Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

SIN SEASON 1 SEHEMU YA 3/10

  


SIN SEASON 1

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 3 KATI YA 10


Magreth akandoka katika wodi hizo na kuelekea katika chumba cha alicho lazwa Evans. Akamkuta Evans akiwa ametundikiwa dripu la maji.

“Una endeleaje?”

“Namshukuru Mungu ana nisaidia”

“Madaktari wamesemaje?”

“Ahaa hawana jipya. Ila nina imani nita endelea salama”

“Ila ngoja kwanza nizungumze na madaktari”

“Uzungumze nao kuhusiana na nini?”

“Ikiwezekana nikuhamishe hospitali na nikupeleke katika hospitali ambayo una weza kupata huduma nzuri zaidi”

“Sawa”

Magreth akatoka chumbani humo na kuingia katika chumba cha daktari aliye muhudumia Evans toka siku ya kwanza amemleta katika hospitali hiyo.

“Dokta nimekuja ili niweze kufahamu maendeleo ya mgonjwa wangu”

“Mgonjwa wako ana endelea vizuri. Kwasasa tuna imani kwa asilimia mia moja kidonda chake kitakwenda kukaa sawa”

“Labda ndani ya muda gani kidonda chake kitakuwa kimepona?”

“Mmmm ndani ya wifi moja ata kuwa yupo tayari”

“Ahaa….sawa kwa maana nilikuwa nina panga kama ikiwezekana tumuhamishe hospitali”

“Hakuan haja ya kufanya hivyo. Hapa atapatiwa matibabu mazuri sana”

“Sawa nashukuru kwa ushirikiano wako daktari”

“Karibu sana. Ahaaa naweza kukuuliza kitu binti?”

“Uliza tu”

“Naweza kupata namba yako ya simu, endapo kuta kuwa na lolote kuhusiana na mgonjwa, niweze kukujulisha?”

Magreth akamtazama daktari huyo kisha akatabasamu.

“Una weza kunipatia namba yako”

“Sawa waweza andika”

Daktari akataja namba yake na Magreth akainakili kwenye simu yake kisha akatoka ofisini hapo. Siku nzima akaitumia kukaa hospitalini hapo na Evans na wakapata muda wa kujadili mambo mengi sana kuhusiana na maisha yao ya baadae. Jioni ilipo wadia Magreth akarudi nyumbani kwake huku akiwa na wazo kubwa biashara alilo shauriwa na Evans.

***

Ndani ya masaa machache, Tomas akafika nchini Afrika Kusini. Hati yake ya kusafiria ilipo pigwa muhuri wa kuiruhusiwa kuingia nchini Afrika kusini, akakabidhiwa na muhudumu huyo wa uwanja wa ndege na kutoka kiwanjani hapo. Akakodisha taksi na moja kwa moja akaelekea katika nyumba ya mke wake anayo ishi na mtoto wake. Akafika nyumbani hapo na kumlipa dereva taksi kisha akasimama kwa sekunde huku akiitazama nyumba hiyo nzuri.

‘Ata nifahamu kweli?’

Tomas alizungumza huku akianza kutembea kuelekea kwenye mlango wa nyumba hiyo. Akaminya kengelea na baada ya muda mlango ukafunguliwa. Akasimama jamaa wa kizungu aliye valia pensi huku akiwa tumbo wazi.

“Nini nikusaidie”

Mwanaume huyo alimuuliza Tomas huku akimkazia macho. Tomas akamuona mke wake akifika mlangoni hapo huku akiwa amevalia nguo nyepesi.

“Baby ni nani?”

Mke wa Tomas alimuuliza jamaa huyo na kuufanya moyo wa Tomas kustuka sana kwani hakutarajia kama mke wake ana weza kuolewa na mwanaume mwengine.

“Habari yako kaka?”

“Salama”

Tomas aliitikia na kumfanya mke wake kustuka sana kwani sauti ya Tomas ana ifahamu vizuri sana.

“Samahani nina hisi nitakuwa nimekosea nyumba”

Tomas alizungumza huku akianza kuondoka eneo hilo na kumuacha mke wake akiwa katika njia panda.

“Hei nisubiri”

Mke wa Tomas alishindwa kuvumilia na kujikuta akimkimbilia Tomas anaye karibi kufika barabarani. Tomas akasimama na kugeuka.

“Anita kwa nini ume nisaliti?”

“Wewe ni Tomas?”

“Ndio ni mimi, hii sura niliyo nayo ni sura ya bandia tu. Ila nimeumia sana”

“Ninaweza kukuamini vipi kwamba wewe ni Tomas”

Tomas akafungua begi lake na kutoa hati yake ya kusafiria ambayo ina picha yenye sura yake halisi na jina lake halisi. Anita akaanza kutetemeka mwili mzima huku akikosa cha kuzungumza.

“Nitahitaji kumuona mwanangu nikiwa katika sura yangu halisi. Kwaheri”

Tomas alizungumza huku akiichomoa hati yake kwenye mikono ya Anita, kisha akasimamisha taksi inayo katiza barabarani hapo, akapanda na moja kwa moja ikampeleka hadi katika hoteli aliyo mtajia dereva huyo.

***

Nabii Sanga na mke wake wakafika jijini Lagos Nigeri. Wakapokelewa na rafiki yake mkubwa bwana Okocha ambaye na yeye pia ni mchungaji mkubwa sana katika jiji la Lagos. Wakaelekea katika hekalu lake lililopo nje kidogo na jiji la Lagos.

“Karibuni sana”

“Tunashukuru sana ndugu yangu”

“Naona muna zidi kung’ara na mama ana zidi kurudi katika hali ya ujana”

“Hahaa ndio hivyo shemeji”

“Waooo jamani karibuni sana”

Mke wa nabii Okocha alizungumza huku akikumbatiana na mrs Sanga, mara baada ya kuonana nyumbani hapo.

“Asante sana mama Okocha”

“Jamani shemeji karibu sana”

“Nashukuru sana shemeji, nawe naona una zidi kuwa kijana badala ya mzee”

“Hahahahahaaa…..Hapana bwana”

Walizungumza kwa furaha, wakakaribishwa kwenye meza kwa ajili ya chakula cha usiku. Wakapata chakula cha usiku huku wakizungumza mambo mbali mbali kwani ni miaka karibia mitatu hawajawahi kuonana zaidi ya kuwasiliana.

“Ndugu yangu Okocha, niambie huduma yako ime fikia wapi?”

“Ahaa namshukuru sana chief kwa maana kwa sasa huduma yangu imefika hadi Ghana, Senegal kwa ufupi west Afrika nzima kwa sasa nime ishika hapa mkononi mwangu. Yaani imenibidi kwa sasa nijenge kanisa jengine hapa Lagos ambalo litachukua waumini zaidi ya laki tatu kwa misa moja”

“Duuu kweli mambo ni mazuri kwa upande wako”

“Tena kabla haujalala, tuende kwa chief nina imani mambo yako na wewe ni mazuri”

“Yaa nimazuri, ila bado sijafikia kiwango ulicho nacho wewe”

Nabii Sanga na nabii Okocha hawakusita kuzungumza mambo hayo mbele ya wake zao kwa maana wao pia wana fahamu kila jambo linalo endelea katika huduma hizo za waume zao. Ambazo mbele ya macho ya watu wengi wana amini kwamba wana tumia nguvu za mwenyezi Mungu, ila ukweli kwamba wana tumia nguvu za shetani kutoka kuzimu kabisa.

“Sawa tuta kwenda ndugu yangu”

Wakamaliza kupata chakula cha usiku, nabii Sanga na nabii Okocha wakaondoka eneo hilo la nyumbani na kuwaacha wake zao.

“Nimekumiss Lulu”

Mrs Sanga alimuambia mke wa nabii Okocha huku wakitazamana kwa macho ya mahaba.

“Hata mimi, twende ndani”

Mrs Okocha akamshika mkono, mrs Sanga na wakaondoka eneo la sebleni na kuingia katika chumba ambacho Mrs Sanga atalala na mume wake. Wakakumbatiana taratibu kisha wakaanza kunyonyana lipsi zao huku wakiwa kwatika hisia kali za kimapenzi. Ndani ya muda mchache wakabaki kama walivyo zaliwa na wakapanda kitandani huku Mrs Sanga akiipanua miguu ya mwana mama huyo na kuanza kunyonya kiumbua chake taratibu.

“Aiisiii..oo….hooooo”

Mrs Okocha alilalama kimahaba huku ekiendelea kufurahi jinsi mrs Sanga anavyo nyonya kitumbua chake kwa utaalamu. Mrs Okocha alipo ridhika, ikawa ni zamu ya mrs Sanga kunyonywa kitumbua chake. Mrs Okocha, akaipitisha miguu yake katikati ya miguu ya mrs Sanga na vitumbua vyao vikakutana kwa pamoja na wakaanza kusuguana huku kila mmoja akionekana kurufahia penzi hilo ambalo waume zao na watu wengine hawalitambui kabisa.

***

Nabii Sanga na nabii Okocha wakafika katika moja ya pango kubwa lililopo msituni. Wakaingia katika pango hilo lonalo tisha kwa giza nene. Ujasiri walio nao toka siku ya kwanza walipo jiunga na kundi hilo linalo muambudu shetani, hawakuweza giza hilo. Wakafika katika eneo lenye mwanga hafifu wa taa zilizo wekwa katika kuta za pango hilo. Wakapiga makofi mawili kwa pamoja, na mwanga wa taa hizo zikaongezeka. Wakavua nguo zao zote na wakabaki kama walivyo zaliwa kisha wakaanza kutembea kuelekea ndani kabisa ya pango hilo, ambalo njiani lina mafuvu mengi ya binadamu walio kufa.

Wakafika katika ukumbi mkubwa na kukuta watu wawili ambao waliwakabidhi majoho mawaili mekundu. Kabla ya kuyavaa majoho hayo wakaingia katika bwawa kubwa lenye maji ya moto yanayo chemka kisawa sawa. Maumivu ya maji hayo ya moto wanayo yapata kwenye miili yao, wakaendelea kuyavumilia kwa maana ndio dawa inayo safisha miili yao kabla ya kueleka kwa chief wao anaye wapatia nguvu hizo. Baada ya nusu saa wakatoka katika bwawa hilo na kuvaa majoho yao. Wakaanza kuwafwata watu wawili walio valia majoho meupe. Wakaingia katika moja ya chumba kilicho zungukwa na mishumaa mingi na mikubwa inayo waka. Wakapiga magoti chini na kusujudu mara saba kisha wakanyanyua nyuso zao na kumtazama mwana dada mrembo mwenye ziwa moja kubwa kifuani mwake na yeye ndio mkuu wao.

“Sanga habari za muda mrefu?”

“Salam asana mkuu”

“Sogea hapa”

Nabii Sanga akanyanyuka na kosogea sehemu aliyo kaa mkuu wake huyo ambaye ni wakala namba moja wa shetani kutoka kuzimu. Mwana dada huyo akasimama na kuanza kumzunguka nabii Sanga, akamvua joho lake na akabaki kama alivyo zaliwa. Akaanza kuyatomasa tomasa makalio ya nabii Sanga huku akimtazama.

“Ume kiuka masharti yako kwa nini?”

“Masharti gani mkuu?”

“Una paswa kumfir** kijana wa miaka chini ya kumi na nane na si mke wako wala mwanamke wa aina yoyote na wala si mwanaume wa miaka zaidi ya miaka kumi na nane. Kwakufanya hivyo itakupasa na wewe leo ufirw**”

Kauli hiyo ya mkuu wake ikamfanya nabii Sanga mapigo yake ya moyo kuanza kumuenda kasi sana kwani toka kuzaliwa kwake hajawahi kutana na tukio hilo japo yeye alisha wahi kumfanyia Tomas, mtu aliye muibia mke wake.



Nabii Sanga akaanza kutetemeka, huku woga ukiwa umemtawala mwili mzima.

“Mkuu na.a…..aomba kubadilishiwa adhabu”

Mwana dada huyo akamtazama nabii Sanga kwa macho makali. Akamsogelea karibu kabisa na uso wake, akautoa ulimi ake mrufu ambao katikati una tobo. Akaanza kumlamba lamba nabii Sanga puani mwake.

“Kalete kichwa cha mtoto mchanga wa siku moja hadi wiki na kichwa hicho kitokee nchini Tanzania. Hakikisha una mkata kichwa mtoto huyo wewe mwenyewe na una leta kichwa hapa umenielewa”

“Nimekuelewa mkuu”

“Nakupa siku nne kichwa hicho kiwepo hapa. Ondoka”

Nabii Sanga akasimama na kuanza kutembea kuelekea nje huku akiwa amejawa na mawazo mengi sana. Ila kwa upande mwengine ame epuka katika adhabu ambayo ita mdhalilisha utu wake.

“Una weza kwenda na wewe”

Nabii Okocha akasimama na kutoka ndani wakafika eneo la kubadilisha nguo zao. Wakavaa kikatoka ndani ya pango hilo, wakaingia kwenye gari walilo jia na kuondoka.

“Una weza kufanikisha ulilo ambiwa?”

“Hapa ndio nina fikiria, ina bidi kumuacha mke wangu na nirudi Tanzania ikiwezekana usiku huu huu niweze kupata ndege”

“Sawa hati za kusafiria si zipo nyumbani?”

“Ndio”

“Basi tuwahi”

Nabii Okocha alizungumza huku akiongeza mwendo kasi wa gari hilo ili wawahi nyumbani.

Mrs Sanga na mrs Okocha wakajikuta wakifika kileleni kwa pamoja huku kila mmoja akionekana kuridhishwa na kusagana kwao.

“Nilikuwa nina hamu sana na wewe mpenzi wangu”

Mrs Sanga alizungumza hukua kishika shika maziwa ya mrs Okocha.

“Hata mimi. Hembu tuoge, hawa wanaume wasije wakatukuta hivi”

Wakaingia bafuni na kuoga, kisha kila mmoja akavaa nguo zake. Hazikuisha hata dakika tano nabii Sanga na nabii Okocha wakafika nyumbani hapo.

“Mbona muna onekana muna haraka”

Mrs Okocha aliwauliza mara baada ya kuwaona wakiingia sebleni hapo.

“Ina bidi nabii Sanga arudi nchini Tanzania usiku huu”

“Kuna tatizo gani mume wangu?”

Mrs Sanga alimuuliza mume wake anaye pandisha ngazi za gorofani, nabii Sanga hakumjibu chochote mrs Sanga hadia akingia ndani.

“Nimepewa adhabu na chief”

“Adhabu gani mume wangu”

“Sikupaswa kumfir** Tomas na hapa nilipewa adhabu, ya kuingiliwa mimi au nilete kichwa cha mtoto mchanga ambaye ana siku moja hadi wiki”

“Ohoo Mungu wangu. Sasa hapo umechagua ya kuua mtoto mchanga?”

“Ndio au ulitaka na mimi nipinduliwe marinda?”

Mrs Sanga akaka kimya huku akimuona mume wake, akisoma maelezo ya hati yake ya kusafiria.

“Uta baki hapa, mimi nita rudi kesho kutwa ka maana hii kazi nina takiwa kuifanya ndani ya siku nne. Yaani yule fala wako ame nigarimu sana”

“Mmmmmm!!”

”Nina elekea airport nitajaribu kuangalia kama nina weza kupata ndege ya kuelekea Tanzania leo”

“Sawa mume wangu, mimi nitamtafuta yule rafiki yangu na nimueleze kuhusiana na ile kazi ya kuuza watu”

“Fanya hivyo si una jua tuna takiwa kuwa matajiri?”

“Ndio nina tambua mume wangu”

“Kuwa makini na si una naza kutamani tamani vijana wa watu hapa. Nitakuua”

“Siwezi kufanya hivyo mume wnagu. Nimesha badilika”

“Haya”

Nabii Sanga na mke wake wakatoka chumbani humo. Wakaagana kisha nabii Okocha na nabii Sanga awakainggia kwenye gari na kuianza safari ya kuelekea uwanja wa ndege. Wakafika uwanja wa ndege na kwa bahati nzuri nabii Sanga akapata ndege inayo ondoka nchini Nigeria kuelekea nchini Kenya majira ya saa nane usiku. Akakata tiketi ya siti ya mwisho kabisa ambayo ilikuwa ime salia kwenye ndege hiyo.

“Ndugu yangu tafadhali nina kuomba uweze kumuangalia mke wangu”

“Usijali kaka. Nitakuwa makini katika hilo nitahakikisha jinsi ulivyo kuja naye ndivyo jinsi ulivyo mkuta”

“Sawa”

Nabii Sanga na nabii Okocha wakakumbatiana, kisha nabii Okocha akaondoka na kumuacha nabii Sanga uwanjani hapo ili aweze kusubiria muda wa ndege hiyo kuondoka. Muda ulipo wadia, nabii Sanga akapanga foleni ya kugaguliwa, akagongewa muhuri na kuelekea katika mlango wa ndege. Baada ya abiri wote kukamilika ndani ya ndee hiyo, taratibu ikaanza kuacha ardhi na kupaa angani huku akilini mwake nabii Sanga akifikiria mtoto mchanga huyo ana weza kumpata wapi.

***

Nabii Okocha akafika nyumbani kwake huku akiwa na furaha moyoni mwake. Unzuri wa mrs Sanga siku zote umekuwa ukimvutia na huwa ana tamani hata kumshika japo kiuno. Kwamechi waliyo piga na mrs Sanga, Mrs Okocha akajikuta akichoka sana na akawaaga mrs Sanga na mume wake walioko sebleni hapo wakizungumza mambo mengi kuhusiana na maisha, kwamba ana elekea kulala.

“Leo mbona mapema mke wangu”

“Nimechoka tu mke wangu. Kaa kaa na mgeni mimi ngoja nijipumzishe”

“Sawa”

Mrs Okocha mara baada ya kuondoka hapo nabii Okocha akamtazama mrs Sanga aliye weke nne. Miguu yake minene kidogo ya myeupe hakika ina mpagawisha.

“Shemeji una taka kuniambia hadi sasa huna hata mtoto?”

“Yaaa wee acha tu. Ilitulazimu kukubali sharti la kuto kuzaa, ili maisha yetu yazidi kusonga mbele na kufanikiwa zaidi.”

“Ahaaa sawa sawa. Ila sharti hiko nalo gumu?”

“Ndio, ila nina mshukuru Mungu nime mpata mwanamke ambaye amekubaliana na hilo. Japo ana kupamba na changamoto kubwa za maneno ila ana zidi kunielewa.”

“Ni kweli, una jua kila nyuma ya maendeleo ya mwanaume basi nyuma yake yupo mwanamke ambaye ni muelewa wa hali halisi ya mume wake”

“Ni kweli shemeji”

“Yaani nina kumbuka mimi na Sanga tulipo toka. Kwenye kajichumba kamoja huwezi amini sasa hivi tuna kila kitu tulicho kuwa tuna kitamani hapo nyuma”

“Mungu awabariki sana. Shemeji nina kuja”

“Ahaa sawa”

Nabii Okocha akapandisha gorofani na kuingia chumbani kwake. Akamkuta mke wake akiwa ana koroma.

“Hei mama vipi?”

“Mmmm nime choka mume wangu”

“Ume choshwa na nini?”

“Nimechoka tu, najihisi uchomu mwingi sana mwili ni mwangu”

“Pole mke wangu. Haya pumzika”

Nabii Okocha akanyanyuka kitandani na kuingia bafuni, akaoga kisha akarudi, akavaa nguo maalumu za kulalia na kurudi sebleni huku akiwa ameshika chupa ya pombe kali pamoja na glasi mbili. Akashangaa mara baada ya kumkuta mrs Sanga akiwa hayupo sebleni hapo.

‘Ameenda wapi huyu mwanamke?’

Nabii Okocha alijiuliza, akapata wazo la kueleka chumbani kwa mrs Sanga, akajaribu kuufungua mlango na kukuta ukiwa ume fungwa. Akagonga taratibu na baada ya muda kidogo ukafunguliwa.

“Ohoo samahani kwa kukusumbua shemeji?”

Nabii Okocha alizungumza huku akimtazama mrs Sanga aliye vaa gauni jepesi la kulalia ambalo lina onyesha maungo yake ya ndani, ambayo ameyasitizi kwa chupi na sidiria.

“Bila samahani shem”

“Anaa je tuna weza kupata kinywaji kidogo?”

Mrs Sanga akatazama chupa ya pombe hiyo.

“Hapana shem naomba nipumzike”

“Ahaa….sawa usiku mwema”

“Nawe pia shem”

Mrs Sanga akafunga mlango na kupanda kitandani, huku nabii Okocha akishindwa kujua afanye nini kwa maana alilo likusudia kulifanya limepita kushoto.

***

Majira ya saa moja asubuhi, nabii Sanga akafika nchini Kenya, hakuona haja ya kuendelea kukaa nchini humo, akakta tiketi na kupanda ndege ambayo ndani ya muda mchache akafika jijini Dar es Salaam nchini Tanzania. Moja kw amoja akaeleka hadi ilipo hoteli yake ya kitalii maeneo ya posta. Akaingia kwenye chumba chake ambacho siku zote yeye na mke wake wakichoka kulala nyumbani hulala katika chumba hicho. Saa yake ya mkooni ina muonyesha ni saa nne asubuhi. Akilini mwake, ana waza ni wapi ambapo ana weza kumpata mwanamke aliye jifungua. Akili yake moja kwa moja ikatua katika hospitali ya Muhimbili.

“Pale siwezi kukosa kichwa cha mtoto”

Nabii Sanga aliwaza huku akiwa amejilaza chali kitandani. Akajaribu kumfikiria ni daktari gani mwenye ukaribu naye ambaye ana weza kumpa kazi hiyo. Ila akakumbuka kwamba kazi hiyo ana paswa kufanya yeye mwenyewe.

‘Ina bidi niende kufanya upelelezi wangu’

Nabii Sanga alizidi kujishauri. Akanyanyuka chumbani hapo na kutoka, akaomba gari la hoteli na moja kwa moja akaelekea hospitali ya Muhimbili.

“Nabii Sanga karibu sana”

Daktari wa mifupa aliye kutana naye kwenye maegesho ya magari alimsalimia huku wakipeana mikono.

“Nashukuru sana dokta”

“Vipi kuna mgonjwa umekuja kumuona au una umwa?”

“Hapana, nime kuja kuwaombea wakina mama waja wazito pamoja na wale walio jifungua. Roho wa bwana amenigusa na kujikuta nikifika hapa”

“Hoo hilo ni jambo kubwa sana nabii Sanga. Tunaweza kuongozana na nikakukabidhi kwa daktari wa kitengo hicho”

“Sawa, una itwa dokta nani?”

“Nina itwa dokta Wilbert Msangi”

“Nashukuru kukufahamu dokta Msangi.”

Wakafika katika ofisi ya dokta anaye shuhulika na kitengo cha wazazi. Hapakuwa na haja ya kumtambulisha nabii Sanga kwa mwana mama huyo kwa maana ana mfahamu vizuri nabii Sanga hii yote ni kutokana na vipindi vyake vinavyo rushwa kwenye televishion na mitandao ya kijamii.

“Mimi naitwa dokta Mbwambo”

“Nashukuru kwa kukufahamu”

Nabii Sanga akamueleza mwana mama kama alivyo mueleza dokta Wilbert Msangi. Dokta Mbwambo hakuwa na haja ya kukataa wito wa mtumishi huyo wa Mungu ambaye ni maarufu. Wakaanza kutembelea wodi za wamama wajawazito, na nabii Sanga akaanza kuwaombea, nguvu alizo nazo ziliweza kuwafukuza majini yaliyo kuwa ndani ya baadhi ya wana mama wajawazito. Kuna baadhi ya wanawake, walipanga kufanyiwa upasuaji kutokana na kuchelewa kujifungua, ila kwa maombi ya nabii Sanga, ikawapa kazi za ziada madaktari, kwani wana mama zaidi ya kumi walijikuta wakishikwa na uchungu wa haraka na kujifungua.

‘Siwezi kukosa kichanga kimoja kati ya hivi vilivyo zaliwa?’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku wakihamia kaika wodi nyingine ya wana mama ambao tayari wamesha kifungua. Akaendelea na huduma yake ya maombi huku akiendelea kusoma mazingira ya wodi hizo.

“Hivi dokta mara baada ya watoto hawa kuzaliwa. Wana hifadhiwa wapi?”

“Kuna chumba chao maalumu ambacho tuna wana wahifadhi wale watoto ambao mama zao wameweza kufariki au kupoteza fahamu baada ya kujifungua. Pia wale watoto walio zaliwa chini ya miezi saba, basi nao pia tuna waweka ndani ya chumba hicho.

“Nina weza kuelekea katika chumba hicho?”

“Ndio hakuna tabu mtumishi”

Wakaelekea katika chumba hicho, wakaingia ndani. Nabii Sanga akashangaa kuona vitanda vidogo vidogo vyenye watoto wengi sana.

“Karibia watoto wote wame zaliwa siku mbili hizi”

“Asiee ni malaika wazuri sana”

“Ni kweli ila huwa tuna kutana na vimbwanga vingi sana kwenye maeneo haya”

“Vimbwaga gani dokta?”

“Wachawi wana wasumbua sana hawa viumbe vya Mungu. Kuna kipindi ina fika saa sita usiku kueelekea saa nane, basi humu ndani kuna kuwa ni shida. Watoto wan alia kisawa sawa na muda mwengine wana poteza maisha”

“Aissee shetani hana adabu kabisa”

“Ni kweli nabii, kama ulivyo ona wamama wanavyo tokwa na mapepo, nahisi hata humu kuna mapepo huwa yana ingia”

“Ume sema kwamba ni muda gani hawa vichanga huwa wana pata shida ya kulia”

“Mida ya saa sita usiku hivi”

“Basi sasa nita ondoka na leo usiku kama hamuto jali nita fika eneo hili na nita omba niweze kufanya maombi kwa ajili ya hawa watoto”

Nabii Sanga alizungumza huku moyoni mwake lengo la kuzungumza hivyo ni kuhakikisha kwamba ana itumia nafasi hiyo kuiba kichanga ili akikate kichwa kwa ajili ya kulipa adhabu aliyo pewa na mkuu wake.



“Hakuna shaka nabii, yaani nita shukuru sana”

“Usijali dokta”

Nabii Sanga na dokta Mbwambo wakatoka ndani humo. Wakarudi ofisini na daktari uyo akaanza kumuelezea nabii Sanga matatizo ya vijana wake wawili walipo chuo kikuu.

“Ina maana wote ni walevi?”

“Sana nabii, yaani nimeongea hadi nimechoka na mbaya baba yao amesha fariki dunia”

“Aisee pole sana. Sasa jioni ya leo ikiwezekani nije kwako niweze kufanya mauombi na hao vijana wako”

“Sijiui kama wana weza kufika nyumbani. Kwani haiwezekani uka waombe huko huko walipo kwa maana ni juzi tu nimetoka kutibuana nao”

“Wanaitwa nani?”

“Jackson na Jonson ni mapacha”

“Sawa tuombe”

Nabii Sanga akaanza kuomba huku akiwa ameshikana mikono na dokta Mbwambo. Maombi hayo yakachukua nusu saa na kumalizika.

“Mungu ata kwenda kufanya jambo juu yao”

“Amen”

Simu ya dokta Mbwambo ikaanza kuita, akaitazama na kukuta ni namba ya kijana wake Jackson.

“Jackson ana piga simu”

“Mpokelee”

Dokta Mbwambo akaipokea simu hiyo na kuiweka sikion mwake. Kijana wake akaanza kulia huku akiomuomba mama yake msamha akiahidi kwamba hato kiuka maonyo yake. Dokta Mbwambo mara baada ya kuzungumza na kijana wake huyo akajikuta akipiga magoti na kumshukuru Mungu kwani vijana wake hao aliwaonya sana hadi akachoka.

“Nabii maombi yako yamezaa matunda. Nina shukuru sana”

“Usijali, acha mimi niondoke nikajiandae nitarudi usiku”

“Sawa”

Dokta Mbwambo akamsindikiza nabii Sanga hadi kwenye maegesho ya magari. Nabii Sanga akaingia kwenye gari lake na kurudi hotelini kwake. Akajifungia chumbani huku akilala kitandani, akisubiria muda wa yeye kwenda kuufuanya unyama alio agizwa na mkuu wake utimie.

***

Asubuhi na mapema, Magreth akaelekea katika ofisi za dalali aliye mtafutia nyumba. Akampa kazi ya kutafuta jengo ambalo ana weza kufungua mgahawa mkubwa. Haikuwa kazi ngumu kwa dalali huyo, akafanikiwa kupata ofisi maeneo ya Mikocheni. Siku hiyo hiyo wakatembelea katika eneo hilo na Magreth akakubaliana na mmiliki kulipa kodi ya dola mia tano kwa mwenzi. Magreth akaelekea benki na mmiliki wa fremu hizo, akamkabidhi kiasi cha pesa cha mwaka mzima.

“Nashukuru sana binti”

Mwana mama huyo alizungumza.

“Usijali sana mama. Sasa pale nita hitaji nipafanyie marekebisho na nipaweke kwa namna ile ambayo nina ihitaji mimi”

“Usijali, tena nina mafundi wangu walio nijengea jengo lile. Nina weza kukupatia namba zao ukawasiliana nao”

“Itapendeza sana mama yangu”

Mwana mama huyo akawasiliana na mafundi wake. Akakubaliana nao wakutane naye kwenye jengo lake hilo.

“Inabidi turudi tena Kinondoni”

“Sawa mama”

Wakarudi Kinondoni na kuwakuta mafundi hao wakiwa wamesha fika. Magreth akaanza kuwalekeza jinsi ambavyo anahitaji mgahawa wake uonekane. Wakakubaliana bei ya mafundi hao akawalipa na wakahidi kazi itaanza siku inayo fwata.

Magreth hakuitaji siku hiyo kuitumia kwa kupoteza muda, akaanza kupita kwenye maduka yanayo uza vitu vya kupikia. Akanunua vifaa vyote vya kupikia ikiwemo na viti vizuri kwa ajili ya mgahawa wake. Kwenye kila duka alilo nunua vifaa aliondoka na risiti huku akiomba kuvichukua vitu hivyo alivyo vilipia siku mbili mbele akiamini kwamba mgahawa wake uta kuwa umesha kwisha.

‘Hapa nimebakisha wafanyakazi wanne’

Magreth alizungumza huku akitazama risiti za biadhaa alizo zinunua ambazo kwa zimegarimu zaidi ya milioni kumi.

‘Nitawapata kina nani ambao ni waaminifu?’

Magreth aliendelea kuwaza huku akitazama bajaji zinazo katika barabarani hapo. Akasimamisha bajaji moja na kuomba apelekwe hospitali ya Mwananyama. Akafika hospitalini hapo, mara baada ya kumlipa dereva bajaji moja kwa moja akaelekea hadi katika chumba cha Evans. Akamueleza juu ya matembezi yake ya siku nzima.

“Umefanya jambo la muhimu mke wangu. Tuombe Mungu niweze kupona haraka ili tuweze kusihirikiana”

“Usijali mume wangu. Nina muomba Mungu upone haraka. Hapa inabidi nitafute vijana wanne. Wawili wawe wa kike na wawili wawe wa kiume”

“Juu ya wafanyakazi hilo lisikuumize kichwa. Una weza kutangaza usahili na ukapata watu”

“Hiyo ina wezekana ehee?”

“Ndio ina wezekana tena ni jambo rahisi sana kwa dunia tuliyo nayo hivi sasa”

“Ngoja upone ili hiyo kazi tuanze kuifanya kwa pamoja. Kipindi hichi, inabidi nianze kuyapitia yale madaftari yangu ya ujasiriamali nianze kupitia pitia mafundisho ya mapishi ambayo tulikuwa tunafundishwa kanisani”

“Kanisani muna fundishwa mapishi siku hizi?”

“Ndio, kuna semina za kuna mama na wasichana zilikuwa zinatolewa bure hivyo nami nilikuwa miongoni mwao”

“Ahaa…hapo sawa mke wangu”

***

Baada ya kuondoka katika hoteli aliyo kuwa amelala usiku wa kuamkia leo. Tomas akawasiliana na rafiki yake aitwaye Ngosha ambaye alisoma naye shule ya Sekondari Mkoani Iringa. Ngoja akamueleza sehemu ambayo ana patikana na wakakutana. Wakasalimiana kwa furaha sana.

“Ehee na hiyo sura vipi mbona sio wewe?”

“Ngosha alimuuliza Tomas hukua kimshangaa.

“Kaka hii sura ya bandia si una tambua majanga yaliyo nikuta Tz”

“Kweli aisee. Unajua juzi nilikuwa nina peruzi mtandaoni nikaona mwana una sakwa sasa nikawa nina jiuliza ime kuwaje kuwaje hadi una swaka namna hiyo illa nikakosa jibu la maana”

“Weee acha kaka”

“Karibu bwana hapa ni home kwangu nina ishi peke yangu”

“Aisee ume pata wapi pesa za kushusha mjumba wote huu mwana?”

“Kaka haya maisha ndugu. Ehee sasa hiyo sura yako uta vua au uta itumia?”

“Yaani bado sijajua, ila si unajua nina sakwa bado inabidi niendelee kuitumia”

“Hivi tz kuna wataalamu wa kutengeneza sura bandia?”

“Wachache sana na wana fanya kazi zao kwa siri sana”

“Aise huyo angekuja huku south, haki ya Mungu angetajirika fast”

“Kweli?”

“Ndio, huku wapo wahuni kibao wana piga matukio makubwa makubwa na wana hitaji kubadilisha sura ila wana kosa nani wa kuwatengenezea sura hizo bandia mwana”

“Usijali mwana tutatafuta ustarabu. Ehee niambie una piga mitikasi gani?”

“Baba maisha yangu nina yaendesha kwa sembe na kuvunja mabenki”

“Weeee!!”

“Ohoo ndio life yangu hapa south. Unajua pale mwanazo nilikuwa nina tumwa kufanya hizo kazi. Ila sasa hivi nina vijana wangu maalumu. Ninacho kifanya mimi ni kuwa master plan, napokea mzigo au najua benki ina ingiza kiasi gani cha pesa kisha vijana wangu wanapiga kazi. Mavumba wananiletea mimi hapa kila mtu nina mpa chake na mimi nina baki na mavumba yangu na maisha yana songa”

“Hahaaa Ngosha hivyo unavyo zungumza na nikikumbuka upole wako shuleni haki ya Mungu una jua siamini”

“Wee acha tu kaka maisha haya yana tubadilisha”

“Ni kweli, una kumbuka kwamba nilikuwa ndio mtetezi wako. Wale waseng** kina nani wale”

“Pito na yule Rama”

“Ewalaaa. Walikuwa wana kuzingua sana bwenini, ila wakiniona wana unyata kishenzi”

“Hahaaa yani waseng** wale nina watamani kum**n**a zao. Walinitesa kishenzi. Nakumbuka ule mwezi ulio pigwa sas p. Walinitesa kishenzi”

Tomas na Ngosha walizungumza huku wakiwa wamejawa na furaha kubwa sana, kwani urafiki wao ulianza kuanzia kidato cha kwanza hadi sasa wamekuwa watu wazima.

“Ehee niambie kaka south ume kuja maisha au umekuja kusikilizia mambo yako?”

“Yaani sijajua ila nita kaa kwa muda. Nahitaji kuwa mnyama”

“Tomas nakujau kwa miaka mingi sana. Unyama una uweza, kikubwa nini mwanau. Leo usiku tuta timba kwenye club yangu alafu nita kutambulisha kwa wana”

“Una club”

“Ohoo mbona nina mazaga zaga mengi kaka. Mdogo mdogo uta yafahamu mwanangu”

“Upo vizuri Ngosha”

“Ndio hivyo broo.”

Ngosha akamuonyesha Tomas chumba chake cha kulala na kumuahidi kwamba ata msaidia kwenye kila jambo ambalo atahitaji kulifanya nchini hapo Afrika kusini.

***

Mrs Sanga mara baada ya kusali asubuhi hiyo akaingia bafuni na kuoga. Akavaa nguo nyingine na kutoka sebleni. Akamkuta Mrs Okocha akiandaa kifungua kinywa.

“Za asubuhi mpenzi”

Mrs Okocha alizungumza huku akiuzungusha mkono wake wa kulia kiunoni mwa mrs Sanga na kumbusu mdomoni mwake.

“Weee shemeji akituona itakuwaje?”

“Hayupo amekwenda kanisani.”

“Asubuhi yote hii?”

“Ndio, leo jumamosi ana ibada”

“Ahaa na nyumbani upo na nani mwenginine”

“Hakuna mtu, kaa unywe chai ukanipe raha”

“Mmmm na wewe ya jana huja ridhika?”

“Nitaridhikaje, si kwa utamu ule ulio nipatia kwa kweli”

“Hahaaa haya bwana”

Mrs Sanga na mrs Okocha wakaanza kupata kifungua kinywa huku kwa mara kadhaa wakilishana vitafunwa na kunyweshana chai. Hali ya hisia kati yao ikaanza kuwahishinda na kujikuta wakiaanza kunyonyana ndimi zao hapo hapo sebleni.

“Twende ndani”

Mrs Sanga alizungumza huku akisimama. Wakapandisha gorofani na kuingia chumbani kwa mrs Sanga.

“Leo nataka unipe hadi kiu yagu ikatike”

Mrs Okocha alizungumza huku akivua nguo zake taratibu.

“Kweli?”

“Ndio, yaani huyu mwanaume hanikuni vile ninavyo paswa yaani bora hata na wewe una nikuna kisawa sawa”

Mrs Okocha akamvua mrs Sanga nguo zake na akamsukumia kitandani kwa ajili ya kuanza mtanange huo wa kusagana.

Nabii Okocha akashindwa kabisa kukaa kanisani kwake kwani mawazo yake yote yapo kwa mrs Sanga. Akajaribu kumpigia simu mke wake, ili amuagize sehemu yoyote, ila simu ya mke wake haikuweza kupokelewa kabisa. Nabii Okocha akamuachia msaidizi wake aweze kuongoza ibada ya siku hiyo na akarudi nyumbani kwake.

Ukimya wa nyumbani kwake hapo hakuweza kumstua sana kwani ana tambua nyumba yake haina watu wengi. Akaingia sebleni na kukuta tv ikiwa ina wake ila mke wale wala mrs Sanga hawapo.

‘Wapo wapi hawa?’

Nabii Okocha alijiuliza huku akianza kupandisha gorofani kwake. Akaingia chumbani kwake ila hakumuona mke wake. Akaelekea chumbani kwa mrs Sanga na kujikuta moyo wake ukianza kumdunda kwa wasiwasi, kwani miguno ya kimahaba inayo toka ndani ya chumba hicho hakika sio ya kawaida. Nabii Okocha akafungua mlango wa chumba hicho taratibu na akashuhudia mke wake jinsi anavyo nyonywa kitumbu na Mrs Sanga, jambo lililo mfaya apigwe na butwaa kubwa sana.

***

Majira ya saa mbili usiku, nabii Sanga akaamka kutoka usingizini. Akaagiza chakula anacho kipenda na akaletewa kwenye chumba chake. Taratibu akaanza kula huku akitafakari ni jinsi gani anavyo weza kukata kichwa cha kichanga chochote ambacho ata fanikiwa kukipata katika hospitali ya Muhimbili.

Alipo hakikisha kwamba amemaliza kujaza kitu tumboni, akagoga na kubadilisha nguo, akachukua kofia na kuvaa.

‘Siwezi tumia gari la hotelini’

Nabii Sanga alizungumza huku akitoka kwenye liti, akitokea gorofa ya nane. Akafika mapokezi na kumuuliza muhudumu kama ana weza kupata gari binafsi la mfanyakazi yoyote hapo.

“Ndio boss una weza kutumia gari langu”

Kijana huyo akamkabidhi nabii Sanga fungu ya gari lake aina ya Toyota Alteza. Nabii Sanga akamshukuru mfanyakazi wake huyo na kuelekea hospitali ya Muhimbili. Akafika hospitalini hapo kutokana dokta Mbwambo aliacha maagizo ya kwamba nabii Sanga atarudi, walinzi wa getini hawakuweza kumzuia. Nabii Sanga akasimamisha gari kwenye magesho, akaelekea katika wodi za wakina mama. Nabii Sanga akapokelewa na nesi wa zamu ambaye naye pia aliachiwa maagizo ya ujio wa nabii Sanga. Wakaelekea katika chumba cha kuhifadhi watoto wachanga.

“Kila ikifika saa sita huwa wan alia sana. Yaani sijui hata ni kitu gani ambacho kina tokea”

Nesi huyo alizungumza hukua kimtazama nabii Sanga ambaye hakujibu kitu chochote zaidi ya kuitazama saa yake ya mkononi ambayo ina onyesha ni saa sita kasoro usiku.

“Nina omba uweze kuniacha hapa. Nahitaji kuwa peke yangu na hawa watoto”

Nesi huyo kutokana ana muamini nabii Sanga, hakuwa na wasiwasi wowote. Akaondoka na kumuacha nabii Sanga peke yake pasipo kujua kwamba usiku huo, utakuwa ni usiku wa maumivu kwa mmoja wa watoto wachanga waliomo kwenye chumba hicho.



Nabii Sanga akakaa ndani ya chumba hicho, hadi ilipo timu saa sita kweli, akaanza kuona kundi kubwa la wachawi wakiingia ndani humo na kuanza kuwatishia tishia watoto hao. Kutokana nabii Sanga naye ana nguvu kubwa za kimiujiza kuliko hata hao wachawi wenyewe, akamkamata mchawi mmoja na kuanza kumuadhibu kwa kumtandika vibao na kusababisha wengine kukimbia. Kwa mtu mwenye macho ya kawaida, hata akiingia chumbani humo kwa bahati mbaya hato weza kumuona mchawi hiyo anaye adhibiwa na nabii Sanga.

“Kwa nini muna sumbua viumbe vya Mungu?”

“Nisamehe mzee”

“Umetokea wapi wewe?”

“Sumbawanga mzee”

“Una jukumu moja la kuweza kunifanyia la sivyo nitakuua na nitakurudisha katika hali ya kibinadamu na utaona jinsi raisi watakavyo kushambulia kwa mame”

“Nisamehee mkuu nisamehe”

Kijana huyo amabye amevalia kaniki ya nyeusi na kujifunga iriza kubwa shingoni mwake, alilia mithili ya mtoto mdogo.

“Una weza kutoka na huyu mtoto hapa”

Nabii Sanga alizungumza huku akimuonyesha mchawi huyo mtoto huyo.

“Hapana mkuu sina nguvu ya kumbeba. Mkuu wangu ndio mwenye nguvu zote hizo”

Nabii Sanga akafumba macho kwa hasira akamtandika kofi jengine zito na kijana huyo akaanguka chini.

“Potea ndani humu”

Mchawi huyo akapotea kwa haraka ndani ya chumba hicho. Akaungana na wezake ambao wana kiona chumba hicho kimezungukwa na moto mkali sana na wakaondoka kwa kasi sana eneo hilo. Nabii Sanga akafanya maombi ya kuzungushia nguvu kubwa zaidi ya kishetani ambayo mchawi wala jini hato weza kuingia kwani yeye nguvu zake amewapita wote hao. Kitu ambacho kina mshinda nabii Sanga ni kujipoteza katika mazingira ya kawaida, ila wachawi na viumbe wengine wote huwaona kama kawaida. Nabii Sanga akamtazama mmoja wa watoto wenye afya iliyo nona. Akatazama kiji karatasi kilicho andikwa jina la mzazi wake pamoja na tarehe aliyo zaliwa. Mtoto huyo amezaliwa siku hiyo hivyo ana weza kuwa chakula kizuri sana kwa mkuu wake. Vitoto vyote ndani ya chumba hicho vime tulia tuli, na wala mitisho ya wachawi ambayo walikuwa wakikumbana nayo kila siku usiku yote ime futika. Taratibu nabii Sanga akamnyanyua mtoto huyo akamtazama kwa sekunde kadhaa, hakika ni mtoto mzuri sana wa kike.

‘Inabidi nifanye hakuna huruma hapa’

Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kutazama tabasamu pana analo pewa na mtoto huyo. Akamfunika vizuri na babyshow hiyo kisha akagungua mlango wa chumba hicho na kuchungulia kwenye kordo na kuona hakuna mtu wa aina yoyote. Akachunguza vizuri kwenye hiyo kordo na kuona kamera mbili za ulinzi zikiwa zimefungwa kwenye hiyo kordo.

‘Ohoo Mungu nitatokaje humu’

Nabii Sanga alizungumza huku akirudi ndani ya chumba hicho huku akitafakari ni kitu gani ambacho ana weza kukifanya juu ya kutoka na mtoto huyo. Akamrudisha mtoto huyo kwenye kiji kitanda chake.

“Nitatoka naye vipi jamani”

Nabii Sanga alizidi kulalama huku akitazama mlango wa kutokea ndani humo.

***

“Hei”

Nabii Okocha alizungumza kwa kufoka na kuwafanya mrs Sanga na mke wake kukurupuka kitandani humo. Kila mmoja akajikuta amejikunyata huku akitazamana na sura ya nabii Okocha iliyo jawa na hasira sana.

“Nini muna fanya?”

Nabii Okocha alizungumza kwa kufoka sana huku akiwafwata kitandani hapo, nabii Okocha akafungu mkanda wake wa suruali na kuuchomoa. Akaushika vizuri mkiononi mwake huku akiwakazia macho.

“Mu…m….me wangu naku…..ommmba u…ni….sa….me….he”

Mrs Okocha alizungumza huku akimwagikwa na machozi.

“Nikusamehe kwa nini? Hii tabia mume anza lini?”

“Sh…e….e…..m ni…nni…i…i…si…ku nyingi”

Mrs Sanga naye alizungumza huku akilalama kwa woga mwingi sana. Nabii Okocha akapata nafasi ya kutazama mwili mzuri wa mrs Sanga ambao umeumbika vizuri.

“Kwa nini muna muasi Mungu, ikiwa kila siku tuna wahubiria watu kuhusiana na tabia hizi?”

“Tusamehe shemeji. Nishetani ametupitia tu”

Mrs Sanga alizungumza kwa unyonge mkubwa sana. Nabii Okocha akarudi mlangoni na kufunga mlango huo kwa ndani na kuwafanya mrs Sanga na mrs Okocha kujawa na woga sana.

“Sasa nahitaji munifurahishe la sivyo adhabu yenu ita kuwa ni kubwa sana kuliko hii ninayo wapa”

“Mume wangu u…u…..”

“Ndio nataka nyote munipe kitu roho ina taka”

Nabii Okocha alizungumza huku akianza kufungua vifungo vya shati lake. Akamaliza kuvaa nguo zake zote na kuwasogelea kitandani hapo huku mkanda wake wa suruali akiwa ameushika mkononi.

“Ninyonyeni”

Nabii Okocha aliwamrisha na taratibu mke wake akamshika jogoo wa mume wake na kuanza kumnyonya.

“Na wewe una shangaa nini, ninyonye”

Mrs Sanga kwa woga akamsogelea nabii Okocha na kujumuika na mwenzake katika kumyonya nabii Okocha taratibu.

***

Ngosha na Tomas, usiku huo wakaelekea katika club ya Ngosha iliypo katika jiji hilo la Cape Town. Tomas akazidi kushangaa ukubwa wa Club hiyo ambayo ime jaa watu wengi sana huku wadada ambao ni wahudumu wa club hiyo wakiwa uchi kabisa.

“Kaka una taka kuniambia kwamba wewe ndio mmiliki wa hii Club?”

“Ndio mbona una shangaa”

“Aisee Ngosha ume fanya jambo kubwa sana hongera sana kaka”

“Nashukuru, vipi una taka malaya wa kugonga?”

“Ahaa badae badae kidogo kaka”

“Wewe sema kuna vyumba maalmu ndnai ya hii club, watu wana gonga kwa kulipia”

“Weee!!”

“Huami, twende nikakuonyeshe”

Ngosha na Tomas wakaingia kwenye vyumba ambavyo vipi maalumu kwa malaya kufanya kazi zao.

“Hapa kuna vyumba thelathini, kila goli moja ni dola mia moja. Wakiingia wanaume wawili kwa mwanamke mmoja ni dola mia mbili na hamsini”

“Una taka kuniambia pesa hizo wana lipwa hao wanawake?”

“Hapana, wana lipa pale kwa keshia, kisha mtu ana chagua picha ya mwanamke anaye muhitaji kisha ana patiwa funguo ya chumba cha mwanamke huyo. Hawa wana wake kazi yao ni kutombw** tu”

“Masaa yote au?”

“Hapana kazi yao ina anza kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa nene usiku”

“Duuu kazi kweli kweli”

“Ndio hivyo, alafu una jua kuna Watanzania humu ndani”

“Weee”

“Ndio wapo tena ngoja nikupeleke chumba namba ishirini na nane”

Wakaelekea katika chumba hicho, kwa bahati mbaya wakakuta kikiwa kime funga ikimaanisha kuna mwanaume ndani ya chumba hicho.

“Yaani katika wanawake wenye kum** tamu na mkund** mtamu. Huyu wa chumba hichi ndio ame ongoza. Alafu mtoto ni mdigo ametokea tanga. Yaani akikuzungushia hicho kiuno mwanangu kama chereheni”

Ngosha alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.

“Wacha weee”

“Yaani huyo mtoto hapa ndio ana kula pesa ndefu kuliko wote”

“Sasa kwa nini usimchukue ukamuweka ndani?”

“Weee kwa sasa bado kaka nahitaji kula kula maisha na kutafuta pesa zaidi. Tuachane na haya twende nikakuonyeshe vijana wa kazi”

Ngosha na Tomas wakaingia eneo la chini ya Club hiyo ambalo lina godauni la siri ambalo lina tumika kahitadhia madawa ya kulevya pamoja na bunduki zinazo uzwa kimagendo. Ngosha akasalimiana na vijana wake wapatao thelathini. Kundi kubwa la vijana hao wote ni majambazi wenye uwezo mkubwa sana wa kupambana na askari.

“Kutaneni na ndugu yangu. Ana itwa Tomas. Ametokea Tanzania”

Ngosha alizungumza huku vijana hao wakiwa wamewazunguka yeye na Tomas. Ngosha akaanza kumutambulisha kijana mmoja baada ya mwengine kwa Tomas.

“Mkuu mbona kama ni nyoka huyo jamaa”

Kijana mmoja alizungumza huku akimtazama Tomas kwa macho yenye ukali.

“Hapana huyu sio nyoka ni ndugu yangu kabisa.”

“Mkuu kuna kitu hujakijua kwa hiyo mtu”

Kijana huyo aliendelea kutilia msisitizo.

“Kitu gani?”

“Kijana huyo akamsogelea Tomas na kuanza kumchunguza.

“Ata tuchoma huyu siku”

“Rude muamini huyu ni ndugu yangu kabisa na hawezi kufanya jambo la ajabu la namna hiyo”

“Hapana mkuu huyu hapa alipo ana sura ya bandia”

Jambo hilo likawastua sana watu wote walipo katika eneo hilo.

“Ndio ana sura ya bandia. Kwa wale ambao mume tembelea mitando ya Tanzania. Huyu ndugu yangu ana tafutwa na amewekewa sura ya bandia ili mradi aweze kutoka nchini humo salama.”

“Sasa mkuu wewe mwenyewe huwa una tuimiza tusilete nyoka. Ina kuwaje wewe ana leta nyoka?”

“Kama vipi avue hiyo sura yake bandia. Tunataka kumuona”

“Ndio avue”

Vijana hao wakendelea kumshinikiza Tomas katika kutoa sura yake hiyo bandia. Tomas akamtazama rafiki yake Ngosha ambaye hakuwa na jinsi zaidi ya kufwata shinikizo lililo wekwa na vijana wake na kumuomba Tomas kuvua sura hiyo ya bandia.

***

Mlango wa chumba hicho ukafunguliwa na akaingia nesialiye mfanya nabii Sanga kustuka kidogo.

“Aisee nabii una jua nilikuwa nimekaa kule nikisubiria watoto waweze kulia, ila sijasikia wakilia kabisa.”

“Yaa kuna kundi kubwa la wachawi ambalo lina kuja na kufanya fujo juu yaw aha watoto”

“Weeee!! Alafu ni kweli nabii katika meneo kama haya wachawi huwa ni wengi sana. Una jua kuna nesi hapa yeye ana majini, hivyo huwa yakija huwa yanapanda kiasi kwamba amebadilishwa kitengo cha kufanya kazi kwa maana ana weza kudhuru hawa viumbe”

“Ni kweli ila sidhani kama wana weza kurudi. Wewe ni dini gani?”

“Mimi ni muislam”

“Ahaa sasa nesi nakuombaa tuzungumze jambo moja muhimu kidogo”

“Jambo gani”

“Kwa mwenzi una lipwa kiasi gani?”

“Ahaa laki tatu na nusu”

“Kuna kazi ambayo nahitaji unipatie”

“Kazi gani dokta?”

“Uta weza kuifanya?”

“Nita angalia ni kazi gani na ina kiasi gani ambacho uta nipatia”

“Nitakupatia milioni tano. Nahitaji mtoto wa kike mchanga ambaye amezaliwa kati ya leo hadi kesho”

Nesi huyo macho yakamtoka huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.

“Nabii mtoto wa nini?”

“Nahitaji mtoto wa kumkuza mimi mwenyewe. Nahitaji kusaidia mtoto mmoja wapo kati ya hawa watoto hapa”

“Mmm hilo kazi ni kubwa sana mzee wangu. Endapo nita kamatwa hakika kazi yangu ina weza kuingia matatani.”

“Nakupa milioni saba”

“Hapana mzee”

“Milioni kumi”

Nesi huyo akatafakari kwa sekunde kadhaa huku akimtazama nabii Sanga. Hakika pesa hiyo ni kubwa sana kwenye maisha yake ya kazi kwani toka aanze kazi ndani ya miaka miwili hajawai kuipata kwa mkupua.

“Sawa, niambie nikuletee wapi hiyo mtoto?”

“Nitakuwepo katika hoteli yangu ya GOLDEN PARK pale Kinondoni. Hakikisha mtu wa aina yoyote hawezi kufahamu”

“Mmmmm kukuletea hotelini hilo jambo litakuwa ni gumu sana. Labda kiwango kiongezeke kwa maana apa nina hatarisha kazi yangu”

“Una itwa nesi nani?”

“Mwajuma Rashidi”

“Sawa nesi Mwajuma. Nitakupatia milioni ishirini kwa kazi hiyo”

Nesi Mwajuma akajikuta akifurahia sana kwani hakuna kitu kizuri kama kupata pesa hiyo ya mkupuo.

“Hapo ume nena na nina weza kuifanya hata usiku huu”

“Itakuwa ni jambo zuri sana. Naweza kuipata namba yako ya simu?”

“Ndio”

Nesi huyo akamtajia nabii Sanga namba yake ya simu na akainakili kwenye simu yake.

“Nitakupigia mara baada ya mimi kufika hotelini”

“Sawa nabii je ni mtoto gani una muhitaji”

“Huyu hapa”

Nabii Sanga alimuonyesha nesi Mwajuma mtoto ambaye alimchuku na kushindwa kutoka naye ndani humo.

“Sawa nita mleta ifikapo saa kumi usiku”

‘Ukimleta ni lazima na wewe nikuue ila siri yangu iweze kudumu’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akimtazama nesi huyo anaye endelea kufurahia ofa hiyo kabambe.



Nabii Sanga akaagana na nesi Mwajuma na kutoka chumbani humo huku akiwa na uhakika mkubwa wa nesi huyo kuifanya hiyo kazi aliyo muagiza. Akaingia kwenye gari na kurudi hotelini.

‘Ina bidi huyu nesi nimuue ata kuja kuitoa siri yangu tu’

Nabii Sanga aliendelea kumuwazia mambo mabaya nesi huyo. Akampigia simu na ikapokelewa.

“Haloo”

“Mwajuma ni mimi”

“Ahaa nabii”

“Ndio, umefikia wapi?”

“Hapa ndio nipo kwenye gari langu, tafadhali kama ina wezekana nina kuomba uweze kukutana na mimi maeneo ya Sinza makaburini. Sinto weza kuja hotelini kwako kwa maana ni hatari sana.”

“Hatari ni ya nini au fwatiliwa na askari?”

“Hapana ila nafsi yangu ina sita kufika hotelini kwako”

“Ok nitafika hapo”

“Nitahitaji kiasi cha pesa ulicho niambia ndio nikukabidhi mtoto”

“Usijali”

Nabii Sanga akakata simu huku akishusha pumzi. Mpango wa kumuu nesi huo umeingia dosari, akatoka chumbani kwake na kuingia kwenye gari na kuelekea Sinza makaburini. Akawahi kufika eneo hilo kabla ya nesi Mwajuma kufika. Gari ina ya Rav 4 L ikafika yenye rangi nyeusi ikafika eneo hilo. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita, akaipokea.

“Nimefika upo kwenye gari lipi?”

“Hii Alteza”

“Sawa”

Nesi Mwajuma akalisogeza karibu kabisa gari lake na eneo lilipo gari la nabii Sanga. Akashuka huku akiwa amembeba kichanga hicho alicho kifunika na babyshow. Akafungua mlango wa siti ya nyuma na kuingia.

“Ume kuja peke yako?”

Nabii Sanga aliuliza huku akimgeukia nesi Mwajuma.

“Nimekuja mara moja na nimetoroka tu. Mtoto uliye muhitaji si huyu”

Nesi Mwajuma alifunua babyshow na kuonyesha uso wa kachanga hako.

“Ndio huyo huyo”

“Pesa yangu ipo wapi?”

“Naweza kukuhamishia kwa mfumo mtandao na kukuingizia kwenye akaunti yako”

“Njia hiyo ina wezekana?”

“Ndio ina wezakana nipatie akaunti namba yako”

Nabii Sanga alizungumza huku akisitisha wazo la kumuua msichana huyo kwa maana mazingira yaliyopo eneo hilo hayarubusu kabisa. Akaingiza kiasi cha milioni ishirini katika akaunti ya binti huyo.

“Nimeipata, sasa mtoto ni wako. Ila tafadhali sihitaji hii siri iweze kuvuja kwa mtu yoyote. Nina familia kubwa ambayo ina nitegemea. Umenielewa nabii Sanga?”

“Nimekuelewa na endapo nita sikia kwa mtu yoyote hili jambo. Nitakacho kufanya ni Mungu mwenyewe ndio atakaye jua”

Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo. Akakabidhiwa mtoto huyo na nesi Mwajuma akashuka kwenye gari hilo na kuingia kwenye gari lake huku akiwa na furaha na kuondoka zake. Nagii Sanga akamtazama kichanga hicho kilicho lala, akakiweka vizuri kwenye siti na kuondoka eneo hilo huku akiwa na furaha na amani kwani kilicho baki hivisasa ni kuondoka na kachanga hako hadi nchini Nigeria.

***

Japo ni jambo lenye kutia maumivu makali sana, ila Tomas hakuwa na namna zaidi ya kuanza kubandua ngozi hiyo ya bandia. Maumivu makali yakamfanya Tomas kumwagikwa na machozi, ila akaendelea kujikaza hadi sura hiyo ikaondoka na akabaki na sura yake halisi. Vijana wa Ngosha wakaridhika kwa kitendo hicho cha Tomas.

“Mkuu ina bidi kabla ya kumkaribisha kwenye familia ni lazima ale kiapo”

“Ndio ni utaratibu wa kila mtu anaye ingia. Tomas mimi ni ndugu yako ila ili uwe ni mwezetu ni lazima upate majaribio. Je upo tayari?”

“Ndio nipo tayari”

“Majaribio ni magumu”

“Hakuna shida kaka nimejiandaa kwa kila jambo”

“Sawa mimi narudi nyumbani na utaungana na vijana wangu katika majiribio hayo”

“Sawa”

Gafla Tomas akastukia akipigwa ngumi nzito ya tumboni na kujikita akianguka chini huku akihisi maumivu makali sana kutoka tumboni mwake. Akashushiwa teke jengine la kifuani na kumfanya atapike donge kubwa la damu.

“Mbo….o…na muna nipiga?”

Tomas alilalamika, ila Ngosha hakujibu chochote zaidi ya kutabasamu na kuondoka eneo hilo. Vijana wawili wakamnyayua Tomas na kuingiza kwenye pipa na kulifunga kwa mfuniko. Wakaanza kuliviringisha pipa hilo na kumfanya Tomas kulia sana akiwa ndani ya pipa hilo ila vijana hao hawakujali. Wakalitoa pipa hilo ndani hapo na kuelekea kwenye moja ya kilima na kulisukumia chini kai=tika kiporomoko na likaanza kubingirika huku Tomas akiwa ndani yake.

“Angekuwa mpelelelezi tunge mjua”

Kijana mmoja alizungumza huku wakitazama pipa hilo jinsi linavyo endelea kubingirka katika kilima hicho.

“Bado hatuja ridhika. Aapaswa kuendelea kupata mateso na isitoshe huyu ni mtu wa karibu wa mkuu. Inatubidi tumtese wakati huu na tukimrudisha kwa mkuu basi yupo hoi nyang’anyang’a.”

“Sawa”

Baada ya kufika chini ya kilima hicho vijana walio yangulia chini ya kilima hicho. Wakalinyanyua pipa hilo na kulipakiza ndani ya gari. Tomas ndani ya pipa hili, akahisi kama kichwa chake kikipasuka kwa maumivu makali anayo yapata.

“Nifungulieni nakufa”

Tomas aliomba msaada ila hapakuwa na mtu ambaye aliweze kusikia kilio chake. Wakafika kandokando ya bahari wa kiwa na pipa hilo. Wakalipakiza katika boti ndogo, akwalifunga mnyonyoro, kisha wakalitupia ndani ya maji na mmoja wao akaanza kuendesha boti hiyo kwa mwendo wa kasi jambo lililo mfanya Tomas ndani ya pipa hilo kupata shida kubwa sana kwani maji yanaanza kuingia taratibu.

***

Nabii Okocha akamgeuza mrs Sanga na kumbong’olesha. Taratibu akaanza kukila kitumbua cha mrs Sanga taratibu na kumfanya huku mke wake akiwa ana shuhudia jinsi mume wake akimshuhulikia mwana mama huyo kwa kasi ya ajabu sana. Nabii Okocha akazidi kufurahia penzi la mrs Sanga na wala hakuwa na hamu kabisa na mke wake.

“Zamu yangu sasa”

Mrs Okocha alizungumza huku akimuachanisha mrs Sanga na mume wake. Akamkalia mume wake na yeye akaanza kufurahi penzi hilo. Sikuzote mrs Okocha ana fahamu udhaifu wa mume wake kitandani ni kumkalia jogoo wake na huwa achukui muda mrefu hujikuta akimaliza mzunguko wake. Mrs Okocha akafanikiwa kukamilisha lengo lake na kujikuta mume wake akiwa amemaliza mzunguko huo pasipo kutarajia.

“Haya adhabu yetu ime kwisha”

Mrs Okocha alizungumza huku moyoni mwake akiwa amejawa na wivu mwingi sana kwani hakutarajia kuona siku moja mume wake ana fanya mapenzi mbele yake na mwanamke mwengine.

“Shemeji nina kuomba usije ukamuelza mume wangu”

“Sinto muambia na siri hii ni yetu sisi watatu”

“Sawa”

Nabii Okocha akashuka kitanda ni na kuvaa nguo zake. Mke wake naye akavaa nguo zake na kutoka ndani humo na kumuacha mrs Sanga akiwa na mawazo mengi sana. Mrs Sanga akakaingia bafuni na kuoga.

“Sijapenda mume wangu”

Mrs Okocha alilalama huku akiwa amejawa na hasira nyingi sana moyoni mwake.

“Hujapenda nini?”

“Ina kuwaje una mtomb** mke wa rafiki yako mbele yangu?”

“Na wewe ime kuwaje una sagana na mke wake. Ulihisi mimi nita fanya nini eeeehee. Hii ilikuwa ni haki yenu kuipata na nisinge kubali kuona mke wangu ame kuwa msagaji. Au mimi sikutoshelezi?”

“Una nitosheleza?”

“Kilicho kufanya uende kule ni nini?”

Mrs Okocha akakosa jibu ila akajiapiza ni lazima atalipiza kisasi kwa yeye kutembea na nabii Sanga.

***

Nabii Sanga usiku wa siku hiyo hiyo akakata tiketi ya ndege kuelekea nchini Nigeria. Akampigia mfanyakazi wake na kumuomba aweze kufika uwanja wa ndege ili kuchukua gari hilo. Nabii Sanga akanunua bgi kubwa katika moja ya maduka yaliyopo hapo uwanja wa ndege. Akarudi nalo ndani ya gari alipo kiacha kichanga hicho. Akakitazama kwa sekunde kadhaa na bila ya huruma akakivunja shingo yake na kukiingiza ndani ya begi hilo. Kutokana na kuaminika kwake, hapakuwa na mtu aliye weza kutilia mashaka begi hilo. Akaingia ndani ya ndege na safari ya kurudi nchini Nigeri ikaanza. Nabii Sanga akafanikiwa kufika alfajiri nchini Nigeria na moja kwa moja akaelekea nyumbani kwa rafiki yake nabii Okocha. Akapokelewa na mrs Okocha akiwa katika hali ya furaha sana.

“Japo ni muda mufupi tu ume ondoka shemeji ila tulikumiss”

“Usijali shemeji”

“Naweza kukupokea begi?”

“Hapaana, usijali. Vipi ndugu yangu yupo?”

“Ndio yupo haja aamka bado”

“Basi naomba uni saidie kumuamsha”

“Sawa shemeji”

Mrs Okocha akaelekea chumbani kwake na kumfahamisha mume wake juu ya uwepo wa nabii Sanga. Nabii Okocha kwa haraka akatoka chumbani kwake na kumlaki rafiki yake.

“Nimefanikiwa ndugu yangu. Tuna weza kuondoka”

“Basi acha niajiandae twende”

“Sawa ngoja nikamuone mke wangu”

Nabii Sanga akasindikizwa na rafiki yake hadi mlangoni mwa chumba cha mke wake. Nabii Sanga akagonga mlango na baada ya muda kidogo mlango ukafunguliwa. Mrs Sanga akamkumbatia kwa furaha mume wake huku akimpiga mabusu mfululizo.

“Ume rudi mume wangu?”

“Ndio, ila sio mkaaji. Labda niandalie nguo niweze kuondoka eneo hili”

“Una kwenda wapi tena mume wangu?”

“Kuna sehemu tuna elekea na Okocha”

“Sawa mume wangu”

Nabii Sanga akaingia bafuni, akaoga kwa haraka na kuvaa nguo alizo andaliwa na mke wake. Wakawaaga wake zao na kuondoka nyumbani hapo na hawakuchukua muda mrefu sana wakafika katika msitu huo.

“Alafu sija kuuliza vipi ume pata kichwa au?”

“Nimekuja na mtoto mzima”

“Yupo hai?”

“Hapana nili mnyonga”

“Sasa ina bidi umchinje humo ndani tuingine na kichwa tu”

“Una kisi”

“Ninacho”

Nabii Okocha akatoa kisu ndani ya gari lake. Nabii Sanga aka utoa mwili wa mtoto huyo na kumchinja. Akagawanyisha kichwa cha kiwili wili kisha, kiwiliwili hicho akakiweka ndani ya begi na wakanza kuingia ndani humo. Wakapitia taratibu zote na wakafika katika makoa makuu ya mkuu wao. Nabii Sanga akakikabidhisha kichwa hicho kwa binti huyo ambaye ni wakala namba moja wa shetani ulimwenguni na yeye ndio anaye poke nguvu zote za shetani na kuzileta duniani kwa wale wote wanao omba kufanikiwa kwa kupitia nguvu za shetani.

“Una hitaji nini kwa sasa Sanga”

“Nahitaji kuwa mtumishi mkubwa sana duniani. Nataka kuwa na wafuasi ulimwenguni pote, nahitaji kufanya miujiza ambayo hakuna mchungaji mwengine ambaye ata weza kufanya. Nahitaji pesa zimiminike na nizidi kuwa tajiri zaidi ya hapa”

“Waooo si una jua masharti yetu. Jinsi unavyo zidi kwenda juu ndivyo jinsi unavyo paswa kutoa sadaka”

“Ndio mkuu”

“Basi ukihitaji kufika huko unapo hitaji kufika. Inabidi umtoa kafara mwanamke wako wa kwanza kumtoa bikra”

Nabii Sanga akastuka sana huku mapigo yake ya moyo yakianza kumuenda kasi sana kwani mwanamke wake wa kwanza kumtoa usichana ni Magreth, binti anaye mpenda na aliye muahidi kwamba ata mfanyia kitu chochote atakacho kihitaji chini ya jua.



“Mbona una stuka ikiwa yupo ambaye ume mtoa bikra?”

“Aha..hapana mkuu”

“Basi ukihitaji kupanda juu basi ni lazima utoe kafara ya aina hiyo”

“Sawa mkuu nina omba mwezi wa kufikria hili jambo”

“Chukua muda utakao wewe. Ila usichelewe sana kwa maana ukichelewa kazi nitaikamilisha mimi mwenyewe”

“Una maana gani mkuu?”

“Nitamchukua huyo mtu mimi mwenyewe. Muna weza kwenda sasa”

Nabii Sanga na nabii Okocha wakaonyanyuka na kutoka mapangoni humo.

“Yaani ndugu yangu ume pata mtihani mwepesi sana. Mkuu ame kuchunuku”

“Kwa nini?”

“Kumtoa mwanamke wake wa kwaza kumtoa usichana. Aiseee ni jambo la kumshukuru Mungu kwa maana sisi wengine tuna pewa kazi kubwa sana”

“Wewe ulipewa kazi gani ndugu yangu?”

“Mimi nilimtoa kafara mjomba wangu ambaye nina mpenda sana na yeye ndio aliye nilea kwenye maisha yangu na ilinipasa kuhakikisha kwamba nina peleka kichwa chake”

“Mmmm!!”

“Ndio hivyo ndugu yangu”

“Ila kwagu pia ni mtihani”

“Kivipi?”

“Mtu ambaye nina paswa kumtoa kafara ni binti mmoja mazuri sana na bado ni mdogo ambaye ana jitafutia maisha yake na nina mpenda sana”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na masikitiko makubwa sana.

***

Walipo ridhika kuhakikisha wana mpatia Tomas mateso ya kutosha wakarudi nchi kavu na kulisimamisha pipa hilo ufukweni. Wakamtoa Tomas anaye tetemeka kwa woga mwingi sana.

“Sio mpelelezi huyu fala”

“Ni kweli”

“Oya sikia wewe. Kesho uta ingia kambini uta anza kupata mafunzo kuhakikisha una kuwa fiti. Ume nielewa”

“Nd…i..iooo”

Tomas alijibu huku wasiwasi mwingi ukiwa ume mtawala.

“Oya mpelekeni kambini”

Mkuu msaidizi wa kikosi hicho cha Ngosha akaagiza vijana waliopo chini yake na wakampakiza Tomas katika gari aina ya pic up na kuaondoka naye ufukweni hapo. Tomas akafikishwa kwenye kambi yao ambayo ipo porini sana na eneo hilo lina baridi kali sana. Wakamvua Tomas nguo zote na kumuingiza kwenye moja ya chumba ambacho hakina kitu chochote zaidi ya sakafu.

“Nita lala humu?”

“Ndio maana yake na hauto lala peke yako?”

“Nita lala na nani?”

“Rafiki zako”

Jamaa huyu alizungumza kimasihara huku akimtazama Tomas usoni mwake. Wezake wawili wakaleta mapipa yaliyo jaa barafu nyingi sana na wakamwaga barafu hiyo ndani ya chumba hicho na kusababisha baridi kuzidi kuongezeka.

“Usiku mwema”

Kijana huyo mwenye mwili mwembaba alizungumza huku akifunga mlango wa chumba hicho kwa nje. Katika maisha yake yote, Tomas hakutarajia kama ata kumbana na maisha magumu kama anayo kumbana nayo hivi sasa. Baridi kali inayo sababishwa na madonge madonge ya barafu yakaufanya mwili mzima wa Tomas kutetema. Haukuwa usiku wenye furaha kwake, hakuweza kupata hata lepe la usingizi. Hadi kuna pambazuka bado kuna mabonge madonge ya barafu bado hayaja yayuka. Mlango ukafunguliwa na akaingia kijana huyo ambaye alimfungia Tomas jana usiku.

“Oya amka”

Kijana huyo alizungumza huku akiwa ameshika suruali ya jeshi, buti nyeusi za jeshi pamoja na tisheti nyeusi.

“Una dakika mbili za kuvaa baada ya hapo, kuna kile kilima pale ina bidi upandishe mara hamsini”

Jamaa huyo alizungumza huku akimuonyesha Tomas kilima hicho kirefu kupitia dirishani.

“U….u…na sema pale?”

“Ndio, mbona una kigugumizi vaa jamaa. Mimi huwa sina huruma na mtu na nikipewa jukumu kama hili huwa nina furahi sana”

Jamaa huyu alizungumza kwa kejeli huku akiendelea kumtazama Tomas usoni mwake. Tomas alipo maliza kuvaa nguo hizo wakatoka nje ya chumba hicho. Endo hilo la kambi lina ulinzi mkali na kila mtu ana onekana yupo bize na mambo yake.

“Hapa ni kambi ya jeshi?”

Tomas alimuuliza jamaa huyo aliye valia nguo nyeusi pamoja na kiti kubwa jeusi ili kujikinga na baridi.

“Acha using** wewe kuna kambi ya jeshi ya aina hii. Haya twende”

Jamaa huyo alizungumza huku akimzaba Tomas bao la mgongo. Wakaanza kukimbia kwa pmaoja kupandisha kilipa hicho kirefu. Tomas akajihisi moyo wake ukichomoza kwani hajawahi kufanya mazoezi magumu kama hayo. Wakafika kileleni katika kilima hicho huku Tomas akihema mithili ya mbwa wa polisi aliye mkumbiza mwizi kwa kipindi kirefu.

“Shuka mimi nina kusubiria hapa”

Kijana huyo alizungumza huku akichukua kiti na kukaa.

“Nishuke!!!?”

“Oya sirudii kauli zangu shuka”

Tomas akaanza kujishauri huku akiwa ameinama.

“Nitakusukuma ukafie kule chini”

“Aha...naomba nizungumze na Ngosha”

“Huwezi kuzungumza naye. Shuka kwenye hicho kiporomoko na upandishe tena”

Kijana huyo alizungumza huku akichomoa bastola yake kiunoni na kumuelekezea Tomas ya usoni mwake na kumfanya ajawe na woga mwingi sana na kuanza kushuka kwenye kiporomoko hicho pasipo kupenda.

***

Hali ya Evans ikazidi kuimarikia kadri siku zinavyo zidi kwenda huku penzi lake na Magreth likizidi kupamba moto. Magreth taratibu akajikuta akianza kumsahau nabii Sanga ambaye yeye ndio aliye mfanya awe na maisha ya kufanikiwa. Evans akaruhusiwa kutoka hospitalini hapo na moja kwa moja wakaelekea nyumbani kwa Magreth.

“Weee una taka kuniambia kwamba una ishi hapa?”

“Ndio ni kwangu mbona huamini”

“Mbona pazuri sana na hujawahi kuniambia kwamba una maisha mazuri kama haya”

“Hahaa hapana bwana mume wangu. Nilihitaji kukufanyia suprize”

“Mmmm kweli hii suprize na hiyo gari Audi Q7 ni ya nani?”

“Gari langu hilo”

“Aisee siamini Magreth kwa umri wako una maisha mazuri kama hayo. Hembu nipe risi ya mafanikio yako”

“Usijali mume wangu ipo siku nita kuambia”

“Haya hizi kamera zina fanya kazi?”

“Ndio zina fanya kazi, ila huwa nina zizima nikiwa ndani, nikiwa nina toka nina ziwasha”

“Ahaa sawa”

“Karibu chumbani”

Magreth alizungumza huku akiwa amemshika Evans mkono. Wakaingia ndani ya chumba cha kulala cha Magreth. Taratibu Magreth akaanza kumvua Evans nguo zake huku akiwa amejawa na hamu kubwa sana ya kupata penzi la Evans.

“Evans”

“Mmmm”

“Si uta weza kunipa baby?”

“Ndio japo sinto kwenda mpute mpute kama siku ile isije kidonda kika lete shida si una jua hakijapona kabisa”

“Sawa mpenzi wangu”

Magreth taratibu akachuchumaa na kuanza kumshika shika jogoo wa Evans ambaye tayari amesha simama kidete na akaanza kumnyonya taratibu huku akiwa na uchu mkubwa sana. Magreth alipo jiridhisha wakavua nguo zake huku Evans akijilaza kitandani. Wakaanza mtanange huo taratibu huku kila mmoja akifurahia penzi hilo. Mtanange huo ukachukua dakika ishiri na tano na kufika tamati.

“Nina kupenda sana Evans”

“Nami pia nina kupenda sana mpenzi wangu”

“Je una weze kuendesha gari?”

“Ndio nina weza mpenzi wangu”

“Basi uta nifundisha”

“Kwani wewe huwezi?”

“Hapana mimi siwezi”

“Apia?”

“Haki ya Mungu vile. Yaani toka hilo gari liletwe na dereva wa kampuni niliyo nunua. Sijalisogeza hata nyuma”

“Hahaa usijali nita hakikisha kwamba una fahamu mapema sana”

“Nashuru”

Siku hiyo ikawa ni ya furaha sana kwao kwani ndio siku ambayo wame anza kulala kwa pamoja. Siku iliyo fwata wakaelekea madu ya nguo na Magreth aka mnunulia Evans nguo na viatu vya kutosha. Evans hakutarajia yale maisha ya shida na tabu ambayo alikuwa ana hangaika nayo toka alipo maliza chuo, yamebadilia kwa kiasi kikubwa na sasa amesha sahau shida hizo. Wakatangaza usahili wa wahudumu wa mgahawa wao mpya ambao wana hitaji kuufungua.

Siku ya usahili, wakajitokeza wasichana wengi wenye kila aina ya sifa ya uzuri hadi Magreth akaanza kujihisi wivu kwani uzuri wa wasichana hao una weza kumteka mume wake. Wakafanikiwa kupata wasichana watatu na wavulana wawili ambao wana shuhulika katika mgahawa huo. Wakafanya maandalizi yote ya ufunguzi wa mgahawa na siku ya ufunguzi ika fika. Siku hiyo wakatangaza wateja mia moja wa kwanza wata kula chakula bure kabisa. Wakajitokeza watu wengi sana hadi Magreth akashangaa wingi wa watu hao.

“Watu hawa wote kweli wata kuja hivi hivi siku zinazo kuja au ni leo kisa ni bure?”

Magreth alimuuliza Evans huku wakiwa wamesimama eneo la mapokezi wakitazama watu hao wanao wanao zidi kupata chakula kitamu ambacho amekiandaa yeye pamoja na wapishi wawili wanao msaidia kupika”

“Wata kuja, una jua hii ni njia nzuri sana ya kujitangaza kibiashara. Laiti tungesema tunze kwa kuwatoza pesa wasinge kuja wengi kama hivi”

“Mungu abariki mume wangu”

Magreth alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama kwa sekunde kadhaa na kuona ni namba ngeni. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Habari yako mke wangu”

Sauti ya nabii Sanga ikamstua sana Magreth kwani toka nabii Sanga aondoke nchini Tanzania hajawahi kuwasiliana naye jambo ambalo lilimfanya azidi kuuhamishia moyo wake kwa Evans na kumtoa kabisa mzee huyo katika hisia zake. Magreth akaondoka eneo hilo na kujitenga kidogo.

“Salama mpenzi”

Magreth alizungumza kwa wasiwasi kidogo huku akimtazama Evans anaye endelea kushuhulika na wateja.

“Mmmmm nimeona jitihada zako. Hakika nime furahi sana kutazama taarifa ya ufunguzi wa mgahawa wako youtube.”

“Nashukuru sana mpenzi wangu. Mbona siku zote huja nitafuta kwema?”

“Kwema, nilikuwa nipo bize sana vikao vingi sana.”

“Pole sana mpenzi”

“Salama, nisalimie Evans naona ametoka hospitalini”

Magreth akastuka kidogo ila akajikaza.

“Ni kweli ametoka MUNGU ame msaidia”

“Sawa sawa nimebakisha wiki moja nitarudi nchini Tanzania. Nina hamu sana na wewe mke wangu”

“Wiki moja!!?”

“Ndio mbona una shangaa?”

“Ahaa…aha….siku tarajia kama ume bakisha siku chache hivyo”

“Usijali niambie nikuletee zawadi gani?”

“Mmmm yoyote upendayo”

“Basi usijali. Nakata simu ila usipige hii namba hadi nikupigie”

Simu ikakatwa na kumfanya Magreth kubaki katika alama kubwa ya kujiuliza, akamtazama Evans ambaye hadi leo hajawahik umuambia kwamba ana mahusiano na nabii Sanga na haju ataanzia wapi kumueleza mwanaume huyo anaye mpenda kuliko kitu chochote.

***

Nabii Sanga akakata simu mara baada ya kumuona shemeji yake mrs Okocha akija katika bustani hiyo aliyo kaa.

“Shemeji”

“Naam”

“Umekaa peke yako hujihisi unyonge?”

“Usijali nipo hapa nina peruzi peruzi. Vipi Okocha ata rudi saa ngapi?”

“Nimetoka kuzungumza naye ana amesema ana ingia kwenye kikoa. Vipi mke wako naye ana rudi saa ngapi kwa rafiki yake?”

“Mmmm ata chelewa kurudi”

Mrs Okocha akamazama nabii Sanga kwa macho ya matamanio. Katika wiki zote walizo ishi hapo, amekuwa akimuwinda sana nabii Sanga ila amekuwa akikosa nafasi ya kukamilisha haja yake ya kupata penzi.

“Shem kuna kitabu nahitaji ukanisaidie kutafuta kule kwenye reading room. Sijui una weza kunisaidia?”

“Usijali twende”

Wakaondoka eneo hilo na kuingia katika chumba kikubwa cha kusomea. Mrs Okocha akafunga mlango huo kwa ndani na bila ya kujiuliza maswali mara mbili mbili akavua dera alilo livaaa.

“Shemeji una fanya nini?”

“Shem naomba uni samehe. Nimeshindwa kuzizuia hisia zangu, nakuomba unipe penzi lako”

“Shemeji ila wewe ni mke wa rafiki yangu siwezi kufanya hivyo unavyo hitaji”

Nabii Sanga alizungumza huku akianza kurudi nyuma nyuma kwani katika vitu anavyo viogopa kwenye maisha yake ni kutembea na mke wa mtu tena mke wa rafiki yake.

“Tafadhali Sanga naomba unipe kile kitu ninacho kihitaji. Tazama jinsi nilivyo mrembo, tazama makalio yangu yalivyo makubwa. Huyatamani kweli?”

Mrs Okocha alimshawishi nabii Sanga ambaye bado yupo kwenye kigugumizi kizito sana.

“Una niigiza majaribuni shemeji, tafadhali nina kuomba”

“Nakupenda sana Sanga. Naomba unipe penzi lako”

Mrs Okocha akamgandamiza ukutani nabii Sanga na kuanza kumnyonya shingo yake.

“Tafadhali niachie. Siwezi kumsaliti rafiki yangu kipenzi”

Nabii Sanga alizungumza kwa hasira huku akijitoa mikoni mwa mrs Okocha na kuanza kutembea kwa hatua za haraka kuelekea mlangoni mwa chumba hicho.

“Huyo rafiki yako unaye muamini, tayari amesha mtomb** mke wako tena mbele ya macho yangu”

Kauli hiyo ya mrs Okocha ikamfanya nabii Sanga kusimama huku akistuka sana, taratibu akamgeukia mwanamke huyo na kumtazama, sura ya mrs Okocha ina onyesha dhairi hilo alilo lizungumza ni jamboa la kweli kabisa na halina uwongo wa aina yoyote.



Nabii Sanga taratibu akamsogelea mrs Okocha huku uso wake ukiwa umejaa mikunjo ya hasir.

“Ume sema kwamba?”

“Mume wangu amemtomb** mke wako mbele yako”

“Lini na ilikuwaje?”

“Mimi na mke wako tuna mahusiano ya kimapenzi”

Nabii Sanga akashangaa mara baada ya kuisikia kauli hiyo.

“Kivipi!!?”

Nabii Sanga aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.

“Tuna sagana, mume wangu alitufumania na adhabu aliyo amua kutupatia ni kutula sisi sote wawili ila mradi siri isiweze kutoka kwako. Ila mimi nimeshindwa kukaa na siri hii”

Nabii Sanga akashusha pumzi nyingi huku akimtazama mwana mama huyu.

“Hivi nyinyi ni binadamu wa aina gani jamani?”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na hasira. Mrs Okocha hakujali hasira hizo kwani akimkosa leo nabii Sanga basi hato weza kumpata tena.

“Ndio mambo yaliyo tokea. Je utakubali mke wako kuliwa na rafiki yako.”

Mrs Okocha alizungumza huku akimsogelea nabii Sanga. Akamshika jogoo wake na kuamza kuminya minya.

“Tafadhali, hembu onja asali yangu”

Mrs Okocha alizidi kumshawishi nabii Sanga ambaye taratibu akajikuta akilegea. Wakakutanisha lipisi zao na kuanza kunyonyana huku kila mmoja akiwa katika hali ya hisia. Nabii Sanga akavua nguo zake, akavuta moja ya kiti na kukaa. Taratibu akampakata mrs Okocha na kuanza kumla kitumbua chake kwa hasira ya kulipiza kisasi cha kuibiwa mke wake.

***

“Kuna mabaharia wenye meli zao ambazo zina kwenda masafa marefu. Nitakukutanisha nao wiki hii wanaingia hapa Nigeria. Kwakuwatumia hao una weza kuwasafirisha wasichana hao kwenda Tailand, South Afrika, China na Marekani, japo kwa sasa Marekani wapo makini sana kwenye kudhibiti biashara hiyo.”

Miss Adela alizungumza huku akimtazama mrs Sanga aliye mtembelea hapo nyumbani kwake.

“Katika hizo nchi, ipi ina ina lipa sana kwenye hiyo biashara?”

“Marekani, China na South Afrika. Biashara hiyo ina toka kwa haraka sana. Hawa Tailand kidogo wana shida shida kwenye malipo”

“Naomba uni kutanishe nao hao watu kwa maana nina hamu kubwa ya kuifanya hiyo biashara”

“Ila mr si ata kuunga mkono?”

“Yeye hana shida. Ni mimi kujua ni wapi nina weza kuwapakiza hao wasichana, kina nani ambao nita wauzia basi biashara ina fanyika. Una jua kwa nchi yetu ya Tanzania hiyo biashara kidogo haijawa kubwa. Biashara kubwa iliyopo sasa hivi ni kuwachukua wasichana na wanakwenda kuajiriwa kazi za ndani kwenye nchi kama Oman na Misri”

“Ahaa hiyo hailipi sana. Hii bwana ukisha malizana kumuuza mtu basi wewe una jitoa na hakuhusu kabisa. Hivyo akifanikiwa asipo fanikiwa, akifa, asipo kufa yote ni juu yake mwenyewe”

“Yaani nimeipenda nina tamani kuianza hata kesho”

“Ehee vipi cocain una piga au?”

“Tulisimama kidogo mara baada ya raisi mpya kuingia madarakani ila hivi sasa. Tutarudi kwa nguvu zote kwa maana raisi tumesh amuweka kiganjani”

“Ukirudi basi musisite kuniunga mkono si una jua sasa hivi nina chukua kilo nyingi sana kutoka Pakistani”

“Una chukua kilo ngapi?”

“Hadi kilo elfu moja”

“Weeee Adela una muda vipi kuzifikisha nchini hapa!!?”

“Umesahau best kwamba mimi ni mafia”

“Mmmmm kweli wewe ni mafia. Ukiingiza hizo una zisambaza hapa hapa Nigeria au una toa nje ya nchi?”

“Nina sambaza Afrika nzima. Sema yule agent wa Tanzania alikamatwa nikaachana naye hivyo sikuweza kusafirisha tena kwa nchi yenu”

“Hongera sana rafiki yangu Adela. Nitamshauri mrs tuchukue hata mzigo wa dola milioni tano”

“Yaani hapo ndipo ninapo kupendea tu. Sasa hivi hakuna haja ya kutumia watu sikui kubeba sijui kufanya nini, yaani nime kuja na mbinu mpya”

“Cocain ambayo nina ichukua Pakistani au Colombia. Ina kuja kwa mfumo wa unga kwa kupitia submarine ndogo hivi niliinunua miezi nane iliyo pita”

“Eheee submarine ndio nini?”

“Na wewe umezidi kukaa kimungu Mungu ndio maana mambo mengine huyajui. Njoo uone”

Mrs Sanga akanyanyuka kwenye sofa lake na kukaa kwenye sofa la Adela. Akaonyeshwa meli hiyo inayo tumika kupita chini ya bahari.

“Hii submarine ina kasi kubwa sana na hakuna nchi ambayo ina weza kuinasa kwa rada zake”

“Ina endeshwa na watu?”

“Hapana mama. Yaani hii ni sawa na zile ndege zisizo na rubani. Muendeshaji yupo Nigeria ila ina uwezo wa kuzunguka dunia nzima kwa kupita chini ya maji”

“Mmm best hapo ume uchinja kwa kweli. Ni kiasi gani hiyo?”

“Hahahaa una taka kunipiku kwenye biashara yangu?”

“Hamna bwana Adela. Unajua kwamba michongo mingi ya hizi biashara nina itoa kwako”

“Okay sinto kuambia ni kiasi gani. Ila ukihitaji nikuletee mzigo hata Tanzania, kuna malipo yake ambayo ni tofauti kabisa na malipo ya mzigo wenyewe. Kwamfanao kuna kunchi ambazo hazina bahari, mzigo ukifika hapa. Kuna dawa fulani nina ichanganya kwenye mzigo na wote una badilika na kuwa maji”

“Cocaine kuwa maji!?”

Mrs Sanga alishangaa sana kwani hakuwahi kusikia kitu kama hicho.

“Ndio tena ina kuwa fresh water kabisa. Una paki maji hayo kwenye chupa Ana una safirisha kama maji ya kawaida. Hata ipite Air port hakuna kifaa wala mbwa yoyote anaye weza kufahamu kwamba hayo maji ni cocaine”

“Adela niachie masiraha bwana”

“Haki ya Mungu, tena njoo nikuonyeshe. Nina kilo moja hapa”

Mrs Sanga na Adela wakaingia katika chumba ambacho Adela huifadhia pakti za dwa za kulevya. Adela akachukua patki moja na kuiimimina kwenye kindoo kidogo. Akamimina dawa hiyo na taratibu unga huo ukaanza kuyayuka na kuwa maji safi .

“Waoooo”

“Umeona sasa hapo yamekuwa maji. Kuna dawa nyingine uki ukimimina unga una rudi kwenye hali ya kawaida”

“Nionyeshe”

Adela akachuku dawa nyingine na kumimina katika kindoo hicho na unga taratibu ukaanza kurudi kwenye hali yake ya kawaida.

“Weee haupungui kilo?”

“Hata theluthi haipungui. Unga huu ukirudi kwa mara ya pili, una kuwa ni mkali sana. Yaani mtu akivuta kidogo tu, basi ana pata stimu ya kufa mtu”

“Aisee hii dawa ni nani ambaye ame itengeneza?”

“Mimi mwenyewe. Dunia nzima hakuna anaye jua kuitengeneza hii dawa. Watu ninao wauizia kwa njia ya maji huwa kichupa kidogo nina wauzia kwa dola milioni mbili”

“Ahaahaha….wewe mwanamke ni mchumi”

“Ndio hivyo, kila kitu ni akili”

“Endapo ikatokea mtu akanywa madawa yakiwa kwenye mfumo wa maji inakuwaje”

“Ana rudisha namba kwa sir God”

“Weee”

“Ndio kwa maana kama mtu ana vuta kaji ukucha ana hisi wenge. Itakuwaje akinywa chupa nzima na ukweli ni kwamba maji yake hayana ladha ni kama maji ya kawaida kabisa”

“Duuu yaani natamani ningekuwa na kichwa kama chako”

“Hahaaa mimi ndio black widow”

“Hilo ni jina lako jipya?”

“Ndio, mume wangu alifariki mwaka jana”

“Jamani alafu hukuniambia?”

“Nilichanganyikiwa si unajua yeye ndio alikuwa kichwa kwenye hii biashara. Ila toka alipo kufa basi ni memejikuta nikiwa jasiri na nimekuwa kila siku nikibuni njia mpya ya kuwakwepa polisi na majasusi wa dunia nzima”

“Duu kazi kweli kweli”

“Ndio hivyo na wewe ina bidi ujiongezee utengeneze. Sio siku mr anakufa na wewe ndio kwishinei kiuchumi”

“Weee siwezi kufa kiuchumi. Nita kuwa drag lord lady.”

“Hahaa nimeipenda hiyo. Siku hizi ume nona naona wowowo lipo vizuri niambie siri yako mama?”

Adela alizungumza huku akiyaminya minya makalio ya mrs Sanga.

“Wee acha kuna kijana nilimpata miezi ya hivi karibuni. Ana nifir***e”

“Wacha wee”

“Yaani kuongezeka hivi ni shahaw** zake”

“Aisee ame fanya kazi nzuri sana. Hembu niyaone”

Adela alizungumza huku akifungua tenge kubwa ambalo mrs Sanga amejifunga kiunoni mwake. Mrs Sanga akabakiwa na suruali iliyo chora vizuri maungo yake. Taratibu Adela akaingiza mkono wake kwenye suruali hiyo na kuanza kuyatomasa maziwa ya mrs Sanga, jambo lililo sababisha hisia za mrs Sanga kuanza kuamka taratibu naye akajikuta akijibu mapigo ya Adela kwa kuanza kumtomasa tomasa maziwa yake. Ndani ya muda mfupi wakajikuta wakizama katika penzi nzito sana ikiwa ndio mara yao ya kwanza kuingia katika hisia za kimapenzi.

***

Mazoezi ya mateso ambayo Tomas amekuwa akipewa ikiwa ni wiki ya tatu sasa. Yamembadilisha kabisa na kuwa kawa katika hali ya uhodari na umahiri mkubwa. Katika kipindi hicho kifupi Tomas akamshangaza mwalimu wake ambaye alikuwa naye toka siku ya kwanza ana ingia kambini hapo. Uwezo wa Tomas katika kutumia silaha ukamfanya mwalimu wake huyo kumbatiza jina la Joh Wick akimfananisha na mcheza filamu aliye cheza katika filamu ya Joh Wick.

“Karibi asilimu themanini ya watu kwenye hii kambi nimewafundisha wewe. Ila wewe ume kuwa muelewa kwa haraka sana na unafanya kama vile ninavyo hitaji. Hembu niambie nini siri ya haya yote”

“Nimeipenda hii kazi”

“Hata kama kuna kuipenda, ila kuna jambo ambalo nina kuona lipo nyuma yako. Jambo hilo ndio lina kufanya ufanye kazi kwa juhudi kubwa sana. Niambie ni jambo gani hilo?”

Tomas akaka kimya huku akikumbuka jinsi nabii Sanga alivyo muingilia kinyume na maumbile kilazima. Tomas akakumbuka rafiki zake Rama D jinsi walivyo uwawa na askari mbele yake kabisa.

“Ticha”

“Ndio”

Tomas akatazama miti mingi iliyo chini ya kilima hicho alipo kaa na mwalimu wake.

“Toka nianze kufanya mazoezi sija fahamu jina lako. Una itwa nani?”

“Hahaa, nina itwa Scooby doo. Huu wembamba wangu na pua yangu ndio vina wafanya watu kunipa jina hilo”

“Nashukuru kukufahamu”

“Usijali, ehee usipotezee swali langu. Niambie kua kitu gani kilichopo nyuma yako na kina kufanya ufanye kazi kwa juhudi kubwa sana.?”

“Kuna watu wawili nina hiaji kuwaua. Ila kabla ya kuwaua, nahitaji kuwapa mateso makali sana”

“Ni kina nani na walikufanyia kitu gani?”

“Sinto kutajia ni watu gani. Ila nitakueleza kwa ufupi. Mke wa mtu alinipenda, alinipa kila nilicho kihitaji, ikiwemo kunipa nyuma”

“Alikupa mkund**?”

Scooby doo aliuliza huku akiwa na tabasamu paa usoni mwake.

“Ndio”

“Daim……Ehee niambie ikawaje?”

“Mume wake alifahamu juu ya mapenzi yetu. Ila kabla hajagundua mke wale alipanga mission ya kumteka mume wake.”

“Kwa nini?”

“Mumewe naye alikuwa na mahusiano na mwamke mwengine. Mke wake akaamua kutumia njia hiyo kulipiza kisasi kwa kumteka mume wako. Jumba bovu la kumteka mzee yule likaniangukia mimia. Huwezi amini nili shuhudia rafiki zangu wanne ambao niliwapa dili hilo wakiuwawa kinyama na askari. Mume wa yule bi mkubwa alikuja kufahamu kwamba mke wake ndio aliye mteka. Ila jambo hili nilisukumia mimi na kutokana ni mjanja mjanja ikanilazimu kutoroka makao makuu ya polisi”

Tomas alijipa sifa ambazo sio za kwake.

“Hapo ndipo ukaanza kutangazwa msakao wa nchi ni nikafanikiwa kubandikwa sura ya bandia na kutoroka nchini. Yule mama na mume wake wamanisababishia matatizo makubwa sana”

“Ni kweli ila nawe ushukuru Mungu walikutangazia kukutafuta kuliko huyo jamaa angeamua kukufanyia mchezo mchafu wa kukugeuza”

Kauli hiyo ya Scooby doo ikazidi kumpandisha hasira Tomas na kujiapiaza endapo siku ata pata nafasi ya kukutana na mrs Sanga au nabii Sanga ni lazima ata waua.

Simu ya Scooby ikaita, akapata maelekezo ya kurudi mjini na Tomas kwa ajili ya kuifanya kazi ambayo ipo usiku wa siku hiyo. Wakajiandaa na kuondoka porini hapo. Wakafika mjini na moja kwa moja wakaeleka kwenye makao makuu ya kundi hilo ambalo ni chini ya Club kubwa ya Ngosha. Tomas akakutana na Ngosha wa mara nyingine. Wakasalimiana kwa furaha kubwa sana.

“Ume badilika sana. Umekuwa mkakamavu”

“Nashukuru sana kaka”

“Hongera. Leo kuna kazi muta kwenda kuifanyana vijana wengine wanne. Hakikisha una rudi salama”

“Sawa boss”

Scooby nashkuru kwa kazi uliyo ifanya ka Tomas.

“Nashukuru boss”

“Aha…ni kazi gani hiyo tunayo kwenda kuifanya Ngosha”

“Leo ni siku ya kwanza kwa ndugu yetu Tomas kuifanya kazi ya kundi hili. Kazi iliyopo mezani ni kuvamia benk ya Standar Chartered. Kuna kiasi cha dola milioni mia moja zipo ndani ya hiyo benki. Tomas hakikisha una rudi salama”

Tomas alijibu kwa kutingisha kichwa akimuhakikishia Ngosha kwamba ata rudi salama ikiwa ndio mara yake yake ya kwanza kufanya kazi ya ujambazi tena wa kuvamia benki kubwa kama hiyo.



Wakapanga mipango yote ya jinsi gani wanavyo weza kutumia njia iliyopo chini ya ardhi kutokea katika chumba ambacho kina hiafadhia pesa katika benki hiyo. Kila mpango ulipo kamilika. Vijana kumi akiwemo Tomas wakaondoka eneo hilo la ukumbi wa starehe. Wakafika katika moja ya jengo ikiwa ni majira ya saa tano usiku. Wakachukua vifaa ambayo vitawasaidia katika kazi yao hiyo. Wakaingia kwenye gari tena huku wakiwa wamevalia mavazi maalumu kama mafundi gareje(overall). Wakafika katika moja ya mtaa ambao una njia nyingi sana za chini ya ardhi. Wakasimamisha gari lap pembezoni mwa barabara. Mmoja wao akafungua mfuniko mmoja mzito ulipo katikati ya barabara. Wakaanza kuingia mmoja baada ya mwengine ndani ya shimo hilo ambalo kwa chini lina mfereji mkubwa unao pitisha maji taka. Vijana wawili wakabaki nje na kufunika mfuniko huo na kuimarisha ulinzi. Tomas na vijana wengine wakazidi kusonga mbele kwa kutumia ramani ambayo wamekabidhiwa na Ngosha. Ramani hiyo ikawafikisha hadi eneo ambalo ndipo ilipo benki hiyo.

“Jamani hatuna muda wa kupoteza. Kinacho paswa kufanyika sasa hivi ni kutoboa hiyo sehemu na tuna ingia kwa pamoja sawa”

Kijana aliye kabidhiwa jukumu la kuongoza kikosi hicho alizungumza. Wakatoa vifaa maalumu ambavyo vina tumika katika ujenzi. Wakaanza kukata ukuta mkubwa wa saruji ulio tengenezwa chini ya eneo hilo. Kazi hiyo kwa ushirikiano wa pamoja haikuchukua muda mrefu wakafanikiwa kuutoa ukuta huo. Kijana mmoja akakunjia ngazi na kupanda. Aka gonga gonga eneo hililo baki.”

“Hapa imebakia kidogo tu tutoboe”

Kijana huyo alizungumza huku akigonga gonga eneo hili”

“Kila mtu aandae sihata yake na kuziba sura yake”

Kila mtu akafwata amri ya kijana huyo akiwemo Tomas. Walipo hakikisha kwamba wapo tayari, wakaitoboa sehemu hiyo taratibu na wakapata shimo ambalo kila mmoja ana weza kupita. Kijana huyo akatanguliza kamera ndogo iliyo kaa mithili ya fimbo. Wakaweza kuona eneo zima la chumba hicho chenye ma shelfu mengi sana yakuhifadhia pesa na vitu vya thamani.

“Kuna mionzi ya hatari ime wekwa. Hivyo inatupasa kuuizima hiyo mionzi”

“Ngoja nifanye kazi yangu”

Kijana mwenye taaluma ya kuharibu mionzi hiyo ya ulinzi ambayo mingu hutumia umeme. Akapanda kwenye ngazi hiyo na kuanza kucheza na kifaa ambacho huistopisha mionzi hiyo kimya kimya pasipo kutoa ishara yoyote kwa walinzi wa benki hiyo. Kazi hiyo ika mchukua dakika tano kijana huyo hadi kuimaliza.

“Muna weza kuingia”

Waliweza kupokea ujumbe wa sauti kutoka kwa wezao walio waacha katika gari kwani wao kazi yao ni kuhakikisha wana hack kamera za chumba hicho na hata walinzi hawato weza kuelewa kama ndani ya chumba hicho kuna kitu chochote kinacho endelea kwani kamera hizo hazirekodi chochote zaidi ya kuonyesha picha iliyo pita. Wakaanza kuzama ndani ya chumba hicho mmoja baada ya mwengine huku wakiwa na mabegi makubwa sana. Kwakutimia moto wa gesi wakaanza kuvunja shelfu moja baada ya nyingine huku pesa nyingi zikiwa zimehifadhiwa kwenye vitororori vikubwa vilivyomo ndani ya chumba hicho.

“Tuna dakika kumi ya kusafisha chumba”

Kijana huyo alizungumza huku wakianza kazi ya kupakiaza mabunda ya pesa za kimarekani katika mabegi hayo makubwa na meusi. Pesa, vipande vya madini, cheni za dhahabu pamoja na pete za zahabu zilizopo kwenye mashelfu ya wateja wa benki hiyo wavikusalimika kabisa. Ndani ya dakika nae chumba hicho hakikuwa na hata dola moja. Tomas ambaye toka kuzaliwa kweke hakuwahi kuona pesa hizo, alihisi kuchanganyikiwa kwa kweli, pasipo mtu yoyote kumuona, akaificha peta moja ya dhabubu kwenye boksa yake na wakatoka ndani humo. Hawakutaka kuliacha shimo hilo wazi. Taratibu wakaanza kulitengeneza kwa saruji ambayo ina ganda kwa haraka sana. Walipo hakikisha wamefunika shimo hilo wakaanza kurudi sehemu walipo wezao.

Wakafika eneo la barabara, wezao wakawafungulia mfuniko huo wa chuma. Wakatoa mabegi ishirini yaliyo jaa pesa, dhahubu, cheni pamoja na pete za dhahabu. Wakaingia ndani ya gari hilo na kufunga mfuniko huo na kuondoka. Wakarudi Club na kumkuta Ngosha akiwasubiria.

“Kazi nzuri kazi nzuri sana”

Ngosha alizungumza kwa furaha mara baada ya kuona kiwango hicho kikubwa sana cha pesa.

“Tunashukuru sana”

“Kama munavyo jua, silazi zege. Kila mtu nina mpa anacho stahili kukipata. Ila tukumbushane kitu kimoja. Umakini ni jambo muhimu sana. Hamupaswi kufanya ujinga hadi polisi waka fahamu kwamba sisi tume husika. Tumeelewana?”

“Ndio mkuu”

“Sheria ina julikana. Endapo uta tiliwa mashaka na askari tuna kuua ili siri ibaki pale pale”

Ngosha alizungumza kwa msisitizo huku akiwatazama vijana wake. Wakaanza kupiga hesabu ya pesa waliuo ipata wakakuta ni dola milioni mia moja na ishirini na tano.

“Hahaaa haki ya Mungu waseng** wakiamka asubuhi wata lia kwa kweli”

Ngosha alizungumza na wakaanza kugawa pesa kwa vijana wake hao. Kila kijana akapata dola milioni tatu na nusu, kiasi kilicho salia akabaki nacho Ngosha.

“Kesho kuanzia asubuhi tuta kuwa na party kwenye boti. Mujiandae”

Vijana wa Ngosha wakajawa na furaha sana.

“Tomas kuna zawadi nime kuandalia tutaenda nyumbani”

“Sawa”

Ngosha na vijana wake wengine akiwemo Tomas wakabeba pesa zake, madini, cheni na pesa na moja kwa moja wakaeleka hadi nyumbani kwake. Ngosha akavihifadhi vitu hivyo katika kisima chake cha pesa kilichopo chini ya kitanda chake ambacho sio rahisi mtu yoyote kufahamu na yeye pekee ndio ana jua kisima hicho. Alipo hakikisha amehifadhi pesa hiyo, akarudi sebleni na kumkta Tomas akiwa amejawa na furaha sana.

“Tomas pesa yako uta ifanyia nini?”

“Yaani kaka hata sijui nita fanya nini. Unajua sijawahi kumiliki mkwanja mrefu kama huu”

“Ndio hivyo ume miliki ndugu yangu. Tuliza akili na fikiria nini cha kufanya na mimi nita kuunga mkono. Sihitaji uwe katika hii kazi ni ngumu sana”

“Ni kweli kaka, ila nime pata wazo moja”

“Wazo gani?”

“Kutokama nipo vizuri sana kwneye maswala ya udalali. Unaonaje nikawa dalali wa wanawake wanao kuja kwenye kama hizi kujiuza?”

“Waooo ni big idea ndugu yangu, nitakupa support yangu. Unaweza ukawa agent, una pokea wanawake kutoka Afrika Mashariki na una wauza hapa Afrika kusini na nina kuapia ndani ya muda mchache sana uta kuwa na maisha mazuri”

Tomas akazidi kujawa na furaha kwani harakati zake zote za kutafuta maisha mazuri ni kuhakikisha ana lipa kisasi kwa nabii Sanga na mke wake.

***

Mrs Sanga na Adela wakazidi kupeana burudani huku kila mmoja akionyesha ujuzi wa kumsaga mwenzake. Mrs Sanga kutokana ana ujuzi na mchezo huo mchafu, akamshinda Adela kwa pointi nyingi sana na kujikuta Adela akianza kuufungua moyo wake taratibu na kumkaribisha mrs Sanga kama mpenzi wake.

“Toka kuzaliwa kwangu, sijawahi kujisikia raha ya mapenzi kama ulivyo nifanya wewe leo”

“Kweli Adela?”

“Haki ya Mungu vile. Umenikamata mama, yaani ume nifanya nihame dunia hii kwa muda na hadi nina fika kileleeni, nime jikuta nikirudi huku nikihisi kama nimekuwa malaika fulani”

Adela alizungumza kwa sauti ya mahaba huku akiwa amekilaza kichwa chake kifuani mwa mrs Sanga.

“Jamani hongera”

“Na wewe ume enjoy?”

“Sana”

“Ila una onekana una ujuzi, au ulisha anza kuufanya huu mchezo muda mrefu?”

“Hapana ni kipaji tu”

“Mmmm Muongo wewe una nidanganya”

“Kweli vile, ni kipaji tu”

“Ahaa yaani ume nitoa hadi ute wangu wa mwisho. Yaani hapa hata sina hamu tena”

“Hahaaa, kwani toka mume wako alipo fariki ulisha wahi kukutana na mwanaume?”

“Hapana, sikuwahi, kuna dada wangu wa kazi nilikuwa nina fanya naye huu mchezo. Ila alifariki naye kwa ajali ya pikipiki miezi miwili iliyo pita hivyo nime jikuta nikiwa mpekwe na nikakosa mtu wa kumueleza hisia zangu kwamba mimi ni lesbian. Ila kwa kuwa nime kupata wewe nakuomba sana ujali hisia zangu. Pia nakuomba mume wako asifhamu juu ya mahusiano yetu”

“Usijali nitazijali hisia zako Adela”

“Nashukuru kusikia hivyo. Twende tukaoge nikurudishe ulipo fikia”

“Sawa mpenzi”

Mrs Sanga na Adela wakaingia bafuni, wakaoga kwa pamoja huku wakicheza michezo ya kimahaba. Walipo maliza kila mtu akavaa nguo zake na wakaianza safari ya kuelekea katika jumba la nabii Okocha.

***

“Shemeji haki ya Mungu wewe mtamu. Mke wako ana faidi sana”

Mrs Okocha alizungumza mara ya mtangange huo wa kukata na shoka kumalizika.

“Hii iwe siri yetu na sihitaji kusikia kwa mtu yoyote lasivyo nita kuua”

Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akivaa nguo zake. Akatoka chumbani humo na kumuacha mrs Sanga akiwa amejawa na furaha sana kwani kiu yake ya mapenzi na kulipiza kisasi ime kwisha. Nabii Sangaa kaingia chumbani kwake na moja kwa moja akapitiliza hadi bafuni, akaga huku akimfikiria nabii Okocha ni kwa nini ame amua kumsaliti.

‘Ila mke wangu ndio mwenye makosa’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akijisugua mwili wake taratibu.

‘Kwa hiyo mke wangu ni msagaji?. Mmmmm haya kweli ni matatizo, mara Tomas ana mla mkund** mara huku ana sagana na mrs Okocha. Sasa nime pata mke au mcheza ngono jamani’

Mawazo hayo yakamfanya nabii Sanga kudhamiria kumuuliza mke wake kila jambo linalo endelea hapa Nigera. Akavaa nguo zake, akavaa earphone zake masikioni, akaingia katika mtandao wa youtube na kuanza kufwatilia sherehe ya ufunguzi wa mgahawa mkubwa wa Magreth.

‘Magreth nina kupenda sana na sipo tayari kukutoa sadaka. Hii pesa niliyo nayo ina nitosha’

Nabii Sanga akayahamishia mawazo kwa Magreth kwani matatizo ya mke wake nahisi yana mpasua kichwa kwa mawazo tu.

‘Asiee huyu mtoto ni mzuri sana. Lazima niwe makini kwani kuna wajinga ni lazima wata kuwa wana mmendea’

‘Lazima nihakikishe kila anaye jaribu kumnyatia Magreth wangu ata kumbana na majanga. Yeye ni wa kwangu peke yagu na sinto jali jamii ita zungumza jambo gani juu yake. Nina mpenda sana Magreth wangu’

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa ameweka pause video hiyo inayo nyesha uso wa Magreth akihojiwa na waandishi wa habari. Mlango wa chumbani kwake ukafunguliwa na kwa haraka akaitoa video hiyo na kumtazama mke wake anaye ingia hapo huku akiwa amejawa na furaha.

“Ohoo Mume wangu nime kuacha peke yako ehee?”

“Ndio ila usijali mke wangu natazama tazama video hapa”

“Nimekuja na yule rafiki yangu Adela yupo sebleni. Nakuomba twende ukamuone”

“Mmmmm sawa”

Nabii Sanga akanyanyuka kitandani na wakatoka kwa pamoja chumbani hapo. Wakafika sebleni na kumsalimia Adela aliye jawa na tabasamu mara baada ya kumuona nabii Sanga.

“Ni siku nyingi sana Adela hatujaonana”

“Ni kweli shemeji. Ila una endeleaje?”

“Mmm hakika nina mshukuru Mungu ana zidi kutulinda na kutuinua. Vipi biashara zako zina kwendaje?”

“Kwa kweli ni jambo la kumshukuru Mungu, zinakwenda vizuri sana”

“Kama zina kwend vizuri ni jambo la heri. Ehee niambie Tanzania una kuja llini Adela”

“Shemeji acha tupange pange ratiba kisha nita wajulisha. Nime miss yule mtoto wenu wa mwisho nani?”

“Julieth”

“Ndio naamini sasa ata kuwa mdada”

“Ohoo amekuwa mkubwa kwa kweli na yupo chuo kikuu sasa”

“Waoo hongereni sana”

“Tunashukuru. Vipi mrs ana endeleaje?”

Kidogo Adela akawa mpole kwani mume wake tayari amesha fariki.

“Shem mume wangu alisha fariki”

“Weeee!! Acha masihara Adela?”

“Aki ya Mungu shem”

“Aise pole sana kwa nini hukutujulisha hata tufike msibani”

“Shemeji huwezi kuamini, nilizimia takribani wiki nzima”

“Aisee pole sana shemeji”

“Asante. Nimemleta mke wako, nilihisi kwambaa akija huku uta mfokea kwa nini ame chelewa kurudi na ikiwa yupo ugenini?”

“Haha hapana shemeji mimi sina neno na isitoshe nina kufahamu hata ange lala huko isinge kuwa tatizo”

“Wee kwa hiyo shemeji una niruhusu leo nika lale na mke wako”

“Muulize yeye akipenda sawa. Isitoshe ata kuwa ana kufariji fariji kwa maana nina imani upo mpweke sana nyumbani kwako”

“Ni kweli shemeji nakuomba nikae naye japo hata siku mbili”

“Hei ume kubalian ana ombi hilo?”

“Ndio”

Ikawa ni furaha kwa Adela, mrs Sanga akaelekea chumbani kwake na kuchukua nguo kadhaa, kisha wkaanza safari ya kurudi kwa Adela huku wote wakionekana kuwa na furaha kubwa sana kwani wata utumia muda huo walio pewa kuburudisha kisawa sawa.

***

Hadi wana fika nyumbani, Magreth ana onekana ni mwenye mawazo. Ana wazia ni jinsi gani ata ishi na Evans pale nabii Sanga atakapo rudi nchini Tanzania. Isitoshe ana kumbuka ahadi zote za ubaya ambazo nabii Sanga alikuwa akiziweka endapo tu ata mjua msaliti wake kwa Magreth.

“Hei baby vipi una umwa mbona kama haupo sawa?”

Evans alizungumza kimahaba mara ya kuingia sebleni, wakitokea kwenye mgahawa wao. Magreth akashusha pumzi nyingi huku akikaa kwenye sofa na kuipandisha miguu yake mezani.

‘Masikini Evans nakuingiza matatizoni pasipo wewe kujua’

Magreth aliwaza huku akimtazama Evans anaye mtazama kima haba.

“Mage kuna jambo lolote lime kwenda vibaya siku ya leo?”

“Hapana mpenzi wangu”

“Ila kuna nini, mbona upo mnyonge kiasi hicho?”

“Evans”

“Naam”

“Una nipenda?”

“Ndio nina kupenda mpenzi wangu ndio maana nilikuwa tayari kuyatoa maisha yangu ili kukuokoa wewe uwe salama”

Kauli hiyo ya Evans ika uchoma sana moyo wa Magreth.

“Nina jambo lina niumiza sana moyoni mwangu natamani kukueleza ukweli, ila nina jikuta nina shindwa”

“Kuwa huru Magreth mimi nipo tayari kusikia ukweli na siku zote nina mpenda mtu mkweli na muwazi kwenye maisha yangu”

Magreth akajikuta akianza kulengwa lengwa na machozi kwani endapo ata mueleza Evans kwamba mali zote hizi na kila kitu walicho kivaa kimetokana na yeye kutoa penzi kwa nabii Sanga hakika itakuwa ni pigo kubwa sana kwa Evans ambaye alimdanganya kwamba mali hizo zime tokana na urithi wa pesa za marehemu baba yake.



Magreth taratibu akashusha miguu yake mezani na kumgeukia Evans aliye jawa na hamu ya kuhitaji kufahamu ni kitu gani ambacho Magreth ana hitaji kumueleza.

“Yale yote niliyo kueleza juu ya hizi mali na pesa ninazo zimiliki ni uongo”

Magreth alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimtazama Evans usoni mwake.

“Ni uongo kivipi?”

“Sikurithi mali kutoka kwa baba yangu. Kwani baba yangu alikufa masikini mimi nikiwa na umri wa miaka nane”

“S…a….a….aaa hizi pesa zote ume tolea wapi?”

Evans alishikwa na kigugumizi huku mapigo ya moyo yakianza kumdunda taratibu. Macho yakamtoka huku akimtazama Magreth anaye mwagikwa na machozi.

“Niliuza kitu muhimu sana kwenye maisha yangu”

“Kitu gani Magreth”

Evans alizungumza hukua akijifuta jasho linalo mwagika kwa kitambaa.

“Evans niliyafanya yote haya ili kufika hapa nilipo”

“Sawa Magreth uliuza nini, tafadhali niambie”

“Niliuza usichana wangu kwa mwanaume ambaye sikuweza kumpanda. Mwanaume huyo ndio aliye nipatia pesa hizi zote na bado ana nipenda na kwa sasa yupo nje ya nchi ila ata rudi siku si nyingi. Ni mtu aliye ahidi endapo kwamba nita kuwa na mahusiano na mwanaume mwengine basi ata muua mwanaume huyo. Ile simu iliyo pigwa muda ule na nikaenda kuipokea pembeni ni yeye na ameniambia kwamba wiki ijayo ana rudi. Evans nina ogopa sana haya maisha, nina ogopa kukuingiza kwenye matatizo makubwa kwa maana mwanaume huyo nina mfahamu na hashindwi kukufanyia jambo baya. Naogopa Evans”

Magreth alizungumza hukua akilia kwa uchungu mkubwa sana. Evans mwili mzima ukazidi kumtetemeka. Woga ulio changanyikana na hasira ukazidi kuuvaa moyo wake.

“Kwa kuyatoa maisha yangu kwa ajili yako. Haya ndio malipo yake si ndio Magreth?”

Evans alizungumza huku akiendelea kutetemeka kwa woga.

“Hapana Evans sikuhitaji haya mambo yawe hivi. Mimi nina kupenda wewe”

“Acha unafki Magreth.”

Evans alizungumza kwa ukali sana huku akinyanyuka kwenye sofa hilo.

“Wewe una nileta humu ili niuwawe si ndio?”

“Evans naomba uni elewe, mwanaume huyo sikujua kama ana weza kufanya haya aliyo ya fanya. Namuogopa Evans, amenitoa mavumbini na amenifanya niheshimike na kujulikana”

“Niachie unafki, kukutoa mavumbini kwako kwa hiyo una taka na mimi anirudishe mavumbini nikiwa mfu si ndio? Nashukuru kwa juhudi zako zote ulizo weza kunionyesha nilipo kuwa nimelela pale hospitalini. Sikuja na kiti kwenye hii nyumba ya mumeo. Acha nikatafute maisha yangu, nina mama yangu ana nitegemea kijijini nahisi ata shangaa na kuumia kuona mwanaye nitakufa eti kisa nimekutwa na mke wa mtu”

Evans alizungumza kwa hasira sana na kumfanya Magreth kujawa na hofu kubwa sana. Kwenye kipindi chote hicho hakuwahi kumuona Evans akiwa katika hali ya hasira kama hivyo.

“Eva…..”

“Kaa kimya mwanamke, ni heri ungenieleza ukweli toka nilipo kuwa hospitalini ninge jua ni jinsi gani nina pambana na hali yangu. Kuliko umesubiri nikuuingize moyoni mwangu alafu unakuja kunieleza ukweli. Hahaa…..hapa sio kwangu sijanunua hata hili kapeti nililo kaganya hapa, je nitaendelea kujiita mume wa mtu au mariooo? Siwezi kuishi maisha ya namna hiyo. Kwaheri, funguo za gari lako hizi hapa, simu uliyo ni nunulia hii hapa, pia ukihitaji nguo hizi ulizo ninunulia na viatu nita vua pia”

Evans aliendelea kuzungumza kwa hasira huku akimrushia Magreth funguo ya gari pamoja na simu. Magreth kwa haraka akasimama na kumfwata Evans anaye elekea mlangoni.

“Evans mimi nina kupenda wewe. Wewe ndio mume wangu, mwanaume wa maisha yangu”

“FUNGAAAAAAAAAA BAKULIIII LAKOOOO MAGEEEEEEEE. Usitake nikuueee kama nilivyo muua mzeee SHIKAAAAA………………..!!!”

Evans alizungumza huku macho yakiwa yamejaa uwekundu hadi Magreth akasitisha hatua za kumfwata. Maneno ya kumuua mzee Shika yakaanza kumrudia rudia Magreth kichwani mwake na kuzidi kumuogopesha.

“Kama niliweza kumuua baba yangu. Nawewe ninaweza kukuua hivyo achana na mimi kenge wewe.”

Evans mara baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo, akafungua mlango na kuubamiza kwa nguvu. Akatoka nje na kufungua geti dogo, akalibamiza na kutokomea gizani. Magreth akahisi nguvu zikimuishia miguuni mwake na taratibu akajikuta akikaa chini huku akilia kwa uchungu sana. Magreth akajikaza na kutoka nje ya geti la nyumba yake, akajaribu kuangaza kila sehemu kama ana weza kumuona Evans ila hakubahatika kumuona kabisa na kutokana ni usiku hakuweza kwenda mbali na nyumbani kwake, hii ni kutokana na woga. Akarudi sebleni huku akiwa na matumaini kwamba hasira za Evans zikiisha ata rudi.

***

Kundi kubwa la vijana nane wenye mapanga na marungu, wakavamia katika duka kubwa la jumla la mzee Hindu. Wakafanikiwa kumuweka mlinzi chini ya ulinzi mkali huku wakimfunga kamba na kupatia kipigo kizito almanusura waichomoe roho yake. Wakiwa katika harakati za kuvunja geti kubwa la duka hilo, gari mbili za polisi zilizopo kwenye doria, zikatiza eneo hilo na kusababisha vijana hao kuanza kutawanyika huku kila mmoja akipita njia yake. Polisi wenye silaha pamona na mbwa wakali wakaruka kwenye magari hayo hata kabla hayajasimama na wakaanza kuwafukuzia vijana hao ambao mpango wao ume vurugika. Evans akiwa na hasira zake akaona watu wawili wakija nyuma yake huku wakiwa spidi sana. Kutokana ni usiku na eneo alilipo lina tisha kidogo, akaona usalama wake ni kuanza kutimua mbio.

Vijana hao waka mpita kwa maana wana mazoezi mazuri tu ya kukimbia mithili ya mwana riadha maarufu duniani Hussein Bolt. Polisi ambao nao wapo kwenye spidi, wakaanza kukaribia Evans ambaye naye ana anakimbia kuelekea wanapo kwenda vijana hao. Askari mrefu na anaye kimbia kuwapita wezake, akafanikiwa kumfikia Evas na njia pekee ambayo aliona ita msaidia kumzuia Evans ni kumtandika teke kwa nyuma na teke hilo likafanikiwa kuifikia miguu ya Evans na uifanya igongane na kuanguka vibaya sana.

“Mfungeni pingu huyo”

Askari huyo aliwaambia wezake watatu walipo nyuma yake huku yeye akizidi kukimbizana na vijana hao wawili. Askari wawili, wakamvamia Evans anaye jitahidi kua kunyanyuka chini hapo, wakamlaza kifudi fudi na kuirudisha mikono yake kwa nyuma na kumfunga pingu.

“Jamani mimi kosa langu ni nini?”

Evans alilalama, ila askajibiwa kwa kutandikwa teke la mbavu na kumfanya agugumie kwa kutoa maumivu makali sana. Wakamnyanyua, huku wakimzaba ngumi na makofi mfululizo. Wakafika eneo walipo simamisha defender zoa mbili na kukuta vijana wengine sita wakiwa wame kamatwa tayari na wapo chini ya ulinzi mkali sana.

“Panda panda”

Evans akasukumiwa kwenye gari hilo na kuchanganywa na waizi hao.

“Jamani mimi sijui ni nini kinacho endelea. Muna nionea tu”

Evans alilalama hukua kilia kwa uchungu sana. Hapakuwa na askari aliye weza kumsikiliza wala kujali kilio chake. Askari huyo mrefu na mwenye nguvu akarudi eneo hilo huku akiwa amewaswega vijana hao wawili suruali zao maeneo ya makalioni. Akawasukumia kwa wezake ambao wakaanza kuwashambulia kwa mateka na makofi huku wakiwapandisha kwenye gari hizo.

“Wajinga sana hawa watoto. Badala ya kufanya kazi kwa juhudi wame kuwa mijizi”

Askari huyo alizunguma huku akihema kwani shuhuli aliyo ifanya si ndogo kwa kweli. Askari kadhaa wakabaki katika eneo hilo la tukio huku wengine wakiondoka na kundi hilo la vijana hadi central Polisi. Wakawashusha huku wakiwatandika virungu, huku Evans naye akijikuta akipata dhahama hiyo.

“Panga mstari mmoja”

Askari huyo mrefu alizungumza na hapakuwa na kijana hata mmoja aliye goma kufwata amri hiyo kwani kipigo walicho kipata si kidogo.

“Chuchumaa weweeee. Munataka kuingia kwa kutembea hapa ni kanisani kwani?”

Vijana wote wakachuchumaa. Wakaanza kurukishwa kichura chura huku wakiingizwa katika kituo hicho kikubwa cha polisi. Wakingizwa katika sero ya kwao peke yao wakisubiri utaratibu mwengine.

“Afande mimi sihusikia”

Evans aliendelea kuwaomba askari hao.

“Alafu wewe kaa kimya, si ulikuwa una kimbizana na hawa wezako. Tena ukiendelea kupiga piga kelele tuta kuvunja”

Askari huyo alizungumza kwa ukali na kumfanya Evans kukaa kwa kuogopa kuvunjwa.

“Sasa ole wenu nisikie kelele, tutapiga risasi mmoja baada ya mwengine”

Vitisho hivyo vya askari vikawafanya vijana hao kukaa kimya huku malengo yao na ndoto zao walizo kuwa wana zipanga kuhusiana na kupata mali zilizomo dukani humo, zikiishia katika chumba hicho chenye giza tototo.

***

Hadi kuna pambazuka, Magreth hakuweza kupaona uwezo wa Evans. Wasiwasi na woga ukazidi kumjaa kwani kuondoka kwa Evans haukuwa kwa amani.

‘Jamani upo wapi Evans wangu’

Magreth alilala na ana shindwa kumpigia simu kwa maana simu ya Evans ipo sebleni hapo. Magreth akajifikiria kwa muda kisha akaingia chumbani kwake. Akaoga na kubadilisha nguo zake, akafunga nyumba yake na kuingia kwenye gari lake ambalo kwa sasa ana weza kuliendesha vizuri. Akaaanza safari ya kuelekea ofisini kwake huku akijipa matumaini ya kumkuta Evans ofisini kwake. Foleni kubwa ya barabarani ika mfanya Magreth kutumia zaidi ya masaa mawili kufika ofisini kwake. Akafika ofisini na kuwakuta vijana wake wakifanya usafi wa mgahawa huo mkubwa. Akasalimiana na wafanyakazi wake hao.

“Evans mume muona asubuhi hii?”

“Hapana bosi”

“Hajafika?”

“Ndio, mimi ndio wa kwanza kufika hapa ila sija muona”

“Ohoo Mungu wangu ata kuwa wapi huyu mwanume?”

Magreth aliwaza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Kwani bosi jana si uliondoka naye?”

“Ndio niliondoka naye ila tulipishana kauli usiku na aliondoka kwa hasira. Sasa ijajua ni wapi ame kwenda.”

“Jaribu kumpigia simu yake?”

“Sim aliacha nyumbani ndio maana nina pata wakati mgumu sana kumtafuta”

“Ila kama aliondoka kwa hasira basi zikiisha ata rudi. Si ana marafiki wengi hapa Dar?”

“Ndio anao ila hajawahi kunitambulisha?”

“Usijali bosi ata rudi”

Magreth alipewa matumaini na mfanyakazi wake huyo wa kike aitwaye Anjelina. Wakaanza kazi ya kuandaa vifungua vinywa kama kawaida kwani mgahawa huo una fanya kazi kuanzia asubuhi hadi usiku. Wateja wakaanza kumiminika hadi wakajikuta wengine wakikosa nafasi za kukaa. Wingi wa wateja uka mfanya Magreth kuwa bize sana na hata wazo la kumfikiria Evans akaliweka kando.

Mapishi ya Magreth yakazidi kuwapagawisha wateja wengi ambao kila mmoja alijikuta akimwaga sifa kedekede kwa Magreth.

“Mimi nina kula chakula kwenye migahawa mingi hapa Kinondoni na Dar kwa ujumla ila chakula chako kipo very amaizing”

Mwana dada huyo ambaye ni mteja alimsifia Magreth hukua akihesabu noti za shilingi elfu kumi kumi sita na kumkabidhi Magreth, kwani chakula na vinywaji walivyo kula na wezake vime fika kiasi hicho cha pesa.

“Nashukuru sana”

“Yaani nina kuambia uta kuwa top in dar. Mungu akikubariki huko mbeleni, fungua hata hoteli au ongeza ukubwa wa eneo hili”

“Nitalifanyia kazi wazo lako”

“Hivi muna pika vyakula kwenye maharusi?”

“Mmmm kutokana ndio kwanza tuna anza bado hatujaanza kupika, ila tukipata oda ya uhakika basi tuta pika”

“Sasa chukua namba yangu nawe nipe yako. Mwezi ujao, mdogo wangu wa mwisho ana funga ndoa. Nitapenda chakula tutakacho kula ukumbini kifikie hapa”

“Karibuni sana”

“Nashukuru, tena tuta kulipa vizuri sana. Yaani ume nikamata Mage”

“Nashukuru sana, una itwa dada nani?”

“Vivian”

“Sawa nita kusave kwa jina hilo”

“Sawa, leo usiku nitakuja na familia yangu yote hapa, tuje kupata chakula cha usiku na baada ya hapo nita washawishi juu ya kukupa tenda ya kutupikia kwenye harudi ya dogo”

“Karibuni sana na nina imani kwamba hamto jutia kwa nini mulinipa nafasi”

“Sawa acha nirudi ofisini kwangu”

“Karibu sana”

Magreth akazidi kujawa na furaha na usongo wa kufanya vizuri kwenye mapishi yake. Kwajinsi watu wanavyo zidi kuingia na kutoka kwenye mgahawa wa Magreth ukaanza kuwafanya wamiliki wengine wa migahawa na mahoteli ya karibu naye kuingiwa na kinyongo cha chuki, kwani wateja wao walio kuwa wana wategemea wote wame hamia kwa Magreth.

***

Habari ya kuvunjwa na kuibwa kiwango kikubwa cha pesa katika benki ya Standar Chartered iliyopo Sandton South Afrika ikaanza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ndani ya nchi hiyo na nje ya nchi hiyo.Vituo vikubwa vya habari duniani kama CNN, BBC na Al Jazirah zikaitangaza habari hiyo huku wakidai majambazi walio fanya kazi hiyo ni watu wenye uwezo mkubwa sana wa akili na wameweza kuisoma ramani ya benki hiyo kwa kipindi kirefu sana. Wapelelezi kutoka katika vitengo mbalimbali katika nchi ya Afrika kusini, wakaanza kushirikiana kwa pmoja ili kuhakikisha kwamba wana pata japo hata alama za vidole vya waizi hao ili mradi waweze kumtambua japo mmoja wao amabaye ana weza kusababisha wengine kuweza kupatikana.

Kazi ya upelelezi wao haikuweza kuzaa matunda ya aina yoyote kwani hakuna hata alama ya kidole iliyo weza kuachwa.

‘Bado tuna endelea na upelelezi na tuna wahakikishia watu kwamba ni lazima tuta watia nguvuni majambazi hao’

Ngosha akazima tv kubwa iliyopo sebleni hapo huku akiangua kicheko cha dharau hadi Tomas akabaki akiwa ana mshangaa.

“Mbona una cheka”

“Namcheka huyu kamishina wa polisi.”

“Kwa nini una mcheka?”

“Hii si mara yake ya kwanza kuzungumza jambo hilo. Unajua katika kipindi chote ambacho vijana wangu wana kuwa wana fanya matukio ya wizi wa mabeki, huwa hakuna mpelelezi hata mmoja anaye weza kupata ushahidi wa aina yoyote na huwa wana ishia kusema kwamba watatutia nguvuni ila hakuna kitu”

“Ni kwa nini wanashindwa kupata ushahidi wowote?”

“Ndio maana kuna ile kambi ya siri kule. Nina imani Scooby doo alikufundisha vizuri. Umakini na kiwango ambacho tuna kitazama kwa wana timu yanagu ni umakini. Tazama mume kwenda, mume iba na hakuna uzembe ulio fanyika. Huo ndio umakini ninao uzungumzia”

“Sawa sawa hapo nime kuelewa”

“Ehee lini una kwenda kumuona mwanao. Sasa hivi una una takiwa kutengeneza mazingira kwa mwanao”

“Ni kweli kaka inabidi leo niende kwa yule mwanamke”

“Una uhakika kwamba yule jamaa yake huto weza kumkuta?”

“Sijajua, ila kutokana simpendi sina haja ya kuwa na wivu naye. Ile sherehe uliyo zungumza ita fanyika saa ngapi?”

“Leo hii, boti tayari ipo tayari na ndani ya boti tuta kuwa na wanawake mia moja walivalia bikini tu na sidiria”

“Weeee!!”

Tomas alishangaa huku akihisi udenda una mtoka.

“Ndio hiyo kaka hiyo ina itwa SEX PARTY, yaani wewe una jikamatia umtakaye, una kula mzigo, una chukua mwengine una kula mzigo. Yaani kwa wewe ambaye una ugwadu wa kukaa porini nina imani wata kukoma”

“Yaani kaka nina tamani hiyo sherehe ianze hata sasa hivi”

“Je kwenda kuiona familia yako?”

“Siku nyingine tuta kwenda ila nataka kwenda kushuhudia kwa macho yangu hiyo Patry na nitakacho wafanya hao wasichana hakika wata simuliana”

Tomas alizungumza kwa msisitizo huku shetani wa ngono akiwa tayari amesha mtawala ufahamu wake wa akili na mwili mzima.



“Sawa upendavyo broo, wewe nenda kajiandaa tukale mavituzi ya watoto wazuri wazuri”

Ngosha alizungumza huku akiwa amejawa na furaha, Tomas akanyanyuka na kuelekea chumbani kwake huku furaha ikizi kumtawala. Akaangalia kiacha hicho cha pesa kilochopo ndani ya begi lake kubwa.

‘Lazima kiasi wewe uongezeke’

Tomas alijisemea kimoyo moyo. Akamaliza kujiandaa kisha akachukua kiasi cha pesa na kuweka kwenye koti lake alilo livaa, akazifungia pesa hizo ndani ya kabati kubwa na kutoka huku akiwa ameishika funguo ya kabati hilo. Wakaondoka nyumbani hapo, wakafika katika fukwe za bahari huku karibia vijana wote wakiwa wamefika. Wakaingia katika boti hiyo kubwa.

“Kuna yoyote aliye bakia?”

“Hapana mkuu”

“Twende zetuni”

Wakaianza safari hiyo huku mziki mkubwa ukipigwa katika boti hiyo na wasichana ambao hawana nguo kabisa wakicheza pasipo kujali utu wao. Tomas, akatazama ni msichana gani ambaye ana weza kumfaa. Akawaona wasicha wawili walio jazia makalio yao, akawafwata na kuwashika mikono.

“Tuna weza tuka jumuika pamoja?”

“Hakuna tatizo sisi ni wako tu”

Msichan mmoja alizungumza huku akizing’ata ng’ata lipsi zake. Wakaingia ndani ya moja wapo ya chumba cha boti hiyo. Wasichana hao wakamsukumia Tomas katika sofa kubwa lililomo ndani ya chumba hicho kisha wakaanza kupapasana wenyewe kwa wenyewe na kumfanya Tomas kuzidi kujawa na uchu. Wasichana hawa, wakaanza kunyonyana ndimi zao huku wakiendelea kupapasana maeneo ya maziwa. Walipo hakikisha wame mpagawisha Tomas kwa vitendo hivyo taratibu wakamsogelea na kuanza kumlamba lamba masikioni mwake.

‘Ohooo aiisss…..iiii’

Tomas alilalama huku akiwa ameyafumba macho yake. Msichana moja akafungua zipu ya suruali ya Tomas na kumtoa jogoo wake kisha na taratibu wakaanza kumnyonya kwa zamu zamu na kuzidi kumpagawisha Tomas.

***

Magreth akaandaa meza kubwa kwa ajili ya oda aliyo pewa na mwana dada aliye kipenda chakula chake. Kwa kusaidiana na wafanyakazi wake wakaandaa chakula hicho na kuwakaribisha familia hiyo ya kitajiri. Wakawaandalia chakula hicho na kuwakaribisha kwa ukarimu sana. Baba Vivian alipo onja tu chakula hicho, akajikuta akitingisha kichwa ikiwa ni ishara ya kunogewa.

“Wewe ndio ume pika hiki chakula?”

Baba Vivian alimuuliza Magreth aliye simama pembeni yao.

“Ndio mkuu”

“Kwa kuanza tu chakula kina onekana ni kizuri. Ngoja niendele kisha nita kupa maksi zako mwisho”

“Karibuni sana”

Magreth akaondoka katike eneo hilo na kuingia ndani huku akimuwaza Evans wake ambaye hadi sasa hivi haja muona kabisa.

“Bosi”

“Niambie Diana”

“Mbona una onekana haupo sawa”

“Bado nina mfikiria Evans, sijui atakuwa wapi mume wangu”

“Usijali ata rudi tu nyumbani usiwa na mashaka”

“lla usiku alio ondoka ni mbaya sana”

“Usijali, Mungu ata mlinda”

“Hivi ume mfahamu yule mzee pale”

“Nani wale tulio waalika?”

“Ndio?”

“Hapana?”

“Huyu ndio yule mzee anaye miliki makampuni ya utengenezaji wa mafuta ya kula, unga wa ngano hata huu unga tunao utumia ni wa kampuni yake”

“Weeee!! Mimi simfahamu”

“Ndio yeye ana itwa mzee Morris. Ana pesa balaa”

Diana alizungumza huku wakiwatazama mzee Morris na familia yake.

“Duu ndio maana mzee alipo anza kula tu alitingisha kichwa akionakana kunogewa na kile anacho kula”

“Ndio hivyo. Yaani nakuambia boss mwaka huu usipo kuwa tajiri basi hauto kuwa tajiri kabisa’”

“Ehee Mungu atujalie”

Ndugu wote wa Vivia wakakisifia chakula hicho kilocho pikwa na Magreth.

“Vivian ukiachana na tenda ya kumpa katika harudi ya mdogo wako. Una onaje tukamtumia katika matangazo ya ngano yetu mpya inayo kuja?”

Mzee Morris alimuuliza Vivian ambaye ndio mkurugenzi mkuu wa kampuni zote za baba yake huku mzee Raisi akiwa ndio raisi wa kampuni hizo.

“Kama vile ulikuwa kichwani mwangu baba. Ngoja kwanza tumpe hii tenda ya harusi kisha tuta angalia swala la kumpatia mkataba wa matangazo”

“Hapo sawa, wewe si upo karibu naye?”

“Ndio”

“Basi anza kumshawishi, kwa maana makampuni mengine wakigundua kipaji chake cha upishi basi kwa asilimia kubwa tuna weza tuka jikuta tuna mpoteza au una semaje mke wangu?”

“Ni kweli baba Vivian. Sijawahi kupna mtu mwenye kipaji cha upishi namba hii”

“Ngoja nika muite”

Vivian akanyanyuka na kumfwata Magreth sehemu alipo, wakarudi kwenye meza hiyo na yeye aka pewa kiti ili waweze kuzungumza naye.

“Chakula chako kusema kweli nisiwe mnafki, ni chakula kitamu sana”

“Nashukuru sana mzee”

“Una umri gani?”

“Miaka isihirini na tano”

“Waooo bado mdogo sana na una uwezo mkubwa namna hiyo. Sasa swala la kupata tenda ya upishi katika harusi ya kijana wangu ume ipata. Pia kuna jambo jengine nilimuagiza Vivian akuambie, ila acha nikuambia mimi mwenyewe.”

Magreth akakaa vizuri hukua akimtazama mzee Morris.

“Mimi ni mmiliki wa makampuni ya MORRIS GROP’S OF CAMPANY. Namiliki makampuni zaidi ya kumi na tano yanayo jihusisha na mambo mbalimbali. Ila kampuni yangu iliyo kubwa zaidi ni kampuni inayo husiana na maswala ya utengenezaji unga wa ngano na ugali”

“Nime fikiria kukupa mkataba wa matangazo katika kampuni yangu hiyo. Kila aina ya ngano itakayo kuwa ina toka basi wewe uwe ni mtangazaji wa bidhaa hiyo. Hapo una semaje?”

Magreth akashindwa hata kuitikia zaidi ya kubaki mdomo wazi, macho ya wanafamilia wote watano kumi na tano wana subiria jibu la Magreth.

“A…a..a..aa ni..nime nimekubali”

“Safi sana. Nita chukua namba zako kwa Vivian hapa kisha tuta wasiliana kesho asubuhi na nitakupa maelekezo ya wapi uweze kufika”

“Sawa asante sana baba”

“Mmmmm Mage huyu ndio baba yangu, huyu mama yangu. Hao wawili ni mapacha ndio wadogo zangu wa kike wanao nifwata. Yule kule ni dogo na ndio bwana harusi mtarajiwa. Naye niliona sio vyema nika muacha kwenye dinner hii. Wale kule ni wajomba zangu na wake zoa, kiufupi hii ni robo ya familia, wengine walishindwa kufika hapa kutokana na sababu mbalimbali”

“Nafurahi sana kuwaona jamani na karibuni sana kwenye mgahawa wangu”

“Tunashukuru nawe”

“Malipo tuta malizana mimi na wewe Mage sawa”

“Sawa”

Baada ya mazungumzo hayo, Magreth na Viviana wakaelekea eneo la ndani mgahawa huo. Vivian akatoa milioni mbili na kumkabidhi Magreth.”

“Mbona ni nyingi sana ikiwa chakula mulicho kula hakiifiki hata laki tano?”

“Hii nyingine ni bonus, ila kumbuka wewe una tufaa sana, endapo kuta tokea watu wengine waka kushawishi sijui ukafanye nini kwenye makampuni yao. Tafadhali nina kuomba tuliza kwanza akili na fikiria lile alilo lizungumza baba yangu”

“Nashukuru sana dada Vivian”

“Usijali wewe kuwa na amani.”

“Asante sana.”

Viviana na familia yake wakaondoka na kumuacha Magreth akiwa katika furaha kubwa sana kwani malengo yake ya kibiashara yana zidi kupamba moto. Kutoka kuwa muuza maandazi wa kutembeza mtaani hadi kumiliki mgahawa mkubwa sana ambao ume kuwa ni gunzo katika jiji la Dar es Salaam.

Magreth akawapo bonas wafanyakazi wake ya laki moja na nusu kila mmoja, kisha wakashirikiana kwa pamoja kufunga mgawa kwani tayari muda umesha kimbia sana.

“Jamani kesho nina weza nika chelewa kufika ofisini. Ila kabla ya kwenda huko nitakapo kwenda nita ipitisha funguo hapa sawa”

“Sawa boss”

“Niwatakie usiku mwema na kuweni makini”

“Nawe pia”

Magreth akaingia katika gari lake na kurudi nyumbani kwake huku akiwa na mfuko wa nailoni ulio jaa pesa. Akajitupa sebleni na kuzimwaga pesa zote juu ya meza, akaanza kuzitengenisha noti za elfu kumi, elfu tano, elfu mbili na elfu moja moja. Akaanza kuzihesabu moja baada ya nyingine. Akapata kiasi cha milioni kumi na moja na laki sita, stini na tano elfu.

“Ohoo asante Mungu, wewe ndio una jua ni wapi nilipo toka”

Magreth alijikuta akirufahia huku akizirudisha pesa hizo kwenye mfuko na kuingia chumbani kwake. Akavua nguo zake na kuingia bafuni, akiwa bafuni akaanza kusikia simu yake ikiita na kwa haraka akatoka. Akakuta namba ngeni, kwa furaha akaipokea huku akiamini kwamba atakaye kuwa ana mpigia ata kuwa mpenzi wake Evans.

***

Siku nzima hapakuwa nahata mmoja wao aliye patiwa dhamana wala kuletewa chakula na ndugu ama jamaa. Hadi giza lina tawala hali zao katika upande wa njaa, ila karibi siku nzima Evans amekuwa ni mtu wa kulia na kumuomba kula askari anaye pita hapo aweze kumsikiliza ombi lake.

“Alafu mwanangu una jua kwamba una zingua?”

Kijana aliye kaa karibu na Evans alizungumza huku akimtazama usoni mwake. Evans akamtazama kijana huyo kw amacho yaliyo jaa hasira.

“Ndio una zingua mjinga wewe. Una lia lia nini?”

“Oya usinivuruge na wewe”

“Sio nisikuvuruge. Wewe mtoto wa kiume jikaze. Usilete umama mama humu”

Maneno ya kijana huyo yakazidi kumkera Evans aliye jawa na hasira kali sana. Evans akamtandika kijana huyo ngumi ya mbavu pasipo kujua kwamba kundi lot la vijana hao ni timu moja. Vijana hao kwa pamoja wakanza kumshuambulia Evans kwa kumpiga kwani ame anzisha mashambulizi kwa vijana hao. Kelele za vijana hao zikawafanya askari kufika eneo hilo. Wakafungua geti la mahabusu hilo na kumtoa Evans ambaye ndani ya muda mfupi ame chakazwa vibaya kwani vijana hao ni wahuni.

Askari hawakuweza kuwaacha salama vijana hao walio mpiga Evans. Wakaanza kuwatembezea kipigo kikali kwa kutumia virungu.

“Kuna nini kinacho endelea?”

RPC Karata aliuliza mara baada ya kufika eneo hilo.

“Mkuu hawa vijana wame mshambulia huyu mwenzo hembu angalia walivyo muumiza”

“Hawa ndio wale walio kuwa wakivunja duka Kigamboni?”

“Ndio”

“Kesho wote wapelekwe mahakamani. Hakuna haja ya kuendelea kuwa nao katika eneo hili. Sawa”

“Sawa mkuu”

“Jamani mimi sio miongoni mwao. Mimi nilikuwa ni mpita njia tu. Nilipo waona hawa vijana wana kimbia wakiwa wana kuja nyuma yangu nikahisi wana taka kunidhuru na mimi niliamua kukimbia ndio polisi nao aka nikamata”

Evans alizungumza kwa haraka haraka. Akari mmoja akataka kumpiga ila RPC Karata aka mzuia.

“Hembu mkalisheni hapo”

Askari huyo akamnyanyua Evans na kumkalisha.

“Wewe ndio yule ambaye una fanya kazi katika ule mgahawa mpya wa Magreth?”

“Ndio. Ni mimi afande”

Evans alizungumza kwa matumaini makubwa sana.

“Huyu kijana nina mfahamu. Nina wasiliana na Magreth endapo ata kutambua, basi utaratibu wa dhamana uweze kufanyika. Unaitwa nani?”

“Evans”

RPC Karata akatoa simu yake mfukoni na kuitafuta namba ya Magreth na kumpigia. Simu ya Magreth ikaanza kuita na baada ya muda kidogo ika pokelewa.

“Habari za muda huu Magreth”

“Salama tu wewe ni nani?”

“Mimi nina mkuu wa polisi nina itwa RPC Karata nina imani kwamba una nifahamu”

“Ndio baba shikamoo”

“Marahaba. Sasa ni hivi, kuna kijana wako mmoja tuna mshikilia hapa kituoni kwetu sijui kama una mfahamu”

“Kijana wangu!! Nani huyo?”

“EVANS usiku wa jana alikamatwa na kundi la waizi walio kuwa wana vunja moja ya duka huko Kigamboni je una taarifa naye?”

“A…me…me ka…kaa….matwa na wai….zi”

Magreth alizungumza huku wakiwa wamejawa na kigugumizi kizito sana kwani hakuwahi kufikiria kama ipo siku Evans wake ata kuwa mwinzi tena wa duka.



ENDELEA

“Ndio kama una weza kufika hapa central njoo”

“Nakuja sasa hivi”

“Sawa”

RPC Karata akakata simu huku akimtazama Evans usoni mwake.

“Bosi wako ana kuja. Mpelekeni katika chumba cha kupumzikia na mumpe huduma ya kwanza”

“Sawa mkuu”

Evans akapelekwa katika chumba cha mapumziko na kupewa huduma ya kwanza. Baada ya nusu saa Magreth akafika kituoni hapo, akamuulizia RPC na kuelekezwa ofisini kwake.

“Karibu sana Magreth”

“Nashukuru sana”

“Hongera sana sifa za mgahawa wako zina fika hadi hapa ofisini kwangu na kuna vijana wangu huwa wana kula hapo”

“Nashukuru sana baba yangu. Evans yupo wapi?”

“Yupo kwenye chumba cha mapumziko, huwa hatutoi zamana majira ya usiku kama haya. Ila kutokana nina kufahamu na pia nina muheshimu nabii Sanga, basi nina kusaidia kufanya hivyo”

“Nina shukuru sana baba yangu”

“Usijali vipi nabii Sanga amesha rudi?”

“Hapana ana rudi wiki ijayo”

“Ahaa sawa sawa. Ngoja nika mlete mtu wako”

RPC Karata akanyanyuka na kutoka ofisini hapo, baada ya dakika tano akarudi akiwa na Evans aliye fungwa bandeji mkononi mwake kwa maana vijana hao walimjeruhi mkono wake.

“Ohoo jamani mume wangu”

Magreth alijisahau kwamba RPC ana fahamu mahusiano yake na nabii Sanga na alisha wahi kuwakuta chumbani pamoja. Magreth akamkumbatia Evans kwa furaha.

“Nini kilikupata jamani?”

Magreth aliuliza huku akimtazama Evans kuanzia juu hadi chini.

“Ni matatizo mke wangu”

“Pole sana. Mzee wangu nina kushukuru sana kwa kile ulicho nisaidia”

“Usijali, ila sijui tuna weza kuzungumza?”

“Bila shaka”

“Kijana subiri hapo nje”

Evans akatoka ofisini humo na kuwaacha Magreth na nabii Sanga waweze kuzungumza.

“Kwa nini una msaliti nabii Sanga?”

Magreth akastuka sana, sasa akili yake ndio ikakumbuka kwamba RPC Karata ana fahamu mahusiano yake na nabii Sanga.

“Aha….aha…..”

“Una msaliti yule mzee. Najua una jua ni kipi kilimpata Tomas mara baada ya kutembea na mke wa nabii Sanga?”

“Mmmmmm”

Magreth alibu huku akiktingisha kichwa.

“Mzee yule amekutoa kwenye maisha ya chini hadi hapo ulipo fika. Nina mfahamu yule mzee katika swala zima la mahusiano. Tafadhali muweke mbali huyo kijana, sihitaji mikono yangu ije kuingia dhambini tena kwa kusaidia maovu ya mzee yule”

Maneno ya RPC yakamfanya Magreth kuanza kutetemeka mwili mzima.

“Ume nielewa Mage”

“Ndio nime kuelewa baba, nina kuomba usi muambie chochote mzee”

“Mimi sina tabia ya kuzungumza mambo ya watu. Ila nimekueleza kama binti mdogo kwa maana huyo kijana ata potezwa”

“Sawa nita fanya hivyo”

“Lifanyie kazi”

“Sawa acha sisi turudi nyumbani”

Magreth akaagana na RPC karata kisha akatoka ofisini hapo. Wakaondoka kituoni hapo na kupita katika moja ya hospitali. Evans akapatia matibabu kisha waka rudi nyumbani.

“Siku hizi ume kuwa mwizi?”

Magreth alimuuliza Evans mara tu ya kuingia ndani.

“Siwezi kuwa mwizi na wewe una litambua hilo. Wale vijana walikuwa wana nikimbizi hivyo nami niliona hakuna haja ya kusimama na kupambana nao na nikao na mimi ni heri nikimbie”

“Unanona jinsi mahasira yako yalivyo kusababishia matatizo ya kijinga”

“Nashukuru kwa kunitoa polisi, ila sina amani ya kuendelea kuishi hapa kwako”

“Huna amani kwa nini?”

“Wewe hujui kwa nini? Au una hitaji mumeo akija hapa ani ng’oe meno”

Magreth akashusha pumzi huku akimtazama Evans usoni mwake.

“Natambua una nipenda Mage, silikatai hilo ila kuna mwanaume mwengine ambaye amesha tanguli. Isitoshe ana kuhudumia kwa kila jambo. Siwezi kuhatarisha maisha yangu na ikiwa una jua ukweli kwamba huyo mwanaume aliye naye ana uwezo wa kufanya jambo lolote baya”

Evans alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Kwenye maisha kuna kila aina ya watu. Kuna watu wapo kwa ajili ya kumnyanyua mwengine kimaisha, hilo ndio alilo lifanya huyo mume wako. Ame kunyanyua kimaisha na sinto penda kukuona siku una rudi kwenye yale maisha ya kutembeza maandazi mtaani.”

Maneno yaa Evans yakamfanya Magreth kuanza kutiririkwa na machozi usoni mwake.

“Nakupenda sana Magreth, tena sana na sikudanganyi. Wewe ndio mwanamke wangu wa kwanza kwenye maisha yangu, ila nipo tayari kukuacha uishi kwa amani na huyo mume wako.”

“No baby usisema hivyo”

“Ni jambo la ukweli. Siku zote mtu anaye mpenda mwengine, huwa ana mtakia mema. Hembu piga picha mume wako akijua kwamba mimi nina mahusiano na wewe itakuwaje?”

“Evans mimi ndio nina kupenda na nita mueleza ukweli juu ya kila kitu kuhusiana na hisia zangu kwako”

“Je akiniteka na kunipoteza duniani itakuwaje?”

“Nami nita kufa, nina kupenda sana Evans wangu”

Magreth alizungumza huku akimkumbatia Evans kwa hisia kali sana kwa maana upendo wake sasa umezidi hata thamani ya pesa aliyo pewa na nabii Sanga.

***

“Hei mama wale jamaa wamesha fika hapa Nigeria. Hivyo ina tupasa tujiandae twende”

Adela alizungumza huku akimpapasa mrs Sanga kwa nyuma.

“Weee”

“Ndio ulipo kuwa bafuni walinipigia simu. Sasa vaa twende”

Mrs Sanga taratibu akageuka na kumkumbatia Adela aliye jifunga tenge. Taratibu akaanza kumpapasa makalio yake taratibu.

“Mmmm tutachelewa bwana jiandae”

Adela alizungumza hukua kijitoa mikononi mwa mrs Sanga. Wakajiandaa na kuianza safari ya kuelekea katika hoteli moja ya kifahari iliyopo hapo jijini Lagos.

“Adela”

“Bee”

“Yaani siku mbili tulizo pewa na mume wangu zime isha haraka haraka jamani”

“Ndio hivyo mwaya, leo inabidi urudi hatuna jinsi. Ila kusema kwelli nime furahi”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu. Umenisugua kisawa sawa”

Adela alizungumza hukua akipunguza mwendo kasi wa gari lake kwani mbele yao kuna fuleni ya magari mengi.

“Hata wewe ume kata kiu yangu. Hapa nina jihisi mwepesi sana”

“Haya bwana”

Wakafika hotelini na kuingia katika chumba walicho elekezwa. Wakakutana na raia wawili kutoka nchini Marekani, mmoja ni mwanaume huku mwengine ni mwanamke. Adela aliweza kumfahamu mwanaume huyo kwa maana ndio anaye shuhulika naye kwenye biashara mbalimbali. Akamtambulisha mrs Sanga kwa watu hao huku watu hao wakijitambulisha wenyewe kwa mrs Sanga’

“Ninairwa Harrison, huyu ni mke wangu ana itwa Julieth”

“Waooo ana jina kama la mwanangu”

“Ahoo kumbe una mtoto wa kike?”

“Ndio”

“Ana umri gani?”

“Miaka ishirini na mbili”

“Wewe ni wa kuwa na mtoto mkubwa kama huyo. Mbona uso na mwili hauonyeshi kama una mtoto mkubwa kama hivyo?”

Julieth alishangaa sana kwani mrs Sanga bado ni mbichi sana kana kwamba hana mtoto yoyote.

“Wee mbona mwanangu wa kwanza ana umri wa miaka ishirini na tisa”

“Weee”

“Ndio nina vijana wawili wa kiume. Wapo Marekani na binti wa mwisho yupo Tanzania”

“Asiee hongera sana”

“Nashukuru”

Mrs Sanga na Julieth wakazoeana kwa mufa mfupi sana. Wakaanza kuzungumzia kuhusiana na biashara ya kuuza wasichana kutoka nchini Tanzania. Hadi wana fika tamati ya mazungumzo, mrs Sanga akaahidi kwamba mwezi una kuja ata kuwa amesha kamilisha idadi ya wasichana mia moja wenye mvuto mzuri sana. Mara baada ya kikao hicho cha siri kuisha, mrs Sanga na Adela wakaaga na kuondoka.

“Mbona yule demu alikuwa ana kuchekea chekea ana kujua?”

Adela alizungumza kwa hasira kidogo.

“Kama ndio nina kutana nao pale. Mimi nitakuwa nina juana nao vipi?”

“Sasa mbona ana kuchekea chekea, hajui kwamba wewe ni mke wa mtu na ni mume kwangu”

“Hahaaa ehee Mungu wangu. Una taka kuniambia kwamba una ona wivu mimi kuzungumza kwa kumchangakia Julieth”

“Ndio, sitaki utamu wako ugawe kwa watu wengine zaidi ya yetu sisi wawili”

“Wawili na nani?”

“Mimi na mume wako”

“Hahaa Adela usiwe hivyo mpenzi wangu”

“Haya bwana, nikimuona ana leta mambo ya ajabu hakika nita hakikisha biashara ina kufa”

“Mmm haya bwana”

Simu ya mrs Sanga ikaanza kuita, akaitoa kwenye pochi na kukuta ni mume wake ndio anaye piga.

“Nani mbona hupokei?”

“Ni mume wangu”

“Pokea sasa, mimi huyo siwezi kumuone wivu kwa maana najua nime mkuta”

Kauli ya Adela ikamfanya mrs Sanga kuipokea siu hiyo.

“Hei baby”

“Mume amkaje?”

“Salama tu vipi nyingi huko”

“Sisi tumeamka salama. Sasa ni hivi, rudi nyumbani by saa tano uwe hapa kwa maana saa kumi jioni tuna ondoka Nigeria”

“Tuna ondoka Nigeria leo?”

“Ndio mbonaunahamaki kuna nini?”

“Nimeuliza tu, mbona galfa sana?”

“Nimeamua tu, tukamalizie hii wiki Afrika kusini. Hivyo hakikisha kwamba una rudi”

“Sawa mume wangu”

Mrs Sanga akaitoa sikioni simu yake mara baada ya nabii Sanga kukata simu.

“Muna kwenda wapi?”

“Afrika Kusini?”

“Kufanyaje?”

“Kumalizia matembezi yetu. Sasa hivi ni saa nne na mimi siwezi kuondoka pasipo kukuacha wewe kwenya hali nzuri”

Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya mahaba huku kiganja cha mkono wake wa kikianza kupapasa paja la Adela.

“Mmmm nina endesha bwana”

“Mimi nina hamu na wewe jamani”

Mrs Sanga alizungumza huku akizidi kwenda mbali zaidi na kuingiza koganja chake hicho kwenye kitumbua cha Adela na kuanza kukisugua taratibu. Adela uvumilivu wa kufika hadi nyumbani kwake uka mshinda. Akasimamisha gari lake katika moja ya hoteli, wakakodi chumba na wakaanza kuburudishana huku kila mmoja akiwa na hamu ya kukata kiu kabisa ya mwenzake kwani hiyo ita kuwa ndio siku yao ya mwisho kabisa.

***

“Shemeji mbona gafla sana ume panga kuondoka?”

Mrs Okocha alimuuliza nabii Sanga aliye kaa sebleni hapo.

“Ahaa tumekaa sana jamani, wiki tatu sio haba na kule tume acha huduma kule, nime wamiss sana waumini wangu”

“Ila kaka nilisha kuzoea san…….”

Nabii Okocha hakuimalizia sentensi yake, simu yake ikaanza kuita, akaitaza kisha akaipokea.

“Ndio”

“Sasa hivi”

“Basi nina kuja”

Nabii Okocha akakata simu na kunyanyuka, akachukua fungua ya gari lake iliyopo mezani.

“Nina kwenda kumuona msaidizi wangu, ame pata ajali na yupo hospitalini. Mke wangu wewe baki hapa uandae mazingira ya safari ya shemeji yako. Kaka tuta wasiliana kama nitapata muda basi tuta kutana air port.

“Sawa ndugu yangu na pole kwa matatizo”

“Nashukuru”

Nabii Okocha akatoka nje huku akisindikizwa na mke wake. Akaingia kwenye gari lake na mke wake akafunga geti, mrs Okocha akarudi ndani huku akiwa amejawa na furaha sana.

“Huwezi kuondoka pasipo haki yangu na mke wako ameniambia kwamba una mla mkund** hivyo na wewe leo nataka unitoe bikra ya mkund**”

Mrs Okocha alizungumza huku akiavua shati lake kubwa alilo livaa na kuanza kumsogelea nabii Sanga taratibu.



Nabii Sanga akasimama na kuanza kupandisha ngazi kuelekea gorofani, mrs Okocha akaanza kumfwata kwa nyuma huku mwili mzima ukiwa umejawa na hisia kubwa. Mrs Okocha akampiga hatua za haraka na kumkumbatia nabii Sanga kwanyuma.

“Jamani mbona nuna nikimbia?”

“Mke wangu nimepigia simu na nimemuomba afike nyumbani sasa hivi. Je nikifanya ujinga kama huu ita kuwaje?”

“Usijali hawezi kufika hapa, naomba unifanye japo kidogo”

“Ila sinto kukula mkund**”

“Sawa hakuna tatizo katika hilo ila nina omba uweze kuniapa raha Sanga”

Mrs Okocha alizungumza kwa sauti iliyo jaa mahaba huku viganja vya mikono yake vikiwa na kazi ya kupapasa papasa kifua cha nabii Sanga. Taratibu nabii Sanga akajikuta akianza kupandwa na hisia za kimapenzi, akafungua mlango wa chumba chake na wakaingia ndani. Akamuinamisha mrs Okocha huku akiwa ameshika ukuta, nabii Sanga akafungua suruali yake, akamhomoa jogoo wake ambaye tayari alisha simama.

“Hii ndio itakuwa mara ya mwisho kwa mimi kumsaliti rafiki yangu”

“Nipe bwana”

Mrs Okocha alilalama kwa sauti iliyo jaa mahaba. Wakaanza kuingia kwenye mtanange mzito na wenye nguvu sana. Kila mmoja ana hitaji kuonyesha uwezo wake wa kuhakikisha kwamba ana mridhisha mwezake. Nabii Sanga akamgeuza mrs Okocha na kumnyanyua huku akiwa ameyashikilia mapaja yake na mrs Sanga akiwa ameipitisha mikono yake juu ya magega ya nabii Sanga na ikawa ni rahisi kwa nabii Sanga kumbeba mwana mama huyo aliye jaliwa makalio makubwa. Nguvu na pumzi na nabii Sanga zilimuwezesha kuhimili uzito wa mrs Okocha hukku wakiendelea na mtanange huo mzito. Hadi wanafika tamati mrs Okocha akajikuta akiwa hoi kabisa, kwani toka kuzaliwa kwake hajawahi kubeba na mwanaume yoyote.

“Umenikomesha mpenzi wangu”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu. Umenipa kitu ambacho sikuwahi kupewa kwenye maisha yangu”

“Sawa. Nenda chumbani kwako sasa mke wangu ana weza kutukuta humo”

“Haya”

Mrs Okocha akachukua nguo zake na akatoka chumbani humo uchi kabisa huku akiwa amechoka sana. Nabii Sanga akaingia bafuni na kuoga huku naye mwili wake ukiwa umechoka sana.

***

Adela na mrs Sanga wakamaliza mtanange wa kupeana raha. Wakaijiandaa kwa haraka na kuianza safari ya kuelekea nyumbani kwa nabii Okocha.

“Kwa raha hizi ulizo nipa nakuhakikishia kwamba nitakupa mipango yote ya biashara ya Unga jinsi inavyo kwenda”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu vile. Yaani umeniingia moyoni mwangu”

“Nafurahi kusikia hivyo ila jambo la msingi nina kuomba usitoa siri hii kwa mtu yoyote”

“Sinto weza kuifanya ujinga kama huu. Itakuwaje unipe utamu kama huu alafu niwe nina zungumza kwa watu. Nikiibiwa je”

“Hahaa haya bwana nguo zilizopo kwako zita baki huko”

“Usijali mpenzi wangu”

Wakafika nyumbani kwa nabii Okocha. Wakafunguliwa geti nabii Sanga.

“Vipi mume wangu mbona wewe ndio ume fungua geti. Wenyeji wapo wapi?”

“Shemeji ame lala na ndugu yangu ame toka”

“Ahaa sawa mume wangu”

“Shem habari”

“Salama shemeji yangu za toka majuzi?”

“Salama tu. Nimemrudisha mke wako bwana”

“Hahaa nashukuru sana”

“Ila jamani mbona muna ondoka haraka haraka?”

“Aha….kuna mambo kidogo tuna kwenda kuyashuhulikia hivyo ime tubidi iwe hivyo”

“Ahaa sawa bwana shemeji. Mimi kuna vitu nina kwenda kuvishuhulikia kwa sasa ngoja niwaache”

“Sawa Adela”

Adele akaondoka eneo hilo huku akiwa amejawa na masikitiko, siku chache alizo ishi na mrs Sanga amejikuta akimzoea sana. Nabii Sanga na mke wake wakashirikiana kuanda mizigo yao kwa ajili ya safari ya kuondoka nchini Nigeria. Mrs Sanga akamuamsha Mrs Okocha ambaye toka amefika nyumbani hapo hajatoka kusalimiana naye.

“Vipi una umwa?”

“Yaa nina jisikia sikia mwili haupo sawa”

Mrs Okocha alidanganya ila ukweli ni kwamba amekutana na mtange ulio mpa shuhuli kubwa sana.

“Pole sana mpenzi. Ume wasiliana na shemeji sasa?”

“Hapana, ila kwa kupumzika huku nina imani kwamba nitarudi kwenye hali yangu ya kawaida.”

“Sawa sisi safari ndio ime fika, sasa sijui una weza kutusindikiza?”

“Yaa nita jitahidi, siwezi kuwaacha muondoke, mimi nikiwa nime lala. Acha niingie bafuni nikaoge”

“Sawa tuna kusubiria”

Mrs Sanga akatoka ndani humo. Mrs Okocha akajiandaa na wakaianza safari ya kuelelekea uwanja wa ndege. Wakamkuta nabii Okocha ambaye aliahidi kujitahidi kufika uwanja huo wa ndege kuagana nao.

“Mungu awatangulie ndugu yangu”

“Nashukuru sana nanyi mubaki salama”

“Amen”

“Shemeji musitusahau bwana, mume muna kuja kututembelea Tanzania”

“Usijali shemeji yangu kwenye mwenzi wa kumi na mbili mwaka huu tutakuja Tanzania mimi na mke wangu”

“Nina shukukuru kusikia hivyo. Shosti yangu sisi tunaondoka”

“Niwatakie safari njema jamani”

“Tuna shukuru”

Haukuwa wakati mzuri kwa nabii Okocha na mke wake kwani kika mmoja wao hapo ana hamu ya kuendelea na kubaki na mpenzi wa mwenzake, kwani mrs Okocha amecha pagasiwsha na penzi la nabii Sanga huku nabii Okocha amepagawisha na penzi la Mrs Sanga amabaye ame amepata utamu wa penzi hilo mara moja tu. Nabii Sanga na mke wake wanaingia kwenye ndege waliyo kata tiketi na kuianza safari ya kuelekea Afrika kusini kwa mapumziko ya wiki moja na baada ya hapo wana rudi nchini Tanzania.

***

Tomas mara baada ya kuburudika na wasichana hao akatoka katika chumba hicho na wakaendelea kula starehe na kunywa pombe na vijana wengine. Haikuwa sherehe ya mchezo mchezo. Kila mmoja alihakikisha kwamba ana maliza haja za mwili wake.

“Tomas”

“Niambie kaka”

“Njoo nikuonyeshe kitu”

Ngosha alizungumza huku wakipandisha ngazi na kuapnda juu kabisa ya boti hiyo ambapo kuna eneo la waty kupumzika.

“Vipi wadada wame kupa burudani nzuri?”

“Sana na ni wanawake watamu sana kwa kweli”

“Haaa safi. Kuna biashara moja nina hitaji kukushirikisha nina imani kwamba ina weza kukuingizia kiasi kikubwa snaa cha pesa”

“Biashara gani?”

“Biashara ya Poda”

“Poda ya aina gani?”

“Madawa ya kulevya. Kuna dada mmoja yupo nchini Nigeria, nahitaji kukuagiza kwake na nimewasiliana naye leo na nihahitaji aweze kukupa maelekezo ya kuweza kutengeneza mtando mwengine wambao uta kufanya uwe na pesa nyingi sana”

“Mmmmm ila kaka hii biashara kama unavyo fahamu huwa ina pigwa vita sana duniani. Je huyo dada ana mbinu nzuri ambazo hatuto kamatwa?”

“Kaka hadi mimi kukuambia hivyo ni kwamba nime fanya biashara na watu wengi sana. Kama hujui mwenzako sasa hivi uta jiri wangu una fika dola bilioni moja”

“Weee”

“Wewe sema weee. Kutoka kuwa kilaza darasani hadi kuwa master plan katika swala zima la kusaka pesa”

“Duu ehee hembu niambie nini nina paswa kufanya”

“Kesho asubuhi tuta zungumza na huyo dada ana itwa Adela. Atakupa mifumo yote ya kusambaza unga. Liweke hilo akilini”

“Sawa ndugu yangu”

“Poa kaendelee na bata batani”

“Hahaa poa kaka”

Ngosha na vijana wake wakendelea kusherekea hadi majira ya saa nisa usiku ndipo walipo rudi nchi kavu. Tomas na Ngosha wakaondoka eneo hilo huku wakiwa na wasichana sita, wakafika nyumbani kwa ngosha na wakendelea na starehe ya kulewa na ngono,

***

“Mage nimepata wazo”

Evans alizungumza huku Magreth akiwa amekilaza kichwa chake kufuani mwa Evans.

“Wazo gani?”

“Si una nipenda?”

“Ndio nina kupenda?”

“Una onaje uka nipa mtaji na mimi nikawa na biashara yangu”

“Biashara gani una hitaji mume wangu?”

“Ahaa…bado sijapata wazo la kuwa na biashara fulani ila nikipata wazo la biashara je utanipa support?”

“Ndio kwa nini nisikusaidie mume wangu. Tambua kwamba wewe ndio mwanaume wa maisha yangu na nina kupenda kuliko kitu chochote”

“Nashukuru kusikia hivyo.”

“Twende ndani ukaoge, ukimaliza kuoga upate chakula cha usiku kisha upumzike mume wangu”

“Sawa”

Magreth akamuingiza chumbani Evans, kwa pamoja wakagoga kwa pamoja kisha akamuandalia chakula cha usiku na wakaketi mezani na kuanza kula.

“Leo biashara yangu ime kwenda vizuri sana mpenzi wangu”

“Kweli huwezi amini nime ingiza milioni kumi na moja na laki tisa na chenchi zake”

“Weeee!!”

“Kweli kuna hawa wamiliki wa kampuni ya kutengeneza unga wa ngano wame niomba kesho niweze kwenda kwenye ofisi zao ili niingie nao mkataba wa matangazo ya unga woa. Pia mmiliki wa kampuni hiyo walikuja na familia nzima kupata chakula cha usiku kwenye mgahawa wangu”

“Hongera sana mpenzi wangu. Unajua mwanzo huo ni mzuri sana, endapo uta endelea kufanya kazi hivyo hivyo tuta fika mbali sana mpenzi wangu”

“Ndio hapa ninacho jitahidi ni kuhakikisha kwamba nina kuja kumiliki hoteli moja kubwa sana hapa Tanzania.”

“Hilo lina wezekana, pia kwa sasa una weza kutengeneza ajira kwa vijana wengine”

“Kutengeneza ajira za namna gani?”

“Kuna watu wengi maofisini ambao muda wao wa kutoka nje ya ofisi zao na kwenda kutafuta chakula ni mdogo sana. Kitu ambacho tuna takiwa kukifanya ni kuwa na fast food. Tuna fungua website ambayo itawasaidia watu kuweka oda ya chakula wanacho kihitaji, chakula hicho kina andaliwa kisha tuna kuwa tumeajiri madereva wa pikipiki zaidi ya kumia ambao wana weza kusafirisha chakula hicho sehemu mbalimbali za jiji hili la Dar es Salaam”

“Evans”

“Naam”

“Una akili sana mume wangu. Sikutarajia kama una weza kutoa wazo kama hilo. Nita lifanyia kazi”

“Ni kweli, tuna nunu pikipiki kama kumi. Gari aina ya NOAH na zina kuwa na kazi ya kusambaza vyakula. Pale kwenye mhagahawa, kuna saidia kwa wale watu wana penda kuja kukuona wewe au walipo karibu na mgahawa”

“Je malipo ina kuwaje?”

“Malipo ni kwa mitandao ya simu au ana lipa cash kwa yule atakaye mkabidhi chakula”

“Hapo nimekuelwa mpenzi wangu ni wazo zuri. Ila kwa nini usiwe maketing meneja wa mgahawa wetu?”

“Kumbuka mke wangu kuna mtu ame kupa pesa zake kwa ajili ya kufanya hivyo, itakuwaje wivu ukaingia katikati na kuamua kuchukua kila alicho kupa. Je ume lifikiria hilo?”

Magreth akashusha pumzi nyingi kwani alilo lizungumza Evans kwa namna moja ama nyingine lina ukweli ndani yake.

***

Nabii Sanga na mke wake wakafika nchini Afrika kusini majira ya saa kumi na moja alafajiri. Wakaelekea katika hoteli ambayo nabii Sanga alisha weka booking.

“Mume wangu mbona ume nuna toka tulipo kuwa ndani ya ndege kuna tatizo?”

“Ndio tatizo lipo”

Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mke wake machoni.

“Tatizo gani?”

“Niambie ni lini ume anza tabisa ya kusagana na wanawake wezako?”

Swali la nabii Sanga likaustua sana moyo wa mrs Sanga na kujikuta akikosa cha kujibu huku mwili mzima ukianza kumtetemeka kwa woga.


“U…u…m….e…..ju..aje mu…me wangu”

“Funga bakuli lako hivi nikupe nini wewe mwanamke nimekuachanisha na yule kijana huku una kuja kusagana na wanawake wezako hivi ume rogwa wewe mwanamke eheee?”

Nabii Sanga alizidi kufoka huku akimkazia macho mke wake ambaye mwili mzima una endelea kumtetemeka kwa woga.

“Haki ya Mungu laiti kama inge kuwa sijakuoa wewe mwanamke ninga ku……”

Nabii Sanga alijikuta akishindwa kuzungumza neno hilo kwa hasira kwani kitendo anacho kifanya mke wake kwa namna moja ama nyingine kime muudhi.

“Nakuomba uni samehe mume wangu”

Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nabii Sanga akaingia bafuni pasipo kumjibu kitu chochote mke wake. Mrs Sanga taratibu akanyanyuka na kuingia bafuni humo na kukuta mume wake akiwa amepiga ngumi katika kioo kilichopo ukutani na kimetoa nyufa nyingi nyingi huku vidole vikivuja damu nyingi.

“Ni mara mia moja uka tomb** na mwanaume kulio kusagana na mwanamke mwenzako na mbaya zaidi ukaamua kuni saliti na rafiki yangu”

Nabii Sanga alizungumza huku akikoroma jambo lililo zidi kumfanya mrs Sanga kujawa na woga, kwani hayo yote yanayo tajwa hapo ni kweli ameyafanya.

“Unataka nikufanyie nini wewe mwanamke?”

Nabii Sanga aliendelea kuzungumza kwa sauti iliyo jaa mikwaruzo huku akimgeukia mke wake aliye jikuta

akirudi nyuma nyuma na kujikuta akiishia kukwama ukutani.

“SEMA NIKUFANYIEEEE NINI?”

“Ha…aha…a.a.hapana mume wangu nina kuomba unisamehee”

Mrs Sanga alilalama huku akipiga magoti na kuikumbatia kwa pamoja miguu ya mume wake huku akiendelea kuangua kilio.

“Ondoka miguuni mwangu”

“Nipo tayari kupokea adhabu yoyote mume wangu ila nina kupenda. Nina kuomba unisamehee”

“Acha unafki malaya mkubwa wewe. Una nipenda nini mimi eheee?”

Nabii Sanga alizidi kufoka huku akimtazama mke wake aliye mgang’ang’ania miguu yake.

“Naomba unisamehe mume wangu”

Mrs Sanga aliendelea kulia kwa uchungu sana. Nabii Sanga taratibu akamnyanyua mke wake na kumtazama kwa macho yaliyo jaa hasira. Roho yake moja ina mshawishi kumnyonga huku roho yake nyingine ikimshawishi kumsamehe.

“Poa nimekusamehe”

Nabii Sanga alizungumza huku akimuachia mke wangu.

“Natambua huja nisamehe mume wnagu.”

“Unataka nitoe moyo wangu nje ili nikuonyesha kwamba nime kusamehe au?”

Nabii Sanga alizungumza kwa kufoka, akaanza kunawa kiganja chake kinacho mwagikwa na damu.

“Ina bidi tuwwasiline na watu wa hoteli watuletee first aid kit”

“Alfu?”

“Nikuhudumie jeraha lako mume wangu”

“Mume wako si umemuacha Nigeri. Achana na mimi bwana”

Nabii Sanga alizungumza kwa dharau.

“Sijamuacha mume wangu Nigeria. Wewe ndio mume wangu na uwe umenisamehe au huja nisaheme sijali ila ukweli ni kwamba mimi nina kupenda na wewe ndio mume wangu. Hata wewe unapo kuwa una fanya makosa huwa nina kusamehe kwa asilimia mia moja. Kumbuka na wewe ulimgeuza yule kijana wa kiume kuwa nyumba yako ndogo kisa masharti ya huyo mkuu wenu. Sasa mimi sikufanya bila kupenda ina bidi uni samehe mume wangu.”

Mrs Sanga alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mume wake.

“Hivi una wenda wazimu wewe? Mambo ya nyuma yana kujaje hapa?”

“Yanakuja na huo ndio ukweli. Unahisi kipindi kile mimi nilikuwa siumii. Niliumia ila nilikuvumilia na kutunza siri yako kifuani mwangu. Kikubwa na wewe ni kutunza siri yangu na kunisamehe maisha yaendelee”

Mrs Sanga mara baada ya kuzungumza hivyo akatoka ndani humo na kuelekea eneo la mapekezi kwa ajili ya kuomba kiboksi kinacho kaa na vifaa vya huduma ya kwanza kwa mgonjwa.

***

Tomas akawa wa kwanza kukurupuka kutoka usingizini. Akawatazama wasichana watutu alio lala nao kitanda kimoja huku wote wakiwa uchi kabisa. Akashuka kitanda huku akiyumba yumba, akatazama saa yake ya ukutani katika chumba hicho ina muonyesha ni saa kumi na mbili asubuhi. Akaingia bafuni na kujisaidia haja ndogo huku akioga taratibu. Mawazo ya kumkumbuka mwanaye taatibu yakaanza kumtawala kichwani mwake, akamaliza kuoga na kuvaa suruali yake kisha akatoka chumbani kwake. Akamkuta Ngosha akiwa amelala sebleni na wasichana wengine watatu huku wote wakiwa uchi kabisa.

“Hei hei bro”

Tomas alimuasha Ngosha aliye fumbua macho yake yaliyo jaa ukungu mwingi utokanao na usingizi ulio changanyikana na pombe kali aliyo kunywa.

“Tom”

“Niambie”

“Vipi kume pambazuka?”

“Ndio ndugu yangu.Nina hitaji kwenda kuonana na mke wangu”

“Asubuhi hii?”

“Ndio ndugu yangu nime mkumbuka sana mwanangu”

“Ahaa sasa ume wasiliana naye?”

“Hapana”

“Jaribu kufanya hivyo basi”

“Sawa”

“Chukua simu yangu”

Ngosha akampatia Tomas simu yake. Tomas akaingiza namba ya mke wake na kumpigia, simu ya mke wake ikaanza kuita na baada ya muda kidogo ikapokelewa.

“Haloo”

“Tomas”

“Yaa ni mimi”

“Ohoo asante Mungu, nimejaribu kukutafuta karibu kila eneo ila sijaweza kukupata”

“Upo wapi?”

“Kwa sasa nipo KING’S ROYAL HOTEL. Sijui una pafahamu?”

“Hapana ila nita muuliza mwenyeji wangu. Una fanya nini asubuhi hotelini asubuhi yote hii?”

“Nina matatizo makubwa sana Tomas, kama ina wezekana nina kuomba uweze kufika hapa”

“Mmmm sawa ila mwanangu yupo wapi?”

“Nipo naye”

“Sawa nina kuja hapo”

Tomas akakata simu na kuifuta namba ya mke wake katika simu ya Ngosha.

“Vipi ume mpata?”

“Ndio yupo hoteli ya King’s Royal Hotel, una pafahamu?”

“Ndio mji huu wote ni wangu. Hivyo hakuna sehemu ambayo siifahamu. Ngoja nimpigie dereva taksi mmoja aje kukuchukua na akupeleke”

“Sawa”

Tomas akarudi chumbani kwake, akafungua shelf kubwa ya chuma, akafungua begi lake lenye pesa na kutoa vibunda vinne vya dola lefu moja moja na kuviweka kitandani. Akafunga shelf hiyo kisha akaanza kuwaamsha wasichana hawa walio jawa na usingizi mzito kwani usiku wa kuamkia siku ya leo, ulikuwa ni wa mpute mpute kwao, japo wao wapo watatu ila wamejikuta wakishindwa kumuhimili Tomas pekee.

“Heeii tokeni humu chumbani. Kaleleni sebleni”

Wasichana hao wkaajizoa zoa na kutoka chumbani humo. Tomas akavaa tisheti yake pamoja na koti moja kubwa la kuzuia baridi. Akabebe kiasi hicho cha pesa na kurudi sebleni huku akiwa amebeba viatu vyake aina ya American but. Akakaa kwenye moja ya sofa na kuanza kuvaa huku akimtazama Ngosha jinsia navyo chezewa chezwa jogoo wake na wasichana hao.

“Vipi kaka wame kupa burudani hawa?”

Ngosha alizungumza huku akiminya minya moja ya kalio la msichana aliye jilaza pembeni yake.

“Yaaa japo wachovu wachovu, si una jua mambo yangu”

“Duuu, niwaweke hadi utakapo rudi au ndio una kwenda kuonana na wife uta maliza kiu huko?”

“Kama vipi wasepe”

“Poa mambo ya mkwanja yote nitayamaliza mimi”

“Sawa ndugu”

Dereva taksi akafika eneo hilo, Tomas akaingia kwenye gari na kuianza safari ya kuelekea katika hoteli ya King’s Royal Hotel, hawakuchukua muda mrefu sana wakafika katika hoteli hiyo. Tomas akamlipa dereva huyo kisha akaingia kwenye hoteli hiyo. Moja kwa moja akaelekea mapokezi na kuomba aweze kuwasiliana na mgeni wake katika aliyopo katika hoteli hiyo. Muhudumu huyo hakuwa na tatizo lolote, akamkabidhi Tomas simu ya mezani na akingiza namba ya mke wake na kumpigi, simu ya mke wake ikaita kisha ikapokelewa.

“Halooo”

“Nimefika hapa hotelini”

“Pandisha gorofa ya nena, chumba namba elfu nane na sita nipo hapa”

“Sawa”

Tomas akakata simu hiyo na kumshukuru dada huyo aliye mkuta hapo mapokezi. Tomas akapiga hatua hadi kwenye eneo lenye lifti nne, akakuta lifti mbili zikiwa zina tumika na moja ina kwenda juu huku nyingine ina shuka chini. Akaminya kitufe cha lifti ambayo haitumiki, taratibu mlango wa lifti hiyo ika funguka na akaingia na kuminya kitufe cha gorofa ya nane na mlango ukaanza kujifunga taratibu.

Lifti aliyo panda mrs Sanga, taratibu ikafunguka na akatoka kwenye lifti hiyo na akanza kutembea kwa mwendo wa haraka hadi katika eneo la mapokezi.

“Tafadhali dada nina weza kupata first aid kit?”

“Ndio mama, je kuna tatizo ambalo lina hitaji msaada mkubwa zaidi?”

“Hapana ni kidonda kidogo mume wangu ame pata”

“Sawa”

Muhudumu huyu akatoa kiboksi hicho kilicho chorwa msalaba mwekundu kwa juu. Akakibeba na kurudi eneo lenye lifti, akaingia katika lifti aliyo shuka nayo na kuminya kitufe kinacho mpeka gorofa ya nane kwani chumba chao ni namba elfu nane na tano.

Tomas akafika katika chumba alicho elekezwa na mke wake. Akaminya kitufe cha kengele na baada ya muda kidogo mlango ukafunguliwa, akakumbatiana na mke wake na wakaingia ndani. Tomas akabaki akiwa amejawa na mshangao kwa maana uso wa mke wake ume jawa na majeraha yanayo onyesha kwamba ame pigwa.

“Ume patwa na nini?”

Tomas alimuuliza mke wake huku akizidi kumshangaa.

“Karibu kwanza uke mume wangu”

Tomas alishikwa na mke wake mkono na wakakaa kwenye sofa lililopo ndani hapo. Tomas akamtazama mtoto wake aliye lala kitandani

“Ume kumbwa na nini, niambie?”

“Last nigh nili gombana na Mac”

“Mac…..Mac ndio nani?”

“Yule mwanaume ambaye siku ile ulikuja na kumkuta pale nyumbani. Kwanza nina kuomba uni samehe Tomas, haikuwa lengo langu kuingia kwenye mahusiano na Mac huku nikijua dhairi kwamba wewe upo”

“Chanzo cha kukupiga ni nini?”

Tomas aliuliza huku akiwa amejawa na hasira.

“Ni harakati zangu na kukutafuta wewe. Nilimueleza ukweli kwamba nina kupenda wewe na sihitaji kukupoteza. Hivyo alinipiga sana ndio maana niliamua kukimbia nyumbani na kuja kuishi hapa hotelini na mwanangu na pia alitishia kwamba ata muua mwanangu”

“Ata muua?”

“Ndio”

Tomas alitabasamu huku akiwa amejawa na hasira kali sana.

“Nahitaji kwenda kumuona huyo Mac”

“Tomas, tafadhali sihitaji kuleta vita baina yako na yeye. Nimeamua kuachana naye na sihitaji tena kuwa naya. Nipo tayari kwenda sahemu yoyote na wewe. Ila si kubaki na Mac”

“Irene stop, huo unao uzungumza hapa ni ujinga. Nina hitaji kwenda kumuona huyo mjinga aliye kufanya wewe hivi na kutishia kumua mwanangu. Siwezi kukaa na kukubaliana na ujinga kama huo. Muamshe mtoto sasa hivi tuna ondoka”

Tomas alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama mke wake. Akanyanyuka kwenye sofa hilo na kumnyanyua mwanaye.

“Chukua kila kilicho chako na tuna ondoka sasa hivi”

Tomas alizungumza huku akianza kutembea kuelekea mlangoni. Akashika kitasa cha mlango huku akimtazama mke wake jinsi anavyo tafuta pochi yake kubwa. Akaichukua na kuanza kumfwata Tomas mlangoni, taratibu Tomas akafungua mlango kidogo, ila mke wake akarudi kitandani.

“Umesahau nini?”

“Simu, simu yangu”

Mke wa Tomas alizungumza huku akiangaza angaza kitandani hapo.

“Fanya haraka hakika leo nitakwenda kumuonyesha yule mwana haramu kwamba mimi ndio mwanaume niliye kamilika na hawezi kukupiga wewe mke wangu na mimi nika muacha acha kijinga hivi”

Sauti ya Tomas kidogo ika mfanya mrs Sanga kusika takika kufungua mlango wa chumbani kwake, kwani ana ifahamu vizuri sauti ya kijana huyo kwani bado ana ishi moyoni mwake.



ENDELEA

Nabii Sanga akafungua mlango na kumfanya mke wake kustuka sana. Sura ya nabii Sanga iliyo jaa hasira kali ikamfanya mrs Sanga kuingia ndani humu taratibu na kushindwa kukamilisha adhima yake ya kumuona Tomas. Nabii Sanga akafunga mlango wa chumba hicho huku akimtazama mke wake aliye jawa na mashaka ambayo yalianza kumfanya nabii Sanga kuhisi kuna jambo ambalo mke wake lina msumbua.

Mke wa Tomas akaipata simu yake, wakatoka chumbani humo huku Tomas akiwa ame mbabe mwanaye huyo huku akiwa amelala usingizi fofofo. Wakaifka kwenye lifti na kuingia na taratibu wakaanza kuelekea chini.

“Una mashaka mashaka ya nini wewe?”

Nabii Sanga alizungumza kwa kufoka huku akimtazama mke wake usoni.

“Hapana”

“Hapana nini ikiwa una onekana una mshaka kana kwamba una wanga barabarani”

“Nimekuja na vifaa kaa hapa nikuhudumia”

Mrs Sanga alikaa kitandani huku moyo wake ukitanga tanga, akitamani sana kutoka chumbani humo ili kama ni kwenda kuhakikisha huyo aliye msikia ni Tomas kweli au laa.

“Lete basi mkono”

Mrs Sanga alizungumza huku uso wake ukiwa umejikunja ndita kadhaa.

“Sitaki”

Nabii Sanga alizugumza huku akiurudisha mkono wake nyuma na kuendelea kumchunguza mke wake ambaye ana jambo ambalo lina msumbua.

“Una jua kwamba nita acha”

“Acha kwa maana umesha ona kijana wa kukupagawisha huko na akili yako yote ipo huko nje”

“Muda wote wewe una hisi kwamba mimi nina kijana si ndio?”

“Ndio maana yake kama una weza kusuguana kum** na mwanamke mwenzako, je una hisi kwamba una shindwa kufanya hivyo kwa kihudumu hata cha hoteli?”

“Sanga maneno yako yana nikera bwana.”

“Sio yana kukera, nilicho kueleza ndio ukweli na kweanini nikufiche, ikiwa ndio tabia yako mwanamke wewe”

“Haya nimeona mdada wa kumsaga roho yako ime ridh……”

Sentensi ya mrs Sanga ikakatishwa kwa kofi zito lililo tua shavuni mwake.

“Nina hisi kwamba ume sha nisahau. Nitakuua mjinga wewe”

Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mke wake aliye anza kulengwa lengwa na machozi kwani kofi hilo la kustukiza lime muweka katika mshangoa ulio changanyika na huzuni kubwa sana .

“Sawa nashukuru. Niue tu”

Mrs Sanga alizunguzma huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake. Taratibu akapanda kitandani mwake na kuanza kulia kwa uchungu.

***


ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

BLOG