Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

X SEHEMU YA 3/10

   


X  

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA


WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 3 KATI YA 10


Nikakata simu na kuingia ofisini ya raisi kwa maana muda wote mazungumzo haya nina yafanya nje ya mlango wake.

“Jenerali Eddy ina bidi upate mlinzi wako binafsi?”

“Hakuana haja muheshimiwa raisi”

“Ila hiyo ni protocol ya cheo chako”

“Mkuu sijaingia kweye cheo hichi kwa ajili ya kulindwa, nime ingia kwa ajili ya kufanya kazi ya kulinda katiba ya nchi yangu, kukulinda wewe na nchi yangu kwa ujumla. Hivyo acha kwanza nikadili na papa wa haya matatizo alafu hawa vidagaa wengine wata isoma namba”

“Sawa Eddy”

Nikatoka nje ya mlango huu, nikampa Gody ya kumlinda raisi kwa maana mlinzi wake mkuu aliuwawa ndege ilivyo kuwa ime tekwa na hadi leo bado hajapatikana wa kuishika nafasi hiyo. Nikaondoka ikulu hapa na Judy.

“Hongera mkuu”

“Nashukuru”

“Tuna kwenda wapi?”

“Kwa makamu wa raisi”

Nikampigia simu Willy.

“Dogo, vipi makamu wa raisi yupo nyumbani kwake?”

“Ngoja kidogo nitazame nyumbani kwake”

Willy alizungumza kwa maana raisi na makamu wa raisi wana chip maalumu kwenye miili yao ambazo zina waonyesha sehemu yoyote wanapo kwenda, hii ni kutokana na maswala ya kiusalama wao na mfumo huo wamewekewa mara baada ya kumuokoa raisi mikononi mwa watekaji.

“Yes yupo nyumbani kwake na nina ona kuna ulinzi mkali sana eneo la nje. Vipi ukiende hivyo wata kukubalia uingie kweli?”

“No siendi hivi”

Tukafika eneo la mika kama mia tatu kutoka nyumbani kwa makamu wa raisi. Uzuri eneo ilipo nyumba yake kumejaa miti mingi na nyumba yake ipo pembezoni mwa bahari.

“Nabadilisha nguo”

Nilizungumza huku nikishuka ndani ya gari, nikafungua nyuma ya gari, nikavua nguo zangu hizi na nikavaa nguo za kininja na ninapo kuwa katika mavazi haya huwa kuna roho ya kikatuli inayo niingia.

“Bastola mbona una ziacha?”

Judy alizungumza huku akinitazama kwa mshangaa.

“Hakuna kibaya kitakacho nipata. Kaa hapa kwa dakika ishirini, zikipita ondoka hili eneo na rudi ikulu”

“Mkuu”

“Ndio”

“Kuwa makini”

“Usijali”

Nikaitoa mlio wa mtetemesho simu yangu na nikaiweka mfukoni. Nikaanza kuondoka eneo hili kwa mwendo wa kasi sana, kwa jinsi ninavyo kimbia siruhusu hata vishindo kusikika. Nikavika kwenye ukuta wa jumba la makamu wa raisi. Nikaruka ukuta na kuingia ndani pasipo kishindo chochote. Nikachomoa upanga wangu, na kitu cha kwanza kukifanya, nikaparamia kwa kasi guzo linalo ingiza umeme ndani ya jumba hili, nikazikata nyanya na kusababisha taharuki kwa walinzi. Nikashuka kwa kasi ya ajabu, na kitu ambacho maninja tulikuwa tuna fundishwa, hata kuwe na giza totoro basi tuna weza kupigana kwa maana hisia zetu zina nguvu ya kuona kuliko hata macho ya kawaida. Nikaanza kutembea kipondo cha kuwazimisha walinzi wote wa nje na hakuna hata mlinzi mmoja aliye dhubutu kufyatua risasi kuwapa ishara walipo ndani. Nikaingia ndani ya jumba hili kwa kupitia dirisha la jikoni. Nikanyata hadi sebleni na kuona mwanga wa simu ukiwa una angaza ndani ya seble hii huku kukiwa na wanaume sita, mmoja ni makamu wa raisi, wa pili ni waziri mkuu, watatu ni jenerali aliye vuliwa madaraka na hawa watatu ndio nina waona hapa. Nikatoa simu yangu mufukoni na nikawapiga picha kadhaa pasipo wao wenyewe kustukia chochote na picha hizi nikamtumia Willy. Baada ya kukamilisha zoezi hilo, kwa kasi ya ajabu nikaanza kuwatembezea kichapo cha kuwazimisha viongizi hawa na nikamuacha makamu wa raisi peke yake. Nilipo hakikisha wazake wamezimia, nikamuwekea upanga shingoni mwake, taratibu nika play(cheza) sauti ya mazungumzo yake akitoa oder kwa magaidi wa Al-Shabab juu ya kuilipua ndege ya abiria ya shirika la Air Tanzania. Makamu wa raisi akazidi kutetemeka kwa woga hadi mkojo ukaanza kumwagika, sikujali hilo.

“Una jua adhabu hii uta nyongwa hadi kufa, haijalishi wewe ni nani ila uta hukumiwa ICC. Ninacho hitaji ni kuandika barua ya kujidhuru nafasi yako ya umakamu wa raisi na uitume kwa raisi usiku huu huu. Uwaamuru watu wako kumuachia mtoto wake la sivyo nita kuua kwa kukata kata kiungo kimoja baada ya kingine”

Nilizungumza kwa sauti ya kukoroma kiasi cha kumfanya makamu wa raisi kaunza kulia kama mtoto mdogo kwa maana ndoto za kuwa raisi zina futikia hapa na kwa bahati mbaya bado hajanijua mimi ni nani na kitu alicho kishuhudia kwa wezake ambao ana hisi wame kufa, hatamani kabisa kimtokee na yeye.




“Okay nafanya”

“Sasa hivi?”

Nilizidi kumuamrisha makamu wa raisi. Taratibu makamu wa raisi akafungua laptop yake iliyopo mezani hapa huku mikono ikimtetemeka.

“Ila una jua madhara ya kuto kuwepo kwangu katika hii nchi?”

Makamu wa raisi alizungumza kwa unyonge.

“Wewe kuto kuwepo haina madhara yoyote. Kwani walikuwepo waasisi wa nchi hii ila sasa hivi hatupo nao na nchi ina kwenda kama inavyo kwenda”

“Naomba kukufahamu kwanza, wewe ni nani na umepataje ujasiri wa kuwa hapa?”

Makamu wa raisi alizungumza kwa ujasiri ambao kidogo ukaanza kunipa wasiwasi. Nikamitazama laptop yake na sikuona chochote cha tofauti alicho kifanya.

“Kunifahamu haito kusaidia.”

“Ita nisaidia kwa maana nita hitaji kuzungumza biashara mimi na wewe. Endapo uta kubali nita muachia muachia mtoto wa raisi ila sinto achia madaraka yangu kwa maana nchi zote ambazo ni wana chama wa Scorpion wata ishambulia Tanzania kwa pande tofauti tofauti. Haijalishi umeniua ua umeniacha hai?”

Makamu wa raisi alizungumza kwa ushawishi huku akinitazama kwa jinsi nilivyo vaa hata afanye nini hawezi kunifahamu.

“Scorpion ni organization kubwa sana hapa duniani. Haiendeshwi na mimi peke yangu ila ila watu wengi wanao iendesha na wenye nguvu za kimamlaka na pesa Hakuna serikali hata moja hapa duniani inayo weza kuwazuia. Hivyo tufanye biashara kwenye hili, ukiniachia nafasi ya kuwepo madarakani basis into msumbua raisi wala mipango yake”

“Hii sauti ita baki mikononi mwangu na endapo uta rudia ujinga nita kuua”

Nikaanza kusikia milio ya magari ya jeshi ikizunguka nyumba hii. Nikampiga makamu wa raisi shingoni mwake na akazimia. Nikapandisha juu ya nyumba hii ninayo ifahamu vizuri kwa maana kipindi tulipo kuwa tuna pata likizo jeshini tulikuwa tuna ishi hapa kwa makamu wa raisi kama nyumbani. Nikawatazama wanajeshi hawa wanao endelea kuzingira eneo zima la ndani ya nyumba hii. Uzuri karibu na ukuta kuna mti mkubwa ulio ota nje ya fensi ya jumba hili. Nikaurukia, kisha nikashuka kwa kasi na kukimbilia eneo nilipo liacha gari na nikamkuta Judy akiwa ana wasiwasi.

“Tuondoke”

Judy akawasha gari pasipo hata maswali na tukaondoka eneo hili kwa mwendo wa kasi sana. Nikavua nguo hizi kisha nikavaa nguo zangu za kijeshi na safari ikaendelea.

“Vipi?”

“Makamu wa raisi namtafutia kitu cha kumfanya kitakacho mpa maumivu makali sana”

“Kitu gani mkuu”

“Usijali nita kuambia”

“Tuelekee wapi sasa hivi?”

Kabla sijamjibu Judy nikaitoa simu yangu mfukoni na kwa bahati nzuri nikakuta ni raisi ana nipigia, nikaipokea simu yake.

“Ndio mkuu”

“Mwanangu ameachiwa huru asiee kwa sasa yupo ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani”

“Yupo salama?”

“Ndio nime zungumza naye muda huu yupo salama kabisa.”

Raisi alizungumza kwa furaha kubwa sana.

“Sawa, nina kuja hapo iklu sasa hivi”

“Karibu”

Moja kwa moja tukaelekea ikulu. Nikaelekea ofisini kwa raisi na kumkuta akiwa peke yake.

“Nime pata taarifa kwamba makamu wa raisi amevamiwa nyumbani kwake”

Raisi alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikamkabidhi simu yangu na kumuonyesha picha ambazo nilipiga nyumbani kwa makamu wa raisi.

“Mimi ndio nilivamia”

“Hichi ni kikao cha nini?”

“Walikuwa wana jadili juu ya hali halisi ya mapinduzi uliyo yafanya kwenye jeshi. Ila nimempa onyo kali sana na ile kauli yangu ya kwamba tuta watoa madarakani ndani ya masaa ishirini na nne nime ifuta?”

“Kwa nini X?”

“Kwa sababu endapo tukakata tawi moja kwenye mti. Nina imani bado hatujapata mzizi wao upo wapi. Makamu wa raisi tuna mjua yeye kama yeye, ila aliniambia kwamba kundi lao lina ongozwa na watu wenye nguvu na endapo ata toka madarakani kwa njia ya kujiudhuru kilazima ni lazima nchi ita pata shida. Nikahofia uchumi wa nchi yetu, nika hofia wana nchi wetu. Ila hii kazi ina bidi nitumie akili nyingi sana tusije kuleta machafuko kwenye nchi.”

“Daaa”

“Ndio mkuu na kuna hii audio hapa”

Nikamuwekea raisi audio ya mazungumzo ya makamu wa raisi na mkuu wa kundi la Al-Shabab.

“Mungu wagu huyu jamaa ana roho gani?”

“Ni zaidi ya mnyama ila nita jua jinsi ya kumkomesha. Sasa hivi nina hitaji kuhutubia wanajeshi wote ifikapo saa kumi na mbili kamili”

“Sawa, ila Eddy una paswa kupumzika huja pumzika siku nzima?”

“Usijali mkuu muda wa kupumzika ukifika nita pumzika”

“Nashukuru kwa kila kitu Eddy”

“Usijali mkuu”

Tukatoka ofisini hapa na Judy. Moja kwa moja tukaelekea Lugago na nikapokelewa kwa heshima kubwa na wanajeshi hawa. Majira ya saa kumi na mbili asubuhi nikaunganishwa na mtandoa wa jeshi na televishion ya jeshi na redio ya jeshi ambazo vyombo hivi vya habari vina wafikia wanajeshi peke yao na sio wananchi wa kawaida.

“Habari wanajeshi. Ni matumaini yangu ni wazima. Jenerali Eddy Eddy Jr nina zungumza hapa. Katika vyombo muhimu katika nchi hii ni jeshi. Sisi ndio tuna dhamana ya ulinzi wa hili taifa adui asiweze kuingia wala kuisogelea nchi yetu. Sisi ndio tuna dhamana ya kuhakikisha kwamba vizazi vya sasa na vya baadae vina ishi katika Tanzania yenye amani kama ilivyo tengenezwa katika maisha ya hapo nyuma na wazee wetu.”

“Sinto penda wala sinto hitaji kuona mwanajeshi yoyote ana tumika kisias kwa maana sisi sio wana siasa na hatuishi kiasia. Sisi ni wanajeshi wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na tuna mipaka yetu ya ufanyaji wa kazi hususani katika usalama. Nimepokea habari kwamba ndani ya jeshi hili kuna vikundi vikundi vya migawanyiko. Nikiwa kama jenerali mpya vikundi hivyo vife mara moja na sio ombi ni amri. Endapo yoyote akibainika ana kikundi kwa niaba ya kiongozi wa kisias basi nikuhakikishie adhabu kali ita kuja juu yako.”

Nilizungumza kwa msisitozo huku nikizitazama kamera nilizo elekezewa mimi.

“Niwakumbushe tu, chief kamanda wa hii nchi ni raisi peke yake na endapo raisi ana kuwa hayupo anaye msaidia ni makamu wa raisi pekee. Isije ikatolewa oder ya aina yoyote na kiongozi yoyote kuanzia makamu wa raisi na walipo chini yake endapo raisi ata kuwa ndani ya nchi au nje ya nchi na kama yupo hai. Muna jua sababu za makamu wa raisi kuongoza nchi na kuchukua full comender juu yetu. Kwa kuwakumbusha ni lazima raisi awe amekufa, au kutekwa ndio makamu wa raisi ana chukua nafasi hiyo ila endapo hato kuwa ametekwa wala kufariki dunia asitokeaa mtu hata mmoja kiongozi wa kisiasa akapandikiza au akatoa amri dhidi yetu. Mimi ndio jenerali na mkuu wenu. Nipo hapa kwa kuwalinda na kuwaongoza kwenye misingi ya kijeshi, mimi sio mwana siasa wala sijawahi kuijua siasa. Nimezaliwa na nimekulia kwenye jeshi na nita kufa nikiwa mwanajeshi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Nitakufa kwa ajili ya nchi yangu, nita kufa kwa ajili ya kuilinda katiba ya nchi yangu na nita kufa kwa ajili ya kuwalinda wananchi wa nchi yangu. Hicho ndio kiapo changu mbele yenu. Mungu ibariki Tanzania na Mungu bariki jeshi la nchi ya Tanzania. Asanteni kwa kunisikiliza”

Wanajeshi walipo katika chumba hichi wakanipigia makofi kisha wakasimama na kupiga saluti. Nikazijibu saluti zao kwa mimi kipiga saluti kisha mazungumzo ya moja kwa moja(mubashara) yakaishia hapa.

“Ume toa speech fupi na nzuri mkuu”

Judy aliniambia huku tukitoka ukumbini hapa.

“Nashukuru, ina bidi tuelekee nyumbani kwa makamu wa raisi kuangalia hali inavyo endelea”

“Sawa”

Tukaondoka kambini hapa, jambo ninalo mpendea Judy ni mwanamke jasiri, mwanamke anaye jiamini na ni comandoo halisi. Nikamtazama Judy kwa dakika kadhaa hadi akajistukia.

“Vipi mkuu mbona una nitazama sana”

“Nina jiuliza maswali mengi sana juu yako”

“Maswali gani mkuu?”

Judy aliuliza huku akiwa makini sana barabarani.

“Ni kwa nini ulipenda kuwa mwanajeshi?”

“Daaa yaani toka utotoni nilikuwa nina penda kuwa mwanajeshi na uzuri ni kwamba mama yangu alinilea kwenye mazingira ya ujike dume, yaani ni mara chache san anime vaa sketi ila muda mwingi sana nime vaa suruali hata shule niliyo kuwa nina soma ilikuwa ina ruhusu kuvaa suruali na ijabu”

“Kwa hiyo upo vizuri kuitumikia hii kazi?”

“Ndio kaka nina ipenda?”

“Umesha wahi kufikiria kuanzisha familia?”

“Ahaa natamani ila wazo hilo bado sija lipatia muda”

“Una mpenda Willy?”

“Ndio nina mpenda sana”

“Una hisi ni mwanaume bora kwako?”

“Ndio ni bora kwangu kwa maana nime mchunguza kabla ya kumkubalia na nikaona ni mtu sahihi”

“Fungeni ndoa”

“Mkuu”

“Ndio fungeni ndoa, napenda siku nimuone mtoto wenu”

“Hahaa Mungu abariki mkuu. Je wewe mke wako ana kuelewa kwenye hali hii ya sasa kwa maana nina hisi majukumu yatakuwa mengi kuliko pale mwanzoni?”

“Uzuri ana nielewa yule mwanamke. Alafu nataka kukueleza siri moja”

“Siri gani mkuu”

“Nina mchepuko”

“Heee hata wewe mkuu?”

“Ndio kwani mimi nani Judy. Mimi ni mwanaume na kama unavyo jua kwamba mwanaume kuridhika kwa mwanamke mmoja ni ngumu”

“Mmmm una nipa wasiwasi kwa hiyo hata Willy naye ana mchepuko?”

“Hapana ni yeye sijui kwa kweli. Ila mimi nina mchepuko kwa sababu”

“Sababu gani mkuu”

“Mke wangu ni muarabu kama unavyo jua. Japo wamezaliwa Tanzania ila damu zao ni za Oman huko, nahitaji kupata mtoto ambaye damu yake na chimbuko lake ni hapa hapa Tanzania”

“Ila mkuu hata akizaliwa mwanao kwa Cauther mbona ata kuwa ni Mtanzania na ana damu yako. Nakushauri tu kama mdogo wako, usimuumieze Cauther ni mwanamke mmoja mzuri sana, mwanamke anaye kupenda na kupenda watu wako wa karibu. Sio mwanamke mwenye akili ndogo kama wanawake wa hivi sasa. Ni mwanamke mwenye malengo makubwa na maono makubwa. Ukimpoteza nina kuhakikishia mkuu huto pata mwanamke kama yeye. Tafadhali sana tulia, wewe ni bosi wangu kwenye kazi, ni kaka yangu kiumri na pia ni mtu wangu wa karibu kuliko mtu yoyote hapa duniani. Kwenye ukweli nita kuambia na sinto kuficha kwa maana hata wewe ninapo toka kwenye mstari una niambia pasipo kunificha”

Judy alizungumza kwa sauti ya upole na maneno ambayo moja kwa moja yakapenya hata moyoni mwangu na kunichoma.

“Isitoshe kuna maradhi mkuu sasa hivi. Jana nilikusikia una nuka pombe ila sikutaka kukuambia chochote ila pia pombe na kazi sio kitu kizuri mkuu. Wifi yangu hajakukosea na hato penda kusikia ana changanywa na mwamke mwengine, uta ibua vita zisizo za lazima kwenye familia yako na uta kufa mapema mkuu kwa maana kama Ukimwi hauangalii wewe ni jenerali wa jeshi au laa ukikupata una kwenda na maji mkuu”

“Nimekuelewa dogo kwa maan mmm una nipa panchi za maana”

“No nina kupenda ndio maana nina kuambia ukweli najua Cauther leo akiumia, mimi ndio kimbilio lake kwa maana ana jua nipo karibu na wewe na laiti angekuwa ni mwanamke wa ajabu ajabu angehisi kwamba mimi na wewe ni wapenzi ila hana hata hizio fikra dada wa watu”

“Nime kuelewa mdogo wangu tumefika”

Nilizungumza huku Judy akipunguza mwendo wa gari na kulisimamisha nje ya geti la nyumba ya makamu wa raisi, tukashuka na wanajeshi walipo eneo hili waka tupigia saluti kisha tukaingia ndani.

“Makamu wa raisi yupo wapi?”

“Sebleni kwake”

Tukaelekea hadi sebleni na kumkuta makamu wa raisi, daktari na walinzi wake pamoja na jenerali aliye vuliwa madaraka wakiwa eneo hili. Nikasalimiana nao kisha nikakaa kwenye moja ya sofa na kuweka nne.

“Ime kuwaje mzee?”

Nilimuuliza makamu wa raisi huku nikimtazama usoni mwake.

“Aliingia mvamizi jana usiku akashambulia vijana wangu na mimi mwenyewe. Tuna shukuru Mungu hapakuwa na mtu aliye uliwa”

“Je mume tambua mvamizi huyo ni nani?”

“Hapana bado hatuja fahamu ni nani?”

“Poleni sana, fomer jenerali vipi?”

Jenerali aliye vuliwa madaraka akanitazama pasipo kunijibu chochote.

“Mzee kumbuka una zungumza na mkuu wako, sija kukosea?”

“Kijana bado najiuliza maswali mengi ila nina kosa jibu. Ume toa wapi nguvu na mamlaka ya kurudi kazini na kufika hapa ulipo fika?”

“Muulize makamu wa raisi alinitoa wapi. Yeye ndio ana jua background yangu ila wewe hujui. Na nikuambie kitu, sijatumia nguvu yoyoye kufika hapa nilipo fika. Ila ni Mungu mwenyewe ndio aliye nifikisha hapa kwa maana Mungu ana hitaji kuona nchi ina ongozwa na watu wenye kumpenda na kumjua yeye”

“Mungu ehee?”

“Ndio”

“Jamani acheni marumbano. Yaliyo tokea ni maamuzi ya raisi mwenyewe. Eddy ila usisahau ni nani aliye kutoa mavumbini na kukupa ufalme ulio nao. Mimi ni sawa na baba yako na kauli zako katika hutoba yako sija zipenda. Tambua mimi pia ni sawa na raisi?”

“Ila sio raisi, wewe ni makamu wa raisi na hukupigiwa kura wewe na mamilio ya Watanzania, raisi yeye ndio alipigiwa kura na wewe ulikuwa ni msaidizi wake tu. Mfano mzuri ni sawa sawa na kwenye familia baba na mama. Baba ndio kiongozi na mmiliki wa familia na mama ni msaidizi wa familia hivyo mama hawezi kujifananisha na baba siku hata moja na ikitokea akfanya hivyo basi huyo sio mama bora na hapaswi kuwa kwenye hiyo familia. Nikuambie ukweli mbele ya huyu mzee, sasa hivi nina nguvu, na nguvu ya nchi ni jeshi na sio pesa wala mtu yoyote yule wala kikundi cha mtu yoyote na jeshi ndio nchi kwa maana bila jeshi hakuna nchi kwani hata paka nao wana tawala. Nawajua A to Z nyinyi nyote wawili, endapo ika tokea mmoja wenu au wote mukajichanganya, mukajivuruga. Muka fanya upumbavu wowote ule ndani ya hii nchi, sio wewe makamu wa raisi wala sio wewe mzee unaye paswa kustafu sasa. Nita waua kwa mkono wangu mimi mwenyewe. Sasa jichanganyeni muone jinsi kichaa anavyo pewa rungu, mutafurahi na roho zenu. Asaubuhi njema”

Nilizungumza kwa kujiamini huku usoni mwangu nikiwa na tabasamu pana sana. Nikasimama huku nikimtazama makamu wa raisi na jenerali aliye vuliwa madaraka kisha nikaanza kutembea kuelekea nje na kumfanya jenerali aliye tolewa madarakani kuchomoa bastola yake kiunoni na kuninyooshea jambo lililo mfanya Judy kwa haraka kuchomoa bastola na kumyooshea kwani akinipiga risasi na yeye ana fumuliwa risasi na Judy.




Nikatabasamu huku nikimtazama jenerali aliye tolewa madarakani. Nikamsogelea karibu kabisa na mdomo wa bastola yake uka gota kifuani mwangu.

“Nipige hapa kwenye moyo. Risasi moja tu ina tosha kuyakatisha maisha yangu.”

Nilizungumza kwa kujiamini huku nikiishika bastola ya jenerali huyu na kuigotesha kifuani mwangu. Ukimya ukatawala ndani ya seble hii huku macho yangu yakimtazama jenerali aliye tolewa madarakani jinsi aanavyonitazama kwa hasira.

“Hei hei jamani hembu acheni basi”

Maamu wa raisi akaingilia mtafaruku huu kwa maana ulipo fikia damu ina weza kumwagika. Taratibu jenerali akatoa bastola yake kifuani mwangu na kuirudisha kiunoni mwake.

“Kijana chunga sana, kama sijakuondoa duniani kwa risasi nita kuondoa duniani kwa kukuroga na usihisi kwamba hii nafasi niliipata kiholela holela?”

“Hahahaaa mzee, huja nijua bado, muambie mkuu wako akusimulie”

“Eddy nyamaza hembu acheni upuuzi. Kumbukeni nyumba tunayo ijenga ni moja, muna gombania fito za nini sasa”

Makamu wa raisi alizungumza huu akitutazama sote.

“Binti shusha bastola yako”

Makamu wa raisi alizungumza huku akimtazama Judy ambaye hakuisikiliza amri hiyo zaidi ya kuendelea kumnyooshea jenerali mstafu bastola.

“Binti nime kuambia shusha chini silaha yako”

Judy hakutikisika wala kutii amri hiyo japo makamu wa raisi amezungumza kwa kufoka. Nikampa Judy ishara ya mkono ya kushusha bastola hiyo na akatii na kuichomeka kiunoni mwako.

“Kwa hiyo Eddy siku hizi wana jeshi wako wana mfumo mpya wa kuto kufwata amri ya makamu wa raisi?”

“Mimi ndio boss wao na wewe ndio boss wangu. Hivyo amri ita pita wangu ifike kwao. Asubuhi njema”

Mimi na Judy tukatoka ndani na kuingia ndani ya gari.

“Wapi tuna elekea bosi”

“Nipitishe nikamuone mke wangu, nilale kidogo kwa maana nina usingizi baalaa. Nawe uende ukapumzike”

“Sawa na asante mkuu”

“Tukiwa mimi na wewe usipende kuniita mkuu. Niite tu bro”

“Hahaaha sawa bro”

“Ila nime mmiss sana Maulid. Natamani sana kama angekuwepo na kushuhudia haya tunato pitia”

“Ni kweli kaka. Maulid alikuwa ni mtu bora sana kuwahi kutoke kwenye maisha yangu. Ila ndio hivyo kazi ya Mungu haina makosa”

“Kweli Mungu fundi, alituweka kwenye furaha ya ndoa yangu kisha akatuingiza kwenye msiba wa ndugu yangu”

“Yaaa”

Tukafika nyumbani kwa wakwe zangu. Tukapokelewa vizuri sana na uzuri nime valia mavazi yangu ya kijeshi hivyo hata thamani yangu imeongezeka kwa waarabu hawa ambao hapo awali walikuwa wakinichukulia poa sana.

“Baba kumbe wewe ni mtu mkubwa sana?”

Bibi Cauther aliniuliza.”

“Ndio bibi sema nilikuwa nina jiweka kawaida”

“Aisee kweli wale walio kudharau sasa wana umbuka. Mume sikia musimdharua musiye mjua”

Bibi aliwaambia watu walipo hapa sebleni.

“Cauther yupo wapi?”

“Bado yupo chumbani ame lala. Huyu uliye kuja naye ni nani?”

Bibi alihoji maswali.

“Huyu ni kijana wangu anaa itwa Judy au kwa kirefu Judith ni komandoo wa jeshi”

“Komandoo mbona mrembo hadi nikahisi mjukuu wangu ana ibiwa?”

“Hahahaa hapana bibi, haibiwi”

“Judy nawe karibu nyumbani”

“Nina shukuru sana”

“Ngoja nikamuone Cauther”

Nikanyanyuka na kuelekea gorofani katika chumba cha Cauther, nikaingia taratibu na kumkuta akiwa amelala kifudifudi huku akiwa amevalia kigauni chepesi cha kulalia.

‘Ila nina mke mzuri. Mbona nina ruka ruka?’

Nilijiuliza kimoyo moyo huku nikimtazama Cauther, taratibu nikambusu shavuni mwake na kumfanya afumbue macho yake.

“Baby”

Cauther alizungumza kwa sauti ya chini na iliyo jaa uchovu mwingi.

“Niambie mke wangu”

“Safi, waooo umependeza na mavazi yako”

“Nashukuru mke wangu. Pole kwa kuchoka”

“Yaani mwanao ana nifanya niwe nina penda usingizi balaa. Yaani hata nikiwa nime toka kuamka bado nina jihisi usingizi”

“Pole mke wangu, naweza kulala pembeni”

“Yaa una weza kulala mume wangu.”

Nikavua viatu na nikajilaza pembeni mwa Cauther.”

“Judy yupo sebleni nenda kamsalimie na muambie akapumzike, mimi nime choka acha nilale kidogo kwani toka majuzi sija lala”

“Sawa mume wangu, ngoja kwanza nikuvue nguo”

Cauther akaanza kunivua shati langu, akanivua suruali na nikabaki boksa pekee.

“Nenda kaoge kidogo mume wangu baada ya hapo uje kulala?”

“Hapana nita oga nikiamka”

“Sawa, ngoja nikamuone Judy. Uta kula nini?”

“Chochote ukipendacho wewe mke wangu”

“Mimi napenda maembe mabichi, uta kula”

“Hahaaa unajua nini napenda kula”

“Sawa mume wangu”

Cauther akatoka ndani hapa na kwa kweli sikumaliza hata dakia mbili usingizi mzito ukanipitia. Mlio wa simu yangu ukanifanya nifumbue macho yaliyo jaa ukungu wa usingizi, nikaanza kutafuta niw api mlio wa simu una tokea, nikaiona ikiwa pembeni ya kitanda hichi. Nikaichukua huku nikijigeuza na kulala chali. Nikaitazama na kustuka kidogo kuiona namba ya Mariam. Nikatazama kila pande za chumba hichi kikubwa na sikuweza kuona mtu yoyote.

“Haloo”

“Hei baby kumbe wewe ni jenerali wa jeshi”

“Kumbuka mipaka yako”

“Una manisha nini kusema hivyo?”

“Kumbuka nilicho kuambia, mimi ndio nitakuwa nina kupigia”

“Ohoo samahani, furaha niliyo nayo nime jikuta. Samahani sana”

“Poa”

“Vipi leo uta kuja?”

“Nita kujulisha”

“Sawa, ila sahamani sana Eddy”

“Poa”

Nikakata simu, hazikupita hata dakika mbili Cauther akaingia huku akiwa amevalia mavaa mavazi ya kupika jikoni.

“Afadhali ume amka mume wangu, nimekuja kukuamsha, ukaoge, kisha twende tukale”

“Ina maana wewe ndio ume pika?”

“Ndio mume wangu”

“Kwa nini ikiwa una jua kabisa mke wangu una umwa?”

“Mume wangu jamani. Mimba sio ugonjwa na sio kwamba nita kuwa nime kaa miezi yote hiyo pasipo kujishuhulisa na kazi hizi ndogo ndogo. Lazima nijishuhulishe ili nisiwe nina lala lala sana. Kaoge kwa maana na jua ukiendelea kulalamika hapa hata hatuto maliza”

Nikamchika kiunoni Cauther na kumvuta kitandani na akanilala kifudifudi kifuani mwangu huku akinitazama.

“Nime kumiss sana mke wangu”

“Hata mimi nime kumiss pia mume wangu”

“Vipi tuna weza kupiga mechi kwa maana ukweli hapa”

“Hahaaa badae bwana mume wangu. Watu wana kusubiria wewe twende tukale pamoja”

Nikapiga miyayo mingi ya uchovu.

“Utanimeza mume wangu kwa maana si kwa kuchoka huko”

“Yaani kazi ngumu sana hii”

Nilizungumza huku sote tukishuka kitandani.

“Ehee niambie imekuwaje hadi ume chaguliwa kuwa jenerali ikiwa ulisimamishwa?”

“Ahaa mke wangu, wana siasa hawaeleweki, ila raisi alinisimamisha kutokana na kutekwa kwa mwanaye huko Ujerumani, hivyo walimshinikiza anisimamishe”

Nilizungumza huku sote tukielekea bafuni. Cauther akakaa kwenye sink la choo cha kukaa huku kikiwa kimefunikwa mfuniko wake. Bafu hili lililo tengenezwa vizuri una weza kuweka hata kitanda na ukalala vizuri pasipo wasiwasi wa aina yoyote.

“Huogi?”

“Nitaoga nikimaliza kula mume wangu”

Nikavua boksa, nikafungua bomba la mvua na kuanza kuoga taratibu huku nikimtazama mke wangu ambaye muda wote ana nitazama.

“Ila mume wangu ume barikiwa”

“Nimebarikiwa nini mke wangu?”

“Mashine…..hahaaa mwanaume mashine”

“Hahaaa chizi kweli wewe”

“Haki ya Mungu vile mume wangu. Yaani mbo** yako ni nzuri sana”

“Hivi ningekuwa na kibamia ungenipenda”

“Boo mwanaume wa aina hiyo wa nini mimi. Raha ya mwanaume akukune hadi ukunike”

“Wacha weee”

“Ndio”

“Basi njoo nikukute kidogo”

“Mmmm umeanza.”

“Kidogo tu mke wangu”

Nilizungumza huku nikimsogelea Cauther, nikamshika mkono wa kulia na taratibu nika mnyanyua.

“Baby una jua nina pika”

“Ndio, najua ila nina mjazia mtoto masikio”

Tukaanza kunyonyana denda huku nikimvua Cauther nguo zake, nikarudi naye kwenye bomba linalo endelea kumwaga maji. Taratibu nikamuinamisha na mikono yake miwili ikashika ukuta na taratibu nikaanza kuma kitumbua chake huku maji ya bomba hili yakikatiza katima miili yetu. Kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi mtanange huu ulivyo zidi kupamba moto hadi ikafikia muda sote tuka ridhika. Cauther akanikumbatia kwa nguvu huku akiwa amejawa na furaha.

“Asante mume wangu”

“Asante nawe mke wangu. Wewe ni mtamu kwa kweli”

“Hata wewe ni mtamu mume wangu”

Tukaoga kwa pamoja kisha tukatoka chumbani hapa. Nikachukua mashine ya kukausha nywele na nikaanza kumkausha Cauther nywele zake ambazo ni ndefu na zina fika karibu na kiuno chake.

“Mtoto akiwa wa kike namuomba Mungu apate nywele kama hizi zako mke wangu”

“Akiwa wa kiume?”

“Apate hizi zangu”

“Kwa nini sasa, wakati akiwa na nywele za kiarabu ata kuwa ni mzuri na visichana vitakuwa vina mshobokea”

“Hahaaaa ume waza hilo?”

“Ndio, namuomba sana Mungu, wanangu wawe wazuri kama wewe”

“Wee mwanaume hasifiwi uzuri”

“Mmmm kila mtu na chake mume wangu, nisipo kusifia mimi una taka nani akusifie mwengine”

Tukazidi kuzungumza mambo mawili matatu huku tukijiandaa na kutoka ndani hapa huku Cauter akiwa amenipatia kanzu mpya kwa maana sina nguo nyingine za kubadilisha.

“Umeitoa wapi?”

“Nilimuagiza dereva kipindi ume lala, alikuwa mjini nikamuambie akuletee kanzu na suruali ya ndani”

“Asante mke wangu”

“Ni wajibu wangu kuhakikisha Mume wangu ana penda kila wakati”

Tukatoka ndani hapa na kueleke eneo la sebleni, kwa pamoja tukajumuka katika meza kubwa na kuanza kula chakula cha mchana huku Cauther akiwa amekaa pembeni yangu.

“Mume wangu jeshini uliingia lini?”

Bibi Cauther aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu. Watu wote wakaka kimya huku wakisubiria jibu langu.

“Niliingia nikiwa bado kijana mdogo?”

“Hivi shemeji jeshi lenu mafunzo yake ni magumu sana?”

Mdogo wa kiume wa Cauther aliniuliza.

“Aahh hakuna jeshi lenye mazoezi marahisi shemeji, ila kadri unavyo panda cheo ndivyo jinsi ujuzi unavyo badilika na mazoezi ya kuupata ujuzi huo una kuwa mgumu zaidi”

“Shem jana raisi alisema kwamba wewe ulikuwa kiongozi wa kundi la X ni kwel?”

“Ndio”

“Je umeshawahi kuua?”

Swali hili likanifanya nikae kimya kidogo.

“Hembu muacheni mume wangu bwana ale. Amechoka maswali mengi”

“Usijali mke wangu, huu ndio wasaa wa mimi na wao kukaa kwa pamoja na kuzungumza. Shem hivi una itwa nani?”

“Mudathiri”

“Okay shem Mudathiri. Unapokuwa mwanajeshi unahi wako binafsi sio mali yako”

“Una maanisha nini shemeji?”

“Maana yangu ni kwamba kufa ni kitu cha kawaida hususani munapo kuwa katika uwanja wa mapambano. Hivyo ili usife ni lazima wewe uue”

“Ila si dhambi hiyo shemeji?”

“Mudathiri hembu kula”

Baba mkwe alizungumza kwa ukali kidogo kwa maana maswali ya dogo yana zidi kuwa mengi.

“Usijali baba anacho kiuliza kina manufaa kwa wengi ambao wana tamani kujua. Katika quruan na biblia una weza kuona baadhi ya wafalme walikuwa wana pigana na kuua majeshi ya maeneo mengine ili kuweza kutawala hilo eneo au kulinda miji yao, na wengine nao walikuwa wana pewa kibali cha moja kwa moja kutoka kwa Mungu. Hivyo basi kuua vitani huwa tuna amini wamba sio dhambi, ila ukiua mtu asiye nahatia na ambaye hana madhara kwako basi ni dhambi”

“Hapo nime kuelewa shemeji, nina maswali mengi sana leo”

“Wewe uliza tu Mudathiri”

“Ili uwe jenerali wa jeshi una mambo gani ambayo una paswa kupita?”

“Kuna kiwango fulani cha ujuzi ina bidi ufike na ili uwe jenerali basi ni jinsi raisi mwenyewe atakavyo kuchagua, ila kwamba kuwa jenerali ni hadi uwe na umri mkubwa sana kama ilivyo zoeleka”

“Sasa shemeji, kama mimi nikihitaji kuwa mwanajeshi wa hapa Tanzania si nina ruhusiwa kwa maana sijawahi kuona mwanajeshi wa Tanzania muarabu?”

“Kama ume zaliwa Tanzania na una uraia wa Tannzani niambie nikutafutie nafasi uingie”

“Ndio nimezaliwa, shemeji nikimaliza chuo mwaka kesho, basi nifanyie mpango niingie. Yaani nina penda sana kuwa mwanajeshi. Nina penda sana mambo ya kupigana pigana”

“Usijali shemeji”

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa katika mfuko wa kanzu yangu, nikatazama kisha nikanyanyuka kwenye kiti na kutoka nje na kumpokea Willy.

“Broo broo Airpot ya Mwalimu Nyerere ime tekwa na magaidi, mchana huu”

Kauli ya Willy ikanistua sana kiasi cha kunifanya mapigo yangu ya moyo kuanza kunienda kasi kiasi cha kushindwa hata kumjibu kwa wakati kwani nime shikwa na bumbuwazi la gafla sana.


“Kaka, kaka”

Willy aliniita mara baada ya kuona nimekaa kimya na simjibu kitu chochote.

“Ndio”

“Umenisikia?”

“Ndio nimekusikia, hembu nitumie video ya cctv kamera zinazo endelea eneo la tukio”

“Sawa”

Nikakata simu na kurudi ndani na nikaanza kukimbia kuelekea gorofani na kuwafanya watu wote washangae. Nikavua kanzu hii niliyo ivaa na kuanza kuvaa nguo zangu za jeshi. Cauther akaingia ndani hapa huku akiwa na mshangao.

“Mume wangu kuna nini?”

“Airport ime tekwa”

“Airport gani?”

“Ya hapa Dar”

“Mungu wangu. Una jua Salumu naye ana kuja na ndege ya mchana huu ana toka Oman na nina imani ndege yao ita kuwa imesha tua”

Nikafungua video ambayo Willy amenitumia na kutazama jinsi miili ya wananchi walio pigwa risasi jinsi ili ilivyo tapakaa ndani ya majengo ya uwanja mzima. Cauther machozi yakaanza kumwagika huku akiwa na wasiwasi mkubwa sana.

“Hakikisha hutoki au mtu yoyote hatoki humu ndani?”

“Sawa nmume wangu ila kamsaidie kaka yangu asije akauwawa”

“Usijali”

Nikamnyonya denda Cauther.

“Kuwa makini mume wangu”

“Sawa”

Nikavaa kofia yangu na kutoka ndani hapa, nikakutana na baba mkwe mlangoni akiwa ananisubiria, akanikabidhi funguo ya gari huku akinitazama usoni mwangu.

“Naomba urudi salama”

“Nashukuru mzee”

Nikaondoka na kushuka kwenye ngazi nikawakuta wanafamilia wakiwa wamekusanyika sebleni wakitazama habariya kuvamiwa kwa uwanja wa ndege. Mudathiri kwa harakaa akanikimbilia huku uso wake ukiwa una lengwa lengwa na machozi.

“Shem kaka Salumu yupo hapo Airport”

“Usijali atarudi salama.”

Nikatoka nje huku Mudathiri akinifwata kwa nyuma. Nikaminya moja ya batani iliyopo katoka kishikizo cha funguo niliyo pewa na baba mkwe na gari moja kati ya sita zilizopo hapa, ikawasha taa za mbele iliashiria kwamba funguo hii ni ya gari hii aina ya BMW 3 series. Nikaingia ndani ya gari hili la kifahari na kuondoka nyumbani hapa kwa wakwe zangu kwa kasi. Nikapokea simu ya raisi.

“Jenerali upo wapo?”

“Nipo barabarani mkuu nina elekea airport”

“Sawa kwa maana nilitaka kukuuliza kama habari ya hao watekaji ume isikia”

“Ndio mkuu nimeisikia”

“Sawa mimi ndio nina ingia commanding room hapa tutawasiliana ukifika eneo la tukio”

“Sawa muheshimiwa”

Nikakata simu, ikaingia simu ya Judy na nikaipokea.

“Mkuu airport ime tekwa, nikufwate hapo nyumbani?”

“Mmi nimesha toka nipo njiani hivi”

“Sawa mkuu nita kukuta eneo la tukio”

“Poa dogo wasiliana na Gody naye aweze kufika eneo la tukio”

“Sawa”

Nikakata simu, huku nikijitahidi kadri ya uwezo wangu kupita njia za panya ilimradi niweze kuwahi kufika uwanja wa ndege. Nikafanikiwa kufika uwanja wa ndege na kukuta askari polisi, wanajeshi pamoja na wana usalama wa kitengo cha NSS wakiwa tayari wamesha fika eneo la tukio.

“Karibu mkuu”

“Asante kampteni, nipeni kinacho endelea”

Nilizungumza huku nikimtazama kapteni huyu wa jeshi ambaye ana onekana ndio kiongozi mkuu wa oparesheni hii.

“Hadi sasa hivi hatujafanikiwa kuingia ndani ya majengo yote ya uwanja na hatujajua ni kina nani ambao wana husika mkuu”

Mwanajeshi mmoja akanipatia wireless earphone ndogo yenye uwezo wa kuwasiliana na watu walipo ikulu, kitengo cha NSS pamoja na wana usalama wote walipo eneo hili ambao kila mmoja ameweza kuvaa kinasa sauti kama hichi changu.

“Mume weza ku acces cctv kameraa?”

“Kwa bahati mbaya cctv kamera zote wanezuvunja hivyo hatujui ni nini kinacho endelea ndani ya uwanja”

Nikatoa simu yangu mfukoni na nika izima hii earphone ili mazungumzo yangu yasiweze kusikiwa na mtu yoyote.

“Dogo”

“Ndio kaka”

“CCTV kamera zote za ndani zime vunjwa uta tusaidiaje?”

“Ndio nina hangaika hapa kaka kujua nini nita fanya”

“Una onaje ukaja hapa uwanjani kushirikiana na hawa I.T wezako”

“Sawa ngoja nitafute bodaboda”

“Kuwa makini”

“Sawa kaka”

Nikakata simu na kuwasha earphone yangu. Waandishiwa habari kutoka vyombo mbalimbali wapo katika eneo walilo amrishwa kuwepo na lime zungushiwa utepe wa njano na hawaruhusiwa kuwa karibu na eneo tulipo sisi wananchi au waandishi wa habari.

“Wale waandishi wa habari wana kwenda live?”

“Ndio mkuu”

Nikaingia kwenye moja ya gari kubwa ya jeshi lenye lori moja ambalo ndani lina ofisi za mawasiliano na kuna vijana wana fanya kazi kuhakiksha kwamba wana pata na kupokea taarifa zote. Wakataka kusimama ili wanipigie saluti ila nikawazuia.

“Habari zenu”

“Salama mkuu”

“Tusikilizaje. Tupo kwenye kipindi ambacho tuna pambana na watu ambao hawatuwajui ila sisi wana tujua. Watu ambao nina imani kwamba walitumia muda woa mwingi sana kuweza kuisoma ramani ya uwanja wetu na kujua mazingira ya kiulinzi ndio maana ndani ya muda mfupi sana wameweza kuteka uwanja wetu wote.”

Nikameza mate kidogo kwa maaan nina tambua kwamba watu wote wana nisikiliza hadi ikulu na vikosi vyote vya usalama eneo hili wana nisikiliza.

“Hatujui wao ni kina nani na wana taka nini kwa maana hadi sasa hivi hawajatupatia ombi la aina yoyote ila, ila niwaahidi kwamba tuta wapiga na tuta waua kama walivyo waua ndugu zetu waliomo ndani ya uwanja huo na walio hai tuta waokoa. Ninachi kihitaji kwa kila mmoja wetu aliyopo hapa ni kuhakikisha kwamba ana kuwa makini na ana jitolea kwa lolote lile litakalo kwenda kutokea. Chochote kitakacho jiri basi tuhakikishe kwa pamoja tuna saidiana, haijalishi wewe ni askari polisi, mwanajeshi au usalama wa taifa. Wote tupo kwenye boti moja na sote tukizama tutaogelea pamoja. Asanteni”

Baada ya mazungumzo haya nikazima earphone yangu. Simu yangu ikaanza kuita, nikampokelea Willy.

“Kaka nimefika hapa ila wanajeshi wana nizuia kuingia.”

“Mpe simu huyo anaye kuzuia”

“Haloo”

“Mimi ni jenerali Eddy mruhusu kijana huyo apite”

“Sawa mkuu”

Nikakata simu na kutoka nje ya gari hili. Nikamuona Willy akitembea kwa kasi huku mgongoni mwake akiwa amevaa begi.

“Vipi dogo”

“Safi kaka nimeweza kupata sura za watekaji wawili.”

“Hembu nionyeshe”

Willy akavua begi lake na kutoa laptop yake, akaiwasha na kunionyesha picha za jamaa wenye asili ya kiarabu. Mmoja akiwa ni mwanaume na mwangine ni mwanamke.

“Huyu ana itwa Husna Omary ni Mpakistani yupo kwenye kundi la Al-quida. Jama jamaa huyu ana itwa Hassan Hassan. Ni raisi wa Iraque naye pia yupo kwenye kundi hilo hilo la Al-quida”

“Kwa hiyo Al-quida ndio wana husika na hili shambulizi?”

“Kwa asilimia labda hamsini kwani zaidi ya magaidi thelathini na sita wamo humu ndani ya uwaja. Wameteke Air Quitary, Air Tanzania, KLM, Fly Emirates, Fast Jet. Ndege zote zilizo tua dakia tano baada ya tukio wamezikamata na zile zilizo kuwa zina jiandaa kupaa bado zipo na abiria wake ndani na wapo katika mnara wa mawasiliano wa ndege. Hivyo kwa marubani ambao hahawajapata taarifa za tukio basi wana jikuta wakitua pasipo kujua kinacho endelea”

“Wao wamekuja na nini na ime kuwaje wameingia na silaha ndani ya uwanja?”

“Wapo walio kuja kama wasafiri, na kama unavyo fahamu, uwanja wetu una ingiana kutoa wasafiri wengi. Ila swala la kuingiza silaha bado sijafahamu kaka”

Willy alinipa maelekezo mazuri sana, kitu ninacho mpendea Willy kichwa chake kipo haraka sana kwenye kuelewa mambo na kuyachambua ndio maana huwa wa kwanza kwanza kupata taarifa za matukio makubwa yanayo tokea ndani ya nchi hii.

“Sawa, sasa tuna ingiaje ikiwa ndani kamera zote zime vunjwa?”

“Hawaja vunja zote kwa maana uwanja kuna kamera zaidi ya laki sita, kila kona. Walicho kifanya wao ni ku hack mfumo mzima wa kamera na kuingiza software zao ambao hakuna mwenye uwezo wa kuzifungua na mbaya zaidi software hizo zina tumiaka kwa lugha ya kirussia.”

“Dauuu, njoo”

Tukaingia ndani ya lori.

“Tusikilizane. Huyu ana itwa Willy ni kijana wangu wa kundi la X ana dili na maswala ya I.T pekee. Ata wapa maelekezo madogo ambayo nina imani wengi mumeshindwa kuyatuatua ila ameyatatua. Willy waambie juu ya hizo software”

“Nina itwa Willy. Nimefikiwa kupata sura za watekaji wawili ambao wapo kundi la Al-quida”

Willy akaanza kuwaelezea watu hao kama alivyo nieleza na akanielezea namna jinsi ambayo wameweza kuhack kamera hizo zilizipo uwanja wa ndege.

“Kufungua kamera ina wezekana”

Willy aliuzngumzz kwa kujiamini.

“Kivipi?”

Kiongozi watu wanao dili na maswala ya I.T alizungumza kwa maana wao toka wamefika hapa hakuna jipya walilo lipata.

“Nimetengeneza software inayo weza kushare kila wanacho kiona wao, wanacho zungumza wao kwa simu zoa sisi tukawa tuna ona na kusikia, ila tu hatuto weza kufanya mawasiliano yoyote na wale ambao wana zungumza nao na kitu kingine ni kwamba siwezi kui malizia hii software hadi pale nitakapo weza kumpata mtu anaye jua lugha ya kirussia”

“Mimi nina jua”

Msichana mmoja mrefu alizungumza.

“Kweli?”

“Ndio nime jifunza taaluma yangu Russia kwa miaka saba na nina kijua vizuri”

“Basi tushirikiane”

“Willy ujitahidi”

“Sawa kaka”

Nikatoka nje ya gari hili na kuwaona Gody na Judy wakishuka ndani ya gari huku wote wakiwa wamevali nguo za kijeshi. Wakanipigia salituti.

“Je mume fanikiwa kuipata video?”

“Ndio mkuu Willy alitutumia”

“Uwanja ni mkubwa sana na una maeneo mengi sana ambayo pasipo kuwa makini tuna weza kuwapoteza hata hao wananchi ambao wapo hadi hadi sasa hivi”

“So mkuu hatuingii ndani?”

Judy aliniuliza huku akinitazama machoni mwangu.

“Nina subiria Willy kuna software ambayo anaitengeneza kwa ajili ya kuweza kudukua mfumo mzima wa jamaa hao ili tuweze kuona kinacho endelea ndani ya uwanja. Ila hakikisheni muna jiweka tayari kama ni kuingia ndani sisi watatu ndio tutaingia”

“Ila mkuu wewe ni kiongozi, acha sisi vijana wako tuifanye hii kazi”

Gody alizungumza huku akinitazama machoni mwangu.

“Mimi sio kiongozi yule wa kukaa chini na kubweteka. Mimi ni kiongozi wa kuongoza na kuwa mfano kwa wengine na kama mukiingia nyinyi wawili muta shindwa. Tuna elewana”

“Ndio”

“Mkuuu mkuu”

Mwanajeshi mmoja alinikimbilia huku akinifwata sehemu nilipo simama.

“Kiongozi wa magaidi anaye waongoza wezake ana hitaji kuzungumza na mtu ambaye ndio uncharge hapa”

“Twende”

Wote tukaelekea kwenye lori hili. Tukaingia ndani na taratibu nikaisogelea simu ya mezani. Kila mtu akaka kimya kusikia ni nini ninacho kwenda kuzungumza kwani simu hii ime unganishwa moja kwa moja na ikulu pamoja na kitengo cha NSS. Nikashusha pumzi kisha nikanyanyua mkonga huu wa simu na kuuweka sikioni mwangu.

“Jenerali Eddy Eddy Jr.”

“Waooo habari yako Jerali Eddy”

“Salama, ndio nina kusikiliza”

“Una kumbona miaka saba, jijini Karachi Pakistani?”

Nikakaa kimya kwa sekunde kadha huku nikiwatazama watu waliomo ndani.

“Hapana naomba unikumbushe”

“Hahahaa nina imani kichwa chako kita kuwa kime sahau jambo moja. Munakumbua wewe na wezako mulivyo iua familia yangu kwa kuweka bomu kwenye gari ili mradi kumuua baba yangu tu pekee. Muna kumbuka raisi wenu ndio aliye iongoza oparesheni hiyo huku wewe ukiwa na wezako munao jiita X, X, X?”

Kumbukumbu za siku hiyo zikarudi kwa haraka sana kichwnai mwangu. Mzee Razacky, kama alivyo julikana alikuwa ni muwezeshaji mkubwa sana wa kiuchumi wa kundi la Al-quida. Kundi ambalo lilikuwa na nguvu ya kufanya mashambulizi mengi na makubwa katika nchi mbalimbali kama Marekani, Uingereza na pia walishambulia ubalozi wa Marekani ulipo nchini Tanzania miaka mingi ya nyuma. Tajiri huyu alikuwa ana fanyowa kazi zake haramu na kundi hili la Al-quida na alikuwa ana sakwa na nchi nyingi sana kama Marekani na Uingereza. Hadi tuna pewa kazi ya kumsaka, nchi hizo kubwa zilishindwa kumtafuta, nasi tuka pewa idhini moja ya kuhakikisha ana kufa yeye na familia yake. Siku hiyo nina kumbuka mimi ndio nilitegesha bomu chini ya gari la mzee huyo ambaye alikuwa ana jiandaa yeye na familia yakwe kwende kwenye sala ya Maulid jijini hapo. Bomu hilo kweli liliweza kumteketeza yeye na familia yake na kuanzia kipindi hicho, nguvu ya Al-quida kiuchumi ikaanza kuporomoka kwa kasi sana.

“Ndio nina kumbuka”

“Basi mimi ni kijana wake wa mwisho ambaye Allah, alimsaidia kuepuka na kifo hicho na nikaapia ni lazima nije kulipiza kisasi kwa kumwaga damu za Watanzania wengi sanaaa ili mwenyezi Mungu aipumzishe familia yangu kule alipo”

“Nime kuelewa, ila wananchi hao hawana hatia?”

“Je wana familia yangu walikuwa na hatia. Baba, kaka, mama, dada na pacha mwenzangu walikuwa na hatia eheeee?”

Jamaa alifoka sana hapa ndipo nikagundua kwamba hutukuia familia nzima ya bwana Razacky, kumbe mtoto wake wa mwisho wapo mapacha na katika listi yetu tulijua yupo mmoja.

“Sawa nime kuelewa. Ila hii vita ni kati yangu mimi na wewe na wananchi wengine hawana hatia?”

“Ohoo hahahaa Eddy Eddy ama Mr X. Wewe una hatia, raisi wako mwenye kiherehere naye ana hatia, kwa ujumla nyinyi nyote muna hatia na hadi sasa hivi miili ya watu mia moja tayari nimesha ipiga risasi na wamekufa na watu wengine alfu mbili nime washikilia mateka. Nitalipua ndege moja baada ya nyingine yenye mateka kila baada ya lisaa moja. Nakuwashia moja ya kamera na shuhudia jinsi ndege yenye watu mia mbili inavyo lipuka”

Nikageuka kulia kwangu na kutazama kioo cha computer kinacho onyesha ndege kubwa ya shirika la Fly Emirates jinsi inavyo lipuliwa vipande vipande hadi mtetemeko wa aradhi ukatokea eneo hili kwani mlipuko wa ndege hiyo ni mkubwa kupita maelezo.

“Hivi ndivyo baba yangu. Mama yangu, kaka yangu, dada yangu na pacha wangu waliteketea kwa mlipuko wa bomu. Hivyo sikutaka uumize kichwa na kujiuliza ni nani aliye teka uwanja huu. Ni mimi Zuberi Razacky”

Simu ikakatwa na kujikuta nikitetemeka kwa hasira, nikatoka kwa kasi ndani ya lori hili, nikashuhudia jinsi moshi mwingi na mweusi unavyo tawala anga la uwanja huu wa Mwalimu J. K Nyerere kitu kilicho nifanya roho yangu iniume sana na kujawa na gadhabu kubwa sana tukiendelea kuwachekea hawa wapumbavu, watu wengi watazidi kufa na baadae ita kuwa ni lawama ndani ya vyombo vyetu vya usalama pamoja na nchi yetu kwa ujumla.



Judy akasimama pembeni yangu huko sote kwa pamoja tukitazama moshi huo jinsi unavyo tawala anga la uwanja huu wa ndege.

“Mkuu ina bidi tuelekee ndani, watazidi kuwaua watu wengine”

Judy alizungumza kwa kujiamini sana. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kukuta ni namba ya raisi, nikaitazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaipokea.

“Ndio mkuu”

“Eddy tuna fanya nini?”

Raisi aliuliza huku akionekana kuchanganyikiwa.

“Sijui mkuu, hembu nipe muda wa kichwa changu kitafakari”

“Sawa ila hapa kuna upinzani mkubwa baadhi ya viongozi wana hitaji uachie hiyo nafasi kwa maana haikufai”

“Nani huyo?”

“Baadhi ya viongozi wa vyombo vya usalama”

“Wewe una zungumza upo wapi?”

“Nipo kwenye ofisi yangu iliyopo hapa katika commanding room”

“Napiga video call sasa hivi nizungumze na hao wapuuzi”

“Sawa”

Nikakata simu na kuanza kutembea kuelekea kwenye gari walipo Willy na wezake.

“Piga video ikulu”

Nilimuambia binti mmoja anaye husika na maswala ya mawasiliano. Nikasimama mbele ya moja ya computer yenye kamera. Simu ikapokelewa na nikaona kamati ya ulinzi ikiwa imekaa kwenye meza ya majadiliano, wakiongozwa na raisi, maamu wa raisi, waziri mkuu, waziri wa ulinzi, mkuu wa jeshi la polisi, washauri wa mamabo ya ulinzi huku wafanyakazi wengine wanao fanya kazi ndani ya ukumbi huo wakiendelea na shuhuli zao.

“Jenerali Eddy, tuambie ni nini kinacho endelea?”

Waziri m kuu aliuliza huku akinitazama machoni.

“Kinacho endelea kila mtu amekiona au kukisikia kwenye simu niliyo zungumza na magaidi hawa.”

“Sasa hawa magaidi hao wameweza kuua watu na kulipua ndege. Ni hatua gani ambayo hadi sasa jeshi ime chukua kwenye kuzuia tatizo hilo?”

Makamu wa raisi aliniuliza.

“Hakuna chombo chochote cha usalama kilicho chukua hatua yoyote hadi sasa hivi kwa maana mukumbue maadui zetu wapo ndani na sisi tupo nje. Hivyo tuna onekana au wana tuona vizuri kuliko sisi tunavyo waona”

“Jenerali Eddy huoni kwamba jinsi tunavyo zidi kuendelea kusubiria ndivyo jinsi watu wetu watakavyo zidi kuuwawa. Kama nafasi hiyo ime kushinda jiuzulu na achukue mtu mwengine”

Makamu wa raisi alizungumza huku akinikazia macho.

“Tena nilikuwa nina subiri sana kujua ni nani mwenye kiherehere cha kuleta upuuzi kama huo. Tupo kati ya oparesheni alafu muna leta siasa. Nilitegemea wewe makamu wa raisi ambaye ulikuwa ni mwanajeshi na una fahamu kila kitu kuhusiana na oparesheni za kijeshi na isitoshe kwenye oparesheni ya kumuua bwana Razacky wewe pia ulihusika kutoa mawazo. Hivyo kama muna kaa na kutazama kaeni mutazame ila musilete vipingamizi vya kipuuzi”

Nilizungumza kwa kujiamini sana hadi wanajeshi waliomo ndani ya kontena la lori hili wakinishangaa.

“Hivi una toa wapi ujasiri wa kumjibu makamu wa raisi hivyo?”

Waziri wa ulinzi aliuliza.

“Wewe mzee, kumbuka wewe ni mbunge tu, hujawhai kupigana hata vita ya kugombani mke. Kaa kimya, alafu niwaambie jamabo moja. Mimi ndio kiongozi wa hii oparesheni, na nilipaswa nami nije kukalisha makalio yangu hapo mulipo kaa nyinyi, hii ni kutokana na cheo changu. Ila nimeamua kusimama mstari wa mbele ili kuwapa nguvu wapiganaji wangu, sasa kama una jihisi una ongea sana na kuona sifai kuwa kiongozi wa hii oparesheni. Nyanyua makalio yako hapo ulipo na uje hapa na uwe mstari wa mbele kuja kushuhulika na hii oparesheni”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiwatazama viongozi hawa ambao wakaanza kutazama katika nyuso zao.

“Musiingize siasa kwenye jeshi, musiingize siasa kwenye maisha ya vijana wangu. Muheshimiwa raisi wewe ndio uta kuwa final commander, hao wajinga baadhi wasikuyumbishe. Asanteni na alasiri njema”

Nikakata simu hii huku moyo wangu ukiwa imechafukwa sana na hasira.

“Kaka”

Willy aliniita kwa sauti ya upole huku akinitazama machoni mwangu.

“Ndio”

“Software ipo tayari na nimesha hack kila kitu chao”

“Nipe view ya ndani”

Willy akaanza kunionyesha maeneo yaliyopo ndani ya majengo haya ya uwanja wa ndege.

“Scan tujue nani ni gaidi na nani ni mwananchi wa kawaida”

Willy akaanz akuminya batani za laptop yake kwa kasi ya ajabu na baada ya dakika kumi, akafanikiwa kufanya zoezi hilo ambalo magaidi walionekana kwa rangi nyekundu huku watu wa kawaida wakionekana kwa rangi ya kijani.

“Gody, Judy jiandaeni”

“Sawa mkuu”

Judy na Gody wakatoka ndani hapa.

“Samahani mkuu, wata kwenda vijana waiwili tu?”

Kapteni wa jeshi aliniuliza huku akinitazama machoni mwangu.

“Hapana, nita kwenda na mimi pia”

“Watatu?”

“Ndio”

“Ila mkuu magaidi ni wengi sana”

“So una hitaji twende wengi sana ili tufe wengi sana. Mimi na hao vijana wangu wata dili na hili swala, uta kuwa kiongozi nitakapo ingia ndani”

“Sawa”

“Willy niandalie ramani ya airport yote”

“Sawa kaka”

Nikatoka ndani ya lori hili na kuwafwaya Gody na Judy katika gari la silaha. Nikawakuta wakiwa katika maandalizi ya kuchagua bunduki.

“Mkuu mavazi haya hapa”

Judy alizungumza huku akinikabidhi nguo za jeshi. Nikavua nguo hizi za kijana, na kuvaa nguo zinazo fanania na nguo walizo vaa Judy na Gody nikavaa gloves ngumu viganjani mwangu, nikavaa jaketi zito(bulltet proof) la kuzuia risasi. Nikavaa buti ndefu na ngumu za jeshi. Nikabadilisha saa ya mkononi ambayo hufanania na saa hizi wanazo tumia Judy na Gody.

“Gody”

“Ndio mkuu”

“Hii ni oparesheni yako ya kwanza ukiwa nami. Nina hitaji umakini wa hali ya juu, nina hitaji uhakikishe kwamba hufii mule ndani”

“Sawa mkuu nime kuelewa”

“Oparesheni hii ni ya kuua na sio ya kukamata. Mawasiliano yetu yatakuwa kati ya watu wanne tu, mimi, nyinyi na Willy ambaye yeye ndio ata kuwa jicho letu la nje. Muda wa kuifanya kazi hii ni dakika kumi na tano hadi thelathini”

“Mbona muda mdogo sana mkuu”

Gody aliniuliza huku akiwa amejawa na mshangao.

“Gody kasi, umakini ndio vitatufanya tuweze kutumia muda mdogo. Sihitaji tutumie muda mrefu kwenye hili. Tumeelewana”

“Gody usiwe na shaka, tuombe Mungu tu”

“Tusali”

Nilizungumza na sote tukashikana mikono na kutengeneza kujiduara kidogo.

“Ehee mwenyezi Mungu, tuna ingia kwenye shimo la kifo. Una jua nini tuna kwenda kufanya, tuta ua, tuna omba utuongoze tutoke salama mimi na vijana wangu. Amen”

“Amen”

Gody na Judy wakaitikia kwa pamoja.

“Mkuu kumbe hata wewe una sali”

Judy alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Hahaa ndio nina sali, mimi sio chochote mbele ya Mungu”

“Mkuu nime kupenda bure sana”

Gody naye alizungumza.

“Kwa nini?”

“Huna majigambo. Una jiamini na una hofu na Mungu”

“Una jua haya ni maisha ambayo siku zote hupita, maisha ambayo hakuna mtu hata mmoja ambaye ana ifahamu dakika iliyopo mbele yake itakuwaje.”

Nilizungumza huku nikichagua bunduki nitakazo zitumia kwenye kazi hii. Nilipo hakisha nime chagua silaa ninazo hitaji pamoja na magazine zake. Nikachukau kofia ngumu ambazo zimetengenezwa kwa chuma, kila mtu akava akofia yake ambayo ina kamera ndogo kwa mbele ambayo ina rekodi kila kitu. Willy akatufwata tulipo huku mkononi mwake akiwa na laptop yake.

“Ahaa kaka kila kitu kipo taayari na nime gundua kuna underground way ambayo ina tokea Temirnal ya tatu kule. Na pale kuna mmagaidi sita wanao itawala lile eneo”

Willy alizungumza huku akituonyesha anacho kizungumza.

“Mkuu wao yupo terminal namba ngapi?”

“Mbili”

“Tume discus kwamba hii oparesheni ita kuwa ni ya watu sisi wanne. Usitoe video yoyote ya kinacho endelea ndani au mawasiliano yoyote na ikulu. Tuna ifanya kimya kimya na majibu ya wapumbavu wale wata yapata baada ya kazi hii kuisha”

“Sawa kaka, kwa hiyo hata nikiombwa na raisi nisitose?”

“Hata awe ni nani usitoe kwa maana hawa magaidi ninavyo hisi hawajakuja tu kiholela naamni wame pewa msaada na mtu anaye ifahamu hii Airport vizuri”

“Sawa kaka. Kuna hizi simu tatu hapa, kila simu ina uwezo wa ku acces ramani hii na kujua eneo gani wapo maadui na wapi wapo mateka. Pia ramani ya eneo zima kwa mfumo wa 2D na 3D zipo humo”

Willy alizungumza huku akitikabidhi simu hizi aina ya Samsung S10+.

“Kitu kingine na hizi earphone tatu, mimi ninayo moja nime ziunganisha kwa mawasiliano ya sisi wanne, hilo wazo nilijiongeza kabla hata hujaniambia kaka”

“Nina kupenda hapo tu Willy, huwa una waza nje ya boski”

“Nashukuru kaka”

“Oparesheni yetu ni ya kuua, narudia tena kwenda kuua. Tuna dakika kumi hadi kumi nusu saa. Judy uta ingai terminal namba moja, mimi namba mbili, Gody namba tatu. Kumbeniki bunduki zote na bastola zote lazima zifungwe sinlcer. Magaidi hadi wakistuka basi wata kuwa wamebaki wachache sana”

“Sawa mkuu”

“Tupo pamoja?”

“Ndio”

“Willy wewe ndio jicho letu. Hakikisha una tuelekeza ni wapo walipo maadui zetu”

“Usijali kaka wote nita kuwa nina wasiliano nanyi”

“Mwenye swali?”

“Hakuna”

Judy alijibu huku akinitazama usoni mwangu.

“Nahitaji kumpigia video call mke wnagu”

“Sawa”

Nikasogea pembeni eneo lililo tulia. Nikatoa simu yangu mfukoni, nikampigoa video call Cauther na baada ya sekunde chache akapokea huku uso wake ukiwa umejawa na huzuni kubwa sana.

“Ohoo asante Mungu mume wangu nime kuona”

“Mbona una huzuni?”

“Baby ni swali gani hilo una niuliza. Una taka kweli niwe na furaha ikiwa toka umeondoka sijapokea simu yako”

“Usijali, nipo salama, tuna kwenda kuikamilisha kazi”

“Mungu akutangulie mume wangu”

“Amen. Vipi shemeji?”

“Ametutumia meseji ametuambia yupo ndani ya Airport ila la mizigo na amejificha huko”

“Sawa, kuwa makini mke wangu”

“Nawe pia mume wangu. Nina ingia chumba cha maombi, nita omba kuanzia sasa hivi hadi pale utakapo toka”

“Asante mke wangu. I love you”

“I love you too baby”

Nikamtazama kwa sekunde kadhaa Cauther kisha nikakata simu hii na nikaizima kabisa na nikarudi eneo ambalo wamesimama wezangu.

“Willy”

“Ndio kaka”

“Kaniitie yule campteni”

“Sawa lete earphone uliyo pewa muda ule”

“Ohoo tena nimeizima na ipo mfukoni”

Nikatoa earphone hiyo na kumkabidhi Willy.

“Jambo jengine nililo lisahau kuwaeleza. Katika kila simu ya kila mtu simu yake ina uwezo wa kumuonyesha rate ya mapigo yake ya moyo. Endapo mtu ata pigwa risasi, au atapata mstuko wowote, Rate ya mapigo yake ya moyo ita soma na wezake wote na mimi hapa wata ona. Pia simu zina onyesha eneo ambalo kila mtu yupo na alama yetu ni ya kijani. Endapo mtu ata pigwa raisin a kufa, alama yetu ita kuwa ni nyekundu”

“Akili yote hiyo baby umeitolea wapi?”

Judy alimuuliza Willy huku akimtazama machoni mwake.

“Toka nime kuwa na wewe nime kuwa mpya kabisa kwenye kichwa changu”

“Hahaaa, kwa hiyo hivi ndio inavyo onyesha?”

Judy alizungumza huku akitazama simu yake.

“Ndio umeona hapa sura yako, ukitaka kumuangalia kaka Eddy hapo pamoja na kaka Gody, una minya hapa. Una ona profile zao, heart rate yao inavyo kwenda hapa kila mmoja ana asilimia mia, ukipigwa risasi, rate ina shuka. Mama kila kitu ni teckonolijia”

“Umenishinda tabia baba”

“Jamani kila mmoja yupo tayari?”

“Ndio mkuu”

Judy akamsogelea Willy na wakanyonyana denda kwa sekunde kadhaa.

“Kuwa makini mke wangu”

“Usijali”

“Willy kamuite yule kampteni”

Nilimuambia Willy na akakimbilia eneo lililo lori lenye kontena. Baada ya dakika mbili akarudi akiwa ameongozana na kampteni wangu.

“Ndio mkuu”

“Kijana wangu ata endesha oparesheni hii kwa siri sana kwa maana hatuamini mtu mwengine zaidi ya sisi wanne hapa. Hatujui ni nani amewapatia nguvu magaidi hao hadi wameingia katika uwanja wetu. Jambo la msingi ni kuhakikisha kwamba hapatiwi usumbufu iwe ni kutoka ikulu au NSS. Endapo akapata usumbufu wowote, basi wewe ndio uta kuwa muhusika wa kubebe hilo ume nielewa?”

“Ndio muheshimiwa nime kuelewa. Ila kwa nini nami musiingize kwneye oparesheni hii, nikawa nina changia hata mawazo yangu au kujua nini kinacho endelea kwani hata ikitokea mukahitaji back up basi iwe rahisi kwangu kutoa”

Watu wote wakanitazama mimi kwa maana mimi ndio mwenye maamuzi ya mwisho. Nikajifikiria kwa dakika kadhaa huku nikimtazama kapteni huyu.

“Sawa uta kuwa part ya mawasiliano yetu. Ila hakikisha una kuwa makini”

“Je magaidi watakapo piga simu na kuhitaji kuzungumza na wewe ita kuwaje hapo mkuu”

“Nita iunganisha simu ya magaidi hao pamoja na simu ya kaka hapa hivyo ata zungumza nao akiwa ndani ya majengo hayo”

Willy alijibu swali hilo na sote watano tukakubaliana na kuwa kitu kimoja. Capteni na Willy wakarudi katika lori kisha mimi, Gody na Judy moja kwa moja tukaelekea katika eneo ambalo ramani ina tuonyesha kuna njia ya kuingilia inayo katika majengo hayo iliyo jengwa chini ya ardhi. Eneo hili kidogo lipo nje kabisa ya eneo la uwanja huu na hata kufika eneo hili, tume pelekwa na gari la jeshi. Nikawa wa kwanza kuanza kuingia katika ngazi hizi za chuma zinazo elekea chini. Nikatoa miwani maalumu ambazo tuna zitumia mara nyingi katika nyakati za giza na hutusaidia kuona kila kitu katika mwanga wa kijani. Judy akasimama pembeni yangu na Gody naye akamalizia kuingia ndani hapa. Nikatazama juu eneo tulilo ingiali na kuona mfuniko huo wa chuma ukifunikwa na wanajeshi walio tuleta eneo hili. Tukaanza kutembea kwa umakini mkubwa sana huku tukiongozwa na ramani tulizo shika mikononi mwetu. Tukafika katika eneo ambalo njia zime gawanyika katika maeneo matatu.

“Kulia ni terminal one, katikati hapa ni terminal two na kule ni terminal three. Niwatakie kila la heri na nina hitaji sote turudi tukiwa hai na salama”

Nilizungumza kwa kujiamini kisha tukapeana tano na kila mmoja akaanza kupita nja yake huku kila mmoja akiwa ameshika bunduki yake tayari kwa vita iliyopo mbele yetu.



Kwa umakini mkubwa na wa hali ya juu nikazidi kusonga mbele huku bunduki yangu ikiwa mkononi. Ndani ya njia hii ya termirnal three, kuna giza ambalo si la mchezo ila kwa kusaidiwa na miwani hii ina niwia uraisi kuweza kuona ninacho kwenda na ni mbaya sana kama nita washa tochi kwani sitambu kama magaidi hawa wapo kwenye hii njia au laa.

“Nimefika”

Nilisikia sauti ya Judy.

“Tubiriane tufike wote”

“Sawa mkuu”

“Nami pia nime fika”

Niliisikia sauti ya Gody.”

“Nimebakisha mita ishirini”

Nilizungumza kwa maana terminal three ninayo eleke mimi ipo mbali kidogo. Nikawanikiwa kufika, nikaitazama ngazi ya chuma inayo pandisha kuelekea juu.

“Nimefika kazi ianze sasa”

Nilizungumza huku nikianza kupanda ngazi hizi taratibu. Nikafika eneo la lenye mfuniko wa duara ambao una saidia kutoka eneo hili. Taratibu nikaunyanyua na kuchungulia kwa umakini eneo hili na kwa bahati nzuri ni eneo la chumba cha stoo na sijaona mtu wa aina yoyote. Nikatoka ndani ya shimo hili.

“Nipo ndani”

“Nami pia?”

“Mimi pia”

Nikaufunga mfuniko huu, nikakitazama chumba hichi kwa umakini na ninacho kiona ni maboksi tu.

“Willy”

“Ndio kaka”

“Niambie kamera zao zime kaaje?”

“Nime zi hack kwa dakika tano tu ndio nilicho kiweza, baada ya hapo wana rudi online japo now wana ona wapo online.”

“Poa acha kazi inaze”

Nikaifunga bunduki yangu kiwambo cha kuzuia sauti kisha, nikatoa simu mfukoni mwangu na kutazama ramani ya eneo hili nipo na kugundua mita kumi kutoa hapa nilipo kuna magaidi wawili. Nikatoka ndani ya chumba hichi cha stoo na kuanza kutembea kwa mwendo wa haraka na wa umakini sana. Nikajibaza kwenye kona ambayo kushoto kwangu ndipo walipo magaidi. Kwa kasi ya ajabu na ambayo magaidi hawa hawakuitegemea nikajitokeza mbele yao. Sikutaka kuwapa nafasi ya kufanya chochote, wakiwa kwatika kuduwaa kwao nikwapiga risasi mfululizo kila mmoja na wakaanguka chini. Nikafungua katika mlango wa chumba ulipo pembeni yangu na nikawaingiza ili kama wezao wata wakuta hapa wasiweze kugundua chochote.

‘Hizi damu potelea pote’

Kwa kufwata ramani ya simu yangu na alama zinazo onyesha ni wapi walipo magaidi, nikazidi kuifanya kazi yangu kimya kimya.

“Nipeni ripoti?”

“Nimebakisha wawili”

Judy alizungumza.

“Nimebakisha wanne”

“Safi madogo. Mimi wapo kama saba hivi na sehemu walipoyo kuna mateka hivyo ina bidi niwe makini”

“Jamani kuna wengine wapo control tower na wengine wapo katika ndege zenye mateka na kila ndege wamefunga bomu”

Willy alizungumza.

“Fuc* Judy uta dili na walipo control tower. Gody uta dili na walipo katika hizo ndege. Kuweni makini”

“Sawa mkuu”

“Mime bakisha dakika moja kabla ya hawajarudi hewani kwenye kamera zao”

“Nime kusoma dogo”

Nikaitazama sehemu waliyopo magaidi kupitia simu yangu. Eneoo hilo lina mateka wapatao mia na ishirini na moja huku magaidi wakiwa wana zunguka zunguka kila sehemu.

“Willy”

“Yes kaka”

“Una weza uzima umeme la uwanja mzima?”

“Ahaa hapana, ngoja nipeleke ripoti Tanesco, lakini kuna jenereta hapo, umeme ukikata tu lina jiwasha”

“Aisee”

“Ndio mtihani hapo kaka”

“Poa”

Nikashusha pumzi huku akili yangu ikiwaza kwa kasi sana nini cha kufanya kwani nikifanya uzembe mateka wana weza kuuwawa katika shambulizi hili na ubaya ni kwamba eneo lenyewe ni la wazi. Nikakumbuka nina mabomu ya machozi nikachomoa mawili yanayo ning’inia katika jaketi langu la kuzuia risasi, nikachomoa funguo za manomu haya kisha nikayarusha kueleeka eneo walipo magaidi ksiah nikavaa miwani yangu ili niwaone vizuri. Moshi ukazagaa eneo zima na nikaanza kuwadugua gaidi mmoja baada ya mwengine huku nikiwa makini sana kuhakikisha kwamba simuui raia hata mmoja kwa maana kila raia ana faida kubwa. Siku zote bomu la machozi huwa halina uvumilivu, wateka wakaanza kuchanguka, wengine wakijithiai kuyaokoa maisha yao huku wengine wakijitahidi kuhakikisha kwamba wana tafuta sehemu ya kupumualia. Magaidi wawili walio salia akiwemo na kiongozi wao watafuta chochoro ya kutokea huku wakijumuika na mateka. Kitu kibaaya ambacho hawakujiui ni kwamba nina waona kwenye simu yangu na gaidi alama yake ni doti nyekundu na mateka alama yake ni doti ya kijani.

‘Mumejiroga waseng** nyinyi’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiwapitia njia ya fupi na nikawasubiria kwa mbele. Nikampiga risasi gaidi ambaye ana onekana ndio mlinzi wa mkubwa wao. Wananchi walio kuwa wame ambatana nao wakalala chini kwa tahadhari.

“Mshenzi weeeeee”

Mtoto wa Razacky alijaribu kufyatua risasi kwa kutumia bastola yake ila tayari nilisha mfipika na kuibeta kwa kutumia teke na bastoa hiyo ikaanguka pembeni. Wananchi walio lala chini wapata kumi na mbili hivi wakanyanyua vichwa vya kuangalia ni kitu gani kinacho endelea.

“Sikuui kwa risasi”

Nilizungumza huku nikiitua bunduki yangu pembeni, nikavua jaketi hili la kuzuia risasi. Nikachomoa kisu kirefu katika kiatu cha mguu wangu wa kulia. Kijana huyu akaanza kurusha mateka na ngumi za uongo na kweli na dhairi ana onyesha hana mafunzo ambayo ana weza kupambana na mtu kama mimi. Kila ngumi na teka analo rusha nina kwepa. Nikaivua kofia hii ya chuma ili anione vizuri.

“Dogo nani alikushauri uje Tanzania?”

“Lazima nita kuuaa”

“Kweli?”

Nikaruka hewani na kufyatua teke moja takatifu lililo tua kichwani mwake na kumuangusha chini.

“Nyanyukeni na musogee kule musitoke nje”

Niliwaambia wananchi hawa na wakatii kwa maana bado sijajua kama Judy na Gody wamesha ikamilisha kazi niliyo waagiza. Mateka wote wakatafuta sehemu na wakasimama kwa pamoja huku wakishuhudia mpambano huu ambao kwa upande wa kijana huyu ni mateso tu kwani kila anavyo jaribu kurufukuta nina mtandika ngumi na mateka yanayo mlegeza.

“Nahitaji uhisi maumivu walio hisi watu ulio waua”

Nikaanza kumchana chana na kisu huhi kwenye kila eneo la mwili wake. Sikuhitaji kuw ana huruma naye kwani alio waua ni wengi snaa.

“Nahitaji ukamsalimie baba yako na ndugu zako sehemu walipo”

Nilizungumza huku nikimkita kisu cha chini ya kidevu na kufanya damu nyinngi kumwagika hadi wadada walipo eneo hili wakafumba macho yao. Nikachomoa kisu changu huku mkono wangu wa kulia ukiwa umejaa damu nyinngi sana. Jamaa huyu akalala chini huku damu nyingi zikitapakaa eneo hili.

“Shemeji”

Niliisikisa sauti ya Salumu ikitokea katikati ya kundi hili la mateka. Nikageuka na kumtazama.

“Vipi upo salama?”

“Ndio shemeji”

Nikaokta bunduki yangu pamoja na jaketi la kuzuia risasi, nikavaa kajeti hili kisha nikaokota kofia ngumu.

“Piteni mlango wa kule, tume elewana”

“Shemeji na wewe je?”

“Usijali kuhusiana na mimi hakikisha una toka salama hapa. Nenda”

Nilimuambia Salimu kwa ukali kwa maana nipo kazini na endapo nita leta kujuana mambo yana weza kuharibika. Wakaondoka wote huku wakikimbia, nikaokota kofia yangu ngumu nikaivaa.

“Nipeni ripoti?”

“Kwenye control towrt kila kiti kipo vizuri”

“Mkuu kuna ndege moja ya Air Tanzania ina magaidi wawili, ipo huko upande wako wa terminal three, nahisi wana hitaji kutoroka”

Maelezo ya Gody yakanifanya nikimbie kwa kasi hadi kwenye eneo zilipo ndege na kweli nikaona ndege Air Tanzania ikiwekwa sawa ili ianze kuingia kwenye njia ya kurukia.

“Willy”

“Nakusikia kaka”

“Una weza kuzuia ndege hiyo?”

“Siwezi kaka mfumo wa Air Buss hiyo ni tofauti sana na Boeing”

“Ina abiria wangapi?”

Nilizungumza huku nikiangaza angaza ndani ya eneo. Nikaona gari moja ikija kwa mwendo wa kasi eneo hili. Nikaishika bunduki yangu vizuri na kuielekezea ilipo gari hiyo aona ya Beanz CLS

“Ni mimi mkuu”

Niliisikisa sauti ya Judy.

“Ume itoa wapi hiyo gari?”

“Tuta ongea”

Judy akafunga breki za gari hiii huku akiigeuza kwa utaalamu wa hali ya juu na akafungua mlango huku gari ikiwa bado hajiasimama vizuri, nikaingia ndani ya gari hii na Judy akaiionda kwa mwendo wa kasi sana. Kitu ambacho nina mkubali Judy na nime gundua ana kipaji nacho ni uendeshaji wa magari kwani hata gari iwe kasi vipi ana weza kuiihimili. Ukimya ukatawala ndani ya gari hili macho yangu yakiitazama ndege hii jinsi inavyo anza kuchukua kasi. Kwa kasi ya gari hili, tukafanikiwa kuifikia ndege hii ambayo nayo imesha anza kuchanganya kasi, nikafungua kioo cha upande wangu na taratibu nikatoka kwenye kioo hichi na kwa umakini wa hali ya juu kwa maana gari ipo kasi na ndege ipo kasi na kama nikifanya ujinga wowote basi nina kufa..

“Kuwa makini mkuu”

Judy alizungumza huku akizidi kuongeza mwendo huku nami nikiwa nimechuchumaa eneo la mbele la gari hili huku nikiwa nime shikilia eneo la mbeni ya kioo changu. Nikabana pumzi yangu kwa maana upepo ni mkali sana.

“Sogeza kwenye tairi”

Nilizungumza na Judy akalisogeza gari katikati ya matairi ya ndege hii, kwa haraka haraka mtu ana weza akahisi ni filamu, ila ukweli ni kwamba ni jambo ambalo hata kutokea kwake mtu hupangi kama filamu.

‘Mungu nisaidie’

Nilizungumza huku nikitazama tairi kubwa za ndege hizi zinavyo zidi kwenda kasi nikatazama chuma nene iliyo shikilia tairi hili. Nikaachia sehemu niliyo simama na nikajitahidi kusimama kwa miguu yangu miwili, kwa kasi ya ajabu nikarukia chuma hihi huku nikiinyanyua miguu yangu juu, Nikashuhudia Judy akipunguza mwendo wa gari huku ndege hii ikianza kunyanyua taiiri ya mbele. Nikaanza kupande juu taratibu kwa maana eneo hili la kuingizia tairi pale ndege inapo kuwa hewani ina uwazi wa kutoasha kwa mimi kuingia. Kwa kweli toka kuzaliwa kwangu sija wahi kufanya jambo la hatari kama hili ila kwa bahati nzuri nika fanikiwa kuingia ndani.

“Nippo ndani”

“Yesssss”

Niliisikisa sauti ya Judy akishangulia.

“Ohoo asante Mungu”

Willy naye alizungumza kwa furaha kwa maana nina amini roho zao zilikuwa zina waenda kasi kutokana na tukio nililo lifanya.

“Willy nitumie ramani ya hii ndege nina hitaji kuona walipo magaidi kwani hapa nilopo tokea ni endeo la mizigo”

‘Sawa kaka dakika moja”

Nikatafuta eneo la lenye mlango wa kupandishia juu na nikawanikiwa.

“Kaka tayari tazama wenye simu yako”

Nikaangalia eneo nilipo na eneo walipo magaidi, mmoja yupo chumba cha marubani na mwengine yupo kwenye eneo la abiria. Nikangua mfuniko wa mlango huu kisha taratibu nikapanda juu. Nikachomoa bastola yangu niliyo ichomeka kiunoni. Nikafunga kiwambo cha kuzuia risasi, nikajibaza kwenye eneo ambalo, nikikatiza ni eneo la abiria. Abiria wote wamekaa kimya na wapo chini ya ulinzi mkali na endapo wata fanya chochote wata uwawa.

‘Moja, mbili, tatu’

Nilihesabu kimoyo moyo kisha kwa kasi ya ajabu sana nikalala chini huku nikifyatua risasi mbuli, moja ikampiga gaidi huyu kifuani na nyingine ikampiga kichwani.

“Shiiiiiiiii”

Nilimuambia abiria mmoja aliye niona huku abiria wengine wakishangaa kuoana gaidi ameanguka chini. Nikanyanyuka kwa kasi huku nikitembea kwa umakini sana katikati ya siti hizi.

“Shiiiiiii”

Niliendelea kuwahimiza abiria wake kimya na wakatii hilo, nikaichukua bunduki ya gaidi hiyu aina ya SMG na nikaiingia eneo la pili ambalo wana keti wahudumu wa ndege na eneo hili ndipo vilipo vyoo. Nikaweka kidole changu kimoja mdomoni ilia wahudumu hawa wanne wa kike wasistuke kwa lolote.

“Nahitaji umuambie rubani afungua mlango. Ume nielewa?”

“Ndiio”

“Wewe chukua bunduki hii”

Nilimpa muhudumu mmoja bunduki ya gaidi. Dada huyu mrembo akasikama kwenye mlamgo wa chumba cha marubani. Akaminya kengele huku mimi nikiwa nimesimma mbali kidogo eneo ambalo sio rahisi kwa kamera ya mlangoni hapo kunikamata.

“Nini?”

Gaidi huyu alizungumza kwa kufoka huku akifungua mlango. Nikampiga risasi ya mguu wa kushotot dada huyu akanguka chini kwa maana alivyo simama alikuwa amemziba gaidi huyu. Risasi zilizo salia zote nikazimalizia kwa gaidi huyu na akaanguka chini na kufa. Nikamsogelea mwana dada huyu ambaye risasi niliyo mpiga ime mparaza tu.

“Pole, msaidieni mwenzenu”

Nikaingia ndani ya chumba cha marubani ambao bado wana hofu.

“Poleni”

“Tu…nashukuru”

“Naitwa jenerali Eddy”

“Ohoo jenerali”

“Yes. Mupo salama na muna weza kugeuza ndege na kutua salama”

“Ohoo asante Mungu”

Rubani mkuu alizungumza huku akipiga ishara za msalaba mfululizo.

Tuna shukuru sana jenerali”

“Ni jukumu letu kuhakikisha muna kuwa salama”

Nikarudi eneo la abiria. Nikachukua kipaza sauti na kuwatazama abiria.

“Nina itwa jenerali Eddy. Kwanza niwape pole kwa shambulizi hili la kigaidi lililo tokea kwenye ardhi ya nchi yetu. Niwahakikishie kwamba shambulizi hili halito tokea tena kwenye ardhi yetu na magaidi wote tumesha waua. Kila mmoja akae vizuri kwenye siti yake kwa maana tuna rudi Dar es Saalam”

Abiria wote wakaanza kupiga makofi ya kunipongeza. Nikarudi kwenye eneo la wahudumu.

“Vipi ana endeleaje?”

“Vizuri ni mchubuko tu”

“Mrembo samahani kwa maana sikuwa na jinsi”

“Usijali kaka”

Muhudumu huyu alizungumza huku akitabasamu.. Ndege ikatua uwanjani na tukashuka kwenye ndege huku wanajeshi, askari, watu wa msalaba mwekundu, zima moto pamoja na vyombo vingine vya usalama. Nikashuka ndani ya ndege hii, Judy akanikimbilia na kwa haraka akanikumbatia kwa furaha.

“Kazi nzuri mkuu”

“Nashukuru upo sawa”

“Ndio na Gody naye yupo salama”

“Nafurahi kusiikia hivyo”

Nikamuona dada niliye mpiga risasi akipakizwa katika gari ya wagonjwa, nikamfwata ndani ya gari hiyo.

“Uta kuwa salama”

“Nashukuru, kaka naweza kukuambia jambo?”

“Ndio”

“Naomba nikunong’oneze”

Nikainama na akanipiga busu la shavuni, kisha akatabasamu. Nikashuka katika gari hili na likaondoka. Nikatembea hadi eneo walipo waandishi wa habari, Judy na Gody wakanifwata na kusimama pembeni yangu. Waandishi wa habari wakaniwekea maiki zao wakihitaji kusikia chochote kutoka kwangu.

“Tume fanya tulicho paswa kufanya. Mimi na vijana wangu hawa wawili na mmoja, tumeifanikisha oparesheni hii ndani ya muda mfupi. Ninacho waambia magaidi, wajipange kwa maana watakapo jichanganya na kuivamia ardhi ya hii nchi basi wata kufa. Asanteni na usiku mwema”

Nilizungumza kwa kujiamini kisha mimi na vijana wangu hawa tukaondoka eneo hili huku tukiwaacha waandishi wa habari wakituita kwa ajili ya kutuuliza maswali ambayo kwa sasa hatupo tayari kuyajibu. Nikawapa tano Judy na Gody huku kila mmoja akiwa na furaha kwani mission yetu imekamilika.



“Twendeni ikulu”

Nililiwaambia Gody na Judy mara baada ya kuingia ndani ya gari. Tukaondoka eneo hili huku tukiwa katika mavazi ya kazi.

“Ila mkuu niache uongo, lile tukio kila mara lina nirudia kichwani mwangu. Yaani sipati picha kama ingetokea ajali yaani sijui inge kuwaje?”

Judy alizungumza huku akitabasamu.

“Ahaa Mungu mwenyewe ndio anaye jua. Mimi mwenyewe nilikuwa nina ogopa aisee, kwa maana sija wahi kufanya lile jambo. Lile gari ume litolea wapi?”

“Ahaa nililipata kwenye maegesho ya magari, hata mwenye gari lake sijui ni nani”

Tukafika ikulu, tukashuka katika gari na nikamuuliza mlimzi mmoja ni wapi alipo raisi.

“Bado wapo kwenye kikoa katika commanding room”

Moja kwa moja tukaelekea hadi katia eneo alipo raisi na viongozi wengine waliokuwa kwenye oparesheni. Baadhi yao walipo niona wakajawa na mstuko mkubwa sana kwani hapakuwa na hata mmoja aliye tarajia kutuona hapa. Raisi akanyanyuka kwenye kiti chake, tukampigia saluti ikiwa ni ishara ya heshima.

“Hongereni sana vijana wangu”

“Tuna shukuru sana muheshimiwa. Nahitaji kuzungumza jambo na hawa watu wako”

Kila mtu akakaa kimya huku raisi akinipa ishara ya kuzungumza. Nikamtazama makamu wa raisi ambaye ni miongoni mwa walio kuwa wana hitaji niiachie nafasi yangu.

“Siasa na jeshi katika ungozi wangu wa sasa kama jenerali wa jeshi sinto hitaji hivi vitu viingiliane. Mumekalisha vitambi vyenu hapa ndani, ikiwa sisi tulikuwa tuna jitoa maisha yetu kwa ajili ya kuokoa watu. Sikutegemea kwenye kipindi kama kile mtu aropoke au alete wazo kwamba niachie madaraka. Okay ningeachia madaraka ni wanajeshi wangapi munge watuma mule ndani na wangepoteza maisha yao. Kama mtu uta hisi kwamba hupendi au hupendwezi na kazi yetu, achia madaraka haraka iwezekanavyo kwani huu upuuzi munao endelea nao kusema kweli, mimi ni mtu wa maamuzi ya haraka sana na nita fanya tukio ambalo kila mmoja wetu atashangaa. Ni hayo tu niliyo kuwa nime kuja kuyazungumza. Muheshimiwa raisi usiku mwema”

“Nawe pia Eddy, hongereni sana”

“Tuna shukuru”

“Je uta jibu nini kwa watu kwa ndugu zao walio uliwa na magaidi?”

Makamu wa raisi aliuliza swali lililo nifanya nikae kimya kwa sekunde, nikamsogelea hadi sehemu alipo kaa, nikainama na kulisogelea sikio lake na nikamnong’oneza.

“Kama ume pata jibu la kuwajibu watu ulio agiza wauliwe kwenye ndege ya Air Tanzania na magaidi wa Al-Shabab basi nami nita kuwa nime pata jibu la kuwajibu walio fiwa na ndugu zoa pale uwanjani na kumbuka mimi sio kiongozi wa serikali, nyinyi ndio muna paswa kujibu hilo, naamini tuna elewana”

Makamu wa raisi macho yakamtoka huku akiwa amejawa na mshangao.

“Kumbe ni wewe uliye kuja nyumbani kwangu?”

Makamu wa raisi aliniuliza kwa sauti ya kunong’oneza hivyo hivyo.

“Leo ndio una jua? Kuwa makini kwa maana nina uwezo wa kubadilika badilika muda wowote”

Mara baada ya kuzungumza maneno hayo nikasimama huku usoni mwangu nikiwa na tabasamu, nikamtazama Maria kwa maana na yeye ni miongoni mwa watu walipo ndani hapa.

“Mkuu ngoja nikapumzike na vijana wangu”

“Sawa”

Tukatoka ndani hapa.

“Hivi Willy yupo wapi kwa maana kichwa kina mambo mengi sana hadi nime msahau”

“Alielekea nyumbani kwangu”

Judy alijibu.

“Okay, nipitisheni kwa wakwe zangu kisha nyinyi muta kwenda kupumzika si bado Gody upo nyumbani kwa Judy”

“Ndio mkuu. Ila muna onaje usiku huu tuka fanya part ya kunywa kwa maana ndio kazi yangu ya kwanza kuwa na nyinyi na ime fanikiwa”

“Alafu ni kweli mkuu. Leo tume ua watu wengi, sidhani hata mimi nita lala usiku huu”

“Muna nishawishi”

“Twende bwana mkuu”

Gody na Judy wakanishawishi hadi nikawakubaliana nao, nikampigia simu mke wangu.

“Baby mambo vipi?”

“Safi baby, ohoo asante Mungu ume rudi salama”

“Vipi shemeji amesha rudi nyumbani?”

“Ndio na ana shukuru sana kwa kuweza kumuokoa. Yaani hapa nilikuwa nina isubiria kwa hamu simu yako”

“Kazi ime kwisha na hapa tuna elekea nyumbani kwa Judy. Nitakuja huko asubuhi”

“Nina hamu ya kukuona mume wangu. Basi nina kuja huko huko, tuma dereva aje kunichukua”

“Sio salama mke wangu. Asubuhi nina kuja mke wangu, kama unavyo jua bado hatujajua kama magaidi wapo au laa”

“Sawa mume wangu”

“Mbona una itikia kinyonge kama huja ridhika?”

“Nime risdhika mume wangu.”

“Sawa, usiku mwema na ulale salama”

“Nawe pia mume wangu.”

Tukafika nyumbani kwa Judy na tukamkura Willy akiwa amesha andaa vinywaji.

“Nilipira kwa wale wapemba kaka nime nunua nyama ya kutosha, nina imani muna njaa”

“Ume juaje Willy”

“Kuna video moja nime irekodi”

“Iko wapo?”

Willy akawasha tv na tukaanza kuona video ya jinsi Judy alivyo kuwa amefunga breki za gari nami nikaingia ndni ya gari hilo na kuifukuzia ndege.

“Niliirekodi kwa drone.”

Willy alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana.

“Aisee una weza kusema ni movie”

Gody alizungumza huku sote tukitazama video hiyo.

“Nitumie kwenye simu yangu dogo”

“Sawa kaka, kuna nyingine ya jinsi ulivyo kuwa una mpiga yule kenge, niliirekodi kwa cctv kamera”

“Hembu tuione”

Judy alizungumza na sote tukaanza kuitazama video hiyo.

“Wooooo”

Judy alishangilia jinsi nilivyo kuwa nina mchoma jamaa kisu cha chini ya kidevu.

“Jamaa amekufa vibaya sana”

Gody alizungumza.

“Mjinga amewaua watu wengi sana afe.”

Nilizungumza huku nikichukua mzinga mkubwa wa konyagi na nikaanza kuunywa kwa kasi hadi ukafika nusu. Usiku mzima tuka utumia kwa kunywa na kula nyama. Majira ya saa kumi na moja Judy na Willy wakaingia chumbani kulala na sebleni hapa tukabaki mimi na Gody na tukaendelea kunywa kiasi kwamba hata kusimama kwa upande wangu ni shida. Kwa upande wa Gody naye pombe zime mzidi nguvu na kulala sakafuni huku akikoroma mithili ya gari bovu.

“Dogo, dogo”

Nilimuita Gody ila hakunisikia kabisa. Nikajitahidi kusimama ila nikajikuta miguu ikiwa haina uwezo kabisa wa kusimama. Katika siku ambazo nime kunywa pombe kali tena mchanganyiko mchanganyiko ni leo. Nikajikuta nikianza kutambaa kama mtoto mdogo, nikaingia chooni kwa mfumo huu huu wa kutambaa, nikafungua bomba la maji ya mvua na nikajilaza chali huku maji haya yakinimwagikia kichwani mwangu.

‘Fuc** kweli pombe sio chai’

Nilizungumza huku nikihisi kizingunguzu cha hali ya juu. Ili kuipunguza hali hii, nikaanza kujitapisha kwa kuingiza vidole mdomoni, nikatapika sana katika sink la choo hadi nikahisi mbavu zangu zikivunjika. Ndani ya dakika kumi, hali yangu kidogo ikawa ni nafuaa na hata nina jua kinacho endelea duniani. Nikavua nguo zangu zote na nikabaki na boksa na kuendelea kumwagikiwa na maji haya ya bombo la mvua. Majira ya saa moja asubuhi nikatoka chooni hapa huku nikiwa na boksa tu. Jinsi Gody aliyo kuwa amelala ndivyo jinsi alivyo sasa hivi, nikaingia jikoni, nikafungua friji na kuanza kutazama vinjwaji na vitu vingine vilivyo pangiliwa ndani hapa. Nikachukua malimao sita na nikaanza kuyakata kata vipande, nikayakamulia katika glasi na kunywa juisi yake kuhakikisha nina itoa simu yote ya pombe iliyomo mwilini mwangu. Nikachukua nyama mbichi iliyopo katika friji, nikaiyanyusha kwa maana ilikuwa imeganda kama barafu. Nikaichemsha na kutengeneza supu ya kutosha. Nikamimina supu yangu na kurudi sebleni.

“Kaka za asubuhi?”

Willy alinisalimia huku akijibwaga kwenye moja ya sofa.

“Safi niambie”

“Poa aisee, kichwa kina niuma”

“Kuna supu jikoni”

“Aisee ngoja nikanywe. Vipi mbona upo na boksa?”

“Nguo zote zimelowana na maji”

“Ngoja nichukue supu kwanza kwa maana nina ona mawenge mawenge hapa nilipo”

Willy akaingia jikoni baada ya dakika akarudi akiwa ameshika bakuli iliyo jaa supu huku mkononi mwake akiwa na vipande viwili vya limao.

“Aisee jana nime kunywa kaka, yaani hata sikumbuki hapa sebleni niliondokaje?”

“Uliondoka kwa kushikwa mkono na Judy, ulikuwa una yumba kama gari inayo taka kuanguka”

“Hahaa dar.”

“Una jisikiaje sasa?”

“Kichwa, kina piga balaa”

“Siku nyingine tusilewe kama hivi na mbaya zaidi, jaa sote tume changanya. Tuta kufa siku”

“Ni kweli kaka”

Simu yangu ikaanza kuita, nikaanza kuisaka na nikaiona chini ya meza na wala sikumbuki niliiweka muda gani, nikaichukua na kumpokelea mke wangu.

“Ume amkaje mume wangu”

“Nimeamka salama baby vipi?”

“Safi, vipi una kuja nyumbani au nije huko”

“Mmmm njoo, fanya hivi njoo na nguo zangu za kubadilisha”

“Kwa hiyo nipitie nyumbani?”

“No ile kanzu si safi?”

“Ndio ni fasi”

“Basi njoo nayo”

“Sawa mume wangu.”

“Una endesha wewe?”

“Ndio”

“Poa, si una pafahamu kwa Judy?”

“Ndio nina pafahamu”

“Sawa karibu mke wangu”

Nikakata simu na kumalizia supu yangu, nikajilaza katika sofa hili.

“Duuu jamaa ana koroma huyo”

Willy alizungumza huku akimtazama Gody ambaye naye bado haja zinduka kutoka usingizi.

“Pombe hiyo. Vipi Judy?”

“Naye yupo hoi”

“Kazi ilikuwa ngumu sana”

“Ehee sasa kaka kwa hili lililo tokea ina kuwaje?”

“Ina kuwaje kivipi?”

“Kuna watu wmeuwawa na ni vilio kwa taifa. Je uta toa statement yoyote ya kuwapa pole?”

“Mmmm”

“Ndio kaka, tena nime pata wazo moja. Una onaje akaunti yako ya Instergram na Twitter tukazifuta picha zote za zamani na zikawa ni maalumu kama jenerali wa jeshi, na ili upate watu wengi watakao kufwata, nikupost video ile uliyo kuwa una kwenda kuikoa ndege”

“Ila dogo kumbuka mimi sio bongo movie wala mwana mziki?”

“Ndio ila wewe ni jenerali wa jeshi bwana na una paswa kuwa na official akaunti zako, kama unavyo jua dunia ime panuka na kila kitu ni teknolojia kwa sasa. Kwa asilimia tisini dunia ina endeshwa kwa teknolojia. Kama raisi mwenyewe ana akaunti katika mitandao ya kijamii ina kuwaje wewe kwa upande wako”

“Sawa, ila muda wa kuziendesha sinto kuwa nao kabisa”

“Mimi nita ziendesha kwa niaba yako na chochote utakacho kuwa una niambia basi nitakuwa nina post”

“Sawa dogo, lishuhulikie basi sasa hivi”

Willy akanyanyuka na kuingia ndani, akarudi akiwa na laptop yake. Niamtajia namba za siri za kuingia katika akaunti zangu za mitandao ya kijamii.

“Kitu cha kwanza kuifanya ni kuziboost”

“Maana yake nini?”

“Kuzitangaza ili ziweze kupata watu wengi wa kuzifwatilia.Tuna walipa hawa wenye mtandao hivyo kwa leo akaunti zako zita ongezeka watu wengi sana.

“Sasa hivi nina watu wangapi?”

“Twitter watu mia mbili”

“Doooo”

“Instergram una watu mia nne na ishirini na sita. Facebook una marafiki mia moja. Ila nita fungua ukurasa wako ambao nita uunganisha na instergram, chochote utakacho post instergram uta tokea na huku pia”

“Sawa dogo”

Tukasikia honi ya gari getini.

“Gari ya Cauther kafungue dogo”

Willy akaacha anacho kifanya na kuelekea nje. Nikachungulia dirishani na kumuona Cauther akishuka katika gari huku akiwa na pochi kubwa. Wakasalimiana na Willy kisha kwa pamoja wakaingia ndani.

“Mungu wangu, vipi tena, mbona huyu chali, wewe nawe na boksa?”

Cauther alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana. Akanibusu mdomoni mwangu na kukaa pembeni yangu.

“Jana vichwa vilikuwa vime vurugwa hivyo tukaona tujifurahishe”

“Kwa kweli mume jifurahisha, nawe ndio ume bakiwa na boksa”

“Nilioga na nguo zangu mke wangu”

“Hahaaa, ehee wifi yupo wapi?”

“Bado amelala”

Willy alijibu.

“Sawa, mume wangu, kabadilishe kwanza nguo, nilipita nyumbani na nika chukua nguo za kuvaa, asubuhi madua mengi bado hawajafungua”

“Nashukuru mke wangu”

Tukaingia katika chumba cha wageni na nikabadilisha nguo.

“Ila mume wangu ume lewa bado”

“Kwa nini?”

“Nakuona jinsi unavyo yumba yumba”

“Wee acha tu mke wangu, jana nime kunywa chupa kama nne hivi za Konyagi tena ile kubwa”

“Mmmm hivi una taka kufa wewe. Kumbuka mume wangu nina mtoto tumboni ana tarajia kupokewa na baba, sasa wewe una fakamia mipombe huko huna hisi ni sifa?”

“Mke wangu najua uta nifikiria vibaya ila kusema kweli kwa kazi ya jana, ilituvuruga vichwa ndio maana kila mmoja aliamua kulewa”

“Ila sinta penda unywe sana”

“Usijali mke wangu”

Tukarudi sebleni mara baaada ya kubadilisha nguo.

“Aisee kaka nikuambie kitu”

“Niambie”

“Yaani followers wa Instegram na Twitter wamefika laki moja na ushee”

“Kwa pamoja au kila akaunti?”

“Kila akaunti, vipi niitupie ile video?”

“Video gani?”

Cauther alizungumza na Willy akawasha tv na kumuonyesha video ya jinsi tulivyo kuwa tuna ikimbizia ndege.

“Ohoo Mungu wangu huyu ni wewe baby?”

“Ndio ni mimi Van Dame wa bongo….hahahaaaa. Dogo itupie na andika jenerali X akiwa kazini”

“Sawa”

Willy alizungumza na video hiyo akaiweka kwenye mtandao wa instegram pamoja na mtandao wa Twitter. Ndani ya muda mfupi wafuasi wengi wakawa wameitazama na kuzagaa kwenye mitandao mingine ya kijamii kama Youtube na Whatsapp jambo lililo zidi kunifanya kujulikana ndani ya muda mfupi sana huku kila mtazamaji akisifia ujasiri na utendaji wangu wa kazi.




“Naoma washkaji wana nisifia huku whastapp

Nilizungumza huku nikiperuzi jumbe zilizo tumwa na rafiki zangu ambao wengi ni madereva takis, wapo ambao wana hisi lada nina igiza filamu na kila mmoja ana niuliza jina la filamu kama ikitoka wawe wa kwanza kuinunua. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama kwa sekunde kadhaa namba hii ya raisi kisha nikaitoka nje na kuipokea.

“Ndio mkuu”

“Habari za asubuhi”

“Mungu ana saidia. Vipi wewe”

“Namshukuru Mungu nime amka salama. Nimeamka hapa nime ona video ina samba mitandaoni ina kuonyesha wewe. Je ni wewe ndio ume itengeneza au ni wahuni tu wameamua kuitengeneza kwenye mitandao?”

“Hahaa ni mimi muheshimiwa, hilo ni tukio la jana nilipo kuwa nina wafukuzia magaidi walio kuwa wame iteka Air Tanzania?”

“Kweli?”

“Ndio mkuu ni jana hiyo”

“Aisee kumbe mambo yalikuwa ni hivi?”

“Ndio muheshimia. Kuna kijana wangu alirekodi tukio zima. Hivyo ame weka video kwenye akaunti yangu ya Twitter na Instergram”

“Sawa sawa ila hii ni hatari kwako na timu yako kwa maana maadui wana kuwa ni rahisi sana kuwafahamu”

“Natambua hilo mkuu, toka siku ambayo ulinitangaza kama jenerali na ukaawambi ni miongoni mwa viongozi walio kuwa kwenye kundi la X basi usiri haukuwepo tena. Ndio maana ilikuwa rahisi kwa yule kijana kuja na wapumbavu wake na kuiteka Airport jana”

“Aisee mimi hapo ndio nime fanya kosa”

“Ni kosa kwa upande mmoja na kwa upande mwengine sio kosa mkuu. Ila jambo la msingi tujiandae kwa kila mishale inayo rushwa kwetu kwani haya ndio maisha tuliyo yachagua”

“Ni kweli aise. Sawa mimi nina jiandaa kulihutubia taifa ifikapo saa sita mchana. Nitatoa pole kwa ndugu na jamaa walio fiwa na wapendwa wao”

“Sawa muheshimiwa hotuba njema nita ifwatilia kwa tv”

“Hakuna shaka, ningependa upumzike hadi siku ya safari ya kuelekea Ujerumani”

“Sawa mkuu”

Raisi akakata simu na nikarudi ndani.

“Naona mkulu ameipenda bwana video yetu”

Nilizungumza huku nikikaa pembeni ya mke wnagu.

“Mkulu ndio nani?”

Cauther aliuliza.

“Raisi?”

“Duu ndio munavyo muita hivyo”

“Majina ya kimtaani hayo. Ana sema ata hutubia taifa saa sita mchana kuwapa pole walio fiwa na ndugu zao”

“Ila wajinga wame tuweza, una jua ni watu wengi sana wameua”

Willy alizungumza.

“Yaa ni wengi aisee”

“Ila duniani kuna watu wana roho ngumu. Hivi una pata wapi ujasiri wa kutegesha bomu kwenye ndege tena yenye watu na kuwalipua wote”

Willy alizungumza kwa unyonge.

“Mukionaga zile filamu za kiarabu, sijui watu wana jitoa muhanga kwenye sehemu za wazi kama vile, basi ndio ilikuwa jana. Jambo la kumshukuru Mungu ile ndege ilikuwa mbali na majengo kama inge kuwa karibu na majengo inge ua zaidi ya watu hao”

“Wao wenyewe waliogopa ndio maana wameilipulia mbali kule”

“Ina onyesha mmoja wao alijitoa muhanga”

“Sina uhakika na hilo kaka ila kama amejitoa muhanga basi ana roho ngumu”

“Mume amkaje jamani”

Sauti ya Judy ikatufanya sote tumtazame.

“Salama vipi dogo”

“Poa kaka”

Judy alizungumza huku akikaa kwenye moja ya sofa huku akiwa amevaa bukta fupi na tisheti kubwa.

“Wifi mwaya za asubihi”

“Salama wifi yangu, vipi mbona kama una umwa?”

“Naumwa wapi wifi, kichwa hapa kizito hawa jana walinichanganyia makonyagi na wisky hivyo hapa nahisi kama kuengele ya roma ipo kichwani mwangu humu”

“Masikini weee pole ngoja nikuandalie supu”

“Wala usijisumbe wifi na hali yako hiyo usije ukapata shida. Nita andaa mwenyewe”

“Ipo supu jikoni”

Nilimuambia Judy huku nikimtazama usoni mwake.

“Huyu naye hadi sasa hivi haja amka. Ona anavyo koroma”

Judy alizungumza huku akimtazama Gody ambaye muda wote hatujamuamsha. Judy akaamka alipo kaa na kumsogelea Gody na kuanza kumpiga piga mateke ya mguuni.

“Weweee Gody amka, kume kucha au nenda kalale ndani?”

Ndio kwanza Gody akajigeuza na kulala kifudi fudi na akaachia mjambo ulio tufanya sebleni hapa tucheke.

“Toto seng** kweli hili. Mwanaume mzima ana jamba jamba…..ngoja nirudi”

Judy alizungumza kwa hasira na kuelekea jikoni hazikupita hata dakika mbili, akarudi na kikombe cha maji ya bari. Akamwagia Gody maji ya kichwani na kumfanya akurupuke huku akiweweseka.

“Nita waua laleni chini haraka”

Gody alizungumza kwa kuweweseka na kutufanya sote tucheke.

“Mseng** wewe uta muua nani, hembu nenda kaoge”

Judy alizungumza huku akimtazama Gody ambaye ana jaribu kutathimini sisi ni kina nani.

“Oya dogo dishi lime yumba?”

“Ehee?”

“Dishi lime yumba”

“Mkuu”

Gody akasimama kwa haraka na kupiga saluti huku akiyumba yumba.

“Weeeee mjinga uta nivunjia meza yangu wewe. Hembu njoo”

Judy akamshika Gody mkono na akamkokota hadi bafuni, tukaanza kumsikia Gody akitapika.

“Na usitoke huko hadi akili ikukae sawa”

Judy alizungumza huku akitoka bafuni humo akaelekea jikoni na akarudi sebleni hapa na bakuli ya supu.

“Jana niliwaambia jamani, musimchanganyie Gody kunyogi na wisky ata kufa. Mukanibishia muna ona sasa matokeo yake, hadi saa mbili bado alikuwa ana koroma hapa”

“Ni kaka huyo ndio alikuwa ana hitaji tuchangaye”

“Mimi nilikuwa nina wapa mtihadi karibi nyote mume feli”

“Mmmmm mkuu ni mtihani au kisingizio tu?”

Judy alizungumza huku akinitazama kwa macho ya kuiba iba.

“Mtihani ule niliwapa. Kwani ni nani wa kwanza kuamka?”

“Wewe”

“Sasa, nilihitaji kufahamu ni nani ambaye ana weza kuhimili kiwango kikubwa cha kilevi mwilini mwake. Ita fikia kipindi tuna kwenda kwenye mission kwenye nchi zenye baridi kali. Ili miili iweze kupata nguvu na uwezo wa kufanya kazi ni lazima tutumie pombe kali au sigara kali. Sasa kama mukitumia pombe kali watu wenyewe ndio hivi muna amka na hang over la kufa mtu. Muta uwawa”

“Duu mume wangu huo mtihani mbona wa kuwakomoa wezako?”

“Ndio hivyo mke wangu. Ili uwe mwana usalama mzuri ni lazima uhakikishe kwamba una jua kutumia kila aina ya kilevi kwa maana una weza kwenda kufanya upelelezi kwenye genge la wahuni ambao wana piga maji kweli kweli, sasa wewe wa safari, ukapewa mzinga na una jifanya muhuni mwisho una gundulika na una felisha mission nzima”

Nilizungumza huku nikimtazama Judy na Willy.

“JUDIIIEEEEE”

Tuliisikia sauti ya Gody ikitokea bafuni.

“Nini wewe?”

“Mbona maji ya moto?”

“Si kuna kimashine cha kubadilishia maji na kuyafanya yawe ya baridi. Kama ume minya batani nyekundu ungua mwenyewe”

“Daaaa njoo unisaidie basi kubadilisha”

“Fala wewe nani aje kuona makend** yako.”

Nikanyanyuka na kueleka bafuni, nikaingia na kumkuta Gody akiwa amekaa katika sink la choo huku akitetemeka sana na maji ya bomba la mvua yana endelea kumwagika. Nikaminya batani ya blue na baada ya muda kidogo maji yakaanza kuwa ya baridi.

“Sikia lala chali na acha maji yakumwagikie usoni haya hadi pale utakapo jisikia fresh”

“Sawa mkuu”

Gody akanyanyuka huku akiwa uchi kama alivyo zaliwa. Akalala chali na maji yakaanza kumwagikia usoni mwake, nikarudi sebleni.

“Madogo leo muna taka kwenda fukwe gani, kwenda kuogelea”

“Duu hapa Dar au nje ya Dar”

“Popote chagueni garama zote juu yangu”

“Hayo ndio mambo. Kaka twendeni Zanzbar”

Will alizungumza huku akiwa na furaha.

“Una taka twende Zanzabar na kurudi leo leo au?”

Judy alimuuliza Willy.

“Poa, jiandaeni twende. Tuta rudi kesho usiku, so munataka twende kwa boti au ndege?”

“Bora ndege mume wangu. Kwa hali yangu hii nikipanda boti naweza kutapika hadi nikahisi kufa”

“Willy weka booking kwenye hoteli yoyote kubwa Zanzibar. Room tatu?”

“Zitatoshe kweli?”

Cauther aliuliza huku akinitazama.

“Judy na Willy ni mtu na mke wake. Huyo bwana mdogo ata tafuta wa kulala naye mimi na wewe tuta lala pamoja kama kawaida yetu”

“Woyoooooooo, kumbe Judy ume pata mume weweeee”

Cauther alishangilia.

“Mbona una furahi sana mke wangu?”

“Najua siri yangu mimi na Judy”

“Wifi wifi, usimwage mchele kwenye kuku wengi”

“Ndio maana nakuambia ni siri yetu shosti wangu.”

Tukatazamana mimi na Willy kwa maana hatujui kinacho endelea katikati ya hawa wanawake.

“Aisee hapana jamani, naombeni panado ninywe. Kichwa nahisi kama kuna gari zina gongana”

Gody alizungumza huku akiwa amejifunga taulo kiunoni mwake.

“Usije ukajaribu siku ume lewa na ukanywa dawa ya aina yoyote. Una kufa. Kachukue supu jikoni”

Nilimuambie Gody.

“Kumbe ni hivyo mkuu ehe?”

“Ndio”

“Alafu Gody unajua ume tujambia sana hapa sebleni”

Judy alizungumza huku akitabasamu.

“Weeee!!!”

Gody alizungumza kwa mshangao.

“Weee nini, yaani kila mara pwaaaaa. Tena mseng** wewe sijui ume kula maharage ya wapi kwa maana ushuzi una nuka jamani, sijapata ona”

“Willy eti ni kweli nime jamba?”

“Ndio, tena mbele ya shemeji hapo”

“Dogo wasikuumize kichwa bwana kwani kujamba ni jambo geni kwetu. Mimi mwenyewe mbele ya mke wangu nina jamba tena vitu vya hajaaaa”

Kauli yangu ikawafanya watu wote kuanguka kicheko hadi Willy machozi yakaanza kumtoka kwa ajili ya kucheka.

“Ndio kwa maana sio jambo la ajabu. Nyinyi sasa hivi muta kuwa hamjazoeana ndio maana muna onena aibu. Ila ngoja muozeane muta pasua vitu kisawa sawa”

“Hahahaa mkuu katika siku ulizo nifurahisha ni leo kwa kweli.”

Judy alizungumza huku akichekea sana.

“Dogo kunywa supu tuna safari ya kuelekea Zanznibar. Leo usiku nataka tukale urojo forozani”

“Aisee kuishi kwangu kote Tanzania ila Zanzibar sijawahi kufika. Ngoja nijiandae haraka haraka mie”

“Ngoja taulo likudondoke hilo”

Judy alimtania kwa maana Gody ana ruka ruka kwa furaha.

“Nyoo nilisha pigana jeshini nikiwa na taulo na halikuondoka na nika shinda ngumi”

Gody akaelekea chumbani kwake. Willy akatuaonyesha hoteli mbili ambazo zipo katika fukwe ya bahari. Tukachagua hoteli moja na sote tukakubaliana na akaweka booking ya vyumba tulivyo vichagua. Hapakuwa na mtu aliye na hamu ya kunywa chai. Tukajiandaa, majira ya saa nne tukaondoka nyumbani hapa kwa Judy kwa kutumia gari lake.

“Shem Cauther”

“Abeee”

“Hivi huna mdogo wako mzuri mzuri kama wewe, uka niunganisha naye”

Sote tukacheka kwa maana Gody bado kichwa chake kime changamka kwa pombe.

“Yupo ila kwa bahati mbaya ana mchumba wake tayari”

“Yalaaa, je rafiki muarabu muarabu, na mimi nina taka kuchanganya changanya rangi kama bosi wangu hapa”

“Hahaaa huko tunapo kwenda mbona wapo wengi. Ni wewe tu na ujanja wako shemeji yangu”

“Ngoja niwambie siri moja ya Gody. Toka nimetambua Gody tulipo kuwa jeshini, hadi tuna maliza, Gody ni domo zege, yaani hawezi kutongoza”

Judy alizungumza na kutufanya tucheke kasoro Gody mwenyewe ndio hajacheka.

“Dogo ni kweli?”

“Ni uongo bwana mkuu”

“Uongo Gody. Hembu acha kuficha maradhi kifo kitakuumbua ndugu yangu. Yaani kwenye kuongea hapa ni tantarira nyingi ila muweke na demu hapa uso kwa uso, ana weza akaanza kumuadithi una jua AK 47 ime tengenezwa na nani, ime toka mwaka gani, ilitumika wapi, ina weza ku shoot kwa urefu gani”

Judy alizungumza na kutufanya sote tucheke kwa sana>

“Ohoo mimi nawaambia ukweli. Gody una mkumbuka Matha yule wa mwaka wa kwanza kipindi sisi tupo mwaka wa pili alivyo kuwa ana kupenda. Mtoto alikuwa ana lia kwa ajili ya Gody, ila lilivyo seng** likawa lina muambia ohoo ngoja tusubiri tumalize mafunzo ndio tutakuwa wachumba.”

“Hahahaaaa Gody mbona kimya ujibu mashambulizi?”

Nilimuuliza Gody huku nikimtazama usoni mwake.

“Aha..aa ni kweli mkuu”

“Duu wewe na Maulid hamuna tofuati kwa kweli?”

“Mkuu kumbe umeona eheee. Alafu wote walikuwa ni marafiki sasa. Walicho kuwa wana waza wao ni mazoezi na wao. Unajua Maulid alivyo nitambulisha kwamba Manka ni demu wake alafu ni mtoto makli una jua nilishangaa, nikamuuliza ume mpataje pataje, akawa ana cheka cheka tu”

“Nilimtongozea”

“Duu kwa hiyo mume wangu siku hizi ume kuwa kuwadi?”

“No sio kuwadi ila lilimsaidia kwa mapenzi yote kwa maana niliona ana umia na ndugu yake nipo nika waunganisha na wakawa pamoja”

“Kumbeee ndio maaana Maulid alikuwa haniambii amempataje pataje Manka. Ila Mungu amarehemu marehemu huko alipo”

“Amen”

Tukafika uwanjani, tukashuka katika gari na kulisimamisha katia maegesho ambayo wasafiri wanao amua kuyaacha magari yao huyaacha hapo na wana safiri na wakirudi wana yakuta. Tukaelekea terminal one ambayo ndio ina tumika kwa leo kwani huku terminal mbili zikiwa zime fungwa kwa ajili ya matengozo kwa maana mapambano yaliyo kuwa yana endelea jana hayakuwa na kawaida. Tukaonyesha vitambulisho vyetu kwani tukiwa na vitambulisho tuna ruhusiwa kusafiri na bastola. Tukakodisha ndege ndogo na moja kwa moja safari ya kuelekea Zanzibar ikaanza.

“Hivi muna jua kusafiri timu moja kwa pamoja hivi ni vibaya”

Gody alizungumza huku akiwa amekaa siti ya nyuma peke yake.

“Kwa nini?”

Willy aliuliza.

“Kwa mfano ikatokea ajali na ndege ikaanguka nchi ita kuwa imepoteza watu muhimu sana”

“Akili za pombe hizi Gody hembu nyamaza bwana”

Judy alizungumza huku akiwa amekilaza kichwa chake katika bega la Willy. Tukafika Zanzibar salama salimini, tukakaguliwa mizigo yetu na kuonyesha vitambulisho vyetu. Kitendo cha sisi kutoka nje ya uwanja tukakutana na kundi kubwa la waandishi wa habari na wakanikimbilia kwa ajili ya kunihoji hadi nikabaki nikiwa nime duwaa kwani sijui ni nani ambaye amewaeleza kwamba mimi na timu yangu tuna elekea Zanzibar.



“Jenerali Eddy. Kwanza hongera sana kwa kazi nzuri unayo ifanya. Je hawa ulio ongozana nao ndio timu yako uliyo kuwa una fanya nayo kazi?”

“No comment. Jamani nina waomba munisamehe sinto jibu chochote”

Nilizungumza huku nikimshika Cauther mkono vizuri na tukaanza kutembea huku Judy na Gody wakiwa na kazi ya kuhakikisha kwamba muandishi wa habari hanigusi mimi na mke wangu. Tukaingia katika gari la mwenyeji wetu tuliye mtaarifu kwamba tuna kuja hapa Zanzibar na tukaondoka eneo hili la uwanja wa ndege.

“Hii sasa ni ishu. Nani ametoa taarifa tuna kuja Zanzibar?”

Nilizungumza huku nikimtazama kila mtu ndani ya gari hilo.

“Hakuan mkuu”

Judy alijibu.

“Kwa upuuzi huu ita leta shida kwenu kwa maana hao waandishi wa habari wanavyo tufwata kama vile sisi ni wasanii wa muziki”

“Ila hili nililiona mapema, ila nilishindwa kuzungumza tu mkuu”

Gody alizungumza huku akiwa amekaa siti ya nyuma.

“Kitu kingine kaka mke wako ame onekana kwenye vyombo vya habari ni shida kidogo hiyo”

Willy alizungumza na kunifanya nijawe na wasiwasi kwani adui yangu akihitaji kunipata mimi kirahisi basi amkamate Cauther wangu hata iweje ni lazima nijisalimishe mikononi mwa adui yangu.

“Mmmm hilo nalo neno mkuu. Wifi akionekana kwenye mitando ya kijamii, maadui wakiamua kumteka ina kuwaje?”

“Ila sidhani kama kuna baya lita jitokea. Kuanzi hivi sasa ni lazima tuhakikishe tuna ishi maisha ya usiri.”

“Kivipi?”

Willyaliuliza.

“Kwanza futa hiyo video kwenye akaunti zangu zote kisha kama ina wezekana hakikisha kwamba ina futika kwenye akaunti za watu walio ziposti?”

“Mmmm hiyo ya watu walio post ni ngumu kaka”

“Ila sioni sababu ya kufuta mume wangu. Kujulikana kwako kulianza toka raisi alivyo kupandisha cheo, rafiki zangu wengi walinipigia simu na kunipongeza. Walio kuwa wana kudharua wakakupa heshima. Japo sijui chochote kuhusiana na kazi yenu ila jambo la msingi ni kuhakikisha muna kuwa makini kwenye kila jambo mume wangu.”

“Mkuu alilo zungumza shemeji ndio la msingi kama ni maji ndio yamesha mwagika hivyo. Tumekuwa ma star kwa muda, ila ita pita wata sahau na mambo mengi yata endelea”

Gody naye alishauri.

“Sawa umakini ndio umuhimu”

“Poa”

Tukafika hotelini, tukapokelewa na wahudumu na jembo jengine lililo zidi kutuacha hoi ni jinsi wahudumu walivyo kuwa wakiomba kupiga picha nasi. Kwa heshima walio tuonyesha hatukuwa na namna zaidi ya kukubaliana nao. Nikalipa pesa inayo hitajika kwa sisi kukaa hotelini hapa kwa siki mbili. Meneja wa hoteli akatoa ofa ya sisi kukaa hapa siku moja ya ziada, huku vyakula na vinywaji kwa siku zote tatu ni juu yake.

“Mume iokoa familia yangu jana pale uwanjani. Asanteni sana”

Meneja alizungumza kwa furaha.

“Asante nawe pia”

“Kwa maana mke wangu na mwanangu wa kiume walikuwa wana toka Oman na wametua uwanjani tu, ndio wakavamiwa na ndege yao ndio ilitekwa na magaidi”

Meneja huyu mwenye asili ya kiarabu alizungumza kwa furaha sana.

“Walikuwa kwenye ndege gani?”

“Air Tanzania, yaani mwanangu ana niadithia jinsi uliyo kuwa una waua magaidi ndani ya ndege. Yaani ana kufananisha na Van Dame kwa maana ndio msanii wake bora anaye mpenda. Ila jenerali kama huto jali nina kuomba sana mke wangu na mwanangu leo usiku japo wapate chakula pamoja nanyi”

Nikawatazama Judy, na wezake na wakanipa ishara ya kukubali ofa hiyo.

“Sawa, si tuna kula hapa hotelini”

“Ita pendaza sana ikiwa nyumbani kwangu. Nina waomba lakini”

“Usijali tuta kuja kwako”

Cauther alijibu hata kabla ya sisi kujadiliana.

“Nashukuru sana, jenerali huyu ndio mke wako?”

“Yaa ni mke wangu”

“Naona ume oa kwetu”

“Hahaa kidogo kidogo tuna changanya rangi”

“Ni kweli, karibuni sana na mujisikie kama mupo nyumbani. Usalama ni wa kutosha na tuna wahakikishia hakuna baya litakalo tokea”

“Tunashukuru”

“Basi saa mbili tuta elekea kwangu”

“Hakuna shida”

Tukakubaliana na meneja huyu ambaye anaonekana anapenda kuzungumza sana. Tukasindikizwa na wahudumu hadi vilipo vyumba vyetu. Sote tukaingia kwanza kwenye chumba changu, nikakikagua vizuri na kujiridhishaa.

“Ila wifi ume mkubalia yule meneja ni kweli tuta kwenda nyumbani kwake, au tumempa moyo mzee wa watu tu?”

“Tuta enda”

Nilijibu.

“Ila mimi kama simuamini fulani jaa. Asije akatuingiza chaka, tuka enda huko tukala tukapoteza ufunguo alafu wazee wa kazi waka timba tukashindwa kujitetea. Alafu tujue kwamba tulio waua ni waarabu?”

Gody alizugumza huku akituambia.

“Willy hembu angalia historia ya huyu mzee na mke wake, asili yao ni kina nani?”

“Poa kaka”

Willy akaanza kuminya minya ipad yake. Baada ya dakika tano akafanikisha nilicho muambia afanye.

“Mzee hana rekodi yoyote ya kiuhalifu na isitoshe ana familia ya watoto wawili, wa kwanza ni wa kike ana itwa Krishna wa pili Shar khan”

“Majina ya kihindi hayo”

Gody alizungumza huku akitabasamu.

“Shem Gody si ulikuwa una taka mwanamke wa kiarabu sasa ni huyo hapo. Willy kwani huyo binti ana umri gani?”

Cauther alizungumza.

“Miaka ishirini na nne picha yake hii hapa”

Willy akatuonyesha picha ya mtoto wa meneja na kutufanya tushangilie huku nikipiga miluzi ya furaha.

“Ana miaka ishirini na nne”

“Wewe, mtoto ana kufaa kabisa Gody”

Nilizungumza kwa furaha huku sote tukitazama picha ya binti huyu.

“Aisee demu mzuri hadi naogopa”

Gody alizungumza huku jasho likimchuruzika usoni mwake.

“Ona lilivyo jinga hili. Binti mbichi kabisa huyu una sema una muogopa.”

Judy alizungumza kwa matani. Ila kwa hali ya Gody nika gundua ana tatizo la kisaikolojia ambalo sio la kawaida kabisa kwa vijana wa kiume tena hususani wa ina yetu ambao tumesha zoea kuishi maisha ya umalaya sema wengine tume stafu kutokana na umri na kuamua kuishi na mwanamke mmoja tu.

“Yaani una muogopa hadi jasho lina kutoka jamaa”

Willy alimuuliza huku sote tukimtazama Gody ambaye unyonge ume anza kumtawala. Shangwe na vifijo zikakatika na sote tukamtazama Gody ambaye taratibu akaka kwenye moja ya sofa lililopo hapa chumbani kwetu.

“Shem una nini?”

Cauther alimuuliza Gody huku tukimtazama usoni mwake.

“Mapigo yangu ya moyo yana nienda kasi sana”

“Kwa nini?”

Nilimuuliza Gody.

“Jamaa usije ukawa na presha?”

Willy alizungumza.

“Hapana sio presha. Hii hali huwa ina nitokea pale ninapo ona mwanamke ninaye mtamani”

“Hahahaaa yaani Gody una ongea una jua kila kitu kuhusian ana sialaha alafu mwanamke tu una tuogopa”

Judy alizungumza huku akicheka.

“Musimcheke mwenzenu hili ni tatizo. Gody twende tukazungumze nje”

Tukatoka ndani hapa mimi na Gody. Tukatafuta baadhi ya vitanda vilivyopo ufukweni na kila mmoja akalala katika kitanda hichi huku katikati yeny kukiwa na kibanda kikubwa.

“Eee dogo niambie hii ishu ni ya muda gani?”

“Hii ni toka nilipo balehe nilijikuta nikiona mwanamke ninaye mtaka, basi nina jikuta nina jawa na hofu, mapigo ya moyo yana nienda kasi hadi jasho lina nimwagika”

“Je ushawahi kumtomb** mwanamke?”

“Mkuu yaani huwezi amini na hii siri nina kuambia wewe tu. Toka nizaliwe kwangu sijawahi kumlala mwanamke na jigoo wangu hana nguvu kabisa”

“Duu hilo ni tatizo na kwa nini hukulisema mapema likashuhulikiwa?”

“Nilihisi kila ninaye weza kumuambia ata nicheka. Ndio maana akili yangu yote niliielekeza jeshini na hata maisha ya wanawake sikuwahi kuyapitia, japo wana nitaka kama anavyo sema Judy ila ndio hivyo nina ishiwa na uwezo wangu wa kujiamini mbele yao”

Nikashusha pumzi taratibu kwa maana katika maisha ya mwanaume yoyote lijari hakuna kitu kibaya kama kushindwa kumsimamisha jogoo, hata uwe hodari vipi kwenye matukio ya nje, uwe na pesa nyingi ila usipo kuwa na nguvu za kiume basi hilo ni pigo moja kubwa na takatifu.

Muhudumu wa kike akafika eneo hili na kutuuliza tuna tumia vinywaji gani ila tukamueleza kwamba tupo vizuri na hatuhitaji chochote.

“Ngoja tuangalie namna ya kusaidiana mzee. La sivyo uta kufa ukiwa huna mtoto”

“Hilo mkuu ndio lina niumiza sana kichwa”

“Sawa, kuna mzee mmoja yupo hapa hapa Zanzibar, sema namba yake sina ngoja kwanza niitafute kwa wadau”

Nilizungumza huku nikipekua pekua kwenye simu yangu na kumpata mzee mmoja ambaye ni mkuu wa upelelezi hapa Zanzibar.

“Kiongozi habari yako”

“Salama Eddy, aisee wewe mbaya sana ndugu yangu. Yaani una fika Zanzibar hata kunifahamisha ndugu yangu”

“Kaka wee acha nilitaka nikitulia ndio nikutafute kama hivi. Si una jua tena”

“Yaani nime ona clip yako kama dakika tano kwenye simu. Aise hongera sana”

“Nashukuru ndugu yangu. Nina shida aisee”

“Shida gani tena kaka?”

“Hivi una namba ya yule mzee Shabani?”

“Yaa ninayo na juzi tu nimetoka huko mambo kidogo hayakuwa mazuri”

“Hembu nitumie ndugu yangu”

“Sawa, upo hoteli gani?”

“Nita kuambia baadae kaka”

“Poa nakutumia ila hakikisha tuna onana kabla hatujakutana”

“Usijali ndugu yangu hapa nyumbani”

“Poa poa”

Nikakata simu huku nikimtazama Gody ambaye kusema ukweli nina muonea huruma. Ujumbe mfupi wa meseji ukaingia katika simu yangu, nikampigia mzee Shabani.

“Shikamoo mzee”

“Marahaba nani mwenzangu”

“Kijana wako Eddy”

“Eddy yupi?”

“Yule ambaye tulikuwa tuna kuja na wezangu watatu, sote tulikuwa ni wanajeshi”

“Ahaaaa habari za masiku mzee”

“Salama babu”

“Hivi kweli mupo hapa duniani?”

“Nipo mzee wangu.”

“Mume potea. Toka miaka ile mulivyo ondoka ndio kimyaaaa”

“Ni kweli babu, ila nisamehe, mambo ya kazi bwana”

“Ehee upo wapi kwa sasa?”

“Nipo hapa Zanzibar nina kijana wangu nina hitaji kuja naye hapo kwako si upo?”

“Nipo karibu sana”

“Nashukuru basi nina kuja sasa hivi”

“Sawa”

Nikakata simu, na nikampa ishara Gody ya kusimama, tukapitia chumbani na tukawaaga Cauther na Judy huku Willy naye akiomba kuambana nasi.

“Musichelewe basi”

“Poa”

Tukatoka nje ya hoteli hii, tukakodisha taksi na nikamuelekeza atupeleke kwa mzee huyo ambaye ni maarufu na watu wengi wana mfahamu. Tukafika nyumbani kwake ambapo ni nje ya mji kidogo. Akatupokea kitendo cha kumpa mkono, mwili mzima ukanisisimka.

“Eddy una shida moja kubwa sana na nina iona mbele yako. Kabla ya hawa wengine ina bidi nikuanze wewe”

Mzee huyu alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Sawa mzee wangu”

Tukaingia ndani sisi wawili na nikawacha Gody na Willy nje.

“Ndio mzee”

“Kwanza nina ona damu nyingi sana mikononi mwako. Wezako wamekufa?”

“Ndio babu”

Mzee huyu akatingisha kichwa ikiwa ni ishara ya masikitiko.

“Walikuwa ni vijana bora sana kuwahi kukutana nao kwenye maisha yangu. Mungu awalaze mahali pema peponi. Amen”

“Amen”

Nami niliitikia.

“Nina ona una mwanamke ana mimba”

“Ndio”

“Maisha yake yapo hatarini, kuna watu wanakutafuta wewe tena kwa udi na uvumba. Kila wakijaribu kukuwekea mitego wana kukosa, kwa maana zile dawa za kipindi kile bado zina fanya kazi sija jua ni kwa nini wezako walikura kirahisi sana”

Nikashusha pumzi huku mapigo ya moyo yakinienda kasi, kijasho chembamba kikaanza kunimwagika usoni mwangu.

“Wezako hawakuzitumia zile dawa ipasavyo ila wewe pake yako ndio ulizitumia ipasavyo. Ndio maana hadi leo upo hai kwenye shambulizi ambalo hata mtu mmoja hakupaswa kutoka kuwa hai”

“Babu ni kina nani hao wanao muwinda mke wangu”

Mzee akanitazama kwa muda kidogo huku akiwa ameshika kiganja cha mkono wangu wa kulia.

“Hawa ni wale watu walio wauwa wezako watatu na wanajeshi wengine. Ila nita kupatia dawa ambayo uta mpatia huyo mwanamke wako, aimeze, fikra zao juu ya kumdhuru mke wako na mwanao zita potea. Hawato mfikiria hata kama walikusudia kumfwatilia na kumuua ila hawato fanikiwa”

“Ohoo nashukuru sana mzee wangu.”

“Ila watu hao umesha wajua?”

“Ndio nimesha wafahamu mzee wangu”

“Ila watu hao ni hatari sana, ni watu ambao wana nguvu na mshirika wao mkubwa ni shetani, wameshika uchumi wa dunia, wamewashika viongozi wa dunia na mtu ambaye wame mshindwa ni wewe tu, ila usibweteke uka sema kwamba hawato kudhuru, lazima wakudhuru kwa watu wako unao wapenda. Nime ona ume mpoteza kijana mwengiine ambaye una mpenda sana miezi ya hivi karibuni?”

“Ndio mzee wangu”

“Basi uta wapoteza wote walio kuzunguka, hivi ni jukumu lako wewe kuwalinda wasipotee, na nita kupa dawa hii ambayo ita kusaidia kwenye kuweza kupata kapo maono ya matukio yanayo kuja au kufahamu kwa urahisi mipango ya maadui zako kabla hawaja kufikia na uta jua namna ya kuwakwepa. Nahiaji damu yako kidogo”

Mzee Shabani akanipatia kisu kikali, nikajikata katika kiganja changu cha kulia, na damu taratibu ikaanza kunitoka, nikaiingiza ndani ya kijichupa kidogo chenye unga unga, mzee alipo ridhia ina tosha, akanipa dawa inayo kata damu kwa haraka, akatingisha unga huo na damu yangu kisha akanipatia ninywe dawa hii. Nikainywa dawa hii iliyo changanywa na damu yangu, na nikahisi hali fulani mwilini mwangu ambayo sio ya kawaida.

“Una jisikiaje?”

“Nguvu si nguvu kuna kitu ndani yangu nina kihisi”

“Sasa uta kuwa una pata maono ya mambo yajayo muda mchache kabla hayajatokea. Kwa kupitia njia hiyo uta weza kuwaokoa hawa wezako na usizembee hata kitu kimoja utakacho onyeshwa ukikizembea tu. Basi kwenye listi ya vijana wako watatu ulio nao hivi sasa, mmoja ata kufa. Kosa moja goli moja”

Mzee Shabani alizungumza kwa msisitizo na kujikua nikishusha pumzi nyingi sana kwani mzee huyu kwenye maswala ya utaalamu wa mambo ya asili yupo vizuri kwani mimi na wezangu wa kundi la X, tulifanikiwa kufanya mission nyingi sana na zikafanikiwa, sio kwa uwezo wa akili zetu pekee bali hata kwa dawa za mee huyu tulifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana.



“Duu”

Niliguna huku nikimtazama mzee Shabani usoni mwake.

“Ndio hivyo. Mmoja baada ya mwengine ata kufa”

“Nita walinda mzee wengu”

“Sawa kuwa makini, Ehee huyo kijana wako ana tatizo gani?”

“Ngoja nimuite uzungumze naye”

Niukanyanyuka na nikatoka nje, nikamuita Gody kwa ishara na tukarudi ndani na kukaa mbele ya mzee mzee Shababi ambaye kwa dakika kama tano akakaa kimya huku akimtazama Gody usoni mwake.

“Eddy tupishe”

“Sawa”

Nikanyanyuka na nikatoka nje.

“Kaka kumbe na wewe una kuja sehemu kama hizi?”

Willy alizungumza kwa kuninong’oneza.

“Kuhangaika ndugu yangu, mimi na wewe ni wa kristo nikikuuliza mara ya mwisho wewe kwenda kanisani nina hisi itakuwa ni kipindi cha harusi yangu”

“Alafu ni kweli hahaaa”

“Nami ndio hivyo hivyo, nilikuwa nina huzuria huzuria kanisani kwa ajili ya kufunga ndoa yangu tu na ndoa ime kwisha nime kuwa mtoro”

“Kazi kweli, hivi huyu mzee yupo vizuri ehee?”

“Ndio kama una matatizo yako ni muda wa wewe kuzungumza naye. Tukiondoka hapa tumeondoka”

“Aha…mimi sina tatizo lolote kaka”

“Basi tusibirie bwana mdogo atoke huko”

“Ana tatizo gani kwani jamaa?”

“Hajakuambia?”

“Hapana”

“Bora hajakuambia”

Tukakaa nje hapa kwa nusu saa, Gody akatoka huku akiwa na uso ulio jaa furaha.

“Ime simama kaka kwa mara ya kwanza nimeiona imesimama”

Gody alizungumza kwa furaha sana.

“Nini ime simama?”

Willy aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao. Mzee Shabani naye akatoka ndani hapo.

“Hapo ina bidi leo upate mwanamke umfanyie majaribio sawa kijana”

“Sawa mzee wangu. Nashukuru sana, yaani nina kuapia nikirudi Dar es Salaam nita kupatia zawadi moja nzuri sana”

“Usijali, nime kuhudumia kama kijana wangu. Malipo yote ata fanya Eddy”

“Mkuu nashukuru sana, yaani hapa nina isikia kabisa inavyo furukuta ndani ya suruali”

Gody alizidi kushangilia, nikatoa kiasi cha laki mbili ambacho ndio ninacho mfukoni na kumkabidhi mzee Shabani.

“Nashukuru sana mwanangu. Kama nilivyo kuambia kuwa makini sana”

“Usijali mzee, nipo makini sana kwenye kila jambo”

“Usinitupe bwana, si una ona umri wenyewe ume kwenda na kifo kipo karibu. Sasa nikiondoka pasipo nyinyi kupata madini yangu”

“Huto kufa mzee wangu. Mungu ata kujali uta zidi kuisha zaidi ya hapo”

“Sawa, namba yako nita isave nisije nikaipoteza”

“Hakuna shaka mzee wangu”

Sote watatu tuka muaga mzee huyu na kurudi katika taksi. Tukaingia huku mimi nikikaa siti ya pembeni mwa dereva, Willy na Gody wakaakaa nyuma.

“Kaka leo inabidi nitafute kitoto kibichi kibichi kwanza nikitolee hasira”

Gody alizungumza pasipo kujali uwepo wa dereva.

“Kwa hiyo mwanangu jogoo alikuwa hapandi mtungi?”

“Ndio”

“Mamae walai. Hahaaa sasa ulikuwa una ishije?”

“Kijeshi jeshi?”

“Kijeshi jeshi alafu jogoo hapandi mtungi, jamaa una moyo wewe”

“Yaani leo mkuu uta nisamehe. Naomba nipate kitoto kizuri yaani nipige mashine, mzee ameniambia tatizo halito nipata tena”

“Si kuna yule mtoto wa kiarabu.”

Nilimuambia Gody huku nikimtazama usoni mwake.

“Aahaa yule kumpata sio rahisi kwa leo. Yaani leo nataka cha kutolea hasira.”

Nikatazama saa yangu ya mkononi na ina soma ni saa moja kasoro usiku.

“Muda ume kwisha, kuna sehemu kuna vitoto tunge pita”

“Tupite tu mkuu”

“Ngoja tufanye hivi, tuna kwenda kula chakula kwa yule mzee. Baada ya kutoa kule tuta pita Forozani na maeneo mengine, uta chukua kidemu ukitakacho kisha tuna rudi hotelini. Usiku huu uta lala na mwanamke kitanda kimoja”

“Hapo sawa mkuu, yaani nina kushukuru sana mkuu yaani nisinge kujua wewe au nisinge kuwa karibu na wewe basi leo nisinge kuwa na furaha kama hii”

“Kila jambo linalo tokea kwenye maisha lina makusudi yake. Dereva tupitie kwenye ATM yoyote”

“Ya benki gani mkuu”

“Yoyote kwa maana nina kadi ya karibia za benki zote hapa Tanzania”

Tukasimama nje ya benki moja, nikaisogelea ATM na nikatoa kiasi cha milioni mbili kisha nikarudi ndani ya gari na moja kwa kwa moja tuka elekea hotelini. Nikamlipa dereva kiasi chake na tukaelekea chumbani kwangu na kuwakuta Judy na Cauther wakipiga story. Gody akasimama juu ya meza ya mbao iliyopo ndani hapa na kuanza kukata mauno.

“Eheheee kuna nini tena?”

Judy aliuliza huku akimshangaa Gody.

“Leo ni siku yanguuuuuu. Leo ni usikuuuuu wanguuuuuu”

Gody aliimba kwa sauti mbaya na kwa bahati mbaya Mungu hajambariki kuwa na sauti nzuri hata chembe.

“Leooooooo na mimi nita shangilia……Leo na mimi nita kula kitumbuuuaaaaa cha mtuuuuuu”

“Hahaaa shemu umekutwa na nini?”

Cauther alicheka huku sote tukimtazama Gody jinsi anavyo tupa show ya bure ya kukata mauno. Akashuka juu ya meza akaanza kucheza staili anazo zijua yeye hadi jasho likaanza kumlowanisha tisheti yake.

“Ume pata mwanamke nini?”

Judy aliuliza.

“Mwanamkeeeeee sio shidaaaaaaa. Shidaaaaa ilikuwa ni mkongojoooo wangu”

Gody alimjibu Judy kwa kuimba na kutufanya sote tucheke.

“Mkongojo wako ulikuwa una nini?”

Judy aliuliza kwa shahuku.

“Ulikuwa ume vunjikaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Leooooo nina wakaribisha muje mlangoni mwa chumba changu musikilizeeeeeeeeeeee wimbo mpyaaa wa migunoo kama hiiiiiiiiii”

Gody akazidi kutufurahisha kwa wimbowake ambao hauna vina kabisa.

“Mjinga wewe una jua una boa. Yaani nakuuliza swali una nijibu kwa jiwimbo lako hilo baya. Kuimba kwenyewe hujui ndio maana ulitelekewa katika bendi ya jeshi kwa msauti wako huo mbaya.”

“Judy niache kwanza, ngojeni kwanza nikaoge nipige pamba kali kisha twende kwenye chakula cha usiku. Alafu uta jua nini namaanisha”

Gody mara baada ya kuzungumza hivyo akatoka ndani hapa kwa furaha na kuelekea chumbani kwake.

“Mkuu ana nini?”

“Ahaa muta muuliza mwenyewe”

“Eti baby huyu chizi kapatwa na nini?”

“Amekuambia leo tuta kwenda kusikiliza mlangoni mwake wimbo mpya. Tusubiri huo muda. Kwanza twende na sisi tuka jiandae. Saa mbili jamani hii”

“Ni kweli”

Judy na Willy wakatoka ndani hapa.

“Vipi mbona mwezenu ana furaha”

“Alikuwa na tatizo lake sasa tume kwenda kwa mzee mmoja hivi amempatia dawa ime msaidia”

“Una taka kuniambia shem hakuwa na nguvu za kiume. Au nilikuwa nime elewa vibaya?”

“Ndio hivyo hivyo, hakuwa nazo”

“Kwa muda gani?”

“Toka amebalehe”

“Masikini weee, ndio maana ana furaha.”

“Yaani huyo mwanamke atakaye mpata leo nahisi ata mtengua kiuno”

“Hahaaaa”

“Ehee kuna hii dawa hap anime itoa kwa huyo mtaalamu ina bidi uinywe mke wangu”

“Mmmmm mume wangu toka nime kujua sijawahi kusikia kama una kwenda kwa mtaalamu au wapi. Ime kuwaje leo?”

“Tatizo la Gody ndio lime nifanya niende huko. Hii dawa ita kusaidia katika jambo moja.”

Nilizungumza huku nikimuonyesha dawa hii niliyo pewa na mzee.

“Jambo gani?”

“Nina maadui wengi kama unavyo fahamu. Kazi yangu hii siku yoyote ina weza kuivuruga familia yangu kwa mambo mengi sana. Maadui zangu wata jaribu kukusaka wewe na endapo wata kukamata basi ita kuwa ni nafasi nzuri sana kwa wao kunipata mimi. Hivyo hii dawa ukinywa, ita wapa usahaulifu fulani maadui zetu hawato kuwa wana kuwazia wewe hata kama walikuwa wamepanga kukuteka basi mawazo hayo yata futika katika akili zao.

“Mmmm mume wangu huu si uchawi sasa?”

“Sio uchawi, ni dawa za asili tu. Tumia uta ona matokeo yake”

“Haina madhara kwa mwanangu aliyopo tumboni?”

“Haina kabisa na tena ina linda mtoto pia wa tumboni.”

Cauther akanitazama kwa sekunde kadhaa huku akinitazama usoni mwangu.

“Fanya hivyo mke wangu, ita kusaidia”

“Sasa nina inywa ikiwa katika nini?”

“Hata una weza kuchanganya kwenye maji ya kunywa na ukwanywa”

“Kwa hiyo niywe hata sasa hivi?”

“Ndio”

Cauther akachukua chupa ya maji ambayo alikuwa ana kunywa akaweka dawa hii na ikayayuka ndani ya maji, kisha taratibu kaanza kunywa maji hayo hadi yakaisha.

“Una jisikiaje?”

“Kawaida sihisi chochote?”

“Ni chungu?”

“Hapana”

“Sawa”

Tukaingia bafuni kwa pamoja na tukaoga kwa pamoja na tukajiandaa kwa ajili ya kuelekea nyumbani kwa meneja wa hoteli hii. Saa mbili na robo simu ya mezani ikaanza kuita, nikaipokea.

“Habari yako bwana Eddy. Meneja hapa”

“Ohoo habari ya wewe”

“Salama. Nauliza kama mupo tayari tuelekee nyumbani kwangu”

“Ndio tupo tayari”

“Basi mimi nina wasubiria hapa chini”

“Sawa”

Nikakata simu na kumtazama Cauther aliye valia gauni refu ambalo lime mbana vizuri mwili wake na kumfanya kitumbo chake kujichora vizuri.

“Mke wangu wewe mzuri”

“Mmmm mume wangu jamani”

“Yaa wewe ni mzuri mke wangu. Yaani hadi nina tamani kila muda niwe nina kuangalia tu kama pambo langu, kila ninapo kwenda niwe nawe”

“Ila wanawake si pambo la nyumba kama munavyo sema nyinyi wenyewe”

“Ni kweli”

Nilizungumza huku nikichomkea bastola yangu kiunoni mwangu kwa maana nime va suti nyeusi na shati nyeusi pamoja na tai nyeusi. Mkono wa kulia nina saa ya dhahabu ambayo mke wangu alinipatia katika sendoff yake kama zawadi kwa ajili yangu. Nikkamshika kiuno Cauther na kumvuta karibu yangu, taratibu nika mnyonya denda.

“Basi mume wangu kwa maana uta nitia nyeg**”

“Tukirudi leo ni show show”

“Umeona ehee yaani nime jikaza tu hapa ila nina nyeg* balaa mume wangu”

“Usijali mke wangu hizo zote zina kwisha leo”

“Sawa mume wangu”

Kitu ninacho mpenda mke wangu huwa hawezi kuficha hisia zake za kimapenzi juu yangu na akiwa na hamu ya tendo la ndoa huniambii tofauti na wanawake wengi walipo katika ndoa kazi yao ni kufanya mitego ambapo mwanaume asipo weza kujiongeza kiakili juu ya mahitaji ya kihisia ya mke wake basi ana weza kugongewa hata na mfanyakazi wake wa kiume wa ndani. Tukatoka ndani hapa na tukakumbana na Gody mlangoni.

“Nilitaka kuwagongea”

“Mshakaji umetoka chichi”

“Mkuu nilikuambia leo nina piga pamba kali”

Gody alizungumza kwa furaha huku akiwa amevalia suti dark blue pamoja na shati jeusi.

“Hawa wajinga wana tomb***a nini?”

Gody alizungumza huku akigonga mlango wa chumba kilichopo mbele yatu. Judy akatoka huku naye akiwa amevalia gauni zuri.

“Una gonga gonga nini Gody”

“Munaaa tuchelewesha kulaaa mpungaaaaaaa”

Gody alijibu kwa kuimba na kutufanya tucheke.

“Gody ndugu yangu leo tuta kupeleka kwenye lile shindano la kuchagua vipaji ushiriki kidogo”

Willy alizungumza huku naye akitoka chumbani humo.

“Nyoo kwa sauti hili baya ataanzia wapi kwa mfano kuchaguliwa. Yaani akiingia tu ana fukuzwa”

Judy aliponda wazo la mume wake.

“Najua kuimba wewe mimiii sikiliza hiii…Judyyyyyy weweeee ni muongeajiiii sanaaaaa leoooo nitakujibuuuu kwa vitendo”

“Hahaaa haya kila mmoja ana silaha?”

Niliwauliza huku nikiawatazama katika nyuso zao.

“Ndio mkuu”

“Sinto hitaji mumuamini mtu yoyote zaidi ya sisi hapa tulipo hapa. Nyinyi huku ni wageni na tuna kwenda kwa mtu ambaye ni mgeni. Umakini ni muhimu. Willy nina imani kamera zote za hii kordo zipo kwako, yoyote atakaye ingia katika vyumba vyetu, naamini uta liona hilo hata kama tukiwa hatupo hapa?”

“Ndio kaka mfumo wao wote ninao kwenye simu yangu, kila mtu nita mtumia application ya kutazama hizi kamera kwenye simu yake na tuta kuwa tuna saidiana kutazama mara kwa mara na nime weka alarm fulani ya mtingishiko, endapo yoyote tofuati na sisi ata gusa kitasa cha milango yetu”

Willy alizungumza huku tukiingia kwenye lifti. Tukashuka hadi gorofa ya chini kabisa na tukakuna na meneja. Moja kwa moja tukaelekea eneo la magesho ya magari na tukaingia katika gari lake aina ya Toyota V8 toleo jipya.

“Mke wangu amesha andaa chakula kwa ajili yetu”

“Sawa sawa tuna shukuru”

Gody alijibu kwa maana amekaa siti ya mbele pembeni na meneja huyu. Tukafika nyumbani kwake ambapo ana jumba moja kubwa la gorofa moja. Tukakaribishwa na wana familia yake kwa heshima zote na tukaingia ndani. Kila anaye tuona ana onekana kuto kuamini kama ni sisi wale ambao walituona kwenye uwanja wa ndege tukiwa katika majukumu yetu. Furaha ikatawala kwa kila mmoja wetu, huku mazungumzo yakiwa ni mengi. Muda wa kupata chakula ukafika tukakaribishwa mezani na wenyeji wetu.

“Mkuu mbona yule demu simuoni”

Gody alininong’oneza sikioni mwangu maana amekaa upande wangu wa kushoto.

“Mimi mwenyewe mgeni hapa tusubiri tuone”

“Krishna yupo wapi, muambie muda wa chakula ume fika”

Meneja alizungumza na dada wa kazi akaelekea gorofani na baada ya dakika akarudi.

“Ana kuja baba”

“Sawa. Jamani karibuni sana huyo anaye kuja ni binti yangu wa kwanza”

“Ohoo sawa”

Hazikuisha hata dakika tatu, tukaanza kumuona msichana mrembo akiteremka taratibu kwenye ngazi. Nikamtazama Gody jinsi macho yalivyo mtoka akimtazama binti huyu ambaye kusema kweli ni mzuri kisawa sawa. Gody taratibu akasimama na kuanza kupiga hatua kuelekea alipo Krishana na kutufanya sote tushangae kwa maana kwa nyeg** alizo nazo ana weza hata kumparamia mtoto wa watu na akatuzalilisha na kutuaibisha sote tulio kuja naye.



Gody akamshika Krishna mkono wa kulia na kumuomba aubusu. Nikawapiga jicho la kuiba wazazi wa Krishna na wakaonakena nao kujawa na mshangao usio wa kawaida. Krishna akamtazama Gody kwa sekunde kadhaa kisha akamkabidhi kiganja cheka na Gody akambusu mithili ya Jack na Rose katika filamu ya Titanic. Akamshika mkono Krishna hadi katika meza hii ya chakula, akavuta kiti ambacho kimeandaliwa kwa ajili ya binti huyu kisha naye akaka katika kiti chake huku akiwa na tabasamu.

“Mzee kijana wangu ni mcheshi sana na ni mtu wa matani”

Nilizungumza huku nikitabasamu na kuwafanya wazazi na ndugu wa Krishna nao kutabasamu ila kwa saikolojia yangu ndogo tu, nikagundua hawajapendezwa na jambo alilo lifanya Gody kwa binti yao. Tukaendelea kula chakula hichi huku macho ya Gody mara kwa mara yahachezi mbali na Krishna.

“Eti meneja”

Gody alivunja ukimya ulio tawala kwa dakika kama tano.

“Ndio”

“Hivi binti yako una hitaji aolewe na mtu wa aina gani?”

“Mmmm”

Judy aliguna huku akimtazama Gody usoni mwake.

“Ahaaa kwa sasa binti yangu ana soma na nime wekeza sana kwake na nina hitaji aje kuwa ni mtu mkubwa sana hivyo ni ngumu sana kwa sasa kuzunguzia maswala yake ya ndoa”

“Sawa ila kwa hapo baadae unge penda awe na mwamaume wa aina gani?”

“Mcha Mungu, hususani wa dini yetu ya kiislamu. Pili awe mfanya biashara mkubwa na mwenye pesa nyingi na tatu aolewe na muarabu kama jamii yetu”

Mimi na Cauther tukatazamana kwa maana mtazamo alio nao huyu meneja ni sawa na mtazamo kama walio kuwa nao wazazi wa Cauther.

“Ila kwa hapo mzee uta kuwa una yumba. Kipindi nina amua kuwa katika mahusiano ya wazi na mume wangu hapa. Wazazi wangu walikuwa na msimamo kama wako. Ila leo hii wameelewa kwamba mapenzi sio pesa na mapenzi sio rangi ya mwili kwa maana kipindi kile mume wangu alikuwa ana jifanya ni dereva taksi. Ila wote walipo kuja kugundua ni mpepelezi mkubwa sana hapa Tanzania, kila mmoja akaanza kuingiwa na roho ya kumpenda. Amekuja kuwa jenerali wa jeshi kila mtu ana muheshimu na kwetu amekuwa ni tegemeo kubwa sana na juzi amemuokoa kaka yangu Airport. Hivyo ukiweka matabaka ya kirangi na kiasilia inakuwa haipendezi”

Cauther alizungumza kwa sauti ya taratibu sana na maneno yake yame muingia kila mtu hapa moyoni mwake.

“Isitoshe mukiweka matabaka hayo mukumbuke mupo ndani ya nchi ya watu weusi. Ambao wana ishi na nyinyi kwa amani na upendo na hakuna ubaguzi kama mtu mweusi anavyo toka hapa na kwenda kuishi kwenye nchi zenu”

Judy naye alichangia mada hiyo.

“Sawa nashukuru kwa kuweza kunieleza mambo ambayo kiutamaduni wetu tulikuwa tuna ona ni sawa.”

Meneja alizungumza huku akitabasamu kwa kujilazimisha tu usoni mwake.

“Jeneral”

Kijana wa kiume wa meneneja aliniita huku akinitazama.

“Naam”

“Ni fanye nini ili nami nije kuwa kama wewe?”

“Hahaaa….Kitu kikuu cha kufanya ni kuhakikisha kwamba una kuwa na nidhamu kubwa sana, ina bidi pia upende kufanya kile ambacho una kiamini kwamba kwako ni bora hilo ndio jambo la msingi”

“Napenda sana kwa maana ulicho kifanya kwenye ndege nilihisi ni kama filamu kumbe ni jambo la kweli”

“Yaaa”

Sote tukamaliza kupacha chakula hichi cha usiku.

“Nina washukuru sana jamani kwa kuwa nasi, kwa kweli ni heshima ya kipekee sana ambayo mume ipatia familia yangu. Mungu azidi kuwabariki katika kazi zenu”

“Usijali ndugu, tupo kwa ajili ya kuwalinda nyinyi na taifa zima. Masiha yetu tume yatoa kwa ajili yenu”

Gody alizungumza kwa busara sana hadi tuka mshangaa.

“Asanteni sana kwa kweli kwa maana watu nina imani hawawezi kuona umuhimu wenu hadi pale wanapo hitaji msaada wenu. Kweli nimeweza kuona namna mulivyo kuwa muna tupigania hadi tukafanikiwa kutoka salama kwenye ile ndege. Tuna shukuru sana”

Mke wa meneja alizungumza kwa upole.

“Tuna shukuru nawe mama. Jamani sisi tuna omba tuwaage kwa maana tuna mizunguko kidogo hapa mjini leo.”

“Ohoo jamai hata picha moja tuna omba mupige nasi”

Meneja alizungumza na hatukuweza kumkatalia jambo hilo. Tukapiga picha kadhaa huku wanao hitaji kupiga picha na mtu mmoja mmoja wakapiga. Nikamuona Gody akitumia nafasi hiyo kuomba namba ya simu ya Krishna kisiri siri pasipo wazazi wa Krishna kulitambua hilo. Kila mmoja akafurahia juu ya uwepo wetu katika familia hii ya kitajiri.

“Muna usafiri wa kuzunguka hapa mjini?”

“Hapana tuta kodisha taksi”

“Tuna magari mengi sana hapa kwangu. Ngoja niwape gari muweze kuzunguka zunguka nayo nina imani kesho asubuhi nita ikuta hotelini”

“Shukrani sana meneja”

Meneja akamuagiza mke wake kutuletea funguo ya gari. Baada ya muda akarudi akiwa na funguo ya gari aina ya Toyota Voxy. Tukaonyeshwa gari hilo, na Willy akaanza kulikagua kwa umakini sana.

“Mbona ana likagua?”

“Kwa usalama wetu binafsi kwa maana hatuwezi kupanda gari ambalo lina weza kutuletea shida”

Willy alimjibu huku akimtazama meneja huyu.

“Gari ni mpya kabisa, nilisafiri nayo mara mbili tu na familia. Haina shida yoyote”

“Asante sana”

Nilijibu mara baada ya Willy kuninyooshea dole gumba akimaanisha kwamba gari ipo salama salmini.

“Nani ana endesha?”

Niliuliza huku nikimtazama Willy na Gody.

“Mimi”

Gody alijibu na nikamkabidhi funguo na tukaingia ndani ya gari na kuondoka nyumbani hapa kwa meneja.

“Gody nakuona nakuona umesha chukua namba ya Krishna”

Nilimtania Gody huku nikimtazama usoni mwake.

“Wee acha tu kaka, yaani yule mtoto nime muelewa kishenzi. Na yeye naona kama amenielewa fulani hivi kwa maana nime muomba namba na hajachomoa”

“Gody huo ujasiri umeutoa wapi ikiwa muda ule uliona picha tu jasho likakutiririka?”

“Nilikuambia Judy utajionea maajuabu ambayo hujawahi kuyaona kwangu. Kukudhiirishia kwamba siogopi mwanamke nime mbusu mbele yetu ili mujue upepo sasa ume badilika, kutoka Kaskazini sasa una kwenda Mashariki”

“Ila shem ongeza juhudi pale uta mpata yule binti. Ngoja niwambie siri moja ambayo hamuijui kwa sisi waarabu”

“Ehee tuambie shemeji”

Gody alizungumza huku akitega masiko yake vizuri kusikiliza siri hiyo.

“Sisi kutoka mioyoni tuna penda wanaume weusi, asilimia kubwa tupo hivyo. Kwa maana wanaume weusi kwanza wana joto”

“Mashalahhhh kwa hiyo mtoto nime ibua”

Gody alizungumza na kutufanya sote tucheke.

“Ni wewe tu kukaza buti. Pia wanaume weusi wame jaaliwa maungo yao tofauti na wanaume wa kiarabu ambao maungo yao kidogo sio kivile na wengi wao hutumia dawa ya kuongeza maungo yao mwisho wa siku hujikuta kwa maisha ya mbele maungo yao yana tebwereka, tofauti na mwanaume wa kiafrika aliye jaliwa maungo halisi kutoka kwa Mungu”

“Mmmm mke wangu mambo hayo yote umeyajulia wapi?”

“Najua tu mume wangu, si nina kaa na wasichana wezangu wa kiarabu. Walipo kwenye ndoa na waarabu wezetu huwa wana lalamika hawatoshelezwi ndio maana wengi wao wana jikuta wakifanywa na ma house boy”

“Mambo hayo”

Willy alizungumza huku wakiwa wamekaa siti ya katikati huku mimi na Cauther tukiwa tumekaa siti ya nyuma kabisa na Gody amekaa peke yake mbeke akiendesha gari hili kwa mwendo wa kawaida.

“Ume ona ehee. Kwa hiyo shem Gody pambana kama mtoto kakuelewa. Hapa bosi wenu alinipigania hakukata tamaa, yaani hadi nimebadilisha dini sio jambo la kawaida. Angekuwa sio mwanaume mwenye msimamo siku nyingi sana ninge achana naye”

“Nashukuru sana shem kwa maneno yako ya kunifariji. Angekuwa ni mwamfulani hapa angeniponda kishenzi”

“Nyoo si useme Judy ninge kuponda”

“Hahaaahahaa”

Tulicheka sote kwa maana Judy na Gody ni watu wanao penda kutaniana na kuelezana ukweli muda wote na usipo wazoea una wezahi kuhisi kwamba wata gombana na kupigana ila ukweli ni kwamba hakuna kitu kama hicho kinacho weza kutokea kati yao.

“Tusikilizane, tuna ingia Forodhani. Ni eneo lenye watu wengi wa kila hali na wa mchanganyiko, wahalifu na wema. Ina tupasa kuwa makini na pia tuwe makini kwa kila kitu tunacho kula.”

Niliwasisitizia vijana wangu.

“Sawa”

“Mkuu vipi nina weza kupata kademu ka kudamshi nacho usiku huu”

“Nyooo uta kufa ukianza umalaya kwa pupa kuna ukimwi wewe”

Judy alizungumza.

“Ukimwi kitu gani, nilijua ni kansa….Hahaaaa”

“Haya nita kueletea machungwa hospitalini ukiwa una karibia kufa”

“Hafi mtu. Alafu nasikia jamani dawa ya ukimwi ime julikana”

Gody akachomekea mada nyingine.

“Nani kasema?”

Willy aliuliza.

“Nimesikia tu?”

“Bado wahajadhibitisha. Wanaendelea kufanya uchunguzi kwa wagongwa kadhaa ambao tayari wamesha wapima”

“Bora itoke kwa maana watu tuna nguvu zetu”

“Hivi Gody leo una nini mwezetu. Kwa maana una jichetua”

“Yaani Judy kama hadi sasa hujaelewa ni nini kinacho endelea kwangu basi pole”

“Kipofu kaona mwezi mke wangu”

Willy alizungumza kwa matani.

“Una maanisha?”

“Namaanisha kwamba kiwete ana tembea”

Gody alijibu huku akisimamisha gari katika maegesho ya eneo hili la Forodhani. Tukashuka ndani ya gari na kutazama wingi wa watu walipo eneo hili.

“Mmmm nasikia harufu ya nyama choma tu”

Gody alizungumza huku akijinyoosha viungo vyake.

“Gody nikuambie kitu”

Judy alizungumza,

“Niambie tu”

“Zanzibar kuna watu na majini tena kwenye eneo kama hili. Usije ukaona ume pata demu mkali ana weza akawa jini na jini bwana haogopi mwanajeshi wala ushuzi wa mwanajeshi, ata kupoteza”

“Hivi ni kwel ehee?”

Gody aliuliza huku macho yakimtoka.

“Ndio ni kweli dogo. Zanzibar hao viumbe wana ishi nao mitaani na ni watu kama sisi na sio ngumu kumjua hadi uwe na maruhani kichwani”

Nilimuambia Gody huku nikimtazama usoni mwake.

“Muna nitisha jamani”

“Hatukutishi, sasa na wewe kama leo kibolibo chako kimesoma mnara aisee muda si mrefu mnara uta katika, so wewe jishebedue tu uone mziki wake”

Judy alizungumza wakiongoza njia yeye na Willy.

“Haya tutaona”

Tukatafuta moja ya meza na tukaaka. Muhudumu wa kiume akatufwata na kutuuliza tuna hitaji nini.

“Mimi nina hitaji supu ya pweza yenye pililipi nyingi”

Niliagiza huku wezangu wakiagiza wanacho kihitaji.

“Sema hili eneo ni zuri sana, lina upepo mwanana, kipindi fulani nilikuwa nina kuja sana na mke wangu, tukihitaji kupoteza poteza stress za wakwe”

“Mkuu ina onyesha mulikuwa muna kila bata?”

“Sana, kipindi hicho ni dereva taksi, sina majukumu ya kitaifa ni mimi tu na mke wangu, yaani ni bata kwa kwenda mbele”

“Tena yule mpemba mnywe ile mishkaki niliyo kuwa nina ipenda alikuwa ana weke meza yeke pale sijui yupo wapi, simuoni”

Cauther alizungumza na kunifanya niangaze angaze katika eneo hilo.”

“Hata meza yake haipo”

“Yaa”

Nikamuita muhudumu mmoja kwa ishara na akanifwata.

“Aisee kuna jamaa mmoja alikuwa ana kaa eneo lile anaitwa nani vile yule mke wangu”

“Selemani”

“Ehee Selemani yupo wapi yule?”

“Daa yule jamaa alisha fariki miaka kama sita hivi ime pita”

“Weeee!!?”

Mimi na Cauther tulishangaa kwa maana sisi tulikuwa ni wateja wake wakubwa sana na tulikuwa lazima tukifika hapa Forodhani ni lazima tununue miskaki kwake hata kama tume shiba, ili mradi kumuungisha mkono.

“Nini chanzo cha kifo chake?”

“Aligongwa na gari alikuwa ana endesha vesper yake, kukimbizwa hospitalini akafia njiani”

“Inalilahi wainalilahi rajuin”

Cauther alizungumz akwa sauti ya masikitiko makubwa sana.

“Poa asante kwa taarifa”

“Sawa kaka”

Muhudumu huyu akaondoka na kwa kweli huzuni zikatawala katika mioyo tetu.

“Jamaa alikuwa mcheshi sana. Alikuwa ni mtu mwenye roho nzuri. Wateja waengi walimpenda sana”

Nilizungumza kwa sauti ya upole.

“Poleni sana mkuu”

Judy alizungumza kwa maana amegundua kwamba furaha tulio kuja nayo sehemu hii tayari imesha potea.

“Ahaa ila udongo huu una kula sana watu”

“Ndio hivyo mke wangu, ni miezi sasa tumempoteza pia mtu wetu wa karibu Maulid”

Nilizungumza kwa upole.

“Daa sipati picha kama Maulid tunge kuwa naye sasa hivi pamoja na demu wake Manka hapa”

Willy alizungumza kwa upole naye.

“Yaa alafu jamani Manka tume msahau sana, katika kipindi hichi ilibidi tumshike kwa pamoja, ila toka mume wake amefariki basi tumeingia mitini”

Cauther alizungumza na kweli ukitazama ni kweli na mara ya mwisho kuonana na Manka ni siku niliyo jikuta nikishiriki naye tendo la ndoa pasipo kutarajia.

“Mkuu mpigie basi Manka tumjulie hali?”

“Muda huu?”

“Ndio”

“Hatupo sehemu sahihi. Una jua mwenzetu bado ata kuwa ana omboleza msiba wa mpenzi wake. Alafu sisi tuna mpigia simu tupo Forodhani tuna kula bata kweli ata jisikia vibaya”

“Huyo Manka ndio nani?”

Gody aliuliza.

“Demu wa Maulid”

Nilimjibu.

“Mtoto ni pin balaa, ukicheki ana namba nane fulani hivi amaizing”

“Kwa hiyo sisi tulio nyooka sio pin au?”

Judy alimuuliza Willy aliye msifia Manka huku wivu ukiwa ume tawala katika swali hilo.

“Sio hivyo mke wangu”

“Ila?”

“Naomba unisamehe mama watatoto wangu”

“Mimi sipendi Willy nina wivu kama nilivyo kuambia. Kama ungetaka mwanamke umbo namba nane na mwenye makalio makubwa si unge kuwa naye”

Judy alizungumza kwa hasira na sote tuka gundua maneno ya Willy yamemuumiza roho yake kiasi cha kukasirika.

“Hahaaaa kumbe na wewe una umiaga eheee na una wivu. Hahahahaaa leo ume kamatika ina onyesha msambwanda wa Manka ni mkuwa kiasi cha kukuumiza kisawa sawa”

Gody alizungumza kwa matani hukua kicheka peke yake. Judy akamtazama Gody kwa macho makali yaliyo jaa uwekundu, kisha akasimama na kuondoka eneo hili kwa hasira na sote tukajikuta tukitazamana kwa maana sasa maji yamezidi unga.



Willy akataka kunyanyuka ili amfwate Judy ila nikamzuia kwa ishara, kisha mimi nikanyanyuka na kuelekea eneo analo kwenda Judy.

“Hei hei dogo”

Nilimuita Judy na akasimama.

“Vipi mbona ume ondoka?”

“Mkuu Willy ana mambo ya kitoto sana na nimara nyingi sana huwa nina muambia aache mambo ya kitoto ana shindwa kunielewa yaani nina juta hata ni kwa nini nime kuwa naye kwenye haya mahusiano”

Judy alilalama huku machozi yakimwagika. Kwa kweli hata uwe komandoo vipi ila mapenzi yana weza kukumwaga machozi.

“Judy, Willy ana kupenda sana na ni mtu wa matani sana. Nina imani hata pale alivyo kuwa ana zungumza alikuwa ana zungumza kwa matani. Wewe ni mzuri sana tena kuliko hata Manka, jiamini katika uumbaji ambao Mungu amekupatia. Ulisha wahi kuona miss akiwa ni mnene?”

Judy akanijibu kwa kutingisha kichwa akimaanisha hajawahi kuona.

“Kwa nini wana itwa ni warembo wa dunia? Ni kutokana na jinsi Mungu alivyo wabariki maumbo mazuri kama yako. Wewe mwenyewe una ona, mke wangu hana matako makubwa, ila nina mpenda na ndio chaguo langu ndio maana nime muoa. Na nina kuambia siri moja, wanaume wote wanye akili duniani, huwa hawaoi wanawake wenye makalio makubwa fanya utafiti wako na utaniambia. Kwenye asilimia mia moja za ndoa zenye wanawake wenye matako makubwa ni asilimia kumi kama sio ishirini. Themanini iliyo baki yote ni wanawake ma model ambao muda wao mwingi hawaufikirii juu ya uzuri wa makalio yao. Wana ufikiria kwenye kuendesha maisha ya familia zao. Hawa wenye matako makubwa, sisi wanaume tuna watamani tu, tuna watomb** na kuwaacha na isitoshe nikuambie tu, wanawake wenye matako makubwa sio watamu kwa maana kuna baadhi ya mikao hawawezi kukaa, na wakimudu basi ni wachache sana”

Nilijitoa ufahamu kuzungumza mambo waziwazi hadi Judy akatabasamu.

“Nakueleza ukweli, mimi nita tomb** kila aina ya mwanamke ila kwa mke wangu pale ni Kigoma mwisho wa reli. Hivyo chukulia ni upuuzi alio uzungumza Willy, hakuna haja ya kuumia na hata akizungumza basi hawezi kuchepuka kwa maana wewe amekupenda kwa asilimia mia moja”

“Ila ndio ani thamnini sasa na aache kuongelea wanawake wengine mbele yangu”

“Usijali, nita muonya katika hilo”

Judy akafuta machozi na taratibu akanikumbatia kwa nguvu.

“Asante mkuu kwa kunifanya nimi nijoone ni mwamke kwa maana hii kazi yangu ilinifanya nijihisi nipo kama jike dume na sikuwazia kama nita kuja kupata mwanaume siku moja”

“Usijali, mwanaume ndio yule, kaeni chini na muelezane nini hampendi na nini muna penda nina imani kwamba mapenzi yetu yata dumu”

“Asante”

Judy akaniachia taratibu huku akinitazama kwa macho ya aibu fulani. Simu yangu ikaanza kuita na nikaitoa mfukoni na kuona ni jina la Mariam.

“Tangulia nina kuja”

“Sawa mkuu”

Judy akaondoka na nikaipokea simu hii na kuiweka sikioni mwangu.

“Niambie”

“Safi, jamani Eddy ume nisusa kweli, au ndio huo ukomandoo”

“Nahisi una vunja sheria na makubaliano tuliyo jiwekea kwa nini?”

“Samahani”

“Kila siku una omba wewe samahani?”

“Nisamehe mpenzi wangu. Kusema kweli nime vumilia kukaa kimya bila ya kuisikia sauti yako ila nime shindwa. Nina kupenda sana Eddy umesha ingia moyoni mwangu. Haijalishi una mke au una nani ila ukweli nina kupenda sana. Tafadhali nina kuomba unielewe”

“Nina kuelewa. Ile ahadi yangu nita itimiza baada ya siku tatu zijazo. Nina rudia tena, usipige wala usitume meseji hadi pale nitakapo kutafuta mimi, tumeelewana?”

“Ndio mume wangu kipenzi. Alafu baby naomba unisaidie pesa ya matumizi”

“Poa nina kutumia na sitaki usumbufu. Mimi ndio nita kutafuta”

“Sawa asante mwaaaa”

Nikakata simu huku nikiachia msunyo mzito sana kwa maana nikiendelea kumuendekeza huyu binti ana weza kuivuruga familia yangu na mambo yakaniwia magumu. Nikamuingizia kiasi cha laki mbili katika simu yake, nikafuta meseji ya pesa pamoja na namba iliyo piga na nikarudi sehemu walipo wezangu na kuwakuta wakicheka kiasi cha kufurahishwa na amani hiyo kurejea.

“Kaka ndugu yako haba bwana si amemfwata yule demu aliye kaa na jamaa pale”

Willy alinionyesha msichana mmoja mzuri akiwa amekaa katika meza moja na jamaa sharobaro fulani hivi.

“Yaa”

“Sasa alijua demu yupo peke yake, ameenda kajibaragazua kwa kuomba namba kwa nini jamaa asitokee. Ndugu yetu aliondoka mnyonge bila hata kuaga”

“Hahahaaaaa, Gody sasa una muogopa yule sharobaro”

“No simuogopi”

“Ila?”

Nilimuuliza Gody huku nikimtazama usoni mwake.

“Nimeona niepushe shari kwa maana nina weza kumtandika mangumi akafa bure. Ila kusema kweli manzi nime muelewa. Mtoto ana choo cha kutosha”

“So una muhitaji?”

“Yaa ila jamaa kama kizuizi fulani”

“Ila jamani waacheni wafurahie mapenzi yao. Tafuta mwanamke mwengine”

Cauther aliyaingilia mazungumzo yetu.

“Mke wa mtu sumu, huku Zanzibar bwana una weza uka lazimisha kuwa naye kesho asubuhi jamaa akakuendea kwa babu mara kibusha hicho. Ni mwendo wa kuvaa msuli”

Judy alizungumza na kutufanya sote tuchekee.

“Na ukiwa na busha mzee baba jeshini ndio basi tena”

Nilizungumza na kumfanya Gody kuingiwa na hofu kidogo.

“Kwani lazima leo ulale na demu kwa maana una onekana una nyeg* mshindo wewe?”

Judy alimuuliza Gody.

“Nataka nisuuze rungu leo”

Gody alizungumza huku akiangaza angaza macho kwa wanawake wengi walio kaa eneo hili.

“Sema jamani wanawake wa kinzanzibar wana penda kuvaa Madera na mabaibui, si wavae suruali tuone mambo”

“Sasa Gody hawa tamaduni zao ndio hizo, hawawezi kuenenda nje na tamaduni zao”

“Ahaa wana zingua, yaani haya mapumziko yangenikutia Dar sasa hivi ninge kuwa nimesha vuta mwanamke nipo kifuani”

“Yaani kwa nyeg** mshindo zako. Haki ya Mungu uta fia kifuani wewe jifanye una mawenge yako hayo”

“Judy sifii kifuani wewe, mimi kidume”

“Nyoo kidume uwe wewe, acha kutubabaisha bwana”

“Subiri uonde makeke yangu leo”

“Sasa shemeji mimi nina shindwa kukuelewa. Akili yako na moyo wako upo wapi hadi sasa, una mtaka yule Krishna au una taka mwanamke mwengine kwa maana una onekana una muhemko sana”

“Shem kwa leo tu nataka nizindue rungu langu alafu kuanzia kesho sasa, nina kuwa special kwa Krishna.”

“Duu kazi kweli kweli!!”

Cauther alishangaa huku akimtazama Gody ambaye akili yake ime wehuka kwa kweli.

“Sikia kuna shehemu tukiwa tuna rudi hotelini tuta pita, uta chukua mwanamke hapo na uta kwenda kulala naye”

“Hapo mkuu ume zungumza jambo”

“Kwa hiyo mume wangu muna kwenda kumuuza mwenzenu kwa malaya?”

“Hatumuuzi, ila tuna msaidia. Yaani huyo hapo alipo fikia, akiwa peke yake na mwanamke haijalishi ni shemeji yake au ndugu yake, lazima ata mbaka. Sasa kipi bora, abake au apate mwanamke wa kushusha haja zake. Tuna fanya hivyo kuwalinda nyinyi bwana, asije akawabakaa”

“Tooo huyu anibake, yaani nita mvunja vunja hadi wazo la kunibaka limuishe”

Judy alizungumza kwa dharau na sote tukacheka. Tukamaliza kula vitu tulivyo agizia, tuka nunua vyakula vya ziada na tukaanza kurudi safari ya kurudi hotelini, tukapita kwenye moja ya mtaa na nikamuagiza Gody kusimamusha gari kwenye moja ya jumba.

“Nisubirini”

“Una enda wapi mume wangu”

“Ningojeni nina kuja”

Nikashuka ndani ya gari, nikatazama jinsi mtaa huu ulivyo tulia na hauna magari mengi. Nikaingia ndani ya nyumba hii ambayo ni jumba maalumu kwa kuuza malaya wenye hadhi ya juu sana. Kwa haraka haraka sio rahisi kwa mtu kuweza kufahamu kama jumba hili lina uza malaya na ni watu wenye pesa zao ndio wanao jua kwamba hapa kuna malaya kwa maana mambo yakiwa hovyo ndani ya familia zao hukimbilia katika eneo hilo na kujipatia wanawake wanao wahitaji.

“Eddy upo”

Mwanamama anaye miliki jumba hili na biashara hii ya kuwauza wanawake wa kila aina kuanzia, waafrika, wazungu, wachini, waarabu, wahindi. Yaani ni pesa yako tu.

“Salama tu niambie”

“Safi, wao una zidi kuwa mzuri na hongera sana nime iona video yako”

“Nashukuru sana. Nina imani kwamba una mali mpya”

“Nyingi sana. Njoo ofisini kwangu”

Tukapandisha gofora ya kwanza na kuingia ofisini kwa mama huyu ambaye ni kibonge kiasi na mfupi. Akaka kwenye kiti chake huku akinitazama usoni mwangu.

“Wezako wapo wapi, hamuonekani siku hizi?”

“Wapo”

“Naona una pete ya ndoa kidoleni, vipi ume oa?”

“Yaa nina mke, nahitaji kumchukulia kijana wangu msichana ambaye ata kwenda kumridhisha leo”

“Usijali, una taka muafrika, au?”

“Hapo hapo, huko kwa ngozi nyeupe usiende. Nionyeshe picha”

Mwana mama huyu akawasha tv kubwa uliyopo hapa ofisini kwake, zikaanza kupita picha za mwanamke mmoja mmoja huku wakiwa katika mapozi ya bikini na uchi kabisa.

“Watoto wana datisha”

“Hatari aisee na hao ndio wapo free”

“Hembu rudisha picha ya aliye pita”

Mama huyu akarudisha picha hiyo.

“Venosa V8. Huyo nime muelewa sana, ana hipsi ya maana shepu ya maana naamini ata mfaa kijana wangu”

Nilizungumza huku nikiitazama picha ya mwanamke huyu ambaye ana umbo zuri namba nane mithili ya Manka, ana rangi nyeusi fulani ya kung’aa na kumfanya avutie sana. Ana urefu wa futi sita na sentimita kadhaa.

“Ehee ana endaje huyu?”

“Kwa usiku mmoja kuanzia saa tano usiku hadi saa moja asubuhi ni dola mia na hamsini”

“Namuhitaji kwa siku mbili”

“Kutokana ni wewe ni mteja wetu wa kitambo yaani mwana chama”

“Yeah mwana chama zungumza, taratibu mke wangu nime muacha kwenye gari”

“Weee hato foka?”

“Hawezi kufoka ni muelewa sana.”

“Sawa, nita kufanyia dola mia mia mbili”

“Ila si hana ugonjwa wowote?”

“Hana hata ukurutu kama unavyo jua, tuna wapima wasichana wetu na nina imani kijana wako yupo salama na sina haja ya kumpima”

“Yaa yupo salama kabisa. Je ana kwenda mbele na nyuma?”

“Kila kitu, wewe tu kijana wako atakupa majibu asuhi. Nina msichana wangu ata kuwa salama mikononi mwako?”

“Sijawahi kukuangusha”

“Sawa, malipo ni kama kawaida kupitia benk”

Nikamuingizia mwana mama huyu kiasi cha milioni mbli katika akaunti yake.

“Ime fika, waooo ndio maana nina kupenda Eddy hunaga longo lango”

“Kama kawaida”

Mwana mama huyu akanyanyua simu yake na kupiga chumbani kwa msichana huyo na akamuagiza aje amejianda kwa safari ya siku mbili. Baada ya dakika tatu msichana huyu akafika hapa. Kusema kweli ni mwanamke mzuri sana, akasimama mbele yangu, nikamshika makalio yake na kumminya minya na nikaridhika na ulaini wa makalio yake.

“Ana itwa Eddy nina imani mume ona video yake”

“Ndio nafurahia kukuona Eddy, mimi nina itwa Venosa ama V8”

“Nashukuru sana”

“Kijana wake leo ana hitaji kuwa nawe. Kafanye kazi, kampe mambo kesho na kesho kutwa atamani kurudi hapa”

“Usijali boss lady, ata kupatia ripoti”

Venosa alizungumza kwa furaha.

“Angalizo, kijana wangu hii ndio ina kwenda kuwa mechi yake ya kwanza toka azaliwe”

“Weee Eddy ni mtoto mdogo au?”

“Hapana Boss Lady. Ni mtu mzima, ila kuna matatizo kidogo aliyapata, sasa leo yamepata matibabu hivyo ana taka kwenda kuzindua rungu lake. V8 hakikish una mfundisha na sio kumkomoa tusije tukaokota maiti asubuhi”

“Usijali Eddy”

“Sawa funika uso wako”

Venosa akafunika uso wake kwa ninja ya baibui yake aliyo ivaa na mkononi mwake ana pochi kubwa. Tukaagana na mwana mama huyu kisha tukatoka ndani hapa na kumuomba Venosa kuingia siti ya mbele alipo Gody.

“Toba yarabi nani tena huyu?”

Gody alizungumza kwa utani.

“Washa gari tudoke”

Nilizungumza huku Willy akifunga mlango wa gari hii kwa ndani.

“Boss ni nani huyo, afunue uso wake tumuone asije akawa jambazi”

Judy alizungumza.

“Kwa hiyo hamuniamini, hadi niwaletee jambazi, sina akilia ua?”

“Samahani mkuu, ni utani”

“Ila mume wangu sio ustarabu tukaondoka na mtu pasipo kumjua sura. Dada hembu funua uso wako tukuone kwa maana”

Cauther alizungumza huku akiwasha taa ya humu ndani ya gari.

“Venosa waonyesha uso wako”

Venosa akavua kitambaa chake na kumfanya Gody macho kumtoka.

“Woooo mtoto kama malaika ume mtoa wapi boss?”

Gody aliuliza kwa papara.

“Mutaulizana maswali mukifika hotelini. Ata kuwa nasi kwa siku mbili hizi tutakazo kaa hapa Zanzibar. Haya mume ridhika naye au tumshushe”

“Mimi nime ridhika naye”

Gody aliwahi kujibu.

“Sasa mbona usalimii”

Willy alimuulza Venosa.

“Habari zenu. Yaani nina furaha kukutana na watu ambao ni jana tu nilikuwa nina watazama kwenye simu yangu.”

“Usijali mama, mimin ina itwa Gody, huyu ni dogo Willy, huyu ni dogo Judy, kule nyuma ni shemeji yetu. Mke wa mkuu wetu naamini umesha mfahamu?”

“Ndio namfahamu”

Gody akawasha gari na tukaondoka eneo hili. Tukafika hotelini, tukashuka katika gari, Gody na Venosa wakawa wa kwanza kuelekea chumbani huku sisi wanne tukibaki katika kaunta ya hapa hotelini tukipata vinywaji taratibu.

“Mume wangu nina mswali nahitaji kukuuliza. Usilewe sana ukashindwa kunijibu”

Cauther alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu.

“Sawa mama watoto.”

“Jamani sisi tume tosheka usiku mwema”

Willy alizungumza na tukaagana nao na wakaondoka na mpenzi wake Judy huku wakishikana mikono. Kutokana wezetu wote wameondoka nasi tukaekea chumbani kwetu na kuwakuta Judy na Willy wakiwa wamesimama mlagoni mwa chumba cha Gody.

“Kuna nini?”

“Njoo usikie mkuu”

Nikapiga hatua hadi mlangoni hapa, nikatega sikio na kusikia vilio vya mapenzi kati ya Gody na Vanesa. Cauther akanitazama kwa macho fulani hivi ambayo nina hisi amekasirika, akaingia chumbani kwetu ikambidi nimfwate.

“Kwa hiyo wewe ni bingwa wa kuwatafutia wezako malaya na una jua hadi majumba yao si ndio?”

Cauther alizungumza kwa hasira, akavunja chupa ya wyne aliyo kuwa ameibeba na akabaki na kipande nusu na akakishika kwa mikono yake miwili huku mwili mzima ukimtetemeka kwa hasira ambayo toka kumjua mke wangu sijawahi kumuona akiwa katika hasira ya namna hii.



“Si nakuuliza?”

Cauther alizungumza kwa hasira huku akiendelea kutemeka.

“Mke wangu sio kama unavyo fikiria”

Ikanibidi kumjibu kwa upole huku nikimsogelea taratibu Cauther.

“Hivi hao wezako watanichukuliaje mimi. Wataniona ni mke wa mume wa dalali wa wanawake si ndio. Kwa nini unashindwa kufikiria hata robo ya furaha yangu na una taka kuwafurahisha wezako ambao hulali nao na hawakujui wewe kwa undani?”

“Naomba unisamehe mke wangu, haito jitokeza tena”

Nilizungumza huku nikiuwahi mkono wa Cauther ulio shika chupa na taratibu nikaichukua chupa hiyo na kumkumbatia kwa nguvu.

“Jua wewe sasa hivi ni baba, nina kutegemea na mwanao ata kutegemea. Sitaki mwanao ajivunze tabia mbaya, tabia za ajabu. Kuwa kioo kizuri kwetu”

Cauther alizungumza huku akililia kifuani mwangu.

“Nakuahidi nita kuwa baba bora kuwahi kutokea duniani. Nisamehe mke wangu kipenzi”

Nilizungumza kwa sauti nzito kidogo ya kimahaba.

“Nakupenda sana Eddy”

“Nakupenda pia mke wangu”

Taratibu Cauther akanishika mashavuni mwangu na kuanza kuninyonya denda lililo changanyika na machozi. Nikatupa kipandi hichi cha chupa pembeni, nikamnyanyua Cauther, nikapiga hatua hadi kitandani na kumlaza taratibu huku tukitazamana. Cauuther akaanza kunivungua mkanda wa suruali yangu, huku akionekana akiwa na hamu kubwa ya uhitaji wa penzi langu. Akamtoa jogoo wangu nje na kuanza kumchua chukua, nikamvua skintaiti pamoja na chupi yake na tukaanza mtanange huku tukiwa na nguo zetu. Kilio cha Cauther kikageuka na kuwa kilio cha furaha. Nikampa haki yake anayo istahili hadi sote tukaridhika.

“Asante mume wangu”

“Asante pia mke wangu, naona mtoto leo tume mjaza jaza masikio”

“Hahaaa, naona akizaliwa ata kuwa mzuri”

“Mungu asaidie kwa kweli awe mtoto mzuri, tukavua nguo na kuingia bafuni, tukaoga na kurudi kitandani, kabla ya kulala tukapiga mtanange mwengine wa kukata na shoka kiasi cha kufika hatua mke wangu akaanza kulalamika maumivu ya tumbo.

“Uta nitoa mimba baby, yaani una ikita kwa nguvu hadi nina isikia huku tumboni”

“Pole mke wangu basi ikalie”

Nilizungumza huku nikilala chali, Cauther akanikalia na taratibu akaanza kujihumia kwa kiwango chake hadi sote tukamaliza. Kutokana na uchovu wa mechi hizi mbili, Cauther akawa wa kwanza kulala. Nikavaa taulo, na nikafungua mlango wa kioo una tokea eneo la kupumzikia. Nikatazama eneo la baharini jinsi lilivyo tulia.

‘Sasa nime kuwa jenerali nini nina paswa kufanya ili kuwaondoa makamu wa raisi na watu wake?’

Niliwaza huku nikitazama mandhari yote nikiwa juu hapa.

‘Makamu wa raisi ana nguvu kubwa. Hata nikimuua yeye pasipo kukata mizizi hakuto kuwa na maana yoyote kwani watu wake wata endelea kuwepo na wataendelea kufanya wanacho kusudia kukifanya?’

‘Ila makamu wa raisi ni kama baba kwangu, laiti ingekuwa sio yeye basi ningekuwa nimesha uwawa na wananchi kutokana na wizi au ningekuwa kwenye maisha tofauti na haya. Au nirudi nikapige magoti kwake na anisamehe?’

Nikarudi ndani, nikafunga mlango huu, nikazima taa na kuwasha tv, nikakaa kwenye moja ya sofa huku nikimtazama mke wangu jinsi alivyo lala kifudifufi huku mguu wa kulia akiwa ameukunja kidogo na mguu wa kushoto ukiwa umenyooka na kuyafanya makalio yake kunyanyuka kidogo na kunitamanisha. Nikachukua rimoti ya A/C na kupunguza upepo kwani ni mkali sana. Nikakisogelea kitanda, nikamfunika Cauther kwa shuka kisha nikambusu na nikarudi kwenye sofa.

‘Nina mke sasa, nita pata mtoto hivi karibuni. Ita kuwaje siku wakiudhurika kwa ajili ya matatizo yangu ya kujenga uadui na watu walio nishika mkono?’

‘Isitoshe Cauther ndio familia yangu na ndio ndugu zangu. Sina wengine zaidi yake yeye, simjui baba yangu, wala mama yangu na wala sitambui ni nini kilipelekea mama yangu kunitupa na kupelekea kuokotwa kwangu’

Mawazo ya kuanza kuiwazia familia yangu yakaanza kunitawala.

‘Nimesha kuwa jenerali nina nguvu na nina uwezo wa kuwatafuta wazazi wangu. Sasa ina nibidi kuanza huu mchakato wa kumtafuta baba na mama, kama wata kuwa wamekufa sawa, ila kama watakuwa wapo hai pia ni jambo la heri kwa maana nina hitaji kujua ni kwa nini wamenitupa’

Nikanyanyuka na kuokota chini koti langu la suti, nikatoa simu yangu na nikarudi kwenye sofa. Nikaitafuta namba ya daktari mkuu wa serikali kisha nikampigia. Simu yake ikaanza kuita na ikapokelewa.

“Jeneral habari ya muda huu”

“Salama dokta Shikamoo”

Nilisalimia kwa maana mzee huyu ni mtu mwenye umri mkubwa sana.

“Marahaba Eddy niambie”

“Samahani nime kupigia muda na wakati kama huu, nahisi nita kuwa nina kusumbua?”

“Hapana ndugu yangu ndio kwanza nina toka kwenye upasuaji. Kuna mgonjwa wa moyo tulikuwa tuna mshuhulikia”

“Sawa sawa, pole sana na majukumu”

“Ahaa nimesha poa”

“Dokta nilikuwa nina uliza hivi nikiwa nina hitaji kutafuta DNA ya wazazi wangu hususani baba yangu ina wezekana?”

“Ndio ina wezekana kwa maana vipimo vingi vya watu huwa tuna vihifadhi kwenye database zetu hivyo tuna weza kuangalia kati ya DNA yako ina weza kuwa kufanana na nani?”

“Kama ita wezekana basi nakuomba sana tena sana uweze kunisaidia katika hilo daktari”

“Sawa nita lishuhulikia hili, kesho asubuhi saa nne nita kupatia jibu”

“Asante sana daktari”

“Asante nawe”

“Usiku mwema”

“Nawe pia Eddy”

“Haya”

Nikakata simu huku kidogo nikianza kujawa na amani moyoni mwangu. Swala la wazazi wangu toka kukua kwangu sikuweza kuliwazia wala kulifikiria kwa maana nilitokea kuwachukia kwani sikujua ni kwa nini waliamua kunitupa. Ila kutokana nimesha kuwa mtu mzima na nina elewa mambo kwamba katika maisha watu wana kumbwa na mambo mengi hususani wanawake, basi katika sababu ninazo zifikiria, ina wezekana mama yangu akawa alikumbwa na sababu moja wapo kama kupata ujauzito akiwa shule, au baba aliikataa mimba yangu na kutokana na ugumu wa maisha aliamua kunitupa. Taratibu nikanyanyuka katika sofa hili huku nikipiga miyoyo ya uchovu, nikaiweka simu yangu pembeni mwa kitanda na nikajilaza pembeni ya Cauther. Sikuchukua hata muda, usingizi ukanipitia na nikalala fofofo.

Mlio wa simu yangu ukanizindua kutoka usingizi. Nikafumbua macho taratibu na kukuta mwanga wa jua ukiwa umesha tawala chumba kizima, nikatazama pembeni na simuoni Cauther.

“Hei baby”

Cauther alizungumza huku akitoka bafuni kuoga.

“Kumbe umesha amka?”

“Muda tu mume wangu, vipi uchovu kwa maana una onekana ume choka sana”

“Yaani wee acha”

Nikaitazama namba hii mpya inayo nipigia kisha nikapokea.

“Habari Eddy”

Niliisikia sauti ya mwanamke ambayo leo ndio mara yangu ya kwaza kuisikia.

“Salama nani mwenzangu”

“Mimi ninaitwa dk Matlda, nilipewa maagizo na daktari mkuu kuweza kufwatilia vipimo vya DNA yako kwanza ana omba radhi kwa kuto kukupigia yeye mwenyewe kwani kuna oparesheni kama mbili hivi, zimeongozana na zimeanza saa mbili asuhi na zina weza kuishia kuanzia saa nane na kuendelea ndio maana ameomba nikupatia majibu yako”

“Okay sasa ehee niambie”

“Tumejaribu kutafuta ni nani ambaye DNA yako ina weza kuendana naye ila nina sikitika kwamba hakuna mtu ambaye DNA zenu zina fanana. Tumejaribu kuangalia katika system zima ya kitaifa ila hakuna mtu unaye fanana naye”

“Ahaaa sawa, basi daktari akitoka nita zungumza naye mimi mwenyewe”

“Sawa, pole na asubuhi njema”

“Nawe pia?”

Nikakata simu huku nikishusha pumzi nyingi.

“Vipi mume wangu kuna nini?”

“Niliwasiliana na daktari, nilikuwa na wazo la kuwatafuta wazazi wangu halisi. Hivyo nikatumia njia ya kutafuta mtu mwenye DNA inayo endana na yangu ila majibu yametoka kwamba hakuna ninaye endana naye”

Taratibu Cauther akaka pembeni yangu huku akinitazama kwa macho ya upole.

“Mume wangu kama umesha wazia hilo jambo. Nina imani ipo siku uta wapata tu wazazi. Nakuahidi nita saidiana nawe baga kwa bega kuwatafua. Kama bado wapo hai basi nina imani kwamba Mungu ata shusha baraka zake na tuta waona.”

“Asante mke wangu”

“Usijali ni jukumu langu hilo mume wangu. Jambo la kufanya sasa hivi nenda kaoge, tukanywe chai kwa maana Judy alisha nipigia kwamba wamesha amka”

“Ohoo sawa”

Nikambusu Cauther mdomoni kisha nikaingia bafuni nikaoga haraka haraka na nikarudi chumbani na kukuta mke wangu akiwa amesha niandalia pensi, tisheti pamoja na kobazi. Nikavaa, kisha nikaichomeka bastola yangu kiunoni.

“Mmm mume wangu kwani ni lazima utembee na bastola kila sehemu. Tupo bwana kwenye eneo la starehe, iweke humo kwenye droo, leo tuna kwenda kuogelea”

“Wacha wee”

“Ndio”

Nikaiweka bastola katika droo ya kabati kisha tukafunga.

“Vile vipande vya chupa vipo wapi?”

“Nimevikusanya nimeviweka hapo kwenye dustbin. Watakuja kufanya usafi”

“Sawa”

Nikababa wallet yangu na tukatoka ndani hapa. Tukawakuta wezetu eneo la mgahawa, tukajumuika nao huku tukisalimiana nao kwa furaha.

“Ehee Gody usiku wako ume kwendaje na Venosa?”

“Yaani kaka asikuambie mtu. Hapa nina oa haki ya Mungu vile”

Sote tukajikuta tukicheka.

“Weee na kule?”

“Aha….kule naona kuta kuwa na mambo mengi sana. Ila kwa huyu manzi nina oa kabisa”

“Venosa upo tayari kuolewa na Gody?”

“Mmm tuombe Mungu”

“Mbona una guna wifi?”

Cauther aliuliza.

“Kwa sababu maisha ambayo nina ishi mimi ni tofauti sana na maisha anayo ishi Gody. Yaani tupo dunia mbili tofauti hivyo ina hitaji muda kila mmoja kumuelewa mwenzake na kumzoea”

Muhudumu akafika hapa na tukaagizia kifungua kinywa na maongezi yakaendelea.

“Ila Venosa, hakuna kitu kinacho shindikana hapa duniani. Dunia ambayo una ishi wewe ni dunia ambayo sio nzuri, dunia ambayo familia kwako wewe ita kuwa ni stori. Kama ndugu yetu amekuelewa, na ana kuhitaji basi ni wewe kufungua moyo wako na maisha yakaendelea”

Nilizungumza kwa busara kidogo kwa maana sasa tuna zungumzia kuhusiana na maisha.

“Ni kweli, na endapo uta kuwa ni miongoni mwa wana familia yetu, tuna amini kwa asilimia mia moja kwamba uta ishi kwa furaha kama tunavyo ishi sisi.”

Judy naye alizungumza.

“Nawashukuru kwa ukarimu wenu kwa kweli muna ishi kwa upendo. Hapa mtu akitokea ana weza kusema nyote mupo sawa. Ila kumbe mupo na bosi wenu ambaye hatangulizi ubosi mbele zaidi ya utu. Nimependa kwa kweli”

Venosa alizungumza kwa furaha.

“Sasa kama umependa ndio umkubalie ndugu yetu. Tukifinye cha mtume kama tulivyo kifinya kwa bosi wetu hapa”

Willly alizungumza, kifungua kinywa kikaletwa na taratibu tukaanza kula.

“Niaambie jambo moja ndugu zangu”

Gody alizungumza na sote tukamtazama kusikiliza anacho hitaji kutuambia.

“Jana nilipo muona Venosa kwa mara ya kwanza, nisiwe mnafki kuna kitu nilikihisi cha tofauti katika moyo wangu. Nilijihisi ni mtu wa tofauti sana na hata tulipo kuwa kitandani, yaani nilijiona wa tofauti kabisa. Hali hii toka kuzaliwa kwangu ilisha wahi kutoka kwa binti mmoja jeshini kama Judy unamkumbuka yule demu aliye kuwa ana itwa Rose”

“Rose!!?”

“Ndio Rose yule aliye kuwa ana toka na mkuu wa mazoezi na baada ya kugundua kwamba nina hisia na yule manzi mzee akawa ana nitesa tena?”

“Ahaa….nimekumbuka. Alafu yule mzee nasikia amekufa kwa ngoma”

“Ohoo!!”

“Hata mimi nimesikia. Namshukuru Mungu hata tatizo langu pia limenisaidia kuepukana na mengi sana. Niliumia na nikateswa na yule mzee juu ya Rose hadi nikakubaliana a hali halisi kwamba Rose sio wangu. Sasa jana ndio ndio nime hisi kitu kama kile ila hichi kimekuja kwa nguvu kubwa tofauti na kile cha mwanzo. Ndio maana nina sema Venosa nina hitaji kukuoa, uwe mke wangu wa ndoa kabisa. Nikakutambulishe kwa wazazi wangu na nikuweke ndani”

Cauther akapiga makofi ya furaha.

“Shemeji leo ume kuwa jasiri. Ngoja kidogo nikuulize Venosa, kwa nini ume sema maisha yako na sisi ni vitu viwili tofauti?”

Venosa akajifuta mdomo wake kidogo na tishu kisha akaiweka mezani.

“Wifi, mimi ni malaya. Nina kula na kuvaa na kuendesha maisha ya wazazi wangu kijijini kutokana na Umalaya. Tuna organization yetu hiyo ambayo ni kubwa sana. Tupo wasichana wa kila aina na tuna kuwa tuna tafutwa na matajiri mbali mbali, nina weza kusafiri kuelekea Uingereza, Marekani, kwa ajili ya kwenda tu kumshuhulikia mwanaume anaye lipa pesa kwa bosi wetu. Hivyo maisha hayo mimi nimesha yazoea na nimekuwa mkweli kwa Gody hapa, kwani nina weza kumuumiza tukiwa ndani ya ndoa jambo ambalo nisinge penda litokea.”

Gody akashusha pumzi taartibu huku akimtazama Venosa jinsi anavyo zungumza kawaida kama vile mtu anaye zungumzia stori za kawaida.

“Lakini shemeji, malaya pia wana olewa na isitoshe hukuzaliwa malaya. Ulizaliwa ukiwa ni binti mzuri ila naamini kutoana ha ugumu wa maisha ya hapa na pale ukaingia kwenye kazi hiyo na kama unavyo sema una hudumia wazazi wako kijijini. Kama imetokea nafasi kama hii usiiachie, kaeni chini na muyajenge. Nina imani kwa kupitia mume wako mtarajiwa Gody, muta ishia maisha ya amani”

Willy alizungumza huku akimtazama Venosa ambaye ameyasikiliza maneno hayo kwa umakini sana.

“Alicho kiongea Gody ni kweli. Sawa una weza ukawa una safiri kwenda Uingereza wapi na wapi kwa ajili ya kazi yako. Ila kumbuka jambo moja Venosa. Umri wa mwanamke una kwenda haraka sana kuliko mwanaume. Leo ni kogori, una vutia una umbo zuri, ila itafikia kipindi hakuto kuwa na mwanaume ambaye ana kuhitaji. Uta choka mwili kwa maana una kutana na wanaume wa kila aina na kila mwanaume ana nguvu zake na uwezo wake. Uta kongoroka. Uta fikia kipindi uta hitaji kuwa na mtoto na familia yako, uta kosa kwa maana muda mwingi sana ume utumia kwa kufanya unacho kifanya. Mwisho wa siku una kufa bila ya kuwa na familia. Ona sisi jinsi tulivyo pendezana na mke wangu, huyu na mke wake, je hutamani kuwa kama sisi?”

Nilimuuliza Venosa na kumfanya machozi kuanza kumlenga lenga na hazikuisha hata sekunde tano machozi yakaanza kumbubujika.

“Wewe ni binti mdogo sana. Tena sana, lazima ulivyo kuwa mdogo ulikuwa na ndoto zako, ndoto ambazo nina imani zimekatika kutokana na shida za maisha. Shida za familia yako,ndio maana leo hii upo hapo. Sidhani kama kuna mtoto yoyote duniani hususani wa kike ambaye ana kuja kuwazia kuwa na doto ya kuwa malaya, sidhani. Jijenge kisaikolojia, achana na kazi hiyo nina kuhakikishia kwamba kila utakacho kuwa uan kuhitaji kwa Gody uta kipata na kama uta kikosa basi kwetu sisi wanne hapa uta kipata. Una weza usiniambie mimi au Willy, ila ukamuambia kati ya mke wangu hapa au Judy. Wata kusaidia iwe ni asubuhi, mchana au jioni wata kusaidia”

Nilizungumza kwa hisia kali sana na sauti ya upole ambayo nina amini kwa asilimia mia moja maneno yangu yana gonga moja kwa moja moyoni mwa Venora. Venosa machozi yakazidi kumbubujika nikampa ishara Gody ya kumkumbatia kwani mwanamke ukihitaji uziteka hisia zake basi una paswa kumjali kwenye kila hali, iwe ni hasira, furaha au huzuni, ni lazima umjali na ukiweza kucheza na vitu hivyo basi hata awe hakupendi vipi basi ni lazima ataanza kukufikiria na akisha kuingiza aklini mwake, basi kukushusha moyoni mwake ni jambo rahisi sana kama kumsukuma mlevi kwenye kiporomoko.



Gody akamkumbatia Venosa kwa nguvu kisha hakuishia hapo akamnyonya denda la nguvu ambalo lina onyesha lina hisia kali kati yao. Nikakohoa kidogo na taratibu wakaachiana.

“Waoo ni amaizing”

Judy alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Gody”

“Naama”

“Naomba unifanye nikupende kwa maana moyo wangu hauna hisia wala chembe ya upendo kwa mwanaume”

Venosa alizungumza kwa sauti ya mapenzi.

“Usijali nita kupenda hadi dakika ya mwisho katika maisha yangu”

“Nashukuru sana. Sasa maisha ya kule itakuwaje?”

“Kule usijali kila jambo nitalishuhulikia”

“Nitashukuru sana, pia asanteni kwa kuinithamini hakika nyinyi ni familia bora kwani katika kazi yangu hatuishi kwa kuthaminika, kwani pesa hutangulizwa mbele kuliko maisha ya mtu. Hapa mumeweza kunionyesha kwamba familia ndio kitu muhimu kliko kitu chocote kile”

“Karibu katika familia”

Furaha ikatawala kati yetu kwani kama ni kazi kubwa ya kumshawishi Venosa kuwa nasi imesha kwisha na kilicho salia sasa hivi ni kazi ya Gody kwa mpenzi wake huyu. Tukamaliza kupata kifungua kinywa kisha tukaeleka ufukweni kwa ajili ya kuogelea. Mimi, Gody na Willy tukaanza kufanya mashindano ya kuogelea huku kila mtu akionyesha ujuzi wake. Cauther na wezake wapo ndani ya boti kubwa kiasi ya kifahari tuliyo kodisha na kazi yao kuwba ni kutushangilia kuweza kufika sehemu tuliyo panga kufika. Kitu nilicho kigundua ni kwamba sote tume jaliwa uwezo mkubwa katika swala la kuogelea ila mimi nimewashinda mbinu za kuogelea.

“Waoooooo”

Cauther alishangilia mara baada ya kushindi, nikaingia ndani ya boti anayo endesha Judy, Willy na Gody wakamaliza kwa pamoja. Cauther akanikumbatia kwa furaha na kuanza kuniyonya denda huku mwili mzima ukichuruzikwa na maji.

“Mimi ndio wa pili”

Willy alizungumza huku akihema sana.

“Hapana mimi ndio wa pili”

Gody na Willy walibishana.

“Mumemaliza sawa”

Venosa alizungumza.

“Sasa ni zamu yenu wake zetu.”

“Ila Cauther ata weza kweli kwa hali yake?”

Judy aliuliza.

“Nita weza, hapana chezea mimi”

Cauther alizungumza huku akiweza vizuri chipi yake pamoja na siridia kwa maana wake zetu wamevaa chupi na sidiria huku sisi tukiwa tumebakiwa na boksa tu.

“Nani anaendesha boti”

Judy aliuliza.

“Mimi”

Gody alijibu na kushika mskani wa boti hii. Tukawapeleka hadi eneo ambalo tulianza kuogelea ambalo ni kama mita mia tatu kutoka ufukweni.

“Muna mita mia mia moja za kuogelea. Mupo tayari?”

Nilizungumza kwa sauti ya juu huku nikiawatazama jinsi walivyo simama katika mstari mmoja.

“Yeeh”

“Mojaaaaaaaaaa………..Mbiliiiiii……..Tatuuuu”

Wote wakajirusha kwa pamoja ndani ya maji na kuanza kuogelea huku Gody akiendesha boti hii, pembeni yao ili kama mtu atakapo hitaji msaada basi tumsaidie.

“Mkuu mke wako yupo vizuri. Pale ana mimba tu ana kwenda kasi vile je akiwa kawaida”

Gody alizungumza huku tukimtazama Cauther jinsi alivyo waacha Judy na Venosa.

“Ngoja niwaibie siri. Mke wangua lisha shiriki katika mshindano ya Olypic na akapata tuzo ya gold katika mchezo wa kuogelea kwa hiyo hapo ana kumbukia enzi zake akiwa shuleni”

“Duu ndio maana ana kwenda kwa ile mitindo wanayo fanya waogeleji, unajua sisi tunajua kuogelea kawaida ila cheki yeye jinsi anavyo piga mbizi”

Tukafika sehemu ambayo tumejipimia ndio mwisho wa wao kufika. Gody akasimamisha boti na tukawasubiria. Cauther akawa wa kwanza kufika, Judy wa pili na Venosa wa tatu.

“Waoooo hongera sana”

Nilizungumza huku nikimkumbatia Cauther.

“Nashukuru sana mume wangu. Yanai hapa nimekumbukia enzi zangu. Bado naona nina pumzi”

“Ehee mimi jamani pumzi imeniishiia”

Venosa alilalama huku akilala chali kwa maana shuhuli haikuwa ndogo.

“Mazoezi huna”

“Yaa ni kweli, mazoezi ni madogo sana kwa upande wangu. Itabidi sasa hivi niingie gym”

“Wifi umesema umekumbuka enzi zako wapi huko?”

Judy alimuuliza Cauther.

“Ahaa…kipindi ninasoma London nilikuwa ni miongoni mwa waogeleaji bora sana, hivyo hata kuogelea hapa nilikuwa nina jikumbusha”

“Hongera zako kwa maana sisi wengine tumejifunzia jeshini

Gody alizungumza huku akimtazama Cauther jinsi anavyo weka nywele zake ndefu sawa kwa maana zimelowana kwa maji. Tukapiga picha nyingi huku tukinywa vinywaji tulivyo vibeba katika dungu maalumu la kuhifadhia vijwaji ambapo ndani yake limejaa vipande vya barafu vingi.

“Jamani naweza kuuliza swali?”

Venosa alizungumza huku akitutazama usoni.

“Uliza”

“Hivi kwa kazi yenu ya jeshi, huwa munapo kuwa katika mission ngumu kama ile ambayo nilikuona Eddy una rukia ndege huku Judy akiendesha. Huwa muna fikiria nini?”

“Ahaaa….Ni swali gumu na pia ni swali rahisi sana kulijibu. Labda nijibu kwa upande wangu mimi kama mimi. Tukiwa katika mission ya namna yoyoye, kitu cha kwanza kukifiriria ni uhai wetu, japo kwenye vitabu vya dini vimeandika kuua ni dhambi ila sisi kama wanaeshi tuna amini kuua sio dhambi kwa maana ukimuachia adui yako basi kinacho fwata ni yeye kukuua. Hivyo ni lazima uue ili uishi”

Judy alijibu maelezo ambayo nami nilikuwa nina yafikiria.

“Alicho zungumza Judy ndo nilcho kuwa nina hitaji kuongea”

“Ila kazi yenu ni hatari sana, je kwa wake zenu au wapenzi wenu ina kuwaje kwa upande wao kwa maana si wana kuwa na hofu muda mwingi?”

Venosa aliendelea kuzungumza.

“Hili ina bidi nilijibu mimi.”

Cauther alizungumza huku akimtazama Venosa usoni mwake.

“Hakuna kitu mu himu pale mume wako au mpenzi wkao anapo kuwa kwenye kazi ya hatari kama kufanya maombi. Mimi mume wangu anapo kuwa kwenye kazi basi huwa nina Sali muda mwingi sana kumkabidhisha mikononi mwa Mungu na siri moja nikumegee Venosa. Maombi ya mwanamke yana nguvu kubwa sana kwa mume wake na Mungu huyasikia kwa haraka sana, hivyo ni wewe kumuamini Mungu na mume wako ata kuwa salama”

“Nashukuru sana Cauther kwa maana kwenye maisha yangu sikuwahi kufikria kuhusiana na ndoa ila leo ina bidi nijifunze mambo mengi kupitia wewe”

“Karibu na ukiwa na shida yoyote, swali niulize nita kujibu”

“Nashukuru sana kwa kunijali”

“Jamani nina hisi njaa”

Gody alizungumza huku akipiga miyayo.

“Ngoja tika tukapike”

Cauther alizungumza huku wakiingia eneo la ndani ya boti hii ambapo kuna vyumba vya kulala vitatu, seble kubwa, pamoaj ana kiko kubwa kwa ajili ya kupika. Kiufupi boti hii ime kamilika kwa kila kitu na ipo kama nyumba ya kawaida.

“Mkuu”

“Yea”

“Ni nini na nini nifanye ili Venosa anipende kwa maana si umesikia alivyo zungumza”

“Yaa nimesiki, ngoja niwapee darasa kidogo”

“Ehee”

“Muna ona hili jua jinsi linavyo waka kwa nguvu?”

“Yeah tuna ona”

“Hili jua ni sawa sawa na mapenzi au ndoa. Kuna kipindi ndoa ina kuwa ina waka na kupendeza na kuna kipindi ndoa huingiwa na giza na kipindi hicho ndipo wana ndoa huonyesha uhalisia wao wa ndani. Hasira, maneno mabaya, kauli chafu. Dharau, kejeli na kila kitu na kipindi hicho cha giza mukikiruhusu kiwatawala basi kwa asilimia kubwa sana muna weza muka poteza kila kitu ikiwemo na ndoa yenyewe.”

Nikapiga fumba la bia hii ya kopa kisha nikaendelea kuzungumza.

“Jambo munalo paswa kulifanya hususani kwa mwanaume, hakikisha kwanza una kuwa netural kwa mpenzi wako. Mwanamke muonyesha jinsi wewe ulivyo mapema kabisa kabla ya kuingia kwenye ndoa. Kmaa ni mkali muonyeshe wewe ni mkali, kama huna pesa muonyeshe kwamba kweli huna pesa. Kama una dharau muonyeshe wewe una dharau. Yaani hizi tabia za ajabu ajbazu zote muonyeshe mukiwa bado hamjafunga ndoa na baada ya hapo kwa pamoja mutakuwa na kazi ya kusaidiana kubadilishana matofauti yenu na mukiingia kwenye ndoa basi yale machache yaliyo salia muna vumiliana”

“Hapo nime kuelewa mkuu. Kwa hiyo kama una tabia ya maugomvi ugomvi ni muonyeshe tukiwa wachumba?”

“Ndio fanyeni hivyo kwa wapenzi wenu. Huku ndio kipindi cha kurekebishana na kitu kingine, hakikisheni kwamba muna toa muda wengu mwingi sana kwa famila zenu. Out za namna hii zina zidisha furaha na mapenzi kwenye maisha yenu.”

“Tumekuelewa mkuu”

Baada ya nusu saa, Cauther akatuita na kutueleza chakula kipo tayari. Tukaingia ndani boti hii na kw a pamoja tukaka sebkeni na kuanza kula chakula hichi cha mchana.

“Nani amepika?”

Gody aliuliza.

“Sote tumesaidiana kupika”

“Aisee chakula ni kitamu sana yaani una kisikia hadi usogoni ukikila”

“Haahaa yaani una vituko mume wangu”

“Kweli vile baby chakula ni kitamu sana”

Gody alizungumza kwa furaha. Tukamaliza na kuanza kucheza games mbalimbali katika tv kubwa iliyo hapa sebkeni.

“Jamani kawekeni nanga si tuna lala humu humu?”

Cauther aliuliza.

“Ndio haturudi hotelini leo”

Tukatoka ndani humu mini, Gody na Willy, tukaweka nanga ili boti hii isiweze kujisogeza.

“Naamini tuna fahia leo ila tusisahau kwamba tuna kazi kubwa sana iliyopo mbele yetu”

Niliwaambia Gody na Willy huku nikiwatazama katika nyuso zao.

“Tna maaduia wengi sana, una maadui wanao mwinda raisi kwa kila namna na kila sehemu. Tuna paswa kumpeleka na kumrudisha salama nchini Tanzania”

Nikatazama mwanga wa mbalamwezi unao endelea kuangaza aneo zima hili la bahari tulipo ambalo ni kama mita mia tanane kutoka usawa wa bahari.

“Niliamua tufurahie maisha kwa maana hatuujui nini kitatokea kwenye safari hiyo kama munavyo elewa”

Nikaa kimya kwa sekunde kisha nikaendelea kuzungumza.

“Kifo cha Maulid kiwe ni kama moja ya fundisho kwetu, na tusikubali wala kuruhusu kifo kingine kitokee kwa mtu yoyote kwenye hii familia. Alafu kitu kingine kabla sijahasau Gody huyu mwanamke ni mpya kwetu sote hapa. Hatujui background yake zaidi ya yeye kutusimuliza alivyo tusimulia. Onyo moja kali sana nina kuambia na sio ombi ni amri. Usije ukafungua kinywa chako uka mueleza siri za kikosi chetu, jeshi au nchi. Tukigundua hilo hizi gambe, starehe na vicheko vita geuka kuwa kilio kwako. Mimi na ujenerali wangu wote, sikumuambia mke wangu chochote hadi siku nilipo kuja kuomba na makamu wa raisi nikamuokoe raisi baada ya kutekwa na hapo ilibidi nimueleze ukweli wa baadhi ya mambo ya nyuma mke wnagu ili nimpe amani ya moyo kwani ulikuwa ni usiku wetu wa kwanza baada ya ndoa na ndio siku ambayo raisi alitekwa. Tumeelewana Gody”

“Ndio mkuu nime kuelewa”

“Willy”

“Ndio kaka”

“Nahitaji kupata background ya Venosa asubuhi itakapo fika. Nataka kujua familia yake, wapi ametoka ni nani na nani ambao alitembea nao kwa maana kwenye computer ya yule mama kuna full list ya kila kitu, wataje wa wanawake alio kuwa nao, viasi vya pesa alivyo lipwa. Hivyo tuna weza kumjua Venosa vizuri. Umenielwa?”

“Ndio kaka nime kuelewa.”

“Nina zungumza hichi kitu cha kuto kumuamini mtu yoyote hususani mwamake kwa maana hawa wanawake ni dhaifu. Kama sisi tumeweza kuwapata kwa njia tunazo jua sisi wenyewe. Wapo wanaume wnegine wana weza kuwapata na wakamwaga mchele kwenye kuku wengi na endapo hatua za kikosi chetu cha X zikijulikana tume kwisha, ndio maana katika kikosi changu cha kwanza, sikuwahi kuwa na mwanamke na pia shambulizi la kuuwawa kwa wezangu lilipangwa na makamu wa raisi”

“Huyu wa kwetu au?”

Gody aliuliza kwa mshangao.

“Ndio”

Ikanibidi kuanza kumsimlia Gody kuanzia mwanzoa wa historia ya kikosi cha X hadi hapa tulipo fikia.

“Aisee pole sana kaka”

“Nashukuri”

“Kwa hiyo adui yetu namba moja ni makamu wa raisi kukundi chake chote cha NG’EE. Nina ona giza tunapo kwenda na sijui ita kuwaje”

Nilizungumza kwa unyonge mwingi sana kwa maana ninayo yaona mbele yangu ni mambo ya hatari sana.

“Nina amini kwamba kila jambo litafika mwisho mkuu”

“Natambua hilo Gody, ila litafika mwisho kwa namna gani hapo ndipo mtihani ulipo hapo”

“Mungu atusaidie kwa kweli”

Baada ya mazungumzo haya tukarudi ndani, tukala chakula cha usiku huku tukitazama filamu mbali mbali hadi majira ya saa sita usiku, Gody na Venosa wakwa wa kwanza kuondoka sebleni hapa na kuingia chunbani kwao, kisha mimi na Cauther nasi tukaelekea chumbani kwetu.

“Nime furahi sana mume wangu kwa siku ya leo”

Cauther alizungumza huku kiwa amekilaza kichwa chake kifuani mwangu huku taratibu nikiendelea kumpapasa kona mbalimbali za mwili wake.

“Nashukuru mke wangu. Kama Mungu akibariki kuturejesha kutoka nchini Ujerumani, basi tuta elekea Brazil sisi sote kwa ajili ya mapumziko”

“Nitarufahi sana mume wangu”

Cauther akaanza uchokozi kwa kumshika shika jogoo wangu kisha taratibu akamkalia na kuanza kumkatikia mauno. Mtanange huu ukamalizika ndani ya dakika ishirini na sote kwa pamoja tukallaa. Asubuhi na mapema nikawa wa kwanza kuamka. Nikavaa pensi yangu kisha nikaanza kukagua boti nzima na jambo la kumshukuru Mungu boti nzima ipo salama na hakuna uharibufu wowote.

“Vipi kaka?”

Willy alinisalimia huku mkonon mwake akiwa ameshika laptoo yake.

“Safi za kuamka?”

“Nashukuru Mungu asiee, nime choka balaa”

“Pole niambie?”

“Safi, kazi uliyo niagiza nime ikamilisha, nimefwatilia rekodi ya shemeji aise ana listi.

“Listi ya nini?”

“Ana wanaume kama thelethini na tisa amesha tembea nao na wengi kati ya hao ni wafanya biashara ambao hawana rekodi ya uhalifu wowote”

Willy alizungumza huku akinionyesha listi ya wanaume alio tembea nao.

“Duu kwa hiyo Gody ni wa aroibaini?”

“Yaa, nimeangalia na sifa zake hizi hapa. Aisee kumbe ana liwa hadi nyuma?”

“Sasa mtu ni changudoa na hisi nini hapo”

“Daa jamaa na bahati aise”

“Bahati ya nini?”

“Kupata demu anaye toa mzigo”

“Hahahaa acha upuuzi, usijaribu kumfanyia huo mchezo Judy ata kuua.”

“Wee siwezi, huyu nina malengo ya kumuoa…….Kaka kuna tatizo”

Willy alizungumza huku akitazama laptoo yake na uso wake ukiwa umejawa na mshangao. Akanigeuzia laptop hii na kunionyesha video za CCTV kamera za hoteli tuliyo fikia jinsi ilivyo tekwa na watu wenye silaha huku wakiwa wamezifunika nyuso zao na baadhi ya wafanyakazi na wateja wakiwa wameuwawa kwa kupigwa risasi.



“What the fuc***”

Nilijikuta nikitukana huku nikimkabidhi Willy, laptop yake kwa haraka nikakimbilia ndani huku nikigonga chumba cha mlango mmoja baada ya mwengine.

“Baby amka amka”

Nilizungumza huku nikimtingisha Cauther, akanyanyuka na kukaa kitako kitandani huku akinitazama kwa macho ya mshangao.

“Vipi mume wangu”

“Amka hoteli tuliyo chukua chumba ime vamiwa”

“Imevamiwa”

“Vaa nguo chap chap”

Nilizungumza huku nikimkabidhi Cauther suruali na tisheti. Akaanza kuvaa kwa haraka, nikatoka nje na kukuta watu wote wakiwa wamkusanyika sebleni huku Willy akiwaonyesha video ya kitu kinacho endelea hotelini.

“Ina bidi hapa tuondoke, tukatafute silaha hatuwezi kurudi hotelini tukiwa mikono mitupu kwani hatujui maadui zetu wamejipangaje”

Nilizungumza huku nikiwatazama wezangu.

“Gody akandoka eneo hili na kukimbilia eneo la kuendeshea boti hii, akaiwasha na taratibu tukaanza kuondoka.

“Baby na Venosa muta baki hapa. Judy na Willy nifwateni”

“Sawa”

Tukaeleka katika chumba ambacho Gody yupo.

“Tuna elekea wapi?”

Judy aliuliza.

“Kuna kambi ya jeshi hapo mbele nina hitaji tukifika hapo tujipange. Willy hakikisha kwamba una nipatia full details za kila tukio linalo endelea hotelini usiache kitu”

“Sawa kaka”

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama na kukuta ni namba ya raisi.

“Ndio mkuu”

“Eddy nimepokea taarifa hoteli ya V KING’S imevamiwa na nina sikia kwamba mupo kwenye hiyo hoteli?”

“Ndio muheshimiwa raisi ila kwa bahati nzuri ni kwamba tulikuwa ndani ya boti hivyo hatupo ndani ya hoteli ila nina jipanga na vijana wangu kwa ajili ya kurudisha mashambulizi”

“Ohoo asante Mungu ni kwamba hamupo hapo hotelini. Basi hakikisha muna kuwa makini na unanipatia taarifa ya kila kitu kinacho endelea”

“Sawa muheshimiwa usijali”

Nikakata simu, huku nikiwatazama vijana wangu.

“Willy”

“Ndio kaka”

“Nitafutie namba ya mkuu wa jeshi la maji hapa Zanzibar”

“Dakika moja”

Baada ya sekunde kadhaa Willy akanitajia namba ya mkuu wa jeshi la maji hapa Zanzibar, nikampigia simu na ikapokelewa.

“Jenerali habari yako?”

Mzee huyu alinisalimia, japo kiumri nime mpita ila kicheo nipo juu yake.

“Salama nina imani kwamba muna tambua kinacho endelea hoteli ya V KING’S?”

“Ndio na tumepewa taarifa mupo kwenye hoteli hiyo?”

“Tulikuwepo ila usiku hatukulala katika hoteli hiyo na hivi sasa ninakaribia kwenye kambi yako, nina hitaji kuandaliwa silaha za kutosha nipo na vijana wangu watatu”

“Sawa mkuu”

Nikakata simu huku kila mmoja akiwa amesikia mazungumzo yangu. Nikarudi sebleni na kuwakuta Cauther na Venosa wakiwa wametulia na nyuso zao zikiwa zimetawaliwa hofu.

“Mke wangu, tuna karibia kufika katika kambi ya jeshi la maji. Tutaawacha hapo ila nin aomba musiwe na hofu haya ni mambo ya kawaida sana”

“Mmmm shemeji mambo ya kawaida ikiwa hoteli tuliyo kuwa ndio vile ilikuwa ina vamiwa na sipati picha kama tunge kuwepo pale”

“Mungu ni mwema hatujakuwa pale shemeji. Honey umenielewa?”

“Nime kuelewa mume wangu. Mimi nina kuombea kwa Mungu”

Tukafika katika kambi ya jeshi na tukapokelewa na wanajeshi. Nikawakabidhi Cauther na Venosa kwa mkuu wa kitengo hichi kisha mimi na vijana wangu tukaingia katika chumba maalumu cha kujiandaa. Tukabadilsha mavazi na kuvaa mavazi ya jeshi.

“Majambazi wapo ishirini na nane. Wapo ambapo wapo juu kabisa ya gorofa na wengine wapo kwenye kuanzia chini hadi gorofa ya nane ambayo ndio ya mwisho. Kila walio vymbani wame tolewa na kuweka mateka na wale walio leta ubishi wameuwawa”

Willy alizungumza huku akinionyesha hatua hadi hatua jinsi majambazi hao walivyo vamia hoteli hiyo.

“Wana taka kitu gani haswa?”

“Hawajatoa tamko hadi sasa hivi na inayvo onyesha hawa watu walikuja kwa niaba yetu kwa maana kuna hii video hii hapa.”

Willy akatuonyesha sote watatu video hiyo.

“Walikuwa wana mlazimisha muhudumu kufungua vyumba vyetu na muna muona huyu anavyo rusha rusha mikono kwa kugadhabika mara baada ya kuona hakuna watu ndani ya vyumba,”

Willy alizungumza huku sote tukitazama video hiyo inavyo onyesha jinsi jambazi huyo anavyo muua muhudumu huyo wa kike aliye wafungulia milango yetu kwa kumpiga risasi ya kichwa.

“Polisi hawajafika hadi sasa hivi?”

“Wamesha fika muda mrefu na jeshi pia wamesha fika ila wapo kama mita hamsini kutoka eneo la hoteli iliyo kwa maana jamaa wana piga risasi si mchezo.”

“Hujaweza ku scan nyuso zao tukajua ni kina nani?”

“Hapana kwa maana kuna program hiyo haipo kwenye laptop hii”

“Ila nahisi hapa jeshi ita kuwepo”

Judy alizungumza huku akikoki bundi yake.

“Kitu kama hicho”

Willy hembu muite huyo mkuu hapo nje.

Willy akatoka nje ya chumba hichi na akarudi akiwa ameongozana na mkuu wa kitengo cha jeshi la maji.

“Kijana wangu ni wa maswala ya I.T nahitaji mumpatie atakacho kihitaji ili kuiendesha oparesheni hii.”

“Sawa”

“Kaka zile simu hatuna leo”

“Kwani kwenye hizi simu zetu haziwezi kufanya kazi?”

Gody aliuliza.

“Zina weza ila muda haupo wa kuiweka program hiyo kwa maana sio kama unavyo download app.

“Usijali tuta enda hivi hivi kikubwa ni kupata mawasiliano uya moja kwa moj ana wewe. Umenielewa dogo”

“Sawa kaka”

Tukamaliza kujiandaa huku kila mtu akiwa amevaa earphone maalumu kwa ajili ya kuwasiliana kati ya sisi na sisi pamoja na Willy. Tukaeleka katika chumba walipo Cauther na Venosa. Kwa haraka Venosa akamkimbilia Gody na kumkumbatia kwa nguvu huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Kuwa makini mume wangu kwa maana hata sijakufaidi”

“Usijali mke wangu nita rudi salama”

Gody akajibu huku akimkumbatia Venosa. Cauther akaniazama kwa sekunde kadha akisha akachukua mkono wangu wa kulia na kujigusisha tumbo lake.

“Mume wangu kumbuka mtoto ana kuhitaji kuliko kitu chochote. Nina kuomba sana urudi ukiwa salama”

“Usijali mke wangu.”

Nikanyonyana denda na Cauther kwa dakika kama mbili kisha nikaachiana naye na nikatoka ndani hapa baada ya muda Samson naye akatok.

“Muda wa kuondoka ume fika”

Willy alituambia, tukaeleka katika boti ndogo ya mwendo wa kasi zinazo tumiwa na jeshi hili. Tukaingia ndani ya boti huku mimi na Judy tukiwa tumekaa pembeni ya boti hii huku Gody akiendesha huku akiwa amesimama.

“Mkuu tuna karibia kufika”

“Tukikaribia mita hamsini ina bidi tuogelee”

“Sawa mkuu”

“Judy upo sawa?”

“Ndio mkuu”

“Mbona una onekana una mawazo mengi sana?”

“Hapana nipo sawa mkuu”

“Sawa”

Tukakaribi na hoyeli, Gody akazima boti hii, tukavaa mitungi maalumu ya kuogelea kisha, Gody akatoa ramani mfukoni mwake.

“Hii ndio ramani ya jengo zima. Njia ya siri ya kuingilia ni hii hivyo tunaweza kutimia hili bomba la maji kuingia katika hoteli kwa maana kama Willy alivyo sema kwamba uu ya gorofa kuna majambazi hao na nina imani kwamba lazima watakuwapo wadunguaji”

Tukakubaliana kwapamoja na tukazama ndani ya maji, tukaanza kuogelea kwa kufwata huku Gody akiwa ametangulia mbele. Tukafika katika bomba kubwa lililopo chini ya hoteli hii. Tukaanza kuogelea katika bomba hili hadi ndani ya hoteli. Tukatoka katoka eneo la kuoshea magari katika hoteli hii.

“Willy una tusikia?”

“Ndio”

“Tupe muongoo sasa”

“Jamaa wametanda kila sehemu.””

“Una tuona sehemu tulipo?”

“Hapana hilo eneo halina kamera ila nina waona kwa mfumo wa signal tu”

“Poa ina bidi tuwe makini kwenye hii hatuwezi kugawanyika kama tulivyo fanya uwanaja wa ndege. Tuna kwenda wote watatu kwa pamoja, Kila mmoja afunge kiwambo cha kuzuia risasi katika bunduki yake”

“Sawa mkuu”

Tukafunga viwambo vya kuzuia sauti kwenye bunduki na kuanza mashambulizi ya kimya kimya huku tukihakikisha kwamba majambazi wote tuna waua. Kusema kweli oparesheni hii ni ngumu sana ila kutokana umahiri, umakini na uhodari wetu na kasi ambayo nina zidi kuwa kuwafundisha vijana wangu hawa wawili, tukajikuta kazi hii tukiimaliza ndani ya lisaa moja huku majambazi sawa tukiwa tumewakamata wakiwa hai na wnegine wakiwa wamekufa. Tukawafungia katika moja ya chumba cha hoteli, huku sisi watatu tukiwa ndani. Majambazi wote tume waamrisha kupiga magoti chini na hapakuwa na aliye kataa. Nikaanza kuwavua vinyago vyao mmoja baada ya mwengine. Majambazi hawa hawa wote ni waafrika.

“Nani amewaagiza?”

Nilizungumza huku nikiwatazama huku kazi ya Gody ikiwa ni kurekodi kila kitu kwa kutumia simu yake.

“Tufanye hivi, atakaye zungumza ukweli nina muacha hai na nikuhakikishie kabisa uta ondoka ila ukizungumza uongo. Risasi ya bastola yangu ita kuwa halali yako. Nina muuliza mmoja baada ya mwengine”

Nilizungumza huku nikichomoa bastola yangu kiunoni, nikaifunga kiwambo cha kuzuia sauti, nikasimama mbele ya jambazi mmoja ambao wote tume ifunga mikono yao na hawawezi kutudhuru.

“Nani amekutuma?”

“Sijui”

Nikampiga risasi ya kichwa jambazi huyu wa kwanza akaanguka chinini na akafa na kuwafanya wezake wote macho kumtoka.

“Swali ni moja nani amewatuma. Wanao hitaji kuzungumza ukweli wanyooshe mikono juu”

Wote wakaka kimya huku wakitazamana katika nyuso zao. Nikamsogelea wa pili.

“Una mjua aliye kuagiza?”

Akanitumbulia mimacho pasipo kunijibu chochote. Nikampiga risasi ya kichwa akaanguka chini na kufa. Swali langu ni moja na asiye jibu nina muua bula ya huruma yoyote. Nikabaki na mmoja wa mwisho huyu kidogo macho yake yana onyesha amejawa na hofu kubwa sana kiasi cha kuanza kuhisi ana weza kuzungumza jambo.

“Dogo una umri gani?”

“M…iaka ishirini na tatu?”

“Ni raiai wa wapi wewe?”

“Somali?”

“So nyinyi ni Al-Shabab?”

“Nd….io”

Alijibu kwa woga mwingi sana.”

“Okay mdogo wangu. Je una jua ni nani ambaye amewaagiza kuja kuua watu wengi sana kwenye hii hoteli. Watu ambao walikuja hapa kwa jaili ya mapumziko?”

“Tuliagizwa kuja kukuua wewe na hawa watu wako”

Nikawatazama Gody na Judy,

“Ohoo sasa kama mume kuja kutua sisi. Ni nani ambaye amewatuma?”

“Je nikisema ujweli utaniachia huru kwa maana mimi nimekua tu kutokana na huyu kaka yangu hapa na yeye ndio msaidizi wa kingozi tuliye ambana naye”

“Nitakuachia mdogo wangu. Mimi ni mtu ambaye nina yajali na kuyaamini mambeno yangu pale ninapo yazungumza”

“Ilikuwa hivi”

“Ehee?”

Gody akaweka sima vizuri mbele ya kijana huyu huku tukiwa makini sana kumsikiliza.

“Kundi letu tulikuwa ni Al-Shabab wa Somalia, ila tulikuja kujitenga na kundi hilo kutokana na sababu wanazo zijua wakuu wangu. Tukunda kundi letu ambalo kazi yeka ni kupokea kazi na utekelezaji. Tukipewa kazi ya kukusaka wewe na tuiingia hapa Somalia saa tisa?”

“Hapa ni Zanzibar dogo sio Somalia”

“Ehee hapa Zanziba na tukafanya shambulizi tukiamini kwamba muta kuwepo hapa ila kwa bahati mbaya hamkuwepo.”

“Huja tujibu swali letu ni nani amewatuma”

“Ehe?”

“Nani amewapa kazi ya kuja kutuvamia”

“Ni mzee mmoja ambaye sijui ni nani ila sura yake nina ikumbuka”

“Yupoje?”

“Mnene kiasi, mrefu ana ndevu nyeupa na ana uwalaza kichwani mwake”

Sifa hizi zote zina tosha kujua aliye mtuma kwani muonekano huo ni wa makamu wa raisi.

“Ulijua ana tokea wapi?”

“Hapana sijawahi kumuona maishani mwangu. Kikubwa ni kwamba alitulipa na sisi tukaifanya kazi”

“Willy una una sikia?”

“Ndio nina sikia hembu muambie kwamba anitajie sifa hizo niichore hiyo picha.

“Tumesha mfuahamu”

“Ndio kaka ila ni ushahidi tosha kwa hilo”

“Sawa, rudia kutaja sifa za huyo muhusika aliye wapa kazi”

Kijana huyu akaanza kutaja sifa ambazo zote ni za makamu wa raisi.

“Aliwalipa kiaisi gani?”

“Nilivyo sikia kutoka kwa kaka yangu ni kwamba tulilipwa dola laki moja”

“Una itwa nani?”

“Omary”

“Omary nani?”

“Omary Suddy”

“Willy nipatie details zake?”

“Ahaa ni kweli huyo kijana ni Al-Shabab ila mgawanyiko wao haupo wazi ndio tuna usikia kwake leo”

“Sawa, picha umesha ichora?”

“Ndio na nimeichora mbele ya chumba hichi cha control room kila mtu ana shuhudia na kila mmojaan shangaa kuona ni makamu wa raisi”

“Mkuu dakika moja”

Judy akaniita ba tukasogea pembeni.

“Mmi nina wazo”

“Wazo gani?”

“Siafiki kwa kijana huyu tukamuacha hai. Hawa tukiwapa nafasi ya kuishi wana kwenda kujipanga na ipo sita wataturudi isitoshe ume muua kaka yake, ni lazima ata lipa kisasi na hapo amezungumza kw amaana na hofu ya kufa”

“So una shaurije?”

“Tumuue tu”

“Ila nimesha muahidi kumuacha hai na huru”

“Ndo mkuu ila ina bidi tusiache hata mmoja hai. Hawa Wasomali ni watu wabaya sana ni watu wasio na huruma kabisa ni watu makatili tazama damu za watu wasio na hatia walizo ziua. Hawajafikiria hilo, tafadhali kama mikono yako ita shindwa kufanya mauaji hayo nina kuomba niweze kuyafanya mimi”

Judy alizungumza kwa msisitizo huku akinikazia macho, nikamtazama Omary jinsi anavyo tetemeka kwa woga hadi moyo wangu ukanza kuingiwa na huruma kwa maana anavyo onekana alifanya kazi kwa kufwata mkumbo na sio kwa mapenzi yake yeye mwenyewe.



“Tafadhali mkuu”

Judy alizungumza huku akinitazama machoni mwangu kwa msisitizo.

“Muue”

Nilizungumza huku nikishusha pumzi. Judy akachomoa bastola yake kiunoni na kumpira Omary sirasi sita za kifua kisha moja ya saba akaimaliza kwa kumpiga kichwani na mchezo ukaishia hapa.

“Hii ni kwa ajili ya wote walio waua”

Judy alizungumza kisha akatoka ndani hapa.

“Nimerekodi kila kitu mkuu”

“Sawa kazi nzuri”

Nikatoka ndani hapa huku nikiwa nimechoka kweli kweli. Nikaelekea chumbani kwamngu na kukuta vitu vikiwa vimevurugwa. Nikafungua katika droo ya kabati na kuikuta bastola yangu ikiwa haijachukuliwa, nikaichukua kisha nikaibusu.

“Ungeondoka wewe ingekuwa majanga kama ungetumiwa kwenye mambo mabaya”

Nilizungumza huku nikiitazama bastola hii.

“Mkuu”

Gody aliniita huku akiwa amesimama mlangoni.

“Naam”

“Niwaruhusu askari kuingia”

“Ndio waambie waingie vipi mateka wamatoka?”

“Bado”

“Watoeni mateka wote na polisi waingie”

“Sawa mkuu”

Gody akaondoka na kuniacha peke yangu ndani hapa. Nikazitazama nguo zangu na Cauther jinsi zilivyo tapanywa chini, kiasi cha pesa nilicho kiacha katika droo kimeibwa na jamaa hawa. Nikatoa simu yangu mfukoni, nikaiandika namba ya mke wangu kisha nikampigia simu.

“Baby vip, upo salama?”

Cauther aliuliza maswali mfululizo huku akionekana akiwa na wasiwasi mwingi sana.

“Ndio nipo salama mke wangu kazi ime kwisha na sote watatu tupo salama”

“Ohoo asante Mungu. Yaani hapa mapigo ya moyo yalikuwa yananienda kasi balaa”

“Usijali mke wangu. Nipo poa, vipi Venosa?”

“Nipo naye hapa ila naye ana wasiwasi kweli kweli”

“Muambie tupo salama kabisa. Tutarudi huko muda si mrefu. Ngoja nikupigie video call nikuonyeshe jinsi chumba chetu kilivyo fanywa”

Nikakata mawasiliano ya simu ya kawaida kisha nikampigia kwa mfumo wa video. Cauther akapokea simu hiyo na nikaanza kumuonyesha jinsi chumba chetu kilivyo vurugwa vurugwa.

“Una hitaji niondoke na kitu gani cha muhimu hapa mke wangu?”

“Mmm kwa jinsi walivyo vuruga hivyo hata sijui uondoke na nini”

“Pesa wamechukua, ona vitu vyako vilivyo kuwa ndani ya pochi jinsi vilivyo mwagwa.”

“Jamani sasa walikuwa wana tafuta nini huko au walidhani tumejificha ndani ya pochi”

“Hahaaa kazi kweli kweli?”

“Ila mume wadhibiti wote?”

“Wote tumewaua”

“Kazi nzuri mume wangu am so very proud to you”

“Nashukuru mama kijacho. Ngoja nikazungumze na askari kwanza”

“Sawa mume wangu”

Nikakata simu na kutoka ndani hapa.

“Kaka”

Niliisikia sauti ya Willy sikioni mwangu kwa maana bado nime vaa earphone ya mawasiliao.

“Ndio dogo”

“Hapa mkuu wa hii kambi ana shauri ni kwa nini tusiende kumkamata makamu wa raisi ikiwa yeye ndio muhusika”

“Ana nisikia?”

“Ngoja niweke loud speaker”

“Brigedia jenerali una nisikia?”

“Ndio mkuu nina kusikia”

“Hatuna ushahidi wa picha wala wa kitu chochote kinacho weza kumuingiza makamu wa raisi mikononi. Hivyo ni kazi ya wewe na watu wako kuanza kufanya uchunguzi kwa maana hawa walio kuja hapa sio kikosi kizima. Tuma vijana Somalia, wakasake hichi kikundi, wajue ni nani anaye wapa oder za kipuuzi kama hizi. Tumeelewnaa?”

“Ndio jenerali nime elewa”

“Nashukuru, dogo Gody una nisikia?”

“Ndio mkuu”

“Hivyo video itume kwa Willy kisha Willy itume hiyo video maja kwa moja kwa raisi muda huu”

“Sawa kaka”

Nikatoka nje na kukuta waandishi wa bahari wengi wakiwa wameja huku wakizuiwa na askari walio kusanyika eneo hili. Baadhi ya wananchi walipo niaona wakaanza kupiga makofi ya kunipongeza mimi na vijana wangu wawili. Kila muandishi wa habari akaniyooshea maiki yake ili apete kusikia kile tu ninacho hitaji kukizungumza.

“Je nerali je ni majambazi wangapi mume waua?”

“Wote hakuna hata jambazi aliye hai katika hii hoteli”

“Kwa nini hamjawakamata na kuwakabidhi katika vyombo vingine vya ulinzi wakapelekwa mahakamani na kuhukumiwa kama wahalifu wengine”

“Je waliwapa nafasi ya kukimbia au kutoka watu walio wakuta ndani ya hoteli hii. Wameua raia wangu kwenye vifo vya kinyama sana. Wamebaka wadada na kuwau, wamepora mali za wageni walio kuwa wame lala kwenye hii hoteli. Je unahisi ni haki kwa wao kukanyaga ardhi ya eneo hili la nje hata kwa dakika moja? Jibu ni hapa, kwenye kipindi changu cha uongozi wa jeshi, endapo uta kuwa ni jambazi utatumia silaha kurusha risasi kwa raia au wanajeshi wangu, tambua tuta rudisha mashambulizi na hatuto rudisha mashambulizi ya kukujeruhi no. Tuta rudisha mashambulizi ya kukuua. Hilo liwe wazi na watu wa haki za binadamu sinto hitaji mufungue vinywa vyenu mukatetea muhalifu kwa maana kama leo ni hawa raia wasio na hatia wamekufa, basi tambua kesho majambazi wataigusa familai yako iwe kwa kukuulia mume, mke watoto, wazazi, ndugu na rafiki. Hivyo basi nchi ya Tanzania ina lindwa na vikosi makini. Narudi asijitokeze mtu au kikundi cha watu wakajidanganya kufanya uhalifu wakiamini kwamba watatoka wakiwa hai. Narudia tuta wapiga risasi na kuwaua. Asanteni na maswali mengine mutadili na polisi”

Mara baad aya kuzungumza hivyo, tukaingia katika moja ya gari la jeshi na kuondoka hotelini hapa.

“Yaani roho yangu ina niuma sana”

Judy alizungumza na sote tukajikuta tukimtazama.

“Kwa nini?”

“Kuna jambazi mmoja nikimkuta akimbaka mtoto wa miaka mitano ile, yaani una jua nilimshika ubo** wake na kuukata kwa kisu bila ya huruma”

“Duuu!”

“Haki ya Mungu vile ndio maana yule kijana mkuu ulivyo kuwa unamuonea huruma huruma, roho yangu ilikuwa ina uma balaa”

“Pole sana Judy. Huyo mtoto ulimuokoa?”

“Nilishindwa yaani amembaka hadi nina ingia ndani pale nilikuta yupo kwenye hatua za mwisho za maisha yake. Yaani kale katoto ka kike ni kazuri sana, kamenifia mikononi mwangu, yaani nimejisikia machungu na majuto mengi sana”

Judy alizungumza huku akiwa ametawaliwa na uchungu mwingi sana. Tukafika kambi ya jeshi la maji. Tukapokelewa Willy.

“Kuna mpya gani?”

“Naona kauli yako ina zidi kujadiliwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa huku wakiponda namna na jinsi uliyo wachimba mkwara watu wa haki za binadamu wasiweze kuingilia maswala ya wahalifu.

“Achenani nao wajinga sana hao. Hawajui maisha ya binadamu wetu”

Simu yangu ikaanza kuita nikaitoa mfukoni na kuona ni namba ya makamu wa raisi. Nikasogea pembeni ya wezangu na kuipokea.

“Eddy aisee kazi nzuri sana tena sana. Sikukuosea kukuingiza jeshini. Umeifanya kazi ambayo polisi wangeishindwa”

Makamu wa raisi alizungumza huku akijichekesha chekesha.

“Nashukuru”

“Sasa Eddy, haya mahojiano yako uliyo fanya na waandishi wa habari muda mchache kidigo yanaweza kuiletea shida nchi pamoja na jumuia za kimataifa”

“Shida gani?”

“Mjadala ambao ume zuka katika vyombo vikubwa kama BBC, CNN, na vinginevyo ni kauli yako ya kudhibitisha kwamba ni lazima muta waua majambazi na hii kauli ya wanao shuhulikia haki za kibinadamu wazizungumze chochote juu ya hili. Kidogo ina ichafua taswiri ya nchi na sasa hivi nchi inaanza kuoonekana haiongozwi kidemokrasia au kufwata taratibu za kisheria na wanaichukulia picha ya kwamba nchi ina ongozwa kidicteta”

“Mkuu”

“Ndio”


ITAENDELEA


1 comment:

BLOG