Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

MY LIFE SEHEMU YA 9/10

 

 


 MY LIFE

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 9 KATI YA 10

 


Kwa namna moja moyoni mwangu, nikajihisi amani kubwa sana kusikia kwamba mtu huyo ni mwema na amesaidia askari. Ila shauku yangu kubwa ni kuweza kumfahamu kwamba ni nani. Tukafika katika sheli moja inayo itwa Lugoba, gari likasimama na tukatangaziwa tuna dakika tano za kila mtu kuweza kufanya haja yake. Mzee Mgoma akanyanyuka na mimi pia nikanyanyuka, tukaanza kupanga mstari wa kushuka kwani abiria ni wengi sana. Tukashuka kwenye basi hili na mzee huyu akaelekea kwenye vyoo vya wanaume.

Kwa uvaaji wangu, unawafanya watu wengi kushindwa kuwea kunifahamu, nikaangaza angaza huku na kule, nikaona ni bora ninunue maji ya kunywa. Nikaanza kutembea kuelekea kwenye eneo lenye mafriji makubwa yenye vijwaji, nikafungua moja ya friji na kuchukua chupa ya maji huku mkoba wangu nikiwa nimeushika vizuri, kwani huu mkoba ndio ushahidi wa kumsaidia mama mkwe kutoka mikononi mwa raisi.

Nikaifungua chumba hii ya maji huku nikitazama abiria abiri wanao shuka na kuingia kwenye mabasi mengine yaliyo simama kwenye hoteli hii.

“Hei dada kuna kikaratasi chako”

Dada mmoja alizungumza huku akinkabidhi kikaratasi cheupe kilicho fungwa vizuri. Nikataka kukifungua, ila ikanibidi niulize.

“Kimetokea wapi?”

“Kuna kaka amenipatia pale…………….”

Dada huyu akabaki akiwa ameduwaa, kwani kaka mwenyewe anaye hitaji kunionyesha kwenye sehemu ambayo alikuwepo, hayupo.

“Wapi?”

“Alikuwa amesimama pale na alinipa elfu kumi ya maji haya unayo tumeia na akasema kwamba ukihitaji kitu chochote uchukue kwa pesa hii aliyo nikabidhi.”

“Wewe ndio muhuduma wa hapa?”

“Ndio”

“Poa”

Nilizungumza huku nikiondoka na sikuhitaji kusimama katika eneo hili kwani watu tayari wamesha anza kunifahamu, kwa maana kama ni mtu ananilipia maji basi ujue amesha anza kulete hisia za kimapenzi. Nikaingia ndani ya basi, nikaka kwenye siti yangu, nikataka kukichana hichi kikaratasi, ila roho ikasita kidogo na kujikuta nikianza kukifungua. Nikakutana na muandiko mbovu ila unao someka vizuri, muandikaji wa hichi kibarua anaomba niweze kumcheki kwa namba yake aliyo iandika hapa ndani. Nikatabasamu kwa dharau kidogo, kwani sijui huyu mtu amenichukuliaje, nikayatazama maji haya niliyo lipiwa, nikashuka twena kwenye gari na kumfwata muhudumu huyu aliye simama.

“Haya maji ya mwage”

Niliungmza huku nikimabidhi chupa hii ya maji kwa bati mbaye nimeyafungua ila sijayanywa.

“Kwa nini dada?”

“Na mpe aliye kupa hichi kikaratasi chake”

Nikamkabidhi dada huyu kikaratasi chake kisha nikarudi kwenye gari huku nikiwa ninasunya sunya moyoni, kwani sipendi mwanaume ajipendekeze kwangu na laiti kama nikijilegeza kama yumo ndani ya hili basi, nina amani atakuwa ananiona mim mdebwedo. Mzee Mgoma akarudi akiwa ameshika kifuko cheusi pamoja na soda mbili za kopo.

“Naamini utapenda kujumuika nami”

“Nipo vizuri mzee wangu”

“Hapana, mimi ni sawa na mzazi. Siwezi kula hapa alafu mtoto amekaa pembeni yangu, akimeza mate na kuvuta harufu, kikwetu hilo sio jambo zuri”

Mzee Mgoma alizungumza kwa uple huku akinipa vijiti viwili pamoja na chupa moja ya soda, akafunga kifuko hichi cheusi na kukuta kikiwa kimejaa nyama nyingi za kuchoma.

“Karibu kwa mara nyingine”

“Asante”

Kabla sijala nyama hizi, simu yangu ikaanza kuita, kwa ishara nikamuomba mzee huyu kwamba niweze kupokea simu hii.

“Haloo”

“Dokta hapa”

“Ndio niambie dokta?”

“Safi, nasikia umeondoka?”

“Yaa nipo njiani, vipi mgonjwa ana endeleaje?”

“Anaendelea vizuri”

“Kuna maendeleo yoyote ambayo yanaweza kutupa matumaini japo kidogo?”

“Yapo kwa asilimia kdhaa, japo sio kubwa sana”

“Aha….muda ule ulikuwa unahitaji kuniambie kitu gani?”

“Fika kwanza tutazungumza”

“Vipi kuna tatizo baya limetokea kwa mume wangu?”

“Hapana, wewe ukifika wasiliana nami kuna mambo muhimu tutatakiwa kuyazungumza”

Nikaka kwa muda kidogo huku nikiwa na wasiwasi mwingi kwani nina hisi kuna jambo ambalo dokta ananificha.

“Jojo”

“Sawa nimekuelewa dokta”

Dokta akaka simu taratibu nikashusha simu yangu chini huku nikiwa na wasiwasi mwingi sana. Mzee Mgoma akanitazama usoni mwangu huku akitafuna kipande cha nyama ndogo ya mskaki hii aliyo inunua.

“Nimsikia unasema kwamba una mume?”

“Ndio”

“Vipi ana umwa?”

“Yaa anasumbuliwa kidogo”

“Na nini?”

Nikamtazama mzee Mgoma, kwa tatizo alilo nalo mume wangu hakuna siwezi kumuambia mtu yoyote ambate simfahamu na sina mazoea naye.

“Anasumbuliwa na nini?”

“Alipata ajali mwezio ulio pita sasa yupo hospilini amelazwa”

“Duu pole sana, ila unaonekana ni binti mdogo kwa nini umewahi kuolewa au ndio hii michepuko?”

“Mapenzi hayana umri”

Nilimjibu mzee Mgoma kwa jazba kidogo kwani anataka kuniingizia mada ambazo hazipo kwenye mfumo wa akili yangu kwa sasa.

“Ohoo samahani, naona umesha kasirika mwanangu, kula nyama ujipote pote kwa mawazo”

Mzee Mgoma alizungumza huku akinisogeea kifuko hichi cha nyama. Nikaokota nyama moja kwa kutumia vijiti hivi nilivyo vishika. Nikaanza kukila kipande hichi cha nyama ambayo kwa namna moja ama nyingine kimeninogea sana, nikaokota cha pili na cha tatu.

“Hawa jamaa nyama zao wanazikausha vizuri sana ehee?”

Mzee Mgoma alizungumza huku akinitazama usoni mwangu kwa tabasamu pana sana, cha kushangaza kila ninavyo mtazama ndivyo jinsi ninavyo ona maruwe ruwe. Nikatingisha kichwa changu ili nijiweke sawa ila ndivyo jinsi nilivyo jihisi viongo vyangu vya mwili vikiishiwa na nguvu na mwisho nikajikuta nikiyafumba macho yangu kwani hata yenywe yamepoteza uweo wa kuona chochote kinacho endelea ndani ya basi hili.



“Dada, wewe dada”

Niliisikia sauti ya kike ikiniaita, taratibu nikafumbua macho yangu, nikaona ukungu mwingi ulio nifanya niyapepese macho yangu kwa mara kadhaa, nikayafikicha kidogo na nikafanikiwa kumuona muhudumu wa basi tulilo safiri akiwa amesimama pembeni yangu huku akinitazama.

“Vipi?”

Nilimuuliza muhudumu huyu.

“Tumesha fika ubungo na watu wote wamesha shuka kwenye basi, tukashangaa kukuona umelala sana, nikahisi labla kutakuwa na tatizo”

Nikatazama dirishani na kweli nikaona wingi wa mabasi yaliyopo hapa katika stendi ya mabasi Ubungo, kwa haraka nikafungua mkoba wangu na kutazama faili lenye siri nyingi za rahisi, katika siku ambazo mapigo yangu ya moyo yamenienda kasi basi ni leo. Kwani faili lenye siri hizo halipo ndani ya mkoba wangu. Nikazidi kuupekua labda nione kuna sehemu litakuwa limejibanza ila ninacho kiona ndicho kilicho tokea.

“Yule baba niliyekuwa nimekaa naye hapa yupo wapi?”

Nilimuuliza dada huyu huku nikisimama.

“Yule mbona alishuka Chalinze?”

“Chalinzeee……!!!”

Niliuliza huku macho ya mshangao yakiwa yamenitoka kisawa sawa.

“Ndio dada kwani kuna tatizo?”

Sikumjibu chochote dada huyu zaidi ya kutazama chini ya sito hiz ila napo sijaona kitu chochote.

“Kuna kitu ambacho umepoteza tukakusaidi?”

“Ndio kuna kitu ameniibia?”

“Kitu gani dada?”

“Kuna faili, kuna faili ameondoka nalo hapa”

“Faili gani hilo?”

“Kwani ulimuona akiwa anashuka?”

“Ndio, ila hakuna wa kitu chochote”

“Kwenye siti yangu hapa hukumuona mtu akiwa amenisogelea?”

“Hapana hakuna aliye kusogelea?”

Nikaitazama siti aliyo kuwa amekaa mzee Mgoma, nikaona kuna kitambulisho kidogo kimejichomeka kwenye siti. Nikakichukua kitambulisho hicho na kukuta ni kitambulisho cha uraia wa Tanzania ambacho ni chake. Nikasoma kazi yake na ni kweli ni askari polisi. Kwa bahati mbaya pia simu yangu haipo, ina maana mzee amendoka nayo.

“Mzee ameniibia na simu yangu”

“Weee”

“Una rekodi zozote za siti tiketi yake?”

“Ngoja niangalie katika kitabu cha kujaza tiketi”

Dada huyu alizungumza huku akitembea kuelekea sehemu ya mbele ya basi hili, nikivua miwani yangu na kuishika huku kichwani mwangu nikiwaza ni kitu gani ambacho ninaweza kukifanya kwa maana tayari mambo yamesha haribika na hapa sina ujanja wa kufanya. Dada huyu akarudi sehemu nilipo simama, kidogo akaonekana kunishangaa, nikayaelewa mawazo yake anayo niwazia.

“Wewe ni Jojo?”

“Ndio ni mimi, ila kwa sasa umaarufu wangu tuweke pembeni, nisaidie kunitafutia kumbukumbu za mzee huyu”

Dada huyu akaanza kusoma kitabu hichi.

“Amepandia muheza, anaitwa Mgoma Bongole”

Nikataza na kitambulisho chake cha uraia na kukutana na jina hili nililo tajiwa.

“Namba yake ya simu ipo?”

“Ndio”

“Noamba unisaidie kuiandika kwenye kikaratasi”

Dada huyu akatoa karatasi ndogo kwenye mfuko wa shati lake, akachukua pen na kuniandikia namba ya mzee huyu ambaye kwa asilimia mia moja yeye ndio aliye niibia faili la ushahidi pamoja na simu yangu ya mkononi.

“Asante”

“Karibu sana Jojo, hivi kwenu ni Tanga?”

“Hapana, ni kwa mume wangu”

Nilizungumza huku nikinyanyua mkoba wangu huu, nikaufungua ndani kwa mara nyingine na kukuta simu kubwa ya wifi ikiwa imejichomeka pembeni. Nikaivaa miwani yangu na nikaanza kutembea kueleke kwenye mlango wa kushukia. Nikashuka na kukutana na baadhi ya wandesha takisi kila mmoja akaanza kuniomba niweze kuingia kwenye taksi yake. Kaka mmoja akawashinda wezake kwa ushawishi, nikaingia kwenye taksi yake kisha taratibu tukaanza kuondoka hapa Ubungo.

“Dada unaeleka wapi?”

“Nipeleke Mlimani”

“Chuo au City?”

“City”

Dereva huyu akakatiza katika barabara za uchochoroni, kukwepa foleni ya Ubungo, tukaingia eneo la Mlimani City.

“Unaweza kunisubiri au nikulipe uondoke zako?”

“Nitakusubiria tu, si hautumii muda mrefu?”

“Ndio”

“Poa nakusubiria”

Nikashuka kwenye gari hili na kuanza kutembea kueekea kwenye jengo hili kubwa la kibiashara. Nikaingia ndani, nikaelekea katika duka la kubadilishia peza za kigeni. Nikatazama kiasi cha pesa nilicho nacho, ni kama dola elfu elfu tatu mia tano. Nikabadilisha kiasi cha dola elfu mbili na nikakabidhiwa kwa pesa ya Tanzania.

Nikaingia kwenye duka la simu, nikanunua simu aina ya iphone six, niksha nilaelekea katika ofisi za shirika la simu moja, nikanunua laini ninayo ihitaji tena, nikaisajili kwa kitambulisho cha mzee huyu Mgoma huku nikidai kwamba ni baba yangu. Nilipo hakikisha kwamba mizunguko yangu ya humu ndani imekamilika nikatoka ndani humu na kurudi eneo iliyo taksi.

“Nipeleke Tegeta”

Nilizungumza mara baada ya kuingia ndani ya taksi hii, taratibu dereva akawasha gari na tukaanza kuondoka katika eneo hili. Njiani akili yangu yote inalaumu uroho wangu, laiti kama ingekuwa si kula vile vipande vya nyama sidhani kama muda huu hili swala la kupotea kwa faili lingetokea.

“Amejuaje?”

Nilijikuta nikizungumza mimi mwenyewe.

“Mmmmmm……….”

Dereva taksi aliguna huku akinitazama usoni mwangu.

“Hapana sijazungumza nawe”

Nilimjibu kwa ufupi dereva taksi huku nikiendelea kuwaza ni jinsi gani ninaweza kumpata mzee Mgoma. Tukafika katika eneo ilipo nyumba yangu, nikamuomba dereva asimamishe mita chache kutoka lilipo geti langu.

“Sh ngapi?”

“Elfu stini”

Nikahesabu kiasi cha pesa anacho kitaka kisha nikashuka kwenye gari. Dereva taksi akaondoka, nikatazama tazama eneo la nyuma yangu, ila sikuona dalili yoyote ya mtu kuwemo ndani, kwani taa za nje za juu ya ukuta zinawaka ingali muda huu jioni. Uzuri wa mtaa huu ninao ishi hauna watu wengi, kila nyumba ina geti lake na si rahisi kwa majirani kuonana onana. Nikaendelea kuchunguza mandhari hapa kwangu, nikatembea hadi getini. Nikaminya batani ya kengele, ila kama kuna mtu ndani aweze kunifungulia. Ila nikasimama zaidi ya dakika kumi nikiwa ninafanya zoezi hilo tu, ila sikuweza kufanikiwa.

‘Lazima niruke ukuta’

Nilijiapiza kimoyo moyo huku nikitazama ni eneo gani ambalo ni rahisi kwa mimi kupanda ili niruke. Ubaya wa nyuma yangu hii, juu ya kuza zilizo zunguka kuna nyaza zenye umeme ambao endapo mtu atagusa kidogo, ni lazima apigwe shoti ambayo inaweza kumpelekea kuata hata kupoteza maisha yake.

“Nafanyaje jamani”

Nilizungumza huku nikiwa nimejichokee, kwani hata geti langu kwa juu kuna nyanya hizo za umeme. Nikafikiria kwa muda na nikakumbuka katika eneo hilo katika mtaa wa nyuma kuna duka linalo uza vifaa vya ujenzi. Nikaanza kutembea hadi katika duka hilo na kumkuta mzee mmoja mnene ambaye siku zote ninamuona hapa, huku duka lake kwa juu likiwa limeandikwa Shirima Workshop.

“Shikamoo mzee”

“Marahaba binti, nikusaidie nini?”

“Ngazi unauza sh ngapi?”

“Kuna ngazi za aina mbili, moja ni za kukunja na nyingine ni ndefu kama hizi unazo ziona hapa”

“Hizo za kukunja ni sh ngapi?”

“Sabini elfu?”

Nikatoa kiasi hicho cha pesa na akanikabidhi ngazi hiyo ya kukunja, akanielekeza jinsi ya kuikunjua mara nne, ili iwe ndefu zaidi.

“Nashukuru”

Nilizungumza kisha nikaibeba na kuanza kuondoka nayo kuelekea katika eneo ilipo nyumba yangu. Nikailaza chini na kuanza kuianza kukikunjua, nilipo ona ina tosha kwa usawa wa ukuta wangu, nikainyanyua na kuiegemeza ukutani.

Nikashika vizuri mkoba wangu kisha nikaanza kupanda kuelekea juu, nikafika eneo lenye hizi nyanya za umeme, kwanza nikairusha picho yangu ndani, kisha nikavua baibui nililo vaa na kuliweka katika nyanza hizi, kutokana na mazoezi na wepesi wa mwili wangu, nikafanikiwa kuruka ndani, kwa bahati nzuri nikafanikiwa kutua vizuri, nikatazama eneo hili kwa umakini, sana na vitu vilivyopo nje vimechanguliwa changuli. Nikatembea hadi getini, nikafungua geti, nikaoka nje na kuchukua ngazi yangu na kuirudisha ndani na kisha nikafunga geti, nikachuku mti wa fagio nikatoa baibui langu kwenye nyanya hizi.

‘Hawa waseng** wamefanya nini nyumbani kwangu’

Nilizungumza kimoyo moyo kwani siku ya mwisho niliweza kuwaona askari wakiwa wameimarisha ulinzi katika nyumba yangu hii. Mlango wa sebleni nikaukuta ukiwa umerudishiwa tu kidogo jambo lililofanya nianze kuingia ndani kwa umakini mkubwa sana. Sebleni napo nikakuta pamechanguliwa changuliwa kiasi kilocho nifanya nikasirike kwa kweli, kwani hata kama ni kutafuta ila sio tafuta ya namna hii ya kuchangua vitu na vingine kuvivunja kama tv kubwa. Nikakagua eneo la chini na sikuona mtu yoyote, nikapandisha gorofani, na nikaanza kukagua chumba kimoja baada ya kingine na vyumba vingine vyote vimechanguliwa changuliwa.

Nikajilaza kitandani huku nikiwa nimechoka kwa kweli, mawazo yangu yote yanamuawazia mdee Mgoma ambaye ameondoka na ushahidi wangu, nikatamani kumuambia wifi kwamba ushahidi umeibiwa ila kwa hali ambayo ninamfahamu nayo wifi najua ni lazima atanifokea na sihitaji anifokee ikiwa nipo katikati ya mawazo.

Cha kushangaza kijiusingizi kikaanza kunipitia, jambo lililo nistua sana. Nikaka kitako kitandani na kujipangusa macho yangu. Nikaingia bafuni na kuanza kunawa uso wangu taratibu.

‘Jojo nitafanya nini?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitazama kwenye kioo hichi.

‘Jojo acha using**, pambana lazima umuokoe mama mkwe, hata kama ushahidi utakuwa umepotea’

‘Ila niampataje mama mk……..”

Kabla sijamalizia sentensi yangu nikastukia taa ya bafuni humu ikizimwa, jambo lililo nifanya nigeuke kwa kasi na kutazama mlangoni, nikaanza kuhisikia miguu ya kama watu wakiingia katika chumba changu, kwa haraka nikafumba macho hili niweze kuhisi ni watu wa ngapi wanao ingia ndani humu. Mapigo ya moyo yakazidi kunianda kasi kwani watu walio ingia ndani humu wapo zaidi ya kumi.

Nikajibanza pembeni ya mlango wa kuingilia ndani humu, gafl nikanza kusikia vishindo vya watu hao wakianguka chini huku wengine wakitoa milio ya maumivu, taratibu nikafungua mlango huu na kuchungulia chumbani kwangu, nikaona watu walio valia nguo nyeusi ambao dhairi wanaonyesha kwamba ni askari wa kitengo maalumu, wakishambuliwa na Mr Z aliye shika majambia mawili marefu anayo yatumia kuwakata kata askari hawa.

“Wamejuaje kama nipo humu?”

Nilizungumza huku nikiaendelea kutazama jinsi mpambano huu jinsi unavyo kwenda kwani mwanaume huyu ni mwepesi sana na anauwezo wa kufanya chochote na kwa muda wowote. Matukio haya jinsi yanavyo tokea muda mwengine unaweza kuhisi ni fimalu ya kichina, ila kila ninacho kiona hapa ni mubashara na watu wanakufa kweli na wengine kupoteza viongo kweli. Ndani ya dakika kumi hapakuwa na askari hata mmoja aliye weza kusimama. Mr Z akaupiga teke mlango wa chumba changu hichi, akanipa mkono huku majambia yake akiwa ameyashika kwa mkono mmoja. Nikamtazama huku mapigo yangu ya moyo yakiniaenda kasi. Taratibu nikampa mkono wangu, akaushika vizuri na tukaanza kuiruka ruka miili ya watu hawa walio uwawa.

Tukaanza kutembea kwenye kordo akiwa makini, nikatamani nione hata ngozi ya mwanaume huyu ila kusema kweli sipati nafasi hiyo.

Tukatoka nje na tukaikuta pikipiki yake pamoja na gari kadhaa walizo kuja nazo askari hawa. Akapanda kwenye pikipiki yake, akachomeka majambia yake kwenye sehem maalumu iliyopo mgongoni mwake. Kwa ishara akaniomba ninde kwenye pikipiki yake hii kubwa. Nipanda na akaishika mkono wangu wa kulia na kuhitaji niupitishe kiunoni mwake. Nikaipitisha mikono yangu hii na kuikutanishia mbele ya kiuno chake.

Kabla ya kutoka getuni wakaingi askari wengine kama sita hivi wakiwa na bunduki zao.

“Mikono juu”

Mmoja wao alizungumza huku akitutazama, nikasikia jinsi Mr Z anavyo shusha pumzi nyingi akionyesha dhairi kwamba amechoka.

“Shukeni kwenye pikipiki”

Askari aliendelea kuzungumza kwa ukali, Mr Z akazima pikipiki yake hii na kuvua kofia maalumu la hii pikipiki, akapiga standa ya pikipiki, taratibu akaitoa mikono yangu kiunoni mwake na kushuka kwenye piki piki huku mikono yake akiwa ameinyoosha juu.

Wasiwasi mwingi ukazidi kunitawala kwa maana kama Mr Z ameamua kujisalimisha mikononi mwa askari basi na mimi nimekamatwa, kwani hadi kuibiwa ushihidi wangu na mzee Mgoma basi ni lazima askari walikuwa wakinifwatilia kwa umakini sana, kwani hata uwepo wao wa kuja hapa nilipo sijui walijuaje kama nipo nyumbani kwangu. Akasi hao wakaanza kumsogelea Mr Z huku wakionekana kuwa makini sana na mitutu yao ya bunduki wamamuelekezea yeye na endapo atafanya kosa lolote basi ni lazima watapiga risasi.

‘Lazima nifanye jambo la kumsaidia hatuwezi kukamatwa kizembe hivi’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiwaangalia askari hao jinsi wanavyo mfwata kwa kunyanana kwa umakini mkubwa sana kama wezao waliisha waliingia ndani na kutokufanikiwa kutoka basi hata wao wanaamini kwamba hali inaweza kuwa hiyo hiyo ndio maana wanakuwa makini sana.



Cha kushangaza Mr Z akapiga magoti chini huku mikono yake akiwa ameinyoosha juu. Kitendo cha askari hawa kumkaribia tu, nikastukia kuwaona wakianguka mmoja baada ya mwengine huku kila askari akiwa ameshika shingo yake akivujwa na damu. Nikajikuta nikishuska kwenye hii pikipiki huku nikiwa na mshangao sana, kwani vifaa ambavyo Mr Z amEvitumia katika kuwaua hawa askari kwa lugha ya kitaalamu vinaitwa Naruto Shuriken Throwing Star, ambavyo ninakumbuka kipindi cha nyuma bibi Sosiono alisha wahi kunifundisha jinsi ya utumiaji wake na nisilaha hatari sana pale inapo tumiwa, kwani watu wengi wanao itumia wengi wao wana mfunzo kinija ambao wengi wao hupatikana nchini Japan.

Taratibu Mr Z akanyanyuka huku akinitazama usoni mwangu, akapanda pikipiki yake kisha kwa ishara akaniomba nipande, kwa haraka nikapanda pikipiki hii na tukatoka ndani hapa huku nikiwa nimejawa na mawazo mengi sana kwani mtu wa aina hii au mwenye upiganaji wa namna hii kwa Tanzania, hakuna na kama wapo ni wachache sana na wanaishi maisha ya siri sana.

Kwa jinsi ya mwendo kasi wa pikipiki yake anavyo iendesha nikajikuta nikizidi kumng’ang’ania kiunoni mwake kwani endapo nitamuachi basi anaweza kuniangusha.

Tukafika kwenye moja ya fukwe ambayo kwa maisha yangu yote ya kuishi hapa Dar es Salaam sikuwahi kuifika. Fukwe hii haina watu kabisa na ina kajumba kamoja kadogo kaliko tengenezwa kwa miti. Mr Z akasimamisha pikipiki pembeni ya kijumba hichi. Tukashuka kwenye pikipiki huku nikiwa na maswali ya kumuhoji mtu huyu.

“Wewe ni nani?”

Nilimuuliza Mr Z mara baada ya kumuona akianza kutembea kuelekea kwenye mlango wa kijumba hichi. Mr Z akasimama kwa muda kisha akanigeukia na kunitazama usoni mwangu. Ubara wa kinyago alicho kivaa usoni mwake, hakiyaonyeshi macho yake halisi, kwani macho ya kinyao hicho yakemaa kama macho ya simba jambo ambalo ni ngumu sana kwa mtu kuweza kumfahamu hata kwa macho tu. Mr Z kama alivyo zoelekea kuitwa na wengi hakuzungumza chochote, akageuka na kuendelea na safari ya kuingia ndani. Nikaka hapa nje huku nikutazama mazingira ya hili eneo kisha nikaingia ndani ya kijumba hichi.

Nikajikuta nikistuka mara ya kumkuta Mzee Mgoma akiwa amekalishwa kwenye moja ya kiti cha chuma huku akiwa uchi kabisa na sehemu ya kukalia katika kiti hicho imekatwa kitu kunacho yafanya makend** yake kuning’inia kwa chini.

“Jojo”

Mzee Mgoma aliniita huku akimwagikwa na machozi usoni mwake na anaonekana kunishangaa. Nikatazama meza ya Mr Z, nikaona jinsi ilivyo jaa vifaa mbalimbali ambavyo kwa miaka ya nyuma nilisha wahi kuviona kwa bibi Sosiono aliye nipe mafunzo ya kutumia vifaa hivyo ikiwemo jambia.

“Faili langu lipo wapi?”

Nilimuuliza mzee Mgoma huku nikimkazia macho kwani yeye ndio niliye kuwa nikimtafuta kwa udi na uvumba.

“Aha…amechukua huyo jamaa”

Mzee Mgoma na utu uzima wake wote ila hakusita kumwaga machozi na sijui ni kitu gani ambacho amefanywa hadi kuwa mtu wa kulia kiasi hichi. Hata kabla sijamuuliza Mr Z ni wapi lilipo faili hilo ambalo ni muhimu sana kwangu, akanikabidhi, nikalifungua kwa haraka ndani na kukuta hakuna hata karatasi moja iliyo punguzwa wala picha zenye udhibitisho wa baadhi ya mauaji yaliyo fanywa na raisi. Mr Z akanipatia kamba moja ngumu na imekunjwa kunjwa eneo la mbele na kutengeneza kitu kigumu chenye kufanania na mpira. Kwa ishara ya kidole Mr Z akanionyesha nimpige mzee Mgoma kwa kutumia kamba hii.

Nikabaki nikiwa nimeishika huku macho yamenitoka kwa maana sifahamu nimpige nayo vipi. Mr Z alipo ona kwamba nimezubaa, akanipokonya kamba hii na kuishika kwa kutumia sehemu hiyo ya mbele akampiga mzee Mgoma kwenye makend** yake na kumfanya mzee huyo kutoa ukelele mmoja mkali sana hadi mishipa ya uso wake ikawa inaonekana. Mr Z akanirushia kama hivyo na kwaisha akaniomba nifanye kama nilivyo fanya.

“Sasa kwa nini tunampiga?”

Mr Z akanitazama kwa muda kidogo, nikatambua kwamba sio muongeaji na sio mtu ambaye anapenda kupingwa kirahisi. Nikaishika kamba hii vizuri na kuvurumusha sehemu hiyo ya mbele na kumpia Mzee Mgoma kwenye makend*** yake na kumfanya azidi kulia kwa uchungu sana kwani sehemu hiyo kila mwanaume ambaye anaweza kupigwa huwa hana ujanja hata awe hodari kiasi gani ila hana uwezo wa kuzuia maumivu hayo. Mr Z akazungumza kwa lugha ya kichina na kwa sauti nzito sana, kutokana nina kifahamu kichina nikaelewa nini anahitaji niweze kumuliza Mzee Mgoma.

“Ni nani amekuagiza?”

“Eheee”

“Nani amekuuagiza kuiba faili?”

“Hakuna Jojo, haki ya Mungu vile hakuna Jojo”

Kwa ishara Mr Z akaniomba niweze kurudia tena zoezi la kumpiga mzee Mgoma. Nikafanya hivyo na kumfanya mzee wa watu kuzidi kuangua kilio cha maumivu.

“Sema mzee ohooo, makende** yako yatapasuka mzee wangu”

Nilizungumza kwa sauti ya iliyo jaa huruma, japo alinifanya tukio ambalo sikupendezewa nalo, ila usheri na ukarimu wake ambao alinifanyia ndani ya basi kusema kweli unanifanya nimuonee huruma kidogo.

“Kweli Jojo hakuna aliye nituma”

Mr Z akachukua kamba hii kwa nguvu zake zote akampiga tena mzee Mgoma kwenye sehemu zake za siri na kufanya atoe ukunga mmmoja tu na akapoteza fahamu.

“Ni muongo”

Mr Z alizungumza kwa sauti nzito na kwa lugha ya Kiswahili huku akinitazama usoni mwake. Nikajaribu kutafakari ni sehemu gani ambayo nimewahu kuisikia sauhi hii, ila nikashindwa kabisa kuweza kupata jibu sahihi.

“Umejuaje kwamba ni muongo?”

“Anajua ni nani ambaye amemuagiza ila hahitaji kumtaja?”

Mr Z alizungumza huku akitembea hadi kwenye friji dogo kiasi lililomo ndani ya hichi kijumba. Akatoa kidungu cha maji ya baridi ambayo kwa kutazama tu kidungu kwa nje ninaona mvuke unao sababishwa na baridi hiyo ya maji yaliyomo ndani ya kidungu hicho.

Akafungua kidungu hichi na kuanza kumwagika maji hayo ya baridi mzee Mgoma kichwani mwake. Mzee Mgoma akakurupuka huku akitingisha kichwa na kuhema sana. Mr Z akachuchumaa mbele ya mzee Mgoma na kumtazama vizuri.

“Upo tayari kufa kwa ajili ya mtu asiye na faida kwako?”

Mr Z alizungumza kwa sauti nzito sana, kiasi cha kumfanya mzee Mgoma kutingishika kwa woga. Mr Z taratibu akanyanyuka na kuanza kutembea kuelekea kwenye meza yake iliyo jaa vifaa mbali mbali, akarudi sehemu alipo mzee Mgoma, akaishuka mbo** yake na kukunjua kisu kikali hadi macho yakamtoka.

“Nasema nasema jamani”

Mzee Mgoma alizungumza mara baada ya kuona kwamba uwanaume wake unakwenda kuondolewa.

“Ni nani?”

“Nikisema namba uniachie hai?”

“Jojo unasemaje?”

“Ehee?”

“Unasemaje, tumuachie hadi akizungumza ukweli?”

Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa, kisha nikatingisha kichwa nikimaanisha kwamba nimekubali ombi hilo.

“Ukweli wako mzee wangu utakuweka huru, najua kwamba wewe ni askari na uliniwekea sijui madawa ya kulevya ili maradi uweze kutekeleza ulichi kikusudia. Naomba uweze kuzungumza ukweli”

Nilizungumza kwa sauti ya upole sana huku nikimtazama mzee Mgoma kwa maana mateso aliyo yapata ni makali sana.

“Aliye nituma ni……..”

Mzee Mgoma akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu.

“Ongea nani?”

“Kibopa”

Akili yangu yote nilikuwa nikiwaza kwamba mtu ambaye anakwenda kutajwa hapa ni raisi, ila huyu paka Kibopa naona hajatosheka kwa kile kitu ambacho amefanyiwa na mama mkwe.

“Una uhakika ni yeye?”

“Ndio Jojo sina cha kukudanganya, naomba uweze kunisamehe, sikuwa na makusudia ya kufanya hivi kabisa napesa ndio ilinitamanisha”

“Ilikuwaje ukajua kwamba nina faili lenye ushahidi wa matukio ya raisi?”

“Ehee?”

“Alijuaje hilo swala?”

“Sijajua ila nahisi kuna mtu amevujisha siri, kwa maana yeye alinitumia meseji kwamba kuna binti nimekaa naye kwenye siti moja ndani ya basi hivyo nihakikishe kwama nina chukua faili lake na ni kweli nilio kuchunguza nikagundua hilo swala”

Nikashsha pumzi taratibu huku nikiwa ninajiuliza ni nani ambaye ametoboa siri hii ya kwamba ninasafiri leo, ikiwa ni wifi na mdogo wango Judy wao tu ndio nilio waaga. Mawazo yangu kufikiria sikutaka yaishie kwa watu hao wawili tu, nikayapeleka mbali zaidi hadi kwa mume wake wifi.

‘Hawezi kufanya kitu hicho’

Nilijiliwaza mwenyewe kichwani mwangu.

“Kwa nini uliniwekea madawa ya usingizi?”

“Hiyo ndio ilikuwa njia ya pekee mimi kufanya hivyo kwa maana aliniambia hifanye hivyo”

“Uniwekee madawa?”

“Ndio”

“Wewe kama askari ilikuwaje ukayapata?”

“Kuna jamaa alinielekeza nichukue pale Lugoba”

Mzee Mgoma alizungumza huku akiendelea kulia kwa uchungu sana, dhairi akionyesha kujutia kwa kukurupukia kazi aliyo pewa.

“Tumuachie”

“Bado nahitaji kuzungumza naye?”

Mr Z alizungumza huku akivuta kiti kingine cha mbao na kukiweka mbele ya Mr Z kisha taratibu akaka na kumtazama.

“Ni wapi alipo mama mkwe wa Jojo?”

“Eheee?”

“Ni wapi alipo?”

“Ndio nani?”

“Aliyekuwa msimamizi wa kitengo cha madawa ya kulevya?”

“Sifahamu muheshimiwa?”

Jojo niletee hicho kisu kirefu

“Haki, haki ya Mungu sifahamu, kweli kabisa”

Mzee Mgoma alizungumza kwa kubabaika sana huku machozi yakimwagika.

“Lete kisu kirefu”

Mr Z alizungumza kwa ukali na kunifanya nipige hatua za haraka hadi kwenye meza yake, nikatazama tazama ni wapi kilipo kisu hicho anacho kihitaji na kwa bahati nzuri nikafanikiwa kukiona. Nikakichukua na kumkabidhi Mr Z kisu hicho.

“Seme ni wapi alipo?”

“Kwa kweli sifahamu, ila ninaweza kukusaidia kumtafuta na nijue alipo, nipo tayari kuwa mbwa wako, nipo tayari kuwa punda wako, tafahdali nakuomba sana Mr Z”

Taratibu Mr Z akasimama na kumtazama mzee Mgoma, kisha akatembea hadi kwenye chumba kilichomo humu ndani ya kijumba hichi, baada ya muda kidogo akatoka akiwa ameshika nguo za polisi, akamrushia mzee Mgoma kwenye mapaja yake kisha kwa kutumia kisu nilicho kuwa nimempatia akazikata kamba za manila alizo kuwa amemfunga miguu yake pamoja mikono. Kwa ishara akamuomba mzee Mgoma kuanza kuvaa nguo hizo, kwa haraka haraka mzee Mgoma akaanza kuvaa nguo hizo huku akitetemeka hata kusimama kwenye wima anashindwa. Baada ya mzee Mgoma kumaliza kuvaa guo Mr Z akanitazama usoni mwangu.

“Usitokea humu ndani na usiingie sehemu yoyote, ninarudi baada ya lisaa”

Mr Z baada ya kuzungumza maneno hayo akamshika mzee Mgoma kwenye kwapa la mkono wake wa kulia na wakatoka humu ndani. Nikakimbilia kwenye kadirisha kadogo na kuwaona wakipanda kwenye pikipiki kubwa ya Mr Z na wakaondoka katika eneo hili. Nikaisogelea meza hii iliyo jaa silaha kadhaa ikiwemo bastola pamoja na magazine zilizo jaa risasi, na inaonyesha dhairi kwamba mtu huyu amejikamilisha na nimuuaji professional na anaifanya kazi yake kwa akili sana. Kiroho cha kutamani kuimjua Mr kikazidi kunisukuma na kujikuta nikianza kutembea kuelekea katika mlango wa chumba alicho kuwa ameingia, nikausukuma kidogo na mlango ukafunguka, roho moja ikaanza kunijaza ushawishi wa kuingia ndani humo na roho nyingine inanishawishi nisiingie ndani ya chumba hichi. Roho ya ushawishi wa kuingia ndani humu ikanizidi nguvu na kujikuta nikiingia ndani ya chumba hichi, japo kuna giza kutoka tayari usiku umeshaingia, ila nikaweza kuona vitu baadhi kama kitanda kidogo na ubao mmoja mkubwa uliopo kwenye ukuta huku ukiwa umebandikwa picha nyinyi. Nikashusha pumzi huku nikitazama sehemu ilipo swichi ya kuwashia taa. Taratibu nikasogelea swichi hiyo na kuwasha taa. Mwanga hafifu wa taa hii ukaniwezesha kuweza kuona kila kitu kilichomo humu ndani, kitu kilicho nifanya niweze kuusogelea ukuta huu ni baada ya kuiona picha ya mama mkwe kwenye ubao. Kila nilipo zidi kusogelea ndipo jinsi nilivyo ona picha ndogo za wifi na shemeji yangu, mapigo ya moyo yakanienda mbio zaidi baada ya kuiona picha yangu na mwanangu zikiwa pamoja huku chini yake kukiandikwa maandishi yaliyo ninyong’onyeza na kunishangaza kabisa na yameandikwa kwa herufi kubwa na kusomeka vizuri sana.

‘MY WIFE AND DAUGHTER’

‘Edd….E….d….e….dy nd…..io….mr Z?’

Nilijiuliza swali lililo nichanganya kwani ninavyo tambua kwamba mume wangu ni mgonjwa tena mwendawazimu anaye tulizwa kichaa chake kwa kuchomwa sindano za usingizi.



Nikajikuta nikikaa chini kabisa, kwani hichi ninacho kiona hapa kuseme kweli kimenimaliza nguvu, nikajisikilizia jinsi mapigo yangu ya moyo yanavyo kwenda kasi, kisha nikasimama na kujaribu kutafuta ushahidi mwengine, ila kila ninacho kitazama ili niweze kufahamu kwamba huyu ni mume wangu Eddazaria, ninakosa. Nikarudi sebleni, nikatazama kila kitu nilicho kiona cha maana kwa mimi kukishika kwa sasa hivi ni bastola, nikachukua bastola moja na magazine yake, nikatoka nje huku nikiwa nimeishika vizuri. Nikaikoko nikaona moja ya gogo, niikaa huku nikimsubiria Mr Z aweze kurudi.

‘Haki ya Mungu kama ni Eddy atanitambua hawezi kunichezea akili kiasi hichi, ninakosa raha, amani na penzi langu hadi leo mtoto hana jina kwa ajili yake siwezi kukubali kabisa’

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga. Japo hapo awali nilisha wahi kumtendea mambo mabaya mume wangu, ila kusema kweli hawezi kunifanyia usanii wa namna hii.

Lisaa moja ambalo nilitarajia Mr Z aweze kufika hapa likapita pasipo kuona dalilili yoyote na kuja kwake. Masaa yakazidi kusonga mbele sasa haa, wasiwasi mwingi ukaanza kunijaa kwani kuchelewa kwake kurudi ni ishara ya kwamba kuna tatizo limetokea. Upepo mkali wa fukwe hii ya bahari ukanifanya nitetemeke mwili wangu, ukichanganya na wasiwasi ndio kabisa. Taratibu nikanyanyua bastola yangu na kujikuta nikirudi ndani, nikapitiliza hadi kwenye chumba chake na nikachukua blangeti kubwa lililo kitandani, nikatoka nalo sebleni na kujifunika.

Njaa nayo haikutaka kuniacha, taratibu nikanyanyuka kwenye kiti hichi niliacho kaa na kufungua friji, nikakuta vinywaji vya kila aina huku kukiwa na matunda kadhaa.

‘Huyu mtu anaishi kwa kula matunda tu?’

Nilijiuliza huku nikitazama ni tunda gani nichukue. Nikachukua embe moja kubwa, nikarudi kwenye kiti changu na kuanza kulila taratibu. Hadi ninamaliza kula hili emba sijasikia hata mngurumo wa pikipiki, jambo lililo nifanya nizidi kujawa na wasiwasi mwingi. Nikafungua pazia la dirishani na kuchungulia nje, mwanaga wa mbalamwezi unaangaza kila mahali na ninaweza kuona kila kitu hata kwa mtu ambaye anaweza kuja kwa mbali ninaweza kumuona.

‘Mbona harudi jamani?’

Nilizungumza huku machozi yakinilenge lenge. Kusema kweli sikuweza kukaa kwa amani ndani humu, kila mara nikajikuta nikikimbilia dirishani na kuchungulia nje. Hadi kijua kinachomoza sikuweza kumuona Mr Z, kwa kuchoka mwili, nikajikuta usingizi ukianza kunipitia taratibu. Taratibu nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kalia na kuingia katika chumba cha Mr Z , nikajitupa kitandani na kulala usingizi fofofo.

Mwanga mkali unao nipiga machoni mwangu, ukanifanya nifumbue macho, nikajilaza kitandani kwa muda kidogo huku nikifikiria mambo kadhaa kwenye akili yangu. Kwa nikashuka kitandani na kukimbilia sebleni, sikumkuta Mr Z, nikatoka nje ya kijumba hichi napo sikuweza kumuona Mr Z zaidi ya kusikia milio ya ndege na mawimbi ya maji jinsi yanavyo jizonga zonga baharini.

“Mr Z, Mr Z”

Nilijikuta nikiita kwa sauti huku nikianza kutembea kwenye eneo hili. Nikazidi kusonga mbele huku nikiufwata ufukwe huu. Nikazidi kushangaa kwa nini eneo hili halina watu kabisa, nikapita kwenye moja ya kichaka kilichopo pembezeni ya fukwe hizi. Baada ya kutembea hatua chache mbele, nikasimama na kukitazama kwa muda kidogo. Nikaanza kurudi kwa umakini huku nikiwa ninahisi kuna mtu ndani ya kichaka hicho.

“Mr Z, Mr Z?”

Niliita huku nikichungulia, nikastuka sana mara baada ya kumkuta Mr Z akiwa amelala huku mkono wake wa kulia akiwa amejishika eneo la tumboni mwake na damu zikiwa zinamwagika.

“Mr Z, Mr Z”

Nilimuita huku nikimtingisha usoni mwake, hakuniitikia chochote zaidi ya kuendelea kuwa kimya ikionyesha ni muda mrefu sana ameweza kufika hapa na jeraha lake hili ndio limemnyong’onyeza. Nikajitahidi kwa nguvu zangu kumnyanyua, japo ni mzito ila nikazidi kujikaza, nikafanikiwa na nikaanza kutembea naye huku muhimili wake wote akiwa ameutegemea kwangu. Tukafika katika nyumba yake, akaniponyoka na kuanguka chini na kulala sakafuni.

“Mr Z ni nini kimekupata?”

Nilizungumza ila hakuweza kunijibu, nikalichukunguza jeraha hili, linaonyesha ni jeraha la risasi. Kwa haraka nikatembea hadi kwenye meza yenye silaha na vifaa mbalimbali, nikachukua moja ya kisu pamoja na risasi mbili, nikazifungua risasi hizo na unga wake ninakweka kwenye moja ya kisosi kidogo. Nikachukua kiberiti cha gesi na kuwasha jiko dogo la gesi. Nikaanza kukipasha moto kisu hichi huku nikiwa nimejawa na wasiwasi mwingi sana, kwani hali ya Mr Z ni mbaya sana na nikifanya kosa kidogo anaweza kupoteza maisha yake.

Kisu kikapata moto na kwa haraka nikarudi sehemu alipo lala, nikachukua unga wa risasi hii na kuumwaga juu ya kidonda hicho, kisha taratibu nikaanza kukipitisha kisu hichi cha moto juu ya jeraha. Nikaanza kumuona Mr Z jinsi anavyo hangaika kwa maumivu, nikaanza kuina risasi ambayo ilikuwa imeazama ndani ya mwili wake ikianza kupanda juu taratibu. Kwa haraka nikarudisha kisu juu ya jiko hili linalo endelea kuwaka moto. Nikakipasha kisu kwa muda hadi kikawa chekundu, nikakirudisha tena kwenye jeraha hili. Risasi iliyo kuwa mwilini mwake ikatoka. Ni matibabu mahumu sana ila yanahitaji ujasiri, pasipo ujasiri huwezi kufanya zoezi hili. Nikafungua friji na kutoa chupa ya wisky, nikafungua kifuniko chake kwa haraka na kuanza kumwagia kwenye jeraha lake.

“Arghggg…..”

Mr Z alitoa mguno mdogo, nikamaliza kuosha jeraha lake, taratibu nikaanza kumvuta hadi chumbani kwake, nikajitahidi kumpandisha kitandani mwake na nikafanikiwa. Nikarudi sebleni, nikasafisha eneo hili nililo mfanyia huduma na kila kitu nikakirudisha sehemu yake.

‘Yamempata nini huko?’

Nilijiuliza huku nikirudi chumbani, nikaka pembeni yake na kuanza kumtazama, taratibu nikaanza kumfungua zipu ya koti lake hili aina ya leizer alilo livaa. Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbio, kwani michoro ambayo niliiona kwenye mwili wa Eddazaria kipindi alipo kuwa analetwa Tanga, ndio michoro ninayo iona hapa.

Taratibu nikapeleka mkono wangu wa kulia kwenye kinyago alicho kiva akichwani mwake, taratibu nikaanza kukivua kinyago chake, kile nilicho kuwa nikikirikiria ndicho hichi ninacho kiona, kwani mtu huyu ni mume wangu Eddazaria. Machozi yakaanza kunimwagika usoni mwangu. Mandevu na manywele ambayo alikuwa nayo jijini Tanga yote hayapo, sura yake ipo kama nilivyo izoea, haijachakaa kwa ndevu wala kichwa chake hakina manywele.

“Eddy mume wangu kwa nini hukuhitaji kuniambia unafanya matukio haya, ona sasa matatizo yamekupaya mume wangu, eehee. Kwa nini lakini unanifanyia haya yote”

“Eddy ungeniambia kwamba wewe ni Mr Z na unafanya kazi hii kwa ajili ya mambo haya na haya. Ona sasa wamekupiga risasi mume wangu, je ungekufa leo hii mimi ningekuwa wapi. Kama ungefua leo hii mimi ningemjibu nini mtoto wetu eheee?”

Niliendelea kuzungumza huku nikilia kwa uchungu sana. Masa yakazidi kusonga mbele huku mume wangu akiwa bado hajazinduka kutoka usingizini.

Hadi inafika majira ya jioni ya saa kumi na moja ndio akafumbua macho yake.

“Eddy, Eddy umeamka?”

Nilimuuliza huku nikimtazama usoni mwake. Eddazaria akanitazama kwa muda kisha akanyanyuka kitandani na kukaa kitako huku akisikilizia maumivu makali ambayo anayo kwenye mbavu zake.

“Eddy mume wangu, unajisikiaje?”

Nilimuuliza kwa sauti ya upole, taratibu akatazama kinyago chake nilicho mvua kilichopo pembeni ya kitanda. Taratibu akakichukua na kushusha kitandani.

“Eddy unakwenda wapi, hali yako sio nzuri”

Hakuhitaji kunisikiliza zaidi ya kutembea kwa kuyumba huku akielekea mlangoni, akaegemea ukuta kidogo huku akihema na sura yake dhairi inaonyesha kwamba ana maumivu mengi sana. Akaendelea kutembea kwa kuyumba yumba hadi sebleni huku nami nikimfwata kwa nyuma.

“Eddy jamani, jitazame huna nguvu mume wangu, kwa nini lakini eheee”

Eddy akaelendelea na safari yake ya kutoka nje, tukafika nje, akaanguka jambo lililo nifanyanya nimkimbilie kwa haraka na kumsaidia kunyanyuka kutoka chini.

“Eddy mume wangu, pumzika lakini”

Eddy akaitoa mikono yangu iliyo mshika kiuno ili asianguke, kwa mwendo wake huo huo wa kuyumba yumba akaendelea kutembea hadi pembezoni mwa maji, taratibu akapiga magoti chini, kisha akaanza kuchukua maji ya bajari na kuanza kukinawisha kidonda chake huku akibubujikwa na machozi usoni mwake.

“Kwa nini univue kinyago changu usoni mwangu?”

“Eheee?”

“Kwa nini univueeee?”

Eddazaria aliniuliza kwa ukali huku akinigeuki na kunitazama usoni mwangu.

“Ni….ni….li, nili”

Nikajikuta nikishikwa na kigugumizi ambacho kikanifanya nishindwe kumjibu vizuri. Eddazaria akasimama na kuanza kutembea kurudi kwenye nyumba hii huku nikiwa nimejawa na maswali menngi sana ninayo tamani kumuuliza kwa maana sifahamu ni kitu gani ambacho kimetokea hapa katikati na ninajionea mauza uza.

Tukaingia ndani, akainama chini ya meza hii akavuta kisanuduku kidogo na kukiweka juu ya meza, akakifungu na kutoa bandeji pamoja na dawa.

“Naweza kukusaidia?”

Nilizungumza kwa upole, akanitazama kwa muda kisha akanipatia bandeji hii. Nikachukua pamba nikaweka dawa kiasi na kuanza kukifuta futa kidonda chake. Nikachukua pamba nyingine kubwa na kuiweka katika kidonda kisha taratibu nikaanza kuzungusha bandeji hii tumboni mwake.

“Eddy”

“Mmm”

“Ninaweza kuuuliza kitu”

“Uliza?”

“Unanipenda?”

“Ndio”

“Kwa nini umekuwa msiri na unafanya matukio mengi ya kuhatarisha maisha yako?”

“Kama”

“Kama hii kazi unayo ifanya”

Eddazaria hakunijibu chochote zaidi ya kuingia chumbani, nikamfwata. Akasimama mbele ya ubao uliopo humu ndani ya chumba hichi, akatazama picha hizi kwa muda kidogo kisha akachukua kalamu ya rangi na kuanza kupiga alama ya X kwa picha kadhaa.

“Hao ni kina nani?”

“Ni watu ambao tayari nimesha waua”

“Eddy………………”

“Nini?”

Akanijibu kwa ukali hadi nikajikuta nikiwa kimya. Eddazaria akahesabu hesabu picha zilizopo ukutani mwake, huku picha ya mwisho kabisa ikiwa ni picha ya raisi, akaizungushia dura kwa kalamu hiyo. Taratibu akainama chini ya kitanda chake, akavu begi moja kubwa, akalibebea taratibu na kuliweka juu ya kitanda. Akafungua zipu ya begi hilo, nikaona tv aina ya flast screan, akaibeba na kuiweka pembeni, akatoa na nyanya kadhaa, kisha akabeba na kutoka sebleni, baada ya dakika kama moja akarudi na kuchukua vifaa vingine ikiwemo kijiungo kidogo sana kinacho nasa matangazo yanayo rusha na satelaiti. Baada ya kuunganisha kila kitu kinacho husiana na tv hiyo, akaiwasha na kusimama mbele yake. Kusema kweli nina tamani kuweza kuzungumza naye chochote ila nina shindwa kabisa kutokana amekuwa ni mtu anaye jawa na hasira za mara kwa mara.

“Unasimama hapo ili iweje?”

Eddazaria aliniongeleza mara baada ya kuniona nikiwa nimesimama mlangoni kwa muda mrefu. Taratibu nikavuta kiti kidogo na kukaa pembeni yake.

“Eddy”

“Mmmm”

“Najua kuna vitu vingi hapa katikati vinavyo endelea, hembu niambie ukweli basi ni nini kinacho endelea kwa maana sielewi ninashindwa kufahamu?”

“Umesha fahamu, unashindwaje kufahamu?”

“Hapana Eddy, kuna mambo yaanichanganya, juzi mimi na dokta si tulikupeleka kwa mzee wake akakufanyie matibabu leo hii upo hapa?”

“Yule sio mimi?”

“Samahani, una sema?”

“Yule sio mimi?”

“Ni nani sasa yule?”

“Yule ni Eddy kama Eddy, ila sio mimi”

“Eddy bado una nichanganya?”

“Nakuchanganya kama vile ulivyo nichanganya na Nuru wako si ndio?”

Nikaka kimya kwa maana matukio ambayo nilimfanyia ninayafahamu na kwa kipindi chote cha miezi mingi, leo hii ndio ninaweza kukaa na kuzungumza naye.

“Hivi unakumbuka ni maneno gani ambayo uliniambia kipindi upo na yule msagaji mwenzio?”

Swali la Eddazaria likazidi kuniogopesa na kunifanya nizidi kuogopa kwani anazungumza kwa ukali sana.

“Unakumbuka”

Nikatingisha kichwa nikimaanisha kwamba ninakumbuka.

“Sasa yale uliyo yazungumza yabaki kubwa kama vile ulivyo yazungumza”

“Ila Eddy nilifanya vile kwa ajili yako wewe na mwangu”

“Kum** wewe ulihisi mimi nilivyo kuwa ninayatoa maisha yangu sadaka si nilifanya kwa ajili yako na mwanangu, ikawaje ukanisaliti na kunidhalilisha mbele ya yule malaya pale?”

Eddy alizungumza kwa ukali, sura yake huku ikiwa imejikunja kwa kweli nikajikuta nikiwa mnyonge kiasi cha kunifanya nikose hata la kujitetea.

“Kwa ajili yako umefanya pacha wangu awe katika hali kama ile, unajua ni kiasi gani anateseka pacha wangu?”

Kauli ya Eddazaria ikanifanya nijawe na mshangao mkubwa sana huku mapigo ya moyo yakinienda kasi sana, katika siri ambayo sikuwahi kuifahamu ni hii ya Eddazaria kuwa na pacha wake na wala sikuweza kusikia kwa ndugo yake yoyote kwamba ana pacha na siku zote ninajua kwamba yupo peke yake tu.



“Eddy una pacha mwenzio!!?”

Niliuliza huku nikiwa nimejawa na mshangaoa mkubwa sana.

“Hilo ndio jibu.”

Eddazaria alinijibu kwa ufupi huku akiweka kitu juu ya tv hii, akakiwasha kitu hicho na kuniomba nikae pembeni. Nikasoegea pasipo kuzungumza kitu chochote, nikamuona shemeji, baba Gody mbele ya tv, ikimaanisha kwamba wanawasiliana kwa kutumia video.

“Niambie dogo?”

“Safi kiasi”

“Pole nilipata taarifa ya kushambuliwa kwako kwa risasi”

“Ndio, ila bado sijafanikiwa kufahamu ni wapi mama alipo?”

“Hata mimi bado sijafahamu”

“Sasa watakuwa wamemuweka wapi?”

“Ninaendelea kupeleleza kimya kimya ila bado sijaona dalili yoyote ambayo inaweza kuashiria kwamba yupo sehemu gani?”

“Au usalama wa taifa watakuwa wameshikili?”

“Hapana laiti kama wangekuwa ni wao basi ningeweza kufahamu”

“Nahitaji kupiga hatua moja kubwa ya kuwashangaza wengi”

“Hatua gani?”

“Si amemchukua mama yetu, na yeye tumchukulie mke wake”

Shemeji akaka kimya huku akimtazama mdogo wak eusoni.

“Ila hiyo ni hatari sana?”

“Yaa kila tunacho kifanya nihatari kaka yangu, hatuna jinsi au unataka kukata tamaa katika hili?”

“Hapana yule ni mama yetu sote na siwezi kukata tamaa ni lazima apatikane, ubaya ni hii nafasi niliyo nayo serikalini”

“Okay, ninauguza jeraha langu ndani ya siku mbili hizi, likiwa vizuri, mke wa raisi lazima aingie mikononi mwetu kuanzia hapa nilazima watasema ni wapi mama alipo”

“Sawa, ila vipi Jojo amefahamu uwepo wako?”

Eddazaria akanitazama kwa jicho la kuiba kisha akatingisha kichwa, akikubali kwamba nimesha mfahamu.

“Inaweza kuwa hatari kama humuamini?”

“Unanijua, akifanya ujinga safari hii sifwati ushauri wenu, nitamuaa”

Mwili mzima ukaanza kunitetemeka kwani kauli ya Eddazaria imenitisha sana.

“Hapa usifanye hivyo, kumbuka ana mwanao, ukifanya makosa hiyo damu itakulilia kizazi na kizazi, mwanao atakuja kukuuliza ni wapi alipo mama na hakuna siri ya mauaji inayo dumu milele ni lazima mwanao atakuja kufahamu tu siku na mambo yakawa mabaya huko mbeleni na huwenda ukawa huna nguvu zako kama ilivyo hivi sasa”

Mameno ya shemeji yakanifariji ila kila nimtazamapo mume wangu sionI chembe wala dalili ya kunipenda.

“Mpende kama unavyo mpenda awali”

“Ila ni makubwa aliyo nifanyia kwenye maisha yetu, tazama jinsi Dotto anavyo teseka”

“Natambua, ila hakikisha kwamba hawezi kutambua kama mupo mapacha, kwa sasa itamshtua na itamuweka katika wakati mgumu”

Nikamuona Eddazaria akikuna kichwa chake, kwani kwa mahasira yake tayari amesha fichua siri.

“Umenielewa dogo”

“Yaa nimekuelewa”

“Poa, kama kutakuwa na taarifa yoyote nita kujulisha”

“Poa poa”

Mazungumzo ya Eddazaria na kaka yake yakaishia hapo na akaitoa mamera hiyo aliyo kuwa ameiweka juu ya tv hii. Akaweka moja ya chenael ya habari hapa Tanzania na tukaendelea kutazama taarifa ya habari. Ukimya ukatawala katikati yetu huku mimi nikiwa nimejawa na hamu ya kujua ukweli kati ya Eddazaria na pacha wake, ila kwa kauli zake za kuhitaji kuniu zikanifanya nikae kimya.

“Una neno unahitaji kuniuliza?”

Eddazaria aliniuliza kwa sauti nzito kama ile aliyo kuwa akizungumza nayo kama Mr Z. Nikaka kimya kwa muda kisha nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kaa, taratibu nikaanza kutembea kuelekea nje kabla sijafika mlangoni akaniongelesha.

“Kutoka nje ndio jibu?”

“Eddy, mimi nimkosefu kwako, sina thamani kwako. Ninakaa na wewe tu kumbe mwenzangu una haja ya kuniua”

“Huo ndio ukweli, ninahitaji kukuua. Ila sio leo”

“Eddy kumbuka mimi ndio nimeyaokoa maisha yako kwa jeraha la risasi uliyo pigwa, ungekufa kama sio mimi”

“Huo ndio ujinga unao jifariji si ndio?”

“Sio ujinga Eddy tuzungumze ukweli, ulikuwa umelala pale, ukiwa hoi mahututi kweli, nikakusaidia?”

Nilizungumza huku nikimwagikwa na machozi usoni mwangu.

“Acha unafiki mpuuzi mkubwa wewe, unahisi nilivyo kuwa ninajitoa sadaka kwa ajili yako nilikuwa ni mwema sana. Unakuja kuniorodheshea upuuzi ohoo kama sio mimi ningekufa. Mungu hajapenda nife leo, nilikusaidia na mdogo wako pale mulipo vamiwa na watu wa Clara, isiotoshe nimekusaidia nyumbani kwako askari wasikukamate. Isitoshe nimebadilisha mfumo wa kamera zote na inaonyesha matukio ya mauaji Kariakoo mimi ndio nimeyafanya. Unahisi na umaarufu wako huo, leo hii ungekuwa wapi wewe eheeee?”

Eddazaria alizungumza kwa ukali huku akiwa amesimama na kuanza kunisogele amlangoni nilipo simama. Nikaanza kurudi nyuma taratibu taratibu taratibu huku mwili mzima ukinitetemeka kwa woga.

“Ninafanya kazi kama punda, ninafanya kazia haramu za ajabu ili mradi balaa la matatizo nililo lilete kwenye familia yangu liishe alafu unaniletea using**. Wewe nani kwanza”

Eddazaria alizidi kufoka na kunigandamiza mlangoni.

“Nakuuliza wewe nani?”

Eddazaria alizidi kuuzngumza kwa ukali hadi bandeji niliyo mfunga sehemu ya jeraha lake ikaanza kutoa damu. Kwa ishara nikamuonyesha sehemu hiyo inayo toa damu, ila mwenzangu hakunijali kwa hilo zaidi ya kuendelea kunitolea macho. Woga na matendo mabaya niliyo mfanyia mume wangu, yakanifanya niwe mnyonge na mpole.

“Laiti kama mtoto angezaliwa na DNA tofauti na yangu ningekuua toka mukiwa India, ila una bahati uropokaji wako wa kusema kwamba sio mwanangu umeenda tofauti umenielewa wewe”

Nikatingisha kichwa nikimaanisha kwamba nimelewa. Tukatazama kwa sekunde kadhaa kisha taratibu nikaupelekea mdomo wangu kwenye lipsi za mume wangu. Tukazigusanisha pasipo kukutanisha ndimi zetu. Nikameza fuma la mate kwani bado ninamuogopa mume wangu, galfa akaanza kuninyonya midomo yamgu kwa fujo. Akaninyanyua na kunibebeba huku miguu yangu nikiwa nimeipitisha kiunoni mwake. Tukaingia chumbani na akanilaza kutandani. Kwa haraka nikaanza kuvua nguo zangu, kwa maana hamasa na hamu dhidi ya mume wangu tayari imesha nipanda mwilini mwangu.

Eddazaria akavua suruali yake hii, kisha akamalizia kuvua na boksa yake, kwa haraka nikapika magoti kitandani na kushika jogoo wake niliye niliye mkosa kwa kipindi kirefu sana. Nikaanza kumnyonya kwa fujo huku naye akiyatimasa maziwa yangu na kuzidi kunichanganya na kunipagawisha.

Eddazaria akamchomoa jogoo wake mdomoni mwake na nikugeuza na kuninamisha, akaanza kuninyonya kitumbua changu ambacho tayari kimesha lowana kwa kuhitaji huduma ya jogoo wa mume wangu. Hakuishia hapo, akaanza kuninyosha mkund** wangu jambo lililo nifanya nipige mayowe ya utamu, alipo hakikisha kwamba ameniweka sawa, taratibu akamzamisha jogoo wake katika kitumbua chagu. Kitu ninacho msifu sikuzote mume wangu ana uwezo wa kwenda kasi ambayo nahisi ni wauame wachache sana wamebakiriwa kuwa na uwezo kama huu. Jinsi kadri muda unavyo zidi kuongenza ndivyo naye anavyo ongeza kasi, hadi mwishowe nikajikuta nikitamani nibadilishe mkaoa na sio kuinama tena kwani ninamhusi jogoo wake akigungo kwenye mlango wa kizazi changu.

“E…e..e…ed….tubadilishe”

Nilizungumza kwa sauti ya kutata katakata huku nikiendelea kupokea haki ambayo niliikosa kwa kipindi kirefu sana.

“Aha…..ahaa..”

Eddazaria naye alinijibu kwa sauti ya kukata kata huku akiendelea kukia kitumbua changu kwa fujo sana. Kwa jisni kiuno changu kilivyo kamatwa sikuwa na ujanga wa kufanya.

“Hon…ey twende wote”

Nilizungumza maneno ambayo natambu mume wangu anaelewa maana yake.

“Okay”

Kasi yake ikaongezeka baada ya muda nikafika kilele huku nikizihisi risasi za jogoo wa mume wangu zikishambulia ndani ya kitumbua changu jambo lililo nifanya nizidi kujisikia raha na utamu. Gafla nikasikia kishindo kizito kilicho pelekea utamu ninao usikilizia kukatika na nikatazama nyuma yangu, nikamkuta mume wangu akiwa amelela chali. Kwa haraka nikashuka kitandani, jeraha la risasi linatoa damu nyingi kiasi kwamba nikajikuta nikicganganyikiwa.

“Eddy, Eddy, Eddy”

Nilimuita ila hakuitika wala kutikisikia, nikaweka sikio langu la upande wa kulai juu ya sikio lake, nikazidi kuchanganyikiwa kwani sisikii hata mdundo mmoja wa mapigo yake ya moyo.

“Eddy mume wangu amkaa?”

Nilizungumza huku nikiminya minya kifuani mwake kwa nguvu, kwani mapigo yake ya moyo yamesimama na yanahitaji kuweza kupata msaada wa kustulia na endapo nitamuacha hivi ni lazima atakufa.

Nikampulizia pumzi ya kutosha mdomoni mwake, kisha nikaendelea kuminya kifuani mwake kwa kutumia viganja vyangu.

“Eddy baba yangu amka basi nini tena jamanii”

Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu. Zoezi hili likanichukua kama dakika nena hivi, nikajikuta nikianza kukata tamaaa, kwani dhauiri inaonyesha kwamba anapigania uhai wake na malaika mtoa roho.

“Eddy, Eddy nakupenda mume wangu, usiniache peke yangu. Tambua mtoto wetu bado mchanga, anahitaji malezi ya mama, anahitaji kuishi vizuri mume wangu, kwa nini unakuwa hivyo eheee?”

Nilizungumza huku nilikilia nguvu ya kukiminya kifua changu, imeniishia kwa kweli, kwani kwa mputepute alio nipeleka kitandani umenifanya nikose nguvu. Nikaanza kukipiga mangumi kifua chake huku nikilia kwa uchungu sana, kwani kama anakufa basi kifo chake ni cha kusangaza sana, kwani anakufa baada ya kumaliza mechi.

“Amka baba Cleopatra, amakaaaaaaaaaa”

“AGHRAAA………”

Eddazaria akastuka na kufumbua macho yake huku akihema sana, jasho likazidi kumwagika usoni mwake.

“Baby, Baby”

Nilimuita huku nikitabasamu, taratibu nikamkumbatia na kuendelea kumtulia mapigo yake ya moyo yanayo zidi kumuenda kasi.

“Kimetokea nini mke wangu”

“Usijali, usijali mume wangu, nipo hapa”

Tukakumbatia kwa dakika kama tano hivi kisha nikamuachia.

“Tulia ngoja nikachukue vifaa damu inatoka”

“Damu?”

“Ndio”

Eddazaria akajitazama kwenye jeraha lake, akataka kukaa kitako ila nikamzuia kwani kufanya hivyo kunazidi kuliweka jeraha lake katika wakati mgumu. Nikanyanyuka hapa chini, na kuelekea sebleni, nikabeba kiboksi chenye vifaa kadhaa vya hospitalini kisha nikarudi chumbani. Nikamfungua bandeji nilio mfunga hapo awali nakaanza kuizuia damu inayo endelea kumtoka.

“Nichome sindano hiyo?”

Eddazaria alizungumza huku akinionyesha moja ya sindano yenye dawa ndani.

“Ipi?”

“Hiyo hapo, nichome”

“Inasaidia nini?”

“Nichome tu”

Nikachukua bomba hilo la sindano lenye dawa.

“Nichome yote hapa?”

Eddazaria alizungumza huku akionionyesha eneo la shingoni mwake. Tukio hili likanirudisha siku kadhaa nyuma pale pacha wake aliye pandisha hasira zake ambazo zinatulizwa kwa kuchomwa sindano ya usingizi.

“Unafanyaje nichome”

Eddazaria alizungumza kwa ukali kidogo na kujikuta nikitoka kwenye bumbuwazi lililo kuwa limenishika kwa muda, nikamchoma sindano hiyo na kusikuma dawa yote ndani ya mshipa nilio mchoma shingoni mwake, taratibu nikaichomoa sindano hiyo.

“Chukua hiyo hapo dawa, vuta na bomba hilo jipya na unichome hapa mkononi”

“Eddy sindano zote za nini?”

“Fanya kama nilivyo kuambia”

Sikutaka kubisahana naye, nikafwata kama alivyo niambia, nikamchoma tena sindano yenye dawa ambayo hata kichupa chake hakijabandikwa kikaratasi cha kuonyesha kwamba hii ni dawa ya aina gani. Baada yakumaliza hapo, Eddazaraia akaniomba nimfunge bandeji jengeni. Nikamshuhudilia baada ya kumaliza taratibu akaanza kupanda kitandani na kujilaza chali.

“Hahaaa….kum***maeeeeeee, ningekufa kiunoni leo”

Eddazaria alizungumza huku akisheka. Nikajikuta nikitabasamu kwa mshangao sana.

“Kwani ilikuwaje mume wangu?”

“Mmmm yaani kitendo cha goli kuanza kutoka nikastukia giza tu, na wala sikujua ni nini kilicho tokea.”

“Jamani, ulikuwa umenimiss sana ehee?”

“Sana tu mke wangu yaani ni…..”

Galfa kilio kidogo kikaanza kulia pembeni ya kitanda.

“Nini hicho?”

Nilimuuliza mume wangu huku niikiwa nimejawa na mstuko mkubwa sana.

“Shitiii vaa nguo zako, wamegundua ni wapi nilipo?”

“Kina nani?”

“Serikali na jeshi lake”

Nikastuka sana, kwa haraka nikakimbilia hadi dirishani, nikaona boti nyingi ndogo za askari zikija kwa kasi katika fukwe hii huku zikiongozana na helicopter zipatazo nne zinazo mulika mulika eneo zima hili la nyumba yetu jambo lililo zidi kuniogopesha kwani sijui hata tunatokaje katika eneo hili ikiwa mume wangu ana jeraha la risasi mwilini mwake.



“Eddy tunafanyaje mume wangu”

“Nimekuambia vaa nguo”

Eddazaria alizungumza huku akijikaza kunyanyuka kitandani, kwa haraka nikaanza kuvaa nguo zangu kwa maana kuzubaa zubaa ni jambo la hatari sana na sipayii picha endapo tutakamatwa sote wawili naamini itakuwa ni skendo mbaya kwenye maisha yetu. Eddazaria naye akaanza kuvaa ngyo zake haraka haraka, akatoka sebleni moja kwa moja akachukua majambia yake mawili anayo yatumia kwenye kazi yake.

“Chukua silaha yoyote”

Kwa haraka haraka nilicho weza kukiona ni bastola mbili, nikazichukua. Nikazichomeka kiunoni mwangu.

“Tuingie humu”

Eddazaria alizungumza huku tukurudi chumbani, akakivuta kitanda pembeni, akafunua mfuniko ulipo chini cha kitanda hichi, akaanza kushuka kwenye ngazi zinazo elekea chini ya radhi, kwa haraka na mimi nikaanza kufwata. Tukafika katika eneo la chini ambalo lina maji kiasi, tukakuta mtungi mmoja wa gesi, Eddazaria akanivalisha mgongoni mwangu.

“Anza kukwenye mbele jinsi unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi maji yanavyo zidi kuongeneza”

“Na wewe”

“Nahitaji kulipua hii nyumba”

“Hapana ninakusubiria”

“Numekuambia nenda”

Eddazaria alizungumza kwa kufoka, sikuwa na namna zaidi ya kuifwata amri yake, nikaanza kutembea kusonga mbele, japo kuna giza ila nikazidi kusonga mbele kwani hii ndio njia ya pekee ya sisi kuweza kuondoka katika eneo hili. Hata kabla maji hayajanifika kifuani, nikasikia mtetemeko mkubwa wa ardhi ulio nifanya nisimame na kutazama nyuma, mwanga wa moto umbao kwa kupitia ngazi ambazo tumeingilia humu ndani, ukaniwezesha kumuona Eddazaria jinsi anavyo nifwata kwa kasi, akanifikia na tukakaanza kuogelea huku kwa mara kadhaa tukibadilishana mrija wa kupumulia gesi. Kwa upande wangu haikuwa safari rahisi kwani kuogelea ndani ya maji tena usiku inataka moyo sana. Nikatamani kumuuliza mume wangu ni wapi tunapo elekea ila sikuweza kupata nafasi hiyo kwani hato weza kunisikia, na kwa mara kadhaa alinishika kiuno changu na kunielekeza ni wapi tunapo kwenda.

Tukatumia kama dakika arobaini na tano na tukafanikiwa kufika katika eneo la nchi kavu. Kila mtu kwa upande waka ana hema sana, nikauvua mtungi huu na kujilza chali huku nikiendelea kuhema.

“Ohoo Mungu wangu”

Nilizungumza huku nikitazama nyota nyingi angani zinazo ng’aa vizuri. Eddazaria akajilaza naye pembeni yangu huku akigema kwa shida sana. Taratibu nikanyanyuka na kumtazama, nikaona jinsi kifua chake kinavyo panda na kushuka kwa kasi sana, huku mkono wake wa kulia akiwa ameshika eneo lenye jeraha lake.

“Baby”

“Mmmmm”

“Unajisikiaje?”

“Mmmmmm”

“Jeraha lina uma sana?”

Eddazaria hakunijibu chochote zaidi ya kushusha pumzi nyingi sana. Nikanyanyua kiganja chake kilicho shika jeraha lake taratibu, nikakitazama eneo la kidonda chake ambacho tumepaziba kwa bandeji.

“Kidonda hakitoi damu mume wangu”

“Yaa ila ninajisikia kuchoka sana”

Nikatazama hili eneo, limenyaa miti mingi sana na inaonyesha hakuna dalili yoyote ya mtu kuweza kuishi.

“Twende”

Eddazaria alizungumza huku akisimama taratibu, nikasimama na mimi na nikaanza kumfwata kwa nyuma huku tukiwa tumelowa maji nguo zetu pamoja na mchanga ambao umetuganda kutokana na kulala chini. Tukazidi kutembea kwenye msitu huu huku kwa mara kadhaa mume wangu akiniomba tuweze kusimama.

“Eddy huku ni wapi?”

“Mmmm”

“Huku ni wapi mume wangu?”

“Nyumbani”

“Nyumbani kivipi?”

“Wewe twende”

Tukaendelea kusonga mbele, tukakuta nyumba moja ya gorofa ila imetengenezwa kwa mbao. Eddazaria akaingiza namba za siri katika mlango wa nyumba hiyo kisha tukaingia ndani. Akawasha taa, nikaona mandhari ya seble hii, ambayo imejaa masofa yenye muundo wa zamani sana.

“Jisikie huru”

Eddazaria alizungumza huku akivua nguo zake zote na kubaki kama alivyo zaliwa. Na mimi nikavua nguo zangu zote kwani zimejaa maji na michanga. Tukapanda ngazi hadi gorofani na tukiwa kwenye kordo nikaona picha ya zamani ya baba mkwe.

“Vipi?”

“Kumbe baba mkwe kipindi alipo kuwa kijana ulikuwa una fanana naye?”

“Yaa ila nimechukua kwa baba na mama”

“Ila kwa baba zaidi”

“Kweli”

“Hii nyumba ya nani?”

“Ilikuwa ya baba, ila alinirisisha mimi na mimi ndio mtu wa pekee ninaye ijua hii nyumba”

“Weee”

“Ndio”

“Unataka kusema kina wifi hawaifahamu kabisa?”

“Ndio hata mama mwenyewe haifahamu”

Eddazaria alizungumza huku tukiingia kwenye moja ya chumba. Nikakuta kitanda kikubwa cha dura, huku kukiwa na mapambo mengi ya zamani.

“Waooo pazuri”

Nilishangazwa sana na upangaji wa vitu humu ndani, nikatazama kabati moja kubwa lililo jaa vitabu, nikavisogelea vitabu hivi na kuvitazama kwa muda, nikafungua mlango wa hili kabati kisha nikatoa kitabu kimoja.

“Hivyo vitabu ameviandika baba yako mkwe”

“Weee, kumbe na yeye alikuwa muandishi wa vitabu?”

“Ndio, alikuwa muandishi wa vitabu, hicho ndio kitu kikubwa nilicho kirithi kutoka kwake”

“Hivi vitabu vyake vimesomwa na watu?”

“Hapana, unajua kipindi cha nyuma baba yangu alijaliwa sana kipaji katika swala zima la kuandika. Alikutana na dada mmoja wa kizungu, ambaye alianza naye mahusiano ya kimapenzi. Tena ngoja nikuonyeshe picha yake”

Eddazaria alizungumza huku akifungua mlango wa pili wa kabati hili, akatoa picha moja kubwa iluyo tengenezewa kwa fremu ya vioo. Picha hii inawaonyesha baba mkwe na dada huyo wa kizungu enzi hizo za ujana wao na hata picha yeneyewe haina hata rangi.

“Huyu dada aikuwa mzuri”

“Kweli na yeye ndio aliye ijenga hii nyumba na walikuwa wakiishi na baba”

“Sasa ilikuwaje hakumuoa huyu?”

“Huyu dada alikwenda kwao nchini Ujerumani, akiwa na ujauzito wa baba, sasa kipindi hicho baba naye hakuwa na uwezo wa kusema sijui anakwenda huko Ujerumani, basi alimsubiria yule dada kwa kipindi kirefu ila hakurudi, akaona hakuna haja ya kuendelea kumsubiria mtu asiye rudi basi akaanza juhudu za kututafuta sisi na akatupata”

Eddazaria alizungumza huku akiitazama picha hii kubwa, akaichukua na kuirudisha ndani ya kabati hili. Akatembea hadi kwenye mlango uliomo humu ndani.

“Njoo tuoge?”

Nikamfwata na kuingia ndani ya bafu hili. Kila ninacho kiona kwenye nyumba hii ninajikuta nikikipenda sana, kwani ni vitu vya zamani ambayo katika macho ya wengi wetu hivi sasa havipo.

“Eddy”

“Naam”

“Vile vitabu una mpango gani navyo?”

“Vipo ni kumbukumbu kwangu?”

“Ulisha wahi kuvisoma?”

“Ndio”

“Sasa kwa nini mume wangu usivitoe ukamuenzi baba yako?”

“Muda wake bado haujafika”

“Eddy mume wangu ile ni pesa umeifungia kabatani, japo sijasoma ila nina amini vinaweza kuwa ni vitabu vizuri sana na vya kupendeza”

Eddazaria akakaa kimya huku akifungua koki ya bomba la maji. Tartaibu maji yakaanza kumwagika chini taratibu.

“Najua kwamba una kipaji kikubwa sana tu cha kuandika mume wangu. Japo nimekuingia kwenye mashida haya yasio na kichwa wala miguu ila ninakuomba kwa sasa uweze kurudi katika kazi yako. Watu wako wanahitaji kuona hadithi zako, ni mwaka wa ngapi hujawaandikia chochote ehee?”

“Nitafanya hivyo baada ya mama kuwa huru”

“Sawa, ila hilo swala mimi nitalishuhulikia mama alinieleza niweze kufanya hivyo”

“Wewe ni mwanamke Jojo, hii vita hujui ni wapi ilipo anzia japo unahisi kwamba wewe ni chanzo ila si chanzo, ndio maana mama alitufanya watoto wake tuishi kishupavu na tumekuwa katika mazingira hayo kwa miaka yote”

“Eddy nikuulize kitu?”

“Uliza”

“Hembu naomba uniambie kuhusianana pacha wako mume wangu, unajua hadi sasa hivi sijaweza kuelewa ni nini kinacho endelea, na kwa nini munakuwa munamficha?”

Eddazaria akanyamaza kimya huku akinitazama usoni mwangu, taratibu akasimama chini ya bomba hili la maji ya mvua na kuanza kuoga taratibu, akanivuta karibu yake na nikasimama mbele yake huku maji yakianza kunimwagikia mimi nami.

“Kuna mambo mengi ya siri katika hii familia”

“Mambo gani hayo?”

“Kwa sasa siwezi kuyazungumza mke wangu”

“Eddy ina maana huniamini?”

“Sijasema kwamba sikuamini, nina kuamini tena sana”

“Ila?”

“Nitakuambia siku itakapo fika, tumtafute kwanza mama tukisha msaidia basi atakueleza ni nini kinacho endelea?”

“Wewe huwezi kuniambia?”

“Jojo mke wangu, ndio maana kuna mambo nimekuambia kwamba ni ya siri sana kwenye hii famili, kwa sisi watoto hatuwezi kuzungumza chochote, zaidi ya muhusika aliye weka siri zake azungumze?”

“Nani?”

“Si mama”

“Mama yanguu weee……”

Nilistuka sana na kujikuta mapigo ya moyo yakinienda mbio hadi Eddazaria mwenye akastuka na kunishikilia kiuno changu na kunitazama usoni mwangu, kwani nimeanza kuyumba na pasipo kunishika nitaanguka chini jambo linalo weza kunisababishia matatizo.



“Una nini?”

Eddazaria aliniuliza huku wakiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Eddy faili, faili lenye siri za raisi”

“Ohoo Mungu wangu tumeliacha kule”

“Si umelipua nyumba?”

“Ndio”

“Sasa si litakuwa limeungua lote jamani?”

“Ndio hivyo?”

“Mungu wangu sasa tutamsaidiaje mama, wakati lile faili alinisisitizia nilitunze sana”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu. Furaha yote ya kuwatoroka askari ikaniishia, tukamaliza kuoga huku ukimya ukiwa umetawala katikati yetu. Nikapanda kitandani huku nikiwa nimejawa na mawazo mengi sana, kwani kitu cha maana tumekipoteza.

“Usijihisi mnyonge kitu kikubwa ni kuwa na mama?”

“Eddy hujui tu ni kitu gani alicho niambia mama dakika za mwisho”

“Natambua ni nini alicho kuambia na ninatambua ni maagizo gani pia alininipatia mimi kama mimi, kila kitu kitakuwa salama ndugu yangu”

“Eddy”

“Naam”

“Mama anapata mateso kwa ajili yangu, mama anateseka kwa ajili yangu. Kwa umri kama wake alitakiwa kuwa nyumbani na kupumzika na kula pensheni ya vijana wake”

“Nalitambua hili mke wangu, ila kika jambo lina wakati wake, ipo siku atapuumzika vizuri, kikubwa sasa hivi tupumzike, hadi kesho nina imani kwamba nitakuwa nimepata nini cha kufanya”

“Kabla ya kulala nina swali moja la mwisho”

“Uliza?”

“Ilikuwaje ukapigwa risasi?”

Eddy akaka kimya kwa muda huku akinitazama usoni mwangu.

“Niliivamia akulu, nia na lengo langu ilikuwa ni kwenda kumchukua raisi, ila ikashindikana”

“Jamani mume wangu, hivi kweli ulitoka pale ukaniacha ndani, nikiamini kwamba unakwenda kufanya upelelezi kumbe ulikwenda kuvamia ikulu, hivi unahisi ikulu ni sehmeu rahisi sana mume wangu ambayo mtu anaweza kuingia?”

“Nilijaribu uwezo wangu ila nilishindwa ila nimetambua kuna udhaifu ambao kwa kutumia udhaifu huo tunaweza kuingia”

“Udhaifu gani?”

“Kuna njia za siri ambazo unaweza kupita na ukaingia bila ya shida”

“Niliwasikia na shem mukizungumzia kuhusiana na swala la mke wa raisi unaonaje ukamtumia huyo kuwa ngao ya kumpata mama?”

“Ngoja nipone”

“Wewe nipe maelekezo ni jinsi gani alivyo na niifanye hiyo kazi”

“Wee siwezi kukuruhusu ufanye ujinga kama huo”

“Eddy mume wangu”

“Tulale”

Mume wangu alizungumza huku akinilaza kitandani taratibu.

“Najua unapenda kunisaidia katika haya mambo ila ninakuomba umfikie Cleopatra mwanangu”

“Ngoja kwanza hapo hapo, hivi hilo jina umeitoa wewe au mwenzako”

Eddazaria akaka kimya kwa muda, taratibu akanivuta kichwa changu na kukilaza kifuani mwake.

“Mimi ndio nimetoa jina lake”

“Una uhakika mume wangu?”

“Ndio nina uhakika asiliami mia moja”

“Sasa kama yeye yupo kwenye hali kama ile je anawezaje kunitajia mimi jina la mwanangu?”

“Yule ni pacha wangu, na mimi ndio mtu wa pekee ambaye ninaweza kuzungumza naye akanielewa, si mama, si wifi yako na wala si shemeji yako. Mimi pekee na huyo Cleopatra hakuwa mpenzi wangu, ila alikuwa mpenzi wake”

“Hahaa yaani nyinyi muna nichanganya kwa kweli”

“huo ndio ukweli, ipo siku tutaonana na tutaka kwa pamoja na mutazungumza”

Mume wangu alizungumza kwa sauti ya upole huku akizichezea chezea nuywele zangu nyingi zilizopo kichwani mwangu. Taratibu usingizi ukaanza kunipitia na baada ya muda nikajikuta nikilala usingizi fofofo.

Taratibu nikayafumbua macho yangu, nikaangaza kitanda kizima na sikuweza kumuona mume wangu, jambo lililo nifanya nistuke kidogo, nikanyanyuka kitandani na kushuka chini. Nikakuta dera zuri likiwa limewekwa kwenye moja ya kitu humu ndani.

“Eddy, Eddy”

Niliita huku nikielekea bafuni, nikafungu mlango ila sikuweza kumuona, nikaangalia kwenye kioo kilichomo humu ndani ya bafu na kukuta kikiwa kimechorwa vikatuni kwa rangi nyekundu ya kujipakaa mdomoni. Vikatuni hivi vinamaanisha ni mimi na mume wangu, huku vikiwa vimezungushiwa alama kubwa ya moyo. Nikajikuta nikitabasamu sana, kwani ni upendo ambao sikuutarajia kuupata kwa mwanaume ambaye nilimfanyia makosa mengi sana. Nikafungua bomba la maji, taratibu nikaanza kuoga ili kutoa jasho jasho la usiku kucha, nikarudi chumbani, nikavaa dera hili na linanukia manukato mazuri sana ambayo kwenye maisha yangu sikuweza kuyanusa kwenye pua zangu. Nikatoka humu chumba na kuanza kutembea kuelekea eneo la chini katika nyumba hii.

“Eddy, Eddy”

Niliita ila sikuweza kupata jibu la aina yoyote, nikachungulia kwneye dirisha lililopo hapa sebleni, nikamuona Eddy akiwa nje ya nyumba hii huku mkononi mwake akiwa ameshika upinde pamoja na mishale kadhaa, inaonyesha anajifunza kulenga lenga shabaha.

‘Huyu mwanaume hajiuhurumii jamani khaaaa’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikitoka nje.

“Eddy mume wangu mbona hujiurumii jamani”

Nilizungumza mara nilipo karibia Eddazaria, taratibu mume wangu akanigeukia na kunitazama. Akaninyoosheka mkono wake wa kulia, akiniomba nimshike kiganja chake, taratibu na mimi nikampa kiganja changu na akanisogeza karibu yake na kuninyonya lipsi zangu kwa sekunde kadhaa.

“Good morning my wife”(Za asubuhi mke wangu)

“Moring baby, mbona umeamka na kuniacha peke yangu kitandani?”

Nilizungumza kwa sauti ya kudeka kana kwamba nimekuwa mtoto mdogo.

“Nilijua umechoka na sikuhitaji kukusumbua”

“Sawa mume wangu, ila mbona unafanya mazoezi hayo ikiwa kidonda chako bado hakijapona?”

“Usijali mke wangu, nitakuwa salama”

“Hapana Eddy, bado hujapona unaweza kukifanya kidonda kitoe damu tena?”

“Hakiwezi kutoka?”

“No mume wangu, najua wewe ni mbishi ila katika hili nakuomba usinibishie, sawa mume wangu”

Niliendelea kuzungumza kwa sauti zilizo jaa mahaba mengi sana huku nikimng’ang’ania mume wangu kiuno chake vizuri.

“Unaweza kulenge shabaha?”

“Kidogo”

“Nilengee kwenye ile sehemu iliyo chora kialama chekundu”

Eddazarua alizungumza huku akinikabidhi upinde huu wa chuma pamoja na mishale yake.

“Huu upinde umeutolea wapi?”

“Alinikabidhi baba, toka nikiwa mtoto na alikuwa akija nami huku kulenga lenga mishale, kwa hiyo nikajikuta nikipenda kulenga shaba”

“Kumbe wewe na baba picha zilikuwa zinaiva ehee?”

“Sana, alikuwa anapenda sana, ila tuachane na hilo lenga pale”

Taratibu nikaunyanya upinde huu ambao ni mzito kidogo kwa kukadiria kwa haraka una kilo kama mbili hivi. Nikachukua nishale miwili, nikaiweka vizuri kwenye kamba ya kwanza, kwani upinde huu una kamba tatu aina ya waya wa chumba ambapo kila kamba moja ina uwezo wale wa kufnya kazi. Nikajiweka vizuri kisha nikaanza kuvuta upinde huu kwa nguvu zangu, nilipo ridhika kwamba nguvu niliyo iweka na kulenga sehemu niliyo ambiwa nilenge nikauachia mshale huu ambao ukaenda kwa kasi hadi katika alama nyekundu iliyopo kwenye ubao ambao upo mbali kidogo kutoka tulipo simama, na ukakika.

“Nice shoot”

“Yaa nina kijiutaalamu kadogo ka kulenga”

“Sio kadogo, nimtaalamu”

“Kidogo, hivi Eddy umesha wahi kuutumia huu upinde kwenye maswala yako mengine?”

“Hapana”

“Naomba mimi niutumie”

“Wewe?”

“Yaa naomba niutumie, naamini katika oparesheni ambayo tutakwenda kuifanya itatusaidia”

“Tu na si nita?”

“Tutashirikiana mume wangu, najua hutaki nifanye hii kazi, tambu kwamba sisi ni mwili mmoja japo hatujahalalishwa kanisani ila tambu hilo mume wangu, ninakupenda sana na sihitaji kukuona unaingia kwenye matatizo ukiwa wewe peke yako”

Nilizungumza kwa upole haku nikimtazama Eddazaria usoni mwake, akakaa kimya huku akinitazama usoni mwangu.

“Naomba nafasi mume wangu, naomba nafasi ya kufuta yale yote maovu niliyo kufanyia ninahitaji uweze kuniamini, nina hitaji uweze kunipenda zaidi na zaidi. Tupambane pamoja na kama kufa basi pia tufe pamoja”

“Sawa, ila inabidi tusogeze siku mbele”

“Tusogeze siku mbele kivipi?”

“Nahitaji ufanya mazoezi ya kutosha, umetoka kujifungua, hivyo ni muhimu kuhakikisha kwamba unafanya mazoezi kwa nguvu na kwa juhudi zote”

“Sawa mimi nipo tayari na unahitaji tujiandae kwa muda gani?”

“Mwenzi”

“Mwezi mmoja?”

“Ndio, naamini serikali na watu wake wanaweza kunisahau, kwani naamini kwamba msako unazidi kuimarishwa, siku hadi siku”

“Ila ninajimudu mume wangu?”

“Ninajua hilo ila kumbuka hatupambani na raisi kama raisi, kuna watu wengi sana ambao wamemzunguka, ili kumpata yeye ni lazima kuhakiksiah kwamba tunawashusha chini wote walo mzunguka”

“Sawa mume wangu wewe ndio kiongozi wangu katika hili”

“Poa mke wangu, lenga mshale mwengine”

***

Siku na wiki zikazidi kusonga mbele huku mimi na mume wangu tukizidi kufanya mazoezi ya mbinu mbalimbali za mapambano. Kila mmoja akamfunza mwenzake kile anacho kijua katika wigo mzima wa mapambano, hadi inatimia mwezi na wiki moja kila mtu akawa tayari amesha kamilika katika kila sekta ya mapambano.

“Sijakupata kwa bahati mbaya mume wangu”

Nilizungumza huku nikiwa nimemkumbatia kwa nyuma mume wangu tukiwa bafuni tunaoga mara baada ya mazoezi ya jioni.

“Kweli”

“Kweli mume wangu, nakuahidi sinto kusaliti wala kukuacha wewe peke yako kwenye kila hatua ambayo utapiga”

“Nashukuru mke wangu nafurahi kusikia hivyo. Vipi ulifanikiwa kumaliza kuishona ile nguo yako?”

“Ndio honey, nimeishona kwa utaalamu mkubwa sana, hata ya kwako kuna vitu nimeviongeza ukiiona utaipenda”

Taratibu mume wangu akazunguka na kunikumbatia kwa mbele, maziwa yangu yakajiminya vizuri kifuani mwake taratibu.

“Najua ipo siku tutakufa ila nahitaji tufe kwa faida na si kufa kwa hasara”

“Kweli mume wangu, najua mtoto wetu hata siku akija kukisoma kitabu cha maisha yetu uicho anza kukiandika naamini ataweza kupata fundisho moja zuri sana kwneye maisha yake”

“Ni kweli”

“Ila Eddy kuna swala naona hatulizungumzii”

“Swala gani?”

“Vipi kuhusiana na Gody, naona hatumzungumzii kabisa kwa nini lakini mume wangu?”

“Gody yupo mikono salama kwa mama yake”

“Hivi unafahamu kwamba mama yake alipanga kuniua mimi wakishirikiana na Clara?”

Eddy akanitazama kwa muda kidogo huku akionekana kujawa na mshangao mkubwa sana.

“Ninacho kizungumza ni kweli mume wangu, mama Gody na Clara walipanga kuniua ili Gody awe mrithi wa ile kampuni ya utengenezaji wa filamu”

“Si Clara peke yake?”

“Clara alishawishiwa, hivi ni kweli ulimuua?”

“Eheee?”

“Ulimuua Clara?”

“Hapana, sijamuu?”

“Kwa nini habari zilisema kwamba umemua?”

“Ilibidi iwe hivyo, ila sikuhitaji kumuua kutokana nilihitaji kufahamu ni kwa nini aliamua kunisaliti”

“Sababu ta kukusaliti ni mama Gody”

“Una ushahidi?”

“Ndio mume wangu, nina flash ambayo ina mazungumzo yao?”

“Ipo wapi?”

“Ipo kwenye ile suruali yangu ile niliyo ivaa siku ile ya kwanza”

Tukatoka bafuni na kuingia chumbani, nikafungua kabati na kutoa nguo zetu ambazo tumezianda maalumu kwa kazi zozote za hatari ambazo tutizifanya. Eddazaria akanisogelea na kunishika mkono wangu wa kulia, akaunyanyua na kuutazama kwa muda huku akionekana akiwa katika usikivu mkubwa.

“Mbona huna raha au hujazipenda hizi nguo mume wangu?”

“Nimezipenda?”

“Ila sasa mbona unakuwa hivyo lakini?”

“Kuna jambo moja ambalo kwa kipindi cha hivi karibuni sikuweza kukufahamisha”

“Ni jambo la aina gani hilo mume wangu?”

Eddazaria akakaa kimya kwa muda huku akinitazama usoni mwangu.

“Tujiandae kwa kuvaa hizi nguo kwanza kisha ndio nitakuambia”

Nikamtazama mume wangu kwa muda kidogo, kisha nikaanza kuvaa nguo zangu, huku na yeye akiendelea kuvaa nguo zake, baada ya muda tukamaliza kuzivaa huku kila mmoja akiwa na silaha yake, huku kwa upande wangu nikiwa ninatumia upindi, mishale, visu vyangu pamoja na bastola mbili, huku kwa upande wa mume wangu akitumia majambia mawili pamoja na bastola zake.

“Nipo tayari mume wangu natambu kwamba ni jambo la kazi ndio ulihitaji kuniambia, haya niambie tunakwenda wapi?”

“Leo ni siku ya wanawake duniani, mke wa raisi ameandaa chakula cha usiku kwa wanawake wote pale Mlimani City. Kazi yeti leo ndio inaanza, sikuhitaji kukuambia mapema kwa maana ungeikamia ila tuhakikishe kwamba tunaondoka naye umenielewa mke wangu”

“Nimekuelewa mume wangu”

Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na furaha sana huku nikivaa kinyago changu kichwani kinacho ificha sura yangu na kunibakisha macho tu kwani kwa kuzificha hivi sura zetu hakuna mtu hata mmoja ambaye ataweza kufahamu kwamba mimi na mime wangu ndio wahusika wa tukio hili tunalo kwenda kulifanya.



Mume wangu akanitazama kwa sekunde kidogo kisha na yeye akavaa kinyago chake. Tukatoka nje na kupanda kwenye pikipiki yetu kubwa ambayo mume wangu aliiagiza kutoka nchini ujerumani, wiki tatu zilizo pita. Tukavaa makofia(helment) za pikipi hii, kisha safari ikaanza. Tukafika hadi kwenye ukingo wa bahari. Tukaipandisha pikipiki hii kwenye botoo yetu ndogo ambayo mara kwa mara tuliitumia kutoka katika kisiwa hichi ambacho tunaishi mimi tu na mume wangu. Tukafika upande wa pili wa fukwe. Eddazaria akaishusha pikipiki kwenye boti hiii kisha nami nikatafuta sehemu ya kufunga kamba ili kuzuia boti hii kuweza kusogezwa mbali na maji.

“Hei”

Mume wangu aliniita huku akiwa tayari amesha panda pikipiki, nikamalizia kuifunga kamba hii ngumu kwenye moja ya jiwe kubwa kisha nikakimbilia sehemu alipo, taratibu nikapanda na kumshikilia kiuno vizuri.

“Kumbuka kwenye kazi hii tutatumia majina ambayo sio halisi, mimi litabaki jina la Z na wewe nikuitaje?”

“Mmmmm…..”

“Nitakuita Cat”

“Jamani Eddy kwa hiyo mimi nyau?”

“Tena nyau mdogo”

“Hahaaa”

Mume wangu akawasha pikipiki hii kubwa ambayo kukaa kwake ni lazima tuiname kidogo, taratibu tukaondoka katika ufukwe huu na kuianza safari ya kuelekea Mlimani City ambapo ndipo eneo inapo endelea shereza za siku ya wanawake hapa duniani.

Safari yetu haikuchukua muda mrefu tukafanikiwa kufika eneo la Mlimani City ila katika eneo la nyuma kabisa ambapo halina watu kabisa. Tukaificha pikipiki yetu kisha taratibu mume wangu akatoa simu yake na kuanza kugagua ramani nzima ya jengo hili tuliyo iweka kwenye simu hii.

“Kuna walinzi thelathini na tano, mke wa raisi amekaa hapa”

Eddazaria alionyesha alama nyekundu nyekundu zinazo onekana kwenye simu hii zikionyesha kwamba hao ndio walinzi wanao mlinda mke wa raisi.

“Tutaingilia wapi?”

Nilimuliza Eddazaria huku nikimtazama usoni mwake.

“Ni lazima tuweze kuzima umeme katika eneo zima?”

“Ila hapa si wana genereta lile kubwa?”

“Nalo nitalizima kila kitu ninaweza kuki ongoza kutumia hii simu”

“Unauongozaje?”

Subiri uone, hembu niletee kibegi kidogo kilichopo kwenye hiyo pikipiki”

Nikaisogelea pikipiki na kuchukua kibegi kidogo ambacho kina mikanda myembaba ila ni migumun a si rahisi kukatika. Eddazaria akafungua kibegi hichi na kutoa laptop ndogo sana pamoja na wanya wa ‘USB’. Akaiunganisha simu hii na laptop hii kwa kutumia wanya huu wa USB, akaanza kuminya minya batani za laptop hiyo.

“Kwenye begi humo kunwa miwani mbili nyeusi zitoe”

“Za nini?”

“Utaona kazi yake”

Nikaingiza mkono wangu wenye gloves nyeusi zilizo ungana na nguo yangu hii ambayo nayo ina rangi nyeusi. Nikaijaribisha kuivaa miwani moja na nikaona jinsi inavyo fanya kazi gizani, kwani kila kitu nina kiona vizuri sana japo kuna giza.

“Yess”

Eddazaria alizungumza kwa furaha na kunifanya nichungulie kwenye laptop yake hii ndogo.

“Kuna nini?”

“Nimefanikiwa kuua injini nzima ya jenereta lao, sasa hapa nina hack kamera zote”

“Baada ya hapo?”

“Ninafwatia kwenye umeme”

Mume wangua akaendelea kuifanya kazi yake kwa umakini sana na kwa haraka. Baada ya dakika kadhaa akaninyooshea kidole gumba akiashiria kwmaba amefanikiwa katika lile aliko niambia.

“Kuna saa mbili humo zitoe”

“Wapi?”

“Kwenye kibegi hicho”

Nikatoa saa mbili kwenye kibegi hichi, ambazo zote zina fanana.

“Saa hizo tunaweza kuzitumia kama kutazamania muda wa kazi yetu na hizo pia tunaweza kuzitumia kama njia ya mawasiliano endapo tunatakuwa tumepotezana”

“Ni wapi kwa kuwasiliana”

“Minya hiyo batani nyekundu pembeni”

Nikaiminya batani hiyo na nikaon kioo cha saa hii kikibalidilika na nikajiona mimi mwenyewe.”

“Mbona ninajiona mwenyewe?”

“Hapo ni hadi uwashe saa hiyo ya pili”

Nikaiwasha saa ya pili, na nikamkabidhi Eddazaria, akaivaa mkononi mwake na hapo ndipo nikafanikiwa kumuona na yeye ananiona mimi.

“Vitu hivi umevitolea wapi mume wangu?”

“Umesahau mimi ni nani?”

Hata kabla sijamjibu mume wangu, taa za eneo hili zima la Mlimani City umeme ukakatika. Kwa haka Eddazaria akachukua miwani yake na kuivaa, kisha akarudisha laptop hii kwenye kibegi kidogo.

“Tuna dakika tano baada ya bapo taa zitawaka?”

“Hujaweza kuzikata kabisa?”

“Ndio, hakikisha kwamba unanifawata nyuma yangu, na si unamfahamu mke wa raisi?”

“Yaa nina mfahamu”

“Poa”

Tukaanza kukimbia kwa kasi kuelekea katika eneo la mbele la jengo hili, tukaona baadhi ya walinzi wakimulika mulika na tochi nje.

“Z niachie hawa wa nje wewe nenda ndani?”

“Utawamudu?”

“Ndio”

Eddazaria akakimbilia ndani na kuniacha nje, kila mlinzi na askaria mbaye yupo katika eneo hili la nje ni halali yangu. Sikuona huruma kwa kuweza kumua yoyote kwani katika kazi kama hii hakuna namna ya kufanya zaidi ya kuhakikisha kwamba mpango ambao umeupanga ni lazima uweze kwenda kama vile tunavyo hitaji.

Mapambano na walinzi hawa hayakuniwia ugumu, kwani wengi wao ni wa kutegemea silaha, na bahati mbaya hawanioni kwani eneo zima lina giza na yoyote ambaye anajaribu kutumia tochi, basi ni wa kwanza kumuondoa duniani.

“Ninatoka naye”

Niliisikia sauti ya Eddazaria kwenye saa hii iliyopo mkononi mwangu. Nikamtazama nikamuona sura yake.

“Sasa baba nje papo salama”

Nilizungumza huku nikiimalizia kuivunja shingo ya mlinzi mmoja kwa kutumia miguu yangu. Eddazaria akatoka nje huku akiwa amebeba mke wa raisi begani mwake. Akashangaa kuona walinzi wote wakiwa wamelala chini huku wengine katika maeneo waliyo lala kukiwa kumetapakaa kwa damu.

“Umewaua?”

“Ndio, au ningefanyaje?”

“Mmmm twende zetu”

Tukakimbilia hadi eneo la nyuma ilipo pikipiki yetu. Eddazaria akamuweza chini mke wa raisi ambaye anaonekana kupoteza fahamu zake. Akapanda kwenye pikipiki na kuiwasha.

“Unaweza kumpandisha?”

“Ngoja nijaribu”

Nikaanza kumnyanyua mke wa raisi taratibu, japo ni mzito ila nikajikaza hadi nikamsimamisha.

“Sasa huu mgauni wake kweli ataweza kupanda mume wangu?”

“Ngoja”

Eddazaria alizungumza huku akishuka kwenye pikipiki, akatoa kisu kidogo na kuanza kulichana gauni hili la mke wa raisi hadi akambakisha na skin taiti ya ndani pamoja na sidiria.

“Eddy jamani una vituko”

“Vya nini?”

“Mama wa watu kumuacha hivi ndio nini?”

“Bwana panda”

Eddazaria akapanda kwenye pikipiki, nikajitahidi kumpandisha mke wa raisi kwenye pikipiki hii na nikafanikiwa, kisha na mimi nikapanda. Eddazaria akaiwasha pikipiki na tukaanza kumondoka eneo hili huku nikiwa nimemshikilia vizuri mke wa raisi ili asiondoke.

Tukafanikiwa kufika kwenye ufukwe wa baharia, nikashuka kwenye pikipiki na kumshusha mke wa raisi, Eddazaria akaiingiza pipiki kwenye boti kisha akarudi na kumbebe mke wa raisi. Tukaingia kwenye boti hii na taratibu tukaanza kuondoka katika eneo hili. Ikatuchukua robo saa kufika katika kisiwa chetu. Eddazaria akamshusha mke wa raisi, kisha akaifwata pikipiki ilipo kisha nami nikaisimamisha boti hii katika sehemu ambayo sio rahisi kabisa kuweza kuonekana.

Nikarudi walipo Eddazaria na mke wa raisi na nikamkuta wakiwa tayari amesha mpandisha kwenye pikipiki na kuendelea na safari hii kwa maana nyumba yetu ipo katika ya msitu huu.

Ikatuchukua muda kidogo na kufika ilipo nyumba yetu. Nikashuka kwenye pikipiki na kufungua geti kubwa la sehemu ilipo gereji.

Taratibu akaingiza pikipiki hii, alipo simama nikamshusha mke wa raisi kwenye pikipiki na kumlaza chini.

“Umefanya nini mbona kagelegea sana?”

“Nimemzimisha”

“Na sindao?”

“Hapana kuna mshipa hapo shingoni, nikiupiga kidogo anazinduka”

“Duu, sasa tunamfanyaje?”

“Tunakwenda kumalaza kwenye kile chumba, ila tutaifunga miguu na mikono yake ili asijaribu kutoroka?”

“Hivi hawa wake wa maraisi si huwa wanawekwa viji GPRS kwenye miili yao ili popote anapo kwenda aweze kujulikana?”

“Nimemkagua hana?”

“Wanawekwa ndani ya mwili?”

“Hana pia, Tanzania bado hatujafikia hiko”

Eddazaria akambeba mke wa raisi hadi katika chumba ambacho hatukitumii sina ila kina kitanda. Akamlaza kitandani na nikaanza kumfunga kamba aina ya manila kwenye miguu yake kisha nikafwatia kwenye mikono yake ambayo nimeichanua kushoto na kulia.

“Mstue huo mshipa wake?”

“Muache hadi kupambazuke kwanza, kwa sasa hivi tunacho takiwa ni kuangalia Tv tuue ni nini watakacho kitanganza”

Tukatoka chumbani humu na kuelekea sebleni. Nikawasha tv na taratibu nikavua kinyago changu kichwani na nikaziweka vizuri nywele zangu ndefu ambazo kwa sasa zinafika mgongoni.

“Eddy”

“Mmmm”

“Unajua hili tulilo lifanya ni jambo la hatari sana?”

“Ndio, ila jamaa yeye ndio ameyaanzisha haya yote, laiti ingekuwa sio hivyo wala sisi tusinge hangaika na mke wake”

“Kwa hili hivi ni kweli anaweza akamuachia mama?”

“Lazima amuachie, sidhani kama anaweza kukataa”

“Mmm mwenzio nina ogopa mambo yamesha kuwa makubwa haya”

“Usihofo”

Tukiwa katikati ya mazungumzo kituo cha taifa kikarusha habari ya dharura juu ya uvamizi ulio fanyika katika jengo la kibiashara la Mlimani City huku wakidai kutuweka kwa mke wa raisi na hdi sasa hawajui ni ni kina nani walio husika na tukio hilo.

“Sasa kumekucha”

“Eddy”

“Yaa pamekucha, ubaya tu kwa ubaya”

“Hivi unajua kwamba tulikuwa ni raisi wema, inakuaje siku tukijulikana ni sisi?”

“Hakuna siku hata moja ambayo wanaweza kufahamu kama ni sisi?”

“Unajiamini kwa lipi?”

“Mimi nina kuambia, hakuna siku hata moja watakayo fahamu. Kila jambo ni lazima tulifanye kwa akili, tena kwa akili kubwa sana la sivyo ndio kama unavyo sema ni lazima tutajulikana”

“Haya mimi ninakutegemea wewe tu mume wangu”

“Ila uliwauaje wauaje?”

“Kina nani?”

“Wale walinzi?”

“Sasa si walitaka kuniua, ikabidi niwaue na mimi?”

“Ndio ume wauaje uaje?”

“Yaani hata sielewi yaani, sikuwapiga risai, ila mishale ilifanya kazi yake”

“Mmmm upo vizuri mama, nilikuwa nikiingia ndani huku nikiwa na wasiwasi mwingi sana”

“Kweli?”

Niliuliza huku taratibu nikimkalia Eddazaria pamajani mwake. Taratibu nikaanza kuzinyonya lipsi zake, huku mikono yangu nikiwa nimemkumbatia. Hisia za mapenzi kwa watu wapendano ni kitu kisicho zuiilika pale endapo mmoja ataonyesha kuwa na haya ya mwenzake. Uzuri wa mume wangu ni mtu anaye nijulia, kili ninapo muonyesha hisia za kuhitaji penzi lake basi hunipatia pasipo hiyana ya namna yoyote.

Tukaanza kupeana burudani huku kila mmoja akihakikisha ana kata kiu ya mwenzake, hatukuwa na haya ya kuelekea chumbani na kila kitu tukakimaliza hapa hapa sebleni.

“Kila siku zinavyo zidi kwenda ndivyo jinsi mke wangu utamu wako unavyo ongezeka”

“Kweli mume wangu?”

“Kweli vile siwezi kukutania baby”

“Asante hata wewe ninajisikia utambu wa mbo** yako mume wangu”

Tartaibu mume wangu akanikumbatia huku nikiwa nimekaa kwenye pamaja naye huku tukiwa uchi kama tulivyo zaliwa. Katika mkaa huu huu nikajikuta usingizi ukinipitia na wala mume wangu hakuo haja ya kunishusha mapajani mwake na yeye akalala huku tukiwa tumekumbatiana. Kishindo kizito kikastustua na kujikuta tukikurupuka kwa haraka huku kila mmoja akikimbilia silaha yake huku nami kwa upande wangu mapigo ya moyo yakianienda kasi sana kwani sifahamu ni kishindo cha nini ambacho kimetokea katika eneo hili la kisiwa chetu.



Kwa haraka kila mtu akachukua nguo zake na kuvaa kwa haraka haraka, kitu cha kwanza nikimbilia katika chumba tulipo muweka mke wa raisi, nikamkuta kitandani akiwa anafumbua fumbua macho inaonyesha dhairi kwamba mstuko wa kishindo hicho umemstua hata yeye mwenyewe. Kwa haraka nikatoka chumbani humu na kumkuta Eddazaria akikimbilia nje, nikaungana naye na kutoka nje, moto mkubwa sana ulio ambatana na moshi mkubwa sana tukaouana ukiwaka katika eneo la mbali kidogo na hapa tulipo.

“Ni nini?”

“Ni ndege imeanguka”

“Mungu wangu, sa…sa….a tunafanyaje mume wangu”

“Tuingie ndani, hakikisha kwamba unabadilisha nguo zako na kumficha huyo mke wa riais kwenye vyumba vilivyopo chini ya ardhi na hakikisha kwamba hakuna ushahidi wowote unaaoweza kupatikana unao nyesha kwamba sisi tumehusika na tukio la jana usiku”

Eddazaria aliyatoa maelekezo haya kwa haraka, nikatingisha kichwa nikimaanisha kwamba nimemuelewa vizuri sana. Kila mtu akaanza kubalidilisha nguo alizo zivaa na kuvaa nguo nyingine. Kwa haraka nikaanza kukusanya kila kitu tulicho kitumia katika tukio la jana usiku la kumteka mke wa raisi.

Nilipo hakikisha kwamba nimeviweka katika vyumba vya siri vilivyomo ndani ya ardhi, nikarudi chumbani huku nikiwa nimeivaa kinyago changu ili mke wa raisi asiweze kunitambua kwa maana mimi ni mtu maarufu na endapo ataiona sura yangu ni rahisi sana kwa yeye kuweza kunifahamu.

“Wewe ni nani?”

“Sina muda wa kujieleza?”

Nilizunhumza huku nikiwa nimeishika bastola yangu mkononi mwangu, nikazikata kamba zote tulizo mfunga mikononi na miguuni mwake, kisha nikamnyanyua kitandani kwa nguvu huku bastola yangu nikiwani nimeishika kwa umakini sana na endapo atafanya ujinga wa namna yoyote basi inaweza kumgarimu maisha yake.

“Wewe umsichana unafanya makosa makubwa sana hujui kamba mimi ni first lady”

“Twende bwana, first lady ni kwa mume wako na si kwa kila mtu”

Nilizungumza huku nikimgusa gusa na bastola mgongini mwake. Tukashuka kwenye ngazi za siri za kuelekea chini ya ardhi ambazo zipo kwenye chumba cha kuhifadhia vitabu, nikamuingiza mke wa raisi kwenye moja ya chumba, nikamkalisha kwenye kiti, nikanza kumfunga kamba na kiti chake. Nilipo hakikisha kwamba nimemfunga kamba vizuri nikasimama mbele yake huku nikimtazama.

“Kosa moja litagarimu maisha yako, usipige kelele wala kuzungumza upuuzi wowote, umenielwa”

“Shetani mkubwa, hivi unahisi kwamba mume wangu anaweza kukuacha hai wewe. Tambua mume wangu ni raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania”

“Sipindi mtu muongeaji, laiti angekuwa na uwezo kama wetu basi leo hii usingekuwa hapa”

Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo nikachukua gundi kubwa aina ya soltape, nikamfunga mdomo wake ili asiweze kupiga kelele. Nilipo maliza kufanya hivyo nikatoka chumbani humu, nikafunga ngazi hizi vizuri, na kusogeza kabati hili kubwa la vitabu. Nikatoka ndani humu, nikarudi chumbani kwetu, nikakificha kingo hichi katika sehemu ambayo sio rahisi kwa mtu yoyote kuweza kukiona, nikachukua kofia na nikaivaa vizuri na kusibana nywele zangu kwa nyuma kisha nikatoka ndani humu na kukimbilia katika eneo la tukio. Nikamkuta Eddazaria akiwa amesimama hukua akishangaa ndege kubwa ikiendelea kuteketea kwa moto huku ndani yake kukiwa na watu wengi sana.

“Tunafanyaje mume wangu?”

“Sijui tunafanyaje?”

Vilio vya watu wachache ambao bado hawajakata roho zao bado vinaendelea kusikika jambo lililo nifanya nizidi kusikitika.

“Eddy tuwasaidie mume wangu?”

“Tunawasaidiaje na moto wote huo unauona hapo”

Tukiwa katika majadiliano ya nini tufanye, tukaona helicopter moja ya snirika la zima moto ikitafuta ni sehemu gani ya kutua. Eddazaria kwa ishara ya mikono akaanza kuwapungia huku akikimbilia eneo lenye kiwanja kidogo, ambacho kinaweza kufanya helicopter hiyo kuweza kutua kwa usalama kwani eneo kubwa limejaa miti mirefu ambayo kwa helicopter ni jambo gumu sana kwa ndege za aina hiyo kuweza kutua.

Nikiwa katika kushangaa, nikasikia sauti ya mtoto mdogo kwenye eneo la pembeni ambapo kuna mabaki makubwa ya ndege hii yaliyo pasuka pasuka, japo kuna moshi mwingi sana ila nikajiziba pua yangu kwa kutumia tisheni niliyo ivaa, kisha nikakatika katikati ya moshi mwingi, nikajitahidi kuangaza angaza katika eneo ninapo isikia sauti ya mtoto mdogo anaye lia. Kwa bahati nzuri nikamuona mtoto mwenye miezi kama sita hivi akiwa amekumbatiwa na mama yake ambaye tauari amesha poteza maisha. Kwa haraka nikaanza kumtoa mtoto huyu mikononi mwa mama yake kisha nikambeba kwa kukumbatia huku nikiwa nimeibana pumzi yangu, nikaanza kukatiza katikati ya moshi huu mwingi na kutokea upande ambao nilikuwepo hapo awali, nikawakuta Eddazaria na waokoaji hawa wa zima moto wakiwa wamefika katika eneo hili.

“Umefanya nini wewe?”

Eddazaria aliniuliza kwa ukali huku akinitazama usoni mwangu. Nikamkabidhi mtoto huyu na kuanza kukohoa kwani ni moshi mwingi sana umenipalia japo nilijitahidi sana kuiziba pumzi yangu.

Wakohaji hawa nao hawakuweza kufanya chochota zaidi ya kushangaa shangaa kwa maana ajali hii ni kubwa sana. Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo jinsi vikosi vya uokoaji vilivyo zidi kuongezeka huku waandishi wa habari nao wakizidi kuongezeka ili kurusha tukio hili moja kwa moja kwenye televishion.

“Huyu mtoto inabidi tumkabidhi kwa wahusika”

“Wahusika kina nani?”

“Waokoaji una hisi sisi tunakaa naye ili iweje?”

“Ila mume wangu huyu mtoto nimemuona mama yake akiwa amefariki”

“Bwana weee, tuna mtoto wetu, anatutosha, nisisikie unasema tumlee”

Eddazaria alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu. Akapita dada mmoja aliye valia kiti yeupe lenye msalaba mwekundu mgongoni mwake.

“Hei mchukue huyu mtoto”

Eddazaria alizungumza huku akikabidhi mtoto huyu kwa dada huyo.

“Eddy”

“Nini, dada mchukue ni miongoni mwa watoto walio okolewa kwenye ajali”

Dada huyu akampokea mtoto huyu, na kuanza kuondoka naye. Moyo wangu ukajikuta ukipata masonenoko mengi sana, hata mtu akinitazama usoni mwangu lazima atatambua kwamaba sijafurahishwa na maamuzi ya mume wangu.

“Eddy kusema kweli sijapenda?”

“Hujapenda na nini, unataka kila mtoto tulee tu si ndio?”

“Sio hivyo mume wangu, ila yule mtoto mama yake amekufa?”

“Sawa amekufa, hana baba kwani, je mzazi wake aliye salia akihitaji kumtafuta atampatia wapi ikiwa umeamua kumchukau, kumbuka tupo wapi, kumbuka kwamba tunatakiwa kufanya nini sawa, na si kuchukua majukumu mengine ikiwa majukumu ya mtoto wetu tumekabidhi mdogo wako”

Kabla sijamjibu kitu chochote mume wangu waandishiw a habari karibia kumi wakatuzunguka huku wakiwa na kamera zao na vinasa sauti.

“Ni siku nyingi sana hatujawaona pamoja, Jojo na Eddy habari zenu?”

Mtangazaji mmoja wa kike alizungumza huku akitutazama kwenye nyuso zetu, taratibu nikatabasamu kidogo ili kuiweka sura yangu katika muonekano mzuri japo kuwa moyoni mwangu nimekasirika.

“Salama tu?”

Eddazaria aliniwahi kunijibu.

“Tunawaona mupo katika eneo la tukio vipi nanyi ni watu ambao mumeokolewa kwenye ajali hii au?”

“Kwa akili yako umemuona mtu akitoka akiwa anatembea kwenye hiyo ajali hapo?”

Swali la Eddazaria likanifanya nimfinya kiunoni mwake pasipo waandishi wa habari kuweza kuona kitu.

“Hatukuwepo kwenye hii ajali, ila tulikuwa ni watu kwanza kabisa kuweza kufika katika eneo hili la ajali”

Nilijibu kwa sauti ya upole huku nikiwa nimejawa na tabasamu pana usoni mwangu.

“Munaweza kuteleza ajali hii ilitokeaje ikiwa nuinui ndio watu wa kwanza kuweza kufika katika eneo hili la tukio?”

“Tulisikia kishindo tukiwa ndani tumelala?”

“Ndani wapi?”

Nikatazamana na Eddazaria usoni mwangu.

“Sikieni, hembu pigeni picha wale wanao tolewa kule kwenye ndege. Kwa sasa bado hakili zetu hazipo sawa”

Eddazaria alinijibu huku akinishika mkono na kuanza kupita katikati ya waandhishi hawa wa habari ambao walikuwa wametuzunguka.

“Eti mulikuwa mumelala wapi?”

Muandishi mmoja mwenye mwili mdogo mdogo alizungumza huku akitufwatwa kwa nyuma. Eddazaria kwa haraka akaniachia mkono wangu na kumsukuma muandishi huyu mwenye maiki yake na kuanguka chini tukio ambalo ni kosa kubwa sana kwa muandishi wa habari kufanyiwa. Eddazaria baada ya kufanya tukio hili akaondoka eneo hili na waandishi wa habari wakaendelea kumpiga piga picha kwa haraka nikamsaidia muandishihuyu kunyanyuka.

“Jamani samahani, kuna baadhi ya vitu vimemchanganya mume wangu na hayupo sawa”

Nilizungumza huku nikimkung’uta majani majani mengi yaliyo mnasa mundishi huyu kwenye nguo yake.

“Usijali dada, ila unaweza kutujibu swali tulilo wauliza?”

Nikajifikiria kwa muda huku nikimtazaa mume mwangu jinsi anavyo zidi kutokomea porini akielekea sehemu ilipo nyumba yetu.

“Yaa hapa kisiwani tuna nyumba yetu ya mapumziko, endapo tunakua na mawazo ya hapa na pale basi tunakuja kupumzika”

“Ahaaa, kwa hiyo akali ilitokea mukiwa ndani mumelala?”

“Ndio tulistuka kwa kusikia kishindo kikubwa ambacho kilitufanya tuweze kukimbilia katika eneo hili”

“Sawa sawa, je tukuulize swali moja tu la udaku udaku”

“Uliza?”

“Mbona sasa ni mwaka wa pili sasa hatujaiona filamu yako ambayo ilitokea kushika vicha vya habari mwaka juzi, imekuwaje kuwaje hapo?”

“Uzazi jamani, naamini munafahamu kwamba nina mtoto wa kike, hivyo akifikiasha kama miezi sita hivi tunaweza kuzindua”

“Ohoo na sasa mtoto yupo wapi?”

“Yupo sehemu salama”

“Una maana gani?”

“Tunamlea”

“Toka ujifungue hatujaona ukimuweka sura ya mwanao kwenye mtandao vipi kuna tatizo?”

“Hapana, ila kila familia ina utaratibu wake, hivyo siku ikifika basi tutamuweka kwenye mtandao”

“Ila tunasikia kwamba wewe na mume muliachana ni kweli?”

“Hahahaaa….hapana si mumetuona tupo pamoja”

“Ila munaonekana hamupo sawa?”

“Hahaa, hata vikombe vikikaa kabatini nilazima vitagongana tu kwa hiyo hayo ni mambo madogo sana, ila mimi na mume wangu hatujaachana”

“Ila kuna ishu moja hivi tunaisikia mama mkwe wako ametekwa je ni kweli?”

Nikamtazama muandishi huyu aliye niuliza swali hili, nikanyamaza kwa muda kidogo huku nikitafakari ni kitu gani cha kuzungumza.

“Jojo”

“Beeee”

“Tunasikia mama mkwe wako ametekwa kwa maana kitengo alicho pewa ni kigumu sana cha kushuhulika na madawa ya kulevya hivi ni kweli?”

“Hilo swala mimi sio msemaji wa familia, ila samahani jamani, ninawaomban niweze nikamune mume wangu, ila tutaandaa mahojiano ambayo maalumu na waandishi wa habari ili tuweze kuzungumzi hili swala.”

Nilizungumza huku nikiana kuondoka katika eneo hili.

“Tunasikia wewe na Mr Z munafamiana je ni habari za ukweli hizo?”

Swali hili likayafanya mapigo yangu ya moyo kuanza kunienda kasi sana huku wasiwasi mwingi ukiwa umenitawala, waandishi wa habari hawakunipa hata nafasi ya kutembea, kwa haraka kabisa wakanizunguka mbele yagu na kuninyooshea vinasa sauti vyao ili niweze kuzungumza kitu chochote jambo lililo nifanya nipatwe na kigugumizi kikubwa sana kwani Mr Z ni mume wangu.


“Kusema kwlei sijawahi kuwa na urafiki naye ila nimesha wahi kumuona kwa ukaribu wake?”

“Je sauti yake inafanania vipi?”

“Ni jibesi bayabaya ambalo halirufahishi kabisa kwa mtu kuweza kulisikia masikioni mwake.”

“Je sura yake inaonekanaje?”

“Jamani sijawahi kuina sura yake, kama vile munavyo weza kumuona kwenye picha ndivyo jinsi nami nilivyo muona sikuwahi kuina sura yake. Samahani jamani ninaomba niwaache kidogo”

Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo nikaanza kutembea wa kujiamini huku nikiwaacha waandishi hawa wakinipiga picha, nikafika katika nyumba yetu, nikastuka sana baada ya kuwaona askari wawili wakiwa wamesimama nje huku wakijaribu kama kuita ndani.

“Habari zenu”

Nilizungumza huku nikiwa nimejikaza kuondoa wasiwasi nilio nao.

“Salama, wewe ndio muhusika katika nyumba hii?”

“Ahaa…..kuna tatizo?”

Niliwauliza huku nikiwatazama usoni mwangu.

“Hapana, hakuna tatizo”

“Yaa nipo hapa na mume wangu, tumekuja mapumzikoni”

“Ahaaa, sawa sawa. Wewe ni Jojo?”

“Yaa mimi ni Jojo”

“Ahaa….basi ninashukuru kwa kuweza kukufahamu”

“Hata mimi, karibuni ndani mupate kifungua kinywa?”

“Hapana, wacha sisi tukaendelee na majukumu yetu binafsi.”

“Sawa nashukuru sana”

Askari hawa wakaondo na kwa haraka nikaingia ndani na kumkuta Eddazaria akiwa amesimama pembeni ya mlango huku akiwa ameshika bastola mkononi mwake, nikamtazama machoni mwake na nikahisi amekunywa wisky kiasi.

“Eddy umefanyaje mume wangu?”

“Nimefanyaje nini?”

“Kwa nini unywe asubihi yote hii?”

“Nimetoa mawazo”

“Mawazo ya nini tena mume wangu?”

“Hivi unahisi hawa watu wanavyo zunguka zunguka kwenye hichi kisiwa mimi ninafurahi, hili eneo ni watu wachache sana walilifahamu, sasa ona makamera yamekuja hadi huku na wewe ulivyo mzembe unakwenda kuuuza sura mbele ya wale waandishi wa habari, umesahau kwamba wewe ni nani, umesahau tupo hapa kwa ajili gani eheee?”

Eddazaria alizungumza huku akifoka sana jambo lililo nifanya ninyamaze kama mkwe kwa maana mume akipandisha hasira na mimi nikisema nipandishe hasira tutajikuta tunatengeneza mtafaruku wa kipuuzi ambao hauna manuufaa yoyote.

“Naomba unisamehee mume wangu?”

“Mimi sina makosa na wewe, ila hembu tambu ni maadui wangapi tunao, tambu watu wenye akili zao sawa sawa, watajiuliza ni nini kilicho tuleta, watataka kujua, yaani hao polisi laiti kama wangeingiza pua zao ndani ya hii nyumba yangu ningewamwaka ubongo”

“Eddy mume wangu zungumza taratibu jamani”

Nilizungumza huku nikisismama mbele kidogo na mume wangu huku nikimtazama usoni mwake, taratibu nikapitisha mkono wangu kiunoni mwake na kuanza kuminya minya kiuno chake taratibu.

“Tambua mume wangu jambo ambalo linaendeshwa na hasira haliwezi kufanikiwa. Kumbuka bado una nafasi ya mtu mwema kwenye jamii yako. Kumbuka kwamba kile kitendo cha kumsukuma maundishi wa habari sio kizuri na usipo fanya jambo juu ya hilo watu watatufwatatilia na inaweza kupelekea tukashindwa kufanya kazi yetu kama vile tulivyo kuwa tumepanga”

Nilizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa mahaba, taratibu mume wangu akashusha pumzi akionyesha dhairi kwamba ameelewa kile nilicho kizungumza.

“Sasa unatakanifanye nini?”

“Kawaombe msamaha, hii ilaleta heshima na haito leta maswali juu ya watu, usitake watu wakatufwatilia kama Bashite mume wangu.”

Mume wangu akatabasamu kidogo kisha akajitoa mikononi mwangu, akakaa kwenye moja ya kiti kilichopo hapa sebleni.

“Andaa kifungua kinywa nina njaa”

“Sawa, ila muda huu ninao kuandalia kifungua kinywa, kautumie kuzungumza na waandishi wa habari, jishushe mke wangu, waombe radhi. Kuna mtu wa kawaida”

“Nimekuelewa mke wangu”

“Nashukuru kwa kunielewa mume wangu, ninakupenda sana”

Nilizungumza huku nikimsogelea mume wangu, taratibu nikaimbusu limpsi zake, kisha nikanyanyuka na kuelekea jikoni. Nikaanza kuandaa kifungua kinywa kwani kila kitu muhimu tumekihifafadhi kwenye friji. Mume wangu akaingia jikoni humu, taratibu akanishika kiuno changu.

“Bado hujakwenda mume wangu?”

“Bado sijakwenda?”

“Kwa nini?”

“Nataka nishibe kwanza unajua nikiwa na hasira ninakuwa na na njaa”

“Mmmmm”

“Nini?”

“Hamana mume wangu”

“Jojo”

“Bee”

“Tukimaliza haya mambo naomba tufunge ndoa”

“Sawa mume wangu, mimi nipo tayari kwa kila jambo”

“Nashukuru sana mke wangu”

Tukasaidia kuandaa kifungua kinywa, tukamaliza kupata kifungua kinywa kisha tukaanza kula taratibu.

“Hili eneo sio salama kwa sisi kuendelea kuwepo hapa”

Eddazaria alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Ni kweli mume wangu nina mashaka sana kwa maana wale polisi wakija humu itakuwa ni matatizo”

“Tutafanya jambo”

Gafla tukasikia mlango wa nje ukigongwa kwa nguvu, jambo lililo tufanye tustuke sana. Taratibu Eddazaria akshusha kikombe cha chai ambacho aikuwa amekishika, akaichomoa bastola yake taratibu kiunoni mwake.

“Kasimame mlanngoni”

Eddazaria aliniambia kwa sauti ya chini sana huku na yeye akijibanza kwenye dirisha. Nikatembea kwa wasiwasi hadi mlangoni. Nikamtazama mume wangu, kwa ishara ya macho akaniomba nifungue mlango. Taratibu nikafungua mlango huu na kukutana na mwanaume mweusi aliye valia suti nyeusi na miwani nyeusi. Mwanaume huyu akatoa kitambulisho chake taratibu na kunionyesha, kitambulisho kinaonyesha mtu huyu ni FBI, kutoka ubalozi wa Marekani uliopo hapa nchini Tanzania.

“Nanahitaji muongozane nasi wewe na mume wako, kuna mahojiano tunahitaji kuweza kuyafanya”

“Samahani, unahitaji tuongozane wapi?”

Kwa ishara akanionyesha walinzi wengine wazungu wawili walio valia suti nyeusi pamoja na miwani nyeusi kama wao. Nikageuka na kumtazama Eddazaria ambaye taratibu akaishusha bastola yake huku nikishuhudia jinsi jasho lake la uso likimwagika.

“Samahani hayo mahojiano yanahusiana na nini?”

“Yanahusiana na hii ajali iliyo tokea”

“Ninaweza kuwakaribisha ndani muweze kuzungumza nasi, kwa maana hatuwafahamu”

Mwanaume huyu akajishauri kwa muda huku hukinitazama usoni mwangu.

“Sawa”

Eddazaria kwa haraka akaichomeka bastola yake kiunoni mwake. Mwanaume huyu akawapa ishara wezake hao wawili na wakaanza kutembea kwa hatua za haraka hadi mlangoni hapa na wakasimama nje ya mlango huu. Tukamkaribisha mwanaume huyu hadi kwenye sofa zilizopo kwenye seble hii.

“Ninaitwa bwana Devis Lema, ninatoke ubalozi wa Marekani. Ninahitaji kuwahoji maswali mawili matatu”

“Kuwa huru tu?”

“Kwa mahojiano niliyo weza kuyaona muda mchache kati yenu na waandishi, madam hapo ulisema kwamba mulisikia kishindo kikubwa cha ajali si ndio?”

“Ndio”

“Munaweza kuniambia kwamba ajali hiyo ilitokea vipi?”

“Sisi tulikuwa tumelala, kishindo hicho ndicho kilicho tustua hata sisi”

Eddazaria aliwahi kulijibu swalo hilo.

“Hakusikia hata udunguaji fulani, kama bomu vile?”

“Hapana sikusikia”

“Hata mimi sikusikia”

Nami nilijibu jibu la mume wnagu kwa sauti ya upole na unyonge.

“Mulifika kwenye eneo la tukio kwa muda gani mara baada ya kusikia mlipuko huo?”

“Ndani ya muda mfupi tu mimi na mke wangu tuliwahi kufika katika eneo hilo?”

“Muliweza kuona chochote?”

“Ndio tuliona watu wakilia lia na moshi mwingi wa ndege hiyo pia tuliouna:

Jibu la Eddazaria likamfanya mwanaume huyu kutazama chini kidogo, kisha akanyanyua sura yake na kututazama kwenye nyuso zetu. Akatoa simu yake mfukoni na kutuonyesha picha ya kiboksi kisanduku kidogo.

“Ninacho maanisha kwamba mumekiona ni hichi kisanduku hapa”

“Hapana sijakioona”

“Kwa kweli hatujakiona”

“Basi mukiweza kukiona ninaomba muweze kuwasiliana nami”

Mwanaume huyu akatoa kadi yake ndogo ya biashara na kutukabidhi.

“Samahani kwani hicho ni kiboksi cha nini?”

“Ni muhimu kwa serikali hicho kiboksi hivyo basi mukiweza kukiona ninawaomba muweze kunifahamisha”

“Sawa”

Mwanaume huyu akananyuka, tukamsindikiza hadi mlangoni, wakaingia kwenye gari aina ya Benzi Compresa na walinzi wake na wakaondoka katika eneo hili na kutuacha sisi wawili. Eddazaria akakitazama kiboksi hichi kwa umakini sana, akajaribu kiochana kadi hii na kwa bahati nzuri kadi hii ikachanika.

“Mbona umechanga kadi ya watu”

“Ninafahmau ni sehemu gani kilipo kibosi hichi?”

“Weee kina nini ndani?”

“Sijakifungua?”

“Umekipata muda gani ikiwa muda mwingi tulikuwa pamoja?”

“Umesahau tulitengana kwa muda”

“Sasa unacho humu ndani?”

“Hapana ni nje ya hapa

“Mume wangu huoni kama inaweza kuwa ni hatari kama tayari walisha tuwekea wasiwasi wa kukiona kiboksi hicho”

“Usijali, nitakifwatilia usiku, muda huu wacha niende kuzungumza na waandishi wa habari”

“Je na huyo mke wa raisi huko chini?”

“Muache tutazungumza nye usiku hali ya hewa itakapo tulia mambo yatakuwa poa”

“Sawa mume wangu”

“Hakikisha kwamba hutoki humu ndani hadi nitakapo rudi sawa”

“Sawa baby”

Tukaagana na mume wangu na akatoka ndani humu, nikaanza kufunga kila milango cha nyumba hii kisha moja kwa moja nikakimbilia chumbani kwetu, nikaitoa laptop iliyopo katabini, nikaiwasha na kuanza kuiunganisha na kamera za siri tulizo zifunga katika nyumba nzima.

Nikaanza kukagua kamera moja baada ya nyingine kuatazama kama kuna mtu yoyote karibu kabisa na nyumba hii. Kwa bahati nzuri sikuweza kumuona mtu wa aina yoyote.

Masaa yakazidi kwenda pasipo mume wangu kuweza kurudi, jambo lililo nifanya nianze kujawa na wasiwasi. Hadi inafika majira ya saa moja usiku bado mume wangu hakuweza kurudi, wasiwasi mwingi ukazidi kunijaa na kujikuta nikianza kuzuguka zunguka ndani ya chumba hichi.

“Atakuwa wapi jamani mume wangu”

Niliendelea kujiuliza maswali na ubaya ni kwamba hatuna simu ambazo zinaweza kutusaidia katika kuwasiliana. Akili yangu ikawaza kutoka nyumbani hapa na kwenda kumtafuta. Ila nikiwakatika maswali na wasiwasi juu ya mume wangun nikamuna akirudi, kwa haraka nikashuka gorofani na kukimbilia mlangoni, kabla hata hajafungua nikaufungua mlango huu, akaingia ndani humu huku akiwa na begi mdogongoni. Tukakumbatiana kwa nguvu, baada ya sekunde kadhaa tukaachiana.

“Mbona umechelewa mume wangu kurudi?”

“Nilikuwa ninatafuta muda mzuri wa kuondoka na hichi kisanduku”

Eddazaria alizungumza huku akilivua begi hili kwa haraka nikafunga mlanngo. Tukapandisha gorofani, Eddazaria akakitoa kisanduku hichi chenye rangi ya dhabu tupu jamho lililo tufanya tutazamane kwani hatujui ni kitu gani kilicho hifadhiwa ndani ya kiboksi hichi.



Taratibu Eddy akakifungua kisanduku hichi, tukaona saa na mikofu ya dhahabu ambayo dhahiri ina onyesha ina thamani kubwa sana ya pesa.

“Ina maana FBI, kutafuta kote ni hii mikufu na saa za dhahabu?”

“Hapana kuna kitu cha thamani zaidi ya hichi”

Eddazaria alizungumza huku akimwaga vitu vyote kitandani. Akaanza kukagua kitu kimoja baada ya kingine. Akakinnyayua kisanduku hichi na kuanza kukigonga gonga.

“Kuna kitu chini”

“Kutu chini?”

“Ndio”

Eddazaria alizungumza huku akitafuta jinsi ya kukifungua kisanduku hichi, akanyanyuka kwa haraka na kufungua kabati, akatoa kifuko kidogo chenye bosisi mchanganyuki. Taratibu akatafuta upenyo wa kuingiza bisisi moja wapo na akafanikiwa kufungua eneo la chini ambalo juu yake kuliwekwa hizi cheni pamoja na vito vya thamani jambo ambalo sio rahisi kwa mtu kuweza kugundua eneo hilo la chini. Macho yetu sote yakashuhuduia flash iliyo hifadhiwa vizuri sana. Eddazaria akaitoa flash hiyo na kuikagua vizuri, akainyanyua laptop na kuipakata mapajani. Akaichomeka flash hii sehemu husika kisha akaifungua kupitia laptop, nikashuhudia mapicha picha mengi sana yalio kaa katika mfumo wa kuchorwa ambazo kwa haraka haraka sijaweza kujua ni michoro inayo husiana na nini.

“Ni michoro ya nini?”

“Ngoja”

Eddazaria aliniambia huku akiendelea kuminya minya batani za laptop hii. Taratibu nikaanza kuona jinsi sura yake inavyo tawaliwa na furaha kubwa.

“Niambie basi mume wangu, ni nini kinacho kufurahisha?”

“Ni michoro inayo onyesha jinsi ya kutengeneza bomu za nyuklia, na unahona hii”

Eddazaria alinionyesha mabomu mengine ambayo hayajachorwa.

“Ndio”

“Haya yapo Kigamboni. Kupitia hii flash basi ninaweza kuya activate na kuyalipua muda wowote ninao hitaji mimi”

“Ngoja kwanza mume wangu, kwani Tanzania hapa tuna uwezo wa kutengeza nyukilia?”

“Ndio, ila ni mambo ya kijeshi na ni siri kubwa sana kwa nchi kama ya kwetu kuweza kuzungumza kwa mataifa mengine kwani wanaweza kuiwekea nchi vikwazo hususani vya kiuchumi”

“Sawa, ila wale walio tufwata si FBI?”

“Ndio ni FBI”

“Si Wamarekani?”

“Ndio, huu mradi ni wa Marekani kwa nchi hii, na unafanywa kwa siri sana kati ya nchi hizi mbili. Unajua Marekani anahitaji afanye yeye, kwake ni sawa, ila akifanya mwengine inakuwa ni shida”

“Ahaaa……sasa mume wangu tunafanyaje?”

Eddazaria akaka kimya kwa muda huku akionekana kutafakari ni nini cha kufanya kwa maana kama atachukua maamuzi ya kulipua mabomu haya basi hali inaweza kuwa ni tete.

“Baby”

“Nakusikia mke wangu”

“Tunafanyaje kuhusiana na hayo mabomu?”

“Kupitia haya mabomu, nitahakikisha kwamba raisi anajiudhuru madarakani”

“Eddy”

“Ndio, ana zambi, si unao lile faili, kwa bahati mbaya liliweza kuungua, unahisi ni mwema. Amemkamata mama yangu nakumuweka ndani unahisi kuna usalama hapo, au ni mtu mwema?”

“Na mkewe je?”

“Mkewe atampata tu pale atakapo muachia mama, ila lazima na yeye atoke madarakani”

Nikiwa kama mke ninaye msikiliza mume wangu kwa kila jambo sikuwa na chochote cha kumpinga zaidi ya kukubaliana naye kwani nina elewa hali halisi aliyo nayo mama yangu mkwe na niliweza kushuhudia maovu ya raisi huyu.

“Inabidi nifanye mazungumzo na raisi sasa hivi”

“Sasa hivi, kupitia simu gani?”

“Kupitia hii laptop”

“Mmmm baby?”

“Vaa nguo zako haraka”

“Zipi?”

“Za kazi”

Eddazaria alizungumza huku akiiweka laptop kitandani, kwa haraka nikaelekea sehemu ambayo nilizificha nguo zetu, nikazichukua pamoja na silaha zetu na kurudi chumbani. Nikamkabidhi mume wangu nguo zake, kisha nami nikachukua za kwangu.

“Tunaelekea wapi hivi sasa?”

“Nahitaji kumuonyesha raisi kwamba mimi ndio niliye mteka mke wake na ninahitaji ahakikishe kwamba ana muachia huru mama yangu”

“Hapo hapo Eddy, hivi huoni wanaweza kuhisi kwamba wewe ni mtoto wa mama?”

“Eti ehee?”

“Yaa ngoja mimi niweze kulifanya hili jambo la mke wa raisi, na wewe uta mshinikiza juu ya kujitoa madarakani”

“Sawa mke wangu, ndio maana nina furahi kuwa na wewe. Ila angalizo, si unaona sauti mbaya ninayo itumia katika kuzungumza?”

“Ndio”

“Na wewe jaribu kuunda sauti ambayo itakuwa ni ngumu kwa mtu kuweza kufahamu kama ni wewe, kwa maana wanaweza kutumia sauti kumtafuta mtu muhusika sasa hilo jambo sihitaji likukute wewe mke wangu”

“Sawa mume wangu”

Tukabadilisha nguo, tukajiandaa vizuri kabisa kwa kazi hii ambayo tunakwenda kuifanya. Eddazaria akaichomoa flash hii na kuichome katika kijimfuko kidogo chenye zipu. Akaibebea laptop tukatoka ndani humu, tukaingia maktaba na kufungua sehemu inayo elekea katika vyumba vinayo elekea ardhini. Tukamkuta mke wa raisi aikwa amelala.

“Mletee juisi na matunda?”

Eddazaria aliniambai kwa sauti nzito, nikatoka ndani humu na kuelekea jikoni, nikachukua vitu nilivyo agizwa na mume wangu na moja kwa moja nikarudi tena katika chumba hicho na kukuta Eddazaria akiwa ameiweka laptop hii juu ya meza iliyopo mbele ya kiti cha mke wa raisi huku nyuma ya kiti chake akiwa ametundika tambaa la rangi ya blue. Akaweka kikamera kidogo juu ya laptop hiyo.

“Mume wako yeye ndio mwenye maamuzi ya kufa au wewe kuwa hai, ukifanya kosa lolote la kijinga ni lazima ufe”

Eddazaria alizungumza huku akimfungua gundi niliyo kuwa nimemziba mke wa raisi mdomoni mwake.

“Munataka nini Mr Z kwa mume wangu?”

Mke wa raisi alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa uchovu mwingi sana kwani toka jana usiku sidhani kama atakuwa amepata chakula.

“Mlishe”

Eddazaria alizungumza, taratibu nikamnywesha mke wa raisi juisi hii ya maembe, nikaendelee kumlisha matunda haya hadi akaridhika na kusema yupo vizuri.

“Jibu lako ni dogo sana, tunahitaji mume wako kuachia madaraka ya hii nchi?”

Mke wa raisi akatabasamu kidogo.

“Kuachia madaraka kwa mume wangu ni jambo gumu sana, kwa kupitia mimi kamwe hawezi kuachia madaraka kwa kweli”

“Hii wiki haiishi ni lazima ataachi madaraka”

“Ila amechaguliwa na watu pamoja na Mungu?”

“Na watu ni sawa, ila na si Mungu. Hakuna Mungu anaye penda mtu mnyanyasaji, mtu muuaji, mtu muonevu kwa wengine. Kitu cha msingi ni kuhakikisha kwamba anaondoka madarakani”

“Nyau simama hapo nyuma”

Eddazaria aliniita jina hili lililo nifanya nitabasamu kidogo, uzuri ni kwamba mke wa raisi hawezi kuzitambua sura zetu. Hii ni kutokana vinyago tulivyo vivaa. Nikasimama nyuma ya kiti cha mke wa raisi.

Eddazaria akaanza kuhesabu kwa vidole moja hadi tabu kisha akaminya moja ya batani. Baada ya sekunde kadhaa nikamuona raisi akiwa amekaa kwenye kiti chake. Raisi macho yakamtoka mara baada ya kumuona mke wake.

“Najua umepata pigo la jana usiku, na leo kabla hujajipanga ndege imeanguka katika nchi yako”

Nilizungumza kwa sauti tofati kabisa na sauti yangu, jambo lililo mfanya Eddazaria kutingisha kichwa huku akinionyeshea alama ya dole gumba kwamba nipo vizuri sana.

“Una lisaa moja tu, ninahitaji uweze kufanya mabadilishano kati ya mke wako na bi Joyce, endapo utafanya kosa lolote, hakika kichwa cha mke wako kitakua mikononi mwako mara baada ya lisaa hilo moja”

Kwa mbwembwe zaidi nikatoa kisu na kukiweka shingoni mwa mke wa raisin a kumfanya atetemeke. Nikamshuhudia raisi akikuna kinywa chake akionyesha dhairi kwamba amechanganyikiwa.

“Jamani mume wangu wasikilize hicho wanacho kuambia, nitakufa mimi”

Mke wa raisi alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Munahitaji wapi tubadilishane?”

Nikamtazama Eddazaria usoni mwake. Kwa ishara Eddazaria akaniambia kwa ishara.

“Nahitaji tufanye mabadilishano, katika daraja la Kigamboni”

“Sawa, hakikisheni kwamba mke wangu hamuumgusi kabisa”

“Umeleweka”

Eddazaria akaitoa kamera hiyo na mawasiliano yakaishia hapo.

“Madam mume wako ametulazimisha kufanya hivi”

“Ila samahani vijana, najua nyinyi wote mupo kwa ajili ya kufanya jambo jema ndio maana mukanishika mimi, hakunipiga wala hakunidhuru kwa chochote toka munikamate na munaonekana ni watu wenye uwezo mkubwa sana, kwani hadi kunichukua mikononi mwa walinzi wangu ina maana kwamba mumeifanya kazi moja kubwa sana. Naomba niwaulize, ni kwa nini munafanya haya yote?”

“Jibu unalo, ni lazima mume wako atoke madarakani”

“Sawa, ila kuna huyu bi Joyce ni nani kwenu?”

Swali la mke wa raisi likatufanya tutazamane na mume wangu, taratibu Eddazaria akamsogelea mke wa raisi na kuchuchumaa mbele yake. Akamshika mapaja yake taratibu huku akimtazama.

“Tumekupa uhuru wa kuzungumza na si wakutuhoji maswali. Hivyo kaa kimya kabla sijabadilisha mawazo yangu na kupeleke kichwa chako kwa mume wako”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya upole sana na sauti yake halisi jambo lililo mfanya mke wa raisi kustuka kidogo.

“Eddy”

Mke wa raisi aliita jina la mume wangu na kutufanya sote kustuka sana. Mke wa raisi akanigeukia na kunitazama na mimi.

“Jojo”

Nikahisi moyo ukinipasuka kwa kweli, kwani mke wa raisi ametufahamu kwa haraka sana, na kosa ni dogo sana alilo lifanya mume wangu ni kuzungumza kwa sauti yake halisi.

“Eddy najua ni wewe, na hakuna mtu mwengine anaye weza kupambana na serikali juu ya bi Joyce. Mama yako ni rafiki yangu wa karibu sana na mimi ndio niiye weza kumshauri raisi aweze kumteua kuongoza kitengo cha kuzuia madawa ya kulevya, ndio maana akachaguliwa”

Tukaka kimya huku tukimtazama mke wa raisi.

“Unafahamu kitu alicho kifanya mume wako juu ya mama yangu si ndio?”

Eddazaria aliuliza kwa ukali sana hukua kivua kinyago chake na kumfanya aonekane sura yake kwani haona hakuna haja ya yeye kuendelea kuificha sura yake.

“Nilisikia fununu ila sikuzifwatilia?”

Eddazaria akafumba macho yake kwa muda huku akisimama.

“Eddy hili jambo unalo lifanya ni la hatari, kumbuka kabisa kwamba serikali ina mkono mrefu na hata hayo mabadilishano ambayo unataka kwenda kuyafanya na raisi, tambua kwamba huo utakuwani mtego mwanangu. Wewe ni sawa na William mwanangu, mimi na mama yako tulijifungua siku moja na hospitali moja na wodi moja. Hivyo tunajuana vizuri na mama yako na ninakujua vizuri kabisa”

“Nyamaza”

Eddazaria alizungumza kwa ukali sana huku akimkazia macho mke wa raisi.

“Eddy siwezi kunyamaza, sizungumzi hapa kama mke wa raisi, ninazungumza hapa kama mama. Ninazungumza hapa kama mama yako, japo sijakubeba tumboni mwangu ila tambua kwamba uchungu wa mama yako niliweza kuusikia vizuri kwa maana alikuwa pembeni ya kitanda changu siku anajifungua wewe na pacha wako”

Mke wa raisi alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nikaanza kumshuhudia mume wangu akimwagikwa na machozi.

“Kwa nini lakini Eddy unataka kuingia kwenye maisha ambayo mimi na mama yako hatukuwakusudia nyinyi kuweza kuishi, kwa nini lakini eheee. Eddy nipe nafasi ya kuzungumza na mume wangu, nakuomba sana, nakuomba sana uweze kuwa mpole nakuomba uweze kuniachia nizungumze na mume wangu. Sitaki wewe uwe gaidi, sitaki wewe ukamatwe na polisi, kumbuka jamii inakutazama vipi, kumbuka jamii inakutazama vipi. Tafadhali Eddy ninakuomba kama mama yako niachie huru tafadhali”

Kwa haraka Eddazaria akchomoa jambia lake na kuliweka shingoni mwa mke wa raisi huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake.

“Siwezi kukuachia, na yoyote anaye ifahamu siri hii ya mimi ni nani nilazima ufe na wewe nilazima ufe na sihitaji tena mabadilishano na mume wako”

Eddazaria mara baada ya kuzungumza maneno hayo akanyanyua jambia lake juu kidogo na kwa kasi ya ajabu akaanza kulishusha ili kuikatilia mbali shingo ya mke wa raisi.


  ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG