Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

AIISSII U KILL ME LEGACY SEHEMU YA 5/10

 


AIISSII U KILL ME LEGACY

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 5 KATI YA 10

 


“Yaa, ila Tarique kwa nini ulikataa tusile kwenye ule mgahawa?”

“Sikuzote usiwaamini wanajeshi, pale wangeweza kufanya ujanja wa namna yoyote hata kuniwekea dawa ya usingizi kwenye kinywaji au chakula ili mradi waweze kupata hii ramani na waende kuifanya kazi wao kama wao kisha sifa zirudi kwenye serikali yenu”

“Mmmmm una akili ya mbali sana, mimi wala sikuweza kulifikiria hilo jambo”

“Ndio maana nilikataa, hapa kama ni kufanya kazi nao tufanye nao kazi bega kwa bega”

“Sawa, hivi wale walio muua dereva wa taksi walituhitaji sisi au yeye?”

“Sijajua, siwezi kusema kwamba wanatuhitaji sisi au hawatuhitaji kwa maana hadi sasa hivi hatujui ni kina nani ambao wamefanya tukio lile.”

Mlango ukagongwa na sote tukautazama, kwa haraka nikachomoa bastola yangu na kuanza kutembea hadi ulipo mlango nikamuomba Victoria afungue mlango huo huku nami nikisimama nyuma ya mlango huo huku nikiwa makini sana.

“Nani?”

Victoria aliuliza huku akiwa ameshika kitasa cha mlango.

“Chakula”

Tulisikia sauti ya kike, taratibu Victoria akafungua mlango na kupokea sinia kubwa lililo wekwa sahani zenye chakula pamoja na vinywaji.

“Shukrani”

Victoria alizungumza huku akifunga mlango. Victori akaweka sinia hili mezani, harufu nzuri ya vyakula hivi ikatawala ndani ya chumba hichi mara tu ya Victoria kufunia moja ya sahani.

“Chakula chao kina onekana ni kizuri sana”

Victoria alizungumza huku akiokota moja ya kipande cha nyama na kuanza kukitafuna.

“Mmmmm ni tamu hii nyama”

Victoria alizuungumza huku akiongeza kipande cha pili. Nikavua koti langu la suti na kuliweka kwenye moja ya kiti. Tukaanza kupata chakula hichi cha usiku, huku kwa mara kadhaa, Victoria akishindwa kuzuia hisia zake na kujikuta akinilisha chakula kwa kupitia mdomo wake. Msisimko wa kihisia za mapenzi ulio zuka kati yetu, ukatufanya tushindwe hata kumaliza kupata chakula hichi cha usiku, nikambeba Victoria na kumbwaga kitandani, nikalipandisha gauni lake kiunoni na kuvua skintait yake pamoja na chupi yake, nikafungua zipu ya suruali yangu na kumtoa jogoo wangu ambaye alisha anza kufurukua kwa muda mrefu. Taratibu nikamzamisha kwenye kitumbua cha Victoria na kumfanya anitolee macho huku mdomo ukiwa wazi kama mtu anaye hamaki kwa kuona ajali iliyo tokea mbele yake. Nikaanza kumshuhulikia Victoria, huku nikihakikisha nina mpa ujuzi wangu wote ambao nimejaliwa na mwenyezi Mungu. Hadi ninamaliza mzunguko wa kwanza Victori yupo hoi kiasi cha kushindwa hata kunyanyua kitandani.

“Nikunyanyua?”

“Ahaa…hapana sijawahi kufanywa kama hivi Tarique”

“Una uhakika?”

“Nina kuapia kwa jina la Mungu wangu ninaye muabudu, sijawahi kukutana na mbo** tamu kama yako”

“Hahaaa nashukuru”

“Nahisi wifi yangu ana faidi sana utamu wako”

“Huna wifi”

“Apia”

“Amini hivyo”

“Wanaume nyinyi sio watu wa kuaminika, nilisha wahi kumpenda mwanaume mmoja ila alinisaliti, kuanzia hapo mimi wanaume kwangu nina wafanya kama chombo cha starehe sihitaji kuwaweka moyoni. Ila kwako nimeona mstuko fulani ndani ya moyo wangu.”

“Mmmmm haya tukaoge”

Nilizungmza huku nikimnyanyua Victoria na nikaingia naye bafuni na kuanza kuoga.

***

Simu ya mezani humu chumbani iliyoa nza kuita, ikatustua kutoka usingizini, kwa haraka nikafumbua macho yangu na kuitazama ilipo, nikachukua mkonga wa simu hiyo na kuiweka sikioni mwangu.

“Haloo”

“Habari yako ninaweza kuzungumza na bi Victoria”

Niliisikia sauti ya kike.

“Bila shaka”

Nikamtingisha Victoria kidogo na akaamka, nikamkabidhi simu hii, akaipokea na kuiwekeka sikioni mwake.

“Ndio”

“Ni nani”

“Hembu mpatie simu”

“Ahaa mumefika”

“Ngoja basi tujiandae tunakuja sasa hivi”

Victoria akanikabidhi mkonga wa simu hii na akashuka kitandani.

“Kuna nini?”

“Hendarson yupo hapo chini wamekuja kutuchukua”

“Ohoo”

Nilizungumza huku nikishuka kitandani, tukaelekea bafuni kwa pamoja, tukajiandaa kwa moja, tukabeba kila kilicho chetu ndani ya chumba hichi na kutoka. Victoria akagonga mlango wa chumba cha Omary, akafungua mlango huku naye akiwa tayari amesha jiandaa.

“Beba kila kitu tuondoke”

Victoria mara baada ya kuzungumza hivyo tukaanza kuondoka eneo hili, tukawakuta Hendarson na wanajeshi sita wakiwa wamevalia nguo za kijeshi.

“Ni muda wa kuondoka sasa. Tarique tukakuhitaji sana kwenye hii oparesheni na tumekubali kufanya kazi na wewe ya kusaidia bega kwa bega sawa kaka”

Henderson alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, akaninyooshea mkono wake wa kulia kwa lengo la kuungana naye katika kazi ya kwenda kuvamia mji huu wa Raqqa unao ongozwa na kundi la Islamic State hapa nchini Syria.



Omary akafika katika eneo hili la mapokezi la hapa hotelini, kwa pamoja tukaingia kwenye magari haya ya jeshi na kuanza kuondoka katika eneo hili.

“Sasi inabidi uweze kutupatia ramani ya Satelait uliyo nayo ili tuanze kuifanyia kazi”

Henderson aliniambia huku akiwa amekaa siti ya mbele pembeni mwa dereva huku nami nikiwa nimekaa siti ya nyuma pamoja na Victori na Omary.

“Kwani kwa sasa tunaelekea wapi?”

“Tunaelekea kwenye kambi yetu ipo eneo moja linaitwa Al-Tanf”

“Itachukua muda gani kufika huko?”

“Tusipo kutana na kikwazo cha aina yoyote njiani inaweza kutuchukua kama dakika hamsini au lisaa moja.”

“Sawa”

Nikamuamuru Victoria kuwapatia simu yake na akachomeka waya wa USB kutoa kwenye laptop na kuingia kwenye simu. Akaanza kufanya kazi ya kuikagua ramani hiyo.

“Nina ituma kambini ili tukifika, tuweze kukuta wamesha panga mpango wa jinsi gani wa kuweza kuvamia katika mji huo”

“Sawa sawa”

Nikamuacha Henderson anfanye kazi yake huku sisi na Victori tukishangaa jinsi baadhi ya magorofa jinsi yalivyo chakazwa kwa milipuko ya mabomu. Gari hizi nne za jeshi aina ya Jeep zikasimama gafla huku sote tukiwa katika hamaki ya kwa nini zimesimama gafla.

“Meja ni nini kinacho endelea?”

Hendarson alizungumza kupitia simu ya upepo iliyomo ndani ya gari hili.

“Tunahitaji kukagua mkuu barabara”

“Asishuke mtu kwenye gari”

Henderson alizungumwa kwa maana eneo hili lina magorofa marefu na yaliyo haribiwa vibaya sana.

“Naomba silaha yako kubwa”

Nilizungumza huku nikimtazama Henderson usoni mwake.

“Samahani”

“Naomba silaha yako kubwa na bullet proof”

“Unataka kufanya nini?”

“Wewe ninaomba”

Henderson akanitazama kwa muda kisha akayahamishia macho yake kwa Victoria, ambaye kwa aishara akamuomba aweze kunipatia vitu nilivyo muaomba. Akanikabidhi bunduki yake kubwa, akanipa jaketi lake la kuzuia risasi pamoja na kofia ya chuma ambayo haiingii risasi.

“Waambie vijana wako wanifwate na wasishuke kwenye gari nina tangulia mbele”

“Unajiamiini nini?”

“NInajua nini nina fanya, na wewe fanya nilivyo kuelekeza”

Nilizungumza, kisha nikafungua mlango wa gari hili na nikashuka, gari letu katika msafara huu ni la tatu kutokea mbele, nikatembea hadi lilipo gari la mbele. Nikaishika bunduki hii vizuri huku macho yangu yakiwa makini sana kuhakikisha kwamba ninatazama eneo zote ambazo magaidi wanapenda kujificha. Nikaanza kutembea mbele huku gari hizi zikinifwata kwa nyuma kwa mwendo wa taratibu na wa kunyata sana.

‘Nasikia harufu yenu nyinyi wana haramu mupo wapi, mupo wapi’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kutembea kwa umakini sana. Kwenye moja ya gorofa nikamuona mtu akikatiza kwa kasi kwenye moja ya dirisha ambalo lipo wazi. Nikakunja ngumi yangu ya mkono wa kushoto huku mkono huu wa kusho nikiwa nimeuinua juu kidogo kumpa ishara ya dereva wa gari la mbele kusimama. Macho yangu yakaendelea kufanya kazi kutazama gofora ambalo alikatiza mtu kwa kasi, kwa upenyo mdogo sana nikafanikiwa kuweza kuona mtu mwengine akiwa ameshika bomu aina ya Bazooka, akihitaji kutushambulia. Kabla hajafanya maamuzi ya aina yoyote nikaanza kumshambulia kwa risasi kadhaa ambazo zilisababisha mashambulizi ya magaidi walio kuwa wamejificha katika eneo hili kuanza.

Nikaanza kukimbia kurudi kwenye magari huku nikiwaomba warudishe magari yao nyuma kwa maana tungeingia kwenye mtego mmoja mmbaya ambao ungesababisha vifo ya wanajeshi wengi sana.

Sikuhitaji kuwa mzembe katika hili, nami nikaendelea kujibu mashambulizi ya wapiganaji hawa wa ISIS(Islamic State)

Wanajeshi nao wakanisaidia kajibu mashambulizia haya, nikaifka kwenye gari langu na kuingia ndani. Gari zote zikageuzwa na kuanza kurudi tulipo tokea.

“Kwa nini umehatarisha maisha yako kiasi hichi”

Henderson alizungumza kwa kufoka huko akinitazama usoni mwangu.

“Mimi ni zaidi ya mwanajeshi na laiti tungeenda mbeze zaidi wanajeshi wote wangekufa na safari ingeishia pale. Kama kuna njia nyingine ya kupita ni bora mupite huko”

Nami nilizungumza kwa kufoka huku nikimtazama Henderson.

“Hei hei guys, tushukuru Mungu kwamba tumefanikiwa kutoka salama. Acheni kukoromeana”

Victoria alizungumza huku akijaribu kutuliza jazba zilizo anza kuzuka kati yangu na Henderson

“Kumbukeni sisi ni timu moja jamani, musikoromeane”

Victoria aliendelea kuzungumza, nikavua kofia hii ya kuzuia risasi pamoja na jaketi, nikamrudishia Henderson huku sote tukiendelea kutazamana kwa macho makali sana.

“Mkuu barabara tutanyo pita itatuchukua masaa manne kufika kambini, vipi tuipite au turudi tukapambene?”

Tulisikia sauti ya mmoja wa wanejeshi kupitia simu ya upepo iliyomo humu ndani, Henderson taratibu akachukua kinasa sauti hicho na kukisogeza karibu na mdomo wake hukua akionekana kutafakari ni kitu gani atakwenda kukijibu.

“Hewezi kuwarudisha vijana wako kule, utawapoteza, lile eneo wamajipanga kwa shambulizi la aina yoyote”

“Usinifundishe cha kufanya na si wewe uliye ulizwa”

“Poa”

Nilijibu huku nikimkabidhi bunduki yake.

“Tukae kwenye mpango wetu. Hatuwezi kuwakimbia wavamizi, gari zigeuzwe na kurudi kulekule”

“Henderson!!”

Victoria aliita kwa mshangao mkubwa sana.

“Sawa mkuu”

Gari zikaanza kugezwa na kurudi eneo ambalo wapo magaidi.

“Henderson unakwenda kufanya nini rafiki yangu utawapoteza vijana wangu”

“Victoria kumbuka mimi ni mwanajeshi na maisha yangu nimejitolea kwenye uwanja wa vita. Nikiwa nina kimbia vita maana yake nini. Ni bora nikaurudisha mkund** wangu Uingereza na nikawa muuta Pizza”

Henderson alizungumza kwa hasira, yote ambayo anayafanya kwa sasa ni ili aweze kuonekana kwamba hajashindwa na mimi kwani nilicho kifanya kina manufaa makubwa sana kwa wanajeshi wake alio ongozana nao.

Nikamshika mkono Victoria ili aweze kukaa kimya na asiweze kuingilia maamuzi ya rafiki yake huyu anaye onekana ni sikio la kufa.

“Kila mmoja akae tayari kwa kushambulia”

Henderson aliwamuru vijana wake kupitia simu yake ya upepo.

“Henderson haya maamuzi uliyo yafanya yatakugarimu”

“Victoria funga kinywa chako, hujui chochote juu ya jeshi na wewe si mwanajeshi baki kwenye kazi yako ya kutangaza habari sawa”

Tukatazamana na Victoria na kukaa kimya. Hakuna mashambulizi mabaya sana kama unaye mshambulia yupo eneo la juu. Tukafika katika eneo la tukio wanajeshi kadhaa wakashuka kwenye magari yao na kuanza kutawanyika huku wakifyatua risasi pasipo mpangilo wa maana kwani hata hao wanao washambulia hatujui ni wapi walipo.

“RPG”

Henderson alizungumza kwa sauti kubwa huku tukishuhudia bomu moja likitua kwenye gari la mbele kabisa na kulisababisha linananyuliwe kwa kimo fulani kisha likaanguka chini na kuwaka moto mwingi sana. Wanajeshi wa Henderson wakazidi kuchanganyikiwa mara baada ya wanajeshi wawili walio kuwa wamejibanza kwenye moja ya nguo kuchanguliwa na bomu.

“Ohoo Mungu wangu!”

“Henderson aliendelea kuzungumza huku katika gari letu kukiwa hakuna hata mmoja aliye weza kushuka.

“1120 munanipata”

Henderson alizungumza kwa simu yake ya upepo.

“Ndio tunawasikia”

“Tunahitaji msaada tupo kwenye ambush”

“Tumekupata ndani ya muda mchache tutakuwa hapo”

“Asante”

Henderson alizungumza huku akitazama jinsi wanajeshi wake wanavyo pambana na magaidi hao walio jificha kwenye magorofa haya ambayo ni mabaya sana.

“Hakuna mtu kushuka kwenye gari sawa”

Henderson alizungumza huku akitutazama mimi, Victori na Omary. Hapakuwa na mtu ambaye alimjibu, akafungua mlango huku akiwa ameshika bundiki yake na kuanza kushambulia eneo ambali walipo magaidi. Dereva wake akashuka naye akajumuika na bosi wake na wanajeshi wengine katika kushambulia eneo la magaidi.

“Huyu mtu mimi sinto weze kufanya naye kazi”

“Tarique usizungumze hivyo”

“Sio nisizungumze hivyo, nitafanya mission yangu mimi kama mimi na sito subiria msaada wa watu ambao hawataki msaada.”

Victoria akanishika mashavu yangu na kunitazama kwa ukaribu kabisa uoni mwangu.

“Tarique hii ni Syria, sihitaji kukupoteza ni vyema ukawa unajitahidi kuzuia hasira yako ili lile ulilo jia huku liweze kufanikiwa”

“Ohoo Mungu angu tuna tatizo”

Nilizungumza huku nikiwa nimetupia jicho langu moja nyuma ya gari hili. Nikaona pic up kama nne za wapiganaji wa Islamic State zikisimaam na kuanza kulishambulia gari lililopo nyuma yetu. Nikachomoa bastola yangu, nikamnyosha Victoria lispi zake kwa muda kidogo.

“Ninashuka hakikisha unabaki ndani ya gari sawa”

“Sawa kuwa makini Tarique”

“Usijali”

Nikafungua mlango wa upande ambao yupo Henderson. Risasi moja ninayo itoa kwenye bastola yangu inakwenda kwa mpiganiji mmoja na inamuua, na sihitaji kupoteza risasi zangu kama wanajeshi hawa wa Uingereza wanavyo zipoteza. Juhudi zangu za kuwashambulia magaidi hawa walio tuvamiwa kwa nyuma zikaanza kuzaa matunda kwani hawakuwa wengi sana na hawapo sehemu ya kificho kama waliopo juu ya magorofa. Ndani ya muda mchache, nikiwa ninashirikiana na mwajeshi mmoja wa kike, tukafanikiwa kuwaaua wapiganaji wate kumi walio kuja kwa nyuma.

“Upo salama”

Nilimuuliza mwana dada huyu huku nikimtazama mwezake mmojaa kiwa amelala chini huku akiwa ameuwawa na wapiganaji hawa.

“Ndio nipo vizuri”

“Poa”

Nikakakimbilia kwenye moja ya gari hizi za magaidia, nikachukua bunduki moja aina ya AK47, nikauvaa mkanda wa bunduki hii begani mwangu.

“Unaweze kuendesha gari hili”

Nilimuuliza msichana huyu.

“Ndio”

“Endesha”

Nilizungumza huku nikipanda nyuma ya gari hili, huku nikiishika bundili moja kubwa sana ambayo ina uwezo wa kupiga risasi zake kwa masafa marefu.

“Tayari?”

Msichana huyu aliniuliza.

“Ndio tayari”

Msichana huyu bila ya kujali kwamba mimi sio bosi wake na mtu anaye hitaji kumsikiliza ni bosi wake ambaye ni Henderson, akawasha gari hili na kuanza kukiendesha na kuyapita magari haya matau yaliyo salia. Tulipo fika kwenye gari linalo teketea kwa moto, akalisimamisha na kurukia upande wa pili ambao una nguo na akajibaza. Nikaikoki bunduki hii na kuanza kuwashumbulia wapiganaji wote wa ISIS. Mlio na bunduki hii ambayo imechomekwa kwenye hili gari na ina mkanda mrefu wa risasi, ikanifanya nianze kupiga keleele huku mwili mzima ukitetemeka kwa jinsi ya mtetemesho wa kila risasi inavyo toka kwa nguvu.

Nikaendelea kuwashambulia wapiganji wa kundi la Islamic State na ndani ya dakika kumi na mbilia sikuweza kusikia mlio wowote wa risasi ukitokea kwenye magarofa haya. Nikaiachia bundukia hii huku nikikaa chini, mwili mwima na masikio yangu yametoka kwenye mfumo wake wa kawaida na ninacho kiona mbele yangu ni mawenge mawenge.

“Upo vizuri?”

Binti huyu wa jeshi hili la Uingereza aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Medical”

Binti huyu alipia kelelee huku akinishika eneo la mbavu na upande wa kulia.

“Nini”

Nilizungumza huku nikitazama eneo hilo, sikuamini macho yangu mara baada ya kukuta damu zikinimwagika nyingi sana, kwani hata risasi hii niliyo pigwa, sikufahamu imeingia muda gani. Nikamuona Victoria na Omary wakija eneo nilipo katuka gari hili huku wakiwa na kamera pamoja na kipaza sauti. Wanajeshi wengine wanane wakanizunguka na kuanza kunipa huduma ya kwanza kwa kuchana shati langu na kunibandika bandeji ambayo ndani ya dakika mbili ikajaa damu.

“Anaendeleaje?”

Henderson alizungumza huku naye akiwa karibu na eneo hili. Nikamatazama mmoja wa wanajeshi kiononi mwake, nikaichomoa bastola yake na kumuelekezea Henderson na kuwafanya watu wote kujawa namshangao huku wakisubiria kuona ni nini kinacho kwenda kutokea.



“Tarique tafadhali”

Victoria alizungumza huku akiiushika mkono wangu ulio shika bastola. Nikamtazama kwa hasira sana Henderson ambaye emesimama tu akinitazama kwa aibu kwani kile nilicho mueleza ndicho kilicho tokea. Hapakuwa na mwanajeshi wake hata mmoja ambaye aliweza kunishikia bunduki na kuninyooshea kwani kwa masaada ambao niliweza kuufanya umeweza kuokoa maisha yao japo kuna baadhi yao wamepoteza maisha. Helicopeter mbili zilizo jaa wanajeshi zikaanza kuranda raka katika anga la eneo hili huku wanajeshi wengine wakishuka kwa kutumia kamba. Victoria akaichukua bastola niliyo ishika na kujikuta machozi ya hasira yakinitoka, nikawekwa kwenye machela moja na kuanza kukimbizwa kwenye moja ya gorofa ambalo kwa juu ndipo ilipo paki moja ya helicopter kwani kwa ufinyu mdogo wa nafasi helicopter hizi zisinge weza kutua barabarani. Tukafika juu kabisa ya gorofa hili, nikaingizwa kwenye helicopter hii na kukutana na madaktari wawili wa kijeshi. Wakanitundikia dripu la maji na kuanza kunipa huduma katika jeraha langu. Kadri jinsi muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi mwili wangu ulivyo zidi kuishiwa nguvu kwani nimepoteza damu nyingi sana. Hata uwezo wangu wa kuona ukaanza kuishiwa nguvu na mwishowe ni kajikuta nikilala usingizi fofo.

***

Milio ya helicopter ikanistua kutoka katika usingizi wangu, nikatazama eneo hili nilipo na kukuta baadhi ya vitanda kadhaa vikiwa na wagonjwa walio valia sare za jeshi. Nikatazama mkono wangu wa kulia na kukuta ukiwa umechomekwa dripu la damu. Eneo la tumboni mwangu nimefungwa bandeji iliyo zunguka tumbo zima. Nikamuona daktari akikatiza katiza kwenye baadhi ya vitanda vya wagonjwa huku akizungumza nao. Nikanyoosha mkono wangu wa kulia juu na daktari akanifwata sehemu nilipo.

“Umeamka?”

“Ndio dikta, nipo hapa kwa muda gani?”

“Mmmm takribani masaa nane sasa”

“Masaa nane!!?”

“Ndio, vipi mbona una shangaa?”

“Ni masaa mengi sana kwa mimi kulala hapa kitandani”

“Kutokana na upasuaji tulio kufania ilitulazimu kukuchoma sindano ya muda mrefu kidogo ili hata ukimyanyuka mwili wako uwe umepata pata nguvu kiasi kwa maana ulipoteza damu nyingi kipindi ulipo letwa hapa”

“Hapa ni wapi?”

“Ni kambi ya jeshi la Uingereza”

“Ohoo umeamka”

Niliisikia sauti ya kike ikitokea upande wa pili, nikageuza shingo yangu na kumuona msichana ambaye nilisaidiana naye katika mapambano ya kuwaua waiganaji wa kundi la Islamic State.

“Ndio habari yako”

Nilizungumza huku nikitabasamu.

“Salama, habari meja”

“Salama, mgonjwa wenu naona anaendelea vizuri. Akimaliza dripu hili la damu, tutatundikia dripu moja la maji kisha atakuwa anaendelea na matibabu madogo madogo ili kidonda kiweze kupona”

“Ahaa sawa sawa dokta tunashukuru”

“Asante”

Daktari akaondoka na kuniacha na msichana huyu ambaye ni mzuri kwa muonekano wake wa nje.

“Vipi unajisikiaje?”

“Nipo safi ndio nimeamka nashanga shangaaa hapa”

“Pole sana, ila asante kwa juhudi yako ambayo umetuonyesha, hakika tungekufa pale”

“Usijali, vipi kapteni wenu?”

“Yupo tu”

“Hamjaenda katika oparesheni ambayo imewaleta huku?”

“Hapana, wanakusubiria wewe hali yako iweze kuwa nzuri ndio oparesheni iweze kuendelea. Sifa zako zilifikia General na ilibakia kidogo Captein avuliwe cheo”

“Weee”

“Ndio tuliitwa kuhojiwa katika mahakama ya kijeshi hapa kambini na kila mwanajeshi aliweza kutoa maoni yake juu yako na kuelezea jinsi ubishi wa kapteni ulivyo pelekea kupoteza wanajeshi wengine.”

“Mmmmm….”

“Yaani kazi wee acha kwa maana haikuwa ambush, sisi ndio tuliwafwata mara baada ya kugundua wapo sehemu fulani na hatukwenda kwa mpango maalumu zaidi ya kulazimishwa kwa amri na kama unavyo jua jeshini hakuna kupinga amri ya mkubwa”

“Ni kweli ila poleni, mumepoteza wanajeshi wangapi?”

“Wanne, wengine ni majeruhi kama unavyo waona kule”

Dada huyu alinionyesha jinsi wanajeshi wengine walivyo lala katika vitanda wakiwa katika hali mbaya.

“Masikini pole yao, japo na mimi nimenusurika kufa”

“Ni kweli, ila kwa mpango ulio fanya unaweza kupata promosheni”

“Kivipi?”

“Ni siri nimekuibia, wanahitaji uweze kuingizwa kwenye jeshi hili uwe miongoni mwa wanajeshi walinda amani hapa Sryria kwa muamvuli wa jeshi la Uingereza”

Nikatabasamu kidogo huku nikimtazama mwana dada huyu.

“Ni ngumu sana mimi kujiunga nanyi”

“Kwa nini?”

“Mimi nimesha pita ngazi ya kuwa mwanajeshi. Sasa hivi nipo kwenye ngazi ya kusimama mimi kama mimi”

“Ila kwa maelezo ya Victoria amesema kwamba wewe ni mpelelezi kutoka Pakistani”

“Ni kweli, ila kazi hii nimepewa kwa kulipwa. Kiufupi mimi ni Mpiganaji wa kujitegemea, serikali au taasisi ya ulinzi hunilipa nami ninawafanyia kazi ambao ana ihitaji kwa muda ambao tumekubaliana”

“Ahaaa sawa sawa hapo nimekuelewa”

“Hivi unaitwa nani kwa maana tumezungumza mambo mengi ila sijakufahamu jina lako?”

“Ninaitwa Monica”

“Ahaa jina zuri sana”

“Nashukuru, sasa acha nikaendelee na shuhuli nyingine nikipata muda kidogo nitakuja kukutembelea.”

“Sawa, nakuomba umuambie Victoria kwamba nime amka kama utapata bahati ya kumuona”

“Usijali”

Monica akaondoka hapa na kuniacha peke yangu. Dripu la damu lilipo isha nesi akanibidilisha dripu na kuniwekea dripu la maji kisha nikakabidhiwa chakula.

Siku iliyo fwata Victoria akaja kunitembelea huku akionekana kujawa na furaha sana kunikuta nikiwa katika hali nzuri kiafya. Hakusita kuninyonya midomo yangu, japo kuna wagonjwa wezangu ambao nimelazwa nao katika hii wodi ya kijeshi.

“Jana sikuweza kupata ruhusa ya kuja kukutembelea usiku mpenzi wangu”

“Usijali, vipi kazi”

“Hapa nimekuja kukuaga, ninaongozana na wanajeshi kwenda kukomboa moja ya mji nimeusahau jina lake, ila wanakwenda kuuvamia”

“Ahaa sawa, ila hakikisha kwamba unakuwa makini”

“Usijali mpenzi wangu, mimi ni waandishi wa habari jukumu letu ni kuleta habari popote pale ambapo zinapatikana”

“Sawa kazi njema”

Victoria akanipiga busu la mdomoni kisha akatoka ndani humu.

“Mwanamke mzuri”

Mgonjwa mwenzangu wa kitanda cha jirani alizungumza huku akinitazama.

“Nashukuru”

“Wewe ni mpenzi wa kusoma vitabu?”

Mwanajeshi huyu ambaye kwa kumkadiria anaweza kufika miaka arobaini na tano hivi aliniuliza huku akioonyesha moja ya kitabu alicho kuwa anakisoma.

“Ohoo una kosa mambo mengi sana. Unajua ukipendelea kusoma vitabu na ukiwepo kwenye nchi kama hizi hakika akili yako kidogo inapata afya. Kidogo mawazo ya mabomu na risasi huondoka kichwani mwako”

Nikakitazama kitabu hicho.

“Kinaitwaje?”

“LEBANON kimeandikwa na E.G.Msulwa”

“Ahaa sawa nitakisoma baadae”

“Sawa chukua kwa maana mimi ndio nimemaliza kurasa ya mwisho, ni kitabu kizuri sana ndugu”

“Nashukuru”

Nikakipokea kitabu hicho na kukiweka chini ya mto wangu. Dripu la maji nililo wekewa kilaisha. Daktari akaniruhusu kuweza kutoka katika wodi hii, nikabeba kitabu changu na nikakabidhiwa gongo ambalo litanisaidia kutembelea pale nitakapo hisi maumivu ya upande nilio pigwa risasi kwani maumivu yake yanashuka hadi katika mguu.

Kambi hii ni kubwa sana na ina wanajeshi wengi sana na wenye silaha za kila aina. Nikaanza kutembea tembea kwenye hili eneo, nikashuhudia baadhi ya ndege za kivita zikitua huku nyingine zikiondoka kwa kasi sana katika eneo la viwanja vya ndege.

Gari ndogo aina ya jeep amabyo juu haijafunikwa kitu ikasimama mbele yangu mita kadhaa kutoka nilipo simama, akashuka dereva, akanisogelea hadi sehemu nilipo.

“Habari yako”

“Salama”

“Unahitajika ofisini kwa General”

Nikamtazama mwanajeshi huyu ambaye hana hata cheo kwenye bega lake, nikamkubalia, tukaingia kwenye gari na kuondoka naye. Tukafika katika ofisi ya General, moja kwa moja nikapelekwa hadi ndani ya ofisi hii na kukutana na mzee mmoja mwenye umbo kubwa kiasi huku nywele zake zikiwa zimetawaliwa na mvi. General akasimama kwenye kiti alicho kikalia na akonyoosha mkono wake wa kulia kwa ajili ya kunisalimia. Tukaikutanisha mikono yetu na akajaribu kunitingisha kidogo ila nikauka mkono wangu japo nina umwa ila nikajitahidi kuonyesha ukakavamu mbele yake.

“Ninaitwa General Beckham Jr”

“Nashukuru kukufahamu”

“Karibu na kaaa”

Alizungumza huku akiiuachia mkono wangu, taratibu nikakaa kwenye kiti kilichopo mbele ya meza yake hii. Akafungua moja ya faili ambalo lina picha yangu ila halina maelezo mengine.

“Tumejaribu kutafuta japo taarifa zako ila hatujazipata kwenye mtandao wa aina yoyote. Hembu niambie kijana wewe ni nani?”

Nikamtazama General Beckham kwa sekunde kama arobaini hivi kisha nikashusha pumzi zangu taratibu.

“Si rahisi kwa habari zangu kuweza kujulikana kwenye mitandao ya kijamii kwa maana mimi si mwanajeshi wa kuajiriwa na serikali ya nchi yoyote”

“Unamaanisha wewe ni…..”

“Si mpiganaji wa kujitegemea”

“Waooo ni vizuri sana, nimepata sifa zako hakika ni nzuri sana. Zaidi ya wanaejeshi kumi na tatu wamekuzungumzia vizuri na kukupa sifa juu ya lile ambalo umelifanya na kuna video yako hapa”

General Beckham akanyanyua rimoti yake na kuwasha tv kubwa iliyo humu ndani na kunionyesha video ambayo kwa asilimia mia moja Omary ndio mtu aliye chukua matukio yote niliyo weza kuyafanya kwenye eneo la tukio.

“Walitaka waitume hii video Aljazirah ila niliwakatalia kwa maana hii ni oparesheni ya kijeshi na wewe sio mwanajeshi wetu hivyo ingeleta kuto kuelewana baina ya wakuu wetu nchini Uingereza”

“Sawa sawa”

“Nimeweza kumpiga penati Kampeni ya wiki moja, akae ajifunze kwa upumbavu ambao aliufanya laiti ingekuwa si kushauri basi ningemtoa hata katika cheo na angependa ndege akarudi nchini Uingereza na angekuwa mwanajeshi wa kawaida tu kambini”

“Ungefika mbali sana”

“Haya tuachane na hayo kbala ya kuleta ombi letu kwako ninahitaji kufahamu historia yako ya nyuma. Asili yako ni wapi una ujuzi gani katika vita.”

Nikajifikria kwa sekunde kadhaa kisha nikaka vizuri kwenye kiti hichi huku nikilishika gongo langu vizuiri.

“Historia yangu si nsuri’

“Wewe zungumza, naomba uniamini. Vijana wengi waliomo humu kwenye hii kambi nina wachukulia kama wanangu, wewe kuwa huru tu katika kuzungumza ukweli wako”

“Kabla ya kuzungumza historia yangu kuna jambo nahitaji kuomba”

“Omba tu kuwa huru”

“Nahitaji kurudi katika hai yangu ya asili”

“Kivipi?”

“Sauti na sura vyote sio vya kwangu”

Ganeral Bechkam akashangaa sana huku akijaribu kunikazia macho, kwa msisitizo akafungua droo ya meza yake na kutoa miwani kubwa kiasi na kuivaa usoni mwake.

“Ni nini kilikupata katika sura yako sauti yako kwa maana huyo daktari aliye kufanyia huo ubadilishaji wa sura ni mtaalamu wa hali ya juu sana.”

“Hata mimi sifahamu alitumia njia gani hadi akafanikiwa kunibadilisha kwa hali hii”

“Hujui, maana yake ni nini?”

“Ndio sifahamu kwa maana nilitekwa na nilipo kuja kuzinduka usingizini niliweza kujikuta nipo hivi”

“Ulitekwa…..!!! na nani tena?”

Nikaa kimya kwa muda kidogo huku nikipanga na kupangua ni kitu gani ninacho weza kumueleza mzee huyu na je nikimueleza ukweli ataweza kunifurahia kama anavyo nifikiria hivi sasa.

“Tarique nasubiri jibu lako”

“Nazungumza ukweli”

“Zungumza tu kijana”

“Nilitekwa na kundi la kigaidi la Al-quida ambalo nilikuwa ninalifanyia kazi kipindi cha nyuma. Ila kwa sasa nina fanya kazi zao kwa shinikizo kwani maisha yangu wao ndio wameyashikilia”

Nikamshuhudia general Beckham akivua miwani yake huku jasho likimwagika usoni mwake, kwani ukweli alio uhitaji nahisi umetengeneza hofu na mashaka makubwa sana juu ya usalama wa hii kambi yake ya kijeshi anayo iongoza.



“Ni habari ambayo sio nzuri kwa upande wako, ila huo ndio ukweli.”

General Beckham akaka kimya kwa takribani dakika mbili huku akinitazama usoni mwangu.

“Je unapenda kuendelea kufanya nao kazi?”

“Sipendi ndio maana nahitaji kuweza kujitoa mikononi mwao. Mwili wangu sijui wameufanya kitu gani, ninaohofia kufa kwa sumu ambayo nahisi wameipandikiza mwilini mwangu”

“Kama haupo tayari mimi nitakusaidia kuweza kuokoa maisha yako. Kuna madaktari bingwa nchini Uingereza tunaweza kukupeleka na wakakufanyia marekebisho ya mwili wako na ikiwezekana wakakurudishia sura yako halisi”

“Nashukuru sana general”

“Ila tutafanya hivyo kwa makubaliano ambayo kwa pande zetu mbili yatakuwa na faidia”

“Makubaliano gani?”

“Tutaingia mkataba kati yako mimi na wewe, nitahitaji uweze kulitumikia jeshi hili kwa miaka mitatu na kuanzia hapo utakuwa huru kuondoka au kuendelea kuwa katika hili jeshi”

“H…..”

“Wewe chukua muda wa kutosha katika kulifikiria hili jambo. Kuna mission iliyopo mbele yetu ya kuwaokoa raia wetu, ukifanikisha hilo, basi nitakupekeleka nchini Uingereza kwa muamvuli wa jeshi hili na utafanyiwa kazi hiyo na madaktari wetu bingwa na baada ya hapo tunaandikishana mkabata huo. Kusema kweli nimependa upiganaji wako, ujasiri wako, na wanajeshi kama wewe kuwapata kwa dunia ya sasa hivi ni wachache sana”

Nikakaa kimya huku nikifiria maneno ya jeneral Beckham. Kusema kweli siwezi kumtumikia Farida na mama yangu, nilisha jitoa kwenye maisha yao kwa maana nina hitaji kuishia maisha yangu ya mimi peke yangu. Huu ni wakati wa mimi kuweza kufanya hivyo.

“Nimekubali, ila kwa sharti moja”

“Sharti gani?”

“Ndani ya miaka hiyo mitatu ambayo mumeniomba niwe katika jeshi lako naomba unisaidie kuhakikisha kwamba nina liangamiza kundi la Al-quida kama alivyo fanya awali baba yangu”

“Hili tu, usijali nitakupa kila ukitakacho kuhakikisha kwamba haya makundi sugu ya kigaidi tuna yaangamiza na kuyafuta kwenye ramani ya dunia”

“Nashukuru”

“Umesema alivyo fanya baba yako. Nani ni baba yako?”

“Baba yangu anaitwa DANY”

“Nini?”

“Una mfahamu?”

“Ndio nina mfahamu sana, ana historia kubwa sana hapa duniani, japo sisi na yeye hatuna ugomvi. Ila kwa Marekani hawapatani kabisa”

“Kila binadamu atatengeneza historia yake kwenye haya maisha hivyo, yeye alifanya yake na mimi nitafanya yangu hapa duniani”

“Nashukuru kusikia hivyo. Basi nenda kapumzike. Ukifanikiwa kupona basi oparesheni yetu itakwenda kufanyika”

“Sawa sawa general”

Nikatoka ofisini humu, dereva akanichukua na kunipelekeka kwenye moja ya jengo. Akanikabidhi kwa mwanajeshi mmojaa ambaye moja kwa moja akanipeleka hadi kwenye moja ya chumba.

“Hapa ndipo utakapo kuwa unaishi kuanzi hivi sasa. Ndani ya chumba chako kuna bafo na choo hivyo naamini huduma za muhimu zitakuwa zipo vizuri kwa upande wako”

“Ndio nashukuru”

Mwanajeshi huyu akatoka na kuniacha peke yangu katika hichi chumba ambacho kina kitanda cha nne kwa sita huku kikiwa na tv ndogo ya nch ishirini na nne ikiwa juu ya meza ndogo ya kioo.

***

Siku zikazidi kusonga mbele huku hali yangu ikiandelea kuimarika. Baada ya siku ishirni na mbili kidonda changu kikawa kimekauka na kupoja kabisa, jambo ambalo linaniwezesha kufanya mazoezi magumu pamoja na wanajeshi wengine. Baada ya wiki moja, mipango ya kwenda kuvamia mji wa Raqqa ambao ndipo yalipo makao makuu ya kundi la Islamic State.

“Tunatakiwa kufanya mashambulizi ya anga pamoja na mashambulizi ya ardhini”

Kapten Henderson alizungumza huku tukiwa katika ukumbi huu wa mikutano, ambao wanajeshi wote tunao husika kwenye oparesheni hiyo tumekusanyika. Henderson akaendelea kutuonyesha maeneo ya mji huo kwa kupitia tv kubwa sana iliyopo humu ndani ya ukumbi.

“Ila mji huu ona watu, tukifanya mashambulizi ya anga tunaweza kua raisi wasio na hatia”

Mwanajeshi mmojaa lishauri na kutufanya sote tumtazame.

“Hatuna jinsi. Inabidi tutumie drone za mabomu kuhakikisha kwamba tunaweza kushambulia kwa umakini sana kwa maana drone zina kamera na pia hazina rubani, inaweza kusaidia kupunguza hali ya kushambuliwa kwa wanajeshi wetu”

Henderson alizungumza huku akituonyesha ndege hizo ndogo ambazo kwa jina lake halisi zinaitwa unmanned aerial vehicle (UAV).

“Katika oparesheni hii tutatumia aina hii ya drone inayo itwa General Atomics MQ-9 Reaper (Predator B) zitatumwa sita na zitaongozwa kutokea huku huku kambini”

Nikanyoosha mkono mmoja juu na Henderson akanipa nafasi ya kuzungumza, nikasimama na kuwatazama wanajeshi wote ambao tupo ishirini na tano.

“Tukumbuke kwamba hawa watu tunao kwenda kuwavamia. Moja wana ujuzi mkubwa sana wa kitenolojia. Mbili hadi kuweza kufunga satelait zao ambazo zinazo weza kuonyesha kila anaye ingia ndani ya mji wao au kutoka ni jambo moja hatari sana. Hizo drone munazo kusudia kuzituma kwao, nina imani kwamba watazishambulia hata kabla tu ya kuweza kufika katika mji wao. Tatu kwa akili ya haraka haraka wana weza kuzi hack hizo drone kwa uwezo wa tecnolojia walio nao kisha zikarudi huku na kuanza kutushambulia sisi wenyewe. Hivyo kwa maaoni yangu sishauri kuweza kutumia hizo ndege zisiso na rubani kwenda kushambulia kambi yao”

Nikamuona general Beckhan akitingisha kichwa akionekana kukubaliana nami kile ninacho kizungumza.

“Wazo jengine, ninaona kwamba kwenda kwa mkupuo wanajeshi wote ishirini na tano tutashambuliwa na kufa. Ninacho kishauri, twende wanajeshi wawili tu, huku nyinyi mukiwa nyuma yetu, ila yule ninaye kwenda naye ninaomba aweze kuwa ni mtaalamu wa masawala ya computer, endapo tunafanikiwa kuingia kwenye jengo lao ambalo ndio lina watu wanao control kila kitu kwa njia ya tecnolojia, itakuwa ni rahisi sana kwetu kuhakikisha kwamba tuna wateka na kuharibu kila mfumo wao na itakuwani rahisi kwenu kuweza kuingia katika mji huo bila ya kuonekana na tunawaokoa watu wetu na tunaukomboa mji huo”

Wanajeshi wote wakabaki wakinitazama kwa mshangao. General Backham akanyanyuka kwenye kiti alicho kikalia huku akipiga makofi na kuwafanya wanajeshi wengine kumtazama.

“Ni wazo zuri sana, haya ndio mawazo niliyo kuwa nikiyategemea kutoka kwako kapteni ila umeshindwa. Inabidi ifikie hatua tuweke tecnolojia yetu pembeni na kufikiria njia mbadala kwa maana ni drone ngapi mulish zituma toka mulivyo panga kufanya hii oparesheni na haikufanikiwa kurudi hata moja”

“Ila general zile zilikuwa ni ndogo”

“Hata kama zilikuwa ni ndogo na mukumbuke kila drone moja waliyo kuwa wakiiangusha, waliweza kumchinja Muingereza mmoja. Je munahitaji hata wale walio salia kule wabaki mikononi mwao?”

Kapteni Henderson akabaki kimya huku akimtazama mkuu wake wa jeshi.

“Mimi nipo tayari kujitolea kwenye hii oparesheni. Nitajikamatisha kwao na nina uhakika nikiingia mikono mwao nitaweza kuwatoroka”

Wanajeshi wote wakanishangaa”

“Ndio hatuwezi kuwapiga kutokea nje, ni lazima awepo mtu ndani ambaye anaweza kutoa taarifa kwa walio nje kujua ni wapi na wapi wanapiga. Hivi hivi tutajikuta tukiangamia”

“Kujikamatisha hayo ni maamuzi magumu”

“Ni magumu sana, ila nitahitaji vitu ambayo nitaomba munisaidie kuvipta, hakikisheni kwamba munajiweka tayari baada ya mimi kukamatwa nitahakikisha nina wasiliana nanyi na nitawapa njia za kufanya kuhakikisha kwamba munashambulia mji huo kwa akili pasipo kuua raisi yoyote asiye na hatia”

“Sawa nimepitisha hilo, kuna mtu mwenye wazo tofauti na Tarique?”

Wanajeshi wote wakaka kimya.

“Tutawanyike”

Baada ya general Beckham kuzungumza hivyo wanajeshi wakaanza kutawanyika huku wengine wakionekana kuwa na wasiwasi sana na mpango wangu nilio washirikisha. Tukaongozana na jeneral Beckhan hadi ofisini kwake.

“Japo nimekubaliana na wazo lako, ila sina uhakika kama linaweza kufanya kazi Tarique”

“Natambua ni wazo gumu ila kumbuka kila maamuzi magumu ndio yanyo fanya kazi kwenye maisha ya mwanadamu, hivyo basi, hakikisha kwamba unaniunga mkono katika hili. Nikirudi salama nina imani kwamba utafurahi na utapata sifa kubwa sana kwenye mataifa mengine”

“Sawa, unahitaji nini na nini?”

“Nahitaji nguo za kama shehe, gari ina ya Chevroley ya mwaka 1957, liwe limechoka kiasi ila lenye injini nzuri ambayo inaweza kunipeleka hadi kwenye mji huo. Nahitaji msaafu, mmoja uwe mkubwa kiasi na mwengine uwe wa kawaida”

“Hivyo vyote vimepatikana”

“Nahitaji na pesa ya Syria Pound”

“Vyote vinawezekana kupatikana”

“Nahitaji bunduki ndogo aina ya Ruger LCR”

“Kumbuka kwamba hiyo bunduki ina ingia risasi tano tu”

“Ndio nalitambua hilo, kwa kubeba bunduki hiyo itakuwa ni ngumu kwa wao kuweza kufahamu uhalisia wangu”

“Ila Tarique una hatarisha maisha yako”

“Nalitambua hilo General, ila naomba uniunge mkono katika hilo”

“Sawa, nenda kajianda hadi baadae ninaimani kwamba kila kitu kiakuwa kimepatikana”

“Nashukuru, ila usisahau kununua sendo ambazo wanavaa watu wa huku, wakiona sendo zinafanania na watu wa nje ya nchi basi inaweza kuwa ni hatari sana kwangu”

“Sawa sawa”

“Kuna kitu kimoja hapo nilikisahau na ni nimuhimu sana. Tasbih ni muhimu sana nina imani hapo nitakuwa nimekamilia kuwa shehe Tarique”

“Kitambulisho je na leseni ya udereva”

“Hivyo pia ni vitu vya umuhimu sana”

“Sawa baada ya masaa manne kila jambo litakuwa tayari”

“Nashukuru”

Nikatoka ofisini hapa kwa generala, nikakutana na kapteni Henderson kwenye moja ya kordo, akasimama mbele yangu huku akinitazama usoni mwangu kwa hasira sana.

“Hivi unajiona wewe ni shujaa si ndio”

“Hee hayo yote tametokea wapi?”

“Sasa ninakuambia kwamba, endapo utafeli kwenye hii oparesheni, nitahakikisha kwamba huendelei kuwa mmoja wa wanajeshi katika hii kambi umenielewa”

Kapteni Henderson alizungumza kwa jazba kubwa.

“Sipo hapa kwa ajili ya kuchukua madaraka yako. Muda mwengine akili ni muhimu sana kuliko kutumia nguvu ya kijeshi. Tuliza akili ndugu”

Nikajaribu kupiga hatua moja mbele ila kapteni Henderson akanishika mkono wangu wa kulia, nikautazama mkono wake kwa sekunde kadhaa kisha nikamtazama usoni mwake.

“Tambua mafahari wawili hawawezi kukaa katika zizi moja”

Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo, akauachia mkono wangu kwa nguvu na kuondoka eneo hili huku akionekana kujawa na jazba. Nikaelekea chumbani kwangu na kumkuta Victoria akizunguka zunguka ndani ya chumba hichi, kitendo cha kumsogelea tu akanipiga kofi zito la shavuni jambo lililo nifanya nishangae sana.

“Wewe unajiona ni nani eheee?”

Victoria alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Sijakuelewa mpenzi wangu!!”

“Wewe unataka kwenda kujikamatisha kwa wale magaidi, unajua ni nini watakufanya eheee?”

“Ila….”

“Hakuna cha ila Tarique jua kwamba nina kupenda na siku zote nimekuwa nikiishi na wewe nikifikiria malengo yetu ya baadae kwa nini unanifanyia hivyo eheee?”

Victoria alizungumza kwa hasira huku akinipiga piga kifuani mwangu. Nikajaribu kuishika mikono yake ila akaito kwa nguvu sana.

“Mpenzi wangu kumbuka mimi ni mwanajeshi. Hadi umekuwa nami nina imani kwamba utakuwa umeridhia kwa kile ambacho ninakwenda kukifanya. Nakuomba uweze kunielewa mpenzi wangu”

“Sitaki kusikia huo upuuzi Tarique, wewe ni nani hadi ukatae kwenda na wezako kwenye oparesheni hiyo eheee?”

Victoria aliendelea kufoka huku akiendelea kulia, uso wake wote umetawaliwa na rangi nyekundu kiasi cha kunifanya nimvute kwa nguvu karibu ya mwili wangu. Nikamkumbatia huku akiendelea kulia kwa uchungu sana.

“Nitarudi salama mpenzi wangu”

“Hakuna anaye kamatwa na hawa magaidia akarudi salama. Je wakigundua kwamba wewe ni mwanajeshi si ndio kabisa. Unataka nikae nishuhudie video itakayo enezwa kwenye mitandao juu ya kuuwawa kwako?”

“Haiwezi kutokea hilo”

“Itatokea Tarique. Unahisi utaniachaje mimi na huyu kiumbe wako tumboni mwangu”

Kidogo nikastuka huku nikimtazama Victoria usoni mwake, macho yangu yakaonyesha ishara ya kumuuliza swali.

“Tarique nina mimba yako. Mimi kwa sasa ni mjamzito”

Victoria alizungumza huku akitoa kipakti kidogo kwenye mfuko wa suruali yake, akanikabidhi kipakti hichi cha kuhifadhia kipimo maalumu cha kupimia ujauzito, taratibu nikakitoa kipimo hichi, sikuamini macho yangu kuona vimishale viwili vyekundu vinavyo dhibitisha kwamba Victoria ni mjamzito.



Taratibu nikajikuta nikimuachia Victoria na kukaa kitandani. Sikutarajia katika wakati kama huu kupata taarifa hii ambayo kwa namna moja ama nyingine ni nzuri kwetu sote ila kutokana na maamuzi niliyo yachukua ni ya kujitolea kukamatwa na kundi la Islamic State ni magumu kwa kweli.

“Tarique ninakupenda kutoka moyoni mwangu, ndio maana sikuona hatari ya mimi kuweza kubeba ujauzioto wako.”

Victoria alizungumza huku akiendelea kulia kwa uchungu sana.

“Hei hei”

Nilizungumza huku nikimnyooshea Victoria mkono wa kulia, taratibu naya akanikabidhi mkono wake wa kulia na kumkalisha kitandani.

“Nitarudi mpenzi wangu. Ninawahakikishia wewe na mwanangu mutaishi maisha mazuri umenielewa”

“Unanishawishi tu Tarique ila unacho kwenda kukifanya tambua ni jambo la hatari sana”

“Natambu hilo mpenzi wnagu, ila ninakuomba uniamini. Mungu yu pamoja nami sinto angamia. Nitarudi nikiwa salama salmini”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama Victoria usoni mwake. Taratibu tukazikutanisha ndimi zetu na kuanza kunyonyana. Hisia za mapenzi taratibu zikaanza kututawala, tukaanza kuvuana nguo moja baada ya nyingine na ndani ya muda mchache tukajikuta tukizama katika penezi zito sana. Kwa kipindi cha miezi miwili na wiki kadhaa nilicho ishi na Victoria nimejihisi ni mtu wa tofauti sana. Kila kukicha amekuwa ni mwanamke wa kunishauri niweze kuishi kwenye maisha mazuri ya kujiamini kwamba maadui zangu ambao ni Farida na mama yangu hawawezi kunidhuru kwa namna yoyote. Hadi tunamaliza mzunguko huu wa kwanza, sote miili yetu imejawa na jasho jingi sana kana kwamba tumetoka kukimbia riadhi.

“Nakupenda sana Tarique wangu”

Victoria alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu sana.

“Ninakupenda pia mpenzi wangu”

“Kweli baba watoto?”

“Ndio, nakuhiadi nitapambana kufa na kupona kuhakikisha kwamba nina rudi kwa ajili yenu”

“Sawa mpenzi wangu tambua kwamba nina kupenda”

“Hata mimi pia. Hivi unaweza kufanya kazi ukiwa mjamzito hivi?”

“Nimesha waandikia ofini email na kuwaleza juu ya hali yangu. Ila bado hawajanijibu, illa wakinipatia jibu basi nitarudi nchini Pakistani, kisha nitaelekea Uingereza au popote pale mume wangu utakapo hitaji niweze kwenda kuishi nawe”

“Tutakwenda Tanzania”

“Tanzania?”

“Ndio”

“Kwa nini Tanzania”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama Victoria usoni mwake, kwani ukweli wa maisha yangu anaufahamu general Beckham tu na si mtu mwengine yoyote ndani ya hii kambi.

“Kuna vitu vingi Victoria unatakiwa kuweza kufahamu kuhusiana na mimi. Sahamani kwa kuchelewa kukuambia ukweli ila ningeomba uuelewe”

“Zungumza tu Tarique, unakwenda kuwa baba wa mwanangu. Naami hakuna kuweka siri kati yetu”

”Kweli. Ila hoto kasirika?”

“Siwezi kukasirikia kwa maana wewe ninatambua kazi yako jinsi inavyo takiwa kukuongoza. Hupaswi kusema kila kitu hata kwa mama yako mzazi japo ulinieleza juu juu kwamba wewe na mama yako mzazi hampatani ila hukuniambia chanzo ni nini”

“Yaaa. Nashukuru kama una likumbuka hilo. Kwanza, mimi siitwi Tarique…….”

Victoria macho yakamtoka huku akionyesha kushangazwa sana na kile nilicho mueleza.

“Jina langu halisi ninaitwa Randy Daniel. Chanzao cha mimi na mama yangu kuto kuwa na maelewano mazuri ni juu ya kupenda uhusiano wangu na baba yangu ambaye ana rekodi moja mbaya sana hapa duniani. Rekodi ambayo kwa mtu yoyote kuweza kuisikia basi anaweza kujisikia vibaya kama yupo kwenye mzunguko wa familia hiyo”

Nilizungumza kwa hisia sana huku machozi yakinilenge lenga usoni mwangu. Victoria akanishika mashavu yangu na kunibusu taratibu akiashiria kwamba ana nibembeleza na nisijisikie mnyonge kwa kukumbuka historia ya baba yangu.

“Baba yangu alikuwa ni gaidi mkubwa sana duniani. Baba yangu ni Dany, gaidi aliye weza kumuangamiza raisi wa Marekani hadharani Donald Bush, pia ndio mtu aliye muua Osama Bi Laden. Pia amefanya matukio mengine makubwa makubwa ya kutisha. Nina imani kwamba utakuwa umemfahamu?”

Victoria akatingisha kichwa akimaanisha kwamba anamfahamu.

“Historia yake nilisha wahi kuisoma kwenye moja ya kitabu hivi ila nimekisahau jina la hicho kitabu”

“Weee unakifahamu hicho kitabu?”

“Ndio nilkisoma, kitabu hicho alikuwa nacho mzee mmoja Uingereza kipindi hicho nilikuwa mdogo sana. Yule mzee alikuwa ni jirani yetu ila sisi tulisha hama, ngoja tukienda Uingereza tutakwenda kwenye hilo eneo kuweza kufahamu kama yupo au hayupo”

“Kwenye hicho kitabu hukuwahi kuliona jina la Yemi?”

“Nililiona. Yemi alikuwa ni binti wa Kinaijeria, alikuwa na mume wake, ila Dany aliweza kumpokonya mwanaume huyo Yemi. Sasa Yemi sijui ilikuwaje akaja kuwa na mahusiano na raisi Donald Bush, hilo ndio kosa walilo lifanya Yemi na Donald kwani waliwindwa na Dany hadi mwishowe walikamatwa”

Kila alicho kizungumza Victoria ndio kitu ambacho liksha wahi kukisikia kwenye historia ya maisha ya wazazi wangu.

“Huyu ndio mama yangu na baba yangu”

“Weee nina kumbuka Dany alimpenda sana Yemi na aliweza kumuachia mimba kumbe ndio wewe?”

“Ndio ni mimi”

Victoria akaonekana kushangazwa sana kwa kile nilicho mueleza.

“Tukiachana na hiyo historia nina imani kwamba nami nitatengeneza hisoria yangu peke yangu”

“Ndio mpenzi wangu”

“Nilikuwa ni mwanajeshi wa kundi la Al-quida, niliingia kwenye kundi hilo pasipo kupenda. Nilikuwa na mahusiano na mwanamke yule niliye kualeza kwamba ana itwa Farida. Ila nilifanikiwa kutoroka kwenye kundi lile na niliendelea kumtafuta baba yangu hadi nikafanikiwa kumpata”

“U…unataka kuniambia kwamba Dany yupo hai?”

“Ndio yupo hai”

“Weee natamani siku moja niweze kukutana naye”

“Usijali utaonana naye tu. Basi Al-quida waliniteka kwa mara ya pili, wakanipandikiza hii sura ya bandia na hata kuja kwangu nchini Syria sikuja kama mfanyakazi wa serikali ila nimekuja kama mfanyakazi wa Al-quida”

Victoria akabaki kinywa wazi huku dhairi akishindwa kuuzuia mshangao wake katika hili.

“Kwa hiyo wewe ni Al-quida?”

“Ndio”

“Sasa wanajeshi hawa wakifahamu si watakwenda kukuangamiza?”

“Anaye fahamu ni general na nilimesha fanya naye makubaliano ya kuhakikisha kwamba tuna lisambaratisha kundi hilo kwa mara nyingine kama vile alivyo fanya Dany”

“Mmmm itakywa ni hatari sana mume wangu wanajeshi wa kawaida wakifahamu?”

“Natambua, ila hakuna ambaye atafahamu au wewe utawaambia?”

“Hapana sinto weza kumuambia mtu”

“Sawa nashukuru mpenzi wangu”

Taratibu nikambusu Victioria kwenye paji lake la uso kisha nikamkumbatia kwa hisia kali sana.

***

General akanikabidhi kila kitu nilicho kuhitaji.

“Nashukuru, nitaondoka hapa kambini na nguo za kawaida, na nguo hizi nitakwenda kuzibadilisha mbele ya safari”

“Kwa nini unataka kufanya hivyo?”

“General kumbuka kwamba hii ni mission ya siri sana. Sihitaji kila mwanajeshi aweze kufahamu jinsi ninavyo ondoka hapa. Kumbuka ni mara ngapi mulikwenda kuvamia ila mambo yakawa si maruzi kwenu?”

“Ni mara tatu?”

“Hii itakuw ani mara ya nne na ya mwisho. Nina hisia mbaya na baadhi ya wanajeshi kwenye hii mission kama hotelajali ninakuomba niweze kuchagua vijana wanne tu ambao wanaza kuifanya hii kazi”

“Randy vijana wanne, jumla muwe watano ni idadi ndogo sana na munaweza kuangamia mara moja”

“Natambua, ila hadi wewe umekuwa jeneral, si kwamba ulipewa hichi cheo kwa bahati mbaya nina imani kwamba kuna mambo makubwa na mazuri ulisha wahi kuyafanya huko nyuma ndio mana ukazawadiwa hicho cheo”

“Ni kweli”

“Naomba ujiongeze katika hili. Napanda mtu ambaye atapokea mawazo kama wewe uanvyo pokea mawazo na kuyatendea kazi. Kijana wako Henderson katika hii mission asihusike, hadi pale kazi itakapo kwisha”

“Kwa nini?”

“Nina ona mbali. Madhara yaliyo tokea juzi ndio yatakayo tokea kesho au kesho kubwa. Hapendi kushauriwa anajiona yeye ndio mkubwa na yeye ndio mwenye kauli ya mwisho kwa kila mtu na mwishowe vijana wana angamia. Nakuomba mkuu nisaidie katika hili, kama watakuja vijana watano, tutarudi vijana watano nakuahkikishia hakuna ambaye atakufa”

General akaka kimya kwa muda huku akikuna nywele zake zilizo tawaliwa na mvi nyingi

“Wewe ndio mkuu katika hii kambi. Ukizungumza wewe hakuna ambaye atasema dhidi yako. Niamini mkuu”

“Sawa nimekuelewa. Vijana hao nakuachia jukumu la wewe kuweza kuwachagua”

“Sawa, nipo nusu saa nina imani kwamba nitakueletea vijana wanne”

“Poa”

Nikatoka ofisi hapa kwa jeneral, moja kwa moja nikaelekea katika viwanja vya mazoezi. Nikamuita Monica na nikamueleza juu ya nafasi ambayo jeneral amenipatia. Monica akaonekana kufurahi sana kwani yeye na Henderson picha haziendi kabisa japo ni mkuu wake wa kazi.

“Kuna rafiki zangu watatu nilikuwa nina fanya nao mazoezi nina imani hao pia watanifaa”

“Sawa wachague”

“Tangulia ofisini kwa general”

“Sawa”

Nikaagana na Monica na nikaeleka katika eneo jengine ambapo kuna rafiki zangu watatu, wawili wana ujuzi mkubwa sana katika maswala ya udunguaji huku mmoja akiwa amekamilika katika maswala ya tecnologia, pia ni mtaalamu wa kulipua mabomu. Hapakuwa na mtu ambaye aliweza kubisha kuhusiana na uteuzi wangu kwao, kwa pamoja tukarudi katika ofisi ya general.

Nikaanza kuwapa mbinu za jinsi ya kuweza kuhakikisha kwamba tuna uvamia mji wa Raqqa na tunakomboa watu tulio kusudia kuwakomboa. Nikamuunganisha Thomas ambaye ni mtaalamu wa maswala ya teknolojia na Professa aliyo inchini Tanzania ambaye kwa kupitia uwezo wake katika mswala hayo anaweza kutusaidia kwa kiasi kikubwa.

“Kazi hii ndani ya masaa manne nina imani kwamba itakuwa imekwisha.”

“Masaa manne?”

General aliniuliza huku macho yakiwa yamemtoka

“Ndio, kesho vijana wa Henderson wakiende huko nina imani kwamba watakuta manyonya tu”

“Mmmmm sawa nakuamini”

“Mimi nitatangulia, nina imani kwamba Monica mume nielewa?”

“Ndio tume kuelewa”

“General nahitaji baraka zako zote”

“Nakuamini kazi jema vijana wangu”

Tukampigia jeneral saluti kisha tukaanza kutoka ofisini hapa, kabla sijafika mlangoni jeneral akaniomba nibaki kwa dakika chache.

“Naomba urudi salama”

“Nashukuru nitarudi salama mkuu”

“Pia na vijana wangu, endapo hii kazi itakwenda vizuri nina kuahidi kukupatia moja ya zawadi nzuri sana, nina imani kwamba utaipenda”

“Nashukuru sana General”

“Sawa”

Nikatoka ofisi humu na kuingia kwenye gari langu nililo liagiza huku nikiwa na begi lenye nguo nilizo nunuliwa. Nikavaa kifaa maalumu cha mawasiliano ambacho ninaweza kuwasiliana general, timu yangu pamoja na Professa moja kwa moja, safari ikaanza huku nikiwa makini sana. Nilipo fika katikatia ya safari yangu nikabadilisha nguo zangu na kuvaa mavazi haya ambayo mtu akinitazama kwa haraka haraka anaweza kutambua kwamba mimi ni muislamu tena shehe mkubwa sana. Nguo nilizo zivaa nikazitupa njiani na safari ikaendelea huku kwa kupitia simu aina ya iphone 7, nikitazama ramani inayo nielekeza katika mji Raqqa.

“Monica mumesha jiandaa?”

Nilizungumza huku nikitazama kilimita kadhaa zilizo bakia kabla sijaingia kwenye mji huo.

“Ndio Tarique”

“Professa upo?”

“Nipo hapa tunashirikiana na Thomasa kuhakikisha kwamba tuna hack ndege zao za kijeshi na zinawashambulia wao wenyewe”

“Sawa musifanye chochote kabla ya mimi kufika kwenye mji huo”

“Tumekuelewa”

Majira ya saa nne usiku nikafika katika mji huu huku nikilazimika kupita katika lango kuu la kuingia katika mji huu. Kama nilivyo kadiria ndivyo ilivyo tokea. Gari langu likasimisha na wanajeshi wapatao kumi waliopo katika hili lango kuu, taratibu nikalisimamisha gari hili pembeni huku nikifwata amri ya kunanyua mikono yangu juu na nitoke nje ya gari ili waweze kunikagua.



Nikatoka ndani ya gari na askari wawili wakaanza kunipapasa kwa haraka. Mmoja wa wanajeshi akatoa bastola ndani ya mfuko wangu wa suruali.

“Hii ya nini?”

Alizungumza kwa ukali sana mwanajeshi huyu.

“Ni kwa ajili ya kujilinda mimi mwenyewe”

Wakatazama risasi tano zilizomo kwenye hii bastola. Wanajeshi wengine wakaendelea kupekua pekua ndani ya gari langu. Wakatoa misaafu yangu miwili.

“Wewe ni muislam?”

“Ndio ni muislamu”

Wakaitazama simu yangu aina ya iphone 7.

“Hizi ni watu adimu sana hapa Syria kuweza kuzitumia. Umetoa wapi?”

“Nililetewa zawadi na mdogo wangu. Ametoka Dubai”

Kitu ninacho kiomba sana wasiweze kukiona ni kinasa sauti cha kuvaa sikioni ambacho nimekiwaka chini ya siti yangu. Wakatazama vitambulisho vyangu ambavyo ni vya uraia wa nchi hii ya Syria pamoja leseni yangu ya udereva. Askari mmoja akaendelea kunitazama kwa umakini sana usoni mwangu, nami nikaendelea kumtazama pasipo kuweka mashaka ya aina yoyote kwani kuweka mashaka ni jambo la hatari kwa upande wangu.

“Mji huu ndio mara yako ya kwanza kufika?”

“Hapana, shehe wangu. Nimekuja kumuona mama yangu mzazi anaishi humu anasumbuliwa na saratani, nimepigiwa simu usiku huu hivyo nina hitaji kwenda kumuona”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.

“Mji wetu ni salama, hii silaha yako itabaki hapa ukirudi utaichukua”

“Nashukuru”

“Hichi kitambulisho chako pia kitabaki hapa”

“Sawa sawa wakuu wangu”

“Haya nenda”

Nikaingia ndani ya gari langu, taratibu na kuanza kuondoka eneo hili. Nikatoa kinasa sauti changua kukivaa sikioni mwangu.

“Nimefanikiwa kuingia”

Nilizungumza huku nikizidi kuingia katika mji huu ambao kwa namna moja ama nyingine hauna maendeleao na meneo mengi kuna magofo ya magorofa yaliyo chakaa kwa milipuko ya vita vinavyo tokea mara kwa mara. Kwa kupitia ramani ambayo amenitumia professa kwenye simu yangu, nikaasimamisha gari langu mika kadhaa kutoka kwenye jengo la makao makuu ya kikundi hichi. Jengo ambalo limeimarishwa ulinzi mkali sana.

“Professa unanipata?”

“Ndio ninakupata”

“Unaweza kukata mawasiliano yao kwa muda pamoja na umeme?”

“Aha….aa…yap, ndani ya dakika mbili kila kitu kitakuwa tayari”

“Sawa”

Nikaendelea kukaa ndani ya gari langu huku nikitazama saa yangu ya mkononi.

”Monica”

“Tupo njiani”

“Sawa”

“Vijana natumia EMP(electromagnetic pulse) kuweza kukata mawasiliano ya kila kitu mji huo, hivyo inabidi muweze kuchelewa ndani ya dakika hizo mbili sawa”

Tulisikia sauti ya Professa kwenye vinasa sauti.

“Ohoo Professa samahani EMP ndio nini?”

“Subiri utaona na mawasiliano yatakuwa tanapatikana kwenu nyinyi tu”

“Sawa sawa”

Ndani ya dakika mbili mji mzima ukatawaliwa na giza totoro. Magari ambayo yalikuwa yanapita pembezoni mwa barabara hii yote yakazima hadi taa zao.

“Randy simu yako inafanya kazi?”

Niliisikia sauti ya Professa akizungumza.

“Ndio ndio”

“Haya ni muda wa kazi sasa, wao hakuna hata mmoja ambaye anaweza kupata mawasiliano katikka simu ya kiganjani wala simu za mezani”

“Nashukuru professa”

Nikashuka kwenye gari langu na kuiweka simu yangu kwenye mfuko wa kanzu. Nikaanza kutembea kwa tahadhari huku njiani nikipishana na wanajeshi wa Islamic State ambao hawajui ni kitu gani ambacho kimetokea. Nikafanikiwa kufika kwenye eneo lilipo gorofa la makao makuu yao. Ulinzi katika eneo hili umezidi kuimarishwa huku wakionekana kutafuta jinsi ya kuweza kurudisha mawasiliano pamoja na umeme.

“Professa niambie nini cha kufanya?”

“Wale mateka wapo katika jengo la pili, katika chumba cha kilichopo ardhini”

“Jengo hili la upande wa pili wa barabara?”

“Ndio”

“Niambie hali ya ulinzi humo ndani?”

“Ulinzi ni wa kutosha ila wanalinda gorofa hilo sana”

“Nashukuru professa”

Nikanyatakwa makini hadi upande wa pili wa jengo hili. Japo kuna giza kubwa ila nikajitahidi kuingia katika jengo hili. Nikajibanza kwenye moja ya chumba, nikatoa simu yangu mfukoni na kuitazama ramani ya eneo hili.

“Hei simu yako ina mawasiliano”

Nilisikia moja ya sauti ya mwanaume. Taratibu nikaishusha simu yangu chini huku nikimtazama sehemu anapo tokea.

“Ndio vipi ya kwako haina”

Nilizungumza kama nina husika katika kundi lao.

“Zimezima kabisa”

“Duuu”

Kitendo cha mwanajeshi huyu kunisogelea hapa, sikufanya kosa. Nimavunja shingo yake kwa nguvu na taratibu nikamdaka na kumlaza chini. Nikavua nguo zangu kwa haraka na kuvaa nguo zake za kijeshi. Nikajifunga kitambaa alicho kuwa amejifunga kichwani mwake, nikayabakisha macho yangu. Nikaokota banduki yake aina ya AK47 na nikatoka ndani humu. Nikaelekea katika chumba kilichopo chini ya ardhi na kuwakuta wanajeshi kama wanne.

“Kuna nini kinacho endelea huko juu?”

Mwanajeshi mmojaa liuliza mara baada ya kuona mwanga wa simu yangu niliyo ishika mkononi mwangu.

“Kuna tatizo la umeme”

Nilizungumza huku nikitazama milango iliyo tengezwa kwa nondo iliyo funga baadhi ya vyumba kadhaa humu ndani. Katika vyumba hivi nikawaona watu wa mataifa mbali mbali walio shikiliwa huku wengine wakiwa katika hali mbaya sana.

“Au kuna uvamizi?”

“Sidhani”

“Naona simu zetu hazishiki haziwaki kabisa”

“Duuu sijui kuna tatizo gani?”

Nikaendelea kuchunguza humu ndani na nikagundua ni mwanajeshi gani ambaye ana funguo za eneo hili kiunoni mwake. Kwa uwezo wangu wa kupigana nikaona hakuna haja ya kuweza kuwaa kwa kutumia bunduki, kwani ni lazima kelel zitasikika huko nje na zitaweza kuwastua wapiganaji hawa wa kundi la Islamic State. Nikaweka bunduki yangu chini huku nikiwa nimeiegemeza ukutani. Nikaanza kufanya shambulizi moja takatifu kwa wanajeshi hawa ambao walianza kuduwaa duwaa. Ndani ya dakika moja na sekunde kadhaa nikawa nimemaliza kuwavunja shingo zao kila mmoja, jambo lililo wafanya mateka walio fugiwa kwenye hizi maabusu kushangaa.

“Monica nipe ripoti?”

“Tumesha vifika ndani ya mji, tupo karibu na mji huu. Tunasubiria amri yako”

“Sasa hivi nina wafungua mateka hawa. Nahitaji kusafishiwa njia, mumeweza kuziona helicopter zao?”

“Ndio”

“Hizo hizo tutazitumia?”

“Mateka wapo wangapi?”

“Mmmm kama ishirin na nane hivi”

“Sawa watatosha kwenye helicopter mbili”

Nikaanza kufungua magati haya huku nikiwaomba mateka hawa kukaa kimya kwani nipo hapa kwa ajili ya kuokoa maisha yao.

Nilipo maliza kufunguia mateka wote, nikachukua bunduki yangu pamoja na bunduki nyingine ya moja ya wanajeshi nilio wau.

“Nani anaweza kutumia bunduki?”

Mzee mmoja akanyoosha mkono. Nipo msogelea karibu nikagundua kwamba ndio balozi wa Pakistani nchini humu Syria.

“Chukua bunduki ya mmoja wa wanajeshi hao.”

Mzee huyo akatii na wanaume wengine wawili wenye asili ya Uingereza wakachukua bundiki mbili zilizo salia.

“Wanao jiweza, wasaidieni wasio jiweza”

“Sawa sawa”

Nikatangulia mbele na kuanza kupitia njia za siri kwa kufata ramani ya jengo hili.

“Profesa unanisikia?”

“Ndio ninakusikia Randy”

“Tunahitaji helicopter mbili?”

“Tayari kuna helicopter mbili zipo katika kiwanja chao. Hiyo njia munayo pita mutatokea katika uwanja huo wa helicopter”

“Nimekupata. Monica nipo ripoti?”

“Kila kitu kipo kwenye mstari tupo kwenye kiwanja hichi wanajeshi wote tumewaangusha chini”

“Safi, jamani tujitahidini”

Nilizungumza huku nikiongeza mwendo. Tukafika sehemu ya kotoke katika njia hii ambayo ipo chini ya ardhi. Nikamkuta Monica akiwa na wanajeshi wengine watatu ambao ni rafiki zangu. Tukawaingiza mateka wote ndani ya helicopter hizi na taratibu zikaanza kuwashwa huku Monica na Victor wakiwa ndio marubani wetu katika hizi helicopter.

“Ohoo Mungu watu kuna watu wanatufwata”

Nilizungumza mara baada ya kuona kundi kubwa la wanajeshi wakitokea kwenye njia ambayo tulikuwa tumepita hapo awali. Taratibu helicopter hizi zilisha anza kupaa angani.

“Professa nini unaweza kufanya?”

“Subiri mara moja”

Baada ya helicopter hizi kufika juu sana, nikaanza kushuhudia baadhi ya helicopter zilizo baki katika eneo hili zikilipuka. Baadhi ya majengo hususani jengo lao kuu nalo likaanza kutitia ardhini.

“Ni nini umefanya professa?”

“Ni mabomu yao ndio yamewaangamiza wenyewe”

Nikajikuta nikiungana na mateka hawa, kushangilia juu ya ushindi tulio weza kuupata.

“General kazi imekamilika, mateka wote wapo salama”

“Kazi nzuri sana Tarique, nina waandalia ardhi ya kutua”

“Tunashukuru”

Monica akaninyooshe dole gumba kwani kazi tulio kuwa tunahisi kwamba inaweza kuwa ngumu sana kwa upande wetu imetuwia urahisi tena wa muda mfupi sana. Tukafika katika kambi ya jeshi hili la Uingereza na taratibu tukatua katika kiwanja cha helicopter, tukakuta wanajeshi wengi pamoja na madaktari wa hapa jeshini wakiwa tayari wamesha jiandaa kutupokea. Tukasaidiana na madaktari kuwashusha mateka wenye hali mbaya ya kiafya.

“Hongera sana kijana”

Balozi wa Pakistani nchini hapa Syria alizungumza huku akinipa mkono.

“Nashukuru, ila ukishapata matibabu, serikali yako inakuhitaji. Ilinituma niweze kuifanya hii kazi niliyo ifanya hivi leo”

“Ohoo asante sana kijana”

“Nashukuru”

General Bechkam akanifwata sehemu nilipo simama na kunipa mkono wa hongera kwa kazi nzuri ambayo nimeweza kuifanya. Nikamuona Henderson akiwa ana shangaa shangaa kwani hii oparesheni hakuweza kuifahamu na alitambua kwamba kazi hiyo inaweza kufanyika katika siku iliyo fwata.

“Vijana tumerudi kama tulivyo general, hakuna majeruhi”

“Safi sana. Wewe ni genius kama baba yako kwani mtu mmoja unaweza kufanya mambo makubwa sana. Kesho nitakupatia zawadi yako”

“Nashukuru sana muheshimiwa”

Baada ya kumaliza kuzungumza na jeneral, Monica akanifwata kwa haraka na kunikumbatia kwa nguvu sana huku machozi yakimlenga lenga.

“Asante sana Tarique”

“Asante ya nini tena?”

“Nimepata promosheni, tutapandishwa vyeo kesho na mimi nitakuwa Capteni”

“Safi sana”

Taratibu Monica akaniachia mwilini mwangu mara baada ya muona Henderson akija katika eneo hili huku uso wake ukionyesha dhairi kwamba hana furaha na sisi. Akasimama mbele yetu huku akitutazama kwa hasira sana.

“Ahaa umeona ni vyema kuichukua nafasi yangu si ndio?”

Henderson aliniuliza huku akiwa amenikazia machoa, nikatabasamu kidogo kisha nikamvurumishia gumi moja zito liililo tua shavuni mwake hadi akapepesuka na kuanguka chini, jambo lililo wafanya watu wote waliopo katika kiwanja hichi che helicopter kushangaa kwa tukio hilo.



“Ni kwaajili ya wanajeshi ulio wapoteza kwa ujinga wako”

Nilizungumza huku nikiwa nimemuinamia Henderson. Nikaondoka eneo hili na moja kwa moja nikaelekea katika chumba changu cha kulala. Taratibu nikaufungua mlango wangu na kumkuta Victoria akiwa amepiga magoti chini huku kichwa chake akiwa amekiinamisha kwenye biblia ndogo. Nikamsikiliza jinsi anavyo omba huku akilia sana. Maombi yote ni ya kuniwezesha mimi kwenda kuifanya kazi niliyo kuwa nimepanga kwenda kuifanya na kurudi nikiwa salama. Nikatamani kumuita, ila nikajikuta nikisita.

“Amen”

Victoria alizungumza huku akinyanyua uso wake taratibu. Tukatazamana, macho yake yamejaa wekundu utokanao na kulia kwa muda mrefu. Taratibu nikamsogelea na kumnyanyua, nikamkumbatia kwa nguvu huku machozi nami yakinimwagika kwani kwenye maisha yangu sijawahi kupata mwanamke ambaye anapiga magoti mbele za Mungu na kuomba kwa ajili yangu. Kwani hata mama yangu mzazi mwenyewe hanipendi na amekuwa ni mtu wa kugombana nami kutokana na tamaa zake za kuweza kupata mtoto wa kike na baahati mbaya akanipata mimi.

“Umerudi mume wangu. Ohoo asante Mungu, asante Mungu”

Victoria alizungumza huku akiendelea kuzungumza kwa hisia kali sana.

“Asante mke wangu kwa maombi yako”

Taratibu nikakivua kinasa sauti changu nilcho kichomeka kwenye sikio langu la kushoto na nikakikanyaga kwa kukiponda ponda kwa maana mazungumzo yangu na Victoria yote yanasikiwa na watu walio vaa kinasa sauti hichi akiwemo Professa nchini Tanzania. Victoria akaanza kuniyonya mdomo wangu kwa kasi, nikamnyanyua na tukaendele kunyonyona na mwishowe nikamlaza kitandani, ndani ya muda mfupi tukazama kwenye dibwi zitola mapenzi.

***

Sauti ya mlango wa chumba changu kugongwa ikanistua. Nikanyanyuka na kuufungua, nikakutana na mlinzi wa general.

“Habari ya asubuhi”

“Salama”

“Mkuu anakuhitaji ofisini kwake”

“Sawa sawa naomba unisubirie dakika moja”

Nikafunga mlango na kurudi kitandani, nikambusu Victoria shavuni mwake.

“Ninakwenda kumuona general”

“Sawa mume wangu”

Nikavaa suruali yangu ya jeshi pamoja na tisheti kisha nivaa buti za jeshi na kutoka chumbani humu. Tukaingia kwenye gari la uwazi mdogo kisha tukaianza safari ya kueleeka ofisini kwa general Bechkam. Ikatuchukua kama dakika kumi hivi kufika kwa maana eneo hilo la kambi ni kubwa sana na ofisi zipo mbali na sehemu tunapo ishia wanajeshi.

“Randy habari yako bwana”

“Salama mkuu habari ya asubuhi”

“Salama, kaa hapo. Kuna mtu nahitaji uweze kuzungumza naye”

Nikaka kwenye moja ya kiti na general Beckham akaanza kuminya minya compture yake kisha akaigeuzia kwangu. Sikuamini macho yangu mara baada ya kumuona waziri mkuu wa nchi ya Uingereza.

“Habari yako Randy”

“Salama mkuu”

“Hongera sana tena sana kwa kazi nzuri ambayo umeweza kuifanya. Hakika umelipa taifa letu sifa kubwa sana na sasa hivi ninavyo kuambia ninapokea simu nyingi sana kutoka mataifa makubwa wakihitaji kupata mbinu tulizo tumia kuhakikisha kwamba tunawaokoa raia wetu walio kuwa wametekwa na kundi la ISLAMI STATE.”

Waziri mkuu alizungumza kwa furaha kubwa sana.

“Nashukuru sana mkuu, ni jukumu langu”

“Kweli kweli. General aliniambia juu ya sura yako hiyo na vitu walivyo kufanyia. Tayari nimesha andaa hospitali, wataalamu bingwa na watakuja kuhakikisha kwamba unarudi katika sura yako halisi na sauti yako halisi”

“Ninashukuru sana”

“Jambo jenginie, tupo tayari kukupa ofa ya kufanya kazi yoyote katika kitengo cha ulinzi katika nchi hii ya Uingereza. Ofa hii itakupatia mshahara mkubwa kuliko watumishi wote wa vitengo vya ulinzi hivyo ni jukumu lako kuweza kuchagua”

“Nashukuru snaa mkuu, nitahakikisha kwamba nina lifanyia kazi hilo swala na ninashukuru sana kwa ukarimu wenu”

“Karibu sana Uingereza”

“Nashukuru sana mkuu. Ila nina ombi moja”

“Omba tu”

“Mpenzi wangu wa sasa Victoria ni mjamzito, anafanya kazi katika shirika la Al-Jazira. Ninaomba mumsaidie aweze kupata ruhusa katika shirika hilo kwa maana mazingira yake ya kazi ya huku Syria sio mazuri”

“Ohoo hongera sana kwanza kwa kuonyesha uwanaume. Nikuahidi jambo ni lazima hilo swala nilifwatile sasa hivi na ikiwezekana tutavunja mkataba wake na kuna mashirika kama BBC hapa Uingereza anaweza kufanya kazi baada ya kujifungua”

“Asante sana muheshimiwa”

“Niwatakie asubuhi njema”

“Tunashukuru sana waziri mkuu”

Mazungumzo yangu na waziri mkuu yakaishia hapa.

“Nashukuru sana general”

Nilizungumza huku nikimpa general Beckham mkono wa shukrani.

“Karibu sana kijana wangu. Pia hongera sana kwa kutarajia kupata mtoto”

“Ninashukuru”

“Utaondoka kuelekea Uingereza kwa private jate leo usiku na moja kwa moja utapokelewa na msaidizi wa waziri mkuu na moja kwa moja utapelekwa hadi ofisini kwake.”

“Nashukuru sana, ila nina ombi moja kwako”

“Ombi gani?”

“Ninaomba niweze kumuoa Victoria katika kambi yako hii. Ila niahitaji nimfanyie suprize”

“Hilo limepita kijana wangu, nipo tayari kuhakikisha ndoa yako ina kamilika na pia kuna sherehe za kuwapandisha vyeo wanajeshi wako ulio kwenda nao kwenye hii oparesheni, nina imani baada ya kumaliza kuwavisha vyeo, nitakupa nafasi ya kuweza kufunga naye ndoa”

“Sawa mkuu”

“Kuna mchungaji wa jeshi unaweza kuzungumza naye”

“Sawa sawa”

Nikaagana na jeneral, moja kwa moja moja nikaelekea katika kanisa lililopo hapa kambini. Nikazungumza naye kuhusiana swala la ndoa yangu.

“Pete unazo?”

“Mmm hapana ila ninaweza kutumia kitu chochote ambacho kinaweza kuashiria ni pete kwetu”

“Kama?”

“Gundi ya saltape. Tunajifunga kwenye vidole vyetu”

“Hahaa, ni wazo zuri nenda kafanye hivyo”

“Nashukuru mchungaji”

Nikarudi chumbani kwangu na kumkuta Victoria akizungumza na simu. Nikakaa pembeni yake huku nikimtazama usoni mwake.

“Shukrani mkuu”

Victoria alizungumza kwa tabasamu na kukata simu yake, akanikumbatia kwa furaha sana ambayo sitambui furaha hiyo imetokana na nini.

“Vipi?”

“Wakuu wangu wamenipatia likizo ya mwaka mmoja na nusu, ndio nitarudi kazini”

“Weee”

“Haki ya Mungu vile na nilisahau kukuambia jana mchana Omary aliondoka na kurudi Pakistani, huku atakuja muandishi mwengine kuchukua nafasi yangu”

“Ni jambo zuri, nina imani kwamba utaielea vizuri mimba ya mwanangu”

“Kweli mume wangu”

Siku nzima hii nikashinda chumbani na Victoria huku tukipanga mipango mingi sana kuhusiana na maisha yetu ya hapo baade. Muda wa sherehe za kuwapandisha vyeo wanajeshi wanne ambao nilishirikiana nao kwenye hii kazi ukawadia. Sherehe za kijeshi siku zote huwa zinakwenda na muda. Baada ya Monica na wezake kuvishwa vyeo vipya nikaitwa na General, nikafika jukwaani, nikampigia sautuli huku nikiwa nimevalia mavazi ya jeshi hili la Uingereza ambazo zimenikaa vizuri sana. Akanikabidhi kipaza sauti na taratibu nikawageukia wanajeshi wengi walio kusanyika katika ukumbi huu mkubwa.

“Habari zenu”

Wakaniitikia wanajeshi wote. Nikamtazama Victoria sehemu alipo kaa, akanikonyeza na kunifanya nitabasamu kidogo.

“Nina washukuru kwa kunikaribisha hapa kambini kwenu, kusema kweli nina jisikia vizuri kwa muda huu wote nilio kuwa nanyi. Ninapenda kuwatambulisha shemeji yenu kwenu wote. Victoria ninakuomba mpenzi wangu upite mbele.”

Wanajeshi hawa wakaanza kushangilia kwa furaha. Victoria akanyanyuka kwenye kiti chake na kuanza kutembea hadi katika hili jukwaa.

“Nina imani kwamba mwanamke mzuri ni yule anaye ulinda mji wake kwa maombi na pia humlinda mume wake kwa maombi. Jana tuliingia katika mji ambao haukuwa salama kabisa kwa maisha yetu. Tulihisi ni kwa akili zetu au juhudi zetu ndio zimetusaidia kuweza kufanya kazi ile, ila laa ni kwa maombi. Jana huyu mwanamke alisali sijui ni kwa muda gani ila nilirudi nikamkuta akiwa ana Sali, inaonyesha ni jinsi gani ambavyo alimtanguliza Mungu katika lile ambalo tulikuwa tunalifanya”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu. Ukumbi mzima upo kimya ukinisikiliza. Nikampa ishara mchungaji na taratibu akaapanda jukwaani.

“Victoria upo tayari kuwa mke wangu wa ndoa hadi mwisho wa maisha yetu?”

Nilizungumza huku nikiwa nimepiga goti moja chini. Victoria huku machozi yakimwagika akanijibu kwa sauti ya furaha na kuufanya wanajeshi wote kujawa na furaha kubwa sana. Nikanyanyuka na kumkumbatia Victoria kwa nguvu, nikamkabidhi mchungaji kipaza sauti. Akaanzisha ibada fupi ya ndoa, hii na uzuri wa wanajeshi wote huwa wanaheshimu sala.

“Unaweza kumvisha pete bibie”

taratibu nikaingiza mkono wangu wa kulia mfukoni na kutoa gundi mbili za saltape. Nikamkabidhi Victoria kipande chake na kumfanya ajawe na furaha kubwa sana kwani pete hizi ni zaidi ya suprize kwake. Nikamfunga taratibu gundi hii kwenye kidole chake cha shahada kisha na yeye akafanya hivyo kwenye kidole changu cha shahada, kisha mchungaji akatutangaza kuwa sisi ni mke na mume kuanzia sasa. Furaha ikatawala kwa wanajeshi wengi sana, general akatupongeza kwa hatua hii niliyo fikia. Wanajeshi wengi wakatupongeza sana.

“Hongereni sana”

“Tunashukuru”

General akanipatia bahasha ya kaki.

“Hii ni zawadi ambayo nilikuahidi kukupatia”

“Nashukuru sana”

“Ndege imesha fika na baada ya msaa mawili munaweza kuanza safari nyote wawili”

“Sawa mkuu”

Tukaelekea chumbani kwetu mimi na Victoria na kuanza kukusanya nguo zetu. Nikaifungua bahasha hii na kukuta ni cheki ya dola za kimarekani milioni mbili na nusu, na zimetolewa na jeshi hili ikiwa kama zawadi ya kazi ambayo nimeifanya. Furahaha ikazidi kuongezeka kwetu kwani tuna pesa ya kuanzia maisha.

“Mume wangu natamani kwenda kwenu Tanzania”

“Usijali nikitoka hospitali Uingereza, tunaelekea Tanzania ukamuone baba yangu”

“Kweli?”

“Ndio mke wangu”

Muda wa safari ukawadia, nikaagana na Monica na wezake pamoja na general Beckaham kisha tukaingia kwenye ndege hii na safari ya kiondoka kambini hapa ikaanza. Safari ya kutoka Syria bara la Asia, kulekea Uingereza bara la Ulaya ikatugarimu msaa mengi kiasi.

“Wazazi wangu watafurahi sana kuweza kuona mtoto wao nimepata mwanaume”

“Kweli?”

“Ndio”

“Hawato nikataa kwa sasabu mimi ni muafrika?”

“Hapana, wazazi wangu hawana ujinga wa ubaguzi wa rangi na isitoshe tumesha kuwa kuwa mume na mke. Kusema kweli hizi pete nimezipenda sana ni ubunifu ambao sikuutarajia siku hata moja mpenzi wangu”

“Nashukuru mke wangu”

Majira ya saa nane mchana tukafika nchini Uingereza na ndege ikatua katika kiwanja cha Heathrow Airport. Tukapokelewa na sekretari wa waziri mkuu wa Uingereza na moja kwa moja tukapelekwa hadi katika ofisi zake na akatupokea kwa furaha kubwa sana.

“Jana nilitumiwa picha za harusi yenu hakika mulipendeza na munapendezana sana”

“Tunashukuru muheshimiwa”

“Madktari wapo tayari kwa kazi, hivyo kama upo tayari hivi sasa unaweza kutumia helicopter ya hapa ofisini kwangu kupelekwa hospitalini”

Nikamtazama Victoria na akatingisha kichwa kwamba nikubaliane na waziri mkuu. Tukaagana na waziri mkuu kisha tukanda helicopter hadi katika hospitali ya kijeshi iitwayo Queen Alexandra's. Nikapokelewa hospitalini na madaktari.

“Mke wangu nahisi kuogopa kwa hili”

“Kwa nini unaogopa?”

“Nina wasiwasi na huu upasuaji ninao kwenda kufanyiwa?”

Nilizungumza huku jasho likinimwagika usoni mwangu, mapigo yangu ya moyo nayo yakazidi kunienda kasi kiasi cha kujikuta nikizidi kujawa na hisia mbaya juu ya hili linalo kwenda kujitokeza katika maisha yangu.



Taratibu Victoria akanikumbatia kwa hisia kali sana. Nikalihisi joto la Victoria kwa hisia kali sana.

“Utakuwa salama mume wangu. Usiwe na wasiwasi”

Nikamatazama Victoria huku machozi yakinilenga lenge. Daktari mmoja akanifwata na kuniambai kwamba muda wa maadalizi umewadia. Victoria akanibusu kwa mara nyingine kisha nikamuachia. Nikaongozana na daktari huyu hadi kwenye moja ya chumba. Wakaanza kunifanyia vipimo vya mwili mzima, kisha baada ya vipimo hivyo nikabadilisha nguo nilizo zivaa na kuvaa nguo wanazo falishwa watu pale wanapo pelekwa kwenye chumba cha upasuaji. Nikatolewa katika chumba hichi na kuingizwa katika chumba cha upasuaji.

“Vuta pumzi, kisha ishushe taratibu”

Daktari mmojaa liniambia mara baada ya kuniona nina wasiwasi mwingi sana. Nikafanya kama alivyo nieleza, kisha akanichoma sindano ambayo kadri sekunde zilivyo zidi kusonga mbele ndivyo jinsi nilivyo jikuta nikipatwa na usingizi mzito ulio nipelekea kulala fofofo.

***

Mlio wa sauti ya kuhesabia mapigo ya moyo, taratibu ikanifanya niyafumbue macho yangu. Ukungu mwingi ulio tawala kwenye macho yangu, ukanifanya nisiweze kuona vizuri kitu kinacho endelea katika eneo hili nilipo.

“Randy”

Niliisikia sauti ya Victoria akiniita kwa upole sana.

“Mmmmm”

“Umeamka mume wangu”

“Yaaa, nipo wapi?”

“Bado upo hospitali mume wangu”

Nikashusha pumzi taratibu, macho yangu yakaanza kuona vizuri, nikamtazama Victoria aliye kaa pembeni yangu. Akanishika mkono wangu wa kulia huku akitabasamu. Sauti yangu imebadilika na kurudi katika hali hali ya kawaida.

“Madaktari wamezungumzaje?”

“Wamesema baada ya wiki mbili hivi watakufungua bandeji zilizpo usoni mwako”

“Vipi oparesheni yao imekwenda vizuri?”

“Ndio wameniambia kwamba oparesheni imakamilika kwa asilimia mia moja”

“Ohoo asanye Mungu”

“Nina hamu sana ya kuina sura yako ya uhalisia”

“Usijali utaiona mpenzi wangu”

Siku zikazidi kwenda huku afya yangu ikizidi kuimarika na madaktari wakizini kunihakikishia kwamba sumu yote ambayo nilikuwa nimewekewa mwilini mwangu na kunifanya niwe mtu wa kuishi kwa kutegemea sindano kama jinsi Farida alivyo kuwa akinieleza. Siku ya kutolewa bandeji hii ilivyo fungwa usoni mwangu ikawadia. Madaktari wawili wakaanza kazi ya kukata bandeji hii kwa umakini sana na baada ya dakika kadhaa ikaisha.

“Waoooo”

Nesi mmoja aliyomo ndani ya hichi chamba cha matibabu alijikuta akizungumza kwa furaha huku akinitazama usoni mwangu.

“Naomba kioo”

Daktari alizungumza na nesi akamkabidhi kioo. Taratibu akanikabidhi, nikakitazama kioo hichi kisha nikakiweka usawa wa uso wangu. Nikajikuta nikipatwa na kigugumizi cha furaha, kwani sura yangu ambayo sikutarajia kama inaweza kurudi, imerudi katika ubora wake.

“Hiyo ndio sura yako halisi, tumejitahidi kadri ya uwezo wetu na tumefanikiwa kuhakikisha kwamba umerudi kuwa kama kawaida. Sumu iliyokuwa mwilini mwako kwa sasa imekwisha, unaweza kiishia maisha yako ya kawaida tu”

“Nashukuru sana madaktari na Mungu awabariki jamani”

Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu. Nikatoka karitika chumba hichi na kuingia katika chumba nilicho kuwa nimelazwa. Victoria akasimama kwa haraka na kunitazama kwa mshangao mkubwa. Akanikimbilia kwa haraka na kunikumbatia kwa nguvu sana huku akilia kwa furaha.

“Umezidi kuwa mzuri mume wangu”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu vile”

“Nashukuru mke wangu”

Tukaa hospitalini hapa kwa siku mbili na tukaruhusiwa na madaktari huku wakinihakikishia kwamba sinto patwa na tatizo la aina yoyote katika swala la kiafya. Tukachukuliwa na mmoja wa wasaidizi wa waziri mkuu. Tukapelekwa hadi kwenye moja ya hoteli yenye hadhi ya nyota tano.

“Mutakaa hapa kwa muda ambao mutahitaji nyinyi wenyewe na leo waziri mkuu atakuja kuwaona hapa”

“Tunashukuru sana”

Msaidizi huyu wa waziri mkuu akaondoka, katika chumba chetu tulicho kabidhiwa. Kwaharaka Victoria akanisogelea na kunikumbatia kwa nguvu, tukaanza kunyonyana midomo yetu huku tukianza kuvuana nguo zetu. Ndani ya muda mchache tukajikuta nguo zetu tukiwa tumezitupilia mbali, nikamlaza Victoria kitandani na taratibu nikaanza kumburudisha mke wangu.

“Leo mbona unafanya taratibu mume wangu”

“Si una mtoto mke wangu au unahitaji niongeze kasi”

“Ongeza bwana, nina hamu na wewe”

“Kweli?”

“Ndio Randy”

Victoria alizungumza huku akiking’ang’ania kiuno changu vizuri. Nikaongeza kasi ya kutafuna kitumbua chake, hadi ikafikia hatua machozi yakaanza kumwagika usoni mwake.

“Mbona unalia mke wangu?”

Nilizungumza huku nikihema sana.

“Raha mpenzi wangu”

“Kweli?”

“Ndio”

Hadi tunamaliza mtanange huu, kila mmoja ana hema mithili ya wana riadha walio kimbia kwa kasi nyingi.

“Nakupenda sana Randy”

“Nakupenda pia mke wangu”

Muda wa jioni waziri mkuu akafika katika eneo, tukakutana naye kwenye moja ya chumba kwa ajili ya kupata chakula cha usiku.

“Mumeendana sana”

“Tunashukuru sana muheshimiwa.”

Victoria alajibu huku akiwa amejawa na furaha sana. Tukaendelea kupata chakula cha usiku huku tukipiga story nyingi sana na ombi kubwa la waziri mkuu ni kukubali kuweza kupewa uraia wa nchi hii ya Uingereza ili niweze kufanya kazi katika sekta ya usalama ya nchi hii.

“Ninaomba muda hilo jambo niweze kujadili na mke wangu hapa kisha nitawapatia jibu”

“Sawa muda ni wewe. Ila kuna jambo jengine ninaomba uweze kunisaidia”

“Jambo gani?”

“Ninahitaji kwenda nyumbani Tanzania, nahitaji kwenda kumuona mama yangu”

Ilibidi niongopee.

“Sawa, kesho yule msaidizi wangu atawaletea hati za kusafiria pamoja na tiketi za ndege”

“Tunashukuru sana muheshiwa”

Tukaoagana na waziri mkuu. Siku iliyo fwata, tukaletewa tiketi za ndege pamoja na passport.

“Ndege itaondoka leo usiku, unanaje tukaenda kununua baadhi ya zawadi tukampelekea baba?”

“Mmm sidhani kama baba yangu ni mtu wa zawadi sana”

“Kweli?”

“Ndio”

“Twende basi tukanunue nguo zetu, na isitoshe nitapenda kuzalia nchini Tanzania.”

“Sawa mke wangu”

Kutokana tulikabidhiwa cheki, ikatulazimu twende kwenye benk husika, kutokana Victoria ni mwenyeji katika nchi, hatukuweza kupata usumbufu mkubwa katika kufungua akaunti ya pamoja na kuingiza kiasi hichi cha pesa ambacho ni kikubwa sana. Tukanunua manunuzi mengi sana hususani nguo za mtoto ambaye tunakwenda kumpata.

“Habari”

Nilisikia sauti ya kike nyuma yangu huku nikishikwa bega, nikageuka nyuma, nikastuka kidogo mara ya kumuona Jojo akiwa amesimama huku amejawa na tabasamu.

“Sister vipi?”

“Safi asante Mungu nimekupata”

Nikamtazama Victori anaye endelea kuchagua chagua nguo.

“Professa aliniambia kwamba una nitafuta?”

“Ndio, baba alinipa jukumu la kukutafuta, nimezunguka nchi nyingi sana yaani hadi nikafikia hatua ya kukata tamaa na hivi leo ninaondoka kuelekea nchini Tanzania”

“Ohoo hata sisi tunaondoka”

“Sisi!! Wangapi?”

“Nimeoa dada yangu. Yule binti pale kwa sasa ni mke wangu”

“Weee unataka kuniambia yule ni wifi yangu. Alafu mbona ni mjamzito?”

“Umejuaje?”

“Nimejua tu, ana mtoto wa kike tumboni mwake”

“Mtoto wa kike!!?”

“Ndio niamini mimi, kama mumenunua nguo za kiume basi badilisheni”

Victoria akatufwata sehemu nilipo simama na Jojo.

“Habari wifi”

Jojo akamchangamkia sana Victoria hadi mwenyewe akashangaa sana.

“Victoria kutana na dada yangu. Anaitwa Jojo”

“Dada!!”

“Yaa mimi ninaitwa Jojo Dany huyu ni Randy Dany. Mimi wa kwanza na yeye wa pili”

“Waooo ila Randy hakuwahi kunieleza kuhusiana na dada yake”

“Nilikiwa ninamtafuta dogo huyu, leo tunakwenda Tanzania pamoja. Nyinyi mumekata tiketi kwenye ndege gani?”

“KLM”

“Hata mimi pia nimekata huko huko, ndege yangu inaondoka saa tano usiku”

“Hata sisi”

“Basi tupo kwenye ndege moja”

Tukamaliza kufanya manunuzi huku nikimuamini Jojo kwamba nitapata mtoto wa kike. Tukaelekea hotelini kwa Jojo, akachukua kila kitu chake kisha tukaelekea hotelini kwetu. Majira ya saa tatu usiku tukelekea uwanja wa ndege. Victoria na Jojo wakazoeana kwa haraka sana na kuzungumza mambo mengi kana kwamba ni watu wanao fahamiana kwa miaka mingi sana.

Tukaingia kwenye ndege na uzuri wa ndege hii upande mmoja una siti tatu na mwengine una siti mbili na uzuri daraja tulilo kaa ni la watu maalumu hususani matajiri wakubwa. Tukaka kwenye siti hizi tatu, huku Victoria na Jojo wakikaa karibu

“Inabidi mukifika nchini Tanzania mufunge ndoa nyingine”

“Tumefunga ndoa ya dini?”

“Ndio lazima mufanye sherehe, kwa maana sisi ndugu zako hatukuwepo”

“Ila kweli Randy, pia inabidi niwaalike wazazi wangu na ndugu zangu. Pia marafiki zangu niweze kuwaalika”

“Mmm sawa tutaangalia itakavyo kuwa”

Baada ya masaa mengi angani, tukafika nchini jijini Dar es Salaam nchini Tanzania.

“Nahisi joto mume wangu”

Victoria alininong’oneza tukiwa tunatoka nje ya uwanja huu wa ndege.

“Vumilia hapa ni Dar es Salaam, ila kule alipo baba yangu kuna baridi kama Uingereza tu”

“Ahaa, kwa hiyo kuna maeneo yana joto kali na mengine hayana joto jali?”

“Ndio maam”

Jojo akafungua mlango wa moja ya gari aina ya Mercedes-Benz GLA.

“Hii gari ni yako?”

Nilimuuliza Jojo mara baada ya kuingia ndani ya gari hili?”

“Ndio, nililiacha hapa uwanja wa ndege miezi kadhaa iliyo pita. Huwa kuna taratibu za kulipia kwa siku kila wanavyo kuwa wakililinda”

“Ahaa…sawa sawa”

Tukaanza safari ya kuelekea sehemu anapo ishia Dany.

“Hivi umewasiliana na baba na ukafahamu ni sehemu gani alipo?”

“Hapana sijawasiliana naye, ila sidhani kama anaweza kuwa nje na nyumbani”

“Sawa, wale vijana bado wapo?”

“Sijawaulizia, ila nahisi watakuwa bado wapo”

Tukafika nyumbani majira ya saa mbii usiku. Tukapokelewa na Dany pamoja na Camila, wakatukaribisha kwa furaha sana japo hatukuwai kuwaeleza kama tunakuja nyumbani. Camila akatuandalia chakula cha usiku na kwa pamoja tukajumuika mezani ili kweza kuyaweka matumbo yetu sawa. Hapo ndipo nilipo pata nafasi nzuri ya kuweza kumtambulisha Victoria kwa Dany.

“Yaani siamini macho yangu kukuona Dany. Nilizoea kukusoma historia yako kwenye vitabu tu na nikahisi labda kwa sasa utakuwa ni babu sana kumbe bado kijana”

Victoria alizungumza kwa furaha kubwa sana.

“Yaa bado kijana”

“Umemsoma kwenye vitabu, kwani Dany historia yako imeandikwa kwenye vitabu?”

Camila aliuliza huku akimtazama Dany usoni mwake.

“Ndio”

“Imeandikwa kama nani?”

Swali la Camila likatufanya sote tumtazame kwa maana endapo atajua kwamba mtu aliye kaa naye hapa alikuwa ni gaidi hatujua atajisikiaje.



Tukiwa katika hali ya kumtazama Camila, simu yake ikaita, akaitoa mfukoni mwa sweta alilo livaa, akaitazama kwa muda kisha akaomba sahamani na kuondoka eneo hili kwend akuipokea simu yake.

“Kwani hukuwahi kumueleza huyu binti chochote?”

Nilimuuliza Dany huku nikimtazama usoni mwake.

“Yaa sikuwahi kumueleza chochote”

“Ila ni vizuri kwa yeye kuto kujua uhalisia wako. Kumbuka kwamba baba yake ni raisi wa Ujerumani sasa”

Jojo alitilia mkazo jambo hilo.

Tukamuona Camila akirudi eneo hili huku sura yake ikiwa haina furaha kabisa.

“Vipi kuna tatizo limetokea?”

Dany akawa mtu wa kwanza kumuuliza swali

“Ndio, mama wa mume wangu amelazwa hospitalini na anahitaji turudi nchini Ujerumani haraka iwezekanavyo”

Habari hii ikatustua sote, kwani ni habari ambayo hatukuitegemea kuweza kuisikia kwa muda kama huu ambao familia imatawaliwa na furaha hususani mimi. Dany akasimama na wakaondoka na Camila eneo hili na wakaelekea gorofani.

“Jamani pole yake”

Victoria alizungumza kwa sauti ya upole na unyonge sana.

“Ahaa kuumwa hakunaga taarifa, kuna tokea tu”

“Ni kweli wifi. Alafu nimesikia umesema kwamba baba yake ni raisi wa Ujerumani?”

“Ndio ni huyu raisi mpya wa Ujerumani ambaye sijui ameapishwa au bado”

“Unataka kuniambia kwamba mume wake ni yule Ethan mchezaji mpira?”

“Ndio, ni yule mchezaji mpira na yupo Dar es Salaam, ana mambo ya kibiashara ana yashuhulikia”

“Aisee nimepata bahati ya kuonana na watu ambao kwenye maisha yangu nilihisi ni ndoto tu kuwaona, japo nilikuwa muandishi wa habari ila sikujua kwamba nitakuja kuwaona kwa maana kule nilipo kuwa nina fanyia kazi si sehemu salama kabisa”

Victoria alizungumza kwa furaha. Dany akashuka eneo tulilopo.

“Jojo gari mulilo kuja nalo lina mafuta ya kutosha?”

“Hapana sidhani kama yatawafikisha hata Mombo”

“Sawa, ninakwenda jijini Dar es Salaam. Mkwe kesho Mungu akibariki nitarudi na tutazungumza mambo mengi sana”

“Sawa baba”

Dany akambusu Victoria shavuni mwake kisha akaelekea chumbani kwake. Camila akashuka huku akiwa amebeba mabegi yake ya nguo, akayaweka sebleni na kutufwata sehemu hii tulipo kaa.

“Nilitamani sana kuweza kuendelea kukaa hapa na nyinyi ikiwa mumerudi na kujumuika nasi. Ila sina budi zaidi ya kuwaambia kwamba kwaherini. Ninawapenda sana nyinyi watu, mumekuwa zaidi ya familia kwenye maisha yangu”

Camila alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Jojo akasimama na kutufanya sisi na Victoria kusimama. Wakakumbatia na Jojo huku wote wakilia sana.

“Usijali hii ni dunia tutakutana tena na tena, ipo siku tutakuja nchini Ujerumani kuwaembelea wewe na mume wako”

Jojo alizungumza huku wakiwa bado wamekumbatiana.

“Karibuni sana. Randy hakikisha una muoa Victoria sawa”

“Sawa nimesha muoa na pete zetu ni hizi hapa”

Nikamuonyesha Camila pete zetu na kumfanya ajawe na tabasamu la furaha japo dhairi anaonekana kujaw ana uchungu wa kutokutamani kuondoka katika eneo hili.

“Mumependeza”

Tukakumbatiana kidogo na Camila, kisha akahamia kwa Victoria na kumkumbatia kidogo. Baada ya Dany kutoka chumbani kwake akiwa amebadilisha nguo, kwa pamoja ikatubidi tuweze kutoka ndani humu na nikamsaidia Camila kubeba mabegi haya. Dany akazunguka nyuma ya jumba ili ambapo ndipo tunahifadhi magari yetu ya kifahari.

“Hakika nimeyazoea haya mazingira. Nitayakumbuka sana kwa kweli”

“Usijali, siku moja moja uwe unakuja kututuembelea”

“Nitakuja kwa kweli.”

Dany akasimamisha gari aina ya Lamborghini Centenario ambayo ndio mara yangu ya kwanza kuliona kwenye magari yetu.

“Hii gari ni mpya?”

Nilimuuliza Dany huku nikimtazama usoni mwake, mara baada ya kushuka ndani ya gari.

“Yaa niliinunua wiki iliyo pita”

“Hivi kwa barabara za hapa Tanzania na matuta yote kweli hivi ina tembea?”

“Vizuri sana, uzuri ina nyanyuka”

Dany alizungumza huku akifugua buti ya gari hii, akaingiza mabegi ya Camila.

“Hakikisha munakuwa makini na hii nyumba”

“Sawa sawa”

Wakaingia kwenye gari na kuondoka eneo hili. Tukawasindikiza kwa macho, hadi walipo pote kwenye mboni za macho yetu, tukarudi ndani na kuendelea kupata chakula cha usiku.

“Jamani mimi ninakwenda kulala”

Jojo alizungumza mara baada ya kumaliza kula.

“Sawa wifi yangu”

“Muwe na usiku mwema”

“Nawe pia”

Tukabaki peke yetu. Mara baada ya kumaliza kupata chakula cha usiku, tukashirikiana kwa pamoja kuvitoa vyombo hivi na kuvipeleka jikoni. Tukaanza kuviosha taratibu.

“Hakika nimepapenda huku Randy”

“Kweli?”

“Haki ya Mugu vile, Camila ana haki ya kulengwa lengwa na machozi”

“Hii nyumba baba yangu ameridhi kutoka kwa mama yake”

“Weee, nimekumbuka. Hii ndio nyumba ambayo nilisoma kwamba mama yake, dada yake anaye itwa, Edina sijui Diana, mpenzi wa Danya pamoja na mwanaye wa kwanza kabisa waliuwawa humu?”

“Nahisi ndio hivyo”

“Jamani, imebadilika sana, kwa maana kuna siku ilishambuliwa”

“Na nani?”

“Ngoja ni kumbuke kwa maana historia yake ni ndefu sana”

Tukamaliza kuoga na kuelekea chumbani kwetu ambapo tayari Camila alisha pafanyia usafi pamoja na kutuweka mabegi yetu. Tukavua nguo zetu na kuelekea bafuni, tukaoga kwa pamoja kisha tukarudi chumbani kwetu, nikamkumbatia Victoria kwa nguma huku taratibu nikiyatomasa maziwa yake. Hisia za mapenzi taratibu zikaanza kupanda katikati yetu. Victoria akanigeukia kisha akanisukumia kitandani. Taratibu akamshika jogoo wangu na kuanza kumchua chua kwa kiganja chake kilaini cha mkono wake wa kulia. Taratibu akaanza kumnyonya kwa utaalamu anao ufahamu yeye mwenyewe. Alipo hakikisha kwamba nipo tayari kwa kumpa haki yake anayo istahili, taratibu akamkalia jogoo wangu huku akiyafumba macho yake taratibu. Mtanange huu ukatawala zaidi ya dakika arobaini hivi na ukaishia kwa sisi sote kufika kileleni kwa pamoja. Taratibu Victoria akajilaza kifuani mwangu huku akihema sana kwani leo yeye ndio amekuwa mchezeshaji mkubwa wa mtanange huu.

“Ninafurahi kuwa mwanamke wa maisha yako”

“Kweli”

 ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG