Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

SIN SEASON 1 SEHEMU YA 5/10

  


SIN SEASON 1

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 5 KATI YA 10


***

Julieth hakuwa na hata hamu ya kuitazama video ya pili iliyopo katika simu ya baba yake. Taratibu akashuka kwenye gari na kurudi ndani ya hospitali hiyo. Akamkabidhi nabii Sanga simu pasipo kuzungumza kitu chochote kisha akaondoka eneo hilo. Julieth akaingia ndani ya gari na kuelekea hotelini alipo muacha Evans. Moja kwa moja akapitiliza hadi katika chumba cha Evans, akagonga kwa muda na kuingia ndani huku uso wake ukiwa umejawa na simanzi kubwa ambayo hata Evans mwenyewe aliweza kuigundua kwa haraka.

“Julieth kwema huko?”

Julieth akamtazama kwa sekunde chache Evans kisha akamkumbatia kwa nguvu huku akilia kwa uchungu sana. Hakutarajia kama mama yake ipo siku ata fanya ngono na Tomas, ambaye alikuwa na ukaribu mkubwa sana na familia yao na alikuwa akimuheshimu kama kaka yake. Mbaya sana mama yake ana fanya mapenzi kinyume na maumbilie.

“Julieth nini kina kusumbua mpenzi”

“Evans nahisi kuchanganyikiwa”

“Na nini tena”

“Sijui hata nianzie wapi. Ila hapa nilipo fikia nahitaji kuwa mbali na familia. Sihitaji kuwaona wazazi wangu”

“Kwa nini lakini Julieth ikiwa wazazi wako wana kupenda na wana kufungulia miradi mikubwa. Ehee?”

“Evans hujui tu, hujui yanayo endelea kwenye huu ulimwengu. Nakuomba sana nifanye nisahau haya yote niliyo yajua kwa leo”

Julieth akuzungumza huku akizidi kumkumbatia Evans kwa nguvu zake zote. Taratibu hisia za kimapenzi zikaanza kuutawala mwili wa Julieth, jisni chuchu zake zilivyo jibana vizuri kifuani mwa Evans, zina zidi kumfanya aanze kupata shida.

“Julieth una weza kuniambi ni nini kilicho tokea kati yako na wazazi wako?”

Evans alizungumza huku akimuachia Julieth, taratibu akafuta machozi yake huku akimtazama usoni mwake.

“Evans?”

“Naam”

“Una jisikiaje pale wazazi wako wanapo kuwa ni watenda maovu ikiwa machoni mwa watu wana onekana ni watu wema sana?”

“Mmmmm ina tegemea na mauvo yenyewe wanayo yafanya yana husiana na nini?”

“Sawa tuachane na hayo nitakuambia siku nyingine. Ila kwa sasa nahitaji unipe kitu kimoja muhimu sana kwenye maisha yangu”

“Kitu gani?”

“Nahitaji mtoto”

“MTOTO?”

“Ndio nahiyaji mtoto Evans. Nahitaji kuanzisha mji wangu”

“Unahitaji mtoto pekee kutoka kwangu?”

“Ndio”

Evans akamtazama Julieth kwa sekunde kadhaa huku akiitafakari kauli hiyo.

“Julieth, bado huja nijua mimi, pili isitoshe huja nipenda mimi na una taka mtoto kwangu. Siwezi kufanya hivyo kwa sasa”

“Evans unataka niseme kwamba unitomb** au? Kuwa mwanaume na uweze kuelewa hisia za mwanamke zipo wapi na zinahitaji nini. Nimetumia neno mtoto ikimaanisha kwamba nina kupenda au unataka nikutongezo alafu huko mbeleni siku ukiamua kuniacha utumie hisia zangu kama fimbo ya kunichapa mimi eheee?”

Julieth alizungumza kwa hasira kidogo hapo ndipo Evans akili yake ika funguka kwamba binti huyo ana mpenda sana.

“Nimewakataa wanaume wengi sana kwa sababu wote wana nitongoza kwa ajili ya maslahi yao binafsi. Wewe nime kupenda mimi mwenyewe usinifanyie hivyo tafadhali”

Julieth alizungumza huku akianza kuvua nguo moja baada ya nyingine na akabaki kama alivyo zaliwa.

“Nina kupa usichana wangu. Usichana ambao sijawahi kumpa mtu yoyote kwenye maisha yangu, ila ni wewe pekee heshimu hisia zangu Evans”

Julieth alizungumza huku akimfwata Evans sehemu alipo simama. Akamkumbatia kwa nguvu, na taratibu Evans akaanza kunyonya lispi za Julieth na taratibu akamnyanyua na kumlaza kitandani. Evans akavua tisheti na taulo alilo jifunga kiunoni mwake. Akaitanua miguu ya Julieth ambaye amajaliwa umbo zuri huku akipewa weupe mithili ya binti wa kiarabu. Taratibu Evans akaanza kunyonya kitumbua cha Julieth ikwa ndio mara yake ya kwanza kufanyiwa hivyo na mwanaume. Julieth akajikuta akianza kusahau shida na matizo yanayo ikabili familia yake na kujikuta akizidi kujawa na furaha ya penzi la Evans.

***

Mawazo yakazidi kumtafuna nabii Sanga mara baada ya kukuta moja ya faili ambalo mwanaye ame lifungua kwenye simu yake ni faili lenye picha ya ngono ya mke wake. Jambo hili likazidi kumuweka nabii Sanga katika hali mbaya ya kimawazo. Taratibu akanyanyuka na kuingia katika chumba alicho lazwa mke wake. Akamtazama kwa muda na kujikuta machozi yakianza kumlenga lenga. Maisha ya umasikini na dhiki ambayo alikuwa ana ishi na mke wake, taratibu yalianza kumjia kichwani mwake. Akakumbuka jinsi mke wale alivyo kuwa ana pitia changamoto za kubezwa na marafiki zake ambao walimshangaa sana kuishi na mwanaume mchungaji tena kwenye kajichumba kamoja ikiwa yeye ni mzuri na wana ume wenye pesa zao wana mtamani kila kukicha.

Akazidi kukumbuaka jinsi mke wake alivyo jawa na msimamo wa kuhakikisha kwamba hatoki nje ya ndoa yake.

‘Nisamehe mke wangu’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akimwagikwa na machozi usoni mwake. Taratibu akapiga magoti pembeni ya kitanda hicho, akamshika mke wake kiganja cha mkono wa kulia na akaanza kuomba huku akilia kwa uchungu sana. Gafla hali ya mrs Sanga ikaanza kubadilika, akaanza kurusha rusha miguu yake mithili ya mtu anaye kata roho, ulimi wake ukaanza kutoka nje huku macho yakipepesaka na kitu kilicho zidi kumchanganya nabii Sanga ni mashine ya kuhesabu mapigo ya moyo iliavyo anza kutoa mlio wa hatari huku asilimia za mapigo ya moyo zikianza kushuka chini kwa kasi sana ikiashiria kwamba mrs Sanga ana fariki dunia.



Nabii Sanga akakurupuka na kutoka ndani humo, kwa bahati nzuri akakutana na jopo la madaktari wanne pamoja na nesi wawili wakija kwa kasi ndani ya chumba hicho kwa maana wame kifunga kamera na endapo kuna tatizo la ina yoyote basi wana fahamu.

“Mke wangu mke wangu dokta”

Nabii Sanga alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Daktari mmoja akamzuia asiingie ndani ya chumba hicho.

“Mtumishi acha tumshuhulikie mke wako”

Daktari huyo akiendelea kumsisitiza nabii Sanga kutulia. Dokta huyo akaingia ndani ya chumba hicho, kwa haraka wakaanza kuifanya kazi ya kuyaokoa maisha ya mrs Sanga. Nabii Sanga kwa haraka akatoa simu na kupiga makao makuu ya chama chake kilichopo nchini Nigeria. Simu hiyo ikaita na baada ya sekunde kadhaa ikapokelewa na mkuu wao.

“Sanga mbona ume nipigia, sijatarajia kupokea simu yako”

“Mkuu hali ya mke wangu ni mbaya sana. Mke wangu ana pata shida, mke wangu ana fariki dunia”

“Ohoo sasa kuna jambo gani la ajabu hapo Sanga?”

“Mkuu tafadhali nipo chini ya miguu yako. Nina kuomba mke wangu aweze kuwa salama”

“Ata kuwa salama na atapona ila kwa sharti moja tu, je upo tayaru kulikamilisha?”

“Ndio mkuu nipo tayari.”

“Tuna hitaji kiganja cha mkono wa kulia cha Magreth. Ukishindwa kufanya hivyo basi mke wako atafariki na nisikufiche sisi ndio tume sababisha ajali ya kwanza, ajali ya pili na tunacho kwenda kukifanya sasa hivi ni kuitoa roho yake.”

Nabii Sanga akahisi haja ndogo ikitaka kumtoka, kitu alicho ambiwa hakika hato weza kukikamilisha na bado ana mpenda mke wake na wala haitaji kumpoteza kabisa.

“Mkuu”

“Nakusikia Sanga”

“Kwa nini muna nipatia mtiani mgumu na mkubwa kama huu, ikiwa sija kiuka sheria zozote?”

“Kumbuka una paswa kumtia sadaka Magreth?”

“Ninalitambua hilo mkuu ila mulinipa kama uchaguzi. Endapo nita hitaji kupanda zaidi basi nifanye hivyo na kama sinto hitaji kukua zaidi basis into fanya hivyo. Tafadhali mkuu nina kuomba sana, nime kuwa mtu mwema sana kwako. Ninakuomba ufikiria hili kwa mara ya pili muheshimiwa”

Ukimya ukatawala kwa sekunde kadhaa.

“Sawa mke wako ata rudi katika hali yake ya kawaida, ila usi mkasirishe kabisa mke wako kwa maana yeye ndio ame beba nyota ya utajiri wako”

“Ohoo nashukuru sana mkuu. Asante sana mkuu”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na furaha. Gafla mrs Sangaa akafumbua macho yake huku akishusha pumzi nyingi sana mithili ya mtu aliye kimbia kwa umbali mrefu pasipo kupumzika. Madaktari walio mzunguka kidogo waka mshangaza mrs Sanga.

“Nipo wapi hapa?”

“Karibu sana dunia. Upo hospitali ya Agakhan, uliletwa masaa yaliyo pita kutokana na ajali uliyo ipata.”

“Ajali?”

“Ndio ulipata ajali mama”

Daktari mmoja alizungumza kwa sauti ya ukaribu huku akiwa amejawa na tabasamu kubwa sana usoni mwake.

“Mbona sija umia sehemu yoyote?

“Ume pata michubuko kadhaa usoni mwako. Ila ulipata mstuko wa moyo ndio maana ulipoteza fahamu”

“Mwanangu yupo wapi?”

“Ahaa…hapo nje yupo mume wako”

“Sanga?”

“Ndio”

Nesi mmoja akafungua mlango na kumuita mrs Sanga. Nabii Sanga kwa haraka akaingia ndani hapo huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana. Tabasamu likamtawala usoni mara baada ya kumuona mke wake akiwa amefumbua macho. Nabii Sanga kwa haraka akamkumbatia mke wake huku akimbusu busu kila sehemu uso wake hadi mrs Sanga akashangaa sana kwa nini mume wake ana mfanyia hivyo.

“Dokta mke wangu hali yake ina endeleaje?”

“Tuna mshukuru Mungu aliweze kuzinduka na kama unavyo muona”

“Ohoo asante sana Mungu ni mwema”

“Mtumishi tuna omba tumfanyie vipimo ili kama ata weza kuendelea kulazwa tufahamu au kama tuta weza kumruhusu basi aweze kwenda.”

“Sawa sawa”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa ametawaliwa na amani kubwa sana na madaktari wakaanza kufanya kazi yao ya kumuhudumia.

***

Japo ina maumivu ila Julieth alijikuta akivumilia kila jinsi jogoo wa Evans anavyo zama kwenye kitumbua chake. Japo ndio mara yake ya kwanza kukutana kimwili na mwanaume, ila alijitahidi kuvumilia ili kuhakikisha ana mpa Evans haki anayo stahili. Umahiri ambao Evans aliupata kutoka kwa Magreth, hakika ukamfanya azidi kumpa Julieth mapigo ambayo hakika yalimpagawisha kiasi kwamba Julieth alijikuta akilia mithili ya mtoto mdogo. Wakamaliza mzunguko wa kwanza huku Julieth akiwa amechoka sana.

“Sijawahi kufanywa na mwanaume yoyote, wewe umepata bahati na zawadi ambayo hakika ume stahili”

Julieth alizungumza huku akiwa amejilaza kifuani mwa Evans.

“Kweli?”

“Kweli mpenzi wangu. Tafadhali Evans nakuomba uwe nami, usirudi kwa huyo mpenzi wako. Tafadhali sana”

“Kwakile nilicho kutana nacho siwezi kurudi kwake. Nina kuahidi jambo moja, nita kupenda na kukujali kwenye kila jambo”

“Nafurahi kusikia hivyo mume wangu”

“Ila Julieth nakuomba sana usiwe kama yule mwanamke kwa maana nina ogopa sana wanawake wa mjini”

“Siwezi kukufanyia hivyo. Mimi toka nina zaliwa wazazi wangu ni matajiri, hivyo sijawahi kuijua shida ya pesa na nina akili ya kuendeleza utajiri wa wazazi wangu, hivyo siwezi kuwa kama wanawake wanao toa utu wao kwa ajili ya pesa. Kitu kizuri ume weza kunikuta na bikra yangu, kama ningekuwa nina hongwa, ungenikuta nikiwa wazi kabisa”

“Nashukuru kusikia hivyo. Ila nina hitaji nikakutambulishe kwa mama yangu”

“Kweli?”

“Ndio nina hitaji kufanya hivyo.”

“Ooooo sawa. Wewe uniambie ni lini, niandae gari pamoja na pesa ya kuelekea huko. Nina hamu sana ya kumuona mama yangu mkwe”

“Kweli?”

“Ndio yaani nina tamani hata kesho unipeleke kwa mama mkwe wangu”

Siku hiyo ilizidi kuwa nzuri kwa Julieth na Evans, ambao wote kwa wawili walijikuta wakisahau shida zao, hususani Evans alizidi kumtoa moyoni Magreth ambaye kwa mara mbili aliyaweka hatiani maisha yake.

***

Simu ya Milinga ikaanza kuita, akaito mfukoni mwake huku akiwa eneo la hospitali ya Agakhan na ana endelea na jukumu alilo pewa na RPC Karata la kuhakikisha ana mfwatilia nabii Sanga kwa umakini sana.

“Ndio mkuu”

“Ndio ume umefikia wapi?”

“Ahaa kwa habari iliyo hivi sasa huyu mama ame pata ajali na amelazwa hapa Akaghan. Pia kuna kitu ambacho hakipo sawa kwa binti yao”

“Kitu gani?”

“Sija weza kukifahamu kwa maana niliweza kuwaona kw ambali kama wana gombana na baba yake hivyo nime shindwa kuweza kugundua ni kipi kipi kina endelea”

“Sawa hakikisha kwambauna fahamu kila jambo linalo endelea kwenye hiyo familia”

“Usijali sana mkuu”

“Jambo jengine hakikisha una weka ukaribu na nabii Sanga”

“Sawa mkuu”

Milinga mara baada ya simu yake kukatika, akanza kutembea kwenye kordo aliyopo nabii Sanga anaye onekana kujawa na furaha.

“Habari yako nabii Sanga?”

Milinga alimsalimia nabii Sanga huku akimpa mkono. Nabii Sanga taratibu akaupokea mkono wa Milinga.

“Salama”

“Mimi nina itwa Jonsoh ni mmoja wa waumini wa kanisa lako”

“Oho nashukuru sana kukufahamu Jonhnso, vipi una fanya nini hapa hospitalini?”

“Kuna rafiki yangu alipata ajali last year hivyo amelazwa hapa kwa kipindi kirefu sana, leo nime ona nije kumtembelea”

“Ohoo poleni sana”

“Tunashukuru nabii, ila kusema kweli siamini kama elo nime weza kuushika japo mkono wako. Hakika baban ime furahi sana na nina shukuru sana tena sana baba”

Milinga aliigiza hali ya unyekevu ili kumfanya nabii Sanga asielewe chochote.

“Usijali kijana wangu. Mama yenu kidogo yupo ndani ya hicho chumba, alipata ajali ndio maana kanisani hivi sasa sionekani”

“Aisee pole sana baba”

“Nashukuru sana.”

“Baba nina weza kupata namba yako ya simu?”

“Hakuna shaka una weza kuipata”

Nabii Sanga akamtajia Milinga namba yake na kuinakili kwenye simu yake.

“Nashukuru sana baba yangu na nina imani una weza kunisaidia katika matatizo yangu ninayo pitia”

“Ahaa usijali Mungu atupe wepesi”

“Haya baba nina kuomba niweze kuondoka”

Milinga alizungumza huku akitaka kuishika miguu ya nabii Sanga ambaye alimzuia kwa haraka asiweze kufanya hivyo.

“Usijali sana kijana wangu, una weza kwenda”

Milinga akaanza kuondoka ila kabla hajafika mbali nabii Sanga akamuita.

“Una matatizo gani yanayo kusumbua?”

“Nimesomea maswala ya udereva mzee wangu ila sija bahatika kupata kazi sehemu yoyote”

“Ahaa….basi tuta wasiliana, katikati ya wiki hii, nikupe jukumu la kumuendesha mama kwa maana jana aligonga mtu na leo ame angusha gari lake hivyo nina ona sinto weza kumruhusu kuendesha tena gari.”

“Kweli nabii?”

Milinga aliuliza kwa furaha sana huku akimkumbatia nabii Sanga.

“Ndio kijana, kikubwa uwe muaminifu sana”

“Asante sana baba, asante sana baba”

Milinga alizungumza huku akipiga magoti chini na kuibusu miguu ya nabii Sanga ikiwa ni unyenyekevu wa hali ya juu anao uonyesha ambao ukazidi kumfanya nabii Sanga kumuamini kijana huyo pasipo kufahamu kwamba ni askari anaye mpeleleza.

***

Mrs Sanga akaruhusiwa kutoka hospitalini hapo, wakaingia kwenye gari na moja kwa moja wakaelekea nyumbani kwao huku njia nzima mrs Sanga wakiwa kimya sana. Wakafika nyumbani, mrs Sanga moja kwa moja akaelekea katika chumba kwake huku nabii Sanga akimfwata kwa nyuma.

“Sanga nahitaji kuwa peke yangu nina kuomba uniache nilale”

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na jazba usoni mwake.

“Ila mke wangu nina kuomba unipatie muda wa kuzungumza?”

“Nizungumze nini na wewe muuaji. Si una hitaji kunifunza adabu, nifunze basi?”

Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Nabii Sanga akakosa hata poiti ya kuzungumza kabisa kwa mke wake.

“Yaani kimada wa nje ana miliki hadi video yangu ya ngono na ana nitisha kuisambaza hewani. Sawa acha afanye kwa maana uliniahidi kwamba ume ifuta na hakuna mtu ambaye ana imiliki. Nipo tayari kudhalilika nipo tayari Sanga na nikifikia hapo nitajiua mimi mwenyewe”

Nabii Sanga alizungumza huku akilia kwa uchungu sana. Nabii Sanga akajawa na mshangao mkubwa sana, hakutarajia kama bado Magreth ana imiliki video ya ngono ambayo alimrekodi mke wake na Tomas.

“Video yako!!?”

“Ndio una shangaa nini sasa. Yaani mwanamke ambaye ni sawa na mwanao Julieth kweli una mpa video zangu. Yaani ume nidhalilisha sana Sanga”

Maneno ya mrs Sanga yakazidi kuumiza moyo nabii Sanga. Simu yake ikaanza kuita, akaitoa mfukoni mwake na kukuta ni simu ya mkuu wake wa chama alicho jiunga. Akamtazama mke wake kwa sekunde kadhaa kisha akaipokea simu hiyo.

“Mbona huja nifahamisha kama hali ya mke wako ina endelea vizuri?”

“Aha…mmmkuu ndio tuna toka hospitali hivi sasa”

“Waooo!! Sasa nina jambo moja endapo litaenda kimyume na vile ninavyo kuagiza, basi lita kugarimu sana”

“Nipo tayari mkuu kulisikiliza”

“Hakikisha una mpatia mke wako kila kitu anacho kihitaji na ole wako uenende kinyume naye kwa maana sisi tuna mtambua yeye na akikosa furaha kila jambo litazidi kwenda vibaya”

“Nime kuelewa mkuu. Hakika nita hakikisha kwamba kila jambo lina kwenda sawa”

Simu ikakatwa na kumfanya nabii Sanga kushusha pumzi taratibu huku akimtazama mke wake.

“Una kuwa ni mnyenyekevu sana kwa hao wakuu zako. Laiti kama ungekuwa ni mnyenyekevu mbele za Mungu wako wa kweli basi maisha yetu yangekuwa kama peponi. Ni heri yale maisha tulio kuwa tuna ishi kwenye kachumba kamoja tena nyumba ya kupanga. Kuliko hili jumba kubwa lenye mateso na maisha ya kama kuzimu. Nimechoka mimi”

“Una hitaji nikufanyie nini mke wangu?”

Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mke wake aliye mgeukia na kumtazama kwa mshangao mkubwa sana.

“Ndio niambie mke wangu una taka nini kwenye maisha yetu”

“Ohoo una uhakika uta nipatia kile ninacho kihitaji?”

“Ndio nita kupatia mke wangu”

“Hakikisha hiyo video ya uchi ina ondoka kwenye simu ya huyo malaya wako. Mbili nina hitaji uachane na huyo malaya wako na tatu kama sio la mwisho, nina taka urudishe kila kiasi cha pesa ambacho ume mpatia yule malaya la sivyo hii dunia itakuwa ni mahala pabaya sana kwa wewe kuishi. Sasa chaguo ni lako na una masaa ishirini na nne ya kufanya hivyo”

Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama nabii Sanga ambaye macho yame mtoka kwani katika mambo matatu aliyo elezwa ni moja tu ndio anaweza kulitekeleza kwa urahisi



“Umenielewa Sanga au auna nitolea macho kama chura aliye kanyagwa?”

“Nimekuelewa mke wangu”

“Ondoka humu ndani, una masaa ishirini na nne tu”

Nabii Sanga akashusha pumzi, akafungua kabati, akatafuta nguo safi akazitoa na kuziweka kitandani. Akaiweka bastola yake kabatini hapo. Nabii Sanga hata kuoga kwake, hakuwa na furaha ya aina yoyote. Mambo mawili ya kumuacha Magreth na kuchukua kiasi cha pesa ambacho alimpatia msichana huyo hakika ni mtihani mkubwa sana.

Nabii Sangaa akatoka bafuni hapo na kuvaa nguo zake. Alipo hakikisha yupo sawa akachukau funguo ya gari jengine na kumtazama mke wake aliye lala kitandani.

“Mama July mimi nina toka”

“Sawa, ukirudi hapa, uje na majibu ya kile nilicho kuagiza. Umenielewa Sanga”

“Nimekuelewa”

Nabii Sanga akafungua mlango na kutoka ndani hapo. Akaingua kwenye gari lake aina ya Ford Ranger. Akanza safari ya kuelekea nyumbani kwa Magreth. Akafika getini na kusimamisha gari hilo, akajifikiria kwa muda kisha akawasha gari hilo na kuondoka pasipo kupiga honi yoyote.

‘Siwezi kufanya ujinga kama huu. Mtu aliye jitolea maisha yake kwa ajili yangu leo hii nimpokonye zawadi ya maisha yake niliyo mpatia? Hapana siwezi kufanya hivyo’

Nabii Sanga aliwaza akilini mwake, huku akizidi kuongeza mwendo kasi wa gari hilo ambalo lina sifa kubwa sana ya kukimbia kwa mwendo mrefu sana. Nabii Sanga akafika kwenye moja ya hoteli yake iliyopo eneo hili la Kigamboni na pembezoni mwa bahari. Akashuka na kuelekeaa katika fukwe ya bahari hiyo pasipo kumsemesha mfanyakazi wa aina yoyote.

‘Sanga kwa nini nimejaribu kumpata nafasi huyu mwanamke? Hata mtoto wangu kwa nini nime mpa nafasi?’

Nabii Sanga aliendelea kuwaza huku akitazama maji ya bahari jinsi yalivyo jaa katika fukwe hizo.

“Habari bosi”

Meneja wa hoteli hiyo alimsalimia nabii Sanga mara baad ya kupewa taarifa na wafanyakazi wake kwamba mmiliki wa hoteli hiyo yupo kwenye fukwe za bahari hiyo na nijambo la hatari sana kwa maana majira hayo ya usiku huwa hawaruhusu mtu yoyote kuwepo katika fukwe hizo.

“Salama”

“Ahaa samahani mkuu, je nina weza kufahamu ni jambo gani ambalo lina kusumbua?”

“Alafu ukisha jua?”

Jibu hilo la nabii Sanga, likamdhihirishia meneja huyo kwamba nabii Sanga hayupo sawa kwani kwakipindi cha miaka kumi toka waanze kufanya kazi, hajawahi kujibiwa vibaya na mzee huyo.

“Nikushauru hata kwa mawazo mawili matatu”

“Ninakuomba sana uniache. Kichwa changu hakipo sawa na nina hofia sana kukujibu vibaya kwa maana mimi sio mtu wa aina hiyo”

Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo na kumfanya meneja huyo kuzidi kuielewa hali ya bosi wake huyo.

“Ila mkuu, hapa kwenye fukwe kwa mida kama hii ni hatari”

“Nina lijua hilo. Hivyo sio mgeni na hoteli yangu. Ninakuomba ukaendelee na kazi zako”

“Sawa mkuu”

Meneja akaondoka na kumuacha nabii Sanga akiendelea kupanga mpango wa kuhakikisha wana familia yake hawampandi kichwani. Alipo hakikisha amepata mpango kabambe, akaagiza kutengewa chumba cha hadhi ya V.I.P katika hoteli hiyo. Baada ya chumba hicho kuandaliwa, akaagiza aletewe chakula anacho kipenda na kutokana karibia wafanyakazi wote wa hoteli hiyo wana fahamu chakula anacho kipanda, hivyo ikawa ni rahisi sana kwa wapishi kuandaa chakula hicho.

Muhudumu wa kike aliye jaliwa urefu wa futi sita, hipsi zilizo jazia vizuri pamoja na makalio makubwa kidogo. Akaingia chumbani hapo huku akiwa amebeba sinia lenye chakula hicho.

“Wewe ni mgeni hapa hotelini?”

“Hapana mkurugenzi nina mwaka wa pili sasa”

“Una itwa nani?”

“Rosemary Masawe”

“Ohoo wewe ni mchaga?”

“Ndio mkurugenzi”

Nabii Sanga muda wote akaendelea kumchunguza binti huyo jinsi alivyo jaliwa umbo zuri sana. Tamaa ya ngono ikaanza kumtawala mwili wake, akatamani kumueleza jambo binti huyo ila akajikuta akishindwa. Ujanja wa Rosemary aliweza kutambua kabisa kwamba nabii Sanga ana mtazama kwa macho ya tamaa ya ngono. Rosemary akazidi kujiweka kimitego tego, kwani ana fahamu kutembea na mzee huyo hakika kutamfanya apate nafasi nzuri kwenye hoteli hiyo au hata kimaisha kwani ni mzee mwenye pesa nyingi sana na anaye miliki mali nyingi ndani na nje ya Tanzania.

Rosemary akafungua kifungo cha juu cha shati lake pasipo nabii Sanga kuweza kuona. Maziwa yake makubwa yakaanza kujitokeza vizuri na kuzidi kumdatisha nabii Sanga.

“Mkuu chakula kipo tayari karibu sana”

“Nashukuru. Je na wewe umesha kula?”

“Ndio mkuu”

“Kaa basi unipe support ya kuzungumza mambo mawili matatu”

“Ahh mkuu kule kuna wateja ambao nimechukua oda zao”

“Wateja na mimi nani ni wa muhimu na isitoshe hii hoteli ni yangu na hakuna mtu mwengine ambaye ana weza kuzungumza kauli yoyote juu yangu”

Maneno ya nabii Sanga yakamfanya Rosemary kuachia tabasamu pana sana. Gafla mlango wa chumba hicho ukafunguliwa na akaingia mrs Sanga na kuwafanya nabii Sanga na Rosemary kustuka sana.

***

Mrs Sanga mara baada ya mume wake kutoka ndani hapo, akashuka kitandani, akavua nguo hizi alizo toka nazo hospitalini. Akavaa suruli ya jinzi pamoja na tisheti, akachungulia dirishani na kumuona mume wake akingia kwenye gari aina ya Ford Ranger.

Mrs Sanga akachukua kofia pamoja na miwani ambayo akivivaa kwa pamoja hakuna mtu wa aina yoyote ambaye ana weza kumfahamu. Akashuka kwa haraka gorofani hapo na kukutana na mfanyakazi wa ndani.

“Julieth yupo wapi?”

“Bado hajarudi mama”

“Hakikisha una funga milango sawa”

“Sawa”

Mrs Sanga akaingia kwenye Range Rover, akasimamisha gari hilo getinina kushusha kioo.

“Baba ameelekea upande gani?”

Mrs Sanga alimuuliza mmoja wa walinzi.

“Ameelekea huku mama”

“Sawa”

Mrs Sanga akaingia barabarani kwa mwendo wa kasi na kuzianza kulifukuzia gari hilo la mume wake ambalo ana tambua kwamba lina mwendo mkubwa na endapo atafanya makosa basi atapotezwa na atashindwa kufahamu ni wapi alipo elekea mume wake. Mrs Sanga akafanikiwa kuliona kwa mbali gari la nabii Sanga, akaendelea kulifukuzia hadi akafanikiwa kulifikia ila utengenishi wa magari mawili uka msaidia sana kuto weza kuonekana na nabii Sanga. Wakaanza kuitafuta Kigamboni na wakafanikiwa kufika katika mtaa mmoja wenye majumba ya kifahari. Kwa umbali kidogo akamshuhudia mume wake akisimamisha gari kwenye moja ya nyumba. Mume wake akaka hapo kwa dakika kama tano kisha akaondoka eneo hilo kwa mwendo wa kasi sana. Mrs Sanga akatia gia na kuanza kulifwata nyuma gari la mume wake huku akitazama vizuri geti la nyumba hiyo na kuikremisha namba ya nyumba hiyo. Uelekeo ambao lina elekea gari la mume wake, aliweza kutambu kwamba ana kwenda hotelini kwao.

‘Huyu mzee amechanganyikiwa nini, kwani huku ndipo nilipo mtuma?’

Mrs Sanga alizidi kujiuliza maswali mengi huku akiendelea kuendesha gari hili kwa umakini sana ili mume wake asiweze kumuona. Alipo muona mume wake ana ingia hotelini hapo na kusimamisha gari lake eneo la maegesho. Mrs Sanga hakuingia kwanza, akamshuhudia mume wake akiingia ndani ya hoteli hiyo.

‘Huyu fala ana kwenda kukutana na malaya wake huku’

Mrs Sanga alizungumza huku akiingia taratibu kwenye hoteli hiyo. Akajiweka vizuri miwani yake pamoja na kofia, kisha akashuka. Akaanza kutembea hadi ndani ya hoteli hiyo, akamshuhudia nabii Sanga akielekea baharini na hapakuwa na mfanyakaiz yoyote aliye msemesha.

‘Ana taka kujiua nini?’

Mrs Sanga alijiuliza kimoyo moyo huku mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi. Akatembea kwa umakini hadi eneo ambalo ana weza kumuona nabii Sanga. Akaa eneo hilo huku akiendelea kumfwatilia mume wake kwa umakini sana. Akamuona meneja wa hoteli yao akimfwata nabii Sanga eneo hilo. Kutokana na umbali alipo, hakuweza kufahamu ni kitu gani ambacho wana kizungumza. Baada ya dakika chake akamshuhudia meneja huyo akaondoka katika eneo hilo. Akatamani kumuongelesha meneja huyo ili kufahamu ni kitu gani ambacho kina msumbua mume wake ila hakuhitaji upelelezi wake uweze kwenda tofauti na vile anavyo taka. Akaendelea kuvumilia eneo hilo na baada ya muda kidogo, akamshuhudia nabii Sanga, akielekea eneo la mapokezi, akazungumza na wahudumu watatu walipo eneo hilo. Akakabidhiwa funguo kisha akaingia kwenye lifti na kuanza kupandisha juu. Mrs Sanga akatembea hadi eneo hilo lenye lifti, akaisubiria kuiona ina ishia gorofa namba ngapi.

‘Gorofa namba nane. Okay ndipo kwenye V.I.P rooms’

Mrs Sanga alizungumza kimoyo moyo kwa maana kama ni gorofa hiyo ana ifahamu vizuri sana. Mrs Sanga akatafuta sehemu na kukaa huku akiamini kwa asilimi mia moja ni lazima nabii Sanga ata kuwa ana onana na Magreth katika hoteli hiyo. Dakika zikazidi kuyoyoma pasipo mrs Sanga kuona dalili ya Magreth kufika eneo hilo. “Samahani mama una hitaji nini?”

Muhudumu mmoja alimuuliza mrs Sanga aliye kaa katika moja ya meza.

“Sihitaji chochote na nimekaa hapo zaidi ya dakika kumi na tano, hamjaona kama nina hitaji kitu au?”

Mrs Sanga alizungumza kwa ukali kidogo. Kwajinsi alivyo vaa ime kuwa ni ngumu sana kwa muhudumu huyo kumtambua na isiteshe ana jeraha kidogo usoni mwake ambalo lina mfanya ashindwe kujulikana kw aharaka.

“Samahani mama kwa kuchelewa kuwapa huduma”

“Sio muna chelewa nini. Musilete uzembe kwenye kazi yangu”

Mrs Sanga aliendelea kufoka na kumfanya mhudumu huyo kushangaa sana kwani ina kuwaje mteja ana mfokea kiasi hicho.

“Nisamhehe mama”

Mrs Sanga akanyanyuka na kuelekea mapokezi. Akavua miwani yake na muhudumu mmoja akaweza kumfahamu.

“Sanga ame lala chumba namba ngapi?”

“Ahaa…shikamoo madam”

“Sihitaji shikamoo yako. Mume wangu yupo V.I.P room namba ngapi?”

Mrs Sanga aliendelea kuzungumza kwa msisitizo na kumfanya muhudumu huyo kutetemeka kwa woga. Akamtajia namba ya chumba alichopo nabii Sanga.

“Alafu kuna uzembe unao endelea kwenu. Mteja anakaa zaidi ya dakika kumi na tano hapatiwi hudumu sijui muna fanya kazi gani hapa. Fikisheni salamu zangu kwa meneja mume nielewa?”

“Sawa madam”

“Nipatie master key card”

Muhudumu huyo akampatia mrs Sanga funguo ya kadi ya umeme ambayo ina uwezo wa kufungua milango yote katika hoteli hiyo. Mrs Sanga akaondoka mapokezi hapo na kuingia kwenye lifti, ikampeleka hadi gorofa ya nane. Akafika katika chumba alicho elekezwa kwamba ndipo alipo nabii Sanga. Kwa kutumia kadi hiyo akafungua mlango huo na kumkuta nabii Sanga akiwa amesimamiwa na muhudumu aliye kaa kimitego mitego. Kustuka kwao kukamfanya mrs Sanga kuhisi kuna jambo ambalo lina endelea.

“Ehee wewe binti umekuja kufanya nini chumbani kwa mume wangu na ume msimamia kimitego mitego?”

Mrs Sanga alizungumza kwa kofoka huku akimfwata Rosemary aliye zidi kujawa na wasiwasi mwingi sana.

“Ah…haa..aa hapana nime leta chakula tu mama”

“Ume leta chakula na kumfungulia kifungo cha kifuani mume wangu si ndio. Kwahiyo unahisi maziwa yako ndio yana weza kumdatisha mume wangu?”

“Hapana mama”

“Mama Julieth ni nini hicho unacho kizungumza. Binti wa watu ameletea chakula una anza kumuhisi vibaya”

“Kaa kimya wewe, haya sio makubaliano yetu au hapa ndio nilipo kuagiza?”

Mrs Sanga alizidi kuzungumza kwa ukala kana kwamba siku ya leo haja kutana na majanga ya aina yoyote.

“Binti naomba utupishe”

Nabii Sanga alizungumza kwa sauti ya upole na kumfanya Rosemary kuchomoka ndani hapo kwa kasi kwani nia na lengo lake limefeli vibaya sana.

“Hapa ndipo kwa Magreth?”

“Ume juaje kama nipo hapa?”

“Nimeoteshwa, jibu swali langu hapa ndio kwa Magreth?”

“Mama Julieth mbona una fujo sana. Hambu jitazame, una paswa kupumzika na sio kuhangaika hangaika kama hivyo. Utakuja kufa ukiwa una tembea”

“Kama nilishindwa kufa jana basis into weza kufa leo. Sasa kama ume shindwa kwenda mwenyewe kwa Magreth basi nina taka mguu wako na mguu wangu twende hadi nyumbani kwake kwa maana ukishindwa nita kwenda mimi mwenyewe na nitakacho mfanya. Nita hakikisha kwamba una juta kwa nini ulikuwa na mahusiano na huyo binti kwa maana kama ni kumuua sishindwi kwani sio yeye ambaye ata kuwa ame uwawa na mkono wangu huu.”

Mrs Sanga alizungumza huku akihema kwa hasira sana kwani anacho kizungumza ana maanisha kweli na katika historia ya kutafuta utajiri walio nao, iliwagarimu sana kumwaga damu za watu wengi sana ili mradi kufika sehemu waliyopo hivi sasa



“Ila mke wangu sasa hivi ni usiku, tufanye asubuhi?”

“Ahaaa…unapo kwenda kudai kum** huwa huoni kama ni usiku. Ila kutokana una ona nina kwenda kwa kimada wako basi una hisi ni usiku si ndio?”

“Basi nina kuomba niwee kula, leo sijapata kula kabisa”

“Usinizingue Sanga. Tuondoke”

Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo na kumfanya nabii Sanga kukubaliana na jambo hilo. Wakatoka chumbani hapo, mrs Sanga akakataa kabisa kutumia gari la mume wake. Wakaingia katika gari la mrs Sanga na kuianza safari ya kuelekea kwa Magreth. Njia nzima mapigo ya moyo ya nabii Sanga yana kwenda kasi sana, ana tamani hata Mungu aweze kufanya muujiza katika jambo hilo ila hadi wana fika getini kwa Magreth na mrs Sanga akasimamusha gari hapakuwa na muujiza wowote.

“Shuka uka gonge geti”

Nabii Sanga akashusha pumzi nyingi sana huku akijifikiria jinsi ya kushuka kwenye gari hilo. Akamatazama kwa sekunde mke wake kisha akashuka kwenye gari. Akatembea hadi sehemu yenye kitufe cha kamera. Akaitazama kamera hiyo na kuanza kuiminya sana. Nabii Sanga akaendelea kuminya kitufe hicho cha kengele huku moyoni mwake akiomba Magreth asiweze kufungua geti hilo. Mrs Sanga alipo ona dakika zinakwenda, akashuka kwenye gari, akatafuta jiwe kisha akafika getini hapo na kuanga kugonga kwa nguvu.

Magreth akakurupuka usingizini mara baada ya kusikia geti lake lina gongwa kwa nguvu huku kengele ya geti hili ikiminywa. Woga ukaanza kumtawala na kwa haraka akawasha tv iliyopo chumbani hapo, kitu cha kwanza alicho kifanya ni kuweka upande wa kamera ambao una onyesha eneo la getini. Akamuona nabii Sanga na mke wake wakiwa wamesimama eneo hilo. Kitendo cha mke wake kugonga kwa kutumia jiwe, kika muashiria Magreth kwamba hali ya wawili hao sio nzuri kabisa.

“Mpigie simu huyo malaya wako”

Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo, uzuri eneo hilo halina watu ambao wanaweza kushuhudia ujinga huo unao ufanya mrs Sanga.

“Mpigie simu una nitolea tola nini macho”

Nabii Sanga akaendelea kuwa mpole, akatoa simu yake mfukoni na kumpigia Magreth. Macho yakamtoka Magreth mara baada ya kuona simu yake ikiita.

“Wamekuja kufanya nini hawa?”

Magreth alizungumza huku akiwa ameishika simu yake. Magreth akaipokea simu yake na kuiweka sikioni.

“Haloo”

“Ehee Mage nifungulie nipo hapa kwako?”

“Ahaa…mimi sipo nyumbani”

Magreth alizungumza kwa kujiamini. Mrs Sanga akampokonya Magreth simu hiyo na kuiweka sikoni mwake.

“Wewe malaya nimepajua kwako. Fungua geti kabla sijalivunja hili?”

“Mimi na wewe nani ni malaya eheee? Nisikilize kumbuka sikuogopi na usinitishe mbwa wewe. Kumteka mumeo umteke mwenyewe, akichukuliwa una tokwa na povu. Sasa Povu la nini? Kama ni mwanamke kweli mkatikie mumeo vizuri sio kutembea na vijana wadogo”

Maneno hayo ya Magreth yalisikika vizuri kwa mrs Sanga na nabii Sanga ambaye akazidi kuhisi Magreth ana chochea moto wa jambo hilo.

“Ahaa jeuri yako ni hiyo video si ndio?”

“Nisikilize wewe mama. Endapo nina ikabdhi hii taarifa kwa vyombo vya habari nina kuambia muna kwenda kuteketea wote. Sasa usitibue vuz** langu mwanamke sawa”

Magreth alizidi kumkomalia mrs Sanga, woga na wasiwasi wa kumuogopa mwana mama huyo uka muisha kabisa.

“Tena nikuambie kitu kimoja. Mimi mumeo ndio amenitoa bikra. Sasa kama wewe alikukuta na birka basi uta kuwa na ubavu wa kujigamba kwangu, ila kama alikukuta una shimo kama la choo na akakuvumilia basi ime kula kwako.”

Nabii Sanga akajikuta akifumba macho kwani Magreth amechachamaa kisawa sawa. Kitu ambacho siku zote huwa kina mnyong’onyeza mrs Sanga ni mapigano ya maneno. Huwa hajabarikiwa kabisa kuwa na kinywa cha meneno mengi. Ila Magreth maisha yake yote hadi ana fikia umri huo ame ishi uswahili hivyo ime muwia urahisi kujua maneno ya kumchamba mwanamke mwenzake.

“Ahaa….kwa hiyo wewe ni jauri?”

“Tena sana, hujakosea kuniambia mimi ni jeuri. Nakuhakikishia kwamba, nikikata simu muda huu nina isambaza hiyo video kwenye magroup yoye ya whatsapp alafu uta jua kwamba mimi ni chizi au kichaa. Usinichukulie poa wewe mama, nilivyo kuchamba asubuhi haijatosha, umeona usiku uje kuneng’eneka tena hapo getini kwangu si ndio”

“Kama mwanamke kweli fungua geti nikuonyeshe”

“Una semaje wewe?”

“Fungua geti nikuonyeshe”

“Nisubirini hapo nina kuja”

Magreth alizungumza huku akiwa amelipukwa na hasira. Akavu kanga aliyo jifunga, akavaa skini tait pamona na tisheti ya mazoezi. Akatoka chumbani humo huku akiwa amevima mithili ya Simba jike aliye shuhudia wanaye wakiwawa huku yeye akiwa kifungoni. Nabii Sanga alipo sikia geti likifunguliwa, akatamani ardhi ipasuke na adubumbukie ndani. Magreth akafungua kigeti kidogo na uso kwa uso akakutana na mrs Sanga.

“Ingia nikupasue malaya mzee wewe”

Magreth alizungumza huku akijiamini sana. Mrs Sanga akatazama jinsi Magreth alivyo kunja ngumi zake na kujiamini.

“Mage tafadhali acha haya mambo na urudi ndani”

Nabii Sanga alijitahidi kusema neno ila Magreth hakumuelewa kabisa zaidi ya kumkazia macho mrs Sanga anaye endelea kuuthaminisha mwili wa Magreth ambao kwanza amependa hewani, pili anaonyesha ni msichana mkakamavu na tatu kuto kumuogopa kwake kuka zidi kujenga hufo kwa mrs Sanga.

“Nyamaza na wewe. Una ishi na mwanamke kichaa anaye kupelekesha ufanye chochote alafu una niambia nirudi ndani. Wewe si umekuja kishari ingia ndani”

“Unahisi nina kuogop……..”

Magreth hakumpa hata nafasi ya kujitetemea mrs Sanga. Akamvuta kwa ndani na akaingia mzima mzima. Uwanja wa eneo hilo kidogo ni mkubwa. Nabii Sanga kwa haraka akaingia kuhakikisha una uzuia ungomvi huo haufiki mbali. Mrs Sanga akamuwasha Magreth kofi la shavuni, kitendo hicho kikawa ni kosa moja kubwa sana, kwani Magreth alimsukumia pembeni nabii Sanga aliye mshika mkono akimzuia kupambana na mke wake. Akamvaa mrs Sanga na kumuangusha chini. Akamkalia tumboni mwake na kuanza kuzaba makofi yaliyo ambatana na ngumi. Hakika leo haikuwa siku nzuri kabisa ya mrs Sanga kwani kipigo hicho ni kizito sana kwake. Nabii Sanga akajaribu kumshika Magreth ila kwa nguvu alizo nazo alijikuta akipata wakati mgumu sana kumtengenisha Magreth na mkewe.

Nabii Sanga akamshika Magreth kiunoni mwake na kumnyanyua kwa nguvu. Kisuku suku kililicho tua tumboni mwake kikamfanya nabii Sanga kumuachia Magreth huku akiwa amejawa na hasira kali sana.

“Una nipiga mbwa wewe”

Nabii Sanga alizungumza huku akimzaba Magreth kofi zito la mgonini. Kofi hilo likamfanya Magreth kusimama kwa sekunde kadhaa huku akiwa ametulia, akageuka tartaibu huku akimtazama nabii Sanga ambaye naye amefura kwa hasira kwani upole wake haukumfanya awe mnyonge hata kwa kupigwa kwa kisuku suku hicho.

“Na wewe umeongana na huyu mbwa wako kunipiga si ndio?”

“Uwe na heshima binti, usinivurugie familia yangu”

“Ahaaa…..”

Magreth akampiga nabii Sanga kofi la uso na kuzidi kumfanya nabii Sanga afure kwa hasira kama mbogo. Nabii Sanga akajikuta akirusha ngumu, ila Magreth akaikwepa. Magreth kwa kutumia mguu wake wa kulia akarusha teka lililo mpiga nabii Sanga shingoni mwake na kumfanya ayumbe na kuanguka chini. Kitendo hicho kikamsgangaza nabii Sanga na mke wake ambao wote wapo chini na Magreth pakee ndio ame simama.

“Wewe una dhubutuje kunipiga mimi?”

“Wewe si mwaaume umekamilika. Simama tuzipange”

Kauli hiyo ikamuacha mrs Sanga mdomo wazi. Akamtazmaa mume wake na kumshuhudia akiwa ametokwa na macho tu.

“Sanga ana kupigaje binti mdogo huyu”

Nabii Sanga akasimama na kukunja mikono mirefu ya shati alilo livaa huku moyoni mwake akijiapiza kumfundisha adamu Magreth. Magreth akakunja ngumi na kujiweka sawa, nabii Sanga akaanza mashambulizi ya ngumi ambazo hazikuzaa matunda hata moja, kwani Magreth amekuwa ni mwepesi sana katika kuzikwepa. Magreth akajibu mashambulizi hayo kwa ngumi ambazo zote zili mpata nabii Sanga. Mateke mfululizo yakamfanya nabii Sanga kuwa katika wakati mgumu sana ulio mpelekea kujikuta akianguka chini kwa mara ya pili huku damu zikimchuruzika mdomoni mwake.

Uwezo huo mkubwa wa kupigana alio nao Magreth ukaanza kujenga hofu kwa nabii Sanga. Siku zote amekuwa akimuona Magreth kama binti mnyonge na asiye weza kurusha hata kofi.

“Sanga nime kuheshimu sana yaani sana na nikaamua kukuvulia nguo yangu na kukupa bikra yangu. Leo hii una taka kupambana na mimi kisa huyu gube gube lako. Yaani ukiondoka hapa leo, tambua mimi na wewe basi na chochote ulicho nipatia sahau kama umewahi kunipatia kwenye maisha yangu ume nielewa?”

Magreth alizungumza huku akifuta jasho linalo mwagika mwilini mwake. Nabii Sanga wakatazamana na mke wake, kisha wakapeana ishara ya kusimama kwa pamoja ili wamchangie Magreth.

“Niwaambie nyinyi wazee, nitawavunja. Ondokeni nyumbani kwangu kabla ya majini yangu hayajanipanda sawa”

Nabii Sanga na mke wake wakawa kama hawajaelewa vile. Wakajaribu kumvamia kwa pamoja ila alicho kutana nacho nabii Sanga ni kupigwa kigoti cha kichwani na kumfanya apepesuke na kuanguka chini. Magreth akamshika mrs Sanga kwa nyuma kiunoni mwake kisha akamnyanyua na kumbwaga kwa nyuma yake mithili ya mwana mereka, Broke Lesnar anavyo washambulia wapinzani wake akiwa ulingoni.

Mapigo hayo mawili kwa mke na mume, yakawafanya kusarenda. Hapakuwa na hata mwenye hamu ya kundelea na kupambana.

“Tuondoke mume wangu”

Mrs Sanga alizungumza huku akijishika mgongo wake kwani si kwa pigo hilo. Taratibu mrs Sanga akamsaidia kumnyanyua mume wake na wakaanza kujikongoja kuelekea getini.

“Labda niwape onyo la mwisho. Wewe mama ukijaribu kunirudia tena kwa ujinga wako, video yako ya ngono nita irusha hewani. Hivyo hivyo kwa wewe Sanga, nitairusha video yako ya kumuingilia kinyume na maumbile Tomas na mke wako naye akiwepo eneo hilo”

Maneno hayo yakamstua sana nabii Sanga, kwani video hiyo anatambua kwamba ipo pekee kwenye simu yake.

“Ondokeni acheni kunitumbulia namcho. Nakuanzia leo Sanga mimi na wewe basi”

Magreth alizidi kuzungumza kwa msisitizo. Nabii Sanga na mke wake taratibu wakajikongoja, wakaingia kwenye gari lao na kuondoka eneo hilo. Magreth akasimama getini hapo na kushuhudia jinsi gari hilo linavyo zidi kuyoyoma kisha akafunga geti lake. Magreth akaingia jikoni kwake, akafungua friji na kumimina maji kwenye glasi kisha taratibu akaanza kunywa huku akihema kwa kuchoka.

Taratibu Magreth akajikuta akianza kukumbuka maisha yake ya utotoni. Marehemu mama yake alikuwa akifanya kazi katika nyumba moja ya Wajapani kama mfanyakazi wa ndani. Usheshi wa Magreth ukamfanya kupendwa sana na mzee mwenye nyumba hiyo bwana Nakumari. Mzee huyo kutokana hakuwa na mtoto yoyote kwenye maisha yake na alikuja nchini Tanzania kama jasusi kutoka Japan, basi aliutumia muda wake mwingi sana kumfundisha Magreth baadhi ya staili za mapigano. Magreth japo ni mtoto wa kike, ila aliweza kuyajua mapigano hayo ndani ya muda mfupi sana.

‘Mage nina kufundisha hivi ila isitokee siku hata moja uka tumia ujuzi wako kuwanyanyasa wezako shuleni wapa maeneo mbalimbali. Hakikisha una jishusha kila wakati na huwi mgomvi na hata mtu aki kuonea wewe kuwa mpole, ila akivuka mipaka hakikisha kwamba una mpa funzo sawa mjukuu wangu’

‘Sawa babu’

Magreth aliyakumbuka mazungumzo hayo. Akapiga fumba zito la maji huku akiendelea kukumbuka maisha ya nyuma. Toka alipo kuw ana mika nane hadi ana fikisha miaka kumi na tano, aliweza kufahamu mambo mengi sana kwenye maswala ya kupambana. Hadi mzee Nakumari ana ondoka nchini Tanzania, Magreth akawa na hadhina kubwa sana ya kujimudu katika kupigana. Mama yake alizidi kumsisitiza ajibidiishe na kusoma na wala asitumie kipaji hicho cha kupigana katika kuwadhuru watu au kuwaonyeshea watu kama yeye ni mtaalamu. Jambo kubwa ambalo mama yake alikuwa ana mtisha ni kwamba akiwa ana penda kupigana pigana hato weza kupata mwanaume wa kumuoa. Kutokana mama yake alikuwa ana mgahawa wake, basi Magreth alitumia muda mwingi sana kupika na mama yake. Upole ukazidi kuongezeka mara tu ya kuokoka ndio maana hata siku aliyo shambuliwa na vibaka alijikuta akiwa mpole na kama ingekuwa si Evans kutokea na kumsaidia, basi angewaonyeshea makucha yake vijana hao na ingekuwa ni jambo baya sana kwake, kwani haitaji sifa yake hiyo kujulikana kwa watu.

***

“Ona sasa tulivyo dhalilishwa. Sijui ume kwenda kuingia kwa wanawake wa aina gani. Siku nyingine ukichepuka hakikisha una fwatilia historia ya mtu na si kuingia ingia kichwa kichwa mume wangu”

Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo mara baada ya kufika nyumbani. Nabii Sanga hasira ikazidi kumtawala na kujikuta akizunguka zunguka ndani ya chumba chao hicho cha kulala pasipo kuzungumza kitu chochote.

“Unazunguka nini si ukae na tutafakari jinsi ya kurudisha mali yetu uliyo ipeleka kule kwa mikono yako wewe mwenyewe”

“Alinisaidia yule kutokana na ujinga wako wewe mwenyewe”

Nabii Sanga alikoroma huku machozi ya hasira yakimtiririka mashavuni mwake.

“Kwa hiyo?”

“Kwahiyo nini? Tumedhalilishwa pamoja”

Nabii Sanga aliendelea kuzungumza kwa hasira huku akijaribu kutafakari ni adhabu gani ambayo atamfatia Magreth.

“Mimi yule ni mwanamke mwenzangu. Hivyo kupigwa ni jambo la kawaida, ila wewe mwanaume kupigwa na mwanamke tena mchepuko hahaaa huo ndio udhalilishaji kwa kweli”

Mrs Sanga alijikuta akicheka kwa furaha kwa maana ameisikia kauli ya Magreth kwamba ya kumuacha nabii Sanga. Nabii Sanga akakumbuka kauli ya mkuu wake kwamba akihitaji kufanikiwa zaidi na kuwa nabii wa kimataifa ambaye ata kwenda sehemu mbalimbali duniani, basi ahakikishe kwamba ana mtoa sadaka Magreth na mambo yake yatakwenda sawia.



“Una waza nini?”

Mrs Sanga alimuuliza mume wake huku akimtazama.

“Nahitaji kumtoa sadaka Magreth”

“Una wazimu wewe. Huku kwenye chama chenu siku hizi masharti yamebadilika au? Unamtoaje sadaka mtu ambaye una bifu naye?”

Kauli hiyo ikamfanya nabii Sanga kufikiria mara mbili jambo hilo.

“Ngoja tuangalie”

“Ila nina ushauri mmoja. Kabla ya kufanya hivyo hembu jaribu kumpepeleza Magreth kwani kilicho tokea leo si wewe wala mimi ambaye tulidhani kama kita tokea. Sasa isije akawa ana kismati kingine tukajikuta badala ya kafara kumkumba yeye, ikatukumba sisi”

“Mmm hilo ni jambo la kweli lakini”

“Ndio hivyo, ikiwezekana chukua muda wako mwingi kumpepeleza. Mimi sitaki wanagu wafe kwa wajili ya makafara yenu hayo”

Mrs Sanga alizungumza kwa msisito huku akinyanyuka kitandanii. Akaingi bafuni, akaanza kuoga huku akiikumbuka matukio yaliyo wapata muda mchache ulio pita. Usiku mzima, nabii Sanga alitumia muda wake kuisambaza picha ya Magreth kwa vitengo mbalimbali vya upelezi ili aweze kupata habari za maisha yake ya nyuma. Vitengo hivyo vipatavyo vinne, viwili vikiwa ni vya nchi ya Tanzania huku viwili vikiwa ni kutoka Marekani, vikaleta majibu yanayo fanana kwa maana hakuna rekodi yoyote ya Magreth kujulikana sehemu yoyote. Nabii Sanga akashusha pumzi huku akiahidi kuanza kufanya upelelezi wake katika mtaa ambao alimtoa Magreth.

***

Asubuhi na mapema, Magreth akapitia benk, akahifadhi pesa zake alizo letewa na Juma jana mchama. Alipo hifadhi pesa hizo akaelekea kwenye mgahawa wake huku akiwa na mawazo sana ya tulio alilo wafanyia nabii Sanga na mke wake.

‘Hawawezi kuniacha salama ni lazima nihakikishe nina jipanga kwa kila aina ya vita inayo kuja. Iwe ni vita ya kiroho au vita ya kimwili, niwe tayari’

Magreth alizungumza kimoyo moyo huku akiwa amekaa kwenye moja ya kitu.

“Habari za asubuhi bosi”

“Salama Juma, ehee vipi jana biashara iliendeje?”

“Nina mshukuru Mungu biashara ilivuka malengo ya viwango tulivyo ingiza kwa siku zote”

“Kweli?”

“Kweli bosi.Jana tulipata tenda ya harahaka hara ya kupeleka chakula katika mahafali ya shule moja mkoani Pwani. Hivyo, niliichukua tenda ile nilijaribu kulupigia ila sikukupata hewani. Hadi tuna funga jana tulikuwa na milioni ishirini na tano”

“Waooo hongera sana Juma”

“Nashukuru sana bosi”

“Yaani hata nisipo kuwepo basi huwa nina amani sana kwamba mgahawa wangu una kuwa sehemu salama”

“Ni kweli. Vipi shemeji ana endeleaje?”

Magreth akashusha pumzi taratibu kwani mtu ambaye ana uliziwa hapo, hayupo naye tena na wala hatambui ni wapi alikwenda.

“Nisiwe muongo kwako Juma. Kulitokea matatizo ya kimahusiano hivyo shemeji yako aliondoka toka juzi na nikimpigia simu yake haipatikani wala sijui ni wapi alipo?”

“Mmmm bosi usije ukakuta mtu amekwenda kujinyonga au kufanya jambo baya huko. Si unajua mambo ya mapenzi jinsi yanavyo wapagawisha watu. Je umatoa ripoti polisi?”

“Hapana”

“Hilo ni kosa shemeji yangu na je aliondoka kwenye mazingira ya kukasirika au mazingira ya kususa?”

“Mmmmm!!”

Magreth alajikuta akijawa na aibu kwani ana shindwa hata kumuelezea Juma jinsi tukio lilivyo tokea.

“Ila kama ni mambo ya ndani sana ambayo sipaswi kuyajua basi nina kuomba usiniambie. Ila jaribu kufanya utartibu wa kwenda polisi, siku hizi kuna matuko mengi sana ya watu kutekwa tekwa mara kuuwawa. Hivyo kuwa makini ana boss.”

“Nimekuelewa sana Juma na ninashukuru sana kwa ushauri wako. Ume kuwa kama kaka kwangu”

“Ni kweli bosi, unajua wewe ni mtu muhimu sana kwenye maisha yangu. Nimefanya kazi kwenye mahoteli makubwa na nilijitahidi kufanya kazi kwa weledi na juhudi kubwa. Ila mwishowe, nilijikuta nikiambulia mapato madogo sana. Ila hapa toka nime anza kufanya kazi, yaani sijamaliza mwenzi, ila maisha maisha yangu na familia yangu kijijini yameanza kunyooka”

“Usiseme hivyo Juma hata wewe ni mtu wa muhimu. Ila ngoja nikuambie ukweli ila nina kuomba iwe siri”

“Niambie tu”

“Kuna mzee nilimsaidia maisha yake kutoka mikononi mwa majambazi. Yule mzee alitokea kunipenda sana na kutokana kipindi hicho nilikwa na maisha duni sana, aliamua kunipa pesa nyingi sana ambayo leo hii imenisaidia kufungua huu mgahawa”

“Ila myoni mwangu nilimpenda sana Evans na bado nina mpenda. Kutokana na umasikini wangu ilibidi kwanza niweze kuchuma pesa kwa yule mzee kisha Evans wangu niwe nina endelea naye kisiri siri. Sasa yule mzee alisadiri kwa kipindi kidogo kwenda nje ya nchi. Hivyo alirudi hapa majuzi kimya kimya na alikuja kwangu kimya kimya. Huwezi amini ilibakia nusu tu yule mzee kumpiga risasi Evans”

“Weeee!!”

“Haki ya Mungu vile. Evans alitimua mbio na mabandeji yake vile vile na kuanzia hapo sikujua ni wapi alipo kwenda na yule mzee akaniweka kifungo cha ndani siku nzima na wala sikuweza kumtafuta Evans”

“Daa sister hapo ni lazima kutoa taarifa polisi. Lazima huyo mzee atakuwa ametuma watu kumteka au kumdhuru. Unajua hawa watu wenye pesa mara nyingi huwa na tamaa za ajabu na huwa wanakuwa tayari kuhakikisha wana mdhuru mtu wa aina yoyote yule ambaye ana ingilia mahusiano yao. Hivyo dada yangu hapo ina kulazimu kuchukua tahadhari kubwa sana”

Maneno ya Juma yakaanza kumpa Magreth wasiwasi mwingi sana. Hakujua hata afanye nini, hali hiyo ya wasiwasi Juma aliweza kuingua, akanyanyuka kwa haraka na kuchukua chupa ya maji kwenye friji la vinywaji baridi kisha akarudi eneo hilo na kumkabidhi Magreth.

“Maji hajaya ubaridi mkali, yanaweza kukuweka sawa. Kunywa kiasi”

Magrehth akafungua chupa hiyo na kuanza kunywa maji huku akisikilizia jinsi mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi. Akakumbuka kauli za mrs Sanga za kusema kwamba ana weza kumua na yeye sio mtu wa kwanza kumuua.

‘Ehee Mungu wangu wasije wakwa wame muua mtoto wa watu’

“Juma sasa nifanyeje?”

“Twende Central pale tukafungue jalada”

“Etii ehee?”

Magreth alijibu huku akili yake ikiwa imezidi kuvurugika.

“Ndio”

“Nimekumbuka, nina namba ya RPC Karata”

“Basi hilo litakuwa ni jambo zuri sana. Mpigie simu sasa hivi tujue nini tuna fanya”

Magreth akaitoa simu yake katika mkono wake, akaitafuta namba ya RPC Karata na akaipata, akampigia na bahati nzuri ikapokelewa.

“Nipo kwenye kikao nitakutafuta”

“Muheshimi kuna matatizo”

Magreth alizungumza kwa haraka ili aweze kupewa nafasi ya kusikilizwa.

“Matatozo gani?”

“Mume wangu Evans amepotea na chanzo cha kupotea ni kushikiwa bastola na nabii Sanga alitaka kumuua nyumbani kwangu”

“Nini, upa wapi?”

RPC Karata aliuliza kwa msisitizo kwani kama ni habari njema na tamu ya kumuweka kikaangioni adui yake nabii Sanga, basi hiyo ni habari nzuri sana.

“Nipo hapa kwenye mgahawa wangu”

“Basi fanya juu chini uje sasa hivi kituoni nina kusibiria”

“Sawa mkuu”

Magreth akakata simu huku akimtazama Juma aliye kaa mbele yake.

“Amesemaje”

“Amesema niende sasa hivi kituoni kwake. Ila sinto weze kundesha nakuomba unisaidie kunipeleka”

“Sawa hakuna tatizo”

Magreth akamkabidhi Juma funguo ya gari. Juma akatoa maagizo kwa wafanyakazi walio baki nini anacho paswa kufanya kisha yeye na Magreth wakaondoka na kuelekea katika kituo hicho cha polisi.

***

Evans taratibu akayafumbua macho yake, akamtazama Julieth aliye lala pembeni yake kifudi fudi huku akionekana kuchoka kwa mpute pute alio mfanya jana usiku.

‘Walai huyu demu ana makalio mazuri sana. Daaa bahati iliyojeeee kwangu’

Evans alizungumza kimoyo moyo huku akiyapapasa makalio ya Julieth, Taratibu Julieth akayafumbua macho yake yaliyo jaa uchovu wa usingizi. Akamgeukia Evans aliye achia tabasamu pana usoni mwake.

“Umeamkaje mume wangu?”

“Mmm nimeamka poa tu. Vipi wewe?”

“Safi ila uchovu tu”

“Kweli?”

“Ndio kwa maana mmmm sio kwa kunifanya vile usiku”

“Ngoja nikutoe uchovu basi mpenzi wangu”

Evans alizungumza huku akimnyanyua Julieth na kumkalisha kiunoni mwake. Taratibu Evans akanza kuzitomasa chuchu za Julieth na kumfanya kitumbua chake kianze kulowana taratibu huku jogoo wake naye akianza kupanda mnara. Evans alipo hakikisha Julieth amesha fikia hatua ya kuliwa, taratibu akamuingiza jogoo wake katika kitumbua cha Julieth na kumfanya Julieth awe amemkalia karibia mzima.

“Evans naumia”

Julieth alizungumza kwa sauti ya upole huku sura yake kidogo ikiwa imejaa mikungo inayo dhihirisha ni kweli ana umia.

“Basi lala hivi”

Evans alizungumza huku akimgeuza Julieth na kumlaza kifocha mende huku jogoo akiwa bado yuko ndani ya kitumbua.

“Hapo je una umia?”

Evans alizungumza huku akimuingiza na kumtoa taratibu jogoo wake huku akimtazama Julieth aliye anza kuyalegeza macho yake.

“Mmmmm”

“Una jisikiaje”

“Raha….a…iiiss….a……raha ba…b…y”

Julieth alilalama kwa haraha. Evans alizidi kumuonyesha Julieth maujuzi ambayo ana amini kwa asilimi mia moja nilazima ata toka kiuchumi endapo tu, atamfurahisha binti huyo wa kitajiri.

***

Mrs Sanga akashuka kitandani huku akijinyoosha mwili wake kwani kipigo alicho kipata kimemfanya ajawe na amumivu kila sehemu ya mwili wake. Akajisaidia haja ndogo kisha akatoka chooni humo, akajifunga tenge na moja kwa moja akaeleka chumbani kwa Julieth. Akagonga kwa mara kadhaa, ila hakuweza kuitikiwa. Akashika kitasa na kuusukuma kwa ndani mlango huo na ukafunguka. Akakuta kitanda kikiwa kime tandikwa vizuri, hakujali sana kwa maana ana tambua mtoto wake ni mtu ambaye ana wahi kuamka na kuelekea chuo.

“Wewe Julieth ametoka saa ngapi?”

Mrs Sanga alimuuliza dada wakazi aliye muona akitoka chumbani kwake.

“Dada July hajarudi kutoka jana alivyo aga ana kwenda polisi kuchukua gari lake”

Habari hiyo ikamstua kidogo mrs Sanga kwani mtoto wake huyo huwa hana desturi ya kulala nje ya nyumbani kwao na endapo atalala nje ya nyumbani basi ata hakikisha ana toa taarifa kwa mtu yoyote anaye husiana na familia hiyo.

“Toka jana asubuhi hajarudi?”

“Ndio mama”

“Ulijaribu kumpigia?”

“Ndio, ila simu yake haipatikani”

“Ohoo Mungu wangu”

Mrs Sanga alianza kujawa na wasiwasi. Akarudi chumbani kwao na kumuamsha mume wake.

“Nini mke wangu”

“Juliethg toka jana hajarudi mume wangu na simu yake haipatikani”

Mrs Sanga alizungumza huku wasiwasi ukiwa ume mjaa sana moyoni mwake.

“Nini?”

Nabii Sanga alizungumza huku akikurupuka kitandani hapo. Akaka kitako huku akimtazama mke wake usoni mwake.

“Ndio, sijui mtoto wetu atakuwa amekubwa na jambo gani. Ohoo Mungu wangu”

Nabii Sanga akakumbuka jinsi jana yale gombana na Julieth na akakumbuka jinsi Julieth alivyo shuhudia video ya mama yake kwenye simu.

“Ohoo Mungu wako mwanangu”

Nabii Sanga alihamaki huku akianza kumpigia simu Julieth na majibu yakawa ni yale yale ya kuto kupatikana. Akajaribu kuipigia simu ya mke wake kwa maana Julieth aliondoka nayo pale hospitalini, ila nayo haipatikani hewani.

“Hata simu yako aliyo ondoka nayo pale hospitalini haipatikani”

“Sasa atakuwa amekwenda wapi mume wangu?”

“Mimi sijui kwa maana amefahamu kila siri yetu”

“Siri zipi?”

“Mimi kutembea na yule kijana mdogo, amefahamu nina tumia nguvu za giza kwenye huduma yangu pia amefahamu mahusiano yako wewe na Tomas na ameshuuhudia video yako na Tomas. Aliondoka hospitili kwa hasira sasa sijui mwanangu atakuwa wapi?”

Nabii Sanga alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Mrs Sanga akahisi nguvu zikimuishia kwani hajui hata atamtazamaje Julieth usoni mwake kama ameshuhudia video chafu ya ngono ambayo ime rekodiwa na adui yake namba moja Julieth



“Mume wangu toa taarifa polisi?”

Mrs Sanga alizungumza huku machozi akiendelea kulowanisha mashhavuni mwake.

“Kumbuka jinsi nilivyo gombana na RPC, una hisi ata hata nikitoa taarifa kituoni zitasaidia. Isitoshe kumbuka wewe jana hukwenda kuripoti, unahisi ita kuwaje mke wangu?”

“Sasa tuna fanyaje mwanangu hayupo mume wangu?”

Mrs Sanga alizungumza huku akiendelea kulia kwa uchungu sana.

“Nafikiria njia ya kufanya”

“Fanya basi, wewe si una marafiki katika vitengo vikubwa vya usalama wa nchi. Achana na hawa askari ushuzi, watafute wale na kazi zao”

Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mume wake usoni. Naii Sanga akashusha pumzi huku akitafakari ni nani ambaye ana weza kuzungumza naye na akampatia msaada wa haraka. Akamkumbuka mkuu wa kitengo cha usalama bwana Mbogo.

Akaitafuta namba ya asifa huyo katika simu yake na akaipata. Akampigia na kwa bahati nzuri simu hiyo ikaanza kuita. Baada ya sekunde kadha aikapokelewa.

“Mtumishi habari yako”

“Salam asana ndugu yangu. Habari za siku nyingi?”

“Salama bwana kwanza pole kwa matatizo ya kutekwa. Unajua kipindi kile ulipo kuwa una tekwa, nilikuwa nipo Marekani kuna kozi fulani hivi nilikuwa nina zisomea. Nimerudi Tanzania juzi sina hata siku nne”

“Nashukuru sana ndugu yangu. Ndugu nina tatizo”

“Tatizo gani?”

“Mwanangu ametoweka toka jana asubuhi, tumejaribu kumpigia kwenye simu yake na hatujafanikiwa kumpata na kwabahati mbaya taarifa hiyo nimepewa asubuhi hii kwani jana mke wangu alipata ajali hivyo nikashindwa kabisa uwa karibu na nyumbani”

“Mmmm….je mume jaribu kumtafuta kw amarafiki zake wa karibu ambao muna wafahamu?”

“Mmmm kwa kweli sijafanya hivyo. Ila huwa hana kawaida ya kukaa nje ya nyumbani bila ya taarifa yoyote. Hivyo ime niepelea kuwa na wasiwasi mkubwa sana.”

“Si yule mwanao wa kike?”

“Ndio ndugu yangu”

“Basi ngoja vijana wangu niwape kazi hiyo ya kumtafuta. Tutakacho kipata basi tuta kufahamisha ndugu yangu”

“Nina shukuru sana ndugu yangu na Mungu akubariki”

“Amen na wala huna haja ya kunishukuru sana kwa maana nina tambua ni jinsi gani mzazi anapo patwa na wasiwasi pale anapo potelewa na mwanaye”

“Ni kweli?”

“Vipi mama ana endeleaje kwa maana ume nieleza kuwa amepata ajali”

“Anaendelea vizuri”

“Sawa nitakupa feedback ndugu yangu”

“Nashukuru”

Nabii Sanga akakata simu huku akishusha pumzi. Mke wake akamkumbatia kwa manaa ameyasikia mazungumzo hayo vizuri sana.

“Atapatikana tu”

Nabii Sanga alizungumza huku akimapapasa mke wake mgongoni taratibu.

***

Juma akasimisha gari katika maegesho ya kituo hicho cha polisi. Magreth akwa wa kwanza kushuka ndani ya gari hilo.

“Juma nisubiri hapa”

“Upo sawa boss?”

“Ndio nipo sawa ila nisubiri”

“Sawa boss”

Magreth akaanza kutembea kuelekea ndani ya kituo hicho. Akafika sehemu ya mapokezi na kumuulizia RPC Karata.

“Yupo kwenye kikao, msubiri ata toka sasa hivi”

“Sawa”

Magreth akaka kwenye benchi la watu wanao subiria huduma ya askari hao. Hazikupita hata dakika kumi, RPC Karata akafika eneo hilo. Akampa ishara Magreth ya kumfwata na wakaingia ofisini kwake.

“Ehee niambie ni nini kinacho endelea?”

“Nabii Sanga alitaka kumuua Evans wangu muheshimiwa”

Magreth alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Tukio lilitokea lini?”

“Juzi muheshimiwa”

“Ahaa. Je jana na leo umejaribu kumpigia Evans na kutambua kwamba yupo salama au laa?”

“Nimepiga simu yake na hapatikani na jana usiku nabii Sanga alikuja kunivamia nyumbani kwangu yeye na mke wake. Walinishambulia kwa lengo la kunia ila nina shukuru Mungu niliweza kuwahimili”

“Alikushambulia yeye na mke wake?”

“Ndio”

“Ila mke wake si alipata ajali?”

“Sijui ila walikuja wote wawili na kunismabulia”

“Una ushahidi wowote kwa maana kuamini maneno ina weza kuwa ni jambo gumu?”

Magreth akaka kimya huku akitafakari ni kitu gani ambacho anatakiwa kukifanya. Akakumbuka eneo la nje kwake kuna kamera nne za ulinzi na muda wote huwa zina rekodi kila kitu kinacho endelea katika nyumba yake.

“Nyumbani kwangu pale kuna kamera. Hivyo nina weza kukuonyesha tukio zima kupitia simu yangu”

“Hembu nione”

Magreth akatoa simu yake kwenye mkoba. Akaingia kwenye upande wa kamera za ulinzi ambao ume unganishwa na simu yake na popote aendapo ana weza kuona kila kituambacho kina endelea nyumbani kwake. Akarudisha video hiyo nyuma hadi muda wa tukio, alipo hakikisha tukio hilo lina onekana kwa uzuri akamkabidhi RPC Karata video hiyo. RPC Karata akaanza kutazama video hiyo, toka nabii Sanga na mke wake wana fika nyumbani hapo kwa Magreth. Akashuhudia kuwaona wana ingia ndani ya nyumba hiyo na mke wake na wakaanza kumshambulia Magreth. Kitu kilicho mshangaza RPC Karata ni uwezo mkubwa wa Magreth katika kupiga na jambo hilo kidogo likaanza kumpa alama ya kujiuliza kwa binti huyu. Alipo maliza kuitazama video hiyo akamrudishia Magreth simu yake.

“Una weza kunitumia hiyo video kupitia whastapp?”

“Ndio mkuu”

“Sawa, hilo ni kosa la kisheri la kufwata nyumbani kwako na kuvamia. Japo nimeona hapo ume wazidi uwezo, kwa namna moja ama nyingine ni moja ya njia ya kujilinda mwenyewe. Ila kabla sijachukua hatua yoyote ya kwenda kuwakamata nabii Sanga na mke wake je una weza kuniambia umejifunzia wapi mafunzo hayo ya kupigana kwa namna hiyo?”

Swali la RPC Karata lika mstua kidogo Magreth kwani siku zote hapendi sana kujulikana juu ya uwezo wake.

“Ahaa….ni michezo niliiyo kuwa nina cheza utotoni ndio ume nifanya kuwa hivi nilivyo hadi sasa”

“Una uhakika na jibu lako?”

“Ndio muheshimiwa”

“Sawa nita hitaji kufahamu juu ya uwezo wako hapo baadae. Je kuna video yoyote ambayo ina muonyesha nabii Sanga akiwa ana mshikia bastola Evans?”

“Mmmm tukio lilitokea nyumbani na hapakuwa na kamera yoyote”

“Okay nitafungua faili la mastaka kisha nitakwenda nyumbani kwake na vijana wake kumkamata. Ila hakikisha una nipa ushirikiano kwa kila jambo ambalo nitahitaji kutoka kwako”

“Nashukuru sana mkuu. Je vipi kuhusiana na Evans?”

“Baada ya kumkamata nabii Sanga, tuta weza kufahamu ni wapi alipo Evans kwa maana ni lazima ata zungumza”

“Sawa nakuomba sana uweze kunisaidia katika hilo”

“Usijali. Hiyo video usisahau kuni ingizia”

“Nakuingizia sasa hivi”

Magreth akamtumia RPC Karata video hiyo inayo muonyesha akishambuliwa na nabii Sanga pamoja na mrs Sanga. Baada ya RPC Karata kuipata video hiyo akamruhudu Magreth kuondoka. Magreth akarudi kwenye gari lake na kumuelezea Juma kila kitu kilicho tokea ndani ya ofisi hiyo ya RPC kisha wakanza safari ya kurudi kwenye mgahawa.

RPC Karata akawachagua vijana wake watano. Wakajiandaa vizuri mithili wana kwenda kupambana na majambazi, kisha wakaingia kwenye gari mbili na kuondoka kituoni hapo, kueleka nyumbani kwa nabii Sanga.

***

“Aa….a……aiia…..”

Evans aligugumia huku akiwa amemshika jogoo wake anaye warusha waarabu weupe tumboni mwa Julieth amnnaye naye upo hoi kwa kuchoka na mtanange huo.

“Fuc** haa..ahaaa”

“Kwa nini una kojo** ndani?”

Julieth alimuuliza Evans mara baada ya kujilaza pembeni yake.

“Muda bado Julieth”

“Kwa nini muda bado ikiwa nimekuonyesha dhairi kwamba nina kupenda sana”

“Kunipenda ni kweli una nipenda. Ila wazazi wako hawajanijua wala mama yangu haja kujua. Hivi itakuwaje ukapata mimba na kwenu wakanikataa ikiwa bado sija tengeneza mazingira mazuri ya kiuchumi”

“Tatizo ni kujulikana kwenu na kwetu?”

“Ndio, endapo tuta julikana kila sehemu na pande zote zikaridhika na maamuzi yetu basi tuta jiachia na hata ikitokea umepata mimba basi mtoto wetu atakuja na barana. Huwa sipendi mwanangu akumbane na vikwazo vya kimaisha kisa shida au umasikini ambao ninao”

Evans alizungumza kwa sauti ya upole na iliuo jaa unyenyekevu mwingi sana. Taratibu Magreth akanyanyuka na kumtazama Evans usoni mwake.

“Baby”

“Naam”

“Nipo tayari kesho twende nyumbani kwenu”

“Kesho!!?”

“Ndio, tukirudi kwetu tuna elekea nyumbani kwetu nina imani baba na mama wata kukubalia. Pia nitafurahi sana kama familia yako uta ihamishia hapa Dar es Salaa.”

“Nita waweka wapi, ikiwa sina hata nyumba”

Julieth akatafakari kwa muda kidogo kisha akamtazama Evans.

“Kuna nyumba zinazo uzwa, pia nina nyumba yangu ninayo jenga mimi mwenyewe. Je tupagishe na tuje kuishia kwenye nyumba hiyo ninayo jenga au tununue huku tukiwa tuna jenga nyumba hiyo taratibu?”

“Mmmm yote ni mawazo mazuri. Kama kununua nyumba si itatugarimu pesa nyingi sana?”

“Pesa sio ishi kubwa sana kwa maana ninazo pesa nyingi sana. Nitajaribu kuwasiliana na mmoja wa madalali ambaye amenitafutia sehemu ambayo nina jenga makao makuu ya kampuni yangu. Nitampa jukumu hilo la kutafuta nyumba ya kununua yenye hadhi nzuri na sisi”

“Sawa mke wangu”

Kitendo cha Evans kumuita Julieth mke, kikazidi kupagawisha Julieth na kujikuta akizidi kumpenda Evans na kujiapiza kimoyo moyo kwamba hato ruhusu Evans kurudi kwa mwanamke wake wa kwanza. Taratibu Julieth akazinyonya lipsi za Evans kisha akashuka kitandani. Akaingia bafuni, Evans naye akaingia bafuni humo na kumkumbatia Julieth kwa nyuma.

“Toka nilipo kuwa na wewe, nina jisikia amani sana. Nina kupenda sana Julieth wangu”

“Kweli?”

“Ndio, nina kupenda sana, nime kupa moyo wangu wote, tafadhali usije ukautupa”

“Evans nina kupenda sana na wala sinto dhubutu kukuumiza”

“Nashukuru sana”

Taratibu Julieth akafungua koki ya bomba la mvua na maji yakaanza kuwamwagikia na kuwafanya wazidi kujawa na furaha sana. Kwajinsi kila mmoja anavyo mjali mwenzake unaweza kusema kwamba ni watu walio kwenye kipindi kirefu sana cha mahusiano kumbe ni siku mbili tu zime pita toka wafahamiane.

***

Nabii Sanga na mke wake hawakuweza hata kupata kifungua kinywa. Kila mmoja ana presha na kila rafiki wa karibu wa Julieth ambaye walijaribu kumoigia na kumuulizia Julieth kama yupo huko wakakutana na majibu ambayo yalizidi kuwanyong’onyeza.

“Mume wangu mpigie basi huyo rafiki yako Mbogo tujue amefikia wapi?”

“Mke wangu tuwape muda kwanza kwa maana ni lisaa moja tu limepita toka tuwasiliane nao. Hivyo yakipita kama masaa mawili hivi basi nina weza kumpigia simu kwa maan hapo ata kuwa amepata muda wa kufanya upelelezi wa kutosha”

Mlango wa chumbani kwao ukaanza kugonjwa kwa nguvu huku wakisikia sauti ya mfanyakazi wao wa ndani ikiwaita kwa wasiwasi. Nabii Sanga akakimbilia mlangoni hapo na kufungua mlango.

“Kuna nini wewe?”

“Askari wamempiga mlinzi getini na wankuja humu ndani”

Nabii Sanga akamtazama mke wake huku akiwa amejawana mshangao. Mke wake akakimbilia dirishani na kuchungulia, akashuhudia askari wenye bundiki wakiwa wanaizunguka nyumba yao mithili ya kwamba wanaelekea eneo lililo na majambazi.

“Mume wangu kwani umewapigia askari?”

“Tupo wote humu ndani, ila sija wapigia kabisa”

“Sasa njoo uone wanavyo nyata kama wamekuja kuvamia vile”

Nabii Sanga akachungulia dirishani hapo. Akamshuhudia RPC Karata akishuka kwenye gari huku akiwa ameshika bastola mkonini mwake, akatoa ishara za vidole kwa vijana wake hao watatano na watatu wakaanza kutembea kwa umakini kuelekea ndani huku mikononi mwao wakiwa na bunduki aina ya AK47. Kitendo hicho kikamfanya nabii Sanga kukimbilia kabatini kwake na kutoa bastola yake, akachomoa magazine na kukuta ikiwa imejaa risasi za kutosha.

“Wamekuja kishari na si kiusalama. Wakifyatua risasi moja nami nitafyatua risasi za kutosha”

Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini, huku naye akikoki vizuri bastola yake akijiandaa kwa chochote kitakacho kwenda kutokea kwani adui yake RPC Karata amekuja kwa ajili ya mapambano na si kumkamata.


Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita, akaitoa mfukoni haraka haraka na kuisoma jina la mtu anaye mpigia na kukuta ni namba ya mkuu wa kitengo cha usalama wa taifa bwana Mbogo. Kwaharaka akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Sanga unaweza kunipatia namba ya simu ya mwanao?”

“Ndio ndio una kalamu hapo nikakutajia?”

“Taja”

Nabii Sanga akaanza kutaja namba ya Julieth.

“Nimeipata”

“Ndugu yangu nipo kwenye matatizo hapa nyumbani kwangu”

“Matatizo gani?”

“Polisi wananivimia na wanakuja mithili ya watu wana wanao kwenda kupambana na majambazi na wanaongozwa na RPC Karata”

“Heee!! Kwani kuna kosa lolote ambalo ume lifanya?”

“Hapana hakuna kosa ambalo nimelifanya ila mimi na huyu Karata tumepishana tafadhali nina kuomba uweze kunipa msaada ndugu yangu kwa maana ana hitaji kunidhalilisha isitoshe mlinzi wangu wa getini wame mpiga pasipo makosa ya aina yoyote”

“Mmmm kwa sasa wapo hapo nyumbani kwako?”

“Ndio”

“Sawa ngoja”

Simu ikakatawa, nabii Sanga akamtazama mke wake pamoja na mfanyakazi wa ndani ambao wapo chumbani hapo na wamejawa na woga mwingi sana.

“Mume wangu kama ume wasiliana na huyo rafiki yako, iweke silaha yako kabatini. Wasije wakakubambilia makosa”

Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama mume wake usoni mwake. Nabii Sanga akajifikiria kwa muda kisha akaifungia bastola yake kabatini. Akafungua mlango wa chumbani kwake na akakutana na askari wawili kwenye kordo huku nao wakiwa wameshika silaha.

“Nyoosha mikono yako juu”

Nabii Sanga akatii amri. Askari hao wakamvamia na kuizungusha mikono yake kwa nyuma huku wakiifunga pingu. Askari mwengine akaingia ndani ya chumba hicho na kumkamata mrs Sanga naye akamfunga pingu za mikononi. Kwajinsi wanavyo wakamata utasema kwamba ni wahalifu wa mauaji. RPC Karata akatazama seble hii kubwa ya jumba la nabii Sanga, akatabasamu huku akimini kwamba sasa ana zidi kumkabili adui yake ambaye aliyaingiza maisha yake na kibarua chake matatani. Akawashuhudia nabii Sanga na mke wake wakishashwa kwenye ngazi hizo.

“Muna tukamata mimi na mke wangu kwa kosa gani?”

Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama RPC Karata kwa macho yaliyo jaa hasira kali sana.

“Mmmmm nyinyi na mke wako siku hizi si mume kuwa ni mabondia. Muna kwenda majumbani mwa watu, muna wavamia na kuwapiga. Basi haya ndio matokeao yake.”

Nabii Sanga akatazamana na mke wake, moja kwa moja wakatambua kwamba aliye sababisha wao kukamatwa ni Magreth.

“Kwa jambo hili basi ulimwengu mzima watatambua kwamba ni roho za aina gani ambazo wewe na mke wako munazo. Sio kama vile watu wanavyo wachukulia, ila mume jawa na ukatili ndani yenu. Isitoshe nime shuhudia kwa uzuri sana video iliyo rekodiwa na CCTV Kamera jinsi munavyo pambana. Hahaaaaaa ila poleni kwa kilicho wapata”

RPC Karata alizungumza huku akicheka kwa dharau. Mrs Sanga hasira zikaanza kumpanda, akatamani hata Magreth atokee eneo hilo na kumvamia na kumgaragaza kwa hasira.

“Na jambo jengine umemteka mume wake kwa maana hadi sasa hivi hapatikani. Hivyo mutambue hayo ndio makosa yanayo wakabili watumishi wa Mungu”

Nabii Sanga akashaa sana juu ya swala la yeye kuhusishwa na kumteka mume wa Magreth.

“Mimi juu ya kupotea kwa huyo kijana sihusiki kabisa na musinihusishe kwenye mambo yenu ya kijinga”

Nabii Sanga aliendelea kuzungumza kwa msisitizo. Simu ya RPC Karata ikaanza kuita, akaitoa mfukoni na kuitazama kwa muda kidogo namba hiyo ngeni. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Haloo”

“Waondoe vijana wako nyumbani kwa nabii Sanga haraka iwezekanavyo na kama mume mkamata hii ni amri, waachieni haraka iwezekanavyo”

“Wewe ni nani ambaye una niamrisha hivyo?”

“Mimi ni mkuu wa kitengo cha usalama wa taifa bwana Mbogo”

”Bila ya kukuvunjia heshima muheshimiwa. Siwezi kufwata amri yako kwa kuwa hujajua ni makosa gani ambayo wameyafanya?”

“Sihitaji kufahamu ni makosa gani ambayo wame yafanya ila kijana usihitaji kupingana na amri yangu na tambua kwamba ukifanya hivyo kuna matatizo yata kukabili katika hilo. Siku njema”

Simu ikaatwa na kumfanya RPC Karata kushusha pumzi huku asijue ni kitu gani ambacho ana weza kukifanya kwa muda huo kwa maana. Ukimya ukatawala sebleni hapo huku watu wote wakimtazama RPC Karata. Hata dakika mbili hazikupita, simu ya RPC Karata ikaanza kuita, akastuka sana mara baada ya kukuta ni namba ya raisi Mtenzi ndio anate mpigia.

‘Ohoo Mungu wangu’

RPC Karata alizungumza kimoyo moyo huku mikono ikianza kumtetemeka. Akaipokea simu hiyo na kuiweka sikioni mwake.

“Haloo muheshimiwa raisi”

“Kuna kitu gani kinacho endelea nyumbani kwa nabii Sanga?”

“Aha…mm…mkuu kuna uvamizi waliufanya nyumbani kwa binti mmoja anaye itwa Magreth. Walimpiga na inavyo sadikika nabii Sanga alimteka mume wa binti huyo”

“Una uhakika Karata?”

“Ndio muheshimiwa”

“Kwenye swala la utekaji nina zungumzia una hakika?”

“Hapana mkuu”

“Kwa taarifa niliyo kuwa nayo hapo mezani kwangu kutoka usalama wa taifa inaonyesha kwamba mtoto wa nabii Sanga ametekwa na watu wasio julikana je hiyo taarifa kama wawe mkuu wa jeshi la polisi hapa Dar unayo?”

“Ahaa….sina mkuu”

RPC Karata alijibu huku akizidi kuwa na mashaka mengi sana.

“Sasa una kwendaje kumkamata mtu ambaye ametekewa mtoto wake na wewe kama jeshi la polisi huna habari alafu una kwenda kuhisi kwamba amemteka mtu. Hivyo ndivyo unavyo fanya kazi kwa weledi?”

“Mmmm aha muheshimiwa unajua….unajua?”

“Ninajua nini Karata mbona una anza kuwa mbabaishaji. Umepewa amri ya kumuachia ukakaidi, isitoshe huyo binti unaye sema ameleta mastaka hapo polisi, si yule aliye kuwa kimada wa nabii Sanga?”

“Ndio muheshimiwa?”

“Nina kujua na nina kuelewa Karata. Kwenda kumkamata huyo mzee wa watu ni kutokana na matatizo yako binafsi na sio kama inavyo paswa. Sasa nina toa amri ya moja kwa moja. Muachie nabii Sanga na hakikisha kwamba ndani ya masaa ishirini na nne muna mkamata huyo aliye mteka mwanaye kwa maana hata yule ambaye alidiriki kumteka yeye hadi leo huja mkamata. Jiangalie nitakupiga chini”

Simu ikakatwa na kumfanya RPC Karata kuhisi nguvu zikimuishia mwilini mwake. Kwaishara pasipo kuzungumza jambo lolote akamuomba askari wake kumfungua pingu nabii Sanga pamoja na mke wake. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita, akaitoa mfukoni na kukuta ni namba ya muheshimiwa raisi Mtenzi. Akaipokea kwa haraka na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio muheshimiwa”

“Pole sana Sanga kwa yaliyo kukuta”

“Nashukuru sana muheshimiwa. Vijana wako walikuja kunikamata hapa kwa kesi amabzo hakika sijazifanya”

“Pole kwa kweli, nime muagiza huyo kijana akuachie na nina imani mwanao ata patikaa tu”

“Nina shukuru kusikia hivyo mkuu”

“Jambo jengine nina kuomba kesho uweze kufika ikulu. Tuzungumze mambo mawili matatu”

“Sawa muheshimiwa nita fanya hivyo”

“Haya msaheme bwana huyo kijana nina ona madaraka yana anza kumlevya. Ila nitajua ni jinsi gani nita mshuhulikia?”

“Usijali muheshimiwa raisi nime msamehe yeye na vijana wake hawa walio kuja kuni kamata. Mithili wana mfwata jambazi”

Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama RPC Karata na vijana wake.

“Hee nita shuhulika vizuri na hao vijana wala usiwe na shaka”

“Nashukuru muheshimiwa raisi”

“Haya”

Simu ikakatwa na nabii Sanga akanza kuangua kicheko. Taratibu akamfwata RPC Karata na kumtazama usoni mwake.

“Mume mjeruhi mlinzi wangu. Sasa nina hitaji mumpeleke hospitalini na muhakikishe ana rudi akiwa salama salmini la sivyo. Nita kufungulia mastaka ya uvamizi wa kutumia nguvu kwa mtu ambaye hajafanya kosa lolote. Jambo jengine, tambua kwamba huyo Magreth ni kiji mwanamke ambacho nilikitoa chini na kukifikisha pale kilipo, sasa kisije kukusababishia ukapoteza ajira yako kijana. Tokeni nyumbani kwangu”

Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini sana. RPC Karara akamtazama kwa hasira nabii Sanga kisha akaachia msunyo.

“Leo ume toka, ila nita hakikisha nina kuingiza mikononi mwangu ukiwa na ushahidi kamili na hata hao wanao kutetea leo. Wata kugeuka kwa maana nita kuwa nina simamia haki”

“Haki…..hahaaaaa. Kama una weza kuchukua rushwa na kumrishwa na mchukuaji rushwa kufanya vile anavyo hitaji leo hii una zungumzia haki. Kamchukueni mlinzi wangu na mumpeleke hospitalini na kama umeamua kupambana na mimi, basi leo mbele ya hao vijana wako hapo nina kuambia kwamba. Huto niweza kwa maana nina weza kukunua wewe, familia yako pamoja na hao kenge ulio ongozana nao na familia zao. Hivyo jiandae katila hilo”

Maneno ya kejeli yakamchukiza kila askari, ila kutokana wana ishi kwa kufwata oda za wakubwa wao wakashindwa kufanya jambo la aina yoyote. Nabii Sanga akaanza kutembea kuelekea nje, akafika getini na kumkuta mlinzi wake akiwa bado amepoteza fahamu kwa maana eneo alilo pigwa lina mfanya apoteze fahamu kwa muda mrefu kidogo. Askari mmoja aka chuchumaa pembeni ya mlinzi huyo na kumgusa kwa nguvu katika mshipa ulio shingoni mwake na kumfanya mlinz huyo kukurupuka.

“Wapo wapi wapo wapi?”

Mlinzi huyu alizungumza huku akiangaza angaza macho yake huku na kule. Nabii Sanga akamtuliza mlinzi wake kwani yupo kwenye hali ya kuchanganyikiwa. RPC Karata na vijana wake wakaondoka nyumbani hapo huku wakiwa wamejawa na hasira sana kwani kazi iliyo wapeleka hapo imewafanya warudi wakiwa mikono mitupu.

“Kapumzike walinzi wa jioni watakuja kushika zamu yako”

“Sawa mchungaji”

Mlinzi huyo alizungumza huku akiingia katika kijumba kidogo kilichopo katika geti hilo la pili kwani jumba hilo lina uzio wa kuta mbili. Nabii Sanga akarudi ndani na kumkuta dada wa kazi sebleni akiwa amekaa huku amepoteza furaha kabisa. Nabii Sanga akaingia chumbani kwake na kumkuta mke wake akiwa amekaa kitandani.

“Mume wangu umeona yule malaya wako alivyo fanya. Umeona?”

Mrs Sanga alizungumza kwa ukali huku akimtazama mume wake.

“Nitadili naye?”

“Uta dili naye kivipi ikiwa amepeleka video ya sisi kumvamia polisi, je akiamua kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii, si tuta dhalilika sisi?”

“Usiogope mke wangu, mimi ndio sana na mimi ndio nina jua ni nini cha kufanya ili kumkomesha yule mjinga. Kama mimi ndio nime nilimpa pesa yangu na kuyabadilisha maisha yake basi mimi mimi ndio nina weza kuhakiksiha nina mrudisha chini na kuwa omba omba.”

Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimfikiria na Magreth akilini mwake.

***

Mbogo mara baada ya kuituma ripoti ya kupotea kwa mtoto wa nabii Sanga kwa raisi na kumpa maelezo ya jinsi RPC Karata anavyo ivamia nyumba ya nabii Sanga, kwa haraka akawapatia vijana wake wa mtandao namba ya Julieth, ili ikiwezekana waweze kuitafuta kupitia sattelait.

“Mkuu namba ina onyesha kwamba haipo hewani”

“Jaribuni kutafuta njia nyingine ya kuitafua”

“Simu imewashwa”

Kijana huyo alizungumza huku akitazama computer yake huku akiangalia jinsi alama ya simu hiyo inapo onekana.

“Inaonyesha ipo wapi?”

“Ipo Kinondoni, katika hoteli moja ina itwa Nemax”

“Okay timu namba A ONE iondoke na kieleka Kinonondi haraka iwezekanavyo inaonyesha watekaji wameiwasha simu ya binti huyo”

Mbogo alitoa taarifa kwa vijana wake wapatao kumi na tano kwa kutumia kinasa sauti alicho kifaa sikioni mwake. Vijana hao wakaingia kwenye magari manne aina ya GMC yenye rangi nyeusi na yametengezwa maalumu kwa kutumiwa na vitengo vya usalama duniani. Mwendo kasi wa magari hayo yanayo pita bararani huku yakipiga ving’ora vinavyo sababisha magari mengine kupisha njia. Ndani ya dakika kumi na mbili wakafika hotelini hapo. Kwaharaka wakashuka kwenye magari yao huku wakiwa na bunduki mikononi huku wakiwa wamevalia majaketi ya kuzuia risasi yaliyo andikwa kwa maandihi ya rangi nyeupe NS FORCE.

“Signal imepotea”

Kijana aliye shika kifaa kidogo kinacho onyesha alama iliupo simu ya Julieth alizungumza ya alama hiyo kupotea.

“Ila atakuwepo kwenye hoteli hii hii”

Kijana mwengine alizungumza huku, wakaingia eneo la mapokezi na kumuonyesha dada wa mapokezi picha ya Julieth. Dada kwa woga akatingisha kichwa akimaanisha kwamba amemuona binti huyo.

“Tupeleke”

Kiongozi wa kikosi hicho alizungumza, akatoa melekezo ya wengine kupandisha ngazi huku yeye na wezake wawili pamoja na muhudumu huyo wakiingia kwenye lifti na taratibu ikaanza kuwapelekea kilipo chumba alichopo Julieth mtoto wa nabii Sanga.



***

Mara baada ya kutoka bafuni, Julieth akachuku simu yake na kuiwasha. Akaitafuta namba ya dalali anae hitaji kumpigia, kila anavyo jaribu kupiga kwa bahati mbaya akakuta namba ya dalali huyo haipo hewani.

“Dalali mwenyewe hapatikani ngoja nizime simu”

Julieth alizungumza huku akimtazama Ethan usoni mwake.

“Sasa uta fanyaje mpenzi?”

“Tuelekee ofisini kwake kwa maana hili jambo ni la kufanyika leo kwa maana hatuwezi kuendelea kuishi hapa hotelini siku zote. Ngoja nizime simu kwa maana sihitaji usumbufu wa aina yoyote”

“Sawa acha basi nijiandae”

Evan akaanza kuva huku Julieth naye akivaa nguo zake. Julieth akaingia bafuni na kusimama kwenye kioo kilichopo ndani ya bafu hilo na kanza kujiweka sawa nywele zake. Mlango ukagongwa, Evans bila ya kujishauri mara mbili huku akihisi watakuwa ni watu wa usafi akafungua mlango huo, gafla akajikuta akirudishwa ndani kwa teka la kifua na akaangukia mgongo huku maumivu makali yakianza kuutawala mwili huo. Kishindo cha kuanguka kwa Evans kukamfanya Julieth atoke bafuni kwa kasi, akashangaa kundi kubwa la watu wenye silaha wakiingia ndani humo huku wawili wakimvamia Evans na kumfunga pingu mikononi mwake.

“Upo salama?”

Askari mmoja alimuuliza Julieth ambaye hakuweza kujibu kitu chochote kutokana na woga kwani ambushi hiyo hakika ime mstua sana moyo wake.

“Tumempata Julieth yupo salama. Narudia tume mpata Julieth yupo salama”

Askari mmoja alizungumza kwa kupitia kinasa sauti chakealicho kivaa masikioni mwake na moja kwa moja kikawafikia makao makuu ya usalama wa taifa.

“Watekaji je?”

“Tume mkamata kijana mmoja”

“Basi waleteni wote makao makuu”

Mbogo alizungumza.

“Sawa mkuu”

Evans akatolewa mzoga mzoga ndani ya chumba hicho huku Julieth ambaye bado yupo kwenye hali ya bumbuwazi akitembea kwa mwendo wa taratibu. Evans akapandishwa gari jengine na Julieth akapakizwa katika gari jengine na wakaanza kuondoka eneo hilo kwa mwendo wa kasi sana eneo hilo na kuwafanya watu wengi kushangaa tukio hilo.

“Jamani mbona mumenikamata kosa langu ni nini?”

Evans aliuliza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Akapigwa kisukusuka cha mbavu na askari aliye kaa pembeni yake na kumfanya agugumie kwa maumivu makali sana. Wakafika makao makuu ya kitengo hicho na Evans moja kwa moja akapelekwa katika chumba cha mahojiano huku Julieth akiingizwa chumba cha mapumziko.

“Samahani dada kuna nini kinacho endelea?”

Julieth aliuliza swali huku akimtazama mwana dada huyo.

“Kila kitu kipo sawa. Una weza kupumzika hapa kwa muda”

“Kila kitu kipo sawa kivipi ikiwa mume tuvamia tu”

Mwanadada huyo kutokana sio msemaji wa kikosi hicho, hakuona haja ya kuendelea kukaa ndani ya chumba hicho. Mzee Mbogo akawasiliana na nabii Sanga na kuwaeleza kwamba mtoto wao amepatikana na kwa sasa yupo makao makuu ya kitengo hicho.

“Tuna kuja sasa hivi”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na shahuku kubwa sana ya kuhiyaji kumuona mwanaye. Hawakuchukua muda mrefu nabii Sanga na mrs Sanga wakafika katika makao makuu ya kitengo hicho. Moja kwa moja wakapelekwa kwatika chumba alicho pumzishwa Julieth.

“Ohoo Julieth mwanangu”

Mrs Sanga alizungumza huku akwia ameitanua mikono yake na kumkumbatia mwanaye. Julieth hakuwa na furaha ya aina yoyote ya kuwaona wazazi wake katika eneo hilo.

“Kuna nini kinacho endelea?”

Julieth aliwauliza wazazi wake pamoja na mzee Mbogo waliomo ndani ya chumba hicho.

“Ulitekwa mtoto wetu. Tuna mshukuru Mungu upo salama sasa”

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana moyoni mwake.

“Nimetekwa na nani!!?”

Swali hilo la Julieth kidogo likawafanya Mrs Sanga na mke wake kutazamana.

“Tulipo kuwa tuna kutafuta kwenye simu na hatukukupa hewani. Tukatambua kabisa utakuwa ume tekwa kwa maana pale hospitalini uliondoka ukiwa katia hali ambayo sio nzuri kabisa.”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Hivi nyinyi wazee mumesha anza kuzeeka vibaya ehee?”

Mzee Mbogo akajikuta akitabasamu kwani anahisi akili ya Julieth bado haipo vizuri.

“Julieth una toa wapi ujasiri wa kumjibu baba yako hivyo?”

“Mama unataka kujua ujasiri nime utoa wapi. Nina wajua nyinyi wawili kila mmoja na ujinga wake anao ufanya, ila nilishindwa tu kuwapa taarifa ila ukweli ni kwamba sasa hivi nime amua kuanzisha maisha yangu na wala sinto hitaji mtu yoyote kuniingilia kwenye maisha yangu. Tafadhali muachieni mume wangu niondoke naye. Isitose na wewe mzee una danganyajwe na hawa wazee kwamba nime tekwa na wewe una amini na kutumia nguvu kubwa mwishowe muna tuvamia hotelini na mpenzi wangu je munge tukuta nikiwa uchu munge faidi au?”

Julieth alizungumza kwa msisitozo na kuwafanya wazazi wake wajisikie vibaya.

“Julieth una mume toka lini mwanangu?”

Mrs Sanga alimuuliza Julieth huku akimtazama usoni mwake.

“Mama hili swala sio la kuja kuwaomba ruhusa kwamba nina paswa kuwa na mume au laa. Nina waheshimu na sihitaji kumwaga mchele kwenye kuku wengi. Baba tafadhali muambie huyu rafiki yako kwamba amuachie mume wangu la sivyo hali ya hewa masikioni mwenu ita kwenda kuchafuka”

Nabii Sanga akajikuta akiwa katika wakati mgumu. Malezi ya upendo ulio pitliza kwa mwanaye huyo wa kike sasa ana anza kuyaona madhara yake.

“Baba muambie rafiki yako amuachie mume wangu. Sikuzote watu wakitekwa wana pelekwa kwenye majumba mabovu mabovu na sio hotelini tena kwenye hoteli kama ile iliyopo katikati ya jiji ahaa….muna kosea jamani”

Julieth aliendela kumkoromea baba yake. Nabii Sanga akashusha pumzi huku akimtazama Julieth usoni mwake.

“Ndugu yangu muachie huyo kijana”

“Sanga una uhakika na unacho kizungumza?”

“Ndio muachie, ila samahani kwa hili ndugu yangu, sikufikiria kama hili jambo lina weza kuwa kama hivi”

Nabii Sanga alizungumza kwa saui ya upole na mzee Mbogo akatoa amri kwa vijana wake kumuachia kijana huyo.

“Nina ondoka ila nitarudi nyumbani kuchungua nguo zangu tu ila mukikataa pia nina weza kuziacha huko nita nunua nyingine. Nimechoka kukaa na nyinyi matatizo yenu basi jitahidini kupambana nayo nyinyi wenyewe na sio kunibebasha mzigo mkubwa kama huu. Yaani ni heri ningezaliwa fukara wa kutupa kuliko kuzaliwa kwenye familia ya kitajiri na kuwa na wazazi kama nyinyi”

Maneno ya Julieth yakamfanya mrs Sanga kushindwa kuvumilia na kujikuta akiangua kilio kizito. Julieth akatoka ndani hapo na kumkuta Evans akiwa ana sindikizwa na walinzi wawili huku mikono yake ikiwa imefunguliwa pingu. Julieth akamkimbilia Evans na kumkumbatia kwa nguvu.

“Tuondoke zetu, wasije wakatuzingua tena”

“Kuna nini kinacho endelea?”

“Tutaongea baadae”

Dada mmoja akawafwata na kuwakabidhi kifuko kidogo cha nailoni ambacho kimehifadhiwa simu zao, waleth ya Evans pamoja na kiasi cha pesa kilicho tolewa kwenye waleth ya Evans.

“Pochi yangu ipo wapi?”

“Ipo pale mapokezi”

Julieth na Evans wakaeleeka katika eneo la mapokezi. Akakabidhiwa pochi yake na wakaondoka zao.

“Sanga, ni utumishi wa Mungu ulio jaa moyoni mwako au ni nini? Haya sio malezi mazuri kwa mtoto, hakika binti yako umemlea vibaya tena vibaya sana”

Mzee Mbogo alizungumza kwa msisitozo huku akimtazama nabii Sanga na mkewe walio kaa katika masofa yaliyomo ndani ya chumba hicho. Nabii Sanga akashusha pumzi huku akilini mwake asijue afanye jambo gani.

“Mume mdekeza sana mtoto wenu. Sanga ulishindwa kunyanyua hata kofi, yaani nilitabani nimcharaze viboko mbele yenu na endapo angeendelea kuzungumza utombo basi ninge mcharaza, nisinge jali nyinyi ni watumishi wa Mungu au laaa”

“Ndugu yangu nina kuomba sana uni samehe”

“Mimi sina tatizo na wewe kabisa. Ila nimekueleza ukweli ndugu yangu mtoto wako ume mlea vibaya sana”

“Hivi amesema kwamba ana mchumba?”

“Sanga kwani hakuwemo ndani ya hichi chumba? Amesema alikuwa hotelini na mume wake.”

“Je nina weza kupata picha ya huyo kijana”

Mzee Mbogo akamtazama nabii Sanga kwa dakika kama mbili hivi pasipo kumjibu swali lake na kila anavyo mtathimini rafiki yake huyo ana kosa jibu la kumpatia. Mzee Mbogo akamuomba kijana wake mmoja alete picha ya kijana huyo na hazikupita dakika hata tano, akaingia kijana mmoja akiwa na picha ya Evans mkononi mwake. Mzee Mbogo akaitazama kwa sekunde kadhaa kisha akamkabidhi nabii Sanga ambaye mara ya kuiona akastuka sana hadi mzee Mbogo akagundua hilo.

“Vipi una mfahamu?”

“H…uuu…y….u mwana haramu ana kuwaje na mwanangu?”

Nabii Sanga aliuliza huku akiwa ametawaliw ana kigugumizi kizito sana kwani kijana huyo ni Evans mpenzi wa Magreth na mara ya mwisho kuonana na Evans alimpa nafasi ya kuishi la sivyo angemuua.

***

“Bosi naona muda ume kwenda, je ume muuliza mkuu wa polisi kwamba wamefikia wapi?”

“Hapana”

“Muulize kama wameweza kumkamata muhalifu au wameweza kufahamu ni wapi alipo mume wako”

Juma alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake. Siku nzima Magreth ameshindwa kufanya kazi na mawazo mengi sana ndio yame mkabili sana kichwani mwake.

“Sawa”

“Nikuandalie chakula gani?”

“Sijisikii kula Juma”

“Jaribu kula japo kidogo bossi, sina uhakika kama ulivyo toka kwako uliweza kupata hata kifungua kinywa. Tafadhali lakini”

Juma aliendelea kumbembeleza Magreth hadi akajikuta akikubali kuangaliwa ugali kidogo na mboga za majani.

“Basi nita kupigia mimi mwenyewe”

“Hahaa…..sawa”

“Ila fanya hivyo mpigie mkuu”

“Sawa Juma”

Juma akaondoka eneo hilo na kumfanya Magreth kumsindikiza kwa macho. Hakika ucheshi wa Juma una mfanya kidogo kupata unafuu wa kupunguza mawazo yake. Akampigia RPC Karata na simu yake ikapokelewa.

“Habari za mchana mkuu”

“Safi”

“Mkuu eti mume fikia wapi?”

“Tuna endelea kulishuhulikia na likiwa tayari basi tuta kujulisha”

“Sawa mkuu nakutegemea sana”

“Usijali”

Simu ikakatwa na kumfanya Magreth kujawa na mshangao mkubwa sana huku akiitazama simu yake hiyo. Akaitafuta namba ya Evans na kujaribu kumpigia tena ila akakuta simu ikiwa haipo kabisa hewani.

‘Jamani mume wangu atakuwa wapi?’

Magreth alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Kauli za kumkataa Evans mbele ya nabii Sanga zikaanza kujirudia kichwani mwake taratibu. Akashindwa kujizuia na kujikuta machozi yakianza kumwagika kwa wingi.

‘Nimempoteza Evans kwa ujinga wangu mimi mwenyewe. Ehee Mungu nirudishie mume wangu mimi’

Magreth aliendelea kusali kimoyo moyo akitamani hata mwenyezi Mungu aweze kufanya muujuziwa wa kumrudisha Evans mikononi mwake.

***

“Dereva simamisha bajaji”

Evans alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Julieth kushangaa sana.

“Kwanini?”

“Dereva nimekuambia simamisha bajaji”

Dereva akatii amri hiyo ya Evans, ambaye mara baada ya bajaji hiyo kusimama, akashuka kwenye bajaji hiyo huku akiwa amefura kwa hasira sana.

“Mume wangu una nini?”

“Tuna kwenda wapi na ninataka kujua ni kwa nini tulikuja kukamatwa pale hotelini?”

“Mume wangu si nime kueleza kwamba tuta zungumza. Hembu basi kuwa na uvumilivu tufike hoteli nyinge tuchukua chumba na mpango wetu wa kununua nyumba uwe pale pale”

“Hapana Julieth sinto weza kwenda na wewe pasipo wewe kuniambia ni kitu gani ambacho kina endelea. Nina vamiwa na kupigwa kama jambazi. Kosa langu mimi ni nini heee?”

Evans alifoka sana huku akiwa amemtumbulia macho Julieth aliye anza kujawa na wasiwasi wa kumpoteza mwanaume anaye mpenda.

“Ni wazazi wangu”

“Wazazi wako, wamefanya nini?”

“Kutokana toka jana nilikuwa sipatikani hewani wakaamua kutoa taarifa kwenye vyomba vya usalama kwamba nime tekwa ndio maana una ona wamekuja pale hotelini kutuvuamia. Ila baada ya kuwaeleza ukweli wame tuachia huru”

Julieth alizungumza huku machozi yakimwagika.

“Ohoo Mungu wangu kumbe wazazi wako wana uwezo kiasi hicho. Yaani wamevuka level ya polisi hadi kwenda kutoa ripoti sikuju kwenye National Security Force na wananijia na mitutu mimi kweli…..Ahaaa hapana nyinyi ni watu wabaya sana. Julieth kama haya ndio mapenzi yenyewe, tafadhali nina kuomba sana tumalizane hapa. Siwezi kufa ikiwa kijijiji mama yangu ana nisubiria mwanaye nimpelekee matunda na siku zote amekuwa akinilea na kunisomesha kwa kulima kwa makono na mwishowe leo hii nirudi kwake nikiwa maiti tena nime uwawa kwa ajili ya mtoto wa kiongozi mkubwa serikalini…aaahaaa hapana Julieth”

Evans alizungumza kwa uchungu sana huku machozi yakimwagika usoni mwake. Julieth akahisi kama moyo wake unataka kupasuka kwa maumivu kwani maneno aliyo zungumza Evans ni makali sana na yamemgusa moja kwa moja moyoni mwake.

“Wazazi wangu sio viongozi wa serikali Evans.”

“Kama sio viongozi serikalini, wanatolea wapi nguvu na mamlaka ya kutuma kikosi kikubwa kama kile kuja kunivamia mimi mtu mmoja ambaye sijui hata kutumia bunduki”

“Hapana Evans nielewe, baba yangu na mama yangu ni watumishi wa Mungu tu na wanakanisa lao basi hawana nguvu yoyote serikalini”

“Watumishi wa Mungu…..Hahaa haya ni watumishi gani hao wenye kumarisha kikosi kile kinifwate mimi eheee. Haya nitajie majina ya hao wazazi wako labda wana weza kuwa ni baba na mama yangu wa kiroho”

Evans alizungumza kwa sauti iliyo jaa kejeli na uchugu huku akimtazama Julieth usoni mwake ambaye tayari amesha anza kuwa mwekundu usoni mwake kutokana na kulia sana kwa uchungu.



Gafla Julieth akaanza kuhisi kizunguzungu. Nguvu za mwili zikamuishia na mwishowe akaanguka chini na kupotezafahamu. Kitendo hicho kika mstua sana Evans pamoja na muendesha bajaji ambaye muda wote ana wasubiria.

“Julieth Julieth”

Evans alimuita Juliet huku akianza kumtingisha ila Julieth hakuweza kuitika. Evans akajitahidi kwa nguvu zake zote na kumuingiza Julieth kwenye bajaji.

“Twende hospitali”

“Hospitali gani mkuu”

“Hospitali yoyote wewe twende.”

Evans alizungumza huku wasiwasi mwingi ukiwa umemtawala. Wakaondoka eneo hilo na hawakuchukua muda mrefu sana wakafika hospitalini hapo. Kwaharaka Julieth akakimbizwa katika chumba cha matibabu.

“Dokta ana tatizo gani?”

Evans alimuuliza dokta mara baada ya kutoka katika chumba alicho ingizwa Julieth.

“Tumegundua kwamba amepungukiwa maji hivyo tume mtundikia dripu la maji hivyo ina kubidi kusubiria aweze kuzinduka?”

“Dokta tatizo ni hilo tu au kuna jengine?”

“Mmm jengine ana onekana ana msongomkubwa wa mawazo. Ila mpatie muda wa kupumzika baada ya masaa kadhaa basi ata zinduka. Kwani ni nani yako?”

“Ni mpenzi wangu”

“Basi tusubirie azinduke”

“Nashukuru daktari, nina weza kuingia chumbani nikamuona”

“Hakuna shida hakikisha humsumbui hadi pale atakapo amka”

“Sawa dokta”

Daktari huyo akaondoka na Evans akaingia ndani ya chumba hicho na kumkuta Julieth akiwa amelala susingizi fofofo huku akiwa hajitambui kabisa.

***

Nabii Sanga akajikuta akichemka kwa hasira kwa maaha hakutarajia kwamba Evans ndio mume wa mwanaye.

“Sanga una mfahamu au?”

“Ndio huyu kijana nina mjua vizuri sana. Nitadili naye”

Nabii Sanga alizungumza huku akitembea tembea ndani ya chumba hicho. Mrs Sanga akaichukua picha hiyo na kumtazama kijana huyo. Hakuona kasoro yoyote ya Evans kwa maana kama ni uzuri wa suru na umbo amebarikiwa.

“Utadili naye kwa njia gani?”

Mzee Mbogoalimuuliza nabii Sanga huku akimtazama usoni mwake.

“Nita jua tu”

“Kuwa makini katika maamuzi ambayo una taka kwenda kuyafanya juu ya huyo kijana. Tambua kwamba serikali ya sasa na waananchi wengi macho yao yapo macho saka kwa kufwatilia kila jambo linalo endelea. Isike ikazuka skendo ya sisi kumteka huyo kijana hakika sinto kuelewa Sanga na una nitambua mimi ni mtu wa kusimamia maneno yangu”

“Nimekuelewa”

“Ushauri mdogo tu. Usifanya maamuzi ukiwa na hasira wala usitoa ahadi ukiwa na furaha”

“Sawa nime kupata”

“Haya karibuni sana”

Ninaweza kuondoka na hii picha”

Nabii Sanga alimuuliza mzee Mbogo huku akimtazama usoni mwake.

“Hapana.Hii ni mali ya kitengo changu na endapo itatoka nje ya jengo hili nita kuwa nime vunja sheria za kazi yangu”

“Sawa nina shukuru kwa kunisaidia hadi hapa”

“Karibu tena ila hakikisha kwamba malezi ya yule binti yako una yasimamia vizuri kwa maana sijapenda alivyo zungumza”

“Nitalifania kazi ndugu yangu”

Nabii Sanga na mke wake wakaondoka eneo hilo huku moyo wa nabii Sanga ukiwa umefuraha kwa hasira. Mzee Mbogo akamuagiza kijana wake aweze kumletea taarifa muhimu za Evans na akaagiza ahakikishe kijana huyo ana wekewa uangalizi wa karibu kwani amesha anaza kuhisi hali ya hatari ina weza kumkumbuka kijana ambaye hama makosa yoyote.

***

“Ume mjuaje huyo kijana mume wangu?”

“Nimesha wahi kumpa msaada wa kumlipia matibabu yake ya hospitali. Kumbe ana mla mwanangu. Hakika sinto muacha salama”

Nabii Sanga alizungumza huku akipunguza mwendo wa gari lake na kusimama nje ya geti lake. Akapiga honi na mmoja wa walinzi wakafungua geti. Wakaingia ndani na akasimamisha gari lake katika maegesho ya gari hilo.

“Mume wangu”

“Mmmm”

“Kuna yule dereva wa bodaboda na abiria wake ambao niliwagonga. Vipi umepata taarifa yoyote”

“Yule mpumbavu ana dai kwamba yule dereva wa bodaboda alikufa. Ila huyo abiria wake sijui yupo wapi”

“Ohooo Mungu wangu. Sasa itakuwaje mume wangu. Mbona hukunieleza siku zote?”

“Ningekuambiaje ikiwa ulikuwa katika hali mbaya”

“Sasa tuna fanyaje ikiwa wana familia wakipanga kufungua kesi”

“Mke wangu tafadhali hembu naomba uniache kichwa changu kiwe sawa. Usipende kuzungumza maneno mengi katika wakati mmoja. Hembu niache kwanza”

Nabii Sanga alizungumza kwa hasira kidogo na kumfanya mke wake kumtazama kwa sekunde kadhaa kisha akashuka kwenye gari. Nabii Sanga akakumbuka jinsi alivyo mkuta Evans akimnyonya maziwa Magerth na kumukumbu zake zikazidi kwenda mbali na kukumbuka jinsi alivyo mpa ruhusu ya kuondoka nyumbani hapo na wala asijitokea kabisa nyumbani kwake.

‘Kwanini siku ile nilimuacha yule mjinga?’

Nabii Sanga aliendelea kuwaza huku macho yakiwa yamejawa na machozi ya hasira.

‘Huyu kijana ameanza kuyafanya maisha yangu kuwa magumu ni lazima nihakikishe nina muua’

Nabii aliendelea kumkaribisha shetani azidi kukitawala kichwa chake. Akaitafuta namba ya Julieth na kumpigia tena. Majibu ya kuto kupatikana kwa simu hiyo hewani yakazidi kumkera na kumgadhabisha. Akaingia sebleni huku akisonya sonya. Akakuta kundi la wachungaji wa kanisa lake, akashusha pumzi huku akitengeneza tabasamu la kujilazimisha.

“Karibuni jamani”

Nabii Sanga alizungumza huku wachungaji hao wakianza kusimama na kumpa mikono.

“Jamani hamkunieleza kama muna kuja?”

“Ni kweli nabii, tunakuomba utusamehe kwani tulisikia habari ya mama jana kupata ajali ya gari hivyo ilitubidi tuweze kufika hapa”

Nabii Sanga akamtazama mke wake kisha akaendelea kutabasamu

“Ni kweli mama alipata ajali jana. Ila tunamshukuru Mungu jana usiku aliweza kuruhusiwa hospitalini na kumrudisha nyumbani.”

“Poleni sana. Unajua shetani ni mshenzi sana. Ila kwa jina la Yesu kristo atashindwa”

Mzee mmoja alizungumza kwa msisitozo huku akiwatazama watumishi wezake wapatano nane.

“Ni kweli kwenye maisha siku zote majaribu ni muhimu sana. Nashukuru kwa upendo wenu mulio onyesha”

“Usijali nabii Sanga. Sisi tupo pamoja na wewe”

“Jamani nina waomba kidogo nikazungumze na mama chumbani kwa maana tumetoka hospitali”

“Hakuna tatizo nabii muna weza kuzungumza tu”

Nabii Sanga akanyanyuka na kupandisha gorofani huku mke wake akimfwata kwa nyuma. Wakaingia chumbani kwao huku nabii Sanga akiwa amekasirika sana.

“Hawa watu wamekujaje hapa bila ya taarifa?”

“Sasa mume wangu mimi kwani nina jua, si tulikuwa pamoja”

“Hembu nenda kawaambie waondoke zao nisije nikawajibu watu vibaya kichwa changu hakipo sawa kabisa”

“Sanga nitaanzia wapi mume wangu kuwafukuza watumishi wa kanisa letu. Hembu punguza jazba mume wangu. Maisha hayahendi hivyo”

Mrs Sanga alizungumza huku akimkumbatia mume wake kwa nyuma na kumpapasa kifuani mwake. Kitendo hicho kikaanza kumfanya nabii Sanga kuipunguza hasira yake na akamkubalia mke wake kwenda kuzungumza na watumishi wake hao.

***

“Juma hembu kaa hapo”

Magreth alizugumza mara baada ya Juma kumuwekea chakula alicho kipika mezani. Taratibu Juma akaa huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Samagani kwa hili ambalo nitalizungumza”

“Bila samahani zungumza tu”

“Hivi kuna njia ambayo sio rasmi ambayo una weza kufahamu ni wpai mume ame elekea”

“Njia ambayo sio rasmi kivipi?”

Magreth akajifikiria kwa muda kwa maana katika maisha yake hajawahi kudbubutu hata kuyapa nafasi kichwani mwake mawazo yanayo husiana na maswala ya nguvu za giza.

“Kupitia wataalamu”

“Ahaaa waganga?”

“Ndio japo mambo hayo huwa siyaamini sana”

“Hilo lina wezekana dada. Kama mtu ana weza kupigwa kimbora akiwa Ulaya sembuse bongo hapa”

“Je una mfahamu mtaalamu ambaye ana weza kunisaidia?”

“Ndio, babu yangu mzaa baba ni mtaalamu. Handeni nzima ana julikana na yeye ndio mtu ambaye amenipa huu ujuzi wa kuwaona wachawi kama yule mama mwenye nyumba wako”

“Hahaa sawa. Naomba unisaidie, katika hilo”

“Mmmm vipi polisi kwani wao wana semaje?”

“Polisi nina ona hakuna jibu la moja kwa moja nawana dai kwamba wana endelea kulifwatili”

“Ngoja kwanza nimpigie babu yangu”

Juma akatoa simu yake mfukoni na kumpigia babu yake. Babu yake akapokea simu na wakaanza kusalimiana kwa lugha ya kizigua.

“Sasa babu kuna bosi wangu amepotelewa na mume wake. Sasa ana hitaji kufahamu kama yupo hai au kuna sehemu yupo?”

“Mmmmm anataka kufahamu kwa sasa hivi?”

“Ndio babu nisaidie nitakupatia pesa ya soda”

“Basi acha nifanye utaratibu, anipatie jina la huyo mume wake pamoja na jina la mama yake”

“Bosi eti una fahamu jina la mama mzazi wa mume wako?”

“Mmmm sifahamu kwa kweli”

“Babu ana sema kwamba hafahamu”

“Sasa nita msaidiaje hapo kwa maana siku zote ili iwe rahisi kumpata mtu ni lazima uhakikishe una lifahamu jina la mama yake aliye mzaa”

“Sasa babu haito wezekana?”

“Itakuwa ngumu sana na itanichukua muda mrefu. Hembu nitajie jina la huyo mwanaume”

“Anaitwa Evans”

“Evans, haya nitakupigia baada ya robo saa”

“Sawa babu”

Juma akakata simu huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana.

“Bosi wangu kama polisi wame shindwa ila upande wa pili huku mambo yatakuwa poa kabisa”

“Kweli?”

“Wewe subiri uweze kuona mambo. Kula bosi msosi ni mzuri nime kuandalia majibu mazuri yana kuja”

Juma alizungumza kwa furaha na kumfanya Magreth kuanza kula chakula hicho huku akiwa amejawa na matumaini makubwa sana ya kufanikiwa katika kufahamu ni wapi alipo Evans.

***

Julieth baada ya masaa matatu akakurupuka kutoka kitandani. Macho yake yakatua kwenye sura ya Evans ambaye anabubujikwa na machozi kwani kwa kipindi hicho alihisi kwamba ana akwenda kumpoteza Julieth.

“Evans”

Julieth alimuita Evans aliye jishika tama huku akiwa amekaa kwenye sofa lililopo katika chumba hicho. Evans akakurupuka na kusogea kitandani hapo.

“Niambie mke wangu”

Evans alizungumza huku mapigo ya moyo yakizidi kumuenda kasi sana.

“Safi, nipo wapi?”

“Nimekueleta hapa hospitalini ulipoteza fahamu pale nilipo kuwa nina kufokea mke wangu. Samahani sana kwa kukufokea”

“Usijali hilo mume wangu”

“Acha nikamuite basi dokta aje kuangalia afya yako kwamba ina kwendaje?”

“Mimi nipo sawa tuna weza hata kutoka sasa hivi”

“Hapana Julieth. Ngoja tupate udhibitisho wa daktari”

“Sawa nakusubiria”

Evans akatoka chumbani hapo kwa bahati nzuri akakutana na doktari akikatiza katika kordo ya vymba hivyo.

“Samahani daktari mgonjwa wangu amezinduka”

“Ahaa amezinduka ehee?”

“Ndio amezinduka”

Evans na daktari wakaingia ndani ya chumba hicho. Wakamkuta Julieth akiwa amekaa kitako. Daktari akampima Julieth na akakuta afya yake ikiwa imerudi katika hali ya kawaida.

“Mgonjwa yupo vizuri, ila tuta omba tumpumzishe kwa masa mengine mawili kisha tuta mruhusu kuondoka. Ila kwa sasa kamnunulie chakula na pia usimpe nafasi mke wako ya kujawa na mawazo mengi kichwani mwake. Umenielewa?”

“Ndio nimekuelewa dokta”

“Basi fanya hivyo”

Dokta akatoka chumbani hapo. Evans akampiga busu Julieth shamuni mwake na kuelekea kwenye mgahawa wa karibu na hospitali hiyo. Akanunua chakula na kurudi hospitalini, kwa pamoja wakaanza kula chakula hicho huku wakiwa na hali ya furaha na wala Evans hakuhitaji kumuuliza Julieth tena swala linalo husiana na familia yake.

***

“Mkuu hii ndio taarifa ya Evan Shika”

Kijana wa mzee Mbogo alizungumza huku akimkabidhi mzee huyo faili lenye taarifa kamili za Evans kuanzia alipo kuwa mtoto mdogo hadi umri huo alio fikia. Akalifungua faili hilo na kuanza kulisoma taratibu.

“Amemuua baba yake au ni taarifa ya kubuni?”

Mzee Mbogo alimuuliza kijana wake huyo aliye mletea taarifa.

“Ndio alimuua baba yake mzazi mara baada ya kumkuta akimpiga mama yake. Ilikuwa ni hali ya kawaida kwa baba yake kumpiga mama huyo akiwa ana lewa”

Mzee Mbogo akaendelea kusoma maelezo hayo ya Evans.

“Ana degree kumbe?”

“Ndio amemaliza hivi karibuni”

“Mmmmmm ana fanya kazi gani?”

“No status ya kazi mkuu”

“Anaonekana ni jasiri”

“Ndio mkuu”

“Ana tufaa namuhitaji tumuingize kwenye kitengo. Nina imani kwamba ata tusaidia”

Mzee Mbogo alizungumza kwa kujiamini ili kuhakikisha kwamba ana muweka Evans katika mazingira salama zaidi kwani kauli ya nabii Sanga kwamba ata mshuhulikia Evans ina zidi kumnyima amani moyoni mwake.


“Kwa hiyo tumchukue muheshimiwa?”

“Hapana kwa sasa tumuache na tumuangalie ndani ya miezi sita movement zake zitakwa ni zipi. Ila hakikisha macho yapo kweka kwa asilimia kubwa”

“Sawa muhehimiwa”

“Endapo kuta kuwa na dalili yoyote ya mtu kujaribu kumvamia hakikisheni kwamba muna muwahi yeye”

“Sawa muheshimiwa. Ila nina weza kukuuliza swali jengine kama huto jali”

“Uliza”

“Kwa nini umeamua tumfwatilie kijana huyu kwa ukaribu sana?”

Mzee Mbogo akamtazama kijana wake kwa sekunde kadhaa.

“Nafasi”

“Nafasi!! Kivipi muheshimiwa”

“Nahitaji kumpatia nafasi ya kubadilisha maono ya maisha yake hivyo akiendana na kasi yangu basi atakuwa ni kijana wangu ila akifeli basi ataendelea kuwepo huko duniani”

“Sawa muheshimiwa”

Kijana huyo akatoka ofisini kwa mzee Mbongo na akaendelea kusoma taarifa za Evans.

***

Evans na Julieth wakaruhusiwa kuondoka hospitalini mara baada ya kulipa. Kutokana muda umekwenda sana hawakuona haja ya kuelekea tena ofisini kwa dalali. Wakatafuta hoteli ya kupumzikia ili siku inayo fwata waweze kuendelea na mihangaiko ya kutafuta nyumba ya kununua.

“Julieth”

“Bee”

“Nakuomba unisamehe mpenzi wangu”

“Nikusamehe na nini?”

“Kukufokea muda ule. Niligadhabika na kuogopa kwa jambo lililo tokea”

“Usijali mume wangu. Una haki ya kunifoka pale unapo hisi nina fanya makosa”

“Nakuahidi mke wangu, nitakuwa nina kuelekeza kwa upole kila jambo”

“Kweli?”

“Ndio mke wangu”

Taratibu wakakumbatiana huku taratibu wakianza kunyonyana lipsi zao.

“Ahaa nina wazo moja mke wangu”

“Wazo gani?”

“Kwa nini usimpigie dalali, tukazungumza naye leo, ili kesho tutakapo ianza siku basi tuanze kwa mipango mingine”

“Sawa mume wangu ni wazo zuri”

Julieth akaiwasha simu yake kisha akampigia dalali huyo.

“July mamabo vipi?”

“Safi, leo nilikutafuta na sikukupata hewani?”

“Ni kweli, nilikwenda nje ya mji huko kuna mtu nilikwenda kuwaonyesha eneo la kujenga kiwanda cha maziwa hivyo mtandao kidogo huko una sumbua. Nisamehe bwana bosi wangu”

“Usijali. Sasa nahitaji nyumba ya gorofa moja”

“Unahitaji ya kupanga au ya kununua?”

“Ya kununua nina weza kupata kwa bei gani?”

“Mmmmm ukihitaji kununua una weza kupata kuanzia milioni mia mbili kwenda mbele”

“Je ya kupanga?”

“Zipo za dila elfu moja kwa mwenzi na kuendelea mbele”

“Evans tununua au tupange?”

Julieth alizungumza huku akimtazama Evans usoni mwake.

“Za kununua ni kiasi gani?”

“Nyumba ya gorofa moja ni milioni mia mbili na hamsini na kuendelea mbele”

“Mmmmmm!! Mbona ni nyingi sana?”

“Milioni mia mbili mbona ni pesa ya kawaida sana?”

Evans macho yakamtoka kwa maana kwenye maisha yake hajawahi kumiliki hata kiwango cha milioni kumi ila kwa Julieth ni pesa ndogo sana.

“Sawa waweza kununua”

“J nitumie picha ya nyumba hizo za kununua pamoja na bei zake”

“Sawa nakuingizia sasa hivi bosi”

Julieth akakta simu na kukaa vizuri kitandani.

“Mbona ulishangaa juu ya kiwango cha pesa nilio kutajia?”

“Ni pesa nyingi sana Julieth”

“Usijali ni mambo madogo. Nina akaunti zangu tatu na zote zina pesa si chini ya dola milioni kumi kila moja”

“Dola milioni kumi?”

“Yaaa nikikuambia kwamba baba yangu ana pesa nyingi niamini.”

Julieth akazidi kumchanganya Evans na kujiona ni mwenye bahati sana kwenye maisha yake. Julieth akafungua picha hizo ambazo ametumiwa na dalali anaye jiina kwa jina la J. Wakaanza kupitia picha hizo kumina wakpenda picha za nyumba mbili na kwapamoja wakakubaliana siku inayo fwata watakwenda na dalali kwenye nyumba hizo ili kuzikagua na watakayo pendezewa nayo zaidi basi wataichukua.

***

“Lazima nimpate”

Sauti ya Jerry Metenzi, mtoto wa mwisho wa raisi Chinas Mtenzi, alizungumza huku akiitazama picha ya Julieth, mwanamke anaye mpenda kuliko kitu chochote kwenye maisha yake. Kurudi kwake nchini Tanzania kutoka masomoni nchini Marekani kukamfanya ajawe na hamu na hamasa kubwa sana ya kumuona msichana huyo ambaye walisoma kwa pamoja shule ya sekondari nchini Kenya.

“Jerry sihitaji utokea bila ya kuwa na walinzi. Ule mchezo wako wa kukimbia walinzi siutaki. Umenielewa”

“Usijali Dady, ila lile ombi langu ume lifanyia kazi?”

“Nimezungumza na baba yake leo hii. Nimemuita ikulu kesho ata fika hapa”

“Je nina weza kwenda kwao nika muona Julieth?”

Raisi Mtenzi akashusha pumzi taratibu kwa maana haitaji kumueleza mwanaye huyo kitu gani kilicho tokea kwa siku ya leo.

“Kesho baba yake akifika hapa nitamueleza kila jambo na tuta fanya taratibu za kuwaunganisha. Ila nina swali moja muhimu sana”

“Uliza baba?”

“Una uhakika Julieth ana kupenda au ndio una kwenda kumtongoza?”

“Baba trust me Julieth ana nipenda na tuliwekeana ahadi za kusubiriana hadi pale tutakapo funga ndoa”

“Kweli?”

“Yaa why you don’t trust me”

“No nakuamini katika hilo”

“Baba siwezi kuoa mwanamke mwengine tofauti kabisa na Julieth, yeye ndio ambaye ana ufanya moyo wangu ushamiri kwa furaha na hata nimerudi hivi Tanzania kwa ajili ya kumua kisha tuna ondoka zetu na kuelekea Marekani kuendelea na masomo yetu”

“Jery nimekuelewa. Ila tusubirie kesho. Naomba sasa niendelee na majukumu ya kitaifa”

“Okay mr president. Give me five?”

Jery alizungumza huku akiwa amekunja ngumi mkoo wa kulia na kumuelekezea baba yake. Raisi Mtenzi akatabasamu kisha wakagonganisha mikono yao kwa moja na Jery akatoka ofisini hapo.

“Nahitaji kupata full data zinazo husiana na Julieth Sanga leo sawa”

Jery alimuambia mlinzi wake ambaye ana mlinda popote anapo kwenda.

“Sawa mkuu”

Mlinzi huyo akachukua simu hiyo ya Jerry na kujirushia picha ya Julieth Sanga kisha akamrudishia simu yake.

“Mkuu kuna sehemu yoyote utakayo kwenda?”

“Hapana kutokana ndio nime ingia leo, nahitaji muda mzuri sana wa kupumzika na mama yangu. Ila hakikisha uan nipatia majibu juu ya huyo msichana”

“Usijali”

Jery alizungumza kwa furaha huku akiamini kwamba Julieth yule wa miaka kumi na nne ndio huyo wa sasa ambaye ndani ya miaka minne hawajakutana kabisa.

***

Nabii Sanga akajitahidi kuyapelekea mazungumzo na watumishi wake haraka haraka na walipo maliza kufanya maombi, wakaaga na kuondoka.

“Haaa nimechoka na hawa watu”

“Kwa nini mume wangu”

“Hawaombi ruhusa ya kuja kwa mtu, wao wanapo jisikia kuja tu wana kuja”

“Ila mume wangu si watumishi wetu usiwachukulie kihivyo bwana. Ehee niambie huyo kijana ni nani kwa maana sijapata muda wa kulizungumzia hili”

Nabii Sanga akakaa kimya huku akimtazama mke wake.

“Nitakuambia pale nitakapo mshuhulikia”

“Mume wangu usifanye maamuzi ya kijinga ukasababisha mwanangu akapotea kabisa. Sinto kuelewa”

“Kwa hiyo unaona mwanao yupo sahihi kwa kuiozesha yeye mwenyewe si ndio?”

“Hayupo sahihi, ila maamuzi yako tafadhali yasije yakaingilia maisha ya mwanangu. Una mjua Julieth ni mtu wa kufanya maamuzi ya kijinga muda wowote. Hivyo tafahdhali sitaki shida sasa hivi”

“Hivi kwa mfano waumini wangu wakajua, mwanangu ana ishi pasipo kuwa na ndoto una hisi watanichukuliaje mimi ambaye kila siku nina hamasisha watu kufunga ndoa zilizo tukufu mbele ya macho ya bwana”

“Huwezi kuwazuia binadamu kwa jinsi wanavyo kuchukulia. Ila nina kuomba maamuzi yako yasije yaka mdhuru mwanangu tu”

Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo hukua akiondoka sebleni hapo.

“Mke wangu niandalie kahawa basi, nime miss sana kahawa yako”

“Sawa”

Nabii Sanga akatoa simu yake mfukoni, kabla hajafanya kitu chochote, simu yake ikaanza kuita. Akastuka kidogo mara baada ya kuona ni namba ya raisi. Mapigo ya moyo kidogo yakaanza kumuenda kasi huku akitafakari ni kitu gani ambacho raisi ana hitaji kuzungumza naye. Akaipokea simu hiyo taratibu na kuiweka sikoni mwake.

“Muheshimiwa raisi”

“Habari za muda ndugu yangu”

“Salama tu muheshimiwa”

“Naamini una kumbuka safari ya wewe kuja Ikulu kesho”

“Ndio muheshimiwa ila bado sija tambua ni muda gani niweze kuja huko”

“Mmmm njooni saa saba hivi mchana pamoja na mama. Nahitaji lunch tule kwa pamoja”

“U…unasema lunch tuje kula huko?”

“Ndio Sanga. Njooni na mama kwa maana kuna mazungumzo muhimu sana nina hitaji kuzungumza nanyi”

“Sawa muheshimiwa hakuna tabu nita kuja huko”

Nabii Sanga alizungumza huku meno yote thelathini ya mbili yakaonekana kwa furaha hiyo. Mrs Sanga akashangaa sana kumuona mume wake akiwa katika hali hiyo ya furaha.

“Mume wangu kuna nini?”

“Muheshimiwa raisi ana hitaji jecho tukale chakula cha mchana pamoja ikulu”

“Ikuku!!?”

“Ndio ana sema twende wote mimi na wewe. Kuna mazungumzo muhimu sana ana hitaji kuzungumza nasi”

“Mmmm kwema lakini?”

“Moyo wangu hauna hata wasiwasi. Nina imani kwamba ni kwema”

“Haya tuta kwenda”

***

Juma kwa haraka akaipokea simu yake na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio babu”

“Nimeshindwa kuona chochote mjukuu wangu”

“Babu kweli ume shindwa kufanya madiko diko yoyote?”

“Kweli, nina ona giza kabisa. Huyo kijana sijui ana kitu gani na hii ndio mara yangu ya kwanza kushindwa kuona chochote kwneye ramli zangu”

“Mmmm sasa babu nitamueleza nini bosi wangu”

“Mueleze ukweli kwamba mpango umeshindikana. Ila mtu ukiona hivi utambue kwamba kuna mambo mawili. Moja awe amfariki dunia au yupo na mtu ambaye ana nyota kubwa sana ambayo ina mpoteza yeye asionekane.”

Juma akashusha pumzi taratibu huku akimtazama Magreth anaye zungumza na mmoja wa wateja wake.

“Sawa babu nita mueleza”

“Haya, ehee pesa yangu ya shuhuli”

“Nitakutumia babu wala usiwe na shaka kabisa”

“Haya fanya hivyo”

“Sawa babu”

Juma akakata simu, akatoka ndani hapo na kumfwata Magreth katika kiti alicho kaa mara baada ya mteja wake huyo kuondoka.

“Ehee Juma niambie nini babu amekiona”

“Babu bwana ameona giza”

“Ameona giza? Una maanisha nini?”

“Alivyo niambia kwa utaalamu wake yeye anavyo hisi ni kwamba kunamambo mawili. Moja Evans atakuwa na mwanamke mwengine ambaye ana nyota kubwa inayo mfunika na yeye au mbili atakuwa amefariki dunia hivy……”

Magreth akanyoosha mkono na kumpa ishara Juma asiendelee kuzungumza chochote kwa maana kauli ya Evans kufariki ina mpa wasiwasi mkubwa sana na wala haamini kama Evans ana weza kuwa na mwanamke mwengine ambaye ana weza kuwa na nyota kubwa ya kumficha mume wake.


“No Evans hawezi kuwa na mwanamke mwengine zaidi yangu. Hapa ni lazima yule mwanaume atakuwa ame mteka”

Magreth alizungumza huku machozi yakimwagika.

“Bosi ila hatuwezi kuwa na uhakika kama mume wako ata kuwa ametekwa au amekufa. Hisia tuzisipeleke huko sana”

“Juma wewe hujui tu yule mwanaume alicho niambia. Alisha niambia kwamba endapo nitakuwa na mwanaume mwengine basi ni lazima atamuua. Sasa una hisi atakuwa amefanya nini, ikiwa alinifumania na Evans kitandani kabisa”

Juma akashusha pumzi kwani hicho alizo kizungumza Magreth kwa namna moja ama nyingine kina tengeneza picha ya namna hiyo.

“Bosi nina imani kwamba Evans tuta mpata na atakuwa hai. Nyamaza kulia”

“Najisikia kuumwa, nipeleke kwangu nisaidie kuendesha”

“Sawa mkuu”

Magreth akatangulia kwenye gari lake na Juma akaacha maagizo kwa wafanyakazi wezake. Kisha wakondoka na Magreth eneo hilo.

“Roho yangu ina niuma sana”

Rose alizungumza huku akimtazama Lily

“Kwa nini?”

“Nina mpenda sana Juma, ila nahisi kama ana mahusiano na bosi Mage”

“Mmmm Rose, sidhani kama Juma ana weza kuwa na mahusiano na bosi Mage. Ila ninavyo ona hapa, bosi atakuwa na matatizo binafsi na kutokana Juma ndio aliye mzoea peke yake, ana amua kumuweka karibu na kumueleza mambo yake”

“Ila lazima Juma awe wa kwangu”

“Rose ushauri mdogo tu. Hapa tupo kazini na tumeajiria. Hivyo tafadhali usije ukajichanganya mapenzi na kazi. Mama utapoteza kila kitu na wewe mwenyewe ulishuhudia jinsi watu wengi walivyo kuja siku ya usahili ila siis tu ndio tume pata hii kazi. Sasa wewe leta wivu wako wa kijinga”

Lily mara baada ya kuzungumza hivyo akaondoka eneo hilo na kumuacha Rose akipanga mipango ya jinsi gani anavyo weza kumpata Juma.

Juma akamfikisha Magreth nyumbani kwake. Alipo hakikisha Magreth yupo salama akaondoka nyumbani hapo kwa kutumia usafiri wa bajaji na kurudi kwenye mgahawa kuendelea na kazi. Huzuni iliyo changanyikana na majonzi ikazidi kumtawala Magreth, hakujua ni kitu gani akifanye ili kumpata Evans wake. Njia ya pekee ambayo ana hisi inaweza kumsaidia ni kumpigia nabii Sanga. Akampigia nabii Sanga na simu yake ikaita na ikakatwa. Akajaribu kupiga tena ila simu hiyo ikakatwa na kuzidi kumnyong’onyeza Magreth.

***

Asubuhi na mapema Julieth na Evans wakapanda bajaji na kuelekea katika hoteli ya Nemax, wakakuta gari likiwa katuka hali ya usalama.

“Hivi siku hizi vibaka wa kuiba iba taa hawapo?”

“Kwa hapa hotelini hawawezi kuiba, kuna ulinzi wa kutosha.”

Magreth alizungumza huku wakifungua mlango wa gari hilo. Wakapanda na kuelekea ofisini kwa dalali J. Kutokana walisha panga kukutana naye, waliweza kumkuta. Wakaingia kwenye gari hilo na kuanza kuelekea katika nyumba hizo.

“Bosi nakuoa una chuma kingine?”

“Hapana hili gari sio langu. Gari langu mama alipata nalo ajali majuzi hapa hivyo lipo gereji”

“Aisee pole sana”

“Nashukuru bwana. J huyu ni shemeji yako ana itwa Evans”

“Nashukuru kukufahamu shemeji”

“Hata wewe nina shukuru kukufahamu”

“Mtunze bwana dada yangu”

“Hahaha usijali nita mtunza ndugu”

Wakafika maeneo ya madale na kuitazama nyumba hiyo ambayo ni ya gorofa moja na imetengenezwa vizuri”

“Hii bei gani?”

“Mwenyewe ana taka milioni mia nne”

“Sawa. Evans vipi hii?”

“Ni nzuri ila itakuwa ni jambo zuri sana tuka enda kwenye ile nyumba nyingine ili nayo tuione na kwa pamoja utajua ni ipi uta inunua”

“Sawa sawa”

Wakaanza safari kuelekea katika nyumba nyingine iliyopo Mbezi beach. Wakiwa njiani, simu ya Julieth ikaanza kuita. Kutokana wapo kwenye foleni, Julieth akaitazama namba hiyo mpya inayo ita kisha akaipokea.

“Halooo”

“Niambie mke wangu”

Julieth kwa utaalamu pasipo Evans wala J kufahamu chochote, akapunguza sauti ya simu hiyo huku wasiwasi na mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi.

“Nani mwenzangu”

Julieth aliuliza kudhibitisha tu kwamba huyu anaye zungumza naye ni mtu sahihi au ana fananisha sauti.

“Ina maana hata sauti huitambui mke wangu”

“Samahani nina endesha nita kupigia baada ya muda kidogo”

Julieth akakata simu huku akishusha pumzi nyingi. Simu ikapigwa tena na kumfanya Julieth kuhisi kuchanganyikiwa. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Julieth mke wangu mbona una nikatia simu?”

Jery alizungumza kwa ukali kidogo

“Nina endesha tafadhali nina kuomba nitakapo simama nitakupigia”

“Ume nifahamu?”

“Ndio nimekutambua”

“Sawa hakikisha ukifika tu una nipigia”

“Sawa”

Julieth akahisi tumbo la haja kubwa likimkamata. Wakafika katika jumba jengine la kifahahari. J na Evans wakaanza kushuka kwenye gari na Julieth akasalia ili kumpigia Jery mwanaume ambaye waliwekeana ahadi nyingi sana za kimapenzi kabla ya Jery kuondoka nchini Tanzania na kuelekea nchini Marekani kuendelea na masomo yake ya udaktari. Simu ya Jery ikapokelewa.

“Jerry umerudi lini Tanzania?”

“Jana alfajiri ndio nilitua Tanzania mke wangu. Tena nilihitaji kukufanyia suprize mke wangu”

“Mmmm kweli hii suprize sasa kuna ofisi hapa nina ingia nikutoka tuta zungumza”

“Niambie ni ofisi gani nije sasa hivi kukuona”

“Jery nita kuambia hivyo pia sichukui muda mrefu sana, kama dakika kumi na tano hivi nitakuwa nime toka”

“Sawa make sure leo tuna kutana”

“Mmmmmm okay nitakujulisha”

Julieth akakata simu huku akihisi kichwa kikimpasuka kwa mawazo. Umbali wa Jery na kukatika kwa mawasiliano katika kipindi cha miaka minne alishindwa kabisa kuweza kuamini kwamba upendo na ahadi walizo ziweka katika mapenzi yao kama zita weza kutimia.

‘Ehee Mungu nita fanya nini ikiwa nina mpenda Evans’

Julieth alizungumza kimoyo moyo huku akimtazama Evans anaye zungumza na J huku akimuonyesha onyesha maeneo ya mbele ya jumba hilo. Julieth akashuka kwenye gari hilo huku akijitahidi kuficha wasiwasi wake, akawafwata Evans na J sehemu walipo. Wakaizunguka nyumba hii na kila mmoja akakiri kwamba hili jumba ni zuri.

“Hii ni kiasi gani?”

“Hii nyumba ana uza one point five bilioni”

“Bilioni moja na nusu!!”

Evans alishangaa sana.

“Ndio shemeji. Si unaona jinsi ilivyo kaa vizuri”

“Mmm parefu sana”

“Evans umeipenda?”

“Nimeipenda ila ni bei sana”

“Tuta inunua”

“Julieth””

“Tutainunua Evans hilo jambo niachie mimi. J wasiliana na mmiliki wake atupe tarehe ya lini tukutane, niinunue”

“Sawa bosi”

J alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kwa maana ana tambua kwamba na yeye ana pata kiasi kikubwa cha pesa akifanikisha nyumba hiyo kununuliwa.

***

Nabii Sanga na mke wake wakajiandaa vizuri na kuianza safari ya kuelee Ikulu. Wakafika katika geti la Ikulu na kuonyesha vitambulisho vyao. Kutokana raisi aliagiza juu ya uwepo wao, wakapokelewa vizuri sana na walinzi wa raisi. Wakapelekwa moja kwa moja eneo anapo ishi raisi na kupokelewa na mrs Mtenzi.

“Karibuni sana nime furahi kuwaona hapa”

“Tunashukuru kwa mualiko wenu”

“Baba yupo kwenye kikao kina isha kama dakika tano zijazo ata fika hapa muda si mrefu”

“Wala hakuna shaka, nyinyi kuweni na amani”

Wakaendelea na mazungumzo ya hapa na pale huku kila mmoja akiwa amejawa na furaha. Raisi Mtenzi akafika nyumbani kwake hapo.

“Nisameheni jamani kwa kuchelewa”

“Wala usijali muheshimiwa raisi na wala hupaswi kutuomba msamaha kwa maana tuna tambua una kamilisha majukumu ya kitaifa.

“Sawa sawa. Leo nimeona niwaite tuje kupata chakula cha mchana tuna mazungumzo muhimu sana na nyinyi”

“Hakuna shaka muheshimiwa”

“Mama Jery, Jery yupo wapi?”

“Ngoja nikamuite chumbani kwake.”

Mrs Mtenzi akanyanyuka na kuelekea chumbani kwa Jery na kumkuta akicheza game.

“Kweli bado hujakuwa mwanangu”

“Kwa nini?”

“Hadi leo unacheza games”

“Mama kucheza games sio kwamba ni utoto. Ninakiweka sawa kichwa changu, si unatambua jinsi gani masomo yetu yalivyo magumu. Usipo fanya vitu kama hivi una weza kujikuta una changanyikiwa.”

“Haya, jiandae wazazi wa Julieth wamesha fika”

“Weee?”

“Ndio vaa vizuri sio una toka sebleni kwa wakwe zako na hiyo pesi”

“Nina kuja sasa hivi mama”

Jery alizungumza kwa furaha huku akinyanyuka kwa haraka. Mrs Mtenzi akatoka ndani hapo na kurudi sebleni.

“Mama tukaribishe wageni mezani”

“Jamani karibuni sana tuweze kupata chakula cha mchana”

Wakanyanyuka na kuelekea katika meza hiyo ya chakula iliyo andaliwa chakula cha kila aina. Jery akafika mezani hapo na akatambulishwa kwa nabii Sanga na mke wake.

“Ni kijana mzuri sana”

Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama Jery usoni mwake.

“Ni kweli, tume jitahidi sana kumkutaza katika maadili mazuri na hapo ni daktari mtarajiwa”

“Waoo una somea mambo gani?”

“Nina somea maswala ya ugunduzi wa madawa ya magonwa sugu kama vile HIV na magonjwa mengine mengine”

“Hongera sana’

“Nashukuru sana wazee wangu. Mimi nawaomba niwaache kidogo muzungumze, kuna kajishuhulia nina kamalizia ndani”

“Hujumuiki nasi kwenye kula?”

Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama Jery.

“Hapana mama yangu, mimi nimesha kula kama dakika ishirini hivi nyuma”

“Sawa mwanangu”

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana moyoni mwake. Jery alipo ondoka raisi Mtenzi akaguna kidogo huku akijiweka sawa kwenye kiti alicho kikalia.

“Ndugu zangu, wazazi wezangu nime waita hapa kwa jambo muhimu sana kwenye maisha ya vijana wetu. Nina imani kwamba mume muona mwanangu wa kime na pia nina imani nyinyi mtoto wenu wa kike amepatikana”

“Ndio muheshimiwa raisi, amepetikana na asanteni sana kwa juhudi zenu”

“Ni jukumu letu kuhakikisha Watanzania wote wana kuwa katika mikono salama. Lengo la sisi kuwaita hapa ni kuleta pendekezo ama ombi kwenu kama wazazi juu ya binti yenu”

Raisi Mtenzi akashusha pumzi kidogo kisha akendelea kuzungumza.

“Mtoto wetu Jery alinieleza kwamba ana mpenda Julieth na wana mahusiano ya urafiki wa muda mrefu sana toka walipo kuwa wanasoma nchini Kenya sekondari. Hivyo sisi kama wazazi, nikaona halito kuwa jambo zuri kwa watoto wetu pale watakapo kuwa wana kutana tu vichochoroni, nikaona ni heri tukaliweka hili bayana kwenu ili tuweze kusikia maoni yenu”

“Kwa upande wetu kwa kweli sisi hatuna shida ya aina yoyote. Tuna wakaribisha muda wowote na wakati wowote ule karibuni sana kwenye familia yetu”

Nabii Sanga alizungumza kwa furaha sana kwa maana kuwa na mkwe raisi nchini basi kuna kupandisha kiheshima na kihadhi kwa kiasi fulani.

“Tuna shukuru sana nabii Sanga na mama kwa kupokea ombi letu. Sasa yaliyo baki hapa ni vijana wao wenyewe wakutane, waridhiane na watuletee maamuzi yao walipo fikia basi sisi tuta yafanyia kazi”

“Sawa muheshimiwa, sisi tuta muandaa binti yetu kisha tuna mualika kijana wenu afike kuzungumza naye”

Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini ingali anatambua fika kwamba Julieth ana mahusiano na Evans na mbaya zaidi ni kwamba Julieth ameamua kuondoka nyumbani na kuanza maisha yake na Evans.

‘Lazima huyu panya nimuue kwa maana hawezi kuisukumia mbali bahati hii iliyo kuja kwenye familia yangu’

Nabii Sanga aliwaza huku akilini mwake akiiona sura ya Evans ambaye ana kisasi naye kikubwa sana.



Wakamaliza kupata chakula cha mchana, kutokana raisi Mtenzi ana ratiba nyingine za kiofisi ikamlazimu kuagana na nabii Sanga kisha akandoka hapo nyumbani kwake.

“Tuna weza kuzungumza na Jery?”

“Ndio hakuna shaka kabisa”

Mrs Mtenzi akaondoka ndani hapo na baada ya muda akarudi akiwa ameongozana na mwanaye. Nabii Sanga na Jery wakatoka ndani hapa na kuanza kutembea kwenye bustani kubwa zilizopo katika eneo hilo la Ikulu.

“Mwanangu una mpenda?”

“Yaa nina mpenda sana mzee”

“Huwa siku zot nina ogopa kumuozesha mwanangu kwenye familia za aina hii alafu akanyanyasika hapo baadae”

“Hapana baba yangu. Nina apa kwa jina la Mungu wangu, huto jutiaa kuniozesha mwanao. Nitahakikisha ana kuwa na furaha kwenye maisha yake yote hadi kufa. Pia Julieth ana nitambua mimi vizuri kwani huwa sina mambo ya ajabu ni mwanaume ambaye nina jua nini maaa ya mwanamke”

“Aha…Nafurahi kusikia hivyo.”

“Pia nitakusaidia kwa baba kukupa japo nafasi katika serikali yake”

“Hapana bwana mimi ni mtumishi wa Mungu hivyo mambo ya siasa huwa siyawezi kabisa”

“Je mama akipewa nafasi ya mbunge mteuliwa hapo itakuwaje?”

“Mmmm labda nizungumze naye kwa maana siwezi kumsemea maamuzi yake”

“Basi zungumza na mama.”

“Mara ya mwisho kuzungumza na Julieth ni lini?”

“Masaa mawili yaliyopita?”

“Masaa mawili?”

“Ndio baba mbona una stuka?”

“No sijastuka”

“Yaa nimezungumza na tupo vizuri katika upande huo”

“Sawa mwanangu nimefurahi kuzungumza na wewe”

“Nashukuru sana mzee wangu”

Nabii Sanga na Jery wakarudi ndani na kuwakuta mrs Sanga na mrs Mtenzi wakizungumza na kucheka kwa furaha sana. Urafiki ulio anza kutengezwa kwenye familia hizi una zidi kukua baada ya pendekezo hilo la raisi mtenzi. Nabii Sanga na mke wake wakaaga na kuondoka eneo hilo la Ikulu huku wakiwa na furaha kubwa sana.

“Mume wangu itakuwaje?”

“Nini?”

“Umesahau kitu ambacho Julieth alikizungumza jana?”

Nabii Sanga akashusha pumzi huku akitafakari namna ya kumuingia Julieth ili kumuachanisha na Evans ambaye hana hata pesa.

“Siwezi kumuacha mwanangua aishie mikononi mwa yule Kenge. Hakikisha katika hili jambo una zungumza na mwanao na ana kuelewa vizuri la sivyo nita muua yule Kenge”

“Sawa mume wangu. Mimi mwenyewe nina tamani akubalien na hili ombi, unajua tukiziunganisha familia zetu ni biashara zetu nyingi sana tuna weza kuzifanya pasipo kufwatiliwa na mkono wa serikali wala kodi.”

“Hapo ume nena jambo la muhimu. Kuna ombi jengine ambalo nime ombwa na Jery”

“Ombi gani?”

“Anahitaji wewe uteuliwe kuwa mbuge wa viti maalumu?”

Mrs Sanga macho yakamtoka huku akimtazama mume wake kwa maana hiyo nayo ni bahati ambayo ita zidi kumuongezea cheo katika maisha yake.

“Mbona ume nitolea macho?”

“Mimi nipo tayari hata leo kuchaguliwa”

“Una iweza siasa?”

“Nitakwenda kuisoma huko huko Bungeni bwana”

“Sawa nitamjibu Jery. Pia alinieleza kwamba amezungumza na Julieth masaa mawili yaliyo pita hivyo hakikisha kwamba una zungumza na mwanao kwa kina”

“Usijali mume wangu, akikataa kuachana na huyo mjinga wake. Nitamuu yule kijana kwa mikono yangu mimi mwenyewe, sinto kubali mume wangu mikono yako iingie damu”

Nabii Sanga akamtazama mke wake, kisha akatabasamu kwa maana ana ifahamu kazi ya mke wake katika maswala ya kuwapoteza maadui zao.

***

“Siwezi kukaa hapa ni lazima nifanye jambo”

Magreth aliwaza kitu cha kufanya kwani kuendelea kulia hakuto msaidia jambo lolote kwenye maisha yake. Akaingi bafuni na kuoga kwa haraka, akatoka nyumbani kwake na kuiza safari ya kueleka nyumbani kwa nabii Sanga. Kutokana hapajui vizuri, ikamlazimu kuulizia watu wa mtaa ambao anaishi nabii Sanga. Akaelekekezwa nyumbani kwa nabii Sanga na akawasha gari na kuelekea katika nyumba hiyo. Akasimamisha gari lake katika jumba la kifahari la nabii Sanga. Akalitazama jumba hili kwa umakini kisha akapiga honi mara kadhaa na geti dogo likafunguliwa. Akatoka mlinzi akiwa ameshika bunduki.

“Habari yako kaka?”

Magreth alizungumza huku uso wake ukiwa umejawa na furaha ili mlinzi huyo asiwe na mashaka naye.

“Salama tu dada nikusaidie nini?”

“Mimi nina itwa Mage ni mgeni wa mrs Sanga”

“Ahaa una miahadi naye?”

“Nilizungumza naye ndio”

“Okay kwa sasa mama na mzee wametoka hivyo unge jaribu kuwasiliana nao”

“Mama aliniaeleza kwamba nifike hapa kwake na yeye ata nikuta hapa”

Magreth alidanganya. Mlinzi huyo akamtazam Magreth jinsi alivyo valia vizuri pamoja na kumiliki gari zuri la kifahari. Mlinzi akaamini kwa asilimia mia moja kwamba Magreth atakuwa ni mgeni wa mrs Sanga. Mlinzi huyo akampa ishara mwezake na akafungua geti hilo. Taratibu Magreth akaanza kuingiza gari hilo huku akianza kutazama ulinzi ulipo katika eneo hilo. Akapita katika geti la pili na kusimamisha gari lake katika magesho yaliyopo katika jumba hilo. Dada wa kazi akatoka na kumkaribisha Magreth ambaye alijitambulisha kwamba ni mgeni wa mrs Sanga.

“Unatumia kinywaji gani?”

“Mmmm ninaomba maji ya moto yasiyo na baridi”

“Sawa dada”

Mfanyakazi wa ndani akaondoka sebleni hapo, baada ya dakika kadhaa akarudi akiwa na glasi yenye maji. Hazikuisha hata dakika kumi na tano, nabii Sanga na mke wake wakafika nyumbani kwao. Furaha yao yote ikaisha mara baada ya kuliona gari la Magreth kwenye magesho ya magari yao.

“Huyu malaya ameamua kuja kwamgu ehee?”

Mrs Sanga alizungumza kwa jazba hukua kifungua mlango wa gari hilo. Nabii Sanga naye akashuka kwa haraka kwenye gari hilo. Wakafika sebleni na kumkuta Magreth akiwa amekunja nne huku akiwatazama mrs Sanga na mume wake.

“Dada tupishe”

Mrs Sanga alimueleza mfanyakazi wake wa ndani. Akaondoka sebleni hapo na kuwaacha watatu.

“Umefwata nini ndani nyumbani kwangu?”

Mrs Sanga aliuliza kwa ukali sana.

“Hata hamukai, au niwakaribishe?”

“Zungumza ni kitu gani ambacho kimekuleta hapa nyumbani kwangu?”

Nabii Sanga alizungumza kwa ukali sana kwa maana moyo wake kwa sasa umejawa na chuki dhidi ya Magreth.

“Kuzungumza kwa hasira hakuto kusaidia kwa lolote kwa maana nimekuja kiamani na nina omba niondoke kiamani la sivyo muna fahamu ni kitu gani ambacho ninacho ambacho kina weza kuchafua upepo wa familia yenu, huduma yenu pamoja na taifa zima kwa ujumla. Nina imani kwa wapiga punyet** kwa video yako mrs Sanga utakuwa umewasaidia sana kupata ladha mpya katika shuhuli yao hiyo. Hivyo kaeni chini tuzungumze”

Magreth alizungumza kwa kujiamini kwa maana ana utambua udhaifu wa wazee hao. Taratibu nabii Sanga na mke wake wakaka kwenye masofa yaliyopo hapo sebleni kwao.

“Namuhitaji Evans wangu. Nabii Sanga nina imani kwamba una fahamu ni wapi alipo mume wangu”

“Hilo ndio lililo kuleta?”

“Ndio”

“Nashukuru sana Mungu umekuja kumtoa mzigo wako kwenye familia yangu kwa maana nilikuwa nina mpango wa kumua tena ningemuua vibaya sana. Ipo hivi, huyo Evans wako ana mahusiano na mwanangu wa kike Julieth na amemteka kabisa kimapenzi na mtoto wetu hadi amefika hatua ya kuondoka hapa nyumbani kwetu. Hivyo tuna ingia dili, una mchukua mjinga wako na sisi tuna mchukua mtoto wetu kwa maana hana hadhi ya kumuoa mtoto wetu”

Nabii Sanga alizungmza maneno yaliyo mstua sana Magreth pamoja na mke wake.

“Baba Julieth ume sema kwamba yule kijana ndio mpenzi wa huyu mwana haramu hapa?”

“Yaaa, ndio maana jana nilistuka sana kuioana picha yake mara baada ya kikamatwa. Hivyo mama tushirikiena katika hilo, ukajitahidi kumkatikia Evans wako viuno kitandani ili amsahau mwanangu na mwanangu arudi kwangu kwa maana inaonyesha kwamba ume shindwa kumpa vitu vitamu Evans hadi mwanangu akakupindua. Usipo jitahidi na Evans wako akaleta nyeg** zake kwenye familia yangu, nitamua kifo cha kinyama sana ambacho huto kaa ukisahau na wala sinto ogopa kutuchafua kwa video hizo kwa maana kipindi hicho na wewe utakuwa chini ya ardhi una liwa na funza.”

Maneno ya nabii Sanga yakaanza kumtoa machozi Magreth kwa maana hakuamini kama ipo siku Evans ana weza kuwa na mwanamke mwengine tofauti na yeye.

***

“Evans mume wangu kuna sehemu nina omba niweze kuelekea baadae kidogo mara baada ya kukurudisha hotelini?”

“Una kwenda wapi?”

“Kuna rafiki yangu ametoka Marekani hivyo alihitaji kuonana na mimi na amenisisitizia sana na nimejikuta nikishindwa kumkatalia”

“Ni wa kiume au wa kike?”

“Ni wa kike”

Julieth alidanganya kw amaana ana fahamu fika kwamba akisema ni rafiki wa kiume Evans atapoteza amani.

“Sawa sawa hakuna tabu”

Evans, J na Julieth wakapitia kwenye moja ya mgahawa. Wakapata chakula cha mchana kisha wakamrufisha J ofisini kwake. Wakaelekea hotelini walipo pangisha chumba. Julieth akamuacha Evans kisha akampigia simu Jery.

“Nipo free kwa sasa upo wapi?”

“Nipo Ikulu”

“Tuta onana wapi?”

“Tangulia Serena kuna chumba nime weka oder hivyo nikukute pale”

“Ni chumba namba ngapi?”

“Ukifika tu pale waambie wewe ni mgeni wa Jery Mtenzi”

“Sawa”

Julieth akakata simu na kushusha pumzi taratibu. Akaianza safari ya kuelekea katika hoteli hiyo yenye hadthi kubwa katika jiji la Dar es Salaam. Akafika hotelini hapo, akafika eneo la mapokezi na kumueleza muhudumu aliye mueleza kwamba yeye ni mgeni wa Jery Mtenzi. Muhudumu huyo akaomba waongozane na moja kwa moja akapoelekwa hadi katika chumba chenye hadhi ya kukaa maraisi wa nchi mbalimbali ambao wana tembelea nchi ya Tanzania. Nje ya chumba hicho akakuta walinzi wawili walio valia suti yeusi.

“Julieth yupo hapa”

Mlinzi mmoja alizungumza kwa kutumia kinasa saunti. Mlango ukafunguliwa na mlinzi aliyomo ndani ya chumba hicho na Julieth akaingia ndani na mlinzi huyo akatoka na wakamuacha Julieth peke yake.

“Umezidi kuwa mzuri”

Sauti ya Jery ikamstua sana Julieth na kujikuta akitazama pembeni ya chumba hicho na kumuona Jery aliwa amesimama huku amejawa na tanasamu pana usoni mwake.

“Ohoo Mungu wangu umenistua Jery”

“Kama kawaida yangu kukustua”

Wakakaumbatiana kwa furaha huku Jery akianza kumnyonya Julieth lipsi zake. Julieth hakuwa na pingamizi lolote.

“Umezidi kuwa mzuri Julieth”

“Hata wewe umekuwa handsome boy”

“Hahaa…..unakumbuka kipindi kile tupo shule hata kifuani manyoyo hayakuwa makubwa kama hivi”

“Hahaa ni kweli. Kwa nini hujanifahamisha kwamba una rudi Tanzania?”

“Nilihitaji kukufanyia suprize hivyo sikuona haja ya kukuambia. Isitoshe namba yako sikuwa nayo”

“Ila Jery una tabia mbaya sana. Kwanini kwa kipindi chote hicho huja nitafuta ikiwa uliniahidi kwamba ukifika nchini Marekani uta nitafuta na tutakuwa tuna wasiliana?”

Julieth alizungumza kwa suati ya upole na iliyo jaa mahaba huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Samahani mke wangu, nilicho kitarajia kukikuta kule ni tofauti kabisa. Kipindi cha mwazo mwazo wa masomo, tulikaa bila ya simu zaidi ya mwaka mmoja chuoni. Baada ya hapo tukaruhusiwa kuwa na simu ila nilipo kutafuta kwenye ile namba yako ya mwisho 01 sikuweza kukupata. Jana ndio niliweza kutafuta namba yako kupitia sorce zangu nikafanikiwa kuipata”

Jery alizungumza huku taratibu akimkaribisha Julieth katika meza aliyo andaa chakula kizuri pamoja na wyne ambayo Julieth ana ipenda sana.

“Sikuweza kujumuika na wazazi wako kula chakula cha mchana kwa ajili ya hili jambo.”

“Wait ume sema wazazi wangu?”

“Ndio kwani hawajakueleza kwamba leo walikuwa na mualiko ikulu?”

Julieth akakosa la kujibu kwa maana hajalala kwao na wala hafahamu chochote kinacho endelea kwa wazazi wake.

“Baba na mama yako walijikua kuzungumza na wazazi wangu kwa maana sasa hivi kilicho nirudisha nchini Tanzania ni wewe peke yako. Nimejuka kukuoa Julieth na baada ya hapo nina hitaji tuelekee nchini Marekani na tukaanzishe maisha yetu kwa pamoja”

Kauli ya Jery ikaustua sana moyo wa Julieth na kujikuta hata akishindwa kunyanyua glasi aliyo miminiwa wyne na Jery.

“Mbona kama ume stuka?”

“Mmm!!!?”

“Mbona kama ume stuka?”

“Jery swala la ndoa ni jambo zito?”

“Uzito wake upo wapi ikiwa familia zetu zina uwezo wa kipesa na isitoshe mimi na wewe tuna penda. Au hunipendi?”

Julieth akashusha pumzi kidogo huku macho yakimtoka.

“Ninakupenda sana Jery. Wewe ndio ulikuwa mwanaume wangu wa kwanza kuingia kwenye maisha yangu na uliweza kunivumilia kwa kila jambo. Kwanini niache kukupenda?”

Julieth alizungumza huku nafsi yake ikimsuta kwani ukweli ni kwamba moyo wake upo kwa Evans.

“Nina imani kwamba bikra yangu ume itunza na leo sinto kufanya kitu hadi pale tutakapo funga ndoa yetu na kuivunja bikra ambayo niliivumilia na kuitunza kwa kipindi chote tulicho kuwa pamoja.”

Jery alizungumza kwa furaha sana na kumfanya Julieth kujikaza tu katika kutabasamu ila ukweli ni kwamba hadi hapo alipo hana bikra na ni siku mbili tu zilizo pita Evans aliivunja bikra yake.



“Kuna zawadi moja nime kununulia mke wangu, ila nitakupatia mara tu baada ya kufunga ndoa yetu”

“Zawadi gani?”

“NItakuambua siku tukifunga ndoa”

Gafla Julieth simu yake ikaanza kuita, akaitazama na kukuta ni namba ya baba yake. Akashusha pumzi na kuipoke.

“Yes Dady”

Julieth alizungumza kwa kuigiza kwani hata kumuita hivyo baba yake kwa madoido ni kumpumbaza Jery asiweze kuelewa chochote kinacho endelea.

“Upo wapi?”

“Mmmmm nipo some where dady”

“Sema up wapi kwa maana nina hitaji ufike hapa nyumbani haraka iwezekanavyo”

“Kuna nini baba?”

“Kuna tatizo, hivyo njoo sasa hivi”

Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo. Na kumfanya Julieth kuanza kutawaliwa na wasiwasi.

“Mpenzi wangu kuna nini?”

“Ba…baba anasema kwamba nyumbani kuna tatizo”

“Tatizo gani?”

“Sielewi mume wangu. Nahitaji kwenda sasa hivi”

“Basi acha nikupeleke”

“No acha niende tu”

“Hapana, wewe ni mke wangu na isitoshe nyumbani kwamba kuna matatizo. Siwezi kukuacha uende peke yake tena uendeshe gari ikiwa mimi nipo na nina walinzi kibao. Hivyo nyanyuka tuondoke”

Jery alizungumza kwa msisitizo huku akinyanyuka. Akaibeba pochi ya Julieth, akamshika mkono na wakaanza kutoka ndani hapo. Wakaongozana na walinzi wake hadi eneo la mapokezi.

“Funguo za gari lako zipo wapi?”

“Ndani ya hiyo pochi”

Jery akafungua pochi yake na kumkabidhi funguo hiyo mmoja wa walinzi wake. Wakaingia kwenye gari walizo kuja nazo hapo hotelini, huku mlinzi mmoja akiendesha gari la Jery na wakaondoka eneo hilo la hotelini.

***

“Sasa mwanangu ana kuja. Atakuletea huyu panya wako”

Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo mara baada ya kukata simu.

“Sio panya ni mume wangu”

“Una mume gani sasa pale?”

Nabii Sanga alizungumza kwa dharau huku akimtazama Magreth aliye lowana mashavu yake kwa machozi. Baada ya dakika ishirini, wakasikia mingurumo ya magari ikisimama nje hapo. Mrs Sanga akachungulia dirishani, akastuka sana mara baada ya kumuona Jery na Julieth wakishuka kwenye gari moja huku wakiwa wameongozana na walinzi wanao mlinda.

“Mungu wangu!!”

“Kuna nini?”

“Jery ana kuja na walinzi wake”

“Nini?”

Nabii Sanga kwa haraka akakimbilia naye dirishani na kuwaona Jery na Julieth wakija ndani hapo. Wakakaa kwenye masofa huku wakijikausha kana kwamba hakuna kitu chochote kinacho endelea. Julieth na Jery wakaingia ndani hapo, Magreth na Julieth wakashangaa sana kukutana hapa kwa maana Magreth kumbukumbu zake za mwisho alikutana na Julieth kwenye mgahawa wake akihitaji kupewa msaadawa kujua ni namna gani anaweza kufungua mgahawa kama wa kwake.

“Hi mom. Hi Dady”

Julieth alizungumza huku akimkumbatiana na mama yake, kisha akambusu baba yake shavuni.

“Jery karibu sana”

“Asanteni sana wazee wangu. Tumestuka sana yulipo sikia kwamba kuna tatizo hapa nyumbani?”

“Yaa ni kweli ni tatizo dogo tu lakifamilia.”

“Ahaa basi wazazi wangu nombeni mimi niondoke ili niwape nafasi ya kuzungumza”

“Mbona mwanangu una wahi hivyo?”

Mrs Sanga alizungumza huku akinyanyuka.

“Mama yangu ni vyema nikawapa nafasi ya kuyajadili mambo ya kifamilia na isitoshe nimekuja pasipo mualiko rasmi hivyo nitakuja siku nyingine rasmi hapa nyumbani”

Ucheshi wa Jery ukazidi kuwavutia nabii Sanga na mke wake. Jery akaondoka nyumbani hapo na walinzi wake.

“Huyu malaya amefwata nini hapa nyumbani kwetu?”

Julieth alizungumza kwa jazba kubwa huku akimtazama Magreth aliye jikuta akicheka kicheko cha kejeli.

“Yaani malaya ni mama yako aliye tembea na Tomas, baba yako aliye tembea na mimi na wewe uliye tembea na mume wangu Evans hivyo naamini umesha jua nani ni malaya kati yenu na mimi”

“Magreth funga bakuli lako kumbuka kwamba hapa upo nyumbani kwangu”

“Haijalishi, ila twendeni kwenye point. Wewe nina imani huyu uliye kuja naye hapa ni mpenzi wako. Sasa ujije ukajikuta nina kuharibia kwake kwa maana sinto kuwa na huruma katika hilo”

Julieth akajawa na mshangao mkubwa sana mara baada ya kusikia Evans ni mume wake Magreth.

“Umekosea, Evans wangu sio mume wako”

“Muulize baba yako kwa maana yeye ndio aliye jaribu kumfukuza Evans wangu kwangu kwa kutumia bastola kutokana tu na wivu wake”

Julieth taratibu akaanza kupata picha taratibu. Evans alimuadisia kwamba mwanaume wa mwanamke ambaye akuwa ni mpenzi wake, alimfukuza nyumbani kwa mke wake kwa kutumia bastola. Machozi ya hasira na kinyongo cha kujiona ni mjinga yakaanza kumtiririka Julieth machoni mwake. Kitu kinacho mtia uchungu zaidi ni jinsi alivyo mkabidhi usichana wake mwanaume ambaye aliamini kwamba ni wa maisha yake yote.

‘Baba na Evans wameshea mwanamke mmoja ohoo Mungu wangu’

Julieth akanyanyuka na kukimbilia chumbani kwake na kuwafanya watu wote kujawa na mshangao. Mrs Sanga naye akanyanyuka na kukimbilia chumbani kwa Julieth, akamkuta akiwa amekaa kitandani huku akilia kwa uchungu.


ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

BLOG