Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

SIN SEASON 1 SEHEMU YA 2/10

  


SIN SEASON 1

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 2 KATI YA 10


Kwa woga ulio mtawala Tomas akashindwa kuizuia haja ndogo na kujikuta akijikojolea. RPC hakulijali hizo zaidi ya kuendelea kuzungumza kwa ukali huku akiwa ameishikilia bastola hiyo.

“Kwa nini ulimteka nabii Sanga, nini alikufanyia ikiwa wewe ni mtu wake wa karibu?”

“Ehee…..!!”

“Nini alikufanyia?”

RPC alizungumza kwa ukali na kumfanya Tomas kuanza kukumbuka jinsi alivyo anza mahusiano na mke wa nabii Sanga. Kukolea kwa mapenzi yao kuliwafanya washiriki katika dhambi ya kumteka nabii Sanga ili wazuie mpango wake wa kumfungulia mgahawa na kumnunulia nyumba Magreth.

“Oya andaa hilo jokofu la hapo kwa ajili ya huyu mjinga, nina muua na siri itabaki kati yako mimi na wewe?”

RPC alizungumza huku akimtazama muhudumu wa Mochwari. RPC akaikoki bastola hiyo na kumfanya Tomas kuzidi kuweweseka. Japo ame fanya makosa, ila hatamani kabisa kufa.

“Nitasema ukweli”

Tomas alijikuta akiropoka na kumfanya RPC atoe simu yake mfukoni. Akaweka upande wa kurekodi sauti na kusubiria ukweli ambao Tomas ata ukiri.

“Zungumza nina subiria.”

“Ahaa miezi kadhaa iliyo pita nabii Sanga na mke wake walinipa jukumu la kuwatafutia eneo kubwa la kujenga mji, kule kigamboni. Jukumu la kusimamia mpango huo, alimkabidhi mke wake. Hivyo nilipata muda mwingi sana wa kuongozana na mke wake kwenda kutembelea maeneo mbali mbali ambayo nilikuwa nimeyapata.”

Tomas alizungumza huku akiendelea kutetemeka. RPC hakuishusha bastola yake, hii ni kuhakikisha kwamba Tomas ana zungumza kila kitu.

“Tulijikuta tukianza mahusiano ya kimapenzi na mwana mama huyo”

RPC akastuka sana ila hakuhitaji kuonyesha mstuko huo kwani ana hitaji kufahamu mambo mengi sana kutoka kwa Tomas.

“Tulifanya kwa siri sana. Kadri siku zilivyo zidi kwenda ndivyo jinsi penzi letu lilivyo zidi kuchanua. Kuna siku nabii Sanga alinipigia simu na kuniambia kwamba ana hitaji nimtafutie sehemu ya kufungua Mgahawa na nyumba ya kupanga maeneo ya Mikocheni. Alikuwa na mpango wa kumpangishia binti mmoja ambaye ni muumini pale kanisani kwake”

“Binti huyo ana itwa nani?”

“Magreth. Swala hilo nabii Sanga aliniomba nisimuambie mke wake kabisa. Ila kwa upande mmoja roho iliniuma kuona binti mdogo ana nunuliwa nyumba ya milioni mia tano. Nilimueleza mke wake na mkewe aka toa wazo la kumteka mume wake, hadi wiki ijayo ndio aachiliwe na watekaji ili aende nchini Nigeria kwenye kikao cha wachungaji na manabii”

RPC akajikuta akishusha pumzi taratibu. Katika miaka yote ya kuifahamu familia ya nabii Sanga, hakutarajia kwamba mke wa nabii huyo ipo siku ata fanya kosa kubwa kama hilo.

“Niliwatafuta vijana na nikawapa kazi hiyo na waliweza kuikamilisha kikamilifu”

Tomas alizungumza huku akiendelea kutetemeka kwa woga.

“Kwa hiyo mzizi wa tukio zima ni mke wa nabii SANGA?”

“Ndio”

Taratibu nabii RPC akashusha bastola yake na kuirudisha kiunoni mwake. Aka yahifadhi mazungumzo hayo ya Tomas kwenye simu yake na kuiweka mfukoni.

“Zirudishe hizo maiti”

Nabii Sanga alimueleza mtu huyo anaye hudumia Mochwari kisha wakatoka katika chumba hicho. Akamuingiza Tomas kwenye gari lake, kabla ya yeye kuingia, akatafuta namba ya kijana wake mmoja na kumpigia.

“Ndio mkuu”

“Upo wapi?”

“Bado nipo nyumbani kwa nabii Sanga.”

“Hakikisha huyo mke wake hatoki kwenda eneo lolote”

“Kwa nini mkuu?”

“Hupaswi kunihoji kwa nini, fwata amri yangu”

“Samahani sana mkuu.”

RPC akakata simu na kuingia ndani ya gari.

“Huyo Magreth ana ishi wapi?”

“Ahaa sifahamu, ila wale vijana mulio waua ndio walimfwatilia msichana huyo na kufahamu ni wapi ana fikishwa na nabii Sanga. Ila kwa mimi sijui”

RPC akamtazama Tomas machoni mwake kwa sekunde kadhaa na kuamini kwamba anacho kizungumza ni kitu cha ukweli. Nabii Sanga akawasha gari hilo na kurudi makao makuu ya polisi. Akakabidhi Tomas kwa vijana wake na akarudishwa mahabusu. RPC moja kwa moja akapitiliza hadi ofisini kwake, akajifungia na kuisikiliza sauti ya Tomas jinsi inavyo toa maelezo hayo.

“Haki ya Mungu hawa wanawake hawaaminiki”

RPC alifikiria huku akitafakari ni jinsi gani anavyo weza kuvumbua mbele ya jamii kesi hiyo ambayo kwa namna moja ama nyingine ina weza kwenda kuligawanya kanisa la nabii Sanga huku naye akiwa ni miongoni mwa waumini wa kanisa hilo.

***

Magreth akabaki kama alivyo zaliwa huku akimtazama nabii Sanga anaye malizia kuivua suruali yake. Akatembea taratibu hadi kitandani. Akamlaza nabii Sanga chali, kisha aka mkalia kiunoni mwake, huku taratibu akimzamisha jogoo wa nabii Sanga katika kitumbua chake. Aibu aliyo kuwa nayo awali, yote ime muondoka. Magreth kwa jinsi alivyo pagawishwa na kiasi cha pesa alicho pewa na nabii Sanga, hakuona haja kumbania mzee huyo, huku moyoni mwake akiamini kwamba swala zima la kumpenda Evans litakuja hapo baade akiwa amesha weka kila kitu sawa. Mtanange wa wakati huu hakuwa wa kinyonge, Magreth alijitahidi kardi ya uwezo wake kufanya vitu ambavyo hapo awali alikuwa akivisikia kwa marafiki zake wa mtaani wakivisimulia tu. Nabii Sanga alizidi kuchanganyikiwa na kupagawa na penzi bichi kabisa la Magreth.

“Nitakupa kila utakacho kitaka Mage”

Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kukatikiwa kiuno na Magreth ambaye ameamua kujitoa ili mradi mambo yake yamuende sawa.

“Kweli?”

“Haki ya Mungu vile, sijawahi kupata penzi tamu kama lako.”

“Uta nilinda dhidi ya mke wako?”

“Ndio baby, hawezi kukugusu”

“Niahidi”

“Nakuahidi, haki ya Mungu vile”

Magreth alifanya mahojiano hayo huku akikizungusha kiuno chake kama feni. Kuokoka kwake hakukumfanya ashindwe kumpagawisha nabii Sanga. Hadi mzunguko huo una kwisha kila mmoja akajikuta akiwa ameridhika na kiu ya mapenzi ikipungua kwa kiasi kikubwa.

“Wewe ni mtamu sana Mage”

“Asante mpenzi wangu”

“Niambie nini una hitaji nikufanyie?”

“Aahaa…kuna yule mgonjwa wangu kule hospitalini. Nilikuwa nina ombi moja”

“Ombi gani baby”

“Nimezungumza naye na amenieleza shida alizo pitia. Siku ile aliyo niokoa aliweza kuibiwa vyeti vyake vya kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu na siku ile aliondoka kwa rafiki yake na hakuwa na pakuishi. Nina omba nitakaopo hamia kwenye ile nyumba kigamboni, niweze kuishi naye”

Magreth alizungumza huku akiwa amejilaza kifuani mwa nabii Sanga na kuchezea chezea guarden love zake.

“Ahaha. Una muamini?”

“Kama aliweza kuyatoa maisha yake kwa ajili yangu. Nina muamini kwa maana wale Panya road siku zile wange nibaka na sijui ningekuwa kwenye maisha gani. Inawezekana ningekuwa nimesha kufa sasa”

“Nimekuelewa mke wangu. Basi akitoka hospitalini, utaishi naye. Ila hakikisha kwamba huni saliti”

“Kwa nini nikusaliti mpenzi wangu, ikiwa usichana wangu wewe ndio ume bahatika kuutoa. Au huniamini?

“Nakuamini tena sana kwa maana nime jionea jinsi gani ulivyo mtamu”

“Nashukuru mume wangu”

“Leo usiku nitarudi kwangu, ila hakikisha kesho una kwenda kununua asset zote za ndani kisha zinapelekwa kwenye hiyo nyumba mpya.”

“Sawa mpenzi”

“Kuna rafiki yangu mmoja ana kampuni ya magari. Nitamuambia kesho akutafutie gari zuri na lenye hadthi na wewe”

“Asante sana mpenzi wangu, ila mimi siwezi kuendesha gari?”

“Ohoo usijali katika siku hizi ambazo nita kuwa hapa Tanzania, nitakufundisha gari, hadi nina ondoka nina imani utakuwa umesha mudu kuendesha”

“Sawa sawa mume wangu”

Miili yao ilipo pata nguvu wakarudi tena kwenye mzunguko wa pili huku, kila mmoja akiwa amesha mzoea mwenzake.

***

‘Kama porini hakuweza kuonekana na majambazi tumewakuta wao wenyewe, je watakuwa wamemuaa? Hapana hajauwawa au wamemuachia?’

RPC aliwaza kichwani mwake huku akijaribu kujiongeza kutokana na mazungumzo ya Tomas.

‘Kama wamemuachia ata kuwa amekwenda wapi? Au ame fahamu kwamba mke wake ndio msaliti?’

‘Ila kama aliamua kumnunulia mwanamke nyumba ya milioni mia tano na kuhitaji kumfungulia mgahawa, nina imani kwamba atakuwa ana muamini sana huyo mwanamke na kumpenda’

‘Magreth…..Yaa Magreth anaweza kufahamu ni wapi alipo nabii Sanga. Ni lazima tumpate huyu msichna’

RPC baada ya kupata mwanga katika swala la kuto kumpata nabii Sanga, akanyanyuka kwa haraka na kuelekea mahabusu alipo fungiwa Tomas.

“Nileteeni mtu wa kuchora”

RPC alimuagiza bodyguard wake huku akimtazama Tomas ambaye amejikunyata kwenye kona ya chumba hicho.

“Nahitaji utuelezee sifa za Magreth. Si una mkumbuka kwa sura?”

“Ndio nina mkumbuka”

Polisi mwenye taaluma ya kuchora akafika eneo hilo. Tomas akaanza kuelezea muonekano wa Magreth.

“Ana sura nyembaba kiasi iliyo chongoka kwenye kidevu chake. Ana macho yaliyo kaa muundo kama wa yai, ila si makubwa. Ana pua ndogo ndogo kiasi na lipsi zake pia ni ndogo kiasi. Ni mrefu kama futi sita kasoro kidogo. Ana rangi ya chocolate fulani hivi.”

Kila alicho kieleza Tomas ndicho anacho kifanya mchoraji. Baada ya muda mfupi sura halisi ya Magreth ikapatikana kwenye karatasi ya mchoraji.

“Imekamilika?”

“Ndio mkuu”

RPC akaitazama picha hiyo ya Magreth, kweli ni mwanamke mzuri sana na anaye vutia. RPC akamgeuzia Tomas picha hiyo.

“Ndio huyu?”

“Ndio ndio huyo huyo wala hujakosea”

Tomas alizungumza wa kubabaika.

“Vijana wako hawakukuambia ni wapi walipeleleza hadi wakatambua anapo ishi?”

“Hapana hawakunijulisha kwani lengo lao kubwa ilikuwa ni nabii Sanga na waliweza kumfwatilia nabii Sanga alipo kuwa ana rudi kwake ndio waka mvamia na kumteka.”

RPC akaikunja vizuri karatasi hiyo yenye picha ya Magreth. Akaeleka kwenye kitengo cha askari wanao dili namitandano.

“Scan hii picha na unitafutie huyu binti”

“Sawa mkuu”

Kijana huyo aka iscan picha hiyo na kuiingiza kwenye computer yake na kuanza kutafuta picha hiyo ya Magreth kwenye mtandao. Haikuchukua muda maelezo yote kuhusiana na Magreth yakatokea katika computer hiyo. Imekuwa ni rahisi sana kwa askari hao kuipata kwani Magreth ni miongoni mwa Watanzania walio jisajili kwenye kitambulisho cha taifa hivyo taarifa zote zinazo muhusu yeye zipo hapo.

“Magreth Jonas Asenga”

RPC alisoma maelezo yanayo onekana kuhusiana na Magreth.

“Hembu tuma maelezo hayo kwenye mitando ya simu watupatie information za binti huyo. Nina imani mtandoa mmoja wapo utakuwa na information zake za mawasiliano.”

“Sawa mkuu”

Kijana huyo akaandika email kwa mitandoa mikubwa mmine ya mawasiliano hapa Tanzania, huku email hiyo ikwia huku ikiwa na wito wa kuomba data za mteja Magreth Jonas Asenga, ikiwemo namba yake ya simu. Baada ya dakika tano kijana hiyo akajibiwa email yake na mtandao wa simu ambao Magreth ana utumia.

“Waombe simu zote zilizo pigwa jana na leo watutumie”

Maombi hayo hayakuweza kukataliwa kwa maana yana tokea makao makuu ya polisi. Wakaanza kuorozesha audio za mazungumzo yote aliyo yafanya Magreth kwa siku ya jana na leo. Wakaanza kusikiliza mazungumzo hayo ambayo yanamuhusisha Magreth na nabii Sanga ambaye alimpa maelekezo ya kwenda kuchukua pesa ofisini kwake. Wakazidi kuendelea kusikiliza mazungumzo hayo hadi jinsi MagreLth aivyo wasiliana na majambazi hao na kuwajulisha amefika Mkinga.

Mazungumzo ya siku ya leo kati ya nabii Sanga na muhasibu wake akimuomba amfwate sehemu alipo, ikampa picha RPC ya kuweza kufahamu kwamba nabii Sanga yupo sehemu gani na yupo sehemu salama. Ila kutokana ni ahadi ambayo alitoa kwa wananchi kwamba jeshi la polisi lita hakikisha kwamba lina mrudisha nabii Sanga salama salmini mikononi mwa familia yake. Ikamlazimu RPC kuandaa kikosi cha vijana wake wanne na kuianza safari ya kuelekea nyumbani kwa Magreth, huku zoezi hilo likifanyika kwa siri sana pasipo askari wengine kuweza kufahamu ni kipi RPC wao ame kigundua.



“Huu ndio mtaa anao ishia huyo binti?”

RPC aliwaambia vijana wake huku wakitazama mtaa huu wa uswahilini wenye mchanaganyiko wa watu wa kila aina.

“Msichana mwenyewe anafanania hivi?”

RPC alizungumza huku akiwaonyesha picha ya Magreth iliyo chorwa kwenye karatasi hiyo.

“Huyu ame fanya kosa gani mkuu?”

“Ina sadikika huyu ndio yupo na babii Sanga?”

“Mkuu unataka kuniambia kwamba huyu binti ndio alite mteka nabii Sanga?”

“Hapana, hapa inaonekana nabii Sanga alisha achiwa na watekaji, ila akaamua kuelekea kwa kimada wake kujificha”

“Mmm!! Sasa kwa nini asiende kwake au kutoa taarifa kwenye kituo cha polisi?”

“Hilo ni swali ambalo tutalipata mara baada ya kuwapata wote wawili. Hembu waulize hao watoto juu ya picha hiyo”

“Sawa”

Askari mmoja aliye valia nguo za kirai. Akashuka kwenye gari hilo na kuwasogelea watoto wanao cheza pembezoni mwa barabara hiyo ya vumbi.

“Mambo”

“Poa shikamoo”

“Marahaba. Nina swali nahitaji kuwaliza”

“Uliza tu?

“Muma mfahamu dada huyu?”

Askari huyo aliwaonyesha watoto hao picha ya Magreth, wenye miaka kati ya sita hadi kumi.

“Ndio tuna mfahamu ana itwa dada Mage”

“Ana ishi wapi?”

Watoto hawa wakatazamana, kisha mmoja wao akaonyesha ishara ya kuhitaji kupewa pesa. Askari huyu akatoa noti ya shilingi elfu tano mfukoni mwake na kuwakabidhi. Mtoto huyo mwenye kimo kirefu kuliko wezake wote, akaipokea pesa hiyo.

“Ana kaa pale kwa bi Ngedere. Ile nyumba yenye kibaraza mbele na ngazi?”

“Ile nyumba yenye matairi mbele na wale wamama walio kaa??”

“Ndio”

“Sawa asanteni”

Askari huyo akarudi kwenye gari.

“Daa kweli vyuma vimekaza bosi, yaani hadi watoto wameanichomoa pesa ya kuelekezwa tu”

“Hahaahaa, ni wapi alipo sema?”

Askari huyo akawaonyesha wezake nyumba hiyo. Taratibu wakaegesha gari hilo kwenye hiyo nyumba na wakashuka askari wawili ambao wote wamevalia nguo za kiraia. Gari hilo iana ya Toyota VX V8 likawastua sana wapangaji wa nyumba hiyo walio kuwa wamekaa kibarazani.

“Habari zenu?”

“Salama”

“Tume mkuta Magreth?”

Wapangaji hawa wkatazamana, katika siku mbili tatu hizi Magreth amekuwa akiletwa na magari ya kifahari jambo ambalo lime zua maswali mengi kwa wamama hao wanne.

“Ndio yupo”

“Ahaa muna weza kutusaidia kutuonyesha chumba chake?”

“Mmm shosti yetu amekuja kufumaniwa nini?”

Mama Boka aliwanong’oneza kwa sauti ndogo wezake hao kwa maana wana sikia sauti ya mwanaume katika chumba cha Magreth ila hawajamuona mwanaume ambaye yupo ndani humo.

“Ahaa ingieni humo ndani, chumba cha pili, mkono wa kulia ndio chumba chake”

“Tuna shukuru”

“Ila nyinyi ni kina nani?”

“Ni watu wema kabisa musiwe na mashaka”

“Mmmm haya”

Askari hao wakaingia ndani humo, wakasimama kwenye mlango wa Magreth na kusikilizia miguno ya kimahaba inayo tokea ndani humo.

“Gonga mbona una shangaa?”

“Wapo kwenye starehe zao bwana”

“Sisi tupo kazini. Ngoja nigonge”

Askari huyo akaanza kugonga kwa nguvu hadi Magreth na nabii Sanga ambao wapo katikati ya mapenzi mazito wakastuka.

“Nani huyo?”

Nabii Sanga aliuliza huku macho yakiwa yamemtoka.

“Atakuwa ni mama mwenye nyumba. Kwani sauti yangu ina sikika hadi huko nje?”

“Sijajua, ila mbona naona ina sikika hapa hapa”

“Ngoja”

Magreth akajichomo jogoo wa nabii Sanga aliye kuwa ame mkalia. Akashuka kitandani, akajifunga tenge na kufungua mlango huo huku akiwa na jazba kubwa, na amepania kama ni mama mwenye nyumba basi ata mpatia jibu litakalo mtingisha mwana mama huyo mwenye maneno mengi. Magreth akastuka sana mara baada ya kukutana na sura za wanaume ambao haja wahi kuwaona hata siku moja.

“Wewe ndio Magreth?”

“Ndio ni mimi. Ny….i….nyi ni kina nani?”

Magreth aliuliza huku woga ukiwa umemtawala. Mahojiano hayo yakamfanya nabii Sanga kutafuta suruali yake nakuivaa kwa haraka huku kichwani mwake akihisi kwamba watu hao ni majambazi.

“Tume mkuta nabii Sanga?”

Swali hilo lika wachanganya kabisa, nabii Sanga na Magreth kwani watu hao hawajajitambulisha hadi sasa hivi.

“Ahaa nyingi ni kina nani?”

Ikamlazimu Magreth kuuliza swali hilo kabla ya kujibu swali alilo ulizwa.

“Sisi ni maofisa wa polisi kutoka kituo cha kati”

“Waache waingie”

Nabii Sanga alimuambia Magreth na kumfanya ageuke na wakatazamaana huku Magreth akiwa na mshangao mkubwa sana.

“Waache wapite”

“Karibuni”

Askari hao wakaingia na kumkuta nabii Sanga akiwa ana vaa shati lake

“Habari yako mzee”

“Salama. Tumekuja kukuchukua na kukuweka mikono salama”

“Hapa pia ni mikono salama. Ila nina elewa nini munataka kufanya. Sasa hivi ni saa kumi na mbili, acheni kigiza kiweze kuingia nami nitatoka ndani humu”

“Ila muheshimiwa, tupo hapa na mkuu wetu na ametoa agizo la sisi kukuchukua na kukupeleka kwenye gari lake lipo hapo nje”

“Nendeni mukamuite mkuu wenu”

“Ahaa kwa nini?”

“Nyinyi nendeni mukamuite yeye, ndio nahitaji kuzungumza naye”

Askari mmoja akatoka ndani humo na kurudi kwenye gari. Akamueleza RPC nini anacho hitaji nabii Sanga.

“Waondoeni hao wamama hapo barazani, sihitaji wafahamu juu ya uwepo wangu mtaani hapa?”

“Sasa tuta fanya nini mkuu”

“Fanyeni chochote. Nyinyi ni askari hakikisheni kwambwa wana ondoka eneo hilo”

Askari hao watatu wakajishauri na kushuka kwenye gari hilo. Wakawasogelea wana mama hao wanao endelea kutazama kila kinacho endelea na kila mmoja ana hamu ya kufahamu ni nini kinacho endelea kwa mpangaji mwenzao.

“Sisi ni maofisa polisi. Muna ishi humu ndani?”

Wamama hao wakastuka kidogo huku wakiwatazama askari hao.

“Ndio”

“Basi kila mmoja aingie chumbani kwake na asidhubutu mtu kuchungulia”

“Kwani kuna nini?”

“Mama hatuna muda wa kutangaza au kukueleza kuna nini. Ingieni ndani”

Askari mmojaa alizungumza kwa ukali sana na kuwafanya mama Boka na wezake wanyanyuke huku wakikunja mkeka walio kuwa wameukalia. Wakaingia ndani huku wakiwa na hofu kubwa. Askari walipo hakikisha kwamba hali imekuwa shwari, bodyguard wake akamfungulia mlango na akashuka kwenye gari hilo na kuingia ndani. Nabi Sanga aka simama na kuepeana mkono na RPC kwani ni watu wanao fahamiana kwa muda mrefu na pia wana heshimiana.

“Naomba mutupishe”

RPC alizungumza na vijana wake wakatoka na kusimama kwenye kordo hiyo kuimarisha ulinzi.

“Huyu ni Mage, binti ambaye aliweza kujitolea kunipa msaada wa kipesa kipindi nilipo kuwa nimewekwa kizuizini na majambazi”

“Ahaa sawa mzee. Nina litambua hilo kwa maana tume fwatilia mazungumzo ya simu ya binti. Hayo mazungumzo ndio yameweza kutusaidia sisi kuweza kufika hapa”

“Sawa sawa”

“Tumekuja kwa jambo moja tu. Tunahitaji tukupeleke nyumbani kwako kwa maana sehemu hii sio salama kabisa.”

“Sawa hilo halina shaka. Ila nahitaji huyu msichana asi sumbuliwe kwa chochote na wala asiweze kuitwa kituoni kwa mahojiano”

“Sawa sawa”

“Mage kuwa na amani na kesho hakikisha kwamba una fanya ule utaratibu nilio kuagiza uweze kuufanya”

“Sawa baba”

“Kwa heri”

Nabii Sanga na RPC pamoja na vijana wake wakatoka ndani hapo na moja kwa moja wakaeleka katika gari na kuondoka. Magreth akashusha pumzi na kujitupa kitandani, kwani uwepo wa maaskari hao umemfanya awe katika wakati wa mashaka. Ila alipo kumbuka kwamba ana kiasi kikubwa cha pesa benki, basi mawazo na matatizo hayo ya polisi yakamuondoka kabisa kichwani mwake.

“Sasa mimi ni tajiri”

Magreth alizungumza kwa furaha. Mlango wake ukagongwa na akasikia sauti ya mama Boka ikimuita.

“Nakuja”

Magreth alizungumza huku akishuka kitandani. Akajifunga tenge lake vizuri na kufungua mlango.

“Ehee upo salama wewe?”

“Ndio kwa nini?”

“Hawa polisi wamekuja kufanya nini hapa?”

“Hahaa mbona muna mashaka hivyo au mume hisi nime tekwa na watu wasio julikana?”

“Weee!! Mwanazo tulihisi kwamba ume kuja kufumaniwa. Ila walipo tuambia tuingia ndani na kujifungia, hapo ndipo matumbo yalipo tupata moto”

“Kweli shosti yetu tulijawa na wasiwasi mwingi sana. Haya tuambie ni nini kinacho endelea?”

Mama Amina naye aliuliza.

“Ngoja kwanza niwashukuru majirani zangu kwa kuishi nami kwa amani japo tulikwaruzana katika maswala ya zamu za usafi na ununuzi wa luku, ila yote katika yote. Mungu yeye pekee ndio anaye fahamu nini tunacho pitia kwenye haya maisha”

“Mbona una ongea hivyo?”

Mama mwenye nyumba aliuliza huku akitokea mlango wa uwani na kuwafanya wapangaji hao walio simama kwenye mlango wa Magreth kumshangaa.

“Kesho nina hamia Kigamboni. Kuna nyumba yangu nimenunua kule”

Magreth aliwadanganya wezake hao katika swala zimala kununua nyumba.

“Mage ume nunua nyumba!!?”

“Ndio mbona muna shangaa au sina hadhi ya kununua nyumba?”

“Mmmm kwa kazi gani ulio kuwa nayo? Hembu acha kuwaongopea wezako na wewe”

Mama mwenye nyumba alizungumza kwa kejeli.

“Hahaa, wewe baki hapo hapo kwenye hili banda lako la kuku”

“Hahaaa!! Banda la kuku, ulitumwa kujakukaa hapa kupanga?”

Bi Ngedere alizungumza kwa hasira kwani hakupenda nyumba yake iweze kudharauliwa namna hiyo.

“Mage hembu achana naye. Tupe siri ya mafanikio yako kwa maana siku mbili hizi tumekuona una shushwa kwenye magari ya kifahari na wala hatukuoni jikoni ukijumuika nasi katika swala zima la kuchoma maandazi”

“Ni kweli jamani, kesho mimi nina hama. Haya yaliyo tokea humu ndani kwangu sinto weza kuwaambia. Leo mumesha pika?”

Magreth alibadili mada kwa kuwaliza maswali.

“Mimi nimepika toka mchana”

“Mimi nasubiri saa mbili mbili nisonge ugali nile na wanangu”

“Mimi nita nunua maandazi tu ninywe na chai.”

“Mimi bado sijapika”

“Bi Ngedere na wewe?”

“Na mimi nini, una pesa ya kunipa nikanunue chakula?”

“Ahaa…maneno yote ya nini mama angu. Hivi wewe mama una shindwa kuwa na kinywa kizuri cha kuzungumza?”

“Babuu weweee nikiwa na kinywa kizuri nita faidika na nini?”

“Haya nisamehe mimi. Jamani nisubirini”

Magreth akaingia ndani na kuchukua laki moja na nusu na kutoka nayo nje. Akawapa wapangaji wezake wanne kila mmoja elfu thelethini.

“Jamani hizo mutanunua mukipendacho usiku huu”

Wapangaji hao wakajawa na furaha sana, huku wengine wakimuona Magreth ndio mkombozi wao kwani baadhi yao tayari wamesha anaza kuwakimbia vijumbe wa michezo yao wanayo cheza kila siku kwa kukosa pesa za kutoa.

“Wewe mama utakula jeuri yako. Hata mia sikupi na kesho nitakagwa vitu vyangu vyote vya ndani na hata kijiko sikupi. Muangalie ndio maana Mungu alikunyima kimo kirefu ndio maana akili zako zipo kama kimo chako”

Maneno ya Magreth yakawafanya wapangaji wezake hao kucheka kwa dharau huku wakigongeana mikono na kumfanya mama mwenye nyumba ajisikie vibaya sana.

***

“Kile mulicho kiona pale nyumbani kwa yule binti musi mueleze mtu yoyote”

Nabii Sanga alizungumza huku gari hilo la RPC likizidi kuchanja bunga kueleka nyumbani kwake.

“Hatuto mueleza mtu”

RPC alijibu huku akiwa amekaa siti ya mbele, pembeni kabisa ya dereva.

“Nashukuru kusikia hivyo.”

“Upo salama lakini?”

“Ndio nipo salama”

Wakafika nyumbani kwa nabii Sanga. Wakaelekea moja kwa moja sebleni na kumfanya mtoto wa nabii Sanga kumkimbilia baba yake na kumkumbatia kwa nguvu. Mfanyakazi wake wa ndani naye akafanya hivyo alivyo fanya binti huyo. Kelele za furaha zinazo sikika sebleni zikamfaya mrs Sanga kukurupuka ndani kwake na kukimbilia sebeeni. Mapigo ya moyo yakamstuka mara baada ya kukutanisha macho yake uso kwa uso na mume wake ambaye hajaonyesha sura yoyote ya kumchangamkia. RCP akaingiza mkono wake mfukoni na kutoa pingu huku akimtazama mrs Sanga anaye shuka kwenye ngazi huku akilazimisha tabasamu la kinafki kwani shida zote zilizo tokea katika siku mbili hizi yeye ndio chanzo.



“Ohooo pole sana mume wangu”

Mrs Sanga alizungumza huku akimkumbatia mume wake. Nabii Sanga hakuonyesha kitu chochote kibaya kwa mke wake.

“Nashukuru mke wangu. Pole sana kwa kukuweka katika kipindi kigumu sana wewe na watoto”

Maneno hayo ya nabii Sanga yakamfanya RPC kurudisha pingu zake mfukoni huku akiwatazama.

“Pole sana na wewe mume wangu. Vipi hawajakuumiza?”

Mrs Sanga alizungumza kwa mahaba mazito ambayo kwa namna moja ama nyingine ni uigizaji.

“Nipo salama kabi.”

“Mzee nina weza kupata muda wa kuzungumza na wewe kwa dakika chache?”

RPC alizungumza na kumfanya nabii Sanga kumuachia mke wake. Wakatoka nje na kuingia kwenye gari la RPC.

“Ahaa natambua kwamba hili jambo nitakalo kwenda kukueleza kidogo linaweza kukustua mzee wangu. Ila sina namna zaidi ya kukuambia, ili kama nitaamua kwenda mbele zaidi ya hapa basi uwe umesha jiandaa kisaikolojia.”

“Niambie tu usiwe na hofu”

“Ili kukupata wewe, tulifanikiwa kumkamata kijana mmoja anaitwa Tomas, ni dalali na pia niligundua ni kijana wako wa karibu sana?”

“Yaa Tomas ni kijana wangu nina muamini sana. Kwa nini mume mkamata?”

Nabii Sanga aliuliza kana kwamba hajui ni kitu gani kinacho endelea.

“Ahaa…ngoja kwanza”

RPC alizungumza huku akitoa simu yake mfukoni. Akaweka sauti ya mahojiano yake na Tomas. Nabii Sanga akajifanya akistushwa sana na kukiri kwa Tomas, ila ukweli ni kwamba ana fahamu kila kitu kinacho endelea kati ya Tomas na mke wake.

“Ohoo Mungu wangu nimpe nini huyu mwanamke?”

“Ndio hivyo, sasa yule kijana yupo mahabusu. Ila mke wako yupo uraiani, endapo tukimpeleka mahakamani kijana huyo na aka zungumza jambo juu ya mke wako, basi tambua mke wako ata tiwa nguvuni na atastakiwa kutokana na makosa yake na pia atatumikia kifungo jela na akitumikia kifungo jela, huduma yako ina mambo mawili, ina weaza kuyumba au kutoweka kabisa. Kwani itakuwani kashfa kubwa sana kwako na familia yako kwa ujumla na unavyo tambua Watanzania kwakukuza mambo, basi utapotea kinamna hiyo.”

Nabii Sanga akaka kimya huku akitafakari juu ya adhabu gani ambayo ana weza kumpatia Tomas kwani kazi aliyo wapo Rama D na wezake hawato weza kuifanya kutokana na Tomas kukamatwa na polisi na hadi sasa nabii Sanga hatambui kwamba Rama D na ndugu zake wamesha uwawa na askari.

“Una weza kunisaidia kazi moja RPC?”

“Kazi gani?”

“Nahitaji kijana huyo afe kabla ya kupelekewa mahakamani, je itawezekana”

“Kuwezekana ina wezekana mzee. Ila sikuzote vitu kama hivi vina kwenda kwa pesa maalumu ambayo itatufanya kujilinda hata pale likitokea la kutokea, ikiwemo kusimamishwa kazi au kushushwa vyeo”

“Una hitaji kiasi gani?”

“Acha nikajitafakari kisha nitakuambia kabla ya saa mbili asubuhi”

“Sawa, ila hakikisha kwamba mke wangu haguswi kabisa na tuhuma hizi. Pia nitumie audio hiyo kwenye email yangu”

Nabii Sanga akamtajia RPC email yake na akatumiwa sauti hiyo.

“Nashukuru sana”

“Ila ushauri ni mmoja sasa kuwa makini sana na mke wako. Hakikisha kwamba mke wako una muweka mikononi mwako vizuri la sivyo ata kuja kukudhuru ukiwa humo ndani kwako. Kama alifanikiwa nje, basi ndani ni rahisi zaidi ya nje.”

“Nimekuelewa RPC”

“Nashukuru kwa kunielewa mzee”

Nabii Sanga na RPC wakashuka kwenye gari na kuingia ndani. RPC akamuaga mrs Sanga na wanaye, kisha akaondoka huku nyumbani hapo wakiwaacha askari wawili, watakao linda hadi asubuhi kisha kuanzia hapo nabii Sanga ata endelea na maisha yake na familia yake kama kawaida na swala la ulinzi litakuwa juu yake mwenyewe.

“Vipi mume wangu ume kula?”

“Ndio nipo vizuri. Naombeni niende kupumzika”

“Sawa baba”

Nabii Sanga akapandisha gorofani huku mke wake akimfwata kwa nyuma.

“Simu yako ina salio?”

“Ndio”

“Wasiliana na sekretari. Muambie kesho saa nne asubuhi nahitaji kuzungumza na waandishi wa habari. Nahitaji kuwafahamisha waumini wangu kote duniani kwamba nipo salama”

“Kwa nini usisubiri subiri siku ya kesho ipite, ili urudi katika hali yako ya kawaida”

“Hali ipi ya kawaida?”

“Uzoee mazingira ya nyumbani na ujipange tena upya kisaikolojia kisha ndio uzungumze na waandishi wa habari”

“Sikiliza mama Juliethi. Kuna watu wamefunga na wana sali kwa ajili ya kuhakikisha kwamba nina kuwa salama. Watu hao kitu cha pekee cha kuwalipa na waamini kwamba Mungu amejibu maombi ya vile wanavyo viomba ni mimi kesho kusimama mbele ya waandishi wa habari na kuwaleza nini kilinikumba ni nani aliniteka huku huyo aliye niteka akisaidiana na nani kwenye kuniteka. Na aliye toa wazo la mimi kutekwa pia nita muanika hadharani ili dunia nzima ijue adui yangu ni nani hata siku ikitokea siku nime pata madhara basi adui yangu ana kuwa wakwanza kukamatwa”

Fumbo la nabii Sanga likamfanya mrs Sanga kustuka sana. Mwili ukaanza kumtemeka kwa maana yeye ndio mtu aliye toa wazo la mume wake kutekwa. Tomas yeye ndio aliye tekeleza wazo hilo.

“Mpigie una nitolea nini macho?”

Mrs Sanga akachukua simu yake na kupigia sekretari wa kanisa lao.

“Ehee zungumza naye”

Mrs Sanga alizungumza hukua akimkabidhi mume wake simu hiyo na akaiweka sikioni mwake.

“Baba mchungaji”

“Naam”

“Ohoo asante Mungu upo hai. Hapa mama alipo niambia kwamba niandae kikao kesho, nilikuwa na kigugumizi huku nikijiuliza naandaa kikao na waandishi wa habari je usipo tokea nini nitajibu nini. Ila nina furahi sana kusikia sauti yako baba”

“Usijali kijana wangu. Watesi wangu walijiinua ila Mungu ambaye hashindwi na jambo aliweza kusimama kwangu na kunipigania na kama sikufa katika kutekwa huku. Basi siku ni kifa nitakufa kwa amani tena baada ya kupitisha ule umri wa miaka themanini ambao Mungu aliupanga juu ya wana damu wake”

“Amen amen”

“Basi fanya hivyo na kesho tatu asubuhi njoo nyumbani kwangu”

“Sawa baba”

Nabii Sanga akakata simu na kumrudishia mke wake.

“Kuna wakati wa kuliaaaaa…..wakati wa kuombolezaaaaa, ila adui yako ni mtu wa karibu….”

Nabii Sanga aliimba wimbo huo huku akivua nguo zake na kuelekea bafuni huku akimuacha mrs Sanga akiwa katika wakati mgumu sana wa kujitafakari kama hicho anacho kizungumza mume wake kipo kweli kichwani mwake au ana hisi tu.

***

Magreth akaamka asubuhi na mapema. Akapanga nguo zake zote ambazo ana hisi zina umuhimu kuingia kwenye ulimwengu wa maisha yake mapya ya utajiri. Alipo hakikisha kwamba ame chukua vitu vyake muhimu, akwaamsha mama Boka na wezake. Wakingia chumbani kwake huku kila mmoja akiwa na shahuku ya kujua ame itiwa nini.

“Jamani mimi nina hama. Kuna kitanda godoro, jiko hii meza na sofa hapo, muna weza kugawan kwa kuchukua au mukaviuza vitu hivyo na mukapata pesa mutakayo gawana”

“Ehee shosti bora kuviuza, itakuwa ni jambo zuri”

Mama Boka aliwahi kuzungumza na kuwafanya wezake wamtazame.

“Basi ngoja nitoe wazo. Viuzeni, kisha pesa itakayo patikana nyinyi mugawane sawa kwa sawa. Asitokee hata mmoja kuwazidi wezake”

“Hapo Mage umesema. Ila shosti kweli una taka kutuambia kwamba leo hii una hama na kutuacha huku uswahilini?”

“Ndio mbona hamuamini?”

“Yaani nina ona kama ni ndoto vile”

“Kwa nini?”

“Yaani una tuacha hivi hivi, sisi tuna zidi kufubaa tu hapa na huyu bibi Ngedere”

“Wala musijali. Nikiweka mambo safi nita waalika muje kupaona kwangu. Tena niandikieni namba zenu”

Magreth alizungumza na kumpatia mama Boka simu yake. Wakaanza kuandika namba zao za simu.

“Yaani kweli Mage mambo yamekubadilikia. Sijawahi kukuona ukimiliki smart phone. Nilisha kizoea kile kisumu chako cha nokia ya tochi”

“Hahaa kiobama?”

“Ndio, mwenyewe kile hata ukikiacha huko uwani hakuna ambaye alikuwa ana shuhulika nacho kukaiba”

“Hahaa ndio hivyo Mungu ninaye muomba sio wa mchezo mchezo. Siku akiamua kukufungulia manoti ya pesa, hakuna ambaye ana weza kuyazuia”

“Ila rafiki yetu tuambie siri ya kufanikiwa”

“Kuokoka tu, ndio siri ya kufanikiwa. Sasa nyinyi kaeni hapa kwa huyu mama mukichambana na kuzungumza mambo mabaya mwishowe. Mutaishia hapa hapa”

“Jamani kweli anacho kizungumza Mage. Tuache kukaa vibarazani na kuwachamba watu”

Magreth akampigia Sheby na kumuomba afike nyumbani kwake. Hazikupita hata dakika tano Sheby akafika nyumbani hapo. Mama Boka, akamsaidia Magreth kubeba begi hilo la nguo huku moyoni mwake akiwa ametawaliwa na wivu mkubwa sana. Magreth akagonga kwa nguvu mlango wa bi Ngedere.

“Nani huyo mja lanaaaa?”

Bi Ngedere alizungumza kwa kufoka na kuwafanya Magreth na wezake kucheka kichini chini. Magreth akagonga kwa nguvu hadi bi Ngedere akafungua huku akiwa amevimba kwa hasira. Bi Ngedere akatoa msunyo mzito huku akimpandisha na kumshusha Magreth.

“Nini na wewe?”

“Chukua funguo za chumba chako. Funguo nyingine utaichukua kwa mama Bakari pale, kuna vitu ndani ya chumba wakitoa basi watakupatia”

“Kisa funguo ndio una nigongea kama nime vamiwa?”

“Aha…jamani mbona hivyo. Una chukua au huchukui? Nakuachia banda lako la kuku nakwenda kuishi wanapo ishi watu sio hapa kwenye banda lako hili”

Magreth alizungumza kwa kejeli huku akimtazama mwana mama huyo.

“Koma wewe nyumba yangu si banda la kuku?”

“Basi kama si la kuku, ni banda la njiwa. Hahaaa ulininyanyasa sana wewe mama, ukihisi kwamba sinto fanikiwa. Ila Mungu amenifanikisha. Pumbavu, sasa uwe na kinywa kizuri kwa hawa wapangaji wengine, siku ukiwakejeli haki ya Mungu, Tanroad watakuja kupitisha bararaba ya lami hapa mtaani na hili banda lako litavunjwa na hapo ndipo utakapo rudi kwenye maisha ya chini kabisa. Utajua shida ambazo tunapitia sisi wapangaji”

Magreth mara baada ya kuzungumza hivyo, akafungu pochi yake na kutoa noti tano za shilingi elfu kumi na kumpiga nazo bi Ngedere usoni.

“Tutaonana huko barabarani kwa maana sitaki siku nikiwa na gari langu nishindwe kukupa lifti”

Magreth akawafwata nje wapangaji wezake. Akaagana nao na kuingia kwenye gari.

“Sheby”

“Naam boss”

“Leo tuna mizunguko mingi. Nipeleke kwenye duka lenye hadhi ya kuuza furniture za ndani”

“Sawa hapa kwa haraka haraka ni Danube pale Mlimani City”

“Haya twende ila kabla ya hapo twende hospitali nikamuone mgonjwa wangu”

Magreth akafika hospitali ya Mwananyamala. Akaelekea kwenye chumba alicho lazwa Evans Shika. Wakasalimiana kwa furaha.

“Samahani juzi nilipata dharura na siku ya jana sikuweza kuonekana, kuna mambo kidogo yalitokea. Vipi una endeleaje?”

“Nina endelea vizuri sana. Dokta leo ameniambia kwamba wiki inayo fwata, nitapewa ruhusa”

“Habari nzuri sana Evans. Vipi wana kushuhulikia vizuri swala la chakula?”

“Yaa wameniletea chakula kizuri na nina kula kwa wakati kabisa”

“Nafurahi kusikia hivyo. Leo ratiba yangu ni ngumu kuna sehemu nina zunguka zunguka baadae nitapita kukuona”

“Sawa Mage. Leo ume pendeza sana”

“Kweli?”

“Ndio”

Magreth akajiona mwanamke mwenye bahati sana mara baada ya kusifiwa na Evans. Akatamani kumbusu ila akajikuta akishindwa kwani hakuna kitu chochote walicho weza kukubaliana kwenye mapenzi.

“Evans nina swali moja”

“Swali gani?”

“Una mchumba?”

“Hapana sina kwa kweli”

“SAWA”

Magreth alijibu huku akiwa na furaha sana. Akamuaga Evans na kurudi kwenye gari. Wakaelekea katika duka kubwa linalo uza vifaa vya ndani. Magreth aka nunu kila kitu anacho kihitaji katika duka hilo, kisha akapatiwa lori la usafiri la kubebea vitu hivyo kwani ni vingi sana. Akaongozana na watu wa lori hilo huku yeye na Sheby wakiwa mbele. Wakafika nyumbani kwake maeneo ya Kigamboni. Akawasimamia watu wa kampuni hiyo ya Danube, kumpangia kila kitu alicho kinunu dukani kwao. Ndani ya muda mfupi nyumba hiyo tayari ikawa imebadilika, huku kila mmoja akisifia kwamba imepangwa vizuri.

“Sheby hapa ni kwangu”

“Aisee ina maana huto uza tena maandazi?”

“Ndio, nitakuwa nina rudi kitaani kuwasalimia kama kawaida”

“Aisee kweli nina haki ya kukuita boss”

Kabla Mage hajazungumza kitu chochote simu yake ikaanza kuita. Akaitazama namba hiyo ngeni, akaipokea na kupewa maelekezo na mwanaume aliye jitambulisha kwa jina la Clayton ni ofisi zipi aende akachague gari, huku akidai ni agizo kutoka kwa nabii Sanga.

***

Mrs Sanga hadi kuna pambazuka hakuweza kupata usingizi kabisa. Mapigo yake ya moyo yamebadilisha muelekeo wake kabisa na amekuwa ni mtu aliye tawaliwa na mawazo kiasi kwamba ana tamani ardhi ipasuke ili immeze. Saa kumi na mbili asubuhi akaamka kitandani na kuelekea jikoni, akaandaa kifungua kinywa kizuri, kisha akarudi chumbani na kumuandalia mume wake suti anayo ipenda.

“Baba Julieth sasa hivi ni saa tatu kasoro amka ujiandae”

Nabii Sanga akamtazama mke wake kwa macho yaliyo jaa maswali. Akanyanyuka na kuingia bafuni, akaoga na kusafisha kinywa chake. Akafungua kabati la nguo na kutazama ni suti gani ambayo ata ivaa kwa siku hiyo.

“Baba Julieth nimesha kuandalia nguo hizo hapo”

Mrs Sanga alizugumza huku akujitahidi kutengeneza tabasamu la bandia. Nabii Sanga akazitazama nguo hizo alizo andaliwana mke wake, ila hakudhubutu kuzigusa. Akachukua suti nyingine na kutoka nazo hadi sebleni. Akambidhi mfanyakazi wake na kumuomba ampigie pasi. Akaingia jikoni, aka kaanga mayai mawili na soseji mbili.

“Dady leo ume amua kuingia jikoni?”

“Yaa mwanangu vipi chuo umekwenda siku mbili hizi?”

“Hapana sija enda. Askari walinizuia kwenda wakihofia usalama wangu”

“Ahaa..basi hakikisha leo una kwenda. Ulinzi wa malaika kutoka mbinguni utasimama juu yako”

“Sawa baba, ila mbona mama amesha andaa brakefast?”

“Ahaa nimependa leo nile chakula nitakacho pika kwa mkono wangu”

“Sawa dady I love you”

“I love you too daughter”

Julieth akambusu baba yake shavuni na kuelekea mezani. Mrs Sanga mambo yote yanayo endelea jikoni aliweza kuyashuhudia. Hali aliyo kuwa nayo mume wake hakika ikazidi kumuweka katika wakati mgumu sana. Wakati ambao hajui ni wapi ana anza kumuuliza mume wake, ikiwa ana tambua hali halisi iliyo mpata Tomas. Nabii Sanga akapata kifungua kinywa hicho. Akakabidhiwa suti yake na mfanyakazi wake na kuelekea chumbani, akavaa haraka haraka na kujiweka sawa.

“Baba Julitethi tuna weza kuzungumza”

“Kuhusiana na nini?”

“Mbona umerudi ila una onekana kuwa tofauti sana na awali?”

“Mkuu wa majambazi walio niteka aliniambia kwamba bosi wao ana hitaji nishikiliwe hadi wiki ijayo ndio wataniachia ili niende zangu Nigeria kwenye kikao cha wa wachungaji.”

Maneno hayo ya nabii Sanga yakamnyong’onyeza mrs Sanga. Hadi hapo akatambua kwamba mume wake ana tambua ni nini kinacho endelea na siri aliyo ihisi kwamba Tomas hato izungumza basi ipo wazi kwa mume wake.

“Ila sijui kwa nini aliye wapa kazi hakuhitaji kunia kwa kutumia watekaji wake. Ila nina hisi ana hitaji siku moja aje kuitoa roho yangu kwa mikono yake mwenyewe. Ila kabla ya yeye kufanya hivyo basi nita hakikisha kwamba nina itoa roho ya kibaraka wake aliye mpatia pesa za kwenda kuwalipa majambazi kisha nitaitoa roho yake. Au una semaje mke wangu hilo si wazo zuri eheee?”

Nabii Sanga alizungumza huku akimkazia macho mke wake. Taratibu mrs Sanga akakaa kitandani huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga kwani kila kitu kinacho zungumwa na mume wake kina muhusu yeye.


Mrs Sanga aka mtazama mume wake kisha akamjibu kwa kutingisha kichwa akimaanisha kwamba hajakubaliana na jambo hilo.

“Kwa nini sasa una kataa ikiwa mtu ameamua kunifanyia ubaya? Ameamua kuniteka na kuhitaji kunia, je ile risasi walio piga kwenye kioo cha mbele kama ingenipata ningekuwa wapi leo hii?”

“Ila mume wangu sisi ni watumishi wa Mungu. Samehe saba mara sabini”

“Sio katika hili, ndio maana hata Mungu mwenyewe ali mpa ujasiri Daudi kwenye kumpiga Goliath na kumuua. Laiti kama wangesamehe saba mara sabani, ingekuwa ni hali tete kwa Daudi na watu wake. Hivyo na mimi nitafanya hivyo nina imani kwamba Mungu atakuwa pamoja nami kwani sikuanza mimi. Ila yeye aliye ianzisha hii vita basi atanifanya mimi niweze kuimaliza”

Mrs Sanga akaka kimya huku moyo wake ukiwa umepoteza amani kabisa.

“Hivi una habari kwamba Tomas ame kamatwa na askari?”

Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mke wake usoni kwa macho ya udadisi.

“Weeee!!”

Mrs Sanga alijifanya ana shangaa, ila kukamatwa kwa Tomas ana tambua na anacho kiomba kwa Mungu ni Tomas kuto mtaja katika sekeseke hilo la utekaji.

“Amekamatwa, sijui ame fanya kosa gani. Ila nikitoka kwenye kikao na waandishi wa habari nitapita kituoa cha polisi kumuona na ikiwezekana nimuwekee dhamana”

“Kweli mume wangu?”

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake.

“Ndio mbona ume furahi sana?”

“Hamna, kitu mume wangu”

“Ila kama atakuwa amefanya kosa kubwa lisilo hitajika dhamana. Nitamuacha akafie huko jela”

“Mmmm”

“Ndio na ikiwezekana alipe kwa matendo yake aliyo yafanya.”

Nabii Sanga mara baada ya kuzungumza maneno hayo akatoka chumbani humu na kumuacha mke wake akizidi kupoteza amani.

Majira ya saa tatu sekretari wa mchungaji Sanga akafika nyumbani hapo. Akamkuta nabii Sanga akiwa tayari amesha jiandaa kwa ajili ya kuelekea kwenye kikao na waandishi wa habari.

“Tupitie kwenye ofisi za tigo nahitaji kurudisha laini yangu iliyo potea”

“Sawa baba mchungaji”

Nabii Sanga akaondoka na sekretari wake huyo huku akimuacha mke wake akiwa katika hali tete. Wakafika katika ofisi za Tigo, kila aliye muona nabii Sanga alijawa na furaha kubwa sana. Watu wengi waliguswa sana na tukio la kutekwa kwake. Laini yake ika rudishwa kwa haraka na wala hakuchajiwa kiasi chochote cha pesa. Akasali na baadhi ya wafanyakazi pamoja na wataje alio wakuta eneo hilo kisha akaondoka na kuelekea eneo la kanisani kwake ambapo ndipo alipo andaa mkutano na waandishi wa habari. Akiwa ndani ya gari nabii Sanga akampigia Clayton, rafiki yake wa karibu anaye uza magari ya kifahari ndani na nje ya Tanzania.

“Pole sana kwa matatizo ndugu yangu”

“Nashukuru sana. Niambie hapo ofisini kwako kuna gari gani nzuri?”

“Ahaa kuna land cruser new model. Harriel new model. Benzi, BMW X5 na X6. Kuna Audi Q7. Kwa ufupi zipo gari za kifahari. Gari ya bei ya chini ni milioni tisini”

“Sawa sawa. Sasa nakutumia namba ya binti mmoja atafika hapo ofisini kwako na achague gari yoyote ya bei yoyote kisha uta niambia ni kiasi gani na nitakupitishia cheki hapo”

“Sawa ndugu yangu. Nitumie niweze kumpigia”

“Sawa, ila maswala ya usajili yote mkamilishie. Pia mtafutie dereva wa kumrudisha na hiyo gari hadi nyumbani kwa maana hafahamu kuendesha. Jina lake ana itwa Magreth”

“Sawa sawa ndugu yangu nita fanya hivyo”

“Nashukuru”

Nabii Sanga akakata simu yake na kumtumia Clayton namba ya Magreth. Wakafika kanisani, waandishi wa habari wakaanza kuwashambulia kwa kuwapiga picha toka wakiwa wana ingia getini hapo. Nabii Sanga akashuka kwenye gari na kuwapungia mkono waumini wake wengi ambao wamekusanyika kanisani hapo kuhakikisha wana mpa mapokezi mazuri nabii wao.

“Karibu sana nabii”

Mchungaji msaidizi wa kanisa hilo alizungumza. Nabii Sanga akaelekea ofisini kwake, akaitazama ofisi hii na kujikuta akizidi kupandwa na hasira ya kumchukia mke wake. Kwani ameigeuza ofisi yake kuwa ndio eneo la kufanyia ngono.

‘Mungu nipe moyo wa uvumlivu na hekima katika hili.’

Nabii Sanga alizungumza huku akianza kuomba. Ikamchukua dakika ishirini za kusali, akiwa peke yake ofisini hapo, kisha akamruhusu sekretari wake kuingia.

“Tayari wamesha jiandaa?”

“Ndio wana kusubiria wewe tu”

“Sawa”

Nabii Sanga akajiweka sawa koti la suti na kuingia katika ukumbi wa mikutano midogo midogo katika kanisa lao. Mkutano na waandishi wa habari ukaanza. Nabii Sanga akaanza kuelezea jinsi alivyo tekwa na majambazi hao huku akiongopea kwamba siku hiyo alikuwa ana toka kanisani na kuelekea nyumbani kwake pasipo kupita mahala popote. Akaelezea ni jinsi majambazi hao walivyo kuwa wana pokea amri kutoa kwa mtu ambate aliwapa kazi hiyo.

“Nabii Sanga akajipa maujiko ya kuongopea jinsi alivyo toroka katika ngome ya majambazi hao na kurudi jijini Dar es Salaam. Akaenda mbali zaidi ya kusema kwamba aliwasiliana na RPC na kumuomba aweze kumletea vijana wake sehemu alipo kuwepo na vijana hao wakafanya kazi hiyo ya kumchukua huku wakiwa na bosi wao huyo kisha wakamrudisha nyumbani kwake.”

“Mara baada ya kumsikia baba yetu hapa wa kiroho nina karibisha maswali machache kisha ata ingia kanisani kuwasalimia waumini wake wana msubiri kwa hamu sana.”

Sekretari alizungumza na kuwafanya waandhishi wa habari washindane kwa kunyoosha mikono.

“Ehee pale dada”

“Kwanza nitangulize pole sana nabii Sanga. Je katika kusikia sikia mazungumzo ya watekaji hao. Uliweza kuhisi au kusikia nani ni muhusika wa kukuteka wewe?”

Nabii Sanga akatazama mtangazaji huyo huku akilini mwake akimtafakari mke wake. Mwanamke ambaye alipata naye tambu kwenye shida na raha na leo hii ndio amekuwa adui yake.

***

Mrs Sanga sanga kila wazo analo jaribu kulitafakari kichwani mwake ili kujinasua kwenye tatizo linalo mkabili ana jikuta anashindwa kabisa kupata suluhisho. Akawasha tv ya chumbani kwake na kukuta mume wake akiwa mubashara kwenye kituo cha televisheni. Swali la muandishi wa habari kuhusiana na nani aliye mteka likamfanya mrs Sanga kuzidi kutetemeka kwani ana tambua tayari mume wake amesha fahamu ukweli.

“Ehee Mungu asinitaje huyu mwanume. Nitaiweka wapi sura yangu. Sitaki kwenda jela na umri huu”

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa ameifumbata kwa pamoja mikono yake.

“Simfahamu kwa kweli”

Jibu la nabii Sanga likamfanya mrs Sanga kushusha pumzi zinto huku matumaini ya kuto ingia kwenye mikono ya sheria ikimtawala kichwani mwake.

“Nabii je walikupatia mateso?”

“Hapana nina imani mtu aliye toa agizo la mimi kukamatwa alihitaji nisipatiwe mateso.”

Mrs Sanga akaendelea kutazama mahojiano hayo ya mume wake na waandishi wa habari. Yalipo karibia kuisha, akaingia bafuni, akaoga kwa haraka kisha akarudi na kuvaa nguo zake.

“Nabii mbona huja ongozana na mke wako katika siku muhimu kama hii ya leo?”

Mrs Sanga akastuka na kusitisha zoezi la kujipaka mafuta mwilini mwake. Akamtazama mume wake anaye malizia mahojiano na waandishi hao wa habari.

“Kuna kazi ya kifamilia kidogo ana ishuhulikia. Nawashukuru na Mungu awabariki sana nyote mulio funga na kuomba kwa ajili yangu.”

Nabii Sanga mara baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo. Mahojiano yakaishia hapo na akaondoka ukumbini hapo. Mrs Sanga akazima tv hiyo kisha akamalizia zoezi lake la kujiandaa. Alipo hakikisha kwamba yupo vizuri, akaingiza baibui lake la siri katika pochi yake kubwa kishaa katoka ndani humo.

“Mama leo tupike nini?”

Mfanyakazi wa ndani alimuuliza Mrs Sanga.

“Chochote ambacho baba yenu ata jisikia kula. Mimi natoka”

Mrs Sanga akamuacha dada huyo wa kazi njia panda. Mrs Sanga akaingia kwenye gari lake na kuondoka eneo hilo huku kichwani mwake akifikiria ni wapi ambapo ata kwenda kukaa japo kwa siku kadhaa pasipo kupata usumbufu wa mtu yoyote anaye mfahamu.

“Lazima Tomas akikutana na mume wangu ata muambia ukweli”

Mrs Sanga alizungumza mwenyewe huku akizidi kusonga mbele. Akafika benki ya crdb, akatoa kiasi cha milioni kumi na kurudi nacho kwenye gari.

“Pesa hii itanitosha”

Mrs Sanga alizungumza huku akiondoka eneo hilo la benki huku akilini mwake akiwaza sehemu sahihi ya yeye kutuliza kichwa chake ni Bagamoyo kwenye hoteli yoyote ya kitalii ambayo ata ona ina mpendeza kwa yeye kuishi.

***

Magreth na Sheby wakafika katika ofisi ya magari waliyo elekezwa na Clayton. Kila mmoja aka shangaa uwepo wa magari ya kifahari ambayo yapo kwenye car show room hiyo.

“Mmmm!! Magreth hapa ndipo ulipo elekezwa kweli?”

“Ndio Sheby kwani vipi?”

“Mmm mbona magari yote ni ya garama sana?”

“Wewe twende kwa wahusika bwana”

Wakaingia kwenye ofisi hiyo, wakasalimiana na sekretari waliye mkuta eneo la mapokezi. Akauliza ni wapi alipo bwana Clyaton.

“Wewe ndio Magreth”

“Ndio mimi”

“Basi ingia ofisi hiyo hapo”

“Sawa”

Magreth akaingia kwenye ofisi ya mmiliki wa kampuni hiyo ya magari. Akamkuta mzee mmoja mwenye umri una karibiana na nabii Sanga, akasalimiana naye kisha hawakuona haja ya kupoteza muda zaidi. Wakaelekea kwenye eneo yalipo wekwa magari hayo.

“Ameniambia uchague gari lolote utakalo”

“Lolote?”

“Ndio kuwa huru.”

“Sheby njoo unisaidie kuchagua gari ndugu yangu”

Wote watatu wakaanza kuzunguka kwenye magari hayo huku kila gari ambalo Magreth ana liona ana tamani kulichagua hilo.

“Jamani yote mbona ni mazuri?”

“Yaa yote ni mazuri. Wewe chagua kitu ambacho roho yako itapenda kwa kweli”

“Ila Audi ni nzuri kwa mtoto wa kike”

Sheby alishauri huku akimuonyesha Magreth gari hiyo yenye rangi nyeupe na inayo ng’ara vizuri.

“Kweli hili ni gari zuri, ni bei ngapi?”

“Audi Q7 ni dola laki moja na ishirini, hii ni model mpya ya mwaka huu.”

“Mmm parefu hapo”

Sheby alizungumza huku akitazama gari hilo.

“Nimelipenda hili”

Magreth akachagua gari hilo la kifahari aina ya Audi Q7

“Sawa, basi taratibu zote za usajili za hili gari nita shuhulikia, pia tuta kukabidhi kwa dereva atakaye kusaidia kuliendesha gari hili hadi nyumbani kwako”

“Sawa nashukuru sana”

“Tuelekee ofisini kwa ajili ya kuandikishana”

Magreth na Clayton wakaingia katika ofisini. Magreth akajaza fomu zote na kukabidhiwa funguo zake.

“Hilo gari ni jipya kabisa yaani ni zero kilomita.”

“Yaani nina hamu ya kuingia ndani ya gari hilo, hembu ngoja nikafungue”

Magreth akatoka ofisini humo na kukimbilia kwenye gari lake akafungua mlango na kuingia ndani. Furaha ambayo imemtawala hakika hajawahi kuipata toka kuja kwake duniani.

***

Nabii Sanga akaingia kanisani kwake. Waumini wake walio jitokeza kumuona kwa siku hiyo waka simama na kuanza kumshangilia huku wote wakiwa wamejawa na furaha sana. Nabii Sanga akawashukuru waumini wake hao, kisha baada ya hapo, akaongoza sala fupi ya kumshukuru Mungu. Kutokana siku hiyo sio siku ya ibada kanisani hapo, nabii Sanga akaagana na waumini wake kisha akaondoka na kuianza safari ya kuelekea polisi huku akiongozana na dereva wa kanisa hilo.

“Ndio RPC nina kuja ofisi kwako”

“Sawa tena nilikuwa nina fwatilia mazungumzo yako kwenye televishion na nikawa nina subiria umalize kuzungumza ili tuwasiliane”

“Sawa baada ya dakika kadhaa nitakuwa hapo”

Nabii Sanga akakata simu. Wakafika kituo kikuu cha polisi Dar es Salaam. Nabii Sanga akapokelewa na RPC na wakaeleka ofisini kwake.

“Karibu sana mzee”

“Nashukuru. Ehee niambie ume fikia wapi katika kutafakari kwako”

“Ahaa…kumpoteza ina wezekana na nimesha andaa mpango mzima wa kuhakikisha kwamba ana kufa kifo ambacho hakuna mtu yoyote atakaye tilia mashaka na hata kama ikitokea wakatilia mashaka basi uchunguzi ukifanyika hakuna mtu ambaye ata weza kugundua lolote”

“Je ni kiasi gani cha pesa uta hitaji kwa shuhuli hiyo?”

“Kutokana wewe ni mzee wangu na tuna fahamiana kwa kipindi kirefu na ume toka kwenye matatizo. Nipatie milioni ishirini tu zita nitosha”

“Sawa sawa nitakupatia. Nina omba jambo moja unisaidie”

“Jambo gani?”

“Nina hitaji kuonana na kijana huyo kabla ya kufa kwake”

“Sawa hilo halina shaka mzee”

RPC akampigia askari mmoja na kumuagiza amuingize Tomas katika chumba cha mahojiano. Baada ya zoezi hilo kukamilika, nabii Sanga na RPC wakelekea katika chumba hicho.

“Kamera na sound record katika chumba hicho zote zime zimwa kwa hiyo utakacho kizungumza hapo kitaishia ndani humo. Mimi nipo hapa mlangoni nina kusubiria”

RPC alizungumza huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.

“Sawa”

Nabii Sanga akaingia ndani ya chumba hicho na kumfanya Tomas ashtuke sana kwani hakutarajia kumuona nabii Sanga kwa wakati kama huu kwa namna moja ama nyingine alihisi kwamba Rama D na wadogo zake watakuwa wamemuua, kwani aliwashuhudia rafiki zake hao wakifa peke yao pasipo uwepo wa nabii Sanga.



Nabii Sanga wala hakujali kustuka kwa Tomas, akavuta kiti huku akitazama kamerza nne zilizo fungwa kwenye kila kona ya chumba humo ndani.

“Habari yako Tomas”

Nabii Sanga alianza kuzungumza huku akimtazama Tomas anaye kwepesha macho yake kutazamana na nabii Sanga, kwani ubaya wote alio utenda kwa mtu huyo umemrudia yeye mwenyewe.

“Niambie ni wapi nilikukosea?”

“Aha…ahaa baba ni…ni…sa…s…amehe”

Tomas alizungumza kwa kubabaika huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake. Nabii Sanga akatoa simu yake, na kuingia kwenye email yake na kuitazama video ya Tomas na mke wake wakifanya mapenzi ofisini kwake. Akamgeuzia Tomas video hiyo na kuzidi kumfanya Tomas awe katika wakati mgumu.

“Huyu ni mke wangu, tena mwanamke uliye kuwa una muheshimu kama mama yako wa kiroho. Leo hii una muingilia kinyume cha maumbile na yeye ana furahia sana. Niambie nikufanye nini?”

Tomas akashindwa kujibu swali hilo zaidi ya kuanza kaungua kilio, huku akitamani ardhi ipasuke na immeze.

“Nilikupa kazi zangu nyingi, nilikuamini sana Tomas, kwa nini umekuwa msaliti kwangu. Kwa nini umeamua kuharibu hatima ya familia yangu kwa nini?”

Nabii Sanga alizungumza kwa sauti ya upoe ila iliyo jaa msisitizo wa mtu ambaye amekasirishwa sana kwa kitendo hicho.

“Nashukuru kwa kila jambo Tomas.”

Nabii Sanga mara baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo, akasimama na kutoka ndani humo

“Umemaliza mzee?”

RPC alimuuliza nabii Sanga huku akimtazama usoni mwake.

“Ndio, hakikisha hii siku ya leo haimalizi”

“Sawa nitafanya hivyo”

Wakarudi kwa pamoja ofisini kwa RPC huku nyuma wakimuacha Tomas akizidi kuugulia maumivu ya moyo wake. Akajikuta akijilamu ni kwa nini alikubali ushawishi wa mrs Sanga na kuingia naye kwenye mahusiano yake. Akazidi kujilamu ni kwa nini alikubwali kupanga mpango wa kumteka nabii Sanga. Nabii Sanga akahamisha kiasi cha pesa walicho kubaliana na RPC kutoka kwenye akaunti yake na kuingia kwenye akaunti ya siri ya RPC.

“Nitahitaji kuiona maiti yake mukisha muua”

“Sawa muheshimiwa”

“Na jambo jengine, hakikisha hii ina kuwa siri. Mke wangu sihitaji aweze kuguswa na hili jambo”

“Sawa mzee. Ila nina weza kukuuliza swali”

“Uliza”

“Je ikitokea mke wako akafanya jambo jengine kubwa zaidi ya hili la kukuteka itakuwaje?”

“Nitajua jinsi ya kudili naye. Ila yeye asikuumize kichwa juu ya usalama wangu”

“Sawa sawa, nimekuelewa”

Nabii Sanga na RPC wakaagana kisha nabii Sanga akaondoka eneo hilo la polisi. Akawasiliana na Clyaton na akamfahamisha kwamba Magreth yupo bado ofisini kwake, ana furahia juu ya kupata gari hilo.

“Nina kuja sasa hivi”

“Sawa”

Nabii Sanga akakata simu na kumueleza dereva wake ni wapi ampeleke. Wakafika dukani kwa Clayton na moja kwa moja wakaingia ofisini pasipo Magreth kumuona.

“Yule kina kule kwenye gari na Magreth ni nani?”

Nabii Sanga aliuliza huku akiwa amesimama kwenye dirisha la ofisi hiyo huku akiwatazama Magreth na Sheby wakizungumza.

“Ahaa amekuja naye”

“Yeye ndio amekuja naye?”

“Ndio vipi mbona una shangaa?”

“Ahaa…hakuna. Ehee nipatie garama za gari alilo chagua”

Clayton akampatia nabii Sanga bei ya gari hilo. Nabii Sanga mara baada ya kumaliza kulipana na Clayton kwa kupitia njia ya kuhamisha pesa kutoka benki moja kwenye benki nyingine, akaelekea eneo alipo Magreth na Sheby. Magreth kwa furaha iliyo mtawala akashindwa kujizuia na kujikuta akimkumbatia nabii Sanga kwa furaha sana.

“Asante sana baba”

Magreth alizungumza kauli hiyo ili kuficha siri ya mahusiano yao.

“Usijali mwanangu. Huyu ni nani?”

“Ni Sheby, dereva taksi aliye nileta hapa kutoka kule mtaani kwetu na kunizungusha mji mzima”

“Ahaa..kijana una mdai kiasi gani Mage?”

“Alaa laki na nusu”

Nabii Sanga akaingiza mkono mfukoni mwa suruali yake. Akatoa laki mbili na kumpatia Sheby.

“Sasa kazi yako ime kwisha. Unaweza kwenda”

Sheby akazipokea pesa hizo kwa furaha, akamuaga Magreth kisha akaondoka zake.

“Siku nyingine sihitaji uwe karibu karibu na hawa vijana sawa”

Nabii Sanga alizungumza kwa ukali kidogo.

“Sawa mume wangu”

“Nashukuru kusikia hivyo. Vipi ume lipenda hili gari?”

“Ndio nimelipenda”

“Sawa wana malizia vibali vyote kisha tuta ondoka nalo leo kuelekea huko unapo ishi”

“Haya”

Vijana wa Clayton mara baada ya kumaliza kufwatilia maswala ya usajili wa gari hilo. Wakamkabidhi detail zote bosi wao kisha Claytona akamkabidhi Magreth nyaraka zake na wakaondoka eneo hilo na nabii Sanga.

“Hili gari zuri sana”

Nabii Sanga alizungumza huku akiendesha gari hilo.

“Kweli?”

“Ndio, kikubwa ulitunze sana”

“Usijali, nitakuwa nina liendesha kwa umakini wa hali ya juu”

Wakafika nyumbani kwa Magrerth. Nabii Sanga akalisimisha gari hilo kwenye maegesho yaliyomo katika nyumba hiyo ambayo ipo sehemu iliyo tulia sana.

“Hapa ni pazuri sana, nime papenda”

“Kweli mume wangu?”

“Ndio, tena leo nitalala na wewe hapa kuzindua nyumba”

“Haaaa”

“Ndio. Ehee una lipa kiasi gani hapa?”

“Laki tano”

“Umeipenda hii nyumba?”

“Sana”

“Basi kesho wasiliana na mwenye hii nyumba na tumshawishi juu ya kuinunua”

“Kweli?”

“Ndio mke wangu”

Nabii Sanga na Magreth wakazidi kuzama kwenye penzi ambalo kwa upande wa Magreth amempendea pesa mzee huyo huku upando wake wa dhati ukiwa kwa Evans ambaye bado ana endelea kuuguza jeraha la kisu alicho chomwa. Upande wa nabii Sanga, moyo wake ume mpenda sana Magreth na yupo tayari kufanya jambo lolote kwa ajili ya mwanamke huyo.

***

Mrs Sanga akafika Bagamoyo, akaelekea kwenye hoteli moja iliyopo pembezoni mwa bahari. Akachukua chumba kimoja na kulipia kwa siku mbili.

“Mawazo yangu yatapungua hapa”

Mrs Sanga alizungumza huku akijilaza kitandani. Akachukua simu yake na kuangalia picha za jogoo ambazo walikuwa wakitumiana na Tomas, kisiri siri kupitia mtandao wa whatsapp. Picha za jogoo wa Tomas, zikaanza kumsisimua mrs Sanga. Taratibu akaanza kujishika makaja yake, huku akiipandisha juu sketi yake ndefu aliyo ivaa. Alipo ona sketi hiyo ina mgasi gasi, akavua kasbisa nguo zake zote na kubaki kama alivyo zaliwa.

Mrs Sanga akaanza kuchezea kittumbua chake huku akikifikicha taratibu.

‘Ohooo aisiiisiiii”

Mrs Sanga alitoa miguno hiyo ya kimahaba, huku akiingiza vidole vyake viwili vya katika katika kitumbua hicho, huku katika hisia zake, akihisi vidole hivyo ndio jogoo wa Tomas.

‘Fuc**’

Mrs Sanga aliendelea kulalama huku akizidisha kasi ya vidole vyake. Alipo ona ameridhika kwa kufanya hivyo, akahamia nyuma. Akajizamisha kidole cha katiki huku akisikilizia jinsi anavyo pata burudani hiyo.

“Ohoo Tomas upo wapi, mkund** wangu una niswasha”

Mrs Sanga alilalama huku akiendelea kujichezea. Zoezi hilo likamchukua dakika hamsini hadi kuridhika. Akaiweka simu yake pembeni huku akihema sana, na jasho likimwagika mwili mzima, kwani shuhuli ya kujishuhulikia yeye mwenyewe haikuwa ndogo.

Akashuka kitandani hupo na kuingia bafuni, akaoga kisha akarudi chumbani. Saa ya ukutani katika chumba hicho ina muonyesha ni saa mbili usiku. Akavaa baibui lake kisha akatoka chumbani humo na kuelekea eneo la mgahawa mkubwa katika hoteli hiyo ya kitalii. Akatafuta sehemu yenye mwanga hafifu na kukaa. Akaagiza chakula anacho kihitaji pamoja na mzinga wa wyne ya dompo.

Chakula kikaletwa na muhudumu na kuana kula taratibu na kunywa huku akitazama tazama watu waliomo ndani ya mgahawa huu.

‘Ila huyu mwanaume hawezi kunifanya jambo lolote, la sivyo siri zake zote nitazitoa hadharani’

Mrs Sanga alizungumza huku akiendelea kula.

‘Au nimtishe kutoa siri zake kama ata mdhuru Tomas?’

Mrs Sanga aliendelea kuwaza kichwani mwake huku akizidi kutafuna nyama choma aliyo nunua.

‘Ndio, kwa maana hata yeye ameshwa nisaliti na nikamsamehe’

Mrs Sanga alizungumza huku akianza kuwaza matukio ya nyuma ambayo mume wake alisha wahi kuyafanya. Siku moja nabii Sanga alipo rudi kutoka nchini Nigeria, alirudi akiwa ameongozana na kijana wa kiume mwenye miaka kumi. Mrs Sanga alimuuliza mume wake juu ya kijana huyo, akamueleza kijana huyo alikuja kukaa kwa muda nchini Tanzania, kisha baada ya hapo ata rudi nchini Nigeria.

Toka alipo kuja kijana huyo nyumbani kwao, mtindo wa nabii Sanga kuamka usiku wa manene ukaanza. Kwa siku za hapo awali mrs Sanga alihisi kwamba mume wake ana kwenda kasali katika chumba maalumu cha maombi kilichopo chini ya ardhi katija jumba lao hilo.

‘Mume wangu nahitaji haki yangu bwana’

Mrs Sanga alilalama huku akimshika shika nabii Sanga usiku huo.

‘Mke wangu muda wa mauombi una karibia. Acha nikasali kwanza kisha nitarudi’

‘Jamani mume wangu toka utoke huko nchini Nigeria, hujawahi kunipa haki yangu. Sasa ni wiki ya pili, una hisi kwamba mimi sina hamu na wewe’

‘Natambua mke wangu ila nina kuomba univumilie hadi nikamalize kuomba’

‘Sawa mume wangu’

Mrs Sanga alikubali kishingo upande. Saa nane kamili usiku, nabii Sanga kama kawaida yake akanyanyuka kitandani huku akiwa na biblia yake na kuelekea katika chumba hicho. Mrs Sanga siku hiyo hakukubali kumuacha mume wake akasali yeye mwenyewe. Akasubiri kama dakika kumi na tano zipite kisha na yeye akashuka kitandani. Akatembea kwa mwendo wa kunyata hadi eneo la chini, kilicho chumba hicho ambacho ni wana famili tu ndio wana tambua juu ya uwepo wa chumba hicho. Mrs Sanga akastuka mara baada ya kufika mlangoni mwa chumba hicho na kusikia sauti za kimahaba.

‘Kuna nini?’

Mrs Sanga alijiuliza huku akitafakari kufungua mlango wa chumba hicho. Akausukuma taratibu mlango wa chumba hicho. Mapigo ya moyo yakamstuka sana mara baada ya kuona mishumaa mingi iliyo wazunguka nabii Sanga na kijana kutoka Nigeria ikiwa inawaka. Mbaya zaidi wote wawili wapo uchi kabisa huku nabii Sanga akimuingilia kinyume na maadilia kijana huyo. Mrs Sanga akajikaza na kuingia ndani humo, ila kutokana na mstuko alio upata kutokana na kuona tukio hilo ukamfanya aanguke na kupoteza fahamu. Jambo ambalo lilimfanya nabii Sanga na kijana huyo kustuka sana na kusitisha kila walicho kuwa wana kifanya.

“Hei samahani mama. Simu yako ina ita”

Sauti ya muhudumu aliye simama mbele ya mrs Sanga ika mstua sana na kumtoa kwenye dibwi zima la mawazo ya maisha ya nyuma aliyo ishi na nabii Sanga.

“Ohoo Mungu wangu hata akili yangu sijui ipo wapi”

Mrs Sanga alizungumza hukua kichukua simu hiyo. Akatazama na kukuta ni namba ya mtoto wake wa mwisho ndio anaye mpigia. Akaipokea simu hiyo na kuiweka simu hiyo sikioni mwake.

“Mama mbona napiga simu zaidi ya mara sita hupokei”

Juliethi alilalama.

“Ohoo samahani mwanangu, nilikuwa kwenye maombi na simu nime iweka sinlece. Ehee niambie”

“Upo wapi?”

“Kuna mama mmoja yupo huku Pangani, nime kuja kumfanyia huduma ana umwa sana. Vipi umesha rudi kutoka chuo mwanangu?”

“Ndio mama. Kama upo Pangani kweli utaweza kurudi usiku huu peke yako?”

“Hapana mwanangu, labda kesho au kesho kutwa ndio nitarudi. Vipi baba yako yupo nyumbani?”

“Hapana hayupo nyumbani naye nimempigia simu amedai kwamba hato rudi nyumbani.”

“Yupo wapi?”

“Hajaniambia yupo wapi, ila amenieleza kuna mambo ana yashuhulikia”

“Hembu kata simu nimtafute”

“Sawa mama”

Mrs Sanga akaitafuta namba ya mume wake huku akipiga fumba la wyne hiyo aliyo iagiza. Simu ya mume wake ikaita kisha ikakatwa. Akapiga tena, ikaita kisha ikakatwa. Akapiga tena mara ya tatu, ikaita kisha ikakatwa.

“Pumbavu”

Mrs Sanga alizungumza huku akihamia upande wa meseji.

“Naona unanikatia simu, upon a huyo malaya wako si ndio. Sasa ni hivi endapo Tomas atakwenda jela au kuudhurika na jambo lolote. Nitatoa siri zako zote hadharani, sasa tuone kama hao waumini wako unao wafanya mandondocha wata kusujudia. BYE”

Meseji hiyo haikuchukua hata sekunde thelathini, ikarudisha majibu kwamba imemfikia nabii Sanga na ameisoma.

***

Majira ya saa nne usiku, RPC akamchukua Tomas na kupitisha njia za siri zilizopo chini ya kituo hicho, pasipo askari wa aina yoyote kuweza kufahamu. Akafika eneo la mbali, njia nizi zilipo tokea, akamuingiza Tomas kwenye gari lake binafsi na si gari ya ofisi anayo tembelea nayo, huku Tomas akiwa amemfunga kitambaa cheusi ili aisweze kuona ni nani aliye mtoa wala kujua ni wapi anapo pelekwa. RPC katika kuikamilisha kazi hiyo aliyo pewa na nabii Sanga, hakuihitaji kuwa hewani ili wakuu wake wa kazi au wafanyakazi walipo chini yakue, wampate hewani. Akazima simu yake na kuzidi kuendesha gari lake hilo huku akielekea katika mjini wa Kibiti lilipo shamba lake,kiamini eneo hilo ana weza kutekeleza agizo la kumua Tomas pasipo mtu wa aina yoyote kuweza kugundua.

“Muna nipeleka wapi?”

Tomas aliuliza huku akitawaliwa na wasiwasi mwingi sana. Ila ukimya ulimo ndani ya gari hilo na kuto kuona kwake kutokana na kufungwa macho kwa kitambaa cheusi huku miguu na mikono yake ikiwa imefungwa, ikamuashiria Tomas kwamba hali aliyo nayo hivi sasa sio salama kwa maisha yake.

***

Meseji kutoka kwa mke wake, kukamfanya nabii Sanga kuchomoa jogoo wake kutoka katika kitumbua cha Magreth huku akiwa na wasiwasi.

“Baby vipi?”

Magreth aliuliza huku akimsangaa nabii Sanga akishuka kitandani. Nabii Sanga siku zote ana mfahamu mke wake, ni mtu ambaye ana simamia misimamo yake pale anapo amua jambo fulani kulifanya, tena awe ameliamua kihasira. Woga wa siri zake kuwa hadharani ukamfanya, ajikute akitengua mamauzi ya kuuwawa kwa Tomasa. Akaitafuta namba ya RPC na kumpigia, ili kumpa agizo la kusitisha zoezi hilo. Mapigo ya moyo yakazidi kumdunda nabii Sanga huku jasho likimwagika, mara baada ya kukuta namba ya RPC haipatikani hewani huku akitambua kwamba muda huu ndio wakati wa Tomasa kuuwawa kisiri.



“Ohoo Mungu wangu”

Nabii Sanga alihaha, huku akijaribu kuipiga tena simu ya RPC ila majibu aliyo kutana nayo hapo awali ndio hayo hayo anayo kutana nayo kwa muda huu.

“Baby niambie ni kuna tatizo gani?”

Magreth alizungumza huku akishuka kitandani na kumdadisi nabii Sanga.

“Kuna mambo ya kifamilia tafadhali naomba uniache kidogo”

Nabii Sanga alizungumza huku jasho likiendelea kumtiririka mwili mzima. Japo kuna air condition, ila haikuzuia jasho kuto mwagika kwa kiasi hicho.

“Nani nani nani?”

Nabii Sanga alizungumza huku akijaribu kutafakari ni nani ambaye ana weza kuzungumza naye kwa haraka ili kumfikia RPC. Nabii Sanga akamkumbuka mke wa RPC ambaye pia ni miongoni mwa viongozi wa kanisa lake. Akampigia na kwa bahati nzuri simu hiyo ikapokelewa.

“Habari za muda huu mama Karata”

“Salama tu baba mchungaji habari ya muda huu?”

“Salama, samahani sana kwa kukusumbua usiku”

“Hakuna taba baba yangu. Kwanza pole kwa kilicho tokea, yaani nilishindwa kufika kanisani leo kwa maana nipo safarini kwa sasa”

“Ahaa upo wapi kwa sasa?”

“Nipo Mwanza huku, nimekuja kumuuguza uguza mama mkwe, kidogo magonjwa ya uzeeni yana msumbua”

“Ahaa poleni sana”

“Tunashukuru kwa kweli, nina imani bwana Mungu ata kwenda kunyoosha mkono wake juu yetu”

“Hakika yeye ni mwema. Sasa nilikuwa nina hitaji kupata namba ya Mr Karata kwa maana nina mpigia kwenye ile namba yake iliyo ishia mwisho nane nane, ila simpati hewani kabisa”

“Ahaaa niliongea naye kama lisaa lililo pita. Akaniambia kwamba yupo njiani ana elekea poroni kwenye oparesheni ya kusaka majambazi hivyo akanitaarifu kwamba ata zima simu yake. Ila kuna namba yake nyingine ambayo ni private ya familia labdao nikupatie hiyo baba”

“Nitashukuru sana mama Karata”

“Sawa, kata simu nikutumie.”

Nabii Sanga akakata simu huku jasho likimvuja sana mwilini mwake. Hakuna kitu anacho kiogopa kwa mke wake kama kutoboa siri zake za ndani, ndio maana hata mke wake afanye kosa la aina gani basi yupo radhi kumsamehe na kuto muhukumu kwa chochote. Ujumbe mfupi wa meseji ukaingia, kwa haraka akaufungua na kukuta namba hiyo ya simu. Hakuhitaji hata kujibu ujumbe huo, akaipiga namba hiyo na kwa bahati nzuri ikaanza kuita.

***

RPC akapunguza mwendo wa gari lake huku akiwaza ni nani anaye mpigia kwenye simu yake ya siri sana ambayo ni yeye na wana familia wake ndio wana fahamu namba hiyo. Taratibu akaitoa simu hiyo ndogo aina ya Bontel na kuitazama namba hiyo vizuri na kuifahamu kwa haraka.

‘Ameitoa wapi namba yangu?’

RPC alizungumza kimoyo moyo huku akiitzama namba hiyo ya nabii Sanga inayo mpigia. Akasimamisha gari pambezoni mwa barabra, kisha akafungua mlango na kutoka nje ili Tomas asiweze kufahamu ni mtu gani ambaye amemteka kwa maana kama ni sauti ya RPC ni maarufu sana karibu kwa Watanzania wote kwani mara kwa mara huonekana kwenye vyombo vya habari akizungumza na waandishi wa habari.

“Ndio mzee”

RPC Karata alizungumza huku akitazama usalama wa eneo hilo.

“Upo wapi asiee?”

“Naelekea Kibiti. Namba hii sikumbuki kama nilisha wahi kukupatia mzee”

“Ni kweli, amenipatia mama muda huu. Nilikuwa naomba uweze kusitisha zoezi tulilo panga ulifanye”

“Kwa nini!!?”

RPC Karata alizungumza huku akiwa ameshikwa na mshangao mkubwa.

“Kuna mambo ambayo hayato kwenda sawa. Ninacho kuomba ni kumuachia huru na pesa niliyo kupatia wewe iwe ni zawadi yako”

RPC Karata akaka kimya huku akitafakari ni nini cha kufanya. Kama ni kumuachia huru Tomas ni lazima polisi wata mtafuta wakiamini kwamba ata kuwa ametoroka gerezani. Pia akimua askari vile vile wata mtafuta kwa kigezo hicho hicho cha kutoroka gerezani.

“Kipi bora sasa?”

RPC Karata alijikuta akijiuliza huku simu ikiwa sikioni mwake.

“Bora kivipi?”

“Ahaa samahani sio swali lako. Okay nimekuelewa, ila kwa sharti moja”

“Sharti gani?”

“Ufunge kinywa chako, usimuambie hata mke wako juu ya hili swala letu. Nina familia ina nitegemea nyuma yangu hivyo sihitaji matatizo yasiyo ya lazima kwenye maisha yangu.”

“Hilo sinto weza kulizungumza”

“Na jambo jengine ina bidi aondoke nchini Tanzania na akatafute nchi ya kwenda la sivyo. Mkono wa sheria ni mkubwa sana na utamsaka ndani ya nchii hii na endapo ata kamatwa, aisee hapo mimi sinto ingilia kati kwani jambo hilo litakuwa nje ya uwezo wangu”

“Nimekuelewa”

“Sawa mzee nashukuru kwa kunielewa”

RPC Karata akakata simu huku akiachia msunyo mzito, kwani kwenye maisha yake huwa hapendi kuianza kazi na kuiachia njiani. Akamtazama Tomas aliye muweka siti ya nyuma, akafungua mlango huo na kumtoa Tomas. Akamfungua mnyororo wa miguuni pamoja na pingu za mikononi. Akamuwekea bastola ya kichwa na kumfanya Tomas kujawa na woga.

“Leo hii Mungu wako amekusaidia na umepona kuhusiana na swala kutembea na mke wa mtu. Kesho rudia tena roho yako ita kwenda ahera madukani bila ya wewe kupenda. Potea ndani ya nchi hii kabla jeshi la polisi halijakukamata”

RPC Karata alizungumza kwa sauti nzito ambayo sio rahisi kujulikana. Akampiga Tomas kichwani kwa kutumia kitako cha bastola hiyo na kumpelekea kupoteza fahamu. Akamsukumia pembezoni mwa mtaro huku macho yake yakiwa yame fungwa na kitambaa cheusi. Kisha akarudi ndani ya gari lake na kuondoka eneo hilo na kurudi zake jijini Dar es Salaam huku akimtumia meseji nabii Sanga kwamba ame muachia huru Tomas.

***

‘TAYARI TOMAS AMEACHIWA HURU MKE WANGU. USIFUNGUE KINYWA CHAKO’

Mrs Sanga mara baada ya kuisoma meseji hiyo kutoka kwa mume wake, akatabasamu huku akiwa amejawa na furaha sana, kwani mpango wake umekwenda sawia kama vile alivyo kuwa ame panga.

‘Hawezi kukurupuka kwangu huyu fala’

Mrs Sanga alizungumza huku akishushia kipande cha nyama anacho kitafununa kwa fumba zito la wyne. Ujumebe mfupi ukaingia whatsapp, akaufungua na kukuta video kutoka kwa mume wake. Akaifungua video hiyo. Macho yakamtoka, mapigo ya moyo yakaanza kumuenda kasi sana. Pombe iliyo kuwa imesha anza kukitawala kichwa chake, yote ikakata. Video ya ngono, inayo muonyesha yeye na Tomas wakifanya mapenzi ofisini kwa mume wake, ndio hiyo aliyo tumiwa na mume wake. Ukaingia ujumbe mwengine wa meseji kutoka kwa mume wake kupitia whatsapp.

‘ENDAPO UTARUDI KUTEMBEA NA HUYO PAKA WAKO. NITAISAMBAZA HII VIDEO NA TUONE MIMI NA WEWE NANI NI ZAIDI YAKO.’

Mrs Sanga mikono yote ikazidi kumtetemeka kwa woga. Hakuna kitu kibaya kwa watu wanao jiheshimu na kujulikana kama matendo yao ya ajabu ambayo watu wa kawaida hawawezi kuyajua, pale yanapo kuwa wazi hadharani na kujulikana na kila mtu.

Mume wangu’

Mrs Sanga akatuma ujumbe huo wa meseji huku akijifuta jasho. Tiki mbili za blue zikamdhibitishia kwamba huo ujumbe umesha somwa na mume wake. Nabii Sanga akajibu ujumbe huo kwa vikatuni viwili vilivyo tumbua macho.

‘Kumbuka wewe ni Mume wangu. Nime pata wivu mara baada ya kusikia una tembea na Magreth na tena umemunulia nyumba na kumfungulia mgahawa. Shetani alinipitia na nikapanga kukuteka ili usimnunulie nyumba binti huyo. Kumbuka ni wapi tulipo toka mume wangu. Pesa hizi ambazo leo tuna zichezea, kumbuka ni mambo mangapi ambayo tumeyafanya ili kuzipata. Hembu acha kuzitawanya ki hivyo.’

Mrs Sanga aliandika ujumbe huo huku machozi yakimlenge lenga usoni mwake. Ujanja wake wote wa kutunisha msuli mbele ya mume wake ume kwisha.

‘Kumbuka tuna watoto. JONSON, JACKSON na JULIETHI. Wote hao wanatarajia urithi bora kutoka kwa sisi wazazi wao. Tusigawe mali zetu mume wangu’

Mrs Sanga alizidi kutuma ujumbe wa meseji kwa mume wake huku akiwa mpole ili kuzuia maamuzi ya mume wake juu ya kuisambaza video hiyo. Kwani video hiyo ina muonyesha jinsi anavyo liwa mkund** na Tomas.

‘Leo ndio una kumbuka una watoto wanao kutegemea eheee?’

‘Hapana nina wakumbuka kila siku mume wangu.’

‘Sasa mimi nimekuambia. Wewe fungua bakuli lako uone kama hizi video kama hazito wafikia hadi wanao. Siku zote kumbe una toa mkund** kwa wanaume wa nje, mimi mumeo hata kidole sijawahi kukuingiza khaaaa!! Inatia kinyaa kwa kweli’

Meseji hiyo ya nabii Sanga ikamfanya Mrs Sanga kushusha pumzi huku akitafakari nini cha kumjibu mume wake huyo.

‘Ila baba Jonson kumbuka hata wewe uli mfir** yule kijana wa Nigeria. Mbona nilikusamehe na kukuahidi kukutunzia siri?’

‘Nimefanya yote yale ili kudumisha huduma yangu. Unahisii bila kufanya hivyo leo tungekuwa na makanisa Tanzania nzima?’

‘Sawa mume wangu. Niambie upo wapi nije tuyazungumze haya?’

Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kiburi na jeuri yote ime potea.

‘Rudisha kwato zako nyumbani uta nikuta’

‘Sawa mume wangu nakuja’

Mrs Sanga, akafungua pochi yake na kuweka kiasi cha pesa anacho daiwa kwa huduma ya chakula na vinywaji aliyo patiwa. Akanayanyuka kwa haraka na kurudi chumbani kwake. Akabadilisha nguo na kuvua baibui hilo kisha, akakushanya kila kilicho cha kwake na kuianza safari ya kurudi jijini Dar salaam huku akiwazia endapo video hiyo aliyo nayo mume wake, ikisambaa duniani kote, sura yake ata iweka wapi kama mke wa nabii Mkubwa sana kutoka nchini Tanzania.

***

“Baby mbona nakuuliza swali, hunijibu mume wangu. Niambie ni nini kinacho endelea?”

Magreth alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama nabii Sanga aliye kaa kwenye sofa ndani ya chumba hicho.

“Simu yako ipo wapi?”

“Ahaa ipo pale”

“Naiomba”

Magreth akaichukua simu yake na kumkabidhi nabii Sanga.

“Ile video umeiweka wapi?”

“Eneo la kamera”

Nabii Sanga akatafuta video hiyo kisha akaifuta na kumrudishia Magreth simu yake.

“Sihitaji hiyo video iendelee kudumu kwenye simu yako”

“Sawa mume wangu, nimekuelewa”

“Niandalie suruali yangu nahitaji kwenda nyumbani sasa”

“Kwenda nyumbani!!? Kwa nini ikiwa uliniahidi kwamba tuta lala pamoja hadi asubuhi”

“Magreth fanya nilivyo kuambia nahitaji kwenda nyumba sasa hivi. Akili yangu haipo sawa”

Magreth hakuwa na ujanja zaidi ya kukubaliana na nabii Sanga. Akamuandalia nguo zake huku nabii Sanga akimpigia dereva wa kanisa lake na kumuhitaji amfwate eneo hilo la Kigamboni. Nabii Sanga akaingia bafuni na kuanza kuoga na kumuacha Magreth akiwa na maswali mengi sana. Magreth akaitazama simu ya nabii Sanga kwa sekunde kadhaa. Wivu wa mapenzi, ukamfanya aichukue simu hiyo na kuanza kupitia meseji moja baada ya nyingine ambazo amekuta akichati na mke wake. Meseji hizo zikamugopesha sana Magreth mara baada ya kusoma meseji ya mrs Sanga, anayo lalama kuhusiana na siri ya nabii Sanga ya kumfir** kijana wa Nigeria huku nabii Sanga akisisitiza kwamba amefanya hivyo ili kuisimamisha huduma yao.

‘Huduma gani? Au kanisa?”

Magreth alizungumza huku akiirudisha simu hiyo sehemu alipo itoa huku mapigo yake moyo yakimdunda kwa woga.

‘Kumbe huyu ana tumia njia ambazo si za Mungu kuvuta waumini eheeee? Hapana bwana ana upako haya mambo yatakuwa ni ya kwao wenyewe”

Magreth alizungumza mwenyewe huku akijitahidi kuyazuia mapigo yake ya mbio yasiende spidi kwa kuhisi vitu ambavyo hana uhakika navyo. Nabii Sanga akatoka chumbani, akajifuta maji mwili mzima kisha akavaa nguo zake huku akimpigia tena dereva na kumuomba aharakishe kuja kumchukua, pasipo kujua kwamba Magreth amesoma meseji zote katika simu yake.

***

Baada ya dakika arobaini na tano. Tomas akazinduka, kutoka kwenye hali ya kupoteza fahamu. Hii yote ni kutokana na hali ya mvua iliyo anza kunyesha maeneo hayo kwa kasi sana. Akajifungua kitambaa usoni mwake na kutazama eneo hilo. Kutokana na giza na mvua inayo endelea kunyesha hakuweza kuligundua eneo hili kwa haraka sana. Akatoka kwenye mtaro huo huku akiendelea kuvuta kumbukumbu zake ni wapi alipo. Mwanga mkali wa gari linalo kuja kwa kasi barabarani, likamfanya Tomas, apunge mkono ili kuomba msaada hata wa kuuliza kwama hapo alipo achwa ni wapi. Ila gari hiyo ndogo ikapita kwa spidi na kutokomea kwenye upeo wa macho wa Tomasa. Tomas akaanza kuifwata barabara hiyo ya lami huku akikisia kwamba anapo elekea itakuwa ni jijini Dar es Salaam. Akasikia mlio wa gari unao kuja nyuma yake. Akageuka na kupunga mkono na gari hilo likaanza kupungumza mwendo na kadri jinsi linavyo zidi kumsogelea ndivyo jinsi aliyo fahamu kwani namba za usajili za gari hilo ni mali ya Mrs Sanga, mwana mama aliye muharibia maisha yake matamu ya uhuru na kumfanya sasa aanze kuishi kwenye maisha mabaya ya kupoteza uhuru ndani ya nchi yake. Huku onyo na agizo la kuondoka nchini Tanzania kabla ya kukamatwa na polisi likijirudia kichwani mwake.



Gari hilo likasimama mbele yake kidogo na kumfanya Tomas kusimama huku akiwa na mashaka kiasi moyoni mwake, kwani hisia za kumuona nabii Sanga akiwa na mke wake zime mtawala kichwani mwake. Mlango wa gari hilo ukafunguliwa, Tomas hakuamini alipo muona Mrs Sanga akaishuka kwenye gari hilo. Hakujali mvua inayo nyesha ila Mrs Sanga akamkimbilia Tomas na kumkumbatia kwa nguvu huku akimpiga mabusu mfululizo ya usoni mwake.

“Jamani pole mpenzi wangu, mbona ume chafuka hivi?”

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa ameshau kwamba hadi hapo alipo, yupo kwenye kikaangio cha mume wake na ameahidiwa na mume wake akianzisha tena mahusiano na Tomas basi video yake ya ngono ina kwenda kuwekwa mtandaoni.

“Upo na nani kwenye gari?”

“Peke yangu hembu tuondoke eneo hili mume wangu”

“Una taka twende wapi?”

“Nikupeleke sehemu yoyote ambayo uta ihitaji”

“Nahitaji kuondoka nchini Tanzania usiku huu huu. Nataka kwenda Aftika kusini kwa mke wangu”

Tomas alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Mrs Sanga usoni mwake.

“Afrika kusini kwa mke wako.Tomas mbona hukuwahi kuniambia kwamba una mke Afrika kusini”

“Vitu vingine sio muhimu kwa wewe kuweza kufahamu. Ila kumbuka kwamba nina omdoka kwa ajili ya wewe. Nimepewa nafasi moja ya kuishi hapa duniani ni kuondoka. Sitaki tena mahusiano na wewe. Kama utaweza kunisaidia basi nisaidie ila kama huto weza kunisaidia sawa usinisaidie, ila nitajua nini cha kufanya”

Tomas alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Mrs Sanga kukaa kimya huku akiitafakari hali hiyo ya Tomas.

“Sawa ingia kwenye gari”

Mrs Sanga alizungumza na Tomas akafungua mlango wa siti za nyuma na kuingia.

“Kaa huku mbele”

“Mama sihitaji mapenzi na wewe. Nina mtoto mdogo na mke wangu wana nitegemea. Siwezi kufa kwa ajili yako. Kama una weza nisaidie kuondoka nchini ila kama huwezi, usinisaidie”

“Ila Tomas kukuambia kwamba ukae mbele si kwamba nina lengo baya”

“Lengo liwe zuri au baya ila nakuomba tafadhali tuondoke. Nipelekea nyumbani kwangu, nikachukue vilivyo muhimu niondoke”

“Sawa”

Mrs Sanga akwasha gari na kuianza safari ya kwenda nyumbani kwa Tomas. Ukimya wa dakika kadhaa ukatawala ndani ya gari huku Tomas maombi yake yote kwa Mungu ni kufanikiwa kuondoka Tnazania kabla ya kukamatwa tena na polisi.

“Tomas”

“Naam”

“Kwa hiyo ndio mimi na wewe basi?”

“Tena sio basi ya herufi ndogo ni BASI ya herufi kubwa mama. Sihitaji kabisa kufa. Leo bado nusu nife na keshi keshi nilizo pitia…..Ahahh hapana kwa kweli, siwezi kuwa mjinga tena”

“Ila Tomas hiyo uliyo pitia ni mikwara tu”

“Nyooo acha using** wewe mama. Nimepigwa shoti za umeme, nimewekewa bastola kichwani mwangu mara kadhaa. Nimeshuhudia rafiki zangu wakiuwawa kwa kupigwa risasi tena kikatili, sasa hivi una niambia mikwara. Acha ujinga bwana”

Tomas alizungumza kwa hasira huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Mrs Sanga akakosa cha kuzungumza zaidi ya kuendelea kuvumilia maumivu ya kuachwa na mwanaume anaye mpenda. Wakafika nyumbani kwa Tomas.

“Baki hapa”

Tomas alizungumza huku akifungua mlango wa gari hilo.

“Kwa nini jamani. Au uniruhusu kuingia ndani?”

“Kama vipi wewe ondoka”

“Tomas, acha kuwa na hasira. Kumbuka kwamba haya tuliyo yafanya yote ni kutokana na upendo wetu”

“Nisikilize wewe mwanamke mpnede mume wako. Nakama hujui, mumeo ana video ya ngono niliyo kuwa nina kufir** mule ofisini kwake. Sasa wewe shangaa shangaa macho tu. Atakuua na wewe. Kwanza washa gari lako usepe una niwekea kiwingu”

Tomas akashuka na kuubamiza mlango wa gari la Mrs Sanga. Mrs Sanga hakuridhila kuachwa kwa namna hiyo na Tomas, akaingia kwenye geti la nyuma anayo ishi Tomas na kuanza kumuita. Tomas akatoa fungua kwenye maua yaliyo katika chungu maalumu, kilichopo hapo mlangoni mwake. Akafungua mlango wake huku akiwa hamsikilizi chochote mrs Sanga.

“Tomas kumbuka kwamba nina kupenda. Kumbuka kwamba nina kuhitaji sana kwneye maisha yangu. Sihitaji kukuacha, wewe ndio kila kitu kwenye maisha yangu. Una nikuna kila sehemu ya mwili wangu, una nikata kiu yangu ya mapenzi. Kwanini nikuache’

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa ana angua kilio kizito sana.

“Hivi wewe mwanamke ume rogwa ehee?”

“Ndio Tomas, umeniroga na penzi lako. Umeniroga baba, sisikii wala sisemi chochote. Ume niroga baba”

Mrs Sanga alizungumza huku akiishika miguu ya Tomas aliye simama huku akimtazama kwa macho ya hasira. Tomas ana tamani hata achukue kiti kizito na kumponda mwanamke huyo kichwani mwake.

“Tomas, nipe, nipe vya mwisho mwisho. Nitakupa chochote utakacho taka. Tafadhali Tomas”

Tomas akashusha pumzi nzito, kwani hakuwahi kutegemea kwamba ipo siku mwana mama huyo ata kuwa ni king’ang’anizi namna hiyo.

***

“Baby ni lini uta kuja tena?”

Magreth alimuuliza nabii Sanga kwa sauti ya upole huku akimtazama usoni mwake. Nabii Sanga hakujibu chochote zaidi ya kuendelea kuminya minya simu yake.

“Sanga si nimekuuliza jamani”

“Mage sijui lini nitakuja. Kichwa changu hakipo sawa. Tafadhali nina kuomba uniache kwa muda”

“Nikuache kwa muda, au kwa sababu una kwenda kukutana na mke wako si ndio. Umeniacha na nyege kitandani kisa mke wako si ndio. Nini maana ya upendo wako ulio kuwa una niahidi au ulitaka kunivunja tu usichana wangu ili unichezee si ndio?”

Magreth alizungumza kwa hasira iliyo chananyikana na wivu.

“Usifike huko Magreth tambua kwamba nakupenda ndio maana nimefanya kila kitu kwa ajili yako”

“Kila kitu kwa ajili yangu. Okay rudi kitandani uendelee kuni tomb**”

“Mage kuna maswala yametoke ya kifamilia nina takiwa kuyaweka sawa. Ninakuomba unielewe basi mke wangu”

“Ahaa….una hofia mke wako kukutolea siri za kumfir** sijui huyo kijana wa kinigeria?”

Nabii Sanga moyo ukamstuka sana. Hakuamini kama Magreth ana weza kugundua swala hilo. Kabla nabii Sanga hajazungumza kitu chochote, simu yake ikaita, akaitazama na kukuta ni dereva wake. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio”

“Nimefika hapa nje”

Nabii Sanga akakata simu na kuuzungusha mkono wake mmoja akiunoni mwa Magreth.

“Nisikilize Mage. Haya aaliyo yazungumza huyu mwanamke hayana ukweli wowote ndani yake. Usimsikilize kwa maana ame changanyikiwa”

“Kwa hiyo una niachaje mimi?”

“Kivipi?”

“Mimi nina nyeg** bado”

“Mage nakuahidi kesho asubuhi nitakuja kabla hata sijafanya jambo lolote”

“Una nidanyanya”

“Kweli nina kuja”

“Poa”

Magreth alijibu kishingo upande, taratibu nabii Sanga akambusu Magreth mdomoni kisha akatoka ndani humo. Akatoka kabisa getini na kuingia kwenye gari la kanisa.

“Shikamo mzee”

“Marahaba. Ngoja kwanza”

Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kuitafuta simu ya mke wake kwa kutumia GPRS. Haikuchukua muda mrefu sana akafanikiwa kuiona ni sehemu gani simu ya mke wake inapo patikana. Jambo lililo mstusha sana ni kwamba eneo hilo alipo mke wake kwa sasa ndio maeneo ya mtaa anao ishi Tomas. Nabii Sanga hakuhitaji kupoteza muda zaidi ya kumueleza dereva wake waelekee nyumbani kwa Tomas.

Magreth mara baada ya kumshuhudia nabii Sanga akiondoka, akaingia bafuni na kuoga kwa haraka huku saa yake ya ukutani ikionyesha majira hayo ni saa sita usiku.

‘Wata kubali tu’

Magreth alizungumza huku akimalizia kuoga. Akarudi chumbani kwake na kuvaa nguo aliyo iona ina mpendeza. Akampigia Sheby simu na kumuomba aweze kufika nyumbani kwake hapo haraka iwezekanavyo.

‘Pesa itasaidia kufanikisha ninalo kwenda kulifanya’

Magreth alizungumza huku akichukua kiasi cha pesa na kuingiza kwenye wallet yake ya kike. Sheby akafika nyumbani hapo na Magreth akaingia kwenye gari na kuondoka eneo hilo.

“Usiku huu kweli pale Mwanyamala wana weza kuturuhusu kuingia?”

“Ndio”

“Kwani kuna madokta ambao una fahamiana naye?”

“Hapana ila twende”

Baada ya nusu saa sakafika katika hospitali ya Mwanayamala. Kitu alicho kifanya Magreth ni kutoa kiasi cha pesa kila sehemu ambayo walipewa kizuizi cha kuingia.

“Sheby nisubiri hapa ndani ya gari.”

“Sawa”

Magreth akashuka ndani ya gari hilo na moja kwa moja akaelekea katika chumba alicho lazwa Evans Shika. Kwabahati nzuri akamkuta akiwa bado hajalala.

“Mage mbona usiku sana vipi?”

“Nimekuja kukuona, nimeshindwa kulala Evans”

Magreth alizungumza huku akiufunga mlango wa chumba hicho kwa ndani. Kwa jinsi nyeg** zilivyo utawala mwili wake, Magreth alishindwa kabisa kujizuia. Akamsogelea Evans kitandani alipo lala.

“Evans nina kupenda. Nimeshindwa kuvumilia, nimeshindwa kabisa kulala kwa ajili yako. Nakupenda sana”

Magreth alizungumza huku akivua gauni lake hilo alilo livaa. Akabakiwa na chupi pekee huku kifuani mwake, maziwa yake yaliyo kaa vizuri yakimtamanisha Evans ambaye kwenye kipindi chote cha maisha yake hakuwahi kukutana na mwanamke kimwili. Magreth akauingiza mkono wake wa kulia katika suruali hiyo ya Evans ambayo amekabidhiwa na madaktari kwa maana haimbani mwili wake. Akamtoa jogoo wa Evans ambaye ana urefu wa inch nane huku akiwa na unene uliyo jitosheleza. Magreth macho ya uchu wa ngono ukamjaa, akamshika vizuri joo huyo na kuanza kumnyonya taratibu pasipo kujali kama Evans ni mgojwa anaye karibia kupona haraka.

***

“Toms tafadhali mume wangu, naomba tafadhali”

Mrs Sanga alizungumza huku akimshika Tomas eneo la jogoo wake. Hisia kali alizo nazo Tomas kwa mrs Sanga, zikaifanya hasira yake kuanza kumyayuka tartaibu. Mrs Sanga akafungua zipu ya suruali ya Tomas na kumtoa jogoo wa Tomas aliye simama dede. Akaanza kumnyonya taratibu huku akisahau kabisa safari ya kuelekea nyumbani kwake.

“Ohoo…a.iiisii….iiiaa…..”

Tomas alitoa minguno ya kimapenzi huku akimshika mrs Sanga kichwani mwake. Akaanza kumsokomeza kwa nguvu jogoo wake huyo mdomoni mwa mrs Sanga hadi akamfanya mwana mama huyo kutoa sauti iliyo jaa mikwaruzo huku mate mengi yakimwagika mdomoni mwake.

“Ahaa…”

Mrs Sanga alitoa mguno wa furaha, huku akirudia zoezi hilo tena la kumsokomeza jogoo wa Tomas hadi akakaribia kuingia kooni mwake.

“Khaaa…..arghh……”

Mrs Sanga alilalama, taratibu akasimama na wakaanza kunyonyana midomo yao huku wakizama kwenye dimbwi kubwa la mapenzi. Tomas akamsukumia Mrs Sanga kwenye sofa huku akizivua nguo zake haraka haraka. Mwanga wa mbalamwezi unao ingia kupitia dirisha kubwa la hapo sebeleni, ukawawezesha Mrs Sanga na Tomas kuonana vizuri sana pasipo wao kuwasha taa chumbani humo.

Mrs Sanga akavua nguo zake huku Tomas akikamilisha kumvua Mrs Sanga chupi yake, akaipanua miguu ya mwana mama huyo na kuanza kumpa penzi zito mwana mama huyo kiasi cha kumfanya mwana mama huyo kushindwa kabisa kujizuia sauti yake na kuanza kutoa vilio vya burudani.

“Hembu simama hapa”

Nabii Sanga alimuambia dereva wake mara baada ya kuona gari la mke wake nje ya geti la nyumba ya Tomas. Hasira ikaanza kumtafuna nabii Sanga, huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi sana.

“Usishuke kwenye gari na zima taa za gari”

“Sawa mzee”

Nabii Sanga akashuka kwenye gari huku akianza kutembea kwa hatua za tahadhari hadi sehemu lilipo gari la mke wake. Akachungulia katka kioo cha nyuma na hakuweza kumuona mtu yoyote. Akajaribu kufungua mlango wa dereva na akaukuta wazi. Akafungua na kutazama ndani na kukuta funguo ya gari ikiwa ina ning’inia eneo hilo. Nabii Sanga akaachia msunyo mzito huku akichomoa funguo hiyo, akafunga mlango wa gari hilo huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

Akalitazama geti dogo la nyumba ya Tomas, kisha akaanza kutembea kuelekea kwenye geti hilo. Akajaribu kulisukuma kwa ndani na kwa bahati nzuri likafanikiwa kufunguka. Akatazama nyumba hiyo na kukuta taa zote zikiwa zime zimwa. Akaanza kutembea kwa hatua za kunyata kuelekea katika mlango wa kuingilia ndani kabisa ya nyumba hiyo. Vilio na miguno ya kimahaba, vikamafanya nabii Sanga kujawa na hasira kwani ana vitambua vilio vya mke wake. Amlango wa kuingilia sebleni hapo, upo wazi kidogo, hivyo ikamuwia uraisi kwa nabii Sanga kuingia pasipo Tomas na mrs Sanga kuweza kujua chochote. Nabii Sanga akahisi moyo wake ukilipuka kwa mapigo ya moyo yatokanayo na hasira. Hakuamini kabisa kumuona mke wake akiwa amekunjwa vibaya kwenye sofa moja la sebleni hapo, huku Tomas akizungusha kiuno chake kwa kasi sana. Nabii Sanga akaupeleka mkono wake ukutani na kuminya swichi ya taa za sebleni hapo na zote zikawaka na kuwafanya Tomas na Mrs Sanga kustuka sana huku wakitazamana na nabii Sanga aliye simama mlangoni hapo huku akiwa amefura kwa hasira kiasi cha kushindwa hata ajue awafanye nini wasaliti wake hao.



Mrs Sanga na Tomas wakajikuta wakikaa kwenye sofa hilo miili yao ikizidi kutetemeka kwa woga. Nabii Sanga, akaangaza macho yake sebleni hapo, ili aweze kupata kitu cha kuwaadhibu Tomas na mke wake ila akakosa kitu cha maana. Nabii Sanga akafunga mlango wa kutokea ndani humo huku akikunja mikono ya shati lake ambayo ni mirefu. Hapakuwa na hata mmoja wao aliye weza kusimama ili kukimbia.

“Endeleeni”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwakazia macho. Akaitazama meza ya chakula iliyopo karibu na sebleni hapo, kwa bahati nzuri akaona kisu. Akakifwata na kukichukua huku macho yake yakiwa makini sana kwa Tomas na mke wake.

“Endeleeni”

Nabii Sanga alizungumza huku akikaa akiwasogelea karibu. Tomas hakika hakuweza hata kusimamisha jogoo wake, kwani hali ya hofu ime mtawala sana mwilini mwake.

“Nimesema endeleeni muna nitumbuliaa nini macho”

Nabii Sanga alifoka, huku akimpiga Tomas mgongoni mwake kwa kutumia ubapa wa kisu hicho kikubwa kiasi. Nabii Sanga akatoa simu yake mfukoni na kuweka sehemu ya video na kuanza kurekodi kitu kinacho endelea eneo hilo.

“Mnyonyo denda huyo”

Nabii Sanga alizungumza huku akikisukumiza kichwa cha Tomas karibu na kichwa cha mke wake.

“Mu…m….mmu…m….”

Mrs Sanga alitamani kuzungumza jambo, ila maneno yakashindwa kumtoka kabisa kinywani mwake. Nabii Sanga akamtandika Tomas kofi zito la mgongo na kumfanya Tomas aweweseke na kuanza kumnyonya mrs Sanga lipsi zeke huku wote wawili wakiendelea kutetemeka kwa woga.

“Mnyonye vizuri, una tetemeka nini?”

Nabii Sanga alifoka huku akimpiga tena Tomas ngumi ya mgongo.

“Na wewe malaya mzee changamka”

Nabii Sanga alimuambia mke wake ambaye amelegea kabisa kwa woga.

“Yaani usipo simamisha mbo** yako itasimama yangu na nita kufir** leo”

Nabii Sanga alizungumza huku jasho likimvuja mwili mzima. Tomas, kila alivyo jaribu kuvuta hisia zake ili jogoo wake aweze kusimama ila ina shindikana jambo lililo zidi kumpa hofu na woga wa kuingiliwa kinyume na maumbile.

“Wewe malaya mnyonye mseng** mwenzako”

Mrs Sanga taratibu akamshika jogoo wa Tomas na kuanza kumnyona huku naye akitamani dunia ipasuke na immeze. Nabii Sanga hakika hakuwa na masiraha hata kidogo. Mrs toka aolewe hakuwahi kumuona mume wake akiwa ame kasirika kwa kiasi hicho, kwani hadi mcho yake ambayo siku zote yametawalia na weupe, ila leo yamekuwa mekundu mithili ya mvuta bangi aliye bobea katika kilevi hicho.

Mrs Sanga akajitahidi kadri ya uwezo wake kuhakikisha kwamba ana mnyonya jogoo wa Tomas ili asimame ila anashindwa kabisa.

“Yaani asipo simama ndani ya dakika tano nina kufir** na wewe”

Maneno hayo ya nabii Sanga yakazidi kumuogopesha Tomas na mrs Sanga ambao miili yao ina vujwa na jasho la woga. Kila kinacho endelea nabii Sanga ana kirekodi vizuri sana. Hadi dakika tano zina malizika hapakuwa na majibu mazuri kwa Tomas.

Nabii Sanga alipo ona hakuna chochote kinacho endelea kwa Tomas, akaihifadhi video hiyo anayo irekodi katika simu yake, kisha akairudisha simu yake mfukoni. Akachukua shati la Tomas na kumfunga kikono yake kwa nyuma, huku mrs Sanga muda wote huo amejibanza kwenye sofa huku akilia kwa woga sana.

“Nyinyi huwa muna wafanya watu wanao mtumikia Mungu ni malaika wasio na hasira. Hata mimi nina unyama ndani yangu. Sasa acha leo nikuonyeshe mbwa wewe”

Nabii Sanga alizungumza huku akimtandika mangumi ya mbavu Tomas ambaye muda wote anatetemeka. Tomas ubavu wa kujinasua mikononi mwa nabii Sanga kama mwanaume, wote umemuishia. Nabii Sanga akamuinamisha kinguvu Tomas anaye jaribu kukurupuka, ila ana shindwa. Nguvu alizio jaliwa nabii Sanga hakika zikawa ni kigezo kikubwa cha kumshinda Tomas aliye jikuta akibong’oleshwa. Nabii Sanga akafungua suruali yake na kumtoa jogoo wake aliye simama tayari.

“Sasa leo nina mfir** huyu mbwa wako ili ujue kwamba mimi ni shetani”

Nabii Sanga alizungumza huku akimpaka paka mate jogoo wake. Alicho kizamiria nabii Sanga ndicho alicho kifanya, japo Tomas alitoa ukelele wa maumivu makali sana, ila nabii Sanga hakulijali hilo zaidi ya kuzidi kumgandamiza jogoo wake katika mkund** wa Tomas.

“Si una ona raha kufir** wake za watu leo ni zamu yako”

Nabii Sanga alizunugmza huku akizidi kuongeza kasi ya kumshuhulikia Tomas anaye lia kwa uchugu sana hadi akamfanya mrs Sanga kujisikia ni mwenye hatia ya kuyaharibu maisha ya kijana huyo. Nabii Sanga akatumia dakika ishirini kufika kileleni na kumchomoa jogoo wake huyo aliye mshuhulikia kisawa sawa Tomas.

“Nilikupa onyo la kuondoka nchini Tanzania, ila hujalitii sasa, ikifika alfajiri na nikakuona hapa Tanzania nina kuua”

Nabii Sanga alizungumza huku akijifuta jogoo wake kwa kutumia suruali ya Tomas kisha akamrushia usoni mwake.

“Wewe malaya vaa nguo tuondoke. Utakwenda kunijubu vizuri nyumbani”

Mrs Sanga akakosa hata nguvu za kusimama. Nabii Sanga akamsogelea mke wake, akamzaba makofi mawili ya mashavuni na kumfanya mwana mama huyo kusimama huku akitetemeka. Mrs Sanga akaanza kuvaa nguo zake taratibu. Alipo maliza, kwa ishara nabii Sanga akamuamrisha mke wake kumfungua Tomas shati hilo alilo mfunga mikono kwa nyuma.

“Ni onyo la mwisho. Endapo nitakuona hapa Tanzania kwa mara nyingie nitakuua”

Nabii Sanga alizungumza huku akimnyooshea Tomas alicho kishika mkononi mwake. Mara baada ya kuzungumza hivyo akamshika mkono mke wake. Akafungua mlango na kutoka nje. Dereva alipo muona nabii Sanga na mke wake wanatoka getini akawasha geri na kuwafwata walipo.

“July wewe nenda nyumbani. Nitaondoka na gari la mama hapa”

Nabii Sanga alizungumza huku uso wake ukiwa umejaa tabasamu pana sana ili kumfanya dereva wake asielewe ni nini kinacho endelea.

“Sawa baba nikutakie usiku mwema”

“Na wewe pia”

July akawasha gari na kuondoka eneo hilo. Nabii Sanga akamfungulia mke wake mlango na kumuingiza ndani, kisha na yeye akazunguka upande wa dereva na kuingia. Akawasha gari na kuondoka eneo hilo kwa mwendo wa kasi sana.

Tomas kwa unyonge akanyanyuka kwenye sofa hilo huku maeneo aliyo ingiliwa yakiwa yamejawa na maumivu makali sana. Akaelekea moja kwa moja bafuni kwake, akaanza kujisafisha huku akiwa katika hali ya wasiwasi na maumivu ya moyo. Chuki dhidi ya Mrs Sanga na nabii Sanga ikaanza kuutawala moyo wake, akatamani kujiua ila moyoni mwake, kila anapo kumbuka familia yake akajikuta aki hairisha mawazo hayo mabaya.

‘Lazima nilipe kwa hili. Nitahakikisha nina lipa’

Tomas aliapa kimoyo moyo huku akiweka nguo zake katika begi la mgongoni kwa ajili ya safari ya kuelekea Afrika kusini.

***

“Ohoo…iaa…aiiia…..Mage……”

Evans alitoa miguno ya kimahaba, huku akisikilizia ulimi wa Magreth jinsi unavyo cheza katika jogoo wake aliye simama dede. Magreth taratibu akapanda kitandani hapo. Akamshika jogoo wa Evans na kumkalia taratibu huku akisikilizia utamu anao upata kwa mwanaume huyo anaye mpenda toka siku alipo weza muona.

“Taratibu utani…tonesh….a kidonda”

Evans alizungumza huku akimtazama Magreth aliye pagawa na jogoo huyo.

“Haya”

Magreth alizungumza huku akikizungusha kiuno chake huku makalio yake makubwa yakigonga gonga katika mapaja ya Tomas. Kukaa kwa muda mrefu bila ya kuto kufanya mapenzi, kumafanya Evans asichukue muda mrefu sana na kujikuta akiwafyatua waarabu weupe ndani ya kitumbua cha Magreth.

“Umekojoa!!?”

Magreth alizungumza huku akihema kwani utamu ndio kwanza kwake ume kolea.

“Eheee”

“Ngoja kidogo”

Magreth akaongeza spidi ya kukizungusha kiuno na ndani ya muda mfupi na yeye akajikuta akifika kileleni na kumfanya mwili mzima kumtetemeka kwa utamu anao uhisi.

“Ohoo asante sana Evans. Wewe ndio mwanaume wa maisha yangu”

Magreth alizungumza huku akiendelea kusikilizia jinsi waarabu weupe wa Tomas wanavyo mshambulia ndani ya kitumbua chake. Taratibu Magreth akashuka kitandani hapo, akamsafisha vizuri jogoo wa Evans kisha na yeye akajisafisha vizuri kwa tenge aliko kuwa amejifunga kiunoni mwake. Magreth akaipandisha suruali ya Evans kisha na yeye akivaa nguo zake huku kila mmoja akiwa na aibu kwani hapakuwa na hata mmoja wao aliye wahi kuzungumzia juu ya hisia zake kwa mwenzake.

“Kwa nini ime kuwa hivi?”

Evans aliuliza huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Eehee!!”

“Kwa nini umeamua kunipa kitu ambacho sijawahi kupewa na mwanamke wa aina yoyote katika maisha yangu?”

“Kweli hujawahi kupewa penzi na mwanamke yoyote?”

“Ndio, wewe ndio mwanamke wa kwanza kunipa penzi. Miaka yote nimekuwa nikiishi kwa kujichua tu ili kuipunguza hamu yangu”

“Jamani, usijali nitakuwa nina kupa kila mara utakapo hitaji”

“Mage”

“Bee”

“Una nipenda?”

“Ndio, nina kupenda sana Evans. Kwenye maisha yangu sijawhai kumpenda mwanaume wa ina yoyote zaidi yako wewe”

“Kweli?”

“Ndio, nina kupenda. Natambua ni jambo gumu sana kwa mwanamke kumuambia mwanaume kwamba ana mpenda ikiwa ndio mara yao ya kwanza. Ila nimejizuia nimeshindwa Evans nakuomba uweze kunielewa katika hio”

“Magreth nimekuelewa na hata mimi nina kupenda. Nitahakikisha kwamba nina kulinda maisha yangu yote na nitakutunza. Hii elimu ya biashara niliyo isomea, hakika ita tusaidia kukuza biashara ya maandazi uliyo nayo”

Magreth akajikuta akimkumbatia kwa nguvu Evans hadi kwa bahati mbaya aka muumiza eneo la jera.

“Ohoo pole mpenzi wangu”

“Nimepoa nakupenda sana Magreth”

“Nina kupenda pia Evans wangu”

Magreth taratibu akazisogeza lipsi zake hadi katika lipsi za Evans na wakaanza kunyonyana ndimi zao huku wakiwa katika hisia kali sana na mapenzi.

***

Nabii Sanga na mke wake wakafika nyumbani kwao. Mara baada ya nabii Sanga kusimamisha gari hilo, akashuka na kumfungulia mke wake mlango.

“Shuka”

Nabii Sanga alizungumza kwa sauti nzito iliyo jaa hasira na uchungu mkali sana. Mrs Sanga kwa woga akashuka huku akiuatazama macho hayo ya mumewe yanayo dhihirisha kwamba leo hali sio nzuri. Nabii Sanga kwa upendo wa kuwadanganya walinzi wake. Akamshika mkono mke wake na wakaingia ndani na hapakuwa na mlinzi wa aina yoyote ambaye aliweza kutambua kwamba watu hao wapo katika uhasama mkali sana. Nabii Sanga na mke wake wakaingia chumbani, kitendo cha nabii Sanga kufunga mlango wa chumba hicho, akachomoa mkanda wa suruali yake na kuanza kumcharaza mke wake mikanda mfululizo huku kwa mara kadhaa akimziba mdomo wake ili asitoe kelele yoyote ya kuomba msaada.

“Nina kupa kila kitu, ila una kwenda kufanya ujinga kwa yule kijana sasa leo utanitambua”

Nabi Sanga alizungumza huku akiendelea kupiga mke wake, kipigo ambacho toka waowane hakuwahi kumpiga mke wake. Nabii Sanga ili kelele zisitoke, chumbani humo, akamburuta mke wake hadi katika bafu lililopo chumbani kwao. Akaziba eneo linalo tolea maji katika sinki lao la kuogea. Akafungulia bomba na maji yakaanza kujaa katika sinki hilo.

“Leo utanijua mimi ni nani. Malaya mkubwa wewe”

“Mume wangu nakuomba unisamehee….Sinto rudia tena mimi”

Mrs Sanga alilia kwa uchungu sana, hakuwahi kupigwa hata kofi na mume wake huyo toka walipo fahamiana, ila leo ana chezea kipigo kikali sana. Nabii Sanga, akamshika mke wake kichwa chake na kumvuta karibu na sinki hilo lililo jaa maji. Akakidumbukiza kichwa cha mke wake na kumfanya aanze kutapatapa kwa kukosa pumzi.

“Leo nina kubatiza kwa jina la SANGA malaya wewe”

Nabii Sanga alizungumza huku akimchomoa mke wake na kumfanya akohoe sana kwa kupaliwa na maji.

“Utanisaliti eheee?”

“Hapana mume wangu, sinto rudia tena. Sinto kusaliti tena”

Nabii Sanga akaona maelezo hayo ya mke wake hayamtoshelezi. Akakidumbukiza tena kichwa hicho na kumfanya mrs Sanga azidi kutapatapa. Akakitoa kichwa cha mke wake na kumtazama tena.

“Uta nisaliti?”

Nabii Sanga aliuliza huku meno yake akiwa ameyang’ata kwa hasira hadi yakaanza kutoa mlio wa kusagana.

“Haki ya Mungu vile mume wangu. Sinto kusaliti. Nitakupenda hadi kufa kwangu, nisamehee, nisamehe mume wangu”

“Yaani ungekuwa si mama wawanangu leo hii ninge kuuaa mbwa wewe”

Nabii Sanga alizungumza huku akiiachia shingo ya mke wake kwani kwa kupigo hicho na kitendo alicho mfanyia Tomas, sidhani kama mrs Sanga ana weza kurudia usaliti wa ndoa yake iliyo unganishwa kanisani miaka mingi sana ya nyuma.

***

Askari anaye pitia kukagua waalifu katika mahabusu za kituo hicho cha polisi, akagundua kutoweka kwa Tomas katika sero aliyo kuwa amefungiwa peke yake. Kwa haraka akaanza kutoa taarifa kwa wezake walipo kituoni hapo na wao wakafika eneo hilo na kweli wakashuhudia kwamba Tomas hayupo.

“Eeeheee Mungu watu, hii imekula kwetu”

Askari mmoja alizungumza huku akijawa na wasiwasi kwani, kupotea kwa kijana huyo itakuwa ni shida kwa askari wote waliopo zamu. Wakawasiliana na RPC pamoja na IGP na kutoa taarifa hiyo ya kupotea kwa Tomas. Agizo la IGP kwa vijana wake walipo chini yake akiwemo RPC Karata ni kuhakikisha kwamba wana toa taarifa kwenye vituo vya usafiri vyote Tanzania ikiwemo Bandari zote, Airport zote, Vituo vyote vya mabasi, dalalada na mipaka yote ya jiji la Dar es Salaam inayo ruhusu mtu kutoka nje ya Dar es Salaam kufungwa. Huku mipaka yote ya Tanzania kufungwa na ulinzi mkali sana ukazidi kuimarishwa katika maeneo hayo. Picha ya Tomas, ikaanza kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii pamoja na vituo vya televishion huku vituo vya redio vikipewa sifa za Tomas na kuzitangaza usiku huo huo, ili hata ikitokea mtu kumuona jambazi huyo aweze kutoa taarifa kwa askari. Zawadi ya milioni kumi ikatengwa na jeshi la polisi na kwa yoyote atakaye fanikisha kukamatwa kwake basi ata pewa zawadi hiyo.



Defenders za Polisi, zikazidi kusambaa mitaani huku msako wa kumtafuta Tomas ukizidi kupamba moto. Hakuna aibu kubwa wanayo jisikia askari ni kumpoteza muhalifu tena katika makao makuu yao. Kwani kitendo hicho kitalitia dosari kubwa snaa jeshi la polisi mbele ya jamii wanayo ilinda.

Tomas baada ya kumaliza kuweka kila kitu chake ndani ya begi na kujianda. Akatoka sebleni, akazima taa za ndani humo huku akiwaza ni wapi aelekee. Mvua inayo endelea kunyesha nje na giza kidogo kuna mpa wasiwasi wa kutembeaa mtaani peke yake, kwani kwa sasa hana gari. Tomas akwasha tv yake, kitu kilicho mstua ni kukutana na picha yake inayo onyesha kwamba ana tafutwa na zawadi ya milioni kumi imetolewa kwa wananchi watakao fanikisha kukamatwa kwake.

“Ohoo Mungu wangu”

Tomas alihamaki huku akihaha. Akarudi chumbani kwake kwa haraka na kuchukua bagi lake la nguo na kulivaa mgongoni. Kiasi cha pesa pamoja na hati zote za kusafiria alizo nazo zipo ndani ya mfuko wa suruali yake ya jinzi aliyo ivaa. Akachukua simu yake ambayo kwa mara nyingi huwa haitumii na amesajilia laini hiyo kwa jina la rafiki yake. Tomas akarudi sebeli na kuzima tv. Akatoka nyumbani kwake hapo na kufunga geti, akaanza kutembea kwenye viwambaza vya giza giza huku akiwa makini sana kuhakikisha kwamba askari hawamkamati. Akafika karibu na eneo la nyumba ya rafiki yake aitwaye Steve. Akampigia na kwa bahati nzuri Steve akaipokea simu hiyo.

“Ni mimi”

Tomas alizungumza huku akiwa makini kuendelea kuanganza angaza eneo hilo alilo simama.

“Vipi hii ni namba yako Tom”

“Ndio kaka. Nipo karibu na kwako hapa nina hitaji msaada wako”

“Vipi kwema kaka?”

“Sio kwema sana. Naomba unisaidie kunifungulia”

“Poa acha niamke”

Tomas akakata simu na kutembea kwa ahraka hadi katika nyumba ya rafiki yake. Steve aka mfungulia rafiki yake huyo mlango na akaingia ndani.

“Vipi mbona na mabegi kaka usiku usiku huu, kuna tatizo gani?”

“Kaka kwana nashukuru kwa kunisaidia. Hapa nilipo mwenzako nina matatizo makubwa sana”

Steve akamtazama Tomas aliye lowana mwili mzima, kisha aka tazama saa yake ya ukutani na ina muonyesha ni saa tisa usiku.

“Ngoja nikuletee taulo, ujikaushe kaushe maji kaka”

Steve alizungumza huku akiingia chumbani kwake, akarudi sebeleni akiwa na taulo. Akampatia Tomas na akaanza kujifuta mwili mzima.

“Ehee kaka saa tisa hii na namba mpya kanisa ume tumia. Hembu niambie ni nini kinacho endelea?”

“Kaka yule mama amenisababishia matatizo makubwa sana”

“Mrs Sanga?”

“Ndio mwanangu?”

“Matatizo gani ndugu yangu”

Tomas akaanza kumuadithia rafiki yake jambo moja baada ya jengine. Ila jambo la kuingiliwa kinyume na maumbile alilo fanyiwa na nabii Sanga alilificha na kuifanya iwe siri yake.

“Daa kaka pole sana. Sasa una ondokaje Dar na Tanzania kwa ujumla?”

“Yaani ndugu yangu hapa hata sieweli. Nahisi kuchanganyikiwa”

“Wewe ni ndugu yangu na tumesaidia kwenye mambo mengi sana. Kaa hapa kwangu kwa usiku huu hadi kuki pambazuka basi tuta kuwa tume pata njia ya kukutoa nje ya Dar na pia utatoka nje ya nchi hii”

“Sawa ndugu yangu nina shukuru sana kwa msaada wako”

“Usijali kaka. Chumba cha wageni kipo wazi una weza kukaribia”

Steve alizungumza huku akimuonyesha Tomas chumba hicho na akaingia ndani humo huku Steve naye akiingia chumbani kwake na kuendelea kulala.

***

Hadi kuna pambazuka alfajiri, mrs Sanga bado yupo bafuni na an alia kwa uchugu sana. Kipigo alicho kipata kime mvimbisha baadhi ya maeneo katika mwili wake. Taratibu akanyanyuka huku akichechemea, akarudi chumbani kwake na kumkuta mume wake akiwa ame lala usingizi fofofo kitandani. Mrs Sanga taratibu akavua nguo zake na kubaki kama alivyo zaliwa. Akasimama mbele ya kioo kikubwa kilichopo ndani humo na kutazama majeraha aliyo yapata kisha taratibu akapanda kitandani huku akiendelea kutafakari ukatili alio ufanya mume wake usiku.

“Baba Julieth”

Mrs Sanga aliita kwa sauti ya upole huku akimgusa begani mume wake.

“Nini?”

“Tuna weza kuzungumza?”

Nabii Sanga akageuka kwa haraka na kumtazama mke wake. Akakutana na sura ya mke wake iliyo vimba vimba kutokana na makofi aliyo kuwa akimtandika.

“Mume wangu nakuomba unisamehe, nakuahidi kwamba nitakuwa nawe bega kwa bega katika kila jambo”

“Ni hivyo au kuna kingine unacho kihitaji kukizungumza?”

“Jambo jengine nina kuomba usinisaliti ukifanya hivyo nami nita kuadhibu kwa namna ambayo nina itambua mimi mwenyewe na kitu kingine sihitaji kumuona yule Magreth kanisani kwetu”

“Una zungumza hivyo wewe kama nani?”

“Kama mke wako. Umeniadhibu kihaki kwa maana nime fanya makosa. Sikulaumu kwa kunifanya hivi ila na wewe nakuomba uachane na yule mwanamke”

“Una ushahidi kwamba mimi na yeye tuna mahusiano?”

“Tomas aliniambia kila jambo”

“Yaani ukitaka nikuvunje vunje tena. Tamka hilo jina la Tomas mbele yangu. Umenielewa wewe”

“Sinto litamka tena ila nilicho kizungumza ni ukweli, simtaki Magreth kanisani kwangu”

Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Poa acha nilale nime choka”

“Nashukuru kwa kunielewa”

Nabii Sanga akanifunika shuka huku akigeuka na kumpa mke wake mngo. Mrs Sanga kwa jinsi alivyo jeruhiwa hakuweza hata kujilaza mwili zakwa zaidi ya kukaa kitako kitandani kwa maana kipigo alicho kipata ni kizito sana

‘Ehee Mungu nitengeneze niwe mpya kwenye haya maisha’

Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakiendelea kumbubujika usoni mwake.

***

“Hei”

Evans alimuita Magreth aliye lala pembeni yake kwa sauti ya chini.

“Beee”

“Amka kume pambazuka”

“Kume kucha?”

Magreth aliuliza huku akiwa amejawa na mstuko. Akasimama na kuchugulia dirishani, mwanga wa jua ulio tawala eneo hilo ukamfanya amkumbuke Sheby aliye kuja naye jana usiku.

“Evans nina kuja”

Magreth alizungumza huku akichukua wallet yake na kutoka ndani humo. Akaelekea eneo la maegesho ya magari na kumkuta Sheby akiwa amelala ndani ya gari lake. Taratibu aka gonga kioo cha gari hilo na kumfanya Sheby kukurupuka, taratibu Sheby akashusha kioo.

“Mbona ume kurupuka, ulikuwa una ota ndoto ya kukimbizwa na simba nini?”

“Yaani wee acha bora hata ningeota hivyo. Ila nilicho kiota si kizuri kabisa”

“Pole mwaya kwa kukuacha hapa usiku wote peke yako”

“Usijali, nilifwata agizo lako la kuhakikisha kwamba nina kusubiria”

“Sasa ngoja nimalize kumuangalia mgonjwa wangu kisha nitatoka tuondoke”

“Sawa”

Magreth kwa haraka akarudi katuka chumba alicho lazwa Evans. Akamkuta daktari akifungua jeraha la Evans kwa ajili ya kulisafisha.

“Ahaa samahani dada una weza kusubiria nje nimalize hii kazi”

“Sawa dokta je kidonda cha mgonjwa kine endeleaje?”

“Samahani dada yangu. Sinto weza kukujibu hadi niimalizie hii kazi.”

“Sawa. Evans tuta onana baadae nina rudi nyumbani kubadili nguo”

“Sawa Mage”

Magreth akatoka ndani humo na moja kwa moja akaelekea alipo muacha Sheby na akaingia ndani ya gari na safari ya kurudi nyumbani kwake Kigamboni ikaanza.

“Mbona ume tumia muda mwingi sana hospitali, mgonjwa alikuwa katika hali mbaya sana au?”

“Ndio ila nashukuru Mungu asubuhi hii madaktari wameweza kumaliza upasuaji”

“Ahaaa pole sana”

“Vipi mke wako ana hali gani na ujauzito wake?”

“Ana endelea vizuri”

“Hivi ana shuhulika na nini?”

“Yeye?”

“Ndio yeye”

“Yupo nyumbani tu.”

“Basi akifanikiwa kujifungua basi nita muomba katika biashara yangu ambayo nitakwenda kuianzisha. Unajua kwa sasa wana wake tuna takiwa tupambane ili tuweze kuwasaidia waume zetu. Ikitokea kwa bahati mbaya japo hatuombei, wewe ume tokewa duniani, una hisi uta muacheje hapa duniani na mtoto mdogo?”

“Mmm hilo ulilo lizungumza ni kweli”

“Ndio kama ulikuwa na imani potofu ya kuto mruhusu kufanya kazi, basi ifute hiyo imani yako”

“Nimekuelewa sister”

Wakafika nyumbani kwa Magreth. Magreth akamlipoa Sheby laki na nusu.

“Sheby jumamosi njoo unifundishe kuendesha gari langu”

“Kweli dada?”

“Ndio jitahidi una tenga hata masaa mawili, nita kulipa”

“Sawa dada yangu”

“Ila Sheby hakikisha kwamba humleti au kumuambia mtu yoyote wa mtaani kwetu kuhusiana na hapa nina ishi”

“Usijali sister sinto muambia mtu yoyote”

“Haya asubuhi njema”

“Nawe pia dada”

Sheby akaondoka na Magreth akafunga geti lake na moja kwa moja akaingia ndani kwake. Akapitiliza hadi bafuni, akaoga na kupanda kitandani kwa ajili ya kuumalizia usingizi na uchovu wa mitanange aliyo pitia jana usiku.

***

Hadi kuna pambazuka Tomas hakuweza kupata usingizi. Habari ya kutafutwa kwake hakika ina mpa mashaka na wasiwasi mkubwa sana. Tomas akaamka kitandani kwake na kuelekea sebleni, akawasha luninga na kuanza kufwatilia kila kinacho endelea juu ya kutafutwa kwake.

Steve aka kurupuka kitandani kwake huku akiwa amejawa na mawazo ya uwepo wa rafiki yake ndani kwake. Akaingia kwenye mtandao wa Instergram na kuona ofa ya milioni kumi iliyo tolewa na askari. Akakaa kitako kitandani huku akiwa ana waza ni kitu gani ambacho ana weza kukifanya.

‘Milioni kumi ni nyingi sana kwa hali ya sasa lazima niipate.’

Steve alizungumza huku akiitafuta namba ya simu ya afande Mweta. Akamtumia meseji afande huyo na kumueleza kwamba mtuhumiwa wanaye mtafuta yupo nyumbani kwake. Steve alipo hakikisha kwamba meseji hiyo imemfikia mlengwa, akatoka chumbani kwake na kumkuta Tomas akiwa amekaa sebleni.

“Kaka umesha amka?”

Steve alimuuliza Tomas aliye kaa kimashaka sebleni hapo.

“Yaa kaka”

Steve akatupia macho yake kwenye luninga na kuona picha ya Tomas pamoja na dau la pesa lililo tangazwa na jeshi la polisi.

“Kaka hivi ni kosa gani kubwa ulilo lifanya hadi kutafutwa hadi kwa kuwekewa dau la milioni kumi?”

“Yaani kosa ni kama lile nililo kuaambia la kumteka nabii Sanga na mbaya zaidi wazo alilitoa mume wake”

“Sawa kaka, hapa hakuna muda wa kujutia. Nina mpango ambao nina imani kwamba uta kusaidia kutoka nje ya jiji la Dar es Salaama na Tanzanai kwa ujumla.”

Steve alizungumza kwa lengo la kuzidi kumpotezea Tomas muda huku akisubiria majibu kutoka kwa afande Mweta aliye mtumia ujumbe mfupi wa meseji.

“Mpango gani?”

“Hatuwezi kutumia airport. Inabidi tutumie usafiri wa malaori ambayo yana kwenda nchini Afrika kusini”

“Ndugu yangu kwa kutumia malori si itakuwa ni rahisi sana kukamatwa?”

“Hapana hapa tuta taufuta lori la mizigo ambalo moja kwa moja uta ingia ndani ya mizigo husika na nina imani una weza kufika salama nje ya Tanzania na huko mbeleni uta endelea na safari yako kama kawaida ndugu yangu”

Mlio wa simu ya Steve uka wafanya watazamane. Steve akaitazama namba hiyo ya afande Mweta ambaye ali mtaarifu juu ya uwepo wa Tomas hapo yumbani kwake. Kitita cha milioni kumi hakika kime mtamanisha sana Steve na kujikuta akivunja uaminifu wa urafiki wake na Tomas. Steve akaingia chumbani kwake na kuipokea simu hiyo.

“Ndio”

“Una uhakika huyo mtu yupo nyumbani kwako?”

“Ndio yupo hakikisheni kwamba muna wahi na muta…….”

Steve akajikuta akihamaki mara baada ya kumuona Tomas akiwa ameingia ndani humo pasipo hata kubisha hodi. Sura ya Tomas imejaa mikunjo itokanayo na hasira kwani kauli zote za Steve zina ashiria kwamba Steve ana wasiliana na askari.


“Jamaa una zungumza na nani?”

Tomas aliuliza huku akiwa amefura kwa hasira. Steve kwa kubabaika, akajikuta akiponyokwa na simu hiyo na ikaanguka chini na kumfanya Tomas aweze kuona namba iliyo andikwa jina la Afande Mweta na bado ipo hewani.

“Ndugu yangu huu ndio mpango ulio kuwa una nishirikisha pale sebleni eheee…..?”

Tomas alizungumza huku akiendelea kumsogelea Steve aliye anza kurudi nyuma kwa kuogopa. Tomas kwa hasira akamvamia Steve na kumuangusha chini. Akaanza kumshindilia mangumi huku akiendelea kumlaumu ni kwa nini ana wasiliana na askari na ana vunja uaminifu wake. Katika kurupushani hizo za kupigana kwa bahati mbaya kichwa cha Steve kika gonga kwenye pembe ya kitanda ambayo ime chongoka na kusababisha eneo la nyuma la kichwa chake kutoboka na damu nyingi zikaanza kutoka.

“Tomas mwanangu una…..nii….u….a”

Steve alizungumza kwa shida huku akimuona malaika mtoa roho akija kwa kasi sana. Tomas akajikuta akisimama huku mikono yake ikiwa imejaa damu nyingi mikononi mwake. Woga ukaanza kumtawala, mwili mzima ukaanza kumtetemeka mithili ya mtoto anaye fokewa na mama wa kambo. Damu inayo endelea kusambaa hapo nchini, ikazidi kumuogopesha.

‘Ehee Mungu nimeua’

Tomas alizungumza huku asijue ni nini ana fanya. Akakurupuka na kutoka ndani humo. Moja kwa moja akaelekea chumbani kwake na kuchukua begi lake la nguo. Akalivaa na kurudi sebleni, mikono yake yenye damu, ikamfanya aanze kuangaza angaza kila sehemu. Akachukua kitambaa kilicho tandikia moja ya sofa, akaanza kujifuta mikono yake hiyo, ila kitambaa hicho hakikuweza kumaliza damu hizo. Akaingia kwa haraka bafuni na kunawa mikono yake kisha akatoka nje kabisa ya nyumba hiyo. Akatazama mtaa huo ambao tayari umesha anza pirika pirika za watu. Akaanza kutembea katika mtaa huo huku akitoa kofia yake kwenye begi lake la mgoni. Akaivaa kofia hiyo aliyo ishusha kidogo nusu ya uso wake na kuifanya sura yake isiweze kuonekana vizuri na watu.

Afande Mweta, kwa haraka akatoa taarifa kwa RPC Karata na kumueleza kuna simu ime pigwa na msamaria mwema akitoa taarifa juu ya kumuona Tomas. RPC Karata kwa haraka akagiza vijana wake kwenda katika mtaa ambao afande Mweta aliutaja. Wakafika nyumbani kwa Steve na kukuta mlango ukiwa umerudishiwa.

“Afande Mweta ndio hapa?”

RCO aliye ambatana nao aliuliza mara baada ya kushuka kwenye gari lao.

“Ndio hapa kabisa na huyu aliye piga simu ni rafiki yangu”

“Zungukeni nyumba na hakikisheni kwamba jambazi hatoki ndani humo. Askari kadhaa wakaizunguka nyumba ya Steve huku wengine wakiingia ndani. Wakakutana na kitambaa chenye damu kikiwa kime tupwa chini, kila askari aliye kiona kitambaa hicho, akaishika bunduki yake vizuri kuhakikisha kwamba ana kuwa makini kwa kila kitu kitakacho tokea ndani humo. Askari wawili wakaingia katika chumba cha Steve, wakastushwa sana mara baada ya kumuona Steve akiwa amelala chini na tayari amaesha fariki dunia.

“Mkuu kuna maiti huku chumbani”

Askari mmoja alitoa taarifa na kumfanya RCO na askari wengine kuingia ndani ya chumba hicho. Afande Mweta akajikuta akifumba macho mara baada ya kumshuhudia rafiki yake aliye toka kuzungumza naye muda mcheche ulio pita akiwa amefariki.

“Mkuu tumetafuta nyumba nzima na hatujaona mtu yoyote”

Mmmoja wa askari alimuambia RCO.

“Atakuwa hajafika mbali hakikisheni kwamba muna mtafuta kila kila sehemu na huyu mshenzi lazima ata patikana.”

RCO alizungumza kwa uchungu sana. Kwa kutumia simu yake ya upepeo akawasiliana na RPC pamoja na IGP na kuwaeleza juu ya mauaji aliyo yafanya Tomas jambo ambalo lilizidi kuwaongezea hasira askari hao na amri moja iliyo tolewa na IGP ni yasizidi masaa kumi na mbili tayari Tomas awe amsha patikana kwa maana jiji la Dar es Salaam ni dogo sana na muhalifu hawezi kutoweka kwa dakika chache hizo toka afanye mauaji.

***

Mlio wa simu inayo ita kwa wimbo wa taartibu ukamfanya Magreth kufumbua macho yake huku akiangaza angaza ni sehemu gani ambayo ame iweka simu yake. Akaichukua na kuitazama na kukuta ni nabii Sanga. Akajigeuza vizuri na kuiweka sikioni mwake.

“Halooo”

Magreth alizungumza kwa sauti ya usingizi iliyo jaa mahaba ndani yake.

“Mmmm…bado ume lala mpenzi wangu?”

“Ndio baby, vipi wewe?”

“Ahaa…Mimi nimesha amka muda mrefu sana. Hapa nina elekea kanisani, si unatambua leo ni siku ya maombezi”

“Yaa ni kweli”

“Vipi una kuja?”

“Mmmm bado sijashuka hata kitandani hivyo hata sijajua ratiba yangu itakuwaje leo?”

“Ahaa, fanya upate kifungua kinywa basi kisha uje kanisani”

“Mmmm kwa kweli leo sina hata upako wa kuja kwanisani. Isitoshe mke wako je akiniona ita kuwaje?”

“Hawezi kukuzuia wala kukufanya kitu chochote kwa maana hapo nilipo muacha nyumbani ni mgonjwa”

“Ana umwa na nini?”

“Vidonda vya tumbo vina msumbua tu”

Nabii Sanga aliongopea, ila ukweli ni kwamba kipigo alicho mpatia mke wake jana usiku ndio ugonjwa unao msumbua mwana mama huyo.

“Mpe pole yake. Kama utapata nafasi wewe njoo huku kwangu ukitoka kanisani”

“Sawa nitaangalia. Baadae mpenzi wangu kwa maana nimesha fika hapa kanisani”

“Haya nina kupenda”

“Ninakupenda pia Mage”

Nabii Sanga akakata simu. Magreth akajishauri kwa sekunde kadhaa kama ana weza kuendelea na usingizi wake au laa. Akaitazama saa katika simu yake na ina onyesha muda huo ni saa saba mchana.

“Eheee saa saba!!”

Magreth alihamaki huku akishuka kitandani mwake. Akaingia bafuni na kuoga haraka haraka na kurudi chumbani kwake.

‘Leo ina bidi nimpikie huyu mwanaume chakula kiruzi sana’

Magreth aliwaza huku akimfikiria Evans aliye muacha hospitalini. Akaandika vitu anavyo vihitaji kwenye kikaratasi, kisha akampigia simu Sheby na kumuagiza amnunulie vitu hivyo.

“Angalia nyama wasikuwekee nyenye mifupa fupa mingi”

“Sawa boss wangu”

“Usiniite boss bwana. Wewe niite sister Mage ina tosha”

“Poa poa sister”

“Nakuingizia pesa kwenye simu yako”

“Poa”

“Jina la usajili kwenye laini yako ni nani?”

“Shabani Shabani Madanga”

“Ehee haya”

“Mbona una guna”

“Nimelipenda hilo jinala Madanga”

“Yaaa ni bonge moja la chata”

“Hahaa haya bwana. Usichelewe kuvileta si unajua kwamba nina mgonjwa hospitalini hivyo nina paswa kuwahi kumpelekea chakula mchana huu.”

“Usijali sisteriiiiii”

Magreth mara baada ya kumaliza kuzungumza na Sheby akamtumia kiasi cha pesa kinacho tosha kununulia vitu hivyo pamoja na nauli yake. Akajifunga matenge mawili na kuelekea sebleni. Akawasta tv, habari ya kwanza kukutana nayo ni kuhusiana na kutafutwa kwa Tomas.

“Mmmmm kwani hakushikiliwa?”

Magreth alijiuliza huku akiongeza sauti ya luninga ili aweze kusikia vizuri habari hiyo ya mchana.

“Ohoo ametoroka!!”

Magreth alizidi kushangaa kwani mtu anaye zungumziwa hapo ana mfahamu na kujua maovu yake yote aliyo yafanya ikiwemo la mpango wa kuhitaji kumuua yeye mwenyewe.

***

“Mkuu kuna wageni wako”

Sekretari wa RPC karata alizungumza mara baada ya kuingia ofisini kwa mkuu wake huyo wa kazi.

“Wageni kutoka wapi?”

“Ikulu”

“Ikulu?”

RPC karata alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.

“Ndio”

“Waruhusu kuingia”

Askari huyo wa kike akapiga saluti kisha akatoka ndani humo. Baada ya dakika chache wakaingia wanaume wawili walio valia suti nyeusi pamoja na miwani nyeusi huku kwenye mifuko ya makoti yao ya suti wakiwa wamening’iniza vitambulisho vinavyo waonyesha wao ni walinzi wa raisi.

“Karibuni sana”

RPC Karata alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti chake.

“Tuna shukuru. Raisi yupo nje ana hitaji kuzungumza na wewe”

“Raisi yupo nje!!?”

RPC Karata alishangaa juu ya ujio wa gafla wa raisi.

“Ndio, ongozana nasi”

RPC Karata akajiweka sawa yunifomu zake hizo za uaskari kisha akaongozana na walinzi hao na kuwafanya askari wake kubaki wakiwa wameduwaa, wasijue ni wapi bosi wao anapo elekea. Wakatoka nje na kumfungulia mlango wa gari RPC Karata na kuingia ndani ya gari hilo aina ya Range rover lenye namba za usajili wa kawaida na si plate namba za ikulu. RPC karata akastuka sana kumkuta raisi Chinas Mtenzi akiwa katika gari hilo.

“Habari yako mkuu”

RPC Karata alisalimia huku akimpa mkono raisi. Raisi Mtenzi akamtazama RPC karata kwa sekunde kadhaa kisha akaupokea mkono huo.

“Ume choka kazi yako?”

Swali la raisi likaustua sana moyo wa RPC Karata.

“Aha…hapana mkuu”

“Sasa ni nini unacho kifanya?”

“Aha….mkuu bado ume niacha njia panda. Tafadhali naomba kidogo uni fafanulie nini una maanisha”

“Jukumu na lengo la mimi kukuweka kuwa RPC katika jiji hili la Dar es Salaam, nina maanishakwamba una weza kumuda heka heka zote za usalama wa jiji hili. Ila sivyo nilivyo tegemea, kweli dalali ana weze kutoroka kituo cha polisi na wala hamustuki na muna kazi yakutoa tu matangazo kwa atakaye fanikisha kukamatwa kwake basi atapewa milioni kumi. Ana kitu gani huyo mtu hadi jeshi la polisi litoe hizo milioni kumi?”

Raisi alizungumza kwa kufoka huku dereva na walinzi wake alio ambatana nao wakiwa wamesimama nje ya gari hilo huku milango ikiwa imefungwa.

“Aha…mkuu una jua….unajua kwamba…….”

“Ona unavyo babaika. Karata kumbuka mimi nilikupokea depo wewe, heshima na adamu yako nina ijua nikikuwa mkufunzi wako wa chuoa. Pia nafahamu hichi kituo kwa maana nilisha kuwa RPC hapa kabla ya kuingia kwenye siasa na sasa nimekuwa raisi. Au umelisahau hilo?”

“Sijalisahau mkuu”

“Sasa nini? Hawa askari wa chini hawawezi kufahamu underground way(njia za chini) katika kituo hichi, RPC pekee ndio anaye fahamu kwamba chini ya kituo hichi kuna njia za kupita. Je imekuwaje mahabusu akatoroka, ikiwa nje kuna ulinzi wa askari wasio pungua ishirini?”

RPC Karata akahisi haja ndogo kama ina kwenda kumtoka kwa woga.

“Ahaa mkuu ni kweli, ila sijajua kama siku hiyo mtuhumiwa alipo toroka ilikuwaje kuwaje kwa maana sikuwepo kazini”

“Ulikuwa wapi?”

“Nyumbani mkuu”

Raisi Mtenzi akamatazama RPC Karata usoni mwake kwa sekunde kadhaa na kutambua macho ya mfanyakazi wake huyo yana danganya na isitoshe ana mfahamu vizuri sana toka alipo kuwa chuoni CCP Moshi.

“Una nidanganya. Sasa kama ulimtoa kwa maslahi yako binafsi basi nahitaji umrudishe ndani ya masaa kumi na mbili awe ndani ya sero za jengo hilo. Lasivyo nitakufukuza kazi na utahukumiwa kijeshi jela na nina imani una tambua ni sheria gani ina muhukumu askari anaye saidiana na majambazi? Nilikuambia kweye utawala wangu sitaki jeshi la polisi lilege lega, ikiwa mimi nami nimepitia huko. Umenielewa?”

“Ndio muheshimiwa nime kuelewa”

“Na hizo milioni kumi munazo watangazia watu. Zitatoka mfukoni mwako na si katika jeshi la polisi, hatuwezi kupoteza pesa kizembe namna hiyo.”

“Sawa mkuu”

“Shuka kwenye gari langu”

RPC Karata akashuka kwenye gari raisi huku akiwa amechoka sana kwa woga na mkwara alio pigwa na raisi. Walinzi wa raisi pamoja na dereva wakingia kwenye gari hilo na kuondoka. Hakuna hata askari mwengine aliye weza kugundua kwamba raisi amefika katika ofisi zao. RPC Karata akalisindikiza kwa macho gari hilo jinsi linavyo toka getini hapo na kutokomea.

“Ehee Mungu wangu nafanya nini sasa?”

RPC karata alizungumza huku akianza kutembea kwa mwendo wa haraka kuelekea ofisini kwake. Akafungua droo yake na kutoa simu ndogo yenye namba inayo julikana na familia yake pamoja na nabii SANGA. Akampigia na simu ya nabii Sanga ikaanza kuita.

***

Nabii Sanga mara baada ya kumaliza kuzungumza na Magreth akashuka kwenye gari lake na moja kwa moja akaelekea ofisini kwake. Akajifungia kwa ndani na kuanza kusali huku akijiandaa kwa ajaili ya maombezi ya siku hiyo. Alipo maliza kusali, akaandaa mahubiri ya siku hiyo huku akilini mwake akiwazia penzi la Magreth ambalo lina zidi kumchanganya siku hadi siku. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama kwa sekunde na kukuta ni namba ya RPC Karata. Akaiweka sikioni mwake na kuanza kuisikiliza.

“Habari yako kijana”

“Pumbavu wewe, habari yangu ya nini. Yaani nina juta sijui ni kwa nini nilifwata mawazo yako ya kipumbavu”

Sauti ya ukali ya RPC Karata ikamstua sana nabii Sanga na kujikuta akiitazama simu yake ili kuhakikisha kwamba huyo anaye mpigia ni RPC Karata au mtu mwengine kwa maana wana heshimiana sana na hajawahi hata siku moja kusikia neno la kejeli wala tusi kutoka kinywani mwa kijana huyo.



“Ahaa….Karata ni kitu gani ambacho kina endelea?”

“Wewe hujui. Umeniweka kwenye matatizo mazito sana, nina oder ya raisi hapa kumpata Tomas ndani ya masaa kumi na mbili. Aisee mzee sinto kubali kufa mwenyewe kwenye hili, ni lazima mke wako nitahakikisha naye ana ingia jela na mimi. Wema wangu sasa una zaa dhambi kwangu”

“Karata hembu kuwa mpole kwanza. Niambie nikusaidie wapi kwa maana hili jambo sisi tume lifanya pamoja”

“Nisikilize wewe mzee. Namuhitaji Tomas, ni heri angekuwa maiti hivi sasa kuliko akiwa yupo hai na ana tembea. Nina kupa masaa mawili uweze kuniambia Tomasa yupo wapi la sivyo mimi na wewe tuta elewani vibaya”

Baada ya kauli hiyo simu ikakatwa na kumfanya nabii Sanga kushusha pumzi taratibu huku akitafakari nini cha kufanya. Hamu ya kwenda kwenye ibaya yote ikakatika. Akanyanyua mkonga wa simu iliyopo karibu yake, akampigia mchungaji msaidizi na kumuomba aweze kufika ofisini kwake haraka. Hazikupita dakika tano mchangaji msaidizi akaingia ndani humo.

“Ndio nabii”

“Nahitaji leo ukaongoze ibada, Nimepatwa na dharura ya kifamilia hivyo sinto weza kuwepo ofisini”

“Sawa nabii. Naweza kufahamu ni dharura gani hiyo ya kifamilia?”

“Ahaa nitakuambia baadae wee acha nika ishuhulikie”

“Sawa”

Nabii Sanga akatoka ofisini humo na kuingia ndani ya gari lake na kuianza safari ya kurudi nyumbani kwake huku kichwani mwake akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana. Akafika nyumbani kwake na kuingia ndani.

“Mama yako yupo wapi?”

Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama dada wa kazi.

“Hajatoka toka asubuhi”

Nabii Sanga akapandisha gorofani na kuingia chumbani kwake. Akamkuta mke wake akiwa amekaa kwenye kiti kilichopo mbele ya kioo huku akiwa uchi kabisa.

“Mbona ume rudi?”

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na mstuko mwingi sana.

“Kuna tatizo”

“Tatizo gani mume wangu?”

“RPC amepewa masaa kumi na mbili na raisi aweze kumpata Tomas la sivyo ana fungwa na ameniambia kwamba akiingia matatizoni ni lazima ahakikishe kwamba ana zungumza kila kitu juu yako na Tomas”

“Ohooo Mungu wangu. Tuta fanya nini mume wangu?”

“Ndio hapo sifahamu, na sijui kama Tomas ata kuwepo nyumbani kwake”

“Hawezi kuwepo kwa kile ulicho mfanyia jana sidhani kama ata kuwepo”

“Sasa ina kuwaje mke wangu”

Nabii Sanga na mke wake wakabaki wakiwa wana tazamana huku kila mmoja akiwaza ni nini aweze kufanya ili Tomas apatikane.

“Na amenipa masaa mawiili kuhakikisha kwamba nina mpata Tomas”

“Ohoo Mungu wangu, kwa hiyo mume wangu nina kwenda jela?”

“Nipo kwa ajili yako huto kwenda jela mke wangu”

“Kweli?”

“Niamini mimi, nita hakikisha kwamba kila jambo lina kwenda sawa. Hembu jaribu kufikiria ni wapi na wapi Tomas ana weza kwenda”

“Aliniambia kwamba ana taka kwenda Afrika kusini”

“Afrika kusini!!?”

“Ndio sasa sijajua kama jana usiku alifanikiwa kufika uwanja wa ndege au laa”

“Hapana hajaenda uwanja wa ndege. Ahaa huwezi kujua ni namba gani ambayo Tomas ana weza kuitumia kwa siri?”

“Mmmmmm ngoja”

Mrs Sanga akanyanyuka kwenye kiti chake na kufungua pochi yake. Akatoa line yake ya siri na kuingiza kwenye simu.

“Hii ndio line ambayo nilikuwa nina tumia kuwasiliana na Tomas”

“Sawa, hembu angalia ni namba yake ipi ipo hewani”

“Ana namba tatu ngoja nijaribu kuzipigia”

Mrs Sanga akaanza kupiga namba ya kwanza na bahati mbaya haipo hewani, namba ya pili nayo pia haipo hewani.

“Hii ndio ya mwisho”

“Jaribu kuipigia”

Mrs Sanga akapiga tena namba hiyo na kwa bahati nzuri ikaanza kuita.

“Ina ita”

Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama mume wake usoni. Upendo wake kwa Tomas kwa sasa ume pungua na yupo tayari kuhakikisha ana mkamatisha Tomas mikononi mwa askari ili aepukane na kuingia jela.

***

Kitendo cha kumuua rafiki yake, hakika kina zidi kuutesa ubongo wa Tomas. Ila kila ajapo jaribu kukumbuka kwamba ana tafutwa na askari basi akili yake ina hamisha mawazo yake katika tendo la mauaji na kufikiria ni jinsi gani ambavyo ana weza kupambana hadi atoke jiji la Dar es Salaa. Taarifa ya kutafutwa kwake, ina mpa ramani ni wapi hapaswi kukanyaga na wapi anapaswa kwenda. Katika kupambanua ni nani ana weza kumsaidia kwa wakati huo, akili yake ikaangukia kwa Levina mwana mke wambaye alikuwa na mahusiano naye miezi kadhaa nyuma kabla ya kuwa na Mrs Sanga. Akaitafuta namba ya Levina na kumpigia, simu ya Levina ikaita na baada ya sekunde kadhaa ikapokelewa.

“Levina ni mimi”

“Tom”

“Ndio”

“Ume fanya nini wewe mbona kila mahala habari ni zako”

“Ni habari ndefu sana. Ila nahitaji unisaidie”

“Upo wapi?”

“Wewe niambie upo wapi alafu mimi nita kufwata”

“Ahaa nipo ofisini kwangu kwa sasa. Ila ngoja nitoke kisha nita kuambia ni wapi tukutane”

“Ila tafadhali Levina usije ukanisaliti”

“Siwezi kufanya hivyo Tom wewe una nijua na ndio maana ume amua kuwasiliana na mimi. Ungekuwa huniamini wala usinge nipigia simu”

“Sawa nasubiri simu yako”

Tomas akakata simu na kusimama katika moja ya duka. Akaagiza soda ya baridi na muuza duka aka muhudumia pasipo kumfahamu. Simu ya Tomas ikaita kwa haraka akaitazama na kukuta ni namba ya siri ya mrs Sanga. Tomas, akajikuta akiachia msunyo mzito na kukata simu hiyo. Simu ikapigwa tena, akaitazama namba ya mrs Sanga kisha akapokea.

“Una hitaji nini wewe malaya”

Tomas alizungumza kwa hasira sana.

“Jamani Tomas nimepiga ili kukuomba msamaha”

“Msamahana eheee. Sasa sikia fikisha ujumbe kwa mume wako. Kwakile alicho nifanyia jana usiku, hakika nita kilipita tena kwake. Sinto kufa na nita ishi, wewe muambie ajiandae siku yoyote mambo yata mgeukia.”

Tomas mara baada ya kukata simu hiyo simu ya Levina ikaingia.

“Ndio mama”

“Nimesha toka niambie upo wapi?”

“Sinza madukani hapa”

“Sawa nipo karibu nina kuja”

Tomas akakata simu na kwa habati nzuri eneo la duka alilo kaa basi ana weza kuyaona magari yote barabarani. Hazikupita hata dakika tisa gari aina ya Toyota Brevis yenye rangi nyeusi ika simama kwenye maeneo ya maduka hayo. Tomas aliweza kufahamu gari hilo la Levina kwa maana alisha wahi kulitumia kipindi wakiwa na mahusiano. Simu ya Tomas ikaanza kuita, akaipokea.

“Nimefika”

“Nimekuona nina kuja”

Tomas akakata simu, akamlipa muuza duka na kumfwata Levina sehemu alipo simama. Akafungua mlango wa gari, akavua begi hilo na kuliweka siti ya nyuma.

“Vipi baba?”

“Wee acha tu”

“Hembu zima simu yako”

“Kwa nini?”

“Una weza kutafutwa kwa GPRS, kwani namba hiyo kuna mtu mwengine ambaye ana ifahamu?”

“Ndio”

“Basi ina weza kuwa hatari ikiwezekana toa laini na uitupe kabisa”

Tomas akafwata ushauri wa Levina ambaye ana miliki kampuni inayo husiana na maswala ya I.T. Wakaondoka eneo hilo huku Tomas, akiitupa laini hiyo njiani.

“Tuna kwenda wapi?”

“Nyumbani kwangu”

“Mdogo wako akiniona ita kuwaje?”

“Tupo Nairobi, nimempeleka kusoma”

“Toka lini?”

“Na mwezi wa pili sasa”

“Ahaaa”

“Niambie nini kime kukuta hadi kutangazwa kwamba wewe ni jambazi. Ikiwa mimi nakufahamu wewe sio jambazi”

“Kuna mtu amenisingizia”

“Amekusingizia nini?”

“Kama mimi ni jambazi na ametumia pesa zake kunifanya niwe katika hali hii”

“Nani huyo?”

“Nabii Sanga”

“Nabii Sanga huyu tunaye abudu kwenye kanisa lake au yupi?”

“Huyo huyo”

“Si mtu wako wa karibu na ana kutuma kwenye kazi zako nyingi. Ime kuwaje ana kufanyia hivyo?”

“Kuna kimada wake wa nje alinipa kazi ya kumtafutia nyumba na sehemu ya kufungua mgahawa. Sasa mke wake aliweza kunibana siku nikamueleza ukweli kuhusiana na mpango wa mume wake. Basi mzee ame chukia, amenibambikia kesi hiyo, ndio maana polisi wana nitafuta”

Tomas alidanganya kwa maana hawezi kumueleza ukweli Levina kwa maana bado ana tambua kwamba Levina ana mpenda.

“Pole sana, kumbe yule mzee ni mshenzi ehee?”

“Tena sana”

“Sasa ita kuwaje?”

“Ina bidi niweze kuondoka nchini Tanzania haraka iwezekanavyo”

“Basi ngoja tufike nyumbani tuta jua ni nini cha kufanya”

Levina alizungumza huku akimuamini Tomas kwa asilimia mia moja pasipo kufahamu kwamba Tomas huyo kwa sasa amekuwa ni muuaji na yupo tayari kufanya mauaji kwa mtu yoyote ambaye ata onyesha dalili ya kumsaliti kwa polisi.

***

“Amekata”

Mrs Sanga alizungumza mara baada ya kuzungumza na Tomas.

“Amesemaje?”

“Anasema kwamba ni lazima atalipiza kisasi kwako na ata hakikisha ana lipa kile ulicho mfanyia jana usiku”

“Pumbavu hato weza kufanya hivyo. Nitatakikisha nina mkamata. Hembu nitumie namba yake”

Mrs Sanga akamtajia mume wake namba ya Tomas. Nabii Sanga akaipiga namba hiyo ila kwa bahati mbaya akakuta haipo hewani.

“Hapatikani. Sasa hii nita mtumia RPC na nina imani wata jua ni namna gani wana weza kuitafuta.”

“Fanya hivyo mume wangu. Nina ogopa kwenda jela nikiwa katika umri huu”

“Usijali. Vipi maumivu?”

“Bado yapo mume wangu”

“Tumia dawa za kupunguza maumivu”

Nabii Sanga alizungumza huku akiituma namba hiyo ya Tomas kwa RPC Karata. Alipo hakikisha meseji hiyo ime kwenda, akampigia RPC.

“Ndio”

“Nimekutumia namba ya Tomas, ina patikana hewani na nina imani kwamba bado ata kuwapo ndani ya Tanzania, hakikisheni muna mpata”

“Sawa”

Simu ikakatwa. Mrs Sanga akasimama na kusogelea mume wake sehemu alipo. Akamkumbatia kwa hisia kali za mapenzi.

“Mama Julieth nina ibada nime iacha kanisani”

“Tafadhali mume wangu, nikune japo kidogo nina hamu na ubo** wako”

“Baby”

“Please naomba”

Mrs Sanga alizungumza huku akianza kumnyonya lipsi mume wake huku mkono wa kulia ukifungua zipu ya mume wake na kumtoa jogoo wa nabii Sanga aliye simama dede.

***

Sheby akafika nyumbani kwa Magreth na kufunguliwa geti. Wakasaidiana na Magreth kushusha mifuko ya mizigo ya fvitu alivyo kuwa ame muagiza kijana huyo.

“Vimekamilika?”

“Ndio sister”

“Basi nisubirie nipike fasta kisha tuelekee hospitalini”

“Sawa mimi nipo kwenye gari”

“Kaa tu sebleni hakuna tabu”

Sheby akakaa kwenye sofa nzuri na za garama zilizomo ndani ya seble hiyo ya Magreth. Magreth akaanza kuandaa chakula hicho haraka haraka. Alipo hakikisha chakula kime iva, akampatia Sheby sahani moja kisha yeye akaelekea chumbani kwake kuoga na kujiandaa na safari ya kuelekea alipo Evans. Magreth hakumaliza dakika nyingi katika maandalizi yake. Akarudi sebleni na kumkuta Sheby akimalizia malizia kula chakula hicho.

“Aisee sister chakula kizuri sana. Yaani una mkono mzuri sana wa kupika”

“Nashukuru sana. Maliza twende”

Ikamlazimu Sheby kula haraka haraka kisha wakatoka chumbani humo. Wakaianza safari ya hospitalini na ikawachukua lisaa moja kuweza kufika, hiyo yote ni kutokana na foleni za hapa na pale. Magreth moja kwa moja akaelekea katika chumba cha Evans. Akafungua mlango na kuingia ndani, ila kitu kilicho mshangaza ni kuto muona Evans ndani humo. Akatoka chumbani humo huku akiwa ameshika mfuko wenye hotpot lenye chakula.

“Samahani nesi, huyu mgonjwa wa hichi chumba ame kwenda wapi?”

“Huyo kaka?”

“Ndio”

“Yupo ICU ana fanyiwa upasuaji, kwani kidonda chake kwa ndani kime pata itilafu inavyo onyesha aliweza kufanya kazi iliyo sababisha kumpa maumivu ya ndani na hatujajua ni kazi gani hivyo iliyo mfanya kuwa katika wakati huo.”

Kauli ya nesi huyo ikamstua sana Magreth na moja kwa moja aka tambua kwamba. Kitendo cha wao kufanya mapenzi jana usiku ili hali Evans yupo katika hali ya kuumwa ndio ime pelekea kidonda alicho chomwa kisu kupata matatizo.


“Ohoo Mungu wangu”

Magreth alihamaki huku nguvu za mwili akihisi zina kwenda kumuishia.

“Msubirie ata tolewa muda si mrefu kwa maana aliingizwa muda mrefu kidogo”

Nesi alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake. Habari hizo zikamfanya Magreth atafute benchi na kukaa huku akianza kumuomba Mungu atende japo muujiza katika maisha ya Evans.

Madaktari wakafianikiwa kukisafisha kidonda cha Evans ambacho kwa nama moja ama nyingine wamegundua kilikuwa na matatizo ya kufumuka kwa nyuzi walizo kuwa wamemshona hapo awali. Baada ya matibabu hayo wakamtoa Evans katika chumba cha upasuaji huku akiwa katika hali ya uzingizi utokanao na kuchomwa kwa sindano ya usingizi. Magreth akanyanyuka kwenye bechi hilo na kuanza kufwata kitanda alicho lazwa Evans, huku kikisukumwa na manesi wane.

“Dada tunaomba uweze kusubiri nje”

Nesi mmoja alizungumza huku akimzuia Magreth kuingia katika chumba hicho.

“Hali yake vipi lakini dokta?”

“Tuta kuambia akiwa sawa”

Magreth akamshuhudia Evans akiingizwa kwenye chumba hicho huku mlango ukifungwa taratibu.

***

Levina na Tomas wakafika nyumbani na moja kwa moja wakapitiliza hadi sebleni. Levina akaingia chumbani kwake na alipo rudi akarudi akiwa na laptop yake anayo itumia kwa hapo nyumbani.

“Una fanya nini?”

“Nataka kufuta mazungumzo yote ambayo mimi na wewe tumewasiliana. Itasaidia askari wasiweze kutrack kitu chochote”

“Aahaha kwa hiyo una taka kuniambia kwamba hata kwa kutupa laini polisi wana weza kufahamu kwamba mimi na wewe tulizungumza?”

“Ndio, kwa maana mazungumzo si yanabaki kwa wanao miliki mtandao wa simu”

Uwezo wake mkubwa katika mambo ya teknolojia, haikumpa shida Levina kuingia katika database za kampuni waliyo tumia kuwasiliana. Akatafuta mazungumzo yao waliyo zugumza dakika kumi na tano zilizo pita na kufanikiwa kuyapata. Akafuta kila kitu na hata kama polisi wata jaribu kumtafuta basi hawato kuta kitu chochote.

“Kazi namba moja sasa ime kwisha. Kazi namba mbili ni kutengeneza hati ya kusafiria ya bandia pamoja na kukutengenezea sura ya bandia”

“Sura ya bandia uta nitengenezea vipi?”

“Subiri mtoto wa kiume, ulihisi kwamba nilikwenda Urusi kusoma miaka sita kimchezo mchecho nini”

Levina alizungumza huku akimtazama Tomas usoni mwake.

“Mbona hukuniambia kwamba ulikwenda kusoma Urusi?”

“Sasa nikuambie ikiwa mtu mwenyewe akili zako ni za kidalali. Ninakufanyia haya yote kwa kukusaidia endapo uta nitangaza kwamba nina fanya kazi hizi. Haki ya Mungu Tomas nitakufanya kitu ambacho hoto tarajia kwamba nina weza kukufanya”

“Nitakuwa mjinga endapo nita kutangaza”

“Wewe sema hivyo. Ila nitakapo kufanyia kitu kibaya usije kusema kwamba hooo hukuniambia”

“Nimekuelewa”

“Simama hapo ukutani”

Levina alizungumza huku akiiweka laptop yake juu ya meza. Akasimama na Tomas akasimama kwenye ukutu wa sebleni hapo ambao una rangi ya blue nzuri kwa nyuma. Kwakutimia simu yake Levina akampiga picha Tomas, kisha akarudi kwenye sofa.

“Hapa nina tengeneza red passport, sasa wewe ukaitumie vibaya huko uendapo”

Levina alizungumza huku vidole vyake vikiwa na kazi ya kuminya kwa kasi batani za laptop hiyo. Kwakutumia usb waya akaingiza picha hiyo kutoka kwenye simu yake na kuingia kwenye laptop. Akaanza kuunda sura ya bandia kutokana na jinsi uso wa Tomas ulivyo kaa. Kazi hiyo haikumchukua muda mrefu akafanikiwa kuimaliza kazi hiyo.

“Ona hivi ndivyo utakavyo kuwa una onekana”

“Waoo hapo mtu si hato nijua kabisa?”

“Ndio hato kujua kabisa. Yaani hapo hata ukikutana na huyo nabii Sanga wala hato weza kukufahamu”

“Kazi nzuri sana Levina, ndio maana nina kupenda”

“Ungekuwa una nipenda ungeniacha. Tena usizungumze mambo yako ya ajabu”

Ikambidi Tomas kukaa kimya kwani ni kweli alimuacha msichana huyo na yote ni kutokana na kukolea kwa penzi lake na mrs Sanga ambaye kwa sasa ndio amemsababishia matatizo yote hayo. Levina baada ya kumaliza kazi hiyo wakaingia katika chumba cha kulala cha Levina.

Levina akatoa picha yake kubwa iliyopo ukutani na hapo ndipo Tomas akaona batani nyingi.

“Kumbe hapa kuna batani?”

“Siku zote si ulikuwa una kuja na ujacho jua ni kutomb** tu ila mambo mengine wala huna haja ya kuchunguza”

“Ila hiyo picha hapo ukutani haionyeshi kabisa kama kuna batani nyuma yake”

“Waswahili kani muna akili basi. Yaani hampendi kujiongeza kabisa”

Levina alizungumza huku akiminya batani hizo na mlango wa siri ulipo sakafuni pembeni ya kititanda chake ukafunguka.

“Kuna mlango hapo!!?”

“Wewe una ona nini”

Levina alizungumza huku wakianza kushuka chini kwa kutumia ngazi kadhaa zilizopo katika mlango huo ambao kwa juu ukiutazama una ona ni tailizi zinazo fanana na tailizi zilizo jengewa sakafuni hapo. Wakaingia katika ukumbi mkubwa ulipo chini ya ardhi katika chumba hicho. Mitambo mbali mbali iliyomo chini hapo ikamshangaza sana Tomas.

“Hapa kila aina ya kazi haramu ambayo nina hitaji kuifanya inayo husiana na kuhgushi vitu basi ipo hapa chini”

“Kwa hiyo unataka kuniambia huwa una fanya kazi haramu ama?”

“Ndio, unahisi kuna mafanikio yoyote yanayo kuja pasipo kufanya kazi haramu. Hakuna tajiri hata mmoja duniani ambaye amepata mafaniko yake kwa uhalali. Wote wamepata kwa njia haramu”

“Hapana bwana kuna watu wanao pata utajiri wao wa kumuomba Mungu?”

“Hakuna kitu kama hicho. Hapa Tanzania nina listi ya matajiri wengi sana wana tumia njia ambazo si halali kujipatia kipato kikubwa zaidi. Wapo hata wengine ambao wapo tayari kwa kutumia karatasi kuhakikisha wana iba sehemu ili tu akaunti zao zisome”

“Ahaa hapo nimekuelewa”

“Ndio”

Levina akafunua tambara moja kwabwa katika moja ya mashine.

“Hiyo kazi yake ni nini?”

“Kutengenezea sura bandia”

“Duu”

“Ndio”

Levina akaanza kuifanya kazi ya kutengeneza sura hiyo bandia, huku kila hatua anayo ifanya ana muelekeza Tomsa. Lisaa moja likamfanikisha kumaliza kutengeneza sura hiyo ya bandia.

“Lala hapo”

Levina alizungumza huku akimuonyesha Tomas kitanda cha kulala. Levina akavaa gloves mikononi mwake na akachukua gundi ngumu sana ambayo sio rahisi kuachanisha na sura hiyo ya bandia pale inapo bandikwa kwenye gozi halisi. Akaanza kuifanya kazi hiyo ya kuiweka sura hiyo bandia katika uso wa Tomas. Alipo hakikisha kwamba kazi hiyo ime kamilika, akamfukizia Tomas joto kali usoni mwake kwa kutumia kifaa maalumu ili kuhakikisha ngozi hiyo bandia ina fanana kabisa na ngozi za kawaida na hata akishikwa na mtu asiweze kutambua kwamba hiyo ni ngozi ya bandia.

“Unataka kwend nchi gani?”

“Afrika kusini”

“Ngoja nikutengenezee vitambulisho viwili”

“Vya wapi na wapi?”

“Afrika kusini na hapa Tanzania.”

“Sasa hii sura nita dumu nayo hadi kufa au?”

“Una weza kuichomoa muda wowote ila maumivu yake ni zaidi ya maumivu ya tombo la mwanamke anapo kuwa kwneye hedhi”

“Mmmm!!”

“Ndio maana yake, jiangalie kwenye kioo”

Levina alizungumza huku akimkabishi Tomas kioo. Tomas akajikuta akitabasamu kwani amebadilika kwa kiasi kikubwa. Tomas akashuka kitandani kwa furaha, akamkumbatia Levina kwa kazi hiyo aliyo ifanya.

“Hembu acha mambo ya mapenzi bwana. Tambua umenitoa ofisini na siku bado haijaisha hii”

Levina alizungumza huku akiukwepesha mdomo wake usipigwe busu na Tomas. Levina akaendelea na kazi ya kutengeneza hati ya kusafiria pamoja na vitambulisho vya mataifa hayo mawili. Afika kusini na Tanzania na vina sura halisi ya Tomas.

“Simama hapo kwenye tambaa la blue”

Levina aliuzungumza Tomas akasimam. Levina akampiga Tomas nusu picha(passport size) kisha akaendelea na kazi hiyo. Uzuri katika ofisi yake hiyo ya siri ana kila kifaa ambacho kina tengenezea vitambulisho na hati za kusafiria.

“Unapenda kutumia jina gani?”

“Mmmm Brina”

“Brian nani?”

“Sanga”

Levina akamtazama Tomas aliye taja jina la Sanga.

“Una mpenda sana huyo mzee ehee?”

“Nimefanya hivyo kwa ajili ya kuhakikisha simsahau kwa kile alicho nifanyia”

“Haya”

Levina akaingiza taarifa zote za Brian Sanga katika taasisi husika pasipo taasisi hizo kufahamu. Baada ya vitambulisho na hati ya kusafiria kukamilika Levina akamkabidhi Tomas ili aweze kuvikagua.

“Aisee wewe ni noma Levina”

“Kazi hiyo huwa nina ifanya kwa dola laki moja na nusu. Wewe una kiasi gani uni patie”

“Heee kumbe ulikuwa una nifayia kwa pesa?”

“Kukusaidia sio kwamba ni buru. Wewe nipe kiasi chochote ambacho una hisi kitanifaa la sivyo naua detail zako hata ukienda pale Airport passport yako itaonyesha kwamba haupo”

“Daaa!! Ila Levina si unajua mwenzako nipo kwenye matatizo makubwa. Hembu nakuomba uweze kunisaidia katika hili”

Tomas alizungumza kwa upole huku machozi yakimlenga lenga. Levina akamsogelea Tomas na kumshika jogoo wake na kuanza kumminya.

“Nilipe kwa kunitomb** hadi nipagawe kama unavyo nipagawisha siku zote”

Levina alizungumza huku akianza kumnyonya Tomas denda kwa fujo na kumfanya Tomas naye aendeleze fujo hizo huku moyoni mwake furaha ikiwa mmemtawala kwani sasa ana uhakika wa asilimia mia moja ya kuondoka Tanzania pasipo kukamatwa tena ata pitia uwanja wa ndege ulio wekwa vizuizi vya kusakwa wake.

***

RPC Karata kwa haraka akaituma namba aliyo pewa na nabii Sanga kwa wataalamu wake wanao shuhulika na mambo ya IT. Kazi ya kuitafuta namba hiyo ikaanza mara moja huku kila mmoja akiwa makini sana katika kuhakikisha kwamba wana tambua namba hiyo kwa sasa ipo wapi. Kadri jinsi wanavyo zidi kutafuta ndivyo jinsi wanavyo kutana na ugumu kwani haionyeshi namba hiyo ina patikana wapi.

“Mkuu hatuipati hewani”

“Hembu wasilianeni na mtando wa simu walio tumia”

RPC alizungumza huku akiitafuta namba ya nabii Sanga na kumpigia. Simu ya nabii Sanga ikaaita hadi ikakata.

“Mseng** huyu mbona hapokei simu”

RPC Karata alitukana kwa hasira hadi vijana wake aliomo kwenye hicho chumba wakashangaa kwani wamemzoea kumuona boss wao ni mtu wa dini sana. Akapiga tena simu hiyo, ikaita na baada ya muda ikapokelewa.

“Wewe mjinga una acha acha nini kupokewa. Ehee mulizungumza na huyo mualifu?”

“Ndio mke wangu alizungumza naye”

“Mpe simu”

“Haloo”

“Wewe mpuuzi, ulipo zungumza na Tomas alikuambia nini?”

“Ahaa…aliniambia kwamba hataki kuzungumza na mimi”

“Mkuu tumewasiliana na meneja wa mawasiliano ila ana sema kwamba namba hiyo haipo na haionyeshi mmiliki ni nani”

Kijana mmoja alizungumza na kumfanya RPC Karata kutokwa na macho ya mshangao. Hakika katika kipindi chote cha kulitumikia jeshi la polisi leo ndio ana kutana na wakati mgumu kupita nyakati zote alizo wahi kulitumikia jeshi hilo.

“Ina wezekajane ikawa haipo?”

“Nini?”

Mrs Sanga aliuliza.

“Siongei na wewe na funga bakuli loko. Mbwa koko wewe”

RPC Karata alizidi kuwaporomoshea matusi nabii Sanga na mke wake.

“Kwa nini wana sema haipo. Hembu niunganishe na meneja wao.”

“Sawa mkuu”

Kijana huyo akafanya kazi aliyo agizwa na RPC Karata.

“Simu ipo hewani mkuu”

Kijana huyo alizungumza na kumfanya RPC Karata kuchukua mkonga wa simu hiyo ya mezani na kuiweka sikioni mwake.

“Inawezekanaje namba ambayo ilikuwa ina tumia wakati mfupi, sasa hivi museme kwamba haipo?”

“Hata sisi hatufahamu kwa nini haipo, vijana wangu ana jaribu kila liwezekanalo kuitafuta ila hadi sasa hakuna matumaini ya aina yoyote”

“Hakikisheni muna endelea kutafuta”

“Sawa”

RPC Karata akarudisha mkonga huo wa simu sehemu alipo utoa. Uso wake wote umejaa mikunjo itokanayo na hasira kali. Hofu na mashaka ya kufukuzwa kazi na kustakiwa kijeshi, ikazidi kumtawala kwani kwenye maisha yake yote amekuwa ni muaminifu katika jeshi hilo la polisi ndio maana katika umri mdogo tu wa miaka thelathini na tano amejikuta akikabiwa cheo kikubwa sana cha RPC katika mkoa wa Dar es Salaam. Gafla RPC Karata mapigo yake ya moyo yakamstuka sana na kuzidi kumuenda kasi, hazikuisha hata sekunde tano simu yake kubwa ya mkononi ikaanza kuita. Akaitoa mfukoni huko akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana. RPC Karata akajikuta akikaa kwenye kiti cha pembeni huku miguu ikimuishia nguvu kwani simu hiyo ina toka kwa muheshimiwa raisi ambaye asubuhi ya leo tu ametoka kumchimba biti juu ya makosa aliyo yafanya ya kumtorosha Tomas maabusu



RPC Karata akanyanyuka katika sehemu aliyo kuwa amekaa, akasogea pembeni kabisa katika chumba hicho ili vijana wake wasiweze kusikia mazungumzo yake na raisi. Akaipokea simu hiyo na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Umefikia wapi kwa maana ni masaa sita yamepita?”

“Bado tuna endelea kumsaka muheshimiwa”

“Una kumbuka nimekupa masaa mangapi?”

“Ndio muheshimiwa nina tambua”

“Haya masaa hayo yana kwenda kuisha. Hakikisha una nipatia ripoti kila baada ya masaa sita. Umenielewa?”

Raisi Chinas Mtenzi alizungumza kwa msisitizo.

“Sawa muheshimiwa raisi”

Simu ikakatwa na kumfanya RPC Karata kushusha pumzi huku akiwatazama vijana wake jinsi wanavyo endelea kushuhulika na kazi hiyo ya kumtafuta Tomas kwenye mtandao.

***

Furaha ya penzi lao ambalo hawakupeana kwa kipindi kirefu sasa, ikatawala. Mrs Sanga hakuona haibu ya kumpa kila kitu mume wake kwani mumewe huyo tayari amesha tambua kwamba mke wake ana fanya mapenzi kinyume na maadali.

“Pumbavu yule mshenzi alikuwa ana faidi sasa mama Julieth”

Nabii Sanga alizungumza huku akisikilizia utamu wa mkund** wa mke wake.

“Kweli baby?”

“Yeeah asiee uta kuwa una nipa huku kila siku. Khaa”

“Usijali mume wangu, kote huko ni mali yako”

Nabii Sanga na mke wake wakaendelea kupeana utamu hadi wakafika tamati huku kila mmoja akivujwa na jasho jingi sana usoni mwake.

“Mume wangu siku hizi mbo** yako ime kuwa tamu”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu vile. Yaani ume nikuna kisawa sawa”

“Usijali mke wangu, uta zidi kuifaidi”

“Sawa baby. Eheee nimekumbuka jambo”

“Jambo gani?”

“Kuna biashara moja ita tuingizia pesa nyingi sana. Nina imani tukiifanya tuta zidi kuvuna pesa ukiachana na pesa za sadaka za waumini wako”

Nabii Sanga ni mtu mmoja sana ambaye ana penda maswala ya biashara na siku zote ame kuwa ni tajiri kwa kupewa mawazo ya kibiasara na mke wake huyo ndio maana hata ikitokea matatizo hadhubutu kumkandamiza mke wake.

“Niambie ni biashara gani?”

“Biashara ya watu”

“Watu!!?”

Nabii Sanga aliuuliza huku macho yakiwa yamemtoka kwani hakutarajia kusikia biashara kama hiyo.

“Ndio mume wangu. Biashara ya watu. Hii biashara ita tuingizia pesa nyingi sana.”

“Mke wangu biashara kama hiyo ume isikia wapi na ume tambuaje kama ita tusaidia”

“Ipo hivi. Kuna wasichana wengi sana warembo nchini Tanzania. Kitu ambacho tuna takiwa kukifanya kwa sasa ni kuhakikisha kwamba tuna wateka wasichana hao na kwenda kuwauza kwenye makasino makubwa nchini Tailand na China. Mtu mmoja mume wangu ana weza kutuingizia hadi dila elfu sabini”

“Duu kurefu hapo”

“Ndio hivyo, hii biashara kuna yule rafiki yangu ambaye yupo Nigeria. Aliwahi kuniambia kipindi cha nyuma ila sikuweza kuitilia maanani sana. Ila hapa ulipo kuwa una nipa vitu ndio nika kumbuka. Kwa nini wasichana wawe wana jitandaza sinza kule usiku wakijiuza. Tunacho wafanya ni kuwateka, tuna waweka kwenye makontena na moja kwa moja tuna wasafirisha kuelekea China na Tailand. Tena wasichana wa kitandania walivyo jaliwa matako makubwa. Hakika tuna weza kumuuza hata mmoja dola laki moja. Piga picha tuka uza wasichana mia moja kwa dola laki moja moja tuta kuwa wapi?”

“Mmm ni ten million dolar hiyo mke wangu”

“Ndio hivyo mume wangu tuchangamkie fursa na kupitia biashara hiyo tuna rudi kwenye biashara yetu ya madawa ya kulevya”

“Ila mke wangu si tuliaacha hiyo biashara ya madawa”

“Baba Julieth, hatujaicha na nina kumbuka uliniambia kwamba tuna mpa muda huyu raisi mpya, tuangalie mto wake. Akilegeza tuna endelea kuvuna pesa kama kawaida. Mume wangu tuna fanya haya yote kwa ajili ya watoto wetu. Sitaki tukifa watoto wetu wanyanyasike. Wewe mwenyewe unavyo ona, hakuna hata mmoja mwenye hata chembe ya kuja kuwa mchungaji wala muhubisi kwa hiyo ukifa wewe basi hilo kanisa lako wata shikilia watu wengine. Je una penda iwe hivyo”

“Nime kuelewa mke wangu. Ina bidi twendwe wote Afrika Nigeria kesho kutuwa ilia tuweze kuzungumza na huyo rafiki yako. Ili tuanze kupata na sisi conection za huko”

“That is ma men. Always huogopi kuingia kwenye sehemu yenye pesa”

“Una nijua, mission yetu kubwa ni kupata pesa hapa duniani. Unabii na kanisa ni muamvuli wa mambo mengina na hakuna hata mmoja ambaye anaweza kuhisi kwamba nina weza kuifanya biashara hiyo”

“Ni kweli mume wangu. Nakupenda sana”

“Nakupenda pia mke wangu”

Mrs Sanga akamnyona mume wake lispi kisha akashuka na kuanza kutembea kuelelea bafuni huku makalio yake malaini yakitingishika.

“Yaani makalio yako tu ndio yana niuaga mimi”

Nabii Sanga alizungumza huku akizilamba lipsi zake na kumfanya mke wake kuyatungisha kimakusudi kisha akajipiga vibao viwili vya makalio kisha akaingia bafuni humo. Nabii Sanga aka shuka kitandani na kuitazama simu yake kama kuta kuwa na meseji yoyote kutoka kwa Magreth ila hakukuta chochote.

‘Nita mpigia badae’

Nabii Sanga alizungumza huku akiirudisha mezani simu yake na kuingia bafuni. Akamkuta mke wake akijitazama tazama kwenye kioo.

“Wasiliana na daktari aje kukupatia dawa ya hayo majeraha”

“Hapana mume wangu. Nita yauguza taratibu ili yapone, sitaki mtu mwengine aweze kufahamu siri za ndani kwetu”

“Ila si haujaumia sana?”

“Nimeumia mume wangu. Yaani jana hichi chumba nilikiona kidogo kama boksi la kiberiti na jinsi ulivyo kuwa una kididimiza kichwa changu kwenye hili sinki yaani sina hata hamu”

“Mke wangu tulisha yamaliza jana tuachane nayo bwana”

“Sawa mume wangu”

Nabii Sanga akamkumbatia mke wake kwa nyuma huku akiyatomasa tomasa maziwa hayo yaliyo jazia. Pesa wanayo imiliki ina mfanya mke wake kila siku kuzidi kuonekana mrembo japo nabii Sanga kichwa kimesha tawaliwa na mvi.

“Kama biashara hiyo ita kwenda vizuri. Nina nunu private jet yetu”

“Weeee!!”

“Ndio. Tena tuki toka hivi Nigeria tuta agizia boti moja kubwa sana ambayo siku kama za weekend tuna kwenda huko katikati ya bahati kula maisha”

“Hapo ume nena mume wangu”

Mrs Sanga alizugumza huku akigeuka taratibu, waziwa hayo yakagusa kifua cha nabii Sanga na kuziamsha upya hisia za mapenzi. Mrs Sanga taratibu akachuchumaa na kuanza kumnyonya jogoo wa mume wake huku mkono mmoja ukiwa ume mshika jogoo huyo huku mkono wake mwengine ukichezea kisim** chake.

***

Tomas siku zote huwa hafanyi kosa pale anapo kishika kiuno cha mwanamke yoyote. Binua binua wanazo zifanya yeye na Levina katika kitanda kilichopo katika chumba hicho cha siri hakika si za nchi hii. Kila mmoja ana onyesha ufundi wake na kwa kipindi kirefu kidogo hawaja kutana kimwili.

“Tom”

“Yeee”

“Fuc** hard ma pus**”

Levina alizungumza huku jasho likimwagika mwili mzima. Tomas, akazidisha kasi ya kiuno chake na kumfanya binti huyu kulia kilio ambacho hakuna mwanaume anaye weza kumliza zaidi ya Tomas peke yake. Mzunguko wa kwanza uka isha huku kila mmoja akiwa amechoka.

“Tomas haki ya Mungu uondoki leo wala kesho”

“Kwa nini?”

“Acha kwanza nijilie utamu wangu. Hata ukiondoka basi huku kisima changu kita kuwa kime kauka maji.”

“Kutokana nina sura ya bandia na ume nihakikishia kwamba hakuna askari ambaye ana weza kunikamata. Basi nitakuondoka siku upendanyo”

“Kweli Tomas”

“Ndio”

Levina akamkumbatia Tomas kwa furaha na kuanza kunyonyana naye denda. Wakatoka chumbani humona kurudi juu. Levina akaandaa chakula cha mchana huku Tomas akiutumia muda wake mwingi sana kujitazama kwenye kioo.

‘Huyu mwanamke ni genius’

Tomas alizungumza huku akijifinya finya shavuni mwake na maumivu anatapata kama kawaida.

“Baby chakula tayari”

Levina alizungumza mara baada ya kuinga chumbani hapo.

“Sawa mke wangu”

Levina akamkabishi Tomas taulo, akajifunga kiunoni mwakena wakaelekea eneola kulia chakula. Wakaanza kula huku kila mmoja aki onekana kutafakari mambo yake kichwani.

“Levina”

“Naam”

“Kwa mfano niki hitaji kujiunga kwenye kitengo cha usalama ina wezekana?”

“Kwahapa Tanzania ni ngumu sana labda kwa hiyo nchi unayo iendea. Kwa nini una hitaji kujiunga kwenye kazi za hatari kama hizo?”

“Yote nahittaji kulipiza kisasi kwa nabii Sanga na familia yake. Alicho nifanyia mzee huyu hakika ame vuruga maisha yangu yote”

“Mmmm kisasi……!!?? Ila kama hupendi kazi hiyo ni heri usijiunge kwa maana wapelelezi siku zote maisha yao yana kuwa ni mafupi. Endapo ata bahatika kuishi sana, ujue huyo ni kijukuu cha mtume. Wewe una hitaji kulipiza kisasi ni jambo rahisi sana. Tumia akili sana katika hili na usitumie nguvu. Labda nikuulize kisasi chako unacho hitaji kukilipiza ni cha namna gani?”

“Chochote ambacho kita kuwa na uwezo wa kumfanya mzee yule kupitia mateso na maumivu makali sana”

“Basi hapo nime kuelewa. Wewe nenda kasomee kazi hii niliyo isomea mimi , tena kwa Afrika kusini kuna wataalamu wazuri sana. Ukifanikiwa kuwa hackers mzuri, rudi Tanzania alafu nikuambie nini cha kufanya”

“Huwezi kuniambia sasa hivi?”

“Siwezi kwa maana huto elewa nini nina kuambia. Kwani lugha nitakayo izungumza ni lugha ya code, sasa wewe nikikuambia Code una elewa chochote zaidi ya kunitumbulia mimacho”

“Mmmm sawa mama”

“Tena lifanyie kazi kwa maana kisasi hicho uta uta kilipita taratibu na maumivu makali sana kwa familia hiyo. Ngoja nikuambie siri moja tu. Tanzanai watu wenye wazo wangu tupo watatu tu, wawili wapo usalama wa taifa na mimi nime fungua kampuni yangu. Hao wawili wenyewe nime wapiti uwezo kwa asilimia chache sana ndio maana kuna kipindi kitengo hicho kina leta kazi ufisini kwangu na nina wafanyia”

“Nitalifanyia kazi wazo lako”

“Nashukuru kwa kunielewa”

***

Magreth akaka hospitalini hapo hadi saa mbili usiku na manesi wakamuomba aweze kuelekea nyumbani tu kwani kwa siku hiyo hato weza kuonana na mgonjwa. Haikuwa habari nzuri sana kwa Magreth ila hakuwa na jinsi, kwa majonzi akawasiliana na Sheby, akamchukua hospitalini hapo na kumrudisha nyuumbani kwake.

“Nashukuru Sheby”

Magreth alizungumza kwa suati ya upole na unyonge hadi Sheby mwenyewe aka jawa na mshangaa.

“Sister hali ya mgonjwa vipi?”

Sheby aliuliza huku naye akishaka kwenye gari.

“Sio nzuri. Yupo kwenye chumba cha wagonjwa mahututi”

“Ahaa daaa!! Pole sana dada”

“Nashukuru. Kesho Sheby”

“Sawa”

Magreth akabeba mfuko wake wenye hotpot za chakula. Akafungua geti lake na kuingia ndani. Akaupelekea mfuko huo wa chakula jikoni na kuweka hotpot hizo kwenye friji kisha akarudi sebleni. Akajitupa kwenye sofa huku akiwa amejawa na uchovu mwingi sana. Akatoa simu yake kwenye pochi na kutazama kama kuna missed call yoyote, ila hakuweza kukuta chochote.

‘Ina maana huyu mzee leo haja nitafuta?’

Magreth alizungumza hukua akitazama saa ya ukutana nina kukuta ni saa nne kasoro

‘Bado ata kuwa haja lala’

Magreth alijifariji huku akiipiga namba ya nabii Sanga. Uwepo wa mzee huyo kwa siku hizi za karibuni, kuna mfanya ashindwe kabisa kuzoea hali ya upweke ukitegemea Evans leo yupo mahututi. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita kisha ikapokelewa. Magreth hakuzungumza chochote kwani ana tambua fika kwamba nabii Sanga yupo nyumbani kwake.

“Nile baba ohoooo nile babaaaaa aiiisiiiii….”

Magreth akastushwa sana na miguo hiyo ya kimapenzi. Hasira itokanayo na wivu wa mapenzi vikaanza kumtawala.

“Ohoooo mkund** wako mtamu mke wangu. Ongeza kasi ya kuzungusha kiuno”

Sauti hiyo ya nabii Sanga, ikamfanya Magreth kuishia nguvu na kujikuta akiiachia simu na ikaangukia kwenye sofa. Mwili ukaanza kumtetemeka na machozi yakaanza kububujika usoni mwake taratibu na baada ya muda kidogo akazama kwenye dimbwi kubwa la kilio cha maumivu ya kutendwa katika mapenzi.



Siku hiyo haikuwa nzuri kabisa kwa Magreth.

‘Kwa nini amenifanyia hivi’

Magreth aliziungumza huku akizidi kulia. Hadi kuna pambazuka Magreth hakuweza kupata usingizi kabisa. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama na kuona ni namba ya nabii Sanga, kwa hasira aliyo nayo hakutamani hata kuipokea na alicho kifanya ni kuikata na kuzima kabisa kwani haitaji usumbufu kabisa na mzee huyo.

***

Nabii Sanga akazidi kuchanganyikiwa mara baada ya Magreth kukata simu yake. Hata chai aliyo andaliwa na mke wake asubuhi hiyo hakika haifurahii kabisa kwani kwa asilimia mia moja ana kumbuka kwamba jana usiku wakiwa katika uwanja wa nane kwa nane yeye na mke wake, Magreth alipiga simu na kwa bahatu mbaya mke wake hakuhitaji aipokee simu hiyo na katika kuminyana minyana siku hiyo ilijipokea pasipo wao kufahamu.

‘Amesikia kila kitu’

Nabii Sanga alizungumza huku akiitazama namba ya Magreth ambayo ameiandika kwa jina la Mtumishi, ili mke wake asiweze kufahamu jambo lolote kwani sasa hivi amani katika ndoa yake tayari imesha rudi kwenye mstari.

“Mume wangu mbona una onekana huna furaha?”

Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama mume wake usoni.

“Kuna mambo kidogo naya fikiria yana nikosesha raha”

“Mambo gani?”

“Ngoja nikayafwatilie kisha nikirudi nita kuambia ni mambo gani”

“Sawa mume wangu”

Nabii Sanga akamaliza kunywa chai, akajiandaa na kuianza safari ya kuelekea nyumbani kwa Magreth. Njia nzima kila anapo jaribu kupiga namba ya Magreth, haipatikani hewani.

‘Ehee Mungu nimesha haribu’

Nabii Sanga alizungumza huku akikatiza katika daraja la Mwalimu Jk Nyerere. Akafika nyumbani kwa Magreth, akajaribu kupiga honi ili afunguliwe geti ila hakuweza kufunguliwa. Alipo ona kuna ukimya, akashuka kwenye gari na kuanza kuminya batani ya kengele iliyopo getini hapo.

Honi za gari la nabii Sanga, Magreth aliweza kuzisikia ila hakuhitaji kujisumbua kunyanyuka ili kuelekea getini. Ila mlio wa kengele, ukaanza kumkera na kujikuta akisimama na kutoka nje, akafungua geti pasipo kumsemesha chochote nabii Sanga na kaunza kutembea kuelekea ndani. Nabii Sanga akafungua geti kubwa, akaingiza gari lake kisha akalifunga. Akaingia ndani na kumkuta Magreth akiwa amekaa kwenye sofa la mtu mmoja huku akimtazama jinsi anavyo ingia sebleni hapo.

“Habari yako Mage”

”Kimekuleta nini nyumbani kwangu?”

“Mage nimekuja tuyazungumze. Nina imani kwamba uta kuwa ume kasirika”

“Hahahaaa….kukasirika. Hivi unahisi mimi sina moyo au?”

Magreth alizungumza kwa hasira iliyo changanyika na hasira.

“Nalifahamu hilo ila Mage nakuomba uni samehe mpenzi wangu”

“Yaani sijamini mtumishi wa Mungu una mfir** mke wako. So umenitoa bikra ya mbele unataka kunitoa na mimi bikra ya nyuma ehee?”

Maneno ya Magreth yakamstua sana nabii Sanga na kujikuta akikaa kimywa huku akishindwa kujua ni jambo gani ana paswa kumjibu Magreth.

“Huwa nikiwa na hasira nahitaji kukaa peke yangu hivyo nakuomba uweze kuondoka”

“Mage”

“Tafadhali una weza kuondoka. Kama ni pesa zako ulizo nipatia uka hisi ni kifungo changu, nina weza kukurudishia kila kitu na nikarudi kwenye maisha yagu ya kuuza maandazi kwani sikuzaliwa tajiri na nimezaliwa masikini mimi na nitapambana kwa jasho langu”

Magreth alizungumza huku machozi yakimbubujika usoni mwake.

“Hapana Magreth usifike huko. Kama ni pesa nilizo kupa sio kifungo. Kesho nina ondoka na kuelekea nchini Nigeria hivyo nitakuwa huko kwa mwenzi mmoja. Tafadhali nina kuomba uweze kunivumila kwa kipindi hicho chote na nina omba uweze kunisamehe”

“Poa safari njema”

“Hapana Mage usiwe hivyo, tambua kwamba nina kupenda mpenzi wangu”

“Mzee tafadhali nenda basi”

Magreth alizungumza kwa hasira huku akisimama na kumkazia macho nabii Sanga. Taratibu Nabii Sanga naye akasimama na kuanza kumsogelea Magreth.

“Usinisogeleee”

Nabii Sanga akaupitisha mkono wake kiunoni mwa Magreth na kumvutia karibu.

“Siwezi kuondoka bila kupata haki yangu”

“Haki yako umeipata kwa mke wako, mgawa mkund**”

Magreth alizungumza huku akijitahidi kujitoa mikononi mwa nabii Sanga ila akajikuta akishindwa. Nabii Sanga akamnuanyua kwa nguvu Magreth na kuingia naye chumbani. Akambwaga kitandani huku akianza kuvua nguo moja baada ya nyingine.

“Unataka kunitomb** ehee?”

“Nahitaji haki yangu”

“Poa usihangaike kutumia nguvu. Fanya umalize”

Magreth alizungumza huku akivua nguo zake kwa hasira. Magreth akaitanua miguu yake huku akimtazama nabii Sanga anaye hangaika katika kumnyonya maziwa yake. Mbwembwe zote za nabii Sanga hazikuweza kuhamsha hisia hata moja jambo lililo mfanya nabii Sanga kujawa na mshangao, kwani hakuwahi kumnyonya Magreth kitumbua na akakaa kimya pasipo kutoa mguno wa aina yoyote.

“Fanya umalize”

Magreth alizidi kumsisitiza nabii Sanga huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake. Nabii Sanga akanza kutafuna kitumbua cha Magreth ila Magreth akawa kama mtu aliye shikwa na ganzi, kwani haisi chochote. Kadri nabii Sanga anavyo jitahidi kula kitumbua hicho huku jasho likimwagika ndivyo jinsi alivyo zidi kuujaza moyo wa Magreth chuki. Nabii Sanga akafika tamati huku akitoa miguno ya kuona raha, taratibu Magreth akashuka kitandani na kujifuta waarabu weupe wa nabii Sanga wanao tiririka mapajani mwake.

“Mage kwa nini ume kuwa hivyo mpenzi wangu?”

“Nimekuwaje, si nimekupa ulicho kihitaji au?”

“Hapana sizungumzii hivyo. Kwa nini hata hujatoa mguno mmoja?”

“So ulihitaji nilie kama mtoto mdogo au?”

“Hapana Mage, nimesha zoea huwa una vilio fulani hivi vya utamu utamu ila leo sijasikia hata chochote”

“Ngoja nikuambie ukweli. Huniridhishi na huna uwezo wa kuniridhisha hivyo juhudi zako zote hizo zimekuwa ni sifuri kwangu”

Maneno ya Magreth yakapenya moja kwa moja katika moyo wa nabii Sanga na kuumiza sana. Katika misha yake hayajawahi kutana na dharahu kama hiyo. Akatamani japo amtandike Magreth kofi ila akashindwa kwani kwa namna moja ama nyingine yeye ndio mwenye makosa.

“Usiombe siku nikapata mwanaume atakaye jua kunikuna vizuri. Haki ya Mungu hata maisha ya kwenda kunywa uji nitaishi naye kuliko kuishi kwenye jumba kubwa ila mwanaume hakuridhishi kabisa”

Maneno ya Magreth yakazidi kumchanganya nabii Sanga na kujikuta akipandwa na hasira.

“Kaa kimya Mage”

“Nina kuambia ukweli, huniridhishi. Muda wako umesha kwenda mzee”

Nabii Sanga akamtandika Magreth kofi lililo myumbisha na bado kidogo aanguke chini.

“Pumbavu wewe, sihitaji dharau za kipumbavu. Kumbuka ni wapi nimekutoa wewe na nina mamlaka juu yako na huna uwezo wa kunizungumzia maneno ya dharua mbele yangu”

Nabii Sanga alizungumza kwa hasira huku akimkazia macho Magreth aliye anza kuangua kilio cha woga, kwani hakutarajia kwamba maneno yake yana weza kumfanya mzee huyo kukasirika namna hiyo.

“Sasa nina funga kamera nyumba nzima na gari lako sasa ole wako humu ndani aingie kunguru uta nijua mimi ni mtu wa aina gani. Nikipenda nina penda na yule ni mke wangu wa ndoa, nina miaka naye zaidi ya ishirini na nane kwenye ndoa hivyo usije kuleta dharau juu yake kama ni kumtomb** na kumfir** nafanya kwa mke wangu muda wowote na wakati wowote ninao jisikia wewe ila si wewe kuniletea dharua na kukasirika kijinga jinga kwa ajili ya mke wangu. Umenielewa”

Nabii Sanga alifoka huku jasho likizidi kumwagika.

“Nimekuelewa”

Magreth alijibu kwa upole ulio changanyikana na woga mwingi sana.

“Sasa ole wako uni saliti, haki ya Mungu nita kuua kwa mikono yangu mimi mwenyewe na huyo kinyago ambaye uta nisaliti naye, nita mchinja”

Nabii Sanga alizidi kuzungumzz kwa hasira na kuzidi kumuogopesha Magreth ambaye maneno hayo aliyazungumza kwa ajili ya kujiridhisha moyo wake ila siku zote amekuwa akiridhishwa kimapenzi na mzee huyo. Nabii Sanga akachukua simu yake na kupiga katika shirika linalo toa huduma ya kufunga kamera za ulinzi majumbani.

“Sasa nyumba nzima ita fungwa kamera na nina kwenda Nigeria, sasa nirudi nikukute ukiwa na kiji mwanaume nitakuuaa Magreth”

Nabii Sanga alizungumza kwa hasira huku akimshika shingo Magreth na kumvuta karibu yake.

“Nimeelewa nimeelewa mume wangu”

Magreth alizungumza kwa woga huku mwili mzima ukimtetemeka.

“UMENIELEWA?”

“Nd..i…i…o”

“Pumbavu na siku nyingine urudie ujinga wa kuzungumza ujinga huo, nitakuonyesha mimi ni nani na nina roho ya aina gani”

Nabii Sanga akamsukumia Magreth kitandani na kumfanya aendelee kulia kwa woga.

***

RPC Karata hakuweza kukumbuka chochote kuhusiana na nyumbani kwake. Siku hiyo hakuweza kuondoka kabisa kituoni huku vijana wake wakiendelea kufanya kazi ambayo kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi matumaini ya kumpata Tomas, yanavyo potea. Mlango wa ofisi yake ukafunguliwa kwa nguvu na wakaingia wanaume sita walio valia suti zao huku wote wakiwa na miwani nyeusi. Mapigo ya moyo ya moyo ya RPC Karata yakaanza kumuenda mbio kwani watu hao ameweza kuwafahamu wame tumwa na raisi Chinas Mtenzi.

“Kuanzia hivi sasa upo chini ya ulinzi na nafasi yako ata kaimu mtu mwengine hadi pale raisi atakapo amua jambo jengine. Nyoosha mikono yako”

Mwanaume mmoja alizungumza huku akimtazama RPC Karata ambaye hakuleta ubishi wowote, akanyoosha mikono yake na akafungwa pingu na kuanza kutolewa ofisini kwake jambo lililo wafanya askari wake alipo kituoni hapo muda huo wa asubuhi kubaki wakiwa na mshangao mkubwa kumuona mkuu wao akiwa amekamatwa na mbaya zaidi hawana uwezo wa kufanya jambo lolote kwa walinzi hao wa raisi kwani majeshi yote yapo chini ya amri ya raisi Chinas Mtenzi.

RPC Karata akaingizwa kwenye moja ya Ranger Rover nyeusi, kisha gari hizo mbili zinazo fananana zikaanza kuondoka kituoni hapo kwa mwendo wa kasi sana. Wakafika ikulu na RPC Karata akaingizwa katika chumba cha maalumu cha mahojiano ambacho kina tumiwa kitengo cha walinzi hao wa raisi. Haukupita muda mrefu sana raisi Chinas Mtenzi akaingia katika chumba hicho.

“Muna weza kutuacha”

Raisi Mtenzi alizungumza na kuwafanya walinzi wake kutoka katika chumba hicho.

“Shikamoo muheshimiwa raisi”

“Shikamoo yako haina haja ya mimi kuipokea. Nilikupa masaa ishirini na nne ila hakuna hata chochote ulicho kifanya na hujanipa ripoti yoyote ikiwa nilikuambia uweze kunipatia ripoti kila baada ya masaa sita.

“Ni kweli muheshimiwa nina makosa, ila tafadhali nina kuomba unipatie muda niweze kuimaliza hii kazi niliyo ianza”

“Karata una nifahamu vizuri, nilikuwa mkuu wako wa chuo na una kumbuka taratibu zangu na sheria zangu kipindi nina endesha chuo cha askari?”

“Ndio nina kumbuka muheshimiwa raisi”

“Una nielewa?”

“Ndio nina kuelewa”

“Mimi ni mtu wa kusimamia kauli zangu. Sina haja ya kuendelea kuwa RPC wa mkoa huu wa Dar es Salaam. Nina imani kwamba muda wako wa kuingia gerezani ume wadia.”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo. Siku zote mzee huyo amekuwa ni mtu wa kuogopewa yote ni kutokana na misimamo yake anayo jiwekea na maamuzi magumu anayo yafanya hata kwa watu wake wa karibu wanao mfahamu, endapo mtu huyo akienenda kinyume basi hanaga msamaha.

“Mkuu nina kuomba unipe nafasi nyingine. Kumbuka ni mambo mangapi mazuri ambayo nimeyafanya katika nchi hii na jeshi la Polisi. Hili ni kosa la kwanza kufanya nina kuomba uni samehe”

“Karata funga kinywa chako. Kumbuka kipindi ukiwa askari wa kawaida, nilikupa oder ya kumuua mwanangu aliye kuwa akimiliki genge la majambazi kule Kagera au umesahau?”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa ukali sana.

“Ninakumbuka mzee”

“Na ulitekeleza japo ilikuwa ni ngumu sana kwako kufanya hivyo. Nina misimamo na maneno yangu, kama niliweza kumuua mwanangu aliye kuwa jambazi nitashindwaje wewe kukusweka ndani. Au unachukulia kujuana kwetu ndio kukupe nafasi ya kusaliti kiapo ulicho kula hapa ikulu kuwa utakuwa ni RPC mwenye maadili?”

“Muheshimiwa ina kuomba kabisa uni samehe. Haikuwa nia yangu wala lengo langu kufanya hivi. Kumbuka nime kuwa mtumwa wako kwa kipindi chote hicho na sikuwahi kuenenda kinyume na amri zako.”

RPC Karata alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Ume sema haikuwa nia yako kufanya ulicho kifanya? Ni nani aliyopo nyuma ya hili jambo?”

Swali la raisi Chinas Mtenzi likazidi kumfanya RPC Karata kuwa katika kipindi kigumu.

“Zungumza ili huyo aliye kushawishi wewe kufanya ulicho kifanya, abebe adhabu ambayo nilipanga kukupatia. Nitajie ni nani huyo”

RPC Karata akashusha pumzi huku akimfikiria nabii Sanga. Japo ni mzee anye muheshimu kwenye swala zima la kiimani, ila hana jinsi zaidi ya yeye kutetea kibarua chake.

“Ni nabii SANGA”

Raisi Chinas Mtenzi akatokawa na macho ya mshangao kwani naye siku zote amekuwa ni shabiki namba moja wa nabii huyo anaye ponya watu mbali mbali kwa maombi yake.



“Sanga huyu wa kanisha la Heaven light ministry au Sanga yupi?”

Raisi Chinas Mtenzi aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.

“Ndio muheshimiwa”

“Yeye amehusika vipi katika swala la kumtoa muhalifu mikononi mwa polisi?”

“Kijana ambaye tulikuwa tume mshikilia, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke wa nabii Sanga”

“Ohoo Mungu wangu!! Ehee ikawaje?”

“Sasa mke wake kutokana na kukolea kwenye penzi la kijana huyo wakapanga mpango wa kumteka nabii Sanga.”

Raisi Chinas Mtenzi akajikuta akifumba macho kwani haya anayo yasikia na familia hiyo anayo ifahamu ni mambo mawili tofauti kabisa.

“Walifanikiwa katika kumteka nabii Sanga ndio maana nabii Sanga alitekwa. Baada ya upelelezi tukafanikiwa kumfahamu muhisika ambaye ni Tomas, ila Tomas baada ya mimi kumbana kwa kuda mrefu alikiri kwamba mke wa nabii Sanga ndio aliye toa wazo la kutekwa kwa mume wake. Ili kulinda heshima ya familia hiyo ilibidi kumueleza nabii Sanga kila jambo kuhusiana na mke wake ili niwee kufahamu ni maamuzi gani ambayo ata amua, kama ni kumjumlisha mke wake katika hilo jambo au laa.”

RPC Karata alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi kwani hatima yake bado haifahamu kwa mzee huyo.

“Nabii Sanga aliomba mke wake asihusishwe kwenye hilo na baada ya hapo aliomba kukutana na Tomas na kweli nilifanikisha hilo. Baada ya hapo akaniomba niweze kumuaa.”

“Ni kweli niliweza kumtorosha Tomas kutoka pale kituoni kwa kutumia njia za chini ya ardhi. Nilipo kuwa nipo njiani kwenda kumuua, nabii Sanga akanipigia simu na kuniomba niweze kusitisha na ikiwezekana niweze kumuachia huru kijana huyo ila nimsisitize aweze kutoka nje ya nchi hii kabla ya kumuua”

“Ohoo Mungu wangu. Kwahiyo sasa hivi wewe una pokea oda kutoka kwa nabii Sanga na wala si kwa IGP au kwanagu?”

“Hapana mkuu, nimefanya makosa, ila tafadhali nina kuomba sana uweze kunisamehe katika hili”

Raisi Mtenzi akafumba macho yake kwa sekunde kadhaa huku akijaribu kuizuia hasira yake anayo hisi ita kipasua kifua chake kwa maumivu. Siku zote hapendi kuwa na wafanyakazi wazembe.

“Alikulipa kiasi gani?”

“Milioni ishirini mkuu”

“Unazo hizo pesa?”

“Ndio mkuu”

Raisi Mtenzi akatoa simu yake kwenye mfuko wa koti la suti na kumpigia mlinzi mkuu wa ikulu.

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Nileteeni nabii Sanga, popote alipo hakikisheni kwamba muna mleta hapa”

“Sawa muheshimiwa”

“Muna lisaa moja la kukamilisha hilo”

Raisi Mtenzi akakata simu na kumtazama RPC Karata anaye mwagikwa na jasho japo katika chumba hicho kuna air condition.

“Nahitaji kumjua vizuri huyu nabii Sanga. Sijawahi kukutana naye uso kwa uso zaidi ya kumuona kwenye tv”

“Aha…ni mtu mwema?”

“Mtu mwema anaye toa rushwa na ili kulinda heshima ya familia yake na mke wake ambaye amefanya makosa ya kijinga. Unalitia hasara jeshi la polisi na bado una sema kwamba ni mtu mwema.”

Raisi Mtenzi alifoka sana huku akimkazia macho RPC Karata.

“Vijana wangu wataanza kumfwatilia nyendo zake. Endapo nita mkuta na kosa la tofauti na hili alilo fanya. Sinto muacha na hapa ndipo nitakapo kuwa nina shuhulika na watu wote walio fungua fungua makanisa yao wakijiita manabii wengine sijui kina nani sitaki ujinga mimi”

Raisi Mtenzi alizungumza kwa ukali sana. Haikuwa kazi ngumu kumtafuta nabii Sanga kwa kutumia GPRS, wakafanikiwa kugundua kwamba yupo kigamboni. Vikaondoka vikosi vya walinzi kumi wa raisi huku wakiwa katika gari mbili na kuanaza kuelekea eneo la Kigamboni.

***

“Mume wangu nakuomba unisamehe, moyo wangu ulijawa na uchungu sana nilipo kuwa nina sikia jinsi mukiana mapenzi wewe na mke wako”

Magreth alizungumza kwa sauti laini huku akimshika shika nabii Sanga shingoni mwake.

“Hata kama nimefanya makosa ila si kuniambia maneno makali kiasi hicho”

“Nisamehe mpenzi wangu, ni kweli yule ni mke wako na mimi ni mwanamke wa nje na yule ana haki ya kila jambo”

“Hata wewe una haki ndio maana upo hapa. Nitaondoka kwenda huko Nigeria, nakuandikia cheki ya milioni hamsini, hakikisha una fungua biashara unayo ihitaji na nikirudi ndani ya mwenzi huo mmoja nahitaji kuikuta biashara ikiwa ime kuwa”

“Sawa mume wangu”

Nabii Sanga akatoa kitabu cha cheki katika mfuko wa koti lake la suti na kuandika kiasi hicho cha pesa na kumkabishi Magreth ikiwa ni moja ya msamaha wake kwa mwanamke huyo anaye mdatisha kimahaba.

“Una taka kuniambia kwamba sikuridhishi mpenzi wangu?”

“Hapana mume wangu, una nirishisha sana na unanikojolesha hadi kiu yangu ina katika”

“Hahaa nakupenda sana Magreth”

Nabii Sanga alizungumza huku akimbusu Magreth mdomoni mwake. Kengele ya getini ikawafanya waachiane.

“Nahisi watu wa kampuni ya kufunga kamera watakuwa wamesha fika. Vaa nguo ukawapokee”

Nabii Sanga alizungumza hukua akimtazama Magreth kwa macho yaliyo jaa mahaba. Magreth akashuka kitandani, akachukua matenge yake mawili na kujifunga.

“Mage”

“Eheee”

“Hivi una jua kwamba wewe ni mzuri sana”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu vile, hembu njoo”

Magreth akamfwata nabii Sanga kitandani alipo kaa. Nabii akayatomasa makalio ya Magreth na kuyapiga vibao kidogo.

“Haya nenda kawafungulie mimi ngoja nijimwagie maji”

“Sawa mume wangu”

Magreth akatoka chumbani humo na moja kwa moja akaelekea getini kwake. Akafungua geti dogo, akastuka kidogo mara baada ya kuwaona wanaume wanne walio valia suti nyeusi wakiwa wamesimama nje ya geti hilo huku kukiwa na gari mbili nyeusi.

“Aha….karibuni”

“Tumemkuta nabii Sanga?”

“Ndio nyinyi ndio kampuni aliyo wapigia muje kufunga kamera?”

Magreth aliuliza kwa mashaka kwa maana wanaume hao wamevalia nguo ambazo si za ufundi kabisa.

“Tunahitaji kumuona”

“Karibuni”

Wanaume hao wanne wakaingia ndani huku wengine sita wakishuka kwenye magari hayo na kuimarisha ulinzi nje.

“Ngoja niwaitie”

Magreth alizungumza huku akielekea chumbani kwake na walinzi hao wa raisi wakatawanyika sebleni hapo ili kuhakikisha kwamab wana mpata nabii Sanga haraka iwezekanavyo.

“Baby baby”

Magreth alizungumza huku akiingia bafuni.

“Kuna nini?”

“Wamekuja wanaume wamevalia suti nyeusi. Hao ndio mafundi?”

“Wamevalia suti nyeusi?”

“Ndio”

“Mmmm mbona wale kampuni yao mavazi yao yana rangi za blue”

“Hembu maliza ukawaone na watu wenyewe wanaonekana wapo serious kwa maana hata salamu hawajanipa”

“Mmmm”

“Ndio hivyo mume wangu”

Nabii Sanga akaoga haraka haraka kisha akatoka bafuni hapo. Akavaa nguo zake na kutoka sebleni, akamkuta mwanaume mmoja tu aliye valia suti.

“Ninaitwa agent John kutoka secrety service. Tumekuja kukuchukua uelekee ikulu”

“Ikulu!!?”

“Ndio, tuna weza kuondoka pamoja”

“Kuna nini Ikulu?”

“Mzee hii ni oda ya raisi. Tume kuja kukusindikiza kukupeleka ikulu tu”

Nabii Sanga akamtazama Magreth aliye jawa na wasiwasi.

“Sikia watakapo kuja watu wa kufunga kamera hakikisha una wasimamia na hawafanyi tofauti na nilivyo waelekeza”

“Ume waelekezaje?”

“Wafunge kamera thelathini, wao wenyewe watajua ni wapi watafunga na malipo yote nitayafanya kwa njia ya simu”

“Sawa”

Nabii Sanga mara baada ya kumuachia Magreth maelekezo akatoka na wanaume hao wanne ambao watatu walikuw awamejificha sebleni hapo na kumuacha mwenzao mmoja. Nabii Sanga akashangaa wingi wa walinzi hawa wa raisi nyumbani kwa Magreth, akatamani kuwauliza wamejuaje kama yupo hapo, ila akakosa nafasi hiyo kwani watu wote wana onekana wapo serious na kazi yao iliyo waleta hapo.

***

Levina akakamilisha kumkatia Tomas tiketi katika shirika la ndege la South Africa Air ways. Ndege atakayo itumia Tomas, itaondoka nchini Tanzania saa mbili na nusu usiku. Levina akarudi nyumbani na kumkuta Tomas, akiwa sebeleni akitazama tv.

“Baby huwezi amini jamaa bado wana endelea kunitafuta”

“Na watakutafuta sana, hawato kupata ng’oo. Sasa nime fanikiwa kupata ndege ya saa mbili usiku. Muda wa kuripoti ni saa mbili kasoro”

“Sawa mke mpenzi wangu asante”

“Tomas nina hitaji kuzungumza na wewe kabla hujaondoka”

“Sawa mpenzi wangu, tuzungumze”

Levina akaka kwenye sofa linalo tazamana na sofa alilo kalia Tomas.

“Tomas una nipenda au una mihemko ya kutokana nilikusaidia?”

“Nina kupenda mpenzi wangu”

“Una niahidi nini kwenye maisha yako ya kwenda huko”

“Kipivipi?”

“Utakuwa na mwanamke mwengine au?”

“Siwezi kuwa na mwanmke mwengine”

“Tomas, sitaki niumie kama ulivyo niumiza pale awali, kumbuka maisha yako na usalama wako sasa hivi yapo mikononi mwangu. Ukienenda kinyume na mimi hata kama una ishi Afrika kusini, lazima askari watakukamata”

“Levina nisikilize mpenzi wangu”

Tomas alizungumza huku akimfwata Levina sehemu alipo kaa.

“Levina una tambua kwamba nina kupenda na sinto kwenda kinyume na penzi lako”

“Tomas, nyinyi wanaume ni waongo. Wewe nieleze tu ukweli kama uta nisaliti niweze kujiandaa kisaikolojia kuliko kuweka ahadi ambayo una jua uta ivunja”

“Sinto kusaliti mpenzi wangu. Haki ya Mungu wewe niamini”

“Sawa ni hayo tu ndio nilikuwa nina kuuliza kwa maana nchi hiyo ina maradhi mengi sana hasa ukimwi. Sasa usije ukaniletea magonjwa bure”

“Siwezi kufanya hivyo mpenzi wangu mimi nina kupenda sana”

Levina taratibu akaanza kuchokozi wa kimapenzi ambao taratibu ukamfanya Tomas kujibu uchokozi huo kimahaba na toka wakutane jana tayari wamesha kwenda mizunguko zaidi ya kumi katika nyakati tofauti tofauti.

***

Nabii Sanga akashuhudia geti kubwa la ikulu likifunguliwa. Gari hizo walizo panda zikaingia Ikulu na kusimamisha kwenye maegesho. Wakashuka kwenye gari hizo na nabii Sanga moja kwa moja akapelekwa hadi katika chumba cha kupumzikia.

“Muheshimiwa nabii Sanga yupo hapa”

Mlinzi aliye ingia katika chumba cha mahojiano alimuambia raisi Chinas Mtenzi mara baada ya kupokea ujumbe huo kutoka kwa kiongozi wa walinzi aliye kuwa amekabidhi kazi hiyo na raisi Chinas Mtenzi.

“Yupo wapi?”

“Wamemuweka katika chumba cha mapumziko”

“Chumba cha mapumziko!! Amekuwa nani yeye, hembu mleteni huko ajumuike na huyu mjinga mwenzake”

Mlinzi huyo akatoa agizo hilo kwa walinzi wengine na baada ya muda mfupi nabii Sanga akaletwa eneo hilo na kuingizwa katika chumba hicho. Nabii Sanga akastuka mara baada ya kumkuta RPC Karata akiwa amekaa kinyonge huku mikononi mwake akiwa amefungwa pingu na yunifomu zake zime jaa jasho.

“Karibu”

Raisi Chinas Mtenzi alizungumza huku akisimama. Raisi Mtenzi akavua koti la suti yake na kumkabidhi mlinzi wake aliye muingiza nabii Sanga.

“Mzee kaa hapo una nitumbulia nini macho”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akikunja mikono ya shati lake. Nabii Sanga kwa woga akaka kwenye kiti ambacho hakikuwa na mtu. Raisi Mtenzi akaviweka sawa viungo vyake huku akimkazia macho nabii Sanga.

“Nabii wewe ume tumwa na Mungu kweli kuja kueneza neno lake hapa duniani?”

Swali la raisi Mtenzi likamstua sana nabii Sanga, akahisi haja ndogo ina kwenda kumtoka.

“Ndi….io muheshimiwa raisi”

“Una uhakika?”

“Ndio muheshimiwa”

“Kama kweli Mungu ana kutumia wewe, imekuwaje ukamashawishi kijana wangu mtiifu kumuachia mtuhumiwa aliye shirikiana na mke wako katika kukuteka kwako na pia mtuhumiwa huyo amekuibia mke wako. Eheeee?”

Nabii Sanga akashindwa kabisa kuuzuia mkono wake, ambao taratibu umeeanza kulowanisha boksa yake huku ukilowanisha suruali yake na ukaanza kuchuruzika kwenye miguu yake na kumwagika chini na kuanza kusambaa taratibu kwenye sakafu ya chumba hicho.

kwa maombi yake.



Mlinzi wa raisi aliyomo ndani ya chumba hicho aliweza kuhushudia mkojo wa nabii Sanga jinsi unavyo sambaa katika chumba hicho.

“Ha….a…a….apaa…..ana”

Nabii Sanga aliendelea kubabaika kwa woga.

“Unataka kuniambia kwamba mke wako hajahusika katika kukuteka wewe?”

Nabii Sanga akazidi kuchanganyikiwa hakutarajia kwamba ujio wake wa Ikulu una weza kumuweka katika wakati mgumu kama huo.

“Mzee zungumza, huwa mimi sina utani na wakosaji na haijalishi nina kujua au sikufahamu. Una cheo gani au huna, na pia mimi nikikosea huwa nina baba makosa yangu, ndio maana mwanangu wa kwanza aliuwawa na Karata kutokana alikuwa ni jambazi na mimi ndio niliye toa amri ya kuuwawa kwake. Haya niambie mke wako ame husika au hajahusika?”

“Amehusika”

Nabii Sanga alizungumza huku mwili mzima ukiwa una mtetemeka.

“Ana takiwa kulipa kutokana na makosa yake aliyo yafanya. Inakuwaje penzi la kijana tu limpagawishe hadi kuamua kuku saliti. Ila kabla sijatuma watu wa kwenda kumkamata, ni kwa nini uliamua kumsamehe mke wako ikiwa ni muhalifu na ukazidi kwenda mbali sana na ukaamua kumsamehe mtuhumiwa wako?”

“Mungu baba ametuambia tusamehe saba mara sabani. Ni kweli kama binadamu mwenye nyongo na hasira, nilitamani kumuona yule kijana ana uwawa kikatili sana. Ila nilitafakari sana kuhusiana na maamuzi yangu, nikahisi kwamba damu ya kijana yule ita nililia mikononi mwangu. Kutokana mimi ndio mtendewa sikuona haja ya kuidhulumu roho ya yule kijana, nikaona ni heri akaondoka nchini Tanzania ili nisimuone”

Nabii Sanga alizungumza kwa kujikaza sana. Raisi Chinas akaka kwenye kiti alicho toka kunyanyuka muda mfupi ulio pita. Akachungulia chini ya meza hiyo na kuona mkojo ukiwa umesambaa chini na akagundua kwamba ume toka kwa nabii Sanga. Kitendo hicho kina muashiria kwamba mtumishi huyo ni muoga. Akamtazama nabii Sanga kwa sekunde kadhaa kisha akatabasamu.

“Mzee una moyo wa ajabu, sijawahi kukutana na binadamu mwenye moyo kama wako. So unataka kuniambia kwamba mtuhumiwa uli mtorosha?”

“Hapan sijamtorosha, ila niliomba aweze kuachiwa huru na kijana hapa. Natambua aliyo yafanya ni nje ya taratibu ya kazi yake, ila nina kuomba uweze kumsamehe na msalaba wake nipo tayari kuubeba mimi”

“Una uhakika?”

“Asilimia mia moja muheshimiwa”

“Mfungue pingu Karata. Msako wako wa kumtangaza Tomas kwenye vyombo vya habari ukatishe mara moja na atafutwe kimya kimya”

“Nashukuru sana muheshimiwa. Nashukuru sana”

RPC Karata alizungunmza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana. RPC Karata akafunguliwa pingu na mlinzi wa raisi na kutoka chumbani humo.

“Nipe siri ya kuwa na moyo kama huo wako”

“Ni kumjua MUNGU tu muheshimiwa raisi”

“Mimi mbona nina soma biblia, nina sali sana ila sijawahi kusamehe kwa namna uliyo fanya wewe”

Raisi Chinas Mtenzi alizungumza kwa upole huku akimtazama nabii Sanga

“Unajua nilipo sikia kwamba ulitoa hadi amri mwanao auwawe kutokana ni jambazi, kidogo nime stuka sana. Ina bidi tufanye maombi kwa ajili ya hiyo hali. Kwa kiongozi mkubwa kama wewe wa nchi, ukishindwa kuzuia hasira yako na ukawa ni mtu wa kukasirika sana, ipo siku uta iingiza nchi katika matatizo makubwa”

Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini sana kwani tayari amesha upata udhaifu wa raisi Chinas Mtenzi.

“Ni kweli, una jua kuna kupindi nina jikuta nina hasira hadi nina tamani kuachia madaraka, ila washauri wangu huwa wana pambana sana na hasira yangu hadi nina badilisha maamuzi yangu”

“Ohooo pole sana muheshimiwa raisi. Kama unaweza kuniruhusu kufanya mauombi kwa ajili yako niambie nifanye”

“Ahaa nipo tayari pia, nahitaji tutoke kwenye chumba hichi, ukabadilishe nguo kisha tufanye maombi. Mpeleke nabii Sanga kwa fundi wa suti, muambie ashoneshe suti ndani ya lisaa awe amesha maliza”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Nabii Sanga akaongozana na mlinzi huyo hadi katika ofisi ya mshonaji mkuu wa suti za raisi na wasaidizi wake katika ikulu hiyo. Nabii Sanga akachagua kitambaa anacho hitaji kushonewa na staili ya suti anayo ihitaji kisha ikaanza kushonwa huku akiisibiria hapo. Mshonaji huyooo mwenye kipaji kikubwa na kasi ya ajabu katika kazi yake ya ushanaji, ndani ya muda mchache akamaliza kushona suti hiyo na nabii Sanga akakabidhiwa ikiwa tayari imesha kamilika.

“Unaweza kuivaa tu mzee, hakuna haja ya kijaribu”

“Kila kitu kipo sawa”

“Ndio mzee”

“Aisee una kasi kubwa sana”

“Nashukuru sana mzee”

Nabii Sanga akaonyeshwa chumba cha kubadilishia nguo, ndani ya chuma hicho akakuta bafu. Akaoga kwa haraka kisha akaivaa suti hiyo. Hakika hapakuwa na sehemu ambayo ime kosewa au kuubana mwili wake. Vipimo vyote alivyo vifanya fundi huyo vime kaa vizuri sana kwenye suti yake. Nabii Sanga akatoka chumbani hapo na mmoja kwa kwa moja akaepelekwa eneo analo ishi raisi Chinas na familia yake ndani ya ikulu hiyo hiyo. Akamkuta mke wa raisi Chinas, wakasalimiana kwa furaha na bahati nzuri wana fahamiana.

“Karibu sana mtumishi, ni muda mrefu sana hatujaonana”

“Ni kweli, ila muna endeleaje na familia?”

“Ahaa Mungu ana saidia, majukumu ndio hayo yameongezeka. Kipindi kile nilikuwa huru kwenda sehemu yoyote mwenyewe, ila kwa sasa hadi uongozane na ving’ora”

“Ahahaa ila ndio hivyo Mungu ame kupandisha kutoka chini kwenda juu”

“Ni kweli”

Raisi Chinas akaingia sebleni hapo.

“Samahani mtumishi nimechelewa kufika”

Samahani hiyo ikamfanya mke wa raisi kushangaa kwani katika kipindi cha maisha yake hajawahi kumsikia mume wake akimuomba mtu wa kawaida sahamani zaidi ya mama yake mzazi tu.

“Hakuna shaka mzee”

“Mama Lily nabii hapa amekuja kuongoza maombi. Hivyo kama kuna wengine humo waite waje kujumuika nasi”

“Wametoka”

“Sawa, nabii Sanga unaweza kuanza maombi, kidogo nime kimbia ofisini”

Nabii Sanga akaanzisha ibada hiyo fupi kwa nyimbo za kuabudu kisha akaanzisha mauombi. Ndani ya muda mfupi raisi Chinas akaanza kuanguka chini huku akigaraga gara kana kwamba mtu mwenye ugonjwa wa kifafa. Nabii Sanga hakuiogopa hiyo hali zaidi ya kuendelea kusali na kuyakemea mapepo mengi sana yaliyomo ndani ya mwili wa raisi Chinas.

“Tokaaaaa kwa jina la Yesu”

Nabii Sanga alizidisha kukuemeea na ndani ya robo saa mapepo hayo yote yakatoka mwili mwa raisi Chinas. Wakasaidiana na mke wake na kumnyanyua huku raisi Chinas akionekana mwili wake kumuishia nguvu.

“Muheshimiwa una jisikiaje?”

“Ehee?”

“Una jisikiaje?”

“Nahijhisi mwili ni mwepesi sana”

“Kweli?”

“Ndio na huwa nina sumbuliwa na maumivu ya mgonga na hata asubuhi ya leo nilichoma sindano ya kupunguza maumivu, ila maumivu hayo yote yametoweka”

“Hakika Mungu amefanya muujiza wake. Una jua hatua uliyo kuw aumefikia, ilibaki kidogo sana uiingize nchi kwenye vita. Sasa ni wakati wa kwenda kusawazisha tofauti na baadhi ya viongozi ambao ume pishana nao kutokana na kauli zako ambazo ziliwaumiza na wengine kuanza kukuwazia mambo mabaya”

“Nimekuelewa nabii. Hakika nilikuwa sipendi kushauriwana wala nilikuwa simsikilizi mtu wa aina yoyote, ila hali ya chuki ndani yangu naona ime toweka pia”

“Mungu ni mwema”

“Hakika Mungu alikuwa na makusudi yake ya kukutanisha. Nabii uta rudishwa nyumbani na endapo utakuwa na haja yoyote ya msaada wangu basi nina kuomba uweze kuwasiliana nami”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Raisi Chinas akampatia nabii Sanga namba yake ya simu kisha naye akachukua namba ya nabii Sanga. Wakapiga picha kadhaa kwa pamoja, kisha wakatoka nje, nabii Sanga akapewa walinzi wa kumrudisha nyumbani kwake huku raisi Chinas akielekea kwenye mkutano na balozi kutoka nchini Ujerumani, huku moyoni mwake akijiona ni mtu mpya na mwenye furaha kubwa sana tofauti na siku za nyuma.

***

Magreth akawakaribisha mafundi wa kufunga kamera katika nyumba yake. Akawapa maelezo ambayo nabii Sanga aliyatoa na kazi ikaanza mara moja. Simu yake ikaanza kuita na kukuta ni nabii Sanga.

“Vipi mafundi wamefika”

“Ndio mpenzi upo wapi?”

“Nipo njiani nina kuja hapa”

“Sawa, nikuandalie chakula kwa maana sasa ni mchana”

“Kama huto jali fanya hivyo”

“Sawa mpenzi wangu”

Magreth akakata simu na kuanza kupiga chakula aina ya biriani. Akapika chakula kingi ili mafundi hao nao waweze kupata chakula. Nabii Sanga akafika nyumbani hapo na kuanza kumuadisia Magreth safari yake hiyo ya Ikulu.

“Hongere sana”

“Nashukuru, yaani hapa nina furaha nime kuwa mtu wa karibu sasa na raisi. Yaani ni kama muujiza sikutegemea”

“Kweli Mungu ni mwema”

“Mafundi wana endeleaje na kazi?”

“Kama unavyo ona wana zidi kufanya kazi”

Nabii Sanga akamfwata fundi mkuu na kuendelea kumumpa maelekezo anayo yahitaji yaweze kufanyika. Hadi inafika majira ya jioni mafundi hao wakawa wame maliza kazi ya kufunga kamera hizo na kuanza kuwapa mafunzo nabii Sanga na Magreth jinsi ya kuzitumia kwa kupitia simu zao za mkoni. Maelekezo hayo yalipo isha kwa pamoja wakajumuika na kupata chakula cha usiku. Kisha nabii Sanga akafanya maliopo ya kazi hiyo kwa njia ya mtandao. Mafundi hao wakaondoka na kuwaacha nabii Sanga na Magreth ambao hawakuwa na jambo jengine la kufanya zaidi ya kupeana burudani ya penzi moto moto.

“Kwa hiyo utaondoka na kuanicha peke yangu mwenzi mzima?

Magreth alimuuliza nabii Sanga kwa sauti ya upole mara baada ya kumaliza mtanange huo.

“Yaa hakuna jinsi, ila hakikisha hicho kiasi cha pesa nilicho kuachia una fungua biashara”

“Sawa nitafungua mgahawa nina imani hadi una rudi basi nitakuwa mbali sana kibiashara”

“Kweli, acha nirudi nyumbani nijiandae kwa safari kwa maana inanibidi kuondoka asubuhi”

“Sawa mpenzi wangu”

Nabii Sanga akaagana na Magreth na kuondoka eneo hilo. Nabii Sanga akafika nyumbani kwake na kupokelewa kwa mabaha mazito na mke wake.

“Mbona ume chelewa mume wangu”

“Nisamehe kwa kweli. Yanai leo nina habari njema”

“Habari gani tena mume wangu”

“Nimetoka ikulu kumfanyia maombi muheshimiwa raisi”

“Weeee!!! Acha kunitania mume wangu”

“Haki ya Mungu na ushahidi wa picha huu hapa”

Nabii Sanga akaanza kumuonyesha mke wake picha alizo piga ikulu na raisi.

“Yaani yule mzee alikuwa na mapepo, huwezi amini ameanguka”

“Sema kweli?”

“Hoo yaani, tena unajua jambo lililo nipeleka pale ni lakowako”

“Lipi?”

“La kuniteka, RPC alibanwa kwa kutishiwa kufukuzwa kazi, hakuwa na jinsi kijana wa watu akaamua kufunguka kila kitu, yaani nilikuwa nipo sehemu, sijui hata walijuaje nipo sehemu hiyo. Walinzi kama kumi hivi walikuja kunichukua mzoga mzoga hadi nikahisi kuchanganyikiwa, ila namshukuru Mungu kile nilicho kuwa nimekifikiria hakikuwa hicho”

“Ohoo Mungu. Kwahiyo raisi ametambua kwmaba mimi ndio nime kuteka?”

“Ndio ila kwa jinsi nilivyo muombea basi amekuwa mtu wangu wa karibu sana. Sasa nina imani ile biashara ambayo uliniambia jana tuna kwenda kuifanya”

“Sasa mume wnagu hembu niambie. ALihitaji kufanya nini?”

“Alitaka kutuma walinzi wake waje kukukamata ila kwa bahati mbaya au nzuri niliweza kumshawishi kwa neno la Mungu, akalainika basi nikaliua soo lako juu kwa juu”

“Waacha weee, na hii suti?”

“Nimeshonewa huko huko ikulu yaani mke wangu hapa nina bonge moja la furaha.”

“Sawa mume wangu, nimekata tiketi za saa moja asubuhi, hivyo saa kumi na mbili ina bidi tuwe uwanja wa ndege”

“Sawa mke wangu hilo haina shida”

Nabii Sanga alizungumza kwa furaha sana kwani ukaribu wake na raisi hakika utaanza kumsaidia kupitisha biashara zake haramu ambazo zina endelea kumuingizia kipato kikubwa sana cha pesa.

***

Levina na Tomas wakafika uwanaja wa ndege majira ya saa moja usiku. Kwabahati mbaya wakakutana na tangazo katika shirika la ndege walilo likata, kwamba ndege ime pata itilafu hivyo wana ombwa waweze kusubiria hadi pale ndege itakapo tengemaa ndipo safari ianze.

“Yaani haya mashirika ya nchi yana kera sana”

Tomas alizungumza huku akikaa kwenye moja ya kiti kilichopo kwenye eneo la abiria wanao subiria kuondoka nchini Tanzania.

“Maswala ya itilafu ni kawaida katika kila kitu, ndio maana hata wewe kuna kipindi una umwa. Hivyo acha kulalamika”

“Hata kama, sasa kwa nini wasilete ndege nyingine”

“Una hisi ndege ni mabasi mpenzi wangu, kwamba likiharibika basi hili lina letwa jengine na kufualisha abiria. Hembu kuwa mpole, au hupendi kukaa na mimi hapa na una naka uwahi kuondoka”

“Napenda”

“Sasa mbona una kuwa hivyo. Wewe tulia, ndege ikifaa, mutanangaziwa na muta ondoka”

Levina aliendelea kumtuliza Tomas mwenye uchu wa kuondoka nchini Tanzania. Masaa yakazidi kuyoyoma hadi saa kumi na mbili alfajiri ndipo walipo anza kutangaziwa kwamba ndege yao ipo tayari kwa ajili ya safari.

“Waseng** sana hawa”

Tomas alizungumza huku akiwa amekasiraka sana. Levina akatabasamu tu, kwani Tomas amekereka sana. Wakanyanyuka kwenye viti hivyo na wakakumbatiana kwa muda kidogo huku kila mmoja akiwa na hiasi kali za mapenzi.

“Jichunge na ujilinde Tomas”

“Usijali mpenzi wangu. Tambua kwamba nina kupenda sana”

“Hata mimi nina kupend……..Tom ona kule”

Levina alizungumza huku akimuachia Tomas, wakageuka nyuma na kumuona nabii Sanga na mke wake wakiwa miongoni mwa abiria walipo hapo uwanja wa ndege huku wakionekana kusoma soma baadhi ya matangazo yaliyopo uwanjani hapo jambo lililo mfanya Tomas kuanza kujawa na chuki dhidi yao kwani wao ndio wana mfanya sasa hivi kuishi katika sura ambayo sio yake.



Tomas akataka kuwafwata ila Levina akawahi kumshika mkono.

“Unataka kufanya nini sasa?”

“Nataka kuwafwata”

“Acha ujinga wewe, hujui upo kwenye wakati gani? Sauti yako ni lazima wataitambua. Angalia hapa uwanjani kuna askari wangapi ambao wakipewa taarifa kwamba wewe ni Tomas, wata kukosa?”

Levina alizungumza kwa msitizo na kumfanyaTomas kushusha pumzi huku akiwatazama nabii Sanga na mke wake wakipanga mstari katika eneo la kukaguliwa.

“Nahitaji uwe hai na ufanye kama vile nilivyo kuambia ufanye. Sawa?”

“Sawa”

Levina akazinyonya lipsi za Tomas, taratibu kisha akamsindikiza hadi kwenye mstari wa abiria. Tomas akapanga mstari na akakaguliwa hati yake ya kusafiria na kwa bahati nzuri haikuwa na tatizo lolote.

“Safari njema bwana Brian Sanga”

Muhudumu huyo wa kike alizungumza huku akimkabidhi Tomas hati yake ya kusafiria.

“Nashukuru”

Tomas akageuka na kumtazama Levina aliye achia tabasamu pana. Akampungia mkono kisha akaelekea eneo ambalo ndege yao ipo. Akaingia kwenye ndege anayo ondoka nayo, akatafuta siti yake na kuketi huku moyoni mwake akiwa na furaha kwani ana ondoka nchini Tanzania kirahisi sana. Kutona ndege yao ikaruhusiwa kuanza kuondoka kabla ya ndege aliyo panda nabii Sanga pamoja na mke wake.

“Mungu tutangulie”

Nabii Sanga alizungumza huku akimshika mkono mke wake.

“Yaa Mungu atakuwa pamoja nami”

“Hivi Julieth umemuachia pesa ya kutosha?”

“Ndio, nimewapa pesa ya matumizi ya kutosha. Nahisi kwa wao wawili hawawezi kuimaliza kwa mwenzi mmoja”

“Sawa”

Mara baada ya ndege aliyo panda Tomas kuacha ardhi, ndege waliyo panda nabii Sanga ikaruhusiwa, taratibu ikaanza kuondoka eneo hilo na kuanza kushika kasi katika run way yake. Baada ya dakika chache taratibu ikaanza kupaa na kuacha ardhi ya nchini Tanzania. Baada ya ndege kukaa sawa hewani, nabii Sanga akafungua mkanda wa siti yake huku akitazama saa yake ya mkononi.

“Saa mbili kasoro”

“Wana kwenda na muda”

“Ni kweli japo walichelewa dakika kumi nyuma”

“Ndio, si kutokana na ile ndege ya Afrika kusini walio tutangazia kwamba ili haribika, ilipaswa ile ihawi kuondoka”

“Haya mke wangu”

Nabii Sanga alizungumza huku akimfikiria Magreth ambaye ameondoka pasipo hata kumpigia simu asubihi hiyo. Hii yote ni kutokana na kubanwa na mke wake.

***

Asubuhi na mapema Magreth akaamka, akajiandaa haraka haraka na kumpigia simu Sheby na kumuomba aweze kufika nyumbani kwake. Haukupita muda mrefu Sheby akafika katika eneo hilo.

“Hivi sister kwa nini usijifunze kuendesha?”

“Yaani weee acha, ila si tulipanga weekend hii ndio utanifundisha”

“Ndio”

“Basi, ufanye hiyo. Kwa sasa twende hospitalini”

“Poa, tena mke wangu jana usiku nimempeleka hapo hapo Mwana nyamala”

“Ana sumbuliwa na nini?”

“Uchugu, siku zake nahisi zimesha karibia”

“Mungu amsaidie kwa kweli”

“Utamuona tukifika”

Wakaondoka na haikuwachukua muda mrefu sana wakafika hospitalini, wakaelekea katika wodi za wazazi. Sheby akamsalimia mama yeka mkwe ambaye yupo hospitalini hapo kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya binti yake.

“Mama huyu ni Magreth, ni bosi wangu”

“Ohoo habari yako binti”

“Salama shikamoo mama”

“Marahaba”

“Vipi hali ya mgonjwa ina endeleaje?”

“Bado ana ugulia uchungu, manesi wanaendelea kujitahidi kuhakikisha kwamba wana muweka katika hali nzuri”

“Poleni sana”

“Tunashukuru”

“Mama mimi ngoja niwakimbie kwa maana kuna mgonjwa wangu, alichomwa kisu. Sasa nahitaji kwenda kumuoa”

“Ohoo pole sana mwanangu”

“Nashukuru sana mama”

“Tomas, tuta wasiliana”

“Sawa sawa sister”


ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

BLOG