Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

X SEHEMU YA 7/10

   


X  

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA


WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 7 KATI YA 10


Nikakata simu na kumtazama mkurugenzi huyu.

“Hivi muna nijua vizuri nyinyi watu?”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikiwatazama viongozi hawa watatu.

“Pesa zipo wapi kwa maana ni lazima munakula rushwa”

Wakakaa kimya.

“Kuanzia sasa hivi nina kuteua wewe kuwa mkuu wa mkoa. Hakikisha kwamba hawa watu wana pelekwa kula mateso hadi wataje pesa zipo wapi. Wataje mali wanazo pokea kutoka kwa makampuni yanayo wahonga. Mali wanazo miliki na zote nina hitaji zitaifishwe na ziwe za serikali. Siwezi kuwa na watu ambao wana jiona wao ndio wapiga dili wakubwa. Umenielewa?”

Nilimuambia mkuu wa chuo cha jeshi. Akanipigia saluti ya kikakamavu.

“Sawa muheshimiwa raisi nita takeleza haraka iwezekanavyo”

“Watumie hawa vijana wako kuhakikisha kwamba hizo mali zina patikana. Najua mimi na wewe ni wanajeshi hivyo una jua fika adhabu za kijeshi pale utakapo kiuka. Broo nisije kukufanya ukawa ndio tageti yangu. Hawa wote peleka kambini. Wakiwa wana endelea kupata tocha za maana. Tunaelewana”

“Nimekuelewa muheshimiwa raisi”

Nikanyanyuka na watu wote wakanyanyuka, mkuu wa mkoa niliye mfuta kazi, mkurugenzi wa TRA, mkurugenzi wa mkoa wote wakaondolewa ndani hapa na kupakiwa katika gari za jeshi na kupelekwa jeshini.

“Muheshimiwa raisi nina shukuru sana kwa kunitea, nikuhakikishie kwamba nita ifanya kazi hii kwa uaminifu na kwa umakini wa hali ya juu.”

“Nashukuru maneo ya kuangalia. Hospitali, mipakani, jana uliona mali ilikuwa ina toka. Makampuni yote yaliyo kuwa yana toa rushwa, ambayo hayajalipa kodi. Yote nahitaji yalipe kodiu kuanzia kipindi ambacho yameanzishwa au kipindi ambacho ulipaji wake umelelega lega. Ukiona hawana uweze taifisha mali zao zote. Sitaki upuuzi, nchi tajiri duniani alafu wapuuzi wachache kama hawa wana leta ujinga. Yaani muna bahati sana laiti kama ningekaa madarakani kwa muda mrefu hii nchi ingekuwa kama North Korea kwenye baadhi ya viongozi wajinga kama hawa. Kusinge kuwa na kustakiwa, umekula rushwa una nyongwa wewe na familia yako.”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama mkuu wa mko mpya kisha nikatoka ofisini hapa. Na kila mfanyakazi aliye niona jinsi nilivyo kasiri akajua kabisa mambo yameharibika kwa wakuu wao wa kazi ambao walipishiwa juu juu na wanajeshi huku wakipigwa makofi na mateke kana kwamba hawakuwa viongozi wa kuheshimika na kuogopeka.



Ukimya ukatawala ndani ya gari huku safari ya kuelekea katika chuo cha jeshi ikiendelea. Simu yangu niliyo iweka vibration ikaanza kuita. Nikaitoa mfukoni na kuona namba ya mke wangu Cauther.

“Honey”

Nilizungumza kwa sauti ya kawaida ili mke wangu asitambue kama nime kasirika au laa.

“Mbona hujatimiza ahadi yako na hadi sasa hivi saa ngapi hii bado upo huko?”

“Nisamehe tu mke wangu, kuna mambo baadhi yametokea hivyo nimejikuta hata ahadi ikiwa imevunjika”

“Ila unaonekana una hasira”

“Sina mke wangu”

“Eddy mume wangu, kumbuka mimi ni mke wako, nina kujua hata kuliko ninavyo jijua mimi mwenyewe. Hembu niambie ni kitiu gani kilicho kuudhhi”

Nikashusha pumzi nyingi taratibu.

“Nikija nita kusimulia mke wangu. Nipo njiani na muda si mrefu nita rudi Dar”

“Sawa mume wangu, pia kumbuka muda wa dawa ume wadia, usirukishe masaa ukaharibu dozi yako mume wangu”

“Sawa mke wangu ila si nina weza kutafuta dawa huku huku nikanywa”

“Ndio mume wangu ila ita pendeza ukanywa dawa hizi ambazo ulipewa na daktari”

“Sawa mke wangu nimekuelewa”

“Haya mume wangu endelea na majukumu. Ila kumbuka kwamba una umwa na una paswa kupata muda mwingi wa kupumzika”

“Usijali mke wangu. Ndani ya masaa matatu tutakuwa huko”

“Sawa mume wangu, ninakupenda”

“Nina kupenda pia mke wangu”

Cauther akakata simu na nikairudisha mfukoni.

“Una jisikiaje mkuu?”

Judy aliniuliza huku akinitazama.

“Nipo poa, hivi una jua nina dozi ya malaria na masaa ya kunywa ni haya”

“Ni dawa gani una umepewa?”

“Hata sikumbiki ni dawa gani zile ila dokta Komba ana fahamu kama ikiwezekana wasiliana naye atoa maelekezo ya kuzipata huku huku. Ili nisivuruge ratiba ya dawa”

“Sawa muheshimiwa ila hujakula chochote, kabla ya kunywa ina bidi unywe kwanza dawa”

“Usijali nikifika kwenye hicho chuo niandalie kifungua kinywa cha kawaida tu”

“Sawa”

Tukafika chuo hichi cha jeshi, Judy akaendelea kuniandalia kifungua kinywa kwa maana yeye ndio mtu ninaye muamini nikiwa mbali. Nikaelekea kwenye chumba cha mahojiano na kuyasikiliza mahojiano anayo fanyiwa waziri mkuu mstafu.

“Karibu sana muheshimiwa raisi”

Wanajeshi walipo kwenye chumba cha upande wa pili wa mahojiano walinisalimia huku wakipiga saluti.

“Asanteni sana. Amaezungumza chochote kinacho saidia?”

Nilizungumza huku waziri mkuu akiwa katika chumba cha pili cha mahojiano huku tukiwa tumetengenishwa na kioo kigumu ambacho sisi tuna weza kuona ndani ya chumba hicho ila aliyopo kwenye chumba hicho hawezi kuona kilichopo katika chumba hichi.

“Alicho kizungumza zaidi ni namna gani anavyo shirikiana na makamu wa raisi aliye pita”

“Hajazungumza ni wapi alipo makamu wa raisi?”

“Hajasema mkuu”

“Mashine zina semaje anacho kizungumza ni kweli au uongo juu ya wapi alipo makamu wa raisi?”

Nilizungumza huku nikitazama mashine ambazo zina soma ubongo wa mtu kama akidanganya ina toa rangi nyekundu na akisema ukweli juu ya swali alilo ulizwa ina toa rangi ya kijani. Mashine hizi zime tengenezwa maalumu kwa kuwahoji watu ambao ni wagumu sana kwa kuzungumza ukweli.

“Mashine zina onyesha kwamba hajui chochote kuhusiana na alipo makamu wa raisi”

“Muiteni nje anaye hoji”

Wakawasiliana na anaye muhoji waziri mkuu na akatoka nje akanipigia saluti.

“Naomba nikuibie dakika zako tano nizungumze na huyu mzee”

“Sawa muheshimiwa raisi.”

Nikachomoa bastola na kumkabidhi mmoja wa wanajeshi kwa maana kuingia na silaha katika chumba cha mahojiano ni hatari sana kwa yule anaye hojiwa pale atakapo jibu majibu yasiyo eleweka na anaye hojia akakasirika na kumshambulia kwa silaha hiyo na ina weza kupelekea kumpoteza anaye hojiwa na ushahidi na taarifa muhimu zikapotea.

Nikaka katika kiti kinacho tazamana na waziri mkuu huku tukitengenishwa na meza iliyopo katikati yetu. Nikamtazama vifa maalumu alivyo fungwa kifuani na katika upande wa kulia na kushoto wa kichwa chake.

“Hapakuwa na sababu yaw ewe kufikia hapa au kuishia kwenye maisha kama haya mzee wangu”

Nilizungumza kwa sauti ya upole kiasi.

“Ulistahili kustafu kwako kwa kujiudhuru kwa kufwata yale matakwa ya aliye kupa ajira hiyo, kuishi maisha mema na mazuri wewe na familia yako. Ila kwa umri wako mzee wangu ukiishia kwenye maisha kama haya hususani kuishia jela ni aibu kwako na familia yako.”

“Ulipewa dhamana ya kuongoza hii nchi, japo sijui ni kwa mfumo gani mulipewa mamlaka hayo ila jambo la msingi ilikuwa ni kuhakikisha kwamba Tanzania ina baki kileleleni kichumi, kinguvu na madaraka. Ila kutokana na akili mbovu za kuingozi wa ngazi yako anaye fwatia, umejikuta ukishiriki mambo maovu ambayo yana didimiza uchumi wa nchi yetu. Kwa nini umefanya hivyo?”

Niliendelea kuzungumza kwa sauti ya upole kwa maana mzee huyu mimi suna matatizo naye na nina jua nyuma yake ana pewa msukumo na makamu wa raisi ambaye ndio mwiba katika nchi hii.

“Muheshimiwa raisi natambua mimi ni mtenda makossa na kweli nime kiri kosa ndio maana nime amua kuzungumza ukweli. Nina ipenda sana nchi yangu na kuitumikia kwa zaidi ya miaka arobaini na tano sasa toka nilipo anza uaongozi wa chama nikiwa kijana mdogo hadi kufikia kuwa waziri mkuu. Muheshimiwa raisi naamini una jua adui anapo tambua udhaifu wako ni namna gani anavyo kupelekesha. Nashukuru kwa kuwa nimepata nafasi ya kuzungumza nawe uso kwa uso. Natambua nita fungwa ila hata nikifungwa sinto ishi kwani nita uwawa tu”

Waziri mkuu alizungumza kwa sauti ya upole na unyonge.

“Muheshimiwa raisi mimi ni miongoni mwa wanachama wa chama hatari sana duniani na cha siri cha Scorpion. Niliingizwa na makamu wa raisi aliye pita na chama hichi kina husisha uhujumu wa uchumi wan chi nyingi sana na maswala ya uuaji wa viongozi wa nchi yoyote, naamini una fahamu hili kundi muheshimiwa raisi”

“Ndio nina lifahamu”

“Muheshimiwa raisi moja ya sharia za kundi hilo ukiingia huwezi kutoka na ukitaka kutoka wana kuua wewe, familia yako hadi wajukuu ambao kusema ukweli hawana kosa lolote kwanye maamuzi ambayo hapo awali uliyafanya. Hivyo muheshimiwa raisi nina endeshwa, nina familia kubwa na ukoo mkubwa, nina ogopa sana kuona familia yangu ina teketewa nikiwa hai au nimekufa. Wanacho weza kukifanya wao ni kwamba unapo ingia kwenye chama chao ufe kwa vifo vya aina mbili. Ufe kwa maradhi yoyote au kwa ajali ya kawaida na isiyo ya kupangwa. Ukijiua au kufa tofauti na vifo hivyo basi familia yako umeiachia majanga. Ndio maana makamu wa raisi alivyo nieleza niachie madaraka niliachia, alivyo niaeleza niweze kutoa tani hizi za vipande vya dhahabu nilitoa na sio hizi tu muheshimiwa raisi, zipo ambazo zilisha toka kipindi cha nyuma hapa”

“Duu”

“Ndio na hili swala la mimi kuzitoa tani hizo za dhahabu, mkuu wa mkoa alifahamu, RPC, mkurugenzi wa mkoa huu walifahamu hii dili na niliwapoza kwa kitu kidogo. Muheshimiwa raisi nisamehe sana ten asana kwa kukuangusha ila ndani ya nchi hii uchafu upo mwengi sana, leo umeniona mimi ila kuna watu wengengine ukiwaona kwa kweli uta stuka.”

“Kwa nini umeamua kunieleza hayo yote leo hii?”

“Kwa sababu sina namna. Ni heri kufa nikiwa nina amani kuliko kufa nikiwa sina amani na muda wangu ni mchache ulio baki”

“Una maanisha nini kusema ni mchache?”

“Muheshimiwa raisi kila mwana chama wa Scorpion huwa ana chip ndani ya mwili wake, Chip ambayo sio rahisi kwa mwanachama mwenyewe kujua ni wapi ilipo, kwani wakati wa kuingizwa chip hiyo ina kuwa kama kidonge una kimeza na endapo usipo toa taarifa ya kuishi kwako ndani ya masaa kumi na mbili basi wana kilipua kidonge hicho mwilini mwako na kinatoa sumu kali inayo kuu kwa muda mfupi?”

“Mungu wangu kumbe ndivyo jinsi mambo yalivyo. Ina bidi ufanyiwe upasuaji ili uweze kutolewa kidonge hicho?”

“Muheshimiwa nilisha jaribu kufanya vipimo vya kila aina ili kuona ni wapi kidonge hicho kipo mwini mwangu ila ikashindikana. Ila ni heri nife kijasiri kwa kuisaidia nchi yangu kwa kukutajia uchafu ambao upo ndani ya nchi hii ili kama ni kuhakikisha una usafisha wewe kwenye kipindi cha uraisi wako”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama waziri mkuu.

“Hizi ni siri za Scorpion, mtandoa woa na watu wao ndani ya nchi hii. Shuhuli zao, makazi yao ndani ya nchi na namna wanavyo ishi kwa siri ndani ya nchi hii”

Waziri mkuu alizungumza huku akiikunja kunja sura yake kana kwamba ana hisi maumivu fulani kifuani mwake.

“Vipi mzee”

Akajaribu kushusha pumzi ila akashindwaa na kushika kifua chake, akaanza kumwagika na damu za mdomoni na kunifanya nikurupuke kwenye kiti change nilicho kaa na kumlaza chini.

“Huduma ya kwanza”

Nilipiga kelele na mlango ukafunguliwa na awakaingia wanajeshi wawili. Kwa haraka wakanza kumchomoa vipini vya mashine walivyo kuwa wamevipashika kifuani mwake na kichwani mwake. Waziri mkuu akaanza kurusha rusha mikono na miguu huku akitama madonge ya damu kana kwamba tumboni mwake kuna bomu limelipuka. Damu zikatoka puani na masikioni na hazikupita hata dakika mbili waziri mkuu akatulia tuli.

*******************************************************************

Ili uwe wa kwanza kupata episode za mbele za hadithi hii kabambe ya X unacho paswa kufanya ni kuwasiliana nami whatsapp 0742334453 au 0657072588. Kama upo Facebook uta ipata kupitia facebook inbox kwenye page yangu ya Story Za Eddy-tz EPISODE MOJA NI SH 250/= TU. Wahi sasa

********************************************************************

“Sahamani muheshimiwa raisi, waziri mkuu amekufa”

Kauli ya mwanajeshi mmoja aliye kuwa anajitahidi kumpatia huduma ya kwanza alizungumza na kunifanya nishushe pumzi nyingi sana huku nimefumba macho yangu kwa uchungu sana kwani mzee wa watu amekufa kwa shikizo la watu fulani. Nikatoka ndani hapa huku nikiwa nina wazia ni wapi Scorpion wana ishi vipi hapa Tanzania, shuhuli zao wana ziandeshaje hapa Tanzania.

“Baba mkwe ana weza kulifahamu hili”

Nilizungumza kimoyo moyo.

“Muheshimiwa kifungua kinywa kipo tayari una paswa kunywa dawa”

Judy aliniambia huku akinitazama usoni mwangu.

“Sina hamu ya kunywa chai kabisa, kichwa kimevurugika, turudini Dar es Salaam”

“Sawa mkuu”

Judy hakuwa na jinsi zaidi ya kufwata nilicho mueleza kwani naamini ameona kilicho tokea. Tukaingia kwenye helicopter tulizo kuja nazo na taratibu tukaondoka chuoani hapa na kurudi Dar es Salaam.

Nikanyanyua mkonga wa simu uliopo pembeni yangu, nikaingiza namba ya mke wangu.

“Honey”

“Yes baby”

“Mpigie simu na muombe aje kukutembelea nyumbani. Nipo njiani nahitaji kuzungumza naye”

“Baba bado hajarudi kutoka Dubai”

“Kumbe bado?”

“Ndio mume wangu”

“Lina ana rudi”

“Ndani ya wiki hii vipi ni mazungumzo ya kifamilia au kuna tatizo?”

“Ya kifamilia tu si unajua ni baba mkwe wangu kuna mambo ya kiume nina paswa kumueleza ili anishauri”

“Oooho ndio hajarudi bado. Mpigie simu kama yana uharaka sana hayo mazungumzo”

“Akirudi nita zungumza naye”

“Sawa mume wangu. Umesha kunywa dawa?”

“Nina kuja kunywa huko”

“Chai je?”

“Pia bado”

*******************************************************************

Ili uwe wa kwanza kupata episode za mbele za hadithi hii kabambe ya X unacho paswa kufanya ni kuwasiliana nami whatsapp 0742334453 au 0657072588. Kama upo Facebook uta ipata kupitia facebook inbox kwenye page yangu ya Story Za Eddy-tz EPISODE MOJA NI SH 250/= TU. Wahi sasa

********************************************************************

“Jamani Eddy mbona una kuwa hujijali mume wangu. Nakuandalia ukija hakuna kufikia sehemu yoyote. Moja kwa moja njoo unywe chai utakuta tayari”

“Sawa mke wangu”

Nikakata simu na kuirudisha sehemu nilipo itoa.

“Kwenye maisha kitu kizuri ni kupata mwanamke anaye kujali na kukusikiliza”

Mshauri wangu mkuu alizungumza huku akinitazama.

“Una maanisha nini mzee wangu?”

“ Ume pata mwanamke mzuri kimuonekano hadi kitabia. Nimekuwa nikifwatilia sana jinsi munavyo ishi na nikajua kwamba ubora wa kazi yako hii unayo ifanya kwenye hili taifa ni kutona na mwamke aliyopo nyuma yako. Una jua kwamba raisi aliye pita japo hatumsemi vibaya ila alikuwa hana kauli juu ya mke wake ndio maana nchi ilikuwa ina dhorota. Usije ukamuacha huyu mwanamke kwenye maisha yako”

“Nashukuru kwa ushauri wako mzee wangu”

“Pia mkuu usije ukamsaliti na michepuko michepuko”

Judy alizungumza na kunifanya nitabasamu tu huku nikimtazama.

“Ni kweli mkuu una jua ni sawa tumemfumania mkuu wa mkoa ila ilibaki nusu tu nikunong’oneze mkuu nawe pia si mchepukaji”

Kauli ya Judy ikatufanya sote tucheke”

“Eti mzee kuna mwanaume asiye chepuka?”

“Labda awe hana nguvu za kiume”

“Hahaaaa, kumbe mzee na wewe una muunga mkono muheshimiwa?”

“Ngoja niwaambie ukweli wasichana kitu musicho kijua kwa wanaume. Wanaume tumeumbwa si kwa mwamke mmoja pekee, ndio maana waislamu dini yao ina ruhusu kuoa wake wanne kidini kabisa. Kwa sababu gani wamefanya hivyo, hii ina msaidia mwanaume kukidhi haya zake kwa mwanamke amtakaye kwa hao wanne kwa wakati anao uhitaji yeye”

“Hapo hapo mzee. Kwani mwanamke mmoja hawezi kumtosheleza mwanaume?”

“Ndio”

“Mimi nabisha hilo mzee”

Judy alishupalia kauli yake.

“Ngoja nikuambie kitu Judy. Wewe ni mwanamke si ndio”

“Ndio”

“Kazi yako hii ina kufanya muda mwingi sana uwe mbali na mpenzi wako si ndio?”

“Ndio”

“Mwanaume kila anapo amka asubuhi lazima jogoo wake asimame, sasa akiangalia pembeni ya kitanda haupo, kama kuna dada wa kazi ana kiji wowowo kidogo hajapita naye?”

Tukajikuta tukicheka sana kwa maana hatujawahi siku moja hata kuzungumza na mzee huyu mambo ya namna hii.

“Niambie hajapita naye?”

“Atapita naye”

“Na mwanaume tupo hivi, si kila tunaye chepuka naye tuna mpenda, wengine ina tokea kukidhi haya za miili yetu kwa maana sisi huwa tuna hitaji kila mara, huwa tuna tamani kila mara. Mwanamke anaweza kutoka kugonga dakika ishirini akatoka nje akakutana na mwanamke mwengine akaenda kumchapa kama kawaida au naongopea muheshimiwa raisi”

“Ni kweli”

“Yaani jamani nyinyi”

“Sio sisi, huo ndio ukweli Judy, wanaume tuna penda ngono. Asiye penda ngono ni yule ambaye either ana kisukari ambacho kina mfanya mashine haisimami kisawa sawa, au ana waogopa wanawake.”

“Sawa nime waelewa sasa tuwape dawa gani ili musichepuke?”

“Labda kuturoga kwa kweli”

Sote tukacheka.

“Huo ndio ukweli Judy ila kikubwa tu, tunapaswa kuwaheshimu wake zetu, kuwapenda na kuto waonyeshea kwmaba tuna michepuko na kingine ni kuwa makini kuto waletea maradhi ndani basi ila hayo mengine hata umfungie mageti mwanaume, atachepuka tu akiamua”

“Kazi kweli kweli, kwa hiyo muheshimiwa raisi agonge tu?”

“Ni mwanaume sasa kwa nini asigonge na isitoshe damu ina chemka. Sisi sasa hivi kidogo ndio tumeachana na mambo hayo kutokana na umri na majukumu. Ila enzi zangu hizo ni kijana, nina maisha yangu mazuri, nilikuwa nina wachinja balaa. Na fahari ya mwanaume wa kiafrika ni watoto”

“Duuu!”

“Kwani mzee una watoto wangapi hadi sasa?”

Judy aliuliza.

“Hadi sasa watoto kwa mke wangu wa ndoa wapo nane”

“Duuu!”

“Ila wa mechi za nje huko wana fika hata thelathini”

“Toba!!”

Judy alitahamaki.

“Na wote nimewahudumia kuanzia mimba hadi sasa hivi wana maisha yao na nina wajukuu wa kutosha. Muheshiiwa acha kuzubaa zubaa panda mbegu zita kusaidia baadae ukiwa mzee kama mimi hapa”

“Nimeupokea ushauri wako nita ufanyia kazi”

“Muarabu yule akigundua hilo ana kuchinja muheshimiwa”

Sote tukacheka, hadi tunafika Dar es Salaam, hata mawazo yanayo nisumbua kichwani mwangu yamepungua. Mara baada ya kushuka ndani ya helicopter moja kwa moja nikaelekea ninapo ishi, Cauther akanipokea kwa furaha, akaniandalia kifungua kinywa kwa pamoja , akanipatia dawa nikanywa.

“Mume wangu kabla ya kwenda kupumzika kuna jambo muhimu nahitaji tuzungumze kama hutojali lakini”

Cauther alizungumza kwa sauti ya upole na katika kumdadisi dadisi usoni mwake nikaona ana jambo kubwa ambalo anahitaji kuniambia kwani akiwa katika hali hii basi huwa ana jambo la msingi na la maaana analo taka kunieleza.



“Sawa mke wangu, niambie”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikivishika viganja vya Cauther.

“Eddy nina kupenda sana mume wangu. Umekuwa ni mwanaume bora kwenye maisha yangu yote. Nakuomba uendelee kuwa bora hadi pale nitakapo kufa”

Cauther alizungumza huku machozi yakimtiririka na uso wake ukiwa umetawaliwa na tabasamu pana.

“Huwezi kufa mke wangu”

“Mume wangu kila ninapo ifikiria siku ya kujifungua huwa akili yangu ina hisi kama kuchanganyikiwa kwa maana siku hiyo wanawake wengi huwa wana poteza maisha yao. Nakuomba uniombee sana mume wangu nahisi kuogopa”

Nikamtazama Cauther kwa sekunde kadhaa kisha taratibu nikakmkumbatia na kukilaza kichwa chake kifuani mwangu huku kiganja change cha mkono wa kulia kikitalii katika nywele zake hizi ndefu na laini.

“Huwezi kufa mke wangu, nina Imani kwamba mwenyezi Mungu ata kulinda wewe na mtoto wetu na utajifungua salama pasipo kuwa na tatizo lolote mke wangu. Ila kwa nini una wazia maswala hayo?”

“Kuna rafiki yangu mdogo wake amefariki leo asubuhi akiwa ana jifungua hapo Muhimbili hivyo woga na wasiwasi mwingi ukanitawala”

“Mungu ni mwema mke wangu uta kuwa salama”

“Kweli?”

“Ndio mke wangu na nita kupeleka hospitali yoyote utakayo kwa ajili ya kujifungua wewe na mtoto wetu”

“Asante mume wangu”

Cauther akajawa kidogo na tabasamu ila hofu na wasiwasi bado vimetawala.

“Mazishi yatakuwa wapi mke wangu?”

“Amesema kwamba mazishi yatafanyika hapo kwao Mwanyama”

“Saa ngapi?”

Kutokana ni muislamu wata zika saa saba”

Nikatazama saa yangu ya mkononi ina onyesha sasa hivi ni saa tano asubuhi.

“Ina bidi twende una jua kama ni rafiki yako ina kupasa kushiriki msiba vizuri”

“Sawa, ila wewe ungebaki tu kwa maana umechoka”

“Nisikilize mke wangu, raisi huwa ni mtu wa watu wote hapa nchini Tanzania hivyo siwezi kukuacha ukaenda peke yako kwa sababu ya kuto kupumzika. Twende wote kisha baada ya hapo tuna rudi na nita pata muda mzuri wa kupumzika”

“Sawa mume wangu, basi lala hata lisaa moja kisha baada ya hapo nita kuamsha na tuta kwenda pamoja”

“Utaniandalia basi kanzu”

“Sawa mume wangu”

Nikaingia chumbani na nikajitupa kitandani nikiwa na nguo zangu. Hata dakika mbili sikumaliza usingizi mzito uklanipitia. Cauther akaniamsha na kunieleza nimelala lisa amoja na nusu, tukaoga kwa pamoja na kisha tukaanza kujiandaa.

“Hivi una jua sijawambia walinzi kwamba nina kwenda msibani”

“Wajulishe”

Nikampigia simu mlinzi wangu mkuu na kumpa maelekezo ya wapi nina elekea na vijana kadhaa wakatumwa eneo hilo la msiba kuhakikisha kwamba ulinzi una imarishwa. Baada ya maandalizi ya kiusalama kukamilika safari ya kuelekea eneo la msiba ikaanza huku Cauther akiwa amevalia baibui lililo funika nywele zake ila usoni hajavaa ninja zaidi ya miwani nyeusi. Huku nami nikiwa nimevalia kanzu nyeupe pamoja na barakashia.

“Hivi una jua juzi tu nilizungumza na huyo mdogo wake”

“Weee”

“Ndio mme wangu ngoja nikiuonyeshe video call yetu ya mwisho”

Cauther akanionyesha siku ya mwisho kuzungumza na binti huyu aliye fariki kupitia whatsapp.

“Masikini, ndio huu wa profile pic”

“Ndio yeye yaani ina uma na juzi tulikuwa tuna taniana akiniambia dada utazaa mapacha nikawa nambishia, kumbe ndio mazungumzo yetu ya mwisho, yaani ime niuma sana mume wangu”

Cauther alizungumza kwa sauti ya majonzi.

“Kazi ya Mungu haina makossa mke wangu. Vipi mtoto amasalimika?”

“Naye pia amefariki wa kike. Yaani ni majonzi juu ya majonzi”

“Mmmmm!”

Tukafika eneo la msibani, watu wengi wamekusanyika eneo hili huku wakiwemo waandishi wa habari ambao walipata tetesi ya ujio wangu eneo hili.

“Muheshimiwa raisi usitoke mara moja”

Mlinzi wangu namba moja alizungumza, huku akitugeukia na kututazama. Baada ya dakika moja akashuka akanifungulia mlango huku Cauther naye akifunguliwa mlango na mlinzi wake wa kike na tukashuka ndani ya gari. Moja kwa moja tukaeleka hadi walipo wazazi na ndugu wa karibu wa marehemu na tukawapa pole, kusema kweli wakafarijika sana kutuona kwani sio kila msiba wa mwananchiw a kawaida raisi huwa ana udhuria. Majira ya saa saba nami nikajumuika na waombolezaji wa kiume kuelekea makaburini kuupumzisha mwili wa marehemu pamoja na mwanaye. Nikajumuika vizuri katika ufukiaji wa kaburi hili hadi waombolezaji wezangu wakashangaa. Baada ya mazishi watu tukagawanyika, nikaingia ndani ya gari na walinzi wangu na safari ya kuondoka makaburini hapa ikaanza. Nikamueleza mlinzi wangu mkuu nina hitaji kuelekea eneo la waendesha taksi ambalo kabla ya kurudi kazini nilikuwa nina fanya kazi katika kijiwe kama dereva taksi. Tukafika katika kutuo hichi na kuwakuta washkaji wangu wakiendelea na majukumu yao ya kazi. Kitendo cha kushuka ndani ya gari shangwe zikatawala kwao huku kila mmoja akifurahi ujio wangu kwao.

“Niaje maze”

Nilisalimia kwa lugha ya kijiweni huku nikipeana tano na waskaji zangu hawa.

“Safi aisee”

“Kwa mara ya kwanza kijiwe chetu kimetembelewa na raisi”

“Hahaa mimi ni mwenzenu, nimetokea hapa na siwezi kuacha asili yangu. Ehee niambieni ndugu zangu kuna chagamoto gani zimetokea kwa kipindi hichi?”

“Muheshimiwa raisi”

“Niiteni tu Eddy”

“Kaka bwana changamoto yetu ile ya kipindi cha mafuta kupanda sasa mafuta yana uzika bei nafuu na pesa tuna iona”

“Sawa sawa hili ndio jambo la kumshukuru Mungu, vipi zile kampuni za mitandao walirekebisha maswala ya makato wanayo wakata?”

“Ile sasa hivi ime kaa sawa ndugu tetu. Vipi shemeji ana endeleaje?”

“Ana endelea vizuri, tunashukuru Mungu kwa kweli. Kwa hiyo ndugu zangu sasa hivi hakuna tatizo linalo wasumbua?”

“Hakuna ndugu yetu”

“Niambieni kwa maana muda wangu ndio una isha hivi. Nikiondoka madarakani musije mukapata tabu”

“Ndugu yetu labda utupe ofa japo ya mafuta”

“Haaahaa sawa kila mtu nita mjazia full tank gari lake”

Wote wakashangilia.

“Jambo la msingi ni kuzingatia misingi na taratibu za kazi”

“Kaka kuna kauli hapa ulizungumza hatujaielewa, umesama huu ndio mudawa ukiisha, ina maana huto gambania uraisi tena?”

*******************************************************************

Ili uwe wa kwanza kupata episode za mbele za hadithi hii kabambe ya X unacho paswa kufanya ni kuwasiliana nami whatsapp 0742334453 au 0657072588. Kama upo Facebook uta ipata kupitia facebook inbox kwenye page yangu ya Story Za Eddy-tz EPISODE MOJA NI SH 250/= TU. Wahi sasa

********************************************************************

“Ni mapema sana ndugu zangu kulizungumza hilo. Ila wakati ukifika tuta ambiana”

“Una jua tumesha tengeneza kabisa kamati ya kukupigia kura Tanzania nzima”

“Hahahaa ndugu zangu acheni wakati wa kujitangaza ukifika kila jambo lita kwenda sawia.”

“Sawa kaka usituangushe”

“Musijali, si kila mtu ana kadi ya mwanachama”

“Ndio kaka”

“Basi nina kwenda hapo Puma nalipa mafuta ya kila mwanachama sasa hivi mupo wangapi?”

“Tupo mia tatu ishirini kaka, wengine wametoka”

“Musijali nina jua. Nina lipa hivyo kila mmoja kwa muda wake ata pita hapo sheli na kujaza mafuta gari yake full tanki kisha maisha yatasonga mbele. Hapo muna semaje”

“Hapo sawa kaka”

Nikaagana na rafiki zangu, nikapita katika sheli hiyo ninayo hitaji kuwalipia mafuta. Nikalipa mafuta ya magari ya abiria mia tatu ishirini na kila mmoja ata jaza gari yake kwa kuonyesha kadi yake ya uwanachama na yenye namba. Baada ya kuondoka sheli hapa moja kwa moja nikalekea kituo cha polisi kukutana na waandishi ambao waliandika habari mbaya kuhusiana na maisha yangu na mke wangu. Mahababusu hawa wawili wakaletwa huku wakiwa wamechokeana. Wakastuka sana kuniona kwani mimi ndio nilitoa maagizo wakamatwe na wawekwe ndani. Wakakalishwa kwenye vitiv viwili vilivyopo katika chumba hichi cha mahojiano.

“Mzee una jua ni kwa nini upo ndani?”

“Ndio muheshimiwa”

“Sababu ni nini?”

“Gazeti langu kuandika habari zisizo na sahihi?”

“Nani aliye andika?”

“Ni huyu kijana wangu”

“Baada ya yeye kuandika ulichukua hatua gani kwake?”

Mzee huyu mwenye mvi kadhaa kichwani mwake akaka kimya huku akinitazama machoni mwangu.

“Kijana hivi una jua nguvu ya raisi aliyo nayo?”

“Ndio mkuu”

“Ulimuandika mke wangu ni gaidi una uhakika kwamba ni gaidi kweli?”

“Hapana muheshimiwa raisi”

“Kwa nini ulimuandika vile ikiwa humjui mke wangu, hujawahi kuishi naye. Una hisi alijisikiaje?”

“Muheshimiwa raisi haki ya Mungu nina kuomba unisamehe. Nakuomba sana uweze kunisahemhe muheshimiwa raisi”

Kijana huyu alizungumza huku akilia kwa uchungu.

“Hivyo muna jutia kosa lenu?”

“Ndio muheshimiwa raisi tusamehe”

“Nina waachia huru na mukawe vielelezo vizurio kwa ajili ya ya taifa hili. Musije mukaandika habari musizo na uhakika nazo kisa muna jiita udaku kwani nyinyi wana habari muna nguvu kubwa sana ya kutengeneza na kubomoa hivyo muna paswa kuwa makini sana”

“Tuna shukuru sana muheshimiwa raisi”

Nikaawachia huru kisha nikaondoka kituoni hapa, nikarudi msibani, nikawaaga wana ndugu na wazazi wa marehemu na nikarudi ikulu na mke wangu.

“Mume wangu”

“Naam”

“Nashukuru sana”

“Kwa?”

“Kwa kukubali kwenda nami kwenye msiba na nimesikia kwamba ulisaidiana na wati katika kufukia kaburi. Kila mmoja alikusifu sana na kusema wewe ni wa tofauti sana viongozi wengine”

“Usijali mke wangu. Mimi ni mtu wa kaiwada ambaye nimezaliwa na kutupwa. Nimelelewa kwenye jamii ya watoto wengi wadogo tusio jua baba na mama. Jamii iliyo nizunguka ndio baba na mama yangu. Hivyo nina muheshimu kila mmoja ndio maana nimejitoa maisha yangu kuwalinda wao”

Nilizungumza kwa upole na taratibu Cauther akanikumbatia kwa hisia kali sana. Tukaanza kunyonyana denda, viganja vyangu vikianza kukatiza maeneo mbalimbali ya mwili wa mke wangu.

“Samahani mume wangu nimechoka naomba nipumzike”

Cauther alizungumza huku akitoa viganjani mwangu.

“Sawa mke wangu usijali”

“Ila samahani mume wangu nina jua una hamu na mimi ila kuna wakati hii hali ina nitibua na kunifanya nisihisi chochote”

“Najua mke wangu. Pia hali ya msiba wa leo sidhani kama ina kufanya ujisikie vizuri”

“Ni kweli mume wangu nashukuru kwa kunielewa”

Nikamvua Cauther baibui alilo vaa kisha taratibu nikamnyanyua na kumlaza kitandani.

“Lala vizuri mke wangu, leo nitakuandalia chakula. Una taka kula nini?

“Leo nahitaji kula mchemsho wa nyama, uwe na limao jingi au ndimu nyingi na pilipili kwa mbali”

“Sawa baby chief cooker wako nipo hapa kwa ajili yako.

“Asante baby”

Nikabadilisha nguo na kuelekea jikoni.

“Muheshimiwa raisi karibu”

Wapishi walinisalimia kwa heshima.

“Nashukuru, aisee leo nahitaji kumuandalia mke wangu chakula”

“Muheshimiwa una weza kweli?”

“Ndio wala musijali. Nyinyi leo muna weza kupumzika. Acheni leo nipike mwenyewe”

“Asante muheshimiwa raisi ila kama huto jail tuna weza kukuangalia namba unavyo pika kwani tuna weza kupata ujuzi kutokea kwako”

“Hahaahahaa sawa”

*******************************************************************

Ili uwe wa kwanza kupata episode za mbele za hadithi hii kabambe ya X unacho paswa kufanya ni kuwasiliana nami whatsapp 0742334453 au 0657072588. Kama upo Facebook uta ipata kupitia facebook inbox kwenye page yangu ya Story Za Eddy-tz EPISODE MOJA NI SH 250/= TU. Wahi sasa

********************************************************************

“Muheshimiwa tuna weza kukurekodi video”

Mfanyakazi mmoja alizungumza huku akizungumza.

“Hakuna shaka”

Nikaanza kuandaa vitu kwa ajili ya kupika chakula hichi, huku wapishi hawa watano wanao pika chakula kwa jili ya raisi na familia yake wakiendelea kunitazama na toka mimi na mke wangu tumeingia ikulu wamekuwa ni watu wanao pata mapumziko ya mara kwa mara kwani mke wangu pekee ndio huniandalia chakula.

“Muheshimiwa umejifunza wapi kupika?”

Mpishi anaye nirekodi na simu yake aliniuliza.

“Toka nilipo kuwa kituo cha yatima ndio nilikuwa nina jifunza kupika kule namshukuru Mungu sasa hivi nimekuwa mpishi mzuri”

Nilizungumza huku nikiendelea kukorofisha madikodiko huku wakiendelea kunishangaa.

“Muheshimiwa nina weza kukuuliza swali la kizushi?”

“Niulize kuweni huru”

“Je una mpango wa kugombania uraisi baada ya hichi kipindi cha muda kupita?”

“Mimi ni muamini sana wa katiba ya nchi yangu kwa maana katiba ndio dini ya nchi yoyote, ina tuongoza na kutupeleka kwenye utaratibu mzuri kama nchi. Umri wangu kidogo bado upo chini tofauti na katiba inavyo sema mgombea uraisi ni lazima awe na umri fulani”

“Kwa hiyo muheshimiwa hatuto kuona tena ikulu?”

“Ndio”

“Mkuu tumekuzoa sana na tuna kupenda sana. Tafadhali fanya chochote uwe raisi bwana”

“Hahaa una jua lazima tuweze kutengenisha mapenzi na sharia. Tuheshimu sharia zaidi ya mepenzi. Leo hii nina weza kuwa mimi nikakiuka sharia na katiba ya nchi kesho ikawa kwa mwengine ambaye watu hawajampenda huoni kama ina weza kuwa ni shida kidogo kwa watu”

“Mmmmm”

“Ndio kwa maana mimi ni binadamu pia nina weza kubadilika siku na mambo yakawa ni magumu kwa kila mmoja wenu. Je mutaendelea kuniomba niendelee kuwa kiongozi au mutatamani nitoke madarakani na kuachana na nchi. Hivyo ni lazima tuhakikishe kwamba tuna fikiria mbele kwa vizazi vijavyo na kuheshimu katiba”

Niliwajibu kwa upole wapishi hawa. Nikamaliza kupika chakula hichi na kukihifadhi katika vyombo vya kuhifadhia chakula na nikakitenga mezani kwa ajili ya mke wangu kula. Nikaka sebleni na kuanza kufwatilia mambo yanayo endelea kuonyeshwa kwenye televishion. Nikashangaa kuona video ambayo mpishi wangu ameirekodi nikiwa jikoni na kuiweka mtandaoni nikiwa nina pika. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama kidogo na kumuona namba ya Willy. Nikaipokea na kuiweka simu sikioni.

“Dogo”

“Kaka hongera bwana video yako ya mapishi sasa hivi ina fanya vizuri sana mtandaoni”

“Hivi una jua hiyo video sija iidhinisha iweze kuwekwa mtandaoni kwa maana hata chakula nilicho kipika mke wnagu hajakila bado”

“Ohoo ila imekuwa ni video iliyo tazamwa na watu zaidi ya milioni tano ndani ya masaa mawili na hivi sasa watu wana endelea kutoa maoni juu ya wewe kuto kugombania uraisi”

“Wana semaje?”

“Wengi wana hitaji ugombanie uraisi kama huamini ingia kwenye hiyo Youtube Chanel ya huyo jamaa aliye iweka hiyo video”

“Ngoja niiingie”

Nikakata simu kisha nikaingia kwenye chaneli hii ya Youtube na kuanza kupitia maoni ya watu huku wengi wakiomba sana niweze kugombania uraisi na wengine wakiomba katiba ifanyiwe marekebisho ya haraka iwezekanavyo kabla hata ya muda wa uchaguzi kufika ili niweze kukizi vigezo vya kuingia madarakani nikiwa na umri wangu wa miaka thelathini n kitu.



Nikatoka katika mtandoa wa Youtube na kuingia katika akaunti yangu ya mtandao wa Twitter. Nikaanza kuandika post ya kuiweka mtandaoni ili wananchi wote wasome.

‘Najua muna penda mimi kuwa kiongozi wa hii nchi, ila ukweli ni kwamba katiba hainipi uwezo wa kugombania nikiwa na umri wa miaka hii niliyo nayo sasa hivi. Hivyo nina waomba wananchi munipatie muda wa kutosha kwenye kujipanga kwa awamu zinako kuja ili niwe kiongozi wan chi hii. Nina imani muda ukifika kila kitu kitasimama chenyewe na kuwa imara. Nina wapenda wote na Mungu awabariki”

Kabla sijairuhusu post hii kwenda hewani, nikamuona Cauther akiingia hapa sebleni huku akipiga miyayo ya uchovu.

“Mke wangu nimekuandalia chakula chako, tena nilitaka kuja kukuamsha muda huu”

“Waooo asante mume wangu”

Cauther akanibusu mdomoni kisha akakaka pembeni yangu na kukilaza kichwa chake begani mwangu.

“Leo nilikuwa nina pika huku nina rekodiwa.”

“Na nani?”

Nikamuonyesha Caauther video hii.

“Mpishi yule mrefu mrefu alikuwa ana nipikia”

“Duu kwa hiyo umewaonyesha watu maujuzi ya kupika. Hahaahaaa”

“Ndio hivyo mke wangu hii video watu wengi wana toa maoni mengi sana kuhusiana na mimi kuwa kiongozi. Ila nimeandika hii status hapa nina taka kuipost hembu iangalie”

Nikamuonyesha Cauther Status yangu ya Twitter ninayo taka kuipost hewani. Akaisoma kwa sekunde kadhaa.

“Usiipost”

“Kwa nini?”

“Una jua kama mumepanga kumsimamisha raisi mwengine kama ulivyo niambia. Ata kataliwa na watu mapema, jambo la kufanya wewe kaushua, acha wabishane huko mtandaoni kisha baada ya hapo siku ya uchaguzi ikifika uta mtandangaza yule mwana mama huku ukiwa na sababu kadhaa za kuwashawishi wananchi juu ya kwa nini umeamua huto gombania uraisi tena”

“Ahaa sawa mke wangu”

“Tule mume wangu kwa maana huyu mwanao huku tumboni ana nimalizia chakula change”

“Hahaaa”

Tukanyanyuka na kukaa katika viti vya meza ya chakula. Nikampakulia mke wangu chakula na taratibu tukaanza kula.

“Mmmm chakula kitamu sana”

“Kweli?”

“Ndio mume wangu una weza kusema mimi ndio nimepika”

“Haha nimeiba ujuzi wa kuchanganya vile viungo vyako vya kiarabu arabu”

“Hahaa kweli chakula kitamu”

Tukaendelea kula kwa pamoja hadi tukamaliza. Tukatoka eneo hili tunalo ishi na tukaeleka kwenye bustani kubwa iliyopo hapa ikulu huku kukiwa na bwawa dogo ambalo bata maalumu wana fugwa. Tukakaa kwenye noja ya benchi.

“Mume wangu mtoto akitoka wa kiume utamuita nani?”

“Hivi sikuchagua jina?”

“Sina kumbukumbu?”

“Mmmmm kwenye majina hapo tutulie kwanza mke wangu kwa maana nina hitaji mwanangu awe na jina tofauti na majina ya watu wengi””

“Jina gani sasa?”

“Lolote ila ngoja Mungu atusaidie tumpate, kama akiwa wa kike nita mpa jina lake kama atakuwa wa kiume nita mpa jina lake”

“Ila nime miss sana kulala Kigamboni”

“Kule kwenye nyumba yetu?”

“Ndio mume wangu”

“Kesho tutalala kule japo nita kuwa nina kiuka misingi na taratibu ya uraisi kwa maana raisi akiwa karibu na ikulu huwa hapaswi kulala nje ya ikulu. Ndio maana kila mkoa kuna ikulu ndogo ndogo kwa ajili ya raisi na makamu wake”

“Sawa basi ile wiki ambayo nita kuwa nina subiria kujifungua nitakaa kule kwa maana muda wako si utakuwa umekwisha?”

“Ndio mke wangu”

“Ona kule mume wangu”

Cauther akanionyesha nyota tatu zilizipo angani huku zikiwa zimejipanga mstari mmoja.

“Zile nyota ni baba, mama na watoto hivyo ile ya katikati ndio ata kuwa mtoto wetu”

“Hahaaa”

“Ndio mume wangu ile nyota ya kulia ni wewe, ile ya kushoto ni mimi na wakatikati ni mtoto wetu. Kipindi nilipo kuwa ni mdogo baba alikuwa ana niambia kwamba, yeye na mama ni zile nyota za kulia na kushoto kisha mimi ni ile nyota ya katikati”

“Nikuulize swali mke wangu”

“Niulize tu”

“Hivi ulisha wahi kufikiria kwamba ipo siku uta kuja kuwa na mwanaume wa aina yangu”

Cauther akanitazama usoni mwangu kwa sekunde kadhaa kisha akatabasamu.

“Kwenye maisha yetu ya utotoni tulilelewa vibaya sana. Tulilelewa ya kujiona sisi ni zaidi ya watu weusi. Yaani tulikuwa tuna wachukulia watu weusi kama sio watu sahihi kwenye maisha yetu. Hivyo sisi waarabu, wahindi, wazungu, ndio tulikuwa tuna jiona ni watu ndio maana hata kwenye shule zetu ilikuwa ni ngumu sana kumkuta kijana wa kiafrika. Kwani walikiwa wana pata kunyanyapaliwa kutokana na rangi zao. Ila nilipo kuja kukua na kuanza kupata ufahamu, nikasema mbona waafrika nao wana uwezo mkubwa sana wa kiakili kuliko sisi na isitoshe ni wazuri. Ndio hapo fikra zangu zilipo badilika kabisa.”

“Hata siku ambayo nina panda taksi yako, nilikuwa mchangamfu sana kwako na kuweka yale majigambo ya kusema mimi ni murabu, sijui kwetu tuna pesa na nikajishusha na kuwa mtu wa kawaida kabisa kwako”

“Hahaa ila una jua Mungu akiamua kuwakutanisha watu ana wakutanisha kwa njia nyingi sana’

“Ndio hivyo mume wangu. Watu hukutanishwa kwa njia nyingi sana. Kwa jinsi wazazi wangu walivyo kuwa wana weka vikwazo juu ya penzi letu, ila leo hii wote wakienda sehemu wana pewa huduma haraka na kuheshimiwa kwa maana ni wakwe wa raisi kwa hiyo ni ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kweli.”

“Nina kupenda sana mke wangu, kwani ulinionyesha ujasiri wa kuamua kuacha family yako iliyo kulea toka ulipo kuwa mdogo hadi ukajitambua na ukaamua kufwatana nami. Kusema kweli nilifarijika sana na pale ndipo nilipo ona Mungu ameniletea mwanamke sahihi kwenye maisha yangu”

Cauther taratibu akaninyonya denda pasipo kujali walinzi walio simama eneo hili kuhakikisha ulinzi una kuwa ni imara. Ujumbe mfupi ukaingia katika simu yangu, taratbu nikaziachanisha lipsi zangu na lispi za Cauther, nikaitoa simu yangu mfukoni na kuufungua ujumbe huu.

‘SNICH MMOJA BAADA YA MWENGINE ATA KUFA NA HUTO JUA CHOCHOTE KUHUSIANA NA SISI’

Meseji hii ikanistua kidogo ila nikajikaza mke wangu asitambue chochote na moja kwa moja nikatambua kwamba ujumbe huu umetoka kwa makamu wa raisi ambaye yeye ndio mtu pekee anaye wasiliana na mimi kwa kutimia private namba.

“Nini baby?”

Cauther aliniuliza huku akinitazama machoni mwangu.

“Hakuna chochote mke wangu”

“Sawa”

Cauther taratubu akajigeuza na akakilaza kichwa chake juu ya mapaja yangu na kutazama angani.

“Huwa nina penda sana kutazama anga na kuziona nyota. Hivi mume wangu kuna nyota ngapo angani?”

“Mmmm kusema kweli sifahamu mke wangu na sidhani kama kuna takwimu zina onyesha kuna nyota kiasi gani angani”

“Ina zipo nyingi ehee?”

“Ndio zita kuwa nyingi tu angani na nyota zipo mbali sana na dunia ndio maana zina onekana ndogo.”

“Hivi wana sayansi hawawezi kubundi mbinu ya kwenda kwenye nyota huko kwa maana kama wameweza kwenda mwenzini hawashindwi kwenda kwenye nyota”

“Nahisi kwenda kwenye hizo nyota ni hatari sana mke wangu kwa maana kama ile ina mwanga ambao una onekana duniani, sipatii picha zikisogelewa karibu kabisa”

“Ila naamini ipo siku tuta kuja kushuhudia wakienda kwenye nyota. Ila mume wangu una jua Mungu ni waajabu sana”

“Kwa nini?”

“kwa maana kama kuna sayari kama pluto, kwa nini aliamua kutuweka duniani si angetuweka kwenye pluto huko”

“Hahaa sasa kwenye Pluto naona tusinge tosha”

“Ila kweli si kwa mafujo haya yaliyopo hapa duniani, ila mume wangu mtu akianda kuishi kama kwenye sayari ya Mars hivi ana weza kufa na siku zake za kufa si zina badilka kwa maana si amebadilisha mfumo kutoka duniani na kuishi kwenye Mars”

“Hahaahaa mke wangu kuna mambo ambayo hata binadamu mwenyewe kwa ufahamu wake hawezi kufahamu, ni Mungu mwenyewe na malaika wake ndio anaye jua namna ambayo tunapaswa kuishi”

“Aisee kazi kweli kweli.”

Cauther akatetemeka kidogo.

“Vipi mbona una tetemeka mke wangu”

“Sijui hata ni nini, ila naona damu imenisisimka na vinyweleo kama vimesimama”

Cauther alizungumza huku akikaa kitako na uso wake ukakosa furaha kabisa.

“Ni nini sasa?”

“Hata sijui mume wangu”

“Ila watoto wa uswahilini huwa tuna sema kwamba mtu damu ikisisimka ni shetani kapita”

“Mmmm shetani apite hadi ikulu”

“Ina wezekana kwani ikulu kuna nini?”

Cauther akashusha pumzi nyingi.

“Nina wasiwasi mume wangu”

“Wasiwasi wa nini?”

“Sijui yaani umenikumba galfa tu”

“Mmmmmm pole mke wangu”

“Nashukuru Mume wangu”

“Twende nikakuonyeshe kitu”

Nilizungumza huku nikinyanyuka, nikampa mkono Cauther na akanyanyuka. Tukaanza kutembea huku kwa mara kadhaa nikimtazama machoni mwake.

“Una kwenda kunionyesha nini?”

“Nakupitisha kwenye makumbusho ya hapa ikulu”

Tukaingia eneo la makumbusho ya hapa ikuku ambapo kuna picha nyingi za maraisi walio pita katika nchi hii.

“Hii nchi imetawaliwa na maraisi wengi ehee?”

Cauther alizungumza huku tukitazama ubao wenye picha za maraisi waliopita pamoja na historia zao.

“Ndio”

“Raisi mwanamke wa pili wa kike ni huyu ana itwa K2?”

Cauther alizungumza huku akitaza picha ya mwana mama huyu aliye ni raisi.

“Ndio na tuna taka tusimamishe raisi mwengine wa tatu mwanamke. Yule raisi wa kwanza wa mwanamke Tanzania ana itwa Rahabu katika historia inavyo sema mume wake alikuwa ni raisi hivyo aliuwawa na yeye akachukua madaraka”

“Ahaaa na huyu Raisi K2 alikuwa ni mkuu wa kitengo cha NSS, ambapo kaka yake naye alikuwa ni raisin a mwisho wa siku kaka yale aliuwawa na yeye akaja kuchukua madaraka. Una ambiwa raisi K2 alikuwa ni mwana mama jasiri na shupavu ila mwisho wa siku alikuja kuuwawa na gaidi mmoja anaye itwa Dany kwa kukatwa kichwa”

“Masikini weee. Huyo gaidi sasa alimuuaje muaje ikiwa raisi ana watu wengi wanao mlinda?”

“Sijui ilikuwaje ila una ambiwa huyo gaidi Dany alikuwa ni mmoja wa wana NSS ambaye alikuwa ana fanya kazi chini ya K2 sasa sijui hapo katikati mambo yalitibuka vipi hadi wakaja kuchinjana”

“Mmmm sema ili taifa liwe kubwa dunini ni lazima kuwe na histori za kikatili kama hizi”

“Ndio hivyo mke wangu, hata mimi muda wangu ukiisha nami nitaingia kwenye idadi hii ya kuwa raisi wa thelathini na mbili”

“Sasa wewe si umeongoza miezi mitatu tu?”

“Ndio nita kuwa nami nina historia yangu ya kwamba raisi wa kwanza mwenye umri mdogo na aliye ongoza serikali kwa muda mfupi”

“Huyu raisi Godwin naye historia yake una ijua?”

Cauther alizungumza huku akitazama picha ya raisi Godwin.

“Huyu bwana mzee alitaka kuja kufanya mambo ya kipuuzi kwenye utawala wake.”

“Mambo gani mume wangu?”

“Huyu mzee alitaka kuibadilisha nchi kutoka kwenye utawala wa kidemokrasi hadi utawala wa kifalme yaani yeye na familia yake ndio watawale weee hadi mwisho wa dunia. Sasa mambo yalimuendea kombo pale alipo pata ukinzani kutoka kwa mwanaye aitwaye Eddy Godwin. Na huyu Eddy ndio alimpindua baba yake”

“Mmm mume wangu histori zao umezijulia wapi?”

“Kipindi nilipo kuwa jeshini, nilikuwa nina penda sana kusoma maswala ya kihistoria hususani ya nchi yetu ndio maana nimejua mambo mengi juu ya hawa maraisi ambao ambao walikuwa na visanga vyao”

“Mwanamke mwenye maoni Julieth, ndio nani?”

Cauther alizungumza huku tukitazama picha ya watu walio toa mchango mkubwa kwenye nchi ya Tanzania.

“Dada huyu alikuwa ni mwanamke wa kipekee kwa kipindi hichi. Wanavyo dai kwamba alikuwa na uwezo wa kuwasiliana na Mungu moja kwa moja na akamuonyesha mambo yajayo na yanayo weza kutokea kwa muda mfupi na mrefu”

“Mmmm!!”

“Ndio na huyu ndio mwanamke aliye tambua hadhina kubwa ambayo leo hii ndio ime ifikisha nchi yetu hapa tulipo”

“Huyu mwanamke yupo?”

“Alisha fariki miaka kama thelathini na kitu nyuma.”

“Masikini wee sasa kwa ni Mungu hakumpa miaka mingi hadi kuja kuona watu kama sisi”

“Mmm una ambiwa kipindi ana fariki alikuwa na miaka mia na ishini”

“Mmmmm”

“Ndio maana ana itwa mama wa maono na uchumi wa kitajiri na nguvu ilitokea kwake na ndio maana tuliweza kiipiku Marekani kwenye enzi zoa”

“Aisee huyu raisi Mtenzi naye ni nani?”

Cauther alizungumza huku akiionyooshea kidole picha ya raisi Mtenzi.”

“Raisi mbishi aliye garimu maisha ya watu wengi sana Tanzania”

“Una maana gani kusema alikuwa ni raisi mbishi”

“Huyu mzee kipindi ana tawala alipata bahati ya kuwa na huyu mwana mama wa maono Julieth. Kuna kipindi alielezwa kwamba jiji la Dar es Salaam lipo kwenye tahadhari ya kushambuliwa na A-Shabab hawa tulio wapiga majuzi juzi. Mzee akaleta ubishi, kuna baadhi ya post zilikuwa zina tembea kwenye mitandao ya kijamii zikiwaomba watu waweze kutoka ndani ya jiji la Dar es Salaam kwa muda ila mzee akabisha kwa sababu mwanaye wa kiume alikuwa ana funga ndoa na mmoja wa binti wa nabii mmoja aliye kuwa maarufu kipindi hichi anaitwa nabii nani yule……”

Niliwaza kidogo.

“Yaa nimekumbuka ana itwa Nabii Sanga. Bwana wee una ambiwa siku ya hasiri ya kijana huyo wa raisi, mambomu yalifumuka. Unaambiwa Dar nzima ilikuwa kama jehanamu, mabomu yalilipuka, watu walikufa, majengo yalianguka. Yaani unaambiwa haikuwa sio eneo salama kwa watu kuishi”

“Masikini wee”

“Yaa kwa hiyo katika kipindi cha uongozi wa huyu mzee ndio alishudia wananchi wengi wakifa kutokana na ubishi wake”

“Sasa kwa nini hao Al-Shabab walivamia?”

“Kwa sababu ina semakeana aliwavamia kutokana na wrong information aliyo letewa na wapelelezi wake, kuna wana usalama waliwawa baharini, wakaamini kwamba walio tekeleza hilo jambo ni Al-Shabab hivyo mzee alikwenda kuwavamia ila alicho kipata naamini hata huko kuzimu alipo bado ana jutia kwa maamuzi yake mabaya kwani siku hiyo alimpoteza mke wake na chupuchupu na yeye afe”

“Masikini wewe”

“Ndio maana una ambiwa mke wangu kwenye uongozi wowote tumia busara hususani maamuzi yanayo husiana na nchi”

LIKE PAGE YANGU Story Za Eddy-tz

“Ni kweli mume wangu. Huyu Ethan Klopp naye ni nani?”

“Huyu bwana likuwa ndio kampteni wa kwanza kubeba kombe la dunini wa nchi hii ya Tanzania.

“Waoo kwa hiyo kwenye ile historia ya nchi ya Tanzania kuchukua kombe kumbe huyu ndio aliye isaidia nchi kuchukua kombe”

“Ndio mke wangu”

Mlinzi wangu namba moja akanifwata sehemu nilipo simama mimi na mke wangu.

“Samahani muheshimiwa raisi naweza kukunong’oneza?”

“Ndio”

Akanisogelea na kuninong’oneza jambo lililo nistua sana na kuufanya moyo wangu kuanza kwenda kasi na kutawaliwa na wasiwasi mwingi kiasi cha kujikuta nguvu za miguu zikianza kuninyong’onyea



“Nina kuja”

Nilizungumza kwa sauti ya unyonge kidogo na mlizni wangu huku akanitazama machoni kwa sekunde kadhaa kisha akatingisha kichwa akimaanisha amenielewa. Akatoka ndani hapa na nikabaki na mke wangu.

“Honey kuna nini?”

“Ahaa ni maswala tu ya kiserikali. Twende ofisini kwangu kwanza”

“Si ningeenda nyumbani tu nikapumzike mume wangu”

“Tuta enda wote kwa maana sio kazi kubwa”

“Sawa”

Tukatoka ndani hapa na kuanza kutembea kwenye kordo hii ndefu.

“Simu yako ipo wapi mke wangu?”

“Nimeiacha ndani”

“Sawa”

Tukaingia ofisini kwangu, hazikuisha hata dakika mbili mshauri wangu mkuu pamoja na Judy wakaingia ndani hapa.

“Muheshimiwa raisi aha…..”

Mshauri wangu mkuu akapata kigugumizi huku akimtazama Cauther ambaye yupo bize akitzama picha yetu ndogo niliyo iweka hapa mezani.

“Mkuu una hitajika commanding room”

“Judy utapiga piga story na wifi yako hapa nina kuja”

“Sawa mkuu”

“Baby nisubirie hapa”

“Sawa mume wangu, si nina weza kujilaza hapa kwenye sofa?”

“Ndio”

Nikambusu Cauther katika lipsi zake kisha nikatoka ofisini hapa na kuongozana na mshauri wangu huyu mkuu pamoja na walinzi wangu.

“Imekuwaje?”

Nilimuuliza mshauri wangu huyu huku tukiingia kwenye lifti ambayo ina tupelekea chini ya ardhi ambapo ndipo kumejengwa ukumbi huu wa kuendeshea oparesheni zote za kiusalama nikiwa mimi kama amiri jeshi mkuu wa nchi hii ya Tanzania.

“Dakika ishirini na tano zilizo pita mkuu”

“Imedunguliwa kwenye zote ya taifa gani?”

“Somalia”

Nikashusha pumzi nyingi huku mikononi mwangu nikikunja kumi na mwili mzima ukitetemeka kwa hasira.

“Abiri?”

“Wote wamefarikiri pamoja na wafanyakazi wa ndege hiyo.”

Nikafumba macho kwa skeunde kadhaa kwa maana mmoja wa abiri walio kwenye ndege ya shirika la nchi ya Tanzania, ni baba yangu mkwe. Lift hii ikafunguka na tukaingia kwenye ukumbi huu na kila kila mtu akasimama huku wakuu wa majeshi ambao tayari wamesha fika eneo hili kabla yangu wakinipigia saluti. Nikapiga hatua hadi kwenye tv kubw ailiyo humu ndani, nikatazama video inayo onyesha ndege yetu jinsi inavyo teketea kwa moto.

“Nani ameituma hii video?”

“Ni wanajeshi wetu wanao linda usalama walipo nchini Somalia”

“Naomnba listi ya abiria wote”

Nikakabidhiwa ipda yenye orodha ya abiria wote miambili arobaini nanne waliomo ndani ya ndege hii kubwa ya abiria. Nikashusha kidole change hadi kwenye jina la baba mkwe, nikalibonyeza na zikafunguka taarifa zake, muda alio kata tiketi, hati yake ya kusafiria, huku mwisho wa safari yake ikiwa ni nchini Tanzania wakitokea Dubai. Ukimya ukatawala ndani hapa huku watu wote wakinitazama kwa maana kila mmoja ana jua ni namna gani msiba huu ulivyo mzito kwa taifa letu. Nikageuka na taratibu nikapiga hatua hadi kwenye kiti changu, nikakaa huku nikiwa sielewi nianzie wapi.

“Muheshimiwa raisi”

Madam Caro aliniita huku akinitazama machoni mwangu.

“Ndio”

“Kombora hililo ilipua ndege yetu limetoka baharini kwenye moja ya submarine ambazo bado tuna endelea kuzitrack ili tufahamu ni wapi ilipo toka na ina milikiwa na jeshi gani”

“Umesema submarine?”

“Ndio muheshimiwa kwa maana imekuwa na uwezo mkubwa wa kutuma bomu hilo angani hadi likaichangua ndege yetu”

“Mulivyo fahamu mume fanya chochote juu ya hiyo submarine?”

“Muheshimiwa raisi picha za satelaite zina tuonyesha ni namna gani bomu hili lilivyo toka. Ila tulivyo jaribu ku scan hadi chini kabisa kwenye eneo hilo hatujafanikiwa kuiona hiyo submarine muheshimiwa”

“Kwa haraka muna hisi ni kina nani wamehusika na shambulizi hili?”

“Muheshimiwa raisi kusema kweli hatuwezi kuwashuku wa Somalia kwa maana kama unavyo fahamu majeshi yetu yapo pale Somalia yakiendelea kuimarisha ulinzi wan chi hiyo.”

Nikatoa simu yangu kwa haraka na nikasoma ujumbe ulio tumwa kutoa kwenye namba ambayo ni private, sasa nikaanza kupata picha kwamba snich aliye kuwa ana zungumziwa hapa ni baba yangu mkwe. Simu yangu ikaanza kuita, nikastuka kidogo mara baada ya kuona namba Salum, kaka yake Cauther. Nikashusha pumzi kidogo kisha nikaipokea.

“Shem habari ya usiku, samahani kwa kukusumbua bwana”

Shemeji Salum alizungumza huku akionyesha yupo kwenye wakati wa majonzo mengi.

“Salam, vipi?”

Nilijifanya kama sifahamu chochote.

“Mzee hatupo naye tena shemeji”

“Una maanisha nini?”

“Ndege ambayo mzee amepanda akitokea Dubai imeanguka nchini Somalia na ime lipuka, yaaani daa hapa nina jiandaa kwenda Somalia kudhibitisha hilo”

“Ngoja umeitoa wapi hiyo habari?”

“Nimepigiwa simu na rafiki wa karibu wa baba”

“Yeye yupo wapi?”

“Yupo Dubai, ana fanya kazi kwenye uwanja wa ndege wa Dubai na wamepoteza mawasiliano na ndege ya Tanzania dakika kama thelathini zilizo pita na walivyo fwatilia kwa vifaa vyao wamegundua kwamba ime anguka”

“Nipatie jina la huyo mkuu wa uwanja wa ndege?”

“Naye ana itwa Salum Rakshim”

“Nashukuru, nani mwengine ana jua hiyo habari?”

“Ni mimi tu shemeji”

“Sasa usije ukamuambia mtu yoyote. Hadi nitakapo kupigia”

“Sawa shemeji”

“Tafadhali Salumu kaa kama hujui lililo tokea, una jua hali ya bibi yako, mama yako na dada yako wakizipokea hizi taarifa kwa mstuko tuna weza kuwapoteza. Cha kufanya sasa hivi, kwanza upo wapi?”

“Ndipo kwangu shemeji”

“Nenda nyumbani kwa mzee, hakikisha kwamba tv zina kuwa mbali na wana ndugu kwa maana hii habari ita tangazwa muda si mrefu na vyombo vya habari. Usiende Somalia na wala usionyeshe una jua chochote. Umenielwa Salum?”

“Ndio sheme”

“Nashukuru”

Nikakata simu huku nikishusha pumzi.

“Muheshimiwa raisi kwa sasa vijana wapo eneo la tukio wakishirikiana na wanajeshi wa nchi ya Somalia na wameweza kudhibitisha kwamba hakuna hata abiria mmoja aliye pona na miili yao yote imeteketea kwa moto”

Waziri wa ulinzi alizungumza huku akinitazama machoni mwangu.

“Nahitaji hiyo submarine muitafute na ipatikane, na nina hitaji submarine za Tanzania ziendeshe oparesheni kwenye ukanda huo kuhakikisha kwamba hiyo submarine ina patikana na ikipatikana muna jua nini cha kufanya. Tuna elewana?”

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Msemaji wa ikulu, andaa statement na itangazwe kwenye vyombo vya habari sasa hivi. Hatuwezi kuficha habari kama hii na tukayaachia mashirika ya habari ya nchi nyingine kututangazia habari kama hii. Madam Caro nahitaji unitafutie mawasiliano na huyu mtu anayeitwa Salium Rakshim ni mkuu wa uwanja wa ndege Dubai. Hivyo nahitaji kuzungumza naye usiku huu.”

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Tusikilizane”

Watu wote wakaacha wancho kifanya na kunisikiliza.

“Huu ni msiba wa taifa na kwa mara nyingine tuna kwenda kushuhudia ndege yetu ya pili ikidunguliwa ikiwa hewani. Sisi kama taifa hatuwezi kusubiri tena au kuendelea kushuhudia ndugu zetu wakifia angani na miili yao kugeuka uwa majivu. Hii ni vita ramsi, niwepo ndani yah ii ofisi au nisiwepo ndani ya hii ofisi ila wahusika ni lazima wapatikane. Kwenye kipindi kama hichi ni wakati wa sisi kama nchi kusimama pamoja, wale walio kufa pale ni ndugu zetu, walio kuwa na ndoto kubwa kwenye maisha yao na huku familia zoa zikiwasubiria nyumbani. Nahitaji kuanzia hivi sasa target yetu iwe ni kundi la SCORPION. Uwe umesikia fununu juu ya kundi hili au huja sikia ila hawa ndio target yetu. Wamehusika na kifo cha raisi, wamebusika na kulipuka kwa vyungu vya nyuklia, wamehusika kwenye milipuko ya ndege zote mbili. Mbaya zaidi ni kwamba kundi hili lina ongozw ana makamu wa raisi mstafu”

Karibia watu wote humu ofisini wakastuka kwa maana kwa wengi wao ndio stori mpya.

“Niwe nimekufa au niwe hai hawa watu ni lazima tuwasake kwani sio matuko hayo tu niliyo yataja wana husika. Wamewaua viongozi wengi nchini Ujerumani kwa mabomu ile siku ya mkutano wa kimataifa. Wamehusika kwenye mapinduzi ya raisi wa Somalia, wamehusika kwenye kifo cha waziri mkuu wetu mstafu. Hili ni kundi la watu hatari, wenye pesa na wenye mamlaka kwenye nchini nyingi sana duniani. Hivyo ina tupasa kwa pamoaj kuungana, kwani pia wameuhusika kwenye vivyo vya wezangu wa kundi la X. Kwa ufupi hawa watu wapo hivi, wakimtaka kumsimamisha mtu wao basi hutumia njia ya mauaji kuhakikisha kumuondoa wasiye mtataka. Maraisi wengi walio kufa siku ya tisa December wengi wao walikuwa wapo kinyume na makubaliano ya kukubali hicho chama na wakauwawa. Nina imani wanachama wa hilo kundi la Scorpion hata humu ndani ya hii ikulu wapo na wana fwatilia hatua moja baada ya nyingine ninayo piga. Sasa niwape habari muzifikishe kwao, hii vita sasa hivi sio ya uraisi na wao bali ni vita ya taifa zima la Tanzania na wao. Tuta wasaka, tuta wapata na tutakacho kifanya ni kuwaua, hakuna mahakama itakayo tuhukumu kwa maamuzi yetu. Na kama upo humu ndani ya ikulu au ndani ya hichi chumba na una penyeza habari za siri, tambua siku zako zina hesabika, ikfika siku yako utakufa tu. Nashukuru”

Mara baada ya kuzungumza maneno hayo kwa uchungu mwingi sana na hasira. Nikasimama tatratibu kwenye kiti.

“Muheshimiwa raisi”

Madam Caro akaniita huku akinitazama usoni mwangu.

“Tuna weza kupata nafasi ya kuzungumza”

“Ndio”

Tukaingia kwenye ofisi ya vioo iliyomo eneo hili.

“Muheshimiwa raisi kama ni scorpion ndio wamehusika kwenye hili basi ina bidi tuwatangaze hadharani kama yalivyo makundi ya kigaidi mengine.”

Nikatoa simu yangu mfukoni na kumuonyesha madame Caro akaitazama meseji niliyo tumiwa.

“Ime toka kwa nani?”

“Makamu wa raisi na hayo yalikuwa ni masaa machache kabla ya ajali hiyo kutokea. Na sikuweza kujua kama kuna kitu kama hicho kina kwenda kutokea. Ndio maana niliipuuzia kwani ilikuja kwa mfumo wa mafumbo. Laiti kama ningejua nina imani ningefanya kila liwezekanalo kuokoa maisha ya baba yangu mkwe”

“Ila sio kosa lako muheshimiwa raisi. Nina kuahidi nikichukua nchi hawa watu nita dili nao kisawa sawa kwani wameniulia vijana wangu wengi wasio kuwa na hatia”

“Hilo ndio jambo la msingi, uemshaa jiandaa kwa ajili ya kuiongoza hii nchi?”

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Basi kuna maeneo ambayo una takiwa kuyafagia. Hakikisha kwamba wakuu wa mikoa una weka wengine, wakuu wa wilaya, wakurugenzi, hakikisha vitengo vya usalama, una weza watu sahihi. Hakikisha nchi ina kuwa salama muda wowote una nilewa”

“Nimekuelewa mkuu”

“Leo wamemuua baba yangu mkwe na kuwaua watu wengine wasio na hatia, kesho wata taka kumua mke wangu na mwanangu. Hivyo akili yangu sasa hivi ina bidi niipeleke kwenye ulinzi wa watu hao wawili. Nahitaj mwezi huu ulio salia uanze kuongoza wewe nchi na ujue nini kinacho fukuta ndani ya hili jungu nilililopo mimi”

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Sera zako ulizo panga kuzitekeleza ni zipi na zipi?”

“Sera ya kwanza ni kuhakikisha ulinzi wa nchi una kuwa imara. Kile kikosi cha X ni lazima kikapatiwe mafunzo na kitengo cha NSS kitafungwa mara baada ya vijana hao kutoka mafunzoni. Pili kuhakikisha uchumi wa nchi una zidi kupanda na kuwa imara zaidi. Tatu kuhakikisha kwamba mazingira ya wafanya biashara yana zidi kuboreshwa na wawekezaji wana zidi kuongezeka nchini na kuzalisha ajira nyingi zaidi kwa wananchi”

“Safi, sasa hivi acha kwanza nikazungumze na mke wangu na nina tambua kwamba mke wangu sasa hivi hajui chochote ila akijua hali ina weza kuwa sio yali. Nahitaji usimamie oparesheni zote zilizopo hapa ikulu na kuanzia hivi sasa nina kutea kuwa makamu wa raisi wa muda.”

“Shukrani sana muheshimiwa raisi. Nita jitahidi kufanya kazi kadri ya uwezo wangu, Mungu aniongoze”

Tukatoka ofisini hapa na nikawatangazia wote kwamba kuanzia hivi sasa madame Caro ndio makamu wa raisi msaidizi na oparesheni zote zinazo paswa kufwanywa na mimi ata zishuhulikia yeye. Kutokana ni amri hakuna aliye pinga maamuzi yangu. Nikatoak ofisini hapa nikiongozana na mshauri wangu pamoja na walinzi wangu.

“Naanzaje”

Nilizungumza huku tukiwa ndani ya lifti.

“Una maanisha nini mkuu?”

“Naanzaje kumueleza mke wangu kwamba baba yake amefariki”

“Mmmm na wana mahusiano mazuri yeye na baba yake?”

“Ndio Cauther ana mpenda sana baba yake”

“Hapo kuna mtiani muheshimiwa na hali aliyo nayo ina bidi umuandae kisaikolojia sana”

“Ndio maana nawaza sana tusije tukampoteza mama na mtoto aliyopo tumboni.”

“Samahani muheshimiwa, mke wako ana pendelea kufanya vitu gani?”

“Kwa nini una uliza?”

“Ina bidi kabla ya kumuambie uhakikishe awe kwenye mazingira ya vitu anavyo vipenda”

“Ana penda kula chocolate kwneye duka la hapa ikulu zipo?”

“Ndio muheshimiwa”

Tukaelekea hadi kwenye duka kubwa la hapa ikulu ambalo lina uza vitu vyote vya kula kwa rejereja. Nikatazama chocolate anayo ipenda Cauther nikamnunulia mbili kisha tukaelekea ofisini nilipo muacha na Judy. Nikawakuta wakicheka kwa furaha huku wakigongeana mikono.

“Naona muna furahi sana”

Nilizungumza huku nikika pembeni ya Cauther.

“Yaani leo wifi amenichekesha sana leo”

“Nimekuletea zawadi”

“Waooooo mume wangu asante sana”

Cauther alizungumza huku akinibusu mfululizo mashavuni mwangu.

“Nakupenda sana mume wangu”

“Nakupenda pia mke wangu”

“Ila leo baby mwanao ana rusha rusha mateke huku tumboni kama nini”

“Wee”

“Ndio nimemuonyesha na wifi jinsi anavyo nisumbua”

“Nimemuambia wifi kwamba ana zaa wa kike ana kata”

“Hahaa mimi nataka kidume Judy maombi yako yashindwe na ya legee kwa jina la Yesu”

“Hahaaa sasa mke wangu leo nina jisikia kulala nyumbani kwenu”

“Saa hivi si watakuwa wamesha lala?”

“Nitampigia Nadia anifungulie geti, una jua ukiona mtoto ana rusha rusha miguu ujue ndio wakati wake sasa akitoka tukiwa peke yetu bila msaada wa kina mama ita kuwaje?”

“Ila huu ni mwezi wake was aba, sidhani kama ana weza kutoka?”

“Ina wezekana wifi, watoto wengi mbona wamezaliwa na miezi saba”

“Mmm mimi Mungu anisaidie azaliwe na miezi yake tisa jamani.”

“Mungu atabariki mume wangu. Vipi twende au?”

“Sawa mimi sina tatizo mume wangu. Twende”

“Judy nisaidie kwenye hilo kuandaa msafara”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Judy akanyanyuka na akatoka ofisini hapa na kuniacha na mke wangu. Nikamfungulia chocolate hii na akaanza kuila taratibu.

“Mmmm tamu sana, yaani hizi chocolate nina zipenda sana”

“Kweli?”

“Ndio nina zipenda snaa mume wangu, Yaani nna furahi sana nikizila hizi”

Cauther alizungumza kwa furaha hadi nijajihisi maumivu makali sana moyoni mwangu kwani hii furaha yake aliyo itatoweka akifahamu ukweli kwamba baba yake sasa hivi ni marehemu na hapa nikakumbuka muda ambao alipoteza furaha tukiwa katika bustani hapa ndipo nikazidi kupata picha kwamba Cauther na baba yake wana muunganiko mzuri sana kati yao ambao mmoja akipata tatizo basi mwengine ana pata machele ya haraka sana.



Judy akaingia ofisini hapa.

“Muheshimiwa raisi msafara upo tayari”

“Sawa”

“Baby ngoja nikachukue simu yangu”

“Judy ata kwenda kukuchukulia”

“Sawa”

Nikamshika mkono mke wangu na tukatoka ofisini hapa. Tukaingia katik gari maalumu la raisi, baada ya dakika mbili Judy akaja akiwa na simu ya mke wangu na kunikabidhi. Nikaifungua na jambo la kumshukuru Mungu sijakuta meseji yoyote wala missed call kutoka kwa ndugu yake.

“Baby ungempigia simu Nadia mapema ukamuambia tuna kuja ili tufunguliwe geti”

“Ohoo nilikuwa nimesahau”

Nikampigia simu Nadia na akapokea.

“Mke umelala?”

“Ndio mume, mbona usiku”

“Tuna kuja nyumbani kulala huko, hivyo utamjulisha mama”

“Sasa hivi?”

“Ndio”

“Woooo ngoja niamke niwasubirie”

“Sawa mke wnagu mdogo”

Nikakata simu huku Cauther akitabasamu kwa maana maisha ninayo ishi na mdogo wake ni mazuri ila laity kama angejua kwamba nimesha wahi kulala na mdogo wake wala asinge furahia ukaribu wetu hadi kwa sekunde moja. Tukafika nyumbani kwa wake zetu majira ya saa saba kasoro usiku. Tukakaribishwa na mama mkwe, Salumu pamoja na Nadia. Nikasalimiana nao kisha Cauther akaelekea chumbani kuaanda mazingira ya sisi kulala.

“Bora umekuja shemeji. Tuna fanya nini?”

Salimu alizungumza huku tukitoka sebleni hapa.

“Hapa ndipo kichwa kinapo niuma aisee. Sijui tuna anzaje kuwaambia hawa kina mama.”

“Ila shem je uchunguzi umefanyika wa kutosha kuona ni kweli maiti wote wamefariki?”

“Somalia kuna wanajeshi wa Kitanzania na eneo ndege ilipo anguka walifanikiwa kufika kwa uharaka zaidi ila kwa bahati mbaya kila mtu amefariki”

“Chanzo cha ajali ni nini?”

“Hadi sasa hivi vyombo husika vinafanya uchunguzi kufahamu chanzo cha ajali ila kwa sasa tuishi kama hatujui chochote kilicho tokea kwa maana ina bidi tupate uhakika wa moja kwa moja”

“Sawa shemeji”

“Acha nikalele kwa maana sihitaji kumuonyesha Cauther utofauti wa aina yoyote kwenye hili”

“Sawa shemeji”

Judy akanifwata nilipo simama.

“Mkuu kuna simu yako”

Ikabidu niachane na Salumu na moja kwa moja nikaingia katika gari langu la raisi ambali lina simu maalumu ya kiofisi.

“Imetoka wapi?”

“Kwa raisi wa Somalia”

Nikawasha tv ndogo kwani simu hii imepigwa kwa njia ya video.

“Habari za muda huu muheshimiwa raisi”

“Sio nzuri sana ndugu yangu”

“Kwanza nitangulize kutoa pole kubwa sana kwa taifa lako. Pili wanajeshi wako pamoja na wanajeshi wangu wana endelea kufanya uchunguzi kwenye eneo lililo tokea kombora lililo shambulia ndege yako”

“Nashukuru kwa hilo muheshimiwa raisi. Ila ina bidi uhakikishe kwamba zone yako ya bahari ina lindwa vikamilifu kwa maana laity kama ningekuwa sielewi ni hali gani uliyo nayo nchini kwkao, moja kwa moja ningetambua kwamba nchi yako ime husika. Ila kwa sasa sina mawazo hayo zaidi ya kumsaka muhusika aliye husika. Nikuhakikishie tu, tutamkamata na tukimshika tuta mshuhulikia ipasavyo”

“Nashukuru na nina imani kwenye hili kwa maana wasiwasi wangu mkubwa ni kwamba bado nchi haijasimama kwenye uimara wake na matukio kama haya yakitokea ni njia moja wapo ya kutuchonganisha”

“Usijali mimi ni muelewa”

“Nashukuru sana muheshimiwa raisin a nikutakie usiku mwema”

“Nawe pia”

Nikakata simu hii na nikashuka ndani ya gari.

“Raisi wa Somalia ana wasiwasi sana juu ya hili”

“Masikini wee”

“Yaa Judy ngoja nikapumzike kwanza na huyu bidie kama huto jail ina weza kwenda kulala. Ila kesho asubuhui hakikisha una kuja hapa pamoja na Willy”

“Saw ahata muda fulani nilizungumza naye akanieleza kwamba ana jitahidi kufahamu ni wapi bomu hilo limetokea”

“Sawa”

Nikaingia ndani, nikamkuta Nadia sebleni akinisubiria.

“Upo bize mume wangu”

“Si una jua kazi za watu hizi bwana”

“Ni kweli. Naweza kukunong’oneza?”

“Ndio”

Nadia akanisogelea hadi sikioni mwangu na kuninong;oneza.

“Nina nyeg** Eddy naomba unipe japo goli moja”

“Mazingira sio rafiki mpenzi, ngoja tutatafuta mazingira mengine”

“Mmmm jamani”

“Yaa isitoshe hapa nipo ukweni chochoro za nyumba hii sizijui kivile hivyo vumilia hadi tutakapo pana tafasi nzuri”

“Sawa mume wangu”

Nikaachana na Nadia na kuingia chumbani kwetu.

“Baby”

Cauther aliniita huku akiwa amelala chali kitandani.

“Naam”

“Moyo wangu mbona una poteza amani mara kwa mara”

Nikavua suruali pamoja na shati langu kisha nikapanda kitandani na kukaa pembeni ya mke wangu.

“Kwani hiyo hali ilisha wahi kukutokea?”

“Ndio ila ilinitokea kipindi fulani mama mdogo alipo fariki, ni mtu ambaye alikuwa ana nipenda sana ten asana na mimi nilikuwa nina mpenda. Hivyo siku ambayo amefariki nilikuwa nipo Uingereza, nilipoteza amani na mwili ulisisimka sana ila nilishindwa kuelewa na baadae nikaambiwa mama mdogo amefariki, kwa kweli niliumia sana. Sasa leo hii ina nitokea tena, nahisi kama kuna mtu amekufa mume wangu”

“Mmmm ni imani tu mke wangu, sio kila hali ya kupoteza amani ni msiba”

“Mume wnagu hii ni mara ya pili kwenye maisha yangu baada yamiaka kama saba hivi kupita.”

Nikashusha pumzi taratibu na kumtazama Cauther machoni mwake.

“Upo na mimi sasa hivi, hivyo amini kwamba hizo ni imani tu mke wangu usizipe nafasi akilini, isije mtoto akaathirika tumboni”

“Mmmm ila kusema kweli sijui kama hii siku ina weza kuisha salama”

“No ita isha salama mke wangu”

“Naomba maji mume wangu”

“Ya kunywa?”

“Ndio ya moto”

Nikashuka kitandani, nikavaa suruali na shati langu nikashuka chini kwa maana chumba hichi kipo gorofani. Nikaingia jikoni nikamimina maji ya kunywa ambayo sio ya basiri. Nikarudi gorofani na kumkuta Cauther akiwa ameweka simu yake sikioni. Nikaka pembeni yake na kumpatia glasi.

“Nina jaribu kumpigia simu baba ila simpati hewani?”

“Labda ni kutokana namtandoa huko Dubai”

“Ni kweli ila mama aliniambia kwamba leo hii ana rudi Tanzania atafika na ndege ya alfajiri. Labda yupo angani”

“Labda”

Cauther akaweka simu yake pembeni mwa kitanda kisha akapokea glasi hii na kuanza kunywa taratibu.

“Asante mume wangu”

“Usijali mke wangu”

Taratibu Cauther akajilaza, nikamuweka vizuri mto wake.

“Ila sio jambo la kawaida kaka Salumu kuja hapa nyumbani majira haya peke yake bila ya mke wake wala wanaye”

“Una maanisha nini?”

“Najiuliza kwa nini amekuja majira haya “

“Mmmm labda ametoka sehemu zake akaona apitie alale hapa, au ulimuuliza?”

“Nimemuuliza ila ameniambia amepisha na mke wake, nimejaribu kumpigia wifi hajapokea”

“Kwani wana tabia ya kugombana?”

“Sana tu, kaka yangu ni mkorofi na kicheche hivyo wifi wa watu huwa ana vumilia tu”

“Duu kazi kweli kweli”

“Yaani ndio hivyo uta kuta amesha mpiga makofi mtoto wa watu”

Taratibu nikaanza kukipitisha kiganja changu tumboni mwa Cauther.

“Ninajisikia faraja na furaha sana kuona mwangu yupo katika tumbo la mwanamke ninaye mpenda “

“Hata mimi najisikia faraja ya kuwa na mwanaume ninaye mpenda.”

Nikamnyonya Cauther kidogo katika lipsi zake, simu ikaanza kuita nikaitoa mfukoni na kuangalia namba inayo nipigia, nikakuta ni namba ya Willy.

“Dogo”

“Kaka samabani nimekupigia muda kama huu”

“Usijali, nipatie ripoti”

“Nimefanikiwa kufahamu submarine iliyo shambulia ndege yetu imetokea nchi gani”

“Weee, ehee imeptokea nchi gani?”

“Imetokea nchini Russi”

“Nini?”

“Ndio na sasa hivi hivi ipo South mwa India Ocea”

“Ina maana ime katiza kwenye zone yetu?”

“Hapana imakatiza kwenye zone ya visiwa vya Madagascar”

“Upo wapi?”

“Nyumbani”

“Judy amesha fika?”

“Ndio na nipo naye”

“Una uhakika ndio hiyo iliyo fanya shambulizi?””

“Ndio nina uhakika muheshimiwa raisi”

Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama Cauther anaye nifwatilia mazungumzo yangu kwa ukaribu sana.

“Tukutane ikulu sasa hivi”

“Sawa kaka”

Nikakata simu na kumsogelea Cauther.

“Mke wangu ahaa kuja jambo limetokea sasa hivi, hivyo ina hidi nielekee ikukulu”

“Ni nini kilicho tokea?”

“Kuna jambo moja la kiusalama lime tokea, lina nihitaji mimi kufanya maamuzi”

“Mwenyezi Mungu akutangulie mume wangu na uakfanye maamuzi yaliyo mema na bora kwa ajili ya taifa hili”

“Amen”

“Njoo hapa”

Cauther akanivuta na kunikumbatia kwa nguvu kidogo. Tukanyonyana denda kwa dakika moja kisha nikaachiana na mke wangu.

“Beee”

Cauther aliniita kwa sauti ya unyonge kdogo.

“Naam”

“Nakupenda sana mume wangu”

“Nina kupenda pia mke wangu. Ulalae salama”

“Nashukuru”

Nikatoka ndani hapa na moja kwa moja nikaeleka kwenye gari langu na kuondoka nyumbani hapa na walinzi wangu huku walinzi wengine wakibaki kwa ajili ya kumlinda mke wa raisi. Tukafika ikulku na moja kwa moja nikaelekea commanding room na nikawakuta Judy na Willy wakiwa wamesha fika.

“Ehee imefikia wapi?”

Nilizungumza huku nikika kwenye kiti change. Nikatazama saa yangu ya mkononi na ina onyesha sasa hivi ni saa kumi na moja kasoro.

“Muheshimiwa kwa sasa imesha ingia kwenye zote ya Atlantic Ocean”

Willy alijibu huku akionyesha video inayo rekodiwa na Satelaite namna manohari inavyo kwenda kwa kasi futi nyingi sana ndani ya maji kutoka usawa wa bahari.

“Mume idhibitisha ndio iliyo lipua ndege yetu?”

“Ndio mkuu”

Madam Caro alijibu huku akinitazama.

“Nionyesheni udhibitisho”

Willy akaweka video jinsi submarine(nyambizi) hiyo inavyo shambulia ndege yetu.

“Bomu walilo lishambulia wao ni 12K15 SLBM missiles”

“Si nyuklia hiyo?”

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Fuc**”

Nilijikuta nikitukana huku nikiwa na hasira kali sana.

“Ampigieni ADM”

Nilizungumza huku nikikunja ngumi kwenye viganja vyangu.

“Sawa mkuu”

Akapigiwa simu mkuu wa jeshi la maji. Kisha nikakabidhiwa simu.


“Nina imani una jua kinacho endelea?”

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Nahitaji hiyo submarine isambaratishwe haijalishi haipo kwenye zone yetu. Ila nahitaji izamishwe tuna elewana?”

“Nimekupata muheshimiwa raisi tuna ingia mzigoni”

Nikakata simu na kuirudisha mezani na kuwafanya watu wote kukaa kimya huku wakinitazama kwani maamuzi niliyo yafanya yana weza kuleta madhara kwenye nchi ila kwa sasa sijali kwani kilichopo mbele yetu ni kulipa kisasi kwa adui yetu aliye tushambulia.



“Muheshimiwa raisi kabla hatujachukua maamuzi ya kijeshi tungewasiliana kwanza na serikali ya Russia na kuwauliza juu ya hiyo subamarine. Tusije kujikuta tuna ingia kwenye mtego ambao uta tugarimu nchi kama nchi”

Judy alizungumza huku akinitazama machoni mwangu.

“Ni kweli muhehsimiwa raisi alicho kizungumza Judy. Inabidi tuwasiliana na raisi wa Russia moja kwa moja”

Mshauri wangu mkuu alizungumza huku akinitazama machoni mwangu. Watu wote wakaka kimya na kunitazama maamuzi nitakayo yatoa. Nikashusha pumzi huku nikiwatazama.

“Mpigieni sasa hivi nizungumze naye”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Simu ikapigwa nchini Russia na baada ya mdua ikapokelewa na wahusika wa ikulu na moja kwa moja nikaunganishwa na ofisi kwa raisi.

“Muheshimiwa raisi habari yako”

“Salama raisi Eddy, ni suprize umenifanyia kwa maana ni kwa mdua mrefu sana ofisi yako haijawasiliana na ofisi yangu”

“Ni kweli. Muheshimiwa raisi nina ishu ya muhimu sana. Ndege yangu ya abiria ya shirika la nchi yangu ime shambuliwa na submarine ya nchi yako ambayo ime tuma kombora aina ya 12K15 SLBM missiles na ninavyo zungumza hivi sasa submarine yako ina jaribu kutoka nje ya bara la Afrika”

“Submarine yangu? Mbona sijatoa oder yoyote kuhusiana na submarine kuingia kwenye bahari ya Asia.”

“Nina kutumia ushahidi wa video sasa hivi utazame na kama sio submarine yako basi mimi nijue namna ya kudili nayo”

“Hembu nitumie”

Ndani ya sekunde kumi video hiyo ikapokelewa katika ofisi ya raisi wa Russia.

“Naitazama hapa muheshimiwa raisi?”

“Sawa nina subiria kujua kama ni wewe au kuna mzunguko mwegine?”

“Hii sio submarine yetu na hatuna submarine za aina hiyo na wametumia nembo ya nchi yangu ila sio yangu”

“Una uhakika?”

“Asilimia mia moja sio yangu. Una weza kuendelea na oparesheni yako muheshimiwa raisi”

“Nashukuru kwa ushirikiano wako muheshimiwa raisi”

“Karibu sana”

“Nashukuru”

Nikashusha mkonga wa simu hii na kuirudisha sehemu nilipo itoa. Nikasimama na kutemea hadi kwenye tv kubwa sana iliyo ndani ya ukumbi huu ambayo ina onyesha namba submarine hiyo inapo elekea.

‘Washenzi nyinyi lazima tuwateketeze”

“Muheshimiwa raisi adui yupo kwenye taget yetu”

Niliisikia sauti kutoka kwa mkuu wa jeshi la maji akizungumza kwenye simu iliyo unganishwa moja kwa moja ana makampteni wa meli za kivita pamoja na submarine walipo katika ukanda mzima wa bahari ya Hindi hususani kwenye eneo letu la bahari.

“Shembuli”

Nilitoa agizo hilo na makombora mawili yanayo kwenda kwa kasi yakaachiwa kwenye moja meli kubwa ya kivita na makombora haya kasi yake ni kubwa kiasi kwamba kuifikia submarine hiyo iliypopo mbali na nchi yetu ni jambo la haraka sana. Submarine hiyo ikajaribu kulikwepa bomu la kwanza ila bomu la pili halikuweza kuwaacha kwani limeipata submarine hiyo barabara na kuichangua vipande vipande na kuwafanya watu wote ndani humu kushangilia kwa furaha. Nikawageukia nikiwa na uso wa hasira na kuwafanya watu wote kukaa kimya.

“Ndugu zetu wamekufa, inchi ipo kwenye msiba, hakuna haja ya kupiga makofi, Makamu wa raisi nina kuhitaji ofisini kwangu”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Nikatoka ndani hapa nikiongozana na washauri wangu, nikakutana na walinzi wangu mlangoni na tukaondoka kwa pamoja na kuleleke ofisini kwangu. Makamu wa raisi akaingi ndani hapa huku akiwa katika hali ya wasiwasi kidogo.

“Kaa hapo”

Nilimuelekeza makamu wa raisi kiti change cha uraisi ambacho kisheria hapaswi kukaa mtu mwengine zaidi ya raisi peke yake.

“Umesema?”

“Umenisikia kaa kwenye kiti hicho”

Taratibu madam Caro akaka kwenye kiti cha uraisi na kunitazama.

“Una jisikiaje kukaa hapo?”

“Vizuri muheshimiwa”

“Nina imani una kwenda kuwa raisi wa tatu mwanamke kwenye hii nchi baada ya Rahabu, K2 sasa una fwata wewe. Mimi nilikalia hicho kiti kwa ajali na nchi nimeifikisha hapa ilipo kwa siku hizi chache. Ila wewe una kwenda kukaa kwenye hicho kiti kwa miaka mitano na ikiwezekana kumi kabisa. Jambo la msingi ambalo nina hitaji kukuambia, nchi hii ina maadui na maadui ni watu wanao toka ndani ya nchi, walio zaliwa ndani yah ii nchi na kukulia ndani ya nchi na kuwa viongozi hii nchi. Uovu wao mbaya wanao ufanya kwenye hii nchi ni kutokana na hicho kiti ulicho kalia. Ukiwa umekaa hapo una kuwa ni kiongozi mwenye nguvu kubwa sana duniani. Kiongozi mwenye mamlaka makubwa sana duniani na jicho la nchi nyingi duniani lina kuangalia wewe. Sijui au sidhani kama tuna weza kupata muda wa kuzungumza haya ninayo yazungumza huko mbeleni. Ila tambua kwamba ili uwe kiongozi mzuri na mwenye nguvu unapaswa kufwata hii sharia. Moja hakikisha kwamba una kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi ya haraka yenye nguvu na uwezo wa kukufanya status yako ibaki nzuri. Mbili hakikisha uwe una fwatilia vitu na kuvisimamia ipasavyo kwa maana ugonjwa wa viongozi wengi wa hii nchi huwa wana ingiza siasa kwenye ishu serious za kiserikali kitu ambacho ni bulshit.”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama madam Caro machoni mwako.

“Nilipo kupendekeza uwe mgombea baada ya mimi kuachia hichi kiti ni kwamba niliona uwezo wako na sikutazama jinsia yako. Uwezo wako utumie pale unapo kuwa umekalia hicho kiti, usijaribu kumpa nafasi audui yako akajua next spep yako. Mkanganyiko wa vijanana wako kukusaliti kweye NSS ni kutokana na upuuzi wa makamu wa raisi aliye pita ambaye aliingiza vijana wengi kwenye sekta nyingi za kiusalama ikiwemo mimi ili baadaye aje kuwatumia kama mbwa wake. Hakikisha una kuwa macho kwenye hili, umenielewa?

“Nimekuelewa muheshimiwa raisi”

“Tambua nina kuachia gunia la misumari ubebe kwenye kichwa chako chenye upara. Tambua ukikalia hicho kiti una kalia kinyume na matakwa ya kundi la Scorpion na watakacho kifanya ni kukuweka most wanted kwenye blacklist yao. Una jua nini kitakacho fwata kwako?”

“Hapana mkuu”

“Watakuua”

Madam Caro macho yakamtoka kidogo huku akinitazama kwa mshangao kidogo.

“Ndio watakuua usishangae kwa maana sio jambo jipya. Raisi alite pita walimuua baada ya kwenda kinyume na mipango ambayo walikubaliana kipindi wana mkalisha kwenye hicho kiti. Hivyo walimuua na mke wake akachukuliwa akiwa hapa hapa madarakani”

“Una manaa?”

“Alikuwa kimada wa makamu wa raisi”

“Mungu wangu, nilihisi yule mtoto ana ongopea labla kutokana na kifo cha baba yake kumbe ni kweli?”

“Ni jambo la ukweli. Ila kwa sasa tusiongelee hayo maswala. Kitu ninacho kueleza ni kwamba una paswa kuwa mafia unapo kalia hicho kiti. Una paswa kuwa katili unapo kalia hicho kiti, unapaswa kuwa the fuc**ing monster. Hakikisha una ua na sio kuuliwa”

“Nimekuelewa muheshimiwa raisi”

“Hakikisha kwamba una lindwa na watu unao waamini. Watu watakao kuwa tayari kukatwa kiongo kimoja baada ya kingine cha miili yao kuhakikisha hawato siri zako za ndani na wala siri zako za kiusalama. Una nielewa?”

“Ndio muheshimiwa raisi nime kuelewa”

“Nashukuru kwa kunielewa?

“Naweza kukuuliza jambo”

“Ndio”

“Kwa nini umeniambia haya yote?”

“Kwa maana nina jua mambo mengi kuliko unavyo hisi. Nimekueleza ujitahadhari mapema”

“Nashukuru muheshimiwa na nina kuhakikishia kwamba sinto kuangusha.”

“Nashukuru”

Mlango ukafunguliwa na Judy akaingia spidi kidogo.

“Samhani waheshimiwa, kuan tatizo”

“Tatizo gani?”

“Kuna wananchi wa Tanzania wamevamiwa mpakani mwa Tanzania na Msumbiji katika kijiji cha Mtole na kikundi kimoja cha majambazi kutoka nchini Msumbji na kimeteka baadhi ya raia”

“Mungu wangu”

Makamu wa raisi alitahamahaki.

“Wangapi wameuwawa?”

Nilimuuliza Judy huku nikimtazama machoni mwake.

“Kumi na tano muheshimiwa na walio tekwa ni tisa”

“Hicho kijiji cha Mtole si kipo Msumbiji?”

“Ndio muheshimiwa raisi ila ni mpakani mwa Tanzania na wao”

Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama Judy.

“Hicho kikundi kina jina?”

“Kwa taarifa ya sasa hivi muheshimiwa bado hatujapata jina halisi la hicho kikundi na inavyo onyesha ni watu kutokana Msumbiji na Tanzania wana shirikiana kufanya mauaji hayo”

“Umesema watu wangapi Judy?”

Nilimuuliza Judy kwa maana kichwa change kimesha anza kuchoka.

“Kumi na tano wlaio uwawa na tisa wametekwa na wauaji hao wamevaa sare za kipolisi za nchi ya Msumbiji”

Judy alizungumza huku akituonyesha picha za watu hao, nikajikuta nikikuna kichwa kwa maana haya mauaji sasa yamefululiza.

Nikaka akimya kwa sekunde kadha huku nikimtazama Judy.

“Nahitaji wauaji wote walio husika wasakwe na wauwae”

“Ila muheshimiwa ina bidi tuweze kuwasiliana na serikali ya Msumbiji kuhusiana na mauaji haya kama ni kushirikiana kuwasaka basi tuwasake kwa kushirikiana”

Judy alizungumza huku akinitazama machoni mwangu.

“Mpigieni raisi wa Msumbiji”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Mshauri wangu mkuu akingia ndani hapa na kuwasha tv.

“Watu wote walio kwenye ndege hiyo ya shirika la ndege nchini Tanzania wamefariki duniani”

Tulikuta mtangazaji wa kituo cha Al-Jazira akizungumza kauli iliyo tufanya tushushe pumzi.

“Msemaji wa ikulu amesha toa statement juu ya ajali hiyo?”

Niliuliza.

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Hivyo hawajatuwahi?”

“Sisi ndio wa kwanza kuitoa taarifa hiyo”

“Muheshimiwa raisi, raisi wa msumbiji yupo katika video call”

Judy aliniambia, nikapiga hatua hadi kwenye kiti change nikakaa na kuwasha computer yangu iluyopo mezani na nikaonana uso kwa uso na raisi wa Zambia.

“Muheshimiwa raisi habari ya usiku”

“Salama ndugu yangu, nina imani una habari juu ya watu wangu walio uwawa kwenye nchi yako na wengine kutekwa”

“Ndio muheshimiwa raisi habari hiyo nimeipokea hivi punde na nimeagiza vyomgo vya usalama kuhakikisha wana fwatilia hilo tukio na kuwakamata wahusika wote wa mauaji hayo na raia walio tekwa wana wana kombolewa”

“Sawa muheshimiwa raisi ila nahitaji jambo moja kama huto jali”

“Niombe tu muheshimiwa raisi”

“Wauaji wamevalia sare za polisi wa jeshi lako. Hivyo nahitaji vikosi vyangu maalumu kuingia nchini mwako kuhakikisha kwamba wana lishuhulikia hili ndani ya muda mchache sana”

“Ila muheshimiwa raisi nime kuhakikishia kwamba tuta wakamata na kuwakomboa raia wako wote usijali kwenye hilo”

“Nisikilize kwa umakini walio uwawa ni Watanzania na damu zao haziendi bure na walio shikiliwa ni Watanzania na nahitaji wawe salama. Usiingize siasa kwenye watu wangu una nielewa. Nahitaji vikosi vyangu kuingia nchini kwako na kuwasaka ndani ya ishirini nan a wakikamatwa sina la mswalie mtume. Tuna elewana muheshimiwa raisi”

“Ila hii ni nchi yangu sasa kuingizi vikosi vyako vya kijeshi na kufanya kazi kwenye nchi yangu ina onyesha Dhahiri kwamba una zarau jeshi langu. Nime kuambia vikosi vipo kazini na vita lifanyi kazi hilo swala sinto penda kuona vikosi vya nchi yako vina ingia nchini mwangu na kuendesha oparesheni yoyote. Tuna elewana muhehimiwa raisi”

Raisi wa Msumbiji alizungumza kwa msisitizo. Judy, makamu wa raisi na mshauri wangu mkuu wakanitazama kwani wana sikiliza hichi kiancho endelea.

“Sasa hivi ina elekea alfajiri, ikifika saa sita mchana haujanipatia feedback yoyote, nisikufiche vikosi vyangu vita ingia nchini mwako na endapo uta jaribu kuvizuia nitajua moja kwa moja kwamba serikali yako ime husika kwenye hili na nitakacho kifanya ni kuchukuaa maamuzi ya kijeshi. Haijalishi kwamba nyinyi ni majirani zetu wa muda mrefu na tuna urafiki wa muda mrefu. Ila inapo mwagika damu ya hata mwananchi wangu mmoja, basi ina thamani kubwa kuliko unavyo fikiria. Una nielewa muheshimiwa raisi?”

Niliuzungumza kwa msisitizo huku nikimkazia macho.

“Ila muheshimiwa….”

“Nimemaliza mazungumzo na wewe. Saa sita unipigie na sio mimi nikupigie, nikutakie masaa mema”

Nikakata simu hii ya video kisha nikasimama.

“Muda mwengine ukifwatisha maswala ya kidiplomasia wata kuchezea sharubu”

Nilizungumza huku nikirudi kukaa kwenye sofa.

“Muheshimiwa ina maana uta chukua maamuzi ya kijeshi kwenye hili swala?”

Mshauri wangu alizungumza huku akinitazama machoni.

“Ndio, ina bidi ifikie kipindi tujijua kwamba sisi ni kina nani, kipindi Marekani akiwa ni namba moja hapakuwa nan chi yoyote iliyo weza kunyanyua kauli juu yake na kama raisi wake akiuwawa nchi yoyote au kutekwa alikuwa ana tuma vikosi bila ya kuulizana wala kushauriana na nchi husika. Hivyo huyu akijiachanganya nita muonyesha nguvu ya nchi yangu”

“Ila muheshimiwa hawa Msumbiji hatujawahi kuwaruzana nao?”

“Najua ila ila kila mgogoro huwa una chanzo chake na siku ya kuanza. Angekubali sasa hivi vikosi vingevuka mpakani na kuwasaka wahusika. Ila mumemsikia alivyo zungumza yeye mwenyewe ana amini jeshi lake basi acha tumpa nafasi ya kujitetea”

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Bendera ishushwe nusu mlingoti, huu ni msiba mwengine wa taifa”

“Sawa mkuu”

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa katika mfuko wa suruali yangu. Mapigo ya moyo yakanistuka kidogo mara baada ya kuona ni simu ya shemeji. Nikaitazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaipokea.

“Ndio shemeji”

“Shemeji mke wako amepokea habari na amezimia hapa ninavyo zungumza tuna muwahisha hospitali ya Muhimbili na hali yake sio nzuri”

Nikajikuta nikisimama huku nikianza kutoka ndani hapa kwa hatua ndefu bila ya kumuaga mtu yoyote na nikawafanya Judy na wezake kuanza kunifwata kwa nyuma huku wakiniuliza nini kilicho tokea, ila hata kinywa change hakiwezi kufunguka na kuwajibu kwani habari hii sikutaka imfikie Cauther akiwa peke yake kwani hili nililiisi lina weza kutokea.



“Naomba funguo ya gari”

Nilimuambia mmoja wa madereva wa ikulu niliye mkuta eneo la maegesho ya magari.

“Muheshim……”

“Funguo”

Nilizungumza kwa kufoka na kumfanya jamaa kuanza kutetemeka, akanikabidhi funguo ya gari, nikaingia ndani ya gari kwa haraka na Judy naye akaingia. Nikawasha gari hii na kuirudisha nyuma kwa kwasi.

“Kuna nini mkuu?”

Judy aliniuliza huku akinitazama machoni mwangu, nikaanza kuondoka eneo hili kwa mwendo wa kasi huku geti zikifunguliwa kwa uharaka, nikakanyaga breki kidogo na kukunja kona ya kulia kwangu na kuifanya gari kuserereka hadi Judy akaguna. Gari nyingine za walinzi hazikuwa na budi ya kulifukuzia gari hili kwa nyuma kwani ni jukumu lao kunilinda mimi popote ninapo kwenda.

“Mke wangu ana anakimbizwa Muhimbili”

Nilimjibu Judy huku nikizidi kuongeza mwendo wa gari hili.

“Mungu wangu amekumbwa na nini?”

“Amepokea habari kwamba baba yake amefariki, hivyo habari hiyo imemstua sana”

“Ohooo Mungu wangu!!”

Nikaanza kupiga honi kwa nguvu mara baada ya kukaribia kufika katika geti la hospitali ya Muhimbili. Geti likafunguliwa, kwa uharaka huku wakidhani kwamba gari lina mgonjwa. Nikasimamisha gari hili kwa kasi na nikashuka huku nikitoa simu yangu mfukoni. Nikampigia simu Salum.

“Ndio shemeji”

“Mupo wapi?”

“Ndio tunaingia hapa Muhimbili”

Nikaona gari ya Salumu ikiingia getini, kitendo cha gari hilo kusimama kwa haraka nikakalikimbilia, nikafungua mlango wa nyuma na nikamuona Cauther akiwa amelazwa challi siti ta nyuma huku kichwa chake akiwa emekilaza mapajani mwa Nadia. Nikamtoa taratibu na kumbebe mke wangu huku nikikimbilia eneo walipo manesi tayari na kitanda. Moyo ukazidi kujawa na wasiwasi mara baada ya kuona majimaji yakimwagika kutoka katika sehemu za siri za mke wangu.

“Mlaze hivi”

Nesi mmoja alinielekeza namna ya kumlaza kwenye kitanda hichi cha matairi. Nikamlaza mke wangu na kwa haraka kitanda kikaanza kusukumwa ndani huku nami nikifwata nyuma nikiambatana na Judy, shemeji zangu pamoja na walinzi wangu.

“Ina bidi uishie hapo muheshimiwa”

Dokta mmoja alizungumza huku wakimuingiza Judy kwenye chumba cha matibabu.

“Ila ni mke wangu”

“Nina lifahamu hilo muheshimiwa ila ina bidi tumshuhulikie kwanza”

“Mkuu waache madokta wafanye kazi yao”

Judy alizungumza huku akinishika mkono wangu wa kushoto.

“Nawaomba mumsaidie mke wangu”

“Usijali mkuu, jukumu letu ni kuhakikisha kwamba hali ya mgonjwa ina kuwa salama.”

Dokta mara baada ya kumaliza kuzungumza akaingia ndani ya chumba hichi na milango miwili ikafungwa. Nikawatazama shemeji zangu jinsi walivyo jawa na huzuni kubwa, huku Nadia akiwa kama mtu aliye pigwa na bumbuwazi.

“Habari ameipata wapi?”

Nilimuuliza shemeji Salum huku nikimtazama usoni mwake. Akanikabidhi simu ya Cauther na nikatoa neneo la siri. Nikaona missed call mbili kutoka kwenye private number na ya tatu Cauther alipokea namba hiyo na moja kwa moja nina fahamu ina toka kwa makamu wa raisi.

‘Amevuka mstari huyu mpuuzi’

Nikaingia upande wa mafaili yaliyo funguliwa muda ulio pita, nikaona faili la video iliyo tumwa ikitokea katika mtandao wa Whatsapp. Nikaifungua video hii ambayo Cauther aliitaza.

‘Huu ndio udhibitisho wa kwamba baba yako alikuwa ni miongoni mwa watu walio kuwa ndani ya ndege iliyo lipuliwa kutokana na uongozi mbovu wa mume wako Eddy. Ungozi ulio jaa manyanyaso kwa baadhi ya watu, uongozi una mfanya awe na maadui wengi. Uongozi unao mfanya awe kiongozi mbovu duniani. Leo baba yako wamemuua kwa ajili yake sasa kesho wata muua mama yako, mdogo wako, ndugu zako na mwanao aliyopo tumbvboni’

Niliisikia saunti nzito ikitokea kwenye video hiyo huku ikonyesha namna jinsi baba mkwe akiwa katika ndege iliyo lipuliwa pamoja na abiria wengine. Video hiyo imerekodiwa muda mchache kabla ya ndege kulipuka kutoka kwenye kamera zilizipo ndani ya ndege hiyo na kwa asilimia kubwa ni kwamba kamara hizo zilidukuliwa. Shemeji kwa haraka akanipokonya simu ya dada yake na kuitazama video hiyo kwani sauti hiyo imesikiwa na kila mtu. Nikakaa katika benchi hili huku nikitetemeka kwa hasira kali sana hadi kila mtu akaanza kuniogopa.

“Shemeji kwa hiyo umehusika na kifo cha baab yangu eheee?”

Shemeji Salum alizunguza kwa ukali sana na kuwafanya walinzi wangu wawili kusimama mbele yangu ili kuweka mpaka kati yangu na yeye ili asinidhuru.

“Sogeeni”

Nilizungumza kwa ukali na walinzi wakasogea mbele yangu.

“Nijibu wewee”

Shemeji Salumu alizidi kufoka na kunifanya nisimame taratibu.

“Muheshimiwa tulia”

Judy alizungumza huku akisimama pembeni yangu.

“Mtoeni huyu kijana”

Mshauri wangu mkuu alizungumza na walinzi wangu wakamkamata shemeji.

“Muacheni”

“Ila muheshim….”

“Nimesema muacheni”

Wakamuachia Salumu na akanifwata karibu yangu na kunishika shati langu eneo la kufuani na kunitazama kwa macho yanayo mwagikwa na machozi.

“Nilijua tu kwamba wewe utaleta matatizo kwenye familia yetu”

Nikamsukuma shemeji kwa nguvu na akaanguka chini na watu wote wakashangaa kwani jinsi nilivyo msukuma ni kama vile mtu aliye rushwa na shoti ya umeme.

“Una jua baba yako alikuwa nani mseng** wewe?”

Nilitukana huku nikimsogelea Salumu aliye anza kurudi nyuma taratibu huku akiwa amejawa na woga.

“Nilimuacha baba yako na sikuhitaji kumpeleka jela kwa sababu ni mkwe wangu na nilimmezea alafu una kuja kuzungumza maswala ya kiseng**. Nisikilize wewe, huyu ni mke wangu na nina majukumu ya kumlinda hivyo kama umechoka kuka hapa nyanyua matako yako na uondoke kabla sijakufanyia kitu ambacho dunia nzima itashangaa.

“Kaka mbona una kuwa mgomvi. Shemeji ana makosa gani, una mjua shemeji vizuri wewe ehee?”

Nadia alilalama huku akimtazama kaka yake aliye kaa chini huku akitetemeka kwa woga.

“Shemeji achana naye nakuomba unisikilize mimi tafadhali kwa sasa tuangalie hali ya dada na tumuombee kwa mwenyezi Mungu apone”

Nadia alizungumza huku akinisogela akanishika viganja vya mikono yangu vinavyo tetemeka kwa hasira kali sana.

“Nakuomba shemeji punguza jazba. Kaka ni mtu wa kupani pasipo kutimia akili nakuomba sana shemeji yangu.

Mara baada ya Nadia kuzungumza maneno hayo akanikumbatia taratibu.

“Kaka ondoka basi”

Taratibu Salum akanyanyuka na kuondoka eneo hili. Nikarudi kwenye benchi niliko kuwa nimekaa.

“Judy”

“Ndio muheshimiwa”

“Jirushie hii video mtumie Willy muambie nahitaji ahakikishe ana mpata huyo mpuuzi”

“Sawa mkuu”

Judy akafanya kama nilivyo muagiza baada ya mugiza. Hadi ina fika saa moja na dakika kumi asubuhi mlango wa chumba alicho ingizwa Cauther ukafunguliwa na daktari akatoka huku akiwa amevalia mavazi ya kufanyia upasuaji. Akavua miwani aliyo ivaa na kunitazama mchoni mwangu.

“Hongera sana muheshimiwa raisi”

Daktari alizungumza huku uso wake ukiwa na tabasamu.

“Hongera ya nini?”

“Mke wako amefanikiwa kujifungua mtoto wa kike kabla ya muda wa miezi tisa kutimia na kiutaalamu tuna waita watoto njiti. Ila tunamshukuru Mungu mtoto na mama wapo salama”

Nikajikuta nikitabamu huku hasira na hofu ambazo vilikuwa vimetawala vikiyanyuka kama barafu.

“Un…nataka kuniambia kwamba sasa hivi mimi ni baba?”

“Ndio muheshimiwa raisi, hongera sana, mama na mwanaye waandaliwa na wata ingizwa chumba maalumu hususani mtoto kwa maana watoto hawa wanao zaliwa kabla ya miezi yao kutimia huwa wana kuwa katika ungalizi wa madaktari katika siku zao za awali na baada ya afya zao kutengemaa na kuwa imara basi wana kuwa mikononi mwa wazazi”

“Ohoo asante sana Mungu. Asante sana daktari”

“Tuna shukuru”

“Je amejifungua kwa njia ya upasuaji au?”

“Hapana ni njia ya kawaida. Tuna mshukuru Mungu kwa hilo kwa maana alivyo letwa alikwua katika hali ya kuzimia na tayari mfuko wa uzazi ulisha kuwa tayari kwa ajili ya yeye kujifungua.”

“Dokta nakuomba nimuone japo kidogo”

“Uta muona ila tuna hofia kwa sasa mtoto anaweza kuathirika kwa baktreria ambao wapo kwenye mili ya watu wengine. Hivyo muheshimiwa raisi uta andaliwa na kupuliziwa dawa maalumu na kuna mavazi uta vaa na utaingia kwenye chumba cha mtoto”

“Sawa sawa dokta nina shukuru sana dukta”

“Asante”

“Hongera sana muheshimiwa raisi

Judy alizungumza huku akiwa amejawa na furaha usoni mwake.

“Nashukuru sana Judy”

Walinzi wangu nao wakanipongeza kwa ugeni wa mtoto wangu huyu. Taratibu shem Nadia akanikumbatia kwa furaha japo sote tupo kwenye huzuni ya msiba katika familia yao. Baada ya dakika kama ishirini Cauther akatolewa katika chumba hichi huku akiwaa amelazwa kwenye kitanda maalumu huku mtoto wetu akiwa emewekwa kwenye kijikichumba kikubwa cha kioo.

Nikamsogelea mke wangu na tukatazamana, akatabasamu, nikamshika mkono wake wa kulia na nikaongozana nao hadi katika chumba maalumu atatakacho kaa mke wangu kwa muda.

“Mtoto”

Nilimuuliza

“Amepelekwa chumba maalumu cha watoto kwa ajili ya kutunzwa kwenye joto maalumu la chumba hicho”

“Nesi namuhitaji mwanangu”

Cauther alizungumza huku akimtazama nesi kwa macho makali kidogo.

“First lady samahani tume muweka mtoto eneo hilo kwa ajili ya kumtazama zaidi kwa maana amezaliwa kabla ya muda wake”

“Akibadilishwa je?”

“Hawezi kubadilishwa madam”

“Na atakuwa humo kwa muda gani?”

Cauther aliendelea kuzungumza kwa ukali kidogo.

“Kwa siku hadi siku mbili”

“Siwezi kukaa mbali na mwanangu kama ina wezekana na mimi nikakae katika chumba hicho”

“Madam”

“Nesi nakuomba mufanye uwezekano wa sisi kuwa karibu na mtoto wetu”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Manesi hawa wawili wakatoka mara baada ya kuweka mazingira ya chumba hichi vizuri. Taratibu Cauther akanyanyua mikono yake na kuniomba nimkumbatie, taratibu nikamkumbatia na akaanza kuangua kilio kilicho mfanya hata Nadia mwenyewe kuanza kulia.

“Niambie sio kweli Eddy, baba yangu hajafa”

“Bado hatujadhibitisha mke wangu.”

“Yule aliye nitumia ile video ni nani?”

“Ni makamu wa raisi aliye pita nay eye ndio aliye sababisha ajali hiyo ya ndege”

Taratibu Cauther akaniachia na kunitazama machoni.

“Makamu wa raisi”

“Ndio”

“Kwa nini wamshambulie baba?”

“Kwa sababu ya chama chao”

“Chama cha Scorpion?”

Nadia aliuliza huku akipangusa machozi.

“Ndio. Nadia ulijuaje?”

“Kuna siku ilikuwa ni majira ya kama saa nane usiku nilimsikia baba akizungumza kwenye simu na mtu huku wakifokeana sana. Baba alikuwa akidai kwamba anahitaji kutoka kwenye chama hicho ambacho hapo baadae alikuja kunieleza kwamba ni chama cha uovu kina itwa Scorpion.”

“Ehee ikawaje?”

Niliohoji huku nikimsikiliza Nadia kwa umakini mkubwa.

“Mara baada ya baba kukata simu, nikaingia ofisini kwake na akanieleza mfumo mzima wa chama hicho jinsi unavyo endeshwa na mkuu wa chama hicho ni makamu wa raisi na akaniambia kwamba ana jua kwamba wata muua baada ya kuamua kutoka katika chama hicho. Ila hakujua ni namna gani watakavyo muua, na aliniambia kwamba ata kuwa tayari kufa kwa ajili ya sisi sote ili familia yeyu isiguswe”

“Kwa nini hayo yote baba amekuambia hujaniambia?”

Cauther aliuliza kwa ukali.

“Kama unavyo mjua baba, akisema usimuambie mtu ana maanisha kweli kwamba mtu yoyote asifahamu ukweli wa mambo yake. Wewe ni mangapi ambayo baba alikuambia, hujamuambia hata mume wako”

Cauther akashusha pumzi huku akimtazama Nadia.

“Hivyo baba ameuwawa na hao watu wa Scorpion”

“Alikuambia lini hayo maswala?”

“Siku tatu kabla ya kwenda Dubai”

“Je alikuambia watu hao wana patikana wapi?”

“Hajaniambia ila alinipa chip fulani hivi akaniambia litakapo tokea lolote la kutokea nikukabidhi wewe shemeji”

“Ipo wapi?”

Nadia akavua niwani yake na akafungua moja ya kishikizio cha miwani hiyo na kutoa memory card ndogo na kunikabidhi.

“Ina maana hiyo miwani yako ni zile zinazo rekodi matukio?”

“Ndio na niliihifadhi hapa kwani sio rahisi kwa mtu yoyote kuweza kufahamu kwamba nina kiti kikubwa nimekibeba na mtu ana weza kuona hichi ni kitu cha kawaida kama kitu kingine.

“Ulisha iweka kwenye simu yako ukaangalia ina nini?”

“Hapana”

Nikaiingiza chip hii katika simu yangu kisha nikaifungua. Nikakuta mafaili mawili, faili la kwanza likiwa ni video la faili la pili ni ramani. Nikafungua video hii na kumuona baba mkwe akiwa amekaa ofisini kwake na ina onyesha alijirekodi wiki nne nyuma kabla ya siku ya leo.

“Eddy, najua ni mengi sana niliweza kukufanyia. Moja ikiwa ni kukataa umuoe mwanangu Cauther, mengine yakiwa ni kukudanganya kwa kukupa taarifa za kundi la Scorpion ambazo kwa namba moja ama nyingine hazikuweza kukusaidia. Mbili nina kuomba unisamehe sana kwa kuweza kuhusika kwenye kifo cha kijana wako Maulid kwani mimi ndio nilichongera ramani nzima ya Maulid kukamatwa na wale wauaji na kupewa mateso yaliyo pelekea kifo chake.”

Cauther akanitazama na kunishika kiganja change huku akinitazama kwa macho ya masikitiko kwani wote watatu tuna sikia sauti ya baba mkwe.

“Natambua kwamba utakapo iona hii video tayari nitakuwa ni marehemu kwani nina kiona kifo change. Niliapa kuto kurudi tena ndani ya kikundi cha Scorpion kwani ni kikundi ambacho kimenifanya niishi maisha ya kumwaga damu za watu wengi kwa maslahi yetu binafsi. Eddy natambua kwamba wewe ni kijana shupavu, mwerevu, mkakamavu ndio maana uliweza kupita vikwazo vyote nilivyo viweka kwenye kumuoa mwanangu kipenzi Cauther. Baada ya mimi kuondoka naamini mabinti zangu wata kuwa wamekosa muangalizi wa karibu kwa maana simuamini kabisa Salimu, japo ni mwanangu wa damu ila nina tambua hana uwezo wa kuongoza ndugu zake wala mali zangu nilizo ziacha. Nipo chini ya miguu yako na nina tamani kukuomba haya mambo nikiwa nimekupigia magoti ila siwezi kufanya hivyo mbele yako zaidi ya hapa kwenye video. Nina kuomba uwalinde wanangu walio salia. Wewe sasa ndio kaka yao na baba yao, nina imani wote wanakupenda na kukuelewa hata akitokea asiye kuelewa. Muonyeshe hii video na asipo kuelewa achana naye.”

Baba mkwe alizungumza kauli hii huku akiwa amepiga magoti na baada ya kumaliza kuzungumza akaka tena kwenye kiti chake.

“Najua wataniua na wamemwaga ugali na mimi nime mwaga mboga. Kwenye hii chip nita ambatanisha na ramani ambayo ita kupelekea kwenye eneo moja baada ya jengine ambalo wanachama wa Scorpion wana kutania na kufanya mikutano yao yote, pia kuna jengo ambalo nime ficha nyaraka na namna ya jinsi hao scorpion wana wasiliana. Uta iona kwenye ramani hii nime iwekea alama X. Wao wote hawaijui ila wewe ukifika kwenye hilo eneo uta ona hivyo vifaa na uta kuwa una weza kupata habari zao zote kila baada ya muda mchache na ita kuwa rahisi kwako kuwaangamiza. Eddy nina kujua umekamilia kila idara, ombi langu ninalo kuomba kama baba mkwe wako, nina kuomba uwae wote na ukiwaaua wote roho yangu ita lala salama huku nilipo.”

“Ombi langu la mwisho kwa mjukuu wangu atakaye zaliwa. Kama ata kuwa ni wa kiume naomba apewe jina langu na kama ata kuwa wa kike basi naomba umuite Nadia. Asante Eddy na majukumu mema kwa kuitunza familia yangu.”

Hadi baba mkwe ana maliza mazungumzoa yake, Cauther na Nadia wana mwagikwa na machozi huku wakilia kimya kimya. Nikashusha pumzi nyingi huku nikiwatazama wasichana hawa

“Bee”

Cauther aliniita kwa sauti ya chini kidogo.

“Naam”

“Nakuomba uwaue hao washenzi wote na nina kuruhusu kwenye hili. Hakikisha wana kufa, hakikisha humuachi hata mmoja wao akiwa hai na nita simama nawe bega kwa bega kwenye hili sawa mume wangu?”

“Sawa mke wangu”

Nilizungumza kwa ukakamavu kana kwamba nipo jeshini na nimepokea amri kutoka kwa mkuu wangu wa kazi. Kauli ya mke wangu ikazidi kunipa kichaa na nikajiapiza kwa kutimia ramani hii niliyo nayo sasa Scorpion wata nikoma na nita waua kimya kimya pasipo kushirikiana wala kumuambia mtu yoyote kwani uwezo huo ninao na nguvu hiyo pia ninayo.



Ukimya ukatawala ndani ya chumba hichi huku kila mmoja akiwa na huzuni kubwa. Daktari na nasi wakaingia ndani hapa.

“Muheshimiwa raisi, tumesha andaa mazingira ya mama kwenda kukaa na mwanaye kwenye chumba maalumu tulicho kiandaa”

“Sawa”

Taratibu kitanda alicho lalia Cauther kikaanza kusukumwa na kutolewa ndani hapa huku mimi na Nadia pamoja na walinzi tukiwafwata madaktari hawa kwa nyuma. Cauther akaingizwa kwenye chumba cha mtoto na sisi tukaombwa kusubiria nje. Baada ya maandalizi yote ya Cauther kukaa katika chumba hicho kumalizika, mimi na Nadia tukakbidhiwa nguo maalumu kwa ajili ya kuvaa ili tuongie ndani hapa. Tukaingia ndani ya chumba hichi na moja kwa moja nikamsogelea kijichumba kidoo alicho hifadhiwa mtoto wetu huyu.

“Dokta”

“Ndio muheshimiwa raisi?”

“Haka karembo kangu hapa kana kulaje?”

“Ahaa kuna muda mama yake ata mpatia maziwa”

“Mdomo wake mdogo sana hivi chuchu ya mama yake itaingia kweli?”

“Hahaahaa ana pewa kwa mtindo wa vitone”

“Ahaa”

“Baada ya wiki hivi ata kuwa na mwili mkubwa tu”

“Nashukuru sana dokta kwa msaada wenu”

“Ni jukumu letu mama na mwanaye tuna kuhakikishia kwamba wata kuwa salama muda wote”

“Asante sana”

Nikamsogelea Cauther na nikampigia busu la mdomo.

“Nashukuru sana mke wangu sasa na mimi nina itwa baba sasa”

“Nami nashukuru kwa kuwa nami upande wangu. Nina kuomba usimamie msiba wa baba kwa maana nina jua sinto weza kuwepo msibani japo nina tamani sana kuwepo msibani”

“Usijali mke wangu nita lisimamia hilo kwa sasa ngoja nikamuone mama ili tujue ni namna gani tuna weza kulipanga hili”

“Sawa mume wnagu kuwa makini”

“Usijali, Nadia uta baki hapa na waliunzi kadhaa wata walinda. Chochote kitatakacho tokea nikiwa sipo hapa muta nijulisha. Sawa”

“Sawa shem”

Nikamnyonya Cauther denda kidogo kisha tukatoka ndani hapa, nikavua vazi hili nililo pewa na nesi.

“Judy nakuamini, baki hapa na wifi yako, mimi ngoja nikashuhulikie mambo mengine”

“Sawa mkuu”

“Willy amefikia wapi juu ya namba uliyo mpatia?”

“Bado hajanipatia feedback nina inami ana endelea kuishuhulikia”

“Sawa ata nipigia kwa sasa nina elekea kwa wakwe zangu”

“Sawa sawa muheshimiwa”

Tukaondoka eneo hili na walinzi wangu kadhaa huku walinzi wengine nikiwaacha hapa hospitalini kuhakikisha wana linda usalama wa mke wangu. Tukafika nyumbani kwa wake na nikakuta maturubai yakiwa yamesha wekwa na watu wengi wakiwa wamesha kusanyika. Nikashuka katika gari na moja kwa moja nikalekea hadi sebleni na kuwakuta mama mkwe pamoja na wamama wengine wakiwa waengi. Bibi Cauther akanifwata na akanikumbatia huku akilia kwa uchungu.

“Kwa nini Mungu hajanichukua mimi hadi amemchukua yeye eheee?”

Bibi Cauther alilia huku nikiwa nimekumbatia.

“Mimi nina miaka mingi yeye bado mkewe wanaye wana muhitaji kwa nini Mungu ni muonevu hivi?

Bibi Cauther aliendelea kulalama kwa uchungu.

“Mke Mungu huwa akosei kwenye mamauzi yake. Jambo la kumshukuru Mungu amemleta kitukuu wako”

“Una maanisha nini?”

“Cauther amejifungua mtoto wa kike”

Mama mkwe akasimama kutoa sehemu alipo kuwa amekaa, akanikumbatia taratibu huku macho yake yakiwa yametawaliwa na uwekundu.

“Eddy baba, vipi mwanangu Cauther hali yake?”

“Mungu ni mwema amejifungua mtoto njiti”

“Ohooo mwenyezi Mungu ni mwema”

“Ni kweli mama tuna mshukuru Mungu kwa kila jambo”

“Etee ni mtoto gani?”

“Wa kike na wote wapo salama na wote kwa sasa wapo kwenye chumba maaluimu ambacho mtoto amehifadhiwa ili afya yake iweze kukaa vizuri.

“Hilo ni jambo la kawaida kwa watoto wana zaliwa na miezi saba. Hata Nadia mwenyewe nilimzaa akiwa na miezi sita mama si una kumbuka”

“Nakumbuka vizuri sana”

“Sasa baba tuna fanyaje kuupa mwili wa marehemu?”

“Ahaa wanajeshi wangu wapo eneo la tukio na wana shuhulikia miili ya watu walipo pata ajali. Mwenyezi Mungu atasaidia mwili wa baba utapatikana”

“Mwenyezi Mungu abariki kwa hiyo Cauther ana rudi lini?”

“Madaktari wametueleza kwamba mtoto atakaa kwenye ile chupa kwa siku kama mbili hivi hadi tatu”

“Ndio mama, Salumu yupo wapi?”

“Alikuwepo hapa hembu muangalie huko nje”

“Sawa”

Nikatoka nje, nikaangaza angaza macho yangu kila kona na nikamuona Salumu akizungumza na mmoja wa wazee, nikamfwata hadi sehemu alipo.

“Samahani mzee wangu tupishe nizungumze na huyu kijana”

Nilizungumza huku nikimtazama mzee huyu, kutokana na cheo change nilicho nacho, mzee huyu akaondoka pasipo hata kuhoji maswali.

“Nimekereka na upumbavu ulio ufanya pale hospitalini”

“Ila wewe ndio chanzo cha baba kufa”

Nikatoa simu yangu mfukoni, nikamuekea video iliyopo kwenye memory card kisha nikamkabishi na akaanza kuitazama. Taratibu Salum akatafuta moja ya kiti cha plastiki akaka huku akiendelea kuitazama video hii. Nikachukua moja ya kiti na nikaka pembeni yake. Hadi anamaliza machozi yana mwagika.

“Umeipata wapi hii?”

“Nadia alikabidhiwa hiyo chip na anikabidhi mimi. Huyo ndio baba yako, hivyo usione mali na majengo anayo yamiliki ukahisi yalikuja kwa njia halali tu. Kama anavyo kiri alimwaga damu za watu ambao mimi na wewe hatuwajui hivyo wakati mwengine usipende kudandia tu mambo, hakikisha una kuwa na uhakika wa jambo unalo lizungumza kabla ya hujachukua hatua.”

“Nisamehe sana shemeji?”

“Nilisha kusamehe ila wakati mwengine ukiachana na ushemeji utambue kwamba una zungumza na raisi wa nchi. Umenielewa?”

“Nimekuelewa sana shemeji”

“Nilikuwa nina ijua hii siri ya baba yako na kama ningekuwa ni mtu mmbaya ningesha mdhuru siku nyingi kwani yeye pia ni miongoni mwa watu walio husika kuwauwa vijana wangu wengi sana. Ila nilimkaushia kutoka na heshima ya kwamba ni mkwe wangu”

Salum akashindwa hata kuzungumza zaidi ya kukaa kimya.

“Utaratibu wa mazishi mume upangaje?”

“Ahaa kusema kweli watu wamekusanyika, tunasubiria serikali kujua ni namna gani mabaki ya miili ya ndugu zetu ina rudi nchini na kupokelewa”

“Sawa acha nilihuhulikie hilo”

“Vipi hali ya dogo?”

“Amejifungua salama mtoto njiti. Kwa sasa wapo kwenye chumba maalumu hadi hali ya mtoto ikae vizuri”

“Sawa sawa shemeji. Narudia tena nina kuomba unisamehe”

“Usijali yamesha pita”

Simu yangu ikaanza kuiita taratibu nikaitoa mfukoni na kuona namba ya Caro, nikaipokea huku nikisimama na kusogea pembeni kidogo ili niweze kuzungumza naye

“Mheshimiwa raisi nimepokea ripoti kutoka kwa wanajeshi walipo Somalia wana seme miili ya abiria walio kuwa katika ndege yetu wameteketea wote kwa moto hivyo yaliyo baki ni majivu tu”

“Duuu kwa hiyo?”

“Ina bidi madaktari waweze kupima DNA za marehemu ili majivu yao yatambuliwe na kukabidhiwa na kwa wana ndugu wakazike”

“Duu wamesha kuwa mabaniani sasa”

“Ndio hivyo muheshimiwa”

“Sawa, mke wangu amejifungua mtoto wake kike”

“Waooo hongera sana muheshimiwa raisi”

“Nashukuru, japo ni njiti ila nina mshukuru Mungu sasa na mimi nina kuwa baba”

“Aisee safi sana, je mama na mtoto wapo salama?”

“Ndio wapo salama ila mtoto kidogo ndio amewekwa kwenye zile babytube sijui nini huko”

“Hahaaha ni kawaida mtoto akizaliwa na upungufu wa miezi ana kuwa kwenye hivyo vijichupa”

“Sawa sawa, nita rudi ikulu nipo msibani kwa wake”

“Hakuna shaka muheshimiwa raisi”

Nikakata simu na kurudi kwenye kiti nilicho kuwa nimekalia.

“Tuna fanyaje?”

Salum aliniuliza huku akinitazama usoni.

“Una maanisha nini?”

“Yaani tuta wafanya nini walio husika na kifo cha baba?”

“Ni watu hatari ambao hata yeye mwenyewe alishinwa kuwaua. Hivyo hadi sasa hivi sijui ni nini tuta wafanya”

“Ina bidi wastakiwe shemeji?”

“Una wajua?”

“Si amesema ni makamu wa riasi aliye pita?”

“Una jua alipo?”

Salumu akaishia kujikuna kichwa huku akishindwa kujibu swali langu.

“Nina rudi ikulu, nitarudi usiku”

“Sawa shemeji”

“Chochote kitakacho tokea hapa usisite kuniambia”

“Sawa”

Nikaondoka kwa wakwe zangu na walinzi wangu na tukarudi ikulu. Moja kwa moja nikaelekea ninapo ishi. Nikapitiliza hadi bafuni, nikaoga ili kuuweka mwili sawa kwa maana toka usiku sikupata muda wa kubadilisha nguo. Nikatoka bafuni, nikafungua kabati huku furaha kubwa ikinitawala kwani sasa nina anza kuonja furaha ya kuitwa baba.

“Sasa ni wakati wa kuilinda familia yangu kikamilifu”

Nilijikuta nikizungumza huku nikizichana nywele zangu vizuri. Nikavaa boksa kisha nikawasha computer yangu iliyopo ndani hapa chumbani. Nikaanza kuitafuta ramani niliyo tumiwa kwenye simu yangu. Nikafanikiwa kulifahamu eneo ambalo baba mkwe amenieleza kwamba amehifadhi vitu ambavyo vitanisaidia kutambua mawasiliano yote ya kundi la Scorpio .

‘Ina bidi leo usiku niende’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikilitazama eneo hili linalo onekana kwenye picha.

‘Nimshirikishe dogo?’

Nilijiuliza kichwani mwangu huku nikimfikiria Judy.

‘Hapana hii ni vita yangu mimi mwenyewe’

Baada ya kujiridhisha nilicho kuwa nina kitafuta nikajiandaa na nikatoka ndani hapa na moja kwa moja nikaelekea ofisini kwangu.

“Hongera sana muheshimiwa raisi”

Mshauri wangu mkuu alinipongeza huku tukiingia ofisini.

“Shukrani sana ndungu yangu”

“Sasa ina bidi ongeze mwengine fasta fasta”

“Hahaa acha kwanza nisubirie kama miaka miwili hivi huyu akue kue kwanza”

“Wewe kijana bwana, tumia ujana wako vizuri”

“Usijali mzee wangu. Ehee niambie kuna mpya gani?”

“Hakuna mpya zaidi ya hiyo ajali na nina imani makamu wa raisi amekuambia kuhusiana na ajali”

“Ehee lile swala la wananchi wetu kuuliwa imefikia wapi?”

“Alizungumza na makamu wa raisi na amekubali vikosi vyetu vya askari kuingai nchini mwake kuongeza nguvu ya kuwasaka wauaji”

“Alipiga saa sita au baada ya saa sita?”

“Alipiga saa nne ina onekana alikuwa na hofu”

“Sawa yaani leo sina hamu ya kukaa ofisini kabisa”

“Hahaa nina tambua, unapo pata mtoto wa kwanza basi hali ina kuwa kama hiyo ya kwako. Una weza kwenda tu kukaa na mama wa mtoto kwa maana yeye kwa sasa ana kuhitaji sana isitoshe yupo kwenye hali ya majonzi.”

“Hapo ume nena jambo. Ngoja nielekee”

“Sawa muheshimiwa raisi. Mtoto akitoka kwenye chumba maalumu nina omba unijulishe nami nije kutoa pongezi zangu”

“Wala usijali. Chochote kitakacho tokea musisite kuniambia”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Nikaondoka ikulu na kuelekea hospitalini. Nikamkuta Cauther akila mtori.

“Aisee mtori una nukia vizuri sana mke wangu. Nani amekupikia?”

“Ni mimi muheshimiwa raisi”

Judy alizungumza huku akitabasamu.

“Mume wangu nina mawifi wanao jua kupika”

“Asante Judy kwa kila jambo”

“Usijali mkuu”

“Nadia amekwenda wapi?”

“Ameelekea nyumbani kuchukua baadhi ya nguo zangu na ana weza kurudi na mama”

“Ahaa sawa sawa”

Nikamsogelea mtoto wetu sehemu alipo lala.

“Mtoto wetu ata kimbiza balaa”

“Una maanisha nini?”

“Si mrembo sana, vijana wengi wa kiume wata mpapatikia”

“Haahaa chini kweli wewe, hilo tu ndio ulilo liona mume wangu?”

“Ndio mtoto amechanganyia muafrikasti huyu”

“Ila wifi anacho zungumza mkuu ni jambo la kweli umejawali kupata mtoto mzuri, hapo ni mchanga nyupo hivyo akikua ata kuwaje”

“Umeona ehee Judy”

“Ndio”

Simu yangu ikaanza kuita kwa mfumo wa vibration. Nikaitoa mfukoni na kuona private namba, nikatoka nje ili kuzungumza na simu hii.

“Ndio”

“Hongera sana, kwa kujaliwa kupata mtoto wa kike nina imani ata kuwa ni binti mzuri sana. Kama uta hitaji aendelee kuisha maisha marefu yeye na mama yeka basi ungana nasi ila kama una taka yeye na mama yake wasiishi maisha marefu basi jaribu kutufwatilia uta furahi na roho yako.

Mara baada ya makamu wa raisi kukata simu hii nikajikuta mwili kama ukifa ganzi hivi kwani sijui ni nani amempatia taarifa kama mimi na mke wangu tumejaliwa mtoto ikiwa habari hii jaijatangazwa kwenye chombo chochote cha habari.



Nikawatazama walinzi wangu walio simama katika kordo hii ya hospitali kisha nikamuita kwa ishara mlinzi wangu namba moja.

“Ndio muheshimiwa”

“Nahitaji ufanye upelelezi wa mtu yoyote aliye vujisha habari za juu ya mimi kupata mtoto wa kike”

“Sawa muheshimiwa raisi ila hili jambo ni gumu kidogo”

“Kivipi?”

“Kwa maana hii habari ukiachana na madaktari tu kuifahamu ila wapo wengi wanao ijua ikiwemo viongozi mbalimbali ulio waeleza. Samahani muheshimiwa nina weza kukuuliza swali?”

“Uliza?”

“Kuna jambo gani lililo tokea?”

“Makamu wa raisi kama unavyo fahamu ni adui yangu. Amenipigia simu na kunieleza amefahamu juu ya familia yangu kitu ambacho kwa sasa kina nipa wakati mgumu na maswali mengi ya nani anaye vujisha hizi siri ikiwa hakuna chombo hata kimoja cha habari kilicho tangaza.”

“Sawa muheshimiwa nitalishuhulikia”

“Au achana nalo usihangaike”

“Kweli muhehsimiwa?”

“Ndio”

“Sawa mkuu”

“Ila nahitaji ulinzi kwa familia yangu uongezwe sawa”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Nikarudi ndani ya chumba.

“Vipi umeshiba mke wangu?”

“Yaa nimeshiba si kwa mtori huu. Wifi mwaya asante”

“Asante nawe pia”

“Ehee daktari amesema nini?”

“Amesema hali ya mtoto ina zidi kuendelea vizuri. Hivyo kesho asubuhi au mchana tuna weza kupewa ruhusa ya kurudi nyumbani”

“Litakuwa jambo la heri.”

Nikasogea eneo alipo mwanangu na nikamtazama jinsi alivyo lala ndani ya kichupa chupa hii kubwa iliyo tengezwa kwa pembe nne mthili ya boksi.

“Aliamka leo?”

“Ndio ameamka nikacheza cheza naye kidogo”

Cauther alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu kubwa usoni mwake.

‘Nitakulinda wewe na mama yako na nina kuhakikishia uta kuwa katika mazingira makuwa na mazuri. Ache leo mikadili na hawa wapuuzi’

Nilizungumza kimoyo moyo kisha nikegeuka na kumtazama Cauther, nikamsogelea na nikamnyonya denda hadi Judy akajikuta akikoho kidogo.

“Nipo hapo nje mkuu”

Judy akaatoka ndani hapa na kuniacha na mke wangu.

“Baby”

“Bee”

“Nahitaji kuifanya ile kazi ila kwa siri sana hata walinzi wangu wasifahamu”

“Unataka kuifanya lini?”

“Leo sina muda wa kupoteza kwani kuendelea kusubiri ndivyo jinsi ninavyo mfanya adui yangu kunikaribia na akunikaribia ata nidhuru”

“Sasa ita kuwaje mume wangu ikiwa una lindwa kila sehemu unayo elekea?”

“Ndio hivyo nahitaji kutoroka eneo hili?”

“Mmmm utatokea wapi mume wangu ikiwa hapa tupo gorofani na dirisha lenyewe kama unavyo ona vioo vimebaidilishwa na wamesema hivyo vioo vilivyo wekwa haviingii risasi”

“Usijali mke wangu nina jua nini cha kufanya”

Nikatoka ndani hapa nikamuita Judy pamoja na mlinzi wangu namba moja, wakaingi ndani hapa huku wakiwa wamevaa mavazi maalumu kama niliyo vaa mimi.

“Ndio mkuu”

“Nahitaji kutoka hapa hospitali peke yangu pasipo mtu yoyo kujua?”

Judy na mlinzi wangu wakatazamana.

“Una kwenda wapi muheshimiwa?”

“Kuna jambo nahitaji kulitekeleza nikiwa mimi mwenyewe. Nimewashirikisha nyinyi wawili kwa sababu muna weza kuulinda muda ambao nitakuwa sipo hapa hospitalini.”

“Ila muheshimiwa una fahamu kukuacha peke yako ni kosa la kikatiba kama ikujulikana uta niweka matatani?”

“Najua ndio maana nime waomba”

“Kuna kazi mume wangu ana kwenda kuishuhulikia. Tafadhalini naombeni mumpe muda”

Mlinzi wangu namba moja akashusha pumzi nyingi huku akinitazama usoni mwangu.

“Judy nakutegemea umlinde mke wangu muda wote. Ruben nakuhitaji uwe hapa muda wote kuhakikusha kwamba hakuna anaye hoji juu ya wapi nilipo”

“Ila muheshimiwa raisi ulinzi wa nje ya hospitali ni mkubwa sana. Roof zote za majengo zina walinzi, kila mahala kuna ulinzi. Kiufupi ulinzi ni mkali kupita maelezo”

“Nipeni mbinu ya kutoka hapa?”

Judy akaka kimya kwa mdua kisha akanyoosha kidole kimoja ikiwa ni ishara ya kusubiria. Akatoka ndani hapa na baada ya dakika kadha akarudi akiwa na koti la daktari.

“Ukivaa hili koti una weza kutpoka kirahisi”

“Uso wake ata jificha vipi na hapa mlangoni ata tokaje ikiwa walinzi wapo wengi kwenye kordo hii yote?”

Ruben alihoji huku akimtazama Judy.

“Nakuletea kofia na miwani ukizivaa hizo hakuna atakaye kujua”

“Kwa nini asipewe kile kitambaa cha usoni kama madokta wa upasuaji na miwani?”

Cauther alichangia mada.

“Hapo ume nena mke wangu. Niletee hicho”

“Sawa”

“Ila walinzi wanajua humu tupo wangapi, hajaingia dokta akitoka dokta ina kuwaje hapo si lazima wata msimamisha na kumuhoji na mbaya ametoka amejifunga kitambaa usoni mwake.”

“Ruben ulipaswa kuwa mwana siasa aisee. Kila jambo una pointi nalo?”

“Hahaa ni kujaribu kuuweka huu mpango sawa muheshimiwa”

“Judy niandalie gari na funguo niletee. Ruben najua namna nitakavyo toka wala usiwe na shaka katika hili”

“Mkuu”

“Usijali Ruben tambua, uraisi ukikaa pembeni mimi ni nani hivyo natyambua namna gani nitalavyo toka hamu”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Judy na Ruben wakatoka ndani hapa.

“Utatokaje mume wangu”

“Nita kuonyesha funguo ya gari litakapo letwa”

“Ila mume wangu tambua kwamba una fanya jambo hatari. Kuwa makini”

“Usijali nita kuwa zaidi ya makini”

“Sawa baby”

Judy akaingia ndani hapa akiwa na funguo ya gari. Akanikabidhi na kunieleza ni eneo gani gari lililo, nikapiga hatua hadi katika dirisha la chumba hichi kilichopo gorofa ya tatu kutoka chini. Nikaangalia namna magorofa mengine yaliyopo katika eneo hili, nikaona walinzi wakirindima rindima chini ya gorofa hili huku wengine wakiwa juu ya magorofa ya jirani na hili jambo ambalo sio rahisi mimi kufanya chochote kwenye dirisha hili na kikashindwa kuonekana na walinzi.

“Walinzi ni wengi sana”

“Yaa ni wengi mkuu”

Judy alinijibu huku akinitazama.

“Kama walinzi ni wengi sana mume wangu kwa nini usitoroke ukiwa ikulu?”

“Wazo zuri sana mke wangu, ikuku kuna subways nyingi sana za kumsaidia raisi kutoka akiwa ana toroka. Hivyo nita zitumia hizo”

“Ila muheshimiwa na jua wewe ni mtu wangu wa karibu, naweza kujua hiyo kazi ambayo una kwenda kuifanya yenye usiri mkubwa wa kukufanya wewe uwe katika harakati kama hizo?”

Nikamtazama Cauther kidogo kisha nikamtazama Judy.

“Nihitaji kuwaondoa Scorpion?”

“Scorpion wapi? Hawa ninao wajua au?”

“Ndio”

“Ume wafahamu?”

“Ndio baba mkwe aliweza kuacha njia za kuweza kuwafikia hivyo nahitaji kukabiliana nao kuhakikisha kwamba familia yangu ina kuwa salama kabla ya wao hawaja nivamia mimia”

“Mmmmm una jua hiyo kazi unayo taka kujiingiza kaka yangu ni hatari sana. Hujafikiria kuhusiana na familia yako kwanza kwa maana ninavyo kujua wewe, familia ina umuhimu kuliko chochote?”

“Najua hilo ndio maana nina fanya kwa ajili ya familia yangu’

Nikaiweka video ya baba mkwe kwenye simu simu yangu na kumkabidhi Judy na akaanza kuitazama taratibu huku akiwa ameweka sauti ya chini. Hadi ana maliza kuitazama akashusha pumzi nyingi sana.

“Duu”

“Yaa ndio maana nahitaji kuifanya hiyo kazi”

“Kaka nakuomba tuifanye hii kazi pamoja. Kumbuka sisi ni vijana wako na tulikuwa chini yako kwenye kuitekeleza kazi yoyote, iwe nzuri au mbaya ila tulishirikiana nina kuomba tuifanye kwa pamoja tafadhali”

Judy alizungumza kwa unyenyekevu huku akinitazama machoni mwangu.

“Ila ni hatari kwenu?”

“Kwako ni hatari zaidi kuliki kwetu kwa maana wana kulenga wewe. Tafadhali mkuu turudishe timu mezani”

Judy alizungumza kwa msisitizo huku akinoitazama machoni mwangu.

“Mimi, wewe, Willy na Gody tulikuwa pamoja kabla hata hujakalia kiti cha madaraka nina kuomba turudishe timu pamoja. Tutaifanya kazi hii kwa usiri mkubwa na hakuna atakaye jua”

“Kweli mume wangu, umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Msikilize wifi”

Cauther naye akatilia mkazo kwenye ombi la Judy. Nikajikuta nikiwa sina pa kumkwepa zaidi ya kumkubalia kujumuika naye kwenye kazi hii ngumu.

“Ila kumbuka, kazi hii kuna kufa. Hivyo liwe akilini?”

“Nimezaliwa na nina jua nita kufa. Sinto baki haki hata kama nisipo kufa kwa risasi basi nitakufa kwa ajili, nisipo kufa kwa ajali nita kufa kwa maradhi. Mimi ni mwanajeshi na maisha kwa mwanajeshi ni namba yana hesabika si kwa kwenda mbele ila ni kwa namba yake kushuka chini. Hivyo nikifa nita kuwa nimefanya kile nilicho pangiwa kufanya hapa duniani na mwenyezi Mungu na nina kuhakikishia, damu yangu haito ondoka kizembe na tuna fanya hivi kwa ajili ya rafiki zako ambao sijawahi kuwajua na kwa ajili ya rafiki yetu Maulidi”

Judy alizungumza kwa msisitizo hadi nikajikuta machozi yakinilenga lenga. Taratibu nikampa mkono Judy na akaupokea kikakamavu kisha akarudi hatua mbili nyuma na akanipigia suluti ya heshima kitu kilicho nifanya nami nirudishe heshima hiyo hiyo kwa kumpigia saluti ya kikakamavu.

“Mume wangu Judy ndio ndugu wa kweli kwani kwenye shida na kwenye raha upo naye hakikisha haumpotezi”

“Usijali siwezi kumpoteza. Judy shika funguo, kila kitu tuta kipanga tukiwa ikulu. Andaa timu, Willy na Gody wote wawe tayari sasa”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Judy akatoka ndani hapa mara baada ya kumkabidhi funguo ya gari. Nikakaa pembeni ya kitanda cha mke wangu.

“Nikumenyee chungwa?”

“Hapana nipo vizuri”

“Sawa”

“Kipindi nilipo kuwa mdogo baba yangu alikuwa akiniambai kwamba, mwanangu wewe ni jasiri na hakikisha una kuwa wewe kama wewe. Nilikuwa simuelewi kwa kipindi kile ila nilikuja kumuelewa nilipo kutana na changamoto za kufunga ndoa na wewe. Kwani nilikuwa mimi kama mimi na nilikuwa ni jasiri kuhakikisha nina fanya kile ninacho kiamini na leo nime olewa na mwanaume mwenye nguvu kuliko wanaume wote duniani kwa sasa”

Nikatabasamu huku nikishika shika viganja vya mke wangu.

“Ila ni nguvu ya muda?”

“Najua ni ya muda ila kwa sasa wewe ndio mwanaume wa wanaume wote hapa nchini na duniani. Yaani hata uongeongoza kwa siku moja tu, ila nina jisikia very proud na nina shukuru Mungu nilikupenda wewe kama wewe ikiwa sikuwa nafahamu kama wewe ni nani zaidi ya kujujua ni dereva taksi”

“Una jua waskaji walikuwa wana niambiaje kipindi wana tuona ukija kija pale kijiweni?”

“Walikuwa wana semaje?”

“Walikuwa wana niambia nimeokota dodo chini ya mpapai na nakumbuka walikuwa wakiona t ugari yako ina ingia pale kijiweni hata kama nime lala ndani ya taksi yangu basi utasikia oya Eddy msupa wako wametinga, basi nilikuwa nacheka sana”

“Ila nimeyamiss yale maisha mume wangu”

“Yale ya mimi kuwa dereva taksi?”

“Ndio najua nilikuwa nakuja naamua tu kukulipa pesa ya siku nzima kisha una nizungusha safari zisizo na kichwa wala migu”

“Na nilikuwa nakuona unavyo jilengesha nikasema ngoja nijaribu bahati yangu kutongoza mtoto mkali kama wewe, Siku ya kwanza mwenyewe ukajifanya kauzu nilivyo kuambia nakupenda?”

“Mume wangu hakuna mwanaume anaye jiheshimu na hususani yule ambaye hajawahi kulala na mwanaume, ukamtongoza siku hiyo hiyo na akakubalia. Lazima ata kupitisha huku na kule ili mradi tukusumbua hata kama ana kupenda”

“Ni kweli mke wangu na ungenikubalia kirahisi ninge kuona wa kawaida kama wanawake wengine”

Mlango ukagongwa na nikamruhusu anaye gonga kuingia. Ruben akaingia ndani.

“Muheshimiwa mama mkwe wako na wana ndugu wengie wapo mlangoni?”

“Waruhusu aisee. Wee Ruben una taka nipewe talaka?””

“Ni fwata protocal mkuu”

“Muda mwengine ina bidi zivunjwe kwa watu fulani. Waruhusu”

Ruben akatoka na mama mkwe, bibi, mama mdogo, mama mkubwa na Shangazi wakaingia ndani hapa, wakakumbatiana na Cauther na nikasalimiana nao.

“Mjukuu wangua melala?”

Mama mkwe alizungumza huku akisogelea eneo alipo mtoto.

“Ndio mama”

Nilijibu huku nikimtazama mama mkwe namna anavyo tabasamu kwa furaha. Akamtazama mjukuu wake kwa muda kidogo akajifuta machozi kisha akageuka na kunikumbatia kwa mdua kidogo.

“Mwenyezi Mungu awabariki na muzidi kumkuta mtoto wenu awe mwema zaidi ya hapa”

“Amen mama”

Wakatupongeza wote.

“Tumekuleta chakula maalumu kwa ajili ya mzazi. Hiki kita kupa nguvu mwanangu”

Mama Cauther alizungumza huku akifungua hotpot za chakula alizo kuja nazo.

“Asante mama”

“Pia tusamehe mwangu kwa kushindwa kuwahi kufika?”

“Hapana mama najua, wewe ni mke wa baba una paswa kuwa eneo la msiba. Hivyo hakuna haja ya kuniomba msamaha mama yangu”

Nikaka na wana familia hawa hadi majira ya saa mbili usiku, mama mkwe, bibi pamoja na shangazi wakapanga kulala hapa na mgonjwa hivyo ikanibidi mimi kuondoka na moja kwa moja nikarudi ikulu kwa ajili ya kuianza kazi yangu. Nikawakuta Judy, Gody pamoja na Willy wakinisubiria ofisini kwagu. Willy na Gody wakanipa hongera nyingi sana.

“Nawashukuru ndugu zangu. Hii kazi si ya kuijadili hapa ofisini kwangu twendi kwenye ofisi ya nyumbani kwangu”

Tukaondoka eneo hili na kuelekea eneo ninalo ishi hapa ikulu.

“Gody nasikia ume pigwa kibuti”

Nilizungumza huku nikikaa kwenye kiti cha ofisi hii.

“Nani kasema mkuu?”

“Dunia haina siri”

“Ahaaa kaka yule demu malaya bwana. Yaani najitahidi kumfanyia kila kitu ila haridhiki bwana”

“Hahaaa pole kwa hiyo una ishije ishije?”

“Nipo nipo tu kama tiara mbovu”

Sote tukajikuta tukicheka kwani tumemzoa Gody ni mtu wa masihara mengi sana.

“Okay naamini Judy aliwaeleza kwa ufupi. Siku zote tumekuwa tukifanya oparesheni zinazo onekana ila hii sasa ita kuwa ni oparesheni isiyo onekana. Oparesheni itakayo kuwa ni pigo kubwa kwa maadui zetu. Tutaishi kama kawaida, ila tuka kuwa ni mizimu kwao. Adui yetu mkubwa ni makamu wa raisi aliye pita, ila ili kumfikia yeye mzizi ni lazima tukate matawi plus Shina, kisha tufukue chini hadi kumfikia yeye ambaye ni mzizi. Safari hii haijalishi ita kuwaje, haijalishi tuta fanyaje, haijalishi tuta tumia nini ila ni lazima makamu wa raisi tumuue, tuna elewana?”

Judy na wezake wakitikia kwa pamoja na kunifanya nijawe na amani moyoni mwangu kwani vijana hawa wamekuwa ni msaada mkubwa sana kwangu na wana shirikiana na mimi kwenye kila jambo na safari hii lazima tufanikiwe kwenye malengo yetu kwani kama ni njia tunayo, uwezo tunao, nia tunayo na tuna kila sababu ya kuwapiga Scorpion ambao wamekuwa ni hatari kwa dunia ya sasa na ya baadae.



“Willy hembu fwatilia hii ramanii ya hili eneo kisha uniambie kama kile nilicho kitafuta ni kweli au laa”

Nikamakabidhi Willy simu yangu akajihamishia video ya baba mkwe ambayo imeambatana na ramani. Willy akaitafuta kwa haraka eneo ambalo linaonekana kwenye ramani hii kisha akalipata ndani ya muda mchache.

“Hili kanisa lipo kule Kinyerezi”

Willy alizungumza huku akituonyesha picha ya kanisa hilo kubwa.

“Napafahamu na ina bidi niende usiku huu huu.”

“Kwa nini tusiende sisi mkuu?”

“Hamuwezi Gody. Fanyeni hivi. Judy katafute gari na uliweke eneo lile ambalo nitatokea. Willy chezesha kamera za ulinzi kwa sekunde thelathini nitakuwa nimevuka sehemu ya kutokea. Gody uta ambatana nami kwenye njia ya chini.”

“Sawa”

“Tuwasiliane kwa hivi”

Willy alizungumza huku akichomoa earphone ndogo na kumkabidhi kila mmoja yake. Nikachomeka earphone hii ambayo ikiwa ndani ya sikio sio rahisi kwa mtu kuweza kuiona.

“Niwatakie kazi njema”

Tukatoka ndani ya ofisi hii na kumuacha Willy mwenyewe huku sisi tukielekea eneo la njia ya siri na Judy akielekea nje kwa ajili ya kuondoka na gari na kulileta hadi sehemu ambayo tuta tokea. Katika eneo hili la chini kuna kamera ambazo zipo on muda wote.

“Tupo kamera ya wkanza”

Nilimuambia Willy.

“Muna sekunde hamsini kukimbia kwa kasi kutoka eneo hili, moja, mbili kimbia”

Tukakimbia kwa kasi ya kubwa hadi tukafika katika ngazi za kutokea katika njia hii. Nikafungua mfuniko wa chuma wa njia hii nikawa wa kwanza kutoka kisha Gody akatoka na kuufunga mfunioko huu. Judya akawasha taa za gari mara mbili na kuzizima ikiwa ni ishara ya kutuonyesha ni wapi walipo. Tukaingia ndani ya gari na kuondoka eneo hili.

“Walinzi hawajastuka chochote?”

“Hapana hawajastukia chochote”

Safari ikaanza na moja kwa moja tukaelekea hadi katika kanisa ambalo ramani inatuonyesha tunapaswa kufika. Judy akanikabidhi bastola kwa ajili ya kujilinda, Gody akawa wa kwanza kushuka ndani ya gari.

“Ina bidi uvae kofia, kuna weza kuwa na kamera eneo hili”

Judy alizungumza huku akinikabidhi kofia, mara baada ya kuivaa tukashuka katika gari hili. Tukaliangalia kanisa hili kwa muda kidogo.

“Mlango wa dharura wa kuingilia upo nyuma ya kanisa”

Willy alizungumza na sote tulisikia. Tukazunguka nyuma ya kanisa hili, Gody akajaribu kufungua mlango huu na kwa bahati nzuri ukafunguka. Tukaingia ndani ya kanisa hili huku giza likiwa imetawala.

“Nenendi eneo la madhabahani hapo kuna mlango wa siri wa kuingilia ndani”

Gody aliendelea kutuelekea kwa maana ana ramani nzima ya kanisa hili hivyo ana jua ni wapi na wapi tuna paswa kuingia. Tukafika eneo alilo tueleza.

“Mbona hakuna mlano Willy”

Judy aliuliza huku tukitazama tazama eneo hili.

“Hapo kwenye hilo nasanamu la Yesu. Jicho la kushoto ukimisha mlango una funguka”

Nikalisogelea sanamu hili na nikaminya jicho la kushosho na taratibu tukashuhudia eneo hili la madhabahu likifunguka kwa chini na tukaona ngazi zinazo shuka kuelekea chini.

“Gody utabaki hapa”

“Sawa mkuu”

Taratibu tukashuka chini na kuona vyumba kama vinne hivi vikiwa na milango.

“Mmmm mbona damu ina nisisimka?”

Judy alizungumza huku akiichomoa bastola yake kiunoni na kuishika vizuri.

“Shiiiii”

Nilizungumza huku nikiweka kidole changu kimoja mdomoni kwa maana hata mimi kwa upande wangu machale yana nicheza. Nikaishika bastola yangu kisawa sawa sawa huku tukinyata kwenye eneo hili la chini ya kanisa ambalo lina taa zenye mwanga hafifu sana. Katika mlango wa chumba cha kwanza, tukasikia mtu akikohoa mithili ya mtu anaye uwa na kifua kikuu. Tukatazamana na Judy kwa maana hili sio tulilo litegemea.

“Mkuu huyo si mtu?”

Judy alizungumza kwa sauti ya kunong’oneza.

“Ndio ni mtu”

Nilijibu huku nikitazama mlango huu. Judy taratibu akashika kitasa huku nami nikiwa nimesimama kwenye mlango huu na kuielekezea bunduki yangu katika mlango huo. Judy akafungua kwa nguvu mlango huo.

“Usiniue usiniue”

Binti wa kike aliye kondeana sana huku akiwa na mavazi chakavu alizungumza huku akinyoosha mikono yake juu inayo tetemeka kwa woga na hali yake mbaya ya kiafya.

“Wewe ni nani?”

Nilihoji kwa ukali sana huku nikimtazama binti huyu.

“Mi….mii…..nai….itwa Jesca”

“Una fanya nini hapa?”

“Padri aliniteka”

Tukatazamana na Judy machoni.

“Mcheki ngoja niangalie huku”

Nilizungumza huku nikifungua chumba kimoja baada ya kingine. Vyumba viwili havina kitu chochote na chumba cha nne nikakuta ofisi yenye meza kiti kimoja pamoja na mafaili kadhaa mezani. Nikatoa simu yangu na kupiga picha kadhaa za kanisa hili kisha nikavuta droo moja ila kwa bahati mbaya nikakuta ikiwa imefungwa. Nikakavunja kitasa cha droo hii kwa kuipiga na kitako cha bastola hii. Nikaivuta na nikaona simu moja ya kawaida yenye batani na mkunga, simu za aina hizi huwa mara nyingi tuna zitumia jeshini kwani mazungumzo yake hayanaswi kwenye salelaite yoyote. Chini ya simu hii kuna laptop ndogo ambazo nazo tuna zitumia jeshini kwani uwezo wa laptop hizi ni tofauti sana na hizi laptop za kawaida na zime tengenezwa mahususi kabisa kwa kutumika jeshini. Nikaitazama ramani iliyo tuongoza na alama nyekundu ina onyesha eneo hili nililo simama ndio lina vifaa hivyo. Nikavipiga picha na kumtumia Willy.

“Dogo umeona hizo?”

“Ndio kaka”

“Ndio vifaa vyenyewe au?”

“Ndio mulivyo vikuta hapo?”

“Ndio, ngoja kidogo”

Nilizungumza huku nikichuchumaa na kuchungulia chini ya hii meza. Nikaona diary iliyo gundishwa chini ya meza hii. Uwekaji huu una dhihirisha kwamba diary hii ni ya siri sana. Nikaitoa na kufungua na kuangalia lugha iliyo andikwa ndani hapa na kugundua ni Kirumi kilicho andikwa humu na nina kijua kidogo sana.

“Mkuu salama huko?”

Judy aliniuliza.

“Ndio salama nina kuja”

Nikafunua funua mafaili haya ili kuona kama kuna kitu cha kunisaidia ila yote yana mipango ya kikanisa. Nikabeba simu, laptop na diary hii na nikatoka ndani hapa.

“Tayari?”

“Ndio tayari. Umemuhoji?”

“Hapana hali yake sio nzuri ina bidi apate huduma ya haraka sana”

“Una weza kutembea?”

Nilimuuliza binti huyu.

“Kidogo”

“Msaidie tuondoke fasta fasta”

“Mkuu umeona hali yake lakini?”

Judy alizungumza huku akimmulika kwa tochi ya simu yake. Mwili mzima wa Jesca umejaa ukurutu.

“Shika”

Nikamkabidhi Judy vitu hivi kisha nikamnyanyua Jesca na nikatoka naye humu ndani.

“Ehee ni mtu tuliye kuja kumchukua au?”

Gody aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao.

“Funga mlango”

Nilizungumza huku nikitembea kwa mwendo wa haraka kuelekea kwenye mlango wa dharura. Judy akapiga hatua za haraka na kunipita na akatangulia mbele. Akanipa ishara ya kusimama tulipo fika mlangoni, akaufungua tatatibu na kuchungulia nje. Alipo ona kupo salama akanipa ishara ya kutoka ndani hapa, huku akitangulia mbele sote watatu tukatoka huku nikiendelea kumbeba Jesca ambaye kupumua kwake ni kwa shida sana.

“Fungua mlango”

Nilimuambia Judy na akafungua mlamgo wa gari hili, nikamlaza siti ya nyuma, kisha nasi tukaingia ndani ya gari huku Gody akiwa amekaa siti ya katikati kwani gari hii aina ya BMW X7 ina maeneo matatu ya siti za kukaa. Mbele, katikati na nyuma.

“Mkuu huyu ni nani?”

“Jesca”

“Ndio nani?”

“Hata mimi mwenyewe simjui ila kwa madai Padri amemteka”

“Padri amemteka?”

“Ndio. Majibu yote tuta muhoji akipata huduma ya kwanza.”

“Nielekee hospitali gani mkuu?”

“Yoyote ya karibu na hapa”

“Hivi Kimara si kuna hospital?”

“Ndio”

“Ita bidi twende hapo?”

“Ila mkuu kwa hali ya huyu tumpeleke hospitali yenye uwezo uwezo.”

“Wapi?”

“Hata Mwananyamala”

“Sawa”

Tukafika hospitali ya Mwananyamala. Kwa honi alizo piga Judy zikamfanya walinzi kufungua geti bila ya kutukagua. Mara baada ya Judy kusimamisha gari tukashuka ndani ya gari hili. Manesi wawili wakatufwata kwa haraka huku wakiwa na kiti cha mahurudumu, nikamshusha Jesca katika gari na kumkalisha kwenye kiti hichi na wakaanza kukisukuma kuelekea ndani. Hadi sasa hivi manesi na madaktari wahajanitambua mimi ni nani.

“Muheshimiwa ina bidi na wewe ucheki afya yako kwa maana binti ana ukurutu usije ukawa amekuambukiza”

“Kwani ukurutu una ambukizwa kwa kushikana?”

“Mimi sijui”

Judy alijibu huku akinitazama.

“Gody una jua hilo?”

“Mmmm mimi hata sijui, ila ukurutu wake ule kama ana Ukimwi?”

“Acha uchizi Gody”

“Wewe muangalie mkuu ana ukurutu mwili mzima”

“Kwani mtu akiwa na ukurutu ndio anakuwa na ukimwi. Una weza kukuta ni ugongwa wa ngozi tu”

“Mmmmm”

“Acheni kubishana kwa maana kati yetu hakuna hata mmoja ambaye ni daktari. Madokta watatuambia”

“Willy una tusikia”

“Nina wasikia”

“Eti ukurutu una ambukizwa kwa njia ya kushikana?”

“Ngoja ni google kaka”

“Hahaaa kumbe nina timu ya watu ambao kwenye udaktari hawapo kabisa.”

“Huko kugumu aisee, mimi mambo ya kusoma matatizo ya binadamu sikuyaweza kabisa na niliyakimbia mapema sana”

“Alafu Judy ungekuwa nesi ungependeza sana”

Nilimuambia Judy huku nikitabasamu

“Nyoo, kwa kichwa gani alicho nacho”

“Sasa Gody una niambia mimi kwa kichwa gani nilicho nacho je wewe kichwa chako si sawa na dafu tu ndani maji yana tingishika. Mwanamke mzuri ulitafutiwa na mkuu badala ya kumuongoza asichepuke umeshindwa”

“Hahaaahahaa”

“Sasa mwanamke malaya kama yule wa nini mimi.”

“Ahaa ulipo kuwa una rufahia kumtomb** ulikuwa hujui ni wa nini yule ehee?”

“Sasa hivi nina chombo cha kizungu”

“Hahahahahahahahahaha”

Tukajikuta sote tukicheka.

“Muna cheka nini kwani sina uwezo wa kuwa na demu wa kizungu au?”

“Hahaa kwa domo zege hilo huyo mzungu labda wa Kariakoo”

Judy alimtania Gody na sote tukaendelea kuchekea.

“Jamani tunaomba mupunguze sauti”

Nesi mmoja alizungumza mara baada ya kutoka kwenye moja ya chumba.

“Nesi njoo mara moja”

Gody alimuita nesi huyu na akatufwata sehemu tulipo.

“Una itwa nani?”

“Mwantumu”

“Eti nesi Mwantumu, ukurutu una weza kuambikizwa kwa kushikana?”

“Ina tegemea”

“Kwa hiyo mtu mwenye ukurutu ana weza kumuambukiza mwengine?”

“Nimesema ina tegemea. Mara nyingi wengine huwa na tatizo la ngozi linalo fanania na ukurutu na wenye ukurutu mara nyingi ni wale ambao wameathirika”

“Je kama huyu mgongwa aliye bebwa hapa ana ana ukurutu au tatizo la ngozi”

“Kaka mimi ni nesi atakaye jibu hilo ni dokta”

“Sawa nesi umependeza naweza kuleta posa kwenu”

Gody alizungumza kwa madaha na kutufanya mimi na Judy kutazamana.

“Samahani kaka naweza kwenda”

“Ahaa Mwantumu, naomba hata namba ya simu basi, tuwe tuna chatichati”

“Kaka samahani mimi sio mrahisi kihivyo na pia nina mume wangu, Kama hakuna jengine kwaheri.”

Nesi huyu akaondoka na kutufanya tuangue kicheko huku tukimtazama Gody jinsi alivyo pigwa na butwaa huku akimsindikiza nesi huyu kwa macho hadi akaingia ndani.

“Unahisi mwanamke ana tongozwa hivyo. Ndio maana nilikuambia wewe domo zege”

Judy alizungumza huku akicheka sana.

“Ila nilikuwa namtania, simtaki wala nini?”

“Nyooooo…Hahaaha, angekupa namba ya simu bichwa si lingepasuka kwa kuturingishia. Demu mkali kama yule huwezi kumpata kijinga jinga hivyo au una taka mkuu akutongozee tena na huyu”

“Eti ehee hilo ni wazo zuri”

“Hahaa sasa hivi siwezi, nalinda heshima ya kiti changu”

Mlango wa chumba alicho ingizwa Jesca ukafunguliwa na akatoka daktari.

“Nyinyi ndio mulio mleta mgongwa?”

“Ndio dokta, tuambie ana sumbuliwa na nini?”

“Kabla sijajibu hilo ningependa kujua mgonjwa alipatwa na maswahibu gani?”

“Hata sisi hatujui, ila tuambie mgonjwa ana nini?”

“Mgonjwa kwanza lishe yale ilikuwa ni duni. Pili tumemkuta sehemu zake za nyuma zime haribika sana kwa kuingiliwa kunyume na maumbile na inaonyesha alikuwa ana bakwa. Pia mgonjwa ana malaria kali sana”

“Ukimwi je?”

Gody aliuliza kwa kudakia na sote tukamtazama.

“Hana Ukimwi ila ni Malaria kali, lishe duni na ana ugongwa wa ngozi ambao una tokana na fangasi wanao sababishwa na uchafu wa kutoa kuoga kwa muda mrefu”

“Ana zungumza?”

“Kwa sasa tumetundikia dripu za haraka haraka ili kuishusha Malaria yake, pia na kumpatia chakula ili kuikata njaa yake ya muda mrefu”

“So ana weza kuzungumza hata kidogo?”

Nilimuulzia dokta huku nikimtazama, kidogo dokta akaanza kuwa na wasiwasi ana onekana ni kama mtu anaye jaribu kunifananisha ila anashindwa kupata jibu sahihi.

“Ndio ana zungumza”

“Tuna hitaji kuzungumza naye”

“Sawa”

Tukaingia katika chumba hichi wote watatu, tukamkuta Jesca akiwa amelala kitandani kwa jinsi alivyo ana tia huruma sana.

“Jesca una jisikiaje?”

“Salama”

“Una weza kutuambia jina la padri ana itwa nani?”

“Anaitwa Padri Francis”

“Willy umelisikia hilo jina?”

“Ndio”

“Mtafute”

“Dakika moja”

Baada ya dakika moja Willy akanitumia picha ya padri wa kanisa hilo. Nikamuonyesha Jesca na akaniambia kwamba ndio huyo aliye mteka na kumfanyia vitendo hivyo vya udhalilishaji vya kumbaka na kumuingilia kinyume na maumbile.



“Willy mtafute ni wapi alipo na nina hitaji apatikane usiku huu huu?”

“Sawa kaka”

Dokta na nesi waliomo humu ndani macho yakawa yana watoka toka kwani hadi sasa hivi nina imani bado wana hisihisi hisi mimi ni raisi ila hawana uhakika kwani wamezoea kumuona raisi akitembea na msafara wa magari mengi huku akiwa na walinzi wengi ila sisi hapa tupo watatu na jinsi tulivyo kuwa tuna zungumza tulikuwa ni kama watu wa kawaida.

“Dokta?”

“Naam”

“Afya yake ina weza kuwa sawa ndani ya kipindi gani?”

“Wiki hadi wiki mbili”

“Nakupa jukumu la kuhakikisha ana kuwa mzima ndani ya wiki hizo mbili na hakuna mtu yoyote atakeya fahamu uwepo wake hapa hospitalini. Wewe na manesi wako mutunze siri hii ikitoka kazi hamuna”

Nilizungumza huku nikivua kofia yangu na kumfanya nesi na dokta kutetemeka kwa woga kidogo.

“Musiogope kwa maana sijakuja kumtisha wala kufanya ziara ya dharura kwenye hospitali yenu. Ninacho kihitaji ni mgonjwa wangu kuwa salama. Tuna elewana?”

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Jesca una nijua mimi nani?”

“Ndio, raisi”

“Sawa nakuombea kwa Mungu uta kuwa salama na mwenyezi Mungu ata endelea kukuponya. Sasa Jesca”

“Asante muheshimiwa”

“Kati yetu sisi watatu tuta kuwa tuna kuja kukutembelea mara kwa mara. Hakikisha kwamba una tupatia ushirikiano kwa kile tutakacho kuuliza”

“Sawa muhehsimiwa, pia naweza kuwaleza kidogo najihisi nina nguvu sasa, nime farijika kuona raisi anaye jitoa kwa watu pasipi kujali ukubwa wa cheo chake.”

Jesca alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Usilie sasa, una weza kujiumiza zaidi ya hapo. Eheee tuambie ilikuwaje?”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama Jesca usoni mwake.

“Mimi nimetokea Arusha, nilikuja hapa Dar es Salaam kutafuta kazi. Padri Frances aliniambia kwamba ata nipatia kazi, kutokana ni mtu wa Mungu nilimuamini”

“Ngoja kwanza mulijuana vipi na padre Francis?”

“Niliudhuria mafundisho siku moja kanisani pale, kwani nilipo kuja hapa Dar nilifikizia kwa fariki yangu ambaye ana ishi Mbezi kwa Msuguri. Hivyo padri alituomba wale wenye shida binafsi tuweze kumuona kibinafsi na mimi aliniweka mtu wa mwisho”

“Majira ya saa ngapi hiyo alikuweka wa mwisho?”

“Ilikuwa kama saa tatu tatu na alinipatia soda ambayo nilipo kuwa nina kunywa nilijikuta nikiwa mchovu na mwisho sikujua nini kinacho endelea. Nilipo zinduka nikajikuta nikiwa ndani ya chumba kile. Hivyo alikuwa akija kila siku na kunipiga na kunilazimisha kufanya mapenzi, nilijaribu kupiga kelele ila sikuweza kupata msaada na pia sikuweza kujua nipo wapi kwani kile chumba kina giza na wala hakina dirisha. Alinibaka, aliniingilia kinyume na maumbilie, nilitetesaka sana.”

“Alikuwa hakupatii chakula?”

Gody aliuliza.

“Chakula alikuwa ana jaribu kuniletea kwa siku mara moja ila ni kidogo sana ambacho hata mtoto wa miaka nane akila hashibi.”

“Kwa kumbukumbu una weza kukumbuka alikaa ndani ya kile chumba kwa muda gani?”

Judy naye alihoji.

“Kama siku isihirini na”

“Duu”

“Mbu walikuwa ni wangu, sikupewa nafasi ya kuoga na alikuwa akiniletea ndoo kwa ajili ya kujisaidia haja kubwa kishaa ana toka nayo”

“Hivi hawa watu kumbe wana roho mbaya hivi ehee?”

“Nilizungumza huku nikimtazama Jesca ambate machozi yana zidi kumwagika.”

“Jesca upo mikono salama. Dokta nahitaji aangaliwe kwa umakini kuliko mtu yoyote. Sasa nije nikute ana hali mbaya nita dili na nyinyi”

“Mkuu tukuahidi tu yupo mikono salama na tuta jitahidi kadri ya uwezo wake arudi kwenye hali yake”

“Jesca una miaka mingapi?”

“Miaka ishirini nan ne”

“Sawa, nitakuwa nina kuja kukutembelea. Ila hawa vijana wangu wata kuwa wana kuja kukutembelea mara kwa mara”

“Nashukuru raisi”

Nikatazama saa yangu ya mkononi na ina onyesha sasa hivi ni saaa tisa usiku. Tukaagana na madaktari hawa kisha tukatoka ndani hapa na kuingia ndani ya gari.

“Ina niuma sana kuona mwanamke mwenzangu ana fanyiwa kitu kama kile”

Judy alizungumza huku akijifuta machozi usoni mwake. Ukimya ukatawala ndani ya gari hili huku taratibu Judy akigeuza gari hilo.

“Willy”

“Ndio kaka”

“Umejua ni wapi alipo huyo Padri Francis?”

“Ndio kaka”

“Wapi?”

“Yupo Arusha kwa sasa wana semina ya mapadri kule”

“Sawa”

Nikaitafuta namba ya mkuu wa mkoa wa Arusha na nikampigia.

“Muheshimiwa raisi”

“Kuna picha nina kutimia hapo, nahitaji huyo padre akamatwe haraka iwezekanavyo. Usiku huu huu arudishwe Dar es Salaam. Yupo kwenye semnina ya mapadre inayo endelea hapo mkoni kwako nina imani kwamba una fahamu hiyo semina?”

“Ndio muheshimiwa nina fahamu juu ya uwepo wapo. Nita takeleza hilo agizo haraka iwezekanavyo”

“Sawa”

Nikakata simu na kumtumia mkuu wa mkoa picha hiyo.

“Yule binti wa watu mzuri sana ila amekungoroa hadi kuwa kama zombie”

Gody alizungumza kwa uchungu sana. Safari ikazidi kusonga mbele na tukafika karibu na ikulu.

“Tushushe tupite njia ile ile.”

Mimi na Gody tukashuka ndani ya gari. Kama tulivyo toka ndivyo tulivyo ingia ikulu hapa, moja kwa moja tukaingia ofisini na kuwakuta Judy na Willy wakitusibiria. Simu yangu ikaita nikaitoa mfukoni na kuiona namba ya mkuu wa mkoa wa Arusha.

“Nipe ripoti?”

“Tumemtia nguvuni je aletwe kwa ndege au gari?”

“Nimekuambia nahitaji afikishwe usiku huu huu hapa Dar. Sasa kama kuna gari lina uwezo wa kufika usiku huu huu basi afikishwe ila kama hakuna gari jiongeze”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Nikakata simu.

“Willy kwenye hiyo laptop umepata nini?”

“Najaribu kuondoa neon lake la siri”

“Muhehsimiwa?”

Gody aliniita kwa sauti ya upole.

“Ndio”

“Naomba kwenye kwenda kumpokea, nikampokee huyo padre”

“Sawa uta kwenda wewe na Judy kwa maana nahitaji tudili naye sisi na sio polisi wala kitengo chcohote cha ulinzi”

“Sawa sawa”

“Imefunguka”

Willy alizungumza na kutufanya sote tusimame nyuma ya kiti alicho kalia ili kuona anacho kiona kwenye computer hiyo.

“Mbona ina faili moja?”

Nilimuuliza Willy huku nikitazama laptop hii.

“Na halina kitu chochote?”

Judy naye alizungumza.

Kwenye screan hapa ina onyesha faili moja na ambalo halina kitu. Huu ni mfumo ambao una wafanya watu wasio na uwezo wa kutumia laptop kuto kuendelea kufanya chochote kwenye hii laptop. Ila kuna mafaili ya siri ngoja niwaonyeshe”

Willya akaminya minya batani za laptop hii hii na mafilia kama sita yakafunguka. Akafungua faili la kwanza na tukaanza kuona picha za watu wengi.

“Hawa ni wanachama wa Scorpiopn walipo hapa Tanzania”

Nikainama kidogo ili kushuhudia picha za watu hawa kila mmoja akiwa na maelezo yake ya wapi anapatikana. Namba yake ya simu, code yake ya siri anayo tumia kuwasiliana na wezake. Nikaona listi kubwa ya viongozi ambao bado kwa sasa wapo kwenye serikali yangu. Wengine ni wafanya biashara wakubwa wanao miliki makampuni makubwa sana nchini hapa. Nikawaona walinzi kadhaa wa ikulu nao wakiwa kwenye listi hii.

“Hivi hawa wapo?”

“Ndio mkuu tunao kwenye misafara yako ya kila siku”

“Pumbavu zao kumbe wana tuchora tu tunavyo neng’enka.”

“Tanzania ina wanachama mia nane wote ni watu wenye hadhi ya juu. Hili faili la pili lina onyesha ni eneo gani ambalo huwa wana kutana ndani ya Tanzania na nje ya Tanzania”

“Mmmm hayo ni kanisa au?”

Judy aliuliza huku tukiona picha za majengo haya.

“Ndio ni makanisa hivyo wazee baba mikutano yao ni kwenye makanisa, muda wa wanao kutana ni kuanzia saa kumi jioni”

“Hili ni lile kanisa tulio toka”

Nilizungumza huku nikigusa picha ya kanisa tuliolo toka.

“Yaa na huyo mchungaji ni mmoja wao”

Willy alizungumza huku akituonyesha picha ya mchugaji huyo.

“Hembu nahitaji kujua location halisi ya makamu wa raisi kwa maana huyu akifa, hawa wa chini wata changanyikiwa”

Willy akaendelea kufanya kazi yake kwa uhodari mkubwa.

“Huyu hapa”

Willy alizungumza huku akituonyesha eneo ambalo makamu wa raisi ana patikana kwa sasa.

“Colombia?”

“Ndio na eneo hili ndipo yalipo makazi yake na hapa ndipo anapo ishi kwa ufahari mkubwa sana”

Willy akatuonyesha picha ya jumba kubwa la makamu wa raisi huku ulinzi ukiwa ni mkali mithili ya ikulu. Nikavuta moja ya kiti na kukaa huku nikitafakari nini cha kufanya.

“Colombia ni nchi hatari sana kiusalama mkuu”

Judy alizungumza huku akinitazmaa.

“Yaaa ni sehemu hatari sana na ulinzi huo ni ngumu sana kumkamata”

“Je kuishambulia nyumba hiyo kwa njia ya anga ina wezekana?”

Gody aliuliza.

“Tuta kuwa hatujafanya jambo kwa maana hadi ndege yetu ifike hapo. Tayari atakuwa na taarifa, isitoshe hawa watu wote walio nao ndio wana vujisha siri. Willy hembu jaribu ku hack mawasiliano yao yote.”

“Simu hii hapa kila wanacho wasiliana na kutolewa oder tuta wapata”

“Hawa walinzi nina hitaji kwanza muwaondoe duniani kwani hawawezi kunilinda”

“Ila wapo kumi na mbili mkuu, idadi yao ni kubwa tukiwau lazima maswali yata kuwepo ime kuwaje tuwaue na kumbuka ikijulikana tume waua sisi ina weza kula kwetu”

Judy alishauri.

“Gody si upo vizuri kwenye udunguaji?”

“Ndio”

“Nahitaji tutengeneze ziara ya dharura. Nahitaji kuelekea eneo ambalo litakuwa hatarishi kidogo, nahitaji muanzishe ambushi na hawa walinzi wote wauwawe”

“Ehehee mkuu hilo wazo mbona hatari nikizidiwa ina kuwaje?”

“Hauto kuwa peke yako. Nahitaji timu snipers kama kumi na mbili. Mutakuwa kwenye maeneo tofauti kwenye eneo hilo. Nita hitaji wote muwaue ndani ya muda mmoja. Wakifa hawa tuta jua namna gani ya kudili na hawa panya wengine walio salia.”

“Sawa nita iunda hiyo timu”

“Je hawato toa siri?”

Willy aliuliza.

“Nita ongea nao mimi”

“Kwenye hili mkuu ina bidi ukae pembeni. Mikono yako isichafuke na wala usijuliake kama ni wewe kwa manaa ina weza kuwa kashfa mbaya sana ikujulikama kama ni wewe”

Judy alizungumza.

“Ila jamani kama hawa wakiuwawa tuta wapa machale Scorpion na wata jiuliza ina kuwaje watu wao pekee wauwawe na hapo wata jua kwamba tuna wafwatilia na wana weza kubadilisha mifumo yao haraka sana na itakula kwetu. Una jua watu mia nane ni wengi sana hapa Tanzania. Yaani tuna weza kuwaoa ila hawato kosekana wachache wanao weza kuchomesha mchongo”

Willy alishauri na kujikuta tukikaa kimya kwa muda huku tukijifikiria plan nyingine.

“Na tukitekeleza hayo tukumbuke na sisi hatuto kuwa salama kwa maana hawa ni Watanzania tu, je walipo Kenya Uganda, Afrika nzima na duniani ita kuwaje?”

Willy alizidi kuuliza maswali yaliyo tuweka kwenye wakati mgumu kiasi.

“Ubaya tumekumbuka shuka wakati kumesha kucha”

Nilizungumza huku nikishusha pumzi.

“Judy una jua kirumi?”

“Hapana”

“Mimi nina jua”

Willy alizungumza.

“Hembu tusomee hiyo Dairy.”

Willy akaifungua diary na kuanza kutazama kurasa moja baada ya nyingine.

“Mbona hatusiki sauti”

Gody aliuliza.

“Ngoja kwanza Gody una hisi hichi Kiswahili. Kwanza nahisi njaa”

“Nakuletea chakula”

Judy akatoka ofisini hapa na baada ya muda akarudi akiwa na pizza. Akaiweka mezani na kila mmoja akachukua kipande chake.

“Hii umeipika?”

“Hapana nilikuja nazo zipo jikoni kwako”

“Aahaa sawa”

“Mmmmm”

Willy aliguna huku akisoma Diary hii.

“Kuna nini?”

“Hapa ni mipango yao ya mwaka huu kuitekeleza ndani ya nchi ya Tanzania. Mpango wa kwanza ilikuwa ni kumteka Raisi na ndege yao. Naona umewekewa tiki, mpango wa pili ni kuishambulia air port. Imewekewa tiki, mpango wa tatu ni kumuua raisi aliye toka madarakani. Imewekewa tiki, mpango wa nne ni kumuua raisi atakaye rithi kiti cha raisi waliye muua”

Nikastuka kidogo huku nikishusha pumzi nyingi.

“Mimi?”

“Hapana sio wewe, raisi atakaye pigiwa kura. Wana muua na tarehe yake ya kumuua itakuwa ni ishirini na mbili mwenzi wa kwanza.”

Story Za Eddy-tz

Tukajikuta tukijawa na mshangoa kwa maana hawa jamaa wana panga hadi siku ambayo watatekeleza mpango wao wa mauaji wanayo yahitaji wao, jambo ambalo lina dhihirisha kwamba wao ni watu wenye nguvu kubwa sana hapa duniani. Wana panga chochote na wana kitekeleza chochote na wakati wowote watakao wao.



“Mmmmm kwa hiyo raisi ajaye wana muua?”

Galfa mlago wa ofisi yangu ukagongwa, ikatubidi kila kitu tunacho kijadili tukisimamishe. Nikapiga hatua hadi mlangoni na kufungua mlango huu, nikakutana na Ruben mlinzi wangu namba moja.

“Muheshimiwa raisi kuna tatizo”

Ruben alizungumza huku machoni akionyesha akiwa amejawa na wasiwasi.

“Tatizo gani?”

Niliuliza huku nikiwa nimejawa na wasiwasi mwingi sana moyoni mwangu na kwa haraka akili yangu ikafikiria kuhusiana na familia yangu.

“Una hitajika commanding room?”

“Ila sio familia yangu?”

“Sio yangu”

“Judy no Gody nahitaji uelekee Muhimbili sasa hivi, hakikisha kwamba familia yangu ina kuwa salama hadi ninapo kuja asubuhi”

“Sawa muheshimiwa je na Padri?”

“Aisee familia yangu ni muhimu kuliko huyo Padri. Fanya kama nilivyo kuagiza”

Nilizungumza kwa ukali kidogo.

“Sawa mkuu”

Tukatoka ofisini hapa na kuanza kutemeba kwa mwendo wa haraka kulekeka kwenye ukumbi cha kuongozea oparesheni za kiusalama zinazo husiana na nchi. Tukaingia ndani ya lifti ambayo ikatushusha hadi chini ya ardhi, eneo lenye ukumbi huu ulio jaa wataalmu wa maswala ya teknolojia ambao kazi yao kubwa ni kuhakikisha kwamba kila kitu kinacho tokea ndani ya nchi na nje ya nchi wana kipata kwa uharaka na kufanyiwa kazi kwa uharaka mkubwa sana. Mara baada ya kuingia watu wote wakasimama, nikapiga hatua hadi kwenye kiti change na nikakaa, nikawapa ishara ya kukaa.

Nikatazama kwenye moja ya luninga na kuona jinsi jengo moja likiteketea kwa moto huku likiwa limegawanyika vipande vipande

“Muheshimiwa raisi kusini mwa Somalia usiku huu kumetokea Shambulio la kigaidi kwenye moja ya hoteli na inavyo sadikika ni Al-Shabab ndio wamehusika na tukio hilo?”

Kiongozi wa kitengo hichi alizungumza huku akinitazama machoni mwangu.

“Al-Shabab si waliisha?”

“Ndio muheshimiwa kila mmoja alifahamu kwamba waliisha ila hili limekuwa ni shambulizi la kijitoa muhanga mkuu.”

“Ni Somalia eneo gani?”

“Ni mji wa Kismayo”

“Wangapi wamekufa?”

“Inavyo sakika ni watu thelathini na sita na kati ya hao Watanzania wapo sita”

Nikashusha pumzi nyingi.

“Mpigieni mkuu wa jeshi aliyopo Somalia”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Haikuisha hata dakika moja, masiliano yakaunganishwa na mkuu wa kikosi cha jeshi la Tanzania nililo liagiza nchini Somalia na mazungumzo haya ni kupitia mfumo wa video.

“Muheshimiwa raisi habari”

“Salama, nipatie ripoti ya hilo shambulizi hapo”

“Kusema kweli muheshimiwa raisi, hili ni shambulizi la Kigaidi. Ambalo moja kwa moja Al-Shabab wamehusika kwa maan ukiachana na kujitoa muhanga kwa mmoja wa watuhimiwa wa A-Shabab ila kuna ambapo tumefanikiwa kuwaua katika mapambano makali sana”

“Una wesza kujua wametokea wapi ikiwa tulisha wapindua?”

“Muheshimiwa raisi kitu ambacho tumekigundua hii nchi ina mahandaki mengi kwenye nyumba za watu. Hivyo kwenye kazi ya kwanza hatukufanikiwa kuwamaliza wote, ndio maana wamekuwa wakijitokea huko walipo jificha na kufanya matukio makubwa kama haya muheshimiwa raisi”

“Muna tambua kuna Watanzania walio uwawa kwenye hiyo hoteli?”

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Nahitaji sasa hivi musafishe hiyo nchi. Sinto hitaji kusikia tukio jengine kama hilo lina jitokeza au nikuongezee vijana?”

“Hapana muheshimiwa raisi vijana nilio nao ni wengi sana na nikuhakikishie kwa kupitia hili timejifunza. Popote pale walipo jificha au watakapo kimbili tutya kuwa nao. Mimi na timu yangu tumejipanga kisawa sawa kuhakikisha kwamba hili swala halijitokezi tena vikosi vyetu vikiwa ndani ya nchi hii”

“Nashukuru na ninawatakia kazi njema”

“Asante muheshimiwa raisi na nikutakie usiku mwema”

“Nawe pia”

Mawasiliano haya yakakatwa na nikawageukia watu wengine walipo eneo hili.

“Muheshimiwa raisi naomba kuzungumza”

“Zungmza”

“Muheshimiwa una onaje tukavirudisha vikosi vyetu nchini mwetu na kuviepusha na hatari hiyo iliyopo kwenye hiyo nchi?”

“Kila sehemu kuna hatari hivyo kama tuliwatoa kwa ajili ya kwenda kupambana, achene wapambane hadi ule muda tulio panga kwa wao kuwepo Somalia utakapo kwisha wata rudi nchini Tanzania. Je kuna jengine?”

Watu wote wakakaa kimya, nikanyanyuka na nikatoka ndani hapa nikiwa nimeongozana na Judy, Willy pamoja na walinzi wnagu.

“Ruben nahitaji kuzungumza nao ofisini kwangu”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Tukaingia ndani ya ofisi yangu kuu.

“Kaa tu”

Ruben akakaa kwenye moja ya sofa huku akinitazama usoni mwangu.

“Kuna jambo moja nahitaji kufahamu”

“Jambo gani mkuheshimiwa?”

“Kwenye hii timu yako ni vijana wote una waamini juu ya ulinzi wangu?”

“Ndio muheshimiwa raisi nina waamini sana tena sana”

“Nahisi una kumbuka nilikuambia siri zangu huwa zina tokaje hususani swala la mtoto wangu aliye zaliwa”

“Ndio nina kumbuka muheshimiwa raisi?”

“Je ulifanya upelelezi?”

“Ndio muheshimiwa ila sikuweza kuona muhuisika ambaye ana weza kuhusika kwenye hili jambo kwani ilikuwa ni taarifa ambayo ime eneenea kwa haraka sana ikitegemea wewe ndio kiongozi wa nchi hii”

Meseji ikaingia katika simu yangu na nikaifungua.

‘Mkuu una muamini’

Meseji hii imetoka kwa Judy ambaye tumekaa naye hapa hapa.

“Sawa naomba asubuhi unipatie details za walinzi wako wote. Naamini una jua nini namaanisha?”

“Ndio muheshimiwa”

“Nashukuru sas ana weza kwenda kupumzika”

“Asante muheshimiwa raisi”

Ruben akatoka ndani hapa na kutuacha sisi watatu.

“Ila huyu kwenye ile list hakuwepo?”

“Sawa je kama ana urafiki na mmoja wao na kwenye mauzngumzo yao akagusia hilo jambo huoni kama tuta kuwa tuna wapa alarm maadui zetu”

Judy alizungumza huku akinitazama machoni mwangu.

“Nalitambua hilo jambo la msingi ni kuhakikisha kwamba tuna dili au nita dili nao”

“Uta dili nao kivipi mkuu?”

“Najua hili nitalifanya mimi mwenyewe”

“Usije ukayaingia maisha yako hatarini mkuu?”

“Muda wangu ni mchache sana wa kuendelea kukikalia hichi kiti. Sinto kuwa raisi tena ila ina bidi niandae mazingira ya raisi ajae kuishi kwa amani kwani kuwa karibu na maadui zake kuna weza kumfanya auwawe mapemba sana kwani wata kuwa kila hatua anayo piga”

“Sawa mkuu”

“Nendeni kapumzikeni tuta onana kesho saa nne asubuhi”

“Padri tumemsahau jamani”

Willy alizungumza huku akitutazama.

“Si yupo mikononi mwa askari. Hakuna shaka tuta dili naye tu mdogo mdogo”

“Sawa”

“Muwe na usiku mwema”

“Nawe pia muheshimiwa”

Judy na Willy wakatoka ndani hapa, nikaitazama saa yangu ya mkononi sasa ina elekea saa kumi na moja alfajiri. Nikashusha pumzio taratibu huku nikijinyoosha viongo vya mwili wangu, nikaitazama simu yangu kisha taratibu nikaichukua mezani nilipo iweka, nikaiangalia namba ya mke wangu, kisha nikampigia simu kwa mfumo wa video call. Simu yake ikaita kwa sekunde kadhaa kisha akaipokea.

“Hei baby hujalala?”

Nilimuuliza mke wangu huku nikimtazama.

“Nimeamka muda si mrefu mume wangu. Ukiwa mama mara nyingi una kuwa macho kuhakikisha kwamba mtoto na baba yake wana kuwa salama. Usinge nipigia simu basi ningekupigia simu”

“Hahaa vipi mtoto ana endeleaje?”

“Kusma kweli namshukuru Mungu afya yake ina zidi kuimarika na daktari aliniambia hadi kesho saa nne asubuhi wata mtoa kwenye hiyo chupa na ataweza kuturuhusu”

“Vipi upo na nani?”

“Nipo na mama na Shanganzi”

Judy alinionyesha mama yake pamoja na Shangazi jinsi walivyo lala kwenye sofa zilizopo katika chumba hicho.

“Masikini wamechoka ehee?”

“Yaa na wamelala muda mrefu kama nini. Wewe bado upo ofisini?”

“Yaa nipo ofisini, si una kuwa siwezi kulala mwenyewe kule ndani”

“Masikini pole mume wangu, kesho tu tuna rudi huko”

“Nita kuja kuwachukua asubuhi na mapema”

“Sawa mume wangu, ila nikuombe kitu”

“Niombe tu”

“Nakuomba sana ukalale japo masa amatatu, sasa hivi ni saa kumi na moja kasoro, kalele hadi saa mbili nita kuamsha, tafadhali mume wangu, unapo jichosha sana mwili, akili yako nawe pia ina choka, jambo linalo weza kupelekea kuumwa galfa kama ile siku”

“Sawa mke wangu nimekuelewa nina kwenda kulala”

“Nashukuru mume wangu”

“Nakupenda sana Cauther wangu”

“Nina kupenda pia mume wangu”

Nikakata simu huku nikitabasamu, kwani kusema kweli mwanamke huyu ameishika akili yangu na moyo wangu kisawa sawa. Amekuwa ni mtu muhimu sana kwenye maisha yangu, ukiachilia kunifariji kwake, ila pia ni mtu anaye jali sana kuhusiana na maisha yangu. Nikatoka ofisini hapa na moja kwa moja nikaelekea chumbani kwangu, nikajibwaga kitandani, ndani ya muda mfupi usingizi mzito ukanipitia na nikalala fofo.

Mlio wa simu yangu ukanifanya nizinduke kutoka usingizi, nikaanza kujipapasa katika mifiko ya suruali yangu na nikaitoa simu yangu. Nikaitazama na kuona namba ya mke wangu.

“Honey”

“Amka mume wangu, uje kutuchukua tayari daktari amesha tupatia ruhusa”

“Weee!!”

“Ndio mume wangu”

“Nina kuja sasa hivi”

Nilizungumza huku nikishuka kitandani kwa kasi, nikavua nguo zangu na kuingia bafuni, nikaoga kwa haraka kisha nikavaa jinsi na tisheni pamoja n araba. Nikavaa kofia na miwani na nikatoka ndani humu.

“Habari ya asubuhi muheshimiwa raisi”

“Salama, Ruben nahitaji kuelekea hospitalini sasa hivi maandalizi yaandaliwe”

“Tayari mkuu na detail zote ulizo niomba jana zipo humu ndani ya flash”

Ruben alizungumza huku akiwa amenikabidhi flash.

“Nahukuru Ruben”

Tukaelekea moja kwa moja ndani ya gari langu la Raisi na Ruben akaka mbele pamoja na dereva na tukaondoka hapa ikulu. Tukafika Muhimbili, nikakutana na kundi kubwa la waandishi wa habari wakipiga picha huku wakiwa wmaetengewa eneo maalumu kwa ajili ya kusimama na kutekeleza majukumu yao.

“Mbona waandishi wa habari ni wengi sana?”

“Habari za mke wako kujifungua zime wafikia muheshimiwa”

“Nani alizitoa?”

“Hakuna anaye fahmu mkuu”

“Ngoja nizungumze nao”

Nikapiga hatua hadi sehemu walipo waandishi wa habari. Kila mmoja akaanz akuniuliza swali kwa mfululilzo.

“Twendeni mmoja mmoja. Ehee wewe”

Nilizungumza huku nikimachagua mmoja wa waandishi wa habari wa kike.

“Nashukuru muheshimiwa raisi, niaitwa Lilian. Kwanza hongera sana muheshimiwa kwa kuweza kubahatika kupata mtoto”

“Nashukuru”

“Muheshimiwa raisi je mwanao ni jinsia gani?”

“Kwani aliye waambia kwamba mke wangu wamejifungua ni nani?”

“Ahaa muheshimiwa kwa habari nzuri kama hiyo sio rahisi kuendelea kubaki kuwa siri”

“Nashukuru”

Sikuhitaji kuwajibu zaidi ya kuanza kuondoka na kuelekea katika chumba alipo mke wangu. Nimkuta Cauther akiwa amembeba mtoto mikononi mwake huku akiwa amefunikwa vizuri na babyshow. Nikamsalimia mama pamoja na shangazi kisha nimabusu Cauther mdomoni. mwake.

“Waooo mtoto mzuri”

Nilizungumza huku nikitabasamu. Taratibu Cauther akanikabidhi mtoto wangu na kwa mara ya kwanza katika maisha yangu leo nina mbeba mwanangu. Mwanangu huyu akatabasamu huku akiniangalia jambo lililo nifanya nizidi kujihisi furaha.

“Tumpe jina gani mume wangu?”

“Tumuite Nadia kama jinsi baba alivyo pendekeza”

“Eti mama Nadia lina faa?”

“Kama baba yake ameridhika na amelihitaji hatuwezi kupingana naye ni jina zuri sana kwa mtoto”

“Nashukuru mama mkwe”

Daktari akaingia ndani hapa, akatupatia maelekezo ya namna gani ya kumuweka mtoto kwenye usalama mazuri. Baada ya maelekezo ya daktari tukaondoka hospitalini hapa huku furaha ikiwa imetutawala kiasi cha kutufanya ndani ya gari Cauther awe ana nibusu busu kila dakika.

“Hili gari ni zuri mwanangu”

Mama mkwe alizungumza huku akiwa ametabasmau kwani leo ndio mara yao ya kwanza kupanda gari la raisi”

“Nashukuru mama”

“Aisee mwanao ana bahati amezaliwa kipindi baba yake ni raisi yaani hadi raha”

Shangazi naye alizungumza kwa furaha. Tukafika ikulu na tukapokelewa na suprize ya wafanyakazi wote kujipanga mistari miliwi katika mlango wa kuingili nasi tukaanza kupita katikati yao huku wakitupigia makofi ya furaha na kutupa pongezi nyingi sana.

“Asanteni, asanteni sana”

Tulizungumza n kuingia ndani kabisa, tukaeleka hadi katika nyumba tunayo ishi na kuwakuta wapishi wetu na wafanyakazi wa ndani wakitusubiria kwa hamu kubwa.

“Hongereni sana muheshimiwa”

“Tuna washukuru sana”

“Mtoto ana itwa nani?”

“Nadia”

“Kama mama mdogo wake?”

“Ndio ndio”

Nikamkabidhi Cauther mtoto kwa maana muda wote toka tulipo kuwa tuna toka hospitalini ni mimi ndiye niliye kuwa nime mbeba mtoto wetu. Willy akanisogelea na akaninong’oneza.

“Kaka nakuomba ofisini mara moja”

Tukaingia katika ofisi yangu ya hapa hapa nyumbani kwangu.

“Vipi”

“Aisee kaka kuna habari nyingine nzuri zaidi”

“Habari gani?”

“Baba yako mkwe hajafariki kwenye ajali ya ndege iliyo lipuliwa kwenye anga la Somalia”

Willy alizungumnza kwa furaha sana kiasi cha kunifanya nishikwe na bumbuwazi kwani nilishuhudia kwa macho yangu video ya namna gani baba mkwe alivyo kuwa ndani ya ndege hiyo iliyo lipuka na mamlaka ya ndege Dubai walidhibitisha kwamba baba mkwe ni miongoni mwa watu walio panda ndege hiyo.



“Haiwezekani awe hai”

“Ngoja nikuomyeshe jambo ambalo kwenye ile video iliyo rekodiwa hukuweza kuliona”

Willy akak mezani, akafungua laptop yake kisha akaanza kuminya minya batani.

“Una ona hii ndio ndege yetu na hawa ni abiria wote”

“Ndio na huyu si ndio baba mkwe?”

“Ndio. Hizi kameza ziliweza kuganda kwa sekunde tano, fwatana na mimi, una ona huyu mtoto hapa alikuwa ana cheza cheza na kimdoli kwenye siti yake?”

Nikaangalia mtoto aliye kaa siti ya nyuma ya baba mkwe, akiwa na mama yake.

“Ndio”

“Katika sekunde hizi tano baada ya kemera kuganda. Mzee alinyanyuka kwenye kiti chake, japo ana onekana bado yupo kwenye hichi kiti chake. Kama una weza kugundua vizuri. Mzee kichwa chake kilikuwa kina elekea dirishani”

“Yaaa”

“Ukiangalia kwa umakini una weza kuona kwamba alinata fulani yaani hatingishiki na ukitaka kujua hilo ni huyu mtoto hapa nyuma. Mzee aliingia eneo la mizigo, ambapo huku hakuna kamera. Akafingua mlamgo wa chini ya ndege na akaruska na parachuti na ndani ya sekunde nyingien tano toka akruke ndege ikalipuka”

Maelezo ya Willy yakaanza kuniingia akilini mwangu.

“Sasa lile bomu lililo lipua ni rocketi ya nyuklia ndugu kweli ata weza kupona?”

“Kitu cha kwanza ni kwamba hakuwepo kwenye ndege. Kitu cha pili, hii ndege ilikuwa kasi sana kiasi kwamba kwenye hizo sekunde tano, kutokea eneo alipo rukia na ndege ilipo angukia ni futi nyingi sana, ambapo kama ni mrukaji mzuri na mwenye akili basi hakufungua parachute lake na alicho kifanya yeye ni kuhakikisha kwamba ana ruka kwa kasi ya hali ya juu kuelekea chini na huku ndege ili lipuka na yeye alikuwa mbali”

Nikakaa kimya huku nikitazama video hii ya 3D aliyo itengeneza Willy.

“Sasa kama yupo hai mbona hajawasiliana na mtu yoyote?”

“Nahisi ana hitaji kwanza haya yapite na nina hisi kwamba ata kuwa ana hofia usalama wa familia yake kwani maadui zake wana jipongeza kwa kunywa mvinto wakiamini kwamba kazi yao imekwisha”

“Yaani wapuuzi sana hawa jamaa. Wanakuwa kama Pablo Escrobar, ameteketeza ndega nzima kwa ajili ya mtu mmoja?”

“Ndio hivyo naamini wana hisi hiyo ndio ilikuwa ni nafasi ya pekee ambayo wangeikosa basi wasinge ipatga tena.

“Hembu iweke ile video ya mzee akizungumza”

Willy akaiweka video hiyo na tukaanza kuitazama taratibu.

“Hembu simamisha”

Willy akaminya batani ya pause na video ikasimama.

“Umegundua nini kwenye hii video?”

“Sijajua chochote, umegundua nini?”

“Una ona mzee ana zungumza kwa ishara za vidole”

Willy ikamlazimu kurudisha nyuma kidogo naye akaelewa kile niliocho kuwa nina kimaanisha.

“Yaaa nime elewa, sasa hizi alama zake za vidole zina maanisha nini?”

“Ngoja ndio nina endelea kuzielewa”

“Amesema mtoto ana itwe Nadia”

“Ndio jina alilo lipendekeza kwa mjukuu wake”

“Nahisi kuna kitua mzee alikuwa ana kimaamusha”

“Kitu gani?””

“Ngoja nafikiria kuwaza. Hembu ianzishe tena hiyo video naomba earphone nahitaji kuitazama mwenyewe”

Willy akanikabidhi earphone na nikaanza kuitazama taratibu, taratibu nikaanza kuzielewa alama hizi za videole. Kwa namna alivyo kuwa ana zungumza na kuchezesha vidole vya viganja vyake vya kushoto nikagundua ni kwamba alikuwa ana chora umbo la binadamu. Hadi ana maliza tayari nilisha pata picha kamili.

“Nahitaji kuonana na Nadia”

“Mwanao au?”

“Mama mdogo wa Nadia wangu”

Nilizungumza huku nikitoa simu yangu, nikaitafuta namba ya Nadia na kumpigia. Simu ya Nadia ikaanza kuita na akaipokea.

“Shem mambo”

“Salama upo wapi?”

“Nipo njiani nina kuja huko”

“Sasa ukifika pitiliza moja kwa moja hadi ofisini kwangu”

“Sawa kwema lakini?”

“Ndio kwema na sherehe ya kumpokea mtoto inaksuubiria wewe”

“Nakuja sheme nakuja”

“Sawa sawa nakusubiria kwa hamu”

Nikakata simu huku nikimtazama Willy.

“Huyu binti ndio majiba ya hili jambo”

“Una taka ana fahamu ni wapi baba yake alipo?”

“Hafahamu ila nita fahamu”

“Sasa uta fahamu vipi ikiwa yeye mwenyewe hajui?”

“Ngoja uta ona”

Baada ya dakika kama kumi hivi ujumbe ukaingia kwenye simu yangu kutoka kwa Nadia.

‘Nipo ofisini kwako’

‘Nina kuja’

Nilimjibu huku nikitoka ndani hapa. Nikakutana na mama mkwe.

“Baba samahani”

“Bila samahani mama yangu”

“Shangazi ana omba ruhusua aende msibani kwa maana kule wana familia ina bidi tuwepo wengi.

“Ngoja mama yangu muombe Shngzazi anisubirie kidogo kuna watu nina zungumza nao dakika chache kisha nita rudi”

“Sawa”

Nikatoka ndani hapa na kumuacha Willy katika ofisi yangu ya nyumbani kwangu. Nikaongozana na Ruben na walinzi wengine hadi kwenye mlango la ofisini yangu.

“Ruben sihitaji mtu mwegine aingie hata kama ni mke wangu. Sawa”

“Sawa mkuu”

Nikaingia ndani na kuufunga mlango kwa ndani.

“Mbona una funga”

“Nina hamu na wewe”

“Jamani shem tuna msibaba na leo mtoto mpya amekuja. Tuache kwanza hii siku ipite”

“Usijalia, tuna fanya kidogo tu”

Nilizungumza huku nikimvuta Nadia karibu yangu, nikamyonya denda taratibu na kadri ninavyo endelea kumnyonya denda ndivyo nanma anavyo zidi kulegea na kujikuta tukialala kwenye sofa moja wapo la hapa selneni. Nikafungua kifungo cha jinzi aliyo ivaa na taratibu nikaivua na akabaki akiwa na chupi tu. Nikamvua tisheti pamoja na sidiria. Nikamvua chupi yake na nikamgeuza na kumuinamisha katika sofa hili. Hapa sasa nikapata nafasi ya kuiona ramani ndogo sana iliyo chorwa katikati ya mgongo wake. Kutokana nime mlainisha sikuwa na budi zaidi ya kumshulikia huku nikiwa nimeishusha suruali yangu chini kiasi na kumuacha jogoo wangu aendelee kufanya mashambulizi katika kitumbua cha Nadia. Nikaitoa simu yangu mfukoni, nikaipiga picha ramani hiyo pasipo Nadia mwenyewe kujua, kisha nikaendelea kumshuhulikia hadi nikamfikisha kileleni.

“Vipi bado huja kojoa?”

Nadia aliniuliza kwa sauti laini.

“Yaa mi bado”

“Ngoja niikalie”

Nikaka katika sofa hili na taratibu Nadia akamkalia jogoo wangu na akaanza kuzungusha kiuno chake kiasi cha kunifanya nihisi utamu wa hali ya juu kwani sasa mtoto huyu amesha anza kukomaa kiasi cha kunishuhulikia kama anavyo fanya dada yake.

“Nakojoa baby”

Nilizungumza kwa sauti ya kugugumia na ili tusitoe kelele, Nadia naye akaanza kuninyonya denda la nguvu kiasi cha kujikuta tukiendelea kugugumia ndani kwa ndani hadi sote kwa pamoja tukamaliza mtanage huu.

“Asante mume wangu”

“Asante pia mke wangu mdogo”

“Ila una hatari, siku Cauther akijijua, haki ya Mungu ana tuua”

“Hahaahaha labda umuambie”

“Mmm sio kumuambia, mara paa kaingia hapa ndani ina kuwaje kwa mfano?”

“Ndio hivyo tuta pambana na hali zetu. Kwa mana dada yako yule ana hasira mbaya”

“Kumbe una mjua?”

“Si mke wangu lazima nimjue akiwa na furaha, hasira na huzuni”

“Sasa mimi ni mara mbili yake kwenye hasira”

Tukaingia katika choo kilichopo ofisini hapa. Tukajiweka sawa miili yetu kisha Nadia akavaa vizuri nguo zkae, akafungua mkoba wake na kutoa vipodozi vyake anavyo tembea navyo na kuanza kujipaka.

“Yaani wanawake nyinyi muan tembea na makorokoro mengi”

“Ni kwa ajili ya emergency kama hizi. Hapa hata nikitoka hakuna mtu anaye jua kama nimetoka kutombw**”

“Wacha wee”

“Yaa”

Nadia mara baada ya kujiweka sawa, nikaagana naye na akatoka ndani hapa. Nikampigia simu Willy na kumuagiza aweze kuja ofisini kwangu. Nikampa Ruben amri nyingine ya kumruhusu kila anaye hitaji kuonana na mimi kwani amri ya kwanza ilikuwa ina mkataza hata mke wangu wa ndoa kuonana na mimi. Willya akaingia ndani hapa akiwa amebeba laptopo yake.

“Aisee mbona kuna nukia vizuri hivyo”

“Wee acha tu njoo nikuonyeshe hii ramani”

Nikamuonyesha Willy ramani hiii.


ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

BLOG