Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

SIN SEASON 2 SEHEMU YA 4/10

   


SIN SEASON 2

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 4 KATI YA 10


Magreth taratibu akapunguza mwendo wa pikipiki yake na kusimama kwenye geti kuu la kuingia makao makuu ya kitengo cha NSA. Akavua helment yake na kutoa kitambulisho na kuwakabishi askari hao wanao linda geniti. Kitambulisho chake kikapitishwa kwenye mashine maalumu ya kukagulia vitambulisho, jina lake na maelezo yake yakatokea kwenye computer na vyote vina muonyesha ni mfanyakazi wa kitengo hicho.

“Karibu madam”

Askari huyo alizungumza huku akimrudishia Magreth kitambulisho chake.

“Shukrani”

Magreth taratibu akaingia ndani huku akipata wasaa mzuri wa kutazama magorofa yaliyo jengwa katika uzio wa kitengo hicho. Akashuka kwenye pikipiki yake na kuelekea moja kwa moja katika ofisi ya mzee Mbogo.

“Nina shukuru kwa kuja Mage”

Mzee Mbogo alizungumza huku wakipeana mikono.

“Nina shukuru muheshimiwa”

“Sasa tume pata ugeni wa makamu wa raisi wa nchi ya Marekani. Ukiachialia mbali wageni wengine ambao wata kuja na wengine walio kuja kwa ajili ya msiba wa mke wa raisi, ila nina imani una tambua uzito mkubwa sana wa kiongozi huyo”

“Ndio ndio”

“Nahitaji kiongozi huyo macho yetu yawe kwake. Nina tambua kwamba Marekani ina weza kufanya jambo lolote la kijinga kwa kiongizi wetu, hivyo nahitaji kukuingiza kwenye timu itakayo mlinda raisi Mtenzi siku ya mazishi ya mke wake.”

“Sawa hakuna shaka mkuu. Mimi nipo tayari kufanya hivyo”

“Ila nahitaji uwe katika mavazi yako”

“Mkuu huoni kama yale mavazi yana weza kuwatisha wananchi?”

“Hapana. Sisi ndio tunaye kujua wewe, sinto penda sura yako iweze kuonekana kwa maana una juu jinsi hii video ilivyo vuja”

“Sawa nime kuelewa hapo mkuu. Alafu nime maliza kupitia faili la kumsoma Evans”

“Evans kwa sasa tumuweke kando na tuangalie hili lililopo mbele yetu kwa maana hatuto hitaji uzembe wa mabomu yaliyo ua watu yatoke”

“Usijali muheshimiwa. Ila una weza kunisaidia kitu”

“Kitu gani?”

“Naweza kuonana na yule jamaa niliye mkamata?”

“Kiwema?”

“Ndio muheshimiwa nina hitaji kuonana naye kwa wema kabisa”

“Sawa, twende ukamuone”

Magreth na mzee Mbogo wakanyanyuka na kuelekea katika chumba maalumu alicho fungikwa Zuma ambaye bado ana endelea kupatiwa matibabu na madaktari wa kitengo cha NSA.

***

Gafla Josephine akaanza kuhisi maumivu makali sana ya kichwa chake.

‘Ehee Mungu ni nini hichi’

Josephine alizungumza huku akiacha kufanya kazi ambayo ana ifanya kwenye computer yake. Akasimama huku akilini mwake akisikia sauti ikimsisitiza aelekee ofisini kwa raisi Mtenzi. Akanyanyuka na kutoka ofisini kwake huku akitembea kwa mwendo wa haraka. Akaingia ofisini kwa raisi Mtenzi na kumkuta akiwa ana saini baadhi ya nyaraka za serikali.

“Jose vipi?”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama Josephine aliye simama wima pasipo kuzungumza kicho chochote na macho yamemtoka huku jasho likianza kumwagika usoni mwake. Hali hiyo ika mstua sana raisi Mtenzi na kujikuta akisimama kwa haraka kwenye kiti chake na kumsogelea Josephine.

“Josephine una tatizo gani?”

Josephine akajikuta akishindwa kujibu kitu chochote na gafla akaanza kuanguka kitendo kilicho mfanya raisi Mtenzi kumuwahi asianguke chini na kuumia mwili wake.



“Msaada”

Raisi Mtenzi aliita kwa sauti ya juu. Walinzi wake wawili wanao simama mlangoni kwake,w akaingia kwa haraka huku wakitaka kuchomoa bastola zao ila walipo kuta ni Josephine amelala chini, ikawalazimu kusitisha zoezi hilo.

“Ana hitaji kuwahishwa hospitalini haraka iwezekanavyo”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akimnyanyua Josephine kwa mikono yake.

“Tukusaidie”

“Hapana nina mmudu”

Raisi Mtenzi akamuweka vizuri Josephine mikononi mwake. Mlinzi wake mmoja akafungua mlango na wakatoka ndani hapo kwa spidi na kuwafanya wafanyakazi wengine wa ikulu kushangaa tukio hilo. Wakafika katika hospitali iliyopo ndani ya ikulu. Josephine akapokelewa na manesi na kwa haraka akaingizwa chumba cha matibabu.

“Dokta nini kina msumbua?”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama daktari anavyo endelea kumpima kila sehemu.

“Sioni tatizo muheshimiwa. Ila ngoja niendelee kumpima”

Daktari akajaribu kuchukua vipimo vyote ambavyo ni vya haraka kuweza kuonekana kwa wakati huo ila hakuweza kuona ugonjwa wa aina yoyote.

“Vipi?”

“Muheshimiwa hatujui ni tatizo gani kwa manaa hakuna kipimo kinacho onyesha kwamba huyu binti ni mgonjwa”

“Helicopter ya hospitali iandaliwe haraka”

“Sawa muheshimiwa?”

Gafla Josephine akafumbua macho, huku akihema kwa spidi na kumfanya dokta pamoja na raisi Mtenzi kumshangaa. Josephine akataka kukaa kitako ila daktari akamzuia.

“Pumzika kwanza”

“Nipo sawa dokta”

Josephine alizungumza huku akijitahidi kuvuta na kushusha pumzi nyingi sana ili kuhakikisha kwamba mapafu yake yana kuwa vizuri.

“Hapana haupo sawa”

“No nipo sawa. Muheshimiwa, tuna hitaji kuzungumza nina meseji muhimu sana ya kuongea na wewe”

Raisi Mtenzi akamtazama Josephine kisha akamuomba daktari aweze kuwapisha chumbani hapa.

“Hapana nahitaji tuzungumze ofisini kwako”

“Sawa, je una weza kutembea?”

“Yaa nipo sawa.”

Josephine akachomoa sindano ya dripu ilio chomekwa muda mchache sana ulio pita. Akashuka kitandani hapo na kusimama wima.

“Una weza kweli kutembea?”

Daktari aliuliza kwa msisitizo, Josephine hakumjibu kwa maneno zaidi ya vitendo. Akaanza kutembea kuelekea nje na ikamlazimu raisi Mtenzi kumfwata Josephine kwa nyuma. Moja kwa moja wakaelekea ofisini kwa raisi Mtenzi na Josephine akaufunga mlango huo kwa ndani.

“Kuna nini?”

“Muheshimiwa kuna mpango mbaya wa kuinua vita kati ya nchi yetu na Marekani”

“Nini?”

“Yaaa ni maono niliyo onyeshwa na ndio maana nime kuwa nipo kwenye hali kama ile. Siku nyingine ukioniona nimeanguka au kuzimia basi utambue ni maono makubwa sana ambayo nina onyesha.”

“Ohoo Mungu wangu. Nini chanzo cha vita hiyo ikiwa haya mambo yaliyopo hapa yana weza kujadiliwa na kuisha?”

“Makamu wa raisi wa Marekani ata uliwa katika ardhi ya Tanzania”

“Jesus Christ!!”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa mshangao huku akihaha kwa taarifa hiyo ambayo ime tokea.

“Wamarekani wata tumia ubabe kuhakikisha kwamba wana anzisha vita kulipa kisasi kwa ajili ya kifo cha makamu wao wa raisi.”

“Nani ata muua na ni lini ata kufa”

“Siku inayo fwata mara baada ya mazishi ya mke wako. Muheshimiwa hili jambo ni kubwa sana, nime ona ndege za kivita jinsi zinavyo fanya maangamizi ndani ya nchi ya Tanzania, nina ogopa muheshimiwa”

Raisi Mtenzi akajikuta akianza kutetemeka mwili mzima huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi sana. Akafungua kifungo cha shati cha shingoni mwake huku akiilegeza tai yake vizuri, kwa maana hali hiyo inayo kuja sio ndogo na haija wahi kutokea toka mataifa hayo mawili yaanzishwe.”

“Nani ambaye ana mpango wa kumuua makamu wa raisi?”

“Failia iliyo husika na tukio la kwanza ndio familia hiyo hiyo itakayo husika na shambulio hilo la pili?”

“Wale ulio niambia kwamba wana husika na uingizaji wa madawa ya kulevya?”

“Ndio muheshimiwa”

“Shitiiii!!”

Raisi Mtenzi alijikuta akipiga ngumi mezani kwa maana hiyo familia ina sababisha majanga makubwa ndani ya nchi ya Tanzania.

“Ni familia gani hiyo?”

“Sijapatwa kuonyeshwa muheshimiwa. Ila hiyo familia ina fanya hivyo kwa ajili ya kupata hadhina ambayo sisi na Wamarekani ime tufanya tufike hapa tulipo fikia leo”

“Shitiii sasa tuna fanyaje?”

“Ina bidi kuhakikisha kwamba makamu wa raisi wa Marekani ana lindwa pia na wana usalama wa Tanzania japo wata kataa”

“Umeonyeshwa ni mazingira gani ambayo ata uwawa?”

“Hapo nime weza kufichwa muheshimiwa. Ila nita hitaji kupiga goti chini na kumuomba sana Mungu aweze kunisaidia kuona hilo”

“Basi fanya hivyo alafu unipatie jibu”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Josephine akatoka ndani hapo na moja kwa moja akaelekea ofisini kwake. Akatoa simu yake kwenye pochi yake, akaitafuta namba ya Mage na akafanikiwa kuiona.

“Mage upo wapi?”

Josephine aliwahi kuzungumza mara tu simu hiyo kupokelewa.

“Nipo makao makuu ya kitengo cha NSA”

“Njoo ikulu sasa hivi?”

“Kwema?”

“No wewe njoo”

“Sawa nita fika hapo muda si mrefu”

“Poa”

Josephine akata simu, taratibu akaa kwenye kiti chake huku akionekana kuchoka kwa mawazo ya tukio hilo lililo tokea. Baada ya sakika thelathini na tano, Magreth akaingia ofisini hapo huku usoni mwake akionekana kuwa na wasiwasi mkubwa.

“Vipi kuna nini kime tokea”

Josephine kwa haraka akasimama na kumkumbatia Magreth na kuanza kumwagikwa na machozi.

“Jose niambie kuna nini kime kupata?”

“Mage upo kwenye wakati wa hatari tena?”

“Wakati wa hatari kivipi?”

Taratibu Josephine akamuachia Magreth na akakaa kwenye kiti chake.

“Niambie ume onyeshwa nini?”

“Vita”

“Vita ya nani na nani?”

“Marekani na Tanzania”

Magreth akahisi kama tumbo la haja kubwa likimkata mara baada ya kuisikia taarifa hiyo. Taratibu akakaa kwenye kiti huku akimtazama Josephine usoni mwake.

“Kwa nini tupigane vita?”

“Makamu wa raisi ana pangwa kuuwawa hapa nchini kwetu”

“Na nani na kwa nini?”

Magreth aliuliza maswali mfululizo huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi kiasi tofauti na mwendo wa kawaida wa moyo wake.

“Ile familia ambayo ilisababisha nchi ikaingia kwenye matatizo ya kimilipuko ndio hiyo familia ambayo ina panga kukuingiza wewe kwenye mtego wa kumuua makamu wa raisi wa Marekani na vita ikiwa ina endelea familia hiyo ime dhamiria kuhakikisha kwamba ina chukua hadhina yote ambayo inchi kwa sasa ina itegemea.”

“Mmmmm!!! Sasa mimi nita muuaje raisi makamu wa raisi ikiwa sina mpango kama huo na wala sifikirii jambo kama hilo”

“Kuna mtu ambaye ata valia nguo kama za kwako. Ndio ata tekeleza adhimia hilo na kutokana watu kadhaa wamesha kuona na mavazi hayo basi kesi yote utaibeba wewe”

“Ohoo Mungu wangu. Sasa tuna fanyaje ndugu yangu”

Magreth aliuliza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Hata sijui itakuwaje?”

“Raisi ume mueleza haya mambo?”

“Nimemueleza juu ya swala la kuuwawa kwa makamu wa raisi pamoja na hiyo familia ila hili jambo lako sija mueleza. Ila nina weza kumueleza sasa kwa maana nimesha kufikishia ujumbe muhusika mkuu”

“Jamani sasa mbona mambo yana taka kutugeukia?”

“Yaani sijui hiyo familia ina mpango gani?”

“Kwani hiyo familia haujaonyeshwa hata kidogo?”

“Hata kidogo na wala sijui ni kina nani?”

“Mmmm sasa kwa nini wana hitaji kutumia mavazi yangu?”

“Sijui ila mambo ndio yapo hivyo”

“Ina bidi nizungumze na raisi juu ya hili jambo”

“Twende wote”

Wakatokaofisini hapo na wakaingia ofisini kwa raisi Mtenzi. Josephine akamueleza raisi juu ya jambo hilo linalo kwenda kumkumba Magreth na kuzidi kumchanganya raisi Mtenzi ambaye ana pitia mapito ambayo ni magumu sana akiwa kama kiongozi wa nchi.

***

Mrs Sanga taratibu akafumbua macho yake huku akipiga miyayo ya uchovu wa usingizi ulio muandama. Akaitafuta simu yake ya mkononi, akatazama saa na kukuta ni saa tatu usiku.

“Mmmm muda ume kipimbia ehee?”

Mrs Sanga alijisemea kimoyo moyo huku taratibu akishuka kitandani. Akatazama mandhari ya chumba hicho huku akijinyoosha viongo vya mwili wake. Akavungua nguo zake haraka haraka na kuingia bafuni, alipo maliza kuoga akarudi kitandani huku akiwa ameishika simu yake akitafakari ni nani ampigie. Akaitazama namba ya Julieth kwa sekunde kadhaa kisha akampigia.

“Mama shikamoo”

“Marahaba upo wapi?”

“Nipo nyumbani. Baba ameniambia ume ondoka vipi upo salama?”

“Nipo safi tu. Vipi wageni hapo nyumbani wame pungua?”

“Hapana ndio kwanza wana zidi kuongezeka”

“Ahaa…baba yako akikuuliza muambie nipo sehemu salama”

“Upo wapi?”

“Nipo nje ya Dar es Salaam ila nipo sehemu ambayo sitaki mtu ajua. Nahitaji kupumzisha kichwa changu, haya yaliyo tokea kwa kweli sihitaji kuongeza mengine kichwani mwangu. Nipeni muda wa kuyapunguza mimi mwenyewe”

“Sawa mama usijali katika hilo. Basi ukikaa sawa usisite kunijulisha”

“Poa usiku mwema”

“Nawe pia mama”

Mrs Sanga akakata simu huku akisikiliza mziki mzuri wa bendi unao tokea nje. Akanyanyuka na kusogelea dirisha hilo na kufungua, akawaona watu wakiwa wamekaa kwenye viti huku wakisikiliza mziki wa bendi hiyo.

‘Acha nikatulize akili yangu’

Mrs Sanga akavaa nguo zake hizo na kutoka chumbani kwake. Akatafuta kiti cha kukaa ambacho kipo sehemu yenye kigiza kidogo.

“Karibu mama tukuhudumie kinywaji gani?”

“Niletee Vodaka chupa nzima”

“Ahaa sawa”

“Pia nipatie menyu ya chakula”

Muhudumu akatekeleza kila alicho elezwa na mrs Sanga. Mara baada ya huduma ya chakula pamoja na kinywaji kukamilika, mrs Sanga akaanza kula huku akiendelea kusikiliza mziki huo mzuri. Kadri jinsi pembe ilivyo zidi kumchukua ndivyo jinsi hashiki zilivyo anza kumtawala. Akaanza kumkumbuka Tomas, mwanaume aliye kuwa ana msugua kila kona ya mwili wake. Akakumbuka siku aliyo muua kwa sumu kali sana.

‘Nahitaji kupata mtu kama Tom’

Mrs Sanga alizungumza huku akiangaza angaza eneo hilo. Hakuweza kumuona mwanaume ambaye ana weza kumfaa. Taswira ya Tumaini ikamjia usoni mwake, akaanza kumtathimini kijana huyo ambaye kiuzuri wa sura hadi umbo ame kamilia ila kasoro yake ni maisha magumu ndio yanayo mfanya kuonekana wa kawaida. Akaitafuta namba ya Tumaini na kumpigia simu.

“Haloo”

“Dogo ume lala?”

“Hapana boss”

“Una weza kuja huko hoteli?”

“Ndio”

“Fanya fasta”

“Sawa”

Mrs Sanga akatabasamu, akalipa chakula na kinywaji kisha akabeba mzinga huo wa pombe kali na kurudi chumbani kwake.

‘Nimefika’

Meseji ya Tumaini ikamfurahisha mrs Sanga. Akampigia.

“Ndio”

“Ingia kwenye hili gorofa na njoo chumba namba elfu moja na tisini”

“Sawa”

Mrs Sanga akakata simu huku akijitazama kwenye kioo.

“Nampa mara moja kisha naachana naye”

Mrs Sanga alijisemea kimoyo moyo. Kengele ya mlangoni mwake ikaanza kuita, akafungua mlango huo na kukutana na sura ya furaha na ucheshi ya Tumaini ambayo ikamfanya mrs Sanga kuanza kusisimka mwili mzima, hadi akatamani kumvamia kijana huyo.

***

“Samahani jamani”

Nabii Sanga alizungumza huku akinyanyuka kwenye kundi la marafiki zake wanao mfariji. Akasogea pembeni na kuipokea simu yake.

“Habari”

“Nimesha fika Tz now nipo hoteli moja hapa ina itwa Nemax Royal”

“Ohoo napafahamu”

“Njoo basi mana ni long time mimi na wewe hatuja kutana”

“Sawa nina jiandaa nina fika hapo”

Nabii Sanga akakata simu na kuwaomba marafiki zake hao kwamba ana toka mara moja na wakamkubalia.

“Hakikisha wageni wana pata kila wanacho kihitaji”

“Sawa baba”

Nabii Sanga akaingia kwenye gari lake na kuondoka. Haikumchukua muda mrefu akafanikiwa kufika kwenye hoteli hiyo. Akashuka kwenye gari lake na kuisoma meseji aliyo tumiwa na ina muelekeza ni chumba gani aelekee. Nabii Sanga akaminya kitufe cha kiengele cha mlango huo na baada ya sekunde kadhaa ukafunguliwa na msichana huyo mrefu, mwenye shepu namba nane ila ya mazoezi. Weupe wake na urembo wa sura yake hakika sio jambo rahisi kwa mtu kufikiria kwamba binti huyo ni muuaju tena wa viwango vya kimataifa na kazi yake na kazi yake akiifanya huwa hakosei hata kidogo na hadi sasa hivi ni watu themenini na mbili ambao tayari amesha waua kwa kila aina ya njia aliyo panga yeye kuwaangamiza.



Binti huyo taratibu akashika shati la nabii Sanga kifuani mwake na kumvutia ndani. Hakuhitaji hata salama, jambo alilo lifanya ni kuanza kumnyonya denda huku akihema pumzi zito zilizo zidi kumzuzua nabii Sanga. Nabii Sanga akaipitisha mikono yake nyuma ya kiono cha binti huyo na kumnyanyua juu huku akiyatomasa makalio yake. Akambwaga kitandani huku wakiendelea kunyonyan midomo yao huku ndimi zikiwa na vita ya kushambuliana mithili ya wana mereka wanavyo bwagana ulingoni. Nabii Sanga akafungua taulo la msichana huyo na kulitupia pembeni. Kitendo cha kuona chuchu zilizo simama na kujazia vizuri pamoja na hipsi zilizo jazia zika zidi kumchanganya nabii Sanga. Binti huyo aliye jaa mitego ya kila aina ya kimapenzi, akafungua zipu ya nabii Sanga, akamgeuza na kumlaza chali. Akachomoa jogoo wa nabii Sanga ambaye tayari alisha simama wima mithili ya mnara wa simu. Akaanza kumchua taratibu, alipo jiridhisha vya kutosha, taratibu akamuingiza mdomoni mwake na kuanza kumnyonya mithili ya mtu anavyo nyonya ice cream ya mawaziwa. Biti huyo aliendelea kufanya maujuzi yote ambayo anayafanya kwa mwanaume ambaye ana tambua ana pesa nyingi na ambaye anatambua kwa kufanya hivyo ni njia moja wapo ya kumuibia pasipo yeye mwenyewe kujua kama ana ibiwa. Nabii Sanga hakutaka kuwa mnyonge, akavua nguo zake zote kisha akambong’olesha binti huyo. Uchu wa mapenzi ukamjaa huku akitazama jinsi makalio yake yaliyo kaa vizuri na kiti kilicho zidi kumpagawisha nabii Sanga ni jinsi vile magalio hayo yaliyo malaini kutokana na kupakwa mafuta yanayo teleza.

‘Asante Mungu kwa uumbaji wako’

Nabii Sanga alizungumza huku taratibu akimzamisha jogoo wake katika kitumbua cha msichana huyo. Akakishika kiuno cha msichan huyo vizuri kisha na kuanza kushuhuli ya ulaji wa kitumbua huku akifurahi jinsi binti huyo anavyo zungusha kiuno chake mithili ya feni.

***

“Karibu ndani”

Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama Tumaini kwa macho ya matamanio. Taratibu Tumaini akaingia ndani huku akiwa na wasiwasi kwa maana bado haja mtambua huyo mwana mama ni mtu gani na ana lengo gani na yeye.

“Umekula?”

“Ndio”

“Ume kula nini?”

“Ahaa wali maharage”

“Ahaa watu wa Tanga muna penda sana wali mharage?”

Mrs Sanga alizungumza huku akikaa mikao ya kihasara hasara ambayo kidogo ikamuweka Tumaini kwenye wakati mgumu, kwani tayari jogoo wake alisha aanza kuwika.

“Aha….hapana ila sisi mabachelor wengi tuna penda kula hivyo kwenye vibanda vya mama ntilie”

“Hujaoa bado?”

“Hapana bado sija oa”

“Una umri gani?”

“Miaka ishirini na tano”

“Mkubwa una tumia kilevi gani?”

“Ahaa…nikiwa kazini huwa sinywi kabisa”

“No hapa uta tumia kinywaji gani?”

“Ahaa nikipata konyagi bapa sio mbaya”

“Poa”

Mrs Sanga akanyanyua mkonga wa simu ya mezani na kuwapigia wahudumu. Akaagiza Konyagi pamoja na nyama choma ya mbuzi kilo moja na nusu. Baada ya muda mfupi wakaletewa vitu wanavyo hitaji.

“Umaishia kidato cha ngapi?”

“Nne”

“Shule gani?”

“Masechu”

“Ipo wapi?”

“Ipo hapa hapa Tanga”

“Ahaaa una ishi na nani?”

“Geto tu nimepanga, nilisha ondoka home kwa wazizi kitambo kidogo”

“Wazazi wako nao wana ishi hapa hapa Tanga mjini?”

“Hapana wana ishi eneo moja lina itwa Muheza”

“Ahaa nili papita pale mbele. Wao wana jishuhulisha na nini?”

“Wana shuhulika na ulimaji wa machungwa na tikiti maji”

“Sawa sawa”

Tumaini alizungumza huku akiendelea kufakamia nyama hizo zilizo andaliwa katika ubora wa hali ya juu.

“Mbona hunywi konyagi yako?”

Mrs Sanga alizungumza huku akiendelea kunywa taratibu kinyaji chake.

“Nina kunywa”

“Kunywa bwana”

Tumaini akafungua chupa hiyo na akaanza kunywa huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake. Akamtazama mrs Sanga jinsi anavyo endelea kumtega kimapenzi.

‘Huyu mama ana taka mbo**”

Tumaini alizungumza kimoyo moyo huku akiendelea kugwida pombe hiyo ambayo ana uzoefu nayo toka akiwa kidato cha pili.

“Nikuagizie nyingine?”

“Hapana hii hii ina tosha”

Tumaini alizungumza huku akimalizia fumba la mwisho la pombe hiyo. Akaweka chupa mezani huku akimtazama mrs Sanga.

“Nahitaji kwenda kunawa mikono”

“Sawa bafu lile pale”

Tumaini akasimama na kuelekea bafuni, kitendo cha kufungua maji ili anawe mikono mrs Sanga akaingia ndani hapo huku akiwa amevua nguo zake. Tumaini hakushangazwa kwa lolote kwa maana tayari alisha msoma mrs Sanga mienendo yake ambayo ana mletea. Taratibu Mrs Sanga akamkumbatia Tumaini kwa nyuma huku akiupeleka mkono wake wa kulia eneo alipo jogoo Tumaini. Ugumu wa jogoo huyo aliye simama akiwa ndani ya suruali, ukamfanya mrs Sanga kutabasamu. Tumaini akageuka huku akifungua kifungo cha suruali yake na mrs Sanga akaimalizia kuivua, macho yakamtoka mrs Sanga mara baada ya kukutana na jogoo mrefu anaye kimbilia nchi nane na nusu huku akiwa ameshiba.

‘Ehee Mungu nita muhimili kweli huyu kijana?’

Mrs Sanga alijikuta akimkumbuka Mungu wake huku akiendelea kumshika shika gogoo wa Tumaini.

“Oga kwanza”

Mrs Sanga alizungumza huku akijitahidi kuyazuia mapigo yake ya moyo yasimuende kasi. Kwenye maisha yake yote ya mahusiano hajawahi kukutana na mwanaume mwenye jogoo mrefu na aliye jazia kama wa Tumaini. Tumaini akaoga kwa haraka haraka na kurudi ndani, akamkuta mrs Sanga akiwa amejila kitandani.

Tumaini akaipanua miguu ya mrs Sanga na kuanza kunyonya kitumbua hicho kwa staili tofauti tofauti zilizo mchannya mrs Sanga kwani japo mume wake na mahawara wake wa nyuma walio pita akiwemo Tomas walisha wahi kumnyonya ila si kwa staili anayo ifanya kijana huyo. Tumaini, hakuishia hapo akazidi kwenda mbali zaidi hadi akaanza kumnyonya mkund**. Mrs Sanga machozi yakaanza kumbubujika huku akihisi mwili wake kuzama kwenye dimbwi la furaha.

‘Hapa pesa ipo, nikicheza vizuri natusua maisha na ubodaboda basi’

Tumaini alijisemea kimoyo moyo huku akizidi kuuchezesha ulimi wake katika mkund** wa mrs Sanga. Alipo hakikisha kwamba amefanya robo ya mautundu yake, akamkunja vizuri mrs Sanga mithili ya samaki anaye kunjwa kwa ajili ya kukaangwa. Akampaka mate jogoo wake na taratibu akamzamisha ndani ya kitumbua cha mrs Sanga.

“Uuuuuuuuwii…..iiii”

Mrs Sanga akitoa mguno huo huku akihisi raha ya ajabu. Sehemu aliyo guswa leo ndio mara yake ya kwanza kuguswa. Tumaini akaanza mtanange huo taratibu kama jinsi gari ya ina ya scania linavyo anza safari zake za masafa marefu. Kadri jinsi muda unavyo zidi kwenda ndiyo jinsi Tumaini alivyo ongeza kasi huku mrs Sanga naye akijitahidi kuleta maufundi yake ya kiutu uzima.

“Weee mtoto uta niua mimi…..ohooooo……”

Mrs Sanga alilalama huku mapaja yakimcheza mithili ya simu yenye vibration. Kwa mara nne mfululizo mrs Sanga alijikuta akifika kileleni, ila Tumaini ndio kwanza ana endelea kuzisiha maujuzi kwa maana anaamini kwamba kumsugua kwake vizuri mrs Sanga ndio jinsi atakavyo pata ujira mzuri wa kumtoa kimaisha.

“Kum** yangu ina waka moto. Umesha wahi kula mkund** wewe?”

Swali la mrs Sanga likamfanya Tumaini kutulia kwa sekunde kadhaa. Akamchomoa jogoo wake, na taratibu akamzamisha katika mkund** wa mrs Sanga.

‘Ehee mola kweli leo shuhuli ninayo’

Mrs Sanga alilalama na Tumaini hakulijahi hilo zaidi ya kuendelea kufanya kazi iliyo mpeleka chumbani hapo. Mrs Sanga alijikuta akitamani kuomba poo, ila akahisi kwamba ata jidhalilisha mbele ya kijana huyo ambaye ame mpita zaidi ya miaka thelathini.

“Nakojoo”

Tumaini alilalama huku akiongeza spidi yake ambayo ukiiipima una weza kusema ni mwendo kasi wa Ferrari. Mrs Sanga alishindwa kujibu chochote zaidi ya miguuno ya kimahaba ambayo muda mwengine ina kuwa ni ya raha huku muda mwengine ina kuwa ni ya maumivu. Tumainia akafika tamani huku wazungu weupe akiwamwaga juuya makalio ya mrs Sanga.

“Ohoo naomba maji yake ya kunywa”

Mrs Sanga alilalama huku akiwa amekalal kifudi fudi. Koo lake lime kauka kau, Tumaini akashuka kitandani huku akitabasamu. Akachukua chupa hiyo ya maji na kumkabidhi mrs Sanga aliye anza kuyafakamia hadi yakabaki kidogo kiasi.

“Vipi tuendelee?”

“Ahahaa….hapana kwa kweli. Mwenzio umri ume kwenda, sina ubavu kama wako”

“Mmmm sasa mbona ume nihimili?”

“Nimejikaza tu ila kwa kweli umenitomb** hadi nime koma”

“Mmmmmm sasa mimi bado nina hamu huwa nime zoea kuunganisha mbili kwa moja”

“Tobaaaa”

Mrs Sanga alihamaki huku akiwa hajui nini cha kufanya kwa maana kama ni jogoo wa Tumaini bado amesimama dede na bado ana onyesha kwamba ana hitaji kuendelea na mashambulizi hayo.

“Mtulize bwana”

“Hato weza kutulia hadi apate”

“Mmmmm kwa kweli siwezi hapa nilipo nyege zote zime kwisha. Lalalala kdogo labada huko bade nikupe tena”

“Mpigishe nyeto basi”

Mrs Sanga akashusha pumzi na hakuwa na jinsi yoyote zaidi ya kuendelea kumshuhulikia jogoo huyo kwa kumchua kwa kila aina ya staili anayo ijua hadi staili ya kuyabana maziwa yake na jogoo huyo kupita katikati ya maziwa hayo. Tumaini akajitahidi kadri ya uwezo wake na akafanikiwa kuvuta hisia na kupiga goli la pili ambalo kidogo likaituliza mizuka ya jogoo huyo huku mrs Sanga akikubali shuhuli ya kijana huyo.

***

“Fuc***”

Nabii Sanga alilalama huku viungo vya mwili mzima vikijikaza. Waarabu hao waupe wanao toka hakika humfurahisha kila mwanaume akiwa katika hali kama hiyo.

“Una ubo** mtamu mpenzi wangu”

Msichana huyo alizungumza huku akiwachezea chezea waarabu wa nabii Sanga walio zagaa kifuani mwake.

“Kweli?”

“Haki ya Mungu vile. Yaani ume nikuna vizuri sana”

“Nashukuru, hata wewe mauno yako ni matamu”

“Hahaaa kweli?”

“Yaa ujuzi wako umeongezeka ni tofauti na miaka saba iliyo pita”

“Hahaa kipindi kile nilikuwa bado kamanzi kadogo dogo na sikuwa najua kukatikia mbo** vizuri ila sasa nime kua na nina jua kila aina ya mikao”

“Haaa ni kweli Jack”

Nabii Sanga alizungumza huku akijilaza pembeni ya Jackline.

“Ehee niambie nani ana paswa kufa na lini niweze kumuondoa?”

“Ni kazi ngumu kiasi ila inao hiyaji ujasiri na ina hitaji kuhakikisha kwamba una weza kumpachikia mtu kesi hiyo?”

“Nahi huyo”

Nabii Sanga akaokota suruali yake na kuitoa simu yake mfukoni. Akamuonyesha Jackline picha ya Magreth akiwa katika mavazi yake ya kazi.

“Huyo ni nani?”

“Anai Magreth na mtazame hapa”

Nabii Sanga akaiweka video hiyo ya Magreth ambayo ime samba sana mitandanoni.

“Heee huyo manzi wa Ktz ninayo video yake. Aisee ni hatari sana huyo mdada. Ndio una taka niweze kumuondoa duniani?”

“Hapana. Kuna mavazi kama hayo yana shonwa katika kazi hiyo ambayo nahitaji uifanye ni kuhakikisha kwamba una yavaa mavazi hayo na kesi nzima ita muangukia msichana huyo”

“Ahaa kwa hiyo una taka ni mframe?”

“Yaaa”

“Sasa ni nani ambaye nakwenda kumuua?”

“Una tambua kwamba kesho kutwa ni maziko ya mke wa raisi?”

“Yaa natambua, yule first lady wenu alikuwa ni mtu poa sana”

“Ni kweli ila Mungu amrehemu huko alipo. Ila pointi yangu ya msingi nina hitaji umuondoe mmoja wa wageni wakubwa ambao wata kuja nchini Tanzania”

“Ni nani huyo?”

“Ni makamu wa raisi wa nchi ya Marekani. Nita hitaji umuue siku ya pili mara baada ya mazishi. Kuanzi sikua mbayo ana kuja nchini, hakikisha kwamba una fwatilia nyendo zake na nina mtu maalumu ambaye yupo ndani ya ikulu na ana weza kunipa detail zote za ndani za wapi atakapo lala na ana mfumo gani wa ulinzi. Ila siku ya pili hakikisha ana kufa je uta iweza hiyo kazi?”

Jackline akashusha pumzi huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.

“Hakuna kazi inayo nishinda mimi Jackline hususani kazi ya kuua. Wewe uta nipa bei ngapi?”

“Ukifanikiwa kwenye hiyo kazi five million USD. Hope uta toka kimaisha”

“YES BABY…..ndio maana nina pendaga kufanya kazi na wewe hembu nitomb** tena ili niweze kupanga mipango yako vizuri kichwani jinsi ya kumuondoa huyo makamu wa raisi”

Jackline alizungumza kwa furaha sana huku akianza kumchua jogoo wa nabii Sanga, alipo simama dede tu, akamkalia na kuanza kujishuhulisha yeye mwenyewe katika kufurahia kiwango hicho cha pesa kwani ni kikubwa sana na hajawahi kulipwa pesa hiyo toka alipo anza kazi zake za uuaji.



Hadi wana maliza mzunguko wa pili wa mtanange huo tayari Jackline alisha pata mpango wa kufanya ili kutekeleza mpango wake huo wa mauaji juu ya makamu wa raisi wa nchi ya Marekani.

“Nimepata mpango wa kuumua huyo makamu wa raisi, hakikisha asubuhi una niletea mavazi hayo. Umenielewa?”

“Ndio nime kuelewa usiwe na shaka katika hilo.”

“Ila kazi hii nina ona haina haja ya kumfram huyo manzi”

“Kwa nini?”

“Kwani ana makosa yoyote na wewe?”

Nabii Sanga akaka kimya kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama Jackline aliye jilaza pembeni yake.

“Huyo msichana ana itafuta sana ndoa ya mwanangu. Hivyo nina hitaji apotelee jela?”

“Una onaje nikaanza na huyo msichana kisha huyu makamu wa raisi ikwa nia rahisi kumuondoa”

“Una uwezo huo?”

“Una mashaka juu ya uwezo wangu?”

“Hapana sina mashaka”

“Basi nita fanya hivyo. Jua la kesho jioni hato liona”

“Ila ume tazama video yake kwa umakini?”

“Ameweza mpiga huyo fala hawezi niweza mimi. Nina uwezo zaidi yake?”

“Sawa kama ukiweza kumuondoa basi nita kuongezea one million dollars”

“Waooo. Naweza pata detail za huyo msichana?”

“Ni simple tungoja nimpigie mwanangu”

Nabii Sanga akaitafuta namba ya Julieth kwa haraka kwenye simu yake.

“Baba vipi mbona hadi sasa hujarudi, nina pata wasiwasi?”

“Kuna mambo nina yaweka sawa. Je una weza kunitafutia details za Magreth?”

“Kwani baba humjui Magreth”

“Yaani nina taka kujua ana fanya nini sasa hivi?”

“Sawa ngoja dakika kadhaa”

Nabii Sanga akakata simu na baada ya dakika mbili faili likaingia kwenye simu yake kupitia mtandao wa whatsapp. Akalifungua na kuanza kusoma maelezo yaliyo andikwa yanayo muhusu Magreth. Nabii Sanga akajikuta akistuka mara baada ya kukuta kwamba Magreth ni miongoni mwa wapelelezi walipo kwenye kitengo cha NSA. Nabii Sanga akaka kitako vizuri huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi sana na mbaya zaidi ni kwamba hafahamu ni lini Magreth ameanza kazi katika kiengo hicho nyeti cha serikali.

“Vipi mbona una pata mstuko?”

“Huyu msichana kumbe ni mpelelezi?”

“Hembu”

Jackline naye akaanz akusoma taarifa hiyo ya Magreth, kisha akamtazama nabii Sanga.

“Sasa kuwa mpelelezi haito mzuia yeye kufa?”

“Una uhakika?”

“Ndio”

“Sawa ifanye hiyo kazi na ukiifanikisha nita kupatia pesa nzuri zaidfi ya hiyo niliyo kuahidi”

“Usijali mpenzi wangu”

Jackline akazinyonya lispi za nabii Sanga taratibu kisha akajilaza huku akianza kupanga mpango mwengine wa kumuangamiza Magreth.

***

Josephine akayafumbua macho yake marabaada ya kusali na kumkuta Magreth akiwa amejinamia kwenye sofa la ofisini hapo.

“Mage”

“Beee”

“Twende”

“Wapi?”

“Kwa mtu ambaye ana uwezo wa kuchora”

Magreth akaitazama saa ya mkononi mwake na ina muonyesha ni saa tisa usiku.

“Tuna kwenda kufanya nini?”

“Wewe twende”

Magreth hakuhitaji kubisaha sana akakubaliana na Josephine.

“Usiwe na mawazo sana”

Josephine alimfariji Magreth ambaye toka apokee habari ya kukabiliwa na tatizo la kupakaziwa kesi basi amepoteza amani kabisa mojayoni mwake. Wakaingia katika chumba cha mtaalamu ambaye ana shuhulika na uchoraji kupitia compute. Wakasalimiana naye na kwa bahati nzuri walimkuta ndio ana maliza kuchora katuni kwa ajili ya gazeti la asubihi la serikali.

“Kaka kuna mtu nina hitaji unichoree”

Josephine alizungumza huku akimtazama jamaa huyo.

“Una picha yake?”

“Hapana nina sura yake katuka ufahamu wake wa akili je nina weza kukueleza na ukawa una chora?”

“Ndio una weza kunieleza “

“Ngoja kwaza Jose huyo uniye hitaji achorwe ni nani?”

“Nimeonyeshwa sura ya ambaye ata kupakazia lile kambo”

Magreth akastuka na kukaa vizuri kwenye kiti hicho. Josephine akaanza kumueleza kijana huyo hatua moja baada nyingine ya mtu ambaye ameonyeshwa kwenye maono yake. Kadri muda ulivyo zidi kwenda Magreth alijikuta akishangaa kuona ni mwanamke tena mwenye sura nzuri sana. Ndani ya dakika ishirini kazi hiyo ikawa ime kamilika.

“Huyo ndio muuaji aliye pandikizwa kumuua. Endapo tuta mpata katika siku ya kesho haya mambo yote nilio onyesha hayato kwenda kutokea”

Josephine alizungumza kwa kujiamini huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Kaka nitumie hiyo picha kwenye simu yangu”

Magreth akamkabidhi kijana huyo simu yake, akaichomeka kwenye waya wa USD na kuiunganisha na computure hiyo. Akaingiziwa picha hiyo na akaitazama kwa sekuende kaadhaa.

“Hivi mwanamke mrembo kama huyo ana weza kuwa muuaji?”

Magreth aliuliz ahuku akimtazama Josephine usoni mwake.

“Wewe pia ni mzuri mzuri kuliko hata huyu dada. Nina imani ume nielwa”

“Magreth akatingisha kichwa akimaanisha kwamba ameelewa.”

“Kaka una iweza uka scan hiyo picha na kumtafuta huyo msichana?”

Magreth alizungumza huku akimtazama kijana huyo.

“Hapana kw amimi siwezi, lada tuwatumie wale watu wa control room wao ndio wana weza kufanya hayo yote”

“Sawa basi watumie sisi tuna elekea huko”

“Sawa, muulizieni jamaam mmoja ana itwa Simon, ata wapatia details za huyo msichana ni nani na nimesha mtumia sasa hivi”

“Sawa”

Magreth na Josephine wakatoka ndani hapo huku wakiwa na shahuku kubwa sana ya kutaka kumfahamu msichana huyo kuanzia jina hadi kazi anayo ifanya.

“Karibuni, nina itwa Simoni nime pewa kazi yenu. Nina ifanya hapa”

Kijana huyo mwenye manywele mengi yaliyo simama huku akiwa na mwili mwembaba, alizungumza huku akiwaonyesha zoezi hilo jinsi linavyo fanya kazi katika laptop yake aliyo ishika mkononi.

“Ime fikia wapi?”

“Nina endelea ku scan hii picha nina imani nita ipata”

Hazikupita hata dakika kumi picha halisi ikatokea katika laptop ya Somoni.

“Nimempata”

Magreth na Josephine kwa haraka wakazitazama picha hizo huku wakiwa wamezikodolea macho.

“Ana itwa Jackline Odinga. Ni fomer militariy snipers. Amechukua mafunzo yake katika nchi ya Rusia, Israel na Marekani. Ana miaka thelathini na saba sasa. Hana mtoto, wala hana mume”

Simoni alizungumza huku akisoma maelezo ya Jackline.

“Ume sema amestafu jeshi?”

Magreth aliuliza huku akimtazama Simoni.

“Ndio ame stafu akiwa na miaka ishirini na nane”

“Sababu zilizo mfanya astafu?”

“Hazijawekwa bayana”

“Ana jishuhuhulisha na nini sasa hivi?”

“Hakuna details zozote zinazo muonyesha anafanya kazi gani”

“Una weza kumtafuta na kufahamu yupo wapi?”

“Ina bidi sasa hapo nihack satelate za Kenya na kufanya hivyo ni kosa”

“Mage mtu huyo nime onyesha yupo Tanzania ila sijajua yupo sehemu gani. Hapo ndipo kwenye shida”

“Kama yupo Tanzania tuna weza kumpata”

“Hembu anza kumtafuta kwenye mahoteli”

Magreth alitoa pendekezo hilo na Simoni akaanza kufanya kazi ya kukagua cctv kamera zilizo fungwa kwenye mahoteli yote makubwa nchini Tanzania.

“Kwani dada zangu huyo muna mtafuta kwa kazi gani?”

Simoni aliuliza huku akiwatazama Magreth na Josephine kwenye nyuso zao kwa maana hawajampatia maelezo yoyote kwamba huyo msichana wana mtafuta kwa ajili ya shuhuli za kiserikali au binafsi.

“Naamini una fahamu mim ni nani?”

Josephine alimuuliza Simoni huku akimtazama usoni mwake.

“Ndio”

“Basi yoyote atakaye kuuliza kuhusiana na hili muambie chief staff ndio nime kupa ruhusa ya kufanya hivyo”

“Sawa madam”

“Hili zoezi lita chukua muda kidogo”

“Muda gani?”

“Hata masaa mawili kwa maana ina bidi ni hakikishe kwamba nina hack system ya cctv kamera za hoteli moja baada ya nyingine”

“Kwani huna uwezo wa kumtafuta mtu kwa sura yake na akapatikana?”

“Hilo swala sasa ni lazima liweze kuidhinishwa na muheshimiwa raisi”

“Mimi siwezi kuidhinisha?”

Josephine aliuliza huku akimtazama Simoni usoni mwake.

“Hapana kwa maana hapo mutakuwa muna kwenda kwenye big oparesheni. Mimi nina weza kufanya ila sinto weza kufanya kwa sababu ya kufwata taratibu za kazi yangu kwa maana likitokea la itokea mimi ndio nita husika”

“Jose raisi saa hizi ata kuwa macho?”

“Hapana amelala”

“Ila NSA wana weza kuifanya hii kazi”

Simoni alishauri hilo.

“Basi mtumiemkuu wangu?”

“Sawa”

Magreth akampigia simu mzee Mbogo.

“Ndio Mage”

“Upo ofisini?”

“Ndio”

“Tume pata picha ya muuaji anaye panga kumuangamiza makamu wa raisi.”

“Ipo wapi?”

“Imesha tumbwa kutoka hapa ikulu kuja huko”

“Nina kwenda chumba cha mawasiliano sasa hivi kuona ila kama unayo kwenye simu nitumie””

“Nina kuingiazia sasa hivi”

Magreth akaituma picha hiyo haraka kwa mzee Mbogo kisha baada ya dakika mbili akampigia.

“Muheshimiwa Josephine amesema kwamba endapo tuta fanukiwa kumpata huyo msichana kwa siku ya kesho basi kila jambo alilo litabiri lita kwisha huyu msichana tukimkamata basi tuna tuna weza kuipata familia inayo husika na huu mpango mzima”

“Sawa sisi tuna mtafuta endapo tuta mpata tuta kutumia location ni wapi alipo”

“Nita shukuru muheshimiwa”

Magreth akakata simu huku akimtazama Josephine usoni mwake.

“Magekwa nini sasa Mungu hajakuonyesha ni wapi alipo na hiyo familia ni ya nani?”

“Mungu ana makusudi kwa kila jambo Mage. Hata hichi kidogo alicho tupatia hivi sasa ni swala la kumshukuru Mungu”

“Ni kweli, ila huyu malaya endapo nikimtia mkononi mwangu. Haki ya Mungu nita mminya hadi nihakikishe kwamba ana taja ni nani aliye mtuma”

“Usikamie sana tusije tukamkosa bure na mambo yakaharibika”

Josephine alizugumza kwa sauti ya unyonge iliyo mfanya Magreth azidi kujawa na mawazo kwa maana kichwani mwake hajawahi kufikiria siku moja kuja kuishi kama gaidi tena wa maauaji makubwa kama ya makamu wa raisi wa nchi ya Marekani.

***

Simu ya Jackline ikaanza kuita kwa haraka akaichukua pembeni ya kitanda alipo iweka, akaitazama kwa sekunde kadhaa kisha akakaa kitako na kuipokea.

“Vipo dogo?”

“Dada data zako zina sakwa”

Kauli ya kijana huyo ikamstua sana Jackline na kujikuta akimtazama nabii Sanga ambaye naye ana msikiliza katika mazungumzo yake.

“Nani ambaye ame zitafuta?”

“Kuna twoa access kutoka nchini Tanzania ndio zime kutafuta. Nime jaribu kuhack ili kufahamu ni watu gani ndio walio acces kwenye details zako nika shindwa kuwapata”

“Ohoo Mungu wangu. Sasa sikia futilia mbali hizo detail zote”

“Ila sister zipo kwenye database za jeshi na hatuwezi kuzifuta. Nimesha ngaa kuona kwamba taarifa zako zina tafutwa tena kutokea ndani ya Tanzania na nilipo kuja kuangalia location yako nime gundua upo Tanzania ndio maana nika kupigia simu haraka iwezekanavyo”

“Nime kuelewa mdogo wangu. Sasa hakikisha kwamba una jitahidi kuhakikisha una fahamu ni nani ambaye ana tafuta detail zangu na unifahamishe”

“Sawa dada ila kuwa makini sana, tena sana kwa maana kwa uelewa wangu mdogo nina amini kwamba hivi access zina toke ndani ya vitengo ambavyo vina jua nini vina fanya ndio maana nime shindwa kuhack kabisa. Laiti ingekuwa ni mtu mmoja basi ninge fahamu?”

“Sawa nashukuru kwa taarifa”

“Poa”

Jackline akakata simu huku akishuka kitandani.

“Kuna nini?”

“Nina tafutwa na vyombo vya usalama. Sasa sifahamu kwa nini wana nitafuta na sijui wame juaje jina langu hadi kunifwatilia na vyombo hivyo vina onyesha vina tokea hapa Tanzania. Sasa nina potea, kazi yako nita ifata, na wewe tembea kabla hujakamatwa. Tumeelewana mzee?”

“Ndi…ioo….o”

Nabii Sanga alijibu kwa kigugumizi kikali huku akishuka kitandani. Hapakuwa na mtu aliye kumbuka kuoga kwani hawajui ni nini kina fwata. Nabii Sanga akawa wa kwanza kuondoka hotelini hapo kisha akafwatila Jackline kuondoka usiku huo na kwenda anapo pajua yeye mwenyewe ili kujipanga zaidi kwa ajili ya kazi iliyo mleta nchini Tanzania.



Nabii Sanga hadi ana fika getini kwake majira ya saa kumi usiku, bado yupo kwenye wasiwasi mkubwa sana wakuhisi ana fwatiliwa. Geti likafunguliwa na taratibu akaingia ndani huku akiwa katika mawazo mengi sana, akasimamisha gari lake kwenye maegesho ya hapo nyumbani kwake. Akatazama namba ya Jackline akatamani kumpigia simu ila akashindwa, kuhofia simu yake kudakwa na kuonekana ana husiana na Jackline ambaye wanavyo hisi ni kwamba amesha anza kutafutwa. Nabii Sanga akastuka mara ya kuhisikia kioo cha pembeni ya gari lake kikigongwa, akamuona Julieth ndio anaye gonga, taratibu akafungua lock ya mlango huo na Julieth akaingia.

“Vipi bado huja lala?”

“Yaa nilikuwa nina kusubiria wewe”

“Tena afadhali huja rudi kuna jambo nahitaji kufahamu”

“Jambo gani?”

“Nilikuwa na yule binti ambaye nina hitaji kumpatia kazi ya kumuua makamu wa raisi. Sasa kuna mtu wake amemualeza kwamba data zake zime weza kutazamwa kwenye mtandao na watafutaji wametokea hapa hapa nchini Tanzania. Hembu jaribu kudadisi kuna nini kinacho endelea ndani ya ikulu”

“Usiku huu ndio zime angaliwa?”

“Ndio”

“Kwani kuna mtu ambaye ana fahamu juu ya kuja kwake hapa nchini Tanzania?”

“Hapana ni mimi wewe na yeye?”

“Mmmmm sasa ni nani ambaye amemtazama?”

“Yaani hapa ndio tuna changanyikiwa na mbaya zaidi ni kwamba hao watu walio mtazama ni ngumu sana kuwa hack”

“Ohoo hiyo sasa ni shida nyingine. Kama wata kuwa ni NSA au IKULU basi ni ngumu sana kuingia kwenye database zao na kuhack na kufahamu ni kitu gani kinacho endelea.”

“Ndio maana nime kuambia hembu dadisi na ufahamu ndani ya ikulu. Ujue ni kitu gani kinacho endelea”

Julieth akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akijaribu kuwaza ni nani ambaye anaweza kumuamini ndani ya ikulu hiyo na akampatia mambo yanayo endelea.

“Kuna dogo ana itwa Simoni nime kuwa naye karibu siku hizi mbili tatu. Ngoja nimpigie”

“Fanya hivyo”

Julieth akaitafuta namba ya Samson na kuanza kumpigia.

“Dada habari ya usiku”

“Salama vipi upo ikulu?”

“Ndio nipo ikulu”

“Kuna nini kinacho endelea?”

“Hakuna kitu kinacho endelea mbona”

“Hakuna mtu anaye tafutwa?”

“Ahaa yupo kuna dada mmoja hivi ana itwa Jackline Odinga. Ni mkenya, ana tafutwa na chief staff pamoja na yule dada Magreth”

“Kwa kosa gani?”

“Sija jua kwa kweli?”

“Wame fikia wapi sasa?”

“Hili jambo kwa sasa, NSA ndio wanao shuhulika nalo, kwa sisi hapa limesha toka mikononi mwetu”

“Sawa nashukuru. Usiku mwema”

“Na wewe pia”

Magreth akakata simu huku akimtazama baba yake kwa maana aliweka loud speaker na nabii Sanga ameweza kusikia kila kitu kilicho zungumzwa.

“NSA endapo wata mkamata huyu binti kila jambo lina weza kuwa wazi”

“Kwani ni msichana ambaye hajiwezi kwenye kujilinda yeye mwenyewe?”

“Ana jiweza na yupo vizuri sana. Ila sijajua ni adhabu gani ambayo NSA wana weza kumpatia hadi akazungumza ukweli”

“Kama vipi wasiliana naye ili aweze kuondoka nchini usiku huu huu. Endapo ata kamatwa basi kila jambo lina weza kuharibika”

“Hapana huu mpango hauwezi kuishia hapa. Nilazima hiyo hadhina tuweze kuipata na lazima tuzigonganishe hizi hichi mbili kwa manufaa yetu binafsi. Jambo la msingi ita nilazimu kuhakikisha nina mkodisha muuaji mwengine wa pili kwa ajili ya kuifanya hiyo kazi”

“Wawili wamuue mtu mmoja?”

“Ndio kama mmoja akikamatwa basi mwengine akaitekeleze hiyo kazi na wasijuane kama wote wana ifanya kazi moja”

“Ila baba hao watu wako una waamini lakini kwa maana kama ni hivi tu wamesha jua kwamba Jackline ana tafutwa. Alafu huwa wana juaje kila kinacho pangwa kutokea”

“Ni Josephine”

“Josephine kivipi?”

“Umesahau kama ana maono ya kuona kila jambo lijalo. Kitu ambacho ana shindwa kukiona ni hii familia yetu na mipango yetu. Kama unavyo jua nguvu ninazo zitumia basi hato weza kuona chochote kwetu”

Julieth akashusha pumzi kwa sekunde kadhaa huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana moyoni mwake.

“Baba yule msichana ina bidi tushuhulike naye la sivyo ata kuja kugundua mimi ndio mvujishaji siri na endapo ata muambia raisi una hisi mimi nita kuwa wapi?”

“Hawezi kuona chochote kwetu”

“Baba ana onyeshwa na Mungu yule”

“Natambua, ila hawezi kuona chochote kwangu”

“Mmmm sawa”

Meseji ikaingia kwenye simu ya Julieth. Akaitazama kwa sekunde kadha.

‘Upo wapi’

Meseji hiyo ya Jery, ikamfanya kumtazama baba yake kwa sekunde kadhaa.

“Nina kwenda kulala, naona Jery ana nitafuta”

“Sawa kuwa makini”

Julieth akashuka kwenye gari hilo na moja kwa moja akelekea chumbani kwake. Akamkuta Jery akiwa amekaa kwenye sofa akimsubiria.

“Ume toka wapi mke wangu?”

“Kuzungumza na baba, ame rudi muda huu”

Julieth alizungumza kwa sauti ya upole. Taratibu Jery akamkalisha Julieth kwenye mapaja yake na kuanza kumtomasa maziwa yake.

“Baby mbona ume sahau ahadi tuliyo panga. Tusubirie mama azikwe”

Julieth alizungumza kwa sauti kimahaba.

“Nina hamu na wewe. Mama amesha kufa hakuna kitakacho badilika mke wangu.”

“Ndio najia hawezi kurudi duninia. Ila tumuheshimu kwa hata kwa hii nafasi yake ya mwisho”

Jery akamtazama Julieth kwa sekunde kadhaa kisha akamnyanyua na kusimama. Hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kupanda kitandani na dhahiri moyo wake ume chafukwa na visababu hivyo anavyo vitoa Julieth.

“Baby najua ku……”

“Lala”

Jery alizungumza huku macho yake yakiwa yame tawaliwa na uwekundu ambao ulianza kumshangaza na kumuogopesha Julieth. Taratibu Julieth akavua nguo zake na kujilaza pembeni ya Jery huku akiwa na hofu kubwa sana. Hadi kuna pambazuka kila mtu hakuwa amepata usingizi, Jery akawa wa kwanza kushuka kitandani, moja kwamoja akaelekea bafuni na kujisaidia haja ndogo kisha akaoga na kurudi chumbani.

“Nahitaji kuelekea ikulu. Kama una fwatana na mimi sawa, kama una baki hapa kaa hapa”

“Mume wangu hiyo ndio salamu”

“Za asubuhi”

Jery alizungumza kwa ufupi huku uso wake ukiwa ume kunjiana ndita. Dhahiri ana onyesha kwamba ana hasira ya kile alicho nyimwa jana usiku.

“Mume wangu natambua kwamba nime kukwaza. Ila heshima ya mama ni muhimu”

“Yule ni mama yangu na sio mama yako. Mimi ndio nina uchungu kupita wewe umenielewa. Sasa mambo mengine yasiendelee kisa yeye amekufa. Mbona baba yangu ana fanya kazi za kiserikali kama kawaida, kwa nini asike wiki zote hizo toka mama amekufa akiwa ana lia lia tu eheee. Una nichukuliaje hivi Julieth, yaani usiku una niacha nikiwa nime lala una kwenda kupuyanga huko nje alafu una kuja kunipa porojo kama ulikuwa uan zungumza na baba yako si ndio?”

Jery alizungumza kwa kufoka hadi mishipa ya shingo na mikononi mwake ikanza kuvimba na kuonekana vizuri tu. Julieth kwa kweli hakuweza kuamini kama ipo siku Jery ata kuja kumfokea kiasi hicho.

“Haki ya Mungu mume wangu jana usiku nilikwenda kuzungumza na baba. Muulize”

“Hivi una hisi mimi ni mjinga si ndio. Nisikilize wewe, mimi sio mpumbavu nitoke hapa niende kumuuliza baba mkwe wangu, eti jana ulikuwa una zungumza na mke wangu. Ata nichukuliaje, au una hisi mimi ni mtoto wa mikaa kumi na mbili si ndio”

Jery alizidi kukoroma huku akimsogelea Julieth aliye jikuta akianza kurudi hadi akafika ukutani. Jery akaichukua simu ya Julieth.

“Toa password”

“Baby mambo gani ya kushikiana simu”

“Nimesema toa password?”

Macho ya Jery yalijawa uwekundu mithili ya mtu aliye vuta bangi kwa siku ya kwanza. Julieth mwili mzima ukaanza kumtetemeka, akatoa neno hilo la siri na Jery moja kw amoja akaelekea upande wa simu zilizo pigwa.

“Huyu Samson ndio mume wako ambaye saa tisa usiku una toka hapa na kwenda kuzungumza naye nje si ndio”

“Ohoo Mungu wangu. Samson sio mpenzi wangu mume wangu kuna….kuna”

Julieth alijikuta akishindwa kumalizia sentensi yake kutokana na kujua kwamba endapo ata elezea ni kitu gani ambacho alizungumza na Samson usiku basi ita mlazimu kutoa maelezo marefu na endapo Jery ata mbana kwa maswali basi ataweza kugundua jambo.

“Kuna nini?”

“Ni mfanyakazi wa pale ikuku”

“Kwa hiyo siku hizi umesha anza kuwa na namba za wafanyakazi wa ikulu wa kiume si ndio?”

“Mume wangu, huniamini?”

“Nisikilize Julieth, nilikuoa uwe mke wangu na sikukuoa uwe na urafiki na watu wa ikulu”

“Ila nilikuwa nina muuliza maswala ya kazi tu”

“Saa kumi usiku una muuliza maswala ya kazi. Kwani maasaa yote ulishindwa kumuuliza si ndio, sasa nisikilize kama ni kazi hiyo uliyo pewa na baba yangu. Basi nina kwenda kumuambie akutoea na wiki ijayo tuna ondoka na kuelekea Marekani”

Jery mara baada ya kuzungumza hivyo akairusha simu ya Julieth kitandani. Akamalizia kufunga vifungo vya shati lake vizuri na kutoka ndani hapo huku koti lake la suti akiwa amelishika mkononi. Julieth akajihisi kama dunia ime badilika na kumuendea katika njia ambayo hakuitarajia kuipata. Tabasamu la Jery ambalo kila siku alikuwa ana liona usoni mwake, leo lime potea, tena asubuhi na mapema kabisa. Julieth kwa haraka akatoka nje, kitando cha kutoka akashuhudia gari walailo jia likitoka getini huku likiwa lime baki gari moja la walinzi wa ikuku.

“Hei mume wangu ame ondoka?”

Julieth alimuuliza mmoja wa walinzi.

“Ndio ame ondoka na walinzi kadhaa na wametangulia ikulu. Ametuambia ukimaliza kukaa hapa turudi nawe ikulu”

Julieth akahisi kama kuchanganyikiwa kila neno la kwenda Marekani linavyo mrudia kichwani mwake. Akapandisha gorofani kwa haraka na kugonga chumbani kwa baba yake. Nabii Sanga akafungua mlango huo huku akionekana kujawa na usingizi kwa maana usiku wa jana alikuwa na shuhuli pevu ya kumburudisha Jackline.

“Baba Jery ame ondoka”

“Ame kwenda wapi?”

“Amerudi ikulu, tume gombana asubuhi ya leo”

“Mume gombana? Nini chanzo?”

“Nilimkatalia kufanya chochote na nilimuambia kwamba hadi tusubiri mazishi ya mama yake yaishe. Sasa ndio ame kasirika na amekagua simu yangu na kukuta nina zungumza na Samson na mbaya zaidi ana sema kwamba ata kwenda kumuambia baba yake anitoe kwenye hii kazi na wiki ijayo tuna elekea nchini Marekani kuishi huko”

Nabii Sanga kusikia neno la kuondoka kuelekea nchini Marekani likaumaliza usingizi wote ulio mjaa machoni kwa maana mwanaye huyo ndio kiungo kikubwa sana cha kufanikisha mambo yake machafu huku akijivunia siri nzito za serikali na kuamua kuzibadilisha kama apendavyo yeye.

***

Jery mara baada ya kushuka kwenye gari moja kwa moja akaelekea nyumbani kwao na kumkuta mfanyakazi wa kike anaye safisha ndani hapo akifanya usafi.

“Bab yupo wapi?”

“Yupo ofisini”

Jery akalirusha koti la suti kwenye sofa na kutoka ndani hapo. Akafika ofisini kwa baba yake, hakuhitaji hata kumsalimia sekretari wake na akapitiliza moja kwa moja ofisini na kumkuta raisi Mtenzi akiwa na kikao pamoja na Julieth, Magreth na mr the Brain.

“Baba nahitaji tuzungumze”

Jery alizungumza huku akihema kwa hasira. Raisi Mtenzi akamtazama mwanaye huyo kwa sekunde kadhaa na hali hiyo ya hasira kali aliyo nayo mara ya mwisho kumuona nayo ni kipindi alipo kuwa na umri wa miaka saba.

“Samahani jamani nina omba mutupishe kidogo”

Josephine na wezake wakatoka ofisini hapo na kumuacha Jery na baba yake.

“Vipi mwanangu. Mbona una hasira sana?”

“Huyu mwanamke baba nina hitaji umtoe kwenye nafasi uliyo mpatia”

Raisi Jery macho yakamtoka kwa maana ni suprize hiyo anayo ambiwa.

“Kwa nini nimtoe ikiwa hata wiki moja hajamaliza”

“Baba Julieth ni mke wangu. Mimi ndio mwenye mamlaka naye, nahitaji kuondoka naye na kwenda kuishi Marekani na sihitaji kuishi naye hapa Tanzania”

“Heiii cool down”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti chake. Akamshika Jery mkono na kumkalisha kwenye moja ya sofa kisha na yeye akakaa kwenye sofa la mbele yake huku akimtazama.

“Niambie ni nini ambacho kime tokea hadi ume kuwa hivyo”

Jery akameza fumba la mate huku akisikilizia mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi.

“Endapo ata endelea kuifanya hii kazi baba nita muua siku.”

“Heee!! Kwa nini?”

“Moja ana weka kazi mbele kuliko mimi. Mwanamke gani ambaye toka nimuoe hatujawahi kufanya mapenzi. Mimi nina hamu ya kuwa naye alafu yeye ana niletea stori za mama sijui hadi tumzike. Wewe mbona una fanya kazi zako na hukuwahi kulala ndani na kusema hufanyi kazi kisa mama amekufa ehee?”

Jery alizungumza kwa hasira hadi mwili mzima ukaanza kumtetemeka. Ugonjwa wa hasira ambao hapo awali Jery alikuwa nao sasa, unaanza kumrudia akiwa katika hali ya utu uzima jambo ambalo lilimfanya raisi Jery kuanza kujawa na woga pamoja na wasiwasi.

“Ni lini nita itoa hiyo bikra yake au aliolewa na mimi ili aje kunipumbaza pumbaza. Baba muambie nita muua mimi sitaki ujinga na kuna mjinga mmoja hapa ikulu ana mahusiano naye, jana usiku ame mpigia simu ikiwa ameniacha mimi kitandani nikiwa nime lala, alafu ametoka nje kwenda kuzungumza naye na nina mpigia simu yake ina tumika. Si umalaya huo, saa kumi usiku ana zungumza na nani kwenye simu”

Jery aliendelea kufoka huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Ana itwa nani huyo aliye wasiliana naye saa kumi usiku?”

“Fala mmoja nime kuta ame msave Samson”

“Nita dili na hilo jambo mwanangu. Nenda kalale sawa”

Raisi Jery alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Jery uso wake ulio jaa ndita za hasira.

“Sawa”

Jery akasimama huku akihema kwa jazba akatoka ofisini hapo na moja kwa moja akaelekea nyumbani kwao na kumkuta mfanya kazi akiwa ameinama huku akiweka kitambaa cha mezani vizuri. Kigauni cha mfanyakazi huyo kidogo kwa nyuma kina onyesha mapaja yake yaliyo mfanya Jery kumsogelea na kumshika kiuno chake na kumfanya mwana dada huyo kustuka huku akiruka kwa woga mkubwa sana.




“Una stuka nini, hujawahi kuguswa au?”

Jery alizungumza huku akimtazama mwana dada huyo ambaye toka mrs Mtenzi alivyo fariki ndio ana jukumu la kufanya usafi katika nyumba hiyo ya raisi.

“Hapana bosi”

“Ila?”

“Naogopa”

“Sogea hapa”

Jery alizungumza kwa ubabe na kumfanya mwana dada huyo ambeye amejaliwa uzuri wa kuanzia sura hadi mwili mzika, kumsogela Jery huku akiwa amejawa na wasiwasi mkubwa sana. Jery akamkumbatia kwa nguvu na kumfanya dada huyo kuzidi kujawa na woga kwa maana ana tambua huyu ni mume wa mtu na isitoshe wakikutwa na mke wake wakiwa wame kumbatiana hivyo ni dhahiri kibarua chake kita kwenda kuota nyasi na hapo ndipo anapo pategemea yeye pamoja na familia yake. Kitendo hicho kikaanza kuyafanya mapigo ya moyo ya Jery kuanza kupunguza kasi ya kudunda huku hasira iliyo changanyikana na wivu kumuisha kabisa hadi yeye mwenyewe akajishangaa.

“Bo…o…osi…hii sio sahihi”

Mwana dada huyo alilalama huku akijaribu kujitoa mikononi mwa Jery. Taratibu Jery akamuachia huku akiwa na mshangao mkubwa sana.

“Una itwa nani?”

“Shani”

“Shani una umri gani?”

“Miaka ishirini na saba”

“Ume olewa?”

“Hapana”

“Una boyfriend”

“Ndio”

“Ana itwa nani?”

“Ben”

“Ulisha wahi kumfumania Ben?”

Swali hilo likamfanya Shani kukaa kimya kwa sekunde kadhaa huku akimtazama Jery usoni mwake.

“Hapana”

“Kuhisi kama ana chepuka?”

“Hapana”

“Hivi una jisikiaje pale unapo hitaji haki yako ya msingi kutoka kwa mpenzi wako na ana kupa visingizia vingia mbavyo mwisho wa siku hazina kichwa wala miguu na una kuja kugundua kwamba kuna mtu ana zungumza naye saa kumi za usiku tena nje, wewe ukiwa ume lala kitandani?”

“Mmmm nita jisikia vibaya boss”

“Uta shikwa na hasira si ndio?”

“Ndio”

“Ukiwa katika hali hiyo ya hasira alafu ukakutana na mtu uka mkumbatia na hasira yako ikaisha ndani ya muda huo huo. Je utajisikiaje?”

Shani akaka kimya huku akiwa haelewi ni kwa nini Jery ana muuliz amaswali hayo yote ikiwa katik siku zote toka aanze kumuona hakuwahi kumchangangamkia zaidi ya kupeana salamu na kumpita.

“Nita mshukuru”

“Hivyo tu?”

“Ndio”

“Basi shukrani kwa kunisaidia. Nilikuwa nina jisikia hasira ya kumuua mtu, ila nime kukumbatia wewe na nika hisi moyo wangu ukirudi katika furaha yake ya kawaida. Nashukuru sana Shani”

Shani akashindwa kujibu chochote na kujikuta akibaki katika tabasamu. Tabasamu hilo la Shani likamfanya aanze kuona utofauti wa mwanamke huyo ambaye siku zote alimchukulia kama mfanyakazi wao wa ndani na hakujali sana na wala hakuwahi kumfwatilia. Taratibu Jery akamsogelea Shani na kumpiga busu katika paji lake la uso.

“Ukiwa na shida yoyote naomba uniambie sawa Shani”

“Sawa bosi”

Jery akaelekea chumbani kwake na kumuacha Shani akihisi kama amepigwa sindano ya ganzi kwa maana mambo yote yaliyo tokea kwa kwake ni kama ndoto ambayo hakuwahi kuihisi kama ipo siku ata kuja kuiota.

***

Samson akaingia ofisini kwa raisi Mtenzi mara baada ya kupigi a simu na sekretari wa raisi Mtenzi.

“Shikamoo muheshimiwa”

“Kaa hapo”

Raisi Mtenzi alizunumza kwa msisitizo kidogo hadi Samson akajawa na wasiwasi.

“Mkwe wangu jana alikupigia simu?”

“Ndio muheshimiwa”

“Alikupigia saa ngapi?”

“Saa kumi usiku.”

“Alikuwa ana hitaji nini?”

“Alikuwa ana uliza ni kitu gani kinacho endelea hapa ikulu. Nikamuambia kwamba kuna binti ambaye ana tafutwa na nikamtajia jina lake”

“Akaniuliza kwa nini ana tafutwa?”

“Nikamuambia kwamba sijajua ni kwa nini ana tafutwa”

“Hivyo tu?”

“Ndio muheshimiwa”

“Una weza kwenda kuendelea na kazi”

“Nashukuru muheshimiwa”

Samson akatoka ndani hapo na kumfanya raisi Mtenzi kufahamu moja kwa moja kwamba kinacho msumbua mwanaye huyo wa kiume ni wivu wa mapenzi tu ila binti huyo hana mahusiano yoyote na kijana Samson. Josephine na wezake wakingia ofisini hapo kuanza kikao hicho muhimu na raisi Mtenzi.

“Samahani kwa kuchelewa kuanzisha hichi kikao kidogo nilikuwa nina solve matatizo ya kifamilia kidogo.

“Pole muheshimiwa”

Josephine alizungumza kwa sauti ya upole.

“Nimesha poa. Ehee hii picha ndio msichana ambaye ana husika katika kupanga mauaji ya kumuua makamu wa raisi wa Marekani?”

“Ndio muheshimiwa na binti huyo yupo hapa nchini Tanzania na mtu aliye mpa hiyo dili naye yupo hapa hapa nchini Tanzania”

“Shiti kwa hiyo wana taka kutubambikia kesi sisi?”

“Ndio muheshimiwa”

“Ina bidi atangazwe kwenye vyombo vya habari kama ni mtu ambaye tuna mtafuta”

“Muheshimiwa raisi hilo lita kuwa ni jambo la kumstua yeye. Huyu ina bidi tumtafute kimya kimya kama vile hakuna kinacho endelea. Nina imani kwamba ata patikana tu”

Magreth alishauri.

“Namuunga mkono Magreth kwenye hilo. Muheshimiwa pia hatuna rekodi yoyote ya uhalifu ya huyo msichana hivyo endapo tukamtangaza kwenye vyombo vya habari na ikatokea akatustaki serikali ina weza kuingia garama kubwa sana ya kulipa fidia ya kumchafulia jina”

“Hapo ni kweli. Magreth unda timu yako itakayo kusaidia katika huo upelelezi. Tuna siku ya leo tu, hivyo mujitahidi kuhakikisha kwamba ana patikana ili hata huyo makamu wao wa raisi akija hapa ina bidi awe salama hadi ana ondoka”

“Sawa muheshimiwa”

Kikao hicho kikafikia tamati na Josephine na Magreth wakaongozana hadi kwenye ofisi yake.

“Mage”

“Bee”

“Kuwa makini kwenye hii kazi”

“Usijali nahitaji kuelekea nyumbani kujiandaa na hii kazi”

“Sawa”

Magreth akaondoka ikulu hapo na moja kwa moja akaelea Kigamboni nyumbani kwake, akafunga milango yote ya nyumba yake kwa ndani na akaa sebleni kwake huku akiwaza nini cha kufanya. Kutokana na uchovu wa kuto kulala usiku kucha, akaanza kuhisi usingizi na ndani ya dakika chake usingizi ukamvaa na kulala fofofo.

***

“Ume amkaje?”

Tumaini alizungumza kwa sauti ya upole huku akitomasa tomasa makalio ya mrs Sanga.

“Nime amka poa. Yaani hapa mwili ni mwepesi sana”

“Kweli?”

“Ndio, sio kwa ile shuhuli ya usiku. Kwakweli wewe mtoto ume jua kunikuna kisasa sawa”

“Hahaa”

“Hapa nina tamani ubo** wako ila nina ogopa ya jana usiku”

“Usijali, jana nilichelewa kutokana na makonyagi yale niliyo kunywa”

“Mmmm eti ehee?”

“Ndio”

Mrs Sanga taratibu akaushusha mkono wake kwenye jogoo wa Tumaini na kuanza kumshika taratibu na hakuchukua hata sekunde thelathini akawa amesimama dede.

“Acha nijishuhulikie mimi mwenyewe”

Mrs Sanga alizungumza huku taratibu akijinyanyua kitandani hapo. Akamshika jogoo huyo na kuanza kumlamba mithili ya koni. Tumaini akaanza kuhisi miguno ya raha huku akiendelea kusikilizia mautundu ya mrs Sanga. Mrs Sanga alipo jiridhisha, akamshika vizuri jogoo huyo na kumkalia huku akimsikilizia jinsi anavyo ingia ndani ya kitumbua chake. Mtanage huo haukuchukua muda mrefu, ndani ya nusu saa wote wawili wakafika kileleni huku kila mmoja akiwa ana furahi penzi la mwenzake.

“Utundu huu ume utolea wapi Tuma?”

“Hii Tanga mama. Una weza kunyimwa kila kitu ila sio maujuzi ya kitandani”

“Mmmm wewe muongo”

“Haki ya Mungu vile. Una weza kunyimwa pesa, gari na mambo mengine, ila kiuno tu ahaa….una pewa. Sio kama wanaume wa mikoa mingine, ambao wapo wapo ndio maana wana jikuta wana gongewa wake zao”

“Mmmmm!! Hayo matusi sasa”

Mrs Sanga alizungumza huku akicheka kwa furaha kubwa sana kwa manaa Tumaini amekuwa mzumzungumzaji sana.

“Hahaaa ndio hivyo sio matusi.”

“Ehee niambie kazi yako kwa siku una weza kuingiza sh ngapi?”

“Kama elfu thelathini hadi hamsini”

“Pikipiki ni yako?”

“Hapana ni ya tajiri wangu na kwa siku nina mpelekea ishirini elfu”

“Duuu ni biashara gani una weza kufanya ukiachiana na bodaboda”

“Duka la nguo za wadada kwa hapa Tanga lina lip asana”

“Kweli?”

“Ndio, una jua wadada wengi wa Tanga wana penda kuvaa sana. Endapo nina pata duka basi nina imani hiyo biashara nita imudu”

“Ita garimu kama sh ngapi?”

“Kama milioni moja na nusu hivi”

“Heee milioni moja na nusu?”

“Ndio”

“Hiyo milioni moja na nusu mbona haifikii hata bei ya iphone X. Sasa sikia tafuta fremu eneo zuri, nita kulipia mwaka mzima na kukupa pesa ya mtaji alafu, nita kuunganisha na rafiki yangu mmoja ana kwenda kuchukua mizigo chini. Hivyo kwa mwanzo uta kuwa una muagiza, ukipata pesa za kutosha uta kuwa una kwenda kununua wewe mwenyewe chini. Umenielewa?”

“Ndio nashukuru sana kwa hilo”

“Usijali, ila jambo la kuzingatia katika hilo. Sihitaji unichanganye na mwanamke mwengine. Nina wivu mkubwa sana Tumaini na endapo nita jua una nichanganya na vijisichana vyako, basi nita kuua. Umenielewa?”

“Ndio”

Tumaini alitikia kwa sauti ya woga kidogo kwa maana endapo ata fanya mchezo basi ana weza kukosa hata hilo duka alilo ahidiwa kufunguliwa.

***

Jackline akaitazama simu yake ya mkononi inayo anza kuita. Akaichukua kutoka pembeni ya siti ya gari lake alipo iweka na kuipokea.

“Dogo niambie”

“Tayari nimesha pata location ya mahali anapo ishi Magreth”

“Nitumie ramani ya nyumbani kwake”

“Sawa”

Jackline akakata simu yake. Meseji ikaingia, akafungua ramani hiyo inayo muelekeza ni wapi anapo ishi Magreth. Alipo ichunguza vya kutosha, akawasha gari lake na kuanza kuifwata hiyo ramani. Baada ya nusu saa akafika mtaa wa nyumba anayo ishi Magreth. Akachukua begi lake na kutoa baibui lake, akachomoa bastola yake aliyo iweka chini ya siti ya gari lake ambapo sio rahisi kwa mtu kuweza kuiona. Akalivua baibui hilo na kujifunika uso wake na kitambaa cha baibui hilo. Akafunga kiwambo cha kuzuia sauti kwenye bastola yake kisha akaichomeka kiunoni. Alipo hakikisha kwamba amejikamilisha kwa kila kitu. Akashuka kwenye gari lake na kuanza kutembea kwenye mtaa huo ulio tulia na hauna hata watu wanao katika katiza. Akafika katika geti la Magreth na kulitazama kwa sekunde kadhaa kisha akarudi nyuma kwa sekunde kadhaa kisha kwa kasi ya ajabu akakimbia na kuupanda ukuta huo kwa kasi hiyo ambayo, kwa uwezo wake wa mazoezi haikuwa kazi ngumu kuuruka ukuta huo na kutua ndani ya nyuma ya Magreth.


Jackline akaanza kunyata kwa umakini huku bastola yake akiwa ameishika kwa umakini mkubwa sana. Akalisogela dirisha hilo la kioo, taratibu akalisogeza, kitendo cha kufunua pasia. Magreth akastuka na kutazmaa dirishani hapo kwani alihisi kama kuna mtu ameingia katika nyumba yake ila alihisi ni ndoto. Jackline hakutaka kufanya makosa akaanza kufyatua risasi zilizo mfanya Magreth kujirusha upande wa pili wa sofa na risasi hizo kwa bahati nzuri hazikuweza kumpata. Magreth akajikagua kiononi mwake na kukuta hana bastola yake, akakumbuka kwama bastola yake hiyo ameiacha ndani ya gari lake lililopo nje hapo alipo adui. Jackline akatulia kwa sekunde kadhaa huku akisikilizia kama risasi hizo alizo zifyatua kama zita kuwa zime zaa matunda. Mapigo ya moyo ya Magreth yakazidi kumuenda kasi kwani kama mtu amemfwata hadi nyumbani kwake kwa ajili ya kumuua basi mtu huyo ana jiamini sana. Simu ya Magreth iliyopo mezani ikaanza kuita na kumstua Jackline ambaye bado amejibanza dirishani. Jackline akafyatua risasi mbili ambazo moja iliipiga simu hiyo na ikapasuka hapo hapa huku risasi nyingine ikipasua meza hiyo ya kioo na ikachanguka vipande vipande.

Magreth akashusha pumzi yake kwa sekunde kadhaa kuhakikisha kwamba ana punguza wasiwasi na kufikiria nini cha kufanya ili kupambana na adui yake huyo.

‘Nina bastola ndani’

Magreth alijisema kimoyo moyo. Akaiona rimoti ya redio ikiwa karibu naye, akaivuta kwa umakini kisha akawasha redio hiyo na kuweka mziki mkubwa jambo lililo mchanganya Jackline ambaye kitendo cha kuitazama redio hiyo, ikampa nafasi Magreth kunyanyuka kwa kasi na kukimblia ndani kwake. Akafungua droo ya dreasing table na kutoa bastola yake pamoja na magazine. Akaichomeka magazine hiyo iliyo jaa risasi. Akafungua kabati lake na kutoa nguo zake za kufanyia kazi na uzuri wa nguo hizo haziingii risasi kwa maana zime tengenezwa kwa utaalamu mkubwa unao weza kumlinda mtu anaye zivaa. Magreth akatoka sebleni kwa kujiamini, Jackline akanza kufyatua risasi mfululizo ambazo zote zilimpiga Josephine kifuani mwake, jambo lililo muacha mdomo wazi Jackline ni jinsi risasi hizo zinavyo dunda na kuanguka chini. Magreth akaanza kufyatua risasi zilizo toka na milio mikubwa kwa maana bastola yake hajaifunga kiwambo cha kuzuia risasi. Jackline alipo ona mambo yama muwia ugumu akaona isiwe shida. Akaanza kukimbilia getini kwa uharaka akafungua na kuanza kukimbia kwa kasi kuelekea kwenye gari lake. Magreth akaanza kuitafuta fungua yake na kuikuta ikiwa katika sehemu alipo angukia, akaichukua na kufungua mlango wa mbele na kukimbilia nje. Akamuona mtu huyo aliye valia baibui akiwa ana ingia kwenye gari nyeusi. Magreth akarudi ndani na kuchukua funguo ya pikipiki yake, akatoka nje na kupanda pikipiki hiyo, akaigeuza kwa utaalamu wa hali ya juu na kutoka nje. Akalishuhudia gari hilo lilikunja kona ya kushoto inayo ingia mtaani kwao. Akavuta mafuta ya kutosha huku akiwa ameihimili vizuri pikipiki hiyo. Akaliona gari hilo likiwa lina endeshwa kwa mwendo wa kasi saha na yeye akazidi kuendesha gari hilo kwa mwendo wa kasi.

Kwa kupitia kioo cha pembeni, Jackline akamuona Magreth akiwa katika pikipiki na akimfukuzia kwa kasi ya ajabu sana.

“Shitii”

Jackline alizungumza huku akizidi kukanyaga mafuta ya gari lake hili aina ya BMW SERIES 7 yenye speed 260 KM/H. Uwezo wa pikipiki ya Magreth nayo haitofautiani sana na gari hilo kwani kadri jinsi Jackline anavyo ongeza mwendo kasi wa gari hilo ndivyo jinsi Magreth anavyo zidi kumsogelea. Jackline akaichukua simu yake na kuitafuta namba ya nabii Sanga. Akampigia na simu ikapokelewa.

“Vipi?”

“Aisee huyu mtu wako ni jini?”

“Nani?”

“Huyu Magreth”

“Kwa nini?”

“Nimekwenda kumvamia nyumbani kwake, ila nikimpiga risasi hafi”

“Hafi ina kuwaje hafi?”

“Sijajua na hapa ninavyo kuambia ana nifukuzia kwa pikipiki?”

“Ohoo upo wapi kwani?”

“Kigamboni?”

“Ila si una mmudu?”

“Nita mmudu vipi mtu ambaye hata risasi haiingia mwilini mwake na amevalia zile nguo ambazo ulisema kwamba una nishonea”

“Duuu kwa hiyo itakuwaje?”

“Hapa cha msingi ni kutafuta namna ya kujiokoa tu”

“Fanya hivyo Jack nina kuaminia”

“Poa”

Jackliene akakata simu na kuiweka pembeni, mshale wa speed kwenye dashboard ina elekea kwenye namba 240. Speed iliyo sababisha gari hilo kuanza kutoa mlio wa kumuashiria dereva apunguze mwendo kwani akizidi kwenda kasi zaidi basi kuna uwezekano mkubwa wa kupata ajali. Maandishi ya alama nyekundu yanayo onekana kwenye tv ndogo iliyopo ndani ya gari hilo, yana zidi kumsisitizia Jackline kupunguza mwendo. Magreth akachomo bastola yake kwenye eneo alipo ichomeka katika paja lake na kuanza kufyatua risasi kuelekea kwenye gari hilo. Wananchi walio isikia milio hiyo ya risasi na jinsi gari na pikipiki hiyo zinavyo pita kila mtu alijihami kwa kutafuta sehemu ya kuokoa maisha yake kwa maana ni wananchi wengi wana hofu kwani toka kutokee milipuko ya mabomu kila mmoja haamini usalama kabisa wa nchi yake.

***

“Mkuu njoo uone”

Mmoja wa vijana wa kitengo cha NSA, alimuambia bwana Msangi video inayo rekodiwa kutokea juu kwa kupitia sattelaite.

“Itume kwenye screan kubwa”

Bwana Msangi alizungumza huku akiyahamishia macho yake kwenye screan kubwa iliyopo ndani ya chumba hicho. Kila mmoja akashangaa kuona jinsi pikipiki inavyo ifukuzia gari hiyo.

“Ni Magreth”

Bwana Msangi alizungumza huku akitoa simu yake mfukoni na kuanza kumpigia simu Magreth, kwa bahati mbaya akakuta simu yake ikiwa haipatikani.

“Shitt hapatikani. Ana hitaji kupatiwa msaadaa. Timu D7 ondokeni na helicopter hakikisheni muna izuia hiyo gari”

Bwana Msangi alizungumza kwa kinasa sauti. Vijana watano walio valia nguo nyeusi, ambazo ndio sare kuu ya kitengo hicho cha NSA, pamoja na majaketi ya kuzuia risasi, yenye maandishi makubwa meupe mngononi na kifuani yanayo someka NSA. Wakaingia kwenye helicopter huku kila mmoja akiwa ameshika bundiki yake pamoja na kuvalia kinasa sauti. Rubani wa helicopter hiyo ya kitengo cha NSA. Akaanza kuipaisha juu taratibu na ikaanza kuelekea eneo wanapo elekea Magreth na mtu huyo ambaye hawamfahamu hadi sasa. Halikuwa jambo gumu helicopter hiyo kufika katika barabara hiyo wanayo fukuzana Magreth na Jackline.

“What’s fuc**”

Jackline alitukana mara baada ya kuoan helicopter ya kitengo cha NSA ikipita juu yake. Magreth akatabasamu kwa maana amepata msaada huo. Jackline akashusha kioo cha upande wake taratibu kidogo kisha akaanza kushambulia helicopter hiyo.

“Mkuu tumshambulie?”

Kijana mmoja alizungumza kwa kupitia kinasa sauti chake huku wakisubiria amri ya kulishambulia gari hilo kwa manaa sehemu walipo wana liona vizuri na hata dereva wana uwezo wa kumpiga risasi.

“Hapana ina bidi tumpate hai”

Bwana Msangi alizungumza na vijana hao walio jipanga vizuri ndani ya helicopter hiyo wana hakikisha wana mzuia mtu huyu pasipo madhara yoyote. Magreth akautazama mkono wa Jackline ambaye akili yake yote kwa sasa ina izingatia helicopter hiyo. Akafyatua risasi moja iliyo mpiga Jackline mkononi na kusababisha bastola yake kuanguka barabarani.

“Fuc**”

Jackline alilia kwa maumivu makali huku akiurudisha mkono wake huo wa kulia ndani ya gari. Damu zinazo mtoka kwa wingi zikamfanya ahisi kuchanganyikiwa. Amefanya kazi nyingi sana za ujasusi ila hakuwahi kupigwa sirasi hata siku moja na wala hayajui maumivu ya risasi.

“No siwezi kufa”

Jackline alilalama huku akiendelea kuongeza mwendo. Jackline macho yakaanza kumtoka mara baada ya gari lake kuanza kupungua mwendo taratibu huku alama zinazo muashiria kwamba gari hilo lime kwisha mafuta zikianza kuoenkana.

“Mother fuc**. Fuc** me”

Jackline alilalama huku akipiga piga mskani wa gari lake kwa kutumia mkono wa kulia. Taratibu gari hilo likasimama katikati ya barabara, Magreth akasimisha pikipiki yake mita chache kutoka sehemu lilipo gari la Jackline, akashuka kwenye pikipiki huku bastola yake ikiwa mkononi. Helicopter hiyo ya NSA, taratibu ikatua katikati ya barabara hiyo na askari wa kitengo cha NSA, wakashuka huku bunduki zao wakizielekezea kwenye gari hilo.

“No siwezi kufa”

Jackline alizungumza huku jasho likimwagika mwili mzima. Damu nazo hazikuacha kumwagika kwa maana risasi hiyo ime piga katika mshipa una safirishia damu na ime toboa na kutoke upande wa pili wa mkono. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama na kukuta ni nabii Sanga. Akaichukua na kuiweka sikioni mwake.

“Vipi ume fikia wapi?”

“Nime zingirwa. NSA na yule malaya wame zingira gari langu. Bye”

Jackline mara baada ya kukata simu hiyo akaiweka pembeni na ndani ya sekunde kumi na tano simu hiyo ika jifunga kwa namba za siri ambazo ni yeye pekee tu ndio ana zifahamu na ubaya ni kwamba simu yake ni Iphone X ambazo zime tengenezwa katika ubora wa hali ya juu, zinazo muwezesha mtumiaji wa simu hiyo kuweka neno la siri ambalo hata watundu wa mambo ya I.T wajaribu kuifungua hawato weza, tofauti na simu nyingine ambazo ulinzi wake ni mdogo hata kama mtu ame ingiza neno la siri. Magreth akavunja kioo cha dereva kwa kutumia kitako cha bastola yake na kwa ishara akamuomba Jackline kushuka kwenye gari.

Jackline akawatazama askari wa kitengo cha NSA ambao wame simama mbele ya gari hilo huku banduki zoa wakimuelekezea yeye, akamtazama Magreth aliye mnyooshea bastola yake.

‘Sihitaji kufa’

Jackline alijisema kimoyo moyo huku akinyoosha mkono wa kushoto juu na kushuka kwenye gari hili akiashiria kwamba ame sarenda. Magreth akamvua kitambaa cha usoni mwake, macho yakamtoka mara baada ya kumkuta ni mtu ambaye wana mtafuta kwa udi na uvumba kuhakikisha kwamba wana mzuia katika kusitisha zaoezi la kumuua makamu wa raisi wa nchi ya Marekani.

***

Nabii Sanga akahisi kichwa kina mpasuka kwa maumivu. Akamtazama Julieth ambaye naye tumbo la woga lina mkata kisawa sawa.

“Baba tuna fanyaje sasa?”

“Yaani hata sijui na nina hisi ata kuwa amekamatwa”

“Akikutaja baba si familia nzima tuta chinjwa sisi?”

“Yaani sielewi mwanangu ita kuwaje”

Nabii Sanga alihahaa huku ajsho likimwagika mithili ya mtu aliye toka kuoga.

“Nenda ikulu”

“Wapi!!?”

Julieth aliuliza kwa mshangao mkubwa sana.

“Ikulu”

“Kufanya nini baba?”

“Nenda kahakikishe una jua wapi alipo pelekewa Jackline na tuta jua jinsi gani ya kutumia nguvu ya pesa katika kumuachia”

“Baba hivi una mjua vizuri yule mzee? Nimkali hana masihara na toka mke wake afe ame kuwa ni mtu asiye hitaji hutani hata kidogo na majambazi”

“Sasa una taka kukaa hapa ili iweje, tuje kukamatwa au?”

Nabii Sanga alizungumza kwa kufoka huku akimkazia macho Julieth aliye jikuta akikaa kimya.

“Usisahau ume kwenda ikulu kufanya kitu gani, nina hitaji uhakikishe una jua kila kinacho endelea juu ya huyo msichana”

“Sawa baba”

“Fanya hivyo sasa hivi”

Nabii Sanga alizungumza kwa kukoroma huku wasiwasi wake ukiwa ni kwenye simu zake alizo piga na kupigiwa na Jackline.

‘Siwezi kushikwa kirahisi namna hii’

Nabii Sanga alizungumza huku akijaribu kutafakari nini cha kukifanya. Akapata wazo, kwa haraka akaingia bafuni, akaoga kwa haraka na kurudi chumbani, akatafuta suti moja kali sana na kuiva. Akatoka nje na kumfwata msaidizi wake wa kanisani kwake.

“Nina omba uwatangazie waumini wetu kwamba tuna kongamano la kuiombea nchi litakalo anza leo saa kumi kanisani pale”

“Sawa nabii”

“Pia waambie watu wa dini zote wana karibishwa. Nime pewa maono sasa hivi na Mungu, ina bidi kuliombea taifa na kulitoa kwenye hali ya matatizo tunayo kabiliwa”

“Sawa sawa mtu wa Mungu”

Msaidizi wake huyo alizungumza kwa upole na unyenyekevu wa hali ya juu. Laiti kama engefahamu upande wa pili wa kiongozi wake huyo wala asinge thubutu kufungua kinywa chake na kumuita mtu wa Mungu.

“Baade tuta wasiliana”

Julieth alimuambia baba yake huku akipanda kwenye gari lake na wakaondoka nyumbani hapo na walinzi hao ikulu na kuianza safari ya kuelekea ikulu.

***

“Kazi nzuri sana Magreth”

Raisi Mtenzi alizungumza na Magreth kwa kupitia video call.

“Shukrani sana muheshimiwa”

“Nina kupa mamlaka ya kumuhoji huyo mtuhumiwa. Tumia kila aina ya uwezo na nguvu ulizo nazo kuhakikisha kwamba una muhoji na ana wataja walio muagiza”

“Sawa muheshimiwa. Tume ipata simu yake hapa nina imani kupitia hii simu tuna weza kujua ni nani ambaye alimtuma”

“Sasa chochote mutakacho kihitaji basi nipo tayari kuwapa ushirikiano wa asilimia mia moja”

“Nashukuru kwa hilo muheshimiwa”

Magreth akaka simu hiyo na raisi Mtenzi akamtazama Josephine aliye tawaliwa na tabasamu pana usoni mwake.

“Hakika Mungu aliyemo ndani yako ni Mungu wa kweli”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akiwa na furaha kubwa sana.

“Nina shukuru sana muheshimiwa. Nipo kwa ajili ya kuisaidia hii nchi, nina imani kwamba hapata kuwa na jambo lolote baya litakalo jitokea endapo nita kuwa hai”

“Mungu ni mwema ata kupa maisha marefu. Hata kipindi changu cha uongozi kitakapo kwisha basi nina imani hata huyo raisi ajaye uta shirikiana naye vizuri katia kuiongoza hii nchi iende katika mstari mzuri na unao faa”

“Amen”

“Basi nenda kaendelee na kazi na endapo kuta kuwa na jambo lolote utakalo lihitaji nina omba uni fahamishe”

“Sawa muheshimiwa”

Josephine akatoka ofisini hapo na kuaelekea ofisini kwake, kwenye kordo akakutana na Julieth anaye tembea kwa mwendo wa haraka huku akionekana ana wahi jambo fulani.

“Hei Julieth”

Josephine alizingumza huku akimsimamisha Julieth.

“Nini?”

Julieth alijibu kwa hasira kidogo huku akimpita Josephine ambaye hakuhitaji kujisumbua kuhisi chochote kwa maana alimshuhudia Jery akiingia ofisini kwa baba yake asubuhi hiyo akiwa katika hali ya hasira. Julieth akasimama kwenye mlango wa kuingia ofisini kwa raisi Mtenzi. Akavuta pumzi nyingi na akazishusha taratibu, akaingia ofisini hapo kwa mwendo wa taratibu huku usoni mwake akiwa na furaha hafifu ambayo moja kwa moja raisi Mtenzi alitambua ni kutokana na kukosana kwake na Jery.

***

Magreth akakabidhi bastola yake mapokezi na kuingia katika chumba cha mahojiano alipo wekwa Jackline ambaye tayari amesha patiwa matibabu ya mkono wake ulipo pigwa risasi. Magreth akavuta kiti na kukaa mbele ya Jackline aliye fungwa pingu mikononi na nyororo miguuni mwake. Katikati yao wame tenganishwa na meza ya chuma mbayo ime jengwa chini na haiwezi kusogea. Magretg akatazama kamera nne zilizo fungwa kwneye kila kona ya chumba hicho na zina rekodi kiloa kitu kinacho zungumzwa ndani hapo.

“Najua aliye kuagia uniue, sasa hivi ata kuwa ana pata tabu sana akiwaza ni kwa nini ume kamatwa”

Magreth alizungumza huku akiweka simu ya Jackline juu ya meza hiyo. Jackline hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kuendelea kumtazama Magreth ambaye amevua kofia ya juu ya nguo yake hiyo aliyo ivaa na kumfanya sura yake kuonekana vizuri sana.

“Mdada mzuri, mwenye kipaji chake kizuri, una hadaika na pesa kwa ajili ya kuhitaji kunia mimi na kumuua makamu wa raisi wa nchi ya Marekani. Hivi huyo aliye kutuma kwa nini usinge mueleza aifanye kazi hiyo peke yake kama kweli ana kupenda?”

Maneno ya Magreth yaka mstua sana Jackline kwa maana ana tambua kwamba dili hilo la nabii Sanga hakuna mtu mwengine anaye lifahamu zaidi yake.

“Jackline ume salitiwa na mtu aliye kupa hii kazi. Jiulieze, tulikujuaje kama upo Tanzanai, jiulize nime juaje kama una mpango wa kunia mimi na kumuua makamu wa raisi kesho kutwa. Huyo aliye kutuma ame kudanganya na hana mpango wa kukulipa hata kiasi hicho cha pesa mulicho kubaliana. Niambie ni nani huyo aliye kuagiza ili tujue jinsi ya kukusaidia kwa maana huna hatia yoyote, aliyopo nyuma yako ndio mwenye makosa”

Magreth alizungumza kwa upole sana kiasi cha kumfanya Jackline moyo wake kumuua na kuamini kwa asilimia kadhaa kwamba nabii Sanga ame muuza kwenye dili hilo.

“Nipo tayari kumtaja aliye niagiza ila kwa sharti moja”

Magreth na kila mtu anaye fwatilia mahojiano hayo katika chumba cha pili chenye tv nne akastuka kwani ime kuwa rahisi sana kwa binti huyo kuzungumza ukweli tofauti na vile walivyo kuwa wame tarajia.



“Sharti gani hilo?”

Magreth aliuliza hukua akiwa amejawa na shahuku kubwa sana ya kusikia shari hilo.

“Nahitaji umuue makamu wa raisi wa nchi ya Marekani. Baada ya hapo nita zungumza kila kitu ni nani ambaye yupo nyuma ya hili tukio na ana hitaji kitu gani kwa ajili ya hii nchi. Ila hata munikate kate vipande vidogo vidogo vya mwili wangu sinto weza kutaja ni nani aliye nipa hii kazi kwa maana sheria namba moja ya kazi yangu, ni kuhakikisha una mlinda mteja wako no matter what’s happen”

Jackline alizungumza kwa kujiamini sana huku uso wake ukiwa umetawali na tabasamu kubwa sana. Magreth akashusha pumzi huku akimtazama, Jackline akaitazama simu yake iliyo shikwa na Magreth.

“Ohoo una hisi kwamba muna weza kupata kitu. No no no….hamuto weza kuifungua simu yangu na baada ya masaa ishirini na nne PUUUUUUUU……!!”

Magreth akaka kimya kwa sekunde kadhaa kisha akanyanyuka na kutoka katika chumba hicho na kuingia chumba cha pili ambapo yupo bwana mzee Mbogo na wapelelezi wengine wanao fwatilia mahojiano hayo kupitia video zinazo rekodiwa na kamera zilizo fungwa ndani hapo.

“Vipi mbona ume toka?”

“Nahitaji kufanya kitu cha tofauti”

“Kitu gani?”

Mzee Mbogo alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake. Magreth akatoka ndani hapo na moja kwa moja akaelekea eneo la jiko.

“Jamani muna weza kuniazima kisu kikali sana?”

Magreth aliwaambia wapishi hapo.

“Ndio”

Mpishi mmoja alizungumza huku akimuonyesha Magreth eneo linalo hifadhiwa visu. Magreth akavitazama visu hivyo kwa sekunde kadhaa kisha akachukua kisu chenye ncha kali na kilicho na makali. Akaona mashine ya kunolea visu, akaiwasha na kukinoa kisu hicho kwa sekunde kadha kisha akatoka ndani hapo. Magreth akarudi katika chumba alicho muancha mzee Mbogo na wapelelezi wengine.

“Una taka kufanya nini?”

“Zimeni hizo kamera zisirekodi hili tukio”

“Ila kumbuka ana paswwa kuwa hai?”

“Ndio nna liatambua hilo”

Magretg alimjibu mzee Mbogo kisha akaingia ndani hapo.

“Ume sema kwamba hata tkukate vipande vidogo vidogo hoto zungumza chochote. Naomba unisikilize dada, wewe ni mzui sana ila nina kwenda kukutoa jicho moja baada ya jengine nina imani hata huyo aliye kupa pesa kwa ajili ya kuniua huto muona tena kwenye maisha yako”

Magreth alizungumza kwa msisitizo huku akimkaba Jacklien shingo yake na kukibenua kichwa chake kwa nyuma na kuanza kukishusha kisu hicho kwenye jicho la upande wa kushoto wa Jackline ambaye alianza kutetemeka mwili mzima kwa woga.

“Acha”

Sauti ya ukali ya mzee Mbogo ikamfanya Magreth kusitisha zoezi hilo ambalo amelikusudia kulifanya na laiti kama mzee Mbogo ange chelewa kuingia ndani hapo Magreth ange ling’ofoa jicho hilo la Jackline.

“Nita muhoji mimi”

“Ila raisi amenipa mamlaka ya kumuhoji na ameniambia nitumie kila liwezekanalo kuhakikicha nina pata information kutoka kwa huyu malaya”

“Nalijua hilo ila mahojiano hayaendi hivyo. Nakuomba ukapumzike”

Magreth akamtazama mzee Mbogo kwa macho yaliyo jaa hasira. Akamtazama na Jackline ambaye uso wake umejawa hofu na mashaka mengi. Mzee Mbogo akamnyooshea Magreth mkono wa kushoto akimaanisha kwamba ana iomba simu ya Jackline. Magreth akaingiza mkono mfukoni na kuitoa simu hiyo na kumkabidhi mzee Mboho na akatoka ndani hapo huku akiwa amejawa na hasira kwani lengo lake lime zuiwa na mzee huyo.

***

Ukimya wa sekunde kadhaa ukatawala ndani ya ofisi ya raisi Mtenzi huku akimtazama Julieth usoni mwake.

“Ni kweli una mahusiano na yule kijana?”

“Hapana baba, siwezi kuwa na mahusiano na mwanaume mwengine tena ndoa yangu ikiwa change kiasi hichi”

Julieh alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaaa simanzi. Raisi Mtenzi akajiweka vizuri kwenye kiti chake, kisha akavua miwani yake na kuifuta futa na kitambaa kisha akaivaa tena.

“Jery mwanangu ni mgonjwa.”

Julieth aka stuka kidogo.

“Usistuke, ila ina bidi wewe ndio uwe msaada mkubwa sana wa kumponya ugonjwa wake huo kama alivyo kuwa ana fanya marehemu mama yake. Toka alipo kuwa mdogo alikuwa ana sumbuliwa na tatizo la hasira, jambo la kumshukuru Mungu hasira yake ya leo haja weza kukudhuru. Mama yake aliongeza upendo wake na kuwa naye karibu hadi hilo tatizo lilimuosha. HIvyo kuwa karibu sana na Jery mpe kile anacho kipenda kwa wakati husika wala hato weza kuwa kama alivyo kuwa leo sawa mkwe?”

“Ndio baba nime kuelewa, ila hato nipiga kwa maana jinsi alivyo kuwa leo nilihisi ana weza kuniua?”

Julieth alizungumza kwa sauti ya kudeka kidogo na kumfanya raisi Mtenzi kutabasamu.

“Kama alishindwa kukupiga leo, basi hata siku nyingine akiwa na hasira hawezi kukudhuru. Kuwa naye karibu isitoshe ana kupenda sana. Jambo la msingi mpatie kile anacho kihitaji”

Raisi Mtenzi alizungumza kima fumbo kwa maana hawezi kumuambia mkwewe moja kwa moja kwamba ampatie penzi mtoto wake.

“Sawa baba, je kazi uta nifuta?”

“Hapana siwezi kufanya hivyo na nina imani hakuto kuwa na safari ya kwenda Marekani pale utakapo mtapa kile alicho kuaomba sawa mkwe?”

“Sawa baba”

“Nenda kaonane naye nahita atakuwa nyumbani”

“Sawa”

Julieth akatamani kumuuliza raisi Mtenzi juu ya kukamatwa na Jackline ila akaona kwamba ina weza kumleta sinto fahamu kwa maana yeye hakuwepo hapo ikulu, ina kuwaje ana fuhamu mambo yanayo endelea ndani ya ikulu. Akaingia katia chumba cha Jery na kumkuta akiwa amejilaza kitandani huku akiwa amevalia boksa tu. Taratibu Julieth akavua nguo zake zote na kubaki kama vile alivyo zaliwa. Akamsogela Jery na kuanza kumpapasa mgongoni mwake. Jery akakurupuka hukuakigeuka, akashusha pumzi mara baada ya kumkuta ni Julieth ambaye kidogo amejawa na wasiwasi.

“Hei baby”

Jery alizungumza kwa sauti ya upole ambayo kidogo ilimfanya Julieth kuondoa wasiwasi wake unao mkabili.

“Am sorry”

“For what?”

“For everything.”

Julieth alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa mahaba mengi sana.

“Usijali mke wangu”

Jery alizungumza kwa sauti ya kugugumia kwani tayari Julieth alisha anaza kumchezea jogoo wake. Julieth akazidi kwenda mbali na kuongeza maujuzi, akaanza kumnyonya taratibu na kumfanya Jery kuzidi kusisimkwa kwa furaha hiyo anayo ipata. Jery alipo jiridhisha kwa huduma hiyo, akamlaza chali Julieth kisha na yeye akaanza kumnyonya kitumbua chake na kumfanya Julieth kuanza kumkumbuka mwanaume wa kwanza kumfanya hivyo ambaye ni Evans na jambo hilo likamfanya hisia zake zote kuanza kumbukumbuka Evans ambaye kwa sasa hatambui ni wapi alipo.

***

Evans akamshika Baby Al, mkono wake huku helicopter hiyo ikishuka taratibu kwenye kiwanja cha jumba moja la kifahari lililopo katika mji wa Moscow nchini Rusia.

“Usiwe na hofu”

Baby Al alizungumza huku akimtazama Evans usoni mwake. Safari yao iliyo chukua masaa kadhaa hewani kutoka bara la Afrika hadi kufika Russia kwa ndege binafsi inayo milikiwa na baba yake Baby Al, hakika ni safari ndefe. Wakashuka kwenye helicopter hiyo ambavyo walipanda kutokea unaja wa ndege wa hapo jijini Moscow na kufikishwa katika jumba hilo. Wakaanza kutembea kuelekea kwenye mlango wa kuingilia kwenye jumba hilo la kifahari. Ulinzi ulipo eneo hilo hakika kidogo uka mtisha Evans. Macho yake hakakusita kutazama kila eneo la jumba hilo, walinzi walio valia suti nyeusi na miwani nyeusi huku wakiwa na bunduki mikononi mwao hakika ina dhihirisha kwamba eneo hilo lina ulinzi mkali sana.

“Karibu Baby”

Mzee mmoja mwenye ndevu zenye mvi huku usoni mwake akiwa amevibana kwa nyuma nywele zake hizo nyingi alikumbatiana na Baby Al huku akimbusu shavuni mwake.

“Nashukuru babu. Kutana na huyu ni mpenzi wangu ana itwa Evans. Evans huyu ni babu yangu ana itwa Rusev”

“Nashukuru kukufahamu mzee”

“Karibu sana Russia”

“Asante sana”

Wakakaribishwa sebleni hapo na wakakaa huku wakimtazama mzee huyo.

“Nime toka kuzungumza na baba yako nusu saa lililo pita”

“Ana semaje?”

“Ana hitaji siku hii ya leo uelekee nchini Ufaransa”

Baby Al akashusha pumzi huku akimtazama babu yake huyo ambaye ni baba wa mama yake.

“Sawa baba kama tulivyo zungumza kwenye simu. Huyu kijana ana hitaji kupewa msaada wa mfunzo ya kijasusi. Amesha jiandaa kisaikolojia hivyo yupo tayari kwa kila jambo”

“Una mfahamu vizuri?”

“Ndio babu”

Mzee Rusev akamtazama kwa sekunde kadhaa Evans kisha akatingisha kichwa akimaanisha ame kubaliana na hilo.

“Kesho alfajiri ata pelekwa kambini”

“Sawa babu shukrani kwa hilo. Ila nina kuomba usimueleze baba juu ya hili jambo”

“Usijali siwezi kufanya hivyo”

“Evans kuanzia sasa uta kuwa chini ya babu yangu. Hivyo nina kuomba utulivu mzuri sawa”

“Sawa”

“Babu acha niendelee na safari”

“Sawa”

Evans hakuamini kama Baby Al ana ondoka kwa uharaka wa namna hiyo. Baby Al akapanda helicopter hiyo na kurudi kiwanja cha ndege, akapanda ndege walio kuja nayo na kuelekea nyumbani kwao nchini Ufaransa.

***

“Nini?”

Josephie aliuuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa huku simu yake akiwa ameishika mkononi mwake huku wakitazamana na Magreth aliyopo kitengo cha NSA.

“Ndio nahitaji kuacha hii kazi. Najiona nita kuwa kuwa mtu mbaya zaidi ya hapa Jose. Kumbuka nina hofu ya Mungu ndani yangu. Ila katika kipindi hichi nime kuwa ni muuaji, kumwaga damu ya mtu kwangu ni jambo rahisi sana. Hivyo ni heri nika endelea na biashara yangu ya kuuza chakula kwenye mgahawa”

Magreth alizungumza kwa sauti ya upole kwenye masiliano hayo ya video. Josephine akashusha pumzi nyingi huku akimtazama rafiki yake huyo anaye onekana kukata tamaa kabisa kwa kazi hiyo.

“Mage”

“Bee”

“Nchi bado ina kutegemea na watu wengi wana kutegemea. Kumbuka kwamba nchi kwa sasa ina endeshwa kwa maono ambayo Mungu ata tupatia. Laiti kama ingekuwa sio kupata yale maono, leo hii nasi si tunge kuwa kwenye lile janga la mlipuko?”

Josephine alizungumza kwa sauti ya upole sana.

“Natambua hilo Jose, ila sipendi kuona damu zina endelea kumwagika. Nime fikia umri ambao nahitaji kuitwa mama na nina hitaji kuwa na familia yangu. Ona Juma amekufa kwa ajili yetu, alikuwa na kosa gani hadi afe”

Magreth alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kitendo hicho nacho kikamfanya Josephine kumwagikwa na machozi.

“Jose mimi sikupata haya mafunzo kwa ajili ya kuua watu. Nilipata kwa ajili ya kujilinda mwenyewe na niwapendao. Sasa ona hata niwapendao siwezi kuwalinda, huoni hilo lina weza kuwa ni tatizo kubwa kwa familia zetu za baadae”

“Mungu ata tusaidia Mage ila acha kwanza tupate hii hadhina kisha mambo mengine yata fwata”

Magreth anaye tumia kuwasiliana kwa kupitia laptop akamtazama Josephine kwa sekunde kadhaa kisha akafuta machozi yake.

“Nime kubali ila nina kuomba tukipata hiyo hadhinabasi tuna acha hizi kazi sisi wote niahidi kwenye hilo”

“Nakuahidi tuta acha”

Josephine alizungumza huku naye akijifuta machozi.

“Sawa nakuamini Josephine”

“Nakuamini pia Mage. Baadae”

“Poa”

Josephine akashusha pumzi nyingi. Gafla kichw achake kikaanza kumuua, na akaanza kuonyeshwa maono mengine ambayo hakumaliza hata dakika tano akaanguka chini na kuzimia.



Mlio wa simu inayo itwa kwa sauti ya juu kiasi kidogo, ikaanza kupenda masikioni mwa Josephine. Taratibu akafumbua macho yake na kuangaza angaza kila eneo la ofisi yake. Hapakuwa na mtu yoyote zaidi yake. Mlio wa simu hiyo ya mezani ukamfanya kunyoosha mkono wa kulia na kuchukua mkonga wa simu hiyo na kuuweka sikioni mwake.

“Haloo”

Josephine alizungumza kwa sauti ya upole huku akijitahidi kunyanyuka na akaketi kwenye kiti chake.

“Josephine nime kupigia mara kadhaa huja pokea vipi kwema”

Sauti ya nabii Sanga ikamfanya akae vizuri kwenye kiti chake.

“Shikamoo mtumishi”

“Marahaba. Namba yako ya ofisini nime weza kupatiwa na muheshimiwa raisi, kuna jambo nilianza kumuomba hivyo nawe nikaona niweze kukuomba kama huto jali”

“Usijali mtumishi, niombe tu”

“Leo nina anzisha kongamano la kuiombea nchi. Nakujua wewe ni mtu wa Mungu hivyo ninge penda leo kwenye ufunguzi wa kongamano hilo”

“Ahaa ni saa ngapi?”

“Saa kumi kuwasili na saa kumi na moja lina anza. Pale pale kanisani kwetu”

“Sawa mtumishi nita fika”

“Hakuna shaka basi nikutakie siku njema?”

“Nashukuru nawe pia”

Josephine akakata simu, kisha akanyanyuka huku akijinyoosha viongo vyake kwani uchovu utokanano na kuzimia kwake.

***

Nabii Sanga akaishusha simu yake kutoka sikioni mwake na kumgeukia mtu aliyekaa siti ya nyuma ya gari lake.

“Huyu binti ndio kivuruge wa kila jambo. Huyu ndio anaye sababisha mipango yangu yote kwenda vibaya. Sasa nina hitaji umshuhulikie una nielewa?”

Nabii Sanga alizungumza huku akimuonyesha mtu huyo picha ya Josephine kwenye simu yake.

“Usijali mzee”

“Narudi hakikisha huyu msichana una mshuhulikia ipasavyo ila sinta hitaji tu afe hadi pale nitakapo kuambia kwamba afe”

“Hakuna shaka”

Nabii Sanga akaingiza mkono kwenye mfukowe wa suti na kutoa kibunda cha dola za kimarekani.

“Ni dola elfu tano. Hakikisha una maliza hiyo kazi leo hiii”

“Usiwe na shaka sijawahi kukosea”

“Sawa una weza kwenda”

Mwana mama huyo mrefu aliye valia suti nyeusi akashika kitasa cha mlango, kabla ya kushuka nabii Sanga akamzuia.

“Jackline ana endeleaje?”

“Hajazungumza chochote ila bado yupo chumba cha mahojiano”

“Nani anaye muhoji?”

“Kuna yule binti mpya ambye ameingia ingia kwenye kitengo cha NSA. Ndio alikuwa ana muhoji ila sasa hivi jukumu hilo ana lifanya mkuu mwenyewe mzee Mbogo”

“Mbogo ana msimamo sana. Sasa je una weza kumtorosha mule ndani?”

“Hilo jambo halipo nabii Sanga na halito wezekana”

“Nina kuongezea pesa?”

“Nisiwe muongo kuna ulinzi mkubwa sana. Jambo la pekee ambalo lina wezekana kufanyika ni kumuua ndani ya jengo lile”

Nabii Sanga akashusha pumzi huku akimtazama mwana mama huyo ambaye naye ni mfanyakazi wa kitengo cha NSA tenaa ana yupo katika ngazi za juu za upelelezi.

“Nita kupatia jibu”

“Sawa, ila kuwa makini sana Sanga. Usiitumie vibaya nafasi ya ukaribu wako na raisi, laiti akija kufahamu mzunguko wa haya uta potea”

“Nashukuru kwa ushauri wako. Hivyo nifanyie hilo tu niliko kupatia pesa”

“Sawa”

Mwana mama huyo akashuka kwenye gari la nabii Sanga na kungia kwenye gari lake na kuondoka hapo.

‘Mpango wangu hauwezi kwenda lazima nikuweke kizuizini wewe mjinga’

Nabii Sanga alizungumza huku akitazama picha ya Josephine, akawasha gari lake na kuondoka eneo hilo.

***

“Kongamano”

Mrs Sanga alishangaa mara baada ya kuona tangazo hilo kwenye ukurasa wa mume wake wa mtandao wa Instergram.

“Nini baby?”

Tumaini aliuliza huku hukia amekaa pembeni ya mrs Sanga.

“Hapana ngoja mara moja”

Mrs Sanga akaichukua simu yake na kuitafuta namba ya mume wake, akaitazama kwa sekunde kadhaa kisha akampigia.

“Vipi?”

“Nimeona kuna kongamano una litangaza ni la nini?”

“Kwani hujaona maelezo yake?”

Nabii Sanga alijibu kwa kurudisha swala kwa mke wake.

“Hivi una nguvu gani za kuendesha kongamano ikiwa tupo kwenye kipindi cha kuadhimisha misiba ya watoto wetu?”

“Huna jipya”

Nabii Sanga alijibu kwa dharau na kukata simu kitendo kilicho mfanya mrs Sanga kuachia msunyo mkali sana.

“Baby kuna nini?”

“Kuna mtu ana nichefua tu hapa”

“Nani?”

“Ahaa huiswe na wasiwasi. Una jisikia njaa?”

“Kiasi”

“Sawa ngoja nijiandae niende chini nika chukua chakula”

“Poa poa”

Mrs Sanga akaiweka simu yake mezani, na kuingia bafuni. Tumaini kwa haraka akaichukua simu hiyo na kutazama ni namba gani ya mwisho kupigwa na mwana mama huyo aliye jikuta akianza kumuwekea wivu kutokana na pesa ambazo ana pewa. Akainakili namba hiyo kwenye simu yake kwa uharaka kisha akairudisha simu kama ilivyo wekwa.

“Baby”

“Naam”

“Tanga ni maeneo gani yame tulia sana tuka weza kukaa bila buguza ya mtu yoyote?”

“Kwa Tanga hapa wachawi wengi na wengi wana nijua. Labda sehemu nzuri ni Lusthoto au Pangani”

“Lushoto si hakuna bahari?”

“Ndio ila kuna ukijani mzuru ambao kwa kweli una furahisha ukiutazama. Pia hali ya hewa kule ni safi sana, sio kama huku, hadi tutegemee A/C.

“Ila ni mbali sana na hapa?”

“Ndio ni mwendo wa masaa sita au saba”

“Basi huko tuta kwenda kesho. Nahitaji kutanua wiki nzima na wewe, sina haja ya kurudi Dar es Salaama kwa sasa”

“Nashukuru mpenzi wangu”

“Hivi simu yake ime sajiliwa Tigopesa?”

“Ndio”

“Ngoja nikuingizie pesa ya vocha alafu hiyo simu ikiwezekana leo uka nunue nyingine nzuri sitaki kukuona na kasimu kabaya kama hako”

Mrs Sanga alizungumza kwa kujiamini akashika simu yake na kumuingizia Tumaini kiasi cha pesa kilicho mfanya aduwae kwa sekunde kadhaa huku akiwa haamini kabisa Kiwango cha milioni mbili na nusu alicho kipokea hakika hajawahi kukiona kwenye laini yake hiyo na hata maisha yake toka kuzaliwa kwake.

“Mbona una duwaa?”

“Sija wahi shika pesa kama hii mpenzi wangu”

“Ndio yako sasa. Nenda kanunua simu mpya sasa hivi, si una weza kuendesha gari?”

“Ndio naweza”

“Leseni unayo?”

“Ndio”

“Basi kanunue simu urudi hapa. Nataka leo unitomb** hadi nizimie”

Maneno ya mrs Sanga yakampagawisha sana Tumaini akanyanyuka na kumkumbatia mrs Sanga kwa furaha huku akimpiga mabusu mfululizo.

“Vaa uende sasa hivi sawa”

“Sawa”

“Funguo hiyo hapo”

Mrs Sanga akamkabidhi Tumaini fungu ya gari lake, akajindaa baraka haraka na kuondoka hotelini hapo. Akafika kwenye moja ya duka ambalo siku zote kuna simu alikuwa ana itamani kuinunua ila hakuwa na pesa za kuweza kufanya.

“Hapa si nina weza kulipa kwa tigopesa?”

“Ndio”

“Nahitaji hii iphone 8 plus”

Tumaini alizungumza kwa kuchachawa. Akailipia simu hiyo milioni mbili na laki tatu kisha akarudi nayo ndani ya gari huku akiwa amejawa na furaha sana, akatamani kuputa maskani kwa washakaji wake ili kuwaringishia ila akahisi kwamba ana weza kuvuruga mipango yake. Hakutaka kuchelewa akaiingiza laini yake kwenye simu hiyo, akajisajili vizuri kisha akarudi hotelini. Akamkuta mrs Sanga akiwa amesha nunua chakula cha mchana.

“Nilihisi kwamba huto rudi”

“Kwa nini?”

“Basi tu?”

“Siwezi kukufanyia hivyo mpenzi wangu”

Tumaini alizungu huku akiipanua mihuu ya mrs Sanga, akailufunua taulo alilo jifunga na kuanza kunyonya kitumbua chake.

“Baby tule kwanza?”

Mrs Sanga alilalama huku akihisi raha ya kumuahamisha katika ulimwengu wa kwake peke yake.

“Chakula hakina faidi kwa saa”

Tumaini alizunguma huku akiongeza mautundu ambayo yamekuwa ni mara dufu na yale yote aliyo wahi kumfanyia mrs Sanga toka walipo kutana.

***


Jery aliendelea kuchachawa na mauno yanayo katwa na Julieth. Kitendo cha kuziona damu chache alipo kuwa ana anza kufanya tendo hilo, zikamfanya Jery aamini moja kwa moja kwamba ame itoa bikra ya mke wake huyo wa ndoa.

Vilio vya kimahaba zinazo tokea chumbani kwa Jery zikamfanya Shani kusogelea mlango huo huku mapigo yake yakimuenda kasi sana. Kumbatio la Jery alilo fanyiwa masaa kadhaa yaliyo pita hakika linamtesa sana Shani akilini mwake. Japo ana mwanaume wake, ila moyo wake tayari ulisha vutiwa na Jery mtoto wa raisi. Kwa bahahi nzuri Shani akakuta mlango huo ukiwa haujabanwa vizuri, kijinafasi kinacho onekana hapo mlango, kina onyesha kioo cha dreasing table ambayo ina onyesha kitanda hicho cha Jery. Shani akahisi mapigo yake ya moyo yana kwenda kupasua kifua chake, viuno vinavyo katwa na mke wa Jery hakika vikamfanya asisimkwe, akamuona Jery akimgeuza mke wake na kumuinamisha mkao wa mbuzi kagoma kwenda. Jery akamshika mke wake mikono yake yote miwili, kisha akaanza kumshulikia kwa nguvu zake zote. Shani akameza fumba zito la mate huku jasho likimtoka, taratibu akajikuta akiingiaza mkono wake kwenye suruali yake aliyo ivaa na kuanza kukipapasa kitumbua chake. Shani akaona haburudiki kwa kusimama hapo, akakimbilia katika chumba chake, akavua nguo zake na kufunga mlango kwa ndani, kisha akajitupa kitandani na kuanza kujichezea kitumbua chake huku akivuta hisia za Jery na mke wake jinsi wanavyo pesa haki ya tendo la ndoa.

Magreth akaingia ofisini kwa Josephine na kumkuta akiminya minya compture yake.

“Hei”

Magreth alimsalimia huku akikaa kwenye kiti.

“Mage karibu”

“Asante. Vipi hauendi nyumbani kupumzika”

“Tena nilikuwa nina imalizia hii kazi nikupigie ili twende wote kanisani”

“Kanisani, wapi?”

“Kwa nabii Sanga”

“Jose!! Una taka kwenda kwa yule muhuni anaye tumia muamvuli wa dini kujiaminisha kwa watu kwamba ni mwema?”

“Sawa Mage ila kumbuka tuna kwenda pale kuungana na watu wengine kwa ajili ya kumuabudu Mungu. Kama yeye sio mtu mwema au hamtumikii Mungu, sisi hayo hayatuhusu. Pia ngoja nikuulize mara ya mwisho wewe kwenda kanisani ni lini?”

“Sikumbuki kwa kweli?”

“Twende lao tuka muombe ombe Mungu”

“Sawa leo huja onyeshwa jambo lolote?”

“Nime onyeshwa jambo kubwa ila nimelisahau. Natambua Mungu ana makusudi maalumu ya kunifanya nisahau juu ya hili alio nionyesha. Nahisi kwa kutokea tukio lolote ana weza kunifungulia mwanga wa kile kitu ambacho amenionyesha”

“Sawa kama ni hivyo”

Josephine akamalizia kazia yake, kisha wakamuaoga raisi Mtenzi na kuondoka. Wakafika katika nyumba ya Magreth wakafanya usafi kwani toka uvamizi utokee hana hata mmoja wao aliye rudi nyumbani. Walipo maliza kila kitu, wakapata chakula cha mchana wakajiandaa na kuelekea kanisani kwa nabii Sanga. Wingi watu walio jitokeza ukamfanya Magreth kukaa kiti cha nyuma huku Josephine akienda kukaa mbele kabisa kama alivyo pewa maelekezo na mzee wa kanisa hilo kwamba kuna kiti chake mbele. Ibada ikaanza huku nyimbo za kumsifu Mungu na kumuabudu zikifanyika. Nabii Sanga akaanza kupiga maombi ya nguvu huku watu wenye mapepo wakianza kutokwa na mapepo yao. Nabii Sanga akamtazama mwana mama aliye kaa kiti cha nyuma na Josephine na ana tambua kabisa jukumu la kazi aliyo mpatia ni kuhakikisha ana mteka Josephine ambaye naye kwa wakati huo yupo kwenye maombi makubwa sana. Mwana mama huyo kwa umakini mkubwa akatoa kisindano kidogo chenye dawa yakali ya usingizi. Akanijanya na yeye ana sali huku akirusha mikono yake hapa na pale kama mtu anaye kemea mapepo. Akamchoma kisindano hicho Josephine shingoni mwake pasipo mtu yoyote kuona.

“Aiiisssiii”

Josephine aligugumia muamivu kidogo, akajaribu kugeuka ila akajikuta akishiwa nguvu na akaanguka chini na kuzimia jambo lililo wafanya watumishi wanao watoa wenye mapepo na kuwaingiza katika chumba cha maombi, wakambeba Josephine wakisaidiana na mwana mama huyo na wakamtoa kanisani hapo pasipo Magreth kufahamu chochote kinacho endelea.



Taratibu wakamuweka chini Josephine kisha watumishi hao wawili wakanisa wakaondoka ndani hapo na kurudi ndani ya kanisa. Mwanamama huyo kwa haraka akatoa simu yake mfukoni na kumpigia kijana wake anaye shirikiana naye kwenye jambo hilo. Kijana huyo akalisogeza gari karibu kabisa na chumba hicho. Mwanamama huiyo akambeba Josephine na kumuingiza ndani ya gari hilo pasipo mtu yoyote kuona. Taratibu wakaondoka eneo hilo pasipo mtu yoyote kustukia juu ya utekaji huo. Maombezi yakaendelea ndani ya kanisa na baada ya dakika hamsini watu wakaruhusiwa kukaa.

Magreth kila anavyo mtazama nabii Sanga ana jihisi kujawa na hasira kwa maana ana mchukia na yeye ndio mtu aliye yasababisha maisha yake kuyumba kwa asilimia kadhaa. Magreth akanyanyuka na kutoka nje, akatoa simu yake mfukoni na kumtumia ujumbe Josephine kwamba ana kaa ndani ya gari kwani kuendelea kukaa kanisani hapo kuna weza kumfanya akamvamia nabii Sanga. Josephine hakujibua meseji hiyo na wala Magreth hakupata wasiwasi wa aina yoyote kwa maana naa tambua rafiki yake huyo akiwa katika maoembezi siku zote ana kuwa ni mtu wa kuzima simu yake au kutoa kabisa mlio wa simu. Magreth akaa ndani ya gari lake hadi ibada hiyo ikaisha majira ya saa mbili usiku. Watu wakaanza kutawanyika huku wenye magari yao wakiondoka kwenye maegesho hayo ya kanisa.

“Mmmm mbona haji huyu?”

Magreth alizungumza huku akitazama saa yake ya mkononi. Mshale wa saa yake una onyesha ni saa tatu kasoro usiku. Idadi ya watu kanisani hapo ina zidi kupungua. Magreth akashuka kwenye gari na kuanza kuanga eneo la mlango wa kutokea kanisa hilo.

“Samahani”

Magreth alimsimamisha mzee mmoja ambaye ana mtambua kwamba ni mmoja wa wapambe wa karibu wa nabii Sanga.

“Ohoo binti yangu. Bwana Yesu asifiwe”

“Amen shikamoo mzee Kiondo”

“Marahaba, hoonekani siku hizi kwenye huduma za kinanisa?”

“Ni kweli mzee wangu mambo yamekuwa ni mengi sana”

“Ila Mungu pia ana umuhimu sana binti yangu”

“Ni kweli mzee wangu. Nina muulizia Josephine huja muona?”

“Mmmmm nilimuona kipindi muna fika hapa kasinani ile jioni, ila sasa hivi sija weza kumuona kabisa. Labda jaribu kumpigia simu”

“Sawa mzee wangu”

Magreth akaipiga namba ya Josephine na kwa bahati mbaya akakuta haipatikani hewani.

“Uko wapi Jose”

Magreth alihaha huku akianza kupita pita kwenye vikundi vya watu wachache wachache walio simama wakipiga stori za hapa na pale. Baada ya kumtafuta ndani hapo pasipo mafanikio yoyote, Magreth akaingia ndani ya kanisa hilo na kuwakuta wazee wa kanisa wachache wakipanga viti vizuri.

“Jamani hamjamuona Josephine?”

“Hapana”

Mzee mmoja wa kanisa alijibu.

“Labda uka mtazame ofisini kwa mtumishi”

“Nashukuru”

Magreth akapiga hatua za haraka huku akipita katia siti za mbele za kanisa hilo. Magreth akasimama kwa sekunde kadhaa kisha akarudi nyuma hatua kadhaa na kuangalia kiti alicho kuwa amekalia Josephine. Chini ya kiti hicho akaiona simu ya Josephine, kwa haraka akaisogelea na kuishika. Akaitazama na kukuta ikiwa imezima.

“Hii huyu amedosha simu?”

Magreth alizungumza huku akiiwasha simu hiyo. Akaendelea na lengo lake la kwenda ofisini kwa nabii Sanga, akaingia ofisini hapo pasipo kubisha hodi na akamkuta nabii Sangaa akizungumza na wamama wawili.

“Samahani jamani, nina muulizia Josephine”

“Magreth ni utaratibu wa wapi huo kuingia ofisini kwa mtu pasipo kubisha hodi?”

Nabii Sanga alilalama huku akimtazama Magreth, ambaye alijishauri kwa sekunde kadhaa kabla hajafikiria ni nini amjibu nabii Sanga.

“Samahani nabii, ila rafiki yangu ndio nina muulizia”

“Hayupo hapa ofisini”

“Ila……”

Magreth akakatisha sentensi yake hiyo huku akimtazama nabii Sanga.

“Nashukuru”

Magreth akatoka ndani hapo huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi sana, kiasi cha kumfanya ajawe na wasiwasi mwingi sana kwani sio jambo la kawaida kwa rafiki yake huyo kuondoka pasipo kumuaga. Akiwa anakatiza nje ya chumba cha kupumzishia watu wanao lipukwa na mapepo wakati wa maombezi. Akaona kiatu kimoja cha Josephine hapo ndipo akili kengele ya hatari ikamgonga kichwani mwake na kujua kwamba rafiki yake ata kuwa ametekwa na watu wasio julikana. Magreth akatoa simu yake mfukoni kwa haraka na kumpigia raisi Mtenzi.

“Magreth habari yako”

“Muheshimiwa kuna tatizo”

“Tatizo gani?”

“Josephine ameweza kutekwa tukiwa hapa kanisani.”

“Nini?”

“Ndio ametekwa muda na wakati ambao haujulikani?”

“Kivipi na ime kuwaje atekwe katika kanisani?”

“Muheshimiwa nina imani kwamba watekaji walitumia akili ya hali ya juu na ubaya ni kwamba tulikaa maeneo tofauti. Yeye alikaa siti ya mbele na mimi nilikaa siti ya nyuma”

“Shiti, hapo kanisani hakuna kamera?”

Magretha akaangaza angaza eneo hilo.

“Hapana muheshimiwa hakuna kamera”

“Ngoja nimpigie Sanga sasa hivi”

“Sawa muheshimiwa”

Magreth akakata simu hukua kianza kutembea na kurudi ofisini kwa nabii Sanga. Akapishana na wana mama hao mlangoni mwa ofisi ya nabii Sanga. Magreth akaingia ndani na kumkuta nabii Sanga akipokea simu yake na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio ndugu yangu”

“Kuna mfanyakazi wangu ana itwa Josephine ame tekwa hapo kanisani kwako. Hivyo nina kuomba unipatie ushirikiano wako ndugu yangu”

“Ametekwa hapa kanisani kwangu?”

“Ndio, nime zungumza na rafiki yake ana itwa Magreth amenidhibitishia kwamba atakuwa maetekwa. Hivyo ndugu yangu nisaidie katika hilo kwa maana kama vile ulivyo muomba binti huyo aje kusali kanisani kwako ndivyo jinsi ninavyo kuomba aweze kupatikana kwa maana jukumu la ulinzi wa waumini wako wote lina paswa kuwa mikononi mwako. Tumelewana ndugu yangu?”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo.

“Nime kuelewa ndugu yangu nita fanya kila liwezekanalo kuhakikisha kwamba nina mpata msichana huyo”

“Nashukuru, na vijana wangu wa upelelezi wata kuja kuanza kuifanya upelelezi hapa kanisani”

“Sawa sawa nita wasubiria”

“Nashukuru’

Simu ikakatwa, nabii Sanga akamtazama jinsi Magreth alivyo shika kiatu mkonini mwake.

“Ame tekwaje?”

Nabii Sanga alijifanya kuuliza kana kwamba hajui kitu chochote.

“Nahitaji mkanda mzima wa video zilizo rekodiwa na makamera man wako katika ibada ya leo”

“Sawa”

Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini. Akampigia produser wa vipindi vya kanisani hapo na akaingia akiwa na flash yenye video ya mahubiri ya siku nzima ya siku hiyo. Wakaichomeka kwenye tv na wakaanza kufwatilia kuanzia ibada ilivyo anza. Hadi wanafikia mwisho Magreth hakuona sehemu aliyo kuwa amekaa Josephine jambo lililo mfanya azidi kuchanganyikiwa kwa woga.

***

Taratibu Josephine akafumbua macho yake, akajikuta akiwa amelala kitandani, jambo lililo mfanya kuvuta kumbukumbu yake ya mwisho iliyo mueleza kwamba alikuwa kanisani katika kipindi cha maombi na baada ya hapo hafahamu ni kitu gani kinacho endelea. Akajitazama mavazi yake na kujikuta akiwa amevaa vile vile alivyo kuwa kanisani. Taratibu akaka kitako na kuangaza ndani ya chumba hicho ambapo kuna tv kubwa, meza ya mbao pamoja na kitanda hicho. Hakuna kabati wala kochi. Akasimama na kuanza kutembea kwa mwendo wa taratibu na kuchungulia dirishani. Mapigo ya moyo yakaanza kumuenda kasi mara baada ya kuona kuna bahari tu.

‘Mungu wangu nipo wapi hapa?’

Josephine alijiuliza huku akiendelea kuangaza angaza. Akatembea hadi mlangoni akashika kita na kujaribu kufungua ila akakuta mlango huo ukiwa ume fungwa kwa nje. Akaanza kugonga mlango huo huku akiomba kufunguliwa, ila hapakuwa na mtu yoyote aliye weza kumsaidia kufungua.

“Ehee Mungu ni nini hichi?”

Josephine alijikuta akisali ila hakuweza kupewa majibu yoyote na Mungu wake. Gafla mlango ukafunguliwa, akaingia mwanaume mrefu mwenye madevu mengi usoni mwake na kwa kumtazama kwa haraka haraka asili yake ni mzungu, japo Josephine hatambui ni mzugu wa wapi. Mwanaume huyo mkononi mwake, ameshika sahani ambayo ina vipande vya soseji viwili, mkate slesi nne, yai moja la kuchemsha. Kipande cha samaki wa kukaanga pamoja na glasi iliyo jaa maziwa.

“Wee ni nani?”

Josephine aliuliza huku akiwa ana tetemeka kwa woga. Mwanaume huyo hakuzungumza chochote zaidi ya kuweka sahani hiyo pamoja na glasi juu ya meza na kuanza kutembea kulekea nje.

“Nime kuuliza wewe ni nani?”

Mwanaume huyo akafunua tisheti yake eneo la kiunoni na kumfanya Josephine aione bastola ya mwanaume huyo, jambo lililo muashiria Josephine kwamba eneo hilo alipo sio salama kabisa na maisha yake. Mwanaume huyo akaufunga kwa nguvu mlango huo wa chuma na kumfanya Josephine kustuka. Akafunga kwa nje mlango huo kisha akaondoka.

Machozi yakaanza kumbubujika Josephine, jambo alilo kuwa ameonyesha mchana wa siku hiyo sasa taratibu akaanza kulikumbuka kwa maana mara baada ya kuonyesha alisahaulishwa kila kitu ili asiweze kujitoa kwenye jambo hilo.

***

Nabii Sangaa akaendelea kutoa ushirikiano kwa wapelelezi hao walio fika kanisani kwake kujaribu kuchunguza tukio la kupotea kwa Josephine chief staff wa ofisi ya raisi ya raisi. Upepelezi wao wote hakuweza kujua ni nani ame husika na utekaji wa Josephine. Mwanana mama ambaye ndio aliifanya kazi hiyo, ndio kiongozi anaye ongoza vijana wake katika kupeleleza tukio hilo.Muda wote Magreth alikuwa kama mtu aliye shikwa na bumbuwazi, sehemu aliyo kaa hakunyanyuka huku mkononi mwake akiwa na kiatu cha rafiki yake huyo.

“Mage”

Nabii Sanga alimuita Magreth kwa sauti ya upole huku akikaa pembeni yake.

“Mungu wetu tunaye muabudu nina imani ata muokoa Josephine hujo alipo”

Maneno ya nabii Sanga yakamfanya Josephine kumtazama kwa sekunde kadhaa pasipo kumjiubu chochote.

“Mage nina omba unisamehe”

“Nini?”

“Nina kuomba unisamehe. Mimi na wewe tume kuwa ni watu wa kupishana sana kauli. Tume ingia kwenye mgogoro ambao kwa kweli sihitaji uendelee. Ya nyuma yaliyo pita yapite na tugange yajayo”

Nabii Sanga aliendelea kuzungumza kwa sauti ya ushawishi.

“Nisikilize wewe, nina kuchukia na laiti inge kuwa sio hii sheria ya nchi, ni siku nyingi sana ninge kuwa nimesha kuua wewe”

“Mage Mage”

“Niache bwana”

Josephine alizungumza kwa hasira na kunyanyuka kwenye kiti hicho. Akaingia kwenye gari lakena kuelekea moja kwa moja makao makuu ya kitengo cha NSA.

“Mkuu nahitaji kuonana na yule Jackline”

“Kwa nini?”

“Mkuu nina hitaji kumuhoji, kama waliweza kujaribu kuniua mimi asubuhi, sasa hivi wame mteka rafiki yangu. Huoni kwamba hapa kuna kajimtandao?”

“Magreth upo kwenye hasira siwezi kukupa ruhusa ya kuonana na yule msichana”

“Sikuelewi mkuu, mbona una mlinda sana yule binti au kwa kuwa ni mzuri?”

“Sio hivyo”

“Ila?”

“Yeye kama mtu humiwa ana haki zake za msingi”

Magreth akatoa simu yake mfukoni na kumpigia raisi Mtenzi na kumuomba ruhusu ya kumuhoji Jackline. Raisi Mtenzi akaomba azungumze na mzee Mbogo na Magreth akampatia simu.

“Ndio muheshimiwa”

“Mpatie ruhusa ya kumuhoji huyo biti. Acha atumie uwezo wake wote katika kumuhoji, tuna paswa kujua ni nani ana husika na haya matukio. Asubuhi ni yeye, usiku huu ni mfanyakazi wangu tena ametekewa kanisani huoni kama hilo ni jambo ambalo halipo sawa?”

“Ila muheshimiwa huyu binti tuna paswa kumuhoji kwa akili sana”

“Ni amri Mbogo nina kupatia”

“Sawa muheshimiwa”

Mzee Mbogo akampatia simu Magreth na akaiweka sikioni mwake.

“Ndio muheshimiwa”

“Tumia silaha yoyote kuhakikisha ana zungumze ukweli na hakikisha tu hafi”

“Usijali muheshimiwa”

Magreth akakata simu huku akimtazama mzee Mbogo anaye onekana kuto kuridhishwa na amri hiyo, ila hana jinsi zaidi ya kufwata amri ya mkuu wake wa nchi. Magreth moja kwa moja akaelekea kwenye chumba alicho fungiwa Jackline.

“Sijakuja kiwema nime kuja kwa jambo moja tu. Niambie ni nani ambaye alikutuma kuniua mimi?”

Magreth alizungumza kwa sauti ya kukoroma. Taratibu Jackline akaka kitako kitandani kwake huku akiwa amefunga pingu mkono mmoja kwenye kitanda hicho huko miguu yake ikiwa ime fungwa cheni inayo muwezesha kupiga hatua moja.

“Nilisha kueleza kwamba siwezi kutaja mtu hadi utimize nililo kuambia”

Magreth kwa hasira kaampiga teke la kifua Jackline na kumfanya ajibamize ukutani, akamshika mkono wake ambao haujafungwa pingu na kuuvunja kwa nguvu na kumfanya Jackline alie kwa sauti ya juu kwani maumivu hayo ni makali sana.

“NIAMBIE NI NANI ALIYE KUTUMAAAAAAA”

Magreth alizungumza kwa ukali huku akishika vidole viwili vya Jackline ambaye bado anaendelea kulia kwa uchungu. Magreth akavunja vidole hivyo vya mkono huo huo alio uvunja na kumfanya Jacklien achachamae kwa kulia kwa uchungu sana kwani kwenye maisha yake hajakutana na adhabu kama hizo anazo pewa na Magreth,

***

“Sanga”

Mwnaa mama huyo alimuita nabii Sanga na wakasogea pembeni ili wazungumze.

“Kazi yako imesha kamilika na tulimkabidhi yule binti kwa vijana wako kule baharini nina imani kwamba wame kupatia ripoti sehemu walipo mpeleka?”

“Ndio nina shukuru sana kwa hilo na hongera sana kwa kazi nzuri”

“Usijal…..”

Mwana mama huyo akatoa simu yake mfukoni na kusoma ujumbe huo mfupi wa maseji aliyo tumiwa na kijana wake.

“Shitiii”

“Nini?”

Nabii Sanga alimuuliza mwana mama huyo huku macho yakiwa yamemtoka kwa maana ana onenyesha kuchanganyikiwa na meseji hiyo aliyo tumia.

“Yule binti aliye ondoka hapa, amekwenda kwenye kitengo cha NSA na sasa hivi ana muhiji Jackline na ana mpatia mateso makali sana. Mzee usipo angalia Magreth ana kuunguza”

Nabii Sanga mapigo yake ya moyo yakanza kumuenda kasi sana huku akiwa ana tafakari ni nini cha kufanya.

“Nina omba msaada mmoja”

“Msaada gani?”

“Niulie Magreth na Jackline. Nita kupatia dola milioni tano, nina imani umasikini uta kwenda kuuga, tafadhali ifanye kazi hiyo”

Maneno ya nabii Sanga yakamfanya mwana mama huyo kujitafakari kwa dakika moja nzima kisha akatabasamu huku akimtazama Sanga usoni mwake. Akampatia mkono ikiwa ni ishara ya kukubali kuifanya kazi hiyo ambayo ana amini endapo ata ifanikisha basi umasikini uta muondokea kwenye maisha yake.



“Jambo moja kabla sijaifanya hiyo kazi”

“Ehee”

“Hii kazi nina imani kwa asilimia kubwa haito niacha salama mimi na familia yangu. Ningependa kupata nchi ambayo mimi na familia yangu tuta kwenda kuishi au kuitanguliza familia yangu ikaishi huko, ili ikitokea la kutokea basi nijue ni wapi kwa kukimbilia.”

“Wewe una kwenda nchi gani?”

“Nita kupatia jibu ni nchi gani ambayo itakuwa ni rafiki kwangu na familia kwenda kuishi”

“Unijulishe mapema kwa maana hili swala ni nyeti sana”

“Sawa nabii Sanga”

Mwana mama huyo akaagana na nabii Sanga kisha akaondoka kanisani hapo. Wapelelezi hao walipo kusa kitu cha kuwasiaida kwenye kazi yao ya kumtafuta Josephine wakaondoka kanisani hapo na kumuacha nabii Sanga akiwa na baadhi ya watumishi wake.

***

Maumivu makali anayo yapata Jackline yakamfanya ashindwe kuyahimili na kujikuta akizimia. Jambo hilo halikumuogopesha Magreth ambaye ana vujwa na jasho mwili mwizma. Kupotea kwa Josephine hakika kume mfanya kuwa kama mtu aliye changanyikiwa.

“Nahitaji mumchome sindano ya kumuamsha”

Magreth aliwaambia madaktari wawili walio ingia ndani hapo kwa ajili ya kumpatia huduma Jackline.

“Mkuu ila hali yake sio nzuri kabisa”

“Hana faida kwenye hili taifa, nasema mchomeni sindano ya kumzindua”

Magreth alizungumza kwa ukali na madaktari hao wakatii, Jackline akazinduka mara baada ya kuchomwa sindano hiyo.

“Bado hatujamaliza, nahitaji kufahamu ni nani ambaye amekutuma kuniua mimi?”

Jackline akamtazama Magreth kwa macho ya dharua kisha akatabasamu.

“Go fuc** your as**”

Tusi hilo likamfanya Magreth kuanza kumshambulia kwa kumpiga Jackline kila mahali ya mwili wake. Kitendo hicho kikawafanya askari walipo ndani nje ya mlango huo kuingia na kumshika Magreth ili kuacha kufanya kitendo hicho ambacho hakiwezi kumfanya mtuhumiwa kuzungumza.

“Niachieni?”

Magreth alizungumza huku akijitutumia mikononi mwa askari hao walio jazia kwa misuli ila hakuweza kujichomoa kwa maana wana nguvu kubwa sana.Wakamtoa ndani hapo na kuwaacha madaktari wakiwa na kazi ya kuanza kumuhudumia Jackline aliye vunjika mkono, vidole pamoja na majeraha mengine kagtuka mwili wake.

“Magreth najutia ni kwa nini nime kupatia hiyo hii kazi. Una tumia nafasi yako vibaya ya ukaribu wako na raisi Mtenzi. So nikiwa kama mkuu wa hichi kitua kuanzia hivi sasa, nime kusimamisha kazi kwa muda usio julikana. Nipatie bastola yako pamoja na kitambulisho chako”

Mzee Mbogo alizungumza huku akimtazama Magreth aliye simama hapo huku akiwa na hasira kali. Magreth akatoa kitambulisho hilo mfukoni mwake.

“Bastola njooni muichukue kwenye gari”

Askari hao wakaongozana na Magreth hadi kwenye gari lake, akawakabidhi bastola aliyo kabidhiwa na kitengo hicho kisha akaondoka makao makuu ya kitengo hicho majira ya saa sita usiku.

“Hali yake ipo vipi?”

Mzee Mbogo aliuliza huku pambeni yake akiwa amesimama mwana mama aliye pewa kazi ya kumuua Jackline na Magreth.

“Hali yake sio nzuri kabisa mkuu”

“Hakikishenii ana kuwa salama”

“Sawa”

“Ila muheshimiwa endapo huyu bunti akifariki ita kuwaje?”

Mwana mama huyo aliuliza swali.

“Tuta kuwa tume poteza pointi za muhimu. Wasimamie madaktari hadi hii kazi itakapo kamilika, nina kwenda kumuandikia ripoti raisi juu ya vitendo vilivyo nifanya nimsimamishe kazi Magreth”

“Sawa mkuu”

Mzee Mbogo akapiga hatua mbili mbele kisha akageuka.

“Alafu Sia mume fanikiwa kujua chochote kwenye kanisa la nabii Sanga, kuonyesha watekaji ni kina nani?”

“Hapana muheshimiwa hatukufanikiwa kupata ushahidi wowote wa video zaidi ya kiatu kimoja cha biti huyo?”

“Daaa mambo yana ingiliana sana jamani. Haya baadae”

Mwana mama huyo aitwaye Sia akamtazama Jackline jinsi alivyo mrembo na kujikuta akimuoea huruma sana kwa maana makano ya Jackline ni sawa na binti yake wa kwanza. Akatafakari miaka zaidi ya ishirini na tisa amekuwa ni mpelelezi kwenye kitengo hicho na hakuwahi kukuta na kosa la aina yoyote. Akawafikiria wanae wanao ishi kwenye maisha ya raha na starehe kutokana na kazi yake hiyo, akajifikiria endapo serikali ita anza kumsaka kama muhalifu, furaha ya familia yake hiyo ita kuwa wapi.

‘No siwezi kufanya hii kazi, nilicho kifanya leo ina tosha’

Sia alizungumza na kuondoka chumbani hapo huku moyoni mwake akidhamiria kuhakikisha kwamba ana mueleza nabii Sanga juu ya kushindwa kwake kuifanya kazi hiyo.

***

Magreth akasimamisha gari nje ya nyumba yake huku hasira bado ikiwa ume ukamata moyo wake unao kwenda kasi na kusababisha maumivu makali. Akazidi kutafakari ime kuwaje Josephine akatekwa kanisani na alitekwa muda gani.

‘Ni nani mwenye chuki na Josephine? Au ni yule X wake?’

Magreth alijiuliza maswali kichwani mwake ila akakosa jibu ka kujipatia.

‘Hapana X wake toka nimpige kipindi kile hakurudi tena’

‘Au ni Evans ndio ana endeleza huu mpango wake?’

‘Yaa ni Evans nahisi wamemkamata Josephine ili kunishinikiza kumuachia mtu wao. Magreth akaitoa simu ya Josephine mfukoni mwake, akachukua waya wa chaji, akauchomeka ndani ya gari hilo kisha akaiwasha simu hiyo, akaingiza neno la siri ambalo ana lifahamu na simu hiyo ikafunguka Akaanza kukagua majina ya watu walio mpigia na mtu wa mwisho kabisa ni nabii Sanga.

‘Sanga sana sanga ana weza kumteka Josephine?’

Magreth mawazo yake yakahamia tena kwa nabii Sanga.

‘Hapana laiti angekuwa ame mteka ange kuwa na wasiwasi mwingi ila, alikuwa hajui nini kinacho endelea.’

‘Ila kama Magreth angetoka pale kanisani ninge muona kwa maana mlango ni mmoja na isitoshe nilikaa siti ya nyuma karibu na mlangoni.’

Magreth aliendelea kujishauri. Akaanza kukumbuka kipindi cha maombezi watu wengi walisimama huku watu kadhaa wakianguka na mapepo.

‘Au ni kipndi kile cha mapepo ndio alitoka nje?’

‘Yaaa kiatu nilikikuta nje ya kile chumba cha kuwawekea watu wenye mapepo.’

‘Josephine ana mtindo wa kuzimia akisali sana. Kama walimpeleka kule nina uhakika wa asilimia mia moja kuna watu walio mbeba.’

Magreth aliendelea kuchanganua kichwa chake. Jambo la kumshukuru Mungu watumishi karibia wote wa kanisa la nabii Sanga ana wafahamu na sehemu zao wanapo ishi. Magreth akashuka kwenye gari lake kwa haraka akaingia ndani kwake, akaoga na kubadilisha nguo zake kisha akachukua kiasi cha pesa na kutoka ndani hapo, akafunga nyumba yake na kuanza kwenda kwenye nyumba ya mtumishi mmoja baada ya mwengine. Japo ilikuwa ni usiku, ila watumishi hao waliweza kumfungulia milango na kumsikiliza na jambo zuri zaidi ni kwamba wana mfahamu Magreth alikuwa ni miongoni mwa watumishi wezao hapo kanisani kwa kipindi kirefu sana. Magreth akafika kwa mtumishi wa tano iatwaye John Manguruwe.

“Bwana Yesu asifiwe mtumishi”

“Amen, mbona usiku kuna tatizo?”

“Kwanza nikuombe msamaha kwa kuja kwako usiku huu. Nina imani sio taratibu nzuri kufika nyumbani kwa mtu usiku kama huu”

“Usijali, sisi ni wanajeshi wa Mungu, muda wowote kwetu tumejiandaa na vita. Niambie una tatizo gani Magreth”

“Leo nilikuja kanisani na Josephine”

“Yaa nilimuona Josephine alikaa siti ya mbele pale”

“Ni kweli, ila huwezi amini Josephine hatumuoni hadi sasa hivi?”

“Hamumuoni muna maanisha nini?”

“Naweza kutumia hili neno japo sio rasmi. Josephine ame tekwa na watu ambao hatuwajui kabisa”

“Mmmm hapana bwana Magreth. Mimi, mtumishi Luka na mwana mama mmoja hivi tuliweza kumbeba Josephine na kumpeleka katika chumba cha watu wanao hitaji huduma ya maombi kisha tukamuacha ndani hapo na kwenda kuwachukua wengine”

“Alianguka kwa mapepo?”

“Hapana una jua mtu anaye anguka kwa mapepo ana kuwa ana ruka ruka, ila yeye alikuwa kama mtu aliye zimia vile”

“Ahaa kwa hiyo mulimbeba watatu?”

“Ndio tulisaidiana na yule mwana mama”

“Una mkumbuka sura yake huyo mama?”

Bwan John Manguruwe akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akivuta taswira ya mwana mama huyo aliye saidiana naye.

“Ngoja kwanza”

Bwan John akaingia ndani kwake na kuchukua simu yake kisha akatoka nayo sebleni hapo. Akaitafuta namba ya Luka.

“Ngoja nimpigie Luka ana weza kuwa na kumbu kumbu nzuri”

Bwana John akaiweka simu yake loud speaker, na simu hiyo ikaanza kuita. Baada ya sekunde kadhaa ika pokelewa.

“Mtumishi bwana Yesu asifiwe?”

“Amen ndugu yangu nina shukuru kwa kuniamsha bwana nifanye maombi ya usiku”

“Yaa muda ume fika ni saa nane usiku sasa. Ila nipo na Magreth yule aliye kuwa ni muimbaji kwaya”

“Ohoo Mage ndio ndio mtumishi. Vipi kuna tatizo?”

“Ndio hivi una kumbuka muda tuna mbeba yule binti Josephine?”

“Ndio nina kumbuka?”

“Una mkumbuka yule mwana mama tuliye saidiana naye kumbeba na kumuingiza mule ndani?”

“Yaa naikumbuka sura yake vizuri sana. Alafu yule mama ni mara yangu ya kwanza kumuona pale kanisani, japo kanisa letu kila siku lina pokea watu wapya”

Magrteth akashusha pumzi huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.

“Sawa hembu zungumza na Magreth hapa umuelezee sifa za muonekano wa yule mwana mama”

Magreth akaishika simu hiyo na kuisogeza mdomoni mwake. Bwana Luka akaanza kueleza sifa za mwana mama huyo jinsi anavyo onekana. Hadi ana fika mwishoni Magreth akaanza kujiuliza ni wapi aliwahi kumuona mwana mama huyo.

“Ni maji ya kunde?”

“Ndio alafu tulimuacha mule ndani, ya kile chumba”

“Sawa ngoja kuna kijana nina mpigia simu sasa hivi alafu nina kuomba sana umuelezee hizi sifa”

“Sawa”

Magreth kwa kutumia simu ya Josephine akampigia Samson.

“Sister upo salama?”

Samson aliwahi kuzungumza mara baada ya kupokea simu hiyo.

“Ni mimi Mage”

“Ohoo Magreth, heshima yako”

“Nashukuru sasa Samson kuna yule mchoraji yupo bado ikulu?”

“Ndio”

“Hembu niunganishe naye kwenye simu”

“Sawa”

Baada ya dakika mmoja mchoraji wa katuni na mambo mengine, akaunganishwa kwenye simu na Magreth.

“Habari yako kaka”

“Salama dada”

“Kuna mchoro nina hitaji uweze kuuchora muda huu ili kumtambua huyo mtu. Je una nafasi ya kuifanya hiyo kazi?”

“Ni ishu ya kiserikali au binafsi?”

“Serikali”

“Sawa”

“Nina kuunganisha na mtu atakaye kuelezea sifa za mtu tunaye muhitaji”

“Hakuna shaka”

Magreth akakata simu ya bwana Luka iliyo pigwa na bwana John kisha akampigia yeye bwana Luka.

“Ndio mtumishi”

“Upo hewani na mchoraji wa ikulu, sasa una weza kumuelezea hizo sifa”

Bwana Luka akaanza kueleza sifa za mwana mama huyo muonekano wake wa sura na jinsi alivyo vaa.

“Tayari nimesha zi master baada ya muda mchache mchoro wako uta kuwa tayari dada Magreth”

“Nina shukuru sana, nina fika hapo ikulu muda si mrefu na hakikisha humuelezi mtu yoyote juu ya huo mchoro kabla yangu”

“Sawa”

Magreth akakata simu na kuanza kumshukuru bwana John Manguruwe. Akampatia kiasi cha laki mbili kisha akamuachia laki moja ambayo ata mkabidhi bwala Luka, kwani ushirikiano wao katika majira hayo ya usiku wa saa nane hakika ni jambo linalo mpa moyo sana. Magreth moja kwa moja akaelekea ikulu, akasimamisha gari lake kwenye maegesho na kuelekea katika ofisi ya mchoraji.

“Habari za muda”

“Salama mchoro wako upo tayari”

Mcharaji alizungumza huku akiuweka mchoro huo kwenye computer yake kubwa iliyopo mbele yake.

“Una mfahamu huyo mwana mama?”

“Hapana labda Samson ngoja nimtumie hii picha”

“Hembu muite Samson aje hapa”

Mchoraji akanyanyua mkonga wake wa simu, na kumpigia Somson.

“Dogo hembu njoo ofisini kwangu mara moja”

“Sawa kaka”

Baada ya dakika tano Samson akaingia ndani hapo. Kuiona sura ya mwana mama huyo akastuka kidogo.

“Huyo ndio mulikuwa muna mchora?”

Samson aliuliza.

“Ndio una mfahamu?”

“Ndio si mkuu wa kitengo cha upelelezi cha NSA. Ana itwa Sia Kamara”

“Ahaa ndio maana nilikuwa nina jiuliza hii sura nime iona wapi kumbe ni mfanyakazi wa kitengo cha NSA?”

“Ndio tena yupo nafasi ya juu sana”

Magreth akakaa kimya kwa sekunde kadha akisha akamkumbuka mwana mama huyo aliweza kufika kanisani hapo wakati akika katika uchunguzi wa kulichunguza tukio la kutekwa kwa Josephine.

“Una namba yake?”

“Nahisi ila ngoja nikachukue laptop yangu”

Samson akatoka ndani hapo na baada ya dakika kadhaa akarudi akiwa na laptop yake. Akatafuta profile ya mwana mama huyo na kuipata, katika profile hiyo kuna jina halisi, miaka ya kuzaliwa, barua pepe pamoja na namba yake ya simu.

“Je muna weza ku hack namba ya huyu mwana mama?”

“Eheheee…..Mage sihitaji kwenda jela na umri huu aisee. Demu wangu ana ujauzito baada ya miezi kadhaa tu ata jifungua. Hilo swala kwa kweli haliwezekani”

Samson alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Dada Mage una jua maswala ya kumchunguza mpelelezi wa serikali hayo una takiwa kupata kibali maalumu kutoka kwa raisi mwenyewe. Usije kumshinikiza dogo akaifanya hiyo kazi ni hatari sana”

“Nime waelewa, ila ikitokea nime pata hicho kibali je una weza kudukua mazungumzo yake ya simu?”

“Ndio ila watu kama hao, ufanyaji wao wa kazi hawawi na laini moja. Yaani hii utakuta ni laini inayo julikana na watu kadhaa, ila wana kuwa na namba za siri ambazo sifa namba moja haziwezi kabisa kurekodiwa na makampuni ya simu hivyo ili kupata mazunugumzo yao ya siri ni kuweka kudukua simu zao. Kuna app fulani hivi ni ya siri sana, ukiingiza ndani ya simu hiyo basi kila simu na meseji anazo piga na kupigiwa zina ingia kwenye simu yako.”

“Ina itwaje hiyo app?”

“Siwezi kukuambia kwa sasa hivi kwa maana hiyo app hata playstore haipo. Tunayo sisi tu watu wa mitandao tunao fanya kazi na serikali”

“Sawa nita lifwatilia hili jambo kisha nita omba tushirikiane. Ila tafadhali nina waomba sana hili jambo lisiweze kutoka kati ya sisi watu watatu”

“Swali la mwisho dada Mage. Kwa nini una mfwatilia huyo mwana mama?”

Mchoraji aliuliza swali huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Chief staff wa ikulu ametekwa?”

“Weee Josephine ametekwa?”

Mchoraji aliuliza huku akiwa na mshangao mkubwa sana.

“Ndio ametekwa ndio maana muna niona nina hangaika hivi”

“Duu sina habari kabisa, wapi ame tekwa?”

“Ilikuwa ni kanisani. Ila bado nina endelea kufanya uchunguzi kwa kutumia akili sana, nina waomba kwa pamoja tuweze kushirikiana kwa pamoja katika hili”

“Sawa dada ila pole sana”

“Nashukuru.”

“Sister ukihitaji msaada wowote, wewe niambie nina imani tuta mpata tu Josephine”

“Nashukuru Samson”

Magreth akaagana nao kisha akaelekea ofisini mwa Josephine. Akasimama kwa sekunde kadhaa huku akitazama jinsi vitu vilivyo pangana vizuri ndani hapo. Taratibu akaka kwenye sofa, kisha akajilaza huku akitafakari.

‘Sasa inabidi kutumia akili, hili jambo ni la kwenda nalo taratibu sana, nikienda kwa papara hakika nita mpoteza rafiki yangu na mimi nita kufa pia’

Magreth alizugumza kimoyo moyo huku akiendelea kutafakari juu ya upelelezi wake huo mpya ambao ana amini kwenda taratibu basi ata wapata maadui zake.



Usingizi wa mang’amu ng’amu ukampitia Magreth. Alafajairi na mapema akwazinduka huku akiangaza angaza ndani ya ofisi hiyo ya Josephine. Hakika kupotea kwa rafiki yake kuna mfanya ajihisi vibaya. Akanyanyuka na kujinyoosha viongo vyake vya mwili kisha akatoka ndani hapo. Akasalimiana na baadhi ya wafanyakazi huku lengo lake ni kuhakikisha kwamba ana kuwa wa kwanza kuwea kuonana na raisi kwa ajili ya kumshirikisha katika mpango wake wa upelelezi kwa maana hana mamlaka yoyote kwa sasa.

“Habari muheshimiwa raisi”

Magreth aliwahi kumsalimia raisi Mtenzi mara baada ya kumona akiwa ameongozana na walinzi weka wawili kwenye kordo ya kuelekea ofisini kwake.

“Salama tu, tena nilikuwa nina kuwazia. Twende ofisini”

Wakaingia ofisini, na moja kwa moja raisi Mtenzi akaka kwenye kiti chake na Magreth akaka kwenye kiti cha wageni.

“Ume fikia wapi mchakato wa kumtafuta Josephine?”

“Muheshimiwa bado sija mpata ila nina dalili fulani za kumpata. Ila kazi yangu ina kuwa ngumu kwa sasa kutokana na kufukuzwa kazi?”

“Umefukuzwa kazi na nani na kwa nini?”

Raisi Mtenzi alionekana kushangaa huku akiwasha computer yake.

“Mkuu wa kitengo cha NSA.”

Raisi Mtenzi akamtazama Magreth kwa sekunde kadhaa kisha akafungua computer yake na kukutana na ujumbe wa barua pepe kutoka kwa mkuu wa kitengo cha NSA, mzee Mbogo. Akaifungua barua pepe hiyo na kuanza kuisoma, maelezo yanayo onyesha makosa aliyo yafanya Magreth.

“Wame kuonea.”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akinyanyua mkonga wa simu yake ya mezani.

“Muheshimiwa ila mimi sihitaji kurudi tena kwneye kile kitengo”

Kauli hiyo ya Magreth ikamfanya raisi Mtenzi kurudisha mkonga huo wa simu sehemu alipo utoa.

“Kwa nini?”

“Nahitaji kumsaidia Josephine, nikifanikiwa kumpata basi nita ifanya kazi yangu moja ya mwisho ya kumtafuta Evans Shika, kisha baada ya hapo nita endelea na maisha yangu ya upishi. Nahitaji kuwa mama, nahiaji kuwa na mume hivyo nikiendelea kuwa katika kazi hii hakika sinto weza kupata hivyo vitu viwili au nina weza kuvipata vyote ila nina weza kuwasababishia waishi kwakuto kuwa na amani katika maisha yao yote kutokana na maadui nitakao watengeneza”

Hoja ya Magreth ikamfanya raisi Mtenzi kuka kimya kwa sekunde kadha huku akionekana kuitafakari.

“Natambua muheshimiwa una nihitaji kwenye majukumu yako. Ila nimesha fanya kazi vya kutosha. Nimejitahidi pale nilipo weza kutokana na uwezo wangu huu nilio nao. Sihitaji kutengeneza matatizo zaidi ya viongozi wako ambao una saidiana nao. Tafadhali muheshimiwa nina kuomba sana unisaidie kwenye hili jambo la mwisho tu”

“Niambie jambo gani?”

“Kuna huyu mwana mama ana itwa Sia, ni mmoja wa viongozi wa kitengo cha NSA. Jana usiku nilipo endelea na upelelezi wangu kwa kuwahoji watu walio saidiana kumbebea Josephine na kumuingiza kwenye chumba cha mapumziko waka daiwa kwamba walisaidiana na mwana mama huyo kumuingiza Josephine kwenye hicho chumba”

“Ngoja kwanza Magreth, una sema walisaidiana kumbebaba kivipi?”

“Jana kanisani maombezi yalivyo kuwa yana endelea. Josephine aliweza kuangua, huwa ni kawaida yake pale anapo kuwa ana pata maono nina imani hili jambo ulisha wahi kulishuhudia?”

“Yaa nilisha wahi kuliona”

“Hivyo baada ya jambo hilo kutokea, akabebwa na watumishi wawili wa kanisa pamoja na huyo mwana mama na kumuingiza katika hicho chumba. Pale kanisani kwa nabii Sanga kuna chumba maalumu cha maombia ambacho wale wanao anguka kwa mapepo huwa wana ingizwa hapo kwa ajili ya kupumzishwa.”

“Hapo nime kuelewa. Ehee endelea?”

“Sasa wale watumishi wawili waliniambia mwana mama huyo anaye itwa Sia walimuacha ndani ya hicho chumba. Sasa hapo ndipo ninapo anza kupata mashaka, imekuwaje Josephine akapotea na mbaya zaidi nilikuta kiatu chake kikiwa nje ya chumba hicho”

“Kwani kuna mlango wa kutokea katika hicho chumba tofauoti ya na mlango wa kuingilia kanisani?”

“Ndio upo”

Raisi Mtenzi akashusha pumzi taratibu.

“Ile yule mwana mama nina mfahamu vizuri sana. Hana matatizo na ni mtendaji mzuri sana wa kazi”

“Ni kweli muheshimiwa, ila hili swala muheshimiwa hatupaswi kumuamini mtu yoyote hadi pale tutakapo pata uhakika wa nani ana husika. Isitoshe asubuhi nilishambuliwa mimi, jioni akatekwa Josephine. Huyu mtu anaye tekeleza haya mama atakuwa ni mtu anaye tufahamu kwa undani kabisa na ameweza kutufwatilia nyendo zetu na akajua kabisa kwamba sasa tupo kanisani ndio maana akaamua kutekeleza hilo jambo lake hapo hapo kanisani na kama mtu wa mwisho alikuwa ni yule mama na alimbeba Josephine basi nina weza kumuhoji maswali isitoshe naye usiku wa jana alikuja pale kanisani kuchunguza hilo tukio”

Raisi Mtenzi akakaa kimya kwa sekunde kadhaa huku akiendelea kutafakari nini cha kufanya.

“Mage”

“Ndio muheshimiwa”

“Kumchunguza mpelelezi ni jambo ambalo lina hitaji umakini sana kwa maana na yeye ana mbinu nyingi sana za kumchunguza mtuhumiwa”

“Ni kweli?”

“Kama alikuwa ndio wa mwisho kumbeba Josephine na kumuingiza ndani hapo na akaachwa peke yake na baadae aka rudi kuchunguza jambo hilo hilo na hapakuwa na majibu yoyote mazuri, basi kuna ulanikini, hata mimi nina anza kumshuku kwenye hilo”

“Ume ona ehee?”

“Ndio, nami nina mshuku kwenye hilo jambo. Sasa fanya hivi, japo ni jambo gumu ila tutumie njia hii, endapo kuta uwa na dalili yoyote ya yeye kuhusika na jambo hilo basi tuna weza kupata jibu la uharaka. Ana kijana yake wa mwisho ana mpenda sana ana itwa Mathayo. Ana miaka kumi na mbili ana soma shule ya Fedha Boys. Kwa kumtumia kijana huyo basi tuna weza kujua kama mama yake ana husika kwa jambo hilo au laa”

“Ina maana nimteke mwanaye?”

“Ndio, hii oparesheni nina hitaji uifanye wewe mwenyewe, usimshirikishe mtu zaidi ya sisi wawili. Nita jua jinsi gani ya kukulinda kwenye hilo. Ume nielewa?”

“Ndio muheshimiwa”

“Angalizo yule mwana mama ni hatari sana, ana uwezo wa kila aina katika maswala ya upelelezi hivyo kuwa makini sana”

“Usijali muheshimiwa. Ila nina kuomba nimuazime kijana wako mmoja?”

“Nani?”

“Samson”

Raisi Mtenzi akaka kimya kwa sekunde kadhaa, kisha akakubaliana na ombi la Magreth. Akampigia simu Samson ana akaingia ndani hapo, akashirikishwa mapango mzima walio upanga raisi na Magreth kisha kazi ya kuanza kumfwatilia kijana huyo ikaanza mara moja.

***

“Ume pendeza mke wangu”

Jery alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana, akamtazama mke wake jinsi alivyo valia nguo hizo kwa ajili ya kuingia kazini asuhuhi hiyo.

“Nashukuru mume wangu, vipi ume enjoy?”

“Ndio nime enjoy yaani ume nifanya nijisikie ni kidume. Hakika mke wangu nita kupenda maisha yangu yote na sinto kuacha hata iweje kwa maana ume nitunzia usichana wako ambao toka tukiwa sekondari nilikuwa nina uwinda niupate ila uliweka msimamo. Hakika wewe ni chagua kutoka kwa Mungu wangu”

Jery alimwaga sifa nyingi huku akiwa na furaha kubwa sana.

“Nashukuru mume wangu. Natambua ulikuwa huniamini ndio maana jana uliamua kunikasirikia”

“Ni wivu mke wangu”

“Natambua hilo mume wangu ila una paswa kuniamini na mimi siku moja moja. Siwezi kuw ana mwanaume mwengine tofauti na wewe. Pia hii ninayo ifanya ni kazi hivyo nina paswa kujua kila kitu kinacho endelea hapa ikulu, kumbuka mimi ni msaidizi wa baba yako”

“Usijali hilo mke wangu, sinto kufwatilia kwenye mambo yako ya kazi na mambo ya kwenda Marekani hayato kuwepo”

“Kweli mume wangu”

“Ndio hayato weza kuwepo”

“Basi nina shukuru mume wangu. Acha niwahi ofisini”

“Sawa mke wangu”

Julieth akambusu Jery kwenye lipsi zake kisha akatoka ndani hapo na kuelekea ofisini kwake.

“Za asubuhi bosi”

Shania alimsalimia Jery huku akimtazama jinsi alivyo simama mlangoni kwake akiwa na bukta tu.

“Safi aisee, hivi uliniambia una itwa nani kwa maana jina lako nilisha lisahau”

“Naitwa Shani”

“Ohoo sawa sawa Shani ehee ume amkaje kwanza?”

“Namshukuru Mungu nime amka salama”

Shani alizungumza kwa sauti laini huku macho yake yakiwa yame mlegea, ukiwa ni mtego wake wa kumpata Jery ambaye aliweza kumshuhudia jinsi anavyo mshuhulikia mke wake kitandani.

“Vipi leo macho yako yana nini, una umwa?”

Jery alizungumza huku akimshangaa Shani pasipo kujua kwamba ana yafanya macho hayo kwa ajili ya kumlegezea.

“Yana niuma?”

“Ohoo pole sana, hembu sogea hapa, mimi ni dokta”

Shani akamsogelea Jery ambaye yupo kifua wazi. Garden love iliyo jaa kifuani mwa Jery ikazidi kumpagawisha Shani ambaye muda wote alijikuta akitamani kupata kumbatio kama la jana usiku. Jery akaanza kumtazama tazama Shani macho yake huku akiwa ameyafunua moja baada ya jingine. Shani akausogeza mkono wake karibu na jogoo wa Jery na kumgona kidogo huku akijifanya ni bahati mbaya.

“Ohoo samahani”

“Usijali, ila macho yako hayana tatizo lolote mbona.”

“Ila nina hisi yana niuma”

Shani alizungumza kwa sauti ya kudeka kiasi cha kumfanya Jery aanze kuhisi jambo juu ya msichana huyo ambaye kwa kumtazama tu ni mzuri na ana kila sifa ya kusifiwa kama ni mwana mke mzuri. Jery akamtazama kwa dekunde kadhaa Shani, kisha akamvuta karibu yake na kumkumbatia kwa nguvu na kuanza kumsikilizia mapigo yake ya moyo. Jinsi mapigo ya moyo ya Shani yanavyo kwenda kwa kasi kubwa sana, yakamfanya Jery kuweza kutambua kwamba msichana huyo ana hisia kali sana za kimapenzi.

“Shani”

“Bee”


ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

BLOG