Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

AISIIIII.....U KILL ME SEASON 2 SEHEMU YA 7/10

 

 

AISIIIII.....U KILL ME SEASON 2 

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+ 

SEHEMU YA 7 KATI YA 10

 


 

“Ndio”

Wakaanza kupita walinzi baadhi, nikafwatia na mimi, kisha akafwatia raisi Donald, Livna na walinzi wengie wawili wa mwisho. Sote humu tunategemea mwanaga wa tochi wa simu ya Livna. Tukaanza kukimbia kwa haraka kwenye kordo hii kubwa huku kando kando  kukiwa na maduka makubwa ya simu ambayo sihitaji kuyatilia maanani.

“Mke wangu alielekea bafuni kidogo”

“Usijali muheshimiwa raisi tutampata tu. Yanka umesikia hiyo”

“Ndio”

Tuliisikia sauti ya Babyanka kupitia vinasa sauti ambavyo katika watu tulipo hapa tumevaa mimi na Livna tu na hata hawa walinzi wake wamevaa vinasa sauti vyao wanavyo wasiliana na wa watu wao. Tukaanza kushuka ngazi kuelekea chini huku raisi Donald Bush tukiwa tumemuweka katikati.

 

“Winy gari ziandaliwe kwneye magesho ya chini kabisa”

“Sawa”

“Raisi anaondoka na msafara mwingine?”

Mlinzi  mmoja wa raisi aliuliza huku  tukiendelea kushuka kwneye gorofa hii kwa kasi.

“Ndio, akiondoka na usafiri wake shambulizi lilizo pangwa kufanywa hapa ni lazima atashambuliwa kwenye gari”

“U…ume….sema shambulizi binti?”

Raisi Donald Bush aliuliza huku akihema sana kwani kasi tunayo mpeleka unaweza kuifananisha na wana riadha.

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Nani huyo anaye hitaji kufanya shambulizi?”

“Ni Dany muheshimiwa”

 

“DANY…….Mwanaharamu mkubwaa, nitoeni hapa jamani akinikamata ataniua huyu”

“Usijali muheshimiwa upo salama, nitakulinda hadi dakika ya mwisho wa maisha yangu”

“Mke wangu, mke wangu jamani muokoeni”

“Yanka umefanikiwa kumpata mke wa raisi Donald?”

“Ndio tunaeleka naye kwenye maegesho ya magari”

“Muheshimiwa raisi mke wako utamkuta kwenye meegesho ya magari”

“Ila nyinyi ni kina nani, kwa maana mazungumzo yenu munayafanya nyinyi wenyewe?”

Mlinzi mwengine aliuliza 

 

“Sisi ni kikosi maalumu cha dharura alicho kiunda raisi K2”

“Ataunda vipi kikosi maalumu pasipo kushirikisha ofisi yetu?”

“Sisi ndio watu wa pekee tunayo ijua hii nchi, isitoshe muheshimiwa raisi amekuja kipindi ambacho nchi inamtafuta gaidi anaye itwa Dany, ninaimani unamfahamu na kama haumfahamu basi utakuwa umemsikia”

Livna aliendelea kujibu maswali ya hawa walinzi wa karibu wa raisi kiufasaha na laiti kama wangejua Dany mwenyewe nipo karibu yao wala wasinge dhubutu kabisa kunyanyua miguu yao.

“Tunahitaji kudhibitishiwa hilo na muheshimiwa raisi K2”

“Acheni ujinga nyinyi, tupo kwneye hatari nyinyi munataka kudhibitishiwa ili iweje, mule ndani ya lifti si mulikuwa mumechanganyikiwa na mukakosa la kufanya hadi huyu binti  akafika, eheeeeee?”

Raisi Donald Bush  aliuliza kwa kufoka huku akihema sana.

“Ila muheshimiwa raisi ni jukumu letu kukulinda kwa maisha yetu yote”

 

“Mimi ndio raisi wa Mareknani ninaye kupa amri wewe. Msikilizeni huyu binti  anacho kisema kuazia hivi sasa, nina imani kwamba nyote hakuna anye mjua Dany zaidi yagu, na kifupi Dany ni yule aliye isambaratisha kambi ya Al-Shabab, sasa piga picha akikutana na sisi sasa hivi nani atakate pona eheee?”

“Samahani mueshimiwa raisi”

Mlinzi huyu ikambidi kukaa kimya tu kwani ndio hivyo raisi amesha zungumza na ahitaji maoni mengine yoyote kusikia. Tukafika katika mlango wa kutokea nje, wote tukajibanza huku tukitazama nje, nikaona gari mbili tulizo kuja nazo zikiwa kwenye eneo la maegesho.

“Jamani tunatakiwa kuwa makini, hapa ni sehemu ya maegesho hatujui adui yupo wapi, kwa hiyo tunatakiwa kuwa makini sana”

“Sawa”

 

Baada ya Livna kuzungumza hivyo tukaanza kutoka katika eneo hili kuelekea lilipo gari, tukaanza kusikia kishindo cha kwanza cha mmoja wa walinzi wa raisi akianguka chini. Sote tukajibanza kwenye moja ya gari.

“N..nini jamani?”

“Shiiiiii…….”

Livna alimnyamazisha raisi kwani tayari woga umesham mtawala, hata mimi mwenyewe sijui ni kitu gani kinacho endelea. Hatukaa sawa mlinzi mwengine akaanguka chini huku  akitoa ukeleke. Nikataka kushambulia sehemu nilipo muona.

“Dany ni sisi tunakuona tumevaa night vision glass”

Niliisikia sauti ya Winy akizungumza jambo lililo nifanya niwe mpole na kuishusha bastola yangu chini. Kwani huu ni mpango ambao ninaimani Livna ameupanga ili kuwapagawisha raisi Donal Bush. 

“Hei, mumemuona mshambuliaji?”

Mmoja wa walinzi  alizungumza.

 

“Yaa yupo eneo lile”   

Kitendi cha mlinzi hutu kuzungumza hivyo akapigwa risasi ya kichwa na kuangukia miguuni mwa raisi.

“Yesu wangu…….!!”

Raisi Donald alizungumza kwa woga mwingi sana na ubaya wa washambuliaji wa hawa walinzi wamevaa miwani maalumu ambazo zinawafanya waone vizuri kwenye giza totoro. Walinzi walio salia wa raisi Donald wakaanza kuitoa kimaso maso ili kumzuia mshambuliaji. Mimi na Livna tukamshika raisi mikono yake na kuanza kukimbia huku tukiwa tumeinama, kitendo hicho kikawafanya walinzi wa raisi Donald wote kufa kwani tunamfanya Winy kuweza kuwadungua vizuri na bunduki yake haitoi mlio kwani ameifunga kiwambo cha kuzuia risasi hizo. Tukafanikiwa kufika kwenye gari tulilo waambia Winy na timu yake waliandae.

“Tuondoke tuondoke”

Linvna alizungumza na Martin akaliweka sawa gari hili na kuanza kuondoka kwa kasi eneo hili la chini.

 

“Mke wangu jamani?”

“Yupo gari la nyuma muheshimiwa”

Msichana mmoja wa Livna alimujibu raisi Donald aliye ishusha pumzi yake taratibu. Moyoni mwangu nikajikuta nikijawa na furaha kubwa sana ya kushangilia ushindi nilio upata kwa kusaidiwa na hawa wezangu.

“Muheshimiwa ni kitu gani mwilini mwako kinaruhusu satelaiti kukuona”

Livna alizungumza huku akiwa amemtazama raisi.

“Ni…..nina kimoja hapa mkononi”

Raisi Donald alizungumza huku akitetemeka sana. Kwa haraka Livna akaanza kukivua raisi Donald koti lake la suti kisha akakunja mkono wa shati lake hili jeupe.

“Naombeni kisu”

“Unataka kufanyaje!!?”

Raisi Donald alizungumza huku macho yakiwa yamemtoka kwa woga.

 

“Tunahitaji kukitoa hicho kifaa ni lazima Dany na timu yake watakufwata popote uendapo na ukumbuke upo Tanzania na si Marekani na yeye anaijua Tanzania vizuri kuliko unavyo fikiria”

“Sa..a…wa”

Livna akachukau kisu alicho kabidhiwa na mtu wake ambacho kina incha kali sana, pasipo uruma wala wasiwasi akaanza kupasua sehemu raisi Donald aliyo sema. Taratibu akatoa kidude kidogo sana, kilicho akafungua kioo cha gari na kukitupa.

“Una kingine ndani ya mwili wako?”

“Sina labda kiatu cha mguu wa kushoto”

Livna kwa haraa akamvua raisi kiatu hichi cha garama, akakitazama tazama kwa haraka kisha akaanza kuigandua kikanyagio cha soli kwa kutumia kisu hichi, alipo fanikiwa kukifunua, tukaona kifaa kingine kidogo kinacho wawezesha walinzi wa raisi hata wakiwa nchini Marekani kujua kwamba raisi wao yupo eneo gani. Livna akakitupa kifaa hichi na kumrudishia raisi Donald kiatu  chake huku kikiwa hakina kikanyagio cha soli.

“Una kingine?”

“Saa hii”

Raisi Donald akaivua saa yake akamkabidhi raisi.

“Huna kingine?”

“Hapana”

“Mke wako anacho?”

“Ahaa, mkufu alio uvaa”

“Yanka mvueni mke wa raisi mkufu wake na muutupe”

“Poa dakika sifuri”

 

“Ni wa garama sana, dola laki mbili?”

“Una garama kubwa kuliko maisha yako?”

Livna alizungumza kwa msisitizo hukua kimtazama raisi Donald Bush usoni mwake.

“Hapana”

“Acha utupwe na hii saa yako ya garama nayo ninaitupa”

Livna akafungua kioo kidogo na kuvitupa vitu hivi.

“Tunafanya hivi vyote ni kwa ajili yako la sivyo Dany atatuweka kati na akifanikiwa kufanya hivyo, muheshimiwa mziki wake hata mimi ninaujua”

Livn alizidi kuzungumza maneno ya kumtisha raisi Donald Bush juu yangu.

“Tunaelekea wapi?”

“Kwenye nyumba salama kwa muda, na baada ya hapo utaratibu mwengine utafwata”

Uzuri wa gari hizi zina ving’ora vinavyo fanya magari mengine barabarani kupisha njia, jambo linalo warahisishia madereva wetu kuzidi kutoroka. Tukiwa barabarani gafla gari moja jeusi linalo fanana na gari hili likaingia mbele yetu na kuongeza mwendo.

 

“Mkuu ni sisi”

“Sawa”

“Ni kina nani wale?”

“Ni kikosi kinazidi kuimarisha ulinzi”

“Ohooo asante Mungu wangu”

Raisi Donald alizungumza hukua kipiga ishara ya msalaba kwa ajili ya kumshukuru Mungu wake. Gari zote nne zikangia kwenye geti kubwa la jumba la Winy. Tukashuka kwenye magari na kwa haraka raisi Donald Bush na Hawa wakaingizwa ndani ya nyumba hii.

“D”

Livna aliniita baada ya kuniona nimeichoma bastola yangu kwa ajili ya kueekea ndani kuwamaliza maadui zangu. Nikasimama huku nikimtazama usoni mwake, akanisogelea karibu yangu na kunitazama kwa macho makali.

“Akilii, akilii ndio inahitaji usikurupuke, na kama kuwaua utawaua, ila tafuta kitu cha thamani kwao kwanza ndio uwaue”

 

“Sijakuelewa”

“Nenda ndani utaelekewa”

Baada ya Livna kuzungumza maneno hayo, akaondoka na kuanza kuwapa majukumu wasichana wake kuimarisha ulinzi wa hili eneo hili. Nikaanza kutembea kwa haraka huku nikifikiria jambo alilo niambia Livna, nikawakuta raisi Donald Bush na Hawa wakiwa wamekaa sebleni huku Babyanka na Win wakiwa wamewaandalia maji ili kusuuza makoo yao. Raisi Donald taratibu akamsogeza Hawa karibu yake na kumlaza begani mwake.

“Vipi hujapata mstuko wowote tumboni mwako?”

Raisi Donald alizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa mahaba mengi ndani yake.

 

“Hapana mume wangu, ni mstuko tuu, ila nipo sawa”

Nikachukua kiti kimoja na kukiweka mbele ya raisi Donald Bush pamoja na Hawa, taratibu nikaka huku bastoka nikiwa nimeishika vizuri. Nikawatazama kwa dakika kadhaa hadi wao wenyewe wakawa wananishangaa.

“Kijana mbona unatushangaa?”

Raisi Donald Bush alizungumza huku akiupeleka mkono wake wa kulia kwenye tumbo la Hawa na kuanza kulipapasa taratibu taratibu. Nikafungua kifungo cha shati langu, taratibu nikaiinamisha sura yangu chini, nikaanza kuvua sura hii ya bandia hadi ninaimalizia na kuinyanyua sura yangu na kuwatazama raisi Donald na Hawa, wote wakabaki wamenitumbulia macho hata mkao  wa kimahaba walio ukaa ukavurugika kila mtu akakaa jinsi anavyo jua yeye mwenyewe huku mwili wake ukiwa unawatetemeka, kwani yule wanaye muogopa na waliye mkimbia huko walipo toka yupo mbele yao. 



“Da……..” Hawa wala hakumalizia sentensi yake akapoteza fahamu, raisi Donald akataka kumshika mke wake ila alivyo yatupia macho yake kwenye mkono wangu ulio shika bastola akajikuta akishindwa hata kumsogelea. Kwa jabza kubwa ambayo ninayo nikajikuta nikishindwa kabisa kuzungumza, kifua changu kikaanza kutanuka kwa pumzi kali ninayo ivuta na kuitoa nje.

“Nilitee maji ya baridi” Nilizungumza kwa sauti iliyo jaa mikwaruzo mingi inayo tokana na hasira, Winy akafungua friji na kunitolea chupa ya maji kisha akanikabidhi. Nikameza fumba moja la mate kisha nikafungua kifuniko cha chupa hii ya maji. Nikamtazama jinsi Hawa alivyo lalaa, maji yote ndani ya kichupa hichi nikamwagia usoni mwake jambao lililo mfanya akurupuke huku akijifuta futa uso wake. Hawa akanitumbulia macho huku akitetemeka sana, taratibu nikaanza kufunga kifuniko cha hii chupa ya maji kisha nikaitupia pembeni. Hata mlio wa chupa katika kuigusa hii meza ikamfanya raisi Donald Bush kushuka.

“Dany ninakuomba unisameheee” Hawa alizungumza huku machozi yakianza kumwagika usoni mwake. Nikachomoa kiwambo cha sauti kwenye mfuko wangu na taratibu nikaanza kikifunga kwenye mdomo wa bastola yangu. Nilipo hakikisha nimekikaza vizuri nikamnyooshea bastola hii raisi Donald Bush.

“Da…da….ny u….un…a una jua….jua kwa….kwa….” Sikuwahi kumuona raisi Donald Bush kuwa na kigugumizi ila muda huu amekipata na hata maneno anayo yazungumza hakuna hata moja linalo kamilika mdomoni mwake.

“Dany ninakuomba utusamehee, tazama hali yangu. Tumboni nimebeba malaika wa bwa……” Nikamtandika raisi Donald Bush risasi ya paja na kumfanya kutoa ukelele mkali sana. Hawa akazidi kuangua kilio, akataka kunipigia magoti chini ila nikamkatalia kwa ishara.

“Hawa ulifikiria nini?” Nilizidi kuzungumza kwa sauti nzito iliyo jaa mikwaruzo mingi, Hawa akashindwa kabisa kunijubu kwani kilio kimenamfanya hadi matamshi kuhindwa kumtoka na kubaki akichezesha chezesha mdomo wake.

“Nilidhani kwamba huyu mwanaharamu umekuwa naye kwa ajili ya kulipiza kisasi cha baba yako, ila umekwenda kumkumbatia hadi akakupatia mimba kwa nini?” Nilizungumza kwa kufoka huku nikimtazama Hawa usoni mwake. Ujanja wote wa Hawa umemuishia, nikamtandika raisi Donald Bush risasi ya mguu wake wa pili na kumfanya kugaragara kwenye sofa hili kwa maumivi makali hadi akajikuta akianguka chini huku akiendelea kulia kwa uchungu sana.

“Mulihisi kwamba nitakufa. Hawa nilikuamini sana, nilikujali sana iweje unisaliti hadi umuue mtoto wa rafiki yako Yemi, mwanye amekufanyia nini. Je ni wivu wa mapenzi kisa nilikuwa naye eheeee” Nilizungumza huku nikimvamia Hawa karibu yake na kumkaba koo lake kwa mkono wanug wa kulia nilio ukataza ila kwa hasira ambayo nipo nayo mkono unatetemeka. Nikamuachia Hawa koo lake na kumfanya akohoe huku akivuta pumzi kwa haraka sana kwani ningeendelea japo hata dakika mbili ningempotezea maisha yake.

“Niambie ni kitu gani ulikosa kwangu eheee”

Nilizungumza huku nikirudi kwenye kiti nilicho kuwa nimekaa, kabla ya kukaa nikamtazama raisi Donald Bush jinsi anavyo garagara hapa chini, nikamkanyaga kwenye jeraha la risasi mguu wake wa kulia huku nikigandamiza nguvu jambo lililo mfanya raisi huyu kuzidisha kilio.

“Ehee” Nilisikia sauti ya Livna akishangaa anacho kiona. Nikaanza kumkanyaga haraka haraka raisi Donald kwenye jeraha lake huku nikiwa nimeyakaza meno yangu, hadi Livna akanizuida na kunisogeza pembeni.

“Dany hatupo chumba cha adhabu, hapa ni sebleni. Fikiria ni nini cha thamani unaweza kukipata kutoka kwako sawa” “Kipi cha thamani hapo ambacho ninaweza kukipata kutoka kwao zaidi ya uhai wao” “Kufa ni lazima uwaue, ila tazama kuna mali, mamlaka na mambo mengi sana ambayo unatakiwa kuyapata Dany” “Sihitaji hivyo vyote zaidi ya maisha yao” Nikaachana na Livna na kaunza kurudi sehemu walipo Hawa na mume wake, nikamnyanyua raisi Donald Bush na kumkalisha kwenye sofa.

“Wewe mseng** leo utalifahamu jina nililo zaliwa utotoni” Nikamtandika ngumi nzito ya uso iliyo zidi kuzidisha maumivu makali kwa raisi huyu. Mlio wa simu wa Livna ukanifanya kusitisha zoezi zima la kumpiga raisi Donald na kumtazama Livna.

“K2” Livna alizungumza huku akinigeuzia simu yake, nikaon jina la K2, nikataka kunyanyuka na kuipokea simu hiyo ila Livna kwa ishara akanizuia.

“Mzibe mdomo huyo anaye piga makelele” Nikachukua kijimto kidogo na kumshindilia nacho raisi Donald cha mdomo na kukishikilia kuhakikisha kwamba hakichomoi mdomoni mwake na kupiga makelele yake.

“Muheshimiwa raisi?” “Livna raisi wa Marekani haonekani”

Niliweza kuisikia sauti ya K2 kutokana na kuweka loud spoker, nikamtazama Hawa anaye endelea kulia kwa uchungu.

“Walinzi wake je?” “Bado haijajulikana wapo wapi. Hembu wewe na timu yako fwatilieni” “Sawa mkuu” Livma akakata simu na kunitazama usoni mwangu, nikauchomoa mto mdogo kutoka mdomoni mwa raisi Donald Bush.

“Mpumbavu unahisi kwamba nchi yangu itakuacha salama katika hili?” Raisi Donald Bush alizungumza kwa ukali huku akinitazama usoni mwangu. Sikumjibu kitu chochote zaidi ya kumpiga ngumi nyingine iliyo tua mdomoni mwake na kupelekea meno kadhaa kuanguka.

“Dany nakuomba unisamehee kama nitakuafa nife ila ufahamu ukweli” Hawa alizungumza huku akiendelea kulia.

“Ukweli gani ambao unaweza kuniambia?” “HII MIMBA NI YAKO……”

“Kum**k** mseng** wewe unahisi mimi boya wa kudanganyika kirahisi eheeee?” Nilifoka huku nikinyanyuka kwa hasira nikaishika tena shingo ya Hawa na kuanza kuiminya kwa nguvu huku nikimkazia macho usoni mwake.

“Unahisi kwamba mimi ni fala wa kukubaliana na mimba zisizo na msingi wowote kwenye maisha yangu eheee” “Kw…..ee….li…..” Hawa alizungumza kwa sauti ya kukata kata kwani koo lake ninaliminya kisawa sawa.

“Dany ngoja kwanza” Nikaisikia sauti ya Babyanka, nikamuachia Hawa koo lake huku nikisimama mikono yote ikinitetemeka kwa hasira.

“Dany kwa mke wa raisi nakuomba umpatie nafasi ya kuishi” “Babyanka hivi unajua ni mangapi ambayo nimeyapitia eheee?” “Natambua Dany, mimba iwe yayo au isiwe yako, ila ana kiumbe tumboni mwake kipe nafasi ya kuishi kipe nafasi ya kukaa” “Siwezi kuishi maisha ambayo kiumbe chake kije kulipiza kisasi kwa kiumbe chochote ambacho kitabatizwa jina la baba kuwa ni Dany. Nitamuua yeye na kiumbe chake na ikiwezekana nitamfanyia oparesheni hapa watu wote mukishihudia” “Dany tafadhalii sana” Babyanka alizungumza huku machozi yakianza kumlenga lenga usoni mwake.

“Sipo kwa ajili ya kukuvurugia mipango yako, sipo kwa ajili ya kukuzuia kwa kile unacho kifanya. Dany damu ya kiumbe kilichopo tumboni mwake, hakina hatia yoyote, kiumbe hicho hakijafanya makoasa ya wazazi wazazi wake, kipe nafasi amini kile anacho kizungumza huyo dada tafadhali Dany, ninakuomba kama rafiki yako” Babyanka alizungumza huku machozi yakimwagika, kwa hasira ambayo ninayo nikajikuta nikinyanyua kiti nilicho kikalia na kuanza kupiga nacho raisi Donald Bush hadi kikakatika vipande vipande.

“AKHAHAAAAAAAAA” Nilipiga makelele ya hasira, uchungu ninao usikia kwenye moyo wangu hauna maelezo, kumbukumbu za wanajeshi zaidi ya laki mbili na nusu nilio kuwa ninawaongoza, pumzi zao zimetolewa na amri ya mjinga huyu. Nikamtazama raisi Donald Bush nikaona jinsi anavyo mwagikwa na damu usoni mwake.

Nikamshika mkono na kuanza kuburuta kuelekea nje.

“Mlindeni huyo malaya” Nilimuambia Babyanka huku nikimtazama usoni mwake. Livna akaanza kunifwata nyuma. Marrtin na wezake wanao imarisha ulinzi huku nje walipo niona wakabaki wakiwa wamenikodolea macho ya kunishangaa.

“Mkuu” “Pisha njia” Nilimfokea Martin na akatii amri yangu, nikaendelea kumburuza raisi Donald hadi kwenye chumba ambacho Martin na Winy walimchinja mkuu wa polisi.

“Shiii ni nini hichi Dany?” Livna aliniuliza huku akiziba pua yake kwani mwili wa mkuu wa polisi umesha anza kuoza.

“Huyo ni malaya wa K2” Nilizungumza huku nikimsukumia raisi Donald Bush pembeni ya maiti ya mkuu wa polisi.

“Nani aliye ifanya hii kazi?” “Martin” “Ana roho mbaya kama hii?” “Tuachane na hayo, ninahitaji Wamarekani wafahamu mimi ni nani na wajua wanadili na mtu wa aina gani sawa” Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Livna usoni mwake, japo kuna harufu mbaya ya uozo, ila kusema kweli siisikii kabisa wala kuihisi puani mwangu.

“Unataka mimi nifanye nini?” “Simu yako si inachukua kamera vizuri?” “Ndio” “Nirekodi nikimchinja huyu malaya tena ninaanza kumkata mb**o yake” “Dany are you serious?” “Unahisi ninacheza au?” Nilifoka huku nikichukua kisu kikubwa kilicho ganda damu, kilicho tupwa pembeni ya mwili wa mkuu huyu wa polisi. Nikaanza kufungua mkanda wa suruali wa raisi Donald Bush.

“Toa simu yako unirekodi unashangaa nini?” “Sawa sawa” Livna alizungumza huku akionekana kama haamini kama hichi ninacho taka kukifanya kitafanikiwa au laa. Nikaivua suruali ya raisi Donald Bush nikaimalizai nguo yake ya ndani, nikamtazama jinsi anavyo hema kwa tabu hapo chini.

“Nilimuamini sana huyu mseng**”

Nilizungumza huku nikiipiga piga mb**o yake kwa kiatu changu cha mguu wa kulia.

“Shusha kamera huku chini watu waone ninavyo toa kikojoleo cha huyu malaya” Nikachuchumaa huku nikimtazama raisi Donald Bush usoni mwake, nikaishika mb**o yake na kuanza kuitingisha tingisha.

“Simamisha basi, si unajua kuwapa mimba mademu za watu ehee” “Dany kweli unawe…….”

Hata kabla Livna hajamalizia sentensi yake, nikaikata mb**o ya raisi Donald na kusababisha damu nyingi kunirukia usoni mwangu.

“Woooooooooooo” Nilizungumza huku nikisimama na kuanza kuzunguka ndani ya chumba hichi huku nikishangilia kwa furaha sana. Kazi ya Livna ni kuhakikisha kwamba anarekodi kila kitu ninacho kifanya.

“America, muliwaua wanajeshi wangu. Muliwaangamiza pasipo huruma, muliwachukua mateka na kuwaua wengine pasipo huruma na hichi ndio ninacho kifanya kwa raisi wenu.

Nilizungumza huku nikiwa nimeisogelea simu ya Livna, nikaanza kuionyesha mb**o ya raisi huyu kwenye kamera hii.

“Na…..kufa….fa” “Kufa kum** mak**” Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa. Nikamnyanyua raisi Donald Bush na kumpigisha magoti. Nikakishika kichwa chake huku nikiwa nimesimama nyuma yake. Kumbukumbu ya familia yangu kuchinjwa ikanijia kichwani mwangu, woga wa kulifanya hili ninalo lifanya hivi sasa ukaniishia kabisa na kujikuta nikianza kukipitisha kisu hichi kwa nguvu kwenye shingo ya raisi Donald Bush, japo ni jambo gumu kulifanya ila nikazidi kujipa ujasiri wa kuendelea kukata kwa nguvu kichwa chake ili kuhakikisha kwamba ninakitenganisha na kiwili wili cha kichwa chake. Hadi ninamaliza kukitengenisha kichwa hichi nikamkuta Livna akiwa ameyafumba macho kwa woga.

“Hei” Niliita huku nikijipangusa damu zilizo jaa usoni mwangu, nikakishika kichwa cha raisi huyu huku nikishisha pumzi nyingi.

“Jesus Christ Dany!!” Livna alizungumza baada ya kuniona nimekinyanyua kichwa cha raisi Donald Bush juu.

“Kuanzia hivi sasa jina langu limeingia kwenye historia ya dunia kwa kumuua raisi wa taifa kubwa na kumchija kama kukua. Kizazi na vizazi vitanikumbuka jina langu kama munavyo mkumbuka Osama Bin Laden. Jina langu ninaitwa DANY, DANY LEONDARD”

Baada ya kuzungumza maneno hayo nikakishusha chini kichwa cha raisi Donald Bush ambaye kwa sasa ni marehemu tayari.

“Zima kamera yako kazi imeisha” Livna akafanya kama nilivyo muagiza huku akinitazama usoni mwangu kwa wasiwasi mwingi.

“Usiogope mtoto wa kike” “Dany sijawahi kushuhudia hichi ulicho kifanya leo, naogopa Dany” “Usiogope mpenzi, njoo hapa” “Ahahaa, sihitaji mijidamu hiyo”

Nikatabasamu, nikaokota mb**o ya raisi Donald kisha nikaanza kutoka humu ndani huku nikiwa nimeshika viongo vyake vyote viwili, watu wote walio niona wakabaki wakiwa wameshangaa, nikaingia sebleni na kumkuta Babyanka akiwa anazungumza na Hawa, walipo niona nimejawa damu wote wakabaki wameshtuka, ila hakuna aliye ona kwani vitu hivyo nimeficha kwa kuirudisha mikono yangu nyuma. Hawa akaanza kulia tena baada ya kuniona ninamsogelea, nikasimama mbele yake kisha nikamrushia kichwa cha mume wake pamoja na mb**o yake vikatua kwenye mapaja yake jambo lililo mfanya Hawa kupiga ukunga mkubwa hata Babyanka aliye kaa pembeni yake akakurupuka kwa kuogopa sana kuona viungo hivi.



“Dany”

Babyanka alizungumza huku macho yakiwa yamemtoka, mwili mzima ukimtetemeka.

“Rudi hapa”

Nilizungumza kwa ukali huku nikimtazama Hawa usoni mwake. Hawa akaanza kutingisha kichwa huku naye mwili mzima ukimtetemeka.

“Nimesema njioo” Niliendelea kuzungumza kwa hasira, nikamsogelea Hawa na kumshika mkono wake.

“Nahitaji chumba” Nilizungumza huku nikimtazama Winy usoni mwake, akanielekeza gorofani, kwa haraka nikaanza kumvuta Hawa na kuwaacha watu wote wakiwa wanashangaa. Tukapandisha gorofani, nikafungua mlango wa chumba cha kwanza nilicho kikuta. Chumba hichi kina kitanda kikubwa pamoja na sofa moja na friji ndogo. Nikamsukuma Hawa kitandani huku nikimtazama kwa macho makali.

“Malaya wako nimesha muua, sasa niambie ukweli hii mimba ni ya nani?” “Ya…..aa…..” “SEMAAAA, Yaa…..yaa nini eheee?” “Yako….ni yako Dany” “Una uhakika?” “Ndio Dany, siku ile tu…livyo fanya pale, kule kambini uliniacha na ujauzito” Nikatabasamu kidogo kisha taratibu nikaanza kuvua nguo zangu, nikapanda kitandani. Hawa akaanza kurudi nyuma huku akiendelea kuniogopa.

“Huwa ninasikia kum** ya mwanamke mjamzito ni ya motoo, sasa nataka kuonja” “Da…daany nakuomba…u…..”

“Nini” Nikalishika gauni la Hawa na kuanza ulichana kwa nguvu, japo Hawa ana wasiwasi mwingi ila sikuhitaji kulijali hilo, nilipo fanikiwa kulichana gauni lake, nikanza kunyaminya minya maziwa yake huku nikiendelea kumtazama usoni mwake.

“Dany haki ya Mungu unacho kifanya sio haki jamani” Hawa alizungumza huku akilia kwa uchungu.

“Haki unaijua leo, usiniletee ujinga mpumbavu wewe” Niliendelea kuzungumza kwa kufoka huku nikiendelea kuyatomasa maziwa ya Hawa. Nikaichana skintait aliyo ivaa na akabakiwa na nguo ya bikini tu.

“Waoooo mke wa raisi ladha yako itakuwa ni tofauti eheee?” Niliendelea kuzungumza maneno ya kejeli ambayo ninaimani kwamba yanaendelea kumuudhi Hawa ambaye kwa sasa hana uwezo wa kufanya chochote hii nikutona na ujauzito wake pamoja na hali kugopa kwake. Nikamshika jogoo wangu aliye simama vizuri kisha taartibu nikaanza kumuingiza kwenye kitumbua chake. Hawa akayafumba macho yake huku akiendelea kulia kwa masikitiko makubwa.

“Ninaula utamu wako vyamwisho mwisho ili hata nikikuua basi nitakuwa nimesha kufaidi” Nikaanza kuongeza kasi ya kula kitumbua cha Hawa aliye anza kubadilisha kilio chake kutoka katika uchungu hadi raha.

“Dany taratibu mwenzio nina kiumbe”

Hawa alizungumza huku macho yakimlegea.

“Niambie mtoto ni wa nani?” “Wa kwako Dany, haki ya Mungu ni wa kwako” “Mume wako alikuwa anajua kwamba hii mimba ni ya kwangu?” “Hapana” “Kwa hiyo hata mimi unanidanganya si ndio?” “Sikudanganyi Dany” Tuliendelea kuzungumza huku tukipeana utamu. Hawa akafika kileleni zaidi ya mara tatu, nami nikajikuta nikimaliza huku jasho lililo changanyikana na damu likimdondokea Hawa usoni mwake.

“Dany” “Mmmmm” “Utaniua mimi na mwanao?” Nikakaa kimya huku nikimtazama Hawa usoni mwake kwani ameniuliza kwa sauti ya unyonge sana. Nikashuka kitandani na taratibu nikaanza kuelekea bafuni huku msongamano wa mawazo ukiwa umenijaa kichwani mwangu. Kumbukumbu za msaada alio niwezesha Hawa hadi kuamua kumuua baba yake zikaanza kunitawala kichwani mwangu. Nikafungua bomba la maji ya mvua, yaliyo anza kunimwagika mwilini mwangu. Hawa akaingia baduni humu, akafunga mlango na kuaegemea taratibu.

“Dany kwa nini hukunisikiliza?” “Nikusikilize katika lipi?”

“Usinge muua Donald” “Hivi unaakili kweli, kukaa kwangu kimya usihisi kwamba nimekusamehe na wewe. Kufa kwako kupo pale pale” “Kufa nipo tayari ila ninakuomba nikuzalie huyu mtoto tu, nitakuwa tayari kufa” “Inabidi kumpima huyo mtoto DNA “ “Nipo tayri akizaliwa na kukuta kwamba sio damu yako nipo tayari uniue kwa kunichinja kama ulivyo fanya kwa Donald” “Hivi mulianzaje anzaje kunisaliti wewe na huyo malaya mwenzako?” “Wewe ndio ulianza kunisaliti Dany, ulitambua kabisa ni jinsi gani nilikuwa ninakupenda. Ukaona njia ya rahisi kuikamilisha kazi yako ni kunisaliti na kutembea na Yemi. Nililia sana zaidi ya siku mbili Dany, yaani nilotoka kwenye maisha ambayo nilipoteza kila kitu kwenye maisha yangu na wewe ndio mtu wa pekee ambaye nilikuwa nimebakiwa na ulikuwa na thamani kubwa sana ila ukaamua kunisaliti ni kwa nini na wewe ulifanya vile?” Hawa alizungumza huku akianza kutokwa na machozi. “Kitu kilicho kuja kunichanganya zaidi ni pale nilipo jigundua kwamba nina ujauzito wako, ili mwanangu aje kuishi maisha mazuri niliamua kuwa kimahusiana na raisi Donald Bush kwani wewe tayari ulisha ungana na Boko haramu”

Kitu alicho kizungumza Hawa nikajikuta kikiniingia akilini mwangu taratibu nikamsogelea na kusogeza karibu yangu, nikamkumbatia huku nikimbembeleza taartibu. “Hawa” “Beee” “Sijui kama ninaweza kumuona mwanangu, sidhani kama dunia hususani Marekani itaniacha hai kwa hili nililo lifanya. Kama kweli ni damu yangu ninakuomba umtunze na asije kuwa kama mimi baba yake niliye ishia kwa kulipiza vissai kwenye maisha yangu yoye.”

“Utamlea mume wangu” “Sina sifa ya kuitwa mume, Hawa kwa sasa sihitaji mahusiano na mwanamke wa aina yoyote. Ulipoteza familia yako kwa ajili yangu, sihitaji upoteze hichi kiumbe kwa ajili yangu” Nikamuachia hawa taartibu na kurudi lilipo bomba, tukaanza kuuga kwa pamoja tulipo maliza tukatoka humu bafuni. “Dany” “Ndio” “Tutavaa nini?”

Hawa alizungumza hukua akinionyesha nguo zetu, ngup zangu zimejaa damu huku gauni lake nikiwa nimelichana. Nikachukau nguo yangu ya ndani na kuvaa.

“Ngoja nikakutafutie nguo”

Nikatoka chumbani humu na kuanza kushusha ngazi za kueleka chini, nikawakuta Livna, Winy, Babyanka na Martin wakiwa wamekaa haa sebleni. Kila mmoja alipo niona akaonekana kushangaa uvaaji wangu.

“Kuna mpya?” “Hakuna mpya zaidi ya K2 kunipigia simu kuniuliza kama nimefanikiwa kumpata raisi Donald” “Winy wifi yako unaweza kumsaidia nguo” “Wifi…..!!?” “Unashangaa nini sasa” “Kushangaa ni lazima kwa maana ni lisaa tu limepita ulikuwa unamzaba makofi huyo unaye muita wifi” “Yamepita ninakuomba ukamsaidie nguo. Na kama inawezekana na mimi ninaombeni nguo” “Sawa zipo huku juu” Winy alizungumza huku akiondoka sebleni hapa.

“Mkuu ni niini kinacho fwata?” “Kwa sasa nina imani kwamba K2 yupo kwenye hali ya wasiwasi mwingi, na huu ndio wakati wetu kuhakikisha kwamba tunampata” “Kwa leo itakuwa ni ngumu?” “Kwa nini?” “Dany hivi kwa hili ambalo umelifanya unahisi kwamba Wamarekanai watakuwa wamelela. Yaani hivi sasa Dar nzima naihisi imejaa wapelelezi wa Kimarekani, NSS yenu yaani kila kikosi cha ulinzi kinaingia kwenye harakati za kumtafutua raisi Donald na mke wake” “Ile ume ipost kwenye mitandao ya kijamii?” “Bado” “Unasubiria nini?” “Hukuniruhusu, na hata ukiniruhusu siwezi kuipost hii kwa maana kuna sauti yangu imesikika humo, utanihatarishia maisha yangu ikiwa mimi sio muhusika sana kwa kifo chake” “Ila tumeshirikiana kumteka si ndio?” “Hata kama, acha kwanza tuangalie hali halisi tukiwa wajinga sote tutakufa pasipo kukamilisha lengo la huu umoja wetu” “Ila alicho kizungumza Livna ni kweli mkuu inabidi kutulia kwanza hili tulilo lifanya ni kubwa sana kwa maana ni pigo kwa dunia na sin chi ya Marekani pekee” Babyanka naye akashauri, nikamtazama Martin naye akatingisha kichwa kukubaliana na ushari nilio pewa.

“Sawa bila nyinyi mimi leo nisinge kamilisha hili nililo lifanya leo” “Hayo ndio maneno. Ehee vipi huyo mke wa raisi?” “Nimempa nafasi ya kujifungua mtoto wake kwa maana anadai kwamba ni mtoto wangu” “Katika vitu ambayo Dany nimekupa asilimia mia ya mia ni katika hilo “ Babyanka alizungumza huku akiwa amejawa na furaha.

“Dany hembu angalia hizi nguo zitakutosha?” Winy aizungumza hukua kinikabidhi suruali na tisheti, nikaanza kuvivaa taratibu na kwa bahati nzuri vikanienea mwilini mwangu.

“Shukrani” “Inabidi mimi nitoke nikaangalie hali halisi inayo endelea huko nje” Livna alizungumza huku akitutazama.

“Si inaweza kuwa hatari kama wakigundua kwamba wewe ndio ulihisika katika kumteka raisi Donald?” Martin alizungumza huku akimtazama Livna usoni mwake.

“Hawawezi, kuna timu yangu nyingine ambayo inanilinda na si rahisi kwao kuacha ushaidi wa aina yoyoyte ambao unaonyesha mimi au sisi tumehusika katika hili” “Sawa kama kuna salama” “Pia kitu kingine nitatafuta sehemu nyingine ambayo itakuwa ni nzuri kwa sisi kuweza kujificha khadi hii hali itakapo tulia” “Kicha cha yule fala na mbo** yake vipo wapi?” “Tumevihifadhi?” “Tumtumie K2 au munasemaje?” “Dany acha papara, tumekulaliana kuangalia hali halisi ambayo inaendelea huko nje, sasa maswala ya kumtumia K2 hicho kichwa na mbo** ya raisi mwenzake nakuhakikishia utakamatwa, wewe tulizana kwanza sawa” Livna alizungumza kwa msisitizo sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Sawa mkuu” “Nitawaacha wasichana wangu wawili hapa ninaondoka na wengine, ninawaomba huduma zote muwapatie” “Hilo halina shaka, tutegeeme utarudi muda gani?” “Usiku kuanzia saa tano ila nitawapatia habari ya kila kitu kinacho endelea” “Inabidi ni kupatie namba yangu” Winy alizungumza huku akimtazama Livna usoni mwake

“Sawa” Winya kamtajia Livna namba yake ya simu kisha Livna akampigia Winy.

“Ndio hii inayo ishia na nane nane” “Ndio, ila usinipigie hadi mimi nikupigie” “Sawa”

Livna akaondoka na vijana wake huku akiondoka na gari moja tulilo kuja nalo. Winy na wezake wakaanza kuandaa chakula. “Mkuu” Martin aliniita kwa sauti ya chini huku akinisogelea karibu yangu.

“Ndio” “Ninataka kumla Winy” “Mmmmm” “Yaaa nimesha rekebisha mambo yapo poa?” “Sawa kama ni hivyo, mimi ngoja nikamtazame huyo bibie huko juu” “Sawa”

Nikanyanyuka kwenye sofa nililo na kuanza kuapndisha gorofani, nikaingia kwenye chumba nilicho muacha Hawa, nikamkuta akiwamalizia kuvaa nguo.

“Muda wote ulikuwa unavaa?” Nilizungumza huku nikisimama nyuma ya Hawa na mikono yangu nikaipitisha kiunoni mwake na kushika tumboni mwake.

“Yaaa sina hata hamu ya kutoka huko nje” “Kwa nini, au bado unaniogopa?” “Hapana sikuogopi ila nina wasiwasi na wewe na hichi kiumbe” “Wasi wasi wa nani kwa manaa hata leo nikikamatwa wewe wala huto guswa na utaokolewa kama mke wa raisi” “Mmmmm ila kumbuka wewe ndio baba” “Ya……” Sikumalizia senyensi yangu nikaanza kusikia mlio wa helicopter kwa haraka nikamuachia Hawa na kukimbilia dirishani, nikafungua pazia taratibu nikaona helicopter ya jeshi la kimarekani ikishusha wanajeshi wanao tumia kwene nyumba ya tatu kutoka hapa tulipo jambo lililo niogopesha sana kwani kama wameshuka kwenye nyumba ya tatu kutoka tulipo basi kutufikia sisi hapa ni haraka sana jambo ambalo ni hatari sana kwangu na watu wanao nisaidia mimi.



“Ni kina nani?” Hawa aliuliza huku akikimbilia sehemu nilipo naye akionekana kujawa na wasiwasi mwingi sana.

“Ni wanajeshi wa kimarekani.” “Mungu wangu wamejuaje kama tupo hapa?” “Tulia kaa hapo ulipo na usichungulie nje sawa” “Sawa” Nikatoka kwa haraka, nikamkuta Martin naye akipandisha ngazi akionekana kuwa na wasiwasi mwingi sana.

“Mkuu wanajeshi wamekuja?” “Nimewaona” Nilizungumza huku tukishuka kwenye ngazi hizi kwa haraka sana. Tukawakuta Babyanka na wezake wakiwa sebleni huku kila mmoja ameshika silaha yake.

“Jamani kuna njia ya chini kwa chini ambayo tunaweza kutoroka katika hili eneo.”

Winy alizungumza huku akitutazama usoni mwetu.

“Tuonyeshe kwa haraka tuweze kuondoka na Winy wasiliana na Livna umuelezee hali halisi inayo endelea hapa sawa” “Sawa kaka” Winy alizungumza huku akichomoa simu yake mfukoni mwake na kuanza kuminya minya. Nikatoka nje na kuwakuta walinzi wa Livna wakiwa wamejificha kwenye maua yaliyopo humu ndani. Kwa ishara wakaniomba nirudi ndani, nikafanya hivi kwa maana sifahamu ni kitu gani walicho kiona hadi wakaniomba nirudi ndani. Nikarudi sebleni Martin akanikabidhi bastola mbili pamoja na magazine nne.

“Njia ipo katika chumba hichi”

Winy alizungumza huku akinyooshea mkono wake kwenye moja ya chumba.

“Wastue hao wasichana huko nje sawa” “Pao” Nikaanza kupandisha ngazi kwenda juu, nikaingia kwenye chumba na kumkuta Hawa akiwa amejibanza kwenye ukuta pembeni ya dirisha.

“Wanakuja huku” Hawa alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Twende huku” Tukatoka chumbani humu na kuanza kushuka ngazi hizi kwa kasi sana, tukafanikiwa kufika sebleni.

“Livna amesemaje?” “Amesema tutaonana katika sehemu ambayo tutatokea” “Ni mbali na hapa?” “Ndio” “Poa, tangulieni na Hawa” Nilizungumza, kwa haraka watu wote wakaelekea katika eneo la mlango wa chumba hicho huku walinzi wa Livna nao wakiwa ni miongoni mwao. Nikaifunga milango ya mbele ya hii nyumba kwa kutumia fungo zake, kishindo kikali nikakisikia kwenye geti ikionyesha mambo yamesha haribika.

“Mkuu twende?”

Martin alizungumza kwa sauti ya juu huku akiwa amesimama mlangoni. “Kichwa cha Donald kipo wapi?”

“Kipo kwenye begi, Winy ametangulia nacho” Kwa kupipitia dirishani nikaona wanajeshi wa Marekani wakiingia kwa umakini huku wameshika bunduki zao. Nikakimbilia hadi kwenye mlango wa kuingilia katika chumba hichi. Tukasaidiana na Martin katika kuufunga mlango huu ambao ni mtizo kutokana na kutengezwa na chumba. Tukaanza kushuka kwa haraka kwenye ngazi zinazo enelea chini, tukawakuta Babyanka na wezake wakitubiria. Winy akaminya moja ya batani kubwa ya rangi ya kijani iliyopo ukutani na sehemu hii ya kuingilia ndani ikajifunga kwa ndani. Kisha kwa haraka akaminya batani nyekundu, mtetemeko mkubwa ukatokea hadi sisi tukajikuta tukianguka chini.

“Ni nini hicho?” Niliuliza huku mapigo ya moyo yakinienda kasi sana.

“Nimeilipua nyumba yangu, na nilikuwa nimeitega mabomo kwa hiyo hapo walipo ndani wote wamekufa” Sote tukabaki tumemtazama Winy kwani hichi kitu alicho kifanya kusema kweli ni kitu cha ujasiri mkubwa sana.

“Tuondokeni” Winy alizungumza, tukaanza kumfwata Winy kwa nyuma kwa uzuri ndani ya hii njia ya chini kuna taa ndogo ambazo zinatusaidia kuweza kuona tunapo elekea.

“Jamani taratibu mwenzenu nimechoka” Hawa alizungumza huku akiinama taratibu. Ikatulazima wote kusimama, nikamsogelea Hawa, na mimi kuinama.

“Unajisikiaje?” “Hapa kunauma” “Pole, jikaze tuondoke” “Sawa mume wangu”

Hawa alizungumza kiuvivu huku taratibu akinyanyuka. Tukazidi kusonga mbele huku Winy akiwa ni kiongozi wa sehemu tunapo elekea. Tukajikuta masaa mawili yakikatika na kufika katika sehemu ya kutokea.

“Katazame juu” Nilimuambia Martin, kwa haraka akapandisha ngazi za zilizopo katika hii sehemu, akachungulia kwa muda huku kiwili wili chake kikiwa ndani.

“Vipi?” “Kupo salama” “Inabidi tusubirie hapa hadi Livna atakapo fika” “Unaweza kuwasiliana naye?” “Naona simu yangu haishiki mtandao” Winy alizungumza huku akiinyoosha nyoosha simu yake juu.

“Hapa ni hadi utokee huko juu” Babyanka naye alizungumze.

“Ilete” Martin alizungumza huku akichungulia humu ndani, Winy akapanda kangazi kadhaa na kumkabidhi simu.

“Hembu ngojeni kwaza” Msichana mmoja wa Livna alizungumza huku akitutazama.

“Mkuu hakuacha maagizo yoyote juu ya mawasiliano kati yenu na yake?” “Aliicha” “Basi ngojeni kwanza yeye mwenyewe anajua nini cha kufanya” “Alafu ni kweli, mawasiliano yetu yanaweza kunaswa isitoshe sasa hivi mitandao ya simu itakuwa makini sana kwa kila simu zinazo ingia na kutoka katika mitandoa yao” Babyanka alizungumza.

“Basi inabidi kuimarisha ulinzi huko nje. Martin mazingira yapo vipi?” “Ni pori lenye miti mingi” “Kuna dalili yoyote ya kuwepo na mtu?” “Labda hadi nitoke ndio nitazame” “Hembu chunguza hilo eneo kwa dakika tano, zikizidi zaidi ya hizo tutatoka kukupa msaada” “Sawa mkuu” “Nitaongozana naye” Msichana mmoja wa Livna alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikatingisha kichwa ikiwa ni ishara ya kumkubalia. Binti huyu kwa haraka akapandisha ngazi hizi za chuma zinazo elekea juu.

“Erick” Babyanka aliniita huku akisogea pembeni na kujitenga nasi, nikamfwata taratibu huku nikimtazama usoni mwake.

“Unajua hatujawasiliana na waziri mkuu?” “Ahaaa nimesahau kabisa, ila kwa hizi ngija ngija zilizo tokea kusahau ni lazima” “Yaa kama itawezekana kule ndio kutakuwa sehemu sahihi ya sisi kuweza kijificha tukiacha hali hii ya hatari ipungue” “Njia si unaikumbuka?” “Ramani yake ninayo niliitunza” Babyanka alizungumza huku akitoa kataratsi mfukoni mwake, akanikabidhi, nikaanza kuitazama vizuri na kukumbuka njia ambayo waziri mkuu aliweza kutochorea.

“Lucy mwanaye sijui itakuwaje?” “Na tukienda pale pasipo mwanye anaweza hata atusipokee” “Kuna mtu ndani ya NSS, ninamuamini sana ninaimani kwamba anaweza kutusaidia” “Unamuamini sana?” “Ndio” “Basi unaweza kufanya naye mawasiliano” Kabla hata dakika tano hazijafika, Martina akaingia ndani sehemu tulipo.

“Tunaweza kutoka eneo lipo salama na Livna amesha fika” Kidogo nikajikuta nikipata amani ya moyo wangu, kwa haraka nikaanza kupandisha kwenye hizi ngazi nikachungulia kwa nje, nikaoga gari mbili nyeusi zikiwa zimesimama huku Livna akiwa anazungumza na wasichana wake. Nikatoka na kuanza kutembea kuelekea walipo simama.

“Dany pole sana kwa kurupushani zilizo tokea” “Asante aisee vipi lakini?” “Ahaaa umekuwa lulu mwanangu” “Lulu kivipi?” “Yaani wamarekani wametoa dau la dola milioni mia moja kwa yoyote atakaye fanikisha kukamatwa kwako, Yaani huko kote unapo pita ni Dany, Dany. Yaani umekuwa maarudu kwa masaa machache mshkaji wangu” “Mmmmm”

“Yaani Osama mwenyewe hajatafutwa hivi khaaa?” Maneno ya Livna kwa namna moja ama nyingine yananipa wasiwasi mwingi.

“Yaani laiti ningekuwa ni mtu wa tamaa ningekuuza rafiki yangu ila lengo letu ni moja, hapa ndio nilikuwa ninawaweka sawa vijana wangu kwamba yoyote atakaye jihisi kwamba ana tamaa ya pesa, basi tamaa yake hiyo iishie moyoni mwake na asiitoe nje ya moyo wake kwani tunaweza kumuua muda wowote na popote atakapo kwenda Duniani lazima tutampata” “Shukrani” “Ingieni kwenye magari jamani, kwa sasa Dany hutakiwi kuishi kabisa kwenye ardhi” “Una maanisha nini?” “Twende nitajua ni wapi kwa kukupeleka” Livna alizungumza, nikaingia naye kwenye gari moja. Taratibu safari ikaanza ya kuondoka katika eneo hili.

“Hivi wanajeshi wa kimarekani walijuaje kama nipo pale?” “Wamarekani wana mitandao mingi ya kumtafuta mtu, hususani kwa kupotelewa na raisi wao, kwa hilo lisikushangaze sana” “Wametambua kwamba sisi ndio tulihusika katika kutekwa kwa raisi wao?” “Hapana ila wanatutilia mashaka tu hii ni kutokana na rekodi kubwa ya kigaidi ambayo unayo”

“Mungu wangu” “Usiogope Dany, huwa sipendi kubadilika badilika kama kinyonga, nimekuahidhi kukusaidia na nitakusaidia hadi dakika ya mwisho katila hili” “Shukrani Livna kwa maneno yako ambayo unayazugumza” Safari nzima ndani ya hili pori, akilini mwangu ninawaza kuhusiana na jinsi gani maisha yangu kwa sasa yalivyo magumu sana, taratibu nikajukuta nikijilaumu kumuacha hai kwanza K2 na kushuhulika na raisi wa Marekani.

“Dany” “Naam” “Usiwaze sana” “Kuwaza nilazima rafiki yangu”

“Kwa sasa dunia inakutamua kama gaidi. Itabidi kuishi kigaidi gaidi na si kuishi kwa kufikiria kulipiza kisasi” “Daaa yaani ninayakumbuka maisha ya nyuma sana, ya Mariam na mama yake” “Duuu hivi huyo msichana yupo?” “Sijui kwa kweli?” “Mariammmmm lilikuwa tawi zuri la K2 na masiki ya Mungu alijikuta akiiua famili yako pasipo kufahamu kwamba ni familia yako” “Yaa silaumu sana kwa hilo kwani lilikuwa ni jukumu la kazi yake” “Yaa pia alifanya kwa kushinikizwa, mama yake aliwekwa kizuizini. Mara ya mwisho nilisikia kwamba yupo Somalia sijuia atakuwepo hadi sasa?” “Hapana nilikitana naye hapo katikati kipindi ninamkimbia baba Hawa, baada ya hapo aliondoka na mume wake” “Ahaaa ameolewa?” “Yaa ameolewa” “Mungu amsaidie kwenye maisha yake nina imani kwamba atakuwa anajutia maisha haya tunayo ishi sasa” “Ni kweli, natamani hata itokee ndoto, miaka irudi nyuma. Na niishi yale maisha ya nyumba za kapanga kama vile nilivyokuwa ninaishi kwa mama Mariam”” “Ahaaa hilo jambo haliwezekani rafiki yangu, kikubwa ni kupambana hadi mwisho wa mwisho wa maisha yako” “Nikimua K2 ninajisalimisha mikononi mwa serikali” “Acha ufala wewe, ukimuua K2 tafute sehemu ukaishi na Hawa wako, leeni mtoto wenu mambo yatakuwa yameishi kiaina hiyo. Ila usiniambie kwamba utajisalimisha kwenye serikali ambazo hazijui ukweli wa mambo kwamba hao wanao waamrisha kufanya hivyo ndio magaidi namba moja” Nikaka kimya huku nikimtazam Livna usoni mwake. Gari hizi zikafika mwisho wa msitu huu na kusimama, mbele kuna ufukwe mkubwa wa bahari.

“Majira ya saa mbili usiku kuna boti yangu itafika hapa itatuchukua hadi yalipo makao mkuu yangu” “Sawa sawa” “Nina imani kwamba siku zote ulikuwa unatamani sana kuweza kuyaona makao makuu yangu” “Huko kwenye meli yako” “Ndio, ila watu wako tutawafunga vitambaa vyeusi kwenye macho yao nisingependa wafahamu ni wapi wanaelekea” “Sawa hilo kwangu halina shaka” “Sawa, ila Dany kumbuka kwamba ninakuhitaji uishi kama gaidi, na niataka kukufanya uwe GAIDI mkubwa zaidi ya magaidi ambao walisha wahi kutokea duniani hapa, si Osama, si nani ila kwa sasa dunia nzima inakwenda kusikia jina la DANYYYY, na hata ukihitaji tuipike Marekani uwezo huo tunaoa na utaweza kuipiga nchi hiyo na yoyote itakayo jaribu kukusogelea ikiwemo Tanzania” Livna alizungumza kwa msisitizo mkubwa sana huku akinitazama usoni mwangu, nikabaki nikiwa ninamshangaa kwani maneno anayo yazungumza hata siku moja sikuwahi kuyafikiria kichwani mwangu kwani kichwa changu hadi sasa kimetawaliwa na mtu mmoja ambaye ni K2 adui tunaye sakana miaka nenda rudi.



Tukazidi kusubiri masaa yazidi kusonga mbele huku wasichana wa Livna wakizidi kuimarisha ulinzi katika eneo hili. Marija ya saa mbili usiku kama alivyo zungumza Livna, boti moja ikafika katika fukwe hizi, wasichana wawili walio tokea kwenye boti wakafika hadi sehemu tulipo. Livna akaniomba tushuke kwenye gari. Nikashuka kwenye gari huku nikiwa makini sana, Livna akanitambulisha kwa wasichana hawa, kisha sote tukaingia kwenye boti hii.

“Haya magri” “Tunayeteketeza” Livna alizungumza huku akitoa rimoti ndogo kwenye mfuko wake. Akaminya batani nyekundu gari hizi zikalipuka huku nasi tukiondoka eneo hili na kuzidi kutokomea baharini. Martin na wezake wote wakaanza kufungwa vitambaa vyeusi kwenye macho yao.

“Dany” Livna aliniita huku nikiwatazama jinsi wezangu wanavyo fungwa vitambaa vyeusi na wasichana hawa walio kuja kutuchukua.

“Naam” “Njoo” Tukatoka eneo hili na kupanda juu kabisa ya boti hii, na kuanza kutazama jinsi maji haya ya bahari yanavyo changuka kila tunapo pita kwenye hii bahari.

“Kwenye maisha yangu huwa sipendi kufanya dhambi ikiwa nina haki ya mtu mikononi mwake” “Sijakuelewa kivpivi?” “Baba yako aliacha haki yake kwenye kikosi hichi ninacho kimilili, nimekaa nikafikiri na nilivyo kutana na Martin naye alivyo nishauri japo nilimpatia kichapo, nikaona hapana. Peke yako huwezi, nikaona kwamba nilazima niweze kukupatia msaada japo mimi na baba yako tulitengana kwa ubaya ila siwezi kuendelea ubaya wetu kwako” Livna alizungumza kwa sauti ya upole huku akiwa ameinamia kwenye bomba zilizopo pembezoni mwa hii boti.

“Nashukuru kwa kuweza kuona hali ninayo pitia” “Usijali kwa hilo Dany, hembu nieleze ukweli” “Ukweli gani?” “Kati ya Hawa na Yemi ni nani unaye mpenda?” Nnikaka kimya kwa muda huku nikishusha pumzi taratibu.

“Ninampenda Yemi. Hawa imetokea kumsamehe kwa ajili ya kiumbe chake alicho kibeba tumboni na laiti ingekuwa sio hivyo ningemuua” “Usimuue” “Kwa nini?” “Mpe nafasi ya kuzaa mtoto ambeye atakuwa ni msaada kwako, kwani tunamkuza kwenye mazingira kama walivyo kua wasichana hawa wengine ambao wote ni bikra kwa hiyo hawajua mwanaume. Wewe na Martin huko tuendapo munatakiwa kuwa makini sana musije mukanivunjia bikra za wasichana wangu.” “Hahaaaaa, sasa hivi sio kitomb*** tena” “Wapi, wakati umetukimbia kidogo, tukajua mwenzetu unakwenda kuua, umeturudia ukiwa umevaa boksa” “Hahaaa hembu acha kunichekesha”

“Ila unatakiwa kuwa makini na Hawa, kama aliweza kukubadilikia mara ya kwanza basi hata mara ya pili anaweza kukubadilikia” “Hilo nimelielewa, ila hata wewe inabidi usibadilike kama mara ya kwanza” “Kwa sasa siwezi Dany, nipo tayari hata kuweka kiapo cha damu” “Una uhakika?” “Ndio hata ukihitajio niweke sasa hivi nitaweka” “ Basi ninaomba tuweke”

Livna akanitazama kwa muda kisha akaniaga kushuka chini, hakuchukua muda mrefu akarudi akwia ameshika kisu kidogo, akasimama mbele yangu na taratiba akajichana sehemu ya kiganja chake cha kushoto, kisha akanikabidhi na mimi kisu.

“Nawe unaweza kufanya hivi nilivyo fanya” Sikuwa na hiyana zaidi ya kuchukua kisu hichi na kujichana kwenye sehemu ya kiganja changu. Taratibu Livna akfungua kinywa chake na kunimba nimnyunyize vipande vya damu8 mdomoni mwake, nikafanya hivyo kisha akavimeza, na mimi akaninyunyizia vipande vya damu mdomoni mwangu na nikavimeza;

“Umeamini kwamba sinto weza kukusaliti?” “Ndio, ulisha wahi kuweka kiapo kama hichi kwa mtu?” “Hapana sikuwahi kufanya kwa mtu yoyote na wewe ndio mtu wa kwanza kuinywa damu yangu na mimi kunywa damu yako”

Maneno na vitendo vya Livna vikaanza kunioa ujasirina na kuanza kumuamini, japo si sana kwani kauli ya mama yangu ya kuniambia kwamba nisimuamini mtu bado inaendelea kuishi moyoni mwangu na ninaikumbuka kila ninapo anza kufanya kazi na mtu yoyote hususani yule ambaye alisha wahi kunisaliti kipindi cha nyuma.

“Kiapo chetu hichi nina ninakuomba kiwe ni kati yetu mimi na wewe ninakuomba usimuambie mtu” “Sinto wesa kufanya hivyo nina imani kwamba una nifahamu vizuri” “Yaa”

“Tutachukua muda gani kuweza kufika huko tuendapo?” “Masaa kama manne, ni mbali sana” “Duuu”

Safari ikazidi kusonga mbele huku tukiendelea kuzungumza mambo mengi na Livna huku akiendelea kunipa siri nyingi kuhuaisna na K2 na ili tuweze kumuangusha K2 nilazima kuna mizizi tunatakiwa kuikata kwani nikimuangusha yeye kama yeye basi wapo watu nyuma yake ambao watakuja kulipiza kisasi kwa ajili yake. Majira ya saa nane usiku tukafika kwenye meli kubwa ambayo katika maisha yangu ninaweza kuifananisha na meli ya Titanic iliyo zama miaka mingi ya nyuma,

“Tumesha fika nyumbani kwanagu, hapa hakuna mtu anaye weza kuingia kuanzia chini ya maji, kwenye usawa huu wa maji hata angani, ndio maana ulijaribu kuitafuta sana hii sehemu ila ulishindwa”

Livna alizungumza huku tukishuka juu huku tulipo, boti hii ikasimama pembezoni mwa hii meli, tukashushiwa ngazi na taratibu tukaanza kupanda huku Martin na wezake wakifunguliwa vitambaa walivyo fungwa soni mwao.

Katika hii meli kuna wasichana wengi walio valia nguo nnyeusi zilizo wabana vizuri miili yao. Wasichana baadhi wakabaki wakinishangaa.

“Hao hawajawahi kumuona mwanaume uso wa kuso kwa maana tuliwachukua kuanzi walivyokuwa wachanga sana” “Mmmmmm hiyo kazi aalikuwa anaifanya naani?” “”Kazi gani?” “Kazi ya kuwateka?” “Hao watoto tuliwachukua hospitalini na wengine tulikuwa tunawachukua kwenye vituo va yatima”

“Huko hospitalini huwa munawawaiba au munawachukua tu?” “Yaa huwa wanaibiwa kwenye vile vyumba vya kuhifadhiwa watoto baada ya kuazaliwa”

“Ahaaa” Livna akatukaribisha sehemu maalumu ya watu kupata chakula kabla ya utambulisho alio niambia ataufanya mbele ya wasichana wake ambao ni wengi kusema kweli. Tukaanza kupata chakula taratibu, tukamaliza na Livna akaamuru msichana mmoja kuwasanya wezake haraka iwezekanavyo

Mlio maalumu akaanza kusikika.

‘Ni nini?” “Hiyo ni kama kengele, hapo wanakusanyika katika kiwanja namba moja kilichopo gorofa ya kati” “Hivi wapo wangapi hawa wasichana?” “”Idadi yao ukitoa wasichana wenye umri kuanzia miaka tisa kushuka chini. Walio bakia wapo laiki moja na tisini elfu na hawa wasichana wadogo wapo kama elfu kumi” “Mmmmmmm Livna una hatari, sasa malezi wanayapata vipi hao wasichna wadogo?” “Usijali kesho nitakutembeza sehemu muhimu kwenye hii meli ila nyengine hatuto weza kuzimaliza kwaaajili ya ukubwa wa hii meli?” “Ukubwa wake si sawa na Titanic?” “Weee Titanic ndogo katika hii, wajapani walio jenga meli hii, hawakujenga kwa ajili ya safari. Ipo husasni kwa uzalishaji wa wasichana ambao ni majasusi wa kufa mtu” “Hivi si wapo ambao wanamjua K2 sasa wakiniona si inaweza kuwa ni shida?” “Hakuna anaye weza kutoboa siri, hawa wasichana tunawafundisha mambo mengi sana moja wapi ikiwa ni kuwa ni utunzaji wa siri za kikosi hichi”

Tulizungumza huku tukipandisha ngazi kuelekea kwenye gorofa ya pili. Tukaingia kwenye ukumbi mkubwa ambao kusema kweli idadi ya wasichaana tulio wakuta humu ni wengi sana. Livna akakabidhiwa kipaza sauti na mmoja wa wakuu wa wasichana hawa. Akaanza kwa kuwasalimia wasichana hawa.

“Leo tuna ugeni ambao kwa sasa watakwenda kuishi nasi hapa kama ndugu zetu. Kikubwa ni heshima, ushirikiano. Ila kuna mmoja wenu nina imani kwamba mumwezeza kumsikia na kama si kumsikia basi mumeweza kumuona hata picha yake. Anaitwa Dany, nina imani kwamba mutakuwa munashangaa kumuona mwanaume hapa au kumuona yeye hapa, ikiwa ni mara kadhaa baadhi yetu niliwaagiza katika kumtafuta” Livna akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akinitazama kwa jicho la kuiba.

“Japo alipandikiziwa mbegu ya kuonekana yeye ni mbaya, mbegu iliyo mfanya leo hii kuonekana kwamba ni gaidi ila si kweli na ukweli wa kila jambo mimi mkuu wenu ndio naufahamu. Nitaomba muheshimu yeye na timu yake aliyo kuja nayo, na siku za mbeleni nitawaeleza ni nini cha kufanya” Katika kuwatazama tazama hawa viongozi nikamuona msichana mmoja ambaye alishikiriki katika kutuvmia mimi na Mariam kipindi tulipo agizwa kufanya kazi moja na baba yangu ytulivyokuwa nchini Japani. Livna akanikabidhi kipaza sauti kwa ajili ya kuwasalimia wasichana hawa, nikakohoa kidogo li kuliweka koo langu sawa kisha nikawasalimia wasichana hawa wote wakaniitikia kwa furaha kuliko hata walimvyo muitikia Livna.

“Ninaitwa Dany, ninaomba ushirikiano wenu katika kuishi hapa, kusema kweli nimependa usikivu wenu na ukarimu wenu kwangu. Ninawashukuru sana” Baada ya kujitambulisha nikampatia Hawa kipaza sauti hichi naye akawasalimia, baada ya sote kusalmia na kujitambulisha mbele ya hawa wasichana, tukapelekwa katika vyumba vya kulala.

“Nitalala na Hawa kwa ajili ya kumuangalia” Babyanka alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Sawa hakuna tabu. Martin ninakuomba kwa muda tuzungumze” “Sawa mkuu” Martin akaingia chumba ninacho lala. Nichumba kizuri ambacho ukuta wake mmoja ni wa kioo kikubwa na kipo chini ya maji na baadhi ya samaki kwa usiku huu ninawaona wakikatiza katiza eneo la karibu.

“Umeyaonaje mandhari hapa?” “Nimeyapenda kwa kweli watoto ni wazuri sana aisee” “Wote hao unavyo waoana ni bikra” “Bikra?” “Ndio na hilo ndio jambo nililo kuitia. Tumekuja na hawa magube gube wetu ambao hapa ni mmoja tu ambaye nimeivunja bikra yake ambaye ni Hawa, hao wengine wala sifahamu bikra zao zimevunjwa na kina nani. Kitu ambacho ninahitaji kukusisitoizaia ni kuhusiana na hifadhi hii ambayo tumepewa” Nilizungumza huku nikimtazama Martin usoni mwake kwa macho makali huku nikiendelea kuisoma tamaa na uchu wake wa mapenzi ulio mvaa baada ya kuwaona wasichana hawa.

“Wasichana wote ni bikra, wasichana wote hao wanajua kupambana kulilo unavyo fikiria, mziki wao ninahisi umeupayta kutoka kwa Livna aliyekuwa mke wako. Wewe mtomb** Winy, Livna mwenyewe au Babayanka, ila nisije kusikia kwamba umevunja mtoto wa watu bikra sijui nitakufanya nini, kwa maana sisi huko nje ni wakimbizi na hii ndio hifadhi yetu ya pekee ambayo tumekabidhi kwa hiyo hado hado bwana mdogo tusije kufukuzwa humu kwa tamaa zetu za ngono na ubaya mimi na wewe ndio wanaume kwenye hii meli hakuna wanaume wengine, sasa ishu ya mimba ikitokea kwa mmoja wao mimi na wewe tutawajibika sawa?” “Sawa muu nimekuelewa sinto wagusa hao watoto wa watu jao nilisha anza kuwamezea mate kusema kweli?” “Hayo mate yako yaishir tu mdomoni huku nje wala yasitoke” “Sawa mkuu nipo kwa ajili ya kuifwata amri yako” :Sawa nashukuru kwa hilo. Unaweza kwenda” “Sawa mkuu” Martin akasimama wima na kunipigia saluti kisha akageuka kikakamavu na kuanza kuelekea mlangoni.

“Unakwenda kumkwichi kichwi Winy?” Martin akageuka na kutabaamu tu, hilo likawa jibu tosha ya swali langu, akafungua mlango na kutoka chumbani humu. Nikaanza kukichunguza chumba hichi huku nikitazama mapamba yaliyo wekwa humu ndani. Nilipo jiridhisha na uchunguzi wangu nikapanda kitanda huku nikiwa nimevalia nguo zangu, Kutokana na ucovu mkubwa na kusahau hata kulala kwa siku kadhaa sasa, usingizi mzito taratibu ukanichukua na kulala fofofo.

***

Asubuhi na mapema Livna akaingia kwenye chumba changu huku akiwa amevalia nguo za jeshi, kwa bahati nzuri akanikuta nami nipo kwenye harakati za kuamka kitandani.

“Vipi umepata usingizi mwanana?” “Yaaa umeamkaje?” “Nipo poa tu, nimekuja kukuamsha nikakuonyeshe eneo la mazoezi” “Sawa” “Kumbe hukupata nguo za kubadilisha?” “Ndio” “Ngoja nikakuletee, utaoga kisha utabadilisha nguo hizo” “Sawa sawa” Livna akatoka chumbani humu na kuniacha peke yangu, nikanyanyuka kitandani na kufungua mlango wa bafu na choo uliopo humu ndani. Nikavua nguo zangu na kuoga haraka haraka, nikarudi chumbani huku nikiwa nimevalia boksa, nikamkuta Livna akiwa ameweka kombati za jeshi juu ya kitandani huku yeye akiwa amesimama pembeni.

“Ngoja nitoke mie nisije nikaingia majaribuni” “Ahaa wapi?” “Ohoo Dany mimi nikitazama hicho kifua chako, kisimi kinanicheza sasa ya nini kumsaligti Hawa ikiwa yupo humu humu ndani?” “Hawa mapenzi naye yamekwisha” “Ahaa wapi, hadi kakubebea mimba unasema kwamba mapenzi yamekwisha?” “Kweli vile” “Kwa hiyo nikihitaji kidogo unanipatia?” “Sio kdogo tu hata kingi nitakupatia” Tukatazamana na Livna kwa macho yaliyo jaa mahaba, taratibu akausogele mlango na kufunga kwa ndani, kisha kwa haraka akanisogelea na kunishika mashavu yangu kwa viganja vya mikono yake na kaunza kuninyonya denda. Tukiwa katika harakati za kuvuana nguo, mlango ukagongwa kwa nguvu, sote tukajikuta tukiutazama mlamgo huu.

“Vaa” Livna alizungumza huku akianza kueleka mlangoni, nikavua boksa hii na kuvaa boksa aliyo ni;etea Livna, nilipo vaa suruali yangu, Livna akafungua mlango.

“Mkuu kuna tatizo” Nilisikia sauti ya msichana.

“Tatizo gani?” Msichana huyu akamkabidhi Livna simu, akatazama kitu kinacho onyeshwa, nikamuona sura yake ikijaa makunyanzi baadhi yatokanayo na hasira, taratibu nikamsogela na kutazamaa anacho kitazama, nikaona wasichana wawili wakiwa wamefungwa gundi maalumu midomoni mwao huku wakiwa katika ulinzi mkali wa kikosi cha F.B.I kutoka nchini Marekani.

“K2 amewauza walinzi wangu nilio muachia kwa Wamarekanai, wakifa basi na yeye amekufaa poamoja na hao Wamarekani” Livna alizungumza kwa msisitizo huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake akionekana kujawa na hasira kali dhini ya hili jambo lililo tokea kwa wasichana wake ambao hata mmoja akifarikia basi ni kosa kubwa sana kwa yule aliye msababishia mauti msichana huyo kwani naye ni lazima atakufa



Video hii ikaendelea kuonyesha jinsi wasichana hawa jinsi wanavyo patiwa mateso. Livna akamkabidi msichana huyu simu na kuanza kutoka humu ndani huku akiwa katika kwendo wa haraka. Nami nikaanza kumfwata kwa nyuma huku tukiwa tumeongozana na msichana huyu. “Hiyo video imetumwa saa ngapi?” “Tumeweza kuipata kwa siri katika mtandao wa FBI na hivi sasa, wezetu wanahojiwa ili kuweza kutoa siri” Msicha huyu alinijibu huku tukipandisha ngazi kwa mwendo wa haraka kama anao kwenda nao Livna aliye jawa na hasira.

“Wapo wapi?” “Hatujafahamu ni sehemu gani husika ambayo wanafanyiwa mahojiano ila tutafahamu katika muda mfupi kwani wengine wanendelea kutafuta ni sehemu gani mahojiano hayo yanafanywa. Livna akaufungua moja ya mlango na sote tukaingi, kwa haraka akaa kwenye kiti cha kuzunguka. Akanyanyua mkonga wa simu na kuanza kuminya minya namba. Sote tukakaa kimya huku tukimtazama usoni mwake.

“Wasichana wangu wamakamatwa vipi na FBI?” Livna alizungumza kwa sauti ya ukali iliyo jaa mikwaruzo ya mtu anaye elekea katika hali ya kulia. Nikaitazama simu hii ya mezani, nikaminya moja ya batani ili kuweza kusikia ni kitu gani atakacho jibiwa.

“Wewe na wezako imejulikana mumejumuika katika kumteka raisi Donald Bush sasa unahisi hapo mimi nitafanya nini?” “Kwa nini usinijulishe na kama kutekwa je kuna ushahidi, kwa maana nyinyi munamuhisi Dany kwamba ndio muhusika wa kumteka raisi si ndio” “Mkuu” Msicha huyu alizungumza na kutufanya tumtazame, akamkabidhi simu Livna, akaitazama nikaona machozi jinsi yanavyo mwagika usoni mwake, taratibu nikaichukua simu hii, sikuamini macho yangu kuona wasichana hawa jinsi wanavyo nyongwa kikatili sana jambo lililo anza kunikasirisha na kunihuzunisha kwani muhusika wa tukio hilo ni mimi na ninapelekea wasichana wadogo sana hawa kufariki dunia.

“Wasichana wangu wamenyongwa K2 yote ni kwa ajili yako. Sasa ninakuambia hapa huna chako na endapo utadhubutu kunyanyua mkono wako juu yangu. Unanijua, nitakuchangua wewe na familia yako na uwaambie hao Wamarekani wako wajiandae wamegusa pabaya” Livna alizungumza huku midomo ikimtetemeka kwa hasira kali iliyo mtawala.

“Hahaaaa, Livna leo hii wewe ndio wa kunipiga mikwara mimi, umenisahau eheeee?” “K2 hii ni vita kati yetu umeianzisha na wewe ndio muhusika katika hili sasa vifo vya hao mabinti, vitalipwa na damu yako tena na mwanao wa kumzaaa” “Thubutuuuuu ole wako umgusee, nitakuja kukusambaratisha katika hiyo meli yako na kukuaa wewe na hivyo vimende vyako na mutakuwa chakula vya papa baharini” “Ninakusubiri na angalia kitakacho tokea sasa kwako” Kwa nguvu Livna akauweka mkonga wa simu kwenye meza huku akihema kwa hasira akajifuta machozi yanayo tiririka usoni mwake.

“Samahani ninaomba utupishe” Nilimuambia msichana huyu, akamtazama Livna kwa sekunde kadhaa kwa ishara ya macho Livna akamruhusu kutoka ndani humu na nikabaki mimi na Livna.

“Dany wewe umeshindwa kumuua K2 mimi nilaizma nimuue sawa” “Hilo halina tabu, mimi na wewe mpango wetu ni mmoja, nikumuua mimi, ukimuua wewe yote ni sawa” “Nitarudi Tanzania leo kuhakiksha ninakata kichwa chake?” “Hapana usirudi kwa sasa, umemsikia nahitaji kufanya shambulizi hapa kwenye hii meli, hawa wasichana watakufa na wewe ndio kiongozi wao. Hembu basi baki nao kuhakikisha kwamba unajiandaa kwa chochote kitakacho jitokeza hivi karibuni” “Dany hivi unajua kwamba K2 amevuka mipaka, amavuka mipaka kabisa. Anajua thamani ya wale wasicha, wale watoto tangu wapo wadogo ninawalea leo hii wana miaka ishirini wanachinjwa hembu fikiria fikiria Dany?” “Ni kweli, ila nina wazo” “Wazo gani?” “Video hii ninahitaji kuiachia hadharani” “Baada ya hapo?” “Tunaachia video ya mimi kumchinja raisi wao, nina imani kwamba italeta mgawanyiko duniani, zipo nchi zitakazo ungana na Marekani na zipo nchi zitakazo ungana nasi, kupitia wao basi dunia itakwenda kuvurugika” “Dany” “Naam” “Hilo wazo ni zuri, ila utakwenda kuingiza dunia katika vita ya tatu ta Dunia” “Acha ziingie, imeniaahidi kunifanya gaidi, tana gaidi mkubwa Duniani, hii ndio nafasi yangu ya pekee kuhakikisha kwamba nina andika historia kubwa dunia. Kama walivyo fanya kina Adolf Hitler na wengineo wengi” Livna akakaa kwa muda huku akinitazama usoni mwangu, taratibu akanyanyuka kwenye kiti chake kisha akasimama mbele yangu.

“Twende tukaushangaze na kuibadilisha dunia sasa” Livna baada ya kuzungumza meneno hayo akanibusu mdomoni mwanngu. Tukatoka chumbani humu na kuelekea upande wa pili wa meli. Tukaingia kwenye moja ya chumba, ndani ya chumba hichi nikakuta wasichana wakiwa bize na computer nyingi zilizopo humu ndani.

“Hichi ni chumba cha wawasiliano, hapa tuna mawasiliano ya kila serikali ya kila nchi zote duniani” Livna alizungumza huku akiendelea kunionyesha jinsi wasichana hawa wakifanya kazi kwa juhudi zao zote. “Njoo na kamera” Livna alimuambia msichana mmoja kisha tukaingia kwenye chumba kimoja ambacho kina kitambaa kikubwa cha bluu kilicho funika karibia ukuta mzima wa upande wa kulia.

“Inabidi kujidhihirishia kwa dunia kwamba wewe ni gaidi” Livna alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Unahitaji kunirekodi?” “Ndio, utaelezea juu ya tukio la FBI kunyonga wasichana hawa. Kisha utawaambia ni kitu gani na wewe ulicho kifanya.” “Sura yangu nitahitaji kuifunika” “Hakuna ananaye weza kuamini kama wewe ni gaidi ukifunika sura yako. Dany kwa sasa hakuna wakati wa huruma tena hakikisha kwamba kila kitu unakiweka hadharani” Nikayafikiria maeno ya Livna kwa dakika takribani mbili, nikaona ni kweli hakuna haja ya mimi kuendelea kuificha sura yangu ikiwa ninatangazwa kila siku. Wasichana watatu wakaingia ndani ya chumba hichi wakiwa na kamera kubwa. Kila mmoja akaisimamisha kamera yake upande wake, nikasimama mbele ya tambaa hili la blue huku nikijiweka sawa nguo zangu za kijeshi nilizo zivaa.

“Dany si unajua nini cha kufanya?” Livna alizungumza huku akiwa amesimama nyuma ya mmoja wa wasichana hawa.

“Ndio” Kwa ishara ya vidole msichana mmoja akaanza kuesabu vidole vyake hadi ilipo fika tatu nikaanza kuzungumza.

“Hii ni kwa mara ya kwanza kujitokeza hadharani na watu wote Duniani munifahamu. Ninaitwa DANY. Leo mapema saubuhi kikosi cha FBI kimewanyonga wasichana waiso na hatia, walinzi wa raisi K2 aliye hitaji wasichana hao kunyongwa na kikosi chihi cha FBI kinacho pambana kila siku kuhakikisha kwamba kila siku wananikamata mimi” Nikaka kimya kwa muda kidogo huku nikiitazama kamera iliyopo mbele yangu.

“Hivyo sasa basi, kwa kitendo hicho cha FBI kuwanyonga wasicha wasio na hatia na kusikiliza amri ya raisi K2, nami nitakwenda kuliliza taifa hilo, kilio kinatacho gusa mamilioni ya watu duniani. Sikupenda kufanya hivyo ila mumenilazimisha kufanya hivyo na hichi ndio mutakwenda kukiona”

Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo taratibu nikatoka eneo hili na kumfanya Livna kunipigia makofi.

“Yaani kama ulikuwa akilini mwangu, nilitamani useme hivyo na wewe umesema hivyo hivyo” “Fupi tamu” “Yaa. Ester hakikisha kwamba una edit hivyo vipande pamoja na video ipo humu kwenye simu yangu” Livna alziungumza hukua kimkabidhi msichana huyu simu yake.

“Sawa mkuu” “Itachukua muda gani?” “Dakika kumi” “Sawa hakikisheni munaitengeneza vizuri kisha unaileta humu ndani?” “Sawa”

Wasichana hawa wakatoka huku kila mmoja akiwa na kamera yake.

“Una mpango gani na Wamarekani?” Nilimuuliza Livna huku nikikaa kwenye moja ya kiti.

“Nilazima walipe kwa kile walicho kifanya” “Hivi tuna nguvu ya kumpiga mmarekani, kwa maana video ambayo itakwenda kuruka baada ya muda mchache itashangaza na kuogopesha dunia?” “Yaa acha ishangaze dunia, kikubwa ni kuhakikisha kwaamba kisasi tunakilipa kwa wote walio enenda kinyume nasi” “Ohooo Mungu wangu, maisha haya ya kisasi yataisha lini sijui” “Yataisha pale kila mzizi ulio pandwa na K2 tutakwenda kuukata” Baada ya dakika kumi mlango wa chumba hichi ukafungiliwa, akaingia Ester akiwa ameshika laptop, akaiweka juu ya meza na kuanza kutuonyesha. Nilitarajia kuona nyuma lilipokuwa pazia kutakuwa na rangi ya hili pazia ila ni tofauti kabisa, kwani kuna muonekano wa kama ukuta ulio chakaa chakaa.

“Tumetengeneza madhari ya pangoni ili kuficha sehemu uliyopo” “Vizuri” Livna alijibu huku tukiendelea kutazama maelezo yangu ya mwanzo yanayo zungumzia FBI kuwanyonga wasichana hawa, video ya wasicha hawa kuanzia walivyo anza kuhojiwa hadi kunyongwa ikaanza kuonekana. Baada ya video hiyo kuishi maelezo yangu yakaendelea yakisisitizia kuiliza nchi ya Marekani kwa kile ninacho kwenda kukifanya. Video ya mimi ninavyo onekana nikimchinja raisi Donald Bush, ikaanza kuonekana.

“Hii video ni lazima iwalize watu” Livna alizungumza hukua kijikaza kuangalia jinsi ninavyo kigawanyisha kichwa cha raisi Donald na kiwili wili cha mwili wake.

“Kwa staili hii hatuwezi kufika mbinguni?” “Dany mbinguni si sehemu yako wala yangu, waachie wanaokesha makanisani na misikitini waingie mbinguni”

“Ester unaweza kuituma kwenye mtandao gani ambao utakuwa ni mwepesi kuweza kufikiwa na watu?” “Twitter na Facebook”

“Unaweza kuirusha sasa hivi, na ninaomba mu hack kamera za maofisi ya ikulu ya Tanzania pamoja na Marekani, ninahitaji kuona reaction zao baada ya kuitazama hii video” “Sawa mkuu” Ester akatoka chumbani humu, nikarudia kuitazama video hii kwa mara yingine. Kusema kweli nilisha wahi kuona video kadhaa za magaidi wa kundi la Al-Quida, zikionyesha jinsi wanavyo waua mateka wanao wateka, ila kwa hii video yangu inakwenda kuvunja rekodi duniani, kwani nimemchinja raisi wa taifa kubwa ambalo linaogopwa karibia na dunia mzima.

“Ngoja niingie Twitter” Livna alizungumza huku akianza kuminya minya batani za laptop hii, baada ya sekunde kadhaa ikafunguka.

“Mungu wangu!!” Livna alizungumza huku akihamaki jambo lililo nistua sana. “Nini?” Livna akanigeuzia latpot hii.

“Ndani ya dakika sekunde hamsini, dieo imetazamwa na watu milioni kumi duniani, yaani ni amaizing”

Livna alizungumz ahuku akiwa amejawa na furaha kubwa kwenye uso wake.

“Dany twende tukaangalie reaction zao” Livna akanyanyuka kwenye kiti na mimi nikajikuta nikinyanyuka, japo usoni nina tabasamu ila moyoni nina wasiwasi kidogo kwani hili jambo ni kubwa sana nililo lifanya. Tukakuta wasichana walipo humu ndani wakitazama video hii kwenye Tv kubwa inayo karibia kujaa ukuta mmoja humu ndani, huku wengi wao wakiwa na masikitiko ya kuona wezao wakiwa wananyongwa kikatili kwani hii ni taafira ambayo hawakuwa nayo. Livna akawacha wasichana hawa wamalize kuitazmaa video hii.

“Ninaombeni munisikilize” Livna alizungumza na kuwafanya wasichana walio kaa kusimama na wote wakamgeukia yeye na kumtazama.

“Tupo katikati ya vita sasa, sikuhitaji kuwaeleza mapema kwani ingeathri utendaji wenu wa kazi. Catherini na Neema wamenyongwa leo asubuhi na kundi la FBI. Yule tuliye kuwa tunamlinda ndio ametugeuka na kututangazia kwamba sisi ni waasi. Ninacho wahitaji kuanzia hivi sasa ni kuhakikisha kwamba kila mmoja wetu, tuhakikishe kwamba tunajilinda na kufanya mashambulizi ya aina yoyote pale itakapo tulazimu kufanya hivyo. Ninaimani nyote mumenielewa” “Ndio mkuu” Wasicha wote walijibu kwa pamoja.

“Endeleeni na kazi” Wasichana hawa kila mmoja akarudi kweye meza yake wote wakionekana kujawa na uchungu sana kwa kile walicho kiona.

“Ester umefanikiwa ku hack?” “Ndio mkuu” “Niwekee” Tv hii kubwa ikaanza kuonyesha jinsi Wamrekani walivyo patwa na mstuko mkubwa, na viongozi wao wameanza mikakati ya kutafuta video hii imetokea wapi. Nchini Tanzania napo, tukafanikiwa kupata video za ikulu, tukamuona K2 akishangaa sana kwa kile ambacho kimetokea.

“Ninaomba simu nimpigie K2” Nilizungumza huku nikimtazama Livna usoni mwake.

“Unataka kumpigia sasa hivi?” “Ndio” Livna akatoa simu yake mfukoni, akatoa laini iliyopo na kuweka laini nyingine.

“Lini hii hakuna anaye weza kunasa mawasiliano yenu, unaweza kumpigia” Livna akanikabidhi simu yake, nikaitazama namba ya K2, kisha nikaipiga na taartibu nikaiweka sikioni, nikamuona K2 akikabidhiwa simu na mlinzi wake, akaitazama kwa muda kisha akaipokea.

“K2 nina imani umekiona nilicho kifanya kwa Donald Bush, kama nimeweza kwake basi tambua kwako ni raisi sana kwani hapo sebleni ulipo kaa mmoja wa watu wako ana bomu mwilini mwake na sekunde yoyote kuanzia hivi sasa anakwenda kulipuka” Nikamuona K2 akisimama simu akaiweka pembeni na kuanza kuwavua nguo watu wake mmoja baada ya mwengine jambo ambali kila mmoja aliyopo sebleni hapo alionekana kumshangaa raisi wao kwani wanamuona ni kama mwendawazimu aliye changanyikiwa.



“Muheshimiwa raisi vipi?” Niliisikia sauti ya mmoja wa wamama ambaye ni mshauri wa karibu wa raisi.

“Kuna mtu anabomu, nani anataka kuniu?” K2 alizungumza kwa ukali huku jasho likimwagika.

“Bomu muheshimiwa haliwezi kuingia ikulu kirahisi namna hii?” “Munaona munaona alicho fanyiwa Donald, tayari amesha chinjwa na Dany na hapa ananipigia simu na kuanimbia mmoja wenu anabomu ni nani?” K2 aliendelea kuzungumza kwa kufoka sana, walinzi wake wote wakabaki kukaa kimya kwani hakuna mwenye bomu na nimemtisha ili mradi kuichanganya akili yake.

“Vueni nguo” Watu wote walipo sebleni macho yakawatoka.

“Nimesema vueni nguo” Raisi akizungumza tayari amesha zungumza, watu wote wakaanza kuvua nguo zao kwa haraka haraka kwani nina imani kwamba wanamuogopa sana K2. Wakabakiwa na nguo za ndani.

“Bado badoo mtu anawea kuweka bomu hata ndani ya chupi yake na boksa” Nilizungumza kwa sauti nzito na kunzidi kumchanganya K2 ambaye sisi wawili ndio tunazungumza na kuyasikia mazungumzo yetu.

“Vueni chupiii zenuu” “Ahaaa…..muheshimiwa” Jamaa mmoja alizungumza huku akimtazama K2 usoni mwake, kwani anaona sasa hichi kinacho endelea hapa sebleni ni masihara.

“Unapinga amri yangu eheee?” K2 alizungumza huku akimfwata jamaa huyo.

“Sio hivyo muheshimiwa raisi ila huu ni uzalilish…….” Jamaa wala hakumaliza sentensi yake, K2 akaokota moja ya bastola iliyopo chini na kumtandika risasi ya kichwa.

“Kuna mwengine, eheee nasema kuna mwingine anaye hitaji kufaaaaaa?” Swali la K2 likawafanya watu wote kuvua nguo zao za ndani na kubakiwa kama walivyo zaliwa. Nikamtazama Livna kwa jicho la kuiba nikamuona jinsi anavyo kaukia kwa kucheka chini chini, nikatabasamu kwani watu wengine hapa walio vuliwa ni wamama watu wazima kabisa ambao wamempita K2 umri.

“Bomu lipo kwenye hiyo suti yako uliyo ivaa” “Dany acha kunifanya mimi mjinga, nimawavulisha nguo watu hakuna bomu” “Moja, mbili, ta……” Nikaanza kumuoa K2 akivua koti lake la suti akalitupia pembeni, akaivua suruali yake ya suti na kuitupia pembeni, akaanza kujipasa mwilini mwake. Akaona haitoshi akavua shati lake na kubakiwa na skin taiti pamoja sidiria.

“Haya sasa lipo wapi hilo bomu” Livna akatingisha kichwa kukataa nisimuambie avue zaidi ya hapo tumjengee kidogo heshima yake.

“Vua skin yako hiyo ndio bomu ukichelwa ninakuchangua kiuno chako. Puuuuuuuuu” K2 kwa haraka akavua skin taiti yake na kubakiwa na chipi aina ya Bikini.

“Waooo hujabadilika sana japo tak** lako limefinyaaa” “Dany huu ni uzalilishaji, lazima nikuuee” “Niue kama ulivyo muua mtu wako huyo ambaye ana familia inamtegemea. Utakwenda kuiambia vipi jamii ya Watanzania. Je wewe bado unafaa kuwa raisi? Jibu unalo kichwani mwako asubuhi njema” Nikakata simu huku nikiangua kicheko kikali sana, nikamuona jinsi K2 anavyo kaa kwenye sofa huku akiwa amechoka sana.

“Hii video si imerekodiwa?” “Ndio” “Nayo tuirushe hewani?” “Dany” “Yaaa mwisho wa ubaya ni kudhalika” “Dany kuna wamama watu wazima pale, unataka kum** zao zionekane hadahrani?” “Ndio, acha wajutie ni kwa nini waliamua kuajiriwa katika utawala wa K2”

“Sawa bosi, umefanya kazi nzuri acha iruke. Ester fanya yako mdogo wangu” “Sawa mkuu” Ester wala hakumaliza hata dakika mbili video hii akairusha kwenye mitandao yote ya kijamii. Video hii ikaanza kupata ushabiki mkubwa kuliko hata video ya kwanza inayo onyesha mauji ya wasichana wa Livna pamoja na raisi Donald Bush. “Ukitaka kupambana na adui wako hakikisha kwamba unamuua kisaikolijia” “Kwa hili lazima K2 anywe sumu, hahaaa hapana sijapata ona raisi kuwavua nguo watu wake” Watu wa K2 wakavaa nguo zao huku wengi wakionekana kuwa na masikitiko makubwa sana kwa udhalilishaji huu walio pewa na bosi wao. K2 akabeba nguo zake na kutoka sebleni humo huku akwia na hasira kali sana.

“Nini kinafwata?” “Hapa ni kuwaangaliwa Wamarekani wana mipango gani dhidi yako, ila kwa K2 sasa hivi hana ujanja kwani jeshi alilo kuwa analitegemea ni watu wasichana wangu na ndio hao amesha watoa sadaka na nina imani kwamba hakuna hata mmoja ambaye anatamani kumuona au kumshikia” “Poa, ninahitaji kwenda kuiona timu yangu, si unajua tangu nimeamka sijaonana nao” “Poa twende, pia tukapate kifungua kinywa” Tukatoka katika chumba hichi huku baadhi ya wasichana wakionekana kunishangaa sana, si kunishangaa kwasababu nimefanya tukio la ukatili wa kumuu raisi Donald Bush au tukio la kumdhalilisha K2, ila wananishangaa kwa matamanio ya kimapenzi.

“Wasichana wangu wanapata shida sana tangu jana walivyo kuona wewe na Samweli” “Watazoea tu” “Itawachukua muda sana kuzoea jinsia ya kiume kuiona humu ndani kwa maana walisha zoea kujiona wao tu, kama ni wanaume wanawaona kwenye filamu, miziki ila kukutana nao hivi uso kwa uso ni ngumu, labda wale ambao ninawatoa kwenda kufanya kazi maalumu za viongozi baadhi huko duniani” “Hivi umesema kwamba hawa wote ni bikra?” “Yaaa wote ni bikra?” “Mmmm unashuhuli sana ya kuwalinda?” “Unahisi kwamba nina walinda, ila sheria ni kali na zinatekelewa kwa utashi wa hali ya juu” Tukafika kwenye sehemu ambayo jana tulipata chakula, nikawakuta Babyanka na wezake wakiwa wamekaa wakijipatia chakula taratibu.

“Mumeamkaje jamani?” Niliwasalimia huku nikivuta kiti kimoja na kukaa.

“Salama, tumeona mambo yako uliyo yafanya kwa K2” Winy alizungumza huku akinionyesha kwa kutumia kidole kwenye tv kubwa iliyopo humu ndani.

“Yaaa sasa hapo wananchi wao wenyewe ndio wataamua kufanya maamuzi juu ya K2, nina imani vyama vya kisiasa na wanachama wao hawato kaa kimya kuona udhalilishaji kama huo ulio fanywa na raisi, isitoshe amefanya mauji ya mtu asiye na hatia kabisa” “Ila hii inaweza kuleta machafuko kwenye nchi?” Babyanka alizungumza huku akinitazama.

“Video ya kwanza muliiona?” “Ipi hiyo?” Martin aliuliza huku akinywa juisi taratibu.

“Kama hamjaiona basi malizeni kupata kifungua kinywa mambo mengine yataendelea baadaye” “Si tuitazame sasa hivi?” “Hamuto kula baadhi yenu hususani mama kijacho hapo?” “Kama inatisha mwenzenu, niacheni kwanza nile nikalale, hapa ninajisikia uchovu kama nini” Hawa alizungumza na kweli ukimtazama usoni mwake unaona ni jinsi gani alivyo chokeana kwa ujauzito alio nao.

“Haja bosi kitambi meneja” Winy alizungumza na kutufanya sote kucheka. Nikawatazama hawa watu nilio kaa nao moyoni mwangu nikajikuta nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana kwani ni watu walio amua kuachana na kila kitu wanacho kipenda na kuamua kuingia kwenye harakati hizi za hatari na kuwa pamoja nami, mtu ambaye siwapatii hata shilingi kumi.

“Kusema kweli ninawashukuru sana, kwa huu umoja wenu ambao mumeweza kuujenga kwa ajili yangu. Mumejitoa maisha yenu na kuamua kuhaharisha maisha yenu kwa ajili yangu, ninawapenda sana zaidi ya sana. Nyinyi ndio familia yangu, nitabeba majukumu ya kuwalinda katika maisha yangu yote hata ikitokea nimekufa, basi nitakufa kwa ajili ya timu hii” Nilizungumza kwa hisia kali huku machozi ya furaha yakinilenga lenga usoni mwangu. Taratibu Livna akanyanyuka akiwa ameshika glasi yake mkononi mwake, kwa ishara ya mkono akatuomba tunyanyuke, kila mmoja akiwa na glasi yake mkononi.

“Chiazi kwa misha marefu ya Dany” Livna alizungumza na sote tukaanza kugongesheana glasi zetu ikiwa ni ishara ya kunitakia maisha mema na marefu. Taratibu kila mtu akaka kwenye kiti chake.

“Dany ninazidi kukuahidi kwamba nitakufa kwa ajili yako. Kwenye shida raha mateso tutakuwa pamoja mkuu wangu” Martin alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu.

“Ninakushukuru Martin” “Dany wewe mwenyewe umeona, nimetekeza jumba langu la kifahari kwa ajili yako, ni fika kwamba ninaheshimu mchango na uwepo wako kwenye maisha yangu. Nitasimama nawe bega kwa bega hadi kufa kwangu” “Asante Winy” “NSS, itakuwa inaukumbuka mchango wangu kwa asilimia nyingi sana. Niliipenda, ila Dany nimekupenda zaidi, nitasimama nawe, kwenye mvua, jua, masika au katika hali yoyote nitahakikisha pumzi yangu kama wataitoa basi wataitoa nikiwa ninakutetea wewe, Dany nipo kwa ajili yako” “Asante sana Babyanka” Nilizungumza huku machozi yakinimwagika kwenye mashavu yangu.

“Nipo tayari kufa……….. Kufa baada ya kukuzalia mtoto wako. Nilikusaliti kwa ajili ya ufinyu wa akili yangu Dany, ikiwa nina tambua ni jinsi gani ulivyo yahatarisha maisha yako kwa ajili ya nchi ambayo hata si chimbuko lako. Nilitakiwa bega kwa bega na viongozi wa Kimarekani kuhakikisha kwamba wanakupatia huduma sahihi kule ulipo kwenda kukamilisha kazi ya kuwaondoa Boko haramu kwenye ramani ya dunia. Nilifeli Dany, nilishindwa kuzuia hisia zangu kwa raisi Donald Bush. Najutia kwa usaliti huo Dany. Nakuomba nikikuzalia tu mtoto, ninakuomba uniiue hata kwa kunikaba koo langu. Sinto hitaji kumuona mtoto wetu. Niue tu Dany”

Hawa alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake kwa wingi sana. Taratibu Hawa akasogeza kiti chake nyuma kisha akasimama pembeni ya kitu hicho, taratibu akapiga magoti huku akiendelea kulia sana. Nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kalia na nikamsogelea taartibu. Nikamnyanyua Hawa na kumkumbatia.

“Ninaiani kwamba umejifunza kitu, sinto kuua. Wewe ndio mama wa mwanangu, mtoto atahitaji malezi bora kutoka kwako. Mimi baba yake sina maisha marefu hapa duniani, ninakuomba umlee kwenye mazingira mazuri, maadili mema. Kama ikitokea nimekufa ninakuomba usimueleze historia yangu kwani si ya kuigwa, ni historia mbaya na sihitaji kizazi changu kije kuishi kama kizazi cha magaidi, ninahitaji kizazi changu kiishi kama kizazi chema, chenyekufwata sheria za nchi na kufwata mafundisho ya Mungu sawa, Hawa?” Hawa wala hakuweza kunijibu chochote zaidi ya kuangua kilio kikubwa sana. Nikaendelea kumbembeleza hadi akatulia. Nikarudi kwenye kiti na kukaa.

“Naombeni nikapumzike” Hawa alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikamkubalia, taratibu akanyanyuka kwenye kiti chake, Babyanka naye akanyanyuka na kuanza kumshika mkono Hawa, kumpeleka ndani.

“Ukiachilia familia kubwa hii niliyo achiwa na waanzalishi, ila hii ni familia yangu nzuri kusema kweli ninawapenda na jisikieni mupo nyumbani kwani sisi sote ni wamoja katika vita hii” “Shukrani Livna” “Mwenye shida yoyote jamani, muwe huru, nipo kwa ajili yenu sawa jamani?” Tumekuelewa dada” Martin alijibu huku akitabasamu.

“Mwenzako Dany hadi leo ana pete yake ya ndoa, wewe pete yako umetupia wapi Martin?” “Nikuulize na wewe yako ulitupia wapi?” “Hahaaa tuachane na hayo, yamesha pita” Babyanka akarudi na kukaa kwenye kiti chake. “Ndugu zangu, hivi sasa dunia ipo kwenye hati hati ya kuingia katika vitaya tatu ya Dunia” “Vita ya tatu ya dunia!!?” Babyanka alizungumza huku macho yakiwa yamemtoka sana.

“Ndio. Dunia nzima kwa hivi sasa itakwenda kugawanyika katika makundi mawili, wao watakao waunga mkono Wamarekani kwa kuwanyonga vijana wawili wa Livna pamoja na kuuwawa kwa raisi wao. Pia wapo watakao tuunga mkono sisi kwa kumuua raisi wao ambaye alipeleka nchi mrama kwa ajili ya matakwa yake, hususani matakwa yake ya kimwili.” ”Ila mkuu hapo naona vita kuu ya tatu ya dunia haina haja, kwa maana kuna watoto wapya wanazaliwa. Sasa vita hiyo itakwenda kuhatarisha maisha ya kizazi kijacho” “Hilo ni kweli Martin, ila muda mwengine si kila anaye ingia kwenye vita au anaye ingia kwneye uwasi wa jambo fulani si kama anapenda. Kuna watu nyuma yake ambao wanamchochoea na kumpeleka kuwa kama hivyo. Mfano mzuri ni mimi, sikuwaza hata siku moja kwamba nitakuja kujulikana duniani kama Gaidi, ila leo hii ninaitwa Gaidi, ukifwatilia kwa umakini historia ya maisa yangu utakuja kuamini kwamba mimi sina makosa makubwa kama wale wanao nisaka kwa udi na uvumba, usiku kucha wao ni kuniwazia mimi”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Martin usoni mwake.

“Sawa Dany, sasa hiyo vita wewe utakwenda kuiongoza vipi ikiwa upo mafichoni?” “Mimi nitasimama kwa niaba yake, hata Osama Bin Laden alipigana na Mmarekani. Si yeye aliye beba silaha na kupambana na Mmarekani, ila watu wake walikwenda kwa niaba yake.” Livna naye alizungumza kwa msisitizo na kunifanya nizidi kujiamini katika maamuzi haya.

“Hii meli ni nchi tosha, ina kila aina ya vifaa vya kijeshi ambavyo tunaweza kuishambulia nchi yoyote, na kwa muda wowote, na sehemu hii tulipo hukuna satelaiti hata mmoja duniani inayo weza kutuona hapa tulipo ila sisi ndio tuna uwezo wa kuweza kuiona nchi yoyote ambayo tunahitaji kuishambulia au tupo kwenye mpango nayo.” Mlango ukafunguliwa akaingia Ester akiwa ameshika laptop moja kwa moja akamfwata Livna na kumuwekea mbele yake na kuanza kumnong’oneza na kutufanya sote tukae kimya huku tukiwatazama. Livna akaitama laptop hii kwa sekunde kadhaa kisha akanyanyuka huku akiwa ameibeba, akaniomba nimfwate. Nikaanza kumfwata kwa nyuma, tukatoka katika chumba hichi na kusimama kwenye moja ya kordo. Akanikabidhi laptop hii, kisha Ester akanikabidhi earphone nikavaa msikioni.

“Mkuu wa jeshi la Marekani anahitaji kuzungumza nawe” Livna alizungumza huku akiminya moja ya batani katika laptop hii, nikamuona mzee mmoja mwenye nguo zilizo jaa vyeo vingi.

“Habari yako Dany” “Salama” “Tunakupatia masaa ishirini na nne kujisalimisha kwenye jeshi lolote la Marekani, popote pale duniani kwa……” “Hivi mzee una akili nzima, kujisalimisha kwangu sahau kwenye akili yako” Ilinibidi kumkatisha mazungumzo mzee huyu kwani kitu anacho kizungumza ni upumbavu mtupu.

“Sawa kama huto jisalimisha”

Wanajeshi wawili wakasimama nyuma ya mzee huyu huku wakiwa wamemshikilia mtu aliye valishwa kigunia cheusi kichwani mwake. Wanajeshi hawa wakamvua mtu huyo, moyo ukanistuka, mapigo ya moyo yakaanza kwenda kasi huku jasho jingi likinimwagika usoni mwangu, kwani mtu waliye mkamata ni Yemi msicha ambaye hadi leo ninaishi na upendo wake moyoni mwangu na pete yake ya ndo bado ipo kidoleni mwangu, mzee huyu akasogea pembeni taratibu na hapo ndipo nikaona tumbo la Yemi ambalo limevimba kidogo, ikiashiria kwamba ni mwanamke mjamzito.

“Huyu ni mke wako wa ndoa, ni mjamzito sasa. Chagua kati ya mke na mtoto au kujisalimisha mbele ya jeshi la Kimarekani” Sikujibu kitu chochote zaidi ya kutetemeka mwili mzima, maumivu ya moyo ninayo yasikia kusema kweli hayana mfano, kwani nilimuacha Yemi aende akaishia maisha yake salama salimin kwani ninatambua maisha yangu ni maisha ya hatari sana kwa kila ninaye ingia naye kwenye mahusiano ya kimapenzi.

 ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

BLOG