Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

AISIIIII.....U KILL ME SEASON 2 SEHEMU YA 8/10

 

 

AISIIIII.....U KILL ME SEASON 2 

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+ 

SEHEMU YA 8 KATI YA 10

 




Nikajiikuta nikiifunika lapto hii taratibu huku nikimtazama Livna usoni mwake.

“Wanahitaji nini?” “Wamemkamata Yemi” “Mmmmmm, Ester wamepata vipi mawasiliano nasi?” “Waliniomba kupitia mtandoa nilio post video zile” “Wamefahamu ni wapi tulipo?” “Hapana, hawajaweza kufahamu” “Muda mwengine usiwakubalie pasipo kunifahamisha mimi kwanza” “Sawa mkuu” “Dany twende” Livna alizungumza huku tukirudi kwenye chumba tulipo waancha Erick na wezake. Kila aliye nitazama nina imana anahisi kwamba kuna kitu ambacho kimetokea.

“Mkuu vipi?” Martin aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kuna tatizo limetokea” Livna alizungumza huku akiwatazama kwenye nyuso zao.

“Tatizo gani?” Winy naye aliuliza huku akiwa amejawa na shauku ya kuhitaji kufahamu ni kitu gani ambacho kimetokea.

“Yemi amekamatwa na Wamarekani, wanamlazimisha Dany kujisalimisha mikononi mwao la sivyo wanamuua Yemi na mbaya zaidi ni kwamba Yemi ni mjamzito” “Oooohooo Mungu wangu!!” Babyanka alizungumza huku akinitazama kwa macho yaliyo jaa masikitiko mengi.

“Hii ni vita, siwezi kujisalimisha mikononi mwao. Sihitaji kuonyesha udhaifu kisa mke na mtoto. Nilisha itoa sadaka famili yangu, mke wangu pamoja na mwanangu. Ninahitaji kuionyesha Marekani kwamba nina weza kufanya kitu” “Sasa mkuu utaifanya nini Marekani ikiwa hatuna uwezo wa kwenda kupambana nao, isitoshe wana vifaa vingi vya kivita, wana majeshi makubwa sana. Tuna fanyaje hapo?” “Uwezo wa kumpiga Mmarekani tunao, tutampiga kwa silaha zao wao wenyewe”

Livna alizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwangu.

“Sasa mutaipiga Marekani na Yemi akiwa ndani yake?” “Hatuna jinsi Babyanka, wanatulazimisha kufanya hivyo”

“Ila kuna kitu pia ninakifikiria?” “Kitu gani Livna?” “Nina mifumo mizima ya kuendeshea mabomu ya nyuklina yaliyopo Korea Kusini, munaonaje tukatumia mabomu hayo tukaipiga Marekani, na sisi tukajiweka pembeni pale watakapo anza kufumuana kwa maana Korea Kusini na Marekani ni sawa na panya na paka” Sote tukamtazama Livna huku tukiwa tunashangaaa, hadi yeye mwneyewe akajistukia.

“Maana yangu sio mbaya kuzungumza hivyo, ila ninacho kisema hapa ni kuangalia ni jinsi gani sisi tunaweza kumuokoa Yemi pamoja na kiumbe elicho kuwa nacho tumboni na nina imani kwamba Yemi hayupo Marekani, yupo Afrika hii hii” Livna alizidi kunyoosha maelezo yake.

“Sasa Wakorea Kusini hawato tugeukia sisi?” “Hapana, kila kitu tunacheza na code za kijeshi zinazo weza kuruhusu mabomu hayo kweza kushambulia Marekani na nina imani kwamba hakuna siku hata moja Mmarekani akakaa meza moja na Mkorea Kusini” “Basi kama ni hivyo inabidi tufanye hili na tutazame ni nini kitakacho tokea”

“Jamani sio kama nina pinga hayo maamuzi, ila inabidi kujua ni wapi alipo Yemi, tumuokoe yeye na mtoto wake aliyopo tumboni?” “Sawa Babyanka hilo halina shida vijana wangu watalishuhulikia kikamilifu” “Hapo sawa, kwa maana mwenzenu nina roho ndogo sana kuona mwanamke mwenzangu tena mjamzito anaingia kwenye matatizo” “K2 je?” “Winy K2 huyo kwa sasa anapambana na aibu aliyo ipata, hadi akikaa sawa sisi tutakuwa tumesha maliza hili swala” “Poa” “Ila nina wazo” Martin alizungumza na kutufanya sote tumtazame.

“Munaonaje Dany ukazungumza tena na Wamarekani ili kuwatishia kumuachia Yemi kabla ya wewe hujachukua maamuzi mazito kwa maana hili tunalo kwenda kulifanya ni vita ya tatu ya Dunia” “Kweli hata mimi naunga mkono hilo swala. Dany hembu hili swala tuliweke mezani jamani na tulifikirie kwa umakini. Kuna wamama, kuna watoto wadogo, hawa wote ni mabilioni wa watu katika hizi nchi mbili. Je watakwenda kufa kwa ajili ya Yemi?” Babyanka naye alizungumza huku akitutazama usoni mimi na Livna ambao tayari tumesha amua kufanya maamuzi magumu.

“Hilo nalo neno” Winy naye akatilia ujazo wa maoni, jambo lililo tufanya mimi na Livna kutazamana.

“Basi hilo tuliweke ni Plan B, haya sasa tufikirieni Plan A, tutamuokoa vipi Yemi, na sasa hivi Wamarekani wana hasira kuliko kitu chochote wakimshika mmoja wetu hawapa ninaimani kwamba hato pona” Livna alizungumza na kufanya ukimya wa zaidi ya dakika mbili kutawala katika eneo hili.

“Na isitoshe Dany hawezi kujisalimisha mikononi mwao” “Tukijua ni wapi alipo Yemi alipo mimi nitakwenda kumuokoa” Martin alizungumza.

“Acha kutafuta kifo kisicho na sababu Martin” “Hata nikifa sababu ipo, nitakuwa nimekufa nikijaribu kumuokoa mke wa mkuu wangu isitoshe hata kwenye harusi niliwasimamia mimi” “Hakuna kitu kujaribu hapa ni kufanya” “Martin unakumbuka namba yoyote ya meja?” “Meja ndio nani?” Livna aliuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Alikuwa ni mkuu wa kambi ya jeshi nchini Somalia, ni rafiki yangu na yeye ndio aliye andaa harusi yangu na Yemi” “Una muamini, kwa maana hawa watu hawaaminiki kabisa” “Alinisaidia katika mengi hata kuniokoa mikononi mwa Wamarekani walivyo nikamata kwa mara yangu ya kwanza” “Ndio ninakumbuka namba yake ya mkononi alisha wahi kunipatia” “Livna unaweza kuniazima simu ambayo nilimpigia nayo K2?” “Ndio” “Ninaomba unisaidie” Livna akatoa simu yake mfukoni na kunikabidhi. Martin akaanza kunitajia namba moja baada ya nyingine. Nikaipiga namba hii huku nikiiweka simu hii sikioni mwangu, taratibu ikaanza kuita, baada ya sekunde kadhaa kikapokelewa.

“Haloo” Niliisikia sauti ya Meja, nikameza fumba la mate huku nikishusha pumzi taratibu.

“Habari yako meja” “Dany” “Ndio meja”

“Habari za masiku” “Salama” “Aissee Dany nimejaribu kukutafuta siku zote sijakupata. Ninaiona kazi yako jinsi ilivyo kwenda vizuri” “Nimejitahidi kwa kiasi chake meja” “Sio kwa kiasi chake, umfanya kazi nzuri sana Dany, sikutegaema kama unaweza kuwa na roho ya ujasiri kiasi hicho” “Shukrani sana meja, ila ninatatizo” “Tatizo gani?” “Yemi amekamatwa na Wamarekani” “Ila Yemi si ulisha achana naye, yeye wa nini tena?” “Ana ujauzito wangu na pia ni mke wangu wa ndoa. Bado nina mpenda na pete yake ninayo” Ukimya wa sekunde ukatawala

“Sasa Dany unahitaji hapo nikusaidiaje rafiki yangu” Meja alizungumza kwa sauti ya chini sana.

“Ninakuomba unisaidie kumpata mke wangu. Wamarekani wakimuua, basi hali ya dunia itakwenda kubadilika meja. Wewe ndio mtu wa pekee unaye weza kuzuia hali ya dunia kutochafuka, kama ilivyo anza kuchafuka kwa Wamarekani” “Sawa nitaomba unipigie baada ya lisaa moja tutafute ni wapi alipo” “Ninashukuru sana Meja” “Ila upo wapi?” “Usijali meja nitakuambia ni wapi nilipo baada ya hiyo kazi kuisha” “Sawa” Nikakata simu na kumrudishia Livna simu yake.

“Tuna lisaa moja la kusubira kuweza kupata jibu ni wapi Yemi alipo” “Kwa hiyo nisiwaambie wasichana wangu kuto kufanya chochote?” “Wakae tayari” “Sawa” “Samahani. Dany wakae tayari katika nini?” “Katika vita, kama walimuweza Osama mwaka 2002, hawato niweza mimi” Baada ya kumaliaza kuzungumza maneno haya nikasimama na kuanza kueleka mlangoni, Livna akaanza kunifwata kwa nyuma huku akiwa ameongozana na Martin.

“Dany huyu mtu unamuamini sana kwa maana kumbuka kwamba Wamarekani wana uzalendo mkubwa na nchi yao na isitoshe amelitumiakia jeshi lake kwa muda mrefu?” “Akienenda kinyume nami ninamuua” “Ila kweli mkuu alicho kizungumza Livna” “Nimesema meja akinisaliti, nitamuua. Kuna swali?” Nilizungumza kwa msisitizo huku nikiwa nimejawa na hasira ambayo haiitaji kusikia maswali ya mtu yoyote. Martin akatingisha kichwa akionyesha kwamba hana swali jengine, nikarudi chumbani kwangu huku nikiwa nimeongozana na Livna na Martin alirudi katika chumba tulichokuwepo mara baada ya kuona sipo sawa. Livna akaufunga mlango kwa ndani na kunisukumia kitandani, kisha akanikalia kiunoni mwangu huku akinitazama.

“Hivi umemua kunisaidia kutoka moyoni mwako?” “Ndio Dany, ninakuomba uniamini sana, nimefanya hili swala kutoka moyoni mwangu sinto weza kukusaliti hadi kufa kwangu” Baada ya Livna kuzungumza maneno haya akaanza kuninyonya midomo yangu taratibu, nikakishika kiuno chake na kuanza kukiminya minya.

Hisia za mapenzi zikaanza kutupanda huku kila mmoja akiwa na hamu ya kupata burudani hii, japo tupoa katikati ya matatizo makubwa. Tukavuana nguo zetu, pasipo hata kuandaana sana, Livna akamshika jogoo wangu na kumkalia, akaanza kumkatikia huku akinitia miguno ya kimya kimya.

“Da…ny utamamu wako bado haujaisha, haki ya Mungu, wewe mwanaume una mbo** tamu sana” “Kweli?” “Kweli, ohooo…..aaaiiissiii…….you kill me Dany…..ohoooo” Livna alizungumza maneno hayo huku akiyafumba macho yake. Kwa haraka nikamgeuza na kumlaza chini, nikaweka miguu yake begani mwangu, nikaendelea kushuhulikia kitumbua chake kwa kasi sana. Kila kumbukumbu za matatizo niliyo nayo kichwani mwangu yalivyo zidi kunijia ndivyo niluvyo jikita nikizidi kuongeza kasi ya kushambulia kitumbua chake hadi ikafika hatua Livna akaanza kuniomba nibadilishe mkao nilio muweka.

“Mbo** yako itanivuja kizazi changu….oooooo” Nikamlaza kifudi fudi huku nikimbana miguu yake, kisha nikaendelea kukitafuna kitumbua chake. Livna akashindwa kujizuia kabisa na kujikuta akimwagika na machozi usoni mwake.

“Da….da…ny naku….fa…..naku…..faa. Ko….ko…joa pleas……..sssssss.”

“Nakujaaaaa”

Nilizungumza huku nikizidi kuongeza kasi ili kuwaleta waarabu weupe karibu sana nani. Waarabu weupe alipo toka tu, msuli wa mguu wa kulia ukakamaa na kujikuta nikitoa mguno wa maumivu.

“U…u…na…..nini?” Livna alizungumza kwa sauti ya uchovu huku akinitazama usoni mwangu.

“Msuli…..” “Umefanyeje?”

“Umenibana” “Mguu gani?” “Huuu, huuu” Nilizungumza huku nikiugusa mguu wangu wa kulia. Livna akajinyanyua kiuvivu huku naye akiwa amechoka sana. Akaanza kuupiga piga mguu huu kwa viganja vyake.

“Utaachia, legeza mguu usiukaze” Livna aliendelea kunipa huduma ya kwanza hadi maumivu yakaanza kutulia, baada ya muda maumivu yote yakatoweka.

“Mmmmm, haki ya nani, Dany siku utakuja kumua msichana kwa hiyo mbo** yako” “Kwa nini?” “Ahahaa, yaani hadi ninaisikia kwenye tumbo huku, inakita. Kiiii, kiii, kiii unaweza kusema sijuia dude gani, yaani nilikukamia kama nini ila umbea wote umeniishia” “Pole”

“Mmmmm haaaa yaani mtoa roho nilikuwa ninamuona huyu hapa anakuja kunitoa roho”

Livna alizungumza huku akishuka kitandani, akaanza kutembea kueleka bafuni huku akipepesuka sana. Nikashuka kitandani na kumfwata kwa nyuma, nikamsaidia kumshika mkono na kuingia naye bafuni, tukaoga kwa pamoja na kutoka humu, kila mtu akavaa nguo zake yeye mwenyewe kama desturi ya waafrika tukimaliza kufanya tendo la ndoa kila mmoja anavaa nguo zake japo mwanzo tunajifanya kuvuana nguo.

“Lisaa moja litakuwa tayari ehee?” “Yaa inabidi nimpigie” “Chukua simu” Livna akanipigia simu, nikampigia meja, simu ikaita baada ya muda ikapokelwa.

“Dany” “Ndio” “Sijafanikiwa kufahamu ni wapi Yemi alipo, kwani unahitaji kufanya nini?” Nikajikuta nikisimama huku nikimtazama Livna usoni mwake.

“Halooo” “Meja niambie ukweli hujampata kabisa Yemi?” “Niambie kwanza ni nini unataa kukifanya kwa Wamarekani nami nitakuwa tayari kukusaidia kumpata mke wako” Upande mmoja wa roho yangu inaniambia nisimuambie meja mpango ninao kwenda kuufanya juu ya nchi yake pendwa aliyo itumikia kwa miaka mingi katika kitengo cha jeshi. Ila upande wa pili wa roho yangu unanishawishi kumueleza mpango mzima ili mradi anisaidie kumpata mke wangu wa ndoa mwenye ujauzito unao sadikika kwamba ni wangu.



“Meja ukimpata Yemi nitakuambia ni nini ambacho nimekipanga, ila kwa sasa sinto weza kukuambia hilo. Samahani sana” Baada ya kumaliza kuzungumza hivi nikakata simu na kumtazama Livna.

“Anahitaji nimueleze ni nini nitakacho kwenda kukifanya kwa Mmarekani” “Ni vizuri ulivyo kataa kumuambia, ila ngoja wasichana wangu wanaweza kufanya kazi ya kumtafuta Yemi. Twende kwenye chumba cha mawasiliano” Tukaongozana na Livna hadi kwenye chumba hichi cha mawasiliano, akamuita Ester pamoja na wasichana wengine wawili.

“Umeweza kumpata Yemi alipo?” “Bado mkuu” “Na haukujua video ile waliyo hitaji kuzungumza na Dany ilitokea wapi?” “Yaa nao waliweza kufunga mitambo yao na hatujajua ni wapi walipo” “Wapigieni tena nizungumze nao” “Dany” “Naomba wafanye hivyo” Livna akanitazama kwa muda usoni mwangu.

“Sawa” Livna alizungumza, akamkabidhi Ester kazi kuwasiliana na mkuu wa jeshi la Marekani.

“Njoo kwenye chumba hichi” Tukaingia kwenye chumba hichi ambacho kuna Tv kubwa tatu. Livna akawasha Tv moja ya katikati. Baada ya muda kidogo ikamuonyesha mkuu wa jeshi niliye zungumza naye masaa machache nyuma.

“Una masaa machache ambayo unaweza kujusalimisha mikononi mwa vikosi vya Marekani” “Mzee sijakuja kukuomba wala sijakuja kukubembeleza. Ninakuamrisha ndani ya dakika kumi na tano muachie mke wangu. La sivyo dunia wananchi wa nchi yako watakwenda kulia kilio cha kusaga meno kwa kile ambacho kinakwenda kutokea”

Tv hii ikagawanyika katika picha mbili huku moja ikimuonyesha mkuu huyu wa jeshi na nyungine ikiwaonyesha viongozi walio kaa kwenye meza moja kubwa.

“Dany unazungumza na makamo wa raisi wa Marekani. Thomas Sound” Nikaka kimya huku nikimtazama kiongozi huyu, ambaye sio mara yangu ya kwanza kumuona.

“Tunahitaji kuingia makubaliano nawe je upo tayari” Nikamtazama Livna aliye simama pembeni na yeye haonekani kwenye hii Tv. Livna akatingisha kichwa kukubaliana na anacho kizungumza makamu huyu wa raisi aliye ichukua nafasi ya raisi Donald Bush niliye idhibitishia dunia kwamba mimi ndio niliye muua.

“Zungumza” “Tunahitaji kumuachia mke wako, endapo pale utakapo jisalimisha mikononi mwa serikali yangu ya Marekani” “Akili zenu ni moja, munazungumza kitu kimoja. Sasa nimewaambia ndani ya dakika kumi na tano ninahitaji mumuachie mke wangu. Zikipita kunzia hivi sasa. Mamilioni ya Wamarekani itakwenda kuwalaumu kwa maamuizi ya kijinga unayo yafanya na hao watu wako walio kuzunguka.” “Mpumbavu wewe ni nani anaye kupa ruhusa ya kumuita raisi wetu mpumbavu” Mzee mmoja alizungumza kwa sauti ya kukwaruza sana, huku hasira ikiwa inaonyesha dhairi kwamba imempanda.

“Munadakika kumi na tano”

Nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kikalia, na Livna akazima tv hii.

“Dakika hizo kumi na tano una mpango wa kufanya nini?” “Ninahitaji kutumia mpango ambao ulihitaji sisi kuweza kuufunya” “Kutumia silaha za Korea Kusini kumshambulia Mmarekani?” “Ndio” “Ngoja kwanza, tulipua visima vyake kumi vya nyuklia, nina imani kwamba itakuwa ni fundisho kubwa kwao” “Sawa waite vijana wako wanao weza kuifanya hiyo kazi” Livna akatoka katika chumba hichi, hazikupita hata dakika mbili akarudi akiwa amongozana na wasichana watatu akiwemo na Ester, akawalezea ni nini wanatakiwa kufanya. Kazi ikaanza mara mmoja, ndani ya dakika kumi, wakawa wamefanikiwa kufahamu namba za siri ambazo zinaweza kutumika katika kulipua visima vya kuzalshia mabomu ya nyuklia ambayo duniani yanasifika kwa uhatari wa hali ya juu.

“Ukihitaji kulipua unaminya batani hii” Ester alizungumza huku akinikabidhi laptop aliyokuwa anafanyia kazi.

“Nikiminya vinalipuka kwa muda mmoja?” “Ndio kwa pamoja vinalipuka” “Shukrani binti, wapigieni tena” “Ila dakika kumi na tano bado hazijafika” “Zimebaki ngapi?” “Dakika tatu” Livna alizungumza huku akitazama saa iliyopo ukutani mwake.

“Hizi tv si zinaweza kuonyesha chaneli kama BBC, CNN?” “Ndio” “Ziwasheni” Livna akawasha tv hizi mbili na kuweza sauti ya chini sana ambayo haitoweza kuingiliana kabisa na mazungumzo ambayo ninakwenda kuyafanya na viongozi wa Marekani. Zilipo timia dakika kumi na tano Tv hii ninayo itumia kufanya mawasiliano Wamarekani ikawashwa na kuwakuta wakiwa kwenye kikao chao.

“Dakika kumi na tano nina imani zimesha fika, je munamuachia Yemi au hamumuachii?” Makamu wa raisi pamoja na mkuu wa jeshi wakaka kimya kwani wao ndio wahusika wakubwa ninao zungumza nao. “Munamuachia Yemi au hamumuachiii?” “Hivi huyu nguruwe anajimini nini hadi kututisha kiasi hichi” “Waziri wa ulinzi nyamaza” Makamu wa raisi alizungumza kwa ukali huku akimtazama mzee huyo. Taratibu mkono wangu nikausogeza kwenye batani hii ya kulipulia visima hivi vya nyuklia.

“Dany” Makamo wa raisi alizungumza na kunifanya nisitishe zoezi la kuminya batani hii.

“Tutamuachia Yemi ila kwa makubaliano ya kubadilishana” “Kubadilishana na nani?” “Tunamuhitaji mke wa raisi, bi Hawa” “Hawa alikuwa ni mpenzi wangu, raisi wenu alinipokonya na kuhitaji kuniua. Nina imani nyinyi nyote muliweza kujua ni mchango gani niliutoa kwa ajili ya kuliondoa kundi la Al-Shaba. Ila serikali yenu ikanigeuka na kuhitaji kunia, kisa raisi wenu amemchukua mpenzi wangu. Sasa makubaliano hayo musahau, Sawa” Viongozi wote wakaka kimya huku wote wakinitazama usoni mwangu.

“Ninawauliza kwa dakika ya mwisho je mutamuachia Yemi na kuwapa maelekezo ni wapi apelekwe au?” “Nchi yangu haiingii makubaliano na gaidia, ninakuhakikishia kwamba tutakutafuta, iwe ni angani au nchi kavu nilazima serikali yangu ikutafute na kukuua” “Sawa tuanze kutafutana sasa” Nikaminya batani ambayo nimeelekezwa na Ester. Nikawatazama viongozi hawa wa Wamarekani huku nikitabasamu. Nikamuona msichana mmoja akimsogezea makamu wa raisi, akaonekana kustuka sana, kwa ishara akamuomba kijana mmoja kuwasha Tv kubwa iliyopo nyuma ya kiti chake. Nikataupia macho yangu kwenye Tv ya pembeni. Vituo vya habari vikaanza kuonyesha taarifa ya dharura inayo husiana na milipuko ya visima ya nyuklia.

“Huo ndio mwanzo, mukishindwa kumuachia, kitakacho fwata ni mara kumi ya hicho mulicho mulicho kiona hapo” Nikanyanyuka kwneye hiti hichi huku nikiwaachia mtihani mkubwa viongozi hawa wa kimarekani. Tv zikazima na tikatoka katika chumba hichi.

“Ester hakikisheni ulinzi unaimarishwa, kwa maana tumesha ingia kwenye vita” “Sawa mkuu” Tukaondoka katika eneo hili. Sikuzungumza kitu chochote zaidi tulipo ingia kwenye chumba ambacho wasichana wadogo wenye umari wa miaka mitano kwenda juu wanafundishwa jinsi ya kupambana.

“Hawa watoto wazuri” Watoto hawa wakasimama kwenye mistari minne iliyo nyooka, wakatoa heshima yao kwa kuinamisha vichwa vyao chini. Livna akaipokea heshima hiyo kwa kuinamisha kichwa chake na yeye chini, kisha akawaruhusu waendelee na mazoezi yao.

“Yaa sasa hawa wakifikia miaka kumi na tano tunaaza kuwakabidhi kazi nchini mbali mbali” “Kwa hiyo maisha yao yote wanaishi kujifunza kupambana?” “Yaaa wanaishi kwa kupambana” Simu ya Livna ikaita, akaitoa mfukoni akaitazama kisha akanikabidhi na kukuta namba ya meja ndio inayo piga. Taratibu nikaipokea na kuiweka sikioni.

“Dany wewe ndio umehusika katika kulipua visima vya nyuklia?” Meja aliniuliza huku akiwa na wasiwasi mwingi sana. “Kwa nini unaniuliza hivyo?” “Kama ni wewe Dany kwa nini unahisisha matatizo kwa raia ambao hawana hatia yoyote. Kumbuka nina dhamira yangu ya kwenda kuiongoza Marekani, ninahitaji kuwa raisi wa hiyo nchi. Ni kwa nini umefanya hiyvo?” “Meja unazungumza na kunishutumu mimi bure, kwa nini?” “Dany nimepata taarifa kutika Washinton D.C na wewe ndio umehusika katika ulipuajia wa visima vya nyuklia, kama upo karibu na Tv hembu tazama ni jinsi gani raisi walivyo fariki” “Kosa sio langu, kosa ni la viongozi wa nchi yako. Ni hivi waambie kwamba wamuachie Yemi la sivyo kabla ya giza halijatawala anga, nitakwenda kuigeuza Marekani magodauni kama walivyo fanya kwa nchi za Iraque na Pakistani” Nikakata simu na kumrudishia Livna. Baadhi ya watoto wakabaki wakiwa wananitazama kwa macho ya kunishangaa hadi nikajisikia aibu kwa kuzungumza vitu vizito mbele yao.

Nikatoka chumbani humu huku Livna naye akinifwata kwa nyuma. Tukarudi katika chumba cha mawasiliano na kuingia kwenye chumba chenye Tv. Nikawasha tv hizi na kuangalia taarifa za habari. Nikaona uharibifu mkubwa wa majengo, ulio fwanya na visima hivi vya nyuklia ambavyo nimevilipua.

“Mmmmm” Livna aliguna huku akitazama taarifa hizi.

“Nini?” “Tuwapigie tena na kuwapa onyo, wamuachie Yemi” “Acha kwanza walie lie, hembu mpigie K2” “K2 utamuua kwa presha bwana” “Lengo letu ni wafe. Wakati wao umeisha sasa niwakati wangu kuwaendesha umefika” “So unahitaji kuhack kamera zao” “Hapana ninahitaji kuzungumza naye kwa video call kama tulivyo fanya kwa Wamarekani” “Sawa” Livna akatoka chumbani humu. Nikabaki nikitazama taarifa hizi za habari, nikaona jinsi watu wengi walivyo fariki kwa milipuko wa visima hivi vya nyuklia.

‘Mungu ninakuomba unisamehee kwa maana hawakujua walitendalo’

Nilizungumza kimoyo moyo, mlango ukafunguliwa na akaingia Livna na wasichana wake wa mara ya kwanza huku kila mmoja akiwa na laptop yake mkononi mwake.

“Tumesha mpigia K2 anakusubiria uwashe Tv hiyo ya kati.” Nikachukua rimoti iliyopo pembeni yangu na kuisha tv hii. Nikamuona K2 akiwa amekaa kweye kiti cha ofisini kwake huku nyuma yake kukiwa na nembo ya taifa, ya mwanaume na mwanamke na imetawaliwa na rangi ya kijani.

“Nina imani umeona kilicho wapata Wamarekani, je upo tayari na wewe nikupige?” K2 akaka kimya huku akinitazama, nikaitazama midomo yake jinsi inavyo cheza cheza kwa hasira kali.

“Usiteteshe midomo yako K2, je unahitaji na wewe nikubamize?” “Huyo malaya ndio amekupa nguvu ya kuwa jeuri mbele yangu si ndio?” Hata kabla sijazungumza chochote Livna akasimama nyuma yangu.

“Mala ya mimi au wewe?” “Wewe ndio malaya, umenisaliti kwa ajili ya huyo mseng**” “Hahahaaa, hivi unajua hichi kikundi ni wapi kilipo tokea au una ropoka?” “Mbwa wewe, ninajipanga nikija ninakutumbua tumbua na hao panya wako” “Nyooo jaribu uone, wewe mwenyewe unanjijua mimi ni nani. Tena usinifanye nikabadilisha mawazo yangu nikakufwata wewe. Bado nina hasira ya vijana wangu wawili ulio watoa sadaka. Yaani laiti ingekuwa si kuijua vizuri Tanzania, ningekubamiza kenge wewe” Livna na K2 wakarushiana maneno ya kike, nikamzuia Livna, akaondoka nyuma yangu huku akiwa amenunua kwa hasira kali.

“K2 unatambua fika kwamba sina woga juu yako kwa maana ninakujua kinaga ubaga. Nina damu ya raisi mmoja mikononi mwangu, sasa hivi sihitaji kukuua ukiwa ni raisi, achia madaraka basi.” “Siwezi kuachia madaraka kwamwe, si wewe wala si viongozi wa kisiasa wanao nilazimisha mimi kuachia madaraka. Nitahakikisha kwamba ninakuua” “Na wewe unanitisha, K2 achia madaraka na mkabidhi waziri wako mkuu madaraka ambaye hukuona thamani yake ukahitaji nimuue.” “Kenge wewe tena ngoja” K2 kwa ishara akamuita mlinzi wake mmoja, akamnong’oneza, kisha mlinzi huyu akaondoka. Tukaka kimya huku tukitazamana na K2, huku nikisubiria kuona ni nini atafanya. Baada ya muda akaingizwa Lucy aliye chakaa kwa mateso makali. K2 akamshika kichwa Lucy na kukilaza kwa lazima kwenye meza. Akamnyooshea mkono mlinzi wake, akachomoa bastola na kukabidhi, K2 akaiweka bastola hii kwenye sikio la Lucy huku akinitazama kwa macho makali.

“Ninamuua huyu malaya wako uliye mtoa bikra na kikukaribisha nchini kwangu, sasa utajia kwamba nina uwezo wa kukufanya wewe chochote.” Baada ya K2 kuzungumza maneno hayo, pasipo na huruma akafyatua risasi iliyo ingia sikioni mwa Lucy na kusababisha damu nyingi kusambaa kwenye meza yake jambo lililo nifanya nifumbe macho yangu kwa hasira kali na kujikuta nikijilaumu ni kwa nini nimemuacha K2 hai kipindi nilipo pata nafasi ya kumuua.



K2 akamsukuma Lucy pembeni kisha bastola akamrudishia mlinzi wake.

“Jinsi nilivyo mfanya huyu kunguni, ndipo siku nitakavyo kufanya wewe mwehu” K2 baada ya kumaliza kuzungumza maneno yake akazima tv yake na kusasabisha giza kwenye Tv hii ninayo itumia.

“K2 amechanganyikiwa, alikuwa na haja gani ya kumuua msichana wa watu” Livna alizungumza huku akikaaa kwenye kiti cha pembeni yangu. Nikaka kimya huku nikiwa nimekosa jibu la kumjibu Livna. Moyo wangu ukazidi kujilamu kwa kusababisha mauaji ya Lucy ambaye nina imani kwamba amekufa kwa ajili yangu.

“Mazungumzo haya ninaweza kuyapata?” “Kivipi?” “Yaa unaweza kuyapata” Ester alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Naomba niyapate” “Unahitaji na hili pia ulirushe kwenye mtandao?” “Ndio, tena ikiwezekana munaweza kuutoa upande wangu na kuuacha upande wa K2?” “Inawezekana kila kitu tuna Edit” “Naomba mufanye hivyo kama inawezekana” Ester akaanza kufanya kazi ya kuweka sawa mauzungumzo yangu na K2, alipo maliza akanigeuzia upande wangu na kuonyesha upande wa K2 ambao anaonekana anazungumza na mtu asiye onekana.

“Unaweza kurusha hewani sasa hivi?” “Ndio” “Kwa video hii itakuwa ni rahisi kwa K2 kwenda kutolewa madarakani, na itakuwa ninafasi yapekee kuhakikisha kwamba nina mkamata na kumshuhulikia ipasavyo” “Ila huyu si mtoto wa waziri mkuu?” “Ndio” “Hahaaaa, K2 sijui atafanywa nini na hawa watu jamani” “Mwisho wa ubaya ni aibu” “Tayari, japo Twiter aliifuta akaunti yetu ila nimeweza kuirudisha hewani” “Waliifuta?” “Ndio, akaunti nyingi za watu wanao jihusisha na ugaidi zimefutwa, ikiwemo na ya kwetu” Ester alizungumza hukua kiendelea kuminya minya batani za laptop yake.

“Sasa ukiirudisha tena si itafutwa tena?” “Hapana mkuu, nimewapa onyo endapo wataifuta, basi na mimi nitaufuta mtandao wao unao waingiazia mabilioni ya pesa kwa siku” “Imerudi na idadi ya watu wake?” “Tena watu wameongezeka kutoka bilioni moja hadi watu bilioni mbili, duniani kote na akaunti yetu ndio inashika nafasi ya kwanza kuwa na watu wengi” “Duuuu” “Ninaimani kwamba Watanzania wataamua kufanya maamuzi sahihi ya kumtoa raisi wao madarakani”

Nilizungumza huku nikiitazama video hii, baada ya muda mlango ukafunguliwa akaingia msichana mmoja, akamfwata Livna sehemu alipo kaa, akamnong’oneza na kumfanya Livna kuchukua rimoti na kuwasha tv ambayo ninatumia kuzungumza na viongozi.

“Dany kiongozi wa kikundi cha Al-Quida anahitaji kuzungumza nawe” Livna alizungumza huku akiwa ameishika ritoni na kidole kimoja kipo kwenye batani ambayo inaweza kuruhusu vidoe hiyo kuonekana.

“Al-Quida?” “Ndio” “Anaitwa nani huyo kiongozi?” “Sijajua ila kama upo tayari tuwasiliane naye”

“Sawa muweke tuwasiliane naye” Mtu aliye ifunika sura yake na kuacha macho yake tu, anaonekana mbele yetu huku, Ester akanipatia earphone fupi za kuvaa sikio moja.

“Akizungumza lugha yake huko utasikia kwa kiswahili”

“Habari yako bwana Eddy” Sauti hii nzito yenye lafudhi ya kiarabu, ikanifanya nikae kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama.

“Asalam ghaleykum?” “Walyakum Mslam” “Nimefurahishwa na utendaji wako wa kazi, niliamini kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kuiangaisha Marekani, japo sisi tunajaribu kila siku ila tunaishia kupoteza vijana wetu ila wewe hadi sasa hivi sijasikia jina la kikundi chako wala kukamatwa kw amtu wako zaidi ya kukusikia upo peke yako, una uwezo gani Dany” “Kabla sijakujibu maswali yako ninahitaji kuiona sura yako na pia itakuwa sio mbaya kama nitalifahamu jina lako” Taratibu mwanaume huyu akaanza kuvua kitambaa kilicho ifunika sura yake, sote hapa chumbani tukastuka kwani mtu tunaye muona, tulisha sikia habari zake zamani sana kwamba alisha uwawa.

“Mimi ni OSAMA BIN LADEN” Nikatamani kunyanyuka ila miguu ikaishiwa nguvu, kwani kipindi gaidi huyu anatamba kwenye vyombo vya habari, nilikuwa shuleni ninasoma na wala sikuwahi kufikiria kwamba ipo siku nitakuja kuonana naye.

“Nimesikia kwamba wewe umekufa?” “Hapana, Wamarekani wameidanganya dunia, ila sijakufa. Nipo hai ninapanga mashambulizi mapya, ila wewe umeniwahi” “Ndio yeye”

Ester alizungumza huku akitugeuzia laptop yake mimi na Livna na kweli sura hii tunayo iona kwenye hii tv ni sawa na sura anayo tuonyesha Ester.

“Mwili wako wako ulitolewa hadharani na kusemekena kwamba umeuwawa?” “Nitakufa kwa kudra za Allah” “Inshalah” “Dany nitahitaji kushirikiana nawe kwenye mipango mingi. Mmarekani amenitesa kwa miaka mingi sana, ninaishia mafichoni nikijitahidi kuandaa jeshi jipya litakalo songa mbele kwa ajili ya kuhakikisha kwamba nina lipiza kisasi kwa Mmarekani. Kulipua magorofa yake ya twin tower bado haitoshi, nahitaji kufanya dunia inikumbuke tena na kufahamu kwamba nipo na nina weza kuibadili dunia” “Kama ni kushirikiana ninahiaji kuonana kwanza na wewe, nami nitakubali kushirikiana nawe” “Karibu sana, niambie ni lini unahitaji kuonana nami nami nikutajie muda na saa ya kuonana?” “Baada ya siku mbili hizi tuonane”

“Sawa kesho jioni tutawasiliana nami nitakuambia ni sehemu gani ambayo tunaweza kuonana”

“Sawa” Video hii ikazimwa, taartibu nikajikuta nikishusha pumzi huku nikimtazama Livna usoni mwake.

“Hili nalo jipya jamani” Nilizungumza huku nikinyanyuka kwenye kiti changu kwani hichi nilicho kiona kusema kweli maishani mwangu ni kipya kabisa, kwani Osama Bin Laden kipindi anatamba duninai mimi nilikuwa bado kijana mdogo sana tena mwanafunzi.

“Ni kweli unahitaji kuonana na Osama?” Livna aliniuliza kwa sauti ya chini sana, huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio” “Ila huoni kwamba inaweza kuwa hatari sana kwa maana satelaiti zote duniani zinaitafuta sura yako?” “Tutajua jinsi ya kufanya ila nitahitaji kuonana naye” “Ester DNA ya Osama tuliye zungumza naye na hiyo picha zipo sawa?” “Ndio mkuu, Osama hajakufa na vipimo vinaonyeshe ni yeye” “Kwa hiyo Marekani ilidanganya watu?” “Yaaa, walihitaji kujipatia umaarufu nahisi” “Ila mwenzenu ninahisi kwamba huu ni mtego, wasije huyu akawa ni mtu wa kupandikiza na mwisho wa siku ikala kwetu?” Livna alizidi kushauri kuliwekea msisitizo hili swala.

“Mkuu kwa hili sidhani kama inawezekana ikawa ni uongo, kwa maana hapa nimaengalia DNA test ina fanana” “Na yule aliye uwawa na Wamarekani ni Osama gani, jamani roho yangu ina mashaka mwenzenu” “Tungoje hadi kesho akiwasiliana nasi basi tunatujua ukweli wa mambo” “Mmmmm haya” “Hembu wasiliana na Marekani, nahitaji kuzungumza nao juu ya kumchukua Yemi” “Hapana kwa sasa hembu waache kwanza kwa maana nina imani nguvu yao wameielekeza katika kutafuta mawasiliano haya yanapo tokea, na wakiipata ujue tumekwisha” “Sawa”

“Ila hili la kuonana na Osama tuwashirikishe na kina Martin” “Sawa, kama inawezekana wakaja humu chumbani” Livna akamuagiza msichana mmoja baada ya muda Martin na wezake wakaingia kwenye hichi chumba.

“Mama kijacho mbona hajaja jamani?” “Amelala” “Amepata chakula cha mchana?” “Bado hajapata, ila hajisikia vizuri” Bayanka alijibu huku akikaa kwenye moja ya kiti. “Eheee hao Wamarekani wamepatwa na nini tena?” Winy aliuliza huku macho yake yakiwa kwenye Tv inayo onyesha vikosi vya uokoaji jinsi wanavyo okoa watu ambao wamesalimika katika milipuko ya visima vya kutengenezea nyuklia ambavyo ni muda mchache nimetoka kuvilipua.

“Kazi ya Dany” “DANY……!!” “Unashangaa nini Babyanka?” “Ila jamani si tumekubaliana kuachana na swala la kuanzisha vita?” “Hujajua ni kitu gani kilicho tokea katika masaa haya machache” “Wamefanyaje?” “Wamekataa kumuachia Yemi, na wameonyesha utovu wa nidhamu wa kunikoromea” “Hata kama Dany, ila si kulipua hivyo visima vya nyuklia, hivi unajua ni madhara gani yametokea kwa raisi ambao hawana hatia?” “Babyanka sasa hivi tambua tunaishi kwenye maisha ya aina gani, hakuna muda wa huruma, hakuna muda wa msamaha, hakuna muda wa kuogopana. Hapa ni ubaya kwa ubaya mpenzi wangu” “Kusema kweli Dany maamuzi hayo sijayapenda” “Ester muonyeshe video” “Ipi?” “Anza na video ya K2” Ester kwa haraka akaanza kuminya minya batani zake, baada dakika moja Tv ikaanza kuonyesha video jinsi K2 anavyo muua Lucy kwa kumpiga risasi, jinsi video hii inavyo endelea kazi yangu ni kumtazama Babyanka usoni mwake.

“Hao watu ndio unahitaji waonewe huruma. Binti wa watu amefanya kitu gani hadi kumpa hukumu kama hiyo. Baba yake yupo kule mafichoni na tulimuahidi kwamba tunamrudisha mwanaye salama mikononi mwake. Sasa angalia alicho fanywa, bado tu unahitaji kuwaonea huruma viongozi kama hao. Wananchini wanaingia matatizoni kwa ajili yao, nilimshawishi aachie madaraka ila bado anang’ang’ania je kuna kitu ambacho unaweza kunishauri na kukulewa hapo?” Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama Babyanka machoni mwake.

“Lucy anadhambi gani inayo mstahili kuuwawa kinyama kama hivyo. Leo K2 anatumia jeshi kunitafuta mimi, anajificha kwa muamvuli wa uraisi, unahisi nikihitaji kumuangamizi, nitakwenda ikulu kumkamata eheee?” Nikaendelea kufoka na kuwafanya watu wote humu ofisini kukaa kimya.

“Ninarudia tena, tunaishi kama magaidi, sura yangu nimeitangaza kwenye vyombo vya habari na ninajulikana kama gaidi, ila wamenifanya niwe gaidi, sikuzaliwa kuwa gaidi, sikuzaliwa kuwaua watu wasio na hatia.” Machozi yalinilenga lenga kwa uchungu ulio changanyikana na hasira kali sana.

“Dany nakuomba utulie” Livna alizungumza kwa sauti ya upole huku akinishika mabega yangu.

“Babyanka ninahitaji uwe na roho ya kikatili, ninahitaji uwe na roho ngumu kama ilivyo yangu, sihitaji kushauriwa vitu ambavyo mwisho wa siku nitakwenda kuanguka. Nitafeli kwenye hili” “Samahani Dany kama nimekukosea” “Ok jamani kitu nilicho muagiza binti aje kuwaita ni kuhusiana na taarifa ya kuonana na Osama Bin Laden” “Hahaa Livna ngoja kwanza, huu ni mchana hakuna aliyopo usingizini kusema kweli, kwa hiyo hembu rudisha akili yako hapa kwanza ndio uzungumze kilicho tuleta hapa” Martin alizungumza huku akitabasamu, kwa jicho kali nililo muangalia Martin yeye mwenyewe akajikuta akikaa kimya hata tabasamua lilo lijenga usoni mwake likafutika kwani anatambua kwamba nimekasiriaka na sasa sio muda wa masihara kabisa.

“Ndio leo tumewasiliana na Osam Bin Laden” “Jamani ila Osama amekufa?” “Ni kweli Winy, kwa jinsi unavyo fikiria wewe nasi ndivyo hivyo tulivyo kuwa tunajua” “Sasa amewasilana nanyi kwa simu au kwa njia gani kwa manaa hamuwezi kusema mumewasiliana na Osama kwa simu, sisi tutaamini vipi?” “Ester wawekee video” Ester akafanya kile alicho elekezwa na Livna. Martin na wezake wote wakaonekana kustushwa na video wanayo iona hapa. Wakasikiliza mazungumzo ambayo nilikuwa ninayafanya na gaidi huyu aliye hesabikia kwamba ni gaidi namba moja Dunia, japo kwa sasa inasemekana kwamba nimeichukua nafasi yake ya gaidi namba moja duniani, katika kizazi hichi cha karne ya ishirini na moja.

“Jamani sio mtu aliye vaa sura ya bandia, akawa ni muarabu aliyetumiwa na Wamarekani katika kuhakikisha kwamba wanakukamata mkuu?” “Ester ametudhibitishia kwamba ni Osama mwenyewe” “Amedhibitisha kivipi?” “Kila kitu kwa sasa kinawezekana kupitia mtandao, nimeweza kui scan sura yake tuliyo kuwa tunaiona hapo, zimeendana na sura yake halisi na DNA, zinafanan kabisa.” Ester alijibu na kutusaidia katika kumjibu Martin swali lake.

“Kazi iliyopo mbele yetu ni kuonana Osma Bin Laden, kikubwa ambacho tunachotakiwa kukifanya ni kuhakikisha kwamba Dany anakuwa katika mikono salama na kama atatoka atarudi salama, je ulinzi wake tutaumarisha vipi?” Kila mtu akaka kimya akifikiria ni kitu gani cha kuzungumza katika hili.

“Mimi ninafikiria nitengenezewe sura inayo fanana na Dany nivishwe mimi kisha niende kuonana naye ili hata likitokea la kutokea tujue kwamba Dany halisi yupo” “Martin wazo lako zuri sijui Dany mwenyewe unasemeje katika hilo” “SIHITAJI KUONANA NAYE” Nilizungumza kwa sauti nzito iliyo jaa mikwaruzo ya hasira ambayo imetoka kunipanda muda mchache, watu wote wakabaki na mshangao, kwani mimi ndio nilipanga kuonana naye ila nimebadilisha maamuzi yangu na nina imani kila mmoja niliye kaa naye humu ndani anahitaji kufahamu ni kwa nini nimekataa kuonana na Osama Bin Laden.




“Kwa nini….!!?” Livna aliuliza huku akinitazama kwa macho yaliyo jaa mshangao.

“Ninahitaji kumpatia kazi moja kabla hajakutana nami” “Kazi gani?” “Nahitaji amtafute Yemi, baada ya hapo ndio nitaweza kuonana naye” Watu wakaka kimya huku wakinitazama mimi usoni mwangu.

“Ester hembu fanya mawasiliano naye” “Sawa”

Ester akaanza kuminya minya laptop yake.

“Hayupo hewani” “Basi hiyo kesho akiwasiliana nami basi nitamueleza.” Baada ya kuzungumza maneno hayo nikanyanyuka kwenye kiti changu na kuanza kujinyoosha kwa maana nimechoka sana kutokana na mechi niliyo ifanya na Livna.

“Jamani nina njaa mwenzenu” “Hata mimi inabidi tukapate chakula” Tukatoka chumbani humu na kuwaacha Martin na wezake wakitutazama kwa mshangao kwani kikao tulicho waita ndio kimekwisha kwa mfumo huo.

“Dany inabidi K2 tumshuhulike kabla hajaleta matatizo zaidi kwenye nchi ya Tanazani?” “Unaweza kutuma vijana kwenda kumshuhulikia?” “Kwa sasa ni hatari na vijana wangu anawajua wengi so inaweza kuleta matatizo” “Hivi mtoto wake yupo wapi, si ana mtoto wa kiume mmoja?” “Ndio anaye”

“Ninamuhitaji mtoto wake” “Leo?” “Hata ikiwezekana leo ninahitaji kumpata” “Sawa ngoja niwape kazi ya kumtafuta” “Tupate chakula kwanza ili tukiingia kwenye kazi ya kumtafuta basi tunajua tunamtafuta mwanaye” Tukaingia katika ukumbi maalumu ambao unatumika kwa ajili ya watu kupata chakula. Tukajitengea chakula cha kutosha, kisha tukaka kwenye moja ya meza na kuanza kula taratibu.

“Dany nikuulize kitu” “Niulize” “Kwa nini ulikuwa unanipa mikito ya namna ile?” “Kwa nimefanya vibaya?” “Hapana hujafanya vibaya, ila kusema kweli umenifanya nijihisi kufa, yaani hapana” “Tuachane na hizo mada bwana, tule twende tukamtafute mtoto wa K2” “Sawa” Hata kabla hatujamaliza kupata chakula, akaingia Ester akiwa ameshika laptop yake, akaiweka mezani na kuifunua.

“Ninaona Wamarekani wanajiandaa kwa mashambulizi ya kivita” Ester alizungumza huku akituonyesha video ya jinsi ndege za kivita pamoja na meli za kijeshi zikianza safari yake.

“Hii video umeipata saa ngapi?” “Dakika moja na sekunde kadhaa, sijajua sasa hizi ndege zao wanazipeleka wapi pamoja na meli” “Isije wakawa wamegundua sehemu tulipo?” Niliuliza huku macho yakiwa yamenitoka, kwani kufahamika nilipo ni kosa kubwa sana kwangu, kwani nitasababisha vifo vya watu watu wengi ikiwemo watoto wadogo sana waliopo kwenye hii meli.

“Sio raisi” Livna alinitoa wasiwasi.

“Ester hujajua hizo ndege zinakwenda wapi?” “Sijajua nimeona zimeruka tu kutoka katika kambi zao” “Hii ni nafasi” Nilizungumza huku nikimtazama Livna usoni mwake.

“Nafasi ya nini?” “Kuiingiza Marekani mikononi mwa Korea Kusini” “Nimefwatilia nimeona Korea Kusini hawana uhasama na Marekani. Wenye uhasama na Marekani ni Korea ya Kaskazini” “Kumbeee!!” “Ndio, unataka kufanyaje?” “Ester si unaweza kuyaandaa mabomu ya nyuklia yaliyopo nchini Marekani?” “Ndio, ila hadi nipate msaada wa wale wezangu wawili” “Waite” Ester akatoka hapa huku akikimbia, baada ya dakika mbili akarudi na wasichana anao shirikiana nao kwenye kufanya kazi za kimitandao ambao wana ujuzi mkubwa sana katika mambo hayo. Kila mmoja ana laptop yake, wakaanza kufanya kazi ya kuandaa mambomu kadhaa ya nyuklia ambayo yapo nchini Marekani.

“Tayari” Ester alizungumza hukua kinigeuzia laptop yake.

“Umeyaelekezea Korea Kaskazini?” “Ndio”

“Ila ikiwezekana hayo mabomu musiyapeleke kwenye miji yenye watu” “Unataka tuyapeleke wapi?” “Nionyesheni ramani” Msichana mmoja akamgeuzia Livna laptop yake na kumuonyesha ramani ya Korea Kaskazini. Livna akaitazama kwa muda kisha akahgua moja ya eneo.

“Yaelekezeni katika milima ya Paektu huko ninaimani kwamba hakuna watu na kama wapo wanao ishi niwachahe sana”

“Samahani mkuu ila milima hiyo ni milima inayo toa Volcano kubwa sasa na hayo mabomu inakuwaje?” “Hapa tunajenga uchonganishi, ninaimani nilazima Korea Kaskazini atajibu mashambulizi hayo” “Sawa” Ester akachukua laptop yake na kuanza kiminya minya tena batani kwa kasi kubwa, baada ya kufanikisha alichoa mbiwa akanigeuzia laptop yake.

“Unaweza kushambulia sasa” “Ni mabomu mangapi?” “Manne?” “Dany ngoja kwanza” “Ningoje kwanza kwa nini?” “Ester hujatambua ni wapi ndege hizo zinaelekea, kwa maana tusije tukaingiza nchi hizi mbili kwenye vita na mwisho wa siku tukajilaumu jamani” “Logate umeweza kujua ndege za Marekani zinaelekea wapi?” “Ndio, zinaelekea Pakistani” “Pakistani kufanya nini?” “Ngoja niangalie” Logate naye alizungumza hukua kiendelea kuminya minya laptop yake.

“Ohoo wameweza kunasa mawasiliano yako na Osama Bin Laden, ila wewe hawajaweza kujua upo wapi ila yeye ndio wameweza kujua yeye yupo wapi” “Ester jaribu kufanya mawasiliano na Osama” “Sawa” Ester akaanza kufanya kazi hiyo.

“Nimempata, earphone hii hapa” Ester baada ya kuzungumza hiyo akanipatia earphone maalumu ambayo inauwezo wa kubadilisha mazungumzo na kutoka katika lugha ya kiarabu hadi kuja katika lugha ya Kiswahili.

“Vipi tena Dany?” “Wamarekani wameweza kusana mawasiliano yangu na yoko, ila wewe ndio wameweza kujulikana upo wapi, sasa wameandaa ndege zao za kijeshi pamoja na meli kubwa za kivita zinakuja kukushambulia seheu ulipo, kama inawezekana wewe na vikosi vyako hakikisheni muonaondoka nchini Pakistani haraka iwezekanavyo” Nilizungumza kwa haraka huku nikimtazama Osama Bin Laden usoni mwake. Akaonekana kustuka sana kwani ni taarifa ambayo hakuwa nayo na kama kukamatwa basi atakamatwa muda wowote kuanzia hivi sasa.

“Shukrani rafiki yangu Dady. Allah akubariki”

“Ukifanikiwa kupata sehemu iliyo tulia basi utanijulisha na nina imani kwamba mawasiliano haya wameyapata wamarekani” “Nashukuru, ninaondoka sasa hivi” “Sawa” Wawasiliano haya ya video yakaishia hapa.

“Tuwasaidieni jamani” Livna alizungumza kwa sauti ya upole.

“Kwa nini?” “Mzee wa watu anatia huruma, unaona jinsi alivyo stuka, na nina imani hapo Wamarekani wamecharukwa kwa kumuona Osam Bin Laden tena akiwasiliana nawe” “Tutawasaidia vipi wakati ndege ndio zipo njiani kwenda kumteketeza” “Tunaweza kuzidungua” Ester alizungumza huku akiwa amesimama.

“Kuzidungua zinawezekana?” “Ndio, kila kitu tutatumia Satelaiti, ku activaite mabomu yao wao wenyewe na kuanza kushambuliana marubani kwa marubani” “Sijakuelewa” “Ngoja” Ester alizungumza huku akivuta kiti tena na kukaa, nikamtazama Ester usoni mwake na kuona umakini wake katika kazi. “Minya allpa huko kwako” Ester alimuambia Logate, kila kitu wanacho kifanya kusema kweli sielewi hata kimoja. Kazi ikawachukua kama dakika saba wakawa wameshamaliza.

“Unaweza kuwasiliana na marubani na kuwapa onyo la kurudisha ndege zao sehemu wanapo tokea” “Kwani zipo ndege ngapi?” “Ndege kumi na mbili, zote ni jet F-22 Raptor, hizo ni ndege zenye uwezo mkubwa sana wa kushambulia kutokea angani, na sifa yake nyingine haziwezi kushambuliwa na ndege yoyote ya kivita wala bomu lolote ziidi ya wao kwa wao kushambuliana na hizi Jeti zipo Marekani tu na ukiona wameziachia leo ujue ni mashambulizi makubwa sana wanayo kwenda kuyafanya” Ester alitupa maelekezo huku akituonyesha ndege hizi za kijeshi zinazo itwa F-22 Raptor, muonekano wake tu zinaonyesha ni jinsi gani zilivyo hatari.

“Wamebakisha muda gani kufika Pakistani?” “Dakika arobaini na tatu” “Zina spidi kubwa kiasi gani?” “Sijui nizifananishe na super concod labda, maada spidi yake ni kubwa mmono”

“Watanisikiao hao Marubani?” “Ndio tuwasiliane nao kwa video call” “Fany hiyo” Ester akaiweka laptop yake mbele yangu na kuniweke usawa wangu. Nikaona video za marubani kumi na mbili wakiwa katika kazi ya kuziongoza ndege hizo.

“Habari zenu, nina imani kwamba mumenisikia. Sihitaji kujitambulisha kwenu, ninacho kihitaji sasa hivi kama munaipenda nchi yenu hakikisheni kwamba munageuza ndege zenu na kurudi kwenye kambi zenu nchini Marekani la sivyo hakuna hata mmoja wenu atakaye fika nchini Pakistani. “Wewe ni nani?” Rubani mmoja alizungumza huku akinitazama.

“Dany” “Hatusikilizi amri kutoka kwa kwako, amri inatoka kwa raisi wa Marekani” Rubabi huyo anaye onyesha ndio kiherehere alizungumza kwa kujiamini sana. Nikaifunika laptop hii na kuwafanya watu wote kushangaa.

“Twendeni chumba kile hapa siwaoni vizuri hawa, wajinga. Pia wasilianeneni na makamu wao wa raisi” “Tayari amesha apishwa sasa hivi ni raisi” “Vyoyote wasilina naye” Nilizungumza huku tukitembea kwa kasi kuelekea katika chumba hicho. Tukakuwakuta Martin na wezake wakitazama Tv.

“Jamani kuna kazi muhimu, ninawaomba wote munyanyuke kwenye vitu na mukae pembeni” Nilizungumza huku nikikifwata kiti ambacho ninapenda kukaa na kipo mbeke ya video ambayo huwa ndio nina wasiliana nao. Hapakuwa na mtu hata mmoja aliye bisha wote wakanyanyuka na kusimama pembeni ili kuto onekana kwenye video hii.

“Umewaunganisha kwenye tv?” “Ndio tv namba moja na mbili zitatumika zote” Ester alizungumza huku akibadilisha mfumo wa tv inayo onyesha taarifa ya habari. Na ikaonyesha marubani hawa nilio kuwa nina wasiliana nao, huku tv namba moja ikiwaonyesh viongozi wa Marekani walio kaa kwenye kikao cha pamoja akiwemo na raisi wao bwana Sound.

“Nimewapa amri vijana wako kurudisha ndege zao na kusitisha zoezi la kwenda kumshambulia Osam Bin Laden nchini Pakistani ila bado wanasonga mbele. Sasa wewe ndio mtu wa pekee unaye weza kudilisha maamuzi kwa maana wamedi kwamba wewe ndio umewapa amri” Viongozi wote wa Marekani wakabaki wakiwa wameshangaa, kwani nina imani kwamba hawajui ni jinsi gani nimeweza kufahamu siri yao ya mashambulizi wanayo kwenda kuifanya kwa Osama.

“Dany siwezi kubadilisha maamuzi yangu” “Muheshimiwa raisi, ninakuheshimu na hao vijana wako wanao endendesha hizo F-22 Raptor wana familia zao zinazo wategemea. Wewe na hao wajinga wezako mumekaa hapo hamjui maumivu yoyote ambayo watayapata. Sasa ni ombi langu la mwisho kwako, waambie warudishe ndege kwenye kambi zao” “Siwezi kumsikiliza Muafrika mjinga kama wewe, huwezi kuitawala Dunia kwa kauli zako za kipumbavu na kizembe nitahakikisha ninakukamata” “Sawa muheshimiwa raisi. Mimi ni Muamfrika mjinga ila nilazima niiangushe Marekani chini” Nilizungumza kwa msisitizo, kisha nikamgeukia Ester ambaye yupo pembeni yangu na haonekani kwenye hizi tv. Kwa ishara ya macho ikatosha kumuelewesha Ester ni nini anacho takiwa kukifanya. Ester na wezake wakaanza kazi ya kuziongoza wao hizi ndege. Haikuchukua hata sekunde kumi, ndege ya rubani namba moja ikaanza kuonyesha chenga kwenye kipande chake cha video ikimaanisha kwamba tayari amesha lipuliwa na mwenzake.

Nikaendelea kumtazama raisi huyu mpya wa Marekani bwana Sound usoni mwake, ambaye yeye naye na viongozi wezake wanawaona marubani wao kwenye Tv kubwa lililopo katika ukumbi wao wa mikutano. Ndege ya pili nay a tatu nazo zikalipuka, na kuzidi kuwapa hofu viongozi wa Marekani. Ndege ya tato nayo ikalipuka na kuzidisha idadi ya vifo vya marubani hawa kuongezeka, hata ukaaji wa raisi kwenye kiti chake ukawa ni wa kuhangaika.

‘Nyinyi si ndio taifa kubwa duniani, sasa mimi ndio nitakuwa mkubwa kwenu. Shenzi’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kuwaangalia viongozi hawa. Ndege ya sita na saba nazo zikalipuka, ndege ya nane nayo ikalipuka na zikabaki ndege nne, nikamuoan mzee mmoja aliye valia nguo za jeshi zenye vyeo vingi akisimama kwenye kiti chake. Taratibu akapanda kwenye meza yao ambayo ni kubwa, akapiga magoti chini huku akinitazama mimi.

“Dany ninakuomba usiendeleze vifo vya marubani hawa wasio na hatia” “Una fanya nini jeneral?” Raisi alizungumza kwa ukali sana huku akimtazama jeneral huyo ambaye sijui ni wa kitengo gani cha jeshi.

“Dany mimi ni jeneral wa jeshi la anga, hao ni vijana wangu ninakuomba usiwateketeze zaidi” “Mtoeni hapa, nchi yangu haiwezi kuingia mikataba wala kumsujudia Gaidi tena mtu mweusi” Raisi alizungumza, wanajeshi wengine wakataka kumshika jeneral wao, ila akanyoosha mkono kwao na kuwazuia.

“Muheshimiwa raisi, nchi yetu ni kubwa sikatai ina kila aina ya uwezo wa kumuangamiza gaidi yoyote duniani, ila kwa Dany, kubali yaishe. Makosa ambayo aliyefanya marehemu Donald Bush tumuombe Dany yaishe mambo sasa hivi yapo ifuani yakifika shingoni, hakuna hata mmoja ambaye atatoka katika hili jego” Baada ya jeneral huyo wa jeshi kuzungumza hivyo akashuka mezani na kutolewa eneo hilo. Viongozi wote sura zao zikabaki zimejawa na wasiwasi.

“Endeleni kusonga mbelee” Raisi Sound akili zake wala sijui zipo vipi, kwani alicho kizungumza sikielewi kabisa, nikamtazama Ester sikumpa ishara yoyote.

“Siwaui marubani wako, sasa wewe ndio utawaua kwani mashambulizi sasa hivi yatakuja kwako hapo Washington D.C ulipo, jiandae muheshimiwa raisi” Viongozi wote wakaanza minong’ono wengi wakionekana kugopa sana kwa kile kitakacho kwenda kutokea hapo baada ya muda mchache. Ester na wezake ambao kwa sasa ndio wana uwezo wa kuziongoza ndege hizo wakafanya kile nilicho kizungumza, na ndege hizo zikageuzwa badala ya kueleke Pakistani zikaanza kueleke Marekani kwenye mji wa Washington D.C na zikifika hapo nilazima zifanye mashambulizi za kulichangua jengo hilo la serikali alipo raisi Sound na viongozi wengine wote na inchi itakosa kiongozi wa kisiasa kwani nilazima wafe.



“Kimya” Raisi Sound alizungumza na kuwafanya viongozi walio anzisha mijadala kunyamaza mara moja. Raisi akaka kimya huku akinitazama mimi, kichwani mwake anaonekana kwamba ana mawazo mengi sana.

“Meli zao za kivita zipo ngapi zilizo ondoka?” Nilizungumza huku nikimtazama Ester, jambo lililo zidi kuzua taharudi kwa viongozi hawa wa Marekani, kwa ishara ya vidole Ester akanionyesha ni meli nne.

“Kila ndege itapiga meli moja” Ester akatingisha kichwa akimaanisha kwamba emenilewa nilicho kizungumza.

“Nimebadilisha mawazo yangu, meli zako zitakwenda kushambuliwa na kuteketea, je mimi na wewe nani ni raisi wa Marekani?”

Viongozi wote wakamgeuki raisi huyu aliye chukua madaraka kwani yeye ndio muhusika anaye paswa kujibu swala ambalo nimemuuliza.

“Mimi ndio raisi wa Marekani” “Basi amuru meli zako zishambulie hizo ndege ambazo zitafika eneo hilo baada ya dakika……” Nikamgeukia Ester, akaniambia kwa sauti ya chini sana ambayo haisikiki.

“Dakika kumi na tisa kuanzia hivi sasa, kwa hiyo ukihitaji vita hii iishe, kubali kuniomba msamaha kuhusiana na makosa aliyo yafanya raisi aliye pita, kisha usahau kwamba kuna mtu anaitwa Dany” “Siwezi kumsujudi gaidi tena muafrika, nitahakikisha kwamba ninakuangusha” “Sawa subiri kitakacho tokea” Nilizungumza huku nikijilaza taratibu katika kiti hichi cha kuzunguka, nikawatazama marubani hawa wanao jitahidi kadri ya uwezo wao kuongoza ndege zao ila wanashindwa kabisa kwani hata mimi mwenyewe sifahamu Ester na wezake wamefanyaa kitu gani hadi kuwadhibiti hizi ndege. Viongozi hawa wakaanza kujadiliana kuna ni jinsi gani wanaweza kumshawishi raisi aweze kufwata kile nilinicho muambia.

“Dakika tano zimebaki” Nilizungumza na kuwafanya viongozi baadhi kunitazama, huku wengi wao wakiwa wamejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Dakika mbili zimebaki muheshimiwa raisi” Viongozi wakaonekana kuchoka kwani raisi wa sasa hashauriki.

“Puuuuuuu” Nilizungumza huku nikiitazama Tv ya namba tato ambayo inaonyesha video hizo jinsi zinavyo anza kufanya mashambulizi kwenye meli hizi kubwa za kivita na wanajeshi waliopo kwenye meli hizo wakajikuta wakishindwa kufanya chochote kwa moja ni ndege za nchi yao na mbili ni ndege ambazo zina uwezo mkubwa wa kivita na tatu shambulizi limetokea kwa kustukiza sana. Mashambulizi yakaendelea zaidi ya dakika kumi na kuziteketeza meli hizo zote za kivita.

“Wanajeshi wako wameteketea na wamekufa kutokana na ubishi wako. Ndege zako ninaziteketeza sasa” Ester na wezake kazi yao ni kufanya kile nilicho waeleza, ndege moja baada ya nyingine ikalupuka na baada ya muda kidogo mabaki ya ndege hizo zikaangukia kwenye bahari.

“Tutaonana baadaye baada ya kuhakikisha kwamba mke wangu munamuachia” Nikachukua rimoti na kuzima tv zote, nikawageukia watu walipo humu ofisini, kila mmoja yupo kimya akinisikiliza ni kitu gani ninacho kwenda kukizungumza.

“Vita sasa imeanza, ninacho kihitaji wote humu ni kuhakikisha kwamba kila mmoja anakuwa jasiri katika kila kitu kinacho jitokeza mbele yetu” “Munaweza kukaa” Livna alizungunza, Martin na wezake wakaanza kukaa kila mmoja kwenye kiti alichokuwa amekikalia.

“Kwa sasa mtu ambaye tunamgeukia ni K2, kifo cha Lucy siwezi kukiacha kipite bure, ninahitaji watu ambao watakwenda kumteka mtoto wa K2” “Samahani Dany, labda mtoto wa K2 yupo wapi?” “Ester unaweza kunitafutia huyo kijana”

“Si yule kibonge?” Ester aliniuliaza huku akinitazama usoni mwake.

“Ndio” Livna alimjibu, Ester akaanza kuifanya kazi hiyo.

“Kwa sasa mtoto wa K2 yupo nchini China ambapo ndipo anapo soma kwenye shule moja ya Kung Fu. Inaitwa Shing Ku Fu.” Ester alizungumza huku akitutazama mimi na Livna.

“China nina watu ambao wanaweza kuifanya hiyo kazi” “Hao watu wanahisiana na kikundi hichi?” “Ndio wanahisiana na kikundi hichi” “Basi ninaomba uwasiliane nao, ninahitaji kumuumiza K2 zaidi ya alivyo muumiza waziri mkuu” Livna akawasiliana na watu hao alio sema wanaweza kuifanya hiyo kazi, akawapatia maelekezo na watu hao wakaahidi kwamba wanaweza kuifanya hiyo kazi siku hii hii.

“Baada ya muda gani munaweza kuikamilisha” Livna alizungumza huku akiwa ameiweka simu yake mezani na watu wote ndani ya hichi chumba tunayasikia mazungumzo ya Livna na msichana huyo.

“Baada ya lisaa moja mkuu nitakupigia ni wapi nipo na mtoto huyo” “Sawa Sara, kuwa makini na hakikisha kwamba kila kitu kinakwenda sawa” “Usijali mkuu unafahamu kwamba mimi sifeli kwenye kila kazi unayo nipatia” “Nakuaminia ndio maana nikakukabidhi wewe” “Basi usiwe na mashaka” Livna akakata simu na kuirudisha mfukoni mwake.

“Mtoto wa K2 nina imani kwamba atakuwa amepatiwa ulinzi mmoja mkubwa sana” Winy alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Livna.

“Yaaa, ila huyu ni professional killer, ana uwezo mkubwa japo nimempiga ila tupo vizuri sana” “Hapa tusubirie matokeo” “Ila inanibidi niende kumpokea, nje ya hii meli kwa mana yeye afahamu ni wapi ninapo jificha” “Nitakwenda na wewe” Martin alizungumza na kunitafanya nimtazame.

“Unajiweza Martin kwa maana ni hatari huko tunapo kwenda, dunia nzima inamtamani huyu jamaa na sisi tayari tumesha husishwa katika swala la kumsaidia, sasa je utaweza shuhuli?” “Nitaweza niamini Livna” “Sawa, Ester niandalie vijana wawili, baada ya lisaa wawe tayari” “Sawa mkuu”

“Na wewe Martin ujiandae katika hili tunalo kwenda kulifanya. Logate hakikisha kwamba ulinzi unakiwa juu yetu kila tunapo kwenda muhakikishe kwamba munatulinda” “Usijali mkuu” “Dany wewe ndio ninakuacha hapa, nina imani ni mgeni ila una uwezo mkubwa wa uongozi, hakikisha kwamba ulinzi unakuwa imara” “Usijali, mimi nitaendelea kudili na hawa wajinga” “Sawa” Livna akanyanyuka kwenye kiti hichi na kutoka humu chumbani huku akimuita Martin. Winy naye akaondoka humu ndani na nikabaki na Babyanka pamoja na Logate.

“Dany” “Naam” “Mtoto wa K2 unahitaji kumfanya kitu gani?” Babyanka aliniuliza kwa sauti ya upole sana, nikamtazama usoni mwake kwa sekunde kadhaa huku nikiwa natafakari cha kumjibu.

“Nakuomba usimuue” “Bayanka umekuwaje, mbona una roho ya huruma sana, au umekoka?” “Hapana sio kuokoa, ninajia Dany hujapata mshauri mzuri mimi ndio mshauri wako kwa sasa” “Unanishauri pumba muda mwengine, hivi hujawahi kuona picha za familia yangu ehee?” “Nimesha wahi kuzioana” “Sasa unacho kihitaji ni nini, unahitaji kumuacha K2 andelee kuishi kwa furaha na asipate machungu kama ninavyo upata mimi?” “Najua una mamumivu makubwa moyoni mwako. Ila Dany leo umea watu wengi, ingia basi hata likizo ya kuua hawa watu” “Nisipo waua wao, watania mimi. Kwanza nenda kamtazame Hawa anaendeleaje” “Sawa” Babyanka alizungumza huku akishasha pumzi nyingi sana. Akatoka chumbani humu na kuniacha mimi na Logate.

“Huyu dada ni mpole sana hadi sauti yake” “Huyo alikuwa ni mlnzi mwenzangu” “Mlinzi kivipi?” “Tulikuwa tunamlinda raisi aliye pita nchini Tanzania kabla ya K2” “Kumbe ulikuwa mfanyakazi muaminifu kwa raisi?” “Ndio, ila alinibadilika na kuniwinda, wakaniuliza familia yangu na mwisho wa siku nikamuaa kubadilika mazima” “Masikini wee, familia yako wanaitwa nani?” Nikamtajia Logate jina la mama yangu, akalitafuta kwenye laptop yake, nikamuona akiziba mdomo wake kwa kile alicho kiona.

“Picha ndio hizi?” Logate alizungumza huku akinigeuzia laptop yake, nikazitazama picha ya mama yangu akiwa amechinhwa kikatili sana, pambeni ya picha hiyo kuna mwanangu wa kike, pamoja na mdogo wangu. Kwa hasira na maumivu niliyo nayo moyoni mwangu, nikajikuta machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.

“Ndio hao” “Masikini jamani pole sana kaka Dany” “Shukrani” Livna akaingia humu ndani akiwa amebadilisha nguo, Logate akaigeuzia laptop yake upande wake. Livna naye akatazama picha zilizopo kwenye laptop ya Logate kisha akanitazama usoni mwangu. “Dany” Livna alizungumza hukku akikaa pembeni ya kiti kilichopo pembeni yangu, taratibu akanisogelea na kunitazama uosni mwangu.

“Ninakuomba usikumbuke machungu haya, una safari ndefu kwenye maisha yako, ninakuomba uzidi kuwa jasiri” “Niahidi kitu” “Zungumza tu” “Niahidi unarudi na mtoto wa K2 hapa” “Usijali, hapa ninasubiria simu ya Sara, akinijulisha tu basi nitaondoka hapa na kwenda kumchukua” “Unamuamini huyo Sara?” “Sina mashaka naye kabisa, ni mtu ambaye amefanya kazi zangu nyingi kubwa sana” “Sawa kuwa makini?” “Usijali mutakuwa munatufwatilia kila tunacho kifanya kupitia hizi tv” “Poa” Ester akaingia akiwa na wasichana wawili warefu kiasi, sura zao zote zinafanana ikimaanisha kwamba ni mapacha.

“Hizi ni mashine zangu, ni pacha wapo vizuri kishenzi” “Sawa” “Wamefanana kusema kweli, kikubwa kuweni makini nanawahitaji muwee kufanya kitu kikubwa ambacho K2 hato kisahau kwenye maisha yake.” “Ninatambua uchungu ambao upon aye, nitakuletea unacho kihitaji.” Simu ya Livna akaita kisha akaitoa kwenye mfuko wa suruali yake.

“Sara” “Nimefanikiwa mkuu, tuonane wapi?” “Nipogie imo, nahitaji kumuona huyo mtoto” “Poa” Livna akakata simu baada ya muda simu yake ikaita tena, akapokea na kuiweka mbele yake. Nikaitazama video hiyo na nikamuona Sara huyo, ni binti mwenye asili ya kiafrika.

“Kibonge ninaye kwenye gari” Sara alizungumza huku akionyesha video ya mtoto wa K2 ambaye nilisha wahi kumtibu kipindi nilipo pandikiza virusi vilivyo sababisha watu kuweza kupata mapunye miilini mwao nchini Tanzania.

“Nimemuona, hakikisha kwamba unachukua boti na kukutana kwenye kisiwa tunacho kutana kila siku” “Sawa mkuu” “Dany ninaianza safari” “Unatumia usafiri gani?” “Boti, ambayo hakuna satelaiti inayo weza kuinasa zaidi ya satelaiti yetu tu” Martin akaingia huki naye akiwa amevaa nguo za jeshi.

“Martin mlinde Livna” “Sisi tutamlinda yeye” Msicha mmoja kati ya hawa mapach alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. “Sawa”

Kila mmoja akavaa kifaa maalumu cha mawasiliano, hadi mimi nikavaa ili niweze kuzungumza nao moja kwa moja pale pale wanapokuwa mbali nasi. Livna na watu wake wakaondoka humu ofisini na kutuacha na Ester pamoja na wezake, wakaziwasha Tv hizi na tukaanza kuwaona jinsi wanavyo ianza safari hii, ambayo itawachukua muda. Tukaendelea kuwafwatilia hadi wakafika katika kisiwa walicho panga kukutana, wakasimamisha boti hiyo pembeni, na wakashuka, kisiwa hichi sio kikubwa kwa maana tuna kiona kwa juu. Galfa kisiwa mlipuko mkubwa wa bomu ukatokea katika kisiwa hichi na kutufanya watu wote tuliopo humu ndani kustuka sana na nikajikuta nikisimama, sikuona mtu yoyote zaidi ya moto mwingi unao endelea kuteketeza eneo hili la hichi kisiwa.

“LIVNA LIVNA LIVNAAAAAAAAAAAA………………..” Niliita kwa sauti ya juu, sikuitikiwa zaidi ya kusikia kimlio kikali sana kilicho tuumiza masikio na kujikuta sote tukivua vifaa hivi vya mawasiliano masikioni mwetu huku mapigo ya moyo yakinienda mbio kwani sijui shambulizi limetokea wapi.



Ukimya ukatawala ndani ya chumba hichi huku kila mtu kiwa na wasiwasi mwingi sana.

“Hembu vuta karibu hiyo video” Nilizungumza kwa haraka huku nikimtazama Ester usonii mwake. Kwa haraka akaanza kuisogeza karibu video ya kisiwa hichi kwani tulikuwa tuinaitazama kwa juu sana. Ikafika karibu, tukawaona wote wanne wakiwa wamelala chini, huku pacha mmoja akiwa amelala juu ya Livna. Nikajikuta nikiwa nimsehika mdomo wangu kwani hadi sasa hakuna anaye fahamu kama wapo hai japo tumewaona wamelala.

Tukaona boti mbili zikija kwa kasir karibu ya kisiwa hichi.

“Ni kina nani hao?” “Sijafahamu mkuu” Ester alizungumza huku akizivuta karibu sura za watu hawa. Sote tukawaona ni wazungu walio valia bukta na mashati waliyo yaacha wazi.

“Hawa ni wavuvi, ila pia niwatalii” Ester alizungumza huku sote tukiwatazama jinsi wanavyo shuka kwenye boti zao, kisha kwa haraka wakakimbilia hadi sehemu walipo anguka Livna na wezake, wakaanza kuwageuza huku wakiwatazama. “Wanawakagua kama wapo hai?” “Hii ni hatari, Ester tuma vinaja wakawachukule” “Hatuto wawahi, kwa maana ni sehemu ya mbali sana kutoka hapa walipo, ngoja tuangalie mwisho wao utakuwa ni wapi?” “Na mlipuko umetokea wapi?” “Ni bomu la kutegewa ardhini, nahisi kuna mmoja wao atakuwa amelikanyaga pasipo kujua ndio likalipuka” Wazungu hao wakawaingiza kwa haraka Livna kwenye boti yao na kuondoka kwa kasi katika eneo hilo.

“Hakikisheni kwamba hawawapotei hadi sehemu ya mwisho watakapo kwenda” “Sawa kuna kisiwa kikubwa kama maili sita kutoka kisiwa hichi, ninaimani kwamba hapo ndipo wanapo kwenda” “Ni lazima tukawachukue” “Kama watafikia hapo basi ulinzi utakuwa ni wa uhakika kwa maana ni kisiwa wanacho ishi watalii pamoja na wenyeji”

“Wenyeji ni watu gani?” “Ni Waafrika” Tukaendelea kutazama boti zilizo wapakiza Livna na wezake jinsi zinavyo zidi kwenda kwa kasi, baada ya saa moja wakafanikwia kufika kweli kwenye kisiwa hicho kikubwa, wakawashusha Livna na wezake na kuwaingia kwenye magari na moja kwa moja wakawapeleka hadi kwenye hospitali iliyopo katika eneo hilo.

“Andaa vijana waweze kwenda” “Sawa mkuu, ngoja nikawatangazie” Ester akatoka chumbani humu na kuniacha na Logate.

“Logate tazama Sara yupo wapi, ninahitaji kwenda mimi mwenyewe kumchukua mtoto wa K2” “Kwenda wewe mwenyewe?” “Ndio, ninahitaji kwenda mimi mwenywe?” “Hapana ni bora kuagiza watu waende kumchukua ila si wewe kwa maana ukiondoka wewe tunakosa kiongozi ikiwa kiongozi wetu mkubwa ndio kama hivyo yupo hospitalini” “Kipindi sijafika nani alikuwa kiongozi?” “Ester” “Basi atachukua madaraka na mamlaka niliyo nayo, sawa” Nilizungumza kwa msisitizo hadi Logate akatingisha kichwa akikubaliana na kile nilicho muagiza. Ester akaingia na kusimama mbele yangu.

“Tayari nimesha andaa vijana watano watakao kwenda kwenye hicho kisiwa na nimesha wapo maelezo ya kutosha, pia wasicha wote nimwafahamisha kwamba kiongozi wetu yupo kwenye hatari.” “Vizuri na mimi niandalie boti ninahitaji kwenda kuonana na Sara, ninahitaji kumchukua mtoto wa K2 na kurudi naye hapa” “Unataka kwenda kuonana na Sara!!!?” “Ndio” “Hapana Dany, hicho kitu siwezi kukiruhusu kabisa. Dunia nzima unatafutwa, satelaiti zaidi ya maelfu zinakutafuta wewe, unahisi kwamba inaweza kuwa ni rahisi wewe kupiga hatua hata ya kutoka usawa wa hii meli. Huwezi, tulia humu ndani hilo swala la kumpokea mtoto wa K2 nitawapa kazi watu wengine sawa” Ester alizungumza kwa msisitizo huku akiwa amenyang’ata meno yake, ikiasihiria kwamba kile anacho kizungumza amekidhamiria kutoka moyoni mwake.

“Nitaendelea kuishi humu ndani hadi lini?” “Ishu si kuishi humu ndani, hii ndio sehemu ya wewe kuwa salama, nimepokea jukumu la kuhakikisha kwamba unakuwa salama, basi ni lazima uwe salama siwezi kuenenda kinyume na kakuli ya mkuu wangu Livna, sawa” Ester aliendelea kuzungumza kwa jazba huku akiwa amenisogelea karibu yangu akionekana kuto kuniogopa kabisa.

“Logate, mtafute Sara, kisha mtumie Carin hiyo picha ya wapi alipo Sara na mtumie namba za mawasiliano kwa maana nimesha muweka tayari kwa hilo” “Nimesha mpata Sara anakaribia kufika kisiwani hivi sasa” “Nitumie namba yake nimpigie imo” “Sawa mkuu” Logate akafanya alicho agizwa, Ester akatoa simu yake mfukoni baada ya meseji kuweza kuingia. Akampigia Sara, huku akivaa earphone sikioni mwake.

“Habari yako dada Sara” “Ninaitwa Ester ni msaidizi wa Livna” “Nashukuru kama unanifahamu, nina imani unampigia Livna na umeshindwa kupata mawasiliano naye?” “Basi amepata tatizo katika hicho kisiwa kuna mabomu kadha ambayo yalitegwa kwa kipindi kirefu sana cha nyuma, mmoja ya watu alio ongozana na Livna ameweza kukanyaga bomu hilo na kulipuka, ninamuagiza kijana mwengine kuweza kuja kumchukua huyo kijana” “Yeye kwa sasa amechukuliwa na wavuvi ambao ni watu salama, na yupo katika kisiwa cha Bama, na kwa sasa wapo hospitalini” “Basi utakutana na vijana wengine huko” “Shukrani” Ester akakata simu yake aliyo ipiga kwa mfumo wa video, akanitazama usoni mwake.

“Pasipo kukuvunjia heshima, ninakuomba tuendelee kushirikiana kuhakikisha kwamba mkuu na wengine wanakuwa salama katika sehemu walipo”

Ester alizungumza kwa sauti ya upole, sikuwa na jambo la kuzungumza zaidi ya kukubaliana naye. Nikaka kwenye kiti nilichokuwa nimekalia huku nikiwa nia wasiwasi mwingi sana.

“Hakuna aliye kanyaga bomu” Logate alizungumza huku akianza kurudisha vidoe ya muda mchache ulio pita.

“Kuna mnyama huyu nguruwe pori, alikanyaga bomu na kulipuka na mlipuko huo wa galfa ndio ulio pelekea mkuu na wezake kupoteza fahamu” Logate alizungumza huku akituonyesha nguruwe aliye lipuliwa upande wa pili wa hichi kisiwa, japo sio mbali sana kutoka sehemu na walipokuwa Livna na wezake.

“Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa, mkuu kuwa salama” Logate aliendelea kusisitiza na kidogo akafufua matumini na furaha kwa mbali ndani ua moyo wangu.

“Sara naye amebadilisha mawazo anaelekea walipo Livna nina imani kwamba yeye ndio atawai kufika kuliko kina Carini” “Si wemesha anza safari?” “Ndio wamesha anza” “Watafika hapo baada ya muda gani?” “Kama saa moja na nusu” “Poa ninikuja” Nilizungumza huku nikinyanyuka katika kiti nilicho kalia, nikatoka ndani humu na kuwaacha Ester na Logate wakinitazama. Moja kwa moja nikaelekea katika chumba alipo Babyanka na Hawa, nikawakuta wakizungumza huku wakicheka sana.

“Mbona unaingia bila kubisha hodi jamani ungetukuta tupo uchi ingekuwaje?” Babyanka alizungumza kwa utani.

“Kwani kuna ubaya kuwakuta mupo uchi?” “Mmmmm”

Hawa akaguna, nikaka pembeni yake huku nimshika shika tumbo lake.

“Mtoto tumtarajie lini?” “Mmmm bado. Babyanka amenisimulia kwamba kuna ndege za Marekani umezilipua?” “Ndio” “Unajisikia raha kuua eheee?” “Utasikia raha na wewe nikiuliwa eheeee?” Nilizungumza kwa sauti ya ukali huku nikimtazama Hawa usoni mwake.

“Lengo langu si kukukasirisha baba yangu” “Kwenye swala la uongozi sinto hitaji kuona mtu yoyote ananishauri kitu ambacho atahisi kwamba kipo kinyime nami sawa?”” “Sawa baba nisamehe kwa maana mimi mwenyewe ninasubiria kifo changu baada ya kujifungua huyu mtoto” Hawa alizungumza kwa sauti ya upole, kwa jinsi walivyo nichefua kwa maneno yao nikatoka chumbani humu na kupanda juu kabisa ya hii meli kubwa sana. Huku napo kuna wasichana wanao fanya mazozi, pia kuna kiwacha cha helicopter ambacho kinaweza kupoteka helicopter zaidi ya tano kwani ni kikubwa sana.

“Shikamoo” Msichana mmoja alinisalimia nikamgeukia na kumtazama usoni mwake.

“Marahaba” “Naomba nijipime na wewe” “Ujipime?” “Ndio mazoezi” “Una umri gani?” “Miaka ishirini na mbili” “Tutapambana kesho sawa” “Sawa kaka Dany” “Nenda kaendelee na mazoezi” Msichana huyu akaondoka na kuniacha nikimuangalia makalio yake yaliyo banwa vizuri na suruali iliyo mbana sana. Sikuhitaji kuendelea kumfwatilia msichana huyu kwani sihitaji kumjengea matamanio ya kimapenzi. Nikaitazama mikono yangu hii miwili, nikajikuta machozi yakinilenga lenga kwani ni mikono ambayo imejaa damu za watu wengi sana ambao wengine nimewaua wakiwa na hatia huku wengine nikiwa nimewaua wakiwa hawana hatia kabisa.

‘Mungu wangu ninakuomba unisamehe’

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga kwani sidhani hata siku ikitokea nimefariki, ninaweza kuridhi ufalme wa mbinguni kama vile tunavyo amini katika imani zetu za kidini.

“Dany Dany” Niliisikia sauti ya Logate akiniita, nikageuka nyuma yangu na kumtazama.

“Kuna kitu unatakiwa kukiona huku” Logate alizungumza huku akiwa na wasiwasi mwingi, kwa haraka tukaanza kukimbia kuelekea katika chumba cha mawasiliano. Tukafanikiwa kufika kwa haraka, tukafungua mlango na kumkuta Ester akiwa amesimama mbele ya Tv huku akitazama mapambo kwenye kisiwa ambacho Livna na wezake wamepelekwa na watalii.

“Wamarekani wametuma jeshi na wanaendelea kushambulia katika hospitali” “Wanapambana na nani?” “Wanapambana na Sara, yupo peke yake na amefanikiwa kufika eneo hilo” “Ulio waagiza bado hawajafika?” “Bado hawajafika, ila wamebakisha dakika kama kumi na tano kuweza kufika” Tukamuona jinsi Sara anavyo endelea kushambuliana na wanajeshi wa Marekani walio fika katika hospitali hiyo. Kusema kweli Sara ana uwezo mkubwa wa kuttumia mwili wake katika kufanya mashambulizi ya silaha na hata mapigano ya kawaida. “Unaweza kumpigia?” “Hapana siwezi kumpigia na wala hawezi kupokea simu kwani simu yake alisha iangusha mbali na hapo hospitalini” “Mtoto bado anaye?” “Ndio anaye?” Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama dada wa watu jinsi anavyo pambana.

“Ohoo Mungu wangu” Logate alizungumza mara baada sisi sote kuona malori mawili yalio jaa wanajeshi yakisimama nje ya hospitali hiyo. Wanajeshi wakaanza kushuka kwa kasi huku kila mmoja akiwa na silaha yake.

“Waelezee wezako ulio watuma juu ya hili linalo endelea” “Nmesha wasiliana nao na wanazidi kuongeza mwendo kasi boti yao kuweza kufika kisiwani hapo” “Hatuwezi kufanya mashambulizi yoyote ya kuweza kuwazuia hawa wanajeshi kuingia ndani ya hii hospitali?” “Hapana na tukisema tufanye mashambilizi ya juu, tujue tunaharibu eneo zima na tutawapoteza watu wetu muhimu” “Wamefika” Logate alizungumza huku akituonyesha wasichana walio agizwa na Ester wakisimamisha boti yao kisiwani, wote wakashuka na kukimbilia kwenye moja ya gari lililopo barabarani, wakaondoka kwa kasi walipo fika eneo la tukio, wala hawakuuliza maswali, wakanaza kushambulia.

“Carin hakikisheni mkuu anakuwa salama” Ester alizungumza huku akiwa ameishika vizuri earphone aliyo ivaa sikioni mwake. “Muweke loudspeaker” Ester akafanya hivyo, akaminya moja ya simu za mezani na tukaanza kusikia milio ya risasi jinsi inavyo endelea kurindima katika eneo hilo. Wanajeshi wa Marekani wakazidi kuongezeka jambo ambalo ni hatari sana kwa vijana Livna.

“Mkuu tumezidiwa tunaomba msaada, narudia tena tumezidiwa tunaomba msaada” Tuliisikia sauti ya Carin alizungumza jambo lililo tufanya sote kutazamana, kwani hata tukituma wasichana wengine ili kuweza kufika eneo hilo watachukua muda mrefu njiani na wanaweza kukuta kila kitu kimekwisha, jambo ambalo ni hatari sana kwetu.




“Tunatuma kikosi sasa hivi” Ester alizungumza kisha akazima simu hii na kuvua earphone aliyo ivaa sikioni mwake.

“Tunafanya nini kwa maana hata tukitoa timu ikaenda kwa njia ya angani kwa kutumia helicopter hatutoweza kufika” “Kuna mbinu yoyote ambayo tunaweza kumtishia Mmarekani?”

Kila mtu akaka kimya huku akifikiria ni kitu gani anaweza kunijibu.

“Mbinu ya mwisho iliyo baki ni ile ya kuzipambanisha Marekani na Korea Kusini” “Haito chelewa kutimia?” “Hapo ni kumuomba Mungu, pia tunaweza kufanya mashambulizi makubwa sana kwa Korea Kaskazini na tutamfanya apatwe na hasira ya kuhakikisha kwamba anajibu mashambulizi” “Kazi ianze mara moja” Ester na wezake wakaka kwenye viti kila mmoja akiwa na laptop yake, nikaendelea kutazama mapambano ya wasichana hawa na jeshi la Marekani.

“Mungu wangu risasi zimewaishia” Nilizungumza huku nikiwatazama wasichana hawa wakiwa wamejificha sehemu walipo huku kila mmoja akiwa hana silaha kabisa.

“Nina wazo pia?” Msicha mwengine ambaye bado sijamfahamu jina lake alizungumza na kutufanya sote kumgeukia.

“Ndio” “Kuna ndege ya kivita ambayo tunaweza kuitumia kwa kuwashambulia hao wanajeshi” “Ipo wapi hiyo ndege?” “Ipo chini kabisa ya hii meli, ndege hii mkuu alinionyesha na hiyo ndio silaha ya haraka kwa sisi kujilinda pale tunapo shindwa” “Nani anayeweza kuiendesha?” “Uzuri hiyo ndege haitumii rubani, unaweza kuiendesha kupitia hata hii laptop” Sote tukabaki tukimtazama msichana huyu huku tukiwa na mshangao.

“Itachukua muda gani kufika eneo la tukio?” “Dakika kumi hadi saba hivi”

“Anza kuiendesha sasa” Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama msicha huyu ambaye kwa muonekano wake ni mpole sana, ila kichwa chake kina akili na kinaweza kufanya mambo mengi sana makubwa.

“Ukiendesha hiyo ndege naomba video uitume kwenye video hii” Nilizungumza huku nikimuonyesha tv ya kwanza, akatingisha kichwa huku akiendelea kuminya minya batani zake kwa kasi kubwa sana. Tukaanza kuiona ndege hii ambayo sio kubwa sana ikianza kutoka chini kanisa ya meli hii kwa kasi ya ajabu ikaanza kuelekea angani, binti huyu mwenye utalamu wa hii kazi akazidi kuiendesha ndege hii ambayo kusema kweli hata mimi leo ndio mara yangu ya kwanza kuiona. Kwa jinsi binti huyu anavyo endesha ndege hiyo kwa kutumia laptop yake, hadi jasho usoni mwake likaanza kumwagika, ndani ya dakika sita ndege ikafika eneo la kisiwa, shambulizi la kustukiza kwa wanajeshi wa marekani likaanza, cha kumshukuru Mungu wasichana hao bado hawakuwa wamekamatwa, ikamuwia urahisi msichana huyu kushambulia kisawa sawa wanajeshi hawa, na kila aliye bahatika kupigwa risasi japo ya mguu, basi mguu wake uliweza kukatika kabisa, na inaonyesha ndege hii ina risasi kubwa na zenye uwezo wa kutoboa hata ukuta.

“Wasichana hawa walivyo ona wamepata msaada nao hawakuwa wanyonge, wakanza kuchukua bundiki za wanajeshi walio kufa na kuendelea kujibu mashambulizi kwa wanajeshi wanao jihahidi kushambili hiyo. Ester akavaa tena earphone sikioni mwake na kiiwasha simu iliyopo mezani. “Songeni mbele hamuwezi kuudhurika sawa” Ester alizungumza kwa msisitizo.

“Sawa mkuu” Wasichana hawa wakaanza kukimbilia ndani ya hospitali alipo Sara na wagonjwa.

“Wanasarenda masikini ya Mungu weee” Logate alizungumza huku akiwaona wanajeshi wa Marekani wanao kimbialia baharini ambapo ndipo walipo ziacha boti.

“Kumbe walikuja na meli?” Nilizungumza huku nikiitazama meli hiyo kubwa ya Wamarekani

“Ndio hiyo” “Tuishambulie?” “Ishambuli tu, usiiche” Msicha huyu akapelekea mashambulizi kwenye meli hiyo, na safari hii mashambulizi ni ya mabomu makubwa makubwa na kuifanya meli hiyo kuanza kuteketea kwa moto na mwishowe ikaanza kuzama ndani ya maji ya bahari.

“Kazi imekwisha” “Ngoja kwanza usiirudishe, hembu wasiliana na hao mabinti waulize wamewaona kina Livna” “Carin mume wapata wagonjwa?” “Ndio tumewapata na wapo salama kabisa na japa nao walikuwa wakisaidiana na dada Sara kuhakikisha wana wazuia wamarekani hawa kuingia ndani ya hospitali.” Maeno ya Carini yakazidi kunipa faraja moyoni mwangu.

“Mtoto wa K2 je?” “Pia yupo” “Basi hakikisheni muna rudi naye hapa” “Sawa mkuu” Tukajikuta tukishangulia kwa furaha, Logate pasipo kujali akajikuta akinikumbatia kwa nguvu, kitendo hichi kikanifanya nisisimke sana na kumuachia Logate haraka sana kwani sikuwahi kukumbatiana na mwanamke na damu yangu kunisisimka haraka kama hivi.

“Kazi nzuri, unaotwa nani?” “Ritha” “Oohoo hongera sana, kusema kweli ni kazi nzuri iliyo tukuka” “Shukrani, ila nitawaomba munilinde kwa mkuu kwani ndege hii hakuihitaji watu waifahamu na wala hakihitaji itumike pasipo idhini yake” “Usijali nitazungumza na Livna akija sawa Ritha” “Shukrani kaka Dany”

Carin na wezake wakafanikiwa kuwachukua Livna na wezake na kuanza safari ya kurudi huku tulipo huku wakiwa wameongozana na Sara pamoja mtoto wa K2. Sura za furaha zikazidi kutawala ndani ya chumba hichi. Livna na wezake walipo fika karibu na hii meli sote tukatoka ndani ya chumba hichi na kuelekea sehemu ambayo boti hiyo inasimama. Livna akashuka kwenye boti na kwaharaka akanfwata na kunikumbatia kwa nguvu huku machozi yakimwagika.

“Nimerudi” Livna alizungumza huku akizidi kunikumbatia kwa nguvu.

“Shiiii usilie”

Taratibu nikamuachia Livna kifuani mwangu na kumtazama usoni mwake. Tukaondoka eneo hili huku nikimtazama mtoto huyu wa K2 .

“Kama sijakufa leo, basi siwezi kufa siku nyingine kwa kushambuliwa kama leo” Livna alizungumza huku tukiingia kwenye ofisi ya ambayo tulikuwepo.

“Sara asante, sikutegemea kama unaweza kuwa na akili kaama hiyo uliyo itumi. Logate, Ester asanteni, ilifikia hatu ya sote tulikata tamaaa kwani tulisha shindwa kabisa na mashambulizi” Livna alizungumza kwa sauti ya upole na unyonge sana.

“Dany nina imani na wewe mchango wako umeonekena ninakushukuru sana kwa kweli” “Usijali tupo pamoja” “Tumekueletea uliye hitaji kumuona, sasa kazi ni kwako” Nikamtazama mtoto wa K2 ambaye anaonekana amelia sana hadi amechoka, taratibu nikamsogelea na kuchuchumaa mbele yake. “Unanikumbuka?” “Mmmmmm” Alijibu kwa kutingisha kichwa akimaanisha kwamba ananikumbuka.

“Ninaitwa nani?” “Dokta Lameck” Jina la dokta Lameck likawafanya watu wote kunishangaa.

“Sawa utazungumza na mama yako muda si mrefu” “Sawa, kwa nini umenichukua?” “Utajua baada ya muda ni kwa nini nimekuchukua. Kampeni chakula” “Sawa” Pacha mmoja akamchukua mtoto wa K2 na kutoka naye humu chumbani.

“Sara nina imani kwamba umemsikia Dany, sasa huyu ni Dany” “Kweli anafaa kuwa gaidi, nashukuru kukufahamu Dany” “Nashukuru nawe pia kwa hili ulilo nifanya, ila ni kwa nini unasema kwamba ninafaa kuwa gaidi?” “Muonekano wako japo ni mzuri ila kwa watu kama sisi tunaweza kuona ni kitu gani ambacho kipo ndani yako” “Samahani jamani kuna simu inaingia” Ester alizungumza huku akitutazama.

“Kutoka wapi?” “Hii kwa sasa inatokea Iraque na anaye piga ni Osama Bin Laden”

“Ngojeni kwanza mumesema Osama!!?” “Ndio rafiki yangu, Osama yupo hai na nimarafiki wazuri na Dany” Nikasimama mbele ya Tv ambayo ninawasilianana Osama, nikavaa eaphone aliyo nikabidhi Ester.

 ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

BLOG