Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

POWER SEHEMU YA 8/10

 

 


 POWER

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+ 

SEHEMU YA 8 KATI YA 10

 


“Kwa mgodi ule siuuzi”

“Una maana gani kusema kwamba huuzi?”

“Ule mgodi ni mali yangu. Mzee unaye mzungumzia hapo yeye yupo kama kivuli tu na alinishika kwa muda kutokana na kipindi hicho nilikuwa mdogo na sikuweza kujua ni jinsi gani ambavyo nina weza kuongoza mgodi huo. Tuzungumze biashara ambayo tunaweza kufanya kwa kushirikiana ili tuweze kuingiza pesa nyingi”

Piyanka akashusha pumzi taratibu huku akionekana kukata tamaa.

“Mmmm biashara nyingine sijafikiria kwa sasa kwa kweli”

“Kwahiyo lengo lilikuwa ni huo mgodi?”

“Ndio Ethan, ila jibu lako limenikatisha matumaini kabisa”

“Lisikukatishe matumaini kwa maana ni ukweli. Si unatambua kwamba kwenye maisha ya kibiashara ukweli ndio kila jambo. Hivyo nisinge zungumza ukweli alafu ukaja baade ukagundua ukweli nina imani kwamba kuna mambo fulani ni lazima utakuwa una niwazia hususani swala la kuto niamini”

“Ni kweli hilo unalo lizungumza”

“Yaaa, mimi ni mfanya biashara mkubwa duniani. Utajiiri wangu ni mkubwa sana na nina miliki hadi kampuni ya kutengeneza magari”

“Weee kampuni gani?”

“Miaka miwili nyuma nilizinunua kampuni za BMW na Land Rover ambayo inatengeneza na hizi Range Rover. Sikuweka bayana hilo ila wewe leo nimekuambia. Hivyo zinaendelea kufanya kazi kwa majina yao ila mmiliki ni mimi.”

“Aisee una jua mimi nina tumia Range Rover hii muliyo itoa mwaka huu”

“Hongera”

“Yaani siamini, kumbe nimekaa na mmiliki wa kampuni wa gari ninazo zipenda?”

“Ndio”

“Aisee nina shukuru sana kwa hilo. Ethan, sasa kidogo umeanza kunipa wazo”

“Wazo gani?”

“Una onaje tukashirikina katika biashara ya hoteli kubwa ya kitalii. Kutokana mimi nina fahamu swala la hoteli za kitalii nina imani kwamba ita zaa matunda”

“Mmmmm tunaijenga wapi?”

“Hapa hapa Tanzania, leo hii tumekaa kwenye hii hoteli umelipa pesa nyingi sana. Je endapo utakuwa na ya kwako na ukawa na vyumba kumi na tano kama hivi una hisi kwa siku utaingiza kiasi gani”

“Pesa kubwa tu”

“Hiyo ni vyumba kama hivi je ukiwa na vyumba vingine vyenye hadhi tofauti tofauti je utaingiza kiasi gani? Tena uzuri wewe ni maarufu sana, endapo utaitangaza na watu wakafika hotelini kwako kutokana na jina lako je utapata kiasi gani?”

“Pesa nyingi tu”

“Siri kubwa ya hoteli ni kwamba, kila siku wewe una ingiza pesa. Kila muda wewe utaingiza pesa na nina kuhakikishia kwamba utanikumbuka katika hili wazo Ethan. Fanya maamuzi”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama Piyanka usoni mwake kwa tabasamu kwa maana duniani sijawahi kumuona mtu ana choka kuingiza pesa.

“Na nina wazo jengine jipya”

“Lipi?”

“Tanzania ni nchi ambayo ina amani sana. Pia jeshi lake lina nguvu, ila unaweza kuiongezea nguvu zaidi kwa kuanza kufanya biashara ya utengenezaji wa silaha za NYUKLIA”

Macho yakanitoka huku nikiwa nimeshikwa na kigugumizi kwani kwa jinsi nilivyo kuwa nina mchukulia Piyanka ni tofauti kabisa na kinywa chake kinavyo toa mawazo ambayo katika maisha yangu sikuwahi kuyafikiria.



“NYUKLIA?”

“Yaa ni biashara ambayo itakupa pesa nyingi sana na nguvu pia serikalini”

“Ila hizo silaha zinapigwa vita na mataifa mengi sana duniani. Sasa nikisema kwamba nianze kuzitengeneza mimi huoni kama inaweza kuniletea shida hususasani nchi hii ya Tanzania?”

“Mmarekani mwenyewe anaye wazuia watu wengine kutengeneza hizo anatengeneza na ana vinu vyake kabisa vya kuzalisha silaha hizo za nyuklia. Ndio maana nchi kama North Korea hata wawekewe vipi vikwazo na umoja wa mataifa ila bado wana tengeneza makombora hayo”

“Piyanka hilo swala linahitaji kujitoa. Sijafikia katika muda huo bado ndoto yangu ya kuwa mchezaji bora wa dunia bado ninayo akilini mwangu. Acha kwanza umri uende ende kwanza labda kwa huko baadae nina weza kuwa mfanya biashara wa hayo mambo na jengine sina utaalamu kabisa wa hayo mambo hivyo itabidi inichukue muda mwingi sana katika kujifunza kisha nichukue hatua”

“Ethan kila jamboni maamuzi. Una pesa, wekeza kuna kesho na kesho kutwa, pesa uliyo wekeza itarudi taratibu na si lazima usimame wewe kama wewe kwenye hiyo biashara. Unaweza kutafuta mtu utakaye muamini, atakaye simama kwa niaba yako. Hivi una hisi hizi biashara kubwa kubwa duniani kuna wote wana onekana kama mabosi una hisi ni kweli wao ni mabosi?”

“Sijui?”

“Sio mabosi ni kama wewe. Umenunua kampuni za magari ya BMW na Land Rover. Lakini nikisema nikutafute kwenye mtandao kama mmiliki wa hizo kampuni huto onekana wewe?”

“Ni kweli nimefanya hivyo kutokana nina hitaji kuwa na nguvu”

“Nguvu umesha ipata?”

“Bado sijaipata?”

“Nguvu kubwa na sahihi ni hiyo ya kutengeneza makombora ya nyuklia. Hapo hakuna mtu ambaye atakubabaisha, si Marekani wala si mtu yoyote, wewe utakacho kuwa una kisimamia ni kwamba una fanya hiyvo kutokana na ulinzi wa nchi yako.”

“Yaani mimi ndio niseme kwamba nina weka ulinzi wa nchi yangu au sijakuelewa hapo?”

“Maana yangu ni kwamba. Unawekeza pesa katika kutengeneza silaha hizo, ila nyuma yake una ikabidhi serikali na serikali ndio inaonekana kwamba wao ndio wamiliki. Hata mataifa makubwa yakianza kulalama sijui vimepanda na vimeshuka, nchi ndio itatoa majibu kwa niaba yako na hakuna ambaye ataweza kuja kukuiliza wewe”

“Piyanka”

Nilimuita Piyanka kwa sauti ya upole huku nikimtazama usoni mwake.

“Beee”

“Uliniambia kwamba nchi yako ni India?”

“Ndio”

“Japo biashara za baba yako zipo Dubai si ndio?”

“Ndio”

“Katika nchi hizo mbili kuna nchi yoyote hapo inayo tengeneza silaha hizo za nyuklia?”

Piyanka akaka kimya huku akionekana kutafakari juu ya swali nililo muuliza.

“Sidhani”

“Kwa nini Tanzania na isiwe India au Dubai?”

“Sijakuelewa?”

“Kwa nini ushauri wako huu, usiwapelekee matajiri wa India au Dubai waka fanya hiyo biashara. Kwa nini unataka hapa Tanzania. Umetumwa?”

Nilizungumza kwa msisitizo hadi Piyanka akastuka kidogo.

“Umetumwa?”

“Ha…haa…hapana Ethan”

Piyanka alinijibu kwa woga sana.

“Siwezi kubeba lawama na dhambi ambayo sinto hitaji kuja kuzijibu mbele ya Mungu siku ya kiama. Japo nitapata pesa nyingi sana ila kuna watu wasio na hatia wata uwawa na hayo makombora kwa maana hatutengenezi kwa ajili ya kuua paka au panya ni watu. Tunatekeza watu wenye roho, maono malengo na matumaini kwenye maisha yao. Sitaki kuwa mkatishaji wa hivyo vitu. Sawa”

Nilizungumza kwa upole ila wenye maneno yaliyo jaa msisitizo na moono ya Tanzania yangu ya baadae.

“Nimekuelewa Ethan”

“Tuzungumze mambo mengine kama huna unaweza kwenda”

Piyanka akanitazama kwa macho yaliyo jaa unyonge na kukatishwa tamaa.

“Sina cha kuzungumza Ethan”

Piyanka alinijibu kwa unyonge huku akisimama kwenye. Akajiweka sawa nguo yake kisha akanyanyua kipochi chake kizuri na kuanza kutembea kuelekea mlangoni.

“Piyanka”

Taratibu akasimama na kunigeukia. Nikanyanyuka na mimi kisha nikaanza kutembea taratibu hadi sehemu aliyo simama.

“Nashukuru kwa kuja yapo ambayo nitayafanyia kazi na yapo ambayo sinto yafanyia kazi”

Nilizungumza huku nikimkabidhi mkono wangu wa kulia Piyanka. Akatazama kiganja changu kwa sekunde kadhaa kisha akanipa naye kiganja chake. Kitendo cha viganja vyetu kushikana, nikahisi kama akili ikihama, msisimko ambao nimeupata hakika sijawahi kuupata kutoka kwa mwanamke wa aina yoyote katika kipindi chote cha ujana wangu. Sijawahi kukutana na mwanamke ambaye kitendo cha kugusana mikono yetu kina zalisha mambo menginie. Piayanka akajaribu kuuachanisha kiganja chake na kiganja changu ila nikajikuta nikiendelea kung’ang’ania kukishika.

“Naomba niende Ethan”

“Hapana”

“Kwa nini hapana?”

“Nahitaji uendelee kuwa nami kwa siku hii.”

“Ethan una mke nyumbani. Ana kusubiria, tafadhali nina kuomba uniache niondok…….”

Piyanka hakupata bahati ya kuzungumza neno lake la mwisho kwani tayari nilisha mvuta kifuani mwanagu na kuzinyonya lipsi zake ambazo hakika zimezidi kunichanganya na kunipagawisha. Tukatulia kwa sekunde kama ishirini huku ndimi zetu zikiwa zimegusana. Piyanka kwa haraka akajichomoa mikononi mwangu na kusimama hatua mbili kutoka sehemu niliyo simama mimi.

“Ethan hili jambo sio sahihi”

“Kwa nini?”

“Mimi na wewe hatuna mahusiano ya kimapenzi”

“Tuna weza kuwa nayo”

“Katika maisha yangu, kitu ambacho nina kiogopa ni kuwa na mume wa mtu. Mama yangu amekuwa akinisisitizia kila kukicha juu ya jambo hilo. Natambua una pesa, wewe ni handsome boy. Mwanamke yoyote anaweza kukupenda, ila kwangu samahani kwa hilo Ethan”

“Piyanka tafadhali, nahitaji kuwa nawe wakati huu. Hilo swala la mimi kuwa mume wa mtu lisikutishe. Sijavisha mtu pete wala kuvishwa pete ya ndoa. So nina maamuzi yangu na maisha yangu, ninajua nani awe wangu nani asiwe wangu hata kama nipo naye ila nina maamuzi bado ya kuamua. Laiti kama ungeshuhudia pete kwenye kidole changu hichi basi ungesema hayo uliyo yasema”

“Ethan natambua wanaume mume barikiwa kuwa na ndimi zenye maneno matamu sana. Maneno ambayo mwanmke yoyote atakaye yasikia basi ni rahisi kulainika na kuingia katika mtego wake anao upanga. Ethan nimefanya kazi na wanaume wengi sana, wenye pesa na wasio na pesa, na wengi wameonekena kunitaamani na hata mmoja wao hajanionyesha hata mboni ya kunipenda. Najiheshimu Ethan, najithamini na nina jitambua Ethan. Tafadhali niache niende”

Piyanka alizungumza kwa msisitizo huku akinikazia macho. Nikamsogelea ila akarudi nyuma, nikapiga hatua tena akarudi nyuma na mwishowe akajikuta akiwa ukutani, nikasimama umbali wa sentimita mbili tu huku nikimkazia macho.

‘Ethan nisaidie rafiki yangu huyu mwanamke mbona amekuwa mgumu kiasi hichi?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kumtazama Piyanka ambaye macho yamemtoka huku nikisikia jinsi mapigo yake ya moyo yanavyo dunda kwa nguvu mithili ya mtu ambaye ameshikiwa mtutu wa bunduki na amepewa sekunde thelathini tu za kusali sala yake ya mwisho.

‘Wewe si ume mbania wazo lake alilo kupa na umemshushua. Unahisi katika hilo anaweza kuwa mrahisi rafiki yangu’

Nilimsikia Ethan akizungumza nafsini mwangu pasipo Piyanka kuelewa ni kitu gani kinacho endelea.

‘Sasa Ethan yale mawazo aliyo yaleta ni magumu sana kuyaamua. Unataka baadae Tanzania ije kuwa kisiwa cha damu eheee?’

‘Haiwezi kufika katika hili hiyo. Binti huyo amekupa maona ya maana halisi ya nguvu. Pesa bila silaha hakuna kitu, pesa bila jeshi hakuna pesa. POWER unayo ihitaji haiwezi kuja kwa kumiliki mabilioni ya dolo sawa’

Nikashusha pumzi huku nikiendelea kumtazama Piyanka usoni mwake.

‘Sasa unataka niwe mtengenezaji wa Nyuklia?’

‘Unahitaji nguvu. Ipo wapi nguvu yako?’

‘Hujanijibu swali Ethan’

‘Ukijibu swali langu basi utaoa jawabu la swali lako. Unahitaji nguvu au Pesa bila nguvu’

‘Nguvu na pesa’

‘Ungana na Piyanka ata hakikisha kwamba ndoto yako ambayo siku zote umekuwa nayo inakwenda kukamilika?’

‘Kina Biyanka na Camila vipi?’

‘Fuc** u Ethan, unahisi kila kitu nitakupa mimi. Inabidi ifike hatua kupitia binadamu wezako ufanikiwe na kufanikiwa kwenyewe ndio huko. Siwezi kukupa kombora la Nyuklia hapa bila ya wewe kuhangaika. Utajiri ambao nimekupatia kutoka katika familia ya mzee wako Klopp, una tosha kuushusha ni jukumu lako na kuuongeza ni jukumu lako. Ninacho kifanya mimi ni kuhakikisha kwamba kila ulilo lipanga na kuniomba linakuwa jepesi na linakwenda kama vile unavyo hitaji. Sawa Ethan?’

‘Nimekuelewa’

Nilizungumza kimoyo moyo pasipo Piyanka kuelewa ni nini ninacho kizungumza.

“Unaweza ukaondoka ila nahitaji usikilize kile ninacho hitaji kukuambia”

“Ethan kama ni swala la mahusiano tafadhali nina kuomba uweze kusahau”

“Nipo tayari kufanya biashara ya silaha za nyuklia”

“Sawa”

“Just sawa only”

“Yaa nimetoa ushauri nimemaliza jukumu langu. Hayo ni maamuzi yako kama vile ulivyo nijibu kwamba kuna mambo utayafanyia kazi na kuna baadhi huto yafanyia kazi hivyo sinto hitaji kujua yapi umeyafanyia kazi na yapi hujayafanyia kazi. Sawa Ethan?”

Piyanka alizungumza kwa msisitozo huku akiwa amenikazia macho. Nikamshika kiuno chake na kumvuta kifuani mwangu.

“Nahitaji uwe mwanamke utakaye hakikisha unatimiza malengo yangu”

“Yako, nitimize malengo yako. Yangu je nani atayatimiza?”

“Nitayatimiza”

“Bado hujanishawishi Ethan, tafadhali nakuomba niweze kuondoka”

“Sitaki”

“Ethan wewe ni mtu mzima. Mfanya biashara mkubwa na mchezaji mwenye kipaji kinacho tolewa macho na makocha wengi. Sidhani kama mwisho wa maisha yako una hitaji uishie jela kisa tu umenibaka. Sipo katika mood ya kufanya mapenzi kwa sasa. Naomba niondoke”

“Kila nikikutazama macho yako, lipsi zako ninajikuta hisia zangu zina zidi kunipanda. Hembu nishike hapa”

Nilizungumza kwa sauti ya mahaba huku nikiupeleka mkono wa Piyanka katika jogoo wangu. Piyanka kwa haraka aka utoa mkono wake.

“Ethan nataka kuondoka pleaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee……………………!!!!”

Piyanka alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Taratibu nikarudi nyuma hatua mbili huku nikimtazama.

“Sijakutamani Piyanka nakuhitaji”

“Sipo kwa ajili ya ngono Ethan. Am sorry”

Piyanka mara baada ya kuzungumza hivyo akatembea kwa haraka hadi mlangoni. Akakishika kitasa cha mlango na akasimama kwa dakika mbili huku kichwa chake akiwa amekiinamisha chini kwa mawazo mengi. Nikastukia kukiona kipochi alicho kishika kikimponyoka mkononi mwake na kikaanguka chini. Akanigeukia na kunitazama kisha kwa kasi akanikimbilia na kunirukia, cha kumshukuru Mungu si mzito sana, nikawahi kumdaka huku miguu yake akiwa ameipitisha kiononi mwaangu na mikono yake akiwa ameipitisha shingoni mwangu. Nikamshika mapaja yake ili asiweze kuanguka na tukanza kunyonyana lispi zetu huku nikitembea kuelekea kitandani.

Nikamlaza kitandani Piyanka na kufungua vifungo vya shati lake, nikamvua sidiria yake na kuanza kuyanyonya maziwa yake yaliyo simama vizuri sana kifuani mwake. Piyanka akaendelea kutoa vilio vya kimahaba huku mikono yake ikiendelea kunipapasa kila mahali mwa mwili wangu.

“Ethan una nipenda kweli?”

“Yaa nina kupenda”

“Kwa kila hali una nipenda?”

“Ndio nina kupenda na hakika wewe ni mwanamke ambaye unaweza kufanikisha ndoto zangu”

“Apa kwa Mungu wako Ethan kama huto niacha”

“Haki ya Mungu nina kupenda Piyanka”

Mara baada ya kuapia taratibu Piyanka akanivuta na kuanza kuninyonya midomo yake. Nikamvua nguo zake zote na kujikuta nikistuka sana kwani Piyanka katika sehemu zake za siri ana jinsi mbili, jinsi ya kiume na jinsi ya kike jambo ambalo likasababishia hisia zangu zote kuniisha huku jogoo wangu akilala taratibu.



Mwili ukaanza kunitetemeka taratibu huku nikimtazama Piyanka ambaye naye yupo katika hali ya majonzi. Ukimya wa dakika kama tano hivi ukatawala ndani humu, nikavuta pumzi nyingi kisha nikaanza kuzishusha taratibu huku nikihakikisha kwamba nina pambana na wasiwasi wangu huu ulio nitawala. Taratibu Piyanka akanyanyuka na kukaa kitako huku akinitazama kwa masikitiko makubwa.

“Ethan”

“Mmmm”

“Ndio maana nilikuuliza kama kweli una nipenda. Natambua hali kama hii inawashinda wanaume wengi ambao wana nihiji.”

Piyanka alizungumza kwa sauti ya upole na unyonge mkubwa sana.

“Katika maisha yangu nilikuwa nina sikia kama kuna watu wanawake wana jinsi mbili, ila sikutarajia kama ipo siku nitakuja kukutana naye”

Piyanka taratibu akaanza kumwagikwa na machozi huku akitazama chini.

“Ila upendo wangu hauwezi kuyumba kwako. Ninakupenda Piyanka”

Nilizungumza kwa kujikaza ili kumpa matumaini ila ukweli ni kwamba nina ogopa kupita maelezo.

“Kweli Ethan”

“Ndio Piyanka. Nimekupenda kwa kila hali”

Taratibu Piyanka akanikumbatia kwa furaha huku akiendelea kulia.

“Ni jinsi gani ina fanya kazi kupita nyingine”

“Jinsi ya kike ndio ina nguvu, ila hii ya kiume haina nguvu kabisa”

“Kweli?”

“Ndio”

“Unaonaje tukatafuta madaktari professional wakakufanyia upasuaji na ukawa na jinsi moja”

“Nimesha jaribu kutafuta madaktari toka utotoni. Ila madaktari wengi wanadai kwamba nikifanyia upasuaji kuna uwezekano wa asilimia sabini na tano nikapoteza hisia zangu za kike na isitoshe wamedai kwamba nina weza kufa kabisa”

“Mumetafuta madaktari wangapi walio toa majibu hayo?”

“Kama ishirini na tano hivyo hadi mama yagu akakata tamaa na kuacha nikue hivi hivi.”

“Umesha wahi kufanya mapenzi na mwanaume?”

“Ndio nimesha fanya na boyfriend wangu wa kwanza kabisa ambaye kwa sasa ni marehemu alifariki kwa ajali ya gari miaka sita iliyo pita”

“Baada ya hapo?”

“Sikuwahi kukutana na mwanaume na nimekuwa nimekuwa nikitumia midoli ya mbo** kujiridhisha mwenyewe”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikijaribu kuirudisha hali yangu ya kawaida. Wasiwasi na woga ukaanza kupungua na mwishowe ukaisha kabisa na nikaona hali hii ni jambo la kawaida.

“Nikijaribu kukutafutia daktari bingwa. Upo tayari ukafanyiwa upasuaji?”

“Nipo tayari Ethan, hii hali nina ichukia sana. Siipendi, ninashindwa vaa hata chupi nikiwa beach kwa maana nian choreka”

“Sawa”

Nikauchukua mkono wa Piyanka na kuushikisha jogoo wangu ambaye taratibu alisha anza kurudi katika hali yake ya kawaida na ndani ya muda mfupi akarudi katika hali yake ya kawaida. Nikamuandaa Piyanka hadi akalainika na taratibu nikaanza kuliamsha dude na kusema kweli tunda la Piyanka ni tamu sana, ana joto kali sana ambalo linasababisha msisimko mkali sana kutawala mwili wangu.

Siku hii zima ikawa ni siku yetu ya furaha huku kila muda ambao Piyanka alihitaji utamu wangu sikusita kumpa. Siku iliyo fwata majira ya saa kumi na mbili jioni Piyanka akaanza kuondoka hotelini hapa, nikawasha simu yangu na nikaanza kukutana na mfululizo wa meseji nyingi kutoka kwa Biyanka. Huku meseji nyingine zikitoka kwa Mbilinyi. Nikampigia simu Mbilinyi na simu yake ikapokelewa kwa haraka sana.

“Mkuu upo salama?”

Mbilinyi alizungumza kwa sauti ya wasiwasi.

“Yaa upo wapi?”

“Nipo hapa kwako, shemeji yupo tu ndani ana Sali ana kuombea mabaya yasikupate huko ulipo”

“Ana sali?”

“Ndio kwa maana kila mmoja ana tambua kwamba umepatwa na jambo baya”

“Nilikuwa kwenye kikao cha siri ambacho sikuhitaji mtu yoyote aweze kukifahamu”

“Wapi mkuu”

“Nina kuja nyumbani sasa hivi”

“Sawa”

Nikakata simu na kuondoka ndnai humu. Nikakabidhisha kadi ya kufungulia mlango wa chumba nilicho kuwepo. Nikaingia kwenye gari langu na kuianza safari ya kurudi nyumbani kwangu. Kutokana na foleni za hapa na pale ikanichukua kama lisaa moja na nusu kufika nyumbani. Kitendo cha kuingia getini nikamkuta Biyanka akiwa amesimama kibarazani, nikashuka kwenye gari na kunikimbilia kwa haraka na kunikumbatia huku akilia.

“Ulikuwepo wapi mume wangu”

“Ni historia ndefu mke wangu”

Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na mshangao kwa maana Ethan amenieleza kwamba Biyanka atakasirika sana pale atakapo kutana na Camila na atakapo amua kumueleza kila kitu juu ya mahusiano yetu ya nyuma.

“Jamani pole. Kuna watu walikuteka kwani?”

“Tutazungumza mke wangu”

Nilizungumza huku nikimtazama Mbilinyi ambaye naye pia ametoka hapa nje.

“Habari mkuu”

“Salama”

“Samahani shemeji una weza kuniruhusu nikazungumza na mkuu”

“Sawa”

Tukazunguka eneo la nyumba hii na Mbilinyi, tukakaa kwenye eneo lenye baa ndogo ambayo ina vinywaji vya kila aina.

“Ulikuwa wapi?”

Mbilinyi alizungumza huku akinitazama kwa umakini sana. Kabla sijamjibu kitu chochote simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kukuta ni namba ya Piyanka, nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.

“Niambie mume wangu umesha fika nyumbani?”

“Yaa nime fika, nitakupigia baada ya muda kidogo”

“Sawa nami nimesha fika hapa nimetoka kuoga nataka kupumzika kidogo ili niupe mwili wangu nguvu kwa maana si kwa mechi zile. Sijawahi kutombw** goli nane”

“Hahaaa sawa baadae”

“Sawa nakupenda sana Ethan, yaani hapa umezikata nyege zangu zote. Yaani kisima hakina maji hapa”

“Haahaaaa haya baadae”

“Poa mpenzi wangu”

Nikakata simu na kuirudisha mfukoni.

“Ulikuwa na mwanamke?”

Mbilinyi aliniuliza huku akinikazia macho.

“Ndio”

“Kwa nini mkuu ikiwa, mke wako ni mzuri na ana kupenda sana”

“Ilikuwa ni lazima kwa mimi kuondoka jana na kurudi leo kwa maana nina zitambua hasira za mke wangu”

“Kwani mume kosana?”

“Hapana ila jana Camila alimfwata na kujitambulisha kwamba yeye ndio mwanamke halali kwangu. Hivi unahisi ni kitu gani ambacho kingetoka kama angenikuta hapa?”

Mbilinyi akashusha pumzi taratibu huku akinitazama.

“Sasa kwa nini hukuniambia mkuu”

“Ningekuambi ila Biyanka angekukaba sana na ungetoa siri. Nina mfahamu Biyanka angekuwa yupo hata tayari kukubana kuhakikisha kwamba una zungumza ni shehemu gani nilipo. Na ungeshindwa kumuongopea ndio maana sikuzungumza chochote kwa mtu yoyote”

“Ila siku nyingie kabla ya kwenda sehemu nyingine nina omba uwe una nifahamisha kwa maana ulinipa jukumu la kuyalinda maisha yako hivyo ni jukumu langu kufahamu kila sehemu ambayo utakwenda”

Mbilinyi alizungumza kwa msisitizo kana kwamba yeye ndio bosi wangu.

“Sawa nimekuelewa. Nisamehe katika hilo”

“Usijali mkuu. Ninaweza kumfahamu msichana mwenye?”

“Ni yule wa dula la pafyumu”

Mbilinyi akabaki akiwa ameduwaa tu.

“Ila tunza hii siri sihitaji mke wangu aweze kufahamu jambo la aina yoyote”

“Sawa nimekuelewa”

Tukarudi sebleni na kumkuta Biyanka akinisubiria moja kwa moja tukaelekea chumbani kwetu.

“Ulikuwa wapi mume wangu”

Biyanka alizugumza kwa sauti ya unyenyekevu huku akinitazama kwa upole hadi nikajihisi mkosaji kwake.

“Ahaa..nilikuwa nipo sehemu moja hivi”

“Haina jina mume wangu?”

“Ina jina ila ilikuwa ni kikao cha siri sana ambacho sikuweza kumueleza mtu yoyote kwa maana niliambia iwe siri yangu”

“Nani alikuwambia mume wangu jamani. Ukashindwa kuniaga hata mimi au huniamini mimi mkeo?”

“Nina kuamini sana mke wangu, ila kuna mambo mengine ya siri sana ambayo kama mume wako nina hitaji niyashuhulikie na endapo yatakamilika basi ndio nizungumze nawe”

Nilizungumza kwa upole huku moyoni mwangu nikisikia nafsi yangu moja ikinisuta kisawa sawa kwani sikuwa katika kikao cha aina yoyote ambacho kina usiri wa kumfanya mke wangu asifahamu.

“Sawa mume wangu. Ila ukiona siku nyingine kuna kikao kama hicho wewe niambie mke wangu nina kwenda kwenye kikao hata usipo nitajia ni kikao cha aina gani. Mimi ni muelewa na nitaelewa kwamba mume wangu upo katika hali ngumu. Hali ya kubanwa ndio maana umezima simu yako. Ila unapo ondoka kimya kimya, simu una zima na hata walinzi wako hujawaeleza kitu. Haki ya Mungu unatuweka katika wasiwasi mkubwa sana mume wangu. Sawa baba”

“Sawa mke wangu ninakuomba uweze kunisamehe katika hilo”

“Nimekusamehe katika kila jambo. Jana nilikuwa nime paki nguo zangu kwenye begi, nilihitaji kuondoka na kwenda kuishi mbali na wewe ila nikaona kufanya hivyo sio jambo sahihi kwenye maisha yangu ya mahusiano. Kumkimbia adui na kumuachia ngome ni kosa nikaona ni vyema nihakikishe kwamba nina pambana hadi tone langu la mwisho la uhadi wangu”

Maneo ya Biyanka kidogo yakanistua ila nikajifanya kama sifahamu jambo lolote.

“Una maanisha nini mke wangu sijakuelewa kwa kweli?”

“Jana kuna msichana alikuja ofisini kwangu. Ni mzungu asili yake ni mjerumani, alijitambulisha kwa jina la Camila na nina imani kwamba una lifahamu au una mfahamu?”

“Yaa nina mfahamu?”

“Alinipa mikwara kwamba niachache na wewe. Kwani yeye ndio mwanamke wako kwa kwanza toka mulipo kuwa watoto. Niliumia sana na nilijikaza sana kuto mjibu kitu kibaya yule dada kutokana ame nikuta nikiwa katika hali ambayo nina hofu ya Mungu ila kama angenikuta kipindi kile nikiwa simuamini Mungu na nina amini uwezo wa kibinadamu. Hakika pale kazini pange chimbika jana. Alijbaragazua sana kwangu na kunionyesha hadi picha zetu za kipindi hicho na akadai kwamba wewe una nitumia tu ili kulipiza kisasi cha wazazi wako. Niliumia sana Ethan na nikakuona wewe ni katili sana, ila nikasemezana na Mungu wangu ninakuita na kumuuliza kwamba ni kweli hili huyu msichna anacho kizungumza, ila Mungu alinifariji na kunieleza nipambanie mahusiano yangu na ndipo nilipo gairi kuondona nyumbani kwako.”

Nikaka kimya huku nikimsikiliza Biyanka kwa umakini, hasira dhidi ya Camila ikaanza kunitafuna moyoni mwangu taratibu.

“Ethan”

“Najua kwenye maisha kwamba hakuna mwanaume wa mwanamke mmoja. Hata kama mwanaume ana mpenda mke wake vipi ila ni lazima atachekupa na kuwa na mwanamke wa pembeni. Nakuonba sana Ethan wangu unipende niwe mwanamke wako wa kwanza. Hata ukichepuka tafadhali nina kuomba hao wanawake zako wa nje uweze kuwazuia wasinisumbe na wala siku usinionyeshee kwamba una mwanamke nitaumia. Nina moyo wa nyama na si moyo wa chuma. Tafadhali mume wangu”

Biyanka alizungumza huku akibubujikwa na machozi. Nikazidi kushangaa mara baada ya kumuona Biyanka akinipigia magoti huku akiendelea kulia kwa uchungu. Unyenyekevu wa Biyanka ukasababisha maumivu makubwa ya kujutia ni kwa nini nina msaliti mke wangu ni kwa nini nina mtendea mauvo mke wangu. Sijawahi kuona mwanamke kama huyu hapa duniani.

“Nakupenda sana Ethan wangu. Nakupenda sana mume wangu”

“Nina kupenda pia mke wangu. Nina omba unisamehee”

Nilizungumza huku machozi yakinibubujika usoni mwangu. Taratibu nikajikuta na mimi nikipiga magoti yangu chini na kumkumbatia kwa nguvu Biyanka.

“Nimekusemehe mume wangu ila nina kuomba jambo moja tafadhali”

“Niombe tu mke wangu nipo tayari kulifanya”

“Nakuomba ukumbuke kinga huko unapo chepuka.Wewe ni mwana michezo hakuna club kubwa duniani itakayo kusajili pale itakapo kuta kwamba afya yako sio nzuri. Hauto cheza vizuri pale utakapo jigundua kwamba una maradhi fulani mume wangu. Tafadhali sana nakuomba mume wangu kumbuka kondom ni bei nafuu ila zina umuhimu mkubwa kwa maisha yetu ya sasa na hata baadae kwa maana ni lazima tutakuwa na watoto, sihitaji watoto wetu hapo baadae waje kuzaliwa na maambukizi ya virusi ikiwa ni kosa la baba. Tafadhali sana mume wangu likumbuke hilo”

Maneno ya Biyanka yakazidi kunikata moyoni mwangu mithili ya kisi kikali kinacho katakata nyama. Hakikakama ni mke basi Biynka ni mwanamke mwenye ufahamu mkubwa na anaye jitambua nini thamani ya kuwa mke, ni tofauti sana na wanawake wengine wanao tanguliza wivu wa ajabu mbele na kusahau kuna maneno ambayo wakiwaambia waume zao kwa upole na unyenyekevu basi itakuwa ni silaha kubwa sana kumrudisha mume kwenye mstari kuliko kumueleza kwa ukali, jambo litakalo mfanya azidi kuendelea kuchepuka miaka kwa miaka hadi kufa kwake.



Machozi yakanibubujika taratibu, nikakumbuka jinsi nilivyo lala Qeen pamoja na Latifa, kumbukumbu za wanawake wote ambao nimetembea nao hadi huyu mpya Piyanka zote zikaujaza moyo wangu hatia kubwa. Nafsi moja ina nishauri niweze kufunguka kwa jinsi nilivyo msaliti kwa wanawake hawa na ikiwezekana nimtajie na majina yoa kabisa, ila nafsi nyingine ina sita kabisa. Taratibu Biyanka kwa kutimia vidole vya viganja vyake akaanza kunifuta machozi yanayo nibubujika usoni mwangu kimya kimya pasipo kuzungumza neno la aina yoyote.

“Muwa wangu nina kupenda sana”

Biyanka aliendelea kuzungumza kwa unyenyekevu na kuzidi kunipa maumivu, taratibu Biyanka akanikumbatia kwa nguvu na kuanza kulia taratibu.

‘Kwa nini nimekuwa ni shetani, kwa nini nimekuwa ni msaliti kwa huyu mwanamke?’

Nilijiuliza maneno hayo kichwani mwangu na kwa bahati mbaya nsikufanikiwa kupata jibu la haraka. Baada ya kama dakika ishirini hivi Biyanka kaanza kuandaa vitu vyote ikiwemo chakula. Usoni mwake hakuonyesha huzuni ya aina yoyote hata Mbilinyi mwenyewe alishindwa kugundua kwamba huko ndani nilipo toka nimetoka kwneye wakati mgumu sana ambao umepelekea moyo wagu kularuriwa vipande vipande.

“Boasi mbona umekuwa mnyonge, shemeji amefahamu?”

Mbilinyi aliniuliza kwa sauti ya chini sana huku tukiwa tumekaa sebleni.

“Hapana”

“Ila”

“Hivi kupigwa kwa ngumi na kwa maneno kupi kuna uafadhali?”

“Mmmm bora maneno mkuu”

Nikamtazama Mbilinyi kwa jicho kali kwa maana jibu lake alilo litoa nin aimani kwamba hajawahi kukutana na kibano cha meneno kama hichi nilicho kipitia mimi chumbani.

“Chakula tayari jamani”

Biyanka alizunugmza huku akisimama eneo la mezani. Tukanyanyuka na Mbilinyi na kuelekea katika meza hiyo ya chakula. Biyanka akaniandalia chakula changu na baada ya kusali sala ya chakula, akaanza kunilisha kwa furaha sana. Kusema kweli hata meno yangu yenyewe yamepoteza ujasiri na nguvu ya kutafuna hichi ninacho kitafuna. Nimekuwa mdogo kuliko kitu chochote humu ndani, nina jiona sina thamani yoyote.

“Mume wanngu kuna tatizo?”

“Mmmm!!!”

Nilistuka kutoka kwenye dibwi la mawazo ambalo bado linaendelea kutafuna kichwa changu.

“Unajisikia vibaya tukupeleke hospitali mume wangu”

“Hapana kuna mambo nina yawaza kidogo mke wangu”

“Jamani ndio umepoteza hata hamu ya kula”

“Ninakula mke wangu”

Nikaendelea kujilazimisha kula chakula hichi ambacho sikuhisi hata ladha ya ina yoyote kinywani mwangu. Nikabakisha chakla kichache sana, nikanywa glasi moja ya juisi ya chungwa, kisha nikaelekea chumbani kwetu. Nikaoga haraka haraka kisha nikarudi kitandani.

“Ethan”

Biyanka aliingia ndani humu huku akiniita.

“Naam”

“Kama una umwa twende muda huu mume wangu, usije ukazidiwa usiku”

“Hapana mke wangu ki afya nipo safi kabisa. Ila kuna jambo linanisumbu akilini mwangu”

“Ni muhimu sana la sisi kulizungumzia kabla ya kulala?”

“Nafikiri kwa maana nikiendelea kukaa nalo mimi hadi asubuhi pasipo kukushirikisha nina imani mishipa yangu ya kichwa ina weza kupasuka kwa kufikiria.

“Ni jambo gani hilo mume wangu!!”

Biyanka aliniuliza huku akiwa amejawa na shahuku kubwa sana usoni mwake. Nikamtazama kwa sekunde kadhaa huku nikichuja ni jambo lipi nimueleze.

“Siku hizi ambazo sikuonekana hapa nyumbani na kuto kupatikana hewani nilikutana na wafanya biashara wakubwa wawili wanao ishi Dubai”

Nilizungumza kwa upole huku nikidanganya kwani si wafanya biashara wawili nilio kutana nao.

“Eheee ikawaje?”

“Ahaa, walinishawishi sana juu ya kuingia katika biashara ya kutengeneza silaha za Nyuklia”

“What……..!!!! Ethan usije ukaniambia kwamba umekubaliana nao?”

Biyanka alizungumza huku akitawaliwa na mshangao ambao dhairi unaonyesha kwamba hajakubaliana na jambo hili.

“Walinibembeleza sana na wakanieleza ni faida gani ambazo ninaweza kuzipata na nchi kama nchi pia itakuwa na nguvu ya kuogopewa na mataifa mengine”

“Amani iliyopo inchini hapa ina tosha kabisa kuogopewa na mataifa mengine. Hapa ndipo ule usemi wa kusema mtu mpole ua mkimya muogope sana. Hii nchi ina ogopewa na mataifa mengi sana, nimekuwa nikiishia na viongozi mbalimbali wa hii nchi toka utotoni mwangu na nina elewa mfumo mzima wa hii nchi. Tafadhali Ethan nakuomba usije kudhubu kuifanya hiyo biashara mume wangu. Wewe, mimi kizazi chetu, tutaliliwa kwa damu ambazo zitakwenda kumwagika kwa hizo silaha ambazo mutazitengeneza. Usiwekeze hata shilingi kumi yako kwenye hilo jambo”

“Ila mke wangu nina tafuta nguvu”

“Nguvu ya nini? Kuwa raisi wa hii nchi au? Au unataka kuwa kina Adolf Hitler. Natambu kwamba umeishi Ujerumani kwa miaka mingi sana, umepandikizwa roho ya kijerumani. Ila kumbuka Ethan wewe ni Mtanzania tena mchaga wa hapo Moshi, kwa nini unataka nguvu ambayo sio asili yako. Nyerere baba wa taifa hili alihitaji kuwa na nguvu katikati ya wakoloni wa Kiingereza, ila hakutumia silaha. Kinywa chake na maneno yake ilikuwa ni nguvu tosha kuwafanya wakoloni waka stape down na akaichukua nchi kwa amani kabisa. Hakika nikiwa kama mke wako sikubaliani na wewe katika hili. Mambo mengine yote nitakuunga mkono ila hili ahaa Hapana kwa kweli”

Biyanka alizungumza kwa msisitizo ambao endapo nitaendelea kulilazimisha hili swala basi hakika ninaweza kumpoteza, unyenyekevu na heshima anavyo nipatia nina imani vinaweza kwenda kutoweka kwa ujinga na ubishi nitakao ufanya.

“Nimekuelewa mke wangu ndio maana niliamua kukuomba ushauri katika hili”

“Nashukuru kwa kunielewa mume wangu. Kuna mambo mengi sana ambayo napenda ufanye na ufanikiwe ila hili hapana”

“Sawa mke wangu nimezungumza hivi naona kichwa changu kimekuwa chepesi”

“Kweli”

“Ndio”

“Ninakupenda mume wangu”

Biyanka akanikumbatia, kisha taratibu akaniachia na kukilaza kichwa chake juu ya kifua changu. Tukaendelea kuzungumza mambo mawili matatu hadi nikajikuta usingizi ukinipitia.

***

Asubuhi kwa pamoja tukaelekea ofisini kwetu. Baada ya kufanya kikao na bodi ya wakurugenzi asubuhi hii, nikaelekea ofisini kwangu kuendelea na majukumu yangu ya kawaida. Nikawasha compture yangu iliyopo hapa mezani na kuziweka picha ya Biyanka na Camila kwa pamoja kisha nikaanza kuzitazama moja baada ya nyingine.

“Wote ni wazuri”

Sauti ya Ethna niliyo isikia nyuma yangu ikanistua sana na kujikuta nikigeuka kwa hasira.

“Nilisha kuambia kama unakuja uje nikiwa nina kuona. Mambo ya kunitokea nyuma hivi utaniua kwa presha”

“Hahaaa…..nisamehe rafiki yangu.”

“Poa nimekamehe. Ehee ulisema kwamba huyu ataondoka imekuwaje nimekuta nyumbani?”

“Ni mwanamke ambaye huwa nina shindwa kumsoma ufahamu wake wa kili na kuona ni nini kinacho fwata mbele yake. Japo ninaweza kuona ila huwa kina badilika wakati wowote”

“Kwa nini unashindwa?”

“Ana Mungu ndani yake. Tambua viumbe sisi na Mungu huwa ni mambo mawili tofauti ndio maana unaweza ona nashindwa hata kumuingia”

“Jana ameniambia vitu ambavyo sidhani kama mwanamke mwengine anaweza kuniambia kwenye maisha yangu”

“Nilivisikia vyote. Umeumia?”

“Kwa nini sasa nisiumie ikiwa ameniambia kitu cha ukweli”

“Unahitaji nini kwa sasa”

“Kumuoa Biyanka”

“Camila je?”

“Ndio nina angalia hapa yupi ana stahili”

“Katika maamuzi ya moyo siku zote sinto weza kukuamulia. Kwani hawa wanawake sinto ishia nao mimi, wewe ndio utakaa nao hivyo unapaswa kuwa makini katika kufanya maamuzi yako isije baadae ukaja kujutia”

“Usijali nitalifanyia kazi. Huyu Piyanka ana jinsi mbili una weza kumsaidiaje?”

“Kuna daktari yupo nchini Ujerumani. Muambie aende atafanyiwa upasuaji na atakuwa katika hali ya kawaida”

“Kweli?”

“Ndio”

Ethan akaniandikia jina la daktari huyo kwenye kikaratasi, namba zake za simu pamoja na mji anao patia katika nchi ya Ujerumani. Baada ya Ethan kuondoka nikampigia simu Piyanka na kumueleza maelezo hayo ya wapi anaweza kumpata huyo daktari.

“Waoo unataka kuniambia anaweza kunitoa kwenye hii hali mume wangu?”

“Yaa anaweza kukufanyia upasuaji mzuri sana na ukawa sawa”

“Nashukuru sana, ngoja niandae mipango ya kuelekea huko ila ninaomba twende wote”

“Hapana mpenzi kuna mambo napaswa kuyashuhulikia. Wajulishe wazazi na ikiwezekana ukakatane nao huko ili uwe katika uangalizi mzuri sawa”

“Sawa mpenzi ile ningejawa na furaha sana kama ningekuona wewe”

“Usijali tutawasiliana kwa kila jambo linavyo kwenda”

“Sawa”

Nikakata simu na kuiweka mezani kwangu. Biyanka akafungua mlango na kuingia, kwa haraka nikatoa picha zao kwenye hii compture yangu.

“Niambie mume wangu”

“Safi”

“Muda wa kupata kifungua kinywa. Nikakuletee au tukanywee nje ya hapa”

“Mmmmm una jihisi njaa sana?”

“Hapana nipo vizuri tu, ila sijui wewe mume wangu”

“Usijali tutakwenda lunch kula pamoja”

“Sawa mume wangu. Ngoja basi nikaendelee na majukumu yangu”

Biyanka akanibusu mdomoni mwangu kisha akaondoka eneo hili. Nikachukua simu yangu na kuanza kupitia akaunti zangu zote za benki ninazo zimiliki. Pia nikapitia akaunti zote za kampuni zangu na kukuta zikiwa zimepanda kiuchumi. Nikapata wazo moja ambalo hakika likanifanya nikurupuke kwenye kiti nilicho kikalia na kutoka nje ya ofisi yangu.

“Vipi bosi”

Mbilinyi aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kuna sehemu nahitaji unipeleke”

“Wapi?”

“Wewe twende”

“Nimueleze madam?”

“Hapana nahitaji twende”

Nikaingia kwenye gari sisi wawili na kuondoka hatukuhitaji kuongozana na walinzi wengine. Nikaelekea kwenye moja ya kanisa kubwa la Lutherani hapa Dar es Salaam.

“Naomba nisubirie hapa”

“Utakuwa salama mwenyewe huko ndani?”

“Ndio nitakuwa salama wewe nisubirie hapa”

Nikamuacha Mbilinyi ndani ya gari nikashuka na moja kwa moja nikaelekea katika ofisi za kanisala hili na kwa bahati nzuri nikafanikiwa kukuatana mchungaji mkuu wa hili kanisa. Mchungani huyu kwa haraka akaweza kunifahamu na akanikaribisha kwa heshima kubwa sana.

“Karibu mtumishi wa Mungu”

“Nashukuru sana mchungaji”

“Taasisi yako kwa kweli inazidi kutusaidia, tunapata misaada yako bwana Ethan”

Kusema kweli sikujua kama taasisi yangu niliyo ianzisha miaka mingi kusaidia watu wanye mahitaji barani Afrika hususani nchini Tanzania, imezaa matunda.

“Nashukuru kusikia hivyo mchungaji. Nina jambo moja sana la muhimu ambalo limenileta hapa”

“Zungumza tu kijana wangu”

“Ninahitaji kufunga ndoa leo hapa kanisani kwako je inawezekana?”




Mchungaji akashangaa na macho yakamtoka huku akijaribu kuzungumza neno ila akashindwa. Akakaa kwa sekunde kadhaa, nikashuhudia jinsi kifua chake kinavyo panda na kushuka taratibu, akimaanisha ameshusha pumzi nzio.

“Kijana wangu kwa taratibu za kanisa ni lazima muweze kupitia mafundisho ya ndoa. Muweze kutangazwa kwenye ibada zetu za kila jumapili ili kama kuna pingamizi liweze kuwekwa mapema. Hivi kwa haraka haraka inaweza leta shida kwangu na kanisa kwa ujumla”

Mchungaji alizungumza kwa upole sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Hivi ndio vigezo ambavyo vinasababisha nisioe leo au?”

“Ndio mwanangu. Nina imani kwamba wewe ni muelewa sana na unatambua hizi taratibu za kanisa na isitoshe kwamba hujawahi kusali kanisani kwetu na ili uweze kufunga ndoa katika kanisa hili ni lazima uwe na cheti cha cha safari kutoka labda katika kanisa la KKKT ulilo kuwa una sali hapo awali mwanangu”

Nikaka kimya huku nikfikitia ni kitu gani niweze kumjibu mchungaji kwa haraka.

“Sawa, nitakatisha misaada yangu katika tasisi zenu wote. Unatambua kwamba swala la ndoa ni swala la heri. Swala la ndo ni swala ambalo halihitaji watu wakake na kuanza kutangazana makanisani. Ninampenda mwanamke niliye naye na nina muheshimu pia. Hivyo kama haiwezekani baba mchungaji. Samahani sana naomba niondoke”

Nikasimama ila mchungaji akaniwahi kunishika mkono.

“Tulia kwanza mwanangu. Nakuomba ukae”

Taratibu nikakaa huku nikimtazama mchungaji usoni mwake.

“Kwani harusi yako umesha zungumza na mwezako?”

“Ndio maana nimekuja hapa kanisani. Nahitaji kufunga ndoa ya haraka sana na kama ni mashahidi wawili watakao simamia harusi yetu basi wanaweza kupatikana”

“Je ninaweza kujua ni kwa nini unafunga ndoa ya haraka namna hiyo?”

“Kwa sababu, niliye naye ni mwanamke ambaye sihitaji kumpoteza. Natambua kwamba unafahamu mimi ni maarufu, nina julikana na watu wengi sana. Sitaki ndoa yangu ije kuwa ndoa ya kupoteza garama nyingi za kualika watu wengi ili niridhishe tu mioyo. Nahitaji kuhakikisha kwamba nina funga ndao itakayo uridhisha moyo wangu na si mioyo ya walimwengu”

“Mwanamke uliye naye ana vigezo vya kuwa mke wako wa milele. Au unafanya maamuzi kwa ajili ni mrembo ambaye hana tabia nzuri ya kutoka ndani ya moyo wake ana kuigizia?”

“Ana tabisa njema, ni mwanamke ambaye hapo awali niliamini hana chochote juu yangu ila nilipo zidi kukaa naye na kumfahamu basi nimeweza kugundua mambo mengi sana kutoka kwake na amenivutia na kunidhibitishia kwamba yeye ni mwanmke wa maisha yangu”

“Sawa mwanangu. Hapa ngoja niweke uchungaji pembeni na nikushauri kama baba. Je unafahamu familia ya binti huyo vizuri?”

“Ndio nina ifahamu”

“Unaweza kunitajia, maana wanaweza kuwa ni miongoni mwa watu ninao wafahamu au nilio wahi kuwasikia”

“Ni mtoto aliye kuwa mgombea uraisi katika uchaguzi ulio isha hivi karibuni, mtoto wa mzee Poul Mkumbo”

Mchungaji macho yakamtoka huku akionekana kujawa na mshangao mkubwa sana.

“Ethan mwanangu ni kipi kimekuingiza kwenye hiyo familia?”

Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa nikaona nikificha ukweli wa kile ninacho kihitaji haito kuwa jambo jema wala jambo lenye maana mbele za Mungu na hata mchungaji huyu.

“Mzee huyo ni mtu aliye niulia wazazi wangu”

“What……!!!!”

“Ndio, aliwaua wazazi wangu na niliwashuhudia kwa macho yangu. Niliingia kwenye familia yake kama mkwe na nilihitaji kulipiza kisasi kwenye familia hiyo na kila kitu kilicho tokea, ikiwemo kukosa uraisi mimi ndio nipo nyuma ya hilo jambo.”

“Utajisikiaje pale binti yake atajaribu kulipiza kisasi juu yako mara baada ya kujua ukweli huo”

“Tayari anaufahamu ukweli, sikumficha mara baada ya kufanikiwa kwa asilimia sabini katika harakati zangu.”

“Amelichukuliaje hilo jambo?”

“Lilimstua ila kwa matendo ya baba yake, aliweza kunielewa na amesimama upande wangu toka siku ambayo nilishambuliwa kwa risasi, alifunga na kuomba. Alimlilia Mungu siku zote ambazo nilikuwa kitandani. Hadi nina kuja kuzinduka, alikuwa upande wangu. Hospitali niliyo lazwa ni mbali na Tanzania na kama angeamua kuni angamiza basi ingekuwa ni kazi rahisi kuutoa uhahi wangu.”

“Juzi tu alifwata na mwanamke wangu wa zamani na akamkanya aweze kuachana na mimi. Na juzi hiyo hiyo nilitoka kumsaliti kwa mwanamke mwengine ila alinisamehehe na kunishauri kwa hekima sana. Kuna mamilioni ya wanawake katika ndao ila wengi wao hawana akili ya kuishi na waume zao. Hata wewe ni mchungaji sidhani kama mke wako akisikia kambwa kuna mshirika una tembea naye, sijui kama hato kasirika”

“Mmmm kwa mke wangu na vibao atarusha”

“Umeona. Ila yeye alinishauri kwa hekima kubwa sana, alijishusha hadi nika shangaa na si kama ni mwanamke ambaye amefwata pesa au utajiri nilio nao. Hapana, amenipenda mimi kama mimi na wala ahitaji vitu vingine vingine”

Mchungaji akashusha pumzi taratibu.

“Kama yupo hivyo usimuache ni mwanamke sahihi kwenye maisha yako. Dunia sasa hivi imetekwa sana na shetani. Watu wengi wana penda pesa kuliko kumpenda Mungu ama ndoa zao. Ndoa nyingi nimefungisha kwenye masha yangu, ila nyingi zimevunjika. Nimegundua kitu cha tofauti kwako na watu wengine. Umeweka umaarufu na pesa zako pembeni na una hitaji ndoa ya siri. Tofauti sana na vijana wanao changishana michango kwa ajili ya kuwadhihirishia watu kwamba wana oa na mwisho wa ndoa hizo ni ugomvi na kuonana wabaya na kutukanana. Nimesuluhisha ndoa zisizo pungu mia moja ndani ya hili kanisa. Nyingine ni za vijana na nyingine ni za watu wenye makamu yangu ila ukija kuchunguza sababu kubwa, hekima imekosekana ndani yao. Endapo ikitokea mmoja akashindwa kujishusha katika yao na wote wakajiona ni mafahari basi ule usemi wa mafahari wawili hawawezi kukaa zizi moja hapo ndio hutimia”

“Ni kweli mchungaji”

“Nimeliridhia ombi lako. Umenijapanga kufunga ndoa saa ngapi?”

“Jioni majira ya saa kumi na mbili”

“Sawa nitaandaa, na hii ni bussines card yangu. Ukiwa unakuja huku basi utanipigia simu niweze kuandaa maandalizi. Uje na mashahidhi wawili ambao tayari wamesha funga ndao.”

“Sawa mchungaji nashukuru sana. Unaitwa mchungaji Peter Shemkunde?”

“Yaa kama ilivyo andikwa hapo kwenye bussines card yangu”

“Asante mchungaji”

“Nashukuru na ninakutakia maandalizi mema”

Tukaagana na mchungaji Peter na nikarudi kwenye gari nilipo muacha Mbilinyi.

“Mbilinyi hivi una fahamu sehemu ambayo wana chongesha the best wedding rings?”

Swali langu kidogo likamstua Mbilinyi.

“Yaa nina fahamu mkuu. Vipi unataka kufunga ndoa?”

“Ndio”

“Serious?”

“Ndio huniamini Mbilinyi?”

Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na tabasamu pana usoni.

“Usije ukaniambia kwamba una taka kuoa mwanamke mwengine tofauti na Biyanka?”

“Yeye ndio mwanamke wa maisha yangu. Tena nina muoa leo hii na wewe na mke wako nahitaji muweze kusimama ndoa yangu”

“Leo hii?”

“Ndio jioni ya leo hii. Nahitaji iwe ndoa ya sisi waanne na mpiga picha mmoja ikiwezekana yule kijana wako wa mambo ya IT basi tumchukue yule”

“Ohooo MUNGU wangu. Unajua siamini hichi ninacho kisikia boss”

Mbilinyi alizungumza kwa furaha sana.

“Niamini tena nataka kufanya ndoa hii suprize kwa mke wangu”

Kwajinsi Mbilinyi alivyo changanyikiwa kwa furaha akanikumbatia kwa nguvu huku akicheka sana na kunipiga piga mgongoni.

“Sasa hayo ndio maamuzi ya kiume mdogo wangu. Katika siku zote ulizo nifurahisha leo yaani furaha inatoka ndani kabisa ya moyo wangu. Daaaa!!! Niambie nini nifanye hili jambo litimie mkuu”

Furaha ya Mbilinyi ikapelekea hadi machozi kuanza kumwagika usoni mwake.

“Mmmmm cha kwanza twende kwa sorana”

“Eheee”

“Baada ya hapo twende kwenye maduka ya suti na magauni makali. Nina imani kwamba una fahamu kipimo cha mke wako nami nina kifahamu kipimo chake”

“Yaa hilo halina shida nina mfahamu mke wangu ni mwaka wa sita sasa ndani ya ndoa, nitaachaje kujua ana vaa nini”

“Hapo umenena kaka. Kuanzia sasa mambo ya bosi au mkuu sitaki kusikia. Wewe ni kaka yangu na unakwenda kuwa best man wangu. Ndoa yangu ikiyumba jukumu la kuiweka sawa ni wewe umenielewa”

“Daaa usijali mdogo wangu. Hii ni nafasi ambayo sikuwahi kuiwazia kwenye maisha yangu. Nashukuru sana”

Tukaondoka kanisani hapa na moja kwa moja tukaelekea kwenye duka kubwa la sonara maarufu hapa jijini Dar es Salaam.

“Nahitaji pete ya garama kubwa ziwe mbili naweza pata”

“Wewe tu bosi wangu, pata pete yoyote hitaji”

Muhindi huyu alizungumza kiswahili cha kung’ata ng’ata meno.

“Ukinichongea leo si ninaweza kuzipata?”

“Within a half and hour unapata bosi wangu. Tena sasa kuna peta moja juzi ndio toka kupata maarifa yake kwa kichwa, kama wewe taka nita tangeneza”

“Ipo vipi hiyo pete”

“Hiyo pete ni gold mix kidogo na diamond. Ila tuna weka na divices ambayo saidi nyinyi jua ni wapi mmoja wenu yupo. Fano wewe kwenda Arusha na bibi baki hapa daa, pitia mobile phone, bibi au wewe weza jua mke wangu yupo sehemu fulani.”

“Hiyo imekaa vizuiri Ethan”

“Kwa hiyo mkuu hapo unataka kuniambia nikiwa hata karibu na mke wangu zinaweza kuonyesha kwenye simu zetu kwamba tupo karibu”

“Ndio lete me show you”

Muhindi huyu ambaye ni mnene kiasi na ana kitambi kikubwa akaingia ndani ya mlango ulipo ndani ya hii ofisi yake. Akatoka akiwa na pete hizo ambazo ni nzuri sana.

“Hii made for me and my wife. Na tayari nime connect na simu yangu hapa. Ona inavyo fanya kazi?”

Muhindi huyu alitoonyesha jinsi alama nyekundu zinayo onekana kwenye simu zake hizi mbili huku simu moja akidai ni simu ya mke wake. Akaniomba niweze kusogea mbali kidogo na simu ya mkewe pamoja na pete moja na kweli nikaweza kuona jinsi alama simu hizi zinavyo achana na nilipo rudi kwenye kiti, alama hizi zinazo onekana kwenye simu zikaungana katika simu zote mbili.

“Hapo onyesha alama ya kopa kwamba mupo pamoja”

“Aisee dunia ina mambo mengi. Ehee ndio kiasi gani?”

“Hii anza kwa dola kaki mbili na nusu kwa pete zote mbili. Sasa weka weza ongeza gram ikawa nzito na nzuri zaidi ya hizi ni wewe tu vile taka”

“Nikisema nataka kila pete igarimu one million usd itawezekana?”

Muhindi huyu macho yakamtoka, hakika hakutarajia kusikia dili kubwa kama hili.

“Maanisha zote kuwa na thamani ya dola milioni mbili?”

“Ndio nahitaji ziwe the best rings ever ambazo hakuna mtu mwengine anaye weza kuzichongesha hapa duniani. Sijui umenielewa?”

“Elewa wewe vizuri sana”

“Payment nafanya vipi?”

“Weza yumia cradet card, paypal au master card”

“Nitatumia master card”

Muhindi huyu akanitajia namba za akanti ya hii kampuni yake, nikaingiza kiasi chote cha pesa na akanipatia na risiti na tukamuahidi tutarudi baada ya lisaa moja. Tukarudi kwenye gari na kuanza safari ya kuelekea katika duka la nguo za kike hususani magauni.

“Kama akikimbia yule mhindi itakuwaje?”

“Hawezi kukimbia, pia ni rahisi sana, nazirudisha pesa zangu. Uzuri system niliyo itumia, yeye hato weza kuitoa ile pesa ndani ya msaa sita. Hivyo baada ya masaa sita pesa inaweza kutolewa au kuhamishwa kwenda kwenye akaunti nyingine. Hivyo akikimbia baada ya hili lisaa, imekula kwake, atakimbia na hewa”

“Hahaa hapo utakuwa umempatia. Ila unajua kiwango ulicho kiweka ni kikubwa mkuu?”

“Yaa natambu hilo, ule ni utajiri na ulinzi tosha. Hapa nitanunua simu mpya yangu na mke wangu na tuta weka namba mpya kabisa. Hivi vijidudu watu wasije wakanivunjia ndoa yangu”

“Hapo umezungumza.”

Tukafika katika duka la magauni, tukapokelewa vizuri, nikamuelezea dada huyu mmiliki wa hili duka sifa za mke wangu jinsi alivyo.

“Ninaweza kumuona kwenye pic?”

“Yaaa”

Nikamuonyesha dada huyu.

“Wao she is my real friend na jana tu nilitoka kuzungumza naye”

“Unamfahamu!!”

Nilimuliza kwa mshangao mkubwa sana.

“Yaa anaitwa Biyanka Poul Mkumbo.”

Nikahisi kuishiwa nguvu kwani mpango wangu wa kufanya harusi hii kuwa ya siri kubwa, siri itakuwa imeishia hapa kwa rafiki yake huyu ambaye sijui kama ataweza kutunza hili jambo hadi pale nitakapo likamilisha.



“Ndio”

“Nilisoma naye from kindagaten to high school. Tumekuwa ni ndugu sasa, mara nyingi she told me about you.”

“Ohoo my god. So unaweza kunisaidia kitu kimoja”

“Mmmmm tell me”

“Don’t tell her anything about this issue. Kwani nina mfanyia siri sana tena sana. Nimekuwa suprized sana kusikia kwamba una mjua. But sio ishu kubwa, tafadhali hakikisha kwamba husemi chochote sawa shemeji”

“Usijali ikiwa ni jambo la heri kwake. Siwezi kuzungumza chochote na kuna gauni moja alilipenda sana ngoja niwaonyeshe na alisha wahi kuniambia siku ikitokea kwamba ana olewa basi atapenda nishonee gauni hilo”

“Hembu tuone”

Binti huyu akatupeleka hadi kwenye eneo lenye mdoli mkubwa ulio valia gauni hilo.

“Hii ni Italian style. So analipenda sana”

“Ila hili ni kama kubwa kiasi”

“Yaa ila nina weza kuli fix na kuliweka kwa vipimo vyake”

“Si unavifahamu?”

“100%”

“Sawa fanya hivi litengeneze alfu…….”

Simu yangu ikakatisha sentensi yangu, nikaitoa mfukoni mwangu na kukuta ni Biyanka ndio anaye nipigia.

“Mke wangu”

“Baby mbona haupo ofisini kwako. Nimekuja twende lunch nimekuta haupo, upo wapi mume wangu”

“Ahaa…nimetoka mara moja ni dharura mke wangu ila naomba usitoke, nisubirie”

“Usije ukaniambia kwamba umekwenda kukutana na wale wafanya biashara wa nyuklia ndio maana hukuniaga?”

“Hapana mke wangu, nipe kama saa moja hivi nitarejea”

“Mmmm but nina njaa”

“Vumilia one hour mke wangu nitakuwa hapo”

“Sawa nakupenda mume wangu”

“Nakupenda pia mke wangu”

“Take care”

“You too”

Nikaka simu huku nikishusha pumzi taratibu na kumfanya shemeji yangu huyu mpya kutabasamu.

“Hajafahamu. Eheee niambie ni kiasi gani?”

“Hili ni dola elfu sita”

“Sawa na viatu pia si muna uza?”

“Yaa tuna uza”

“Hujui anapenda viatu gani?”

“Vipo huwa ana penda viatu vya flat hivi huku”

Tukaelekea upande wenye viatu, akatuonyesha viatu ambavyo Biyanka ana vipenda.

“Kumpamba si pia muna pamba?”

“Yaa nitalifanya mimi hilo zoezi for free kabisa”

“Sasa Ethan hapa akipabwa si inaweza kumstua na kujua kuwa ana kwenda kuolewa na wewe una hitaji iwe ruprize.”

“Hilo nalo neno kaka. Hapa nafikiria nini cha kufanya”

“Nina wazo shemeji”

“Wazo gani?”

“Nitampigia simu siku ya harusi yenu na kumuita hapa dukani kwangu mapema sana”

“Shemeji siku ninayo taka kumuona ni leo”

“Today!!?”

“Yaa”

“Ohoo Mungu wangu this is big suprize to her. Sasa tubadilishe plan”

“Ehee tuambie. Alafu sijajua jina lako”

“Naitwa Magret ila wanawependa kunikatisha na kuniita Sister Mage.”

“Ehee nipe plan yako shem Mage”

“Nitampigia simu muda mukiniambia nimpigie. Akija hapa nitampamba kama kawaida tu alafu gauni nyinyi mutakwenda nalo kanisani au mimi nitakwenda nalo kwenye kanisa ambalo muataka kufungisha ndoa hiyo. Tukifika hapo, nitaomba japo ofisi niweze kwenda kumshuhulikia haraka haraka na muta funga naye ndoa”

“Unajua nilitaka kumuingiza kanisani kwa kumfunga kitambaa”

“Yaa ina wezekana. Si ana kuamini na chochote utakacho muambia kwamba afanye ata fanya?”

“Ndio”

“Basi mimi nitakuwa ofisini, utamleta ukiwa umemfunga kitambaa usoni na nitamvalisha vizuri na kanisani ataingia akiwa katika hali hiyo ya kufungwa kitambaa. Kikubwa uwe karibu naye”

“Hapo umezungumza. Tusimame kwenye plan yetu”

“Sawa sawa”

Nikafanya malipo ya kila kitu na nikachukua namba ya shemeji.

“Gauni la wasimamizi muna uza?”

“Hapana, ila kuna rafiki yangu yupo Sinza pale ana duka lake la nguo nzuri za wasimamizi wa harusi munaweza kupata.”

Dada Mage akatuelekea katika dula la rafiki yake huyo. Hatukuchukua muda mrefu sana kufika katika duka hilo na kupokelewa vizuri. Mbilinyi akamchagulia mke wake gauni la rangi ya dhahabu fulani ambayo ni nzuri kwa muoenkano wake na ina vimweko mweko vingi sana. Tulipo maliza maandalizi ya msimamizi, tukaelekea moja kwa moja kwenye maduka ya suti na tukanunua suti za rangi ya dark blue pamoja na mashati meupe. Tukaelekea nyumbani kwa Mbilinyi na tukamuelezea mke wake kila jambo tunalo taka kulifanya siku ya leo.

“Shemeji yaani nimefurahi sana. Umekuwa mtu mwema sana kwenye familia yangu nami nitahakikisha jambo lako linafanikiwa kwa asilimia mia moja”

“Nashukuru shemeji binti yenu nina weza kumuomba akawa msimamizi wetu”

“Hakuna shida inawezekana shemeji”

“Basi naye aandaliwe”

“Usijali Ethan. Mama Charity, mpeleke dukani mtoto ukamnunulia gauni zuri. Hilo la kwako umeliependa?”

“Yaa nimelipenda ni zuri sana mume wangu. Asante sana na Mungu akubariki”

“Amen”

Baada ya hapa kumaliza kila kitu hapa nyumbani kwa Mbilinyi tukaondoka huku suti zetu tukiziacha hapa.

“Mama mkwe wako una panga kumjulisha?”

“Ohoo nimesahau na yule mama wa watu ana nipenda sana. Ngoja nimpigie simu”

Nikaitafuta namba ya mama mkwe kwenye simu yangu nikaipata. Nikampigia, simu yake ikaita sana na kukatika, nikarudia tena kumpigia na ikapokelewa.

“Mama”

“Niambie mwanangu za masiku?”

“Salama mama yangu, heshima yako”

“Nashukuru mwanangu. Ume nisusa”

“Wee acha tu mama. Upo wapi?”

“Nipo kwangu huku Mwanza”

“Upo MWANZA!!!”

“Ndio mbona una shangaa, au Biyanka hajakuambia kwamba nipo mwanza?”

“Ahaa nahisi nimesahau. Sasa mama nikikuomba uje Dar es Salaam leo itawezekana”

“Mmmm vipi Ethan kuna tatizo lililo mpata Biyanka?”

“Hapana mama, ila nime kumiss kukuona”

“Niambie tu kama kuna tatizo mwanagu nijiandae sasa hivi nichukue ndege ya saa tisa nije huko”

“Hakuna tatizo. Wewe ni mama yangu, siwezi kukuficha jambo, ila usimueleze Biyanka hadi pale swala litakapo kamilika.”

“Swala gani?”

“Nahitaji kumuona leo jioni Biyanka. Nimemfanyia suprize naamini hata kwako wewe ni suprize ila ukweli ndio huo mama yangu nataka kumuoa mwanao”

“Heee, kweli ni suprize. Kama ni jambo la heri acha nipande ndege nije huko.”

“Nashukuru sana mama kwa kunielewa, ila nina kuomba chondechonde usimuambie chochote Biyanka”

“Siwezi kumuambia. Ehee mumejipanga vipi na sherehe?”

“Bado hatujatafuta hoteli?”

“Ahaa basi kama ni hoteli, mutakuja huku mwanza. Sherehe ikiisha tunapanda ndege tunarudi Mwanza au hilo swala una onaje mwanangu?”

“Mmm ni zuri mama ila kuna rafiki zangu wachache ambao pia watahusika kwenye hii sherehe una onaje tukaifanyia hapa Dar na mapumziko kama ya wiki tukaja huko mwanza?”

“Sawa baba yangu hilo ni jambo la heri pia. Nina jiandaa sasa hivi nina kuja mwanangu”

“Nashukuru mama”

Nikakata simu huku nikiwa nimejawa na furaha. Tukaelekea kwa sonara na kwa bahati nzuri tukakuta ndio ana malizia pete yangu kwani kipimo cha kidole cha pete nilimpatia. Pete hizi hakika zina onekana vizuri sana na zimetengenezwa kwa ubora mkubwa sana.

“Hiyo peta miaka mia moja, wezi haribika chochote. Hata ingia ndani ya maji wewe bado signal weza onyesha wewe wapi ulipo”

“Ohoo ipo vizuri”

“Yaa na weka jambo jengine zuri sana. Pale moja wenu ingia labda hoteli na kuwa na mtu mengine na wote wawili vua nguo basi ina piga alarm kwa mwenzi julisha kwamba wewe saliti yeye”

“Hee!!!”

“Hahaa hii kali Ethan. Hapo amefanya vizuri”

“Kwahiyo unataka kuniambia nikivua tu nguo na mchepuko naye akivua ina sens na kumjulisha mke wangu kwamba nina msaliti?”

“Ndio”

“Je tukiwa sisi wawili mimi na mke wangu?”

“Hakuna madhara”

“Sasa itajuaje kama huyu ni mke wangu?”

“Yeye pia takuwa vaa hiyo pete hivyo hakuna madhara”

“Mmmm je nikiivua na kuiweka pembeni na kufanya yangu na mchepuko”

“Wewe vua, kule piga alarm pia, julisha kwamba pete vuliwa na bibi yako ita muonyesha wapi wewe ulipo”

“Ehee Mungu. Ehee je mchepuko asipo vua nguo ana mimi nisipo vua nguo na tukapiga show ile ya juu juu, vipi weza leta madhara?”

“Hiyo mimi sijaweza gundua. Kua umesema lete ni niweke hivyo system”

“Asante ina tosha mzee wangu. Hayo mengine tumuachie Mungu atupiganie”

Mbilinyi akaangua kicheko kikubwa sana kwa maana kwa kupitia hii pete hakika nitakwa nimebwana kwa asilimia tisini nisichepuke ila silimia kumi tu nikizitumia basi ninaweza kuchepuka bila kukamatwa. Tukaagana na sonara huyu na pete hizi akaziweka katika viboski vilivyo tengenezwa kwa dhahabu tupu, kisha nikasaini fomo ya makabidhiano kisha tukaondoka eneo hili.

Mbilinyi akanirudisha ofisini na akaahidi kwenda kutafuta hoteli nzuri na yenye hadhi kubwa sana.

“Hakikisha kwamba haito kuwa hoteli yenye wapambe wengi”

“Niamini”

“Kuwa makini kaka, saa kumi na moja tunatakiwa kuwa kanisani. Fanya ufanyavyo bye saa kumi na moja tuwe kanisani”

“Sawa”

Tukaagana na Mbilinyi na moja kwa moja nikaelekea ofisini kwa mke wangu na kumkuta akiwa anaandika moja ya karatasi.

“Vipi mbona upo mbio mbio”

“Bora umekuja mume wangu. Rafiki yangu mmoja hivi anaitwa Magreth amenipigia niaelekee Mikocheni kule ana duka lake moja la nguo ameniomba niende mara moja”

“Sijawahi kumsikia huyo rafiki yako?”

Nilijifanya kama sijui chochote kile.

“Yaa ni kweli, sikuwahi kumzungumzia siku hata moja. Ila ni rafiki yangu wa muda mrefu. Toka tupo vidudu hadi chuo kikuu tumekuwa pamoja. Ila nina omba ruhusa yako mume wangu niweze kwenda huko”

“Sawa ila kuwa makini. Hakikisha huchezi mbali na walinzi”

“Usijali mume wangu nipo makini na hakuna baya litakalo nitokea.”

“Haya vipi njaa imekata?”

“Mmmm nitawahi kurudi nyumbani nikakupikie”

“Hapana leo nitakupeleka hoteli moja tukale chakula cha usiku”

“Kweli mume wangu?”

“Yaaa”

“Bye saa ngapi niwe nime rudi?”

“Kumi na moja kasoro uwe hapa ofisini”

“Sawa mume wangu. Nimesha maliza kusaini hizi fomo kwa ajili ya kutengezwa tangazo jengine huko Rwanda.

“Haya mke wangu”

Tukanyonyana lipsi zetu na Biyanka kisha akatoka ofisini humu, akaondoka eneo hili la kampuni na walinzi wawili kuelekea kwa rafiki yake. Nikanyanyua simu na kumpigia dada Mage.

“Mke wangu ana kuja si umemuita?”

“Ndio shemeji”

“Hakikisha kwamba haoni namba yangu kwenye simu yako na hakikisha una mpamba hadi nimsahau kama ni yeye”

“Hilo tu shemeji. Mimi ni profesionla. Utanipa asilimia zungu ukimuona”

“Nashukuru”

Nikakata simu huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana. Nikaeleka ofisini kwangu na kuanza kuzitazama pete hizi ambazo baada ya muda mchache mbele yetu zita kuwa vidoleni mwetu na hii itakuwa ni safari nyingine ya maisha yetu. Gafla mlango ukafunguliwa na nikastuka sana kumuona Camila akiwa ameongozana na sekretari wangu ambaye ana msisitizia asiweze kuingia ofisini kwangu humu bila ruhusa.

“Muache tu hana tatizo. Nenda kaendelee na kazi yako”

Nilizungumza huku nikiingiza viboksi hivi vya pete kwenye mfuko wa koti la suti nililo livaa, pasipo kuonekana na mtu yoyote. Camila akatembea kwa hasira hadi kwenye kiti kilichopo mbele yangu. Sura yake dhairi inaonyesha ni mtu aliye kuja kwa shari.

“Camila vipi?”

“Juzi nilimfwata huyu malaya wako na nikampa onyo kwamba aachane na wewe na atafute sehemu nyingine ya kwenda kujishikiza kufanya kazi ila hakunisikia na akaniona mimi fala na mjinga sana.”

Camila alizungumza kwa hasira kubwa sana huku akinikazia macho.

“Camila mke wangu mbona una zungumza maneno makali sana?”

“Makali? Nimechoka Ethan kwa ngonjera zako na kunifanya mimi mtoto mdogo. Kama ni mission unayo itaka kuifanya hapa Tanzania sasa imekwisha, chagua mambo mawili. Moja tukapande ndege sasa hivi na kurudi nchini Ujerumani au mbili katika gari alilo ondoka nalo malaya wako na walinzi ulio wapatia, nimelitega bomu, nililipue akafie huko alipo kwenda. UCHAGUZI NI WAKO.”

Camila alizungumza huku akiwa ameshika simu yake ambayo akiminya batani nyekundu ninayo iona basi Biyanka wangu na walinzi wake wote watakwenda kufa kwa mlipuko wa bomu hilo.



Nikashusha pumzi taratibu huku nikimkazia macho Camila. Tukatazamana kwa dakika kama mbili huki nikindelea kuidadisi sura yake.

“Umefikia hatua ya kumtegea bomu mtu ambaye ana nisaidia kukamilisha kisasi changu kwa akili zako fupi si ndio?”

Nilizungumza kwa ukali sana huku nikiendelea kumkazia Camila macho.

“Endapo atakufa basi tambua mimi na wewe ndio basi hapa duniani na nitahakikisha nina kuua kwa mkono wangu mimi mwenyewe.”

Camila akatabasamu kwa dharau iliyo changanyika na hasira.

“Unanitisha kunai. Sawa nikifa mikononi mwako sio mbaya kwa maana nitakua nimekufa kwenye mikono ya mwanaume ninaye mpenda”

Camila bila ya kujishauri mara mbili akaminya batani hiyo. Kwa mbali tukasikia mlipuko mkubwa sana ambao ukanifanya nikimbilie dirishani na kuchungulia nje. Kutokana hapa ni gorofani niliweza kushuhudia eneo linalo toa moshi mwingi sana, katika mtaa wa pili na tumetenganishwa na nyumba ambazo sio rahisi kwa mimi kuona gari la mke wangu jinsi linavyo teketea. Nikaihisi kifua changu kinataka kupasuka kwa hasira, hata koti hili la suti nililo livaa hakika nikahisi linanibana sana.

“Am cryz about you Ethan and I LOVE YOUUUUUUUUUU”

Camila alizungumza kwa sauti ya juu sana ambayo ilizidi kunipandisha hasira. Nikamsogelea Camila na kuyashika mabega yake kwa nguvu, akajilegeza akishiria kama ni kumuua basi niweze kufanya hivyo. Ving’ora vya gari za zima moto nikaanza kuvisikia katika eneo la chini ya hii gorofa.

“Niue, Ethan niue”

Camila alizungumza huku akimwagikwa na machozi. Hakika hata nguvu ya kumfanya chochote ikaniishia na kijikuta nikimuachia na kuivamia meza yangu na kuanza kumwaga kila kitu kilichopo juu ya meza hiyo. Mlango ukafunguliwa na sekretari wangu akaingia mara baada ya kusikia miparanago ndani ya ofisi hii.

“Mkurugenzi”

Sekretari wangu aliniita huku akinitazama kwa wasiwasi na woga mkubwa. Camila hakijitingisha wala kumgeukia sekretari huyo.

“Niite walinzi?”

Nikamnyooshea mkono sekretari wangu na kumkataza asifanye jambo hilo.

“Camila ondoka ofisini kwangu”

“Siendi sehemu yoyote. Nimejitoa maisha yangu kwa ajili yako nimekuwa ni mtu wa kukusubiria na kunidhihirishia kwamba una mwanamke mwengine. Kumbuka mimi na wewe tumekua pamoja toka shuke. Kumbuka jinsi ulivyo kuwa una baguliwa shuleni kwa ajili ya rangi ya ngozi yako. Nilikuwa ni mtetezi wako. Leo hii una kampuni kubwa ndio una nidharau mimi eheee”

“Hei toka nje”

Nilimuambia sekretari wangu kwani kuna mambo hapaswi kuyasikikia. Sekretari wangu akatii hilo. Gafla simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kuitazama kwa sekunde kadhaa na kukuta ni namba ya mke wangu. Mikono ikaanza kunitetemeka sana kwani nina hisi mtu ambaye ana piga simu atakuwa msamaria mwema ambaye anataka kunipa habari juu ya kufa kwa mke wangu. Nikaipokea simu yangu na kuiweka sikioni mwangu bila ya kuzungumza chochote.

“Mume wangu, umesikia huo mlipuko?”

Swali la Biyanka likaniacha mdomo wazi na kujikuta nikimtazama Camila ambaye hajatambua ninazungumza naye.

“Ndio nimeusikia”

“Kuna gari fulani ya wazungu walikuwa wana tufwatilia nyuma yetu na dereva aliweza kuwacha kwa umbali kidogo, sasa hao ndio wamelipuka”

“Weee”

“Yaa tena lina namba za ubalozi wa Ujerumani nahisi kwamba watakuwa wametumwa na yule mwanamke aliye kuja juzi ofisini kwangu”

“Pole kwao”

“Yaani wee acha hapa sisi ndio tuna karibia kufika kwa rafiki yangu”

“Sawa kuwa makini”

“Usijali mume wangu nina kupenda sana. Na nina imani kwamba Mungu ana makusudi nami katika siku hiii ya leo”

“Ni kweli”

“Haya mume wangu, nikimaliza huku nitakujulisha”

“Sawa”

Nikakata simu na kuidumbukiza mfukoni mwa suruali yangu. Nikatembea hadi katika mlango wa ofisi yangu na nikaufunga kwa ndani huku wasiwasi na woga juu ya kufa kwa mke wangu ukiwa umeisha na Camila kwa ujinga wake mwenyewe ame waua watu wake. Nikasimama nyuma ya Camila na mikono yangu ikayashika maziwa yake na kuanza kuyatomasa taratibu. Camila akaanza kulainika huku akitoa miguno ya kimahaba, nikamuinamisha na kumshikisha meza yangu ya hapa ofisini, nikaivua kidogo suruali yake pamoja na chupi aliyo ivaa. Nikamtoa jogoo wangu ambaye tayari amesha simama.

‘Nisamehe Biyanka mke wangu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimzamisha jogoo wangu ndani ya kitumbua cha Camila na kumfanya atoa mguno wa kimahaba. Nikakaanza kumtomb** kwa nguvu zangu zote jambo lililo mfanya alalame kwa raha na kila jinsi nilivyo zidi kuendelea ndivyo jinsi maumivu yalivyo anza kumpata.

“Unaniniumiza mume wangu, mbo** yako inagusa kwenye kizazi changu”

“Tulia nina maliza”

Nilizungumza huku nikiongeza kasi ambayo ikamfanya Camila ajichomoe yeye mwenyewe huku akiyumba yumba miguu nikambeba kwa nguvu na kumlaza kwenye moja ya sofa iliyomo haoa ofisini, nikaendelea kumshulikia hadi nikamaliza mzunguko wangu wa kwanza. Hakika Camila amechoka sana, isitoshe sikumuandaa katika kufanya zoezi hili.

“Nenda ubalozini”

“Mbona haraka hivyo mume wangu”

“Nina kuomba nenda ubalozini. Umekuja na gari lako?”

“Ndio nimekuja na walinzi wangu. Acha niwapigie”

Camila akanyanyuka na kuichua simu yake aliyo iweka juu ya meza. Akaminya minya simu yake na kuiweka sikioni mwake. Sura yake ikawa kama mtu mwenye wasiwasi kidogo.

“Vipi?”

“Hawapatikani”

“Jaribu kuwapigia tena?”

“Nimewapigia wote wawili kwenye namba zao ila hawapatikani na si jambo la kawaida kwa wao kuto kupatikana.”

“Ngoja niagize dereva wa kampuni akupeleke kwenye ubalozi wako”

Camila akakubaliana na mimi kishingo upande. Hasira yote ambayo aliingia nayo humu ofisini imekatika. Nikampigia dereva wa kampuni na kumuomba afike ofisini kwangu. Nikajiweka sawa nguo zangu, hata Camila na yeye mwenyewe akajiweka sawa nguo zake, nikamnyonya denda kwa sekunde kadhaa kisha nikafungua mlango wa ofisi yangu.

Baada ya dakika kamoja moja dereva akaingia ofisini humu, nikampa maagizo ya kumfikisha Camila katika ubalozi wa Ujerumani.

“Sawa mkuu”

“Hakikisha humsumbui dereva wangu”

“Hapa nina kwenda kulala si kwa hichi ulicho nifanya mume wangu”

“Sawa”

Camila na dereva wakaondoka ofisini kwangu. Nikamfwata sekretari wangu katika ofisi yake.

“Haya yaliyo tokea ofisini kwangu leo usimuambie mtu wa aina yoyote sawa”

“Sawa mkuu”

“Nenda kaipange imechanguka”

“Sawa mkurugenzi”

Nikaelekea ofisini kwa mke wangu na kukaa huku nikifikiria jinsi Camila alivyo na akili mbaya.

“Si mke wa kuoa huyu”

Nilijikuta nina zungumza mwenyewe.

“Yaa sio mke wa kuoa”

Sauti ya Ethan ikanistua kidogo, akatembea hadi kwenye kitika ambacho kina tazamana na kiti nilicho kikalia. Akaka taratibu na kunitazama usoni mwangu.

“Sasa kwa nini ana kuwa hivi?”

“Kuna mlolongo mmoja mrefu sana wa familia yake na ana roho ya kurithi”

“Roho ya kurithi kutoka kwa nani?”

“Kwa mababu zake wa zamani ambao wana ukoo mmoja na Adolf Hitler. Hivyo unaweza kuona jinsi damu inavyo fwata mkondo. Kwake jambo la kulipiza kisasi ni jambo la kawaida sana”

“Mmmm sasa kwa nini usiniambie mapema toka nilipo kuwa naye shule.”

“Ili uweze kufanikiwa kweye maisha na kufika kwenye pointi fulani. Nilazima utimie watu kufika katika daraja lako la mafanikio. Laiti kama usinge mtumia Camila leo hii usinge kuwa umekalia hichi kiti”

“Ila alisha wahi kujaribu kuniua?”

“Nakumbuka vizuri, ila bila ya kumrudisha tena mikononi mwako kipindi kile usinge fika hapa.”

“Haya sasa Ethan nishauri nimfanye nini huyu mwanamke?”

“Ahaa simama kwenye mpango wako ulio ufanya leo hii”

“Sawa je lile bomu ambalo alidai amelitega kwenye gari la mke wangu ni nani alilitoa?”

“Mimi, sikuona haja ya mke wako kufa ikiwa hana hatia. Pia ni mwanamke ambaye ninamshangaa kwa kweli, siwezi kusoma kesho yake, ana nguvu za kimungu ndani yake ndio maana kuna mambo ninaweza kuyazungumza hivi na yakenda tofauti kabisa na vile nilivyo kueleza.”

“Hivyo nikimuoa Biyanka nitakuwa nimefanya jambo sahihi?”

“Asilimia mia moja, ila kukiwa na viasihira vya yeye kubadilika basi nitakujulisha mapema sana”

“Nashukuru rafiki yangu kwa kumsaidia mke wangu”

“Usijalia. Mwanamke mwenye akili na mke mwema si yule anaye pambana kumdhuru mwanamke mwenzake kisa wana mume mmoja. Mwanamke mzuri ni yule anaye hakikisha kwamba ana linda mapenzi yake kwa mume wake na ikiwezekana ana yaongeza kwa asilimia kubwa tofauti na ilivyo kuwa hapo awali”

“Nimekuelewa”

“Nakutakia ndoa njema rafiki yangu. Nimeipitisha ndoa hii kwa asilimia mia moja”

“Nashukuru sana. Ingekuwa kuna uwezekano ningemuona dada yangu”

“Usijali nitamjulisha kwamba ume funga ndoa”

Tukakumbatiana na Ethan kwa furaha, kwani siku ya leo ni siku ya ndoa yangu na Biyanka afahamu chochote. Ethan akatoweka mbele yangu na kuniacha nikiwa na furaha. Nikampigia Biyanka simu kwa mfumo wa video, baada ya sekunde kadhaa akapokea.

“Ndio mume wangu”

“Waooo umependeza ndivyo unavyo pambwa hivyo?”

“Yaani shemeji yako, kitendo cha kufika tu hapa ameniomba nikaoge kisha aanze kunipamba”

“Heee hajakuambia kwa nini?”

“Ndio ameniambia ana taka leo anipendezeshe tu”

“Hahaa, sawa mke wangu pendeza tu ila hakikisha kwamba huchelewi”

“Usijali mume wangu. Shemeji yako yupo fasta kwenye kazi yake”

“Poa baadae”

“Hapo ni ofisini kwangu?”

“Ndio”

“Mbona umehamia ofisini kwangu?”

“Nina hamu ya kuisikia harufu yako nzuri mke wangu. Hapa nipo humu ndani nahisi kama nawe upo ndani humu”

“Hahaa jamani mume wangu una vituko. Sawa asante mume wangu nitarudi”

“Sawa baadae mke wangu nina kupenda sana”

“Nina kupenda pia mume wangu”

Nikakata simu, hazikupita hata sekunde tano simu yangu ikaita na nikaipokea namba hii ya Mbilinyi.

“Ethan nimefanikiwa kupata ukumbi mmoja ila upo kwenye boti moja hivi. Ni mzuri sana”

“Hembu nitumie picha niweze kuuona”

“Sawa mkuu”

Mbilinyi akanitumia picha zote za ukumbi huo. Ni ukumbi ambao ni mzuri sana. Baada ya kukubaliana na Mbilinyi kwamba tutauchukua ukumbi huo kwa shuhuli ya leo, akarudi ofisini hapa, tukaelekea nyumbani kwake na kuchukua suti zetu kisha tukampitia Biyanka katika duka la dada Mage.

“Waoo umependeza sanamke wangu”

Nilizungumza mara ya kumuona Biyanka.

“Asante mume wangu yote haya ni kwa ajili ya rafiki yangu. Mage kutana na Ethan huyu ndio mwanaume nina mpenda, ni shemeji yako. Ethan huyu ni rafiki yangu yule niliye kuwa nina kuadisia”

“Nashukuru kukufahamu shemeji Ethan”

“Hata mimi nina shukuru kukujua”

Tulijifanya kama hatujuani kabisa.

“Shemeji una itwa nani?”

“Naitwa Magreti au Mage”

“Ahaa asante sana kwa kukujua. Kama huyo jali nina kuomba nimchukue bibi”

“Haina tabu shemeji, mimi nimesha maliza kazi ya kumpendezesha mke wako”

“Hahaa kazi nzuri. Sasa hivi wacha tuelekee kwenye hoteli tupate chakula kwa maana ni saa kumi na moja kasoro”

“Yaaa”

Tukaagana na Magreti kisha tukaondoka pasipo Biyanka kufahamu kama tunafahamiana. Baada ya Biyanka kuingia kwenye gari, nikamuita Mbilinyi tuzungumze.

“Wewe mchukue huyu dada na timu yake watangulie kanisani. Wakampambe na mke wako huko huko, mimi nitakuja na mke wangu nikiwa nimemfunga kitambaa.”

“Sawa Ethan mama mkwe ume sha wasiliana naye?”

“Hajanijulisha kama ame fika ila nitampigia”

Kabla hata Mbilinyi hajazungumza kitu, simu yangu ikaita na nikaona ni namba ya mama mkwe. Nikaipokea na akaniuliza ni wapi ambapo ndoa yangu itafungwa. Nikamueleza kanisa ambalo anapaswa kutangulia na akaniahidi kwamba atafika hapo kabla yetu.

“Sawa mama”

Nikakata simu na kuingia kwenye gari.

“Mbona Mbilinyi ana baki hapa?”

“Kuna kazi nime mpa aifanye. Tutaonana naye baadae”

“Ahaa sawa”

Tukaondoka eneo hili na moja kwa moja tukaelekea hadi katika hoteli moja ya hoteli iliyopo katikati ya jiji. Tukapata chakula na nikamtumia meseji mchungaji kwamba aandae mazingira ya ndoa yangu na akanijibu kwamba kila kitu kipo tayari.

“Mke wangu nataka nikufanyie suprize moja hivi ila ni lazima nikufunge macho yako ili usiione na uwe mvumilivu hadi pale tutakapo fika eneo la tukio”

“Mmmmm Ethan ni suprize gani hiyo hadi unifunge macho yangu?”

“Wewe tulia mke wangu utaiona tu.”

“Isije ikawa ni mbaya mume wangu”

“Siwezi kukufanyia surpize mbaya mke wangu hata siku moja. Wewe niruhusu niweze kukufanyia hiyo suprize”

“Sawa nipo tayari mume wangu”



Tukamaliza kupata chakula hichi cha jioni. Tukaingia kwenye gari, nikachukua kitambaa cheusi ambacho nimekiandaa kwa ajili ya kumfunga Biyanka machoni mwake.

“Ngoja kwanza mume wangu, unataka kuniambia kwamba hiyo suprize yako ni kubwa sana kiasi cha kunifunga macho na kitambaa?”

“Yaa niamini”

“Sawa mume wangu”

Nikamfunga Biyanka macho yake na tukaianza safari ya kuelekea kanisani pasipo yeye mwenyewe kufahamu. Safari ya kanisani haikutuchukua muda mwingi, tukafika huku nikiwakuta watu wote nilio waandaa wakiwa wamesha fika kanisani ikiwepo mama mkwe. Kutokana wote wana fahamu ni kitu gani ambacho kina endelea hapa kila mmmoja akaka kimya. Uziri katika kanisa hili ipo nyumba ya mchungaji, tukakabidhiwa chumba kwa ajili ya kumpamba bibi harusi.

“Mume wangu mbona una nivua nguo?”

Biyanka aliniuliza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Usijali mke wangu kuna gauni zuri nahitaji kukuvalisha”

“Kuna mtu pembeni yangu ehee?”

Tukatazamana na da Mage ambaye ndio niliye muandaa kumvisha gauni hili la harusi.

“Mmmm yaa”

“Ni nani?”

“Usijali mke wangu ni mtu ambaye atakuvalisha hili gauni?”

“Ni mwanamke au mwanaume?”

“Siwezi kumpa kazi hii mwanaume”

“Mmmm mbona nina sikia harufu ya Mage”

“Mage? Mage gani?”

“Rafiki yangu ambaye tulimuacha kule dukani kwake?”

“Mmmm labda bodyspray zina fanana”

“Hapana mume wangu. Kuna harufu ya watu wanne huwa nina ifahamu hata kama wapake manukato ya aina gani haziwezi kunitoka kichwani mwangu. Moja ni wewe, pili ni mama, tatu ni baba na nne ni Mage”

Kauli ya Biyanka ikanifanya nikose cha kujitetea. Nikamfungua kitambaa usoni mwake ili aweze kuona kinacho endelea. Biyanka macho yakamtoka, mshangao ukamtawala usoni mwake huku ukiambatana na kigugumizi. Kwani gauni kubwa la harusi analo liona mbele yake limemfanya akose cha kuzungumza.

“Kuwa na furaha sasa”

“Nini kinacho endelea mume wangu?”

“Leo ni siku yetu mimi na wewe kuunganishwa duniani hadi mbinguni”

“Ethan serious?”

“Ndio”

“Mage niambie ni kweli anacho kizungumza shemeji yako?”

“Yaa na hapa tulipo tupo kanisani”

Mage alizungumza huku akifunua pazia la dirisha moja lililopo hapa chumbani. Biyanka akayashuhudia mandhari ya kanisa kwa haraka akanisogelea na kunikumbatia kwa nguvu huku akimwagikwa na machozi ya furaha. Akaanza kunipiga mabusu mfululizo.

“Nakupenda, nakupenda Ethan wangu”

“Nakupenda pia mke wangu. Tuna kila kitu kizuri kwenye maisha yangu ila hii ndio zawadi ya pekee ambayo ninaweza kukupatia mke wangu”

“Nashukuru mume wangu, nakuahidi kwamba mtoto ndio zawadi ambayo nani nitamuomba Mungu niweze kukupatia”

Tukakumbatiana kwa dakika tano huku hisia kali za kimapenzi zikiwa zimetutawala.

“Shemeji muda”

Dada Mage alizungumza kwa upole huku naye machozi yakiwa yana mlenga lenga usoni mwake. Nikamuachia Biyanka taratibu, kisha nikampiga busu la mdomoni.

“Naenda kujiandaa na mimi”

“Sawa mume wangu”

Nikatoka chumbani hapa na mama mchungaji akanionyesha chumba ambacho ameingia Mbilinyi. Nikamkuta Mbilinyi akiwa amemaliza kujiandaa, nani nikaanza kujiandaa huku kila kitu cha leo kikiwa ni kipya, kuanzia suti, viatu hadi nguo za ndani. Nikavaa saa ya dhahabu, mbilinyi akaniweka sawa koti langu la suti pamoja na tai.

“Hapo ume poa mdogo wangu”

“Nashukuru sana”

Nikazitoa pete zangu kwenye mfuko wa koti nililo livaa, nikazitazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaziweka mfukoni mwangu mwa suruali.

“Upo tayari”

“Ndio, japo mapigo ya moyo yana nidunda dunda”

“Hahaaa unajua siku ya leo ni muhimu sana kwenye maisha yako hivyo mapigo ya moyo kwenda kasi ni jambo la kawaida. Jambo la msing jiamini mdogo wangu”

“Nashukuru”

“Kitu kingine hakikisha kwamba hukumbuki mambo ya nyuma. Ikiwemo yale maisha ya wanawake ulio pitia. Mtu wa kumfikiria kwa sasa kichwani mwako ni mke wako mtarajiwa”

“Sawa sawa”

Nikavuta pumzi nyingi kisha taratibu nikaziachia kisha tukatoka chumbani hapa. Tukakuatana na mama mkwe akiwa amependeza na yeye.

“Waooo umependeza sana mwanangu hakika sina budi kukukabidhi mwanangu kw amoyo mmoja”

“Nashukuru mama”

“Sawa tangulia kanisani. Mimi acha nikuletee mke wako”

“Asante sana mama”

Tukaelekea kanisani huku vijana wawili wa Mbilinyi wakwa makini katika kuhakikisha wana rekodi video ya kila tukio linaloe ndelea katika kanisa hili. Ulinzi wa vijana wa Mbilinyi umetawala kanisa zima kuhakikisha kwamba hakuna jambo baya linalo weza kutokea kwenye sherehe yetu. Tukamkuta mchungaji akiwa amesimama madhabahuni akitusubiria.

“Pete unazo Ethan?”

“Ndio mchungaji”

“Hembu nizione”

Nikatoa pete hizi mfukoni na kumuonyesha mchungaji. Akatingisha kichwa akiashiria kuzikubali. Hakika harusi yangu sikuhitaji watu wengi sana, na humu kanisani yupo mpiga kinanda mmoja tu huku watu walio ongezeka ni mama mke, dada mage, mke wa Mbilinyi, mwanaye pamoja na walinzi. Baada ya dakika kama kumi hivi Biyanka kaanza kuingia kanisani humu huku akiwa ameongozana na mama yake pembeni huku mke wa Mbilinyi akifwata kwa nyuma. Mchungaji akanipa ishara ya kumfwata mke wangu hadi sehemu waliyo simama. Mama mkwe akanikonyeza kisha akanikabidhi mkono wa Biyanka na tukaanza kutembea kuelekea eneo la mbele alipo mchungaji, huku sauti ya kinanda ikiendelea kuburudisha mioyo na masikio yetu. Tukasimama mbele kabisa huku Biyanka akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake. Mchungaji hakutaka kupoteza muda, akaanzisha ibada hii taratibu, huku akituongoza kuzungumza baadhi ya viapo katika vitabu vya dini. Muda wa kuvishana pete ukawadia, nikamkabidhi mchungaji pete zetu, akaziombea kisha akamkabidhi kila mtu pete yake.

Nikaanza kumia kuzungumza kiapo cha ndoa kisha nikamvisha pete Biyanka huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Biyanka naye akakiri kiapo cha ndoa kisha akanivisha pete jambo lililo mfanya mama mke kupiga vigelele kanisa zima japo yupo peke yake ila nguvu ya furaha aliyo nayo moyoni hakika ikamfanya aweze kufanya tukio hilo.

“Sasa nyinyi ni mwili mmoja. Bwana Ethan unaweza kumbusu mke wako”

Nikamsogelea Biyanka kwa ukaribi kabisa kisha nikaanza kuzinyonya lipsi zake hadi nitulipo ridhika ndipo nikamuachia. Tukatia saini katika vyetu vyetu vya ndoa kisha mchunganji akamaliza ibaba na tukatoka kanisani hapa. Gari zipatazo nane zinazo fanana nikakuta zimesimamisha hapa nje.

“Wewe ndio umezianda hizi gari?”

Nilimuuliza Mbilinyi huku nikizishangaa hizi gari zinazo tengenezwa na kampuni yangu.

“Ndio mkuu”

Tukaingia mimi na mke wangu kwenye moja ya Range rover velar ambazo zina fanana na nyingine na zote ni mpya kabisa.

Taratibu tukaanza kuondoka kanisani hapa huku gari hizi zikiendeshwa na walinzi wa Mbilinyi.

“Kuna mambo mengi sana mbayo mke wangu utakwenda kuyafahamu sasa kuhusiana na mimi”

“Kweli mume wangu?”

“Ndio mke wangu, nitahakikisha kwamba hujutii kuwa na mimi”

Biyanka akaanza kuninyonya lispi zangu huku furaha ikiendelea kumtawala usoni mwake. Tukafika eneo la bandarini na gari hizi zote zikaruhusiwa kuingia. Tukashuka na kuingia kwenye boti kubwa sana ambayo Mbilinyi aliindaa kwa ajili ya sherehe hii.

“Waooo unajua mume wangu kila kitu nina hisi kama nina ota”

“Hauoti mke wangu”

“Yaani siamini, kweli maisha yana wez akubadilika ndani ya siku moja”

“Haaha umeona ehee”

“Yaa”

Boti hii ikaanza kuondoka bandarini hupa huku walinzi wa Mbilinyi wakiendelea kuimarisha ulinzi katika boti hii. Tukaendelea kuburudika kwa shangwe nyingi sana huku tukinywa na kucheka.

”Sasa nendeni mukanitafutie mjukuu”

Mama mke walituaomba tuondoke ukumbini hapa na kuelekea kwenye chumba maalumu kilicho andaliwa ndani ya boti hii kwa ajili yetu.

“Jamani mama”

“Yaa saa saba sasa, acheni sisi tunywe nyinyi kanitafutieni mjukuu. Ethan mwanangu hulimi lami, hakikisha sasa una lima shamba la mke wako kisasa sasa. Nataka mazao sawa mwanangu”

“Sawa mama”

Nilizungumza kwa furaha, nikambeba Binyanka wangu na moja kwa moja tukaeleka katika chumba hicho kilichopo chini ya boti hii. Ni chuma kikubwa sana ambacho kina kila kitu. Ukiwa ndani ya chumba hichi ni ngumu sana kufahamu kama upo ndani ya boti. Hatukupoteza muda, tukaanza kuvuana nguo na kwa haraka tukajitupa kitandania na kaunza mtanange huu ambao ni wa kwanza kabisa toka tuingie kwenye maisha yetu ya ndao. Kwa mvinyo tulio kunywa na mke wangu hakika ukatufanya tupambane kisawa sawa. Hapakuwa na mtu ambaye alihitaji kuw amnyonge kwa mwenzake. Ikawa ni piga ni kupige, bampa tu bampa.

Hadi tunamaliza mizunguko mitatu, kila mmoja amechoka kisasa sawa, hapakuwa na mtu aliye na hamu ya kushuka kitandani na kwenda bafuni kuoga.

“Haa mume wangu leo umenitomb*** kwa kweli”

“Hata wewe umezungusha kiono tofauti na siku zako zote”

“Kweli mume wangu”

“Kweli, yaani umenikuna miwasho yangu yote kwa kweli”

“Nashukuru mume wangu”

Taratibu Biyanka akakilaza kifua chake kifuani mwangu huku akilitega sikio lake vizuri akisikilizia mapigo yangu ya moyo jinsi yanavyo kwenda kasi.

“Mke wangu”

“Beee”

“Hivi huwa una fahamu nina miliki nini na nini?”

“Mmmmm, najua una miliki kampuni ile ya simu pamoja na kampuni ulizo niambia kwamba zipo nchini Ujerumani”

“Sawa unatakiwa kufahamu mali zangu sasa kwa maana wewe ni mke wangu halali wa ndoa”

“Hakuna tatizo mume wangu”

“Mwaka jana nilinunua kampuni mbili za utengenezaji wa magari. Kampuni ya Range Rover pamoja na kampuni ya BMW”

“Weee”

“Yaaa hizi gari zote tulizo kuja nazo ni mali yangu, japo hapo awali sikuweza kukuambia moja kwa moja”

“Waooo ni jambo zuri sana mume wangu”

Tukaendelea kuzungumza mambo mengi ambayo Biyanka hakuwahi kuyafahamu hapo awali, hadi usingizi ukaanza kumpitia taratibu na tukajikuta tukilala usingizi fofofo.

Gafla kishindo kizito kikanifanya nifumbue macho yangu, nikamtazama Biyanka aliye kilaza kichwa chake kifuani mwanagu na hakuweza kustuka wala kujitingisha. Mlango wa chumba chetu ukafunguliwa kwa nguvu na akaingizwa mlinzi wangu mmoja huku akibingirishwa sakafuni. Sote tukastuka sana na tukaka kitako kitandani huku tukimtazama mlinzi huyu anavyo vuja damu. Macho yetu yakanisi kama tunacho kiona hivi sasa ni ndoto, nikamshuhudia mzee Poul Mkumbo akiingia ndani humu huku akiwa ameongozana na Mbilinyi pamoja na walinzi wengine ambao hawa siwafahamu. Biyanka kwa haraka akaliwahi shuka na kujisitiri mwili wake kwa kuufunika.

“Mbilinyi ni nini kinacho endelea. Mkamate huyo mzee kumbuka ni adui yangu”

Nilizungumza kwa kubabaika na kumfanya mzee Poul Mkumbo kucheka sana, nikamtazama Mbilinyi usoni mwake na nikamuona na yeye akitabasamu. Kitu kilcho zidi kunistua zaidi ni pale mbilinyi alipo ninyooshea bastola yake huku akiendelea kutabamu.

“Ohoo Ethan nilishindwa kukujulisha. Ethan na baadhi ya walinzi wake baadhi wote ni watu wangu na nilimpandikiza kwako awe mpelelezi wa kila jambo unalo lifanya. Sasa naamini utakuwa umefahamu kwamba nina nguvu kuliko wewe. Mbilinyi muue huyo ngedere”

Mbilinyi bila ya kukwepesha mkono wake wa kuume ambao umeshika bastola hiyo. Akamtandika risasi nne za kifuani mlinzi huyu aliye ingizwa ndani humu kwa kubiringishwa jambo lililo nifanya ninyong’onyee na kuishiwa nguvu kabisa, kwani mtu niliye muamini na kumpa jukumu la kunilinda kwenye shida na raha leo amenisaliti tena katika siku ambayo sikuwaza kabisa kama ataweza kunisaliti.




Mzee Poul Mkumbo akatabasumu kisha taratibu aka chuchumaa na kuokota gauni la mke wangu, kisha akamrushia.

“Vaa uondoke na mimi mwanangu”

“Baba siwezi kuondoka na wewe, mimi tayari ni mke wa mtu. Nimeolewa na pete hii hapa”

Biyanka alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Akaingizwa mama mkwe akiwa ameshikiliwa na wasichana wawili warefu huku mikono yake ikiwa imefungwa pingu. Mzee Poul Mkumbo aka ikoki bastola yake na kumuwekea mama mkwe bastola ya kichwa.

“Mama yako au mume wako. Chagua mmoja kati ya hawa nani una mtaka?”

Kauli ya mzee Poul Mkumbo ikamfanya Biyanka kuangua kilio kikubwa sana ambacho hakika kina lilia ndani ya moyo wangu. Sisi watu wa wili ni muhimu sana kwake, hususani mama ambaye alimuweka tumboni miezi tisa na kumzaa kwa uchungu. Sikuhitaji mke wangu ajawe na majuto ya kuniacha mimi katika uchaguzi huu na kumchagua mama yake.

“Mama, namchagulia mama kwa niaba yake”

Nilizungumza kwa kujikaza huku mapigo ya moyo yakiendelea kunienda kasi sana. Biyanka akanitazama kwa mshangao huku macho yakiwa yamemtoka kisawa sawa.

“Ethan”

“Mama ana fahamu uchungu wako. Ninakupenda wewena mama na sitaki uugawe upendo wako kati yetu sisi nenda upande wa mama. Baba yako ana nihitaji mimi pekee na si wewe. Hata nikiwa sasa hivi tambua wewe upo moyoni mwangu milele”

Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu. Biyanka hakujali wingi wa watu waliomo humu ndani, akashuka kitandani huku akiwa uchi kabisa na kusimama mbele ya baba yake.

“Niue kwanza mimi ndio uwaue mama na Ethan”

Mzee Ethan akatabasamu taratibu huku akimtazama Biyanka usoni mwake. Gafla akampiga sehemu ya shingoni na Biyanka aka anguka mzima mzima na kupoteza fahamu. Nikataka kushuka kitandani mwangu ila midomo ya bastola za watu wa mzee Poul Mkumbo zote wamenielekezea mimi.

“Mvishe gauni”

Msichana mmoja ambaye ni miongoni mwa watu wa mzee Mkumbo waka mvisha Biyanka gauni lake la harusi, kisha taratibu akamnyanyua na kutoka naye humu ndani.

“Mtoeni na huyu malaya mzee”

Mama mkwe akatolewa ndani humu.

“Mbilinyi nini una fanya. Ni wapi nimekukosea mimi?”

“Hajakukosea sehemu. Ila unajua nini maana ya mpelelezi. Mpelelezi ni mtu ambaye anaweza kujifanya mtu wa karibu sana kwako. Anaweza kujifanya ni mtu ambaye ana thamani kubwa sana kwako, ila kazi yake ikikamilika basi ni rahisi kwa yeye kuhakikisha kwamba ana kuagusha. Hivyo amefanya kazi yake, na ngoja nikuambie jambo moja, Mbilinyi ni mtoto wa marehemu rafiki yangu wa zamani sana hivyo mimi ndio nimemfikisha hapa alipo hivyo heshima ambaye ananipatia ni tofauti na heshima ambayo wewe ulikuwa unapatiwa.”

Mzee Mbilinyi alizungumza huku akikunja mikono ya shati lake. Akaichomeka bastola yake nyuma kisha akanisogelea hapa kitandani, akanivuta kwa nguvu na kuniangusha chini.

“Simama tupimane ugali bwana harusi”

Mzee Mkumbo aliendelea kuzungumza kwa dharau. Taratibu nikasimama huku nikiw uchi wa mnyama. Watu wake pamoja na Mbilinyi wakasimama mlangoni ili kupisha kuangalia pambano hili.

“Wewe bado damu ina chemka. Rusha ngumi kijana”

Mzee Poul Mkumbo aliendelea kuzungumza huku akitabasamu. Sikukata tamaa kutokana nafasi hii aliyo nipatia, nikataka kuwaonyesha watu wote alio ambanata nao kwamba nina nguvu. Moyoni mwangu nikaanza kumuita Ethan aje kunisaidia. Nikaanza kurusha ngumi mfululizo pamoja na mateke ila mzee Poul Mkumbo aliendelea kunidhibiti kisawa sawa. Ngumi na mateke yake ambayo anayarusha hakika yakanifanya ninyong’onyee kabisa.

Kipigo ambacho mzee Mkumbo ananipatia hakika sikuwahi kukutana nacho kwenye maisha yangu. Sikuweza hata kujitingisha wala kunyanyua mkono. Viongo vyangu vyote vimejeruhiwa sana na isistoshe kuna muda amenitandika mateke sehemu zangu za siri na mbaya nipo uchi kama nilivyo zaliwa.

‘Ethan nina kufa’

Nilizungumza kimoyo moyo, ila sikuweza kupata hisia zozote za Ethan kuja kunisaidia. Mzee Poul Mkumbo akaniburuta hadi kwenye kitanda hichi cha chumba. Akatoa pingu mkononi mwake na kunifunga mkono mmoja huku upande wa pili wa pingu hii akaifunga katika eneo la kitanda hichi.

“Utakufa tartibu kwani boti hii inakwenda kuzama. Ukiweza jiokoe ila usipo weza mwisho wako ndio utakuwa hapo”

Mzee Mbilinyi alizungumza huku akitabasamu sana. Hakika mwili wangu wote hauna nguvu ya kusema hata ninyanyue mkono nijitoe kwenye pingu hii, kwani mzee huyu amenijeruhi kisawa sawa. Wakaanza kutoka humu ndani, ila kabla Mbilinyi hajatoka nikajikaza kumuita kwa sauti ya chini kabisa na iliyo jaa maumivu mengi sana.

“Kwa nini umefanya hivi?”

“Nipo kazini”

“Sio kwamba amekushikilia familia yako na kuamua kunisaliti?”

“Hapana hawezi kunishikilia familia yangu. Mke wangu na mwanangu wapo salama. Unacho kipitia hivi sasa una stahili. Umesahau kwamba malipo ni hapa hapa duniani. Uliingia kwenye familia yake ukiwa kama mpelelezi na mimi niliingia kwenye kampuni yako nikiwa kama mpelelezi hivyo. Pole sana Ethan”

Maneno ya Mbilinyi yakaniumiza sana moyo wangu. Mbilinyi akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatoka ndani humu na nikabaki pekeyangu. Harusi yangu hakika imeingai doa, sijui ni kwa nini Ethan alishindwa kunielea ukweli juu ya moyo wa Mbilinyi na sijui ni kwa nini alishindwa kunieleza ni kitu gani kinacho endelea juu ya tukio hili.

Baada ya kama dakika kumi hivi maji taratibu yakaanza kuingia ndani ya chumba hichi. Mapigo ya moyo na hofu ya kufa vikaanza kunitawala moyoni mwangu.

‘Ehee Mungu nisaidie, wewe wa pekee ndio unaye weza kusikia kilio changu’

Nilimkumbuka Mungu wangu na Ethan nikamuacha pembeni kwa maana kama alishindwa kunisaidi katika tukio hili hakika hana msaada mwengine kwangu. Maji yakaanza kujaa ndani ya chumba hichi, sikuhitaji kufa kizembe kwa kweli, nikajikaza kiume huku nikianza kujaribu kuutoa mkono wangu kwenye hii pingu. Hakika ni zoezi gumu sana kupitisha mkono wangu kwenye hili tundu dogo la pingu. Sikuwa na jinsi ya aina yoyote zaidi ya kujivuja mfupa wa kidole gumba na kufanya mkono wangu uweze kutoka kiurahisi.

“Asante Mungu”

Nilizungumza huku nikiitafuta suruali yangu, nikaipata na nikaivaa taratibu huku nikiendelea kuvumilia maumivu makali sana ninayo yapata. Maji yakazidi kuongezeka kwa kasi, nikaanza kuogelea huku nikitafuta njia ya kutokea. Maji yakajaa eneo zima la boti hii na sina jinsi zaidi ya kutumia pumzi yangu ya ndani.

Kadri jinsi ninavyo endelea kutafuta wapi kwa kutokea ndivyo jinsi ninavyo shuhudia boti hii inavyo zidi kuelekea chini ya bahari hii. Nguvu mwilini mwangu pamoja na pumzi vikazidi kuniishia kwa kasi. Nikaanza kukiona kifo kikiwa mbele yangu, mwanga hafifu wa jua ambao nina uona kupitia sehemu ndogo sana ndani ya boti hii, ukaanza kupotea na mwishowe giza nene likatawala machoni mwangu na baada ya sekunde kadhaa nikashindwa kufahamu ni kitu gani ambacho endelea.

***

Mwanga mkali sana na wenye kuumiza macho yangu hata nikiwa nimeyafumba, ukanistua sana na kufumbua macho yangu, nikatazamapembeni yangu na kuona ufukwe ambao hauna mtu. Nikageuka upande mwengine ambao ni wa kushoto na kuona mafika matatu huku kukiwa na surufia juu yake pamoja na moto wa kuni chache. Taratibu nikakaa kitako huku nikijaribu kutazama maeneo haya. Sikuweza kuona mtu yoyote zaidi ya ufukwe na bahari iliyo mbele yangu. Nikageuka nyuma na kushuhudia msitu wenye miti mirefu iliyo jaa ukijani mzuri sana.

‘Nipo wapi hapa?’

Nilijiuliza swali hili huku nikitazama mwilini mwangu. Nimeivaa suruali yangu niliyo toka nayo kwenye boti. Ila mwilini mwangu nimejaa jaa majani majani ambayo yametafunwa tafunwa na yamewekwa kwama dawa kwenye baadhi ya vidonda.

Nikajaribu kusimama ila maumivu makali ya miguuni mwangu yakanifanya nigairi zoezi hili la kusimama. Nikajaribu kuchungulia kwenye hii sufuria, nikaona samaki wawili wakiendelea kuchemka.

‘Wapi hapa’

Gafla nyuma yangu nikahisi kamaa kuna mtu ana kuja, nikageuka kwa haraka na nikamshuhudia msichana mrefu, mwenye nywele ndefu zilizo changuka changuka, huku kifuani mwake akiwa amejifunga vimajani vya miti huku kiunoni mwake pia akiwa amejifunga vimajani vingi vya miti kuficha sehemu zake za siri. Msichana huyu ana rangi nyeusi huku iliyo kolea kiasi, ana macho mviringo huku kifua mwili wake ukionekana ni mwanamke wa mazoezi makali.

Msichana huyu mkononi mwake amashika sungura wawili, akawarusha pembeni yangu huku akinitazama usoni mwangu kwa umakini sana.

“Hapa ni wapi?”

Nilimuuliza msichana huyu kwa upole sana. Hakunijubu chochote zaidi ya kutazama ndani ya sufuria yake kama samaki hao wawili wameiva. Sungura ambao amewau, akawachukua na kuwasogeza karibu kabisa na sufuria yake.

Akaanza kuondoa na hapa akanipa wasaa wa kumtazama mgongoni mwake. Nikastuka sana kuona amejaa mikwaruzo mingi mingi ambayo kwa haraka haraka ni kucha za wanyama wakali sana. Msichana huyu amejaliwa uzuri ambao hakika angepata matunzo asinge weza kuwa katika hali hii. Msichana huyu akaingia katika msitu huu, nikatamani kumfwata ila nikshindwa kutokana na kuumia sana. Baada ya muda robo saa kwa kukadiria kwangu, akarudi huku akiwa ameshika majani ya mgomba mawili pamoja na kuni nyingini. Hakuniongelesha chochote zaidi ya kuanza kuweka samaki hawa juu ya majani haya ya mgomba. Akanisogezea jani langu la mgomba na kwa ishara akaniomba niweze kula. Akaanza kula taratibu samaki wake huku akiwa amejawa na tabasamu.

“Hapa ni wapi?”

Nilimuongelesha dada huyu ila hakunijibu chochote zaidi ya kunitazama. Kutokana na njaa kali inayo endelea kunikwangua tumboni mwangu. Nikaanza kula taratibu samaki huyu ambaye hata hata ladha ya chumvi ila sikuhitaji kulijali sana hilo kwani ninacho kijali kwa sasa ni kukata njaa yangu.

“Unaitwa nani?”

Msichana huyu akatingisha kichwa chake na nikashindwa kujua nini ana maanisha kwani swali la jinsi alivyo nijibu haviendani kabisa. Tukamaliza kula chakula hichi na msichana huyu akachomeka miti miwili pembezoni mwa jiko lake hili Akamchukua sungura mmoja na kumchomeka katikati mti ambao ameuchonga vizuri, akaongeza kuni katika jiko lake kisha akamning’iniza sungura huyu na akaanza kumbanika taratibu.

Zoezi hili likaendelea kwa sungura wa pili mara baada ya sungura wa kwanza kuiva. Mara baada ya kumaliza kuwabanika sungura hawa walio iva na kunitamanisha sana. Akaninyanyua na tukaanza kutembea kueekea katika msitu huu. Hadi sasa msichana huyu hatujaweza kuzungumza jambo la ina yoyote na kila nilicho muuliza alishindwa kunijibu. Jambo lililo nijia akilini mwangu ni kwamba lugha ninayo itumia kuzungumz basi aielewi.

Tukafika katika nyumba iliyo tengenezwa kwa mbao, huku kwa juu ikiwa imeezekwa na majani ya minazi. Nyumba hii ina chumba na seble na vitu vinavyo pakinana humu ndani ni viti aina ya kigoda. Tukaingia chumbani ambapo kuna kitanda cha kamba na taratibu akanilaza. Sikuweza kuona kitu kingine humu ndani zaidi ya hivi nilivyo viona. Msichana huyu akaanz akuishika shika miguu yangu kisha akatoka ndani humu na baada ya dakika kadhaa akarudi akiwa na mbao nne pamoja na kamba fulani ambazo zinatokana na baadhi ya miti. Kila mguu akafunga mbao mbili na kukaa vizuri mbao hizi na miti. Dada huyu akanisemesha kwa ishara kwamba kwa kufanya hivyo nitapona, nami nikamjibu kwa ishara kwamba nina mshukuru.

Siku zikazidi kwenda huku hali yangu ya majaraha aliyo nipatia mzee Poul Mkumbo, ikiendelea kuimarika. Kitu nilicho weza kukigundua kwa msichana huyu ni kwamba hafahamu kusoma wala kuandika na hata yeye mwenyewe hana jina. Nikaanza kazi ya kumfundisha kuzungumza, huku naye akinifundisha mambo mbalimbali yanayo husiana na msitu huu ikiwemo uwindaji wa kutimia mishale. Baada ya miezi sita kupita toka nianze kumfundisha binti huyu, sasa akaweza kuzungumza kiswahili, kijerumani na kingereza kwa ufahasa. Huku nami nikiwa ninazidi kuwa mlengaji mzuri kwa kutumia mishale.

“Kuanzia leo nitakuita Claudia, hilo ndio litakuwa ni jina lako”

”Claudia?”

“Ndio”

“Maana ya Claudia ni nini?”

Nikatabasamu huku nikimtazama msichana huyu ambaye hakika katika miezi hii yote amenifanya kuwa mtu wa tofauti. Mtu ambaye nimeweza kuishi maisha ya kupambana na kuwawinda wanyama wakali. Ujasiri na woga hakika umeondoka moyoni mwangu.

“Maana ya Claudia, ni mwanamke ambaye ana uwezo wa kuhakikisha anafanikisha kila jambo analo liamua. Ni mwanamke aliye barikiwa pia ni mwanamke anaye jiamini na pia ni mwanamke huru”

“Nashukuru Ethan kwa jitihada zako hadi leo hii nimeweza kuwa hivi. Sikuzote nimekuwa nikijifunza lugha za wanyama hadi sasa nime zifahamu”

“Usijali ilikuwaje ukawa huku”

“Toka nilipo pata ufahamu wa kujitambua, nilikuwa huku. Wewe ndio mtu wa kwanza kumuona kwenye maisha yangu”

“Ulinionaje onaje?”

“Nilikuona ukiwa una elea elea juu ya maji, wakati nipo kwenye fukwe. Hapo awali nilihisi ni samaki wa tofauti. Ila nilipo gundua kwanba una fanania na mimi japo huna maziwa wala uke, ndipo nilipo jua wewe ni binadamu mwezangu na si samaki”

Claudia alizungumza huku akinitazama. Akanisogelea karibu yangu na kunishika sehemu zangu za siri huku akitabasamu jambo lililo nifanya nisisimke japo siku zote tumekuwa tukiishia pasipo ya kutamaniana wala kufanya jambo lilote lihusianalo na mapenzi.



“Hii kazi yake ni nini?”

Swali la Claudia likanifanya nikae kimya kwa sekunde kadhaa huku, nikimsikilizia jogoo wangu jinsi anavyo simama.

“Ethan”

“Naam”

“Huyu kazi yake nini?”

“Ahaa…ahaa…nikiungo cha uzazi”

“Uzazi?”

“Ndio, hiki endapo kikiingia hapo kwako na nikikumwagia shahaw** basi unaweza ukapata ujauzito na kuzaa mtoto”

“Ahaaa kumbe ndio kazi yake”

“Ndio”

“Sawa nashukuru kufahamu. Hiyo uliyo vaa hapo kidoleni ni nini?”

Nikaitazam pete hii ambayo ni kumbukumbu ya ndoa yangu. Machozi kwa mbali yakaanza kunilenga lenga.

“Ni story ndefu kidogo”

“Unawez akunieleza ni stori gani hiyo?”

Nikakaa kimya kwa sekunde kadhaa na sikuona haja ya kumficha Claudia juu ya maisha yangu ya nyuma, nikaanza kumueleza hostoria yangu yote kuanzia siku ambayo wazazi wangu wana uwawa na mzee Poul Mkumbo na hadi siku mzee huyo huyo akinitengenisha na mke wangu wangu wa ndoa ambaye ni Biyanka. Hadi nina maliza mashavu yangu yote mawili yamelowana kwa machozi. Taratibu Claudia akanilaza kichwa changu kifuani mke huku akinibembeleza kwa upole na hisia nzito sana. Haki leo nikaanza kuhisi kitu cha tofauti kwa Claudia, hisia kali za mapenzi zikazidi kunisumbua. Taratibu nikafungua kamba ya kinguo hichi ambacho nilimtengenezea kutokana na suruali yangu niliyo ichana na kuibakisha kuwa kaptura fupi. Nikaanza kuyanyonya maziwa yake taratibu, huku nikisikilizia mihemo yake ya kimahaba. Taratibu nikamlaza Claudia kwenye kitanda hichi cha kamba. Nikakivua kijikaptura changu, huku nikivua kiji chupi ambacho nacho nilimtengenezea ili kujistiri kutoka katika hali ya kuvaa majani. Nikaanza kunyonya lipsi zake na kumfanya aendelee kusikilizia kile ninacho mfanyia. Hakika hii ndio mara yake ya kwanza kukutana kimwili na mwanaume.

Nikaitanua miguu yake taratibu, sikujali kama kitumbua chake kimezungukwa na nyasi nyinngi ambazo zimekosa, mashine ya kuzikata. Nikaanza kukinyonya kitumbua chake na kumfanya azidi kulalama kwa hisia kali za kimapenzi. Nilipo hakikisha kwamba nimemuandaa vizuri Claudia nami nikampaka kidogo mate jogoo wangu ambaye naye pia amezungukwa na nyasi nyingi. Taratibu nikamzamisha kwenye kitumbua chake. Claudi akakunja sura kidogo kutokana na maumivu ya kumvunja usichana wake. Nikaendelea kumla taratibu huku nikihakikisha kwamba simuumizi na kumfanya ajutie.

Karid muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi alivyo zidi kuhisi raha hadi ikafikia kipindi tukafika tamani na kumfanya Claudia kucheka sana.

“Kumbe ni vitamu ehee?”

“Ehee”

“Tutarudia tena?”

“Ndio”

“Asante Ethan, sijawahi kupata raha kama hii toka nijifahamu”

“Usijali utaendelea kupata hii raha”

“Alafu mbona pale mwanzo nilijihisi maumivu?”

“Nikutokana kwamba ndio mara yako ya kwanza na endapo tutaendelea kufnaya zaidi na zaidi huto sikia maumivu”

“Kweli?”

“Ndio, tena utasikia raha mara mbili ya hii uliyo isikia hapa awali”

Gafla tukasikia mngurumo mkubwa sana ambao kwa haraka nikaufahamu kwamba ni mngurumo wa ndege. Mgurumo huu ukaambatana na kishindo kizito ambacho kikatufanya sote tusimame na kuchungulia kwenye kidirisha kidogo cha hichi chumba chetu.

“Nini hicho?”

“Ni ndege”

“Ndege ndio nini”

“Vaaa twende ukaone”

Kila mtu akavaa vinguo vyake kwa haraka. Tukatoka nje ya kajumba haka na kukimbilie eneo ambalo tunaona moshi mwingi sana mweusi. Kutokana nimesha zoea ngija ngija za kukimbia peku humu porini wala sikuweza kuumizwa na miti wala miba kwani ngozi yangu ya miguuni imesha komaa. Tukafika katika eneo ambalo ndege hii ambayo ni binafsi imeanguka na inaendelea kuteketea kwa moto.

“Hii ni nini!!?”

Claudia aliendelea kuniuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.

“Hii ndio ndege sasa”

“Ndege”

“Ndio hutumika kusafiria angani. Hembu tujaribu kuwakoa hawa waliomo humu ndani”

Nilizungumza huku nikiufwata mlango wa ndege hii, nikaanza kuuvuta kwa nguvu. Claudia akanisogelea na tukaanza kusaidiana katika kuuvuta mlango huu na tukafanikiwa kuufungua. Moshi mwingi ulio toka ndani ya ndege hii haukuniogopesha wala kunizuia mimi kuingia ndani humu. Nikaona watu watatu wakiwa ndani ya ndege hii huku wawili walio valia suti ni wanaume huku mmoja ni mwanamke. Nikaanza kumtoa huyu mwanamke na kumkabidhi Claudia, akambeba na kumuweka eneo la mbali kidogo na hapa ilipo anguka ndege hii.

Nikambeba huyu mtu wa kiume ambaye mkononi wake wa kiume amejifunga mnyororo ambao umefungwa kwenye brufcase kubwa. Nikamtoa nje na yeye kisha nikamfwatia huyu mwanaume wa tatu ambaye kiunoni mwake amechomeka bastola. Nilipo fanikiwa kuwatoa nikarudi tena ndani ya ndege hii na kufungua katika chumba kidogo cha rudbani na kumkuta rubani akiwa amechomwa na mti mkubwa kifuani mwake ambao umetoba hadi siti yake na jinsi anavyo onekana amefia hapo hapo.

Sikuhitaji kushuhulika naye, nikampapasa mifukoni mwake na kupata simu yake. Nikarudi upande ambao walikaa abiria na nikaendelea kuangaza macho yangu huku na kule na nikafanikiwa kupata simu nyingine aina ya tablate. Kabla sijatoka nikaona shalfe ya kuhifadhia vitu muhimu. Nikaibeba Shelfu hii na kuitoa ndani ya ndege hii.

”Nini hicho?”

“Ni shelfu”

“Ina kazi gani?”

“Ina hifadhia mambo mengi muhimu”

Nikasogea hadi sehemu walipo watu hawa. Nikawapima maeneo ya shingoni mmoja baada ya mwengine na wote nikakuta wakiwa wamepoteza maisha.

“Wamefanyaje?”

“Wamekufa. Mvue nguo huyo msichana”

Claudi akanisikiliza na kuanza kumvua nguo huyu msichana huku nami nikimvua nguo mmoja wa hawa jamaa. Tukavua vijinguo vyetu hivi vya kujishikiza na kuvaa nguo za waha watu na uzuri ni kwamba nguo zao zote zimeweza kutukaa sawa kwenye miili yako. Nikachukua bastola zao hawa wanaume.

“Hiyo ni nini?”

“Bastola”

“Kazi yake ni nini?”

“Hii kazi yake ni kujilinda, pia endapo utampiga mnyama au mtu ni lazima afariki”

“Mbona ni ndogo inaweza kuua kweli?”

“Ndio, nitakuonyesha kazi yake”

Nikaulenga vizuri huu mnyororo ambao umemfunga huyu jama mkononi mwake. Risasi moja ikaweza kukata mnyororo huu. Nikammpapasa mtu huyu na kuchukua simu yake, pamoja na waleti yake. Nikaifungua na kukuta vitambulisho vyao. Huyu jamaa aliye na brufcase ni raisi wa Marekani. Huyu mwengine ambaye nimechukua nguo zake ni Mjerumani. Nikarudi ndani ya ndege hii ili niweze kutafuta kitambulisho cha dada huyu. Kwambati nzuri chini ya moja ya siti nikaona pochi pamoja na laptop aina ya mackair. Nikatoka navyo vyote, nikasoma kitambulisho cha dada huyu na kumkuta ni Mrusia.

“Hawa watu ni mwa mataifa matatu tofauti. Imekuwaje wamekuwa pamoja?”

Swali langu likamfanya, Claudi kuchukua kitambulisho cha huyu dada akakitazama kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama dada huyu.

“Amekufa bado mzuri ehee?”

Claudia aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Yaaa”

Nikaitazama shelf hii kisha kusogelea. Nikaanza kuifungua taratibu huku nikijaribu kubahatisha kama nitaweza kuifungua. Kila nilivyo jaribu kuifungua hii shelf, sikufanikiwa kuifungua. Nikaangaza macho yangu huku na kule na kufanikiwa kuona moja ya chupa ya maji ikiwa ikiwa imeanguka. Nikachukua chupa hii na kumwaha maji yote. Nikaikata eneo la kitako, kwa kutumia meno yangu kisha nikaitega katuka mlango wa shelf hii, kisha nikaweka sikio langu na kuanza kufungua taratibu. Kwa kuweka chupa hii ya maji, nina weza kusikia jinsi loki za shelfu hii zinavyo funguka kwa ndani pale ninapo zungusha kizungushio hichi chenye namba nyingi.

Haikunichukua muda mrefu sana, ikafunguka jambo lililo nifanya nijawa na furaha. Ndani ya hii shelfu nikakutana na vibunda viwili vya dola za kimarekani, bastola moja yenye magazine mbili zilizo jaa risasi, pamoja na mafaili mawili.

“Hizi ni nini?”

Claudi aliniuliza huku akiononyesha pesa. Kutokana kila kitu anacho kiona yeye kwenye maisha yake ni kigeni sikuchoka kuyajibu maswali yake.

“Hizi ni pesa”

“Pesa ndio nini?”

“Hizi hutumika katika kununulia bidhaa nzuri nzuri tutakazo hitaji”

“Ahaa sawa”

Nikafungua hizi faili na kujikuta nistuka sana mara baada ya kukuta michoro ya mabomu ya nyuklia, nikaitazama brufcase hii kisha nikaisogelea. Nikaipiga risasi mbili na ikavunjika loki yake. Nikaifungua ndani na kukuta vichupa viwili ambayo vimeandikwa V-108.

“Hivi ni nini Ethan?”

“Sijajua ni nini, ila ngoja niendelee kuchunguza”

Kitu kilcho nishangaza ni jinsi ya ukubwa huu wa hii brufcase na ndani yake kuna vijichupa viwili tu vidogo. Nikafungua faili la kwanza, nikaanza kulipekua kwa haraka huku nikitafuta neno V-108. Sikuweza kulipata, nikafungua faili la pili na kukutana na neno hili V-108 ikimaanisha hawa ni Virus wanao tumika katika kutengenezea mabomu ya nyuklia ambayo madhara yake kwa binadamu ni makubwa sana. Nikaendelea kuichunguza hii brufcase na kugundua kwamba ina kifaa ambacho kinawaonyesha wahusika ni wapi hii brufcase ilipo. Nilicho kifanya ni kuvunja kifaa hichi ili kupoteza mawasiliano kwani watu hao wanaweza kuja katika eneo hili muda wowote kuanzia hivi sasa.

“Inabidi tuondoke katika hichi kisiwa”

“Ethan hapa ndio kwangu”

“Najua hilo ila hawa watu wenye hivi vitu ni lazima waje. Wakijia basi maisha yetu yatakuwa hatiani.

“Ethan siwezi kuondoka na kuwaacha wanama wangu wanao nipenda na nimeishi nao kutokea utotoni”

“Nalitambua hilo ila inabidi ifike hatu tuondoke. Nisikilize hichi ninacho kuambia Claudi”

“Tutaondoka vipi ikiwa eneo zime tumezingirwa na maji”

“Tutajua namna ya kuondoka turudi nyumbani kwanza kuna kazi nahitaji kuifanya”

Claudi akanisikiliza, nikabeba brufcase hii pamaoja na fili hizi. Tukafika katika nyumba yetu hii tunayo ishi. Nikawasha simu moja na jambo la kumshukuru Mungu imeshika mtandao. Kitu cha kwanza kufanya ni kutaafuta eneo hili, ili nifahamu ni wapi nilipo.

“Shit”

“Vipi Ethan hiyo ni nini?”

“Simu”

“Mbona ina kukasirisha?”

“Hapana nina jaribu kutafuta eneo ambalo tulilopo ila sijafanikiwa kufahamu”

“Utawezaje kujua tulipo?”

“Ni kupitia mtandao”

“Mtandao ni nini?”

Nikamtazama Claudia usoni mwake kwa sekunde kadhaa huku nikiwa nimejawa na hasira kwani kila ninapo jaribu kutafuta hili eneo sifanikiwi.

“Ni kitu kinacho saidia kuwasiliana na mtu au watu”

“Aha”

Nikaendelea kujitahidi kutafuta na ramani ikanionyesha eneo la karibu na kisiwa hichi kwamba ni Madagascar. Ila kisiwa chetu hichi hakina jina kabisa na wala hakisomeki kwenye ramani ya dunia. Matumaini ya kuweza kuondoka katika kisiwa hichi, yakaanza kunitawala. Nikaingia kwenye moya ya blog ya habari nchini Tanzania ili kuweza kujua ni kitu gani kinacho endelea. Nikastuka sana mara baada ya kukutana na habari inayo husiana na uchaguzi mpya wa nchi hiyo.

‘Wanapiga kura tena?’

Nilijiuliza kimoyo moyo kwani muda wa raisi Tasiana Ramadhani bado haujaisha.Nikafwatilia nini chanzo cha kufanyika kwa uchaguzi huo. Hapa ndipo nikajikuta nguvu zikiniishia mwilini mwangu, kwani habari hii inaeleza kwamba raisi ameuwawa miezi minne nyuma hivyo ni lazima nchi iingie kwenye uchaguzi mwengine mpya na katika watu wanao nyang’anyia kiti hicho, mzee Poul Mkumbo naye ni miongoni mwao.



Mwili mzima nikahisi ukitetemeka kwa hasira. Mapinduzi yalivyo fanyika ndani ya kipindi kifupi nilicho kaa nchi ya Tanzania hakika yamesababisha maumivu makuali sana kwangu pamoja na watu wengi sana ambao waliwahi kumpenda mwana mama huyo katika kipindi chote cha uongozi wake. Nikamfikiria Hawa, hakika sijui yupo kwenye hali gani. Moyoni mwangu nikaanza kujawa na majuto ni kwa nini nilimuuingiza mama wa watu madarakani, kwa nini nilimshikirisha kwenye mpango wangu.

Hapa ndipo akili yangu ikamkumbuka Ethan ambaye alinieleza kwamba endapo nitamuoa Hawa, basi mwana mama huyo ata kuwa na maisha marefu kwenye uongozi wake na endapo sinto muao Hawa, basi mwana mama huyo hato kuwa na maisha marefu katika uongozi wake na ni kweli, ndio kitu kilicho tokea.

“Ethan una lia nini?”

Claudia aliniuliza kwa unyonge huku akinitazama usoni mwangu. Sikumjibu kitu cha aina yoyote zaidi ya kuendelea kuchemkwa na hasira hiyo pamoja na maumivu makali sana ya moyo wangu. Taratibu Claudia akachukua simu hii na kuanza kusoma habari hii ya mauji ya bi Tasiana Ramadhani.

“Ethan una mjua huyu?”

“Ndio”

“Raisi ndio nani?”

“Kiongozi wa nchi. Tanzania ni nchi yangu, nilimsaidia kwa kiasi kikubwa kumuweka madarakani ila leo hii ameuwawa na yule mzee niliye kuadithia ndio huyo hapo”

Nilimuonyesha Claudia picha ya mzee Poul Mkumbo. Sijui ni ushawishi gani ambao ameutumia hadi kurudi katika chma chake na kupewa nafasi ya kugombani uraisi tena.

“Nahitaji kurudi nchini Tanzania”

“Utarudije mpenzi wangu ikiwa eneo zima la hichi kisiwa limezungukwa na maji?”

“Tutajua ni jinsi gani ya kufanya”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Claudia usoni mwake. Nikatoka nje ya nyumba hii na kutazama mazingira ya huu msitu.

‘Ethan kwa nini umeniacha siku zote peke yangu. Upo wapi rafiki yangu ni nini kilicho kupata’

Nilizungumza kwa huzuni sana huku nikiendelea kutazama msitu huu. Hadi giza linaingia sikupata njia ambayo itatusaidia sisi kuondoka katika eneo hili. Tukapata chakula cha usiku ambacho ni nyama pamoja na matunda, majira ya saa nane usiku nikaanza kuhisi milio kwa mbali, milio hii ni ya boti ndogo, taratibu nikanyanyuka na kuikoki vizuri moja ya bastola yangu.

“Kuna nini Ethan?”

Claudia alizungumza huku naye akinyanyuka kitandani.

“Umesikia hiyo milio?”

Claudia akatega sikio lake kwa umakini na yeye akaweza kusikia milio ya boti hizo.

“Ni nini?”

“Hizo ni boti nina imani watu walio angukiwa na ndege yao wanakuja. Jiandae tuondoke sasa”

“Si tuzungumze nao?”

“Sio watu wema nina imani watakuwa ni watu wabaya”

Claudia akabeba upinde wake pamoja na mishale. Tukachukua kila kitu na kuanza kuondoka huku tukielekea katika eneola fukwe za bahari amapo ndipo zinapo tokea boti hizo. Kutokana tuna fahamu huu msitu vizuri, ikatuwia uraisi sana kufika katuka fukwe pasipo kukutana na watu hawa.

Tukashushudia kundi kubwa la watu walio valia nguo nyeusi huku wakiwa na bunduki mikononi mwao. Wakishuka katika boti sita na kuanza kuingia msituni hapa. Sehemu tuliyo jificha ni ngumu sana kwa wao kuweza kutuona. Tulipo hakikisha watu wote wameingia katika msitu huu, tukakimbia hadi kwenye moja ya boti.

“Hizi ndio boti?”

“Ndio, ingia tuondoke hawa watu wana weza kurudi muda wowote”

Claudia akasimama kwa sekunde kadhaa na kutazama msitu huu, kisha akapanda kwenye moja ya boti, nikaiwasha na kuondoka eneo hili kwa kasi sana. Kwakutumia ramani ambayo ipo kwenye simu, tukafanikiwa kutumia masaa takribani manne kufika katika nchi ya Madagascar. Tukakodisha hoteli, kisha nikawasiliana na Romani ambaye ni mpelelezi wangu wa siri sana.

“Ni mimi”

“Mkuu nilipata habari kwamba umepoeteza maisha”

“Nini? Nani ametangaza hivyo?”

“Vyombo vingi vya habari duniani vilitangaza juu ya kifo chako miezi sita iliyo pita. Inasemekeana ulikufa kwenye harusi yako ambayo uliamua kuifanya kuwa harusi ya siri”

Romani alinipa maelezo yaliyo eleweka.

“Ni historia ndefu. Njoo unichukue Madagascar”

Nilizungumza huku nikimtazama Claudi ambaye anaendelea kushangaa shangaa vitu vilivyomo katika chumba hichi kwani vitu vyote ni vigeni kwake.

“Sawa mkuu nipe jina la sehemu ulipo”

Nikamtajia jina la hoteli niliyopo kisha nikakata simu.

“Ethan hii ni nini?”

“Hiyo nit v”

“Tv ndio nini?”

Nikachukua rimoti na kuwasha tv hii kubwa iliyomo hapa chumbani. Hakika Claudia ana mambo mengi sana ya kujifunza na kuyafahamu. Kutokana ni mtu aliye yasaidia maisha yangu sikuchoka kumfundisha jambo moja baada ya jengine.

Baada ya msaa ishirini, Roman akafika katika hoteli hii akitokea nchini Tanzania. Akanishangaa sana jinsi nilivyo chakaa, ndefu nyingi zilizo tawala uso wangu hakika zimenibadilisha na kunifanya nionekane mtu wa makamu kumbe bado ni kijana mdogo tu.

“Karibu”

“Siamini kama upo hai mkuu”

“Nipo hai”

Nikamuelezea Roman kuanzia siku ya harusi hadi hapa. Roman akasikitishwa sana na yaliyo nipata huku akiapia kwamba safari hii ni lazima tumuu mzee Poul Mkumbo. Kutokana Roman ana fahamiana na majasusi wengi hapa duniani, aliweza kuwasiliana na rafiki zake wawili wa hapa Madagascar, ambao waliweza kutusaidia kutengeneza vitambulisho vya nchi hii nasi tukahesabika kuwa ni raia halili wa hii nchi. Baada ya siku mbili tukafanikiwa kupata usafiri wa meli ya mizigo iendayo nchini Tanzania. Sikuhitaji kutumia usafiri wa ndege kwa maana hatujui ni jinsi gani mzee Mkumbo na watu wake walivyo jipanga katika kuhakikisha sura yangu haionekani nchini Tanzania.

“Hakikisha kwamba una andaa mazingira mazuri ya sisi kuingia nchini pasipo kujulikana”

“Sawa mkuu nitafanya hivyo”

“Nashukuru”

Roman akashuka kwenye meli hii na kutuacha sisi tukisibiria, muda wa meli hii kuondoka. Kutokana tumekabidhiwa kwa nahodha mkuu wa hii meli, hatukupata usumbufu wowote. Majira ya saa sita usiku meli hii ikaanza safari katika bandari ya Toamasina(Tamatave) Madagascar na kueleka nchini Tanzania huku wakitueleza kwamba itatuchukua siku nne na masaa tisa hadi kufika nchini Tanzania.

“Sio siku nyingi sana”

“Yaa ni kweli, ila kama hali ya bahari haito kuwa sawa, inatulazimu kuchukua hadi wiki moja kuweza kufika nchini Tanzania kwa maana mwendo wa safari utakuwani wa tararibu sana”

Nahodha mkuu alituambia huku tukiwa katika chumba chake cha kongozea meli hii.

“Mungu atajalia hali ya bahari itakuwa shwari”

“Amen. Kijana wangu huyo atawaonyesha chumba cha kupumzikia”

Naohodha huyu akatukabidhi kwa kijana wake mmoja. Akatupelekea katika chumba kilichopo eneo la juu kabisa la meli hii kubwa ya mizigo. Ni chumba kizuri kiasi, Claudi hakuwa na mswali mengi sana kwani tayari amesha elewa mambo mengi. Siku ya kwanza ikakatika huku safari ikizidi kusonga.

“Ethan”

“Naam”

“Umepanga kumfanya nini mzee Mkumbo?”

Swali la Claudia likanifanya nimtazame kwa sekunde kadhaa kisha nikashusha pumzi taratibu.

“Alicho kifanya yeye ndicho nitakacho kifanya mimi”

“Sawa,je akiwahi kukukua wewe uta fanyaje?”

“Kitu ambacho nitakifanya ni kuhakikisha nina kuwa kama mzimu”

“Mzimu ndio nini?”

“Yaani ni mtu ambaye amekufa kisha akaonekana tena duniani”

“Ahaa, hapo nimekuelewa. Sasa tukifika huko tutakuwa na misha ya kijificha ficha?”

“Ndio, ila wewe utakuwa huru”

“Siwezi kuwa huru ikiwa wewe upo mafichoni”

“Tutajua nini cha kufanya”

Baada ya siku tano za kukaa baharini, tukafika katika bandari ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania. Tukafanikiwa kutoka bandarini hapa pasipo kustukiwa na mtu wa aina yoyote. Roman akatuonyesha gari ambalo amekuja nalo kwa ajili ya kutupokea.

“Vipi hali ya nchi?”

“Inchi ipo kwenye amani na kampeni zina endelea kama kawaida”

“Leo ni jumamosi ehee?”

“Ndio mkuu”

“Sawa sawa”

Tukafika katika nyumba moja iliyo maeneo ya Tegeta. Ni nyumba nzuri nyenye hadthi ya kitajiri.

“Karibu sana mkuu”

“Nashukuru. Hii nyumba ni yako?”

“Ndio ni nyumba yangu. Niliinunua na zile pesa ulizo weza kunilipa”

“Qeen na Latifa wana zungumziaje kuhusiana na kifo changu?”

“Qeen alilazwa kama wiki mbili hivi kwa mstuko”

“Weee?”

“Ndio, ni pigo kubwa sana, nchi kama ya Ujerumani ilituma vikosi vyake kwenye bahari ambapo ina sadikika ilitokea ajali ya boti yako na hawakuweza kupata kitu chochote na wakadhibitisha kwamba umefariki kweli”

“Kazi kweli kweli”

“Je utahidtaji kuonana na Qeen pamoja na Latifa?”

“Hapana”

“Kwa nini mkuu”

“Nahitaji dunia iendelee kujua kama nimekufa. Ninacho kihititaji sasa hivi ni kumuua Mzee Mkumbo kisha ndio nita jidhihirisha mbele ya macho ya watu”

“Ni wazo zuri hilo mkuu”

“Kuna mtu nahitaji uweze kunisaidia kumtafuta”

“Mtu gani mkuu”

“Aliyekuwa mlinzi wangu wa karibu Mbilinyi”

“Sawa mkuu. Naomba unipe siku ya leo nitakupatia jibu”

“Ninashukuru. Sasa hivi ni saa ngapi?”

“Saa nne asubuhi”

“Sawa. Hapa kwako kuna watu wanao kutembelea au una ishi peke yako?”

“Hapana nina ishi peke yangu”

“Haya”

Roman akanitupatia chumba kisha akatuagaa anaelekea mjini kununua mahitaji ya ndani kwa maana siku zote amekuwa akiishia kibachelea.

“Una muamini huyu kijana?”

“Ndio nina muamini. Vipi wewe humuamini?”

“Mmmm kidogo nina muamini”

“Kikubwa tuwe makini”

Baada ya lisaa moja Romani akarudi akiwa na nguo pamoja na vyakula vya aina mbalimbali. Kutokana na uchovu alio nao Claudi akaniomba aweze kupumzika katika chumba tulicho kabidhiwa.

“Mkuu”

“Ndio”

“Nimeweza kufanikiwa kufahamu ni sehemu gani alipo Mbilinyi”

“Ehee niambie yupo wapi?”

“Yupo hapa hapa Dar es Salaam. Sasa hivi ana miliki kampuni kubwa ya ulinzi ambayo ina mlinda mzee Mkumbo katika kampeni zake”

“Shenzi huyu mwana haramu. Nahitaji kumuu leo hii hii. Tena nitamuangamiza yeye na familia yake”

Nilizungumza kwa hasira sana huku nikimtazama Romani usoni mwake.

“Hilo lina wezekana mkuu. Ila inabidi kuandaa mazingira, ila kwa leo sio rahisi kwa sisi kuweza kumuua”

“Kwa nini?”

“Kuna sehemu yupo”

“Sehemu gani, niambie”

Roman akaka kimya kwa sekunde kadhaa kisha akanikabidhi simu yake na nikashuhudia matangazo ya moja kwa moja ya televishion yakitokea kanisa. Nikastuka nilipo shuhudia Biyaka akifunga ndoa nyingine na mwanaume mwengine huku usoni mwake akionekana ni mtu mwenye furaha sana.

“Hiyo ni harusi ya aliyekuwa mchumba wako pamona na mtoto wa mkuu wa tume ya uchaguzi. Hivyo mzee tayari amesha jitengenezea mazingira ya kuichukua nchi kwa maana yeye na mkuu wa tume hiyo wamesha kuwa wake”

Nikahijisi mwili mzima ukitetemeka, hasira ya gafla ikatawala mwili wangu. Hamu ya kuua mtu ikanitawala kifuani mwangu, nikaitazama pete hii ambayo siku zote nimekuwa nikiivaa nikiamini mke wangu atanisubiri japo anaamini kwamba nimekufa, ila nina imani moyoni mwake ni lazima atakuwa ana pingana na jambo hilo

“Nahitaji kwenda kanisasani sasa hivi. Niandalie gari”



“Hapana mkuu ni hatari kwa wewe kwenda sasa hivi kanisani”

Romani alizunugmza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu.

“Romani huyu mimi ni mke wangu wa ndoa?”

“Je huyu uliye kuja naye ata kuelewa aendapo utamchukua Biyanka? Isitoshe hii harusi imethibitiwa na ulinzi mzito sana mkuu. Tutafute mpango mwengine wa kulitatua hili na si kuvamia vamia katika hili. Tuta jikuta tuna angamia pasipo kukamilisha mpango ulio tupeleka hapo kanisani.”

Nikashusha pumzi kwani haya anayo yazungumza Romani ni ya kweli. Japo moyo una niuma sana kwa hichi ninacho kishushudia ila sina jinsi zaidi ya kuendelea kukubaliana na ukweli. Nikaendelea kujikaza kushuhudia jinsi harusi hii inavyo fungwa kanisani kwa furaha. Hakika sitambui ni ushawishi gani ambao umempata Biyanka hadi kuwa katika hali hii ya furaha, ikiwa fika anatambua kwamba baba yake ndio mtu aliye niua.

“Mkuu”

“Ndio”

“Naona hakuna haja ya kuendelea kuangalia hili. Tupange mpango ni jinsi gani unaweza kumuingiza Mbilinyi mikononi mwako”

“Kabla ya kumfwatilia mbilinyi nina hitaji kuonana na Hawa mtoto wa madam Tasiana Ramadhani”

“Ngoja nimtafute alafu nitakupatia jibu”

“Sawa”

Nikarudi chumbani na kumkuta Claudia akiwa amejilaza kifudi fudi huku mwili wake ukiwa hauna hata nguo moja. Nikachukua shuka na kumfunika taratibu huku akilini mwangu nikiendelea kumuwaza Biyanka na kile anacho kifanya. Nikajaribu kujifinya mkonini mwangu ili kama ni ndoto niweze kulijua hilo, ila nikakuta si ndoto na kila kinacho tokea hapa ni kitu halisi kabisa. Hakika maisha yangu ya furaha niliyo kuwa ninaishi na Biyanka yameyayuka mithili ya barafu. Hekima na upole wake alio kuwa ana nipatia dhidi yangu hakika vyote vimetoweka.

Nilipoa sikia mlio wa gari, nikachungulia getini na kumshuhudia Romani akiingia getini. Nikatoka ndani humu kwa haraka na tukakutana nje.

“Vipi umefanikiwa?”

“Ndio, nimefanikiwa kufahamu sehemu gani alipo”

“Yupo wapi?”

“Kwa sasa yupo nchini Marekani. Ni mjamzito ana mimba ya miezi nane”

Nikastuka kidogo, kumbukumbu zangu zikarudi hadi siku ambayo Hawa aliniomba niweze kumpatia ujauzito na kweli nilifanya hivyo, japo baada ya hapo hatukuweza kuwa na mawasiliano ya aina yoyote.

“Mbona umestuka mkuu”

“Hapana umepata mawasiliano yake?”

“Ndio, hii ni namba ambayo ana itumia”

Romani akanipatia kikaratasi kilicho andikwa namba ya simu ya nchi ya Marekani.

“Nani amekupatia?”

“Kuna mama mmoja alikuwa anafanya kazi ikulu kipindi cha uongozi wa madam Tasiana. Nimtu wangu wa karibu na hata kwa Hawa alikuwa ni mtu wa karibu”

“Huyo mama alikueleza kwamba ujauzito huo ni wa nani?”

“Hapana sikihitaji kujua kwamba huyo ujauzito ni wa nani”

“Sawa, niwekee salio la kutosha katika simu yako nizungumze naye”

“Lipo salio la kutosha una weza kuongea naye tu”

Romani akanikabidhi simu yake. Nikaingiza namba hizi za Hawa, na kuiweka simu sikioni mwangu, baada ya sekunde chache simu hiyo ikaanza kuita taratibu kisha ikapokelewa.

“Halooo”

Niliisikia sauti ya Hawa ambayo imesababisha mwili wangu wote kunitetemeka. Nikafungua mlango wa gari na kuingia ndani.

“Halooo”

Hawa alirudia kuniita tena, machozi yakaanza kunilenga lenga usoni mwangu na mwishowe yakaanza kunitiririka kwenye mashavu yangu.

“Haloo nani mwenzangu”

“Ni mimi”

“Ethan!!!?”

Hawa aliuliza kwa mshangao mkubwa sana.

“Yaa ni mimi”

“No Ethan ninaye mjua amesha fariki. Wewe ni Ethan gani?”

“Mwanaume aliye kutoa usichana wako. Mwanaume ambaye nina hisia kali juu ya ujauzito ulio ubeba tumboni mwako. Nina imani kwamba mimi ndio baba wa mtoto”

Nilizungumza kwa kujikaza huku nikiendelea kulia. Hawa akashindwa kujizuia na kujikuta akiangua liao cha furaha, japo simuoni ila nina imani kwamba kilio hicho kimejawa na furaha sana ya kutambua kwamba nipo hai.

“Yaa ni mwanao Ethan. Hapa nipo hospitalini chini ya uangalizi mzuri wa madaktari. Upo wapi na nini kilitokea?”

“Ni historia ndefu. Tukionana nitazungumza na wewe, nina kuomba sana mwanangu akizaliwa kama ni wa kike mpatie jina la Tasiana kama ni wa kiume mpatie jina utakalo lipenda wewe”

Maneno yangu yakazidi kuongeza kilio cha Hawa. Hakika leo hakutarajia kama ana weza kuzungumza na mimi. Dakika zaidi ya tano nikajikuta nikiendelea kumbembeleza hadi akanyamaza.

“Usirudi nchini Tanzania. Nitakuingizia kiasi cha pesa ili uendelee kumlea mwanangu”

“Hapana Ethan, dunia nzima ina fahamu kwamba ume kufa. Endapo benki akaunti zako zitafanya kazi nina imani kwamba watu watakufwatilia. Nina imani adui aliye hitaji kukua ndio aliye muua mama yangu. Ninaomba unisaidie kitu mpenzi wangu”

“Niambie”

“Waue wote walio husika na mauvu haya. Hakikisha hakuna anaye salia katika kumuangamiza mama yangu na aliye kufanyia mabaya wewe. Sawa”

Hawa alizungumza kwa msisitizo na kunifanya nizidi kujawa na matumaini ya kuhakikisha kwamba sasa nina pambana na mzee Poul Mkumbo tena si kwa kujificha ni uso kwa uso.

“Sawa, ninaomba nitunzie mwanangu. Umenielewa”

“Nimekuelewa nitamtunza na atakuwa na afya njema”

“Sawa pia ina kuomba usibadilishe namba yako ya simu”

“Sinto badilisha kwa maana nina jua nina msubiria mtu wa muhimu sana kwenye maisha yangu”

“Nashukuru kwa kusikia hivyo mpenzi wangu”

“Pia nina ombi jengine”

“Lipi?”

“Kama ulifanikiwa kumzuia Poul Mkumbo kuingia madarakani kwa mara ya kwanza. Now hakikisha kwamba hanusi kabisa hata siku ya kupiga kura”

“Nimekuelewa”

“Sawa, acha nipumzike mume wangu kwa maana huku ni usiku wa manene”

“Poa”

Nikakata simu na kutoka ndani ya gari hili.

“Nakutegemea katika kuhakikisha kwamba tuna muangusha mzee Mkumbo”

“Nimekuelewa mkuu”

***

Siku na wizi zikapita, nikiendelea kuishi kwa kujificha nchini hapa Tanzania. Ila katika kipindi chote nimekuwa ni mtu wa kujifua kwa mazoezi makali ya kutumia kila aina silaha. Uzuri maisha ya porini yamenipa ukakamavu wa ajabu sana ambao hapo awali sikuweza kuwa nao. Kwamsaada wa Romani na Claudia, nikwa ni mpigani mzuri sana ambaye kila aina ya silaha nina weza kutumia hususani mishale. Maandalizi ya wiki tatu mfululizo yakanitosha sasa kuanza kuifanya kazi yangu hii ya kumkamata mtu mmoja baada ya mwengine. Nikafanikiwa kufahamu ratiba nzima za Mbilinyi na sehemu anayo ishi ambayo ni eneo Masaki ambapo ana miliki jumba kubwa la kifahari tofauti na nyumba aliyo kuwa akiishi hapo awali.

“Nyuma yake ina walizni kumi na mbili. Getini wapo wawili na wanao izunguka nyumba hiyo wapo kumi”

Romani alizungumza huku tukitazama simu aina tablate kubwa iliyopo mezani na ana tuonyesha muundo mzima wa nyumba yake hiyo pamoja na walinzi.

“Tunaweza kuingia humu”

“Yaa tunaweza kuingia ila kwa tahadhari kubwa sana”

“Kama?”

“Hii nyumba ina kamera mia moja na ishirini. Kwaufupi ulinzi wa hapa ni mkali sana mkuu. Ndio maana nikasema inabidi tuingie kwa tahadhari kubwa sana”

‘Za siku nyingi rafiki yangu wa zamani’

Nikaisikia sauti ya Ethan katika ufahamu wangu wa akili. Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikiwatazama Claudia pamoja na Romani. Nilipo waona kwamba haajajua chochote kinacho endelea kwangu, nikawaga nina elekea chooni. Nikaingia chooni na kumkuta Ethan akiwa ana nawa nawa mikono kwenye sinki la maji.

“Pole sana kwa kila jambo ulilo pitia”

“Ulikuwa wapi siku zote hizo?”

“Nilikuwa nawe, japo sikuhitaji kujidhihirisha kwako. Nilihitaji kujua watu wanao kuzunguka ni wazuri au wabaya. Ila nina imani kwamba umejionea wewe mwenyewe. Laiti kama kwa kipindi kile ningekuambia kwamba Mbilinyi si mtu mzuri na Biyanka si mtu mzuri nina imani kwamba ungenikatalia na usinge niamini katika maisha yao yote. Si ndio”

“Ngoja kwanza. Una sema kwamba Biyanka si mtu mzuri?”

“Hadi sasa hivi moyo wako upo wapi. Una amini kwamba ni mtu mzuri?”

Nikakosa jibu la kuweza kumpatia Ethan.

“Unajua binadamu nyinyi ni tofauti sana na sisi. Nyinyi mumeumbiwa matatizo, sisi tumeumbwa kutengeneza matatizo kwenu. Hivyo kuna utofauti hapo, nilikuacha upate matatizo ili iwe changamoto ya kukufikisha huku ulipo fika. Na sio kila tatizo ni natizo, ila matatizo mengine ni majibu na mafanikio ya mambo ya mbeleni”

“Una maanisha nini?”

“Siku ambayo ulimuoa Biyanka, ilikuwa ni siku ambayo walihitaji kuzifahamu mali zako zote na wangekufilisi na usinge baki na hata shilingi mia moja. Biyanka angekuwa mrithi wa mali zako hiyo ndio mission kubwa aliyo agizwa na famiia yake”

“Unataka kuniambia kwamba Biyanka alikuwa ni mpelelezi kwangu?”

“Sio mpelelezi tu. Alikuwa ni msanii kama wewe ulivyo kuwa msanii kwao. What’s gose around, comes around. Upole, unyenyekevu na maneno matatu aliyo kupatia. Yote yalikuwa ni maigizo. Ninaimani siku nilikupeleka ukamshuhudie Biyanka jinsi alivyo kuwa katili kwa watu wake na uliweza ona. Je ulishindwa kujiuliza kwamba ukatili ule ulipoteaje poteaje katika kipindi kifupi na kumsaliti baba yake?”

Nikajikuta mwili mzima ukiishiwa nguvu, kumbe kila neno lililo toka kinywani mwa Biyanka halikuwa lina maanisha.

“Jiulize mwanamke aliye dumu kwa miaka zaidi ya thelathini kwenye ndoa na mume wake. Inakuwaje aje kuachana na mume wake kwa ajili ya mkwe wake ambaye hakuwahi kufunga ndoa mtoto wake?”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama Ethan usoni mwake.

“Kila kitu kilikuhitaji utumie akili ya ziada, kuliko kunitegemea mimi. Nilikupa msimamo wa kumuoa Hawa, ila ukashindwa kufanya hivyo. Ningekukataza kumuoa Biyanka ungeniambia mimi mbaya, ndio maana niliachilia nishuhudie jinsi unavyo ingia kwenye mdomo wa mamba na utakapo nusurika ndipo utakapo pata akili”

“Ethan”

“Nakusikiliza”

“Kwa nini hukuniambia mapema?”

“Narudi kwenye pointi yangu. Kwaimani uliyo kuwa umejengewa moyoni mwako na watu walio kuzunguka, endapo ningekuuliza usinge kubaliana nami na ungeniona mimi mmbaya ndio maana kila kitu nilikiacha ujishuhudia mwenyewe. Raisi uliye muweka madarakani walimuua, kampuni yako ya simu tayari Biyanka ame irithi kama mke halali wa marehemu Ethan Klopp. Unabahati kubwa sana kampuni zako za nje ya Tanzania hazijui mwanmke yule ndio maana alishindwa kujua wapi kwa kuanzia na niliweza kulizuia hilo”

Nikajikuta nikishika kichwa kwani ningekuwa mzemba zaidi ya pale nilipo fikia basi ningepoteza kila kitu.

“Mchezo wa kukufanya umuamini Biyanka ulifanywa na mzee Mkumbo mara baada ya kukosa kiti cha uraisi. Alipanga aweze kugombana na familia yake ili akae mbali na wao kwa muda kidogo ili kama wewe ndio mbaya wa familia hiyo aweze kukufahamu na kweli alikufahamu.”

“Baada ya kukufahamu alicho taka ni kukuua kwa haraka. Ila Biyanka alitoa pendekezo, wakuache ache kidogo ili wajue pesa zako zipo wapi, wakufilisi na ubaki kapuku na ungebaki kapuku basi kukuua ingekuewa rahisi”

“Familia ile ipo kwa ajili ya pesa. Wapo tayari kufanya chochote ili mradi kuhakikisha kwamba wana pata pesa.”

“Ethan”

“Nakusikiliza”

“Nini nifanye niweze kupambana nao?”

“Sasa hivi ni vigumu sana tena sana kupambana nao. Wana nguvu, wana pesa na wana mamlaka makubwa sana katika hii nchi. Siri moja tu mzee Mkumbo amekinunua chama anacho gombania uraisi hiyo kuna uwezekano mkubwa wa yeye kupata kiti cha uraisi na endapo atakipata. Jambo la kwanza ni kubadilisha katiba ya nchi.”

“Atabadilisha katiba ya nchi?”

“Ndio. Atahakikisha kwamba uongozi wa kuongoza kiti hicho cha uraisi unakuwa hauna kikomo. Hivyo familia yake ndio itakuwa na mamlaka makubwa sana juu ya hii nchi na yeye ataondoka madarakani hadi siku yake ya kufa itakapo fika na ikifika atakaye rithi nchi ni Biyanka”

Mwili mzima nikaisi ukipitiwa na kijiubaridi kwani haya niliyo yasikia hakika yataharibu mfumo mzima wa maisha ya Watanzania na nchi itakuwa na sifa kama ya Zimbabwe.

“Je kwa sasa kuna matumaini yoyote ya mimi kupambana na mzee mkumbo na kumshinda japo kuwa ume nieleza kwamba ni ngumu?”

Etahan akashusha pumzi taratibu huku akitingisha kichwa chake akimaanisha sinto weza kufanya chochote zaidi ya kumuangusha mzee Poul Mkumbo na familia yake kwa ujumla.


“Ila kuna tumaini la mwisho la wewe kushinda katika haya mapambano”

“Tumaini gani?”

“Nilazima damu hata ya watu wasio na hatia iweze kumwagika”

Nikabaki kujawa na mshangao mkubwa sana. Vita yangu na mzee Mkumbo sasa inakwenda kuingiza watu wasio na hatia.

“Huku tunapo elekea si nitakuja kuitwa gaidi, ikiwa bado nina ndoto za kurudi kiwanjani. Bado nina ndoto za kuwa mchezaji hodari kwenye soka la dunia”

“Nalitambua hilo Ethan, ila nitakulinda katika hilo. Hakuna atakaye fahamu juu ya mabaya yako. Wala hakuna atakaye fahamu juu ya maangamizi yanayo kwenda kutokea. Kikubwa ni wewe kunipa jibu la maamuzi katika hili”

“Naomba nifikirie”

“Sawa nina kupa muda wa kutosha. Ila usimshirikishe mtu”

“Nimekuelewa”

Ethan akapotea chooni humu na kuniacha peke yangu. Nikafungua maji ya bomba na kuanza kunawa uso wangu huku nikiwa nimejawa na mawazo mengi sana. Nikatoka chooni hapa na kurudi sebleni, kila aliye nitazama nina hakika aliweza kugundua hali yangu hii kwani niliingia chooni nikiwa katika hali ya kawaida ila kwa sasa nina toka nikiwa katika msongamano mkubwa sana mawazo.

“Ethan upo sawa?”

Claudia aliniuliza huku akinikazia macho. Nikaa kwenye kiti huku nikishusha pumzi nyingi sana. Nikamtazama Romani usoni mwake.

“Hii kazi unaweza kuifanya?”

“Ndio mkuu”

“Naomba ukaniletee Mbilinyi hapa”

“Utaka aende peke yake!!?”

“Ndio”

“Nitakwenda naye”

Claudia alizungumza kwa msisitizo.

“We……”

“Najua nini unahitaji kuzungumza Ethan ila nitakwenda na Roman. Nitatumia hii mishale kuhakikisha kwamba tunafanya hii kazi kikamilifu”

Claudia alizungumza huku akitazama mishale maalumu ya chuma pamoja na upinde ulio tengendezwa kwa chuma na vyote vina utendaji kazi mzuri hata kuliko mishale ya miti.

“Kuweni makini katika hili”

“Sawa mkuu”

Majira ya saa saba usiku Claudia na Romani wakaondoka nyumbani hapa huku wakiwa wamevalia mavazi maalumu ambayo tuliyatengeneza kama timu moja katika utendaji kazi wa kazi hii. Kazi yangu iliyo baki ni kuhakikisha kwamba nina fwatilia nyendo zote za mzee Poul Mkumbo. Nikagundua kwamba mikutano yake miwili kabla ya siku ya uchaguzi kuwadia ataifanyia hapa jijini Dar es Salaam.

“Akili yako inatakiwa iweze kutoa jibu mapema sasa kwa maana siku zimesha kwisha”

Sauti ya Ethan ikanistua sana. Akanifwata sehemu nilipo kaa na kunitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaka kwenye kiti cha pembeni.

“Uliniambia ni lazima kwamba watu wasio na hatia watakufa”

“Ndio lazima damu imwagike ili amani ipatikane”

“Ina maana unahitaji niweze kumuua mzee Mkumbo katika mikotano ya kampeni zake?”

“Ndio maana yangu”

“Kwa nini nisimsubirie yeye peke yake au na walinzi wake ndio niamue kumvamia?”

“Huto weza kufanya hivyo kwa maana ulinzi wake ni mkali sana”

“Sasa hapo uwanjani si ulinzi utakuwa ni mkali sana”

“Ndio ila kuna nafasi zitakazo patikana”

“Nafasi gani?”

Ethan akachukua simu hii aina ya tablate niliyo kuwa ninaitumia katika kuiperuzi peruzi habari. Akaminya minya kisha akanikabidhi na nikaiona picha ya Piyanka.

“Sio mgeni machoni mwako si ndio?”

“Ndio alikuwa ni demu wangu?”

“Nilimleta kwako kwa ajili ya msaada wa muda kama huu. Huyo binti ni specialist wa kutengeneza mabomu aina ya nyuklia. Kuna mabomu ya kuua kwa gesi na mabomu ya kuua kwa mlipuko na yote ana uwezo wa kuyatengeneza. Kuna vile vijichupa katika ile brufcase mulikuja navyo bado unavyo?”

“Ndio ninavyo?”

“Zile karatasi ambazo zina fomler ya utengenezaji wa mabomu hayo bado unazo?”

“Ndio”

“Basi wasiliana na huyo msichana atakusaidia katika muda mfupi kuhakikisha kwamba muna unda bomu ambalo, endapo litalipuka basi litaweza kuangamiza watu zaidi ya milioni moja kwa dakika moja”

“One million people for one minutes!!?”

“Yaa hiyo ndio njia ya pekee kuhakikisha kwmaba una muua mzee Mkumbo bila ya hivyo. Atachukua kiti cha uraisi na itakuwa ni balaa kubwa sana nchi”

Nikahisi kichwa changu kina nipasuka kwa mawazo. Hakika moyo wangu haupo tayari kabisa kushuhudia idaki kubwa namna hiyo ikiteketea kwa ajili ya kisasi changu.

“Sinto weza kufanya hivyo”

“Ethan ni bora kutoa sadaka kundi kubwa la watu kuliko idadi hiyo ya watu kufa kwa miaka inayo kuja. Unahisi ni vizazi vingapi vitakwenda kuangamia katika uongozo wa Mkumbo. Unahisi ndoto zako za kuwa mchezaji au kuanzisha timu yako ya mpira ita timia eheee?”

Ethan alizungumza kwa msisitizo huku machozi yakimlenga lenga. Kitu nilicho stuka ni jinsi machozi yake yalivyo na rangi nyekundu mithili ya damu.

“Hatuna njia ya pekee Ethan zaidi ya kufanya hili. Hao wengine watakao baki ni wakuwashuhulikia kimya kimya. Fanya uchaguzi sahihi Ethan”

“Ohoo watu milioni moja. Ohoo Mungu wangu”

“Ulishindwa kumua mkombo kwa mara ya kwanza. Sasa hivi nilazima afe na kundi kubwa la watu hatuna jinsi”

Nikaka kimya kwa zaidi ya robo saa nikifikiria. Moyoni mwangu nikaanza kusikia roho ya kikatili ikinishawishi kwa nguvu kwamba ni lazima nimuue mzee Mkumbo haijalishi atakufa na watu wangapi. Ila kwa upande mwengine moyoni ninaisikia sauti ikiniomba sana nisiwe katili na nigairi kuhusiana na mipango yote hii niliyo ipanga.

“Ethan amua wakati ni sasa. Acha kusikiliza sauti nyingine ina kupotosha. Kumbuka mimi ndio niliye kuokoa kule baharini. Hivi sasa mwili wako ungekuwa haupo tena duniani na ungekuwa chakula cha samaki”

Ethan aliendelea kuzungumza kwa msisitizo mzito sana. Nikazidi kuchanganyikiwa kiasi cha kunifanya nishindwe kufahamu ni nini nitafamya.

“Future ya nchi hii ipo mikononi mwako Ethan. Fanya maamuzi sasa”

Nikavuta pumzi nyingi sana, kisha nikaishusha taratibu na kumtazama Ethan usoni mwake.

“Namuhitaji Piyanka hapa”

Ethan akaniandikia namba ya msichana huyo kwenye simu hii kisha akaipika. Baada ya sekunde kadhaa simu hiyo ikapokelewa.

“Ni mimi”

“Ethan nilitarajia simu yako”

“Ulifahamu kwamba nipo hai?”

“Ndio. Upo wapi nije”

Nikamuelekeza Piyanka afike eneo hili. Baada ya nusu saa akafika. Nikamfungulia geti, akaingiza gari lake ndani. Nilipo hakikisha kwamba nimelifunga geti hili, akashuka ndani ya gari, tukakumbatiana kwa sekunde kadhaa kisha akashusha brufcase yake kubwa na tukaelekea ndani na kumkuta Ethan.

“Nashukuru kwa kuja”

Ethan alizungumza huku akimpa mkono Piyanka.

“Muna fahamiana?”

“Nilijitambulisha kwake na nikamueleza ni kitu gani ambacho kilikupata. Nikamueleza juu ya huu mpango kabla ya kukuambia wewe na hivyo hata kuja kwake hapa nilisha mueleza kwamba leo ni siku ambayo atakutana na wewe tena”

Maelezo ya Ethan yakatosha kabisa kukatisha maswali yangu ambayo nilisha yaandaa juu ya kufahamiana kwao.

“Ethan hatuna muda wa kupoteza. Niletee hivyo vichupa pamoja na hizo karatasi”

Piyanka alizungumza kwa msisitizo

“Sawa”

Nikaeleka katika chumba ninacho lala na Claudia, nikachukua vitu hivi nilivyo elekezwa na kurudi sebleni. Piyanka akaanza kusoma karatasi moja baada ya nyingine.

“Itachukua muda gani hadi kukamilika?”

“Kama siku mbili na nusu. Nahitaji kupata chumba ambacho hakina kitu cha aina yoyote zaidi ya meza pamoja na kiti”

“Mwenyeji wangu akirudi basi tutajua ni jinsi gani ambavyo tunaweza kupata hicho chumba”

“Sawa”

“Ethan kama nikihitaji japo kuzungumza na neno na mzee Poul Mkumbo kabla hajakata roho nitafanyaje?”

“Mmmm hilo ni jambo jengine sasa. Piyanka unaweza kutengeneza dawa ambayo kw amtu ambaye ataathirika na gesi hiyo endapo atachomwa atapona kwa haraka?”

“Ndio inawezekana. Nitatengeneza dawa hiyo, ila kama ni mgonjwa achomwe ndani ya dakika moja. Endapo dakika moja itapita hata kwa sekunde moja tu. Basi muna mpoteza mgonjwa huyo”

“Naamini ombi lako limepatikana. Juu ya wewe kumfikia mzee Mkumbo, hilo ni jukumu lako sisi hapo hatuwezi kupaingilia”

Mnguromo wa gari la Romani ukanifanya nikachungulie dirishani. Nilipo shuhudia kwamba ni gari lake, nikashuka gorofani na kutoka nje, nikafungua geti na akaingiza gari lake. Nikafunga geti huku nikiwa na shahuku ya kumuona Mbilinyi. Romani na Claudia wakashuka kwenye gari huku wakiwa na furaha sana. Ila wakaonekana kustushwa kidogo na uwepo wa gari la Piyanka.

“Kuna mtu mwengine aliye fika hapa mkuu?”

“Ndio kuna mtaalamu mmoja yupo humo ndani. Mutamuona baada ya kuingia”

“Mkuu ni mtaalamu wa nini. Asije akaleta matatizo makubwa?”

“Nina mfahamu vizuri. Niamini katika hili Romani”

“Sawa. Kazi imekwenda vizuri, mtu wako huyu hapa”

Romani alizungumza huku akifungua buti ya gari. Nikamshuhudia Mkumbo akiwa amelala katika buti hii kwa kujikunja. Nguo pekee ambayo ipo mwilini mwake, ni pensi tu. Mikono yake pamoja na miguu yake imefungwa.

“Ilibidi tumzimishe ili iwe rahisi kuondoka naye”

“Itachukua muda gani kuamka?”

“Kama masaa sita hivi”

“Kazi nzuri”

“Ila mkuu Claudia yupo vizuri kwenye upande wa mishale. Unaweza kuhisi ni wale waingizaji wa kikorea wanao tumia mishale. Huwezi amini sijatumia risasi hata moja na walinzi wote amewaangusha kwa mishale”

“Weee”

“Yaani ungekuwepo. Ungesema ni filamu ila kazi imekwenda poa sana”

“Mbebe huyu na mpeleke ndani”

Romani kweli akatii, akamtoa Mbilinyi kwenye gari na tukaingia naye ndani. Wakasalimiana na Piyanka na nikawatambulisha wote kwa pamoja na kwa bahati nzuri hatukuweza kumkuta Ethan. Romani akamuingiza Mbilinyi kwenye moja ya chumba ambacho kina kitand akimoja tu pamoja na kiti. Tukafungua kamba zake za miguuni na kuitanua miguu pamoa na mikono yake na kila mkono na mguu tuliweza kuufunga na pingu katika engo ya kitanda.

“Mkuu ni nini unakwenda kukifanya dhidi ya huyu mtu?”

“Nikisema kwamba nimuue nina hisi haito tosha kwa usaliti wake alio nifanyia dhidi yangu. Acha kupambazuke nina imani kwamba nitapata jibu la nini nimfanye”

“Sawa mkuu. Jambo jengine huyu msichana uliye tutambulisha kwamba ana itwa Piyanka. Je una muamini yeye kuwepo hapa na kumshuhudia mateka huyu?”

“Nina muamini. Yeye ni mtengenezaji wa mabomu hususani ya nyuklia”

“Mabomu ya Nyuklia!!?”

“Ndio, yupo hapa kwa ajili ya kutengeza bomu ambalo hakika litakwenda kumuangamiza mzee Poul Mkumbo siku ya kampenzi zake”

“Ina maana ume mueleza mpango mzima?”

“Ndio. Kuwa na amani naye chochote kubaya atakacho kifahanya hakika mimi nitakuwa muhisika namba moja kwako.”

“Nimekuelewa mkuu.”

“Andaa chumba ambacho kitakuwa na meza pamoja na kiti. Anahitaji kufanya kazi yake humo ndani”

Romani akafwata maagizo yangu na tukamkabidhi Piyanka chumba hicho kwa ajili ya kufanya kazi. Ili kumuondoa wasiwasi Romani, Piyanka aka mkabidhi simu yake iliyo zimwa ili asiweze kuwasiliana na mtu wa aina yoyote katika kipindi chote hichi atakacho tengeneza bomu hii. Asubuhi majiara ya saa tatu nikaingia katika chumba ambacho tumemuhifadhi Mbilinyi huku nikiwa nimebeba kikombe cha chai ya maziwa pamoja na vipande viwili vya mkate ulio tengenezwa kwa mayai ambavyo vimeandaliwa vizuri sana na Claudia. Mbilinyi alipo niona akastuka sana hadi kitanda kikatingishika. Nikatabasamu kidogo kisha nikaweka vyombo hivi pembeni ya kitanda hichi kisha nikaka katika kiti na kumtazama vizuri.

“ETHAN!!??”

Mbilinyi aliniita huku mshangao ukuendelea kutawala uso wake ambao nina imani toka siku ile kwenye boti, hakutarajia kama anaweza kukutana na uso wangu ambao aliamini ulisha kuwa chakula cha samaki miezi mingi iliyo pita.




“Unahisi kwamba umekutana na jini au mzuka?”

Nilimuuliza Mbilinyi huku nikiendelea kutabasamu.

“Naota au?”

“Hauoti, ila upo kwenye uhalisia wa maisha halisi.”

Ili kumdhibitishia Mbilinyi kwamba yupo kwenye maisha ya uhalisia. Nikamwagia chai ya mto tumboni mwake na kumfanya agugumie kwa maumivu ya kuungua kwa chai hiyo.

“Nina imani kwamba ulikuwa mwema sana kwa mzee mKumbo ndio maana uliamua kuunda mpango wa kunitafutia boti ile kama ukumbi ili iwe rahisi sana kwa mzee Mkumbo kuniteketeza. Si ndio?”

Mbilinyi hakunijibu kitu chochote zaidi ya kuendelea kunitazama kwa mshangao ambao, sijui akilini mwake ana waza nini.

“Kwa sasa sina maswali mengi. Nina ondoka”

Nikanyanyuka kwenye kiti hichi, nikatembea hadi mlangoni ila Mbilinyi akaniita na taratibu nikamgeukia na kumtazama.

“Unahisi kunikamata mimi, ndio utampata bosi wangu eheee. Tumejipanga vizuri kuhakikisha kwamba ana chukua madaraka ya nchi hii?”

Nikafumba macho yangu kwa sekunde huku nikifikiria hili alilo lizungumza Mbilinyi, kisha nikatabasamu tu na kutoka ndani ya chumba hichi. Nikarudi sebleni na kuwakuta Romani na Claudia wa kitazama taarifa ya habari inayo husiana na uvamizi katika nyumba ya mlinzi mkuu wa mzee Poul Mkumbo.

“Hakuacha udhibitisho wowote wa nyinyi kujulikana?”

“Hatujaacha mkuu”

“Labda ile mishale”

Claudi alizungumza huku tukitazama baadhi ya maiti zinazo onyeshwa hapa kwenye televishion ambazo zimeuwawa kwa kuchomwa na mishale.

“Hawawezi kufahamu kwa maana hakuna finger print zilizo baki pale kwani Claudia alivaa gloves mikononi mwake.”

“Nahisi hili litakuwa ni pigo kwa mzee Mkumbo”

“Yaa tutamtingisha kidogo na ataongeza ulinzi mkali sana kwenye nyumba yake na misafara yake.”

“Bado yeye na famila yake wanaishi kwenye nyumba ile ile?”

“Hapana wamebadilisha nyumba”

“Wanaishi nyumba gani?”

“Sijajua labda nifwatilie hilo”

“Hapana usifwatilie hilo. Fwatilia anaposhi Biyanka”

Romani akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatingisha kichwa akimaanisha kwamba amekubaliana nami. Akafungua laptop yake na kuanza kuminya minya batani za laptop hiyo. Nikaelekea katika chumba alicho Piyanka na kumkuta akiendelea kutengeneza bomu hilo.

“Mume amkaje?”

Piyanka alizungumza huku akivua miwani kubwa aliyo ivaa usoni mwake.

“Hatujalala, sijajua kama wewe umelala?”

“Hapana, bado nina endelea kuifanya hii kazi, si ya kulala kabisa”

“Pole sana ehee niambie umefikia wapi?”

“Hapa nilipo fikia kuna nipa matumaini. Nahitaji kutengeneza bomu la kisasa ambalo tutaliweka ndani ya moja ya spika kubwa ambazo zitatumika katika uwanjani katika kampenzi hizo”

“Unataka kuniambia kwamba bomu hilo litakuwa ndani ya spika?”

“Ndio, nilazima tuhakikishe kwamba tunafahamu ni kampuni gani inayo shuhulika na mambo ya kuandaa mziki wa kampenzi hizo na pia inabidi tufahamu ni jinsi gani ambavyo spika tutakayo iingiza bomu hili jinsi itakavyo kaa uwanjani hapo”

“Ahaaa inabidi tuanze kufwatilia ni kampuni gani”

“Fanyeni hivyo. Hili bomu hadi kesho usiku litakuwa tayari.”

“Sawam unahitaji kupata kifungua kinywa?”

“Acha nimalizie hii kazi hapa, nitakuja kupa kifungua kinywa”

“Sawa”

Nikatoka chumbani humu na kurudi sebleni.

“Mkuu”

“Ndio”

“Biyanka na mume wake kwa sasa wanaishi Kunduchi. Kuna jumba la kifahari walilo pewa zawadi na mzee Mkumbo siku ya harusi yao”

Romani alizungumza huku akinionyesha jumba hilo jinsi lilivyo kubwa. Simu ya Romani ikaita, sote wawili tukaitazama kwa maana ipo pembeni ya laptop hii. Nikaona jina la Qeen. Romani akaichukua na kuipokea.

“Qeen”

 ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG