Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

AIISSII U KILL ME LEGACY SEHEMU YA 10 MWISHO

 


AIISSII U KILL ME LEGACY

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 10 KATI YA 10

 


Shamsa akanyanyuka huku akipepesuka pepesuka. Akajika hivyo hivyo na kuingia ndani kwake. Baada ya muda kidogo akarudi huku akiwa na kopo la mafuta. Akalifungua na kujipaka kiganjani mwake kiasi kidogo kishampaka jogoo wangu.

“Unataka kunichua?”

“Ndio randy. Huku chini kuna niwaka moto mwenzio”

“Kama ni hivyo acha tu”

“Randy”

“Sipendi kuuchua uume wangu. Niache nitajua nini cha kufanya”

“Randy mimi ndio nilio uamsha sasa ninatakiwa niweze kuulaza”

“Huwezi kuulaza. Wewe acha tu. Usije ukanifanya nikose nguvu za kiume bure”

“Jamani”

“Ndio”

Shamsa akaka kimya kwa sekunde kama thelethini hivi, akashusha pumzi taratibu huku akinitazama usoni mwangu.

“Nikikupa nyuma huto nifanya kw anguvu?”

“Hapana”

“Kweli Randy”

“Ndio”

Taratibu Shamsa akachukau mafuta kiasi na kujipaka nyuma. Nikambong’olesha huku nikimshika vizuri jogoo wangu. Taratibu nikaanza kumzamisha na kumfanya agugumie ndani kwa ndani. Taratibu nikaanza kumshuhulikia, utamu ambao ninaupata kwa Shamsa ni tofauti na utamu nilio upata kwa Zuhura ambaye yeye emekubuhu kwa kipindi chote. Kadri jinsi muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi sauti za kimahaba za Shamsa zilivyo zidi kubadilika, ikafikia kipindi hakugugumia kwa maumivu ila ikawa ni vilio vya raha. Sikuchukua dakika nyingi sana waarabu weupe wakatoka na wote nikawamwaga juu ya makalio ya Shamsa.

“Asante sana mpenzi wangu”

Nililalama huku nikishusha pumzi nyingi.

“Asante nawe pia”

Shamsa alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu. Usiku huu sikulala chumbani kwangu na tukajumuika kulala pamoja chumbani kwa Shamsa. Asubuhi kuna pambazuka na tukaamka pamoja huku tukiwa katika hali ya furaha na mahaba mazito. Ila yote katika yote sikutaka kusahau kazi iliyo nileta huku uzuri ni kwamba watoto wa Farida wapo nje ya shule hivyo itaniwia urahisi kwa mimi kuikamilisha kazi yangu. Hatukutoka ndani huku nikiendelea kutazama maeneo ya hoteli hiyo kwenye mtandao. Uzuri wa nchi zetu zilizo endelea kila kitu unacho kihitaji kukitafuta kwenye mtandao una kipata kwa urahisi sana. Nilipo hakikisha kwamba nimekiona kwenye picha chumba ambacho Farida yupo na watoto wake, nikakodisha chumba cha pembeni yao na nikalipia kwenye mtandao huku nikiingiziwa meseji ya malipo ambayo nikifika hotelini hapa nitawaonyesha. Muda wa saa moja usiku Shamsa akanipekeka hadi eneo la karibu kabisa na hoteli hiyo, nikaagana naye kima habaa kisha nikaeleka katika hoteli hiyo huku nikiwa na begi langu la nguo.

Nikamuonyesha muhudumu wa hoteli hii meseji iliyopo kwenye simu yangu. Akaandika namba maalumu ambazo zinadhibitisha juu ya ulipaji wangu wa chumba hicho. Walipo maliza kudhibitisha juu ya malipo yangu wakanikabidhi kadi maalumu ambayo hutumika katika kufungulia mlango.

“Karibu sana”

Dada huyu wa mapokezia lizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.

“Nashukuru”

Nikaelekea eneo la lifti ambazo zipo nne, kwa bahati mbaya zote nikakuta zinatumika. Nikasimama hawa kwa dakika kama moja hivi, lifti ya upande wa kushoto kwangu ikafunguka. Sikuamini macho yangu mara baada ya kumuona Farida akitoka kwenye lifti hii huku akiwa ameongozana na watoto wake hawa wawili na nyuma yake wakiwa walinzi wake wanne wakiimarisha ulinzi wa bosi wao.



Nikaiweka miwani yangu vizuri usoni mwangu na Farida akapita pasipo hata ya kunitambua. Akafika mbele akasimama huku nami nikiingia ndani ya hii lifti tukatazamana kwa sekunde kadhaa na milango ya lifti ikafunguka na taratibu lifti hii ikaanza kupanda juu huku akili yangu ikifikiria ni jambo gani ninaweza kulifanya kwa Farida. Kwa kutazamana kwetu nina imani amenitambua japo nina ndevu za bandia pamoja hii miwani. Nikafika katika kordo ndefu ambayo ndipo kilipo chumba changu na Farida. Nikatembea hadi katika chumba changu, kabla ya kuingia chumbani, nikakitazama chumba cha Farida kwa sekunde kadhaa kisha nikaingia ndani.

Nikaanza kukikagua chumbani humu, nikakigagua chumba chote na nilipo ridhika kwamba chumba hichi kipo salama, nikampigia simu shamsa.

“Nipo ndani”

“Hujastukiwa?”

“Nilikutana nao mlangoni ila sikuweza kufanya jambo lolote. Ninahitaji bastola”

“Nitaangizaje ndani ya hoteli?”

“Hapo ndio kwenye kazi kwa maana ulinzi wa hii hoteli ni mkubwa sana”

“Ngoja nitafute muhudumu ambaye anaweza kuuingiza bila kustukiwa”

“Sawa na ikiwezekana nina omba iwe na magazine kama mbili za ziada”

“Poa”

Nikakata simu na kuwasiliana na Professa nchini Tanzania.

“Mama amefika?”

“Ndio amefika salama”

“Vipi msako?”

“Unaendelea”

“Marieta yupo wapi?”

“Yupo hapa nyumbani.”

“Naomba nizungumze naye”

Baada ya dakika kama moja hivi nikaisikia sauti ya Marieta masikioni mwangu.

“Upo poa mke wangu”

“Ndio mpenzi, nina furaha kumuaona mwanangu kwa wakati mwengine”

“Hakikisha kwamba mtoto anakuwa kwenye malezi mazuri sawa”

“Sawa mume wangu. Nawe hakikisha kwamba unarudi salama”

“Usijali. Ninakupenda sana Marieta”

“Ninakupenda pia Randy”

“Asante, mpe simu Pro”

“Ndio Randy”

“Baba na Jojo wamefikia wapi?”

“Wamesha fika Pakistani na hivi karibuni watanipatia mrejesho”

“Ahaa…saawa sawa professa”

Nikakata simu na kuitupia kitandani. Nikapumzika kitandani kwa masaa mawili. Ilipo timu saa mbili na nusu usiku nikatoka chumbani humu na kuelekea kwenye mgahawa ulipo katika eneo hili la hoteli. Nikakaa kwenye moja ya kona na kuagiza chakula cha usiku pamoja na juisi.

“Habari”

Muhudumu mmoja wa kike alizungumza huku akiwa ameshika kitambaa kikubwa cheupe kilocho funika mkono wake wa kulia.

“Salama”

“Nina mzigo wako hapa”

Muhudumu huyu alizungumza huku akikiweka kitambaa hichi cheupe juu ya meza, nikakishika kitambaa hichi na kugundua kwamba kimefunikia bastola. Nikaisogeza karibu yangu na kigiza cha eneo hili nilipo kaa ni ngumu sana kwa mtu kuweza kugundua kama nimekabidhiwa bastola.

“Asante”

Nilizungumza mara baada ya kuchukua bastola hii pamoja na magazine na kuzihifadhi katika mfuko wa koti langu la suti. Dada huyu akaondoka eneo hili na kuniacha peke yangu, baada ya muda kidogo muhudumu mwengine akaniletea chakula na juisi niliyo agiza.

“Furahia chakula chetu”

“Nashukuru”

Hata kabla sijaanza kula, nikamuona Farida akiingia ndani ya eneo hili huku akiwa na walinzi wake pamoja na wanae ambao kwa sasa wamekua kiasi. Wakaangaza angaza meza ambazo hazina watu na bahati mbaya meza mbili zilizopo pembeni yangu ndio hazina watu. Moja kwa moja wakafika katika meza hizi na Farida akaka kwenye kiti ambacho kina tazamana nami. Sura za walinzi wake hawa si ngeni sana machoni mwangu kwani ni miongoni mwa wapiganaji wenye uwezo mkubwa sana kwenye jeshi la Al-quida kwa lugha ya haraka haraka unaweza kuwaita makomandoo.

Taratibu nikaanza kula chakula hichi huku nikiwa makini sana kwani jambo lolote linaweza kujitokeza katika eneo hili, mara kwa mara macho yangu na Farida yaligongana. Farida alipo hakikisha wanaye wanaendelea kula bila tatizo la aina yoyote, akanyanyuka kwenye kiti chake, walinzi wake wakataka kumfwata ila akawazuia. Taratibu akatembea kwa madaha hadi iliyo hii meza yangu na kukaa katika kiti cha mbele yangu na tukatazamana.

“Harufu yako haiwezi kusaulika kwenye ufahamu wangu wa akili”

Farida alizungumza kwa sauti laini huku akiendelea kunitazama usoni mwangu.

“Nini una maanisha dada?”

Nilijitahidi kuzungumza huku nikibadilisha sauti yangu.

“Hahaaa….Randy ni nini kilicho kuletea huku Misri?”

Nikastuka kidogo kwa maana imekuwa ni rahisi sana kwa Farida kunifahamu.

“Nahisi umekosea mtu”

“Randy, siku ambayo nilionana na wewe ulikuwa na jeraha la risasi. Ulikuwa hujitambui na mimi ndio mtu wa pekee ambaye nilikuhudumia kwa kipindi chote ulicho kuwa haujifahamu. Harufu yako ya mwili wa harufu ya damu yako kwangu ni vitu ambavyo vimebaki kwenye ufahamu wangu wa akili. Hata sura yako ikiwa imebadilishwa ninaweza kukufahamu”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikiendelea kumtazama Farida usoni mwake, nikawatazama walinzi wake na wanaye.

“Natambua kwamba una kisasi kikubwa na mimi. Unahitaji kuniua na kwa haraka haraka nina imani kwamba una hitaji kuwau wanangu.”

Farida alizungumza kwa sauti ya upole na unyenyekevu mkubwa sana.

“Wanangu hawana sababu ya kufa. Wanangu ni wadogo sana na kati yao hakuna hata mmoja anaye tambua kwamba mimi mama yako nina fanya jambo fulani na jambo fulani. Randy nina zungumza kama mama, mama anaye hitaji zao lake liweze kukua na kuwa wema kwenye maisha ya baadaye. Naomba uwaache wanangu hai, kumbuka kipindi ulipo kuwa pale nyumbani ukicheza nao na kucheka nao kwa furaha jaribu kukumbuka Randy”

Farida alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Ni ombi ambalo hakika kwa mtu anaye fahamu familia yake ni lazima litamgusa moyoni. Ila Farida ni mjanja sana nina imani kwamba ana tuma kigezo cha familia ili iwe rahisi kwake kuniangamiza.

“Una watoto wazuri sana”

Nilizungumza kwa sauti yangu halisi.

“Nashukuru”

“Yule mzee baba yao yupo?”

“Amesha fariki”

“Vijana wake wale wengine?”

“Nao walisha fariki kwenye kikosi kile walicho kuwa wamejiunga”

“Pole yao. Samahani”

Nilizungumza huku nikisimama, Farida akwahi kunishika mkono wangu wa kulia na kwa ishara ya macho akaniomba niweze kukaa.

“Randy hujui ni kitu gani kilicho kuwa kimetokea hadi mimi na wewe kufikia katika hatu hii. Hatua ya kuwindana ili kila mmoja ajaribu kuitoa roho ya mwenzake.”

Maneno haya yakanifanya nikae tena na kumsikiliza.

“Baba yangu hakupenda niolewe na mwanaume mwenye rangi nyeusi. Alihitaji niolewe na muarabu mwenzangu, aliwachukia nyinyi ni watu wenye upeo mdogo sana wa akili na hakuweza kukuamini hata kwa asilimia moja”

“Aliamua kukupa mateso ya akila aina ili mradi uweze kufa. Ila kwa bahati mbaya hukuweza kufa. Katika kipindi chote ninacho amua kukutafuta, sikuhitaji kukua, nilihitaji ni kupate tena uwe mwanaume wangu”

“Mwanaume wako!!!?”

“Ndio Randy, nilihitaji iwe hivyo, nilipenda iwe hivyo ila kwa bahati mbaya haikuwezekana kuwe hivo. Randy ulinichukulia kama adui, ndio maana hukusita kufyatua risasi mbele yangu”

“Unahisi unaweza kunishawishi kijinga namna hiyo?”

“Natambua unahisi kwamba nina kushawishi. Ila mtu ambaye yupo nyuma wa hili jambo ni mama yako mzazi. Yeye ndio alitoa amri ya kumteka mwanamke wako Marieta. Alihitaji niweze kumua, alihitaji niweze kumpoteza huku akinijaza maneno ya kwamba endapo nitamua mwanamke huyo basi mimi ndio nitakuwa mkwewe.”

“Hahahaa…..hivyo uliweze kufwata akili za mama yangu?”

“Kutokana na wivu wa kimapenzi nilimsikiliza. Hata ulivyo kuwa Zanziba na baba yako yeye ndio aliye tupa ramani ya kufahamu ni wapi ulipo. Randy mimi si adui yako. Kule Kibiti ile nyumba ilivyo lipuka, nililia sana mbele ya wanajeshi wangu. Niliumia sana kuona una kufa hivi hivi, sikuhitaji mwisho wetu uwe wa kushikiana mitutu nilihitaji mwisho wetu uwe ni wa amani na upendo.”

“Mulijuaje kwamba mimi nipo pale?”

“Mama yako aliniomba jambo moja muhimu sana. Kipindi alipo kuwa ana kwenda kujisalimisha kwa Wamarekani, aliniomba endapo kama watashikiliwa kwa lengo la kuuwawa, basi niweze kumsaidia kutoroka huku yeye akinifahamisha ni wapi ulipo. Jiulize katika familia yako ni nani anaweza kutoa siri ya kule ulipo kuwepo?”

“Jojo anaweza kufanya hivyo?”

Nikamfikiria Jojo kwa haraka haraka ila nikatingisha kichwa na kukataa kwamba hawezi kufanya hivyo.

“Dany ana weza kufanya hivyo?”

“Hapana”

“Mama yako je?”

Nikakaa kimya huku macho yakiwa yamenitoka.

“Kila siku mama yako ana hitaji Marieta aweze kufa. Alitoa siri hiyo kwa ajili ya kuhakikisha kwamba tunafika pale na kumuua Marieta huku kesi ya kifo chake tukiibeba sisi na yeye akijivua katika hilo. Randy ninakueleza mambo ambayo hata wewe mwenyewe hujawahi kuyasikia”

“Kwa nini ana hitaji Marieta afe?”

“Marieta pekee ndio anafahamu sehemu vyungu vya kutengeneza mabomu ya nyukilia vinavyo milikiwa na mama yako sehemu vilipo. Siri hiyo anataka kuitoa kinywani mwa Marieta ndio maana kila siku amekuwa ni mtu wa kumuwinda na kumtafutia sababu nzuri ya kumuangamiza”

Nikakumbuka kauli ya Marieta akiniomba aweze kumuua mama yangu na baada ya hapo aweze kurudi kwenye hali yake ya kawaida. Sikuhitaji kuuliuliza jambo hilo sana kwa maana Marieta aliniambia kwamba mama yangu alimuuliza familia yake kwa vifo vilivyo jaa ukatili mkubwa sana.

“Haitoshi mama yako aliiua familia ya Marieta kwa ukatili sana na siku hiyo nilishuhudia, nilitamani kumzuia ila nilishindwa na kitu pekee ambacho kilimuweka hai Marieta kwa kipindi kile ni ule ujauzito wa mwanao”

Machozi ya hasira yakaanza kunilenga lenga.

“Safari ya Dany na Jojo kuelekea nchini Pakistani nina itambua. Mama yako amenieleza kila kitu na ndio maana niliamua kuondoka Pakistani na kuja huku kwa lengo la kuwalinda wanangu dhidi yako. Sikuhitaji kutumia nguvu nilipo kuona pale kwenye lifti, sikuhitaji kuwatuma walinzi wangu waje chumbani kwako kukufwatilia wala sikuhitaji kukudhuru nilipo kuona hapa. Nahitaji hili jambo tulimalize kiamani kabisa kwa maana bado nina kupenda Randy na wanangu bado wana kukumbuka ila kwa hizo ndevu kidogo umeweza kuwaweka njia panda japo mmoja aliniuliza tukiwa kwenye gari. Mama mbona kama nimemuona anko Randy?”

Farida alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kidogo na mimi machozi yakaanza kunilenga lenga, nikawatazama wanaye wanao endelea kula kwa furaha.

“Nitakuamini vipi kwamba mama yangu yupo nyuma ya hili jambo”

“Kabla sijakuaminisha nina jambo jengine ninahitaji kukuambia”

“Jambo gani?”

“Yeye ndio aliye agiza, tutege bomu ambalo litamua Victoria kwenye harusi yenu na nilipokea kazi hii huku nikiwa na mashaka makubwa sana nikiamini kwamba lazima na wewe utakufa”

Macho yakanitoka huku mapigo yangu ya moyo yakianza kunienda kasi. Farida akaiweka simu yake mezani na aka niweka sauti ya mawasiliano kati yake na mama.

“Farida nisaidie katika hili, nitakupa kiasi chochote cha pesa ambacho utakihitaji”

“Kwa nini unahitaji kumuua binti wa watu ambaye hana kosa lolote juu yako?”

“Sitaki mwanangu aoe mzungu na pia nina hitaji kuonyesha machungu kwenye familia hii ya kuondokewa na mume. Baba yake alimuua kikatili mume wangu hata kama mimi na yeye tuna bifu ila hakupaswa kumua Donald Bush kwa ukatili kama ule”

Niliisikia sauti ya mama ikizungumza kwa hasira sana.

“Hivyo unataka kumua Victoria kwa bomu?”

“Ndio, nina hitaji agawanyike vipande vipande na ninataka ikiwezekana bomu limuangamize yeye mwenyewe na si Randy”

“Itawezekanaje?”

“Una wataalamu, jaribu kutumia njia yoyote kuhakikisha kwamba analipuliwa na hilo bomu”

“Ila hii ni dhambi Yemi”

“Yote haya ni kwa ajili ya upuuzi wa baba yake ni lazima apate uchungu kama nilio upitia mimi. Nitakupa dola bilioni moja. Fanya kazi hiyo”

“Sawa ingiza malipo nusu, na nusu utalipa mara baada ya kazi kukamilika”

“Haya ila mwanangu tafadhali asiudhurike”

“Nimekuelewa”

“Na hili libaki siri kati yako mimi na wewe na kupitia bomu hili nina imani kwamba Randy ataacha kunichukia na akianza kuniamini basi anaye fwata atakuwa ni Marieta nina acha amkuze kuze mjukuu wangu, na baada ya hapo shingo yake ni halali yangu”

Mazungumzo haya yakanifanya mwili mzima kuanza kunitetemeka kwa woga kwa maana kama Marieta yupo nchini Tanzania pamoja na mama tena wanaishi katika nyumba moja ya Professa jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa Marieta na isitoshe wote tunaamini adui yetu ni Farida kumbe adui yetu mkubwa ni Yemi mama yangu mzazi.



Mwili mzima ukazidi kutetemeka huku akili yangu ikifikiria ni jambo gani ambalo nina weza kulifanya. Nikatoa simu yangu mfukoni na kuitafuta namba ya Professa na haraka nikampigia. Simu ya Professa ikaita kisha ikapokelewa.

“Professa”

“Ndio Randy vipi mbona kama una wasiwasi?”

“Mama yupo wapi?”

“Ametoka na Marieta wameniaga wana matembezi kidogo”

“Ohoo Mungu wangu”

“Vipi mbona kama una wasiwasi.”

“Kuna ushahidi ninakutumia sasa hivi ambao unamuhusisha mama.”

“Ushahidi kivipi?”

“Wewe subiri nina kutumia na mambo yote haya yanayo tokea kwenye maisha yetu mama ndio yupo nyuma na kama ina wezekana nina kuomba sana umtumie Dany na Jojo na kama wapo katika harakati za kufanya kile kilicho wapeleka nchini Pakistani nina omba uweze kuwajulisha haraka iwezekanavyo na wakatishe hiyo shuhuli”

“Hembu nitumie”

Nikaichukua simu ya Farida na kuutuma ujumbe huo kwa namba ya Professa kupitia mtandao wa whatsapp.

“Umefika?”

“Ndio ngoja niusikilize”

“Usikate simu”

“Sawa”

Nikaka kimya huku nikisikia mazungumzo hayo kwa mbali sana huku macho yangu yote nikimtazama Farida anaye endelea kububujikwa na machozi. Dhahama na dhambi kubwa ambayo tumembebesha hakika haistahili kwenye maisha yake.

“Ohoo Mungu wangu!!”

Nilimsikia Professa na yeye akihamaki kwani naye hakuweza kutegemea kusikia maneno kama haya.

“Watumie Jojo na Dany sasa hivi”

“Sawa ninawatumia, ila umeupata wapi huu ushahidi?”

“Amenipatia Farida mwenyewe”

“Sawa sawa, nina watumia sasa hivi wazazi wako. Na nimedhibitisha ni sauti sahihi ya mama yako”

“Hakikisha una fanya hivyo na jambo jengine nina omba uweze kumuokoa mke wangu. Yupo kwenye mikono ambayo si salama kwa sasa”

“Mmmmm nimekuelewa, ngoja nijitahidi nione nitafanyaje”

“Nashukuru sana Professa”

Nikakata simu huku kifua changu kikiendelea kupanda na kushuka kana kwamba nimekimbia kwa kasi umbali mrefu pasipo kupumzika.

“Haya ndio maagizo aliyo yatoa kwa ajili ya Jojo na Dany”

Farida alizungumza huku akiichukua simu yake kiganjani mwangu. Akaweka rekodi nyingine aliyo zungumza na Yemi.

“Ndio Yemi”

“Ninaondoka nchini Kenya sasa hivi. Mipango iliyopo ni kuhakikisha kwamba kikosi chako cha Al-quida kina teketezwa na kuangamizwa na ikiwezekana kukifuta kwenye ramani ya dunia.”

“Na nani aliye panga kukiangamiza”

“Dany. Dany mtu aliye husika katika kuuwa wazee wako akiwemo Osama Bin Laden pia hata baba yako naye ameponyoka chupu chupu na yeye kuangamizwa kutoka katika mkono wa Dany. Kumbuka kwamba Dany ni adui yako na anakuja nchini Pakistan na kama upo nchini huko hakikisha una ondoka haraka iwezekanavyo kwa maana Randy anaelekea nchini Misri kuwaangamiza wanao na kwa jinsi alivyo na hasira dhidi yako ameahidi kukata vichwa vya wanao”

“Ohoo Mungu wangu. Ila Yemi kumbuka wewe ndio ume ni frame kwenye hili swala nina onekana mbaya dhidi ya familia yako kwa sababu yako”

“Pesa. Wewe una hitaji pesa ili uendelee kuwalisha na kuwalipa wapiganaji wako. Laiti kama huna pesa hakuna ambaye atakuheshimu katika kundi lako hilo. Nimekupe pesa ufanye mambo yangu ninayo yahitaji. Unalalamika nini, pambana mtoto wa kike hakikishe wanao wanakuwa salama na hakikisha hao mbwa wawili nilio kuletea huko nchini Pakistani unawaua na nitahitaji kuzishuhudia maiti zao. Umenielewa?”

Maneno ya Yemi hakika yakanifanya nizidi kupandwa na hasira, nikatamani yaani nifumbe macho yangu na nikifumbua niwepo nchini Tanzania ila kwa bahati mbaya mambo kama hayo hayawezi kuwezekana katika ulimwengu huu tulio nao hivi sasa.

“Unataka nimuue Dany na Jojo?”

“Nimekuambia hilo na ninahitaji iwe hivyo. Wakifa hao nitakuwa na nguvu, nitajiamini na sinto ishi na chuki ambayo nina ishi nayo hivi sasa. Hakikisha kwamba una fanya hivyo.”

“Nitafanya hivyo na unanilipaje hivi sasa?”

“Nitakupa robo ya utajiri wangu endapo kila jambo litakwenda kama vile ninavyo hitaji”

“Sawa Yemi nimekuelewa”

“Ibaki siri na isitokee mtu yoyote akaweza kufahamu juu ya hili jambo”

“Siwezi kutoa siri nina imani kwamba una nifahamu katika hilo”

“Sawa, usi miss target kama ulivyo miss kule Kibiti”

“Haya”

“Najua yule malaya Marieta yupo peke yake Tanzania. Nitahakikisha kwamba nina mnyongelea mbali nina imani kwamba nafsi yangu itaanza kupata pumziko kwake.”

“Ila kumbuka Marieta ana mtoto mdogo”

“Wewe hutaki kuwa mkwe wangu?”

“Nitakuwa mkwe wako kwa staili hiyo ya kumuua Marieta?”

“Nitajua jinsi ya kukuunganisha na Randy. Wewe nifurahishe katika kuifanya hiyo kazi”

“Sawa”

Mazungumzo haya yakaishia hapa na nikabaki nikikaa kimya huku nikimtazama Farida usoni mwake. Sikuhitaji kupoteza muda nikamtumia sauti hiyo Professa, kishan nikampigia simu na akapokea.

“Nimekutumia ushahidi mwengine umeuona?”

“Ndio nimeupata na nina usikiliza hivi sasa hapa”

“Naomba uusikilize. Je umefanikiwa kuwapata Mama na Marieta?”

“Ninajaribu kuitafuta simu ya Yemi siipati hewani hapa nipo katika harakati za kuwatafuta kwa kupitia satelaiti”

“Sawa hakikisha una fanya hivyo na hizi sauti pia watumie Dany na Jojo”

“Tayari nimesha watumia”

“Umezungumza nao?”

“Ngoja nikuunganishe na Dany”

“Sawa”

“Randy mama yako kumbe mshenzi hivi eehee?”

“Ndio hivyo baba ana cheza na akili zetu. Na sasa ameondoka na Marieta sijui ni wapi wameelekea”

“Yaani siamini ila ngoja tunaimalizia hii kazi baadae”

Dany alizungumza huku nikisikia milio ya bunduki za kila aina, hapa ndipo nilipo dhihirisha kwamba baba na dada yangu wameingia kwenye mtego wa mama yangu. Simu upande wa Dany ikakatika na nikabaki na Professa hewani.

“Mzee naomba uhakikishe una mpata mke wangu na kama bi Jane yupo nina kuomba uweze kunionganisha nizungumze naye?”

“Jane ameondoka na mtoto. Hawapo hapa nyumbani”

“Wamekwenda wapi?”

“Amempeleka mtoto hospitalini na yeye nimesha mtumia sauti hizi ili naye awe kwenye tahadhari”

“Naomba umueleze kwamba ahakikishe kwamba mwanangu ana kuwa hai”

“Nimekuelewa”

“Asante”

Nikakata simu huku machozi yakinimwagika usoni mwangu. Nikamtazama Farida usoni mwake na taratibu akausogeza mkono wake wa kulia na kukishika kiganja changu cha mkono wa kushoto.

“Randy bado nina kupenda, sihitaji tuwe maadui katika maisha yetu. Niliyaokoa maisha yako na kuhakikisha kwamba una kuwa hai, sihitaji kumwaga damu yako na nina kuomba yale yote niliyo yafanya unisamehe. Nilifanya kwa ajili ya pesa. Wewe unajua sina chanzo kikubwa cha kuniingizia pesa na kuwalisha wapiganaji wangu. Ni hizi dili ninazo zipata ndio zinanipa pesa. Ninakuomba unisamehe Randy”

Farida hakujali juu ya walinzi wake na wanaye wanao endelea kututazama. Ila akaendelea kulia kwa uchungu sana mbele yangu. Moyo wangu haukuona haja ya kuendelea kukumbatia chuki niliyo pandikizwa kijinga dhidi ya Farida.

“Nimekusamehe”

“Kweli?”

“Ndio nime kusamehe. Ila nina kuomba kitu kimoja”

“Kitu gani?”

“Ninakuomba vijana wako waweze kukatisha hai vita. Naomba wawaache hai baba na dada yangu”

“Sawa kwa hilo nipo tayari”

Farida akachukua simu yake na kupiga namba anazo zijua yeye na kuiweka sikioni mwake. Akasubiri baada ya muda kidogo.

‘Vipi mumefikia wapi?’

“Vijana wengi wamekufa?’

‘Rudiesheni majeshi nyuma’

‘Nimesema rudini nyuma na kukimbia acheni kupambana na hiyo vita’

‘Hata kama muna wakaribia kuwafwata. Nimewaambia rudisheni majeshi yenu nyuma sawa?’

‘Sio ombi ni amri’

Farida akaka simu huku uso wake kidogo ukiwa umejawa na hasira. Akajipangusa machozi yake, akanitazama kwa sekunde kadha akisha akashusha pumzi nyingi sana.

“Vijana wangu wengi wameuwawa na baba yako”

“Nisamehe katika hilo. Tumekuwa tuna pambana pasipo kujua nani ni adui yetu kamili. Ninakuomba uwasamehe katika hilo”

“Sawa ninakwenda kulala. Nahisi kichwa changu kuniuma”

Farida akasimama akawachukua wanaye walipo katika meza ya jirani na wakaondoka hapa na walinzi wake. Picha ya mama taartibu ikaanza kunitawala kwenye ufahamu wangu wa akili, hisia mbaya na hasira kali sana ikazidi kuendelea kunitawala dhidi ya mama yangu ambaye hakika amefanya jambo baya ambalo sikulitegemea kwenye maisha yangu. Nikataka kunyanyuka ila simu yangu ikaita, nikatazama na kukuta ni namba ya Professa. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi, wasiwasi mwingi ukanijaa, kisha taratibu nikaipokea simu hiyo.

“Randy”

Professa alizungumza kwa sauti ya upole sana.

“Ndio Professa”

“Samahni kwa hili Randy.”

“Kuna nini tena Professa?”

“Nakutumia video. Samahani lakini”

Professa aliendelea kuzungumza kwa upole na unyonge wa hali ya juu hakika nafsi yagu yote ikaingia ganzi. Professa akakata simu na baada ya muda mfupi ukaingia ujumbe wa video kupitia mtandao wa whatsapp. Nikaufunga ujumbe huu wa video na sikuamini macho yangu mara baada ya kumuona mama akiwa amesimama na Marieta kwenye moja ya milima ambayo chini ina maporomoko na sikuweza kuelewa ni milima ya wapi. Mama yangu mkononi mwake ameshika bastola na Marieta yupo pembezoni mwa maporomoko hayo huku amepiga magoti yake chini na akionyesha ishara ya kulia kwa uchungu sana na kumuomba msamaha mama yangu.

Video hii iliyo rekodiwa kwa satelaite kutokea juu haina sauti zaidi ya kushuhudia videtendo. Jinsi Professa alivyo kuwa mtaalamu, akazidi kusogeza picha ya video hiyo karibu na nikazidi kuzishuhudia sura zao huku sura ya mke wangu ikiwa imetawaliwa na Machozi mengi sana. Moyoni mwangu nikajikuta nikijutia ni kwa nini Professa aliamua kumtibu Marieta ugonjwa wake.

Risasi nne mfululizo alizo zifyatua Yemi zikatua kifuani mwa Marieta na taratibu zikaamfanya aanze kuanguka chini kwenye maporomoko hayo jambo lililo nifanya niimishe simu yangu kwa nguvu sana huku mwili mzima ukiendelea kutetemeka kwa hasira sana. Nikawatazama watu waliomo eneo hili, watu wanao cheka wote nikahisi ni wabaya sana kwangu, kwani hawaoni machungu niliyo nayo. Nikanyanyuka na kuelekea chumbani kwangu. Nikiwa ndani ya lifti machozi yanaendelea kunitiririka hadi bibi wa kizungu niliye panda naye akabaki akinishangaa. Lifti ilipo fika gorofa katika eneo nililo kodisha chumba changu ikafunguka, nikaanza kutembea kwa mwendo wa kuyumba mithili ya mtu aliye lewa, ila kusema kweli sijakinywa kilevi cha aina yoyote zaidi ya kujawa na hasira kali sana moyoni mwangu. Nikafika katika mlango wangu, nikaanza kujipapasa mifukoni mwangu, na kuitoa kadi ya kufungulia, taratibu nikaingia ndani na kuufunga mlango kwa nguvu. Hasira niliyo nayo ikanifanya nianze kuvunja vitu vilivyomo humu ndani, sikujali kama nime panga au laa, ila kila kutu ambacho nilihisi kwamba nina weza kukibeba mikononi mwangu kwa urahisi, nikakipigiza chini kwa nguvu zangu zote.

“KHAAHAAAAAA….!!!”

Nilipiga ukungua mkali sana huku nikiendelea kulia kwa uchungu sana. Kwenye maisha yangu nimeweza kushuhudia vifo vya watu wengi sana ila hichi kifo cha Marieta uchungu wake ni mara mbili na kifo cha Victoria mke wangu. Mlango ukagonga huku nikisikia sauti ya Farida akiniita. Nikausogelea mlango huu na kuufunga, Farida akaingia kwa haraka ndani hapa huku akiwa amejana na mshangao wa kuona jinsi vitu vilivyo paranganyika. Nikatoa bastola kwenye mfuko wangu wa koti la suti, nikaiweka magazine na kuikoki vizuri kisha nikajiwekea kichwani mwangu kwa ajili ya kujia. Marieta alipo nigeukia na kunitazama akabaki akiwa na mshangao huku akishindwa kujua nini nini kitakacho kwenda kutokea baada ya mimi kufanya maamuzi haya ya kutaka kujiua kwa hasira hii kali niliyo nayo.



“No no no no Randy don’t do that”(Hapana hapana hapana hapana Randy usifanye hivyo)

Farida alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Jinsi hasira hii ilivyo nikamata nikajikuta nikihisi harufu ya damu ikitokea kifuani mwangu.

“Randy, ukijiua wewe nani atabaki na mwanao. Kumbuka mwanao ana kuhitaji hata mimi pia nina kuhitaji Randy wangu”

Farida alizungumza huku akinisogelea kwa hatua za utaratibu na zilizo jaa umakini mkubwa sana.

“Kumbuka ni wapi tulipo toka, kumbuka jinsi ulivyo nitorosha kwa yule mzee. Kumbuka jinsi ulivyo niahidi kwamba huto niacha kwenye maisha yangu hadi kufa kwako. Randy tumbo langu nimelichunga na kulilinda kwa ajili ya kubeba mwanao tafadhali nina kuomba mpenzi wangu uweze kuweka bastola chini.”

Farida aliendelea kuzungumza kwa lugha ya upole na iliyo jaa ushawishi mkubwa sana kwangu. Akafika eneo hili nililo simama na taratibu akaishika bastola hii na kuishusha chini. Akafanikiwa kuitoa mikononi mwangu na kitu cha kwanza alicho kifanya ni kutoa magazine pamoja na risasi moja ambayo tayari ilisha kaa tayari kwa kutoka katika bastola yangu. Farida kwa mara nyingine tena akanikumbatia kwa nguvu huku akilia kwa uchungu sana.

“Natambua kwamba hukujua kwamba mama yako ndio adui. Tafadhali nina kuomba uweze kumsamehe”

“Nimsamehe!!? Hahaahaaa….hapana”

Nilizungumza huku nikicheka kwa hasira na uchungu mwingi.

“Randy tambua kwamba mama ni mama”

“Hata kama huo ni ushenzi na ujambazi. Tazama alicho kifanya kwenye simu yangu”

“Alicho kifanya?”

“Kachukue simu yangu uone alicho kifanya”

Tartaibu Farida akaniachia na kuanza kuangaza angaza humu ndani ili kuitafuta simu yangu. Akaiona ikiwa kitandani, akaichukua na kuanza kuitazama video ambayo nilitumia muda mchache. Nikamuona Farida akishika mdomo wake huku macho yakiwa yamemtoka.

“Amemua Marieta. Unataka nimsamehe. Yeye ni bina damu wa aina gani. Ana waza nini kichwani mwake, ana fikiria jambo gani kichwani mwake hadi kumua Marieta. Ana kosa gani mtoto wa watu eheee?”

Nililalama huku nikilia, taratibu nikaka chini huku nikiuegemea mlango wa chumba hichi. Farida akanisogelea, kigugumizi kilicho mpata akashindwa hata kuzungumza kwani kwa hilo alilo liona nina imani kwamba hakuna sababu yoyote ya mimi kuweza kumsamehe mama yangu.

“Nitamuua kwa mkono wangu mimi mwenyewe”

“Randy”

“Sihitaji ushauri wako. Nitafanya hilo mimi mwenyewe”

Simu yangu ikaita, nikaitazama kwa muda kidogo na kukuta ni namba kutoka nchini Tanzania. Nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu. Nikaanza kusikia vilio vya mwanamke na nilipo jaribu kuendelea kuisikiliza sauti hii nikafanikiwa kujua ni sauti ya mama yangu mzazi. Nikatamani kuzungumza ila Farida akaniziba mdomo wangu na taratibu akaichukua simu yangu na kuiweka loud speaker.

“Randy mwanangu”

Mama aliniita kwa sauti ya upole na iliyo jaa majonzi mengi sana. Nikamtazama Farida usoni mwake na kunisisitizia kwa vitendo kwamba nimjibu mama kwa upole.

“Mmmm”

“Mke wako amepata ajali”

Mama aliniongopea huku akiendelea kulia.

“Ajali?”

Niliuliza kwa sauti ya kawaida huku nikijikaza sana kuionyesha asira yangu kwake kwa maana hili analo lizngumza si la kweli na ana hisi kwamba sifahamu kwa kitu kinacho endelea.

“Ndio ina niuma mwanangu”

Mama alilalala huku akiendelea kulia kwa uchungu sana.

“Ninarudi Tanzania hivi karibuni mwili wake niukute”

“Mwili!!?”

“Ndio nahitaji niukute mwili wake.”

“Sawa madaktari wanaendelea kujitahidi kuhakikisha kwamba mwili wake wanauweka kwenye mazingira mazuri”

“Sawa”

Nikakata simu huku nikisikia maumivu makali sana moyoni mwangu. Swali linalo endelea kuniumiza kichwani mwangu ni kwa nini mama yangu ameamua kuwa na roho mbaya ambayo kwa namna moja ama nyingine haina mfano.

“Unaweza kurudi Tanzania ukiwa katika hali hiyo au nikusindikize?”

“Nitarudi mwenyewe”

“Atakuua na wewe pia?”

“Hawezi kuniua?”

“Ana weza mama yako ana jeshi lake la siri sana. Nina imani katika hii vita sasa wao ndio wanamlinda”

“Jeshi lake lipo wapi?”

“Nigeria”

“Unaweza kunielekeza ni wapi lilipo?”

“Ndio, ila nahitaji hii kazi tuifanye wote kwa maana ili umalize tatizo ni lazima uhakikishe kwamba una kata mzizi kabisa wa tatizo. Ila ukijitahidi kukata matawai na kuacha mizizi ile mizizi nina imani kwamba inaweza kuchipua tena na ikwa ni tatizo kubwa tofauti san ana tatizo la kwanza.”

Farida alizungumza maneno ambayo kwa namna moja ama nyingine nimeyaelewa.

“Sawa andaa mpango wa safari ninaelekea Nigeria”

“Nimekuelewa”

Farida akatoka chumbani humu na kuniacha peke yangu. Nikirudi tena kuitazama video hii ya mauaji ya Marieta. Kabla sijamaliza kuangalia hii simu yangu ikaita katika mfumo wa video, nikaipoke video hii na kumuona Jojo.

“Randy”

“Mmmmm”

“Nina imani kwamba professa amekutumia video?”

“Ndio amenitumia”

“Nakuomba mdogo wangu usifanya maamuzi yoyote kabla ya kutushirikisha”

“Vipi vita yenu?”

“Wamesarenda na kukimbia. Hapa tunajiandaa kurudi nchini Tanzania”

“Musirudi Tanzania”

“Kwa nini?”

“Mama ana jeshi lake nchini Nigeria hao ndio watu wa pekee ambao tunatakiwa kudili nao kuanzi hivi sasa”

“Nigeria?”

“Ndio”

“Nani amekupa taarifa hizo?”

“Farida?”

“FARIDA ambaye tulikuwa tuna msaka?”

“Ndio yeye si adui yetu. Yeye ndio mtu wa pekee aliye tufumbua macho. Voice ambazo Professa amekutumia zimetoka kwa Farida”

Jojo akashusha pumzi huku akifumba macho yake.

“Ngoja nimuunganishe Dany tulijadili hili”

Baada ya sekunde kadhaa nikamuona Dany naye akiwa upande mwengine wa eneo alilipo Jojo.

“Baba msaliti ni mke wako. Ni mwanamke amabaye ulimpa ujauzito na leo hii ameniulia mke wangu. Nitakapo muua kwa mikono yangu hakika sinto hitaji uweze kuingilia hii vita”

Nilizungumza kwa msisitozo huku nikimtazama Dany.

“Nina mjua Yemi, hapa alipo fikia amevuka mstari sasa”

“Ila jamani tunajadili hivi, mtoto atakuwa kwenye mazingira gani?”

Swali la Jojo likatufanya sisi sote kukaa kimya huku tumimtazama usoni mwake.

“Haki ya Mungu laiti akijaribu kumgusa mwanangu, nitahakikisha kwamba nina muua na si kumua kwa haraka. Nitakata kipande kimoja baada ya kingine kama jinsi mume wake, Donald Trump alivyo uwawa na wewe baba”

Danya akakosa cha kumtetea mke wake kwa maana kama ni makosa amefanya na ushahidi upo na hapa alipo fikia si kwa kumsamehe kabisa.

“Hii kazi nina waachia nyinyi. Sinto hitaji kushiriki”

“Kwa nini baba?”

“Ninampenda sana mke wangu. Sinto taka kumua, hivyo ndio maana nina waambia sinto ifanya hii kazi”

“Baba!!!”

Jojo aliita huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana usoni mwake.

“Mapenzi ndio yanakufanya usimue mama au aliyo yafanya kwamba hayana makosa si ndio?”

“Randy hujawahi kupenda. Mama yako ndio mwanamke wa pekee ambaye nilimpenda, japo nilisha wahi kutembea na wanawake wengi na wakila aina ila yeye peke yake ndio aliye fanikiwa kuuteka moyo wangu”

“Naomba utuache kwenye haya mazungumzo”

“Ni vyema kuzungumza. Randy mama yako alinikosea sana, ila nilikuwa ni mtu wa kuwaangamiza wale wote ambao walinitenga mbali naye. Ila kutokana hili jambo limerudi kwenye familia yangu, sinto weza kuliingilia wala kuwaomba kwamba musimuue. Ila mimi sinto dhubutu kuyanyua mkono wangu kumuua Yemi. Mimi na yeye tunajua ni wapi tulipo toka na nina fahamu ni mambo mangapi ambayo mimi na yeye tulipitia. Pia nina zikumbuka maombi ya baba yake kabla hajafariki. Yanaishi moyoni mwangu na hayato weza kuondoka hadi pale nitakapo iacha hii dunia”

Maneno ya Dany yakazidi kutushangaza mimi na Jojo.

“Mimi ndio niliye sababisha roho hiyo aliyo kuwa nayo mama yenu sasa. Nilifanya pasipo kujua kama anaweza kuja kuwa katili kiasi hicho. Hivyo nina waomba muweze kunisamehe kwa kusababisha matatizo hayo. Nawapenda sana wanangu na mutambue kwamba muna ndugu yenu mmoja”

“Ndugu yetu gani!!?”

Jojo aliuliza kwa mshangao.

“Livna nilizaa naye?”

“Mbona Livna aliniambia kwamba hakuwa na uwezo wa kubeba mimba?”

Ilinibidi na mimi kuuliza.

“Alikudanganya na ndugu yenu huyo ni wa kike. Hakikisheni kwamba muna mtafuta. Jojo wewe ndio kiongozi wa wezako kuanzia hivi sasa. Naomba uwaongoze kwenye mazingira ambayo yana eleweka”

“Sawa ila baba na wewe upo. Mbona kama una zungumza kama mtu ambaye amekata tamaa ya kuendelea kuishi nasi?”

“Nahitaji kupotelea pasipo julikana”

“NINI……!!!?”

Jojo alishangaa huku macho yakiwa yamemtoka?”

“Ndio nahitaji kupotelea mbali. Sihitaji vita hii ya familia yangu niweze kuishuhudia kwenye macho yangu. Nahitaji kuishi maisha mengine mapya”

Dany alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Nikashusha pumzi huku nikikuta hasira ambayo imenijaa kifuani mwangu dhidi ya mama yangu mzazi ikianza kuyayuka mithili ya barafu.

“Baba kumbuka uliahidi kuwa nasi hadi mwisho wa maisha yetu”

“Ndio, huu ndio mwisho wetu. Mimi sina vita nyingine na mtu, ila hii vita iliyo baki ni kwa ajili yenu wanangu na mbaya ni kwa ajili ya mama yenu. Sinto weza kufurahi hili, ni bora nikaanze maisha mengine mapya sehemu ambayo sinto julikana na sinto kuwa na mtu ambaye ataniumiza moyo wangu. Ninawapenda sana wanangu, Mwamaaaaaa”

Mara baada ya Dany kumaliza kuzungumza hivi akakata mazungumzo haya ya video na kutuacha sisi wawili.

“Kwani baba yupo wapi?”

“Mimi nipo Karachi na baba yeye yupo mbali sana na mimi”

“Kwani wewe hukwenda naye kwenye hiyo vita?”

“Nilikwenda naye ila aliniomba niweze kuondoka eneo la tukio haraka iwezekanavyo mara baada ya kuona tumewazidi maadui zetu”

“Na wewe ukaamua kurudi?”

“Ndio kwa maana baba alinipa amri na halikuwa ombi”

“Ohoo hembu jaribu kumtafuta tana”

Jojo akajaribu kuipiga simu ya baba ika kila anavyo jaribu kuipiga hapatikani kiasi cha kunifanya tukate tamaa kwa kweli.

“Tunafanyaje?”

“Ngoja nijaribu kuelekea katika mji nilio muacha labda ninaweza kumpata”

“Itachukua msaa mangapi?”

“Kama manne hivi”

“Kwa mtu aliye dhamiria kuondoka basi ni lazima atakuwa ameondoka. Huwezi kurikiria ni wapi alipo, tumia nguvu yako basi uliyo nayo?”

“Najaribu Randy ila nina shindwa mdogo wangu. Ngoja nikamtazame kwenye mji huo. Baadae”

“Sawa”

Jojo akakata mawasiliano haya na kunifanya nishushe pumzi. Mlango ukagongwa, nikanyanyuka na kufika mlangoni, nikamkuta Farida akiwa ameshika laptop.

“Karibu”

Farida akaingia humu ndani, akapitiliza hadi kitandani. Nikafunga mlango na kumfwata kitandani alipo kaa.

“Nimesha weza kutafuta sehemu ilipo kambi ya wanajeshi wa mama yako. Si wanajeshi wengi sana ila ni watu hatari sana kwa maana mafunzo yao ni ya kikomandoo”

Farida kila anavyo endelea kuzungumza na kunionyesha picha za eneo hilo. Macho yangu yote yanamtazama uso wake jinsi ulivyo barikiwa na urembo mkubwa. Nikaendelea kumtazama lipsi zake ambazo ni kipindi kirefu sasa kimepita toka nilipo acha kuzinyonya.

“Randy upo pamoja nami?”

“Eheee?”

“Una nisikiliza?”

“Umesema?”

“Ohoo Mungu wangu. Nimekuelezea ni jinsi gani ambavyo tunaweza kuishambulia hii kambi. Kumbu akili yako na mawazo yako hayapo hapa. Hembu kuwa pamoja nami basi tuweze ku…….”

Nikakivuta kichwa cha Farida karibu na uso wangu na kumfanya anitolee macho ya woga. Sikutaka kusubiria ruhusa yake na taratibu nikaanza kuzinyonya lipsi zake kwa fujo na kadri ninavyo zidi kuendelea ndivyo jinsi naye alivyo legea na kuniapa uhuru wa kumfanya ninavyo taka katika mwili wake.



Taratibu Farida akazitoa lipsi zake mdomoni mwangu.

“Randy tuna jambo la msingi la kuweza kufanya hivi sasa. Tafadhali nina kuomba uweze kunisikiliza na tukimaliza tutafanya sawa baba yangu?”

Farida alizungumza kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu kwa macho malegevu kiasi. Taratibu nikamshika mkono wake wa kulia na kumuweka juu ya jogoo wangu anaye endelea kufurukuta ndani ya suruali yangu.

“Unanijua nikisha fikia kwenye hali hii huwa siwezi kurudi nyuma”

“Natambua hilo mpenzi wangu. Ila nakuomba basi uvumilie. Au wewe hutaki kupambana na adui yangu. Hutaki kulipiza kisasi cha mke wako”

Maneno ya Farida yakarudisha ila hamuu ya kuhitaji kumdhuru Yemi ambaye amemua mke wangu. Nikatingisha kichwa niki maanisha kwamba nahitaji endelee kunielekeza wapi ilipo kambi ya kundi la mama yangu. Ndani ya robo saa nikaelewa kila kitu, Farida akaiweka laptop hii pembeni na kunikalia kwenye mapaja yangu bila hata ya kumuomba. Akavua gauni lake alilo livaa na akabakiwa na sidiria pamoja na chupi.

“Fanya unacho weza kunifanya mpenzi wangu”

Farida alizungumza huku akizilamba lipsi zake kwa ufundi ambao hakika unazidi kunitamanisha kuhakikisha kwamba nina mtafuna kisawa sawa tunda lake.

Siku zote kuna usimi kwamba kichaa akipewa rungu basi ana ua, ndicho kitu ambacho ninamfanyia Farida sasa hivi, hasira na machungu ya familia yangu ambayo kwa sasa nina ishuhudia ikisambaratika. Tukamaliza mtanange huu huku kila mmoja akiwa amechoka sana isitoshe mimi kwani karibia wiki hii nimefululiza katika ulaji wa vitumbua vya wanawake.

“Kiwango chako kimezidi kuongezeka mpenziw angu”

Farida alizungumza huku akiwa amekilaza kichwa kifuani mwangu.

“Kweli?”

“Hakii ya Mungu vile. Yaani nili miss ubo** wako. Hakika wewe ni mwanaume wa ndoto zangu”

“Nashukuru kwa hilo”

“Ehee nimesha weka booking kwa ndege inayo ondoka kesho mchana kuelekea nchini Nigeria. Nasubiria jibu lako je tunaweza kwenda?”

“Ndio, ila baba amejitoa kwenye vita hii”

“Kwa nini ikiwa Yemi alipanga kumuangamiza?”

“Anadai kumpenda na anajilamu kwamba yeye ndio chanzo cha ukatili wote wa Yemi. Kama ingekuwa si kumuua mume wake kikatili basi asinge kuwa ana fanya haya yote”

“Mmmm sasa inakuwaje. Utaweza kupambana na mama yako bila support yoyote kutoka kwa wana familia?”

“Yupo Jojo ila bado sijajua msimami wake kwa maana amekwenda kumtafuta baba”

“Kumtafuta…..Kivipi?”

“Baba ameamua kutoweka pasipo julikana na ameomba akaanze maisha mengine mapya ya amani na utulivu katika eneo ambalo sisi hatuta lifahamu”

Farida akashusha pumzi zake taratibu huku akinitazama usoni mwangu.

“Nini tutafanya sasa Randy?”

“Najua ni vita gani ambayo inaweza kummaliza mama yangu”

“Ni vita gani?”

“Vita ya kiuchumi. Wazo la kumuua sasa limekwisha”

“Ina maana kwamba una taka kumfilisi mama yako”

“Yaa”

“Utaanzia wapi ikiwa ana mali nyingi na ana account nyinngi za siri ambazo ana zihifadhia pesa”

“Mimi najua nini nitafanya. Nahitaji tusaidiane katika hili”

“Sawa”

Siku iliyo fwata alafajiri na mapema tukawasindikiza walinzi wa Farida na watoto wake uwanja wa ndege na wakapanda ndege kuelekea nchini Dubai ambapo huko Farida ana nyumba yake pamoja na wahudumu. Baada ya kukamilisha zoezi hili tukarudi hoteli kwa ajili ya sisi kujipanga kuelekea nchini Nigeria. Nikalipa garama zite za uharibufu ambao nimeufanya katika chumba changu.

“Samahani kwa kila kitu”

Nilimuambia meneja wa hoteli hii mara baada ya kumlipa kiasi cha dola za kimarekani elfu sita.

“Nashukuru kwa ushirikiano wako pia”

“Sawa”

Nikatoka ofisini hapa na kuelekea chumbani kwa Farida.

“Vipi umesha jiandaa?”

“Ndio nimesha jiandaa mpenzi wangu”

Muda wa kuelekea uwanja wa ndege ukawadia. Tukaingia kwenye gari la Farida ambalo linaendeshwa na mlinzi wake aliye salia nchini hapa Misri. Tukafika uwanja wa ndege na moja kwa moja tukaeleka katika eneo la ukaguzi. Bastola zetu tumemuachia mlinzi huyu anaye baki hapa nchini Misri.

Baada ya ukaguzi tukaelekea eneo ilipo ndege tunayo safiria kuelekea nchini Nigeria.

“Hii ndege ni nzuri”

“Yaa, niliikodisha nikiamini kwamba utaipenda”

“Yaa nimeipenda mpenzi wangu”

Tukaka kwenye siti yetu na baada ya muda kidogo ndege hii ikaacha ardhi ya Misri na kuizna safari yake.

“Hembu naomba laptop yako”

Farida akaitoa laptop yake kwenye kibegi kidogo na kunikabidhi. Nikaanza kazi ya kumtafuta secretary wa mama mzee ambaye siku zoe alikuwa katika upande wangu wa kunipenda na kuniheshimu kimawazo kwa bahati nzuri nikafanikiwa kumpata mzee huyu.

“Huyu ndio mzee ambaye ana siri nyingi za mama”

Nilizungumza huku nikimuonyesha Farida picha ya mzee huyo.

“Yupo wapi?”

“Nigeria”

“Unahisi kwamba mzee huyo ana weza kumsaliti mama yako?”

“Ndio nina imani hiyo ana weza kunisaidia katika hilo kwa maana ana nipenda na kunikubali sana”

“Ila kwa jinsi nilivyo ishi na mama yako. Moja ana tabia ya kibabe, pili ni katili sana na ni mtu ambaye ana ficha uovu wake mbele za watu na endapo mtu ana weza kufahamu siri yake basi anaweza kufa”

“Usijali namuamini huy mzee”

Tukafika nchini Nigeria siku iliyo fwata, majira ya saa nne asubuhi. Kusema kweli Nigeria imebadilika, toka nilipo ondoka hadi leo hakika kuna hatua kubwa za kimaendeleo zilizo pigwa. Tukakodisha taksi na ikatupeleka moja kwa moja hadi kwenye hoteli ambayo ipo mtaa mmoja na ofisi kubwa za kampuni ya mawasiliano inayo milikiwa na mama yangu. Kutokana na kukua kwangu na hizi ndevu za bandia usoni mwangu, imekuwa ni jambo gumu sana kwa watu kuweza kunikumbuka kwa haraka.

“Nahitaji kwenda ofisini kwa mama”

“Wewe Randy huoni kama ina weza kuleta shinda”

“Hapana ni ngumu kwa watu kunifahamu”

“Kweli?”

“Ndio ni ngumu kwa watu kunijua. Wewe baki hapa hotelini hakikisha kwamba una hack system kamera za mji mzima hapa Nigeria si unwaweza hiyo kazi?”

“Yaa nina weza, ni kazi rahisi kwangu”

“Sawa, ila angalia usije ukafahamika wakakusaka polisi na ukakamatwa”

“Naelewa hilo mpenzi wangu”

Nikambusu Farida mdomoni mwake kisha nikatoka ndani hapa. Nikaanza kutembea kwa miguu hadi nikafika katika gorofa refu zipatazo arubain na nane ambazo zinamilikiwa na mama. Nikaingia getini na moja kwa moja nikaelekea mapokezi. Nikamuulizia sekretari wa mama na halikuwa jambo la kushangaza kumuulizia kwani ni watu wengi huwa wana muulizia mzee huyo.

“Una ahadi naye ya kukutana?”

“Hapana nimefika muda huu hapa Nigeria hivyo nikaona si mbaya nikaja hapa kumtembelea”

“Nimuambie ni nani ana muhitaji”

Nikaka kimya huku nikifikiria jina ambalo mzee huyu alikuwa ana penda kuniita kipindi nilipo kuwa kijana mdogo.

“Junior”

“Junior peke yake”

“Yaa muambie Junio Jr”

Dada huyu akanyanyua mkonga wake wa simu na kuuweka sikioni huku akiminya minya batani kadhaa.

“Ndio mkuu”

“Ndio kuna kijana hapa ana itwa Junior Jr ana hitaji kuonana na wewe”

“Ndio nipo naye”

Dada huyu akanikabidhi mkonga huu wa simu na nikauweka sikioni mwangu.

“Randy”

“Ndio ni mimi mzee”

“Ohoo karibu sana pandisha gorofa ya mwisho kabisa ndipo nilipo’

Mzee huyu alizungumza kwa furaha.

“Sawa”

Nikamrudishia dada huyu mkonga wa simu. Nikaelekea kwenye lifti na kuingia na taratibu ikanipandisha hadi katika gorofa ya arobain na nane. Nikamkuta mzee huyu akinisubiria na kwa furaha sana akanikumbatia na nimtu pekee ambaye ana nitambua hata niwe nime jibadilisha vipi sura yangu, kwani yeye ndio alikuwa akinilea na kunipa malezi yote kama baba.

“Waooo unaonekana tofauti sana. Umekuwa tazama misuli”

Mzee huyu alizungumza huku akinishika shika misuli ya mikononi mwangu kwa maana imejaa vizuri kutokana na mazoezi ninayo yafanya.

“Hahaa nashukuru na wewe naona sasa nywele nyeusi zimesha ondoka kichwani mwako. Umekuwa mzee sasa”

“Kweli, karibu sana ofisini kwangu”

Tukaingia katika ofisi yake hii mpya ambayo imebadilika kwa kweli. Ina vitu vingi vya kisasa kuanzia meza hadi masofa.

“Naona upo katika ofisi nzuri”

“Yaani wee acha ehee niambie mwanangu. Zamiaka yote hiyo uliyo towekea pasipo julikana?”

“Hahaa mbona nipo mzee wangu?”

“Hapana ni miaka saba sasa Randy toka uondoke hapa”

“Yaa vipi mama yupo?”

“Mama yako ni kama mwaka na nusu hajakanyaga hapa ofisini ila nina wasiliana naye na mara ya mwisho kuzungumza naye juzi, aliniambia kwamba yupo nchini Tanzania kuna msiba wa mkwe wake, nikamuuliza mkwe wake kwa nani?”

“Eheee akakuambiaje?”

“Akaniambia kwamba ni mke wako ndio amekufa. Sasa nimeshangaa pale nilipo ambiwa na sekretari wangu kwamba Junio Jr yupo hapa chini. Kwanza nilijiuliza ni nani, ndio maana ukaona nimemuamuru akupatie simu na nilipo sikia sauti yako ndipo basi nikapata hamu kubwa ya kuweza kukuona”

“Umeniona sasa hamu imeisha?”

“Ahaa wapi hamu haijakwisha. Siku zote za maisha yangu sikusita kukuombea huko ulipo. Hata leo hii asubuhi kabla sijatoka nyumbani nilikuombea na kweli maombi yangu ya kipindi chote hicho yameweza kuleta mafanikio”

“Nashukuru sana mzee wangu kwa kunikumbuka katika siku zote za maisha yako.”

“Ni jukumu langu, wewe bado ni kijana wangu. Vipi hujakwenda kwenye msiba wa mke wako”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama mzee huyu.

“Nitakwenda ila nimewaeleza asizikwe hadi pale nitakapo hakikisha kwamba nimemaliza kazi yangu”

“Kazi gani tena Randy”

“Natambua kwamba wewe ni mtu wa pekee unaye tufahamu vizuri na kiundani mimi na mama yangu”

“Ndio ndio”

“Na unafahamu ugomvi wangu mkubwa na mama yangu husababishwa na nini”

“Yaa nina fahamu”

“Na unafahamu ni jinsi gani chuki ya mama ilivyo kuwa ikinitafuna moyoni mwangu hadi kufikia hapa nilipo”

“Ndio ninaelewa Randy”

“Na unatambua ni jinsi matakwa yangu ya kipndi kirefu sana toka nilipo kuwa kijana mdogo na uliahidi kwamba uta nisaidia pale muda utakapo fika”

Mzee huyu akanijibu kwa kutingisha kichwa akimaanisha kwamba ana kumbuka.

“Sawa wakati ule ni sasa. Nahitaji kuchukua kila kitu cha mama na kiwe mikononi mwangu. Akaunti zake zote, kampuni zake zote nina hitaji kuziweka chini yangu”

Mzee huyu kidogo akastuka huku akinitazama usoni mwangu kwa mstuko.

“Najua ni jambo la kukustua sana ila nina hitaji iwe hivyo”

“Ila Randy hili jambo litahatarisha uhai wa maisha yangu na familia yangu.”

“Nitakulinda kwa siku zangu zote za maisha yangu na hakuna ambaye ata hudhurika kwenye familia yako. Nimekua na nimeizunguka dunia na nimetambua mambo mengi sana na nimejiunga na watu wengi sana wenye nguvu na wasio na nguvu. Hivi sasa ni wakati wagu wa kuagusha utawala wa mama yangu”

Nikatoa simu yangu mfukoni na kumuwekea sauti zote za ushahidi wa mama yangu ana panga mashambulizi mabaya juu ya familia yetu. Sikuishia hapo nikamuonyesha mzee video ya mama anayo muua mke wangu kwa kumpiga risasi kifuani mwake. Kila jambo likamfanya mzee huyu kusikitika sana huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Huyu ndio mama yangu. Mama aliye niweka tumboni mwake miezi tisa na kunizaa kwa uchungu ila leo amenipatia mimi uchungu mkubwa sana na wake zangu wawili amewaua yeye. Nisaidie katika hili mzee wangu”

Nilizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwangu. Taratibu mzee huyu akavua miwani yake na kujifuta machozi yake na kitambaa, kisha akaivaa tena miwani yake.

“Ubaya wake alio kufanyia sasa umetosha. Uzuri ninajua kila kitu chake na amenipa nguvu ya kubwa ya kusheria ya kumilikisha chochote kwenye kampuni zake. Hivyo basi nitakumilikisha vitu vyake vyote na nitajitoa rasmi kwenye usimamizi wa mali hizi na zitakuwa ni za kwako na si zake tena”

Maneno ya mzee huyu yakanifanya nijawe na furaha kubwa sana moyoni mwangu kwani kile nilicho kuwa nimekikusudie kiwe basi kina karibia katika kukamilika.



“Nashukuru sana mzee wangu”

Simu ya mzee huyu ikaita, akaitoa kwenye mfuko wa koti la suti yake alilo livaa. Akastuka kidogo hadi nikajikuta nikilifahamu hilo.

“Kuna nini mzee?”

Nilimuuliza mzee huyu na hakuweza kunijibu kitu cha aina yoyote zaidi ya kupokea simu hiyo kwa woga.

“Ndio mkuu”

Nikastuka sana baada ya mzee huyo kuzungumza hivyo kwa maana mtu pekee ambaye ana weza kumuita mkuu ni mama yangu.

“Nimekuelewa”

“Sawa”

“Haya”

Mzee huyu alizungumza kwa unyonge sana kisha akakata simu hiyo na kuiweka mezani huku akishusha pumzi.

“Vipi?”

“Mama yako ameniomba niweze kuitisha kikao cha bodi na kesho alfajiri atakuwepo hapa”

“Anakuja Nigeria”

“Ndio Randy hivyo mpango ambao umepanga, sahamani hauto wezekana”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama mzee huyu.

“Naomba unionyeshe document za kampuni zote za mama”

“Randy mama yako nina mfahamu vizuri. Ataniua, na familia yangu pia ata iangamiza. Siwezi kukuonyesha tena”

Mzee huyu alizungumza kwa msisitizo. Moyoni mwangu nikashangaa ni kwa jinsi gani alivyo badilika kwa haraka kiasi hichi.

“Nakuomba uweze kutoka kwa maana endapo atatambua kwamba upo hapa itakuwa pia ni matatizo kwangu”

“Tafadhali mzee wangu kumbuka kwamba wewe ni mtu wa pekee kabisa ambaye nina kutegemea katika hili. Ninakuomba mzee wangu, tafadhali niambie ni wapi zilipo”

“Siwezi na usidhubutu kuzitafuta. Nakupenda sana Randy ila mimi na wewe hatuna uwezo wa kufanya lolote”

Mzee huyu alizugumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Akachukua karatasi ndogo pamoja na peni akaandika namba ya simu na kunikabidhi.

“Kwa msaada utakuwa una nipigia simu kwa namba hiyo. Ni Private na haina watu wengi, hivyo nitakuwa ninakupa kila hatua ambayo mama yako amepanga kuifanya hapa Nigeria”

Nikaitazama namba hiyo kisha nikaiingiza mfukoni mwa suruali yangu.

“Naomba uende, ila tambua ninakupenda mwanangu”

“Ninakupenda pia mzee”

Nikanyanyuka kwenye kiti hichi na kutoka humu ndani. Nikaingia kwenye lifti na kushukahadi chini, nikatoka katika geti kubwa la kampuni hii, nikarudi katika hoteli ambayo nimemuacha Farida.

Farida akanifungulia mlango wa chumba tulicho kodi huku akiwa na shahuku kubwa sana ya kuhitaji kuweza kujua ni kitu gani ambacho kimetokea huko nilipo toka.

“Imeshindikana”

“Imeshindikana nini?”

“Amesema kwamba mama anakuja hivyo kesho asubuhi ana kikao wenyekiti wa bodi ya kampuni zake”

“Mmmm sasa hiyo ndio nafasi”

“Nafasi ya vipi?”

Farida akatazama saa iliyopo mkononi mwake kisha akanitazama.

“Kuna masaa kama nane hadi ufike saa mbili usiku. Unaweza kutumia muda huu kuhakikisha kwamba unakwenda kuwashawishi wakuu wote wa bodi hizo ili wapige kura ya kumtoa mama yako madarakani”

“Hilo haliwezekani”

“Haliwezekani kivipi?”

“Wote wana muogopa na kumuheshimu na sidhani kama kuna mtu ambaye anaweza kwenda kinyume naye.”

“Sasa tuna fanya nini?”

“Ninacho hitaji hivi sasa ni kuhakikisha kwamba ninamteka mama”

“Unamteka?”

“Ndio, siku hii iliyo badi ni muafaka kwa mimi kuhakikisha kwamba nina tafuta bunduki za kuweza kuhakikisha kwamba ninafanikishia zoezi hilo”

“Kuna mtu hapa Nigeria nina fahamiana naye na nina imani kwamba ana weza kutusaidia”

“Nani”

“Ngoja tuelekee kwake”

Tukajiandaa na hatukua na muda wa kupoteza kwa sasa. Tukaingia kwenye taski ya kukodi na ikatupeleka hadi kwenye moja ya ulipo nje kidogo ya jiji hili la Lagos. Katika mji huu wenye nyumba zilizo jingetanga tenga unaonyesha wana kaa watu wenye fedha zao kwani kuna majumba makubwa sana.

Tukagonga getini hapa na tukafunguliwa geti na mlinzi aliye valia nguo za jeshi. Mlinzi huyu akatuhoji hoji kisha akawasiliana na mtu aliyopo ndani ambaye ni mkuu wake na jibu likatolewa tuweze kuingia ndani ya jumba hili la kifahari. Walinzi walio valia nguo za jeshi wapatao sita hapa nje wakanidhihirishia kwamba huyu tunaye mfwata humu ndani ni mkuu wa jeshi.

“Farida karibu sana”

Sauti na sura ya mwanaume huyu hakika ikanistua na kuzirudisha kumbukunbu zangu siku ambayo nilimuua mwanajeshi mmoja kwa bahati mbaya. Mkuu wa jeshi huyu kutokana na ukaribu wake ambao alikuwa nao na mama nikahisi kwamba ana weza kunisaidia katika kujitoa mikononi mwa polisi na wajeshi hao, ila mwisho niliambulia kujikuta nikipiga risasi katika gema refu sana na mwishowe nilijikuta nikiwa mikononi mwa Familia ya Farida. Kwajinsi nilivyo badilika mzee huyu hakuweza kunitambua kwa haraka kwa maana ni miaka mingi kidogo imepita pasipo kuonana naye. Tukakaribishwa kwenye seble kubwa na yenye vitu vingi vya thamani.

“Ni miaka mingapi hatujaonana Farida?”

“Miwili kama sikosei”

“Kweli ni ni miwili. Huyo ni kijana wako?”

“Yaa ni mume wangu mtarajiwa”

“Ahaa hongera sana. Naona umemuacha yule muarabu mwenzio kwa maana ile ndoa yenu kipindi kili ilikuwa nzuri sana.”

“Hahaaaa ni kweli. Sasa tuachane na hayo nina ombi moja kwako”

“Zungumza tu chochote utakacho”

“Nina hitaji msaada wa silaha pamoja na mavazi. Kuna kazi maamulu ambayo imetuleta hapa Nigeria, sasa tulishindwa kutembea na silaha kutona na uwanja wewenye wa ndege kulikuwa na ukaguzi mkali na wa kutosha”

“Ni kweli na ulinzi pale imarishwa siku hizi. Toka huyu raisi wetu mpya achukue nchi basi ni kazi kweli kweli”

“Yaa hivyo nilikuwa nina omba msaada huyo”

“Una weza kuni shirikisha ni nani ambaye una kwenda kumshuhulikia?”

“Mmmm kwa hapa awali hapana. Nikikamilisha hii kazi basi nitakueleza”

Mzee huyu akanitazama kidogo kwa macho ya kunichunguza kisha akatingisha kichwa kwa maana muda wote nimekuwa ni mtu wa kukaa kimya pasipo kuzungumza jambo lolote kwake.

“Sawa nitawasaidia”

“Nashukuru sana”

“Njooni”

Tukanyanyuka hapa na kupandisha naye gorofani huku kila jinsi ninavyo endelea kumtazama mzee huyu nina tamani sana niweze kumuua. Tukaingia kwneye moja ya chumba cha kuhifadhia silaha na mavazi ya kijeshi huku mengine yakiwa ni ya rangi nyeusi kabisa.

“Chagueni chochote munacho kihitaji na mujisikie huru kabisa”

“Nashukuru sana mzee”

Farida alizungumza kwa heshima zote na tukaanza kazi ya kuchukua silaha ambazo tunahitaji kuzitumia. Sikuzungumza na mtu zaidi ya kuchagua bunduki mbili zenye uwezo wa hali ya juu huku nikichukua bastola nne pamoja na magazine kumi na mbili ambazo nina imani kwa wingi wa risasi zake basi risasi hazito weza kuniishia katika zoezi hili la kuhakikisha kwmaba nina ikamilisha kazi yangu.

“Mavazi haya yana faa”

Nilimuomyesha Farida nguo ambazo nina hitaji tuzitume ambazo zina rangi nyeusi pamoja na majaketi yake meusi yaliyo andikwa S.W.A.T.

“Sawa mpenzi”

Tulivyo maliza kuchagua silaha na nguo hizi tukaziweka kwenye begi kubwa kisha tukatoka kwa pamoja ndani humu. Mzee huyu akatukabidhi gari la kikosi hicho cha S.W.A.T na tukaondoka nalo hapa nyumbani kwake huku hasira yangu dhidi yake nikiimeza ndani kwa ndani.

“Mbona mume wangu muda wote ulikuwa kimya?”

Nikamtazama Farida aliye kaa siti ya pembeni yagu huku nikiendelea kuendesha gari hili.

“Nikatingisha kichwa huku nikimuomba asiweze kuzungumza chochote kwa maana kwenye magari kama haya ni rahisi sana kukuta mtu ame tega kinasa sauti au kamera na kila kinacho endelea ndani ya gari hili anaweza kukisikia. Tukafika hotelini na gair hili tukaliweka katika maegesho maalumu ya siri katika hoteli hii ambayo hutumiwa na watu ambao hawapendi magari yao kuonekana katika hoteli hii kwa maana wengi wanao kuja hapa ni waume au wake za watu.

“Kwa nini hukutaka tuzungumze chochote”

“Ngoja tukifika ndani”

Nilimuambia Farida huku tukitembea kwenye kordo hii ndefu. Tukaingia katika chumba chetu na kitu cha kwanza kukifanya ni kumwaga silaga zote hapa kitandani na nikaanza kulikagua hili begu kwa umakini sana na kweli nikafanikiwa kukuta kinasa sauti kilicho fichwa ndani ya begi hili ambapo sio rahisi kabisa kwa mtu wa kawaida kuweza kugundua hili. Nikakiharibu kinasa sauti hichi kwa kukikaganya, zoezi la kuendelea kukagua vitu hivi likaendelea na likahamia kwenye nguo hizi, kwa bahati nzuri hazikuwa na kitu chochote ila katika majaketi haya mawili kwa bahati n zuri nikakuta kamera mbili ambazo kwa kuzitazama unaweza kusema ni kifungo cha urembo.

“Kumbe huyu mzee ame tutegemea mitego?”

“Nilikuheshimu wewe ila nilihitaji kumuua”

“Kumuua kwa nini?”

“Huyu mzee yeye ndio aliye nipiga risasi na wewe na familia yako ndio mulio niokota”

“Weeee!!!”

Farida alistuka sana.

“Yaa ndio maana naye ameingia kwenye listi ya kumuua. Ninacho hitaji tuhame hii hoteli kwa maana hakuna usalama wa sisi kuendelea kukaa humu ndani”

Nilizungumza huku nikianza kurudisha silaha hizi ndani ya begi hili.

“Sawa nimekuelewa Randy”

“Kitu kingine lile gari sihitaji tulitumie leo”

“Sawa”

Tukakusanya kika kilicho chetu, tukakodisha taksi ambayo moja kwa moja ikatupelekea katika holeti nyingine iliyopo katikati ya jiji hili la Logos.

“Hivi una hisi kwamba yule mzee hajakufahamu?”

“Sidhani na nina hisi kwamba atakuwa ana jiaminisha kuwa wali niua yeye na kijana wake hivyo hato weza kunifwatilia sana. Ila ishu itakuja kwako, ni lazima atatafuta kujua ni nini kilicho kuleta hapa Nigeria na kama ana ushirika na watu wote maarufu ambao ana pata msaada kutoka kwao, ikiwemo mama yangu basi nina imani ata watadharisha na kuwatahadharisha huko ni lazima picha zetu zitatumwa kwao. Nazikitumwa basi ikimfikia mama yangu, kila kitu kitakuwa kimekwisha kwa upande wetu kwa maana hadi sasa hivi mama yangu hafahamu kama wewe ni adui yake.”

“Umewaza mbali sana mpenzi wangu. Nimekuelewa, sasa tuna fanyaje?”

“Jambo la kufanya kwa hivi sasa ni kuhakikisha kwamba tunamtanguliza ahera madukani kabla ya sisi hatujatangulizwa”

“Ila hiyo ni ngumu unajua kwamba yule ni mkuu wa jeshi la ulinzi wa Taifa”

“Haijalishi, ila ni adui pia kwetu”

“Mmmm sasa tuna fanyaje mume wangu?”

“Hatuna jinsi lazima tufanya kazi hiyo ya kumuondoa yeye kwanza duniani”

“Huoni kwa huu muda mfupi sana ambao tumetengana naye tutakuwa tumempa nafasi nzuri ya kuweza kufanya kile kilichopo kwenye mawazo yako?”

“Ndio maana yake”

“Ila ngoja tusimame kwenye mpango wetu. Tunaweza kufikiria kwamba ana weze kutusaliti kumbe kwa heshima yangu akashindwa kufanya hivyo. Hembu tujipe muda tusiifanye kazi iliyo mbele yetu kuwa ngumu kuliko.”

Nikajifikiria kwa muda kidogo kwa maana hapa mtu muhimu ni mama yangu na huyu mzee kama kuingia kwenye mpango wangu basi ameinga kwa bahati mbaya.

“Sawa”

Tukaanza kazi ya kuziandaa bunduki hizi. Hadi ikatimu saa moja na nusu usiku kila mtu tayari amesha maliza kuandaa silaha zake. Nikashuka chini ya gorofa hii na kununua chakula katika mgahawa uliomo humu ndani ya hoteli kisha nikarudi chumbani. Tukaanza kula chakula hichi taratibu huku akilini mwangu nikifikiria kazi ya mwisho iliyopo mbele yangu. Nikachukua simu yangu na kumpigia mzee huyu simu yake ikaita kwa sekunde kadhaa kisha ikapokelewa.

“Ni mimi”

“Ohoo Randy mwanangu ulihisi kwamba umetangulia kuliona jua kabla yangu eheee.?”

Sauti ya mama ikanistua sana hadi nikajikuta nikiitazama simu hii huku macho yamenitoka kwa maana imekuwaje apokee simu yangu ikiwa mzee aliniambai kwamba hii ni namba yake binafsi.



Nikashusha pumzi taratibu kisha nikairudisha sikioni mwangu.

“Unaweza kuliona jua ila ukashindwa na yule aliye chelewa”

“Haahaaa…..Ohooo Mungu wangu. RANDY hivi ulihisi kwamba mzee Uchuku anaweza kunificha jambo lolote.?”

Nikakaa kimya huku nikimtazama Farida usoni mwake ambaye naye ana yafwatilia mazungumzo haya kwa umakini mkubwa sana kwa maana sauti ya simu yangu ni kubwa kidogo na inamfanya mtu aliyopo pembeni kuyasikia mazungumzo yangu.

“Acha nikuambie kitu kimoja. Huwezi kurithi hata kijiko nilicho kinunua kwa pesa yangu. Na umekuja Nigeria sehemu uliyo zaliwa basi nitahakikisha kwamba ndio sehemu ambayo utafia wewe na huyo malaya wako Farida”

Nikahisi kama kifua kinataka kupasuka kwa hasira. Maneno ya mama yakemkuwa ni chukizo kubwa mbele yangu.

“Ulisha wahi kuniambia kwamba wewe si mama yangu. Na umedhihirisha hilo kwa kumuua mke wangu Marieta huku ukijifanya mjanja eti amepata ajali. Sasa ni hivi kuanzia sasa utakapo niona niue ukishindwa kuniua basi mimi nitakuua. Umenielewa?”

“Waooo ila kabla sijakuua unatakiwa kujua kwamba mwanao yupo mikononi mwangu”

Nikastuka sana kwa maana mwanangu nina mpenda kuliko kitu cha aina yoyote ile.

“Wewe malaya mzee endapo utamdhuru mwanangu, hakika nitakuchinja kwa mkono wangu mimi mwenyewe UMENIELEWA”

“Hahahaaa……yaani haya tuone”

Mama akakata simu na kijikuta nikikaa kwenye sofa mzima mzima huku nikishusha pumzi nyingi sana. Wasiwasi mwingi ukanitawala moyoni mwangu huku nikishinndwa nijue nina fanya nini.

“Randy hii ni vita inabidi tuombe msaada”

“Eheee”

“Ndio inabidi tuombe msaada. Ngoja niagize vijana wangu kumi waweze kufika hapa Nigeria”

“Usijali hii kazi nitaifanya mwenyewe”

“Mwenyewe!!! Acha kunitania Randy, mama yako ana jeshi la watu wengi na kama ulivyo msikia hapa ana weza kukua”

“Amemshikilia mwangu. Kama nikifa sina cha kupoteza, hata nikifa basi nitakufa kama mimi. Acha niifanye hii kazi, nambua kwamba una taka kunisaidia, ila nakuomba uweze kukaa hapa hotelini hadi pale nitakapo ikamilisha hii kazi”

“Tumekuja wote Randy. Kama ni kufa tutakufa pamoja na kama ni kushinda basi tutashinda pamoja. Hakuna haja ya sisi kutengana katika hili”

Maneno ya Farida yakanipa matumaini makubwa sana.

“Hembu itafute hiyo namba na uniambie imetokea wapi”

Farida akawasha laptop yake na kuanza kazi ya kuitafuta namba ya mama kupitia satelaiti. Haikuchukua muda murefu sana akafanikiwa kumpata mama na muda huo hiyo namba ipo katika maeneo ya uwanja wa ndege.

“Uwanja wa ndege si kuna kamera?”

“Ndio”

“Hembu jaribu kuzi hack”

Farida akafanya hivyo na kweli akafanikiwa kuziunganisha kamera zote za uwanja wa ndege pamoja na laptop hii. Tukamuona mama akizungumza na baadhi ya viongozi wa ngazi za juu hapa nchini Nigeria.

“Mama yako ameishika serikali. Ni hatari kwa sisi kuwepo hapa nchini Nigeria”

“Hatuwezi kumkimbia adui na kiongozi yoyote ambaye ataingilia hili sakata basi nitahakikisha kwamba nina muua”

“Niruhusu basi kuomba vijana waje kutusaidia, sisi wawili kwa haraka haraka Randy hatuwezi kushinda”

“Tutatumia akili”

“Akili kivipi?”

“Moja ni lazima tuhakikishe kwamba hawa viongozi anao wategemea tuna waua mmoja baada ya mwengine”

“Wewe ni kichaa kwa kweli. Unahisi kwamba hao viongozi ni rahisi kuwafikia na kuwaua. Hembu ach amawazo ya kitoto Randy. Hii sio filamu eti ukipigwa risasi utaambiwa CUT. Haya ni maisha halisi ukipigwa risasi unakufa kweli au kuumia kweli. Usiweke bet maisha yako ukahisi kwamba utashinda. Ohoooo”

Farida alizungumza kwa msisitizo sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio maana nilikuambia kwamba ukae hapa hotelini na kazi hiyo nitaifanya mimi mwenyewe. Umenielewa”

“Randy acha ubishi”

“Sio ubishi, hao watu unao taka waje kutusaidia kumbuka kwamba nao wana familia na watakufa. Wakifa ni nini ambacho utawaambia familia zao eheeee?”

“Wale ni wapiganaji wanao jua ni muda wowote wana weza kufa. Hawana kitu cha kupoteza kwenye maisha yao ila wanacho kitaka wao ni pesa, pesa ndio maisha yao basi”

Farida aliendelea kunishawishi kwa uwezo wake wote. Ila ushawishi wake bado nina ona hauna nguvu katika kazi hii kwa maana hii ni vita ya kifamilia kati ya mama na mwana.

“Wewe una dai kwamba huna cha kupoteza ila mimi wapo wanao nitegemea. Kumbuka wanangu nimewaacha katika hali gani. Kumbuka jinsi wangu walivyo jawa na furaha mara ya kuweza kukuona siku ile tulivyo kuwa tuna wapeleka uwanja wa ndege. Tafadhali Randy hembu nielewe mpenzi wangu”

“Kaa hotelini na unipe maelekezo ya sehemu zote wanapo elekea watu hao”

“Randy”

“Fanya hivyo”

Nikavua nguo zangu na kuvaa nguo hizi za kikosi cha S.W.A.T. Nilipo maliza nikachukua silaha zangu zote na kuziweka sawa.

“Naanza na huyu waziri mkuu. Kila anapo elekea hakikisha kwamba una nitumia step zake kwenye simu yangu. Sawa”

“Haya”

Farida aliitikia kwa unyonge akionekana dhairi kwamba hajaridhishwa na maamuzi yangu ya ubishi. Nikamuaga kwa kumbusu mdomoni mwake kisha nikatoka ndani humu. Kutokana ni usiku hakuna mtu ambaye anaweza kunitilia mashaka kwa mimi kuvaa nguo hizi. Nikiwa hapa barabarani nikaona moja ya pikipiki ikiwa imeshimamishwa huku mmiliki akiwa katika duka la pembeni mwa barabara. Kosa kubwa alilo lifanya mmilikiw a hii pikipiki ni kuiacha ikiwa ina waka. Nikaipanda kwa haraka na kuondoka na kukuamcha mmiliki wa pikipiki hii akiifukuzia kwa miguu na mwishowe akakata tamaa kwa maana nipo kazi sana. Simu yangu ikaanza kuita na nika ipokea.

“Waziri mkuu ana elekea kwake. Nakutuma signal inayo muonyesha ni wapi anapo elekea”

“Sawa”

“Ila Randy mpenzi wangu kuwa makini”

“Usijali mpenzi wangu”

Nikakata simu na kuanza kufwata maelekezo haya aliyo nitumia Farida kwenye simu yangu. Nikawahi kufika katika nyumba ya waziri mkuu na hatua kadhaa kabla sijafika katika nyumba yake nikaisimamisha pikipiki hii katikati ya barabara kwa maana eneo hili ni eneo la majumba makubwa yaliyo tulia sana na katika barabara hii hakuna magari yanayo pita kwa kila muda. Nikasimama mbali kidogo na pikipiki nikaandaa bastola zangu mbili zilizo jaa risasi za kutosha. Hazikupita hata dakika mbili nikashuhudia gari tatu aina ya benzi zinazo fanana zikija katika eneo hili. Dereva wa gari la mbele akafunga breki na kusababisha wezake wengine pia kufunga breki na gari zote zikasimama.

Walinzi sita walio valia suti nyeusi wakashuka kwenye gari hizo. Sikutaka kuwapa muda hata wa kuisogelea pikipiki hiyo nikaanza kuwashambulia kwa kasi sana huku nikihakikisha kwamba kila risasi inayo toka kwenye bastola yangu haimkosi mtu. Gari la katikati likaanza kugonga gari la nyuma hapa ili liweze kuondoka katika eneo hili na hapa ndipo nikagundua kwamba gari hilo ndio lililo mbeba waziri mkuu ambaye kosa lake kubwa ni kuwa na muunganiko wa kirafiki na mama yangu. Walinzi wote sita ndani ya muda mchache nikafanikiwa kuwaangamiza na kufanya dereva wa gari hilo lililo mbeba waziri mkuu kugeuza na kuanza kuridi lilipo tokea. Nikaingia kwenye benzi ya mbele, nikaigeuza kwa haraka na kuanza kumfukuzia dereva huyo anaye jitahidi kuyaokoa maisha ya waziri mkuu.

Nikazidi kuongeza mwendo kasi wa gari hili hadi nikafanikiwa kuwafikia, nikaligonga gari hili kwa nyuma na kulipelekea katika kupoteza muelekeo wake, nikaligonga tena na kusababisha dereva kushindwa kuhimili kasi ya kuyumba huko na kujikuta akiparamia mti mkubwa ulipo pembezoni mwa barabara. Nikafunga breki na kushuka kwenye gari hili, nikatembea hadi lilipo gari hili nikachungulia kwa ndani na kumuona waziri mkuu akiwa amepoteza fahamu huku dereva wake akiwa amebanwa na mskani wa gari hili huku airbage lililo toka kwenye mshkani huo likiwa limemfunika usoni mwake.

Nikampiga risasi mbili za kichwa dereva huyu na kupelekea mauti yake hapo hapo. Nikamtazama waziri mkuu na yeye nikampiga risasi tano mfululizo kisha nikachukua laptop yake iliyopo pembeni na kurudi lilipo gari hili na kuondoka nalo.

“Hei kazi imekwisha”

Nilizungumza huku nikiwa nimeiweka simu yangu sikioni.

“Imekwisha ila kwa kuendelea kuwa na hilo gari askari watakukamata. Achana nalo hilo gari”

“Kwani una niona?”

“Ndio nina fwatilia kila kitu kwa satelaiti.”

“Sawa mpenzi nimekuelewa”

Nikafika katika moja ya pori na kulitelekea hili gari huku nikitoboa tanki lake la mafuta na kusababisha mafuta kumwagika taratibu. Nilipo fika mbali kidogo na lilipo gari hili nikafyatua risasi kadhaa kwenye tanki hilo la mafuta na kusababisha gari kuwaka moto kisha mwishowe likalipuka na kuendelea kuteketea.

Nikaanza safari ya kurudi jijini Lagos kwa miguu, ikanichukua masaa matatu kufika hotelini na moja kwa moja nikaelekea chumbani kwetu.

“Pole kwa kazi”

“Nashukuru, vipi wameweza kuipa sura yangu na kuitoa kwenye vyombo vya habari?”

“Hapana nilifanikiwa kufuta kila kitu katika database za serikali zinazo husiana na tukio hilo hivyo hakuna ambaye ameweza kushuhudia chochote kwenye tukio hilo.”

“Nashukuru kwa kazi hiyo”

Nilizungumza huku nikitazama taarifa ya habari inayo tangaza juu ya mauaji ya wazazi Mkuu wa Nigeria. Nikamtazama Farida kisha nikatoa simu yangu mfukoni, nikaiminya minya na kumpigia Yemi.

“Unampigia nani?”

“Mama”

“Ngoja mara moja”

Farida akachukua simu yangu na kukata simu akaivalisha kava ambalo kidogo likanishanganza.

“Hilo kava linasaidia kuto kuonekana kwa wapi simu yako inapo tokea”

“Ahaa sawa”

Nikarudi kumpiga Yemi na baada ya muda kidogo simu yake ikapokelewa.

“Kuna jambo moja ambalo hukuweza kulijua kuhusiana na mimi. Sasa kw akifo cha yule papeti wako waziri mkuu, sasa utajua kwamba mimi ni zaidi ya mume wako Dany”

“Wewe ndio uliye muua waziri mkuu?”

“Ndio, nimemuua kutokana na ukaribu wake kwako. Sasa na wale wote ambao ulikuwa nao pale uwanja wa ndege. Nina kwenda kumuua mmoja baada ya mwengine. Umenielewa?”

Nikamsikia Yemi akishusha pumzi taratibu.

“Nikiwamaliza hao, nitakuja kwako wala usijali katika hilo”

“Umefanya makosa makubwa sana kwa maana nitaipa ushirikiano serikali kuhakikisha kwamba wana kukamata na kama ikiwezekana uuwawe hadharani”

“Sawa kabla huja maliza kusaidia nao nitakuwa nimesha kumaliza”

Baada ya kuzungumza hivyo nika kata simu.

“Kwa nini umeamua kumuambia kwamba wewe ndio umehusika na kifo cha waziri mkuu”

“Ni kumpa hofu ambayo itapelekea kuhakikisha kwamba ana fanya maamuzi ya kukurupuka ana endapo ata kurupuka basi huo ndio wakati wangu mimi kuhakikisha nina mmaliza kirahisi”

“Asipo kurupuka je?”

“Tutatumia njia nyingine. Hembu ipitie hii laptop ya waziri mkuu”

Nilizungumza huku nikimkabidhi Farida laptop hii. Nikavua nguo zangu na kuingia bafuni huku nikiwa nimechoka sana kwani hii kazi nimetumia nguvu kubwa sana katika kuifanya.

“Randy. Randy”

Niliisikia sauti ya Farida akiniita kwa shahuku kubwa sana. Nikatoka bafuni huku nikiwa na mapovu mwilini mwangu.

“Nini?”

“Tumepata kitu cha muhimu sana.Yaani tume shinda”

“Sijakuelewa”

Nilizungumza huku nikijifuta mapuvu ya usoni mwangu. Farida akanigeuzia laptopa hii ya waziri mkuu na kunionyesha vitu ambavyo sijavielewa.

“Ni nini hivi?”

“Ni silaha za kivita, a.k.a ni mabomu ya nyuklia na laptop hii ndio inatumika katika kuyaongoza mabomu hayo.”

“Wee una uhakika katika hilo?”

“Haki ya Mungu. Nina ujuzi mkubwa sana katika kutengeneza silaha hizi, kwa kipindi chote cha utoto wangu nilikuwa nina soma maswala haya hivyo ninajua. Kama hapa nikihitaji kuilipua hii lagos basi nina fanya kuongoza bomu hizi na kuichangua ndani ya muda mchache tu”

Nikashusha pumzi huku nikiwa nimejawa na tabasamu pana sana usoni mwangu kwani huu ni ushindi kwa upande wangu.

“Pia kuna silaha nyingine ambazo unaweza kuziongoza kwa kutumia hii laptop ikiwepo ndege zisizo na rubani ambazo zinaitwa drone.”

“Na zipo ngapi?”

“Hapa naangalia ni zaidi ya mia moja na zimebeba mabomu”

“Kambi ya mama si ipo mbali na wana nchi?”

“Ndio”

Nikatazama saa ya ukutani na inaonyesha sasa hivi ni saa tisa nane usiku.

“Ni wakati wa kusambaratisha kambi hiyo usiku huu. Hakikisha unaua kila mmoja aliyomo ndani ya kambi hiyo na nitaona ni nini mama atakacho kifanya”



“Hatokuwa na jambo la kufanya kwa maana kule ndio sehemu anayo itegemea”

“Hembu anza kuitafuta kambi yake na hakikisha kwamba una iharibu”

“Sawa mpenzi”

Nikarudi bafuni na kwa haraka haraka nikamalizia kuoga kisha nikarudi chumbani.

“Nimeipata”

Farida alizungumza huku akinigeuzia laptop yake. Nikaitazama kambi hii ya mama ambayo ipo porini, kisha nikampa ruhusa Farida ya kuanza kuziendesha ndege hizo za kivita ambazo hazitumii rubani kuzipeleka katika kambi hiyo ya Yemi. Baada ya dakika saba ndege hizo tayari zimefika katika anga la kambi hiyo.

“Shambulia”

Farida akaanza kushambulia kambi hiyo kwa kufyatua mabomu mfululizo. Vibanda vilivyo tengenezwa kwenye kambi hiyo vyote vikaanza kulipuka huku tukiwashuhudia wanajeshi wa kambi hiyo jinsi wanavyo teketea kwa moto. Ndani ya muda mchache kambi hiyo ikabadilika na kuwa jehanamu ya moto. Hapakuwa na mtu mwenye uwezo wa kuukimbia moto huo. Mbaya zaidi ghala zao walizo kuwa wana hifadhia silaha zote zikateketea kwa moto. Shangwe na furaha ya ushindi ikazidi kuendelea moyoni mwangu.

“Ni lazima mama yako apate presha katika hili”

“Yaa tunaendelea kukomoana hivi hivi”

Usiku huu ni wa furaha kwetu, sikusita kumpa Farida penzi zuri ambalo katika siku zote za mahusiano yetu hatukuwahi kupeana.

***

Mlio wa simu yangu ukanistua, nikafumbua macho yangu taratibu na kuitazama ni wapi inapo itia, nikamsogeza Farida aliye lalia kifua changu na kushuka kitandani, nikaichukua juu ya meza na kuitazama kwa sekunde kadhaa na kukuta ni namba ya Yemi. Nikaipokea na kurudi kitandani.

“Mmmm”

“Wewe mtoto”

“Nini?”

“Umeisambaratisha kambi yangu kwa nini?”

“Hahaaa kumbe umefahamu hilo na sasa ninaendelea kuzipiga kampuni zako, sinto jli ni watu wangapi ambao wapo ndani ya majengo ya kampuni yako nitahakikisha kwamba nina kuua”

Nilizungumza kwa kujiamini sana. Farida taratibu akanyanyuka kitandani huku akiwa amejawa na usingizi mwingi sana, akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akakilaza kichwa chake juu ya mapaja yangu.

“Ole wako ufanya hivyo haki ya Mungu nitakuacha laana ya kama mama”

“Hahahaa kwa mama kama wewe sidhani kama laana ina weza kunipata kwa kweli. Mama uliye angamiza familia ya mke wangu pasipo kosa la aina yoyote. Umemua na mke wangu kuanzia wa ndoa na huyo aliye nizalia mwanagu. Bado unahisi kwamab unaweza kunilaani?”

“Hahaa umesahau kwamba nina kipaka chako kipo mikononi mwangu. Si ndio?”

“Ohoo najua kwamba una mpenda mwanangu. So huwezi kumuua”

“Ahaa..hivyo ndivyo unavyo jidanganya?”

“Sio ninavyo jidanganya ila hicho ndicho ninacho kueleza”

Mara baada ya kuzungumza nikakata simu.

“Mama huyo?”

“Ndio”

“Anasemaje?”

“Anatumia ngao ya mwanangu ili nisiendelee kumdhuru na ametambua kwamba mimi ndio niliye iteketeza kambi yake”

“Mmmmm…pole yake. Nina usingizi mume wangu acha nilale si unajua shuhuli uliyo nipa jana usiku hujawahi kunipa kama vile”

“Kweli?”

“Kweli yaani umenikuna pande zote. Wewe hujaona hadi nimekojoa mkojo halisi, si mchezo mume wangu”

“Nashukuru kwa hili mpenzi wangu”

Siku nzima hatukutoka ndani humu, na kazi yetu kubwa ni kuangalia taarifa za habari za nchini hapa Nigeria. Chakula na vinywaji wahudumu walituletea humu ndani na hapakuwa na muhudumu aliye weza kugundua kwamba sisi ni waalifu.

“Mmmm nyama yao wameichoma vizuir”

Farida lizungumza huku akiendelea kutafuna vipande vya nyama ya ng’ombe.

“Eti ehee?”

“Yaa yaani ni vitamu mmo”

Mlio wa simu yangu ukanifanya kwa haraka niichukue na kuitazama na kukuta ni Jojo ndio anyae nipigia. Nikaipokea simu yake na kuiweka sikioni mwangu.

“Ndio sister”

“Tunakuja nchini Nigeria hivyo tunahitaji utupokee”

“Munakuja na nani?”

“Baba”

“Umempata?”

“Ndio nilimpata na niliweza kumshahiwishi na amebadilisha maamuzi yake”

“Sawa, sasa nitakuelekeza ni hoteli gani ambayo nipo kwa maana Yemi yupo nchini hapa na ana nisaka kwa maana amesha fahamu kwamba nimejua ukweli”

“Sawa, nina imani kwamba hadi kesho tutakuwa tumefika nchini hapo”

“Yaa mutakuwa mume fika”

Nikakata simu huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana kwani msaada wa kuendelea kupambana na Yemi umeongezeka. Siku iliyo fwata majira ya saa nane mchana nikapokea simu ya Jojo, akanijulisha kwamba wamesha fika, nikamuelekeza hoteli niliyopo. Baada ya kama dakika ishirini na tano hivi wakafika hotelini hapa na nikwapokea kwa furaha. Wakasalimiana na Farida ambaye kwa sasa ameungana nasi na si adui yetu tena.

“Mume fikia wapi na mama yako?”

Dany aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kuna kambi yake ya jeshi nimeweza kuishambulia juzi usiku”

Nilizungumza huku nikimuonyesha Dany video inayo onyesha kambi hiyo jinsi ilivyo teketea kwa mabomu.

“Umezungumza naye mara baada ya tukio hili?”

“Ndio amedai kwamba ata muua mwanangu kwa sababu amemshikilia?”

“Hato weza amezungumza tu”

Dany kama naye alikuwa kwenye ufahamu wangu wa akili. Ni kweli hato weza kufanya hivyo kwa manangu ambaye yeye mwenyewe alimpa jina lake japo hapo awali sikukubaliana nalo.

‘Tunashukuru kwa kumfichua adui yetu”

Danya alizungumza huku akimkabidhi Farida mkono.

“Ni jukumu langu”

“Wifi samhani kwa kuulia wanajeshi wako hatukujua. Kumbe adui yetu ni nani”

“Musijali, mulikuwa na haki ya kufanya hivyo na laiti kama ningekuwa nina hitaji kuwataketeza na nyingi ilikuwa ni rahisi sana kwangu kwa maana kila mulicho kuwa muna kipanga mimi nilikuwa nacho hivyo ninge wasubiri sehemu na kuwaua”

“Ni kweli”

“Leo kabla ya jua halijazama nitahitaji kuonana na mama yako. Una fahamu ni wapi anapo ishi?”

“Baba unataka kwenda kwa huyo muuaji aliye taka kutuua!!!?”

Jojo alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana usoni mwake.

“Ndio nina hitaji kufanya hivyo”

“Baba you can’t be serious”

“Nipo serious nahitaji kujua msimamo wa mama yenu.”

“Baba kuna msimamo gani tena unao uhitaji kuufahamu ikiwa mama amesha fanya kile alicho kifanya”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama baba usoni mke.

“Mimi ndio mtu wa kwanza kumfahamu Yemi kabla yenu. Mimi ndio ninajua ni wapi nilimtoa Yemi kabla yenu. Kwenye hii nchi ndipo nilipo anzisha penzi letu na kama kulivunja basi tulivunje kwenye hii nchi. Nyinyi nisaidieni kumtafuta na ninahitaji kuzungumza naye”

Japo tulizidi kumshauri Dany asitishe kuoanana na Yemi ila alitubishia, kutokana ni baba na ana maamuzi yake hatukuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana naye kishingo upande. Farida aka itafuta namba ya Yemi kwa kupitia satelait na tukafahamu ni wapi Yemi alipo.

“Ila kabla ya kwenda huko nahitaji baba tukuwekee kinasa sauti”

Jojo alizungumza.

“Cha nini?”

“Tunahitaji kufahamu ni kitu gani kinakwenda kutokea kama yatakuwa ni mazungumzo mabaya basi tujue tunakusaidia nini”

“Analo lizungumza Jojo ni kweli baba. Inabidi ikiwezekana pia tukufwatilie hadi pale atakapo kuwepo Yemi”

“Sitaki kufwatiliwa, ila kama ni kuniwekea kinasa sauti basi hakuna tabu”

“Sawa”

Ilipo wadia usiku tukapata chakula cha usiku kwa pamoja kisha Dany akajiandaa kwa ajili ya kuelekea nyumbani kwa Yemi kwani ndipo inapo onyesha sehemu alipo. Jojo akatoa kifungo kimoja cha koti la Dany kisha akaweka kifungo kingine ambacho ni kamera yenye uwezo wa kunasa sauti na kurekodi pia. Kila kinacho rekodiwa na kifungo hicho maalumu tunakiona kwenye laptop. Majira ya saa tatu, Dany akaondoka nyumbani hapa na moja kwa moja akaelekea nyumbani kwa Yemi.

“Munahisi anacho kifanya baba yenu ni sahihi?”

“Nahisi wewe mwenyewe ulisikia msimamo wake. Kwetu sio sahihi ila akilini mwake ni sahihi”

Nilimjibu Farida kwa kumuuliza swali. Dany akafika katika jumba la Yemi na hakutumia geti kuingia katika nyumba hiyo kubwa ya kifahari ambayo ndio sehemu niliyo kulia katika maisha yangu yote ya utoto. Dany akaruka ukuta huu mrefu jambo lililo mshangaza Farida.

“Ameruka huo ukuta!!?”

“Yaa”

“Heee kumbe yupo vizuri baba yenu?”

“Ndio ulikuwa una mchukuliaje wifi?”

“Nilikuwa nina muona mtu wa kawaida kawaida”

“Shiiiii”

Niliwanyamazisha mara baada ya kumuona Dany akipanda moja ya ukuta wa kuelekea chumba cha Yemi akafanikiwa kufika katika dirisha la vioo na uzuri wa madirisha ya nyumba hiyo yana vioo pekee na hayana nondo. Dany akaingia chumbani hapo na sote tukamshuhudia Yemi akiwa amelala kitandani huku mwanangu akiwa pembeni yake.

“Hei”

Dany aliita na kumfanya Yemi kukurupuka kitandani. Yemi akataka kupiga kelele ila Dany akamuwahi na kumziba mdomo.

“Shiiii ni mimi”

Dany alizungumza huku akimuachia Yemi mdomo wake. Yemi akawasha taa kwa kutimia swichi iliyopo pembeni ya kitanda chake.

“Umeingiaje humu ndani?”

“Japo una walinzi wengi na kamera nyingi ila hakuna ambaye aliweza kuniona wala kunizuia”

“Umekuja kuniua kama mwanao anavyo hitaji kuniua?”

“Siwezi kufanya hivyo. Mikono yangu imeua waelfu ya watu. Hivyo damu zao zina nililia mikononi mwangu. Sitaki kuua tena”

“Hii siasa sasa”

Nilizungumza huku tukiendelea kumtazama Yemi ambaye ana tazamana na Dany.

“Kama hujaja kuniua ni nini kilicho kuleta hapa kwangu?”

“Nimekuja kujua kukuomba msamaha”

“Msamaha!!?”

Jojo aliuliza kwa mshangao.

“Msamaha wa nini ikiwa mwanao ana hitaji kuniua na kuniangamiza?”

“Sio mwanangu peke yangu. Ni mtoto wetu, hivyo usijitenge naye”

“Dany Dany. Mwanao wameniulia mamia ya wanajeshi wangu. Amepanga kuvunja vitega uchumi vyangu. Bado una taka nimuite mwanangu. Sijazaa kiumbe kama kile. Yule ni shetani wako si wa kwangu. Amerithi kila kitu kwako, unyama na upuuzi wote amerithi kwako. Sihitaji kuwa na mtoto kama yule”

Yemi alizungumza huku akilia kwa uchungu.

“Laiti kama usinge muua Marieta asinge kuwa adui yako. Laiti pia usinge muagiza Farida amuue mke wake wa ndoa yasinge fikia huku. Laiti kama usinge mtuma Farida atue sisi yasinge fikia huko. Mwanamke mjinga na mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake yeye mwenyewe. Tulikupenda, tulikuheshimu kama mwana familia na tukafanya yote pamoja tukiamini mama upo. Nilimuacha Livna aende kwa ajili yako, kwasababu nilikupenda, nikakupenda na nitazidi kukupenda. Lengo la mimi kuja hapa ni moja tu.”

Dany alizungumza maneno ya busara sana hadi tukajikuta tukiishiwa pozi.

“Nakumbuka siku ya kwanza kuonana nawe, ilikuwa ni kwenye usahili wa wana mitindo katika kampuni yako. Ulinipenda kuanzia siku hiyo nami nika kupenda kuanzia siku hiyo. Baba yako alinikabidhi wewe nikulinde na niishi nawe miaka yangu yote ya uhai wangu. Nataka kujua JE BADO UNA NIPENDA AU NIONDOKE NA NIKUACHIE VITA HII NA MWANAO?”



Swali la Dany likatufanya wote tubaki na hamu kubwa ya kuhitaji kusikia ni kitu gani ambacho Yemi atamjibu Dany. Ukimya wa mama ukachukua kama dakika tatu hizi, akajikoholesha kidogo huku machozi yakimwagika.

“Mwanamke mnafki huyu. Ana jiliza nini sasa?”

Nilizungumza kwa jazba huku nikiendelea kumtazama mama.

“Dany”

“Mmmmm”

“Unajua madhara ya wivu?”

“Ndio nina fahamu”

“Madhara yake ni yapi?”

“Kisasi na mauti”

“Unajua kwamba wewe ndio umenipa hii roho. Roho ambayo hapo awali sikubarikiwa kuwa nayo.”

“Nalitambua hilo”

“Nitatokaje katika hii chuki iliyo jaa kinyongo. Najizuia na kujaribu kuwa mtu mwema kwa mwanao ila nina shindwa, ninajikuta nikisimamia kiapo ambacho kina endelea kuniumiza kmoyo wangu. Niliapa nitamtesa mwanao kwa kila mbinu ili nafsi yangu itulie nikiamini kwamba hicho ndio kisasi kizuri kwako.”

“Nalitambua. Kumbuka kwamba una endelea kumwaga damu za watu wasio na hatia. Damu ambazo hakika ziteendelea kukulilia miaka na miaka”

“Ndio naitambua Dany, ila nini nitafanya eheeee. Unajua ni jinsi gani picha ya mauaji ya Donald Bush inavyo jirudia rudia kwenye kichwa changu? Tukio lile Dany limeniathiri kisaikolojia katika kipindi chote cha maisha yangu na niliichukia mimba ya mwanao toka akiwa tumboni. Utanisaidiaje Dany nitoke kwenye hali hii”

Yemi alizungumza huku akiendelea kulia kwa uchungu sana. Nikamtazama Jojo machoni mwake kwa macho ya kuiba na nikamshuhudia akiwa amtulia na akiyafwatilia mazungumzo hayo kwa usikivu mkubwa sana. Nikamtazama Farida, naye nikamuona akiwa ameikodoelea laptop hii macho.

“Njia pekee ya kutoka katika halii hii inabidi tuokoke”

Sote humu ndani tukatazamana kwenye macho yetu. Hapakuwa na mtu hata mmoja aliye tarajia kusikia kauli kama hiyo. Kila mtu macho yakamtoka, nikatamani kumpigia simu Dany ila nikajikuta nikishindwa kabisa kufanya hivyo kwani maamuzi anato yachukua hakika kwenye familia hii sijawahi kupata historia kama kuna mtu alisha wahi kuokoa.

“Maelefu ya watu walikufa kwa mkono wangu. Yemi nahitaji kumrudia Mungu wangu, nahitaji siku zangu za kuishi zilizo baki kwenye hapa duniani niweze kuishi katika misingi mizuri ya kumcha Mungu na kumpendeza Mungu”

“Siku!!!”

Jojo alizungumza huku macho yakimtoka.

“Siku una maanisha nini Dany”

“Nililifanya jambo hilik uwa siri yangu peke yangu. Nilifanya hadi maamuzi ya kuamua kuondoka na kwenda nchi ya mbali ili hata siku yangu ya kuteketea basi pasiwepo na mtu ambaye ata shuhudia kifo changu.”

Dany alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa unyonge mkubwa sana.

“Nahitaji kuomba msaha kwako. Msamaha duniani hususani kwa wale wote ambao nimewasababishia wakapoteza watu wao wa karibu. Kwani aliye kuwepo ndani yangu na kunitumia na kujiona ni hodari kwenye maisha yangu ni shetani sasa nime badilika”

Dany alizungumza huku tukiisikia sauti yake ikiwa kama imejawa na majonzi mengi sana.

“Kumbuka siku yetu ya harusi tuliapa kwamba tuta ishi pamoja hadi siku zetu za mwisho za maisha yetu. Si ndio”

“Mmmm ndio”

“Nahitaji nizikamilishe siku hizi zilizo baki kwako. Wewe ndio mke wangu halali katika maisha yangu ya ndoa. Bado nina kupenda sana Yemi. Sihitaji kukupoteza”

“Kwa nini unazungumza hivyo Dany. Kwanini sasa ehee?”

“Sihitaji familia yangu ipigane wenyewe kwa wenyewe. Natambua hili litarithi hadi kizazi cha Randy na sitaki iwe hivyo.”

Dany aliendelea kuzungumza kwa uchungu mkubwa sana.

“Yemi”

“Beee”

“Nina….”

“Una nini Dany”

“Nina Cancer(Saratani) ya damu. Daktari ameniambia nina miezi mitatu ya kuishi hapa duniani. Nahitaji kuyaweka maisha yangu sawa. Sitaki niache chuki juu yenu. Wewe, Randy, Jojo na Cilvia ni kitu kimoja. Pendaneni jamani”

Watu wote tukajikuta tukistuka sana mara baada ya kusikia kwamba Dany ni mgonjwa wa cancer na ana miezi mitatu tu ya kuishi hapa duniani.

“Una CANCER mume wangu?”

Yemi alizungumza huku akitiririkwa na machozi mengi sana tofauti hata na machozi alio kuwa akilia hapo awali.

“Mimi ni mfu ninaye tembea. Sitaki kuacha URITHI mbaya kwa familia yangu, nahitaji kuacha amani kwa familia yangu na wewe pamoja na mke mwenzako Livna mukisimama kwa pamoja muna weza kuwaongoza hawa watoto wangu watatu. Tafadhali Yemi”

Yemi akamkumbatia Danya na kusababisha kamera iliyopo kwenye koti la suti la Dany ikiwa imezibwa na kitu pekee ambacho tunaweza kukisikia ni sauti zao za vilio. Hisia kali ikanitawala moyoni mwangu na kujikuta machozi yakianza kunilenga lenga na baada ya muda yakaanza kutawala mboni zangu.

“Nakupenda sana DANY nakupenda sana. Wewe ni mwanaume wa maisha yangu. Please don’t die, nitaishi na nani, nitamfikiria nani. Ohoo Mungu wangu”

Yemi alilalama huku akiendelea kumkumbatia Dany.

“Siwezi kuishi miaka nenda rudi kwenye hii dunia. Ila ninacho kiomba ni kitu kimoja kama si viwili”

“Niambie chochote Dany nipo radhi kukifanya”

“Naomba msamehe Randy kwa kila jambo alilo lifanya kwako. Mtoto akinyea mkono usiukate”

“Nimemsamehe mume wangu, nitahakikisha kwamba ana simama katika mstari ulio nyooka na nipo tayari kumpiga goti mbele yake ili mradi anisamehe tu mwanangu”

“Nashukuru kusikia hivyo mke wangu. Jambo jengine nina omba unisaidie kunifikisha katika kanisa lolote linalo aminika haoa Nigeria”

“Nitakupeleka kwa nabii Emmanuel kesho”

“Ila kabla hujanipeka nahitaji kurekodi jambo kwa ajili ya Dunia kwa maana nina imani baada ya siku ya kesho sinto kuwa na uwezo tena wa kufanya jambo lolote kwani nina imani ni mambo mengi sana yatakwenda kujitokea”

“Sawa mume wangu”

Gafla mawasiliano kati yetu na Dany yakakatika, hatukuweza kusikia kitu chochote wala kuona kitu chochote.

“Imekuwaje?”

Nilimuuliza Farida huku nikimtazama usoni mwake. Farida akaendelea kuminya minya batani za laptop yake kisha akanitazama kwa sura ya kukata tamaa.

“Dany amekata mawasiliano”

“Shiti inabidi tumfwate”

“Hapana”

Jojo alizungumza kwa upole huku akinitazama usoni mwangu.

“Kwa nini?”

“Hatua waliyo fikia hapo munatakiwa kujiongeza akilini mwenu. Au unataka kusikia sauti za mama akilalama kimahaba”

Jibu la Jojo likatufanya mimi na Farida tuweze kuelewa ni kwa nini Dany amefanya hivyo. Hadi alfajiri kuna pambazuka hatukuweza kupata mawasiliano ya aina yoyote kutoka kwa Dany.

“Simu yake ime zimwa”

Jojo alizungumza huku akishusha simu yake kutoka sikioni mara baada ya kujaribu kumtafuta baba hewani.

“Labda watakuwa hawaja amka”

“Sio jambo la kawaida kwa Dany kuzima simu”

“Ngoja nijaribu kumpigia mama”

“Hapana usipige wewe. Lete nimpigie mimi”

Nikamtajia Jojo namba ya Yemi kisha akampigia simu, simu ya Yemi ikaanza kuita na baada ya muda ikapokelewa.

“Haloo”

Tuliisikia sauti ya Yemi mara baada ya Jojo kuweka loud speaker.

“Habari yako mama”

“Jojo”

“Yaa ni mimi”

“Niambie mwanangu”

Yemi alizungumza kwa sauti ya upole na unyenyekevu mkubwa sana.

“Nimepewa na Randy. Baba yupo hapo?”

“Ndio yupo”

“Naomba nizungumze naye”

“Jojo”

“Vipi baba mbona hupatikani hewani?”

“Simu imezima chaji”

“Unakuja saa ngapi hotelini”

“Siwezi kuja ila nina wahitaji muje hapa”

“Wapi?”

“Hapa nyumbani kwa mama yenu”

Jojo akanitazama huku akitarajia niweze kukubaliana na jambo hilo. Nikampa ishara kwamba nimekubaliana na jambo hilo.

“Sawa tutakuja”

“Ninawasubiria”

Jojo akakata simu na kurudisha katika mfuko wa suruali yake ya jinzi.

“Mimi jamani sinto kwenda”

Farida alizungumza huku akitutazama usoni.

“Kwa nini?”

“Sidhani kama mama yenu atafurahia kuniona katika nyumba yake na isitoshe nitakuwa nina hatarisha maisha yangu na anaweza kunifanya jambo lolote baya.”

“Mimi nipo sinto ruhusu hilo liweze kujitokeza wifi yangu”

“Sawa wifi upo ila nina hisia mbaya sana juu ya jambo hilo. Tafadhali nina kuomba nisiweze kwenda.”

“Tunakwenda wote si ombi ni amri”

Nilizungumza kwa sauti nzito kidogo na iliyo jaa msisitizo kisha nikanyanyuka na kuingia bafuni. Nikanawa uso wangu kisha nikatoka na kuwakuta Farida na Jojo wakiwa tayari wamesha jiandaa. Tukabeba kila kilicho chetu na kuainza safari ya kuelekea nyumbani kwetu kwa kutumia usafiri wa taksi. Ikatuchukua kama dakika mhsmsini kufika nyumbani hapo.

Tukamkuta Yemi akitusubiria getini. Tukashuka kwenye gari na kusalimiana naye kwa hali ya kawaida sana na inaonyesha kitendo cha kumuona Farida hapa nyumbani kwake kime mstua.

“Jisikieni huru”

Yemi alizungumza huku akiongozana na Jojo kuelekea ndani. Nikasimama eneo hili la nje. Hakika nimiaka mingi sana toka nimeondoka kwenye hili eneo.

“Mbona hutembei?”

Farida alizungumza mara baada ya kuniona nime simama huku nikiwa nime duwaa kwa sekunde zaidi ya stini.

“Hili eneo lina nikumbusha kumbukumbu zangu za miaka hiyo ya nyuma”

“Ohoo pole sana”

“Nashukuru mpenzi wangu. Hapa ndipo nilipo kua toka nikiwa na mwaka sifuri”

Nilizungumza huku tukielekea ndani, tukamkuta Dany sebleni, akatukaribisha sote kwa ukarimu.

“Baba naona ume ng’aa ng’aa kukaa humu ndani”

Nilimtania Dany huku nikikaa kwenye moja ya sofa hapa sebleni.

“Ahaaahaa…..Mambo ya mama yak ohayo”

“Wacha wee”

Yemi akaka pembeni ya Dany huku akiegemesha kichwa chake katika bega la Dany.

“Mumeendana sana ngoja niwapige picha”

Nilizungumza huku nikitoa simu yangu mfukoni na kuwapiga pich katika pozi lao hilo.

“Nina washukuru kwa kuweza kufika hapa. Mwanzoni mulikuwa muna tazamana kama maadui, ila kwa sasa nahitaji tuwe familia. Uadui uwekwe pembeni na tusiendelee kupambana na mambo ambayo hakika hayana maana kwenye maisha yetu”

Dany alizungumza kwa upole sana.

“Jojo wewe ndio mwanangu mkubwa. Wewe ndio kiongozi ambaye nina kutegemea katika wezako walio baki, hakikisha wadogo zako wanakuwa ni watu wema. Yale maisha ya kupambana, kuhisi kumwaga damu ndio jambo jema hakika sinto lihitaji kulisikia wala kuliona hata kama ikitokea nime tangulia mbele za haki”

“Randy, mpende Farida katika maisha yako. Usimkosee na kuzisaga saga hisia zake kama mimi nilivyo fanya kwa mama yako. Farida hakikisha mwanangu ana kuwa ni mtu mwenye furaha. Afurahie maisha yake yote yeye na mjukuu wangu.”

“Sawa baba nitafanya hivyo”

Farida alijibu kwa upole sana kwa maana hawa ni wakwe zake.

“Leo hii nina kwenda kumkabidhi Mungu maisha yangu, nita okoka na nitakiri juu ya makosa yote niliyo yafanya hapa duniani mbele ya dunia. Natambua adhabu itakayo fwata ni kifo, hata ikitokea nimekamatwa na vikosi vya ulinzi. Nisione mtu yoyote kati yenu ana nyanyua mkono wake kuwashambulia askari huo. Kwani urithi wa muhimu ninao hitaji kuwaachi nyinyi nyote ni AMANI kwani hilo ndio jambo muhimu kwenye maisha yangu kwa sasa.”

Maneno ya Dany aliyo yazungumza kwa upole sana. Yakanifanya machozi kunilenga lenga kwani umebaki muda mchache sana kutengana naye.



Nikajaribu kutazama macho ya watu wengine waliopo hapa sebleni hakika kila mtu ana onekana kujawa na majonzi. Hakuna ambaye alitarajia kama mwisho wa vita hii unakwenda kuishia hivi.

“Mimi sinto kwenda huko kanisani”

Jojo alizungumza kwa kujikaza huku akitutazama na macho yaliyo jaa machozi.

“Sawa ni maamuzi yako. Nyinyi ni watu wazima na siwezi kuwalazimisha katika kumkabidhi Mungu maisha yenu. Yemi jiandae”

“Sawa mpenzi”

“Mtoto yupo wapi?”

Nilimuuliza Yemi.

“Yupo ndani ame lala.”

“Chumbani kwako?”

“Yap”

Nikanyanyuka na kuelekea chumbani kwa mama. Nikamkuta mwanagu akiwa amelala, taratibu nikamsogela na kuanza kumtazama taratibu. Hakika Marieta hajaniibia chochote, kwani nina fanana sana na huyu mtoto, sikuhitaji kumsumbua zaidi ya kunyanyuka hapa kitandani na kuanza kutembea kuelekea sebleni. Nikafika kwenye mlango wa chumba changu na nikasimama kwa sekunde kadhaa kisha nikausogelea mlango huu taratibu, nikashika kitasa cha huu mlango, nikajaribu kuufungua na kwa bahati nzuri mlango huu upo wazi. Taratibu nikaingi ndani ya chumba hichi huku nikiendelea kukichunguza kwa utaratibu, vitu vyangu nilivyo viacha ndani ya chumba hichi miaka kadhaa iliyo pita bado vipo vile vile.

Nikatazama baadhi ya vyeti vyangu kuanzia shule ya awali hadi chuo ambavyo nilivibandika ukutani katika fremu maalumu.

“Hei”

Sauti ya Dany ikanistua sana na nikageuka nyuma kwa haraka.

“Mbona umestuka?”

“Sikutarajia kukuona hapa”

“Chumba chako kizuri”

“Yaa ila kwa sasa sio chumba changu”

“Kwa nini?”

“Siwezi kurudi na kuishi hapa tena”

Dany akanisogelea nilipo simama na kunishika bega langu huku akiendelea kuonakana akiwa katika hali ya unyonge sana. Akanishika begani kwangu huku akinitazama.

“Nina hisia mbaya kwenye maisha yangu”

“Una maanisha nini baba?”

“Siku zangu sio nyingi za kuishi. Nitakufa ila sifahamu nitakufaje. Wewe ndio mtoto wangu wa pekee wa kiume. Una dada wawili, hakikisha kwamba una waangalia kwa umakini sana.”

“Ila huyo dada yangu mwengine mbona hatujawahi kumuona”

“Livna ana mtenga mbali na nyinyi. Ila atawatafuta pale atakapo panga kuwatafuta. Naumia sana pale nnapo ona kwenye maisha yangu sijawaachia urithi wa kueleweka. Japo mama zenu wana mali nyingi ila huo sio urithi wangu mzuri kwenu”

“Usisema hivyo baba. Ujasiri tulio jifunza kwako ni urithi tosha. Kwamaisha haya ya sasa hivi hakika siwezi muogopa binadamu wala serikali inayo ongozwa na bina damu, nina uwezo na nina jua jinsi ya kupambana na nazo hivyo ni urithi tosha baba”

Dany akatabsamu kidogo huku machozi yakimlenge lenga.

“Unahisi kwamba huo ni urithi mzuri?”

“Ndio baba”

“Ila kumbuka kwamba una mwaga damu za watu. Watu ambao nao wana familia zao na wana wapendwa wao ambao wakiondokewa na watu wao basi wana umia kama jinsi nyinyi mutakavyo umia kuona mpendwa wenu anapo ondoka kwneye hii dunia.”

“Nakuomba Randy, urudi nchini Tanzania, anzisha maisha mapya. Maisha ya kusaidia wasio nacho na chukua hii funguo”

Dany alizungumza huku akitoa funguo kwenye mfuko wake wa suruali. Funguo hii imezungushiwa cheni ya dhahabu. Akanikabidhi hii funguo hii na kabla hajanipa maelezo mengine, mama akaingia ndani humu.

“Baba Randy kila kitu kipo tayari”

“Sawa mke wangu nina kuja”

Mama akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatoka ndani humu.

“Hii funguo, katika nyumba tunayo ishi kule milimani. Chini ya ardhi kuna urithi wako, hakikisha una utumia vizuri wewe na watoto wako sawa”

Dany alizungumza huku akinipiga piga begani mwangu. Akatoka chumbani humu na kuniacha nikiwa nimeshika funguo hii, nikahisi nguvu za miguuni mwangu zikiniishia na kujikuta nikikaa kitandani huku nikiendelea kuitazama funguo hii.

‘Baba atakufa kweli?’

Nilijiuliza swali huku nikihisi kumwagikwa na mchozi. Ukiona mzazi anafikia kukukabidhi baadhi ya mali zake ambazo hapo awali hakuwahi kukueleza basi utambue hana uhakika na maisha yake ya hapo baadae. Baada ya muda kidogo nikasikia mingurumo ya gari kwa nje. Nikasimama na kukimbilia dirishani, nikashuhudia gari mbili za mama aina ya Hammer zikitoka getini huku, Jojo na Farida wakiwa wamsimama nje wakizishuhudia gari hizo jinsi zinavyo toka. Nikaivaa cheni hii iliyo nikingiziwa funguo, shingoni mwangu kisha nikatoka nje na mimi.

“Wamesha ondoka”

Jojo alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Wamesema kwamba wana kwenda wapi?”

“Kwenye kanisa la TB Joshua”

“Nakwenda, naomba muweze kumuangalia mwanangu sawa”

“Wewe Randy huoni kama inaweza kuwa ni hatari”

“Hatari ya nini?”

Farida akashindwa kutea sentensi yake na akashindwa kunieleza hiyo hatari. Nikarudi ndani na moja kwa moja nikaelekea chumbani kwa mama. Nikamkuta mwanangu akiwa ameamka huku akitazama tazama eneo la chumba hichi.

“Hei baby girl”

Nilizungumza huku nikimnyanyua kitandani. Nikafungua droo ambayo huifadhia funguo za magari yote ya mama. Nikatazama funguo hizi nyingi, nikachukua funguo ya gari aina ya Felarri ambayo nilikuwa nina itumia miaka ya nyuma. Nikatoka ndani humu huku nikiwa nimembaba mwanangu, nikawakuta Farida na Jojo sebleni, nikamkabidhi Jojo mtoto.

“Ana njaa huyo mpeni chakula”

Nikaelekea katika ukumbi mkubwa unao hifadhiwa magari, nikaminya batani ya hii funguo na nikatambua ni wapi gari hiyo ilipo. Nikalisogelea na kutoa turubai kubwa lililo funika hii gari.

“Waooo”

Nilizungumza huku nikiitazama gari hii nyekundu ambayo ni miongoni mwa gari za kifahari duniani. Nikaingia ndani ya gari na kukuta ina mafuta ya kutosha. Taratibu nikatoka ndani humu nami nikaianza safari ya kuelekea katika kanisa hilo la mchungaji mkubwa hapa nchini Nigeria na nje barani Afrika kwa ujumla. Foleni ya jiji hili ikanifanya nitumie muda mwingi sana barabarani na nikafanikiwa kufika kanisani hapa. Nikakuta watu wengi sana wakiwa ndani na nje ya hili kanisa. Maegesho ya magari yamejaa kwa kweli.

“Habari yako mkuu”

Nilimsalimia mmoja wa askari wanao linda magari yaliyopo hapa kwenye maegesho.

“Salama tu”

“Naweza weka wapi gari langu?”

“Kwa kweli mkuu maegesho yote yame jaa. Labda kwa kukusaidia, ukasimamieshe kule mbele”

Askari huyua linionyesha eneo la mbali kidogo na kanisa hili.

“Kwa nini kanisa limejaa leo namna hii?”

“Kuna gaidi yule wa dunia amekuja kutubu dhambi zake”

“Gaidi wa dunia?”

“Ndio kaka kwani huna habari?”

“Hapana”

“Mbona habari zilitangazwa kwenye televishion yetu ya Emmaunel Tv toka asubuhi. Ndio maana waumini wengi sana wamekuja kumuoana”

“Anaitwa nani?”

“Dany”

Nikashusha pumzi huku nikiwa nimejichokea kwa kweli.

“Asante”

Nilizungumza huku nikirudisha nyuma gari langu. Nikaondoka eneo hili la kanisani na kulisimamisha gari lagu mbali kidogo na kanisa. Nikawasha tv iliyomo ndani ya gari hili na nikaanza kufwatilia matangazo ya ibada hii nikiwa humu humu ndani ya gari.

Nikaendelea kushuhudia jinsi wanakwaya wakiendelea kutumbuiza ndani ya kanisa hili, baada ya hapa yakafwata mahubiri kutoka kwa mchungaji mkuu wa hili kanisa. Nikiwa hapa nje pembezoni mwa barabara nikaanza kuona gari za jeshi la hapa nchini Nigeria zikiambatana na gari za jeshi la Marekani zikipita kwa kasi sana kuelekea eneo la kanisani. Gari hizi zipatano thelathini zilizo jaa wanajeshi wenye silaha. Nikashuhudia helicopter nyingi zikiranda randa eneo la kanisa jambo ambalo hakika likazidi kunitia hofu kubwa sana kwani hawa wote wamekuja kwa ajili ya baba.

“Musiwe na hofo na hao wanajeshi. Hawawezi kuingia ndani ya jengo la Mungu”

Mchungaji alizungumza ili kuwatuliza waumini wake ambao nao tayari walisha anaz akujawa na hofu kubwa sana. Kusema kweli siwezi kufanya jambo lolote, simu yangu ikaita na nikaitoa mfukoni na kukuta ni Jojo ndio anaye nipigia simu.

“Ndio”

“Upo wapi?”

“Nipo eneo la hili kanisa”

“Umeona hao wanajeshi?”

“Ndio nimewaona”

“Nakuomba usifanye jambo lolote la kijinga. Kumbuka ni kitu gani ambacho baba alikizungumza”

Jojo alizungumza huku akionekana kujawa na wasiwasi mwingi sana.

“Usijali dada”

“Sio nisijali. Heshimu maamuzi ya baba”

“Nimekuelewa”

Jojo akakata simu. Ibada ikaendelea kama kawaida huku wanajeshi hawa wakiwa wamelizunguka kanisa hili. Baada ya mahubiri kuisha, mchungaji akamkaribisha Dany aweze kuzungumza, nikamshuhudia baba akipita mbele ya kanisa hili, akamsalimiana na mchungaji kwa kukumbatiana. Suti nyeusi aliyo ivaa baba hakika imempendezesha sana na kumfanya aonekane kijana mdogo sana ila ni mtu mzima mwenye miaka sasa zaidi ya stini na nne. Minong’ono ikaanza kutawala ndani ya hili kanisa huku watu wengi wakionekana kumshangaa sana baba yangu.

“Bwana asifie”

Dany alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake. Waumini wote wakaitikia kwa sauti ya juu sana.

“Naamini wengi wenu mutakuwa mumenifahamu kwa kupitia histori yangu. Au wengine mumeona picha zangu au baadhi ya video ambazo zinaonyesha matukio ya kikatili sana ambayo nilisha wahi kuyafanya kwa kipindi cha nyuma.”

Waumini wote wakaa kimya huku wakiendelea kumsikiliza Dany kitu anacho kizungumza.

“Mimi ni raisi wa Tanzania na nilikuwa ni miongoni mwa wapelelezi ambao walikuwa ni watiifu sana kwenye serikali yangu ya Tanzani kwa miaka hiyo.”

“Kama munavyo fahamu kazi ya upelelezi ni hatari na muda wowote una weza kupoteza maisha na ukafa. Aliyekuwa mkuu wangu kwa kipindi hicho kabla ya kuja kuwa raisi wa Tanzania K2. Aliweza kunishawishi na kuingia nami kwenye mauhusiano ya kimapenzi ambayo yalipelekea chuki kwa yule mwanamke ninaye mpenda na mwisho alifanya mambo ambayo yalizalisha uadui mkubwa kati yangu mimi na yeye ikiwemo la kunisingizia kesi yeye pamoja na kaka yake ambaye kwa kipindi hicho alikuwa ni raisi wa nchi.”

“Walinitesa sana ikiwemo kunifunga jela, nilipitia mateso mengi sana tena sana ambayo mwishoni yalijaza chuki, uadui na mwishoni nikamaua kulipiza kisasi.”

“Ni kweli niliamua kuwa gaidi, nilamua kuwa mtu ambaye chochote ambacho kitajaribu kusimama mbele yangu basi ni lazima nitakiangusha na kweli nilifanikiwa kuwa mtu wa aina hiiyo. Nilimpenda mwanamke mmoja ambaye kwa sasa ni mama wa wanangu. Anaitwa Yemi, ni mwanamke mzuri sana ambaye nini imani wote hapa muna mfahamu. Alikuwa ni mwana mitindo mzuri kwa miaka hiyo.”

“Raisi wa Marekani kwa miaka hiyo Donald Bush aliamua kunipa kazi katika serikali yake, huku kazi kubwa ilikuwa ni kuhakikisha kwamba tunalifutilia mbali kundi la Al-Shabab nchini Somalia. Niliifanya kazi ilek wa juhudi kubwa sana, huku mke wangu ambaye ni Yemi nikimuacha mikononi mwake nikiamini kwamba atakuwa katika mikono salama.”

Dany akapumzika kidogo kuzungumza huku akionekana kufikiria jambo fulani.

“Ila raisi Donald Bush, alinisaliti na akaniibia mke wangu”

Nikastuka hata mimi kwa maana hili sikuweza kulijua, na nilimishwa na Farida kwamba baba yangu ni raisi Donald Trump na nilijawa na kisasi kikbwa nikihitaji kumua Dany nikiamini kwamba yeye ndio aliye niulia baba yangu mzazi.



“Niliumia sana tena sana na sikuweza kukaa kimya na kumuacha mwanamke ninaye mpenda akaendelea kuishi na mwanaume huyo ambaye alitumia uwezo wake kama raisi na kkumfanya mke wangu kuwa fist lady wa taifa hilo lenye nguvu sana dunia.”

“Nilihitaji kuionyesha dunia kwamba Marekani si kitu mbele ya baadhi ya mambo na kweli. Nilimteka raisi wao na nikamuua kifo kibaya sana cha kumkata kata vipande vidogo vidogo. Akili yangu haiwezi kusahau hiyo siku kwa maana katika siku nilizo wahi kufanya unyama hiyo ni siku ambayo kweli nilifanya unyama mkubwa sana”

Dany akaka kimya huku waumini ndani ya kanisa hilo wakianza kunong’ona nong’ona.

“Pale Marekani ilipo jaribu kupambana na mimi, ilishindwa kwa maana nilijituma sana kuhakikisha kwamba nina pambana nao kisasa sawa na kweli kuna raia walikufa kutokana na vita hiyo ndani ya nchi yao.”

“Nichukue nafasi hii kuomba msamaha kwa dunia. Wote ambao mulikumbwa na dhahama hiyo. Nipo tayari kutumikia adhabu yoyote ambayo mahakama ya dunia wata nihukumu.”

“Nashukuru mchungaji kwa kuniongoza sala ya toba. Katika siku ambazo nimejihisi nina amani kwenye maisha yangu ni siku ya leo kwa kweli. Moyo wangu una furaha, moyo wangu hauna majuto ya aina yoyote. Hakika nina imani kwamba Mungu amekubali maombi yangu. Asanteni sana kwa kunisikiliza”

Dany taratibu akamsogelea mchungaji huyo na kumkumbatia kwa nguvu huku, uso wake ukiwa una bubujikwa na machozi mengi sana ambayo yakapelekea hata mimi kutoka na machozi. Hakika damu ni nzito kuliko maji, Dany akaachiana na mchungaji huyo kisha kwa ishara akamuita mama, ambaye kwa haraka akamfwata sehemu alipo na kukumbatiana naye. Wakanyonyana ndimi zao kwa muda kidogo kisha wakaachiana na Dany akapunga mkono hewani na kuwafanya waumini wote wa kanisa hili kusimama na kuanza kupiga makofi ya furaha. Dany akaanza kutembea kuelekea nje huku akikatiza katikati ya waumini hawa. Akafika nje na kunyoosha mikono yake juu, wanajeshi wa Marekani wapatano nane wakamzunguka kisha wakaanza kutembea naye kuelekea katika moja ya gari aina ya Hammer, simu yangu ikaita tena na nikakuta ni Jojo ndio anaye nipigia.

“Ndio”

“Baba amesha kamatwa”

“Yaa nimeona hapa kwenye tv”

“Nakusisistizia usifanye jambo lolote la kijinga linalo weza kuhatarisha maisha yako”

“Nimekuelewa dada japo roho ina niuma”

“Hata mimi ina niuma, ila ndio hivyo hatuna jinsi. Hii vita aliinzisha Dany na yeye ndio ameimaliza, sisi kama watoto hatuna lolote la kufanya.”

“Nimekuelewa dada”

Nilizungumza huku nikifuta machozi mashavuni mwangu. Wanajeshi hawa wakaondoka eneo hili nikatamani kuwafwatilia ila nikaona hili litakuwa ni jambo hatari sana kwangu. Nikarudi nyumbani huku nikiwa sina raha kabisa, sura ya Jojo nayo haikutawaliwa na tabasamu la aina yoyote.

“Unahisi ni kitu gani ambacho watakwenda kumfanyia baba?”

“Sijui, ila nina hisi kwamba wata mnyonga kama walivyo fanya kwa sadam Hussein”

Jojo alinijibu kwa unyonge sana, huku tukitazama taarifa za habari za cheneli tofauti tofauti ambazo kila moja ina tangaza juu ya kukamatwa kwa gaidi aliye sakwa kwa miaka mingi sana hapa duniani.

“Munaonaje tukamuwekea mwana sheria ambaye anaweza kuisimamia kesi yake kwa maana ni lazima apelekwe mahakamani kusomewa mashtaka ndio ahukumiwe”

“Ni mwanasheria gani ambaye hana akili atakwenda kusimamia kesi ya baba. Kumbuka ulimwengu mzima umejua kwamba amekiri kwa kile kitu ambacho alisha wahi kukifanya huko nyuma na ushahidi wa hizo video upo. Randy una hisi kwamba hapo ataachiliwa, haiwezi kuwa”

Mama akaingia hapa sebleni huku macho yake yakiwa yamejawa na uwekundu ambao unaonyesha kwamba alikuwa an alia kwa kipindi kirefu sana.

“Kuna hii flash baba yenu aliniambia niwakabizi”

Mama alizungumza huku akifungua pochi yake na kutoa flash akanikabidhi mimi.

“Ina nini ndani?”

“Weka kwenye tv”

Nikaisogelea tv kubwa iliyo hapa sebleni na kuichomeka flash hii. Tukamuona Dany akiwa amekaa kwenye moja ya sofa lililopo chumbani kwa mama.

“Natambua siku mukiwa muna tazama video hii nitakuwa nime kufa ama nimekamatwa na vikosi vya kijasusi vya Marekani ambayo kwa miaka yote wamekuwa ni watu wanao nisaka kuhakikisha kwamba wana niweka mikononi mwao.”

“Niwaomba musijaribu kufanya jambo lolote baya juu ya kukamatwa kwangu na nina waomba mujitengenezee maisha mazuri. Maisha ambayo si ya kushika silaha kila mara. Randy, wewe ndio mtoto wangu wa kiume wa pekee, dada zako wawili wana kutegemea. Hakikisha kwamba una waongoza kwenye mstari unao eleweka, wapigania wasije kuteswa na wanaume ambao wata waoa. Pia muangalie sana mama yako kwa maana sasa wewe ndio baba”

“Jojo mwanangu, miaka mingi sana tumekuwa pamoja na tumeongozana kwenye mambo mengi sana nina imani kwamba utakuwa una nimiss kuliko watu wengine. Sasa ni ule wakati nilio kuwa nina kuambia ni lazima utengeneze familia. Ume wadia, tafuta mwanaume utakaye mpenda na yeye atakaye kupenda na ikiwezekana mujenge familia moja. Familia itakayo barikiwa na kuwa na watoto wazuri.”

“Yemi mke wangu, msamaha wako hakika umenifanya moyo wangu kuwa na amani. Hadi dakika ya mwisho ya pumzi yangu tambua kwamba nina kupenda sana. Tena kuliko mwanamke wa aina yoyote, ilinde familia niliyo kuachia. Matatizo ya ajabu, vita baina ya mama na mtoto epukana nayo, huyo ulimuweka tumboni miezi tisha na endapo ikitokea uka muangamiza basi tambu ya kwamba maumivu ambayo uliyapata siku ya kujifungua kwake yatakuwa mara saba na maumivu hayo ambayo uliyapata”

“Kwa ujumla nina wapenda sana na Mungu awabariki familia yangu”

Video hii ikaishia hapa, mama akashindwa kuvumilia na akaanza kuangua kilio kwa sauti, ikambidi Jojo na Farida waelekee naye chumbani na kuanza kubembeleza, hakika ni maumivu makali sana tunayo yapitia kwa kipindi hichi.

***

Baada ya wiki moja kesi ya Dany ikaanza kunguruma katika mahakama kuu ya uhalifu duniani ICC ilyopo Den Haag nchini Uholanzi. Karibia vyombo vyote vya habari duniani, vina tangaza taarifa hiyo, katika mastaka zaidi ya miamoja aliyo somewa Dany hakukataa hata moja na yote akayakubali na kesi yake ikapangiwa siku ya hukumu.

“Makosa mia moja mbona ni mengi sana?”

Nilimuuliza mama huku tukiwa hapa sebleni.

“Hakuna alilo singiziwa hata moja”

“Yote hayo wewe mama una yafahamu?”

“Ndio nina yafahamu, na uzito ni kwamba ali ua maraisi wawili tena video zake zilisambaa duniani. Hivyo hatuna jinsi ya kumsaidia baba yako”

“Hukumu lazima anyongwe”

Jojo alizungumza huku akinyanyuka kwenye sofa alilo kalia na kuelekea chumbani ambapo sauti ya mwanangu anaye lia imemfanya anyanyuke.

“Mmmm”

“Yaaa ila tumuombee kwa Mungu hata akinyongwa basi afike peponi kwa maana si kwa unyama alio ufanya.”

Mama alizungumza huku na yeye akiondoka sebleni hapa na kuniacha na Farida.

“Randy”

“Naam”

“Tunaweza kutoka nje na kuzungumza?”

“Mmmm sawa”

Tukatoka sebleni hapa na kuelekea kwenye bustani moja liyo tengenezewa vijumba vidogo vya kupumzikia. Nikamtazama Farida usoni mwake na kuona ana jambo ambalo anahitaji kulizungumza ila ana shindwa kuliongea.

“Una kitu unataka kuniambia mpenzi wangu”

“Ndio”

“Jisikie huru, zungumza”

“Nahitaji kuelekea Dubai”

“Kwa nini unayaka kwenda Dubai?”

“Nahitaji sasa niishi na wanangu. Natambua kwamba nina kupenda sana, ila Yemi hawezi kuwa mama yangu mkwe kwa maana ipo siku ana weza kufanya jambo lolote ambalo kwa namna moja ama nyingine lina weza kuni garimu sana. Nami sinto vumilia na nitahitaji kurudisha mashambulizi ambayo yanaweza kuzalisha vita mpya ambayo baba yako amekuwa ni mtu wa kuikataa”

“Mumesha pishana tena na mama?”

“Ndio, sikuhitaji kukuambia, ila ana nipa vijembe vya chini chini. Kumbuka mimi ni mtu ninaye heshimika katika kikundi changu cha Al-quida. Siwezi kukaa hapa ndani kama mke wako. Randy tafadhali tafuta mwanamke mwengine ambaye nitakuruhusu uweze kumuoa nami moyo wangu utajawa na furaha kabisa juu ya hilo”

Maneno ya Farida yakanifanya nikae mdomo wazi huku nikimshangaa.

“Natambua una nipenda, nami nina kupenda, ila kwa ajili ya usalama wa familia yako na yangu, nina kuomba sana niweze kuwa mwenyewe sasa”

“Farida ju…..”

“Randy natambu ni nini unacho hitaji kuzungumza. Kuwa na amani, sitaki kuwa tatizo kwenye familia yako. Nakuomba unikubalie mpenzi wangu.”

Farida alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama usoni mwake. Nikasimama kwenye kiti nilicho kikalia, nikampa mkono wangu wa kulia aka utazama kwa sekunde kadhaa, kisha akaushika na nikamnyanyua taratibu na kukumbatiana naye.

“Nakupenda sana Farida wangu”

“Nakupenda pia Randy.”

Muda wa chakula cha usiku, Farida akawaaga mama na Jojo kwamba siku inayo fwata ana ondoka kuelekea nchini Dubai, kwa mama hapakuwa na kipingamizi chochote kutokana wao wawili hawaelewani.

“Ila wifi kumbuka baba alikuomba uwe mke wa mdogo wangu. Vipi tena”

“Nalitambua hilo wifi, ila nina fanya hivi kwa ajili ya usalama wa pande zote mbili. Nampenda sana Randy nawapenda sana nyinyi ila hii nimeona ndio njia sahihi ya kudumisha upendo wetu”

“Vipi Randy umekubaliana na mke wako kuondoka hivi?”

“Yaa tumesha lizungumza”

“Daaa sawa wifi kama mumeo ameridhia na mama ame ridhia basi sina budi kukubaliana na jambo hilo”

“Nakushukuru sana wifi yangu.”

Usiku wa siku ya leo mimi na Farida hatukulala kabisa. Ikawa ni kazi ya kuhakikisha kwamba tunapeana haki ya ndoa kisawa sawa. Hadi inatimu saa kumi na mbili asubuhi, tayari nimesha funga goli nne za nguvu ambazo hakika zimekata kiu yetu ya mapenzi.

“Randy hata ukibahatika kumuoa mwanamke mwengine. Basi ukihitaji penzi langu, sehemu yoyote au mahala popote basi nita hakikisha kwamba nitakupatia mume wangu”

“Siwezi kuoa mwanamke mwengine”

“Kwa nini?”

“Nina kupenda wewe. Nipo tayari twende popote duniani, ili nikae mbali na mama yangu kwa maana hato weza kunipangia mwanamke wa kunioa”

“Randy”

“Ndio nimefanya maamuzi yangu. Mimi ni mwanaume, watabaki hapa na Jojo pamoja na mwanangu, ila wewe na mimi nahitaji twende mbali. Kumbuka wanao wana nipenda na kumbuka nina hitaji siku moja uni zalie mtoto”

Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Farida usoni mwake.

“Leo mchana tutaelekea nchini Tanzania, kuna jambo nahitaji kwenda kulitafuta na baada ya hapo nita hitaji tuelekee Dubai tukaanze maisha mapya”

“Randy hili linaweza kuleta shida”

“Mapenzi ni kiti kingine Farida, hujui ni jinsi gani nilivyo kujaza moyoni mwangu na kumbuka kwamab nina hisia na wewe, hata nikioa mwanamke mwengine sinto weza kuwa na hisia naye. Tafadhali Farida nielewe katika hilo”

“Mama yako uta muagaje?”

“Usijali hawezi kunisumbua mimi. Kuwa na amani katika hilo”

Tukakubaliana na Farida kuondoka pamoja. Asubuhi wakatika wa kupata kifungua kinywa nikawaeleza watu wote juu ya adhima yangu ya kuondoka na kuelekea nchini Tanzania tukiwa na Farida. Mama akakubali hata Jojo mwenyewe hakuweka pingamizi na furaha kubwa sana ika tawala. Tukaulizia ratiba ya ndege ambayo inaelekea nchini Tanzania, kwa bahati nzuri tukafahamishwa kwamba ipo ndege inayo ondoka saa saba mchana.

Majira ya saa sita mchana nikaagana na mama pamoja na mwanangu, kisha Jojo akatusindikiza hadi uwanja wa ndege, tukakata tiketi na kusubiria muda wa kuruhusiwa kuingia ndani ya ndege.

“Randy”

“Naam”

“Mtunze Farida. Huyu mwanamke ana kupenda. Usisikilize kelele za mtu mwengine, hakikisha kwamba una kuwa naye miaka yako yote iliyo bakia hapa duniani.”

“Sawa dada”

“Farida nime kukabidhi mdogo wangu. Muangalie, mjali na umuheshimu. Japo ume mpita umri ila heshima yake kama mume wako iwe pale pale”

“Nimekuelewa sana wifi. Usijali katika hilo”

“Nina wapenda sana, na siku mukiwa tayari kufunga ndoa yenu tafadhali nijulisheni niyakua popote pale mutakapo kuwepo”

“Sawa”

Tukaagana na Jojo kisha akaondoka uwanjani hapa. Tukaingia kwenye ndege na safari ya kuelekea nchini Tanzania ikaanza huku sote tukiwa tumejawa na fuaha kubwa sana. Safari hii ikatuchukua masa kadhaa na tukaifika nchini Tanzania, hatukuhitaji kukaa jijini Dar es Salaam na tukaianza safari ya kueleka kule ilipo nyumba ya baba. Jambo la kumshukuru Mungu matangazo yote ya mimi kutafutwa pamoja na Marieta yamefutwa mabarabarani na hapakuwa na askari aliye weza kunisumbua kipindi nina toka uwanja wa ndege.

Tukafika katika nyumba ya baba cha kushangaza sana nika kuta gari aina ya BMW X6 ikiwa nje ya nyumba hii na inaonyesha ni muda mchache tu gari hili limefika katika eneo hili.

“Sijui ni nani ambaye amekuja hili eneo?”

“Kwani hakuna mtu mwengine anaye lifahamu?”

“Ni sisi wana familia tu ndio tuna lifahamu. Tuwe makini”

Nilizungumza huku tukitembea kwa tahadhari kuelekea ndani, nikafungua mlango taratibu.

“Karibuni sana”

Sauti ya kike ikatustua sana. Nikatazama eneo la sableni na macho yangu yakakutana na msichana mmoja ambaye kumbukumbu zangu zilirudi hadi siku ambayo nilikuwa nina kimbizwa na polisi na dada huyu alinisaidia nilipo kuwa katika kituo cha daladala na akanipeleka katika kapuni yake inayo husiaa na maswala ya silaha na akanikabidhi kazi moja ambayo mwishowe sikuweza kuimaliza.

“Za muda mrefu Randy”

“Salama umefwata nini hapa?”

“Hapa ni kwetu, nina imani kwamba baba atakuwa amekelezea juu yangu mimi.”

“Kumbe wewe ni mtoto wa Livna?”

“Yaa hujakosea. Dada yangu ni Jojo, wewe ni kaka yangu na mimi ni last born wenu”

Nikatazamana na dada huyu kwa sekunde kadhaa kisha akanikimbilia na kunikumbatia kwa furaha sana.

“I miss you bro”

“I miss you too”

Nilizungumza kwa hisia kali sana huku furaha kiwa imetawala katikati yetu.

“Nilikuwa nina jiuliza ni wapi nina weza mdogo wangu, ila Mungu ni mkubwa kwa kweli”

“Yaa hata mimi, nashukuru sana kwa kukupata kaka. Nimeweza kuona habari ya baba na mama akanielekeza niweze kufika hapa”

“Mama yupo wapi?”

“Yupo mbali sana. Ila ameniambia kwamba hapa ndio kwetu. Na nina furaha kupajua kwetu”

“Mdogo wangu huyu ni Farida ni wifi yako”

“Waoo karibu sana wifi kwenye familia yetu.”

“Nashukuru sana.”

“Umeibua mtoto wa kiarabu hadi raha”

“Hahaa acha utani.”

“Kweli vile”

Siku hii ikawa ni siku ya furaha kwetu. Siku iliyo fwata mdogo wangu akaondoka huku akihiadi tukirudi Dar es Salaam tusisite kwenda nyumbani kwake. Baada ya yeye kuondoka ikawa ni wakati mzuri kwa mimi kutafuta urithi wangu ambao baba alinikabidhi funguo yake. Tukashuka katika chumba cha siri kilichopo ardhini, mimi na Farida. Nikafungua chumba hichi na tukawasha taa kwani kuna giza kubwa sana. Macho yakatutoka kwani chumba hichi chote kimejaa vipande vya dhahabu vilivyo pangiliwa vizuri sana.

“This is my legacy.”

Niliuzungumza huku machozi yakinilenga lenga. Nikachukua kipande kimoja cha dhahabu na kukitazama vizuri, hakika kina uzito ambao unaweza ukaniingizia pesa nyingi sana. Nikakumbuka kipindi nilipo zulumiwa vipande vyangu vya dhabu na msichana ambaye nilitoka naye nchini Pakistani.

“Hongera sana mume wangu”

“Nashukuru mke wangu”

Tukaka nyumbani hapa kwa siku mbili, kisha tukachukua baadhi ya vipande vya dhahabu na kuelekea navyo jijini Dar es Salaam na tukaaviuza na tukafanikiwa kupata kiasi cha dola za kimarekani milioni kumi na mbili. Tukajadiliana sana na Farida juu ya eneo ambalo tunahitaji kwenda kuishi na mwisho wa siku tukakubaliana kuishi nchini hapa hapa Tanzania, kwani ndio nchi ambayo ndio chimbuko langu la asili. Tukanunua majumba mawili ya kifahari maneno ya mbezi beach pamoja na Masaki. Nikakutana na bi Jane pamoja na Professa na wakanishauri niweze kuwekeza katika biashara ya hoteli na kwa kupitia msaada wa Bi Jane nika nunua hoteli moja kubwa sana jijini Arusha. Maisha yangu ndani muda mchache yakabadilika na nikawa mfanya biashara mkubwa sana.

Siku ya hukumu ya Dany ikawadia, na dunia nzima macho na masiko yao wameyaelekezea kwenye mahakama hiyo ambapo, kama vile tulivyo tarajia kuwa ndivyo ilivyo kuwa. Dany aka hukumia kunyongwa tena hadharani ili dunia nzima iweze kushuhudia kifo chake. Baada ya siku mbili majira ya saa sita usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Dany akanyongwa hadharani hadi kufa jambo ambalo kwa upande wa sisi tunaye mfahamu ni majonzi mengi na maumivu makubwa kwa kweli.

“Pole”

Professa alininiambia huku akinipiga piga begani mwangu, kwani tukio hili tulijumuika, sisi sote wanne kulitazama hapa nyumbani kwa Professa.

“Nashukuru”

“Pole Randy”

“Nashukuru bi Jane”

“Pole Mume wangu”

“Nashukuru. Nahitaji kuuchukua mwili wa baba yangu na kuuzika”

“Sawa, nitafanya taratibu za kuuomba mwili wake”

Professa akaanza kufanya taratibu hizo za kuomba mwili wa Dany na jambo la kumshukuru Mungu akakabidhiwa na mwili huo ukaletwa ukasafirishwa na kuletwa nchini Tanzania. Tofauti na nilivyo fikiria kwamba msiba huu utakuwa ni wa kifamilia pekee, ila nikashangaa kuona wananchi wengi sana wakiwa wamejitokeza katika kuupokea mwili wa Dany. Wengi walijawa na huzuni pamoja na maumivu makali sana. Wengi wao walishindwa kujizuia na kujikuta wakipoteza fahamu. Serikali ikaandaa mazishi ya Dany na wananchi wakajitokeza uwanja wa mpira wa taifa kuuga mwili wake na baada ya hapo tukausafirisha mwili wake hadi nyumbani kwake ambapo ni maeneo ya Lushoto na wana famili tu ndio tulio husika katika mazishi hayo.

“Amekufa na jina lake litadumu milele”

Yemi alizungumza mara baada ya mwili wa Dany kuzikwa

“Ni kweli alipambana kadri ya uwezo wake”

Livna alizungumza huku akijifuta machozi usoni mwake. Tukaka nyumbani hapa familia nzima kwa wiki moja, kisha kila mmoja akarudi kwenye makazi yake na pakakuwa na mtu aliye weza fahamu kwamba chini ya nyumba hii kuna dhahabu zaidi yangu mimi na Farida.

Baada ya mwaka mmoja biashara zetu zikazidi kutanuka kila kona ya Afrika. Jina langu likazidi kukua kama mfanya biashara mkubwa. Nikazidi kujijyengee umaarufu na marafiki wapya. Faraha yangu ikazidi kuongezeka mara baada ya daktari kutufahamisha kwamba Farida ana mimba ya mtoto wa kiume. Hakika nilizidi kujiona ni mtu mwenye bahati sana. Baada ya miezi tisa Farida akajifungua mtoto wa kwanza aliye jaliwa afya njema pamoja kilo za kutosha.

Mtoto wetu alipo timiza mwaka mmoja, nikatangaza ndoa kwa watu wangu wa karibu. Watu wengi wakajitokeza kuchagia harusi yetu na baada ya miezi minne mbeleni nikafunga ndoa na Farida huku familia yangu pamoja na wanaye wakiwa ni miongoni mwa watu walio hudhuria harusi yetu. Kabla ya kuanza kwa sheree, watu wote ukumbini wakasimama kwa dakika moja ya ukimya ya kumuombea Dany na baada ya hapo sherehe ikaendelea kama kawaida huku Jojo naye akiwa amepata mwanaume ambaye tayari amesha mpatia ujauzito ambao kwa sasa ni wa miezi miwili.


MWISHOOOO


0 comments:

Post a Comment

BLOG