Search This Blog

Monday, January 24, 2022

MCHEPUKO WA ZANZIBAR - 5

   

Chombezo : Mchepuko Wa Zanzibar

Sehemu Ya Tano (5)


Akafungua duka lake na kutazama wavuvi wakitoka ufukweni wakielekea mnadani na wengine majumbani mwao, lakini mara akapita Mzee Salum bin Salum, mkononi na samaki wake wanne.

Tofauti na siku zote mzee huyu siku hiyo akasimama kwa muda kutazama kiduka cha Damian akikikata jicho kali, akawa kama anatafunatafuna kitu mdomoni, akakitema na kuondoka zake.

Damian, akajishtukia na uoga ukamuingia.

Damian akafanya biashara zake kama kawaida hadi mchana ndiyo alipomuona Bushiri akija na batavuzi kapakizwa nyuma na mwendeshaji wake.

“salamu aleykum, Damian,” alisalimia Bushiri kwa furaha.

“waleko musalamu, vipi mbona haukuwepo, ulikuwa wapi?” aliuliza Damian kwa shauku.

“dah kaka we acha tu, ndugu yangu wanawake wengine acha tu, dah!” alisema Bushiri akifungua marikiti yake, akiruhusu hiyo batavuzi iondoke.

“kivipi?” “kaka, Shahida, na Habiba sio watu wazuri, ni Malaya wanajiuza kwa mabaharia ferry, hapa kumbe wamekuja kupumzika tu,wale sio watu wazuri.


“Huyo Shahida kaniambukiza mie gono kweli mie napata gono!?” alilalamika Bushiri kwa uchungu.

Basi Damian ndiyo akajionea machangudoa wa kwanza katika historia yake na walikuwa Jambiani Zanzibar.

“Asiee pole sana kaka,” alisema Damian akishukuru Mungu hakumgusa Habiba maana pengine angepatwa na yaliyomkuta Bushiri pia.

“enhee za hapa,” aliuliza Bushiri.

Damian akampa michapo yote iliyotokea.

“kaka achana na yule mtoto, nakuonya tena kaka, shauri yako. Kama unataka ukojoe dagaa sawa,” alishauri Bushiri, lakini maneno yale kwa Damian yaliingia huku yakatokea kule.

Jioni kama kawaida, wavuvi walienda ufukweni na hata mzee Salum Bin Salum tena kama kawaida akilitazama mno duka la Damian.

“baba, mzee majini yake yalishamwambia kuwa unamsalandia mkewe! Kazi unayo.” Alisema Bushiri.

Damian akacheka tu, akahudumia wasichana usiku ule, wakina Shahida wakafika kama kawaida yao, wakijidangisha kwa Bushiri maana Damian walimshindwa. Bushiri akawabalasa, na kuropoka kabisa: “una gono sikutaki ondoka!”

Loh Habiba na Shahida wakaanza kumrushia matusi na wakaondoka zao. Saa tatutatu, Damian akaapia kama Naifathy hatokei hakika ataenda yeye kwake, lakini kabla hajafanya hivyo, mara Naifathy huyo alifika dukani, kama malaika mtoto yule.

“Damwani mambo?”

“poa Naifathy, za tangu jana,” alisema Damian, Bushiri akamkata jicho la onyo lakini akapuuzia.

“jana sikulala, bwana!” alibonga mtoto.

“we si unanibania?”

“hamna Damwani, mimi nimefungwa na mume, nikifanya tu na mtu inakuwa matatizo, namchukia kweli Damwani, siku nyingine nashinda kulia tu ndani.” Alilia Naifathy masikini. Damian akatoka dukani na kumvutia Naifathy nyuma ya duka ili watu wasiwachore.

“Naifathy, mimi kwangu haitatokea tatizo,” alisema Damian.

“Damwani wenzako walisema hivyohivyo, wakafa kifuani kwangu,” alisema Naifathy akihisi Damian ataogopa,

“wee ninadawa ya kugandua hicho kifungo ulichofungwa, sikia, vua chupi achama miguu nikuoneshe,” alisema Damian akachukua lile jani la kisamvu. Akalipitisha kwenye usawa wa kishududu cha Naifathy jani likakauka kauu!

Naifathy akashtuka kuona vile. “Umefungwa mno, sasa sikia najua jinsi ya kukutibu,” alisema Damian.

“Damwani nitibu tafadhali,"


“Sikiliza Naifathy, nenda nyumbani kwako pale juu ya mlango bwana ako ameweka jambia na amelikobeka kwenye ala yake. Nenda kalichomoe utapona,” alisema Damian.

Naifathy akashtuka na kukumbuka vyema jambia lile alipewa na mzee Salum kitambo, tena aliambiwa: mke wangu lichomeke Alani na uliweke hapo huu kwa ajili ya ulinzi kamwe usiliondoshe.” Na yeye Naifathy alitoa matandabui na kufuta mavumbi lakini hakulitoa pale kwa miaka sita ya ndoa yake.

“Damwan naogopa naomba twende sote, naapa nitakuwa wako daima,” alisema Naifathy.

Damian akafunga dukale, akatembezana na Naifathy wakiongozana usiku ule. Bushiri akitikisa kichwa.

Hao wakaingia ndani mwake, Damian aliyaota haya jana akiambiwa na mizimu yake na kuoneshwa kila pembe ya nyumba ya Naifathy, hivyo hakushangaa wala kustaajabu, akapapasa juu ya mlunda uliotengezewa mlango, akatoa lile jambia na kulichomoa Alani, akalitia jambia kwenye chaka fulani lisipatikane tena, kisha ile ala yake akaitia mfukoni akamwambia Naifathy.

“Tayari kipenzi, nimeshamaliza kazi, nipe yote uliyokuwa ukiogopa kunipa, halafu naomba niongelee kwa lafudhi ya kipemba na unighanie na mashairi maana nayapenda mno,” aliongea Damian mwenyewe akianza kuharibika lafudhi yake ya Kichaga ikibomboloka kabisa kwa kukaa muda mrefu pwani.

“mh, sawa Damwani, sasa ili niamini nipitishe, msamvu tena nione kama hautakauka,” alisema Naifathy, Damian akapitisha jani la msamvu kwenye kisusio cha Naifathy likatoka bichi vilevile.

“ooh Damian, ngoja nikuimbie shairi la Kamange wa Makunduchi,” alisema kwa furaha Naifathy akaanza kumpapasa kifuani Damian akiimba:

Kichwa chako cha mviringe, ndiyo mwanzo wa khabari.

Haukuumbwa vungevunge, kama wangu khantwiri.

Huna pazi huna tenge, sawasawa mdawari,

Wakuache unighuri, wewe ndiye wangu jasiri.”

Loh Damian akasifika kwa shairi lile na sauti maridhawa ya Naifathy na vilevile uchokozi wake. Wakarukiana ili kulipana hisani.

“Damian anza na dole, usije nipa huzuni, naogopa mie,” alalama Naifathy kwa furaha akimsihi Damian aliyeanza papara za kutaka kuvamia mkondo wa maji mbiji.

“usiogope, mie tabibu wako,” alisema Damian akamlambalamba Naifathy kama Chatu maana alimtamani hata kumla kama keki.



“Ooh jamani Damwani, nikate kiu yangu, nilambe kotekote na huku, usinibakize pahala,” alisema Naifathy akilipiga teke juba na gagulo akabaki utupu. Kwa mahab akaimba ushairi mwingine kuzidi kumchanganya Damian.

“Ndimi tazo nembetele, majini ndimi mbuaji.

Nishikapo nishikile, nyama ndimi mshikaji,

Ndipo nawe unile, umemshinda mbanaji,

Kiwiji simba wa maji, wewe halali mwindaji.”

Damian akamaliza kumlamba Naifathy akamlegeza na kuenenda sehemu muhimu sasa, akapanda fuoni na kunyonya mifuru akashuka kupekecha kokwa zake hapo Naifathy machozi yakamtoka akamparua Damian mgongoni kwa raha za papaso ampazo. Akaingiza mikono kuung’oa mkwiji wa Damian akamvuta Samofi wake, akampelemba mikononi mwake, na kumtilisha kilazima njopekani akamfikicha kwenye pulutu, ingawa hakuwa na yakini maana kufanya hivyo ilikuwa aghalabu mno kwake.

Akaiingia akaimeza taratibu, Damian akaishiwa pumzi maana alimaliza sherehe mapema kwa ulimbukeni wa kuonja malolo baada ya muda mrefu mno maana ilimpita kitambo atiii! akazima juu ya kifua cha Naifathy.

Naifathy akalia akihisi Damian amekufa kama wakufavyo wote watakaomgusa, doh! la hasha, Damian akasimama na kuunga cha pili maana vilijipanga Zaidi ya nane kiunoni mwake.

Naifathy akaimba tena kwa midundo ya mishinduo: “sengekuja sengekuja, asubuhi na jioni

Kwamba mimi sina huja, kwako mbeja wa shani.

Nikidhia yangu haja, wanitowa mashakani

Ndia haimeli mani, na nijialo ni wewe.”

Basi ikawa kila akimaliza kuimba shairi Damian akatuama japo alianza kwa tarajali lakini kumbe alikuwa nyani ngabu, mjuvi mno na hogo lake. Naye Naifathy hakula mkokaa wala allele, alitia viuno vya taratibu, akafika kila dakika mbili.

Wakalala kupumzika, utamu wa penzi la wizi ukiwanyungua wasikose hamu kila walipotazamana.

“tamuataje ni wangu mikononi nimepewa

Ananigusa matungu, kwa hiyo tamtukuwa

Mambo mtenzi ni Mungu, muumba wa mwezi na jua

Simuwati, muwatiwa, naradhiwa kufa nawe.” aliimba Naifathy. Akaanza kulia.

“kwanini unalia mahabuba?” aliuliza Damian.

“nalia kwa sababu bwana angu ashajua kuwa nimezindukana na dawa zake, akifika atanirudi na kunitia undondosha kabisa; naogopa Damian, kupona huku hakuna nafuu ukiondoka ukaniacha.”




“hapana sikuachi, tutoroke Naifathy, twende bara, twende sasa,” alisema Damian duka hakuona tena kama linathamani kuliko utamu wa Naifathy. Lakini kabla Naifathy hajasema jambo ghafla kwenye chumba cha pembeni kukasikika kitu kikigongagonga chini.

“nani!” alishtuka Damian akiogopa.

“mwana wangu huyo anaota njozi,” alisema Naifathy.

“muamshe twende,”

“hapana, babaye atamlea, twende tutoroke,” alisema Naifathy, usiku uleule, Damian akarudi dukani akiungana na Bushiri, akamkabidhi duka na mali zote kwa malipo ya shilingi elfu kumi, akakimbilia kule alipopanga akabeba vitu muhimu na kukimbia. Bushiri akiwasaidia.

“tutalala bandarini, kesho asubuhi tunaenda bara,” alisema Damian akimwambia Bushiri.

“Damian wewe ni Mangi, lakini ushujaa wa mapenzi umeuanza lini?” alisema Bushiri.

***

“Wekuja huna hunani, sisi kakupa malaji,

Wiji hapa ufukweni, kinyaa kitujituji,

Leo wenda mnadani, wawa mnunuaji

Huo ndiyo ulipaji, wenyeji kutufitini?” aliimba kwa hasira Mzee Salum bin Salum mtumbwi wake ukiendeshwa kwa kasi na misukule yake kuelekea pwani kwenye matumbawe.

Akashuka kuamrisha moto uwashwe apime nguvu za huyo bwana mdogo maana aliingia kwenye himaya yake, akala matufaa yake ya sumu na wala hakufa, tena ndiyo kwanza akamuiba mkewe.

Mzee Salum bin Salum jasho likamtota akamtafuta, kwenye rada na kusoma alikuwa bandarini, mbale za kwale zikamuonesha bwana mdogo amejawa nguvu za uchawi mpya.

Hasira zikampanda, akatia damu lake kwenye fupa la papa, akaomba mizuka ya mwanafyale imfanyize nguvu za kumlipia mgoni wake. Mizuka ikaona ana hoja maana mke ni halali yake. Yakamtia nguvu Mzee Salum usiku mzima akakesha akaumba dudu, likawa na mbawa, likiwa na korodani za mbuzi na uume wa punda. Akasema akiliambia hilo dudu: “mfate huko bara: alivyomfanya mke wangu naye ukamfanye, umpasue pahaja kubwa, umfanze kila usiku, dawa yake akaseme kwa watu kuwa kanajisiwa ndiyo umuache.” Na mzee Salum bin Salum akawa ndiyo muumbaji wa Popobawa, mwaka 1994 na chanzo ndiko hiko, si uzushi.

??Huuhuu Kiswahili kimewapisha wengi loh kama una rafiki mpemba muulize fasiri yake. Wabara polen



MWISHOOOO



0 comments:

Post a Comment

BLOG