Search This Blog

Thursday, April 15, 2021

KHADIJA MTANUKO - 1

 


IMEANDIKWA NA : JOE MARICK

*********************************************************************************

Chombezo : Khadija Mtanuko

Sehemu Ya Kwanza (1)


UTANGULIZI?

Kila mtu ana kilevi chake kinachoweza kumsumbua na asipokipata ipasavyo anaweza kupatwa na msongo wa mawazo na ikiwezekana kurukwa na akili pale asipokipata kabisa. ?

Najua kuna wengi wenu hamtafurahishwa na hili, labda kutokana na ukweli usiofichika uliopo ndani, lakini ni vitu ambavyo vipo na havikwepeki?, ila kwa faida yako utapata kujua mengi kutoka kwangu na hasara utakayoipatana ni kubaki na Upungufu wa utambuzi wa mambo na magonjwa yako utabaki nayo, ila sitakulazimisha unijue sana Dija mimi niliyefundwa na Bibi Kigalula, ? kuyatimiza yale niliyoagizwa kuyafanya hapa duniani, wala siwezi kukificha kile nilichonacho kukufaidisha wewe kimawazo na kwa afya yako kuepukana na magonjwa. ?

Na Nimeletwa Duniani ili kufanya Mapenzi na ndiyo Ulevi wangu na huwezi niambia kitu juu ya suala hili la kufanya mapenzi na jeuri ya unyago ninayo wala huwezi niambia kitu kunihusu, ila tu ntakujuza ni kipi cha kufanya Endapo tutaenda sawa mpaka mwisho.?


ENDELEA 01???

“Lily, hivi unalijua hili tatizo?, manake ntaenda kuumbuka mwenzako, wiki ijayo Tumekubaliana na Mack Kukutana kimwili, alafu isitoshe ndo siku yangu ya kwanza na nipo hivi.” ? Nilikuwa namuuliza rafiki yangu Lily niliyekuwa naishi naye nyumba za kupanga, ?

“Tatizo gani shoga yangu!” ? Lily aliniuliza na hapo kwa kuwa nilikuwa nimetoka kuoga ikabidi nimfunulie taulo aone hilo tatizo lenyewe. ?

“Khaa!, we mwanamke na ukubwa wote huo huzijui fangasi?” ? Lily aliniuliza kwa mshangao baada ya kuona uke wangu ulivyokuwa umeanza kuchubuka na kuvimba. ?

“Hapana Lily, nilikuwa nahisi ila sikuwa na uhakika na ninawashwa mpaka basi na muda mwingine ukute uchafu unanitoka tu yani nakereka mpaka basi.” ? Nilizidi kumwelekeza vile nilivyokuwa nikijisikia kwa wakati huo?.

“We naye umezidi kuvaa tight zako na vinguo vyako vya kubana hata havieleweki.” ? Lily alinijibu. ?

“Inamaana ndo umeamua kunichamba kabisa Shoga yangu badala ya kunisaidia.” ?

“Eeh!, acha nikwambie tu ukweli ubadilike, yaani na hizo sabuni zako hata sizielewagi kabisa na kila siku huwa naongea hilo hutaki kunielewa.” ?

“Basi ntaacha banaa, usinifanyie mambo ya kishujaa kiasi hiko, embu basi kama unajua dawa sema nikanunue, unataka niachike na Mack kisa Huu ugonjwa?”. ?

“Umesikia me daktari mpaka nizijue dawa?” ?

“Acha masihara yako bhanaa.” ? Nilimjibu Lily, kwani nilikuwa najua anaongea kwa matani tu. ?

“Hilo tatizo lisikutishe, kuna namba ntakupa za Mshauri wa afya, atakuelekeza chakufanya.” ? Lily alinijibu. ?


“Nipe saivi nimtafute, nishachoka kusumbuliwa na hii miwasho mimi.” ?

“Cheefuu!!, asa ulikuwa wapi siku zote kusema mpaka unaniambia leo?” ?

“Nilijua ni kitu cha muda tu kitaisha.” ?

“Mwanamke kujijali buanaa, asa ulitaka hiyo miwasho akaikune huyo sijui ndo Mack?” ? Lily alizidi kunitania, na akanipa hizo namba za huyo mtu aliyekuwa akimsema ni mshauri wa Afya na niliweza kuongea naye na kunielekeza ni wapi kwa kupata msaada wa tiba hiyo.?


01???

Ilinibidi niahirishe ratiba zangu za siku hiyo kwani tayari nilikwisha ongea na Huyo mtu, ? na alikwisha nielekeza sehemu ya kwenda kuchukua hizo dawa?, hivyo niliamua kwanza kuujali mwili wangu uliokuwa unataka kuharibiwa na kidudu hicho, ili kuvuruga sifa nilizokuwa nazo Dija mimi. ?

Nilianza kutumia dawa nilizokuwa nimekwishapewa tayari, na nikaanza kufuata ushauri niliokuwa nimeelekezwa?, kwa wakati ule, hivyo hata ratiba ya kuweza kuonana na mpenzi wangu wa kwanza toka niwe huru baada ya kuanza maisha yangu ya kujitegemea?, ilivurugiga ilimradi tu nimalize dozi ile niliyokuwa nimeanza kutumia. ?

Kwa muda wa wiki nzima nilikuwa natumia ile dawa, na ilinisaidia kweli, ? hata nikaweza kupanga tena siku nyingine ya kuweza kuonana na Mack ili akanifumue marinda niliyokuwa nimeyatunza kwa muda wa miaka 22?, lakini mwaka wa 23 nilihisi kuwashwa mno na Mkunaji alikuwa ni Huyo Mack. ?


“Lily mwenzako naogopa kuchokonolewa na Mack sijui hata itakuwaje!” ? Nilikuwa naongea na Lily kuhusu Kukutana kwetu na Mack, siku za hapo karibuni. ?

“Ulitaka ukae hivyo mpaka lini?” ?Lily aliniuliza. ?

“Hata kama Lily, naogopa kupoteza usichana wangu, alafu sasa hata kitu chenyewe sijui kipoje, sijui ndo litakuwa ni mpini au Kibamia, yani nawaza mwenzako mpaka basi.” ?

“Yani hata liwe gogo huwezi kulikwepa, alafu mbona kawaida sana, hofu yako tu, we nenda katoe hiko chakula watu walee, unabania nini sasa.” ?

“Naogopa Lily..!” ?

“Hujajua Utamu wake ndo maana.” ?

“Mmh!, we unasema tu, yani hata unipe moyo vipi ila siwezi kukubaliana na wewe.” ? Nilimjibu Lily na tukaendelea kuongea mengi Kuhusu. ?


Siku tuliyokuwa tumepanga kukutana na Mack iliwadia, ? na sikuweza kuikwepa nililazimika kwenda kwa Mack, tena nilijipeleka mwenyewe wala sio kupelekwa na mtu?, na niliweza kuonana naye nyumbani kwake na akanipokea kwa shahuku kubwa sana, na kwa kumwangalia nilijua kabisa alikuwa amenipania sana. ?


Nilipofika alinikaribisha?, na tukawa na maongezi machache yaliyopelekea mpaka Mack kuniingiza Chumbani kwake?, na huko niliambua maumivu tu yaani haikuwa tofauti na nilivyokuwa nawaza, kwani Mack alikuwa hanijali kwa chochote, alichokuwa anakijali yeye ni kuzimaliza hamu zake tu. ?


01???

Kwanza alivyokuwa ananiingilia utafikiri alikuwa ananibaka?, nilikuwa naumia ila ni vile nilikuwa najikaza tu, na ponepone yangu ilikuwa ni Kimoja Chali yaani Mack alikuwa hajiwezi kitandani, ? na ndipo alinipa ahuweni ya kupumua. ?

Mack alikuwa sio mtundu wala, ila alijua tu Kuchomeka na kupampu utafikiri anajaza taili ya baiskeli. ?

Na hata alipomaliza nahisi kimoyo moyo alikuwa anajiita? “Dume la mbegu” kisa kunitoa bikra yangu tena kwa kuniumiza?, wala hakujua hata kuniandaa, yani kifupi nilidondokea mikononi mwa mla Chips tu. ? Asiyejua kula Dona. ?


Kile kitu kilinifanya nianze kuona hakuna utamu wowote wa kufanya mapenzi?, hata niliporudi nyumbani kwangu na maumivu yangu, sikutamani tena kurudia. ?


“Lily me nilikwambia, yani nilijua tu lazima ntaumia, ona sasa nahisi mpaka viungo havifanyi kazi.” ? Nilikuwa nalaani kwa kile nilichokipata baada ya kurudi nyumbani. ?

“Dija mbona kawaida sana, ni kwa vile ni mara yako ya kwanza, ukirudia utazoea tu shoga yangu.” ?

“Anh!, me staki tena kusikia mambo hayo, bora nibaki tu hivihivi.” ?

“Unasema tu, mbona zitakupanda na wemwenyewe utarudi tena kwa Huyo Mack wako.” ?Lily alizidi kunishawishi, lakini kwa kile nilichokipata, niliamua kutuliza mapepo yangu kwanza. ?


Lakini huwezi amini?, nilipomaliza wiki moja nilianza kutamani tena kurudia, na hii ni kutokana na ushawishi niliokuwa naupata toka kwa Lily, ? aliyekuwa ananiaga kila mara anaenda kwa bwana ake, ? yaani nilijikuta tu najawa na wivu kwa ushawishi wake na ni kitu kilichonifanya nirudi tena kwa Mack kwa mara nyingine?, lakini mambo yalikuwa yaleyale tu, sikuona mabadiliko yoyote kitu kilichosababisha nikaangukia kwa mtu mwingine nikiachana na habari za Mack. ?


Kifupi tangu nimeanza kuwa na tamaa ya kukunwa?, nilijikuta naanza kuwachanganya marafiki Denis na Elly lakini wote hao sikuona wa kunitosheleza, yaani hata akili yangu iliharibika kabisa, nikajikuta naanza kujimalizia hamu zangu mwenyewe. ?

“Dija siku hizi umekuwa Malaya mpaka basi yani hata wiki haijaisha ushatembea na Wanaume watatu?” ? Alikuwa ni Lily akiongea hayo. ?

“Asa kama sipati mtu wa kuniridhisha me nafanyaje Lily?” ?

“Anha!, ushaanza kuwashwa saivi eeh?” ?

“Kawaida kwanza we ndo umefanya nimekuwa hivi!, angalia saivi mpaka natumia haya mambo.” ? Nilimuonyesha Lily Mchi wa bandia akaanza kunicheka. ?

“Kama ndo umefikia hadi huko mama, basi kuna mtu nakuunganisha naye, huyo atajua kukumalizia hamu zako.” ?

“Afadhali, bora hata ufanye hivyo kwamaana ntakufa kwakweli.” ? Nilimjibu Lily nikiwa na shahuku ya kutaka kuunganishwa na huyo mtu, na Lily hakufanya makosa, aliweza kuniunganisha naye, huyo mtu hakuwa kama wale wa mwanzo.?


Huyo mtu atafanya kile Dija anapenda? Mambo ndo kwanza yanaanza, na huu ni ukurasa wa mwanzo tu, hatujafungua yaliyomo ?? Tulikuwa tunamjua Dija tu.


**

?“Hi, darling mbona muda wote huo nakusubiri ufike haufiki tu, unatatizo gani lakini, naumia mwenzio na nyeg** au unataka nifee.”? Nilikuwa nambembeleza mkaka mmoja kwa simu, niliyekutana naye siku hiyo tukapanga kukutana ?lodge moja na wala sikuwa na mahusiano naye bali ni tamaa zangu tu za kubadilisha ladha ya tango kwani niliyokuwa nimeyaonja hayakuwa na utamu wowote huko nyuma.?


?“Nakuja Dija, nakaribia kufika usijali.”?Yule mkaka kwa jina Suley alinijibu wakati huo nikiwa na kimuhemuhe cha kukatwa malinda, yani kifupi Hadija mimi nilikuwa na Shetani wa ngono,? nilikuwa nikilala nawaza kuchomekw* tu?, nikiamka nawaza kulambwa uwiii napenda kupitishwa ulimi mimi, na ndiyo maana nikataka kumuona huyo Suley kama atanitoa hizo nyeg* zangu zisizoisha.?


?Basi kwa hamu nilizokuwa nazo nilivua nguo na kuchukua kanga yangu nikajifunga kihasara?, ndani nikabaki na kichupi changu na dodo zangu niliziacha zipunge upepo wa feni kwani sikupenda kabisa kubana chuchu zangu?, pia ili hata kama Suley angefika muda huo basi aanze kunikanda tu sikutaka maongezi naye mengi zaidi ya kitu kilichotupeleka hapo Lodge.?


?Kweli baada ya muda kidogo Suley alinipigia na kunimbia yupo nje,? nikampa maelekezo ya chumba nilichokuwa, haikuchukua muda nikasikia mlango unagongwa,? Niliinuka na kwenda kumfungulia mlango, na kwa hamu niliyokuwa nayo nilimpokea kwa busu zito nikihitaji anipe Mate yake,? Suley alinisukuma kidogo na kunambia.?


?“Dija mama tulia kwanza usiwe na papara kiasi hiko.”? aliongea kisha akanitupia kitandani.

“Suley hujui ninavyoteseka mwenzio, ninahamu sana na wewe.”? Nilimjibu lakini Suley alionyesha kutokuwa na haraka na mimi badala yake akavua nguo zake na kuingia bafuni,? na hapo ndipo nilikumbuka nyeg* zangu zinanipeleka vibaya nikisahau kabisa kama kuna kufanya maandalizi ya kwenda bafuni kwanza.?


02???

?Ilinibidi nimfuate Suley hukohuko bafuni kwani chumba kilikuwa ni self hivyo ilikuwa ni rahisi kwangu kujinogesha kwa Suley kuanzia hukohuko bafuni.?

?Tukiwa bafuni tulianza kuogeshana kwa madaha huku tukianza kuamsha hisia zetu.?, kwa kiasi fulani Suley alikuwa ni mtundu kwani aliutumia mwili wangu vile nilivyokuwa nikitamani kwa muda mrefu kufanyiwa,? yaani kidogo nilianza kujipa matumaini kwa mipapaso ya Suley.?


?”Aaaiiissss!! Uusinishiiike hukoo Suley jomoniii”? Nilisisimka sana mara baada ya mkono wa suley kupita katika vifungashio vyangu vya nyuma na baadae kupita katika vipele vidogo vidogo vya juu ya kipapatio changu mwili ukihisi kupokea joto la mkono wa Suley.?

?Sikutaka kuwa nyuma nyuma, nilikuwa nampapasa Suley, mpira wake wa maji uliokuwa unataka kutoa maji muda huo,? ukichanganya na povu la sabuni niliyokuwa nampaka.?


“Dija, acha usiendelee kuchezea. ?” Suley alininong'oneza kwa sauti yake nzito kidogo aliyoilemba kwa mahaba ndani yake,? Iliyonipenya mpaka kunako. ?

“Kwanini jamanii suuu....sule..oops! Nishike hapo hapo jamanii mpenzii.” ? Niliongea kwa kusitasita mara baada ya suley kupitisha kidole chake kwenye kinemb* changu, ? wakati muda huo kum* yangu ikiwa imeanza kuwa tepetepe na kuvimba kwa nyeg* zilizonidi mara dufu, na Suley alinikatalia nisimchezee tena Dudu lake lililokuwa limevimba haswa!.?


?yani kifupi nilianza kufaidi bado mapema tukiwa bafuni, ? Nikiwashusha kabisa vyeo Denis na Elly niliokuwa nimetembea nao wiki moja kabla ya siku hiyo kuwa na Suley. ? Tena ukiachana na Mack aliyenifumua Malinda nikaujua utamu wa kupukuchuliwa, ingawa siku ya kwanza Mack alinifanya vibaya mpaka nikakataa kumpa tena uchi wangu, ? ila kwa kuwa Rafiki yangu Lily alinishauri nirudie tena nitafaidi vizuri utamu basi nilirudia tena kumpa uchi Mack?, lakini tatizo lake nilikuja kuona kama hawezi kunipekenyua vizuri, ?.


?Na ndiyo maana nikatembea na Denis pamoja na Elly ili tu kutafuta mpekenyuaji wa kipapatio changu vizuri, lakini wote walikuwa ni wanafunzi kwa Suley aliyeanza kunionjesha utamu toka huko bafuni. ?


02???

Tulipoogeshana na kuamshana nyeg* huko bafuni, ? ilibidi turudi Chumbani kupeana utamu vizuri kwani nilikuwa nalitamani sana dudu la Suley, ?

? Na kwa haraka za kutaka kugusanisha pa kukojolea na Suley, nilimrukia mdomo wake mara baada ya kufika kitandani, ? nikaanza kupata utamu wa mate yake, nikisikilizia miguso ya mikono yake laini iliyokuwa imezoea kufanya massage, ? Ikipita kila kona ya mwili wangu. ?

?Ooh!, sikukwambia habari za Suley tulipokutana naye ila ntakueleza yote, kifupi alikuwa anafanya kazi ya massage na ndiyo kazi yake ya kila siku. ?


“Aiiiisssssss!!!,” ?.

“mmmmmh” ?

“oooh yesiiíiiii!” ? Nilitoa miguno laini mara baada ya Suley kuzidisha ukunaji wa kisim* changu, kilichokuwa hakijasuguliwa takribani wiki nzima. ? Kwanza kidole cha Suley kilikuwa ni kitamu mpaka kinakera kwani alikuwa anajua sana jinsi kucheza na vidole vyake. ?


?Kwa haraka zangu nilitamani aniingizie dudu lake hapohapo, lakini Suley alikuwa hana haraka na mimi, zaidi nilikuwa nasikilizia muwasho utamu kwenye bomba tu, nikibaki nang'ata meno kwa utamu nilioanza kuusikia baada ya kuingiza dole lake la kati ndani ya kipapatio changu, ? Yani nilihisi kulia kwa Ule utamu niliokuwa nikiusikilizia, kile kidole alikuwa anakichezesha ndani kwenye G-sport huku dole gumba lake akinitekenya kinemb*, ? Ulimi wake haukuwa mbali na dodo zangu, ? akiupitisha katikati ya dodo na kunilamba kwa ufundi ambao sikuwahi kukutana nao. ?.


“?Suuu...! Unaniuaaa, aaaaaiissss, mmhhh, maaaaaaam, ooooopsssss, Ooooh my.....nitoooom, suley please!!.” ? Yani Suley alijua kucheza na mwili wangu vilivyo, ? hata kabla hajaniingizia Dudu lake nilijikuta nabana mapaja yangu kwa utamu ule?, na hatimaye nikamwaga maji mpaka nikajishangaa, na nikaanza kuona aibu kwa hali ile iliyotokea, yani hamu zangu alijua kuzikata Suley. ?.


?Hiyo tu ilikuwa ni michezo yake na alikuwa hajatia dudu lake lililokuwa limenawiri kwa kusimama vilivyo, ? Jamani yule kaka alijua kunikomesha hamu zangu na kwa kelele zile nahisi hata mtu aliyekuwa akipita koridoni alikuwa anasikia ukilinganisha na usiku ule?, acha aitwe mfanya massage tu mpaka wivu ulianza kunijaa, ? jamaniii Suley kuwa wangu basii. ?.



ENDELEA NA 03???

**

?Suley alipohakikisha amenitoa kimuhemuhe changu cha kutaka kuingiziwa dudu lake alianza kuniandaa tena upya, lakini nilikuwa najisikia vibaya baada ya kutokwa na yale maji. ? Kwani sikuwahi kutokwa kabla nilijua nimelimwaga kojo kwa kuchafua mashuka ya watu bure. ? yani na mapepe yangu yote sikuwa najua jinsi mtu anavyofikishwa kileleni, maana toka nitolewe bikra na Mack sikuwahi kupata mwanaume shababi wa kunikojoza kama Suley, Niliishia kusikia kwa rafiki yangu Lily tu. ?


?Suley naye kama alilijua hilo lakini hakuonyesha kujali, zaidi ya kuendelea kunichezea, ? Safari hii alichukua mafuta fulani ambayo sikuwa nayajua kwa wakati huo, akaanza kunipaka mwilini taratibu, ? akizidi kunipagawisha kwa utamu aliokuwa akinifanyia, yani siku hiyo mbuzi alifia kwa muuza supu. ?.


?Viganja na vidole vyake vitamu alivyokuwa ameanza kunipitisha mwilini, vilizidi kuniamshia nyeg* tena na tena?, alianza kupitisha mikono yake katika matako yangu makubwa. ?

“?Aiiiiiiiissssss, Oooooh shiiit, suuuuuu..cooome on! ?” Nilijikuta naangua miguno tena na lugha za watu zikianza kunijia na kuanza kujigalagaza kufuatana na mipapaso yake, ?, na safari hii alikuwa anapitisha mafuta katikati ya matako yangu, na yale mafuta laini yakaanza kuchuluzika na kupita mkun**ni na kupitiliza katika ku*a yangu iliyokuwa imeloa mpaka basi. ?


?Alianza kupitisha ubapa wa kiganja chake katikati ya tako na tako, nikajikuta napanua vizuri kwa kuusikilizia ule ubapa ukitokea juu mkun**ni Ukipita mpaka katika kiyoni changu. ?, yani nilianza kusisimka kwa raha na utamu ajabu. ?


?Aliendelea kufanya hivyo mpaka alipohakikisha nimelegea kama mlenda, ndipo akataka kuliingiza dudu lake nililokuwa nikilitamani kwa muda mrefu, ? Alivaa kondomu kisha akalenga taratibu kwenye Ku*a yangu, na kuanza kuingiza kidogo kidogo mpaka ikazama yote kwa style yake ya popo kanyea mbingu aliyokuwa ameniweka. ?


“?aiiiissssssss, aiiisssss, mmmmmh, ooooooh, aiiis, mmmh, oooohps...!” Nilihisi kusisimuliwa na Dudu lake lililoanza kunipekenyua vilivyo ndani ya Kipapatio. ?

Suley ? alikuwa ni fundi jamani, mkonga wake ulikuwa unagusa kila kona ya Uchi wangu, yani nilikuwa nahisi raha ya ajabu mkonga wake ulivyokuwa unanigusagusa karibu na via vya uzazi. ?

“Ooooh....,,iiiiiiisiiii.... aaiiiiis, mmmmh, aaaaahhhh, mmmmmh.” ? Niliendelea kutoa miguno na kuanza kutoa uno langu bila hiyana. ?


03???

?Yani kwa Suley nilikuwa kama mpya kabisa hata mauno yenyewe niliyokuwa nayakata hayakuwa yenyewe. ?, kutokana na kuzidiwa na utamu ule, yani ilifikia kipindi nikajichomoa kwa lazima na kuitoa ile kondomu aliyokuwa ameivaa Suley nikiona kama inanikeleketa na sifaidi vizuri. ?, ilibaki ni nyama kwa nyama, kazi ilikuwa ni kwa mchinja nyama. ?.


“Ooooh! Yesss!!” Suley alipiga kelele kwa utamu aliokuwa akiupata baada ya kunigeuza nikakaa juu yake, ? akitaka nimvunjie mauno yangu ya kubana na kuachia mpaka akanikojolea uji wake wa moto, yani ni raha tupu, tukawa sare ya 1 kwa 1. ?.

Bado mchezo ulizidi kupamba moto, safari hii kidogo nilitulia tofauti na mwanzo nilipokuwa na muwasho utamu, ? Nikamfuta Suley Ogo lake lililokuwa limeanza kulegea kidogo baada ya Kumwaga uji wake akiwa amelala Ogo lake likiangalia juu, ? nililishika na kuanza kulichezea, kisha nikalibugia na kuanza kulamba taratibu kuanzia kichwa chake, ? mpaka pumb* Zake. ?


“?aaiishiiii,” Tararibu Suley alianza kutoa miguno ya kusikilizia ulimi wangu ulivyokuwa unapita na kutekenya Pumb* Zake. ? na hatimaye mkonga ulisimama vizuri. ? na wakati huo nikiwa namlamba Suley Konga lake nilimuachia Kund* Langu nyuma alambe kinemb* changu. ?


?“Oooh...., aaaaishiiii, mmmmmh...aaahh...” ? Ndani ya chumba hicho palitawaliwa na sauti za miguno kwa Utamu wa kulambana nyeti zetu?.

Baada ya hapo nikamtengea Suley chakula ya mama, ? nikimuachia tako nililokuwa nimelipanua vilivyo yaani dog style na hapo Suley akaniingiza tena kwa mara ya pili. ?


“?Aaaishiiii, mmmh, oooooohps,... Aaaaaah.” Niliendelea kumkatikia Suley huku yeye akizidi kuzungusha kila kona na pembe ya kipapatio, ? Utamu ulinizidi baada ya Suley kunifanyia mchezo mchafu wa Kunitom*a Huku akisugua mkun*u? wangu kwa dole gumba lake, asikwambie mtu, mishipa ya nyeg* zote ipo mkun**ni ila sipendi kufi*wa?, nilipenda tu jinsi Suley alivyokuwa anasugua mkun*u wangu mpaka nikajikuta namwaga maji ya dafu tena kwa kelele hatari. ?


03???

Dija mimi kiboko ake Suley?. Alijua kunitom*a Huyu mkaka alijua kuniweka mikao mpaka nikahisi ku*a yangu inaanza kupata shoti, ? yani omba upate mwanaume kama huyu anayejua mikao na kukunja vilivyo, ? japokuwa nilikuwa na kimwili changu kinene kidogo lakini Suley alijua jinsi ya kucheza nacho yani usiku ule siwezi nikausahau toka nimemjua yule mkaka?, na sijui kama alikula nini manake alikuwa hapoi yani mb*o Yake muda wote ukiigusa inanyenyuka na kutaka tena. ?


?Alinikata hamu zote na mapepe niliyokuwa nayo, yani Suley ni mwanaume kwakweli ??, Tulipomaliza Kupeana Muwasho utamu wangu na kutulia tulienda kuoga na kurudi kujipumzisha, ? nililala nikiwa nimeshika mb*o ya Suley kwamaana nilihofia asijekuondoka usiku ule. ?


Asubuhi na mapema nilipoamka, ? nilianza tena kumchokonoa Suley aliyekuwa amelala bado nikitaka anipe cha kuondokea, ? Na yeye pia bila hiyana alinipa cha uvivu uvivu lakini cha kueleweka kama ilivyo michezo yake. ?

“aaaissss, mmmmmh, aaaaah, ooooohhhh, mmmh, aaaaaiiiiis.” ? Ilikuwa ni miguno tu niliyokuwa naitoa baada ya mchezo kukolea na hatimaye akanikojoza tena ndipo nikalizika na kitom*o chake. ?.


“Suley tutakutana tena lini Jamani me nataka tena turudie” ? Nilimwambia Suley baada ya kutoka bafuni nikimkuta anakusanya vitu vyake na kupakia kwenye begi lake dogo. ?

“Nitakuambia nikipata muda, kama unavyoijua kazi yangu.” ? Suley alinijibu.


Yani kifupi Suley alikuwa ni mtu maalumu hakuwa mpenzi wangu, ? ila kazi yake huwa anatoa huduma hizo kama unataka kutolewa nyeg* zako, ? basi unamtafuta yeye na hivyo nilitakiwa nimlipe kwa kunitoa Muwasho wangu. ? na tofauti na kazi yake ya Massage basi huwa anafanya kazi hiyo kwahiyo kupatikana kwake ni kwa nadra sana kwamaana yeye alikuwa anaangalia masirahi ya hela kubwa, ? na siku hiyo nilijichanga sana mpaka kumpata Suley. ?


Ilinibidi nichukue pochi yangu mezani, ? na kuchomoa kiasi cha sh. Laki 2 na kumpatia kama malipo ya kulala naye siku hiyo, ? Najua utashangaa kwani umezoea kusikia malaya wa kike tu ndo wanaolipwa yani huyu Suley sijui nimuite ni mtom..ji wa kulipwa au vipi ila najua umenielewa. ?.


“Nikiwa na muda nitakutafuta” ? Suley aliongea baada ya kupokea ile hela kisha akaondoka hapo ndani kwani kazi yake alikuwa kashaimaliza, ? akiniacha na wivu wangu nikitamani awe bwana angu kabisa?.


Lakini mh!, ningekufa kwa wivu basi ilibidi nimuache aende zake, nikisubiri hiyo simu yake ya nadra kunitafuta, ? kwamaana alikuwa na mijimama mingi yenye mijihela zao, iliyokuwa ikimuweka ndani hata wiki nzima. ? wakitukosesha sisi wenye nyeg* zetu Muwasho kukosa Utamu wa Suley. ?.



?Nilipobaki mwenyewe hapo lodge ilinibidi nijiandie na kutoka hapo ndani kwani sikuwa na jipya tena?, nikiwaachia kazi wafua mashuka, ? nilipotoka nje ya lodge nikachukua usafiri wa pikipiki hadi mtaa niliokuwa nimepanga Kinondoni?, yani kifupi sikuwa vibaya sana hata nikawa na uwezo wa kupanga nyumba na hii ni kutokana na biashara zangu za nguo nilizokuwa nazifanya ?pia familia yangu ilikuwa na mchango mkubwa sana ingawa sikutaka kuishi maisha ya kishua licha ya kwetu kujiweza kifedha hivyo nilijitenga kuwa huru ?.


Nilipofika ndani nikaamua kulala ili kupunguza uchovu niliokuwa nao, wa siku hiyo, ? na baadae nilikuja kushtuka, mlango wa chumba changu ulipofunguliwa. ?


?“Hee!, Shost bado umelala mpaka saivi?” ? Ilikuwa ni sauti ya rafiki yangu Lily akiingia hapo ndani baada ya kutoka katika mihangaiko yake. ?

?“Mh!, we acha tu kwani saa ngapi saivi?”

“Kwani hujui mida yangu ya kurudi?, au usingizi unakuchanganya?” ? Lily aliniuliza nikiwa najivuta vuta pale kitandani. ?

“Siku zinatofautiana mpenzi, yawezekana leo umewahi kurudi.” ? Niliongea.


“Hapana buana, leo nimechelewa sana inakaribia saa kumi na moja saivi ujue!” ? Lily alinijibu nikajikuta nahamaki kulala muda wote huo toka saa 4 za asubuhi. ?

“?Anh!, kweli Suley amejua kunikomesha mpaka nalala hivi?” ? Nilimjibu kwa kumdokezea kuhusu siku ya jana yake. ?.


“?Hah, shoga yangu nilikwambia Suley ndo kiboko ya nyeg* zako.” ?

“Yani hujakosea kuniunganisha na yule mtu, mpaka saivi nahisi kinembe changu hakifanyi kazi?”

“Heheheeeee!!,, nabado kupukuchuliwa kund* lako bibiee!!” ? Lily alinicheka kwa umbea uliomjaa ndani yake. ?

“Wee!, kund* utatoa wewe sio Dija mimi, ?”

“Subiri tu uzoee kutiwa kila mara, utaona kama kund* lako halijafanywa socket. ?”

“mmh!, mwenzangu hayo unayaweza wewe mimi akuu!!” ?

“Mi si nipo Dija, utanambia siku we mwenyewe, enhe!, kwahiyo ndo hujapika kabisa?” ? Lily aliongea kisha akabadilisha mada yake. ?


“?Jamani Lily si umenikuta nimelala hapa, huo muda wa kupika ningeutoa wapi?” ?

“Kwahiyo tunafanyaje, me na njaa mpaka basi, afu kupika nahisi uvivu kama nini” ?

“Hata mimi sina hiyo nguvu ya kupika, me naona twende kula dinner tu badae.” ?

“Hapo umeongea la maana, hatujaenda out muda kweli!” ? lily alikubaliana na pendekezo langu la kwenda kula dinner.


04???

Na kama tulivyopanga, basi jioni tulianza kujiandaa, kwaajili ya kutoka hiyo out. ?

“mmh!, shoost, mbona unajipura kiasi hiko!, au unaenda kutafuta danga?” ? Nilimuuliza Lily aliyekuwa anajipodoa na kuvalia kijinguo chake utafikiri anaenda kudanga. ? wakati huo nikivalia kawaida sana lakini min skate iliyokuwa ikinionesha upaja wangu. ?


“wewe je!, na hiko kinguo chako cha kumfanya Kakunku akutamani veepe!” ? Lily naye aliamua kutoa ukimya. ?

“Aahwapii shooo anguu, we umezidi mama!” ? Niliongea na baada ya hapo tulitoka na kuchukua usafiri uliotupeleka mpaka break point, ? ada estate kinondoni, katika restaurant tuliyochagua kupata dinner yetu. ?


?Tulitulia sehemu moja hapo ndani na kuagizia chakula chetu?, kisha tukaanza kula taratibu tukishushia na story zetu za umbea. ?

“Shoo eeh!!, mbona yule mkaka anakuangalia sana jamani, kadata nini?” ? lily alinidokeza na kunionyesha mkaka mmoja aliyekuwa mbele yetu naye akipata chakula chake, na ni kweli alikuwa ananiangalia sana. ?

“mh!, inawezekana amenielewa Dija mimi.” ? nilimjibu Lily naye akazidi kugongelea msumali?.


“? Utampaa akitaka?, au mpaka umsubiri Suley akupigie simu?” ?

“?We acha tu mamy, hapa tu nimemmiss mpaka basi, huyo akijisemesha ntamsikiliza, ila awe mtundu tu kama Suley la sivyo namtema mapemaa!! ?.”

“?Wacha wee!!, kama kawaida yako” ?

“?Ndiyoo siwezi kukaa na mahanithi mimi, shoga angu” ? Nilimjibu na tukacheka utafikiri tulikuwa na cha maana kumbe wala. ?


Tuliendelea kula na vijistory vikiendelea, ? mpaka tulipokuja kumaliza kula na tukataka kuondoka, ? lakini Lily yeye alipokea simu ya bwana ake na akataka kwenda kuonana naye hivyo pia niliamua nirudi nyumbani kwani bado nilikuwa na uchovu sana. ?


? Wakati tunatoka nilisikia sauti kutoka nyuma yangu na nilipogeuka nilikutana na uso wa yule mkaka?, alikuwa anatusubiria nje akiwa ameegemea gari yake. ?


“Samahani dada ninashida na wewe mara moja.” ? Yule mkaka alinisemesha wakati huo Lily akaniaga kwani safari yake aliijua mwenyewe anapoenda hivyo aliniacha nikimsikiliza yule kaka, ? mhandsome kwa kumuangalia japo ndani ndipo nilikuwa napataka sio nje. ?


04???

“Samahani sana kwa kukuchelewesha, aaaah kama hutojaliii...mmmh, un..unaa usafari?” ?yule mkaka aliongea kwa kujing'atang’ata sana na angejua nilivyo mwepesi ka table ya pili uwii, hata asingejihangaisha kiasi hicho. ?


?“Usafiri sina kaka, ndo nilikuwa nataka nichukue saivi niondoke, kulikoni!” ? Ilinibidi nimrahisishie kazi sikutaka kumfikirisha sana. ?

“Ooh!, sawa naweza nikakusogeza kidogo mpaka unapoenda?” ?

?“Aanh!, sio mbaya kwakuwa sikai mbali sana itakuwa vizuri.” ? Nilimjibu na nikamuona kidogo akitabasamu kisha akanifungulia mlango wa gari akiniomba niingie na nikafanya hivyo kama alivyotaka. ?


Alipoingia ndani ya gari nikamuelekeza ninapoishi, ? na bila kujali akaanza kuondoa gari yake kuishika njia. ?

“Umependeza sana, unaitwa nani vile.” ? Aliniuliza huku akitupia macho kwa wizi wizi katika upaja wangu uliokuwa wazi, ukimtamanisha kusema neno. ?

“Niite Khadija” ?Nilimjibu kifupi nikimtolea nje sifa yake ya kupendeza. ?

“Ooh!, jina lako linavutia sana kama ulivyo, naitwa Ramsey ningependa sana tuwe na ukaribu kama hutojali.” ? Yule mkaka kwa jina la Ramsey aliongea maneno mfululizo, na niligundua kuwa tayari ananitamani. ?.

“Ooh, Ramsey jina zuri pia.” ? Nilimjibu kisha nikatulia kidogo kumsikilizia ?

“Aah, sijui utakubaliana na ombi langu la kuwa na ukaribu?” ? Aliendelea kukumbushia. ?


“Sio mbaya dear, itakuwa vizuri.” ? Nilimjibu na akafurahi sana kisha akanipa simu yake nikamwandikia namba ya simu yangu, ? pia nikapiga kwangu na kuisave namba yake, ? na tukiwa tumekaribia kufika sehemu niliyokuwa nimepanga tulizidi kuongea machache ya kufahamiana. ?


“?Mr. Rom me nimeshafika, asante kwa usafiri wako.” ? Niliongea kwa kufupisha jina lake na kuliongezea manjonjo, ? kitu kilichomfanya azidi kupagawa. ?


? Basi tuliagana akitamani nizidi kubaki naye lakini muda ulikuwa umeenda sana, ? na sikumuonyesha uchoyo wowote hata nikapanga kumuona atakuaje kwasababu ugonjwa wangu naujua, ? napenda mwanaume wa kuniweza sio goigoi, ? hivyo nilimsubiri kwa hamu nimuone kama atakuwa katika level za Suley au ndo wale kimoja chali. ?



***

? Tulipoagana nikashuka ndani ya gari yake nikimuachia sehemu zangu za nyuma akizimezea mate kwa kishundu changu. ? akikitolea macho. ? Basi kwa mbwembwe nikazidisha kutingisha nilipojua ananiangalia, ? na alinisindikiza kwa macho mpaka akaona naingia ndani ya geti ndipo aliondoa gari yake na kuondoka, ? wala sikumjali kwa hilo ingawa mkaka alikuwa vizuri kiukweli. ?


Nilifika ndani nikiwa mwenyewe, ? wala sikutaka kufanya kitu zaidi ya kujitupia kitandani nipumzike vizuri. ? lakini kwa kuwa mchana wake nililala sana, ? basi usingizi kuupata ilikuwa ngumu sana. ? Niliamua kuchukua simu yangu na kuanza kupitia jumbe toka kwa watu tofauti kwani sikuwajibu siku hiyo. ?


? Na nilipoona hakuna cha maana zaidi ya malalamiko ya message toka kwa maex zangu Denis, ? na Mack waliokuwa ving'ang'anizi kama nini. ? bora hata Elly niliyemporomoshea matusi hakuwa akinitafuta, ? hao niliwaweka vipolo nikiwatafutia siku yao. ?

? Niliamua niwashe data na nikaingia WhatsApp katika group langu pendwa la Makungwi, ? ukiachana na magroup mengine kama Mauno Feni, ? Zungusha Kwa chini na Muwasho Kwio yaliyokuwa yananichangamsha damu yangu vilivyo kwa mambo pambe. ???


? Ilikuwa ni kawaida yangu kupitia message za makungwi kutoka sehemu tofauti za nchi?, katika group hilo nililokuwa nikijifunza vitu vingi mno, ? yani ada yangu ya kulipia kwa mwezi ilikuwa ikiisha nilikuwa najihisi mnyonge sana?, kwamaana hao makungwi ndo walionifanya nianze kuhaha kuwatafuta wanaume wenye kujua kunipa Utamu. ?


? Siku hiyo nilikutana na kichwa cha habari kutoka kwa kungwi mmoja wa kitanga, ? kikiwa kimeandikwa?, JINSI YA KUMFANYA BWANA WAKO AKUPEKENYUE VIZURI HATA KAMA ALIKUWA MBOVU KITANDANI.?

? Kusema kweli ilinibidi nitulie na kuanza kusoma vitu alivyokuwa ameviandika huyo kungwi, ? kwamaana nilivutiwa kusoma. ?


Loh! ?Baada ya kusoma yaliyokuwa yameandikwa humo ndani ndipo nilipogutuka kuwa nilikuwa nafanya sana makosa kuwaacha wanaume wa watu?, lakini nisingeweza kukaa na nyeg* zangu kwakweli?, ila nikajiapiza kuwa kama Mr. Rom atanitongoza basi nitabaki naye hata kama ni mbovu ntajua jinsi ya kumtengeneza kwa maneno yale ya Kungwi wa kitanga aliyokuwa ameyaandika na huwezi amini alikuwa ni mwanaume?, hivyo nikajipa asilimia 100% kwa maneno yake. ?


? Wakati naendelea kusoma soma baadhi ya mada za kunitia nyeg*?, simu yangu iliita na mpigaji alikuwa si mwingine bali ni Mr. Rom, bila hiyana nikapokea simu yake. ?


05???

“Hallow Mr. Rom, umefika salama?” ? Ilikuwa ni salamu yangu ya kwanza baada ya kupokea simu yake. ?

“Nashukuru nimefika salama Miss Dija, vipi hali yako.” ? Mr. Rom alinihoji. ?

“Yah!, niko poa hofu wewe na familia yako.” ? Niliongea kuongeza upana wa mada. ?

“Me nipo vizuri Dija.” ? alijibu kifupi. ?

“Wengine je?” ? Nilizidi kumdadisi nijue kama alikuwa na mkewe hapo kwake au vipi. ?

“Ni wazima wapo huko mikoani, ni wazazi lakini Dija najua ulicholenga ni nini.” ? Alinijibu ikabidi nitulie na kumsikiliza lengo lake la kunipigia simu. ?


“Nilikuwa nakujulia hali, ila ningependezwa sana tukutane kesho tuongee vizuri zaidi Miss.” ? Aliongea. ?

“Aanha, muda gani na wapi.” ? Niliuliza. ?

“Ningependelea jioni na sehemu ntakujulisha kesho hiyohiyo.” ?

“Ooh! Kwa jioni itakuwa vizuri ntakuja.” ?

“Nitashukuru kwa hilo Dija, naomba usiniangushe ninalo neno juu yako.” ?

“Mmh, usiwaze mpendwa ntakuja tu, ila unanitisha ni vizuri ungenidokeza.” ?

“Hapana tutaongea kesho yote pia sio vizuri kuongea kwa simu.” ?

“Mr. Rom unanifanya niiwaze sana hiyo kesho.” ? nilimjibu kumsogeza karibu nikijifanya ni mgeni na hayo mambo kumbe ni nyok* tu. ?.

“Usijali ni jambo la heri kabisa rafiki.” ?

“Ok sawa nikutakie usiku mwema.” ?

“Asante miss kwako pia.” ?


? Tuliagana na kukata simu, kwakuwa nilijua kesho yake kitakacho enda kufanyika ni nini basi sikuwa na maswali mengi kiivo, ? kwakuwa yeye tayari nilikwisha mwambia naishi mwenyewe, basi nilimpa nafasi kubwa ya kuweza kuanzia. ?


?Nilibaki kitandani nikipitia WhatsApp yangu katika magroup yale ya kunipa muwasho, ? yani nilikuwa nikiingia tu kwenye hizo group nakutana na video za kupekechuana walizo jirekodi watu live bila chenga zikionyesha mpaka mikun*u yao, ? yani kuna nyingine nilikuwa nikiziangalia zinanifanya nianze kujitia vidole na kuchezea kinembe changu yani ni full kusafiri na mabasi ya kwenda nyegezi, ? mpaka najikuta napiga makelele mwenyewe kwa utamu wa vidole vyangu, ? na nikiona haitoshi nilikuwa na mbo* yangu ya bandia, naipaka mafuta kisha naanza kuiingiza na kutoa kwenye kiyoni changu kilichokuwa kinanivimba hatari, ? mpaka najipiga bao la kunifanya nilale na ule mchi wa kujichomeka, na hapo roho yangu ndipo hutulia. ?

“Jamani Dija mimi, Mr. Rom awe mzuri basi nishachoka na kujitom*a kila siku, ? ona sasa mume wangu ni huu ubo* wa bandia, ? kila siku najiinika mwenyewe wala sipati mwanaume wa kunitom*a vizuri kama Suley?, hao wote wasen*e na mafala tu, yani naweza dondokea kwa msukuma matoroli kama ndo hivi.” ?


05???

?Nilikuwa nawaza sana jinsi gani nisivyokuwa na bahati, ? kulingana na watu niliokuwa nikikutana nao kimapenzi kuwa wadhahifu sana kitandani, ? nikiombea sana Mr. Rom awe ni Romantic kuliko wote na hata awe mzuri zaidi ya Suley cha wote. ?

Basi nililala nikiwa na mawazo sana, ? hata sikukumbuka kufunga mlango wangu ulibaki wazi na nilikuja kushtuka asubuhi Lily akiwa tayari amesharudi kutoka kwa bwana yake. ?


“Kelele ya kwanza kwa Dija akee weuweee!!” ? Ilikuwa ni sauti ya Lily ikinitoa katika usingizi mzito. ?


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG