Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

POWER SEHEMU YA 7/10

 

 


 POWER

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+ 

SEHEMU YA 7 KATI YA 10

 


Tukakaa sebleni na Mbilinyi huku tukimuacha Biyanka akiandaa kifungua kinywa.

“Nimeweza kupata picha za mmoja wa vijana wa mzee Mkumbo ambaye alifanya shambulizi. Tumefahamu ni wapi anapo ishi hapa Dar es Salaam”

Mbilinyi alizungumza huku akinikabidhi bahasha hiyo. Nikatoa picha kadhaa na kuanza kumtazama jamaa huyu ambaye sura yake nina ikumbuka vizuri. Ni mtu wa karibu sana wa mzee Mkumbo.

“Pia habari za kijasusi tulizo zipata hivi sasa mzee Mkumbo yupo nchini Morocco.”

“Amekwenda kufanya nini?”

“Bado sijaweza kupata habari kamili ila nitazidi kukufahamisha”

“Huyu kijana wake ndio anaweza kutufahamisha ni nini alicho kwenda kukifanya bosi wake”

“So unahitaji tumshuhulikie kwa mfumo gani?”

“Nahitaji kwanza mumteke, mumpeleke sehemu ambayo nami nitafika na baada ya mahojiano nitahakikisha kwamba nina muua kwa mkono wangu mimi mwenewe sawa?”

Mbilinyi akanijibu kwa ishara huku akitazama mlangoni, tikamuona Biyanka akitutazama kwa macho yaliyo jam mshangao kwani katia siku zote amekuwa ni mtu anaye nisisitiza kwamba nisije kufanya mauaji kwa mtu yoyote hata baba yake mzazi tayari alisha muombea msamaha wa kifo hata kama amefanya mambo mengi maovu juu yangu.



“Samahani Ethan tunaweza kuzungumza?”

Biyanka alizungumza kwa suati ya upole na unyenyekevu. Nikamtazama Mbilinyi kisha nikasimama na tukaingia chumbani kwetu.

“Mume wangu ni nani tena unataka mukumua?”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama Biyanka usoni mwake.

“Mtu aliye nishambulia naamini kwamba una mfahamu”

“Ndio, ila kwa nini mume wangu usiwaache kina Mbilinyi wakaifanya kazi yao kuliko wewe ukafanya. Kumbuka kwamba hiyo damu ambayo unataka kuifanya ya binadamu huyo hakika itafwatilia kizazi chetu. Hembu mume wangu nakuomba uweze kunisikiliza”

“Nakusikiliza sana mke wangu, ila kumbuka yule mtu alihitaji kunitoa roho”

“Alitumwa mume wangu. Sikatai uweze kulipiza kisasi kwake ila kumbuka kwamba ukiua ni damu ya mtu. Hembu chukulia mfano wewe, ulishuhudia wazazi wako wakiuwawa hadi leo hii hujasahau na unaweze kumkaribia baba yangu katika kumteketeza je kama huyo jamaa akiwa na watoto wake nao wakaamua kufwatilia juu ya kifo cha baba yao na wakabaini kama ni wewe ndio uliye waangamiza. Unahisi kwamba ni kitu gani ambacho kitakwenda kujitokeza eheee?”

Biyanka alizungumza kwa msisitizo.

“Acha Mbilinyi na vijana wake wafanye kazi. Kuwa mtu wa kutoa maagizo ila usihitaji mikono yako kuingia damu chafu ambayo itakuja kutufwatilia mume wangu”

Biyanka alizungumza huku akiishika mikono yangu na machozi yakaendelea kumwagika usoni mwake.

“Nimekuelewa mke wangu, sinto fanya hivyo”

Biyanka akanikumbatia kwa nguvu huku akilia kwa sauti ya chini.

“Umemaliza kuanda akifungua kinywa?”

“Ndio”

“Tuandalie kisha nitatoka na Mbilinyi”

“Unataka kwenda wapi mume wangu?”

“Kuna mambo ninakwenda kuyashuhulikia, ila nina kuhadi kwamba sinto muua mtu huyu kwa mikono yangu”

“Sawa mume wangu nina shukuru kuweza kusikia hivyo”

“Sawa”

Nikarudi sebeleni. Biyanka akaandaa kifungua kinywa. Tukapata kifungua kinywa sote watatu.

“Mbilinyi”

“Ndio madam”

“Nina kuamini, mume wangu anatoka naomba arudi akiwa salama”

“Usijali madam ni jukumu langu kuhakikisha kwamba ana kuwa salama”

“Nashukuru kusikia hivyo na pia nina kuomba mikono yake isiingie damu ya binadamu tafadhali, nina kuomba kama mama ambaye anatarajia kuwa na familia bora. Unakumbuka ni shida gani ambazo niliweza kupitia kule hospitali”

“Nimekuelewa madam”

“Naomba tukiwa mazingira ya nyumbani unite mrs Klopp au jina langu Biyanka. Wewe ni kaka yetu, umetupita kiumri, hivyo uangalizi wako kwenye maisha yetu pia ni muhimu”

“Nimekuelewa”

Nikamaliza kula na kuelekea chumbani. Biyanka akaniandalia nguo za kuvaa ambazo tulizikuta tayari zimesha nunuliwa na vijana wa Mbilinyi.

“Hii suti imekupendeza mume wangu”

“Kweli?”

“Ndio, una onekana poa sana. Ila nakuomba uwe makini sana mume wangu”

“Usijali nipo makini”

“Sawa”

Nikazinyonya lipsi za Biyanka kwa sekunde ladhaa kisha nikatoka ndani humu.

“Honey nilikuwa nimesahau kitu kimoja”

“Kitu gani?”

“Kuna daktari wangu wa matatizo ya kina mama nahitaji aweze kufika hapa nyumbani. Sijui unaweza kuniruhusu akaja?”

“Si mbea ambaye anaweza kutoa siri ya sisi ni wapi tulipo?”

“Ndio sio mbea”

“Basi mualike, ila pia uwaelekeza hao walinzi hapo nje, isije hayo mabundiki yakamuua bure”

“Hahaa…sawa mume wangu. Nina kupenda sana”

“Nina kupenda pia mke wangu”

“Okay take care”

“Don’t worry”

Biyanka akatusindikiza hadi nje, tukaingia kwenye gari mimi na Mbilinyi na kuondoka eneo hil.

“Nahitaji tuelekee ubalozi wa Ujerumani”

“Kuna nini tena mkuu”

Nikaka kimya huku nikimtazama Mbilinyi usoni mwake.

“Najua wewe kwa sasa umekuwa ni kama kaka yangu. Kuna siri moja ambayo sijawahi kumueleza mke wangu na kila nikijaribu kutafuta nafasi ya kumueleza nina jikuta nina shindwa kabisa na jinsi sasa hivi alivyo badilika basi najikuta nina kuwa mnyonge sana”

“Siri!! Siri gani mkuu”

“Ila sinto hitaji umueleze Biyanka natambua ataumia sana”

“Siwezi kufanya jambo lolote kinyume na matakwa yako”

“Mimi nina mchumba ninaye mpenda sana. Nilikuwa naye toka tulipo kuwa shule ya msingi hadi nikafikia ukubwa huu bado nipo naye. Ni mwanamke wa Kijerumani na baba yake ni raisi wa Ujerumani hivi sasa, ila kwa miaka kadhaa babu yake ndio alikuwa raisi wa nchi hiyo”

“Ehee”

“Sasa alikuja nchini Tanzania, kwa lengo la kunijulia hali, hii yote ni kutokana na lile tatizo la shambulizi, liliweza kumfikia hadi baba yake. Sasa kipindi anakuja huku ndege aliyo ipanda, ndio ile iliyo pata ajali, sijui wana sema kuna magaidi ndio wamesababisha hiyo ajali”

“Yaa ni kweli na bado kuna msako wa kuwatafuta”

“Sawa, tuachane na hao. Yeye alinisurika kuwa hai na yupo kwenye ubalozi wa Ujerumani nchini hapa Tanzania. Nashindwa kufanya maamuzi sahihi, yupi niwe naye. Wewe umeweza kuona jinsi Biyanka alivyo pambana na kuhakikisha nina kuwa salama. Huyu ana nipenda na nina mpenda toka utotoni, hembu nishauri”

“Mmmmm mkurugenzi huo ni mtihani mkubwa ila pia ni mgumu kiasi ila kabla sijakushauri. Je unaupendo wowote na Biyanka?”

“Ameanza kuniingia moyoni”

“Inamaanisha kwamba una mpenda?”

“Ndio ila sio sana kama jinsi ninavyo mpenda huyu wa zamani kwa maana. Nilimtumia Biyanka kama daraja la kuniweka karibu na baba yake ili niweze kulipiza kisasi changu taratibu kwa baba yake kwani mzee yule ndio aliye husika kwa vifo vya wazazi wangu”

“Mmmmm mkurugenzi huo ni mtihani mkubwa sana. Ila ngoja nikuambia kitu kimoja. Biyanka ana kupenda sana, amejitoa kwako kwa jambo la aina yoyote hadi amekubali kumsaliti baba yake ambaye amemkuza kutoka utotoni hadi hapo alipo fikia. Jaribu kumpa nafasi kwenye maisha yako, yale mawazo ya kumtumia kama daraja kwa sasa yafute. Mchukulie ni mke wako sasa. Katika biblia kuna ule msemo, mtu ata waacha baba na mama yake naye ataungana nawe na kuwa mwili mmoja. Amecha wazazi wake kwa ajili yako, jaribu kumpatia nafasi sawa”

Maneno ya Mbilinyi kaniingia vizuri sana moyoni mwangu.

“Huyo mwengine sijajua muna historia gani ila hembu jaribu kupima katika kipimo cha kujali kwani sifa kuu ya mwanamke ni lazima akujali kwa kila jambo. Tatizo lako alichukulie ni tatizo lake, ila kama ni mwanamke ambaye anasubiria matokeo chanya tu basi tambua kwamba ukipata matokeo hasi anaweza kukuacha peke yako. Sijui hapo ume nielewa?”

“Nimekuelewa”

“Nashukuru kwa kunielewa ila ninakuomba usimuumize Biyanka. Nakusisitizia tena huto pata mwanamke kama yeye katika kizazi hichi cha Haleluya”

Nikajikuta nikitabasamu tu. Tukafika katika geti la ofisi za ubalozi wa Ujerumani. Gari letu likakaguliwa huku Mbilinyi akiombwa kitambulisho na wanajehi hawa wa Ujerumani wanao linda hili geti.

“Mr nawe tunaomba kitambulisho chako”

Mwanajeshi huyu alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Samahani nimekuja kumuona Camila mke wangu”

Mwanajeshi huyu akanitazama kisha akawaruhusu wezake wafungue geti hili na taratibu tukaanza kuingia ndani.

“Wana kufahamu?”

“Nina hisi wana nifahamu ndio maana imekuwa ni rahisi kwa wao kuweza kuniruhusu”

“Sawa sawa”

Nikamuona Camila akishuka kwenye ngazi na na kuanza kukimbilia huku lilipo gari letu. Nikafungua mlango na kushuka. Tukakumbatiana kwa nguvu huku kamilia akilia kwa uchungu sana, hakuhofia wingi wa watu waliomo katika ofisi hizi, akaanza kuninyonya midomo yangu huku akitoa mihemo mizito ya kimahaba.

“Ethan ni wewe”

“Ndio ni mme mke wangu”

“Oohoo asante Mungu nilijuwa kwamba ume kufa jamani”

“Hapana sijakuja nipo hai mpenzi wangu”

Walinzi wa Camila hawakucheza mbali nasi huku Mbilinyi naye akiwa karibu yangu.

“Nakupenda sana Ethan, nakupenda sana mume wangu”

Camila alizungumza huku alilia kwa uchungu.

“Nina kupenda pia mke wangu.”

“Twende ndani”

Camila alizungumza huku akiniachia. Tukaanza kuondoka eneo hili na kuelekea katika nyumba wanazo ishi wafanyakazi wa ubalozi huu wa Ujerumani. Tukaingia kwenye moja ya nyumba na walinzi wetu wakabaki nje. Camila kwa haraka akaanza kuvua nguo zake kisha akanivua koti langu la suti pamoja shati langu. Nikamnyanyua na kumkalisha kwenye meza ya chakula. Nikafungua zipu yangu na kumtoa jogoo wangu ambaye tayari alisha simama tayari kwa kutafuna kitumbua cha Camila.

Taratibu nikamzamisha jogoo wangu ndani ya kitumbua cha Camila na nikaanza kukishambulia kwa kasi ya ajabu, Camila akaanza kutoa vilio ambavyo siku zote huwa vina nipa hamasa ya kuzidi kumpa burudani ya kile nilicho barikiwa na Mungu. Tukamaliza mzunguko wa kwanza huku sote tukiwa tumeja na furaha sana.

“Asante mumewangu, nilikukumbuka kwa kweli”

“Hata mimi”

Tukaingia bafuni kwa pamoja, hatukuwa na mazungumzo mengi na kujikuta tukiendelea na mzunguko wa pili ambao ukatuchukua kama dakika hamsini hadi kumalizika.

“Ehee niambie mume wangu, ni kina nani walihitaji kukuua?”

“Ni historia ndefu kidogo ila yule ambaye aliniuli wazazi wagu ndio yupo nyuma ya shambulizi hilo”

“Ehee sasa inakuwaje mume wangu. Au unahitaji nikupe msaada?”

“Hapana mke wangu, nimesha panga vijana wangu na nitahakikisha kwamba kila jambo linakwisha kabla ya msimu ujao wa ligi ya Spain kuanza?”

“Unataka kurudi uwanajani tena mume wangu?”

“Ndio”

“Waooo ni jambo zuri harakisha basi mume wangu ili tufunge pingu za maisha.”

“Usijali mke wangu nita hakikisha kwamba tuna funga ndoa yetu mapema. Ehee pole kwanza kwa ajali?”

“Asante yaani ni Mungu tu ndio amenisaidia kwa maana ni watu wengi sana ambao wamefariki”

“Pole sana”

“Ulikuwa wapi baada ya shambulizi lile kwa maana kuna habari nyingi sana ambazo nilikuwa nikizisikika kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na wewe”

“Nilikuwa Afrika kusini kwa ajili ya matibabu. Nilipata tatizo la mstuko wa moyo”

“Ohoo pole sana mume wangu”

“Asante”

“Ila hali yako si inaendelea vizuri?”

“Yaa ina endelea vizuri kwa sasa na sina tatizo hilo tena”

Tukaelekea chumbani na Camila akachukua simu yake na kunikabidhi. Nikastuka kuona picha ya Biyanka ikiwa katika simu yake.

“Huyo ni nani mume wangu?”

Swali la Camila likanifanya nikae kimya kidogo huku nikiitazama picha hii ya Biyanka.

“Ni mtu wagu wa karibu”

“Una mahusiano naye ya kima penzi?”

Nikanyanyua uso wangu taratibu na kumtazama Camila usoni mwake. Uzuri wa Camila ana nifahamu vizuri sana hata kama nikisema nimuongopee katika hili, ila macho yangu ataweza kuyasoma na kujua kwamba ninacho kizungumza ni uongo.

“Una mahusiano naye?”

Camila alizungu kwa sauti ya msisitizo kidogo huku akiikunja mikono yake vizuri na kunikazia macho.

“Ndio”

“Ethan una uwenda wazimu kichwani mwako eheeee?”

Camila alizungumza kwa hasira huku akinisogelea sehemu nilipo kaa. Akanishika mabega yangu na kuninyanyua kwa nguvu huku akihema kwa hasira kubwa sana.

“Kwa nini una nidanganya Ethan kwa nini. Miaka yote hiyo nina jitunza na kuwakataa wanaume wenye kila aina ya sifa na kuamini kwamba nina mwanaume wa maisha yangu alafu una nisaliti eheeee?”

Camila alizungumza huku akiendelea kufoka kwa hasira. Akanitandika kofi la shavu la kulia na kunifanya nijihisi nyota nyota.




Camila akajaribu kunipiga kofi jengine ila nikwahi kumshika mkono wake na kuushasha chini kwa nguvu.

“Huyu mwaname nina mtumia kama mpango wangu katika kukamilisha nina muangamiza baba yake”

“Hivyo tu”

“Ndio”

“Hahaaa…unahisi mimi ni mjinga kiasi hicho eheee?”

“Nisikilize nipo katika kazi yangu na usihitaji kuniharibia kile nilicho kianzisha na kutumia nguvu nyingi hadi kikafikia hapa”

“Ohoo kisingizio ni kisasi na unakwenda kugawa penzi langu kwa mwanamke mwengine si ndio”

“Ninarudia nipo kazini”

“Sawa vaa nguo zako na uondoke humu”

Camila alizungumza kwa msisitizo huku akinikazia macho. Sikutaka kuendelea kujibizana naye, nikava suti yangu vizuri na kumgeukia sehemu alipo simama.

“Endapo utaiona sura yangu tena kwenye maisha yako. Usirujie kujanyua huu mkono wako wa kiseng** na kunigusa shavu langu. Nitakuvuruga na kukuvunja vunja na sinto jali dunia itanitazama vipi, umenielewa?”

Baada ya kuyazungumza maneno haya nikatoka chumbani humu, nikwa naukaribia mlango wa sebleni nikasikia sauti ya Camila akiniita kwa nyuma, nikasimama kwa sekunde kadhaa kisha nikageuka na kumtazama.

“Mimi mwisho leo”

Camila alizungumza huku machozi yakimwagika machoni mwake. Kwa hasira nikatiika ndani hapa na kuubamiza mlango huu kwa nguvu hadi walinzi wakastuka, nikaanza kutembea huku Mbilinyi akinifwata kwa nyuma na kuwaacha walinzi wa Camila katika hali ya sinto fahamu.

“Mkurugenzi kuna nini kilicho tokea”

Mbilinyi aliniuliza huku akiongeza mwendo wa kutembea. Sikumjibu kitu chochote, tukafika kwenye na kuingia ndani. Machozi ya hasira yakaanza kunitiririka usoni mwangu, taratibu Mbilinyi akalirudisha gari nyuma kisha akaliweka sawa na kuanza kuelekea geti. Geti likafungulliwa na wanajeshi hawa kisha tukaanza kuondoka eneo hili.

“Mkurugenzi yule jamaa amekamatwa”

“Yupo wapi?”

Nilijibu huku nikijipangusa machozi yangu.

“Yupo nje ya mji”

“Twende waambie vijana wako waimarishe ulinzi hadi tufike”

“Wanafanya hivyo”

Safari ya kutoka katika jiji la Dar es Salaam ikaanza huku kauli ya Camila ya kwamba mimi na yeye mahusiano yamekwisha ikianza kujirudia rudia kichwani mwangu. Tukatumia masaa mawili kufika katika pori moja lililopo nje kabisa ya Dar es Salaam. Tukaingia katikati ya pori hili lenye miti mingi, Mbilinyi akasimamisha gari mbele ya nyumba ndogo ya bati huku kukiwa na gari nyingine mbili za watu wa Mbilinyi.

“Tumefika Mkurugenzi”

Nikashuka huku moyo wangu ukiwa umejawa na hasira sana. Tukaingia ndani ya nyumba hiyo na kumkuta kijana wa mzee Mkumbo ambaye alinishambulia kwa risasi akiwa amefungwa pingu mikononi mwake huku miguni mwake akiwa amefungwa nyororo nene kiasi. Kijana huyu alipo niona akastuka. Nikavua koti langu la siti kisha nikakunja mikono ya shati hili.

“Unahisi vile vichwa alivyo pelekewa mzee wako vilikatwa na nani kwenye ile miili ya wezako?”

Nilimuuliza kijana huyu huku nikichuchumaa mbele yake. Akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu, walinzi karibia sita wote wameizunguka hii seble huku kila mmoja akiwa na bastola mkononi mwake.

“Kukaa kimya nalo ni jibu, wale wezako mimi ndio nilio waua kwa kuwakata vichwa na kuviweka ndani kwa yule mzee”

Nikatazama mikono ya mmoja wa vijana waliomo hapa, nimsogelea na kumuomba avue gloves zake nyeusi. Akanikabidhi na kuzivaa, nikavua shati langu na kubaki na kaushi, huku nikisogea pembeni ya moja ya kona iliyopo hapa sebleni na kuchukua gongo moja la kuchezea mchezo wa cricket. Nikamtazama jamaa huyu, huku nikitazama ni eneo gani ambalo ninaweza kumpiga.

“Amesema bosi wake amekwenda Morroco kufanya nini?”

“Hapana mkuu”

“Sawa”

Nikaanza kumpiga jamaa huyu miguuni mwake kwa nguvu zangu zote. Jamaa huyu akaanza kulia mithili ya mtoto mdogo huku kila sehemu ninayo mpiga lazima nivunje mfupa.

“Sema yupo wapi bosi wako”

“Anarudi kesho kutwa”

“Tanzania?”

“Ndio”

“Kwa nini munishambulie kwa risasi na kuhitaji kuniua?”

“Bosi ali…alisema kwamba nifwatilie historia yako na kwani nilimuueleza kwamba sura yako si ngeni kwangu na tulipo gundua kwamba wewe ni adui kwetu akaniagiza nikue haraka iwezekanavyo”

“Ahaaa, sasa hakikisha kwamba nina mpata bosi wako”

Nikaendelea kumshambulia kwenye sehemu za mbali mbali za mwili wake hadi akaanza kuvuja damu. Nikajikuta nikiendelea kumpiga huku nikipiga kelele kali sana iliyo pelekea Mbilinyi kunifwata na kunisogeza pembeni.

“Basi mkuu basi”

Mbilinyi alizungumza huku akinitoa ndani hapa. Ukichanganya hasira ya kuachwa na Camila, nikajihisi moyo wangu ukichomoka kwa maumivu makali sana ninayo yahisi.

“Hakikisheni kwamba mzee Mkumbo akirudi muna mkamata na akaunti zake zote zile za pesa muambie yule kijana wako aliye sofa Korea Kaskazini, azitafute na kutoa pesa zote kwa mtandao”

“Sawa mkuu nitafanya hivyo”

“Nirudishe nyumbani. Kaniletee shati na koti langu”

Mbilinyi akaingia ndani baada ya muda akatoka akiwa na nguo zangu. Tukaingia ndani ya gari na kurudi nyumbani. Tukafika nyumbani majira ya jioni, nikamkuta Biyanka akinisubiria kibarazani, kitendo cha kushuka ndani ya gari akabaki akiwa ameduwaa.

“Ethan mume wangu, ni nini kilicho tokea?”

Biyanka aliniuliza huku akinitazama kifuani mwangu. Nikatazama ni nini anacho kitazama na kukuta katika nguo yagu ya ndani niliyo ivaa ikwa na damu nyingi sana zilizo nirukia.

“Mume wangu ni nini ulicho kifanya jamani”

Biyanka alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Nikamkabidhi koti la suti pamoja na shati kisha nikaingi ndani. Nikapitiliza moja kwa moja hadi bafuni, haikuisha hata dakika moja Biyanka akaingia huku machozi yakiwa yana mlenga lenga.

“Mume wangu ume ua mtu?”

“Hapana”

“Umempiga mtu?”

“Ndio”

“Kwa nini lakini mume wangu?”

“Nilihitaji kufanya hivyo ili niweze kujua ni wapi alipo baba yako”

Nilizungumza kwa ukali sana huku nikimtazama Biyanka usoni mwake.

“Baba yako atanifanya nizidi kumwaga damu hadi pale nitakapo mkamata”

“Ethan nakupenda mume wangu, usiendelee kumwaga damu za watu, wewe niambie ni nini unacho hitaji kwa baba yangu nitakifanya”

Biyanka aliongea kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana. Nikamtazama Biyanka usoni mwake kwa macho makali na yaliyo tawaliwa na hasira.

“Unazifahamu akaunti ngapi za baba yako?”

“Sita?”

“Unafahamu namba zake sa siri?”

“Ndio”

“Unafahamu ni wapi anapo tunza nyaraka za umiliki wa mabiashara yake yote halali?”

“Ndio”

“Nazihitaji hizo nyaraka leo hii”

“Sawa nipo tayari kwenda kuzichukua. Ilaniahidi kwamba huto muumiza mtu mwengine”

Biyanka alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Sawa sinto muumiza mtu yoyote”

“Najiandaa kwenda kuzichukua”

Biyanka akatoka bafuni hapa na nikasikia akifungua mlango wa kabati la nguo. Nikatoka bafuni humu pasipo kuoga, nikamkuta akivalia nguo zake pasipo kunisemehesha kitu chochote.

“Mbilnyi atakupeleka”

“Hapana nitakwenda mwenyewe.”

“Hakikisha kwamba una rudi salama”

“Sawa mume wangu”

Biyanka alizungumza kwa uchungu kiasi, akanisogele akanibusu shavuni mwangu ksha akatoka humu ndani, nikamfwata kwa nyuma.

“Mbilinyi nina omba funguo ya gari lako”

Mbilinyi akanitazama usoni mwangu, nikampa ishara ya macho kwamba amkabidhi funguo. Biyanka akakabidhiwa funguo kisha tukatoka nje kwa pamoja.

“Kuwa makini”

“Sawa”

Biyanka akafunguliwa geti na kuondoka na gari hili.

“Mkurugenzi hivi itakuwa ni salama kwake kwenda anapo kwenda peke yake.”

Mbilinyi aliniuliza huku akilisindikiza gari la kwa macho jinsi linavyo toka getini.

“Ndio nina muamini yupo vizuri”

“Au niagize vijana waweza kumfwatilia kwa ajili ya ulinzi wake?”

“Hapana acha aende mwenyewe”

Nilizungumza huku tukirudi ndani, nikaelekea bafuni na kuoga. NIkamaliza na kutoka nje huku nikiwa na vesti niliyo kuwa nimeivaa huku ikiwa na madoa mengi ya damu.

“Naomba uniletee kibiriti”

Nilimuagiza Mbilinyi huku nikizunguka nyumba ya nyuma yetu. Nikaiweka vesti hii chini, Mbilinyi akafika eneo hili huku akiwa ameshika chupa ya mafuya ya taa pamoja na kiberiti akanikabidhi, nikaimwagia mafuta vesti hii kisha nikaichoma moto na taratibu ikaanza kuteketea.

“Mkurugenzi yale uliyo sema ni kweli?”

“Yapi?”

“Juu ya kukata vichwa vya wale watu wa mzee Mkumbo?”

“Ndio”

“Weee ila kazi ilifanywa ki professional sana, au ulimuagiza mtu kwenda kufanya kilicho fanyika?”

“Nilifanya kwa mikono yangu mimi mwenyewe. Nipo vizuri ila muda mwengine huwa ninahitaji msaada wa watu kwa maana mke wangu amekuwa ni mtu wa kunisisitizia kwamba nisimwage damu. Naamini unatambua kwamba ameokoka sasa”

“Ni kweli nalitambua hilo”

“Yaa ndio maana nimehitaji msaada wa vijana wako ila kazi yangu nilio kuwa nayo ni kuwaua vijana wote ambao walihusika kwenye kifo cha wazazi wangu yule naye pia ni miongoni mwao”

“Duu, kwa mtu wa kawaida akikutazama hawezi kujua juu ya ukali wako ambao upo ndani yako”

“Mimi ni mtu mwenye roho nzuri ya kusaidia, ila pia nina roho mbaya sanaambayo kwa yule ambaye ananitendea jambo baya basi lazima nihakikishe kwamba nina muadhibu kisawa sawa.”

“Vipi kule kwenye ubalozi, ulitoka ukiwa na hasira sana, ilikuwaje?”

“Nime achana na yule mwanamke wa kizungu”

“Wee si tulisikia miguno ya kimapenzi, imekuwaje?”

“Kufanya mapenzi si kuwa na unashindwa kufanya maamuzi kwa maana hata malaya huwa wana tombw** kila siku, ila si hao wanao watomb** kwamba wana wapenda, ila wanafanya ili mradi kupata kile wanacho kitaka”

“Ni kweli mdogo wangu, umefanya mamuzi sahihi, umefanya kitu cha kupongezwa. Haya sasa hakikisha kwamba unatengeneza familia bora na madam”

“Usijali kaka”

“Ila yule binti mbona kama ana kajiuhalisia cha umafia?”

“Kivipi?”

“Naona ana roho fulani ambayo ni ngumu kiasi ambayo kwa namna moja ama nyingie nina ona kwamba sio nzuri au wewe hujaligundua hilo”

Kabla sijajibu hiyo simu ya Mbilinyi ikaanza kuita, akaitoa mfukoni na kuiweka sikioni. Akaisikiliza kwa muda kisha akanikabidhi huku akiniambia ni Biyanka ndio anahitaji kuzungumza nami.

“Mke wangu”

“Baby nimekamatwa na wanajeshi wa Kijerumani na sasa wanasema wananipeleka katika ubalozi wao wa Ujerumani kujibu maswali, ni nini kinacho endelea?”

Nikajikuta nikistuka sana huku nikimfikiria Camila ambaye kuachana kwetu kusije kukamfanya akammdhuru Biyanka ambaye masikini ya Mungu hafahamu jambo lolote hadi sasa kwamba ana mke mwenzake.



“Ohoo Mungu wangu sasa nisikilize, fanya hivi. Mpigie yule RPC na muelezee adhima ya hao wanajeshi kukukamata mimi ninajiandaa na Mbilinyi tunakuja huko sawa mke wangu”

“Sawa mume wangu, ila nina ogopa kwa maana sijui ni kitu gani kinacho endelea”

“Usiogope mke wangu. Jiamini sawa”

“Sawa”

“Tena waambie kwamba huwezi kuzungumza jambo lolote hadi pale mwanasheria wako atakapo fika”

“Sawa mke wangu”

Nikakata simu huku sote mimi na Mbilinyi tukiwa katika hali tata ya sinto fahamu.

“Kuna kijana wako yoyote aliyopo karibu ukampigia simu akatuletea gari”

“Ndio wapi njiani wanakuja hapa”

“Sasa wapigie na uwaharakishe waweze kufika hapa haraka iwezekanavyo”

Nilizungumza huku nikimkabidhi Mbilinyi simu yake kisha nikaingia ndani kwangu, nikabadilisha nguo na kuvalia suti nyingine kisha nikatoka nje na kuwakuta vijana wa Mbilinyi wakiwa wamefika. Tukaingia katika gair moja mimi na Mbilinyi huku gari jengine la vijana wake likitufwata kwa nyuma na kuianza safari ya kuelekea ubalizi wa Ujerumani kwa maan anina amani kwamba huu mpango si wa balozi bali ni mpango wa Camila.

“Naomba simu yako”

Mbilinyi akanikabidhi simu yake, nikaitafuta namba ya mke wangu aliyo nipigia. Nikaipata na kumpigia, simu yake ikaita baada ya muda kidogo ikapokelewa.

“Mume wangu”

“Umefanya nilivyo kueleza?”

“Ndio na hapa ndio tunaingai getini ubalozi wa Ujerumani”

“RPC anasemaje?”

“Anakuja na vijana wake kwa maana wao hawana taarifa yoyote kwamba wajerumani hao kama wamepanga kunikamata mimi”

“Sawa, tupo njiani tunakuja”

Niakata simu, nikakituliza kichwa changu kwa sekunde kadhaa huku nikiifikiria namba ya simu ya madam raisi, Tasiana Ramadhani. Nilipo fanikiwa kuikumbuka kwa haraka nikaiandika katika simu hii kisha nikampigia. Japo ni usiku tayari ila simu yake haikuchukua muda mrefu sana katika kuita ikapokelewa.

“Haloo”

“Mama ni mimi Ethan”

“Oohoo Ethan upo hai kweli, nimekutafuta hadi nimekata tamaa kwani vikosi vyote vya ukachero nilivyo kuwa nimevipa jukumu la kukusaka havifahamu upo wapi.”

“Ni stori ndefu mama yangu, ila nitakuelezea nikipata muda mzuri. Hapa ninaelekea ubalozi wa Ujerumani, wamemkamata mpenzi wangu kwa mahojiano. Nina omba unipatie msaada wa kuwasiliana na balozi haraka iwezekanavyo”

“Wamemkamata kwa kosa gani?”

“Hakuna kosa mama, ni stori ndefu ila nisaidie kufanya hivyo kwa maana ni wanajeshi ndio walio agizwa kumkamata”

“Aisee wametoa wapi mamlaka hayo na ujasiri wa aina hiyo kukamata raia wangu ndani ya nchi yangu”

“Ndio hapo mama nakuomba sana nisaidie”

“Sawa kata simu nimpigie sasa hivi”

“Nashukuru”

Nikakata simu huku nikishusha pumzi nyingi.

“Nani huyo?”

“Ni madam raisi”

“Huyu Tasiana?”

“Ndio”

“Hee kumbe una fahamiana naye sana?”

“Sana na mimi ndio niliye muingiza madarakani”

“Weee”

“Ndio, nilimsaidia, sasa ni wakati wake yeye kuweza kunisaidia’

Hazikupita hata dakika kumi, simu ikaita na nikaipokea kwa maana ni namba ya madam raisi.

“Ndio mama”

“Nimesha wasiliana na balozi wao na anadai kwamba hakutoa agizo kama hilo na hapa anatazama ni kwa nini wanajeshi hao wamemkamata mpenzi wako”

“Sawa ninashukuru sana mama”

“Ngoja usikate nina ona ana piga simu”

Simu yangu ikasubirishwa na baada ya dakika moja na sekunde kadhaa ikaunganishwa.

“Nimezungumza naye sasa hivi huyo balozi, anadai kwamba aliye fanya hivyo ni binti wa raisi wa Ujerumani anaitwa Camila”

“Nilijua tu ni yeye”

“Una mfahamu?”

“Alikuwa ni X-gilfriend wangu”

“Ohoo kwa hiyo hii ni vita ya kimapenzi?”

“Nahisihi mama ila vipi balozi amesemaje?”

“Ametoa amri ya binti huyo kuweza kuachiwa, sasa hajanipa feedback kwamba amechiwa au bado anashikiliwa”

“Ahaa sawa mama, ngoja nifike kwenye ubalozi huo na nitakujulisha, ninaomba unisaidie namba ya balozi”

“Sawa”

Nikakata simu, na meseji ikaingia na kuonyesha namba ya balozi huyo. Sikuhitaji kupoteza muda nikampigia na kwa bahati nzuri simu yake ikapokelewa.

”Ninaitwa Ethan Klopp”

Nilizungumza kwa luga ya kijerumani kwa manaa nina kifahamu vizuri sana.

“Ahaa Ethan nina kufahamu, nilisikia kwamba ulikuaja ofisini kwangu na sikuwepo majira hayo ya mchana. Habari yako bwana”

“Salama, kuna binti ameshikiliwa na wanajeshi wako ninaomba aweze kuachiliwa kabla hata ya kuonana na Camila”

“Ohoo binti unaye mzungumzia ndio huyu niliye toka kuzungumza na madam raisi?”

“Ndio”

“Nimesha toa agizo aweze kuachiwa haraka iwezekanavyo kwa maana sihitaji kuvunja uhusiano wa nchi yangu na Tanzania, ikiwa tuna elewana vizuri sana”

“Nashukuru na ninaomba uhakikishe kwamba anapatiwa ulinzi wa kutosha na nimkute hapo getini”

“Unakuja Ubalozini usiku huu?”

“Nimekaribia tayari”

“Ohoo njoo basi tuweze kuzungumza mambo mawili matatu”

“Nitaangalia. Ila hakikisha kwamba huyo msichana haonani na Camila kwa maana nimeambiwa Camila ndio ametoa maagizo hayo”

“Niamini hato onana naye”

NIkakata simu na kumpigia Biyanka. Akapokea simu yake.

“Vipi?”

“Naona wameniacha ndani ya gari langu wanazungumza zungumza hapa nje hata sielewi”

“Wamekupiga?”

“Hapana?”

“Wamekueleza ni nani ambaye ana kuita?”

“Hapana”

“Baki ndani ya gari na watakuwekea ulinzi hapo nje ya geti lao sawa”

“Haya mume wangu, ila ni kitu gani ambacho kinaendelea?”

“Tutazungumza nyumbani”

Nikakata simu na baada ya dakika tano tukafika getini hapa na kukuta gari la analo endesha Biyanka likwa getini huku kukiwa na wanajeshi kama sita wenye bunduki wakiwa wamelizunguka. Gari zetu zikasimama katika eneo hili na kuwafanya wanajeshi hawa kuzianda silaha zoa. Vijana wangu nao wakashuka kwenye gari la nyuma na kuchoma bastola zao na kuwalekezea wanajeshi hao.

“Mkurugenzi usishuke kwenye gari mbona kama hali si shwari”

Mbilinyi alizungumza huku akiendelea kutazama wanajeshi hawa walio nyoosheana silaha na vijana wangu. Gari mbili za polisi wa Tanzania zikasimama nyuma yetu na polisi kadhaa wakashuku huku wakiwa wameongozana na RPC Kimaro.

“Waambie vijana wako waweke silaha zao chini. Wamchukue Biyanka na kumpeleka nyumbani. Mimi na wewe tutabaki hapa”

“Sawa Mkurugenzi”

Nikafungua mkanda wa siti yangu na kushuka kwenye gari. Vijana wa Mbilinyi wakashusha silaha zao chini na kuwafanya wanajeshi hawa kushusha silaha zao chini. Biyanka akashuka kwenye gari kwa kasi na kunilaki mithili ya mfalme aliye toka vitani. Akanikumbatia kwa nguvu sana huku nikiyasikilizia jinsi mapigo yake ya moyo yanavyo muenda kasi.

“Mume wangu nina ogopa”

“Usijali kila jambo lipo sawa. Vijana wa Mbilinyi watakuepeleka nyumbani mimi nitabaki hapa kuhakikisha kwamba nina weka mambo haya sawa. Umenielewa?”

“Ndio nimekuelewa mume wangu”

Biyanka akanibusu mdomoni mwangu, nikatupia jicho eneo la getini kwa ndani nikamuona Camila akiwa amesimama kwenye moja ya mti huku amevalia nguo mazoezi. Tukatazama kwa sekunde kadhaa, kisha nikayahamishia macho yangu usoni mwa Biyanka.

“Nenda nyumbani mke wangu nina kuja sawa”

“Sawa honey. Kuwa makini”

“Poa”

Vijana wa Mbilinyi wakaondoka na Biyanka katika eneo hili na kutuacha sisi pamoja na polisi wa Tanzania na hawa wanajeshi wa Ujerumani.

“Ethan nimepokea simu kutoka kwa IGP ameniagiza nikuimarishie ulinzi ni amri pia kutoka kwa madam raisi”

RPC Kimaro alizungumza kwa sauti ya upole na unyenyekevu.

“Sawa nisubirini hapa. Ninaingia ndani na kijana wangu, nna mazungumzo na balozi”

“Haya”

Wanajeshi hawa wakatufungulia geti na kuingia ndani. Nikasindikizwa moja kwa moja hadi katika ofisi ya balozi wa Ujerumani na bahati nzuiri ni mtu ninaye mfamu kwani ni miongoni mwa watu wa karibu sana na familia ya Camila. Nikasalimiana naye balozi huyu na kunikaribisha niweze kukaa kweye sofa zilizomo katika eneo hili, baada ya dakika kama nne hivi Camila akaingia ndani humu huku akiwa mnyonge sana na kukaa katika sofa ambalo linatufanya tutazamane.

“Ethan”

“Ndio mzee”

“Camila”

“Ndio mjomba”

“Nyinyi nyote nina wafamu toka mukiwa wadogo sana. Wewe nina kufamu toka upo tumboni mwa dada yangu. Ethan na wewe nina kufahamu toka mzee Klopp alipo kuleta Ujerumani ukiwa bado mdogo sana tena sana.”

Mzee huyu alizungumza kwa upole sana na hekima ya hali ya juu.

“Sizungumzi hapa kama balozi wa Ujerumani. Aahaa…nina zungumza kama baba, kama mjomba au mlezi wenu. Mtu wa pekee ambaye alikuwa hayangi mapenzi yenu mkono alikuwa ni babu yako Camila, yote ni kutokana na ukali wake na matakwa yake alihitaji uolewe na mjukuu wa rafiki yake wa karibu ila ilishindikana”

“Ila watu wote tulio salia katika familia na karibia Ujerumani nzima. Tuliweza kuwapenda na kufurahia juu ya penzi letu na watu wengi sana walitamani kuona siku moja munafunga ndoa na mungeingia kwenye baadhi ya vitabu ya historia kwama ndio mahusiano yaliyo dumu kwa muda mrefu sana, toka utotoni hadi huko mbeleni ambapo Mungu angewajalia kuweza kufika.”

“Kabla sijakwenda mbali, Camila futa ile post yako kwenye twitter. Imeleta maswali mengi sana na ninapokea simu kutoka kwa wazizi wako, wanauliza ulicho kiandika ni kweli au laa. Na wanakupigia simu hupokei. Sio tabia nzuri wala malenzi ambayo wazazi wako walikupatia”

Nikamtazama Camila kwa macho ya kuiba na kumuona jinsi alivyo jawa na unyonge.

“Haya ni maisha yenu nyinyi wawili. Si kila kitu kinacho tokea kwenye maisha yenu ya ndani muyaweke kwenye mtandao. Kumbukeni kwamba mtandao sio mapenzi yenu na mtandao sio maisha yenu wala utu wenu wa ndani. Sasa kuanza kuweka picha na kuandika kwamba it’s over sijapenda kabisa Camila na nina rudia tena kwamba sijapenda. Futa hiyo post sasa hivi kabla sijaelendelea na mazungumzo”

“Simu ipo ndani”

“Ukirudi huko ndani hakikisha kwamba una ifuta. Sitaki ujinga na upuuzi wa aina hiyo tena sawa”

“Sawa anko”

“Ethan, mwenzio wame jitonza kwa kipindi kirefu sana cha maisha yake. Ametoka nchini Ujerumani na kuja hapa Tanzania kwa ajili yako wewe tu. Na nimeshuhudia kile alicho niambia kwenye cctv camera za pele getini ukimbusu huyu msichana ambaye alikamatwa, imenidhibitishia kwamba ni mwanamke wako na mna pendana sana. Kwa nini umeamua kuumiza moyo wa mjomba wangu, amekusubiria kwa kipindi chote cha maisha yake. Mimi ni shuhuda mzuri, watu wengi wana msumbua mjomba wangu ila kwa nini aliamua kukuchagua wewe na kuwaacha wengine ehee? Au kuna siku ulisha wahi kumfumania na mwanaume mwengine na hadi uamue kulipiza kisasi kwake cha kuwa na mwanamke mwengine?”

Swali la balozi hili likanifanya nizidi kukaa kimya huku nikiwa nimekiinamisha kichwa changu chini.

“Ukimya una dhihirisha kwamba si kweli. Sasa cha kufanya ni kwamba murudiane sasa hivi. Nyanyuka uka kae pale kwa mwenzio, niwapige picha tena mukiwa katika pozi la kimapenzi, niiweke kwenye akaunti yangu ya Twitter na nikanushe juu ya kuvunjika kwa penzi lenu na nyinyi nanyi muweka kwenye akaunti zenu hiyo picha la sivyo. Ethan unachezea shilingi chooni kwa maana kama ni Mjerumani ndio aliye kupandisha na kukupa utajiri huo ulio nao. Basi Mjerumani huyo huyo ndio anaweza kukusha na kuwa masikini wa mwisho duniani kwani tambua asilimia tisini ya utajiri wako umeuacha nchini Ujerumani hivyo usicheze na mjomba wangu”

Kauli za mzee huyu zikanifanya nimtazame kwa hasira kwani kwenye maisha yangu kitu nikichukiacho ni kutishiwa maisha yangu na huwa nipo tayari kupambana ili mradi nihakikishe kwamba nina itunza heshima yangu.



“Unanitishia?”

Nilimuuliza balozi huku nikimtazama usoni mwake kwa msisitizo ulio mfanya kuyakwepesha macho yake na kumtazama Camila aliye kaa kimya akiyasikiliza mazungumzo haya ya mjomba wake.

“Sikutishi ila nina kuambia kitu cha ukweli ambacho kitatokea katika maisha yako ya mbele”

“Ngoja nikuambia kitu kimoja. Utajiri sikuupata kwa bahati mbaya hiyo ni moja. Mbili ndio maana una ona hakuna kampuni hata moja ya marehemu mzee Klopp ambayo imetetereka na uchumi wa kampuni hizo zimepanda kwa kiasi kikubwa sana. Unahisi kwamba ningezifilisi au ninge ziangusha. Unahisi kwamba ukinitishia kwamba utanirudisha chini kiuchumi nitaogopa. Ngoja nikuambie kitu kimoja nina nguvu zaidi ya jinsi unavyo dhania, kama niliweza kumsaidia raisi wa sasa wa nchini kwako kuingia madarakani. Pia nina nguvu ya kumtoa madarakani kipindi kijacho hivyo usinijaribu na sipimwi kijinga kiasi hicho. Mapenzi hayawezi kuamua hatia ya maisha yangu. Mapenzi hayawezi kunifanya mimi nishindwe kupanga mipango yangu. Camila anafahamu nguvu iliyopo nyuma yangu.”

Nilizungumza kwa kujiamini sana huku nikimtazama balozi huyu machoni mwake. Uso wake kidogo ukajaa woga ambao sikutegemea kumuona nao sasa hivi.

“Mimi na Camila tuligombana hadi ikafikia hatua ya yeye kunipiga risasi. Ila kipo wapi, tulindelea na hili litapita na tutaendelea kama kawaida. So funga kinywa chako acha mimi na Camila tupambane na hali zetu”

Nilizidi kuzungumza kwa kujiamini. Nikanyanyuka kwenye sofa hili nililo kalia na nikamsogelea Camila na kumtazama usoni mwake kwa sekunde kadhaa kisha nikamnyosha lipsi zake zake na wala hakuwa na pingamizi lolote la kunizuia kufanya hivyo”

“Nipo kazini mzee wangu funga kinywa chako. Mke wangua najua nini nina fanya”

Mara baada ya kuzungumza maneno haya nikapiga hatua hadi mlangoni ila Camila akaniita na kunifanya nisimame.

“Naomba uwe makini mume wangu katika kazi yako”

“Nashukuru haya ndio maneno ambayo nina hitaji kuyasikia kwako. Akili yako isiongozwe na hisia ila akili yako iongoze hisia zako sawa”

“Nimekuelewa Ethan”

“Nashukuru”

Nikafungua mlango na kutoka ndani humu. Nikamkuta Mbilinyi akiwa na walinzi wengine mlangoni hapa wakiwa wanatusubiria, tukaongozana na Mbilinyi hadi lilipo gari letu, tukaingia na taratibu tukaanza kuondoka katika eneo hili.

“Vipi upo sawa mkuu?”

“Yaa nipo sawa. Huyu balozi kidogo alikuwa anahitaji kuniingilia kwenye maisha yangu. Ila nimemuweka sawa”

“Umemuweka sawa kivipi?”

Mbilinyi alizungumza huku akipunguza mwendo kasi wa gari hili na kukunja kona ya kushoto kwetu taratibu.

“Alikuwa ana nipa vitisho kwamba kama nimeachana na binti yao basi wataniwekea vikwako katika kampuni zangu zilizopo nchini Ujerumani, alihisi kwa kufanya hivyo basi anaweza kunitisha ila kwa bahati mbaya amekuta na kichwa cha kichaga nimempa biti hadi mwenyewe ame sanda”

“Hee mkurugenzi kumbe wewe ni mchaga?”

“Ndio mimi ni mchaga tena mhaga halisi. Baba na mama wote ni wachaga”

“Unajua kwa haraka haraka mtu akikutazama hawezi kufahamu kama wewe ni mchaga kwa maana huna hata hulka moja ya kichaga?”

“Niliondoka Tanzania nikiwa bado mdogo sana sijui miaka mitano ile sijui sita. Sikumbuki vizuri kwa hiyo hata ile lafudhi ya kichaga, meno kuwa ya hawawia vyote hivyo vimepita kushoto”

“Hahaa kweli kabisa. Hata ubaili pia umepita kushoto”

Tukajikuta tukicheka sana, tukafanikiwa kufika nyumbani salama salmini na kumkuta Biyanka akitusubiria kwa hamu kubwa. Tukakumbatiana na Biyanka na moja kwa moja tukaelekea chumbani kwetu.

“Mume wangu niambie ni nini kinacho endelea?”

“Nitakuambia mke wangu kwa sasa hembu tupate chakula cha usiku”

“Ila mume wangu moyo wangu umepoteza amani kabisa. Niambie basi”

Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa, huku nikitamani kumueleza ukweli Biyanka ila nafsi yangu moja bado inaendelea kunisisitizia kwamba nisizungumze ukweli huu kwa wakati wa sasa.

“Muda wa asubuhi nilienda kwenye ubalozi wa Ujerumani ili niweze kubadilisha uraia wangu na kuwa Mtanzania, so kulikuwa na kuto elewana na watu wale na kunaa kijifujo kilitokea na niliondoka kutokana walikuwa wame ng’ang’ania mimi nibaki katika uraia wa nchi yao. Hivyo gari letu tullo kwenda nalo nina imani kwamba walikuwa wana litafuta kwani hiyo ndio ilikuwa njia raisi kwa kunipata mimi. Kwabahati mbaya balozi aliagiza vijana wake walisake gari hilo na wakakukamata nalo wewe ndio maana walikupeleka katika ubalozi wao”

Nilizungumza uongo ambao kidogo una endana na ukweli wa tukio hilo.

“Sasa mume wangu kwa nini uliwajibu vibaya?”

“Hasira mke wangu. Nilikuwa nina hasira. Tuka lile tukio litokee nimekuwa ni mtu ambaye nimejawa na hasira kali snaa kifuani mwangu. Hivyo endapo mtu anazungumza vibaya basi nipo tayari kumjibu vile nijisikiavyo kutokana na kujibu kwake vibaya”

Taratibu Biyanka akanisogelea na kunikumbatia kwa hisia kali sana hadi mwili wangu ukaanza kusisimka.

“Jaribu kukimiliki hasira yako mume wangu. Tafadhali usiache hasira yako ikutawale sawa baba”

“Sawa mke wangu nitajitahidi pia nina omba uweze kuniombea katika hilo”

“Nitafunga siku mbili kwa ajili ya jambo hilo mume wangu. Hasira siku zote ni hasara na kumbuka ni kitu gani ambacho tuna kihitaji kukifanya kwenye maisha yetu. Wapi tunahitaji kuelekea, hivyo na kuomba sana usiwe na hiyo hali kwani inaweza kukupekekea kuingia katika sifa mbaya ambayo dunia itakapo itambua hasi CV yako uliyo ijenga kwa miaka mingi sana basi itavurugika kwa muda mfupi sana. Umenielewa mume wangu?”

“Sawa mke wangu”

Nilizungumza huku tukiachiana taratibu na Biyanka.

“Nilizungumza na mama kwanza ana kusalimia sana”

“Waoo ana endeleaje?”

“Ana endelea vizuri na ameniambia kwamba ile benki ambayo baba anahifadhia hati zake muhimu, amebadilisha na kupelekea nje ya nchi sasa sijajua ni nchi gani amepeleka hati hizo”

“Mmm”

“Yaa una ambiwa wanasheria wa baba wana mpigia mama kumuuliza ni nini kinacho endelea kwa maana mzee ana kazi ya kubadilisha majina ya hati zote ambazo alitumilikisha mimi na mama”

“Hata hati ya mgodi itakuwa ame ihamisha?”

“Ndio atakuwa ameihamisha tena hiyo itakuwa ndio muhimu sana kuliko zote”

“Nilisikia kwamba yopo Morocco”

“Yupo Morocco!!?”

Biyanka aliniuliza kwa mstuko kidogo huku macho yakiwa yamemtoka.

“Ndio”

“Ana urafiki mkubwa sana na raisi wa Morocco nina imani kule ndipo alipo zipeleka”

“Mmmm inabidi nifanye mpango wa kwenda nchini Morocco”

“Uniache hapa peke yangu?”

“Tutakwenda wote, kwani huyo raisi wa Morocco ana kufahamu?”

“Ndio ana nifahamu, anaitambua sana familia yetu kwa maana ndio mshauri namba moja wa baba. Uchafu chafu wote anao ufanya unatokana na ushauri wake huyo raisi kwa maana na yeye ni bonge moja la drugs dealer”

“Duuu”

“Ni mtu hatari sana nyuma ya pazia. Ila usoni mwake ana umalaika mmoja mzuri sana yaania kitokea hapa na kuzungumza na wewe yaani uta bisha kwa asilimia mia moja kama si mtu mbaya”

Biyanka alizungumza kwa kujiamini sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Kama amezipeleka nchini humo basi hatuna namna ya kufanya. Tumesha kosa kila jambo”

“Usikate tamaa mume wangu. Tambua kwamba kila jambo gumu lazima liwe na njia ya kupitia. Acha tulale leo hii kisha kesho nina imani kwamba vichwa vyetu vinaamka na wazo jipya”

“Sawa mke wangu”

“Inabidi kesho niende kazini nikafanye vikao na wameneja wote na tuweze kuwatambulisha yale makampuni tuliyo fanyanayo mazungumzo nchini Afrika kusini kwa manaa leo waliniuliza kwamba tume fikia wapi katika kuhakikisha kwamba mipango tuliyo ipanga itafanya kazi”

“Sawa mke wangu. Vijana wawili watakupeleka”

“Haya”

Tukarudi sebleni. Mbilinyi akatuaga na kuelekea kwake. Tukabaki na vijana wawili wana kutulinda kwa usiku huu.Tukapata chakula cha usiku huku akilini mwangu nikijaribu kutafakari ni jinsi gani ninavyo weza kupata mtu ambaye ataniunganisha katika shirika lolote ambalo nina weza kuwekeza au kufanya nao biashara.

“Mbona uma mawazo mume wangu”

“Nafikiria jinsi ya kuingia nchini Morocco”

“Usiwaze sana, acha tulale asubuhi tutapanga na kujua nini cha kufanya”

Biyanka alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti chake na kunisogelea hapa nilipo kaa. Taratibu nika kirudisha kiti changu nyuma kidogo na akapitisha mguu wake upande wa pili hichi kiti na kunikalia mapajani huku tukitazamana.

“Nakuhakikishia kwamba katika hili ni lazima tishinde mume wangu. Umenielewa?”

“Nimekuelewa mke wangu”

Taratibu Biyanka akaanza uchokozi wa kimahaba, kwani kwa jinsi anavyo sukua sugua makalio yake juu ya jogoo wangu ambaye amelala, kukamfanyaa anze kusisimka na kusimama dede. Uvumilivu ukanishinda, nikamtoa jogoo wangu na kulipandisha juu kidogo sketi hii ya Biyanka, chupi yake nika iweka pembeni na taratibu nikamzamisha jogoo wangu ndani ya kitumbua chake na kumfanya macho yamtoke huku mehemo mingi ya kimahaba ikiwa imemtawala.

“Aiissiiiaaahhaa…”

Nililalama huku nikiendelea kuyaminya kwa nguvu makalio ya Biyanka ambayo ni makubwa kiasi na yana ulaini ambao unanifanya nizidi kupata hamasa ya kuendelea kuyatomasa.

Mtanange huu ukazidi kutamalaki hapa kwenye kiti hadi nika hisi kwamba tunaweza kukivunja kiti hichi ambacho kinaendelea kuburuzika buruzika hadi kikafika ukutani. Nikamnyanyua Biyanka na kuiingia nanye chumbani huku jogoo wangu bado akiwa ndani ya kitumbua chake.

“Unanitomb** vizuri mume wangu?”

“Kweli?”

“Kweli, ohooo nakojo****”

Biyanka alizidi kuendelea kulalama kwa utamu na burudani hii anayo zidi kuipata. Nikamlaza kitandani, huku nikimgeuza kwa harakana kumbong’olesha. Nikaendelea kukitafuna kitumbua chake kwa kasi ya ajabu sana ambayo kusema kweli Biyanka alitoa vilio vya kila aina, lugha ambazo sikuwahi kuzisikia kwenye maisha yangu leo nina zisikia kwake.

“Nakojo*** mke wangu”

Nililalama huku nikisikilizia waarabu weupe jinsi wanavyo jiandaa kujifyatua katika kitumbua cha Biyanka.

“Hata mimi mume wangu twende wote?”

Nikazidi kukishikilia kiuno cha Biyanka na kuzidi kuongeza kasi hadi waarabu weupe wakaanza kutoka kwa kasi kubwa sana huku wakiambatana na manii nyingi za Biyanka hadi akaanza kutetemeka mwili wake kwa utamu anao usikia.

“FUC***”

Nilijikuta nikilalama huku viongo vyangu vya mwili karibia vyote vikiwa vimekaza kwa utamu ninao jisikia.

“Ohoo asante mume wangu”

Biyanka alizungumza huku akijilza kifudi fudi, akajigeuza na kulala chali, akaitanua mikono yake na taratibu nikamkumbatia kwa nguvu huku nikiendelea kuhema na kuyasikilizia mapigo yangu ya moyo jinsi yanavyo kwenda kasi kama nimetoka kuwapiga chenga mabeki watano na kufunga goli muhimu sana kwenye maisha yetu.

“Mume wangu toka nikufahamu hujawahi kuni tomb** kama hivi haaa….Hapana au ndio hiyo hamu ya kukaa kwa kipindi kirefu bila kukupa tamu yangu?”

“Yaani hata sijui. Unajua nilikuwa ninakwenda kasi hadi nikahisi kama moyo wangu unakwenda kuchomoka ila nikazidisha kasi”

“Hahaaa, yaani kwa mzunguko huu, nimekojo** zaidi ya mara tano. Yaani hii ya mwisho ndio ikawa funga kazi kwa maana nilhisi mapaja kama yanataka kung’oka. Wewe huoni jinsi nilivyo kuwa nina tetemeka?”

“Nimekuona”

“Asante sana mume wangu. Nina kupenda sana na nina kuhitaji sana kwenye maisha yangu”

“Hata mimi nina kuhitaji kwenye maisha yangu kwa maana si kwa utamu huu”

Sote tukajikuta katika hali ya furaha ambayo kwa asilimia kadhaa nikajikuta nikizidi kumpenda sana Biyanka. Tukaingia bafuni kwa pamoja, tukaoga kisha tukarudi chumbani na kulala huku nikiwa nimemkumbatia Biyanka kwa nyuma.

Asubuhi tukaamka huku tukiwa ni watu wenye furaha sana. Biyanka akaanza kujiandaa kwa ajili ya kuelekea ofisini. Kutokana ni watu wengi hawafahamu ni wapi nilipo, sikuona haja ya mimi kuelekea ofisini kwa siku ya leo. Nikamuandalia Biyanka kifungua kinywa kizuri sana ambacho sikuwahi kumuandali siku hata moja.

“Mume wangu kumbe unajua kupika kiasi hichi?”

“Sana tu mke wangu. Tena sasa hivi tupo pamoja basi nitakupikia hadi wewe mwenyewe ushangae”

“Sawa mume wangu.”

Tukamaliza kupata kifungua kinywa na Biyanka akaondoka na vijana hawa wawili huku mmoja akiwa ndio dereva wa gari hili. Haukupita muda mrefu sana Mbilinyi akafika nyumbani hapa. Nikasialimiana naye huku uso wake ukionyesha ana shahuku kubwa sana ya kuzungumza jambo muhimu sana kwangu.

“Una kitu unataka kuniambia?”

Nilimuuliza Mbilinyi huku nikitoa vyombo mezani na kuviingiza jikoni.

“Ndio mkuu”

“Niambie”

“Mke wangu na mwanangu wametekwa asubuhi hii na watu wa Mzee Mkumbo. Wamenipa sharti moja la sivyo wata muua mwanangu na mke wangu?”

“Sharti gani?”

“Nikupeleke wewe mikononi mwao ukiwa hai”

Nikastuka kidogo huku nikimtazama Mbilinyi usoni mwake na kumshuhudia machozi yakianza kumlenga lenga na akashindwa kabisa kuyazuia na yaamwagika mashavuni mwake jambo linalo dhihirishia kwamba yupo kwenye wakati mgumu sana kwenye maisha yake.



Nikajikuta hikihisi nguvu za miguu zikiniishia. Nikaka kwenye moja ya sofa la hapa sebleni bila ya kupenda huku mapigo ya moyo yakinienda kasi, nikaanza kuhisi joto mwilini mwangu, kwani Mbilinyi ni mtu ambaye nina muamini sana na sijatarajia kama kuna tukio kama hili linaweza kujitokeza kwa wakati huu.

“Mkuu wamenipa masaa mawili ya kukufikisha pale. Samahani nina omba ujifikirie katika hili. Nipo hapa nje”

Mbilinyi alizungumza huku machozi yakiendelea kumchuruzika usoni mwake. Akatoka ndani humu na kunisubiria nje, nikanyanyuka kwenye sofa hili huku mwili mzima ukiwa umejawa na woga. Nikaingia chumbani kwangu huku nikiwa sina hata jambo la kujifikiria. Woga na wasiwasi vinazidi kuongezeka kila mara, gafla nikamuona Ethan akiwa ameegea ukuta.

“Wooo una nyumba nzuri, hujanikaribisha hata siku moja rafiki yangu”

Ethan alizungumza huku akianza kuzunguka zunguka ndani ya chumba hichi.

“Nisaidie rafiki yangu”

Nilizungumza kwa kutetemeka.

“Ndio maana nipo hapa. Nipo kwa ajili yako.”

Ethan alizungumza huku akitabasamu. Akaingia bafuni na kunawa mikono yake kwenye sinki la kunawia, akarudi huku akiwa ana jifuta mikono yake kwa maji.

“Ni kweli familia ya rafiki yako imetekwa. Ni muda wa kurudi mazuri kwa mema aliyo kufanyia”

“Sasa nina anzia wapi?”

Ethan akanyoosha mkono wake wa kulia na nguo ambazo nilikuwa nimezitumia mkoani Moshi kwa ajili ya mauaji ya watu wawili wa mzee Mkumbo. Pembeni ya nguo hiyo kuna sime ndefu ambayo ndio niliitumia katika mauaji hayo.

“Ni wakati wa kuonyesha uwezo wako na nitakuwa nawe katika hili”

“Nizivaae asubuhi hii?”

“Ndio na juu uvae nguo nyingine”

Nikazitazama nguo hizi huku nikianza kuhisi ujasiri ndani yangu. Nikavua nguo zangu hizi na kuvaa nguo nyingine kisha nikavaa nguo hizi, baada ya kumaliza nikavaa suti juu yake na si rahisi kwa mtu kuweza kugundua kwamba nimevaa nguo nyingine.

“Hili sime vipi”

“Nina ibeba mimi. Nenda sasa”

“Ngoja kwanza, adui yangu nitampata kweli?”

“Utampata ila si leo”

“Sawa”

Nikatoka ndani na kuelekea nje, nikamkuta Mbilinyi akiwa katika hali ya majonzi sana hapa ndipo nikajua udhaifu wa Mbilinyi. Kwani familia nina imani ndio kila kitu kwenye maisha yake.

“Tunaweza kwenda”

Mbilinyi akanitazama kwa mshangao mkubwa sana huku akionekana kuto kuamini maamuzi yangu niliyo mueleza.

“Kweli mkuu”

“Ndio, familia yako ni muhimu na ninahitaji kusaidia mkeo na mtoto wawe hai”

“Nashukuru sana mkuu. Nashukuru sana”

Mbilinyi alizungumza kwa msisitizo mkubwa sana. Tukaingia kwenye gari na kuianza safari ya kuelekea katika eneo ambalo Mbilinyi amepewa maelekezo. Ndani ya nafsi yangu nikaendelea kumsikia Ethan akinipa maelekezo, jambo ambalo Mbilinyi wala binadamu wa kawaida anaweza kulifahamu. Tukatoka nje kabisa ya jiji la Dar es Salaam na eneo hili tulilo fika hakika ndio mara yangu ya kwanza kufika.

“Huku ni wapi?”

“Msata”

Mbilinyi alizungumza huku tukizidi kutokomea kwenye pori ambalo halina dalili ya mtu yoyote kuweza kuishi huku. Tukafika sehemu na simu ya Mbilinyi ikaanza kuita, akaitoa mfukoni na kuitazama kwa sekunde kadhaa. Akaipokea na kuiweka loud speaker ili sote tuweze kusikia.

“Simama hapo hapo”

Ikamlazimu Mbilinyi kufunga breki za gari na kusimama.

“Shukeni ndani ya gari na mutembee kwa miguu na endapo tukagundua kuna escort yoyote ya polisi basi mtoto wako atakuwa wa kwanza kufariki”

Mtu huyo alizungumza kwa msisitizo.

“Nipo na bosi wangu tu hatujatoa taarifa hii popote pale”

“Sawa shukeni kwenye gari na mutemee kwenye hiyo barabara”

“Haya”

Mbilinyi akakta simu na kabla hatujashuka kwenye gari simu yake ikaita tena.

“Madam ana piga”

Mbilinyi alizungumza huku akinionyesha namba ya Biyanka. Nikaitazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaichukua simu hiyo na kuipokea.

“Mke wangu”

“Niambie mume wangu upo poa”

“Ndio vipi?”

“Safi vikao vimekwenda vizuri sana mume wangu. Kila mtu amefurahia mpango mpya ambao upo mbele yetu”

“Sawa mke wangu, kazi nzuri sana”

“Mbona unazungumza kama huna raha mume wangu au umenimiss nirudi nyumbani?”

“Hapana mke wangu nipo poa, kuna mambo kidogo ninazungumza na Mbilinyi si unajua mpango wa kwenda Morocco”

“Ahaa sawa, basi acha niingie kwenye kikao kingine nitakufahamisha”

“Sawa mume wangu ninakupenda sana”

“Nina kupenda pia mke wangu”

Nikakata simu na kumrudishia Mbilinyi. Tukashuka kwenye gari hili na kusimama mbele ya hili gari huku tukiitazama barabara hii iliyo jaa nyasi nyingi jinsi ilivyo nyooka. Nikatazama kwneye miti hii na kukuta kuna kamera kadhaa za ulinzi. Nikamuonyesha Mbilinyi kamera hizi kwa ulinzi huku tukiendelea kutembea. Tukafika kwenye moja ya njia panda na simu yake ika ita. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake, nikamtazama usoni mwake kisha baada ya sekunde kumi akakata simu na kuelekea katika njia ya kulia kwetu.

Tukatembea kwa dakika kama kumi na tano hivi kisha tukafika katika eneo ambalo limezungushiwa fensi za mbao na kwa haraka haraka ni kambi ndogo ya wahalifu kwa maana ina vibanda tu.

Eneo hili lina walinzi wenye silaha kubwa na inaonyesha kwamba ni kambi ya waalifu ambayo serikali kwa namno moja ama nyingine haifahamu chochote. Walinzi wawili wenye bunduki wakatusogelea na kutukagua. Wakachukua bastola ya Mbilinyi, kwangu hawakuweza kukuta kitu chochote kwani sime hiyo anayo Ethan. Tukaingia katika kambi hii yenye vibanda vilivyo ezekwa kwa nyasi huku kuta za vibanda hivi zikiwa zimetengenezwa na mbao ngumu. Walinzi wawili wametangulia mbele yetu huku walinzi wawili wakiwa nyuma yetu. Tukafika kwenye moja ya kibanda kikubwa na kuingizwa ndani. Tukakutana na jamaa wawili walio valia nguo za jeshi ambazo si za jeshi hili la Tanzania.

“Nahitaji kuiona familia yangu kwanza”

Mbilinyi alizungumza huku akiw amenishika mkono. Moja ya mlango katika kibanda hichi ukafunguliwa na tukawashuhudia mke wa Mbilinyi pamoja na mwanaye wakiwa wamefungwa vitambaa vyeusi machoni mwao huku mikononi wakiwa wamefungwa kamba miguuni na mikononi.

‘Muache Mbilinyi aondoke’

Nilisikia sauti ya Ethan aknisimesha.

‘Sawa’

Nilijibu huku nikishusha pumzi.

“Mumenihitaji mimi sasa ni muda wa kuiachia familia yake”

Nilizungumza kwa kujiamini, kijana mmoja akampa mlinzi mmoja ishara ya kuwafungulia mke na mtoto wa kike wa Mbilinyi.

“Mfungeni”

Kijana huyo akatoa amri wa walinzi hawa wakanifunga pingu mikononi mwangu.

“Samahani sana mkuu”

Mbilinyi alizungumza huku machozi yakimtoka na akakumbatiana na mkewe pamoja na mwanaye.

“Usijali, ondokeni hapa na usifanya chochote kitakacho hatarisha maisha ya familia yako”

“Mkuu”

“Ni amri na si ombi na usimueleze mke wangu chochote”

Mbilinyi akanitazama kwa sura ya upole na unyenge mwingi sana.

“Najua bosi wetu ana nihitaji nikiwa hai. Nahitaji hii familia itoke katika msitu huu salama salmini la sivyo nitajiua kwa kuung’ata ulimzi wangu hadi ukatike”

Nilizungumza kwa msisitozo huku nikiwatazama vijana hawa. Wakatoa ishara kwa vijana wao kuwaondoa Mbilinyi na familia hii ndani humu. Mbilinyi na mke wake wakabaki wakinitazama huku wakiwa wamejawa na wasiwasi mkubwa.

“Nahitaji kuhushuhudia jinsi wanavyo ingia kwenye gari lao”

“Wapakizeni kwenye gari na muwafikishe walio liacha gari lao”

Kijana mmoja alizungumza kwa simu ya upepo. Wakanigeuzia laptop iliyopo mezani ambayo inaonyesha video kadhaa zinazo rekodiwa na cctv Camera zilizopo kwenye miti mbalimbali katika eneo hili. Nikawashuhudia Mbilinyi na familia yake wakifikishwa kwenye gari tulilo jia kisha wakaondoka eneo hili.

Mmoja wa vijana akaminya batani katika laptop hii na video ikabadilika na kumuonyesha mzee Mkumbo akiwa katika eneo moja zuri sana ambalo kwa haraka haraka nimeshindwa kulitambua kwamba ni wapi.

“Ethan mkwe wangu. Habari za siku nyingi”

Mzee Mkumbo alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake.

“Salama mzee”

“Hahaa Ethan ulihisi kwamba sinto gundua kwamba wewe ni panya unaye ng’ata na kupuliza?”

“Hakuna siri ambayo haifichuki labda iwe ya mtu mmoja. Najua unatambua na wewe umesahau ulivyo waua wazazi wangu”

Mzee Mkumbo kidogo akastuka na kunikazia macho.

“Usistuke, mikono yako imejaa damu za baba na mama yangu. Kisa madini ndio ukaamua kuwaua si ndio…..Hahaaa ngoa niakuambie ule mgodi ni mali yangu, lile eneo ni mali yangu na nitahakikisha kwamba kila kitu kinarudi mikononi mwangu”

Mzee Mkumbo akanitazama kwa hasira kwa sekunde kadhaa kisha akaangua kicheko kikubwa cha dharua.

‘Muda sasa umefika.’

Ethan alizungumza huku akisimama pembeni yangu pasipo vijana hawa kuweza kuniona. Akazikata pingu hizi na kunikabidhi jambia hili kisha akarudi ndani ya mwili wangu na kunipa nguvu za ajabu sana, nikarusha sime hii kwa kijana mmoja na ukatua singoni mwake na kusababisha damu nyingi sana kuanza kuruka hewani. Kijana huy mwengine kabla hajafanya jambo lolote, nikamuwahi kumshika na kumpiga kabali nzito huku nikimtazama mzee Mkumbo usoni mwake ambaye ana shangaa hichi ninacho kifanya. Nikaizungusha shingo ya kijana huyu na kuivunja vibaya sana jambo lililo mfanya mzee Mkumbo kuendelea kushanga. Nikaichana shuti hii pasipo hata kuivua na nikabakiwa na nguo hizi nyeusi.

“Wewe!!”

Mzee Mkumbo alizungumza kwa mshangao mkubwa sana.

“Ni vizuri sana kufahamu unapigana na adui yako wa aina gani. Sasa jinsi nilivyo vunja shingo ya huyu kibaraka wako ndivyo jinsi nitakavyo vunja shingo yako kwa mikono yangu. Na tambua kwamba upo Morocco, nitahakikisha nina kufwata huko huko na nikikupata sina huruma na wewe”

Nilizungumza huku nikiwa nimenyooshea mzee Mkumbo sime hii. Mzee Mkumbo akapatwa na kigugumizi kwani hakuamini kama nina uwezo huu.

“Hack kamera za eneo zima la hichi kijikambi chako na utashuhudia jinsi ninavyo ivuruga ndani ya muda mfupi. Fala wewe”

Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo nikaivunja laptop hii na kusababisha mawasiliano yangu na mzee Mkumbo kukatika.

‘Funika uso wako’

Ethan alizungumza huku akinikabidhi kitambaa cheusi. Nikakivunga nusu uso na ni jambo gumu sana kwa sura yangu kuonekana. Nikatoka nje ya kambi hii na kuanza kupambana na walinzi walipo kwenye kambi hii, huku nikijikuta kila anaye simama mbele yangu nina ikata shingo yake. Nguvu ambazo amenitapatia Ethan sikuchukua muda mrefu sana nikawa nimeimaliza kambi nzima huku idadi ya watu nilio waua ikiwa imefikia zaidi ya thelathini na nane. Eneo zima hili limetapakaa maiti pamoja na damu nyingi, mwili wangu wote umetapakaa damu kwani kazi hii ni ya kikatili sana.

“Hongera”

Ethan alizungumza huku akiwa amesimama pembeni yangu.

“Hawa ndio watu wote wa huyu mzee?”

“Wapo wengine ila si katika kambi hii”

“Nipeleke niweze kuwaona”

“Hapana”

“Kwa nini?”

“Sio leo muda wa kumuingiza adui yako mikononi mwake. Ndege mjanja siku zote hunasa kwenye tundu bovu”

“Kivipi?”

“Nitakuonyesha njia sahihi ya kuhakikisha kwamba una mmaliza Poul Mkumbo kirahisi sana na hato weza kunyanyuka tena na huo ndio utakuwa mwisho wake”

Maneno ya Ethan yakazidi kunipa matumaini makubwa sana moyoni mwangu kwani sasa vita yangu na mzee Poul Mkumbo inakwenda kuisha.



Nikaona moja ya gari aina ya Toyota Alteza likiwa katika eneo hili. Nikalisogelea, nikajaribu kulifungua na kukuta mlango wake ukiwa umevungwa. Kwa kutumia kisukusuka cha mkono wangu wa kushoto, nikavunja kioo chake, kisha nikafungua mlango huu na kuingia ndani. Nikalichunguza kwa haraka haraka gari hili na kukuta halina vitu vya maana. Nikakata nyaya mbli chini ya mskani na kuzigusanisha kiutaalamu na kusababisha gari hili kuwaka, nikalirudisha nyuma kwa kasi kisha nikakunja kona kali hadi likaserereka. Nikaondoka eneo hili kwa mwendo wa kasi huku Ethan akiwa amekaa katika siti ya pembeni.

“Hizi nguo kwa jinsi zilivyo jaa damu nitafika nazo kweli nyumbani kwangu?”

“Ndio hakuna shaka”

“Sawa”

Nikazidi kuendesha gari hili na sikuchukua muda mrefu sana nikafanikiwa kufika nyumbani kwangu salama salmini. Nikashuka kwenye gari na kufungua geti hili, nikaingiza gari kisha nikalifunga tena geti hili. Sikukuata mlinzi hata mmoja, nikapitiliza hadi ndani kwangu, nikazivua nguo hizi na Ethan akazichukua.

“Hilo gari mke wangu akirudi nitampa maelezo gani?”

“Mpigie Mbilinyi aje kulichukua na kwenda kulichoma moto”

“Kwa nini usiondoke nalo wewe?”

“Kazi hiyo ni ya Mbilinyi. Nimekusaidia vya kutosha”

“Jambo jengine nitampataje mzee Mkumbo?”

“Ahaa…acha kwanza hii wiki ipite, tutajua ni hatua gani nyingine itafwata mara baada ya hii wiki kupita”

“Sawa, hivi Qeen na Latifa wapo?”

“Ndio wapo”

“Nashukuru”

“Poa baadae”

Ethan akapotea kwenye uwepo wa macho yangu na kuniacha peke yangu humu ndani. Nikaingia bafuni na kuanza kuga mwili mzima unachuruzika damu za watu ambao nili waangamiza. Baada ya kumaliza kuoga, nikavaa pensi na tisheti, nikarudi sebleni na kuchukua simu ya mezani na kumpigia Mbilinyi, simu yake ikaita kwa sekunde kadha kisha ikapokelewa.

“Mbilinyi”

“Ndio mkurugenzi, umerudi nyumbani?”

“Ndio, nipo nyumbani kama upo kwako njoo mara moja hapa nyumbani”

“Sawa nina kuja mkuu”

Nikakata simu, nikaingia jikoni. Nikafungua friji hili kubwa na kutazama ni kitu gani ambacho nina hitaji kuweza kumpikia mke wangu. Nikachukua kipande cha chama kikubwa, nikachukua na njoroko kiasi na kupiga rosti zuri la nyama. Mbilinyi akafika nyumbani hapa na kunikuta nikiangaa maandalizi ya kupika biriani, chakula ambacho watu wengi hawakifahamu, ila hichi chakula alinifundisha kukipika marehemu bi Jane Klopp.

“Mmmm mkuu yaani hadi huko sebleni ni harufu ya mahanjumati tu”

“Yaa namuandalia mke wangu hapa kidogo, sitakia afahamu ni kitu gani ambacho kimetokea”

“Vipi umetokaje tokaje na nimekuta gari hapo nje na si ya hapa?”

“Nimewau wote?”

“Umewaua!!?”

“Ndio nime waangamiza wote chukua hilo gari nenda kalichome mbali sana na hapa”

“Ngoja kwanza mkuu. Umesema kwamba umeaua wote, kivipi?”

Nikamtazama Mbilinyi huku nikitamani kumueleza siri iliyo nyuma ya mambo yangu mengi kwamba ni Ethan, ila nikajikuta nikishindwa.

“Nina uwezo wa kupambana, nina jua jinsi ya kumkabili adui yangu. Kilicho baki hivi sasa ni kuhakikisha kwamba tunampata mzee Mkumbo na mali zake zote tuna zibinafsisha”

“Nimekuelewa mkuu”

“Fanya nilicho kuambia”

“Sawa mkuu”

“Hili jambo hata vijana wako wasiweze kujua chochote. Liwe kati yangu mimi na wewe”

“Sawa muheshimiwa”

“Nashukuru”

Mbilinyi akatoka ndani humu na nikaendelea na mapishi yangu. Nilipo hakikisha nime maliza nikakiandaa chakula hichi mezani na kumsubiria mke wangu aweze kufika nyumbani. Majira ya saa tisa ala siri mke wangu akafika nyumbani hapa akiwa na vijana wa Mbilinyi ambao wana jukumu la kumlinda mke wangu.

“Mmmm mbona kuna nukia nukia vizuri mume wangu”

Biyanka alizungumza huku akinifwata nilipo kaa, nikasimama na tukakumbatiana kwa mahaba mazito sana.

“Mbona mimi sihisi chochote?”

“Mmmm hahisi kama kuna……..”

Biyanka akashindwa kumalizia sentensi yake mara ya kutupia macho yake mezani. Akaanza kutembea hadi katika meza ya chakula, akafunua hotpot la kwanza.

“Waoooo ni wewe mume wangu”

“Yaa ni mimi”

Nilizungumza huku nikimkumbatia Biyanka kwa nyuma. Akafungua hotpot nililo hifadhi mboga, hapa ndipo pua zetu zilipo kutana na harufu nzuri ya mboga hii.

“Mmmm sisubirii mume wangu. Tena jinsi nilivyo na njaa hapana”

Biyanka alizungumza huku akielekea katika sinki la kunawia mikono. Akarudi mezani hapa na kitu cha kwanza kukifanya ni kuokoata ni kipande cha nyama na akaanza kukitafuna huku akikisikilizia utamu wake.

“Waoo mume wangu una mapishi kama ya mama yangu”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu au mama ndio aliye pika?”

“Kwani mama ana fahamu hapa?”

“Mmmm hafahamu ila mmmm umepika vizuri. Nawa basi tule”

Biyanka alizungumza kwa furaha, alipo ona nimesimama huku nikimtazama kwa tabasamu, kachukua bakuli pamoja na jagi la maji, akaninawisha mikono yangu na taratibu tukaanza kula chakula hichi.

***

Siku mbili zikapita pasipo ya mimi kutoka nyumbani kwangu hapa. Kutokana kwa sasa hakuna hofu ya mimi kuvamiwa au kufanyiwa jambo lolote baya na watu wa mzee Mkumbo, siku ya tatu mimi na mke wangu tukaelekea katika kampuni yetu. Wafanyakazi wengi walipo niaona wakabaki na mishangao ya furaha sana kwani ni watu ambao hawakujua ni wapi nilipo kuwa. Kila mfanya kazi alinipa mkono wa pole huku wengine wakinikaribisha tena kazini. Ummoja na upendo nilio wajengea wafanya kazi wangu hakika umetufanya niishi nao kama marafiki zangu.

“Nashukuru sana wote kwa upendo wenu. Baadae kidogo tutazungumza kwa pamoja”

“Sawa mkurugenzi”

Nikaelekea ofisini kwangu na mke wangu.

“Nilikuwa nina tumia ofisi yako mume wangu kuhakikisha kwamba mambo yote yanakwenda sawa”

“Nashukuru mke wangu. Mwanamke hodari ni nyule anaye simamia kila mpango wa mume wake kwa umakini wa hali ya juu hata kama mume wake hayupo. Wewe kwangu ni malikia wa nguvu”

“Nashukuru sana mume wangu”

“Nimepata wazo”

“Wazo gani?”

“Baadae nitakwenda ikulu kuonana na raisi”

“Kwa nini unahitaji kwenda huko?”

“Nahitaji kuomba kibali cha kujenga kile kiwanja changu cha mpira ambacho nilikiahidi kukijenga. Nahitaji nikienda kucheza mpira Spain basi huku nyuma kiwanja changu uwe una kisimamia kikamilifu kinapo jengwa. Baada ya hapo nahiaji kuunda timu yangu mwenyewe”

“Waoo ni wazo zuri hilo mume wangu. Hata mimi nimelipenda sana unajua endapo utainua vipaji vya vijana wengine ambao wapo kwenye hali ngumu za kimaisha nina imani kwamba Mungu atazidi kukuzidishia na atakubariki”

“Nashukuru mke wangu. Ehee niambie kuna jipya gani?”

Biyanka akaanza kunieleza utendaji wa kampuni jinsi unavyo kua kwa kasi na hadi sasa kampuni yetu imekuwa ni kampuni namba moja kwa wateja wengi nchini Tanzania na tayari nchi za Afrika Mashariki kama Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, tayari kampuni yetu imefungua maofisi mengi.

“Kazi hiyo ameifanya nani kufikisha mtandao huko kote?”

“Kuna mabinti wawili ndio walisimamia hiyo kazi?”

“Naweza kuwaona?”

“Ndio mume wangu una weza kuwaona”

“Waite”

Biyanka akatoka ofisini hapa na baada ya muda akarejea na Qeen pamoja na Latifa.

“Hawa ndio wameshuhulikia kuipelekea kapuni yetu Afrika Mashariki”

Nikajikuta nikitabasamu tu kwa furaha kwa maana Qeen na Latifa ni watu wangu wa karibu sana, pia ni wasiri wangu kwenye mambo mengi.

“Nashukuru kwa kunisaidia katika hili, nitakaa na bodi nzima na nitahakikisha kwamba muna pewa vitengo vikubwa katika nchi hizo ambazo mumefanikisha mtandoa wetu kufika”

“Tunashukuru sana mkurugenzi”

“Mke wangu itisha kikao cha bodi muda huu”

“Sawa mume wangu”

Biyanka akaondoka eneo hili na kutuacha hapa ofisini. Qeen kwa haaka akasimama na kunifwa sehemu nilipo kaa na kunikumbatia kwa nguvu huku akinipiga busu zito la mdomoni mwangu kisha akarudi na kukaa kwenye kiti chake.

“Una hatari wewe, unataka kukatwa kichwa”

“Hahaaha hamna”

“Ehee niambieni imekuwaje kuwaje?”

“Baada ya wewe kupata yale matatizo ya kushambuliwa. Tukaona tusikae kinyonge, tukaandaa wazo, tukazungumza na mkurugenzi wa masoko, tukamshirikisha na kutokana tuna pesa zetu zile ulizo tupatia katika ile ishu, tuukasafiri kwa pamoja hadi nchini Kenya, tukaomba nafasi serikalini ya kuwekeza katika nchi hiyo na hapakuwa na kipingamizi. Hivyo tulienda na mfumo huo huo kwa nchi zote hizo tulizo zitaja na tulipo pata uhakika wa kwamba tumeruhusiwa kuwekeza katika nchi hizo. Tukawasiliana na mke wako akatupa idhini ya ujenzi wa minara na ofisi zetu ziweze kujengwa na hapa tunavyo zungumza imebaki nchi ya Burundi tu ndio wanaendelea kufunga minara na kundaa ofisi”

Latifa alizungumza kwa kujiamini sana.

“Nashukuru sana kwa ushirikiano wenu. Ninaomba mumipe jibu la haraka haraka munapenda kila mmojaa kawe mkurugenzi kwenye nchi gani kati ya hizo?”

“Mimi Kenya”

Latifa aliwahi kuzungumza.

“Qeen je?”

“Mimi Randwa, nimeipenda ile nchi ipo simple sana”

“Sawa Wataongezeka wakurugenzi wengine wawili wa Uganda na Burundi. Muna wapendekeza kina nani?”

“Mkurugenzi wa masoko apande naye. Aende Uganda kwa maana kama asinge kubaliana na wazo letu tusinge weza kupiga hatu hii ambayo tumepiga”

“Sawa mwengine”

“Mama Tarimo, yule mama naye ametusaidia kutuunganisha sana na baadhi ya viongozi katika nchi hizo”

“Basi atapelekwa Burundi. Niandikieni majina yenu na hao mulio wachagua na katika kikao cha bodi niweze kuwapandisha vyeo”

“Sawa mkurugenzi”

Qeen akaandika majina hayo kwenye karatasi niliyo mkabdhi kisha nikawaruhusu wakasubirie kikao hicho cha bodi nzima ya kampuni yangu. Mke wangu akarudi ofisini hapa na kunijulisha kwamba kikao kipo tayari na wajume wote wapo kwenye ukumbi wa mkutano. Nikamueleza na pendekezo la kuwapandisha vyeo wafanyakazi wetu hawa, Biyanka hakuwa na kipingamizi cha aina yoyote kwani jihudi zoa ndio zimetufanya tufike wateja wengi ambao kwa namna moja ama nyingine wana tuingizia kiwango kikubwa sana cha pesa.

Tukaingai katika ukumbi wa mkutano nikiwa na mke wangu. Nikasalimiana na wa wajumbe hawa kisha kikao kikaanza, nikakabidhiwa ripoti ya kupanda kwa mauzo ya kampuni yetu. Baada ya kukabidhiwa kila ripoti ya kila sekta iliyopo kwenye hii kampuni ukafika wakati wangu wa kuzungumza. Sikuzungumza maneno mengi zaidi ya kwenda kwenye pointi ya msingi. Nikawatangaza Qeen na wezake kwamba nimewapandisha vyeo na wao watakuwa ni wakurugenzi wa kampuni yangu katika nchi za Afrika Mashariki. Nikaagiza waitwe katika kiao hichi kwa manaa wao sio wajumbe wa bodi ya kampuni. Mama Tarimo na Mzee Lumato hakika hawakuamini juu ya uteuzi wangu huu, ila kwa Qeen na Latifa waliweza kuelewa juu ya hili.

“Mukawa mabalozi wema katika nchi hizo. Huko hamuendi tu kama wakurugenzi, ila munakwenda kama wapambanaji kwa maana katika hizo nchi kuna mitandao yao ya simu na inapendwa na watu wao hivyo ni wakati wa sisi kuhakikisha kwamba tuna pindua mitandao yao na mtandoa wetu unashika namba moja kama ulivyo shika hapa Tanzania.”

Maneno yangu yaha machache yakawapa hamasa kubwa Qeen na wezake. Nilipo maliza kikao hichi, nikamuaga Biyanka na kuelekea ikulu na Mbilinyi huku nikwia tayari nimesha panga muda wa kukutana na raisi. Tukafika Ikulu, na tukakaguliwa huku Mbilinyi akiacha bastola yake getini. Nikashuka kwenye gari na kupelekwa hadi ofisini kwa madam raisi. Nikasalimiana naye mama huyu kwa fuaraha kubwa sana huku akiendelea kunipa pole kwa matatizo ambayo yamenipata.

“Ndio mwanangu niambie ni nini kilicho kuleta hapa”

“Nina mambo mengi kidogo yaliyo nileta ila nianze na hili moja kwanza”

“Lipi tena?”

“Nina fahamu mizunguko yote ya biashara haramu za mzee Poul Mkumbo. Hivi sasa ni wakati wa kutumia nguvu ya serikali kuhakikisha kwamba una kwenda kumfilisi kitu kimoja baada ya kingine. Ninahitaji awe masikini, tena masikini wa kutupa. Nina imani kwamba utanisaidia”

“Kwa asilimia mia moja nitakusaidia mwanangu ni kila jambo nitaliacha mikononi mwako. Wewe niambia ni lini na saa ngapi unataka kufanya hayo na nipo kwa ajili yako.”

Maneno ya madam raisi Tasiana Ramadhani yakanipa tabasamu pana usoni mwangu na taratibu nikaanza kufikiria ni jinsi gani ambavyo nitazidi kumuangusha mzee Poul Mkumbo.



“Nashukuru mama yangu. Tukiachana na swala la bwana Mkumbo. Lile ombi langu la kujenga kiwanja cha mpira kitakacho kuwa chini ya Timu yangu, vipi umelifikiria”

“Ndio tena leo asubuhi nilikuwa wa waziri wa ardhi. Ameniambia kwamba maeneo kwa hapa Dar es Salaam yapo ila akashauri kwa nini kisijengwe Bagamoyo, kule kuna mandhari nzuri hakuna watu wengi kama hapa Dar es Salaam pia kuna vivutiao vingi sana ambavyo hakika nina imani kwamba utavipenda kuviona”

“Kwa Bagamoyo ni pazuri sana”

“Kweli ehee?”

“Ndio kule nimesha wahi kufika na nimepapenda”

“Basi utapewa eneo kubwa ssana na nina imani kwmaba kiwanja kitakacho jengwa hapo kitakuwa ni kiwanja cha kimataifa?”

“Ni kweli, nahitaji kujenga kiwanja kikubwa kuliko viwanja vyote duniani”

“Weee”

“Yaa nina imani ni mradi ambao utagarimu hata miaka mitano kukamilika ila nitahakikisha kina kuwa ni kiwanja kizuri na kitaingiza mapato mengi sana kwa serikali yako”

“Sawa sawa mwanangu. Mimi nina kuamini na nina imani kwamba utatengeneza kitu kizuri ambacho kitapendwa na watu wengi”

“Ni kweli. Vipi Hawa yupo?”

“Yupo chumbani kwake”

“Ahaa ninaweza kuzungumza naye nina imani kuna mambo ya kisheria ninahitaji anisaidie na pia ikiwezekana nina hitaji awe mwana sheria wangu”

“Weeee!! Ethan acha utani”

“Haki ya Mungu vile mama”

“Unataka kuniambia hadi hapo huna mwana sheria?”

“Ninao wanasheria ila nikiwa na personal Lawyer sio mbaya.”

“Sawa nina imani kwamba atafurahi na itazidi kumpa CV nzuri kwenye kazi yake”

“Ni kweli, je naweza kumuona”

“Ndio twende nikupeleke chumbani kwake.”

Nikaongozana na madam raisi Tasiana Ramadhan. Tukaingai chumbani kwa binti yake na kumkuta akisoma kitabu kikubwa cha sheria. Alipo niaona akanichangamkia sana na akanikumbatia kwa furaha.

“Pole jamani Ethan”

“Ninashukuru sana, vipi una endeleaje?”

“Nina endelea vizuri. Ehee nilisikia umevamiwa na bunduki ni kina nani hao?”

“Ni watu watu tu wasio penda mafanikio yangu ila nina mshukuru Mungu nipo salam”

“Jamani acha niwaache nina kikao na wakuu wa mikoa baada ya dakika kama kumi na tano hivi”

“Sawa mama”

“Ethan ukiondoka utani text”

“Sawa mama”

Madam raisi akatoka chumbani hapa na kuniacha na mwanaye huyu. Hawa akafunga mlango wake kwa ndani kisha tukaka kwenye sofa zilizipo hapa chumbani kwake huku kijisketi kifupi alicho kivaa kikiwa kimeyaacha wazi mapaja yake manene na yaliyo nona.

“Ehee niambie wahalifu wamekamatwa?”

Nikaka kimya huku nikifiria ni kitu gani ambacho nina weza kumjibu Hawa.

“Yaa wamekamatwa?”

“Na wamechukuliwa hatua gani za kisheri?”

“Unahisi wanatakiwa kuchuliwa hatua gani za kisheria?”

“Mmmm kuna vifungu vingi vya sheria ambavyo vitawahukumu, ikiwemo hata kunyongwa”

“Basi wamesha tangulia mbele ya haki”

“Kivipi?”

“Wamesha kufa”

“Weeee!!! Nani ame waua?”

“Niwe muwazi kwako. Vijana wangu ndio wame husika katika kuwaangamiza. Sikutaka hili swala lipelekwe kisheria sana kwa maana hii ni vita na mzee Mkumbo?”

“Mzee yule ambaye alikuwa mgombea uraisi?”

“Ndio huyo huyo”

“Sasa alitakaje kukua ikiwa una mahusiano na mwanaye wa kike?”

“Alikuja kugundua kwamba mimi ndio niliye husika katika kumuangusha kwenye kinyang’anyiro cha mbio za uraisi na nikampatia mama yako”

“Duuu hiyo ni hatari?”

“Sana”

“Sasa mwanaye umeachana naye?”

“Hapana bado nipo naye kimahusiano”

“Ahaa..”

Hawa alinijibu kinyonge kiasi.

“Sasa mwanaye si atatumia nafasi ya mahusiano yenu katika kukuangamiza?”

“Hawezi”

“Kwa nini?”

“Na yeye yupo kinyume na baba yake. Ameungana na mimi, kwa ujumla familia yake yote ipo kinyume naye na ana mambo mengi sana maovu ambayo ameyafanya ndio maana niliamua kuto mpa nguvu ya kumiliki dola, kwani maovu yangeongezeka mara mbili na sasa”

“Weee. Sababu ni hiyo ya mauvo tu ndio uliamua kumgeuka au kuna sababu nyingine?”

“Wewe ni mwana sheria una maswali mengi sana”

“Hahaaa hamna Ethan. Unajua nataka kujua chanzo cha wewe kufanya hivyo. Kwa maana ni kweli umempa nguvu mama yangu ya kuwa raisi na kweli ana fanya mambo mazuri kwenye serikali yake. Ila nilihitaji kuweza kujua nini sababu ya wewe kufanya hivyo.”

“Aliwaua wazazi wangu na kuchukua eneo letu ambalo kwa sasa ndio ulipo ule mgodi wake wa madini”

“Ahaa….Sasa hapo ndio nina pata picha.”

“Baki na hiyo picha kichwani mwako. Lililo nileta hapa ni jambo muhimu sana”

“Ehee niambie”

“Nahitaji uwe mwana sheria wangu”

“Mwanasheria wako!!!?”

“Ndo mbona una shangaa sana”

“Ni bahati ya mimi kuwa mwana sheria na mtu maarufu kama wewe”

“Yaa ninahitaji uwe mwana sheria wangu binafsi. Unajua nina wanasheria wa kampuni na hao nina jaribu kuwabebesha mizigo ya matatizo yangu binafsi hivyo sihitaji wao waweze kubeba matatizo yangu. Nahitaji mwanasheri ambaye atashuhulika na familia yangu tu”

“Nitakuwani kichaa au my aliye poteza akili yake pale nitakapo kataa ofa kama hiyo kwa kweli. Nipo tayari hata sasa hivi kuwa mwana sheria wako”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu nipo tayari”

“Nashukuru sana. Nitakupia kiasi chochote ambacho utakihitaji”

“Hata usipo nilipa nipo tayari na ili nami nina ombi moja kwako”

“Ombi gani?”

“Naomba uzae na mimi. Naomba unipe japo mtoto mmoja nina imani kio yangu itakuwa imekamilika katika maisha yangu”

Ombi hili la Hawa likaniweka mdomo wazi, macho yakanitoka na kubaki nikiwa kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama Hawa kuanzia chini hadi juu.

“Natambua ni ombi gumu sana kwa mwanamke kumuomba mwanaume ombi ka…..”

“Nimekuelewa Hawa”

“Nashukuru sana kusikia hivyo Ethan”

“Kwa nini unahitaji mtoto kutoka kwangu?”

“Nikisema kwamba niwe kwenye mahusiano na wewe ni uongo Ethan. Umesha wahiwa. Una mwanamke unaye mpenda, mwanamke ambaye yupo kwa ajili yako na sihitaji kumuumiza Biyanka mpenzi wako. Ila hili swala la mtoto litauwa ni lako na mimi. Pia nitamshirikisha mama”

“Unataka mwanangu aishi maisha ya siri?”

“Kwa hapa awali inabidi iwe siri. Ila huko mbeleni nitakuwa tayari kukutangaza kuwa baba wa mtoto”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikikaa vizur kwenye hili sofa. Hawa akasimama na nikaendelea kupawa wasaa mzuri wa kuendelea kulitazama umbo lake hili zuri alilo barikiwa na mwenyezi Mungu. Hakika kuna upendeleo mkubwa sana ambao Hawa ameupata kwa mwenyezi Mungu.

Hawa akasimama mbele yangu na kunikabidhi mkono wake wa kulia, nikautazama kisha nikaupokea na akaninyanyua taratibu. Mikono yake akaiweka mabegani mwangu huku nami taratibu nikikishika kiono chake ambacho ni kilaini sana.

“Ethan moyo wangu ulianza kukupenda kuanzia siku ya kwanza pale macho yetu yalipo kutana kwa pamoja. Nilitamnia kukueleza ukweli ila nikashindwa na nikajaribu kufwatilia historia yako na kweli nikakuta una mahusiano. Sikukata tamaa niliahidi kukueleza ukweli pale siku itakapo wadia na nina mshukuru Mungu kwamba leo nimefanikiwa kukuambia ukweli.”

Hawa alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa ushawishi. Hata mwanaume uwe muaminifu vipi kwa mke wako, ila kwa sauti hii laini ya Hawa hakika ni lazima utatamani uisikie tena na tena.

“Usinihisi mimi ni malaya. Usinihisi kwamba mimi ni mwanamke nisiye jitambua. Nina jielewa na nimeweza kujitunza kwa miaka yangu yote na hakika sijaona mwanaume mwengine wa kumpa zawadi hii zaidi yako Ethan”

Hawa alizidi kunijaza hamsa na hamu japo ya kunyonya ulimi wake ambao unatamka maneno matamu sana kwangu.

“Etha………”

Sikuhitaji Hawa azungumze neno jengine kinywani mwangu. Nikamzima mdomo wake kwa lispi zangu, taratibu tukaanza kunyonyada denda. Utamu na msisimko ambao nimeupata kwenye ndimi ya Hawa, ikaamsha kichaa changu cha mapenzi, kurupushani hizi za kunyonyana huku tukichezeana viongo vyetu vya mwili ikazidi kupamba kasi. Tukajikuta tukiangukia kitanda huku tukicheza michezo ya kibingirika bingirika. Mara mimi niwe juu, mara Hawa naye awe juu ili mradi raha tupu. Zaidi ya dakka kumi na tano ndimi zetu hazikuachiana kwa utamu unao pata. Hadi nina kuja kuzachia lipsi za Hawa, macho yake yame jaa uwekundu na yamelegea mithili ya bi harusi aliye kula kungu. Nikazing’ata lispi zangu kidogo huku nikiendelea kumtazama Hawa, jinsi alivyo barikiwa uzuri, hakika wanawake wazuri wapo kila siku hapa duniani.

Nikavua nguo zangu na nikabaki tumbo wazi. Kifua changu kulicho gawanyika vizuri kuanzia juu hadi tumboni, vikamfanya Hawa kunipapasa pasapa kwa viganja vyangu na kunifanya nizidi kuchanganyikiwa kwa msisimko.

Nikamvua Hawa nguo zake zote huku nami nikimalizia kuvua boksa yangu na kuitupia pembeni. Kitumbua cha Hawa ni kidogo sana kiasi cha kunifanya nizidi kukitamani, taratibu nikaanza kumnyonya maziwa yake na kumfanya aanze kutoa miguno laini ya kimahaba, sikuishia kwenye maziwa yake, nikaushusha ulimi wangu hadi katika kitumbua chake. Nikaupitisha ulimi wangu katikati ya kitumbua chake, kisha nikaanza kukinyonya kwa utaalamu nina ofahamu mimi.

Nilipo ridhika na kazi yangu ya uandaaji taratibu nikaanza kumzamisha jogoo wangu ndani ya kitumbua chake. Nilipo anza kuona damu damu zinamtoka katika kitumbua chake, hapa ndipo nilipo amini kwamba amejitunza katika maisha yake yote ya usichana. Dunia ya sasa hivi ni mara chache sana kukutana na msichana wa kuanza miaka kumi na nane kuendelea, kuwa na bikra yake. Wengi wao wana anza mambo ya mahusiano wakiwa wadogo sana.

Sikutaka kukila kitumbua hichi kwa papara kwa maana ni cha kwangu. Nikaendelea kumburudisha Hawa taratibu hadi naye akaanza kuzoea mapigo haya ya mapenzi. Kwajinsi kitumbua chake kilivyo kitamu nikajikuta nikimaliza mzunguko wangu wa kanza katika muda mfupi huku waarabu wangu wote nikiwamwaga ndani ya kitumbua chake.

“Ohoo asante sana Ethan”

“Asante nawe pia. Hivi umewezaje kuishi hivi bila ya kuwa na boyfriend ikiwa wewe ni mzuri?”

“Boyfriend nilikuwa naye. Ila sikumruhusu kuniingilia hadi pale nitakapo funga naye ndoa. Ila boyfriend wangu alikuja kuni kunisaliti na akatoka na rafiki yangu wa karibu na kuanzia hapo niliwachukia sana wanaume. Ila nilipo kutana nawe hakika hisia zangu za kupenda zikarudi upya na nilipo fahamu kwamba una mpenzi, sikuwa na kinyongo na nilijiandaa kisaikolojia.”

Hawa alizungumza huku akiwa amenilalia kifuani mwangu, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikatabasamu.

“Nashukuru kwa kunipa zawadi hii”

“Hata wewe nina shukuru, japo mwanzo nilikuwa nina hisi maumivu ila kadri muda ulivyo kwenda ndivyo jinsi nilivyo kuwa nina jisikia raha”

“Vipi tuendelee?”

“Ngoja nibadilishe shuka. Sinto lifua shuka hili na nitaliweka na kuwa kumbukumbu katika maisha yangu yote kwani ni ukumbusho mkubwa sana na siku hii nitaiandika katika diary yangu”

Tukashuka kitandani na Hawa akabadilisha shuka hili, akalikunja vizuri likiwa na doa kubwa la damu na kuliweka kabatini, alipo maliza kufanya hivyo akatandika shuka jengine na tukaendelea na mzunguko huu wa pili ambao kasi niliyo mpelekea nayo Hawa, alijikuta akitokwa na machozi ya furaha kwani nilihakikisha kwamba nina mkuna kisawa sawa. Tukamaliza mzunguko huu, huku sote tukiwe tumechoka sana, simu yangu iliyo anza kuita ikanifanya nishuke kitandani mwangu na kwa haraka nikaitoa katika mfuko wa suruali yangu na kukuta namba ngeni ambayo si ya Tanzania ikinipigia. Nikaipokea simu hii na kuiweka sikioni mwangu.

“Ethan, umefanya kazi nzuri sana kuisambaratisha kambi yangu na nina ushahidi wa video wa mauaji ya vijana wangu, sasa nina kwenda kuiachia mtandaoni. Dunia nzima itajua ukatili wako, hahaaaaa”

Maeleo haya ya mzee Mkumbo niliye mfahamu kwa haraka kutokana na kuijua sauti yake, yakanistua sana na kujikuta nikiogopa sana kwani endapo ataudhihirishia ulimwengu kwamba mimi ni muaji sana nina imani kwamba mashabiki wangu mwote ulimwenguni watanichukkia kwa kitendo hicho.



Nikaka kimya huku nikishusha pumzi yangu taratibu huku nikiondoa wasiwasi wangu ili Hawa asiweze kuelewa ni nini kinacho endelea.

“Sawa unaweza kufanya na ninasubiria kwa hamu sana kuiona”

Nilizungumza kwa kujiamini sana. Kwani siku zote ukitaka kumuogopesaha adui yako mbinu ya kwanza endapo atakutamkia kwamba ana hitaji kukudhuru wewe hakikisha kwamba una mpa ruhusa ya kujidhuru kwa maana utakuwa umekaribia kumshindwa kwani ni lazima ajiulize imekuwaje umekubali matakwa yake.

“Hahaaa una jiamini sana”

“Sana na utakuwa umezidi kunipa umaarufu mkubwa sana ambao ninakuambia sinto sahulika vizazi na vizazi ila wewe nitakufuta ndani ya kizazi hichi na hakuto kuwa na mti hata mmoja ambaye atakukumbuka”

Nilizungumza kwa kujiamini na kumfanya Hawa ashuke kitandani huku akionekana kujawa na shahuku ya kuhitaji kufahamu nina zungumza na nani.

“Sawa”

Mzee Mkumbo akakta simu huku neno lake la mwisho akiwa amelitoa kwa sauti iliyo jaa upole. Japo nami mapigo yangu ya moyo yana nienda kasi kwani sipati picha endapo mzee Mkumbo atafanya kama vile alivyo sema.

“Kuna nini kianacho endelea Ethan?”

Hawa aliniuliza kwa shahuku kubwa sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Hakuna kitu”

“Tafadhali niambie ukweli. Nimekutazama usoni mwako na una onekana kwamba simu hiyo ni ya vitisho.”

“Muda ukifika nitakueleza. Nahitaji kuoga na kuna mambo nahitaji kuyafwatilia”

Hawa akanitazama kwa sekunde kisha taratibu akanikumbatia.

“Nipo hapa kwa ajili yako mpenzi wangu. Kama kuna tatizo lolote nina omba uweze kunieleza nitakusaidia kadri vile ninavyo weza sawa baba?”

“Sawa mpenzi wangu.”

Tukaingia bafuni na kuoga kwa pamoja huku akilini mwangu nikiwaza ni jinsi gani ninavyo weza kumpata mzee Poul Mkumbo kwa haraka sana kwani hitaji aweze kuvuka mipaka ya kunichafulia jina langu. Tukarudi chumbanin a kila mmoja akavaa nguo zake.

“Mama hajatoka kwenye kikao?”

“Nahisi”

“Utamuaga kwa niaba yangu”

“Sawa. Nashukuru Ethan kwa kunikubalia ombi langu”

“Nashukuru nawe kwa kunipatia zawadi ambayo hakubahatika mwanaume mwengine kuweza kuipata”

Hawa atakabasamu kwa aibu. Nikamnyonya lipsi zake kwa sekunde kadhaa kisha tukatoka ndani humu na moja kwa moja kuelekea kwenye maegesho ya magari na kumkuta Mbilinyi akiwa ananisubiria ndani ya gari. Nikaagana na Hawa kwa kumbatiana kisha nikaingia kwenye gari na kuondoka eneo hili la ikulu kwa mwendo wa taratibu hadi getini ambapo Mbilinyi akakabidhiwa bastola yake kisha tukaondoka.

“Mkuu nina ona dalili ya wewe kwenda kugombana na mke wako”

Mbilinyi alizungumza huku akitabasamu.

“Kwa nini?”

“Harufu ya manukato uliyo ondoka nayo nyumbani ni tofauti na harufu ya manukato unayo nukia hivi sasa”

Nikajinusa mwilini mwangu hususani kwenye viganja vyangu na kweli nina nukia manukato ambayo Hawa amejipaka mwilini mwake.

“Alafu kweli hili ni tatizo. Mke wangu leo anaweza kunitoa roho”

“Ni kweli, ngoja niiingie hapo posta kuna duka moja kubwa wana uza manukato nina imani kwamba wakisikia harufu hiyo wanaweza kugundua ni manukato gani na ukiyanunua itakuwa ni raisi kwako kuweza kuepukana na tatizo hilo”

“Hapo umezungumza kaka yangu. Ila kabla ya kuelekea nyumbani nina hitaji tuelekee kule ilipo kuwa imetekwa familia yako”

“Kwa nini mkuu?”

“Kuna vitu nahitaji kwenda kuvichunguza”

“Ila muda umekwenda sasa, inaweza kuwa tatizo”

“Usijali hakuna jambo linalo weza kutokea. Pia muambie yule kijana wako wa mambo ya IT, nikamkute nyumbani kwangu”

“Sawa mkuu, pia mke wako amesha tangulia nyumbani. Vijana wamemrudisha, alinipigia simu na kuuliza kama umetoka kwenye kikao na raisi ila nikamueleza bado na nikawaamru vijana waweza kumrudisha nyumbani”

“Nashukuru kwa hilo”

Tukafika katika dukakubwa linalo uza manukato ya kila aina. Tukaingia kwenye duka hili ambalo wahudumu wake ni wa kiarubu.

“Karibu bosi”

“Nashukuru, hembu kuna hii harufu hapa unaweza kufahamu ni manukato ya aina gani”

Nilimuuliza mzee huyu wa kihindi, akayanusa kidogo na akatishingisha kichwa akimaanisha kwamba ana yafahamu manukato haya.

“Nipatie”

“Sawa una bahati sana kwa maana haya manukato ninayaleta kwa mtu mmoja hapa Tanzania na yeye ndio anaye yanunua”

“Mtu mmoja ina maana yeye pekee ndio ana yafahamu?”

“Ndio anaye weza kuhimili bei yake kwa maana ni garama na hapa alibakisha chupa moja tu kwani nilivyo mletea nilizidisha ili kama ikitokea akaishiwa na akataka kwa haraka basi ninampatia”

“Ni nani huyo?”

“Hawa mtoto wa madam raisi”

“Ohoo”

Nilizungumza huku nikimtazama Mbilinyi usoni mwake.

“Mzee ni kiasi gani?”

“Ni dola elfu mbili na mia tano”

“Mmmm mbona ni garama mzee wangu. Mkuu hiyo ni kama milioni sita hivi za Kitanzania”

“Hakuna tatizo ni vyema nikaokoa ndoa yangu kuliko nikajikuta nina poteza kila kitu. Kiasi hicho unacho hapa?”

“Ndio, ngoja nikachukue kwenye gari”

Mbilinyi akatoka ndani ya duka hili na baada ya muda kidogo akarudi akiwa na dola hizo elfu mbili na miatano. Akanikabidhi kisha nami nikamlipa mzee huyu akanipatia manukato haya ambayo yapo katika boksi dhuri huku kwa ndani chupa yake ikiwa ni kifuniko cha dhahabu. Akanikabidhi na risiti, niksha nikapulizia kidogo mwilini mwangu na kweli ni harufu ile ile ya manukato ya Hawa na yana nukia sana.

“Nashukuru mzee wangu”

“Karibu sana bwana Ethan”

“Una nifahamu?”

“Yaaa nina kujua. Mimi ni shabiki yako”

“Nashukuru sana”

“Naweza pata selfie na wewe”

“Hakuna tatizo”

Mzee huyu kwa haraka akazunguka katik a upande nilipo mimi, akashika simu yake na kupiga picha kadhaa huku akiwa amenishikilia. Zoezi hili halikuishia kwa huyu mzee kwani hata wafanyakazi wake nao wakaanza kuniomba kupiga picha kwa pamoja. Mmoja wa wafanyakazi wake wa kike, akaniomba namba ya simu.

“Nipe simu yako”

Akanikabidhi simu yake, nikaandika namba yangu simu kisha nikamrudishia simu yake. Akadhibitisha kwamba namba yangu ni ya ukweli, akaipiga na simu yangu ikaita.

“Waooo kumbe ni kweli jamani”

Dada huyu alifurahia sana. Tukatoka ndani humu na kuingia kwenya gari na kuianza safari.

“Mkuu una nyota ya kupendwa na watoto wazuri”

“Kwa nini?”

“Wewe si unaona jinsi walivyo kupaparikia pale”

“Hahaaa kawaida, nilisha yazoea haya maisha toka nikiwa mtoto mdogo mdogo”

“Duuu ila nakushauri kwa kipindi kingine usipende kutoa namba yako kwa watu. Si unajua matatizo yalivyo tuandama hizi siku kadha zilivyo pita”

“Ni kweli, alafu nilisahau kukuambia. Mzee Mkumbo amenipiga leo”

“Weee ehee imekuwaje?”

“Amenitisha kwamba ana video yangu niliyo kuwa nina fanya mauaji ya watu wake kule kwenye ile kambi. Anataka kuitoa mtandaoni”

“Weee sasa ina kuwaje mkuu”

“Nimemruhusu aiweke mtandaoni”

“Kwa nini?”

“Natambua kwamba hivi ni vitisho ila hana uwezo wa kuweka na nina uhakika kwamba hana hiyo”

“Ila ile kambi ilifungwa kamera nyingi sana za ulinzi”

“Yaa nina litambua hilo ila niliharibu karibia mfumo mzima wa kurekodia hizo kamera kwa maana data zote alikuwa zikihifadhiwa kwenye ile laptop na niliivunja”

“Ahaa..”

“Nakitu kingine nilifunika uso wangu na kitambaa cheusi hivyo ni ngumu kwa watu kuweza kufahamu kama ni mimi ndio nime husika katika tukio hilo”

Nilizungumza huku tukizidi kusonga mbele. Tukafika kwenye kambi ya mzee Mkumbo, harufu ya kali ya mizoga ya watu walio fariki dunia.

“Mmmm kuna nuka”

Mbilinyi alizungumza huku akiziba pua zake. Harufu hii haikunidhuru kwa lolote nikatoa simu yangu mfukoni mwangu, nikawasha tochi na kuanza kuelekea kwenye kibanda ambacho tulipelekwa kwa mara ya kwanza. Nikainga ndani ya kibanda hichi, nikamulika sehemu nilipo itupia laptop hiyo na nikafanikiwa kuiona. Nikanyanyua ikiwa katika vipande viwili na nilipo ichunguza vizuri nikagundua kwamba haijafunguliwa na mtu wa aina yoyote.

“Uliwauaje hawa watu”

Mbilinyi aliniuliza huku akitazama jama wawili ambao miili yao imeshambuliwa na funza vya kutosha na hivi sasa wana elekea kuwa mafufu kwa maana ni kama wiki sasa imepita toka tukio hili kutokea.

“Niliwavunja shingo zao.”

“Natamani ninge kushuhudia ukiwa una fanya hili tukio”

“Haaa…..Huwa nina kuwa binadamu wa tofauti sana.”

Tukarudi kwenye gari huku Mbilinyi muda wote akiwa ameiziba pua yake. Tukaondoka eneo hili huku Mbilinyi akiongeza hewa ya A/C ndani ya gari.

“Ile harufu ni kali muheshimiwa. Vipi wewe mbona hukuziba pua zako?”

“Sikuona harufu ya ajabu sana. Hii laptop nina imani hard disk yake ina weza kuwa na data muhimu sana ambazo zinaweza kutusaidia katika kufahamu ni wapi alipo mzee Mkumbo”

“Sawa mkuu”

Majira ya saa nne usiku tukafika nyumbani kwangu na kumkuta mke wangu akiwa ana nisubiri huku akiwa na vijana wa mzee Mkumbo na wakizungumza kwa furaha sana. Biyanka akanilaki kwa kunikumbatia kwa hisia kali sana.

“Mmmmm hii harufu ya pafyum uliyo jipulizia ni nzuri mume wangu?”

“Yaa ni nzuri”

Nikatoa boksi la manukato haya kwenye koti langu la suti na kumkabidhi Biyanka.

“Waooo baby, umeninunulia”

“Yaa ni dola elfu mbili mia tano”

“Asante sana mume wangu. Mwaaa”

Biyanka hakujali vijana wa Mbilinyi, akanibusu mdomoni mwangu kisha akavua koti langu la suti na kulibeba kuelekea chumbani. Nikasalimiana na vijana hawa kisha nikaka kwenye moja ya sofa na Mbilinyi akamkabidhi kijana wake anaye jua mambo ya tecnolojia laptop hiyo.

“Tunahitaji data zilizo hifadhiwa ndani ya laptop hiyo”

Mbilinyi alizungumza huku akimtazama kijana wake huyu.

“Sawa mkuu”

“Kabla hujafanya hivyo nina hitaji uweze kuitafuta hii namba uweze kufahamu ni wapi alipo muhusia”

Nilimuonyesha kijana huyu namba aliyo nipigia mzee Mkumbo kwenye simu yangu.

“Si unaweza kuipata?”

“Ndio mku, ni kazi rahisi”

Kijana huyu akaanza kuitafuta namba hiyo kwa kasi huku sote macho yetu yakiwa kwenye latop yake.

“Baby nakuhitaji”

Biyanka aliniita huku akiwa amesimama kweye kona ya kuelekea vyumbani, nikaondoka sebleni hapa na kwa pamoja tukaingia chumbani kwetu.

“Inabidi uoge kidogo mume wangu ndio ukaendelea na shuhuli ile”

“Usijali mke wangu nitaoga. Umeona hiyo pafyumu jinsi inavyo nukia vizuri”

“Yaa inanukia vizuri hadi raha. Chakula pia kipo tayari”

“Nitakula mke wangu, ngoja nikamalizie ile kazi, ili kama ni kuoga nioge nitulie. Wewe umesha kula?”

“Hapana, nitakulaje ikiwa wewe haupo nyumbani”

“Sawa, je hawa vijana?”

“Wao wamesha kula na wamesifia kwamba mapishi yangu ni mazuri na matamu sana”

“Safi hivyo ndivyo inavyo takiwa mke wangu”

“Alafu kuna jambo nahitaji kukueleza”

“Jambo gani mke wangu”

“Leo nilipo kuwa ofisini. Baba alinipigia simu na kuniambia kuna video yako mbaya ata iachia kwenye mtandao”

Nikastuka kidogo huku nikimtazama Biyanka aliye zungumza kwa upole na utaratibu wa hali ya juu. Taratibua Biyanka akanisogela na knishika mikono yangu huku akinitazama kwa macho ya huruma huku akionekana kama ame shuhudia video hiyo kwani amekuwa mnyonge kupitiliza.



“Alikutumia hiyo video?”

Nilimuuliza Biyanka swali la kimtego huku wasiwasi mwingi ukiwa umenitawala moyoni mwangu.

“Hapana hakunitumia”

“Usihofo hata mimi alinipigia, hivyo ninatambua kwamba ni vitisho ambavyo kwa namna moja ama nyingine nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda kwenye mstari sawa mke wangu”

“Sawa. Ila nahisi kwamba baba naye amejipanga kupambana nawe”

“Yaa nalitambua hilo mke wangu ndio maana unaweza kuona nipo makini sana kwa kila jambo”

“Sawa mume wangu”

“Umeogopa?”

“Kidogo ilinitia hofu kwa maana nilikuwa nina jiuliza ni video gani. Ila sikuweza kupata jibu la uhakika, vipi wewe una fahamu ni video gani ambayo ana izungumzia?”

“Hapana sijafahamu mke wangu”

“Sawa ingia basi bafuni ujisafishe mwili kidogo, ngoja nikuandalie pensi ya kuvaa”

Biyanka alizungumza huku akilisogelea kabati kubwa la nguo. Nikaingia bafuni, nikaoga haraka haraka kisha nikatoka. Biyanka akanifuta maji mwili mzima kisha nikavaa pensi pamoja na tisheti na kuelekea sebeleni.

“Vipi mume fikia wapi?”

“Nimeweza kuipata”

“Eehee inatokea wapi hiyo namba ya simu?”

“Inatokea katika mji wa Beijing China. Ila hii ni namba ya kibandani na si ya mkononi”

“Mke wangu hembu simu yako. Naomba ile namba uliyo pigiwa”

Nilimuambia Biyanka aliye katiza sebleni hapa akielekea jikoni. Akarudi chumbani na kuniletea simu yake nikaitazama hii namba ni tofauti na namba ambayo nilipigiwa na mzee Mkumbo. Nikamuonyesha kijana huyu hii namba hii ya simu, akaitafuta baada ya dakika chache akafanikiwa kuipata na zote tukakuta zinatokea kwenye mji wa Beijing China.

“Kwa sasa yupo China”

“Je hiyo namba ametumia simu ya kibandani au simu ya mkononi?”

“Nayo imetoka katika kibanda”

“Hivi kwa China si kuna CCTV kamera za utambuzi kwenye vibanda vya simu na sehemu nyingine nyingi?”

“Ndio”

“Una weza kuzi hack”

“Mmmm ni kazi kubwa muheshimiwa kwa maana inabidi tuingie kwenye database za China na wale jamaa system zao ni ngumu zana kuzi hack na endapo watajua wana chezewa system zao. Wapo haraka sana katika kumtafuta mtu huyo anaye husika katika ku hack popote pale duniani”

“Duu hivyo inaweza kuwa shuhuli?”

“Yaa ila kuna mwezangu mmoja ni mtaalamu sana wa kucheza na VPN huyo ninaweza kuwasiliana naye kama mukikubaliana na hilo”

“VPN ndio nini?”

Niliuliza huku nikimtazama kijana huyu.

“Hiyo ni system ambayo ina uwezo wa kuficha kile unacho kifanya kwenye mtandao hususani location ambayo upo”

“Wasiliana naye”

“Sawa”

Kijana huyu akatoa simu mfukoni na kuwasiliana na jamaa huyo. Na akamuomba aweze kusaidiana naye katika kuhakikisha kwamba wana hack system za cctv kamera nchini China.

“Kama si unajua hilo jambo ni hatari?”

“Natambu ila kwa uwezo wako nina imani kwamba unaweza kufanya hivyo na isitoshe wewe umesoma China”

“Sawa, ila utanilipa kiasi gani kwa maana nina imani hii kazi si yako”

Kijana huyu akanitazama mimi.

“Wewe una hitaji kiasi gani”

“Dola elfu tano”

“Mmmm ndugu kwani tuna mtafuta Osama. Hembu acha kunibana, kumbuka kwamba una kuja kwangu ukiwa na matatizo yako na tunayafanya kwa bei za kueleweka”

“Basi dola elfu tatu hapo mwisho”

Nikamnyooshea dole gumba kijana huyu nikimpa ishara ya kwamba akubaliane na kiasi hicho ili tuendelea kuifanya hii kazi ya kuhakikisha kwamba tuna mpata mzee Poul Mkumbo.

“Sawa usijali, sasa nahitaji nikuunganishe na Tv hapa sebelni, washa webcam yako. Tutafanya kazi kwa pamoja huko huko ulipo”

“Sawa ngoja nina ingia ndani kama baada ya dakika tano. Nipo barabarani”

“Sawa ninakusubiria”

“Poa”

Kijana huyu akakata simu, akafungua begi lake na kutoa kamera na kuiweka juu ya tv kubwa iliyopo hapa sebleni, akaiiunganisha kamera hiyo na tv.

“Hivyo ni nini?”

“Itakuwa ni rahisi kwa yeye kutuona na sisi kumuona. Pia kazi atakayo ifanya basi tunaweza kuina pia kupitia tv hiyo”

“Sawa”

Baada ya dakika tano alizo ziahidi kijana huyo. Kazi ikaanza huku ukimuona akiwa ndani ya chumba chake. Kijana mwenyewe ni mdogo mdogo ambaye hakika ana uwezo mkubwa sana wa kiakilia katika mambo hayo ya tecnologia.

“Baby twende tukale”

Biyanka alinifwata hapa sebleni na kuninong’oneza kwa maana kama ni masaa yanazidi kusonga mbele. Kutokana kazi bado ni ngumu kwa vijana hawa, sikumbishia mke wangu, tukaka mezani na tukaanza kupata chakula taratibu.

“Ukisha fahamu ni wapi alipo baba utamfanyaje?”

“Hiyo itanipa uhakika wa kuweza kupiga hatua nyingine katika kumuangusha”

“AAhaa, ila unatakiwa kuwa makini sana mume wangu”

“Natambua hili ni swala la kimya kimya”

Tulizungumza na Biyanka huku tukiendelea kupata chakula kwa pamoja. Tulipo maliza, Biyanka akaniaga ana kwenda chumbani kuna baadhi ya mafaili ya kazini ana hitaji kuyapitia na kuyasaini kabla ya kesho kwenda kazini.

“Utanijulisha kitakacho endelea mume wangu”

“Sawa baby”

“I love you”

“I love you too”

Nikarudi eneo la sebleni na kuwakuta vijana waha wakiendelea kufanya kitu wanacho kijua wao wenyewe.

“Vipi?”

“Bado mkuu”

“Kuna mtu hajapata chakula cha usiku?”

Niliwauliza Mbilinyi na wezake.

“Mimi nipo sawa”

“Mbilinyi vipi sijakuona ukijumuika mezani”

“Nitakula mkuu, si unajua kile nilicho kiona kule hadi sasa bado kipo hapa kooni”

“Sawa sawa”

Niliweza kumuelewa Mbilinyi kwa maana maaiti zile zilizo oza kule kwenye kambi ya mzee Poul Mkumbo ndio zimepelekea yeye kuwa katika hali hiyo mbaya.

“Vipi kuna matumaini yoyote?”

“Ndio mkuu matumaini yapo”

Kijana wa upende wa pili akazidi kuendelea na kazi yake.

“Aiatwa nani jamaa yako?”

“Ruben”

“Anaa sawa”

Baada ya kama lisaa moja na dakika ishirini wakafanikiwa kuingia katika mfumo mzima wa ulinzi wa serikali ya nchini China na uzuri kwamba Ruben ana fahamu lugha ya kichina.

“Mulikuwa munatafuta nini?”

Ruben alituuliza huku akitutazama. Kijana huyu wa Mbilinyi akamtajia namba hizo mbili na akaanza kuitafuta namba ya kwanza iliyo nipigia mimi. Video za watu kadhaa walio tumia kibanda hicho kwa siku hiyo zikaanza kuonekana na hadi alipo fikia mzee Mkumbo nikamuomba aweze kusimamisha.

“Ndio hiyo”

“Huyu?”

Ruben aliuliza huku akinitazama.

“Ndio”

“Unataka nifanyaje tena”

“Hembu tafuta ni sehemu gani ambayo ameelekea”

Tukaanza kumfwatilia mzee Mkumbo mara ya kutoka katika kibanda hicho akaingia kwenye gari huku akiwa katika ulinzi wa vijana wawili wenye asili ya kichina. Tukaifwatilia gari yao hadi kwenye kibanda kingine ambacho hakikubwa mbali sana na kibanda cha mtaa huo na baada ya hapo akaondoka na kuendelea na safari yake hadi kwenye moja ya nyumba ya kifahari. Tukamuona akipokelewa na bibi mmoja wa kihindi na wakaingia ndani ambapo hakuna kamera ya kuweza kutuonyesha.

“Bado yupo ndani humo hadi sasa hivi”

Ruben alizungumza.

“Hiyo nyumba ni ya nani?”

“Ngoja niangalie usajili wake”

Ruben akaminya minya batani zake na baada ya muda akatutumia detail za nyumba hiyo zikionyesha kwamba ni mali ya Poul Mkumbo.

“Kwahiyo hapo ni kwake?”

“Ndio mkuu”

“Kwenye nyumba yake hiyo kuna kamera ngapi?”

“Kamera thelathini na sita na kuna walinzi wenye bunduki hamsini pamoja na mbwa kumi”

Ruben alilijibu swali langu kwa mapana zaidi hadi nikajikuta nikifurahishwa.

“Unaweza kutafuta ni chumba chake ni kipi anacho lala”

“Dakika moja”

Ruben akaendelea kuifanya kazi hiyo na baada ya sekunde kadhaa akatuonyesha ni chumba gani anacho lala mzee Mkumbo kwenye jumba hilo.

“Ingekuwa ina wezekana basi ungeingiza kamera ndani ila ndio hivyo haiwezekani”

“Inawezekana mkuu”

“Inawezekanaje?”

“Kuna rafiki yangu mmoja yupo chini ngoja niwasiliane naye apeleke kamera ya mfumo wa kipepeo katika eneo la karibu na nyumba hiyo kisha nitaanza kuiongoza mimi nikiwa huku Tanzania.”

“Inawezekana Ruben!!?”

Niliuliza huku nikiwa na mshangao mkubwa sana.

“Ndio inawezekana.”

“Fanya hivyo”

Nikaondoka sebleni hapa na kuelekea chumbani. Nikamuelezea Biyanka kila kinacho endelea, kwa shahuku naye akahitaji kushuhudia kinacho endelea. Tukajumuika na timu nzima hapa sebleni na kuendelea kutazama kinacho fanywa na vijana hawa.

“Ameifikisha nina waunganisha ka mamera hiyo”

Ruben alizungumza na baada ya muda tukaishuhudia nyumba hiyo ya mzee Mkumbo.

“Una ifahamu hiyo nyumba?”

“Hapana, kumbe huyu mzee mshenzi sana”

Biyanka alizungumza huku tukiendelea kutazama jinsi kamera hiyo inavyo zidi kusogelea dirisha la chumba cha mzee Poul Mkumbo pasipo mlinzi wake yoyote kuweza kustukia jambo hilo.

“Yaa hiyo ni nyumba yake sasa sijajua ame inunua lini huko China.”

Kamera hiyo ikaingia ndani ya chumba hicho pasipo mtu yoyote kuweza kugundua. Uzuri ni kamera ndogo sana ambayo kwa haraka haraka mtu anaweza kuona ni kipepeo. Ndani ya chumba hicho kuna msichana mmoja mzuri amelala pasipo kuwa na nguo zozote.

“Ohoo”

Nilijikuta nikizungumza huku nikimtazama Biyanka kwa jicho la kuiba.

“Vipi?”

Biyanka aliniuliza huku nikimtazama.

“Tumekosea chumba nini?”

Kabla hata sijajibiwa, tukamshuhudia mzee Poul Mkumbo akitoka bafunni huku akiwa amejifunga taulo kiunoni mwake. Akamtazama binti huyu kwa matamanio kisha akavua taulo hilo na kumfanya Biyanka kwa haraka kunikumbatia huku akificha uso wake kifuani mwangu ili asiweze kuona maungo ya ndani ya baba yake. Watu wote wakanitazama mimi kwa ishara ya mkono nikamuamrisha Ruben aendelee kurekodi kila kitu. Tukamshuhudia mzee Mkumbo akipanda kitandani na kumgeuza msichana huyu ambaye naye ana furahia uwepo wa mzee huyo hapo kitandani. Mzee Mkumbo akaanza kunyonya kitumbua cha binti huo ambaye kwa haraka haraka anaonekana ni mdogo. Ruben kama yupo akilini mwangu, akatuma detail za msichana huyo ambaye anaitwa Jin Si Lee na ubaya ni kwamba ana umri wa miaka kumi na sita jambo ambalo kwa haraka haraka ni kosa la jinai kwa binti chini ya miaka kumi na nane kufanya mapenzi tena na mzee kama Poul Mkumbo na kupitia video hii sasa nitahakikisha nina zidi kumuangusha mzee Mkumbo kwani serikali ya nchini China nina uhakika haito muacha salama kama Tanzania atashindwa kuhukumiwa kwa kosa hilo.


Mzee Mkumbo akaendelea kujilia mema ya binti huyo huku sauti za kimahaba zikiwa zimetawala sebleni hapa. Biyanka akaondoka pasipo hata kutazama tv hii. Hadi mzee Mkumbo ana maliza mzunguko wake wa kwanza nikamumuru Ruben kusitisha zoezi hilo kwa maana tayari tumesha pata ushahidi wa kutosha ambao endapo tuta utumia ushahidi huu nina weza kumuangamiza mzee Mkumbo taratibu pasipo kutegemea.

“Kazi nzuri vijana. Huo ushahidi nina omba muniingize kwenye simu yangu”

Ushahidi ukaingizwa kwenye simu yangu. Nikawashukuru kwa jitihada zao na nikawaruhusu vijana hawa kuondoka akiwemo Mbilinyi ambaye ndio mlinzi wangu mkuu. Nikarudi chumbani na kumkuta Biyanka kitandania kijisomea kitabu cha hadithi.

“Vipi?”

“Safi”

“Mbona ulondoka pale sebleni?”

“Siwezi kuangalia uchi wa baba yangu. Natambua ni mtenda makosa ila sinto weza kumuangalia kwa kweli”

“Ahaa sawa. Nina imani kwamba vita na baba yako ina kwenda kuisha sasa”

“Sawa”

Biyanka alinijibu kwa upole sana hadi nikahisi kwamba kuna jambo ambalo lina msumbua. Taratibu nikamsogelea na kumtamzama usoni mwake.

“Hei”

“Mmmm”

“Natambua kwamba hii vita ina kuumiza. Ila naomba univumilie kwa maaana nitatumia kila aina ya njia kuhakikisha kwamba nina muangusha baba yako”

“Nalitambua hilo”

Majibu ya Biyanka kidogo yakaanza kunipa wasiwasi. Sikutaka kuendelea kumsemesha sana, nikaingia bafuni na kuoga na kurudi chumbani. Nikapanda kitandani pasipo kuzungumza jambo lolote, Biyanka akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akaweka kibabu chake pembeni na kuzima taa nenye mwanga mkali hapa chumbani na kubakisha taa yenye mwanga hafifu. Nikaupeleka mkono wangu wa kulia juu ya paja la Biyanka na nikajarbu kumshika ika cha kushangaza akautoa mkono wangu na kuuweka pembeni.

“Sijisikii leo”

“Kwa nini mke wangu”

“Sijisikii tu”

Biyanka dhairi anaonekana ana kitu moyoni mwake kinacho msumbua. Nikashusha pumzi taratibu na kujifunika shuka hadi kifuani mwangu na kumtazama jinsi Biyanka anavyo geukia upende wa pili wa kitanda na kunipa mgongo.

“Baby”

“Mmmmmm”

“Mbona leo huna hamu ya kulala na mimi. Kuna tatizo”

Biyanka hakunijibu swali langu zaidi ya kuendelea kukaa kimya. Akanigeukia na kunitazama usoni mwangu.

“Ethan nazungumza kutoka moyoni mwangu. Kitu mulicho kifanya pale sebleni haki ya Mungu sijakipenda. Japo nyinyi nyote ni wauamume ila lile jambo la kumuanika baba yangu mbele za wale wafanyakazi wako. Limeniuma hata kama ni mkosaji ni mtu ambaye anatakiwa kulipa kutokana na makosa yake aliyo kufanyia ila hakika nimeumia kama mtoto wa kike”

Biyanka alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Sikuwa na jinsi mpenzi wangu”

“Ulikuwa na uwezo wa kumpa maagizo yule kijana aweze kurekodi pasipo watu wengine kutazama kama wana shuhudia mechi ya mpira. Hembu kumbuka siku tuna hamia humu ndani, ulikagua hichi chumba ukihofia kama kutakuwa na kamera iliyo fichwa kwa siri kwa maana uliogopa utu wetu wa ndani kuonekana na watu ambao hawahusiani na sisi. Kwa nini wewe umeruhusu lile jambo litokee.”

Maneno ya upole na unyenyekevu ya Biyanka yakazidi kuniweka katika wakati mgumu kimaamuzi, nikajikuta nikijutia ni kwa nini nilikubali kufanya vile japo kusema kweli kwa upande wangu nilihisi ni jambo la kawaida tu.

“Nisamehe mpenzi wangu”

“Hata nikikusamehe. Hujui ni nani kati ya vijana wako anaweza kukusaliti na kuiachia video hiyo mtandaoni. Piga picha ni watu wangapi wana muheshimu baba yangu hapa Tanzania na hata nje ya Tanzania. Kumbuka alikuwa ni mgombea uraisi na alishindwa kutokana na mipango yako tu. Ila angeshinda ni watu wangapi wangeendelea kumpenda na kumuheshimu?”

“Ni wengi”

“Piga picha mama ana iona hiyo video kwenye mitandao ya kijamii. Atajisikiaje kuona uume wa mume wake ukiwa una zagaa zagaa katika mitandao?”

“Atajisikia vibaya”

“Ninazungumza kama mke wako. Hiyo njia uliyo tumia si sahihi ya kumuangusha baba. Tupigane katika kujua wapi zilipo document zake na kuchukua pesa zake na si kumdhalilisha akifanya mapenzi na kabinti kadogo. Isitoshe akipotelea jela au akinyongwa kwa sheria za huko china je utapata chochote, au mgodi wako utarudi pasipo wewe kuwa na document za kukuhalalisha kama mmiliki wa mgodi huo?”

“Sinto pata”

“Basi tufikirie katika mapana zaidi ya haya. Nakupenda Ethan na ninakuheshimu na kukuvumilia kwa hali ya juu. Ila nina kuomba sana mume wangu katika hili, tafadhali nina kuomba uweze kubadilisha maamuzi”

Biyanka aliendelea kuzungumza kwa upole na unyenyekevu. Hapa ndpo nilipo jikuta nikiamini kwamba hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mnyenyekevu. Mipango yangu yote juu ya hii video nikajikuta ikiyayuka moyoni mwangu.

Nikachukua simu yangu niliyo iweka pembeni ya kitanda, nikaifuta video hiyo ya mzee Mkumbo sikuishia hapo tu, nikampigia Mbilinyi na kumpatia maagizo kwamba video hiyo ifutiliwe mbali.

“Kwa nini mkuu?”

“Sihitaji kuitumia. Hakikisha kwamba huyo Ruben na mwezake wana ifuta hiyo video na hakuna mtu ambaye ataisambaza kwenye mtandao wowote.”

Nikamsikia Mbilinyi akishusha pumzi nyingi huku akionekana kujawa na mshangao wa kwa nini nimeamua maamuzi hayo.

“Sawa mkuu”

Nikakata simu na kuirudisha sehemu nilipo itoa na nikamgeukia Biyanka.

“Nashukuru kwa kunisikiliza mume wangu”

“Sawa”

Taratibu Biyanka akajisogeza kifuani mwangu na kukilaza kifua chake huku akinichezea chezea nywele zangu hadi usingizi mzito ukanipitia.

Asubuhi na mapema, Biyanka akawa mtu wa kwanza kuamka humu ndani. Akafanya shuhuli zote za usafi na kuandaa kifuangu kinywa. Tukapata kifungua kinywa na akaondoka na kuelekea ofisini kuendelea na majukumu ya kila siku. Mbilinyi akafika nyumbani hapa huku akionekana kujawa na maswali mengi sana kichwani mwake.

“Najua uantaka kuniauliza kwa undani ni kwa nini tumefuta video hiyo?”

“Ndio mkuu kwa maana tumetumia garama kubwa kupata ushahidi huo?”

“Nalitambua hilo ila tubadilishe plan”

“Una plan gani kichwani mwako kwa sasa ili tuweze kuifanya”

“Nahitaji tupate hati za umiliki wa mali za mzee huyo”

“Tunazipatia wapi?”

“Sijajua ila tutajua ni wapi tutazipatia”

“Sawa mkuu”

“Leo unaweza kwenda kupumzika na familia yako, nitashinda nyumbani”

“Kweli mkuu huto toka?”

“Ndio kuwa na amani”

“Sawa nashukuru”

“Msalimie shemeji na mwanao”

“Zimefika”

Mbilinyi akaondoka nyumbani na nikabaki peke yangu. Nikaitoa simu yangu mfukoni na nikaitazama kwa sekunde kadhaa na nikakumbuka kwamba simu yangu ina uwezo wa kurudisha vitu vya nyuma ambavyo vilifutwa kimakusudi au kibahati mbaya. Nikalifanya zoezi hilo na kweli video hiyo ikaweza kurudi tena vizuri sana, nikajaribu kuiangalia mwanzo hadi mwisho na kweli haikuwa na tatizo la aina yoyote.

“Siwezi kumuacha hivi hivi”

Nilizungumza huku nikiwasiliana na Ruben na kumuomba anitafutie namba ya mkononi ya mzee Mkumbo. Ruben akafanya hivyo na ndani ya dakika tano akwa amesha nipatia namba hiyo, nikanunua salio la kutosha katika simu yangu kisha nikampigia mzee huyo. Simu yake ikaita na baada ya muda kidogo ikapokelewa.

“Umeipata wapi namba yangu?”

Lilikuwa ni swali la kwanza la mzee Poul Mkumbo mara baada ya kuipokea simu yangu.

“Ndio ujiulize kwamba ni wapi nimeitoa nmba yako”

“Kijana mpango ambao nimeupanga juu yako hakika nina imani utakwenda kukumaliza miaka yako yote”

“Mimi ndio unimalize. Nakutumia video moja alafu uniambie kwamba mimi na wewe nani ni zaidi”

Baada ya kuzungumza hivyo nikamtumia mzee Mkumbo video yake ya ngono na ndani ya sekunde thelathini ikwa tayari iemsha mfikia.

“Nahisi kwamba umeiona. Mimi huwa sizungumzi kwa maneno, ila ninafanya kwa vitendo. Huyo binti ana umri chini ya miaka kumi na nane, wewe una miaka hamsini na kitu kwa lugha ya haraka haraka ni kwamba ume mbaka huyo binti. Sasa moja, niisambaze hewani hii video na kuwatumia serikali ya China huko ulipo au ufwate kile nitakacho kuambia”

Nikasikia ukimya mkubwa sana kutoka kwa mzee Poul Mkumbo. Video hii nina imani kwamba imemstua sana.

“Halooo”

“Unataka nini wewe mtoto wa malaya”

“Ahaa….Ninacho kihitaji kwako ni kitu kidogo sana tu. Nataka mgodi wako ambao ullikuwa ni mali ya wazazi wangu na ukauchukua kwa maguvu yako ya kipesa na ukawaua wazazi wangu siku yenye mvua kali, baridi kali na vijana wako waka mbaka mama yangu. Nina imani kwamba una ikumbuka vizuri sana hiyo siku. Hivyo basi rudisha mgodi wangu”

“Ni hilo tu?”

“Yaa ni hilo tu”

“Nipe muda wa kufikiria”

“Una siku moja la sivyo kila kitu chako kinakwenda kupotea na kama unavyo jua wachina hawana ujinga katika sheria zao na watakusaka hadi wakupate na wakikupata mzeee…..Huna chako duniani. Nikutakie siku njema”

Nikakata simu huku nikiwa nimejawa na tabasamu pana sana usoni mwangu. Nikaihamisha hii video kwenye akaunti yangu ya siri sana ambayo ipo kwenye mtandao na huwa ni sehemu ambayo nina hifadhi vitu vyangu vingi sana vya siri na hata ikitokea nimepoteza simu au laptop basi ni rahisi kwa mimi kuweza kupata data zangu. Simu yangu ikaita, nikaitazama kwa sekunde kadhaa na kukuta namba mpya, nikajifikiria kuipokea, ila nika amua kuipokea.

“Halooo”

Nilisikia sauti ya kike nyororo.

“Mambo vipi?”

“Safi unazungumza na yule dada ambaye ulikuja kununua pafyumu hapa dukani kwetu na ukanipatia namba”

“Ahaa mambo vipi?”

“Safi Ethan. Upo free ukaonana na mimi leo”

“Mmmmm ngoja nitazame ratiba yangu. Ila kwa nini unataka kuonana na mimi?”

“Mmmm napenda tu tuonane na tupige hadithi mbili tatu”

Huwa ni jambo gumu sana kwa mtu wa kawaida kumuambia mtu maarufu akutane naye kwa ajili ya kupiga stori tu na isitoshe hawafahamiani sana.

“Stori tu au kuna jengine?”

“Ni story tu Ethan”

Nikaka kimya kwa sekunde kadha nikijifikiria sana.

“Nitakujulisha”

“Leo?”

“Ndio”

“Nashukuru na nitashukuru sana Ethan”

“Usijalim ila nitumie picha yako ili nikufahamu vizuri”

“Sasa hivi nina kutumia”

Baada ya kukata simu, hazikuisha hata dakika moja picha mfululizo zikaanza kuingia kwenye simu yangu. Ni binti mzuri wa kiarubu, amejaliwa uzuri ambao hakika una mtamanisha kila mwaume.

“Naona mtoto mzuri amekutamani”

Sauti ya Ethan ikanistua na nikamuona akiwa amesimama mbele yangu hapa sebleni.

“Umenistua”

“Pole sana”

“Bora umekuja, huyu binti ana taka kuonana na mimi, niende au nisiende?”

“Wewe moyoni mwako una hisi nini?”

“Sihisi chochote zaidi ya kuto kujua niende au nisiende”

“Ni msichana mzuri, ana kila sifa ya kuwa mwanamke wako”

“Mwanamke wangu?”

“Ndio”

“Kwa nini awe mwanamke wangu. Ikiwa Biyanka yupo na Camila yupo?”

“Leo magari yana gongana”

“Magari yana gongana kivipi?”

“Camila ninavyo zungumza hivi sasa ana ingia ofisini kwa Biyanka na anakwenda kumueleza historia nzima ya mahusiano yetu toka mulipo kuwa watoto. Je unahisi ni nini kitakacho tokea baada ya Biyanka kujua hilo?”

Maneno ya Ethan yakanistua sana na kujikuta nikijawa na kigugumizi na woga mkubwa kwa maana endapo Biyanka atafahamu nina mwanamke mwengine basi nina imani kuwa atabadilika kwa kiasi kikubwa na atajitahidi kulipitaza kisasi cha usaliti nilio mfanyia.



“Naomba unisaidie katika hilo rafiki yangu”

“Sina uwezo wa kukusaidia kwa maana hivi ninavyo zungumza. Tayari wamasha zungumza”

“Sasa nitafanyaje, si ataniua huyu mwanamke?”

Ethan akaka kimya huku akionekana kufikiria jambo la kufanya.

“Nenda kwa huyu msichana wa kiarubu alafu zima simu na usirudi nyumbani leo”

“Huoni kama inaweza ikaleta shida hili jambo?”

“Hiyo ndio njia ya pekee kuepukana na hasira ya Biyanka, endapo atarudi akakukuta basi tambua kwamba ni tatizo kubwa zaidi. Nina imani kwamba una ifahamu hasira yake?

“Ndio”

“Basi fanya hivyo. Nenda kwa huyo binti”

Nikamtazama Ethana kwa sekunde kadhaa kisha nika kubaliana naye. Nikaingia bafuni na kuoga haraka haraka. Nikavaa tisheti hood nyeusi, jinzi nyeusi, kofia nyeusi pamoja na raba nyeusi. Nikatoka sebleni na kumkuta Ethan akiwa bado ana nisubiria.

“Hapo umependeza”

“Etii ehee”

“Ndio”

Nikatoka nje na kuingia katika gari langu jengine ambalo lilinunuliwa siku mbili zilizo pita na toka tulinunue sikuwahi kuliendesha. Ethan naye akaingia kwenye gari hili na tukaianza safari.

“Hoteli gani itakuw ani nzuri ya mimi kukutana na msichana huyo?”

“Mmmmm Serena Hoteli”

“Ile kubwa kubwa kule maeneo ya posta?”

“Ehee hiyo hiyo”

Kutokana na foleni ya hapa na pele nikafika katika hoteli hiyo baada ya kama lisaa hivi. Nikasimamisha gari langu hili kwenye maegesho ambayo sio rahisi kwa gari hili kuonekana. Kutokana na kofia ambayo nime ivaa, sio rahisi sana kwa watu wa kawaida kuweza kunifahamu. Nikafika mapokezi na kupokelewa na wadada wazuri wawili. Wakanitajia bai za vyumba vyao, nikatoa kadi yangu maalumu ya benki ya kulipia, nikalipa chumba chenye hadthi ya kiraisi kwa siku mbili na nikakabidhiwa kati ya kufungulia mlango na kuingia ndani. Nikiwa ndani ya lifti na Ethan, simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kukuta ni Biyanka. Ethan akatingisha kichwa akiniomba nisiweze kuipokea simu hiyo. Nikairudisha mfukoni huku ikiendelea kuita, nikafika katika chumba hichi ambacho kina kila aina ya kitu, hadi gym ndogo imo ndani ya chumba hichi. Tulipo hakikisha kukikagua chumba hichi mimi na Ethan, nikampigia simu binti huyu na kumueleza ni wapi nilipo na akaniahidi ndani ya muda mfupi tu atafika hapa hotelini.

“Sasa Ethan, huyu binti ana kuja. Nimle au?”

“Hayo ni maamuzi yako”

“Ila usije ukawa una nisababishia matatizo”

“Kuna siku nimesha wahi kukusababishia matatizo?”

“Hakuna”

“Sasa iweje leo tena kwa msichana wa kawaida tu muuza duka?”

“Unaweza ukahisi kwamba Biyanka ana hitaji kuzungumza nini na mimi?”

Kabla Ethan hajanijibu chochote simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama kwa haraka na kukuta ni namba ya binti wa kiarabu, nikaipoke na kuiweka sikioni mwangu.

”Nimesha fika hapa Serena”

“Sawa nimeacha maagizo hapo mapokezi watakuleta ni wapi nilipo”

“Niulizie nani?”

“Ngoja niwapigie”

Nikanyanyua mkonga wa simu ya mezani na kuwapigia na kuwapa maelekezo wahudumu wa mapokezi na kuwaeleza kwamba wamletea binti huyu sehemu nilipo.

“Sawa kaka”

Muhudumu aliye pokea simu alinijibu kwa heshima zote.

“Wanakuleta”

“Haya”

Nikakata simu na kuiweka mezani.

“Mimi ninaondoka zangu, furahia siku yako.”

“Uu…una kwenda wapi tena Ethan?”

“Nakwenda kwa Mary, japo siku hizi utaki kumsalimia dada yako. Ila ana endelea vizuri”

“Nitampigia simu baadae”

“Ni wewe”

“Ila si unamlinda vizuri?”

“Yaa hakuna tabu yoyote”

“Sawa nina shukuru”

Ethan akapotea kwenye upeo wa macho yangu, baada ya muda kidogo kengele ya hapa mlangoni ikaanza kuita, nikanyanyuka kwa haraka na kufika mlengoni, nikafungua mlango na kumkuta binti huyu akiwa na muhudumu.

“Karibu”

“Asante”

Nikafunga mlango huku nikimtazama binti huyu wa kiarabu jinsi alivyo jazia maumbile yake ya kuanzia kiunoni hadi chini.

“Karibu sana ukae na ujisikie upo nyumbani”

“Nashukuru Ethan, siamini kama nimeonana na wewe”

“Usijali, umeonana na mimi tena katika sehemu ambayo haina watu kabisa.”

Nilizungumza huku nikizima simu yangu ili kuepukana na fujo za simu ambazo nitapigiwa pigiwa.

Tukaka kwenye sofa nzuri na za kifahari zilizomo humu ndani.

“Naweza kukukumbatia?”

Binti huyu alizungumza na kunifanya nitabasamu.

“Yaa kuwa huru”

Akanyanyuka kwa haraka na kunikumbatia kwa nguvu mwilini mwangu. Nikaushusha mkono wangu mmoja wa kulia hadi kiunoni mwake na kukiminya kidogo kiuno chake na kumfanya ashusha pumzi taratibu. Akaniachia na kurudi kukaa kwenye sofa lake huku akiwa na furaha kubwa sana.

“Hivi una itwa nani?”

“Aii jina langu halisi ninaitwa Piyanka na mimi ni muhindi”

“Ahaa nilihisi wewe ni muarabu?”

“Hapana mimi ni muhindi japo makazi ya baba yangu na mama yangu yapo nchini Dubai, kule ni wafanya biashara wakubwa sana”

“Sasa kwa nini una uza duka pale kwa yule mzee?”

“Mimi pale ni share holder, nina hisa zangu kwenye lile duka, na si kwamba mara kwa mara huwa nina kuwepo pale. Hapana, ila nikakuja kutazama ni nini kinacho endleea au nikiletea mzigo mpya kutoka Dubai basi ndio nina bahatika kuwepo pale”

“Sawa sawa”

“Kusudi la sisi kuonana, ukiachilia kama shabiki wako. Ila ninahitaji tuweze kujadiliana mambo kadha hususani ya kibiashara”

Piyanka alizungumza kwa msisitizo ulio nifanya nikae vizuri ili niweze kumsikiliza,

“Dubai, baba yangu ana hoteli ya nyota tano ile ambayo ipo katika kisiwa, gorofa kubwa sana na nihoteli maarufu sana duniani”

“Ipo hapo kwenye simu yako niiione?”

“Ndio”

Binti huyu akatoa simu yake aina ya iphone 8 iliyo tengenezwa kwa madini ya dhahabu. Akaanza kunionyesha picha za hoteli hiyo. Hoteli hii nilisha wahi kuiona kwenye baadhi ya matangazo ya video ila sikuweza kuifwatilia sana.

“Hapa baba aliwezeka billions of dollar ila tunashukuru MUNGU, pesa ile imesha rudi kama miaka miwili iliyo pita na hivi sasa tunakula faida tu”

“Aisee hongereni sana”

“Tunashukuru. Ukiachiana na hoteli hiyo pia baba ana hisa zake asilimia ishirini na tisha katika shirika la ndege la Fly Emirates, so tuna vitega uchumi vingi duniani. Ila sehemu ambayo tunahitaji kuwekeza na bado hatujapata nafasi ni hapa Tanzania”

Mawazo ya kutamaniwa kimahusiano na binti huyu, nikaanza kuyafuta kichwani mwangu taratibu na nikaona ni mbinti ambaye akili yake ipo sana katika biashara.

“Muna taka kuwekeza nini?”

“Tunahitaji kuwekeza katika madini. Kuna mgodi mkubwa ambao katika kufwatilia fwatilia. Nimegundua kwamba baba yako mkwe ndio ana umiliki mgodi huo. Nikaona kwamba nikae na wewe, nikupe ofa ambayo tunayo ili ukazungumze na baba yako mkwe aweze kutuuzia mgodi huo kama huto jali”

Nikaka kimya huku nikimtazama Piyanka usoni mwake, huku moyoni mwangu nikijisemea kimoyo moyo kwamba ungejua kwamba huyo unaye mtaja hapa ni adui yangu namba moja wala asinge zungumza hivyo.

“Muna ofa gani?”

“Dola bilioni kumi”

“Nyinyi kama nyinyi muna utajiri wa kiasi gani?”

“Mmmmm net worth yetu kama familia ni dola bilioni hamsini na tano”

Nikafikiria kwa haraka haraka kiasi cha pesa wanacho miliki ni kikubwa sana kwa duniani ila kwa utajiri ambao ninao na ninao endelea kuupandisha kila siku nime wapiti kwa dola bilioni thelathni na tano kwani utajiri wangu ni dola bilioni tisini japo mara nyingi nimekuwa ni mtu ambaye ninakataza makampuni makubwa kama Forbiden kunichunguza na kuuandika utajiri wangu hadharani.

“Muna weza kufikiria biashara nyingine ya kuwekeza?”

“Kwa nini?”

 ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG