Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

SIN SEASON 1 SEHEMU YA 8/10

  


SIN SEASON 1

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 8 KATI YA 10


“Polisi wame ifunga na ime zungushiwa utepe unao waonya watu wasiweze kuingia”

“Ila mule ndani kuna vitu vyangu muhimu Levina”

“Nalitambua hilo ila hakuna namna ya kufanya. Vitu hivyo ni muhimu kuliko usalama wako au roho yako. Usijitaharishe kwenye vitu ambavyo sio vilivyo kuleta hapa. Jambo la msingi ni kuwa mvumilivu, tuimalizie siku hii kwa kulala kisha kukipambazuka basi tuta weza kufahamu ni jambo gani ambalo lina tupasa kufanya”

“Sawa mpenzi wangu”

Taratibu Levina akaifunga laptop yake, akamvuta Tomas aliye simama mbele yake. Akaifungua zipu ya suruali yake, akamtoa jogoo wa Tomas na kuanza kumyonya taratibu.

“Ohoo aiiss…Mbona una penda kufanya hivi sana?”

Tomas alilalama huku akiendelea kusikilizia raha za kunyonywa jogoo na Levina. Levina hakujibu kitu chochote zaidi ya kuendelea kumshuhulikia jogoo huyo, alipo jiridhisha na maandalizi yake, akavua suruali yake na kuinama huku mikono yake ikishika meza hiyo yenye laptop na taratibu Tomas akaanza kazi ta kushuhulika na kitumbua cha Levina.

***

“Nita zibabeje hizi pesa?”

Evans aliuliza huku bado akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.

“Nita kuletea kule utakapo kwenda, ila kwa sasa beba kibunda kimoja kisha nita kutoa ndani hapa”

Evans akatazama vibunda hivyo vya dola mia mia vilivyo fungwa vizuri. Akachukua kimoja na kukishika mkononi mwake.

“Sharti la kanisa lako nilikuwa bado sija kupatia”

“Niambie ni lipi?”

“Lazima uwe una tembea na wanawake bikra tu kila wiki moja ina bidi umpate binti mmoja tu. Endapo uta itoa bikra yake basi uta achana naye na usirudie kufanya naye mapenzi kwa siku nyingine wala muda mwengine”

Evans macho yakamtoka huku akiwa ana shangaa.

“Hivi kwa Dar ninayo ijua mimi, kweli nita kuwa nina pata hao wasichana bikra?”

“Wana patikana, kumbuka kanisa lako lita kuwa lina watu wengi sana kutoka maeneo mbali mbali. Hivyo ina kupasa kufanya hivyo”

“Je nitamtambuaje kwamba huyu binti ni bikra?”

“Huo ndio mtihani wako na hakikisha kwamba kila mwanamke unaye mtoa usichana wake una mpiga alama kwenye kalio la upande wake wa kushoto, ila yeye mwenyewe asifahamu”

“Mmmm alama gani?”

“Kuna pete nita kupatia mara baada ya kanisa lako kukamilika. Pete hiyo ita kusaidia kuhakikisha kwamba una una mkita nayo msichana huyo kwenye kalio lake na ita acha alama”

“Sawa hapo nime kuelewa. Je ikitokea kwamba nime mpenda mmoja wa wanawake hao ita kuwaje?”

“Una hitaji kuumizwa tena kwa mra ya tatu? Magreth ulimpenda, ukashikiwa bastola na kutaka kuuwawa. Julieth uli mpenda, waka taka kukutoa roho yako. Je huyo wa tatu utakakaye mpenda ita kuwaje?”

Evans akashusha pumzi taratibu kwa maana jini huyo ana fahamu historia yake nzima.

“Je wakipata mimba?”

“Hito weza kuwapa mimba na muda wa kumpatia mwanamke mimba ukifika basi nita hakikisha kwamba mwanamke ambaye nita muona mimi ndio sahihi basi ata beba ujauzito wako”

“Sasa, kama unavyo wajua waswahili waliyo kuwa mashilawadu. Je ikitokea siri kwamba mimi nina tembea na wasichana kila wiki tena wenye bikra, hapo ita kuwaje, si wata niitwa king Mswati?”

“Atakaye toa siri hiyo ata kufa”

“Heee!!!”

“Ndio tena ita kupasa umue wewe mwenyewe”

“Ohoo Mungu wangu, sasa mimi nita wauaje?”

“Kwani baba yako uli muuaje?”

Evans akaishiwa pozi kabisa na kubaki akimtazama jini huyo.

“Baada ya kupata nyumba ya kununua, kamchukue mama yako na mdogo wako na sasa ni muda wa wao kula matunda wanayo stahili. Ume nielewaa?”

“Nime kuelewa”

“Kitu kingine kabla sija sahau, hakikisha kwamba una uangusha ufalme wa nabii Sanga na una utambulisha unabii wako”

“Kwa hiyo nita jiita nabii Evans?”

“Ndio”

“Mmmm haya ila ita bidi nika anze kuijua biblia vizuri?”

“Ndio kaisome kwa maana kupitia hiyo biblia uta pata wafuasi wengi na watakao kuwa wana kuamini sana”

“Sawa”

“Jambo la mwisho kama sio la kwanza. Wasichana wote hao utakao kuwa una watoa bikra zao, mapenzi ni lazima uyafanyie nyuma ya madhabahu yako tena usiku wa kuanzia saa saba hadi saa tisa. Na siku ya kufanya hivyo ina kupasa iwe jumatano ya kila wiki. Ukienda kinyume na masharti hayo, uta kwenda kupata adhabu. Umenielewa?”

Masharti hayo ya jini yakamfanya Evans kubaki mdomo wazi kwa maana alihisi ana weza kumchukua msichana yoyote na kumpeleka sehemu yoyote, ila sehemu anayo takiwa ni kwenye madhabahu ya kanisa lake analo hitaji kwenda kulijenga.


“Sa…a p…ale ma..dhabahuni si eneo lole la mbele kabisa ya kanisa anapo simama mchungaji?”

“Ndio”

“Sasa ni msichana gani ambaye ata kubali kufanywa pale mbele kabisa?”

“Una hitaji pesa ua uhitaji pesa?”

“Nataka”

“Basi fanya nilicho kueleza”

Evans hakuwa na namna zaidi ya kukubaliana na jambo hilo. Isotoshe akitafakari juu ya umasikini alio nao yeye na familia yake. Mbaya zaidi vyetu vyake vyote halisi, vimeibiwa siku aliyo kuwa ana msaidia Magreth.

“Nina kurudisha nje ya pango hili. Kesho asubuhi mzee msese ata kusindikiza hadi kwenye kituo cha mabasi. Hakikisha kwamba una kwenda moja kwa moja hadi Dar es Salaam. Tafuta hoteli, kodisha chumba nauanze kutafuta kiwanja kikubwa sijui ume nielewa?”

“Ndio nime kuelewa, ila je wale wanao nisaka na kuitoa roho yangu endapo nita kutana nao iyakuwaje hapo?”

“Huwezi kukutana nao”

“Kweli”

“Ndio”

“Sawa”

Dada huyo akamrudi Evan hadi kwenye mlango wa pango na akamkuta mzee msese akiwa ana msubiria.

“Kumbe kumesha kuwa usiku?”

“Tena wa manane”

“Duuu”

“Naamini ume fanikiwa”

“Ndio mzee wangu”

“Maagizo yako nime yapata. Turudi nyumbani tupate chakula kisha wewe kesho alfajiri na mapema upande basi kueleke Dar”

“Sawa mzee”

Evans na mzee Msese wakarudi hadi nyumbani na kumkuta binti yake akiwasubiria nje. Wakasalimiana, akawaandalia chakula na wakaanza kula.

“Asubuhi Evans ana ondoka”

Mzee Msase alizungumza huku akifinyanga finyanga tonge la wali maharage.

“Mbona gafla hivyo baba?”

“Ndio hivyo mizimu ime mtaka aweze kuondoka hivyo leo ndio siku yake ya mwisho kuwepo hapa”

Mzee Msese alizungumza kwa sauti ya unyonge sana kiasi cha kumfanya hata binti yake kuwa mnyonge kwa maana Evans wame mzoea kwa kipindi kirefu sana.

“Ila nitarudi tu kuwatembelea, nyinyi ni dungu zangu sasa. Siwezi kuwatupa”

Binti huyo akashindwa kujivumilia na kujikuta akianga kilio na kutoka ndani hapo na kuwafanya Evans na mzee Msese kumshangaa.

“Binti yangu alisha anza kukupenda. Ila mizimu ambayo ina nipatia nguvu hizi za kuwatibu watu, wana hitaji binti huyo abaki kuwa bikra hadi kufa kwake. Endapo ata fanya tu mapenzi na mwanaume wa aina yoyote basi mimi nita kufa”

Evans macho yaka mtoka.

“Ndio maana nime weka jini ambalo lina muua kila mwanaume ambaye ana mtamani mwanangu”

Evans akakumbuka kauli za siku ya kwanza za msichana huyo kwamba ana mtamani na endapo ata endelea kufanya hivyo basi ata kufa.

“Kwa nini sasa wame muwekea sharti kubwa kama hilo?”

“Sijajua ila sisi tuna fwata kile tulicho ambiwa. Huwa nina muona mwanangu anavyo tesekaga kihisia ila ndio hivyo hakuna namna”

“Mwanao ana itwa nani?”

“Malaika”

“Heeee”

“Ndio ana itwa Malaika, mbona una shangaa, au ulihitaji awe na jina la kiasili kama hilo la kwangu?”

“Ahaa hapana mzee wangu”

“Ukishiba nenda ukamfariji na kumueleza maneno ya matumaini”

“Sawa mzee wangu”

Evans akapiga matonge ya haraka haraka huku kibunda cha pesa kikiwa kimeutunisha mfuko wake wa suruali wa upande wa kulia. Akanawa mikono yake haraka haraka kisha akatoka nje na kumkuta Malaika akiwa amekaa kwenye moja ya jiwe kubwa ambalo lina elekea katika korogo kubwa sana lilipo pembezoni mwa nyumba yao. Taratibu Evans akatembea hadi eneo hilo kisha na yeye akaka, akachungulia kwa chini na kutazama umbali huo jinsi ulivyo mrefu.

“Hapa mtu ukianguka, una vujina vunjika mifupa”

Evans alizungumza huku akimtazama Malaika usoni mwangu. Malaika hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kuendelea kulia kwa uchungu sana. Malaika akamgeukia Evans kisha akamkumbatia kwa nguvu, chuchu zake zilizo simama vizuri, zikaanza kumkita kita Evans kifuani mwake na kumfanya apate wakati mgumu sana kwa kumbana jogoo wake aliye anza kufurukuta ndani ya suruali.

“Kwa nini una niacha galfa hivi Evans?”

Malaika alizungumza kwa sauti nyororo iliyo zifi kumpagawisha Evans.

“Mmmmm….mmmm!!”

“Natambua siwezi kufanya chochote na mwanaume. Ila hisia zangu sio vibaya uka zitambua Evans. Sikuwahi kukaa na mwanaume tofauti na baba yangu kwa kipindi kirefu kama hichi. Wewe ndio wa kwanza kukaa na mimi, ucheshi wako na juhudi zako zime weza kuleta madhara kwenye moyo wangu. Nilitamani siku kwenda mizimuni na kuwaomba waweze kunibadilishia sharti ili niweze kuolewa na wewe. Ila kabla sija kamilisha mpango wangu ume amua kuondoka, kwa nini Evans”

Malaika alizungumza huku akimwagikwa na machozi. Evans akashindwa kabisa kuzungumza na jambo la pekee ni kuanza kumbembeleza Malaika.

“Mimi ni mzuri, nina kila kigezo cha kuolewa, ila haya mambo ndio yana nifanya nipoteze furaya yangu muhimu kama wewe”

“No hapana Malaika”

“Ume lijuaje jina langu”

Malaika alistuka sana huku akimuachia Evans.

“Una hisi kwamba siku zote sinto weza kufahamu jina lako?”

“Mtu pekee anaye fahamu jina langu halisi ambalo ni hilo ni mtu mmoja tu, ambaye ni baba”

“Basi huyo huyo ndio aliye nieleza jina lako. Tambua kwamba nina kwenda Dar es Salaam kuifanya kazi moja ambayo ita tuletea manufaa makubwa sana kwenye maisha ya baadae. Jambo la msingi nina kuomba tu uweze kunivumilia katika hilo. Sawa”

“Mmmm nitakuvumilia ikiwa najua huwezi kufanya kitu chochote na mimi?”

“Maisha yana badilika na sheria pia zina badilika. Jambo la msingi ni kunivumilia. Tafadhali nina kuomba sana uweze kufanya hivyo. Tuta jaribu kutafuta njia kadhaa kuhakikisha kwamba hili sharti lina punguzwa sawa”

“Utatafuta wapi ikiwa nilikuwa nalo toka nikiwa mchanga kabisa hadi sasa hivi nime kuwa mtu mzima”

“Natambua ila nielewe katika hilo”

“Mmmm sawa, Evans. Natambua haya yote ni maneno ya kunifariji ila ukweli ndio kama huo”

“Usijali”

Evans akaanza kubadilisha mada na kuanza kupiga hadithi za uwongo na kweli na kumfanya Malaika kujawa na furaha na kusahau kabisa kwamba Evans huyo anaye mfurahisha ama bakisha masaa machache sana kabla ya yeye kuondoka. Mzee Msese akawatazama Evans na Malaika, akatabasamu kisha akarudi ndani na kulala.

Malaika na Evans hawakuweza kulala hadi kukapambazuka. Evans akajianda na safari kisha wakaanza kutembea kwa miguu wote watatu hadi katika eneo la tambarare.

“Hapa kuna gari langu”

Mzee Msese alimuambia Evans huku wakiingia kwenye moja ya kichaka kilicho jifunika vizuri kwa majani yaliyo tengeneza kama kujiumbo. Evans akashangaa kuona gari aina ya Toyota Prado Tx ikiwa ndani ya kichaka hicho.

“Mzee kumbe una gari nzuri namna hii?”

“Ndio mbona mimi nina mali nyingi sana na nime wekeza sehemu nyingi sana. Ila ndio hivyo kule juu mimi na mwanangu tupo kikazi”

“Ahaaa”

Wakaingia kwenye gari hilo na kuianza safari ya kuelekea katika kituocha mabasi ambacho kipo mbali sana na eneo hilo.

“Evans iangalie hii njia vizuri siku nyingine uta kuja wewe mwenyewe”

Malaika alizungumza huku akiwa amekaa siti ya nyuma.

“Ni kweli, hapa akili yangu ina weka vialama alama vya kuhakikisha kwamba siku nikija siwezi kupotea”

Saa kumi na mbili kasoro alfajiri wakafika katika kituo hicho cha mabasi. Mzee Msese akatoa noti kumi la elfu kumi kumi na kumkabidhi Evans.

“Natambua pesa uliyo pewa ni pesa ya matumizi husika ambayo ume pewa maelekezo yake si ndio?”

“Ndio mzee”

“Hii uta itumia kwenye nauli na manunuzi ya vitu vyako vya njiani. Jambo la kufanya kwa sasa ni wewe kuwa makini huko uendapo”

“Nashukuru sana mzee wangu. Malaika, mtunze baba na wewe pia ujitunze”

“Sawa Evans”

Malaika aliitikia kwa sauti ya upole. Mzee Msese na Evans waka shuka kwenye gari, malaika akatamani kushuka ila moyo wake una pata maumivu makali sana ya kuona Evans ana ondoka. Akamshuhudia Evans akipelekwa na baba yake hadi kwenye moja ya gari lililopo eneo hilo. Evans akaanza kukatiwa tiketi na makonda wa gari hilo. Malaika uvumilivu uka mshinda kabisa, akashuka kwenye gari na kumkimbilia Evan. Akamkumbatia kwa nguvu na kuanza kumnyona lipsi zake na kuwafanya watu karibia wote walio shuhudia tukio hilo kuanza kushangilia. Mzee Msese akabaki akitabasamu kwa maana hata moyo wake ume ridhia kabisa mwanaye kuwa na Evas, ila kizuia tu ni kwamba hawezi kufanya mapenzi naye. Malaika akamuachia Evans na akanyoosha mkono wake wa kulia, akimuelekeza Evans aingia kwenye basi hilo.

“Ingia sitaki kukuona Evans”

Malaika alizungumza kwa ukali ulio changanyikana na ukali, huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake. Taratibu mzee Msese akamkumbatia mwanaye huyo na kumpa ishara Evans ya kuingia kwenye gari na Evans akatii. Kila mmoja alishangaa sana kumuona binti huyo wa mganga maarufu mzee Msese akidendeka na kijana huyo. Karibia watu wote wa mji huo wana tambua kwamba msichana huyo haingiliki na endapo uta jaribu kumtongoza tu basi humalizi masaa ishirini na nne lazima ufe. Evans akaka siti ya nyuma ya dereva huku naye machozi yakimlenga lenga usoni mwake, akawashuhudia mzee Msese na mwanaye wakiondoka eneo hilo, wakaingia kwenye gari huku wakiwa na huzuni kubwa na kuondoka zao.

“Mwanangu una bahati”

Dereva aliye kaa kwenye siti yake alizungumza na kumfanya Evans amtazame.

“Kwa nini?”

“Yule binti wa mzee Msese ni kiboko, hajawahi kuwa na mwanaume yoyote kama ni bikra ya denda, baba wewe ndio wa kwanza”

Dereva huyo alizungumza huku akiwasha basi hilo na kuanza kupiga piga honi kwa ajili ya abiria kupanda garini kwani muda wa kuondoka sasa ume wadia. Taratibu basi likaanza kuondoka na Evans akayatazama mazingira hayo ambayo tayari alisha yazoea, ila hana jinsi zaidi ya kurudi katika jiji la Dar es Salaama lililo jaa kila aina ya dhambi.

***

“Baba mbona huna furaha kuna nini?”

Jery alimuuliza baba yake anaye fungwa tai na mama yake sebleni hapo.

“Kuna mashmbulizi jana yaliwakumba askari wangu na ikapelekea wao kufa”

“Wapi huko baba?”

“Baharini usiku wa kuamkia leo”

“Mmm sasa mume weza kutambua ni nani ambaye ame husika na shambulizi hilo?”

“Bado hatujajua ila vijana wangu wana endelea kufwatilia hili swala.”

“Daa pole sana baba”

“Ndio majukumu”

“Jery ume muambia baba yako kwamba leo ndio siku munayo kwenda kukutana na yule sonara kwa ajili ya kutengeneza pete zenu za harusi”

“No nilisahau. Kweli baba, leo nina kwenda kumchukua Julieth kwao na kwenda kukutana na huyo sonara”

“Sawa, ni wapi muta kutana naye?”

“Posta hapo”

“Basi sawa hakikisha muna kuwa salama na sinto penda muhojiwe hojiwe kwenye vyombo vya habari sinto penda muonekane onekane mukiwa pamoja kabla ya ndoa”

“Sawa baba”

Raisi Mtenzi akambusu mke wake mdomoni kisha akatoka ndani hapo na kuelekea ofisini kwake kuendelea na majukumu yake. Jery akaondoka ikulu na walinzi wake, wakapita nyumbani kwa nabii Sanga na akamchukua Julieth na kuelekea naye kwenye ofisi za sonara hayo wa kindindi.

“Baby”

“Mmmmm”

“Mbona una onekana kama hauna raha kabisa usoni mwako?”

Julieth alizungumza kwa sauti nyororo huku akiwa amekilaza kichwa chake begani mwa Jery.

“Kuna tatizo kidogo”

“Tatizo gani?”

“Baba amenieleza jana usiku kuna askari walio kuwe kwenye oparesheni baharini, wame shambuliwa na kufa. Isitoshe hao walio washambulia hadi sasa hawaja wafahamu. Hapa nina pata wasiwasi kama hao watu waliweza kuvamia kundi kubwa la askari kiasi hicho, ita kuwaje wakivamia kwenye harusi yetu. Hapo ndipo ninapo jawa na woga mke wangu”

Maneno ya Jery yaka mstua kiasi Magreth kwa maana yeye ndio master plan wa kila jambo lililo tokea katika mauaji ya askari hao wasio na hatia kabisa.



“Mmmmm mume wangu sasa tuta fanya nini?”

Magreth alijifanya kuuliza kwa wasiwasi, ili mradi kuficha madhambi yake hayo.

“Yaani hata mimi sielewi tuta fanyaje mke wangu”

Jerty alizungumza huku akionekana dhairi kwamba ana woga mkubwa sana.

“Ila Mungu ata kuwa nasi mume wangu, hakuna ambaye ana weza kuvuruga lile alilo lipanga Mungu. Sawa mume wangu”

“Sawa baby nina shukuru kusikia hivyo”

Wakafika katika moja ya gorofa refu. Walinzi wote wakashuka kwenye magari yao, kisha wakawafungulia mlango Jery na Julieth. Wakaingia kwenye gorofa hilo na kuingia kwenye lifti iliyo wapelekea hadi gorofa ya sita. Wakakribishwa na muhindi huyo ambaye ana sifika afrika mashariki nzima kwa utengenezaji wa pete nzuri na za kuvutia. Wakaanza kupitia picha za baadhi ya pete.

“Hii ita tufaa ehee?”

Julieth alizungumza huku akimuonyesha Jery pete hiyo.

“Ndio hii hata mimi nime ipenda mke wangu”

Wakakubaliana juu ya matengenezo ya pete hizo. Jery akalipa kiasi chote kisha wakaondoka eneo hilo.

***

Levina mara baada a kutoka usingizini, akawasha laptop yake na kuanza kufwatilia video waliyo itazama wakati wa usiku.

“Mbona una pata shida sana na hiyo video?”

Tomas alimuuliza Levina ambaye mara kwa mara ana irudia video hiyo.

“Nina hitaji kufahamu ni kina nani na ime kuwaje hadi waka walipua hawa askari”

“Hizi nyingine ni oparesheni za kijeshi hivyo achana nazo zisikuumize kichwa.”

Levina akamatzama kwa sekunde kadhaa Tom kisha akatabasamu.

“Ehee niambie una mpango gani katika kisasi chako”

“Nahitaji kufahamu nyendo za mtoto wa Julieth mtoto wa nabii Sanga. Nahitaji kumteka yeye kabla ya send off yake”

“Kwa nini umteke yeye na uki mteka yeye ita kuwaje?”

“Najua nikimteka yeye nita hakikisha kwamba hakuna ndoa yoyote inayo kwenda kutokea. Nabii Sanga na mke wake ni lazima wata changanyikiwa”

“Naamini kwamba ume sahau huyo anaye kwenda kumuoa ni mtoto wa nani?”

“Nalitambua ni mtoto wa raisi Mtenzi”

“Sasa una taka nchi nzima ikutafute kwa maana hapo ni lazima tuhakikishe tuna fanya tukio ambalo halito tuletea shida husuasani mimi na kampuni yangu”

“Sasa ni jambo gani hapo ambalo halito kuwa na mdhara yoyote kwetu?”

“Nipe siku ya leo kisha nita kuambia. Sasa hivi nahitaji kujianda ana kuelekea kazini kwa ajili ya kujua ni nini ninacho kipanga”

“Sawa, ila mimi nita kwenda kanisani kwa nabii Sanga”

“Kufanya nini?”

“Kuangalia ni mango gani ambao wana ufanya”

“Sawa ila kuwa makini”

“Usijali nina imani kwa sura hii hawawezi kujifahamu na sasa kwenye maswala ya upiganaji nipo vizuri sana”

“Sawa mpenzi wangu”

Levina akajianda na kuondoka nyumbani hapo. Ilipo timu majira ya saa saba mchana, Tomas naye akajiandaa na kuelekea kanisani kwa nabii Sanga ambapo kuna inaba ya jioni. Akasimamisha gari alilo pewa na Levina kwenye maegesho kisha akaingia ndani ya kanisa hilo na kukaa kiti cha mbele kabisa cha kanisa hilo. Mapigo ya moyo ya Tomas yakaanza kumuenda kasi sana mara baada ya kumuona nabii Sanga wakiwa mbele ya kanisa hilo huku wakiwapungia waumini wau mikono ikiwa ni ishara ya kuwasalimiia kabla ya ibada hiyo kuanza.

***

Taratibu Evans akaanza kushuka kwenye ngazi tatu za basi hilo. Akashusha pumzi huku akitazama madhari ya stendi hii ya mkoa, Ubungo. Wandesha taksi wakaanza kumzonga zonga, huku kila mmoja akimuomba aweze kuingia kwenye taksi yake.

“Wewe twende”

Evans alimchagua mmoja wa dereva taksi akaingia kwenye gari lake na wakandoka eneo hilo.

“Simama hapo Ubungo Plaza, nika toa pesa”

“Sawa mkuu”

Dereva akasimama kwenye jengo hiilo kubwa la kibisashara.

“Dakika tano”

Evans akashuka kwenye gari hilo na kuingia kwenye dula la kubadilishia pesa. Akabadilisha dola mia tano na kupewa pesa shilingi ya Tanzania. Akarudi kwenye taksi.

“Tuna kwenda wapi mkuu”

“Kwenye hoteli yoyote nzuri”

“Sawa”

Evans akafika kwenye hoteli aliyo ipenda, akamlipa dereva taksi kisha akakodisha chumba kwa wiki moja. Akatazama saa ya ukutani ina muonyesha kwa muda huo ni saa nane mchana. Akatoka hotelini hapo, akaelekea kwenye maduka ya simu, akanunua simu aipendayo pamoja na baadhi ya mavazi, akapita kwenye kibanda cha kusajilia laini, akamugonga elfu kumi msajili wa laini hizo na akamsajilia kwa kitambulisho chake.

Baada ya mizunguko yake hiyo akarudi hotelini na kuanza kutafuta kwenye mtandao ni kdalali gani ambaye ana weza kumsaidia katika kazi yake hiyo ya kutafuta kiwanja kikubwa. Akabahatika kumpata dalali mmoja, akampigia simu dalali huyo.

“Naitwa Evans nina hitaji kuwanja kwa maeneo ya Kigamboni ambayo yana weza kuingia hata ukubwa wa kiwanja kikubwa cha mpira”

“Karibu sana bosi wangu. Maeneo yapo mengi sana”

“Kwa jioni hii nina weza kupata?”

“Tufanye kesho kwa maana kwa sasa nipo Bagamoyo, ila asubuhi niambie ni muda gani niwwasiliane na wewe ili nikakuonyeshe maeneo hayo”

“Sawa uta nipigia majira ya saa mbili asubuhi”

“Hakuna shaka nita fanya hivyo, si ume sema chenye ukubwa hata wa kuingia kiwanja cha mpira?”

“Ndio”

“Sawa”

Evans akakata simu, akaendelea kuperuzi kwenye mtandao wa kijamnii akijaribu kutafuta ni kanisa gani kubwa duniani. Akapata picha kadhaa za makanisa makubwa yapatikanayo Roma Italia.

“Hili ni zuri”

Evans alizungumza huku akitazama kanisa hilo, gafla hali ya hewa ya chumba hicho ikaanza kubadilika, mwili mzima ukaanza kumtetemeka. Gafla akamuona jini ambaye alimuacha pangoni mkoani Morogoro, akiwa amekaa pembeni yake na kumfanya akurupuke huku akiogopa sana.

“Bado una niogopa?”

“Ume ingiaje humu ndani?”

“Swali gani hilo la kijinga”

Jini huyo alizungumza huku akiwa na mikono miwili tofauti na mikono minne aliyo kuwa nayo kwenye pango. Evans akashsuha pumzi nyingi huku akiyasikilizia mapigo yake ya moyo jinsi yanavyo muenda kasi sana.

“Nita kuwa nina kutembelea mara kwa mara na sehemu yoyote ile. Naona upo vizuri katika kuikamilisha kazi niliyo kupa”

“Ndio”

“Hembu hiyo picha ya kanisa”

Jini huyo alizungumza na Evans akamkabidhi simu yake. Akaitazama picha hiyo kwa umakini.

“Hili ume lipenda?”

“Ndio na lina ingia watu zaidi ya laki moja”

“Sawa kesho nita kueletea ramani yake ya ujuenzi”

“Una weza kuchora?”

“Kila kitu nina weza. Ukitoka kutafuta eneo hilo nita kuletea pesa pamoja na hiyo ramani ume nielewa”

“Sawa, ila nina swali moja?”

“Swali gani?”

“Mbona leo hauna mikono minne?”

“Nina uwezo wa kubadilika na kuwa vyovyote vile ninavyo hitaji. Kwa heri”

Jini huyo akapotea katika macho ya Evans na kumfanya azidi kujawa na mshangao ulio changanyikana na woga mwingi sana kwa maana katika maisha yake ya kawaida hajazoea kukutana na mambo magumu kama hayo.

***

“Muheshimiwa raisi ripoti ya tukio la mauaji ime kamilika”

Mkuu wa kitengo kinacho shuhulika na madawa ya kulevya alizungumza huku akiwa amesimama mbele ya meza ya raisi Mtenzi iliyopo ofisini kwake.

“Ehee mume gundua nini?”

“Kitu tulicho kigundua muheshimiwa ni kwamba ulikuwa ni mtego, tulijaribu kui track namba iliyo tupatia taarifa ila hatuja weza kugundua chochote.”

“Je wale watu wanne walio kuwa wana waua askari nao vipi?”

“Hatuja weza kuwakuta kabisa na hakuna dalililo yoyote ya mwili wa bina damu katika eneo lile”

Raisi Mtenzi akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akijaribu kutafakari.

“Mkuu hapa ina bidi tuunde kikosi cha kufwatilia kwa umakini hili jambo ina wezekana ikwa ni tukio la kigaidi”

“Kigaidi?”

Raisi Mtenzi aliuliza kwa mshangao kidogo.

“Ndio mkuu, kwa mawazo yangu ya karibu nina imani kwamba walio tekeleza jambo hili wata kuwa ni kikundi cha Al-Shabab kwa manaa ile Boti ilikuwa ina tokea kwenye ukanda wa Mombasa na eneo hilo ni hatari sana kwa maharamia hao”

Raisi Mtenzi mwili mzima uka mtingishika kwa hasira.

“Ni lazima tuka lipize siwezi kuziacha damu za vijana wangu wengi namna ile kuondoka kilazima”

“Ndio muheshimiwa, ina bidi tuwasiliane na serikali ya Kenya tuweze kushirikiana katika hili”

“Sawa fanya hivyo wasiliana na mkuu wa kitengo cha NSA mumbie nina muhitaji hapa”

“Nitafanya hivyo muheshimiwa raisi”

Mkuu huyo mara baada ya kuzungumza akatoka ofisini hapo na akawasiliana na mzee Mbogo ambaye baada ya nusu saa akafika ofisini kwa raisi Mtenzi.

“Ndio muheshimiwa”

“Nina imani kwamba uliweza kuiona ile video ya jana?”

“Ndio muheshimiwa raisi nilifanikiwa kuiona”

“Nahitaji uniandalie timu ya watu watano, nina hitaji kuwatuma Somalia kwenda kuwasaka Al-Shabab popote walipo”

“Sawa muheshimiwa raisi, ila kabla ya kufanya maamuzi kama hayo ina bidi tupate kidhibitisho cha kuhakikisha kwamba wao ndio watakuwa wana husika”

“Vaa yao yote ina onyesha kwamba wale ni Al-Shabab”

“Ni kweli muheshimiwa raisi, ila kw amfano kama wangekuwa wame valia nguo za Kimarekani je inge kuwaje? Tungekwenda kushambulia Marekani kwa sababu ya kuongozwa na hisia zetu?”

Maneno ya mzee Mbogo yaka mfanya raisi Mtenzi kushusha pumzi taratibu.

“Nipatie muda muheshimiwa mimi na timu yangu. Tukikamilisha juu ya zoezi hilo basi nita kueletea ripoti kamili”

“Una siku mbili sawa”

“Sawa muheshimiwa”

“Una weza kwenda”

Mzee Mbogo akasimama, akapiga saluti kisha akatoka ndani hapo na kumuacha raisi Mtenzi akiendelea kutafakari ni njia gani anazo weza kuzifanya kuhakikisha ana wakamata wote walio husika na mauaji hayo pasipo kujua kwamba mkwe wake anaye muingiza kwenye familia yake ndio ana husika.

***

Magreth akasimama nje ya hoteli yenye ukumbi utakao fanyika send off ya mtoto wa nabii Sanga, akautazama kwa sekunde kadhaa kisha akaingia ndani. Akaingia mapokezi mwa hoteli hiyo na kumsalimia muhudumu aliye mkuta.

“Hivi nikihitaji kukodisha ukumbi nina weza kupata?”

“Mmm ngoja niwasiliane na mejena”

“Sawa”

Muhudumu huyo akawasiliana na meneja wake na akaomba Magreth kupelekwa ofisini kwake. Magreth akaongozana na muhudumu huyo hadi katika ofisi ya meneja huyo mwenye asili ya kihindi.

“Sura yako sio ngeni kwangu”

Meneja huyo alizungumza.

“Ndio nina imani uta kuwa umewahi kupata chakula kwenye mgahawa wangu”

“Ni kweli, karibu una hitaji nini?”

“Nahitaji ukumbi kwa ajili ya shuhuli yangu ya ufunguzi wa product yangu”

“Ahaa ukumbi ume lipiwa hadi siku ambayo ita fanyika sherehe ya huyu mtoto wa nabii Sanga ana itwa nani?”

“Julieth”

“Ewalaa..Kama hiyo shuhuli yako ina weza kusubiria hadi sherehe hiyo kupita basi karibu sana”

“Hakuna shaka, je nina weza kuuona”

“Ndio hakuna shaka”

Meneja huyo alizungumza huku akiwa na furaha sana. Wakatoka katka ofisi hiyo na kuelekea katika ukumbi huo. Magreth akaanza kuutazama kwa umakini sana kwani lengo lake si kuukodisha, ila lengo lake ni kuhakikisha kwamba ana fanya shambulizi siku hiyo ya send off na mtu anaye muhitaji kumpata ni Julieth kwanza kwa maana yeye ndio aliye muibia mume wake.



“Ukumbi ni mzuri sana”

“Yaa ni mzuri madam na tuna toa huduma za wahudumu wetu kuhudumia siku ya sherehe”

“Ahaa sawa. Ehee garama zenu zipo vipi?”

“Ni milioni ishini kwa siku, ila kutokana ni wewe nita kufanyia milioni kumi na nane?”

“Mmmmm, sawa basi shehere hiyo itakapo kwisha basi nita kuja”

“Karibu sana”

“Nashukuru,je booking ni kiasi gani?”

“Tuna anza kupokea kuanzia asilimia ishirini na tano ya kiasi cha ukumbia”

“Nashukuru sana, nita rudi tena na nina shukuru sana kwa muda wako”

“Karibu sana”

“Je hapa milango ndio hii miwili au kuna mwengine?”

“No upo mlango wa tatu ambao hautumiki sana”

“Ulinzi hapa upo vizuri sana, hivyo usiwe shaka na mali au magari ya wageni watako hudhuria sherehe zako”

“Sawa nina shukuru sana je nin weza kupiga picha japo kadhaa ili nikawaonyeshe tumu yangu ya maandalizi?”

“Ndio madam ni wewe tu”

“Sawa”

Magreth alizungumza huku akianza kuupiga picha ukumbii huo. Magreth mara baada ya kumaliza kupiga picha hizo akaagana na meneja wa ukumbi huo kisha akandokana eneo hilo. Akapitia kwenye maduka yanayo uaza vifaa vya uchoraji. Akanunua vifaa ambayo ana amini kwamba ana weza kuchora mipango yake yote kuhakikisha kwamba mipango yake ina kwenda vizuri. Magreth akaelekea kwenye nyumba ambayo kwa sasa ipo chini ya uangalizi wake. Akaingia kwenye chumnba hicho cha siri, akaziweka karatasi hizo kwenye moja ya meza, akachukua simu yake na kuanza kuutazama ukumbi huo vizuri. Akaanza kuchora ukumbi huo na eneo zima la nje. Kazi hiyo ikamchukua lisaa mmoja kupata michoro mizuri ambayo ana iwazia kichwani mwake. Akazibandika picha hizo ukutani.

“Hapa kuta kuwa na walinzi wangapi?”

Magreth alizungumza huku akiwa amejishika kiuno chake.

“Mia?”

“Hapana ni wengi sana kwa mtu kama nabii Sanga”

“Hamsini je?”

Magreth aliendelea kujiuliza maswali kichwani mwake huku akiendelea kutazama ramani hizo.

‘Lazima nifanye upelelezi wangu, nimtafute mtu ambaye ata kuwa ndani ya kamati ya send off”

Magreth alizungumza huku akiwaza ni nani amabye ana weza kumtumia. Sehemu ya pekee ambayo ana weza kupata japo mwana kamati ni kanisani kwa nabii Sanga.

“Sija kwenda pale siku nyingi sana ila leo ina bidi niende”

Magreth alizungumza huku akitazama saa yake ya mkononi. Akakuta muda bado una mruhusu, akaingia kwenye gari lake ambalo kwa sasa limesha badilishwa rangi. Akafika kanisani hapo na kukuta ibada ikiwa katika hatua za maombezi. Akasalimiana na baadhi ya waumini ambao wana mfahamu. Akaka hadi mwisho wa ibada, nabii Sanga akatangaza kwa wale watu wenye michango kwa ajili ya send off ya mwanaye, basi wamuone mchungaji msaidizi.

“Huyu huyu ata nifaa”

Magreth aliuzungumza huku akimtazama mchungaji msaidizi aliye anza kupunga mkono kwa waumini ili wamfahamu. Ibada ikaisha na watu wakaanz a kutawanyika, Magreth akamfwata msaidizi huyo ambaye wana fahamiana.

“Mwanagu ume potea sana”

“Nipo baba yangu. Shikamoo”

“Marahaba. Hivi upo Tanzania hapa?”

“Nipo baba yangu, ila nilikuwa mkoani”

“Ahaa ehee niambie”

“Baba nahitaji kufahamu juu ya taratibu za michango kwa maana ndio nina fika na sijajua ni taratibu gani zina fwata”

“Michango ya send off ni elfu hamsini kwa mtu mmoja na laki moja na nusu kwa watu wawili”

“Basi nita toa mchango wa watu wawili.”

“Sawa mwanangu”

Magreth akafungua picho yake na kutoa laki mbili, akamkabidhi mzee hiyo.

“Imezidi mwanangu”

“Hiyo hamsini uta pata soda baba yangu”

“Ohoo Mungu akubariki sana”

“Nashukuru sana mwanangu”

“Ehee hivi kamati mipango yake ina kwendaje?”

“Ina elekea vizuri na kila kitu tuna karibia kumaliza”

“Ahaa kwa hiyo kwa sasa mambo yana kwenda vizuri”

“Ndio mwanangu”

“Vipi maswala ya chakula mume shapata mpishi?”

“Ndio tume pata mwanangu”

“Ahaa je upande wa ulinzi?”

“Pia huo upande upo vizuri sana, si unajua familia ya raisi ita kuwepo pale. Hivyo walinzi wata kuwa ni wengi sana.”

“Sawa sawa baba yangu. Mungu akubariki”

“Amen”

Magreth akachana na mzee huyo huku akipishana na Tomas amabaye naye ame mfwata mzee huyo. Akamkabidhi kiasi cha laki moja na nusu kwa ikiwa ni mchango wa sherehe hiyo. Tomas akamtazama mrs Sanga ambaye ana endelea kupeana mikono na waumini wa kanisa hilo. Akajipenyeza katikati ya waumini hao, ika fika wakatik wake na akampa mrs Sanga anaye toa baraka kwa waumini hao.

“Mungu akubariki”

Mrs Sanga alizungumza huku akishikana mkono na Tomas.

“Amen”

Sauti ya Tomas ika mstua sana mrs Sanga kwa maana ni sauti ya mtu ambaye ana mfahamu hata akizinduka kuyoka usoningizi. Jambo ambalo lina mfanya ashindwe kumtambua Tomas ni sura yake kwa maana ni tofauti sana na Tomas anaye mfahamu yeye. Mrs Sanga akatabasamu huku akiuachia mkono huo na kuushika mkono wa mto mwengine. Tomas akajito akatika kundi hilo la waumini huku akihisi maumivu makalis ana ya moyo wake. Hasira itokanayo na kisasi anacho taka kukifanya kwa nabii Sanga na familia yake ndio hicho kinacho muumiza sana moyoni mwake. Tomas, akaingia kwenye gari lake na kuondoka eneo hilo huku akiwa na hasira kali sana.

“Shosti yangu kweli Mungu amekufungulia njia”

Rafiki wa Magreth alizuungumza huku akimtazama Magreth ambaye amebadilika, sio yule msichana wa minyoosho kichwani mwake. Sasa hivi ana wigi ambalo kwa haraka haraka anavyo hisi lina weza kugarimu hata laki moja au laki mbili.

“Kweli Mungu ni mwema, sasa hivi nina ishi Kigamboni na sio kule uswahili”

“Unaonyesha rafiki yangu. Ehee nipo siri ya mafanikio yako?”

“Ni Mungu huyu huyu tunaye muomba shosti yangu”

“Mmmm kwako kweli ame wahi kujibu”

“Haaa usijali, kesho njoo kwenye mgahawa wangu”

“Una Mgahawa?”

“Ndio ninao wewe njoo, kisha tuta peana michongo ya kimaisha”

“Sawa rafiki yangu”

“Hii ita kuwa pesa ya nauli”

Magreth akamkabidhi Anna kiasi hicho cha shilingi elfu ishirini na kumfanya ajawe na furaha kwa maana alikuwa ni mwana kwaya mwezake wanao imba sauti ya kwanza.

“Nashukuru sana Magreth Mungu akubariki na nina kuhidi kesho nita fika hapo kwenye mgahawa wako”

“Ila hujaniuliza upo wapi?”

“Furaha rafiki yangu hadi nina shindwa kuuliza, pia nmba za simu sijazichukua”

“Hahaa ni kweli”

Magreth akamuelekeza Anna ni sehemu gani ambapo mgahawa wake ulipo. Wakabadilishana namba za simu kisha Magreth akaondoka kanisani hapo. Magreth akafika nyumbani kwake na kumkuta rafiki yake Josephine amabuye kwa sasa ana ishi naye, akiendelea kupika chakula cha usiku.

“Best yangu wewe mbishi sana, nina kuambia usipike, wewe bado una fanya kazi. Huo mguu wako huunei huruma?”

“Mage, mimi siwezi kukaa tu na kila kitu nikawa ina kuachia wewe. Isitoshe sasa hivi nina weza kutembea bila gongo. Acha nifanye kazi hizi ndogo ndogo”

“Mmm nakuonea huruma sana”

“Usijali”

“Leo nime kutana na Anna kanisani”

“Weee hajakushangaa?”

“Yaani amechanganyikiwa kuniona jinsi nilivyo badilika. Kesho nime muambia aje kwenye mahawa wangu”

“Waoo mualike basi aje hadi nyumbani”

“Usijali tumuombe Mungu abariki. Acha nijimwagike maji kwanza”

“Sawa”

Magreth akaondoka jikoni hapo na kuingia chumbani kwake kwa ajili ya kubadilisha nguo na kuoga.

***

Kila anapo zikumbuka taswira na nabii Sanga na mke wake, akili yake ina chemka kwa hasira. Tomas akazidi kukugumia mafunda ya wisky huku akiendelea kukumbuka tukio la kinyama sana alilo fanyiwa na nabii Sanga. Tukio la kuingiliwa kinyume na maumbile yake hakika lina mkosesha amani na furaha kubwa moyoni mwake.

“Nita ua, lazima niwaue”

Tomas alizungumza huku akizunguka zunguka sebleni hapo. Levina akaingia sebleni na kuwasha taa, akamuona Tomas akiwa ana mwagikwa na jasho jingi huku akiwa uchi kama alivyo zaliwa.

“Frank kuna nini?”

Levina alizungumza huku akimfwata kwa haraka”

“Nitawaua ni lazima niwaue”

“Kina nani?”

Levina aliuliza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana, kwani katika kipindi chote toka amfahamu Tomas hajawahi kumuona akiwa katika hali kama hiyo.

“Nabii Sanga na mke wake. Nime waona leo lazima niwaue”

“Tomas tafadhali hembu acha kwanza kunywa”

Levina alizungumza hukua kimpokonya Tomas chupa hiyo ya pombe kali. Akaiweka mezani, akamshika mkono Tomas ambaye ana yumba yumba kutokana na kuzidiwa na pombe hiyo. Akamuingiza bafuni na kumuingiza kwenye sinki la kuogea. Akalijaza maji ya baridi ili kuusaidia mwili wake upate japo nguvu na pombe ipungue mwilini. Levina akatoka bafuni hapo, akaingia jikoni, akafungua friji na kutoa malimao mawili makubwa ambayo yana maji mengi, akayakamulia kwenye glasi na kutoa tumba za malimao hayo zilizo ingia katika glasi hiyo. Akarudi bafuni na kuanza kumywesha Tomas juisi hiyo ili kuikata pombe kabisa.

“Fungua mdomo”

Levina aliendelea kumsisitiza Tomas na akazidi kumnywesha juisi hiyo ya limao hadi ikaisha. Hazikupita hata dakika tano Tomas akaanza kutapika, hadi pombe yote mwilini ikamuisha. Levina akamuogesha na kumrudisha chumbani.

“Frank hivi unahisi kunywa pombe ndio solution ya matatizo yako”

Levina alizungumza kwa ukali huku akimtazama Tomas.

“Nimekuja na mpango mzuri. Wewe hapa umenivuruga, haya una taka nini wewe?”

“Nisamehe?”

“Tomas tambua kwenye mpango huu nina hitaji akili yako iwe vizuri, sasa unapo anza ujinga wa mapombe kisa tu ume waona. Je siku ya kwenda kufanya kazi uta weza kweli kutimiza lengo lako au hasira yako ndio ita haribu kila jambo?”

“Nisamehe Levina”

“Una nikera bwana”

“Ume kuja na mpango gani?”

“Ule ulale na mpango nita kuambia kesho”

Levina akatoka ndani hapo huku akiwa na hasira sana kwa maana vitu anavyo vichukia sana kwenye maisha yake ni ulevi ulio pitiliza kiwango.

***

“Kumekucha”

Evans akastuliwa na sauti ya dada ambaye ni jini. Akafumbua macho yake na kumkuta akiwa amekaa pembeni ya kitanda chake. Evana kwa haraka akajifunika shuka vizuri kwa maana yupo uchi kama alivyo zaliwa.

“Huna haja ya kuficha kitu kwa maana nimesha kuona kila kitu”

Jini huyo alizungumza huku akimpapasa papasa Frank kifuani mwake.

“U…u..me…kuj…a saa ngapi?”

“Dakika kumi zilizo pita. Ramani hiyo hapo mezani, pia nina masharti mapya”

“Mashrti gani tena?”

“Nimekuondolea kigezo cha kutembea na wasichana ambao ni bikra”

“Kweli?”

“Ndio, ila kigezo hicho kita ondoka mara baada ya kutembea na wasichana Bikra tisini na tisha kisha huyo wa mia moja ndio ata kuwa mke wako wa ndoa. Endapo uta shindwa kufanya hivyo au ukienenda kinyume na hivyo basi uta kufa. Nina imani ume nielewa?”

Evans akatingisha kichwa akimaanisha kwamba ame muelewa jini huyo ila kwa kweli hayo mashari aliyo pewa ni magumu sana kwa maana kwa upeo wake wa kawaida tu hawezi kufahamu mwanamke bikra ni yupi na yupi sio bikra.


“Siku njema”

Jini huyo alizungumza na kupotea ndani ya chumba hicho. Evans akashusha pumzi huku akiwa amejawa na woga. Japo ana jaribu kuizoea hali hiyo ila kusema kweli, bado ina mtatiza. Evans akashuka kitandani na kufungua karatasi hizo zilizo chorwa michoro mikubwa ya kanisa ambalo ana hitaji kujengewa. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama vizuri na kukuta ni namba ya daliali aliye wasiliana naye. Akaipokea simu hiyo na kuiweka sikioni mwake.

“Umeamkaje Boss?”

“Salama tu habari ya wewe”

“Namshukuru Mungu. Sasa niambie upo wapi ili niweze kukupitia Boss wangu”

“Ahaa nipo hoteli ya KX Royol”

“Sawa nina fika hapo baada ya dakika kama ishirini”

“Nashukuru”

Evans akakata simu na kujilaza kitandani kidogo huku akijaribu kutafakari ni hatua gani ambazo ana weza kuzitumia kuhakikisha ana toa tenda katika kampuni ambayo ina weza kutengeneza kanisa hili katika ubora ulio mzuri. Evans akazikunja karatasi hizo na kuingia bafuni, akaoga haraka haraka kisha akajiandaa. Hazikupita hata dakika mbili simu yake ikaanza kuita.

“Ndio”

“Boss nimesha fika hapa chini”

“Sawa nina taoka sasa hivi”

Evans akatoka ndani hapo huku pesa zake zikiwa vizuri kwenye mfuko wa suruali. Akakabidhi funguo mapokezi wakasalimiana na dalali huyo na kuianza safari.

“Hivi huku Kigamboni maeneo ni mengi ehee?”

“Ndio yapo makubwa. Jambo la msingi ni pesa kaka”

“Okay kama pesa haisumbui kabisa”

Wakafika katika eneo kubwa la wazi ambalo lime kaa tambarere.

“Hili eneo ni kiasi gani”

“Eneo hili lote?”

“Ndio”

“Hili eneo kaka ni milioni mia mbili na hamsini?”

“Lote?”

“Ndio”

“Lina mmiliki mmoja au kuna wamiliki tofauti tofauti?”

“Hili eneo mmiliki ni mmoja kwa maana lipo chini ya serikali”

“Sawa basi nita hitaji kukamilisha taratibu za kulichukua”

Dalali huyo akamtazama Evans kwa maana muonekano wake hauendani kabisa na jinsi ya garama hizo anazo zisema ana zihimili.

“Hivi wewe una itwa nani kaka?”

“Evans”

“Evans nani?”

“Evans Shika”

‘Mmmm wasije wakawa ni baba na mwana wakanipotezea muda wangu hawa’

Daliali alizungumza kimoyo moyo huku akikumbuka sakata la tajiri mmoja nunua nyumba za zaidi ya bilioni tatu katika mnada huku mfukoni akiwa hana kitu kabisa.

“Sawa kaka, sasa ni lini una hitaji twende wilayani ili kupata hili eneo?”

“Hata leo”

“Leo hii hii?”

“Ndio”

“Sawa kaka hakuna shida”

Wakaingia kwenye gari na kuelekea katika ofisi za wilaya huku dalali akiendelea kuwa na mashaka mengi sana kwa Evans kwa maana haamini kama ana uwezo wa kununua eneo hilo ambalo ni matajiri wengi wamelitamani ila kutokana na kukosa pesa hizo wameshindwa kulinunua kabisa.

“Kaka pale una hitaji kujenga kiwanda nini?”

“Hapana ndugu”

“Una hitaji kujenga nini?”

“Kanisa!!?”

Dalali alishangaa huku macho yakimtoka.

“Ndio, mbona una shangaa”

“Kanisa eneo kubwa kama lile?”

“Ndio, nina taka kujenga kanisa ambalo kwa duniani litakuwa ni la pila au la tatu kwa ukubwa”

“Mmmm wewe ni mchungaji?”

“Mmmm ni nabii tu wa Mungu”

“Nabii!!?”

“Ndio”

“Ila mbona una onekana kijana mdogo sana. Una jua nime shazoea kuwaona wachungaji wakiwa na umri mkubwa mkubwa kama kina nabii Sanga na wengine”

“Ndio hivyo Mungu ame amua kuni fungulia na nita fungua kanisa ambalo maelefu ya watakuja kutoka duniani kote kuhakikisha kwamba wana sali pale”

“Sawa kaka, ila nisiwe mnafki, je una pesa ya kununua lile eneo au kuna kaujanja ujanja una taka kukafanya?”

“Pesa ipo mbona una mashaka, au ulihitaji nivae suti kali au niongee kibosi bosi ndio uamini kama nina pesa?”

“Hapana kwa maana nina mashaka sana juu ya jambo hili?”

“Una jua Watanzania wana amani kwamba mtu mwenye pesa ni yule mwenye kuvaa vizuri kuendesha gari zuri. Ngoja nikuambie siri moja, uta kuta mtu huo ana madeni chungu nzima au wengine magari ni ya mikopo, ila akionekana hivi una jua kabisa ana pesa. Ila wewe nenda usukumani huko au kwa wamasai. Utakuta mtu kavaa shuka lake, chini kapiga mabuti au sendeu. Ila cheki pesa yake aliyo kuwa nayo. Hivyo ina bidi ulitambua hilo”

Evans alizungumza kwa msisitizo ili kumtoa mashaka dalali huyo.

“Sawa kaka nime kuelewa”

Dalali huyo ili mbidi kuwa mpole kwa maana somo alilo pewa lime muingia kisawa sawa kichwani mwake. Wakafika katika ofisi za mkuu wa wilaya. Wakaonana na mkuu wa wiliya na wataalamu wa ardhi, wakakubaliana juu ya ununuzi wa eneo hilo.

“Kesho pesa zote nita zilipa”

“Sawa bwana Evans tuna kukaribisha sana”

“Nashukuru, ila nina omba namba ya benki”

Evans akakabidhiwa namba ya akaunti ya benki kisha wakaondoka ofisini hapo na dalali. Wakarudi hotelini na Evans akamlipa laki tatu dalali huyo ikiwa ni malipo ya mizunguko ya siku nzima, wakaagana kwa miadi ya kuonana naye kesho pale tu atakapo kuwa ame maliza kufanya malipo ya kiwanja hicho kwa njia ya benki.

***

“Mke wangu jana uliniambia kwamba una mpango. Hembu niambie ni mipango gani?”

Tomas alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Levina huku wakiendelea kupata kifungua kinywa.

“Pombe zime isha kichwani?”

“Ndio”

“Tomas nina imani hii sio mara ya kwanza kukueleza kwamba huwa sipendi mwanaume mlevi si ndio?”

“Nalijua hilo, ila si yalisha isha toka jana usiku?”

“Ndio ila nili hitaji nikueleze akili yako ikiwa ni nzima kama hivi”

“Sawa nime kuelewa mpenzi wangu, sinto rudia hili jambo”

“Poa. Mpango wako ulio kuwa ume upanga ni kumteka mtoto wa nabii Sanga si ndio?”

“Ndio”

“Jambo ambalo nilikuwa nime lifikiria ni kulipua gari la nabii Sanga ambalo siku ya harusi ata panda yeye na mke wake”

“Uta taka tuwaue haraka kiasi hicho?”

“Ndio, kifo hicho hakito hakito kuhusisha moja kwa moja, pili wata fanya uchunguzi ambao hauto kubaini kama wewe ndio ume husika. Kitu ninacho kichukia kwenye maisha yangu ni kuanza kutafutwa na polisi. Huwa sipendi kabisa kuingia katika kashfa kama hiyo na pia sinti penda nihusishwe kabisa katika mpango wako huo”

Levina alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Tomas kushasha pumzi taratibu.

“Sasa hilo bomu tuta litega wapi ikiwa una ulinzi mkubwa?”

“Hilo ndio jambo la pekee la kulitafakari. Nipe siku ya leo niweze kugundua ni bomu la ina gani ambalo nita litengeneza kuhakikisha kwamba lina ingia ndani ya gari hilo”

“Sawa mke wangu nashukuru sana kwa kuwa nami katika huu mpango”

Levina akamtazama tu Tomas, kisha akanawa mikono yake na kusimama.

“Muda wa kazini ume fika. Una ratiba ya kwenda wapi?”

“Sina mke wangu”

“Hakikisha ukitaka kutoka una niambia”

“Sawa”

“Ila tafadhali nina kuomba usifanye kituko kama ulicho kifanya jana usiku”

“Usijali mke wangu, sinto rudia tena”

Levina akambusu Tomas mdomoni mwake kisha akaondoka eneo hilo. Tomas akaanza kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii, akastuka sana kumuona Magreth akitangazwa kama msichana mdogo ambaye ana weza kuja kuwa tajiri mkubwa afrika nzima.

“Huyu mshenzi huyu mshenzi bado ana mapenzi na huyu mzee?”

Tomas alizungumza huku akiendelea kitazama picha za Magreth akikabidhiwa tuzo na muwakilishi wa jarida kubwa duniani la linalo fwatilia wafanya biashara Forbes.

“Ina bidi nikutane naye”

Tomas alizungumza huku akielekea chumbani, akajiandaa haraka haraka na kumpigia simu Levina na kumpa taarifa ya kwenda kwenye mgajawa wa Magreth.

“Ni nini kina kupeleka huko”

“Nitakuambia mke wangu”

“Kuwa makini nini nina imani kwamba hakuna jambo la ajabu utakalo lifanya”

“Niamini mke wangu, nina jielewa na hakuna haja ya wewe kuni sisitizia kiasi hicho”

“Haya baadae nina wateja hapa”

“Poa”

Tomas akakata simu na kuingia kwenye gari na kuianza safari ya kuelekea ulipo mgahawa wa Magreth.

***

“Hongera sana bosi”

Kila mmfanyakazi wa Magreth hakusita kutoa pongezi zake kwa Magreth ambaye ame pokea tunzo hiyo kutoka kwenye jarida kubwa la Forbes.

“Nashukuru sana wote. Nina imani bila ya nyinyi na jitihada zenu kwa pamoja nisinge pata hii tuzo. Kusema kweli sikuwahi kufikiria ipo siku kama magazine kubwa kama hii ina weza kunifikiria kwamba hapa duniani kuna kajitu kama mimi”

Magreth alizungumza akiwa amesimama katikati ya wafanyakazi wake huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Bosi jitihada zako ndio zime kufikisha hapa sisi tuna fwata tu kile unacho tuelekeaza”

Juma alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.

“Nawashukuru sana tena sana. Tukimaliza kujenga mgahawa wetu basi nita toa zawadi kwa kila mmoja wenu”

“Ni zawadi gani hiyo bosi”

“Mmmm Anna ni mapema kuizungumza kwa sasa, ila tambueni hilo jukumu likiisha ni lazima niwapatie zawadi”

“Sawa”

“Sherehe ime kwisha, sasa tuendelee na kazi zetu”

“Sawa ila kuna waandishi wa habari wana omba kuzungumza nawe”

Juma alizungumza huku akimuonyesha waandishi wengi wa habari walio kusanyika hapo kupata dodoso za habari hiyo kwa maana ni watanzani wachache sana ambao wana weza kukumbukwa na jarida hilo kubwa la kibiashara. Magreth akawaalika wandishi hao kwenye moja ya meza na akaanza kuzungumza nao huku wakiendelea kumuhiji maswali na wengi wao wana penda kufahamu ni njia gani ambazo amezipitia hadi kutabiria kuja kuwa msichana mdogo, bilionea wa baadae.

“Marehemu mama yangu siku zote alikuwa ana nisisitizia katika juhudi na kuto kukata tamaa katika kutafuta. Niliamini kwenye mtaji wangu mdogo wa kuuza maandazi tena ya kutembeza mtaani, kutokana yalipendwa na watu wengi nilijitahidi kutengeneza kitu bora na nina mshukuru Mungu leo hii nipo hapa nilipo fika”

Magreth alizungumza huku akiruka baadhi ya vipengele katika safari hiyo kwa maana hayupo tayari kwamba aliotoa bikra yake kwa ajili ya kupata pesa zilizo muwezesha leo kufika katika mafanikio hayo. Mazungumzo ya waandishi wa bahari yakachukua nusu saa na yakaisha huku kila muandishi akitoka hapo akiwa na habari kamili.

Tomas akaangaza angaza katika eneo hilo la mgahawa, kisha akapata kiti na kukaa. Akawatazama waandishi wa habari walio mzunguka Magreth anaye endelea kuhojiwa.

“Kaka karibu sana. Una hitaji nini?”

“Maji ya moto chupa kubwa”

“Karibu”

Muhudumu huyo wa kike akaondoka eneo hilo, baada ya dakika moja akarudi akiwa na chupa hiyo ya maji.

“Samahani una weza kuniitia bosi wako”

“Hakuna shaka”

Muhudumu huyo akamfwata Magreth ambaye amemeliza kuzungumza na waandishi wa habari. Magreth akamfwata Tomas sehemu alipo kaa.

“Habari yako”

Magreth alizungumza huku akimkazia macho Tomas.

“Salama Magreth”

Magreth akastuka sana kwa maana sauti hiyo ni ya Tomas ambaye yeye ndio aliharibu dili zima la kutafutiwa aneo la mgahawa na nabii Sanga na pia yeye ndio muhusika mkuu wa kumteka nabii Sanga akishirikiana na mrs Sanga.



“Tomas kwa nini ume weka sura bandia?”

Kauli ya Magreth ika mstua sana Toma kwa maana hakutarajia kama kuna mtu anaye weza kumfahamu au kutambua kwamba sura hiyo aliyo kuwa nayo ni ya bandia.

“Usistuke, nina imani kwamba huko ulipo pita hakuna aliye tambua kwamba hiyo sura uliyo ivaa ni ya bandia ehee?”

Magreth alizidi kumshindilia Tomas misumari ya moto moyoni mwake na kumfanya azidi kujawa na woga.

“Ume juaje?”

“Nime juaje nini?”

“Kwamba hii sura ni ya bandia?”

“Nina ujuzi wa mambo hayo toka nilipo kuwa mdogo, hivyo nina tambua sura halisi ya mtu na sura ya bandia”

Tomas akaka kimya huku akimtazama Magreth usoni mwake. Akapiga mafumba mawili ya maji kisha akaiweka mezani glasi hiyo.

“Ume ishi katika sura bandia kwa kipindi gani?”

Magreth alizungumza huku akimkazia macho Tomas.

“Toka nilipo kuwa nina tafutwa kwa kesi ambayo sikuifanya”

“Acha uongo. Ushahidi wa video yako ya ngono wewe na mrs Sanga ninayo na mimi ndio niliye rekodi pale ofisini mukifanya yetu na ubaya zaidi mulikuwa muna panga kuni kuniua na kumteka nabii Sanga”

Tomas akazidi kujawa na woga kwa maana Magreth amekuwa ni mtu aliye fahamu mambo mengi sana kuliko na alivyo kuwa ana tegemea.

“Natambua utakuwa una shangaa ni kwa nini niliweza kujua mambo hayo yote. Ila nime wasamehe, niambie ni kitu gani ambacho kimekuleta kwangu”

Tomas akashusha pumzi taratibu, huku akijitahidi kupambana na hali ya wasiwasi ambayo ina endelea kumkabili mwilini mwake.

“Hivi bado una mahusiano na nabii Sanga”

“Hapana, nina imani wewe uliweza kuvuruga kila kitu hivyo sina mahusiano naye”

“Sawa”

“Kwa nini ume uliza?”

“Nilihitaji kufahamu tu kwa maana nabii Sanga kuna mambo mengi mabaya alinifanyia”

“Hivi una hisi kutembea na mke wake tena ukawa una muingilia kinyume na maumbile ni jambo zuri. Pia nili weza kuona video yake alivyo kuwa ana kufanya na zote ninazo.”

“V…i…i..iii…d….e….o gani?”

Tomas alizungumza kwa wasiwasi mkubwa sana.

“Video ya yeye kukufi**”

Magreth alizungumza kwa sauti ya chini na kuzidi kuupa wakati mgumu moyo wa Tomas na akajikuta akijuta ni kwa nini ame kuja kuonana na Magreth kwa siku hiyo.

“Pole kwa maana nina imani wewe sio shoga hivyo aliweza kukusababishia maumivu kama uliyo kuwa una mpatia mke wake”

“Tafadhali Mage acha kuzungumzia hiyo mada”

Tomas alizungumza kwa ukali kidogo huku machozi ya hasira yakimlenga lenga usoni mwake. Magreth akaanza kucheka kwa kejeli huku akimtazama Tomas anaye hangaika kwa hasira kali.

“Ehee niambie kwa nini ume kuja kuonana nami. Au una taka nimchomeshe nabii Sanga kwako ili uweze kulipa kisasi?”

“Kwa lile alilo nifanyia nabii Sanga ina hitaji kumuua”

Magreth akajiweka vizuri kwenye kiti chake huku akitazama kulia na kushoto. Kauli hiyo haikuweza kusikiwa na watu wengine.

“Kumuua?”

“Ndio na hiyo ndio kazi iliyo nirudisha nchini Tanzania”

“Kwani ume tokea wapi?”

“Afrika Kusini”

“Sasa kama una taka kumuu, kwa nini una nieleza mimi ikiwa kwenye bifu lenu hilo mimi sihusiki”

“Nahitaji unisaidie jambo moja”

“Jambo gani?”

“Kumshawishi nabii Sanga kuonana naye ili nipate nafasi nzuri ya kumuua”

“Hahaaa huo mbona ni ushawishi wa kitoto sana. Una hisi kwamba namba ya mwisho ya atakaye kuwa ame mpigia kwenye simu yake si ita onekana ya kwangu. Wakifwatilia si wata nikamata, wakinikamata una hisi ni nini ambacho kina fwata? Ngoja nikuambie kitu kimoja, huyo nabii Sanga yeye ndio ame husika katika swala la kumuu mume wangu”

“Amemuua mume wako?”

“Ndio”

“Kwani ulisha olewa?”

“Huyo mume alitoka mbinguni. Unaulizaje maswali ya ajabu?”

“Okay sasa wewe una mpango gani?”

“Sina mpango wowote. Nimeamua kumsamehe ili niweze kuendelea na maisha yangu binafsi”

“Ahaaa Mage, hilo ni kosa kubwa sana kwenye maisha. Una msamehe vipi shetani ambaye ame kuulia mume wako. Pambana”

“Tomas sina moyo huyo na sitaki damu mikononi mwangu, kila jambo nina muachia Mungu sawa”

Magret alizungumza kwa msisitozo kwa manaa haitaji Tomas aweze kujua mpango wake.

“Sawa natambua wewe ni mlokole. Ila nilicho kuambia hapa funga kinywa chako na wala usije uka mueleza mtu yoyote na endapo uta muambia mtu mwengine nita kuua. Umenielewa?”

Tomas alizungumza kwa msisitizo.

“Sawa mkuu, kinywa changu nina kifunga zipu ziiiii”

Magreth alizungumza huku akionyesha ya kuufunga zipu mdomo kwake kwa vidole.

“Nashukuru, nina weza kupata namba yako”

“Ya nini?”

“Pale utakapo amua kubadilisha maamuzi yako ya kunisaidia katika mpango wangu basi nita kupigia”

“Okay”

Wakabadilishana nao zao.

“Nina imani kwamba ume nielewa kwamba sinto hitaji hili jambo liweze kutoka kwa mtu wa aina yoyote ile. Sawa”

“Ssawa mkuu, nikutakie kazi njema katika jitihada zako za kulipiza kisasi”

Tomas akamtazama Magreth kwa muda, akatoa noti ya shilingi elfu kumi na kuiweka mezani hapo kisha akaondoka, akaingia kwenye gari na kuondoka eneo hilo.

‘Tom Tom, una taka kuni haribia mpango wangu? Ila ukiingia kwenye kumi na nane zangu haki ya Mungu nita kuua’

Magreth alizungumza kimoyo moyo huku akitazama gari la Tomas jinsi tokomea barabarani.

***

“Baba”

“Naam”

“Hawa walinzi mimi wana nibana, nita shuhulika vipi na mipango ya biashara yangu”

Julieth alizungumza huku akimtazama baba yake usoni.

“Ila mwanangu, si mipango yako si ina kwenda vizuri?”

“Ndio ila nina taka kuhakikisha kwamba nina ona mzigo wangu. Japo nimetumia picha ila nahitaji kuuona kwa macho yangu mawili mzigo nilio fanikiwa kuiingiza nchini”

Julieth alizungumza huku wakiwa wamesimama na baba yake kwenye dirisha la chumbani kwake wakiwatazama walinzi wa serikali wakiendelea kuimarisha ulinzi katika jumba hilo.

“Kwa sasa ina bidi uwe mpole”

“Kivpi baba?”

“Ina bidi kusubiria uingie kwenye ndoa kisha ndio uendelee na mipango mingine. Tambua kwa sasa macho ya hawa walinzi yote yapo kwako”

“Sasa ita kuwaje juu ya huu mzigo?”

“Hakikisha una waambia waambia wausambaze mzigo kama kawaida”

“Sawa baba, ila lile swala la kuuwawa kwa askari kule baharini Jery alilizungumzia kipindi tulipo kuwa tuna kwenda kuchongesha pete.”

“Amesema upelelezi ume fikia wapi?”

“Hajazungumza ila amejawa na hofu ana hisi kwenye harusi yetu tuna weza kushambuliwa”

“Hakuna wa kutushambulia ikiwa sisi ndio tuna plan kila kitu”

“Sawa baba”

“Ila hakikisha huonyeshe dalili yoyote ya wewe kwamba una husika kwenye hilo jambo”

“Usijali baba”

Simu ya Julieth ukaanza kuita, akaifwata kitandani alipo iacha na kuipokea.

“Yes baby”

“Upo wapi mke wangu?”

“Nipo home mume wangu”

Nabii Sanga akatoka ndani hapo ili kumuacha huru mwanaye aendelee na kuzungumza na simu hiyo.

“Nime kumiss mke wangu, yaani nina tamani hata masaa yaende kasi sana ili siku yetu ya harusi iweze kufika”

“Usijali mume wangu, mimi ni wako na siku hiyo ya harusi nina hamu uni fanye hadi nichanganyikiwe”

“Mmmmm baby una nipagawisha. Usija ukanifanya nitoroke nije huko kukupa mambo”

“Hahaa usitoroke bwana mume wangu”

Julieth alizungumza huku akiwa amelala kifudi fudi kitandani kwake huku akiinua inua miguu yake kwa nyuma.

“Ehee niambie shela lako tayari limesha malizwa kushonwa?”

“Wameniambia kesho wata kuwa wame maliza na wata lileta”

“Sawa mke wangu. Vipi ume kula?”

“Mmm bado ila nita kula”

“Fanya ule mke wangu, si unajua nataka siku ya harusi shavu liwe dodo”

“Hahaa sitaki kuwa kibonge bwana”

“Sawa mke wangu, kuna daktari jioni hii nita onana naye ni rafiki yangu, hivyo nina omba ruhusu malikia wangu”

“Hahaaa usijali mume wangu. Nenda ila kuwa makini si una jua watu wanavyo iangalia kwa jicho la husda ndoa yetu”

“Ni kweli ila nina walinzi wa kutosha”

“Sawa mume wangu, jioni njema”

“Nawe pia”

Julieth akakata simu, akaichukua simu yake nyingine ambayo ana itumia kwa ajili ya kuwasiliana na vijana wake wanao shuhulika na maswala ya usambazaji na madawa hayo ya kulevya.

“Ndio mkuu”

“Muna weza kuanza kazi”

“Sawa”

Julieth akakata simu na kuirudisha katika droo ndogo ya kitanda chake kisha akatoka ndani hapo.

***

“Mbongo masaa ishirini na nne yamekwisha ripoti yako ni ipi?”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa njia ya video call kwa kutumia computer yake iliyopo mezani kwake.

“Mkuu bado upelelezi una endele”

“Sawa una endelea ila si Al-Shabab si ndio walio husika?”

“Nina shindwa kukupa jibu la moja kwa moja muheshimiwa ila tuna mashaka kwamba wao wana weza kuhusika”

“Una mashaka au ni wao.”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo na kumfanya mzee Mbogo mkuu wa kitengo cha NSA, kutingisha tu kichwa.

“Sasa nina hitaji mutume vikosi kuhakikisha kwamba muna kwenda kushambulia kikosi hicho kuanzia huko Somalia na upande mzima wa bahari ambapo wamejificha”

“Sawa muheshimiwa raisi, ila una onaje tuka ishirikisha serikali ya Somalia?”

“Wao walivyo waua askari wetu walishirikisha serikali yao?”

“Hapana mkuu”

“Basi fanya hivyo nahitaji ndani ya masaa ishirini na nne mengine hilo jambo liwe lina matokea mazuri. Umenielewa Mbogo”

“Sawa muheshimiwa nita tuma timu ya vijana wangu wanne wata kwenda huko”

“Fanya hivyo na nita hitaji kuifwatilia hiyo oparesheni mubashara sawa”

“Sawa muheshimia”

“Na nina taka ianze usiku wa leo”

“Nime kuelewa muheshimiwa raisi”

“Sihitaji makosa yoyote kutokea kwenye hiyo oparesheni ya siri. Peleka vijana wenye uwezo sawa”

“Nime kuelewa muheshimiwa raisi, kazi ita anza ndani ya masaa mawili yajayo”

“Sawa”

Raisi Mtenzi akakatisha mazungumzo hayo na kutoka ofisini kwake kwa maana muda wa kukaa ndani ya ofisi hiyo ume kwisha.

***

“Mkuu tuna fanya nini sasa”

Msaidizi wa mzee Mbogo aliuliza mara baada ya kukata simu hiyo ya raisi Mtenzi.

“Raisi ame panic”

“Ni kweli ila ume muahidi kutuma vijana katika oparesheni hii, sasa ita kuwaje?”

“Siwezi kutuma mtu yoyote kwenda kwenye oparesheni ambayo haija kamilika uchunguzi wake. Sinto taka vijana wangu wafe kizembe kama hao walio tumwa huko na kufa kijinga”

“Ila muheshimiwa si uta kuwa ume kiuka amri ya raisin a matokeo yake si una yafahamu?”

“Ndio nina yafahamu nipo tayari kuachishwa kazi ila sinto fanya kitu nje yauwezo wa kitengo changu”

Mzee Mbogo alizungumza huku akimtazama msaidizi wake huyo ambaye amejawa na wasiwasi mkubwa sana kwa maana kuenenda kinyume na amri ya raisi ni kosa moja kubwa katika kitengo chochote cha usalama kwa maana wote wapo chini ya raisi Mtenzi.



“Sawa mkuu”

“Nenda kaendelee kusimamia upelelezi na usimueleze mtu yoyote juu ya mawasiliano haya”

“Sawa”

Baada ya msaizidi wake kutoka. Mzee Mbogo akaingia upane wa kuandika barua kwenye computer yake. Taratibu akaanza kuandika barua ya kujizulu, ili hata kama ikitokea raisi Mtenzi ata kasirika basi iwe rahisi kwa yeye kuachia madaraka ya kitengo hicho haraka iwezekanavyo. Mzee Mbogo akaanza kukusanya vitu vyake muhimu ndani ya ofisi hiyo. Kisha akaelekea katika chumba kikubwa cha mawasiliano.

“Nina omba tusikilizane”

Mzee Mbogo alizungumza na wafanyakazi zaidi ya hamsini wa kitengo hicho wakaacha kazi wanazo zifanya na kumtazama mkuu wao, ambaye kwa miaka zaidi ya thelathini ame kuwa akifanya kazi katika kitengo hicho.

“Naamini wote muliweza kushuhudia juu ya tukio la kushambuliwa kwa askari wetu. Halikuwa tukio zuri kwetu wala katika nchi yetu.”

Mzee Mbogo alizungumza kwa sauti ya upole ila yenye kusikika kwa kila mtu katika chumba hicho kikubwa.

“Hadi sasa hivi hatuja fanikiwa kujua ni nani ambaye ana husika katika tukio hili, si ndio”

“Ndio mkuu”

“Kazi yetu ni kuhakikisha nchi ina kuwa salama. Haiongezi adui zaidi ni kupunguza adui. Nina tambua hadi sasa hivi hatujakamilisha upelelezi wetu na ni ngumu kumshuku mtu yoyote katika hii kazi. Hivyo nina waomba muhakikishe kwamba muna ifanya kazi hii kwa umakini wa hali ya juu na ikiwezekana apatikane muhusika sahihi. Muna weza kuendelea na kazi zetu”

Mzee Mbogo alizungumza kwa hali ya mafumbo na hakutaka kuwapa presha ya aina yoyote wafanyakazi wake. Wafanyakazi wakaendelea na kazi ya kuendelea kuhakikisha kupitia teknolojia ya satelate basi wana weza kubainisha ni nani ambaye ndio muhusika. Mzee Mbogo akaendelea kuzunguka zunguka ndani ya ofisi hiyo huku kwa mara kadha macho yake yapo kwenye saa ya ukutani kwa maana ana tambua kwamba raisi Mtenzi ni mtu ambaye ana kwenda na muda na huwa hapendi masihara hata kidogo kwenye kauli zako. Majira ya saa mbili na dikaki mbili, mmoja wa wafanyakazi akamsogelea.

“Mkuu raisi yupo kwenye simu namba moja”

“Sawa nina shukuru”

Mzee Mbogo, akasogelea meza yenye simu ya mezani. Akanyanyua mkonga wa simu hiyo na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Nime kaa hapa na wakuu wa majeshi tuna subiri oparesheni hiyo ianze”

Mzee Mbogo akashusha pumzi taratibu, akawatazama vijana wake ambao kila mtu yupo bize na computer yake.

“Samahani muheshimiwa raisi, hatuwezi kutuma timu kwa leo usiku kwa maana hatujui tuna kwenda kumkamata nani”

Raisi Mtenzi akaka kimya kama sekunde hamsini hivi.

“Hivi umesha anza kuzeeka?”

“Hapana muheshimiwa. Ila upelelezi wa timu yangu bado una endelea na endapo tuta fahamu basi nita tuma timu kwenda kuwakamata wahalifu”

“Mbogo una nitambua vizuri si ndio?”

“Ndio muheshimiwa”

“Basi kuanzia hivi sasa huna kazi na sio mkuu tena kwa kitengo cha NSA. Nafasi yako sasa hivi nina tuma mtu ana kuja kuichukua ndani ya kitengo hicho. Laiti kama unge kuwa sio mzee basi nigekusweka ndani, ila kwa heshima yako chukua kila kilicho chako na utoke ndani ya kitengo sasa hivi. Tumeelewana”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo sana.

“Ndio nime kuelewa muheshimiwa raisi.”

Simu ikakatwa na mfanyakazi anaye shuhulika na maswala ya mawasiliano macho yakamtoka sana kwa maana ame sikia kila kitu. Akanayanyuka kwenye kiti chake huku akijikaza sana kwa maana ame ishiwa nguvu kabisa za miguu yake. Akamtazama bosi wake ambaye kwa kipindo chote ame kuwa akifanya naye kazi kwa amani na upendo. AKamsogelea huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Mkuu nilicho kisikia ni ukweli au kuna jambo tofauti na hilo?”

“Ulicho kisikia ni kweli?”

“Tuna fanya nini sasa mkuu. Katikati ya upelelezi una fukuzwa kazi”

“John tuliza hasira. Lazima upelelezi uendelee”

“Hapana mkuu, hii sio sawa. Huu ni uonevu”

“Nime kuelewa John rudi kwenye kiti chako. Sio ombi ni amri”

Kijana huyo mwembamba taratibu akaanza kurudi hadi kwenye kiti chake. Mzee Mbogo aka tembea hadi kwenye ngazi ambazo akisimama eneo hilo, kila mtu ana muona.

“Tusikilizane”

Wafanyakazi wote wakamgeuka yeye na kumtazama.

“Dakika tatu au tano zilizo pita nime pokea simu kutoka ikulu.”

Mzee Mbogo akaka kimya huku akiwaonea huruma vijana hao ambao wote ame wakuza katika kazi hiyo.

“Simu imetoka moja kwa moja kwa raisi Mtenzi……….”

Mzee Mbogo akainamisha kichwa chake chini, akatoa kitambaa mfukoni mwake na kujifuta machozi kisha akawatazama vijana wake hao ambao wote walisha aanza kujawa na wasi wasi kwa maana hawajawahi kumuona mkuu wao akiwa katika hali kama hiyo.

“Nimefukuzwa kazi”

Minong’ono ikaanza kuzuka ndani ya chumba hicho huku kila mmoja akiwa haelewi ni nini kimepekelea mkuu wao kufukuzwa kazi, ikiwa amebakisha mwaka mmoja kabla ya kustafu kwake. Mzee Mbogo akanyoosha mkono wake wa kulia juu kidogo na wafanyakazi wote wakaa kimya.

“Sababu ya kufukuzwa ni kwamba masaa ishirini na nne niliyo pewa juu ya kuwatafuta watu walio husika na wanajeshi hao yamepita na mbaya zaidi ni kwamba nime kataa kutuma timu kwenda Somalia, kushambulia Al-Shabab ambao hatuna uhakika nao kama wao ndio wame husika kwenye lile tukio”

“Ahaaa….mkuu hiyo sio sawa”

Kijana mmoja aliropoka huku akiwa amejawa na jazba. Mlango wa chumba hicho uka funguliwa, akaingia mwana mama mmoja mrefu huku akiwa amevalia suti nyeupe na nyuma yake ame ongozana na walinzi wanane.

“Director Mbogo. Naitwa Emmy nina imani kwamba ume pata taarifa zangu”

Mwana mama huyo alizungumza huku akimpa mkono mzee Mbogo.

“Ndio japo sija ambiwa ni nani ambaye ana kuja kuchukua nafasi yangu”

“Ni mimi. Tusikilizane, kwa nijina nina itwa Emmy kuanzia hivi sasa mimi ndio nita kuwa director wa hicho kitengo na nina waomba muendane na kasi yangu kwa maana mimi ni mchapa kazi sana”

Kila mmfanyakazi hakupendezwa na ujio wa mwana mama huyo.

“Mzee wangu walinzi wangu wana weza kukuongoza hadi ofisini kwako. Ukachukua kila kitu chako na kuondoka katika jengo hilo. Una dakika thelathini za kufanya hivyo”

Mwana mama huyo alizungumza huku akiitazama saa yake ya mkononi.

“Huwezi kumpelekesha bosi wetu hivyo”

Kijana mmoja alizungumza kwa hasira huku akimsogelea mwana mama huyo.

“Samahani una sema?”

“Ume nisikia, sihitaji kurudia”

“Hahaaa wewe ni nani kwani?”

“Mimi ndio msaidizi wake”

“Ohoo basi na wewe kama una taka kuondoka na bosi wako, nenda”

“Sawa”

John akamtazama mzee Mbogo, kila mmfanyakazi akahisi kunyong’onyea kwa maana watu wawili tegemezi ndani ya ofisi yao ndio hao wana ondoka.

“Nisikilizeni, kama kuna mtu ana hitaji kuondoka zake nani ya ofisi hii. Basi njia ni yeupe, ila nina imani wote muna tambua madhara ya kuondoka kwako kwa maana huto pata hata shilingu moja ya malipo yako kwa maana uta kuwa ume jiachisha kazi wewe mwenyewe.”

Wafanyakazi hao wa kike na wakiume wakaanza kutazamana. Mfanyakazi mmoja baada ya mwangine akaanza kukusanya kila kilicho chake na kuungana na mzee Mbogo na wakaondoka ofisini hapo. Emmy akashusha pumzi huku akitazama meza jinsi zilivyo nyeupe.

“Mkuu tuna fanya nini ikiwa wameondoka wote”

“Usijali waacheni wafwate mkumbo. Nina mpigia raisi”

Emmy akatoa simu yake mfukoni na kumpigia raisi Mtenzi, simu ya raisi Mtenzi ikapokelewa.

“Ndio Emmy”

“Muheshimiwa raisi, huwezi amini wafanyakazi wote wame acha kazi na wameondoka hapa ofisini kisa tu bosi wao ame ondoka”

“Nini?”

“Ndio muheshimiwa. Tuna fanya nini?”

“Weka timu mpya au na wewe una shindwa kujiongoza?”

“Nime kuelewa je hawa wafanyakazi walio ondoka tuwafanye nini?”

“Si wameacha wenyewe, acha waondoke zao ila kwa sasa nina taka hiyo oparesheni iweze kuendelea”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Emmy akakata simu kisha akapiga simu kwenye chuo cha kitengo hicho na akaagiza timu ya vijana hamsini wenye uwezo mkubwa katika maswala ya mawasiliano kufika hapo mara moja.

“Jamani tambueni muna familia na nyinyi bado ni vijana wadogo. Mukiacha hivi kazi muta kwenda kufanya nini huko mtaani?”

Mzee Mbogo alizungumza kwa upole huku akiwa amesimama katikati ya kundi la wafanyakazi wake hao.

“Mkuu tuta tambua hilo, ila heshima ni kitu cha bure sana kwenye maisha yetu. Ume fanya kazi na zaidi ya serikali tatu, ina kuwaje huyo raisi ana kufukuza tena kwenye oparesheni ambayo sisi hatuhusiki”

“Ni kweli, ila ina bidi mubaki kazini”

“Hatuwezi kufanya kazi ya yule mwana mama muheshimiwa. Kwako pale una ukumbi mkubwa sana, una weza kufungau ofisi ya kwako peke yako na kuanzisha kampuni yako na sisi tukawa chini yako”

“Ni kweli hilo ni wazo zuri mkuu”

“Nita walipa nini vijana wangu”

“Tupo tayri kufanya kila aina ya kazi ili mradi kuhakikisha kwamba tuna pata pesa za kutukidhi sisi na familia zetu”

“Alilo lizungumza dada Alima hapo ni jambo zuri muheshimiwa. Tafadhali nina kuomba uweze kufanya hivyo”

“Sawa nime wasikia, basi kutokana muda ume kwenda, nina waomba muende kupumzika kisha kesho saa mbili muje pale nyumbani kwangu”

“Sawa muheshimiwa”

Wafanyakazi hao kila mtu akaingia kwenye gari lake na kuondoka ofisini hapo.

***

Simu ya Magreth ikaanza kuita, akapunguza mwendo wa gari lake kisha akaitoa kwenye pochi. Akaitazama namba hiyo itakayo katika kampuni nchini Thailand alio wapa oder ya kutengenea nguo ambazo ana mpangow a kuzitumia kwenye kazi ya kumteketeza nabii Sanga.

“Haloo madam Magreth”

Sauti ya kike ilisikika.

“Haloo habari yenu”

“Salama, japo sijui Swahili vizuri ila naweza ongea nawe”

“Sawa nafurahi kusikia hivyo”

“Tuma jumbe katika barua pepe yako hivyo una weza fungu na kuona ukamilisho wa kwanza wa nguo yako kisha tuta kutumia tena awamu ya pili na ya tatu”

“Sawa, nita ingia kwenye email yangu baada ya lisaa kama moja hivi kisha nita jibu”

“Hakuna matata”

“Asante”

Mwana dada huyo akakata simu na kumfanya Magreth ajawe na shahuku kubwa sana ya kuhitaji kuiona nguo yake hiyo. Foleni ya magari iliyopo mbele yake, hakika akatamani hata ange kuwa na piki piki yake. Simu yake ikaita tena, akaitazama na kukuta ni namba ya mmoja wa mameneja wa hoteli KX Royol, ambaye alimuahidi wata onana saa tatu usiku kwa ajili ya mazungumzo ya kibishara.

“Kaka yangu nisa mehe sana kwa kuchelewa”

“Usijali dada nili kuwa nina kukumbushia tu”

“Nakumbuka, nina fika hapo hotelini kwako, nipo kwenye foleni hivyo nina kuomba uweze kunivumilia”

“Sawa nina kusubiria”

“Asante”

Magreth akakata simu. Baada ya sakika ishirini na tano akafika katika hoteli hiyo yenye hadhi kubwa kwa eneo hilo la Kigamboni. Akasimamisha gari lake eneo la maegesho, akampigia meneja huyo na akamueleza ni eneo gani alipo.

“Pole sana kwa foleni dada yangu”

“Nashukuru sana, hoteli yenu ni nzuri sana”

“Kidogo tume jitaidi, tuna shukuru”

“Niimeitikia wito kaka yangu”

“Nashukuru sana, lengo la kukuita hapa ni kuomba ushirika wa kibiashara. Nina timu yangu ya wapishi nina omba sana uwa fundishe kupika chakula kama unacho kipika wewe nina imani uta kuwa ume tupa ujuzi mkubwa sana”

Magreth akatabasamu kwa maana japo yeye ana mgahawa, ila ukweli ni kwamba ana wateja wengi sana kwani wana penda mapishi yake.

“Kaka yangu hilo unalo lizungumza kwa namna moja ama nyingine ina wezekana au pia isiwezekane?”

“Kwa nini dada?”

“Kuna upishi wa kusomea na upishi wa kipaji. Mimi sikuwahi kuingia shuleni na kusomea mapishi, ila ni k……….!!”

Magreth akajikuta macho yakimtoka huku akijawa na mstuko mkubwa sana. Hakuamini macho yake kumuona Evans akikatiza mbele ya macho yake na akakaa kwenye kiti kingine huku akisubiria huduma ya wahudumu wa hoteli hiyo.



“Ngoja nina kuja”

Magreth alizungumza hukua kinyanyuka kwenye kiti hicho. Akatembea hadi katika meza hiyo na kusimama mbele ya Evans.

“Evans”

Magreth aliita kwa mshangao, ila Evans akajitahidi sana kuwa kama mtu asiye mfahamu kwa maana kwa matatizo aliyo sababishiwa na mwana mke huyo yali vuruga sana ndoto zake za maisha.

“Evans ni wewe mume wangu?”

“Samahani dada, una zungumza na mimi?”

Evans akajitahidi kuibadilisha sauti yake ila haikumzuia Magreth kukaa kwenye kiti cha pembeni huku akimtazama Evans usoni mwake.

“Evans natambua kwamba nime kukosea na nina jua kuna mambo mengi sana ume yapitia. Ila nina kuomba unisikilize”

Magreth alizungumza kwa sauti ya unyonge na ya kubembeleza. Evans akashusha pumzi huku akimtazama Magreth.

“Samhani dada uta kuwa ume nifananisha”

“Hapana siwezi kukufananisha. Kwenye maisha yangu mtu wa pekee ambaye nina mfahamu sana ni wewe”

“Dada yangu nina kuomba unielewe mimi sio huyo mtu ambaye una mtafuta”

Evans mara baada ya kuzungumza maneno hayo akasimama na kuanza kuondoka eneo hilo. Magreth akamtazama jinsi anavyo tembea, moyo wake ukakataa kabisa kuamini anacho kizungumza Evans. Akanyanyuka kwa haraka na kuanza kumfwata kwa nyuma. Wakafika kwenye eneo la lifti.

“Umekuja hadi huku”

Evans alizungumzahuku akimtazama Magreth kwa macho ya hasira sana. Kabla hata Magreth hajazungumza jambo lolote, lifti hiyo ikafunguka, Evans akawahi kuingia na Magreth akamfwata kwa nyuma. Kila alama ambayo anayo Evans hata huyu mtu anayo.

“Wewe dada una kwenda wapi?”

Evans alizungumza kwa ukali sana huku akimkazia macho Magreth.

“Nahitaji kufahamu ukweli. Kama wewe sio Evans mimi nita kuacha uendelee na maisha yako na kama kweli wewe ni Evans basi nina hitaji kukuomba masamaha”

Magreth alizidi kuwa king’ang’anizi hadi Evans akajikuta akiminya kitufe cha gorofa anayo elekea. Walipo fika katikati ya gorofa ya pili, Magreth akaminya kitufe cha kuisimamisha lifti hiyo.

“Una taka kufanya nini?”

“Natambua tumboni kwako una jeraha la kuchomwa kisu nina kuomba niweze kukutazama. Endapo nita likuta jeraha hilo basi moja kwa moja wewe uta kuwa ndio Evans ila nisipo likuta basi nita shukuru kwa ushirikiano wako”

Kauli hiyo ya Magreth ikamstua sana Evans, akashusha pumzi huku akijifikiria kufungua tumbo lake.

“Ina kuwa ni jambo la ajabu sana pale unapo mg’ang’aniza mtu kufanya kitu asicho kipenda”

“Nalitambua hilo ila nina kuomba sana ufungue vifungo vya shali lako. Nipo chini ya miguu yako”

Evans akamtazama Magreth kwa sekunde kadha machoni mwake, kisha taratibu akaana kufungua vifungo vya shati lake.

Magreth macho yakamtoka, huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi. Eneo zima la kuanzi kifuani mwa Evans hadi tumboni mwake, lime jaa alama za majera makubwa makubwa. Evans akamalizia kuvua shati hilo na kugeuka na kumuonyesha Magreth majeraha mengine mgongoni mwake.

“Nina imani kwamba mtu anaye mtafuta sio mimi. Hivyo samahani sana”

Magreth akashindwa hata kuzungumza jambo la aina yoyote. Akaanza kungua kilio huku akikaa chini. Evans akaminya kitufe cha kuiruhusu lifti hiyo kuendelea kupanda juu huku akivaa shati lake.

“Dada una weza ukaondoka”

Evans alizungumza huku akimtazama Magreth aliye nyong’onyea kwa kushindwa kuona kile alicho kitarajia. Evans akatoka ndani ya lifti hiyo, akaanza kutembea kuelekea katika chumba chake. Magreth akajikaza taratibu huku akiminya kitufe cha kurudi chini. Evans alipo shuhudia lifti ina jifunga na kuanza kurudi chini, akaingia chumbani kwake kwa maana haijtaji Magreth kutambua chumba anacho kaa.

Taratibu Magreth akatoka nje la lifti hiyo, akaanza kutembea kwa unyonge, hakukumbuka hata kikao chake na meneja wa hoteli hiyo.

“Dada Magreth”

Maneja alimuita huku akimtazama usoni mwake.

“Mbona hivyo kuna tatizo”

“Tuwasiliane siku nyingine. Nina hitaji kupumzika sasa hivi”

Magreth alizungumza na kutoka nje ya hoteli hiyo, akaingi ndani ya gari lake. Machozi yakazidi kumbubujika, moyo wake bado una amini kwamba yule ni Evans ila kwa jinsi majeraha yalivyo mjaa mwilini mwake ana onekana amepitia mateso mengi sana yaliyo mpelekea kuwa katika hali kama hiyo.

“Kwa nini wame mtesa hivi mume wangu hadi hanikumbuki”

Magreth aliendelea kuzungumza huku akilia kwa uchungu sana. Akawasha gari lake na kuondoka hotelini hapo na kurudi nyumbani kwake.

“Una kwenda wapi”

Sauti hiyo ya kike ika mstua sana Evans ambaye ana kusanya kila kilicho chake ili kuondoka katika hoteli hiyo kwa maana hahitaji kabisa kuwa karibu na Magreth. Akageuka nyuma yake na kumkuta jini anaye muwezesha kwa kila jambo akiwa amesimaam kwenye moja ya kona ya chumba hicho.

“Nina hitaji kuondoka hapa hotelini”

“Kwa nini?”

“Yule mwanamke ana weza kurudi tena hapa na akanifanyia fujo mimi”

“Hawezi kurudi”

“Una uhakika gani?”

Dada huiyo akatabasamu huku akimtazama Evasn, akamsogelea Evans na kumshika mikono yake.

“Kama nime kupatia pesa za kutosha na nina kutoa kwenye hatua moja ya maisha na kwenda kwenye hatua nyingine una hisi nita shindwa kumzuia Magreth kurudi hapa?”

“Nime kuelewa”

Evans alizungumza huku akishushusha pumzi taratibu.

“Jambo la msingi hapa ni kuhakikisha kwamba una endelea na mapango ulipo mbeleni na wala usimfikirie huyo mwana mke tena. Umenielewa”

“Ndio”

“Endelea na mambo yako mengine. Usiku mwema”

“Ngoja mara moja?”

“Ehee?”

“Hivi huwa una kuwa karibu yangu kila mara au?”

“Ndio nina kufwatilia kila unapo kuwa na mimi ndio mlizi wako. Sawa”

“Haya”

Mwana dada huyo akapotea ndani hapo na kumuacha Evans peke yake.

***

Magreth akafika nyumbani kwake huku akiwa mnyonge sana. Akashuka kwenye gari lake na kuingia ndani, akamtazama rafiki yake Josephine aliye kaa sebleni hapo akitazama televishion.

“Mage upo sawa?”

Josephine aliuliza huku akimtazama Magreth anaye kaa kiunyonge kwenye moja ya sofa.

“Mage mbona uso wako ume jaa huzuni na umepoteza nuru ya furaha. Niambie kuna tatizo gani linalo kusumbua?”

“Nime kutana na Evans”

“Evans?”

“Ndio nime kutana naye na nimezungumza naye”

“Hapana Magreth, mbona nina sali sana juu ya hilo jambo ila simuoni. Inakuwaje huyo uliye kutana naye akawa Evans?”

“Yaani wee acha tu. Nilijitahidi kwa kadri ya uwezo wangu kuhakikisha kwamba nina mueleza juu ya maisha yetu ya nyuma, ila alikataa katu katu na kusema kwamba yeye sio Evans”

“Mmmmm”

“Nilimuomba sana kuona jeraha la kisu katika tumbo lake. Alikubali na akavulia shati lake. Huwezi amini mwili wake umejaa alama za majeraha, mithili ya mtu aliye pigwa mijeledi. Isitoshe aliendelea kunisisitizia kwamba sio yeye”

“Wewe ume kunata naye wapi?”

“Kwenye hoteli hii iliyopo hapa wapi?”

“Ahaa hiyo hoteli ya hadthi ya nyota tano?”

“Ndio”

“Sasa ikawaje?”

“Nilimuruhusu aondoke kwa maana, kila sehemu ya mwili unayo mtazama ni yeye ila kwenye sauti kidogo ndio kuna utofauti na sikuweza kuona jeraha la siku, nahisi ni kutokana na kujaa alama hizi za mijeledi”

“Msikini, kama ata kuwa ni yeye basi hato kuwa na kumbukumbu zozote kuhusiana na wewe?”

“Ni kweli, nina imani kuna mateso mengi sana wamapatia.”

“Bado sijapata jibu, ni nani ambaye ana husika na kumteka kwake?”

“Sali rafiki yangu Mungu akufunulie katika hilo.”

“Nita sali leo usiku, ila nina kuomba sana usi panic katika hili jambo nina imani kwamba Mungu ata tusaidia kupata ufumbuzi”

“Amen”

Magreth akanyanyuka na kuingia chumbani kwake. Akawasha laptop yake na kuingia kwenye upande wa barua pepe. Akaanza kupitia picha za vazi lake analo lihitaji.

“Sanga lazima nidili na wewe”

Magreth alizungumza kwa msisitozo. Akajibu email hiyo na kuwaruhusu waendelee na utengenezaji wa vazi hilo. Kila muda akili yake ina mfikiri Evans aliye kutana naye hotelini. Akachukua simu yake, akaitafuta namba ya nabii Sanga, alipo ipata akampigia. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita kisha ikapokelewa.

“Una hitaji nini?”

“Natambua wewe ndio una husika na kumteka Evans wangu na umempatia kumbukumbua hadi akapoteza kumbukumbu zake juu yangu. Nina kuahidi kitu ambacho nita kufanyia Mungu mwenyewe ndio atakaye jua”

“Hivi wewe binti muuza maandazi una jiamini nini haswa hadi una kuwa ni mtu wa kunitisha tisha kisa hicho kiji vulana chako ehee?”

Nabii Sanga alizungumza kwa ukali sana.

“Aahaa una hisi ni kivulana si ndio?”

“Ndio ni kivulana. Ngoja nikuambie jambo moja sina muda mchafu na kuhangahika na hicho kijimasikini chako. Sasa hivi nina dili na ndoa ya binti yangu kama uta taka kadi wewe sema na sio kunipigia pigia kelele. Umenielewa?”

“Okay nime kuelewa”

Magreth alizungumza kwa hasira huku akimwagikwa na machozi usoni mwake. Akakata simu na kuirushia kitandani kwa hasira huku akipiga kelele za hasira.

“Mage Mage”

Sauti ya Josephine ilisikika akimuita Magreth kwa msisitizo. Josephine akaingia ndani hapo na kumkuta Magreth akilia kwa uchungu sana. Ikamlazimu Josephine kuanza kumbembeleza rafiki yake huyo kwa maana ana tambua ni magumu gani ambayo ana yapitia kwa kipindi hichi.

***

“Nani huyo baba?”

Julieth alizungumza huku akimtazama baba yake.

“Ni yule malaya”

“Nani?”

“Magreth ana dai sijui yule Evans ame poteza kumbukumbu zake kwa kuteswa”

“Ina maana yupo hai Evasn?”

“Nahisi hivyo kwamba yupo hai”

“Baba nina hitaji kumuua huyo kijana. Nahitaji kuhakikisha kwamba siri yangu ya usichana wangu haitoki kwa mtu yoyote. Endapo ikitoka, baba tuna poteza kila kitu na hatuto kuwa na ndo”

Julieth alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.

“Achana naye kwa maana hato weza kufanya hivyo. Isitoshe kwamba akili yake kwa sasa haipo sawa”

“Baba!!!”

“Ndio, hatuna haja ya kushuhulika naye isitoshe daktari ame dhibitisha kwamba wewe ni bikra, huna haja ya kuendelea na kumfikiria”

“Sawa baba nime kuelewa

***

“Tusikilizane?”

Emmy mkuu mpya wa kitengo cha NSA alizungumza huku akiwatazama wanafunzi hao walio ingia kwenye chumba cha kufanyia kazi ya kuhakikisha wana chukua nafasi ya watumishi walio jiuzulu wa kitengo hicho cha NSA.

“Kazi yetu ni moja tu. Tuna hitaji kutafuta eneo ambalo ndio makao makuu ya kikosi cha kigaidi cha Al-Shabab ambao siku moja iliyo pita waliweza kuwashambulia askari wetu baharini na kuwaua vibaya sana kama hivyo munavyo ona kwenye hiyo video hapo”

Emmy alizungumza huku akiwaonyesha video hiyo wanafunzi hao ambao walibakisha mwenzi mmoja kabla ya kuhitimu katika kitengo hicho.

“Ina tupasa kuhakikisha tuna lipa kisasi kwa watu hao. Tuna masaa matano hadi asubuhi tuwe tumesha ikamilisha kazi hiy…….”

Kabla ya Emmy hajamalizia sentensi yake, computer zote ndani hapo zikaanza kuzima na kuwaka na ndani ya dakika moja zikazima moja kwa moja na hapakuwa na hata moja iliyo waka.

“Mkuu masaa hayo matano uliyo toa hayato tosha”

Kijana mmoja alizungumza huku akimtazama Emmy usoni mwake.

“Kwa nini?”

“Data zote zilizo kuwa zina hifadhiwa kwenye hizi computer zime futwa hivyo hatuwezi kufanya jambo la ina yoyote”

Emmy akajikuta akitukana kwa hasira kwa maana ana tambua ni lazima wafanyakazi walio ondoka ndio wame sababisha jambo hilo.



“Rudisheni basi hizo data. Una shangaa shangaa nini?”

Director Emmy alizungumza kwa kufoka sana na kumfanya kijana huyo kutingisha kichwa akimaanisha kwamba ana kwenda kuifanya kazi hiyo.

“Nitengenezee kahawa”

Emmy alimuambia mlinzi wake na akatoka ndani hapo. Vijana hao wakaendelea kufanya kila linalo wezekana na wakafanikiwa kurudisha mfumo mzima ambao ulikuwa ume futwa.

“Madam, tumerudi hewani”

“Safi, haya nahitaji kazi ianze kutafuta ni wapi yalipo makazi ya Al-Shabab ndani ya Somali na hata nje ya Somalia”

“Sawa madam”

Vijana hao wenye ujuzi mkubwawakendelea kuifanya kazi hiyo huku wakiwa makini sana. Ndani ya lisaa limoja wakafanikiwa kuona moja ya bandari bubu ikiwa inamilikiwa na kikundi hicho cha kigaidi cha Al-Shabab.

“Madam hii bandari ipo chini ya Al-Shabab”

“Safi, hembu vuta karibu hivyo video”

Emmy alizungumza na kijana huyo anaye shuhulika na maswala ya kuendesha ndege hiyo ndogo isiyo na rubani(drone) ambayo ina kamera yenye uwezo wa kurekodi kila jambo. Emmy akachukua simu ya mezani na kumpigia raisi Mtenzi.

“Muheshimiwa raisi kuna video tuna ituma hapo una weza kuitazama”

“Sawawa, naiangalia”

Emmy akakata simu na kuituma video hiyo ikulu kwa raisi Mtenzi.

***

“Una kwenda wapi mume wangu?”

Mrs Mtenzi alizungumza mara baada ya kumuona mume wake akishuka kitandani na kuanza kuvaa nguo ikiwa nib ado usiku

“Kuna oparesheni ina ongozwa hivyo nina hitaji kwenda kuisimamia”

“Mmmm sawa mume wangu”

Mrs Mtenzi alizungumza huku akimuonea huruma mume wake kwa maana kazi hiyo ni ya mateso sana, japo ni kiongozi wa nchi ila ana fanya kazi mara mbili na hata wafanyakazi wa kawaid. Raisi Mtenzi mara baada ya kumaliza kujiandaa katoka ndani hapo na kukutana na Jery sebleni.

“Huja lala?”

Raisi Mtenzi alimuuliza Jery.

“Hapana Dany kuna hii filamu nina imalizia kuitazama. Vipi wewe una kwenda wapi?”

“Tume gundua kwamba wale walio shambulia askari wetu ni Al-Shabab na hapa nina kwenda kutazama jinsi gani oparesheni inavyo endeshwa.”

“Al-Shabab ndio waliwashambulia?”

Jery aliuliza kwa mshangao mkubwa sana.

“Ndio mwanangu”

“Sawa baba”

Jery alizungumza kwa upole, baba yake akatoka ndani hapo. Akaungana na walinzi wake wawili ambao kazi yao ni kumlinda muda wowote ule. Wakaingia ndani ya chumba cha kuongozea oparesheni zote za kijeshi.

“Muheshimiwa raisi, video iliyo ingia sasa ni hiyo hapo”

Msimamizi mkuu wa oparesheni hizo alizungumza huku akimtazama raisi Mtenzi ambaye moja kwa moja akaa kwenye kiti chake. Akaanza kuitazama video hiyo iliyo rekodiwa kutoka juu angani ikionyesha jinsi bandari hiyo iliyopo chini ya kundi la Al-Shabab jinsi inavyo lindwa.

“Mkuu tuna uwezo wa kuishambulia kutokea juu, je uta turuhusu kufanya hivyo?”

“Ngojeni kwanza, niunganisheni na Emmy”

Hazikupita hata dakika mbili Emmy akaonekana katika moja tv iliyopo ndani hapo.

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Hii video mume irekodi muda gani?”

“Kama dakika sana zilizo pita”

“Drone bado ipo eneo hilo?”


ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

BLOG