii ni aibu, kulala na mwanaume mwengine namna hii”

“Baba yeye amelala na wahudumu wawili wa hoteli yangu, ninawalipa pesa yangu. Wamelala kwenye kitanda changu ambacho ni mali yangu. Hapo kweli kuna ubaya wa mimi kuamua kufanya maamuzi tofauti na yeye. Sinto jali baba kaishi maisha yangu mimi ukiendelea kunishawishi kurudiana na Thomas, simpendi na ukimuacha aendele kunisogelea ninakuahidi nitamuua”

Yemi Okocha alizungumza kwa ujasiri mkubwa huku akiendelea kumtazama baba yake, baba Yemi akashusha pumzi nyingi sana, akanitazama usoni mwangu kwa macho makali yaliyo nipa woga fulani.

“Kijana unaitwa nani?”   

“Peter”

Nilizungumza huku nikiendelea kutetemeka mwili wangu. Naamini kutetemeka huku pia kunanisaidia kuficha uhalisia wangu juu ya kazi ya upelelezi iliyo nilete hapa Nigeria.

“Vaa nguo zako”

“Baba Peter haondoki hapa pasipo mimi na kama unahitaji avae nguo zake wacha mimi nivae kwanza.”

“Yemi alizungumza huku akitaka kutoa shuka alilo lifunika, baba yake kwa haraka akageuka na kutupa mgongo kwani haitaji kuona maungo ya ndani ya mwanae.

“Acha kuvaa tafadhali. Wewe na huyo rafiki yako saa mbili usiku hakikisheni munakuja nyumbani kwa ajili ya chakula cha usiku ninahitaji kumfahamu zaidi ya hapa”

 

“Sawa baba”

“Na wewe uongozana na mimi”

Baba Yemi alizungumza huku akimnyooshea Thomas kidole, wakatoka kwenye chumba hichi na kunifanya nishushe pumzi nyingi huku jasho likinitoka usoni mwangu.

“Samahani kw ahili lililo tokea Peter”   

“Mmmm”

“Natambua unaogo ila usihofu juu ya hili, kila jambo litakwenda jinsi ninavyo weza isitoshe kwamba baba yangu ananipenda ndio maana ameweza kunisikiliza mawazo yangu juu ya maisha, kikubwa ninahitaji uwe na amani”

“Ila baba yako ni mwanajeshi ataniua mimi”

“Hawezi kufanya hivyo, namjua baba yangu ana roho njema, niamini Peter”

Yemi alizungumza huku akiwa amenishika mashavu yangu kwa viganja vyake viwili. Taratibu akanibusu mdomoni mwangu, tukatazamana kwa ukaribu sana wa nyuso zetu kwa sekunde kadhaa kisha tukajikuta tukianza kunyonyana lipsi zetu. 

 

‘Asante Mungu kazi yangu inakwenda vizuri’

Nilizungumza huku nikikilaza kichwa cha Yemi kwenye mtu, huku tukiendelea kunyonyana mdomo yetu. Woga na wasiwasi vyote vikanipotea, sikutaka kuwa mchoyo kwa Yemi kwa kumpa kile anacho kihitaji kwa asubuhi hii. Hatukuchukua muda mwingi tukajikuta sote tukimaliza mechi hii kwa pamoja.

“Asante Peter, sijui kwa nini siku zote sikuweza kukufahamu”

“Kivipi?”

“Wewe ni mwanaume ambaye umenionyesha ni jinsi gani mwanamke anatakiwa kut na mwanaume, sikutarajia kama siku ninaweza kukutana na mkuno ambao umeweza kunioatia jina usiku na leo asubuhi.”

“Kwani..aha…..mume alikuwa akufanyii hichi ninacho kufanyia?”

“Alikuwa hajiwezi, ila tuachane na hayo mambo sipendi kuyazungumzia sana. Ila tujiandae tukapate kifungua kinywa”

“Sawa”

“Au tupike humu humu?”

“Ni wewe tu”

“Ok sawa”

Tukashuka kitandani na kuingia bafuni pamoja, tukaingia katika sinki la kuga na taratibu tukaanza kuoga huku sote tukiwa katika furaha nzuri.

 

“Peter”

“Naam”

“Wewe ni mzuri”

“Hapana mimi wa kawaida sana”

“Nakuambia ukweli wewe ni mzuri, hivi umetokea wapi hapa Nigeria?”

Swali la Yemi likanifanya ninyamaze kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama usoni mwake. Kichwani mwangu ninapangilia ni sehemu gani ambayo ninaweza kuitaja kwa haraka haraka ili aweze kunielewa.

“Kwetu sio hapa Nigeria”

Nillizungumza kwa sauti ya upole kidogo na kumfanya Yemi kukaa vizuri kwenye sinki hili huku akinitazama kwa macho malegevu.

“Umetokea wapi?”

“Familia yangu ilikuwa nchini Kenya, na ndipo nilipo zaliwa. Nimesoma huko hadi nikamaliza, nikaajiriwa kwenye shirika moja la simu linaitwa Safaricom, nikafanya fanya kazi hapo ila baada ya mama yangu kufariki basi nikaamua kuja hapa Nigeria kwa maana mama aliniambia kwamba baba yangu ni mnageria na ndipo asili yangu ilipo, basi ikanibidi kuja hapa ili kumtafuta baba yangu”

 

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga ili kuukamilisha uongo wangu vizuri sana. Taratibu Yemi akanisogelea na kunishika mashavu yangu.

“Shii….usilie mpenzi wangu. Je ulisha wahi kumuona baba yako?”

“Hapana sikuwahi muona kabisa wala hata kuja kwangu sidhani kama ninaweza kufanikiwa kwani aliondoka Kenya tangu nipo tumboni mwa mama yangu na wala baba yangu hakuwahi kujua kwamba ameacha mtoto nchini Kenya”

Nilizungumza uongo ambao hata tukisema tuanze kazi ya kumtafuta baba yangu basi itakuwa ni kibarua kigumu kwetu.

“Ohooo pole mpenzi wangu, sasa utaweza kweli kumtafuta baba yako?”

“Sidhani kwa maana sijui hata sura yake ipo vipi”

“Je jina mama alisha wahi kukutajia labada tunaweza kumtafuta”

Yemi aliendelea kuzungumza kwa suti ya upole huku akinishika mashavuni mwangu.

 

“Aliniambia anaitwa Popoola”

“Duuu kuna majina mengi ya watu wanaitwa Popoola, ila tutajaribu kufwatilia kwenye mtandao na tunaweza kupata japo mtu hata anaye weza kuendana nawe”

“Nitashukuru sana”

Yemi akanipiga busu la mdomoni, tukamaliza kuoga na kutoka bafuni. Tukavaa nguo zetu na kuanza kuandaa kifungua kinywa. Hatukuchua muda sana tukawa tumemaliza kuanda akifungua kinywa.

“Wanamitindo wezangu watafika saa ngapi hapa?”

“Sio wezako tena”

“Kwa nini?”

“Peter naomba uelewe, japo ni haraka sana kwa hili jambo. Ninakupenda, si kwasababu nimeachana na mume wangu, la hasha. Tangu nilipo kuona kwenye mashindano nilitokea kuvutiwa na wewe, ila nilijitahidi kuuzuia moyo wangu katika kukupenda kwa maana nilitambua nina mume wangu wa ndoa na ninaheshimu ndoa yangu. Haikuwa hivyo kama nilivyo tarajia ndoa yangu iwe, naamini wewe mwenyewe umeweza kuhushudia kila kilicho tokea””

 

“Yaaa, labda ni kitu gani kimekufanya unipende?”

“Hahaaa hilo swali utanieleza badae tunywe chai kwanza kisha kama huyo jali tutaingia gym kufanya mazoezi”

“Sawa, sasa sina nguo za mazoezi?”

“Itabid kwenda kufanya manunuzi ya nguo madukani, mazoezi tunaweza kufanya hata usiku”

“Hapo sawa, japo umesahau kwamba usiku leo baba yako anatuhitaji nyumbani kwake”

“Ohoo Mungu wangu, kichwa changu kimesahau kabisa jamani, daaa nauona uzee unanikabili”

“Haha sio uzee, mawazo tu, nitajitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha kwamba mawazo hayo yanakwenda kufutika kichwani mwako”

 

“Nitashukuru sana mpenzi wang”

    Tukajiandaa na kuanza safari ya kuelekea katika maduka ya nguo, kila tunapo pita Yemi hakusita kunishika mkono, jambo lililo nifanya niwe na wasiwasi mwingi sana kwani kwa kipindi hichi mitandao ya kijamii inarusha habari kwa haraka sana na ninaelewa ni lazima Hawa atakuwa anaifwatilia oparesheni hii kwa ukaribu wa hali ya juu. Umaarufu wa Yemi unazidi kuihatarisha kazi yangu kwani kila sehemua watu walimuomba kupiga picha nasi na aliweza kuwakubali.

“Baby”

“Mmmm”

“Huwa sipendi kupiga picha mbele za watu”

“Kwa nini mume wangu”

“Bado mapema sana kwa watu kuweza kufahamu kwamba mimi na wewe tuna mahusiano”

“Peter, tafadhali mpenzi wangu, nimesha fanya maamuzi yangu mimi mwenyewe niakuomba uwe na amani wewe kwa sasa ndio mume wangu”

“Sawa nalitambua hilo ila sinto penda kuishi maisha ya umaarufu”

 

“Kweli mume wangu?”

“Ndio”

Yemi akanipiga busu la mdomo, na baadhi ya watu walio tuzunguka wakapiga picha kadhaa kwa kutumia simu zao. Tukaingia kwenye gari tulilo jia na kuondoka eneo hili.

“Kwa nini hupendi kuishi maisha ya umaarufu?”

“Kwa sababu sikuzaliwa kuwa mtu maarufu”

“Kumbuka ulikuja kwenye shindano la uwana mitindo, na utambue kwamba video yako inaendelea kutazamwa na watu wengi duniani, umesha kuwa maarufu Peter”

Yemi alizungumza huku akikunja kona, tukaingia kwenye moja ya mtaa wenye maduka mazuri ya nguo za kiume.

“Nalitambua sana ila nilifanya hivyo kwa ajili ya kujaribu tu ili kuona kama na mimi ninaweza kuwa mwanamitindo na hata kama anikipata pesa basi zitanitosheleza katika kipindi chote nitakacho kaa hapa Nigeria nikimtafuta baba yangu.”

 

“Ohooo sawa mpenzi wangu, nimekuelewa”

Yemi akasimamisha gari kwenye moja ya duka lenye midoli ya kiume iliyo valishwa suti. Tukashuka kwenye gari na kuingia ndani ya duka hili, tukanunua suti nne zinazo nitosha kisha baada ya hapa tukaanza safari ya kuelekea hotelini.

    Japo ninatambua kwamba ni maisha ya muda mfupi ya kufurahia na Yemi ila kusema kweli ninafurahi sana kwa maana Yemi ana tabia ambayo nimeikosa kwa wasichana wengi katika maisha yangu. Kila muda Yemi kwake ni furaha, ananijitahidi kadri anavyo weza kunifurahisha.

“Unatambua ni nini Peter”

“Eheee”

“Tukifika nyumbani kwa baba yangu, ninakuomba ujiamini, ule woga wako kama wa asubuhi sinto hitaji kuuona leo usiku”

“Usijali”

“Sawa ngoja nikaonane na washiriki, hapa nimeambiwa kwamba wamefika. Kama unahitaji unaweza kujumuika nami?”

“Hapana nenda kaonane nao tu”

“Poa”

Yemi akanisogelea na kunibusu mdomoni mwangu, kabla hajatoka nikampatia namba yangu ya simu kisha naye akanipatia ya kwake na akatoka chumbani humu. Nikapiga hatua hadi kwenye moja ya dirisha niksimama na kuchungulia nje. Nikatoa simu yangu na kumpigia raisi Donald Bush. Simu yake ikapokelewa ila sikusikia akizungumza zaidi ya kusikia miguno ya mapenzi. Nikataka kukata simu ila nikasubiria kidogo kusikilia.

‘Nakojoaaaaa’

Niliisikia sauti ya Hawa na kujikuta nikistuka sana, mwili ukaanza kunicheza wivu wa mapenzi ukaanza kunitawala moyoni mwangu. Hasira kali ikazidi kunipanda na swali kubwa nikajiuliza ni kwa nini raisi amemua kunisaliti.

 

“Kwa penzi hili ulilo nipa nitahakikisha kwamba mume wako nina mshughulikia”

“Hapana muache Dany peke yake, upo na mimi hakuna haja ya kumfwatilia muache aendelee na maisha yake”

“Una uhakika na unacho kizungumza?”

“Ndio, kwa picha nilizo ziona leo, Dany akiwa na Yemi zina dhihirisha kabisa wapo kwenye mapenzi matamu, nimekufungulia moyo wangu muheshimiwa raisi, ninajitahidi kukupenda”

“Nashukuru Hawa, sikufamu kama wasichana wa kiafrika muna mapenzi matamu kiasi hichi”

“Ila na wewe hakikisha mke wako unamueleza ukweli kuhusiana nasi”

“Usijali nitamueleza ukweli sawa baby”

“Mbona kama simu yako ipo hewani”

“Shitii”

Simu ikakatwa, jambo lililo nifanya nijikute nikimwagikwa na machozi usoni mwangu. Taratibu nikaizima simu yangu na kuirudisha mfukoni mwangu.

 

‘Hawa kwanini unataka kutengeneza uadui mwingine juu yangu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku machozi yakiendelea kunimwagika, kazi ambayo imenileta huku taratibu ninaanza kuichukia kwani mwanaume niliye muamini na kumpa jukumu la kumlinda mke wangu leo hii yupo chumbani na mwanamke wangu.

Mlango ukafunguliwa, kwa haraka nikafuta machozi yangu huku nikiwa ninatizama dirishani, nikageuka nyuma na kumkuta Yemi akiwa amesimama huku tabasamu pana limemjaa usoni mwake.

“Vipi mbona umerudi?”   

“Ahaa nimewapa maelekezo nimeona nije nitulie na wewe mpenzi wangu, vipi mbona kama unaonekana haupo sawa?”

“Kichwa kidogo kinaniuma”

“Ohoo pole sana”

Taratibu nikajikuta nikimsogelea Yemi na kumkumbatia kwa nguvu, machozi nikashindwa kuyazuia na kujikuta nikiangua kilio kikali sana hadi Yemi akabaki akishangaa ikambidi aanze kazi ya kunibembelea huku akiniuliza maswali ya kutaka kufahamu ni kutu gani kinacho endelea  kwangu.



 

“Peter tafadhali ninaomba uniambie ni kitu gani kinacho kuliza mpenzi wangu?”

 

Yemi Okocha aliendelea kuniuliza kwa sauti ya upole na iliyo jaa unyonge ndani yake.

“Namkumbuka sana mama yangu”

Ilinibidi kuzungumza uongo.

“Shiii usilie mume wangu, kwa sasa nitakuwa mama, baba kwako nitakujali kwa kila jambo katika maisha yangu sawa”

“Nimekuelewa mke wangu ninashukuru sana”

“Vipi tutakula mchana?”

“Hapana nipo vizuri”

Taratibu tukaka kwenye sofa, Yemi akaniomba nilaze kichwa changu kwenye miguu yake na nikafanya hivyo.

“Mama yangu alikuwa ni mwanamke mpambanaji sana, kwenye maisha yake hakuhitaji kumtegemea mwanaume. Alijitahidi kuhakikisha kwamba ninapata elimu bora ili ije kunisaidie mbeleni”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama Yemi usoni mwake, na viganja vya mikono yake vinakazi ya kukatiza katiza katika mwili wangu.

 

“Mama alisumbuliwa na nini hadi akafariki?”

“Saratani”

“Daaa pole sana”

“Nashukuru, nilijaribu kumpeleka katika kila hospitali kubwa nchini Kenya ila ilishindikana na Mungu aliweza kumchukua”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga tena ili kuzidi kumpumbaza  Yemi Okocha.

“Kikubwa ni kumshukuru Mungu mpenzi wangu sawa baba”

“Sawa”

    Tukaanza kujiandaa kwa ajili ya kueleka katika nyumbani kwa baba Yemi. Nikavaa moja ya suti ambayo nimetokea kuipenda sana.

“Mke wangu kesho unikumbushe kuelekea katika hoteli niliyo toka nikachukue begi langu la nguo”

“Sawa hakuna tabu katika hilo”   

Imetulazimu kuondoka mapema kutokana na foleni kubwa iliyopo hapa katika jiji la Lagos Nigeria. Ikatuchukua saa moja na nusu kufika katika jumba kubwa la kifhari la baba Yemi. Nyumba hii inalindwa na wanajeshi wenye silaha kubwa zenye uwezo mkubwa katika upambanaji.

“Mkewangu tafahali usishuke kwanza kwenye gari”   

“Kwa nini?”

“Mbona kuna wanajeshi wengi hivi?”

“Baba yangu ni kamanda mkuu wa jeshi, ni lazima nyumbani kwake walinde wanajeshi”

 

“Huoni kama inaweza kuniletea shida kwangu kama anakuwa amejazwa sumu na mume wako uliye achana naye?”

“Baba yangu ni muelewa mkubwa sana na anapenda kunipa uhuru kwa kila jambo ambalo ninalotaka kulifanya kwa hiyo katika hili wala usiwe na wasiwasi mume wangu sawa?”

“Sawa”

Nikashusha pumzi nyingi huku nikishuka kwenye gari, tukapokelewa na wafanyakazi wawili wa kike na moja kwa moja tukaeelekea ndani. Tukaingia kwenye seble moja kubwa sana ambayo ukubwa wake kwa nchi yetu ya Tanzania unaweza kujenga nyumba hata ya vyumba vinne vya kulala.

“Waooo karibu mwanangu”

Baba Yemi alizungumza huku akinyoosha mikono yake na kumkumbatia mwanaye. Wakazungumza kilugha ambacho sikuweza kukielewa. Yemi akanigeukia na kunishika mkono wangu.

 

“Baba huyu anaitwa Peter ni mume wangu mtarajiwa”

“Peter huyu ni baba yangu Mzee Okocha”

“Nashukuru kukufahamu”

Mzee Okocha akanipatia mkono huku  akiutingisha na kunitazama usoni mwangu kwa macho makali ila anatabasamu. Tukakaribishwa kwenye meza ambayo imejaa vyakula vingi  vya kila aina huku kukiwa na majagi makubwa ya juisi. Wafanyakazi walio simama pembeni ya hii juisi nilisihi kwamba wanaweza kukaa nasi kwenye hii meza kubwa wajumuike kula nasi, ila hadi ninaanza kula sikuona hata mmfanyakazi mmoja akigusa kijiko kwa ajili ya chakula.

“Mwanangu laiti kwamba Peter asinge kuwa kijana mwenye muonekano basi ningekukatalia katu katu kuwa naye kimahusiano”

“Hahahaa, kwahiyo baba unapenda kijana mwenye muonekano mzuri?”

 

“Ndio, kwani mimi mbaya. Hata siku ambayo nilimpata mama yako nilikuwa nimevalia vizuri, sikupata shida ya kuzungumza maneno mengi, nilijikuta namchukua kiulaini sana”

Maneno ya Mzee Okocha yakatufanya tucheke sana kwani mbwembwe zake ni sawa sawa na marehemu baba yangu kwani nakumbua kwamba alisha wahi kuniadisia kwamba alimpata mama yangu kutokana na uzuri wake.

“Ila mama alikuwa mzuri sana”

“Ahaahaa ndio maana nikawa naye, wewe ulitaka awe mbaya ili nipate mtoto mbaya. Tazama wewe jinsi unavyo vutia naamini hata Peter umemependa mwanagu?”

“Ndio mzee”

Nilizungumza huku nikitabasamu, ila moyoni mwangu nina wasiwasi na woga mkubwa.

“Hicho ndicho nilicho kihitaji kutoka kwako Peter. Yule mshenzi Thomasi amekuja kunitoa hapa asubuhi asubuhi amenionyesha sikio lake nusu, nikakua kweli bwana kumbe ni mshenzi sana”

 

“Yaani baba laiti kama uneng’ang’ania niendelee kuwa na Thomas, basi muda kama huu ungekuwa umesha ipata maiti yake”

“Hahahaaa nililiona hilo mapema”

Mazungumzo ya Yemi na baba yake, kwa mtu mwenye uelewa wa hali ya juu, nilazima utahisi kuna jambo linalo endelea chini ya hii familia.

“Peter baada ya hapa ninahitaji kuzungumza na wewe maneno mawili matatu nje huko”

“Jamani baba munataka kuwa ninyi peke yenu?”

“Ahaaa kuna mambo mengine ninatakiwa kuzungumza na mkwe wangu peke yetu”

“Sawa”

Tukamaliza kula, mimi na mzee Okocha tukaanza kutembea kutoka katika hii nyumba. Tukatokea kwenye moja ya bustani kubwa na pembezoni kuna bwawa moja kubwa.

“Ahaa Peter wewe umetokea wapi?”

“Nimetokea Kenya mzee”

 

“Sawa sawa, unataka kuniambia kwamab wewe ni mkenya?”

“Ndio ila kwa historia ya mama yangu aliniambia kwamba uhalisia wangu ni hapa Nigeria kwa maana baba yangu alikuwa ni mnigeria”

“Ahaaa sawa sawa, sasa baba yako umeweza kuonana naye?”

“Hapana mama aliniambia kipindi baba anaondoka Kenya, alimuacha akiwa na mimba ya mwezi mmoja na baba wala hakuweza kulitambua hilo. Na kila alipo msubiria aweze kurejea baba hakurejea, hadi nikazaliwa na kuwa mtu mzima kabisa”

“Na mama yupo wapi?”

“Kwa sasa mama amesha fariki”

“Daaa pole sana, unajua kipindi ambacho mke wangu alifariki na kuniacha na Yemi, kilikuwa ni kipindi kigumu sana kwa maana tulipendana sana na mama yake”

Mzee Okocha kwa jinsi anavyo zungumza unaweza ukamdhania kwamba ni mtu mwema sana asiye na tabu na mtu ila kwa historia ambayo niliipata yeye na kundi lake basi ni mtu mmoja gaidi sana.

“Thomas aliniambia uwezo wako wa kupambana je ni kweli?”

“Kivipi baba”

“Aliniambia kwamba unajua kurusha ngumi, mateke. Unajua jinsi ya kumzuia adui je ni kweli?”

“Kidogo japo sio sana”

“Sio sana!!?”

Mzee Okocha alizungumza huku akinitazama vizuri usoni mwangu.

 

“Ndio baba”

“Nitahitaji unionyeshe uwezo wako”

“Baba sio sana”

“Huo huo wa sio sana ndio nitahitaji unionyeshe kwa maana nahitaji kukujua wewe vizuri. Kwa maana binti yangu ni mzuri sana, anahitaji kupata mwanaume atakaye mlinda na kumpenda. Endapo mwanangu atakufa mikononi mwako basi nitahakikisha kwamba na wewe ninakuua. Na binti yangu akimuumiza na mimi nitahakikisha ninakuumiza.”

Mzee Okocha alizungumza kwa sauti nzito aliyo zungumza nayo asubuhi, nikabaki nikiwa nimemkazia macho.

“Sawa baba nimekuelewa”

“Na kitu kingine kuna mitihani yangu mitano nitakupatia ukifanikiwa kuipta hiyo basi utaishi na mwanangu na nitawapa kila kitu changu, ila ukishindwa basi nitakuua kimya kimya pasipo mtu yoyote kufahamu, umenipata Peter?”

 

“Ndio nimekupata mzee”

Tukafika kwenye moja ya kiwanja cha mpira wa mikono, mzee Okocha akaka kwenye moja ya kiti, nikataka kukaa akanizuia kwa ishara huku akinitazama usoni mwangu.

“Nahitaji kuuona uwezo wako wa kupigana”

“Ahaa mzee hapa mbona tupo sisi wawili tu nitapigana na nani?”

“Unaweza kupigana na upepo”

“Upepo!!?”

Niliuliza huku nikiwa nimeshangaa, bado nusu tu nimtukane mzee huyu kwani ninamuona ni mwenda wazimu japo nimetumwa kumpeleleza, nimeamua kuikatisha kazi hiyo kutokana na usaliti wa Hawa na raisi Donald Bush.

“Ndio”

Nikasimama huku nikimtazama mzee Okocha vizuri usoni mwake. Nikahisi hatua za mtu akija nyuma yangu kwa haraka nikageuka na kukutana na mwanajeshi mmoja mwembamba na ana urefu kama wangu.

 

“Huyo anaitwa upepo sasa unaweza kupambana naye”

Hapa ndio nikapata maana ya mzee huyu kuzungumza kwamba nitapambana na upepo, taratibu nikavua koti langu la suti pamoja na saa yangu ya kononi, nikaviweka kwenye moja ya kiti kisha nikamgeukia huyu mwanajeshi. Nikamtazama Mzee Okocha, akanikonyeza, nikstukia teke zito la kifua lililo niangusha chini mzima mzima, mwajashi huyu akaanza kunishambulia kwa kasi sana, uwezo wake unaweza kusema ni kama mchina aliye fuzu mafunzo ya kung fu.

Kila nilipo jaribu kujipanga, upepo aliweza kupangua mipango yangu. Sikuweza kurusha ngumi wala teke hata moja, sikuwa na ujanja zaidi ya kuanza kumsoma huyu upepo kuanzia urushaji wake wa mateke hadi ngumi. Kitu nilicho kigundua kwamba mikono yake ndio ina kasi sana kuliko miguu. 

 

“Kwa mtindo huo siwezi kukuachia mwanangu, mwanaume gani wewe”

Mzee Okocha alizungumza maneno ya kejeli huku akinitazama jinsi ninavyo jizoa zoa kunyanyuka chini nilipo anguka, shati langu lote jeuepe limeshafuka kwa fumbi la hichi kiwanja.

    Nikasimama kimtego upepo akajaribu kunikabili kwa mateke ya kuruka hewani, ila nikamkwepa na kumsindikiza kwa teke la mgongo lililo mfanya aanguke kifudifudi kama mzigo, upepo akanyanyuka kwa kasi, pasipo kufikiria kwamba nimemgundua siri ya upiganaji wake, akaanza kunishambulia kama mwanzo. Laiti kama kungekuwa na mashabiki pembeni wanao nishabikia basi wangeweza kunishabikia kwa nderemo na vifijo.

 

Huku si kupiga bali ni kumbuta mwanajeshi huyu anaye itwa upepo, kila alivyo jaribu kurusha ngumi, mimi nilicho kifany ni kuudaka mkono wake na kuhakikisha kwamba ninavunja japo kidole kimoja, upepe alijitahidi kujikaza kuonyesha ukakamavu mbele ya bosi wake ila mbinu na mipango yake yote nilisha itunza kwenye akili yangu.

 

“Khaaghaaaaaa……..”

Upepo alitoa ukelele mkali baada ya kumvuja mkono wake wa kulia hadi mfupa ukatoka nje, nikakamsukuma pembeni upepo na kumfanya mzee Okocha kubaki akiwa ameduwaa, kuona kijana wake anavyo garagara chini. Nikaanza kutembea kwa kujiamini hadi kwenye kiti alicho kalia mzee Okocha, huku nikiwa nimejawa na hasira kali. Nikameza funda zito la mate, taratibu mzee Okocha akasimama huku akiwa ameikunja sura yake.

 

“Usinijaribu tena na vijana wako nitawaua”

Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo, nikabeba koti langu begani, kisha nikaichukua saa yangu na taratibu nikaanza kuondoka hili eneo, nikasikia mlio mdogo wa bastola inayo kokiwa, taratibu nikageuka na kumkuta mzee Okocha akiwa ameninyooshea bastola yake huku sura yake ikizidi kutisha kwa kukasirika.

“Wewe ni nani na unataka nini kwangu”

Mzee Okocha alizungumza kwa sauti nzito ambayo hainitishi kabisa, kwani nikiwa katika hasira huwa ninajiamini kuliko muda wowote ambao ninakuwa tofauti. Taratibu nikaanza kumsogelea mzee Okocha huku akilini mwangu nikitaka kumueleza ukweli kwamba mimi ni Dany na nipo hapa kuhakikisha kwamba ninamkamata yeye na kundi lake lote la boko haramu.



“Mimi ni mkwe wako mpya na ninacho kihitaji kwako ni mwanao tu, kuna laziada?”

 

Nilimuuliza Mzee Okocha kwa sauti nzito huku nikimkazia macho na yeye, tukatazamana kwa sekunde kadhaa, taratibu mzee Okocha akatabasamu, akaishusha chini bastola yake kisha akaichomeka kiunoni mwake.

“Nimekupenda sana Peter kwa kujiamini kwako”

Mzee Okocha alizungumza huku akinishika bega lang, tukaanza kutembea kurudi sebleni.

“Naamini mwaangu amepata mwanaume sahihi ambaye anaweza kumlinda kwa kila jambo, shida na raha”

“Nashukuru kwa kuligundua hilo”

“Umejifunzia wapi mbinu za kupigana hivyo kwa maana ni watu wachache ambao wanafanya hivyo. Na Upepo ndio kijana wangu mwenye mafunzo ya juu katika jeshi langu hili, na wewe umempiga imekuwaje hapo?”

 

“Mama yangu alipenda kunipeleka katika mafunzo ya karate tangu nilipokuwa mtoto, ukitegemea Kenya kule amani kwa kipindi fulani ilikuwa ni tete, kwa hiyo kadri siku zilivyo zidi kwenda ndivyo nilivyo zidi kujifunza na kukomaa kwenye upambanaji tangu nikiwa mtoto mdogo sana”

Niliendelea kumdanganya mzee Okocha, na uongo wangu ninahakikisha kwamba unaendana na ukweli na sihitaji kusahau chochote ninacho kidanganya.

“Kwa sasa ni mapema sana, nitahitaji kuweza kukujua na nitakupatia nafasi katika jeshi langu”

“Kwani mzee una jeshi lako mwenyewe”

“Ahaa siwezi kuzungumza kwa sasa Peter, nitahitaji kukujua wewe vizuri kwanza sawa”

 

“Nimekuelewa”

Tukaingia sebleni, Yemi akasimama kwa haraka kwenye sofa alilo kalia huku akinishangaa nikajitazama shati langu nikakuta likiwa limejaa damu na limechafuka kwa kiasi kikubwa.

“Ni kitu gani kimekupata mume wangu?”

Yemi alizungumza huku akinifwata, mzee Okocha akatuacha wawili na kuelekea kukaa kwenye sofa.

“Ahaa…kuna mazoezi nilikuwa ninayafanya”

“Mazoezi, baba niambie ni kitu gani kinacho endelea”

Yemi alizidi kuhoji maswali huku akiwa katik hali ya kushangaa sana.

“Nilikuwa ninampima mume wako”       

“Unampima kivipi?”

“Nimempambanisha na kijana wangu na amefanikiwa kumpiga”

 

“Nini……baba hivi kweli unaweza kumapambanisha mwanaume ninaye mpanda na hao watu wako wa ajabu ajabu”

“Nimefanya hivyo kwa ajili ninahitaji kumjua Peter, ni mwanaume wa aina gani unahisi ninaweza kukukadhibi kwa mwanaume mjinga mjinga ambaye hata yeye mwenyewe anashindwa kujilinda?”

Mzee Okocha alizungumza kwa ukali kidogo huku akisimama kwenye sofa kwani Yemi anaonekana kukasirika kwa jambo hili.

“Hata kama baba unahitaji kumpima mwanaume huyu, ila unatakiwa kunijulisha mimi kwanza. Je angekufa au angeumia?”

 

“Haujaumia na wala hajakufa”

“Baba hii sio haki kabisa, sinto penda Peter ajihusishe kwenye biashara zako na watu wako”

“Lazima Peter ardhi kiti changu na hakuna mwengine wa kukirithi ikiwa wewe ni mtoto wa kike na hauna wazo lolote juu ya hili jeshi langu ninalo endelea kuliunda siku hadi siku”

Kukaripiana kwa Yemi na baba yake kunaanza kunipa picha halisi ambayo nilisha simuliwa na Hawa.

“Baba siwezi kuruhusu Peter kujiunga na yeye, tuachie maisha yetu. Tuache tuishi sisi wawili, niachie mwanaume ninaye mpenda aishi kwa amani”

Yemi alizungumza kwa sauti ya upole huku machozi yakimwagika usoni mwake.

 

“Nakupenda mwanangu na ninawapenda nyinyi nyote wawili, ila sina jinsi ni lazima Peter awe”

“Kwa nini huja jinsi baba yangu eheeheee?”

“Kwa sababu ninakufa”

Maneno haya yakastua mimi na Yemi, taratibu Yemi akaanza kumsogelea baba yake huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake.

“Nina miezi michache ya kuishi mwanangu, nimeishi na sataratni ya damu kwa damu kwa mwaka sasa, daktari ameniambia kwamba siwezi kumaliza huu mwaka ni lazima nitakufa. Ni nani atakuwa muangalizi wa hili jeshi, nani atatimiza ndogo zangu za kuikomboa hii nchi kutoka mikononi mwa viongozi wala rushwa, viongozi wabinafsi, ni nani mwamngu?”

Mzee Okocha alizungumza huku machozi yakimwagika, taratibu nikajikuta nikimuonea huruma mzee huyu.

“Baba kwa nini unakuwa msiri kwa kipindi chote hicho na huniambii ukweli?”

 

“Sikuhitaji kukupa hofu mwangu, sikuhitaji uishi kwa mawazo ukinifikiria mimi, nilihitaji kujiua tu mimi mwenyewe, ili nisife nikiwa kitandani. Tafadhali Yemi elewa hichi ninacho kuambia mwanangu, mumeo Peter ndio anajukumu la kuiongoza hili jeshi”

Taratibu Yemi akamkumbatia baba yake huku wote wakilia kwa uchungu, nikajikuta machozi na mimi yakinimwagika, ila taratibu nikajifuta huku nikitazama chini.

“Peter”

Niliisikia sauti ya mzee Okocha akiniita, taratibu nikanyanyua sura yangu na kumtaza, kwa ishara ya mkuno akaniita, nikatembea kwa hatua za taratibu hadi sehemu walipo simama.

“Umesikia mambo mengi ambayo kwa sasa sikuhitaji uweze kuyasikia, ila umeweza kuyasikia, je ninaweza kumuamini?”

Mzee Okocha na Yemi wakabaki wakinitazama usoni mwangu kwa sura zilizo jaa majonzi.

“Ndio mzee unaweza kuniamini”

“Nahitaji kesho Mungu akibariki tuzungumze mambo mengi sana juu yengu. Kwa sasa ninawaomba nikapumzike”

Mzee Okocha akamuachia mkono Yemi na kuanza kuondoka katika hili eneo, taratibu tukamsindikiza kwa macho akipandisha gorofani hadi akapotea kwenye usawa wa macho yetu.

 

Yemi akanikumbatia kwa nguvu huku akilia, sikuwa na jinsi zaidi ya kuhakikisha kwamba ninambembeleza Yemi. Taratibu tukaelekea katika chumba tulicho andaliwa kulala. Yemi hakuwa na furaha yoyote zaidi ya kukaa kwenye sofa huku amejikunyata sana. Taratibu nikavua shati langu lenye damu iliuyo kauka, nikaingia bafuni, huku nikiwa na mawazo mengi kichwani mwangu, kwani kazi ambayo imenilete huku tayari imesha ingia doa.

 

‘…..Je ninaweza kukuamini?’

Kauli ya mzee Okocha ikajirudia kichwani mwangu, nikajikuta nikifumba macho huku nikiwa nimesimama mbele ya kioo kikuba kilichopo humu bafani.

‘Mungu nisaidie katika hili’

Nikafumbua macho yangu, nikaanza kunawa mikono yangu pamoja na uso wangu, nikamaliza, nikatoka bafuni humu, nikamkuta Yemi akiwa bado amejikunyata kwenye sofa huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Mpenzi wangu”

Nilimuuita Yemi kwa sauti ya upole na unyonge huku nikikaa pembeni yake, Yemi akanitazama tu usoni mwangu, taratibu nikamsogeza karibu yangu na kichwa chake akakilaza kifuani mwangu.

“Peter baba yangu anakwenda kufaa, nitabaki peke yangu”

“Shiiiiiii….nipo kwa ajili yako mke wangu”

“Peter, natambua sijakueleza ukweli wowote kuhusiana na maisha ya hii familia yangu, najua utaniacha ukiujua ukweli”

“Siwezi kukuacha mke wangu, nipo hapa kwa ajili yako sawa”

 

“Kweli mume wangu?”

“Kweli”

“Nahuahidi nitakuwa pembeni yako hadi mwisho wa uhai wan…….”

Sikumalizia sentensi yangu mlango wa chumbani kwetu ukangogwa kwa nguvu. Tukatazamana na Yemi, kwa haraka nikanyanyuka na kuanza kutembea kuelekea mlangoni, nikaufungua mlango kwa umaikini mkubwa, nikakutana na na mwanajeshi mmoja, akanipigia saluti.

“Muheshimiwa mzee amenguka ndani kwake na hali yake ni mbaya”

“Nini”

Nikamuona Yemi akinyanyuka kwa haraka kwenye sofa na kuja mlangoni nilipo simama.

“Unasema baba yangu amenguka?”

“Ndio muheshimiwa, daktari anajitahidi kumuhudumia”

“Ohooo Mungu wangu”

Tukatoka kwa kasi huku mweanajeshi huyu akituongoza, tukafika chumbani kwa mzee Okocha tukakuta baadhi ya wanajeshi wakimnyanyua na kumuweka katika kitanda cha matairi.

 

“Imekuwaje”

Niliuliza huku nikimwa nimemshika Yemi mkono wa kulia, kwani pasipo kufanya hivi anaweza kuanguka na yeye.

“Hali yake ni imezidi kuwa mbaya inabidi kumuwahisha hospitalini haraka iwezekanavyo”

“Baba…. Baba”

Yemi aliita huk machozi yakimwagika, wanajeshi hawa wakaanza kukisukuma kitanda cha mzee Okocha huku nasi tukifwata kwa nyuma. Mwajeshi mmoja akanipatia tisheti ya jeshi, nikaivaa kwa haraka kw amaana nipo tumbo wazi. Tukaingia kwenye gari la wangonjwa huku tukiwa na daktari wa jeshi.

 

“Baba yangu nini nini kimempata dokta?”

“Presha imepanda”

“Presha tu ndio inapelekea hivi?”

Ilinibidi kumuuliza daktari. Daktari akatutazama kwa macho ya wasiwasi, nikaweza kuitambua hali aliyo kuwa nayo, nilicho kifanya ni kumkonyeza tu asizungumze chochote mbele ya Yemi. Tukafanikiwa kufika kwenye hospitali ambayo wala sikuifahamu inaitwaje huku tukiwa na ulizi wa wajeshi zaidi ya ishirini. Mzee Okocha akapokelewa na madkatari wa hii hospitali, na moja kwa moja akakimbizwa kwenye chumba cha duma ya matibabu.

“Baba atapona kweli?”

Yemi aliniuliza huku akiendelea kuliaa.

“Atapona mke wangu, kikubwa tumuombe Mungu katika hili”

“Ohoo Mungu wangu msaidie baba yangu mie”

Yemi alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu, simu yangu mfukoni ikaita taratibu nikamuchia Yemi, na kumuomba niweze kupokea simu hii.  Nikasogea pembeni umbali kidogo kutoka kwenye chumba alicho ingizwa mzee Okocha, ila ni kwenye kordo hii hii tuliyopo. Nikaitoa simu yangu mfukoni na kukuta ni namba ya meja ndio anaye nipigia.

 

“Ndio meja?”

“Dany upo kwenye hatari”

“Hatari?”

“Ndio muheshimiwa raisi ametuma kikosi cha  makomandoo sita na amawaagiza waweze kukuangamiza, ni kutu gani kinacho endelea Dany kwa maana nashindwa kuelewa”

Taarifa hii ikanistua sana jambo lililo nifanya nigeuke na kumtazama Yemi, nikamuona akiwa amekaa kwenye kiti huku amejiinamia chini akiendelea kulia. Nikawatazama wanajeshi hawa walio jipanga nje ya mlango wa hii hospitali.

“Dany unanisikia?”

“Ndio meja ninakusikia”

“Ni kitu gani kinacho endelea?”

“Raisi ana mahusiano na mke wangu”

“Nini?”

 

“Nilipiga simu asubuhi, kwa bahati nzuri kwangu, raisi alipoke pasipo kufahamu kama amepokea simu yangu, niliweza kusikia miguno ya kimapenzi, na inavyo onyesha walikuwa katika hatua ya mwisho mwisho kumalizia kufanya mapenzi. Raisi alimuomba mke wangu aweze kunishuhulikia na kuniondoa duniani japo Hawa alimsisitizia aniache peke yangu ila ndio hivyo ameamua kufanya maamuzi yake”

“Na alitambua kwamba umewasikia?”

“Ndio”

“Shitiiitiii, ni ujinga gani anao ufanya sasa”

“Meja nisiwe muongo kwako wala mnafki, nimeamua kuachana na hii kazi, kama ameamua kuniua basi acha aniue, ila sinto kufa kijinga kiasi hicho anacho fikiria nitahakikisha kwamba kila anaye mtuma kwangu ni lazima na mimi niweze kumuua”

 

Nikamsikia meja akishusha pumzi nyingi

“Muheshimiwa raisi ametusaliti, na siwezi kupinga katika hilo, ninatakia maisha mema Dany ila hakikisha kwamba unakuwa salama”

“Nashukuru Meja na Mungu akubariki katika hili, kwani taarifa yangu itayaokoa mausha yangu”

Nikakata simu, kitendo cha kuirudisha mfukoni nikaanza kusikia milio ya risasi ikirindima kwa nje jambo lililo wafanya wanajeshi walipo katika eneo hili kujiweka sawa kwa mashambulizi. Nikakimbilia hadi sehemu alipo kaa Yemi anaye shangaa shangaa. Nikamshika mkono na kumnyanyua, nikaufungua mlango wa chumba cha alicho ingizwa mzee Okama tukawakuta madaktari wakiendelea kutoa huduma kwa mzee Okama.

“Hamtakiwi kuingia humu ndani kwa sasa”

Daktari alizungumza huku akitutazama kwa mshangao.

“Tunatakiwa kumuondoa mzee hapa sasa hivi”

“Siwezi”

Nikamuachia Yemi mkono, nikamshika daktari na kumvuta daktari hadi nje ya chumba alipo sikia milio ya risasi akabaki akiwa anatetemeka kwani hali ya usalama katika eneo la hii hospitali inazidi kuwa mbaya kadri muda unavyo zidi kwenda.

ITAENDELEA



   

 

0 comments:

Post a Comment

BLOG