Search This Blog

Monday, January 24, 2022

NINAH - 5

   

Chombezo : Ninah

Sehemu Ya Tano (5)


“sikia, sipo kwa ajili ya fedha kwa mr Edgar, na nitakuthibitishia hilo, kwa kuwa nitaolewa naye akiwa hivyohivyo, na sitataka hata robo ya mali zenu,”nilisema Tsoza akanitazama vizuri kisha akasema: “ nakupa fursa ya mwisho, wewe kahaba, nitakuongeza dollar 2000.”

Aisee kusikia neno hilo nilikasirika na kutaka kumvaa, lakini nilianza kulia, Mama Sele akaingilia na kuuliza kulikoni, Tsoza akaondoka zake kwa dharau.

Muda si mrefu nikiwa naugulia tusi la Tsoza tukaitwa kumtazama mgonjwa maana alikuwa ameanza kuongea, na mtu wa kwanza kuniulizia ilikuwa ni mimi.



NINAH 43

Niliingia mle wodini kwa aibu Mungu tu ndiye aliyekuwa akifahamu kilichokuwa kikiendelea ndani ya nafsi yangu. Nilimkuta Mr Edgar amelala kitandani, madripu yakimmiminikia kwenye mishipa yake ya damu, alinitazama na kuongea kwa shida huku mdomo wake ukiwa umepinda kwa pembeni.

Aliongea kwa tabu sana lakini nilimsikia vyema.

“Ninah..nenda kamtafute Brighton..” wakati anasema hivyo nikajikuta naangusha michozi mfululizo.

“siwezi Mr Edgar, siwezi, nitakuwa na wewe zaidi sasa kuliko muda wowote,” nilisema kwa tabu.

“sikutaki Ninah ondoka!” aliongea kwa hasira kidogo Mr Edgar, lakini sikutaka kuondoka wala nini, na hapo hapo Tsoza akaingia mle ndani, alionekana kunichukia wazi kutokea mwanzo.

“Nadhani hataki hela anataka roho yako, brother!” aliongea Tsoza akimwambia Mr Edgar.

Niligundua Mr Edgar alimtazama Tsoza kwa jicho kali mno Tsoza hakuonekana kujali sana kuhusu kaka yake kuugua, maana alikuwa akiniandama mno.

“nimeshangaa sana, jinsi gani mtu mwenye nguvu zake, kuanguka kisa kahaba huyu, kwani umri wako wote huo hujawahi kuona wanawake wazuri?” Tsoza alianza kuongea kwa dharau, akimwambia kaka yake.

“Sio kahaba, kuwa na heshima Tsoza!” alisema Mr Edgar akijitahidi kuongea kwa sauti yake ya mwisho.

“Niambie nielewe brother; hivi mwanamke gani atakayekubali kuwa na wewe ambaye huwezi hata kupanda mtungi, kama siyo kwa ajili ya hela zako! Niamini kaka ulikuwa unachunwa! Kama siyo niambie ni nini kilichokufanya ukapoteza fahamu na kupata stroke, kama siyo umemkuta na mwanaume mwingine,” aliongea Tsoza alikiwa anaukaribia ukweli kabisa, isipokuwa tu hakuwa ananitendea haki kwa sababu mwanzoni niliangukia kwa Mr Edgar kwa sababu ya Brighton, lakini nilipoamua kumpenda, Brighton akaibuka tena. Ndiyo anaweza kuniita kahaba, lakini siyo kahaba ; Ananionea.

Wakati huo Mr Edgar alionekana kujaa hasira lakini mwili wake uligoma kufanya chochote, akatulia tu akimtazama Tsoza kwa ghadhabu, iliniuma maana japo kuwa alikuwa amelala kitandani kwa ugonjwa niliomsababishia lakini alionekana kuwa tayari kunitetea tena na tena.


Ninah 44

“Tsoza, nimefanya kosa kama msichana, kiasi cha Mr Edgar kuishia hapa kitandani, nastahili kulaumiwa, lakini sipo tayari kuitwa kahaba na nitafanya chochote ili kulipia makosa niliyomfanyia kaka yako ili usinione kahaba machoni mwako!” nilisema kwa hasira lakini kwa kulalamika.

“utafanya kitu gani?” aliongea Tsoza kwa kebehi.

“kwanza tulikuwa tumepanga kuvishana pete na baada ya hapo tulipanga tuoane, na yote hayo nitayafanya,” nilisema huku nikiwa najua fika kuwa ni mtihani mkubwa najipa lakini sikuwa na budi, maana nimelikoroga lazima nilinywe hata kama halina sukari.

“wooh subiri kwanza, najua unapoelekea, unataka uoane na kaka yangu ukijua kuwa ukiwa naye kama mkewe utaingia kwenye mirathi kirahisi ndiyo? Nasikia wanawake wa kitanzania ndiyo biashara yenu siku hizi! Hamjui kutofautisha kati ya penzi na hela. Ndiyo maana ukawaacha wanaume wote saizi yako ukamchagua mzee kama huyu, ukijifanya kumvumilia matatizo yake yote kisa tu upate hela si ndiyo! Sitaki hiyo ndoa wala uchumba wenu. Kesho namchukua kaka naondoka naye Sauz na wewe nimekupa ofa ya hela, umekataa it’s over goldigger!” alifoka Tsoza.

“Sikia, sipo kwa ajili ya hela zozote wala mirathi yenu, kama huamini tuwekeane makubaliano kabisa kuwa sitataka kuingia kwenye mirathi yenu kivyovyote, tafadhali Tsoza, Mr Edgar alikuwa mkarimu na mwema kwangu, nikamkosea, naomba nilipie makosa yangu!” nilisema na kulia juu, huwezi amini Tsoza alinitazama kwa mshangao mno.

“Ooh sawa nimekubali tutasaini makubaliano yote, hata hivyo wewe unatufaa kuwa mdada wa kazi, maana hatuna mtu wa kumuangalia akiwa nyumbani, huko ndiyo tutaona umetengenezwa kwa udongo gani!” alisema Tsoza na kuondoka.

Mr Edgar akashangaa maneno yangu, nikamsogelea kwa sababu alikuwa akiongea kwa sauti ya chini.

“Ninah, sitaki… ondoka, unafanya nini?”

“hapana, MR Edgar nitatumia muda wangu kuhakikisha unatimiza ndoto ulizotaka kuzitimiza ukiwa na mimi, umeshateseka sana na mapenzi, sitaki moyo wako uniorodheshe na mimi pia kama mtesi wako!” nilisema kwa kauli thabiti.


“Hapana, Ninah; usiwe kama mimi, tumia muda wako kufurahia penzi lako na unayeamini unampenda, siyo mimi tafadhali. Huoni sina umbo tena?.” Alisema Mr Edgar.

“nimejifunza kitu kimoja Mr Edgar, siyo kila unayempenda utampata, wengi wametengana na wanaowapenda na mioyo yao inawauma hadi hivi leo, mimi ni nani hadi nijifanye nayajua mapenzi zaidi?” nilisema na kuondoka nikiwapisha wafanyakazi wenzake walioonekana kuwa na shauku kweli ya kumuona bosi wao.

“Ninah kila kitu kipo sawa!” aliniuliza Mama Sele wakati tunaondoka na kuelekea hotelini maana Mr Edgar alilipia mwezi mzima mbele hivyo hakukuwa na gharama yoyote zaidi.

Ikabidi nianze kumuhadithia Mama Sele kuanzia mwanzo hadi nilipofikia, alishangaa mno. Akanipa moyo kuwa hata yeye angekuwa katika hali ngumu wakati ule angefanya uamuzi kama wangu wa kutembea na Mr Edgar, isitoshe aliniambia hakuna mwanamke ambaye angefanya tofauti na nilivyofanya mimi kutokana na mazingira yaliyonikuta.

Nikapata moyo, tena akaniambia kwa muda huo sikupaswa kumtelekeza Mr Edgar kwa ajili ya Brighton ambaye yeye kwa kosa moja tu hata hakunisamehe.

“Usijifikirie vibaya hata kidogo, ni makosa ya Brighton pia lakini kwa sababu mwanamke wa kutupiwa lawama za usaliti siku zote, ndiyo maana amekuwa mgumu kukusamehe, lakini usijali achana naye na kwa sasa hutakiwi kufanya kosa lolote, mjali Mr Edgar Mungu atakulipia, hata kama huyo mdogo wake atakuvunja moyo kiasi gani,” alisema mama Sele.

Nilimshukuru mno maana kiukweli sikuwahi kudhania kuwa atawahi kuongea na mimi maneno yenye busara na kutia moyo kama hayo.

Asubuhi yake kama kawaida nilienda hospitali kumuona Mr Edgar, kama kawaida nilikutana na Tsoza aliyenisalimia angalau vizuri kidogo tofauti na siku iliyopita.

“Aaah Ninah! Kesho tutasafiri kuelekea Sauz, kaka atatibiwa kule, na kama umeazimia kufanya ulichokuwa unakitaka, niambie nikakate tiketi na kufanya utaratibu mwingine ukiwemo kusaini zile karatasi tulizoambiana kuwa hautapata chochote hata kama utaolewa na kaka yangu,” alisema Tsoza.

“Nimesema nitakuwa na Mr Edgar popote, na hizo karatasi nipe nisaini hata sasa,” nilisema kwa uhakika zaidi.


NINAH 46

“Ooh okey, tutaandaa utaratibu tukifika Sauz, kwa sasa kaongee na mpenzi wako,” alisema kwa kebehi Tsoza, nikaingia kwa Mr Edgar lakini hakuwa akiongea chochote, zaidi ule mdomo wake na uso mzima upande wa kulia ukiwa umemshuka kuashiria kuwa haufanyi kazi.

Ilinitisha mno. Jioni ile nakumbuka Brighton alinipigia na kuniuliza kulikoni, nikamtaarifu kila kitu kilichotokea. Akaonekana kunisikitikia, nikamshukuru kwa kuniunganisha na ndugu wa Mr Edgar na kukata simu nikiwa sijamwambia mipango yangu niliyoazimia kuifanya.

Zaidi kuanzia siku hiyo nilihakikisha sitaongea tena na Brighton, nikabadili kila kitu na kujipanga kufuta kichwani kumbukumbu zote za Brighton nilizokuwa nazo.

Nikakumbuka mateso yote niliyopitia Tandale, nilivyogombana na ndugu zangu kwa sababu yake, lakini hadi kufikia hatua ya kutembea na Mr Edgar kwa ajili yake, roho ikanitumbukia nyongo kuhusu Brighton japo nilishindwa kumfuta akilini nikaweza kumuwekea kama alama ya ghadhabu zangu na siyo kama mpenzi wa moyo wangu tena.

Kweli ilipofika siku iliyofuata, tulisafiri kuelekea Johannesburg na moja kwa moja kuingia katika jumba la kifahari ambapo Tsoza aliniambia kuwa hiyo ni moja ya nyumba za Mr Edgar.

Wakati huo Mr Edgar, akiwa kwenye kiti cha gurudumu nilimburuza mwenyewe kutoka kwenye gari hadi ndani ya jumba hilo lililokuwa kimya na pekee akiwa mlinzi tu mlangoni tu.

“Ninah, umetaka mwenyewe hii, sasa, wewe ndiye utakuwa ukimtazama Mr Edgar kwa kila kitu, ukiwa na tatizo lolote nipigie. Kila siku nitajitahidi kuja.” Alisema Tsoza kama nilivyokwambia taratibu alianza kuniongelesha kistaarabu tofauti na mwanzoni.

Nilikagua jumba zima na kujionea utajiri wa Mr Edgar hadi nikashangaa. Nakumbuka kipindi hicho ilikuwa baridi mno hivyo nikajifunza kuzoea mazingira haraka na kuhakikisha namhudumia Mr Edgar kuanzia kumuogesha kumfulia, kumsafisha, kumfanyisha mazoezi, kumlisha kumpikia kusafisha nyumba na mambo mengi mno. Kifupi kama Tsoza alivyosema nilikuwa msaidizi, yaani zaidi ya Hausigeli.

NINAH 47

Sikukataka kukata tamaa wala kukimbia, nikajipa moyo kama niliteseka kwenye shida huko Tandale miezi kibao hadi kufikia hatua ya kuuza miguu ya kuku na mlo mmoja, sitaweza kukata tamaa kwa Mr Edgar.

Nilikuwa mimi tu na Mr Edgar peke yetu yapata wiki sasa, Tsoza hakuja pale nyumbani na mimi wala sikumpigia simu, siku nzima nikiongea na Mr Edgar tu nikijitahidi kumchekesha na kumsahaulisha kuwa alikuwa akiumwa chochote. Mwenyewe mara kwa mara alikuwa akinishukuru na kuongea kwa tabu kuwa amekuwa na furaha mno katika kipindi hicho kigumu cha maisha yake tena alidai kuwa ni zaidi ya ndoto ya kuoana aliyokuwa anaiota kila siku.

Na mimi nilimhakikishia kuwa sitaondoka karibu yake. Akafurahi na kulala kwa amani nikiwa nimemkumbatia nyuma yake.

Nilimaliza wiki ya pili sasa, na ikabidi nimtafute Tsoza ili nimkumbushe ile ahadi ya mimi na Mr Edgar kuoana kama tulivyopanga ikiwa pamoja na kusaini hayo makubaliano kama tulivyopanga kuwa sitataka chochote kutoka kwao.

Nilipompigia alikuwa kama vile amesahau hivi, ikabidi nimkumbushe vizuri akaniambia nisijali kwani angeshughulikia jambo hilo haraka.

Na mimi nikatulia tu kusubiri, siku ya pili yake tu nilishangaa mlinzi anamfungulia mlango mama mmoja mtu mzima kidogo, ambaye aliingia ndani na gari yake na kushuka harakaharaka akitembea kuingia mle ndani.

Nilimsalimia lakini alinitazama vizuri kuanzia chini hadi juu kwa jicho kali, akanisonya na kumuulizia Mr Edgar, nilishangaa lakini kwa heshima tu nikamuonesha chumba alichopo akatangulia harakaharaka tena akionekana anaijua vizuri ramani ya jumba hilo. Nikamfuata kwa nyuma ili nihakikishe yeye ni nani hasa na ana shida gani na Mr Edgar.

Yule mama alipofika alimtazama Mr Edgar akimzungukazunguka na kuongea maneno ya Kizulu ambayo mimi sikuwa nafahamu, Mr Edgar naye akamjibu. Yule mama bado alikuwa akinitazama kwa jicho kali akizungumza kama vile alikuwa akiniongelea mimi. Kisha akaondoka zake haraka.

Ikabidi nimuulize Mr Edgar aliyefika hapo ni nani.

Akaniambia kuwa ni mtalaka wake yaani aliyekuwa mkewe wa ndoa.

NINAH 48

Ndiye yule aliyeniambia kuwa mara kadhaa alikuwa akimsaliti na kutoka nje ya ndoa hadi kufikia hatua ya kuomba talaka.

“Ameshangaa kukuona, alidhania ni uongo. Ameuliza nakulipa shilingi ngapi ili uwe na mimi katika hali hii! Nimemwambia sikupi chochote ndiyo amekasirika na kuondoka. Usimjali achana naye na tafadhali niitie mlinzi nimwambie huyu asiingie tena hapa,” alisema Mr Edgar.

Nikajichekea moyoni kuwa kumbe habari zangu zimesambaa hadi kumtikisa mtalaka wake! Lakini ni kweli inabidi akate mguu wake asije tena hapa kwa sababu Mr Edgar sasa ni wa kwangu na alikuwa akiniuma vilevile.

Basi baada ya tukio hilo, siku ya pili yake Tsoza alifika, kwanza alishangaa nyumba ikiwa safi, halafu na kaka yake akiwa anaendelea vizuri tu ingawa bado alikuwa akitembelea kile kiti cha magurudumu, akanitazama kwa muda nadhani alikuwa akinishangaa kwa vile nimesimamia kauli yangu kuwa nimeamua kuwa na kaka yake bila kuhitaji chochote.

“Ninah nilikuwa sikuamini na nimekuwa nikikuchukulia vibaya, leo naomba mbele ya kaka hapa nikuombe msamaha,” alisema Tsoza, lakini Mr Edgar kama kawaida alionekana haongei sana mbele ya mdogo wake na hata walivyoangaliana kulikuwa kama kuna kitu kinaendelea kati yao, lakini niliwaacha tu maana mambo mengine ni ya ndugu si yangu kuyaingilia.

“Nimekusamehe shem, usijali,” niliongea kwa tabasamu pana nadhani ni kwa mara ya kwanza tangu matatizo ya Mr Edgar yatokee.

Siku ile Tsoza akaniambia atanitembeza mjini kuona mazingira na mimi nilikubali kwa sababu ni kweli tangu nifike Sauz sikuwahi hata kukanyaga nje ya jumba la Mr Edgar na nilitamani kutoka kwa kweli japo Mr Edgar alionekana kutaka kupinga lakini mdogo wake akamsisitiza kuwa haitachukua muda mrefu.

Hivyo basi nilijiandaa na kuvaa nguo zangu tukaondoka tukitalii Johanesburg na kuzungukia vivutio kadhaa, jiji ni kubwa na zuri mno, nilipiga picha kadhaa kwenye simu yangu kuweka kumbukumbu, giza lilipoingia tu nilimuomba Tsoza anirudishe nyumbani, lakini wakati tunarudi, kuna watu wawili waliokuwa na silaha mkononi walituvamia mimi nikawekwa chiniya ulinzi na Tsoza pia.

Itaendelea..


NINAH 49

Nilifunikwa kitambaa cheusi na kupakizwa kwenye gari nikiwa sielewi moja wala mbili, kote huko nikisikia wakiongea kizulu tu na kucheka; niliogopa mno.

Nilishushwa kwenye jumba moja hivi bovubovu, nikafungwa kwenye kiti na kutolewa kitambaa usoni nikashangaa kuona nimezungukwa na wanaume kadhaa wengine wakinishikashika mwilini, huku wakiongea kilugha chao, nikajua moja kwa moja walitaka kunibaka.

Wakati huo kwa mshangao nilimuona yule mama ambaye Mr Edgar alisema ni mkewe akija pale ndani lakini cha ajabu alikuwa na Tsoza kwa kuwatazama tu walionekana wamenichezea mchezo.

“Ninah, wewe ndiye msichana unayetaka kuchukua urithi wa wanangu kutoka kwa baba yao, si ndiyo?” aliniuliza kwa kiingereza yule mama akionekana ana ghadhabu mno.

“Hapana, mbona nilishasema kuwa sitataka chochote?” nililia na kwa hofu.

“hutaki chochote? Hahaaa! Sikia mimi siyo mpumbavu,unajua sheria wewe?” aliniuliza.

Nikatikisa kichwa nikiwa sijui hata nimesema hapana au ndiyo.

“Mimi siyo mjinga unajifanya sasa hivi unakataa lakini najua ukiolewa tu na Mr Edgar hata kama utasaini hizo karatasi za kusema hautachukua mirathi, bado unaweza kutugeuka na kwenda mahakamani ukapata haki yako, kwa sababu mahakama inamtambua mke wa halali kama mrithi wa lazima hata kama hajajumuishwa kwenye mirathi. Ulijua ukiwa mke lazima apate urithi wake ndiyo maana ulijipanga kusafiri hadi huku ukijifanya unampenda, mshenzi wewe. Ulidhani utapunguza urithi wa wanangu kwa mtindo huo si ndiyo?” alisema yule mama, nikashangaa maana hata sheria yenyewe sijui kama ilikuwa hivyo.

Nilitoa macho na kuishia kukataa tu, machozi yakinitiririka kwa uoga. Nikamtazama Tsoza ambaye ndiye pekee niliyekuwa namjua nikamuomba amueleweshe huyo mama kuwa sikuwa na nia mbaya, lakini Tsoza alinicheka tu.

Yule mama akanisogelea karibu na kulichana gauni langu kuanzia kifuani, akaanza kunikagua matiti na kunipapasa ngozi yangu, akamtazama Tsoza na kuongea maneno fulani wakacheka wote. Nilishindwa kujistiri kwa sababu nilifungwa kwa nguvu sana pale kwenye kiti hivyo nikawa video ya burebure kwa wale wanaume mle ndani maana nilikuwa kifua wazi na hiyo ilinidhalilisha mno.


NINAH 50

Nikajua tu hapo lazima kinachofuatia ni kubakwa na kundi lote hilo la wanaume kisha wakanitupa mtaani.

Niliomba Mungu hilo lisitokee, lakini kila saa zilipoenda nikawa nazidi kuwa hatarini, maana yule Mama aliondoka na Tsoza na kuniacha na lile kundi la wahuni;niliogopa hadi nikajikojolea nikafumba macho kwa nguvu sikutaka kuyafumbua hata kidogo.

Nilishangaa tu nikichomwa sindano sijui ilikuwa na nini ndani yake. Nikapoteza fahamu taratibu.

Nilikuja kushtuka nikiamshwa na mtu niliyekuwa na uhakika ninamfahamu.

He! alikuwa ni binamu yangu, Rose yule aliyenizima mkufu, nikashangaa mno. Tena niliamka nikiwa kwenye kitanda ndani ya chumba ambacho ndani yake niliona vitanda vingi mno vingine vikiwa na wasichana kama mimi.

“Rose!” niliongea kwa mshtuko mno nikawa sielewi nipo Bongo au Sauz na hiyo ilikuwa siku gani.

“Shiiii! Ninah, sikia na unisikilize kwa makini sana, sijui yalikukuta mambo gani, lakini umeletwa hapa na mwanaume mmoja rafiki wa mume wangu, hapa siyo pazuri kabisa hivyo leo hiihii natakiwa nikutoroshe urudi Tanzania, Sawa!” aliongea Rose kwa kunong’ona tena akionekana ana wasiwasi mno.

“Rose kwani mbona unanitisha!” nilisema nikiingia uoga tena kwa maneno yake, kuwa pale sio pazuri tena na yeye mwenyewe alivyokuwa akizungumza kwa kunong’ona huku akitazama kila upande alizidi kunitisha mno.

Kabla hajamaliza nikasikia sauti ya kiume ikimuita:“Rose” akaitika lakini alichofanya akaniambia nisimame akanimwagia maji machafu ya mapovu yaliyokuwa pembeni sabuni ikaniingia machoni huku baridi likinipiga ile mbaya, nikawa siwezi kutazama mbele nikabakia nalia tu, bila kujua kwanini Rose amenifanyia vile.

Kidogo hatua za huyo mtu aliyekuwa akimuita Rose ziliingia mle ndani.

“Rose! Huyu ndiye aliyeletwa na Tsoza?” ilisema sauti ile ya kiutuuzima, ikabidi nitulie sasa na kusikiliza kwa makini.

“Ndiyo lakini ni mbaya sana ana makovu uso mzima, halafu ni mchafu, sidhani kama ataweza kuwa klabu aagh!,” alisema Rose nikajua alikuwa akitunga uongo.

“Agh shit! Basi sawa achana naye,” alisema yule mtu na kuondoka zake.

NINAH 51

Wakati huo Rose akanichukua hadi bafuni na kunipa maji nikanawa akanipa na nguo, kisha akaniomba radhi kwa alichokifanya na kusema ilikuwa ni lazima afanye hivyo ili yule mwanaume aliyeingia mle ndani ni ambaye kumbe ndio mumewewe, asinione usoni.

Kwa mujibu wa maelezo yake kumbe huyo mumewe ambaye ni mtu mzima aliyemuoa, ni mfanyabiashara mkubwa wa Club za usiku, Sauzi na Dubai, na kwenye biashara zake mara nyingi huwatumia wasichana wazuri kama mastripper, yaani wacheza uchi.

Wengi wao ni wasichana wanaotekwa kutoka nchi mbalimbali Africa na yeye huwanunua na kuwatumikisha kwa muda fulani kwa fedha kidogo na makazi, kisha baada ya muda huwabadilisha ili biashara yake izidi kufanya vizuri kwa kila siku kuwa na warembo wapya.

Kwa hiyo hata mimi nilikuwa mmoja wao isingekuwa sijakutana na Rose. Sasa kibaya zaidi alinichana wazi kuwa huyo mumewe ana tabia ya kutembea na wasichana wowote wazuri atakaowaona na hakuwa akimheshimu kwa lolote na mara kadhaa alimnyanyasa sana kutokana na hela zake, hivyo akaniambia kama huyo mumewe angeniona nilivyo mzuri asingeniachia.

Nikashangaa mno jinsi watu wanavyoteswa na mapenzi, yaani inamaana huyo mumewe japokuwa mtu mzima lakini alikuwa akifanya ngono na wanawake wengine mbele ya Rose na Rose alivumilia kisa ameolewa na tajiri,Loh! nikajiona bora yangu mara mbili zaidi.

“Ninah tuondoke hapa haraka sitaki ujulikane kama ulikuwa humu, maana kwanza akijua wewe ni ndugu yangu na umejua siri yake ndio hatari zaidi. Bora tu nifanye mpango urudi nyumbani; lakini umefikaje hapa, Brighton yupo wapi?” aliniuliza Rose wakati huo tukitembea haraka kuhama jengo moja korido moja hadi nyingine mpaka tukatoka nje nikiwa nimeinamisha kichwa chini.

Kusema kweli, bado nilikuwa kwenye mshtuko hivyo sikuweza kumsimulia zaidi ya kumwambia neno moja tu: “Mkufu.”

“Ninah mkufu ndiyo nini, umefanyaje?” aliniuliza akishangaa mno.

“Mkufu wako Rose ndiyo umenifanya niwe hapa,” nilisema kinyonge.


NINAH 52

“Nini? sikuelewi Ninah,” alishangaa Rose ikabidi nimuelezee kuanzia mwanzo hadi mwisho jinsi mkufu ulivyotusotesha mimi na Brighton hadi nilivyopata vishawishi na kuingia kwenye penzi la mtu mzima, nilivyoachana na Brighton, nilivyoingia Sauz na kuuzwa hapo.

Kote huko Rose alikuwa kimya tu akiguna palipomstaajabisha; akasikitika palipomsikitisha na kulia palipomliza.

“Hahaa Ninah, ungejua loh, nakusikitikia,” alisema Rose akitikisa kichwa na kucheka humohumo.

Nikawa hata mimi sielewi maana ya yeye kufanya mambo yale.

Alichonielezea nilitamani kuzimia.

“Ninah ule mkufu ile siyo dhahabu halisi ni English Gold na lile jiwe siyo Ruby ni kichupa, thamani yake kutengeneza haizidi laki mbili, Umefanya nini Ninah, kwanini hukusema! Jamani polee sana Ninah polee!” alisema Rose nikashtuka mno nikitamani kulia, kucheka, kujizomea na kila kitu kwa pamoja.

“Hapana Rose siyo kweli niliuona ule mkufu kwa macho yangu na najua Replica, lakini siyo uleule ni Original,” nilisema, ingawa Rose akazidi kucheka,machozi yakimtoka na kunipa pole zaidi na zaidi.

“Ninah, ule mkufu mimi ndiyo nilimlipia mama dukani, naujua thamani yake,” alisema kwa uhakika Rose nikashushuka dunia nzima ikinizomea.

Kumbuka hapo tulitumia milioni 78 na kufikia hatua ya kujifilisi kabisa mali zetu zote, hata kupelekea matatizo yote yaliyonikuta, halafu Rose anasema nini?

Nilichanganyikiwa kwa kweli, lakini nikapata wazo palepale.

“Basi Rose hakijaharibika kitu, naomba basi nipe huo mkufu nikauuze nikanunue huo wa Replica niwarudishie,” nilisema kwa shauku hapo nikapiga mahesabu harakaharaka kichwani pindi nitakapopata huo mkufu,nitarudisha heshima yetu na kumwambia Brighton pengine tuta.. tutaaa….; kabla sijamaliza kufikiria unajua Rose alichonijibu? maana alinikata maini kabisa na kuyamenyea vitunguu saumu.

“Jamani Ninah, mkufu wenyewe niliutoa kama zawadi kwenye engagement kwa wifi yangu yaani dada yake mume wangu, Anaitwa Bokamoso. Halafu.. loh! aliyemvisha pete mwenyewe ndiye Tsoza huyu aliyekuleta kwa mume wangu. Mungu wangu, Ninah!hapana lazima ule mkufu tuupate,” alisema Rose akiwa ametoa macho.


THE END


THE END


NINAH - 4

  

Chombezo : Ninah

Sehemu Ya Nne (4)


Nilijipigilia pombe za kutosha na nikalia kwa sauti hadi kila mmoja pale ndani akageuka na kunitazama mimi, bahati nzuri Mr Edgar aliniwahi akanikokota hadi kwenye gari tukaondoka.

Bado nilikuwa na kidonda rohoni, lakini yule mzee acha kabisa, maana alinibembeleza na kuniahidi kunitunza na kunifanyia mambo makubwa mno kwa ajili yangu.

Basi kwa hasira nikamruhusu Mr Edgar kununua hizo jinsia za bandia za kuvaa ilimradi awe ananitoa kiu yeye tu na si mtu mwingine. Mwenyew e alifurahi kusikia hivyo tena akawa tayari kunioa kabisa.

Na mimi kwa hasira siku hiyohiyo aliyonitamkia sikutaka kufikiria mara mbili nikamwambia anioe tu, sitajali.

Basi tukaanza rasmi ukurasa wa mapenzi kati yangu na Mr Edgar, nikamruhusu aniguse sehemu zote kwenye mwili wangu na kunifanya anachotaka. Alifurahi na taratibu nikaanza kumzoea na kujikuta nampenda hivyohivyo, tena nikajua mengi mazuri ya mzee huyu.

Muda wa takribani miezi miwili ilipita, tena wakati huo ndiyo tulikuwa tukipanga mikakati ya ndoa yetu kuanzia kujitambulisha kwa baba na taratibu nyingine za kidini, lakini furaha hiyo iliyeyuka ghafla siku moja niliyomuona mtu kama Brighton akiniomba urafiki Instagram.

Kwanza nilijua siyo yeye, lakini nilivyotazama vizuri nilishtuka nikaanza kupapatika, loh alibadilika mno, huko Sauzi Afrika ndiyo kumemfanya hivyo au? Nikaingia kutazama picha yake moja baada ya nyingine. loh alikuwa amewaka na kupendeza.

Nafsi ikanivuta na kukumbuka mazuri yote tuliyofanya pamoja, nikajitahidi kukumbuka mabaya aliyonifanyia ili mradi nimpotezee lakini hakuna hata baya moja lililokuja kichwani. Moyo ukaanza kutaka kuponza kichwa.

NINAH 35

Niliendelea kutazama picha zake moja hadi nyingine, mwili wangu ukasisimka nilipoona picha moja ambayo amepiga akiwa na msichana mmoja hivi chini akisindikiza na neno Bae.

Iliniuma mno, nilijua ni uchoyo wa hisia kutaka awe wangu wakati nilishafanya uamuzi, lakini moyo wangu ulikuwa unataka kufanya kitu na si kumuacha Brighton hivihivi.

Basi nikajikuta namuwazia huko alipo na yote anayoyafanya kwa huyo mwanamke wake nikawa mnyonge mpole na mwenye mawazo.

Jioni Mr Edgar aliporudi akiwa na zawadi za kila aina, aligundua huzuni yangu ambayo kila nilipojaribu kuificha haikufichika.

“vipi malkia wangu, nini tatizo?” aliniuliza Mr Edgar.

“hamna tatizo, nilikuwa na uchovu sana leo,” nilijibu kwa kuzuga.

Usiku basi kama kawaida,nililala na Mr Edgar aliyenichezeachezea lakini nikaona karaha mawazo yangu yakiwa mbali mno kiasi kwamba hata alivyovaa hilo dudu lake la raba na kuniingiza nalo akijiliza kimahaba kunipa mshawasha, nilichukia mno na kukinai ghafla.

Nikamisi ngozi kwa ngozi, nikammisi Brighton. hapana nilimkumbuka sana na Brighton siwezi kumuachia mwanamke mwingine na mimi nikaendelea kuganda na hili zee.

Nilisema nikijuta hata uamuzi wangu wa kumtega Brighton na hela baada ya kujua fika kuwa nilitakiwa kuomba msamaha na kujielezea kwanini nilikuwa karibu na bosi wake hadi picha kusambaa mitandaoni.

Ndiyo siwalaumu mapaparazi, simlaumu Mr Edgar, bali naulaumu uzuri wangu hadi picha za watu wote zikaachwa na kuchukuliwa yangu kama kielelezo cha habari zao mpaka Brighton akaona.

Nilijikuta nikiogopa ule usemi kuwa wanawake wazuri ndiyo hawajielewi duniani, sikutaka usemi huo utimie kwangu. Nifanye nini?niliwaza wakati Mr Edgar akijitahidi kuniridhisha, nikadanganya kama nimejojoa na yeye akajitoa na kujinyoosha kiuno chake maana nilimpa kazi kwelikweli na hata hakusema kama anaumia.

Nikawaza, hapana siwezi; ngoja nimuanze Brighton maana kama niliharibu bado muda upo, naweza kurekebisha makosa yangu isije ndoa halafu ndiyo nikawa siwezi kurudi nyuma tena.

Wakati Mr Edgar amelala, nikawasha simu yangu nikapunguza mwanga na kuingia tena Instagram nikatuma meseji direct kwa Brighton nikiandika; “Hi!”


NINAH 36

Basi usiku huo kila saa niliangalia simu yangu kuona kama kanijibu lakini ilikuwa hola.

Kesho yake Mr Edgar aliamka asubuhi kama kawaida na kuondoka zake kazini tena alihisi sipo vizuri kabisa hivyo akanitaka kwenda hospitali pengine nikapime kama nina tatizo nikaitikia tu kwa kichwa.

Alipoondoka nikaanza kujizungusha mle hotelini, mawazo juu ya mawazo. Kichwani wakanijia watu maaarufu kadhaa ambao wameolewa na wazee watu wazima. Nikamkumbuka Jackline Mtuyabaliwe, nikajiweka mimi kwenye nafasi yake. Hapana angalau mzee Mengi ana nguvu zake na amemzalisha watoto, je mimi na Mr Edgar hata ndoto yakuwa na watoto kweli itakuja kutimia hata siku moja kweli?

Hapo ndiyo nikakumbuka usemi niliojifunza Tandale ambao watoto wakike huutumia kwa wanaume watu wazima wanaowataka.

“Ujana wako uutumie wapi, uzee uje kula na mie.” Niliona kabisa hayo maneno yananihusu.

Nilijiuliza na kuona katika mapenzi yetu mimi ndiyo ninamfaidisha tu Mr Edgar kwa kuwa ananifaidi mimi na mimi simfaidi yeye kwa kuwa tu nina mtu ninayempenda kwa dhati ambaye ni Brighton.

Nikawaza na kuwazua, wakati huo nikaingia tena Insta nakuona kuna kiujumbe nikafungua na kutazama alikuwa ni Brighton kweli amejibu tu kwa kifupi; Hi.

Nikafurahi kama nini, palepale nikaaandika ujumbe haraka; “nakuonaaa!”

“hahaa!” alijibu hivyo tu.

Nikamuandikia tena; “unaonekana una furaha.”

“Yah, im good,” alijibu.

Nikashindwa niandike nini, nikaandika miss u, nikafuta kwa sababu niliona kama najipendekeza vile.

Lakini wakati naandikaandika hivyo na kufuta nikaona kialama cha typing.. maana yake anaandika nikatulia.

Meseji ikaingia; “vipi mzee anaendeleaje?”

Swali hilo lilinichefua mno nikashindwa kujibu nikatoka na Instagram kabisa.

Nikajisikia aibu, hasa nikikumbuka Brighton mara kwa mara alikuwa akimuitaga ‘mzee’ baba yangu mzazi, sasa kwa kumuita Mr Edgar mzee yaani nikajisikia kama vile natembea na baba yangu mzazi kwa kweli.

Maana ngozi ilimshuka, mvi zilimjaa, kila asubuhi aliamka na kutazama mikunjo mipya kwenye uso wake. Tena alifikia kipindi akiamka asubuhi anajinyoosha kwa dakika kumi nzima akivunja viungo vyake vilivyochoka. Ama kweli nilikuwa nakaa na mzee; nikajichukia.

Itaendelea.


NINAH 37

Ikabidi nichukue simu mwenyewe na kuwasha tena nikaingia insta na kuona siwezi kuvumilia tu bora nimwambie ukweli Brighton.

Nikaandika: “Brighton, I miss u, I love u nilifanya kosa naomba nisaidie nijisahihishe.” Nilipomaliza nilifumba macho nikiomba Mungu Brighton anijibu jibu zuri.

“hahaa, unanitania si ndio!” alijibu Brighton. akaninyong’onyesha.

“Siyo utani Brighton, hujui tu! Tafadhali naomba namba yako,” niliandika tena wakati huo nikawa naelekea kule chumbani kwangu.

Nikataka kuongea na Brighton nikiwa nimelala kitandani, ili sauti yake iniingie vilivyo kila kona ya mwili wangu nikimkumbuka alivyokuwa akinipapasa na kunifanya alivyokuwa akinifanya.

“Baada ya muda mfupi, alinitumia namba yake ya whatsapp yenye code za Sauzi. Sikulaza damu palepale nikampigia kwa video call.

Nikamuona nadhani alikuwa gym, tena alikuwa ametengenezeka mwili wake hadi raha. “Hallow, Ninah!” alisema, na kunitazama kwa furaha.

Na mimi nikamtazama kwa wivu na matamanio; “Brighton, umebadilika jamani!” nilisema.

“Aah hamna mbona kawaida tu! Niambie?” alisema akijifanya hajali nilivyomsifia.

“aah Brighton kama nilivyokwambia, nimekumiss kweli, nisaidie mwenzio najua nimekosea, tafadhali turudiane!” nilijibaraguza.

“Ninah hapana, lakini wewe si mke mtarajiwa wa mzee au?” alisema akizidi kunichefua na hilo neno mzee.

“Brai, sijapenda ujue, halafu yote ni kwa sababu yako, wewe hujui tu!”

“Sababu yangu kivipi? Nilikuwa masikini ndiyo maana ukatembea na bosi wangu upate hela au? Kama ni hivyo nisamehe na it’s over mbona mimi nipo vizuri tu, hapa cha msingi tuongee tu kama washkaji. Mimi nina mpenzi wangu huku na tunatarajia kuoana mwezi wa kumi na mbili,” alisema Brighton, moyo ukanitikisika nikiwa siamini kabisa.

“yaani Brighton umenisahau haraka hivyo?” nilisema na kilio na kubembeleza juu.

“Yah ilibidi nitafute mtu wa kunisahaulisha kuhusu wewe, ambaye angalau naendana naye, wewe sio levo zangu. Na nimeweza kukusahau kabisa yaani, kwa sababu kipindi kile nilikuchukia mno,”


NINAH 38

“Brighton, mbona mimi nilikusamehe mengi baby wangu, tena hadi nilikufumania, nikakubali kuishi na wewe kwenye hali ya kimasikini, leo mimi kuwa na Mr Edgar tu tena kwa ajili yetu, ndio ufikie hatua ya kukubali kuchukua shilingi milioni 50 na uniache! Kweli Brighton? haukunitendea haki,” nililalamika.

“Nilikuwa mjinga kukataa hela za baba ako mwanzoni aliponitaka niachane na wewe, unajua alitoa ofa ya shilingi ngapi? Kifupi hela za Mr Edgar hazifikii hata nusu yake. Nilikataa kwa ajili yako, usinilaumu tu; jua na mimi nilijitoa kwenye uhusiano wetu, wewe ndiyo uliyeharibu tena ukiwa na akili zako timamu. Eti nikusamehe hapana haitatokea,” alisema Brighton na kuzidi kunichanganya. Nikashtuka ina maana baba alimfuataga Brighton na kumtaka aniache! Jamani alikataa kwa ajili yangu.

Ila sasa alichukua kwa sababu aliona nimemsaliti waziwazi.

“Jamani Brighton, nisamehe.”

“Siyo rahisi tuwe tu marafiki, by the way nilikufollow ili nikutakie ndoa njema maana taarifa za bosi wetu kutarajia kukuchumbia wiki hii, zimefika hadi huku ofisini, kuna wenzetu watakuja lakini mimi sitakuja nisamehe kwa hilo, si unajua tena sitaki wafanyakazi wenzangu wa zamani niliowatambulisha wewe kama mke wangu leo hii waone nashuhudia nikipinduliwa ok bye, Ninah.”

“Jamani Brai usikate!” nilisema lakini Brighton alishakata, nikaanza kulia na kulia hadi basi.

Kwa hiyo Brighton ndiyo siwezi kumpata tena, au ameogopa kwa sababu amesikia nataka kuoelewa na Mr Edgar? Nikatae harusi nini? na kama nikikataa harusi je, Brighton yeye atamkataa mchumba wake huyo aliyenaye huko kweli?

Niliona sina pakutokea; nikatamani kumwambia siri ya Mr Edgar kuwa hawezi kuniingilia huenda itampoza asinichukie, lakini nadhani itakuwa ni aibu zaidi kumwambia kuwa ananiingizaga raba la dildo huku chini. Loh nimejishusha na kujidhalilisha vya kutosha kisa hela au?

Hapana, nifanyaje sasa. Wakati mzee wa watu, ameshatangaza hadi huko Sauzi kuwa anataka kunioa.

Nilianza kufikia mwisho wa kufikiri, lakini yote haya kisa kilikuwa wazi kuwa ni shetani wa mkufu. Nimemkosea Brighton nakiri, nifanyeje mwenzenu?


NINAH 39

Basi nikatafuta cha kuwaza na akili yangu ya mwisho ikanituma nimwambie ukweli Mr Edgar, kuwa kwa muda wote tulioishi nilidhania kama nimempenda kumbe bado moyo wangu ulikuwa kwa Brighton.

Lakini nilipowaza hivyo, nikawa namuonea huruma Mr Edgar, nilijua hiyo huruma itaniponza, lakini nifanyeje? sasa muda ukawa unakimbia upande wangu na ishu ya uchumba ilikuwa imekolea maana siku chache zijazo tulipaswa kwenda kwa baba yangu.

Nikaona njia sahihi ni kumfanyia vituko vidogovidogo ili mradi basi Mr Edgar aelewe kama simpendi ili apunguze kasi maana ilikuwa too much.

Aliporudi kwa mfano usiku ule nikamuweka wazi kuwa baba yangu na mimi tumegombana, hivyo itakuwa ngumu kwenda kwake.

“Ninah, usijali hakuna linaloshindikana, nitatangulia kuongea naye najua tu kama mzazi lazima atakusamehe tu, usiwe na wasiwasi,” alisema Mr Edgar akinikata pointi yangu.

“Mh halafu, nilitaka kwenda nje ya nchi kidogo nikashangaeshangae kabla ya kutambulishana,” niliweka kigingi kingine.

“ooh usijali lakini kweli kukaa hapa hotelini kunachosha inabidi niandae safari ya siku tatu, sema unataka twende wapi?”

“Hapana Mr Edgar, nataka kwenda peke yangu,” nilisema mzee wa watu akashtuka mikunjo ikamjaa usoni.

“Okey, sema unataka kwenda nchi gani?” alisema Mr Edgar.

Nilikaa kimya.

Kifupi nilitaka kwenda Sauz Afrika lengo langu nikifika tu Sauz nashuka na kumtafuta Brighton kwa udi na uvumba tena ndani ya siku hizo tatu nilikuwa na uhakika kuwa nitampata na pengine akiniona hivi uso kwa uso asingeweza kuchomoka maana huyo msichana wake, naona hafui dafu kwangu hata kidogo, halafu nilijipa moyo kuwa Brighton bado ananipenda maana kama hanipendi kwanini alikataa kuja Tanzania kwenye hiyo Engagement yangu, kama si kuumia roho huko.

Wakati huo Mr Edgar alinitazama na kusema huku anatetemeka: “Ninah hii yote ni kwa ajili ya Brighton si ndiyo?”

“aah hapana! Kwanini unasema hivyo?” nilisema nikifanya nakana.

“Usinidanganye, mmekuwa mkiwasiliana!” alikoroma Mr Edgar huku macho yakimuiva mno, alinitisha kwa kweli kwa sababu sikuwahi kumuona akiwa katika hali hiyo hata siku moja.


NINAH 40

Wakati najing’atajing’ata akafungua kudude fulani hivi ambacho siku zote kilikuwepo pale mezani na kukibonyeza, Mungu wangu huwezi amini eti nilisikia sauti yangu ikimbembeleza Brighton; ina maana Mr Edgar aliniwekea mtambo wa kurekodi humo ndani!

“Samahani ni wivu wangu tu, niliiweka hii rekoda ambayo inajiwasha na kurekodi sauti yoyote itakayotokea humu ndani, kwanini Ninah ukaniaminisha tutaoana na kuishi pamoja, lakini kumbe hinipendi! Sikulaumu kwa kutonipenda, lakini kwanini unipe moyo?” alilalamika Mr Edgar lakini sasa kwa sauti ya upole halafu akawa anatiririkwa jasho kweli pumzi zikamkata mbele yangu akadondoka chini kama mzigo.

Aisee nilichanganyikiwa nikapiga simu haraka reception kuomba msaada, tuliondoka na gari hadi hospitalini. Wakati huo nikijilaumu kama chochote kitamkuta Mr Edgar basi ni sababu yangu tu.

Moja kwa moja, Mr Edgar akiwa kwenye kitanda cha magurudumu aliingizwa kwenye chumba cha wagonjwa wa emejensi na kuanza kufanyiwa huduma ya kwanza, nilitoa maelezo yote mapokezi na kusubiri.

“Wewe ni mwanaye?” aliniuliza Dokta baada ya kutoka mle ndani.

“hapana mchumba wake,” nilijibu nikiwa na hofu ya atakachokisema.

“Aah mzee amepata stroke, amepooza upande mmoja wa mwili wake, pengine kuna ndugu yake yoyote tunaweza kuwasiliana naye zaidi yako?” aliuliza yule Dokta, masikini sikuwa hata namjua ndugu yake hata mmoja. Nilichofanya ni kumpigia simu Brighton haraka na kumwambia kilichotokea, nikamtaka awataarifu kazini kwao huko Sauz na kunisaidia kutafuta ndugu zake, huwezi amini alifanya kwa moyo mmoja na baada ya masaa machache, nikaongea na mdogo wake, Mr Edgar, Tsoza aliyesema angefika kesho usiku kwa ndege.

Nilichanganyikiwa na kuhitaji kutiwa moyo. Nikiwa sina rafiki yoyote zaidi ya Mama Sele nilimpigia na alifika haraka na kuambatana na mimi usiku mzima, Tukaenda kule hotelini na kulala kisha tukarudi hospitali asubuhi.

Mwenzangu akishangaa kila kitu kuhusu mimi na kuwa na maswali mengi mno lakini sikumwambia chochote zaidi ya kumuahidi nitaongea naye mambo yakitulia. Ooh mkufu!



Sasa nikawa katikati maana nilitaka kumuacha Mr Edgar lakini majanga yametokea, mwenzangu amefikia hatua ya kupooza kwa ajili yangu, kwa hiyo siwezi kumtelekeza kwa chochote maana nikimuacha tu dunia nzima itajua nimemuacha kisa amepooza na eti nilikuwa naye kwa ajili tu ya starehe na mali zake; nitakuwa mfano mbaya kwa wanawake wote duniani.

Nilijua lazima nilitakiwa kuwa karibu naye sasa zaidi kuliko kipindi kingine chochote, hata kwa kuigiza lakini nisimuache, akya Mungu niliona kabisa nazidi kumkosa Brighton na matumaini ya kuwa naye yalipotea kabisa. Kwa kifupi nisahau kuhusu Brighton.

Nililia mno usiku ule na Mama Sele akawa ananibembeleza akiwa haelewi chochote. Hakika nimekamatwa nisipopapenda.

Sasa nikatambua kwanini tunaitwa wanawake, tunatakiwa kujitoa zaidi na si kushindana na mwanaume, eti kwa kuwa Brighton alichepuka na mimi nichepuke halafu nione nimelipiza, kumbe mtazamo wake unakuwa tofauti mno, nakubali nilifanya dhambi na sasa nitailipia kwa kubakia na Mr Edgar.

Basi asubuhi nilienda kumuona Mr Edgar hospitali, wakati huo baadhi ya wafanyakazi wenzake walifika na kushughulika na mambo ya gharama na taratibu nyingine. Wengi wao walikuwa wakitaka kuonana na mimi ili kujua kilichotokea.

Nilisimulia kwa kurudiarudia kila saa maana kila dakika alikuja mtu fulani, kisha akaja mtu fulani na wote hao mimi ndiyo niliongea nao, wengi niligundua hawakunishangaa kuniona laivu, pengine Mr Edgar aliweka picha yangu ofisini kwake na kuining’iniza akiandika kabisa bango: “HUYU NDIYE MPENZI WANGU JAMANI ONENI”

Sikuwa na kumbukumbu nzuri ya sura za watu, lakini nilipomuona Imelda yule mfanyakazi rafiki yake na Brighton, nilificha uso wangu kwa aibu, nilichelewa alinifuata haraka na kunipa pole.

Niliitikia kwa soni, maana nilijua tayari alifahamu histori yangu nzima kuwa nilikuwa mke wa Brighton na sasa nimempindua kwa bosi wake.

Nitafanyaje, sikuwa na cha kufanya maana shetani aliniandama na ameniumbua kwa kweli.

Nakumbuka usiku huo ndiyo ndugu yake Mr Edgar alitua na moja kwa moja akafika hapo hospitali. Nilishangaa akiwa ni kijana mdogo halafu hendsamu boy wa maana.


NINAH 42

Akaniuliza nikamhadithia jinsi tulivyogombana mambo ya kawaida tu na Mr Edgar na kufikia akadondoka ghafla mbele yangu. hakuonekana kushangaa sana kuhusu hayo maongezi badala yake niliona akionekana kunishangaa mimi.

“Aah kwa hiyo wewe ndiye beautiful Ninah ambaye kaka yangu amechanganyikiwa kwajili yako?” alisema akanishangaza.

“Naitwa Ninah!” nilijibu maana nilijishtukia tulianza tu kuongea wakati hata jina sikumtajia.

“Yah kweli ni mzuri, na kaka yangu ana haki ya kudondoka kwa presha kwa ajili yako, hii ni brazilian?” alisema Tsoza akinizunguka na kunitazama nywele zangu akizishika kabisa.

“Tsoza, samahani, nilidhania tupo hapa ili kuzungumzia hali ya mgonjwa?” nilimkatiza maana alinichanganya.

“Ooh, kaka! Kweli anaumwa na pengine anaweza kufa kabisa, kwani unajali nini? unajua nini Ninah, labda tukakae sehemu tuongee nikupe shilingi ngapi uondoke, maana najua upo na kaka yangu kwa ajili ya hela tu,” alisema Tsoza.

“Sikia kaka, pengine hatujuani, kaka yako na mimi tulikuwa tumefikia hatua ya kutambulishana na kuoana kabisa, na sikuwa kwa ajili ya hela, nilikuwa kwa ajili ya mapenzi!” niliongea kwa hasira tena nikikomaa kuwa nilikuwa nampenda japo moyo wangu ulijua ukweli.

“upo kwa ajili ya mapenzi?” aliuliza Tsoza akacheka kwa nguvu mno.

“Sikia kesho, asubuhi nitasaini cheki ya dollar 1000 nitakupa uondoke zako, muache tu kaka yangu asikupe tabu, kama ulikuwa unadhani utajiwekaweka ili uolewe na wewe uingie kwenye mirathi, hautaweza!” alisema Tsoza, nikamshangaa maneno anayoyaongea.

ITAENDELEA

MCHEPUKO WA ZANZIBAR - 5

   

Chombezo : Mchepuko Wa Zanzibar

Sehemu Ya Tano (5)


Akafungua duka lake na kutazama wavuvi wakitoka ufukweni wakielekea mnadani na wengine majumbani mwao, lakini mara akapita Mzee Salum bin Salum, mkononi na samaki wake wanne.

Tofauti na siku zote mzee huyu siku hiyo akasimama kwa muda kutazama kiduka cha Damian akikikata jicho kali, akawa kama anatafunatafuna kitu mdomoni, akakitema na kuondoka zake.

Damian, akajishtukia na uoga ukamuingia.

Damian akafanya biashara zake kama kawaida hadi mchana ndiyo alipomuona Bushiri akija na batavuzi kapakizwa nyuma na mwendeshaji wake.

“salamu aleykum, Damian,” alisalimia Bushiri kwa furaha.

“waleko musalamu, vipi mbona haukuwepo, ulikuwa wapi?” aliuliza Damian kwa shauku.

“dah kaka we acha tu, ndugu yangu wanawake wengine acha tu, dah!” alisema Bushiri akifungua marikiti yake, akiruhusu hiyo batavuzi iondoke.

“kivipi?” “kaka, Shahida, na Habiba sio watu wazuri, ni Malaya wanajiuza kwa mabaharia ferry, hapa kumbe wamekuja kupumzika tu,wale sio watu wazuri.


“Huyo Shahida kaniambukiza mie gono kweli mie napata gono!?” alilalamika Bushiri kwa uchungu.

Basi Damian ndiyo akajionea machangudoa wa kwanza katika historia yake na walikuwa Jambiani Zanzibar.

“Asiee pole sana kaka,” alisema Damian akishukuru Mungu hakumgusa Habiba maana pengine angepatwa na yaliyomkuta Bushiri pia.

“enhee za hapa,” aliuliza Bushiri.

Damian akampa michapo yote iliyotokea.

“kaka achana na yule mtoto, nakuonya tena kaka, shauri yako. Kama unataka ukojoe dagaa sawa,” alishauri Bushiri, lakini maneno yale kwa Damian yaliingia huku yakatokea kule.

Jioni kama kawaida, wavuvi walienda ufukweni na hata mzee Salum Bin Salum tena kama kawaida akilitazama mno duka la Damian.

“baba, mzee majini yake yalishamwambia kuwa unamsalandia mkewe! Kazi unayo.” Alisema Bushiri.

Damian akacheka tu, akahudumia wasichana usiku ule, wakina Shahida wakafika kama kawaida yao, wakijidangisha kwa Bushiri maana Damian walimshindwa. Bushiri akawabalasa, na kuropoka kabisa: “una gono sikutaki ondoka!”

Loh Habiba na Shahida wakaanza kumrushia matusi na wakaondoka zao. Saa tatutatu, Damian akaapia kama Naifathy hatokei hakika ataenda yeye kwake, lakini kabla hajafanya hivyo, mara Naifathy huyo alifika dukani, kama malaika mtoto yule.

“Damwani mambo?”

“poa Naifathy, za tangu jana,” alisema Damian, Bushiri akamkata jicho la onyo lakini akapuuzia.

“jana sikulala, bwana!” alibonga mtoto.

“we si unanibania?”

“hamna Damwani, mimi nimefungwa na mume, nikifanya tu na mtu inakuwa matatizo, namchukia kweli Damwani, siku nyingine nashinda kulia tu ndani.” Alilia Naifathy masikini. Damian akatoka dukani na kumvutia Naifathy nyuma ya duka ili watu wasiwachore.

“Naifathy, mimi kwangu haitatokea tatizo,” alisema Damian.

“Damwani wenzako walisema hivyohivyo, wakafa kifuani kwangu,” alisema Naifathy akihisi Damian ataogopa,

“wee ninadawa ya kugandua hicho kifungo ulichofungwa, sikia, vua chupi achama miguu nikuoneshe,” alisema Damian akachukua lile jani la kisamvu. Akalipitisha kwenye usawa wa kishududu cha Naifathy jani likakauka kauu!

Naifathy akashtuka kuona vile. “Umefungwa mno, sasa sikia najua jinsi ya kukutibu,” alisema Damian.

“Damwani nitibu tafadhali,"


“Sikiliza Naifathy, nenda nyumbani kwako pale juu ya mlango bwana ako ameweka jambia na amelikobeka kwenye ala yake. Nenda kalichomoe utapona,” alisema Damian.

Naifathy akashtuka na kukumbuka vyema jambia lile alipewa na mzee Salum kitambo, tena aliambiwa: mke wangu lichomeke Alani na uliweke hapo huu kwa ajili ya ulinzi kamwe usiliondoshe.” Na yeye Naifathy alitoa matandabui na kufuta mavumbi lakini hakulitoa pale kwa miaka sita ya ndoa yake.

“Damwan naogopa naomba twende sote, naapa nitakuwa wako daima,” alisema Naifathy.

Damian akafunga dukale, akatembezana na Naifathy wakiongozana usiku ule. Bushiri akitikisa kichwa.

Hao wakaingia ndani mwake, Damian aliyaota haya jana akiambiwa na mizimu yake na kuoneshwa kila pembe ya nyumba ya Naifathy, hivyo hakushangaa wala kustaajabu, akapapasa juu ya mlunda uliotengezewa mlango, akatoa lile jambia na kulichomoa Alani, akalitia jambia kwenye chaka fulani lisipatikane tena, kisha ile ala yake akaitia mfukoni akamwambia Naifathy.

“Tayari kipenzi, nimeshamaliza kazi, nipe yote uliyokuwa ukiogopa kunipa, halafu naomba niongelee kwa lafudhi ya kipemba na unighanie na mashairi maana nayapenda mno,” aliongea Damian mwenyewe akianza kuharibika lafudhi yake ya Kichaga ikibomboloka kabisa kwa kukaa muda mrefu pwani.

“mh, sawa Damwani, sasa ili niamini nipitishe, msamvu tena nione kama hautakauka,” alisema Naifathy, Damian akapitisha jani la msamvu kwenye kisusio cha Naifathy likatoka bichi vilevile.

“ooh Damian, ngoja nikuimbie shairi la Kamange wa Makunduchi,” alisema kwa furaha Naifathy akaanza kumpapasa kifuani Damian akiimba:

Kichwa chako cha mviringe, ndiyo mwanzo wa khabari.

Haukuumbwa vungevunge, kama wangu khantwiri.

Huna pazi huna tenge, sawasawa mdawari,

Wakuache unighuri, wewe ndiye wangu jasiri.”

Loh Damian akasifika kwa shairi lile na sauti maridhawa ya Naifathy na vilevile uchokozi wake. Wakarukiana ili kulipana hisani.

“Damian anza na dole, usije nipa huzuni, naogopa mie,” alalama Naifathy kwa furaha akimsihi Damian aliyeanza papara za kutaka kuvamia mkondo wa maji mbiji.

“usiogope, mie tabibu wako,” alisema Damian akamlambalamba Naifathy kama Chatu maana alimtamani hata kumla kama keki.



“Ooh jamani Damwani, nikate kiu yangu, nilambe kotekote na huku, usinibakize pahala,” alisema Naifathy akilipiga teke juba na gagulo akabaki utupu. Kwa mahab akaimba ushairi mwingine kuzidi kumchanganya Damian.

“Ndimi tazo nembetele, majini ndimi mbuaji.

Nishikapo nishikile, nyama ndimi mshikaji,

Ndipo nawe unile, umemshinda mbanaji,

Kiwiji simba wa maji, wewe halali mwindaji.”

Damian akamaliza kumlamba Naifathy akamlegeza na kuenenda sehemu muhimu sasa, akapanda fuoni na kunyonya mifuru akashuka kupekecha kokwa zake hapo Naifathy machozi yakamtoka akamparua Damian mgongoni kwa raha za papaso ampazo. Akaingiza mikono kuung’oa mkwiji wa Damian akamvuta Samofi wake, akampelemba mikononi mwake, na kumtilisha kilazima njopekani akamfikicha kwenye pulutu, ingawa hakuwa na yakini maana kufanya hivyo ilikuwa aghalabu mno kwake.

Akaiingia akaimeza taratibu, Damian akaishiwa pumzi maana alimaliza sherehe mapema kwa ulimbukeni wa kuonja malolo baada ya muda mrefu mno maana ilimpita kitambo atiii! akazima juu ya kifua cha Naifathy.

Naifathy akalia akihisi Damian amekufa kama wakufavyo wote watakaomgusa, doh! la hasha, Damian akasimama na kuunga cha pili maana vilijipanga Zaidi ya nane kiunoni mwake.

Naifathy akaimba tena kwa midundo ya mishinduo: “sengekuja sengekuja, asubuhi na jioni

Kwamba mimi sina huja, kwako mbeja wa shani.

Nikidhia yangu haja, wanitowa mashakani

Ndia haimeli mani, na nijialo ni wewe.”

Basi ikawa kila akimaliza kuimba shairi Damian akatuama japo alianza kwa tarajali lakini kumbe alikuwa nyani ngabu, mjuvi mno na hogo lake. Naye Naifathy hakula mkokaa wala allele, alitia viuno vya taratibu, akafika kila dakika mbili.

Wakalala kupumzika, utamu wa penzi la wizi ukiwanyungua wasikose hamu kila walipotazamana.

“tamuataje ni wangu mikononi nimepewa

Ananigusa matungu, kwa hiyo tamtukuwa

Mambo mtenzi ni Mungu, muumba wa mwezi na jua

Simuwati, muwatiwa, naradhiwa kufa nawe.” aliimba Naifathy. Akaanza kulia.

“kwanini unalia mahabuba?” aliuliza Damian.

“nalia kwa sababu bwana angu ashajua kuwa nimezindukana na dawa zake, akifika atanirudi na kunitia undondosha kabisa; naogopa Damian, kupona huku hakuna nafuu ukiondoka ukaniacha.”




“hapana sikuachi, tutoroke Naifathy, twende bara, twende sasa,” alisema Damian duka hakuona tena kama linathamani kuliko utamu wa Naifathy. Lakini kabla Naifathy hajasema jambo ghafla kwenye chumba cha pembeni kukasikika kitu kikigongagonga chini.

“nani!” alishtuka Damian akiogopa.

“mwana wangu huyo anaota njozi,” alisema Naifathy.

“muamshe twende,”

“hapana, babaye atamlea, twende tutoroke,” alisema Naifathy, usiku uleule, Damian akarudi dukani akiungana na Bushiri, akamkabidhi duka na mali zote kwa malipo ya shilingi elfu kumi, akakimbilia kule alipopanga akabeba vitu muhimu na kukimbia. Bushiri akiwasaidia.

“tutalala bandarini, kesho asubuhi tunaenda bara,” alisema Damian akimwambia Bushiri.

“Damian wewe ni Mangi, lakini ushujaa wa mapenzi umeuanza lini?” alisema Bushiri.

***

“Wekuja huna hunani, sisi kakupa malaji,

Wiji hapa ufukweni, kinyaa kitujituji,

Leo wenda mnadani, wawa mnunuaji

Huo ndiyo ulipaji, wenyeji kutufitini?” aliimba kwa hasira Mzee Salum bin Salum mtumbwi wake ukiendeshwa kwa kasi na misukule yake kuelekea pwani kwenye matumbawe.

Akashuka kuamrisha moto uwashwe apime nguvu za huyo bwana mdogo maana aliingia kwenye himaya yake, akala matufaa yake ya sumu na wala hakufa, tena ndiyo kwanza akamuiba mkewe.

Mzee Salum bin Salum jasho likamtota akamtafuta, kwenye rada na kusoma alikuwa bandarini, mbale za kwale zikamuonesha bwana mdogo amejawa nguvu za uchawi mpya.

Hasira zikampanda, akatia damu lake kwenye fupa la papa, akaomba mizuka ya mwanafyale imfanyize nguvu za kumlipia mgoni wake. Mizuka ikaona ana hoja maana mke ni halali yake. Yakamtia nguvu Mzee Salum usiku mzima akakesha akaumba dudu, likawa na mbawa, likiwa na korodani za mbuzi na uume wa punda. Akasema akiliambia hilo dudu: “mfate huko bara: alivyomfanya mke wangu naye ukamfanye, umpasue pahaja kubwa, umfanze kila usiku, dawa yake akaseme kwa watu kuwa kanajisiwa ndiyo umuache.” Na mzee Salum bin Salum akawa ndiyo muumbaji wa Popobawa, mwaka 1994 na chanzo ndiko hiko, si uzushi.

??Huuhuu Kiswahili kimewapisha wengi loh kama una rafiki mpemba muulize fasiri yake. Wabara polen



MWISHOOOO



MCHEPUKO WA ZANZIBAR - 4

   

Chombezo : Mchepuko Wa Zanzibar

Sehemu Ya Nne (4)


“mkeo aja lini naona wateseka hata kupika,” aliniuliza Sabrina. Nikakumbuka kuwa nilimdanganya mzee Abdullah kuwa nilikuwa nimeoa, ili mradi tu nisikataliwe kupangishwa humo ndani hivyo kila mtu alijua nimeoa kumbe hapana.

“atakuja tu, nataka nipate hela mwezi wa kumi na mbili nimtumie,” nilisema.

Nikaenda zangu kuoga na kutoka haraka maana tayari jua lilianza kuchomoza kwa mbali.

“utaniwekea nguo hapo koridoni,” alisema Sabrina.

“sawa, halafu nitakuletea na zawadi usiku ukinifungulia mlango,” Damian alisema, Kasabrina kakafurahi vimashavu vyake vyeupe vikimpanda juu, hakika kalikuwa kazuri na kameiva.




Damian kwa sekunde kadhaa, akijiuliza: hivi si haka katoto nikaoe tu kwani dini nini bhana. Naifathy wa nini!”

Basi akavaa nguo na kuchagua vizuri nguo za kumuwekea Sabrina afue, akaziacha nguo za ndani na zile alizofutia udelele tu. Akazitia kwenye ndoo pale koridoni na kuweka sabuni. Akaenda zake kidukani kwake akiwa na furaha iliyoje.

Kwa bahati mbaya sana, siku hiyo Bushiri hakuwepo kwenye marikiti yake. Akajiona mpweke mno, hata siku nzima iliisha akijiuliza Bushiri yu hali gani.

Giza liliingia na yeye akawasha kandili yake na kuzuga akiyasoma magazeti kadhaa ambayo huyatumia kufungia wateja bidhaa wanunuazo.

Siku hiyo kama kawaida, wakaja wateja wengi wamama kwa watu wazima, wasichana kwa vigori, Damian akawahudumia vyema lakini macho yake yakipepesa tu kuhakikisha kama atamuona Naifathy.

Loh asiwaze jambo, mara Habiba huyo na Shahida, wakipekuapekua, wakafika dukani mwa Damian wakijichekesha kwanza.

“Damwani eti Bushiri leo hajaja?” aliuliza Shahida.

“hajaja,” alisema Damian.

“mh aya,” alisema Shahida akijitenga kidogo, wakati huo Habiba akasogea kwenye mlango wa duka la Damian, Damian akalitia loki kwa ndani.

“vipi kwani!?” alishtuka Habiba.

“sikia jana uliingia ukaiba seti ya chupio, ulidhani sitagundua au? Sikia leo huingii humu! Kwanza nakudai nilipe.” Alisema Damian.

“hahaa, we Damwani mimi mwizi! Utakosa vingi wewe, leo nilitaka nikupe kitu kingine sema ndiyo hivyo umejikosesha bahati limbukeni.” “kwani umemaliza siku zako?” aliuliza Damian kwa shauku.

“akuu namalizia kesho,”

“sasa ungenipa kingine kipi?”

“Kwani nina matundu mangapi?” alisema Habiba, Damian akatumbua macho, akijiongeza kuwa anachomaanisha hapo Habiba ni mambo ya Sodoma tu. “Sikia Habiba naomba uondoke dukani kwangu, sitaki mambo ya dhambi mimi, ondokeni!” alifoka Damian maana aliwahi kusoma kwenye vitabu tu vya dini kuwa Mungu aliuchoma mji wa Sodoma kwa watu kufanya dhambi hiyo ya kugeuzana. Naye hakuwahi kuona mtu akiongea bila hofu kama Habiba, akamuogopa na kumkinai. “mfyuu, mshamba, huyoo!” alizomea Habiba na kuondoka na dada mtu Shahida wote wakimbetulia midomo.



Doh siku hiyo ilimkera Damian akahisi ni gundu hata kukaa peke yake lisaa limoja mbele, akafunga duka lake ikiwa ni saa mbili tu usiku, akaanza kutembea kuelekea nyumbani, lakini mara akakumbuka zawadi aliyomuahidi Sabrina pindi akimfungulia mlango usiku.

Ikambidi arudi dukani na kuchukua biskuti moja, akafunga duka lake na kupanga kichwani sasa, kuwa kama atawahi basi Sabrina hatokuwa na haja ya kumfungulia mlango na hotapata nafasi ya kumpa zawadi ile, sasa bora achelewechelewe. Lakini aende wapi usiku huo?.

Akapata wazo la kutembeatembea kwenye kijiji hicho ambacho wateja wake wanatokea ili ajionee maajabu ya wanaume kushinda baharini na wanawake kubakia majumbani.

Lakini Zaidi ya yote kimoyo kilimsukuma kusema, atafute nyumba atokayo Naifathy. Basi akazunguka zake, akitembea taratibu giza likimkumbatia na macho yakimuongoza kufuata vinuru vya vibatari vya vijumba. Akatembea taratibu pua zake zikishibishwa na harufu za udi ambao ulifukizwa karibia kila nyumba.

Sasa alikuwa katikati ya vijumba vingi, akasikia sauti za kike humo na vicheko, mara zote alikuwa akipenda sauti za wasichana wa kizanzibar wakichekacheka, kwani vilimsisimua mno na ni nadra kuvisikia. Basi akili yake ikachambua kati ya sauti hizo na kugundua moja ilikuwa ya Habiba na nyingine ya Shahida hakika.

Akaitazama ile nyumba na kuiepuka, akaenda mbele Zaidi, na huko akaona kijumba kilichopakwa chokaa nyeupe, hapo ndiyo moyo wake ukamzubaisha na kutuama bila kujua kwanini.

Loh, mara akatoka msichana, amejivisha khanga tu mabegani, mweupe na nywele za singasinga, mkono huu kibatari, mkono ule ndoo ya maji. Loh! alikuwa ni Naifathy.

Damian akatumbua macho maana kuona mabega ya mtoto wa kike Jambiani ni sawasawa na umeona uchi kabisa huku bara. Uzuri giza totoro lilimlinda akajishindilia kwenye vichaka vya mnazi. Akaminya hapo akishuhudia Naifathy akisaula ile khanga yake na kuipachika kwenye kamba, akawa mtupuu.

Doh! Damian akapata mfadhaiko, Naifathy akainama na kujimwagia maji akioga, akajipapasa na povu la sabuni kuzungukia tamu za mwili wake.



Damian akafadhaika Zaidi, pale alipojificha selebobo wake akataka kuchana suruali kwa udindifu. Akalazimika kumfungulia zipu apumue nje bila kuweka jicho lake pembeni asimtazame Naifathy aliyejisinga na kujisugua pale nje bila hofu yoyote akidhani wanaume hawapo kijijini kumbe Damian alikuwepo pale tena kajaa tele akila video ya asili.

Loh sasa Naifathy, akamaliza kujiosha sehemu za nje, ikabakia sehemu za mgodini, machimboni huko kwenye vito vya lulu na ulanga. Akajitiliza dole akijichambua kwa maji safi.

Damian akahusianisha, moyo wake ukimdunda kwa kasi, akajikuta amelitemea mate joka lake na kulichua sanjari na afanyavyo Naifathy, ambaye alitumia muda mwingi kujiosha hapo kama vile alifanya makusudi.

Damian akapata tabu sana, akapambana na hali yake mno, joka lake likatapika chefu lake huku sauti ya afueni ikamtoka Damian,” aaaaahshhhh!” kisha kuti alilolishikilia wakati akifanya uziduaji wake likamdondoka naye maana stamina za miguu zilimlegalega. ikasikika tu Puh!

Loh Naifathy akashtuka na kujitia khanga begani haraka, akasogea na kibatari chake kwa wasiwasi kutazama kuna jambo gani hapo.

“He Damwani!? unafanya nini hapa! Ulikuwa unanichungulia!?” alisema Naifathy kwa sauti ya chinichini, tena akazima na batari lake.

“hapana nilikuwa nikipita tu, nikakuona, Naifathy, ulinipumbaza kwa uzuri wako; Naifathy wewe mzuri, sijawahi kuona, ukivua nguo ndiyo unazidi kuwa mzuri,” alianza kuropoka Damian.

“mhh, nilijua tu wanitaka,” alisema Naifathy akimsogelea Damian akambana kwenye shina la mnazi, akamkumbatishia mwili wake wa baridi. Damian haraka akapitisha mkono wake kwenye pasuo la khanga ya Naifathy na kuiachanisha akigusa ngozi ya Nafathy kwa mara ya kwanza.

“mmmhhh, Damwani, huogopi?” alisema Naifathy kwa sauti ya vinanda vya winta sonata, Damian akaongea kwa huba: “niogope nini!”

“uchawi wa mzee Salum!” aliposema hivyo, Naifathy akamtoa mkono Damian na kujiweka kando.

“siogopi bwana Naifathy njoo,” alisema Damian akimvutia Naifathy kwake, Naifathy akajitoa.

“we mgeni huku, hujui habari ya mume wangu ndiyo maana, Damian sitaki upotee,” alisema Naifathy kisha akakimbilia kwake akinmuacha Damian pale kichakani.

Itaendelea..


Njia nzima Damian alitembea akiwaza yaliyomtokea usiku huo, wala hakujali kuhusu onyo la Naifathy kuhusu mumewe. Yeye ubongo wake uliirudia ile picha ya Naifathy akioga pale nje, tena akaicheza ile kumbukumbu taratibu kichwani mwake, kisha akakumbuka jinsi mtoto wa baridi alivyomkumbatia pale chini ya mnazi, na yeye kumshika kiuno chake ngozi kwa ngozi.

Walahi alichanganyikiwa Damian, akajikuta anatembea bila kutazama mbele akashtuka kujikuta anapita kinjia cha kuelekea baharini badala ya kuelekea kwake, loh! Akarudi na kutembea sawasawa akiendelea na mawazo yake kuhusu Naifathy, akajiapiza hata arogwe lazima amle Naifathy.

Basi akafika nyumbani na kukuta mlango umefungwa kama kawaida, akazunguka dirisha la Sabrina akaona kuna mshumaa unawaka, akaita: “Sabrina!”

“rabeeka!”

“mimi Damian,”

Haraka Sabrina akafika na kumfungulia, akampatia na nguo zake alizozikunja vyema, Damian akamshukuru na kumpatia Sabrina biskuti. Sabrina akasema asante zake na kurudi chumbani kwake.

Damian akaingia chumbani mwake na kushindwa kupata lepe la usingizi. Akili yake ikimchezea shere kwa taswira za Naifathy. akachukua mafuta na kujichua tena.

***

Wakati yote haya yanaendelea nyumbani kwa mke wake mdogo, Mzee Salum bin Salum alikuwa baharini, yeye tofauti na wavuvi wengine, alikuwa akivua peke yake. Alikuwa na mtumbwi wake na chemli yake peke yake, na alikuwa akienda maji ya peke yake kuvua.

Na Kila asubuhi piga ua. Lazima arudi na samaki wanne tu, pweza mkubwa, shana, changu na kuku wa bahari almaarufu ngisi. Samaki hao siku zote huwagawa kwa nyumba za wakeze, akiweka zamu kila nyumba na samaki tofauti kila siku.

Mzee huyu hakuwa mtu wa mchezomchezo, ujana wake alikuwa ni mganga wa mizimu akifanya kazi za Sultani Barghash wa ngome kongwe. Mzee huyu alitibu na kuagua mizimu enzi hizo akawa tajiri na kununua eneo kubwa la kijiji cha wavuvi hapo Jambiani na maeneo ya Mwanakwerekwe huko. Sultani alipoondoshwa na mapinduzi ya Karume, akakosa Amari, akauza maeneo yake, akaisha hadhi na kuwa mtu wa kawaida tu


Lakini jina lake liliharibiwa na hizo habari kuwa huwaroga mabinti wadogo na kuwaoa wakiwa hawajijui, pindi wakizundukana hujikuta tayari wameshafungwa na uchawi wake na kushindwa kutoka.

Unaweza kukubali mara moja habari hizo maana wake za mzee Salum wote ni wazuri tena washiraz haswa. Halafu umri wake ni mara mbili kwa mkewe mkubwa, mkewe wa kati kamzidi miaka karibia ishirini na tano na mkewe mdogo ambaye ni Naifathy, alimzidi miaka thelathini mizima.

Naifathy mzuri kuliko wake zake wote na hata mji mzima wa Jambiani alimchanganya akili Mzee Salum, akamzingira na dawa zake na kumuoa, akamjengea nyumba ya peke yake pembeni ya wake zake wote na kumtilia chokaa.

Lakini uzee wake ukamrudi, akishindwa kusimamisha mrumerume wake; akajawa Wivu wake ukamfanyia dawa Naifathy, wanaume wasimlalie, maana yeye mwenyewe hakumfaidi binti huyu; akaishia kutamani kurudi ujana kumfaidi lakini wapi! ndiyo kwanza mbu mbaya akamng’ata na kumtia shipa, linalomfanya atembee kwa shida.

Akawa anafika kwa mkewe na kumwambia nilalie nipate joto lako niridhike, naye Naifathy akamlalia na kumchukua kidole chake akakikalia akidanganya kumridhia mumewe, lakini wapi? Hakuwa amefika miisho ya haja zake. Na hata Mzee Salum alijua Naifathy alimdanganya. Hivyo akaongeza kirogo.

Wanne waliomthubutu kumuingiza walau kichwa tu Naifathy wakafia kifuani pake, wakazikwa maiti zikitoa jasho; ndio hapo habari za wake za Mzee Salum kuogopwa zikaenea.

“Shomari sitaki huyo Pweza mdogo, zama tena, kalete mkubwa mwanaharamu wewe! Hiyo ndiyo adhabu ya kutaka kumlala mke wangu!” alikoroma mzee Salum akiongea peke yake hali amekaa tu kwenye mtumbwi wake katikati ya bahari iliyotulia mara kukasikika pwaa! Kama vile mtu amerukia kwenye maji humo.

“Hamisi! Piga kasia twende mbele hapa, hatuwezi kumpata shana. Shehe Sadiki na Yusufu, mtatandaza wavu mie nalala, mkileta ujinga siwapi chakula leo!” alisema tena Mzee Salum akiongea na watu wengine wasiokuwepo naye pale kwenye mtumbwi. Lakini mtumbwi kimaajabu ukaelea kusogea mbele zaidi



Wakati huo Mzee Salum bin Salum pande la jitu likalala likikoroma kwa muda lakini ghafla likashtuka, likahisi kuna jambo sio jema. Shipa lake likambana na kuachia. Likakasirika na kucheka: “Hahaa Naifathy mke angu unataka kumuongeza mwingine si ndiyo!? Namsubiri,” alisema mzee Salum. ***

“Mjukuu wangu unaenda sehemu za watu, umekataa kupokea uganga sawa, lakini jua tu mizimu imekuchagua wewe na daima itakulinda na kukufundisha dawa zetu za kimila, nakushauri uzifuate maana zitakulinda vyema huko ugenini” Hayo yalikuwa maneno ya bibi yake Damian, Bibi Ansila kipindi kile Damian anaamua kuondoka kijijini kwao huko Arusha.

Hakuupenda uganga aliuchukia, na hata alipoondoka ndoto za ajabu usiku akielekezwa na mtu asiyejulikana dawa mbalimbali zilimuandama mno alikerekwa na akapuuzia; lakini ndoto aliyoiota usiku huo ilimtisha mno ilionekana mizimu yake ilimuonesha kuhusu Naifathy na mzee Salum bin Salum.

Akaamka asubuhi ile akaoga na kwenda dukani kwake, njiani akichuma jani la kisamvu, hayo ndiyo maelekezo aliyopokea kutoka ndotoni na mizimu yake.

Sasa unaweza kuona wapi Damian alitoa kiburi chake akijiona hawezi kurogeka.


ITAENDELEA

MCHEPUKO WA ZANZIBAR - 3

   

Chombezo : Mchepuko Wa Zanzibar

Sehemu Ya Tatu (3)


“ndiyo tena ni gwiji, anaogopwa hapa,”

“mimi simuogopi!” alisema Damian.



Kama kawaida asubuhi na mchana haikuwa ya kusisimua kwa kina Bushiri na Damian. Wateja walewale wanaume walifika na kuondoka.

Wakati jua likizama na wavuvi kuondoka zako baharini, wakina Damian na Bushiri wakachekelea; wakawasha kandili zao, kutia mtego wake za watu.

Sasa kumbe taarifa zilifika mbali kwenye kingo zote za kijiji kuwa kuna duka na marikiti ndogo ya usiku, basi wateja wakamiminika kuliko jana yake, wote wakiwa wakike.

“nipatie sukari guru na iriki,” alisema mdada Fulani wa kipemba, pua yake ikiwa imechongoa mno na macho yake kuingia ndani sana hiyo ikimfanya awe na sura ya usiriaz mno, lakini weupe wake na urefu ulimchanganya Bushiri.

Wakati Damian akimpatia mteja wake huyo vitu hivyo na kurudisha chenji ya senti kadhaa, Bushiri akatia neno: “Zamda, njoo na huku nikupatie tangawizi, ukaponde chai murua!”

“mie siyo Zamda, naitwa Najma,” alisema binti huyo.

“ooh nimekisia tu maana uzuri wako nilijua lazima tu jina lako likawe na irabu ‘a’ ndani yake; kwa hiyo Najma, upikapo chai utujalie na sie japo vikombe viwili tu, maana baridi ati!” alizidi kuchombeza Bushiri, Damian akamshangaa mwenzake akiona jinsi alivyo fundi wa maneno.

“mh, aya tukijaliwa,” alisema huyo Zamda akiondoka zake.

“Damian huyu akileta chai tu lazima nimkae, leoleo,” aliongea Bushiri shetani akiwa amempanda kabisa kichwani.

“sasa utamfanyia wapi usiku huu? Utafunga genge?” aliuliza Damian.

“wee huoni mikoko hiyo? Sifungi, dakika kumi tu narejea,” alisema Bushiri akionesha msitu wa mikoko kwenye upwa wa bahari iliyotanda hatua chache nyuma yao.

Basi, wakafika wateja wengine wengi na kila mmoja wao, Bushiri alitupia kaneno kake. Mara wakafika wale wasichana wa jana yake; Habiba na Shahida.

“habari zenu wakaka?” walisalimia kwa pamoja.

“salama tu, karibuni,” aliitikia Damian, Bushiri akamuita mmoja pembeni yule mrefu mkubwa, Shahida. Maana ugonjwa wake ni wasichana warefu tu. Yuenda mkewe alikuwa mfupi ndiyo maana shetani lake la kuchepuka lilikuwa na kiu na warefu.


“Damwan, mie nna shida!” alisema Habiba akijilegeza.

“shida gani?” aliuliza Damian japo alichukia jina lake kukosewa.

“nataka leso, lakini bwana wangu hajaniachia hela, hadi arudi baharini kesho nitakueletea!”

“mh Habiba, mimi sikopeshi mbona!”

“we Damwan, mwenzio tumbo lanisumbua nipo mwezini mwenzio, nitafanyaje na sina khanga kongwe nyumbani,” alilalamika Habiba.

“we, hizi leso zinaletwa kutoka Dubai, na hapo mzigo kuupata mjini ni tabu sana, nitakukopeshaje kirahisi hivyo! Labda tuandikishiane!” alisema Damian akitoa daftari.

“mh we bahiri,” alisema Habiba na kulazimika kuandika jina na deni analodaiwa. Damian akatoa leso na kumpatia Habiba. “Damian niangalizie!” alisema Bushiri akimwambia Damian wakati huo akilikokotaza zigo lake kuelekea nalo mikokoni. Looh rahisi kiasi hicho! Aliwaza Damian akivurugwa na yeye akili zikamruka akamtazama Habiba.

“Habiba, utamaliza lini mwezi wako, twende walikoenda Bushiri na dada ako!?”

“mh kwani wewe unataka?”

“ndiyo, nataka, sijafanya tangu nije huku!” aliyesema si Damian bali kichwa cha chini kiliuteka mdomo saa hiyo.

“wee pole, hapo una ashki balaa!?”

“ndiyo nyege au?”

“ndiyo,”

“ndiyo,”

“basi nikunyonye leo, halafu nikipona nitakupa unifanye, unisamehe deni la leso,” alisema Habiba.

“uninyonyeje?”

“we hujawahi kunyonywa huko?”

“sijawahi, ninyonye njoo, usinitie meno tu!” alisema Damian akifungua duka kabisa.

Habiba akaingia ndani ya kiduka akakalia boksi na kumvua suruali Damian, akakuta Nkurunzinza ameshasimama kukataa kutoka madarakani. “Doh Damwan una kubwa! nipe na pipi kifua,” alisema Habiba.

“utalipia?”

“kha, we bahiri hutaki utamu?”

“basi chukua hii hapa,” alisema Damian wa watu.

Habiba akalimung’unyia na pipi kifua, dohhhh, Damian akawa kama amebanwa na kiazi. Akayumbayumba kwa utamu.

“we kaka una sinzia au? dukani!” alisema si mwingine bali ni Mama Aymar, Naifathy, mke wa mzee Salum bin Salum, mwanamke aliyemtikisa moyo Damian. Uzuri kwa nje Damian alionekana kuanzia kifuani hivyo yaliyoendelea kwa chini hakuna aliyejua isipokuwa yeye tu na Habiba eliyeendelea kama kawaida. “uuuu, uuna taka nikusaiii, diiiii, eee, nini?” alizungumza kwa vituo visivyostahiki maana chini alikokonwa htr



“Naomba ngano na hamira,” alisema Naifathy, Damian likampitia huku na kutokea huku maana ubaridi wa pipi kifua; msuguo wa ulimi, mibano ya midomo na min’gato dhaifu ya meno ya Habiba yalimfikisha shindo lake, akasaga juisi na kuyamwaga mashudu ya haja.

Akahema huku juujuu akitamka: “haaaaaa, haaaa!” angali amefumba macho kwa ugiligili.

“wee, nimekwambia Hamira, huijui kuitamka au! Mbona waishia haaa! Haa! Kama wataka kunimeza mie!?” alifoka Naifathy.

Sasa akili za Damian zilirudi akachomoka mikononi mwa Habiba aliyekuwa chini huko akijifuta udelele na kutulia kimya akisubiri huyo mteja aondoke zake kwanza.

Haraka Damian akapima ngano robo na kumpatia Naifathy na kuchukua hela yake asiseme neno maana mfumo wake wa fahamu bado ulikuwa ukikata mawasiliano na kichwa cha chini na kurudisha kwenye kichwa cha juu.

“mh leo una usingizi waonekana, mbona chenji waniongezea!?” alisema Naifathy akirudi maana alishapiga hatua chache mbele.

“nilikupa senti mbili, unanipaje senti moja badala ya thumuni, wanihonga?”

“aisee, nilikuwa nimechanganyikiwa samahani,”

“mh, nimekuchanganya eeh kwa uzuri wangu kalaghabao,” alisema Naifathy akiondoka huku akitikisa na kutazama nyuma kila mara kumuangalia Damian.

Basi Habiba akasimama na kutoka nje ya duka, akachukua maji pale nje kwenye ndoo na kusukutua mdomo kisha akasimama mbele ya Damian.

“mh we mwanaume, umejaliwa, laiti nisingekuwa mwezini leo ningekuonja walahi! Nikimaliza tu nakuja, sitaki umpe mwingine kwanza kabla yangu maana nilishaanza ona inzi wengi,” alisema Habiba akiwa nusu siriaz nusu utani tena huku akikitazama kinjia alichoendea Naifathy na kumgeukia Damian tena.

“Sikia, yule aliyetoka hapa ni Naifathy kama humjui! ana hamu nyingi yule. Mumewe anamuoa leo, wiki ijayo anaishiwa nguvu za kupanda mtungi, yaani hajafaidishwa hata kidogo, ashukuru tu aliolewa na mimba ndiyo huyo mtoto wake anamsitiri. Naona anajipendekeza kwako kuwa makini mumewe anamchunga nasikia kamtilia na dawa ukimlala unapata dhara,” alisema Habiba nyakati hizo ndiyo Shahida naye alitoka vichakani na Bushiri.



Bushiri akionekana mwepesii! Akafika na kuchukua fumbate la nyanya, kitunguu maji na pilipili akamfungia Shahida kwenye galazeti na kumpatia.

“hizo zawadi yako,” alisema Bushiri. “asante Bushiri, bora wee sio bahiri kama Damwani,” alitia za hivyo Habiba kumuumiza roho Damian.

Haoo wakaondoka zao.

Damian akisikia afueni ambayo hakuwahi kuipata mihula mingi. Alisikia damu yake ikizunguka kawaida sasa na hata alifikiria sawasawa, akaanza kufunga duka lake maana ilikuwa saa nne usiku hiyo.

Akatazama mahesabu ya siku kichwa chake kikifanya kazi harakaharaka, akatazama bidhaa zilizobaki na zilizopungua akashtuka kuona chupio zimetoweka pale chini.

“mshenzi Habiba ameniibia!” alisema kwa sauti Damian.

“Habiba? Ameibaje? Ulikuwa naye dukani?” aliuliza Bushiri maswali mengi harakaharaka naye akaacha hata kutandika gunia juu ya vitunguu.

“agh aliingia dukani, alikuwa akininyonya babu,” alisema Damian.

“weee mbona mimi sijawahi kufanywa hivyo, aisee itabidi uniachie Habiba anionjeshe utamu huo,” aliongea Bushiri kwa tamaa kabisa yaani.

“we subiri kwanza namdai, hadi alipie deni langu, nikimmaliza we mchukue tu, mimi simtaki,” alijibu Damian, akili yake ikirudi upya kichwani akimuwaza Naifathy na alichosikia kutoka kwa Habiba kuwa hajaguswa muda ndiyo kilimchanganya akili.

Basi wakafunga na kuondoka njia nzima Bushiri akimueleza Damian alivyofanya na Shahida kwenye vichaka kuanzia jinsi walivyosimama akishikia mashina ya mikoko huku wakiswaga mbuzi na kupara samaki.

“aisee, we yule mtoto mtamu,” alisema Bushiri, Damian akajaa wivu mno.

Wakafikia njia panda na Damian akaelekea kwake, akakuta kama kawaida jumba limepigwa kufuri, akagonga mno lakini mlango haukufunguliwa, akapiga hesabu na kuona njia nzuri ni kutembea hadi usawa wa dirisha la Sabrina na kumuita.

“Sabrina, sabrinaa!”

“abeeeee!” “naomba nifungulie, mimi Damian.”

Baada ya dakika chache, mlango ukafunguliwa na Sabrina mtoto mlaini nywele hadi mgongoni. Alionekana anausingizi bado na alianza kurejea chumbani kwake.

“Sabrina, asante, chukua na hii,” alisema Damian akimpa jojo mbili Sabrina kama bahshishi ya kumfungulia mlango siku hiyo. Sabrina akasema asante yake na kwenda kulala.




Siku hiyo tena ilikuwa ni ya Damian kudamka asubuhi na kwenda dukani kwake, lakini akaona afagie kwanza uwanja na kudeki chooni maana mara kadhaa akiwa amewahi mno hufanya hivyo. Akaanza kudeki chooni na bafuni kisha akashika ufagio kuanza kufagia uwanja.

Ndiyo akaona mlango wa chumba cha Sabrina ukifunguka na Sabrina akitoka mle ndani akifikicha macho maana bado ilikuwa ni mapambazuko.

“salamaleko,” alisalimia Damian.

“aleykum Salaam,” aliitikia vizuri Sabrina.

“he, kaka niache tu nifagie mie,” alisema Sabrina.

“hapana we niache tu ninamaliza fastafasta tu hapa,” “hapana mama atanikaripia, amesema nihakikishe haushiki mfagio wowote, tena amesema kama ukiwa na nguo chafu nikufulie,” alisema Sabrina akikwapua ufagio kutoka kwa Damian na kuendelea yeye kufagia.

“aaar, eee, aisee nguo ninazo kweli lakini nafuaga mwenyewe jumapili,” “hapana mama atanichapa, alisema nikwambie maana majirani na wapangaji hukushangaa ukifua.”

“haa! Kwanini wanishangae nikifua?” aliuliza Damian.

“mwanaume mwenye ndevu hafui, lah!” alifafanua nikavuta picha na kuona ni kweli sikuwahi kumuona mwanaume anafua tangu nifike Jambiani na nilikuwa mimi tu kwa kweli.

“Kwani bara wanaume wafua?”

“ndiyo, tunafua, tunapika, tunafagia na tunafanya kila kitu hata kubeba watoto mgongoni,”

“mh, wanawake wenu wa huko wana raha!?” alisema Sabrina kumbe naye ni mwingi wa maneno sema sikuwahi kuzungumza naye kama siku hiyo.

“hahaa,” nilitupia cheko nikiwa nakinga maji kwenye ndoo ili nikaoge.


ITAENDELEA

MCHEPUKO WA ZANZIBAR - 2

   

Chombezo : Mchepuko Wa Zanzibar

Sehemu Ya Pili (2)



Hata kazi zake hakuziwaza vizuri tena kila aalipofunga kope aliota vipochi vya manyoya, kila alipoalala aliota vitwangio na kinu.

Asubuhi alfajiri kama kawaida aliamka na kujiona mnara umesimama vilivyo tayari kunasa mawasiliano, akachukia na kuupindia kwa juu ya kaptula lake.

Akaingia chooni kuoga maji ya baridi ukavyonda walau. Akavaa nguo zake na kuondoka, koridoni akipishana na Sabrina binti Abdullah, aliyejitanda ushungi akidamka kufanya usafi.

“saa leko,” alisalimia Damian, macho yake makali yakipenya hadi ndani ya baibui ya Sabrina kuchambua dhima na maudhui anayoyatafuta kwa udi na uvumba.

“aleykum musalaam, shikamoo,” aliitikia Sabrina, mtoto laini. Babaye alimtega Damian kubadili dini amuoze, naye alikataa, sasa aliishia kula kwa macho tu huku misimamo yake ikitikiswa kila siku.

Naye hata hivyo alijiambia hatobadili dini na kuoa kisa nyege, hapana.

Hivyo basi Damian yampasa atafute kutimiza haja zake kwa njia ya wizi, wapi atafanya hivyo? Ilikuwa ni mtihani mkubwa mno.

Siku hiyo alifika dukani kwake, akasali sala zake na kufungua biashara zake kama kawaida. Akapata wateja wake wa asubuhi na mchana, baadaye akaja Bushiri kupiga soga huyu alikuwa na marikiti ndogo pembeni. Nao waliweka kibenchi pale nje.

Bushiri huyu alikuwa rika sawa na Damian, yeye alipata kutembelea Dar kidogo hivyo hakuwa mwenye mada moja walizungumza mengi tu,hata kuhusu wanawake wa Zanzibar.

“Bwana Damian, unajua unawahi sana kufunga duka, funga walau saa nne,” alisema Bushiri.

“hapana, saa nne usiku sana na giza la huku nitashindwa kurudi nyumbani aisee,”

“sikiliza, unakosa mambo, unajua wavuvi saa kumi na mbili wanaenda kuvua, wanarudi alfajiri, huku nyuma kijiji chote wanabaki wanawake tu, wanawake ndiyo usiku kuanzia saa moja wanatoka kutafuta mahitaji yao muhimu, sasa maduka yote wanakuta yamefungwa, ila ukifungua wewe, utawaona wanawake wanakuja kununua, au huwataki!?” alisema Bushiri, ikawa ni wazo zuri maana kusema za ukweli tangu Damian afungue duka hakuwahi kumuona mteja wa kike akifika hapo hata kwa Bushiri pia, alitaka waje walau apate tahfifu loh.




Wakakaa kweli wakipiga soga na kufanya biashara hadi saa moja, kuanzia hapo sasa Jambiani kukapoa, kukawa kimya na kiza totoro, ni wao tu ndio waliiokuwa na mwangaza wa kandili pale dukani mwao, kwenye vijumba vingine kulikuwa na vibatari tu vikionekana kupitia madirishani.

Hapo wakasikia hata bahari iliyokuwa magharibi mwao ikifoka kwa kutema mawimbi pwani. Kundi la mwisho la wanaume waliowaona lilipita wakiwa wamebeba nyavu, pondo na injini na nanga wakiingia baharini.

“Sasa wanaume wote wamekwishaondoka, na taa zetu zinaonekana kote kule kwenye majumba, utaona tu purukushani za wanawake zinaanza,” alisema Bushiri.

“kwanini purukushani zianze wakati wanaume wameondoka!?” aliuliza Damian.

“sikia, nikupe udhaifu wa wanaume wa visiwani, huku bwana wanaume hawana muda na wanawake wao, wengi hukesha baharini, usiku kucha, hurudi asubuhi ya saa moja, hapo hufikia ferry kufanya mnada wa samaki, wakishauza, hurudi nyumbani saa nne au saa tano, wakifika walala hadi saa kumi jioni, wakiamka hapo ndiyo wanapumzika hadi saa kumi na moja waanze kusuka nyavu zao na kuandaa mashua, saa kumi na mbili ndiyo wanaondoka baharini kama unavyoona, sasa hapo niambie wanafanya tendo saa ngapi? Na baharini hutakiwi kwenda na janaba maana ni mkosi chombo chaweza zama,” alisema Bushiri na kuongeza: “Sasa hapo kusema za ukweli, wanawake wao wamejaa ashki, usiku wanahangaika, utawaona tu, wanavua majuba na mabaibui kujichekesha tu;

Basi wakakaa Zaidi, Damian saa akaona haziendi, akatazama mwezi na kuuona ukiwa sehemu Fulani ya zenith, akagundua ni saa mbili hiyo, na mpaka hapo hakukuwa na mteja yoyote aliyefika dukani mwao.

“oya, tukalale bwana,” alisema Damian.

“Usikate tamaa, siku ya kwanza inakuwaga ngumu kama hivi, kwa sababu hawajazoea kuona duka likiwa hadi sasa hivi, we subiri tu, hebu ona huyo nani anakuja!” alisema Bushiri akimuonesha kwa ishara Damian.

Kwenye giza akatokea mwanamke, na msichana, walitembea kwa adabu lakini cha ajabu hawakuwa na ushungi wala kujitanda mwilini, wakasogea kwa tahadhari na kuuliza kwa sauti.




“eti hapo mwauza duka! Na marikiti!?”

Ilikuwa ni sauti mwanana yenye lafudhi ya Kiswahili cha visiwani haswa. Bushiri akasema kwa sauti; “ndiyo twauza hadi usiku siye!” Waliposema hivyo, vicheko vya kike vikawatoka hao wakina dada, wakati wakijongea Zaidi kwenye mwangaza wa walipo akina Damian na Bushiri.

Damian kwa mara ya kwanza akaona wanawake wazuri, rangi, ngozi, nywele macho yao, vipua vyao, vimidomo, na la vifua vyao vikamtia ganzi, hapo hakuona hata kasoro zao za hao wasichana hao kutembea peku na kukosa matako makubwa kama wanawake wa Kiarusha. Yeye aliona johari tu kwenye roho yake.

“kaka wa duka, mie ataka kiberiti, ataka leso ya kike na sabuni,” alisema huyo msichana mzuri Zaidi mdogomdogo, mwingine akiwa amesimama nyuma yake akitazama huko na huku.

“kiberiti, senti moja, Leso senti tatu na sabuni senti mbili, jumla senti sita,” alisema Damian akichangamka kinoma. Huku chini tayari akiwa ameshawaka gari lake na suluari ikimloa na kujikojolea angali akizungumza tu na hao wasichana.

“hiyo hapa, halafu Bushiri huyu mbona azungumza vibaya, anichekesha mie,” alisema mwingine akicheka kabisa kwa vile Damian anavyozungumza kichaga.

“haha, huyo mtu wa bara, wa kule kwenye mlima Kilimanjaro kama wapasikia, aitwa Damian,”

“Damwani,” alisema mwingine akijaribu kuliita jina la Damian.

“hapana Damian,” alisema Damian mwenyewe.

“mh aya, asanteni, sie twaenda, tutakuwa twaja usiku kumbe duka mwafungua, basi mtatupa nafuu,” alisema mwingine.

“wadada, mmejua jina langu na mimi niwajue basi,” alisema Damian.

“mimi Habiba, huyu dada angu Shahida,” walisema na kuondoka wakichekacheka, wakatembea kama wanataka kubakia lakini kama wanataka kuondoka pia. Ni wazi kuwa walikuwa na ashki kama alivyosema Bushiri na Damian aliligundua hilo kwa sababu na yeye mwenyewe alikuwa katika hali hiyo pia.

“Damian, umeonaaa!?” alisema Bushiri kwa furaha.

“Loh nimeona kaka, nitakesha kila siku, yesu na maria,” alisema Damian. Akakaa kimya akiona msichana mwingine akitokea kwa mbali.



“habari zenu, nimetumwa kiberiti na mafuta ya kuwashia,” alisema binti mzuri mno kuliko wale wa mwanzoni, Damian suruali ikamchafuka tena akahema kwa kufikia shindo lake.

“haaaaah! Karibu,” alisema Damian akiganda kwanza kumtazama vizuri binti huyo kama ni jini au mtu haswa.

“naomba nipatie basi, mie niende na zangu,” alisema tena huyo msichana aliyeonekana kuwa na haraka mno kuliko wale wa mwanzoni.

Haraka Damian akampatia kiberiti na mafuta kumtilia kwenye kichupa chake, kisha akampa na kumshika walau mkono wake kijanja.

“samahani msichana unaitwa nani?”

“naitwa mama Aymar,” alisema.

“umeolewa?” alisema Damian kwa mshangao.

“ndio kwani wewe hujaoa?”

“hapana sijaoa,”

“mwanaume mzima umejawa ndevu hujaoa! wasubiri nini?” alisema huyo Mama Aymar akianza kutembea.

“sikia mama Aymar, mimi naitwa Mangi, na wewe nitajie basi hata jina lako,”

“Naitwa Naifathy,” alisema hivyo huku akiyoyoma.

“kaka, usijaribu kumtongoza yule, utakufa, mumewe ni Mzee Salum bin Salum.”

“mumewe ni mzee?”

“ndiyo ana wake wanne, huyu ndiyo mke wa mwisho,”

“mzee mwenyewe yupo wapi?”

“ni mtu wa baharini, alipita hapa mchana, ana busha hivi kubwa,” alisema Bushiri.

“duh, sasa anamudu vipi wanawake wanne, wakati mvuvi halafu ana busha!”

“hiyo ndiyo miujiza ya Mungu hapo sasa. We tongoza wake za watu wowote huku lakini nakuomba kwa usalama wako usimtongoze huyu wala wake wengine wa yule mzee, wakipita hapa nitakuonesha.”

“agh! kwani hamna wasio wake za watu huku?” aliuliza Damian.

“Huku utampata wapi binti asiye mke wa mtu? Sikia, wakiwa tu na miaka kumi na nne, mabinti hutafutiwa waume kabisa, ndiyo wanasubiri akue aolewe, hivyo huwezi kupata mwanamke labda ubake watoto , hivyo bora wake za watu, japo nao kurogwa nje nje,”

“wee mimi siogopi nimeaga kwetu, nimechanjwa na chale, mimi nilishampenda huyu Naifathy,” alisema Damian.

“mh, sawa, mimi nataka niwapitie wote wale wawili wa mwanzoni,” alisema Bushiri akionekana mroho mno Japo yeye tofauti na Damian, alikuwa ameoa na mkewe alikuwa huko Unguja mjini.



Basi baada ya hapo dukani na gengeni wakawa wanafika mabibi na wanawake wengine wasioridhisha kwa sura zao, wengine Damian alistaajabu kwani walikuwa weusi tii lakini sura zao kama waarabu kabisa, Hao hakuwapenda hata kidogo.

Moyo wake ukawaka kwa Naifathy, mke wa nne wa mzee Salum bin Salum. Akaapa atalala naye hakika.

Hadi saa nne wakati yeye na Bushiri wakifunga biashara zao na kusindikizana kurudi njia kuu, tayari walikuwa wamefanya biashara kubwa mno tofauti na waliyoifanya mchana.

“kesho tutakaa tena hadi usiku,” alisema Damian akionekana kunogewa tayari.

“haina shaka haha, usije ukamaliza hela zako kwa kuhonga,”

“weee mimi mchaga, hela kwanza, mapenzi baadaye, sijaja kucheza huku,” alisema Damian.

Akarudi kwa njia yake hadi nyumbani alipopanga, akagonga mlango na kufunguliwa na Sabrina katoto ka mzee Abdulrahman, akakaona kakiwa hakajitanda, akakashukuru na kuingia ndani zake, taswira za Naifathy zikamkosesha usingizi. Japo alijichafua mara mbili nzima pale dukani, lakini dudule hamu haikuisha lilisimama tena.

Akachukua mafuta, na kupakaa, akalichuachua huku akivuta taswira kabisa kama vile anamuingiza kunako Naifathy, na ile sauti yake ikimlilia sikioni kama kweli vile, akachukua muda taswira zake zikimlaghai akajiona tendoni kweli; basi hitimisho tamu hatari likamfika, dudule likatoa udelele. Utimamu ukamrudia kuwa kumbe alikuwa akivuta tu picha na wala Naifathy hakuwa pale na yeye.

Akakereka na kujifuta, kisha akalala, akijiapiza lazima kujichua kukome, lazima ampate Naifathy.

Asubuhi kama kawaida, akaenda kufungua kiduka chake, akijiona mpya kidogo, akakutana na chizi mwenziye Bushiri aliyekuwa akipanga nyanya, vitunguu maji na binzari.

Pamoja wakaanza kuuchora mtaa.

“ona sasa umemuona yule mzee aliyeshika samaki, yule sasa ndiye mzee Salum bin Salum,” alisema Bushiri akimuoneshea mzee Fulani mweusi, mwenye manywele yenye mvi, kuanzia kichwani hadi mikononi, ambaye kavaa msuli mkuukuu na anatembea kwa tabu kidogo.

“yule ndiyo mumewe Naifathy?”


ITAENDELEA

MCHEPUKO WA ZANZIBAR - 1

  

IMEANDIKWA NA : CHANDE ABDALLAH 

********************************************************************************

Chombezo : Mchepuko Wa Zanzibar

Sehemu Ya Kwanza (1)


Mtu akitaja neno Zanzibar, kinachotakiwa kuja kichwani kwako haraka ni harufu ya karafuu, mandhari ya mji mkongwe na fukwe nzuri, ndiyo; hiyo ni kwa wanaoijua Zanzibar vilivyo kuanzia Unguja; Pemba na visiwa vyake.

Lakini kwa wengi wetu ukitajiwa Zanzibar, kichwa kitavuta taswira za fukwe safi, mitumbwi, minazi, wapemba na mavazi yao na ile lafudhi yao maridhawa ya Kiswahili.


Hiyo ni kwao hao watu wengine, lakini si kwa mzee Damian Shirima, yeye kwake neno Zanzibar lilimtia ashki na midadi kumpanda maana taswira iliyomjia ni ya Naifathy binti wa Kipemba anayekutana naye akiwa Mangi huko Zanzibar miaka mingi mno iliyopita.

Nini alichofanyiwa akiwa Zanzibar na binti huyu kiasi cha kumfanya apagawe na akili zimruke kama Zamwamwa ilihali angali mzee wa miaka sitini na mke na watoto kajaliwa.

Hii ndiyo simulizi yenyewe, tulia uisikie.

Damian katika hangaika zake za kimaisha jijini Arusha aliamua kufunga safari kujaribu maisha mahala pengine nchini. Naye kama ndugu zake wa Kichaga mishipa yake ilipitisha damu yenye vinasaba vya biashara na uthubutu.

Alihitaji sehemu nzuri kwa mtaji wake mdogo,

Kati ya mikoa yote iliyopo Tanzania akaamua kwenda Zanzibar akiwa hana ndugu huko wala hajuani na mtu yoyote.

Naye alivutwa Zanzibar na taswira zilezile zilizomjia kichwani mtu mgeni, yaani fukwe, minazi, majengo yaliyochakaa na wapemba. Hakuwahi kuwaona kabla isipokuwa kwenye vipande vya gazeti tu, ukizingatia maneno ya Arusha vijijini aliyokulia yeye palikuwa hapana wageni sana kutoka mikoa mingine.

Kwa hiyo basi mchaga aliyetumwa pesa akaanza safari yake ya basi akaingia Dar na kujionea jiji hilo enzi hizo likimetameta kuanzia magomeni, akaogopa watu hapo, aliona watamzidi ujanja, akalala kwa tahadhari siku ile kwenye nyumba ya wageni.

Kichwani hakuwa na ujuzi wowote zaidi ya kujua kuzitunza pesa, kuzihesabu pesa, kuzitumia kwa nidhamu pesa na pia kuzitafuta pesa hususani kupitia kazi ya dukani, kwani kuuza duka alijifunzia kwenye duka la mjomba wake Urio; duka la kwanza kijijini baada tu ya mkoloni kuondoshwa.



Damian kijana wa miaka ishirini na tatu, peke yake sasa alfajiri alipanda boti pale bandarini, safari ya kwenda Zanzibar ikamtimilia, hapo ndipo alianza kuona wanawake wachache wa Kizanzibari waliokuwa wakirudi makwao. Aliwashangaa mno na kuwasikiliza lugha yao. Akaona wanaongea vizuri mno na walaini kwa mitazamo ya rangi zao. Lakini walivaa mabaibui akagundua hawakuwa na mizigo kuwafikia wanawake wa Kiarusha hivyo hawataweza kumfilisi kiduka chake kwa kishawishi.

Boti ilianza kuondoka na kuingia baharini, mawimbi ya Msasani yakiichezesha boti kama kawaida na kuwafanya abiria kadhaa waombe mifuko. Hata Damian alijisikia kichefuchefu naye akakaa na Malboro lake akikaza meno kwa kadri anavyoweza ili asitapike.

“pole kaka, kwani hii ni safari yako ya kwanza kwenda Unguja!?” aliongea kwa lafudhi ya Kipemba mwanamama Fulani aliyeketi pembeni ya Damian huyu alikuwa amevaa ushungi wake vizuri lakini hakuvaa baibui.

“ ndiyo,” alijibu Damian akijitahidi asiongee maneno mengi maana alihisi tumbo lake limemchachamaa zaidi akajizibia ufuko na kuinama akitabika tapiko lake.

Punde saa ile abiria wengi wakafanya hivyo na mchafuko wa tumbo ukaisha kadri walivyozidi kusonga mbele ndani zaidi ya bahari indi.

Safari ikaenda kwa masaa takribani matatu na vidakika vyake, wakatia nanga hapo bandari wakashuka aridhini na Damian kuingia rasmi humo kisiwani hiyo ikiwa ni mapema mchana.

Kichwani alifahamu kuwa alipofika ni mjini, hivyo hakupaswa kuwa hapo, alitaka mahali mbali mno na mjini.

Akapanda usafiri asiouzoea wa vigari vya chai maharagwe, akaenda mbali na mbali akitajiwa majina asiyoyajua, yakiwemo Unguja Ukuu, Jozani, akakutana na njia panda ya Kizimkazi Dimbani akanyoosha Paje, na kuambaa na ufukwe hadi Jambiani hapo ndiyo akashuka akasema: hapa nitakaa na kufanya biashara. hapo ndiyo akaomba sasa kupata nyumba ya kupanga akitafuta madalali kwenye ofisi zao.

Akazungushwa jioni ile na kupata chumba cha elfu tatu kizuri lakini masharti lukuki ambayo hakuwahi kuyasikia tangu azaliwe.

Subiri usitoke.




“Ami nitakupeleka kwenye nyumba nyingine, lakini sasa hivi, danganya kidogooo, utakosa pa kulala!” aliongea huyo dalali aliyezungumza kipemba baada ya kutoka na Damian nyumba ya kwanza aliyoambiwa masharti lazima awe ameoa, marufuku kulewa na kurudi mwisho saa moja usiku.

Damian alimwambia ukweli yule baba mwenye nyumba kuwa sharti la kutolewa angelitekeleza mara moja, lakini suala la kuchelewa kurudi eti mwisho saa moja usiku kwa mwanaume mtafutaji lingemshinda na kama haitoshi alisema kuwa hajaoa hivyo hiyo nyumba waliishindwa. “vyumba vipo. Ila masharti hapa, lazima uwe umeoa, uswali swala tano, usilewe na kuleta nguruwe maana watu wa bara sie twawajua, wakorofi,” alisema mzee Abdullah. Huyo ni mwenye nyumba mwingine waliyeenda kumuona na dalali.

“Mzee mimi ni mkristo, ila silewi, wala sitaleta nguruwe nyumbani kwako, sio mkorofi, nimeoa ila mke wangu yupo Arusha, nimekuja huku kote kutafuta mzee wangu, sina hata ndugu, nategemea kama nitaishi hapa nyinyi ndiyo mtakuwa ndugu zangu,” alisema Damian.

“nimekupenda, umekuwa mkweli, wengine wanajifanya kubadilisha majina kujifanya waislamu wakifika huku, sasa sawa, chumba ndiyo hiko kione, bei yangu ni elfu mbili kwa mwezi,” alisema Mzee huyo aliyeonekana mstaarabu walau. Dalali wa watu akashusha pumzi maana walizungumka mno.

Wakaona chumba kizuri haswa kikiwa kimesilibwa vyema kuta zake kwa dongo na chokaa, ikawa kama kuta za mji mkongwe, kulikuwa na miti mikubwa darini na sakafu lake lilikuwa limekomaa na halina vumbi huku ukutani kukirembwa na simbi mbalimbali za baharini.

wakalipana pale na kuandikishana, Damian akaweka vitu vyake ndani na kwenda kununua mkeka nje, akaingia kulala haraka maana alikuwa amechoka mno kwa safari ndefu.

Asubuhi iliingia na sasa nyumba iliamka. Ilikuwa kubwa, chumba chake kilijaa mwangaza na kuwa kizuri. Akafungua mlango na kuutia komeo, akakutana na vyumba vikuukuu vingi na watoto lukuki wakichezacheza hapo koridoni.

“saa aleku,”

“aleko musalam,” aliitikia Damian akigundua huko hakukuwa na shikamoo



Akatoka barazani na kumuona Mzee Abdullah mwenyewe akivuta kiko.

“Karibu, Damian, umeamkaje, hali waionaje visiwani, njoo unihadithie ya huko kwenu bara haaahaa,” aliongea kwa harakaharaka Mzee Abdul.

Damian akagundua mzee huyo alikuwa mcheshi sana, akakaribishwa chai akaionja, ilikua tamu sana, Damian hakuwahi kuinywa tangu azaliwe.

“Enhee kijana umekuja kufanya biashara gani huku?” aliuliza Mzee Abdullah, Damian akamwambia malengo yake ya kufungua duka. Mzee Abdullah alifurahi mno na kumtaka azunguke kujionea mandhari na kumwambia kuwa mahali popote aendapo ikiwa atakutana na kikwazo chochote aseme ametokea kwa mzee Abdullah wa Jambiani ataachwa salama kabisa, kwa sababu alidai yeye ni mtu mashuhuri mno.

Kweli Damian siku hiyo alioga na kuvaa nguo zake akachukua shilingi mia tano na kuzunguka nayo akipanga kununua vyombo, ndoo, kandili, na vitu vingine vidogovidogo,. Huku nikisavei eneo zuri la kuweka duka lake.

Alizunguka akigundua watu wa fukwe walivyo; wanawake hawakuonekana mitaani, na wakionekana wachache hujitanda kwa kuvaa kininja kabisa, wanaume wengi walikuwa wamekaa vivulini wakichambua nyavu zao, Mtu mmoja akamwambia Damian kuwa nyakati za usiku wanaume wote kijijini hapo huondoka kabisa kwenda kuvua na majumbani huwaacha wake na watoto tu, wao huwa baharini wakivua samaki hadi alfajiri mno ndiyo hurudi.

Kijiji kingine kilikuwa cha changanyikeni, walilima na kufanya shughuli nyingine pia ikiwemo utalii na ufugaji, hivyo basi Damian biashara yake akaona ingeweza kufanyika vizuri ikiwa duka atafungua mahali katikati ya kijiji cha wavuvi na cha changanyikeni.

Loh akabahatika kuona mahali safi kabisa kwa duka lake, akapakariri na kutafuta eneo jingine tena, ili awe nayo kama matatu hivi, kweli aliyapata na kuyanakiri yote tena yalikuwa karibu na barabara ya magari maana yake itakuwa rahisi hata bidhaa kuzileta kutoka duka la jumla.

Damian akarudi sasa, akiwa nyumbani pale nje kibarazani, akagundua sasa uzuri wa Zanzibar kwa kujionea wanawake walau sura zao, maana majumbani walivua uninja na kuacha nyuso zao. Loh walikuwa wazuri, nusu waarabu nusu wa afrika.



Wiki ilipita sasa Damian akiwa amelisimamisha duka lake vizuri. Akajua bidhaa zipi wanazozipenda wateja wake, kuanzia mikate ya boflo, unga wa ngano, dengu, tambi na ndoano, mpaka mafuta ya taa, iriki, mdalasini na asali.

Akaanza kuzoeleka kijijini wengi wakimuita kwa jina la Mangi na ndiyo hivyo walipendelea na pengine Damian akawa ndiyo Mangi wa kwanza huko visiwani.

Wiki ya pili iliingia akaanza kuona faida maana aliweza kuzungusha bidhaa zake haraka mno, yote hayo yakifanya matarajio yake ya kujichanua kibiashara sehemu ile kuwa ni makubwa mno.

Kwa wiki zile chache hizo alijikuta akijulikana na watu wengi sana, akajua pia sehemu ya kupata chakula, na mahitaji mengine madogomadogo, lakini yote kwa yote hakuwa ametazamia timizo la hitaji moja tu kubwa.

Awali hakuliona la lazima kulitimiza isipokuwa sasa, maana lilimfanya asilale na lilimtafuna ndani kwa ndani, nalo si jingine bali ni hitaji la kufanya mapenzi.

Ona Damian alikuwa mtu mzima, alikula chakula cha moto, nacho kikameng’enywa na kufanya mwili urutubishwe kwa protini na nishati joto, zote hizo ni malighafi muhimu katika kutengeneza mbegu za kiume na homoni zake chochezi.

Wiki za kwanza hakuona tabu sana, lakini kadri siku zilivyozidi kwenda na tena kwa kula samaki wa pwani huyo wamuitaye Pweza, tabu ilimuandama, dudule likamsimama kutaka suluhisho.

Vinyweleo vilidinda kila sauti ya kike iliposikika kwenye kingo za kuta za chumba chake, pengine ni mke mdogo wa Mzee Abdullah au bintiye kindakindani, Sabrina.

Hakujua lakini hakika alihitaji kutumbukiza toto lake tunduni. Usiku huu akachukua mafuta ya mgando na kulisugua rungule akilifanya dhihaka ya njia mbadala, likafukuta na kutema hasira zake kisha likapoa walau, lakini Damian alijua kesho yake hamu ingerudi kwa kasi mno Zaidi ya siku hiyo.

Kama mwanaume alijua njia pekee ni kunjunja tu, laiti kama angekuwa Arusha angeweza kutembea na mwanawake kirahisi tu, lakini Zanzibar, Unguja huko Jambiani, wanawake adimu mno, hata dukani wanafika wanaume tu, atampata wapi mwanamke amtibie! Aliwaza Damian.



ITAENDELEA

BLOG