Search This Blog

Thursday, April 15, 2021

KHADIJA MTANUKO - 2

   


Chombezo : Khadija Mtanuko

Sehemu Ya Pili (2)


“Jamani Lily nini lakini?” ? Niliongea kiunyonge baada ya Lily kuanzisha utani wake. ?

“Naona leo umeamua kulala na mumeo kabisa na kwa baridi hili mama umemfaidi kweli.” Lily aliongea baada ya kuona lile bol* la bandia kitandani. ?

“Jamani asa ntafanyaje lakini best, wanaume wenyewe siku hizi ka dada zetu tu yani hakuna lolote chumbani zaidi ya kuchafuana na kuharibiana siku tu.” ? Niliongea kwa kupanic kidogo. ?

“Mama yangu, hujapata bwana wa kukukanda vizuri, kwani mliishia wapi na jamaa yako ya jana?” ? Lily aliniuliza. ?

“Sikuongea naye vizuri ila leo ndo anaenda kunimwagia sera mwenyewe.” ?

“Haha, we mkubalie tuu uone kama naye ni walewale tu.” ?

“Unafikiri shoo, ndo kilichobaki hizi nyeg* atazitoa nani kama nisipomkubalia na nikaona mambo yake yapoje!” ?

“Ndo kilichobaki Dija.” ? Lily alikuja kukaa kitandani na kulishika bol* la bandia na kuanza kunicheka. ?

“yani wewe unatakiwa kupata bwana kama niliyenaye kwa huu ukwaju wako usioisha, ila pambana wangu sikupi mama yangu labda nife kwa anavyonipukuchua mpaka anakera.” ?

Lily aliongea kunitamanisha.


“We nicheke tu navyohangaika mwenzako.” ? Niliongea kisha nikamnyang'anya muwa wangu usiokuwa na utamu halisi lakini wenye kuipunguza hamu yangu?, nikauweka mahala pake kisha nikajifunga kanga yangu vizuri na kuelekea ilipokuwa redio?, nikafungulia mziki wa wastani kisha nikasimama sehemu iliyokuwa na nafasi ndani ya chumba hicho nikijiweka vizuri kana kwamba nataka kufanya kitu. ?


“Haya sasa kumekucha tena mama kama kawaida yako!” ? Lily aliongea akiwa ananiangalia ninachokifanya na alikuwa anatambua ni kipi kinachoenda kufanyika na alikuwa ameshazoea kuniona nafanya hivyo kila mara. ?

Sikumjibu kitu, ? nilijitayarisha na tayari kwa kuanza kufanya nilichokusudia. ?



***

Kutokana na aina ya muziki niliokuwa nimeweka, ? nilianza kuyakata mauno kuendana na ule mziki, ikiwa ni mazoezi yangu ya kila siku niliyokuwa nimejiwekea ili kulainisha kiuno changu, ? kilichokuwa kimeanza kuiva haswa kwa mizunguko ile ya kukikata kuanzia kusimama, kuinama mpaka kuchuchumaa kwake. ?

Nilikuwa najifua vilivyo yani usiombe nikutane na mb** yako nitakavyo kuwa naibania na kuiachia kwa ndani kisha kuachia tako moja juu jingine chini, ? na ndiyo mazoezi yangu niliyokuwa nikiyafanya sana kwani nilikuwa nikizipitia sana Video clips zilizokuwa zikitumwa kwenye yale magroup mengine ukiachana na la Makungwi. ?


? Ukija kwangu legelege kama wale maEx zangu na haya mauno niliyokuwa nikijifunza kila siku, ? nakupa sekunde 5 tu tena uwe umepiga tako zako 3 nakumwagisha mapema sana, ? bora uje kwangu umekunywa mchuzi wa pweza ama umetumia putururu hapo kidogo unaweza kwenda hata Tako zako 18, ? kama utaniachia nikuonyeshe alichonipa Kungwi?, lakini mpaka muda huo aliyeniweza alikuwa Suley tu sio hao wengine bao la kuku. ???


“Mh!, unazidi kubobea mama angu, hilo uno safari hii ukikutana na Suley ataeleza, naona Makungwi wako wa WhatsApp wanazidi kukufua.” ? Lily aliongea nilipokuwa nimemaliza kucheza ule mziki kwa kurudia rudia. ?

“Kawaida buana, afu una tabia mbaya sana, mwenzangu ushafundwa hutaki kunifunda ama unataka nikipata bwana mzuri niachike sio?.” ? Nilimuuliza Lily.

“Amna sio hivyo best, muda tatizo ila naona unakuja kuja karibu utaanza kunizidi sasa.” ?

“Mmh!, mara ngapi nakwambia unifundishe hutaki, unaishia kunilingishia na mtako wako wa kizaramo.” ?

“Hah, basi mama itabidi nikupeleke kwa aliyenifunda manake makazi yake rasmi kayahamishia hapa dar.” ?

“Wewe, lily usinambie!” ?

“Eeh, ndio lakini kwa wewe umebakiza vitu vichache tu atakavyokufundisha.” ?

“Mmh! Kweli?” ?

“Ndio Dija.” ?


Nilifurahi kusikia Lily akiniambia vile, kwamaana nilikuwa nikimuomba sana anifundishe, ? nilikuwa natamani sana kuwa kama yeye, ? alivyokuwa na kiuno laini cha kuyakata mpaka nilikuwa namuonea wivu. ? ingawa kuna vitu nilikuwa najifunza mwenyewe lakini bado nilikuwa na kiu ya kujua mengi. ?


06???

? Basi nilipomaliza kufanya mazoezi yangu nikaingia bafuni kutoa kijasho kilichonitoka wakati wa kuyakata, ? na nilipotoka nilianza kujiandaa kisha nikaondoka na kumuacha Lily aliyekuwa analalamika hawezi kutoka, ? asubuhi hiyo kutokana na kitom*o alichoambulia jana yake. ?

Na safari yangu ilikuwa ni kwenda katika biashara yangu ya nguo Kariakoo na ndiko huwa nachukua muda mwingi sana kufanya mambo yangu, ? sikuwa mdangaji bali mtafutaji wa kidogo nilichokuwa nimebarikiwa. ?


?Kidogo nilifanikiwa kuajiri katika duka langu, ? kwani muda mwingi nilikuwa sio mkaaji, ? hivyo nilikuwa naenda mara chache kutembelea hata kushinda huko pale itakapobidi. ?

Siku hiyo nakumbuka nilishinda pale dukani kwangu na vijana wangu, ? na mida ya mchana nikiwa naendelea na mambo yangu nilipokea simu kutoka kwa Mr. Rom. ?


“Hellow Mr. Rom” ? Niliongea baada ya kupokea simu yake. ?

“Yes Dija za toka jana” ? Mr. Rom aliongea lakini kwa sauti fulani hivi ya unyonge. ?

“Ni nzuri hofu wewe” ? Nilimjibu. ?

“Ni njema kiasi chake.” ? Alizidi kuongea kinyonge. ?

“Vipi kuna tatizo Rom.” ?

“ Ndiyo Miss kuna tatizo kidogo limejitokeza, ile ahadi yetu ya kuonana leo jioni haitakuwepo, nimepokea simu ya msiba usiku wa kuamkia leo hivyo nipo safarini.” ?

“Mungu wangu, nani tena?” ? Nilishtuka kusikia anamsiba. ?

“Ni Baba yangu mzazi Dija.” ? Alinijibu kwa hisia sana kitu kilichonifanya hata mimi niguswe kwa msiba huo. ?

“Jamanii so sorry mpenzi, kwahiyo unadrive wewe gari au umepanda bus?” ? Ilibidi nichukue nafasi ya kumfariji kama mkewe ingawa hakuwa bado amenitongoza kwani nilijua kufanya hivyo kidogo hata stress zake zingepungua. ?


“Ndio nipo na gari yangu ila rafiki yangu ndiye anayeendesha.” ?

“Afadhali, basi niwatakie safari njema na pole sana kwa msiba” ?

“Asante, tutawasiliana nikifika.” ?


Tuliagana kisha akakata simu, ? na nikaanza kumuonea huruma sana kwa kile alichoniambia na kwakuwa sikuwa na chakufanya basi niliendelea na mambo yangu kama ni kifo tumeumbiwa wote. ?


06???

Sikuacha kuwasiliana na Rom?, na nilichukua nafasi hiyo kuweza kumfariji, kwani nilijua ni wakati wake mgumu sana anaoupitia, ? na kiukweli kadri nilivyozidi kuongea naye kila mara ndivyo ukaribu wangu kwake ulivyoongezeka, ? hata kuna wakati nilianza kuhisi kama kweli Mr. Rom ameanza kuchukua nafasi kubwa ya maisha yangu na ni kitu ambacho sikuwa nacho kabla yani kifupi nilianza kumpenda Rom. ?


“Mamaa wa biashara, naona ndo unaingia sasa.” ? Alikuwa ni Lily akiongea baada ya kutoka katika biashara zangu. ?

“Ndo mie mama angu, za hapa?” ? Nilimjibu Lily nikijitupa kwenye kochi sebuleni. ?

“Ni nzuri za utokapo Shoo” ? Lily aliongea. ?

“Ni njema pia, nikajua sitakukuta hapa nyumbani manake we na bwana ako!, ni pete na kidole.” ? Nilimjibu Lily. ?

“Hapana buana, ameniaga leo asubuhi anamsindikiza rafiki yake msibani.” ?

“Mh! Wapi huko shoga yangu?” ?

“Kanambia wanaenda mbeya.” ?

“Mh! Mbona kama nahisi kitu hapa Lily” ?

“Kitu gani Dija.” ?

“Unajua yule mkaka wa jana ameniaga amefiwa na baba yake na ameenda Mbeya naye.” ?

“Mmmh usinambie kwani anaitwa nani yule kaka?” ?

“Anaitwa Ramsey” ?

“Ramsey au ni Mr. Rom?” ? Aliniuliza Lily akinifanya niinuke kidogo nimsikilize. ?

“Mmh!, ndio shoga yangu, ulimjulia wapi Mr. Rom?” ? Nilimuuliza. ?

“Yani Dija kama yule kaka ndo huyo Rom, mwenzangu unabahati sana?, huyo kaka ni rafiki wa bwana angu Andrew kila mara huwa anamzungumzia nikiwa naye ila kwa bahati mbaya hatukuwahi kuonana naye.” ?


“Mmh! Kwahiyo unamaanisha Andrew na Rom ni marafiki wakubwa?” ?

“Eeh ndio shost angu ndo maana nakwambia unabahati sana mama yangu.” ?

“Kwanini niwe na bahati.” ?

“Shida zako na hizo nyeg* zako zimeisha kwanzia leo.” ?

“Hahah! Usitake nicheke mwenzio.”

“Kweli ndio unafikiri Andrew atakubali rafiki yake akupoteze kisa kuhangaika na kutafuta mkunaji jamani?” ?

“Mmh! Usinambie mama angu.” ? Niliongea nikianza kufuharia kusikia hicho kitu. ?

“Kweli ndio sasa hapa mama angu kesho nakupeleka kwa kungwi ukaanze kujifunza mambo mama angu sitaki uniangushe kwa rafiki wa bwana angu, ? alafu isitoshe na anavyojua we ni rafiki yangu na ukaniangusha wakati mie namliza kila mara ataona kama me nimbinafsi sana kwako.” Lily aliongea. ?


“Bora hata umejishtukia yani bora umpigie umpe taarifa kabisa kungwi wako nikaanze kujifua mapemaa kabla ya Mr. Rom hajarudi akute nishaiva Dija mimi.” ? Niliongea na tukaanza kucheka kisha kweli Lily akampigia huyo Kungwi wake kumjulisha na safari ya kesho yake ikawa ya uhakika. ?


Haya sasa!, Bibie Anataka akajifue tena vilivyo!!.

Mambo ndo kwanza yanaanza.



***

Kesho yake kama tulivyokuwa tumepanga, ? tulienda kwa Kungwi, bibi Kigalula na tulipofika, aliweza kutupokea vizuri kwani alikuwa anafahamiana sana na Lily toka huko Uzaramoni. ?

“Haya bibi mgeni wako ndo huyu, me sikai sana kuna kazi nafwatilia, yaani umkaange kama ulivyokaangwa bibi yangu.” ? Lily aliongea wakati tayari nimeshaanza kuyazoea mazingira ya pale nyumbani kwa bibi kigalula. ?

“Hilo tu mbona dogo sana kwangu Lily, nilivyo kupika ndo ntampika mwenzio.” ? Bibi kigalula aliongea, na kwa kumuangalia usingedhani ni mtu mzima, alikuwa bado ni mbichi kabisaa, na kwa wakati ule nilianza kujiuliza amewezaje kujitunza kiasi kile, ila jibu likanijia moja tu.. Tembea ujionee mengi. ?


“Haya Karibu mgeni wangu, niite bibi kigalula, nimgalulaji na ntakugalula haswa, njoo tuongee ndani tusiwafaidishe wapita njia.” ? Bibi aliongea baada ya Lily kuondoka akiniacha naye na sauti yake mbichi ya kidada ukilinganisha maumbile yake yalikuwa bado teketeke ya udada nilibaki nikimshangaa tu. ?

Nilimfuata mpaka ndani kwake?, nilipoingia nilipokelewa na marashi ya aina yake, hata nikaanza kushangaa hapo ndani kwake palivyo kuwa. ?


“Hadija, mambo yetu ni ya chumbani hatufanyiagi sebuleni nifuate usiogope, umeshafika, jisikie uko nyumbani.” ? Aliongea yule bibi na ikabidi nimfuate mpaka chumbani kwake, na huko nilikutana na vikolokolo vyake kibao, alivyokuwa amevipangilia kinadhifu haswa. ?

“Karibu ukae, mbona unaonekana unaogopa sana yani ukiwa na mimi jione kama upo na shoga yako Lily.” ?

“Hapana bibi, ntazoea tu si unajua ugeni nao ulivyo na sijakuzoea.” ? Niliongea nikiwa nakaa katika kochi lililokuwa hapo chumbani. ?

“Sawa, sasa kabla ya yote nikuulize kitu, una mume au mchumba?” ?

“Anh!, yupo ila yuko mbali.” ? Nilimjibu na kichwani nilikuwa namuwaza Mr. Rom ingawa bado hakuwa amenitongoza ila nilijua tu lazima atakuja kwangu tu. ?

“Mjukuu wangu, ingekuwa vizuri ukawa naye karibu, ila sio mbaya ntajua cha kufanya.” ?

“Kwani kuna tatizo bibi?” Nilimuuliza nikiwa sijui lengo lake ni lipi. ?


“Hapana najua bado huwezi kuelewa ila, usiwaze kwa hilo, naomba uvue nguo zako zote Bibi nikuangalie.” ? Nilishtuka kidogo kusikia vile ila sikuwa na ujanja niliinuka na kuanza kutoa nguo moja baada ya nyingine, nikiwa najiuliza anataka kufanya nini kwangu huyu bibi Mgalulaji. ?


07???

“Dijaa vua nguo zote, unanionea aibu mimi tena?” ? Bibi kigalula aliongea baada ya kuwa nimevua nguo zote, nikibakisha Chupi na sikuwa na la kufanya nikavua pia, na hapo nikabaki mtupu. ?

Nikamuona anaanza kutupia macho kuanzia dodo zangu mpaka kwenye sufuria la uji wangu, ? na alipofika hapo alionekana kutoridhishwa kwa kile alichokiona na hapo nikamsikia akinambia. ?


“Dija una mwili mzuri sana, kuhusu hizo Nyonyo zako sina tatizo nazo upo vizuri, ngozi yako pia unajitahidi kuitunza ila tatizo unalo moja tu.” ? Aliongea nikiwa bado sijui anamaanisha nini. ?

“Tatizo gani Bibi.” ? Nilimuuliza. ?

“Uke mama yangu, uke wako umeuharibu, mwanamke unatakiwa kuwa na Ku*a ya ghorofa, bibie hata kama bwana ako akianza kupanda ngazi za ghorofa asichoke hata zikiwa ghorofa 20 .” ? Aliongea nikabaki naguna tu na kichwani nikifikiria ule mchi wangu wa bandia niliokuwa nikiuingiza kila mara kwenye kipapatio changu nikajua ndo ulioniharibia.?


“Embu lala chali hapo kitandani nione kitu.” ? Bibi kigalula aliongea, kisha nikafanya kama alivyoniambia na baada ya hapo nikamuona anaanza kupekenyua ku*a yangu mithiri ya mbwa anayetafuta mfupa jalalani, ? alipojiridhisha akaingiza kidole chake kirefu ndani ya shimo langu, kisha akakituliza kidole bila kuchezesha, na hapo ndipo akakipeleka juu kisha chini, ? kisha kushoto na akamalizia kulia akizigusa kingo za uke wangu mpaka pale alipojiridhisha akakitoa kile kidole na hapo nikamuona akitikisa kichwa. ?


Alipokuwa anafanya hayo yote, ? nilikuwa namshangaa tu muda wote yani kuna muda nilihisi ananifanyia makusudi kabisa kwa anachokifanya, kumbe alikuwa na maana yake mwenyewe. ?

“Dija kwanza nikupongeze kwakuwa msafi, ila inatakiwa nikutengenezee dawa ubane huo uke wako ulio legea kama ndala za guest, ? yani uwe mpya kabisaa, unavyoniona mimi bibi yako hapa nikikufunulia uchi wangu hautaweza kuamini kabisa, haitakiwi hicho kinem*e chako kikaekae tu kihasara bila kubanwa.” ? Aliongea kisha akatulia kidogo na kuendelea. ?


“Nataka pia joto la ku*a yako liongezeke, maana nimepima hapo haliko vibaya kiivo, sasa leo hatutafanya kitu, nitakuelekeza vitu vya msingi vya kufanya alafu nikuelekeze na hiyo dawa kesho uanze kutumia”. ?

“Sawa bibi nakusikia na ndiyo maana nipo hapa.” ? Niliongea kisha akaanza kunifunulia ukurasa wa kwanza. ?


07???

“Kitu cha kwanza mwanamke unatakiwa kuwa msafi na ndio maana nikakwambia nikupongeze kwa hilo?, mambo mengine ni ya kawaida sana ila kubwa kuliko yote, ni hili la kumkamata mwanaume akili kwa mambo ya kitandani.” ? Bibi kigalula alianza kunipa mbinu za kumteka na kumjambisha bwana ako, yaani ukimpa mara moja tu lazima akuwaze tena na tena. ?


“Wanawake wengi siku hizi hawawi makini na hivi vitu vidogo vidogo vya kumteka mwanaume, ? na hapo ndo wanaishia kuachika kila mara, siri kubwa ya kudumu na bwana ni kuwa mjanja wewe, yeye umfanye zuzu tu kwako, nitakupika bibi yangu, na kila nijuacho ntakupa kwa kukukoleza, ukashindwe wewe tu huko.” ?


Bibi aliongea mambo mengi sana, ? ambayo hata me mwenyewe nilikuwa nayadharau sana lakini kubwa kuliko alitaka niive kitandani hayo mengine yalikuwa ya zaida, na nakumbuka siku hiyo nilishinda pale nyumbani kwa bibi Mgalulaji tukiongea mengi mno. ?


“Alafu Dija kabla sijasahau, ngoja nimpigie simu kijana wangu mmoja alete dawa ili kesho nikutengenezee uwe na Ku*a ya Ghorofa.” ? Aliongea kisha akachukua simu yake na kumpigia huyo mtu wake, na hapo nikatega sikio nimsikie anacho kiagiza, alafu vitu vyenyewe hata havikuwa vigeni sana masikioni mwangu kwa maana nilimsikia akisema. ?


“Utachukua majani ya mbaazi na mgagani” ? Nilijiuliza tu chinichini sikupata jibu ila nikaamua tu nitulie ila nikashindwa kuvumilia. ?

“Kwahiyo bibi hayo majani ndio dawa yenyewe?” ?

“Ndiyo Bibi, ntakuelekeza kesho tutakapokuwa tunatengeneza.” ? Alinijibu, na sikuwa na la kuuliza tena, na kwakuwa tulikwisha ongea mambo mengi ya kuanzia, basi sikuwa na la ziada kuendelea kukaa hapo, ilinibidi nirudi nyumbani kwa siku hiyo. ?


Usiku nikiwa nimejipumzisha?, Nilipokea simu kutoka kwa Mr. Rom wangu, na usiku huo naweza nikasema ulikuwa ni bahati kwake?, kwani ndiyo siku niliyoamua kuanzisha naye mahusiano, baada ya yeye kunieleza kila kitu anachojihisi kwangu kwa maana ya kunipenda na kutaka kunioa kabisa?, kwake lilikuwa ni jambo zuri lakini kwangu lilinipa mawazo ya kufikiria kama kweli ataniweza au ndo nitamuacha kama wale wengine, japo kuna kiroho kilikuwa kinasuta ila basi tu, sikuwa na jinsi. ?


Ingawa nilijua cha kufanya kwake hata angelikuwa na mapungufu kama wale wengine.? na sikutaka tena nianze kujisumbua kutafuta mtu mwingine tena wa kuwa naye. ?

Mr. Rom kwa muonekano alikuwa vizuri, ukiachana na pesa zake,? ni mtu niliyekuwa nikijipa taswira za jinsi mwili wake ulivyojijenga na hata nilipomvua nguo ingali amezivaa na kuzizoom sehemu zake za Manoneo?, nilijipa moyo huenda angekuwa vizuri kuliko wengine ili nitulie naye hata ikiwezekana, awe mume wangu kabisa. ?




***

Tangu siku hiyo tulianzisha ukaribu wa kimapenzi ingawa bado alikuwa kwao msibani na sikujua siku yake ya kurudi, hivyo nilianza kujenga matamanio juu yake. ?


“Dija vipi naona unacheka na simu mwenyewe, Mr. Rom anakuchekesha nini?” ? Lily alinuliza, tukiwa chumbani muda huo, tukijipumzisha?, na kitu nilichokuwa sijakwambia ni kuwa nilikuwa naogopa sana kulala mwenyewe na ndiyo maana akawepo rafiki yangu Lily, kifupi mtaa ulikuwa na waswahili wengi sana. ?

“Umejuaje kama ni Rom?” ? Nilimuuliza Lily?.

“Mmh!, sio kawaida yako kwa maana navokujua!” ?

“Umebahatisha tu, Ni yeye ndiyo, alafu ujue hatujaongea kabisa kuhusu Bibi yako Kigalula. ?” Nilianzisha mada nyingine tukiachana na ya Mr. Rom. ?

“Enhe!, Shoo umemuona bidada mzee?” ?

“Nimemuonaa, yani anamambo sijapata kuona.” ?

“Mmeanza na nini leo, kwani?” ?

“Yaani, alikuwa ananipima mwenyewe na kunichunguza mwili yule bibi mh!, mbona ana hatari short angu!” ?

“Hapo bado Dija, Hajakwambia kitu kuhusu Ku*a yako.” ?

“Kaniambia imelegeaa, kaagizia dawa zake mwenyewe kesho anaenda kunitengenezea.” ?

“Aah!, una bahati sana mwenzangu, me nilikuwa naambulia hata matusi na ule utoto wangu nilivyokuwa mchafu wa mwili mpaka roho!” ? Lily alizidi kuongea na tukazidi kuongea mengi kuhusu hayo mafunzo niliyoanza na ukurasa wa kwanza kati ya kurasa 100. ?


Siku iliyofuata kama kawaida Lily alienda kufanya mambo yake?, na me nikaenda kwa Bibi mgalulaji, kwani tayari nilikwisha ijua sehemu hiyo, hivyo haikuwa shida kwangu kufika. ?

Nilipofika nimlikuta Bibi kashaandaa vifaa vyake, kwani tayari zile dawa zake alikwisha letewa, ? na hapo ndipo aliponipa kazi ya kuponda ponda yale majani ya Mbaazi na mgagani kama unavyofanya kisamvu?, kisha baada ya kumaliza hivyo alinielekeza nichanganye na asali mbichi na baada ya hapo nikavaa kama pedi kwa muda wa nusu saa?, na nilipokuja kutoa nikajisafisha vizuri na wakati wote huo niliokuwa nimevaa hiyo dawa nilihisi kweli ku*a inapatwa joto. ?


08???

“Dija hiyo ni dozi yako ya wiki nzima, utakuwa ukitumia hivyo, haya sasa njoo tuendelee na mambo yetu sasa.” ? Bibi kigalula aliniambia wakati nimetoka bafuni kujisafisha ile dawa kwa maji baridi. ?

Nilipatwa na mshangao kidogo nilipomkuta yupo uchi kitandani, ? hasa mwili wake jinsi ulivyokuwa, mwenye ngozi nyororo isiyokuwa na mkunjo, chuchu zimemsimama utadhani mtoto wa darasa la sita?, ukiangalia sehemu zake za machovyeo, zilikuwa zimevimba na kubana vilivyo?, kiuno chake kilichokuwa kimebeba shanga kukipendezesha kiuno chake kitu kilichomfanya azidi kung'ara bibi yule utadhani bado ni binti, kumbe ni mtu aliyekula chumvi zake. ?


“Bibi umewezaje kujitunza kiasi hiki?” Ilibidi nimuulize.

“Hadija, mbona rahisi sana ukiwa asailia tu basi utakuwa kama mimi.” ? Alinijibu kifupi tu, na nikaelewa alikuwa anatumia miti shamba. ? Sikuchoka kumuuliza maswali yaliyopelekea aanze kuniambia mambo mengi mnoo mpaka mengine nikahisi siwezi kufanya kabisaa. ? lakini kuna moja lililonivutia, ilinibidi nimuulize. ?


“Hivi bibi hizo shanga zina maana gani, nimezipenda sana jinsi zilivyopendezesha kiuno chako.” ? Nilimuuliza nayeye bila hiyana alianza kunifundisha. ?


“Hadija, siku hizi wadada mnapenda sana kuvaa hizi chachandu za kiuno pasipo kujua nini maana yake?, wengine wanavaa tu kama urembo lakini hizi zinamaana kubwa sana katika mapenzi.” ? Alitulia kisha akanyenyuka pale alipokuwa, akaelekea mpaka katika kibegi chake kidogo, ? nakutoa shanga nyingine zilizokuwa zinaonekana ni mpya, kisha akaziweka kitandani na kuanza kunielezea moja, moja. ?


“Katika mapenzi Dija, hizi shanga za pink, blue, na hizi nyingine hazina maana kabisa kiunoni, hizi ni urembo tu”? Aliongea akiwa ananionyesha moja moja, wakati huo nikiwa namsikia kwa umakini sana. ?

“Zenye maana kabisa ni hii nyekundu, nyeupe na nyeusi.” ? Aliongea kisha akanyamaza kidogo. ?

“Kivipi bibi?” Nilimuuliza nikiwa na shahuku sana ya kutaka kujua zaidi. ?


“Yani ni kwamba, ukiwa na mtu wako anayejua matumizi ya hizi shanga kumaanisha kuwa Hii nyekundu unavalia ukiwa katika siku zako, ? yani huwa inamrahisishia yeye atambue mapema kama sio siku yake sahihi ya kufanya naye mapenzi.” ? Aliongea na hapo ndipo aliponifungua akili na nikatamani azidi kunielekeza. ?


08???

“Hii nyeusi pia ukivaa, utamjulisha kama unaweza kumpa lakini uwanja wako haujapaliliwa majani, ? hapo sasa ndo ataamua yeye kama akusaidie kupalilia au akuache upalilie wewe mwenyewe.” ?

“Na hii nyeupe ukiivaa inamaanisha upo tayari, huna kizuizi chochote cha kutoweza kumpatia haki yake.” ? Alimaliza kuongea hayo. ?

“Kumbee!, nilikuwa sijuii bibi kama zinamaana kiasi hicho.” ? Niliongea lakini nilimsikia akisema. ?


“Hizi chachandu hazina maana hiyo tu mjukuu wangu, chachandu hizi ukivaa kiunoni zinamvutia sana mwanaume na kumkamata akili yake, ? pindi akishaziona tu au kuzigusa, na hakuna kitu kizuri kama kumkamata akili bwana wakati wa tendo.” ?


“Mmh!, mbona haya nayo mapya?” ? Nilimuuliza akazidi kuongea. ?

“Kubwa kuliko bibi yangu, kazi ya hizi chachandu ukipata bwana anayejua kuzichezea na ni fundi wa kucheza nazo, basi hutatamani mchezo uishe mapema kwa raha yake”. ?

“Mh!, mbona makubwa!, kwahyo zinachezewaje sasa mbona umeniacha njia panda?” ? Niliongea na hapo akatoa shanga tatu, kisha akanivalisha na kunisukumia kitandani. ?


Sikuelewa anachotaka kukifanya, ? ila niligundua baada ya yeye kuanza kuzichezea zile shanga zilizo kizunguka kiuno changu, ? nilihisi akianza kuzizungusha zile shanga kukitekenya kiuno changu, na hapo nikahisi ulimi wa moto ukianza kupita sehemu ambazo shanga zilikuwemo. ?

Nilibaki mdomo wazi tu baada ya yule bibi kufika katika kinena changu yaani sehemu ya juu ya ku*a yangu, ? na kwakutumia zile shanga na ulimi wake alizidi kupitisha na kulamba juu ya kinena, na asikwambie mtu nilijikuta napatwa na msisimko wa ajabu, ? ukilinganisha na ile dawa niliyokuwa nimetoka kuitoa muda sio mrefu niliyohisi imeniongezea nyeg*,? yaani nilianza kushika mashuka na kuyaachia mpaka kitanda chote kikawa kimejivuluga kwa mihangaiko yangu. ?


“Hadija, hayo ndo mambo ya chachandu ukimpata mchezeaji.” ? Bibi kigalula aliongea baada ya kunikatisha utamu uliokuwa umenikolea moto haswa. ?

Bibi Kigalula hafai kwakweli, ? mpaka nilianza kupiga hesabu ya ujana wake kwa jinsi alivyokuwa akiwasumbua vijana, na huo ulikuwa ni ukurasa wa pili tu kati ya 100 alizokuwa nazo, ? nilitamani anifundishe mambo yote siku hiyohiyo lakini haingaliwezekana. ?




***

“Dija hiyo ni kwa upande wetu, lakini kwa upande wa kiume?, chachandu hizi tunazitumia kuamshia Mb*o iliyolala yaani hizi chachandu ukizipitisha kwenye uume wake kwa kuzitelezesha au kuzipitisha kwa kuvingirisha?, lazima mambo yajipe mapema haswa, yaanii ndio maana nilikwambia mwanamke unatakiwa ujue kucheza na kila kona ya mtu wako?, hata akitoka nyumbani ajue ndani kaacha mtu, popote pale lazima atakukumbuka kwa utundu wako mama angu." ? Bibi kigalula alizidi kuongea. ?


“Mh!, Bibi kweli we mgalulaji kama jina lenyewe lilivyo, sikuwa nafikiria kama kuna mambo mazito kiasi hiki.” ?Ilinibidi nishindwe kuuficha mshangao wangu. ?

“Hayo mbona machache mjukuu wangu.” ? Aliongea na kuanza kunifungulia kurasa yake ya tatu ya mafunzo. ?


Hapo alikuwa akinielekeza jinsi ya kufanya ukiwa ndani ya chumba?, kuanzia hatua ya kwanza mpaka ya mwisho kabisa ya kumpa bwana ako Ovary. ?

Kuna kitu bibi kigalula alinionyesha hata nikakitamani, niwe nacho muda huohuo?, ilikuwa ni jinsi ya kucheza na kiuno, na kwa jinsi bibi yule alivyokuwa nacho laini akikikata kuanzia maungio yake mpaka ule mning'inio wake?, jamani nilimtamani bure bibi yule kwa jinsi alivyokuwa anajua mpaka anakera, ? na nilianza kujiuliza kwa jinsi gani akiwa juu ya Vuz* la mwanaume sijui hata anaweza kumliza vipi. ?


“Hadija, kwa leo yanatosha tuliyofanya?, ila kesho naomba usije kuna sehemu huwa naenda kuwafunda watu, hivyo sitakuwepo hapa mpaka kesho kutwa, ? ila ile dawa yako endelea nayo mpaka wiki nzima, matokeo utayaona ndani ya wiki, utafanya kama nilivyokuelekeza, ? alafu na hayo mazoezi ya kiuno niliyokuonyesha nayo uwe unafanya kila mara?, kwaamana nimeona hauko vibaya ila hiyo kesho kutwa ukija ntakupika vizuri haswa!” ?


Bibi kigalula aliongea hayo, ? na kunipa ratiba zake, kisha tukabaki tunaongea mambo ya kawaida mpaka ilipofika muda fulani nikaamua kuondoka na kurudi kwangu. ?

Nakumbuka siku hiyo?, nilipofika nyumbani, ni siku ambayo niliamua kuacha kutumia ule mchi wa kujichovyeka, ? kwa maana ya kuharibu ile Mb*o ya bandia, kwani ilikuwa inaniharibia sana, hata kuniathiri kwa upande mwingine. ?


09???

Basi kutokana na uchovu niliokuwa nimejizolea siku hiyo, ? nililala mapema sana hata nikisahau kabisa kama kuna kula, kwani Lily hakurudi siku hiyo, nahisi alikuwa kwa bwana ake, hivyo nililala mwenyewe pale ndani. ?

Nilikuja kushtuliwa na mlio wa simu yangu mida ya usiku sana na mpigaji alikuwa si mwingine zaidi ya Mr. Rom. ?


“Hello mpenzi.” ? Niliongea kwa sauti iliyokuwa imejawa na uchovu sana. ?

“Hello Dija, Mbona hupokei simu zangu, kulikoni?” ? Lilikuwa ni swali nililopokea toka kwa Mr. Rom kumaanisha kuwa alikwisha nitafuta sana.

“Nilikuwa nimelala honey, simu yako ndiyo iliyoniamsha.” ? Nilimjibu. ?

“Oho!, polee sana kwa uchovu.” ?

“Asantee, nambie mume wangu.” ?

“Aah!, me sina la kusema, zaidi ya kukukumbuka sana, na hivi karibuni nitarudi kwaajili yako.” ? Aliongea na hapo kidogo nikatabasamu kwani nilikuwa nimeanza kumkumbuka pia. ?

“Wow! Utarudi lini Rom?” ? Nilimuuliza nikiwa na shauku ya kutaka kujua. ?


“Usiwaze, ntakujulisha mpenzi, nakumiss sana mke wangu.” ?

“Jamani, nimekumic pia Rom.” ? Niliongea na hapo tukaanza kubembelezana tu.


Baada ya kumaliza kuongea na Rom?, nakumbuka nililala siku hiyo, na asubuhi nilipokuja kuamka, ? niliamkia mazoezi ya kiuno kama kawaida yangu, lakini safari hii nilikuwa nafuata vile nilivyoelekezwa na Bibi kigalula, ? na hapo nilianza kukumbuka alivyokuwa akinielekeza na kukikata vilivyo?, kiuno chake na wakati naendelea kufanya hivyo Nilimsikia Lily akinigongea mlango wangu kama ilivyo kawaida yake kurudi mapema ikiwa alilala kwa bwana ake Andrew. ?


“Yani nagonga mlango muda wote huo hata hunisikii jamani Dija!.” ? Yalikuwa ni malalamiko ya Lily baada ya kumfungulia mlango. ?

“Hapana buana, nilikuwa sijakia afu si unasikia sauti ya redio shoga yangu.” ? Nilimjibu. ?

“Naona unafuata nyayo za bibi yako Kigalula.” ?

“Haha, amna mbona siku zote ndo huwa nafanya jamani!” ?

“Mmh!, Bibi yako kakuongezea vitu kwakweli, embu endelea kuyakata nikuone.” ? Lily aliongea kwa kunitania, ila kwakuwa nilikuwa sijamaliza kufanya mazoezi yangu na akanikatiza basi me niliendelea kufanya yangu nikimuacha ananikodolea macho.?


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG