Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

SIN SEASON 2 SEHEMU YA 6/10

   


SIN SEASON 2

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 6 KATI YA 10


Hawa alizungumza huku akijawa na furaha.

“Ume pata?”

“Yes ame booking kwenye ndege ya fly Emiraters na ana safari ya kwenda nchini Nigeria. Aisee ameturahisishia sana”

Pili naye akayatupia macho kwenye laptop hiyo. Akatabasamu mara baada ya kuona jina la Josephine.

“Vipi siti zipo kwenye hiyo ndege?”

“Ndio tuna weza ku booking na sisi”

“Basi fanya hivyo, tuna siku ngapi?”

“Leo na kesho”

“Basi itatuwia uraisi katika kuitekeleza kazi yetu. Huyu tuna mchoma sindano ya usingizi uwana wa ndege na hakuta atakaye fahamu kama tume mteja”

“Je kuna haja ya kuwaeleza wakubwa?”

“Hapana kwa manaa hatuhitaji msaada wao”

“Sawa”

Hawa na Pili wakautumiausiku mzima kuhakikisha wanalisoma jiji lote la Dar es Salaam kupitia googlemap. Walipo jiridhisha na jambo hilo wakapanda kitandani na kulala.

***

“Shikammoo baba ume amkaje??”

Julieth alizungumza na simu yake huku akiendelea kujiandaa kuvaa.

“Salama, nagitaji tuonane asubuhi hiii?”

“Wapi baba?”

“Popote au njoo nyumbani ndio salama zaidi”

“Mmmm sawa ngoja nimuombe mume wangu, kisha nita kujulisha”

“Sawa fanya hivyo”

Julieth akakata simu huku akimtazama Jery.

“Hei baby baba ana omba nikaonane naye kwake asubuhi hii”

“Kuna nini tena?”

“Wala sifahamu mume wangu. Vipi una nikubalie niende?”

“Yaa sina tatizo, je huyo baba yako mkwe vipi?”

“Nita muaga?”

“Sawa fanya hivyo, usije ukaondoka alafu akaanza kulalama, si unajua ukiwa ndani hapo mimi ndio nina mamlaka juu yako, ila ukienda huko ofisini yeye ndio bosi wako”

“Ni kweli”

Julieth akambusu Jery kwenye lipsi zake, kisha akajiandaa haraka haraka kisha akatoka ndani hapo na moja kwa moja akaelekea hadi ofisini kwa raisi Mtenzi, akamuaga juu ya wito huyo aliyo itiwa na baba yake mzazi.

“Sawa msalimie sana mzee mwenzangu”

“Nashukuru”

Julieth akaondoka ikulu hapo na walinzi watatu. Haikuchukua muda mrefu akafika nyumba kwa wazazi wake, akamsalimiia mama yake kisha wakaelekea chumbani kwa baba yake kwa ajili ya mazungumzo hayo ambayo yana onekani ni mazungumzo ya siri sana.

“Ehee tuambie ni kitu gani kinacho endelea ikulu?”

“Hilo ndio mulilo niitia baba?”

“Ndio kwa maana tuna paswa kufahamu, tuna taka kuzipata hizo hadhina haraka iwezekanavyo na isitoshe, kesho kutwa nina safari ya kwenda nchini Nigeria kwa wale wakuu wangu wa mambo. Sasa ina bidi nikifika nipata nizungumze mazungumzo ya kunyooka na si kupindisha pindisha”

“Ni kweli mwangu anacho kizungumza baba yako. Una jua hili swala endapo tuka chelewa chelewa, basi nina tambua kwamba tuta poteza vitu vingi sana”

Julieth akashusha pumzi taratibu huku akiwatazama wazazi wake hao.

“Kwanza kinacho endelea kwa yule Josephine ni kwamba, kudi la Bokoharamu pamoja na Al-Shabab wame tuma wapelelezi wao ambao ni wasichaa kuja kwa ajili ya kumteka Josephine.”

“He kwa nini wata mteka?”

“Sijajua ila Josephine mwenyewe amesema hiyo ndio njia moja wapo ya kuweza kuwajua maadui zao. Sasa baba vipi una husika katika hili?”

“Aku ndio nina isikia habari hiyo kwako”

“Basi hiyo ndio hali halisi inayo endelea ndani ya ikulu. Ila hatujui ni wapi na lini ata tekwa Josephine na inavyo onyesha kuta kuwa na mpango madhubutu wa kumfany Josephine kuweza kujulikana ni wapi anapo pelekewa na watekaji hapo”

“Nina hisi kuna ishi kubwa sana nyuma ya hilo jambo, je una weza kuhisi ni nini kinacho endelea?”

“Hapana, ila kuna mpango wa Wamarekani waliweza kuufanya ili kuwaokoa wanajeshi wao na wakawatuma Makomandoo wanne, ila ile siri Josephine aliweza kuvumbua mbele ya Wamarekani hao na mwishowe wale makomandoo waliuliwa tulishuhudia kwenye tv live hivi huku makamu wa raisi wa Marekani”

“Duuu”

“Ndio, sasa hapo tunashindwa kupata dote kwa maana Marekeni na hao Al-Shabab na Bokoharamu ni vitu viwili tofauti.”

“Ni kweli, labda wame mpenda zaidi, huwezi jua na isitoshe ni makundi mawili yaliyo ungana kwa pamoja”

“Yaa ni kweli baba”

“Sasa mpango wa mimi kwenda Nigeria upo pale pale”

“Una rudi baada ya muda gani?”

“Sija jua, ila hadi hili swala niweze kulishuhulikia kwa maana Josephine hatuwezi kupambana naye kwa njia hizi za kawaida ni lazima kuhakikisha kwamba nina pambana naye kwa kutumia super natural power”

“Sawa baba, ila kuwa makini kwa maana sijui ni vitu gani ambavyo baba mkwe na Josephine wana vipanga wakiwa wao wawili”

“Hakuna shaka nipo makini. Ehee swala la bikra na mume wako lime fikia wapi?”

“Bikra gani?”

Mrs Sanga aliuliza kwa mshangao.

“Mume wake ameweza kujua kwmaba hiyo aliyo kuwa nayo ni bikra feki”

“Mungu wangu ime kuwaje mwangu?”

“Musiwe na hofu mama tumesha yamaliza hayo mambo na mume wangu”

“Una uhakika yame kwisha?”

“Ndio?”

“Baba yake hajui hilo?”

“Hapana hajalitambua hilo”

“Dooo ame jauje ikiwa yule dokta wa alisisitiza kwmaba bikra hiyo haina tofauti kabisa na bikra original?”

“Mume wangu ni daktari mama hivyo vitu kama hivyo nina hisi wana visoma huko Marekenia”

“Duu, ume niogopesha mwanangu. Una jua kutoka kwenye familia hile kabla ya mipango haijakamilika ni swala zito”

“Ndio hivyo mama”

“Alafu Julieth nilipokea simu kutoka Ujerumani yale malori yako yamesha fika bandarini, sasa sijajua kama uta yatoa au kuyaacha hapo bandarini”

“Hilo swala la hiyo kampuni kwa sasa niwe muwazi sinto kuwa na muda wa kulisimamia, labda nizungumze na mume wangu”

“Jaribu kumshirikisha kwa maana mumesha kuwa mwili mmoja”

Mrs Sanga alishauri.

“Sawa nitaongea na yeye. Kuna jengine jamani kwa maana kukaa mbali na ikulu ndio kukosa mengi”

“Hakuna jengine?”

Julieth akaagana na wazazi wake kisha akarudi ikulu.

***

“Ume kuja kufanyaje Jery asubuhi yote hii?”

Shani alimuuliza Jery aliye simama mkangoni mwa nyumba anayo ishi.

“Nina hitaji kuzungumza na wewe”

Jery alizungumza huku akiingia ndani. Shani hakuwa na uwezo wa kumzuia zaidi ya kumkubalia kwa maana siku hiyo hajakwenda kazini.

“Una kunywa nini?”

“Niandalie kahawa”

“Sawa”

Shani akaondoka sebleni na kumuacha Jery akitazama vitu vilivyopo ndani hapo. Jery akachukua moja ya picha iliyopo juu ya meza ya tv. Akaitazama kwa sekunde kadha akisha akairudishia hapo. Simu yake ikaanza kuita, akaitoa mfukoni na kukuta ni Julieth ndio anaye piga. Akaipoke na kuiweka sikioni mwake.

“Honey, ndio nipo njiani nina rudi ikulu”

“Ahaa ume shama maliza kuzungumza na wazazi?”

“Ndio tume maliza.”

“Sawa, sasa mimi nime toka mara moja kuna mambo ambayo nime kuja kuyafwatailia”

“Sawa mume wangu hakuna shaka, kuwa makini”

“Nashukuru”

“Nakupenda sana mume wangu”

“Nina kupenda pia”

Shani aliweza kuyasikia mameno hayo ya Jery ambayo kidogo yakauumiza moyo wake kwa maana bado moyo wake una mpenda sana Jery.

“Ni wife”

Jery alijitetea huku akiirudisha simu yake mfukoni mwake na kukaa kwenye sofa. Shani akaweka kikombe hicho cha kahawa mezani, akamimina maji ya moto kutoka kwenye chupa ya chai kisha akachanganya na unga wa kahawa hiyo, akakoroga kidogo, kisha akaonja ikiwa kama ishara ya kumdhibitishia Jery kwamba hakuna sumu yoyote.

“Mimi sio raisi uka hisi kila kitu ninacho paswa kula lazima kionywe”

“Hahaa, nimesha zoea hivyo na isitoshe wewe ni mwanaye kwa hiyo lolote litakalo tokea, mimi ndio nita husika mojak wa moja”

“Sawa, sogea hapa”

Jery alizungumza huku akimvuta Shani karibu yake. Mkono wake mmoja akaupitiasha kiunoni mwa Shani na kuanza kumtomasa kiuno hicho kilicho jaa shanga.

“Jery stop it”

Shani alizungumza huku akiutoa mkono huo wa Jery kwa maana akiendelea kumtomasa huko ana weza kupandwa na ashiki na kujikuta wakifanya mapenzi.

“Nikuulize swali?”

“Ndio”

“Una nipenda?”

“Ndio Jery nina kupenda, ila umesha wahiwa na baba yako alisha niambia kwamba niachane na wewe. Kusema kweli nina kuogopa sana Jery na hata kuja kwako hapa nimepoteza amani kabisa”

“Hayo ya baba wewe achana nayo. Kitu nilicho kuwa nina hitaji kukijua ni hicho tu kwamba una nipenda au laa. Sasa nina ombi moja kwako”

“Ombi gani?”

“Nina hitaji unizalie mtoto haraka iwezekanavyo. Endapo uta fanya hivyo basi nita kuwa nipo tayari hata kuivunja ndoa yangu kwa ajili ya familia yangu hiyo mpya”

Maneno ya Jery yakamfanya Shani kutokwa na macho. Taratibu akanyanyuka kwenye sofa hilo huku uso wake ukiwa umejaa mikunjo ya hasira jambo ambalo lilimshangaza Jery.

************************************


“Jery nina chukia uongo. Kwenye maisha yangu nina mchukia mwanaume ambaye ni muongo. So kama hiyo ndio gia yako ya kuniharibia maisha yangu. Tafadhali nina kuomba utoke nyumbani kwangu na tusijuane kuanzia hivi sasa.”

Shani alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Jery kwa uso ulio jaa hasira. Jery akanyanyua kikombe hicho cha kahawa, kisha akapiga fumba la kahawa hiyo kisha akasimama. Akasimama mbele ya Shani ambaye aliye fura kwa hasira.

“Una hisi mimi ni muongo kwako si ndio?”

“Ndio, huwezi kunidanganya kuwa uta muacha mke wako tena wa ndoa kisa kuzaa na mimi. Harusi yenu ilishuhudiwa karibia dunia nzima, leo hii uniambie oohoo sijui nita muacha sijui vime panda na kushuka, mimi sio mwanamke wa ina hiyo Jery. Nina msimamo wangu na nina sheria zangu sipo kirahisi hivyo”

Shani aliendelea kuzungumza kwa msisitizo hadi machozi yakaanza kumlenga lenga. Jery akavuta Shani karibu yake na kumkumbatia kwa nguvu.

“Jery niache. Nina maanisha ninacho kizungumza, kama mimi una weza kuniambia hivyo je mwanamke mwengine una fanyaje. Kwanza hili tunalo lifanya ni kosa, nina mdhulumu mwanamke mwenzangu ambaye hajawahi kunikosea hata kwa kunikanyanga. Leo hii nimchukulie mume, nimvunjie ndoa iliyo halalishwa mbele ya mamilioni ya watu. Hapana Jery una taka kunitafutia uadui ambao kwa umasikini wangu sinto weza kupambana na hao watu. Kwetu mimi ndio binti wa kwanza, mimi ndio ninaye tegemewa na karibia koo za baba na mama. Leo hii nikiwa ita kuwaje. Think Jery, sio kila kitu uzungumze kihisia mwisho wa siku uniachie. Sitaki Jery”

Ujasiri wa Shani ukazidi kumfanya Jery azidi kumpenda mwanamke huyo. Kwani ana hisiza za kuweza kuona mbali sana.

“Ila Shani hukunipa nafasi ya kuzungumza”

“Nini, au na taka kunidanganya zaidi ya hapo?”

“Sio hivyo”

“Ila”

“Kabla ya kuzaa na wewe nahitaji kukufungulia biashara kubwa uitakayo. Nahitaji kukujengea nyumba au ile ambayo ipo kule Mbezi Louis iwe kwa ajili ya mwanangu. Please”

“Whya nikuzalie mimi na si mke wako wa ndoa?”

“Mke wangu wa ndoa hataki kunizalia sasa hivi na mimi nina uhitaji wa mtoto. Kama unavyo jua, mama amekufa, sina ndugu mwengine wa kujivunia naye zaidi ya baba. Je akifa yeye ita kuwaye, ukoo wetu uta kuwa ume ishia hapo. Tulipoteza ndugu wengi sana kwenye sherehe ile milipuko hivyo sina mtu wa kujivunia Shani. Nataka mtoto ili iwe jambo la neema kwenye ukoo wangu. Ila kama hutaki sawa ni maamuzi yako”

Jery alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Shani akamtazama Jery kwa macho ya masikitiko kiasi cha kumuonea huruma kwa maana familia hiyo ana ifahamu vizuri na siku ya harusi ya Jery alikuwa mkoani akimuuguza mama yake na hiyo ndio pona pona yake kwani ingekuwa si hivyo na yeye ange kufa kwenye milipuko hiyo.

“Jery natambua nikizaa mimi na wewe maisha yangu na mwanangu hayato kuwa na usalama”

“Sema nikuafanyia nini, niambie?”

Jery alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Shani usoni mwake.

“Naomba muda nifikirie hilo jambo”

“Sawa”

Jery alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Shani usoni mwake. Taratibu wakaanza kunyonyana ndimi zao kiasi cha kuwafanya waanze kuzama kwenye dimbwi la mapenzi.

“Hei leo usining’ate”

Jery alizungumza huku akimuonyesha Shani eneo la shingoni mwake na kumfanya Shani kutabasamu. Akamnyanyua Shani na kuingia naye ndani. Wakaanza kuvuana nguo kisha wakaanza mtanange huo kwenye kitanda cha Shani, ikiwa ndio mara ya kwanza kwa Jery kufanye tendo hilo juu ya kitanda cha mwanamke.

***

“Uliwaona askari?”

Raisi Mtenzi alimuuliza Josephine mara baada ya kusalimiana naye.

“Ndio muheshimiwa nina shukuru sana”

“Ni jukumu letu kukulinda. Kuna madaktari wataalamu, njoo wapo huku ndani”

Raisi Mtenzi alizungumza huku wakielekea katika hospitali ya hapo ikulu. Wakaingia kwenye moja ya chumba na kuwakuta madaktari wawili kutoka nchini Rusia. Wakasalimiana na Josephine kisha wakaanza kuzungumza.

“Tuta kuwekea track device kwenye mwili wako ambayo ita kuwa ina kuonyesha kila mahala unapo kwenda. Track device hiyo haito weza kuonekana hata ukipimwa na mashine gani”

“Muta iweka wapi?”

“Ndani ya mwili wako. Tuta kufanyia upasuaji mdogo wa kuiweka hicho kifaa”

“Hakina madhara kwenye mwili wangu?”

“Hapana hakina madhara ya aina yoyote. Jambo la msingi ni kuhakikisha kwamba una kuwa salama kila uendapo”

“Muta kiweka wapi?”

“Katika moja ya jina lako la kushoto”

“Jino!!?”

Josephine alizungumza kwa mshangao mkubwa sana kiasi cha kumfanya raisi Mtenzi kutabasamu”

“Ndio, tuta kufanyia huo upasuaji sasa hivi”

“Mmm kwa hiyo muna nipasua shavu?”

“Hapana ni oparesheni ndogo na ya muda mfupi sana, ndani ya dakika kumi na tano hadi ishirini tuta kuwa tumesha maliza kufanya kila kitu”

Josephine akashusha pumzi nyingi huku akimtazama raisi Mtenzi ambaye alimpa ishara ya kumuaminisha kwamba haito kuwa na madhara. Josephine akakubaliana na jambo hilo na utaratibu wa oparesheni hiyo ikaanza. Madaktari hao walio agizwa na serikali ya Russia, wakaianza kazi hiyo. Wakalitobo jino moja la pili kutoka mwisho, akadumbukiza kifaa hicho kidogo sana, kisha wakaliziba jino hilo la Josephine na likarudi katika hali yake ya kawaida. Wakasubiria ganzi ilivyo muisha, wakampa mfupa wa nyama ya ng’ombe na kumuomba autafune.

“Una hisi maumivu yoyote?”

Daktari mmoja alizungumza.

“Hapana”

“Basi una weza kula kitu hcochote, una weza kupiga mswaki hakuto kuwa na maumivu ya aina yoyote. Sawa mpendwa”

“Sawa, kwa hiyo hapa ndio tayari?”

“Ndio”

“Je nikihitaji kukitoa?”

“Ni hadi tukufanyie upasuaji mwengine na tuta kitoa. Ila hicho kifaa hakina madhara kabisa hivyo usiwe na shaka yoyote”

“Ninas hukuru”

Josephine na raisi Mtenzi wakatoka ndani hapo huku raisi Mtenzi akiwa na uwezo wa kufahamu sehemu alipo Josephine kwa kupitia simu yake ya mkononi.

“Hicho kifaa Magreth naye ana paswa kufahamu”

“Sawa muheshimiwa”

“Nahitaji kutuma wapelelezi kama wawili nchini Nigeria. Nina imani kwamba wata saidiana na Magreth kwenye safari hiyo”

“Hakuna shaka muheshimiwa

Raisi Mtenzi akaingia ofisini kwake na Josephine naye akaelekea ofisini kwake na kuendelea na majukumu yake ya kila siku.

***

Katika wanafunzi wapya wanao fanya mazoezi kwa juhudi zote, Evans Shika ni mmoja wapo. Kila siku zinavyo zidi kwenye ndani ya kambi hiyo ya mafunzo ya siri ya kijasusi, amekuwa ni mtu wa kuonyesha maendeleo mapya hadi mwalimu wake Mr Chokovic akatokea kujenga naye mazoea ya ukaribu sana

“Una tumia hii?”

Mr Chokovic alimuuliza Evans huku mkononi mwake akiwa ameshika pombe chupa yenye pombe kali.

“Ndio”

Evans alijibu na mwalimu wake huyo akampatia kichupa hicho, akapiga mafumba mawili ya pombe hiyo ambayo ikishuka kooni mwako lazima uhisi mwili mzima ukisisimka.

“Una fanya vizuri sana”

Mr Chokovic alizungumza huku akitazama nyota nyingi zilizo tanda angani.

“Nashukuru mwamalimu. Nina hasira sana nina hitaji kuhakikisha nina jifunza kadri ya uwezo wangu wote ili nikitoka hapa nika lipe kisai kwa wale wote walio nikosea”

“Kina nani walio kukosea?”

“Ni watu wengi sana, ila nina hitaji kuhakikisha kwamba nina pambana nao na nina kuwa sio yule mtu wa zamani ambaye walikuwa wana nifahamu”

“Kwenye kulipa kisasi huwa kuna mambo mengi sana ya kuzingati. Usilipe kisasi kutokana na hisia za hasira”

Mr Chokovic akapiga mafumba mawili ya pombe hiyo kisha akaendelea na mazungumzo. Baridi kali iliyopo katika nchi hiyo ina wafanya muda wote wawe wamevalia majaketi makubwa huku wakinywa pombe kali au kuvuta sigara kali ili mradi kuipa miili yao joto.

“Una paswa kumsoma adui yako. Endapo uta amaua kulipiza kisasi kwake, je hakuto kuwa na cheni nyumba ambayo ita kudhuru”

“Cheni kivipi mkuu?”

“Je hato kuwa na watu nyuma yake ambao watakuwa wana mpenda na wakaamua kulipiza kisasi kwako kwa ajili yake. Mbili mtu huyo ni wa aina gani, je ni mtu maarufu, mtu wa kawaida au wa maisha ya chini. Kama ni mtu wa daraja la juu, una paswa kuwa makini sana kwa maana lazima ata kuwa anazingirwa na watu wengi wana mjali akiwa wa……”

Mr Chokovic akakatisha mazungumzo yake mara baada ya kumuona kijana mmojaa kija eneo hilo. Kijana huyo akampigia saluti mwalimu yake huyo.

“Mkuu, Evans ana itwa na mkuu ofisini kwake sasa hivi”

“Sawa Evans nenda”

Evans akaongozana na kijana huyo hadi ofisini kwa mkuu wake. Evans akapiga sualiti huku akiwa amesimama wima.

“Kuna mgeni wako”

“Mgeni wangu nani?”

“Uta kwenda kuonana naye Moscow. Jiandae na uvae suti ya uta pelekwa hadi huko”

“Sawa mkuu”

“Kijana huyo atakupeleka hadi huko na siku ya kesho uta pumzika na kesho kutwa hakikisha una rudi”

“Nashukuru mkuu. Ila nina weza kufahamu ni nani huyo ambaye ni mgeni wangu”

“Wewe nenda tu”

Evans akashindwa kuendelea kuhoji maswali mengi kwa mkuu wake huyo wa kikosi cha kigaidi nchini hapo Rusia. Frank akarudi bwenini kwake, akabadilisha nguo na kuvaa suti nyeusi na shati jeupe. Safari yak ueleeka katika mji wa Moscow ikaanza huku akiwa amekaa siti ya nyuma katika gari hiyo aina ya BMW X3. Mawazo kichwani mwake yakazidi kuongezeka huku akiwazia ni nani huyo anaye muhitaji katika mji wa Moscow tena muda huo wa saa tatu usiku. Wakafika katika moja hoteli kisha kijana huyo akamgeukia na kumpa kadi.

“Hiyo ni funguo ya mlango wa chumba kipo gorofa ya arobaini na sita”

Evans akaitazama kadi hiyo ya mlango wa chumba hicho anacho elekezwa kwenda.

“Nina weza kukuuliza swali?”

“Uliza?”

“Ni nani ambaye nina kwenda kuonana naye?”

“Sijui. Nita kuja kukuchukua kesho kutwa saa kumi na mbili asubuhi”

Kijana huyo alizungumza kwa msisitizo. Evans akashuka kwenye gari hilo na akalishuhudia liondoka na kutokomea kwenye barabara hiyo yenye magari mengi sana. Evans akatazama urefu wa gorofa hiyo ya hoteli kisha akaingia ndani, ambapo kuna watu wengi wana endelea na harakati zao. Akatembea hadi kwenye moja ya lifti akashusha kitufe cha kufungulia lifti hiyo, Akasubiria kwa sekunde kadha akishaa ikafunguka, wakatoka watu wawili, ambao kwa muonekano wa haraka haraka ni mke na mume. Evans akaingia ndani ya lifti na kuminya kitufe cha gorofa analo kwenda. Lifti ikapanda taratibu hadi kwenye gorofa namba arobaini na sita. Akatoka kwenye lifti hiyo na kusimama kwenye kordo hiyo yenye vyumba vingi sana. Akatazama namba ya chumba anacho paswa kwenda kisha akatembea hadi katika chumba hicho. Akaangaza macho yake kulia na kushoto, alipo hakikisha hakuna mtu anaye mfwatili. Akaipachika kadi hiyo katika loki ya mlango huo, na ukafunguka. Taratibu akasukuma mlango wa chumba hicho ambacho kwa ndani kina mwanga hafifu kidogo wa taa. Evans akajiandaa kwa kila litakao tokea ndani hapo. Ila wasiwasi ukaanza kumpungua mara baada ya kumkuta Baby Al akiwa amekizala kifudifudi kitandani huku akiwa amevalia bikini tu.

Evans akatazama eneo zima la chumba hicho, kisha akachungulia bafuni na kukuta kukiwa hakuna mtu. Akafungua kwenye kabati la nguo na kukuta nguo za Baby Al pekee. Akafunga kabati hilo kisha akasogea kitandani hapo.

“Hei”

Evans alizungumza kwa sauti ya upole. Taratibu Baby Al akafumbua macho yake, taratibu tabasamu likamtawala usoni mwake.

“Ume kuja mpenzi wangu”

“Yaa niambie”

“Safi tu”

Baby Al alizungumza huku taratibu akimvuta Evans karibu naye. Wakaanza kunyonyana ndimi zao huku kila mmoja akiwa na hamu sana ya penzi la mwenzake. Evans kwa haraka akavua suti yake akabakiwa kama alivyo zaliwa. Hakutaka mbwembwe nyingi zaidi ya kuanzisha mtanange huo wa kuhakikisha ana mpatia Baby Al, haki yake anayo stahili kuipata.

***

“Mume amkaje?”

Magreth aliwasalimia askari hao walio kuja nyumbani kwake usiku wa kuamkia siku hiyo.

“Salama tu ila kwa sasa ni mchana”

“Ohoo ni kweli. Nina toka je kuna kitu chochote muta hitaji niwapatie?”

Magreth alizungumza huku akimtazama Emily usoni mwake.

“Hapana”

“Sawa”

Magreth akaingia kwenye gari lake, wakamfungulia geti na akatoka ndani hapo. Moja kwa moja akelekea kwenye hoteli anayo ipenda hapo Kigamboni kwa ajili ya kupumzisha akili yake ambayo siku za hivi karibuni imekuwa ikifanya kazi bila mapumziko.

“Una tumia kinywaji gani?”

Muhudumu wa hoteli hiyo alimuliza huku akiwa amesimama pembeni yake.

“Maji tu yana nitosha”

“Maji makubwa au madogo?”

“Niletee makubwa ila ya moto”

“Sawa”

Baada ya muhudumu huyo kuondoka. Magreth akafungua laptop yake na kuanza kuzipitia picha za maiti ya watu wanao amini kwmaba wao ndio wame weka bomu kwenye gari la Sia Kamara. Magreth akachukua simu yake na kuitafuta namba ya Samson, alipo ipna akampigia.

“Dogo mambo vipi?”

“Safi niambie sister”

“Safi hivi uliweza kupata chochote kutoka kwenye zile maiti mbili?”

“Hapana sister, vipi ume weza kupata kitu”

“Nope nina jaribu kuzipitia picha zao ila sijapata mafanikio yoyote”

“Nikipata muda kidogo hapa nita jaribu kulifwatili hilo jambo”

“Basi fanya hivyo mdogo wangu”

“Poa poa”

Magreth akakata simu huyo huku muhudumu akiweka chupa hiyo ya maji pamoja na glasi.

“Nashukuru”

Magreth alizungumza na muhudumu huyo akaondoka. Magreth akawaona wasichana wawili ambao kwa haraka kwa kuwatazama akagundua sio Watanzania. Wasichana hao wakaka kwenye meza iliyopo mbele upande wa kushoto kwake. Wasichana hao walipo mtazama naye wakaonekana kustuka kidogo.

“Huyu ndio yule demu anaye ishi na Josephine”

Pili alizungumza kwa sauti ya chini huku akimtazama Hawa.

“Yaa ndio yeye, so tumfanye nini?”

“Ngoja tumvutie muda tuta dili na huyu kwanza kisha ata fwata yule Kenge mwengine”

“Sawa”

Magreth japo hakuwa ana sikia maneno hayo, ila ana uwezo wa kuzisoma lispi za mdogo na kugundua kwamba kinacho zungumzwa ni kitu gani. Magreth akapata uhakika wa asilimia mia moja kwamba hawa wasichana ndio wale ambao wame tumwa nchini Tanzania na Josephine ndio aliye kuwa akiwazungumzia. Magreth akaifunika laptop yake na kumuomba muhudumu aweze kuitazama pamoja na mkoba wake kwani yeye ana kwenda chooni. Magreth akanyanyuka kwenye kiti hicho na kuelekea kwenye vyoo vya kike. Pili na Hawa nao wakanyanyuka na kuelekea chooni huko pasippo kujua kwamba Magreth ana wakingia kwenye mtego. Magreth akaingia kwenye moja ya choo na kuurudishia mlango kidogo. Pili na Hawa wakaingia kwenye vyoo hivyo ambavyo vipo kumi na mbili. Pili akafunga mlango wa kuingilia choo himo na wakaanza kugagua choo kimoja baada ya kingine na mbaya zaidi wameziacha bastola zao chumbani, laiti kama wangejua kwamba wanaye muendea sio mtu mzembe ni heri wange ghairi mpango wao huo.

*********************************************



Magreth aliweza kusikia jinsi mlango unavyo fungwa. Akajiweka vizuri suruali yake ya jinzi aliyo ivaa. Akafungua vifungo vya shati lake na kufunga butu moja eneo la kiunoni mwake. Akatoka ndani hapo huku akiwatazama Hawa na Pili ambao tayari wamesha jiandaa kwa mashambulizi ya kumdhuru Magreth. Magreth akasogelea moja ya sink la kunawia mikono. Kitendo cha kufungua koki ya maji Pili akamshika begani mwake.

“Vi…..”

Magreth hakumalizia sentensi yake hiyo na kujikuta akitandikwa kibao cha shavuni mwake na kumfanya ayumbe kidogo. Pili akarusha ngumi iliyo mfanya Magreth kuyumbisha uso wake upande wa kushoto na kupiga kwenye kioo kilichopo ukutani nyuma ya sinki hilo. Magreth akakunyua mguu wake wa kushoto na kumpiga Pii tumboni mwake na kumfanya asogee nyuma huku akiguumia kwa maumivu makali. Hawa akarusha teke, ila teke lake likiwa hewani, Magreth akalizuia kwa kuutuma mguu wake wa kushoto hewani na kuupiga mguu huo wa hawa eneo la pajani na ukarudi ulipo toka. Hawa na Pili walicho kitarajia sicho walicho kikuta. Magreth hakuwapa nafasi ya kujipanga kwa mashambulizi yoyote kwani kutoa nafasi kwake kuna weza kupelekea kuumizwa na hilo hataki litokee. Magreth akaendelea kumchambulia Hawa ambaye ana jitahidi kuzuia makombora ya ngumi na mateka anayo rushiwa. Pili akasimama wima huku akimtazama mwenzke jinsi anavyo jitetea, akakimbia kwa haraka na kumkumbatia Magreth kwa nyuma. Kisuku suku kizito kikatua kwenye shavu la upande wake wa kulia na kujikuta akimuachia Magreth pasipo kupenda.

Hawa akarusha teke lilipo mpata Magreth shingoni mwake na kumyumbisha kiasi na akajizuia kuanguka chini. Pili akamtandika Magreth ngumi ya mgongo iliyo mfanya ajipinde kidogo akisikilizia maumivu hayo makali. Hawa akamsukumia Magreth kwenye moja ya mlango wa choo na akajikuta akivunja na kuingia nao ndani.

‘Mungu wangu nisaidie’

Magreth alizungumza kwa maana wasichana hao wana nguvu sana.

“Agrrkhaaa…..”

Pili alijirusha kuingia ndani hapo, lengo leke ni kutua juu ya mwili wa Magreth. Magreth akabingiria kwa pembeni na Pili akaangukia kwenye mlango huo hadi ukavunjika vipande viwili. Hawa akaingia kwenye kijichoo hicho kidogo. Magreth akasimama kisha mguu wa kulia akaukita ukutani kwa nyuma, kisha akakaanza kurusha ngumi mvululizo kuelekea kwa Hawa ambaye naye ana rusha makonde mazito mazito. Pili anaye endelea kugugumia kwa maumivu yake, akajitahidi kunyanyuka ili wambananishe Magreth ndani ya choo hicho. Magreth akapiga Hawa ngumi ya ziwa la kushoto na kumfanya apepesuke na kutoka ndani ya choo hicho huku akijisikia vibaya. Akamgeukia Pili amabeye hajarudi kwenye uhimara wake. Akampiga kigoti cha tumboni na akajikunja kiasi hukuakilishika tumbo lake. Magreth akajirusha juu na kupiga juu na kwa kutumia magoti yake mawili huku akiwa ameikunja miguu yake akatua shingoni mwa Pilia na kumfanya abamize uso kweye sinki la choo hadi sinki hilo likavunjika vunjika na damu zikaanza kutapakaa ndani hapo.

Magreth kama simba jike anaye tetea wanaye wasiuwawe na adui, akatoka ndani hapo huku akimtazama Hawa ambaye bado yopo kwenye maumivu. Magreth akazishika nywele ndefu za Hawa na kumbamiza ukutani kwenye kiioo na kikapsuka huku damu zikijaa kwenye kioo hicho. Akamgeuza Hawa aliye legea, akamkaba koo lake kwa nguvu huku mishipa ya mikono yake ikiwa imejitokeza.

“Ni nani aliye watuma?”

Magreth alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Hawa anaye churuzikwa na damu huu vipande vidogo vidogo vya vioo vikiwa vime baki usoni mwake.

“Nani amewatuma?”

Magreth aliendelea kuzungumza kwa kufoka, akaendelea kumtandika ngumi za tumbo Hawa hadi akajikuta akitapika damu. Magreth akamsukumuma Hawa ndani ya choo alipo Pili, akaingia kwenye choo alicho kuwapo na kuchukua simu yake aliyo iweka ndani hapo kwa maana alisha elewa ni kitu gani kinacho kwenda kutokea. Magreth akaitafuta namba ya Josephine na kumpigia.

“Mage vipi?”

“Upo wapi?”

“Ofisini”

“Muambie muheshimiwa nime wakamata wale wasichana nipo hoteli ya K4 ROYAL”

“Wasichana wapi?”

“Wale walio tuma kuja kukukamata”

“Nini?”

“Ndio. Muambie muheshimiwa hivyo na nina hitaji waje kuchukuliwa hapa”

“Sawa”

Magreth akakata na taratibu akakisogelea kioo kimoja na kujitazama jinsi nywele zake zilivyo vurugika huku akiwa ana mwagikwa na damu eneo la chini ya jicho la upande wa kulia. Akafungua bomba la maji na kuanza kunawa taratibu uso wake, simu yake ikaita, akaitoa mfukoni na suruali yake na kuitazama. Akakuta ni namba raisi Mtenzi.

“Shikamoo muheshimiwa”

“Marahaba, nime pewa habari kwamba ume waamata wale wasichana?”

“Ndio muheshimiwa?”

“Uliwatambuaje?”

Magreth akashusha pumzi kidogo huku akitafakari ni jibu gani amjibu raisi Mtenzi.

“Nilikuwa katika hoteli, nikipumzisha akili. Saikolojia ya kumsoma muhalifu na kuweza kujua anacho kizungumza hata akiwa mbali ndio iliyo niwezesha kuwatambua. Nilipo ingia chooni walinifwata na wakaanz akunishambulia kiasi cha kunifanya niweze kupambana kufa na kupona. Nimefanikiwa kuwadhibiti wote wawili”

“Sawa kazi nzuri, nina tuma kikosi cha NSA kita fika hapo haraka iwezekanavyo”

“Nashukuru muheshimiwa”

Magreth akakata simu huku akiwatazama Hawa na Pili ambao wapo hoi kwa kipigo hicho alicho wapatia. Hazikupita dakika ishirini mlango wa choo hicho ukagongwa.

“NAS”

Magreth alisikia sauti ya kiume, akausogolea mlango huo taratibu na kufungua. Akakutana na kundi kubwa la askari wa kitengo cha NSA pamoja na Josephine ambaye uso wake una onyesha una wasiwasi mwingi. Josephine akamkimbilia Magreth na kumkumbatia kwa nguvu.

“Vipi wame kuumiza?”

Josephine alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Yaa ni hapa usoni kidogo.”

Kwa kipigo walicho patiwa Hawa na Pili hawakuweza kutembea kwa miguu yao na ikawalazimu kubebwa kwneye machela, huku sura ya Pili ikiwa imeharibika vibaya, hii ni kutokana na kukatwa na vipande vipande vya choo hicho.

“Tukupatie huduma?”

Mmoja wa madaktari wa kikosi cha NSA ambaye pia ni askari alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Hapana nipo salama”

Magreth akaongozana na Josephine hadi kwenye kiti alicho kuwa amekaa. Akaiweka laptop yake ndani ya pochi yake.

“Ina bidi twende hospitali ukafanye chake up”

“Nipo sawa Jose”

“Mimi nina kuona haupo sawa Magreth, twende bwana”

Josephine akambembeleza sana Magreth hadi akakubali na wakaelekea katika hospitali ya Agakhan na akaanza kufanyiwa vipimo vya mwili mzima. Hakuonekana na mvunjiko wowote zaidi ni maumivu madogo madogo. Akapatiwa dawa za kutuliza maumivu na kuruhusiwa kurudi nyumbani.

“Nilikuambia kwamba sina tatizo”

“Ila nafsi yangu ime kuwa na amani”

“Jose”

“Bee”

“Tukienda nchini Nigeria ndio itakuwa kazi yangu ya mwisho. Sinto hitaji kuendelea tena na hizi kazi. Leo nilipunyuka kwenye kifo, ila next time sinto hitaji nife kwenye haya majukumu ambayo kwangu hayana faida yoyote”

“Hapana Mage nina kuomba tuache mara baada ya kupata hiyo hadhina na hata mimi nikiipata hiyo hadhina basi nita acha hii kazi”

Josephine alizungumza huku akipunguza mwendo wa gari hilo la Magreth. Wakasfika getini na kufunguliwa geti na askari polisi na taratibu Josephine akalisimamisha gari hilo eneo la maegesho kisha wakashuka na kuingia ndani.

***

“Una nitomb** vizuri sana mpenzi wangu”

Baby Al alizungumza huku akiwa amekilaza kichwa chake kifuani mwa Evans Shika.

“Kweli”

“Ndio mpenzi wangu. Una jua kuna kipindi huwa nina fikiria nibebe ujauzito wako ila nina ona muda sahihi bado”

“Yaa ni kweli, ngoja kwanza nimalize shuhulia mbayo ime nileta huku kambini, nikiwashuhulikia wale watu wangu basi nita kuwa nipo tayari kuanzisha familia na wewe”

“Nashukuru sana mpenzi wangu kwa kuwa muelewa”

“Ehee vipi kuhusiana na wazazi wako wata nikubali na weusi wangu huu?”

“Wazazi wangu ni waelewa sana, sio watu wa kuwanyanyasa watu wengine isitoshe pia nchi ya Ufaransa ina watu weusi wengi tu. Hivyo hakuna ambaye ana weza kupinga penzi letu”

“Sawa mpenzi wangu. Vipi yule kijana wako aliye kamatwa nchini Tanzania, Zuma amesha achiliwa?”

“Hapana bado”

“Duu”

“Ndio, ila nina imani kwamba hata wakimuhoji vipi hato weza kuzungumza chochote watakuwa wana poteza muda.”

“Ila nina usongo sana na familia ya raisi Mtenzi na nabii Sanga kitu nitakacho wafanya kwa kweli wata jutia kwenye maisha yao”

Evans alizungumza kwa msisitizo huku akimaanisha juu ya kauli yake hiyo. Usiku huo ukawa ni usiku wao wa kuzungumza mambo mengi sana kuhusiana na maisha yao ya sasa na baadae. Hakika Baby Al alijikuta akizama kwenye penzi la Evans na hakuhitaji kumuona mwanamke yoyote yule ana muibia penzi lake hilo.

***

Hawa na Pili wakazinduka na kujikuta wakiwa wapo ndani ya chumba chenye taa nne zenye mwanga mkali mweupe. Kila mmoja ame lala kwenye kitanda chke huku kila mmoja mkono wake mmoja ukiwa ume fungwa pingu iliyo unganishwa na kitanda hicho cha Chuma. Hawa akamshangaa rafiki yake jinsi alivyo fungwa bandeji kubwa kwenye shavu lake.

“Hei pili”

“Mmmm”

“Tupo wapi hapa?”

“Hata sijui”

Hawa akajaribu kuutoa mkono wake kwenye pingu hiyo ila akashindwa. Maumivu makali aliyo nayo kwenye mwili wake yakamfanya atulie kwa muda. Mlango wa chumba hicho ukafunguliwa, akaingiza mzee Mbogo huku akiwa ameongozana na msaidizi wake.

“Pili na Hawa karibuni Tanzania”

Mzee Mbogo alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Natambua mulikuja Tanzania kwa lengo la kumteka huyu binti”

Mzee Mbogo alizungumza huku akiwaonyesha picha za Josephine na kuwafanya Hawa na Pili kujawa na mshangao kwani wanatambua hakuna mtu yoyote anaye fahamu siri ya kazi iliyo waleta hapa nchini Tanzania.

“Tuna tambua kwamba nyinyi ni askari wa kundi la Bokoharamu ila mabosi wenu wame weza kuwasaliti ndio maana hadi sasa hivi mupo mikonni mwa vyombo vya usalama”

Pili kusikia maneno hayoa akajawa na hasira sana.

“Sijui kwa nini waliwasaliti au walikuwa na lengo gani, ila ndio hivyo mume salitiwa. Jambo ambalo nina hitaji kuwashauri au kuwaambia ni kwamba endapo muta kuwa mupo tayari kwa kuzungumza nasi vizuri basi tuwahakikishie usalama wenu na kuwaachia huru. Endapo mukishindwa kushirikiana na sisi basi ukweli ni kwamba tuta waua mmoja baadaya mwengine”

Pili na Hawa wakatazamana kisha wakamtazama mzee Mkumbo.

“Sisi hatuwahitaji Bokoharamu na wala hatuna matatizo na Bokoharamu, japo mulijaribu kufanya jambo la hatari sana kwa kutaka kumteka chiefstaff wa ikulu”

Mzee Mkumbo alizungumza huku akisimama katikati ya vitanda hivyo.

“Kwa hilo tuta wasamehe, ila tuna hitaji mutupatie watu wawili na tuta wapa msahama wa kuwaachia huru na mutaondoka na kwenda mutakapo pajua wenyewe, hatoto wadhuru”

Mzee Mbogo alizidi kuzungumza maneno ya ushawishi.

“Tunacho kihitaji kutoka kwenu ni kutupatia hao watu”

“Nani na nani?”

Pili alizungumza kwa shida kidogo.

“Tunamuhitaji mkuu wa kundi la Al-Shabab pamoja na aliye toa hii kazi kwenye kundi lenu la Bokoharamu kwa ajili ya kuja nchini Tanzania kumteka Josephine.

Pili na Hawa wakatazamana kwa sekunde kadhaa.

“Tuna wapatia mkataba maalumu wa kuaachia huru na mukihitaji msaada wa nyinyi kuondoka nchini Tanzania na kwenda nchi nyingine yoyote mutakayo hisi muta kuwa salama basi tupo tayari kuwapatia”

“Tuna omba tujadiliane”

“Sawa muna dakika kumi”

Mzee Mkumbo na msaidizi wake wakatoka ndani hapo na kuwaacha Pili na Hawa wazungumze.

“Wamejuaje kwamba tuna kujakumteka yule binti?”

Hawa alizungumza huku akwia amejawa na mshangao mkubwa sana.

“Hata mimi sielewi rafiki yangu”

“Sasa tufanyeje?”

“Tuchukue dili. Siwezi kufanya kazi na watu ambao ni wasaliti, kwa maana hii ishu tume weza kujadiliana sisi na wakuu wetu. Imekuwaje ime vuja kwenye serikali ya Tanzania.”

“Wale Al-Shaban ndio wasaliti washenzi sana wale”

Hawa alilalama kwa uchungu sana.

“Ndio hivyo tuchukue dili na tupotelee huko duniani. Ona sasa uzuri wangu wote ume haribika”

Pili alizungumza kwa sauti ya upole sana.

“Kwa hiyo tupo tayari kuachana na hawa watu?”

“Ndio nipo tayari”

Pili na Hawa wakakubalian ana jambo hilo. Baada ya dakika kumi kuisha mzee Mbogo akaingia ndani hapo na kuwakuta Pili na Hawa wakiwa wana msubiria.

“Mume fikia wapi?”

“Tupo tayari ila kwa sharti moja”

“Sharti gani?”

“Tupo tayari kuwapatia eneo walipo Al-Shabab na Bokoharamu, ila tuna hitaji kupewa pesa za kwenda kujikimu kwenye maisha mapya tutakayo ishi””

“Kiasi gani muna hitaji?”

“Dola laki tano kila mmoja?”

Hawa alizungumza huku akimtazama mzee Mbogo usoni mwake.

“Mupo serious kweli nyinyi?”

Mzee Mbogo alizungumza huku akiwatazama Hawa na Pili.

“Nchi yangu ime nafasi ya kuwa huru tu na si kuwapa pesa. Ila kama muna hitaji kufa basi hatuto kuwa na jinsi tuta waua?”

“Nina tambua muna hamu sana ya kuwapata Al-Shabab ila pasipo sisi hamuwezi kuwapata hao Al-Shabab na isitoshe sisi tupo tayari kwa kufa muda wowote. Ila hichi tunacho kifanya ni kulipa kisasi kutokana na usaliti ambao wametufanyia. Pia mukitua sisi tambueni Bokoharamu hawato muacha huyo msichana Josephine kumteka kwamaana ni mtu aliye lipiwa mamilio ya dola kwa ajili ya kutekwa kwake tu. So maamuzi ni yenu, kusuka au kunyoa”

Hawa alizungumza kwa kujiamini na kumfanya mzee Mbogo kukaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha akatoka ndani hapo. Akatoa simu yake kwenye mfuko wa suti yake na kumpigia raisi Mtenzi.

“Muheshimiwa nime weza kuzungumza na hawa wasichana”

“Ehee wamesema ni nani ambaye ame watuma?”

“Hapana ila wana hitaji msamaha wa kuachiwa huru pamoja na pesa za kwenda kuanza maisha mapya na wapo tayari kututajia ni nani ambaye yupo nyuma ya mpango wa kumteka Josephine na wapo tayari kutupatia maficho ya Al-Shabab na Bokoharamu.”

“Una waamini wana weza kuzungumza ukweli?”

“Ndio muheshimiwa”

“Wana hitaji kiasi gani cha pesa?”

“Dola laki tano kila mmoja”

“Ni pesa nyingi sana wanaoyo hitaji”

“Ni kweli muheshimiwa ila hizi taarifa ni nyeti kwa maana wana sema kwamba hata tukiwaua wao basi wapo wengine ambao wata tumwa kumteka Josephine kwa maana huyo mtu anaye muhitaji Josephine ame lipa milioni of dolar kwenye kundi hilo kwa ajili ya kuwateka”

Raisi Mtenzi akakaa kimya kwa sekunde kadhaa.

“Sawa tuta wasamehe na tuta wapatia hicho kiasi cha pesa ila kwa sharti moja tu”

“Sharti gani muheshimiwa?”

Mzee Mbogo aliuliza huku akiwa amejawa na shahuku kubwa ya kuhitaji kufahamu ni sharti gani ambalo raisi Mtenzi ata kwenda kuwapatia wasichana hao ambao kwa sasa ni muhimu sana kwa nchi ya Tanzania kuweza kufahamu ni kina nani ambao ni maadui zao.



“Hatuto waachia huru na kuwapatia kiwangi hicho cha pesa hadi pale tutakapo fanikiwa kuliteketeza kundi zima la Al-Shabab na hao Bokoharamu”

“Sawa muheshimiwa, ngoja niangalie kama ita fanya kazi”

“Hiyo ndio chaguzi la mwisho ambalo tuna wapatia. Wakikubali sawa, wakikataa kitakacho fwata ni wao kuweza kuuwawa”

“Sawa muheshimiwa”

Mzee Mbogo akakata simu hiyo huku akishusha pumzi taratibu. Mzee Mbogo akarudi katika chumba hicho na kuwaeleza Hawa na Pili maamuzi ambayo serikali ya Tanzania ime chukua dhidi yao.

“Hadi muwapate?”

“Ndio, nina imani muna jua ni nini kinacho endelea hapa. Hatuwezi kuwaamini na kuwaachia sasa hivi”

“Sawa sisi tupo tayari kikubwa ni ulinzi wenu na makubaliano”

“Sawa”

“Ehee tuambieni ni wapi ilipo kambo ya AL-Shabab na Bokoharamu.”

Pili na Hawa wakaeleza eneo la wapi ilipo kambi yao. Wakaelezea njia zinazo wawezesha majasusi wa Tanzania kuingia katika kambi hiyo na kuivamia kirahisi. Walaekezza udhaifu wa kambi hiyo na uimara wa vikosi hivyo. Maelezo yote hayo mzee Mbogo aliyarekodi kwa simu yake.

“Ehee ni nani ambaye ame agiza Josephine kutekwa?”

“Ni serikali ya Marekeni, huku ikiwa imeingia makubaliano na Bokoharamu katika kulipwa fedha kusaidiwa kwa silaha, pesa na moja kubwa kuliko ni nyingine waliingia mkataba wa kimaandishi ambao wanajeshi wote wa Marekeni walipo nchini Somalia na Nigeria kutoa kuwavamia vikundi hivyo milele na watakuwa wakiwatumia wao katika kazi zao chafu katika serikali ambazo hazina uhusiano mzuri kama hii ya kwenu ya Tanzania”

Mzee Mbogo akastuka sana kwa maana kikao cha nchi hizi mbili kiliisha vizuri kawa makubaliano ya kuwaachia wanajeshi ambao waliwekwa chini ya ulinzi kutokana na wezao kufanya jaribio la kuuvamia msafara wa raisi Mtenzi ambao ulikuwa ni feki kwani mzee Mbogo ndio alijifanya kama raisi Mtenzi.

‘Washenzi sana hawa’

Mzee Mbogo alizungumza kimoyo moyo.

‘Nina shukuru, baada ya dakika kumi na tano nita waletea mkataba wa makubaliano. Je tuta upataje huo mkataba wa Bokoharamu na serikali ya Marekani?”

“Upo katika ofisi ya mkuu wetu, kuna picha moja kubwa ukutani ambayo kwa nyuma ina shelfu iliyo jengewa ukutani. Hapo ndani ndipo ulipo huo mkataba na una sahii ya raisi wa Marekani”

“Nashukuru sana”

Mzee Mbogo akatoka ndani hapo na kuandaa mkataba wa makubaliano kati ya Pili, Hawa na nchi ya Tanzania. Wakarudi ndani ya chumba hicho na akawakabidhi mkataba huo wakausoma. Walipo hakikisha wame usoma vizuri, wakasaini kisha mzee Mbogo akasaini sehemu iliyo andikwa makamu wa raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

“Ila wewe sio makamu wa raisi wa nchi ya Tanzania sasa mbona ume weka saini kwenye sehemu ta makamu wa raisi?”

“Mimi ndio makamu wa raisi mpya wa Tanzania”

Mzee Mbogo mara baada ya kuzungumza maneno hayo akanyanyuka na kutoka ndani hapo na kumuacha Pili na Hawa wakiwa wamejawa na mshangao.

***

Kikao cha dharura kikafanyika ikulu, huku kikihusicha washauri wa raisi pamoja na wakuu wote wa vitengo vya usalama nchini Tanzania. Ripoti hiyo aliyo ileta mzee Mbogo hakika haikuwa ya kuilazia damu kwa maana adui ambaye walikuwa wana mtafuta na aliye sababisha maafa makubwa kwa nchi ya Tanzania wamefahamu ni sehemu gani alipo. Mzee Mbogo aka play mahojiano hayo ya sauti aliyo fanya na Hawa pamoja na Pili. Yakasikilizw akwa umakini sana huku watu wote waliomo ndani ya ukumbi huo wa mkutano wakikaa kimya. Baada ya mazungumzo hayo kumalizika raisi Mtenzi akawatazama washauri wake pamoja wakuu wa vitengo vya usalama.

“Hii ni oparesheni ya kupambana na kuua. Katika hii oparesheni, nina hitaji ifanyike kimya kimya pasipo mtu yoyote kuweza kufahamu au hata serikali ya nchi ya Nigeria kufahamu.”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa sauti iliyo jaa msisitizo.

“Kwenye hii oparesheni, namuhitaji apatikane mkuu wao wa kundi hilo la Al-Shabab akiwa hai au muna ushauri gani?”

“Muheshimiwa hii oparesheni endapo tukiiendesha kimya kimya na vijana wetu wakafanikiwa kukamatwa na serikali ya Nigeria hamuoni kama hapo tuta kwenda kuanzisha uhasama na nchi hiyo?”

IGP wa polisi ailiuliza swali huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake.

“Hatuwezi kuiamini serikali ya nchi ya Nigeria kwa maana, utakuta ndani ya serikali yao kuna maadui, ndio maana una weza kushangaa kundi kama hilo lina jiweka ndani ya nchi hiyo na hakuna maamuzi yoyote ambayo serikali ina fanya kuwatokomeza. Juhudi zao ni katika kukomboa baadhi ya miji ambayo ina tekwa na wapiganaji hao”

Raisi Mtenzi alijibu kwa kujiamini.

“Muheshimiwa hii oparesheni ina weza kufanyika vizuri sana”

Generali wa jeshi alizungumza huku akimtazama raisi Mtenzi usoni mwake.

“Mbogo nina omba utupatie maelekezo”

Mapazia ya ndani ya ukumbi hayo yakafungwa, taa zika zimwa na iakwashwa projecta iliyo mulika kwenye moja ya kitambaa cheupe kilicho fungwa ukutani. Mzee Mbogo akashika kijifimbo kidogo na ramani ya nchi ya Nigeria.

“Huu ni mji uitwao Borno State, upo Magharibi mwa ziwa Chad. Mji huu una ukubwa wa kilomita 3154. Kwa sensa yao ya mwaka 2006 kuna idadi ya watu wasio pungua 129,370 kabla ya Boko Haramu hawaja vamia kijiji cha Marte LGA na wakafanya uharibufu wa kuchoma nyumba za wana kijiji pamoja ana kuwaua wana kijiji kadhaa.”

Mzee Mbogo alizungumza huku picha za mauaji yaliyo fanyika katika kijiji hichi zikionyeshwa katika mwanaga huo wa projecta.

“Kwa sasa kundi la Boko Haramu lime jificha katika msitu uitwao Sambisa Forest, upo Kaskazini mwa nchi ya Nigeria na Kusini, kaskazini mwa mbuga ya taifa ya Chad Basin na kuna kilomita 60 kutoka mbuga hiyo. Pia msitu huo upo Kusini Mashariki mwa Maiduguri na mji wa Borno State”

Watu wote walikaa kimya wakiendelea kupata maelekezo hayo kutoka kwa mzee Mbogo ambaye ana ijuia vizuri jografia ya nchi ya Nigeria kwa maana katika kipindi cha nyuma alisha wahi kufanya kazi nchini Nigeria kwa miaka sita akiwa mpalelezi kutoka nchini Tanzania.

“Kwa kipindi hichi cha mwenzi wa tisa na kumi kuna unyevu nyevu na mvuaa nyingi zinazo fikia 190 mm. Hivyo vijana wetu endapo wata kwenda katika oparesheni hiyo wawe wamajipanga vizuri sana kwa maana mvua hizo zina ambatana na baridi kali sana”

Mzee Mbogo akatoa ishara na taa zikawashwa ndani hapo.

“Muheshimiwa raisi Makomandoo watano wana tosha kabisa kwenda kuifanya kazi hiyo”

Jenerali wa jeshi alizungumza huku akimtazama raisi Mtenzi.

“Hilo eneo tuta liweka kati kisha tuta lishambulia kimya kimya”

Jenerali wa jeshi aliendelea kutapa huku akiamini uwezo wa vijana wake.

“Samahani jenerali. Ushauri wangu idadi ya makomandoo waweze kuongezwa, hili kundi hata jeshi lenyewe la nachi ya Nigeria lina kwenda kufanya oparesheni zake hapo kuli kukicha ila hawaja fanikiwa kuwaondoa hao Boko Haramu, hembu jamani tulitazame na hili”

Julieth alishauri huku akimtazama jenerali wa jeshi.

“Ni kweli nina ungana mkono na mshauri hapo wa muheshimiwa. Makomandoo watano ni wachache sana ukizingatia wana kwenda kupambana na vikundi viliwi vya Al-Shabab na Boko Haramu”

IGP alizungumza na kuwafanya watu wote kukaa kimya wakimsikilizia raisi Mtenzi ata zungumza nini.

“Josephine una zungumziaje hii oparesheni, ita fanikiwa au ita feli?”

Josephine akaka kimya kwa sekunde kadhaa.

“Muheshimiwa ninge omba tuanze kuitekeleza ile mission niliyo kuambia nita ifanya mimi na Magreth”

“Jumatano si kesho?”

“Ndio muheshimiwa”

“Duu sasa ita kuwaje?”

“Ahaa muheshimiwa raisi nasi tunge penda kushirikishwa kwenye hiyo mission”

Jenerali alizungumza huku akimtazama raisi Mtenzi pamoja na Josephine.

“Ahaa hii ni private mission ambayo huyu msichana ame niomba na pia ina weza kusaidia katika hii kazi yetu, kwa maana wana ondoka kesho na sisi tuna paswa kutengeneza kikosi kijiandae kwa siku mbili mfululizo kisha ndio kitumwe kwenye hiyo kazi”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa kujiamini.

“Ni sawa mueshimiwa. Ila kumbuka kama ni oparesheni hatarishi ambayo ita wagarimu hao wasichana. Ita tulazimu macho yetu sasa kuyageuzia kwao. Huyo binti ni mshauri wako, ana jua siri nyingi sana za nchi na mipango hii. Endapo akakamatwa kwenye hiyo oparesheji, japo hatuombei iwe hivyo, ila je ikiwa hivyo ita kuwaje?”

Generali wa jeshi aliendelea kukazia kwa maswali.

“Haito kuwa hivyo, tunacho kwenda kukifanya sisi ni kumtambua adui wetu wa ndani. Adui aliye sababisha vita baina yetu sisi na Al-Shabab, adui ambaye yeye ndio mzizi wa vifo vya watu wote walio kufa kwenye siku ya harusi ya Julieth na mumewe”

Josephie alizungumza kwa msisitizo na kumstua kidogo Julieth.

“Bila ya kukata mzizi ulipo ndani ya nchi yetu. Basi ni rahisi sana kwa maadui wetu wa nje kuingia ndani ya nchi na kutushambulia. Sisi tuta taka tumjue tu ni nani, baada ya hapo basi tuta dili naye?”

Josephine alizidi kukazia msimamo wa mission yake hiyo.

“Muta mjuaje huyo muhusika?”

IGP aliuliza.

“Ni mpango wetu watu watatu. Mimi, muheshimiwa hapa na Magreth.”

“Muheshimiwa ume kubaliana na mission hiyo?”

Generali wa jeshi aliuliza.

“Asilimia mia moja”

“Sawa tuna subiri oder yako muheshimiwa”

“Hakikisha una anda amakomandoo sita. Wafanye mazoezi kuhakikisha kwamba wana kwenda kukabiliana na makundi hayo ipasavyo na kazi iweze kufanyika mara baada ya kupata mjeresho kutoka kwa hawa wabinti”

“Sawa mkuu”

Raisi Mtenzi akasimama na watu wote nao wakasimama. Wakuu wa viengo vya usalama wakampigia saluti raisi Mtenzi na akatoka ofisini hapo huku akiwa ameongozana na Josephine pamoja na Julieth.

“Muheshimiwa, nina weza kufahamu hiyo oparesheni ya Josephine?”

Julieth aliuliza na kumfanya raisi Mtenzi amtazame huku akitabasamu.

“Mkwe hii ni kazi maalumu ya kijasusi ambayo ikikamilika basi kila mtu ata fahamu, au Josephine kuna haja ya kumueleza Julieth?”

“Hapana”

Josephine alijibu pasipo hata kukwepesha maneno. Jibu hilo la Josephine lika mkera sana Julieth, akatamania mzabe vibao ila akashindwa kufanya hivyo, japo usoni mwake ame weka tabasamu feki.

“Naamini ume msikia mwenye hii mission yake ame kataa. Josephine tuzungumze”

Raisi Mtenzi mara baada ya kuzungumza hivyo akatangulia na Josephine akamfwata kwa nyuma na kumuacha Julieth akimtazama Josephine kwa macho ya chuki ya wazi wazi.

“Kwa nini huitaji watu wengine watambue mission yako?”

Lilikuwa ni swali la kwanza la raisi Mtenzi mara baada ya kuingia ofisini kwake.

“Muheshimiwa huyu adui ana watu wake wengi na sio rahisi kumuambia kila mmoja. Hembu nipatie nafasi ya kumjua huyu mtu kisha tuta jua ni jinsi gani ya kumuwekea mtego na kumkamata pamoja na vibaraka wake wote”

“Sawa, nenda nyumbani ukajipumzishe kwa ajili ya kazi ya kesho”

“Nashukuru sana muheshimiwa”

“Jambo jengine, tuwe tuna wasiliana whatsapp kuanzia munapo ianza safari ya kuondoka hapa nchini Tanzania hadi pale mutakapo fika”

“Hakuna shaka muheshimiwa?”

“Hali ya Magreth ina endeleaje?”

“Kwa kweli yupo salama kabisa”

“Msalimie”

“Nashukuru”

Josephine akaagana na raisi Mtenzi, akaingia ofisini kwake akaweka vitu vyake vizuri kisha akaondoka ikulu akiwa ana sindikizwa walinzi wa raisi wanne.

Julieth moyo wake haupati amani kabisa kila napo wazia hiyo mission ya Magreth na Josephine. Akakumbuka jinsi yeye alivyo fanya mpango wa kupitisha madawa yake ya kulevya chini ya bahari huku kwenye boti akiwa ame tega bomu. Chanzo kikubwa cha utafaruku wa Tanzania na Al-Shabab ni yeye.

‘Sasa adui huyo wata mjuaje?’

Josephine aliendelea kujiuliza kichwani mwake huku akizunguka zunguka ndani ya ofisi yake.Akaegemea meza yake. Kikopo anacho wekea peni za kuandikia kiaanguka chini na peni hizo zikamwagika chini.

“Agkhaaaa”

Julieth alilalama kwa ukali kwa maana kopo hilo lime mtoa kwenye mawazo yake. Akainama chini na kuanza kuokoata peni hizo.

“Mmmm”

Julieth aliguna huku akitazama kifaa kidogo kilicho bandikwa chini ya meza yake. Akachungulia vizuri kifaa hicho, kisha akakitoa.

“Hichi ni nini?”

Josephine alijiuliza huku akiendelea kukitazama kifaa hicho. Akakiweka juu ya meza yeka huku akiendelea kukitazama kwa umakini. Akaitafuta namba ya Samson na kumpigia.

“Dogo njoo ofisini kwangu”

“Sawa”

Julieth akakata simu, baada ya dakika tano mlango wa ofisi hiyo ukafunguliwa na Samson akaingia.

“Dogo hichi ni nini?”

Julieth alizungumza huku akimkabidhi Samson kifaa hicho.

“Hichi ni kinasa sauti ambacho kina rekodi kila mazungumzo yaliyo fanyika ndani ya ofisi hii. Ume kikuta wapi?”

“Ohoo Mungu wangu una taka kuniambia kilirekodi kila kitu?”

“Ndio, kwani ume kikuta wapi?”

“Hapa chini ya meza yangu, kilibandikwa kwa chini”

“Ohoo basi kuna mtu ana kupeleleza na ana ianvyo onyesha mtu huyo hakuamini ndio maana kaweka hichi kinasa sauti”

Maneno ya Somson yakamfanya Julieth ahisi kama tumbo la chango likimkamata, akajikokota kwa woga hadi kwenye kiti chake, huku akilini mwake akianza kuunganisha doti za jinsi anavyo ishi na Josephine ofisini hapo na moja kwa moja akili yake ikamuagiza kwamba mtu aliye weka kinasa sauti hicho chini ya meza yake ni Josephine pakee tu.


“Ila ua weza kujua ni nani ambaye ame weka hichi kinasa sauti kwa maana vinasa sauti kama hivyo mazungumzo yake moja kwa moja yana kwenda kwenye simu yake ya mkononi”

Samson alizungumza huku akimtazama Julieth usoni mwake

“Ina wezakana kufanya hivyo?”

“Ndio ina wezekana”

“Hembu fanya hivyo kwa maana kuwekeana haya mambo ni kuto kuaminiana au kufanya upelelezi wa dhidi yangu”

“Ngoja nikachukue laptop yangu”

Samson akatoka ndani hapo na baada ya dakika kadhaa akarudi akiwa ameshika laptop yake mkononi mwake. Akachukua waya wa USB na kuuchomeka kwenye kinasa sautu hicho na akaanza kutafuta mawasiliano hayo yana ingia kwenye simu gani. Kutokana na ujuzi wa kazi yake hiyo haikumpa shida ndani ya dakika tano akawa amesha tambua. Akamtazama Julieth ambaye uso wake una onyesha kujawa na mawazo mengi sana.

“Nime mpata”

“Ni nani?”

Julieth alizungumza kwa shahuku kubwa, Samson hakuhitaji kujibu swali hili zaidi ya kumgeuzia laptop hiyo Julieth ambaye alijikuta akitumbulia macho namba ya mume wake inayo onekana hapo. Akashusha pumzi kidogo huku jazba ikiwa ime mpanda kiasi cha kumfanya atamani kumpigia simu mume wake muda huo huo.

“Una uhakika?”

“Hivi vittu havidanganyi na kama kunge kuwa na namba ya mtu mwengine basi ingetoka hapa”

“Naweza kupata vipi ushahidi kwamba yeye ndio muhusika?”

Samson akamuelekeza Julieth kitu cha kufanya pale atakapo ishika simu ya mume wake na ata weza kujua kila kitu.

“Sawa nina shukuru ila nina kuomba hili jambo usimueleze mtu yoyote”

“Usijali siwezi kufanya hivyo”

Samson akatoka ofisini hapo. Julieth akatazama saa yake ya mkononi mwake na baada kukuta muda wa kutoka ofisini umesha wadia, akakusanya kila kitu chake na kutoka ndani hapo. Kitendo cha kuingia ndani akakutana na Jery sebleni akiwa ana soma chenye maandishi ya rangi ya dhahabu yasomekayo AIISSII YOU KILL ME.

“Chukua”

Julieth alizungumza huku akimkabidhi Jery kifaa hicho. Jery akajikuta akijawa na mshangao mkubwa sana huku akimtumbulia macho Julieth.

“Kwa nini huniamini Jery hadi una weka kinasa sauti ofisini kwangu kweli mume wangu”

Raisi Mtenzi aliweza kuisikia sauti hiyo ya Julieth akiwa naye ana ingia ndani hapo.

“Kinasa sauti gani?”

Raisi Mtenzi aliingilia jambo hilo na kumfanya Jery kujawa na wasiwasi kwa maana ana mtambua vizuri baba yake.

“Ahaa hakuna kitu baba”

Jery alizungumza huku akitabasamu.

“Hapana ni kinasa sauti gani?”

“Baba hicho hapo kusema ukweli tabia za mume wangu ni za kitoto sana. Ameweka kitambulisho chini ya meza angu ya ofisini kwangu na kila mazungumzo yanayo fanyika ndani ya ofisi yangu ana yasikia. Kweli jamani.”

Julieth alilalama huku machozi yakimwagika usoni mwake, raisi Mtenzi akajawa na mshangao kwa maana hilo jambo ni la ajabu kwa mume kumfanyia mke wake.

“Jery una akili kweli?”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama Jerya aliyes hika kifaa hicho.

“Toka niwe na mauhusiano na mama yako sikuwahi siku hata moja kumuwekea kitu kama hicho. Ina kuwaje wewe ume muwekea mke wako?”

“Aha.a..a……..”

Jery alijikuta akiwa amejawa na kigugumizi kikubwa sana.

“Njoo tuzungumze”

Raisi Mtenzi alizungumza hukua akielekea kwenye ofisi iliyopo nyumbani kwake hapo. Jery akaingia ndani ya ofisi hiyo huku akiwa amesha jianda kwa kila jambo litakalo tokea ndani hapo.

“Kwa nini una fanya mambo ya kitoto, aliingia kwenye ndoa kwa bahati mbaya?”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Jery usoni mwake.

“Hapana baba”

“Ila?”

“Ni kipindi kirefu nime kuwa nikiishia nje ya nchi na niliweza kuachana na huyu binti kwa kitambo kidogo. Nime kuja kurudi na kumkuta akiwa katika mahusiano na mtu mwengine ila nilitumia juhudi zangu kumtoa kwa mtu huyo. Nina hitaji kumjua mke wangu ni mtu wa aina gani, historia ya nyuma haiwezi kunifanya nika muamini huyu binti moja kwa moja, kuna vitu vingi vime pita hapo katikati”

“Sasa kwa nini usinge mchunguza kabla ya kuja kwetu na kutueleza juu ya ndao dhidi yake?”

“Hilo nina tambua baba, ila ninge mpeleleza sasa hivi ange kuwa na yule jamaa na ninge mkosa”

Raisi Mtenzi akashusha pumzi nyingi huku akimtazama Jery usoni mwake.

“Ni kitu gani ambacho ume kipata kwake katika uchunguzi wako?”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akitazama kinasa sauti hicho.

“Sijapata chochote?”

“Ume kiweka kwa muda gani?”

“Sasa ni wiki”

“Ngoja nikupe siri moja mwanangu. Kwenye maisha yako ukihitaji ndoa yako iwe na amani hakikisha kwamba una kuwa humfwatilii mke wako wala yeye hakufwatilii wewe. Endapo utajaribu kufanya hivyo nina uhakika uta jiaharibia ndoa yako kwa mkono yako wewe mwenyewe. Ume nielewa”

“Ndio”

“Haya vunja hicho kinasa sauti”

Jerya kakiweka chini kinasa sauti hicho na kukivuna kwa kukikanyaga.

“Jambo jengine, tulia na huyu mke wako, mbona ni mzuri tu”

“Baba najua ni mzuri na watu wengi wa nje hawajui yaliyomo ndani ya uzuri wake. Ila nita endelea kumchunguza na nikimkuta yupo sawa, basi nita endelea naye ila nitakapo mkuta si mtu sahihi wkangu basi nita muacha”

“Una maanisha hicho unacho kizungumza?”

“Ndio baba nina maanisha kwa asilimia mia moja”

“Sawa ni familia yako angalia usije uka iharibu”

“Siwezi kufanya hivyo baba ni lazima nihakikishe nina ijenga na kuwa na mwanamke ambaye nita muamini”

“Sawa”

Jery akanyanyuka na kutoka ndani hapo. Akarudi na kumkuta Julieth akiwa amekaa kwenye moja ya sofa lililomo katika chumba chao cha kukalala.

“Kwa nini uniamini mume wangu?”

“Nita kuamini ukiniambia ukweli ni kwa nini uliamua kuweka bikra ya bandia na kudanganya kwa bikra yako uka ingia katika ndoa hii?”

Jery aliuliza kwa msisitizo huku akimkazia macho Julieth.

“Jery niliogopa kukupoteza ndio maana niliamua kufanya vile?”

“Kwa hiyo ulishirikiana na wazazi wako?”

“Hapana ni mimi mwenyewe na wala wazazi wangu hawahusiki na jambo hili na hawalijui kabisa”

Julieth alilalama huku machozi yakimlenga lenga.

“Hii siri nina kufichia kwa baba laiti kama akijuia basi sijui ni nini ata fanya. Ila usija ukarudi kunidanganya tena. Ukifanya hivyo haki ya Mungu nita dili na wewe. Nijue tu upande wangu mmoja mke wangu na usitake kuujua upande wangu wa pili kwa maana mimi ni mkali zaidi ya baba”

Jery alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Julieth akae kimya huku akiitikia kwa kutingisha kichwa kwamba ame elewa jambo hilo.

‘Jery nina kuonea huruma ukizidi zaidi ya hapa nita kuua’

Julieth alizungumza kimoyo moyo huku akiendelea kumtazama mume wake usoni mwake.

***

Nabii Sanga akakata simu huku akimtazama mke wake usoni.

“Vipi wame semaje?”

Mrs Sanga alimuuliza mume wake.

“Nimesha pata hoteli ya kufikizia hapo Kesho”

“Ahaa sawa mume wangu, ila nina kuomba uwe makini sana”

“Usijali juu ya hilo kwa maana nipo makini zaidi ya unavyo fikiria”

“Sawa nikuandalie suti ipi na ipi?”

“Niandalie nguo chache kwa maana sinto kwenda kukaa hata siku tatu. Labda mambo yawe mengisana”

“Sawa mume wangu”

Mrs Sanga akaanza kuandaa nguo za mume atakazo safiria huku nabii Sanga akipitia tiketi ya shirika alilo kata tiketi.

“Leo ulizungumza na Julieth?”

“Hapana kwa nini?”

Mrs Sanga aliuliza.

“No nilihitaji tu kujua ana mpya gani?”

“Sija zungumza naye kwa kweli. Ila mume wangu una jua hiyo kazi uliyo mpatia mtoto ni ngumu sana”

“Najua ni ngumu sana ila kumbuka hiyo hadhina na sisi tuna itaka.”

“Sawa tuna itaka, je siku mtoto akija kujulikana kwamba ni mvujishaji siri ita kuwaje, nina imani na wewe una tambua adhabu inayo mpata mtu wa aina hiyo hususani kwenye mambo ya kiserikali”

“Yaa nina tambua ila nina imani yule ni kichwa hivyo hato shindwa kazi kama hiyo”

“Sawa mume wangu kwa maana haya mambo naona huko mbele yana weza yaka ungua hivi hivi na mwanangu nika mpoteza na mtoto mwenyewe ame bakia mmoja kama dawa”

Mrs Sanga aliendelea kulalaama ila mume wkae aka muhakikishia kwamba ana tambua hofu hiyo ya mke wake na hakuna jambo baya ambalo lita kwenda kujitokeza.

***

Magreth taratibu akaikunja nguo yake ambayo haiingizi risasi. Akamtazama Josephine ambaye ana kunja kuno zake kwa ajili ya safari hiyo ya kwenda nchini Nigeria.

“Jose hivi una jua kwamba hatuendi kutalii?”

“Najua”

“Sasa mbona una kusanya nguo nyungi ndugu yangu”

“Nina imani kwamba tuta kaa japo siku hata tatu au nne”

“Jose ngoja nikuambie jambo moja. Hii ndio mara yangu ya kwanza kwenda nchini Nigeria. Siijui ile nchi vizuri na mbaya zaidi ni kwamba hao Boko Haramu na Al-Shabab ambao walituma watu wao kwa ajilii ya kukuteka wapo nchini humo. Una hisi hizo siku unazo hitaji kukaa huko hawato tuma watu wao kua kututeka?”

“Natambua una hofu ila hilo jambo halito tokea”

“Sio halito tokea Jose. Hembu ikfike wakati nawe ufikirie kuhusiana na maisha. Maisha bora sana kuliko hata hayo tunayo yashuhulikia. Tusije tuka beba majukumu ambayo sio stahiki yetu. Hembu kuwa muelewa basi”

Magreth alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi mingi sana moyoni mwake.

“Kwa nini una mashaka Mage?”

“Nina mashka kwa maana tyna jipeleka sisi wenyewe kwa hao Boko Haramu na Al-Shabab. Ukweli ni kwamba mimi sinto weza kupambana nao wakiwa wengi. Kama Mungu ana kuonyesha basi na mimi nina hofu juu ya hilo nina hisi malaika wake mtakatifu ana nionyesha na mimi”

Magreth alizungumza huku uso wake ukiwa hauna furaha kabisa.

“Usijali katika hilo rafiki yangu”

Josephine aliendelea kumshawishi Magreth hadi akakubalian anaye. Usiku huo waka lala kwa pamoja katika chumba cha Magreth hadi asubuhi kulivyo pambazuka.Kutokana ndege ina ondoka saa sita mchana, wakapata muda mzuri wa kupata kifungua kinywa na kuisafisha nyumba yao ili mradi wakiondoka waiache katika mazingira masafi.

Walipo hakikisha kila kitu kime kwenda vizuri wakaondoka nyumbani hapo huku wakiongozana na gari moja la polisi lililo tamgulia mbele. Josephine akampigia raisi Mtenzi na simu ikapokelewa.

“Shikamoo muheshimiwa”

“Marahaba ehee nipe habari?”

“Ndio tuna elekea uwanja wa ndege”

“Ahaa ila hakuna mabadiliko ya safari?”

“Hakuna muheshimiwa”

“Basi nina waomba muwe makini sana katika hiyo kazi, tambu tuna subiri taarifa yenu”

“Tuna shukuru muheshimiwa”

Josephine akakata simu huku akiirudisha kwenye mfuko wa koti lake la suti ya kike aliyo ivaa. Wakafika uwanja wa ndege na kukaa kwenye moja ya sehemu za mapumzikio kusubiria muda na wakati wa wao kuondoka huku polisi wanne wakiendelea kuwalinda na jukumu lao ni kuhakikisha kwamba wana ondoka uwanjani hapo salama.

***

Nabii Sanga akamtazama mke wake huyo anaye endesha gari hilo kuelekea uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Nyerere.

“Mke wangu”

“Yes baby”

“Nina kuomba uachane na zile tabia za kutembea na vijana wadogo”

“Jamani mume wangu si tulisha yamaliza”

“Yaa tume yamaliza, ila kuondoka kwangu kusije kukakupa uhuru wa kufanya hochote unacho jisikia.”

“Usijali mume wangu”

Taratibu mrs Sanga akaegesha gari lake kwenye maegesho ya magari mengine kiwanjani hapo. Kabla ya nabii Sanga kushuka kwenye gari akampigia simu Julieth.

“Vipi mwaangu”

“Safi baba shikamoo”

“Marahaba. Mimi ndio nipo hapa kiwanjani nina ondoka na ndege ya saa sita mchana huu”

“Ahaa hivi una kwenda nchini Nigeria?”

“Ndio mbona nilisha kueleza. Vipi upo sawa kweli?”

“Yaa japo kuna mazungumzo nilihitaji kuzungumza nawe, kabka ya kuondoka”

“Mazungumzo gani, je kwenye simu tuna weza kuzungumza?”

“Hapana ila nia kuomba tuonane hapo uwanja wa ndege, ngoja nifanye mchakato wa kuja hapo”

“Sawa, ila kuna dakika hamsini na tano kabla ya ndege kuondoka”

“Ndio, ila ni mazungumzo muhimu sana baba. Upo na mama?”

“Ndio”

“Basi nisubirini hapo tena ikiwezekana nisubirini kwenye gari”

Nabii Sanga akamtazama mke wake kwa sekunde kadhaa huku akiwa amekaa kimya.

“Sawa harakisha”

Nabii Sanga akakata simu hiyo huku akimtazama mke wake.

”Vipi?”

“Mtoto ana mazungumzo muhimu sana na sisi na ana hitaji tusishuke kwenye gari. Sijui kuna nini kinavho endelea”

“Ina onyesha ni jambo muhimu sana?”

“Labda”

Nabii Sanga na mke wake hawakushuka kwenye gari huku wakisubiria ujio wa Julieth.

***

Julieth kwa haraka akanyanyuka na kuvaa koti lake la suti, akatembea kwa mwendo wa haraka hadi ofisini kwa raisi Mtenzi, akaumuomba ruhusa yak wend akuonana na baba yake uwanja wa ndege kwa maana ana safiri, siku hiyo na akaomba kupewa msaada wa kusafishiwa barabara kwa maana ana hitaji kuwahi sana. Raisi Mtenzi hakuwa na kipingamzi chochote zaidi ya kutimiza matakwa ya mkwe wake huyo. Julieth akaondoka na gari mbili za walinzi wa Ikulu huku gari ya nyuma akiwa ame panda yeye na gari zote zikiwa zime washwa ving’ora. Gari zote za barabara zinazo toka ikulu hadi uwanja wa ndege magari yake yame simamishwa huku wengi wakiamini kwamba aye pita hapo ni kiongozi mkuu wa nchi, kumbue ni mkwe wa raisi.

“Ongezeni spidi”

Julieth alimuambia dereva wa gari lake.

“Madam hii ndio spidi tunayo tembea nayo tukiwa katikati ya jiji, hatuwezi kuongeza mwendo zaidi ya hapa”

Julieth hakuwa na namna zaidi ya kukaa kimya kwani hawezi kuwabishia walinzi hao kwani jukumu zima la ulinzi lipo mikononi mwao. Akaitazama saa yake ya mkononi na kukuta zikiwa zime salia dakika thelathini tu kabla ya ndege anayo ondoka nayo baba yake kuondoka.



Gari hizo zikafika uwanja huo wa ndege na walinzi wote wakashuka huku wakiwa wamevalia suti nyeusi, miwani nyeusi pamoja na vinasa sauti kwenye masikio yao. Julieth akaliona gari la wazazi wake na kuanza kutembea kuelekea kwenye gari hilo na walinzo wote wakamfwata na kkulizunguka gari hilo.

“Ume wahi”

Mrs Sanga alizungumza hukua kimgeukia Julieth aliye kaa siti ya nyuma.

“Yaani wee acha tu mama. Ilitulazimu kuzuia magari yote barabarani la sivyo nisinge weza kutumia dakika hizi kufika hapa. Shikamoni”

“Marahaba”

Nabii Sanga na mke wake wakaitikia kw apamoja.

“Ehee tuambie ni kitu gani kinacho endelea kw amaana zime baki daika kama ishirini hivi ndege kuondoka”

“Kabla sija zungumza mambo ya familia yangu ila kuna swala moja ambalo baba una paswa kulijia kabla ya kwenda huko nchini Nigeria”

“Ehee niambie?”

“Jana Magreth aliweza kuwadhibiti wasichana wawili kutoka kundi la Boko Haramu ambao waliletwa nchini Tanzania kwa ajili ya kumteka Josephine. Wale wasichana waliweza kuwageuka wezao na kutoa siri ya eneo ambapo kundi hilo lina patikana. Hivyo kulikuwa na kikao cha dharura na makomandoo sita wata tumwa nchini Nigeria kuwakamata Al-Shabab na Boko Haramu”

“Ngoja kwanza Julieth. Boko Haramu na Al-Shabab wana uhusiano gani hapo?”

“Al-Shabab baada ya ile milipuko basi waliweza kwenda nchini Nigeria kufadhiliwa na hao Boko Haramu na mbaya zaidi ni kwamba hao Boko Haramu kwa sasa wapo mikononi mwa nchi ya Marekani ambayo wao ndio walio toa dili la Josephine kutekwa”

“Mmmm hapo kuna kizungumkuti. Kwa hiyo hao Makomandoo wamesha tumwa?”

“Hapana wana subiri Magreth na Josephine kuelekea nchini Nigeria saa sita hii wana ondoka na ndege ya Fly Emirates na Josephine ana sema kwamba hiyo safari yao ni kwa ajili ya kwenda kumtafuta adui wa taifa hili ambaye yeye ndio aliye sababisha mlipuko wa mabomu, yeye ndio aliye sababisha madawa yale ya kuleva kuingia Tanzania kwa picha kamili ninayo ona hapo ni mimi ndio ninaye tafutwa.”

Nabii Sanga na mke wake wakastuka sana.

“Wewe?”

“Ndio ni mimi ndio anaye nisaka Josephine na isitoshe wana sehemu hiyo mission yao ni kumuona tu muhusika wa mambo hayo yote. Sasa nimekaa chini nikafikiria sana ni nani wanaye taka kumjua. Moja kwa moja nika tambau ni kwamba wana kuwinda wewe”

“Mimi sasa wata nijuaje?”

“Sijajua baba ila kama ina wezekana nina kuomba sana uweze kughairisha hiyo safari au kupanda ndege nyingine.

Nabii Sanga akashusha pumzi nyingi sana huku akimtazama mwanaye pamoja na mke wake.

“Mume wangu fanya kama alicho kuambia mtoto usipuuzie”

“Baba endapo wakikujua tume kwisha, yule binti sijii ana kuwa naa tumiwa vipi na huyo Mungu wake.”

“Nime waelewa, sinto kwenda na ndege hiyo. Ngoja nipige simu”

Nabii Sanga akapiga simu kwenye shirika hilo na kuwaleza kwamba amepata dharura hivyo ange omba kukata tiketi ya ndege inayo fwata.Kutokana pesa sio tatizo kwa nabii Sanga akailipia tiketi yake hiyo ambayo ni ghali kuliko tiketi ya ndege ambayo ange ondoka nayooo majira hayo ya saa sita.

“Huyu panya ata vuruga mambo yangu mengi”

Nabii Sanga alizungumza kwa sauti ya ukali na iliyo jaa hasira nyingi sana.

“Baba hii ndio nafasi ya kuhakisha kwamba Josephine na magreth huko wanapo kwenda hawarudi nchini Tanzania”

“Eti ehee?”

Nabii Sanga alihoji kwa maana wazo hilo hakuwa nalo kabisa kichwani mwake.

“Ndio mume wangu. Hivi huna mtu ambaye ana conection na hao Boko Haramu, ukawapa hili dili la kuwateka hawa mabinti. Ikiwezekana wawaue kabisa”

Mrs Sanga alitilia mkazo jambo hilo. Nabii Sanga akakaa kimya huku akijaribu kuumiza kichwa chake ili aweze kujua ni nani ambaye ana weza kumtumia akapata muunganiko wa kuapata hao Boko Haramu.

“Baba kwani kwenye huu muunganiko wetu hakuna anaye fahamu kundi hilo vizuri?”

“Yaa yupo tajiri mmoja yupo nchini Nigeria, naye ana weza kuwafahamu hao watu”

“Baba fanya basi mawasiliano nao kwa maana hii ishi tukiizembea basi kila kitu kita haribika”

“Ila mawasiliano ya simu yangu yana weza kurekodiwa”

“Tumia hata imo kuwasiliana naye”

“Huko ndio mawasiliano hayarekodiwi?”

“Sina uhakika”

“Jamani kwa nini mupate shida. Tufanye hivi turudini nyumbani, ndege si ina ondoka saa tisa?”

Mrs Sanga alishauri.

“Ndio”

“Basi uta kwenda kuitumia ile simu yako unayo wasilina ana vijana wako, ile si hairekodiwi?”

“Ndio mke wangu”

“Basi turudini nyumbani”

“Ngojeni tumalize mazungumzo hapa na mimi nita rudi zangu ikulu”

“Ehee kitu kingine ni kipi?”

“Jambo la pili ni kuhusiana na mume wangu. Aliniwekea kinasa sauti katika meza yangu ya ofisini na kila mazungumzo ninayo yazungumza ana yasikia”

“Mungu wangu”

Mrs Sanga alihamaki.

“Ndio mama. Kufanya kwake huko kuna nifanya nizidi kumchukia, kiasi cha kutamani kumuua”

Mrs Sanga macho yakamtoka huku akimshangaa binti yake huyo. Nabii Sanga wala hakustushwa na maneno hayo ya mwanaye.

“Muda wake wa kumuu bado haujafika. Ngoja tupate hiyo hadhina kisha ndio umuue”

“Jamani ngojeni kwanza. Mbona yule kijaa wa watu ni mcheshi hana shida na mtu?”

“Mama laiti unge jua wala usinge mtetea, yaani hapa kwa muda mfupi mdogo tulio ishi tume gombana mara kibao”

“Bila kugombana maisha katika ndoa hayaendi. Mimi na baba yako na umri huu pia tuna gombana. Jambo la msingi hiyo mipango tenu michafu, iondoeni vichwani mwenu”

“Mama”

“Ndio, dumu kwenye ndoa yako. Isitoshe si ume mdanganya una bikra halisi kumbe feki ndio maana na kasirika”

“Jamani tuyaacheni hayo mambo. Tuangalie hili lililopo mbele yetu”

Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo.

“Sawa mimi ngoja nirudi zangu ikulu”

“Poa”

Magreth akaagana na wazazi wake kisha akashuka kwenye gari lake, akaongozanana walinzi wake hadi kwenye gari lake na kuondoka hapo uwanja wa ndege na kurudi Ikulu. Mrs Sanga akawasha gari na kuondoka uwanjani hapo.

“Mmm nimeona vibaya au?”

Magreth alizungumza huku akitazama gari za ikulu zikitokomea.

“Ume ona nini?”

“Nime ona gari za ikulu zikiondoka hapa uwanajani?”

“Labda kuna mfanyakazi alikuja hapa”

Josephine alijibu huku wakijiandaa kuelekea kwenye mstari wa wasafiri wanao ondoka na ndege hiyo.

“Mmmm mfanyakazi ndio apewe scort ya gari za usalama?”

“Mbona sisi tuna sindikizwa na askari”

“Mmm haya”

Wakakagulia hati zao za kusafiria pamoja mizigo yao kisha wakaelekea kwenye ndege.

“Sasa si niende kuina hiyo siti?”

Magreth alizungumza huku akitaka kunyanyuka.

“Ngoja kwanza ndege ipae angani”

Josephine alizungumza kwa furaha kwani hiyo ndio mara yake ya kwanza kupanda ndege. Wakafwata masharti yote ya abiria ambayo wana paswa kufwata wakiwa ndani ya ndege moja, wapo ikiwa ni kufunga mikanda ya siti zao. Taratibu ndege hiyo ikaanza kuondoka uwanjani hapo na baada ya dakika kadhaa ikaanza kupaa taratibu na kuiacha ardhi ya Tanzania. Baada ya dakika kumi hivi za safari, Magreth akasimama na kuanza kuelekea katuka upande wa abiria walio kaa siti za V.I.P.

“Ahaa samahani dada tukusaidie nini?”

Mmoja wa wafanyakazi alizungumza huku akimtazama Magreth kwa tabasamu pana.

“Ahaa kuna rafiki yangu nina hitaji kuja kumuona hapa”

“Ohoo sawa ingia”

Muhudumu huyo akamruhusu Magreth kuingia kwenye pazi hilo. Magreth akawatazama watu walio kaa kwenye eneo hilo, wote wana onyesha ni watu matajiri na wenye pesa nyingi sana. Akazihesabu siti hizo kwa haraka haraka, ila akashangaa kuona siti ambayo Josephine aliitabiria ita kuwa na huyo muhusika.

“Shitiii”

Magreth alijikuta akilalama, ili kudhibitisha kabisa kwamba siti hiyo haina mtu, akasogea hadi karibu kabisa na siti hiyo.

“Ahaa samahani”

Magreth alimuuliza mwana mama huyo aliye kaa siti ya pembeni huku akiwa amejifunga lemba kubwa na anaonyesha tu ni raia wa Nigeria.

“Bila sahamani”

“Aliye kaa kwenye siti hii yupo wapi?”

“Ohoo toka tulivyo ondoka nchini Tanzania haikuwa na mtu yoyote. Labda ata kuwa ameachwa na ndege”

Jibu hilo likamkata maini Magreth, bado nusu machozi yamwagike.

“Nashukuru”

Magreth alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa unyonge.

“Vipi binti kuna tatizo?”

Mwana mama alizungmza huku akiwa ame igundua hali ya Magreth kwa haraka.

“Ni mwenyeji wetu nchini Nigeria sasa kama ameachwa na ndege, hapa nina hisi kuchanganyikiwa”

Magreth aliongopea kw amaana hakuhitaji kutoa maelezo mengi kwa manaa mama huyo.

“Ohoo pole sana binti. Mumeweka booking kwenye hoteli yoyote?”

“Hapana”

“Ohoo poleni sana. Nitakuwa mwenyeji wenu, mume wangu ni waziri mkuu hivyo nita wapeleka hadi kwangu. Kisha muta pata msaada kwa kila jambo mutakalo hitaji”

“Nashukuru sana mama yangu. Mimi na mwenzangu tupo kwenye siti za kwaida huko nyuma”

“Oho basi kamueleze kwamba nita kuwa mwenyeji wenu. Ila pole sana mwanangu”

“Nashukuru sana mama yangu. Basi nita kuja kuzungumza nawe pale nitapo kubaliana naye”

“Sawa fanya hivyo”

Magreth akarudi kwenye siti yake huku akiwa amechoka kiasi cha kumfanya Josephine naye atambue hali hiyo.

“Vipi umemjua ni nani?”

“Hayupo”

“Una maanisha nini kusema hayupo?”

“Hiyo siti ulio onyeshwa kwenye maono yako, haina mtu na siti ya pembeni yake yupo mwana mama ambaye sio Mtanzania alafu ni mke wa waziri mkuu wa nchi ya Nigeria”

“Magreth acha utani. Mungu wangu hakosei na wala haawahi kukosea kwenye maono anayo nipatia”

“Nenda kaone. Leo tumecheza pata potea”

Josephine akafungua mkanda wa siti yake, akanyanyuka na kuingia upande huo wa pili na kweli siti ambayo alikuwa ame onyeshwa kwenye maino yake haina mtu.

‘Mungu ni kwa nini ume nifanyia hivi?’

Josephine alizungumza huku akitabami kulia. Akarudi kwenye siti yake na kujibwaga mzima mzima.

“Tuna fanyaje sasa Mage”

“Sijui, ngoja tu tufike”

Magreth alijibu kwa ufupi huku akiwa ameinamisha kichwa cheke kwenye siti iliyopo mbele yake.Josephine akafumba macho yake na kuanza kusali huku akimuuliza Mungu ni kwa nini maono yake yame weza kwenda tofauti na alivyo kuwa ame kusudia. Jibu alilo jibiwa Josephine likamfanya mapigo yake ya moyo yaanze kwenda kasi huku mwili mzima ukianza kumtetemeka hadi Magreth akamshangaa.

“Una nini wewe?

Magreth alimuuliza Josephine ila hakuweza kujibu chochote zaidi ya kumwagikwa na machozi usoni mwake.

***

Nabii Sanga mara tu ya kufika nyumbani kwake moja kwa moja akaongoza hadi chumbani kwake. Akafungua shelfu yake ya siri na kuitoa simu ambayo mawasilino yake hayanaswi na chombo chochote cha kunasia mawasiliano cha Tanzaania. Akaingia namba ya mzee huyo ambaye ni mmoja wa watumisha katika kundi lake linalo dili na uuzaji wa madawa ya kulevya duni pamoja na kufanya mauaji kutokana na kiwango cha pesa wanacho lipwa.

“Ni mimi”

Nabii Sanga alizungumza na kumfanya mzee huyo kuweza kuifahamu sauti ya mkuu wake.

“Habari za masiku mkuu?”

“Salama kiasi. Nita ondoka nchini Tanzania saa tisa alasiri. Ila kuna panya wawili wametangulia huko, wote ni wanawake na mmoja wao ana windwa na Boko Haramu. Nipatie muunganiko na kikundi hicho cha Boko Haramu si una muunganiko nao?”

“Ndio tena kiongozi wao ni mtoto wangu mpendwa hivyo nina mchukulia kama mwanangu na nina mahusiano naye mazuri tu. Ngoja nimpigie nikuunganishe naye mkuu wangu, nita kupigia baada ya dakika tano”

“Sawa nina subiria simu nina iacha hewani”

“Hakuna shaka”

Nabii Sanga akashusha pumzi taratibu huku akimtazama mke wake aliye simama pembeni yake akisikiliza mazungumzo hayo kwa umakini sana kwani wame dhamiria kuhakikisha wana muua Josephine na Magreth



Baada ya dakika kdhaa simu mzee huyo akasikika sauti yake.

“Mkuu sasa nime kuunganisha na mkuu wa kundi la BokoHaramu”

“Sawa. Kijana una nisikia?”

“Ndio, nazungumza na nani?”

“Nina itwa nabii Sanga, nipo nchini Tanzania. Nina imani kwamba uta kuwa umewahi kulisikia jina langu”

Nabii Sanga alizungumza kwa kujigamba kidogo kwa maana ana amini kwa kutumia pesa zake ana weza kufanya jambo lolote duniani.

“Nimewahi kulisikia, ila sikuwahi kukufwatilia”

“Sawa nina tambua kwamba muna mtafuta Josephine kwa malipo muliyo lipwa na nchi ya Marekani pamoja na silaha mulizo patiwa na mkataba ambao mume sainiwa wa kuto kufwatiliwa na Marekani”

Maneno ya nabii Sanga yaka mstua sana mkuu huyo wa kundi la Boko Haramu

“Nani ame kuambia?”

“Usiniambie nani ame kuambia. Ila nina mkono mkubwa sana kuliko hata serikali yangu. Kutokana mimi na wewe tuna muhitaji mtu mmoja basi nina double pesa ambayo ulilipwa na Marekani, kuna msichana ambaye ana tembea sana na Josephine. Msichana huyo ana itwa Magreth ni hatari sana anauwezo mkubwa sana wa kupambana na maadui. Yeye ndio aliye sababisha majasusi wako kukamatwa na hivi sasa wapo mikononi mwa serikali”

“Mungu wangu una taka kuniambia Pili na Hawa wame kamatwa?”

“Acha kushangaa kwa maana ume pokea kazi ambayo hukujua ugumu wake. Ninacho kuambia hivi sasa, mabinti hao wame ondoka nchini Tanzania majira ya saa sita mchana. Nina tarajia majira ya saa kumi na mbili jioni wata kuwa amesha fika nchini kwenye. Nina hitaji muweze kuwateka wakiwa uwanja wa ndege. Nina ondoka Tanzania saa tisa alasiri, nikifika huko nina nina hitaji niweze kuwakuta mikononi mwenu”

“Malipo yetu?”

“Nina imani uliye zungumza naye ana niyambua vizuri hivyo malipo sio jambo la kusumbua”

“Sawa tuta fanya hivyo”

Simu ya upande wa kiongozi wa kundi hilo la Boko Haramu ikakatwa.

“Ndio muheshimiwa”

Sauti ya mzee huyo ikasikika”

“Hakikisha hilo jambo lina simamiwa na kutekelezwa haraka iwezekanavyo”

“Sawa muheshimiwa”

Nabii Sanga akakata simu huku akishusha pumzi nyingi.

“Wata muweza kweli Magreth?”

Mrs Sanga aliuliza huku akinyesha kujawa na wasiwasi kidogo.

“Nina imani hiyo”

“Mmmm sawa”

“Sasa tuelekee uwanja wa ndege”

Nabii Sanga na mke wake wakatoka ndani hapo na kuianza safari ya kurudi uwanja wa ndege. Wakaa hadi majira ya saa tisa, nabii Sanga akaingia kwenye ndege na kuiaza safari ya kurudi nyumbani. Mrs Sanga akiwa njiani kurudi nyumbani kwake, simu yake ya mkononi ikaanza kuita. Akakitazama kwa sekunde kadhaa na kukuta ni mkwe wake Jery ndio anaye mpigia. Akapunguza mwendo wa gari kisha akasimamisha gari hilo pembeni na kupokea.

“Shikamoo mama”

Jery alisalimia kwa heshima zote.

“Marahaba mwanangu, habari ya wewe”

“Salama mama. Upo wapi kwa sasa?”

“Nina toka airport, nina rudi nyumbani.”

“Sawa basi mama nina hitaji kuja hapo nyumbani”

“Karibu sana uta nikuta”

“Asante mama”

Mrs Sanga akakata simu hukua kijiuliza maswali mengi ya kwa nini mke wake ana hitaji kuonana na yeye. Maswali mengi yakaangukia katika bikra ya Julieth akiamini hili ndio jambo linalo mleta Jery nyumbani hapo. Mrs Sanga akawahi kufika nyumbani kwake mapema sana, walinzi wa getini wakamfungulia geti na moja kwa moja akaelekea hadi sebleni.

‘Ehee Mungu mambo gani haya’

Mrs Sanga akaanza kupanga vitambaa vya sofa zilizopo hapo sebleni kwa maana toka mfanyakazi wao wa ndani afariki kwenye milipuko ya bomu hawajapata mfanyakazi yoyote na wana ishi yeye na mume wake tu. Hazikupita hata dakika saba akasikia mngurumo wa gari ukisimama eneo la magesho akafungua pazia la dirishani, akamuona Jery akishuka akiwa ameongozana na mlinzi wake mmoja ambaye sio mara ya kwanza kumuona mlinzi huyo.

“Uta nisubiria hapa”

Jery alizungumza huku akielekea ndani. Akakaribishwa kwa furaha na mrs Sanga, akakaa kwenye moja ya sofa kisha mrs Sanga akamletea juisi ya zabibu iliyo nzuri sana.

“Mmmm tamu sana”

Jery alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Nashukuru mwanangu.”

“Mama nime kuja hapa kuomba jambo moja”

“Jambo gani kijana wangu”

“Toka nime muoa mke wangu na nikizungumza naye kuhusiana na jambo la kuzaa mtoto ame kuwa ni mtu mzito katika kufanya maamuzi. Kisingizio chake ni kwamba ana hitaji kupata muda wa kujiandaa. Muda mwengine nina shindwa hata kumuelewa mama. Kama ni pesa tunayo, mali tunazo. Hatuna shida ya kusema kwamba mtoto atakapo zaliwa ata kuwa hana uwezo wa kupata kile anacho kihitaji mama yangu”

Jery alilalama na kumfanya mrs Sanga kukaa kimya kwa sekunde kadhaa.

“Mama hili jambo lina umiza. Mama yangu ame kufa, sina familia nyingine zaidi ya baba. Nina taka kuanzisha mji wangu, ila mke wangu ame kuwa ni mtu wa kunipiga chenga, hadi muda mwengine nina hisi labda hanipendi”

“No no no Jery usisema hivyo”

Mrs Sanga alizungumza huku akinyanyuka na kukaa pembeni ya Jery huku akimtazama usoni mwake, kwani kijana huyo ana onyesha kupitia maumivu ya ndani kwa ndani.

“Jery mwanangu. Natambua wewe na Julieth bado ni wadogo na ndoa yenu bado ni change sana. Peaneni muda wa kusikilizana, na jambo la kuzaa ni swala pia la kumshirikisha Mungu. Pigeni goti chini na mumuombe Mungu awasaidie”

Mrs Sanga alizungumza kwa sautia ya upole sana huku akiwa amevishika viganja vyote vya Jery. Shetani wa matamanio akaanza kumuingia Jery, kwani mikono ya mama yake mkwe huyo ina mfanya asisimke sana kimahaba. Jambo lililo zidi kumchanganya ni kitendo cha mama yake mkwe kumkumbatia ili anyamaze kulia. Maziwa makubwa kiasi na malaini ya mrs Sanga yakamfanya Jery kuzidi kupagawa huku akisikilizia jinsi yanavyo mchoma choma kifuani mwake.

“Usilie mwanangu. Mungu ni mwema ata kusaidia”

Mrs Sanga alziungumza huku akiwa hana hata chembe ya wazo kwamba mkwe wake tayari amemchanganya kimapenzi. Mrs Sanga akamuachia Jery huku akimtazama usoni mwake.

“Mwanangu, ndoa ni jambo la kumshukuru Mungu, musituone sisi wazazi wenu tume dumu kwenye hizi ndoa. Tume pitia mambo mengi sana hadi leo hii tuna fikisha umri kama hii. Jambo moja la kukushauri na kukuomba mwanangu. Hakikisha una muelewa na kumjua mke wako vizuri sana. Ume nielewa baba”

Mrs Sanga aliendelea kuzungumza sauti laini inayo endana na sauti ya Julieth. Kitu kilicho mgutusha mrs Sanga na jinsi Jery anavyo yakadolea maziwa yake aliyo yabana vizuri.

“Ohoo ngoja nikaangalie mboga jikoni kidogo”

Mrs Sanga alizungumza huku akisimama ili kumuepusha shetani huyo. Kitendo cha kutembea tu kikazidi kumpagawisha Jery. Macho yakamtoka, uchu wa ngono ukamvaa kiasi kwamba akatamani kumvamia mama yake mkwe ili aonje kitu kilicho jificha ndani ya nguo yake hiyo. Majalio makubwa ya mrs Sanga yakamfanya atamani kuyashika ila tayari alisha chelewa kwani mwana mama huyo alisha piga hatua zaidi ya tano kuelekea jikoni.

Mrs Sanga akaingia jikoni huku mapigo ya moyo wake yakimuenda kasi sana. Hakuna mboga aliyo ifwata jikoni humo, ila halia liyo muona nayo mkwe wake kwa kweli ina mchanganya.

‘No siwezi kutembea na mume wa mwanangu. Hata Mungu ata nilaani’

Mrs Sanga alijisemea kimoyo moyo huku akijitazama kwenye moja ya kioo cha kabati lililo jikoni hapo.

‘Kwa nini amenitamani kiharaka hivi?’

MrS Sanga alliendelea kujiuliza maswali ambayo hakuweza kupata jibu.

‘Ila Jery ni kijana mzuri’

Ushawishi wa kishetani ukaanza kumvaa mrs Sanga.

‘Ndio ni mzuri ila ni mume wa mwanangu, sinto weza kufanya naye chochote’

Kipindi mrs Sanga akiwa katika hali ya mawazo, gafla akastukia mlango wa jikoni hapo ukifunguliwa. Jery akaingia huku eneo la mbele ya suruali yake likiwa lime tuna na dhairi ina onyesha kwamba jogoo wake tayari amesha panda mtungi.

‘Mungu nipe moyo wa ujasiri’

Mrs Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akiwa ame duwaa tu.

“Jery ume kuja kufanyaje?”

Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama Jery usoni mwake.

“Aha…aha…maj…i ya kuny….wa”

Jery naye alijikuta akibabaika kiasi cha kumfanya mrs Sanga naye kushindwa hata kujibu. Wakatazamana kwa dakika kama mbili huku mrs Sangaa akishuhudia jinsi eneo la zipu ya suruali ya Jery inavyo hema mithili ya mgonjwa anaye karibia kukata roho.

“Sawa nina kuletea baba yangu”

Mrs Sanga alizungumza huku akigeuka na kufungua mlango wa friji kwa kwa bahati mbaya chupa ya soda ya kopo iliyo kuwa imekaa mwanzoni mwanzoni mwa friji hilo ikaanguka chini. Mrs Sanga akainama ili kuiokota, ila Jery tayari alisha fika huku akiwa ameinama na kuwahi.

“Ohoo asante”

Mrs Sanga alizungumza huku akitabasamu kidogo, ila moyoni mwake mapigo yake ya moyo yana muenda kasi.

‘Mama mkwe mbona una niopagawisha hivi?’

Jery alijisemea kimoyo moyo. Mrs Sanga akachukua moja ya glasi na kumimina maji ya baridi kiasi kwenye glasi hiyo na kumpatia Jery.

“Nashukuru mama”

Jery akaanza kunywa maji hayo. Mrs Sanga akajikuta akimkodolea macho Jery jinsi anavyo kunywa maji hayo. Lipsi nene kiasi cha Jery hakika zikamfanya atamani kuzinyonya. Kifua chake kipana na kilicho jengeka vizuri kwa mazoezi kwa kweli, kika mfanya mrs Sanga naye kutawaliwa na pepo hilo la ngono.

“Asante mama”

Jery alizungumza huku akimkabidhi mrs Sanga glasi hiyo.

“Nashukuru”

Viganja vyao vikashikana kipindi wakipeana glasi hiyo. Msisimko mkali ukatawala katikati yao na kujikuta wakitazamana kwa sekunde kadhaa.

‘Mimi ni mwanaume, najua huyu ni mtu mzima hato funguwa kinywa chake’

Jery alijisema kimoyo moyo na kuamua kujilipua kwa mama mkwe wake. Akasogela karibu watoto wa mjini wenyewe wana ita zero degree. Akamnyonya lipsi za mrs Sanga kwa sekunde kadhaa. Kofi zito kutoka kwa mrs Sanga likamfanya Jery astuke sana.

“Una fanya nini wewe kijana ehee?”

Mrs Sanga alijikaza kugomba huku akimkazia macho Jery alijikuta akili zake za kawaida zikirudi kichwani.

“Yaani una nitaka mimi mama yako mkwe eheee?”

Mrs Sanga alifoka huku akimtazama Jery aliye jikuta akishikwa na kigugumizi pamoja na woga mkali kwani hakutarajia kama angeweza kumvunjia heshima mama yake mkwe huyo.

***

“Jose hembu niambie una tatizo gani?”

Magreth alizungumza huku akimkazia macho Josephine anaye endelea kumwagikwa na machozi.

“Nimeona ajali”

Josephine alizungumza kwa suati ya upole.

“Ajali?”

Magreth aliuliza huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi kiasi cha kumfanya atamani Josephine ajibu haraka haraka swali alili muuliza.

“Ndio”

“Ajali ya nini?”

“Ya ndege”

Magreth akahisi kama utumbo wake una jiviringisha kwa pamoja na kujiachia mithili ya mtu aliye vuta manati kwa nguvu zake zote kisha akaiachia.

“Mungu wangu”

Magreth alichachawa huku akihisi kuchanganyikiwa akili yake. Josephine akatazama dirishani na mapigo yake ya moyo yakaanza kumuenda kasi mara baada ya kuona wakianza kuingia kwenye mawingu meusi yatokanayo na mvua. Woga ukazidi kumjaa Josephine mara baada ya kuona miale ya radi ikipiga, kwani kuwenye maono yake alionyeshwa ndege ina pata misuko suko na kuanguka chini na kulipuka, hiyo ni kutokana na mvua kubwa, iliyo ambatana na radi pamoja na upepo mkali sana.

“Mage”

Josephine aliita kwa sautia ya unyonge huku akimwagikwa na machozi.

“Ehee”

“Tusali sala zetu za mwisho tuna kwenda kufa”

Kauli ya Josephine ikazidi kumpagawisha Magreth hadi akatamani kupiga mayowe kwani wote wawili wametawalia na hofu kubwa ya kufa kwa ajali hiyo ya ndege.



Muhudumu mmoja wa ndege akawataza Josephine na Magreth jinsi walivyo jawa na nyuso za majonzi huku Josephine akimwagikwa na machozi, akajikuta akishindwa kuvumilia hali hiyo na kuwasogelea.

“Habari zenu, kuna tatizo?”

Dada huyo aliuliza, huku akiwatazama Magreth na Josephine.

“Mmmm”

Magreth alijikaza kuitika ila hakuweza kujibu alicho ulizwa.

“Kuna tatizo lolote?”

“Ndio”

Josephine alijibu.

“Kuna tatizo gani?”

Muhudumu wa ndege hiyo alizungumza huku akimtazama Josephine usoni mwake.

“Nina omba uweze kuwaambia Marubani wasimamishe ndege katika nchi ya Congo”

“Kwa nini?”

“Nina iona ajali mbaya sana ya hii ndege endapo tu tuta vuka katika nchi ya Congo”

Muhudumu huyo macho yakamtoka kidogo kwa maana hicho anacho kisikia hapo ni kitu cha tofauti kidogo na mambo kama hayo ame weza kuyaona kwenye filamu za kuigiza kama final destination.

“Tafadhali dada yangu, nina kuomba uwaombe marubani wafanye hivyo. Lasivyo watu wote ndani ya hii nfege tuta kufa”

“Ila hatuna ratiba ya kutua nchi yoyote hadi nchini Nigeria”

“Najua dada yangu, ila ninacho kizungumza nina uhakika nacho”

“Una uhakika nacho kivipi?”

“Hizi mvua, radi pamoja na upepepo ndio vitu vitakavyo kwenda kuiangusha hii ndege”

Mwanaume mmoja aliye kaa siti ya mbele ikamlazimu kugeuka nyuma ili kumsikiliza Josephine jinsi anavyo zungumza kwa msisitizo. Sura ya Josephine haikuwa ngeni kwake kwani ana mke wake ana fanya kazi ikulu na alisha wahi kumueleza sifa za Josephine kwamba ni mtu anaye onyeshwa maono ambayo yana timia baada ya mua mfupi au mrefu.

“Tafadhali dada nina kuomba”

Josephine alizungumza huku macho yakimtoka. Hali ya upepo na mvua ikazidi kuongezeka, miale ya radi ika zidi kupiga kwa nguvu.

“Tafadhali”

“Dada hembu naomba umsikilize huyo dada anacho kizungumza huwa akikosei”

Jamaa huyo alizungumza huku akimtazama muhudumu huyo wa ndege.

“Ngoja nikajaribu”

“Naomba twende wote”

Josephine alizungumza huku akifungua mkanda wa siti yake.

“Wewe kaa tu hapa nita ungumza na rubani mkuu”

“Hapana nina kuomba twende wote”

Muhudumu huyo akamtazama Josephine kwa sekunde kadhaa. Akamtazama Magreth ambaye muda wote yupo kimya kisha akamruhusu kwa ishara ya kutingisha kichwa. Josephine akanyanyuka na wakaanza kutembea kuelekea mbele. Wakapita katika chumba cha wafanyakazi ambacho kina siti nne.

“Naomba ukae hapo”

Muhudumu huyo alizungumza huku akimuonyesha Josephine sehemu ya kulala.

“Rebeca samahani”

Muhudumu mwengine alizungumz ahuku akinyanyuka na kumfwata Rebeca mlangoni.

“Huyu ni nani?”

Aliuliza kwa sauti ndogo huku akimtazama Josephine kwa jicho la kuiba.

“Huyu dada ana seme kwamba rubani wasimamishe ndege katika nchi ya Congo kwa maana endapo tuta endelea angani ndege ita pata ajali”

“Na wewe unamuamini”

“Nataka kufikisha haya mawazo kwa rubani mkuu ili kama ikitokea sote tuwe na taarifa ila kama haito tokea basi tujue tu ame tudanganya”

“Acha kuwasumbua marubuni,muambie arudi kwenye siti yake”

Josephine akanyanyuka na kuwafwata wasichana hao.

“Dada mimi sio muongo na wala sio mfalme njozi nina jua ni nini kitakacho kwenda kutokea. Tafadhali nina kuomba mkubalie mwenzako”

“Rudi kwenye siti yako”

Muhudumu huyo ambaye ana onekana ana cheo kuliko mwenzake alizungumza kwa msisitizo.

“Tafadhali nisikilizeni mimi”

Josephine alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Rebeca kutembea hadi kwenye mlango wa chumba cha marubani. Akachukua mkonga wa simu ulipo pembeni ya mlangoni na kuminya batani ya kuwasiliana na marubani ambao wana muona kupitia tv ndogo inayo onyeshesha matukio yote ndani ya ndege hiyo kupitia kamera zilizo fungwa ndani humo.

“Ndio Rebeca vipi?”

“Mkuu kuna huyu dada ana mazungumzo ana hitaji kuyazungumza nanyi”

“Mazungumzo gani?”

Rebeca akashusha pumzi huku akimtazama Josephine na mwenzake ambao wote wana mtazama.

“Ana omba ndege iweze kutua nchini Congo kwa maana ana ana dai, mvua, upepo pamoja na hizi radi zina weza kusababisha ajali”

“Ajali?”

“Ndio”

“Yeye ni nani?”

“Ahaa sijajua mkuu ila niliweza kuwakuta yeye na mwenzake wakiwa wana lia huku nyuso zao zikiwa zime tawaliwa na wasiwasi mwingi sana. Hivyo nikaona ni vyema kuwasilisha jambo hilo kwenu”

“Mpatie simu”

“Dada njoo”

Rebeca alizungumza na Josephine akamsogelea na akachukua mkonga huo wa simu na kuuweka sikioni mwake.

“Binti habari, nina itwa rubani Nobati. Una itwa nani wewe?”

“Mimi nina itwa Josephine ni chief staff katika ikulu ta Tanzania. Nina uwezo wa kuweza kuona maono ya mambno yajayo nililo liona nikiwa ndani ya hii ndege ni juu ya hiyo ajali itakayo sababishwa na upepo mkali utokanao na mvua kali sana. Nina kuomba Rubani Nobati uweze kuitulisha hii ndege katika nchi ya Congo, tukae hapo kwa masaa kadhaa hadi pale hali ya hewa itakapo tengemaa”

Josephine alizungumza kwa sauti ya kujiamini kiasi cha kumfanya rubani Nobati kuanza kumuamini taratibu, kwani hata hali ya hewa inavyo endelea yeye na msaidizi wake wana iona.

“Tuna hitaji kufahamu rekodi zako kutoka white house ya Tanzania. Hivyo tuta wasiliana na white house sasa hivi ikiwa kweli una fanya kazi hapo white house basi tuta fanya jinsi unavyo zungumza”

“Nina shukuru sana”

Msaidi za rubani Nobiti moja kwa moja akawasiliana na ofisi zao zilizopo jijini Dar es Salaama na wakaomba msaada wa kuunganishwa na kitengo cha mawasilino cha ikulu. Haikuwa kazi ngumu kwani ilichukua dakika tano kwa simu hizo kuunganishwa.

“Nina itwa rubani Nobati kutoka shirika la Fly Emirates. Nina abiria mmoja ana itwa Josephine ana sema yeye ni chief staff wa ikulu yenu je muna fahamu juu ya uwepo wake?”

“Ndio tuna fahamu ni chief Staf wa hapa ikulu, kwa nini ume ulizia habari zake?”

“Ame weza kutuomba tuweze kutoa katika kiwanja cha ndege nchini Congo hakidai kwamba hali mbaya ya hewa ina weza kupelekea ndege yetu kupata ajali. Tulihitaji kumjua vizuri kwa maana asije akawa gaidi akatumia njia hiyo na kusababisha tuka tekwa”

“Hapana ni mfanyakazi wetu na kama uta hitaji udhibitisho zaidi nina weza kukuunganisha na raisi mwenyewe uka zungumza naye”

“Lita kuwa ni jambo zuri ukifanya hivyo”

“Basi dakika moja”

Rubani Nobati akasubiria kwa dakika moja na simu yake ika unganishwa.

“Raisi Mtenzi nina zungumza hapa nani mwenzangu?”

“Nina itwa rubani Nobati muheshimiwa. Ninge penda kumfahamu zaidi chief staf wako kwa jina ana itwa Josephine kwa maana kwa sasa tupo hewani tuna elekea nchini Nigeria. Hatukuwa na ratiba yoyote ya kutua katika nchi yoyote zaidi ya kwenda moja kwa moja hadi nchini Nigeria. Ila ameweza kutuomba kuweza kutua ndege yetu nchini Congo akidai kwamba ameweza kuona maono ya sisi kupata ajali. Je muheshimiwa raisi halito kuwa jambo baya kama ukiweza kunipatia detail za uwezo wake huyo binti katika hayo mambo”

“Okay, ita kuwa ni jambo la hekima sana endapo uta fanya kama ulivyo zungumza. Kuna mambo mengi sana huyo msichana ana onyeshwa na Mungu na huwa yana tokea. Ikiwezekana nina kuomba sana tena sana muweze kutua Congo kwani hayo aliyo yazungumza yana weza kutokea”

“Nashukuru muhehimiwa raisi kwa muda wako”

“Asante sana na wewe”

Rubani Nobati akakata simu na kuwasiliana na Rebeca.

“Ndio mkuu”

“Nina kuomba uweze kumuingiza huyo msichana kwenye hichi chumba”

“Sawa”

Rubani Nobati akaminya moja ya batani na mlango wa chumba hicho ukafunguka na Josephine akaingia huku ikiwa ndio mara yake ya kwanza kuweza kuingia katika chumba kama hicho. Rubani Nobati akamgeukia Josephine huku akimtazama usoni mwake.

“Tume weza kudhibitisha kwamba wewe ni mfanyakazi wa ikulu ya nchi ya Tanzania. Hivyo tuta fanya kama hivyo tulivyo kusudia”

“Nina shukuru sana kwa kuniamini”

“Una karibishwa”

Kidogo Josephine uso wake ukatawaliwa na tabasamu la kinyonge kiasi. Radi kubwa ikapiga hadi Josephine pamoja na marubani hao wawili waka stuka sana. Rubani Nobati na msaidizi wake wakatazamana kwani katika kindi chote cha kusafirisha ndege hizo za habiria hawajawahi kukutana na hali mbaya ya hewa kama hivyo, japo ni mchana ila wingo lote lime kuwa jeusi mithili ya kwamba wana safiri usiku.

“Una weza kurudi kwenye siti yako”

“Asante”

Josephine akatoka ndani hapo, akamshukuru Rebeca na kurudi kwenye siti yake.

“Tangazo. Habari ndugu abiria, nina itwa rubani Nobati. Nina watangazia kwamba tuta tua katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Goma nchini DRC. Hii ni kutokana na hali mbaya ya hewa inayo endelea kwa hivi sasa. Hivyo tuna waomba radhi sana abiria wetu kwani tuna jali usalama wenu kwa ujumla. Asanteni na Mungu atusaidie tuweze kufika salama nchini Congo”

Tangazo hilo likaishia hapo na kuwafanya abiria ambao walikuwa bize na mambo yao ya kutazama tv huku wengine kusikiliza msizi, kuanza kuchungulia kwenye vioo. Wapo walio kuwa na ujasiri wa kuendelea kutazama hali ya hewa jinsi inavyo endelea na wapo ambao walishindwa kabisa na kujikuta wakiyafunga madirisha yao ili wasione chochote kinacho endelea nje. Rubani Nobati akawasiliana na uwanja wa ndege wa Goma nchini Congo na kuomba ruhusa ya kutua kwa dharura katika kiwanja hichi.

“Ume ruhusiwa una weza kutua”

Aliweza kupewa majibu hayo na mmoja wa waongoza ndege katika kiwanja hicho, mara baada ya kikao kifupi cha viongozi wa uwanja huo kujadiliana.

“Nina shukuru”

Rubani Nobati ambaye ana asili ya Kimarekani mweusi. Akamshukuru Mungu kwa kukubaliwa, huku akilini mwake akiendelea kufikiria jinsi ambavyo Josephine ame kuwa ni mtu wa kujiamini sana.

“Vipi tutatua salama?”

Magreth aliuliza huku akiwa bado hana amani kabisa moyoni mwake. Josephine akamjibu kwa kutingisha kichwa tu kwani yupo kwenye maombi mazito kuhakikisha ana muomba Mungu ana mfanikisha jambo hilo likae salama.

“Abiria wetu tuna waomba muweze kufunga mikanda ya siti zenu kwa maana ndege yetu ipo karibuni kutua katika kiwanja cha kimataifa cha Goma nchini Congo. Asanteni sana”

Sauti ya Rebeca ilisikika na kuwafanya, abiria kuanza kufunga mikanda ya siti zao. Hazikupita dakika kumi na tano ndege hiyo ikaanza kutua taratibu kwenye uwanja huo. Japo mvua ni kubwa sana na ina zidi kunyesha ila rubani Nobati na kijana wake wakasaidiana kadri wawezavyo kuifanya ndege hiyo kutua salama. Taratibu ndege hiyo ikaanza kupunguza mwendo mara baada ya kutua kwa mwendo wa kasi sana. Wakaongozwa na kuonyeshwa eneo ambalo ndege hiyo ita simama kwa muda kabla ya kuendelea na safari zake.

Josephine akashusha pumzi nyingi sana mara baada ya ndege hiyo kutulia. Akachungulia dirishani na kuona baadhi ya ndege kubwa zikiwa zime simama.

“Abiria wetu tuna mshukuru Mungu tume weza kutua salama kwenye kiwanja hichi. Hivyo tuta kaa hapa hadi pale tutakapo watangazia juu ya hali ya hewa inavyo endelea. Asanteni”

Rebeca alizungumza kwenye kipaza sauti hicho na hapakuwa na abiria mwenye maswali kwani hali ya hewa ya nje ana iona vizuri.

***

Mtikisiko wa galfa wa ndege aliyo panda nabii Sanga uka mfanya astuke kutoka usingizi, akavua head phone zake alizo kuwa amezivaa masikioni mwake huku akisikiliza baadhi ya nyimbo za dini. Kila abiria alistushwa namtikisiko huo kiasi cha kuwafanya waanze kuchungulia chungulia mbele ili waweze kujua ni kitu gani kinacho endelea.

“Kuna nini?”

Nabii Sanga alimuuliza abiria mwezake aliye kaa pembeni yake.

“Hata sifahamu nime sikia tu mtikisiko ila sifahamu ni nini?”

“Mmmm”

Mtikisiko huo uka jirudia tena na kuwafanya abiri waoga kupiga mayowe.

“Abiria tuna waomba mufunge mikanda ya siti zenu kwani hali ya hewa sio nzuri kwa sasa”

Sauti ilisikika na kumfanya nabii Sanga kufunga mkanda wake wa siti kwa haraka. Akafungua kipazia cha dirisha hilo la ndege na kuchungulia nje. Wingu zito jeusi, lililo ambatana na radi kali pamoja na mvua likamfanya ashikwe na wasiwasi kidogo.

“Mkuu injini ya kushoto ime zima”

Rubani msaidizi wa ndege hiyo ya shirika la Fly Emirates alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi mkubwa sana. Rubani mkuu akatazama kwenye mashine yake ndogo iliyopo pembeni ili kujua ni kwa nini injini hiyo ime feli ila akakosa jibu.

“Mungu wangu”

Rubani mkuu alihamaki na kumfanya msaidizi wake kumtazama kwa macho ya masikitiko.

“Nini mkuu?”

“Tuna kwenda kuanguka”

Rubani mkuu alizungumza kwa sauti ya unyonge kwani injini hiyo imemenza kuwaka moto huku mafuta yakimwagika sana. Injini ya upande wa kulia nayo ikaanza kuishiwa na nguvu na uwezo na baada ya dakika tatu nayo ikazima kabisa, taa zote ndani ya ndege zikazima na kubaki taa ndogo ndogo ambazo hazitumii umeme mkubwa wa ndege hiyo. Vifaa vyote katika chumba hicho cha marubani vikazima na galfa ndege hiyo ikaanza kuyumba huku ikianza kwenda chini na kuwafanya abiria kuanza kupiga makelele huku kila mmoja akianza kusali sala yake ya mwisho hadi nabii Sanga hofu ya kufa sasa ikamtawala na akaamini safari ya kurudi kwa Mungu muumba mbingu na ardhi sasa imewadia.



Rubani mkuu bwana Smith hakuhitaji kukubali matokeo ya kwamba ndege hiyo ina kwenda kuanguka, kiharaka namba hiyo. Kwa kutumia ujuzi wake wa miaka thelathini katika uendeshaji wa ndege kubwa kama hizo za abiria, akaanza kumuelekeza msaidizi wake ni cha kufanya ili kuhakikisha wana urudisha mfumo mzima wa ndege hiyo. Rubani Smith akaendelea kupambana na mskani huo wa ndege kuhakikisha haiyumbi sana na kuanguka vibaya.

‘Ehee Mungu nisaidie’

Rubani Smith alizungumza kimoyo moyo huku jasho likimchuruzika usoni mwake. Hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama una shuhudia jinsi kifo chako kinavyo kwenda kuwa. Hata uwe jasiri namna gani ni lazima uta jikuta ukimkumbuka Mungu wako. Ndege ikazidi kwenda chini tena kwa mwendo wa kasi sana kiasi cha kuzidi kumugopesha rubani Smith. Kila alicho muelekeza kijana wake hakika kiligonga mwamba na kilicho salia hapo ni kumuomba Mungu afanye japo muujuzi kuhakikisha kwamba ndege hiyo haianguki vibaya na kusababisha maafa makubwa.

***

“Ona kule ona”

Mmoja wa mvuvi aliye katika mtumbwi mdogo katika ziwa la Tanganyika upande wa nchi ya Congo, alimuonyesha mwenzake jinsi ndege kubwa iliyo angani jinsi inavyo yumba yumba. Japo hali ya ziwa hilo imechafuka kisawa sawa kutokana na mvua hiyo kubwa, ila waliweza kuiona vizuri ndege hiyo ikishuka chini.

“Ina anguka eheee?”

Mwenzake alimuuliza huku akiwa amejishikilia vizuri kwenye mtumbwi huo una yumbishwa huku na kule kutokana na mvua kali iliyoa mbatana na radi pamoja na upepe.

“Ehee”

Alijibu huku akijipapasa kwenye mifuko ya pensi yake. Akatoa simu yake aina ya Tecno K9, aliyo ifunga kwenye kifuko cha nailoni ili isilowane na maji. Akaanza kurekodi jinsi ndege hiyo kubwa yenye maandishi makubwa ubavuni mwake, Fly Emirates.

“Hiyo, hiyo, hiyooooooo”

Mvuvi huyo anaye rekodi video hiyo alizungumza huku wakishuhudia jinsi ndege hiyo inavyo tambaa kwenye maji kwa kasi ya ajabu hadi ikatulia taratibu na kuanza kuelea elea juu ya maji.

“Twende kule”

Kijana huyo anaye rekodi video hiyo alimshauri mwenzake.

“Weee una ona hii hali una taka na sisi tufe”

“Hapana”

“Tupia hiyo video kwenye mtandao. Andika ndege ime anguka ziwa Tanganyika upande wa Kalemie”

Kijana huyo alimshauri rafiki yake ambaye hakutaka kupoteza muda akaiweka video hiyo kwenye mtandao wake wa kijamii, japo mawasiliano hayakuwa mazuri, ila baada ya dakika kadhaa, video hiyo ikawa katika mtandao wa Facebook.

Ule usemi wa dunia kuwa kijiji kutokana na mitandao ya kijamii, ndio ukazidi kudhihirisha kwani ndani ya mudamchache tu, video hiyo ikaanza kusambaa hadi kwenye vyombo vikubwa vya habari ikiwemo BBC, CNN, SKY NEWS na AlJAZIRA.

Vikosi vya uokoaji vya jeshi la nchini Congo, vikafika eneo hilo la ajali ndani ya dakika kumi na tano. Boti hizo zilizo jaa wanajeshi wenye maboya ya uokoaji, vikaizingira ndege hiyo huku wakijaribu kutafuta ustarabu wa namna ya kuwaikoa watu wote ndani ya ndege hiyo pasipo kuzama.

Rubani Smith akafunga mkanda wa siti yake huku akiwa haamini kama kweli ndege hiyo ime anguka kama vile alivyo kuwa ana muomba Mungu. Akachukua kipaza sauti na kukishika mkononi mwake huku akimtazama kijana wake msaidizi.

“Upo salama?”

Msaidizi wake akashindwa hata kumjibu zaidi ya kushikwa na bumbuwazi ambalo hata yeye haamini kama wamepona.

“Ndugu abiria, rubani Smith hapa nina zungumza”

Akatulia kwa sekunde kadhaa kisha akaendelea kuzungumza.

“Tuna mshukuru Mungu ndege ime weza kutua baharini na tayari waokoaji wameweza kufika. Ninacho waomba ndugu zangu muweze kutulia kwenye siti zenu kusubiria zoezi la uokoaji likiendelea. Asanteni”

Rubani Smith mara baada ya kuzungumz hivyo akafungua mlango wa chumba hicho na akatoka nje, watu wa kwanza kukutana nao ni wahudumu wake wan ne wa ndege hiyo.

“Mupo salama?”

Aliwauliza huku akiwatazama jinsi walivyo jawa na wasiwasi.

“Ndio rubani”

Mmoja wao alizungumza.

“Sasa jambo la kufanya kwa sasa, ni kuhakikisha tuna wasimamia abiria wote wana toka ndani ya hii ndege. Tume elewana?”

“Ndio mkuu”

“Haya Mungu ametupa nafasi nyingine ya kuishi hivyo ina tupasa tuchangamke kabla hii ndege kuzama. Stella uta simamia mlango namba moja, Witness uta simamia mlango namba mbili. Mlango namba tatu usifunguliwe kwa maana ndege ime anza kutitia eneo la nyuma. Tume elewana”

“Ndio mkuu”

“Hata tutawanyike”

Wafanyakazi hao wakasimama na kuanza kufanya kazi ya kuifungua milango hiyo. Jambo la kumshukuru Mungu, mlango namba moja na namba mbili ipo juu kiasi kwmaba bado haijafikiwa na maji, ila mlango wa nyuma kabisa wa ndege hiyo umesha anza kuzama kwenye maji. Wafanyakazi hao wa kike ambao ni warembo sana, wakaminya batani maalumu na maftuza maalumu yaliyopo katika milango hiyo ya ndege ikajaa upepo na kutengeneza kama daraja ambalo abiria wana weza kuburuzika kuelekea kwenye boti za waokoaji.

“Kweli siku yangu ya kufa haijafika”

Nabii Sanga alizungumza huku meno yake yote thelathini na mbili yakiwa wazi. Akasimama kwenye siti yake, akabeba begi lake la mgongoni ambalo amewekea nguo. Pesa pamoja na hati za kusafiria. Akalivaa na kupanga foleni ya kutoka kwenye ndege hiyo. Akatoka kwenye mlango namba mbili huku akiburuzika na kupokelewa na wanajeshi walipo katika boti, ambapo ikisha jaa basi wana ingizwa kwenye meli kubwa ya jeshi iliyo fika dakika kadhaa lizizo pita ili kusaidia uokoaji huo.

***

“Muheshimiwa raisi ona”

Mzee Mbogo alizungumza huku akiwasha tv iliyomo ndani ya ofisi hiyo ya raisi Mtenzi. Raisi Mtenzi akajikuta akisimama huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi mara baada ya kuona habari ya ndege ya shirika la Fly Emirates jinsi inavyo anguka katika ziwa Tanganyika.

“Hii….hi….ii…i ndio aliyo panda Josephine na Magreth?”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa kigugumizi kizito sana.

“Sijajua mkuu”

“Ohoo Mungu wangu wasiaide. Una jua nilizungumza na rubani wa ndege akisema Josephine alimuambia waweze kutua chini Congo. Kama wajamsikiliza mambo yamekuwa kama hayo”

“Duuu sasa muheshimiwa ime kuwaje?”

“Hembu kwanza wasiliana na hili shirika la Fly Emirates”

“Sawa”

Mzee Mbogo akapiga simu katika ofisi za shirika hilo zilizopo Dar es Salaam. Simu za ofisi hiyo kwa kweli kwa muda huo zipo bize sana kwani kila mtu aliye shuhudia ajali hiyo yupo bize kuhakikisha kwamba ana pata taarifa kuhusiana na ndugu, jamaa au rafiki kama yupo hai au ame kufa kwenye ajali hiyo.

“Simu zao zipo bize sana”

Mzee Mbogo alizungumza huku akiminya minya simu yake ya mkononi.

“Wapigie tena, au fanya hivi mpigie afisa mawasiliano wa hapa ikulu. Yeye atuunganishe na hao jamaa”

“Sawa mkuu”

Mzee Mbogo akafwata maelekezo hayo na baada ya muda wakaunganishwa na meneja wa shirika hilo hapa Tanzania.

“Raisi Metenzi hapa nina zungumza”

Raisi Mtenzi alizungumza huku simu yake ya mezani akiwa ame iweka loud speaker.

“Shikamoo muheshimiwa raisi”

“Marahaba, nina taka kuja hii ndege iliyo anguka ni ya saa ngapi?”

“Hii ni ndege iliyo ondoka hapa Tanzania alasiri hii”

“Ile ya mchana saa sita ipo wapi?”

“Ime tuka kiwanja cha Goma nchini Congo mkuu”

Raisi Mtenzi akashusha pumzi nyingi sana huku akimtazama mzee Mbogo usoni mwake, ambaye naye pia akashusha pumzi kwa maana wana uhakika kwamba Josephine na Magreth wapo salama.

“Ahaa na ndege hii ilikuwa na watu wangapi?”

“Mia mbili hamsini mkuu”

“Watanzania je?”

“Wapo wengi sana”

“Hembu nitumie chat ya wasafiri wote walipo kwenye hiyo ndege. Alafu hakikisha kwamba una nipatia taarifa ya kila linalo endelea. Tumeelewana?”

“Ndio muheshimiwa raisi na nina shukuru sana kuzungumza na wewe”

Meneja huyo alijinyenyekeza kw amaana na jua madhara ya ajali hizo zinapo tokea kwenye baadhi ya mataifakwani yana vunja uaminifu wa nchi katika mashirika ya ndege na nchi nyinine zina fikia hatua hadi kufungia mashirika hayo yasiweze kuingiza ndege zao katika nchi zao.

Hazikupita dakika tano sekretari wa raisi Mtenzi akaingia huku mkononi mwake akiwa amehsika faili.

“Muheshimiwa listi ya watu walipo kwenye ndege hiyo hii hapa tume tumiwa na meneja wa shirika hilo”

“Nashukuru”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akilipokea faili hilo. Akalifungua na kutazama majina hayo ya watu mia mbili hamsini walio orodheshwa hapo. Akafungua karatasi nyingine na kukuta mfumo mzima wa siti na majina ya abiria walivyo kuwa wame kaa kwenye siti hizo. Moyo wa raisi Mtenzi ukastuka mara baada ya kuona jina la Anord Sanga.

“Njoo uone”

Raisi Mtenzi alizungumza na mzee Mbogo akamsogelea raisi Mtenzi pembeni na raisi Mtenzi akagusa jina hilo la nabii Sanga.

“Mungu wangu. Huyu si mkwe mwenzako?”

Mzee Mbogo aliuliza kwa sauti ya chini sana iliyo jaa wasiwasi kiasi.

“Ndio yaani sijui hata yupo salama ama amekufa kwa kweli na sijui msichana wake atajisikiaje?”

“Muheshimiwa kwa nini usimpigie binti yake alafu uka dhibitisha kwamba kama ni kweli ni baba yake ame safiri au laa?”

“Asubuhi ya leo aliniaga ana kwenda airport kwamba ana muaga baba yake. Sasa sijui alikuwa ana ondoka na ndege hii ya saa tisa au ile walio ondoka nayo kina Josephine”

“Duuu, muheshimiwa una onaje ukampigia mume wake, tukaanza kumueleza juu ya hilo kwanza, ili kitokea la kutokea kwa mke wake iwe rahisi mume kumbembeleza”

“Wazo zuri ndugu yangu”

Raisi Mtenzi akatoa simu yake mfukoni, akaitafuta namba ya Jery na akampigia.

***

Mlio wa simu ya Jery ukamfanya mrs Sanga kumtazama kwa macho ya ukali kidogo. Taratibu Jery akaitoa simu yake mfukoni, akastuka kidogo mara baada ya kukuta ni baba yake ndio anaye mpigia. Akamazama mama yake mkwe huku uso ukiwa ume jawa na aibu nyingi sana. Akaipokea simu hiyo huku akitoka jikoni hapo.

“Ndio baba”

“Upo wapi?”

“Ahaa…nipo kwa mama mkwe?”

“Ohoo afadhali, upo naye karibu hapo?”

“Hapana vipi mbona una zungumza kama kuna tatizo”

“Sikia ni hivi, ndege aliyo kuwa ana ondoka nayo baab yako mkwe ime pata ajali na kuanguka katika ziwa Tanganyika jioni hii”

“Ohoo Mungu wangu!!”

Jery alihamaki sana huku mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi. Mrs Sanga akatoka jikoni hapo na kumkuta Jery akiwa ameshika kiuno mkono mmoja huku mkono mwangine wa kulia ukiwa ume ipashika simu sikioni.

“Hakikisha sana kwamba huyo mwana mama hatambui hili jambo na hapati mstuko mkubwa ume nielewa?”

“So kuna aliye pona?”

“Zoezi la uokoaji lina endelea sasa hivi. Hivyo nina kuomba sana uweze kuwa makini naye. Hapa nita zungumza na Julieth.”

“Sawa baba”

“Hakikisha una mchengesha huyo mwana mama hadi nina kupatia habari kamili kama yupo hai au ame kufa”

“Sawa baba”

Jery akakata simu huku akimtazama mrs Sanga anaye kaa kwenye moja ya sofa hapo sebleni kisha akashika rimoti kwa ajili ya kuwasha tv. Jery akatambua fika kwamba akifanya hivyo ni lazima ata kutana na habari hiyo. Akatembea kwa haraka na kumpokonya mrs Jery rimoti hiyo ya tv.

“Wewe una wendawazimu?”

Mrs Sanga aliuliza kwa hasira kidogo.

“Hapana”

“Ila?”

“Nina hitaji kuzungumza na wewe”

Jery alizungumza kw akujiamini sana hadi mrs Sanga akabaki akiwa ame mtumbulia macho. Jery akapiga magoti mbele yake huku akimkazia macho mrs Sanga.

“Mama, natambua nimekukosea adabu, nime fanya jambo lisilo la heshima nina kuomba sana unisamehe na usimuambie Julieth mke wangu kwa maana nita kwenda kumpoteza”

Jery aliigiza huzuni ila ukweli ni kwamba msamaha huo hautoki moyoni mwake kabisa.

“Nilisha kusamehe. Nipe rimoti nitazame tv mimi”

“Hapana mama nina hitaji tukakae kwenye bustani tuzungumze zaidi”

“Hapa sebleni kuna tosha”

“Mama nina kuomba sana mama yangu”

“Wewe mtoto ume tumwa au?”

“Hapana sija tumwa ila nina kuomba sana mama yangu. Kuna mambo mengi nahitaji kuongea na wewe”

Mrs Jery akamtazama Jery, kabla hajazungumza chochote akasikia simu yake iliyopo gorofani ikianza kuita.

“Simu yangu ina ita. Naenda kuipokea”

“Hapana mama”

Jery alizungumza huku akimzuia mrs Sanga asinyanyuke na kwa bahati mbaya amkono wake ukatua kifuani mwa mrs Sanga na kiganja chake kikayashika maziwa malaini ya mrs Sanga na kumfanya atulie kwa sekunde kadhaa huku akisikilizia mguso huo wa Jery.

***

“Yesu wangu”

Rubani Nobat aliduwaa mara baada ya kutumiwa video kwenye simu yake inayo onyesha jinsi ndege kama hiyo ya shirika hilo inayo endeshwa na rafiki yake rubani Smith jinsi inavyo anguka katika ziwa Tanganyika.

“Kuna nini mkuu?”

“Wezetu wameanguka na ndege”

“Mungu wangu hembu nione”

Rubani Nobati akampatia msaidizi simu hiyo, akaanza kushuudia jinsi ndege ya shirika hilo inavyo anguka kwenye maji. Wakatazamana huku akiyakumbuka maneno ya Josephine aliye waeleza kwamba endapo wataendelea na safari wataanguka. Hofu kidogo ikawatawala kwani hakuna aliye tarajia kama hilo jambo litatokea tena kwenye ndege ya shirika hilo. Rubani Nobati akafungua mkanda wa siti yake, akasimama na kumuomba kijana wake simu hiyo. Akatoka ndani hapo na kuanza kutembea kwenye kordo huku akiangaza siti aliyo kaa Josephine.

“Rebeca yule msichana yupo wapi?”

“Sizi za katikati pale”

Rubani Nobati akatembea kwa mwendo wa haraka na kufanikiwa kumuona Josephine akiwa amekaa upande wa dirishani.

“Samahani Josephine. Hichi ndio kitu ambacho Mungu amekuonyesha?”

Rubani Nobati alizungumza huku akimkabidhi Josephine simu hiyo, akaanza kutazama video hiyo kwa pamoja na Magreth. Wote wakajikuta wakishangaa kisha wakamtazama rubani Nobati.

“Ndio ilikuwa itupate sisi, ila ime wapata wezenu na jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba ime tua kwenye ziwa ila ilipaswa ilipuke na asipone hata mtu mmoja”

Kauli hiyo ya Josephine ikawafanya abiria wengine kumtazama na wasijue ni nini kinacho endelea. Rubani Nobati akabaki mdomo wazi huku akimtazama Josephine kwani alicho kizungumza ana kimaanisha kweli.

“Wewe ni nani kwani?”

Rubani Nobati aliuliza kwa sauti ya unyonge ila yenye msisitizo ndani yake huku macho yake akimkodolea Josephine ambaye kwake ana muona ni kama mtu wa tofauti kabisa kwenye maisha yake kwani watu kama Josephine alisha wahi kuwasoma kwenye biblia na wengine kuwaona kwenye filamu na si kukutana nao uso kwa uso kama ilivyo kwa Josephine.



Josephine akashusha pumzi nyingi huku akiwatazama baadhi ya abiria ambao wame simama ili kumuangalia.

“Mimi ni mtumishi wa Mungu. Hivyo tu”

Josephine alizungumza kwa upole huku akimtazama rubani Nobati.

“Kwa hiyo una weza kuona mambo yajayo?”

Rubani Notabi aliendelea kuhoji.

“Ndio”

“Duu tuna shukuru sana tena sana”

“Hata wewe nina shukuru kwa kuweza kunisikiliza”

Abiria karibia wote wakawa wana tamani kuzungumza na Josephine. Wengine walishindwa kuvvumilia na kujikuta wakiomba waweze kupiga naye picha.

***

Msisimko alio upate mrs Sanga hakika haukuwa wa kawaida hata kidogo. Amesha wahi kushikwa na wanaume wengi ila kwa Jery kuna kitu kikubwa cha tofauti kiasi kwamba hadi akatamani Jery kumgusa tena.

“Ahaa samahani mama”

Jery alizungumza huku akikaa kwenye sofa.

‘Liwalo na liwe, si ametaka mwenyewe’

Mrs Jery alizungumza kimoyo moyo huku akimtazama Jery usoni mwake. Akamshika paja lake na kuanza kuupelekea mkono wake katika jogoo wa Jery. Ukimya wa Jery ulidhihirisha kwamba yupo tayari kwa jambo hilo. Mrs Jery akamshika taratibu jogoo wa Jery ambaye tayari ame simama kisawa sawa. Mlio wa simu ya Jery ukawastua wote wawili. Jery akaiingiza mkono wake mfukoni na kustuka mara baada ya kuona jina la mke wake.

“Ni mke wangu”

“Mpokelee”

Mrs Jery alizungumza kwa sauti ya tabu kidogo kwa maana kama ni mapepo yake ya ngono tayari yalisha mpanda.

“Yes baby”

“Nasikia upo kwa mama?”

“Ndio”

“Upon aye hapo”

Julieth alizungumza kwa msisitizo.

“Ndio mke wangu”

“Mpatie simu yake”

Jery akamtazama mrs Sanga na kushindwa kufahamu ni kitu gani Julieth ana taka kumuambia mama yake.

“Ana taka kuzungumza na wewe”

Jery alizungumza huku akimpatia mrs Sanga simu hiyo. Taratibu Mrs Sanga akaiweka simu sikoni mwake.

“Haloo”

“Mama mbona hupokei simu. Umeaicha wapi?”

“Ipo chumbani gorofani. Nipo na wageni”

“Hembu washa tv. Ndege waliyo panda baba ime anguka”

Habari hiyo ikawa kama ime mpiga shoti mrs Sanga. Hamu yote ya ngono ika muondoka, akatazama juu ya meza na kuiona rimoti ya tv. Akaichukua kwa haraka na kuiwasha tv hiyo, Jery macho yakamtoka kwa maana baba yake aliweza kumuambia amzuie mrs Sanga asiweze kuitazama habari hiyo ila amejikuta akishindwa.

“Ohoo Mungu wangu”

Mrs Sanga alizungumza huku akikaa kwenye sofa, nguvu za miguu yake zika muishia kiasi cha kumfanya hata simu aliyo ishika imdondoke. Jery kwa haraka akaiokota simu hiyo na kuiweka sikioni mwake.

“Mama”

“Ni mimi, mama kidogo habari ime mstusha”

“Mungu wangu, ila muambie kwamba hakuna abiria aliye kufa, abiria wote wapo salama”

Jery akaweka loud speaker ili mama mke wake aweze kusikia anacho kizungumza mwanaye.

“Una uhakika July?”

Mrs Sanga aliuliza kwa msisitizo.

“Ndio mama”

“Ohoo asante Mungu, ume jaribu kumpigia?”

“Ndio ila sija weza kumpata kwa maana wamesha ingia nchini Congo hivyo hatuwezi kuwapata, labda ana weza kututafuta, akipata nafasi”

“Ohoo Mungu ni mwema”

“Amen mama. Naomba nizungumze na mume wnagu”

Jery akatoa loud speaker na kuiweka simu yake sikioni.

“Ndio baby”

“Nina kuomba ukae hapo na mama hadi atakapo kuwa sawa.”

“Hakuna shida mke wangu, vipi una kuja?”

“Baadae sana ndio nita kuja kwa maana nina hitaji kupata habari kamili kuhusiana na wali walipo baba, si una jua hapa ndio kila kitu”

“Ni kweli, basi ukianza kuja nistue”

“Sawa”

Jery akakata simu huku akimtazama mrs Sanga jinsi macho alivyo yatoa kwenye tv.

“Mama nina kuja”

“Una niacha peke yangu?”

Mrs Sanga aliuliza kwa kuhamaki sana.

“Hapana nina zungumza na mlinzi wangu hapa nje kuna maelezo nina mpatia”

“Sawa”

Jery akasimama na akatoka nje. Akamkuta Devi akiwa ame simama nje ya gari hilo huku akimtazama.

“Aisee umes ikia habari ya kuanguka kwa ndege ya Fly Emirates?”

Jery alimuuliza Devi.

“Ndio nime toka kupokea simu kwa rafiki yangu, emeniambia ime anguka zika Tanganyika kwa upande wa Congo, ila watu wame salimika”

“Aisse mmoja wa abiri wa ndege hiyo ni baba yangu mkwe”

“Weee!!”

“Hapo mama mkwe ame kuwa kama ame size fulani. Sasa sikia, kama una mizunguko wewe nenda, alafu nita kupigia simu uje kunichukua, au nita ondoka na wife kwa maana ame ahidi ata kuja hapa”

“Sawa kaka ila poleni iasee”

“Tumesha poa. Ndio mabalaa yenyewe”

“Ila ni jambo la kumshukuru Mungu wote wame pona”

“Ni kweli”

“Poa basi tuta wasiliana”

“Hakuna shaka”

Devi akaingia kwenye gari na kuondoka nyumbani hapo na wakabaki walinzi wa getini peke. Jery akarudi ndani na kumkumkuta mrs Sanga akiwa ameshika simu yake mkononi.

“Vipi?”

Jery auliuliza huku akikaa kwenye sofa.

“Nina jaribu kumpigia baba yenu ila nina ona hapatikani hewani.

“Endelea kumtafuta tafuta una weza kumpata”

“Ni kweli”

Mrs Sanga akaendelea kuipiga namba za mume wake ila hapakuwa na simu hata moja ambayo ina patikahan hewani.

***

Abiria wote walio nurusika kwenye ajali ya ndege ya fly Emirates wakapelekwa moja kwa moja katika kiwanja cha ndege cha Goma kwa msaada wa helicopter kubwa za kijeshi zipatazo sita. Nabii Sanga naye ni miongoni mwa abiria hao. Muda wote alijihisi kuchemka kwa hasira kwa maana ana amini kipotea kwa masaa hayo kuta mfanya apoteze uwezo wa kushuhulika na mipango yake. Mpango wa kumshukuru Mungu kwake haukuwa wa maana kwa muda huo, akilini mwake, alianza kuiona sura ya Josephine jinsi anavyo weza kuepuka katika kukamatwa huko.

“Ita chukua muda gani kwa sisi kusubiria ndege nyingine ya shirika lenu?”

Nabii Sanga alimuuliza mmoja wa wafanyakazi wa shirika la fly Emirates mara baada ya kuingia kwenye mabasi yaliyo wapokea kutoka kwenye helicopter hizo.

“Nisiwe muongo mzee wangu. Tuta wajulisha mara baada ya kupata taratibu zote kutoka kwenye shirika letu. Isitoshe bado mvua ni kubwa kama unavyo ona hivyo ni ngumu kwa ndege kupaa au kutua.”

“Nashukuru”

Nabii Sanga alijibu kwa kifupi huku akitazama ndege nyingine ya shirika la Fly Emirates ambayo imesimamishwa mbali kiasi kutoka walipo wao. Wakafikishwa katika ukumbi maalumu wa kupumzikia, wakaanza kuhudumiwa vinywaji laini kama kahawa na chai, huku wakiahidiawa kwamba safari zita endelea muda si mrefu.

“Naweza kupata simu?”

Nabii Sanga alimuuliza mmoja wa askari walio katika ukumbi huo.

“Una hitaji kuwasiliana na mtu wa hapa hapa Congo?”

“Hapana, nje ya Congo”

“Simu yangu haina uwezo huo”

“Una weza kunitafutia?”

“Ngoja niangalie ustarabu”

Nabii Sanga aliendelea kuzunguka huku na kule ili mradi aweze kupata japo fufunu za kukamatwa kwa Josephine pamoja Magreth.

‘Hawa washenzi hawawezi kuondoka nchini Nigeria salama. Nilazima niwaue’

Nabii Sanga aliendelea kuhaha.

“Mtumishi shikamoo”

Sauti laini ya mtoto wa kike, ika mstua sana nabii Sanga na kujikuta akigeuka nyuma na kukutana na binti mmoja mrefu wa futi tano pointi tisha. Ngozi yake ni maji ya kunde huku kifuani mwake akiwa na chuchu zilizo jazia, nabii Sanga akaendelea kutathimini ombo la msichana huyo hadi eneo la kiunoni mwake na kukutana na hipsi zilizo jazia, akatamani kugeuka na kutazama nyuma yake ili aweze kuona makalio ya msichana huyo ila akajizuia.

“Salama binti habari ya wewe”

“Mungu ni mwema. Leo kwa kweli nime ona miujiza ya Mungu.”

“Mungu siku zote huwa pamoja na waja wake.”

“Ni kweli nabii. Mimi nina itwa Caro ni miongoni mwa waumini wako pale kanisani kwako. Nina fanya biashara zangu kutoa nchini Nigeria, Afrika kusuni na kuleta nchini Tanzania.”

“Sawa sawa”

“Nina imani uwepo wako ndani ya ndege ile hakika Mungu ameweza kutusaidia hadi sasa hivi tuna zungumza”

“Halleluya”

Nabii Sanga alizungumza huku akijawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Ahaa na wewe nabii una kwenda nchini Nigeria?”

“Ndio binti yangu, nina kwenda kuonana na watumishi wezangu”

“Ohoo Mungu ni mwema. Una fikizia hoteli gani?”

Caro aliuliza huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.

“Nitafikia Ikeja hotel”

“Woo hata mimi nita fikizia hoteli hiyo hiyo.”

“Basi uta kuwa ni mwenyeji wangu”

“Hahaaa usijali mtumishi wa Mungu”

Ndani ya muda mchache nabii Sanga na Caro wakajikuta wakizoeana na kupiga stori nyingi sana kana kwamba ni watu ambao walisha kaa kwa kipindi kirefu hapo nyuma.

***

Wakaa uwanjani hapo kwa masaa sita hadi pale hali ya hewa ilipo tengemaa, wakaendelea na safari. Magreth akaelekea kwa mwana mama ambate alizungumza naye kwa mara ya kwanza.

“Binti nime weza kuwasiliana na mume wangu, hiyo ata tupokea uwanja wa ndege pamoja na vijana wake.”

“Sawa nina shukuru sana kwa hilo”

“Usijali”

Magreth akarudi kwenye siti yake na kumueleza Josephine juu ya mapokezi hayo kwa maana kama ni mtu ambaye walikuwa wame panga kumfahamu katika ndege hiyo ime shindikana. Majira ya saa saba usiku ndege ikatua katika kiwanja cha Murtal Muhammed Airport, Lagos Nigeria. Vijana wa kundi la Bokoharamu walio kaa uwanjani hapo kwa zaidi ya masaa nane walijikuta wakikata tamaa na kuondoka huku fufununu za kuanguka kwa ndege ambayo walikuwa wakiisubiria, ndio kulichangia kwa asilimia kubwa kuamini kwamba Josephine na Magreth hawato fika nchni hapo. Abiria wakaanza kushuka kwenye ndege huku baadhi yao wakiendelea kumpongeza Josephine kwa kuweza kuwaokoa. Mwana mama huyo aliye jitambukisha kwa jina la Mama Ike akaongozana na Josphine pamoja na Magreth hadi kwenye maegesho ya magari. Akawatambulishe kwa mume wake ambaye ame ongozana na wanajeshi kumi na mbili wanao mlipnda maaa ishirini na nne. Wakaingia kwenye gari na kuelekea moja kwa moja katika jumba lake la kifahari lililopo nje kidogo ya jiji la Lagos.

***

“Ndio nipo salama na hapa ndege nyingine imesha fika muda huu tuna ondoka uwanja wa hapa Goma”

Nabii Sanga alizungumza na mke wake kwenye simu mara baada ya kupata simu kutoka katika moja ya ofisi ya shirika la ndege iliyopo hapo uwanjani.

“Ohoo Mungu ni mweme wangu. Zungumza na Julieth”

“Yupo hapo nyumbani?”

“Ndio”

“Baba shikamoo”

“Marahaba”

“Vipi upo salama”

“Ndio mwanangu, nina mshukuru Mungu kwa sasa nipo salama”

“Mungu ni mwema. Ehee vipi mumesha pata usafiri?”

“Kuna ndege yao moja ima fika hapa hivyo tuta ondoka nayo muda si mrefu”

“Sawa baba, niwatakie safari njema na mukifika huko basi utufahamishe”

“Usijali mwanangu”

“Mume wangu”

“Naam”

“Kuwa makini”

“Usijali mke wangu”

“Nikutakie usiku mwema na safari njema”

“Nawe pia”

Nabii Sanga akakata simu na kumpatia muhudumu aliye mpatia simu hiyo noti ya dola mia kisha akarudi ukumbini. Hawakukaa muda mrefu sana wakaombwa waelekee kwenye ndege nyingine ya shirika la Fly Emirates na safari ikaanza upya. Nabii Sanga na Caro, wame kaa siti moja huku wakiendelea kuzungumza mipango mingi ya kibiashara.

Wakafika nchini Nigeria majira ya saa kumi na moja alfajiri. Moja kwa moja wakaeleka katika hoteli hiyo ambayo walisha kodisha vyumba vya kulala.

“Mtumishi nikutakie mapumziko mema”

Caro alizingumza huku wakiwa wamesimama mlangoni kwake. Nabii Sanga akajifikiria kwa sekunde kadhaa kisha akatazama saa yake ya mkononi.

“Ila kwa sasa muda umesha isha”

“Ni kweli, nina jiegesha kidogo”

“Sawa Caro mapumziko mema”

“Nashukuru”

Nabii Sanga akaingia chumbani kwake na Caro akaingia chumbani kwake na uzuri ni kwamba milango ya vyumba vyao vina tazamana. Nabii Sanga mara baada ya kuweka mizigo yake na kukagua chumba chake vizuri, akatoa laini ya mtando wa Tanzania na kuiweka laini ya nchini hapo Nigeria. Akaitafuta namba ya mzee ambaye alimuunganisha na mkuu wa kundi la Boko haramu na kumpigia simu.

“Ni mimi”

Nabii Sanga alizungumza kwa sauti nzito.

“Muheshimiwa vijana jana wameweza kusubiria uwanjani hadi wakachoka. Ila wame weza kunipa taarifa kwamba hao wasichana wame weza kuondoka unajani hapo na mke wa waziri wa ulinzi. Hiyo ndio taarifa waliyo ipata kutoka kwa mpelelezi wao waliye muacha uwanjani hapo.”

“Kwa hiyo ina wezekana kuwakamata?”

“Ngoja niwapigie ili kujua kama wata patikana au laa”

“Sawa fanya hivyo”

Nabii Sanga akakata simu, mlango ukagongwa na kujikuta akistuka sana. Akautazama mlango wa chumba chake kwa sekunde kadhaa kisha akatembea kwa kujiamini.

“Nani?”

Nabii Sanga aliuliza.

“Mimi”

Nabii Sanga akafungua mlango, macho yake yakakutana na Caro aliye jifunga taulo tu mwilini mwake huku macho yake yakiwa yamelegea na kudhihirisha kwamba ana hitaji penzi kutoka kwa nabii Sanga.



“Samahani mtumishi, nime kuja uniombee”

Caro alizungumza kwa sauti laini kiasi cha kumfanya nabii Sanga kumtazama kwa sekunde kadhaa, kisha akamuonyesha ishara ya kuingia ndani. Nabii Sanga macho yake moja kwa moja yakatua kwenye makalio ya Caro ambayo kwa kweli yana tingishika. Nabii Sanga kwa haraka akachungulia nje na hakuweza kuona mtu yoyote katika kordo hiyo. Akafunga mlango kwa ndani na kumgeukia Caro ambaye tayari amesha kaa juu ya kitanda huku amekunja nne na kusababisha upaja wake ulio nona kuonekana vizuri. Nabii Sanga macho yakamtoka, jogoo wake akakukuruka ndani ya boksa yake, kiasi cha kumfanya attamani kumvamia Caro ila akajipa uvumilivu kidogo kwa maana cheo cha unabii wake mbele za watu bado kina mlinda na kumfanya ajifanye kama vile hana matamanio na mwanamke huyo.

“Ahaa una taka nikuombee vipi?”

“Niombee nabii”

Caro alizungumza huku akiyapanua mapaja yaka na kumfanya nabii Sanga aweze kuona chupi nyeupe aliyo ivaa Caro. Taratibu Caro akasimama na kulifungua taulo lake na kuliangusha chini taratibu. Nabii Sanga akahisi kama boksa yake ina kwenda kuchahinika. Bikini aliyo ivaa Caro ikamfanya nabii Sanga kuhisi kuchanganyikiwa.

‘Hanijui huyu mtoto’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akimtazama Caro usoni mwake.

‘Niombee mtumishi’

Caro alizungumz ahuku akimsogelea nabii Sanga na kujilaza kifuani mwake. Akaushika mkono wa kulia na wabii Sanga na kumshikisha halio lake moja na kumfanya nabii Sanga akutane na ulaini wa makalio hayo kiasi cha kumfanya nabii Sanga kuhisi kuchanganyikiwa. Wakaanza kunyonyana lipsi zao taratibu, nabii Sanga akaanza kuvua nguo zake kwa uharaka. Akamnyanyua Caro na kumlaza kitandani, akavua boksa yake na kumfanya jogoo wake kuanza kunesa nesa hadi Caro akatabasamu. Taratibu akamshika jogoo wa nabii Sanga na kuanza kuminya minya. Caro akaanza mautundu ya kuanza kumnyonya nabii Sanga jogoo wake, Caro akazidi kwenda mbali zaidi hadi akaanza kuupishisha ulimi wake kwenye mkun** wa nabii Sanga na kumfanya ajihisi kuchanganyikiwa kwa raha hizo kwani toka kuzaliwa kwake hakuwahi kufanyiwa kitendo kama hicho na mwanamke yoyote.

‘Lazima nipate tu pesa zako’

Caro alizungumza kimoyo moyo huku akiendelea kufanya mchezo huo unao mfanya nabii Sanga kupiga mayowe ya raha. Caro alipo jirizisha, akajinyanyua taratibu na kuyashika maziwa yake makubwa kiasi na kuanza kumpitisha jogoo wa nabii Sanga katikati ya maziwa yake na kumfanya azidi kuguna kimahaba.

“Mtoto uta niua?”

Nabii Sanga alilalama kana kwamba ni mzembe fulani asiye jua mapenzi.

“Kweli?”


ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

BLOG