Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

AIISSII U KILL ME LEGACY SEHEMU YA 7/10

 


AIISSII U KILL ME LEGACY

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 7 KATI YA 10

 


Kadri siku zilivyo zidi kwenda ndivyo jinsi siku ya sherehe yetu mimi na Victoria ndivyo jinsi ilivyo zidi kukaribia. Dany akazidi kutoa mialiko kutoka sehemu mbali mbali kwa marafiki zake, ambao wengi walianza kuingia nchini Tanzania siku kadhaa kabla ya sherehe hiyo kufika.

“Ulinzi umeimarishwa kila sehemu”

Livna alizungumza huku akitutazama mimi na Dany huku tukiukagua ukumbi huu kwani kesho ndio siku ya sherehe yetu ya harusi.

“Sawa. CCTV kamera zote zinafanya kazi vizuri?”

“Ndio kila kitu kipo safi kabisa”

“Sawa mpenzi wangu nashukuru”

Dany alizungumza huku akipiga Livna busu la mdomoni. Tukarudi katika hoteli ya bi Jane ambapo ndipo ninapo kaa kwa ajili ya maandalizi ya sherehe hii. Ulinzi katika eneo hili umeimarishwa kisawa sawa kwani pia kuna baadhi ya wafanya biashara wakubwa wapo kwenye hii hoteli ambao nao pia wamekuja kuhudhuria harusi yangu.

Nikachukua simu na kumtakia usiku mwema Victoria ambaye kwa sasa ana ishi nyumbani kwa bi Jane. Kitendo cha kumaliza mazungumzo haya ya simu, mlango wa chumbani kwangu ukagongwa. Nikanyanyuka hapa kitandani na kutembea kwa hatua za kujiamini hadi mlangoni. Nikafungua mlango huu nikajikuta nikistuka sana mara tu baada ya kukutana uso kwa uso na mama yangu mzazi.

“HALOOOO SON RANDY”

Yemi alizungumza huku akitabasamu kwa dharau jambo lililo nifanya nijaribu kuufunga umlango huu ila Yemi akauzuia na akaingia ndani kinguvu.



Kitu kilicho nishangaza ni walinzi wote ambao wapo kwenye hii kordo wamshindwaje shindwaje kumzuia Yemi kuingia ndani ya hichi chumba. Nikafunga mlango na kumgeukia Yemi na kumkuta akikaa kwenye moja ya sofa huku akikunja miguu yake nne.

“Ehee nasikia unahitaji kuoa?”

Nikamtazama mama kwa macho makali huku moyo wangu ukiwa na jazba kubwa sana.

“Kaa mimi ni mama yako. Huwezi kunifanya jambo lolote”

“Unahitaji nini?”

“Nijibu swali langu. Je unaoa?”

“Hata nikioa wewe inakuhusu nini?”

“Hahaaa….baba yako ndio amekufundisha ujerusi wa kijinga si ndio”

“Nisikilize Yemi”

“Samahani umeniita nani?”

“Yemi”

“Sio mama tena?”

“Utajijua, sihitaji shida na wewe, sihitaji tabu na wewe na nilisha ondoka kwenye maisha yako ili niepukane na dharau na manyanyaso yako ya kijinga. Samahni sihitaji tabu na wewe nakuomba utoke”

“Hahaaa…..kweli umekuwa. Kama uliondoka kwenye maisha yangu. Rudisha mwili wako tumboni mwangu ili niweze kujua kwamba wewe umekua kidume na umeondoka maishani mwako”

Yemi alizungumza kwa kufoka sana hadi jazba yangu niliyo nayo ikaanza kupungua taratibu moyoni mwangu.

“Niliteseka peke yangu leba nikiwa ninakuzaa kunguni wewe. Baba yako alikuwa busy na wanawake zake na kuendelea kutomb**n** pasipo kujali kuna mwanamke nimembebea ujauzito wake. Nimekusomesha kwa pesa yangu, nimekulisha kwa pesa yangu na umepata hiyo elimu kichwani mwako kwa ajili ya pesa yangu. Leo hii unajikaza kibesi na kuniita Yemi. Wewe nani,una kipi eheee?”

Yemi aliendelea kufoka kwa jazba ambayo nilsha wahi kumuona nayo kwa miaka kadhaa ya nyuma kipindi nilipo kuwa ninaishi chini ya uangalizi wake.

“Yote hayo ni kutokana na baba kumuua mume wako?”

Nilizungumza kwa kujiamini na kumfanya Yemi kunitazama kwa macho yenye hasira kali.

“Baba alikuwa sahihi kutetea penzi lake. Ulimsaliti na kutembea na Donald Bush ukamuacha yeye akiwa katika hatari ya kuuwawa ehee. Ulikuwa ni mwanamke gani usiye shindwa kuibana miguu yako na kutuliza uch*****”

Kabla hata sijamalizia sentensi yangu nikakwepa pochi ya mama aliyo nirushia kwa hasira huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Ninazungumza ukweli. Ulimsaliti baba yangu wewe ni nini ulitarajia kukipata kutoka kwake eheeee?”

“NYAMAAAZAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA……………………..!!!”

Yemi alizungumza huku akinyanyuka kwa haraka na kuanza kunifwata sehemu nilipo simama akajaribu kurusha kofi nikaudaka mkono wake wa kulia.

“Mimi ni mama yako na nina haki ya kufanya maamuzi ya maisha yangu pasipo kupangiwa na mtu wa aina yoyote.”

“Hata baba yangu ni mtu naye ana maamuzi ya kufanya hususani kuhakikisha kwamba analinda penzi lake kwa mwanaume anaye mpenda ndio maana akamakata vipande kwa vipande choko wako Donald Bush na next anakwenda kukumalizia na wewe kwa kukusambaratisha na wapuuzi wako ambao munahitaji kunitumia mimi ili kumuumiza yeye. Umefeli”

Nilizungumza huku nikiwa nimeyang’ata meno yangu kwa hasira sana. Tukatazamana na Yemi kama dakika tano hivi kisha akatabasamu huku akijifuta machozi yake.

“Hivyo ehee?”

“Ndio na ninaomba utoke ndani ya chumba changu sasa hivi kwa maana heshima ya mama ulisha ipoteza kwangu na kilicho baki kwako ni historia kwamba nilikaa tumboni mwako tu.”

“Hahaaaaa………”

Yemi alicheka kwa dharau huku akiutoa mkono wake kwa nguvu kiganjani mwangu.

“Utanitafuta”

“Ili iweje nikutafute wewe. Ulinikataa na nilisha jizalilisha vya kutosha siku niliyo ondoka ofisini kwako uchi. Hivyo sina cha kukutafuta wewe, labda tu unieleze kaburi la babu yanug mzaa wewe lipo wapi?”

“Huna undugu naye na huna haja ya kufahamu ni wapi alipo baba yangu na koma kumuulizia”

Yemi mara baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo akaokota pochi yake na kuondoka eneo hili huku akiubamiza mlango wa chumba changu kwa nguvu sana. Nikashusha pumzi nyingi sana huku nikiwa siamini kama nimepata ujasiri wa kuzungumza tena na mama yangu. Nikaufunga mlango wangu kwa ndani, kisha nikachukua simu, nikahitaji kumpigia Dany ila roho yangu ika sita kwani hata dunia iishe leo Yemi atabaki kuwa mama yangu mzazi tu na hakuna kitu kinacho weza kubadilisha jambo hilo. Nikaingia bafuni, nikaoga kisha nikarudi kitandani na kuulazimisha usingizi.

***

Kama ilivyo pangwa ndivyo jinsi mambo yalivyo kwenda. Dany hakuhitaji tufanye sherehee pekee, ila alihitaji tuweze kuirudia ndao yetu na kuifunga katika kanila la KKT, Mbezi beach. Wingi wa waru walio huzuria kanisani hapa hakika kwangu walinishangaza sana. Wazazi wa Victoria walio wasili siku tatu nyuma pamoja na ndugu zake wengine nao ni miongoni mwa watu walio hudhuria kanisani hapa. Ulinzi umeimarishwa kila sehemu na haijalishi kama hapa ni kanisani ila wapo walinzi walio ingia na silaha zao ili kuhakikisha kwamba hili jambo la sisi kufunga ndoa linakuwa salama salmi.

Nikiwa eneo hili la mbele pamoja na mpambe wangu ambaye sijui ni wapi Dany amemtoa. Nikamshuhudia Victoria akiwa katika vazi moja zuri sana huku pembeni yake aliwa amesimama baba yake na wanaingia kwa mwendo wa taratibu na kuwafanya watu wote hapa kuwatama. Mlio mzuri wa kinanda kinacho pigwa taratibu, ukawasindikiza Victoria na baba yake hadi sehemu hii niliyo simama. Mzee Philemon akanikabaidhi mwanaye nikamshika mkono Victoria na kutembea naye hatua kadhaa hadi eneo la viti vyetu.

“Umependeza mke wangu”

Nilizungumza kwa kukong’oneza na kumfanya Victoria kutabasamu. Mchungaji Ndimbo akaanzisha ibada hii taratibu huku kanisa zima likiwa kimya likimsikiliza. Muda wa kuvishana pete ukawadia, nikatoa pete hizi nilizo pewa na bibi yangu, nikamkabidhi Victoria pete yake kisha nami nikabaki na pete ambayo nitamvisha. Baada ya kula kiapo cha kuishi naye miaka yote ya uhai wangu kwenye shida na raha, taba na maradhi. Nikamvisha pete hii na wato wote wakashangilia kwa furaha. Victoria naye akaapa kiapo hicho huku akinivisha pete hiyo na kufanya watu wote kujawa na furaha. Tukatangazwa kuanzia hivi sasa, ni mke na mume na tutaweza kupeasa busu. Nimasogelea Victoria karibu yangu na kumpiga busu moja zito mdomoni mwake hadi nikamhusi jogoo wangu akifurukuta ndani ya suruali yangu.

Mchungaji akatuita kwenye moja ya meza na kusaidi vyetu vyetu vya ndoa, kisha tukawageukia mashuhuda wetu na kuwaonyesha vyeti hivi na kuwafanya watu wote kusimama na kupiga makofi. Katika kuangaza angaza humu kanisani, nikamuona Yemi kwenye moja ya bechi huku akiwa amevalia miwani kubwa yeusi pamoja na kofia kubwa la duara ambalo limefisha uso wake kwa asilimia kadha.

‘Amekuja hadi huku huyu mwanamke’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kumtazama Yemi sehemu alipo kaa. Nikastuka sana mara baada ya kumtazama mwaname wa pembeni yake aliye valia ushingi, kitendo chake cha kuivua miwani aliyo ivaa ndipo nilipo gundua kwamba mwanamke huyo ni Marieta.

“Tumefikia mwisho wa ibada yetu. Na Mungu awabariki muingiapo na mutokapo na mukazae matunda mema. Amen”

Sauti ya mchungaji ikatufanya tumtazame, huku akilini mwangu nikianza kumuwaza Marieta ambaye siku ya mwisho mimi kukutana naye alikuwa ametekwa na Yemi na alinijulisha kwamba ana ujauzioto wangu ambao endapo nitachelewa kufanya lile alilo niagiza kwa kipindi kile kulifanya. Basi Marieta na mwanangu wanakwenda kufa.

Tukaanza kutoka kanisani humu huku watu wa wanapuliza Matarumbeta wakiyapigwa vizuri na kwa shangwe kubwa sana. Nikajaribu kuangaza kila kona ili niweze kumuona hata Yemi ila kwa wingi wa watu sikuweza kumuona mtu yoyote. Tukaingia kwenye gari letu la kifahari tulilo andaliwa na taratibu msafara huu wa magari mengi kuliko hata msafara wa raisi, ukaanza kuondoka eneo hili la kanisani.

“Waoo mume wangu pete hizi ni nzuri jamani”

Victoria alizungumza huku akinionyesha pete yake niliyo mvisha ambayo katika kuitazama vizuri ina majina yetu.

“Yaa niliamua kukufanyia suprize”

“Nashukuru mume wangu. Siamini kama tumefunga ndao mume wangu. Hivi unajua kwamba harusi yetu inarushwa live(mubashara) kwenye chaneli ya Sky News. Aljazira na BBC”

“Weee sikufahamu hilo?”

“Ndio hivyo mume wangu. Yaani hapa nina jisikia amani na furaha sana mume wangu”

“Kweli”

“Ndio mke wangu nakupenda sana”

Taratibu Victoria akanisogelea na kuanza kuninyonya midomo yangu taratibu. Tukafika kwenye moja ya hoteli moja yenye mandhari mazuri na eneo hili limetengwa kwa ajili ya kupiga picha na kupata mapumziko ya muda mfupi kabla ya kuelekea ukumbini.

Tukashuka kwenye gari letu huku nikimsaidia Victoria kushuka. Wingi wa wapiga picha walio andamana nasi hakika inadhihirisha kwamba harusi hii ni ya kifahari. Tukaanza kupiga picha za kila aina huku ndugu zetu pamoja na wazazi wakijimuika kwa pamoja.

“Hei ulikuwa unashangaa nini pale mbele?”

Dany aliniuliza kwa kuninong’oneza huku naye akiwa amesimaam pembeni yangu, katika moja ya pozi la picha la sisi wawili tu.

“Kuna mtu nilimuona”

“Nani?”

Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa huku nikitabasamu nikiwatazama wapiga picha hawa.

“Yemi na Marieta”

“Nini?”

“Ndio Yemi nilimshuhudia kwa macho yangu”

“Pumbavu sana huyu mwanmke, endapo akifanya jambo la ajabu nitahakikisha kwamba nina muua kwa mkono wangu mimi mwenyewe”

Dany alizungumza kwa sauti ya chini sana na kwa msisitizo mkubwa sana huku uso wake ukiwa umejawa na tabasamu.

“Huyo Marieta nani?”

“Nimwanamke aliye baba ujauzito wangu. Ila sijajua kama amejifungua au laa kwa maana muda wa mwisho nilimshuhudia akiwa ametekwa na Yemi”

“FUC**”

Dany alizungumza kwa jazba kidogo. Tukamaliza kupiga picha na baba kisha Yemi na ndugu zake wengine wakajumuika nasi katika kupiga picha huku Jojo naye akiwa miongoni mwao. Zoezi hili lilipo isha tukaeleka katika chumba chetu cha kupumzikia.

“Honey mbona baba kama alikasirika muda ule ulivyo kuwa unapiga naye picha?”

“Kuna mambo kidogo yaliingiliana ila si unajua kwamba ni mtu asiye penda uzembe uzembe.”

“Ahaa, niliogopa nikahisi labla kuna tukio kubwa limetokea?”

“Hapna mke wangu”

Nilizungumza huku nikivua koti langu la suti na kulining’iniza kwenye henga maalumu.

“Ila mume wangu na wewe umependeza kweli kweli”

“Asante mama”

Mlango ukagongwa na nikafungua, Jojo akaingia pamoja na mdogo wake Victoria. Wakatusalimia kwa furaha huku nao wakiwa wamevalia sare yao.

“Randy baba anakuhitaji, sisi tutabaki hapa tukikulindia mkeo”

Jojo alizungumza kwa mfumo wa utani kidogo.

“Sawa yupo wapi?”

“Ukitoka hapo kwenye kordo utamuona”

Nikamuaga Victoria kwa kumbusu, nikafungua mlango na kumkuta Dany pamoja na walinzi wengine wanao endelea kulinda eneo hili. Tukaingia kwenye moja ya chumba na kumkuta Livna akiwa eneo hili.

“Jana Yemi aliingia chumbani kwako kwa nini hukutuambia”

Livna alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Akawasha tv iliyomo humu chumbani na kutunionyesha video ilivyo rekodiwa na cctv kamera, ikimuonyesha Yemi akiingia chumbani kwangu.

“Walinzi hao walikuwa na kazi gani wakashindwa kumzuia kuingia chumbani kwangu?”

Ilibidi nijibu kwa kuuliza swali huku nikimtazama Livna.

Livna akanionyesha video nyingine ya jinsi Yemi alivyo kuwa akijitambulisha kwa mkuu wa walinzi hao huku akimuonyesha picha za mimi na yeye tulizo piga toka nipo mtoto mdogo hadi nina kua na mlinzi huyo hakuwa na kipingamizi na akamuamini Yemi ndio sababu ya yeye kuingia chumbani kwangu kwa njia rahisi sana.

“Hiyo ndio mbinu aliyo itumia kuingia chumbani kwako. Ila kwa nini hukuzungumza?”

“Nimuambie nani sasa. Wewe au Dany? Huyo mlinzi ilibidi aje kuwaeleza nyinyi mabosi wake mulio muajiri ila si mimi kuwaambia”

“Randy sikiliza. Unajua kabisa ni uadui gani ulipo kati yangu mimi na mama yako. Mimi kufafanyia sherehe kubwa kama hii, nina imani kwamba atafanya tukio lolote baya. Hilo ndio jambo linalo tuumiza sana kichwa kwa wakati kama huu”

Dany alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Yemi hawezi kunidhuru”

“Nini?”

“Hawezi kunidhuru. Yule ni mama yangu mzazi na nimekaa tumboni mwake miezi tisa laiti kama angehitaji kunidhuru basi angenidhuru nikiwa tumboni mwake”

“Ila umeniambia kwamba amekutekea sijui Marieta gani huko. Je hilo ulioni au unahitaji sasa hivi amteke huyo Victoria wako eheee?”

Swali la Dany likanifanya nikae kimya kwa sekunde kadha, huku nikitafakari kwa maana hili alilo lizungumza Dany lina ukweli ndani yake. Gafla tv ya hii ikabdilisha munekano wa video ya kamera za cctv na kuonyesha video inayo onyesha ukuta tu na kutufanya sote tuweze kuikodolea macho tv hiyo. Tukamuona mtu akiwa amesimama huku akionekana nusu kifua. Taratibu kamera hiyo ikapanda juu hadi usoni na sote tukamuona Yemi akitazamana nasi.

“DANY, bwana harusi RANDY DANY na wewe malaya mzee LIVNA LIVBA, nina imani kwamba muna niona vizuri. Mupo hapo hotelini na mujiandae kwa vifo vyenu kabla hata ya hamjatoka kwenye huo mlango hapo chumbani.”

Maneno ya Yemi yakatufanya tutazamane huku moyoni mwangu nikianza kujawa na wasiwasi na kumfikiria mke wangu aliyepo chumba cha pili, sijui kama atakuwa salama katika hili.



“Mke wangu”

Nilizungumza huku wasiwasi ukiendelea kunitawala moyoni mwangu. Nikapiga hatua moja ila Yemi akatoa ishara ya kunisimamisha.

“Ninakuona na ninawaona vizuri sana. Rudi hapo unisikilize”

Nikafanya kama alivyo niaeleza Yemi. Tukakaa kimya huku sote tukimtazama.

“Kanisani nilihitaji kuweka pingamizi kwenye ndoa yako ila nikakuonea huruma wewe na huyo baba yako mungetia aibu kwa watu walio hudhuria”

“Pingamizi gani Yemi?”

Dany alizungumza kwa sauti ya upole.

“Hujui. Una mjukuu tayari, na ana mwaka mmoja na miezi kibao”

Livna Livba akanitazama usoni mwangu kwa mshangao. Kutokana Dany tayari nilisha mueleza hakushangaa sana juu ya swala hilo.

“Mjukuu wangu ni wa kike. Ninahitaji apate haki zote kama jinsi ulivyo mfanyia sherehe kubwa huyo mkwe wako”

“Ni hilo?”

“Hili ni namba moja. Namba mbili nitahitaji mjukuu wangu leo aweze kutambulishwa mbele ya watu wote ukumbini na iwe suprize kwa huyo mke wako”

“Ila mama”

“Weee koma kuniita mama yako. Kumbuka jana uliniambiaje?”

“Sawa. Yemi hilo jambo unalo lihitaji ni gumu kwa mimi kuweza kulisema kwenye siku ya leo. Nahitaji kuzungumza na mke wangu kwanza”

“Sihitaji uzungumze naye nimekuambia jambo na ninahitaji ulifanye. Umenielewa?”

Dany akanishika bega akiniashiria kwamba niweze kukubaliana na hilo swala.

“Nahitaji na mimi niweze kuwa miongoni mwa wageni watakao kaa meza ya familia tena nafasi ya huyo kunguni Livna iondoke na nikae mimi”

“Sawa limepita jengine”

“Ni hayo na siwezi kuwaua na ole wenu mufanye jambo lolote katika kunizui, nitahakikisha munajutia kwa maamuzi yenu ambayo mutayafanya”

Yemi alizungumza kwa msisitizo.

“Tumekuelewa”

“Leo sinto toa uhai wenu ila muda mwengine nitafanya kitu kibaya hadi nyinnyi wenyewe mujutie kwenye maisha yenu”

Yemi mara baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo tv hii ikaonyesha video za kamera za cctv tulizo kuwa tunazitazama pale awali. Nikashusha pumzi nyingi sana kwani sikutarajia kitu kama hichi,

“Inaibidi vijana waanze kumtafuta Yemi”

Livna alizungumza kwa shahuku sana.

“Hapana”

Dany alijibu kwa ufupi huku akionekana kujawa na mawazo mengi sana kichwani mwake.

“Kwa nini?”

“Muache aliyo yahitaji yakamilike”

“Ila Yemi sio mtu mzuri mume wangu”

“Nalitambua hilo, ila kumbuka ana mjukuu wangu mikononi mwake sihitaji kuanzisha vita naye. Dogo rudi kwa mke wako”

Nikafungua mlango wa chumba hichi na kutoka. Nikasimama kwenye hii kordo huku nikitazama walinzi hawa kisha nikaingia kwenye chumba chetu cha mapumzikio na kuwakuta Jojo na wifi zake wakicheka sana. Mlango ukafunguliwa na akaingia bi Jane akiwa amevalia vizuri.

“Jamani mumependezaaa”

Bi Jane alizungumza kwa furaha kubwa sana.

“Tunashukuru, ila bila wewe nisinge pendeza hivi”

Victoria alizungumza huku akimtazama bi Jane usoni mwake.

“Hapana ila nimekuchagulia wabunifu wazuri. Wamekupamba kama vile ulivyo kuwa una hitaji”

“Kweli”

“Jamani sijui naweza kuwaibia bwana harusi wenu kwa muda kidogo”

“Haina shida mama yangu”

Victoria alizungumza kwa kujiamini pasipo kufahamu ni kitu gani kinacho endelea kati yangu na bi Jane. Tukatika chumbani hapa na bi Jane. Tukaingia kwenye lifti na kushuka gorofa ya chini ambapo napo ulinzi umeimrishwa vizuri.

“Hivi nilisha wahi kukuambia kwamba hii hoteli ni yangu?”

“Wee hujawahi kuniambia”

“Basi ndio hivyo. Hii hoteli ni yangu”

Tukaingia kwenye moja ya chumba kizuri sana.

“Hongera umejitahidi sana kuwekeza”

“Unaonaje leo hii nikakukabidhi kama zawadi hii hoteli”

“Weee hii si five star hoteli?”

“Ndio, imenigarimu mamilio ya dola kuhakikisha inakuwa hivi. Randy najua unakwenda kutengeneza familia hivi sasa. Sihitaji kuona maisha yako yanarudi kuwa maisha ya mapigano. Nahitaji uwe na maisha mazuri wewe na watoto wako utakao kwenda kuwapata. Sawa baba?”

Bi Jane alizungumza huku akinishika kiuno changu taratibu.

“Sawa”

Tukatazamana kwa sekunde kadhaa, kisha tukaanza kunyonyana midomo yetu na bi Jane. Kusema kweli huyu mwana mama ana ladha yake na utamu wake katika swala zima la mapenzi. Tukavua nguo zetu zote, kisha bi Jane akainama na kuegemea sofa na taratibu nikaanza kula kitumbua chake.

Mtanange wa leo ninaupelekea haraka haraka kwa maana ni mtanange wa wizi. Ndani ya kama dakika ishirini hivi tukajikuta tumemaliza mzunguko wa kwanza.

“Mzunguko wa pili namuachia bi harusi”

Nilizungumza huku nikikimbilia bafuni.

“Jamani Randy”

Tukaoga haraka haraka na kurudi chumbani. Tukavaa nguo zetu na nikaanza kujitengeneza nguo zangu vizuri kama nilivyo kuwa hapo awali. Bi Jane naye akamaliza kutandika nguo zake. Mlango wa chumba hichi ukagongwa na kutufanya sote tutazamane.

“Kaa hapo”

Bi Jane alizungumza huku akifungua droo na kutoa faili mbili zenye rangi nyeusi. Akaziweka kwenye meza kisha akajiweka vizuri na kufungua mlango.

“Waoo shosti umefika”

Bi Jane alizungumza kwa furaha na kujikuta nikigeuka nyuma. Sikuamini kumuona Yemi akiingia ndani humu huku akiwa amebadilisha nguo zake tofauti na nguo ambazo alikuwa amezivaa kipindi anazungumza nasi kwenye video.

“Hei Randy kutana na Yemi. Yemi kutana na Randy huyu ndio yule kijana niliye kueleza stori yake”

Yemi akanitazama huku akitabasamu, nikajikuta nikishusha pumzi kwani kwa asilimia mia moja bi Jane hafahamu ni kitu gani anacho kifanya.

“Nashukuru kumfahamu. Ila kijana wako ni handsome boy. Unaanzaje kumuachia achia kwenda kwa mwanamke mwengine hivi”

Yemi alizungumza huku akikunja nne kwenye moja ya sofa linalo tazamana na sofa langu.

“Hahaa…unajua mimi umri umesha kwenda na siwezi kumbebea mimba. Nimeona awe na huyu mzungu, waanzishe familia na mimi raha zangu atakuwa ananipatia kama kawaida”

“Mmmm shosti na wewe. Huoni kama atakuwa ana msaliti mke wake wa ndoa”

“Khaaa ndoa wapi. Eti baby kweli utaacha kunipa mambo kisa umefunga ndoa?”

Mdomo ukajawa na kigugumizi na kushindwa kabisa kumjibu bi Jane nikatamani sana niweze kumtonya kwamba huyu mtu anaye zungumza naye hapa si mtu mzuri kwenye hili penzi letu ila nikashindwa kabisa kufanya hivyo.

“Ananionea aibu”

“Eti unamuonea aibu shosti yangu?”

“Samahani nahitaji kurudi juu gorofani”

“Hapana, kuna mikataba tunahitaji kuingia hapa ya makubaliano kwamba ninakukabidhi hii hoteli kuanzia leo. Hili swala mwanasheria wangu tayari alisha saini. Hapa shahidi atakuwa huyu rafiki yangu Yemi”

Nikamtazama mama kwa macho makali kidogo, ila yeye tabasamu linaendelea kutawala usoni mwake kwani kama ni siri nyingine basi ameweza kuifahamu.

“Sawa, naomba niweze kusoma hilo faili”

Bi Jane akanikabidhi faili hili nanikaanza kulisoma na kweli ni kiapo cha bi Jane akidhihirisha kwamba ananikabidhi hoteli hii ya kifahari iwe mali yangu. Yemi akafungua pochi yake na kutoa peni nyeusi na kunikabidhi. Nikatia saini katika mikataba yote miwili na bi Jane naye akasaini sehemu zote mbili.

“Na mimi shahidi nasaini wapi?”

Bi Jane akamuonyesha Yemi sehemu ya kusaini naye akafanya hivyo.

“Hongera Randy unaonekana umemkosha sana rafiki yangu hadi ameamua kukupa hoteli”

“Nashukuru”

Nikanyanyuka kwenye sofa hili na kuweka koti shati langu vizuri kwani koti langu la suti nimeliacha juu gorofani.

“Randy tuongozane”

Yemi alizungumza huku akinyanyuka, kwenye sofa hili. Akamsogelea bi Jane na kumbusu shavuni mwake kisha akaanza kutembea sehemu niliyo simama mimi.

“Shosti nilindie mashine yangu hiyo usije ukanipokonya”

“Mmmm Jane kama unavyo nijia huwa sipendagi mwanaume wa mtu mimi”

“Haya, Randy mpenzi wangu tutaonana baadae”

“Sawa”

Tukatoka ndani humu huku Yemi mkono wake wa kushoto akiwa ameushika mkono wangu wa kulia huku tukitembea pamoja. Tukaingia kwenye lifti, akatoa kwenye pochi yake ndogo, kalamu yake nyeusi na kuniwekea mazungumzo yote tuliyo zungumza ndani ya chumba kile tukiwa na bi Jane.

“Ukilete upuuzi na baba yako tu. Ukweli wote ninakwenda kuusikilizisha mbele ya wakwe zako kwamba wamepata mkwe malaya na aliye kubuhu na kutembea na majimama watu wazima”



Yemi alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana. Lifti ikafunguka na nikatoka na kumuacha Yemi ndani ya lifti hii. Nikaingia chumbani na kuwakuta Victoria na wezake wakijiandaa kwa ajili ya kuondoka hotelini hapa.

“Mbona umechelewa mume wangu”

“Kuna mambo ya kibiashara nilikuwa ninayashuhulikia”

“Aha…sawa mume wangu. Muda wa kuondoka umefika sasa”

Victoria alizungumza huku akinivalisha koti la suti yangu. Kila ninavyo mtazama Victoria ninajikuta moyo wangu ukijawa na maumivu makali sana, kwani sikutegemea kumsaliti katika siku yake hii ya harusi. Tukatoka ndani humu na kuungana na wasimamizi wetu na safari yakuelekea ukumbini. Tukafika ukumbini na kukuta watu wengi sana wakiwa wamehudhuria. Tukaingia ukumbini huu, huku tukicheza kwa furaha sana.

Sherehe hii ikaanza huku muendesha sherehe(mc) akijitahidi kuendesha ratiba iliyo pangwa vizuri sana. Wakati wa kutambulisha ukawadia, nikamshuhudia Yemi akiwa amekaa pembeni ya Dany huko wote wakinitazama kwa umakini sana. Nikaangaza angaza ukumbini humu na kumuona bi Jane akiwa amekaa pamoja na waalikwa wengine.

“Habari za muda huu”

Ukumbi mzima ukaitikia huku watu wote wakionekana kujawa na shahuku ya kuendelea kusikiliza kile ambacho nitakizungumza.

“Ninapenda kumtambulisha, baba yangu na mama yangu sehemu walipo ninaomba waweze kusimama”

Dany na Yemi wakasimama na kumfanya bi Jane kustuka sana hadi akajikuta akisimama na kuwatazama vizuri Dany na Yemi. Ukumbi mzima ukawapigia makofi.

“Dada yangu Jojo naomba usimame”

“Mama mdogo bi Jane nakuomba nawe usimame”

Bi Jane akasimama huku nikimuona akijitahidi kuweka tabasamu feki usoni mwake.

“Livna mama mdogo nakuomba usimame”

Livna naye akasimama na kuwapungia wageni waalikwa mkono.

“Kama kuna mtu wangu wa karibu nitakuwa nimekusahau ninakuomba uweze kusimama”

Wakasimama baadhi ya rafiki zangu nilio soma nao chuo miaka ya nyuma sana na kusema kweli sikutarajia kuweza kuwaona hapa. Baada ya utambulisho huo nikarudisha maiki kwa muendesha sherehe, akamkaribisha Victoria kuwatambulisha wazazi wake. Victoria akanitazama kwa macho malegevu sana na uso wake ukiwa umejaa tabasamu.

“Napenda kumtambulisha mume wangu kipenzi Ran………..”

Gafla nikahisi kurushwa angani na kuanguka chini, macho yangu taratibu yakaanza kupoteza nguvu ya kuweza kuona huku masikio yangu yakisikia vilio vya watu huku kukiwa na mivunjiko vya chupa na vitu vingine.

***

Mlio mkali sana unao sikika masikioni mwangu ukanifanya ni `nifumbue macho yangu taratibu. Nikaanza kuona mawenge mawenge huyu giza likiwa limetawala katika eneo hili. Nikajitahidi kusimama huku nikiyumba yumba. Eneo zima la ukumbi limechanguka changuka huku watu wengi wakiwa wamelala chini.

“Mke wangu”

Nilizungumza huku nikiyumba mithili ya mlevi, na nikaendelea kuangaza angaza kila eneo la ukumbi huu nikimtafuta Victoria.

“Randy”

Niliisikia sauti ya Jojo nyuma yangu. Nikageuka huku nikiendelea kuhisi kizunguzungu kichwani mwangu.

“Upo salama?”

“Ehee….ni nini kilicho tokea?”

“Ni bomu limelipuka”

“Ohoo boy. Mke wangu”

Nilizungumza huku nikiendelea kuangaza angaza eneo hili. Nikahisi kuchanganyikiwa mara baada ya kuona mguu wa Victori wenye kiatu chake cha harusi ukiwa imetengana na mwili wake. Machozi yakaanza kunimwagika huku nikiuokota mguu huu. Nikamshuhudia Victoria akiwa maelala mita kadhaa kutoa sehemu ulipo mguu wake huku akiwa ameharibika vibaya sana. Nikamkimbilia, na kupiga magoti, nikamkuta Vivtoria akihema kwa shida sana huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Nipo hapa mke wangu”

Nilizungumza huku nikilia. Victoria taratibu akanishika kwa mkono wake wa kulia shavuni mwake. Machozi yakaendelea kumwagika.

“Na….na…ku…p…en…da Ra…nd..”

Victoria hakuweza kuimalizia sentensi yake na akakata roho jambo lililo nifanya nishikwe na bumbuwazi moja kubwa sana.

“Ohoo Mungu wangu”

Niliisikia sauti ya Dany akiwa amesimama mbele yetu huku akijishika kichwa chake na suti yake nayo imechafukua vilivyo. Nikamshuhudia mama naye akimwagikwa na machozi huku damu zikimwagika katika paji lake la uso. Jojo akamnyanyua Victoria na kumbea mikononi mwake na kuanza kuondoka naye eneo hili huku akikimbia. Dany akaninyanyua na kutushika mkono mimi na Yemi. Tukaanza kumfwata Jojo kwa nyuma. Tukaingia kwenye moja ya gari na Dany akaanza kulifukuzia gari analo endesha Jojo ambaye amambeba wifi yake.

“Fuc**, Fuc**, Fuc**”

Dany alizungumza kwa hasira huku akipiga piga mskani wa gari hili akionekana kujawa na jazba kubwa. Kila kiti kinacho endelea kwangu ninaona kama ni ndoto fulani ambayo natamani ifike asubuhi niweze kufumbua macho ili nitoke kwenye ndoto hii ya kutisha. Hadi tunafika hospitalini ndoto hii haiishi. Nikamshuhudia Victoria akiingizwa kwenye moja ya chumba na mlango wa chumba hicho ukafungwa na madaktari. Nikakaa kwenye benchi la chuma lililopo nje ya chumba hichi. Taratibu Yemi akakaa pembeni yangu na kunilaza kichwa changu begani mwake.

“Mama Victoria amekufa?”

Swali langu kijamfanya Yemi kunikumbatia kwa nguvu na kuanza kuangua kilio.

“Hei Yemi umeumia”

Dany alizungumza huku akiwa amechuchumaa mbele ya Yemia, akaanza kumtoa nywele zake ndefu zilizo funika uso wake.

“Nipo sawa baba Ranyd”

“Hapana, umeumia. Nesi nesi naomba umuangalie mke wangu”

Dany alizungumza huku akimnyanyua Yemi kwenye benchi hili. Akamkabidhi kwa nesi.

“Jojo muangalie mama yako”

“Sawa baba”

Jojo na Yemi wakaonaondoka eneo hili. Dany akaka pembeni yangu huku akishusha pumzi taratibu.

“Baba unahisi ni nani ambaye amefanya hili tukio?”

Nilimuuliza Dany kwa sauti ya upole huku nikimtazama usoni mwake.

“Sijajua kwani kwa ulinzi wote tulio uweka. Ila wamefanikiwa kutekeleza uharibu wa sherehe yako”

“Kina nani?”

“Nasema bado sijajua. Ila hivi karibuni nitahakikisha kwamban ina mfahamu na nitakacho mfanya dunia nzima itashuhudia kama nilivyo mfanya K2”

Dany alizungumza huku akikunja ngumi ya katika mkono wake wa kulia. Daktari akatoka katika chumba alicho ingizwa Victoria. Tukasimama wote wawili na kumtazama dokta huyu.

“Je tunaweza kuzungumzia hapa ua twende ofisini kwangu?”

“Zungumza hapa”

Dany alizungumza kwa sauti nzito kiasi.

“Sawa. Mgonjwa amefariki dunia na mimba yake imeharibika pia”

Habari hii ikaninyong’onyeza miguu yangu taratibu nikajikuta nikikaa chini mzima mzima huku machozi mengi yakinimwagika usoni mwangu.

“Jikaze wewe ni mwanaume”

Dany alizungumza huku akininyanyua juu.

“Poleni kwa msiba huu”

Daktari mara baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo akaingia ndani ya chumba hicho. Dany naye akamfwata kwa nyuma. Nikiwa katika kordo hii nikashuhudia kundi la waandishi wa habari wakija huku wakikimbia. Walipo fika karibu nami wakaanza kunishambulia kwa kunipiga picha mfululizo huku wengine wakirekodi video.

“Tupisheni”

Manesi walizungumza huku wakitoa kitanda katika chumba hicho. Nikaushuhudia mwili wa Victoria ukiwa umelazwa juu ya kitanda hicho huku ukiwa umefunikwa na shuka la jeupe. Nikasimama taratibu huku nikikisogelea kitanda hicho. Manesi wakahitaji kunizuia ila Dany akawawahi na kuwazuia wao wasiniguse wala wasikisukume kitanda hicho. Nikafunua shuka hili eneo la usoni, nikamshuhudia Victoria akiwa ameyafumba macho yake ambayo kwa masaa kadhaa nyuma alinitazama akiwa anarembua sana. Nikashindwa kujizuia kulia kimya kimya na nikajikuta nikiangua kilio kikubwa hadi Dany akaniwahi kunishika na kunikumbatia kwa nguvu. Uchungu na maumivu makali sana yametawala moyoni mwangu,nikakishuhudia kitanda hichi kikisukumwa na kupelekwa nisipo pafahamu.

“Twende kwenye gari”

Dany alininong’oneza huku tukiondoka eneo hili na waandishi wa habari hawakuhitaji hata kutuacha tupumue kwani kila tunapo kwenda wapo nyuma yetu. Dany akaniingiza kwenye gari tulilo kuja nalo, akafunga mlango na kuanza kuzungumza na waandishi wa habari.

‘Ehee Mungu hivi hii ni kweli au ninaota?’

Nilijiuliza swali hili huku nikiwa nimegemeza kichwa changu nyuma ya siti ya dereva. Baada ya kam kumi na dakika tano Dany akaingia ndani ya gari na kuliwasha.

“Tunaelekea hotelini”

“Baba ninakwendaje hotelini ikiwa mke wangu namuacha hapa peke yake?”

“Hilo sio ombi ni amri Randy. Victoria amesha kufaa. Kukaa kwako hivi nje nje ni lazima watakushambulia. Umenielewa Randy?”

Dany alizungumza kwa hasira sana, akawasha gari na kuondoka eneo hili kwa kasi.

“Ni nani na nani una bifu nao kwenye maisha?”

“Ehee?”

“Nani ambao una makosa nao kwenye maisha yako?”

“Mama”

“Maama yako hajahusika na hili jambo na kuanzia hivi sasa mama yako si mtu mbaya kwenye maisha yako umenielewa”

Dany aliendelea kuzungumza kwa hasira huku gari hili akizidi kuliendesha kwa kasi. Dany akafunga breki mbele ya hoteli tuliyo pumzikia muda wa mchana. Ulinzi katika hoteli hii umeimarishwa zaidi ya mara ya kwanza, tukaelekea katika chumba cha Dany na kumkuta Livna na walinzi wake wawili akiwemo Tatiyana. Livna kwa haraka akasimama na kunikumbatia kwa nguvu huku akimwagikwa na machozi.

“Vipi ulinzi?”

“Upo vizuri mkuu”

Tatiyana alijibu kwa ukakamavu.

“Vipi na wewe unaendeleaje?”

“Nipo salama mpenzi wangu. Ila ni michubuko midogo midogo”

“Natoka, hakikisheni kwamba anakuwa salama huyu”

“Sawa mpenzi”

Livna akambusu Dany mdomoni mwake, kisha akamkabidhi bastola ambayo kwa haraka Dany akaichomeka kiunoni mwake.

“Dogo ninakuja sawa”

“Sawa baba”

Dany akaondoka pasipo kuniambia ni wapi anapo elekea. Nikaka kwenye moja ya sofa huku nikitazama taarifa ya habari inayo onyesha juu ya kulipuka kwa bomu katika harusi ya kifahari. Habari hiyo ikazidi kusonga mbele na kunionyesha nikiwa hospitalini nikimlilia Victoria aliye poteza maisha. Livna akazima tv hii na kunisogelea nilipo kaa.

“Mleteeni maji ya kunywa”

“Hapana sihitaji maji”

Ukimya ukatawala ndani humu huku kila mtu akifikiria ni jambo hani la kuzungumza.

“Randy ni nani ambaye unaweza kumuhisi labda anaweza kuhisika na shambulizi hili?”

“Sina ninaye muhisi.”

“Hembu jaribu kukumbuka maisha ya nyuma kidogo, kama kuna mtu ambaye alimkosea au ulikuwa na bifu naye?”

“Sina Livna, nilisha achana na maswala ya uhasama na watu. Nipo mimi kama mimi”

Nilizungumza kwa jazba huku machozi yakinimwagika usoni mwangu.

“Mkuu kwa sasa hivi nashauri umuache kidogo”

Tatiyana alizungumza kwa sauti ya upole na kumfanya Livna kukubali huku akitingisha kichwa. Nikasimama na kuingia bafuni, nikajitazama kwenye kioo kikubwa kilichomo humu bafuni kwa dakika kama tano. Nikajitazama jinsi nilivyo jaa vumbi jingi sana. Nikanawa uso wangu kisha nikatoka chumbani humu, nikawatazama Livna na walinzi wake kwa sekunde kadhaa.

“Munaweza kuangalia watu walio ingia katika ukumbi ule kwa kutumia video zilizo rekodiwa na cctv kamera?”

Nilizungumza kwa msisitizo.

“Ndio. Tatiyana lishuhulike hilo”

Tatiyana akafunguakabati na kutoa laptop, akaifungua na kuiunganisha na tv kubwa iliyomo humu chumbani. Tukaanza kuangalia watu jinsi walivyo anza kuingia ukumbini hapa. Majira ya saa mbili na dakika tano, mama mmoja wa kiarabu akaingia ndani ya ukumbi.

“Hembu fwatilia nyendo za mama huyo”

Tatiyana akaanza kufanya kazi hiyo ya kuendelea kufwatilia kamera za ndani, kwani mwana mama huyu alifanikiwa kupita eneo la kukagulia na hakuonekana kuwa na kitu chochote. Mwana mama huyo akaka mbele kabisa karibu na eneo ambalo mimi na Victoria tulipaswa kukaa. Mwamama huyo akavua saa yake ya dhahabu na kuiingiza ndani moja ya ua kubwa lililopo mezani pasipo mtu yoyote kuweza kumuona. Mwanamam huyo akatoa simu yake na kutoka nje ya ukumbi huku akijifanya kama anazungumza na mtu. Baada ya kama lisaa mlipuko ukatokea katika meza hiyo ambapo napo hapo kulikaa watu wengine na kamera hizo zikaishia hapo katika kurekodi.

“Huyu mama anaitwa Nadia Suleiman, ametokea nchini Pakistani na nimwanajeshi wa kundi la Al-quida”

Tatiyana alizungumza huku akisoma maandishi ya kiarabu yanayo onekana kwenye maelezo ya mwana mama huyu kitu ambacho kilinifanya niweze kugundua moja kwa moja kwamba Farida amehusika katika shambulizi hili.



“FARIDA”

Nilizungumza huku nikishika kiono changu.

“Ndio nani?”

Livna aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Hembu jaribu kumtafuta huyo mama kwa satelait tujue amekwenda wapi.”

Tatiyana akaanza kufanya kazi huku vidole vyake vikifanya kazi ya haraka katika kuminya minya batani za hii Laptop.

“yupo kwenye foleni ya hii barabaraba ambayo inaelekea Airport”

“Fuc**”

“Anaondoka nchini huyo”

Nilizungumza huku nikianza kuelekea mlangoni.

“Tatiyana nenda naye”

Tatiyana akasimaam ana kuanza kunifwata kwa nyuma. Tukatoka nje na Tatiyana akapanda kwenye moja ya pikipiki, akanirushia helment ili nivae kisha na yeye akavaa heliment jengine. Akawasha pikipiki hii kubwa kiasi na tukaanza kuondoka eneo hili kwa kasi huku nikimshikilia kiuno ili nisianguke.

“Randy”

“Mmmmm”

“Toa simu kwenye mfuko wangu wa suruali na mpigie Livna”

Nikatoa simu kama alivyo nieleza Tatiyana, nikaitafuta namba ya Livna na kuipata.

“Nimuembie nini sasa nikimpigia?”

“Muambie kwamba atutumie ramani inayo muonyesha huyo mwamke ni wapi anapo elekea”

Nikampigia Livna na kumpa maelezo hayo.

“Sawa nakutumia”

Livna alizungumza na nikakata simu. Baada ya muda mfupi tu akatuma ramani hiyo inyo mueonyesha mwana mama huyo anaye itwa Nadia Suleima.

“Vipi bado yupo kwenye foleni?”

“Ndio foleni inatembea taratibu”

Tatiyana akaendelea kuendesha pikipiki hii kwa mwendo kasi huku akikwepa magari.

“Foleni inatembea”

“Poa poa”

Kwa kasi ambayo anakwenda nayo Tatiyana tukaanza kuikaribia gari hiyo.

“Fuc****”

Tatiyana alizungumza huku akifunga breki za gafla na kuzifanya breki za pikipiki hii kuserereka. Tukashuhusia lori kubwa likiwa limeanguka barabarni huku likiwa limefunga barabara hii tuliyo kusudia kupita. Tatiyana akavua helimenti yake na kuichukua simu yake, akaitazama kwa muda huku gari alilo panda mama huyo likiendelea kusonga mbele.

“Tutafanyaje ikiwa hakuna njia ya kupita”

“Subiri”

Tatiyana alizungumza huku akiendelea kutazama tazama eneo hili la barabara kwani. Barabara za pande zote mbli, kupanda na kushuka zimefungwa na lori hili.

“Nishikilie vizuri”

Tatiyana alizungumza huku akivaa helimenti lake. Akaigeuza pilipiki hii kwa kasi na tukaanza kurudi tulipo toka huku akihamia katika barabara ya pili. Ambayo magari yake yamezuiwa ana lori hili. Akafunga breki huku akigeuza pikipiki hii kwa haraka.

“Unataka kufanya nini?”

Nilimuuliza Tatiyana huku nikiwa na wasiwasi mwingi kwani tunarudi eneo lilipo lori na sehemu ya haraka haraka ambayo Tatiyana nina amani kwamba ameifikiria kwa akili zake ni sehemu moja inayo tenganisha kotena moja na kontena la pili la gari hili.

“Shikilia”

Tatiyana alizungumza huku akivuta mafuta ya pikipiki hii kwa nguvu na mguu wake mmoja ukiwa umekanyaga breki jambo lililo sababisha tairi ya nyuma kuserereka kwa nguvu hadi ikaanza kutoa moshi mwaingi. Akachia breki na krashi na kuifanya pikipiki hii kuanza kutembea kwa mwendo wa kasi.

‘Ehee Mungu nisaidie huyu mwanamke ni mwenda wa zimu.’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kushikikilia kwa nguvu Tatiyana. Tukapita kwenye uwazi huo mdogo wa kontena hizi kwa kasi kubwa jambo lililo nifanya nishangae sana. Tatiyana hakuonekana kuogopa waala kuwazia kama mpango na akili yake imefanya kazi. Tukafika uwanja wa ndege, kitendo cha kushika tu kwenye ndege. Tatiyana akaanza kukimbilia ndani huku heliment lake likiwa kichwani, nikaanza kumfukuzia kwa nyuma. Tukafika katika eneo ambalo abiria wanao ondoka ndipo wanapo pitia.

“Shit”

Tayana alizungumza kwa hasira huku tukishuhudia jinsi mwanamama huyo akiingia ndani ya ndege ya shirika la KLM.

“Tumemkosa”

“Hatuwezi kuzuia ndege hiyo tukamshusha?”

“Sisi sio askari wala hatuna vitambulisho vya kutuonyesha sisi kama ni wana usalama. Hivyo tumempoteza”

Tatiyana alizungumza huku akionekana amechoka sana. Tukashuhusia mlango wa ndege hiyo ukifunga na taratibu ikaanza kuondoka eneo hilo.

“Mkuu tumeshindwa kumtia mikononi”

Tatiyana alizungumza huku simu yake aikiwa sikioni mwake.

“Sawa mkuu”

Tatiyana akakata simu na kunionyesha ishara ya kuondoka eneo hili. Tukarudi hotelini hapa na kuwakuta Yemi, bi Jane pamoja na Jojo.

“Ohoo Randy upo hai”

Bi Jane alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu.

“Vipi wewe?”

“Mimi nipo safi”

Nilizungumza huku nikimuachia bi Jane, sikuhitaji kuonyesha hisia zozote kwake.Kwaishara nikamuomba Yemi tuweze kuzungumza. Tukaingia kwenye chumba ambacho tulipumzikia mimi na Victoria tukisubiria kuelekea ukumbini.

“Mama hembu niambie ukweli. Unafahamu jambo lolote juu ya hili shambulizi?”

“Hapana mwanangu. Laiti kama ningefahamu ningefanya lolote liwezekanalo kuhakikisha kwamba hakutokei jambo la aina yoyote. Napia siwezi kuweka watu wajilipue ikiwa mimi mwenyewe nipo ndani. Nimangapi ambayo baba yako amenifanyia. Ila niliamua kusamehe, wewe ni mwanangu na nilikuweka tumboni miezi tisa, tofauti iliyo tokea kati yetu sisi wawili ni tofauti za kibinadamu tu ambazo sihitaji ziweze kujitokeza tena sawa mwanangu”

Yemi alizungumza huku akinishika mashavuni mwangu. Hakika hali hii sikuitaraji kutokea kwa mama yangu.

“Sawa mama”

Yemi akanikumbatia kwa nguvu huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Nawapenda sana wewe na baba yako. Nimetambua kwamba pesa si kila kitu kwenye maisha . Famili ndio jambo la msingi”

“Nimekuelewa mama. Ila nimemfahamu muhusika wa hili shambulizi”

Kwaharaka mama akaniachia na kunitazama usoni.

“Ni mwanaharamu nani huyo nikamshuhulikie sasa hivi”

“Ni FARIDA”

“Pumbavu zake huyu malaya. Anahisi ana uwezo mkubwa kuliko mimi eheee. Hajui kwamba nimeishi kwenye maisha ya kijeshi, baba yangu alikuwa anamiliki jeshi kabla ya kumrithisha baba yako. Eheee?”

Yemi alilalama sana huku akizunguka zunguka ndani ya chumba hichi.

“Unafahamu ni wapi alipo?”

“Ndio ninafahamu. Yupo nchini Pakistani na kwa hili haki ya Mungu simsamehi. Nitamuua na muungano kati yake mimi na yeye umeishia hapa”

Yemi alizungumza huku akielekea mlangoni, kabla hajaufungua. Mlango ukafunguliwa na akaingia Dany anaye onekana amechoka sana.

“Umefikia wapi baba Randy?”

Yemi alimuuliza Dany huku akimshika mkono wake wa kulia.

“Upo vizuri kichwani?”

“Ndio mume wangu”

Taratibu Yemi akampiga Dany busu la mdomo hadi mimi mwenyewe nikabaki nikishangaa kwani Yemi huyu wa sasa sio yule Yemi aliye kuwa akituandama kwa vituko wakati wa mchana.

“Nimezungumza na Livna amesema kwamba muhusika wa bomu hilo ni mtu kutoka kundi la Al-quida?”

Dany aliniuliza huku akinitazama.

“Ndio baba”

“Hivi kiongozi wao wa sasa ni nani kwa maana toka nilipo muua Osam Bin Laden. Sikuwahi kufwatilia kabisa nyendo zao”

“Ni yule msichana anaitwa Farida”

Yemi alimjibu Dany kabla ya hata mimi sijamjibu.

“Unamfahamu?”

“Ndio ni shosti yangu. Sema tu nimepoteza simu ila ningewaonyesha picha zake.”

“Basi kwa sasa nitahakikisha kwamba nina waangamiza wote hususani huyo mwamke”

“Ila alikuwa ni mkweo?”

Yemi aliropoka na kumfanya Dany kunitazama kwa mshangao.

“Huyo naye pia ulimla!?”

“Ndio”

“Ohoo haya ila hiyo haiwezi kuleta msamaha kwake eti kisa ni alikuwa mpenzi wa mwanangu. Nilazima nitamshuhulikia”

Dany mara baada ya kuzungumza maneno hayo akatoka ndani humu.

“Hivi hukuwahi kumpa mimba kwa maana namuona kitoto kidogo?”

“Hapana sijawahi kuwahi kumwagia ndani”

“Ohoo wewe sema tu hujawahi kumwagia ndani. Isije tukapeleka mashambulizi na tukajikuta tunateketeza damu yetu”

“Niamini mama”

“Sikuamini wewe kwa maana kama umeweza kulitomb** hili limama tena siku ya harusi yako. Unataka nikuamini, yaani nahisi hata huu mlipuko ni malipo kwa Mungu kwa dhambi zako unazo zifanya bila ya kufikiria”

“Ila mama kumbuka tupo kwenye kipindi kizito cha msiba. Huu sio muda wa wewe kunisema na kunisimanga kisa Je?”

“Hata kama ila kuna muda ninatakiwa kusimama kama mama. Na kama ni kukukaka basi nina haki ya kufanya hivyo, wewe ni mwangu na utabaki kuwa mwanangu. Kuwa makuni kuna magonjwa”

“Una maanisha nini?”

“Namaanisha nini kwani hujui kama kuna magonjwa au?”

“Ndio ila kwa nini uzungumzie kwa jimama hili?”

“Nimekushauri tu. Ila kama unahitaji kuendelea kulitomb** wewe litomb** kwa manufaa yako ya kiuchumi. Ila siku usidhubutu kusema kwamba unahitaji kumuoa. Bifu litarudi kama kawaida”

Yemi mara baada ya kuzungumza maneno hayo akatoka chumbani humu na kuniacha peke yangu. Taratibu nikatembea hadi dirishani na kufungua pazia hili kubwa. Mwanga wa jua linalo chomoza taratibu ukaanza kuingia ndani ya chumba hichi.

Kumbukumbu za mambo mengi niliyo fanya na Victoria taratibu zikaanza kunitawala kichwani mwangu. Kila kumbukumbu ninayo ikumbuka ikanifanya nianze kumwagikwa na machozi usoni mwangu. Nikasogelea friji ndogo iliyomo humu ndani na kukuta mizinga minne ya wyne huku mzinga mmoja ukiwa ni wa wisky. Taratibu nikachukua chupa ya wyne, nikaifungua na kuanza kuigugumia kooni mwangu mithili ya ninavyo kunywa maji nikiwa na kiu kali sana. Hadi inafika robo chupa ndipo nikaitoa mdomoni mwangu.

‘Kwa nini Victoria umeondoka mapema hii eheeee?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kulia kwa uchungu. Nikaimalizia wyne hii, nikaichukua chuma nyingine ya wyne na kuanza kuinywa kwa fojo na ndani ya muda mchache nikaimaliza. Nikachukua chupa ya tatu huku nikiyumba yumba nikaingia bafuni. Nikafungua maji na kujaza sink la kuogea. Nilipo hakikisha kwamba sinki imejaa maji, sikujali kulowanisha suti yangu hii ya harusi. Nikaingia ndani ya sinki hili na nguo zangu na kuendelea kunywa wyne hii taratibu.

‘Victoria kwa nini huku mzaa mwangu ndio ukaenda eheee?’

Nilizungumza huku nikiona mawenge mawenge mbele yangu. Muda mwengine nikahisi kumuona Victoria akiwa amesima mbele yangu. Taratibu nikanawa uso wangu ili kuweza kumuona mtu aliye ingia bafuni humu kwani sasa hivi sio mawenge kabisa.

“Randy usinywe bwana”

Tatiana alizungumza huku akihitaji kunipokonya chupa hii ya wyne ila nikaukwepesha mkono wangu huu wa kulia na kumkazia macho.

“Nenda kaendelee na kazi yako. Maisha yangu hayakuhusu sawa”

“Hapana Randy. Nimeona chupa mbili umemaliza peke yako na nina imani umezinywa kwa muda mfupi sana. Hiyo ni sumu inaweza kukusababishia hata kifo”

“Hahahaa, bora nifeeee, sina faida. Mke wangu amekufa kifo cha ajabu sana. Mke wangu amekufa siku ambayo sikujua kama atakufa. Kwanini mimi eheeee”

Nilizungumza kwa kufoka huku nikilia kwa uchungu sana. Tatiyana kwa nguvu akanishika mashavu yangu na kujisogeza karibu yangu kisha akaanza kuninyonya lipsi zangu taratibu huku machozi yakimwagika usoni mwake.



“Hei”

Sauti ya Yemi ikatukurupusha wote. Tatiyana akasimama huku aibu ikiwa imemjaa usoni mwake. Yemi akamtazama Tatiyana kwa muda kidogo kisha akanisogelea sehemu nilipo kaa.

“Ndio unafanya nini hivi baba yangu”

Yemi alilizungumza kwa sauti ya kulalama. Akanipokonya chupa ya wyne.

“Nisaidie kumtoa humu ndani”

Yemi alizungumza kwa pamoja wakanitoa ndani ya sinki la maji huku nguo zote zikiwa zimelowana na maji. Yemi akamtazama Tatiyana.

“Msaidie kuvua nguo, chukua taulo huko chumbani”

Yemi mara baada ya kuzungumza hivyo wakatoka na Tatiyana bafuni hapa na baada ya dakika moja akarudi Tatiyana.

“Kwanini unafanya haya yote?”

Nilimuuliza Tatiyana huku nikimtazama usoni mwake. Tatiyana hakunijibu kitu chochote, akaanza kunivua nguo zangu na nikabakiwa na boksa.

“Mbona hii uivui”

“Utavua mwenyewe baada ya mimi kutoka ndani humu.”

Tatiyana alizungumza huku akionekana akiwa ametawaliwa na aibu. Nikaivua boksa yangu na kumfanya Tatiyana kupigwa na bumbuwazi huku macho yake yote yakiwa katika jogoo wangu. Akataka kutoka ndani humu ila nikamuwahi kumshika mkono wake wa kulia. Nikamvuta karibu yangu na kuanza kumnyonya midomo yake.

“Randy mama yako yupo hapo atasiki”

“Nahitaji penzi lako”

Nilizungumza huku nikiendelea kufungua zipu ya suruali ya Tatiyana. Nikaingiza kiganja changu ndani ya suruali yake hii na kuanza kuishika ikulu yake taratibu.

“Randy hapana”

Tatiyana akautoa mkono wangu kwa nguvu. Akajifunga zipu na kifungu cha suruali yake kisha akatoka ndani humu. Nikaokota taulo alili libwaga chini, nikajifunga na kutoka bafuni.

“Umemfanya nini mtoto wa watu?”

Yemi aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Nilitaka nimpe”

“Umpe….!!! Umpe nini?”

“Dudu”

Nilizungumza huku nikijifungua taulo langu na kupanda kitandani pasipo kuona aibu yoyote mbele ya mama yangu. Nikajifunika shuka hili zito, Yemi akaka pembeni yangu, akakiweka kiganja chake cha kushoto shingoni mwangu.

“Una joto kali sana mwangu”

“Yaa. Nahitaji kupumzika kwanza mama. Muniashe baadae”

“Sawa”

Yemi akasimama na kutoka chumbani humu na tartibu usingizi ukaanza kuninyemelea na mwishowe nikalala usingizi fofofo.

***

Vikosi vya upelelezi kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Marekani na Uingereza vikafika nchini Tanzania kwa ajili ya kuhakikisha kwamba wanafanya uchunguzi ya shambulio la bomu ambalo kwa hakika limeua watu takribani kumi na tisa akiwemo na mke wangu Victoria ambaye hadi sasa hivi bado hatujauzika mwili wake. Kama ilivyo kawaida ya wapelelezi, waliweza kutuhoji juu ya tukio hilo jinsi lilivyo tokea. Mahojiano haya yakafanyika kwa watu wengi sana, ila siri ya kuto wataja walio husika ikaendelea kubaki kwetu sisi wana familia kwani Dany ameahidi kuhakikisha kwamba atawashuhulikia wahusika kwa njia nyingine.

“Wazazi wa Victoria wanaomba mwili wa mtoto wao ili waweze kurudi nao Uingereza kwa ajili ya mazishi”

Dany alizungumza kwa sauti ya upole huku tukiwa tumekaa sebleni katika nyumba ya bi Jane ambayo kwa sasa tna siku sita toka tuanze kuishi humu ndani.

“Hawahitaji tuuzikie huku Tanzania?”

Nilimuuliza Dany kwa shauku.

“Niliwashauri hilo jambo ila wamekataa kabisa. Msimamo wao ni kuhitaji kurudi na mtoto wao nchini Uingereza”

“Sema nao wana misimamo ya ajabu sana hadi wanakera”

Yemi alizungumza kwa dharau kwani ni siku kadhaa toka wazazi wa Victoria walivyo tutupia lawama kwamba sisi tumehusika na kifo cha mtoto wao kwa uzembe wa kuto kuhakikisha kwamba ulinzi unaimarishwa kila sehemu ya ukumbi.

“Ila yule ni mke wangu halali wa ndoa. Mimi ndio mwenye maamuzi ya mwisho juu yake”

“Randy hilo linaweza kuleta mitafaruku sasa”

“Acha tu itokee Jojo. Mimi pia nina haki na wakumbuke kwamba mke wangu alikufa akiwa na kiumbe changu tumboni.”

“Jamani najua hili ni swala la kifamili. Ila ninaomba na mimi niweze kuchangia mawazo yangu”

Sote tukaka kimya kumsikiliza bi Jane ni nini anahitaji kukizungumza.

“Kumbukeni kwamba ndoa ya Victoria na Randy ime waunganisha kama ndugu. Na ili Victoria kule alipo ajisikie amani, mimi niawaomba sana muweze kukubaliana vizuri ili mukaupumzishe mwili wake eneo salama”

Bi Jane alizungumza kwa hekima na upole sana.

“Ila wanatulaumu”

“Sawa Randy, kumbukeni kwamba wana uchungu wa kumpoteza binti yao. Nakama jinsi mulivyo ona wale wazee wa watu wana watoto wawili tu wa kike. Victoria na yule mdogo wake, sasa hembu acheni kuwakazia wazee wa watu. Fungueni mioyo yenu na nina imani kwmaba kila jambo litakwenda salama”

“Kama ni kwenda Uingereza basi waende watu wachache kuwakilisha. Mimi kama mimi siwezi kwenda Uingereza”

Jojo alizungumza huku akitutazama sote.

“Ngoja nikazungumze nao. Randy utakwenda na mama yako pamoja na Jane. Livna, Jojo na mimi tutabaki hapa Tanzania na kuanza kshuhulikia hili swala kwa njia tunayo ijua sisi wenyewe”

“Kuweni makini mume wangu”

“Usijali. Kila mtu ahakikishe ana jiandaa kwa maana nitakwenda kuwakatia visa mapema kwa maana bila ya kufanya hivyo sidhani kama munawea kuingia nchi Uingerea”

Baada ya kikao hichi cha kifamilia Dany akaondoka eneo hili. Baada ya taratibu zote kukamilika ndani ya muda mfupi, siku iliyo fwata tukaanza safari ya kuelekea nchini Uingereza huku serikali ya nchi hiyo ikitoa ndege bibafsi kwa ajili ya kuubeba mwili wa Victoria pamoja na sisi wana familia. Kila ninapo litazama jeneza la Victoria hakika ninajikuta nikiwa nimejawa na majonzi mengi sana. Mipango mingi ambayo tuliipanga kwenye maisha yetu imebadilika galfa sana. Natamani hata nikepata ufahamu wa kuweza kukataa sherehe ambayo Dany alikusudia kutufanyia. Nina imani kama ningefanya maamuzi hayo hadi leo Victoria angekuewepo kitandani.

“Hei”

Sauti ya mdogo wake Victoria ikanistua kutoka katika dimbi hili la huzuni na mawazo. Nikamtazama huku akikaa kwenye siti yangu ya pembeni.

“Mbona umehama siti yako?”

“Nimekuja kukaa na wewe, japo familia yetu ina wachukia ila mimi kusema kweli siwachukii”

“Kwa nini ikiwa wazazi wako wanasema sisi ni wauaji?”

“Nilishuhudia juhudi zenu za ulinzi. Nakusema kweli pale unapo jipanga kumzuia adui naye hupanga jinsi gani ya kukushambulia na mbaya zaidi ni kwamba hamkufahamu adui. Hapo mimi sioni kosa la aina yoyote kwenye familia yenu na kama mashambulizi. Hata Uingereza wenyewe huwa kuna mashambulizi yanatoka na kuna kuwa na ulinzi mzito kuliko hata wanavyo fikiria”

Maneno ya mdogo wake Victoria yakanipa amani na nguvu katika safari hii kwani toka lawama hizi kuanzishwa na wazazi wa Victoria nilijihisi kama muuaji kwa kweli.

“Shem nashukuru kwa kunipa moyo”

“Usijali. Mimi nipo kwa ajili yako shemeji yangu na ninaendelea kujaribu kuzungumza na wazazi wangu nina imani mioyo yao wataifungua kwenu na watajawa na amani”

“Nashukuru sana shemeji”

“Usijali”

Tukafika nchini Uingereza majira ya saa sita usiku. Tukapokelewa na baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa Victoria huku wafanyakazi wa kituo cha Al-Jazira wakihakikisha wanarekodi kila tukio linalo endelea uwanjani hapa. Tukaelekekea nyumbani kwa wazazi wa Victoria na kukuta mkusanyiko mwengine wa watu wakiwa wamefika kwa ajili ya kuomboleza msiba huu.

“Nimechoka”

Bi Jane alizungumza huku akijinyoosha nyoosha viongo vyake mara baada ya kushuka kwenye gari.

“Pole kuna watu wengi”

“Yaaa watu wapo wengi. Inaonyesha mke alikuwa ni mtu wa watu?”

“Yaa si mtangazaji”

Tukakaribishwa na kupewa vyumba vya kupumzikia usiku huu. Kusema kweli sikuweza kupata usingizi usiku kucha kwani kila ninapo jaribu kufumba jicho langu ninamuona Victoria na isitoshe nipo nyumbani kwao kabisa. Mlango ukagongwa taratibu na nikamruhusu mtu anaye bisha malngo huo kuingia. Akaingi shemeji huku akiwa ameshika alabamu kubwa sana.

“Naweza kujumuika nawe shemeji?”

Aliniuliza huku akiwa amesimaa mlangoni huku amejifunika shuka kubwa kwani nchi hii ina baridi kali sana.

“Ndio unaweza kujumuika nami tu”

Shemeji taratibu akaufunga mlango kisha akanifwata kitandani nilipo kaa. Akaiweka albamu hii kubwa ya picha kitandani na kuanza kufunua taratibu. Akaanza kunionyesha picha za enzi hizo akiwa mdogo yeye na Victoria. Kila jinsi shemeji anavyo zidi kunielezea historia ya kila picha tunayo itazama, taratibu sura ya mke wangu ikaanza kutawala usoni mwake. Mbaya zaidi wamefanana sauti kwa asilimi kubwa sana kitendo cha kuzifanya hisia zangu za kimapenzi kuanza kufufuka tena.

“Shem”

Nilimuita kwa sauti ya chini sana akanigeukia na kunitazama. Tukatazamana kwa sekunde nyingi sana taratibu nikamuona shemeji akinisogezea mdomo wake. Gafla mlango ukafunguliwa na macho yetu sote yakakutana na baba mkwe ambaye toka litokee tukio la mauaji ya mwanaye basi amekuwa akinichukia wazi wazi bila hata kuficha hizia zake hizo za chuki mbele yangu.


“Toka humu chumbani”

Baba Victoria akamuambia shemeji, taratibu akafunga albamu hii ya picha na kunyanyuka. Akatoka chumbani humu na kuniacha na baba mkwe wangu.

“Na huyu mwanangu pia unahitaji kumshawishi ili mukamlipue na bomu ehee?”

Baba mkwe alizungumza kwa kulalamika na kunifanya nikae kimya huku aibu ikiwa imenijaa.

“Sihitaji mazoea na binti yangu. Fanyeni mazishi na muondoke sihitaji kuwaona nyumbani kwangu”

Baba mkwe mara ya kumaliza kuzungumza maneno hayo, akatoka ndani humu huku akiubamiza mlango wa chumba hichi kwa nguvu na kunifanya nikae kimya huku mawazo mengi yakiwa yametawala sana kichwani mwangu. Asubuhi ikawadia, nikatoka chumbani humu na kukutana na bi Jane kwenye kordo.

“Vipi umeamkaje?”

“Kidogo nipo poa”

“Kwa nini kidogo?”

Kwaishara nikamuomba bi Jane tuweze kutoka nje. Tukasimama kwenye moja ya mti mkubwa ulipo katika nyumba hii, nililipo hakikisha kwamba mazingira ya eneo hili ni salama kwa sisi kuzungumza, tukaanza kuzungumza.

“Inabidi tukimaliza mazishi tu turudi nchini Tanzania”

“Kwa nini haraka hivyo, ikiwa inabidi tukae kae hapa japo kuwafariji wafiwa”

“Hata mimi ni mfiwa ila inabidi tuondoke”

“Kuna tatizo?”

Nikaka kimya huku nikimtazama bi Jane usoni mwake.

“Niambie kama kuna tatizo”

“Huyu mzee ameniambia hivyo jana usiku chumbani kwangu. Hivyo sioni budi ya sisi kuendelea kuwepo hapa”

“Mmmmm kama ni mzee yeye mwenyewe ndio amezungumza basi acha tumalize msiba tuondoke”

“Nashukuru kwa kunialewa”

Tukajumuika na waombolezaji wengine katika kupata kifungua kinywa. Majira ya mchana kabla ya kuelekea kanisani kuuga mwili wa marehemu, ikafanyika ibada fupi, kisha tukaanza safari ya kuelekea kanisani. Tukaingia gari moja mimi, Yemi, bi Jane pamoja na dereva.

“Misiba ya wezetu ni ya tofauti kabisa na misiba ya kwetu Tanzania”

Bi Jane alizungumza huku akitugeukia nyuma tulipo kaa mimi na Yemi.

“Kwa nini?”

Yemi alimuuliza bi Jane.

“Tazama kila kiti ni cheusi, kuanzia mavazi ya watu, hadi magari”

“Wezetu si wana pesa”

“Yaa ila wana utaratibu mzuri wa mazishi yao”

Muda wote mazungumzo kati ya bi Jane na mama yakinendelea, macho yangu yote yapo nje nikitazama jinsi majengo marefu ya mji huu yalivyo jengwa kwa ustadi wa hali ya juu. Japo sio mara yangu ya kwanza kufika nchini Marekani ila kuna baadhi ya vitu ukivitazama havichoshi. Nikashuhudia gari moja nyeusi ikikatiza upande wa pili wa barabara hii ambayo katikati tumetengenishwa na magorofa mithili ya mpangilio wa mji wa Tanga jinsi ulivyo kaa.

Kila jinsi tunavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo zidi kulitilia mashaka gari hili kwani linakwenda taratibu sana lipo sawa sawa na gari letu. Gari hizi zipatazo ishirini na tato zikasimama eneo la mataa na gari hili likasimama usawa wetu ila kwa mtaa wa pili. Mtu aliye kaa siti ya nyuma ya gari hilo taratibu akashusha kioo, moyo ukanistuka sana mara baada ya kumuona mtu huyo akiwa ameshika bomu aina ya bazooka huku akiwa amelielekezea kwetu.

“Fuc***!!”

Nilizungumza kwa shauku kubwa sana. Kwa bahati nzuri dereva naye aliweza kuliona tukio hilo, hakujalia kama mbele kuna gari jengine alicho kifanya ni kukanyaga mafuta, na gari letu likalikogonga gari lililipo mbele yetu na na kulisababisha bomu hili lililo lengwa kwa ajili ya kutuangamiza sisi likapita na kupiga kwenye moja ya dula la nguo lililopo upande wa pili wa barabara na kusababisha mlipuko mkubwa sana. Shambulizi hili likatuchanganya watu wote tulipo kwenye msafara huu.

“Twende twende”

Nilimuambia dereva mara baada ya kuona gari hilo la washambuliaji likija kwa kasi sana huku likiwa limetulenga sisi. Yemi akafungua mlango wa upande wake na kujirusha upande wa pili, kwani hapa kwa m’banano wa magari haya katika huu msafara hakuna jinsi ya deeva kuweza kulitoa gari.

“Jane toka”

Nilizungumza kwa ukali kwani bi Jane anakazi ya kupiga kelele huku akiwa ameinama kwenye siti yake. Dereva naye akafunga mlango wake na kutoka. Kabla ya mimi na bi Jane kutoka kwenye gari hili. Tayari washambuliaji walisha tufikia karibu na kuligonga gari letu katika ubavu tulio kaa mimi na bi Jane. Milio ya risasi ikaanza kurindima katika eneo hili huku ikielekea kwenye gari hili.

Walinzi wa watu binafsi ambao wameandamana na mabosi wao katika msiba huu wakawajibika katika kuhakikisha kwamba wanawazuia washambuliaji hawa wa gari letu. Ubaya ni kwamba gari hili la washambuliaji haliingii risasni na limetengenezwa kwa madini ya chuma kwani dereva wao hakuacha kuendelea kulisukuma gari letu huli linalo serereka kuelekea eneo bomu lilipo angukia.

“Pitia mlango wa dereva”

Nilimuambia bi Jane na yeye akafanya hivyo. Akajirusha upande wa pili huku akimbingiria kuelekea pembeni. Kitu kilicho niogopeshaa ni mkanda wa siti yangu kukataa kufunguka. Jambo hili likasababisha mapigo yangu ya moyo kunianda kasi sana. Ving’ora vya gari za polisi vikaanza kusikika. Dereva wa gari hili akasitisha zoezi lake la kulisukuka gari hili kuelekea kwenye duka hili linalo endelea kuteketea kwa moto. Akaligeuza gari lake na kuondoka eneo hili kwa mwendo wa kasi sana. Walinzi walio valia suti yeusi wapata saba wakalisogelea gari langu. Wakasaidiana kuuvuta mlango huu ulio pondeka pondeka kwa kugongwa hadi ukafunguka.

“Upo salama Randy?”

“Yaa nipo salama”

Mmoja wao akatoa kisu kidogo mfukoni mwake na kukata mkanda wa siti hii na nikatoka kwenye gari hili. Yemi na Bi Jane wakanifwata eneo hili nilipo simama na walinzi hawa.

“Randy mwanangu upo salama?”

“Ndio mama”

“Hili swala ni lazima lifanyiwe uchunguzi”

Yemi alizungumza huku machozi yakimtiririka usoni mwake. Polisi wakafika katika eneo hili na kuanza kufanya uchunguzi tukio hili huku wakituhoji maswali mawili matatu.

“Hujawahi kuwa na matatizo na mtu yoyote?”

“Sijawahi na nimekuja hapa kwa msiba wa mke wangu. Hivyo ninawaomba niendelee na msafara tukamzike mke wangu kisha ndio mutanihoji maswali yote”

“Sawa ila inabidi mupate ulinzi wa askari”

“Nashukuru”

Nilizungumza kwa kujiamini, tukahamishiwa kwenye gari jengine na tukaendelea na msafara hadi kanisani. Ulinzi wa askari ukatawala eneo zima la kanisa. Kitu kilicho nistajabisha ni baba mkwe kuto kuthubutu hata kuzungumza jambo lolote juu ya tukio hili.

‘Kwa nini walitushambulia sisi wenyewe?’

Nilijiuliza huku nikimtazama baba mkwe kwa macho ya kuiba.

‘Au hawawatu amewatuma yeye?’

Maswali yangu yote hayakuweza kupata majibu yoyote. Mchungaji akatuomba tuweze kusimama ili kwa ajili ya kusali. Tulipo maliza kusali, tukaruhusiwa kuuaga mwili wa marehemu kwa mara ya mwisho. Nikapiga hatua hadi lilipo jeneza la Victoria. Machozi taratibu yakaanza kunitiririka usoni mwangu huku nikitazama uzuri wake ambao hakika anaondoka nao duniani.

‘Lazima nitalipa mke wangu. Siwezi kumuacha mtu aliye sababisha hili jambo akaishi hivi hivi’

Nilizungumza kimoyo moyo huku taratibu nikiinama, nikambusu Victoria kwenye paji lake na uso huku matone kadhaa ya machozi yakiangukia mashavuni mwake.

“Randy”

Mama alizungumza huku akinishika begani mwangu. Nikanyanyuka na kupiga ishara ya msalaba na kuondoka eneo hili na kurudi kwenye sehemu tulipo kuwa tumekaa. Nikaitazama pete hii, maneno ya bibi taratibu yakaanza kujirudia kichwani mwangu, akiniambia kwamba siku ya harusi yangu kuna jambo litatokea ila sikujua ni tukio gani kwa kipindi kile na kutokana alizungumza katika hali ya kawaida, sikuwa na wasiwasi wa kumuhoji sana juu ya hili jambo hilo.

“Randy mwangu jikaze usilie sana”

Yemi alizungumza huku akiniendelea kunibembeleza kwani machozi yanaendelea kumwagika tu. Watu walipo maliza kuugaa mwili wa marehemu. Safari ya kueleeka makaburini ikaanza huku polisi wakiendelea kuimarisha ulinzi.

“Kwa nini walitushambulia sisi?”

Yemi aliuliza swali ambali sikuhitaji kulijibu kwa sasa.

“Haki ya Mungu nina ogopa jamani”

“Jane rafiki yangu hukuwahi kukutana na mambo kama haya?”

“Nilisha wahi kukutana nayo ila si kwa nchi kama hii. Yule mzee ana tulaumu tu, sasa mbona shambulizi limetokea tena kwenye msafara tu.”

Bi Jane alizungumza kwa kulalamika.

“Ndio nyani haoni kundule”

Hadi tunafika makaburini, sikuzungumza jambo lolote. Tukaelekea eneo lilipo chimbwa kaburi, mchungaji akafanya sala ya mwisho kabisa kisha taratibu jeneza la Victoria likaanza kushushwa kwenye kaburi lake sehemu yake atakayo dumu milele. Kila ninapo jaribu kuyazuia machozi yangu nikajikuta nikishindwa kabisa. Taratibu mvua ikaanza kunyesha, baadhi ya watu wakaanza kutawanyika na kurudi kwenye magari yao.

“Randy mvua”

Mama alizungumza akijikunyata.

“Nendeni kwenye gari”

Yemi na bi Jane nao wakaungana na watu wengine wakaondoka. Tukabaki watu wachache sana huku baba mke naye akiwa ni miongoni mwa watu walio baki. Watu wanao jenga kaburi hili mke wangu wakaendelea kulijenga huku kwa umahiri mkubwa. Mvua na radi zikazidi kuongezena na wala sikuogopa na baadhi ya watu wachache tulio kuwa tumebaki nao wakaondoka na nikabaki na baba mkwe. Akanisogelea na kunitazama usoni mwangu kwa hasira.

“Nilitegemea kwenye maisha yangu kwamba mwanangu atakuja kunizika. Ila leo hii nimemzika mimi yote ni kwa ajili yako wewe mpuuzi mmoja. Ila nitahakikisha kwamba utalilipa hili”

Baba mkwe alizungumza kwa msisitizo akataka kuondoka ila nikamshika mkono na akanigeukia kwa hasira sana.

“Sina la kufanya juu ya msiba wa Victoria. Nilimlinda nchini Syria kwa udi na uvumba hadi akawa hai. Sasa kama nilihitaji kumuua ningemuua nchini Sryria na kama unahisi kwamba nimehusika na kifo cha mke wangu sawa. Ila kama wewe ndio umehusika katika jaribio la kuhitaji kuniua leo hii, jua umeingia kwa mtu siye. Nitahakikisha unajutia maisha yako yote mzee”

Baada ya kuzungumza maneno hayo nikamuachia kwa nguvu baba mkwe mkono wake. Tukatazamana kwa zaidi ya dakika tano kisha akaondoka na kuniacha na watengeneza kaburi la Victoria.

“Nashukuru”

Niliwashukuru wajengaji hawa, taratibu nikasogelea kaburi la Victoria, nikapiga magoti pembeni yake kisha taratibu nikasali sala ya mwisho. Nikaitazama pete yangu mkononi, nikatamani kuivua ila nikakumbuka mkufu ambao bibi alinikabidhi. Taratibu nikautoa mkufu huu wa dhababu kwenye mfuko wangu suti. Taratibu nikaufunga kwenye msalaba huu na kuondoka eneo hili. Nikakuta gari tatu zimebaki huku gari mbili zikiwa ni gari za polisi na gari moja ni gari tulilo kuja nalo.

“Mr Randy kuna simu yako hapa”

Askari mmoja alizungumza huku akinikabidhi simu yake. Nikaiweka simu hii sikioni mwangu.

“Ndio”

“Pole sana Randy, leo hii ndio nimeweza kusikia habari ya kifo cha mke wako. Pole sana”

Niliisikisa sauti ya waziri mkuu wa nchi hii ya Ungereza.

“Nashukuru sana muheshimwa”

“Nimewawekea ulinzi wa askari. Nimawaomba wewe na familia yako waweze kukuelea hadi nyumbani kwangu ili tuweze kuzungumza juu ya hili lililo tokea leo”

“Nashukuru sana muheshimiwa”

“Sawa tutaonana baada ya muda mfupi”

“Sawa”

Nikakata simu na kumrudishia askari huyu simu yake. Nikaingia kwenye gari huku nguo zangu zote zikiwa zimelowana kwa maji.

“Ulikuwa unazungumza na nani?”

Yemi alizungumza huku akinisaidia kunivua koti langu la suti. Safari ikaanza huku mbele ikiwa imetangulia gari ya polisi na nyuma yetu tukifwatwa pia na gari ya polisi.

“Waziri mkuu”

“Waziri mkuu kutokana Tanzania au?”

“Hapana, waziri mkuu wa nchi hii ya Uingereza, alikuwa ni rafiki yetu mimi na Victoria. Leo ameona shambulizi hilo la bomu hapa anatuhitaji tuweze kuelekea nyumbani kwake ili aweze kuzungumza nasi.

“Sawa, ehee yule baba yako mkwe alikuwa amekuambia nini kwa maana niliwaona jinsi mulivyo kuwa mukitazamana kwa hasira.?”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama Yemi usoni mwake.

“Anahitaji niweze kulipa juu ya kifo cha V……”

Gafla gari la polisi lililopo mbele yetu likagongwa na lori moja kubwa na kutolewa kabisa barabarani kisha lori hilo likasimama mbele yatu na wakashuka watu wawili walio jifunika nyuso zao kwa vitambaa vyusi huku mikononi mwao wakiwa na bunduki mikononi mwao aina ya AK47.



Kabla ya watu hawa wahajafanya jambo lolote, gari la polisi lililopo nyuma yetu, likapita kwa kasi na kuzimama mbele yetu. Askari hawa wawili wakashuka kwenye gari lao kwa umakini huku wakianza kushamuliana na wavamizi hawa. Tukashuhudia askari mmoja akipigwa risasi ya kichwa na kufa hapo hapo.

“Musitoke ndani ya gari”

NIlizungumza huku nikifungua mlango na kuanza kukimbia chini chini hadi lilipo gari la polisi hawa.

“Rudi kwenye gari?”

Askari huyu aliye salia aliniambia huku akishika vizuri bastola yake vizuri. Nikachukua bastola ya askari huyu aliye kuva, nikatoa magazine na kukuta ina risasi za kutosha. Wavamizi hawa ambap nao wamejizaba kwenye gari lao wanaendelea kutuvurumushia risasi mfululizo. Nikafumba macho huku nikivuta hisia ya risasi hizo zinavyo shambuliwa kwetu sisi ambazo zote zinaishia kupiga gari hili la polisi. Nilipo sikia ukimywa wa sekunde moja nikajua hivi sasa wavamizi hao watakuwa wanabadilisha magazine zao.

Nikasimama kwa kasi sana huku nikiizunguka gari hii ya polisi kwa kasi sana. Sikuhitaji kufanya makosa, kila risasi ambayo nimeifyatua kuelekea kwa watu hawa haikuenda bure na ndani ya muda mchache wote wakwa wamelala chini. Nikawasogelea hadi sehemu walipo, nikazisogeza mbali bunduki zao kwa kuzipiga kwa mateke. Askari huyu aliye salia akafika eneo hili huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana. Tukawavua vitambaa walivyo jifunika usoni mwano. Watu hawa wana asili ya kiarabu jambo lililo nifanya nipatwe na mshangao kidogo. Askari huyu akawasiliana na wezake na kutuelezea ni sehemu gani ambayo tupo. Askari huyu akeelekea kwenye sehemu lilipo gari la wezao ambalo liligongwa na lori hili. Taratibu nikainama na kuanza kuwapapasa watu hawa. Nikapata simu kwa jambazi mmoja, nikaichukua na kuiingiza mfukoni pasipo askari huyu kuweza kuona.

“Msaada”

Askari huyu aliniomba huku akijitahidi kufungua mlango wa gari la askari wezake. Nikafika katika sehemu hiyo na tukaanza kusaidiana kufungua mlango ambao umeminyika sana na askari hao waliomo humu ndani ya hili gari wapo katika hali mbaya sana.

“Hapa hatuwezi kuufungua huu mlango”

Nilimuambia askari huyu huku nikiacha kuuvuta mlango huu. Gari zipatazo sita za askari zikafika eneo hili, askari hawa wakafika katika eneo hili tulipo ili kusaidiana nasi. Gari la zima moto nalo likafika eneo hili na askari hao wa zima moto wakaanza kazi ya kukata mlango huo kwa kutumia moto wa gesi ili kuwatoa wezao. Askari hao wakawatoa wezao ndani ya gari hili huku wakiwa wanavuja damu miilini mwao. Wakaingizwa kwenye gari za wagonjwa na kuwahishwa hospitalini.

“Nashukuru kwa kazi nzuri uliyo ifanya”

Askari huyu alinipongeza huku akinipa mkono.

“Nashukuru. Ila pole kwa kumpoteza askari mwenzako”

“Nashukuru ndugu yangu, ndio majukumu ya kazi”

“Sawa, ila safari ya kuelekea nyumbani kwa waziri mkuu bado ipo au imeishia hapa?”

“Ngoja nifanye mawasiliano na waziri mkuu kisha nitakujulisha”

“Sawa”

Nikarudi kwenye gari walipo mama pamoja na bi Jane.

“Vipi upo salama?”

“Ndio nipo salama. Dereva yupo wapi?”

“Yupo kula na maaskari. Wale walio tuvamia ni watu wa gani?”

“Ni waarabu nina imani kwamba Rarida na kundi lake bado wanaendelea kutufwatilia”

“Huyu mwana haramu ana nijua mimi vizuri sana. Nitamshuhulikia ngoja tuondoke nchini hapa”

Askari akatufwata sehemu tulipo.

“Mimezungumza na waziri, ametoa pole sana na amewaagiza secterty agents, kuja kuwachukua. Nina imani ndani ya dakika chache sana wanaweza kufika eneo hili.”

“Sawa tunashukuru”

Baada ya dakika kama sita hivi gari nyuesi zipatazo nne zikafika eneo hili. Wakashuka watu walio valia suti nyeusi pamoja na miwani nyeusi. Moja kwa moja wakaletwa eneo tulipo sisi. Askari huyu akatutambulisha kwa kiongozi wa kikosi hichi. Tukaingia kwenye moja ya gari kisha safari ya kuondoka eneo hili ikaanza huku ulinzi wa walinzi hawa wa waziri mkuu ukiwa ni mkali tofauti sana na ulinzi tulio upata kutoka kwa askari ambao walivamiwa.

Tukafika katika jumba kubwa sana ambalo limezungukwa na miti mingi mirefu kwenda juu na ulinzi wa ukiwa umeimarishwa kila kona. Tukashuka kwenye gari na moja kw amoja tukasindikizwa na walinzi wawili hadi sebleni. Tukakaribishwa na mwana dada mmoja aliye valia mavazi nadhifu sana yanyo onyesha kwamba yeye ni muhudumu wa ndani katika jumba hili.

“Japo sisi ni matajiri ila hili jumba ni kubwa sana”

Yemi alizungumza huku akitazama tazama juu jinsi jumba lilivyo jengwa.

“Haya sio majumba haya ni masinagogi”

Bi Jane naye alizungumza huku wakiungana na mama katika kushangaa jumba hili.

“Ooohoo karibuni sana”

Waziri mkuu alizungumza huku akishuka kwenye ngazi zinazo tokea gorofani. Tukasimama na waziri mkuu akafika sebleni hapa akaanza kunipa mkono mimi.

“Randy rafiki yangu pole sana kwa yale yote ambayo yanajitokea. Tupo kwenye hatua za kuhakikisha kwamba tunawakamata wale wote walio husika katika haya mashambulizi mawili”

“Nashukuru sana muheshimwa. Huyu ni mama yangu mzazi anaitwa Yemi. Huyu ni rafiki wa mama yangu anaitwa bi Jane tumeambatana naye kwenye msiba wa mke wangu”

“Nashukuru kuwafahamu. Jamani poleni sana kwa kila jambo lililo jitokea hakika tumesikitishwa kwa kila jambo baya lililo jitokeza”

“Tunakushukuru nawe pia”

“Sura yako si ngeni kwako Yemi”

“Hata mimi, nakukumbuka kipindi ni first Lady nchini Marekani, tulitembelea Uingereza”

“Ewalaa, kipindi kile nilikuwa waziri wa ulinzi na tuliwapoke uwanja wa ndege”

“Kweli. Nafurahi sana kukutana na mtu aliye weza kuonyesha ukarimu mkubwa sana kwenye maisha yanug hapo awali”

“Usijali, ni jukumu langu kuhakikisha kwamba nina kuwa mkarimu kwa kila mmoja. Munatumia vijanywaji gani jamani”

Waziri mkuu alizungumza huku akikaa kwenye moja ya sofa la kisasa lililomo hapa sebleni. Nasi tukaa, kila mtu akataja kinywaji chake anacho kihitaji na baada ya muda kidogo muhudumu akatuletea.

“Yaani ninajisikia aibu kubwa sana kwa mtu kila jambo lililo jitokea jamani”

“Usijali muheshimiwa kila kila jambo linatokea kwa makusudi yake”

“Kweli ila ina uma sana. Unajua nilihitaji kukupigia simu na kukueleza kwamba mke wako amepana nafasi ya kujiinga na shirika la utangazaji la BBC. Ila ndio hivyo Mungu amefanya jake”

Waziri mkuu alizungumza kwa suati ya upole sana.

“Ila hapa mupo salama. Nitahakikisha kwamba mukirudi Afrika basi mutarudi katika usalama wa hali ya juu”

“Tunashukuru sana muheshimiwa”

“Ehee Yemi hembu niambie ni nini kilitokea hapa katikati. Nasikufahamu kwamba Randy ni mwanao kwa maana Randy ni kijana mmoja shupavu sana na aliweza kuifanya kazi ambayo ukiachana na watu waliomo serikalini kuipenda, ila hata mimi mwenyewe nimeipenda kwa kweli”

“Nimepitia mambo mengi sana rafiki yangu. Ila hadi kufika hapa ni Mungu mwenyewe ndio anaye fahamu”

“Pole sana. Jamani ninaomba niweze kuzungumza na Randy kwa dakika chache tu”

“Sawa”

Tukaondoka sebleani hapa na waziri mkuu na kuingia naye kwenye moja ya ofisi yake.

“Ni nini kinacho endelea Randy kwa maana katika simu moja mashambulizi mawili na isitoshe nchini Tanzania ulishambuliwa na mke wako akapoteza maisha vipi kuna nini?”

“Wee acha tu muheshimiwa. Al-quida wananiandama. Wamehusika kwenye shambulio la kwanza Tanzania, hili la leo pia nina imani kwamba wamehusika na hata la muda mchache nimeweza kudhibitisha kwa maana watu wale ni waarabu”

“Mmmmm…..!! Umeweza kumueleza mtu yoyote juu ya hili jambo?”

“Hapana ni mama yangu pamoja na huyu rafiki yake ndio watu wanao fahamu juu ya tukio hilo”

“Usimueleze mtu yoyote hata ikitokea uka hojiwa. Wewe jibu lako linatakiwa kuwa ni sijui”

“Hilo nalitambua muheshimiwa kwa maana nahitaji kufanya hii kazi kimya kimya”

“Kama ulikuwa akilini mwangu. Nitakuunaga mkono kwa kila jambo unalo lihitaji kutoka kwangu”

Waziri mkuu alizungumza huku akinitazama usoni mwnagu.

“Nashukuru sana muheshimiwa.”

“Vipi ule mpango wa kujiunga na jeshi la nchi hii”

“Hilo nalo nitahakikisha kwamba ninalifanyia kazi, ila nahitaji kuifanya hii kazi nikiwa nje ya jeshi. Nikiwa ndani ya jeshi naamini kina baadhi ya vitu havito kwenda sawa sawa kama vile nilivyo hitaji viweze kwenda”

“Nimekuelewa Randy. Fanya vile unavyo hitaji mimi nipo nyuma yako”

“Nashukuru. Nahitaji kurudi nchini Tanzania kwa ndege ya sisi peke yetu. Naomba unisaidie katika hilo”

“Usijali hilo nitalishuhulikia pia”

“Kuna jambo jengine naomba pia unisaidie?”

“Jambo gani?”

“Nahitaji kuweza kuifahamu historia ya baba yangu mkwe leo hii kama inawezekana”

“Sawa”

Waziri mkuu akapiga simu kwa mtu anye mfahamu yeye mwenyewe. Baada ya muda kidogo simu yake akaita tena anaipokea na kuiweka sikioni mwake. Akayasikiliza maelezo aliyo patiwa na mtu huyo kama dakika moja na sekunde hamsini kisha akakata simu na kunitazama huku akishusha pumzi taratibu.

“Habari niliyo pewa juu ya huyu mzee sio mtu mzuri sana kwa namna moja ama nyingine”

Maneno ya waziri mkuu yakanifanya nikae kimya huku nikiwa nimejawa na wasiwasi mwingi sana moyoni mwangu.



“Huyu mzee alikuwa ni jasusi wa nchi hii Uingereza na alisha wahi kufanya baadhi ya kazi nyingi sana kipindi akiwa kazini. Ila kwa nini umehitaji nifwatilie historia ya baba mkwe wako?”

“Hapana tu ila nilihitaji niweze kufahamu tu kuhusiana na historia yake. Ila kwa hayo machache ninashukuru sana”

Tukamaliza kuzungumza na muheshimiwa. Siku hii ya leo tukalala hapa nyumbani kwake na siku iliyo fwata tukaanza safari ya kurudi nchini Tanzania huku tukiwa katika ulinzi wa walinzi maalumu wa waziri mkuu. Tukapanda ndege maalumu aliyo tuagiza waziri mkuu wan chi hii ya Uingereza na safari ya kurudi nchini Tanzania ikaanza.

“Ohoo namshukuru Mungu ninaondoka nchini humu”

Bi Jane alizungumza huku akikaa vizuri kwenye siti yake.

“Kwa nini unamshukuru Mungu”

“Mmm wee acha tu Randy. Ngija ngija zote ina maana hujaziona”

“Hizi mbona hazina tofauti na zile ulizo kuwa unapitia kipindi kile”

“Mmmm ila hizi za kutumia mabomo kwa kweli zinatisha”

“Zoea bwana kwa maana sisi pia si juzi juzi tulishambuliwa kwa bomu”

“Mmmm haya”

“Randy mwanangu una mpango gani na watu walio husika kwenye haya matukio?”

“Mpango kwa sasa mama yangu nikikuambia nitakuwa nina kuongopea kwa kweli. Ila baada ya kukutana na baba basi nitaweza kufahamu nini cha kufanya”

“Sawa”

Safari ikazidi kutuchukua masaa mengi angani na mwisho tukafika nchini Tanzani siki iliyo fwata. Tukapokelewa na Jojo katika uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Tukaeleka hadi katika hoteli ya bi Jane na kumkuta Dany akiwa ana tusubiria. Moja kwa moja tukaelekea kwenye moja ya chumba ambacho si kigeni kwangu kwani ni chumba ambacho siku ya harusi ndipo nilipo pumzika na mke wangu kabla ya kuelekea ukumbini.

“Kwa nini tumekaa hapa?”

Nilimuuliza Dany huku nikimtazama usoni mwake.

“Nina maana yangu ya kukuleta hapa”

“Maana gani?”

“Nahitaji sasa roho yako isiwe roho ya huruma. Isiwe ni roho ya kusema kwamba utasubiri muda fulani kuweza kufanya malipizi ya haya yote yaliyo tokea”

Watu wote tulikaa kimya huku tukimtazama Dany usoni mwake.

“Jambo kubwa na la msingi kuanzia hivi sasa ni kuhakikisha kwamba tunapambana mwanzo mwisho. Wafe wao au wafe sisi”

“Samhani Dany”

Bi Jane alizungumza na kutufanya watu wote tumtazame.

“Ni kina nani hao unao wazungumzia”

Dany akachukua rimoti iliyopo mezani, akawasha tv iliyomo humu chumbani. Tukaanza kuona bendera nyeusi yenye maandishi ya kiarabu ambayo kwa haraka niliweza kuifahamu ni bendera ya kundi la Al-quida, kundi ambalo nilikuwa nikifanya kazi chini yao kabla ya kuamua kuachana nao. Zikaanza kutokea picha za wapiganaji hao wakiwa katika makundi mengi mengi kisha ikapita picha ya mwana mama wa kiarabu ambaye aliudhuria kwenye harusi yangu na kutegesha saa ambayo ni bomu. Ikaja picha ya baba wa Farida kisha ikafwata picha ya Farida mwenyewe. Dany akasimamisha kwenye picha ya Farida kisha akatutazama watu wote hapa chumbani.

“Huyo anaitwa Farida. Alikuwa ni X girlfriend wa bwana mdogo hapo”

Bi Jane akanitazama kwa macho ya kuiba kisha akamtazama Dany.

“Kwa sasa huyo ndio mkuu wa kundi hilo la Al-quida na wao ndio wamehusika katika shambulizi hilo. Lengo lao na nia yao ilikuwa ni kuhakikisha kwamba ana muangamiza Randy pamoja na mke wake.”

“Kwa sasa wapo nchini Pakistani katika mji wa Karachi.”

Dany akaminya kitufe kingine na kuifanya video hii kuendelea kuonyesha picha za matukio ya mashambulizi yaliyo tokea tukuta nchini Uingereza.

“Hawa na ISS, ama Islamic State. Wamehusika katika mashumbulizi hayo mawili yaliyo wakuta na jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba mume nusurika. Hivyo kwa sasa tuna vita ya vikundi vikuu viwili amba yo kwa kutumia akili inabidi tuhakikishe kwamba na sisi tuna lipiza kisasi juu yao. Tumeelewana?”

Dany alizungumza huku akitutazama usoni mwetu.

“Ianabidi tujigawe katika makundi mawili makuu muhimu”

“Kundi la kwanza Jojo utaungana name kuhakikisha kwamba tuna wakabili hawa ISS. Randy wewe utakwenda na kijana mmoja wa Livna sasa sijajua ni nani ila atakupatia kijana wake yoyote ambaye atakusindikiza katika safari hii”

“Mimi na Jane tutakuwa na kazi gani?”

Yemia alizungumza na kutufanya tumtazame nay eye.

“Nyinyi kwa pamoja mutasaidiana na Profesa katika kuhakikisha kwamba munatupatia kila taarifa ambayo tutakuwa tuna ihitaji”

“Hivyo tu?”

“Ndio”

“Hapana baba Randy, sisi nasi tunahitaji kuhakikisha kwamba tuna pambana katika hili. Kumbuka tukio lilivyo tiokea tulikuwa sote pale ukumbini”

“Nalitambu hilo ila sihitaji kupoteza wana familia kwa sasa”

Dany alizungumza kwa msisitizo na kumfanya mama kukubali kishingo upande.

“Safari itaanza kesho kutwa. Maelezo mengine ya ziada tutayazungumza kesho kesho kwa leo muna weza kupumzika. Randy nifwate”

Dany mara baada ya kumaliza kuzngumza hivyo akatoka ndani hapa, nikanyanyuka na kumfwata nje. Tukaingia chumbani kwake na nikamkuta Livna akiwa amejilaza kitandani.

“Poleni kwa safari”

“Ninashukuru”

Dany akanikabidhi laptop.

“Kuna video ukitulia inabidi uweze kuitazama ni kwa ajili yako”

“Sawa”

Nikatoka chumbani humu na kukutana na Yemi mlangoni.

“Baba yako yupo na nani?”

“Livna”

Mama hakuhitaji hata kujifikiria mara mbili akasukuma mlango wa chumba cha Dany na kuingia ndani. Nikarudi katika chumba ambacho tulikuwepo na kumkuta Jojo na bi Jane wakizungumza. Walipo niaona wakakatisha mazungumzo yao kisha Jojo akasimama na kutoka chumbani humu.

“Huisi njaa?”

Bi Jane aliniuliza huku akinitazama kwa macho malegevu kidogo.

“Hapana”

“Mmmm kuna chochote kingine unacho hitaji mpenzi wangu?”

“Ndio.Nahitaji kupumzika na kukiweka kichwa changu vizuri”

Bi Jane akasimama na kunitazama kwa sekunde kadhaa.

“Sawa”

Akanijibu kwa unyonge kisha akatoka ndani humu. Nikaitazama laptop hii kisha nikanyanyuka na kuingia bafuni, nikaoga kisha nikarudi na kukaa kwenye moja ya sofa. Nikaifungua laptop hii na kukuta faili moja tu, nikalifungua faili hili na kukuta video moja. Mwili mzima nikahisi ukifa ganzi, nikajikaza na kulifungua faili hili, nikaanza kumuona marehemu mke wangu akiwa amekaa kitandani katika chumba chetu huku akilishika shika tumbo lake lenye ujauzito.

‘Mwanangu kipindi upo tumboni ulikuwa hivi tumboni mwangu. Nina mpenda sana baba yako na nina imani kwamba baba yako atafurahi sana kuona siku ukiwa mikononi mwake.’

Maneno ya Victoria taratibu yakaanza kunishusha machozi.

‘Randy, nina furahi kuwa na wewe kwenye maisha yangu. Wewe ndio mwanaume ninaye kupenda, ninakuomba usije niumiza moyo wangu. Nitajitunza hadi mwisho wa maisha yangu, nakuahidi kuwa mke mwema na mama mwema kwenye familia yangu. Video hii ni kwa ajili yako na mwanao. Ninawapenda sana, mwaaa”

Video hii ikaishia hapa, kumbukumbu zangu zikarudi nyuma kwa kasi, nikakumbuka siku ya harusi yetu jinsi nilivyo msaliti Victoria, moyo wangu ukazidi kuniuma na kujikuta nikujilaani kwa kushindwa kuitunza heshima ya mke wangu. Chuki juu ya bi Jane ikaanza kunitawala taratibu moyoni mwangu kwani kwa namna moja ama nyingine nina imani kwamba yeye ndio mkosi mkubwa sana na kusababisha majanga katika harusi yangu.

Nikaichukua rimoti iliyopo mezani na kuwasha tv, nikaitazama picha ya Farida kwa mara nyingine.

“Siku nitakayo kukamata nitahakikisha kwamba nina kuua kifo ambacho hukuwahi kukitarajia kwenye maisha yako”

Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwagu. Nikapata wazo moja kwa haraka nikavaa nguo zangu na kutoka chumbani humu, nikamgondea Dany katika chumba chake. Baada ya dakika akafungua mlango na kunitazama.

“Nahitaji funguo ya gari”

“Unatakwa kwenda wapi usiku huu”

“Nyumbani kwa Professa”

“Kuwa makini”

Dany alizungumza huku akirudi ndani, akatoka tena na kunikabidhi funguo. Nikaanza kutembea kwenye kordo hii na nikaisubiria lifti hii inayo panda juu. Ilipo fika katika gorofa niliyopo ikafunguka, macho yangu yakakutana uso kwa uso na Tatiana akiwa amevalia suti nyeusi. Tukatazamana kwa sekunde kadhaa kisha kwa ishara akaniomba niweze kuingia kwenye hii lifti. Nikaminya kitufe cha gorofa ya chini kabisa na lifti hii ikaanza kushuka taratibu, ukimya ukaendelea kutawala ndani ya lifti hii.

“Nimerudi kazini bosi amenipigia simu”

Tatiana alianza kuniongelesha huku akinitazama usoni mwangu.

“Sawa”

Nilijibu kwa ufupi huku nikisubiria mlango huu wa lifti kufunguka. Ulipo funguka nikappiga hatua moja ila kabla sijatoka Tatiana akaniwahi kunishka mkono.

“Randy kumbuka kwamba nimekuja hapa kwa ajili yako”

Nikamtazama Tatiana kwa macho makali sana pasipo kumuongelesha kitu chochote, nikayashusha macho yangu kwenye mkono wake alio nishika, taratibu akautoa mkono wake huku akionekana kuogopa kidogo.

“Nina haraka”

“Tunaweza kwenda huko unapo kwenda”

“Sitaji mtu wa kusindikizana naye. Nenda kwa bosi wako”

“Randy kazi ambayo unataka kwenda kuifanya mtu uliye pangiwa naye kuifanya ni mimi. Hivi sasa mimi na wewe ni timu moja”

Nikashusha pumzi taratibu na kutoka katika lifti hii. Tatiana akaanza kunifwata kwa nyuma, nikaminya moja ya kitufe katika funguo hii ili niweze kufahamu ni gari gani la Dany. Nikafanikia kuweza kuliona gari la Dany, tukaingai ndani ya gari hili huku sote tukiwa kimya, nikaondoka katika gari hili na kuianza safari ya kwenda nyumbani kwa Professa. Haikuchukua muda mrefu sana tukafika nyumbani kwake.

“Nisubirie hapa ndani ya gari”

Nilizungumza huku nikishuka ndani ya gari, nikaingia ndani kwa Professa na kumkuta katika ukumbi wake anao fanyia kazi zake.

“Randy sikutarajia uwepo wako hapa?”

“Ndio nina hitaji msaada wako Professa”

“Msaada gani tena”

“Nahiji niweze kufahamu ni wapi walipo watoto wa Farida”

“Farida yupi?”

“Kiongozi wa kikundi cha Al-quida”

“Sawa”

Professa kwa haraka akawasha computer yake na kuanza kuifanya kazi niliyo muagiza.

“Kwenye gari lako umemuacha nani?”

Professa alizungumza huku akitazama tv kubwa iliyomo ndani ya ukumbi huu. Tukamuona Tatiyana akiwa amesimama nje ya gari huku akionekana kutazama tazama eneo la hii nyumba.

“Ni msichana niliye kuja naye”

“Kwanza pole kwa kile kilicho tokea katika harusi yako”

“Shukrani”

“Mkaribishe mgeni ndani”

Nikamatazama Professa kwa sekunde kadhaa kisha nikatoka ndani ya ukumbi huu, baada ya muda tukarudi tukiwa tumeongozana na Tatiana.

”Nimefanikiwa kuweza kuwapata mapacha wake”

“Wapo wapi?”

“Wapo nchini Misri katika mji wa Cairo. Wapo katika moja ya shule wana soma”

“Naomba uniandikie jina la hiyo shule”

“Sawa, ila katika kuwafwatilia watoto hawa inabidi uweze kuwa makini sawa”

“Nimekuelewa mzee”

“Randy uhitaji kuanya nini juu ya hao watoto”

Tatiana aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Nahitaji vichwa vyao vikawe ni zawadi ya mama yao”

“What! Randya kumbuka kwamba hawa watoto ni wadogo sana na hawana hatia yoyote katika lole alilo lifanya mam yao”

Nikamtazama Tatiana kwa macho makali sana huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.

“Laiti kama mama yao angejua kwamba mwanangu aliyekuwa tomboni mwa mke wangu hana hatia na jambo lolote ambalo tumekoseana mimi na yeye basi asinge weza kufanya kile alicho kifanya. Nimempoteza mtoto wangu na nimempoteza mwangu na wala usihisi kwamba nitakuwa na huruma na watoto wake. Nitahakikisha kwamba ninawachinja kama ninavyo chinja kuku. Umenielewa?”

Nilizungumza kwa hasira hadi Tatiana akatetemeka kwa woga kwani hakutarajia kuona nikiwa katika hali kama hii hata siku moja.



Nikaondoka ndani humu pasipo kumuaga mtu wa aina yoyote. Tatiana akanifwata kwa nyuma na kwa pamoja tukaingia ndani ya gari na kuondoka eneo hili.

“Tunaelekea wapi Randy”

Tatiana aliniuliuza huku akinitazama usoni mwangu kwa mshangao kwnai barabara ninayo pita si barabara inayo elekea hotelini

“Wewe si umeandamana nami, tulia”

Nilizungumza huku nikiongeza mwendo kasi wa gari hili. Safari ya kuelekea nyumbani kwa Dany ikatuchukua masaa manne. Nikasimamisha gari nje ya jumba hili ambalo lipo porini na kwa sasa hakuna mtu yoyote kwani Dany na Jojo wote wapo jijini Dar es Salaam. Nikashuka ndani ya gari na kupitiliza moja kwa moja hadi ndani ya chumba changu, kitu nilicho kutana nacho ni nguo kadhaa za Victoria zikiwa zimemwagwa kitandani, nikachukua moja ya gauni lake na kulinusa kidogo, harufu ya mwili wa mke wangu iliyo salia katika gauni hili, ikanifanya mwili wangu mzima kusisimka huku hisia za uchungu wa kuondoka kwake duniani zikinitawala. Taratibu nikatazama moja ya picha iliyopo ukutani ambayo tumepiga kwa pamoja, nikaishusha huku machozi yakinitiririka taratibu. Nikaanza kuipapasa sura ya mke wangu katika picha hii kwa kutumia kidole gumba changu cha mkono wa kulia.

‘Siwezi kukuacha ukaenda hivi hivi mke wangu ni lazima walipe. Nilazima walipe’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kuitazama picha hii ya mke wangu. Nikaunyanyua uso wangu na kumkuta Tatiana akiwa amesimama mlangoni mwa chumba hichi huku akinitazama kwa masikitiko.

“Mke wangu alikuwa ni mzuri sana, unaona hayupo kwa sasa”

Nilimuambia Tatiana huku nikumtazama usoni mwake. Taratibu Tatiana akanisogelea sehemu hii nilipo, akaka karibu yangu na kunishika mkono wangu wa kushoto.

“Randy, kwenye maisha kuna mambo mengi sana ambayo huwa yanatokea. Kila jambo huwa na wakati wake, kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka. Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa. Hivyo hatuna budi kumshukuru Mungu kwa kila jambo”

“Mungu..!! Tumshukuru Mungu kwa kila jambo. Hivi huoni kwamba kuna hii sio haki, mke wangu tumboni alikuwa na mtoto, alikuwa hajaiona hata hii dunia. Sasa kwa nini asimlinde, siwezi kumshukuru Mungu hata kidogo kwa hili, lazima nililo lipanga nilazima nihakikishe kwamba ninalikamilisha.”

Nilizungumza kwa msisitozo ulio changanyikana na hasira kali. Tatiana akakaa kimya huku akionekana kukosa jambo la kuzungumza. Nikaitoa picha hii kwenye frame yake maalumu iliyo wekwa, nikaikunja tartibu na kuiingiza mfukoni mwangu kisha nikanyanyuka kitandani hapa. Nikafungua katabati la nguo na kuzitazama nguo zangu na mke wangu kwa sekunde kadhaa. Nikachukua moja ya koti la mke wangu aliko kuwa akilitumia kuliavaa kipindi tupo nchini Syria.

“Tunakwenda nchini Misri, nitahitaji roho yako uweze kuikaza kikike. Huruma sihitaji na wala siitaki umenilewa”

“Ila Randy kumbuka kwamba kazi tunayo iendea huko Misri sio kazi tuliyo pangiwa na baba yako”

“Kumbuka kwamba hili jambo ni la kwangu. Baba yangu alisha fanya yake kwenye kipindi cha maisha yake na ikiwemo kufanya matukio mengi mabaya. Sasa huu ni wakati wangu, siwezi kuchukua oder kutoka kwake yeye. Mimi ni mtu mzima na ninajua nini ninacho kifanya. Umenielewa?”

“Nimekuelewa”

“Kama unahitaji kuungana na mimi ni vyema ukazungumza na kama hautiji kuungana nami katika hii kazi ninayo kwenda kuifanya ni vyema pia ukazungumza.”

“Nipo tayari kwa kila jambo”

“Kweli?”

“Ndio Randy”

Tatiana alinitazama kwa macho ya upole. Tukatoka chumbani humu na kurudi nje tulipo liacha gari letu huku majira ya sasa yakielekea saa kumi na moja afajiri. Nikasimama katika eneo la nje la hii nyumba, nikatazama maeneo yote ambayo mke wangu alikuwa akipendelea kuingia. Kisha tukaingia ndani ya gari na kuondoka.

“Endesha kwa umakini Randy”

“Unahisi nitakusababishia ajali?”

“Ndio, hiyo kasi unayo itumia sio nzuri na kumbuka kwamba njia hii ina kona za kustukizia mpenzi”

“Poa”

Majira ya saa tatu asubuhi tukafika hotelini, jijini Dar es Salaam. Tukaeleka katika chumba changu na kumkuta Jojo akiwa amekaa.

“Ulikuwa wapi?”

Jojo aliniuliza hata ya kutusalimia. Nikamjibu kwa kumuonyesha koti la mke wangu nililo lishika na ikawa ni rahisi kwa yeye kuweza kufahamu kwamba ni wapi tulipo toka.

“Siku nyingine usipange safari zako mwenyewe bila ya kumueleza mtu sawa?”

“Ila kwani kuna tatizo?”

“Randy tambu na elewa ni wakati gani tulio nao. Roho yako inawindwa, inahitajiwa na maadui wengi, hivi unadhani hivyo unavyo tembea tembea huko barabarani ni jambo zuri ehee?”

Jojo alizungumza kwa kofoka sana hadi nikabaki nikiwa nimejawa na mshangao.

“Nimekuelewa dada ila sijaelewa ni kwa nini unafoka kiasi hicho”

“Sihitaji matatizo yakukute, kwa sasa nguvu zangu zinakwenda kuisha mwilini mwangu na nitashindwa kukulinda”

Nikamtazama Tatiana na kwa ishara ya macho nikamuomba aweze kutoka ndani humu na akatii kile nilicho mueleza.

“Nguvu zako zinakwenda kuisha kivipi?”

Nilimuuliza Jojo kwa sauti ya upole huku nikimtazama usoni mwake jinsi anavyo lengwa lengwa na machozi. Jojo akaka kimya kwa sekunde kadhaa, kisha akaka kwenye moja ya sofa na kukunja miguu yake nne, taratibu nami nikakaa sofa la mbele yake na kuendelea kumtazama.

“Kuna ukweli kuhusiana na mimi pamoja na baba hujaweza kuufahamu”

“Ukweli gani?”

Jojo akajipangusa machozi yake kwa kiganja cha mkono wake wa kulia na kushusha pumzi taratibu.

“Randy mimi asili yangu kwa upande mmoja ni binadamu na upande mwengine ni jini”

Nikabaki nikiwa na mshangao japo siku moja nakumbuka Professa alisha wahi kuniambia kwamba kwani sifahamu ukweli juu ya dada yangu na siweza kuitilia maanani kauli hiyo.

“Njia zote ambazo zimenifanya niweze kuishia maisha marefu na maisha mengi zote zimesha isha na imebaki moja ambayo hakika sihitaji kuifanya na nisipo ifanya basi ninaelekea kufa.”

Jojo alizungumza kwa masikitiko makubwa sana huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake. Mwili mzima ukanisisimka kwani katika kuishi kwangu kote sikuwa kuhisi kwamba Jojo ana uhalisia wa kijini.

“Njia gani dada?”

Niliuliza kwa sauti ya upole sana. Jojo akanitazama usoni mwangu kwa muda kidogo kisha akainamisha tena uso wake chini.

“Niambie dada yangu nipo tayari kufanya chochote kuhakikisha kwamba nina kusaidia”

Jojo akanyanyua uso wake tena kisha akatabasamu kwa dharau kidogo.

“Randy wewe ni mdogo wangu na nimekupita miaka zaidi ya nusu ya miaka uliyo nayo kwa hivi sasa. Usione sura yangu ni ya kitoto na nina urembo ila mimi nina miaka mingi sana. Hata baba naye ana miaka mingi sana japo naye sura yake bado ni sura ya kijana”

“Sawa Jojo ila tuangalie hili kwa kwako kwanza. Sihitaji kukupoteza, sihitaji kumpoteza mtu wa ina yoyote kwenye hii familia”

“Natambua ni jinsi gani unavyo jali hii familia ila hili la mimi kufa acha liweze kutokea tu kwanza nimsha choka maisha ya kuishi hapa duniani”

Jojo alizungumza kwa masikitiko makubwa sana huku akiendelea kunitazama usoni mwangu.

“Niambie nini nikusaidie ili uendele kuwa hai JOJO”

Ilinibidi nizungumze kwa ukali kidogo. Jojo akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akasimama, akaisogeza pembeni meza iliyo tutengenisha kati yake na mimi. Jojo akafungua zipu ya gauni lake hili refu alilo livaa na taartibu akalishusha chini na kubaki kama alivyo zaliwa. Kwa mara ya kwanza maishani mwangu kuweza kuuona mwili wa dada yangu. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi, jasho likaanza kunimwagika usoni mwangu.

“Toka niweze kuja duniani, sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume wa aina yoyote. Hakuna mwanaume aliye weza kuuona mwili wangu, nimeishi nikiwa bikra kwenye maisha yangu yote na hii bikra yangu mimi ndio nafasi yangu ya mimi kuweza kuishi kwa miaka mingine mingi hapa duniani. Wewe ndio mtu wa pekee ambaye unaweza kuyafanya maisha yangu yaweze kuwa marefu na nguvu zangu ziweze kurudi kama kawaida. Randy sina jinsi ya kuweza kufanya”

Jojo akanikalia mapajani mwangu na kulichana shati langu vifungo. Akaanza kuninyonya taratibu shingoni mwangu, kusema kweli woga umenitawala, sikutarajia kwenye maisha yangu kama Jojo anaweza kunifanyia jambo kama hili.

“Randy mdogo wangu hii iwe siri kati yangu mimi na wewe hata baba asiweze kufahamu”

“Il….aa….a kwa….ka…..kwa……”

Nilijawa na kigugumizi na kushindwa kuzungumza chochote. Jojo akanishika kichwani mwangu kwa mikono yake miwili, nikahisi ubaridi mkali sana ukitokea kichwani mwangu hadi kwenye nyayo za miguu yangu. Wasiwasi wote ukaniishia, heshima ya kumchukulia Jojo kama dada yangu yote ikanipotea, nikamgeuza na kumlaza hapa kwenye sofa na kuanza kumnyonya maziwa yake yaliyo simama vizuri huku kidole changu kimoja kikichezea chezea kitumbua chake.

“Aiisiiii……mmm….!!”

Jojo alilalama kwa utundu ule ninao mfanyia. Taratibu nikaipanua miguu yake nak uanza kumnyonya kitumbua chake kwa utaalamu ninao uweza mimi. Jojo akaendelea kulalama kimahaba hadi ikafikia hatua akaanza kuniomba niweze kumpa hadi inayo stahili kupewa. Nikamnyanyua na kumlaza kitandani, nikavua suruali yangu na kubaki kama nilivyo zaliwa. Nikamshika jogoo wangu ambaye tayari alisha simama muda mrefu, nikampaka mate kidogo na taratibu nikaanza kumzamisha kwenye kitumbua cha Jojo.

Kama jinsi Jojo alivyo nieleza kwamba yeye ni bikra ndivyo jinsi nilivyo weza kumkuta. Ugumu nilio kutana nao katika lango kuu la kitumbua chake ni tofauti na ugumu ninao kutana nao kwa wanawake wengine wote ambao nilisha wahi kutembea nao kwani wao milango yao haina hata kufuli.

Hadi jogoo wangu anafanikiwa kuingia hakika nimetumia nguvu nyingi za kiunoni mwangu. Jojo macho yakamtoka kila jinsi ninavyo endelea kukitafuna kitumbua chake ndivyo jinsi macho yake yanavyo badilika rangi kiasi cha kunifanya nizidi kumshangaa.

“Kwa nini macho yanabadilika rangi?”

Nilizungumza huku nikiwa nimesimamisha zoezi la kukitafuna kitumbua chake japo jogoo wangu bado yupo ndani ya kitumbua.

“Randy nitomb** bwana”

Jojo alizungumza huku akishika makalio yangu kwa nguvu. Nikaendelea kumpa burudani Jojo, akanigeuza na kunilaza kitandani kisha akanikalia huku akiendelea kujihudumia katika kujipatia raha ya jogoo wangu. Jojo akanilalia kifuani mwangu na kuanza kuinyonya shingo yangu kwa ulimi wake ambao una ubaridi sana kulio ndimi za wanawake wengine. Gafla nikaanza kuhisi maumivu kwenye shingo yangu na taratibu kizungu zungu kikaanza kunitawala na mwishowe giza totoro likanitawala machoni mwangu na kushindwa kufahamu ni kitu gani kinacho endelea.

***

Hali ya ubaridi inayo katiza mwilini mwangu ikanifanya niyafumbue macho yangu na kuanza kutazama ni eneo gani nilipo. Kwa bahati nzuri nikakuta nipo katika chumba changu ambacho kwa mara ya mwisho kumbukumbu zanagu zinanikumbusha kwamba nilikuwa na Jojo. Nikajitazama mwilini mwangu na kukuta nikiwa na nguo zangu zote, taratibu nikaka kitako huku nikishusha pumzi taratibu, nikashuka kitandani na kujinyoosha viungo vyangu vizuri. Nikaanza kutembea kuelekea bafuni, ila nilipo pita kwenye kioo nikastuka kidogo mara baada ya kujikuta shingoni mwangu nina plasta kubwa nyeupe. Nikakisogelea kwa ukaribu kioo hichi na kujitazama vizuri, kumbukumbu zangu hazinionyeshi kama nilipata jeraha kama hili kwenye shingo yangu.

“Hii ni nini?”

Nilijiuliza huku nikianza kujibandua plasta hili taartibu. Nikaona alama nne za kama meno shingoni mwangu jambo lililo nifanya nishangae sana kwani sina kumbukumbu ya aina yoyote juu ya jeraha hili. Nikairudishia plasta hii na kuelekea bafuni. Nikajisaidia haja ndogo na kurudi tena bafuni, saa ya ukutani inaonyesha sasa hivi ni saa saba umchana.

“Unaendeleaje?”

Sauti ya Jojo ikanistua sana na kujikuta nikimtazama kwa kumshangaa.

“Safi”

Jojo akanisogelea na kunifungua plasta hii, akanitazama kwa sekunde kadhaa.

“Damu imekata”

“Damu imaketa kivipi!!?”

Jojo alizungumza na kunifanya nimtazame kwa mshangao sana. Jojo hakunijibu swala langu zaidi ya kuweka chupa ya wyne juu ya meza.

“Muda wa chakula umefika twende tukale”

“Ngoja kwanza Jojo nahitaji kuweza kufahamu hili jereha ni la nini na imekuwaje nimelipata”

Randy hilo swala si la kulizungumza hivi sasa. Muda wa chakula umefika na watu wote wanakusubiria jikoni ni wakati wa kwenda kula sasa.

Jojo alizungumza kwa msisitozo na kutoka chumbuni hapa. Nikamuwahi kwenye kordo na kumshika mkobo.

“Jojo ni nini kinacho endelea”

“Kivipi Randy?”

“Hili jeraha ni wapi lilipo tokea ikiwa sina kumbukumbu ya ajali ya aina yoyote ambayo nimeipata?”

Jojo akatazama eneo hili zima la kardo alipo ona kwamba hakuna mtu taratibu akanisogelea karibu yangu.

“Penzi na damu yako vimezidi kuongeza nguvu na miaka yangu ya kuishi hapa duniani. Ninakushukuru sana Randy wewe ndio mokozi wangu.”

Jojo mara baada ya kuzungumza maneno hayo akandoka na kuniacha nikiwa nimejawa na mshangao mkubwa sana kwani imekuwaje kuwaje hadi akanywa damu yangu.



Hadi ninafika katika meza ya chakula bado kichwa changu kinafikria kauliza Jojo. Nikawatazama watu wote waliomo kwenye eneo hili na hapakuwa na ,mtu aliye weza kustuka wala kunishangaa kwa jeraha langu lililopo shingoni mwangu. Jojo akanikonyeza kidogo huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana, nikatamani kumuuliza watu juu ya hili jeraha langu ila nilajikuta mdomo wangu ukiwa ni mzito sana na nikashindwa kutekeleza jambo hilo. Tukamaliza kupaya chakula hichi cha mchana kisha Jojo akawa mtu wa kwanza kuondoka hapa mezani, nikamfwata kwenye moja ya bustani kubwa iliyopo kwenye hii hoteli ili azidi kunipa maelezo zaidi ya jambo hili lililo jitokeza hapa.

“Najua nini unahitaji kuzungumza Randy ila sitaki kulizugumzia kwa sasa hilo jeraha lako”

Jojo aliniwahi huku akinitazama.

“Sasa mbona baba wala mama hakuna amabye ananiuliza juu ya jeraha langu”

“Hakuna mtu anaye weza kuliona zaidi yako na mimi”

“Kwa nini hawalioni?”

“Mboni zao nimeweza kuziziba wasione wala wasijue hili jambo tulilo lifanya na tunapo eleke kwa sasa nitahitaji kuhakikisha kwamba nina futa kila aina ya kumbukumbu za jambo hili kichwani mwako”

Jojo alizungumza huku akinisogelea, akanishika eneo lenye jereha, nikahisi ubaridi mkali sana alipo utoa mkono wake nikajaribu kujishika katika eneo hilo na sikuweza kuhisi plasta wala majeraha, kitu kilicho nifanya nizidi kumshangaa Jojo. Kabla sijazungumza chochote, Jojo akanishika kichwani mwangu kwa mkono wake wa kushoto, nikahisi mwili kusisimka na baada ya muda kila wazo nililo lifkkira juu ya matukio ya siku ya leo sikuweza kukumbuka kabisa.

“Professa ameniambia kwamba unahitaji kwenda Cairo Misri ni kweli?”

Sauti ya Dany ikanistuka na kugeuka nyuma yangu na kumkuta akiwa amesimama huku ameshika glasi ya juisi.

“Ndio”

“Ila si unatambua kwamba huo sio mpango wetu ambao tulikusudia kuweza kuufanya?”

“Ndio ninatambua ila nina hitaji kuhakikisha kwa Farida na yeye ana lipa kwa jambo hili ambalo amenifanyia”

“Unahisi ni rahisi sana kuweza kukabiliana na watoto wake?”

“Naamini kwamba itakuwa ni rahisi”

Dany akatoa simu yake mkoni aina ya iphone7. Akaanza kuiminya minya kisha akanikabidhi.

“Hizo ni picha za watoto hao wakiwa katika hiyo shule. Moja hiyo shule haina wanafunzi wa ngozi nyeusi. Pili hiyo shule inasomwa na watoto wa viongozi wakubwa sana kwenye nchi hiyo, ikiwemo watoto wa raisi wa nchi hiyo.”

Dany alizungumza huku mimi nikiendelea kutazama picha za maeneo ya shule hiyo.

“Shule hiyo ina ulinzi mkubwa mithili ya ulinzi upatikanao katika ikulu ya raisi wa nchi ya Marekani. Hivyo ni ngumu sana kwa wewe kuweza kuwapata hawa watoto wake”

Nikamtazama Dany kwa sekunde kadha kisha nikaendelea kutazama picha hizi.

“Ila baba kumbuka kwamba mimi nina hitaji kuhakikisha kwamba nina muangamiza Farida”

“Hilo ninalitambua na ndio maana kila mmoja ana hakikisha kwamba ana panga mpango na kumuua huyo mwana mama. Ila jambo la msingi ni wewe kugairi juu ya plan zako za kitoto unazo taka kwenda kuzifanya. Kubuka ya kwamba hii ni vita na si mpigano wa mto mmoja mmoja. Atakaye kushambulia wewe humjui ndio maana nina kuambia unatakiwa kuwa makini. Umnielewa?”

“Nimekuelewa mzee”

“Safi, sihitaji kusikia juu ya safari yako ya Misri. Subiri hadi pale nitakapo kupa amri ya kuanza kuifnaya hii kazi. Umenielewa dogo?”

“Nimekuelewa”

Dany akaondona katika bustana hii na kutuacha mimi na Jojo. Hadi siku hii ya leo inakwishwa hapakuwa na mpango wa aina yoyote ambao Dany aliweze kutuelea kama jinsi jana alivyo tuambia.

“Kuna mwamke ana kupenda ila wewe una mzingu sijui kwani?”

Jojo alizungumza huku tukiwa tumeidumbukiza miguu yetu kwenye moja ya swimming pool kubwa lililomo katika hoteli hii huku tukikinywa juisi ya ukwaju taratibu.

“Mwanamke gani?”

“Tatiana. Ni siku nyingi sana amejitahidi kuonyesha hisia zake kwako. Ila umekuwa ni mtu wa kuingilia hapa na kutokea huku, kw anini?”

“Amekuagiza uje kuniambia hivyo?”

“Hili sio jambo la yye kuni agiza”

“Ila?”

“Ninazungumza kitu ambacho mimi nina kiona kwake hembu acha uswahili. Sasa ninataka kukuambia kwamba yule ndio mwamke anaye kupenda kutoka moyoni na hajakutamani kama wanawake wengine wanavyo kutamani.”

Nikamtazama Jojo kwa sekunde kadhaa kisha nikashusha pumzi huku nikitabasamu.

“Wewe tabasamu tu ila ninakueleza ukweli Randy. Yule binti ana kuhitaji sana kwenye maisha yake. Ana mahaba ukisema kwamba humpendi sijui una mpenda mke wako ni uongo kwa maana hata siku yako tu ya harusi ulimsaliti mke wako”

Nikastuka kidogo huku nikiendelea kumtazama Jojo.

“Una stuka nini?”

“Nani amekueleza habari hiyo?”

“Umesahau uwezo ambao ninao. Ulimsaliti mtoto wa watu na ukatujia chumbani ukiwa umejikausha ukahisi kwamba mimi sinto fahamu. Halikuwa jambo zuri ila nilishindwa kukuambia na nilijiapiza nitakuambia mara tu baada ya sherehe ya harusi kuisha ila kwa bahati mbaya sherehe haikuisha na mambo yakatokea kama yalivyo tokea”

Maneno ya Jojo yakaufunya mwili wangu kuishiwa na guvu kabisa huku nikimtazama usoni mwake.

“Haikuwa tabia nzuri kwa kweli na sikuipenda ila ningezugumza siku ile ingeleta attention mbaya kwako. Mimi ni dada yako tena mkubwa sana, ninatakiwa kuwa mshauri mkubwa sana pale ninapo ona kuna baadhi ya mambo hajaendi vizuri kwenye familia yetu”

Jojo alizungumza kwa upole sana huku akionekana kumaanisha kile anacho kizungumza.

“Unajua kupindi ambacho wewe hujamfahamu Dany, nilikuwa nina tafuta nafasi kubwa sana ya kuweza kuzungumza na wewe ili niweze kuwaweka wewe na baba yako sehemu moja ila ulionekana kuwa machachari sana na kufwata maisha yako na ninshukuru Mungu yale maisha ambayo ulikuwa una yafwata yakabadilika na ukwa peke yako ndio maana hata uliweza kukaa sehemu moja na Dany.”

“Ila Jojo kwa nini leo umeamua kuzungumza mambo mengi hivyo na mimi?”

“Wewe ni mdogo wangu ukiachilia kuwa ni mdogo wangu. Inabidi ifikie kipindi niangalie future yako. Mimi Dany hakuweza kunitengenezea future nzuri. Nilitamani siku moja mimi niwe mama, niwe na mume wangu na niwe na watoto wangu. Ila hayo yote yameshindikana ukiangalia chanzo kikubwa kilicho pelekea hayo mambo kufikia hapo ni maswala ya visasi jambo ambalo kusema kweli sio zuri kabisa”

 ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG