Search This Blog

Wednesday, April 21, 2021

JAMANI ANKO - 5

  



Chombezo : Jamani Anko

Sehemu Ya Tano (5)


"likuneeeeeeee"

"lile jimama niliowaambie linalompenda joshua, sasa anataka kumuoa joshua"

Aliongea mama Kipenga

"weeeee acha utani"

"haaaaaa mie tena nina utani na nyie toka lini"

"enheee, ndoa lini hio"

"bado nime waacha wanaelewana ila lile jimama lile, linaonekana limedata kwa joshua... Mana yupo tayari kufanya lolote kwa mama joshua ili tu aolewe na joshua na azae nae watoto"

"jamani huyo mwanamke hana aibu jamani... Ana umri gani huyo mwanamke"

"weeeee, kizee kabisa, mimi mwanae"

"haaaaaaaaaa.. Jamani jamani, na mama joshua kukubali"

"ndio nimewaacha na mikasa yao"

"we nawe umeharakisha kuondoka"

"si nimewawahishia ubuyu ukiwa wamoto"

"nenda tena basi"

"badae, saizi ataniona mbeya"

Mama Kipenga sasa kajaaliwa kuwa mbeya, sasa hana wivu tena bali umbea sasa umemkaa kooni




Wakati huo tukija huku kwa akina Jessica, yaani nyumbani kwake jessica, mama yake alikuja tena leo....

"leo sijamkuta, hajaja"

Aliongea mama yake jessica, huku jessica akijibu

"ina maana mama umekuja ili umkute"

"ndio, nataka niwafumanie ili mfunge ndoa"

"heeeeee, sasa kama ni hilo mbona linawezekana, kuna haja gani mpaka utufumanie"

"leo nipeleke kwao nikakutane na familia yake.. Mana sitaki mtiane mimba afu muachane juu juu uteseke"

Aliongea mama Jessica huku Jessica akiwaza itakuwaje,...

"sawa, ila kuliko tumshtukize naomba nimpe taarifa ili aipange familia yake"

"sawa ila leo leo hii nataka iwezekane"

"mhhhhh mama, leo umeamka na nini leo"

"mimi sijui, mpigie... Mana pale nyumbani kwangu nina kitoto cha dada yako,.. Kacheza huko mimba chwiii... Haya aliomuoa sio aliompa mimba.. Na hataki mtoto.. Sasa nawewe wataka uniletee mtoto... Na ninavyo kuoa hapo una mimba wewe"

Jessica alishtuka kuskia hivyo, mana ni kweli ana mimba,..

"mama mimba nitoe wapi mimi"

"mimi ni mtu mzima, najua dalili za mwanamke mwenye mimba... Nyie dalili zenu mpaka mtapike ndio mjue mna mimba"

Jessica alishtuka, na hakutaka kubishana na mama yake mana huo ndio ukweli.. Alipiga simu kwa joshua, na wakati huo joshua yupo bafuni na simu ipo sebuleni.. Iliita ikakata, ikaita tena ikapokelewa...

"hallow joshua mpenzi"

"shkamoo"

"oohh marahaba ujambo"

"sijambo, kaka joshua anaoga"

"ooihh, sasa Mwambie mama, wifi anakuja na mama ake"

"haya, na kaka pia nimwambie"

"hapana usimwambie"

"haya"

Jessica alikata simu kisha akamsogelea mama yake na kumwambia,

"nime wapa taarifa"

"sawa"


Tukija huku ndani kwa mama joshua na mama sudi,... Sasa mama sudi amepewa nafasi ya kuongea anataka nini hasa


"mama joshua... Endapo utanikubalia, nitakununulia jumba la kifahari, nitakufungulia biashara unayotaka ya gharama yeyote na nitakununulia gari ya kutembelea,.. Hivi vyote nitavifanya ndani ya mwezi mmoja tu, naomba niolewe na joshua wako"


Aliongea mama sudi huku mama joshua akishtuka katika moyo wake, na kukumbuka maneno ya mtoto wake kuwa


"Mimi nimeshakua, sasa ni wakati wa kuachana na dhiki"


Hayo ni maneno ya joshua ambayo mama joshua aliyakumbuka...

"nisikilize kwa makini mama sudi... Kwanza kabisa, nimekubali vyote,.. Ila sitaki ufunge ndoa... Pili... Sitaki uzae na mwanangu,... Tatu.. Nataka mwanangu aoe binti lika lake,.. Na ujue kuwa ana mke.. Kingine, kama unataka kuishi nae.. Sawa ila sio kwenye ile nyumba yako.. Watoto wako wakija wamuone.. Jenga nyumba pembeni ambayo ni ya wewe na yeye... Ukikubali basi nami nakubali"


Aliongea mama joshua kisha akawa anaondoka,.. Mama sudi alimuita,

"basi njoo tuyamalize mbona madogo hayo.."

"ok Niambie umekubali lipi"

"sawa, nimekubali sitafunga nae ndoa, ila ataishi kwangu huko kwenye nyumba ambayo nitaishi nae.... Pili, huyo mke pia nataka ajue kuwa mimi nipo, ikiwezekana tupeane zamu za kulala, siku tatu kwake na siku tatu kwangu... Huyo mwanamke akikubali hio, basi hata mahari na gharama zote nitatoa mimi.... Kuhusu kuzaa, kwasababu atakua na mwanamke, basi naomba twende hospitali, nikaweke kitanzi mbele yako kabisa... Namimi nimekubali"

Aliongea mama sudi na mama joshua akafurahi, ila sasa ishu ni huyo mwanamke akubali kuwa na uke wenza..

"ok hapo kazi ni kwa huyo mwanamke kukubali uke wenza"

"hio kazi mpe mwanao aongee nae"

"sawa... Namimi ahadi yangu inatimilika lini"

"nimesema ndani ya mwezi huu kila kitu kipo tayari... Cha kufanya uniambie unataka kuishi wapi, unataka biashara gani, na utatumia gari aina gani... Na unipe majina yako matatu kwasababu ya kutengeneza hati miliki za nyumba na biashara na gari.. Alafu pia utakua karibu nami muda wote nikikwambia njoo utie saini zako"

"sawa... Ila joshua hutakutana nae mpaka unikabidhi mali zangu kwanza"

"jamani mama joshua, mbona unanifanyia hivi"

"ndio.. Nataka ufanye bidii yaani usije ukaleta kigeugeu"

"hapana, siwezi kugeuka"

"tuelewane, hutakutana na joshua mpaka unikabidhi,.."

"aaahhhhh ok, sawa, nitajitahidi, ila joshua nitamfuta shule kabisa ili awe namimi"

"mtajua wenyewe... Nenda ukaoge"

"sawa"

Mama sudi alifurahi sana kuskia hivyo...

Mama joshua kanogewa na mali sasa hataki kujua elimu ya mtoto wake....


Tukija huku kwa mama jessica, na Jessica wake,.. Jessica kwasababu anajua hali ya akina joshua, na anajua joshua ni mwanafunzi... Hivyo akatafuta njia ya kuahirisha safari, ili waende siku nyingine... Mama kwakua hajui, alikubali na mambo yakawa sawa, na hapo anavuta vuta joshua amalize kidato cha nne, ili waoane...


Wakati huo huku kwa joshua anatoka bafuni, anakutana na mama yake, anatabasam,.. Akajiangalia labda yuko uchi nini mana mama yake anatabasam huku akimuangalia,..

"mama vipi mmelewana vipi"

"kajiachia mwenyewe.. Mpe mkwaju ajiachie zaidi"

Joshua alishtuka mpaka akaachia ndoo na sabuni vikadondoka chini... Hakutegemea kama mama yake angeongea maneno hayo... Joshua hakutaka hata kumjibu mama yake, alienda mpaka chumbani kwake,.. Alishtukia kakumbatiwa na mama sudi kwa furaha akarushwa kitandani...

"mna nini nyie"

Aliongea joshua...

"mama joshua kakubali... Ila kasema tusioane, mana anataka uoe mke lika lako"

"kakubalije kubalije"

"atakawambia mwenyewe... Na nataka nitekeleze ndani ya mwezi huu mana kasema, sitaonana nawewe mpaka nimkamilishie hivyo vitu vyake"

"mmmmhhhh vitu gani hivyo"

"atakwambia... Njoo unitom****e tena, mana mwezi mzima huu sitakuona"

Joshua alimrukia tena mama sudi, safari hii aliichana chupi ile,.. Mchezo Ulianza upyaa...


BAADA YA MWEZI MMOJA KUPITA


Joshua akiwa zake shule, tena ulikua ni muda wa kutoka,.. Alimsubiri Jessica mpaka akafika...

"samahani mume wangu, nimechelewa"

"wala uaijali"

"Ulisema una maongezi namimi"

"ndio, si tunakwenda nyumbani"

"bwana mtoto wako anasumbua, chukua taxi, mi naona mbali"

"ushaanza kudeka, kimimba chenyewe kina mwezi na nusu basi unadeeeka"

"bwanaaa, basi nimekutania tu twende"

"uwe unafanya mazoezi"

"sawa mume wangu"


Walifika nyumbani, jessica alikwenda kuleta vinywaji kisha wakaanza maongezi.. Joshua alimwambia ukweli wote wa mama sudi,.. Mana jessica anajua mama sudi ni binamu yake.. Sasa kampa ukweli wote,...

"na alitaka nimuoe lakini mama kakataa,.. Sasa huyo mwanamke, akasema, basi amekubali nioe, lakini wewe ujue na yeye yumo, na mpangiane siku wewe na yeye"

Aliongea joshua lakini jessica alianza kulia huku akisema

"hivi leo umeamua kuniharibia siku yangu, na unataka nife na hiki kiumbe.. Mwanamke mtu mzima kama yule, mimi nishee nae mwanaume... Hapana.. Haiwezekani, nataka niwe nawewe tu, sitaki.. Kama ni shida nipo tayari kuishi maisha yeyote lakini niwe nawewe tu"

Aliongea jessica huku akilia sana,...

"jessica mke wangu.. Hata mimi sio kwamba nampenda,.. Na hapa nia yetu ni kupata pesa kisha tunahama mji... Sasa hivi sisi hatuishi tena pale.. Na sasa mama ana bonge la supamaketi... Na gari yake inakuja keshokutwa... Namimi kuna kampuni anataka kunipa iwe yangu,.. Sasa akisha nipa tu,.. Tumesha panga tunauza kila kitu kisha tunahama... Kwahio hilo ni jambo la muda tu,.. Na hata sasa yeye ndio anataka tuoane.. Ila niliogopa kukwambia ila leo ndio nakwambia, ni jambo la mpito tu"

"lakini mume wangu, huoni kwamba ni hatari sana"

"wala usijali, tulisha yajenga mimi na mama,.. Kikubwa ni wewe ukubali nikuoe keshokutwa tu.. Ila kazi yako ya ualimu utaacha,.. Namimi shule nitaacha"

"joshuaaaaaa... Nikiacha kazi itakuaje maisha yetu"

"Jessica... Kwa sasa tuna maisha mazuri.. Kwanza utatakiwa kwenda supamaketi na mama kule ukale mabumunda na mtoto wako huyu"

"mi naogopa huyo mwanamke ataniua"

"hawezi kufanya hivyo"

"lini tunafunga ndoa"

"wiki hii"

"nina furaha kuskia hivyo, ila kuwa uke wenza"

"Jessica mke wangu,... Yule ni kama hawala tu... Wewe ndio mke.. Na nimekwambia ni jambo la mpito nipewe hio kampuni nipite ivi"


Tukija huku nyumbani kwa mama sudi,.. Mama sudi alikua anacheka mno, afu yuko peke yake....

"hahahahahahahahahaha... Hahahahahah"

"hahahahahahahahahaahahahaha"

"uuuuuuwiiiiii hahahahahahah"

"hahahahaha asante mungu"

Wakati huo alikua anapata juisi baridi..

"hahahahahha mwanangu kunywa juisi"

Aliongea, lakini alionekana kama uchizi unamuanza... Mana hakukua na mtu hapo alipo...


Tukija huku kwa akina joshua.. Waaaaaoooo, wanaishi kwenye jumba la kifahari acha mchezo...

"hebu Niambie umesha ongea nae"

Mama joshua alimuuliza mtoto wake joahua baada ya kufika nyumbani

"ndio.. Amekubali lakini kishingo upande, hajapenda kabisa kwani hata hayo maisha yeye hana shida nayo"

"ungemwambia ni jambo la muda tu.. Mpigie simu sasa hivi Mwambie tuna jambo letu la muda tu"

"nimesha mwambia mbona"

"afya yake vipi lakini"

"salama tu,.."

"kajukuu kangu nataka kawe kakike"

Aliongea mama joshua akiwa na maana hata yeye anajua kuwa jessica ana mimba na sasa familia hizi tayari zimesha juana


Mara simu ya mama joshua inaita, kuangalia ni mama Kipenga

"heeee mama Kipenga habari yako"

"jamani mama joshua umehama hata hujaniaga jamani"

"usijali, tutatembeleana tu usijali"

"haya mwaya kisa umekua tajiri sasa hivi"

"bwana mama Kipenga acha maneno yako"

"haya mwaya... Mwanangu Kipenga harusi yake ni kesho..."

"wewe usiniambie mama kipe"

"ndio... Afu sitakwambia kumbe..."

"nini tena"

"kumbe huyo mchumba wake, ni mtoto wa tajiri huyo mmiliki wa mabasi..."

"heeeee,wacha weeee... Kwahio nawewe upo juu"

"aaah wapi, acha kunisanifu mama joshua"

"najua tutakutana sheli"

"hahahahahahaha, poa basi mimi nipo shamrashamra si unajua tena"

"haya mwaya... Joshua naye yake wiki hii hii"

"wewe acha utani mama joshua... Sasa na yule jimama au"

"hapana wewe, nani aoe mzee... Ana mchumba wake.. Na yule mwanamke kakubali"

Waliongea sana mama joshua na mama Kipenga majirani hawa, ila kwa sasa wamekuwa mbalimbali kulingana na maendeleo....


Tukija huku SEGEDA Dispensari alionekana mama sudi akiwa na furaha kubwa sana,... Mama segeda akamuuliza

"haya kulikoni mwenzangu"

Mama sudi hakujibu kwa mdomo bali alishika tumbo

"una maana gani mama sudi, unaharisha au"

"bora hata ningeharisha"

"una nini sasa"

"nina mimba"

"heeeeee... Mimba? Mimba imeingiaje na ulikuja na mama joshua nikaweka kitanzi"




"ni kweli... Ila hilo zoezi tulilifanya ikiwa tayari mimba imeingia... Siku tunapanga kuja huku, ndio siku nimegegedwa na joahua"

"yaani mama sudi unavyomuongelea huyo joshua, utafikiri unamuongelea mtu mzima mwenzio"

Aliongea mama segeda huku mama sudi akikasirika

"yaani mama segeda sijui ukoje, yaani hupendagi mambo yangu sijui kwanini... Mbona mimi sikufuatilii"

"sawa asante kwa kupata mimba... Si ndio unataka nikwambie hivyo.. Ila sio vizuri, mwache kijana wa watu aoe msichana lika lake"

"mbona keshokutwa anaoa na mahari nalipa mimi, nagharamia ndoa yao yote"

"hapo sasa nitakuunga mkono..."

"sawa ila huyu mtoto sitoi.. Mtoto wangu wa mwisho"


Tukija huku kwa mama joshua,... Simu yake iliita, kuangalia vizuri alikua ni mama sudi,..

"gari yangu itakua imeingia tayari"

Aliongea mama joshua kabla hajapokea simu... Kisha akapokea

"hallow mama sudi habari yako"

"salama mzima"

"mzima sjui wewe"

"safi tu,.. Vp joshua yupo hapo"

"anakula, mana katoka shule sasa hivi"

"aiiiiiiiiiiiiiiii"

"mama sudi una nini"

"mjukuu wako kanipiga teke"

Aliongea mama sudi kama vile ndio anamfikishia ujumbe....

"mjukuu wangu... Mjukuu wangu kivipi, mbona sijakuelewa"

"jamani mama joo... Nahisi nikuzae wewe au baba joo"

"mama sudi, hebu ngoja kwanza... Unataka kuniambia una mimba"

Aliongea mama joshua, afu mama sudi akamalizia hivi

"ya joshua"

"What??..... Mimba ya joshua,.. Umeipataje na uliweka kitanzi"

"tuliweka kitanzi ikiwa tayari mimba ipo ndani"

"mama sudi, Niambie ukweli, ulikutana na mwanangu tena"

"hapana, wala usimlaumu... Siku ile tulipofanyana pale kwako.. Nilokua kwenye siku zangu za hatari... Kwahio mimba iliingia siku ile ile"

"mungu wangu,... Kwanini tusiitoe mama sudi"

"weeeeee, mama Joshua... Naomba uniombe radhi, nampenda sana joshua,.. Na nitamzalia mtoto wake... Nyie fanyeni mipango yenu ya ndoa yenu,.. Na gari yako wiki hii itafika,.. Nataka niishi na mume wangu joshua tulee mtoto wetu"

Mama sudi Aliongea hayo, huku mama joshua asiamini masikio yake...

"lakini na huyo mke wake ana mimba nayeye"

Aliongea hivyo mama joshua ili kujaribu kumtikisa mama sudi, lakini walaaa hata hajali

"nilisha kubali uke wenza... Acha tumzalie joshua,.. Tena naona kama mnachelewa, mana toka siku ile sijaonana na mume wangu,.. Hebu afunge hio ndoa tuanze mkataba na mke mwenzangu"

Aliongea mama sudi kisha simu ikakata, mama joshua akabaki kuongea mwenyewe tu kuwa

"daahhhhhh, mwanangu ana kazi kweli"


Mama Joshua alimfuata joshua mpaka chumbani kwake

"aaaahhhh mama, kwanini unakuja bila hodi, sasa ndio nini hivi"

Aliongea joshua aliokua akibadili nguo,.. Sasa kakutwa akiwa na boxer tu....

"mshenzi wewe, nikuzae mwenyewe afu nikuogope..."

"lakini mama, nimeshakua mama... Unapaswa kuniheshim nikuheshim mama"

"uyo mwanamke mtu mzima unaemtafuna, humueshim ndio uniheshim mimi..."

"lakini wewe ni mama yangu, na unanua lengo letu kwake"

"hata kama... Na sasa nakwambia... Ana mimba sasa"

"nani ana mimba"

"mama sudi"

"heeeeeee..... Kumbe ni malaya"

"malaya?... Malaya wakati siku ile ndio ulimpa mimba"

"aitoe,.. Sasa mtoto ataniitaje na umri wake yule mwanamke"

"mtajuana wenyewe,.. Acha gari yangu ije.. Na umuoe jessica... Na ukishakabidhiwa hio kampuni,.. Tunauza kila kitu alafu maisha ni kenya"

"Kwahio tutakua wakenya"

"hebu vaa nguo uko.. Umbea tu.. Ndio mana umemrithi baba ako"

Aliongea mama joshua huku akiondoka

"hayo ndio madhara ya kuchungulia watoro zenu... Nimemrithi baba kitu gani sasa"

"we hujioni... Na watakuua nakwambia"

Aliongea mama joshua kisha akatoka zake nje....


"heeeeee, huyu mtoto kama baba ake... Kumbe ndio mana mama sudi anampenda kumanina zake huyu mwanamke"


Aliongea mama Joshua huku akicheka sana,..

"we wini, umefanya homework"

"ndio mama, tayari"

"sasa si ukalale, unaangalia makatuni tu hapa"

Alikua anaongea na mtoto wake wa kike aitwaye Winiflida, ambaye kwa sasa yupo darasa la tatu...

"sawa mama"


Wakati huo joshua naye ndio anatoka,

"haya nawewe wapi tena"

"si nakwenda kule ofisini, mana we mwenyewe upo huku, kule ni wafanyakazi tu, umewaamini sana"

"sawa we nenda... Nasubiri gari yangu niwe nakwenda na gari"

"mmmhhh haya mwaya"


SIKU ZILIKATIKA NA SASA NI MWEZI MMOJA BAADAE


"aaaahhhhhhhhh bwana Kipenga, Niambie ndugu yangu"

"salama tu hali vipi joshua"

"daahhhhh kitambo sana, mwanangu naskia tu Kipenga katoroka nyumbani mara hivi na vile.. Nikasema jamaa kapatwa na nini tena"

"aaahhh.. Maza alikua anazingua kinoma, ikabidi nijikatae Kwanza..."

"aiseee hawa wazazi nao wakianza kuzingua inakuwa tabu"

"enheee Niambie bwana joshua,.. Wiki mbili zilizopita nimwsikia umeoa, sasa nikawa sipo mjini hapa... Nilikua Nairobi kuna gari nilikwenda kuzisajiri kule sasa nikakosa nafasi"

Aliongea Kipenga, na kwa sasa kipenga alionekana wa tofauti sana....

"bwana ni kweli nimeoa wiki mbili zilizopita... Na sasa maisha sio mabaya"

"mmmhhh maisha sio mabaya wakati unatembelea VX mayai.."

"waapi ya mwanamke hio"

"yupi tena... Mana nawewe ndugu yangu kwa kuwakusanya"

"si yule jimama"

"jimama? Jimama gani tena... Sio yule binti kawa jimama tena"

"kumbe we hujui... Yule binti ni mwalimu wangu... Ila nina sponsa hilo balaa... Ndio linaniweka mjini"

"acha utani"

"aaahhhhhh, kama kawa"

"lakini najua hapo unacheza na akili, mana nakujua wewe akili zako hua hazipotei bure"

"kama ulijua vile bwana Kipenga.... Enhee nawewe vipi"

Waliongea mengi sana, waliulizana mengi mno, marafiki majirani, pia walisoma pamoja, ila Kipenga yeye alifeli, hivyo hakuiona sekondari... Ila joshua alifaulu


"mwanangu nilipomuacha maza.... Mara zali la kazi.. Mara mtoto huyu hapa.. Sikujua.. Kumbe ni mtoto wa bosa wangu,.. Afu nikajaa moyoni mwake.. Ndoa tulifunga mwezi uliopita... Mzew kanikabidhi majukumu yote, kwahio mimi ndio msimamizi wa hii kampuni, mimi ndio kila kitu"

"daaahhh hongera sana... Nadhani familia zetu kwa sasa zina furaha"

"acha kabisa joshua, nikikumbuka kipindi kile kijiweni, sina hata hamu"

"mwanangu Kipenga.... Tupambane tusirudi kuleeee"

"hicho ndio kitu ambacho kipo kichwani mwangu... "

"hata kwangu pia"

"mimi nakujua wewe akili zako haziendi bure"

"basi poa, kuna mishe nawahi mara moja tutakutana... Chukua namba zangu"

"poa poa nitakucheki bwana joo"

"aina noma"


Masaa yalisonga na sasa ni usiku wa saa mbili,.. Joshua akiwa nyumbani kwao na mke wake... Tena walikua wanakula... Ghafla simu ya joshua ikaita, kuangalia alikua ni mama sudi

"Hallo mpenzi, mbona huji.. Siku tatu tayari kwa huyo"

Aliongea mama sudi huku joshua akisema kuwa

"lakini si unajua mwenzio bado mgeni kwenye ndoa, acha nikae hata na kesho"

"weeeeeee, kesho mbali mume wangu.. Nataka uje leo, kwanza nina hamu"

Joshua akakata simu kisha akazima kabisa....


"ni nani huyo"

"ni yeye"

"ni hilo shuga mamy lako"

"sio shuga mamy.. Sema Sponsa"

"mmmhhh unavyobadilisha majina heeee"

"we kula ukalaze mimba hio"

"anasemaje"

"anasema eti nimepitiliza siku..."

"kwani yeye si hawala tu"

"achana nae"

Basi wakaendelea kula,... Dakika kumi mbali.. Mara honi ikalia nje ya geti...

"nani huyo saa hizi"

Jessica aliuliza, ila joshua keshajua ni nani mana honi ya hio gari anaijua

"jiandae kupigana, bondia kafika"

"bondia nani"

Joshua alitoka nje, kwenda kufungua geti, mana nyumba anayoishi joshua ndio nyumba hio hio anayo ishi mama yake... Ila zipo mbili ndani ya boma moja.. Hivyo hata geti wanatumia moja Kwahio mama sudi anapajua vizuri sana mana hio nyumba kanunua yeye japo hana umiliki nayo....

"nilijua tu utakuja"

"yupo"

"nani"

"mke mwenzangu"

"staki fujo"

"kiroo safi tu, anatakiwa ajue sheria za uke wenza"

"yupo ndani"

"baki nje nikamalizane nae"


Kabla hajamjibu mama sudi kaingia ndani, Jessica alishtuka kumuona mwanamke mjamzito kama yeye....

"wewe ni nani"

Jessica aliuliza mana hamjui kwa sura.. Japo kwenye harusi alikuwepo lakini hakujitambulisha yeye ni nani, ila mama sudi anamjua Jessica kupitia harusini...

"mke mwenzio"

"kumbe ni wewe, sasa umekuja kufata nini hapa"

"toka amekuoa ni siku ya ngapi sasa.. Wiki mbili, hajakwambia kuwa namimi nimo"

"kaniambia, lakini mbona wewe ni mkubwa hivyo"

Jessica alianza kumpondea mama sudi

"tuachane na mambo ya ukubwa.. Naondoka nae, hapa atarudi baada ya siku tatu.. Na zikiisha tatu kwako aje kwangu,... Kama hutaki tubanane hapa hapa kitanda hiki kimoja"

"sasa ngoja nikuulize... Kwanini usiishi na huyo aliokupa mimba"

"heheheheheheheehehe.... Mama weee, kilichopo hapo kwako, ndicho kilichopo hapa kwangu... Nipe jibu niondoke nae, au nikalete mabegi tuishi hapa"

Jessica anajua kweli, na aliambiwa akakubali... Mara sma ikaingia kwenye simu ya Jessica...

"USIHARIBU, FANYA UTAKALOWEZA ILA USIHARIBU, MPANGO WETU BADO HAUJAKAMILIKA,... VUMILIA NDANI YA MIEZI MIWILI TU.. UTAFURAHI MWENYEWE"


Message hio alitumiwa na joshua,...

"ok, sasa skia,.. Nakuahidi mimi mwenyewe, kesho namleta... Acha alale leo hapa.. Kesho nakuja nae nami nipajue kwako"

Aliongea Jessica, tena bila wasiwasi, alionekana naye kukubali kutafuta pesa mana kamuona mtu mwenyewe ni mzee sana hivyo, kivyovyote joshua hawezi kupenda mzee....

"una uhakika?? Nataka nikupe heshima yako ya ndoa... Na siku tatu zikiisha nami namleta mwenyewe"

"ok sawa.. Niachie kwa leo"

"sawa kwaheri usiku mwema"


Anatoka tu akakutana na joshua hapo nje

"tayari mmeongea..."

Aliuliza joshua japo kasikia kila kitu

"ndio... Kesho atakuleta... Na asipokuleta.. Nakuja na mabegi hapa... Hata mtoto wangu anahitaji malezi ya baba bwana"

Joshua alicheka mno

"we cheka tu"

Aliongea mama sudi huku akifungua geti mwenyewe....

"hahahahahahha... We toa gari achana na geti"

"Kwahio umefurahi mimi kuja kulia lia kwa mkeo...muone vile sura kama mtoto wake huku tumboni"

"sawa we nenda nitakuja kesho"

Basi mama sudi aliondoka na kutokomea zake....


"heeeeee, kumbe ni hili lizeee... Mimi nikajua kidogo atanitingisha, kumbe ni huyu"

Aliongea Jessica baada ya joshua kuingia ndani....

"we ulijua ni kabinti"

"ivi wewe umempendea nini yule mwanamke"

"kwani hujui"

"ivi mimi umenipendea nini"

"kwani hujui"

"ivi ukoje lakini mume wangu.. Kila kitu kwani hujui... Utajua mwenyewe na mzee wako... Wala hanitishi"


BAADA YA MIEZI SITA KUPITA


"mumeo bado hajarudi kazini"

Mama joshua alimuuliza Jessica,..

"bado hajarudi mama"

"mbona anachelewa sasa"

"lakini huu ndio muda wake"

Mama alikua ana jambo la kuzungumza na mtoto wake... Kwa sasa joshua anamiliki kampuni ambayo kapewa na mama sudi, yaani kaandikishwa kabisa yeye ndio mmiliki wake... Yaani anaamua yeye kwenye hio kampuni.. Ni moja kati ya kampuni anazomiliki mama sudi, hivyo katoa kampuni moja na kumpa joshua... Hizo zingine acha awabakizie watoto wake akina sudi na wengine... Joshua alimaliza kidato cha nne, lakini alijifelisha makusudi ili asiweze kuendelea na kidato cha tano kwasababu kama ni maisha tayari wanayo...

"piiiiiii"

"huyo nenda kafungue haraka"

Aliongea mama joshua lakini Jessica alikua kachoka sana, kwani mimba ilifikisha miezi 8 sasa...

"batuliii"

"abee mama"

"husikii honi huko"

"sawa mama"

Basi mfanyakazi alikwenda kufungua na joshua aliingia ndani,...


"Hebu kwanza kaa hapa"

"shkamoo mama"

"Marahaba, kaa sasa"

"shkamoo mume wangu"

"Marahaba vipi hali"

"salama tu...."

"sasa mama, kwanini nisioge kwanza"

"wewe mtoto.. Uoge umetoka kusukuma mikokoteni"

"daaaaahhhhh bimkubwa nae"

"eeeehhh eti bimkubwa nae... Kaa hapo"


Basi joshua alikaa sofani ili kumsikiliza mama anachotaka kusema....

"joshua?... Wewe ndio mlengwa haswaa... Tulichokua tunasubiri ni umilikishwe kampuni kisha tuondoke.. Lakini naona kimya mpaka sasa... Nimeshapata mteja wa supamaketi, na nataka nitafute mteja wa hii nyumba, na kile kiwanja chetu kule chini... Nawewe tafuta mteja wa hio kampuni, uza tuondokeni"


Aliongea mama Joshua, na kila mmoja alimsikia...

"ni kweli mama unacho ongea, na tulisha lipanga hili muda sana... Ila kupata mteja wa kampuni, sio jambo rahisi mama, hivyo kwanini usinipe muda kidogo"

"sawa, nakupa mwezi mmoja tafuta mteja uza... Nami wacha niuze kabisa ile supamaketi, tumkimbie huyu mtu"

"sawa mama"

Alijibu joshua kisha akawa anaamka... Lakini Jessica akawa na wazo...

"samahani mama, nina wazo kidogo kama hamtojali"

Joshua alirejea katika kiti ili kusikiliza wazo la Jessica....

"usijali mwanangu, unaweza kuongea tu"

Aliongea mama joshua

"Kwanini tunahama mjini, kwasababu gani"

Jessica aliuliza hivyo kisha mama joshua akamjibu

"ni kweli unapaswa pia kujua... Ila hii ni kwa usalama wako na wa joshua"

"kivipi mama, na nani atatudhuru"

"huyu mwanamke ambaye unapeana nae zamu za ndoa... Tunataka tuishi kwa uhuru"


"mama, samahani lakini... Mbona huyu mwanamke hana shida,.. Na nina uhakika hakuna wa kumdhuru hapa... Mimi mpaka sasa nina amani, wala hata hayupo akilini mwangu, kwanini tukaishi kwenye nchi za watu ingali mtu mwenyewe hana shida.. Mimi nimekubali kwa moyo mkunjufu, mume wangu akalale hizo siku tatu kwake,... Na nina amani kabisa, tena mwanamke mwenyewe hana shida, kukubwa tu nae apate haki yake japo hana ndoa... Kingine, yule mwanamke pale ana damu yenu, hata tukimkimbia bado ni bure,.. Mama? Kwanini tusiishi maisha yatu hapa hapa... Mana kama ni mali zote ni zakwenu na mna umiliki nazo, kuna haja gani ya kwenda kuishi kwa maficho wakati mtu wa watu keshajitolea ili tu alale na joshua siku tatu.. Mimi nimekubali,.. Samahanini lakini kama nimewaingilia"


Aliongea Jessica huku joshua akitikisa kichwa,...

"lakini ni kweli mama... Wazo zuri hilo pia mimi sioni haja ya kwenda kuishi kwa wasiwasi wakati mali ni zetu, hana uwezo nazo tena... Tunakimbia kwenda wapi"


Aliongea joshua huku mama akijibu kuwa

"nimewasikia vizuri sana wanangu... Mi nadhani sina budi kukubali, kwasababu lengo la kuhama ni ili niwape uhuru nyinyi, lakini kama mmeridhika na hii hali... Basi nami nasema hakuna haja ya kuondoka... Na hata kuuza sitauza tena"

Aliongea mama Joshua huku Jessica akifurahia wazo lake kukubaliwa...


"kwani mama una wasiwasi na nini haswa"

"kwa sasa sina wasiwasi kama mkwe wangu karidhika, basi, we kajifie mwenyewe huko"

Aliongea mama joshua huku joshua akijibu


"nani ajifie, mtu mwenyewe napiga moja hataki tena"

"we mshenzi unaongea ujinga gani mbele yangu"

"mmmhhhhhh basi mama yaishe,.. Nawe uko kama kigeugeu... Sasa si umeongea mwenyewe lakini"

"toa ushenzi wako uko.. Unapiga moja maana yake nini mshenzi, unaona mimi mkeo.... Huyu mumeo anavuta bangi siku hizi eeehh"

"sijui"

"atakua anavuta bangi mbwa huyu, anakosa heshima namimi anaongea upumbavu tu"

"msamehe mama hatarudia tena"

"mwambie ntamuachia laana huyu, mimi sio huyo mzee wake huko anaemparamia"

Mara joshua kurudi

"afu mama.. Nimesahau... Kile kiwanja chetu kule nataka nishushe bonge la hoteli"

"kazi kwako baba... Kiuno si unacho"

"umeona umeanza mwenyewe nikimalizia hapa utaanza kelele"

"naomba uende"

Joshua aliondoka huku Jessica akasema

"kumbe unamuanza mwenyewe ndio mana hehehe"

"nawewe lako moja na yeye"

"akuuuu"


Siku zilisonga maisha yakawa mazuri, hakukuwa na hofu tena,... Wala hakukua na mwenye hofu ya kuhama kwenda kuishi mbali....


Siku moja mama sudi alikuja kumtembelea mke mwenzie, Jessica

"heeeeee kwani siku tatu zimeisha"

Aliongea Jessica akidhani labda mama sudi kaja kumchukua joshua....

"achana na mambo ya siku tatu, kwanza hata wiki ukitaka kaa nae... Mimba yenyewe yanichosha tu afu bado niwaze mwanaume wanini"

"heheheheheheheehehe yamekua hayo.. Kwahio timbwili la siku tatu tena"

"nikimtaka nitakwambia aje... Sina hata hamu na mwanaume... Sijui ndio uzee unaingia"

"heheheheheheheehehe kwahio wewe hujioni"

"nitakuchapa wewe, mimi bado kijana..... Enhee Niambie, nimekuja kukusalimia nikajua tayari umesha jifungua"

Aliongea mama sudi huku akikaa kivivu kwenye sofa... Mana yeye na jessica wamepishana mwezi mmoja tu.. Jessica ana miezi 8 na masiku... Na mama sudi ana miezi saba na masiku...

"eeehh bado,.. Yaani naogopa, mama mkwe ananiambia bado wiki tatu tu"

"kazi unayo, ivi kumbe hujawahi kwenda leba eeeh?"

"iiiii mama weee, ndio ya kwanza hii"

"heheheheheheheehehe haloooooo.... Unalo ile bibi jessica"

"mbona wantisha ivyo"

"nakutisha au nakwambia, leba hakuna kutishana"

"hebu Niambie, kukoje kukoje... Ili nijipange.. Mana najua we mzoefu wa kule"

"tena sio mzoefu kidogo.. Mkongwe haswa, nina watoto watatu.. Huyu ni wa nne, napajua vizuri sana"

"enheee Niambie... Naskia ukishindwa kumtoa unapasuliwa"

"ndio"

"kwanini sasa"

"njia ndogo"

"afadhali..."

"afadhali kwanini"

"nina bonge la njia... Yaani nikifika tu pale.. Pyuuuu"

"heheheheheheheehehe ety pyuuuu, ehehehe, tutaona sisi na hio pyuu yako"

"sisi wenyewe na uzoefu wetu... Lakini tukikaribia tunawaza na kuwazua.. Wewe ndio ya kwanza ety pyuuuu... EHehehehehehe Jessica weee pole na pyuu yako"


"umekuja kwangu kunitisha au kunisalimia"

"we tuyaache hayo.. Mume wangu anarudi saa ngapi"

"saa 12 jioni"

"aje tu, nimemisi"

"kwahio unamsubiri"

"ndio"

"ndo ukapike, jiko lile"

"shika adabu yako mi mkubwa wako.. Naeshim tu hako kandoa kako"

"sasa si unanisaidia, mwenzio nimechoka ety"

"mtoto unajilegeza wewe... Ety ndio unasema ukifika leba Pyuuuu,... Eheheheheh"

"unaniuzi unavyocheka...."


"hodi humu.. Heeee mama sudi umekuja"

"ndio ma joshua habari yako"

"salama tu, naona wacheka kweli"

"mwali wako anichekesha kweli na pyuu zake, hebu Mwambie uyo"

"pyuuuu,... Pyuuuu ndio nini"

"enheheheheheheheheheh.. Muulize mwenyewe, mimi kuniacha hoi jamani mabinti hawa basi tu"


Ilikua ni furaha kubwa, na hata mama joshua kweli alijiridhisha kuwa mama sudi sasa hana nguvu, tena.. Kwani hio mimba ndio imemchosha kabisaaaaaa.... Maisha kwa sasa ni safi tu....


Tukija huku kwa akina Kipenga.... Kipenga alikua kamfumba mama yake macho, na kumfumbua....

"haya, unaona nini mbele yako"

Aliongea Kipenga huku mama kihisi haoni kitu...

"weeee, huku kwa mawaziri tumefuata nini kipenga"

"wewe ndio waziri sasa.... Mama hio nyumba ni yako kuanzia sasa"

Aliongea Kipenga, huku mama asiamini, machozi yalianza kumtoka....

"kidundo?"

"naama kaka"

"mama haamini... Shika funguo hizi hapa.. Nyumba yenu hio hapo... Mama hapo ndio kwako sasa,.. Na sasa nataka nikufungulie biashara, na gari lilee, ni lako.. Nitakutafutia mwalimu akufundishe gari"

Aliongea Kipenga lakini mama anakosa kitoa kauli mbele ya mwanae, amjibu nini.. Aongee nini, atoe shukurani gani.. Amuombe msamaha gani kwa yale matusi ya kipindi kile.... Mama Kipenga alibaki analia tu, mpaka kipenga anaondoka kwenda kupangilia kazi....

"kidundo??"

"naam kama"

"mpeleke mama ndani,. Mimi nitakuja jioni.... Kule msirudi tena.. Kwani humo kuna kila kitu,... Karibuni kwenye mji mpya"

Aliongea Kipenga kisha huyo akapanda gari yake na kuondoka... Mama Kipenga alihisi kuota

"mama, twende ndani"

"hivi kidundo, kipenga ananidanganya au"

"hapana mama.. Mimi mbona napajua kabla yako... Hapa ni kwetu na funguo hizi hapa"

Mama kipenga anashika funguo anafanya kutetemeka mikono, haamini kama na yeye ipo siku ataishi kwenye jumba la kifahari kama hilo..... Waliingia ndani lakini bado haamini


Tukija huku kwa akina jessica na mke mwenzie mzee...

"we pyuuuuu... Haya chakula kimeiva njoo ule"

"tueshimiane we mzee"

"mi mzee ningekuchukulia mume? Unalo ilo... We njoo ule"

Mama joshua alikua kwa pembeni anacheka tu...

"kula mwenyewe"

"utakosa nguvu za ku pyuuuu... Njoo ule hehehehe"


MWISHO....... MWISHO..... MWISHO......



JAMANI ANKO - 4

  



Chombezo : Jamani Anko

Sehemu Ya Nne (4)


"we mshenzi ulikua wapi, na kwanini uchelewe kurudi nyumbni... Uhuni umeanza. Lini... Na leo usiniambie umeokota hela"

Aliongea mama Kipenga, huku Kidundo akisema,

"sasa hata nikiona hela nisiokote"

"kwanza naomba uniambie, ulikua unapata wapi pesa"

"mama, mi nilikua naokota kweli"

"hapana.. Utanieleza leo, ulikua unatoa wapi"

Mama Kipenga alitoa fimbo kwa nia ya kumchapa Kidundo, kwani hakua akisema ukweli anatoa wapi pesa.... Kidundo alitandikwa na mama yake, bila kusema

"hutaki kusema"

"muna mtu alikua ananipa"

Heeeee mama kuskia alikua anapewa na kaka yake... Alishtuka sana kuskia hivyo...

"unasemaje Kidundo?. Na akikupa afu anakupeleka wapi"

"Aliniambia nisiseme"

"yuko wapi kwa sasa... Niambie na twende sasa hivi"

Mama Kipenga haamini anakula pesa ambazo hajui zinatoka wapi,


Lakini Kumbe ilikua ni mawazo yake tu akiwa pale kitandani... Lakini ghafla alisikia sauti ikimuita huko nje kwa ukali kuashiria kuna tatizo kubwa na sauti hio ni ya mtoto wake kidundo...

"mamaaaaaaaa nakufaaaaaaaa"

Mama kipenga kuskia hivyo mpaka tumbo lilimuuma, akashindwa hata kuamka,...

"mamaaaaaaaa"

"kidundo, kidu, kidun... "

Mama Kipenga alishindwa hata kuongea kwa mshtuko, mana alikua katika mawazo ya mtoto wake, afu ghafla anaitwa kwa sauti huku mtoto akisema anakufa... Mama kidundo akajikongoja mpaka mlangoni kisha akafungua mlango

"kidundo una nini mwanangu, mbona utaniua"

Aliongea mama Kipenga, huku kidundo akisema....

"mamaaaa.... Angalia chombo icho"

Aliongea kidundo huku akionyesha kushoto kwakwe,... Mama alipotupia jicho kushoto... Alimuona mtoto wake Kipenga..ugonjwa ulimuisha na kumkimbilia mtoto wake na kumkumbatia

"mwanangu kipenga baba....Nisamehe mama ako, nisamehe sana baba"

Aliongea mama Kipenga huku akimkumbatia mtoto wake kwa upendo wa hali ya juu.... Lakini ghafla jamaa anajibu kuwa

"Hapana,.. mimi sio kipenga... Naitwa Jackson George Haule"

Heeeeeee mama alishtuka kuskia hivyo... Mana hata sauti kweli sio ya Kipenga, hata kidundo alishangaaa kuskia hivyo...




Siku zote waliokupenda ukiwa mbali nao, siku ukirejea, watakua wenye furaha katika nyoyo zao, Kipenga alileta mzaha na kufanya familia yake kushangaa kwanini asiwe Kipenga kulingana na utambulisho aliotoa mbele ya familia yake,

"Hapana,.. mimi sio kipenga... Naitwa Jackson George Haule"


"kaka utamuua mama"

Aliongea kidundo baada ya kusikia utambulisho kuwa yeye sio Kipenga


"wewe ungetulia kwanza"

Aliongea Kipenga tena kwa sauti yake kabisa,.. Mama Kipenga alimkumbatia mwanae na kuendelea kumwomba msamaha kwa kile alicho kifanya

"nisamehe mwanangu, nina imani sitarudia tena kukutukana, karibu nyumbani baba"

Aliongea mama kipenga, wakati huo machozi yalimtoka na kujutia yale alio yafanya kwa mtoto wake,...

"mama, mimi sina kinyongo nawewe, na nilitoka hapa ili nami nisije nikakuvunjia heshima mama, ila huna kosa lolote ispokua tu, maisha ya majirani ndio yalikuchanganya"

"ni kweli mwanangu, nisamehe bure baba angu"

Mama na mwana wasameheana na kuanza maisha mapya,... Kidundo alifurahi sana kuona amani ndani ya nyumba imerejea kama zamani,


Tukija huku kwa akina joshua, akiwa anakula karanga, kama kawaida ya mama huyo kumtengea mwanawe karanga, mana kesho siku ya Jumapili, atakutana na mechi nzito sana,

Wakati huo mama joshua anamwangalia mtoto wake,.. Alionekana kuto kupenda kabisa, alijisemea kimoyomoyo kuwa

"yaani hizi shida hizi hazina mipaka... Najiona namuuza mwanangu"

Alijisemea mama huyo huku akimwangalia mtoto wake kwa huruma


"mama, mbona unaniangalia sana... Karanga unitengee mwenyewe kisha uzitamani, haya tule"

Aliongea joshua akidhani labda mama yake anataka karanga....

"nataka nirudie kazi yangu ya vitumbua"

Aliongea mama huyo huku joshua akishangaa, mana kweli mama yake alikua akipika vitumbua, ila mtaji ukakata kwa shida....

"nini mama?? Mimi sitaki ten ukae katika moto, na ukianza hio kazi.. Je dukani kule atauza nani"

"ukimaliza shule ndio naanza afu wewe ukae pale dukani"

"apana, kwanza mimi nasoma ayo mawazo futa mama... We achana na vitumbua"

Aliongea joshua kisha akaelekea chumbani kwake...

"kwahio hizi karanga humaliziii"

"tosha mama"

"hutaki kuongeza akili kichwani wewe.. Baba ako alikua anazipenda sana hizi"

Aliongea mama huyo


Tukija huku kwa mama sudi akiwa kitandani, anagalagala tu, na kanga moja, alishika simu yake na kumpigia joshua wake,

"hallo joshua mambo"

"poa tu, mmmhh leo unapiga piga kila mara"

"nakupenda joshua, nakupenda mno.. Mwenzio nina chupi tu hapa"

Aliongea mama sudi yaani kama vile anaongea na mtu mzima mwenzie.

"mmmhh mama ndio..."

"koma wewe, mama ako unae huko.. Ina maana hata yeye alishawahi kukwambia ana chupi"

"basi tuyaache ayo"

"sipendi uniite mama"

"sawa mpenzi...afu mama naona ana mawazo sana na hii Safari, kama vile hajapenda, kwanini tusiende wiki ijayo"

Aliongea joshua kumshari mama sudi, ambalo ni shuga mami wake...

"weeeeee, hapana... Joshua nakupenda na nina hamu nawewe, nataka penzi langu la kwanza ukanigegede Dar es Salaam"

"mmmhhhhh sawa"

"kama ni swala la mama mkwe Niachie mimi nalimaliza sasa hivi"

"sawa bwana"

Mpaka sasa mama sudi hajagusana na joshua hata mara moja,


Wakati huo huku kwa akina Kipenga ni furaha, mama karudi kundini hataki tena kugombana na mwanawe, mambo ni safi ndani ya nyumba, na uzuri zaidi Kipenga keshapata mwanamke wa kuoa ambae ni rose, kondakta mwenzie


Tukija huku kwa akina joshua, mama alikua anawaza sana, amkataze asiende au vipi, ila akiangalia mambo bado hayajawa mazuri... Ghafla kwenye simu yake iliingia meseji, kuangalia.. Ni M-pesa

Alishtuka na kuangalia kwa umakini mzuri, aliona imeingia shilingi laki tano kisha simu ikaita

"Hallow dada mambo"

"poa mama sudi habari yako"

"salama tu,.. Vp umeona nilichotuma"

"nimeona ndio"

"muandae basi, kwa ajili ya safari ya kesho"

Aliongea mama sudi huku mama joshua ilimchoma sana, yaani amuandae mtoto wake akafanyane na mwanamke mtu mzima kama yeye...

"mama sudi unanikosea sana, yaani nimuandae mtoto wangu kwa ajili ya zinaa na wewe"

"basi samahani kwa hilo... Naweza kuongea nae"

"mpigie kwenye simu yake"

"ok Samahani mama joshua"

Mama joshua alikata simu huku akilia,.. Mtoto wake ni mdogo kwa mama sudi, hivyo anahisi atabemendwa na wamama wakubwa... Mama joshua alitoa machozi ya uchungu kwani hapendi iwe hivyo, japo wana shida kweli.... Lakini akiangalia simu yake.. Anaona laki tano inaelea elea haina mtu zaidi yake...


Kesho yake asubuhi, Kipenga kama kawaida yake, aliamka asubuhi sana... Mama Kipenga aliamka mapema mno kupika chai hivyo Kipenga aliendelea kunywa chai huku mama akimuuliza

"lakini si unarudi leo leo"

"ndio, lazima nirudi"

"hilo gari halilali huko"

"hapana, kwasababu sio mbali hivyo tunakwenda na kurudi"


Tukija huku kwa Jessica akiwa anafanya usafi chumbani kwake, alipoangalia moja ya shuka lake, aliona matone ya damu, alikumbuka damu hizo ilikuaje... Alijikuta anamkumbuka joshua... Alishika simu na kupiga

"Hallow joshua mambo"

"poa nambie"

"safi tu, mekumisi mume wangu"

"sawa... We vipi kuhusu ishu ya jana ule mchupi wako"

Joshua alimuuliza Jessica, kuhusu ile chupi ambayo mama yake aliiona chini ya meza,

"imesha isha ile, wala hakuna kesi.. Njoo basi leo twende kanisani, tukirudi unigegede tena"

Aliongea Jessica kwa sauti ya mahaba

"si nilikwambia leo nina safari"

"Ooohhh, nilisahau ila kwakua mnakwenda na ndege, si mtawahi tuu... Mi nataka tena leo"

Aliongea Jessica yaani mtoto keshanogewa na mapenzi,..

"nadhani unakwenda kuwa danga sasa mana ushafunguliwa, unawashwa tu"

"niombe radhi mume wangu... Kumbuka umenikuta na bikra yangu, kwanini uniambie nakua danga"

Aliongea Jessica kwa maneno ya joshua ya kumuita danga,..

"ok poa samahani"

"joshua??"

"nini tena"

"nakupenda, nataka muda wote uwe namimi... Naomba unioe"

"tobaaaaa.... Mwalimu we ushakua chizi wewe"

Aliongea joshua huku Jessica akiuliza

"uchizi wangu nini"

"we huoni kama bado nasoma"

"kwani shule ndio inatuzuia kuoana"

"sasa huduma natoaje"

"kwani mimi si nafanya kazi"

"weeeee, Uyaone hivi hivi maisha ya ndoa kwenye nyumba za watu... Acha nimalize shule nipate kazi"

"hapana mume wangu, wacha nitafungua biashara kwa ajili yako.. Nataka hio imani yako kwamba ukiwa shule huezi kuoa, ikutoke"

Wakati huo anaongea na Jessica, simu ya joshua iliita tena

"hebu kata simu Jessica, kuna simu inaingia hapa"

"siwezi kukata, nataka tuongee"

Joshua kuangalia ni mama sudi ndio alikua anapiga

"Jessica, hebu kata simu bwana"

Jessica alipoona Joshua anakua mkali, akakata,.. Joshua akapokea simu ya mama sudi


"Hallo mambo mpenzi"

Alisalimia joshua, kwa salamu ambayo mama sudi anataka,

"poa ulikua unaongea na nani muda wote huo"

"mwalimu wangu"

"kale kasichana si ndio"

"hapana, ni Sir John ndio nilikua naongea nae"

"anataka nini asubuhi hio"

"alikua ananikumbusha homework mana mitihani ni hivi karibuni"

"ok vp umesha jiandaa, mana saa mbili tunaondoka, na sasa ni saa moja na nusu hii"

"aahh ndio naenda kuoga hivi"

"ok fanya chapu basi mpenzi"

"sawa mama sudi"

"alafu wewe"

"samahani"

Basi joshua aliweka simu ndani kisha akaelekea zake kuoga


Tukiwa huku kwa jessica aliokua akimuwaza joshua kila wakati, yaani mawazo yote ni kwa joshua... Na hapo alikua akiangalia picha ya joshua kwenye simu

"nakupenda sana joshua wangu, hata kama nimekuzidi kiumri, lakini nataka unioe na nitakupa heshima yako kama mume"

Aliongea jessica tena kwa sauti,.. Mana yupo mwenyewe chumbani kwake,.. Kwahio hata jessica anajua kuwa joshua ni mdogo kwake, lakini kwa jinsi anavyo mpenda atampa heshima yake kama mume, hataangalia udogo alio nao... Uzuri wa mwanamke akishapenda tu haangalii pakoje, anatumbukia tu... Ila hata sisi wanaume pia,.. Kuna wengine tunatumbukia kwenye mapendo ambayo hata hayaeleweki ila tunatumbukia tu.. Kwahio ni wotewote tupo hivyo kwakua tuna mioyo ya nyama na lazima tupende


Wakati huo mama sudi akiwa chumbani kwake anapanga kama nguo mbili tatu hivi, lakini alikua kashika shanga nyingi mkononi...

"hivi joshua wangu Anaweza kuzitumia kweli, na kama anaweza nitampenda mpaka nife na hataoa huyu mtoto,.."

Aliongea mama sudi, kana kwamba anampenda sana...

"kama ni watoto nitamzalia, ila kumuacha aoe, Kiukweli sijui"

Mama sudi Aliongea hayo huku akiziangalia zile shanga... Akachukua simu yake...


Tukija huku kwa akina joshua, tunamuona mama joshua ana mawazo sana mana anajua leo joshua anakwenda Dar es Salaam, na anakwenda kufanya mapenzi na mwanamke mtu mzima kabisa,.. Kitendo hicho kilimuuma sana.. Mana mwanamke yule ni lika lake huyu mama joshua, sasa inamuuma sana... Na hawajawahi kulala... ndio wanakwenda kuanza Dar es Salaam... Sasa mama akaona mbona joshua haamki ili ajiandae kwenda,... Anatamani joshua akatae.. Basi mama ikabiti aende chumbani kwa joshua ili kwenda kumuangalia mana anachelewa safarini... Aligonga lakini hakuna majibu,.. Huo ni wakati joshua yupo bafuni... Mama akapatwa na wasiwasi, akasukuma mlango..

"mbona hayupo tena"

Aliongea mama joshua, lakini ghafla simu ya joshua inaita

Mama kuangalia alijua nani anapiga, ni mama sudi ndio alikua anapiga mama joshua alipokea ili amwambie katoka.. Lakini kabla mama joshua hajatoa sauti yake,.. Mama sudi alianza kuongea


"hellow mpenzi... Unajua hapa nataka nibebe shanga mume wangu, sasa nataka nikuulize, si unajua kuzitumia"

Aliongea mama sudi wakati huo mama joshua kashika kifua chake, inamuuma sana.... Hizi shida hizi acheni tu

"mume wangu? mume?.. Joshua mbona huongei.. Nijibu basi nibebe shanga, mana napenda uzichezee chezee"

Alizidi kuongea akidhani ni joshua kumbe ni mama yake joshua...

"joshua, joshua?.... Mbona huongei, au mtandao mbovu"

Aliongea hivyo kisha akakata simu... Ghafla na joshua nae anaingia hapo chumbani...

"mama?? Mbona upo chumbani kwangu?? Afu mbona unalia"

Aliongea joshua huku akiwa kavalia taulo tu... Mara simu inaita tena,.. Joshua akaifuata simu ili apokee...

"naomba usipokee hio simu... Halafu.. Nasema hivi, safari imekufa, hakuna kwenda, kama ni pesa zake tumrudishie zote"

Joshua alishtuka kuskia hivyo, alitoa macho kama mjusi...

"mama sasa...."

"hakuna cha sasa... Naomba ulale, tena lete hii simu"

Mama joshua aliondoka na simu ya joshua...





Maisha ya awali ya familia hii yalikua ni magumu sana, kwani mama joshua alikua akimiliki biashara ya vitumbua, lakini kadri siku zilivyozidi kwenda mtaji uliisha na hatimae kukosa biashara kabisa, ndipo hapo joshua akachukua jukumu la kuwa mtoto wa mtaani kwa kuendesha mkokoteni ili apate chochote familia yake ipate kula mana yeye ndio mtoto wa kiume pekee, aliemfata bado ni mdogo tena yupo darasa la nne kama sio la tatu, na ni jinsia ya kike, joshua alidumu na kazi hio kama miezi kadhii huku akiwa mtoro wa shule,.. Familia nzima mpaka mama yake alikua akimtegemea mtoto wake joshua alete chochote waweze kupika, mana mtaji wa vitumbua uliisha na hakuwa na uwezo wa kuurejesha...


Ndipo siku moja joshua alipata kazi ya kumbebea mama mmoja mizigo yake kutoka stendi, na sio mwingine bali ni mama sudi, ndipo mama sudi akaanza kumpenda kijana huyo na kutaka kushiriki nae tendo la mapenzi,.. Lakini alipokuja kugundua ni mwanafunzi, na kwakua anampenda aliamua kuyabeba majuku ya familia hio,... Hayakuishia njiani, swala hilo lilimfikia mama joshua,.. Lakini mama joshua hakulikubali kwa moyo wote, lakini kulingana na maisha yao yalivyo magumu, mama joshua alikubali tu,... Sasa kukubali kwake ni kwasababu ya shida zao tu, lakini hapendezwi na tendo hilo analofanyiwa mtoto wake... Mama joshua inamuuma sana... Sasa leo kapokea simu inazungumzia mambo ya shanga.. Mama joshua akaona kama ni shida acha ziwaue, kuliko mtoto wake akawe mtumwa wa mapenzi...


Sasa wakati huo joshua anamfuata mama yake ili ajue kuna tatizo gani, mbona toka juzi alikua akimuandaa kwa ajili ya safari, sasa iweje leo mama yake abadirike ghafla hivyo...

"mama, Niambie basi nijue namimi"

Aliongea joshua, huku mama akilia tu kwa kumwangalia mtoto wake

"nasema hivi, kama ni pesa zake tutampa na sitaki mahusiano tena"


Tukija huku kwa mama sudi,.. Alijua kabisa kule kwa akina joshua hakuna tena usalama,... Hivyo alipanga baadhi ya nguo zake kwenye begi kisha akatupia begi kwenye gari,.. Mlinzi alifungua geti kisha mama sudi anatoka,


Tukija huku kwa akina joshua na mama yake, wakiwa bado wanarumbana,...

"kwani tatizo nini mama"

Mama alikaa chini huku akisema

"mwanangu, najua wewe ni mwanaume, lakini inaniuma aana,.. Nimepokea simu yako kutoka kwa huyo mama ako mnaependana, ila maneno yake sijayapenda"

"kwani kakujibuu vibaya mama"

Joshua aliuliza kama kajibiwa vibaya au laa

"hapana, wala hajasikia sauti yangu, ila maneno yake ambayo alikua akikwambia wewe, yameniuma sana"

Aliongea mama joshua huku joshua akipumua na kuona ni jambo dogo tu..

"mama,.. Wala sitaki kujua maneno ambayo aliongea, lakini tukiachana na hilo, twende kwenye pointi uliosema kama ni pesa zake tumrudishie... Hebu Niambie mama... Toka huyu mwanamke ameanza kutoa pesa zake kuanzia shuleni na maisha yetu kwa ujumla, pamoja na hio biashara ulionayo mpaka sasa sio chini ya milioni 7 mpaka 8,... Hebu Niambie mama angu, utazilipaje hizo hela za watu"

Joshua alimwambia mama yake maneno hayo, mama joshua alibaki kimya tu, asiwe na jibu la kumjibu mtoto wake...

"mama? Acha hasira wala hofu,.. Mbona nammudu vizuri tu"

Aliongea joshua kitu kilicho mpandisha hasira mama yake na kuvuta kibao Mpaka shavuni kwa joshua likisindikizwa na tusi

"taaaaaaasiiiiiii...... Pumbavu wewe... Hivi unaona mimi nafurahi sana,.. Huoni kama ni sawa na mama yako yule,.. Mimi ndio nadhalilika mana maumbile yake ni kama yangu.. Mshenzi wewe"

Daaahhh mama joshua kavimba balaa,.. Joshua wakati huo kashika shavu lake lililokua likiwaka moto kwa kofi kutoka kwa mama yake,...


"samahani mama angu... Lakini ukweli ubaki palepale... Na uchague moja kati ya mambo matatu... Ni hivi... Endapo nitaachana na huyu mwanamke, basi ujue umenipoteza kiuhai, mana hatapenda kunikosa iwapo nipo hai, ataniua... Jambo la pili.. Endapo nitaachana na huyu mwanamke, hakikisha una milioni zaidi ya 8 hapo ulipo tena sasa hivi, hapo nitaachana naye... Jambo la tatu... Endapo nitaachana na huyu mwanamke,.. Kumbuka kwamba ni tajiri na hatumuwezi kwa lolote lile,.. Anaweza kuniteka na akanitumia kimapenzi anavyotaka yeye na hata hio hela unayopata usipate, shuleni ndio basi na uhuru ndio basi.. Na mapenzi nafanya kwa lazima... Sasa chagua moja kati ya hayo.. Mimi nipo chumbani Nasubiri jibu"


Aliongea joshua, jambo ambalo ni kweli, kuliko alete ubishi bora atulie tu... Mama alimsikiliza kwa makini sana mtoto wake.. Lakini kati ya hayo, hakuna aliochagua hata moja, mana hakuna zuri hata moja kati ya hayo... Labda hizo pesa lakini hana


Mama joshua alimwita mwanaye

"njoo kwanza"

Wakati huo jishua kavalia taulo tu, yaani likidondoka tu, vitu vyote nje...

"naam mama"

Jishua alimsogelea mama yake jirani kabisa pale alipo simama...

"we vipi mbona unanisogelea hivyo, una kichaa wewe... Shika simu yako, utajua mwenyewe si unajifanya kidume"

Aliongea mama jishua huku akimpa simu yake, kana kwamba hana budi kuwa mpole japo inamuuma Sana.. Mara ghafla gari inasimama hapo nje kwao,.. Alikua ni mama sudi

"skia sasa mama... Tengeneza mazingira ya pesa,.. Huyo hapo nje kaja, jifanye hutaki niende"

Aliongea joshua huku mama jishua akimwangalia mtoto wake kwa hasira, mana anachukulia simpo tu... Joshua alitoka nje

"heeee joshua jmn,.. Ina maana bado hujavaa,.. Afu mbona ulipokea simu ukawa huongei"

Aliongea mama sudi, kisha joshua akamwambia

"hio simu alipokea mama... Kwahio kasema hakuna safari"

"mungu wangu, kwanini sasa... Vipi yupo ndani"

"ndio kafura hapo sebuleni"

"mama yako nae, sasa kapokea simu yako yanini... Aaahhh"

"ni mkubwa mwenzio, we nenda mkayamalize wenyewe"

"ok.. Ebu nenda kajiandae najua nitalimaliza vipi,.. Nakupenda joshua"

"nakupenda pia ile nenda ndani kaongee nae nahisi mapenzi yataishia hapo"

Aliongea joshua ili kumtia hofu mama sudi ili atoboke vizuri... Kwa joshua yeye hana wasiwasi hata kidogo...


"hodi mama joshua"

Alinisha hodi mama sudi na mama joshua akaitikia

"karibuuu ingiaaa... Heeee ni wewe tena"

Mama jishua nae alijifanya kama hajui

"za saizi dada"

"salama habari yako"

"salama tu... Aaahh samahani mama joshua, joshua kaniambia ulipokea simu niliopiga mimi... Sasa kasema hujapendezwa na maneno hayo.. Naomba radhi kwa hilo"

Aliongea mama sudi huku mama joshua akizidi kununa

"mama sudi unataka kuniharibia mwanangu... Hovi umesahau kuwa anasoma,.. Mambo ya shanga na mtoto wangu wapi na wapi... Hivi nikienda kushtaki utaachwa wewe"

Aliongea mama joshua huku mama sudi akishtuka

"ah ah mama joshua, huko umefika mbali, si unajua watu wazima sisi tunawashwa hivyo nimempenda sana joshua na ndio mana nafanya yote kwa ajili yake"

"kwahio kama unawashwa, mtoto wangu ndio kucha si ndio"

"hapana dada"

"unaniharibia mtoto mama sudi"

Aliongea mama joshua huku mama sudi akiingiza mkono kwenye mkoba na kutoa kibunda cha pesa...

"dada, hebu tuombee Safari njema"

Mama sudi aliongea hivyo huku akinyoosha mkono wake wenye kulambwa,, wahenga walisema MKONO TUPU HAULAMBWI...

"ila mnarudi leo leo.. Kesho shule"

"sawa mama joo"

Mama sudi alikimbilia chumbani kwa joshua na kumkumbatia,...

"tayari nishamaliza kazi.. Nilikwambia kazi ndogo sana"

Aliongea mama sudi huku akimkumbatia joshua,.. Na wakati huo joshua alikua kavaa boxer tu,... Sasa mama sudi alijikuta kashika zakari ya joshua....

"joshuaaaaaa..."

Aliita ile kimahaba, kitu kilichomfanya joshua kusimamisha zakari

"naaam..."

"siamini kama nilichoshika ni chenyewe"

"yes, ni chenyewe"

"waaoooooo nnnnhhhhh"

Mama sudi alianza kumnyonya joshua denda, joshua nae akajibu mapigo... Vidole vya joshua vilikua kama anapiga gitaa kwenye mbavu za mama sudi,.. Kitu kilichomfanya mama sudi kuachia mkoba wake ukadondoka

"jamani anko jooooo"

Mama Aliita kwa sauti ya mahaba

"naama baby"

Joshua aliitika lakini mama sudi hakua na cha kuongea zaidi ya kumvua joshua boxer yake...


Ndani ya dakika chache tu, mama sudi kabakiwa na chupi, na hapo yupo kwa mkwe,.. Kazi wanayo...


Kwa upande huu wa huku nje,.. Mama Kipenga anakuja kumletea umbea mama joshua kuwa mtoto wake Kipenga karejea nyumbani na sasa ana kazi nzuri.. Lakini aliona gari kwa nje, akajua ni mwanamke wa joshua yupo ndani...

"enhee, wacha nikamuone huyo mwanamke mana simjui"

Aliongea mama Kipenga, japo sio jambo lililo mleta kwa mama joshua...

"hodi jirani"

Alibisha hodi mama Kipenga

"karibu, aahh mama kipenga karibu"

"asante shost"

Alikaa mama kipenga lakini akawa anaangalia huku na kule,..

"mama joshua, nimeona gari hapo nje lakini mbona mgeni simuoni"

"wapo ndani huko"

"ina maana wamekosa pakwenda imekua hapa"

"joshua anabadili nguo wanataka kwenda Dar es Salaam"

"wewe mama joshuaaaaa... Joshua si anasoma na kesho shule"

"wanarudi jioni"

"kwa usafiri gani"

"si wanakwenda kwa ndege"

"hapo sawa.... Sasa tuyaache hayo... Mwanangu kipenga kurudi jamani"

"wacha weeeeee...kumbe ndio mana nakuona una furaha sana leo"

Aliongea mama joshua huku mama kipenga akizidi Kufurahi

"ndio.. Na uzuri zaidi, ana kazi nzuri, na leo mesema anakuja na mchumba wake kunitambulisha"

Aliongea mama kipenga, huku mama joshua roho ilimuuma sana mana anatamani sana joshua alete msichana lika lake, lakini wapi hakuna, ni kugandana na wamama tu

"mbona uko hivyo mama joshua, au hujapenda kurudi kwa mwanangu"

Aliuliza mama kipenga, huku mama joshua akijibu kuwa

"hapana mama kipe, unajua najiskia wivu sana kuona mwanao anamleta mwanamke lika lake"

"lakini mama joshua... Hata huyu mwanamke, si amuoe tu"

Aliongea mama kipenga, mana mama kipenga anajua kuwa huyu mwanamke wa joshua ni msichana lika lake.. Kwani hata kipenga aliwahi kumtongoza... Kumbe sio huyo

"mama kipenga unanikosea sasa... Yaani joshua aoe hilo limwanamke jitu zima"

"jitu zima? Ina maana sio msichana ni jitu zima"

"ni lika letu mama"

"yesu wangu wa mbinguni... Mama joshua jamani, mimi nilijua ni binti mwenye pesa zake"

"wala tu, ni jimama hilo"


Sasa huku upande wa pili kwa mama sudi na joshua na ni nyumba hio hio,...

"jooooooo, No, No,.. Usiingize yote tafadhali joshua, nina mwaka kama sio miaka sijaingiliwa, toka mume wangu afariki... Tafadhali sana Anko joshua, ingiza taratibu"

Aliongea mama sudi, wakati huo yuko hoi chupi imeloa yote, shanga alizovaa zimekatika katika, zimesambaa hapo kitandani...

"oooohhhhh, ngoja nivue chupi anko joo"

Aliongea mama sudi huku akivua chupi yake kwa tabu mana mwili umechoshwa utafikiri alikua akilima... Kweli joshua kuangalia buyu la mama sudi, utafikiri binti mdogo mana kimerudi kimekuwa kidogo, mwaka bila kusex sio mchezo... Joshua aliuchomeka mzakaria wake.. Mama sudi aliruka kama mtoto bikra..

"nilikwambia joo, utaniumiza..."

Aliongea mama sudi,.. Joshua alinyoosha mkono na kuchukua donge la mafuta aina ya BabyCare.. Akajipaka taratibu huku mama sudi akiseidia kazi hio...

"Kiukweli sijategemea kama ungekua na utamu kiasi hiki"

Aliongea mama sudi lakini joshua hakujibu, bali alimsukuma mama sudi akae vizuri aliwe

"uuuuuuwiiiiii"

"acha kelele tupo nyumbani hapa"

Aliongea joshua huku akiingiza taratibu, mama sudi alikua kakucha sura, raha zote alizosikia mwanzo wa kuandaliwa ziliisha, sasa ni maumivu kiasi,..

"yaani huyu mtoto anantoa machozi mimi, siamini Kwakweli"

Aliongea mama sudi kimoyomoyo, huku sura yake ikionekana kujikunja kutokana na maumivu wakati wa zakari kuingia katika haja ndogo..

"tosha joshua, toosha... Tena naomba ukojoe haraka baba angu, naumia"

Aliingea mama sudi, huku jishua akianza zile za nje ndani... Kadri alivyozidi kukatika, nadhani mama sudi alianza kuizoea mpaka akadai aongeze tena, wakati huo utamu ulianza kurejea, sasa joshua ana kitabia flani hivi, cha vidole.. Akiwa anapiga huku, basi anapitisha kidole na huku...

"we..... pumbavu..."

"tulia baby wangu"

"jooo angalia usije... Ooohh, joo nitazoea huko.. Oohhh"

Aliongea mama sudi, alijikuta anakubali mana raha ziliongezeaka zaidi kwani sehemu zote zilikua zikifanyiwa kazi, jambo ambalo hakuwahi kufanyiwa toka kuzaliwa kwake...


Baada ya masaa matatu kupita,... Joshua alikua anakojoa bao lake la tatu... Mama sudi ni tepetepe, joshua alimgeuza mama sudi akalalia tumbo,.. Yaani kachoka...

"we joshua wewe, hicho sio kidole tafadhali"

Aliongea mama sudi, baada ya kuhisi vitu vikubwa vikimuingilia

"joshua tafadhali sana, niache.. Anko joo, huko sitaki.. Nakupenda lakini huko sitaki anko.. Nitakupa utakacho ila usinifanye huko"

Aliongea mama sudi,... Nia ya joshua anataka kumteka mama sudi kimapenzi, ili ikiwezekana apewe hata nusu ya mali zake,... Ila joshua alikua anamtania tu kwani jogoo lilisha lala muda tu... Joshua alijilaza juu ya mgongo wa mama sudi... Usingizi nao uliwapitia...


Upande mwingine wa mama kipenga alivyo mnafiki masaa yote hajaondoka Anasubiri tu amuone huyo mwanamke mtu mzima...

"mama joshua? Hao watu wanafanya huko ndani.. Kubadili gani nguo lisaa la nne hili"

Aliongea mama kipenga, huku ma Joshua katulia tu, hana usemi, mana anajua hapo akitoka analiamsha varangati apuliziwe kibunda mana hilo ni kosa.. Ulie mwanae afu hapo hapo kwake....

"achana nao"

"mama Joshua lakini sio heshima,.. Mwenzangu hata kama ni shida ila hii ni dharau"

Mama joshua kuskia hivyo ni kama kabustiwa upya... Katoka mbio mpaka chumbani kwa joshua...

"ngo, ngo, ngo, ngo"

Joshua alishtuka na kurukia nguo zake, akavaa fasta kisha, akaenda mlangoni... Kumbe hata mlango haujafungwa, yaani mama joshua angesukuma tu angeingia mpaka ndani...

"nani unagonga"

"we mpumbavu"

Mama Joshua katukana... Joshua akafungua mlango...

"mama, tusamehe bure, ila... (akaongea kwa taratibu)... Ila mpige hela"

Aliongea joshua kwa taratibu, kuwa ampige hela kwa kitendo cha kufanya mapenzi kwake...

"ina maana tayari mmeshafanya"

"aaahhhhh muuuuda tu, na sasa kalala hoi hoi.. Nimempeleka puta"

Hajamaliza hata kuongea, kilipita kibao

"taaaaaaasiiiiiii... Mshenzi wewe unaongea na mama ako mimi sio mtoto mwenzio mbwa wewe"

"samahani mama nawewe nilijisahau"

Mama Joshua aliondoka,.. Lakini mama sudi alishtuka kwa kile kibao alichopigwa na mama yake

"vp mbona nimeskia kama kibao"

Aliuliza mama sudi...

"ndio, we unaona tulichofanya ni kitu kizuri"

"kwani tumefanyaje"

"we unajua hapa tupo wapi"

"haaaaaaaaaaaaaa.... Joshua? Hivi tupo kwenu?.... Mungu wangu mimi jamani"

"kwahio ulijua upo Dar es Salaam Kwenye LODGE kubwaaa"

"mungu wangu joshua jamani"

"haya toka ukakutane nae huko..."

Aliongea joshua kama kumtishia hivi

"achana na hilo jambo dogo sana kwangu... Ila joshua, kuanzia leo nakupenda mpaka milele, sitakaa kukuacha kamwe.. Nitakufa nawewe... Nipo tayari kwa lolote.. Alafu nina wazo"

Aliongea mama sudi kuwa ana wazo

"wazo gani tena"

"nataka unioe"

Joshua alishtuka mpaka akapaliwa na mate

"koho koho, koho"

"nini tena"

"wala tu,.. Nenda kamwambie mama akikubali mimi nipo tayari"

"kweli joshua"

"ndio"

Joshua aliongea hivyo mana kivyovyote vile mama yake hawezi kukubali, tena huenda wakagombana

"natoka hivihivi"

Aliongea mama sudi kuwa anatoka vilevile na kanga moja akiwa kafunga mabegani

"acha ujinga mama sudi"

Aliongea joshua lakini mama sudi katoka, yaani kwa sasa mama sudi ndio humwambii kitu kwa joshua...

Sasa alipofika sebuleni alikuta wapo wawili.. Mama joshua na mama kipenga..

"za saa izi"

Mama sudi alimsalimia mama kipenga

"salama sjui wewe"

"salama tu"

Pakawa kimya ghafla, ila mama joshua akavunja ukimya...

"mama sudi naomba ukaoge kwanza"

"sawa, ila nina maongezi nawewe"

"ongea uende, mana umenichefua leo kuliko siku zote"

"samahani mama joshua, (akapiga magoti).. Nilizidiwa Kwakweli"

"kwahio kuzidiwa kwako ndio ufanye ndani kwangu"

"hapana... Ila nina jambo nataka nikuombe na ndio mana nimepiga goti mbele yako"

"unataka kuleta kesi, wakati nina kesi nawewe"

Aliongea mama Joshua huku akiwa kafura kweli

"ni hivi... Nitafanya lolote utakalo... Naomba niolewe na joshua... Nitamzalia watoto awatakao... Ila nitamfuta shule kabisa awe mume wangu"


Mama joshua alianza kutetemekwa na midomo




Siku zote shida haijui njia ya kupita, ruka ruka koote lakini utatulia tu,... Mama joshua alishikwa na hasira nyingi baada ya mama joshua kumtaamkia maneno hayo ya kitaka aolewe na joshua,... Mama joshua alianza kitetemekwa na midomo, kisha kunyanyuka na kitaka kumvamia mama sudi na wakati huo mama sudi ana kanga moja tu, hata chupi hana....


"ah ah hapana mama joshua, msikilize kwanza"

Aliongea hayo mama Kipenga ambaye alizuia vurugu ile iliotaka kuanzishwa na mama joshua

"hivi umesikia upumbavu alio uongea huyu mshenzi"

Aliongea mama joshua huku akitweta hasira,..

"mama joshua, hebu kuwa mpole basi"

Aliongea mama Kipenga huku mama sudi kashika kanga yake, na asijue afanyeje, yaani mwanamke mtu mzima na pesa zake anadhalilika kwa kijijana kidogo sana


"hivi una akili mama sudi,.. Hivi namimi nimfuate huyo sudi nimwambie anioe mimi"

Aliongea mama joshua kama kumpa mfano wa mtoto wake

"nipo tayari kama mtaelewana, kwani mimi ndio nafanywa? Yeye si mwanaume.. Acha apambane na hali yake"

Alijibu mama sudi akiwa hana wasiwasi kabisa, na hawazi lolote...

"hivi we mwanamke umelaaniwa na ngono.. Una pepo la ngono wewe sio bure"

Aliongea mama Joshua huku akikaa katika kochi lake la miti...

"mama joshua, huyu anapelekeshwa na hisia tu"

"hata kama ni hisia, hawezi kuoana na mwanangu huyu, hata iweje"

Mama sudi aliamka na kwenda chumbani alipo joshua, yaani kitendo cha kuamka tu,kalio linatikisika kama maini,..

"mmmhhh kwa hali hii, hata mwanao kadata, watoto wetu hawa wa siku hizi, wanavyopenda misambwanda kama hii... Na hata sisi wanatutamani sema tu ni wazazi wao"

"mshenzi sana huyu mwanamke"

Aliongea mama joshua huku mama Kipenga akiongea kuwa

"Sikiliza mama joshua, awali nilikua na wivu sana juu ya maendeleo yenu.. Lakini kwangu ilikua ujinga... Sasa nakushauri... Joshua ni mwanamume, tena rijali.. Na inaonekana amemmudu vizuri... Cha kufanya, tengeneza pesa,.. Jishua akioa masikini akimleta hapa mtaangaliana na njaa zenu.."

Aliongea mama Kipenga huku mama joshua akijibu kwa jazba

"kwahio hata wewe unataka mwanangu afunge ndoa na huyu mwanamke"

"sina maana hio, ila akili kumkichwa, fikiria mara mbili.. Tupo mjini hapa,.. Mjini Bila pesa si chochote... Vumbuka joshua ni mtu mzima anajua baya na zuri... Mimi naondoka kwaheri"

Aliongea mama Kipenga kisha akaondoka, kwa sasa mama Kipenga hataki unafiki wala umbea...

"sasa mama joshua"

"kwaheri mwenzangu, usije ukasema nakushauri vibaya... Ila kwa lile tako lile.. Hata mwanao kadata pale"

Aliongea kisha akaondoka zake...


Huku chumbani mama sudi alikua analia.. Aisee mapenzi bwana ya kijinga, eti jimama zimaa linalia...

"kwani mmepigana"

Joshua alikua akimuuliza jimama lake

"hapana, ila kakataa"

"nilijua tu lazima akatae.. Sio rahisi kama ulivyo dhani"

"kaongee nae basi... Mwambie kuna vitu nitafanya juu yake"

"sawa wacha nikaongee nae, ila kwa kuoana hatakubali"

"we nenda tu, vyovyote atakavyokubali sawa tu"


Joshua alitoka hapo chumbani na kuja sebuleni, kamkuta mama yake kaduaa tu asijue afanye nini

"mama?? Mama... Mama?"

"nini wewe.. Aaahhhh, umenishtua"

Mama joshua alionekana kuwa kwenye dimbwi zito sana la mawazo

"mama, una shida gani"

"huyo mtu wako yupo huko ndani"

"ndio"

Mama joshua aliamka na kumfuata huko huko chumbani... Joshua akadhani huenda wanakwenda kupigana..

"mama mama"

"nini"

"sikia sasa... Kupigana hakuna msaada.. Mimi nimeshakua, sasa ni wakati wa kuachana na dhiki... Usikubali nimuoe, ila Mwambie nataka mwanangu aoe mke lika lake.. Alafu kasema kuna mambo atakufanyia ukikubali.. Nenda kaongee nae"

Aliongea joshua, huku mama akiwa na wazo hilo hilo mana alisha shauriwa na mama Kipenga

"sawa... We nenda ukaoge"

"sawa mama"

Joshua alimtoa mama yake hofu kuwa kwa sasa sio mtoto tena, hivyo cha kufanya ni kutafuta pesa tu...


Mama joshua aliingia bila hodi, alimkuta mama sudi anavaa chupi ilio loa utamu wake...

"mkuma wote huo, bado unataka uolewe na mwanangu, unataka kuniulia mwanangu mama sudi"

Aliongea mama joshua baada ya kuona, kitumbua cha mama sudi


"mama joshua... Lakini joshua anaweza, Ananimudu tena mpaka naogopa, na kama angelikua hawezi nisinge tamani hata kuwa nae... Kwanini unamuona joshua ni mdogo wakati mkubwa huyu.. Hapa yenyewe sina hata hamu mpaka nikamkatalia.. Naomba niwe nae tafadhali"


Aliongea mama sudi huku akishuka chini kwa kupiga magoti.. Mama joshua akamzuia asipige magoti

"haya ongea unayotaka kuongea nikusikie hapa hakuna mtu tupo wenyewe"

Aliongea mama joshua, hapo mama sudi akapata nguvu ya kuongea na wakati huo alikua na chupi tu


Tukija huku kwa mama Kipenga akiwa na mashost zake...

"koromeo korooo"

Aliongea mama Kipenga huku mashost zake wakiitikia

"koroo"

"koromeo koroooo"

"koroo"

Koromeo laniwasha"


ITAENDELEA


JAMANI ANKO - 3

  



Chombezo : Jamani Anko

Sehemu Ya Tatu (3)




Mama Kipenga alirudisha upendo wake kwa watoto wake, aliona tamaa za maisha ni mapito, kila mmoja hupewa riziki yake kwa wakati wake, pengine kwa upande wao bado wakati wao wa kubarikiwa riziki kubwa kubwa, hivyo kwa sasa mama Kipenga kakubaliana na hali ya maisha yao yalivyo, kwani awali alikua hakubaliani nayo kabisa, akihisi labda Kipenga anazembea katika utafutaji, kumbe ni mipango ya riziki ndivyo ilivyo pangwa na mwenyezi Mungu


Leo mama Kipenga aliweza kuota ndoto fulani kutokana na pesa anazoletewa na mtoto wake mdogo,.. Kwani kaletewa kama mara tano hivi, elfu kumi kumi, elfu tano tano, na kila kidundo akileta anasema kaokota na mama anaridhika akidhani huenda ni kweli, na akaona labda mungu anawapa riziki kwa njia hio... Sasa ndoto alio iota asubuhi ya leo, ilimfungua masikio mama Kipenga, kuwa kila siku analetewa pesa na mtoto wake mdogo wa kiume na asijue anatoa wapi... Kwanini akubali kirahisi kuwa ni pesa za kuokota...


Mama Kipenga akakurupuka huko na wenge lake la usingizi jumlisha ndoto, na hapo alipo ana vazi la chupi tu...


"kidundo?? Kidundo mwanangu?"

Lakini akiwa anagonga mlango wa chumbani kwa mtoto wake kidundo,... Ghafla mlango mkubwa unafunguliwa bila hodi na mtu kaingia ndani


Alishangaa mama kidundo huku akiwa kimyaa kashika matiti yake chini ana chupi

"wewe ni nani"

Mama kidundo aliuliza, mara akachungulia mtu

"ufyuuuuuuuuuu... Mama joshua kumbe niwewe, umenitisha"

Aliongea mama Kipenga kumbe alikua ni mama joshua ndio alisukuma mlango kisha akarudi nyuma....

"mama Kipenga,.. Napita huko nje natoka kumpeleka wini shule.. Nasikia unalia huku unagonga mlango... Ndio nikaja nikasema hebu nisukume mlango kwanza ndio nikafanya hivyo.... Haya na chupi tu chumbani kwa kidundo,.. Mama Kipenga, ina maana unalala na watoto wako"

"nagonga mlango kipenga afungue lakini hafungui"

"mama Kipenga utakua ushakua chizi wewe... Ina maana huoni kama huo mlango umefungwa kwa nje"

Aliongea mama joshua,... Heeee kweli mama kipenga kuangalia vizuri, ni kweli mlango ulikua umefungwa kwa nje, kana kwamba Kipenga hayupo keshaenda shule, na ndio mana hata mlango mkubwa upo wazi...

"sasa je kama joshua angelikua ndani na hivyo ulivyo"

Aliongea mama joshua, huku mama Kipenga akijiangalia, heeeee... Ndio anashtuka kuwa ana chupi,.. Alikimbia ndani kisha akaenda kufunga kanga... Kisha akarudi hapo sebuleni

"samahani sana mama joshua"

"nimekuuliza, unafanya mapenzi na watoto wako mama Kipenga"

"mama joshua, mbona unanitusi kiasi hicho... Nawezaje kufanya hivyo"

"sasa umewezaje kufika pale na nguo ya ndani, hivi mtoto wako angetoka je ingekuwaje"

"kweli mama joshua, ingelikua ni aibu sana"

"Haya kimekukuta nini mpaka ukawa hivyo"

Mama joshua alimuuliza mama Kipenga, na mama Kipenga akaanza kumpa stori nzima

"Unajua mama?... kidundo wiki nzima hii alikua anakuja na pesa tofauti tofauti.. Siku nyingine elfu kumi na tano, siku nyingine elfu kumi, siku nyingine elfu tano

Sasa kila akija nazo anasema kapita mahali kwenye duka la wahindi anaokota. Basi mimi nikamwambia ni riziki yetu,.. Mama joshua kulingana na hali yetu ya kimaisha, Kiukweli sikuweza kumhoji sana kuhusiana na pesa hizo... Na ni kila siku anakuja na pesa,... Lakini sasa leo asubuhi hii, nikajiwa na ndoto, tena sura ya mume wangu... Akaniambia napokea tu pesa sijui zinatoka wapi, narizika tu kuambiwa pesa za kuokota... Je unajua mtoto wako anafanyiwa nini mpaka anatapa hizo pesa...... Kiukweli mama joshua nilishtuka kwenye hio ndoto moja kwa moja nakuja kwa kidundo nimuulize hela anatoa wapi, isije ikawa kakutana na vijana wa kihindi huko wanamfanyia vibaya mtoto wangu... Kiukweli hio ndio sababu nikatoka bila kujitambua mpaka hapa chumbani kwa kidundo.. Na hata sikuangalia kama mlango umefungwa kwa nje, yaani usingekuja ingelikua mpaka sasa nagonga mlango.... Kiukweli hayo ndio yalionikuta mama joshua"


Mama Kipenga alimaliza kumpa stori nzima jinsi ilivyokua...

"kweli ni haki yako kutoka hivyo... Sasa naamini umerudisha upendo kwa watoto wako,... Ila kama anakwambia kaokota kwanini usiamini hivyo tu"

"mama Joshua, hata mwanzo niliamini hivyo na ningeendelea kuamini... Ila hii ndoto ya asubuhi Kwakweli ndio imenifanya nisiamini, Kwakweli ole wake leo aje na pesa"

"lakini leo ni Jumamosi, sasa kaenda shule gani"

"amekwenda tuisheni"

"eeehh kumbe ndio mana hata wini wangu kasema nimuwahishe, mana wapo wengi wanaingia kwa awamu tofauti"

"ndio hata kidundo pia kaenda tuisheni"

"haya vipi, hujapata habari za kipenga"

"aaahh mama joshua unanikumbusha mtoto wangu"

"lakini kwani kafa au kapotea?? Si katoka kwa akili zake? Na atarudi tu yule ni mtu mzima wala huna haja ya kuumiza kichwa kwasababu sio mtoto yule"

"najua mama joshua, ila mtoto ni mtoto tu hata akue vipi"

"muombe mungu atarudi tu"


Wakati huo huku stendi ya mabasi,.. Kipenga ndio anaanza Safari ya kuelekea singida, kana kwamba akifika kule anapakia tena abiria kisha anarudi kwahio gari yao hailali Singida,..

Gari ikiwa inatembea Kipenga alikua akisinzia, mana usingizi wa kwenye gari siku zote hauishi,...

"kipenga vipi, mbona kama unalala na safari ndio kwanza tupo kisongo hapa"

Aliongea konda mwenzake mwenye jinsia ya kike,...

"rose? Unajua nikiwa nyumbani nakosa kabisa usingizi"

Aliongea hivyo Kipenga, mana kulala kwenye gari ni siri yake hakuna mtu anajua kuwa Kipenga analalaga kwenye gari, mana yeye anakuja na dereva,.. Dereva anawahi kuondoka Kipenga yeye anabaki kwenye gari kufuta futa siti za gari, lakini lengo lake ni kwasababu analala hapo na hio kazi ya kufuta siti za gari wala sio yake.. Ila anafanya hivyo kwasababu analala hapo hapo.. Na wafanyakazi wote wanamkutaga wakwanza, na hawajajua kama analalaga hapo....

"kwanini sasa unakosa usingizi ukiwa nyumbani au watoto wanasumbua"

"hapana, basi tu hua silalagi vizuri"

"au wifi yangu anasumbua usiku"

"aahhh rose acha utani.. Si nishakwambia bado sijaoa"

"ooohh nilisahau... Ila nataka wiki nikapaone nyumani kwako"

Aliongea rose huku Kipenga akishtuka,

"kwangu?"

"ndio, kwani ni vibaya mfanyakazi mwenzio kukutembelea"

"aahh hapana.. Sio vibaya ila mimi bado nipo nyumbani"

"heeeeeeee mkubwa ivyo"

"mama ndio hataki bwana"

"basi utakua mtoto wa mwisho wewe"

"hapana, yupo mdogo wangu kidundo ndio wamwisho, tuko wawili tu kwenye familia yetu"

"ooohhh basi nitakuja kwenu kuwaona"

"sawa karibu"

Aliongea Kipenga lakini hakua na mzuka huo kwasababu anajijua hayupo nyumbani na hana mpango wa kurudi hivi karibuni,... Ila rose alionekana kumpenda kipenga, lakini Kipenga hakua na huo mzuka kabisa, kwasababu ana mambo mengi kichwani ambayo anataka kuyatekeleza, hivyo anahisi akiwa na mwanamke, anaweza kuvuruga na kazi hii inamlipa vizuri sana, anapata marupurupu mshahara mzuri, sio kazi ya kuteseka kuumiza kichwa...


Tukija huku kwa Jessica, akiwa nyumbani kwake, mida kama saa nne hivi, akiwa anapika chai baada ya kumaliza usafi wa nyumba, alishika simu yake na kumkumbuka mpenzi wake ampendaye, alipiga simu kwa joshua,

"Tiiii tiii.... Tiii..tiii...tiiii tiiii... Eehh hallo mume wangu, shkamo"

Jessica alimsalimia joshua

"mmmhh shikamoo zimeanza lini tena"

"lakini mke si lazima amuheshim mume wake, naomba iwe hivyo tafadhali..."

"mmmhhh ok Marahaba ujambo"

"sijambo mme wangu... Naomba basi uje unywe chai"

"aaahhh jana si nilikwambia labda Jumatatu"

"nataka uje unywe chai tu"

"chai na nini"

"Niambie unataka nini ukikute"

"tengeneza chapati mayai nije"

"kingine"

"hapana hivyo tu"

"basi naomba chukua pikipiki uje fasta ntalipa mimi hio pikipiki"

Aliongea Jessica huku joshua alikua kalala, mana saivi ana vihela vya jimama kwahio hawazi kuamka asubuhi mana ishu za kijiweni hayupo tena...

"kazi kulala tu"

Mama joshua alianza kumlaukia mtoto wake

"sasa mama nifanyeje, niende wapi... Sina homework yeyote, si nalala niweke akili vizuri"

"kwahio akili inatengenezwa kwa kulala"

"hapana... Ila ukipumzika vyakutosha, unaweka mwili na akili sawa"

Aliongea joshua huku mama akiwa hataki hata kubishana naye,... Basi joshua aliendelea kupiga mswaki, huku akiandaliwa chai na mama yake....

"achana na chai,.. Mimi nakwenda kijiweni"

"kijiweni? Unakwenda kufanya nini huko"

"aaahhh kule kuna ndugu jamaa na marafiki, na ikumbukwe nilipokua na hali mbaya walinipokea kama mdogo wao, sasa niache kuwasalimia"

"ok sawa namimi ndio natoka hivi nakwenda dukani, kurudi ni mpaka jioni... Kwahio hakikisha unarudi mapema hapa wini atarudi saa nane... Hakikisha uwe hapa ili mtoto ale"

"kwahio unataka kusema funguo unaniachia mimi"

"hapana, funguo Naweka pale pasikuzote, ili wini akija asipate shida."

"oooohhh sawa, nikajua lazima mi nije nile nae"

"ukitaka utakula nae usipotaka basi... Mimi natoka zangu"

Basi mama joshua aliondoka zake mana kama unakumbuka tayari keshafungua duka la nguo kama alivyokua amepanga, na anapambana ili mtoto wake aachane na yule mwanamke


Mama joshua alipotoka tu,.. Na joshua naye hakuchukua muda akatoka, ikiwa ni siku ya Jumamosi tulivu kabisa... Joshua alipitia kijiweni kweli, mana alipamisi sana

"ah ah... Joshua... Mbona umeng'aaa hivyo"

Alikua ni mmoja kati ya wanakijiwe ambao wanamjua joshua...

"nimeng'aaa nimekua mzungu nini?"

"we hujioni... Ivi unaweza kusukuma mkokoteni tena wewe"

"aahhhhh hizo kazi za kawaida sana"


"joshuaaaaaaa"

"naaam kaka"

"naskia skuizi una sponsa"

"aaaaaaahh ushaanza majungu broo"

"ahahahahaa, sio majungu... Kwani uongo"

"ni kweli kaka"

"sasa ulikataa nini"

"hahahahahaha sawa bwana... Niambie wakuuu, naona kama hali ya kijiweni sio mbaya"

Aliongea joshua kwani washkaji zake wote wako vizuri...

"ndio... Aisee mnatoka taratibu tu,..."

"kwani nani mwingine katoka"

Joshua aliuliza nani mwingine katoka

"si Kipenga... Kipenga ana wiki ya pili mzee hatumuoni... Ivi mnapatia wapi machimbo wazee tuambieni"

Alionge Jackson ambae ni mmoja wa wana kijiwe

"hakuna kitu... Afu kweli Kipenga muda sana sijamuona.. Ila hata kwao hayupo uyu jamaa"

"ni kweli,.. Hata maza ake alikuja apa kumuulizia, lakini hatujui mishe za Kipenga"

"daaahhhh mshkaji sjui kaenda kwenye migodi"

"inawezekana si mwanaume bwana acha akapambane.... Sasa wakuu, mi nawaacha"

"aaaahhh joshua unatuachaje sasa wanakijwe wenzio"

"daaaahhh... Sasa.. Lipo teni hapa tupige ata fegi tu au sio wazee"

"apo umemaliza dogo letu, we tembea kwa amani"

"poa poa wakuu....aisee soja nikimbize basi apo mtaa wa pili"

Aliongea joshua, huku jamaa huyo alieitwa soja akawasha pikipiki yake kisha akala kichwa....

Basi joshua aliwaachia elfu kumi wana kijiwe wenzake ambao alisha wahi kuwa nao, tena ilibaki kidogo tu aache shule, yaani amshukuru huyo mama sudi ndio kama kumbusti....


"niache hapa hapa soja"

Aliongea, joshua kisha akatoa buku akampa soja kama malipo yake...

"basi poa joshua"

"aina noma kaka"

Akiwa hapo kabla hajapiga hatua mara simu inaita, kuangalia, alikua ni mama sudi

"Hallo mpenzi mambo"

Joshua alianza kutoa hio salamu kitu ambacho mama sudi alifurahi kuona joshua anaanza kitoa aibu juu yake

"poa honey Niambie"

"safi vipi umenimisi"

"sanaaaaaa... Ndio nataka nije kwenu"

"mmmhhh, hapana, nyumbani hakuna mtu.. Mimi nimekwenda tuisheni, na mama katoka kwenye shughuli zake"

"ooohhhh, basi poa, ila kesho weka akilini kuna safari mpenzi"

"najua wala usiweze kwa hilo"

"ok poa mpenzi"

"poa baby"

Sasa wakati simu inakata tu, ikaita tena

"hallow, mume wangu mbona hufiki"

"mbona nipo nje, nashangaa nagonga hufungui"

"jamaaaaaani mume wangu mbona sijaskia"

Jessica alilalamika kwa kitendo cha kuchelewa kumfungulia joshua lakini joshua alimzingua tu, bado alikua yupo mbali na mlango....

"nyooooo kumbe upo mbali hivyo"

Aliongea Jessica huku akikata simu,...


Ilikua ni furaha baina yao,.. Heee mama sudi akijua hili hapa hapatatosha,..

Joahua alipokaa tu, aliletewa kifungua kinywa, Kiukweli Jessica kaamua moja, anamtaka joshua na yupo tayari kwa lolote,....

"naomba nikulishe basi"

Aliongea Jessica huku joshua akikataa ile staki nataka,...

Alifanikiwa na wakati huo jessica kakaa juu ya mapaja ya joshua, na hapo katupia kanga tu,... Nina imani jessica anataka kupigwa mzigo,

"basi amka ninywe chai.. Sijui umeiweka limbwata"

Aliongea joshua huku jessica alipo amka, akaacha kanga pale mapaja akabaki na chupi tu...

"nilijua tu yani, ndio mana sikutaka kuja"

"joshuaaaaaaaa, mimi kukaa uchi kunakusumbua nini"

"ona nimesha simamisha tayari ebu vaa kanga"

"akuuuu... Hapa sipo na kaka yangu, bali nina mpenzi wangu.. Ukitaka ntakupa usipotaka basi kunywa chai, tupige stori mpaka utakapo ondoka"

Aliongea Jessica huku huku akirudi kukaa kwenye kochi akiwa na chupi tu, mana keshamjua joshua anasisimuka kwa chupi

"daaaahhh nitakunywa chai kwa tabu"

"kama vipi nipige kimoja mume wangu, kwani lazima unywe chai"

Aliongea Jessica kabla hajajibiwa na joshua,... Jessica kakimbilia zipu,

"Hapana sitaki nikumezee mate kiasi hicho.."

Jessica alimkumbatia jishua huku akimgusa na chuchu zake kaliii katika kifua chake,... Mmmhhhh joshua ubabe ulimshinda,.. Alijikuta anatomasa makalio ya jessica, na jessica nae sauti zikaanza kumtoka bila mpangilio... Dakika mbili nyingi, joshua hana hata nguo moja ya dawa... Jessica yeye alishavua hata kabla joshua hajaja

"joshuaaaaaaaa.... Ni nini lakini"

Jessica alishtuka na kumwambia joshua hivyo, sasa sijui kaguswa wapi

"kwani nini"

"Anko unampeleka wapi uko"

"aaahhh kawaida"

"weeee yesu atakuadhibu"

Aliongea Jessica huku wakiwa katika sofa reeefu, ila jishua kuna shetani kama anamjia hivi...

"bwana joshuaaaaaaaa... Mbona kama unataka kwenda kinyume na taratibu za mungu alizoweka lakini"

Jessica alilalamilka kuona joshua kama anazidi kutaka pasipo takiwa....

"uuuuuuwiiiiii, aaahhhhhh... Aaiiiiiii... Usiingize yote jishua, hapo hapo basi inatosha"

Aliongea Jessica lakini joshua yeye yupo kimyaaa....

"joshuaaaaaaaa jamani mume wangu, ni kwamba unakosea au unakusudia?"




Mapenzi ya watu wawili wanaopendana inakuwa raha sana, unajua hata joshua anampenda sana Jessica, sema tu alikasirika kitendo cha kupigwa vibao...


Joshua alikua akimtania Jessica kwa kukosea kuingiza, ilimradi tu kuibua michezo ya hapa na pale, na wakati huo joshua bado hajanywa chai, mana alipoanza tu kunywa, Jessica akaanza kusudi zake za mitego ya kimapenzi kitu ambacho joshua alishindwa kuvumilia,..


"joshuaaaaaaaa jamani mume wangu, ni kwamba unakosea au unakusudia?"

"ahahahahahahaha... Kumbe unaogopa"

Aliongea joshua huku Jessica akiishika zakari ya joshua na kuipeleka mahala sahihi,

"apo sasa joshu wangu, ushindwe mwenyewe kipenzi cha roho yangu"

Aliongea Jessica huku joshua akimueka sawa Jessica katika sofa,.. Hapo hawahitaji kwenda kitandani, kwani mapenzi ni popote ilimradi kila mmoja aridhie na location iliipo... Ilikua ni mara ya pili jessica kuingiliwa kimwili, alisumbua kidogo lakini alikuja kutulia...


Alibonyezwa vizuri sana, mpaka anakuja kuachiwa, alibaki kumtazama joshua tu usoni na asimmalize kumtazama...

"ushanifanya mimi TV... Niache nikaoge"

"hapana.. Nakubandikia maji"

"naogaga ya baridi"

"basi twende wote"

Basi jessica na mpenzi wake waliongozana mpaka bafuni,... Jessica yeye kashikilia zakaria tu, eti anaiosha

"tayari nishang'aaaa... Sogea nitoke"

"umeng'aaa wewe, ila hii mali yangu bado"

"ishike shike tu, ikisimama nitakapo ingiza usinilaumu"

Aliongea joshua,.. Jessica kuskia hivyo akaacha, mana anavyompenda joshua,.. Hataweza kukataa kama atataka huko akutakako...

"basi haya twende"


Masaa yalisonga, na sasa ni nyakati za mchana kama saa sita hivi... Ikiwa ni mkoani Singida,..

"rose? Wacha nikatafute chumba nipumzike, hata nipunguze huu usingizi"

"poa, gari ikijaa nitakushtua"

"ok poa"

Basi Kipenga alitoka katika gari na kuelekea gest, alipata chumba, alioga kisha akajitupia kitandani, haikuchukua muda alilala....


Wakati huo huku kwa Rose, ametokea kumpenda kipenga, ni mchapakazi, afu yupo siriasi wakati wote,..

"nina nyumba, naishi peke angu, Kipenga nampenda, ila bado sijaonyesha hisia zangu kwake... Ufyuuuuuu.... Nifanyeje"

Aliongea rose huku akichoka bila majibu.. Rose anamiliki kibanda chake kidogo, ila anatamani kuwa na mume, kwani hata yeye ni wakati wake, na akimwangalia Kipenga ni lika lake kabisa.... Rose alishika simu na kumpigia... Iliita simu bila kupokelewa

"daahhhh kweli kachoka sana"

Akajaribu tena, safari hii ilipokelewa

"Hallo kipe"

"eeehh nakuja nakuja, navaa shati"

"No, No, Gari ndio kwanza ina abiria wanne..."

"aaaaaagggghhh, sasa kwanini umepiga rose jamani"

"samahani kipe, upo gest gani"

"Manyoni gest house"

"chumba namba ngapi, mana umeondoka bila kupiga hesabu ya abiria tuliokuja nao"

"nitapiga nikiwa kwenye gari rose"

"hapana Bwana Niambie chumba namba ngapi nije tupige mara moja"

"namba nane"

Aliongea kupenda lakini alikasirika sana, kwani alikua tayari keshanogewa na usingizi, na pumziko lilikua muruaaaa...


Haikuchukua hata dakika mbili rose huyoo, kaja na vitabu vyake

"daaahhh, yani rose wewe"

"vaa shati basi, sasa kifua wazi ivyo"

"ebu njoo bwana tupige hesabu uondoke"

Aliongea Kipenga na hapo rose akajua kweli Kipenga kakasirika kwani kamkatia usingizi wake,...

"ok we endelea kupiga hesabu namu nitoe jasho"

Yaani rose anaongea hivyo huku anavua nguo, heeeee hata Kipenga haamini...

"unafanya nini rose, ina mana hata huogopi uwepo wangu hapa... Mbona unanichukulia kama mwanamke mwenzio"

Aliongea Kipenga lakini rose ndio haelewi kabisa... Yaani mwanamke akipenda, ni tabu tupu yani, hata subra hana...

Rose alichukua shuka kisha akajifunika akavua sketi yake na taiti, akabakiwa na chupi tu, na hilo shuka alilojizungusha nalo.. Yaani hakutaka kuchelewa kuwa na Kipenga, anamtaka.... Rose aliingia bafuni Kiukweli bafuni ni kama alikwenda kujimwagia maji tu na kutoka... Mana hata dakika haijaisha eti anatoka kaloa maji, shuk limeganda mwilini... Kipenga alikumbuka kauli za mama yake kama mbili hivi zisemazo

"wenzako wanatumia ndude zao kwa faida, wewe unanimalizia sabuni tu humu ndani"

Akakumbuka na nyingine tena isemayo

"au husimamishi nini"

Hizo zote ni kauli alipewa na mama yake mzazi,.... Akaona sasa hii ni too much,.. Itafikia rose nae atamtukana...

"Kipenga, Kipenga unataka kufanya nini lakini"

Kipenga alikwenda kumkama kiuno, rose alihisi kutetemeka kwa kushikwa na kipenga,... Shuka lilivutwa likatupwa huko

"kipengaaaaaaa,... Ndio nini sasa kuniacha uchi"

Rose anaongea mwenyewe peke yake, Kipenga yeye ni vitendo... Mara kashika matako

"kipengaaaa, niheshim basi"

Alimkamata kiuno kisha akawa anampelekea rose mdomo kana kwamba anataka kumnyonya denda... Rose alifumba macho kana kwamba kakubali..

Dakika mbili zilikua nyingi, chupi ya rose ilichanwa kabisa, yaani ilichanwa sio kuvuliwa... Kipenga nae alikua mzuri sana kimapenzi, Rose alijiachia mwili wake wote afanywe anavyotaka Kipenga..


Mwanamke alie na muda hakufanya mapenzi, siku akiotewa na fundi... Hachukui dakika nyingi, chepechepe...

"uuuuuuuuunnnhhhhhh"

Rose alipiga ukelele wakati zakari inaingia kwa tabu.... Sasa hata kabla Kipenga hajaanza kwenda juu chini... Simu iliita, kuangalia, alikua ni dereva

"Hallo, suka Niambie kaka"

"oya gari imejaa... Rose haonekani, wewe huonekani.. Njoo bwana abiria wanalalamika gari haiondoki"

"sawa kaka nakuja"

Kipenga alikata simu kisha akachomoa zakari yake... Yaani ni kama kachomeka na kuchomoa

"nani kakupigia mpenzi wangu"

"achana na mambo ya upenzi gari imejaa"

"sasa unaogopa nini"

"naogopa nini?? Bila kazi hata wewe hutanitaka"

Aliongea Kipenga wakati huo anamalizia kuvaa shati, yeye rose hata nguo moja hajaanza anabaki kuuliza tu...

"ok... Skia Kipenga... Naomba leo uje ulale kwangu... Nakuomba sana.. Nipo chini ya miguu yako... Ona uume wako haulali inaonekana bado una hamu... Afadhali mimi ushanikojolesha na vidole.. Ila nakuonea huruma wewe"

"sawa nimekuelewa... Sasa skia... Wewe ukitoka hapa, chukua pikipiki... Nenda kasubirie gari kule mwenge... Tusitoke pamoja watatushtukia"

"kwanini sasa.. Hapana bwana"

"rose, unabiahana na mimi"

"basi sawa, nitaenda huko mwenge"

"ok poa, tukutane kwenye gari"

"ok poa.... Kipe?"

"nini tena mbona hunalizi maneno"

"nakupenda"

"aaahhhhh bwana, badae"

Kipenga anajali kazi sana... Kwasababu hata kutukanwa kwake na mama yake, ni kwasababu ya kukosa kipato kizuri,...

Basi rose alianza kuavaa nguo zake..

"heeeee ivi chupi alichana kabisa... Ana moto huyu"

Aliongea rose huku akitabasamu kwani ndio mwanaume ampendae.....


Tukija huku mjini Arusha, Joshua akiwa bado yupo kwa jessica tena walikua wamelala fofofo kabisa,... Ghafla mlango unagongwa... Joshua akashtuka na kumuamsha Jessica

"wewe... Wewe.... Wewe"

"abeee mume wangu"

"mlango unagongwa huko"

"ooohh atakua ni mama angu"

"mama ako? Sasa itakuaje"

"ina mana unamuogopa mama ako mkwe"

"Jessicaaaaaaa, sio kila jambo uchukulie kirahisi tu"

"ndio vizuri akuone"

"sasa si uvae nguo vizuri Jessica,.."

Jessica alikwenda kufungua mlango wakati huo joshua yeye kavaa vizuri nguo zake... Kweli alikua ni mama yake, na inaonekana alikua na taarifa naye...

"shkamoo mama"

Jessica alimsalimia mama yake,... Mama alishtuka kumuona mwanaume humo ndani....

"Shikamoo mama"

"Marahaba baba ujambo"

"sijambo mama, karibu"

"asanteni"

"mama... Huyu anaitwa joshua,... Ni mchumba wangu, nampenda sana"

"ooohhh sasa kwanini hujamleta nyumbani"

"ndio tulikua na huo mpango, hivyo ni kama bahati tu umekuja"

"joshua?? Huyu ndio mama angu mpendwa"

"Oooohhh nashukuru kumfahamu"


Tukija huku nyumbani kwa mama Kipenga akiwa na mawazo kichwani mwake,... Ndoto alio iota asubuhi ya leo, inampa mawazo sana,.. Anakumbuka zile kauli kwenye ndoto

"Unajua anacho fanyiwa mtoto wako, wako, wako, wako"

Kila akiikumbuka hio sauti anakosa amani, na sasa ni saa kumi... Mtoto wake bado hajarudi,..

"kidundo mwanangu, tuisheni tu mpaka saa hizi"

Alijisemea mama kidundo huku akiwa na mawazo, na wakati huo anaiangalia ile elfu tano ya jana alio ambiwa imeokotwa,

"wewe hela, hebu sema umetokea wapi.. Umeokotwa kweli au"

Aliongea, yaani mama Kipenga ni kama chizi sasa mana mpaka anafikia kuiuliza hela kama imeokotwa au laaaaa...


Tukija huku kwa akina Jessica na joshua pamoja na mama mkwe....

"Kijana unafanya kazi gani"


Joshua alishtuka na hata Jessica alishtuka sana, na Jessica alishtuka kwasababu joshua akikosea tu kisema basi imeisha hio.... Mana ni mwanafunzi

"aaahhh namiliki duka la nguo mjini pale.. Na pia nina pikipiki tatu, na bajaji moja"


Chaaaaaaa... Hata Jessica haamini kwa huo uongo uliochapwa na joshua.. Mpaka Jessica akapumua kwa nguvu

"uuuufyuuuuuuuu"

"oooohhh kumbe unaweza kuishi na mwanangu vizuri.... Lengo lenu kuanzia sasa ni nini"

"aahhhh tunaweka mipango sawa kwasababu swala la ndoa sio la kukurupuka mama angu, na mwenzangu pia ameona tujiwekeze vizuri kibiashara ndipo tuingie ndoani"

"ooohhh malengo mazuri, sio mabaya"

"asante mama nashukuru"

"Jessica??"

"abeee mama"

"umekubali kuolewa na joshua"

"ndio mama.. Tena sina hata hofu wala chembe ya pingamizi"

"mwanangu, ndoa haitaki mchezo inatakiwa mridhiane wote wawili"

"mama kwa hilo ondoa shaka,... Tumeridhiana"


Tukija huku kwa akina Kipenga wakiwa ndani ya basi, na wapo katika ya safari, walisha iacha Singida mbali sana...

"Rose?? Mbona unatetemesha hivyo.. Hebu funga kanga"

Aliongea Kipenga, wivu ulianza kumtawala

"we si ulichana chupi yangu"

"si unajua mzuka tena... Ebu funga kanga kabsa, kila mtu aone unatetemesha humu ndani"

Aliongea Kipenga, na rose hana budi kufuata amri ya ampendae, na ndio raha ya kupendana hio, kutii asemacho mumeo


Wakati huo huku stendi kuu, Kidundo alikua kakaa mahala akisubiri kaka yake, ina maana katoka tuisheni muda mrefu sana lakini hakua na mudi ya kurudi nyumbani, amekuja kumuona kaka yake


Sasa huku kwa mama Jessica... Kupiga jicho chini ya meza, aliona chupi.... Daahh mama Jessica akajua mtoto wake kesha gegedwa tayari...

"Jessica??"

"abee mama"

"njooo"

Jessica alisogea mpaka kwa mama yake, kisha mama akamwambia

"hebu toa hio nguo hapo chini ya meza"

Jessica aliogopa sana... Joshua yeye alijiskia aibuu...

"Jessica, naomba niwaage tutaonana Jumatatu shu...."

Sasa joshua akataka kusema shuleni,.. Jessica akawahi haraka, na kumkatisha huku akisema

"shugulini, nitakuja tu"

"ooihh nitashukuru sana"

Mama Jessica akawa ameweka alama ya kuuliza...

"sawa tutawasiliana"

"ok poa.... Mama kwaheri"

"haya baba"

Jessica akawa anapeleka chupi bafuni, akaitwa haraka...

"wewe?? Njoo hapa"

Jessica aliogopa kweli

"mama ngoja nipeleke hii nguo.. Niliisahau jana"

"unataka kunidanganya hata mimi mama yako"

"hapana mama"

"rudi hapa na uniambie ukweli"

Jessica alirudi kwa uoga wa hali ya juu

"mama?"

"naomba uniambie ukweli... Hii chupi ni ya jana au leo"

"ni leo mama"

"kwahio ushagegedwa tayari"

Mama katumia neno la kihuni... Jessica alikosa jibu, mana ni kweli kesha gegedwa tayari...

"si nakuuliza wewe"

Jessica alitikisa kichwa kuashiria ndio kagegedwa muda sio mrefu....

"mtoto ni mshenzi wewe... Tulikubaliana nini kua uolewe na Bikira yako... Hivi mbona we mtoto malaya wewe... Dada zako hakuna alie olewa na bikra.. Nawewe pia"

"mama, nisamehe mama angu.. Nampenda joshua, nisingeweza kumyima mama.. Mana nimehofia nikimnyima atatafuta mwingine namimi nampenda"

Aliongea Jessica, na mama yake akakasirika na kuondoka kwa hasira kali...


Masaa yalisogea na hatimaye ni saa mbili usiku,... Mama Kipenga akiwa nyumbani kwa mama joshua...

"mama joshua, hivi utaamini mwanangu hajarudi... Ile ndoto ilikua yakweli mama joshua"

Aliongea mama Kipenga huku mama joshua akimfariji

"acha kumuombea mtoto mabaya mama Kipenga.."

"sasa haijawahi kutokea Tuisheni achelewe namna hii"

"usijali... Mimi mbona joshua bado hajarudi"

"joshua ni mkubwa huezi kumfananisha na kidundo"

"ni kweli, ila hawa watoto wewe ndio chanzo mama Kipenga"

"mama Joshua, acha kusema hivyo, unanikumbusha ingali nimesha sahau"

"basi muombe mungu"

"sitaki kuamini kama na Kidundo kapotelea huko"


Mama Kipenga alirudi zake nyumbani na kulala kabisa, mana hana wakumpokea

Lakini akiwa usingizi umempitia ghafla mlango uligongwa....

"ngo, ngo, ngo, ngo"

Mama Kipenga alishtuka kuskia mlango unagongwa,... Alikurupuka kama kawaida yake ila Safari hii alikua na mavazi ya heshima...

"nani unagonga"

"mimi Kidundo mama"

Mama Kipenga alifungua mlango haraka haraka kweli alikua ni Kidundo....


ITAENDELEA


JAMANI ANKO - 2

  



Chombezo : Jamani Anko

Sehemu Ya Pili (2)


Joshua Aliongea kwa msisitizo ili mwanamke huyo amuelewe,...

"ok nimekuelewa joshua... Naomba nikubusu kisha nikushushe kwenye mapaja yangu, kuanzia sasa nitakua nakuheshim kauli yako yeyote"

Aliongea mwanamke huyo huku joshua akiwa katulia tu,.. Mama sudi akapeleka mdomo mdomoni mwa joshua na kumnyonya denda moja matata, joshua alikua katulia kana kwamba kakubali... Sasa ile anamaliza tu, na anataka kumshusha, ndio mama joshua akatokea,.. Yaani ilikua kiduchu tu, akutwe wanakulana mate... Mama joshua alipo ingia, ndio mama sudi akajibalaguza kumshusha joshua kwenye mapaja yake, ndio mama joshua akamuita mama sudi nje waongee kwa ile hali ya kumpakata mtoto wake katika mapaja yake... Kama angeona lile denda sijui ingelikuaje...


Sasa hayo ndio yaliojiri kabla ya kufumaniwa, sasa tuendelee tulipo ishia


"ingia usiogope, nataka nifunge kioo tafadhali"

Mama Joshua aliingia kisha akakaa kwenye siti huku akiogopa, mkwara wote kwisha

"uuuuuuwiiiiii"


Ilisikika sauti ya mama joshua akipiga kelele kama vile kuna kitu kaonyeshwa

"apo vipi?"

Aliongea mama sudi huku akitabasamu

"inamana unataka nikubali kumuuza mwanangu





Tukija huku kwa akina mama sudi na mama joshua wakiwa ndio wanakunja pale mnarani kushika rafurodi kama miata 500 hivi...

"nataka nimnunulie mpenzi wangu chipsi kuku"

Aliongea mama sudi,.. Mama joshua hapendi kusikia hivyo,.. Bora angelikua lika lake.... Ilimuuma lakini akanyamaza tu

"Samahani kaka, nitengenezee chips kuku kausha vizuri kabisa"

"sawa dada"

Basi mama sudi akawa kasimama mbele ya shoo ya chipsi, akisubiri chipsi za mpenzi wake... Mara ghafla Jessica nae huyo... Kashushwa na bajaji sasa kabaki kuuliza tu... Saa ngapi hajafika mpaka pale kwenye chipsi..

"samahani kaka"

Alianza Jessica ila jamaa akajibu

"naomba utasubiri kidogo nimtoe huyu dada"

Jamaa alijua Jessica anataka chipsi

"hapana mimi sihitaji chochote naomba nikuulize tu"

"ok.. Unaweza kuuliza bila shaka"

"hivi kaka unamfahamu joshua?"

Kabla jamaa hajajibu... Mama sudi kadakia

"joshua?? We unamjuaje joshua wewe"




Mama sudi hua hataki kuskia joshua ana kimwanamke chochote kile,... Hataki kusikia jambo hilo, sasa leo kujitokeza mwanamke anamuulizia joshua, tena msichana mdogo kabisa lika la joshua tena mzuri haswa..... Mama sudi alichanganyikiwa kuskia joshua anauliziwa, japo hajui ni joshua gani lakini kapayuka akijua ni joshua wake.. Na ni kweli ni joshua wake...


"ok.. Unaweza kuuliza bila shaka"

"hivi kaka unamfahamu joshua?"

Kabla jamaa hajajibu... Mama sudi kadakia

"joshua?? We unamjuaje joshua wewe"


Mama sudi aliuliza ila Jessica hakua na wasiwasi hata kidogo kwasababu yeye ni mwalimu tu


"kwanini wewe ni mama yake?.. Basi anaendeleaje"

Jessica aliongea hivyo huku mama sudi akawa mpole kidogo na kumuuliza

"wewe ni nani yake unamuulizia"

"mimi ni mwalimu wake... Jana aliumia"

Mama sudi kusikia hivyo akajua kweli huenda ni mwalimu wake... Ila akimwangalia, ni mdogo sana anawezaje kuwa mwalimu


"unasema wewe ni nani yake"

"mwalimu wake"

"wewe una umri gani"

"nina miaka 25"

"ulianza shule ukiwa na miaka mingapi"

"kwanini unaniuliza hivyo mama... Naomba nikamuone mwanafunzi wangu.. Samahani lakini"

"nyie sio wapenzi nyie ukaniharibia mwanangu"

Mama sudi alinifanya kama ni mama yake joshua ili amtege, mana visichana kwa kuropoka havijambo... Sasa Jessica kweli alitaka kuropoka kua anampenda...

"ni kwe"

Kabla hajamaliza kusema ni kweli... Ghafla akakatishwa na jamaa wa chipsi

"dada chipsi zipo tayari"

"ok ni shingapi"

"elfu nane"

"ok shika..... Twende we mwalimu"

Kama bahati vile yani Jessica huyooo akaingia kwenye gari..


"ina maana kwa akina joshua ni matajiri hivi"

Jessica alijisemea kwenye moyo wake


"mama Joshua... Huyo binti ni mwalimu wa joshua.. Alikua anaulizia kwa joshua"

"ooohhhh bahari yako binti"

"salama shikamoo mama"

"Marahaba, ujambo"

"sijambo... Nimekuja kumjulia hali mwanafunzi wangu"

"ooohhh karibu mimi ndio mama yake"



Upande wa pili


****




"joshua joshua please, naomba nipige hata uniue hapa hapa.. Ili hata nikifa nijue umenisamehe"

"sina haja ya kuumiza mikono yangu kwa kupiga mwanamke asio na heshima"

Aliongea joshua kisha akapiga hatua... Jessica alishika mguu wa joshua akiwa palepale kapiga magoti..

"naomba radhi, nisamehe joshua.. Nitafanya chochote utakacho"

Aliongea Jessica huku akiwa kashikilia mguu wa joshua, kana kwamba joshua hawezi tena kutoa mguu... Sasa joshua akaona atajaza watu bila sababu...

"haya amka kwanza"

"Niambie kama umenisamehe"

"ndio.. Amka"

Basi Jessica aliamka na kumkumbatia joshua

"nakupenda joshua, nakupenda sana, wewe ni mwanaume wangu wa kwanza, sitakuacha Kwakweli, na sitakukosea tena"

"ok poa... Sasa nadhani tutawasiliana"

"hapana, kwanza nina swali naomba nikuulize"

"umeanza ujinga wako tena"

"samahani basi, yaishe"

"twende sasa"

Basi wakaanza kuongozana haooo


Tukija huku maeneo ya stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani... Ghafla anaonekana kijana Kipenga na Alionekana nadhifu na mwenye maisha safi kwa namna alivyo valia mkanda nje





Unajua siku zote thamani ya mtu huonekana pale uwepo wake unapo kuwepo, lakini akitoweka ndani ya mazingira hayo ndipo utakapo jua umuhimu wake, siku zote ukiona mtu hana umuhimu... Kabla hujamuondosha, anaza kufikiri yale ayafanyayo, je akiondoka utakupunguzia nini?


SASA HAPA TUNARUDI NYUMA KABISA WIKI MBILI ZILIZOPITA ILI TUJUE KIPENGA ALIFANYAJE MPAKA KUTOKA LUMANDE NA ILIKUAJE MPAKA SASA ANA KAZI, NA TUJUE PIA KWA UPANDE WA MAMA YAKE...


TUANZIE KESHO YAKE BAADA YA KIPENGA KUKAMATWA PALE STENDI


Huku nyumbani kwa mama Kipenga baada ya kuamka asubuhi, alimkuta kidundo sebuleni akiendelea kujisomea, ilikua kama nyakati za saa nne hivi,.. Yaani kalala utadhani ni tajiri fulani hivi

"shikamoo mama"

Kidundo alimsalimia mama yake na mama yake aliitika

"Marahaba ujambo"

"sijambo mama"

"hivi kaka yako jana karudi saa ngapi"

Mama aliuliza akidhani labda Kipenga jana alirudi, kumbe ndio kwanza jana usiku Kipenga alikamatwa na askari waliokuwa doria usiku wa jana maeneo ya stendi kuu...

"hajarudi mama"

"ati nini"

Mama Kipenga alishtuka kuskia hajarudi mana kuna wakati jana Kipenga alisema anaondoka, na mama Kipenga akamwambia aondoke kabisa... Sasa kashtuka sana kuskia kaondoka

"hajarudi"

"ni lini ameanza kiburi cha kulala nje"

Mama kipe alijibalaguza kusema hivyo ila anajua Kipenga akiwa hayupo humu ndani, kutakua na uzito wa kupata riziki...

"lakini alisema atarudi"

Aliongea kidundo huku mama akijifariji kurudi kwa Kipenga

"sawa"


Tukija huku maeneo ya stendi, yule jamaa aliosababisha kipenga kukamatwa alikua anafungua duka lake.. Lakini aliona box pale nje ya mlango wake.. Box ambalo lilitandikwa mfano wa mtu anataka kulala.. Ndio akakumbuka jana kuna alikamatwa hapo... Aliendelea kufungua mlango kisha akatulia katika kiti chake,... Ilikua ni booking office za mabasi yaendayo mikoani, hivyo alikua akiangalia vitabu vya tiketi zilizokatwa leo, mana kuna watu huja kufungua alfajiri kwa ajili ya kufanya kazi ya kukatisha tiketi... Sasa alikua akitazama chati ya leo... Huyu jamaa ni mmiliki wa mabasi yaendayo mikoani, lakini kila akiwa anasoma chati hio, akili yake ilikua ilikua ikiingiliwa na yale maneno ya jana ya kipenga


"kaka, utanipoteza bure, nimefukuzwa nyumbani, sina pakuishi, hapa nilipo nina njaa.. Tena waniitia polisi kaka, kuwa na huruma basi,.. Basi naondoka kwenye biashara yako"


Aliyakumbuka maneno hayo, akajifikiria huku akisema

"mbona sikuibiwa chochote na nimemsabishia mtu kuteseka ndani"

Alijisemea huku akifunga kitabu cha tiketi na kusema kuwa

"hapana, wacha nikamtoe, kwani sijatenda haki, hajaniibia chochote kile"

Jamaa alitoka akawasha gari yake kuelekea kituoni,


"habari zenu afande"

"aaahhh mr Zube"

"ndio mimi bwana"

"karibu sana bwana jiskie huru"

Aliongea kamanda wa polisi mmoja wapo huku mr zube akikaa kitako huku akiulizwa

"enheee, tuambie, wamekamata gari namba ngapo na ni mkoa gani"

Aliongea afande huyo mana zube, magari yake yakishikiliwa huko barabarani, anakuja tu huku kwa wakubwa anaongea nao,.. Gari linaachiwa... Sasa afande alijua zube kaja kwa ajili ya gari

"hapana leo sikuletwa na matatizo yetu yale... Bali kuna kijana alikamatwa jana maeneo ya stendi.. Hebu namuombeni huyu kijana"

"ooihhh wapo vijana kama sita hivi walikamatwa stendi sasa sijui wewe unamzungumzia nani, au anaitwa nani"

"aaaahh Kwakweli simfahamu jina lake ila mimi ndie niliwaita polisi wamkamate, kitu ambacho hakikua sahihi, hivyo nataka nimtoe"

"sasa tutamjuaje? Hebu ngoja niwaite askari wa jana waliokua doria"

"hapana.. Ila kijana huyo kwa sura namjua"

"basi njoo hapa"

Zube na afande waliingia sero na kweli zube kamuona Kipenga..

"ni huyu hapa"

"ooihh haya toka,.. Upo huru sasa"

Kipenga haamini kuskia neno yupo huru kwa sasa mana alijua keshapotea katika ulimwengu huu kwasababu siku zote ukiingia jela, kutoka kwake ni pesa, sasa anajua familia yake yeye ndio jembe, hivyo hakuna msaada juu yake...

Zube alitoka na Kipenga mpaka kwenye gari yake

"habari yako kijana"

"salama mzee shikamoo"

"Marahaba... Vp unanikumbuka"

"ndio, lakini mimi sijaiba na sijawahi kuiba"

"na ndio mana nimekuja kukutoa... Kwanza kabisa nisamehe kwa kukusababishia matatizo kama haya"

"hakuna shida mzee wangu, kwanza nashukuru sana kutoka huku ndani"

Aliongea Kipenga na hapo akili yake ni kurudi tu nyumbani mana usiku mmoja tu, kapata balaa kama hilo, je? Akikaa hio wiki itakuaje.. Aliona hio wiki mbali acha arudi nyumbani tu...

"ok.. Unaitwa nani kijana"

"naitwa Kipenga"

"jana ulisema umefukuzwa kwenu na ulikua na njaaa... Kwanza umekula"

"hapana, toka jana sijala"

"ok.. Twende ukale Kwanza... Enheee nijibu swali langu"

"Kiukweli mzee ni stori ndefu sana mimi na mama yangu.. Ananitukana sana, kiasi kwamba nimeshindwa kuendelea kuvumilia nikaona wacha nikae nje ya nyumba hio angalau wiki tu.. Sasa ndio kwanza usiku wa kwanza... Ndio nakamatwa"

"ooohhh pole sana... Na utanisamehe kwakweli bwana kipenga"

"hakuna shaka"

"unafanya kazi gani"

"sina kazi mzee... Na matusi yote toka kwa mama yangu, ni kwasababu sina kipato kizuri"

Aliongea Kipenga lakini wakati huo wapo hostelini wameshafika





"ok basi kula chakula hapa ushibe.. Ukimaliza utakuja kwenye gari"

"sawa mzee asante sana"


Baada ya Kipenga kumaliza kula alikwenda katika gari, na kumkuta mr zube katulia tu..

"ooohh ushamaliza?"

"ndio mzee nishamaliza"

"sasa.... Nitakupa kazi, ila nataka urudi nyumbani kwa mama uishi nae"

"sawa mzee nitashukuru sana na mama yangu atafurahi pia"

"nitakuweka kwenye gari moja uwe mkusanya pesa... Wewe ndio utapokea pesa za abiria wote wa kwenye hilo basi"

"sawa mzee, nitafanya kazi kwa umakini na kwa uaminifu mkubwa"

"sawa, kwa sasa rudi nyumbani... Kesho alfajiri saa kumi na moja njoo pale stendi tulipokutana jana"

"sawa mzee, nitafika mapema sana"

"sawa.. Chukua hii elfu 20, itakusadia leo nyumbani"

"asante sana mzee, nashukuru sana."


Basi hivyo ndivyo Kipenga alivyopata kazi ya kutembea na mabasi na sasa atakua na kazi nzuri sana tena kitengo cha pesa


Lakini Kipenga yeye, bado imani yake ni ili mama ajue uwepo wake, hivyo alipotoka kwa yule mzee, aliingia mtaani na asifike kwao... Masaa yalisonga na hatimaye usiku ukaingia


"wewe, kaka yako hajaja tu"

Mama alianza kuuliza kwa kidundo na wakati huo ni saa tatu usiku, Kipenga bado haonekani...

"hajaja"

"mungu wangu mwanangu..."

Aliongea mama huyo huku akijutia maneno yake machafu,...


Kesho yake nyakati za mchana... Mama Kipenga alikua ndani kwa mama joshua

"haya nini wewe"

Mama joshua alimuuliza mama Kipenga,

"mama Joshua,... Nimemkosea sana mtoto wangu, ni siku ya pili sasa haonekani nyumbani"

Aliongea mama Kipenga

"kwani umemfanya nini"


"kwanza kabisa naomba unisamehe mama joshua,.. Nilikua nakuonea wivu sana maisha yako yalivyo badilika... Nilikushauri mtoto wako aachane na huyo mwanamke ili tuwe sawa kwenye maisha... Hivyo nikajikuta namshawishi kipenga apite njia za joshua ampate huyo mwanamke,... Lakini Kipenga hakufanikiwa, hivyo nikajikuta namtukana matusi mazito sana... Sasa imefikia hatua kipenga kaondoka nyumbani.. Mama joshua, kweli kipenga ndip tegemezi langu, alikua analeta pesa kidogo lakini ilitutosha... Sasa hakuna hata mia ndani.. Hata unga sina mama joshua... Nateseka sana"


Leo mama kipenga kafunguka waziwazi mbele ya mama joshua,


"mmhhhh Kiukweli pole sana, ila mimi nilikua najua una chuki na maendeleo ya watu, na nilipo ona hivyo ndio nikakubali tu joshua aendelee na mtu wake... Ila najua wewe ni mwanamke mwenzangu,.. Kiukweli umemkosea sana mtoto wako.. Kumbuka riziki anatoa mungu na sio mtoto wako... Fanya juu chini mwanao arudi, laa sivyo utadhalilika mama kipenga... "


Aliongea mama Joshua huku mama kipenga akisema kuwa

"sio nita... Ndio tayari hivi nadhalilika.. Hata unga sina.. Kwakweli leo ndio naona umuhimu wa kipenga"

"ok... Wala usijali... Chukua hicho kindoo kidogo, chota unga hapo saizi yako... Chukua hii elfu kumi itakusukuma mpaka mwanao atakapo rudi"

Aliongea mama Joshua huku mama Kipenga asiamini macho yake, ndipo akajua kweli roho mbaya haina faida duniani... Alipewa unga kilo kumi kwenye kindoo,...

"mama joshua? Nijaze kindoo"

"jaza wala usijali"

"Kiukweli mpaka najihisi mwenye dhambi juu yako mama joshua... Sikutegemea kumbe utakuja kuwa msaada kwangu, ama kweli ya leo sio ya kesho... Kweli kabisa kuna LEO NA KESHO... asante sana mama joshua"

Mama Kipenga alishukuru mara dufu na kutoa chuki zake juu ya familia hio,...


BAADA YA WIKI MOJA KUPITA


Joshua yeye alishapona mkono wake na shule aliendelea kama kawaida yake, na alikutana na mama sudi lakini hawakuwahi kufanya mapenzi bado kabisa...


"mama joshua"

"abeeeee... Ooohh mama kipe karibu"

"asante shoga angu habari yako"

"salama tu, vipi joshua anaendeleaje"

"mmmhh hajambo, na keshaenda shule"

"weeee kumbe kapona kabisa"

"ndio... Sasa yuko vizuri"

"hivi ile flemu uliosema unatafuta ulisha pata"

"nilipata moja hivi lakini hakuna mzunguko wa watu.. Natafuta kwenye mzunguko wa watu"

"Ooohhhh Nikajua ulipata"

Basi walipiga stori pale, hatimae akaingiza na shida zake... Anataka unga tena... Mama joshua hakumnyima kama kawaida akampa....

"kwahio taarifa za kipenga hujazipata kabisa"

"mama joshua, unanikumbusha mwanangu... Hata sijui anaishije.. Namuomba mungu amlete mwanangu tule shida zetu, nateseka sana ma joshua.. Alipo kuwepo Kipenga sijawahi kumuomba mtu unga... Ona leo, yaani wewe ndio unatulea hapa mjini..."

"sasa na kidundo kuhusu masomo yake"

"ndio ameanza shule jana, Anasema anaenda shule na hafukuzwi... Nikakubali tu acha aende"

"ada kalipiwa na nani"

"hakuna aliolipa... Ila hafukuzwi shule"

"heeeeee bahati yenyewe hio"

"mmmhhh haya acha nikapike akirudi apate kula"

"sawa mama Kipenga"

"sawa asante mama joshua, unatuokoa sana"

"usijali nami nafanya hivi mana kuna kesho nitakua sina nawewe unacho, natumai sitakufa njaa"

"mmmhhh mimi nifanikiwe? Sidhani"

"wala usijali mungu yukaribu nasi"


BAADA YA WIKI NYINGINE KUPITA

(Ni wiki mbili toka Kipenga kutoka kwao)


Tukija huku maeneo ya stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani... anaonekana kijana Kipenga na Alionekana nadhifu na mwenye maisha safi kwa namna alivyo valia mkanda nje


Siku zote maisha ni kupanda na kushuka, ukikosa leo, kesho utapata tu kua karibu na mungu wako tu... Hatimaye Kipenga amepata kazi nzuri na anaingiza kipato kikubwa tu


"kipenga wapi sasa"

"naenda kuonana na boss"

"lete tutoe pesa zetu zakula basi"

"si umeshakula milo yote wewe sasa hela gani tena.. Unacheza na kazi wewe"

Heeeee joshua kawa mshika hela sijui kwa kazi gani,...


"ndio boss"

"habari yako kipenga"

"salama kabisa, shkamoo"

"Marahaba... Leo gari imechelewa kidogo, kulitokea nini njiani"

Aliuliza mr zube huku Kipenga akijibu bila wasiwasi kabisa,

"tulipata pancha maeneo ya magugu pale, hivyo wakati wa kufunga spea ikabidi abiria wakapate chakula"

"ohoooo, basi sawa vp hesabu ya leo"

"hii hapa boss"

"ooooohhh moja mbiliiii, tatu... Eeehh ok, sawa kabisa, kazi nzuri.. Chukua hii pata maji"

"asante sana boss, nashukuru sana"

"sawa.. Hakikisha gari inakwenda kaoshi kisha ita mkaguzi, akague ili iwe tayari kwa safari ya kesho"

"sawa boss nitafanya hivyo"

Aliongea Kipenga kisha akatoka nje ya ofisi yao... Lakini kuangalia mbele, hakuamini macho yake kwa mtu alie muona mbele yake



ENDELEA..........


Siku zote hakuna furaha kama kuwa karibu na ndugu zako, hua ni furaha sana, lakini itakua furaha kama maelewano nao yapo, ila kama huna maelewano na ndugu zako, basi siku zote utaona marafiki ni bora kuliko ndugu, ila ndugu atabaki kuwa ndugu na rafiki ni rafiki tu, japo wapo ndugu wabaya kuliko rafiki,... Yupo mtu anatamani rafiki yake awe ndugu yake wa damu kutokana na upendo walio nao...


Waki moja tu baada ya Kipenga kupata kazi, alimtafuta mdogo wake kwa kumvizia njia za shuleni na kukutana nae, na akaanza kulipa ada kwa mdogo wake huyo, shule ikaendelea kunoga kwa kidundo, mpaka mama yake hajui kidundo analipiwa ada na nani.. Lakini Kipenga ndio kafanya yote hayo...


Leo Kipenga akiwa anatoka ofisini kwa boss wake, kukabidhi kiasi cha pesa,.. Alipokua mlangoni alimwona mdogo wake akiwa anatoka tuisheni... Alifurahi kumwona ndugu yake, na kumkimbilia...


"shkamoo kaka"

"Marahaba vipi hali"

"safi tu"

"saa 12 hii giza linaingia hujarudi nyumbani"

"nilipotoka shule niliunganisha tuisheni moja kwa moja"

"ooihhh vipi masomo yako lakini"

"ah ah, sasa hivi nina imani ya kuiona sekondari bila wasiwasi"

"ukweli au unanifariji tu apa"

"kweli kaka"

"basi vizuri... Mi nadhani sasa urudi nyumbani, kuna kazi nakwenda kufanya mara moja... Shika hii buku ya nauli... Na hii elfu tano, kampe mama, ila kama kawaida, mwambie umeokota"

Aliongea Kipenga kana kwamba anampaga hela akampe mama yake ila aseme ameokota...

"sawa... Lakini kaka? Kwanini usirudi nyumbani... Uliniahidi wiki moja tu, lakini sasa ni wiki ya pili... Na mama keshajifunza, hawezi tena kukutukana kaka"

Aliongea kidundo huku Kipenga akijibu

"ni kweli, najua hawezi nitukana, ila nikizoea kwenye macho yake, atarudia tena"

"sasa kaka, nyumba ipo.. Kwanini ulale kwenye magari... Naomba rudi nyumbani kaka, mama kuacha kisirani chake, na anakuhitaji sana.. Utamuua mama etu"

Aliongea kidundo tena kwa uchungu sana

"basi wacha nifikiri zaidi"

"kaka?? Rudi nyumbani, kwa sasa tumekua ombaomba... Yaani kama sio familia ya akina joshua, tungelikufa njaa"

"lakini yote hayo kayataka mama"

"keshajifunza, nansasa anakuhitaji hata kama huna kazi"

"weeeeeeee anasema tu hivyo.. Kama naleta elfu tano elfu tatu... Ananiona kama mavi, leo sina kazi anione halua.. Weeee labda sio mama angu ninaemjua"

"basi rudi..."

"usijali, ukija kwa wakati mwingine.. Tutaongea vizuri"

"sawa, mi nakwenda ila fikiria kuishi na familia yako karibu kaka"

Aliongea kidundo huku Kipenga akiwaza sana, aliona ni kweli anastahili kurudi nyumbani, kwani boma lile aliachiwa yeye


Tukija huku kwa akina joshua akiwa nyumbani kwao baada ya kutoka shule,.. Akiwa na mama yake hapo sebuleni...

"hivi yule binti alikuja siku ile hapa, ni mwalimu wako kweli au ndio kama vile"

Aliuliza mama joshua, huku joshua akitabasam tu huku akijibu

"Yule ni mwalimu kweli, ila ananipenda nami nampenda pia na natamani sana awe mkweo lakini nahofia mama sudi"

Aliongea joshua, mama yake akashangaa

"hivi utakua vizuri kimasomo we joshua?.. Mama sudi, bado kuna huyo binti.. Hivi unasoma kweli wewe"

"mamaaaa, kwanini nisisome"

"sasa mbona unamiliki wanawake wengi hivyo"

"hamna mama, huyu ni mwalimu tu, japo ananipenda"

"yaani mitoto ya kiume bwana aijui mpoje"

Aliongea mama jishua kisha akaingia ndani


"winiiii"

Joshua alimwita mdogo wake baada ya mama yake kuondoka

"abee kaka"

"lete midaftari yako hapa nikague, usikute unazingua tu shule wewe"

Aliongea hivyo joshua, mana kama yeye hatafanikiwa kwenda mbele basi ahakikishe mdogo wake anakwenda mbele zaidi kimasomo


Tukija huku kwa mama sudi, akiwa nyumbani kwake, alimkumbuka joshua japo siku ya jana alikua naye, na hawakuwahi kufanya tendo... Mama huyo alishika simu yake na kumpigia joshua wake... Simu iliita ikapokelewa

"Hallo Kipenzi joshua, mambo"

"poa mamy shkamoo"

"mjinga wewe, msalimie mama joshua sio mimi"

"lakini unastahili"

"ninachohitaji kwako, Kiukweli sistahili kuhehimiwa nawewe"

"sasa nikusalimieje"

"Niambie mambo vipi mrembo"

"duuuuuu wewe uyo"

"kwahio mimi sio mrembo..."

"ni mrembo tena haswaa zaidi ya msichana, ila tatizo namba"

"hata wewe namba unazo,... Sikia leo ni ijumaa, kama una Homework Fanya leo na kesho Jumamosi... Jumapili nataka twende Dar es Salaam"

"Dar es Salaam?? Weweeeee si twende kesho"

"acha haraka,.. Tunakwenda kuinjoi tu, wala siendi kikazi"

"lakini tukienda tunarudi lini, mana Jumatatu shule na ndio mana nakwambia twende kesho"

"tutakwenda na ndege"

"eeeeeeehhh... Ndege kabisa"

"joshua nawewe, ina maana hujui au"

"najua ila sijawahi"

"ndio hivyo basi.. Kwahio jiandae... Ila"

Aliongea mama sudi akaishia ila

"ila nini tena"

Wakati joshua anauliza hivyo, mama yake yupo hapo sebuleni,

"Jumapili usije ukaniacha kule Dar"

"aaahhh mamy siwezi kukuacha.. Na nakuacha mimi niende wapi"

"sio kiivyo... Nataka penzi la kwanza ukanigongee Dar"

Mama sudi aliongea, afu kama vile mama joshua kasikia kwa mbaliii... Ilimuuma mpaka akaondoka pale sebuleni, anajua tu siku hio ya Jumapili joshua atakua kwenye kibarua kizito...

"mmmmhhh sawa, kwa hilo usijali"

"sawa nashukuru kwa kukubali"

"sawa usiku mwema"

"nawe pia"

Yaani mama sudi, saa zingine anaona aibu kumuomba joshua gemu, ila moyo unamfosi kwasababu anakapenda sana tena sana... Na anakumbuka siku moja mama sudi aliambiwa na mama segeda kuwa

"je? Ukikuta hasimamishi?"

Mama sudi akajibu... Atamsomesha tu


Sasa mama joshua kaenda jikoni karudi hapo sebuleni kashika nazi, karanga..

"ukiwa unaendelea kumkagua mdogo wako.. Tupia tupia kuchangamsha mdomo"

Aisew ukipata mama kama huyu, safi sana.. Keshajua mtoto wake atakua na kazi nzito sana.. Kukumbatia jimama kubwa ambalo sio lika lake

"mama, sasa hivi vitu vyanini?"

"we kula vitu kama hivyo ninakupa afya.. Kula vitu vya asili mwanangu"

Basi joshua alianza kutupia karanga huku akila na nazi.. Afu kwa pembeni kuna muhogo mbichi ulio kauka kidogo,.. Joshua yeye bado hajajua kapewa hivyo vitu kwasababu gani, ila akajua labda ni upendo wa mama yake...


Ila mama joshua alikumbuka kipindi akiwa na mume wake, yaani baba yake joshua.. Mzee Joakim alikua akimtaka mkewe amuwekee karanga, mihogo na nazi pia akipata dafu itakua poa... Lakini siku moja mkewe akamuuliza..

"mbona hivi vitu unavipenda sana, na ukila hua hutaki kula chakula nachopika"

Aliongea mke wa mzew Joakim

"mke wangu, hivi vitu unaniongezea hamu na uwezo wa kula mzigo"

Aliongea mzee huyo lakini mama joshua alikua bado hajaelewa....

"una maana gani.. Mana kama inakuongezea hamu ya kula.. Mbona hulagi sasa"

"sio kula chakula.... Ni kula mzigo mama joshua nawewe huelewi... Namaanisha nipate ngumu ya kukukwea wewe"

"waaaaaaaah mi nikajua unaongea cha maana kumbe ni huo uhuni wako"

"ahahahahahahahaha... We ulizani unavyougulia ulijua natumia umeme au"

"kwenda uko"


Basi mama jishua alikumbuka enzi za mume wake, na leo anampa mtoto wake kwasababu kasikia ana mpango wa kulala na mama sudi.... Mama joshua ana roho ngumu kinoma, yaani yeye ndio anafanya maandalizi ya mtoto wake na joshua nae, anajua thamani ya hivyo vitu, ila hakufikiria mbali kuwa anapewa kwasababu ya kwenda kulala na mama sudi


Tukija huku kwa mama Kipenga, kidundo akiwa ndio anafika nyumbani kwao,

"afu hii tabia ya kurudi usiku sitaki kusikia, mshenzi wewe"

"samahani mama.. Si natoka tuisheni"

"tuisheni najua unatoka saa 12 kamili jioni, sasa hii saa moja na nusu inakujaje"

"basi samahani... Nilipita kule nakookota hela"

Aliongea kidundo huku mama akitoa macho

"enheee, na leo umeokota tena.. Umeokota shingapi leo"

"leo nimeokota ndogo.. Elfu tano"

"aahh kubwa mwanangu.. Itakua mungu anatupa riziki kwa njia hio... Tumshukuru mungu mwanangu"

Aliongea mama Kipenga huku akiwa anambusu mtoto wake, na wakati huo machozi yao hutoka kwa wakati mmoja.. Kidundo yeye analia kwa kumuona mama yake anateseka sana... Na mama analia kwakua kafanya makosa mengi sana kwa watoto wake, hivyo anahisi ni malipo yake

"kaka yako namkumbuka sana.. Ni wiki mbili tu, lakini nahisi ni miezi kumi toka ameondoka"

"usijali mama, kaka atarudi tu"

"sidhani kama atarudi, ila hata asiporudi, simlaumu, mana makosa ni yangu... Kiukweli sitarudia tena kwako... Sitaki nawewe unikimbie mwanangu, usije ukaniacha kama kaka yako"

Aliongea mama Kipenga huku akikumbatiana na mtoto wake

"hapana mama, sitakukimbia"


Tukija huku kwa Kipenga akiwa kajinyoosha kwenye siti za gari huku kwenye siti za mwisho kabisa,.. Na alikua yeye na shuka lake,... Pembezoni mwa sehemu za kuwekea mabegi ya abiria... Lilionekana begi moja, kana kwamba maisha ya Kipenga ni hapa kwenye hili basi,... Na tajiri hajui kama Kipenga analala huku kwenye gari...


Usiku huo huku kwa Jessica, alikua akikosa usingizi kabisa kwasababu, mahusiano yake na jishua yamerudi upya, hivyo anajiskia mwenye furaha sana,.. Jessica ni mkubwa kwa joshua.. Amemzidi kama miaka mitatu, ila uzuri wa Jessica, anajua thamani ya mume, lazima amheshim hata kama ni mdogo ila Jessica hajui kama yeye na joshua wana utofauti wa miaka, kila mmoja anajua wapo sawa... Jessica alishika simu na kumtumia meseji mpenzi wake huyo

"joshua wangu, nashindwa kulala, nakuwaza tu,... Naomba kesho uje nyumbani tushinde wote"

Aliandika Jessica, huku joshua akijibu

"hapana, kesho nuna Homework za kufanya, labda wiki ijayo"

Alijibu joshua lakini Jessica alishtuka

"wiki ijayo kivipi mpenzi... Kama kesho una homework, sawa.. Ila Jumapili si utakua huna homework?"

"Jumapili sitakuepo, nitakwenda Dar es Salaam na binamu yangu"

"binamu yako?? Binamu yako nani... Na je? Shule jumatatu hutakuja?"

"binamu yangu yule wa siku ile aliotaka kukupeleka polisi"

"uuuuuuwiiiiii, kumbe ni binamu yako yule? Ndio mana akakuita baby... Basi niliku natafakari atakua nani yako yule? Kumbe ni binamu yako?"

"ndio"

"sasa shule je"

"tunakwenda kwa ndege"

"mmmmhhhh saivi unainjoi kweli, sawa, ila Jumatatu utachelewa kurudi nyumbani ili ukitoka shule twende kwangu.. Nimemisi eti"

"unataka uje unipige vibao tena??.. Sitakuja kama unataka penzi, basi tusubiri kuoana"

Joshua aliongea hivyo, mpaka Jessica akashtuka, mana asilimia kubwa wanaosema kusubiri kuoana ni wanawake, sasa huyu mwanaume anasubirije kuoana

"joshuaaaaaaa... Kwanini unanifanyia hivyo... Saivi hata ufanyeje, sitakugusa.. Ila nawe una mb** kubwa sana, kwanini nisiumie joshuuu"

"tutapanga vizuri basi wiki ijayo acha Kulia lia"

"sawa mpenzi, nakupenda sana..."

"nakupenda pia"

"nisalimie mama mkwe hapo"

"sawa salamu zimefika"


Siku zote Masaa hayagandi... Ilikua ni saa tatu usiku, na sasa ni saa 12 asubuhi, tukiwa katika nyumba ya akina Kipenga.. Mama Kipenga alipatwa na ndoto iliokua ikimtaka ajiulize kuhusu pesa anazoletewa na kidundo...

"wewe mwanamke, ke, ke, ke, ke... Unafurahi kuletewa pesa za kuokota na mwanao mdogo je? Unajua anakozipata, pata, pata, pata, pata, pata.... Umempoteza mqanao mkubwa kwa ujinga wako, wako, wako, wako, wako,.... Na sasa unampoteza mwanao mdogo ten kwa ujinga wako, wako, wako, wako, wako.... Je? Unajua anachofanyiwa mtoto wako, wako, wako, wako, wako"


"Uuuuuuwiiiiii hapanaaaaa.. Mwanangu"

Mama Kipenga alishtuka usingizini baada ya ndoto hio, alitoka mbio akiwa na chupi peke yake, na anaelekea chumbani kwa mtoto wake wa kiume, yaani hakujali jinsi alivyo mtupu, na mwili wake wote, nguo aliovaa ni chupi peke yake, na ni nyakati za saa 12 asubuhi,... Alipofika aliona mlango umefungwa, aligonga

"kidundo fungua mwanangu"

"kidundoooo..."

"kidundo funguaaaaa..."

"nataka nikuulize pesa unatoa wapi mwanangu fungua"


Mama Kipenga alianza kuwa na wasiwasi, kwani sio kawaida ya mtoto wake kukaa kimya kiasi hicho.. Kama anagongaga mlango wa nje na anasikiaga, sembuse huo wa hapo chumbani kwake...

"kidundo?? Kidundo mwanangu?"

Lakini akiwa anagonga mlango wa chumbani kwa mtoto wake kidundo,... Ghafla mlango mkubwa unafunguliwa bila hodi na mtu kaingia ndani....



ITAENDELEA


BLOG