Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

X SEHEMU YA 2/10

   


X  

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA


WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 2 KATI YA 10


“Hapana mkuu, sijaweza kumuona kwa maana watu walio valia kanzu nyeupe pamoja viremba vyeupe ni wengi”

“Fanya hivi mchukue wifi yako na kuondoka naye hapa”

“Sasa mkuu nikiondoka naye hapa watu wata nichukuliaje. Wewe ndio una paswa kuondoka na mke wako hili eneo kwa asilimia kubwa nina imani wana kuwinda wewe”

“Maulidi yupo wapi?”

“Nimesha mtumia hii picha na ana msaka kimya kimya”

Nikamtazama makamu wa raisi na kumuona akinyanyuka kwa ajili ya kuondoka. Nikamuona akizungumza na baba mkwe kisha akatufwata mimi na Cauther sehemu maalumu tulipo kaa.

“Eddy ngoja mimi nikaendelee na majukumu ya kitaifa”

“Sawa muheshimiwa”

Makamu wa raisi akampa mkono Cauther kisha akaagana na wageni waalikwa wengine na kuanza kuondoka eneo hili. Nikamuita baba mkwe kwa ishara ya macho na akatufwata.

“Baba kuna hali ya hatari kuna wavamizi wamefika katika eneo hili. Nina hitaji uhakikishe kwamba watu wako muhimu wote una waondoa”

“Ni kina nani?”

“Watu walio mteka raisi, nime muona kiongozi wao. Judy hembu simu”

Judy akanikabidhi simu na nikamuonyesha picha ya mkuu wa watu walio husika kumteka raisi. Baba mkwe hakuonekana kustushwa.

“Vipi mbona hustuki”

“Kuwa na amani hawaweze kufanya chochote”

“Una uhakika?”

“Ndio, ni miongoni mwa watu nilio kuambia”

“Sawa”

Baba mkwe akarudi eneo lake huku mziki wa kiarabu ukiendelea kutuburudisha eneo hilo.

“Mpigie simu Maulid muambie asitishe zoezi”

“Sawa mkuu”

Judy akapiga simu ya Maulid mara kadhaa.

“Haipatikani”

“Hapatikani?”

Niliuliza kwa mshangao kidogo huku hisia mbaya zikizidi kunitawala kichwani mwangu.

“Ndio kaka hapatikani, sijui atakuwa wapi?”

“Mpigie Willy”

Mtikisik(vibration) wa simu yangu iliyopo mfukoni ukanifanya niitose simu yangu mfukoni. Nikaona namba mpya, mimi na Judy tukatazamana.

“Poke mkuu”

Nikaipokea simu hiyo huku nikiziba sikio langumoja kwani mziki ni mkubwa.

“Tuna kijana wako tuna kutumia video na tutakupa maelezo ya wapi uje kuuchukua mwili wake”

Nikastuka sana, simu ikakatwa na ikaingia video kwenye mtandoa wa Whatsapp. Nikaifungua na kuona video ya Maulid akiwa amepigwa kiasi cha kwamba kanzu yake nyeupe aliyo kuwa ameivaa imejaa damu nyingi hadi mimi na Judy wote tukastuka hadi Cauther akagundua jambo hilo na akatamani kutazama tunacho kitazama ila nikamzuia kwani nina weza kumpa hofu.



“kuna nini mume wangu”

Cauther aliniuliza kwa sauti ya kuninong’oneza sikioni mwangu.

“Ahaa kuna kazi moja imejitokeza hapa”

“So una taka kuniambia una ondoka?”

“Hapana nina ondokaje kwa mfano mke wangu”

Nilizungumza ili kutoa wasiwasi mke wangu kwa maana alisha aanza kuzidadisi nyuso zetu.

“Judy”

“Ndio mkuu”

Nikatazama saa yangu ya mkononi na inaonyesha sasa hivi ni saa mbili usiku.

“Nasikusikiliza mkuu”

Judy alizungumza huku mikono ikimtetemeka.

“Mke wangu naomba tuzungumze”

Nilizungumza huku nikisimama, nikamshika mkono Cauther na kuondoka naye eneo hili huku Judy akitufwata kwa nyuma. Nikaingia na Cauther chumbani kwake.

“Mke wangu Maulid ametekewa?”

“Nini?”

Cauther alizungumza kwa mshangao. Ili kumdhibitishia jambo hilo nikamuonyesha video ya jinsi Maulid alivyo shambuliwa na kupigwa sana.

“Ohoo Mungu wangu!! Si alikuwepo hapa mume wangu na alikuwa ananitania tania?”

“Ndio mke wangu, kuna magaidi wapo kwenye hii harusi na nina imani kwamba wana tusaka, mimi, Maulid na Judy. Hawa magaidi ni wale ambao tulikwenda kipindi kile kumuokoa raisi, sasa nina waona hapa”

Cauther akaka kitandani huku akiwa na mashaka mengi sana.

“Ina bidi tumuambie baba na askari pia?”

“Askari wapo wengi sana eneo hilo ila hawawezi kupambana na mgaidi hawa. Nisikilize nina hitaji kwenda kumuokoa Maulid na wamenipigia simu endapo tikichelewa tuta ikuta maiti yake.”

“Nenda mume wangu, wata muua”

Baba mkwe akaingia chumbani hapa.

“Vipi mkwe mbona mume ondoka?”

“Kijana wangu ametekwa”

“Nani?”

Nikampatia baba mkwe video akaitazama kwa sekunde kadhaa na kumuona akikunja ngumi ya mkono wa kushoto.

“Njoo tuzungumze”

Tukatoka ndani hapa na Judy akaingia ili kukaa ndani ya Cauther. Baba mkwe akainiigiza hadi katika chumba kimoja ambacho ni ofisi yake.

“Baba ulisema kwamba hawawezi kufanya shambulizi, ila wamenigusa jicho langu”

“Pole sana Eddy, sijautambua huu mpango wao.”

“Kwa nini hukuniambia kwamba wana kuja?”

“Nilihofia kukuchanganya na leo ilikuwa ni siku yako muhimu ya kumuoa mwanangu?”

Nikamtazama baba mkwe kwa macho yaliyo jaa hasira kali sana hadi akaanza kujawa na hofu. Taratibu akasimama kwenye moja ya picha hapa ofisini, akaminya eneo analo lifahamu yeye kwenye picha hiyo, na taratibu kabati lililopo hapa ndani likaanza kufunguka. Nikaona baadhi ya bunduki zikiwa zime pangwa vizuri.

“Chukua silaha yoyote uitakayo, nina imani ita kusaidia”

“Je nikimuacha mke wangu hapa ita kuwa salama?”

“Asilimia mia moja ata kuwa salama”

Nikachukua bastola nne, na magazine za bastola hizo zilizo jaa risasi kumi na mbili.

“Ukivua vazi lako wata kustukia, ina bidi kama ni kuondoka hapa nyumbani utokee mlango wa siri na watu wote wafahamu kama bado upo hapa ndani.”

“Sawa”

Nikatoka ofisini hapa, nikaingia katika chumba ambacho Judy na Cauther wapo.

“Dogo, nahitaji ubaki hapa na wife”

“Hatuendi wote?”

“Hatujui wamejipangaje. Sihitaji wakuchukue na wewe. Bastola hii hapa magazine tatu za ziada hizi hapa. Hakikisha kwamba una mlinda mke wangu”

“Nashukuru mku”

Nikampigia simu Willy.

“Willy upo wapi?”

“Naendelea kuli fwatilia gari walilo mteka nalo Maulid kwa sasa wana elekea daraja la Kigamboni”

“Poa nitumie GPRS Track ya gari hilo kwenye simu yangu”

“Poa kaka”

“Upo eneo gani kwa sasa?”

“Nimesha ondoka nimerudi nyumbani kwa maana pale harusini ningeendelea kukaa wangenigundua”

“Poa”

Nikakata simu.

“Mume wangu kuwa makini”

Caiuther alizungumza huku akisimama na kunikumbatia kwa nguvu. Tukanyonyana denda kwa dakika mbili, kisha tukaachiana huku Cauther machozi yakimlenga lenga machoni mwake. Nikatoka ndani hapa na kukutana na baba mkwe mlangoni mwa chumba hichi, akanielekeza mlango wa dharura wa kutokea katika jumba hili.

“Mkwe”

Baba mkwe alinimbia huku akinitazama machoni mwangu.

“Ndio mzee”

“Kuwa makini”

“Nashukuru”

Tukapeana mikono na nikatoka katika mlango huu ambao una pitia chini ya ardhi na kutokea eneo la nje kabisa ya mlango.

“Masawe nahitaji taksi yako, zunguka upande wa mashariki wa jumba hili”

Nilizungumza na simu yangu huku nikitazama eneo hili.

“Kwema?”

“Ndugu yangu fanya hivyo”

“Dakika mbili”

Hazikuisha hata dakika mbili, nikamuona Masawe akiwa na taksi yake aina ya Toyota Premo.

“Mbona una ondoka ndugu yangu na sherehe haijaisha”

“Kuna dharura nina kuomba unikabidhi taksi yako, si ina mafuta ya kotosha?”

“Ndio, ila hujaniambia kwamba una kwenda wapi?”

“Nitakuambia nikirudi”

Nikaingia ndani ya taksi ya Masawe, nikafunga mkanda na mlango huku Masawe aliye simama pembeni akinitazama kwa mshangao kwa maana bwana harusi nina ondoka kabla ya hata sherehe haijakwisha. Nikairudisha nyuma kwa kasi kisha nikaligeuza gari hili kwa mtindo wa draft. Nikaliweka sawa na kuanza kuondoka kwa kasi eneo hili, nikatoa simu yangu mfuko ni na kukuta Willy akiwa tayari amesha nitumia ramani inayo onyesha ni wapi gari la watekaji linapo elekea.

“Willy”

“Ndio kaka?”

“Kuna sehemu yoyote walisimama?”

“Hapana”

“Poa”

Kutokana na ujuzi wa barabara za panya ninazo zitambua katika jiji hili la Dar es Salaam, halikuwwa ngumu kwa mimi kupita njia hizo ili kuliwahi gari hilo. Nikavua nguo zangu hizi za harusi na nikabakiwa na suruali pamoja tisheti yangu. Nikafika daraja la Kigamboni na kuzidi kusonga mbele kuhakikisha kwamba nina wapata majambazi hao.

“Willy”

“Nakusikia kaka?”

“Wamefika wapi?”

“Wamesimama eneo hilo lina kamsitu kidoo halina watu”

“Nitumie video”

“Ina ingia”

Nikaifungua video ambayo Willy amenitumia, nikawoana majambazi hao wakiwa wamesimamisha gari lao, wakashuka watu wanne na wakamtoa Maulid ndani ya gari akiwa hoi hajitambui. Kichaa changu kikazidi kunipanda huku nikiwa nina uchu wa kuu. Nikawaona wakiingia ndani ya msitu, nikazidi kuongeza spidi ya gari hili hadi nikafanikiwa kufika karibu kabisa na eneo ambalo majambazi wamesimamisha gari lao. Nikachomoa bastola yangu na nikafunga breki za gafla na gari likaserereka, na kusimama, nikashuka kwenye gari kwa haraka na kukimbia ndani ya msitu huku nikiwa nimeshika bastola mbili mkononi mwangu.

Nikawaona majambazi wakiwa wamemzunguka Maulid huku bundiki zao wakiwa wamezielekezea chini eneo walilo mlaza Maulid. Mmoja wa watekaji hao nikamuona akiwa ana zungumza na simu, inavyo onyeshani kwamba ana pokea taarifa kutoka kwa wakuu wake.

“Mother fuc**”

Nilizungumza huku nikifyatua risasi mfululizo kuelekea kwa majambazi hawa. Shambulizi langu la gafla na ambalo hawakulitegemea likawaangusha majambazi wawili huku wawili wakijaribu kuruka pembeni na kuzikwepa risasi zangu. Ila kwenye kuruka kwao niliweza kuwaona na nikawasindikizia na risasi ambazo kila mmoja zime mpata eneo lake la mwili. Nikawasogelea huku wawili nilio wapiga risasi za kichwa wakiwa maiti na wawili walio ruka wakiwa hoi mahututi. Nikazipiga teke risasi za hawa wawili, ambao wapo mahututi, kisha nikasogelea Maulid na kumkuta akipumua kwa shida sana. Sikuhitaji kuwahoji hawa wapuuzi ambao wapo maututi, nikawapiga risasi za vichwa kila mmoja. Nikaiokota simu ya jambazi aliye kuwa ana zungumza nayo na kwa bahati nzuri nika ikuta hewani. Nikaiweka sikioni mwangu.

“Halooo, halooo, halooo. Khalidi ni nini kinacho endelea?”

Niliisikisa sauti ya mtu aliye nipigia simu nilipo kuwa harusini, akizungumza kwa lugha ya kiarabu. Sikuhitaji kumjibu chochote zaidi ya kuikata simu hii.

“Mikono juu”

Nilisikia sauti ya ukali ikitokea nyuma yangu.

“Tupa silaha yako chini”

Kwa amri hii nikajua kabisa kwamba anaye niamrisha ni askari polisi kwa maana kama angekuwa ni adui angekuwa amesha nishambulia. Nikatupa bastola yangu chini huku nyigine nikiwa nime ichomkea kiunoni mwangu.

“Geuka taratibu?”

Nikatii amri na kweli nikawakuta askari polisi watatu wenye bunduki aina ya SMG.

“Mimi ni mwenzenu ni askari pia. Hawa ni majambazi walikuwa wame mteka kijana wangu nime muokoa”

Askari mmoja akanitazama kutokana kuna mwanga wa mbalamwezi tuliweza kuonana nao vizuri.

“Jamani huyu ndio yule jamaa aliye pewa tuzo ikulu na raisi”

Askari huyo alizungumza huku akinitazama kwa udadisi.

“Ni kweli mkuu?”

“Ndio, ina bidi kijana wangu huyu nimuwahishe hospitalini. Hawa majambazi wanne tayari nimesha waua?”

Askari wakajawa na mshangao huku wakishusha silaha zao chini huku nami nikishusha mikono yangu chini. Wakasogelea miili ya majambazi hawa na kuikagua. Wakawasiliana na wezao wafike eneo la tukio huku nikisisaidiana na mwenzo kumbeba Maulid na tukamuingiza kwenye taksi niliyo kuja nayo.Nikaondoka na askari mmoja huku wawili wakibaki eneo hilo la tukio. Kwa kasi nilio jia ndio kasi niliyo ondokea nayo eneo hili.

“Hali ya mgonjwa ipo vipi?”

Nilimuuliza asktari aliye kaa siti ya nyuma huku akiwa amepakata kichwa cha Maulid pamajani mwake.

“Ana pumua kwa shida sana”

Tukafika hospitali ya Agakhan na Maulid akapokelewa na madaktari na haraka wakamkimbiza katika chumba cha matibabu. Kutokana ameletwa na askari aliye vaa mavazi ya kiaskari haikuwa jambo gumu kwa wao kumpatia matibabu. Nikarudi kwenye taksi na kuichukua simu yangu na kumpigia Judy.

“Mkuu vipi?”

“Nimefanikiwa kumuokoa Maulid na yupo hai ila ana hali mbaya sana”

“Ohoo Mungu wangu hilo pia ni jambo la heri. Mupo wapi?”

“Tupo Agakhan hapa”

“Nina kuja sasa hivi”

“Hapana wewe cha kufanya kaa hapo nyumbani. Kwani sherehe bado ina endelea?”

“Ndio, ila wana hitaji kukuona”

Nikatazama saa yangu ya mkononi na ina elekea majira ya saa nne usiku.

“Poa nina kuja”

Nikakata simu, nikamsogelea askari huyu na kumtazama usoni mwake.

“Sikia dogo”

“Ndio mkuu”

“Hakikisha kwamba una kaa hapa hadi nitakapo kuja”

“Sawa”

“Hakikisha mgonjwa akutolewa chumba cha matibabu unanipatia taarifa, utanipigia kwa namba hii”

Nikamtajia askari huyu namba yangu na akainakili kwenye simu yake.

“Sawa mkuu”

Nikarudi kwenye taksi, nikalitoa vazi langu la harusi na kulitazama vizuri na kukuta likiwa na damu kwa maana nililiweka siti ya nyuma. Nikaondoka na kurudi nyumbani kwa wakwe zangu, mlango nilio tokea ndio nilio ingilia na nikampigia simu Masawe na kumueleza akaichukue taksi yake katika eneo ambalo aliniletea. Nikaingia katika chumba alichopo Cauther na Judy, nikamkuta na Nadia wakiwa wana zungumza.

“Shem vipi?”

Nadia aliniuliza kwa mshangao huku wakishangaa jinsi nilivyo shika vazi langu la harusi mkononi, huku likiwa na damu.

“Safi nenda kamuite baba”

“Kwema lakini shemeji”

“Nadia kaumuite baba”

Ilibidi nimkoromee Nadia hadi akaogopa kidogo. Cauther akanikumbatia kwa nguvu huku akiwa na furaha.

“Maulid kwa sasa ana fanyiwa matibabu”

“Mungu atamsaidia ata pona”

Cauther alizungumza, baba mkwe akaingia ndani hapa huku akiwa na wasiwasi usoni mwake, Nadia naye akaigia.

“Nimewaua wote wanne. Nahitaji kuwafahamu walio salia nina hitaji kuwamaliza hapa hapa kabla hawajatoka nje ya hii nchi”

Nilizungumza kwa sauti nzito huku nikimtazama baba mkwe na kuwafanya wanaye wote wawili kushangaa kwa maana nina imani hawajui upande wa pili wa baba yao ni upi.



“Kina nani hao shem?”

Nadia aliniuliza hulu akiwa amejawa na mshangao. Baba mkwe akatangulia kutoka ndani hapa ikanibidi nimfwate kwa nyuma. Tukaingia ofisini kwake na kuwasha computer yake yake.

“Listi yao hii hapa”

Baba mkwe alinionyesha picha za watu hao kumi na tano. Watu wanne kati yao ndio wale nilio waua, ninaye mfahamu hapa ni mkubwa wao ambaye ndio aliye nipigia simu.

“Wapo hapa?”

“Hapana wamesha ondoka na hivi sasa wana elekea mkoni Tanga ambapo wata pitia njia ya Horohoro na kuingia Mombasa”

“Wameondoka hapa ndani ya muda gani?”

“Dakika kumi na tano sasa”

“Siwezi kuwaacha”

“Ila mwanangu hawa ni watu hatari”

“So unahitaji niwaache hai ikiwa wamempiga kijana wangu nusu kufa”

Nikaziiingiza picha zote za watu kumi na tano kwenye simu yangu kisha ni kazituma kwa Willy ambaye ni mtaalamu wa mambo ya I.T.

“Nahitaji unitumie location ya hao watu walipo”

Nilizungumza kwa simu mara baada ya kumtumia Willy maelekezo hayo.

“Sawa kaka, dakika mbili”

Nikakata simu na kuingia chumba alipo Cauther na Judy.

“Judy muda wa kazi sasa”

“Sawa mkuu”

“Ila sehemeji muna kwenda wapi?”

“Nadia sasa hivi sio muda wa masihara. Dada yako ata kuelekeza vizuri”

“Nadia tuta zungumza. Mume wangu nina kuomba uwe makini sana”

“Usijali”

Sikuhitaji tupoteze muda, tukaingia kwenye gari la Maulid na tukiwa njiani kuwawahi majambazi hayo, Willy akatutumia signal inayo onyesha magari ya majambazi hayo yanapo elekea.

“Mkuu vipi hali ya Maulid?”

“Yupo maututi”

Nikamuona Judy uso wake ukitawaliwa na hasira kali.

“Hawa tuwawahi kwa njia ya kuelekea Bagamoyo, kwani hadi wapite Wami tutakuwa tumesha tokea Msata pale”

Judy alinishauri na nikakubaliana na wazo lake. Nikazidi kuongeza mwendo wa gari hii ya Maulid aina ya Toyota Harrier. Akili yangu, moyo wangu vyote vimejawa na ukatili wa hali ya juu na jinsi ninavyo endesha hili gari hakika nina wapita lazima wawe wana nishangaa. Tukawahi kufika eneo la Msaka kabla ya wao kufika. Nikasimamisha gari pembeni katika barabara ya kuingilia katika barabara ya kuelekea mkoa wa Tanga. Nikaangalia katika simu yangu na bado kilomita moja kabla ya gari hizo mbili kutifikia.

“Willy”

“Ndio kaka”

“Una wafwatilia kwa drone?”

“Ndio na sasa hivi wana karibia kufika katika eneo mulipo”

“Nitumie video ya live”

“Sawa”

Willy akaniigizia video hiyo ambayo ina rekodiwa mubashara na drone. Nikazitazama gari hizi.

“Gari alilo panda kiongozi wao ni lipi?”

“Gari la nyuma”

“Una weza ku scan nikaona kuna watu wangapi gari ya nyuma”

“Simple broo”

Willy akaanza kuscan gari hiyo na tukaona mbele ya gari hilo aina ya Toyota Prado TX, kuna watu wawili, siti ya nyuma wakiwa wamekaa watu watatu, mmoja akiwa ndio mkuu wa kundi hilo, huku kukiwa na mwanamke na mtoto mdogo aliye kaa katikati.

“Huyo mwanamke ni nani?”

“Amin Abas ni mke wa huyo mkuu wao na huyo wa katikati ni mtoto wake”

“Mkuu hii ni oparesheni ya kuu, ina kuwaje kwa huyo mke na mtoto?”

Judy aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Tuna waua, ila kwa kutimia akili”

Sawa mkuu.

“Ila kaka huyo mtoto na mwanamke hawana hatia yoyote”

Willy aliyopo jijini Dar es Salaam alitushauri.

“Tuta jua nini cha kufanya”

Kadri ya dakika zinavyo yoyoma ndivyo jinsi gari hizio zinavyo tusogelea.

“Kaa hapa, navuka upande wa pili wa barabara”

Nilizungumza na nikavuka upande wa pili wa barabara. Nikaziona gari hizo mbilo kwa mbali zikija kwa kasi sana, nikabadilisha magazine ya bastola yangu na kuikoki tayari kwa mashambulizi. Gari hizo zikaanza kukaribia eneo letu, nikasimama kikati ya barabara na kuanza kufyatua risasi kuelekea upande wa dereva wa gari la pili na risasi zangu zikafanya kazi, kwani gari ya mbele ikapoteza muelekeo na kutoka nje ya barabara,dereva wa gari ya nyuma akafunga breki za galfa, kabla hajafanya maamuzi yoyote nikaanza kufyatua risasi kueleka katika matairi ya gari hilo huku Judy naye akifyatua risasi kuelekea kwenye taa za mbele za gari hizo na kuzipasua zote hivyo ikawa ngumu kwa dereva kuona. Dereva akakanyaga mafuta na kuanza kunifwata kwa kasi, nikapiga risasi mbili usawa wake na zikapenya katika kioo hicho na kikampata kifuani, nikajirusha pembeni ya barabara na gari hilo kikapita kwa kasi, nikageuka kwa kasi huku nikipiga goti moja chini na kupiga risasi kasha tairi za nyuma na kulifanya gari hilo kupoteza muelekeo na kuacha njia na kuvaa vibanda vya wauza mikaa vilivyopo pembeni ya barabara ambao kwa wakati huu wa sasaba usiku hakuna muuza mkaa hata mmoja aliyopo eneo hili. Nikampa ishara Judy ya kukimbilia gari la kwanza lililo anguka huku mimi nikikimbilia gari la mkuu wao. Kwa bahati nzuri gari la mkuu wao huyu halijapinduka. Gafla mlango wa kushoto ukafunguliwa, akajitokea mlinzi aliye kuwa amekaa pembeni ya dereva. Akajaribu kufyatua risasi za kustukiza ila nikawa nimesha hapa eneo nililo kuwa nipo kwa kuruka hewani mithili ya nyani anaye ruka eneo moja kwenda jengine. Nikafyatua risasi mbili mfulizo alipo elekea mlinzi huyo na kumzawadia risasi hizo zilizo mpata shingoni mwake na kuanguka chini. Kwa umakini wa hali ya juu nikaufungua mlango alio kaa mkuu wao na nikamuona akiwa ameikumbatia familia yake. Nikamvuta na kumtoa nje na kumuangusha barabarani.

“Usiniiuee usiniue”

Nikasikia milio ya sirasi kama sita ambayo yote nina jua ni bastola ya Judy kisha nikamuoana Judy akija eneo hilo kwa kasi.

“Nimewamaliza”

Judy alizungumza huku akisimama pembeni yangu. Mke wa mkuu huyu na mwanaye wana lia sana huku wakitetemeka kwa woga.

“Wachukue hao”

Nilimuamrisha Judy na akazunguka upande wa pili wa gari na kumtoa mke wa mkuu huyu pamoja na mwanaye.

“Tafadhali nina kuomba uisamehe familia yangu”

Alizungumza huku akitetemeka mwili mzima.

“Babaaaaa”

Mtoto huyo alilia huku akimtazama baba yake niliye muelekezea bastola ya kichwa.

“Ongoza”

Judy alizungumza huku akimnyooshea mwana mama huyo bastola ya kichwa huku akiwa amembeba mwanaye. Wakaelekea eneo tulipo liaacha gari letu. Nikaona lori moja likija eneo hili huku likiwa lina tokae mkoa Tanga kuelekea Dar es Salaam.

“Nyanyuka kenge wewe”

Taratibu akanyanyuka huku akiwa amevaa kanzu yake. Dereva wa lori akapiga honi kubwa na nikamvuta jamaa huyu nje ya barabara na lori hilo likapiata kwa mwendo wa kasi sana. Nikampapasa mwilini mwake na sijamkuta na silaha ya aina yoyote. Nikamfikisha katika gari letu, nikamkuta mke jamaa huyu na mwanaye wakiwa wamelala.

“Nimeona wana piga kelele hivyo nime wazimisha kwa muda”

Judy alitoa maelezo kabla hata sijamuuliza swali lolote.

“Vizuri”

Nikampiga na kitako cha bastola jamaa huyu shingoni mwake kisha nikamuingiza siti ya nyuma iliyo familia yake, nikapanda upande wa pili wa dereva huku Judy akipanda upande alio kuwa amekaa awali na tukaianza safari ya kurudi jijini Dar es Saalm kwa kupita barabara ya Bagamoyo.

“Mkuu tuna wapeleka wapi hawa?’

“Laiti ingekuwa sio huyu mtoto na mke wake ningekuwa nimesha muua siku nyingi. Nahitaji kumpigia simu muheshimiwa”

Nikatoa simu yangu na kumpigia simu raisi.

“Shikamoo muheshimiwa na sahamani kwa kukupigia muda kama huu”

“Marahaba, vipi mbona una hema sana kuna tatizo?”

“Ndio nime mkama mkuu wa kikosi kilicho kuteka wewe na ndege yako”

“Eddy serious?”

“Ndio mkuu, vijana wake karibia kumi na nne nime waua. Walimteka Maulid wakamsulubisha vya kutosha, ila nilisha muikoa Maulid na sasa hivi yupo hospitalini ana patiwa matibabu. Je ni mpeleke wapi?”

“Mpelekeni kwenye kitengo cha NSS. Nina jiandaa kuja kumuona huyo gaidi”

“Sawa mkuu”

Nikakata simu.

“Tuna elekea NSS”

“Sawa”

Tukafika katika makao makuu ya kitango kinacho husikana na ulinzi wa Taifa. Kitengo hichi ufanyaji wake wa kazi ni tofauti kabisa na vikosi kama polisi, au jeshi. Kazi yao kubwa ni kuhakikisha kwamba wana peleleza na kujua kila kinacho endelea ndani ya nchi na nje ya nchi kinacho husiana na nchi ya Tanzania.

Tukasimamishwa getini kwa maana huwezi kuingia ndani ya kitengo hichi chenye ulinzi mkali sana pasipo kukaguliwa. Tukataja majina yetu na yakaingizwa kwenye computer zao kuona kama sisi ni wafanyakazi wa serikalini. Jina la Judy likaonekana ila jina langu halijaonekana.

”Samahani mkuu tunaye weza kumruhusu ni Judy ila wewe hatuwezi kwa maana jina lako halipo katika system yoyote”

“Niitie mkuu wako?”

“Kwa sasa mkuu hayupo”

“Nina waalifu muhimu sana hivyo siwezi kuwaacha wenyewe. Niitie mkuu wako”

Nilizungumza kwa ukali huku nikimtazama askari huyu. Akatazamana na mwezake, kisha akapiga simu kwa mkuu wao.

“Mkuu anahitaji kuongea nawe”

Askari huyu akanikabidhi simu na nikaiweka sikoni mwangu.

“Ni mimi”

“Wewe nani?”

Niliisikisa sauti ya kike ikiniongelesha kwa ukali sana.

“Luteni Jenerali Eddy X”

Walinzi pamoja na Judy wakastuka kidogo kwa maana kwa upande wa Judy sikuzote hatambui cheo nilicho kuwa nacho jeshini.

“Ohoo samahani sana mkuu. Mpe simu kijana”

Nikamkabidhi askari huyu simu na akazungumza na mkuu wake. Mara baada ya kukata simu wote wakanipigia saluti.

“Fungieni geti”

Geti lakafunguliwa, nikaingia ndani ya gari na kuingia katika makao makuu ya kitengo hichi.

“Luteni karibu sana”

Mkuu wa kitengo hichi cha NSS ambaye ni mwana mama alinikaribisha huku akinipa mkono.

“Nashukuru. Nina mualifu mmoja ndani ya gari, pia yupo na mwanaye pampoja na mke wake”

“Tuna shukuru kwa kazi yako”

“Asante huyu ana itwa Judy ni Kapteni”

“Karibu sana Kapteni”

“Nashukuru”

Jamaa huyu akaitolewa ndani ya gari yeye na familia yake na wakaingizwa katika mahabusu maalumu uliyopo katika makao makuu haya.

“Mkuu huyu si ndio aliye iteka ndege ya raisi?”

“Ndio”

“Kwanza nina shukuru kukutana na mtu kama wewe ambaye nilikuwa nina zisikia sifa zake tu”

“Usijali, raisi amekuaeleza kama ana fika hapa?”

“Hapana”

“Jiandaeni muheshimiwa raisi ana fika”

Mkuu huyu akaanza kupanga vijana wake kwa ajili ya kumpokea raisi.

“Mkuu kumbe wewe ni Luteni jenerali?”

Judy aliniuliza huku akiwa amejawa na mshangao.

“Ndio ila sikutaka mufahamu hilo”

“Aisee ulifika ngazi ya juu sana”

“Yaa ila niliachana na hayo yote mara baada yaa wezangu kuuwawa”

“Pole sana kaka”

“Nashukuru”

Raisi akafika katika makao makuu ya kitengo hichi cha NSS. Tukasalimiana naye na moja kwa mojaa akapelekwa kwenye chumba alicho hifadhiwa gaidi aliye mteka. Tukasimama upande wa pili wa chumba hichi cha mahojiano ambacho kimetanganishwa na kioo kigumu, kinacho onyesha upande mmoja tu alipo hifadhiwa gaidi.

“Ndio yeye”

Raisi alizungumza huku akwia amejawa na mshangao mkubwa sana.

“Eddy huyu mpuuzi hapaswi kuishi. Ameniuliza walinzi wangu nikiwa nina shuhudia na huyu ndio aliye muua x girl friend wako”

Raisi alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Taratibu nikaichomoa bastola yangu kiunoni huku kila mtu akinitazama kwa macho ya wasiwasi.

“Huyu ndio aliye muua?”

“Ndio”

Raisi alijibu huku akinitazama kwa macho makali.

“Zimeni kamera”

Kamera zote za chumba alicho fungiwa gaidi, zikazimwa.

“Hakikisha hakuna kamera inayo rekodi wala kuwashwa”

Nilimuachia maagizo hayo Judy kisha nikaingia ndani ya chumba hichi, nikavuta kiti na kukaa mbele yake huku tukiwa tume tengenishwa na meza ya chuma huku yeye akiwa amefungwa pingu mikononi mwake.

“Wewe”

Alistuka huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio ni mimi, au ulihisi ume vamiwa na majambazi. Nina swali dogo sana, kwa nini uliniulia mwanamke amabye hakuwa na hatia yoyote, mwanamke mdogo ambaye alikuwa ana pigania ndoto zake na ukazikatisha?”

“Sijui una zungumza nini?”

“Ohoo hujui. Labda nikukumbushe. Uliiteka ndege ya raisi wa Tanzania, ukishirikiana na mlinzi wake namba moja pamoja na rubani mkuu. Ukaua walinzi wa raisi naukamuua mpenzi wangu wa zamani, kwa nini uliamua kufanya hivyo?”

“Sina jibu, kama una hitaji niiue”

“Hahaa eti ehee?”

“Ndio”

Nikasimama na kutoka chumbani hicho.

“Nileteeni familia yake”

Niliwaambia walinzi walio simama mlangoni, baada ya dakika tano familia yake ikaingizwa ndani hapa.

“Huyu ni mwanao na huyu ni mke wako. So nahitaji kufanya kitu kimoja ambacho ujue kabisa kwamba mimi ni shetani”

Gaidi huyu akaanza kuetetemeka, raisi akaingia ndani hapa huku akiwa na wasiwasi.

“X usiwaangamize hawa wawili?”

“Mkuu kaa pembeni ya hili, walio uwawa walikuwa ni watu wenye familia zao na wenye watoto wao na kwa manufaa yao walioweza kuwaangamiza hivyo hata yeye na kizazi chake hawapasiwi kuishi”

Nilizungumza kwa sauti nzito sana. Nikaikoki bastola yake na nikaiweka kichwani mwa mwanaye anaye lia kwa uchungu sana. Nikamtazama baba yake na mama yake wanao tokwa na macho kisha nikafyatua risasi moja iliyo fumua kichwa cha mtoto huyu na akaanguka chini na kufa. Mama yake akaanguka chini na kumtazama mwanaye huku akilia kwa uchungu sana. Raisi macho yakamtoka huku wasiwasi mwingi ukimtawala kwani kwenye hatua hii niliyo fikia nimekuwa shetani mtoa roho ambaye hana huruma kwa mtu yoyote yule. Gafla akaingia makamu wa raisi ambaye hata sijui ametokea wapi.

“Una fanya nini wewe. Una muua mtoto kwa makosa ya baba yake?”

Makamu wa raisi alizungumza kwa ukali huku akinitazama kwa macho makali sana. Nikampiga risasi mbili za kichwa mwana mama huyu na akafa. Walinzi wawili wa makamu wa raisi wakaingia ndani hapa na kuninyooshea bastola usoni mwangu. Nikamnyooshea makamu wa raisi bastola ya kichwa endapo walinzi wake wata jaribu kufanya upumbavu wowote nina mfumua kichwa makamu wa raisi.



Judy akaingia ndani hapa na kuwawekea bastola za usogoni walinzi hawa wawili wa makamu wa raisi ambao nina wafahamu kwani katika safari ya kuelekea nchini DR Congo tulikuwa nao pamoja.

“Nimesema wekeni silaza zenu chini?”

Raisi alizungumza kwa ukali huku akitutazama kwenye nyuso zetu.

“Samahani muheshimiwa”

Nikaigeuzia bastola yangu kwa gaidi huyu na kumpiga risasi nne za kifuani na akafariki.

“Mkamateni X na mukamuweke mahabusu”

Makamu wa raisi alizungumza kwa ukali huku walinzi wake wakiwa wameshusha bastola zao huku Judy naye akiwa ameshusha bastola Yake chini.

“Hakamati mtu. Eddy upo huru kuondoka kwa ulicho kifanya ni haki kwa gaidi na yoyote tutakaye mgundua ana isaliti nchi au alikuwa na mwachama wa huyu bwana. Naye yeye na familia yake wata kufa”

Raisi alizungumza kwa kujikaza huku akimtazama makamu wa raisi kwa macho ya kujiamini sana.

“Ila mkuu huyu amemuua mtoto mdogo na mama wasio na hatia?”

“Nimesha sema na yoyote atakaye mkamata Eddy. Eddy nina kupa ruhusa ya kumfanya chochote atakaye kukamata au kukutishia. Nita kuunga mkono hadi dakika ya mwisho. Huyu mpuuzi aliua walinzi wangu, washauri wangu na akanitesa na sidhani kama kuna raisi chizi duniani anaye weza kufanyiwa hivyo alafu akaleta wema kwa watu wa aina hii. Mkuu wa NSS”

Raisi alizungumza kwa kwa kujiamini. Akaingia mkuu wa kitengo cha NSS ndani hapa.

“Hakikisha miili hii ina ingizwa kwenye acid ipotelee mbali na hakikisha kwamba hakuna ushahidi wala yaliyo fanyika humu ndani yaweze kutoka nje ya hichi chumba ume nielewa?”

“Ndio nime kuelewa muheshimiwa raisi”

Raisi akatoka ndani hapa. Makamu wa raisi akanitazama kwa macho makali kisha na yeye akatoka ndani hapa huku akiwa amekasirika mithili ya Simba aliye jeruhiwa. Nikaichomeka bastola yangu kiunoni na kutoka ndani hapa huku Judy akinifwata kwa nyuma.

“Ina bidi kumu escort raisi kurudi ikulu kwa maana lolote lina weza kujitokeza”

Nilimuambia Judy huku tukitembea kwa haraka kuelekea raisi anapo elekea.

“Muheshimiwa tuta kurudisha ikulu”

“Nashukuru kwa hilo Eddy”

Nikaingia gari moja na raisi huku Judy akipanda gari la Maulid tulilo jia eneo hili na tukaondoka na msafara huu wa raisi.

“Naona mzee wako amekasirika sana”

Raisi alizungumza huku akitabasamu usoni mwake.

“Shauri yake, dawa ya mshenzi ni mshenzi na kama ninge waacha hai angefanya kila linalo wezekana kuwatorosha”

“Najua na usione nime kaa nyuma. Yeye ndio alikuwa akiwatuma wale kunipa vitisho vya kishenzi na yeye ndio alipanga kuniteka akisaidiana na wale ili kuhakikisha wana iteketeza serikali ya South Sudan ili yeye na wapuuzi wezake waendelee kujivunia mafuta ya bure “

“Sasa mbona ulikaa kimya mkuu?”

“Eddy sikuwa na mtu ninaye muamini, nashukuru wewe ume weza kuwa upande wangu, hata nina weza kujitutumua sauti yangu ikajitokeza mbele za maadui zangu”

“Mkuu chama chako si kina wabunge wengi bungeni?”

“Ndio”

“Waambie wapeleke mswada, wa yoyote akakaye bainika ana isaliti hii nchi basi ata uwawa yeye na familia yake alafu wewe cha kufanya ni kuhakikisha kwamba una tia saini ina kuwa ni sheria na iwekwe kipengele kwamba wana pigwa risasi hadharani. Nina kuhakikishia, wapuuzi wote wana muonga mkono makamu wa raisi wata muacha peke yake”

“Hilo ni wazo zuri sna Eddy, ila siku lina weza kutugeukia na sisi. Wanaweza kutengeneza fix fix ambazo endapo nitatoka madarakani, wakani hukumu na mimi na kuniangamiza hadharani. Hata wewe pia wana weza kukutengenezea makosa ya aina hiyo na mwishowe uka mpoteza mke wako na endapo utapata mwanao ata potezwa.”

Kauli ya raisi ikanifanya na mimi nifikirie mbali sana na endapo siku nami ita kuwa ni siku yangu ya kuhukumiwa na sheria hiyo basi Cauther na kama tutakuwa na watoto basi ita kulak wetu. Nikamfikiria baba mkwe naye pia ni msaliti wa hii nchi na endapo akibainika basi yeye na familia yake nzima akiwemo mke wangu naye atahukumiwa kifo.

“Ila ni kweli ulilo sema?”

“Yaa hayo mambo tuwaachie North Korea kwa maana wale ndio wamesha zoesha hivyo toka enzi zao za ufalme hadi nyakati hizi za uraisi. Hivyo ina tupasa kuwa makini sana kijana wangu”

“Sawa mkuu”

Tukafika ikulu. Tukahakikisha raisi yupo kwenye ulinzi wa kutosha, tukaagana naye na kuondoka eneo hili. Ukimya ukatawala ndani ya gari huku Judy ndio dereva wa gari hili.

“Tuna elekea hospitalini ehee?”

Judy aliniuliza huku akinitazama machoni mwangu.

“Ndio, vipi mbona una onekana kuwa na mawazo mengi?”

“Nina waza vitu vingi sana mkuu.”

“Kama?”

“Matukio yaliyo tokea. Kama Maulid walimudu ita kuwaje kwa upande wangu?”

“Usijali hakuna baya litakalo kupata”

“Mmmm mkuu usijiamishe hivyo na isitoshe tayari tumesha jionyesha kwamba sisi ni timu raisi. Makamu wa raisi ana weza kutufanya chochote”

“Usiogope Judy. Endapo una endelea kuwa namimi hakuna baya litakalo kupata mdogo wangu. Sawa”

“Sawa kaka”

Tukafika hspitalini nilipo mleta Maulid masaa kadhaa yaliyo pita. Nikakutana na askari niliye muacha kwa ajili ya kumlinda Maulid.

“Heshima yako mkuu”

“Salama jamaa vipi amesha maliza kutibiwa?”

“Ndio, wamempeleka ICU”

“Je walikupatia ropoti yoyote?”

“Hapana”

Tukaulizia mapokezi ni daktari gani alimtibu Mauld na tukaelekezwa ofisini yake na tukaeleka. Tukakutana na mama wa kihindi wa makamo kidogo akiwa amevalia koti jeupe huku kifuni mwake likiwa limeandikwa DK Backery.

“Karibuni”

“Tuna shukuru, kuna kijana wangu nilimleta hapa akiwa ameshambuliwa na waalifu.”

“Ohoo mgonjwa wako, tume mueka ICU ili aweze kupata utulivu mzuri”

“Vipi hali yake ipoje?”

“Kusema kweli, hali yake sio nzuri. Kwa maana amevunjika mbavu mbili za upande wa kushoto. Pia amevunjika mkono wa kushoto mara mbili. Kichwani kuna mpasuko kidogo wa fumbu tuliiona, ina onyesha kwamba alibondwa na chuma kizito ial jambo la kumshukuru Mungu, mpasuko huo hakuweza tabu kwenye ubongo na yaliyo salia ni majeraha ya kawaida mwilini mwake”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama Judy anaye onyesha kujawa na masikitiko mengi sana.

“Je ita mchukua muda gani kupona?”

“Kwa makaririo ni miezi sita hadi mwaka.”

“Daaa!!”

Nilizungumza huku nikihisi kuchoka sana.

“Dokta je ana majera yoyote ya ndani kwa ndani?”

Judy aliuliza huku akimtazama daktari.

“Ndio ni huko kuvunjika kwa mbavu, mkono na mpasuko kidogo kwenye ubongo”

“Nina maana kama maini na vitu vingine vya ndani havijapata madhara?”

“Hapata madhara, zaidi ya hivyo nilivyo wambia mimi”

“Ohoo Mungu amsaidie, je tuna weza kumuona kwa usiku huu?”

Judy aliuliza.

“Ngoja niwaangalizie utaratibu wa kwenda kumuona”

“Tuta shukuru”

Daktari akatuacha ofisini kwake na baada ya dakika tano akarudi na tukaondoka naye. Tukafika katika wodi ya wagonjwa mahututi. Tukapewa mavazi maalumu ya kuvaa pamoja na gloves na kofia maalumu za hapa hospitali. Tukaingia katika chumba hichi ambacho kina wagonjwa kama wanne hivi na hali zao ni mbaya kupita maelezo. Tukasimama pembeni ya kitanda cha Maulid huku akiwa amezungukwa na mashine zinazo masaidia kupumu na kuhesabu mapigo yake ya moyo yanavyo kwenda.

“Laiti kama angecheleweshwa kufika hapa angefariki”

Dokta alizungumza huku tukiendelea Maulid ambaye uso namwili wake vime vimba.

“Kwa nini amevimba?”

Judy aliuliza.

“Ni kutokana na kupigwa huko. Ila hii hali ita isha”

“Na je ata kaa kwa muda gani ndani ya hichi chumba?”

“Hilo ni jambo la kumuomba Mungu kwa maana hakuna mgonjwa anaye penda kuletwa kwenye chumba kama hichi.”

“Sawa tuta omba awe ana lindwa kwa maana huyu ni kapteni wa jeshi na nimtu muhimu sana dokta”

“Hakuna shaka, ila poleni kwa yaliyo tokea kwa maana ana onekana ni kijana mkakamavu na shupavu, kwani angekuwa ni mtu wa kawaida, sidhani kama angefika hata hapa hospitalini kwa kipigo hicho.”

“Asanteni nanyi kwa hudumu zenu.”

Tulizungumza kwa sauti ya chini chini kwa maana wagonjwa hawapaswi kusikia kelele yoyote. Tukatoka ndani ya chumba hichi.

“Judy fanya mpango wa kumtafuta Manka na wanajeshi watako kuja kumlinda hapa hospitali. Hakikisha wana kuwa ni wanajeshi waaminifu”

“Sawa mkuu”

“Mimi nina kwenda kuoanana na mke wangu sasa kwa maana ni siku ndefu sana, sija pumzika na wala hatuja pata wakati wa mimi na yeye kufanya mambo yetu yale”

“Hahaaa haya bwana. Ila muna faidi muliopo kwenye ndoa”

Judy alinitania huku tukitoka nje ya hospitali hii mara baada ya kukabidhi mavazi yao kwa nesi.

“Kusema kweli una faidi kwa maana ukitaka tu una pewa”

“Hahaaaa mkuu acha kunichekesha sana”

“Ehee vipi wewe una olewa lini?”

“Bado bado kwa maana sijapata mwanaume wa kunifaa?”

“Ina maana huko jeshini hakuna wanao kutongoza?”

“Wapo ila bado sija pata mwanaume mwenye vigezo ninavyo vihitaji”

“Usijali, ukipata mwenye vigezo unavyo vihitaji, niambie kama nilivyo mfanyia Maulid. Kila mmoja nita mpatia mwena anaye mpenda”

“Sawa mkuu”

Tukaingia kwenye gari na Judy akanipitisha nyumbani kwa wakwe zangu. Nikashuka kwenye gari na Judy akaelekea nyumbani kwake kwa maana sasa hivi ni saa kumi na moja alfajiri, usiku kucha hatujapata hata muda wa kupumzisha miili yetu. Nikaingia ndani ya jumba hili la kifahari na ulinzi bado ume imarishwa na watu wengi wame lala. Nikampigia simu Cauther.

“Ndio mume wangu?”

“Nipo hapa nyumbani, upo chumba kipi?”

“Nipo chumba cha watoto wa kike nina kuja sasa hivi”

“Sawa”

Nikakata simu huku nikitazama baadhi ya ndugu wakiwa wamelala eneo la nje ya nyumba hii, kwani watu ni wengi kiasi cha kukosa sehemu ya kulala na wengine walikisha wakinywa na kusaza. Cauther akanikimbilia na kunikumbatia kwa furaha sana huku akilia.

“Mbona una lia mke wangu?”

“Nina shukuru ume rudi salama mume wangu. Nilikuwa nina hofu kubwa”

“Usijali mke wangu hakuna kitu kibaya kinacho weza kumpata mume wako”

“Usiseme hivyo baby. Wewe ni binadamu na sio Mungu”

“Najua, ila usijali hakua baya lolote linalo weza kunipata, mimi kitukuu cha mtume”

“Hahaa haya wewe sema hivyo tu”

Cauther alizungumza kwa sauti ya kudeka.

“Vipi shemeji?”

“Hali yake sio nzuri yupo ICU. Yaani ninge chelewa kidogo wange muuaa aisee”

“Jamani, ehee hao majambazi umewakamata?”

“Sijawakamata”

“Mungu wangu, sasa si wana weza kurudi”

“Hawawezi kurudi kwa maana sasa wapo kuzimu kwa maana wote niliwapeleka kuzimu. Mke wangu hapa nilipo nime choka, nita lala wapi?”

“Yaani huwezi amini nyumba nzima ime lala na hapa nilivyo na nyeg** mume wangu nina tamani hata ungenitomb** sasa hivi”

“Mmmmm iba basi funguo ya gari twende home basi”

“Ngoja nifanye mchakato wa gari ya Nadia”

“Poa”

Cauther akaondoka na kuniacha eneo hili.

“Bwana harusi”

Niliisikia sauti nyuma yangu ikiniita nikageuka na kumuona babu Cauther.

“Ooo shikamoo babu”

“Marahaba mjukuu wangu. Jana ulipotea ulikuwa wapi?”

“Ahaa nilikuwepo babu ila si una jua mchanganyiko wa watu ni wengi na kuonana sio rahisi”

“Ni kweli”

Cauther akarudi hapa nilipo huku akiwa na nguo nyingine. Akasalimiana na babu yake.

“Babu tuna toka wakiulizia waambie wanipigie simu”

“Muna kwenda wapi?”

“Kuna rafiki yetu amepata ajali alikuwepo jana kwenye harusi, yule aliye msimamia mume wangu kwenye kufungishwa ndoa. Sasa ndio tuna kwenda kumuona hospitalini”

Cauther ilibidi amdangaye babu yake.

“Ahaa sawa mpeni pole”

“Tuna shukuru”

Cauther akanikabidhi funguo ya gari la Nadia aina ya Toyota Mark X. Tukaondoka nyumbani hapa, njiani Cauther akaanza uchokozi wa kunipapasa juu ya zipu yangu.

“Baby nina endesha”

“Nina hamu bwana baby”

Cauther alizungumza huku akifungua kifungo cha suruali yangu. Akaingiza mkono ndani ya boksa yangu na kuanza kumminya minya jogoo wangu aliye dinda.

“Aiissiiiaiii”

Cauther alizungumza kwa hisia kali sana za kimapenzi. Tukafika getini mwa nyumba yetu, nikashuka kwa haraka haraka na kufungua geti, Cauther akaingiza gari ndani nikafunga geti, akashuka na kunirukia huku tukinyonyana denda. Nikafungua mlango wa mbele na kwa haraka tukaingia ndani, sikuona haya ya kuelekea chumbani, nikamlaza Cauther kwenye sofa na tukaanza kuvuana nguo. Tukaanza mtanange wa kukata na shoka huku kla mmoja akionekana kuwa na hamu na mwezake.

“Nitomb*** mume wangu”

Cauther alilalama huku nikiwa nime muinamisha kwenye sofa, nikazidisha kasi ambaho kama ni gari basi ni spidi mia na themanini. Hadi tunamaliza mzunguko wa kwanza kila mtu ana mwagikwa na jasho mwili mzima.

“Asante mume wangu, yaani hili bao lita leta mtoto”

“Kwa nini una sema hivyo?”

“Kwa maana nimezisikisa zikiingia ndani kabisa huku”

Cauther alizungumza huku akinoonyesha eneo la kivovu chake kwa kidole.

“Hahaa una vituko sana mke wangu”

“Una jua ni nini mume wangu”

“Ehee”

“Yaani nina furaha sana, hapa nina tamani nipate mimba ya fasta fasta ili tuwe na familia yetu. Yaani bibi na babu walikuwa wakinisisitizia nipate mimba sana, ili wamuone mjukuu wao kabla hawajafa”

“Mungu ni mwema tuta pata”

Nikanyanyuka huku nikihisi hali ya tofauti kidogo ndani hapa. Nikaingia chumbani kwetu, nikastuka sana mara baada ya kukuta vitu vikiwa vimechanguliwa changuliwa, hata Cauther naye akastuka sana kwani nyumba sikuiacha hivi na inavyo onyesha kuna mtu au watu wameingia nyumbani kwangu sasa sijajua ni wezi wa kawaida au ni maadui zangu wana jaribu kunitafuta kwa jinsi wanavyo jua wao.



“Baby kuna wezi wameingia au?”

Cauther aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.

“Ngoja”

Nilizungu huku nikikagua chumba kizima na hapakuwa na kitu kilicho potea. Nikarudi sebleni na kuchukua simu yangu, nikaingia katoka upande wa kamera ambapo huwa kuna hifadhi kila kitu kinacho rekodiwa na kamera nilizo zifunga hapa nyumbani kwangu. Nikarudisha matukio ya nyuma hadi majira ya saa tisa usiku, watu wawili walio valia vinyago kwenye nyuso zao. Wameingia nyumbani kwangu hapa kwa kuruka ukuta, wakaingia ndani kwangu, kutokana sebleni kuna kamera, nikaendelea kuwaona wakitazama tazama sebleni hapa kama watu wana tafuta kitu fulani kisha wakaingia chumbani kwangu. Walicho kifanya chumbani wana kifahamu wao, kisha wakatoka nyumbani kwangu huku wakirudishia milango kama ilivyo fungwa na nina kumbuka siku ya mwisho kuondoka na nyumbani hapa na kina Maulid sikufunga milango zaidi ya geti pekee.

“Mbona wana onekana ni vibaka hawa?”

Cauther aliuliza huku tukitazama video hiyo.

“Sio vibaya. Kibaka siku zote kazi yake ni kukaba na kukimbia. Ila hawa ni watu wanao onyesha kunifahamu na nina hisi kuna vitu walikuwa wana vitafuta kwa maana kama ni kuingia kwao, wameingia kwa kunyata sana, pili wame changua vitu na hawajaiba chochote”

“Sasa tuta wajuaje mume wangu?”

“Ni kazi rahisi”

Nikamtumia Willy video hiyo kwa njia ya whatsapp kisha nikampigia simu.

“Kaka za asubuhi”

“Salama dogo, kuna video nime kutumia hapo hembu zitazame na nitafutie hao Kenga wawili nyuso zao”

“Sawa, vipi hali ya Maulid?”

“Yupo ICU bado”

“Walimpiga sana?”

“Yaa wame mvunja mkono, mbavu. Yaani, kilicho kipata ni haki yao”

“Daa Mungu amsaidie”

“Hilo ndio lililo baki ndugu yangu”

“Hawa ni kina nani tena”

“Ndio hivyo nina hitaji uweze kuzitambua sura zao, kwani sasa hivi mambo naona yanaanza kuwaka”

“Sawa kaka”

Nikakata simu huku nikimtazama Cauther usoni mwake.

“Mmm mume wangu kama watakuwa ni watu wabaya si bora tu tuhame kwa maana wana weza kutudhuru”

“Usijali mke wangu kila jambo litakwenda sawa”

Ikatulazimu kuanza kufnaya kazi ya kuisafisha nyumba nzima na kuipanga vizuri. Majira ya saa tano asubuhi tukarudi nyumbani kwa wakwe zangu. Baba mkwe akaniita chemba kwa ajili ya mazungumzo.

“Makamu wa raisi aliitisha kikoa cha dharura alfajiri ya siku ya leo kupitia mtandao wetu. Na kikao hicho kilikuwa kina kuhusu wewe na raisi”

“Amehitaji nini?”

“Ana hitaji kuwatoa sadaka”

“Sadaka kivipi?”

“Anahitaji siku mukienda nchini Ujerumani, ndege yenu ilipuliwe angani”

“Duu ana kijachaa ehee?”

“Tena sio kidogo kwa maana ameona haitoshi kuwatumia hao wauaji nchini Ujerumani, ila anahitaji kuwalipua kabisa hewani”

“Na ndege hii ya raisi?”

“Ndio na ndege hiyo hiyo ya raisi”

“Mpuuzi, hivi kwa nini nisimuue hili jambo lika isha”

“Muda bado mwanangu, kikubwa tengeneza usalama wako na familia yako. Cauther sasa hivi ndio wako, sihitaji au sinto penda ufe ukiwa bado kijana mdogo na ukamuacha mwanangu mjane tena kwenye umri mdogo kama huo”

“Nini nifanye juu ya hawa watu”

“Hii ni organization kubwa yenye matawi makubwa sana na ime ingia nchi nyingi sana hivyo nina hisi ni hatari sana pale utakapo muua makamu wa raisi, wote wana kujia kwa nguvu zote na hawawezi kukuacha hai. Tumia akili sana katika kuwamaliza, na kama nita endelea kuwa hai nita zidi kukupa kila aina ya mpango wao wanao upanga”

“Sawa baba, nina wazo”

“Wazo gani?”

“Nina imani nguvu kubwa ina tokana na pesa”

“Ndio, ukiwa huna pesa unakuwa huna nguvu”

“Yaa”

“Pesa za organization yenu muna ziweka nchini gani?”

“Tuna benk yetu moja ambayo ni ya wanachama tu ipo nchini Uswizi”

“Ina kiasi gani cha pesa?”

“Ni billions of Euro na USD Dollar”

“Kwa kukadiria ni kama kiasi gani?”

“Hilo swali nita kujibu baadae, kwa maana peza zetu zote huwa tuna weka kwenye hiyo benki na ina ulinzi mkali kupita maelezo”

“Sawa”

“Kwani una mpango gani?”

“No nahiji kufahamu tu”

“Sawa”

Simu yangu ikaingia ujumbe kupitia mtandao wa whatsapp, nikafungua na kukuta picha kadhaa alizo nitumia Willy.

“Baba kina sehemu nina hitaji kuelekea”

“Sawa”

Nikatoka ofisini hapa na nikakutana na Nadia katika kordo.

“Ehee afadhali nime kupata shemeji, ni nini kiliwafanya muondoke na gari yangu”

“Hahaa Cauther huyo”

“Mbona kasema wewe ndio ume muagiza achukue”

“Yaa nina toka tuta zungumza baadae”

“Ina bidi muniwekee mafuta”

“Usijali”

Nikaachana na Nadia na kumpigia simu Willy.

“Kaka hao ni walinzi wa makamu wa raisi”

“Nina wajua hawa madogo. Ngoja ni wasake”

“Ila makamu wa raisi ameelekea Dodoma kuni ziara amekwenda kuifanya na madogo hao wame ondoka naye”

Willy alinijibu kwenye simu na kujikuta nikiishiwa pozi.

“Ziara yao ina kwisha lini?”

“Ni ziara ya siku tano kwa maana kuna miradi anayo ifungua katika mkoa wa Dodoma”

“Poa, nina kwenda hospitali, kisha nitapita kwako”

“Sawa kaka”

Nikakata simu, nikamtumia ujumbe Cauther kwamba nina ondoka. Akanifwata nje nilipo

“Naenda kumuona Maulid”

“Sawa mume wangu, kuna kazi kidogo nina fanya hapa”

“Usijal nina elewa”

“Sasa uta kwenda na usafiri gani?”

“Natembea hadi barabarani kule, nitaokodi pikipiki na kuelekea hadi nyumbani, nita chukua gari na kuelekea hoko hospitalini”

“Sawa kuwa makini mume wangu”

“Usijali”

Nikambusu Cauther katika lipsi zake kisha nikaondoka. Nikapanda bodaboda hadi nyumbani kwangu, nikamlipa kisha nikaingia ndani. Moja kwa moja nikapitiliza hadi chumbani kwangu, nikafungua kabati na kuchukua laptop yangu, nikachukua flash aliyo nipa baba mkwe katika sehemu ya siri sana niliyo ifacha, nikaka sebleni na kuiwasha laptop yangu.

‘Hawajaiba chochote, walikuwa wana tafuta nini?’

Nilijiuliza swali huku nikiitazama flash hii. Nikaigeuza mara kadhaa huku nikiichunguza, kwa haraka nikanyanyuka na kuingia jikoni, nikachukua moja ya kisu chembamba na chenye ncha kali na kurudi sebleni. Nikaifungua taratibu flash hii na nikafanikiwa. Kutokana sina utaalamu mkubwa sana na mambo haya ya vitu vta electronic, nikaipiga picha kahdaa pande zote mbili kisha nikamtumia Willy.

“Dogo hembu icheki hizo picha za flash sizielewi elewi”

Nilizungumza kwa simu.

“Ume itoa wapi kaka?”

“Kuna mzee mmoja amenipatia?”

“Aina ya flash hizo hapa Tanzania hazipo”

“Kivipi?”

“Huwezi kuelewa kaka hadi nikuonyeshe. Si una kuja huku?”

“Ndio”

“Basi njoo nayo kaka”

“Poa”

Ikanibidi kugairi ninacho kifanya, nikafunga nyumba yangu vizuri kisha nikaondoka nyumbani hapa na moja kwa moja nikaelekea nyumbani kwa Willy.

“Kaka hizi flash kwa Tanzania hazipo”

“Kwa nini una sema hazipo?”

“Hizi flash moja zina sound record. Mbili ina kila aina nyonya data zote ambazo huwekwa katika computer itakayo ungia. Kwa mfano kama ume weka kwenye laptop kila aina ya data muhimu basi ina nyonywa na mwenye hii flash ana uwezo wa kuzipata data za computer yako, hata kama yupo marekani”

“Weee”

“Haki ya Mungu kaka ngoja nikuonyeshe”

Willy akaichomeka flash kwenye computer yake.

“Mimi hawezi kunyonya data zangu kwa maana computer yangu nime uwekea baadhi ya software za ulinzi. Hizi ni data za laptop yako”

Willy alinionyesha kila kiti kilichopo kwenye laptop yangu kikiwa ndani ya hii flash.

“Haya ndio mazungumzo yako yote uliyo yafanya ndani ya nyumba yako”

Nikajihisi nikiishiwa nguvu kwa maana baba mkwe amenichezea mchezo wa kihuni. Baadhi ya vya mahaba vya mke wangu vina sikika katika flash hii.

“Zima”

Willy akasimamisha mazungumzo hayo.

“Amekupa nani?”

“Baba mkwe wangu na ana dai kwamba kila kitu kinacho husiana na Scorpion kipo humu. Je ana weza kusikia haya mazungumzo yetu?”

“Hapana nimesha ua mfumo huo”

“Hembu tazama data zao?”

“Zipo mafaili haya hapa”

“Sasa fanya hivi, kila kitu copy kwenye computer yako alafu hiyo flash tuivunje”

“Una onaje ukaiweka nyumbani kwa makamu wa raisi kwa maana ina uwezo wa kurekodi mazungumzo yote.”

“Je hayo mazungumzo yakirekodiwa yana weza kusikilizika hata mtu akiwa mbali au mpaka uchukue flash”

“Hadi uchukue flash”

“Sasa hizi si zitakuwa shuhuli mbilimbili, kwenda kuweka, na kwenda kuchukua”

“Ni kweli, au tufanye hivi. Nitaitumia mimi hii flash hizi data nita zihifadhi hapa”

“Poa alafu kuna wazo moja ambalo nimelipata”

“Wazo gani?”

“Hawa scorpion nguvu yao kubwa ipo kwenye pesa. Wana benki moja ipo Uswizi. Ina mabidilioni ya Dollar na Euro. Una onaje tukaenda kuziiba”

“Duu broo hiyo plan sikushauri hata kuifanya kwa maana mabenki ya nchi hiyo yanalindwa sio mchezo na isitoshe tunaziiba hizo pesa tuna zibabebaje kwa mfano, kama ingekuwa ni digital money, ipo kwenye mtandao hapo sawa tungecheza na codes kuzihamisha. Ila zipo physically. Hatuwezi kibebe bilioni of dollar broo na tukatoka nazo kwenye hiyo nchi ni lazima tukamatwe.”

“Duu”

“Yaa na tusipo angalia tunaweza kujikuta tuna tangazwa kama world criminals, sasa hapo, tuta sakwa na kila chombo cha usalama duniani”

“Basi hilo tuliache kwanza. Ngoja niande hospitali nikamuone Maulid”

“Tena ni vyema tukaongozana”

“Sawa”

“Ngoja nipige maji fasta fast”

“Poa dogo”

Willy akaingia chumbani kwake, baada ya dakika kumi akatoka akiwa amebadilsha nguo zake.

“Mdogo wangus iku hizi umekuwa bitozi”

“Hahahaa hakuna kaka”

Tukaingia ndani ya gari na kuanza safari ya kuelekea hospitalini.

“Alafu kaka nikuulize swali?”

“Niulize”

“Hivi Judy ana mume?”

“Hana kwa nini?”

“Ahaa nimeuliza tu”

“Ume muelewa nini?”

“Sana kaka, mademu wa ina ile wembamba ndio pigo zangu na isitoshe yule demu ni mzuri sema ndio hivyo ni mwanajeshi”

“Basi acha nikuchangishie karata. Sasa kwenye kula ushindwe mwenyewe”

“Ila nina muona yupo yupo seriously”

“Usijali Simba na ukali wake wote ila ana zaa. Kama ni mwanamke, ata tulia”

“Poa kaka”

Tukafika hospitalini na kwa bahati nzuri tukamkuta Judy pamoja na Manka. Tukasalimiana nao kisha tukaka kwenye benchi walilo kaa huku wanajeshi wawili wakiwa wamesimama mlangoni mwa chumba cha ICU.

“Vipi mume bahatika kumuona mgonjw?”

“Ndio ila hali yake bado ni bila bila”

Judy alijibu kwa unyonge, nikamtazama Manka machoni mwake na kumuona jinsi alivyo jawa na huzuini hadi ana tia simanzi.

“Shemeji pole”

“Asante”

Manka alijibu huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Daktari anaye muhudumia Maulid akafika eneo hili, nikasalimiana naye na akaniita pembeni kwa ajili ya mazungumzo.

“Ndio dokta”

“Ahaa nilishindwa kuzungumza na yule binti kwa maana nina ona hana kifua cha kubeba hichi ambacho nita kueleza”

Dokta alizungumza kwa sauti ya unyonge ambayo taratibu ikaanza kunipatia mashaka. Nikawatazama wezangu walio kaa kwenye benchi huku kila mmoja akionekana akiwa amejawa na mawazo mengi kichwani mwake.

“Vipi kuna tatizo dokta?”

“Ndio kuna tatizo”

Mwana mama huyu alijibu kwa sauti ya upole.

“Niambie ni tatizo gani?”

Nilizungumza huku nikimdadisi daktari usoni mwake. Akashusha pumzi nyingi sana huku akinitazama machoni mwangu.

“Niambie mimi ni mwanaume na nipo tayari kupokea kila aina ya taarifa.”

“Vipimo tulivyo vipima leo asubuhi. Tume weza kugundua kwa asilimia tisini na tano mgonjwa wetu hato weza kutembea tena. Ina maanisha kwamba ameparalaizi karibia robo tatu ya mwili wake”

Nikajikuta mdomo nikiuacha wazi kwa maana hili ni pigo moja takatifu katika timu yangu ambayo nilianza kuijenga kwa watu watatu ambao ni Maulid, Judy pamoja na Willy ambaye yeye tuna mtegemea sana kwenye maswala ya I.T na hawa wawili katika maswala ya mapigano. Galfa tukaanza kusikikia mlio wa mashine ukitokea ndani ya chumba cha wagonjwa mahututi. Dokta akatimka baru na kuingia ndani hapo na ikanilazimu na mimi kumfwata nyuma na kuingia ndani. Macho yakanitoka mara baada ya kuona mlio huo ukitokea kwenye kitanda akicho lazwa Maulid na mlio wa mashine huo una ashiria mapigo yake ya moyo yamesimama. Madaktari wengine wawili wakaingia kwa kasi ndani hapa huku daktari aliye tangulia nikimshuhudia akiminya minya Maulid kifuani mwake, kwa mikono miwili ili kuyainua mapigo yake ya moyo. Jasho, likaanza kunitoka usoni mwangu huku mapigo yangu ya moyo yakinienda kasi sana kwani nyuso za madaktari zina onyesha kukata tamaa kwa juhudi zao za kuyarudisha mapigo ya moyo ya Maulid kufanya kazi. Taratibu nikaanza kusogea hadi kilipo kitanda cha Maulid.

“Hapaswi kuwa hapa”

Daktari mmoja alizungumza huku akiniomba nitoke nje. Ila nikagoma huku nikitazama mashine hiyo ina onyesha mstari mmoja ulio nyooka huku asilimia zikisoma sifuri sifuri. Daktari mkuu akatazama saa yake ya mkononi.

“Amefariki saa nane na dakika ishirini mchana”

Daktari alizungumza kauli iliyo nifanya nihisi miguu yangu ikininyong’onyea. Taratibu akanisogelea sehemu nilipo simama huku machozi yakinitoka usoni mwangu, ujasiri wangu wote umeyayuka mithili ya barafu juani. Daktari akanishika bega la upande wangu wa kulia.

“Pole sana bwana Eddy. Kijana wetu ametutoka duniani.”

Daktari alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa simanzi, akavua miwani yake kisha taratibu akatoka ndani ya chumba hichi huku akiniacha nikimtazama Maulid jinsi anavyo tolewa mashine za kupumulia na madakatri hawa wawili walio baki ikiashiria kwamba amekufa kiukweli ukweli na si utani.



Nikajaribu kupiga hatua kufwata kitanda cha Maulid ila nikajikuta miguu ikiishiwa nguvu kabisa hadi nikatetereka kidogo ila daktari mmoja akaniwahi kunishika.

“Upo sawa?”

Swali la daktari likanifanya nimtazame pasipo kumjibu chochote kwa maana haiwezekani muda kama huu aniulize kama nipo sawa. Taratibu nikasogea hadi kitandani, nikamshika mkono Maulid ambaye ni jana tu asubuhi nilikuwa naye na nina cheka naye. Katika kipindi nilicho kutana naye, niliishi nao kama mtu na wadogo zake wa tumbo moja. Sikuweka mipaka ya ukubwa wa cheo changu kwao ndio maana kila kitu niliweza kuwaeleza na kushirikiana nao kwa asilimia mia moja.

‘Kwa nini umeondoka mapema mdogo wangu. Hata miaka thelathini hujafika why?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikilia kwa uchungu sana. Nikapiga magoti chini na kuanza kulia kwa uchungu sana kiasi kwamba madaktari hawa wawili wakashikwa na bumbuwazi. Dakika kumi za kulia kwangu zikaubadilisha uchungu wangu kuwa ujasiri na nikakubaliana na kifo cha Maulid. Nikasimama huku nikifuta machozi yangu.

“Musimtoea hadi nizungumze na hawa wezangu hapa nje”

Nilizungumza kwa sauti nzito iliyo jaa mikwaruzo itokanayo na kulia. Nilipo hakikisha nimejiweka sawa, nikatoka ndani hapa na kuwakuta Judy, Willty na Manka wakiwa wamesimama huku wote wakiwa na shahuku ya kuhitaji kufahamu kilicho tokea.

“Mkuu vipi hali ya Maulid?”

Judy aliniuliza kwa shahuku kubwa huku akinitazama. Nikawatazama wanajeshi wawili walio simama eneo hili, kwa jinsi nilivyo gonganisha nao macho nahisi wakaelewa hali halisi ya jambo lililo tokea. Hofu yangu kubwa ipo kwa Manka mbaye ndio kwanza penzi lake ni changa, penzi nililo msaidia kuliunganisha na mdogo wangu huyu.

Ukimya wangu ukaanza kumfanya Judith kuanza kulengwa lengwa na machozi.

“Maulid amefariki”

Manka macho yakamtoka, pochi aliyo ishika ikamdondoka chini, nguvu zikamuishia na nikamshuhudia akikaa chini sakafuni pasipo kupenda.

“Mkuu hapana, haiwezekani, haiwezekani kabisa Maulid afariki. Hapana”

Judy alizungumza huku akizichangua changua nywele zake.

“Hawezi kufa….Jana tu, tumecheka asubuhi, tume kuozesha harusini. Eti afe hapana hapana haiwezekani haiwezekani kabisa”

Judy alilia huku akinipiga piga kifuani mwangu. Taratibu nikakumbatia huku akilia kwa uchungu sana kwani kila kitu kimetokea kwa uharaka sana. Nikamtazama Willy na kumuona akiwa amejiinamia chini huku akilia kimya kimya. Nikawapa ishara wanajeshi hawa kumnyanyua Manka ambaye yupo kama hayupo vile.

“Haki ya Mungu nita waua. Naapa nita waua kwa mkono wangu mimi mwenyewe”

Judy alilalama huku nikiwa bado nime mkumbatia. Judy akaniachia mara baada ya mlango wa chumba hichi cha ICU kufunguliwa. Madaktari hawa wawili, taratibu wana kisukuma kitanda chenye mwili wa Maulid huku akiwa amefunikwa shuka jeupe kuanzia miguuni hadi kichwani. Kwa haraka Judy akafunua shuka eneo la kichwani, nikamuona akitingisha kichwa.

“Hapana, hapana Maulid hajakufa…no Maulid simama, simama Maulid”

Judy alizungumza huku akiwa amechanganyikiwa. Nikajaribu kumshika ila akaniponyoka mikononi mwangu.

“Maulid simama ndugu yangu kuna mission ipo mbele yetu simama basi twende”

Judy alialala hukua kimtingisha Maulid ambaye kwa sasa hatusikii kabisa wala hatuoni. Nikageukia ukutani kwa maana nimejaribu kuyazuia machozi yangu ila nina shindwa.

“Niachieni, niachieni”

Judy alifurukuta mikononi mwa wanajeshi walio mkamta ili kuwapisa madaktari kuendelea na safari yao ya kuupeleka mwili wa Maulid katika chumba cha kuhifadhia maiti. Manka muda wote amekuwa kama mtu aliye shikwa na bumbuwazi. Hata Maulid alipo pitishwa hakusimama zaidi ya kumtazama akiwa amekaa kwenye benchi.

“Mkuu ina bidi tutaarifu makao makuu”

Mwanajeshi mmoja aliniambia kwa kuninong’oneza.

“Fanya hivyo”

“Sawa”

Mwanajeshi huyu akasogea pembeni huku akitoa simu yake mfukoni. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kukuta ni Cauther ndio anaye nipigia. Nikamtazama Judy aliye shikiliwa na mwanajeshi mwengine ili asilete fujo.

“Yes baby”

Nilizungumza kwa sauti ya unyonge kiasi kwamba Cauther kwa haraka akatambua hali yangu.

“Baby niambie una nini?”

“Upo wapi?”

“Nipo nyumbani, nina andaa chakula”

“Baba yupo?”

“Ndio”

“Mpelekee simu”

“Baby niambie kuna nini?”

“Fanya hivyo mke wangu. Tafadhali nina kuomba”

“Mmmm”

Cauther aliguna huku akionekana kujawa na mashaka. Baada ya dakika moja na sekunde kadhaa nikaisikia sauti ya baba mkwe.

“Ndio mwanangu”

“Kijana wangu yule wa jana amefariki dunia”

“Mungu wanngu!!”

“Ndio, mpatie kwa utaratibu taarifa hii Cauther nimeshindwa kumuambia kwa maana kama unavyo fahamu ni mtu wa kupanic sana”

“Sawa, nina jiandaa sasa hivi nina fika hapo, si Agakhan?”

“Ndio”

“Nina fika”

Nikakata simu, nikampigia raisi kwa simu yake ya mkononi. Ikaita hadi ikakata, nikapiga tena ikaita hadi ikakata. Nikampigia Maria.

“Wooo leo ume nikumbuka mpenzi”

“Raisi yupo wapi?”

“Ahaa ana kikao na mkuu wa kitengo cha NSS”

“Mpelekee simu?”

“Eddy ni kikao nyeti”

“Nimesema mpelekee simu”

Nilizungumza kwa kufoka hadi baadhi ya watu walio hapa wakanitazama kwa mshangao.

“Sawa”

Maria alijibu kwa unyonge kwa maana huwa ana niogopa sana ninapo kuwa katika hali ya hasira. Baada ya dakika kadhaa nikaisikisa sauti ya raisi.

“Ndio X”

“Nina habari mbaya”

“Kuna nini tena kimetokea”

“Kijana wangu Maulid amefariki dunia”

“NINI?”

“Ndio, amefariki mchana huu hapa Agakhan”

“Ohoo Mungu wangu imekuwaje?”

“Kama nilivyo kueleza walimteka jana wale watu. Hivyo walimpiga sana na Mungu amefanya kazi yake”

“Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un”

Raisi alizungumza kwa sauli iliyo jaa masikitiko mengi sana kiasi cha kunifanya nishindwe kuvumilia na machozi yakanimwagika.

“X nita fika hapo hospitalini”

“Sawa”

Nikakata simu huku nikifuta machozi yangu.

“Eti mkuu Maulid kweli amekufa. Komandoo wangu, mpiganaji wangu kweli amekufa. Hembua niambie basi ni picha ya kuigiza, niambie ehee niambie basi”

Judy alizungumza huku akinipiga piga kifuani mara baada ya kuachiwa na mwanajeshi aliye kuwa amemshika.

“Hei Judy rudi kwenye ufahamu wako. Maulid ni kweli amekufa”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiishika mikono ya Judy ili asiendelee kunipiga piga kwa maana vingumi vyake vina ume kweli kweli. Taratibu Judy akaniachia na kukaa kwenye benchi alilo kaa Manka.

“Willy”

Nilimuita Willy na akanyanyua uso wake huku macho yakiwa yamejaa uwekundu. Nikamuita kwa ishara na akanyayuka kwa unyonge.

“Timu mpya imesha poteza jembe, tufanyaje?”

Nilijikuta nikimuuliza swali Willy ambalo nina imani kwa asilimia kubwa hawezi kuwa na jibu sahihi kwa wakati huu.

“Sijui kaka, hapa nilipo kichwa changu kime changanyikiwa. Kichwa hakielewi hata imekuwaje kuwaje”

Willy alijubu kwa unyonge huku akinitazama usoni mwangu na machozi yana mwagika.

“Okay pumzika”

Mwanajeshi aliye piga simu akanisogelea.

“Mkuu nimesha taarifu makao makuu na wanajeshi wana fika hapa muda si mrefu. Mkuu wa kambi ya kigamboni ana fika hapa”

“Sawa”

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kuona ninamba ya baba mkwe.

“Ndio baba”

“Mupo wapi?”

“Maeneo ya ICU”

“Tuna kuja”

Nikaka simu, hazikuisha dakika mbili nikamuona baba mkwe akiwa ameongozana na Cauther, pamoja na Salum kaka wa Cauther. Cauther kwa haraka akanikumbatia huku machozi mengi yakimwagika.

“Mume wangu acha kunitani Maulid si asubuhi nilikuwa nina taniana naye ana nitambia nita zaa mapacha mapacha ina kuwaje amekufa”

Cauther alilalama huku akilia kwa uchungu sana, nikashindwa kumjibu chochote zaidi ya kuendelea kumkumbatia huku nami machozi yakimtoka. Cauther akaniachia na kumfwata Judy.

“Wifi, wifi niambie kwamba sio kweli. Muna tutania niambie”

Cauther alilalama na kumsababisha Judy kuangua kilio.

“Shem poleni”

“Asanteni”

“Pole sana kijana wangu”

“Nashukuru baba”

“Mwili wake upo wapi?”

“Umepelekwa mochwari tayari”

Wakuu wa jeshi kama watano wakafika hospitalini hapa huku wakiwa wameongozana na wanajeshi wengine. Kila mmoja akaanza kutupa pole kwa maana ni msiba mkubwa sana hususani unapo ondokea na komandoo ambaye amefunzo mafunzo ambayo yana mtofautisha sana na mwanajeshi wa kawaida kwani uwezo wa komandoo mmoja ana weza kulinda hata watu elfu mmoja wasipate madhara. Kila mkuu wa jeshi aliniuliza ilikuwaje na sikutaka kuwajibu kwa maelezo ambayo yatanipa maswali mengi. Nikawaonyesha video ya jana ambayo nilitumiwa na watekaji. Kila mmoja video hiyo ime muumiza sana.

“Hawa wajeshenzi wapo wapi?”

Mkuu mmoja aliniuliza.

“Nilisha waua toka jana.”

“Safi sana, wametuondolea mtu shujaa”

Hospitali ndani ya muda mchache ime imarishwa ulinzi wa jeshi. Raisi naye akafika hospitalini hapa huku akiwa ameongozana na walinzi wake. Wakapata nafasi ya kuutazama mwili wa Maulid ulio weka kwatika chumba chake peke yake mara baada ya kutolewa mochwari. Ndugu wa Maulid nao wakafika hapa hospitalini na vilio vikazidi kutawala.

Tukaanza kupanga mipango ya kuusafirisha mwili wa Maulid kuupeleka kwao, Nyamagana Mwanza kwa ajili ya maziko. Jeshi lijitolea helicopter kuwa sita ambazo zitabeba ndugu jamaa na marafiki pamoja na mwili wa Marehemu. Majira ya saa mbili usiku mwili wa Maulid ukatolewa hospitalini hapa na kupelekewa katika kambi ya jeshi la anga. Cauther na wana familia wake wakaingia katika helicopter nyingine huku, mimi Willy, Judy mwili wa Marehemu pamoja na wanajeshi wengine tukaingia katika helicopter nyingine na safari ikaanza huku helicopter hizi hizi zikisindikizwa na ndege mbili za kijeshi aina ya jet kwa ajili ya ulinzi wa angani. Tukafika Nyamagana majira ya saa tano kasoro usiku, tukatua katika kiwanja tulicho andaliwa kutua. Kisha tukaingia kwenye magari ya jeshi yaliyo andaliwa kutupokea na tulaelekea katika eneo yalipo makazi ya wazazi wa Maulid.

Vilio vikazidi kurindima huku watu wakilia kwa uchungu sana kwani Maulid ameondoka bado mdogo, kijana wa miaka ishirini na nane tu. Kijana ambaye alikuwa na ndoto nyingi sana kuzikamilisha na nika kumbuka alisha wahi kuniambia siku tukiwa katika mazungumzo yetu kwamba ata hakikisha kwamba ana kuja kuwa na cheo kikubwa sana katika jeshi la Tanzania, ila ndoto na maono yake yame malizwa na washenzi fulani tena siku yangu ya harusi.

“Huyu ndio mtoto wa Maulid”

Dada mmoja alinionyesha mtoto wa Maulid ambaye kwa kumtazama ana fanana kila kitu na baba yake. Machozi yakaanza kunimwagika huku nikimtazama mtoto huyu.

“Mimi ni shangazi yake”

Dada huyu alijieleza mara baada ya kuniona nime kaa kimya siongei chochote.

“Nita ongea naye asubuhi”

“Sawa”

Dada huyu akaondoka, Cauther akanifwata sehemu hii nilipo kaa huku akiwa amevalia baibui jeusi.

“Vipi”

Nilimuuliza huku nikimtazama usoni mwangu.

“Daa mume wangu yaani siamini au muda ule alipo kuwa ana tuaga pale mbele kwamba ana kwenda kuzunguka zunguka au ndio alikuwa ametuaga mazima mazima?”

Cauther alizungumza huku akiwa ameinamisha kichwa chake katika bega langu la upande wa kulia.

“Ndio hivyo mke wangu. Laiti kama ninge jua nisinge mruhusu kuondoka pale mbele”

“Sema Mungu ametupa siri kubwa sana juu ya vifo vyetu. Hakika ina tupasa kutenda mema kwani hatuji siku wala saa ya kuondoka hapa duniani”

“Ni kweli mke wangu Manka yupo wapi?”

“Ndani huko, amezimia. Yaani kila akiamka na akiona umati wa watu ana zimia”

“Masikini alafu hata wahawafurahia penzi lao”

“Yaani hadi nina muonea huruma dada wa watu. Ila mume wangu ina bidi ujitahidi kumuangalia sana Judy na Manka kwa maana wana weza kufa kwa presha”

“Ni mtihani mke wangu”

“Kweli ni mtihani ila nina imani kwamba mwenyezi Mungu ata tuepushia isitokee”

“Ila mke wangu nime poteza jembe. Nilitamani sana kurudi kazini kulitetea hili taifa na maadui zake ila wame ninyong’onyeza kwa kweli. Yaani ni sawa sawa na stuli kukatwa mguu mmoja haito weza kusimama vizuri.”

Nilizungumza kwa uchungu sana.

“Mume wangu nisikilize. Japo wana jaribu kukuangusha ila nina imani wewe ni mpambanaji. Walikuulia rafiki zako watatu kwa mpigo ila ukasimama na kija Judy, Willy na Maulid. Wamemuua Maulid, sasa ina bidi uwaonyeshe wewe ni nani, I don’t care huto kaa nyumbani kwa muda gani, I don’t care uta pambana na watu wa aina gani. Nina kuapia kwa mwenyezi Mungu, nitakuwa nawe bega kwa bega mume wangu. Nife mimi au ufe wewe, hapo ndio uta kuwa mwisho wa stori yetu. Nahitaji sasa hivi usimueoenee mpuuzi yoyote huruma, usimchekee adui, I don’t care atakuwa ni nani, awe ni mtu ninaye mjua au mwana familia yangu I don’t care. Hakikisha una wateketea na kuwasambaratisha, nina kuelewa na nita kuelewa hadi kufa kwangu na wala sinto kulaumu kwa chochote mume wangu”

Cauther alizungumza maneno ya kijasiri hadi nikajikuta nikipata moyo mpya. Moyo wa kikatuli, moyo wa kisasi na moyo una vuja damu kwa ajili ya maumivu ya kuondolewa watu wangu wa karibu. Nikaapa kimoyo moyo kwamba sasa ni wakati wa kuwaa Scorpion mmoja baada ya mwengine, haijalishi ni makamu wa raisi au ni baba mkwe ambaye hadi sasa hivi nime muweka kwenye mabado kwa maana nahitaji anipatie maelezo ya kwa nini amenipatia flash inayo nyonya data ninapo ichomeka kwenye computer au Laptop na kwa nini ina rekodi kila mazungumzo ninayo yafanya nyumbani kwangu.




“Asante mke wangu, nashukuru sana mwenyezi Mungu kwa kunipatia mke kama wewe”

“Hata mimi nina jiona mwenye bahati kwa kuwa na mume kama wewe”

“Nashukuru mke wangu”

Nikaka na Cauther kwa muda kidogo kisha akaelekea kwa wanawake wezake na mimi nikajichanganya na wanaume wezangu ambao wengi ni wanajeshi. Sikupata usingizi kambsa hadi kukapambazuka huku kichwani mwangu picha ya Maulid ikijirudia mara kwa mada, nikakumbuka matukio yote ambayo toka siku ya kwanza mmi na yeye tulikuwa tuna yafanya.

“Hei kahawa”

Mwanajeshi mmoja alizungumza huku akinikabidhi kikombe kidogo chenye kahawa. Nikakipokea na taratibu akaka pembeni yangu huku naye akiwa ameshika kikombe chake cha kahawa.

“Nina itwa Gody au Godlisten”

“Okay”

“Mimi ni clasment na Maulid pamoja na Judy katika maswala ya ukomandoo. Mimi pia ni kampteni wa jeshi”

Macho yetu wote wawili yakamtazama Judy anaye kuja eneo hili. Wakakumbatiana na Gody huku wote wakiwa na huzuni kubwa.

“Gody, Maulid ametutoka”

Judy alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.

“Ni kazi ya Mungu”

“Kazi ya Mungu wapi ikiwa kuna watu wame muua”

Judy alilalama huku akimuachia Gody. Taratibu akaka pembeni yangu huku nikimtazama usoni mwake.

“Ume lalaje?”

Nilimuuliza Judy huku nikiendelea kumdadisi usoni mwake.

“Mkuu kusema ukweli sijapata usingizi kabisa. Yaani kila ninapo jaribu kulala nina muona Mualid huyu hapa hadi nikahisi kama ana weza kufufuka.”

“Ina bidi ifikie wakati na hatua tukubaliane na hali halsii kwamba mwenyezi Mungu ameifanya kazi yake, hatujui kwa nini ameweza kuchukua Maulid akiwa katika umri huu. Ila ina tupasa kukubaliana na hali halisi”

Nilizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa ufariji kwa vijana hawa wawili.

“Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba wale walio fanya upuuzi huu tayari nao wapo kuzimu”

“Samahani nina omba kuuliza kidogo”

Gody aliuliza na sote wawili tukamtazama ikiwa ni ishara ya kwamba aulize swali lake.

“Walio husika ni kina nani na mbili je nina weza kufahamu labda braza hapa wewe ni nani?”

Nikatazamana na Judy usoni mwetu.

“Kwani ulivyo kuja hapa mbona ulijitambulisha kama mtu ambaye una nifahamu hadi ukanipatia kikombe cha kahawa?”

“Ahaa….nilikuona toka jana usiku ukiwa ume kaa kwa huzuni kubwa kuliko na watu wengine, nikaamini kwamba wewe ni katia ya watu wakuu walio gusa na msiba huu”

“Wewe hujaguswa na msiba?”

“Nime guswa sana braza kwa maana Maulid alikuwa ni rafiki yangu, ila majukumu ya kazi ndio yametutenganisha kati yetu. Wezangu walipangiwa mkoni Dar es Salaam na mimi nime pangiwa hapa Mwanza mara baada ya kutoka mafunzoni”

“Ume sema una itwa Gody?”

“Ndio”

“Uwezo wako ni nini ambao ni tofauti na Maulid na Judy?”

“Ahaa kiuwezo kidogo tuna endana ila wezangu hawa wawli nime wapiti kwenye jambo moja ambalo mazoezini nilikuwa nina lifanya vizuri sana. Mimi ni kati ya wale warukaji wa kuta ndefu, nina uwezo wa kuruka hadi futi nane kwenda juu”

“Hilo tu?”

“Ndio”

“Haya”

“Ila bado wewe huja niambia una itwa nani?”

“Eddy”

“Ni nani?”

“Dogo mbona una maswali mengi sana. Mimi ni mtu wa kawaida, tambua hilo”

Nilizungumza kwa ukali kidogo kisha nikamrudishia kikombe chake cha kawahawa ambayo sijainywa hata kidogo. Nikanyanyuka na kumuita Judy kwa ishara.

“Ndio mkuu”

“Nahitaji uwe macho kwa kila mtu, japo tupo kwenye kipindi kigumu ila isiwe ndio sababu ya kuwa wazembe kwa maaa kama unavyo jua kama walimuwahi Maulidi basi mtu anaye dwatia ata kuwa ni mmoja wetu kati yetu kwa maana adui yeyu amesha tushika makalio ni wakati wa sisi kuhakikisha kwamba tuna linda heshima yetu. Una nielewa ninacho kizungumza?”

“Ndio mkuu”

“Na sihitaji kukuona una lia tena na una lalama tena. Maulid amekufa hatuwezi kufanya chochote kumrudisha iwe ni kwa uwezo wetu wa kibinadamu au kwa mambo mengine. Jikaze wewe ni komandoo na una jua maaana ya kuwa komandoo ni nini. Umenielewa?”

“Ndio”

“Poa, alafu hakikisha kwamba huyu dogo hanijui”

“Sawa”

Nikaondoka na kumuacha Judy akirudi eneo ambalo Gody amekaa.

“Mwili wa marehemu upo wapi?”

Nilimuuliza mwanajeshi mmoja ambaye tulikuwa naye kwenye helicopter iliyo bebe mwili wa Maulid.

“Una oshwa sasa hivi mkuu”

“Wapi?”

Akanielekeza eneo ambalo mwili wa Marehemu una oshwa. Nikaelekea katika chumba hichi na kuwakuta wazee wawili wakiendelea kuusha mwili wa Maulid.

“Shehe wetu wewe ni muislamu?”

“Hapana”

“Basi tuna omba utupise, kwa maana hizi ni kanunu na taratibu za kiislamu”

Nikawatazama wazee hawa walio niongelesha kiustarabu, nikamtazama Maulid kwa sekunde kadhaa kisha nikatoka ndani hapa na kuwaacha waendelee na shuhuli yao. Nikamtafuta Cauther na nikafanikiwa kumpata.

“Umeamkaje mume wangu?”

“Nipo nipo tu mke wangu. Wala sijalala kabisa”

“Pole, nime kuandalia maji ya kuoga, nime omba bafu pale nyumba ya jirani na nime kuandalia pia kanzu na barakashia kwa ajili ya kuelekea makaburini”

“Nashukuru mke wangu”

Nikaelekea katika nyumba ya jirani huku nikiwa nimeongozana na mke wangu. Nikaonyeshwa bafu na kuingia na kuanza kuoga huku Cauther akinisubiria nje. Dakika kumi, zikanitosha kumaliza haja zangu za kimwili pamoja na kuoga, nikatoka ndani hapa na tukaingi katika moja ya chumba ambacho Cauther aliomba kwa ajili ya sisi kubadilishia nguo.

“Vipi ulilala?”

“Nilijiegesha tu mume wnagu, si una jua watu wengi na pia wana lia usiku kucha hivyo sikulala ile kusema kwamba eti nime lala”

“Pole nime kueleta kwenye mambo magumu kama haya?”

“Please Eddy usiseme hivyo kwa maana kama ni kufa kila mtu ana kufa. Leo kwa Maulid kesho kwetu, hivyo wala usilalamike”

Jambo ninalo mpendea Cauther ni kwamba ana uwezo wa kufariji mtu hadi ukahisi tatizo kubwa na gumu likawa la kawaida sana. Nikamaliza kuvaa kanzu nyeupe pamoja na barakashia.

“Ina bidi uwe makini na mizigo yako si una jua msibabi hakuna mtu muaminifu?”

“Ndio mume wangu, usijali nipo makini”

“Sawa, wewe umesha oga?”

“Ndio nimesha oga na nimebadilisha nguo zangu”

“Sawa”

Nikamnyonya denda Cauther.

“Baby tupo kwa watu bwana, usije ukanipandisha nyege”

“Hahaa usijali mke wangu”

Tukatoka ndani hapa, Cauther akalekea kwa wanawake wezke na mimi nikarudi kwenye kamati ya mazishi. Muda wa saa saba mchana tukaelekea msikitini kwa ajili ya kumuombea marehemu. Tukasikiliza mawaidha ya shehe huyu ambaye asilimia kubwa ya mawaidha yake ana tusisitizia tumrudie Mungu kwa ajili ya kuelekea peponi. Muda na wakati wa kuondo msikitini ukawadia na tukaanza kuelekea makaburini huku taratibu zote zikisimamiwa na jeshi. Tukafika makaburini na zikafanyika taratibu za kijeshi za kupiga mizinga hewani ikiwa ni eshima ya mwisho kwa kumuaga mwanajeshi mwezetu. Baada ya kumaliza taratibu za kijeshi, zikafwata taratibu za kidini ya kiislam katika kumzika Maulid. Nikachukua chepe lililo jaa mchanga na nikaanza kufukia kaburi la Mulid.

‘Nenda mdogo wangu. Hawa waseng** wote nakuhakikishia lazima walipe’

Nilizungumza kwa hasira huku nikiendelea kufukia kaburi hili. Nikapokewa chepe na kijana mwengine na taratibu nikasogea pembeni huku nikitazama jinsi udongo huu unavyo zidi kujaa kwenye kaburi hili hadi ukafika juu kabisa. Ikasomwa dua ya mwisho kisha muda watu kuondoka makaburini ukafika. Watu karibia wote wakaondoka, nikasogelea kaburi la Maulid na kulitazama kwa dakika chache.

‘Maisha ya mwanajeshi siku zote ni mafupi kuliko ya raia wa kawaida. Tumeyatoa sadaka maisha yetu kwa ajili ya watu wengine. Solder tuta kutana tena kwenye maisha mengine.’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikijawa na huzurini kubwa sna moyoni mwangu. Mafundi wakaanza kujengea kaburi hili na sijaondoka hadi nikahakikisha kwamba limekwisha kabisa kujengewa kisha nikaondoka na kurudi nyumbani na kukuta watu wakila. Cauther alipo niona akanifwata kwa maana wanawake kwa taratibu za kiislamu huwa hawaendi makaburini wakati wa kuzika.

“Vipi mume wangu?”

“Aha..safi tume maliza”

“Pole”

“Nashukuru, vipi ume kula?”

“Yes nime kuandalia chakula chako, pia inabidi ukabadilishe hiyo kanzu kwa maana imesha chafuka”

“Usijali nita badilisha baadae, kwa sasa niletee chakula. Nina kaa hapa”

“Sawa mume wangu”

Cauther akaondoka na baada ya muda akarudi akiwa amebeba sahani iliyo funikwa.

“Tumepoka chakula unacho kipenda. Ubwabwa maharage”

“Wewe pia ume pika?”

“Ndio, yaani hadi watu wamenishangaa. Walihisi kwamba sisi waarabu ni watu wa kawaida hatuwezi kufanya kazi ngumu ngumu”

“Kama nina kuona vile”

“Hahaa yaani wee acha tu, kula mume wangu, nita kuja kuchukua vyombo”

“Sawa”

Cauther akaondoka na nikaanza kula.Gody akavuta kiti na kukaa pembeni yangu.

“Inaonekana mke wako ana kujali sana?”

“Nini?”

“Naoa shemeji ana kujali sana?”

“Ni jukumu lake ndio maana nina pete kidoleni”

“Ahaa ni jambo jema. Sisi badobado tupo tupo”

Nikamtazama Gody usoni mwake kwa sekunde kadhaa kisha nikaendelea kula.

“Ahaa braza nime jaribu kumdadisi Judy juu yako ila ameshindwa kunieleza chochote kuhusiana na wewe?”

“Dogo ume tumwa au?”

Ilibidi nimkoromee Gody kidogo kwa maana naona ana nibuguzi.

“Hapana kaka, usichukulie hasira. Mimi sijatumwa na mtu ila ningependa kujua wewe ni nani una jishuhulisha na nini?”

“So una nipeleleza?”

“Hapana”

“Ila?”

“Napenda kujua labda huko baadae una weza kunifaa nika kufanyia mpango na ukaingia jeshini kwa maana mwili wako na muonekano una faa sana kuwa mwanajeshi”

Nitabasamu kidogo kisha nikamkazia uso.

“Una hisi nina weza kuwa mwanajeshi?”

“Ndio “

“Sikiliza mdogo wangu. Usipende kumkurupukia kila mtu hapa, alafu cheo chako ni kama cheo cha Judy. Jiulize kwa nini mwenzako ana niita mkuu na wewe una kazi ya kujiongelesha. Nina mashaka makubwa sana na huo ukomandoo wako kwa maana komandoo huwa hazungumzi zungumzi kama mpuuzi. Tuna elewana?”

“Ahaaa sasa kaka hapo ume panic?”

“Sija panic na sihitaji unizooee”

Nilizungumza huku sura yangu ikionyesha dhairi kwamba kile ninacho kizungumza kimetoka moyoni mwangu.

“Samahani kaka”

Akafika Kanali Ngoi, akanipigia saluti ya kikakamavu hadi Gody akastuka.

“Ndugu yangu tupo msibani acha hizo.”

Tukasalimiana na Kanali Ngoi kwa furaha sana kwa maana ni rafiki yangu wa kipindi kirefu sema yeye ana fanya kazi hapa mkoa wa Mwanza.

“Aisee Eddy ume potea sana ndugu yangu”

“Nipo bwana ndgu yangu, naona kijana wako ni muongeaji sana”

Nilizungumza huku nikimtazama Gody usoni mwake na nikagundua amejawa na hofu.

“Huyu?”

“Ndio naona ana ongea sana. Anasema kwamba mwili wangu una faa sana kwa mimi kurudi jeshini”

“Dogo una wazimu au?”

Kanali Ngoi alizungumza huku akimtazama Gody usoni mwake.

“Ahaa….aha.!!”

Gody alibabaika.

“Msamehe bure bwana vijana hawa wanao toka mafunzoni wana ongea sana. Kwana simama mpigie saluti mkuu”

Gody akasimama na kunipigia saluti. Judy akafika eneo hilli na kumsalimia Kanali Ngoi.

“Mkuu tuna weza kuzungumza?”

“Ndio”

Tukasogea pembeni.

“Nahitaji kujua kama tuna ondoka leo au laa?”

“Sisi tuta baki wa kuondoka leo waache waondoke leo kwa maana kuna mambo kadha ainabidi tukae na familia ya Maulid ili waweze kutambua kile alicho kiacha mtoto wao”

“Sawa mkuu kwa maana kuna wanajeshi wata ondoka na helicopter walizo kuja nazo kurudi jijini Dar es Salaam”

“Sawa waache waondoke. Mpelekee Cauther vyombo muambie aniletee maji ya kunywa”

“Poa”

Nikarudi nilipo kuwa nimekaa.

“Ehee Ngoi ndugu yangu niambie”

“Safi Eddy nilisikia ume toka kwenye system?”

Nikamtazama Gody ambaye bado amesimama kwenye hali ya ukakamavu, nikampa ishara ya kukaa na akaitii huju akiwa na wasiwasi.

“Asante”

“Nilitoka mara ya waskaji kuuwawa. Ila nilirudi kwenye mission ya kumuokoa raisi alivyo tekwa na ndege yake. Nilikuwa na hawa madogo wawili. Judy na Maulid”

“Duu mulienda watatu?”

“Yaa na kazi ilifanyika na raisi na ndege yake wakarudi nchini”

Cauther akafika eneo hili akiwa na chupa ya maji.

“Ngoi bwana huyu ni mke wangu”

“Weee hadi kuoa ume oa?”

“Ndio, mke wangu huyu ni rafiki yangu ana itwa Ngoi, cheo chake jeshini ni Kanali”

“Nashukuru kukufahamu shemeji”

“Hata mm……”

Cauther akauziba mdomo wake na akaondoka eneo hili kwa haraka, ikanibidi, nimfwate kwa nyuma kwa haraka sana, akafika eneo ambalo halina watu na akainama na kuanza kutapika.

“Baby vipi?”

“Nimejisikia kichefuchefu tu cha gafla”

Nikamshika eneo la shingoni mwake na joto kali lime mtawala kiasi cha kunipa wasiwasi. Nikampa maji na akasukutua, akaka sawa na nikarudi kwa Ngoi, nikamuomba msaada wa kunipeleka hospitali. Tukaingia katika gari lake mimi na mke wangu na tukaelekea katika hospitali ya jeshi. Cauther akafanyiwa vipimo vyote na tukaombwa kusubiria majibu.

“Tumepima kila kitu na kwa bahati nzuri, hana ugonjwa wa aina yoyote.Ila hongereni sana kwa maana mke wako ni mjamzito”

Nikamtazama kwa Cauther kwa mshangao, nikamkumbatia kwa furaha kwa maana baada ya kuhangaika kwa miaka mingi na nawasichana wa kila aina sasa nina kwenda kuwa baba kwa mke wangu wa ndoa.



“Asante sana mke wangu”

Nilizungumza huku machozi ya furaha yakinilenga lenga machoni mwangu.

“Asante nawe pia mume wangu”

“Hivyo ina bidi asifanaye kazi ngumu kwa maana katika kipindi cha mimba zinapo kuwa changa kama mwana mama ana fanya akazi ngumu kuna uhatari wa mimba hiyo kuweza kutoka”

“Hilo halina shaka dokta nita hakikisha kwambaa na kuwa salama na hafanyi kazi ngumu”

“Basi niwatakie kila la heri kwenye malezi ya mtoto wenu ajae”

“Ninashukuru sana”

Tukaagana na daktari na kutoka ofisini kwake.

“Mkuu mbona una furaha sana?”

Kanali Ngoi aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Mmmm shemeji yako bwna ni mjamzito”

“Waooo ni habari njema sana na zime kuja katika kipindi kigumu nin aimani zita tufariji”

“Ni kweli kaka”

Tukarudi nyumbani kwa kina Maulid huku moyoni nikiwa nime jawa na furaha kubwa sana.

“Mkuu nilikuwa nina watafuta, Gody alituambia kwamba mume toka”

“Yaa nilimpeleka wifi yako hospitalini”

“Vipi wifi una umwa?”

Judy alimuuliza Cauther huku akimtazama usoni mwake.

“Nilikuwa nina jisikai sikia”

Cautehr alizungumza kwa sauti ya upole kidogo huku akinitazama Judy.

“Daa ina bidi upumzike kwa maana nilikuwa nina kuona unavyo korofisha kule jikoni”

“Hahaa”

“Kaka hapa ume pata mke ana chapa kazi kuliko na vile watu walivyo kuwa wana mchukulia. Ila sasa wifi yangu una kwenda kulala wapi kwa maana nyumba ya watu ime jaa hii.?”

“Una onaje akaelekea kulala hotelini kwa maana kwa hali yake hii kaka?”

Kanali Ngoi alinishauri.

“Ila kuwahi kuondoka hapa msibani watu wana weza kutuchukulia ndivyo sivyo?”

“Mkuu mimi nita kuwepo hapa hadi kesho. Wewe nenda na wifi na sababu ya kuumwa hiyo ina eleweka kwa kila mtu. Kesho tuta wasiliana nitakuja hotelini kisha tuta rudi Dar es Salam kwa maana hapa nina ona hakuna cha maana kwani hata ndugu baadhi ya marehemu nao wamesha anza kuondoka”

“Sawa Judy nashukuru”

“Ila mume wangu ina bidi tuage wana ndugu”

“Ni kweli”

“Alafu baba alitoa milioni mbili za kuwapa pole”

“Basi tuta wakabidhi”

“Kwenye huo mkoba wangu ipo bahasha”

Nikafungua pochi hii kubwa niliyo ibeba na nikatoa bahasha ambayo ndani ina milioni mbili. Tukaingia ndani na kuwaaga wazazi na ndugu wa Maulid, nikawakabidhi kiasi hichi cha pesa huku nikiwahidi nita hakikisha nina rudi kwenye arobaini ya Maulid. Wazazi wakashukuru sana kwa uwepo wetu na jinsi tulivyo hakikisha kwamba msiba una malizika. Baada ya kuagana nao, nikaagana na Judy kisha tukaondoka eneo hili huku tukiongozana na Kanali Ngoi.

“Ila ndugu yangu kwa nini musilale kwangu ikiwa nina nyumba kubwa tu?”

“Usijali ndugu yangu. Una jua kwenda nyumbani kwa mtu pasipo taratibu sio jambo zuri”

“Eddy Eddy samani nime kuita jina lako, hapa tuna zungumza kama mtu na rafiki yake. Mimi na wewe tumekuwa kambi moja, tuna juana. Tena shemu huyu kipindi cha kwanza kwanza ana ingia jeshi alikuwa ni mvivu kupindukia, kila siku yeye ndio ana pewa adhabu za kuchelewa kwenda na muda. Nina mjua vizuri sana ndugu yangu”

“Najua hilo kaka ila acha twende hoteli alafu siku tutapanga mimi na mke wangu kuja kukutembelea ramsi”

“Yaani kaka una nichinjia baharini”

“Hahaa hapana, ila ngoja nimpeleke hoteli akashange shangae kidoo jiji la Mwanza si una jua huyu ni Dar na yeye”

“Jamani mume wnagu una taka kuniambia mimi ni mshamba?”

“Sijasema kwamba wewe ni mshamba”

“Ila shemeji”

“Bee shem”

“Mume wako ni mbishi sana. Yaani siju kama kabadilika”

“Hahaaa namjua aani akamuaga jambo lake basi hapendi abishiwe kabisa”

“Kume bado huja badilika kaka?”

“Nime badilika ndugu yangu”

“Wapi, ana kudanganya tu shem”

Sote tukacheka. Tukaendelea kuzungumza mambo mengi sana hadi tukafanikiwa kufika hoteli iitwavyo Victoria Palace. Tukapata chumba gorofa ya tatu na kanali Ngoi akaondoka na sisi tukapandisha gorofani kilipo chumba chetu. Nikakagua chumba kizima kuhakikisha kwamba hakuna kinasa sauti wala kamera ya kurekodi.”

“Baby mbona huja kubali twende nyumbani kwa shemeji?”

“Simuamini mtu yoyote hususani kwenye mazingira mageni kama haya mke wangu”

“Ila mume wangu, si rafiki yako?”

“Ndio ni rafiki yangu ila kuna miaka mingi hapa katikati imepita sija kutana naye. Hivyo watu wana badilika. Hata wewe unapo kutana na rafiki yako wa zamani hata kama ulikuwa una mpenda vipi jaribu sana kutazama ulinzi wako binafsi na usimuamini kwa maana ukiachana na mtu hata mwaka mmoja ni mkubwa sana na una weza kufanya mambo mengi maomvu ndani ya mwaka huo mzima”

“Nime kuelewa mume wangu”

Nikafungua begi langu la mgogoni ambalo tuliambatana nalo kwenye safari hii. Nikatoa bastola yangu pamoja magazine mbili za ziada. Nikaigagua na kukuta ipo salama.

“Ina bidi siku tukienda Bagomoyo nikufundishie kuitumia hii chombo”

“Na hali hii mimba si ita toka mume wangu?”

“Haiwezi toka na usiwe na hofu, yale yaliwa ni mawazo ya daktari. Ila ni lazima uta kuwa una fanya mazoezi madogo madogo kuhakikisha kwamba mwili wako una kuwa fiti”

“Sawa mume wangu”

Tukashinda siku nzika ndani ya chumba hichi. Usiku tukatoka na kuingia katika mgahawa wa hoteli, tukala chakula cha usiku na kurudi chumbani huku furaha ikiwa ime tutawala sana. Nimpigia simu Judy kumjulia hali pamoja na eneo la nyumbani kwakina Maulid na akanijulisha kila kitu kipo salama. Nikampigia simu Willy ambaye aliondoka na helicopter za jeshi kurudi jijini Dar es Salaam.

“Nimefika salama kaka ila nina jihisi uchovu mwingi sana”

“Huja pumzika?”

“No nime lala ila una jua hali ya kuondokewa na mtu ambaye mume kutana muda mfupi na kumatengeneza mahusiano ya ukaribu sana alafu galfa ana kufa na nikiitazama hii video aliyo kuwa ana teswa basi ina nipa uchungu sana kaka”

Willy alizungumza kwa sauti ya uchungu sana.

“Willy”

“Ndio kaka”

“Tumshukuru Mungu kwa kila jambo sawa. Hiyo video ya Maulid kuteswa nina kuomba uifute sawa”

“Sawa kaka, nime kuelewa”

“Yaa pumzika, fanya kitu unacho kipenda pajapo makaliwa ya Mungu kesho jioni tuta kuwa Dar es Salaam kwa maana tartrudi kwa ndege”

“Sawa kaka”

“Poa dogo usiku mwema”

“Nawe pia”

Nikakata simu na kumgeukia Cauther aliye lala pembeni yangu.

“Ila mume wangu una ishi vizuri sana na hao wadogo zako”

“Yaa una jua mimi sio boss ila ni kiongozi kwa mana nina penda kuwaongoza wezangu katika njia sahihi ili waweze kufika salama”

“Kwa hilo nina imani Mungu ata zidi kukubariki. Ehee mume wangu nime kumbuka jambo”

“Jambo gani?”

“Tuna kwenda kupata mtoto. Vipi maandalizi ya kumpokea kwa maana kusema kweli kwenye kipindi hichi nina hitaji kuwa karibu na wewe kuliko vipindi vyote vya maisha yangu na kwa bahati mbaya yaani kila muda unavyo zidi kwenda ndivyo nina zidi kutamani kuwa na wewe karibu sana”

“Usijali mke wangu. Nina kazi moja tu iliyopo mbeleni”

“Kazi gani?”

“Raisi ana kwend nchini Ujerumani kuhudhuria mkutano wa maraisi wote walipo duninia. Hivyo nina hitaji kumlinda na kumrudisha nyumbani salama baada ya hapo nita acha kazi mazima”

“Ni lini una kwenda naye”

“Mwezi ujao”

Kauther akahesabu vidole vyake vya mikononi.

“Tarehe ngapi muna kwenda?”

“Mkutano ni tisa December, ila tuta ondoka hapa siku mbili kabla ya mkutao kufanyika”

“Sawa hivyo mimba ita kuwa na mwenzi mmoja na siku ishirini. Please mume wangu niahidi kwamba uta rudi salama na huto fanya kazi yoyote hadi nijifungue mtoto wetu”

“Nina kuahidi, nikirudi tu, raisi amenipa offer ya kwenda mapumzikoni nchini Brazil hivyo tuta kaa huko kwa kipindi chote hadi pale utakapo karibia kujifunga, ndio tutarudi nchini Tanzania”

“Kwa nini nisijifungue huko?”

“No sihitaji mwanangu azaliwe katika nchi za watu. Nahitaji mwanangu awe mzalendo wa nchi yake. Nahitaji awe jasiri wa kuiongoza nchi yake.”

“Yaani mume wangu unavyo zungumza hivyo kama vile ata waliwa mtoto wa kiume”

“Hata akiwa wa kike ata kuwa ana fwata nyao za kina Judy”

“Hahahahaaa”

Cauther alicheka huku akinishika kifuani mwangu. Akaanza kunipapasa huku akiniatazama kwa macho malegevu. Taratibu akaushusha mkono wake hadi katika jogoo wangu na kuanza kumshika taratibu, tukaanza kunyonyana denda taratibu. Nikataka kunyanyuka ili nimuhudumie Cauther ila akanizuia kisha akapanda kifuni mwangu huku kichwa chake kikigeukia alipo jogoo wangu huku akiwa ameniachia kitumbua chake. Cauther akaendelea kuninyonya jogoo wangu huku mimi nikimnyonya kitumbua chake. Cauther akaridhika na taratibu akageuka na kumkalia jogoo wangu huku akitoa miguno ya kimahaba. Akajilaza kifuani mwangu na kaunza kukichezesha kiuno chake. Kitu ninacho kipenda kwa mke wangu ni kwamba ana nijulia, kila namna anavyo kata mauno yake ndivyo jinsi nami ninavyo tokwa na miguno ya kimapenzi.

“Leo nataka tufanye hivi tu baby”

Cauther alizungumza mara pale nilipo taka kubadilisha mkao. Cauther akaendelea kukata mauno hadi sote kwa pamoja tukafika kileleni.

“Ohoo asante mume wangu”

“Asante pia mke wangu. Yaani ukikaa mkao huu nawahi kukojo** sijui kwa nini?”

“Haha nina ukuna vizuri mchi wako baby”

“Hahaa nakupenda mke wangu”

“Nina kupenda pia mume wanngu”

Cauther hakuhitaji kushuka kifuani mwangu hadi usingizi ukampitia. Kutokana sio mzito nikamuacha alale hadi nikapitiwa na usingizi. Asubuhi nikawa wa kwanza kuamka, taratibu nikamlaza pembeni mke wangu na nikaichukua simu yangu na kutazama saa huku nikipiga miyayo mingi.

‘Saa mbili’

Nilizungumza huku nikikaa kitako kitandani, nikaunyanyua mto na kuitazama bastola yangu ambayo nikiwa maeneo kama haya ya mahoteli ina lala chini ya mto. Nikajinyoosha viungo vyangu vya mwili huku nikiutazama uzuri wa Cauther.

‘Kwa kweli Mungu amenipatia mke mzuri. Ila kwa nini nina hangaika na magube gube ambao hawana vichwa wala miguu?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Cauther usoni mwake huku akiwa bado yupo usingizini.

‘Eti kwa nini nina kuwa malaya ikwa nimeoa lakini. Ehee Mungu hawa kina Maria hembu waweka mbali na mimi kwa maana wana weza kunivunjia ndoa yangu siku hawa.’

Mlio wa simu yangu ukanifanya nigeuke upande wa pili wa kitanda nikaichukua na kuona ni namba ya Judy. Nikaipoeka na kuweka simu sikioni mwangu.

“Mkuu habari?”

“Salama umeamkaje?”

“Nime amka poa”

“Pole nime kusumbua?”

“Usijali niambie”

“Nilikwua nina uliza nikaweke booking ya ndege ya saa ngapi?”

“Ahaha weka ndege ya jioni”

“Sawa ni hilo tu kwa maana nilikuwa nahitaji kujua ni saa ngapi tuna ondoa?”

“Jioni nime ona ndio vizuri kidogo. Ehee hapo nyumbani vipi?”

“Watu wameamka salama. Wakuondoka wana ondoka jambo la msingi msiba ndio umesha kwisha”

“Aisee wanisamehe sana”

“Usijali ila vipi hali ya wifi?”

“Ipo vizuri, leo hajatapika tapika”

“Mkuu usiniambie kwamba mambo tayari?”

“Hahaa ndio hivyo mdogo wangu”

“Weweeeeee”

“Dogo una shangilia upo msibani”

“Ohoo nime pitiwa. Aisee nime furahi sana kaka, kama akizaliwa wa kike nina weka booking mapema ya jina. Muite Judithi au Juy ila akizaliwa wa kiume huyo ni halali yako kumpata jina utakalo”

Judy alizungumza kwa furaha sana.

“Hahahaha usijali mdogo wangu. Mungu abariki”

“Sawa kaka mupo hoteli gani?”

“Tupo Victoria Palace una pajua?”

“Yaa naijua hiyo hoteli”

“Sawa mdogo wangu mida ya saa nne nne njoo”

“Sawa hapa nahitaji kufanya booking kwenye mtandao”

“Poa”

Nikakata simu.

“Huyo ni Judy ehee?”

Cauther alizungumza huku akifumbua macho yake.

“Ndio mwenyewe”

“Nimemsikia makalele yake jinsi anavyo shangilia. Halafu mbona shemeji yako huja mpigia simu”

“Nani?”

“Si Mank au umemsahau dada wa watu kwa maana ilibidi aondoke jana kurudi Dar es Salaam baada ya mazishi kwa maana kila muda presha ilikuwa ina mpanda”

“Ohoo nime msahau kwa kweli. Ngoja nimpigie”

Nikaitafuta namba ya Manka, nikampigia kwa bahati mbaya hapatikani. Nikajaribu kupiga mara mbili ila sijampta hewani.

“Hapanikani”

“Jana alivyo ondoka simu yake haikuwa na chaji”

“Ahaa”

Tukaoga kwa pamoja na mke wangu kisha tukaagizia kifungua kinywa na kula. Majira ya saa nne Judy akafika hotelini hapa. Tukakodisha taksi na kutembelea maeneo tofauti tofauti ya jiji hili la Mwanza na nusu saa kabla ya ndege kuondoka tukafika kiwanja cha ndege. Judy akalipita tiketi za watu wote watatu.

“Naona mdogo wangu una pesa nyingi”

“Hahaa kaka najua tu siku hii pesa ita rudi”

Judy alizungumza huku akicheka.

“Haya bwana”

Tukapanda ndege na safari ya kuelelekea jijini Dar es Salaam ikaanzza huku ndani ya ndege hii ya shirila la ndege la Tanzania(Air Tanzania) kukiwa na abiria wengine. Tukafika jijini Dar es Salaam na tukamkuta Willy uwanja wa ndege akitusubiria na gari la Judy.

“Dogo ume juaje kwamba tuna kuja muda huu?”

“Judy alinipa taarifa, alisema kuna mama kijacho”

Willy alitania na sote tukaingia ndani ya gari na kuondoka uwanja huu wa ndege.

“Kaka”

“Ndio”

“Nina habari nyeti sana nahitaji kukuambia”

“Ni nzuri au mbaya?”

“Kwa bahati mbaya ni habari mbaya”

Nikatazamana na Judy kwa maana kama ni habari mbaya basi zitakuwa zina husiana na maswala ya kiusalama.


ENDELEA

“Sawa kama nyeti”

“Tuna elekea wapi?”

“Twende kwanza kwa wakwe zangu si ndio baby”

“Kwa nini tusieleke kwetu tu mume wangu”

“Sawa upendavyo mama watoto”

Tukafika nyimbani kwangu, nikaikagua nyumba yangu kama kawaida kwa maana siwezi kuingia ndani ya nyumba hii pasipo kuikagua.

“Vipi muta pika leo au tukawanunulie chakula kwa maana Judy si uta lala hapa kwangu?”

“Ndio kaka, sitamani hata kwenda kwangu”

“Mume wangu kwa jinsi tulivyo choka bora mununue chakula. Mimi nataka kula kuku mzima wa kuchoma awekwe limao jingi pamoja pilipili iwekwe pembeni”

“Kuku mzima peke yako?”

“Jamani mume wangu sina mtoto tumboni”

Nikajikuta nikicheka, mimi na Willy tykaondoka nyumbani hapa na kuelekea Sinza, katika eneo ambalo kipindi ni wachumba tulikuwa tuna penda kununua chakula kwa wapemba.

“Ehee dogo ni jambo gani hilo ambalo ni la muhimu ambalo ulihitaji kuniambia”

“Leo asubuhi nilipo kuwa nina fwatilia fwatilia wageni wana ingia kupitia Air port ya jiji la Dar es Salaam kuna hawa jamaa wawili niliwaona na kuwatilia mashaka. Nilipo jaribu kuzifwatilia detail zao nika gundua kwamba ni special killers. Sasa nina jiuliza wame fika hapa Tanzania kwa ajili gani”

Willy alizungumza huku akinikabidhi simu yake, nikazitazama picha mbili za wanaume hawa wenye asili ya bara kiarabu.

“Uliweza kuwa trace na kujua waa elekea wapi?”

“Yaa, mmoja amelala hoteli moja ipo Sinza na mwengine kalala hoteli ipo Ubungo. Mmoja ni alikuwa ni special force wa jeshi la Iraq na huyu mwengine alikuwa ni super sniper wa jeshi la nchi hiyo hiyo ya Iraq na wote wawili waliacha jeshi hivyo wana fanya kazi zao kama ma Expedable.”

Willy alizungumza huku akipinguza mwendo kwa maana tumefika eneo la mataa na gari za upande wetu zime simama.

“Sasa Tanzania wamekuja kutembea au?”

“Nimefwatilia hadi viza zao, wameandika kwamba wana kuja kwa ajili ya utalii. Ila nikajiongeza kama wangekuja kwa Utalii wasinge lala hapa Dar es Salaam kwa maana utalii wao wana dai wana kwenda mlima Kilimanjaro na kwa muda walio fika wao ndege nyingi sana zilikuwepo za wao kuelekea Kilimanjaro”

“Kazi nzuri dogo. Ina bidi tuwafwatilie tujue wana onana na nani na kwa nini wana kutana na huyo mtu”

“Sawa kaka, alafu sasa tumu imesha ondokewa na mtu ina kuwaje kaka”

“Hapa ndio nina umiza kichwa mdogo wangu yaani sijui tuna fanya nini”

“Yaani unajua siamini kama Maulid amekufa?”

“Ndio hivyo mdogo wangu, inabidi ifikie kipindi tukubaliane na ukweli wa mambo.”

“Ni kweli”

Taratibu Willy akaendelea na safari ya kuelekea Sinza huku akilini mwangu nikianza kupiga mahesabu ya kuwafwatilia watu hawa ambao hatujui lengo lao la kuja hapa ni kufanya nini.

“Ni mara ya ngapi kwa wao kuja nchini Tanzania?”

“Mara ya kwanza hii”

“Okay, si una pajua kwa wale Wapemba ambao kipindi cha nyuma tulikuwa tuna kwenda kupata chakula?”

“Yaa why nisipajue kaka, ikiwa kabla ya shemeji tulikuwa tuna kwenda kula pale”

“Okay una juakichwa kina mambo mengi sana hadi nime sahau kama una pafahamu”

Tukafika Sinza na sote tukashuka kwenye gari. Wapemba hawa wakatufurahia kwa maan hii ndio ilikuwa maskani yetu ya kupata chakula mimi na Willy kabla ya kuanza mahusiano na Cauther.

“Ebwana wana wapotevu leo mume kuja”

Mpemba mmoja alizungumza huku akitupa mikono kwa furaha.

“Hahaa tumewakumbuka ndugu zetu. Aisee naona sasa hivi watu ni wengi”

“Tuna mshukuru kaka watu wameongezeka”

“Sudi hunenepi tu ndugu yangu ikiwa una pika mapochopocho”

Willy alimtania kijana mmoja anaye itwa Sudi.

“Unene wa nini kaka, maradhi matupu”

“Haha acha kujitetea Sudi au umekulala mzizi wa huko kwenu pemba nini”

“Hahaa hakuna bwana”

“Jamani shemeji yenu ana hitaji kuku mzima wa kuchoma na mumuweke limao jingi”

“Ehee una jua nilikuwa nina swali moja nimekaa nalo moyoni toka kipindi kile ulivyokuwa una kuja na shemeji. Hembu tupe siri ya kumpata mtoto mkali wa kiarabu kama yule”

“Hahaaaa Sudi chizi kweli wewe. Hapa kuna waarabu wangapi wana kuja mbona huwatongozi”

“Ahaa kaka yaani sijui nina gundu”

“Kwa nini?”

“Yaani kila ninaye mtongoza ana nipiga chini, nina ishia kupata hawa wakibongo”

“Sudi tatizo lako wewe una zingua. Kwenu pemba huko si muna sifika kwa kutengeneza ndere kwa nini usitengeneze na wewe uibue mtoto mkali kama kaka yangu hapa”

“Alafu Willy una zingua. Una hisi mapenzi ya ndere mimi nina yahitaji. Nataka demu mkali atakaye nipenda kwa moyo wangu na sio kumvuta kwa madawa”

“Sudi sikia mdogo wangu”

Nilizungumza huku nikimtazama Sudi.

“Ukihihitaji mwanamke mzuri, atakaye kupenda kwanza punguza matani na hawa wasichana kwa maana wakija hapa ni Sudi, Sudi. So hata ukimtongoza mwanamke ana weza kuhisi kwamba una mtania kumbe wewe upo seriously”

“Hilo nalo kaka Eddy ulilo ongea ni neno kwa maana vitoto vya kiarabu vikija haa ni Sudi, Sudi yaani hadi hili eneo siku hizi kuna itwa kwa Sudi kama vile mimi ndio mmiliki kumbe mfanyakazi”

“Hahaa ndio hivyo punguza mazoea ya kitoto. Biashara iwe biashara na mapenzi yawe mapenzi”

“Ila kaka una jua kuzoelekwa kwa Sudi ndio kuna tufanya tuna zidi kupata wateja hususani wa kike”

“Hahaa ila ndio hivyo mwenzenu hapati demu anaye muhitaji sasa”

Tukazidi kuzungumza huku tukisubiria chakula tulicho waagiza. Simu yangu ikaanz akuita, nikaitoa mfukoni na kukuta namba ngeni. Kutokana kuna makelele kelele hapa nikasogea pembeni huku nikiwa makini sana.

“Ndio”

Nilizungumza huku simu ikiwa sikioni mwangu.

“Habari yako X. Mimi ni mkuu wa kitengo cha NSS”

“Ohoo madame”

“Ndio habari yako”

“Salama tu za toka majuzi?”

“Ahaa tuna mshukuru Mungu. Niliweza kupokea maagizo kutoka kwa mkuu wa nchi kwamba kijana wako mmoja ameweza kuuwawa?”

“Ni kweli”

“Aisee pole sana tena sana”

“Nina shukuru, tumesha mpumzisha katika nyumba yake ya milele”

“Sawa sawa, aliniambia niweze kukuchagulia the best person kwenye kitengo changu pale utakapo hitaji ili aweze kuja ku replace nafasi ya kijana wako aliye fariki”

“Ohoo nashukuru sana kwa hilo. Endapo nikihitaji basi nita wajulisha”

“Nashukuru. Nikutakie usiku mwema”

“Nawe pia. Ila sijafahamu jina lako una itwa nani?”

“Madame Caro”

“Nashukuru kwa hilo”

“Karibu sana”

“Haya”

Nikakata simu huku nikishusha pumzi, nikarudi alipo kaa Willy.

“Ehee kaka vipi uliongea na Judy kuhusiana na yale mambo yetu”

“Daa sikupata nafa ya kuzungumza naye. Sasa fanya jambo moja, leo lala kwangu, tuta waacha sebleni, tena kwenye kipindi kama hichi yule mtoto ana hitaji mtu wa kumbembeleza. So leo ndio nfasi yako ya kucheza kama mesi”

“Poa kaka, inabidi nielekee homu nikachukue laptop yangu”

“Sawa”

Tukakabidhiwa chakula chetu na nikalipa, tukaondoka eneo hili na kuelekea nyumbani kwa Maulid. Akabeba laptop yake na vitu vyake ambavyo ana hisi ni muhimu kisha tukarudi nyumbani kwangu na kuwakuta Cauther na Judy wakitazama filamu ya Titanic”

Judy kipindi hicho filamu hiyo ina chezwa ulikuwa bado hujazaliwa”

“Hahaa jamani kaka. Tena hapo nilikuwa nina tembea kabisa na kucheza rede mitaani”

“Kweli?”

“Ndio”

“Niambie mke wangu”

“Safi, yaani nina hisi usingizi mume wangu wee acha tu”

“Pole mke wangu. Sudi ana kusalimia”

“Sudi bado yupo tu pale?”

“Aende wapi wakati walisha kimbia Pemba”

“Jamani nime mmiss. Yeye ndio ememtengeneza huyu kuku?”

“Ndio yeye ndio amemtengeneza”

“Ehee ngoja nimuonje kwa maana napenda jinsi Sudi anavyo tengeneza kuku”

Cauther alizungumza kwa furaha hukua kifungu mfuko wenye kuku wake. Akaanza kumla.

“Mmmm mtamu sana. Jamani naona kijacho wangu tumboni ana njaa kweli kweli, mimi nina anza kula”

Ikabidi Judy apate jukumu la kuanda chakula hichi na hatukuona haja ya kula chakula hichi katika meza ya chakula. Tukaendelea kula taratibu huku nikimtazama Cauther jinsi anavyo nogewa na kuku wake.

“Kwa hiyo vichips huli wewe?”

“Mmm mimi nataka kuku tu. Alafu nimesahau nina hamu na grand malter”

“Duu maduka si yatakuwa yamefungwa sasa hivi saa sita hi”

“Sasa baby mimini nina hamu nayo”

Cauther alilalama huku machozi yakilenga lenga usoni mwake hadi nikashangaa.

“Kaka mzoee. Una jua mwanamke anapo kuwa katika hali kama hiyo huwa kila anacho taka basi ina bidi umpatie”

Judy alizungumza huku akitabasamu kwa kweli kama ni mimba ya Cauther ita kuwa hivi kwa miezi tisa basi kazi ninayo.

“Kwa hiyo mke wangu una hitaji hiyo grad malter sasa hivi?”

“Ndiom tena nyanyuka uende kaichukue”

“Shem ngoja mimi nikanunue”

Willy alizungumza.

“Hapana shemu nina hitaji mume wangu ndio aende. Sio wewe”

“Duu haya mama”

Nikanawa mikono, nikaingia chumbani, nikachukua bastola yangu pamoja na funguo ya gari langu. Nikaichomeka bastola yangu kwa nyuma kiunoni kisha nikatoka chumbani.

“Nataka yabaridiii mume wangu”

Nikamtazama Cauther anaye endelea kula kuku wake.

“Poa, Willy njoo ufunge geti”

“Sawa”

Nikatoka nje na kuingia ndani ya gari langu na kuondoka nyumbani hapa. Nikampigia muuza duka mmoja ambaye namfahamu.

“Mangi habari za muda huu”

“Salama kaka”

“Una grand Malter dukani kwako?”

“Ndio zipo ndugu yangu ila nimesha funga”

“Duu naweza kuzipata wapi usiku huu?”

“Vipi ni muhimu sana?”

“Ndio ndugu yangu”

“Kutokana sijaondoka hapa dukani, Njoo tu nikupatie”

“Sawa”

Nikaelekea dukani kwa Mangi ambapo ni mtaa wa pili kutoka hapa ninapo ishi. Nikamkuta akinisubiria.

“Vipi Eddy ndugu yangu”

“Aisee kaka wee acha tu mke wangu bwana ni mjamzito basi amenikurupusha ana taka Grand Malter yaani ni full vilio”

“Hahaa kwanza hongera sana ndugu yangu kwanza nikupongeze harusi yako ilikuwa ba kubwa”

“Nashukuru sana ndugu yangu”

“Hiyo hali ina bidi uizoee tu kwa wanawake kwani kila mmoja akiwa katika hali kama hiyo basi ana kuwa na vitu vyake anavyo vipenda. Akivipata hivyo basi roho yake ina ridhika”

“Ina bidi unipatie za baridi na pia unipatie ambazo ni za moto. Kama una mzigo wote wa grand Malter nipatie”

“Sawa sawa”

Nikanunua boksi karibia ishirini za grand Malter na kuziweka ndani ya gari, huku nyingine ishirini zikiwa za baridi sana.

“Hizi nina imani kwamba zita mfaa kwa maana ameniambia ana hitaji za baridi sana”

“Sawa sawa”

Nikamlipa Mangi kiasi cha vinywaji hivyo.

“Una wyne?”

“Yaa ipo, dodo red wyne, zipo za South Afrik”

“Nipatie chupa kumi, nimekumbuka nina vijana wangu wapo hapo nyumbani inabidi wanywe.

Mangi akaingia fukani kwake galfa nikaona gari moja ikija kwa mwendo wa kasi sana eneo hili la dukani kwa maana kuna barabara ya vumbi.

“Mangi usitoke dukani kwako inama chini”

Nilizungumza kwa sauti ya juu na Mangi kweli akatii kwani nime ona jamaa mmoja aliye jifunika uso wake kwa kinyago akijichomoza kwenye kioo cha gari hili huku akiwa ameshika bunduki aina ya SMG. Nikajirusha eneo lililo gari langu kwa kasi ya ajabu huku nikichomoa bastola yangu kiunoni. Gari hili likasimama huku majambazi hawa wenye bunduki wakishuka na kupiga risasi kuelekea duka la Mangi. Moja kwa moja nikatambua kwamba majambazi hawa wamekuja dukani hapa kwa ajili ya kuiba kwa maana dula hili la Mangi ni duka la vinywaji la jumla na ni mtu ambaye ana ingiza pesa nyingi sana kwa sababu ya kuuzwa vinjwaji na karibia robo ya mabaa makubwa ya hapa Dar es Salaam wana chukua pesa kwake.

“Kuna mmoja aliruka kwenye gari kule”

Jambazi mmoja alizungumza huku akinyoosha mkono eneo lilipo gari langu. Nikalala kifudifudi chini huku nikitazama miguu yao. Nikampiga risasi mmoja wao ya mguuni akaanguka chini na wote wakastuka, kwa kasi ya ajabu sana huku kila mmoja nikiwa nime jua ni wapi alipo simamaa, nikasimama na kuanza kuwashambulia na ndani ya sekunde arobaini wote wameaguka chini huku watatu wakiwa marehemu na mmoja akiwa ana itambaza kwa maana risasi niliyo mpiga ilimvunja enka ya mguu hivyo hawezi kusimama wala kukimbia. Spidi hii ya kushambulia huwa tuna jifunza tukiwa mafunzoni. Ambapo una paswa ukiwa na bunduki ndani ya sekunde hamsini na tisa uwe umeshambulia hata watu kumi.

“Ohoo spidi yangu imekuwa ndogo”

Nilizungumza huku nikimsogela jambazi huyu anaye jiburuta kueleka kwenye gari lao. Nikampiga risasi ya mguu wa pili na kumfanya alipige yowe la uchungu.

“Mangi toka wamekwisha”

Nilizungumza kwa sauti ya juu huku mtaa ukiwa umezizima huku kukiwa hakuna hata watu.

“Eheee “

“Toka bwana ndugu yangu”

Nikamuona Mangi akitoka huku akiwa na gongo mkononi mwake. Mwimi mzima una mtetemeka kwa woga kwa maana swala la kuvamiwa na majambazi sio mchezo.

“Upo poa?”

Nilimuuliza huku nikimtazama usoni.

“E…hee…nnd….io”

Mangi alijibu kwa kubabaika sana. Nikamvua kinyago huyu jambazi na Mangi akastuka kidogo.

“Washenzi nina wajua hawa”

“Kweli?”

“Ndio, jioni walikuja kununua mzigo wa vinywaji wa milioni ishirini na tano. Washenzi kwa hiyo walitaka kuja kuzichukua muda huu?”

“Kwani zipo ndani?”

“Hapana nilisha mtuma kijana akazipeleka benki”

“Kwa hiyo hana haja ya kuishi”

Nikampiga risasi ya kichwa jambazi huyu na akatulia tuli hapa chini. Nikawasogelea majambazi hawa watatu na kila mmoja nikampiga risasi ya kichwa huku Mangi akishuhudia.

“E….e…ddy”

“Ndio kaka”

Nilizungumza huku bastola yangu nikiichomeka kiunoni.”

“Wewe ni nani kwani?”

Mangi aliniuliza kwa mshangao kwa maana siku zote yeye ana tambua kwamba mimi ni dereva taksi na mtaa mzima hakuna hata mmoja anaye tambua upande wa pili wa historia ya maisha yangu.


“Una jua unapo kuwa dereva hususani wa taksi ina bidi ujifunze kila jambo. Hivyo mara nyingi majira ya usiku huwa nina tembea na bastola yangu”

Nilimjibu kisiasa Mangi ili asiendelee kunihoji maswali yake. Hazikuisha hata dakika tano, gari ya polisi ikafika eneo hili wakashuka askari nane wakiongozwa na mkuu wao. Kila askari aliye ona maiti za majambazi hawa waliwa na mshangao kwa maana kila jambazi ana bunduki.

“Ni nani ameifanya kazi hii”

Mkuu wa kikosi hicho cha polisi alituuliza.

“Kaka hapa”

Mangi alijibu.

“Aisee kazi nzuri sana, kwa maana hawa majambazi walikuwa wana tafutwa toka jijini Arusha. Wamefanya matukio mengi sana ya kuuua na kupora mali za watu”

“Okay, jamani nina ondoka”

Nilizungumza huku nikitoa funguo ya gari langu mfukoni.

“Subiri kwanza, mbona una haraka”

“Inspectar nina mgonjwa nyumbani kwangu. Hivyo ina bidi niende”

“Kaka ngoja nikupatie zile chupa za wyne na kwa kazi hii tafadhali usinilipe chochote.”

Mangi alizungumza huku akielekea dukani kwake.

“Ulitumia kuwashambuliwa kwa kutumia silaha binafsi au?”

“Ndio silaha binafsi”

“Hembu tuione”

Inspecter George alizungumza. Nimelifahamu jina lake kwa maana katika yunifou yake aliyo ivaa ina jina jina lake. Nikachomoa bastola yangu kiunoni na kumkabidhi.

“Una itwa nani?”

“Eddy”

“Eddy nani?”

“Eddy Eddy”

Inspectar akanitazama usoni mwangu.

“Umesema?”

“Eddy Eddy”

“Ina maana baba yako naye ana itwa Eddy?”

“Ndio”

“Okay”

Akachomoa magazine ya bastola yangu na kuitazama kwa sekunde kadhaa na kuichomeka.

“Ina bidi uweze kuandamana nasi kuelekea kituo cha kati kwa ajili ya mahojiano zaidi na bastola yako tuta izuia kwani ni lazima tuiakiki kama ni halali au sio halali”

“Mzee nime kuambia nyumbani kwangu nina mgonjwa. Mke wangu ana umwa, nime kuja hapa kwa ajili ya kununua vinywaji, so nimefanya kazi yangu kama raia mwema, au mulitaka mukifika hapa mukuta miili yetu alafu majambazi wamechukua cha kuchukua na kuondoka?”

“Maana yangu sio hiyo?”

“Ila?”

“Nahitaji maelezo yako tu pamoja na muuza duka.”

Mangi akatoka na boksi lililo jaa chupa za wyne ishirini. Akanikabidhi huku ikiwa kama asante, nikaziweka ndani ya gari langu na kulifunga kwa maana majambazi walivyo kuwa wana kuja eneo hili sikuwa nimefunga mlango wa nyuma wa gari hili.

“Nisikilize mkuu, kituoni sinto kwenda na nina hitaji bastola yangu”

Sasa nilizungumza kwa kukoroma kidogo huku nikimkazia macho inspector huyu kwa maana nikimlegezea ana weza kunisumbua. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kuiona namba ya Judy.

“Judy vipi?”

“Aisee mtaa kama wa pili nimesikia milio ya bunduki aina ya SMG na pistol vipi umeweza kusikia chochote?”

“Hapana sijasikia milio yoyote ya silaha. Vipi Cauther?”

“Yupo tuna kusubiria. Ume pata hiyo grand Malter yake?”

“Yaa nime pata nipo niani nina kuja sasa hivi”

“Sawa kaka”

“Hakikisheni kwamba muna kuwa salama, ina weza kuwa ni majambazi wa kawaida hao”

“Poa nime jiandaa kwa chochote, laiti ningekuwa peke yangu ningeenda eneo hilo kuangalia kinacho jiri”

“Usijali, askari wata dili na hao majambazi”

“Poa kaka”

Nikakata simu na inspector akanipokonya simu yangu na kuangalia jina la mtu aliye piga.

“Mzee una vuka mstari”

“Mbona una zungumza kama hakuna unacho kijua vile”

“Hivyo una hitaji nifanye matangazo au. Nipatie bastola yangu na simu yangu niondokeni”

“Mchukueni mumuingize kwenye gari alafu nipatie funguo za gari lako. Mangi funga duka lako tuna ondoka kuelekea kituoni. Asakri sita mubaki hapa kwa ajili ya kulinda hii miili hapa, defender nyingine ipo njiani”

“Sawa mkuu”

Askari wake wakajibu. Nikamatazama Mangi jinsi anavyo elekea dukani kwake kisha nikamvuta shati inspector hadi akastuka.

“Uta kuja kuingia kwa watu watakao kufanya ushushwe cheo mpuuzi wewe. Una linda raia mimi nina linda nchi na kiongozi wake. Auna hisi askari wako wana weza kuwaua hawa majambazi kama nilivyo fanya kwa sekunde arobaini ehee?”

Nilizungumza huku nikiwa nimemshika shati insperctor kifuani mwake na kumsogea karibu kabisa na uso wangu.

“Wewe ni nani?”

“Kamuulize RPC wako mimi ni nani mpuuzi mmoja wewe”

Nikampokonya simu yangu pamoja na bastola yangu huku askari wake wakinitazama.

“Mangi?”

“Ndio kaka”

“Nenda nyumbani kwako, asubuhi ndio wakupeleke kituoni na wewe hili vazi nina ona halikufai alafu una nuka pombe mpuuzi wewe”

Nilimchimba mkwara mmoja mtakatifu inspector George na kweli ana nuka pombe mdomoni mwake.

“Upo doria alafu ume lewa. Nyinyi ndio munazalilisha jeshi la polisi na muna uwawa kama kuku kutokana na kushindwa kuongoza vijana wako. Kama wewe ume kunywa hawa je wafanyeje?”

Inspector Gergr akazidi kutetemeka kwa woga. Nikatoa simu mfukoni mwake na kuitafuta namba ya RPC na nikampigia.

“Naongea na mkuu wako na nitahitaji uende ofisini sasa hivi ukiwa na hali hiyo”

Nilizidi kumchimba mkwara inspector George.

“Afande”

“Ndio Eddy habari yako?”

“Salama afande upo around?”

“Ndio nipo doria Ubungo hapa na vijana”

“Sasa kuna kijana wako hapa amefika eneo la tukio kuna majambazi wanne walijaribu kuvamia duka, nikawaondoa duniani. Ila huyu inspector wako amefika hapa na vijana saba yeye ni wa nane. Ila amelewa sasa sijajua sheria za jeshi lenu zina ruhusu askari kuelewa akiwa kazini”

“Hembu mpatie simu”

Nikaweka loud speaker na kumpatia simu.

“Haloo”

Inspector George alizungumza kwa woga.

“Unaongea na kamanda Lumato”

“Aha…afande heshima yako”

“Ume lewa nina sikia?”

“Aha…hapana”

“Una bisha ina maana L J ana nitadanya?”

“L J una maanisha nini?”

“Hata vyeo vya kijeshi umesahau mpuuzi wewe. Panda gari na uje kituo kikuu sasa hivi mpuuzi wewe.”

RPC alifoka

“Sawa afande”

Nikaichukua simu na kutoa loud speaker.

“Ndio afande”

“Nina shukuru sana ndugu yangu Eddy kwa kuwavumbua askari wazembe kama hao”

“Usijali ila mpatie adhabu na usimripoti kwa IGP”

“Usijali ndugu yangu”

“Nina imani kwamba ata kuwa amepitiwa tu, si una ua usiku baridi hii”

“Nime kuelewa ndugu yangu pia pole kwa kumpoteza kijana wako”

“Nimesha poa. Kijana amefanya yake na ameondoka mdogo sana”

“Pole sana”

“Nashukuru, nikutakie kazi njema”

“Asante nawe pia usiku mwema”

“Nashukuru”

Nikakata simu huku askari wote wakinitazama kwa mshangao.

“Msindikizeni Mangi hadi nyumbani kwake kisha wewe moja kwa moja hadi kituoni sasa jichanganye, kesho nita fwatilia taarifa zako”

Mara baada ya kuzungumza maneno hayo nikaingia ndani ya gari langu nikaliwasha na kuondoka eneo hili. Nikafika getini, nikapiga honi na Willy akafungua geti, nikaingia ndani na tukaanza kushusha vinywaji hivi.

“Duu ndio umemfanyia kufuru”

“Ahaa bora hivi ndugu yangu. Hapa najua atazinywa mwezi mzima kwa maana sitambui mimba yake ina hitaji nini na nini”

Nikaingia ndani na kumkuta Cauther akiwa amejizala kwenye moja ya sofa. Nikamuamsha na kumkabidhi moja ya grand malter.

“Mbona ya moto sasa?”

“Imepoa tu, pale dukani nilipo kuwa walitokea majambazi nika pambana nao n anime waua wote”

“Kwa hiyo majambazi ndio wameifanya iwe ya moto?”

“Hapana”

“Mimi sinywi tena naenda zangu kulala. Alafu kaoge una nuka jasho hadi nina hisi kutapika”

Cauther akaondoka huku akiwa amenuna kiasi cha kunifanya nishangae huku Judy akiangua kicheko.

“Kazi sasa ime anza kwa maana hapa alikuwa ana lalamika una chelewa hadi akaomba nikupigie simu”

“Mmmm”

“Kaka nime maliza kuingiza vinywaji vyote”

“Asante dogo”

Nikaingia chumbani na kumkuta Cauther akiwa amelala sakafuni.

“Baby mbona ume lala chini?”

“Nimejisikia tu”

“Kwa nini?”

“Kitanda kina nibuguzi”

“Ehe”

“Eddy kaoge bwana una nuka jasho au unataka nitapike kuku wangu ndio ufurahi”

“Okay nina oga mke wangu”

Nikaingia bafuni, nikaoga na kurudi chumani. Taratibu nikamnyanyua Cauther na kumlaza kitandani kwa maana tayari usingizi umesha mpitia. Nikamtazama kwa sekunde kadhaa jinsi alivyo lala, nikamshushia neti, kisha nikavaa pensi na tisheti na kurudi sebleni.

“Yaani kuhangaika kote hajakunywa malter hata moja”

“Pole ndio wanawake tulivyo na mimba yake ina onyesha ana penda kula kwa maana amekula kuku mzima hadi kamaliza na kuitafuna tafuta mifupa”

Judy alizungumza.

“Aiise, chukueni wyne munywe bwana tupunguze machungu”

Willy akafungua moja ya chupa na akaanza kuigwida peke yake. Akaiweka mezani huku akiishikilia.

“Willy upo sawa?”

Judy aliuliza huku sote tukimtazama machoni mwake na tayari macho yamesha anza kuwa mekundu.

“Sipo sawa. Moyo wangu umejawa na maumivu na tulizo wa maumivu hayo ni wewe?”

“Nani, mimi?”

Judy alijiulza swali huku akimtazama Willy usoni mwake.

“Ndio. Taraibu Willy akasimama na akapiga magoti mbele ya Judy na kuishika miguu yake.”

“Najua mimi sio komandoo, wala mpiganaji mwenye uwezo kama wako. Ila nisiwe muonngo na kuyaficha maumivu yangu. JUDDY NINA KUPENDAAAAA. Ninakupenda kuliko hata maisha yangu”

“Nipo nje jamani nina punga upepo”

Nilizungumza huku nikichukua chupa moja pamoja na glasi na nikatoka nje ili niwape nafasi ya kuzungumza. Nikakaa kwenye eneo la mapumziko huku kichwani mwangu nikiwa na mawazo mengi sana. Kitu kinacho niumiza kichwa sana ni usalama wa mke wangu na sio kingine.

‘Ina bidi akaishi kwao kwa kipindi hichi ninacho kuwa nje kwa kazi”

Nilizungumza huku nikimimina glasi wyne katika glasi na kuanza kunywa taratibu. Baada ya nusu saa nikaingia ndani. Nikakuta seble ikiwa tupo, huku Judy na Willy wakiwa hawapo nikapiga hatua hadi katika chumba cha wageni ambacho huwa analala Judy pale anapo kuja nyumbani kwangu. Nikaasikia miguno ya kimahaba ya Judy.

‘Mambo hayo’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikirudi sebleni, nikazima tv, nikafunga mlango wa mbele na kuingia chumbani kwangu. Nikavua nguo, nikapanda kitandani na kulala.

“Eddy Eddy”

Nilistuka mara baada ya kusikia Cauther akiniita huku akinitingisha.

“Ehee?”

“Nataka maembe tosa”

“Nini?”

“Nahitaji maembe mume wangu”

Nikafungua dirisha na kukuta kagiza ka alfajiri ndio kana potea potea angani. Nikatazama saa ya ukutani na kukuta ni saa kumi na moja na dakika tano asubuhi.

“Asuhihi hii maembe nina tolea wapi mke wangu”

“Kwa hiyo hutaki kuniridhisha moyo wangu au?”

Cauther alizungumza kwa ukali hadi nikashangaa.

“Okay niambie soko gani lipo wazo saa hizi?”

“Huko buguruni, wapi huko maembe yanapatikana saa hizi”

“Duuu haki ya Mungu”

Nilizungumza huku nikipiga miyayo ya uchovu kwa maana nime lala saa tisa usiku na muda huu nina amshwa.

“Sawa nina enda kukununulia, alafu grand Malter zipo kwenye friji”

“Sitaki grand malter sasa hivi”

“Sawa bosi”

Nikaanza kuvaa huku mwili ukiwa na uchovu mwingi sana Nikachukua pesa katika shelfu yangu na kuondoka nyumbani hapa saa kumi na moja na robo asubuhi. Nikafika soko la buruguni na kuanza kununua maembe pamoja na matunda ya kila aina ambayo nina imani hata mke wangu akiyahitaji basi ana yapata tu. Nikaanza kurudi nyumbani, na saa kumi na mbili na nusu asubuhi nimefika getini kwangu, niakingiza gari ndani na kufunga geti ambalo wakati wa kutoka nililiegesha tu. Nikaingia matunda ndani na kuingia chumbani huku nikiwa na embe nililo lisha viruzi.

“Beby nime rudi, embe hili hapa”

“Yaani ume kwenda kununua embe moja tu?”

“Hapana mke wangu nime lete mengi tu. Friji nzima ime jaa”

“Ahaa hapo sawa. I love you baby”

Cauther akanibusu shavuni mwangu kwa furaha na kuanza kuliko kwa fujo embe hilo. Akahakikisha embe limeisha hadi kwoka akaliwangua kwangua kwa meno hadi nalo likaisha utamu.

“Embe tamu sana mume wangu. Sasa hapa twende sebleni tukakae”

Cauther akajifunga tenge na tukatoka ndani hapa. Tukaka sebleni na Cauther akakilza kichwa chake mapajani mwangu.

“Ehee hivi grand malter zangu zipo ehee?”

“Ndio”

“Kaniletee basi”

“Haya nyanyuka kidogo”

Cauther akaka kitako na taratibu nikaingia jikoni huku nikiwa nime choka sana kutokana na uchovu mwingi. Nikabeba na glasi kisha nikarudi sebleni. Cauther akafungua kinywaji hichi na kumimina katika glasi akaonja kidogo.

“Mmmm ina harufu mbaya. Kaninunulie safari lager nichanganyie”

Nikastuka sana kwa maana toka nime mjua Cauther sijawahi kumuona akigusa kilevi chochote na isitoshe amenidhibitishia hilo mara kadhaa hata pale nilipo muhitaji aweze kuonja hata wyne alikuwa ana kataa, sasa leo ina kuwaje ana hitaji bia tena saa kumi na mbili hii asubuhi.



“Mke wangu acha masihara kabisa”

“Masihara ya nini nataka bia ya safari sasa hivi nichangaye na Malter yangu”

“Sijawahi kukuona wala kukusikia siku una hitaji kunywa bia wala kilevi chochote. Inakuwaje leo?”

“Kama hutaki poa narudi zangu kulala?”

“No tuna zungmza mke wangu. Kwa maana hata kama ni mjamzito najua una kuwa na hamu ya kila kitu ila sihitaji ifikie kipindi mwanangu aharibiwe na mipombe. Una dhani uta zaa mtoto wa aina gani kama sio kilevi”

“Ahaaa kwa hiyo nitazaa mlevi. Asante, nina kwenda kunywa midonge niitoe hii mimba yako”

Cauther alizungumza huku akinyanyuka kwa uharaka na kuanza kuelekea chumbani. Nikamfwata kwa nyuma na sote tukaingia chumbani. Akachukua kopo tunalo hifadhia dawa, akachuku pakti iliyo jaa dawa za kutuliliza maumivu na akaanza kuzimimina mdomoni mwake. Kwa haraka nikamuwahi kumuinamisha chini huku nikimuingiza vidole mdomoni na akaanza kuvitapika vidonge hivyo ambavyo hapo awali niluhisi ni utani.

“Acha nife, acha nife si nitazaa mlevi”

Cauther alizungumza huku akilia kama mtoto mdogo.

“Mke wangu mbona una kuwa hivyo kwa nini una kuwa kama mtu asiye jielewa?”

“Ndio sijielewi acha nife, acha nife”

Nikamuingiza bafuni, nikaanza kumuogesha kwa maana ametapika hadi chakula alicho kula jana usiku. Nikamaliza zoezi hilo na kumrudisha chumbani na kumlaza kitandani huku akitetemeka kwa baridi. Nikatoka nje na kuchukua dekio na kuanza kudeki chumba kizima.

‘Ehee Mungu kumbe haya ndio mateso wanayo pata wezangu kwa wake zao waja wazito’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kusafisha chumba kizima. Nikamaliza nami nikapata nafasi ya kuoga ili nijipumzishe kidogo. Nikajilaza pembeni yake huku nikishusha pumzi.

“Hujanisikia au?”

Cauther alizungumza huku akikaa kitako kitandani.

“Kwani ume niongelesha mke wangu”

“Si nimekuambia nnina taka Safari”

“Ila mke wangu si umesha kunywa vidonge ukinywa na safari uta kufa?”

“Nimetapika kila kitu na nina njaaa. Nataka safari na kuku kama wa jana”

“Ila sasa hivi asubuhi kina Sudi hawajafungua pale”

“Fanya chochote ila ukaniletee kuku na safari la sivyo nina kunywa vidonge tena nife”

Cauther alizungumza huku akiwa amenikazia sura na anaonyesha hana matani hata kidogo. Kwa unyonge wa hali ya juu nika nyanyuka huku hata nikiwa sielewi nina anzia wapi kwani haya mambo ni mapya kwangu. Nikatafuta nguo na kuvaa taratibu, nikamtazama Cauther jilaza kitandani huku akinitazama machoni mwangu.

“Waambie kuku wamueke chachandu”

“Haya”

Nikatoka chumbani hapa, nikakumbuka kopo la dawa, nikarudi chumbani na kulichukua na kutoka nalo, nikalificha jikoni sehemu ambayo sio rahisi kwa Cauther kuweza kuliona. Nikaingia ndani ya gari huku kichwani mwangu nikiwa na mawazo mengi sana. Nikampigia simu Sudi.

“Dogo vipi?”

“Safi kaka niambie”

“Poa aisee nina weza kupata kuku wa kuchoma”

“Asubuhi hii?”

“Ndio”

“Hapana kaka sisi tuna fungua saa nane mchana, ratiba yetu haijabadilika kabisa”

“Sawa ila nifanyie msaada mdogo wangu, shemeji yako ana hitaji kweli kuku uliye mchoma wewe na chachandu. Nitakulipa hata mara nne ya bei ya kuku”

“Mmmm ngoja kwanza kwema lakini?”

“Shemeji yako ni mjamzito ndio maana nina kumbana na mabala kama hayo”

“Aisee poa basi nipe kama lisaa hivi nitauambia uje hapa ofisini kumchukua.”

“Asante sana nahitaji na chachandu”

“Poa poa”

Nikapata amani moyoni mwangu. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama kwa sekunde na kuipokea simu hii kutoka kwa Manka.

“Shem habari”

“Salama shemeji upo wapi?”

“Ahaa nimetoka kidogo nyumbani”

“Una weza kuja kwangu”

“Sasa hivi?”

“Ndio, samahani lakini”

Manka alizungumza kwa sauti ya upole na unyonge sana.

“Sawa nina kuja”

Nikakata simu na kuelekea nyumbani kwa Manka ambapi ni jirani na nyumba ya Maulid. Mlinzi akanifungulia geti na nikaingia ndani. Manka akanikaribisha sebleni huku akiwa amejifunga matenge mawili tu mwilini mwake na kwa jinsi shepu yake ilivyo nona, hakika imejichora vizuri kwenye matenge hayo.

“Niambie shemeji yangu”

“Nipo nipo sijielewi shemeji, yaani nime omba likizo kazini kwa maana nina shindwa hata kufanya kazi”

“Natambua, najua kwmaba sote tume umizwa kwa kifo cha Maulid na kila mmoja wetu hana budi ya kukubaliana na ukweli wa mambo”

“Yaani shemeji wala siamini. Yaani nikitoka hapo nje na kutazama nyumba ya Maulid natamani basi nisikie hata salamu yake kama alivyo kuwa ana nisalimia pale awali. Ila wapi, sisikii chochote”

Manka alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Huzuni nami ikaanza kunitawala taratibu.

“Mimi nina fanya nini, ikiwa nilisha muweka Maulid moyoni mwangu, nikaamini yeye ndio ata kuja kuwa mume wa maisha yangu. Yaani hata hatujafikia malengo tayari amefariki dunia nina fanya nini shemeji?”

Nikajikuta nikishusha pumzi nyingi huku nikimtazama Manka jinsi anavyo lia.

“Najaribu kunywa mapombe ila yakiisha kichwani mawazo yana rudi pale pale. Natamani kujiau na mimi nina tamani kufa”

“Noo usifanye hivyo. Wewe bado ni binti mdogo una malengo yako na una maisha pia. Kufa Maulid sio yeye wa kwanza. Hata mimi, wewe ipo siku tuta kufa na endapo tuta kufa basi kila jambo lita kuwa lime ishia hapo. Ila usijaribu kuyakatisha maisha yako eti kwa ajili ya Maulid. Amesha fanya kazi yake na umesha kwisha hivyo tafadhali nina kuomba sana tena sana usifanye maamuzi kama hayo”

Nilizungumza kwa upole sana huku nikimtazama Manka. Manka akasimama na kuanza kupandisha ngazi za kuelekea gorofani huku akiwa katika mwendo wa haraka. Ikanibidi nami nipandishe huku nikimkimbilia. Akaingia chumbani kwake na kuubamiza mlango kwa nguvu, nikaufungua na kumkuta akiwa amejilaza chali kitandani huku akilia. Nikashusha pumzi kwa maana hili nalo ni balaa jengine, nikamsogelea na kukaa pembeni ya kitanda chake.

“Manka, Manka”

Nilimuita ila Manka hakuitikia zaidi ya kuendelea kulia kwa uchungu.

“Maish ya binadamu yoyote hapa duniani lazima yafikie tamati wakati wowote. Kitu kikubwa hatujui muda wala saa. Nina kuomba sana uwe free. Kama una hisi ni unyonge kukaa hapa basi twende kwangu ukakae kwa maana kina Judy na Willy wapo pale”

Manka akageuka na kulala chali huku akinitazama machoni mwangu. Akanishika mkono wangu wa kulia na kuuweka kifuani mwake.

“Shem una taka kufanya nini?”

Nilimuulzia huku macho yakinitoka. Manka hakunijibu chochote zaidi ya kunishikika ziwa la upande wake wa kulia.

“Najua una msaliti mke wako na rafiki yako. Ila nina jisikia haja ya kufanya hivi sina wa kunisaidia zaidi yako shemeji”

“Ila Manka una jua hichi tunacho kifanya sio sahihi, haijapita hata wiki toka tumlaze rafiki yetu”

“Ndio najua ila nahitai msaada wako”

Manka kwa kunidhihirishia kwamba ana haja ya kupata tendo la ndoa, akavua matenge yake yote na akabaki kama alivyo zaliwa. Hakika huyu mtoto ni mashine, mwili wake una kila kigezo cha kumshawishi mwanaume.

“Tafadhali shemeji, nifanye namfsi yangu itulie”

Nikajikuta nikimeza funda zito la mate huku nafsi moja ikinishawishi nisifanye naye chochote huku nafsi ya pili ikinishawishi nimpe haki anayo paswa kupata. Manka akapiga magoti kitandani huku akiniomba sana niweze kumpa anacho niomba. Nikasimama na nikavua tisheti yangu, kisha nikavua na pensi niliyo ivaa. Kichaa cha mapenzi tayari kimesha nitawala kichwani mwangu na ninacho kifikiria ni kuhakikisha nina mpa mapigo mazito shemeji. Manka akanivuta kitandani na kunilaza chali, akanivua boksa iliyo salia mwilini mwangu kisha taratibu akaanza kumnyonya jogoo wangu. Kisha akamkalia huku akitoa miguno ya kimahaba. Nikamburudisha Manka hadi akakiri kuridhika.

“Ina bidi nioge haraka haraka, nina hitaji kuelekea sehemu”

“Sawa shemeji nina kushukuru sana. Nina ahidi kwamba hii ita kuwa ni siri yetu sinto mueleza mtu yoyote yule”

“Nashukuru kwa kulifahamu hilo”

Nikaingia bafuni, nikaoga haraka haraka, nikavaa nguo zangu huku nikihakikisha sinukii manukato yoyote ya Manka. Nikaagana naye kisha nikaondoka nyumbani kwake, nikatoa simu yangu mfukoni na kukuta missed call kumi na saba na ubaya ni kwamba simu niliitoa mlio. Nikazifungua na kukuta, mbili zikiwa ni za Judy, sita za Sudi na zilizo salia ni za mke wangu.

‘Ooohooo’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimpigia kwanza Cauther. Simu ikapokelewa.

“Ulikuwa wapi nakupigia hupokea?”

Cauther alizungumza kwa ukali.

“Kuna kikoa maalimu nilikuwa nina fanya”

“Ahaa kwa hiyo mimi nina kutuma wewe una kwenda kwenye mambo yako si ndioa”

“Cauther ume patwa na nini. Una muongelesha nani kwa ukali, una hisi nikikaa kimya ndio upate nafasi ya kunipanda kichwani. Najua una mwanangu ila asikupe kiburi na jeuri ya kunipanda kichwani ume nielewa”

Nilizungumza kwa kufoka kwa maana uvumilivu umenishinda. Cauther akakata simu, nikampigia mara mbili mfululizo na hapokei. Nikampigia Judy.

“Vipi kaka”

“Yupo wapi huyo Cauther?”

“Nipo naye hapa sebleni an alia”

“Ana lia nini sasa.”

“Ila kaka sio vizuri kumfokea, huyu ni mke wako na una jua hali yake”

“Najua ndio ila ana paswa kubaki kwenye mstari. Hata kama ni mjaumzito nikimuendekeza ata fanya mambo ya kijinga kisa mimba. Muangalie kwa umakini kwa maana asubuhi alikunywa mavidonge ili atoe mimba yake sasa sitaki upuuzi”

“Mmmm kumbe ni hayo?”

“Ndio, sasa nikicheka cheka atanifanya mimi fala huyo”

“Sawa kaka rudi basi nyumbani”

“Nina rudi”

Nikakata simu nikampigia Sud.”

“Kaka nimekutafuta sana”

“Vipi umemaliza?”

“Ndio yupo tayari”

“Nina kuja”

Nikakata simu, nikafika ofisini kwa Sudi. Nikamlipa kama nilivyo muahidi. Nikaondoka na kuelekea katika duka moja la vinywaji, nikanunua katoni sita za bia ya safari na kurudi nyumbani. Cauther akanitazama huku uso wake ukiwa ume nunua.

“Kuku huyu hapa, bia hizi hapa kunywa hadi utakapo ridhika”

Judy na Willy wakanitazama kwa mshangao huku nikimuwekea Cauther vitu hivyo mezani. Nikaingia chumbani huku moyo wangu dhairi ukiwa ume chafukwa na vitendo vya mke wangu. Hazikupita dakika tano, Cauther akaingia ndani hapa huku akiwa katika hali ya kinyonge. Akakaa pembeni ya yangu huku akikunja kunya vidole vya viganja vyake.

“Baby”

Cauther akaniita kwa sauti ya upole.

“Nini”

“Naomba unisamehe mume wangu, sikutarajia kukufokea. Nilijikuta tu nikiwa na hasira ambazo sijui zina tokea wapi. Hii hali hata mimi mwenyewe siipendi ya kukutuma tuma na kukununia nunia, ila ina kuja automatically.”

“Najua nime kusamehe. Ila hakikisha una baki kwenye mipaka yako. Tafadhali usiivuke”

“Nakuahidi mume wangu sinto fanya tena kosa la kukufokea”

Nikatazamana na Cauther kisha nikamnyonya denda. Kadri tunavyo endelea kunyonyana ndivyo jinsi fukuto la mapenzi linavyo zidi kutawala katikati yetu. Cauther akaanza kunivua nguo zangu huku akihitaji kupata haki yake ya ndoa.

‘Ooo nimetoka kuchepuka ita kuwaje na mtoto aliyopo tumboni’

Nilijiuliza huku nikimtazama mke wnagu anavyo jibidiisha katika kunivua nguo zangu.

‘Nisipo mpa haki yake atanifikiria vibaya’

Nilizungumza huku nikiendelea kumtomasa Cauther kila sehemu ya mwili wake. Gafla akaweka kiganja chake mdomoni na kw aharaka akashuka kitandani na kukimbilia bafuni. Nikaingia bafuni na kumkuta akiwa ameinama kwenye sink la kupigia mswaki huku akitapika.

“Hei baby vipi?”

“Nahisi kichefuchefu mume wangu”

“Pole sana mke wangu”

“Naomba unipeleke hospitali hii hali nashindwa kuimudu mume wangu.”

“Sawa jiandae twende”

Cauther akamaliza kutapika, akaoga tukajiandaa. Tukawaaga Willy na Judy na kuwaeleza kwamba tuna elekea hospitalini kisha tukaondoka nyumbani hapa. Tukafika hospitali ya Muhimbili na tukaelekea kwa daktari wa kina mama.

“Ni macho yangu au nina ota wewe si Eddy?”

Daktari huyu wa kike alizungumza huku akitansamu.

“Yaa mimi ni Eddy, nikumbueshe tume kutana wapi?”

“Mimi ni Monica. Mdogowenu wa kipindi kile kituo cha kuelea yatima Makete. Wewe na rafiki zako mulikuwa ni watu wa kunitetea sana”

“Ohoo dogo Monica”

“Yes”

“Aisee ume kuwa sana na wewe ndio daktari wa kina mama?”

“Ndio karibuni sana”

“Nashukuru sana aisee.”

“Karibuni muketi”

Furaha ikatawala moyoni mwangu kwa maana nime kutana na mdogo wangu ambaye nilipotezana naye kwa kipindi kirefu sana.

“Aisee nime mleta wifi yako ana itwa Cauther. Cauther huyu ni mdogo wetu wa kituoni. Kipindi tupo kituo cha yatima naye alikuwa miongoni mwa watoto wa pale. Alikuwa mnyonge mnyonge hivyo tulikuwa tuna mtetea”

“Hahaaa nashukuru kukufahamu wifi Monica”

“Hata mimi nina fura sana tena sana. Sikutarajia kukutana na kaka yangu ambaye kwa kipindi cha miaka ishirini na ushee sasa tume tengana”

“Yaa ni kweli kwa kweli”

“Ehee ngoja niwahudumia kisha baada ya hapo tuta ongea mambo binafsi”

“Baby muelezee hali unayo jisikia?”

“Ahaa wifi, nimepita na kukutwa na ujauzito. Ila una nisumbua sana, nina kuwa ni mtu wa kutamani vitu ambavyo hapo awali sikuweza kuvitamani. Na isitoshe nina tapika sana”

“Waoo hongerani je ndio mtoto wa kwanza?”

“Ndio”

“Basi ndio maana muna ona ni jambo la geni kwenu. Wifi una tamani nini na nini?”

“Natamani nyama ya kuchoma hususani kuku, natamani kula pilipili kali. Natamani bia ikiwa sijawahi kunywa kilevi chochote toka nizaliwe”

“Hapo kwenye bia Monica mimi na wifi yako tuna gombana sana”

“Kwa nini?”

“Hajawahi kunywa bia je akimzaa mtoto akiwa mlevi ita kuwaje?”

“Hahaa kaka yangu hakuna kitu kama hicho. Kwenye kipindi kama hichi una bidi umsikilize mke wako kila anacho kihitaji. Bia uki mchanganyia na kinywaji chepesi kama grand Malter au soda basi kuna kuwa hakuna tatizo katika hilo. Kikubwa usimuudhi mkeo, itafikia kipindi cha katikati mimba ikifika miezi kama sita kuelekea saba ata kuwa sawa na hato kusumbua sana. Sawa kaka yangu”

Cauther akazungumza huku akitabasamu kwani haja ya moyo wake aliyo kuwa akihitaji sasa dokta ameidhibitsha mbele yangu.



“Duu”

“Yaa ndio hivyo na mshukuru Mungu sana kwa sababu hali hiyo ujaibeba wewe kaka yangu”

“Una maanisha nini?”

“Kuna wanaume huwa wana wabebea wake zao mimba. Uta kuta yeye ndio anaye tapika, anaye kula maembe mabichi, anaye lamba malimao na kula udongo. Hivyo shukuru haijakukuta wewe ndugu yangu mvumilie mke wako”

Nikashusha pumzi taratibu. Simu yangu ikaanza kuita nikaitoa mfukoni na kuiona namba ya raisi.

“Samahani nina kuja”

Nikanyanyuka na kutoka ndani hapa na kuwaacha Monica na Cauther. Nikapokea simu hii.

“Ndio muheshimiwa”

“Eddy nina kuomba uweze kufika ofisini kama huto jali”

“Muda huu?”

“Ndio”

“Okay nipo hospitali, nipo na mke wangu. Nitamrudisha nyumbani kisha nitafika hapo”

“Ohoo samahani. Ana sumbuliwa na nini?”

“Ni mjamzito”

“Aise hongere sana Eddy”

“Nina shukuru sana muheshimiwa. Hivyo uta nivumilia kidogo”

“Hakuna shaka take your time”

“Asante muheshimiwa”

Nikakata simu na kurudi ofisini na kuwakuta wakicheka sana.

“Ahaa Monica muda wangu ume kuwa ni mchache sana. Hivyo nina omba tukuache au kuna jambo jengine ambalo lina hitaji mazungumzo?”

“Hapana ila mbona una wahi sana”

“Ahaa kuna maswala ya kazi kidogo yana nifanya niwahi sana”

“Sawa kaka yangu, kutokana kuna wagonjwa wengine hapo nje basi leo nitawaacha muondoke. Ila siku nyingine nita penda sana niweze kufika kwako na kupafahamu. Pia hongera sana ume weza kupata mke mzuri, mcheshi sana”

“Hahaa nashukuru”

“Asante”

Tukabadilisha namba huku Monica akichukua namba yangu ya simu pamoja na namba ya mke wangu. Tukaagana naye na kuainza safari ya kuelekea nyumbani.

“Baby”

“Bee”

“Raisi amenipigia simu ana nihitaji ikulu sasa hivi. Hivyo ninge penda kuelekea huko”

“Sawa hakuna tabu mume wangu”

Nikamfikisha Cauther nyumbani, nikawaeleza Judy na Willy kwamba nina elekea ikulu, kisha nikaondoka. Nikafika ikulu na moja kwa moja nikaelekea ofisini kwa raisi.

“Karibu sana ndugu yangu”

“Nashukuru muheshimiwa”

Nikakaa kakika kiti.

“Hongera na pia pole kwa kumpoteza Maulid ni pigo kubwa sana kwetu”

“Nimesha poa mkuu. Ehee niambie”

“Leo alfajiri gari ya mkuu wa kitengo cha NSS. Ilishambuliwa kwa risasi na kwa bahati nzuri hakuwepo ndani ya gari hilo na alikuwepo dereva wake ambaye aliweza kujeruhiwa. Tume weza kufwatilia kamera za CCTV zilizo fungwa kwenye barabara hiyo. Tume ona gari hili ambalo, katika kulifwatili tuliweza kukuta lime chomwa moto pembezoni mwa bahari. Na katika sura za watu ambao ziliweza kubainika ni za watu hawa”

Nikastuka kidogo mara baada ya raisi kunionyesha watu ambao jana usiku Willy alionionyesha huku akiwa amewatilia mashaka makubwa sana.

“Hawa ni wauaji wa kukodishwa”

“Ngoja kwanza, Willy alinionyesha jana usiku”

“Willy ndio nani?”

“Ni kijana wangu mwenye uwezo mkubwa sana kwenye maswala ya I.T. Aliweza kuwatilia shaka toka alipo waona jana walivyo kuwa wana shuka kwenye uwanja wa ndege wa mwilimu J.K Nyerere. So alinionyesha na hatukuwafwatilia sana”

“Basi watu hawa bado tuna endelea kuwasaka hapa nchini. Hivyo nime kupa picha halisi ili uwe tayari kwa kila jambo kwani hatujui ni kwa nini wamemshambulia mkuu wa kitengo cha NSS.

“Mumemuhoji mkuu wa kitengo hicho?”

“Ndio nilizungumza naye kwenye simu, na alidai hata yeye mwenyewe hajui ni kwa nini walikusudia kumshambulia yeye na jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba hakuwepo kwenye gari zaidi ya dereva wake”

“Dereva wake yupo vibaya?”

“Ni risasi moja ilimpiga kwenye paja ila yupo salama”

Nikaitazama video hii inayo onyesha gari hilo la majambazi jinsi linavyo ipita gari ya mkuu wa kitengo cha NSS na wakalizuia kwa mbele mmoja wao akajitokeza katika kioo na kushambulia gari hilo na dereva alivyo jitahidi kushuka kujibu mashambulizi hayo ndipo alipo pata madhara ya kupigwa risasi ya mguu. Walipo ona wameshindwa kutekeleza walicho kipanga wakaondoka eneo hilo kwa kasi.

“Naweza kuiingiza kwenye simu hii video”

“Ndio”

Nikaunganisha simu yangu kwa kutumia waya wa USB na kuuchomeka waya huo katika laptop hii ya raisi. Nikajiahamishia video hiyo kisha nikamtumia Willy kisha nikampigia simu.

“Dogo”

“Naam”

“Wale jamaa wa jana wame piga tukio umeiona hiyo video”

“Yes nimeipata”

“Ifanyie kazi basi tujue ni wapi walipo”

“Poa kaka”

Nikakata simu.

“Huyo kijana una muamini?”

“Asilimia mia moja. Kwani wamefahamu ni wapi walipo?”

“Hapana hakuna laiye fahamu”

“Basi huyu ana weza kutusaidia kwenye mambo ya teknolojia”

“No ni mwana timu wangu hivyo muda sahihi ukifika ata fanya kazi na serikali”

Willy akanipigia simu.

“Ndio dogo”

“Jamaa kwa sasa wameshapanda boti wana wamesha ingia Mombasa Kenya”

“Duu”

“Yaa na ni ishu kidogo endapo nita tumia satellaite za nchi ya Kenya si una jua kaka mambo yenyewe haya”

“Poa dogo kazi nzuri”

“Hakuna shaka”

Nikakata simu huku nikimtazama raisi.

“Jamaa kwa sasa wamesha ingia Mombasa Kenya”

“Basi ngoja niwasiliane na raisi wa Kenya ili wahakikishe wana kamatwa”

“Sawa mkuu”

“Alafu nenda kaonane na mkuu wa kitengo cha NSS. Jaribu kumuhoji juu ya hili swala”

“Hakuna shaka. Maandalizi ya safari si yapo vizuri?”

“Ndio na kijana wako ame copy na paste kila kitu changu”

“Hawezi kuniangusha”

Nikaagana na nikaondoka ikulu na kuelekea makao makuu ya kitengo cha NSS. Nikafika na moja kwa moja nikaomba kuonana na madame Caro na nikapelekwa ofisini kwake.

“Karibu sana Eddy”

“Nashukuru sana. Pole kwa kilicho mpata dereva wako”

“Nina shukuru sana.”

“Ehee walio fanya shambulizi unajua sababu ya kutaka kufanya shambulizi hilo ambalo moja kwa moja lilikuwa lina kuelenga wewe”

“Kusema ukweli siwafahamu. Pia ni sura ngeni sana kwangu”

“Hakuna uliye wahi kumfanyia makosa labda akawa ana kuwinda?”

“Kwa kweli hapana kwa maana nifanya kazi katika utaratibu na misingi ya kazi yangu. Sijawahi kutoka nje ya mstari ya utendaji wa kazi yangu kwa maana nina iheshimu na kuipenda sana”

“Dereva wako ulipata nafasi ya kuongea naye?”

“Ndio nilizungumza naye na akanieleza naye kwamba hana tatizo na mtu na ni mwaka wa kumi yule kijana ana niendesha na hana shida na mtu”

“Basi nina shukuru.”

“Asante sana, ni hayo tu nilihitaji kuyasikia”

“Asante kwa kujali pia”

Nikaagana na mwana mma huyu, nikaingia ndani ya gari langu na kurudi nyumbani kwangu. Nikakuta chakula cha mchana kikiwa kimeandaliwa. Kwa pamoja wote wanne tukaanza kula huku tukipiga stori za hapa na pale.

“Kaka”

“Ndio Judy”

“Timu haina mtu mwengine, nani ata weza kuishika nafasi ya Maulid?”

“Kwa kweli sijafahamu. Ila ata patikana”

“Una onaje tukamuingiza Gody”

“Gody gani?”

“Yule kijana uliye kuwa una zungumza naye kwenye msiba wa Maulid”

“Ohoo yule mjuaji?

“Huyo huyo. Yupo vizuri sana yule”

“Ila ana penda ujuaji mwingi hadi ana kera na watu wa aina uile kusema kweli mimi siwezi kufanya nao kazi”

“Mpe nafasi akikosea na ukaona kwamba haifai tuna muondoa katika timu”

Nikamtazama Judy usoni mwake.

“Nita mpiga msasa ili akuelewe vizuri”

“Una uhakika?”

“Ndio kaka kwa maana ukitazama tumebakisha siku chache kabla ya kwenda Ujerumani”

“Sawa wasiliana naye”

“Ingekuwa ni vyema ukawasiliana na mkuu wa kambi yake”

“Poa”

Sikutaka kulaza damu, nikampigia mkuu wa kambi ya jeshi anayo itumikia Godlisten. Mkuu wake akanihakikishia kijana huyo ata funga safari usiku wa siku ya leo kuja Dar es Salaam.

“Ameruhusiwa”

“Safi”

“Jamani naombeni nika lale kidogo”

“Sawa”

Nikaondoka sebleni hapa na baada ya muda kidogo Cauther akaingia chumbani hapa.

“Ume choka mume wangu?”

“Sana, yaani nina usingizi balalaa”

“Pumzika mwaya nime kuchosha leo”

“Ni jukumu langu. Alafu nina wazo moja”

“Wazo gani baby”

“Katika kipindi nitakacho elekea Ujerumani nina hitaji uende kwa baba ukakae pale hadi nitakapo rudi. Ukiwa hapa peke yako. Uangalizi utakuwa mdogo na una weza kupata tatizo katika hali yako hiyo na ukakosa wa kukusaidia”

“Sawa mume wangu mimi sina kipingamizi chochote. Pumzika mimi acha nikatazame filamu na kina Judy”

“Poa, ongeza upepo wa A/C”

Cauther akafanya kama nilivyo muambia kisha akatoka ndani hapa. Usingizi mzito ukanipitia kwani sijapata muda wa kabisa wa kupumzika.

“Baby, baby”

“Mmm”

“Amka”

“Saa ngapi sasa hivi?”

“Saa tatu. Chakula tayari”

Nikamtazama kwa sekunde kadhaa Cauther. Nikasha nikashusha kitandani.

“Aisee nime lalala ehe?”

“Yaa ulikuwa una koroma kama nini?”

“Wee”

“Haki ya Mungu vile. Leo ndio nimekusikia una koroma”

“Nilichoka sana mke wangu”

Nikaoga, kisha nikavaa pensi na tisheni na kuelekea sebleni. Tukapata chakula cha usiku kisha nikarudi chumbani kujipumzisha kwani muda wa kulala ni leo, siku zinazo fwata sinto lala kabisa. Nikaamka alfajiri na mapema, nikafanya mazoezi kadhaa kisha nikaingia bafuni na kuoga. Nikaandaa kifungua kinywa cha watu wote kabla hata wao hawajaamka. Kila aliye amka akashangaa jinsi nilivyo wapikia.

“Kaka msosi wako mtamu”

Willy alizungumza huku akiendelea kula.

”Nashukuru, hizi zote ni juhudi za mke wangu mama mapocho pocho”

“Hahaa shemeji ume mpiga msasa mzuri kaka yetu. Hongera sana kwa hilo”

“Nashukuru”

Judy akapokea simu yake.

“Poa vipi?”

“Karibu jiji la joto”

“Sawa nita fika”

“Poa”

Judy akakata simu na kuiweka mezani.

“Gody amesha fika Dar yupo kambi ya jeshi la anga”

“Tukimaliza kula nina hitaji tuelekee huko”

“Sawa”

“Baby uta wenda kushinda nyumbani. Jioni nita kupitia”

“Sawa mume wangu”

Tukamaliza kula na tukajiandaa. Wote tukaondoka nyumbani hapa na tukapita nyumbani kwa wakwe zangu nikawasalimia na nikamuacha Cauther kisha sisi tukaelekea katika kambi ya jeshi la anga. Tukafika getini na kukabidhiwa vitambulisho maalumu vya wageni. Moja kwa moja tukaelekea katika eneo tulilo ambiwa kwamba Gody yupo. Safari hii akanisalimia kwa sauti na heshima zote. Akasalimiana na Judy pamoja na Willy.

“Dogo vua shati lako hilo tuna ingia mazoezini”

“Sawa mkuu”

Gody akavua shati lake la kombati ya jeshi na akabaki na tisheti. Nikampeleka katika uwanja wa mazoezi na zoezi la kwanza kumpa ni kuruka vihunzi huku kazi ya Willy ni kurekodi kila kitu.

“Yupo vizuri”

Judy alizungumza huku tukimtazama Gody jinsi anavyo ruka vihunzi kadhaa vyenye urefu wa futi kuanzia sita hadi kumi.

“Una hisi ni mtu sahihi wa kuishika nafasi ya Maulid?”

“Ndio kaka”

Nikaridhika na uwezo wa Gody katika kuruka vihunzi.

“Dogo kuna mafunzo mengine manne ya mwisho endapo utafanikiwa kuyapita yote basi utaingia kwenye kikundi changu na endapo uta shindwa huto ingia na wala huto kuwa katika kikundi hichi cha X.”

“Ngo…ja ina maana wewe ndio yule X tuliye kuwa tuna msikia?”

Gody aliuliza huku jasho likimwagika mwilini mwake.

“Ndio ni mimi, kazi ni kwako. Ukiweza una ingia na ukishindwa una rudi zako mwanza”

Gody akajawa na furaha sana kwani sifa za kundi la X la awali nililo kuwa na wezangu zilisambaa karibia dunia kote ishu kubwa iliyo inatuletea sifa ni umahiri wetu wa kufanya matukio magumu kwa vikosi vingine vya usalama, yakaoenekan marahisi kwenye kikosi chetu.



“Nifwateni”

Wote watatu wakaanza kunifwata. Tukaingia katika chumba maalumu cha kuhifadhia mabegi yenye maparachuti.

“Chukua begi moja nahitaji nijue kama una weza kurudika kwa parachuti.”

Gody macho yakamtoka huku akinitazama kwa mshangao.

“Dogo muda wangu mchache”

Gody akachukua moja ya begi na kuliva kisha na mimi nikachukua begi jengine na sote wanne tukelekea hadi kwenye moja ya helicopter. Nikaomba rubani mmoja aweze kuipaisha helicopter hii na akatii. Tukaingia wote wanne na taratibu helicopter hii ikaanza kupaa hewani.

“Tuelekee usawa wa bahari”

“Sawa mkuu”

“Ipeleke juu sana”

“Sawa”

Rubani akazidi kuipelekea juu helicopter hii hadi nikaridhika.

“Mazozei ni mawili kwa moja. Nahitaji nikuona una ruka na kutua baharini salama na una ogelea hadi ufukweni una tokea Coco beach pale”

“Sawa mkuu”

Gody alizungumza kwa heshima zote.

“Uta weza kweli wewe”

Judy aliuliza huku akimtazama Gody machoni mwake kwa mshangao.

“Ndio”

Nikafunga mlango wa helicopter hii na Gody akajirusha hewani, baada ya sekunde kama thelathini na kuelea hewani, akafungua parachuti.

“Muta tufwata ufukweni”

Nilimuambia rubani kisha nami nikajirusha. Kutokana nina uzoefu sana kwenye michezo hii. Sikuhitaji kulifungua parachute langu ndani ya muda mfupi. Nikajigeuza hewani mara kadhaa kisha nikafungua maparachuti langu na kuanza kuliongoza jinsi nitakavyo mimi. Nikamshuhudia Gody akizama baharini akiwa na parachuti lake. Nikaendelea kukaa hewani kwa dakika kama mbili ila sijafanikiwa kumuona Gody katika sehemu aliyo ingia. Nikamuona Gody kwa mbali akiogelea huku parachute lake akiliacha eneo alilo tumbukia.

“Dogo yupo vizuri”

Nilizungumza huku nikiliongoza parachute langu hadi ufukweni, nikatua ardhini vizuri kisha nikalivua. Nikaitazama saa yangu ya mkononi huku huku nikimtazama Gody jinsi anavyo ogelea kwa kasi hadi akafaanikiwa kutoka ufukweni ndani ya dakika tano.

“Hongera sana”

“Asante mkuu”

Gody alizungumza huku akihema sana.

“Nilidhani ume kufa?”

“No, nilivua begi la parachute na kuanza kuogela ndani kwa ndani hadi nikatikea pale”

“Safi ume bakisha zoezi moja”

Helicopter ikatua mita kadhaa kutoka tulipo. Tukakimbilia eneo ilipo, tukaingia ndani ya helicopter na kurudi kambini.

“Tupate chakula cha mchana kisha umalizie zoezi la mwisho”

Kwa pamoja tukaungana na wanajeshi wengine kupata chakula cha mchana.

“Kaka hichi ndio nilicho rekodi”

Willy akanionyesha video alizo mrekodi Gody kuanzia alivyo kuwa ana ruka vihunzi hadi katika zoezi la kurukwa kwa parachute.

“Dogo wewe na Mulid nani alikuwa mkali?”

Nilimuuliza Gody huku nikimtazama usoni mwake.

“Mimi na Maulid kuna baadhi ya maeneo ndio tulikuwa tuna tofautiana. Maulid yeye alikuwa ni mtaalamu kwenye udunguaji, alikuwa ni bonge la shooter. Ila mimi kwenye kuruuka nilikuwa vizuri sana”

“Ina bidi hilo la shabaha ina bidi ulifanyie kazi”

“Usijali kaka kwa maana nipo vizuri sasa”

“Kitu ambacho nina mkubali Gody ni kwamba hapendi kushindwa na chochote na anapo jiona ana udhaifu katika hilo basi ana jitahidi kuhakikisha kwamba ana lifanyia kazi hadi ana fanikiwa”

“Sawa”

Tukamaliza kula chakula cha mchana kisha tukaingia katika ukumbi maalumu ya mafunzo ya judo, karete na mapigono mengine. Nikawatazama wanajeshi wanao endelea kufanya mazoezi hayo. Nikamfwata mkufunzi wao.

“Samahani, nina kijana wangu, nahitaji aweze kupata kijana wako mmoja ambaye ni the best apimanene naye nguvu”

“Sawa mlete kijana wako”

Nikamuita Gody kwa ishara na akanifwata nilipo simama.

“Nahitaji unipigie kijana wa huyu mwalimu ambaye ni the best”

“Sawa mkuu”

Nikawafwa Judy na Willy walipo simama.

“Nahitaji kumuona uwezo wake wa kupigana”

Nilizungumza huku nikitawamazama Gody jinsi anavyo anza kujipanga na mwanajeshi mwengine ambaye kwa muonekano tu ana onekana ni mzuri katika mapambano. Wakaanza kupigana huku macho yangu yakiwa makini sana katika kumfwatilia Gody jinsi anavyo jitahidi kuzuia mapambano hayo.

“Mbona ana zuia tu?”

Nilimuuliza Judy.

“Ana msoma mpinzani wake”

“Ana msoma ikiwa mashambuzili ni makali. Endapo ana kutana na adui wa kweli una hisi kwamba ata kuwa ana zuia hivi hivyo tu”

“Mpe muda kidogo mkuu”

Nikamtazama Willy jinsi anavyo endelea kurekodi tukio hilo. Gody akaanza kurudisha mapambano kwa mwanajeshi huyo na ndani ya dakika tano akafanikiwa kumdhibiti hadi akapiga mkono chini akishiria kwamba ameshindwa na pambano hilo.

“Yee nilikuambia kaka”

Judy alizungumza kwa furaha. Gody akatufwata sehemu tulipo na niampa mkono.

“Karibu katika group letu la X”

“Nashukuru”

Tukaondoka kambini hapa na moja kwa moja tukaelekea nyumbani kwangu.

“Tuna kazi ya kuelekea nchini Ujerumani next week. Katika safari hiyo kuna matukio mengi sana ambayo yame pangwa na moja ya tukio moja wapo ni kuuwawa kwa raisi wa nchi hii”

Gody akastuka sana.

“Usishtuke hilo ndio jambo halisi. Sisi ndio tuna paswa kuzuia hili tukio lisitokee na jambo jengine ni kwamba ndege ya raisi ime pangwa kulipuliwa ikiwa hewani”

“Duu”

Gody akazidi kuguna kwa mshangao.

“Hivyo ina tubidi kujiandaa kwa kila aina ya jambo linalo paswa kutokea kwenye safari hiyo. Gody katika kipindi hichi uta ishi nyumbani kwa Judy.”

“Sawa mkuu”

Majira ya saa mbili usiku, tukaondoka nyumbani hapa na kumpelekea Gody na Judy, nyumbani kwa Judy kisha tukaanza safari ya kuelekea nyumbani kwa Willy.

“Kaka hivi huyu jamaa hato mlala Judy”

“Hahaa kwa nini?”

“Kwa maana kwenda kulala naye nyumbani kwake ana weza kunichukulia demu bwana”

“Acha wivu dogo. Kama wangehitaji kuwa wapenzi wangekuwa wapenzi kwa kipindi kirefu sana. Ila hawawezi kuwa wapenzi. Ila Judy ana kupenda?”

“Ndio amekiri kwamba ana nipenda”

“Basi jiamini na usiwe na hofu na jamaa ndio amesha kuwa member wa kundi letu. Alafu tuna kwenda wote Ujerumani jiandae”

“Mimi pia?”

“Ndio”

“Sawa kaka, hii ndio ita kuwa mara yangu ya kwanza kwenda nchini hapo”

“Kumbuka hatuendi kutalii”

“Sawa kaka”

Nikamfikisha Williy nyumbani kwake. Nilipo hakikisha amekagua na kugundua kwamba ni salama kama vile alivyo kuwa ameondoka, nikaondoka na moja kwa moja nikaelekea kwa wakwe zangu. Nikakaribishwa kwa furaha.

“Hongera baba”

Bibi Cauther alinizungumza kwa furaha huku akinishika viganja vya mikono yangu yote miwili.

“Asante bibi”

Nilizungumza huku sifahamu ni kwa nini ananipongeza. Cauther akaka pembeni ya sofa nililo kaa huku sebleni kukiwa wana familia nzima ya Cauther hadi baba mkwe.

“Baby mbona wana wana furaha sana?”

Nilimnong’oneza Cauther sikioni mwake.

“Wamejua kwamba mimi ni mjamzito”

“Weee”

“Haki ya Mungu vile. Mchana wakati wa chakula nilishindwa kula, nilitapika wee acha tu, wakamuita daktari wa familia na nikapiwa tena na akadhibitisha kwamba mimi ni mjamzito ndio maana una ona kila mtu ana furaha”

Cauther alizungumza kwa kuninong’oneza.

“Kwani hukuwaambia kwamba wewe ni mjamzito?”

“Niliwaaambia kwamba mimi ni mjamzito ila si una jua famialia zetu zina penda kudhibitisha”

“Eddy”

Baba mkwe aliniita.

“Naam”

“Kwanza hongera sana kwa hatua hii muliyo fikia wewe na binti yangu. Kwa kweli ni hatua nzuri na yenye furaha sana”

“Nashukuru baba”

“Nina ombi moja kwako au kuna jambo ambalo ningependa ulifahamu”

“Jambo gani baba?”

“Tungependa sana katika kipindi hichi cha ujauzito Cauther aweze kukaa hapa nyumbani. Kama unavyo fahamu kazi yako, ina bidi apate uangalizi mzuri ili hata mtoto atakapo zaliwa basi aweze kuzaliwa katika mazingira salama”

Nikaka kimya kidogo huku nikilichanganua ombi hilo.

“Sawa nime kuelewa sana baba, ila ninge penda leo niende naye nyumbani”

“Hakuna shaka, huyo ni mke wako na wewe ndio una maamuzi juu yake kwa sasa. Mimi nilizungumza kama ombi tu kwa maana leo niliona hali yake ambayo ana ipitia”

“Sawa baba nashukuru kwa hilo”

Tukapata chakula cha usiku kwa pamoja kisha nikaondoka na Cauther na kurudi naye nyumbani.

“Ehee vipi una penda kwenda kukaa nyumbani kwa baba?”

Nilimuuliza Cauther huku tukiwa tumejilaza chaki kitandani.

“Nakusikiliza wewe mume wangu. Baba alinieleza mengi sana kuhusiana na kazi zenu. Katika kipindi hichi ina tupasa sana mtoto aweze kuelelewa katika mazingira mazuri na isitoshe una ondoke wiki ijayo tu kuelekea huko Ujerumani”

“Ni kweli mke wangu. Ila nita hakikisha kwamba nina kulinda wewe pamoja na mwanangu ajaye. Sinto kubalia au kuruhusu jambo lolote baya liweze kutokea”

“Sawa mume wangu, nakuamini kuliko hata ninavyo jiamini mimi mwenyewe”

Cauther taratibu akaanza kuninyonya lipsi zangu. Ndani ya muda mfupi tukazama katika penzi zito huku kila mmoja akifurahia penzi la mwenzake. Kwa pamoja tukaridhika kwa tendo hilo la ndoa na usingizi mzito ukaanza kumpitia mke wangu.

‘Nakupenda sana mke wangu. Nisamehe kwa kuchepuka chepuka pasipo mpangilio’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Cauther usoni mwake. Asubuhi na mapema nikafanya mazoezi kisha nikaandaa kifungua kinywa. Baada ya Cauther kuamka tukapata kifungua kinywa kisha tukakusanya nguo kadhaa ambazo ata zitumia akiwa katika kipindi cha kuishi kwao.

“Nitapooza mke wangu baadhi ya siku”

“Usijali mume wangu, nitakuwa nina kuja kulala huku”

Nikampeleka Cauther nyumbani kwako, mara baada ya kumuacha moja kwa moja nikaelekea uwanja wa ndege na kuingia katika karakana kubwa inayo hifadhia ndege ya raisi. Nikakuta mainjinia wakiendelea na ukarabati mdogo mdogo. Nikasalimiana na mainjinia wote kisha nikazungumza na ijinia mkuu.

“Vipi ndege ina tatizo gani?”

“Haina tatizo lolote mkuu. Ila ni jambo la kawaida kufanya chake up za mara kwa mara”

“Okay nina hitaji kukagua maeneo yote ya ndani ya ndege”

“Hakuna shaka”

“Twende wote kwa maana nina hitaji kuijua ndege hii kwa ndani vizuri na sio kwa kuisoma kwenye makaratasi”

Tukaingia ndani ya ndege na injinia mkuu akaanza kunipitia eneo moja baada ya jengine ndani ya ndege. Kila eneo ambalo ananipitisha ananipatia na maelekezo ya jinsi eneo hilo linavyo tumika. Lisaa moja likatosha kabisa kwa mimi kuikagua ndege ya raisi na kujua kila sehemu. Nikawashukuru maiijinjini wote kisha nikaondoka eneo hili.Nikaipokea simu ya Willy

“Kaka kuna tatizo”

Willy alizungumza huku akionekana kuhema kwa wasiwasi mwingi sana.

“Tatizo gani dogo?”

“Kuna ndege ya shirika la Tanzania aina ya Boeing 737 hivi ninavyo zungumza na ime lipuliliwa na magaidi wa nchini Somalia, ilikuwa ina tokea nchini Somalia ikipitia Kenya kisha Tanzania”

Nikapunguza mwendo wa gari na kusimamisha gari pembezoni mwa barabara.

“Una sema?”

“Al-Shabab wamelipua ndege yetu na ina ilikuwa na abiria mia moja na stini. Nakutumia video wakidhibitisha kwamba wamehusika katika tukio hilo”

Video hiyo ikaingia ndani ya simu yangu, nikaifungua.

“Leo tuna lipua Air Tanzania Boeing 737 na tuta endelea kuzilipua nyingine zaidi pale tu tutakapo pata oder ya kufanya hivyo.”

Nikahisi kama mwili mzima ukiishiwa na nguvu hivi kwa maana watu mia moja na stini kufa kwa dakika moja ni jambo zito. Hata kabla sijampigia simu Willy, namba ya raisi ikaingia katika simu yangu.

“Haloo”

“Eddy upo wapi?”

“Nina toka Airport”

“Njoo ikulu sasa hivi kuna tatizo”

“Tatizo gani?”

“Wewe njoo tu”

Moja kwa moja nikatambua kwmba raisi ameniita juu ya hili jambo. Nikampigia Willy huku nikiondoka eneo hili kwa mwendo wa kasi.

“Willy vipi katika ndege hiyo imeanguka chini au?”

“Hapana broo, imelipukia video na hii ndio video ambayo namaini ni mimi pekee ambaye nime inasana kwa satelaite na wameilipua nusu saa tu mara baada ya kupaa angani”

“Nitumie”

Willy akanitumia video hiyo ya mlipuko na kweli nikaishuhudia jinsi ndee inavyo lipuka ikiwa angani na hadi ina anguka chini ni vipande vipande.

‘Jamaa waseng** sana hawa”

Nilizungumza huku nikijitahidi kadri ya uwezo wangu kuyaptia magari yaliyopo barabarani na nikafanikiwa kufika ikulu. Nikafunguliwa geti pasipo hata kukagulia na mojak kwa moja nikasimamisha gari langu katika maegesho na nikakutana na Maria.

“Raisi yupo kwenye commanding room sasa hivi ameniambia ufikie huko moja kwa moja”

Moja kwa moja tukaelekea katika eneo alipo raisi nikawakuta viongozi wa kijeshi, raisi pamoja na makamu wa raisin aye akiwemo katika eneo hili. Kila mmoja ana onekana kujawa na wasiwasi mwingi sana. Kabla ya kusalimiana naye, simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kumpokea Willy.

“Dogo nitakupigia”

“Bro nime gundua aliye toa oder ya ndege kulipuliwa ikiwa ni startment ya kumtisha na kutumia mazungumzo yake”

“Nitumie”

Willy akakata simu, nikatoa wireless earphone, nikaivaa sikiooni mwangu na nika iplay huku nikiwa nimesimama eneo hili huku macho yangu yakiendelea kutazama hekeheka zilizopo ndani ya ukumbi huu.

‘Hakikisheni muna ilipua ndege ya Air Tanzania Boeing 737 na kila mtu ana kufa angani. Nahitaji raisi apate pigo kwa ajali hii nina imani hato thubutu kupanda ndege na kuelekea nchi yoyote kuanzia sasa kwa maana ata jawa na hofu kubwa sana.’

Nikastuka sana mara baada ya kuisikia ni sauti ya makamu wa raisi akitoa agizo hilo kwa mmoja wa magaidi wa kundi la Al-Shabab jambo ambalo kwa kweli lime nistua sana kiasi cha kujikuta nikimtazama kwa macho makali sana na nikamuona jinsi alivyo shika kiuno huku akionekana kuwa na huzuni kubwa juu ya ajali hiyo iliyo tokea muda mchache ulio pita.



Nikashusha pumzi nyingi huku nikijitahidi hasira isinitawale. Nikafungua friji lililopo ndani hapa na kuchukua chupa moja ya maji, nikainywa kwa haaka hadi ikaisha kisha nikasalimiana na viongozi walipo eneo hili.

“Kuna ajali ya ndege yetu ime lipuka angani aina ya Boeing 737 Max8. Kuna video ambayo Al-Shabab wamatutumia wakidhibitisha kwamba wao ndio wahusika”

Raisi alizungumza huku macho yake yakiwa mekundu kutokana na kulia. Nikatazama video hiyo ya Al-Shabab, kisha nikamtazama makamu wa raisi.

“Wanacho kihitaji wao ni nini?”

“Hatujajua ila kama unavyo sikia kwamba wata endelea kulipua ndege za shirika letu moja baada ya nyingine”

“Nini unahitaji tufanye kwa maana wamesha lipua ndege na tusipo kuwa makini wata lipua nyingine”

“Hata sielewi”

“Mimi nina wazo”

Makamu wa raisi alizungumza.

“Wazo gani?”

Raisi aliuliza.

“Munaonaje kwa kipindi cha mwenzi mmzima tukasitisha safari za ndege zetu zote, tukaendelea kufanya uchunguzi wa namba gania mbavyo bomu hilo liliingizwa ndani ya ndege na kulipuliwa”

“Ila mkuu ita kuwa ni hasara kubwa sana kwa shirika kusimama kwa mwenzi mmoja. Kumbukeni tupo kwenye ushindani, tuna nchi za jirani kama Kenya na Rwanda. Mashirika yao yata tupiku katika biashara”

Mkuu wa shirika la ndege alizungumza.

“Wamepewa oder si ndio?”

Nilizungumza na watu wote wakakaa kimya.

“Ndio”

Mkuu wa kitengo cha NSS, ambaye anashiriki kikao hichi kwa kutumia video call alijibu.

“Tumsake huyu anaye wapa oder. Nina waahidi ndani ya masaa ishirini na nne na yeye pia ata kuwa amelipuka, iwe ni ndani ya gari au nje ya gari ni lazima nimlipue kwa bomu ili aonje uchungu wa jinsi gani wale watu walivyo teketea kwa maumivu makali ya kuungua kwa moto”

Nilizungumza kwa kujiamini na watu wote wakakaa kimya huku wakinitazama machoni.

“Hatuwezi kuongozwa na wapumbavu ambao wana tazama maslahi yao wenyewe kuliko maslahi ya nchi kwa maana aliye toa hii oder ata kuwa ni Mtanzania na ni kiongozi mwenye nguvu. Hivyo hatuhitaji wapuuzi kama wao. Muheshimiwa raisi nipe ruhusa yako kwenye hili”

Viongozi wakaanza kutazamana.

“X una mfahamu?”

Raisi aliniuliza huku macho yakimtoka.

“Mkuu nipe amri ya kufanya hivi”

“Ila utapewaje oder ikiwa hatujajua nani ni muhusika?”

Makamu wa raisi alizungumza kwa kupinga ombi langu.

“Mkuu nipatie oder”

Nilizungumza huku nikimtazama raisi machoni mwake. Raisi akawatazama watu wote walimo ndani hapa huku akionekana akiwa amejawa na kigugumizi.

“Muheshimiwa nipatie oder”

“Muheshimiwa huwezi kutoa oder ya namna hiyo kwa maana muhusika ina bidi atafutwe na ahukumiwe kisheria na sio kuuwawa. Ana weza akawa na mimizizi alafu kumbe yeye ni tawi. Tukimkata tawi mizizi itachipua tawi jengine”

Makamu wa raisi alizidi kuzungumza.

“Muheshimiwa hii ni final request yangu. Nipatie oder”

Raisi akalegeza tai yake huku akionekana kuwa njia panda.

“Ila X ungefanya kwanza uchunguzi?”

“Kabla ya kuja hapa nilisha fanya uchunguzi na mimi ndio mtu wa kwanza kupewa habari juu ya hii ajali. Na nina video ambayo nyinyi hamuna. Wee dogo wa I.T njoo”

Kijana mmoja akanifwata.

“Unganisha hii video kwenye big screen”

Kijana huyu akaiingiza video inayo onyesha mlipuko wa angani wa ndege jinsi inavyo lipuka. Video hii ikawekwa kwenye screen kubwa iliyopo hapa ukumbini na kila mtu akashuhudia jinsi ndege ikilipuka angani.

“Wale walio kuwa ndani ni watu. Watu wenye familia zao na kuna chizi mmoja amefanya vile eti raisi asisafiri kuelekea Ujerumani, Amefanya tukio hilo kama kumtia hofu raisi asitoke nje ya hii nchi ili December 9 auwawe mbele ya kadamnasi ya watu walio mpigia kura kwenye sherehe za maazimisho. Muheshimiwa raisi, nipe oder NOW”

Kila mtu akajawa na mshangao nikaitazama mikono ya raisi na nikaona jinsi inavyo mtetemeka. Nikamtazama makamu wa raisi jinsi alivyo jikaushua kwa maana nime gusia baadhi ya siri zake ambazo nahisi alidhani sizifahamu.

“X huyo mtu ni nani?”

Jenerali wa jeshi aliuliza huku akinikazia macho.

“Hii ni siri kubwa hamupaswi watu wengine kufahamu. Muheshimiwa una ogopa nini, wewe ndio raisi wa hii nchi, nikuhakikishie hakuna atakaye kugusa wala kukuua. Ikiwa nipo hai na nina pumua basi haito tokea mshenzi yoyote akafanya hivyo. Nipatie oder”

“Ila hujarudishwa kazini wewe?”

Jenerali aluzungumza huku akinitazama kwa macho ya dharau kidogo kwa maana mimi na huyu mzee kidogo picha haziivi.

“Eddy”

“Ndio mkuu”

“Kuanzia hivi sasa……”

Raisi akakaa kimya kidogo huku watu wote tukimtazama machoni.

“Kuanzia hivi sasa huto husika na oparesheni zozote za kiusalama na nina kuhitaji ukaendelee na majukumu yako ya kawaida kama raia wa kawaida”

Raisi alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Watu karibia wote wakajawa na mshangao, nikajihisi maumivu makali sana moyoni mwangu. Nikatoa wallet yangu mfukoni na kutoa barua yenye kibali cha kunitambulisha katika maeneo yoyote ya serikalini. Nikaiweka juu ya meza kisha nikamsogezea raisi.

“Woga wako ndio umasikini wako.”

Mara baada ya kuzungumza maneno hayo nikanyanyuka kisha nikaanza kutoka ndani hapa huku hasira kali ikinitawala. Maria akanitazama kwa macho ya huzuni kubwa huku naye machozi yakimlenga lenga. Nikafunguliwa mlango na nikatoka ndani hapa. Nikafika eneo lililopo gari langu, nikatazama jengo hili la ikulu kisha nikaingia ndani ya gari na kuondoka. Katika siku kichwa kimevurugika ni leo hata ninavyo endesha gari hili sijui ni wapi ninapo elekea. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaipokea kwa sababu ni namba ya Judy.

“Kaka nimetumiwa ujumbe hapa kwamba raisi amekutoa kwenye shuhuli zote za kiusalama”

“Nitakupigia Judy baadae”

Nikakata simu na nikaizima kabisa. Nikafika ufukweni mwa bahari, nikazima gari, nikailaza siti na kujilaza huku mawazo mengi sana yakipita kichwani mwangu. Gafla nikastuka kioo cha mlango wangu ukigogwa, nikatazama na kumuona Mariam, muuzaji wa supermakert moja iliyopo Tegeta. Nikashusha kioo na kumtazama.

“Woo mambo Eddy, nikahisi nime bahatisha kwamba hili ni gari lako kumbe ni wewe”

“Una hitaji nini?”

Nilizungumza kwa sauti nzito hai Mariam akashangaa.

“Ahaa..samahani naona leo haupo sawa kwaheri”

“Njoo”

Mariama akarudi eneo alipo kuwa amesimama.

“Zunguka ingia kwenye gari”

“Eddy haupo sawa”

“Zunguka”

Mariaka kwa woga akazunguka na kuingia ndani ya gari.

”Ume kuja kufanya nini hapa?”

“Kule nime fukuzwa kazi nime kuja kupumzisha kichwa changu hapa beach”

“Kwa nini ufukuzwe kazi?”

“Sijajua, boss na maamuzi yake isitoshe amepata mwanamke huyo ana gubu hivyo alikuja na kunisemesha vibaya nika mjibu mbovu”

“Eneo gani lime tulia ambalo halina watu kabisa”

“Kwa hapa Dar?”

“Ndio”

“Mmmm hata sifahamu kwa kweli kwa maana mimi sio mtembeaji sana”

“So muda unao?”

“Ndio nipo nipo tu”

Nikawasha gari na tukaondoka eneo hili.

“Tunakwenda wapi Eddy?”

“Bagamoyo”

Tukapita kwenye moja ya eneo nika nunu mizinga ya wyne pamoja na bia za kopo kisha safari ikaendelea. Tukafika Bagamoyo na nikaelekea katika fukwe ambayo watu huwa hawaitembelei hii ni kutokana na umbali wake.

“Huku pazuri, kumbe Tanzania ina maeneo mazuri kama haya”

Mariam alizungumza huku akishuka kwenye gari, akaanza kutembea kwenye mchanga huu wenye rangi nyeupe huku furaha ikimtawala. Nikachukua bia ya kopo chupa pamoja, nikaifungua na kuanza kuigwida kwa hasira hadi ikaisha. Nikashuhukua chupa ya pili nayo nikainywa kwa mfumo huo huo hadi ikaisha.

‘Hata hivyo sikuwa nina hitaji kurudi kazini. Nina umia nini sasa?’

Nilizungumza huku nikimtazama Mariam jinsi anavyo chezea chezea maji. Nikamaliza chupa hii ya pili, nikachukua chupa ya tatu na kuinywa nusu kisha nikashuka ndani ya gari na kuanza kumfwata Mariam sehemu alipo, nikamkumbatia kwa nyuma.

“Leo nataka nikutomb** hadi niridhike”

Nilimuambia Mariam huku nikimnong’oneza sikioni mwake.

“Kweli?”

“Ndio”

“Ila Eddy wewe una mke wako na wewe ni mume wa ndoa?”

“Ngoja nikuambie kitu kimoja”

“Ehee”

“Ninapo kuwa na wewe sitaki story za mke wangu. Tuna elewana?”

“Mmmm”

Nikamgeuza Mariam na kumkumbatia kwa mbele huku nikimtazama kwa macho makali.

“Umenielewa?”

“Ndio Eddy nime kuelewa”

Nikamshika mkono wake, nikatembea naye hadi kwenye jiwe kubwa lililipo hapa ufukweni.

“Leo mbona huna raha, una hasira. Una nini kinacho kusumbua mpenzi wangu?”

“Sipo poa”

“Niambie una nini?”

“Sitaki kuzungumzia hayo mambo”

Nikafungua kifungu cha suruali ya Mariam, nikaingia kiganja changu na kuanza kumshika shika kitumbua chake.

“Aiisiii, Eddy hapa hakuna watu?”

“Toka uje ume waona?”

Tukaanza kunyonyana denda huku chupa yangu nikiiweka pembeni. Nikamlaza Mariam chini na kuendelea kumchezea mwili wake.

“Eddy hapa sijisikii amani twende tukafanyie kwenye gari”

“Poa”

Tukaondoka eneo hili na kuingia ndani ya gari. Kutokana gari hii nni kubwa sana, ina tosha vizuri kufanya tutancho toka kukifanya. Tukavua nguo zote na tukaanza shuhuli ya kupeana utamu. Hasira zangu zote za kuvurugwa na raisi, nikazimalizia kwa Mariam ambaye bado ana onekana ni mgeni kwenye maswala ya mapenzi. Kila mkunjo ninao muweka, hamalizi dakika mbili ana lalalama na umia au amechoka.

“Aiiiss…ii…e…ii… Eddy maliza baby”

Mariam alilalama huku miguu yake nikiwa nimeiweka mabegani mwangu huku yeye akiwa amelala chali.

“Bado kidogo”

Nilizungumza huku nikimshindilia kwa nguzu zangu zote jogoo wangu katika kitumbua cha Mariam. Hadi nina maliza mzunguko huu, Mariam yupo hoi kabisa.

“Chukua hii ujipoozee”

Nilimpa Mariam chupa ya bia na taratibu akaanza kunywa. Tukaendelea kunywa kwa pamoja, pombe zikamjaa Mariam na safari hii akaanza uchokozi yeye. Mtanange huu wa pili ukawa ni kukata na shoka, ni sawa na timu pinzani zimekutana na kila mmoja ana hitaji ushindi. Piga ni kupige hii ikatawala kwa dakika zaidi ya hamsini hadi Mariam akaanza kuishiwa na pumzi na kuomba kupumzika.

“Ume kojoa?”

Nilimuuliza Mariam huku nikimtazama machoni mwake.

“Eehee”

“Subiri nimalizie basi”

“Haya, ngoja niiname?”

Mariam akajigeuza kutoka kulala chali na akabong’oa kidogo na nikaendelea kumsulubisha hadi nikafika tamati huku jasho likinimwagika.

“Ila wewe mwanaume una tomb** mmmm”

“Ulitaka nikupapase papase ili unite mwanaume suruali au?”

“Hapana, yaani mimi nikiwa nime kunywa ndio nina weza kufanya mapenzi. Ila nikiwa hivi, yaani una weza hisi nime tolewa bikra wiki iliyo pita yaani nina kuwa sijiwezi kabisa”

“Nime ona utofauti wako”

“Ila mke wako ana faidi sana Eddy. Si kwa kunifanya hivi”

“Nilikuambia sitaki umtaje mke wangu?”

“Ohoo samahani baby, nime teleza”

“So una mpango wa kufanya kitu gani ikiwa kazi huna kwa sasa?”

“Kuna sehemu nime kwenda kuomba kazi. Wakanichukua basi nitaanza kufanya kazi”

“Hivi hupendi kuwa na biashara yako na kwako kwa maana si uliniambia una ishi kwa dada yako?”

“Ndio naishi kwa dada, ila baby ni nani ambaye hapendi kuishi maisha ya aina hiyo. Ila mtaji, nita toa wapi pesa ya kupanga na kufungua biashara”

“Una hitaji biashara gani?”

“Mmm natamani siku moja nije kumiliki duka la nguo za kike, mawigi, vipodozi”

“Mtaji wake kiasi gani?”

“Kwa kuanza tu kama milioni kumi”

“Nita kufungulia ila kwa sharti moja tu”

“Sharti gani baby”

“Endapo uta nidanyanya au nita jua kama una mwanaume mwengine. Nitakuua ume nielewa?”

“Nime kuelewa mpenzi wangu kwa hiyo ndio nimesha kuwa mkeo wa pili?”

“Kukutomb** kote huko una hisi umekuwa malaya kwangu au?”

LIKE PAGE YAGU Story Za Eddy-tz

“Hapana Eddy”

“Sasa maswali ya kijinga ya nini. Nina kuambia nina mke na sinto hitaji siku hata moja umdharua au kumvunjia heshima mke wangu, nita kuua. Ukinisaliti na ukawa na mwanaume mwengine nitakuua vile vile. Sikutanii ninacho kuambia ni kitu kutoka moyoni mwangu. Umenielewa?”

Nilizungumza kwa msisitizo na Mariam akatingisha kichwa huku akitetemeka kwa woga. Tukapiga mzunguko wa tatu na majira ya saa mbili usiku tukaondoka ufukweni hapa na kurudi jijini Dar es Salama. Tukapitia moja ya sehemu, tukanunua chakula, kisha nikampeleka hadi nyumbani kwa dada yake na akanitambulisha kwa dada yake huyu ambaye naye mashallah ni mzuri kama mdogo wake.

“Shemeji mbona una ondoka mapema hivyo?”

“Kesho nita kuja kula chakula cha mchana”

“Sawa shemeji yangu tuta kuandalia mankulaji”

Nikampa elfu hamsini, shemeji yangu huyu kisha nikaondoka eneo hili. Nikawasha simu yangu na meseji kama ishirini zikaingia kwa mpigo. Katima meseji hizi ishirini, tano ni kutoka kwa raisi, mbili kutoka kwa mke wangu na zilizo salia ni kutoka kwa Judy na Willy. Nikafungua meseji moja ya raisi nikaona picha ya mwanaye wa kike aliyopo nchini Ujerumani akiwa amefungwa kitambaa cheusi machoni mwake ikiwa ni ishara ya kwamba ame tekwa.

‘Eddy najua ume jisikia vibaya kwa maamuzi yangu niliyo yachukua dhidi yako. Ila nimefanya hivyo kwa ajili ya kuyaokoa maisha ya mwanangu. Ametekwa na nimeambiawa endapo nita kupatia wewe oder ni lazima wata muua mwanangu na wata hakikisha wana muua mke wako kisha wana malizia kwako. Eddy wewe ni mpambanaji mzuri na ni muelewa katika hili. Najua vizuri kwamba makamu wa raisi ndio aliye sababisha hayo yote na ndio anaye nipatia vitisho hivi dhidi ya familia yangu na familia yako. Najua ukiipata meseji basi uta kuwa umesha sikia habari ya kuachia nafasi yangu ya madaraka. Nina furaha kufanya kazi na wewe katika kipindi chote Eddy. Maisha mema”

Nikahisi nguvu zikiniishia, taratibu nikasimamisha gari langu huku nikiwa siamini hii meseji, kitu cha kwanza kukifanya, nikawasha tv ya gari langu na habari niliyo kutana nayo ikazidi kunikata maini na kujilaumu ni kwa nini sikumuelewa raisi pale alipo niambia sinto jihusisha na maswala ya usalama tena.



“Tukiwa tuna tunasubiria kupata hutoba ya gafla kuka ikulu kwa muheshimiwa raisi. Tutazame matangazo”

Kwa haraka nikampigia simu raisi, ikaanza kuita, hadi ikakatika.

“Fuc**”

Nilizungumza huku nikirudisha gari barabarani na kuanza kuondoka kwa mwendo wa kasi. Nikampigia Maria.

“Maria vipi?”

“Sio salama Eddy”

“Kuna nini kinacho endelea?”

“Raisi ana taka kuachia madaraka. Nina jitahidi kumbembeleza ila ana onekana ni mgumu kunielewa”

“Mpatie simu”

“Muheshimiwa ni Eddy ana hitaji kuzungumza na wewe”

“Haloo”

Niliisikia sauti ya raisi akizungumza kwa uchungu sana na unyonge wa hali ya juu.

“Ni nini una hitaji kufanya”

“Eddy meseji zangu umesha ziona. Sina haja ya kujielezea kwako”

“Hivi una hisi aliye kuweka hapo kwenye hicho kiti hana akili. Watanzania ndio walio kuchagua na kuwa hapo. Katika maraisi bora katika hii nchi wewe ni bora kwa maana ume simamia misingi na sheria za nchi hii. Umekuwa Simba ambaye akinguruma kila mtu ana kusikia. Ina kuwaje sasa hivi una kuwa kama paka muoga, paka ambaye ana ogopa hadi panya. Eheee?”

Nilizungumza kwa kufoka, hapa heshima ya uraisi nikaiweka kandao na nina zungumza kama mtu na rafiki yake.

“Nilipo poteza ndugu zangu, wewe ulikuwa wa kwanza kunipa pole na nilipo kuambia nina acha kazi ulinikubalia ila ulijua hali ninayo pitia. Nimerudi kazini wewe una acha kazi”

“Eddy wame mteka mwanangu. Makamu wa raisi kwa sasa yeye ndio mwenye nguvu hadi jeshini. Ana sikilizwa yeye, mimi nina fanya nini hapa, ni heri nikaondoka nchini hapa na kuelekea eneo ambalo mimi na familia yangu tutakuwa salama. Isitoshe wana hitaji kumuua hata mke wako”

“Hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo mkuu. Achana na upumbavu au wapumbavu wanao kutisha”

“Ila Eddy tazama raia wasio na hatia walivyo uwawa kwenye ile ndege”

“So wale ndio wana kufanya uache madaraka. Acha upumbavu mzee wangu. Sitaki uachie madaraka”

“Eddy”

“Nina rudi kuwa Luteni Jenerali na ninacho hitaji ufanye ni kunipa ujenerali wa jeshi na aliyopo sasa hivi, una tengua uteuzi wake na kuanzia hapo nita jua nini cha kufanya sawa mkuu?”

“Eddy?”

“Umenielewa?”

“Ndio nime kuelewa”

“Natuma vijana wangu wawili sasa hivi hapa ikulu wao ndio watakao kulinda”

“Sawa”

Nikapunguza mwendo wa gari na nikaligeuza na kuanza safari ya kuelekea Bagamoyo, nikampigia Judy na hazikuisha hata sekunde tatu akaipokea simu yangu.

“Upo wapi?”

“Kaka upo salama”

“Nipo salama upo wapi?”

“Nipo kwangu”

“Gody upo naye?”

“Ndio”

“Weka simu loud speaker”

“Tayari kaka”

“Nisikilizeni kwa umakini sana. Mtoto wa raisi ametekwa nyara akiwa nchini Ujerumani. Watekaji wame muamridha raisi kuachia madaraka yake ili awe hai”

“Mungu wangu”

“Sasa fanyeni hivi. Nendeni ikulu na kuanzia hivi sasa nyinyi ndio mutakao mlinda raisi”

“Sawa kaka”

“Nikisema sasa hivi nina maanisha sasa hivi. Tumeelewana?”

“Ndio”

Nikakata simu na kumpigia Willy.

“Dogo”

“Kaka ulikuwa wapi nimekupigia muda mrefu hupatikani”

“Upo wapi?”

“Kwangu”

“Sikia nenda kwa wakwe zangu, mchukue mke wangu na umlete Bagamoyo sasa hivi”

“Sawa”

Nikakata simu na kumpigia Cauther.

“Mume wangu ulikuwa wapi, mbona nakupigia hupatikani, upo salama kweli?”

“Nipo salama mke wangu. Samahani kwa kukuweka na wasiwasi. Upo wapi?”

“Nipo nyumbani”

“Willy anakuja kukuchukua na utakuja naye huku Bagamoyo”

“Usiku huu?”

“Ndio”

“Mmmm baba ata kubali kweli?”

“Nina mpigia sasa hivi”

“Kuna usalama kweli mume wangu?”

“Tuta ongea ukifika huku”

“Sawa”

Nikakata simu kisha nikaitafuta namba ya madame Caro.

“Eddy habari”

“Sio salama”

“Mungu wangu kuna nini?”

“Nina hitaji vijana wako kama kumi wa kitengo cha NSS kuelekea ikulu sasa hivi?”

“Kuna nini?”

“Fanya hivyo”

“Ila raisi alikutoa madarakani”

“Kwa sababu mwanaye ametekwa na amewapumbaza walio mteka. Wanahitaji raisi aweze kujiudhulu nafasi yake ndio maana ana hitaji kuhutubia nchi usiku huu. Fanya nilivyo kuagiza na ikiwezekana uende na wewe pia ita kuwa ni rahisi kwa wao kuweza kuingia”

“Sawa nashukuru sana kwa kunijulisha hilo”

“Fanya hivyo”

“Sawa”

Nikata simu huku gari yangu ikiwa katika mwendo wa kasi sana. Nikampigia baba mkwe na akapokea.

“Baba habari ya usiku”

“Sio salama Eddy”

“Kuna nini?”

“Wana kuwinda wana hitaji kukuua na wana hitaji kumtoa madarakani raisi nilijaribu kukupigia ila nikakukosa hewani, nikamuuliza mke wako akadai kwamba hatambui ulipo”

“Nina lifahamu, mke wangu ata kuja kuchukuliwa na kijana wangu ana itwa Willy ata letwa kwenye nyumba yangu ya siri kwa maaana wana muwinda”

“Mungu wangu”

“Usishangae kwa maana una jua ni wezako hao. Niambie wamejipangaje?”

“Wana lisaka gari lako na mpango wa kwanza ni kuligonga kwa kutumia lori ili ionekane ni ajali ya kawaida”

“Okay”

“Sema kinacho washindwa nia kwamba wameshindwa kuli track gari lako na kufahamu lipo wapi. Ila ikiwezekana nina kuomba mwanangu nidili naye mimi mwenyewe. Nita mlinda mimi mwenyewe ata kuwa salama”

“Una nihakikishia hilo?”

“Ndio”

“Basi nina kuomaba awe salama”

“Sawa”

Nikakata simu na kumpigia Willy huku sasa macho yangu yakiwa makini kwa kila gari linalo kuja mbele yangu.

“Willy upo wapi?”

“Nipo njiani nina elekea kwa wakwe zako”

“Rudi nyumbani kwako sasa hivi, nina hitaji uweze kuingia katika mfumo wa jeshi la majini na jeshi la anga. Kuna code nina kutumia uta zituma kwa wakuu wa majeshi hayo. Wape taadhari nita kuandikia nini cha kuandika kwa maana kinacho tumika ni code tu”

“Sawa kaka na shemeji je?”

“Baba yake ata mlinda”

“Poa”

Nikakata simu, na nikafanikiwa kufika Bagamoyo salama salmini, nikaingia gari hili katika gereji iliyopo chini ya ardhi katika nyumba hii. Nikafungua turubai lililo funika gari aina ya Toyota Landcruiser V8 ambayo nilikuwa nina itumia kipindi nilivyo kuwa kazini kama Luteni jenerali. Gari hili lina namba za jeshi, nikaliendesha hadi nje, kisha nikachukua mashine ya kuosha magari na kwa haraka nikaliosha. Nikaitoa mfukoni simu yangu inayo ita.

“Ndio dogo”

“Nimesha fika nyumbani”

“Poa nina kutumia hizo code”

“Sawa”

Nikakata simu na kumalizia kazi yangu kisha nikaelekea katika vyumba ambavyo vipo chini ya ardhi. Nikoga haraka haraka kisha nikaingia katika chumba ambacho nina hifadhia nguo zangu zenye vyeo vya luteni jenerali. Nikaaanza kuvaa haraka haraka, nikamaliza kuvaa kila kitu. Nikachukua kitambulisho changu, nikakisoma kidogo kisha nikakiweka mfukoni. Nikachukua bastola nne zilizo jaa risasi za kutosha. Mbili nikachomeka katika mguu wa kulia na kushoto. Moja nikaichomeka kiunoni huku nyingine nikiishika mkononi. Nikaziweka nguo zangu za kuninja katika begi pamoja silaha za kinija kisha nikatoka ndani hapa. Nikafungua nyuma ya gari hili, na kuweka begi langu hili.

‘Fuc** bullter proof’

Nilizungumz ahuku nikifunga gari, nikarudi ndani, nikavua shati na tisheti. Nikavaa bullet proof kisha nikavaa tisheni ya shati, nikaivaa kofia yangu ambayo ni luteni jenerali pekee tu ndio anayo. Nikatoka ndani hapa, nikaingia ndani ya gari na kuliwasha.

‘Tuondoke mama’

Mara nyingi gari hili huwa nina penda kuliita mama kwa maana nikiendesha huwa nina jisikia kweli nina endesha gari.

“Ndio Maria”

Niliipokea simu ya Maria mara baada ya kuipoke.

“Mbona una chelewa, una jua raisi ana subiriwa na waandishi wa habari”

“Nina kuja nipeni dakika arobaini”

“Wahi Eddy au una taka raisi aende kuzungumza anacho taka kukizungumza”

“Usijali, nipo njiani. Hembu kata simu kuna mtu ana nipigia”

Baada ya Maria kukata simu, nikaipoea simu ya Judy.

“Ndio”

“Kaka tumefika hapa ikulu ila tumekataliwa kuingia, tumeambiwa ikulu sasa hivi ina lindwa na jeshi na haruhusiwa kuingia mtu mwengine”

“Ina maana wameipindua ikulu au?”

“Sijui kwa kweli, usikate simu nakuunganisha na Maria”

Nikampigia simu Maria.

“Ehee”

“Maria ikulu ina lindwa na wanajeshi”

“Wanajeshi gani?”

“Mbona Judy na Gody wamekataliwa kuingia hapo wana dai kwamba ikulu ina lindwa na jeshi?”

“Mmmm sijui kwa kweli hembu ngoja nikaangalie”

“No upo na raisi?”

“Ndio”

“Mupo wapi?”

“Tupo ofisini kwake”

“Nendeni kwenye eneo maalumu la raisi kujificha. Jifungieni hapo hadi pale nitakapo fika”

“Eddy mbona una nitisha”

“Fanya hivyo Maria una shangaa shangaa nini. Ondoka na raisi sasa hivi”

“Sawa sawa”

“Judy una nisikia?”

“Ndio nakusikia kaka”

“Kaeni hapo hadi nitakapo fika. Mumevaa nini?”

“Suti nyeusi”

“Nisubirini na muna vitambulisho?”

“Ndio”

“Nakuja”

Nikakata simu huku nikiwa kama nina wazimu kichwani mwangu. Sasa makamu wa raisi amesha vuka mipaka na kama ni rangi yake amesha ionyesha dhahiri. Willy akanipigia.

“Dogo”

“Hujanitumia”

“Hembu hack kamera zote za ikulu na mfumo mzima wa ikulu sasa hivi”

“Kuna nini?”

“Fanya hivyo uniambie wanajeshi wanao linda eneo la ikulu ni wa kitengo gani?”

“Okay”

Nikakata simu huku nikipunguza mwendo kwa maana tayari nimesha fika mwenge na kukuta foleni ndefe kiasi.

“Watanichelewesha”

Nilizungumza huku nikimpigia tena Willy.

“Kaka”

“Nipo mwenge, ruhusu taa za kutokea Bagamoyo, fanya hivyo katika mataa yote. Nina washa gprs ya gari langu itrack”

“Sawa kaka”

“Tayari nime washa ume nipata?”

“Sekunde moja….Yes nime kupata upo kwenye V8 ya jeshi?”

“Ndio”

“Hiyo gari ume itoa wapi kaka?”

“Dogo sio muda wa kuulizana maswali”

Foleni ya upande wetu ikaanza kusonga mbele, nikapita vizuizi vyote vya mataa pasipo kusimama kwa maana Willy ndio anaye ziongoza taa hizo akiwa nyumbani kwake. Nikasimamisha gari langu nje ya geti la ikuku, nikashusha kioo na Judy na Gody wote wakanishangaa. Wakanipigia saluti na nikawapa ishara ya kuingia katika gari langu. Mwanajeshi mmoja kati ya wanne walipo nje ya geti la kuingialia ikulu, akanifwata.

“Fungueni geti una nikodolea nini macho?”

Nilizungumza kwa ukakali kwa kiwewe akapiga saluti ya kikakamavu kwa maana gari langu hili lina namba zinazo nitambulisha kwamba mimi ni Luteni Jenerali. Akawapa ishara na wezake wakafungua geti na tukaingia ndani.

“Kila mmoja bastola yake aiweke tayari kwa lolote”

“Sawa mkuu”

Judy alizungumza huku nikisika jinsi wakikoki bastola zao. Bastola yangu niliyo kuwa nime iweka siti ya pembeni yangu, nikaichoka kiunoni kwa mbele huku bastola nyingine ikiwa kiunoni kwa nyuma huku nyingine mbili zikiwa katika soksi za mguu wa kulia na kushoto. Nikaifungua ripoti aliyo nitumia Wlly kuhusiana na wanajeshi wote walio hapa ikulu.

“Kenge hawa”

Nilizungumza huku nikishuka kwenye gari. Judy na Gody nao wakashuka na kusimama nyuma yangu. Wanajeshi walio niona wote wakasimama wima na kupiga saluti. Tukaanza kuingia ndani huku kila ninapo pita nina pigiwa saluti na wanajeshi hawa ambao wanacho ogoa sio sura yangu ila ni vyeo vilivyopo begani mwangu.

“Mupo wapi?”

“Tupo ofisini hapa kwa raisi kuna handaki la siri”

“Tokeni”

Nikakata simu kisha nikasimama nje ya mlango wa ofisi ya raisi.

“Asiiingie mtu”

Nilimuambia Judy na Gody wakasimama mlamgoni. Nikaingia ndani hapa na kumuona raisi pamoja na Maria. Nikampigia saluti raisi kwa maana nikiwa katia mavazi hii sio ombi ni lazima ninapo kutana na raisi nimpigie saluti.

“Nimefika mkuu”

“Nashukuru kwa kuja Eddy nina imani moyo wangu sasa utapata amani.”

“Lililo nileta hapa ni jambo moja tangaza kutengua cheo cha jeneali wa sasa na nitangane mimi kama jenerali mpya wa jeshi. Baada ya hapo kenge wote wanao jaribu kujifanya ni mamba tuta waondoka ndani ya masaa ishirini na nne.”

Nilizungumza huku nikiwa nimesimama kikakamavu, kofia yangu nikiwa nime ibana katika kwapa la la kushoto na kumfanya Maria na raisi kutabsamu kwa maana kichaa akipewa rungu, anaua.



Taratibu raisi akanipa mkono, na nikakishika kiganja chake kwa kukakamavu wa hali ya juu.

“Maria kila kitu ume kiandaa?”

“Ndio muheshimiwa”

“Eddy natambua nina fanya hili jambo kwa ajili nahitaji kuipata nguvu yangu upya. Wamemteka mwanangu ila nchi ni muhimu kuliko kitu chohote. Kuna mamilioni ya watu wana ishi ndani ya hii nchi, sito kubali kuona wana ingia kwenye mdomo wa mamba kama wa makamu wa raisi”

Raisi alizungumza kwa kwa ukakamavu hadi nikajawa na furaha moyoni mwangu.

“Usijali muheshimiwa. Nipo kwa ajili ya nchi hii”

“Ila Eddy huyu makamu wa raisi tuta muondoaje?”

“Usijali katika masaa hayo ishirini na nne ambayo nime kuahidi basi nita mtoa madarakani”

“Kweli Eddy?”

“Asilimia mia moja”

“Sawa”

Mlango ukagogwa kidogo na sote tukautazama.

“Ingia”

Raisi alizungumza, Judy akaingia akatembea kwa haraka hadi nilipo simama na akaninong’oneza sikioni mwangu.

“Mkuu wa kitengo cha NSS yupo hapa ana hitaji kukuona?”

“Muambie aingie”

“Sawa”

Judy akatoka ndani hapa na mkuu wa kitengo cha NSS akaingia ndani hapa. Akanishangaa kuniona kwenye mavazi haya ila hakutaka kuniuliza kwa maana an akitambua cheo changu japo toka nijuane naye ameniona nikiwa katika mavazi ya kawaida.

“Karibu”

“Nashukuru, nina imani hali ni shwari kabisa?”

“Ndio ume kuja na vijana wako?”

“Ndio kama ulivyo niagiza vijana wote wapo kwenye kordo ya kujia huku”

“Sawa, muheshimiwa raisi ni muda sasa”

“Hakuna shaka”

Tukatoka ndani hapa na kuanza kuelekea kwenye ukumbi wa matangazo ambapo waandishi wa habari wana tusubiria. Kabla hatujaingia nikamfwata mwanajeshi mmoja na watu wote wakasimama.

“Ni nani aliye waagiza muje ikulu?”

“Ni oder kutoka kwa jenerali mkuu”

Mwanajeshi huyu alinijibu huku akiwa amesimama kikakamavu. Wote tukatazamana kwa maana sijui ni kwa nini jenerali ametuma vijana kuja kuimarisha ulinzi hapa ikulu ikiwa wanao husika ni kitengo cha NSS. Tukaingai katika chumba hichi na kuwakuta wanaandishi wa habari kama thelathini wakiwa wakemaa kwenye viti huku ndani ya ukumbi huu kukiwa na wanajeshi kama sita hivi wenye bundiki.

“Hii sio hali ya kawaida Eddy”

Raisi alininong’oneza sikioni mwangu.

“Kivipi?”

“Hawa wanajeshi kuwa ndani ya chumba hichi. Wanao paswa kuwa humu ni secrety service. Nina imani kwamba wanaamini nitakapo tangaza kujiuzulu basi ikulu iwe chini ya mamlaka ya jeshi hadi pale makamu wa raisi atakapo kalia kiti hichi rasmi”

“Ngoja”

Nikamfwata mwanajeshi mmoja na akanipigia saluti.

“Nani aliye waambia mukae hapa ndani?”

“Ni jenerali mkuu”

“Waachieni NSS wakae humu ndani”

“Ila mkuu ni oder kutoka kwa mkuu”

“Mimi ni nani?”

Nilizungumza kwa ukali ila kwa sauti ya chini huku nikimkazia macho mwanajeshi huyu.

“Hii ni oder”

Mwanajeshi huyu akawapa ishara wanajeshi wezake na wakatoka dani hapa, walinzi wa raisi wakachuku utawala wa kukaa ndani ya chumba hichi.

“Habari za usiku”

Maria alizungumza kwa kutumia kipaza sauti kilichopo mbele ya eneo ambalo raisi anapo hutubia taifa huwa ana simama.

“Salama”

“Kwanza tuwaombe radhi kwa kuwa nyuma kwa lisaa moja na nusu toka pale tulipo waahidi kwamba raisi ata hutubia taifa kwa dharura. Hivyo nipende kumkaribisha raisi wa Tanzania muheshimiwa Nathan Mgogo”

Maria baada ya kuzungumza hivyo akasogea pembeni na raisi akasimama eneo hili huku Gody akiwa nyuma yake na kuchukua jukumu la kumlinda raisi kwa muda huu.

“Habari za usiku ndugu Watanzania wezangu. Nina imani muna endelea salama na majukumu ya kuijenga nchi yetu. Nina penda kuwaomba muda wenu na usikuvu pale munapo nisikiliza.”

Raisi akaka kimya kwa sekunde kadhaa.

“Nchi yetu kwa sasa ndio nchi yenye nguvu hapa duniani. Ni nchi inayo ongoza kwa uchumi na nguvu pia. Tukiwa nchi ya namna hii basi maadui wa nchi yetu ni wengi sana. Maadui huwa wana tumia kila aina ya uwezo kuhakikisha kwamba wana dhohofisha uchumi wa nchi, amani ya nchi na pia utendaji kazi wa serikali yangu”

“Nikiwa raisi halaali wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, niwaambie dhahiri kwamba hawato weze kwa maana nina vijana shupavu ambao wamejitoa maisha yao kwa ajili ya kuilinda nchi na wananchi wake.”

Wapiga picha na warekodi video kazi yao ni kuhakikisha wana pata kila aina ya tukio linalo endelea ndani hapa.

“Nina watangazia maadui wa nchi ya Tanzania, iwe ni nchi, au ni mtu au kukindi cha watu. Tuta kushuhulikia barabara pale tu unapo vuka mstari wa kujaribu kusababisha hali yoyote ambayo sio salama kwa nchi na wananchi wake kwa ujumla.”

‘Safi sana mkuu’

Nilizungumza kimoyo moyo kwa maana raisi ana zungumza kwa msisitizo na kujiamini zaidi ya alivyo kuwa siku kadhaa zilizo pita.

“Leo nina kwenda kufanya mabadikiko ya kwanza katika jeshi la kuilinda nchi. Leo nina tengua rasmi cheo cha jenerali Mwinuka na nina kwenda kumteua bwana Eddy Eddy Jr kuwa jenerali wa jeshi.”

Raisi akanipa ishara ya kumfwata sehemu alipo. Nikatembea kwa hatua za kijeshi za mwendo wa haraka. Nikapiga miguu chini mara kadhaa na kupiga saluti ya kuuweka mkono wangu katika ncha ya kofia. Maria akafungua kiboksi maalumu chenye cheo kipya, nikavuliwa na raisi cheo hichi nilicho kuwa nacho na kuvalishwa cheo cha jenerali wa jeshi. Waandihi wa habari wakazidi kupiga picha kwa maana nina imani kwamba uteuzi huu ni pigo kuwa sana kwa maadui zangu. Raisi akamaliza kunivisha cheo hichi, nikampigia saluti, Judy na Gody wakanipigia saluti kwa maana ni wanajeshi wezangu. Nikarudia sehemu niliyo kuwa nime simama.

“Nina imani wengi wenu muta shangaa ni kwa nini nime mchagua kijana tofauti na ilivyo zoeleka kwa miaka mingi wanao shika cheo hichi ni watu wenye umri mkubwa. Kijana huyu ni miongoni mwa vijana ambao wameendesha oparesheni nyingi sana ndani ya nchi na nje ya nchi. Nina imani watu wengi muta kuwa muna litambua kundi la X ambali kwa miaka mitatu na miezi kasaa hamsikii habari zao. Huyu sasa ndio kiongozi wa kundi hilo la X hivyo nina imani jeshi sasa lita kuwa katika hali ya usalama juu ya kijana huyu”

Nikashangazwa mara baada ya kuona waandishi wa habari wakipiga makofi na kushangili.

“Kabla ya kumaliza mazungumzo yangu, nina muomba jenerali Eddy aje kuzungumza maneno machache na muta muhoji maswali machache”

Nikatembea hadi katika eneo lenye kipaza sauti.

“Habari za muda huu. Sina maneno mengi ya kuzungumza zaidi ya kuwahakikishia Watanzania wote kwamba nchi ipo salama na niwahakikishie tukiwa kama jeshi tuta hakikisha kila adui ambaye yupo nchini hapa basi ata tafuta eneo la kuishi. Haijazoeleka wanajeshi kuonakeana sana mitaani, zaidi ya askari polisi. Ila niwaahidi kwamba ukiachilia mbali katika kulinda mipaka ya nchi hii basi tuta hakikisha kwamba hata mitaa kwa mitaa ita lindwa na ita kuwa salama. Nina karibisaha maswala machache”

Dada mmoja mrembo akawahi kunyoosha mkono na nikamchagua.

“Ndio”

“Mimi nina itwa Latifa. Kwanza nina furaha leo nime mshuhudia mmoja wa watu ambao tulikuwa tuna soma tu stori zao kwenye magazeti na kusikia kwenye vyombo vya habari. Swali ninge penda kufahamu, wengine watatu nao wapo wapi kwa sasa na je kundi lenu la X halifanyi kazi kwa sasa?”

Nikashusha pumzi kwa muda kidogo huku nikimtazama msichana huyu.

“Kundi letu bado lipo na lina fanya kazi, ila ni kimya kimya. Tume weza kuweka usiri katika oparesheni zetu tunazo zifanya kwa sasa kwa maana kila oparesheni moja ina zaa maadui, hivyo ili kwenda sawa na maadui ni lazima tudili nao kimya kimya”

Sikutaka kuweka wazi juu ya vifo vya marafiki zangu. Nikamchagua mwanaume mmoja.

“Mimi nina itwa Mula, nina penda kufahamu juu ya kauli yako kwamba wana jeshi wata kuwa wana pita mitaani na kama unavyo fahamu nchi yetu ni nchi ya amani na ni nchi ambayo watu wamezoea kuwaona askari polisi tu mitaani je huoni kama jeshi nalo likiwa mitaani lita watia hofu wananchi? Swali langu ni hilo tu mkuu”

“Kwa nini wananchi wawe na hofu? Mukumbuke ukiachana na kazi yetu pamoja na magwanda tunayo yavaa, sisi ni watu kama nyinyi. Tuna ishi nanyi mitaani, tuna wazazi, ndugu, marafiki ambao muna ishi nao mtaani. Endapo mwananchi yoyote ata tuogopa au kuingiwa na hofu juu ya ulinzi ambao tuna yatoa maisha yetu ili nyinyi mulale masaa yote mukiwa na amani, mutembee mukiwa hamna shaka, mukusanyike mukiwa hamuna wasiwasi wala kuwazia kama kuna uhatari wa aina yoyote. Basi huyo mtu au watu wata kuwa, moja ni wahalifu, au wana wafaamu wahalifu na kuwaficha. Niwahakikishie kwamba jeshi ni rafiki kwa kila mtu mwema na mwenye kufwata sheria bila kushurutishwa”

Nilizungumza kwa kujiamini na kuwafanya waandishi kupiga makofi. Nikamchagua muandishi mwengine.

“Nina itwa Lilian, ninge penda kufahamu umri wako ni miaka mingapi? Je ume oa au una mtoto? Asante”

Nikatabasamu kwa maana hili ni swali binafsi.

“Nina miaka thelathini na mbili. Maswala ya familia yangu ni binafsi, asanteni na maswali na usiku mwema”

Nikawaacha waandishi wa habari wengine wakiwa na hamu ya kuniuliza maswali, ila nikaona ni heri kuishia hapa.

“Nina imani mume ona jisni kijana damu yake inavyo chemka. Muta niuliza maswali mawili kisha nitamaliza mazungumzo yangu”

“Tuna shukuru sana muheshimiwa raisi kwa kuweza kumuweka kijana wa kundi la X kuwa jenerali wa jeshi. Kusema kweli nime furahi sana na sina swali muheshimiwa raisi. Big up sana”

Muandishi huyu alizungumza huku uso wake ukiwa umetawaliwa na furaha kubwa sana.

“Asanteni mwengine”

“Muheshimiwa raisi tunge penda kujua ni kwa nini ume fanya maamuzi ya gafla sana kwa kumteua jenerali wa jeshi ikiwa hata jenerali wa jeshi aliye kuwa madarakani hafahamu juu ya kutenguliwa kwake?”

“Ngoja niwaambie jambo moja. Nilipo mteua sikuoomba ushauri kwa mtu yoyote na wala sikumfwata na kumuomba. Nilimtangaza hadharani na kumpatia cheo hicho si ndio? Kama nilifanya vile, sijaingia naye mkataba na kusema kwamba ata kuwa katika nafasi hiyo hadi kufa kwake. Nina malka ya kuteua na kutengua kiongozi yoyote wa kiserikali aliye chini yangu kama vile jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inavyo nipa malka hayo, hivyo nina imani sija fanya kosa kubadilisha mfumo wa jeshi kwa maana jeshi ndio kitengo muhimu kuliko vitengo vyote hapa nchini. Wao ndio wamejitolea maisha yao na kutufanya sisi, tule, tucheke na kufurahi kwa ajili yao. Mukitaka kufahamu umuhimu wa jeshi waulizeni nchi kama Syria au Lybia. Leo hii wapo wapi, leohii nchi zao zipio vipi? Kama mume pata majibu basi kaeni nayo kwa maana muna fahamu kinacho endelea. Asanteni sana”

Mara baada ya kuzungumza hivyo tukatoka ndani ya ukumbi huu huku waandishi wa habari wakitamani kuhoji maswali ila wana shindwa. Wanajeshi wote wanao imarisha ulinzi eneo hili wana nipigia saluti. Nikaitoa simu yangu mfukoni ambayo nime iweka vibration na kuona ni simu kutoka kwa mke wangu. Nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.

“Haloo baby”

“Ohoo mume wangu hongera hongera sana. Mwaaaaa, nime penda ulivyo kuwa una zungumza”

“Kumbe bado huja lala?”

“Nilikuwa nime lala ila shemeji yaka alikuja na kuniamsha na nikakuta ndio una pandishwa cheo. Kwa kweli nime furahi sana mume wangu. Kweli Mungu ni mkubwa, una jua Judy alipo niambia leo asubuhi kwamba ume simamishwa kwenye shuhuli zote za kiusalama, nilijawa na wasiwasi mwingi sana kiasi cha kushindwa kujizuia na nililia sana na kujilaumu ni kwa nini nilikuruhusu ukarudi kazini ikiwa mambo yenyewe ndio hayo”

“Usijali mke wangu. Kuanzia sasa hivi uta kuwa na mlinzi wako binafsi wa kiserikali”

“Weee?”

“Ndio”

“Mwanaume au mwanamke?”

“Nyoo ni mwanamke”

“Hahaaa mume wangu huo wivu sasa, kwa nini asinge kuwa wa wa kiume”

“Ili niibiwe”

“Hakuna wa kuniiba. Mimi ni wako hadi kufa, dogo ana hitaji kukusalimi”

“Mpe simu”

“Shem”

“Naam”

“Hongera sana kwa kweli, kumbe wewe ni mwaajeshi?”

“Ndio kwani ulikuwa hujui?”

“Yaani kila niliye kuwa nina muuliza alikuwa ana ingia huku na kutokea huku”

“Ndio hivyo shemeji yangu”

“Yaani sasa hivi nikienda chuo nita kuwa nina jigamba mimi ni shemeji yake jenerali wa jeshi”

“Hahaaaa acha usiwe hivyo”

“Weee wata nikoma shem”

“Hahaaa haya bwana. Mpe simu dada yako”

“Yes baby”

“Kuwa makini usitoke toke na hakikisheni hapo nyumbani hamkaribishi mgeni ambaye hamfahamu na makamu wa raisi ukae naye mbele”

“Usijali mume wangu”

“Poa”


ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

BLOG