Search This Blog

Tuesday, April 13, 2021

KIFO CHA MENDE - 4

  


Chombezo : Kifo Cha Mende 

Sehemu Ya Nne (4)


Chombeza, lilizidi kunoga. Husna alionyesha mautundu baada ya kushika ukuta sasa anashika floor huku makalio yote yamejitokeza ili mchuma uingie vizuri. Mo Jay akamsukumia mshedede ndani kwa ndani akimuacha Husna akilia kama mtoto,  "Aaaaaaaaaiiiiiiiiiisssssshhhh....mmmmmmmnnmnhhhh..aaaaaah....uuuuiiiiiiiiissssss baby wangu taratibu ooooiiiissssss.....mmmmnnnhh....tamu aaaaaaaaaah...baby yako kubwa aaaaaaaaaah....mmmmmmmnnhh.... " Husna kupampiwa vitu na kupewa mautamu.. 

Wakati mambo yanazidi kupamba moto. Mlinzi geti alisikia sauti za miguno dirishani jinsi mtoto anavyolizwa kwa kupewa koni, mlinzi geti hakuvumilia kwa sauti hizo aliamua kuchungulia dirishani lakini hakuona kitu bali alisikia sauti tu za miguno zikipigwa. 

Na kuanza kujiuliza, "Huyu ni Husna, sijui anajifanyaje" Daah mlinzi alitaka kuona show lakini hakupata hata upenyezi wa kutazama filamu hiyo. Aliamua kutoka dirishani kuelekea mlangoni, lakini wapi alisikia kilio tu mtoto jinsi anavyochezeshwa mtanange Mo Jay kwa ufundi hatari juu ya salama. 

Husna na Mo jay, walishtuka baada ya kusikia nyayo za miguu ikija sehemu hiyo waliopo wao. Wakaamua kusimamisha, mlinzi geti alitaka ajue ni kitu gani kinachoendelea chumbani humo. 

Mlinzi geti, akasimama hapo hapo hakurudi nyuma. Husna na Mo jay, wakahisi kwamba hakuna kinachozuzua kufanya yao, Mo Jay alikuwa na hamu zaidi akamuinamisha Husna mkao wa chuma mboga waswahili wanavyouita nae Husna akakubali hivyo, Mo Jay hakuwa mzembe. 

Bali aliupitisha vyema ndani kwa ndani, akiutelezesha pembe kwa pembe mtoto Husna akisikizia utamu huku midadi ikizidi kupandishwa kwa Husna. "Aaaaaaaaaaaaaaaaiiiiiiiiishhhhhh...oooooooooooooooh..mmmmmmnhhhh...uuuuuuuiiiiiiiiiissshhhhh..mmmmmmnhhhh....aaaaaah...aaaaaaaaah...Jamaa akizidisha spidi kwa kumkatikia mauno kadri anavyodidimiza dudu washa na utamu kukolea.... 

Mlinzi geti, akiwa bado amesimama huku akijishikashika kwa kuingiwa na hamasa ya kutaka kufika. 

Husna, alitaka kuchomoka jinsi anavyoumizwa lakini Mo Jay akimshika na kumkunja huku akizidisha kumpa bit Husna. Aaaaaaaaaaah...aaaaaaaah...mmmmmmnhhh.... Uuuuiiiiissssss.....aaaaaaa... Makalio ya Husna jinsi yanavyopiga piga katika mapaja ya Mo Jay. 

Mwisho kila mmoja, akapizi na masaa yakizidi kupotea. Mlinzi geti akazidi kujisogeza na kuuona mlango uko wazi, alishangaa sana kwanini mlango uwe wazi.. 

Mo Jay hakuwa mtu wa kujisahau, alijuwa wazi kuna mtu yupo karibu yao. 

Husna, alizidisha miguno ya kufa mtu. "Aaaaaaaaaaiiiiissssshhh....uuuuuiiiiiiiiiissssss...mmmmmnhhhh....Mooo Jay taratibu nimetanua vizuri ingiza tena, aaaaaaaaassssshhhhh....Uuuiiisssss...baby mmmmmmmnnnh.. Nishike kiuno unipapase honey.."

Mlinzi geti, alizidi kusogea kwa hamu na hamamu. 

Ile kufika mlangoni akamkuta Husna ame..... 

Husna atamwambia nini mlinzi geti baada ya kufumaniwa..... 



Husna amevalia nguo zake huku chupi ikionekana. Husna akashtuka gafla na kumuuliza mlinzi, "Wewe mlinzi vipi unataka nini.?" Mlinzi akamjibu Husna kwa kujiuma uma mdomo. "Daah... Yani yani nashindwa kuelewa nasikia watu kama walikuwa wanavutana tu". 

Husna, akamwambia Mlinzi kwa maneno ya kejeli. "Wewe mwanaume mzima unafuata umbea tu kipi usichokijua". Mlinzi geti hakuvumilia akaamua kuondoka zake mpaka nje, kufika akakutana na Mo Jay akiwa anajifuta futa vumbi. 

Mlinzi geti... "Wewe kijana duuh hatari sana yani nimekuona kwa macho yangu mawili". Mo Jay hakutetemeka akamuuliza "Kwani nini tatizo mlinzi?" 

Mlinzi, akamwambia "Kijana unafanya vitu vya ajabu wewe katika hii nyumba sio!"

Mo jay, alipoona unga umezidi maji. Akamwambia kwa onyo "Sikiliza bro, fuata kile kilichokuleta kwa kazi yako ya ulinzi. Na mimi nifuate yangu ya kuendesha gari tu hapa". 

Inasemekana kwamba, Mo Jay aliposikia mchakacho wa nyayo za mtu akavalia nguo zake kwa haraka Na kutoka na dirishani huku akimuacha Husna ndani ya chumba hicho akivaa nguo Zake. 

Wakati malumbano yakizidi Husna akatoka nje moja kwa moja mpaka kwa Mlinzi, kisha kuanza kumtetea Mo Jay roho yake, utamu wake. "Wewe mlinzi mbona hutulizi mdomo wako". Kabla hajamaliza honi ya gari ikasikika nje ya geti. 

Mlinzi geti, akashughulika na kazi yake ya kufungua geti. Alikuwa ni Halima ndiye anaingia kutoka kazini, alipakia gari lake pembeni kisha akashuka kutoka garini. 

Na kuhisi mume wake yupo ndani, akavua miwani yake iliyomkaa vyema na kusalimia. 

Halima... "Mumeshindaje vipenzi vyangu? " akina Mo Jay wakajibu "Tupo salama mamy". Waliingia ndani kwa pamoja kwa uchovu wa Halima, akapumzika katika sofa na kumwambia Husna. "Husna naomba maji tafadhali". 

Wakati huo Mo-Jay akiwa amekaa akisubiria wakati ili akamchukue boss wake. 

Halima akashindwa kuvumilia na kuamua kumuuliza jina Mo Jay. "Kijana ulisema unaitwa nani vile? "

Mo Jay akamjibu kwa tabasamu. "Kwa jina naitwa Mohammed Juma, au unaweza kuniita Mo Jay". Kabla ya Husna kumletea maji Halima, Halima akamwambia "Na niliambiwa wewe ndiye dereva wa mume wangu, nasikia sana sifa zako kwamba upo vizuri katika kushika usukani.". 

Mo Jay, akamwambia mam Halima. "Kawaida mamy, na ni jambo ambalo nishalizoea mikononi mwangu". Halima akiwa anataka kumnasisha Mo Jay katika himaya yake bila ya kujua, kisha akamwambia... 

Halima.. "Nataka kesho na mimi unipeleke katika hoteli moja inayoitwa SMART HOTEL." Kumbe Husna yupo katika pembe ya mlango akisikiliza maneno wanayoongea Halima na Mo Jay. 

Mo Jay, hakupinga bali akakubali kwani yupo kazini na hataki kupoteza kazi yake. 

Ilifika muda wa Mo Jay kwenda kumchukua boss wake. 

Akaamua kuwaaga "Jamani muda wangu hauruhusu kubakia hapa kwa sasa acha nitoke." Mo Jay, kunyanyuka katika sofa la upande wa kushoto. Husna akafika akiwa ameshikililia kikombe cha maji, ila kwa bahati mbaya akateleza bila ya kujua kwa haraka haraka za baraka Mo Jay akamdaka Husna kama embe linalotoka kileleni, na kumuweka kifuani mwake huku glass ya maji ikaachwa peke yake kwani bora kupoteza kisicho cha muhimu kuliko kupoteza maisha yako. 

Husna, akajikuta yupo juu ya kifua cha Mo Jay. Ilikuwa ni nusura ya tundu la sindano. Moyo wa Husna ukizidi kudunda kwa mapigo ya haraka. 

Husna akashukuru sana na kumwambia Mo Jay mbele ya mam Halima "Nakupenda sana, na nashukuru kwa hili". Mo Jay akamjibu huku akiondoka zake nje. "Usijali kwa hilo baadae". 

Mo jay, akawaacha na kuingia ndani ya gari kuelekea kwa boss. Mlinzi geti akafungua geti upesi kisha Mo Jay akapita. 

Huku upande wa pili, mam Halima akaanza kumsema Husna kwa maneno makali. "Husna huna umakini kwa kazi, haraka hizo zilikuwa za nini au unampenda huyu kijana?". 

Husna kwa upole wa maneno akamwambia "Hapana mam, ni bahati mbaya naomba unisamehe bure". 

Halima, aliingiwa na chuki moyoni mwake. Na kuanza kumnyanyasa Husna katika nyumba hiyo. 

Lakini Husna alikuwa na uvumilivu na subra yake. 

Kabla wakati haujakwisha honi ya gari ikasikika nje. 

Halima na Husna wakajua wazi ni bwana Rajabu anaingia. 

Walikaa ange kumpokea, bwana Rajabu kutangulia mbele kuingia ndani. 

Huku furaha za Halima zikienea maeneo hayo, na nyuma ni Mo Jay. 

Mo Jay, baada ya kumfikisha boss wake nyumbani kwake. Akaamua kuwaaga na kurudi zake nyumbani, kesho yake iliwadia ilikuwa siku ya jumapili kila mmoja kupumzika nyumbani. 

Kwa gafla, simu ya Mo Jay ikaita. Kutazama ni namba geni kwake akaamua kupokea. 

Mo Jay.. "Hellow, nani mwenzangu?" Mo Jay akauliza. 

Namba geni... "Ni mimi Halima mke wa boss, samahani kwa usumbufu. Na japo haupo kazi leo naomba uje unipeleke sehemu mara moja, kisha nitakupa pesa uitakayo". 

Mo Jay, hakupinga kwa kazi hiyo ya kuchukua pesa haraka. 

Akamjibu "Sawa nakuja sasahivi". 

Mo jay, baada ya kujiandaa akachomoka mpaka kwa boss wake. Kufunguliwa geti, akamkuta Halima tofauti sana kimuonekano wake. Mtoto jinsi alivyorembeka mithili ya mbaa la mwezi. Lakini akili ya Mo Jay, ikamwambia ingia ndani ukamsalimie Husna. 

Baada ya kusalimiana na Halima, akaingia ndani Mo Jay lakini hakukuta mtu sebuleni akaamua kurudi. 

Bila ya kupoteza wakati, wakaingia ndani ya gari na Halima mke wa boss. 

Mo jay, akangurumisha gari baada ya kupewa ufunguo. Nalo likakubali kwa mkono wa Mo Jay. 

Kama kawaida ya mlinzi kufungua geti. Mo Jay, akatelezesha gari mpaka katika HOTEL SMART. 

Walishuka kwa pamoja, ila cha ajabu Halima akamwambia Mo Jay. "Ni subiri hapa nakuja mara moja". 

Mo Jay akamjibu "Sawa".

Halima, kumbe alikuwa ni msiri wa moyoni katika Hotel hiyo walipanga wakutane na Hemed.. 

Halima, akamtafuta Hemed kwani watu walikuwa wengi sana katika hotel hiyo. Ile kutupia jicho sehemu ya mbali, akamkuta akiwa amekaa. Alikuwa ni mchepuko wake, akamfuata na kuonana. 

Kisha wakapelekana ndani ya chumba kimoja. Na kuanza kunyonyana midomo kwa kupitishiana ulimi. Huku Halima akibamizwa na ukuta... Utamu ukaingia. 

Huku Mo Jay, akisubiria mtu nje. 



Kwa upande mwengine, Bwana Rajabu akiwa nyumbani bila ya kujua mke wake amekwenda wapi. Akaamua kumuuliza Husna. "Husna huyu Halima anaakili kweli?" 

Husna akamwambia.. "Sijui boss wangu". Bwana Rajabu. "Atatokaje kirahisi rahisi hivi, wapi anakwenda" Husna akamwambia boss wake. "Ametoka pamoja na Mo Jay". Hili lilimkera Bwa-Rajabu. Halima hakuwa mstaarabu kwa mume wake, wala kuheshimu uwepo wa mume wake. 

Bwana Rajabu, akampigia simu lakini simu ikawa imezimwa haikuwa hewani. 

Akaamua kumpigia Mo-Jay,. 

Kwa gafla simu ya Mo Jay, ikaita huku akiwa amesimama pembeni. Akaitoa mfukoni, kutazama ni boss wake. Moyo ulimshtuka na hakuweza kukataa kupokea simu akaamua kumsikiliza. 

Mo jay... "Hellow boss wangu". 

Bwa-Rajabu akiwa na hasira za mkizi na kuanza kutamka "Huyo mpumbavu yuko wapi hapo? ". 

Mo jay, akamwambia kwa kumjibu "Yupo salon boss wangu namsubiria hapa sahizi" baada ya kumjibu simu ikakata gafla na mawasiliano yakapotea kwa muda huo. Bwa-Rajabu akamtamkia Husna "Halima mke wangu, ana matatizo akiendelea na uhuni huu sitoweza vumilia hapa nitamtimua mara moja". Husna hakumjibu chochote kile mbali na kuwa kimya zaidi... 

Kwa upande mwengine, Halima akiwa ameshikwa kwa mikono ya Hemedi. Juu ya kitanda wala hafikirii kwa ameacha mtu nje, kweli huba lilipamba moto. Hemedi akamtembeza mikono mapajani huku akimnyonya Halima kitumbua kwa ustadi, Halima akizidi kujitanua mapaja huku akitoa sauti za mahaba.. "Aaaaaaaaaiiiiisssss....mmmmmmnnhhh...uuuuuuiiiiiiisssshhhhhh...baby slowly dadyyy aaaaaaasssssshhh...". 

Hemedi, akizidi kumpagawisha Halima. Kwa ufundi wa hali ya juu. 

Mo Jay, hakuvumilia kwa kuachwa nje kama mjinga. Akaamua kuingia ndani ya Hotel hiyo ili ajue kipi kinaendelea kwani amemsubiria muda mrefu sana. Halaiki ya watu tofauti tofauti wakiwemo humu waarabu, wazungu na waafrika. Mo jay, alichanganyikiwa kwa macho yake kwani hajui wamejifichia wapi, ila akazidi kusogea mbele huku watu wakimtazama kwa macho. 

Mo jay, alifika katika sehemu ya vyumba vyenye milango iliyopangika. Hajui walichoingia, na kuanza kujisemea kimoyo moyo. "Kazi hizi ndio zitafanya wengine kufungwa maana lawama zote zitatua kwangu mimi". 

Halima akizidi kupagawishwa na Hemedi. Mtoto laini mwenye penzi la kujiachia, Hemedi akamuingiza vidole katika kitumbua na kuanza kufyekecha fyekecha. Mtoto akizidi kutoa viliyo tofauti.. "Uuuuuuuuuiiiiisssssshhh...mmmmmmnhhh..aaaaaaaaaiiiiisssss..jamaniiii aaaaauuuchh ongezaaaaaaa tenaaaaaaa babyyyy...." Hemedi hakujali, kwa viliyo bali alizidi kumpa utamu mtoto wa watu na mke wa mtu. Kama wanavyosema mke wa mtu mtamu ila jiandae na sumu yake.. 

Kwa kadri Mo Jay, anavyozidi kusogea mbele. Akaanza kutuliza sikio lake kwa kila milango wa vyumba, baada ya zoezi hilo. Huku Halima akipewa utamu dadeki. Hemedi akamwambia "Acha nikupe utamu baby" Halima akili yake yote ipo kwenye kupewa utamu, na hajui kwamba mambo yanataka kuharibika..

Mo Jay, akaanza kufanya zoezi hilo. Mpaka akafika katika mlango mmoja akasikia sauti ya miguno ikisikika pande mbili huku na kule kwa vyumba viwili. Hapa alizidi kuchanganyikiwa Mo Jay, akaamua kushuka kwa haraka haraka chini mpaka kwa mdada mmoja anayekabidhi funguo hizo za vyumba 

Akamwambia "Samahani, nataka unionyeshe majina ya wale waliopo katika vyumba" Yule mdada akamshangaa Mo Jay, na kumwambia "Wewe kaka vipi? Umetumwa". 

Mo Jay akamwambia "Hapana, ila nataka kujua tu, kwani mke wangu yupo humu ndani na usipinge." 

Mdada, hakuwa na ubishi akamuonyesha namba ya vyumba viliopo na watu na majina yao. Cha ajabu hakuona jina la Halima hapo. Mo Jay, alishangazwa na ujanja wa Halima. Na kutamka "Daah.. Huyu mwanamke mjanja sana, ila hawezi nizidi ujanja mimi". Mdada yule akamwambia. "Pole sana kaka yangu, sisi twachukua pesa tu zitakazo kuja hatuwezi jua hayo". 

Mo jay, alipoona muda unakwenda. Akaamua kumueleza. "Mdada wangu naomba tusaidiane kwa hili, nataka uniambie hawa waliopo katika hivyo vyumba wako vipi kimuonekano na namba zao". 

Kabla sekunde haijaisha,  simu ya Mo Jay ikaita kwa mara ya pili. Akaitoa mfukoni mwa suruali, kutazama ni boss Bwana Rajabu. Akaiweka sikioni. 

Bwana Rajabu akitamka.. "Hallow kijana, mpatie mke wangu simu mara moja". 

Daah..!! Hapa ndipo Mo Jay alizidi kutokwa na jasho la titiriri.. Mo Jay akamjibu "Sawa boss wangu, subiria nimpelekee". 

Bwana Rajabu akamuuliza "Kwani haupo nae karibu?". 

Mo jay, akamjibu "Hapana boss, nimemuacha akitengezwa nywele si wajua penye wanawake wengi wape nafasi yao". Bw-Rajabu akaamua kukata simu. Mo jay, hakupoteza muda akaamua kurudi tena. 

Kurudi, akakutana na watu wawili mke na mume ndio wanatoka katika chumba kingine. Mo jay, akahisi waliobakia ni hao tu. Alifika bila wasiwasi katika mlango huo akatega sikio lake. Akisikia sauti zikiongea, Mo Jay akaanza kurikodi sauti hizo kwa simu yake. 

Baada ya kumaliza, bila ya haraka, akagonga mlango huo. 

Halima na Hemedi, walishtuka kwa mshtuko wa gafla. Na kukurupuka kitandani, ile Halima kutaka kutamka Hemedi akamziba mdomo na akatamka yeye. "Nani anagonga mlango...?"

Mo Jay, akatamka kwa kubadilisha sauti "Ni mimi muhudumu, fungua mara moja" Kabla dakika tano hazijaisha simu ya Mo Jay, ikaita tena. Kutazama ni boss Bw-Rajabu. Halima akitakitetemeka hapo alipo, hajui afanyeje kuchepuka kwake kulimfanya ajutie muda huo... 

Mo jay, kupokea simu. Huku Hemedi akifungua mlango... 




Hemedi akaonana na Mo-Jay akamwambia "Sema kijana tatizo lako".  Mo-Jay akiendelea kuongea na boss kupitia simu huku akimwambia boss wake. "Mke wako yupo hapa" Bwana Rajabu akamwambia. "Mpatie simu mara moja". Kisha akiwa ameweka sauti ya juu. Hemedi na Halima walishtuka kwa mapigo ya gafla katika nyoyo zao. 

Hemedi, hakuelewa kinachoendelea na kuanza kuuliza maswali. "Kwani kaka vipi?" Mo Jay akamwambia "Tuliza mawenge ndugu". Halima akakurupuka moja kwa moja mpaka kwa Mo Jay aliposikia mpatie simu. Akaichukua simu ya Mo Jay, kisha kuiweka sikioni na kuanza kujibebisha kwa Bwana Rajabu. 

"Baby nilikuwa mbali nisamehe bure mwenzio"

Bwana Rajabu akimwambia.. "Sikiliza Halima, unapoenda sipo na njia ya muongo ni fupi kama barabara ya kuzimu". 

Halima akizidi kulalama "Hamna baby, nakuja sasahivi" 

Kisha simu ikakatizwa kwa maongezi, Halima hakupendezewa kwa Mo Jay. Lawama zote akampachikia Mo Jay kwa kumwambia "Wewe ndiye umefanya yote haya." Hemedi hakuwa na usemi bali kunyamza tu kimya. Kisha Halima akavaa nguo zake alizokuwa nazo. 

Baada ya kumaliza, akampa busu Hemedi kisha mbele ya Mo Jay. 

Halima hakuwa msiri wala kuogopa na kumwambia Mo Jay maneno huku wakiwa wametoka katika vyumba vya wageni na kumuacha Hemedi. "Handsome wangu, hata wewe ukitaka nakuachia mchezo uchezee". Mo Jay akamjibu "Sitaki magonjwa mimi mtoto wa mwenzio". Halima akicheka "Haha hah..acha kuogopa utamu huu". 

Walifika katika gari, huku Halima akimwambia Mo Jay maneno makali ambayo hakutarajia kuambiwa. "Tafadhali usimwambie mume wangu kwa haya niliofanya. Na ukimwambia tafuta pakukimbilia". Mo Jay hakujali kwa maneno ya Halima bali kumuitikia tu. Mo Jay akawasha gari na kuliweka sawa kisha wakachomoka mpaka nyumbani, muda haukuwa mwendo kasi walifika mara moja kufunguliwa geti na mlinzi. Halima alishtuka alipomuona Bwana Rajabu akiwa amesimama katika mlango. Halima alikuwa hawara mwenye kutoa penzi lake nje ya ndoa. 

Walishuka katika gari, huku Halima akimkimbilia mume wake. Kutaka kumkumbatia bwana Rajabu, alikataa katakata na kumwambia "Sitaki unikumbatie" 

Halima alishikwa na hofu moyoni na kumwambia "Mume wangu, nini kimekupata?". 

Bwana Rajabu, hakutaka hadithi nyingi aliondoka maeneo hayo na kuelekea zake sebuleni. Huku ajipiga piga kichwa kwa kusema. "Najuta kwa mwanamke huyu mpumbavu". Halima alipoona maji yanataka kuzidi unga akamfuata Bwana Rajabu. 

Halima "Darling, niambie nilipokosea nijirekebishe mpenzi wangu". Halima akiwa anampambia maneno bwana Rajabu lakini akili yake bado ipo kwa Hemedi. Bwana Rajabu akamwambia "Hii ni mara ya pili ya tatu ninauwezo wakuamua kile ninachotaka kufanya." 

Baada ya kuambiwa maneno hayo, Husna alijitokeza baada ya kumaliza kazi zake za nyumba. akamwambia Bwana Rajabu "Mjomba nishamaliza kazi". 

Bwana Rajabu, akamwambia "Sasa Husna unaweza kupumzika". Husna akajibu "Nashukuru kwa hilo". 

Halima akiwa bado anataka msamaha kwa mume wake. Lakini kwa kuwa Bwana Rajabu ni muelewa akamwambia "Nishakusamehe ondoa hofu." Halima alizidi kufurahi na kumbusu shavuni mume wake. 

Zilipita siku mbili, wakiwa kila mmoja na shughuli zake. 

Mo Jay na boss wake, wakiwa wamekaa pamoja katika hotel takriba ya saa moja usiku. Mo Jay akamwambia Boss wake. "Boss nataka nikwambie kitu kimoja, kumhusu mke wako Halima. 

Bwana Rajabu, akiwa anakaa vizuri kumsikiliza Mo Jay na kumwambia. 

 "Ehee niambie hicho kitu"


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG