Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

MKE WA RAISI (PRESIDENT‘S WIFE) SEHEMU YA 1/10

 


 MKE WA RAISI (PRESIDENT‘S WIFE)

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+ 

SEHEMU YA 1 KATI YA 10

 



Kwa jina ninaitwa Adrus Maldi, kwenye maisha yangu ndoto zangu zote zilikuwa ni kuwa askari, kama. ilivyo kuwa kwa baba yangu mzee Maldin. Baba yangu alifariki katika kifo cha kutatanisha nikiwa bado mtoto wa miaka kumi na mbili. Nilibaki na mama pekee, kwani sikuwa na kaka wala dada, au wadogo zangu, ikimaanisha nilizaliwa peke yangu kutoka tumboni mwa mama yangu Asma. Kila nikitazama mkusanyiko wa watu walio hudhuria halfa ya kufuzu mafunzo yetu ya ukomando au kwa jina jingine P.S.S(President Securty Service), moyo wangu unajisikia furaha sana kwani, ndoto zangu zimetimia japo si kwa asilimia mia moja ila kwa hapa nilipo fikia ni pakubwa sana kwenye maisha yangu. Tuliingia wengi sana katika chuo hichi cha ukomando hapa nchini Cuiba, tukitokea mataifa mbali mbali duniani, hadi leo tunamaliza tumebakia vijana mia moja, wengi wao zaidi ya mia tano waliweza kukumbwa na matatizo mbalimbali huku wengine wakifarika katikati ya mafunzo haya magumu, ambayo pasipo rehema za mwenyezi Mungu na kuwa makini nilazima ufe.

Macho yangu muda wote yakawa yakipita pita kwenye majukwaa yaliyo jaa ndugu na jamaa walio kuja katika shuhuli yetu hii ya leo, nikamuona mama akiwa ameketi kwenye moja ya jukwaa akiwa na furaha sana huku mkononi mwake ameshika kijibendera kidogo chanye rangi za bendera yetu ya nchi ya Tanzania. Furaha iliyo jaa kwenye uso wake, iliniashiria kwamba ni mzima wa afya japo tangu alipo kuja nchini hapa Cuiba, tuliwasiliana kwa simu tu. Nikiwa kama kioongozi wa gwaride, ilinibidi kukaa mbele, huku nikiwa na bundukia yangu yenye singe inayo ng’aa mbele. Baada ya amri mkuu wa jeshi la nchi hii kuingia ndani ya uwanja, sherehe zikaanza. Ngoma za bendi ya jeshi zikaanza kupigwa na wezetu walio kuwepo kwenye kitengo hicho huku nasi taratibu tukianza kutembea kwa mwendo wa kawaida kupita mbele ya amiri jeshi mkuu, pamoja na mkufunzi wa mafunzo ya chuo hichi na baadhi ya viongozi wa serikali ya hapa Cuiba walio kuja kujumuika nasi kwenye haya mahafali.

Tukazunguka mzunguko wa kwanza, kwa mwendo huo wa kawaidia, kisha milio ya ngoma ikabadilika na kuanza mwendo wa taratibu. Kama tulivyo pita awali ndivyo jinsi tulivyo pita kwa mara ya pili. Huku sote tukiwa makini kwa kile tunacho kifanya sikuu hii ambayo kila mmoja aliitamani kuifikia na pasipo kuwa na moyo wa uvumilivu nilazima ushindwe mapema. Tukapita mzunguko wa tatu, huku mwendo ukiwa umebadilika na kuwa mwendo wa kasi, ulio wafanya watu wote waliomo ndani ya uwanja huu wa chuo chetu cha ukomandoo wapige makofi kwa furaha iliyop pitiliza. Miguu yetu ilienda sawa sawa, huku ikipigiga chini kwa nguvu zote kuhakikisha kwamba tunawadhihirishia watu sisi ni makomandoo hodari tulio stahili kuwa katika siku hii ya leo.

Tukamalizia kutoa heshima kwa amiri jeshi mkuu, kilicho fwata ikawa ni kazi ya sisi kuonyesha michezo mbali mbali ya kijeshi, ikiwemo kama komando kupambana na watui ziaidi ya hamsini akiwa peke yake na kufanikiwa kuwashinda na kuwapiga vibaya. Tukazidi kuwaburudisha watu kwa kile tulicho fundishwa kukifanya katika siku nzima ya leo. Tukamaliza kufanya burudani hizo, na kupewa dakika tano kubadilisha nguo zetu, na kurudi uwanjani kwa ajili ya kutunukiwa medali, pamoja na vyeti vinavyo tuyoneyesha kwamba sisi ni makomandoo wa majeshi yetu.

“Adrus, leo umetupelekesha kama sio wewe”

Mmoja wa wezangu aliniambia tukiwa ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo.

“Weee acha hata mimi mwenyewe siamini kama tumeweza kufanya kile tulicho kifanya”

“Kweli kaka, yaani siku tukienda kwenye mission, ya mwisho MUNGU atusaidie tuweze kurudi salama”

“Kweli kaka”

Tukarudi uwanjani tukiwa tumevalia suti nyeusi huku kila mmoja akiwa katika hali ya furaha. Katika makomandoo mia moja, wanawake walio salia ni wawili tu, mmoja akitokea nchini Nigeria huku mwengine akitokea nchini Russia. Wengine wasichana tulisha wazika na wengine walipata vilema vya maisha kutokana na hatari ya mazoezi yote tuliyo yafanya.

“Haikuwa kazi ndogo wala rahisi kwetu kuweza kufikia hapa. Tumepitiwa na mambo mengi yaliyo tufanya tuweze kuingia katika matatizo mbali mbali”

Nilizungumza kama kiongozi wa wahitimu wezangu kupitia kipaza sauti, uwanja mzima ulikaa kimya watu wote wakinisikiliza kwa kile kitu nilicho kwenda kukizungumza mbele ya umati huu.

“Tuliwapoteza wezetu wengi, wakike na wakiume. Ila imani yetu ni kwamba wanaendelea kuwa nasi katika kila jambo ambalo tunalifanya katika maisha yetu ya hapa duniani. Mungu azilaze pema roho za wapendwa wetu amina”

Wezangu tisini na tisa wakasimama kwenye viti vyao, sote tukaweka mikono yetu kwenye vifua na kuanza kuimba wimbo maalumu tulio utunga kwa ajili ya kuwaombea wezetu tulio kuwa nao, ila kwa sasa wametutoka duniani. Baada ya kumaliza kuuimba wimbo huo, nikapiga saluti mbele ya amirijeshi mkuu. Kwa mwendo wa hatala nikarudi kwenye kiti changu na kukaa chini kuacha mambo mengine kuendelea. Baada ya risala ya amiri jeshi mkuu, juu ya kututaka tuwe watendaji wazuri kwenye kazi zetu, tukaanza kukabidhiwa medali pomoja na vyeti vyetu, ambavyo tulikuwa tumevisubiria kwa hamu kubwa sana. Tukaanza kuitwa kwa kufwatisha alfa beti za majina yetu. Baada ya zoezi hilo tukawa huru kwa kufanya sherea na wanandugu walio kuja kututembelea

“Ohhhh Hongera sana mwanangu”

Mama alizungumza huku akinikumbatia kwa furaha sana

“Asante mama, nimefanikisha mama yangu”

“Kweli mwanangu ndoto huwa kweli Mungu ni mkubwa”

“Amen. Vipi Tanzania wanaendeleaje?”

“Huko ni kwema tuu, ndio watu wanajiandaa andaa na uchaguzi wa mwaka huu”

“Ahaa”

Mama aliniletea zawaidi za kunipongeza, ikiwemo maua na makadi yaliyo andikwa ujumbe mzuri wa kunipongeza. Kusema kweli nifuraha kubwa sana kwenye maisha yangu. Tukapiga picha kadhaa na mama yangu, pamoja na wezangu baadhi walio pita karibu yetu ikiwa kama ukumbusho wa tukio hili, ambalo si rahisi kwa mtu kuweza kulisahau akilini mwake kwenye maisha yake yote.

“Natamani baba yako angekuwepo, ninaamini angefurahi sana kuona dume lake limekuwa komandoo”

“Hahaaa kweli mama, ninaona hata huko alipo pumzika wakati huu, ninaamini anafurahia kwa kile kilicho jitokeza katika maisha yangu”

“Ila mwanangu kuwa makini, nisinge penda kukupoteza kama nilivyo mpoteza baba yako kipenzi changu”

“Mama hadi kuwa komandoo, ina maana nipo makini sana. Hata katika kale kajirisala kangu niliko kasoma, unaweza kuona jinsi nilivyo kuwa makini kutokana kuna wezetu wengi tu wamepoteza maisha yao”

“Ni kweli mwanangu, ila kuna jambo moja tu napenda kukuambia. Zingatia sana sheria, usiwe muonevu kisa wewe ni komando, mtendee kila mtu jema, awe mkubwa au mdogo kwani swawabu zako zitaandikwa mbinguni kwa mwenyezi Mungu”

“Sawa mama nimekuelewa”

“Pia hakikisha unatafuta mtoto mapema”

“Mamaa”

“Haaa miaka ishirini na nne sasa, inabidi uniletee kamjukuu ka kucheza nacho. Hivi unadhani kwa kazi yako hiyo ilivyo kuwa nguma. Nitakuwa na muda wa kuonana na wewe mara kwa mara?”

“Sawa mama nitalifanya hilo”

“Lini?”

“Mom, inahitaji muda kidogo”

“Adrus weee haya”

Mama alizungumza kiutani na kutufanya sote tutabasamu kwa furaha, nikamtembeza tembeza kwenye baadhi ya maeneo ya chuo chetu. Hadi inafika mida ya jioni, nikamrudisha kwenye hoteli aliyo fikizikia kwa ajili ya kurudi kesho yake nchini Tanzania.

“Adrus ninakupenda sana mwanangu, ninakuombea kwa mwenyezi Mungu akupe rehema zake uweze kufanikiwa kwa kila kitu unacho kifanya”

“Amen mama yangu hata mimi pia ninakupenda sana, bila ya wewe na baba kunileta duniani na kunilea katika mazingira na maadili mema nina imani hata leo nisingeweza kuwa hapa.”

“Tena nilitaka kusahau, nimekuja na picha ya utotoni mwako, tuliyo piga tukiwa wote watau”

Mama akatoa picha iliyo onyesha sura za zetu, akiwemo na baba yangu.

“Itunze hii mwanangu, kama ukumbosho wa kumbukumbu yako kwa baba yako, nakukumbushia tena mwanangu kuwa kama baba yako, alipenda amani, haki na kumsaidia kwa kila aliye hitaji kupata msaada wake”

“Sawa mama nitalifanya hilo”

“Kwa hiyo unarudi lini Tanzania”

“Mmm kuna miezi mitatu mbeleni, baada ya hapo tunarudi majumbani mwetu”

“Sawa nakutakia maisha mema mwanangu”

“Nawe pia mama”

Nikaagagana na mama, nikaondoka eneo la hoteli na kurudi zangu chuoni ambapo siku ya leo kumeandaliwa sherehe kubwa usiku. Kila mmoja mwenye kipaji chake alipewa nafasi ya kuonyesha uwezo wa kipaji chake. Huku uongozi wa chuo ukitupa zawadi moja kubwa ya kutuletea wasichana wazuri kutoka katika kambi ya jeshi la nchi hii, kuja kujumuika nasi, kwa maana idadi ya wasichana chuoni kwetu haifiki hata ishirini.

“Adrus cheki watoto walivyo fiti, yaani wanang’araa mbaya”

Rafiki yangu Aron alizungumza huku akinoinyesha dada mmoja aliye panda hewani, akiwa na figa nene, huku nywele zake zikiwa zimelala vizuri na amezifunga kwa nyuma.

“Ebwanaa watoto hao”

“Ndio hivyo mwanangu, hapa nilipo nina ugwadu wa kama miaka miwili ”

“Hahaaa kuwa makini na kibuti usije ukakichezea”

“Ahaa wapi, asikudanganye mtu, watoto wenyewe wanaonekana wana shobo”

Aron ni mmoja ya rafiki zangu nilio toka nao nchini Tanzania, huku rafiki zetu wengine watano tulio kuja nao kutoka nchini Tanzania, walipoteza maisha kwa njia tofauti tofuti sana.

“Haya mwaya kazi ni kwako”

Aron akaondoka na kuniacha nikiwa ninamtazama jinsi anavyo tembea kwa mwendo wa madoido kana kwamba si komandoo, ila uzuri ninao upendea kutoka kwa Aron ni jinsi alivyo makini katika swala zima la utendaji wake wa kazi na siku hata moja hakubali kushindwa kwa kitu chochote anacho hisi anaweza kukimudu. Nikaendelea kunywa mvinyo wangu taratibu huku nikiwatazama watu wakionyesha vipaji vyao kwenye jukwaa, kabla ya mziki kufunguliwa na watu kujiachia hadi asubuhi.

“Katika shindano letu la kuimba leo, tunamleta kwenu Captain Adrus Maldin, na akishindwa kuimba atatupa dola elfu kumi hapa hapa”

Muendesha matukio(MC), alizungumza huku akinitazama na kunifanya nistuke kwani sikutegemea kwamba anaweza kunihusisha katika tukio hilo. Watu wakaanza kushangilia wakinitaka niende mbele. Aron kwa haraka akanifwata na kunishika mkono. Akanipeleka mbele ya jukwaa kisha yeye akanikimbia na kubaki mwenyewe.

“Una dola elfu kumi ya kuitoa au unaweza kutuimbia?”

“Sina ngoja niimbe”

Nikakabidhiwa kipaza sauti(Maiki). Nikachukua moja ya gita, kisha nikasimama katikati ya jukwaa.

“Munataka kusikia wimbo gani?”

“Wowote”

Walijibu kwa nguvu huku wengine wakisema wanahitaji wimbo wa wasanii wanao wahitaji wao.

“Ok basi nitaimba wimbo Adele uitwao Hello”

Nilizungumza huku nikizivuta vuta nyuzi za gitaa hili la umeeme, lenye kutoa sauti kubwa ya kila mtu kuweza kuisikia kwa umakini.

(Hello, it's me

I was wondering if after all these years you'd like to meet

To go over everything

They say that time's supposed to heal ya

But I ain't done much healing


Hello, can you hear me?

I'm in California dreaming about who we used to be

When we were younger and free

I've forgotten how it felt before the world fell at our feet


There's such a difference between us

And a million miles


Hello from the other side

I must have called a thousand times

To tell you I'm sorry for everything that I've done

But when I call you never seem to be home

Hello from the outside

At least I can say that I've tried

To tell you I'm sorry for breaking your heart

But it don't matter. It clearly doesn't tear you apart anymore


Hello, how are you?

It's so typical of me to talk about myself. I'm sorry

I hope that you're well

Did you ever make it out of that town where nothing ever happened?


And it's no secret that the both of us

Are running out of time


So hello from the other side (other side)

I must have called a thousand times (thousand times)

To tell you I'm sorry for everything that I've done

But when I call you never seem to be home

Hello from the outside (outside)

At least I can say that I've tried (I've tried)

To tell you I'm sorry for breaking your heart

But it don't matter. It clearly doesn't tear you apart anymore


[4x:]

(Highs, highs, highs, highs,

Lows, lows, lows, lows)

Anymore

Hello from the other side (other side)

I must have called a thousand times (thousand times)

To tell you I'm sorry for everything that I've done

But when I call you never seem to be home

Hello from the outside (outside)

At least I can say that I've tried (I've tried)

To tell you I'm sorry for breaking your heart

But it don't matter. It clearly doesn't tear you apart anymore)

Nikiwa nina malizia kuuimba wimbo huo ulio vuta hisia za watu wote ukumbini walio kaa kimya kunitazama na kunisikiliza kwa umakini. Macho yangu yakaangukia kwa dada mmoja aliye nivutia sana baada ya kumuona akiwa katikati ya wezake walio kaa kwenye meza iliyo jaa vinjwaji. Dada huyo ambaye macho yetu yaligongana akanyanyuka kwenye kiti alicho kalia na kuanza kapiga makofi, watu wote ukumbini nao wakapiga makofi na wengine wakishangilia kwa shagwe. Kila mmoja hakuamini kwamba ninaweza kuimba kwa uwezo mkubw sana na sauti nzuri ya kuvuti, kwa maana hapakuwa na mtu aliye weza kugundua kwamba mimi nina kipaji cha uimbaji. Nikashuka kwenye jukwaa na kila mtu akawa ananipongeza kwa uwezo wangu mzuri wa kuimba, nikarudi kukaa kwenye kiti nilicho kuwa nimekaa, huku macho yangu kwa wakati wote nikimtazama tazama msichana ambaye nilikuwa ninatazamana naye nikiwa jukwaani.

Nikamuona msichana huyo akinyanyuka akieelekea kwenye moja ya kaunta za vinywaji zilizomo ndani ya huu ukumbi, taratibu nikachukua chupa yangu ya mvinyo na kuanza kupiga hatua kwenda aliopo simama.

“Mambo”

Nilianza kumsalimia, akageuka na kunitazama

“Safi tuu za kwako”

“Salama, ninaitwa Adrus wewe je?”

“Sporah”

“Ahaa, unajina zuri. Sijui niaweza kupata muda wa kuzungumza na wewe japo kidogo”

“Mmmm kidogo nipo na rafiki zangu, ila ngoja niwapelekee vinywaji vyao kisha nitakuja kuzungumza na wewe”

“Sawa mimi nipo kwenye kaunta ile pale”

“Ahaaa sawa”

Nikarudi kwenye kaunta niliyo kuwa mara ya kwanza, moyo wangu ukawa umejawa na furaha sana kwani kila nilipo mtazama binti huyu mwili wangu ulisisimka sana. Nikaendelea kushusha mvinyo taratibu, nikamshuhudia binti yule akiwaaga wezake na kuja katika sehemu nilipo mimi, akiwa ameshika kinywaji chake mkononi. Nikamuwekea kiti kilicho kuwa pembeni na akakaa huku akinitazam usoni mwangu akiachia tabasamu pana.

“Unamejitahidi kuimba, una sauti nzuri”

“Asante sana, ila na wewe umependeza sana”

“Asante”

Nikabaki nikimtazama Spora jinsi alivyo barikiwa macho makubwa kiasi yaliyo pambwa na kope ndefu kiasi, huku nyusi zake zikiwa nyingi kiasi na nyeusi tii. Midomo yake midogo na minene kiasi aliyo ipaka rangi nyekundu, ikazidi kunipandisha hisia za kimapenzi. Kifua chake kilicho jazia chuchu nene kiasi, amabazo nimeweza kushuhudia mstari ulio zigawanya chuchu hizo kwa kupitia kanguo kake alicho kavaa juu, chenye kola ya duara.

“Hei…mbona upo kimya?”

Spora alinistua mara baada ya kuniona nikiwa ninamshangaa kwa muda mrefu. Sauti yake ilizidi kuniua kabisa kihisia, kwani ilibarikiwa kuwa nyembamba na yakubembeleza, unaweza kusema kwamba si mwanajeshi.

“Eeheee!!!”

Nilibaki nikiwa nimebabaika nisijua ni nini niweze kumjibu Spora aliye kaa mbele yangu. Spora akauleta mkono wake wa kulia na kuukutanisha na mkono wangu wa kulia, hapa ndipo hali ya msisimko ilivyo zidi kuongezeka hadi sehemu zangu za siri nikaanza kujihisi ugumu fulani wa mpingo wangu ulio taka kusimama kidedea.

“Adrus vipi mbona hivyo”

“Haa….haaa kun..a”

“Basi ngoja mimi niondoke”

“Ehee usiondoke”

“Sasa nimekuja kuyasikiliza hayo mazungumzo, ninaona upo kumya”

“Nataka nikakuonyeshe kitu nje”

Nikamshika Spora mkoo na kutoka naye nje ya ukumbi, tukaelekea hadi kwenye moja ya mti mkubwa uliopo kwenye uwanja wetu wa mazoezi, tukaka chini na kuitazama bahari iliyopo mbele yetu, japo ipo mbali kidogo na tulipo sisi

“Ukitazama juu angani unaona nini?”

“Nyota na mwezi”

“Unazioona zile nyota tau juu angni?”

“Ndio”

“Basi baba yangu alisha wahi kuniambia kwamba. Nyota zile zinaashiria familia yaani, ile iliyo tangulia ni baba, na ile iliyo fwatia nyuma ni mama na ile ya katikati ni mtoto”

Spora akatabasamu na kunifanya niweze kuuona uzuri wake vizuri, Spora akanitazama kwa macho yenye kuhitaji kitu fulani, kwa haraka nikausogeza mdomo wangu karibu na ulipo mdomo wake, kabla mdomo wangu haujakutana na mdomo wangu, akaukwepesha mdomo wake akishiria, haitaji nimbusu mdomoni mwake.



“Adrus hatuwezi kulifanya hilo jambo kwa muda huu”

Spora alizungumza kwa sauti ya chini, huku akinijiweka vizuri nguo yake.

“Kwa nini?”

”Nina mchumba wangu, ninampenda sana naye ananipenda sana. Siwezi kumsaliti katika hili”

Spora alizungumza kwa kujikaza sana, mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio, huku nikihisi hali fulani ya maumivu ikikatiza katika ya moyo wangu. Katika miasha yangu sikuwahi kuwa na mwanamke wa aina yoyote na wala sikuwahi kushiriki swala lolote kuhusiana na mapenzi, hii ni kutokana na muda wangu mwingi niliutumia katika masomo ili malengo yangu haya niliyo kuwa nimejiwekea kuweza kuyatimiza. Haliya kumpenda Spora ilinikumba gafla huku nikiamini kwamba nitampata. Ila kwa jibu alilo nipa, limeweza kunikatisha matumaini ya kuwa naye, huku yakinipa maumivu makali moyoni mwangu.

“Adrus, natambua kwamba una hisia fulani juu yangu, ila ni vyema kuweza kuzungumza mapema kwamba ninaye mtu ninaye mpenda. Kuliko ningekukubali alafu yangetokea matatizo hapo mbeleni.”

“Isitoshe mtu huyo anacheo kikubwa kuliko wewe katika hichi chuo unacho kisoma”

“Ni nani huyo?”

Spora akaka kimya huku akinitazama machoni mwangu. Akashusha pumzi nyingi na kunijibu nililo muuliza.

“Ni mkufunzi wenu wa mafunzo bwana Dismas Santos”

Nikajikuta nikistuka sana, kwani bwana Dismas Santos ni mtu mzima mwenye umri si chini ya hamsini na tano. Mbaya zaidi ni moja ya waalimu walio tokea kunichukia kutokana na mimi kupenda kutetea haki za wezangu kwa kipindi chote tukiwa mafunzoni. Siku nyingine ilinilazimu kuwasaidia wezangu azabu, wanazo pewa na mkufunzi huyo ambaye karibia asilimia tisini ya wahitimu, tunamchukia sana kwa vitendo vyake vya unyayasaji na roho mbaya hususani kwa wanaume isitoshe yeye ndio msababishaji wa wanachuo wengi kufariki kwa ajali nyingi ikiwemo kulipuliwa na mabomu ya kutega na wengine kuanguka kwenye makarongo makubwa pale tulipokuwa tunapita kwenye kamba zilizo fungwa juu ya mlima mmoja kwenda mlima mwengine na chini ni mbali sana na endapo mtu anaanguka basi biashara yake ya kuishi duniani inakwisha kabisa.

“Mbona umestuka?”

“Hapana, kawaida”

“Sawa ngoja mimi niende ndani kwa maana akitukuta hapa inaweza kuwa matatizo”

“Sawa”

Spora akanyanyuka na kuondoka, nikabaki peke yangu nikiendelea kutazama, nyota angani. Hamu ya kuendelea kusherekea ukumbini ikaniishia kabisa, moja kwa moja nikanyanyuka nikaelekea chumbani kwetu ambapo, tunaishi mimi na Aron. Nikafungua mlango pasipo kubisha hodi, nikamkuta Aron akiwa anafanya tendo la ndoa na msichaa aliye kuwa amenionyesha kipindi walipo kuwa wanaingia wasichana wale ukumbini.

“Samahani”

Nikafunga mlango na kutoka nje, nikawaacha waendeleaa na mambo yao. Ili kupoteza poteza muda nikaamu kurudi ukumbini. Kabla sijafika ukumbini nikamuona Spora akiwa ameongozana na Sir Dismas Santos kwenye moja ya ofisi ya mzee huyo. Nikaanza kuwanyatia pasipo wao kujua, wakaingia kwenye ofisi hiyo na kufunga mlango, nikazunguka upande wa pili wa ofisi kwenye dirisha, kwa kupitia uwazi mdogo wa dirisha nikamuona bwana Dismas Santos akimshuhulikia Spora kisawa sawa. Kusema ukweli mayo wangu ulizidi kujisikia vibaya, na kuanza kuzilaumu hisia zangu kwa nini, zimependa kwa mwanamke ambaye tayari amesha pendwa tena na mtu ambaye ni adui kwa upande wangu. Jambo lililo zidi kuniumiza moyo wangu, ni pale nilipo muona Sir Dismas Santos akimlazimisha Spora, kufanya naye mapenzi kinyume na maumbile. Japo kwa mara ya kwanza Spora aliweza kukataa, ila akazidiwa kwa utamu wa maneno na kujikuta akikubali kufanya kitendo hicho.

“Shitiii”

Nilizungumza kwa sauti ya juu hadi Sir Dismas Santos akageuka na kutazama dirishani. Nikakimbia na kuelekea kwenye chumba chetu kilipo, nikausukuma mlango pasipo kugonga hodi nikamkuta Aron akiwa na msiichana yuleyule niliye muacha naye humo chumbani, wakiendelea kufanya mapenzi huku wakionekana kufurahia mechi hiyo wanayo ipiga kwa juhudi zote huku jasho likiwamwagika wote wawili.

“Sorry”

Nilijisemea kwa aibu huku nikurudi kinyuma nyuma na kuufunga mlango wa chumba chetu na kuwaacha waendelee na mambo yao. Sikuwa na jinsi zaidi ya kurudi ukumbini, kuendelea na kutazama wezangu wakicheza mziki huku moyoni nikizidi kuumia kwa kumkosa Spora.

***

Kama kawaida asubuhi na mapema tukaendelea na mazoezi ya viungo ikiwemo kukimbia mchaka machaka, tukamaliza mazoezi hayo na sote tukaingia kwenye ukumbi wa jeshi kama ari ilivyo toka kwa mkuu wetu wa chuo. Tukasimama kwenye mistari iliyo nyooka, akasimama mbele yatu na kuanza kuzungumza.

“Tusikilizane kwa pamoja. Tumepata kazi ambayo inatuchukua siku tisini kuweza kuimaliza.”

“Kazi hiii ni nje ya nchi hii, na inatupasa kwenda nchini Pakistani na Lebanon kuweza kuzuia vikundi vya kigaidi vinavyo endelea kutikisa katika nchi hizo”

Kusikia majina ya nchi hizo mbili nikajikuta nikishusha pumzi nyingi, kwani huko tuendapo uhakika wa kurudi salama ni mdogo kupindukia kwani ni mara nyingi huwa tunafwatilia baadhi ya taarifa za habari wanatueleza jinsi majeshi ya umoja wa mataifa yanavyo teketezwa katika na vikundi hivyo vya kigaidi, ikiwemo kundi tishio la Al Qaida ambalo linaongozwa na kiongozi wake mpya bwana Ayman Al-Zawahir, aliye ingia madarakani mwaka 2011 baada ya kiongozi wao muanzilishi Osama bin Laden kuuawa na majeshi ya Marekani mnamo mwaka 2011.

“Mutajiunda kwenye makundi mawili ya watu hamsini hamsini, moja litakwenda Lebano jengine litakwenda Pakistan”

“Hiyo kazi itafanywa na mwalimu wenu wamafunzo Sir Dismas Santos. Kumbukeni munakwenda kuongeza nguvu kwenye majeshi yaliyopo huko, ninawahitaji wote murudi mukiwa hai na sihitaji hata mmoja kati yenu kuweza kupoteza maisha”

Mkuu wa chuoa alizungumza na kumpisha Sir Dismas Santos kufanya kazi aliyo kabiziwa kuifanya, akanza kutugawa kwenye makundi ya watu hamsini hamsini kwa bahati nzuri nikafanikiwa kuwa kundi A pamoja na rafiki yangu Aron, ambaye ni Mtazania mwenzangu. Kila kundi likaombwa kuweza kumchagua kiongozi wao mkuu na msaidizi, katika kundi langu hawakuwa na mtu mwengine wa kumchagua zaidi yangu. Tukapewa muda wa kuweza kuandaa vifaa vya kwenda navyo huko tunapo kwenda huku kundi letu likichaguliwa kwenda nchini Pakistan.

“Hivi Aron unajua kwamba yule mzee ni muovu sana?”

“Mzee gani?”

“HuyoDead Men Dismas”

Nilitanguliza jina la utani ambalo tumezoea kumita Sir Disma, linalo maanisha mtu mfu.

“Amefanyaje?”

“Jana, nimemkuta akimla kiboga yule demu Sporah”

“Spora…..ndio yupi huyo”

“Kati ya wale mademu walio kuja jana, si kuna demu fulani hivi, kama uliniona nimekaa naye”

“Mmmm hapana mimi niliwahi kuondoka na yule demu, eheee ikawaj……”

Sote tukajikuta kukiaa kinya na kumtazama Sir Dismas, akija katika sehemu yetu tulipo, simama tukiendelea kusafisha safisha bunduki zetu kwa ajili ya safari inayo anza usiku.

“Nifwate ofisini kwangu”

Sir Dismas Santos alizungumza kwa sauti nzito, huku akionekana kuwa kama mtu aliye kasirishwa na jambo fulani. Akatangulia na mimi nikamfwata nyuma, tukafika ofisini kwake moja kwa moja akaenda kukaa kwenye kiti chake na mimi nikasimama huku mikono yangu nikiwa nimeiweka nyuma kama kanuni ya jeshi inavyo agiza mtu unapokuwa unazungumza na mkuu wako, ni lazima kusimama mguu sawa huku mikono yako ikiwa nyuma au umeibananisha kwenye mbavu.

“Jana ulifwata nini dirishani kwangu?”

Swali la Sir Dismas Sanstos lilinistua ila nikajikaza kuweza kuupoteza mstuko huo ambao ili asiweze kugundua haraka

“Sio mimi, Sir”

Nilijibu kwa sauti ya juu na ya ukakamavu

“Unataka kunifanya mimi ni mtoto mdogo si ndio?”

“Hapana, Sir”

“Sauti yaki Adrus ninaijua, hata nikiwa nimelala ninaitambua kwa nini unabisa?”

Sir Dismas alizungumza kwa hasira kali huku akinitazama na macho yake makubwa ambayo ni mekundu muda wote hii ni kutokana na pombe kali anazo kunywa pamoja na bangi anazo vuta kisirisiri ila ni baadhi ya wahitimu ndio tunafahamu uvutaji wake wa bangi.

“Sio mimi Sir”

“Sasa nitahakikisha haurudi hapa, utakwenda kufia huko huko Pakistani, pumbavu sana. Toka ofisini kwangu kabla sijakupasua ubongo wako”

“Asante, Sir”

Nikapiga sauluti kama heshima na kugeuka nyuma na kuondoka, maneno ya Sir Santos yakaanza kuniumiza kichwa changu na kujikuta nikipoteza furaha yangu yote.

“Vipi mbona umekua mnyonge gafla?”

Aron aliniuliza mara baada ya kurudi sehemu nilipo muacha

“Jamaa ameniambia lazima nife huko Pakistani”

“Mmmm, ila unajua nini Adrus, wewe potezea hawezi kufanya kitu kama hicho”

“Ahaa simuamini huyu dead men, ni mtu ambaye maneno yake hayapindi. Si una ona amewaambia watu wengi watakufa, na wamekufa kweli”

“Kufa kupo kama kazi yetu inavyo sema. Ila kama kuna mpango anataka kuufanya ili ufe ni lazima kuuzuia”

“Mbaya amegundua sauti yangu na anadai hata akiwa amelala akiisikia ni lazima aijue?”

“Hahaa anakutisha tu, ila si umekana?”

“Ndio”

“Kabla hatujaondoka nitakuwa nimefanya upelelezi wa kujua ni kitu gani ambacho anahitaji kukifanya juu yako”

Aron alinifariji, tukaendelea kuchagua bunduki na risasi ambazo zitatutosha huko tunapo elekea, kila mtu akaviweka vifaa vyake kwenye mabagi makubwa ya mgongoni huku tukisubiria muda wa saa nne usiku kufika tuweze kuondoka.

Masaa yalikwenda kasi sana, kwani saa nne usiku ikawadia, na kutukuta tukiwa kwenye uwanja wa ndege wa chuo chetu, tukaagana na wezetu ambao wanaelekea Lebanon, kisha kila watu wakaingia kwenye ndege yao na safari ikaanza. Katikati ya safari nikasimama katikati ya nafasi iliyo tengenisha siti za kulia na kushoto za ndege hii ya kivita tuliyo panda.

“Habari, sote tunatambua ni wapi tunapo elekea, si sehemu salama ila kwa umoja na ushirikiano wetu tunaimani tutarudi tukiwa wazima na hakuna mmoja wetu ambaye anaweza kupotea kwenye mikono ya hao magaidi.”

“Tutafikia kwenye uwanja wa Shamsi Airfield, ambapo tutapokelewa na mkuu wa kikosi cha anga cha jeshi la Marekani pamoja na mkuu wa kambi hiyo ya jeshi”

“Kikibwa ni upendo, umoja, ushirikiano, na kulindana. Nilinde mimi nami nitakulinda wewe”

Maneno yangu, yaliwapa moyo wa matumaini wezangu na kuwafanya washangilie kwa furaha kwani kabla ya kuzungumza hayo maneno ukimya ulitawala ndani ya ndege na kila mmoja alikuwa kimya akiwazia hatima ya maisha yake itakuwaje, japo mimi ni mdogo kiumri kupita wahitimu wote, ila wananipenda sana na kuniheshimu. Nikarudi kukaa kwenye siti yangu ambayo pembeni yake yupo Aron.

Ndani ya masaa, nane, rubani akatutangazia kwamba tufunge mikanda kwani tunakaribia kutua kwenye kiwanja tunacho paswa kutua. Kila mmoja akafanya hivyo, ndani ya dakika kadhaa ndege ukiaanza kushuka chini taratibu, kwa kupitia kioo cha pembeni yangu nikashuhudia magari mengi ya kijeshi yakiwa katika kambi hii inayo onekana kuwa ni kubwa sana na ina vifaa vingi vya kijeshi. Ndege ikatua kwenye ardhi, ilipo simama sote tukashuka huku mimi kama kiongozi nikiwa nimetangulia mbele, begi langu kubwa likiwa nimelivaa mgongoni mwangu.

Tukawakuta viongozi wa jeshi pamoja na wanajeshi wengien wakitusubiria, wakatupokea, huku nikiwa na kazi ya kumtambulisha mmoja baada ya mwengine, nao pia wakafanya kazi ya kujitambulisha kwetu.

Tukapelekwa kwenye moja ya holi ambalo linavitanda vingi, tukaambiwa hapo ndipo sehemu ambayo tutapumzikia, na kesho asubuhi tutaingia kazini rasmi.

Kila mmoja akaendelea kufanya anacho jisikia ili mradi kuweza kujiandaa kwa ajili ya kazi iliyopo kesho asubuhi. Sikutaka kujisumbua sana zaidi ya kulala kwenye kitanda changu, huku tumbo langu likiwa limeshiba kutokana na chakula nilicho kula ndani ya ndege.

***

Alfajiri na mapema tukaamka, kila mmoja akajiandaa. Mwenyeji wetu akaja kutuchukua nakutupeleka kwenye uwanja mkubwa ndege ambapo tukakuta Helcoptar si chini ya ishirini zikitusubiria, huku kukiwa na wanajeshi wengine wa Marekani pamoja na Pakistani. Sote tukaingia kwenye helcoptar hizi, tukichanganyikana na wenyeji wetu, na taratibu zikaicha ardhi. Nilipo kaa mimi pembeni yangu kuna msichana mrembo, aliye changanyia kati ya mzungu na mufrika huku kwenye nguo yake ya jeshi aliyo ivaa kuna bendera ndogo ya marekani. Ukimya ukatawala ndani ya Helcoptar yetu, huku kila mmoja akiwa ameshika bunduki yake kwa umakini mkubwa, huku sote tukiwa tumevalia majaketi ya kuzuia risasi pamoja na makombati yanayo fanana, ila yetu kidogo yana utofauti wa chata kwenye mabega yetu ya kushoto yana bendera ya kijani na nyekundu na chini kuna maandhishi madogo ya P.S.S.

“Unatumia choclate?”

Binti huyo aliniuliza huku akiwa ametoa choclate mbili mfukoni mwake

“Hapana”

Akairudisha moja aliyo kua amekusudia kunipa mimi, kisha akaendelea kuila aliyo itoa, tukiwa katikati ya safari gafla tukasikia mlipuko mkubwa na mtingishiko mkali, jambo lililo ifanya helcoptar yetu kuyumba huku ikanza kuzunguka hewani ikionyesha kupoteza dira.



Kila mmoja akawa makini katika kushikila katika sehemu aliyo hisi kwamba anaweza kushika, tukachungulia kwakupitia kwenye kioo cha mlango, nikashuhudia moshi mwingi ukitokea nyuma ya Helcoptar yetu iliyo endelea kuzunguka, na rubani akawa na kazi ya kujitahidi kuhakikisha kwamba anaiokoa helcpotar yetu iliyo anza kwenda mrama.

Helcoptar yetu ikaanza kuelekea chini kwa kasi ya ajabu, kila mmoja akaanza kusali sala yake kwani nilipo tazama chini niliona miti mingi ikiwa kwenye eneo hilo. Helcoptar ikaanza kujipiga piga kwenye miti na kutufanya tuliopo ndani ya helcoptar kuanza kugongana gongana, wengine nikawasikia wakisali sala zao za mwisho kwani Helcoptar yetu ndio iliyo shambuliwa kwa bumu.

Tukajikuta tunaanguka chini pasipo hata mto mmoja kutoka ndani ya Helcoptar. Moshi mwingi mweusi ukaaza kutanda ndani ya helcoptar na kunifanya niaze kuhooa, kwakutumia miguu nikaanza kuugonga mlango hadi ukachavunjika na kunipa nafasi ya kutoka ndani ya helcoptar huku nikitambaa chini.

“Help me”(Nisaidie)

Nilisikia sauti ya msichana akiomba msaada ndani ya helcopter, nikasimama kutoka sehemu nilipo na kurudi kwenye helcoptar nikachangulia ndani na kumuona yule dada aliye kuwa amekaa pembeni yangu akiwa amebalaliwa na miili miwili ya wanajeshi wezetu wanao onekana kupoteza maisha kwa ajali hii mbaya tuliyo ipata. Nikajitahidi kuwasogeza wanajeshi walio mlalia na kumtoa nje nikarudi kuchunguza kama kuna mwengine anaye weza kuwa hai, haikuwa hivyo wote walipata majeha makubwa yaliyo wafanya kupoteza maisha. Moto ukaanza kuunguza baadhi ya maeneo kwenye helcoptar, ikanilazimu kuweza kuondoka kwenye helcoptar na kumnyanyua binti huyu ambaye hadi sasa hivi silifahamu jina lake anaitwa nani. Kitendo cha kutembea hatua chache mlipuko mkubwa wa Helcoptar ukaturusha na kuanguka kila mmoja upande wake.

Kwa bahati nzuri sikuweza kuumia kwani nilirusha kwenye majani mengi, kwa haraka nikanyanyu kumkimbilia msichana aliye onekana kujeruhiwa kwenye paja la mguu wa kushoto, nikakuta kipande cha chuma kikiwa kimechoma kwenye paja lake. Nikachukua kijiti kinene kilichopo pembeni, nikamuomba aweze kuking’ata ili nitakapo mtoa chuma hicho maumivu makali yasipelekee meno yake ng’ata ulimi wake.

Nikachukua mkanda wa begi nilio ukata na kumfunga kwenye paja lake kuzuia damu kuendelea kumwagika

“Unaweza kutembea?”

Nilimuuliza kwa lugha ya kingereza

“Mmm nitajaribu”

Nikaokota bunduki yangu, kisha mkono wa kulia nikaupitisha kiunoni mwake, huku mko wake wa kushoto akinishika kwenye bega langu. Tukaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu, huku tukitazama juu kama tunaweza kuweza kuona helcoptar ya wezetu ila hatukufanikiwa kuona chochote wala kusikia lolote

“Simama”

Msichana huyo aliniambia kwa sauti ndogo ya kuashiria kwamba kuna kitu anahisi kinatembea, tukajibanza kwenye mti kusikilizia milio hiyo ni yawatu wanao tembea au ni miguu ya watu. Gafla tukawaona kundi kubwa la watu walio valia vilemba pamoja nguo za jeshi wakija katika eneo tulilopo huku mikononi mwao wakia na bunduki

“Shit Al quaida”

Msichana huyo ambaye hadi sasa hivi hatujuani majina alizungumza huku akiichomoa bastola yake kiunoni. Nikaikoki bunduki yangu haraka na kupiga goti moja chini.

“Moja, mbili, tatu piga”

Msichana huyo alininiambia, hapakuwa na jinsi yoyote zaidi ya kuanza kuwashambulia wanajeshi hao wanao onekana kuja sehemu helcoptar ilipo angukia. Wanajeshi hao baadhi wakatawanyika na kujibanza kwenye miti kujibu mashambulizi yetu huku wengine tukiwa tumewaangusha chini kwa risasi zetu

“Jina lalo nani?”

“Adrus”

“Mimi ni Naomi”

Ilitubidi tutambulishane majina yetu kila tulipo kuwa tunajificha kwenye mti huu mkubwa kupokezana kusikilizia mashambulizi ya kundi hilo la kigaidi. Kusema kweli si kazi rahisi kushambuliana na watu wengi ambao hata idadi yao sikujua kwamba wapo wangapi kwani niliwaona wakija tu. Nikazidi kupiga risasi kwa uwezo wangu nilio barikiwa na Mungu

“Lete grenade”

Naomi akaniomba bomu lakurusha kwa mkono, nakalivua begi langu nikamuambia afungue zipu atayakuta mabomu hayo. Akafanya kama nilivyo muambia mimi nikawa na kazi moja ya kuendelea kuwashambulia, Naomi akaanza kurusha mabomu hayo sehemu walipo wanajeshi hao ambao sipati picha pindi watakapo tutia nguvuni ninahisi itakuwa ni kilio cha kusaga meno

Tukazidi kupambana na kadri muda ulivyo zidi kuwenda ndivyo jinsi tulivyo zidi kuwashinda nguvu hadi wakaanza kukimbia.

Ikatulazimu na sisi kuweza kuondka katika eneo hilo kwani tukiendelea kukaa inaweza kuwa tatizo jengine kwetu. Tukatembea kama dakika tano na kufanikiwa kufika kwenye kijiji kimoja amacho kina nyumba zilizo jengwa kwa mawe na kusakafiwa kwa chokaa, watu wa sehemu hiyo wengi wanaasili ya kiarabu ila wanaonekana ni masikini sana, kwani mavazi yao ina ya mabaibui na kanzu yamachakaa, niwachache sana walio valia vizuri. Wakaonekana kutushangaa, kwani kilicho tusinda ni lugha zatu kugongana, wao wanzaungumza kiarabu na sisi tunazungumza kingereza.

“Nyinyi ni kina nani?”

Mzee mmoja aliyejazia ndevu nyingi alizungumza huku akitufwata sehemu tuliyo zungukwa na wananchi hao

“Sisi ni wanajeshi wakulinda usalama, tumepata ajali na helcoptar yetu ndio mana tumejikuta hapa”

“Munatokea wap?”

“Kwenye jeshi ya Pakistani”

Mzee huyo akatutizama kwa macho makali, haswa macho yake akamtazama Naomi mwenye beji ndogo ya bendera ya Marekani

“Nifwateni”

Alizungumza na kuanza kutembea kuelekea kwenye nyumba yake, iliyo jengwa vizuri kidogo na anaonekana yeye ndio mkuu wa mji huu. Tukaingia ndani kwake na kushuka kwenye chumba kilicho jengwa chini ya ardhi, akatukaribusha kwa kutupa maji kwenye vikombe vya bati, kisha akamuita mke wake na kumuomba atuandalie chakula tule. Ukarimu wa mzee huyu ukatufanya tuanze kumuamini kidogo kwani, kila alilo tufanyia ni tofauuti snaa kama tungekutana na mwanajeshi wa kundi la Al-quida.

“Kwa jina ninaitwa Abdalah Salehe, nyinyi wezangu munaitwa nani?”

“Mimi naitwa Adrus”

“Mimi ni Naomi”

“Mbona niwadogo sana munaonekana, ila mumeingia kwenye vita ya dunia inayo washinda watu wengi”

“Hatujakuelewa ndugu”

Nilizungumza huku nikiwa ninamtazama mzee huyo

“Ina maana kwamba munapambana na kikundi cha Al-quida ambacho si rahisi kuweza kukikamata kirahisi ikitegemea kingozi wao mulimuu”

Mimi na Naomi tukajikuta tukikaa kimya kwani hatukuwa na utetezi wowote wakuzungumza

“Tuachane na hayo, ila tuliziona helcoptar zenu zikipita hapa majira ya asubuhi, sasa na uelekeao ambao mulikuwa munaelekea ni ule ambao kuna kambi ya kukundi hicho, na kina kila aina ya silaha mbaya hadi mabumu ya nyuklia, sasa hamkufanya uchunguzi kabla ya kwenda?”

Maswali ya Mzee Abdulah Salehe, yakatufanya tuzidi kupata vigugumizi”

“Adeus wewe ni muislam”

“Ndio”

“Ahaa, nilipo kuangalia tu, nilitambua kwamba wewe upo kwenye hiyo dini. Huko mulipo toka msituni ilikuwaje?”

Ikabidi nimsimulie Mzee Abdalah kila kitu kilicho tokea, hadi tukajitoa mikononi mwa watu hao

“Nilazima watafwata ulekeo wenu, na laiti kama watajua mupo hapa nilazima watakuja kukiangamiza kijiji hichi, watu hao hawana huruma hata kidogo”

“Inabidi mufanya kuondoka katika hichi kijiji la sivyo wananchi wangu wote watauliwa”

Mzee Abdulah aliendelea kusisitizia na kutufanya tuzidi kupata wasiwasi mwingi kwenye mioyo yetu.

“Nitakacho wasaidia ni kuwapa usafiri wa gari litakalo wafikisha hadi Karachi, huko munaweza kutafuta njia ya kujiokoa”

“Tutashukuru sana”

“Laiti ingekuwa si wewe kuwa dini moja na mimi, nisinge wasaidia kabisa. Dini yako imekusaidia bwana Adrus”

“Asante sana”

Ilinibidi kujinyenyekeza ili kuendelea kupata nafasi ya kuyaokoa maisha yangu mimi na Naomi ambaye ninatambua kwamba yeye ni mkristo japo wapo Manaomi ambao nao ni waislam. Chakula chetu kilicho andaliwa kikafungwa kwenye mfuko wa lailon, tukazunguka nyuma ya nyumba ya Mzee Abdulah na kukuta gari mbili aina ya picup. Akanipa funguo ya gari Toyota hardbod, ambayo bado ni mpya kabisa, nyuma ya bodi ya gari hilo kuna madungu mawili yamafuta ya petrol, akatupa na ramani ambayo ingetuwezesha kufika kwenye mji wa Karachi pasipo matatizo ya aina yoyote. Hatukuwa na muda wakupoteza zaidi ya kumshukuru Mzee Abdulah, tukaondoka na kushika njia ambayo mzee huyo alituonyesha tuweze kuondokea

Saa yangu ya mkononi inanionyesha ni saa kumi na mbili jioni, na bado safari yetu inachukua masaa mengi, sana hadi kufika kwenye mji huo. Njia nzima moyoni mwangu nikawa ninamshukuru Mzee huyo kwani pasipo yeye sijui hadi muda huu tungekuwa wapi.

Tukakatiza kwenye vijiji mbalimbali, milima na mabonde, Naomi alilala akaamka ila akanikuta nikiwa bado ninaendesha gari. Kila nilivyo zidi kwenda ndivyo nilivyo zidi kupata matumaini ya kuyaokoa maisha yatu, Kwani tuliweza kukutana na magari mengine ya watu binafsi kwenye barabara niliyokuwa ninakwenda kwa kufwata ramani niliyo iweka pambeni yangu

“Adrus haujachoka?”

Naomi aliniuliza huku akipiga miayo, saa ya mkononi ikawa inanionyesha ni saa tano usiku,

“Hapo mbele ramani inanionyesha kwamba kuna mji mkubwa itabidi tulale hapo”

“Sawa, ila mguu wangu sasa hivi unazidi kuvuta”

“Pole sana”

“Asante”

Kweli ndani ya dakika kumi na tano tukakuta mji mkubwa ulio changamka kwa wingi wa watu pamoja na maduka makubwa, nikasimamisha gari nje ya duka moja kubwa linalo onyesha linauza vinjwaji baridi, Kutokana mfukoni ninanoti mbili za dola mia mia, nikaona zitanisaidia. Kabla ya kushuka kwenye gari nikavua jaketi lakuzudia risasi pamoja na kombati la juu na kubakiwa na tisheti ya ndani pamoja na suruali

“Vipi mbona unavua nguo hizo?”

“Nahofia kama kuna maadui isiwe rahsi kunivamia”

“Ahaa kuwa makini”

“Poa nilinde”

Nikashuka kwenye garni huku bastola zungu tatu nikiwa nimezichomeka sehemu tofauti tofauti za mwili wangu, kuanzia kwenye kiuno kwenye mguu nilio vaa viatu virefu vya jeshi. Haikuwa nirahisi kwa mtu kuweza kuziona bastola zungu, nikaingia ndani ya duka huku nikiwa ninamtizama kwa kuiba kila aliye nitazama. Nikafika kwa muhudumu, hapakuwa na kinywaji kingine zaidi ya cocacola, ambavcho ndio nilikijua mimi, nikaagiza soda hizo zilizomo kwenye ijazo wa machupa makubwa kisha nikampa muhudumu dola mia

“Hapa hatutumii dola”

Alizungumza kwa lugha ya kingereza, taarifa iliyo kuwa ikionyeshwa kwenye tv ikanifanya nisimjibu muhudumu hoyo na kubaki nikiwa niitazama kwa umakini, Ilionyesha kwamba helcoptar zaidi ya kumi na nane za jeshi, zimeweza kushambuliwa na kikundi cha Al-quida, Wanajeshi wote walio kuwa kwenye helcoptar hizo inasemekana wamekufa. Nikasikia sauti ya muhudumu waduka akionekana kufurahia tukio hilo.

“Unachekelea nini?”

“Mimi siwapendi hao wanaharamu, wamarekani safi sana Al-quida Mungu awazidishie”

Kwa hasira nikachomoa bastola yangu na kumuelekezea muhudumu huyo wa duka, ila akaonekana kujiamini sana, nilipo geuka nikakuta watu si chini ya ishirini wakiwa wamenielekezea bunduki zao na wote ni wale ambao walikuwa wakinifwatilia tangu nilipokuwa niikiingia ndani ya duka hili


Sikutaka kufanya kosa lolote zaidi ya kuendelea kumnyooshea bunduki muhudumui wa duka hili, bastola yangu ambayo imeelekea kwenye paji la uso wake na laiti akijaribu kufanya mavyongo yoyote ninamfummua kichwa chake, hata wakiniua mimi ila nami nitakuwa nimemuondoa huyu anaye oenekana ndio kiongozi wako. Gafla nikasikia vilio vya maumivu vikitokea nyuma yangu, huku watu kadhaa walio nizunguka wakianguka chini na kutoa vishindo vizito. Risasi zilizo ingia ndani ya duka hili kimya kimya na kutua kwenye miili ya watu hawa, moja kwa moja nikajua zinatokea ndani ya gari na Naomi ndio msababishaji wa maafa haya ambayo yaliwachanganya sana watu walio nizunguka.

Wakiwa bado wanashangaa shangaa kujiuliza ni wapi risasi hizo zinapo tokea, ikawa ni nafasi yangu na mimi kufanya shambulizi kwa kutumia wepesi wa miguu yangu, huku nikirusha mateke niliyo yapeleka kwenye shingo za waarabu hawa, nilio wafanya kuanguka chini, huku wakitoa vilio vya maumivu. Nikajirusha hadi sehemu alipo muuza duka na kumtandika ngumi moja ya pua iliyo mfanya kuyumba hadi akajigonga kwenye friji lililopo pembeni. Nikamshika na kumnyanyua juu, nikampika kisukusuku cha kichwa na kumfanya kilemba alicho jifunga kichwani kuanguka chini.

Watu wote walio kuwa wamenizunguka, walilala chini huku damu nyingi zikiwa zimesambaa sakafuni na wote walisha iacha dunia na kuingia kwenye ulimwengu ambao hakuna binadamu aliye hai aliweza kuufika siku hata moja.

Nikamshika muhudumu wa duka hili alio kuwa akishangilia kuuawa kwa wezetu, kwa kumtazama nikahisi kuna kitu chochote atakuwa anakijua kuhusiana na kundi la Al-qaida. Nikamchomoa hadi nje na kumkuta Naomi akiwa nje ya gari huku bunduki yake aliyo ifunga kiwambo cha kuzuia sauti ikiwa mkononi mwake.

“Vipi unampelekea wapi huyo?”

“Kuna kitu anajua kuhusiana na Al-quida”

Naomi akafungua mlango wa gari katika siti aliyo kuwa amekaa, akatoa pingu na kunirushia, nikamfunga muhudumu huyu anaye endelea kuvujwa na damu za pua, nikampapasa kila kona ya mwili wake nilipo gundua kwamba hana kitu chochote, nikamsukumia siti ya nyuma ya gari na kumuamrisha akae kimya la sivyo nitampasua kwa kumtwanga risasi za kichwa.

“Naomi mlinde huyo”

Nikaingia ndani ya duka na kuchukua baadhi ya vinjwaji pamoja biskuti, kabla ya kutoka nikachukua bastola nne zilizo kuwa zinatumiwa na watu hawa walio kuwa wanahitaji kunidhuru. Nikatoka na kurudi kwenye gari, Naomi akatazama kila upande na kuingia ndani nami nikaingia. Nikawasha gari na kuondoka kwa kasi nje ya duka huku tukiendelea kufwata ramani tuliyo pewa ili kutuwezesha kuweza kufika Karachi, ambapo tungepewa msaada na ubalozi wa Marekani.

Ndani ya dakika kumi na tano tukiwa njiani, nikaona gari zipatazo sita zikija nyuma yetu kwa kasi, jambo lililo anza kunipa wasiwasi mkubwa kwani sikujua ni kina nani. Nikamuona muhudumu wa duka akitabasamu, hapo ndipo nikafahamu kwamba wanao tufwata wanaweza kuwa niwezao.

“Naomi endesha”

Nilimuamrisha Naomi kuweza kufanya hivyo kutokana yeye bado anajeraha la mguuni, tukapishana kwenye siti ya dereva kwa ustadi mkubwa bila ya gari kuweza kuyumba, nikajirusha kwenye siti ya nyuma alipo kaa muhudumu wa duka, nikampiga kwenye shingo kwa kutumia ubapa wa kiganja changu na kumfanya apoteze fahamu. Gari hizo zikazidi kutufwata kwa kasi sana huku zikiwa zinawasha taa, Naomi hakuwa mzembe katika kuendesha gari, kwani aliweza kuifanya gari yetu kutembea kwa kasi kubwa sana, huku kila kona anayo kutana nayo anaweza kuikunja vizuri pasipo shida ya aiana yoyote.

Nikatizama bastola zangu, zote nikazikuta zimejaa risasi kwenye magazine zake. Risasi zikaanza kurushwa zikitokea kwenye magari yanayo tukimbizia nakupiga kioo cha nyuma kwenye gari yetu aina ya ‘pickup’ na kikapasuka.

“Shitii”

Nilizungumza huku nikijificha kwenye siti, nikashusha pumzi kisha nikajinyanyua na kuanza kujibu mashambulizi ya watu hao, ambao kwetu wamesha kuwa watu wabaya kwani nia yao kubwa ni kuweza kutudhuru sisi. Nikazidi kufyatua risasi kwenye moja ya gari ambalo linakaribia kutufikia, kwa bahari nzuri dereva wa gari hilo nilihisi nimempiga risasi kwani, gari hilo liliyumba gafla na kuifanya gari ya nyuma yao kuwagonga na zote zikaanza kubingiria kwenye barabara huku wezao wa nyuma wakijitahidi kuwakwepa. Mlipuko mkubwa ukatokea kwenye gari mbili hizo zilizo anguka, kidogo ikwa ni nafuu kwetu kwani tuliweza kuyaacha magari hayo kwa umbali mrefu kidogo.

“Adrus upo vizuri”

“Asante”

Madereva wa magari wanayo endesha hawakukata tamaa ya kuendelea kutufukuzia kwa nyuma, huku wakiendelea kutushambulia kwa risasi zao. Sikukuhitaji waweze kufika karibu nasi kwani inaweza kuwa ni tatizo kubwa, nilicho zidi kukifanya ni kuzidi kuwashambulia kwa risasi ambazo nilizieelekezea kwenye matairi ya magari yao. Mpango wangu uliweza kufanikiwa kwa asilimia mia moja, kwani gari zao zote ziliweza kusimama njiani na kutuacha sisi kuweza kupotea machoni mwao na tukiwaacha wakipiga risasi pasipo mafanikio ya aina yoyote.

Alfajiri majira ya saa kumi na moja na nusu tukawa tumeingia kwenye mji wa Karachi, tukafika kwenye kizuizi cha jeshi, ambacho gari zote zinazo ingia ndani ya jiji hilo nilazima kuweza kukaguliwa pamoja na watu waliomo ndani ya gari hizo. Naomi akawa wakwanza kushuka ndani ya gari huku akinyoosha mikono juu, kwani mitutu ya bunduki ya wanajeshi hao walio kuwemo kwenye kizuizi hichi waliielekezea kwetu, hii nikutokana na gari yetu kajaa matobo mengi yarisasi. Nikabaki ndani ya gari ili kuendelea kuusoma machezo mzima, kwani sikuweza kumuamini mtu yoyote japo hawa ni wanajeshi wa serikali ya hapa Pakistani.

Askari mmoja akamfwata Naomi alipo kiona kitambulisho alicho kishika Naomi, akawaamuru wezake kuweza kushasha silaha zao chini, kwa ishara Naomi akaniomba na mimi kuweza kushuka ndani ya gari na kumfwata sehemu alipo simama, akanitambulisha kwa askari huyo, nami nikatoa kitambulisho changu na kuwaonyesha, wakaridhika na sisi. Wanajeshi baadhi wakawa wanalikagua gari letu, na kumuona muhudumu wa duka akiwa ndani ya amelela na pingu zikiwa mikononi mwake

“Kuna mtu ndani ya gari?”

Mmoja wa mwanajeshi alizungumza kwa sauti ya juu, na kuwafanya wanajeshi wengine wawili kulisogelea gari. Wakataka kumshusha ila nikawahi kuwafwata

“Musimshushe huyo ni muhalifu”

“Hamuwezi kupita na muhalifu, tutaamini vipi kwamba ni mualifu?”

Mwanajeshi mmoja alinijibu kwa sauti ya ukali, huku aking’ang’ania kitasa cha mlango kuweza kumtoa muhudumu wa duka. Ikanilazimu kumsukuma mwajeshi huyo na kuwafanya wezake wawili kuninyooshea bunduki zao, kwa haraka na mimi nikatoa bastola yangu na kumuelekezea askari niliye msukuma na kupepepesuka.

“Mukifungua humo ndani, nitamwaga ubongo mwezenu”

Nilizungumza kwa sauti ya kukoroma, iliyo jaa besi kubwa lililo mtisha hata mwanajeshi niliye msukuma. Akawaa mrisha wezake kushusha silaha zao chini, huku Naomi na wanajeshi wengine wakibaki wakitutizama. Wanajeshi hao wakasogea pembeni ya gari, nikafungua mlango na kutazamana na muhudumu ambaye fahamu zake zikiwa zimemrejea.

“What is your name”(Unaitwa nani?)

Nilimuuliza muhudumu wa duka, hakunijubu zaidi ya kunitemea mate ya uso. Nikajifuta mate yake hayo kwa kustukiza nikamtandika ngumi ya pua na kumfanya atoe ukelele mwengine wa maumivu.

“What is your fuc.. name?”

“Ally….Ally”

Alijibu huku machozi yakimwagika, nikaufunga mlango wa gari kwa kuubamiza na kumuacha ndani ya gari na mimi kurudi sehemu alipo simama Naomi na mwanajeshi mmoja anaye onekana ndio kiongozi kwenye kundi hili.

“Mumefikia wapi?”

“Wamefanya mawasiliano na kule kambini, watakuja kutuchukua, hapa unaweza kulisogeza gari pembeni?”

“Kuna usalama kweli hapa?”

“Unaweza kuliigiza huku kwenye uzio wa geti”

Mwanajeshi huyo alizungumza, nikarudi kwenye gari nikaliwasha na kweda kulisimamisha kwenye moja ya maegesho ya magari ya jeshi. Kabla sijashuka nikamgeukia Ally, nikamtazama jinsi anavyo nitazama kwa macho ya hasira.

“UTAKUFAAAAAA”

Ally aliniambia kwa lugha ya kiarabu, huku akihisi kwamba siielewi lugha hiyo, ambayo ni baadhi ya maneno ndio nilikuwa ninayasikia. Sikutaka azidi kuniletea dharau nikamtandika kofi la shavu huku nikizishika ndavu zake nfefu zilizopo kwenye kidevu na kuaanza kuzivuta kwa nguvu na kumfanya atoe ukelele umkubwa

“Eheee nitakufa si ndioo”

Nilimjibu kwa kiarabu, kelele za Ally zikamfanya Naomi kuja sehemu tulipo huku akikimbia

“Adrus achana naye bwana”

Naomi alizungumza huku akinishika mkono nimuache Ally, kabla sijamuachia tukasikia milio ya risasi pamoja na milipuko ya mabomu yakitokea nje ya geti

“Hahaaaa mutakufaaa”

Ally alizungumza huku akicheka, hapo ndipo nilipo zidi kupandwa na hasira, nikamtandika ngumi ya shingo na kumfanya apoteze fahamu tena, kabla hatuka fanya chochote, gari ya tatu kutoka gari letu lilipo, likalipuka na kutufanya mimi na Naomi kuanguka chini.



Sikuhitaji kabisa mlupuko huo kuweza kutulia, kwa maana itakuwa ni kosa kubwa sana kwetu kwani tayari tumesha vamiwa nahisi watakuwa ni watu wa Ally waliokuwa wakitufwatilia. Naomi naye akanyanyuka huku akijibanza kwenye gari letu akijaribu kuchungulia mlipuko huo sehemu unapo tokea.

“Naomi ingia kwenye gari”

Naomi akatii lile nililo mueleza, kwa haraka sote kwa pamoja tukaingia kwenye gari, na kufunga milango. Wakati huu mimi ndio nikawa dereva, nikaliwasha na kulirudisha nyuma kwa kasi, nilipo liweka sawa, nikaondoka kwa mwendo wa kasi huku nikiacha milipuko na milio ya risasi ikiendelea kurindima nyuma yetu.

“Nisomee ramani”

Nilimuambia Naomi aliye ifungua ramni tuliyo kabidhiwa akaiweka mapajani mwake na kuanza kunisomea akinielekeza njia, safari hii tumeamua kuelekea katika ubalozi wa Marekani kwani ndio sehemu pekee ambayo tunaweza kupata msaada. Njia nzima kazi yangu ikawa ni kupiga honi kwa magari yanayo kwenda kwa mwendo wa taratibu. Naomi akazidi kunisomea ramani hiyo, haikuwa kazi ngumu kwangu kwani somo la kuongozwa na ramani tu ni somo tulilo lipitia katika mafunzo yetu.

Ndani ya lisaa moja tukawa tumefika kwenye geti kubwa la ubalozi wa marekani, katika eneo hilo, ikanibidi kusimamisha gari, na kushuka huku mikono yangu nikiwa nimeinyoosha juu. Wanajeshi wa kimarekani wenye bunduki walitunyooshea bunduki zao huku wawili wakitoka kwenye geti wakitufwata kwa umakini sana. Naomi naye akashuka kwenye gari huku mikono yake ikiwa juu. Walipo tusogelea karibu wakautomba vitambulisho vyetu, tukawapatia, walipo vitazama wakaturuhusu kuingia kwenye geti lao.

“Kuna mtuhumiwa tunaye tunahitaji tumuhoji”

Naomi alizungumza kwa lugha ya Kimarekani, askari hao wakasogea hadi kwenye gari wakafungua siti ya nyuma alipo Ally walipo muona wakastuka sana, hadi sisi ikabidi kuwauliza.

“Vipi?”

“Huyu ni gaidi tunaye mtafuta kwa kipindi kirefu sana.”

Mwanajeshi mmoja alizungumza huku akimtazama Ally, mmoja wao akaingia kwenye gari, geti likafunguliwa na gari hilo akaingia nalo ndani huku sisi tukiingia kwa kutembea kwa miguu. Wanajeshi wengine wawili wa kike, wakamsaidia Naomi katika kutembea hii ni kutokana na mguu wake kuwa na jeraha. Moja kwa moja tukapelekwa katika chumba cha mapumziko, madaktari ambao ni wanajeshi wakawa na kazi ya kutuhudumia kwa kutuchunguza kama miili yetu ina matatizo, huku madaktari wengine wakilishuhulikia jereha la Naomi. Akaingia mzee mmoja wa makamu aliye valia nguo za jeshi zanye vyeo, ambavyo kwa haraka haraka ni mkuu katika eneo hili, mimi na wanajeshi wengine tukasimama wima na kumpigia saluti mzee huyo, akatujibu saluti zetu na kuturuhusu kuendelea na kile ambacho tunakifanya. Akatufwata sehemu tulipo mimi na Naomi na kukaa katika kiti cha pembeni yetu.

“Nimesikia habari zenu kwamba mumekuja na Ally Mahamoud Shariff”

“Ndio mkuu”

“Ilikuwaje?”

Nikaanza kumuelezea tukio zima jinsi lilivyo kuwa hadi tukampata Ally, hapo mwanzo mimi na Naomi hatkuweza kujua kwamba Ally ni gaidi anaye tafutwa sana na wanajesi wa Kimarekani.

“Kwa hili mutapata zawadi”

“Asante sana mkuu”

“Pia nimesha fanya mawasiliano na mkuu wa kambi yenu na kuwaeleza uwepo wenu”

“Tunashukuru sana”

“Mutabaki hapa kwa siku nzima hadi pale mkuu wenu atakapo kuja kuwachukua”

“Sawa mkuu, ila ninaweza kumuhoji huyo Ally, kwa maana kuna taarifa anazo zinaweza kutusaidia?”

“Yupo Katika kitengo maalu, kwa sasa ana hojiwa”

“Sawa mkuu”

“Nilisahau kunitambulisha mimi ni kanali Zurbag Mac Donald”

“Tunashukuru mimi ni Adrus Maldin bado ni mwanafunzi wa chuo cha ukomandoo”

“Nalifahamu hilo, nimesha zipata taarifa zenu”

Mazungumzo yote hayo tuliyafanya kwa lugha ya kingereza, Kanali Zurbag, akanyanyuka kwenye kiti na kutoka katika chumba cha mapumziko. Tukaletewa chakula cha kutosha pamoja na vijwaji. Tuakaanza kula huku tukizungumza mambo mengi na Naomi huku mengi yakiwa ni kuhusiana na maisha ya sehemu tulipo tokea.

“Adrus una mchumba?”

“Hapana sijafanikiwa kumpata”

“Nimefurahi kusiki hivyo”

“Kwa nini?”

“Ahaa nimefurahi, unaonekana wewe ni mwanaume ambaye una jali sana mwanamke”

“Kujali ni jambo ambalo kila binadamu ameumbiwa”

“Hapana wengine hawajaumbiwa hilo swala, nilikuwa na mchumba wangu. Kipindi nilipo ungana na jeshi nikamuacha uraiani, ila kuja kurudu nikakuta amesha funga ndoa na rafiki yangu na wana mtoto mmoja. Iliniuma sana kwa mana nilijituma vya kutosha ili niweze kukutana naye nikiwa na kazi yangu ila ndio hivyo alinisaliti”

“Pole sana utampata ambaye atakuwa ni chaguo lako”

Nilimjibu Naomi kwa sauti ya chini sana, akanitazama usoni mwangu kwa unyonye. Macho yake makubwa kiasi na ya duara yaliyo upamba uso wake, yakanidhiirishia kwamba Naomi ana huzuni juu ya swala analo lizungumzia. Nikamsogela Naomi na kumlaza kichwa chake kwenye bega langu.

“Adrus”

“Naam”

“Ninaweza kukupa kitu”

“Kitu, kitu gani?”

“Naomba nikukabidhi moyo wangu, naomba uubebe uufute maumivu niliyo umizwa na mwanaume mwenzako”

Maneno ya Naomi kidogo yakanistua kwa maana sikutegemea kabisa kwamba ipo siku ninaweza kutamkiwa maneno kama hayo na mwanamke kwani nimesha zoea kwetu Tanzania, wanaweke ni lazima uwatongoze ukiachilia wanawake wanao penda pesa.

“Adrus natambua hisia zako zilipo, natambua kwamba moyo wako haujambeba mtu yoyote zaidi ya mama yako kama ulivyo niambia nina kuomba sana ubebe moyo wangu na mimi nimesha ubebe moyo wako. Haijalishi tumetokea nchi tofauti nipo tayari kukufwata popote utakapo hitaji”

Naomi alizungumza huku machozi yakimwagika. Taratibu nikamnyanyua kichwa chake na tukatazama kwa sekunde kadhaa, kwa mara ya kwanza katika maisha yangu nikajikuta nikiusogeza mdomo wangu karibu na mdomo wa Naomi na kuanza kuunyonya taratibu. Naomi akanipokea vizuri mdomo wake na yeye akaonyesha ushirikiano wa kunyonyana lipsi zetu huku ndimi zetu zikiwa na kazi ya kugongana gongana.

Hisia kati yetu zikazidi kuongezeka kwa kasi ya ajabu sana, kwani mikono yetu ikawa imesha anza kupapasana katika sehemu mbalimbali za iili yetu. Uzuri ni kwamba chumba tulichopo hakina mtu na kina meza yenye vyakula pamoja na viti tu.

Naomi akanivua jaketi la kuzuia risasi kisha akafwatia shati langu zito la jeshi, kisha akafwatia tisheti yangu ambayo nayo ni yakijeshi. Na mimi nikafanya hivyo hivyo, nikamvua jaketi la kuzuia risasi kisha nikafwatia shati lake pamoja na tisheti yake na akabakiwa na sidiria. Nilipo yaona maziwa yake makubwa kiasi yaloyo jichora kwenye sidiria yake, mapigo yangu ya moyo taratibu yakaanza kunienda mbio. Nikabaki nikiyatazama kwa macho ya matamanio ila kijasho kikaanza kuniteremka taratibu usoni mwangu.

“Vipi?”

“Sijawahi kufanya hivi”

“Ohooo usiwe na shaka”

Naomi akanikumbatia kwa nguvu na kuyafanya maziwa yake kukutana na kifua changu kilicho jazia vizuri. Ujasiri ukanijaa tena, na kuanza kuifungua sidiria yake, ilipo funguka, nikamvua pasipo kuwa na wasiwasi wowote, hapa sasa nikaanza kukumbuka mikanda kadhaa ya ngono niliyo wahi kuiona. Nikaanza kuyanyonya maziwa yake kama nilivyo kuwa nikiona kwenye mikanda hiyo ya ngono. Naomi akawa na kazi ya kunishika kichwa changu huku akitoa milio ya chini chini ila yenye ushawishi mkubwa sana wa mapenzi.

Nikasogeza sahani kadhaa kwenye meza na kumkalisha Naomi katika meza hiyo, kazi ikaendelea huku safari hii nikiwa na kazi ya kumfungua mkanda wa suruali yake. Naomi naye kwa haraka akaifungua suruali yangu na kumtoa jogoo wangu ambaye tayari alisha simama.

“Ohohoooo”

Naomi alizungumza huku akimchua na viganja vyake vilaini unaweza kusema kwamba si mwanajeshi ambaye amezoea kushika bunduki kwa muda mrefu. Kwa haraka Naomi akashuka kwenye meza na kuchuchumaa, akaanza kumnonya jogoo wangu, ikiwa ndio mara yangu ya kwanza kufanyiwa hivyo. Nikajikuta nikihisi raha ambayo sijawahi kuipata kabisa kwenye maisha yangu.

Naomi alipo ridhika kumnyonya jogoo wangu akainama huku mikono yake akiwa ameshika meza, sikufanya kosa, nikamkamata jogoo wangu na kumuingiza kwenye kitumbua chake kilicho lowa lowa kidogo. Kusema kweli ukiachana na raha ya kunyonywa jogoo ila raha ya kitumbua cha Naomi ni tamu kupita maelezo. Naomi alizidi kutoa milio ya raha huku na mimi nikizidi kuongeza kasi kula kitumbua chake.

“Nakupenda sana Adrus”

“Nakupenda pia Naomi”

Mechi kati yetu ikadumu kwa dakika kama ishirini hivi, nikajaikuta nikimaliza baada ya Naomi kuniambia kwamba na yeye amesha maliza. Kusema kweli ni penzi moja tamu ambalo sikulitarajia kabisa kwenye maisha yangu kulipata kutoka kwa Naomi. Tukakumbatiana kwa nguvu huku Naomi akiwamgikwa na machozi ya furaha yaliyo nifanya hata mimi kumwagikwa na machozi hayo.

“Nakupenda sana Naomi, umenifanya niwe mwanaume kati ya wanaume. Wewe ndio mwanamke wangu wa kwanza kuwa nawe”

“Nashukuru Adrus, naamini moyo wangu sasa umepata tulizo la kutosha nakuahidi kukupenda hadi mwisho wa maisha yangu”

“Hata mimi pia nina imani mama yangu atakuwa na furaha kuona kwamba nimepata mwanamke mzuri kama wewe”

Tukaachiana kila mmoja akaanza kuvaa nguo zake huku sote tukiwa na tabasamu pana kwenye nyuso zetu. Tulipo maliza kuvaa. Tukatoka nje ya chumba hicho, tukiwa kwenye kordo tukakutana na mwanajeshi aliye tuambia kwamba ameagizwa na balozi kuja kutuchukua. Tukaongozana naye huku nikiwa nimeshika mkono Naomi kwa maana ana chechemea kutokana na jeraha lililopo mguuni mwake.

Tukafikishwa kwenye ofisi ya balozi, tukaingia ndani na kukutana na mwana mama mmoja mwenye asili ya Kiafrika ila ni mmarekani aliye changanyia rangi.

“Karibuni sana”

Alizungumza kwa sauti ya ukarimu ila na uzito kidogo unaweza kusema kwamba si mwanamke. Akatuonyesha masofa ya kukaa, tukaketi kisha na yeye aka keti.

“Kwanza polesi sana na hongereni kwa kazi muliyo weza kuifanya”

“Asante sana muheshimiwa”

“Kipindi mulipo kuwa munakuja, sikuwepo ofisini, kidogo nilitoka nilikuwa kwenye mkutano na viongozi wa hii nchi. Nimefurahi sana kwa kuweza kuonyesha kwamba nyinyi ni majasiri hadi mukamoata kiongozi huyu wa kikundi cha kigaidi, japo kuna habari kwamba mapambano yanazidi kuendelea huko kwenye misitu tukiendelea kuwatafuta wanamgambo wa Alquida”

Mwana mama huyo alizungumza kwa sauti yake nzito huku akitutazama kwenye nyuso zetu.

“Naomi nina imani Wamarekani tunajivunia sana kwa kazi uliyo ifanya, hata wewe Adrus kazi uliyo ifanya ni kazi nzuri sana nchi yako ya Tanzania itajivuani sana”

“Asante muheshimiwa”

“Viongozi daima tupo kwa ajili ya kuwaongoza na nyinyi mupo kwa ajili ya kulinda nchi zetu. Lengo kubwa tunalo hitaji kuwaeleza ni kwamba tumewapa vyeo. Naomi utakwenda kupongezwa nchini Marekani na Adrus utakwenda kupongezwa nchini Tanzania”

Tukatazamana na Naomi na kujikuta tukiwa tumejawa na furaha sana, kwa mana si jambo tulilo weza kulitegema na kila kitu ambacho kinakuja katika maisha yetu tunaona ni kama ndoto ila ndio uhalisia tunao kumbana nao.

“Kuanzia hivi sasa mutarudi kambini kuchukua kila kilicho kuwa ni chenu, kisha mutarudi hapa kwenye ubalozi. Adrus tutakukabidhi kwenye ubalozi wa Tanzania na Naomi tutakupeleka moja kwa moja Ikulu kwenda kukabidhiwa kwa rasisi aweze kukupa pongezi kwa kazi nzuri uliyo ifanya”

Kwa macho tu ukikutazama tunatamani kukumbatiana kwa fauaraha ila tunamuheshimu balozi na hatuwezi kuonyesha hisia zetu za mapenzi mbele yake.

“Muna maoni yoyote”

“Ndio, kikubwa nashukuru sana muheshimiwa, kwa nafasi hii muliyo tupatia”

“Hata mimi muheshimiwa nina imani kwamba nitahakikisha kwamba ninaitumikia nchi yangu ya Marekani hadi kufa kwangu”

“Nashukuru na nina furaha kwa kuweza kusikia hivyo. Helcoptar ipo tayari, itawachukua na kuwapeleka hadi kambini kwenu. Munaweza kugana na wezenu kisha itawarudisha hapa ubalozini”

“Asante muheshimiwa”

Balozi akasimama na sisi tukasimama, akatupa mikono ya pongezi kisha akapiga hatua hafi kwenye meza yake, akanyanyua mkonga wa simu yake ya mezani na kupiga.

“Wapo tayari njoo uwachukue”

Alipo maliza kuzungumza maneno hayo akakata simu na kuirudisha katika sehemu yake na kurudi sehemu tulipo siamama.

“Alafu nyinyi vijana munaendana kwa nini musioane?”

Mwana mama huyo alitutania huku akitutazama, tukabaki tukiwa tunatabasamu, ukweli wa mioyo yetu tunaijua sisi wenyewe.

“Kwa maana hata mimi mume wangu niliye kuwa naye hadi sasa, nilikutana naye kipindi nipo jeshini. Tukaishi hadi sasa hivi tuna mwaka wa thelathini katika ndoa”

“Duu”

“Adrus unashangaa hilo?”

“Ndio kwa mana mimi hata hiyo miaka bado sijaifikisha”

“Yaa sura zenu bado zinaonyesha nyinyi ni vijana wadogo sana”

Mlango wa ofisi ya balozi ukagongwa, akaingia mwanaume mrefu mweusi, aliye valia suti nyeusi na shati jeupe huku akiwa na tai shingoni mwake.

“Kuna nini?”

Balozi aliuliza huku akimkazia macho mwanaume huyo kwa maana nina imani kwamba sio yeye aliye pigiwa simu.

“Tumevamiwa muheshimiwa”

“Nini?”

Sote tulistuka, kwa haraka balozi akakimbilia kwenye meza yake akachukua rimoti na kuiwasha Tv kubwa iliyopo kwenye moja ya ukuta hmu ofisini mwake. Tv hiyo ikaonyesha kameza za ulinzi zinazo chukua matukio ya nje. Sote tukaona magari mengi ya wapiganaji wa Alquida, wakipambana na wanajeshi walipo kwenye mageti. Ila kadri sekunde zinavyo zidi kusonga mbele ndivyo jinsi wanajeshi wa kimarekani waliopo getini wanavyo kufa kwa kupigwa risasi.

“Muheshimiwa inatubidi tuondoke muda huu”

Jamaa huyo ambaye ni kwa haraka haraka nikagundua ni mlnzi wa balozi alizungumza, balozi akatutazama usoni mimi na Naomi, tulio baki tukitazama video hizo za mambo yanavyo endelea nje, jinsi wapiganaji wa kikundi hicho wanavyo zidi kusonga ndani jengo la ubalozi huu wa Kimarekani tulipo mleta Ally moja wa kiongozi wa kundi hilo linalo ogopwa karibia na nchi zote duniani.



“Ngoja nipige simu kwenda Marekani, niombe msaada”

“Muheshimiwa mitambo yote ya simu imesha haribiwa”

“Yesu wangu”

“Tutakulinda kadri tuwezavyo muheshimiwa”

Nilizungumza na kumfanya mwana mama huyo kunitazama, akashusha pumzi. Akatembea hadi kwenye kabati lake kubwa, akaingiza namba za siri kwa kuminya batani zilizipo katika mmoja wa mlango wa kabati hilo. Lilipo funguka, akaanza kutoa bastola moja baada ya nyingine na kutupatia kila mmoja ya kwake. Nikahakikisha bastola yangu ina risasi za kutosha, nikakuta zipo zimejaa kwenye magazine. Jamaa huyo akafungua mlango wa kutokea ofisini hapo, akatazama kila sehemu, kwa ishara akatomba tutoke. Nikamtazama Naomi na kumkonyeza huku nikumyashusha macho yangu kwenye mguu wake wenye jeraha. Naye pia akayashusha macho yake hadi kwenye jeraha hilo kisha akanitazama. Akaninyooshea dole gumba na kunitaarifu kwamba yupo safi. Tukatoka huku tukiwa tumemuweka balozi katikati, mama huyo naye pia akabeba bastola yake. Kila tulivyo zidi kwenda ndivyo tulivyo zidi kuisikia milio ya risasi ikirindima huko nje.

“Njia hii”

Jamaa huyo alituongoza na kuingia kwenye moja ya mlango ambapo tukakuta ngazi za kueleka chini. Tukashuka na kuingia kwenye moja ya chumba ambacho kipo chini ya ardhi. Tukakuta gari maalumu ambalo lipo katika eneo hili, na linatumika kama dharura pale kunapo tokea hali ya hatari kama hii.

“Hapana siwezi kuondoka na kumuacha huyo Ally”

Balozi zlizungumza na kutufanya sote tumkazie macho.

“Muheshimiwa hilo hatuwezi kulifanya tena kuna hatari kubwa sana mbele yetu”

“Nimesema siwezi kuondoka na kumuacha huyo gaidi ni lazima tumfikishe Marekani”

“Naomba munielekeze mimi nitamfwata”

Niluzungumza kwa kujiamini na kumfanya Naomi kunizidi kunitazama kwa macho ya mshangaa. Balozi akanitazama usoni mwangu, nikatingisha kichwa kumdhibitishia kwamba nipo tayari kwa kuifanya kazi hiyo.

Balozi akatoa kadi yake ndogo na kunikabidhi.

“Kadi hii ni yakufungulia milango, yote katika jengo hili la ubalozi. Jerry nenda naye”

“Sawa mkuu”

Hapo ndipo nikatambua kwamba huyu mlinzi wa balozi anaitwa Jerry. Naomi akataka kuongozana nasi ila nikamuzia.

“Adrus kuwa makini”

Naomi alizungumza kwa sauti iliyo jaa hisia nzito za mapenzi. Akashindwa kujizuia kabisa akanisogelea na kunipiga busu la mdomoni na kumfanya balozi kutabasamu. Tukaondoka na Jerry na kurudi juu. Milipuko ya mabomu ikazidi kurindima huku baadhi ya jengo zikiaharibiwa kwa kiasi kikubwa. Tukaingia kwenye jukumu la kushambulia wapiganaji hao ambao tayari walisha ingia kwenye jengo. Mimi na Jerry tuakazidi kusonga mbele kuhakikisha kwamba tunaweza kufika katika chumba alicho fungiwa Ally. Hatukuchukua mud asana tunakwa tauari tumesha fika kwenye chumba hicho kilicho jengwa kwa uimara mkubwa sana. Kwa kutumia kadi ya balozi tukafungua milango minne ya chumba hicho, ambayo ni lazima kuifungua na ndio uingie ndani ya chumba hicho. Ally aliponiona akaanza kutabasamu huku akicheka kwa dharau.

“Puuuuuuuu”

Alitoa mlio wa kulipuka kwa bomu huku akinitishia mimi. Nikamtandika ngumi na kuanza kumnyanyua kutoa sehemu alipo kaa. Tukaanza kutoka naye hapo huku Jerry akiwa ametangulia mbele Ally tuukimuweka katikati na mimi nikifwata kwa nyuma, huku bastola yangu nikiwa nimeishika kwa umakini. Tukasikia sauti za waarabu hao zikisema yupo huku.

“Wanakuja huku, tupite njia hii?”

Jerry akapita kwenye moja ya kordo, mimi na Ally aliye fungwa pingu za mikononi pamoja na mnyororo mrefu kwenye miguu yake tukamfwata. Tukiwa katika kutembea mgongoni mwa Ally ambapo kuna sehemu nguo yake imechanika kidogo, nikaona mshono wa mdogo.

“Ana kifaa huyu, popote tuakapo kwenda nilazima wajue”

Nilimuambia Jerry aliye simama, akapiga hatua hadi sehemu alipo simama Ally, akamgeuza na kutazama mshono huo, kwa haraka Jerry akatoa kisu chake akampiga mtama chini Allye aliyekuwa akileta ubishi ubishi. Akaanza kumpausua sehemu hiyo na kweli akatia kifaa kidogo ambacho kinatumika kumuonyesha sehemu anapo kwenda, na ndio maana ikawa raisi kwa wezake kufahamu sehemu alipo na kujipanga na kuja kushambulia machana kweupe.

Jerry alipo maliza akamnyanyua Ally na kifaa hicho akakiacha sehemu hiyo yo kisha tukuendelea na safari ya kuellekea alipo balozi pamoja na Naomi. Kutokana na uzoefu wa Jerry katika jengo hilo tukafanikiwa kufika katika eneo walipo balozi pamoja na Naomi. Hatukupoteza muda tukaingia kwenye gari na safari ikaanza kwa kasi huku Jerry akiwa dereva wa gari hili.

Tukatokea mali kabisa na sehemu lilipo jengo la ubalozi, balozi ailkaa mbele huku mimi na namoni tukiwa tumekaa nyuma pamoja na Ally tuliye muweka katikati ya siti. Jerry akakatisha kwenye mitaa hadi tukafika katika jengo jingine lililo andikwa ubalozi wa Ufaransa. Jerry Akashuka na kwenda kuzungumza na wanajeshi waliopo kwenye geti hilo. Hawakuchukua hata dakika moja wanajeshi hao wakaongozana na Jerry hadi kwenye gari. Tukashusha vioo vya gari, wakamsalimia balozi kisha wakaturuhusu kuingia ndani ya ubalozi huo ambao una ulinzi mkali kama ubalozi wa Marekani tulio toka.

Jerry akaelekea na Allye pamoja na wanajeshi wengine kwenyes ehemu ambayo hatukuelezwa mara moja. Tukaongoznaa na bolozi hadi kwenye ofisi ya bolozi wa Ufaransa. Wakasalimiana na mzee huyo mrefu mwenye mwili mwembaba kiasi. Akaanza kuututambulisha na kumuelezea kazi nzima ambayo tumeifanya hadi muda.

“Hongereni”

“Asante mkuu”

“Hawa vijana wanatakiwa kuridi kambini, kwao kuchukua kila kilicho chao”

“Kwa nini?”

Mwana mama uyo akamueleza balozi mwenzake amri iliyo toka Marekani, basi hapakuwa na muda mwengine wa kusubiri. Tukakabidhiwa kwa marubani wawili wa helcoptar. Tukaingia kwenye helcoptar hiyo ya kijeshi iliyo tengenezwa kwa uimara mkubwa. Safari ya kuelekea kambini kwetu ikaanza. Ndani ya helcoptar hatukuzungumza chochote mimi na Naomi. Ndani ya dakika ishirini tuawa tumefanikiwa kufika kwenye kambi yetu. Tukapokelewa na kiongozi ambaye tayari alisha pewa taafira. Tukapanda magari tofauti na kuelekea kila mmoja kwenye sehemu yalipo majengo yao kutoka mimi na Naomi tunaishi kwenye majengo tofauti na yapo mbali kutoka katika uwanja wa ndege.

Nikafika katika jengo letu, ambalo hadi sasa hakuna mtu hata mmoja ambaye yupo kutokana wote wameelekea kwenye oparesheni maalumu ya kuangamiza kikosi cha wapiganaji wa Alquida. Nikachukua karatasi kubwa iliyopo kwenye begi langu. Nikatoa na kalamu ya rangi na kuanza kuandika maandishi ambayo kwa upande mmoja yanauumiza moyo wangu.

(TULIKUWA PAMOJA KATIKA MAFUNZO HADI KWENYE OPARESHIENI HII, KAMA NILIVYO WAAHIDI MUNATAKIWA KURUDI MUKIWA HAI. ASIFE HATA MMOJA WENU. NIMEFANIKIWA KUMKAMATA ALLY GAIDI NA KIONGOZI WA KIKUNDI HICHO. KWA JAMBO HILO SERIKALI IMEAMUA KUNITOA KATIKA OPARESHENI NA KUNIRUDISHA NCHINI TANZANIA. NAWAPENDA NA TUTAONANA. BY ADRUS MALDIN)

Nilipo maliza kuyaandika maneno hayo nikatafuna moja ya bablishi niliyo ikuta kwenye begi langu. Nilipo hakikisha imelainika nikaitoa na kuiweka katika sehemu nne za karatasi hilo na kuibandika ukutani. Karatasi hilo lilipo kaa vizuri nikalifunga begi langu na kulinyanyua na kulivaa mgongoni. Nikatoka nje na kuingia kwenye gari hili la njeshi ambalo kwa juu halijafunikwa. Safari ya kurudi kwneye uwanja wa ndege. Tukafika na kumkua Naomi akiwa tayari amesha fika akiwa na begi lake kubwa la mgongoni. Tukaingia kwenye helcoptar iliyo tuleta na safari ya kuelekea kwenye ubalozi wa Ufaransa ikaanza.

“Adrus”

“Mmmm”

“Nitakukumbuka sana”

“Hata mimi pia nitakukumbuka pia”

Naomi akatoa kalamu na karatasi ndogo akaandika namba yake ya simu pamoja na email ambayo atakuwa anaitumia Marekani. Japo tumetoka kambini ila safari hii imejaa huzuni kubwa kati yetu kwani ndio kwanza mapenzi yetu yamechipua ila kazi na utaifa zinatutengenisha kati yetu. Akanikabidhi kikaratasi hicho huku machozi takiwa yanemlenga mlenga. Nikakipokea na kukiweka kwenye mfuko wa pembeni ya begi langu. Kutokana kwenye siti tulizo kaa yumejifunga mikata maalumu, hatukuweka kukumbatiana. Tukafika katika ubalozi wa Ufaransa, tukapokelewa na balozi wa Marekani, aliye tuchukua moja kwa moja hadi kwenye moja ya chumba. Akatupa kila mmoja bahasha ndogo tukabaki tumemkodolea macho, kwa ishara akatuomba kuweza kufungua bahasha hiyo.

Kila mmoja akafungua bahasha, tukakuta hati za kusafiria pamoja na karatasi ndogo ambayo ni cheki iliyo andikwa pesa za kimarekani dola laki moja.

“Hiyo pesa itawasaidia huko muendapo, nimetoa mimi kama zawadi yangu kwangu, kwa kuweza kuyaokoa maisha yangu. Pia munaweza kuitoa kwenye nchi yoyote ila iwe na benki ya Standard Chaterd”

“Asante sana muheshimiwa”

“Musijali, tiketi zenu za ndege zinaletwa muda si mrefu”

“Sawa mkuu”

“Ila nina zawadi moja kati yenu, ngoja atakaye leta tketi za ndege nitawaambia.”

“Sawa”

Tukakaa na mwana mama huyo ndani ya chumba hicho huku tukizungumza mambo mengi kubwa likiwa juu ya huyu gaidi tuliye mkamata, baada ya dakika kumi, mlango ukafunguliwa anakingia Jerry, akiwa na bahasha moja, akamkabidhi balozi kisha akatoka. Balozi akatoa bahasha hizo na kutoa tiketi mbili za ndege.

“Nimewakatia tiketi mbili. Nyote mutaelekea nchini England, kuna hoteli kule nimewachukulia. Mutakaa hapo kwa siku tatu kisha siku ya nne, mutaondoka Adrus utaelekea Tanzania. Naomi utaeleka Marekani, sawa”

“Sawa mama”

Tulijikuta mimi na Naomi tukizungumza kwa pamoja, huku nyuso zetu zikiwa zimejaa furaha. Tukazipokea tiketi hizo kwa furaha.

“Kingine mutapokelewa na balozi wa Marekani huko Uingereza, Naomi si unamfahamu?”

“Ndio namfahamu”

“Sawa yeye ndo atakaye wapokea na atawapeleka kwenye hiyo hoteli, na yeye ndio atakaye shuhulika na swala la kuwakatia tiketi za kuelekea nchini mwenu”

“Shukrani sana”

“Ila jitahidini kutafuta mtoto”

Maneno ya mwana mama huyo yakatufanya sote kucheka huku tukiwa tumejawa na aibu kwneye nyuso zatu. Tukatoka kwenye chumba hicho tukiwa na mabegi yutu. Akatukabidhi kwa Jerry, tukaagana naye kisha tukaongozana naye Jerry hadi nje, ambapo tukakuta gari moja aina ya Range Rover ikiwa inatusubiri na ndani yake kuna dereva. Mabegi yetu yakawekwa nyuma ya gari hilo kisha tukapanda siti za nyuma na kuondoka kwenye ubalozi huo. Safari ikaanza huku ndani ya gari muda wote tukiwa tumeshikana mikono na Naomi. Tukafika uwanja wa ndege moja kwa moja tukaelekea sehemu ya kukaguliwa. Bastola zetu hazikuwa kikwazo kwetu kutonana sisi ni wanajeshi, tukakabidhiwa bastola hizo tulipo pita katika upande wa pili wa kukaguliwa.

Tukabeba mabegi yetu, tukaongozana na muhudumu wa hapa uwanja wa ndege akatupeleka moja kwa moja kwenye ndege ambayo ndio tunayo safiria.

Muhudumu huyo akatukabidhi kwa muhudumu mwengine anaye shuhulika na ndege hiyo, akatupeleka kwenye siti zetu ambazo zipo sehemu moja. Naomi akaka dirishani na mimi nikaka pembeni yake.

“Asante Mungu”

Naomi alizungumza huku akishusha pumzi nyingi sana. Nikamshika mkono taratibu nikamsogelea na kumpiga busu la shavuni, akanigeukia na kuanza kuninyonya lipsi zangu.

“Samahani, naomba mufunge mikanda”

“Ohoo sawa, hakuna tatizo”

Tukafunga mikanda kama muhudumu huyo wa ndege alivyo zungumza. Taratibu ndege ikaanza kuondoka, huku ndani ya ndege kukiwa na abiria wengi sana. Taratibu ndege ikaanza kuacha ardhi na kuwa hewani Safari sasa ikaanza rasmi kueleka Uingereza, moyo wangu ukaanza kusali sala huku nikimkumbuka marehu baba yangu, ambaye naye alikuwa ni askari.

‘Baba nimefanikiwa’

Nilijisemea kimoyo moyo pasipo Naomi kusikia chochote. Masaa yakazidi kukatika taratibu Naomi akapitiwa na usingizi. Akakilaza kichwa chake kwenye bega langu kitendo kilicho nifurahisha sana.

“Baby”

Nilimuita Naomi aliye lala muda mrefu ulio pita.

“Kumepambazuka”

“Kweli?”

“Ndio”

Dirisha la pembeni la ndege liliweza kuingiza mwanga, kwani safari ilianza usiku. Safari ya kutoka bara moja kwenda bara jengine inachukua masaa mengi kiasi. Ila kwa uvumilivu tukafanikiwa kufika nchini Uingreza alfajiri na mapema. Kama alivyo tueleza balozi wa marekani nchini Pakistani, ndivyo jinsi inavyo kuwa. Tukapokelewa na balozi wa Marekani nchini Uingereza.

“Naitwa David Rutha”

Alijitambulisha na sisi tukajitambulisha, tukaingia kwenye gari alilo kuja kutupokea pamoja na walinzi wake. Gari tatu zikaongozana huku sisi tukiwa tumepanda gari la nyuma, na balozi huyo upo gari la katikati. Tukafika katika mji wa London, akatupeleka kwenye moja ya hoteli.

“Hapa ndipo mutakapo kaa kwa siku tatu vijana”

“Shukrani muheshimiwa”

“Mukiwa na tatizo lolote muwasiliane nami”

Akatukabidhi kadi moja ndogo yenye namba zake za simu. Tulipo kabidhiwa funguo ya chumbani. Tukaagana naye na yeye akaondoka. Tukasaidiwa na muhudumu wa hoteli kubebe mabegi yetu. Tukaingia kwenye lifti na kuelekea gorofani kilipo chumba chetu. Nikafungua mlango wa chumba chetu na muhudumu akatangulia akaingiaza mabegi yetu kisha akatoka. Nikaufunga mlango wa ndani kisha nikamsogelea Naomi sehemu alipo simama, tukakumbatiana na kuanza kunyonyana midomo yetu.

“Kazi yetu iliyo tuleta hapa ni nini?”

Naomi aliniuliza huku akiendelea kunivua nguvo zangu na mimi nikifanya kama anavyo fanya.

“Ni kutafuta mtoto”

“Yeahaa nipe mtoto Adrus”

Naomi alizungumza huku akinisukumiza kitandani kisha akapanda na kunikalia kiunoni mwangu na kuendela kunyonyana lipsi zetu tukiwa tumejawa na furaha sana.



Naomi hakuishia kwenye kuninyonya lipsi zangu, taratibu akaanza kushuka kwenye shingo yangu na kuanza kuinyonya, kitu kilicho ufanya mwili wangu mzima kusisimka kwa furaha. Akaushusha ulimi wake hadi kifuani mwangu na kuanza kuninyonya kiufua kizima taratibu. Msisimko wa mwili wangu ukazidi zaidi pale alipo ushusha ulimi wake kwenye kitomvu changu na kuanza kukilamba kama paka wa kizungu anavyo lamba mkono wa bosi wake. Nikajikuta nikiyafumba macho yangu kutokana na utamu ambao ninaupata kusema kweli sikuwa na ujanja juu ya penzi la Naomi, nikajikuta nikidi kumpenda zaidi na zaidi.

Akamshika jogoo wangu na taratibu akaanza kumnyonya, alipo ridhika akanilaza kifudi fudi na kuniomba na mimi niweze kumnyonya kitumbua chake, nami nikafanya hivyo. Kila sekunde inavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo jikuta kwamba ujuzi wa kukinyonya kitumbua cha Naomi ukizidi kuongezeka. Nikajikuta nikiushusha ulimi wangu hadi kwenye chanel ‘O’. Hapo napo nikaanza kuunyonya huku akilini mwangu nikijisemea mwenyewe kwamba mapenzi ni uchafu ni kweli na wale watu wanao jifanya ni wasafi na wanajua kula kitumbua au kumla jogoo, basi wengi wao ndio wanao telekezwa kwenye ndoa au mapenzi yao, kwa maana endapo mwenza wake akakutana na kijimchepuko kasiko ona uchafu wa kunyonya kila mahala basi ujue penzi lake au ndoa yake inakwenda kuteketea.

Naomi akazidi kutoa vilio vya mahaba, huku kidole changu kimoja nikiwa ninakisugua kisimi chake. Naomi kwa raha ninayo mpatia nikaona jinsi anavyo jizungusha zungusha kitandani, ila sukulijali hilo zaidi ya kuendelea kukomaa na kuendelea kumnyonya kitumbua chake.

“Adrus please baby, Fuc** me”

“Ok”

Nikajinyanya haraka haraka, jogoo wangu nikampaka mate, kisha taratibu nikamzamisha kwenye kitumbua chake.

“Ohooo, asssiiisssiii”

Naomi alizungumza huku akiyarembua macho yake, taratibu nikaanza safari ya kulila tunda hili lililo nona na lenye vitamin vya kila aina. Laiti kama Naomi angekuwa ni mtanzania basi ningesema ni mtoto wa kidigo, kwa maana kiuno chake anakizungusha kwa utaalamu mkubwa unao nifanya nizidi kupagawa kwa penzi lake tamu isitoshe huyu ndio msichana wangu wa kwanza kunibikiri.

”Ohooo Adrus nakupenda sana”

“Nakupenda pia honey”

“Nahitaji mtoto”

“Real”

“Yeaa mwaga ndani”

“Ok honey”

Naomi akazidi kuongeza mwendo kasi wa kiuno chake huku akiwa amelala chali na mimi nipo katikati ya mapaja yake. Nikamnyanyua na kukaa kitako kitandani kisha yeye akanikalia mapajani mwangu huku akiendele kukizungusha kiuno kwa kasi ya ajabu sana.

“Adrus na piziiiiii”

“Pizi honey twende sawa”

Sikujua kupizi ni nini ila nilicho kijibu sifahamu kama ni sahihi au laa. Utamu ukazidi kuongezeka maradufu, yaani haya wakiingia majambazi kwenye chumba chetu kwa wakati huu sidhani kama ninaweza kumuachia Naomi. Wote kwa pamoja tukajikuta tukifika mwisho wa mtanange huu. Tukakumbatia kwa furaha huku Naomi machozi yakimwagika.

“Nitakumiss sana Adrus ukiwa mbali, natamani hizi siku tatu tulizo pewa ingekuwa ni miezi mitatu”

“Usijali honey tutakuwa tunawasiliana na kama tunaweza kupata muda unaweza kuja Tanzania au mimi kuja Marekani”

“Kweli baby?”

“Ndio laity ingekuwa si hizi kazi zetu za ulinzi ninaamini ningekupeleka kwa mama hata kesho, ila ndio hivyo tumechagua kuishi maisha ya amri”

“Ohooo nafurahi kusikia hivyo, naamini hata baba yangu naye aytafurahi sana”

Tukakumbatia kwa dakika kadhaa huku ukimya ukiwa umetawala ndani ya chumba chetu, kila mmoja akisikilizia joto la mwenzake linavyo penya kwenye ngozi yake.

“Tukaoge”

“Yaap”

“Baada ya hapo?”

“Sijui wewe unatakaje mke wangu”

“Mmmm nahitaji kwenda kutembea mjini”

“Sawa”

Tunakashuka kitandani taratibu na kuelekea katika bafu, tukaoga taratibu huku kila mmoja akiwa na jukumu la kumsafisha mwenzake sehemu anayo jisikia anaweza kumsafisha. Nikakisafisha kidonda cha Naomi ambacho tayari kimesha anza kukauka.

“Unatwakiwa kukipaka dawa hiki kidonda”

“Sawa, ila hakina maumivu makali kwa sasa”

“Ok”

Tukatoka bafuni huku nikiwa nimekumbatia Naomi kwa nyuma na tunatembea taratibu. Tukasimama mbele ya kioo cha dressing table iliyopo humu chumbani.

“Adrus hivi unajijua wewe ni mzuri sana”

“Mmmm wapi?”

“Haki ya Mungu nakuapia, Mungu akibariki nikipata mtoto wako kama ni wa kiume basi atakimbiza sana vijisichana ila kama ni wa kike baba uandae mbwa wa kumlinda”

“Hahaha haya mwanya”

“Ila nina njaa”

“Tukale kwanza ndio tuende tukatembee”

“Hivi unafahamu hatuna nguo za kuvaa na kutokea huko mjini?”

“Ohoo nilisahau inabidi kwenda kununua”

“Yaaa”

Nikafungua begi langu na Naomi naye akafungua begi lake, hapakuwa na jinsi zaidi ya kuvaa nguo za kijeshi. Tulipo hakikisha kwamba tupo sawa, tukatoka katika chumba chetu na keuelea mapokezi, tukaomba msaada wa kelekezwa ni wapo kwenye maduka ya nguo. Uzuri wa hoteli hii, ni kwamba kila unacho kiulizia wanakuhudumia, isitoshe wakatueleza kwamba kila kitu tunacho kihitaji kitahudumiwa na hoteli kisha serikali ya Marekani italipa kila kitu. Meneja wa hoteli akatukabidhi kwa muhudumu mmoja wa kiume, tukaongozana naye moja kwa moja hadi kwenye gari ndogo ya hoteli. Akatupeleka kwenye moja ya duka la nguo ambalo ni kubwa sana.

Tukaongozana naye, huku akitupitisha kila sehemu ya duka. Kila nguo ambayo mtu unaipenda unaichukua na kuiweka kwenye vitoroli maalumu vya kuwekea vitu ukiwa ndani ya duka hili. Nikachagua nguo nyingi zinazo nitosha pamoja na viatu vya kisasa. Naomi naye pia akachagua nguo alizo hisi kwamba zitampendeza pamoja na viatu, cheni na mambo mengi sana.

“Munaweza kuingia chumba cha kuvalia nguo na mukabadilisha tu nguo”

Muhudumu wa duka huli alizungumza, akatuonyesha kilipo chumba cha wanaume na chumba cha wanawake. Kila mmoja akaingia kwenye chumba cha jinsia yake. Nikavaa jinzi ya blue, tisheti nyeupe iliyo ubana mwili wangu vizuri pamoja na mabuti ya kaki. Nikatoka chumbani humu na kumsubiria Naomi ambaye naye hakuchukua muda akatoka. Mahesaba ya vitu tulivyo vifanya yakafanyika, sote hatukuamini vitu tulivyo vichukua kama vinaweza kugarimu pesa kubwa sana.

“Umesema Euro elfu hamsini?”

Naomi aliuliza huku macho yakiwa yamemtoka

“Ndio madam”

“Musihofu kama meneja alivyo zungumza, pesa hiyo tunailipa sisi hoteli”

Muhudumu wa hoteli alizungumza huku akitoa kadi ya malipo, muhudumu wa duka akauipokea na kuipitisha kwenye mashine maalumu ya malipo kisha akamrudishia muhudumu wa hoteli kadi yake na kumkabidhi risisi.

Tukatoka na mabegi zaidi ya matano yakiwa yamejaa vitu tulivyo nunu huku mimi nikiwa na mabegi mawili makubwa huku Naomi akiwa na mabegi matatu ya ukubwa wa kawaida.

“Sasa kaka sisi tunahitaji chakula”

“NIwapeleke hoteli gani?”

“Kwani kuna hoteli za vyakula vya kiafrika?”

“Ndio, zipo hoteli zinapikwa vyakula vya Afrika mashariki, kusini, kasikazini na Magharibi”

“Tupeleke kwenye hoteli inayo pika vyakula vya Afrika mashariki”

“Sawa”

Muhudumu akawasha gari na kuondoka, katika maisha yangu sijawahi kuishi maisha ya starehe kama ninayo ishi yayo hivi sasa. Miasha haya ni maisha mbayo nilisha zoea kuyaona kwenye filamu za kina 50 Cent wanavyo hudumia wasichana kwa kuwapeleka maduka makubwa yanayo uza zitu vya kifahari.

“Tumefika hoteli ndio hii”

NIkasogeza kichwa pembeni ya kioo na kusoma maandishi makubwa yaliyo andikwa kwenye bango kubwa lililopo juu ya hoteli hii.

“KARIBU SANA”

Nilizungumza kwa sauti nak umfanya Naomi naye kusogea sehemu nilipo mimi, akachungulia na kuyasoma maandishi hayo.

“Adrus haya mananeo yanamaanisha nini?”

“Ni maneno ya kumaribisha mgeni, hiyo ni kwa Lugha ya Kiswahili”

“Ohooo”

“Sasa ndugu unashuka kuja kula nasi au?”

“Ndio nipo pamoja na nyinyi, japo nitaagiza chakula changu na kukaa meza yangu”

“Kwa nini?”

“Ndio sheria ya kazi yangu”

“Ahaa”

Tukashuka kwenye gari huku nikiwa nimeshika mkono Naomi, tuakingia kwenye hoteli hii ambayo imejaa sana watu weusi na wengine nikawasikia wakizungumza Kiswahili kabisa. Tukatafuta moja ya meza iliyo jificha ficha. Muhudumu wa kike akaja na kusimama mbele yetu.

“Naweza kuwasaidia nini?”

Alizungumza kwa lugha ya kingereza.

“Niletee Ugali na maharake, weka kachumbari pembeni pamoja na samaki mkubwa wawili wa kukaanga”

“Ehee kumbe unafahamu Kiswahili?

“Ndio nafahamu ndio maana nikaja hapa”

“Nafurahis ana kusikia hivyo karibu sana”

“Asante”

“Dada je nikuletee nini?”

“Huyo hafahamu Kiswahili”

“Ohooo”

Muhudumu huyo ambaye ni Mtanzania mwenzangu, akamuuliza Naomi kwa kingereza. Naomi akaomba chakula ambacho mimi nitakula, nikamuomba muhudumu kuleta chakula hicho hicho nilicho kiagiza mimi na Naomi ndiocho atakacho kila.

Tukasubiria kwa muda, muhudumu akaleta chakula nilicho muagiza. Naomi akanonekana kukitumbulia macho huku akiwa amekishangaa.

“Hiki chakula kinaitwaje?”

Naomi aliniuliza huku akiendelea kuushangaa ugali ulio wekwa juu ya meza huku ukifuka moshi taratibu.

“Huu ni ugali?”

“Ugali, waoo sijawahi kula tangu nizaliwe”

“Hiki ni chakula ambacho ukienda kwa mama yako mkwe Tanzania, basi atakupigia”

“Huhuahuuu wacha niwe wa kwanza kuonja”

Naomi akakata tonge, hata hakulifinyanga, akaliweka mdomoni akalitafuna taratibu. Akayazungusha macho yake taratibu akionekana kunogewa sana na kile ambacho anakila, nikakata tonge na mimi na kumuonyesha jinsi ya kulifinyanga. Taratibu Naomi naye akaanza kujifunza kulifinyanga tonge la ugali kisha tukaanza kula taratibu huku Naomi akizidi kuufurahia ugali huu.

“Adrus si tunaweza kuubeba ugali mwingine tukaenda kula hotelini?”

“Mmmmm”

“Unaona aibu, mimi nitaubeba”

Naomi alizungumza kwa sauti ya chini na kunifanya nitabasamu kwa vituko vyake. Tukiwa tunaendelea kula chakula hiki huku tunazungumza mambo mawili mwatatu. Gafla tukasikia mlipuko mkubwa nje ya hoteli hii, hadi vioo ya mlango wa hii hoteli vikapasuka, ikiashiria kwamba mlipuko huo unasababishwa na bomu zito la kutegwa kwenye gari. Nikamshuhudia Naomi akianguka chini huku muhudumu wa hoteli tuliyo kuja naye akitoka eneo hili la hoteli, huku mkononi mwake akiwa ameshika bastola iliyo fungwa kiwambo.



Kwa haraka nikamuwahi Naomi na kunyanyua chini alipo huku nikimuita jina lake. Nikamchinguza kila sehemu ya mwili wake sikuona jeraha lolote nikatambua kwamba ni mstuko tu ndio umemuangusha na kumfamnya awe kama amepoteza fahamu. Nje tukasikia milio ya risasi ikirindima.

“Adrus”

Naomi aliniita huku akijiweka sawa.

“Vipi?”

“Ni nini hicho kimetokea?”

“Mlipuko”

Tukamuona muhudumu wa hoteli akiingia kwa kasi, akatufwata hadi sehemuu tulipo, kwa ishara akatuomba tunyanyuke, tukanyanyuka na kuanza kumfwata kuelekea nje. Tukafika lilipo gari letu, tukaingia kwa haraka na kuondoka eneo hili la mgahaw.

“Kuna nini kimetokea?”

“Kuna mgahawa wa pembeni yetu ulivamiwa”

“Aiseee”

“Yaa ni kikundi kimoja ya majambazi ndio wamefanya shambulizi hilo”

“Vipi wewe ni askari?”

Namoni alimuuliza dereva huyo huku akimtazama.

“Hapana mimi ni undercover agent wa serikali japo ninafanya kazi katika ile hoteli ila nipo pale kwa kazi maalumu”

“Ahaa sawa sawa”

Tukafika hotelini, tukashuka kwenye gari, tukachukua mabegi yetu na kuelekea ndani huku muhudumu huyo akitusaidia. Akatusindikiza hadi kwenye chumba chetu kisha yeye akaondoka, nikaufunga mlango na kumfwata Naomi sehemu alipo simama akifungua begi lake la nguo. Tukaanza kujaribu nguo moja baada ya nyingine huku tukiwa tumejawa na furaha sana kwenye maiyo yetu.

Hatukutamani masaa kwenda mbele, ila ndivyo jinsi Mungu alivyo iumba dunia, ni lazima masaa yaende mbele ili makusudi aliyo yapanga kwenye amisha yetu sisi wanadamu kuweza kukamilika. Siku ya tatu tangu tufike hapa Uingereza ikawadia. Ni siku iliyo jaa huzuni kwetu na kujikuta asubuhi ya siku hii tukifanya mapenzi kwa uchungu sana, kila mmoja anarudi katika nchi yake kuendelea na majukumu ya ulinzi wa taifa lake.

“Adrus I love you”

“I love you honey”

Tukaendelea kufanya mapenzi huku nikiwa nimekishikilia kiuno cha Naomi kisawa sawa, taratibu tukajikuta tukimaliza kufanya tunacho kifanya. Tukakumbatia na kwa nguvu sana huku kila mmoja akilengwa lengwa na machozi.

Tukaachiana na kushuka kitandani huku kila mmoja akiwa katika hali ambayo kusema kweli, inaumiza mioyo yetu, tunatamani sana kubaki pamoja kwenye maisha yetu seme ndio hiyo inakuwa ni ngumu. Tukaingia bafuni, na kuanza kuogeshana.

“Adrus”

“Mmmmm”

“Naombe usinisaliti huko uendapo?”

“Sinto weza Naomi, nitakusubiri hadi pale tutakapo onana”

“Kweli Adrus?”

“Ndio honey”

Tukamaliza kuoga na kurudi chumbani, kila mtu akavaa nguo ambayo tumepanga kuivaa kwa ajili ya safari. Tulipo hakikisha tupo sawa tukatoka na mabehgi yetu hadi mapokezi ambapo tukakutana na balozi wa Marekani nchini hapa Uingereza. Tukasalimiana naye na moja kwa moja tukatoka naye na kuingia kwenye gari alilo kuja nalo na moja kwa moja tukaeleka uwanja wa ndege.

Njia nzima tukawa kimya ndani ya gari, Naomi akaegemeza kichwa chake kwenye bega langu, ukimya huu unamaanisha kila mmoja anawaza juu ya kutengana huku. Tukafika uwanja wa ndege, kila mmoja akapewa tiketi ya ndege yake, ubaya ni kwamba ndege ya Naomi ndio inaanza kuruka kisha baada ya nusu saa ndege ndio ninayo panda ndio inaruka. Tukakumbatiana na Naomi huki kila mmoja akiwa anamwagikwa na machozi. Hatukujali wingi wa watu wala Balozi aliyopo pembeni yetu. Tukanyonyana midomo yetu kwa dakika kama mbili ikiwa ni ishara ya busu la kuagana. Tukaachiana na Naomi akaishika hati yake ya kusafiria vizuri pamoja na tiketi ya ndege ya shirika la Fly Emirates.

“Unakaa siti namba ngapi?”

Nilimuuliza Naoni huku nikitazama tiketi yake

“Mmmm siti namba G2.”

Tuliingalia kwa pamoja tiketi hiyo ya ndege yenye namba B1005. Muhudumu akatangaza kwamba abiri wa ndege hiyo wanatakiwa kwenda sehemu ilipo ndege kwa ajili ya safari kuanza. Naomi akanyanyua mabegi yake na kuondoka huku mara kadha akiwa anatazama nyuma. Akaelekea moja kwa moja hadi kwenye mlango wa kuelekea ilipo ndege na kupotea kwenye upeo wa macho yangu.

“Unampenda sana huyo binti?”

Balozi aliniuliza uhku akinitazama usoni mwangu, nikatabasamu tu pasipo kumjibu kitu chochote.

“Naye anakupenda hakikisha kwamba hauumizi moyo wake”

“Sawa muheshimiwa”

Sauti zikasikiak kwneye vipaza sauti kuwa abiri wa ndege ya KLM inabidi kuelekea katika mlango wa kuelekea sehenu ya kuingia katika ndege, nikaagana na balozi, nikanyanyua mabaegi yangu na kuelekea katika mlango huo. Nikaingia kwenye ndege na kuanza kuelekea sehemu ilipo siti yangu, nilipo ipaa siti yangu, nikaweka mabegi yangu sehemu maalumu kisha ninakaa kwenye siti yangu. Akaja mwana dada mwengine wa kiarabu na kukaa siti ya pembeni yangu. Hatukusalimiana kwa maana amevaa earphone masikioni mwake. Muhudumu akapoita na kuniomba nifunge mkanda wa ndege ambao nilijisahau kutokana na kumuwaza sana Naomi wangu.

Ndege taratibu ikaanza kuondoka uwanjeani hapa huku ikitafute mauelekeo wa kueleka, nikatazama nje ya dirisa na kuona ndege nyingine zilizo simama. Kadri muda unavo zidi kwenda ndivyo jinsi ndege ilivyo zidi kuongeza mwnedo kasi na kuanza kunyanyuka taratibu. Baada ya muda ikaa vizuri hewani na hapo abiri tukawa huru kufungua mikanda yetu.

“How you”(Habari yako)

Dada huyu alinisalimia huku akinitazama usoni na mkono wake mmoja akichomoa earphone aliyo kuwa ameichomeaka tangu aingie kwenye hii ndege.

“Am fine”(Salama)

“Are you Tanzanian?”(Wewe ni Mtanzania?)

“Ndio”

“Ohoo afadhali nimekaa na mswahili mwenzangu”

“Ila mbona wewe una asili ya kiarabu?”

“Ni asili tu ila mimi ni mtanzania ninaitwa Shamsa”

“Nashukuru kukufahamu, ninaitwa Adrus”

“Sawa sawa”

“Tanzania unakwenda kufanya nini?”

“Ninakwenda nyumbani kwa baba yangu, ninasikia mama yangu anaumwa sana”

“Ahaa pole sana”

“Nashukuru sana”

Masaa yakazidi kukatika na kuzidi kusonga mbele, usingizi ukanipitia na kulala fofofo.

“Dany Dany”

Niliisikia sauti ya Shamsa kwa mbali, nikafumbua macho yangu na kumkuta akiwa ameshika chupa ya juisi pamoja aliyo pewa na muhudumu.

“Samahani kwa kukuamsha bwana”

“Hakuna tabu”

“Juisi yako hii, nikaona si vyema kuiweka hapo pembeni pasipo kukufahamisha”

“Ni kweli”

Nikaichukua juisi hiyo na kuiweka sehemu maalumu, kisha nikajiweka sawa kwenye siti.

“Nimelala masaa mangapi?”

“Masaa kama manne hivi”

“Wee!!”

“Ndio masaa manne”

“Duu tunakaribia kufika Tanzania?”

“Yaa masaa kama matatu au mawili na nusu tunafika Tanzania”

Tukaendelea kuzungumza mambo mengi ya maisha hususani ya nchini Tanzania kuhusianana na maswala ya kisiasi yaliyo jitokea mwaka ulio pita kung’olewa madarakani kwa raisi Godwin, ambaye nchi alikuwa akiiongoza kwa ubabe.

“Hivi raisi mstafu Praygod sijamsikia sikia”

“Ohoo hivi kumbe ulikuwa haupo Tanzania miaka mingi ehee?”

“Yaa niliondoka huu ni mwaka wa tau sasa, kwa hiyo sikuweza kufwatilia ni kitu gani kinacho endelea”

“Ahaa hapo katikati kulitokea sekeseke. Baada ya uchaguzi mkuu chama cha upinzani si kilichukau nchi”

‘Ndio”

“Watanzania walihitaji mabadiliko, wakampa Godwin nchi, basi nchi aka iharibu haribu hadi akataka kuifanya nchi kuwa ya kifalme kama Uingereza”

“Duuu”

“Yaa ila raisi Praygod akajitahidi sana kuwa katika haraka za kuikomboa nchi akishirikiana na mke wake pamoja na makamu wa raisi Eddy Godwin ambaye ni mtoto wa mzee Godwin”

“Eheee…..”

Katika harakati hizo, raisi mstafu bwana Praygod aliweza kulipuka kwa bomu maeneo ya Mlimani City. Ila cha kumshukuru Mungu, Eddy na Rahab wakafanikiwa kuichukua nchi na sasa inaendelea vizuri sana”

Kusema kweli haya anayo niadisia Shamsa sikuweza kuyasikia kabisa nikiwa mazoezini nchini Cubya. Masaa mawaili na dakika arobaini na tano, yakakatika na tukafanikiwa kufika nchini Tanzania na ndege ikatua katika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Nikamshukuru Mungu kimoyo moyo kwa maana nimefanikiwa kufika nchini kwangu salama salmini. Shamsa akasimama na kuanza kutoa mabegi kwenye sehemu tuliyo yaweka, akanisaidia na mimi ktoa mabegi yangu na wote tukatoka kwenye ndege, moja kwa moja tukaeleke katika sehemu ya kukaguliwa. Nikaonyesha kitambulisho changu, na hapakuwa na tatizo kwa bastola yangu kuweza kupita nayo katika sehemu hii ya ukaguzi. Saa kubwa iliyopo katika uwanja huu wa ndege inaonyesha sasa hivi ni saa tisa usiku.

“Adrus mimi nimekuja kuchukuliwa na magari ya makamu wa raisi”

Kauli ya Shamsa kidogo ikaniogopesha kwa maana nimemchukulia kama raisi wa kawaida, sasa inakuwaje anakuja kuchukuliwa na gari za makamu wa raisi.

“Ina maana kwamba…….”

“Baba yangu ndio makamu wa raisi, na mama yangu ndio ninakwenda kumtazama sasa hivi”

“Sawa”

Tukapeana mikono na Shamsa kisha yeye akaondoka pamoja na walinzi wawili walio kuja kumpokea ambao wanatokea ikulu. Nikabeba mabegi yangu, nikamuita dereva taksi mmoja akanipokea mabegi yangu na kuyaingiaza kwneye taksi yake, tukaingia wote kwenye gari na safari ikaanza kueleka nyumbani kwetu maeneo ya Tabata relini. Kutokana ni usiku hatukuchukua muda mrefu hadi kufika nyumbani, nikashuka getini na kuanza kuminya kengele iliyopo getini.

“Nani?”

Nilisikia sauti ya ukali ikitokea ndani ya geti, sikuogopa sana kwa manaa nina tambu kwamba mama huwa anaajiri vijana kwa kulinda getini kwake, isitoshe leo nimerudi pasipo kuweza kumtaarifu mtu wa aina yoyote.

“Mimi Adrus, muambie mama Maldin kwamba mwanauye nipo hapa”

“Subiri hapo hapo”

Nikasikia vishindo vya mlinzi akiondoka, nikageuka dereva wa taksi na kumuomba anivumile kwa dakika kadhaa kwa maana hapa sina pesa ya Tanzania ambayo ninaweza kumlipa. Baada ya dakika tano nikasikia geti likifunguliwa, akachungulia mlinzi alipo niona akarudisha kichwa ndani. Akatoka mama akiwa amejifunga tenge kiononi akionekana kujawa na usingizi mwingi.

“Ohoooo Adrus mwanangu”

Mama akanikumbatia kwa furaha, kutokana na nguvu nikamnyanyua kidogo akazidi kufurahi kwa maana ugeni wangu hajautarajia.

“Shikamoo mama”

“Maeahaba za huko?”

“Safi mama yangu, niliamua kukufanyia suprize”

“Wee Roby chukua mabegi uingize ndani”

“Sawa mama”

Kijana huyo aliye valia sare za ulinzi, akachukua mabegi yangu na kuingia nayo ndani.

“Mama nadaiwa nauli ya watu”

“Shilingi ngapi baba”

Alimuuliza dereva huyo ambaye nilikubaliana naye shilingi elfu kumi na tano.

“Tunaileta”

Tukaingia ndani huku nikiwa nimeshika mama mkono, moja kwa moja mama akapitiliza chumbani kwake, akarudi akiwa ameshika noti tatu za shilingi elfu kumi kumi. Akamuita Roby na kumpatia pesa hiyo.

“Akurudishie elfu tano”

“Sawa mama”

Roby akatoka sebleni, mama akaka kwenye sofa linalo tazamana na sofa ambalo nimekaa mimi.

“Haya za huko utokapo kwa manaa kila siku dua zangu zilikuwa ni juu yako mwaangu”

“Ahaa mama za huko ni salama tu”

“Ehee niambie baada ya ile siku yenu ya sherehe ulipangiwa kwenda nchi gani?”

Nikaanza kumuadisia mama mambo niliyo kutana nayo hadi nina kutana na Naomi ambaye nimeanzisha mahusiano naye.

“Ila huyo mwanamke unamuamini sana”

“Sana mama”

“Basi unatakiwa kumlindia penzi lake, sio umekuja Tanzania ukaona wasichana wa hapa mjini ukamuacha mtoto wa watu kisa yupo mbali”

“Siwezi kufanya hivyo”

“Ohoo mimi natamani siku kumuona tu”

Tukaendelea kuzungumza mambo mengi na mama, hadi akaniomba nikampumzike na stori zitaendelea kesho asubuhi kwa mana ananiona nimechoka. Tukaagana na mama, nikaelekea chumbani kwangu, uzuri wa nyumba hii huwa mama hufanya usafi mara kwa mara. Nikaichukua picha ya baba yangu ambayo imewekwa kwenye fremu, nikaitazama akiwa amevaa mavazi yake ya kiaskari. Ukinitazama mimi usoni na baba yangu hakuna tofauti yoyote kwa mana atunafanana sana. Nikajilaza kitandani chali huku nikiendelea kuitazama picha hii.

‘Baba nimefanikiwa’

Nilizungumza huku nikiendelea kuitazama picha, usingizi ukanipitia hadi asubuhi. Mama akanigongea mlangoni mwangu, akashangaa kuniona nikiwa nimevalia nguo zangu zile zile nilizo kuja nazo.

“Kwlei umechoka mwanangu, yaani nguo za jana hukuzivua”

“Ahaa ni kweli mama”

“Fanya uzivue, kifungua kinywa tayari”

“Ngoja ninywe kwanza chai ndio nitavua nguo na kuoga”

“Sawa”

Tukaelekea mezani, nikakuta Tv ikiwa inaonyesha chanel ya BBC. Nikavuta kiti kimoja wapo cha hapa mezani na kukaa huku nikitazama taarifa ya michezo inayo onyeshwa, ila kabla taarifa hizo hazijaendelea zikakatishwa na kuwekwa taarifa ya dharura(Breaking News). Mtangazaji wa kike akaanza kuzungumza akidai kwamba ndege iliyo poteza mawasiliano jana ya shirika la FLY EMIRATES, imepatikana ikiwa imeanguka kwenye bahari ya hindi na inasadikika abiria wote walipo ndani ya ndege hiyo nyenye namba B1005 wamepoteza misha, kwa haraka kumbukumbu zangu zikarudi nyuma na kugundua ndege hiyo ndio aliyo ipanda Naomi na mtangazani kwa kudhibitisha hilo akasema ndege hiyo ilikuwa inatokea Uingereza kueleka Marekani. Hapo ndipo nilipo jikuta nikishiwa nguvu na machozi yakianza kunimwagika hadi mama akanishangaa.



“Vipi mwanagu kuna mbona unalia”

“Mama, Naomi”

“Amefanyaje?”

“Hiyo hapo ndio ndege yao iliyo anguka”

“Mungu wangu”

Mama alizungumza huku taratibu akiisogelea Tv, akachukua rimoti mkononi mwangu na kuongeza sauti kidogo kusikiliza kinacho tangazwa. Hata yeye nikamuona simanzi likiwa limemjaa, kwa maana nilisha mueleza kila kitu kuhusiana na Naomi na akanieleza nimpende sana binti huyo na nimlindie penzi lake. Ukimya ukatawala kila mmoja akiwa hana cha kuzungumza. Nikanyanyuka taratibu kwenye kiti nilicho kalia hata hamu ya kula ikaniishia kabisa. Nikaingia chumbani kwangu na kujilaza kitandani, kila nikijaribu kuyafumba macho yangu ninaiona sura ya Naomi niliye kuwa naye siku iliyo pita tu.

“No hajafa”

Nilizungumza huku nikinyanyuka kitandani. Nikatoka chumbani kwa mama na kuelekea sebleni, nikamkuta mama akiwa amekaa kwenye sofa akiendelea kuitazama taarifa hiyo kwa kina.

“Unakwenda wapi?”

“Nahitaji kwenda kuripoti ofisini”

“Ila upo vizuri kweli?”

“Hapana mama ila nitajitahidi, inanibidi kwenda kuripoti”

“Subiri ngoja nimpigie simu dereva taksi aje kukuchukua”

Sikuwa na kipingamizi taratibu nikaa kwenye sofa, mama akawasiliana na dereva huyo. Bada ya dakika kumi akawa amesha fika nyumbani.

“Sasa hizo nguo mwenzangu ndio uzibadilishi”

“Nitazibadilisha nikirudi mama”

Nikatoka na kuelekea nje ya geti nikaingia kwenye taksi na kuanza kumpa maelekezo ya wapi tuelekee

***

“Muheshimiwa hongera sana, umepata mtoto wa kike”

“Kweli?”

“Ndio, ana afya nzuri sana ila tatizo kidogo lipo kwa mama yake”

“Mama yake amefanya nini?”

“Kutokana amejifungua kwa njia ya upasuaji anatakiwa kupata uangalizi mkubwa sana katika hili”

“Ila hali ya mke wangu si itakuwa nzuri?”

“Mungu mwenyewe ndio anaye weza kwa maana sisi wanadamu tunafanya kila tuliwezalo kuhakikisha kwamba maisha ya mtu tunayaokoa”

Furaha iliyo changanyikana na huzuni, ikaendelea kutawala katika mwili wa Eddy. Kila mara anatamani kuweza kumuona mtoto wake huyo mpya wa kike aliye weza kuzaliwa na mke wake Phidaya. Ulinzi mkali ukaendelea kuimarisha katika eneo la hospitali kutokana muheshimiwa makamu wa raisi yupo katika eneo hilo. Manesi wakamuandaa mtoto wa makamu wa raisi Mr Eddy Godwin, kisha wakamuomba aweze kuingia katika chumba cha kuhifadhia watoto.

Eddy kwa shahuku kubwa aingia katika chumba hicho akiwa na tabasamu pana sana. Hata wazo la mke wake Phidaya kuumwa kidogo limepita pembeni kwa muda huu. Akakabidhiwa mtoto wake huyo wa kike mwenye sura nzuri ya kuvitia, aliye barikiwa kupewa afya njema na kubwa sana.

“Muheshimiwa hongera sana”

“Asanteni sana”

Eddy alijibu hongera hizo za manesi huku akimtazama mwanaye huyo.

“Aisee ana kilo kilo hadi najihisi nimebeba mtoto”

“Ni kweli muheshimiwa, mwanao amezaliwa na kilo sita na nusu, ndio maana mama yake aliweza kujifungua kwa upasuaji”

“Ohoo asante Mungu sana, umeweza kuniletea mtoto mwengine, baada ya shida na dhiki hadi mwangu Junio akapoteza misha. Hakuna Mungu kama wewe, uhimidiwe na ubarikiwe”

Eddy alizungumza huku akitabasamu, machozi hayakusita kimwagika hadi manesi hao wawili wakatabasamu, kwa maana ni furaha iliyo pita kikomo. Mlango wa chumba hicho ukagongwa kidogo, nesi mmoja akausogelea na kuufungua, akakutana na mlinzi wa makamu wa raisi.

“Muheshimiwa una mgeni wako”

“Nani?”

“Shamsa”

“Mruhusu, mruhusu aingie”

Eddy furaha yake ikazidi kuongezeka, ni mwaka mzima sasa umepita hajawahi kuonana na mwanaye huyo wa hiyari, aliye ishi yaye kwenye kipindi kigumu cha maisha. Japo waliwahi kuifanya zambi ya unzinzi, Eddy alisha mlilia Mungu wake akatubu na kuamini kwamba amesamehewa. Shamsa akaingia akiwa amejawa na furaha sana, akamfwata Eddy na kumkumbatia kwa pembeni.

“Waaoooo she is beautiful baby”(Waooooo ni mtoto mzuri)

“Yaa like you”(Ndioo kama wewe)

“Real Dady”(Kweli baba)

“Yes, ohooo she take everything to you(Ndio, amechukua kila kitu kutoka kwako)

“Ohoo kweli Mungu ni mwema, hongera sana baba”

“Asante”

“Mama yupo wapi?”

“Bado yupo ICU, hajazinduka bado kutoka usingizini”

“Azinduke haraka nije kumtania”

“Sawa za Uingereza”

Eddy alizungumza huku akimkabidhi mtoto Shamsa, aliye mnnyanyua taratibu na kuendelea kumtazama kwa tabasamu pana.

“Ungireza kwema, maisha nimesha yazoea, asante pia kwa kunikabidhi katika serikali ya kule kusema kweli wamekuwa wakarimu sana kwangu”

“Ahaa sawa sawa na biashara zako”

“Zinaendelea vizuri, juzi nimeingia mkataba na kampuni ya Vodafone, niwaandikie stori ya kampuni yao”

“Safi sana, hayo ndio maisha, unatakiwa kuhakikisha unaitafuta pesa vizuri na kuiwekeza katika mambo mbalimbali usije kusema kwamba baba yako ni makamu wa raisi Tanzania, basi ukawa unaichezea”

“Siwezi kuichezea naitengeneza kwa ajili ya maisha yangu na mwanangu?”

“Mwanao…..!!!?”

“Yaa mwanangu si huyu hapa”

Shamsa ikabidi kuzuga, kwa maana ukweli wa kwamba ana mtoto wa kiume hataki uweze kujulikana kabisa kwa Eddy kwani kunaweza kukaleta mfarakano wa misha katika familia nzima. Wote wakacheka kwa furaha, manesi wakamuomba mtoto wapumzishe.

“Ohoo hakuna shida”

Shamsa akamkabidhi nesi huyo mtoto huyo kisha wote wakatoka katika chumba hicho, na ulinzi makali ukaanza kufwanywa nje ya chumba hicho cha mtoto wa makamu wa raisi nchini Tanzania.

***

“Kweli Mungu ni mwema, kutoka kwenye umalaya wa kujiuza hadi uraisi daaa”

Fetty alizungumza akiwa amekaa ofisini mwa Rahab, ambaye ndio raisi wan chi ya Tanzania, aliye hakikisha anamtoa madarakani mzee Godwin aliye anza kuiendesha nchi kwa maslahi yake binafisi pasipo kuangalia kwamba kuna mamilioni ya Watanzania wanaumia kwa maamuzi yake.

“Kusema kweli Mungu ni mwema, ila rafiki yangu hakuna kazi ngumu kama kuongoza nchi”

“Kwa nini unazungumza hivyo wakati watu wengi wanapenda kuongoza nchi”

“Ukiongoza nchi unatakiwa kuwa na maamuzi magumu, ili wanachi waweze kunufaika, hii ni sawa na ndoa, aliyopo nje anatamani kuingia ila aliyopo ndani anatamani kutoka”

Wote wakajikuta wakicheka kwa furaha. Kicheko chao kikakatishwa na mlio wa meseji ulio ingia kwenye simua ya Rahab, akaichukua simu na kufungua ujumbe huo wa simu na kukuta umetoka kwa Eddy.

(Muheshimiwa nimepata mtoto wa kike)

“Waoooo nilisemaaaa”

Rahab alizungumza huku akinyanyuka kwneye kiti chake na kushangilia baada ya kuisoma meseji hiyo kutoka kwa msaidizi wake wa kuingoza nchi.

“Umesema nini?”

“Chukua chukua ujioneee”

Rahab akamkabidhi simu Fetty aliye isoma meseji hiyo na yeye mwenyewe akaachia tabasamu pana huku akionekana kujawa na furaha sana kwa maana wote ni miongoni mwa watu wa karibu sana na Eddy na hata kipindi Phidaya amebeba ujauzito huo, walifurahi sana na kumtabiria mambo mengi.

“Daa safi sana, amejifungua jembee”

“Umeonaa eheee”

“Yaa, mpigie umuulize yupo wapi?”

“Poa”

Rahab akaichukua simu yake na kuanza kuitafuta namba ya Eddy kwenye kitabu chake cha kuhifadhia kumbukumbu alipo inaona akaminya kitufe cha kupigia simu na kuiweka sikioni. Simu ya Eddy ikaita kwa muda mfupi kidogo kisha ikapokelewa.

“Baba Kijacho sasa hivi nikubatizee jina ganiiiiii weweee”

Rahaba alizungumza kwa furaha sana na kumfanya Eddy kuzidi kucheka kwa furaa.

“Lolote raisi wangu nipatie hilo jina”

“Mmmmmm, ngoja kwanza mama yake yupo karibu?”

“Hapana mama yake amejifungua kwa upasuaji, kwa hiyo yupo ICU”

“Ohooo mbona sasa inakuwa hivyo jamanani, basi nitampa jina hadi nizungumze na mama yake”

“Sawa sawa”

“Kwa jiyo jina la baba kijacho ndio lileeeee limekwenda na maji”

“Yaaa Mungu amenisaidia, ila nipo na Shamsa”

“Weee hembu mpe simu huyo kichaa nimsalimie”

“Haloo”

“Wewe mtoto wewe, nimekuja uingereza, nikataka kuonana na wewe ukanikimbia wewee”

“Hapana muheshimiwa, siku unataka kuonana na wewe nilikuwa mbali sana”

“Ahaa, umekuja lini Tanzania?”

“Nimeingia saa nane usiku”

“Ahaaa, usiondoke pasipo kuonana na mimi, nataka kukupiga kwenzi moja tu la kichwa”

“Mmmm jamani si utaniumiza?”

“Ndio hapo, haya hembu mpe simu baba deshi deshi”

“Hahaa haya huyu hapa”

“Haloo”

“Eddy, nina furaha tena sana,”

“Asante sana muheshimiwa”

“Yaani Phidaya akiamka tuu na kumshika mwanye, mpe simu umuambie muheshimiwa anataka kumpa jina mtoto”

“Hahaa ajasahau”

“Nisahau, nitakuwa raisi au nini”

“Haya”

Rahab akakata simu huku akiwa na tabasamu pana, kusema kweli furaha imetawala kwenye familia hii. Kwa haraka Rahab akaingia kwenye ukurasa wake wa Twiter na kuweka picha ya Eddy akiwa na Phidaya na kuandika maneno yasomekayo. Hongera Makamu wa raisi kupata baby Girl. Picha hiyo hiyo akaiweka katika ukurasa wake wa Instergram na kuyaandika maneno hayo yaliyo wafurahisha watanzania wengi sana walio anza kutoa pongezi nyingi sana.

***

Adrus akafika katika ofisi yao ya wana usalama. Kila aliye muona sura yake ilijawa na mshangao kwa maana hakuna aliye tarajia kumuona kwa wakati kama huu. Akasalimiana na rafiki zake hao na moja kwa moja akaelekea ofisini kwa bosi wake.

“Adrus karibu sana”

“Asante muheshimiwa”

“Kusema kweli tunajivunia juu yako, sifa zako nimezipata na hata raisi amefurahishwa sana”

“Shukrani sana muheshimiwa”

“Vipi siku zako tatu za kustarehe umezishuhulikia vipi?”

Adrus akaachia tabasamu pana huku akimtazama mkuuw ake huyu wa kazi ambaye ni mtu wa furaha na mtu wa kuwapenda wafanyakazi wake wanao jituma. Hata nafasi ya kuelekea nchini Cuba yeye ndio aliye mtafutia na kumpatia nafasi hiyo ambayo Adrus ameitendea haki kisawa sawa na kuweka historia kuwa mwanajeshi wa kwanza kutoka barani Afrika kumkamata gaidi wa Alquida.

“Nimezitumia vizuri muheshimiwa”

“Najua umezitumia vizuri, kwa maana mpenzi wako Naomi naye ana furaha”

Bwana Ngoi alipo zungumzia swala la Naomi kidogo likamstua Adrus ambaye taratibu akajikuta akiingiwa na huzuni kubwa sana.

“Najua una wasiwasi, ila kwa bahati nzuri, Naomi aliachwa na ndege katika uwanja wan de wa nchini Mexco”

“Wee acha kunitania?”

“Nikutanie nini Adrus, tatambua kwamba unahisi amekufa kwenye ajali ila alishuka nchini Mexco ndege ikamuacha na hiyo ndio ponea chupupu chupu yake la sivyo sasa hivi tungekuwa tunawaza jambo kama hilo”

“Ohoo asante Mungu”

“Sasa sihitaji tupoteze muda, raisi aliniagiza baada ya wewe kutia mguu wako nchini Tanzania basi anahitaji kukuona uso kwa uso”

“Sawa muheshimiwa nina sikia kwamba raisi wa sasa ni mwanamke”

“Yaa ni binti mdogo mdogo tu hata miaka arobaini hajafikisha, ila ana uwezo na akili ya kuiongoza hii nchi”

Mzee Ngoi alizungumza huku akinyanyuka kwneye kiti alicho kalia, kwa pamoja na Adrus wakatoka ofisini humo na kueleka kwenye maegesho ya magari na safari ya kuelekea ikulu ikaanza. Katika maisha yake Adrus hakuamini kwamba ipo siku anaweza kuja kuingia ikulu tana kwa mualiko wa raisi. Hawakuchkua masa mengi wakafanikiwa kufika ikulu moja kwa moja mzee Ngoi akasimamisha gari lake kwenye maegesho maalumu kisha wakashuka na kuelekea ofisini mwa raisi.

“Muheshimiwa yupo?”

“Ndio yupo, ila ana mgeni”

“Mjulishe kwamba Mzeee Ngoi kutoka katika kikosi cha NPS(Nation President Security) nipo hapa”

“Sawa”

Sekretari akapiga simu ofisini kwa raisi na kumjulisha ugneni uliopo hapa nje, raisi Rahab akamruhusu mzee Ngoi kuingia ndani ya ofisi yake.

“Adrus twende”

Adrus akajiweka vizuri shato lake na kuingia ndani ya ofisi ya raisi. Raisi Rahab akawakaribisha kukaa kwenye sofa hizi huku akiwa amejawa na furaha. Hata Fety mwenyewe ambaye kwa sasa ni mshauri mkuu wa raisi akaka kwenye sofa jengine.

“Mzee kwanza heshima yako”

“Asante, sasa muheshimiwa kama ulivyo weza kunieleza nimeweza kukuletea kijana ambaye uliniagiza kwamba akirudi kutoka huko alipo rudi basi nimlete ofisini kwako”

“Ahaaa kijana mwenwe ndio huyo kumbe”

“Ndio muheshimwa, Adrus msalimie mkuu wako”

Adrus akasimama na kupiga saluti hadi Fetty akatingisha kichwa akifurahia saluti ya komandoo huyu mwenye umri mdogo kuloiko makomandoo wote nchini Tanzania.

“Safi unaitwa nani kijana?”

“Ninaitwa Adrus Maldin Sir”

Adrus alijibu akiwa katika hali ya ukakamavu.

“Kaka chini Adrus, sasa leo kusema kweli nina furaha kubwa sana kwenye maisha yangu. Na Adrus umekuja katika wakati mzuri sana. Kuanzia leo nitakupa jukumu la kumlinda mke wa makamu wa raisi ambaye ametuletea duaniani mtoto wa kike”

“Sawa muheshimiwa nitafanya kazi kwa uwezo wangu wote muheshimiwa”

“Naamini hilo na kwa kukuona ninatambua kwamba unaweza kumlinda mke wa makamu wa raisi yeye na mtoto wake hakikisha kwamba hawapati tatizo lolote kwenye maisha yao na mshahara wako kuanzia leo utalipwa kutoka ofisi ya raisi”

Rahab alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu, mtoto wa Eddy anamchukulia kama ni mtoto wake, japo watu wanaume wengi wanamtamani kuwa naye kimapnenzi ila humuogopoa kutokana ni raisi mwenuye kuogopewa sana.



Taratibu raisi Rahab akanyanyua simu yake na kumpigia Eddy, simu ikaita kwa muda na kupokelewa. Akamuelezea adhama yake ya kutaka kumuwekea mkewe mlinzi. Hapakuwa na kipingamizi chohcote kwa Eddy kwa maana hilo ni moja ya jukumu la serikali kuweka mlinzi maalu wa kuilinda familia yake.

“Sasa bwama Ngoi kesho asubuhi na mapema hakikisha unamleta kijna wako hapa ikulu na kazi inaanza”

“Sawa mkuu”

Mzee Ngoi na Adrus wakatoka ofisini kwa raisi na kuanza safari ya kurudi katika makao makuu ya kikosi chao huku Adrus akiwa wamejawa na furaha kubwa sana moyoni mwake kwani kazi aliyo pewa ina wepesi kidogo japo ni ngumu sana kwa upande mwingine.

***

Hali ya Phidaya ikazidi kuimarika siku hadi siku, furaha ikaziid kuongezeka katika family yake, kwa maana wamesha muongeza mtoto mwengine japo wa kwanza aliweza kukumbwa na mauti akiwa bado mdogo sana. Baada ya wiki mbili akaruhusiwa kutoka hospitalini yeye na mwanaye, wote afya zao zinaendelea vizuri hususani afya ya mtoto wao wa kike ambaye hadi sasa hivi hawajampatia jina.

Sherehe kubwa ambayo Rahab aliamua kumfanyia Phidaya, ime udhuriwa na watu wengi nyumbani kwa makamu wa raisi muheshimiwa Eddy Godwin. Ulinzi mkali ukazidi kuimarishwa katika kila kona ya nyumba hii ya kifahari. Miongoni mwa walinzi hao ni Adrus ambaye amevalia suti nyeusi pamoja na shati jeupe huku akiwa na tai nyeusi nyembamba, iliyo mpendezesha sana. Hii ndio kazi yake ya kwanza kuifanya tangu akabidhiwe jukumu la kumlinda mke wa makamu wa riasi.

“Madam ni muda wa kutoka sasa”

Adrus alizunngumza huku akiwa amesimama kwenye mlango wa chumba maalumu ambacho Phidaya na wapaambe kadhaa wa urembo, wanampamba.

“Saswa kijana umesema jina nani vile……?”

“Adrus Maldin”

“Ohoo sawa, ngoja wamalizie kunipaka paka poda, vipi Eddy yupo wapi?”

“Anakusubiria, yupo pamoja na mtoto”

“Sawa”

Wapambe wa Phidaya wakampaka paka poda kwa haraka haraka kisha wakatoka naye chumbani humo huku Adrus akiwa yupo nyuma akiwa makini sana katika kuangalia kila mtu ambaye yupo katika eneo analo pita Phidaya. Phidaya akafika sebleni, akakumbatiana mume wake kisha akamkumbatia na Shamsa, ambaye siku zote tangu ajifungue yupo naye bega kwa bega akimsaidia kwamba mama yake huyo wa hiyari anakuwa katika hali nzuri, na kwa jinsi wanavyo fanana Shamsa na Phidaya ni ngumu sana kwa mtu kuto kuamini kwamba hao si ndugu.

“Upo tayari?”

“Yaa nipo tayari mume wangu”

“Ngoja nimbebe mtoto mimi”

Eddy alizungumza huku akimchukua mtoto kutoka mikononi mwa Phidaya. Wote kwa pamoja wakiwa wameongozana na walinzi wao, wakaanza kutoka nje ambapo ndipo sherehe hiyo itakapo fanyika kwenye bustani hizi nzuri za kupendeza zilizo pambwa kisawa sawa.

“Wageni waalikwa mabibi na mabwana, makofi tafadhali kwa mr and mrs Eddy Godwin wakiongozana na watoto wao wawili Shamsa na mwengine ambaye muda si mrefu watatuambia anaitwa nani.”

Watu wpte walipo katika bustani hizi, wakasimama kutoka kwenye viti vyao walivyo kuwa wamevikalia na kuanza kupiga makofi kumshangilia Eddy, Phidaya na Shamsa wanao shuka kwenye ngazi za kueekea kwenye bustani hizo. Uvaaji wao wote watatu kusema kweli umewapendezesha sana. Kila mmoja hakusita kumwaga sifa kwamba wamependeza na wana vitia kisawa sawa.

Eddy na familia yake wakapita kwenye meza za viongozi na kuanaza kuwapa mikono wakimuanza raisi Rahab. Wachukua video na wapiga picha hawakuwa nyuma katika kuhakikisha kwamba wanapata picha za uhakika hususani picha za mtoto huyo mpya, kila aliye mtazama mtoto huyo moyo wake ukajawa na amani akiamini kwamba mtoto huyo ni kivutio kikubwa sana mbele za macho ya watu.

***

John na Dokta Ranjiti, macho yao wakazidi kuyakaza kwenye kioo cha Tv hiyo kubwa iliyopo ndani ya ofisi ya John. Kila mmoja akajikuta anapatwa na hasira kivyake. Dokta Ranjiti anaumia kumuona Phidaya aliye kuwa ni mke wake akiwa yupo na mwanaume ambaye anamchukia kupita maisha yake yote. Isitoshe ana mtoto mdogo mzuri, na wachukua kamera basi kamera zao zote wanzimulika kwa mtoto huyo wa kike.

John naye hasira ikazidi kuutawala moyo wake na kuzidi kudunda kwa kasi kila anapo mtazama Eddy aliye kuwa rafiki yake kipenzi tangu walipo kuwa kidato cha tano nchini Tanzania. Matukio mengi mabaya aliyo fanyiwa na Eddy hususani la kumkata viongo vyake na kumsababishia ukilema ambao kwa sasa umebadilika kutokana na kufanyiwa oparesheni maalumu ya kupandikizwa viongo ambayo kadri siku zinavyo zidi kwenda vinaendelea kushikana na mwili wake na kuwa imara zaidi.

Tukio jingine linalo uumiza moyo wa John ni kuhusiana na kifo cha mzee Godwin, pamoja na binti yake Manka na wakajikuta wakiipoteza nchi ya Tanzania mikononi mwao.

“Nilazima wafe, tena nitawaua kwa mkono wangu mimi mwenyeweee”

John alizungumza huku akisimama kwenye kiti akiwa na fimbo yake inayo msaidia katika kutafuta muhimili kwa mana viongo vyake bado havijapona kisawa sawa.

“Muheshimiwa unafikiria nini hadi sasa”

John akanyamaza kimya huku akiitazama sura ya mtoto wa Eddy, kisha akatabasamu kidogo na kuanza kuisogelea Tv hiyo, kwa kutumia fimbo yake hiyo ya kutembelea akainyanyua na kuielekezea kwa mtoto wa Eddy.

“Tuhakikishe kwamba huyu mtoto ndio anakuwa funguo yetu ya kuichukua Tanzania”

Wazo hilo likamfanya dokta Ranjiti naye kutabasamu kwa maana hata yeye akilini mwake amekuwa akimfikiria sana mtoto huyo wa Phidaya aweze kumuangamiza mapema iwezekanavyo ikiwa kama njia ya kulipiza kisasi

***

“Asanteni sana ndugu zangu mulio weza kufika hapa, hapa kidogo cheo changu cha uraisi nikiweke pembeni na nizungumze hapa kama mwana familia.”

Raisi Rahaba alizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa furaha ndani yake huku akiwatazama wageni waalikwa pamoja na Eddy na familia yake.

“Kipindi ninakutana na Eddy, kwenye sherehe yake ya harusi na nilimuona ni kijana mmoja mlegevu, mnyonge mpole mpole, nikataka kumjaribu kumuambia marehemu mune wangu kwamba hembu mpatie uwaziri huyu kijana. Na kweli mume wangu alifanya hivyo, akampatia uwaziri wa ulinzi. Naamini wengi wetu muliona jinsi nchi ilivyo simama, inchi ilikuwa na heshimwahapakuwa na mambo ya ubabaishaji ubabaishaji”

“Nikajifunaza kitu kimoja kwamba, kwamba usimtazame mtu kwenye macho na ukamfikiria kama unavyo weza kumfikiria. Katika wanaume ambao ni mashupavu na wasio kata tama mmoja wapo ni Eddy. Alisimama kidete katika kuhakikisha kwamba kwamba tunamng’oa baba yake madarakani, na kuifanya hii nchi kuwa ni nchi ya wanachini na si nchi ya familia, kama alivyo itaka kuifanya iwe inchi ya familia. Kwa hilo ninakupongeza sana mr Eddy”

Watu karibia wote wakaanza kupiga makofi wakiwa wamejawa na furaha.

“Eddy ni mwanaume ambaye anaweza kukbiliana na majukumu ya familia yake, hata iwaje atahakikisha familia yake inakuwa salama. Kwangu mimi naweza kusema kwamba ni baba bora, baba anaye weza kuutoa uhai wake kwa ajili ya familia yake na watu wake.”

Watu wote wakaka kimya wakimsikiliza muheshimiwa raisi

“Tulihangaika poamoja sana, kukabiliana na magaidi ambao walipanga kuiangamiza hii nchi, tulihangaika kwa pamoja kuhakikisha kwamba kila kitu kinakwenda vizuri. Hadi leo hii ninasimama hapa na kuwa raisi wa kwanza nchini Tanzania, basi nyuma yake upo mkono mkubwa wa Eddy pamoja na wana familia yake na marafiki zangu watatu, ambao ni Fetty, Halima na Agnes na mwenzetu mmoja Anna aliweza kufariki kipindi tupo kwenye mapambano ya kuiokoa hii nchi, tuzidi kumuombea kwa mwenyezi Mungu”

“Pia nisiwe mchoyo wa kusema asante sana kwa Eddy na mke wake Phidaya kwa kuweza kunipa nafasi hii ya kumchagulia jina mtoto wao wa kike……..”

Raisi Rahab akakaa kimya huku akimtazama Eddy na Phidaya kwenye meza waliyo kaa kwa pamoja, akashusha pumzi kidogo kisha akaendelea kuzungumza.

“Ninampa jina la CAMILA”

Watu wote wakapiga makofi kwa furaha kila mmoja akionekana kupendezwa na jina hilo.

“Kwa nini nimempa jina la Camila? Nimempatia jina hilo kutoka kwa marehemu mama yangu, alikuwa ni jasiri na kwa imani yangu nina amnini kwamba huyo mtoto atakuwa ni jasiri na hodari kama baba yake”

Watu wakaziid kupiga makofi. Eddy na Phidaya wakanyanyuka kwenye viti walivyo kalia moja kwa moja wakaeleka hadi sehemu aliyo simama raisi Rahab, wakamkabidhi mtoto ambaye mudia wote amejawa na tabasamu pana usoni mwake na si mtoto wa kulia lia.

Wapiga picha na wachukua video hawakusita kuwa karibu kuhakikisha wanarekodi kila tukio hilo linalo endelea kwenye eneo hili. Sherehe zikaendelea huku watu wakiwa wamejawa na furaha. Agnes japo moyo wake unamuuma kumuona mwanaume aliye mpenda kwa sasa yupo katika hali ya furaha na familia yake ila hapakuwa na jinsi yoyote zaidi ya kukubaliana na mtokeo

“Hongera sana muhuheshimiwa”

Agnes alizungumza huku akimpa Eddy mkono

“Asante sana, asante pia kwa kufika”

“Ahaa usijali nimefika kuweza kumuona mwanao, nimependa sana hadi nimemuweka kwenye profile picture za akaunti zangu Tanzania”

“Nashukuru, japo naamini kuna kitu kinacho endelea kwenye moyo wako, ila yale yote yaliyo pita tuyaweke yawe kama historia kwenye maisha yetu”

“Yaa nalitambua hilo Eddy wala lisikupe tatizo, na pia nina mpango wa kuondoka Tanzania na kwenda nchi yoyote kuanza maisha mapya”

“Na uongozi ulio kabidhiwa?”

“Ahaa nitamuomba Rahab, aweze kuupeleka kwa mtu mwengine, naamini nikiendelea kuishi Tanzania, nitazidi kuumia sana kwa maana bado nina kupenda”

Eddy alipo muona Shamsa anakuja upande wao, ikabidi kubadilisha mada ya mazungumzo yao.

“Eheee Shamsa”

Agnes alizungumza kwa shauku kubwa huku akimkumbatia Shamsa.

“Nilikuona muda ule nikataka kukusalimia ila ukanikimbia”

“Ahaa ni maisha mdogo wangu, ila umependeza”

“Asante hata wewe pia umependeza sana”

“Ila kusema kweli, huyu mtoto ana fafana sana na Shamsa”

“Yaa ameiba sura ya dada yake”

“Kweli”

“Shamsa, mchukue Camila kidogo nina mazungumzo”

Shamsa akampokea Camila, akaaga na kuondoka eneo hilo na kuwaacha Eddy na Agnes wakizungumza. Phidaya kila sehemu alipo katika katika bustani zao watu hawakusita kumpongeza kwa kujipatia mtoto mzuri.

“Asanteni sana”

Phidaya alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake. Adrus hakuwa mbali na alipo Phidaya macho yake yana umakini sana kwa watu wanao salimiana na mke wa makamu wa raisi. Simu ya Phidaya ikaingia meseji kutoka kwa Shamsa, akawaomba watu anao zungumza nao wamsamehe kidogo kwa maana ana jambo anahitaji kuweza kulishuhulikia.

Kama ilivyo kazi yake Adrus akaendelea kumfwata nyuma Phidaya, wakaingia ndani kwa pamoja na kumkuta Shamsa akiwa amekaa sebeleni na Camila

“Kuna nini Shamsa”

Phidaya aliuliza huku akiwa amejawa na wasiwasi mkubwa huku macho yake yote akimtazama mwanaye aliye yafumba huku Shamsa usoni mwake akimwagikwa na jasho jingi sana.


Shamsa hakuzungumza kitu zaidi ya kukaa kimya, Phidaya kwa haraka akamsogelea Shamsa na kumchukua mwane. Camila akayafumbua macho yake huku akianza kulia kutokana na mtingishiko kidogo alio upata kutoka mikononi mwa Shamsa kwenda kwa mama yake.

“Sio mtoto”

“Ila kuna nini”

Shamsa akachukua simu yake na kuminya sehemu ya sauti ambayo muda machache alitoka kuzungumza na mtu.

‘HALOOO PHIDAYA NAONA UMEPATA MTOTO MZURI WA KUPENDEZA. ILA TAMBUA KWAMBA MIMI BADO NINAKUPENDA NA NITAHAKIKISHA WEWE NA MWANAO MUNAKUWA WANGU NA UKILETA UBISHI NITAHAKIKISHA HUYO KIFANGA CHAKO NINA KICHINJILIA MBALI’

Si Phidaya wala Adrus, wote macho yakawatoka kusikia sauti hiyo ya dokta Ranjiti. Phidaya akahisi kizunguzungu jambo ambalo Adrus aliweza kuliona kwa haraka akamzuia Phidaya kwa nyuma kisha Shamsa akamchukua mtoto. Kitendo cha makabidhiano ya mtoto kukamilika, Phidaya nguvu zikamuishia. Adrus akamdaka na akamnyanyua na kumpeleka katika chumba cha mapumziko huku Shamsa akihakikisha anawasiliana na Eddy ambaye yupo nje ya akizungumza na watu walio weza kufika katika shuhuli ya mtoto wake.

“Eddy kuna tatizo”

“Tatizo gani?”

“Nakuomba uje chumba cha mapumziko sasa hivi”

“Ni……”

Eddy hakumalizia neno lake, Shamsa akawa tayari amesha kata simu. Eddy pasipo kuzungumza na mtu wa aina yoyote moja kwa moja akaelekea katika chumba cha mapumziko na kukuta Phidaya akiwa amelazwa kwenye kitanda.

“Kuna nini kinacho endelea hapa?”

Eddy aliuliza huku akikaa pembeni ya kitanda akimtazama Phidaya usoni. Shamsa hakuhitaji kujibu swali hilo alicho kifanya ni kumsikilizisha Eddy sauti ya dokta Ranjiti. Taratibu Eddy akajikuta akinyanyuka kwenye kitanda huku hasira ikiwa imepanda, meno ameyang’ata kwa pamoja laiti kama dokta Ranjiti angekuwepo mbele yake nina uhakika angehakikisha kwamba anamuua kwa mikono yake mwenyewe.

Eddy akaona hairidhiki akaisikiliza sauti hiyo kwa mara ya pili, akashusha pumzi yake taratibu. Akatoka pasipo kuzungumza na mtu yoyote. Akatoa simu yake mfukoni na kumpiga mdaktari wake.

“Nenda chumba cha mapumziko mama kidogo anatatizo”

“Sawa mkuu”

Eddy akakata simu moja kwa moja akaelekea sehemu alipo kaa muheshimiwa riasi Ms Rahabu.

“Nahitaji tuzungumze”

Rahab pasipo kipingamizi akanyanyuka kwneye kiti alicho kalia na kuacha kila kitu alicho kuwa anakifanya. Wakasoge pembeni sehemu ambayo sio rahisi kwa mtu mwengine kuweza kuyasikia mazungumzo yao.

“Nina tatizo”

“Tatizo gani tena?”

“Ranjiti naona sasa anahitaji kunigusa sharubu. Vitu alivyo nifanyia miaka michache iliyo pita nina imani anahisi havijanitosha”

“Eddy kwanza punguza jazba, kisha nenda kwenye pointi. Ranjit amefanya nini”

Eddy akamnya alama ya pembe tatu iliyopo kwenye simu ya Shamsa na kuiruhusu simu hiyo kutoa mazungumzo ambayo Shamsa aliyarekodi kipindi alipo pigiwa simu na dokta Ranjiti.

“Ohoo Mungu wangu?”

Rahab alizungumza huku akijishika paji la uso wake kwa maana kitu alicho kisikia ni kizito masikioni mwa kila mmoja isitoshe mtoto mwenyewe ndio kwanza ni mgeni kwenye huu ulimwengu ila ameanza kukutana na vitisho vizito.

“Nitahitaji hii kazi niifanye mimi mwenywe”

“Hapana Eddy kumbuka ya kwamba wewe sasa hivi ni nani na unapaswa kufanya nini katika hii nchi. Hili jambo acha tulibebe sote na tulichukulie ni swala la ugaudi kwa kutuma vikosi maalumu kila kitu ninaamini kinakwenda kuwa sawa”

“Rahab naamini kwamba hufahamu ni kitu gani kinacho endelea, huu ni mtandao mkubwa sana. Huu ni mtandao ambao una viongoz wengi karibia nchi zilizo tuzunguka. Sasa tukicheza vibaya na hii ni ishu ya familia hii ichi uutashindwa kuiongoza”

Maneo ya Eddy yakamfanya Rahab kukaa kimya kwa sekunde kashaa kwa maana kitu anacho kizungumza Eddy ata yeye mwenywe alisha wah kukumbana na balaa lake ambalo kusema kweli liliwamumiza vichwa kwa asilima kubwa sana.

“Sasa tunaanzia wapi?”

“Kuanzia sasa hivi nahitaji familia yangu kuwekwa katika nyumba ambayo hakuna watu ambao wataweza kuifahamu, kwa maana hii ni dalili mbaya sihitaji kupeteza mwanangu mwengine”

“Nimekuelewa Eddy, ila kwa sasa Phidaya na mtoto wapo wapi?”

“Wapo chumba cha mapumziko, Phidaya baada ya kuisikia hii sauti aliweza kuzimia”

“Mungu wangu, ila hali yake ipo vipi?”

“Naamini ni mstuko tu ila ataamka, kitu kikubwa kuanzi sasa hivi ni kuhakikisha mke wangu na mwangu wanakuwa katka hali ya usalama”

“Usijali katka hilo kuanzia sasa hivi ninaanza kuweka ulizi wa kutosha. Hadi inattimu asubuhi nina amini nyumba salama kwa familia yako kuishi itapatikana”

“Asante sana Rahab”

“Usijali. Twende tukamuone”

Rahaba na Eddy wakaondoka wakiwa wameongozana na walinzi wao. Wakaingia kwenye chumba cha mapumziko na kumkuta Phidaya ndio akiwa amekaa kitako kitandani amemshikilia mtoto wake.

“Mama Camila usiwe na wasiwasi kila kitu kinakwenda kuwa sawa”

“Nitashukuru sana Rahab”

“Nakuahidi hakuna mtu atakwenda kumgusa mwanao wala wewe. Kuanzia sasa swala hili nimelikabidhi kwenye kikosi cha NNS, wataanza kufwatilia kila jambo linalo kwenda na huyu kijana wako wa ulinzi naye ni miongon mwa watakao lishuhulikia hili tatizo”

“Sawa sawa asante sana Rahab”

Phidaya alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Taratibu Rahab akanyanyuka kwenye kiti chake na kumkumbatia Phida kwa nguvu na kuanza kumbembeleza.

***

“Umekosea sana kutuma vitisho kwa njia ya sauti”

John alizungumza kwa hasira huku akimtazama dokta Ranjiti aliye kaa kiti cha mbele yake kwenye meza kubwa ndani ya ofisi ya John.

“Hivi unajua ni watu gani wanao iongoza hiyo nchi, Unatambuaaaa?”

John akaendelea kufoka huku akiendelea kukazia macho dokta Ranjiti aliye inamisha kichwa chini akiwa na wasiwasi mkubwa.

“Tanzania sasa hivi inaendesha na vichaa, wendawazimu wawili Rahab na Eddy. Tena ni mara mia moja na Rahab kuliko Eddy. Ninamfahamu tangu shuleni, ni mtu asiye kata tamaa pale anapo amua jambo lake. Sasa wewe na ujinga wako unakwenda kabisa kupiga simu na kutoa vitisho unahisi hiyo Signal ya simu yako si itaoenekana hadis sehemu tulipo?”

“Hapana mkuu, baada ya kuzungumza laini niliivunja na wala sikuzungumza mazungumzo hayo ndani ya hki kisiwa kwa hiyo hawawezi kutukamata”

“Ehee ngoja nikuambie kitu kimoja tena ukiweke akilini mwako. Ninamuogopa sana Eddy na kila siku ninatafuta mbinu na jinsi gani ninaweza kuja kuwa juu yake ila hadi sasa sijapata. Chochota ulicho kianzisha na Eddy, utakimaliza wewe mwenyewe. I hope unakumbuka mwaka juzi alikufanya nini? Toka ofisini kwangu”

Dokta Ranjiti akanyanyuka kwneye kiti alicho kalia na kutoka nje ya ofisi ya John baada ya kuufunga mlango akageuka nyuma na kuutazama umlango huuo kisha akazungumza maneno ya Kihindi yenye maana kwamba ipo siku atamuangusha John ambaye ni kijana mdogo sana anafokewa kama mtoto mdogo.

***

Adrus hukurudi kabisa nyumbani kwa mama yake alicho kifanya ni kumjulisha kwa kupitia njia ya simu juu ya uwepo wa kazi ngumu aliyo kuwa nayo mbele yake.

“Adrus unaitwa”

Shamsa alimuambia Adrus aliye kaa sebleni akichezea chezea simu yake

“Nahitajika wapi?”

“Ofisini kwa baba huku, twende nikakuonyeshe”

Adrus na Shamsa wakaongozana hadi ofisini kwa Eddy na kumkuta Eddy akiwa amesimama kwenye dirisha lake kubwa la vioo akitazama mandhari ya jumba lake hili la kifahari.

“Karibu ukae”

“Asante sana muheshimiwa”

“Shamsa naomba utupe dakika tunamazungumzo”

“Sawa baba”

Shamsa akatoka ofisini humo na kuwaacha Adrus na Eddy.

“Nimepitia detail zako hapa, zimeniridhisha kwa kiasi kikubwa sana, na nikatokea kukuamini katika hili ambalo ninakwenda kukuagiza”

Eddy alizungumza huku akimtazama Adrus usoni kwa macho yaliyo jaa udadisi.

“Kipindi nilipo kuwa na umri kama wako nilikuwa ni kijana ambaye skuhitaji kushindwa na jambo ambalo lipo kwenye uwezo wangu. Hata jambo ambalo lilikuwa halipo katika uwezo wangu nilihakikisha kwamba ninalifanikisha”

“Nimezungumza yote hayo kwa sasabu nahitaji kukuamini, nahitaji uwe mtu wangu wa karibu japo umepewa jukumu la kumlinda mke wangu, ila kwa jukumu hilo nina imani utanisaidia sana”

Eddy akafungua Laptop ambayo ilikuwa ni mali yam zee Godwin na aliwahi kutoroka nayo kipindi cha nyuma alipo ingia ikulu akiwa amevalia sura ya bandia jambo lililo mfanya hata baba yake marehemu mzee Godwin kushindwa kumtambua kabisa.

“Hii Laptop ilikuwa ni mali ya baba yangu marehemu mzee Godwn. Kupitia hii Laptop nimejifunza vitu vingi ambavyo kusema kweli sikuwahi kuvifahamu hapo awali japo baba yangu niliweza kumuona ni mbaya mbele yangu na hata jamii ilimtambua kwamba yeye ni mbaya ila baada ya kifo changu nimetambua kwamba baba yangu ni mtu mwema sana aliye zisimamia ndoto zake ili ziweze kufanikiwa”

Adrus akaendelea kumsikilia makamu wa raisi ndugu Eddy Godwn mambo anayo yazungumza.

“Ila katka wema wake wa kuhitaji kusimamia ndoto zake, ila mapungufu makubwa yapo ambayo yamepelekea hadi sasa hivi kuamua kukukabidhi hii kaz wewe uweze kuifanya kuanzia moja baada ya nyingine”

Eddy akamgeuza Adrus Laptop hiyo, Adrus akaona picha nyingi za watu walo valia suti. Huku kukiwa na picha ya Mzee Godwin pamoja na Manka.

“Hao unao waona hapo ndio waasisi wa kikundi cha D.F.E kirefu chake ni Destination of my Enemies. Kikundi hichi kimejaa watu wenye nguvu dunia, wenye pesa, wenye madaraka ya juu kwenye nchi zao. Wanao tumia kikundi hichi kama njia moja ya kulipiza visasi kwa wale wote ambao waliweza kuwakosea wao.”

“Wana mtandao mkubwa sana ndani na nje ya Tanzania. Makao makuu yao hadi sasa hivi siwezi kuyafahamu kwa maana ndani ya hii Laptop sijaweza kuona data yoyote nayo onyesha ni wapi wao walipo”

“Natambua kwamba peke yako huwez kufahamu, ila kuna huyu mmoja wa kuanza naye ninahitaji umshuhulikie hata ikiwezekana uniletee, nimuue mimi mwenyewe kwa mikono yangu. Hapo ndipo moyo wangu utapata amani”

“Yupi kati ya hawa”

Eddy akagusa kioo cha Laptop hiyo na picha ya dokta Ranjiti ikawa kubwa

“Anaitwa Ranjiti Khan, amezaliwa mwaka 1965 inchini Hindia katika mji wa Mombai. Hana mke ila ana mtoto wake wa kike ambaye anampenda sana kupita maelezo”

“Kama ulivyo sikia mazungumzo yake, anataka kumuua mwangu na kumchukua mke wangu. Sasa basi nahitaji kupitia wewe na u handsome wako boy ulio nao. Uelekee Marekani anapo soma huyu mwanaye uhakikishe unamshawishi mpaka unakuja naye hapa Tanzania kupita yeye tutampata baba yake. Je upo tayar katka hii kazi?”

“Ndio naiweza muheshimiwa”

Adrus alizungumza kwa sauti ya msisitizo huku akimtazama Eddy usoni jambo lililo mfanya Eddy kutabasamu huku akitingisha kchwa.



“Hii kazi ni kati yangu mimi na wewe, na kule utakwenda kama mwanafunzi. Hakikisha kwamba huyu binti unampata”

“Sawa mkuu”

“Maelezo na picha za huyu msichana nitakutumia kwenye email, kayapitie maelezo leo kisha kesho asubuhi uje na la kueleweka”

“Sawa mkuu”

Adrus akaondoka ofisini mwa Eddy akiwa amejawa na furaha, si furaha ya kazi ambayo amepewa ila furaha aliyo kuwa nayo ni kwamba anakwenda kuonana na mpenzi wake Naomi ambaye hadi sasa hivi hawajapata mawasiliano ya aiana yoyote. Adrus akaelekea nyumbani kwa mama yake kwa kutumia gari moja alilo pewa na Eddy kwa ajili ya matumizi yake binafsi.

“Naona kazi imekuwa ngumu mwanangu?”

Mama Adrus alizungumza huku akimpokea mwanye koti alilo lishika mkononi

“Weee acha tu mama, shikamoo”

“Marahaba vipi kazini kwako ni kwema?”

“Ni kwema nashukuru Mungu nimerudi, kazi ya kumlinda mke wa makamu wa raisi ni ngumu kwa namna moja ama nyingine”

“Ni kweli lazima iwe na ugumu ila huu ni mwanzo ukizoea kila kitu kinakwenda salama”

“Yaa”

“Umekula huko utokapo?”

“Sijakula bado ila nahitaji nile nishibe. Laptop yako mama si ipo?”

“Ipo unahitaji kuitumia?”

“Ndio kuna kazi makamu wa raisi amenipatia na siku yoyote ninaweza kwenda Marekani”

“Marekani?”

“Yaa ninaweza kwenda Marekani kikazi hapa najisikiaje raha, kwa maana nitahakikisha kwamba ninaonana na Naomi”

“Itakuwa vizuri mwangu, kikubwa ni kuwa makini.”

Mama Adrus akamuandalia mwanaye kifungua kinywa na kumkaribisha mezani.

***

“Inabidi wewe na mtoto muweze kuondoka katika hii nyumba”

“Tuelekee wapi wakati mtoto bado ni mdogo?”

“Nalitambua hilo mke wangu, ila nilazima muweze kuondoka katika hii nyumba kwa maana usalama wa hapa ni mdogo tayari”

Eddy alizungumza huku akimuangalia Phidaya usoni mwake. Phidaya akageuza kichwa na kumtazama Camila aliye alal kwenye kitanda kidogo kilichopo humu chumbani mwao.

“Please honey fanya hivyo, wewe na mwanagu munatakiwa kuwa salama. Sitaki niwapoteze kama nilivyo mpoteza Junio na wewe ukapote kwa mara ya kwanza”

“Sawa ila nahitaki kuwa karibu na wewe siku zote za maisha yangu”

“Kuwa karibu na mimi hilo sio tatizo, nilazima uwe na mimi karibu”

Kabla Phidaya hajazungumza kitu chochote simu ya Eddy ikaita, akaitoa mfukoni na kukukuta ni raisi Rahab ndio anaye piga, akaipokea simu na kuiweka sikioni mwake.

“Eddy za asubuhi?”

“Salama”

“Sasa nyumba nimesha ipata, ipo karibu kabisa na ikulu, ni nyumba ambayo ina usalama wa kutosha na walinzi nimesha waweka kila sehemu ya nyumba, kicho baki ni wewe na familia yako kuhamia katika eneo hili”

“Shukrani sana Rahab, baada ya dakika kumi na tano nitakupigia kukujulisha ni muda gani nitakuja hapo”

“Sawa hakuna tatizo”

Eddya kakata simu na kuirudisha simu yake mfukoni.

“Nyumba imesha patikana mke wangu, kitu ambacho ninakihitaji sasa hivi muandae mtoto, chukua na nguo kadhaa kisha tuondoke katika eneo hili”

“Sawa ila Camila bado amelala”

“Muandae hivyo hivyo”

“Ila Eddy, Ranjiti utamshuhulikia?”

Swali la Phidaya likamfanya Eddy kumsogelea mkewa na na kumtazaa usoni.”

“Nakuahidi nitahakikisha wewe na mwanangu hakuna mtu ambaye anaweza kuwagusa wala kuwadhuru sawa mke wangu”

“Sawa honey, I love you”

Phidaya alizungumza huku akimkumbatia Eddy kwa nguvu. Wakaachiana baada ya dakika nzima ya kukumbatiana kupita. Wakaanza kazi ya kukusanya nguo ambazo watazitumia kwa kindi watakapo kuwa kwenye nyumba hiyo waliyo tafutiwa na raisi. Eddy akatoka chumbani kwake na kueleka chumbani kwa Shamsa aliye mkuta akitoka bafuni kuona na amejifunga kanga moja tu, iliyo shikamana na mwili wake ulio lowana na maji.

“Ohoo Sorry”

Eddy alizungumza huku akitaka kutoka chumbani humu.

“Usitoke hakuna shida”

Maneno ya Shamsa yakamfanya Eddy kubaki akiwa ameshika kitasa cha mlango wa chumba hichi, akageuka nyuma na kumtazama Shamsa, aliye chukua kanga nyingine na kujifunga kiunoni mwake.

“Andaa kila kitu chako, tunahama kwa muda kwenye hii nyumba”

“Kwa nini?”

“Sio salama tena kwa sisi kuendelea kuishi hapa, naamini ni shida gani tuliipata katika kuitengeneza amani ya hii familia”

“Kwahiyo tunaelekea wapi?”

“Kuna magari kutoka ikulu yatakuja kutuchukua na tutafahamu ni wapi raisi anahitaji sisi tuweze kuhamia”

“Sawa hakuna tatizo”

Eddy akatoka chumbani kwake na kumuacha Shamsa, aliye anza kutafuta nguo ambayo anaweza kuivaa, alipo pata nguo alizo hisi zitampendeza akaanza kuvaa taratibu huku akijitazama kwenye kioo. Mawazo ya mtoto wake aliye muacha na rafiki yake Sa Yoo yakaanza kumtawala kichwani mwake. Akatafuta simu yake na kutafuta namba ya Sa Yoo anayo itumia nchini Uingereza, akaanza kuipiga, baada ya sekunde kadhaa, akaombwa awezze kuacha ujumbe wa sauti kwa maana namba anayo ipiga haipatikani.

“Sayoo ukipata ujumbe huu nipigie”

Akakata simu na kuanza kujipara usoni mwake. Eddy akatoa simu yake na kumpigia Rahab kama alivyo muahidi.

“Tupo tayari”

“Ohoo ok sawa, utatumia msafara wako au nikutumie msafara wangu?”

“Mmmm hapo inabidhi unitumie msafara wako kwa maana sihitaji watu wafahamu ni wapi mimi na familia yangu tunahamia”

“Sawa ndani ya dakika kumi watakuwa wamesha fika hapo”

“Poa”

Eddya kaakata simu na kuingia chumbani kwake na kumkuta Phidaya akimalizia kumvalisha kigauni Camila

“Ndani ya dakika kumi msafara wa raisi utakuwa hapa?”

“Hautumii msafara wako?”

“Sihitaji mtu ajue ni wapi ninahamia”

“Ahaa mshike basi mtoto, nikajimwagie haraka haraka”

“Kumbe muda wote hata kuoga bado”

“Sasa jamani Eddy, unajua mwanao alivyo kisirani akiamka, mshike bwana”

Phidaya kamkabidhi Eddy mtoto kisha akaingia bafuni.

“Heiii Camila, mbona unapenda kulia lia wakati wa kuamka”

Eddy alizungumza na mwanye huyo ambaye muda wote alibaki kutabasamu na kuzidisha uzuri alio barikiwa na Mungu kuongezeka usoni mwake.

Phidaya akarudi chumbani na kuanza kujifuta maji mwili mzima, kisha akaanza kuvaa nguo ambazo tayari alisha ziandaa. Eddy akaanza kutembea kwa mwendo wa taartibu huku akielekea mlangoni.

“Munakwenda wapi?”

“Tunatoka nje tunakwenda kupunga upepo”

“Ahaa hao watu wako wamesha fika au bado?”

“Bado wakifika utafahamu”

“Ahaa sawa”

Eddy moja kwa moja akalekea nje huku simu yake akia ameshika mkononi, akanipiga picha kadhaa na mwanye kwa kutumia kamera ya mbele ya simu hiyo, kisha akaanza kuziweka katika akaunti zake za mitandao ya kijamii.

Gari sita zenye rangi nyeusi na zinazo fanana pamoja na pikipiki nne za polisi zikaingia katika geti la jumba la Eddy. Eddy akazisindikiza kwa macho hadi kwenye maegesho, akashuka mlinzi wa Rahab na kuanza kupandisha ngazi hadi sehemu alipo simama Eddy, akampigia saluti kama heshima waliyo fundishwa jeshini.

“Muheshimiwa tumekuja kukuchukua na familia yako”

“Sawa naamini hawa wadada watakuwa tayari wamesha maliza kujipamba, naomba vijana wako waje kutoa mizigo ndani”

“Sawa”

Kiongozi huyo wa msafara akawaagiza vijana wake watatu kuingia ndani ya jumba hili la Eddy, wakaongozana na Eddy hadi sebleni.

“Nisubirini hapa”

Eddy aliwaambia vijana hao na kupandisha gorofani, akakutana na Shamsa akiwa anatoka chumbani kwake huku akiwa amebeba gagi lake la nguo mkononi.

“Mama yako bado hajamaliza kujiandaa tu?”

“Sijaingia chumbani kwake.”

“Mshike mtoto”

Shamsa akampokea Camila na Eddya akeleka chumbani kwake na kumkuta Phidaya akimaliziakujipaka paka poda usoni mwake.

“Baby muda umesha fika mbona unachelewa?”

“Jamani ndio namalizia. Camila umemuacha wapi?”

“Yupo na Shamsa, mabegi yanayo ondoka hapa ni mangapi?”

“Hayo maenne”

“Mmm haya”

Eddy akaanza kuyatoa mabegi mawili mawili chumbani, akayaburuza karibu na ngazi za kushukia kisha akawaita vijana hao walio panda kwa haraka na kuchukua mabegi hayo na kuyapeleka kwenye magari. Eddy na Phidaya wakatoka wa mwisho katika jumba lao. Eddy akafunga mlango wa mbele huku mkononi mwake akiwa amebeba Laptop ya Mzee Godwin.

Wakaingia kwenye gari la katikati na safari ya kueleka katika nyumba yenye ulinzi wa kutosha ikaanza

***

Mawazo ya kumfikiria Adrus kichwani mwa Naomi hayakupotea kabisa, japo anamshukuru Mungu kwa kumuepusha na ajali ambayo ilitokea kwenye ndege aliyo ipanda kutoka inchini Uingereza na akasaulika katika uwanja wa ndege nchini Mexco, ila moyoni mwake ana wasiwasi mkubwa sana kuhusiana na Adrus. Hadi sasa hivi hajatambua amefika salama au laa, na kila alipo jaribu kutuma barua pepe, hakuna hata moja ambayo inajibiwa.

‘Naamini atakuwa salama tu’

Hayo ndio maneno ambayo Naomi anajifariji moyoni mwake, akiamini kwamba mpenzi wake yupo salama salimini. Kwa bahati nzuri kama alivyo ipata Adrus. Naomi akapewa jukumu la kumlinda mtoto wa raisi wa nchini Marekani ambaye ana umri wa miaka ishirini na tano.

Kwa upande mmoja ni kazi raisi ila ina ugumu wake kwa manaa mtoto huyu wa raisi anapenda sana mambo ya dikso na starehe za kila aina jambo linalo mfanya raisi kuumiza kichwa siku hadi siku ni jinsi gani anaweza kumsaidia manaye kuachana na mambo hayo ya kipuuzi.

“Samahani Charity, leo muheshimiwa amesema huruhusiwi kutoka chumbani kwako”

Naomi alizungumza huku akimtazama binti huyu wa raisi ambaye tayari amesha jipamba mida hii ya jioni kwa ajili ya kwenda kusherekea sherehe ya rafiki yake ambayo ameigaramia kila kitu.

“Una kichaa?”

Charity alizungumza kwa dharau huku akimpandisha na kumshua Naomi aliye simama mbele yake.

“Sina kichaa ila ninafwata kila nilicho agizwa na mkuu wangu”

“Ahaaa nipishe nipite, nachelewa ninapo kwenda”

“Siwezi kukupisha”

Charity akajaribu kurusha kofi ili kumpiga Naomi, ila Naomi akaudaka mkono wa Charity na kuusogeza taratibu.

“Kuwa na heshimima katika hili”

“Ahaa ngoja nimpigie baba simu uone kama kazi yako itaendelea kuwepo hapa, lazima ufukuzwe kazi”

Charity alizungumza kwa harisa huku akirudi chumbani kwake na kuubamiza mlango kwa nguvu. Chariti akajirusha kitandani kwake na kutoa simu yake na kuanza kumpigia baba yake.

“Charity nipo kwenye kikao nipigie baadae”

“Baba ngoja wewe ndio umemuagiza huyu mlinzi mpya anizuie mimi kwenda kwenye Birthday ya rafiiki yangu”

Charity alizungumza huku akilia, na anautambua udhaifu wa baba yake ambaye hapendi kumuona mwanaye huyo wa kike alie.

“Kwani ni wapi unapo kwenda?”

“Calfonia”

“Ohooo Charity huko ni mbali sana huwezi kwenda hivi hivi na walinzi wachache”

“Sasa baba si uweke hao walinzi wengi”

“Ohoo haya mpe simu mlinzi wako”

“Mimi simpendi kama nini?”

“Mpende huyo atakusaidia sana”

“Ahakaaaa”

Charty ajanyanyuka kitandani kwake, akafungu mlango na kumkuta Naomi akiwa amesimama mlangoni.

“Ehee chukua simu uuzngumze na baba”

Naomi akaipokea simu hiyo na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio mkuu”

“Nendeni naye Califoni, tumieni helicopter ya ikulu. Ninampigia gavana wa jimbo hilo aweze kuwapokea”

“Sawa mkuu”

Naomi akamrudishia simu Charity aliye iweka sikioni kwa furaha.

“Asante baba”

“Sawa kuwa makini mwangu”

“Sawa baba”

Charity akakata simu na kumzoea Naomi aliye baki akitabasamu kwa dhara na kuondoka. Naomi akawasiliana na rubani wa helicopter inayo tumiwa na familia ya raisi. Helcopter ikaandaliwa, kisha wakaruhusiwa kutoka nje. Naomi akaongozana na walinzi wengine wanne wa kike, na safari ya kuelkea Calfonia ikaanza huku ndani ya helcopter Charity ana kazi ya kuchati na rafiki zake huku akipiga picha kadhaa na kuweka katika mitando ya kijamii.

“Usiweke picha kwenye mitandao ya kijamii kwa muda huu”

Naomi alizungumza huku akijaribu kuichukua simu ya Charity ila akakwepesha mkono na Naomi akashidwa kuichukua simu hiyo.

“Isije siku hata moja ikatoka ukajaribu kunizuia kuishi maisha ninayo yahitaji. Kama unanilinda wewe nilinde tu na si kuhusiana na maswala yangu binafsi hususani kupost picha Instergram”

“Sawa muheshimiwa”

***

Adrus baada ya kumaliza kupata kifungua kinywa cha nguvu, akachukua Laptop ya mama yake na kuinga kwenye email yake. Akakutana na meseji nyingi sana za watu tofauti tofauti, hususani za marafiki zake alio wahi kusoma nao miaka ya nyuma. Katika kuendelea kuperuzi peruzi akakautana na meseji kutoka kwa Naomi kwa haraka akaifungua na kukutana na video iliyo mfanya kumwagikwa na machozi ya furaha.




“Hi Adrus, nipo salama mpenzi wangu, nina imani kwamba utakuwa na wasiwasi mwingi juu yangu. Ila kuwa na amaani mpenzi wangu mimi nipo salama kabisa. Ukiipata emila hii ninakuomba unijibu mpenzi wangu. Asante”

Adrus taratibu akaanza kujifuta machozi yake, kwa haraka akaanza kuijubu emil hii ambayo ameipata kutoka kwa mpenzi wake Naomi aliye potezana naye kwa muda mrefu sana. Baada ya adrus kuijibu email kwa haraka akatoka chumbani kwake akiwa na furaha kubwa sana.

“Mama mama”

Adrus alizungumza kwa furaha huku akimtaza mama yake.

“Nini mbona una furaha sana?”

“Naomi amenitumia emil kwa mfumo wa video”

“Kweli”

“Ndio mama yaani hapa nina furaha san yaani wee acha tu mama yanngu”

“Mungu awasaidie muweze kuonana”

“Yaani hapa nahitaji kuwa makini sana na email kwa maana muda wowote wakati wowote anaweza kunijibu”

“Hilo ndio jambo la msingi”

***

Eddy na famili yake wakakuta maandalizi yote yapo sawa katika nyumba aliyo andaliwa na raisi Rahab.

“Waoooo, mume wangu hii nyumba kwa kweli nimeipenda sana”

Phidaya alizungumza kwa furaha hukua kiitazama nyumba hii iliyo jengwa vizuri na kwa ustani wa hali ya juu.

“Kweli”

“Sana yaani, hivi unajua lile jumba lako kwa namna moja ama nyingine linatisha sana”

“Kwa hiyo pale hujapapenda au?”

“Sio sijapapenda, nimesema kunatisha kwa mfano nikiwa peke yangu jumba lote lile”

“Ile baba ni kweli, lile jumba lako linatisha”

Shamsa naye alisisitizia na kumfanya Eddy kukaa kimya akiwatazama huku anatabasamu.

“Muheshimiwa makamo wa raisi, ninaweza kukutembeza kidogo kuyatazama mazingira ya hii nyumba yako au nikuache upumzike”

Mwana mama mmoja alizungumza huku akimtazama Eddy usoni mwake.

“Unaweza kunitembeza hilo halina shida kabisa labda hawa ndio watakuwa wamechoka”

“Hapana hatujachoka na sisi tunahitaji kwenda kutazama hii nyuma”

“Sawa”

Taratibu Eddy akamchukua mwanaye kutoka mikono ni mwa mkewe.

“Kwanza ninaomba munisamehe kwa kuto kujitambulisha jina langu. Ninaitwa Neema, nitakuwa nanyi humu ndani kwa maswala yote yanayo husiana na uangalizi wa nyumba, kuanzia swala zima la usafi.”

“Sawa hakuna tatizo”

Eddy alizungumza wakianza kumfwata Neema kwa nyuma.

“Muheshimiwa makamu wa raisi ili kuhimarisha ulinzi katika nyumba yako hii, kila kona tumeweza kufunga kamera za ulinzi ambao zinaweza kuonyesha mtukio yote ya kila kona ya nyumba tako. Nyuma nzima ina kamera zaidi ya mia moja na hamsini”

“Mmmmm mimi moja na hamsini, kumekuwa ni benki nini?”

Shamsa alizungumza huku akimtazama mwana mama huyu.

“Ndio viongozi wetu kwa sasa wanatakiwa kuimarishiwa ulinzi, wanatakiwa kuhakikisha kwamba hakuna hata mmoja ambaye anaweza kupata tatizo ikiwa nchi bado amani yake haijatulia hususani katika swala zima la viongozi wetu hawa walio ingia madarakani kwa kupindua uongozi ulio kuwa madarakani”

“Ila isije kamera hizo mukawa mumezifunga hadi mavyumbani?”

“Hapana hatujazifunga kwenye vyumba vya kulala, kwani hayo sio maadili ya ulinzi wetu. Kitu kingine, muheshimiwa makamu wa raisi kila kioo hapa humu ndani hakiingizi risasi. Pia kuta za humu ndani hakuna hata moja ambayo inaingiza risasi”

“Shukrani sana kwa umahiri wenu mulio uimarisha kwenye hii nyumba”

“Ni jukumu letu muheshimiwa raisi. Nyumba yako ina walinzi mia moja, wana mafunzo mazuri na mafunzo ya kimataifa, masaa kumi na mbili ya mwanzo wanalinda walinzi hamsini na masaa kumi na mbili mengine wanalinda walinzi hamsini wakiwa na silaha pamoja na mbwa maalumu ambao wanauwezo wa kugundua uwepo wa adui anaye panga kuvamia katika nyumba hii”

Eddy na familia yake wakaendelea kutembezwa katika nyumba hii nyenye vyumba kadhaa vya kulala vilivyopo chini ya ardhi na kuna nyia ya dharura chini ya ardhi hii pale panapo tokea tatizo basi makamu wa raisi anaweza kutoroka yeye na familia yake. Eddy taratibu akaintoa simu yake mfukoni, akaitafuta namba ya Rahab na kumpigia

“Eddy”

“Nashukuru sana muheshimiwa”

“Usijali nimekuchagulia nyumba ambayo nina imani kwamba utaipenda”

“Ni kweli nimeipenda, na hapa nina imani kwamba nitakuwa salama”

“Ni kweli hapo wewe na familia yako mutakuwa salama kabisa. Kuna swala nilikuwa ninahitaji kuzungumza na wee, ila kesho nitakuomba uweze kufika ofisini kwangu”

“Sawa muheshimiwa raisi nitafika hapo asubuhi na mapema”

“Sawa:

Eddy akakata simu, kabla ya kukata simu akakumbuka kumpihgia Adrus.

“Dogo”

“Ndio muheshimiwa makamo wa raisi”

“Kesho njoo moja kwa moja ikulu”

“Sawa muheshimiwa”

“Hakikisha una wahi, kwa maana nitakuwa na kikao na raisi asubuhi”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Eddy akakata simu na kuirudisha mfukoni mwake huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana kwani kitendo cha mke wake kumzalia mtoto wake wa pili ukiachilia mbali na mtoto wake wa kwanza Junio aliye fariki, imeirejesha furaha yake iliyo kuwa imepotea kwa kipindi kirefu sasa cha matatizo makubwa aliyokuwa ameyapitia.

***

Naomi akaitoa simu yake mfukoni na kukuta ujumbe wa emil, kwa harakaa akaufungua hukua kimtazama Charity kwa macho ya kuiba iba. Hakuamini macho yake kupata ujumbe kutoka kwa mpenzi wake Adrus.

‘Sijui hata nisemeje kwa kweli. Naomi kwenye maisha yangu nimefurahi sana kuona nawe. Makamu wa raisi amenipa kazi ya kuja nchini Marekani, nina imani mpenzi wangu tutaonana na nitakujulisha nikianza safari ya kuja huko nina kupenda sana mke wangu’

Naoni mwa furaha akahisi machozi yakimlenga lenga hata wazo la kwamba yupo katikati ya majukumu ya kikazi likaanza kumtoweka, mawazo ya kumfikiria mpenzi wake Adrus. Kwa haraka Naomi akaanza kuijibu emil aliyo tumia, baada ya kuhakikisha kwamba amemaliza, kwa haraka akairudisha simu yake mfukoni.

“Sasa wewe mlinzi gani, unanikataza mimi kuchati ikiwa wewe mwenyewe una chati?”

Charity alizungumza huku akimtazama Naomi kwa macho yaliyo jaa dharau.

“Ni swala la kazi”

“Mmmmmm haya”

Hawakuchukua muda mwingi wakafika jijini Calfonia, wakakuta gari maalumu mbili za kifahari zikiwa zimeandaliwa kwa matanuzi ya mtoto huyu wa raisi. Naomi akamfungulia mlango Charity, akaingia kisha akufunga mlango huu na yeye akahamia siti ya mbele pembeni ya dereva na safari ikaanza kuelekea eneo la sherehe ambayo Charity amedhamiria kwenda.

Ulinzi ukazidi kuimarishwa katika ukumbi huu ambao umeandaliwa vizuri sana. Charity akajuimika na marafiki zake ambao wanamtukuza kama Mungu mtu, hii ni kutokana na cheo cha baba yake ni raisi wa nchi hii ya Marekani. Naomi alipo hakikisha kwamba usalama wa eneo hili upo vizuri, akaitoa simu uyake mfukoni kutazama kama kuna meseji yoyote ameipata kutoka kwa Adrus.

‘Adrus mpenzi wangu ione meseji yangu basi’

Naomi alizungumza kimoyo moyo huku akiutingisha tingisha mkono wake ulio shika simu yake.

***

Kichwa cha dokta Ranjiti kinazidi kupata moto na kufikiria ni kitu hgani kinaweza kupanga ili kuhakikisha kwamba anamrudisha Phidaya mikoni mwake, kwani ni mwanamke anaye amini kwamba ni tuliozo la maisha yake. Kitu kinacho muumiza akili ni mtoto ambaye Phidaya tayari amemzalia Eddy, mwanaume ambaye ni aadui yake namba moja japo alimuibia mke wake ila bado anaamini kwamba Phidaya ni mwamke wa maisha yake.

Dokta Ranjiti akaendelea kuwaza ni kitu gani ambacho anaweza kukifanya kwa Eddy ambaye kwa sasa ana nguvu ya kiserikali kutokana na cheo chake cha kuwa makamu wa raisi wa nchi ya Tanzania.

‘Lazima Phidaya urudi kwenye maisha yangu, siwezi kukupoteza kirahisi namna hii’

Dokta Ranjit alizungumza huku akiendelea kuzunguka zunguka katika kiti alicho kikalia ndani ya ofisi yake. Jambo jengine linalo muumiza kichwa ni kutokana na John kukataa kujihusisha kabisa katika mpango wa kumrudisha Phidaya mikononi mwake.

“John huwezi kunikatalia namna hii”

Dokta Ranjiti akasimama na kutoka ofisini kwake, moja kwa moja akeeleke hadi ofisini kwa John, akaruhusiwa kuingia ndani na mlinzi wa John anaye simama mlangoni mwake kwa muda wote John anapokuwa ndani ya ofisi hii.

“Dokta umerudi tena”

“John ninahitaji msaada wako katika hili, ninakuomba unisaidie bwana”

“Unajua dokta Ranjiti, nimejarubu kulifikiria swala lako ulilo nishirikisha ila kwangu bado lina uzito”

“Uzito gani muheshimiwa ikiwa hapa tunashuhulika na mtu ambaye una visasi naye lukuki, Hembu tazama ulipoteza viongo kwa ajili yake, sasa madaktari wameweza kukurudishia, uliipotea vitu vingi na kwa asilimia kubwa sana, ila kwa nini usishuhulike navyo. Hembu tazama mkuu wetu Godwin amekufa kwa ajili yake yeye leo hii unataka uniambie kwamba hii D.F. E, itashindwa kunisaidia katika hili tatizo dogo la kumrudisha Phida wangu?”

Johna kaka kimya huku akimtazama dokta Ranjiti aliye dhamiria kuhakikisha kwamba anamrudisha Phidaya maishani mwake.

“Mzee Godwin amekufa kwa ajili ya Eddy, nilipoteza vioungo vya mwili wangu kwa ajili ya Eddy. Point ni kwamba je tutaweza kumdhuru, ingekuwa ni wazo la kumuu Phidaya ningekuunga mkono, ila huwezi kumrudisha mtu asiye kupenda akajidanganya kamba atakupenda hicho kitu hakuipo kabisa kwa maisha ya sasa”

“Swala la kumuia Phidaya halipo kwa sasa”

“Lipi ambalo lipo. Una plani yoyote ambayo umeipanga dhidi ya kumvamia Eddy na usijidanganye kwamba mpango ambao utakwenda kuufanya utamdhuru Eddy peke yake, ila itadhuru na taifa kwa ujumla na kama unahitaji hichi kitengo kife ni pale tutakapo mdhuru Eddy na taifa zima la Tanzania likatugeukia sisi”

Dokta Ranjiti akashusha pumzi kwani maneo y aJohn yanaendelea kumkatisha tamaa.

***

Shereha ikazidi kupamba moto, huku marafiki wengi wa Charity alio hudhuria sherehe hii wakizidi kufurahi kwa starehe wanayo ipata kutoka kwa Chariy aliye amua kuiandaa sherehe hii kwa ajili ya rafiki yake. Gafla moshi mwingi ukaanza kutawala ndani ya club hii, milio ya risasi ikaanza kusikiaka huku kelele za watu zikianza kutawala ndani ya hii club. Naomi kwa haraka akamrukia Charity baada ya kuona msichana mmoja akimfyatulia risasi Charitm risasi kama nne zikatua kifuani mwa Naomi na kumfanya kuanguka chini na kupoteza fahamu huku walinzi wengine wakijitahidi kuhakikisha kwamba wanapambana na wavamizi hawa walio kuja kuharibu sherehe hii huku lengo lao ni kuhakikisha kwamba wanamkamata Charity mtoto wa raisi wa Marekani.



Shambulizi hili la kustukiza likazidi kuua watu wengi wasio na hatia. Magaidi hawa wa kikundi cha Al-Quida wamejipanga kisawa sawa kuhakikisha kwamba wanatimiza dhamira yao walio ipanga katia kuhakikisha kwamba wanaondoka eneo hili na Charity. Walinzi wengi wanao mlinda Charity wakaendelea kuuwawa kwa maana maadui wanao pambana nao ni wote ni wasichana ambao hawakuwategeme kabisa, kwani nao ni miongoni mwa marafiki ambao wapo kwenye sherehe hii ya rafiki wa Charity. Msichana mmoja akamchoma Charity anaye tetemeka sindano ya mgongoni, akaizamisha dawa yote iliyopo ndani ya sindano hiyo, wala hazikupita dakika hata mbili Charity akapoteza fahamu.

Wakambeba na kuondoka naye ndani ya ukumbi huu na kuacha maiti nyingi sana za washeherekaji huku wengine wakiwa wamejeruhiwa vibaya sana kwa risasi.

***

Asubuhi na mapema Adrus akafika ikulu huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana. Akasaliana na walinzi wana linda ikuli hii. Haukupita muda mrefu, masafara wa makamu wa raisi Eddy ukaingia katika eneo hili la ikulu. Adrus akasimama katika sehemu alipo kaa na moja kwa moja akamfwata makamu wa raisi na kusalimiana naye.

“Dogo ninaingia kwenye kikao nikitoka tutawasiliana”

“Sawa muheshimiwa”

Eddy akaongozana na walinzi wake waili wanao mlinda hadi kwenye ofisi ya Rahab, akamkuta Rahab akiwa tayari amesha fika ofisini kwake tayari kwa kikoa alicho kiandaa kwa ajili ya kuzungumza na Eddy. Sura ya Rahab kwa haraka haraka anaonekana ni mtu ambaye hana furaha kabisa usoni mwake.

“Rahab mbona huna furaha kuna tatizo?”

Eddy alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimtazama Rahab usoni mwake.

“Eddy ninahisia ambazo zinanikosesha raha na amani”

“Hisia gani hizo”

“Nina hisi kuna tukio kubwa litakuja kutokea mbeleni ambao liytawaumiza watu wengi sana, kila nikijaribu kufikiria ni tukio gani ninakosa amani kabisa ya kuweza kufahamu”

Eddy akaka kimya kwa muda huku akimtazama Rahaba usoni mwake.

“Yaani tangu juzi ninakosa amani, tangu upate vitisho vile ninahisi kuna hali ambayo itatuyumbisha katika uongozi wetu”

“Ila Rahab, ngoja nikuambia kitu kimoja. Mimi na wewe nina imani tumepitia changamoto nyingi sana hadi kufika hapa. Wewe ulikuwa jambazi, na mimi nilipambana na baba yangu. Sidhani kama kuna changamoto kunnwa itatujia mbele yetu tukashindwa kuitatua”

Eddya lizungumza kwa kujiamini sana huku akikmtazama Rahab usoni mwake.

“Eddy hilo ninalitambua mpenzi, ndio maana nikachukua hatua ya kukuhamisha wewe na familia yako katika nyumba salama na kuwawekea ulinzi wa kutosha. Ila naona bado kuna jambo kubwa ambalo litatokea, Eddy ninaogopa, ninaogopa mpenzi wangu”

Rahab alizungumza huku machozi yakimlenga lenga, Eddy taratibu akanyanyuka katika kitu alicho kikalia, akaizunguka meza iliyo watenganisha yeye na Rahab, taratibu akamshika mkono na kumnyanyua kwenye kiti alicho kikalia”

“Rahab wewe ni jasiri, wewe una jua jinsi ya kuongoza, ndio maana umepata nafasi ya kuwa mwanamke wa kwanza raisi nchini Tanzania. Sasa hivi tuna nguvu ya kiserikali, tunajeshi so hakuna jambo baya litakalo tudhuru”

Eddy alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa hisia za mapenzi huku akimtazama Rahab, mwanake aliye wahi kuingia naye kwenye mahusiano ya kimapenzi miaka mingi sana ya nyuma. Tartaibu Rahab akamkumbatia Eddy huku akiendelea kumwagikwa na machozi, Eddya akaipitisha mikono yake kiunoni mwa Rahab na kuanza kukminya minya kiuno chake. Wakatazamana kwa sekunde kadhaa na kujikuta wakiikutanisha midomo yao kiasi cha kuwafanya waanze kuzama kwenye dimbwi zito la mapenzi. Vyeo vyao vya kuiongoza nchi wakaanza kuvisahau, kila mmoja akaanza kuipitisha kwa kasi mikono yake kila kona ya mwili wa mwenzake. Kwa haraka Eddy akambeba Rahab na kumuweka juu ya meza yake, akamfungua vifungo vya shati lake na kuingiza mkono wake wa kushoto katika sidiria iliyo beba maziwa mazuri ya Rahab, maziwa yaliyokuwa yanamilikiwa na raisi Praygod ambaye kwa sasa ni marehemu.

Eddy akaendelea kuyatomasha maziwa ya Rahab, kwa mtindo wa kuhama ziwa moja hadi jengine, Rahab naye kwa haraka akaifungua zipu ya suruali ya Eddy, akaanza kuingiza mkono wake ndani ya zipu hii na kumshika jogoo aliye simama kikamilifu, alipo ona mkono wake unapata pata shida katika kumshikilia jogoo huyo, kwa haraka akafungua mkonda wa suruali ya Eddy, akamalizia na kivungo kilicho ishikilia suruali hii, na taratibu ikashuka chini na kumuacha Eddy akiwa na boksa kabisa.

Rahab akamtoa jogoo wa Eddy nje, akaanza kumchua taratibu kwa kiganja cha mkono wake wa kulia huku akisikilizia utamu anao upata kwa kutomaswa maziwa yake.

Eddy kumbukumbu za kumkumbuka zikamtoweka kabisa, akili yake kwa sasa inawaza hili alalo lifanya na Rahab hapa, wakapandisha sketi hii ya suti kiunoni mwa Rahab, akamvua skintait aliyo ivaa, alipo hakikisha kwamba Rahab amebakiwa na nguo ya ndani tu, akaanza kuchezea kitumbua cha Rahab kwa kukishika vizuri kwa vidole vyake jambo lililo mfanya Rahab kuanza kutoa miguno ya kimahaba ambayo Eddy akaanza kuihofia kwamba inaweza kusababisah walinzi walipo nje ya mlango wa ofisi hii ya raisi kusikia.

***

Taarifa ya ukumbi mkubwa wa kifahari nchi Marekani kuvamiwa na kundi la Al-Quida, ikaanza kupamba moto kwenye vituo vyote vya habari duniani mwote. Adrus taratibu akajikuta akiacha kusoma gazeti analo lisoma na kutazama taarifa hii inayo rushwa na shirika kubwa la habari duniani la BBC.

“Daaa wajinga wameua sana”

Mlinzi mmoja alizungumza huku naye akiitazama hii taarifa.

“Ilikuwa kuwaje?”

“Nasikia kwamba ilikuwa ni shereha ya mmoja wa marafiki wa mtoto wa raisi wa Marekani, sasa binti akandaa sherehe kubwa kwa ajili ya sherehe hiyo akafika hapo na walinzi wake, shangwe shangwe, mwisho wa siku likatokea shambulizi, unaambiwa watekelezaji wa shambulizi hilo walikuwa ni wasichana yaani wapo vizuri kwenye kupambana”

Mlinzi huyu alizungumza huku akiwa ameshika kikombe cha chai, kwa maana wapo eneo la jikoni ambalo walinzi wote huwa wanapata kifungua kinywa kabla ya kuendelea na majukumu ya kulinda ikulu hii.

“Duuu sasa imekuwaje kuwaje yaani kwa maana sielewi”

“Ngoja kuna mchizi wangu yupo Marekani anadili sana na maswala ya IT, sasa yeye amenirushia video ya tukio zima ambayo imechukuliwa na kamera za ulinzi ndani ya ukumbi huo”

Mlinzi huyu alizungumza huku akiitoa simu yake mfukoni, akaanza kuitafuta video hiyo.

“Ila video hiyo kwenye vyombo vya habari hawajaitoa?”

“Hawawezi kuitoa kwa maana ina tisha, hembu cheki”

Mlinzi huyu akaanza kumuonyesha Adrus video hii ambayo inaonyesha jinsi Charity na marafiki zake walivyokuwa wakishangilia sherehe hiyo. Adrus kwa haraka akajikuta akiisimamisha video hii anayo onyesha na mlinzi mwenzake.

“Ngoja”

Adrus alizungumza huku akimtazama Naomi aliye simama pembezoni mwa Charity huku akiimarisha ulinzi eneo hili.

“Yaani hyu demu amejitoa ile mbaya kwa huyu dogo cheki atakavyo jirusha”

Mlinzi huyu alizungumza huku akiplay video hii, Adrus mapigo ya moyo yakaanza kumuenda kasi baada ya kumuona Naomi akijirusha mbele ya Charty na risasi zote zilizokuwa zimekusudiwa kupigwa mwilini mwa Charity zimetua kifuani mwake.

“Ohooo Mungu wangu!!”

Adrus alizungumza huku macho yakimtoka, machozi yakaanza kumlenga lenga, jambo lililo mfanya mlinzi mwenzake kushangaa na yeye.

“Dogo vipi mbona machozi?”

“Eheee?”

“Mbona unalia vipi, unataka kusema kwamba haya mauaji yamekustusha?”

“Hapana, ninaomba unitumie hiyo video kwenye simu yangu”

Adrus alizungumza huku akijifuta machozi kwa kitambaa chake alicho kitoa mfukoni mwake pamoja na suti. Akamkabidhi mlinzi mwenzake simu yake, akairusha video hii kwanjia ya Bluetooth. Kitu kilicho zidi kumchanganya zaidi Adrus ni baada ya kusikia taarifa ya idadi ya watu mia moja na kumi wamefariki dunia katika shambulizo hilo, huku kukiwa hakuna mlinzi hata mmoja wa Charity aliye bahatika kupona, ikimanisha kwamba walinzi wote wameuwawa katika shambulizi hilo.

“Naomiiii”

Adrus alishindwa kabisa kujizuia machozi yake na sauti yake ya kulia, walinzi wengine wakabaki wakimshangaa sana kwani anacho kizungumza wala hawakielewi.

“Hei dogo dogo, una tatizo gani?”

Mzee mmoja alizungumza huku akimsogelea Adrus.

“Aha…hamna”

“Hamna nini sasa dogo, zungumza kama kuna tatizo tukusaidie kwa maana sisi wote hapa ni wamoja?”

Adrus akawatazama walinzi wezake zaidi ya thelathini waliomo ndani ya hili eneo wote wanaonekana kumtazama yeye na wanashahuku ya kuhitaji kufahamu ni kitu gani kimempata mwenzao huyu.

“Huyu msichana ni mpenzi wangu”

Adrus alizungumza huku akionyesha video hii ya shambulizi la kigaidi lililo tokea katika ukumbi wa starehe. Kila mlinzi akaanza kuitazama video hii iliyopo kwenye simu ya Adrus kwa muda wake. Kila aliye itazama hii video, akajawa na huzuni mauaji wanayo yaona sio kama ni mazuri, ila yanasikitisha na kuogopesha.

“Mdogo wangu hapo ninashindwa hata kuelewa tukusaidiaje, kikubwa ni kuomba likizo japo ndogo uweze kwenda Marekani kudhibitisha kama mpenzi wako amekufa au laa”

“Huyo lazima atakuwa amekufa, risasi kama nne zimempiga kifuani mwake, unahisi kwamba atakuwa hai”

“Yaani sijajua kwa nini hawakuvaa bulletproof?”

“Sisi ni mara ngapi tunatoka na mwana mama hatujavaa bulletproof, ikiandikwa imeandikwa kaka”

“Dogo hembu jaribu kuzungumza na raisi katika hili, labda anaweza kukusaidia katika hili”

“Hivi si unamlinda mke wa makamu wa raisi?”

“Ndio”

“Hapo wa kuzungumza naye ni makamu wa raisi. Zungumza naye, muonyeshe hiyo video nina imani kwamba atafanya mawasiliano na nchi ya Marekani na utaweza kuelewa kila kitu ambacho kinaendelea kwa mpenzi wako”

Mzee huyu anaye onekana kujawa na busara sana alizungumza kwa sauti ya upole huku akimrudishia Adrus simu yake.

“Asanteni”

“Ila dogo jaribu kujicontrol kwa maana unatakiwa kuwa jasiri na makini katika hili”

“Sawa mzee”

“Ila jamani tusikilizane”

Mzee huyu ambeye ndio mkuu wa walinzi wote ndani ya ikulu hii, alizungumza na kuwafanya wa walnzi wote kuacha kile wanacho kifanya.

“Hili lililo jitokeza Marekani ni fundisho kwetu sisi, walinzi wote hawa wamekufa kutokana na kukosa kuvaa bulletproof, huo mtindo baadhi yetu humu ndani tunao, tunapenda kutoka kisharabaro kisa sisi ni walinzi wa raisi, na nchi yetu ina amani tunajisahau. Sasa kama ni kufa tutakufa kwa kumlinda raisi wetu ila si kizembe kwa kushindwa kujikinga na risasi za maadui wetu. Tuhakikisheni kwamba hilo swala tunaliweka kichwani mwetu na linakaa sawa”

“Sawa mkuu”

Walinzi waliitikia kwa pamoja kisha wakaendelea na unjwaji wa kifungua kinywa. Adrus taratibu akatoka eneo hili huku kichwa chake kikimuua sana. Kitendo cha kusikia kwamba Naomi amefariki kimempa ungojwa wa gafla ambao hakutegema kuweza kuupata kwa asubuhi hii. Akatembea hatu kadhaa, macho yakaanza kupoteza nguvu ya kuona mbele, kila anacho kiona mbele yaka anaona ni mawenge wenge, akanza kuyumba wala hakumaliza hata dakika moja akajikuta akianguka chini na kupoteza fahamu.

***

Heka heka za kuokoa majeruhi walio jeruhiwa katika ukumbi huu, zikazidi kupamba moto. Vikosi vyoye vya ulinzi ndani ya nchi ya Marekani, vinazidi kuhakikisha kwamba wanaokoa maisha ya watu walio salia ndani ya ukumbi huu, ulinzi mkali ukaimarishwa katika ukumbi huu. Madaktari wakaanza kuipitia miili ya maiti moja baada ya nyingine kutazama kama kuna ambaye yupo hai katika tukio hili.

Vikosi maalumu vya FBI, kila wanapo karibu kutafuta video maalumu ambayo imechukua matikio yote ndani ya huu ukumbi, wanaikosa jambo lililo zua hofu ya kushindwa kufahamu wahusika, japo kikundi cha Al-Quida, wamekiri kabisa kwamba wao ndio wahusika wa shambulizi hili. Daktari mmoja akajaribu kuweka mkono wake kifuani mwa Naomi, aliye jaa damu nyingi kifuani mwake.

“Huyo amesha kufa”

Kijana mmoja anaye ambaye naye ni daktari alizungumza huku akimtazama daktari mwenzake anaye jaribu kumpima Naomi.

“Ngoja kwanza”

Daktari huyu alizungumza huku taratibu akiweka sikio lake kifuani mwa Naomi, hakujali sana wingi wa damu namajeraha yaliyopo katika eneo hilo. Kwa mbali sana akasikia mapigo ya moyo ya Naomi yakidunda mara moja moja.

“Yupo hai, yupo hai huyu”

Daktari huyu alizungumza kwa shahuku sana, madaktari wengine kwa haraka wakauchukua mwili wa Naomi, wakaulaza juu ya machele, kwa haraka wakaondoka eneo hili huku wakikimbia wakihakikisha kwamba wanawahi kuyaokoa maisha ya mlinzi huyu ambaye kwa mara kadhaa alifanyiwa vipimo na kuonakena kwamba ni marehemu. Tv zote ndani ya nchi ya Marekani zikajikuta zikikatishwa taarifa zinazo onekana kwenye tv hizo, na watu wote wakaishuhudia sura ya Charity mtoto wa raisi wa nchi yao, akiwa amefungwa kitamba chusi mdomoni mwake huku kukiwa na jambia kubwa likilo potishwa shingoni mwake na mtu aliye jifunika uso wake na nyuma kuna bendera kubwa ya rangi nyeusi iliyo andikwa maandishi ya kiarubu yanayo ashiria kwamba siku hii ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa kikundi hichi cha Al-Quida, na ili sherehe yao iweze kwenda vizuri ni lazima wahakikishe kwamba wanakikata kichwa cha mtoto wa raisi wa Marekani ikiwa kama sadaka kwa Mungu wao wanaye muabudu.



Heka heka katika vitengo vyote vya usalama nchini Marekani vikazidi kuongeza juhudi kuhakikisha kwamba wanaweza kutambua juu ya ni wapi wahusika walio mshikilia mtoto wa raisi wao anakuwa salama. Vikao vyote alivyo vipanga raisi Dustan kwa siku ya leo amevikatisha, macho yamemtoka kwenye tv kubwa iliyopo ofisini mwake. Jasho usoni mwake linamwagika taratibu kiasi cha kumfanya kila muda kujituta jasho kwa kitambaa.

“Muheshimiwa raisi, mkuu wa FBI yupo hapa”

Sekretari wa raisi Dustan alizungumza huku akiwa amesimama mlangoni, kwa ishara ya mkono akamueleza sekretari wake amruhusu kuingia. Sekretari akatoka, akaingia mwanaume mrefu mweusi.

“Vijana wako wamefikia wapi?”

Raisi Dustan alizungumza huku akimtazama akimkazia macho mkuu huyu wa kitengo cha FBI.

“Vijana wanaendelea kuhakikisha kwamba wahusika wanakamatwa”

“Ninahitaji mwangu arudi hapa sawa”

“Sawa muheshimiwa raisi, nimekuja kuomba uweze kuidhinisha opareheni ya kuua kila ambaye amehusika na shambulizi hili”

“Pumbavu nimekuambia ninahitaji mwanangu arudi hapa. Yoyote mutakaye muona amehusika muueni. Tazama mwanagu pale anataka kuchinjwa”

Raisi Dustan alizungumza huku machozi yakimlenga lenga machoni mwake”

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Holooo America”

Sauti nzito ya kiume ilisikika kwenye spika za tv iliyopo humu ofisi mwa raisi Dutan, raisi Dustan na mkuu huyu wa FBI wakakaa kimya huku wote macho yakiwatoka wakisikiliza ni kitu gani atakacho kizungumza mwaume huyu aliye mteka Charity.

“Taifa kubwaaa duniani, leo tuna mrembo wenu, mtoto mzuri wa raisi.”

Mwaume huyo alizugumza huku akiipitisha pitisha mikono yake shavuni mwa Charity, akaishusha hadi kifuani mwa Charity na kuanza kuyaminya minya maziwa ya Charit jambo lililo mfanya Charity kulia kwa uchungu sana, raisi Dustan akajikuta akiyafumba macho yake kwani kitu anacho fanyiwa mwanaye ni udhalilishaji mkubwa sana.

“Ninafikiria kusherekea happy birthday ya Al-Quida kwa kunywa damu ya binti mrembo kama huyu. Ila ninafikiria jambo moja, kwa nini nisifanye mabadilishano nanyi.?”

Raisi Dustan alipo sikia swala la mabadilishano akafumbua macho yake na kumtazama mwanaume huyu aliye ificha sura yake kwa kitambaa kikubwa cheusi kilicho muacha macho yake tu.

“Muna onaje mukanipatia dola trilioni mia moja nami nikamuachia mrembo wenu. Muheshimiwa raisi una masaa kumi na mbili ya kunipatia hizo pesa”

Video hii ikaishia hapa na habari zilizokuwa zinarushwa katika kituo hichi cha habari cha BBC zikaendelea. Mkuu wa FBI akamtazama raisi Dustan kwa muda kisha akatoka ofisini humu na kumuacha raisi peke yake. Raisi kwa haraka akanyanyua mkonga wa simu yake na kumpigia sekretari wake.

“Wasiliana na waziri wa uchumi, ninahitaji kuonana naye sasa hivi”

“Sawa muheshimiwa raisi”

***

Kwa haraka madaktari wakamuingiza Naomi katika chumba cha upasuaji, kwa haraka wakaanza kumvua nguo zake huku wakimuwekea mirija maalumu ya kumsaidia kupumua. Kila daktari aliye yaona majeraha ya risasi, akaingiwa na woga kwani kusema kweli ni ni asilimia ndogo sana kwa mtu huyu kuweza kupona. Madaktari bingwa wanne wakajifungia ndani ya chumba hichi cha upasuaji kuhakikisha kwamba wanayaokoa maisha ya mlinzi huyu wa mtoto wa raisi.

Ulinzi ukaimarishwa katika hospitali hii huku jeshi likuchukua jukumu la kumlinda Naoni kwa maana ni moja ya wanajeshi muhimu sana walio weza kufanikisha kuokoa maisha ya Balozi wa nchi hii ya Marekani. Madaktari kwa umakini mkubwa wakafanikiwa kuzitoa risasi zote katika kifua cha Naomi na kitu cha kumshukuru Mungu hakuna risasi hata moja ambayo imeweze kupiga ziwa lake wala kugusa moyo.

“Hapa ni mkono wa Mungu sasa, kwa maana kazi yetu sisi imesha kiwsha.”

Daktari kiongozi wa hii oparesheni alizungumza huku akimtazama Naoni anaye hamishwa kutoka katika kitanda walicho mfanyia upasuaji na kumuweka katika kitanda atakacho lalia kwa kipindi chote hadi atakapo pona. Wakamtoa katika chumba cha upasuaji na kumuingiza katika chumba cha wagonjwa mahututi na ulinzi ukaendelea kuimarishwa kama kawaida.

***

Eddy kwa haraka akamziba Rahab mdomo wake ili miguno yake ya mahaba isisikike nje.

“Shiii tupo ofisini baby”

“Ooohoo okay okay”

Rahab alizungumza huku akitabasamu, taratibu Eddy akamshika jogoo wake na kumzamisha ndani ya kitumbua cha Rahab, taratibu wakaanza kupeana raha raisi na makamu wake wa raisi. Rahab alipo ona haridhiki na mkao wa kupanua muguu yake, akashuka juu ya meza na kuinama na kumpa ruhusa Eddy kula kitumbua kwa nyuma. Wakiwa katikati ya kupeana burudani, simu ya mezani mwa Rahab ikaanza kuita, wakaitazama kwa muda.

“Pokea”

“Mmmm nipe raha bwana, nataka kukoj**a”

“Poa”

Eddy akaendelea kujakikisha kwamba anamfikisha kileleni Rahab, kwa sababa anamfahamu Rahab vizuri sana na hii sio mara yao ya kwanza katika kupeana raha, akaanza kumshika katika maeneo ambayo lazima Rahab atafika kileleni haraka. Zoezi la Eddy kwa haraka likafanikiwa kwani Rahab hakumaliza hata dakika mbili akafika kileleni.

“Asante mpenzi”

“Nashukuru na wewe”

“Yaani naona nyege ndio zilikuwa zinanifanya niwe muoga muoga, hapa niajisikia fresh kabisa”

Rahab alizungumza huku akijifuta kitumbua chake kwa tishu zilizopo katika meza yake. Eddy naye akachukua tishu kadhaa na kujifuta jogoo wake.

“Hivi unajua sisi ni viongozi na tunafanya ujinga muda wa kazi”

“Hembu acha mambo yako, kwani sisi sio watu. Sina mume, unahisi nani atanituliza nyeg** zangu kama sio wewe?”

“Mmmm haya mwaya”

“Ila tufanye ujinga wetu ila tuwe makini sana, tusimuumize Phidaya”

“Unahisi nani atakaye muambia kwamba tuna mahusiano?”

“Hakuna”

“Hili libaki kuwa lako na langu, sinto onyesha dalili yoyote ya kubadilika mbele ya mke wanngu”

“Sawa, tuendelee na makumu yetu”

Kila mtu alipo hakikisha kwamba amejiweka sawa mwili wake, Eddy akatoka ofisini humu, mlinzi wa Eddy akamsogelea na Eddy na kumnong’oneza sikioni.

“Muheshimiwa kuna tatizo”

“Tatizo gani?”

“Adrus ameanguka, amewahishwa kwenye chumba cha huduma”

“Aameanguka?”

“Ndio muheshimiwa”

Eddy na mlinzi wake wakaongozana hadi katika chumba alicho lazwa Adrus na kumkuta daktari akimaliza kumtibu Adrus.

“Anatatizo gani?”

“Amepata mstuko tu wa gafla ila nina imani baada ya muda fulani atarudi katika hali yake ya kawaida”

“Basi hakikisheni kwamba hali yake inarudi katika usawa, pia akiamka nijulisheni”

“Sawa muheshimiwa”

Eddy na mlinzi wake wakatoka katika chumba hichi.

“Ninahitaji kurudi nyumbani muda huu”

“Sawa makamnu wa raisi”

Eddy na walinzi wake wakingia katika magari walio kuja nayo na kuondoka aneo la hapa ikulu.

***

“Muheshimiwa raisi pesa walizo zihitaji hawa magaidi ni nyingi sana kwa nchi kuweza kuzito”

“Unapo zungumza hayo mambo kumbuka kuna uhai wa mwanangu, akifa hizo pesa zina thamani gani katika hii nchi?”

Raisi Dustan alizungumza huku akiwa amekasirika sana. Viongozi wote waliomo ndani ya ukumbi wa mikutana wakabaki kimya kwani raisi wao wanamtambu ni mtu mwenye hasira za haraka na mwenye maamuzi ya haraka, jambo la kumsimamisha mtu kazi au kumfuta katuka kitengo alicho mkabidhi ni jambo la kawaida sana.

“Muheshimiwa raisi hizo pesa zinaweza kuandaliwa ila tunahitaji kwanza kuweza kupata ripoti kutoka katika kiosi cha CTU, watuambie ni wapi wamefikia katika upelelezi wao”

“Wasilianeni nao la sivyo hiyo pesa ninahitaji iweze kukabidhiwa kwa magaidi hao haraka iwezekanavyo”

“Sawa muheshimiwa”

Kwa haraka mawasiliano yakafanyika katika kitengo cha CTU.

“Mumefikia wapi?”

“Muheshimiwa tunaendelea kufwatilia eneo ambalo wanapatika”

“Hakikisheni kwamba ndani ya nusu saa muna nipatia jibu”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Simu ikakatwa na watu wote ndani ya hii ofisi. Ukimya ukatawala ndani ya ukumbi huu, simu ya raisi Dustan ikamstua kila mtundani ya ofisi. Taratibu raisi Dustan akaitoa simu yake ndani ya mfuko wa koti la suti yake, akaitazama kwa muda kisha akaipokea na kuwafanya watu wote ndani ofisi hii kumtazama.

“Haloo”

“Muheshimiwa raisi, nimebadilisha mawazo yangu. Ili kusaidia uhai wa mwanao ninahitaji wewe ndio uwe mabadilishano. Tunahitaji damu yako kwani vifo vya wezetu mulivyo vifanya Pakistani, la sivyo mwanao mzuri anakwenda kufa katika mikono yetu. Una masaa mawili ya kufanya maamuzi”

Simu ikakatwa na kumfanya raisi Dustan kukaa kimya huku mwili mzima ukimtetemeka hadi simu aliyo ishikilia mkononimwake ikaanguka chini na kuwashangaza watu wote ndani ya ofisi hiyo.



“Muheshimiwa raisi?”

Kiongozi mmoja alizungumza huku akimtazama raisi Dustana usoni ambaye bado anatetemeka sana. Sekretari kwa haraka akasogele raisin a kuiokota simu ya raisi Dustan. Watu wote ndani ya ofisi wakabaki kimywa wakiendelea kumtazama raisi.

“Muheshimiwa raisi kuna kitu gani kinacho endelea?”

“Wanahitaji kufanya mabadiliko, wanichukue mimi na kumuachia mwanangu”

“Hilo haliwezekani kabisa muheshimiwa raisi, hilo hatuweze kulikubali. Tuwape muda vikosi vyetu vya usalama nina imani kwamba watafanikiwa kuhakikisha wanampata binti yako muheshimiwa raisi”

“Wamenipa masaa machache, watampata vipi?”

Raisi Dustan alizungumza huku macho yakimtoka sana

“Muheshimiwa raisi, kumbuka kwamba wewe ni raisi wa nchi hii, kuna mamilioni ya Wamarekani wanakutegemea wewe katika uongozi wako. Nikiwa kama general wa ulinzi, bila ya kukuvunjia heshima tunakuomba utulie huku swala hilo likiendelea kushuhulikiwa”

Raisi Dutsan akamtazama mkuu huyu wa jeshi aliye simama na kuzungumza kwa msisitizo. Raisi akawatazama washauri wake, wakuu wa vikosi mbali mbali vya majeshi na kujikuta akikaa kimya kwani watu hawa wanamchango mkubwa sana kweney maisha ya ungozi wake.

***

Eddy akashuka kwenye gari baada ya kufika nyumbani kwake, moja kwa moja akeleeka chumbani kwake na kumkuta Phidaya akiwa bado amelala. Eddy akapitiliza bafuni na kuanza kuoga huku akijisikia ni mtu mwenye hatia moyoni mwake kwani kitendo cha kumsaliti mke wake ni jambo ambalo hakulitegemea kwa leo kulifanya. Alipo maliza kuoga akatoka bafuni na kumkuta mke wake akiwa anajigeuza geuza kitandani, taratibu akaanza kuchagua chagua nguo ya kuvaa katika kabati lake la nguo.

“Mbona umerudi?”

Phidaya alizungumza kwa sauti iliyo jaa usingizi mwingi sana.

“Nimerudi mara moja kubadilisha nguo”

“Kubadilisha nguo, si ulitoka umependeza mume wangu?”

“Kuna watu wameniambia sijapendeza nimeamua kuvua hizi bwana”

“Mmmm kwa hiyo nikikusifia mimi hitoshi mume wangu?”

“Inatosha ila…..”

Eddy akajikuta akikosa kity cha kuzungumza akachukua shati jeupe pamoja na suruali nyeusi.

“Mbona umeishia kwenye ila?”

“Ila sijapendeza mke wangu nielewe hivyo?”

“Mmmm sawa mume wangu, sasa unaelekea ofisini muda huu?”

“Ndio mke wangu”

Eddy akaanza kuvaa nguo alizo zichukua kwenye kabati lake, alipo hakikisha kwamba amezivaa vizuri, akamuaga mke wake kwa kumnyonya midomo yake kisha akatoka chumbani kwake humu. Akakutana na Shamsa akiwa amesimama sebleni akionekana kama mtu anaye subiria kitu.

“Vipi mbona unaonekana kama haupo sawa?”

“Nipo sawa…una toka sasa hivi?”

“Ndio, kuna sehemu unahitaji kuelekea?”

“Aha…aha….”

Shamsa alijibu kwa kigugumizi huku akionekana kujawa na wasiwasi mwingi sana usoni mwake. Wasiwasi huu unatokana na kujawa na mawazo mengi dhidi ya mwanaye aliye muacha mikononi mwa rafiki yake Sa Yo ambaye hadi muda huu kila navyo jaribu kumpigia simu hapatikani hewani.

“Una tatizo gani Shamsa?”

Shamsa akatazama eneo hili la sebleni alipo ona hakuna mtu akamsogelea Eddy karibu.

“Naomba tukazungumze ofisini kwako”

Eddy akamatazama kwa muda Shamsa kisha akatinhgisha kichwa kukubaliana na ombi lake la kuelekea kuzungumza naye ofisini kwake. Wakatoka nje na kuingia katika gari na kuondoka katika eneo hili.

“Ni mazungumzo gani ambayo umeshindwa kuniambia nyumbani ukaona tukayazungumzie ofisini kwangu”

“Ninahitaji msaada wako Eddy”

Shamsa alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Msaada wa pesa au wa kitu gani?”

Shamsa hakuweza kujibu swali alilo ulizwa na Eddy zaidi ya kuendelea kumwagikwa na machozi usoni mwake. Wakafanikiwa kufika katika ofisi za makamu wa raisi, mlinzi akawafungulia mlango wa gari na kwa pamoja wakashuka na kuingia katika lifti liyo wapeleka moja kwa moja gadi katika gorofa ya siti zilipo ofisi za raisi, wakaingia hadi ofisini na Shamsa.

“Ehee niambie una tatizo gani?”

Shama akamtazama Eddy kwa muda huku akijaribu kufikia kuzugumza ukweli dhidi ya mtoto wake aliye zaa na Eddy ambaye hatambui ukweli juu ya mtoto huyo.

“Shamsa zungumza, sijawahi kukuona ukiwa katika hali kama hiyo niambie una tatizo gani?”

“Eddy”

“Naam”

“Mwanangu sijui ana hali gani?”

“Mwanao?”

“Ndio mwanangu siji ana hali gani, nimemuacha Uingereza na Sa Yo ila tangu nije Tanzania hawapatikani hewani”

“Ngoja, ngoja kwanza unataka kuniambai kwamba huyo mtoto umezaa na naani?”

Shmsa macho yakamtoka huku akiwa anashangaa, kumbumbuka za kuhitaji kuitunza siri yake hadi mwanaye akakapo kuwa mkubwa, taratibu ameanza kuimong’onyoa.

“Hei?”

Eddy alizungumza huku akimkazia macho Shamsa ambaye bado anawaza alijibu vipi swali la Eddy, kitu anacho kihofia ni kumdanganya Eddy kwani mwanaye anafanana sana na Eddy.

“Aha…a….”

“Vipi zungumza. Shamsa wewe umesha kuwa mtu mzima na unajiregemea maisha yako kwa sasa. Kuwa na mtoto hilo ni jambo jema sana kwetu”

Eddy alizungumza huku usoni mwake akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Eddy ninakuomba unisamehe kwa hili ninalo kwenda kulizungumza, ila sina jinsi zaidi ya kuzungumza hili jambo”

“Zungumza tu”

“Mtoto niliye naye, ni mtoto……”

Eddy akayatoa macho yake huku akimtazama Shamsa usoni mwake, akimsisitizia azungumze.

“Ni mtoto wetu”

Tabasamu lililokuwa usoni mwa Eddy taratibu likaanza kutoweka, mshangao mkubwa ukaanza kumtawala, akajaribu kuifikieria kauli ya Shamsa aliyo izungumza akahisi labda atakuwa amesikia vibaya kwa maana ni kauli ambayo hakuitarajia kuisikia kwa kipindi cha hivi sasa.

***

Adrus kwa haraka akakurupuka na kukaa kitako, dokta aliye kaa pembeni yake kwa haraka akamzuia na kumrudisha chini ili alale.

“Dokta niache namhitaji mpenzi wangu, niacheee”

Adrus alizungumza huku akijitahidi kunyanyuka ila daktari hakuweza kumruhusu zaidi ya kuendelea kumlaza chini huku akiwa amemgandamiza kifuani mwake.

“Adrus tulia, hali yako bado haijawa vizuri?”

“Niache bwana, mpenzi wangu Naomi yupo huku amapata matatizo na mimi ndio mtu wa pekee ambaye ninatakiwa kumsaidia”

“Sawa hilo utalifanya hali yako ikikaa sawa”

Adrus akaendelea kulazimisha kunyanyuka, dokta alipo ona anaanza kushindwa nguvu kwa haraka akachukua sindano yenye dawa maalumu ya usingizi na kumchoma Adrus sindano hiyo Adrus kwenye mkono wake wa kushoto, hazikisha hata dakika mbili Adrus akapitia na usingizi mzito sana.

Dakyari kwa haraka akaichukua simu yake, taratibu akaanza kuitafuta namba ya makamu wa raisi, baada ya kuipata akampigia

***

Mlio wa simu ukakatisha ukimya ulio tawala kati ya Eddy na Shamsa, taratibu akaitoa simu yake mfukoni na kukuta ni namba ya daktari wa ikulu. Akaitazama kwa sekunde kadhaa huku akimtazama Shamsa, anaye pepesa pepesa macho yake.

“Ndio dokta”

Eddy alizungumza kwa sauti ya upole sana.

“Muheshimiwa Adrus ameweza kuzinduka kutoka usingizini, ila hali yake hakikuwa nzuri kwani anaonekena kama mtu aliye changanyikiwa”

“Aliye changanyikiwa kivipi?”

“Amezinduka kutoka usingizini, analita jina la Naomi akidai ni mpenzi wake, sasa sijajua hapo inakuwaje?”

“Mpe simu nizungumze naye?”

“Nimemchoma sindano ya suingizi itamchukua kama lisaa kuzinduka tena kwa maana ninaona akili yake haiposawa”

“Utanijulisha pale altakapo amka”

“Sawa

Eddy akakata simu na kumtazama Shamsa aliye kaa katika kiti kilichopo mbele yake.

“Shamsa una uhakika na hilo unalo lizungumza?”

“Ndio nina uhakika, Eddy sijawahi kukutania siku hata moja, wewe ndio mwanaume uliye nitoa usichana wangu na wewe ndio mwanaume uliye nizalisha mtoto sijafikiria kuwa na mwanaume mwengine na nililiweka hili siri ilimradi nisikugombanishe wewe na Phidaya kwa maana nina waheshimu kama wazazi wangu”

Eddy taratibu akayafumba macho yake kwani bado kitu anachoa ambiwa na Shamsa, kinamchanganya.

“Eddy mtoto wetu sijui yupo kayika hali gani, Sa Yo hapatikana ninakuomba unisaidie katika hili?”

Kigugumizi cha mdomo kikamkamata Eddy na kujikuta akitamani kuzungumza kitu ila anashindindwa.

“Eddy ninakuomba ufanye kitu basi”

Shamsa alizungumza huku machozi yakiendelea kumtiririka usoni mwake.

“Kwani bado unaishi na Sa Yo?”

“Ndio bado ninaishi naye?”

“Ngoja niupigie ubalozi wa Tanzania nchini Ungereza nina imani watakusaidia katika hili”

“Ninashukuru”

Eddy kwa haraka akaitoa simu yake mfukoni, akampigia balozi wa Tanzania aliyopo nchini Uingereza, simu ikaita kwa muda kisha ikapojelewa.

“Muheshimiwa makamu wa raisi habari yako”

“Salama, balozi, kuna kazi ninahitaji uwezze kunisaidia mara moja”

“Zungumza tu muheshimiwa raisi”

Eddy kwa ishara akamuita Shamsa karibu yake akamkabidhi kalamu na karatasi, kisha akaiziba simu yake kwa kiganja na kuzungumza na Shamsa.

“Niandikie jila la mji na namba ya nyumba na mtaa unao ishi”

“Sawa”

“Haloo muheshimiwa”

“Ndio ninakusikia”

Eddy akakichukua kiaratasi alicho kiandika Shamsa.

“Kuna mtu ninahitaji umfwatilie katika jiji la London katika mji wa Southwark, nyumba namba mia moja na tisini”

“Sawa muheshimiwa nitalifwatilia hilo. Labda muhisika anaitwa nani?”

“Anaitwa Sa Yo ana asili ya Kikorea”

“Sawa muheshimiwa baada ya nusu saa nitakupatia jibu”

“Sawa”

Eddy akakata simu na kushusha pumzi nyingi huku akimtazama Shamsa usoni mwake.

“Shamsa”

“Beee?”

“Kwa nini hukuniaambia kwamba una mimba yangu?”

“Eddy ninakupenda na nitaendelea kukupenda, ila nina penda amani kati yangu na Phidaya sihitaji kumuumiza tayari tumesha muumiza kwa kumsaliti japo afahamu ila tumemsaliti katika hili”

“Siwezi kukaa kimya ni lazima nimuambie Phidaya”

“Eddy huwezi kufanya hivyo”

“Siwezi kufanya hivyo kwa nini, huyo mtoto ni wa kwangu ni bora kuzungumza mapema kuliko Phidaya akaja kugundua ukweli”

“Eddy muda bado ninakuomba usimuambie Phidaya chochote, ukikfanya hivyo nitaondoka maishani mwangu na nitapotelea kusipo julikana na wala huto weza kujua ni wapi nilipo potelea”

Shamsa alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Eddy kukaa kimya kwani anahitaji kumuona mtoto wake aliye zaa na Shamsa na endapo atafanya kosa la kuto kikifunga kinywa chake basi itakuwa ni tatizo litakalo mgarimu maisha yake yote kwani hato kaa kumuona mtoto wake huyo. 



“Eddy umenielewa?”

“Ndio nimekuelewa”

Eddy alijibu kwa unyonge huku akimtazama Shamsa usoni mwake. Ukimya wa gafla ukatawala ndani ya chumba hichi cha ofisi. Simu ya Shamsa ikaanza kuita na kumfanya kustuka sana, akaitoa mfukoni mwake na kuitazama na kukuta ni namba ngeni kutoka nchini Uingereza kwa haraka akaipokea, sauti nzito ya mwanaume na inayo koroma koroma ikamfanya aanza kutetemeka jambo lililo mstua sana Eddy.

***

“Nimekumbuka kitu”

John alizungumza huku akimtazama dokta Ranjiti aliye kaa mbele ya meza yake.

“Kitu gani mkuu?”

“Kabla hatujampiga Eddy kwenye mizizi yake ni lazima tuhakikishe kwamba tunayakata matawi. Kuna tawi lake moja nina imani hilo tukilipata tutafanikiwa katika mambo mengi kwa maana Eddy hawezi kuliacha tawi lake hilo kukatika kiraisi”

“Muheshimiwa bado hapo sijakuelewa, ukizungumzia tawi una maanisha nini?”

John akmatazama kwa muda doktta Ranjiti kisha akaanza kiminya minya laptop yake kisha akamgeuzia dokta Ranjiti. Dokta Ranjiti akaitazama picha ya binti wa Kikorea, dokta Ranjiti kwa haraka akamkumbuka binti huyu kwani kwenye matukio mengi sana ya kumfelisha katika harakati zake huyu binti alihusika kwa asilimia kubwa sana na tena alikuwa pamoja na mtoto wa Eddy ambaye ni Shamsa.

“Huyu binti anaitwa Sa Yo, katika kumfwatilia kwangu nimeweza kugundua kwamba yupo nchini Uingereza, hadi ninavyo zungumza hivi sasa kuna vijana tayari nimesha waagiza waande kumfwatilia, sikuhitaji kukuambia mapema kwa maana kichwa chako sikiamini katika mipango kama hii”

Dokta Ranjiti akaanza kutabasamu japo amedharaulika katika hili, ila ndoto na mipango ya kumsogelea adui yake ili kumchukua mwanamke anaye mpenda ambaye ni Phidaya inaanza kufanya kazi taratibu.

“Tazama unavyo tabasamu, unatakiwa kuwa mbunifu katika mbinu zako za kumsogelea mtu mkubwa na mahiri kama Eddy, ambaye ni miaka ishirini na kitu sasa nina mfahamu”

“Kweli mkuu nitajitahidi kuwa mbunifu sasa”

“Nina imani kwamba tukimpata Sa Yo, basi tutaweza kumuendesha Eddy vile tutakavyo sisi”

“Sawa sawa mkuu”

“Ila kumbuka, usifanye jambo lolote la kijinga pasipo kunishirikisha mimi. Ukileta ujinga basi utambue kile kitu kitaharibika na kikiharibika, sinto kuwa na msamaha na wewe kabisa”

“Nimekuelewa mkuu, nitahakikisha kwamba kila kitu kina kwenda sawa sawa”

“Poa”

“Ila mkuu unaweza kuniaeleza historia yako kidogo wewe na Eddy nifahamu mulipo tokea?”

“Ili……?”

“Ahaa nifahamu tu ni wapi mulipo tokea, na mimi nimjue jue”

John akatabasamu huku akishusha pumzi nyingi sana, akajiweka sawa kwenye kiti chake hichi cha kuzunguka zunguka.

“Eddy nilisoma naye shule moja hivi ya sekondari jijini Arusha. Mama yake Eddy alikuwa ni waziri katika serikali ya enzi hizo, cheo cha mama yeka kwa kipindi kile kilimpa ujasiri na jeuri kubwa sana katika kuyahimili mazingira ya kila aina, alikuwa mtu asiye shaurika kwa baadhi ya watu ambao wanajaribu kumshauri japo mimi alikuwa akinisikiliza.”

John akak kimya kisha akaendelea kusimulia maisha yake yeye na Eddy walipo tokea.

“Eddy alikuwa na nyota fulani hivi ya kupendwa na wasichana, kwanza ni kutokana na pesa yake, uzuri wake japo ni mwanaume mwenzangu ila Eddy alikuwa ni mzuri. Kuna mwalimu wetu mmoja hivi anaitwa…………Mery, tulizoea kumuita madam Mery. Yule mwalimu ndio aliye sababisha kutokea tabaka kati yangu mimi na Eddy japo tulikuwa ni marafiki wakubwa sana na Eddy”

“Eheee”

“Ehee ya nini, utanifanye nisiendelee”

“Ahaa basi mkuu sinto sema tena endelea”

John akamtazama dokta Ranjiti japo ni mtu mtu mzima ila anamtumikisha kama anavyo watumikisha vijana wengine.

“Madam Mery alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Eddy, ilifikia kipindi madam Mery alipata ujauizito wa Eddy……”

“Hapo Eddy alikuwa ni mwanafunzi?”

“Yaa alikuwa ni mwanafunzi”

“Duu hatari sana”

“Tena ilikuwani hatari kwa manaa madam Mery kumbu alikuwa na mume wake sijui alikuwa amekwenda wapi kwa kipindi hicho, basi jamaa kurudi, demu kajifungua ili jamaa kuzitoa hasira zake na arudiane na Mery, akaamua kumua mtoto wa Eddy”

“Mmmmmm….”

“Nakumbuka yule jamaa alikuwa anaitwa……anaitwa nani yulee….”

John akazidi kujaribu kumkumbuka mume wa madam Mery.

“Erick…..no ni Derick, sasa bwana yule kifo chake kilivyo tokea, ni bora hata mtu ugongwe na gari basi watu watajua fulani amegongwa akafa. Sasa pale ndipo nilipo gundua kwamba Eddy ni mkatili. Eddy ana roho mbaya kwa maana alimuua yule jamaa kwa kumkata vipande vipande mbaya zaidi akamkausha jamaa huyo kama vile nyama ya ng’ombe inavyo kaushwa na baada ya hapo nyama yake akawapa mbwa”

Dokta Ranjiti macho yakamtoka kwani hicho kitu hakuwahi kukisikia kwenye maisha yake na leo ndio amekisikia.

“Kwa tukio lile, lilimuumiza sana madam Mery, aliye amua kulipiza kisasi cha mapenzi”

“Kisasi cha mapenzi kivipi?”

“Alinishawishi sana kimapenzi hadi nikajikuta nikiingia naye kwenye mapenzi, basi penzi letu lilianza kunoga huku tukiamini kwamba Eddy hato jua”

“Sasa baada ya Eddy kufanya tukio hilo serikali haikumchikulia hatua za kisheria?”

“Serikali ilikuwa imeoza, baba mkuu wa jeshi, mama waziri nani ambaye angemgusa. Ila Eddy hakubaki tena Arusha aliamua kukimbia zake kimasomo na hapo ndipo penzi langu na madam Mery likazidi kunonga”

“Wenyewe waswahili husema siku za mwizi ni arobaini, na kweli, siku nakumbuka Eddy alikuja galfa na kutufumania mimi na madam Mery, yaani kuanzia siku ile ndio nilimchukia sana Eddy kwa maana alinipiga kipigo cha nusu kuniua. Kutokana nilikuwa masikini na sikuwa na nguvu za kupambana naye na nilimuogopa kutokana na mtukio yake ya kinyama. Nilijiapiza nitahakikisha kwamba nina tafuta nguvu na kulipiza kisasi kwa Eddy ili nafsi yangu iridhike”

John akaka kimya huku macho yake yakitawaliwa na uwekundu fulani ulio mfanya dokta Ranjiti kutambua kwamba John amekasirika sana.

“Eddy alimuua mpenzi wangu, kisha akanikata viongo vya mwili wangu, cha kumshukuru Mungu madaktari wamejitahidi kunirudishia, hivi viungo. NILAZIMA NIMUULIE NA YEYE MPENZI WAKE”

Dokta Ranjiti macho yakamtoka sana kwani mpenzi wa Eddy ambaye Jonh amenuwia kumuua ndio mwanamke wa pekee anaye mpenda ambaye ni Phidaya.

***

Sa Yoo kama kawaida yake ya kupenda kucheza na Junio Jr mtoto wa rafiki yake Shamsa aliye mzaa mwaka mmoja na miezi kadhaa iliyo pita, ni jambo la furaha linalo mfanya Sa Yoo kufurahia maisha yake na kusahau shida zote za nyuma alizo wahi kupitia husuani tukio la kuondokea duniani kwa bibi yake kipenzi.

“Junion Jr mama atarudi ehee sawa”

Sa Yoo alizungumza huku akimtazama Junio Jr aliye mlaza katika kitanda maalumu cha watoto.

‘Yanai huyu mtoto anafanana na Eddy, hadi raha’

Sa Yoo alizungumza kimoyo moyo hukua kiendelea kumtazama mtoto huyu anye penda kutabasamu muda wote.

“Usilie mtoto mzuri ninakwenda kukuandalia maziwa sawa ehee”

Sa Yoo akalishika shika shavu la Junio Jr kisha akatoka chumbani humo, akaelekea jikoni, kabla ya kaunza kitu chochote akaona mfuko mweusi mkubwa wanao wekea takataka, taratibu akaufunga vizuri na kutoka jikoni humu. Akatoka nje ya nyumba yao hii wanayo ishi na kuweka mfuko huu pembezoni mwa barabara ya kuingilia katike eneo la nyuma yao. Uzuri ni kwamba siku ya leo ni siku ambayo gari la kuzoa takataka huwa ndio linapita. Kabla ya kurudi akamuona mwanamke mmoja akipigwa na mwanume anaye onekana ni mlevi, kitendo hichi kikamfanya Sa Yoo kukasirika sana kwani maishani mwake hapendi kumuona mwanamke mwenzake akinyanyasika kwa kupigwa na mwanaume. Kwa haraka Sa Yoo akawasogelea watu hawa.

“Hei, hei, acha kumpiga mwenzako”

“Wewe malaya ondoka mbele yangu”

Mwanaume huyu alizungumza kwa kufoka sana huku akimtumbulia macho Sa Yoo.

“Nisaidie, nisaidie”

Dada huyu alizungumza huku akilia sana.

“Siondoki, wew ni mwanaume wa aina gani unaye mpiga mwanamke kama unapigana na mwanaume mwenzako”

Mwanaume huyu akajaribu kurusha ngumi jambo ambalo kusema kweli ni kosa kubwa sana kwa yeye kulifanya kwa haraka Sa Yoo akampiga mateke kadhaa mwanauem huyu na kumuangusha chini.

“Dada twende ndani”

Sa Yoo alizungumza huku akimnyanya dada huyu wa kizungu ambaye kwa mavazi yake aliyo yavaa anaonekana ni mwanamke mwenye maisha magumu sana na anaye teseka sana kwenye ndoa yake. Mwanaume huyu akajaribu knyanyuka ila Sa Yoo akatandika teke la shingo na kifua na kumfanya mwanaume huyu kulala chali akihisi dunia ikizunguka hovyo hovyo.

“Asante sana dada yangu”

“Usijali”

Wakaingia ndani wote wawili, Sa Yoo akachukua kiboksi chenye vifaa vya huduma ya kwanza. Akakata kiasi kidogo cha pamba, akakipaka dawa maalumu ya kusafishia vidonda kisha taratibu akaanza kumfuta dada huyu maeneo ya mdomoni mwake.

“Kwa nini mume wako huwa anakupiga sana?”

“Pombe na tabia yake mbaya”

Dada huyu alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Tabia gani?”

“Ananilazimisha kuniingilia kinyume na maumbile na mimi sitaki kwa maana ana niharibu”

“Masikini weee pole sana. Sasa kwa nini usimstaki ikiwa serikali ya nchi hii inajali wanawake kama nyinyi munao nyanyasika kwenye ndoa zenu”

“Nampenda tu”

“Hata kama unampenda, ila si kwa kukupiga huku, hembu tazama alama za makofi zilivyo baki shavuni mwako”

Sa Yoo alizungumza kwa huruma sana kwani dada huyu anasikitisha kwa kweli.

“Umepata kifungua kinywa?”

“Hapana, sijakula tangu jana mchana”

“Doooo, twende ukaoge, ubadilishe hizi nguo, na mimi ninakuandalia kifungua kinywa”

“Asante sana kwa ukarimu wako”

“Usijali, nitaongea na mwanasheria wangu, tuone hili linakwendaje”

“Sawa dada”

“Unaitwa nani?”

“Kimbery”

“Niite Sa Yoo”

“Asante kwa kukufahamu”

Sa Yoo akamuonyesha Kimbery huyu bafu la kuogea, kutokana dada huyu mwili wake sio mkubwa sana, akamtolea nguo kadhaa za Shamsa na kumuandali. Kimbery baada ya kuingi bafuni kwa haraka akaitoa simu yake mfukoni mwa suruli na kuandika ujumbe mfupi.

‘Zozezi limekwenda vizuri, ninaendelea kufanya upelelezi’

Kimbery akairudisha simu yake mfukoni baada ya ujumbe wake kupokelewa nwa watu wake alio ongozana nao katika kazi ya maalumu ya kumpeleleza Sa Yoo na kumteka kama vile walivyo agizwa na mkuu wao John.

***

Masaa mawili aliyo kabidhiwa raisi Dustan kwa ajili ya kujisalimisha mikononi mwa kundi la Al-quida, yakaisha, oparesheni ambayo alikuwa akiitegemea kutoka katika vikundi vya usalama nchini mwake, hakuna kikundi hata kimoja ambacho kimeweza kutoa ripoti ya kufahamu ni wapi mtoto wake alipo shikiliwa na kikundi hicho chenye hasira kubwa sana ya kuhitajaji kulipiza visasa vya matukio mengi sana yaliyo wahi katika kipndi cha nyuma. Mlio wa simu ya raisi Dustan ikawastua watu wote waliomo katika ukumbi huu wa mikotano, watu wote wakamtazama raisi, ambaye macho yake yote yapo mezani ilipo simu yake.

Namba anayo iona hapa sio ngeni kwani ndio namba iliyo toka kumpigia masaa mawali yaliyo pita. Wataalamu wa mswala ya mawasiliano, wakamzuia raisi kuipokea simu hiyo huku wakitajidi kuitafuta ni wapi ndamba hiyo inapo tokea.

“Unaweza kuipokea muheshimiwa raisi”

Kijana huyu anaye shuhulika katika swala la mitandao alizungumza na kumfanya raisi Dustan kuinyanyua simu yake taratibu na kuiweka sikioni mwake huku akiwa tayari amesha ipokea.

“Ninaona unachelewa sana kuipokea simu yangu, watu wako wanajaribu kuitafuta namba hii ni wapi ilipo tokea, hembu tazama tv yako”

Raisi Dustan kwa haraka akatazama tv kubwa iliyopo humu ndani ya ukumbi huu wa mikutano. Macho yakamtoka baada ya kuona mlipuko mkubwa sana ukiwa umetokea katika gorofa moja la kiuchumi lijulikanalo kwa jina la Twin Tower.

“Hapo ndipo simu yangu inapo tokea, huo ni mlipuko mdogo sana na umeua watu wachache sana. Hiyo ni kutokana na kushindwa kwako kusikiliza kile ninacho kuamrisha. Ninakupa lisaa jengine moja ujisalimishe mikononi mwetu, la sivyo shambulizi jengine kubwa zaidi ya hilo litafwata baada ya lisaa hilo”

Simu ikakatwa, raisi macho yakamtaoka, hata watu wake walio kuwa wakiyasikiliza mazungumzo yake na mtu huto mwenye sauti ya kukoroma sana, nao wakabaki wakiwa ameduwaa wakiendelea kutazama jengo hilo jinsi linavyo zidi kumeguka na kuteketea taratibu taratibu.

“Mumefanikiwa kugundua ni wapi namba hiyo inapo tokea?”

Mkuu wa jeshi alizungumza huku akiwatazama vijana wanao shuhulika na swala hilo.

“Hapana”

“Shitiii”

“Nisikikilizeni. Mimi ndio raisi nchi hii ya Marekani, sipo tayari kuona wanachi wangu wanaendelea kufa kwa ajili yangu au mwana familia yangu. Nipo tayari kujisalimisha mikononi mwa watu hawa”

Raisi Dustan alizungumza huku macho yakiwa yamemjaa hasira kubwa sana.

“Muheshimiwa raisi hat……”

“Jeneral hilo sio ombi ni amri, na katika hili sihitaji mtu yoyote apinge maamuzi yangu niliyo yaamua”

Baada ya raisi Dustan kumaliza kuzungumza mazungumzo yake, akanyanyuka kwenye kiti chake alicho kikalia na kuanza kutembea kuelekea nje ya huu ukumbi akiwa tayari kwa kujitoa sadaka kwa ajili ya nchi yake ambayo tayari magaidi wamaesha anza kuleta madhara makubwa tofauti na madhara waliyo yafanya hapo awali.

***

Kimbery akatoka bafuni na kumkuta Sa Yoo akiwa amesimama karibu na bafu.

“Nimekuandalia nguo za kuvaa, nina imani zitakutosha”

“Asante sana kwa ukarimu wako”

“Usijali unaweza kuingia chumba hicho hapo ukavaa”

“Sawa”

Kimbery akaingia katika chumba alicho elekezwa na Sa Yoo, kisha Sa Yoo akaelekea jikoni, akaanza kuandaa maziwa ya Junio Jr, mtoto aliye kabidhiwa jina la Junio Jr kumuenzi Junio wa kwanza aliye fariki duniani kwa ajali ya kugongwa na gari Manka, aliye kuwa mama yake mkubwa. Sa Yoo akaanda kifungua kinywa kwa ajili yake na Kimbery mwanamke aliye muhurumia pasipo kujua kwamba ni gaidi na mateso yote aliyo yaona akifanyiwa Kimbery ni mchezo wa kuigiza.

“Sa Yoo”

Kimbery aliita na kumfanya Sa Yoo kutoka jikoni.

“NIpo huku”

Kimbery akamfwata Sa Yoo jikoni huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Umependeza jamani”

“Asante sana”

“Tupate kifungua kinywa, kisha nikutengeneze nywele zako vizuri, utazidi kuwa mrembo”

“Jamani Sa Yoo huna haja ya kufanya hayo yote”

“Hapana, unajua maisa ni kusaidiana, kesho na kesho kutwa nina tatizo, ukiniona na wewe utanisaidia”

“Kweli”

Sa Yoo na Kimbery wakasaidiana katika kupelekea kifungua kinywa mezani. Sa Yoo akaelekea chumbani na kumchukua Junio Jr na kurudi naye sebleni jambo lililo mfanya Kimbery kumshangaa mtoto huyu mzuri sana.

“Kumbe una mtoto?”

“Hahaa hapana ni wa rafiki yangu ninaye ishi naye hapa”

“Ahaaa hembu nimshike jamani, mtoto mzuri”

Sa Yoo akampa Kimbery mtoto.

“Anaitwa nani?”

“Junio Jr”

“Mama yake ameenda kazini?”

Kimbery alizungumza kwa kufurahi yote ni katika harakati za kumpumbaza Sa Yoo ili hata wakimteka basi wamteke kiurahisi kwani wamegundua sifa kubwa ya Sa Yoo ni msichana mwenye uwezo wa kupigana.

“Hapana amesafiri amekwenda nchini Tanzania”

“Jamani, sijawahi kuona mtoto mzuri kama huyu”

“Tena ngoja nimpigie mama yeke”

Sa Yoo akatoa simu yake mfukoni, akajaribu kupiga namba ya simu ambayo Shamsa anaitumia nchini Tanzania, kwa bahati mbaye simu yake ikazimika chaji

“Simu imezima chaji ngoja nikachukue simu nyingine”

Sa Yoo akanyanyuka kwa haraka Kimbery akamimina juisi kwenye glasi mbili kisha glasi moja akainyunyizia dawa ya usingizi kisha akaanza kinywa taratibu. Sa Yoo akarudi sebleni akiwa na simu nyingine yenye, akabadilisha line yake na kuiweka kwenye simu nyingine, pasipo kujiuliza mara mbili mbili, akaanza kunywa juisi aliyo andaliwa na Kimbery, taratibu Sa Yoo akaanza kuyachezesha macho yake akijitahidi kumtazama Kimbery aluye mbeba Junio Jr, ila usingizi ukamshinda nguvu na kujikuta akilala fofofo huku akiangusha simu aliyo badilisha line kabla hata ya kuiwasha. Kimbery akatoa simu yake mfukoni na kuwapigia vijana wake akiwataarifu kwamba hatua ya kwanza ya kazi yao imesha kamilika na waingie ndani kwa ajili ya kuondoka na Sa Yoo pamoja na Junio Jr mtoto ambaye hakuwa katika mpango wao



ENDELEA

Wakamuingiza Sa Yoo ndani ya gari, kisha Kimbery akapanda gari jengine na Junio Jr na kuondoka katika eneo hili. Safari yao lisaa moja hadi kufika baharini, wakapanda katika boti iliyo kuwa inawasubiria na moja kwa moja ikawapelea hadi katika kisiwa, zilizo ofisi kuu za kikosi cha D.F.E. Wakampeleka Sa Yoo hadi katika chumba maalumu na kumkalisha kwenye juu ya kiti cha mbao, wakamfunga kamba kwenye mokono waliyo iunganisha na kiti kisha wakamfunga kambe kwenye miguu.

Kimbery alipo hakikisha kwamba amedhibitisha kwamba Sa Yoo amewekwa chini ya ulinzi mkali akatoka chmbani hamo na kupanda gari, dereva akampeleka hadi kwenye ofisi za makao makuu, akashuka huku akiwa amembaba Junio Jr ambaye kwa muda wote hajaonyesha hata dalili ya kulia.

“Mkuu yupo?”

Kimbery alimuuliza mlinzi wa John aliye simama mlangoni.

“Ndio yupo ila ana maongezi na dokta Ranjiti”

“Wamezungumza kwa muda gani?”

“Ni kama nusu saa kwa sasa”

“Muambie mkuu nimesha fika”

Mlinzi huyu akaingia ofisini mwa John moja kwa moja akasogelea John na kunong’oneza.

“Mkuu Kimbery yupo hapa”

“Muambie aingie”

Jonhn alijibu huku akiwa amejawa na tabasamu jamabo lililo mpa shauku kubwa dikta Ranjiti ya kufahamu ni kitu gani kinacho endelea. Mlinzi akatoka nje na kumruhusu Kimbery kuingia ndani ya ofisi hiii, John na dotka Ranjiti wakabakiw akiwa ameduwaa baada ya kumuona Kimbery akiingia na mtoto mdogo.

“Habari yako mkuu”

“Salalama vipi majukumua yamekwenda vizuri?”

“Ndio mkuu na tumeweza kuongeza uzito wa kazi”

John katika kumtazama mtoto huyu, kwa haraka akajua ni mtoto wa Eddy kwa maana sura ya Eddy anaifahamu vizuri na kamwe haiwezi kumuondoka kichwani mwake katika maisha yake yote.

“Hembu huyo mtoto”

Kimbery akamkabidhi John mtoto huyu, picha ya mtoto mdogo Junio ikamjia kichwani mwake.

“Anaitwa nani?”

“Anaitwa Junio Jr”

“Ni mtoto wa Sa Yoo!!?”

John aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana kichwani mwake.

“Hapana ni mtoto wa Shamsa”

“Bingooo”

John alizungumza kwa furaha sana huku akimgeuza geuza Junio Jr aliye anza kucheka kwa furaha.

“Unataka kuniambia huyo mtoto ni wa Eddy?”

Dokta Ranjiti aliuliza baada ya kugundua kufanana kwa Junio Jr na Eddy.

“Hilo ndio jibu lipigie mstari”

John alijibu kwa kifupis ana.

“Sa Yoon aye yupo wapi?”

“Tumemuhifadhi sehehemu maalumu”

“Nahitaji kwenda kumuoana sasa hivi kwa maana ninahitaji hii kazi ianze kufanya kazi mara moja”

“Sawa mkuu”

Wakatoka ofisini wote watatu, wakaingia kwenye gari na dereva akawapeleka katika jengo maalimu walilo muhifadhi Sa Yoo. Wakaingia ndani na kumkuta Sa Yoo ndio anaanza kupata fahamu.

“Kazi nzuri Kimbery, zawadi yako ninakuandalia”

John alizidi kufurahi sana, kwani furaha iliyo mtawala ni kama mtu aliye pewa tuzo kubwa sana duniani. Macho ya Sa Yoo taratibu yakaanza kupata nguvu ya kuona, ukungu ulio kuwa umayatawala macho yake ukaanza kutoweka, mstuko mkubwa ukaanza kumtawala baada ya kumuona dokta Ranjiti na John wakiwa wamesimama mbele yake na mbaya zaidi wamamshika Junio Jr mtoto wa rafiki yake. Sa Yoo akamtazama Kimbery, msichana aliye msaidia akiamini ana matatizo, Kimbery kwa dharau kubwa akamkonyza Sa Yoo huku akimpiga busu la hewani, Sa Yoo akajaribu kunyanyuka kwa hasira, ila kwa bahati mbaya akajikuta akishindwa kusimama kutokana na miguu yake pamoja na mikono yake kudhibitiwa vizuri sana kamba alizo fungwa.

“Wewe malaya mwana haramu kumbe unashirikianana huyu mpuuzi”

Sa Yoo alizungumza kwa hasira hadi akaanza kuwa mwekundu, jicho lake kubwa likaanza nalo kutawaliwa na uwekundu unao okana na hasira kali.

“Sa Yoo nina imani kwamba unanikumbuka?”

“John nimekuambia muweke mtoto chini, hunijuuu mimi”

“Hahaaa, unahisi kwamba ninaweza kukusikiliza, kumbuka kwamba upo ndani ya himaya yangu. Himaya ambayo huto weza kutoka hadi yule mtu wako unaye mtukkuza kama Mungu aweze kufanya kile takacho muambia”

Jonh alizungumza kwa sauti iliyo jawa na dharau kubwa huku akimshika shika Junio Jr nywele zake laini. Kwa jinsi asira ilivyo mtawala Sa Yoo akajikuta akianza kulia, jambo lililo mfanya Junio Jr naye kuanza kulia. Dokta Ranjiti kwa haraka akatoa simu yake mfukoni na kuanza kumrekodi Junio Jr jinsi anavyo lia kisha akaigeuzia kamera yake kwa Sa Yoo anaye endelea kumwagikwa na machozi.

“Sa Yoo nitajie namba ya mama mtoto wa Junio Jr ili aweze kusikia jinsi mwanaye anavyo lia”

John alizungumza huku akimuomba Kimbery bastola yake, Kimbery kwa haraka akaichomoa bastola yake na kumkabidhi John.

“Najua unampenda huyu mtoto ila sinto kuwa na huruma naye ukishindwa kunitajia namba ya Shamsa”

John alizungumza huku akiuweka mdomo wa bastola kichwani mwa Junio Jr. Kitendo hicho kikaanzidi kumkera Sa Yoo na kwa jinsi Junio anavyo lia kwa uchungu, kikamfanya Sa Yoo kuanza kutetemeka midomo yake, a kitamani hata utokee muujiza utakao msaidia kupambana na Jonh.

“Moja, mbili, Ta…..”

“Nataja nataja”

Sa Yoo alizungumza huku akilia kwa uchungu, John akatabasamu huku akiirudisha bastoka yake kwa Kimbery, akaitoa simu yake mfukoni na taratibu Sa Yoo akaanza kuitaja namba ya Shamsa anayo itumia nchini Tanzania. Sa Yoo alipo maliza kuitaja namba hiyo, John wala hakuchele kuipiga, taratibu akaiweka sikioni na ilipo anza kuita tabasamu usoni mwake likazidi kuongezeka kwani anatambua muda maalumu wa kumtesa Eddy na familia yake umefika.

***

Kutetemeka kwa Shamsa kukaanza kumshangaza Eddy, taratibu akaanza kusimama na kumsogela Shamsa aliye ishikilia simu yake akisikiliza jinsi sauti hiyo nzito inavyo zungumza.

“Sa Yoo na mwanao kipenzi ninao hapa. Nina imani kwamba upo nchini Tanzania na upo karibu na Eddy, sasa sikiliza kile kitu ambacho ninakihitaji wewe uweze kukifanya”

“We…..wee….wewe ni nani?

“Ohoo kumbe hadi sasa hivi ujanijua mimi ni nani, ngoja niitoe hii sauti”

“Sasa hapa utakuwa umenifahamu mimi ni nani?”

“JOHN!!”

Shamsa alizungumza kwa mshangao huku akisimama, Eddy kwa haraka akampokonya Shamsa simu na kuiweka loudspeaker na kuisogeza karibu na mdomo wa Shamsa.

“Yaaa nina imani umenikumbuka sasa, natambua ni jinsi gani mulivyo nikumbuka, kama upo karibu na Eddy hembu muambie ninahitaji kuzungumza naye”

“Wewe mwanaharamu, mshezi mkubwa”

Eddy alianza kuporomosha matusi baada ya kuisikia sauti ya John

“Shiiiiiii, mbona unatokwa povu bwana Eddy.”

John alizungumza kwa sauti iliyo jaa dharau sana.

“Nina mmoja wa wapambe wako hapa pamoja na mwanao anaitwa Junio Jr. Kwanza nikupongeze kaka shahawa zako zini nguvu, sura yako haipotei kabisa yaani toto unafanana nalo kiseng***”

Shamsa akamtazama Eddy usoni mwake huku akiwa amejawa na machozi.

“John waachia hao hawakuhusu sawa”

“Eddy unanijua vizuri sana na kunielewa, usinikoromeee kabisa kwa sasa ninacho kuambia hakikisha unakifanya kama vile ninavyo kueleza, sawa”

Eddy akashusha pumzi nyingi sana huku akimtazama Shamsa anaye endelea kububujikwa na machozi.

“Ninamuhitaji Phidaya, nami nitakukabidhi Junio Jr na Sa Yoo, pasipo kifanya hiyo utakwenda kuwapoteza wote wawili sasa hivi sawa”

Eddy akaka kimya na kushindwa kujibu kitu chochote, simu ikakatwa, kwa haraka Shamsa akamkumbatia Eddy na kuangua kilio kikubwa sana kilicho mfanya Eddy kuanza kumbembeleza. Simu ya Shamsa ikaingia meseji kupitia whatsapp, kwa haraka Shamsa akaifungua meseji hii ambayo ikazidi kuwachanganya kwanini video inayo waonyesha John, Junio Jr pamoja na Sa Yoo aliye fungwa kamba ngumu kwenye kiti alicho kikalia.

“Eddy tutafanyaaa nini jamaniii”

Shamsa alizungumza huku akizidi kulia kwa uchungu sana. Simu ya Eddy ikaanza kuita akaitoa mfukoni na kukuta ni namba ya balozi wa Tanzania kutoka nchini Uingereza, taratibu akaipokea.

“Muheshimiwa makamu raisi vijana wamefika katike eneo hilo ila hakuna mtu katika hiyo nyumba”

“Ninaelewa hilo”

“Ila muheshimiwa makamu wa raisi ninaweza kukuuliza swali?”

“Ulinza?”

“Labda huyu binti ulikuwa unamtafutia nini?”

“Nitakujibu muda mwengine, asante kwa msaada wako”

Eddy akakata simu na kuirudisha mfokoni mwake huku akianza kufikiria ni mbinu gani aitumie ili kumuokoa mwanaye pamoja na Sa Yoo msichana aliye shirikiana naye kwa kipindi kirefu sana katika raha na shida za harakati za kuupindua uongozi wa mzee Godwin aliyekuwa raisi wa nchi ya Tanzania.

***

Fahamu zikamrudia Adrus, safari hii hakuchanganyikiwa kama alivyokuwa amechanganyikiwa hapo awali. Akamtazama daktari huyu aliyopo pembeni yake akimtazama.

“Unanjsikiaje”

Adrus hakujibu kitu chochote zaidi ya kukaa kitako kitandani, akashusha pumzi nyingi kisha akashuka huku akimyazama daktari huyu, akajichomoa sindano ya dripu aliyo chomwa mkononi mwake.

“Bwana Adrus unatakiwa kutulia upate nguvu”

“Nguvu nitazipata mbele ya safari”

Adrus alizungumza huku akitoka ndani humu huku akiyumba nyumba. Akasimama kwenye kordo hii kwa dakika kadhaa kisha akaanza kusonga mbele huku akijikaza sana kwani mwilini mwake bado anajisikia vibaya. Akafika kwenye moja ya chumba cha mapumziko, akakaka kwenye moja ya sofa, akaijipapasa mifukonimwake na kutoa simu yake. Taratibu akaanza kuitafuta namba ya makamu wa raisi, alipo hakikisha ameipata, akampigia, simu ikata kwa mdu kisha ikapokelewa.

“Muheshimiwa ninakusikiliza”

“Adrus?”

“Ndio muheshimiwa nipo tayari kwa kazi uliyo panga kuniagiza”

“Upo wapi kwa sasa?”

“Nipo ikulu”

“Njoo ofisini kwangu muda huu”

“Sawa”

Adrus akakata simu na taratibu akanyanyuka na kuanza kuelekea nje.

***

“Muheshimiwa raisi, tunatambua kwamba una itetea nchi ila hili unalo taka kulifanya muheshimiwa raisi ni jambo la hatari sana”

Mshauri wa karibu wa raisi Dustan alizungumza huku wakiongozana na raisi anaye elekea maeneo ya maegesho ya magari kwa ajili ya kwenda kujisalimisha kwa magaidi.

“Silvester nimesha fanya fanya maamuzi yangu na huwa sipendi mtu kuvunja maamuvi yangu”

“Nalitambua hilo muheshimiwa raisi ila kitu ambacho unatakiwa kuangalia ni ogongozi wako, tuangalie ni jinsi gani unavyo weza kulitatua tatizo hili, nchi kwa sasa inakuhitaji. Usikimbie majukumu yako. Wewe ni mwanaume ndio maana wananchi walikuchagua, ndio maana mamilioni ya Wamarekani walikuchagua, iweje leo unayumbishwa kwa mamabo madogo kama haya ehee?”

Mshauri wa raisi Dustan alizungumza kwa kijiamini sana huku akiwa amesimama mbele ya raisi huyu ambaye tayari akili zake zimemtuma kujisalimisha kwa wamarekani ila nchi yake iwe salama.

“Kumbuka kitu kimoja, Marekani ni nchi kubwa, inchi inayo heshimika na kuogopewa na mataifa yote duniania. Leo itakuwa ni kituko sana kwa raisi kama wewe kujitoa mikononi mwa magaidi na ukumbuke kwamba nchi yetu huwa haifanyi makubaliano na magaidi”

Maneno ya Silvester anaye zungumza kwa uchungu yakaanza kumuingia akilini raisi Dustan.

“Ni wakati wa wewe kujidhihihirisha mbele za watu kwamba unaweza, na hukufanya makosa kuchaguliwa. Dustan watu wanahitaji uongozi wako sawa”

“Nimekuelewa”

“Turudi sasa kwenye chumba cha mkutano”

Raisi Dustan na Silvester wakarudi katika chumba cha mikotano, viongozi walio kuwa wamekatishwa tamaana na maamuzi ya raisi, wakabaki wakishangaa kumuona raisi amerudi tena.

“Mumeweza kujua ni nchi gani ambayo magaidi wametokea?”

Raisi Dustan alizungumza huku akiwatazama viongozi waliomo humu ndani.

“Ndio muheshimiwa, magaidi hawa ni Al-quida wanatokea nchini Pakistani”

“Jeneral andaeni makombora ya nyuklia ninakwenda kushambulia nchi hiyo kulipiza kwa kile walicho kifanya katika nchi yangu”

Watu wote wakazidi kushangaa kwa maana mamuzi ambayo raisi Dustan ameyachukuani magumu sana kwani wanao takiwa kushuhulikiwa ni magaidi na sin chi nzima kwani kuna watu ambao hawahusiki kabisa katika hili tatizo

ITAENDELEA

 

0 comments:

Post a Comment

BLOG