Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

AISIIIII.....U KILL ME SEASON 2 SEHEMU YA 10 MWISHO

 

 

AISIIIII.....U KILL ME SEASON 2 

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+ 

SEHEMU YA 10 KATI YA 10

 


Nikaanza kukimbia kuelekea sehemu anapo kimbilia Osama na jeshi na walinzi wake. Nikafanikiwa kuwaona. Wakaanza kunishambulia kwa risasi huku wakijibaza kwenye miti iliyopo mbele. Nikajibanza kwenye mti huku nikisikilizia jinsi wanavyo shambulia.

“Dany nimefika kwenye kona”

“Umeona hicho kijimlima hakikisha kwamba unakipanda, kwa maana wana bunduku kubwa wameniweka kwenye tageti na kwenye huu mti siwezi hata kushambulia”

“Nimekuelewa mkuu”

Osama na watu wake wakazidi kushambulia kwa fujo. Gafla nikasika vishindo vya watu kuanguka chini.

“Tayari”

Magreti alizungumza na kunifanya nijitokeze kwenye mti huu, nikawaona watu watatu wakiwa wamelala chini.

“Umemua hadi Osama?”

“Hapana, huyu hapa, nimemchoma kile kijisindano”

Magreti akanionyesha sehemua alipo mchoma kisindano. Kwa haraka nikamvua kitambaa kilicho ifunika sura yake na kweli nikakuta sura yake. Nikampiga picha kadhaa na kumtumia Logate.

“Dany ndio yeye”

“Poa”

Kwa haraka nikamnyanyua na kumbeba begani mwangu. Magreti akaanza kuongoza njia hadi sehemu lilipo gari, nikamuingiza siti ya nyuma, tukaingia ndani ya gari. Kitendo cha kuwasha gari tukaona gari karibia sita zikija nyuma yetu kwa kasi sana, huku zikifanya mashambulizi makali sana. Nikawasha gari na kuanza safari ya kuifuta Bagamoyo kwnai siwezi kurudi nyuma kwani gari hizi zinazidi kutukimbia huku zikitushambulia.

“Jamani tunashambuliwa tuambieni nini tufanye”

Magretu alizungumza huku akimuweka Osama vizuri kwenye situ huku akiwa amemfunga mkanda wa siti.

“Livna unanisikia?”

“Ninakusikia Dany”

“Ninakuomba unitafutie ramani ya kuelekea katika nyumba ya mama yangu mkoani Tanga?”

“Ile ya Tanga mjini?”

“Hapana ninahitaji ile ya msituni”

“Okay nimekupata dakika moja”

Nikazidi kuongeza mwendo kasi wa gari langu kwani hawa watu wanao tufukuzia ni watu wa Osama ambao wanahitaji kuhakikisha wanamkomboa bosi wao. Tukafanikiwa kufika barabara ya kuelekea mikoa ya Tanga na Arusha.

“Dany nimeipata nimeituma kwenye screen ya gari hapo umeiona?”

“Ahahaa…….yap yap nimeiona nimeiona”

“Tukutumie msaada?”

“Hapana hawa nitajua jinsi gani ya kushuhulika nao. Ila nikifika kwenye nyumba hiyo nitaomba unitumie msaada”

“Sawa hakisha unakuwa salama mume wangu”

“Usijali”

“Vipi niwashambulie?”

“Hapana, hakuna haja hiyo”

“Kwa nini?”

“Tutawaacha njiani mmoja baada ya mwengine, tulia uone”

Nilizungumza huku nikipungaza mwendo wa gari kwani mbele kuna gari mbili kubwa aina ya Scania zinakuja kwa kasi sana. Nikahama upande wangu na kuingia upande wa mgari haya makubwa yanazidi kuja kwa kasi huku dereva wa gari la mbele akiniwashia taa zote kuniashiria nirudi upande wangu.

“Dany unafanyaje jamani?”

Magreti alizungumza kwa sauti iliyo jaa wasiwasi mwingi, sikumjibu kitu chochote zaidi ya kuongeza kasi wa gari huku nikizitazama gari za watu hawa wanao tukimbiza zikinifwata upande huu nilipo huku wakiendelea kunishambulia kwa risasi.



ENDELEA

Nikazima taa za gari langu huku nikiendelea kuendesha kwa kasi gari, zikiwa zimebaki mita chake kukutana na gari hili kubwa la mizigo, nikawasha taa huku nikirudi katika upande wangu wa gari jambo lililo sababisha gari kadhaa nyuma yetu kugongana uso kwa uso na gari hili kubwa na isitoshe zipo gari mbili zilizo fwatana ni kubwa.

“Waooooooooooooooo” Magreti alishangilia huku akigeuka nyuma akitazama jinsi gari hizi zinavyo endelea kumabizwa huku gari nyingine zikiacha njia na kuingia kwenye misituni.

“Dany wewe ni genius” “Eti eheee” “Yaaaa” “Siku nyingine usiogope” Tukiwa hata bado hatujafika mbali, tukaona gari nyingine mbili zikija kwa nyuma yetu kwa kasi ya ajabu.

“Hawa wamesali, wajinga kweli kweli” “Utawafanyaje?” “Nawadumbukiza wame wote hawa” “Utawadumbukiza vipi?” “Tulia mama” Nikapunguza mwendo kidogo ili kuwangojea hawa jamaa wanao tufwatilia kutukaribia.

“Mbona unapunguza mwendo Dany?” “Mage unaogopa nini tulia” Jamaa hawa wakazidi kutusogelea jambo lililo nifanya niwaone vizuri katika kiooo changu cha pembeni. Kila walivyo jaribu kunipita, ninawazuia huku nikihakikisha kwamba hawanipiti, tukaaanza kushuka kwenye mporomoko wa daraja la Wami ammbalo linasifika kwa wembaba wake unao himili magari mkubwa ya kila aina kupita juu yake. Jamaa pasipo kutambua ni kitu gani ninacho kiwaza wakazidi kuniandama, kitendo cha kulikaribia daraja, nikafunga breki za gafla huku nikiligeuza gari upande wangu, dereva alite tangulia mbele kwa akili zake fupi akajaribu kunikwepa na mika kwa moja bila hata ya ubishi nikamshuhudia akiingiza gari analo liendesha kwenye mtu huu mkubwa sana unao sifika kwa kina kirefu na kuna mamba wengi. Dereva wa pili akafunga breki karibu kabisa na mlango wa upande wangu, nikamtazama kwa muda muharabu huyu ambaye anaonekana haifahamu barabara hii. Nikaichomoa bastola yangu sehemu nililipo ichomeka, nikashusha kioo kwa haraka.

“Bye” Nilizungumza na kuanza kufyatua risasi kadhaa zilizo penye kwenye kioo cha mbele cha gari hili na kumpiga dereva wake alite poteza maisha hapo hapo kwani risasi nilizo mpiga ni nyingi wala hazina idadi kamili.

“Niche job” “Thanks” Nikaliweka gari sawa na kuondoka eneo hili haraka iwezekanavyo na kuacha hili gari likiwa limeziba njia kwa watu wanao toka mkoa wa Dar es Salaam.

“Hivi alisema sehemu ya kubadilishia gari rangi ni wapi?” “Batani hizi” Magreti alizungumza huku akimya moja ya batani, na pich ya gari hili ikatoka kwenye scean ndogo iliyopo pembeni yangu.

“Niweka rangi gani?” “Nyeusi” “Tayari” Tukazidi kusonga mbele, hadi tukafika katika msitu ambao ndipo nyumba ya mama yangu. Tukaanza kuifwata ramani hii japo ni msitu na njia zake kizogo hazionekani, kirahisi kutokana na kujawa na majani mengi.

“Huku mbona ni msitu tu inaonyesha haishi mtu yoyote huku” “Yaa ila kuna nyumba moja tu mbele” “Ila kuna ogopesha sijawahi kufika eneo kama hili” “Hii ndio Tanzania, ina maeneo mengi makubwa”

“Mmmm kweli” Tukafika katika jumba la mama yangu ambalo kusema kweli limezungukwa na majani mengi sana. Nikazichukua bastoka zangu zote mbili na kushuka kwenye gari.

“Kaa na huyo fola sawa” “Tunashuka wote” “Mlinde mimi nipo salama” Magreti akaniangalia, kisha nikafunga mlango wa gari hili. Mwanga wa mbalamwezi unanisaidia kuweza kuona eneo hili lililo izunguka nyumba vizuri sana. Nikaanza kuizunguka nyumba kuhakikisha kwamba kuna usalama, nilipo hakikisha kwamba kuna usalama wa kutosha nikazunguka hadi ulipo mlango mkubwa wa kuingilia ndani.

Nikauchuguza vizuri kisha taratibu nikaanza kuusukuma na cha kumshukuru Mungu ukaanza kufunguka ikimaanisha kwa kipindi chote haujafungwa. Nikaisogelea swichi iliyopo pembezoni mwa mlango huu na kuwasha ndani.

Mwanga mkali ukaangaza humu ndani, nikaoja jinsi seble hii ilivyo tawaliwa na ukungu wa wadudu wanao fahamika kama buibui, huku kukiwa na vumbi jingi lililo samba kaa kwenye kila sehemu.

“Nikaanza kuingia chumba kimoja baada ya kingine, nikaingia katika chumba nilicho kuwa ninaikaa mimi, hapa ndipo nikakuta michirizi ya damu nyingi barazani ambayo imekauka. Nikaangalia mandhari ya chumba hichi jinsi yalivyo changuliwa vibaya vibaya.

‘Hapa ndipo walipo uwawa’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kutazama mandhari ya hichi chumba. Nikatoka humu na kuingia katika chumba kingine, kisha nikaelekea katika chumba kingine ambacho alikuwa analala mama, sikikuta mabadiliko makubwa zaidi ya vumbi jingi. Nikarudi nje na kumkuta Magreti akinisibiria nje ya gari.

“Kupo salama?” “Ndio” Nikafungua mlango wa nyuma ya nikamtoa Osama Bin Laden, nikambeba bageni mwangu na moja kwa moja tukaingia ndani na kumlaza kwenye moja ya sofa.

“Kwa nini usimuue sasa hivi tukarudi zetu kambini” “Nina mambo mengi ambayo ninahitaji kumuuliza maswali” “Dany unahisi kwamba hii sehemu ni salama kwa sisi kuendelea kuwepo hadi kupambazuke?” “Ndio ni salama. Logate nina imani kwamba unatuona tulipo?” “Hapana, hakuna kamara yoyoye ya hapo ndani na hatuwezi kuwaona” “Eneo la nje je?” “Eneo la nje tunaona kupitia satelaiti” “Ulinzi wenu unahitaji kwa muda huu” “Tupo kwa ajili yenu” “Sasa hichi kijisindano alicho chomwa, kitachukua muda gani hadi azinduke?” “Haito mchukua mda kuanzia hivi sasa” “Poa Livna, unanisikia?” “Ndio ninakusikia Dany wangu” “Kazi yangu imekamilika, ninahitaji sasa kuzungumza na huyu mzee mazungumzo yangu sihitaji yasikiwe na mtu yoyote zaidi yangu mimi na yeye” “Ni mazungumza gani hiyo Dany” “Nitakuambia mara baada ya kumaliza kuzungumza naye, pale atakapo zinduka” “Mmmmm sawa” “Una guna nini?” “Ahaa, ninashangaa ni mazugumzo gani ambayo huhitaji mimi niweze kuyasikia” “Nitakuambia” “Kuwa makini na huyo mtu kumbuka kwamba ni gaidi ambaye amefanya matukio mengi sana” “Alikuwa anaongoza matukio ila yeye hakuwa mtendaji” “Sawa” “Mida” Nikachomoa kinasa sauti nilicho kichomeka sikioni mwangu. Nikamtazama Magreti kwa ishara naye nikamuomba avua kinasa sauti chake.

“Kwa nini?” Magreti alizungumza kwa sauti ndogo sana ambayo sio rahisi kwa mtu kuweza kuisikia hadi amtazame mdomo wake jinsi unavyo yataja matamshi hayo.

“Vua” Magreti akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akavua kinasa sauti chake na kunikabidhi, nikatazama tazama hapa sebleni. Nikaona moja ya chupa ya maji ambayo inamaji kiasi nikaichukau na kumwagia nayo Osama usoni mwake, nikadumbukiza hivi vinasa sauti na kuifunga chupa hii.

“Mbona umeniambia unahitaji kuvua hivi vinasa sauti” “Nina maana yangu, iunaweza kwenda huko nje kukaa peke yako nikiwa ninamuhoji huyu mjinga?” “Hapana” “Sasa hiyo ndio maana yangu”

Osama taratibu akaanza kufumbua macho yake huku akinitazmaa usoni mwangu. Kwa nguvu nikamnyanyua na kumkalisha kitano, nikachomoa bastola yangu nilicho ichomeka vizuri kiuoni mwangu. Osama akazungumza maneno ambayo siyaelewi kabisa.

“Anasema wewe ni nani?” Magreti alizungumza huku akimtazama Osama.

“Mimi ni Dany” Magret akayazungumza maneno hayo kwa lugha ya kiarabu. Osama akaonekana kustuka sana.

“Usistuke babaa, ndio hivyo umeingia mikononi mwangu, nijibu maswali yangu kama vile ninavyo hitaji, la sivyo ninaondoka na kichwa chako” Magreti akaendelea kutafsiri kile nilicho kizungumza na kukipeleka katika lugha ya kiarabu. Osama hakujibu kitu chochote zaidi ya kunitolea mimacho yake.

“Natambua kwamba ulitangazwa kwamba umeuwawa na Wamarekani na dunia nzima ndivyo inavyo jua hilo, imekuwaje leo umeamua kuungana nao na kunisaliti ikiwa nilikukuomboa kwenye baadhi ya vitu ikiwa ni kushambuliwa wewe na kundi lako” Baada ya Magreti kuyazungumza niliyo yazungumza Osama naye akaanza kuzungumza huku akiwa amejawa na upole wa hali ja juu.

“Anasema kwamba, Wamarekani na K2 walimuhakikishia ulinzi katika nchi hizi mbili, Tanzania na Marekani na walipanga kukutafuta wewe na wakitumia mtego wa kukutana nyote waili” “Haahaaa sasa wewe unajiita gaidi unategemeaje msaada kutoka kwa watu ambao hawaeleweki, watu walio kuulia ndugu zako, rafiki zako na jamaa zako, inakuwaje leo unaungana nao. Je ni kukosa uwezo wa kijeshi au nini?” “Anasema jeshi lake liemedhohofika na wengi walipo kwenye kundi lake la Al-quida ni watoto wadogo na vijana ndio maana alijaribu kuungana nawe ili mradi aweze kupata nafasi ya kuishambulia Marekani” Nikamtazama Osama kuanzia juu hadi chini, nikamshika mkono wake wa kulia na kumnnyanyua kwa nguvu, nikaanza kuelekea naye kwenye chumba cha ilipo uliwa familia yangu.

Sote tukaingia ndani, nikamsukumia Osama chini, kutokana na uzee alio nao hakuweza kunishinda kunguvu.

“Hii ni damu, hapa alikufa mke wangu, mwanangu, mdogo wangu na mama yangu. Unahisi hii damu inaweza kunifanya leo na kesho kutwa niweze kuungana na maadui zangu eheeee?” Nilizumgumza kwa ukali sana huku nikimtazam Osama. Magreti akamatafsiria kile nilicho mueleza, Osama hakujibu kitu chochote.

“Domo lako ndio limekuponza, nilikuwa sina mpango kabisa na wewe wa kukutafuta. Nilihitaji kuionana na wewe kwa wema kabisa, ila sijui ulinichukuliaje?” Nilizidi kuzungumza kwa hasira.

“Sasa ninakwenda kuishanga dunia na kukuonyesha mbele ya vyombo vya habari kwamba upo hai, mbili nitakufanya kama nilivyo mfanya raisi wa Marekani, ili nizidi kuandika historia kwamba mimi ndio mtu niliye muondosha Osama duniani” Magreti akaka kimya huku huku akinitazama usoni mwangu.

“Muambie unasubiri nini?” “Dany hayo maneno ni makali sana” “Hembu niachie ujinga na wewe, ni makali yanaumiza au. Muambie kile niliocho kuambia mimi” Magreti hakuwa na jinsi akaanza kuzungumza kile nilicho mueleza. Osama taratibu akaanza kupiga magoti chini, na kuanza kuomba msamaha huku machozi yakimlenga lenga. Japo ni mtu aliye sifika kwa roho mbaya duniani na kufanya mambo mengi mabaya duniani, ila kusema kweli ameingia kwenye kumi na nane zangu na amekutana na mtu ambaye tayari nimesha jipatia nafasi ya kuitingisha dunia kwa kile ninacho kifanya.

“Dany anaomba msamehe kwa maana anasema kwamba hilo swala la kuunganishwa na Wamarekani pamoja na K2 halikuwa wazo lake, ila ni washauri wake ndio walimpelekea katika katika muungano huo” Nikaka kimya huku nikimtazama mzee huyu jinsi anavyo niomba msamaha akionekana amejawa na majuto mengi.

‘Isije akawa anatuigizia huyu?’

Niliwaza kimoyo moyo huku nikiendelea kumtazama usoni mwake.

“Dany nimepata wazo” “Wazo gani?” “Unaonaje tukamtumia huyu kutukutanisha na K2 ili kama ni kazi tuimalize mara moja na kuondoka zetu huku tukijua kwamba kila jambo tumelimaliza.

“Tukio la kutekwa kwa huyu mjinga lazima litakuwa linafwatiliwa” “Sasa ipi ni njia ya kumpata K2 kama si kumtumia Osama” “Unahisi K2 atakuwa mpambavu kumsikiliza huyu mjinga?” “Dany hii ni hii ni gemu kuna kushinda na kushinda na kushindwa. Tumtumie Osma kama ufungou wa kumfungua K2 uliye shindwa kukutana naye kwa miaka sasa na umeshindwa kulipiza kisasi chako. Tufanya hivyo kisha utanipatia majibu” Maneno ya Magreti yakaanza kiniingia akilini mwangu, taratibu. Kwa maana endapo Osama atahitji kuonana na K2 na mimi nipo katika sura ya bandia ni ngumu sana kwa K2 kunitambu na itakuwa ndio nafasi yangu ya mwisho kuhakikisha kwamba ninamtia mikononi na kumuondoa dunia na nitakuwa nimemaliza asilimia kadhaa ya kazi yangu.



“Poa nimekuelewa”

“Ila unaoenekana kama hujaridhiana na mimi?” “Hapana nimeridhika, ila fikiria na uupange vizuri huo mpango ulio nieleza kw amaana sihitaji kufeli tena kwenye maisha yangu” “Nimekuelewa” “Hakikisha kwamba unamdhibiti” Baada ya kuzungumza maneno hayo nikatoka chumbani humu na kuwaacha wawili, nikatoka nje na kuzunguka upande mwingine wa nyumba. Nikafungua geti kubwa lililopo na kuingia katika ukumbia ambao kuna vitu vingi ambavyo mama alivihifadhi humu ndani. Nikawasha taa, na nikabaki nikiendelea kutazama hivi vitu vilivyomo humu ndani huku kukiwa na magari kadhaa yaliyo funikwa na maturubai. Kila ninapo tazama vitu hivi vya umu ndani ni kama ninamuona mama yangu jinsi siku ya kwanza nilivyo kuwa akinielekeza baadhi ya vitu. Simu yangu ikaita, nikaitoa mfukoni na kupokea.

“Upo wapi Dany ninakutafuta sikuoni?” “Zunguka huku nyuma” “Wapi?” “Upande huu wa kulia” Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu. Magreti akaingia humu ndani na kuonekana kushangaa snaa kwa kile anacho kiona.

“Umemuweka wapi?” “Nimemuweka mule ndani?” “Umemfunga na kitu chochote?” “Ndio, nimekuta kamba ya manila, nimemfunga na nimehakikisha kwamba hatoki” “Ila kumbuka huyo sio kuku ni gaidi, tena sio gaidi mchwara ni gaidi mkubwa” “Hawezi kutoka sehemu nilipo mfunga” “Sawa” Nikafungua kabati moja ambalo linahifadhia silaha.

“Mmmmmm hii nyumba yenu imekamilika sana” “Ndio ipo vizuri” Nikawasha computer iliyopo humu ndani. Nikakuta inahitaji kuiingiza neno la siri ili iweze kufunguka, nikajaribu kukumbuka ni namba zipi za siri ambazo mama alikuwa mama alikuwa akizitumia, nikajaribu kuingiza jila lake ila haikufunguka, nikaingiza jina langu kwa bahati nzuri ikafunguka.

“Hii computer alikuwa anaitumia mama yangu” Nilizungumza huku nikifungua faili moja linalo onyesha video zilizo rekodiwa na kamera zilizipo eneo la nje ya hii nyumba. Nikamuona Mariam akifika katika hili eneo na kupokelewa vizuri na mama.

“Huyu si Mariam?” “Ndio unamfahamu?” “Ndio alikuwa ni miongoni mwa mwezetu.” “Yeye alihusika katika mauaji ya familia yangu” “Weeeeeeee!!!” “Ndio” “Sijui yupo wapi?” “Nimemsamehe kwa maana yeye aliagizwa kufanya hivyo na K2” Nilizungumz akwa sauti ya upole huku nikitazama picha ya Mariam, niliyo inatisha kwenye hii computer.

“Pole sana Dady” Simu yangu ikaingia ujumbe mfupi meseji, nikaitoa mfukoni mwangu na kufungua ujumbe huu.

‘YEMI AMAPETIKANA’

Baada ya kuusoma ujumbe huu, kwa haraka nikaipiga hii namba, ikaita kwa muda kisha ikapolekewa na Livna.

“Ni kweli amepatikana?” “Ndio amepatikana niamini mpenzi wangu, ngoja nielekee chumba cha daktari uzungumze naye” “Hembu fanya hivyo” Baada ya dakika mbili, nikaisikia sauti ya Yemi kwenye simu hii.

“Dany” “Yemi upo hai?” “Ndio nipo hai mpenzi wangu” Yemi alizungumza huku akilia.

“Upo salama sasa, mpe simu Livna” “Eheee” “Sasa ninahitaji kuimaliza kazi iliyo nilete huku, Osama nahitaji kumtumia Osama kunikutanisha na K2” “Dany huo sio mpango ulio kupelekea huko mume wangu, utajiingiza matatizoni” “Ninaelewa mke wangu, ila itanibidi kufanya hivi nahitaji nikurudi huko nirudi mazima tuishi nikulee” “Dany utaniua kwa presha mwenzio” “Nina sura ya bandia hakuna kitakacho haribiki, tutaendelea kuwasiliana” “Sawa, muvae hivyo vipaza sauti” “Usijali” “Poa kuwa makini” “Sawa mke wangu” Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu, nikasogelea meza yenye computer kubwa, nikaiwasha na kukuta ikinihitaji kuingiza namba za siri.

“Inahitaj namba za siri”

Nilizungumza huku nikimtazama Magreti anaye tazama tazama baadhi ya vitu vilivyomo humu ndani.

“Unazifahamu hizo namba za siri?” “Sikukumbuki kwa kweli kwa maana mtumiaji alikuwa ni mama”

Nikaanza kujaribu majina tofauti tofauti ya wana familia wangu, ila yote yakakataa.

“Majina yote yamekataa” “Jina lako umelikumbuka?” “Eheee ngoja niingize jina langu” Nikaanza kuingiza jina langu kwa herufi ndogo, cha kumshukuru Mungu computer ikafunguka. Nikaanza kutazama tazama mafaili pamoja na mfumo mzima wa kamera ambazo zimefungwa mbali na eneo la kuingilia katika eneo la karibu la hapa nyumbani. Nikaanza kupitia matukio ya nyuma yaliyo rekodiwa na kamera zote, nikakarudi mika mitatu nyuma na kuona tukio la Mariam alivyo karibishwa nyumba hapa na mama. Sikuweza kuona ndani kwa mana ahakuna kamera yoyote kwa ndani, nikapeleka mbele na kumuona Mariam akitoka humu ndani peke yake.

“Hembu rudisha nyuma huyu dada kama ninamfahamu” Magreti alizungumza mara baada ya kuja hapa nilipo na kutazama kitu ninacho kitazama. Nikafanya kama anavyo hitaji.

“Huyu si Mariam?” “Ndio ni Mariam ndio mtu aliye niulia familia yangu” “Weeee?” “Ndio ila alipewa kazi hiyo kwa shinikizo la kutekwa kwa mama yake” “Masikini weee, sasa umemsamehe?” “Ndio nimemsamehe, sikuwa na haja ya kufanya hivyo ikiwa maisha yangu ya kujitegemea nilianzia kwao” “Ahaaa, hiyo ndio sababu ya kumsamehe?” “Kuna sababu nyingine nyingi ambazo sihitaji kuzizungumza kwa sasa ila sina sababu ya kuunyanyua mkono wangu na kumtafuta Mariam ikiwa kuna mambo mengi aliweza kunisaidia.” “Ahaaa sawa” Macho yangu yakatazama kifuani mwa Magreti na kutatazama maziwa yake jinsi yalivyo nona na yanatamanisha kwa kweli.

“Unatazama nini kifuani mwangu?” “Kwani dhambi kukutazama?” “Hapana sio dhambi ila umenikodolea macho hado ninaogopa”

“Una maziwa mazuri” “Asante” Magret alizungumza huku akiyarudisha maziwa yake ndani, taratibu nikasimama mbele yake huku nikimtazama machoni mwake.

“Dany ninakuheshimu wewe ni mume wa mkuu wangu kwa hiyo siwezi kumsaliti” “Maneno hayo yametokewa wapi ikiwa nimesimama tu mbele yako na sijakufanya kitu chochote” “Dady mancho yako yanaonyesh dika kwamab umevutiwa na mimi” “Yaaa nimesimama kama mume boksi kwa masaa mengi mbele za watu, sasa ninahitaji kuwa mume wa kweli” “No Dany huwezi ku……” Nikamshika Magreti kiuno chake na kumvutia karibu yangu na kusababisha miguno ya vifua vyetu.

“Da….n…y una, una…..” “Nina nini?” Nilizugumza huku nikianza kuyatomasa maziwa yake, Magreti akayafumba macho yake akionekana kuogopa sana kwa kihi kitu ninacho kifanya kwenye mwili wake.

“Dany utaniletea matatizo na bosi wangu, tafadhali ninakuomba niachieee” Magreti alizungumza kw amsisitizo huku akijitoa mikononi mwangu kwa nguvu, nikamuachi na akasimama mbali kidogo na sehemu nilipo huku akihema kwa woga. Nikatabasamu kwa muda kisha nikatoka humu ndani pasipo kumsemesha Magreti kitu chochote, nikarudi sebleni, nikatazama eneo zima na hakuna mabadiliko yoyote, nikapandisha hadi kwenye chumba ambacho Osama yupo, nikausukuma mlango wa chumba hichi taratibu huku bastola yangu nikiwa nimeishika vizuri mkononi mwangu. Nikamkuta akiwa amekaa kwenye moja ya kiti cha humu chumbani huku akiwa amefungwa kamba mwili mzima. Nikatao simu yangu mfukoni na kumpiga picha kadhaa, kisha nikamtumia Logate kwenye simu yake ya mkononi. Hazikupita dakika hata mbili Logate akanipigia.

“Nimezipata picha unahitaji nizifanyaje?” “Zitunze, hakikisha kwamba unazirusha kwa niaba yangu kwenye mtandao”

“Unataka nizurushe ukiwa bado upo nje ya ngome hii?” “Nitakuambia” “Sawa, ila kusema kwelis sinto weza kuzirusha ukiwa mbali na hapa” “Nitakujulisha, ila kuna video ambayo ninahitaji mtumie K2” “Video gani?” “Au basi nitajua nini cha kufanya” “Sawa” Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu, nikamtazama mzee huyu ambaye kwa kukadiria miaka yake kwa sasa inaweza kufika sabini na kitu hivi. Nikatoka humu ndani na kurudi zangu sebleni, nikamkuta Magreti akiwa amesimama kwenye mlango wa kuingilia humu sebleni huku ukiwa umefungwa kwa ndani. Sikumsemesha kitu chochote zaidi ya kuelekea jikoni, nikafungua friji kubwa na kukuta soda nyingi pamoja na matunda yaliyo pangiliwa vizuri, soda hizi zimeganda kwa ubaridi mkali ambao upo ndani ya friji hili na isitoshe limekaa mika mingi likiwa linafanya kazi pasipo kufunguliwa.

“Una njaa?” Niliisikia sauti ya Magreti nyuma yangu.

“Sijui” Nilizungumza huku nikichukua chupa moja ya soda pamoja na tunda, nikachukua jagi na kukinga maji kwenye bomba, kisha nikadumbukiza vitu hivi ili viyayuke.

“Dany?” “Nini?” Nilimtazama Magreti kwa macho makali sana hadi akaonekana kuogopa.

“Samahani kama nimekuudhi” “Hujaniudhi”

Nikasikia mlio wa chupa hii ya cocacola inavyo vunjika ndani ya maji haya, nikaitazama kwa muda na kukuta imekatika vipande vipande.

“Ungeiacha ipigwe na hewa kidogo ndio ungeiingiza kwenye maji” “Shukrani” Majibu yangu ya ufupi fupi si kwamba nimekasirika, ila ninamtega Magreti ambaye kusema kweli nikiwa kama mwanaume ambaye sina kasoro ya aina yoyote kwenye mwili wangu, basi ni haki yangu na mimi kuweza kutamani. Nikalingiza mkono wangu wa kulia ndani ya jagi hili kwa bahati mbaya kipande kidogo cha chupa kikanichana katika kidole changu cha mwisho.

“Fuc****” Nilizungumza kwa hasira hadi Magreti akastuka, alipo niona kidole changu kina vuja damu kwa haraka akanikumbilia na kunishika mkono huu.

“Dany umefanya nini jamani?” “Niachie” Nilizungumza kwa sauti nzinto huku nikifungua moja ya kabati lilipo humu jikoni, nikatoa kibokisi cha huduma ya kwanza.

“Dady jamani, naomba nikusaidie” “Ili iweje?” “Dady kwani kukasaidia kwangu kunahusiana na nini na mapenzi jamani, kwa nini unakuwa hivyo jamani, unahisi kwamba sina hisia na wewe, unasi kwamba sijisikii maumivu ya majibu yako nasikia ila umewahiwa, sina haki ya kuwa na wewe, sina haki ya kuwa na mwanaume mwengine. Mimi ni bikra il……”

Magreti alizungumza kwa ukali huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kwa haraka nikamsogela na kumgandamiza ukutani, nikaanza kumnyonya midomo yake jambo lililo mfanya Magreti kuipitisha mikono yake kwa haraka kwenye shingo yangu huku akiyafumba macho yake kwa raha ya kupata denda langu.

“Kidole” Magreti alizungumza kwa sauti laini iliyo jaa mahaba, huku macho yakiwa yamemlegea sana.

“Achana nacho” “Noo Dany angalia kina mwanga damu” Nikakitazama kidole changu na kweli kina mwaga damu nyingi. Magreti akakishika na kukuiingiza mdomoni mwake na kuanza kuinyonya damu yangu.

Tukaseoge hadi sehemu nilipo kiweka kiboksi cha vifaa vya huduma ya kwanza. Akatoa dawa ya maji na kuanza kunisafisha kidonda changu, japo dawa hii inanipa maumivu makali ila siyatilii maanani kwani maumivu ninayo yatilia maanani ni ya jogoo wangu ambaye amesimama kiasi kwamba anatamani hata kuchana suruali yangu. Magreti akanifunga kidonda hichi kwa kutumia plasta.

“Hapo kitakaa sawa” “Shukrani, ni kwa nini umenyonya damu yangu” “Ni kiapo nilicho kiweka, nipo tayari damu yangu imwagike ila nisikupoteze wewe” “Kweli?” “Ndio Dady, sijawahi kupenda wala kuvutiwa na mwanaume ila wewe umenipa kitu cha tofauti, ninakuomba uwe na mimi” “Usijali”

Nilizungumza huku nikiuingiza mkono wangu kwenye mpasuo wa gauni la Magreti nikaanza kutaminya minya makalio yake ambayo kusema kweli yanabonyea mithili yam to mlaini. Nikazidisha kasi ya kuminya makalio yake na kwa kasi ya jabu Magreti akauelea mdomo wake karibu yangu hadi meno yetu yakagongana. Mkono wangu ukazidisha maujanja, hadi kwenye kitumbua chake, nikaanza kumcheza kwa nje, jambo lililo mfanya Magreti kuanza kutoa miguno ya kimahaba.

“D….aa..aa” “Yeah” “Nakupenda”

Magreti akaanza kugombana na mkanda wangu wa suruali hii niliyo vaa huku akijitajid kuufungua, akafanikiwa kuufungua. Akafungua kifungo cha suruali yangu huku nami nikiwa na kazi ya kuendelea kucheza na kitumbua chake, nikajaribu kuingiza kidole ndani ila nikahisi ugumu fulani.

‘Kweli huyu bikra’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama Magreti usoni mwake kwa macho ya kuiba, akanifungua zipu yangu, akaingiza kiganja chake kwenye boksa yangu na kumshika jogoo wangu.

“Mkubwaaaaa mmmmmm” Magreti alizungumza huku akitabasamu, nikatamani kuzungumza kitu ila gafla nikasikia kishindo kizito kilichotufanya tustukea na kutazamana usoni na hakuna kati yetu anaye jua ni kitu gani kimetokea hadi kusikika kwa kishindo hicho kizito.



Kwa haraka tukaaachiana na kunza kuziweka ngou zetu sawa. Nikachomoa bastola yangu moja na nikiwa wa kanza kutoka humu chumbani humu. Sikuamini macho yangu, kwani eneo zima la sebleni limechanguka huku nusu ukuta ukiwa umetoboka.

“Ohoooo my God”

Magreti alizungumza huku macho yakiwa yamemtoka.

“Shiiiiii”

Kwa kupitia shumo hili kubwa tukaona wanajeshi wawili wakikatiza kwa haraka wakionekana kwamba wanawahi kitu falani.

“Shitiiii OSAMA”

Nilizungumza humu nikikimbilia katika chumba ambacho tumemuacha Osama Bin Laden. Kile nilicho kiwaza ndicho hichi ninacho kiona kwani sikuweza kumuona Osama wala kiti chake tulicho mfunga ikimanisha kwamba wanajeshi hawa wamembeba Osama kama vile vyalivyo mkuta. Nikakimbilia dirishani na kujibanza, nikachungulia nje, nikakutana na pigo jengine, kwani ninamshuhudia wanajeshi hawa wenye mavazi mavazi ya Kimarekani wakiwa wamemmbeba Magreti aliye sinnzia juu juu, wakamuingiza katika moja ya gari walilo kuja nalo kisha wakaondoka kwa kasi sana.

*Fuc*****”

Nilizungumza huku nikiwa nimeyang’ata meno yangu kwani shambulizi hili wamelifanya katika muda mfupi sana, nikatoka chumbani humu kwa kasi sana, nikachungulia nje, nikaziona gari hizi zikitokomea, nikakimbilia hadi gari lilipo, nikajikuta nikizidi kupatwa na hasira mara baada ya kuona mataoiri yote yakiwa yameng’olewa yote. Nikatoa simu yangu mfukoni cha kushangaza zaidi nayo haina signal na mtandao ninao utumia umeandika emergency. Nikakimbilia kwenye chumba alichokuwa anakitumia mama, nikakimbilia kwenye computer, nikatazama wanajeshi hawa wapo wangapi, nikaona gari sita zilizo ongozana zikiondoka kwa kasi katika eneo hili.

“Wapi wapi?”

Nilizungumza huku nikitafuta sehemu ambayo mama alikuwa anaitumia katika kuongoza silaha ambazo amezifunga katika eneo zima la msitu unao zunguka hii nyumba. Sikuweza kutambua ni sehemu gani, kwa haraka nikaanza kufunua gari moja baada ya jengine, nikaona gari moja aina ya Rangerover Sport, niakimbilia kwenye kabati la kihifadhia fungua, nikatazama kwa haraka nikaiona funguo yake, kabla sijarudi kwenye gari nikafungua kabati la kuhifadhia silana nikachukua magazine za kutosha na kurudi kwenye gari nikafungua mlango na kuingia, nikawasha gari hili, cha kumshukuru Mungu lina mafuta ya kutosha, nikatoka ndani humu kwa kasi kubwa, nikaanza kufukuzia gari hizi zilipo elekea kwani kazi niliyo ifanya kwa kumteka Osama na kumleta eneo hili ni sawa na bure kabisa. Uzuri wa hizi gari zina mwendo wa kasi sana na zipo juu, hata huku kwenye barabra ambayo haina lami ila linahimili mashimo mashimo yaliyopo katika hii barabara.

Kwa mbali nikaanza kuona gari hizi za jeshi zinavyo jitahidi ktoka katika msitu huu, nikatao simu yangu mfukoni na bado tataizo la kutokuwepo kwa mtando linaendelea, nikazidi kusonga mbele huku huku nikiandaa bastola yangu hukuakikisha kwamba ninaweza kuwashambulia. Nikafunga breki za gafla na kutazama mgawannyiko wa barabara hizi tatu zilizopo mbele yangu huku ramani inayo onekana kwenye screen ndogo ya gari langu inaonyesha barabara ya kushoto kwangu, inaaonyesha ni fupi na inaweza kuwazungukia wanajeshi hawa, sikuw ana hata muda wa kupoteza zaidi ya kuifwatisha njia hii huku nikizidi kujitahidi kuogeza mwendo kasi wa gari langu kuhakikisha kwamba ninatokea mbele yao. Ikanichukau dakika kumi kufika katika njia ambayo wao wanatarajia kutokea, nikalisimamisha gari hili katikati ya barabara, nichomoa bastola zangu zote mbili na kushuka, nikasimama kwenye upande wa pili ambao haya wakitokea sio rahisi kwa wao kuniona. Hazikupita hata dakika tano gari hizi za jeshi, zikafika eneo hili na kuwafanya wanajeshu hawa kusimamisha magari yao. Kwa haraka niikaanza kuwashambulia wale wote wambao wametoka nje ya magari yao. Mashambulizi yakaanza kutawala katuka eneo hili, humu mimi nikiwa peke yangu na wanajeshi hawa wakiwa ni wengi, ila akili ninayo itumia inanifanya niweze kuwapunguza kila kadri mudu unavyo zidi kwenda.

Gari langu wakazidi kulishambulia sana kwani ndio gao yangu niliyo jificha, moshi mwingi ukaanza kutawala angani ikiashiria kwamba gari hili sekunde yoyote litalipuka, kwa haraka nikaanza kukimbilia kwenye moja ya mti japo ni hatari sana kwangu ila sina jinsi ya kufanya, sikufikisha hata hatua tano nikajukuta nikirushwa hewani kutokana na mlipuko mkubwa wa gari langu.

Nikatamani kusimama juu ila nikajikuta nikizungukwa na wanajeshi zaidi ya wanne walio ninyooshea mitutu yao ya silaha. Wakaniamrisha kusimama juu, huku bastola zangu wakinipokonya, wakazidi kuongezeka katika kunizunguka kwa maana bado wana hasira kali sana na mimi.

“Tumuue”

Mmoja alizungumza kwa lugha ya kingereza ninayo ielewa vizuri.

“Hapana tunatakiwa kumfikisha kwa raisi K2, kwa manaa huyu mtu ni hatari sana”

“Mkuu ametuulia wezetu kule, kwa nini tumuache?”

“John nimekuambia kwamba hii sio ombi ni amri”

Mzee huyu wa kimarekani alizungumza kwa ukali huku akimtazama kijana huyu anaye onekana kujawa na uchungu mkubwa na anahasira na mimi.

“Mpelekeni kwenye gari”

Mkuuw wao alizungumza, nikashikwa mabega yangu na wanajeshi wawili, nikafungwa pingu kwa nyuma cha kumshukuru Mungu ambacho kinawafanya wasiniue kwa haraka ni kutokana na na sura yangu ya bandia ambayo sio rahisi kwa mtu kuweza kunigundua kwa haraka.

“Hei”

Ilisikika sauti ya msichana ikitokea kwenye moja ya kichaka, ikawabidi wanajeshi wote kuzielekezea bunduki zao kwenye kichaka hicho. Tukaona mkono wa msichana ukinyooshwa kwa juu. Akanyanyuka msichana aliye valia suruali nyeusi pamoja tisheiti nyeusi, chini amevalia buti aina za amerikani boot.

“Musiniusee jamani”

Msichana huyu alizungunza kwa lugha ya kingereza huku akiendelea kutusogelea eneo hili.

“Huyu kum** naye ametokea wapi?”

Mwanajeshi mmoja alizungumza huku akiwa amejawa na hasira kali sana kwani anaona kama anapotewa muda.

“Hei kaka mimi sio kum**”

“ILa?”

“Unahitaji nini malaya wewe?”

Mwanajeshi mwengine alizungumza kwa hasira huku akimtazama msichana huyu.

“Nihamuhitaji huyo muliye mshikilia”

“Hahaaaa”

Binti huyu akendelea kunyoosha mikono yake juu akionekana kwamba hana silaha yoyote, kitu ambacho kunanishangaz ni ujasiri wa msichana huyu mwenye sura ya kirembo sana.

“Shikeni naye”

Mkuu wa hawa wanajeshi alizungumza huku akiwaruhusu wanajeshi wake kumsogelea huyu msichana, wanajeshi wawili walio msogelea msichana huyu tulistukia wakianguka chini, sote macho yakazidi kututoka baada ya kumuona msichan huyu akiwa ameshika miooyo ya wanajeshi hawa ambayo sijui hata amewaua vipi.

‘Ohoo MUNGU wangu’

Nilijikuta nikimkumbuka Mungu kwani, ninacho kiona ni kitu ambacho kinaogopesha na kinashangaza kwa maisha ya kawaida ya kibinadamu. Wanajeshi wa marekani wakaanza kumshambulia msichana huyu aliye anza kukimbilia kwenye miti iliyopo humu misitu.

Kama ilivyo kawaida, yao kwamba hawahitaji kishindwa na kitu wakanza kumkimbiza msichan huyu na kuniacha hapa na mwanajeshi mmoja anaye shangaa wezake walio nyofolewa miili.

Sikuhitaji kuwa mzembe kwa haraka nikaanza kupelekea mateke mazito yaliyo mfanya mwanajeshi huyu kuanguka chini huku akiwa emaichia bunduki aliyo ishika.

Nikafanikiwa kumdhibiti mwanajeshi huyu na akazimia kutokana na mapigo mazito niliyo mpoa, nikaanza kuchungulia gari moja baada ya jengine, nikafanikiwa kumuona Osama kwenye moja ya gari akiwa amelala. Nikalifwata gari jengine na kumkuta Magreti akijitahidi kunyanyuka, nikageuka na kufungua kitasa hichi cha mlango kwani nikono yangu imefungwa pingu kwa nyuma. Mlango ukafungua na kumkuta Magreti akifumbua macho yake.

“Dany”

“Heii, heiii amka”

“Kuna nini kinacho endelea?”

“Shuka kwenye gari kwanza unifungua hii pingu”

Magreti akajikongoja hivyo hivyo na kushuka kwenye gari huku akionekana kwamba alichomwa sindano ya usingizi iliyo mfanya kulala na kulegea kabisa mwili wake.

“Eheeee hawa nao imekuwaje?”

“Chukua funguo ya pingu hapo unifungue”

Magreti akafanya kile nilicho muelekeza kwa haraka akanifungua pingu, nikaokoya moja ya bunduki za wanajehsi hawa, nikachomoa magazine yake na kukuta ina risasi za kutosha.

“Mungu wangu, hawa imekuwaje?”

Magreti alizungumza huku akiwatazama wanajeshi hawa walio chomolewa mioyo yao.

“Kuna msaada nimepata kutoka kwa msichana mmoja ambaye sifahamu ametokea wapi?”

“Ndio amewachomoa mioyo yao?”

“Yaaa na wanajeshi wote wamikimbilia huko msituni kumkimbiza masichana huyo”

“Mmmmmm”

Nikasikia milio ya risasi nyuma yangu, nikageuka kwa haraka na kumkuta Magreti akiwa ameshika bastola moja huku amemuelekezea manajeshi niliye mzimisha dakika kadhaa zilizo pita.

“Alitakak kukushambulia”

“Asante”

Nikafungua gari alilopo Osama, bado amelala hajitambua, tukamkagua na kumuona hana jeraha lolote mwilin mwake.

“Mpunge pingu”

“Poa”

Magreti akachukua pingu ambayo nilikuwa nimefungwa mimi akamfunga Osma Bin Laden mikononi mwake.

“Tuondoke eneo hili kabla hawajarudi”

Nilizungumza huku nikiingia kwenye gari hili, Magreti naye akaingiana kukaa siti ya nyuma alipo Osma, nikarudisha gari hili nyuma kidogo, nikakunja kona na kuanza kuondoka eneo hili kwa mwendo wa kasi sana.

“Wamejuaje sisi tupo huku?”

“Hata mimi ninashangaa cha kumshukuru Mungu binto huyo ametokea”

“Ila Dany ngoja, hivi huyo msichana amewezaje kuwachomoa mioyo wanajeshi wale”

Gafla nikajikuta nikifunga breki za gari hili mara baada ya kumuona msichana huyu amesimama mbele ya barabara na kuninyooshe amkono mmoja ambao unavuja damu kwenye kiganja chake.

“Mungu wangu, msichana mwenyewe ndio huyo”

“Mbona anaonekana wa kawaida sana”

“Huo ukawaida ndio uliwaponza wale wanajeshi walio chomolewa mioyo”

Kwa ishara msichana hoyo akaniomba nishuke kwenye gari, nikashusha pumzi nyingi sana kwa mana kitu ambacho nimeweza kukigundua kwa msichana huyu kwamba sio mtu wa kawaidani zile risasi ambazo alikuwa anashambuliwa ila aliweza kutokomea msitini pasipo kuanguka wala kuonyesha dalili kama kuna silaha ambayo imeingia mwilini mwake.

“Dany usishuke bwana”

“Tulia huyu ndio aliye nisaidia, ninahitaji kumjua”

“Utamjuaje wakati mwenyewe umemuona katika mazingira ya kutatanisha”

“Tulia”

Nikafungua mlango huku nikishuka nikiwa na bunduki yangu mkononi ili likijitokeza la kujitokeza nisife kizembe kama wale wanajeshi wawili na wengine walio salia wala sifahamu ni kitu gani ambacho kimewapata huko walipo.

“Usiniogope Dady…..ooohhh samahani kwa kukuita jina lako”

Msichana huyu alizungumza hukua kishusha mikono yake chini na kuonekana akiwa na furaha sana kuonana na mimi.

“Wewe ni nani?”

“Ahahaa…..mama aliniambia kwamba wewe ndio unipatie jina. Nilikuwa kwenye huu msitu nikilinda makazi ya hapa kwa maana hapa ndipo kwenye na hapa ndipo kwenye hasili ya baba yangu”

“Baba yako yupi?”

Nilizungumza huku nikimdadisi sana huyu msichana.

“Wewe”

“Mimi?”

“Ndio, wewe ni baba yangu. Mama yangu ni OLVIA HITLER”

Nikapatwa na kigugumizi nikashindwa kabisa kumjibu msichana huyu ambaye ninakumbuka nilizaa na mama yake ambaye ni jini miaka mingi ya nyuma na alisha wahi kuniahidi kwamba ipo siku mwanangu ninaye mpatia atakuja kunisaidia na hichi ndicho kilicho tokea kwa siku ya leo, ahadi ambayo hata akilini mwangu sikuwahi kuifikiria kwamba inaweza kuja kutokea ila leo imetimia.



“Naamini kwamba utakuwa unashangaa kuniona kwenye hali kama hii ila nina imani kwamba umenikumbuka” “Yaa, nimekumbuka”

“Nimekuja kukusaidia, kwenye kila jambo linakusumbua kwenye maisha yako” Moyoni mwangu wala sina kipingamizi cha aina yoyote kwani maneno ya msichana huyu yamenifanya kumuamini kwa asilimia mia moja, kwani siri ya kuzaa na Olvia Hitler, nilikuwa nayo mimi mwenyewe na nimeishia nayo kwa miaka sana na sikuwahi kumuambia mtu wa aina yoyote.

“Njoo hapa” Nilizungumza huku nikimuita mwanangu taratibu nikamkumbatia kwa nguvu sana huku machozi yakinilenga lenga, kwani kwenye maisha yangu nimebahatika kupata mtoto mmoja tu ambaye alisha uwawa na wengine wapo kwenye matumbo ya mama zao, ila huyu nimekutana naye. Magreti akashuka kwenye gari huku akionekana kutushangaa sana jinsi tulivyo kumbatiana.

“Kuanzia leo utaitwa Jojo” “Asante baba kwa jina lako, nimelipokea kwa moyo mmoja” “Mama yako anaendeleaje?” Jojo taratibu akaniachia, usoni mwake amejawa na machozi mengi.

“Niambie mama yako amefanyaje?” “Muda wake wa kuja ulimwenguni umekwisha na sasa yupo tu chini ya bahari” “Ina maana hato kuja tena duniani?” “Ndio, safari yake ya mwisho kuja duniani ni siku ambayo mulikutana, na alinihitaji unipate mimi ili niendele kuzifanya kazi zake alizo ziacha huku duniani” Jojo alizungumza kwa sauti ya upole kidogo huku akinitazama usoni mwangu.

“Dany” Magreti aliniita na kunifanya nigeuke na kumtazama usoni mwake.

“Mumejuana juana vipi na huyo msichana?” “Huyu ni mwanangu anaitw Jojo” “JOJOOOOOOO….!!!” “Yaaa” “Danu una mtoto mkubwa kiasi hicho?” “Ndio” “Jojo anaitwa Magreti” “Ninamfahamu” “Unanifahamu?” “Yaa tangu ukiwa mdogo ninakufahamu” “Mmmmmm” “Yaa, tuondokeni hii sehemu sio salama Wamarekani wanakuja” Kutokana nina ujua uwezo wa mwanangu Jojo, sikuwa na kipingamizi wala ubishi kwa haraka tukarudi kwenye gari, tukaingia ndani na kuondoka eneo hili.

“Wewe umesema kwamba unanijua mimi kutoka nikiwa mdogo?” “Siitwi wewe, baba yangu amenipatia jina la Jojo, niite Jojo Dany”

“Sawa Jojo Dany, umenijuaje wewe na huku porini ulikuwa unafanyaje?” “Na nyinyi huku porini mulikuwa munafanyaje?”

Jojo alizungumz ahuku akimgeukia Magreti aliye kaa siti ya nyuma pamoja na Osama Bin Laden.

“Kuna kazi maalumu ilikuwa imetuleta huku” “Hata mimi kuna kazi maalumu ilinileta huku.” “Kazi gani?” “Magreti huwa sipendelei maswali mengi kutoka kwa mtu ambaye hanihusu, anaye nihusu hapa ni baba yangu tu” Nikamtazama Jojo kwa jicho la kuiba huku nikiendelea kuendesha gari hili kwa mwendo wa kasi.

“Kunja kilia” Jojo alizungumza.

“Kuna kulia Wanajeshi wapo mbele hapo?” Nikafanya alicho nieleza Jojo, nikaingia kulia, ambapo kuna kichaka kikubwa. Kwa ishara Jojoakaniomba nisimamishe gari, hazikupita hata dakika mbili gari zipatazo nane za Wamaerekani zikaanza kupita kwa kasi kuelekea sehemu tulipo toka.

“Tunaweza kwenda sasa” Nikarudisha gari nyuma taratibu, na kuondoka eneo hili kwa kasi sana.

“Baba sitisa mpango wa kuridi kwenye meli unayo ishi, nahitaji tuimalize hii kazi iliyopo mbele yetu” “Ila mwanangu nina imani kwamba tutakuwa tunatafutwa?” “Yaaa wanatutafuta na sura zenu tayari wamezinasa kwenye satelaiti” “Jojo ninakutegema sasa mwanangu, kwa maana sijui nini cha kufanya” “Upo nami, baba hilo usijali” “Hivi munajua munacho kizungumza mimi siwaelewei nyinyi, kwa maana Dany usalama wetu ni kurudi kwenye meli” “Mukirudi mutasababisha maafa makubwa kwa wengine kwa maana sasa hivi wamarekani wamegundua teknolojia mpya ya kuweza kuwatafuta watu wanao wahitaji popote pale waendapo hususani sura zao wakiwa tayari wamesha zihifadhi. Kwa sasa musipige simu wala musitume meseji popote ndio maana nimezifanya simu zenu kupoteza uwezo wa mawasiliano. Najua mutajisufu kwamba muna vifaa ambavyo vinaweza kufanya chochote duniani ila kwa hicho kimoja walicho kizindua jana wamewashinda” “Jojo kusema kweli sikuelewi, wewe ni nani kwani?” “Mimi ni Jojo”

Magreti akabaki na swali la kishindwa kumelewa Jojo kabisa, ila mimi nina muelewa.

“Sasa hapa si lazima watakuwa wataufwatilia?” “Ndio wanatufwatila ila wanashindwa” “Wanashindwa kwa nini?” Jojo akanisogela sikioni na kuninong’oneza.

“Nimewafunga uwezo wao wa kiakili so hawawezi kujua ni wapi tunapo elekea japo wanatuona tu kwenye mitandao yao” “Mbona munanificha jamani minieleze kile kinacho endelea” “Magreti usijali nitakuambia sehemu tutakayo fika ni kitu gani kitakacho endelea” Jojo alizungumza huku akimtazama Magreti ambaye bado anaonekana kuto kuridhika kabisa na mazungumzo yyetu. “Simama hapo” Jojo alizungumza, nikasimamisha gari kwenye moja ya njia inayo ingia kushoto kwetu. Jojo akashuka kwenye gari na kutufanya mimi nami nishuke kwenye gari.

“Kuna kitu gani kinacho endelea” “Hapo mbele kuna ukaguzi mkubwa sana wa wanajeshi” “Tutapita wapi?” “Hakuna njia ya pekee zaidi ya kwenda kuwaua, kwa maana ni hapo chini ukimaliza hiyo kona hapo mbele” “Ni nini kinacho endelea” Magreti alizungumza kwa sauti ya juu huku akinifwata sehemu tulipo simama na Jojo.

“Kuna rod block hapo mbele na wapo wanajeshi wengi” “Mmmmmm sasa itakuwaje?” “Tunakwenda kuwaua”

Jojo alizungumza kwa kujiamini sana.

“Chukua silaha” Magreti alizungumza huku akimkabidhi jiji bunduki.

“Huwas itumiagi silaha samahani” “Dany huyu mwano vipi?” “Mlinde Osama tunakuja” Jojo akaanza kupandisha kwenye njia hii iliyopo pembezoni mwa barabara huku akikimbia, nikaanza kumfwata kwa nyuma huku nami nikiwa nimeshika bastola yangu. Tukafika juu ya kilima kilichopo pembezoni mwa hii barabara, tukasogelea karibu kabisa na ukingo wa barabara na tukawaona wanajeshi wengi wa Kimarekani wakiwa wamesimamisha magari wakiendesha ukaguzi mkali sana.

“Wapo ishirini na nane, chukua watatu walio baki mimi nitadili nao” Jojo baada ya kuzungunza maneno yaho akaruka na nikabaki nikimtazama, akatua katikati ya wanajeshi wanne, kwa kasi ya ajabu ambayo hakuna binadamu anaweza kuienenda, akaanza kuwavunja vuja wanajeshi hao.

Wanajeshi wengine wakaananza kumshambulia kwa silaha, ila Jojo, akazidi kuwa mahiri na hatari kwao kwani mapigo yake hayakunishangaza mimi tu ila hata wanajeshi. Nikashusha pumzi nyingi na kuanza kufyatua risasi kwa wanajeshi watatu nilio ambiwa niwaue. Ndani ya dakika kadhaa wanajeshi wote wamalala chini na wamekufa. Jojo akaninyooshea kidole gumba ikiwa ni ishara kwamba amefanikisha kazi.

“Ruka” “Eheee?” “Shuka?” Nikatazama umbali ambao Jojo aliruka, kwa binadamu wa kawaida, nilazima utajifikiria mara mbili mbili hata kama ni hodari kiasi gani.

“Ruka tu baba” Nikarudi nyuma hatua mbili kisha nikajitosa hewani, nikafanikiwa kutua chini salama pasipo kupata taizo lolote. Watu ambao wapo kwenye magari yao, ni muda mrefu wamatoka na kukimbia baada ya kuona mashambulizi tuliyo yafanya.

“Hizi maiti inabidi tuzitoe hapa?” “Si itatuchukua muda?” “Hapana, dakika chache” Jojo akaanza kubeba maiti moja baada ya nyingine na kuitupia pembeni ya barabara. Tukasaidia kwa haraka haraka kuzitoa hizi maiti kisha tukarudi kwenye eneo ambalo tulipo muacha Osama na Magreti.

“Mumefanikiwa?” Magreti alizungumza mara baada ya kutuona tumeingia ndani ya gari.

“Ndio tuondokeni eneo hili” Jojo alijibu na kuondoka eneo hili na kuendelea na safari. Tukafika katika nyumba ambayo Jojo alihitaji tuweze kufikia. Ni nyumba iliyo jengwa vizuri sana, ina gorofa mbili juu na vitu vyake humu ndani ni vya thamani sana.

“Karibuni hapa ni kwangu” “Kwako?” Magreti alizungumza huku akishangaa sana.

“Ndio kwangu, au ulihisi kwmba sina kwangu” “Hapana ila ninashangaa kukuona binti mzuri una maisha mazuri kama haya” “Hahaaaa hizi ni pesa za bibi yangu.” Jojo alizungumza huku akinitazma usonini mwangu. Nikatamani kumuuliza juu ya bibi yake ila nikajikuta nikikaa kimya. “Huyu Osama wenu munatembea naye wa nini, kwa maana hana msaada wowote kwenu” “Huyo atatukutanisha na K2?” “Atawakutanisha na K2 kivipi ikwa wamarekani wanamhitaji?” “Wanamuhitaji kumua, ila si kumlinda. Tukiendelea kukaa naye hapa atatuletea matatizo” “Ninahitaji kumuua kwa mkono wangu” “Ila Dany hayo sio makubaliano?” “Hata yeye alitugeuka, nahitaji kumrusha kwenye vyombo vya habari jinsi ninavyo muua” “Ila si kwa sura hiyo baba yangu” “Hii kwani vipi?” “Ukiwa katika sura yako halisi utazidi kupendeza” “Kweli?” “Ndio baba, ngoja niandae mazingira ya wewe kumuua” Jojo akaondoka hapa sebleni na kutuacha mimi, Magreti na Osama ambaye hakielewi Kiswahili kabisa.

“Dany hivi huyu ni mwanao wa aina gani mwenye roho kama yako” “Like father, like a daughter” Jojo akarudi hapa sebleni, akatuambai kwamba tayari amesha andaa mazingira, tukaongozana naye hadi gorofa ya kwanza tukaingia kwenye moja ya chumba, tukakuta kamera mbili zikiwa zimesimishwa vizuri, kiti kimoja pamoja na meza yenye laptop juu yake.

“Baba utakwenda hewani moja kwa moja, chaneli zote duniani zitaweza kuona kile kitu unacho kifanya” “Hilo ninaona kama si wazo zuri?” Magreti alizungumza huku akitutazama.

“Ni wazo zuri, kwa maana ni lazima baba yangu azidi kuwa maarufu” “Maarufu kwa kumuua Osama?” “Ndio kw akumuua Osama, kwani haya Marekani si walipata umaarufu kwa kumuua Osama” “Dany hili sio wazo zuri sioni sababu ya kumua huyo Osama ikiwa mpango wa wazo nililo kupatia haujalamilika?” “Nyote mulishinwa kwa kuweka hisia za mapenzi mbele, muliona njia ya kujiburudisha kwa ngono ndio itawapa muda wa kupumzika zivuri ikiwa kuna wezenu walijipanga kuja kuvamia hapo. Liiti ingekuwa sipo unahisi wewe na baba yangu mungekuwa wapi?” Jojo alizungumza kwa ukali ambao si wakawaida, macho yake yakabadilika rangi, na kuwa kijani huku mboni yaki ikibadilika kutoka rangi nyusi na kuwa nyekundu. Magreti baada ya kuona hali hii mwili mzima ukaanza kumtetemeka. Jojo akaanza kumfwata Magreti huku kucha zake zikianza kukua mikononi mwake, jambo ambalo hata mimi mwenyewe linaniogepesha kwani kuwa na mtoto wa aina kama hii inataka ujasiri na uvumilivu mkubwa sana.



Nikataka kuzungumza kitu ila mdomo wangu ukashindwa kufunguka kabisa, Jojo kwa haraka akamkandamiza Magreti ukutani huku mkono wake mmoja ukiwa ameugandamiza kifuani mwake.

“Hivi ndivyo nilivyo sawa?”

Jojo alizungumza kwa ukali sana na kumfanya Magreti kutingisha kichwa chake, Jojo akamuachia Magreti, akarudi kwenye hali yake ya kawaida huku akinitazama na kutabasamu, akanikonyeza. Nikagundua yote aliyo yafanya ilikuwa ni njia moja ya kujidhihirisha mbele ya Magreti na hata kwangu kwamba yeye ni mtu wa aina gani.

“Baba unaweza kuendelea na utaratibu”

“Inabidi sasa niivue hii sura”

“Sawa”

Nikaanza kujibabadua sura hii ya bandia, japo ninapata maumivu makali ila nikazidi kujitaidi kukitoa sura hii hadi nikafanikiwa.

“Pole baba yangu”

“Asante mwanangu”

“Sasa tunarusha matangazo haya moja kwa moja hewani. Nimesha weka post muda fulani kwamba kuanzia muda wowote gaidi Dany atakwenda hewani na ana ujumbe maalumu kwa watu wote duniani”

“Sawa mwanangu”

Nikaichomoa bastola yangu moja na kusimama nyuma ya kiti tulicho mkalisha Osama Bin Laden.

“Nahesabu moja hadi tatu, utaaza kuzungumza au kumuua yote ni sawa”

“Poa poa”

“Magreti simama kamera ile pale, usiniogope bwana nilikuwa ninakutania”

Jojo alizungumza kwa sauti iliyo jaa furaha, Magreti akamtazama Jojo kwa macho ya woga, taratibu Magreti akaisogelea kamera hiyo. Kwa ishara ya vidole, Jojo akaanza kuhesabu moja hadi tatu.

“Habari za muda huu, dunia nzima nina imani kwamba inashangaa kwa kile ambacho munakiona mbele yenu. Miaka mingi nyuma nchi ya Marekani ilitangaza ulimwenguni kwamba wamemuua gaidi anayejulikana kwa jina la Osama Bin Laden. Dunia iliweza kukubaliana na hilo, japo kuna baadhi ya watu waliweza kupinga kwamba hawajamuu Osama.”

“Ni kweli Osama Bin Laden hajafa na ninataka kuwadhihirishia dunia kwamba mimi ndio nitamuua Osama Bin Laden mbele yenu.”

“Sababu ya kumuu Osama Bin Laden, moja ni kutoka ameungana na nchi ya Marekani, pamoja na Tanzania katika kuhakikisha kwamba wanayaelekeza mashambulizi kwangu. Kutokana msaliti kwangu nilazima afe, basi mutashuhudia kifo chake mbele yenu”

Nikaikoki bunduki yangu, Osama akaanza kuzungumza maneno ya kiarabu akiashiria kwamba anamuomba Mungu wake sala ya mwisho. Jojo akanitazama na kunikonyeza kwamba nimuue, nikaielekezea bastola yangu kichwani mwa Osma Bin Laden, nikamtazama Magreti kisha nikampiga risasi mbizi ambazo zote zimeingia kichwani mwake.

“Huyu aliiingia kwenye mfumo wangu wa kulipiza kisasi kwa maadui zangu, K2 jiandae ndio unaye fwata kwenye hili”

Baada ya kumalizia kuzungumza meneno haya nikafyatua risasi kadhaa mwilini mwa Osama, hadi risasi zote zilizopo kwenye magazine zikaisha.

Nikaondoka katika eneo hili, na kusimama pembeni ya Jojo huku tukiutazama mwili wa Osama Bin Laden jinsi unavyo mwaga damu. Jojo akaichomoa kamera iliyopo kwenye standa, akaanza kumsogelea Osama huku akiwa ameishika. Magreti akanisogelea nilipo simama.

“Dany”

“Ndio

“Ninaomba nijitoe kwenye huu mpango, ninaogopa”

“Unaogopa nini?”

“Dany kuna vitu vingine sijawahi kukutana navyo maishani mwangu. Kwa mafano huyo mwano unahisi kweli ninaweza kukaa naye sehemu moja kwa maana sio mtu”

Magreti alizungumza kwa sauti ya chini sana ambayo sisi wawili hapa ndio tunaisikia.

“Mimi ni mtu usiniogope bwana”

Jojo alizungumza huku akianza kutufwata sehemu tulipo simama.

“Ametusikiaje?”

“Magreti ngoja nikutoe wasiwasi, mimi nina uwezo wa hata kuona mambo yajayo kwenye maisha yako na ninauwezo pia wa kuyabadilisha na yakawa kama vile nitakavyo”

“Ina maana wewe una uwezo kama Mungu?”

“Hahaaa, hapana, mimi sio Mungu, sio jini, sio binadamu wala sio malaika”

“Sasa hapo wewe ni nani?”

“Sijui, labada baba yangu ajibu swali hilo”

“Ni Jojo”

“Tuachane na mazungumzo hayo, sasa tunatakiwa kuelekea kwenye meli yenu”

“Ahaha, sasa wewe si umetuambia tukirudi kule itakuwa ni hatari sana?”

“Ndio ni hatari ila, kwa sasa sio hatari, kabla ya kurudi kumshuhulia K2, kuna sehemu ninahitaji kumpeleka baba yangu”

“Sehemu gani?”

“Hupaswi kujua, atafahamu baba yangu hiyo sehemu ambayo tunahitaji kwenda”

“Sawa”

“Jojo”

“Bee”

“Njoo tuzungumze”

Tukatoka katika chumba hichi na kumuacha Magreti ndani na maiti yake Osama.

“Sijaelewa ni sehemu gani ambayo unahitaji twende?”

“Ninahitaji twende ukaone ndugu upande wa mama.”

“Wapi?”

“Chini ya bahari?”

“Jojo kumbuka kwamba mimi ni binadamu na si jini, hembu niambie kitu cha kueleweka hapo”

“Usija baba yangu, muda wa kuondoka ni sasa hivi. Unaweza kuwasilana na Livna”

“Sawa”

Nikatoa simu yangu na kukuta mtandao upo sawa, nikampigia Livna simu, simu yake ikaita kwa muda kisha ikapokelewa.

“Dany mume wangu upo salama kweli”

“Yaa nipo salama, mpenzi wangu”

“Kwa nini umevua sura yako ya bandia, unajua kwamba ni hatari?

“Usijali mke wangu, ninakuja sasa hivi”

“Upo wapi kwani?”

“Nitakuambia nipo wapi, ila kuna kifaa ambacho Wamarekani wamekigundua jana, kifaa ambacho wanaweza kufwatilia sura ya mtu popote atakapo kwenda hembu zungumza na Logate waweze kuhakikisha kwamba wanalifwatilia hilo swala”

“Sawa, nifanya hivyo, ngoja niwaandalie meli ile kwenye fukwe”

“Sawa”

Nikakata samu na kurudi chumbani.

“Kila kitu kimekamilika na muda wa kuondoka sasa hivi”

“Sawa, Magreti anaonekana kuniogopa sikui kwa nini?”

“Najaribu kukuzoea Jojo ila ninashindwa”

“Utanizoea, ila ninawaomba iwe siri, hususani wewe Magreti huko tuendapo ninakuomba usimuambie mtu yoyote juu ta lile ambalo nimekuonyesha”

“Sawa nimekuelewa”

Tukatoka nje na kutaka kuingia kwenye gari tulilo kuja nalo ila Jojo akahitaji tuingie kwenye gari lake, tukafanya hivyo na yeye akawa ndio dereva. Safari ikaanza huku Jojo akiendesha kasi sana.

“Unajua kuna muda ninawachukia sana watu ambao walisababisha haya maisha”

“Maisha yapi?”

“Maisha waliyo kusababishia wewe baba yangu, wamekufanya uwe gaidi ikiwa wewe sio malengo yako kwenye maisha yako”

“Ni kweli mwanangu, ila nimekuwa hivyo acha iwe hivyo”

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa kwenye mfuko wa suti simu yangu, nikakuta ni namba ya Livna ndio inayo nipigia.

“Ndio”

“Ni kweli tumeweza kukifwatilia, na Ester ameweza kuzuia utendaji wake wa kazi na sasa yeye ndio anakiongoza”

“Kazi nzuri shukrani sana”

“Mupo wapi?”

“Tunaitafuta Chalinze sasa hivi”

“Ok, ninaona ukaguzi barbarani ni mkubwa sana tutakuwa tunawafahamisha kila sehemu yenye road block”

“Sawa mpenzi”

Nikata simu huku nikimtazama Jojo, aliye nitazama kwa jicho la kuiba kisha akatabasamu.

“Baba nikuulize”

“Niulize tu”

“Kwa nini umetembea na wanawake wengi?”

Swali la Jojo likanifanya niyanyanyue macho yangu taratibu hadi kwenye kioo kidogo kilichopo mbele yangu na kumtazama Magreti kwa nyuma.

“Unaogopa kujibu kisa Magreti, usimfiche bwana. Magreti mimi baba yangu ni malaya, sasa kama unampenda jiandae kuumia tu”

Nikajikuta nikikausha kimya, hata kufungua kinywa changu ninashindwa.

“Yaani kama baba angekupata leo, wewe ungekuwa msichana wa mia moja”

“Mungu wangu”

Magreti alizungumza huku akinitazama vizuri kwa kunichukungulia usoni.

“Hivi Dany huna ukimwi kweli wewe?”

Swali la Magreti likazidi kuninyong’onyeza kiasi kwamba nikashindwa kujibu chochote na kuendelea kukaa kimya



“Huwezi kuamini nikikuambia baba yangu hana Ukimwi kabisa, japo amekuwa na wanawake wengi sana”

“Mmmmm”

“Kweli vile hata ukisema umpime hapo sasa hivi hana, japo alitembea na wanawake ambao wana maambukizi ya magonjwa hayo”

“Munanitania nyinyi”

“Kweli vile, damu ya baba yangu ni toafuti sana na damu za watu wenginene, haipokei maradhi kabisa”

“Mmmmmmm”

“Hembu hizo mada zife”

Nilizungumza kwa sauti nzito na kuwafanya Magret na Jojo kutabasamu. Tukasimamishwa kwenye moja ya kwenye moja ya kituo cha ukaguzi. Nikataka kutoa bastola yangu ila Jojo akatingisha kichwa.

“Musiogope najua nini cha kufanya”

Tukatulia tu kwenye siti zetu, Jojo akafungua kioo chake.

“Habari yako binti”

Askari huyu alizungumza huku akimtazama Jojo.

“Salama tu kaka, shikamoo”

“Marahaba, una umri gani binti?”

“Miaka ishirini”

“Ninaomba leseni yako”

Jojo akatoa leseni yake, askari huyu akaitazama kwa muda, kisha akamrudishia Jojo.

“Unaelekea wapi?”

“Ninakwenda Dar”

“Kuwa makini barabarani, kwa maana kwa msichana mdogo kama wewe kuendesha masafa marefu ni hatari kidogo”

“Sawa kaka afande nitajitahidi kuwa makini”

“Sawa binti, je ninaweza kuipata namba yako ya simu”

“Hahahaa hapana”

“Basi chukua ya kwangu ili hata huko mbele usisumbuliwe sumbuliwe na askari wengine”

“Mmmmm sawa naomba uniandikie kwenye karatasi”

“Huna simu nikaiandika namba yangu haraka haraka”

Polisi huyu alizungumza huku akitazama tazama humu ndani ya gari kitu nilicho kigundua kwa uharaka ni kwamba askari huyu hajagundua uwepo wetu ndani ya hili gari. Jojo akampatia askari huyu simu yake, askari huyu akaiandika kwa haraka huku akitazama wezake kama wanao tukio hili kishaa kamrudishia Jojo.

“Niaitwa afande Mweta, utanipigia mtoto mzuri”

“Asante Afande Mweta”

“Karibu sana, wewe wakikusimamisha tu nipigie”

“Sawa afanye”

“Una pesa ya mafuta?”

“Mmmm ninayo”

“Ok nilijua huna nikupatie japo kidogo mtoto mzuri”

“Unaweza kunipatia?”

Askari huyu akarudi kutazama tazama wezake kisha akafungua mfuko wake wa shati na kutoa dola mia na kumpatia Jojo.

“Hiyo utabadilisha, mtoto mzuri, hakikisha unanipigia basi sawa Jojo”

“Sawa afande”

“Safari njema mrembo”

Afande Mweta alizungumza huku meno yote thelathini yakionekana. Jojo akafunga kioo cha gari na tukaondoka eneo hili.

“Hivi unataka kusema kwamba huyo afande hajatuona?”

Nilimuuliza Jojo huku nikimtazama usoni mwake.

“Nimewapoteza ndio maana akawa anajishebedua”

“Yaani wanaume nyinyi, utakuta yule mbaba ana mke na watoto, ila kamuona Jojo hapa kashoboka laiti ungemuonyeshea kama ulivyo nionyeshea mimi vituko ninahisi angekufa kwa presha”

“Weee sio kufa tu angeacha hata hiyo kazi yenyewe”

“Hahaaa”

Nilijikuta nikicheka tu, huku nikimtazama Jojo na Magret ambao tayari wamesha onekana kuzoeana. Tukafika jijini Dar es Salaam majira ya usiku, hatakuona haja ya kusimama sehemu yoyote na tukaelekea Kigamboni kwenye fukwe ambayo ndipo yalipo maficho yetu, tukakuta boti ikitusubiria huku wasichna wawili wa Livna ndio wanao linda hili eneo.

Safari ikaanza huku wasichana hawa wawili wakimtazama Jojo, simu yangu ikaita, nikaitoa mfukoni na kukuta Livna akinipigia, nikamtazama Jojo kisha nikaosogea pembeni na kuipokea.

“Niambie”

“Huyo aliye ongezeka ni nani?”

“Tutakuja kuzungumza?

“Dady usijiokotee okotee watu tu ukawaleta huku ikiwezekana muue”

“Livna nimekuambia kwamba turakuja kuzungumza nikifika, mimi sio kichaa wakusema sielewi kile kitu ninacho kifanya, wewe tulio utajua kila kitu nikifika”

Livna akaka kimya kwa sekunde kadhaa akionekana kujifikiria.

“Dany kumbuka kwamba haya ni maficho muhimu sana, huyo msichana utamuamini vipi au umemjulia wapi?”

“Livna hivi hunielewi ninavyokuambia kwamba nitakuamia kila kitu nikifika huko au huniamini?”

Ilinibidi kuzungumza kwa ukali kidogo ili kusisitizia msimamo wangu kwa Livna ambaye tayari nimesha ziteka hisia zake za mapenzi.

“Ninakuamini”

“Sasa maswali mengi ya nini, unahisi kwamba mimi ni mjinga niokote okote watu?

“Naomba unisamehe mpenzi wangu”

“Poa”

Nikakata simu, Jojo akanisogelea huku akinitazama usoni mwangu.

“Kumbe baba yangu na wewe unakoromea watu”

“Kwa nini?”

“Ninaona jinsi unavyo mkoromea Livna hapo kisa mimi?”

“Usujali mwangu ni mambo ya kawaida tu”

“Ila kama hawato nihitaji tunaondoka kwenye meli yao kwa manaa siwezi kuishi mbali na wewe baba yangu, nilikusubiria kwa muda mrefu japo nilifahamu ni sehemu gani upo ila nilishindwa kukufwata”

“Kwa nini ulishindwa kunifwata?”

“Mama aliniambia kwamba nitakutana na wewe siku fulani, katika eneo fulani na katika hali fulani na ndivyo ilivyo tokea”

“Sawa”

“Ni kweli mama alikuwa na maana yake kwa maana ningekufwata kwa njia ya kawaida tu hivi na kukuambia kwamba mimi ni mwanao ungenikubali?”

“Ningealia na maelezo yako kisha ningekupima kwa maswali kadhaa kama usinge nijubu kama ninavyo hitaji ningekukataa”

“Ila kwa nini ulinikubali haraka?”

“Kwa sababu mama yako aliniambia kwamba mwanangu atakuja kunisaidia nikiwa na matatizo”

“Ahaaa sawa”

“Baba na mwana munazungumza nini?”

“Ahaaa stori za kawaida tu”

“Ila Dany umejitahidi kumpata Jojo ni mzuri sana”

“Hahaaaa, unajua ni nini Magreti”

“Eheee”

“Unaonaje kuaolewa na baba yangu?”

“Weee ongea taratibu nisije nikasikiwa nikauwawa bure”

“Nani akuue?”

“Huyo ni mume wa mkuu wangu Livna”

“Mmmmm mbona baba Livna amekupita umri, hembu mchukue Magreti anaendana na wee”

“Sasa nitamchukuaje ikiwa ana ujauzito wangu?”

“Mmmm hana mimba, kizazi chake hakina uwezo wa kushika ujauzito?”

“Acha kunitani?”

“Kweli kabisa baba yangu, yule mwanamke anakupotezea muda, na yeye anajijua kabisa kwamba hana uwezo wa kubeba ujauzito”

“Hayo makubwa, ila jamani zungumzeni taratibu hawa wapambe watatusikia?”

“Hapana hawatusikii, niwewaziba masikio yao na wakizungumza wao kwa wao wanasikiana”

“Hivi unawezaje kufanya hayo yote?”

“Hahaaaa, ninaweza ila tukienda nyumbani nitaweza kukufundisha”

“Sawa”

“Jamani na mimi ninataka kwenda, kusema kweli kwa siku hizi kadhaa nilizo kuwa nje ya ile meli nimefurahia sana maisha. Sikuwahi kukumbatiwa na mwanaume ila baba yako ameweza kufanya hivyo”

“Hahaa masikini weee kumba ndio umekumbatiwa leo?”

“Ndio”

“Mkumbatie sasa hivi?”

“Nyie hembu acheni ujinga”

“Hahaaa baba ujinga gani, unamridhisha kidogo tu”

“Hayo mambo yataendelea muda mwengine sio sasa”

Tukafanikiwa kufika katika meli salama Salim, tukamkuta Livna na Logate wakitusubiria katika eneo hili. Tukasalimana na wakamsalimia Jojo, tukaongozana moja kwa moja hadi katika chumba cha mapumziko na Magreti akaelekea katika chumba chake.

“Livna huyu anaitwa Jojo ni mwanangu”

Nilizungumza huku nikimtazama Livna usoni mwake, akaonekana kujawa na mshangao mkubwa sana bada ya kusikia kwamba jojo ni mwanangu.

“Lini Dany umekuwa na mtoto mkubwa kama Jojo sijui Jojo gani huko?”

Livna alizungumza kwa sauti iliyo jaa dharau kidogo, nikamtazama Jojo, nikamuona anavyo benua midomo yake naye akimtazama Livna.

“Mimi si mwanaume na lazima niwe na mtoto”

“Dany nimekukubalia Hawa azae hapa, nimekukubalia Yemi azalie hapa, leo hii unaniletea mtoto ambaye ni mkubwa kabisa anaye weza kujitafutia, yaani kusema kweli sipo tayari kabisa kumlea huyo mwanao, kumbuka kwamba mimi umesha nipa ujauzito na mimi”

Jojo akaachia msunyo mkali sana hadi Livna akamtolea macho ya hasira.

“Mwaharamu mkubwa wewe, unakazi ya kumuongopea hapa baba yangu kwamba una ujauzito, yaani huna chochote wala huna uwezo wa kubeba ujauzito. Umesahau miaka kumi nyuma kizazi chako kilifanywaje kule Urusi?”

Jojo alizungumza huku akiwa amemkazia macho Livna aliye nitazama kwa macho yaliyo jaa wasiwasi.

“Hivi unahisi hiyo roho yako mbaya unaweza kuibadilisha na kuwa nzuri, eheee?”

Jojo alizungumza kwa suati ya ukali na kumfanya Livna kutulia kwa muda kidogo huku macho yakiwa yamemtoka sana.

“Baba yangu alikuthamini sana na kukuamini ila sio hicho kitu ambacho unahitaji kukifanya kwa watu wake.”

“Ulipanga kumuwekea sumu, Yemi na Hawa, ili wafe na mimba zao na wewe ubaki na mimba hewa ni uongo?”

“Livna ni kweli anacho kizungumza Jojo?”

Livna akaka kimya huku macho yake akiwa ameyaelekezea chini.

“Unahisi unaweza kummiliki baba yangu, baba yangu moja ni mzuri, pili anajiweza na kujitambua. Kwa nini unataka kumrudisha nyuma ikiwa ninajua nina wadogo zangu wawili wanao kuja?”

“Livna nimekuiliza ni kweli?”

Nilizungumza kwa hasira huku nikipiga meza hii hadi Livna akastuka macho yakamtoka mwili mzima ukamtatetemeka. Waswahili wanasema kwamba ukimya nao pia ni jibu. Nikanyanyuka kwa haraka na nikamshika Livna mabega yake na kumnyanyua juu, nikamsogeza hadi ukutani huku nikiwa nimekasiria sana na macho yamenitoka.

“Kwa nini Livna unakuwa na roho za Kiswahili, kwa nini usingeniambia mapema kwamba nisiwalete hapa hao wasichana wa watu eheeee?”

Nilizidi kuzungumza kwa uchungu sana huku machozi ya hasira yakinimwagika usoni mwangu.

“Da……d….”

Livna alishindwa kabisa kuliita jina langu, kinywa chake kimejawa na uzito ambao hakuutarajia kuupata kwa muda huu.

“Unahitaji niondoke hili eneo si ndio?”

“Hapana Dany, ninakupenda, ninakuhitaji mume wangu”

“Unahitaji kwa upuuzi huo wa kuhitaji kuwaua wezako eheeee. Wamekukosea nini viumbe wa watu ambao wapo matumboni mwa hao wasichana. Kumbuka zile ni damu zangu, ni damu zangu kama ilivyo kwa Jojo pale, bora nife mimi kuliko zife damu zangu kwa nini lakini Livna”

“Dany na mimi nina wivu, na mimi nina wasiwasi wa kuachwa na wewe ukigundua kwamba sina mimba na wezangu wana mimba”

“So umeona njia ya kuwaua wao ndio sahihi si ndio eheheeee?”

Nilizunguma kwa ukali huku mwili mzima ukinitetemeka kwa wasiwasi.

“Sasa na Magreti eti pia unamuonea wivu ukapanga ukirudi umkamate na umtese ili akujibu ni kitu gani ambacho amekifanya huko na baba yangu”

Mameno ya Jojo yakazidi kunipatandisha hasira laiti kama ningekuwa na wezo wa kama Joho ningeuchomoa moyo wa Livna ambao kumbe umejaa uhasama mkubwa sana juu ya watu wenye ukaribu wangu.

“Magreti naye anatatizo gani, amekufanya nini binti wa watu ambaye hata swala la mapenzi halijuia. Hivi unahisi wezako hawana hisia, hawana miooyo hawana roho za kupenda kama unavyo penda wewe eheeee?”

Livna machozi yakazidi kumwagika usoni mwake, maneno ya kujitetea yakamtoweka kabisa akilini mwake.

“Si unaogopa mimi kukuacha, basi nitakuacha kuanzia hivi sasa mimi na wewe basi. Na kama kunisiaidia, mwisho uwe leo na nitajua nitafanya nini, nikifungwa, nikikikamatwa nikiuwawa yote ni kwa ajili ya dhambi zangu nilizo zifanya na nipo tayari kuzitumikia kwa namna yoyote na muda wowote. Nitaondoja na kila nilite kuja naye hapa, pia nitaondoka na Magret kwani ndio mwanamke ambaye ameziteka hisia za moyo wangu na ndio aliye kubaliwa na mwanangu awe mke wangu. Kwaheri”

Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo nikamuachia Livna aliye toa ukunga mkali wa kulia kwani alicho kisikia ninaimani ni sawa na mkuki ulio uchoma moyo wake na kuutoboa tundu ambalo halito pona kabisa kwenye maisha yake.



“Bye”

Jojo alizungumza huku akinikimbili kwa nyuma, tukatoka katika chumba hichi. Tukaelekea katika chumba anacho ishi Hawa na Babyanka. Nikawakuta wakiwa wamekaa vitandani.

“Jiandaeni tunaondoka, Winy yupo wapi?”

“Jamani Dany hiyo ndio salamu?”

Hawa alizungumza huku akinitazama usoni mwnagu.

“Salamu ya kazi gani hembu chukueni kila kilicho chenu ninahitaji tuondoke hapa sasa hivi sawa?”

Nilizungumza kwa ukali sana.

“Hawa jifunze kusoma alama za nyakati”

Babyanka alizungumza huku akishuka kitandani mwake.

“Hata kama huo sio ustarabu, kukerwa akerwe na wengine hasira aje kutumalizia sisi, na unataka twende wapi?”

Hawa alizungumza kwa kujiamini huku akisimama, nikamtazama kuanzia juu hadi chini, kisha nikayarudisha macho yangu tumboni mwake na kuona ukubwa wa tumbo umeongezeka.

“Tunaondoka katika hii meli, sihitaji nilio kuna nao humu kuendelea kuishi humu”

“Kwa sababu gani?”

“Livna alihitaji kuwau wewe na Yemi ili musiweze kuzaa watoto wenu”

Jojo aliniwahi kunijibu na kunifanya nimgeukie na kumtazama.

“Wewe ni nani unaye ingilia vitu visivyo kuhusu?”

“Nimwanangu”

“Mwanao…..!!!?”

“Unanitumbulia nini macho, ndio ni mwanangu”

“Hahahaaa Dany sasa unakuwa mwenda wazimu. Mtoto wa watu umemchukua humu humu ndani unajidanganya ni mwanao au ni wahiyari”

“Mwanangu wa kumzaa”

“Hhaaaa uwiiiiii, jamani hahaaa kumbe kuna siku ambazo unachangayikiwa. Sasa kama umechanganyikiwa siwezi kuondoka humu, nitmzaa mwanangu humu na atakulia humu sawa?”

Maneno ya Hawa yakazidi kunikera na kunipandisha hasira, nikatamani kumzaba kofi ila nikajikuta nikiuzuia mkono wangu kwa kukunja ngumi kwani ninafahamu kwamba nikimtandika ngumi itanigrimu sana kwenye maisha yangu na yake.

“Sijasingiziwa, huyu ni baba yangu wa damu, hata ukitupima DNA, basi tupo sawa”

“Heee makubwa haya”

“Babyanka hakikisheni kwamba munakusanya kila kilicho chenu tunaondoka hapa?”

“Siwezi kuondoka hapa, ninakuomba unisamehe”

“Unasemaje?”

“Nimesema kwamba siwezi kuondoka hapa ninakuomba unisamehe, sina sehemu ambayo nitakwenda na kuishi kwa amani kama ilivyo hapa kama Livna anahitaji kuwaua hawa basi ni acha na mimi nife tu”

“Mimi pia siondoki, una sehemu gani ya wewe kwenda kutuweka na kuwa salama?”

Hawa alizungumza kwa dharau sana.

“Baba tuondoke zetu”

Jojo alizungumza huku akinishika mkono.

“Baba huwezi kuwabadilisha hao, tayari wamesha kuwa wana ndoa, wanamahusiano ya jinsia moja”

Nikawaona Babyanka na Hawa wakistuka sana, wakatazamana na nikaona sura zao jinsi zinavyo poteza furaha.

“Ni kweli anacho kisema Jojo?”

Hawa na Babyanka wakashindwa hata kunijibu na macho yao hayakuwa na ujasiri kabisa kunitazama usoni mwangu, nikakumbuka siku nilipo wakuta wakiwa wamekumbatiana na wamelala uchi kabisa.

“Tuondoke baba”

Jojo alizingumza huku akinishika mkono tukatoka chumbani humu na kukutana na Ester kwenye kordo akiwa ameongozana na wasichana wengine wanne wakiwa wameshika bunduki mikononi mwao.

“Dany samahani, ninafwata amri ya mkuu. Tumeambiwa tumkamate mwanao”

“Kwa kosa gani?”

“Sijajua kwa kweli, ila nimeambiwa nimemkamata”

“Ester natambua kwamba wewe ni mtendaji mzuri kwa Livna na hata kwangu ulifanya kila kitu kunisaidia kwa chochote ambacho nilikuomba kukifanya. Ninahitaji kukuomba hichi kitu cha mwisho tu na sinto kuomba tena”

Nikamuona Ester akishusha pumzi nyingi sana huku akiwa amejawa na huzuni kubwa sana kwani amelazimishwa kufanya kitu ambacho hajui hata sababu.

“Ninakuomba niondoke eneo hili, ninakuomba utuachie mimi na mwanangu tuweze kuondoka hapa”

Nilizungumza kwa sauti ya upole sana huku nikimtazama Ester usoni mwake.

“Muacheni apite”

Ester alizungumza huku akiwatazama vinaja wake alio ongozana nao, wasichana hawa wakatupisha taratibu na tukaanza kupita katikati yao huku nikiwa nimemshika mkokono Jojo.

“Livna anajiingiaza kwenye tatizo ambalo litamshinda kulimaliza”

Jojo alizungumza huku akitazama nyuma.

“Tuachane naye”

“No lazima atawau hawa wasichana kwa kushindwa kutii amri yake.”

“Sasa tunafanyaje?”

“Hapo mbele atawatuma wasichana wengine waniangamize”

Jojo alizungumza huku tukizidi kutembea kwa mwendo wa haraka kwenye hii kordo ndefu.

“Simama”

Jojo alizungumza huku akijibaza kwenye ukuta kwa haraka na mimi nikajibanza kwenye ukuta, hazikupita hata sekunde kumi wakatokea wasichan zaidi ya sita wakiwa na silaha, kwa haraka Jojo akaanza kupambana nao, hazikupita hata dakika mbili wasichana wote wakawa wamelala chini huku wakiwa wamezimia.

“Siwaui kwa maana ninahitaji kumuonyesha Livna uwezo wangu”

Jojo alizungumza huku tukizidi kusonga mbele. Kadri jinsi tunavyo zidi kusonga mbele ndivyo jinsi tunavyo kutana na vikwazo za wasichana walio agizwa kumkamata Jojo ambaye hakuwa na haja ya kumuua zaidi ya kuhakikisha kwamba anawazimisha.

“Unaelekea wapi?”

Nilimuuliza Jojo huku tukimwafwata kwa nyuma. Jojo hakunijibu kitu chochote zaidi ya kuufungua mlango wa kuingia ndani ya chumba kimoja.

Tukamkuta Livna akiwa amekaa kwenye moja ya meza huku amezungukwa na wasichana zaidi ya kumi.

“Livna hivi unahisi kwamba una uwezo wa kupambana na mimi?”

Jojo alizungumza kwa sauti ya hasira kidogo huku akimtazama Livna.

“Siwezi kukuacha ukiwa hai, ni lazima nikuue”

“Hahaaa, unajiamini nini wewe, unanijua mimi ni nani?”

“Hei Livna najua una hasira ila ninakuomba mimi na mwanangu tuondoke hapa, sihitaji mafarakano mimi na wewe, au wewe na mwanangu”

“Mwanao wapi, umechukua malaya tu huko nje anaye jifanya anajua kuzungumza mambo ya watu ya nyuma ambayo hatamuhusu”

“Mimi ni malaya?”

Jojo alizungumza huku akipiga hatua moja mbele kwa haraka nikamuwahi kumshika mkono wake na kumsimamisha.

“Ndio malaya”

“Livna hembu acha majibizano ya ajabu, tazama watoto wengine wa watu wamesha jeruhiwa elewa kwamba huwezi kumdhuru Jojo”

“Hembu niachie upuuzi na wewe, unaniletea malaya ndani kwangu leo hii unaniambia kwamba ni mwanao.”

Kwa kasi ya ajabu, Jojo akatoa mkono wake kwangu, kufumba na kumbua akawa amemfikia Livna aliye hisi kwamba wasichana wake wanaweza kumsaidia, nikastukia Livna akinyanyuliwa kwa mkono mmoja huku akiwa ameshikwa koo lake.

“Hivi unahisi kwamba ninashindwa kukua eheee”

Jojo alizungumza huku akizidi kumkaba Livna aliye anza kulitoa jicho lake akionekana kuanza kupoteza pumzi yake.

“Jojo Jojo”

Nilizungumza huku nikimftwa Jojo kwa ukaribu kabisa, nikamshika mkono alio mshika Livna, kusema kweli Jojo ana nguvu kubwa sana.

“Tafadhali mwanangu ninakuomba umuachie”

Nilizungumza kwa upole sana huku nikumsisitizia Jojo kumuachia Livna kwa maana akiendelea kumshikilia hivi anavyo mshikilia ni lazima atakufa.

“Ukirudia na ukiendelea na mawazo ya kuhitaji kumua yoyote kati ya wasichana wako au watu alio kuna nao baba yangu, nitahakikisha ninakurudia na nikirudi nitakigawanyisha kiuongo chako kimoja baada ya kingine.”

Jojo baada ya kumaliza kuzungumza hivyo akamuachia Livna aliye anza kuvuta pumzi nyingi huku akiwa amekaa chini.

“Tuondoke”

Jojo alizungumza huku akitangulia kutoka nje, hapakuwa na msichana hata mmoja aliye jaribu kumshika wala kumsogelea Jojo. Tukapandisha juu kabisa ya meli hii.

“Ninahitaji twende nyumbani sasa baba”

Jojo baada ya kuzungumza hivyo akanikumbatia kwa nguvu kisha tukajitosa kwenye bahari na nikajikuta nikianza kupiga kelele kwani kasi tunayo kwenda nayo chini kusema kweli inatisha na kuogopesa na ukitegema ni usiku basi ujasiri ukaniisha kabisa.



Tukazama ndani ya maji cha kushangaza sipati tabu ya aina yoyote kama binadamu wa kawaida akizama chini ya maji. Tukazidi kwenda chini sana hadi kwa mbali nikaanza kuona taa nyingi zinzo waka kwa haraka haraka unaweza kuzifananisha na jiji la New York nchini Marekani pale ifikapo majira ya usiku. Nikatamani kuzungumza kitu ila nikashindwa kabisa na kusahau hata kitu hicho ninacho hitaji kukuzungumza.

Tukafika hadi kwenye moja ya jumba la kifahari ambalo kuta zake zimejengwa kwa dhahabu tupu, hakuna sehemu ya jumba hili iliyo sakafiwa hata kwa saruji.

“karibu baba hapa ndipo kwa mama anapo ishi”

Jojo alizungumza huku akiniachia. Kusema kweli kuna mambo mengi sana dunia nilikuwa ninayasikia juu ya viumbe hivi vinavyo itwa majini ila kusema kweli leo ndio nimeamini kwamba kuna mji wa majini ambao wanaishi kama tunavyo ishi duniani. Nikiwa kama binadamu wa kawaida, lazima woga unitawale hata kama nimefanya mambo mengi maovu na ya kutisha ila huku nilipo kusema kweli ninaogopa sana.

“Usiogope baba, yangu kuwa na amani”

“Ila Jojo ninaoga”

“Hakuna anaye weza kukudhuru”

Wasichana wa huku kusema kweli ni wazuri kupindukia, wana kila aina ya sifa ambayo duniani huwezi kumkuta nayo mwanamke mmoja. Nilihisi kwamba Magreti ana wazidi wote ila hawa wa huku wana wazidi wote waliopo duniani. Kila tunapo pita mimi na Jojo, tunamwagiwa maua na wasichana hawa ambao wamajipanga pande mbili za barabara inayo ingia kwenye jumba hili la kifahari. Mlango ukafunguliwa na nikakuta ukumbi mkubwa sana na mbele kabisa kuna kiti kimoja ambachoa mekaa Olvia Hitler huku pembeni yake kukiwa na wasichana wawiliw alio shika manyonya makubwa ambayo sifahamu hata ni ya mnyama gani ila wanampepea taratibu.

“Waooo karibu mume wangu”

Olvia Hitler alizungumza hukua kinyanyuka kwenye kiti chake, akaanza kunifwata kwa mwendo wa taratibu huku gauri lake jeupe pee likiburuzika kwa nyuma. Tukakumbatia taratibu, marashi mazuri aliyo jipulizia Olvia Hitler kusema kweli yakanisisimua mwili mzima.

“Pole sana kwa tabu za dunia ambazo umepitia”

“Asante”

“Usiogope, hapa ndipo kwangu, karibu sana, nilimuachia maagizo Jojo wako kwamba akulete pale atakapo pata nafasi ya kukuleta hapa nyumbani”

“Nimekaribia”

Olvia Hitler akapiga kofi moja, wakaja wasichana wanne walio valia vizuri na wamependeza sana.

“Mpelekeni baba Jojo mukamuogeshe”

“Sawa malikia”

Wasichana hawa wakanishika mikono yangu na taratibu tukaondoka katika ukumbi huu, tukaingia kwenyemoja ya chumba kikubwa ambacho kina swimming pool kubwa ambayo maji yake yanafuka mvuke. Taratibu wakaanza kunivua koti langu la suti, wakafwatia shati, na kumalizia nguo zote za chini na nikabaki kama nilivo zaliwa. Wasichana hawa nao wakavua nguo zao na kuingia nami kwenye swimming pool hili kwa mara ya kwanza nilihisi labda maji yanaweza kuwa ya moto, ila mvuke vuke wake kusema kweli yameufanya mwili wangu kuhisi nguvu fulani ambayo katika maisha yangu sikuwahi kuihisi hii nguvu.

Taratibu wakaanza kuniogesha mwili wangu, hapakuwa na sehemu ambayo wameshindwa kuigusa, hata jogoo wangu mamemgusa kwa viganja vyao vilaini ila hapakuwa na hisia yoyote kwenye mwili mwangu. Wasichana hawa hawazungumzi chochote na mimi, baada ya kumaliza kuniogesha wakanitoa ndani ya swimming pool hili kisha wakanivisha vazi kubwa lililo pambwa mwa madini ya dhahabu kwenye maua mau yake. Tukarudi katika ukumbi huu, na nikapokelewa na tabasamu kubwa la Jojo na mama yake.

“Baba umebadilika kama sio wewe”

“Eti ehee”

“Ndio yaani umekuwa kama mfalme fulani hivi”

“Hahaa ila ni mfalme kwa maana mimi si malikia”

“Alafu kweli mama hapo umenena jambo la kweli”

“Inabidi mule sasa alafu nikawatembeze”

“Mukanitembeze wapi?”

“Inabidi uweze kufahamu mji huu viziri sana, pia ukaione familia yako sehemu walipo”

“Familia yangu?”

Niliuliza huku nikiwa nimejawa namshangao mkubwa sana.

“Ndio familia yako”

“Twendeni sasa hivi jamani nina hamu ya kuiona familia yangu?”

“Mmmmm acha papara baba, kula alafu tutakwenda sote watatu”

Sikua na jinsi ya kufanya zaidi ya kumsikiliza Olvia Hitler anacho kizungumza. Tukaingia katika chumba cha kupatia chakula na kuanza kupata chakula taratibu. Chakula cha huku kusema kweli ni kitamu sana na kinavutia ambacho duniani sikuwa kula. Tukamaliza kula chakula na tukaanza kutembea sehemu mbali mbali za huu mji nanikajionea mambo mengi sana ambayo kusema kweli dunia hakuna kabisa.

“Huu ndio ulimwengu, ambao hakuna binadamu anaye weza kuja pasipo ridhaa yetu”

“Ni pazuri sana”

“Kwenye huu mji wetu kuna sehemu mbili, moja ni hii ambayo unaiona ni nzuri sana na kuna nyingine ambayo ni mbaya sana. Huko ndipo jehanamu, sehemu ambayo wanadamu wakifa wale ambao ni wetu basi wanaletwa huku chuini”

Olvia Hitler alizungumza huku akinitazama uosni mwangu.

“Sasa familia yangu ipo wapi?”

“Familia yako ipo huko sehemu ya pili, mtu ambaye hayupo kwenye sehemu hiyo ni mmoja tu ambaye ni mwanao wa kike, ila wengine wote wapo huku”

Nikajihisi tumbo langu kunika, ila nikajikaza.

“Huku tunapo elekea unatakiwa kuwa mkakamavu sawa Dany”

“Sawa”

Nilizungu ila moyo wote umepoteza imani. Kufumba na kufumbua tukajikuta tukiwa ndani ya sehemu yenye giza kubwa ila mianga ya makaa ya moto inatufanya tuweze kouna watu waliomo ndani ya shimo kubwa huku miili yao wakiwa hawana nguo hata moja. Watu wote waliomo kwenye hili eneo wanaonekana kupata maumivu makali ya moto unao waunguza. Katika kukatiza macho yangu huku na kule nikamuona mama yangu akiungua jhuku akipiga mayowe ila hakuna anaye weza kumsaidia. Nikataka kumfwata na kumsaidia, ila Olvia Hitler akanishika mkono na kunizuia.

“Unataka kwenda wapi?”

“Kumsaidia mama yangu?”

“Huwezi kwenda, hili eneo ni la muumba wa kila kitu”

“Ina maana unataka kusema kwamba humu kunalindwa na Mungu?”

“Ndio, malaika wa Mungu wanalinda hili eneo”

“Hatuwezi kweli kuwasaidia, yaani hata kufika huku, hata Jojo mwenyewe hajawahi kufika, kwa nguvu zangu ndio mume weza kufika huku. Nikamuona mdogo wangu Diana akapata mateso makali sana huku mwilini mwake akitobolewa na funza wenye moto. Nikamuona baba yangu naye akiteseka sana huku adhabu yao yote ikiwa ni moja kwa wote. Kuna baadhi ya viongozi wa Tanzania na dunia nzima nikawaona nao wakipata adhabu kubwa.

“Mama hivi hawa si waliokuwa ni viongozi?”

“Jojo huku hakina kiongozi, mtu akifa kama ana dhambi zake, breki yake ya kwanza ni hapa. Anapata kibano kama hawa, hadi siku ambayo Mungu ataambua kuimaliza dunia”

“Mmmm hivi Olvia Dunia inaweza kuisha?”

“Sio leo wala kesho kwa maana hata sisi hatufahamu ni siku gani dunia itahukumiwa”

“Mmmmmm sasa hata sisi si tutahukumia?”

“Inategemea na itakavyo kuwa kwa maana katika hilo kusema kweli hata mimi sielewi itakuwaje”

Sikuzungumza kitu chochote zaidi ya kuwatazama wana familia yangu jinsi wanavyo pata mateso makali. Huruma ikanijaa moyoni mwangu na kujikuta nikimwahikwa na machozi usoni mwangu, Jojo na mama yake wakabaki kimya. Taratibu wakanishika mkono, kufumba na kufumbua tukatoka katika hili eneo na tukatokea katika eneo jengine kabisa ambalo limetulia sana na lina nyumba moja pamoja na miti mingi.

“Huku ni duniani au?”

“Hapana bado upo chini ya bahari”

“Hivi inakuwaje hadi munaishi kama hivi?”

“Kivipi?”

“Munaishi chini ya bahari?””

“Yote ni miujiza ya Mungu”

“Hata nyinyi muna muabudu Mungu?”

“Ilikuwa, ila si kwa sasa”

“Ilikua lini?”

“Kipindi hicho kabla haijatokea vita huko mbinguni”

“Ahaaa sawa sawa”

Tukaingia ndani ya hii nyumba, alama niliyo kutana nayo kwenye tambaa kubwa lililo ning’inizwa katika hili seble.

“Dany mume wangu unatakiwa kuweza kupata nguvu ambazo zitakusaidia kwa maisha yako yote”

“Nguvu za aina gani?”

“Hapa unapo paona ndipo anapo ishia baba yangu, ambaye hadi leo bado anahistoria kubwa kwenye dunia”

“Historia gani?”

Olvia hakunijibu chochote zaidi ya kuingia katika chumba kimoja kinacho nukia manukato mazuri sana. Sikuamini macho yangu kukutana na gaidi wa mika hiyo ya 1880’s ambaye ni Adolf Hitler ambaye hadi sasa hivi duniani hakuna mtu aliyeweza kudhibitisha kifo chake. Wapo walio seme kwamba alijitosa kwenye acid(tindikali), wapo walio sema amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha baada ya kushindwa vita ya pili ya dunia. Pasipo kuambiwa chochote, nikasalimia salamu yake ya kunyoosha mkono mmoja juu, mzee huyu akarabasamu sana na taratibu akanyanyuka kwenye kitanda alicho lala na kukaa kitako. Kwa ishara ya mkono akaniita na kuninyooshea mkono wake wa kulia, nikaushika taratibu.

“Kwa miaka mingi duniani, vizazi na vizazi nilikuwa ninatafuta mtu wa kumuachia uwezo wangu, sikumuona ila wewe sasa una uwezo huo kwani umeweza kuitingisha duani kama nilivyo itingisha mimi”

Adolf Hitler alizungumza huku akiendelea kuishika mikono yangu.

“Umeifanya dunia nzima kukujua, umewafanya waandishi wengi kukuandika kwenye vitabu ambavyo vitadumu miaka kwa miaka yote duniani. Utaelezewa kwenye kila historia ya kila kizazi kwamba alikuwepo gaidi anaye itwa Dany.”

“Kuanzia leo nitakupa jina la Hitler, utaitwa Dany Hitler, hakikisha kwamba jina hili unalikuza.”

“Sawa sawa mzee”

“Watu watakuogopa mara kumi ya wanavyo kuogopa hivi sasa. Utaishi karne kwa karne hadi pale atakapo tokea mtu mwenye uwezo wa kufanya zaidi ya kile ambacho umekifanya wewe ndipo utakapo kuwa tayari kumkabidhi nguvu hizi ninazo kupatia”

Jinsi mzee Adolf Hitler anavyo zungumza ndivyo jinsi nilivyo hisi kuna vitu vikiingia mwilini mwangu.

“Hadi leo nchi yangu ya ujerumani inaitwa ‘HE’. Ni mwanaume wa nchi zote duniani, hata Marekani yenyewe pia ni She. Hakikisha kwamba Tanzania unaifanya iwe He, iwe dume kama Ujerumani sawa”

“Sawa”

“Haijalishi utaifanya wewe mwenyewe, haijalishi ataifanya raisi yoyote ajaye. Ila hakikisha kwamba nchi yako, chimbuko lako linakuwa ni nchi kubwa sana ulimwenguni”

“Nimekuelewa mzee”

Nikahisi kitu kikubwa kikiupiga mwili wangu, nikajikuta nikinyong’onyea na kuishiwa nguvu kabisa na nikapoteza fahamu kabisa.

***

Nikayafumbua macho yangu na kujikuta nikiwa nimelala kitandani, pembeni yangu nikamuona Jojo akiwa amekaa huku akinitazama.

“Hei baba umeamka?”

“Yaaa nipo wapi?”

“Tumerudi duniani tayari”

“Kule nimeondokaje?”

“Tumeondoka siku nyingi sana, kwa maana sasa hivi ni miezi miwili imepita tangu tutoke kule nyumbani kwetu”

“Weeee acha kunitania”

Nilizungumza huku nikikaa kitako kitandani, mazingira ya chumba ninacho kiona kwenye macho yangu sikuwahi kuyaona kabisa.

“Jojo hapa ni wapi?”

“Nyumbani kwetu, nimetafuta nyumba nzuri nina imani kwamba utaipenda baba yangu”

Nikajitazama mikono wangua ambayo kwa kumbukumbu zangu za mwisho ninakumbuka nilishikana na mzee Adolf Hitler.

“Babu yako yupo wapi?”

“Tayari amepoteza maisha, tumemuhifadhi kule kule nyumbani kwetu”

Nikashuka kitandani na kumfanya Jojo naye kusimama, tukatoka chumbani humu na kufika sebleni, nikalitazama hili eneo taratibu. Sikuhitaji kuishie hapa nikatoka nje na kuuona ufukwe wa bahari kwa mbali huku nyumba yetu hii ikiwa imezungumkwa na maua mengi sana.

“Jojo hapa ni wapi?”

“Tupo Tanzania kwenye visiwa vya Pemba, hapa ndipo makazi yetu yatakapo kuwepo miaka yote tutakayo ishi hapa duniani”

“Ila si hatari Jojo hili eneo?”

“Sio hatari baba, hapa tulipo hakuna binadamu wa kawaida anaye weza kufika katika hili eneo kabisa”

“Kwa nini hawawezi kufika?”

“Baba hili eneo lipo mbali sana na hakuna binadamu anaye weza kufika wao wapo huko mbali sana. Hapa tutakuwa tunafanya kazi zetu zote”

“Hivi kwa jinsi ninavyo tafutwa duniani, kweli hawatoweza kuja kunikamata hapa?”

“Hapana baba jiamini, ninamini mimi mwanao. Hapa ni salama kabisa kuliko hata kule kwenye meli ya Livna sio salama kuliko hapa”

Jojo alizungumza kwa msisitizo, tukaanza kulizunguka hili eneo, huku akinionyesha baadhi ya eneo la mazoezi alilo litengeneza.

“Baba kwa sasa una nguvu nyingi, ambazo unatakiwa kuanza kufanya mazoezi kuhakikisha kwamba unaweza kuzi contro nguvu zako na zisiweze kumdhuru mtu asiye na hatia”

“Mbona sihisi chochote”

“Ngoja?”

Jojo akanisukuma kwa haraka sana na nikajikuta nikianguka, hata kabla sijafika chini nikajihimili na kusimama haraka sana jambo ambalo si rahisi kwa hata mfanya mazoezi kufanya hivi”

“Baba una nguvu ya kuona kile ninacho kiona mimi, mambo yanayo weza kutokea miaka kwa miaka, pia unaweza kukwepa kitu chochoye kinacho kufwata kwa kasi ambayo binadamu wa kawaida hawezi kukiona.”

“Kama kitu gani?”

“Risasi ni moja wapo ya kitu ambacho unaweza kukikwepa haraka iwezekanavyo. Baba sasa huu ndio wakati wa kwenda kumtoa K2 madarakani, tummalize yeye pamoja na maadui wengine wote ambao waliweza kukuletea tabu wewe sawa”

Maneno ya Jojo yakanifanya nitabasamu kwani kwa uwezo nilio nao sasa K2 na wajinga wezake watajuta kunifahamu na watajutia ni kwa nini waliweza kuniharibia maisha ikiwemo kuwaua ndugu zao ambao nimewashuhudia wakipata mateso makubwa kuzimu, mateso ambayo K2 na wezake nao pia wanastahili kuyapata kwani ni haki yao.



“Nimekuelewa mwanangu, umeweza kufwatilia ni wapi K2 alipo?”

“Yupo Tanzania na bado ni raisi, na kwa sasa ana amani kubwa sana akiamini kwamba kila kitu kimekwisha”

“Ninahitaji kumshuhulika haraka iwezekanavyo”

“Ila nilazima nikufundishe jinsi ya kuweza kutumia nguvu zako. Kazi itaanza kuanzia kesho asubuhi, leo unatakiwa kuweza kupata chakula cha kutosha”

Jojo alizungumza huku akiondoka eneo hili, nikamfwata kwa nyuma na tukarudi ndani. Jojo akanionyesha chumba ambacho kinatumia kama jiko.

“Baba unajua ipo siku Tanzania itakuja kutoweshwa moja ya visiwa vyake?”

Jojo alizungumza huku akifungua friji kubwa lililopo katika eneo hili, nikaona vidungu viwili vilivyo jaa juisi.

“Kwa nini unazungumza hivyo?”

“Miaka mingi ijayo hilo tukio litatokea”

“Ni kisiwa gani?”

“Una uwezo wa kuona mambo ya mbali, jaribu kuwaza hicho kitu alafu utaniambia ni kisiwa gani kitapotea kweney ramani ya dunia”

“Nifikie kwa namna gani?”

“Fumba macho yako, kisha vuta hisia kali sana juu ya hilo swala”

Nikajaribu kufumba macho yangu, nikafikiria kitu alicho niambia Jojo, ila nikashindwa kabisa.

“Sioni chochote”

“Vuta hisia, juu ya hicho kitu kwa manaa ni mambo yajayo”

Nikajaribu kurudi tena nilicho kifanya awali ila sikuweza kabisa kuona kitu cha aina yoyote.

“Hakuna kitu”

Jojo akatoa kidungu kimoja cha juisi, akamimina juisi kiasi kwenye glasi na kunikabidhi, nikapiga fumba moja la juisi hii ambayo kwa haraka nikajikuta nikitema yote.

“Jojo hii si damu?”

“Ndio baba, ni damu ya binadamu, kwa sasa una uwezo ambao itakupasa kwa kila kipindi fulani unywe damu ya binadamu mwenye nyota kama yako na hii itakufanya uweze kuishi miaka mingi na hoto zeeka wala kuwapoteza asilimia yoyote ya nguvu za mwili wako. Miaka yote utabaki kubwa binadamu”

Maneno ya Jojo yakanifanya nibaki nimemtole macho tu.

“Baba, kufanya hivyo itakusaidia kuweze kufikisha malengo ya kuifikisha Tanzania katika malengo makubwa duniani, unakumbuka kwamba uliambiwa kwamba ni lazima uifanye Tanzania kuwa taifa kubwa na hii ndio njia ya pekee ya kukufanikisha wewe”

Jojo alizidi kuzungumza kwa msisitizo mkubwa sana.

“Jojo ila kumbuka kwamba mimi ni binadamu na sina chembechembe yoyote ya ujini?”

“Hilo ninalielewa baba yangu, ila una nguvu kama zangu, ili kuweza kuziongoza nguvu hizo ni lazima uweze kuitumia hiyo damu. Unaniona mimi, ninazidi kuonekana mrembo na mdogo sana kwa sababu gani unajua?”

“Eheee?”

“Kwa sababu ya hiyo damu. Huwa damu hii unatakiwa kunywa kila baada ya miaka mitano”

“Mmmmm”

“Ndio nanimekitafutia hii damu kwa ajili yako baba yangu, kunywa ili uweze kuishi”

Nikashusha pumzi nyingu huku nikimtazama Jojo usoni mwake. Taratibu Jojo akaushika mkono wangu ulio shika glasi na kuanza kuipandisha taratibu mdomoni mwangu.

“Usiisikilizie baba, kunywa moja kwa moja sawa baba”

Sikujubu kitu gadi glasi inafika mdomoni mwangu, nikatamaini kuinywa ila nikaishusha glasi hii.

“Jojo siwezi kunywa hii?”

“Baba na ukiacha kunywa hii damu huwezi kuishi miaka mingi, pia na nguvu ambazo umekabidhiwa zote zitaondoka mwilini mwako na hutoweza kupambaba na maadui zako. Baba huu ni muda wa kuhakikisha kwamba unakuza jina la Hitler kwa mara nyingine duninai. Kumbuka kwamba unaitwa Dany Hitler, tafadhali baba”

Jojo alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Nikaitazama glasi yenye damu, nikayafumba macho yangu na kuanza kunywa mafumba mengi kwa mfululizo hadi juisi ikaisha.

“Safi, inabidi umalize hichi kidungu”

“Sasa hivi!!!?”

“Ndio baba”

“Ahahaa hembu acha kwanza”

Nilizungumza huku nikitoka humu jikoni, Jojo akanifwata kwa nyuma na sote kwa pamoja tukaka sebleni, Jojo akawasha tv.

“Baba”

“Mmmmm”

“Unampenda Magreti?”

“Kwa nini unaniuliza hivyo?”

“Nimekuuliza tu baba?”

“Yaa ninampenda”

“Basi leo inabidi twende tukamchukue”

“Wapi?”

“Kule kwneye ile meli ya Livna”

“Si unakumbuka siku tuliyo ondoka tuliacha matatizo gani?”

“Ninakumbuka ila kwa sasa usiogope kwa maana hawawezi kutuzuia”

“Sihitaji kumdhuru mtu”

“Hatuwezi kumdhuru mtu”

“Sawa tutaend……”

Kabla sijamaliza sentensi yangu tukaona taarifa ya habari inayo muhusu K2 jambo lililo tufanya kunyamaza kimya na kumsikiliza kitu anacho kizungumza na waandishi wa habari.

“Serikali yangu ikishirikiana na nchi ya Marekani tumweza kuangamiza ngome kubwa ya magaidi ambayo ilikuwa ni meli kubwa iliyokuwa katikati ya bahari”

Taarifa hii ikanifanya nikae vizuri kwenye sofa hili, na kukazia macho hii taarifa.

“Tumeweza kumuangamiza gaidi nayeitwa Dany. Tuna kila sababu ya kusema kwamba Tanzania na dunia kwa ujumla ina amani kwani gaidi huyo amekufa, na tumefanikiwa kumuokoa mwanangu”

K2 alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.

“Muheshimiwa raisi je tunaweza kuona mwili wa gaidi huyo?”

“Kwa sababu ya shambulizi hilo na sababu za kiusalama, basi kitengo maalumu kilicho endesha oparesheni hiyo kilichopo nchini Marekani kitatuonyesha mwili wa gaidi huyo akiwemo mpenzi wake Livna ambaye naye pia amekufa katika shambulizi hilo”

Nikajikuta nikinyanyuka kwa hasira sana, nikataka kupiga hatua japo moja mbele, ila Jojo kwa haraka kanishika mkono.

“Baba bado huna nguvu za kupambana na K2 kunywa damu ili nguvu zako uweze kuzihimili”

Jojo alizungumza kwa unyonge sana huku akinitazama usoni mwangu, kwa haraka nikiaelekea jikoni, nikafungua friji na kuchukua kidungu kimoja kilicho jaa damua mbayo kwa mara ya kwanza nilihisi kwamba ni juisi.

Nikaanza kunywa kwa kasi hadi nikaimaliza, Jojo akanitazama usoni mwangu huku nikiwa amejawa na tabasamu sana.

“Baba huu ni muda, sikuhitaji kukueleza juu ya hili tukio, nilihitaji ujionee wewe mwenyewe. Sasa ni muda wa kuzitumia nguvu zako”

“Tukio limetokea muda gani?”

“Limetokea usiku wa kuamkia leo”

“Nahitaji twende eneo la tukio”

“Lina ulinzi mkubwa sana”

“Twende eneo la tukio”

“Sawa ila kuna maandalizi tunatakiwa kufanya, njoo nikuonyeshe”

Tukaingia kwenye chumba kingine, chumba hichi kimejaa silaha za kila aina pamoja na mavazi ya jeshi karibia sara za majeshi ya kila nchi duniani.

“Ni muda wako sasa baba?”

Nikaanza kuzunguka kwenye chumba hichi nikitazama kila aina ya mavazi. Nikachukua mavazi ya jeshi la Marekani na kumfanya Jojo naye kuchukua mavazi kama haya. Tukavaa kwa haraka na nikachukua bastola mbili kama kawaida yangu.

“Kuna boti ipo eneo hili”

Jojo alizungumza huku tukitoka sebleni, tukatembea hatua kadhaa kuelekea kwenye fukwe hii ya bahari, nikaona boti moja ambayo ni kubwa na inaonyesha ina uwezo mkubwa wa kukimbia. Tukaingia kwenye boti hii na Jojo akaanza kuendesha kwa kasi boti hii. Kwa hasira kali ambayo imenitawala nikaanza kujihisi mwili wangu ukichemka kwa joto kali ambalo limenijia kwa muda mfupi sana.

“Baba tulizia hasira?”

Jojo alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, kwani hapa baharini kuna upepo mkali sana ila usoni mwangu ninamwagikwa na jasho jingi sana. Mikono yagu ikaanza kunicheza pale tulipo anza kuzioa boti nyingi kwa mbali pamoja na helicopter nyingi za jeshi zikizunguka katika eneo hili. Jojo akanitazama huku akimeza fumba zito la mate.

Kitendo cha kufika eneo la meli hii inayo fuka moshi mwingi sana na ikonyesha kwamba imeshambuliwa sana, nikaanza kushambulia wanajeshi kadhaa waliopo kwenye boti ndogo. Mashambulizi yakaanza kuibuka katika eneo hili huku wanajeshi wa Marekani na Tanzania wakijitahidi sana kuhakikisha kwamba wanapambana nasi ila kusema kweli uwezo wangu umeongezeka mara dufu, kwani hata mtu awe umbali gani, simkosi kwa risasi ambayo nitaidhamiria kumfikia popote juu ya mwili wake.

‘Dany nakufaa’

Niliisikia sauti ya Magret kwenye masikio yangu.

“Baba nenda nianchie huku nje”

Jojo naye alizungumza na nina imani kwamba ameweza kusikia sauti ya Magreti. Kwa haraka nikarudikia mnyororo mkubwa wa nanga unao toka kwenye meli hii kubwa ya Livna, nikaanza kupandisha juu kwa kasi sana. Sikumaliza hata sekunde ishirini nikawa nimesha fika eneo la ndani ya hii meli.

Nikawaona wasichana wengi sana wakiwa wamekufa vibaya, wengine wamalipuliwa kwa mabomu na miili yao kupoteza baadhi ya viongo. Unama ulio tendwa humu ndani kusema kweli unanifanya nizidi kupandwa na hasira, kila mwanajeshi ninaye kutana naye anaye jifanya kwamba anakagua maiti za wasicha hawa ili awamalizie kwa kuwapiga risasi, anakuwa halali yangu na kila ninaye mshika, basi ninahakikisha kwamba ninaking’ofoa kichwa chake kama wanavyo fanya watoto pale wanapo washika modoli yao.

Sauti ya Magreti ikazidi kuniita na kunifanya nizidi kushuka chini, ambapo tayari maji yamesha anza kuingia kwa wingi. Nikayafimba macho yangu na kuisikilizia sauti hii ni wapi inapo tokea. Kichwani mwangu nikaanza kuona vyumba vya hii meli vilivyo anza kukatiza kwa kasi kichwani mwangu hadi nikafanikiwa kugundua kwamba Magreti yupo kwenye chumba nilichokuwa ninaishi mimi na tayari maji ndani ya chumba chiho yameshaingia ndani.

Kwa haraka nikaanza kuelekea chini ya kabisa kilicho chumba hicho huku nikijitahidi kuogelea kwa kasi sana. Nikafanikiwa kufika nje ya mlango wa chumba hichi, nikajaribu kuusukuma na kukuta ukiwa umefungwa kwa ndani. Nikarudi nyuma kwa kasi kisha nikapiga kikumbo kizito mlango huu ukafunguka, nikamkuta Magreti akiwa amekaa amekaa kwenye moja ya kona ya chumba hichi huku amekumbatia tisheti yangu.

Kwa haraka nikamsogelea na kumkuta akiwa ndio anamalizikia katika kuishiwa na pumzi, kwa haraka nikaanza kumpuliza mdononi mwake, zoezi la mkujaza pumzi likafanikiwa. Magreti akafumbua macho yake, alipo nitazama akatabasamu. Kwa haraka nikamshika kwa mkono wangu wa kulia na kuanza kuogelea kuelekea juu sehemu ambayo bado haijazama ndani ya bahari.

Tukafanikiwa kuingia katika chumba cha cha mawasiliano, ambacho hakina maji kabisa. Nikakuta maiti nginyi sana za wasichana hadi watoto wadogo sana ambao ndio kwanza walikuwa wakikuzwa katika kuifanya kazi hii ya kijasusi.

“Mungu wangu”

Magret alizungumza huku machozi yakimwagia usoni mwake, na mwili wake wote umejawa na maji, nikaingia katika chumba cha pili ambacho tulikuwa tunakitumia, tukiwa na vikako vya kuwazungumza na baadhi ya viongozi duniani. Nikakuta maiti za Ester, Logate na wasichana wengine wawili.

“Hawa washenzi wamewaua hadi hawa wasichana”

Nilizungumza kwa sauti nzito iliyojaa utetemeshi mwingi sana.

“Dany”

Logate alikurupuka chini alipo lala, sote tukamtazama. Kwa nguvu Logate akanikumbatia huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Imekuwaje?”

Nilimuuliza hukun ikimtazama usoni mwake.

“Wametuvamia, niliwahi kujilaza chini na kujipaka damu za Ester na mimi nikaonekana nimekufa”

Logate alinijibu huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana na majonzi mengi japo hajanijibu swali nililo muuliza.

“Dady inabidi tuondoke”

Magreti alizungumza huku akitetemeka kwa woga sana. Nikatazama moka ya laptop iliyo anguka chini, nikaiokota na kifunua, na kukuta ni nzima bado.

“Mulikuwa munafanyaje?”

“Tulikuwa tunajitahidi kupambana nao, kuna mmoja wa wasichana alivujisha signal ya sehemu tulipo ndio maana tumeshambuliwa hivi”

“Sasa unaweza kufanya chochote?”

“Ngoja”

Logate alizungumza huku akijipangusa machozi yake usoni. Akaitazama hii laptop, kisha akaanza kiminya minya batani zake. Nikamtazama kwa umakini na nikaona nikitu gani anacho kifikiria.

“Nahitaji ku…”

“Kulipua vinu vya nyuklia nchini Marekani, sasa mabomu yao yote ya nyuklia yaelekeze kwenye miji yao mikubwa pamoja na ikulu zao, kisha lipua vinu hivyo”

“Sawa mkuu”

Logate akayang’ata meno yake na kuanza kuminya minya batani za laptop hii kwa kasi sana. Nikachukua rimoti na kuwasha tv zote kwa bahati nzuri nikazikuta zikifanya kazi.

“Zimebaki sekunda ngapi?”

Nilimuuliza Logate huku nikitazama chaneli moja habari nchini Marekani ikitangaza juu ya jeshi lao kufanikiwa kulipua meli iliyo ficha magaidi.

“Niwekee picha za satelaiti zinazo onyesha Marekani nzima”

Kwa haraka Logate akafanya hivyo, na nikaanza kushuhudia jinsi miji mikubwa ya nchini Marekani ikilipuliwa na mabomu haya makubwa ya nyuklia ambayo wao wenyewe ndio watengenezaji. Nikaona jinsi ikulu ya Marekani nayo ilipata pigo hili ambalo wamestahili.

“Mkuu tayari, Marekani hadi ije kurudi kwenye nguvu yake ni baada ya miaka mia moja ijayo”

Logate alizungumza kwa furaha sana, nikamtazama huku nikiwa nimejawa na tabasamu.

“Niunganishe na K2”

“Sawa”

Ndani ya muda machache nikaoiona sura ya K2 kwenye Tv ya mbele yangu, uso wake baada ya kuniona mimi akastuka sana, wasiwasi mwingi ukamjaa, kigugumizi kikampata kwani ninaona jinsi kinywa chake kinavyo jaribu kuzungumza neno ila kinashindwa.

“K2 baada ya Marekani wewe ndio unafwata. Jiandae”

Nilizungumza kwa sauti nzito sana ambayo tangu kuzaliwa kwangu sikuwahi kuitoa kinywani mwangu. Baada ya kuzungumza maneno hayo nikaipiga ngumi tv hii na ikapasuka pasukua, nikiashiria kwamba ni muda wa kwenda kuonana na K2 uso kwa uso.



ENDELEA

Nikawageukia Logate na Magret wakabaki wakinitazama, nikatazama chini maiti ya Ester na wasichana wengine. Kisha nikaanza kutoka humu ndani pasipo kuzungumza kitu chochote na kuwafanya wanifwate kwa nyuma. Wakaokota silaha za wasichana wezao ambao wameuwawa, kila mmoja akaokota silaha yake kwa muda wake. Tukaanza kupambana na wanajeshi tunao kutana nao hadi tukafanikiwa kutoka nje. Tukamkuta Jojo akiwa amewaua wanajeshi wote, hakuna hata helicopter moja inayo katiza hewani.

“Mupo salama?”

Jojo aliwauliza Magreti na Logate.

“Ndio”

“Tuondokeni”

Tukaingia kwenye moja ya boti ya jeshi na kuondoka eneo hili la meli kwa kasi sana.

“Hawa, na Yemi wapo wapi?”

“Wanechukuliwa wote wanne”

Logate alinijubu huku akinitazama usoni mwangu.

“Wamechukuliwa na nani?”

“Wanajeshi wa Marekani, wamechukuliwa, Livna, Yemi, Babyanka na Hawa”

“Baba hao wapo sehemu salama”

“Sawa”

Tukazidi kusonga mbele, huku Jojo akiwa ndio muendeshaji wa boti hii. Tukafika Pemba katika nyumba tunayo ishi. Tukashuka sote wanne na kuingia ndani.

“Hapa ndipo ninapo ishi karibuni sana”

“Asante”

Magret alijibu huku akishangaa shangaa eneo hili.

“Inabidi kwenda sasa hivi kumvamia K2?”

“Muda huu sio mzuri baba?”

“Kwa nini?”

“Muache ajipange yeye na jeshi lake kwa maana kama tunahitaji kukata mti inabidi tung’oe na mizizi yake”

Jojo alizungumza huku akivua shati lake la jeshi na akabakiwa na sidiria. Akaingia jikoni na kuridi akiwa ameshika jagi kubwa la juisi ya maembe, akawamiminia Magret na Logate kila mmoja kwenye glasi yake.

“Jojo K2 anaweza akatoroka?”

“Hana pa kukimbilia kwa maana hakuna nchi duniani kwa sasa ambayo inahitaji kumfadhili K2, kama Marekani mwenyewe tumrmfanya hivyo ulivyo mfanya hivi unahisi ni nani anahitaji kutiwa hasara ikiwa yeye mwenyewe hajajipanga vizuri”

Jojo alizungumza kw amsisitizo, nikamtazama kwa sekunde kadhaa kisha nikaingia chumbani kwangu. Haikupita hata dakika moja Jojo akaingia.

“Baba najua una hasira ya K2 ila kuna kitu ninahitaji kukisubiria kikikamilika ndio tutakwenda?”

“Lini tutakwenda?”

Nilizungumza kwa ukali kidogo huku nikimtazama Jojo usoni mwake.

“Ni leo baba, bado muda mchache tu nitakuambia twende tukamvamie K2, ninakuomba unielewe baba yangu”

“Ni jambo gani hilo ambalo unahitaji likamilike?”

Jojo akaka kimya kwa muda huku akinisogela karibu yangu, akasimama futi chache sana kutoka hapa nilipo simama.

“Damu ya Magret itakufanya wewe uishi miaka yote ukiwa kijana na nguvu zako zote na hotokuwa na haja ya kunywa damu tena maishani mwako”

Jojo alizungumza kwa sauti ya chini sana, nikaka kimya huku nikimtazama usoni mwake.

“Unataka kumaanisha nini?”

“Ninamanisha kwamba, ninahitaji umuue Magret kwa mikono yako wewe mwenyewe na kuinywa damu yake. Ukiweza kufanya hivyo hakuna ambalo litanshindikana kwenye maisha yako baba yangu”

“Jojo siwezi kumuua Magreti hana hatia yoyote kwenye hili tunalo lifanya?”

“Nalijua hilo baba yangu, sasa hivi ukisema uende kupambana na K2, ana wanajeshi zaidi ya laki mbili wameizingira ikulu, unahisi baba wote watakukosa hata kwa risasi eheeee. Na hapo wakikupiga risasi nilazima ufe, sihitaji kukupoteza baba yangu. Ninakupenda baba, ukifa wewe mimi nitabaki na nani huku duniani, ikiwa wewe ndio mtu wa pekee ambaye unaweza kuishi na mimi na kujua yale yote niliyo kuwa nayo”

Jojo alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake, nikaka kimya kwa sekunde kadha huku nikimtazama Jojo usoni mwake.

“Hivi Logate akifahamu kwamba nimemua magreti unahisi itakuwaje?”

“Logate ni wangu, nitammaliza mimi mwenyewe. Kumbuka baba kuna malengo mengi unayo takiwa kutakamilisha kwenye maisha yako pia unatakiwa kuyakakimilisha kwenye hii nchi, tafadhali baba nakuomba ufanye hivyo kwa maana kuna miaka zaidi ya isirini na kitu hivi hadi uje kukutana na raisi ambaye ataipeleka hii nchi kwenye malengo ulio achiwa na babu Hitler”

Jojo aliendelea kuongea kwa msisitizo huku akinitazma usoni mwangu.

“Naomba muda wa kufirikia hili”

“Sawa baba, leo ni lazima tumuua K2 ila lazima ufanye nilicho kuambia baba yangu”

“Nimekuelewa Jojo ninakuomba nipumzike kwanza nifikirie hili”

Jojo akanibusu kwenye paji langu la uso kisha akatoka chumbani humu na kuniacha peke yangu. Nikajitupa kitandani mwangu huku nikifiria ni mbinu gani ninaweza kumuua Magret ambaye kusema kweli roho yangu inaniuma sana katika kutekeleza swala hili.

‘Siwezi kumuua Magreti, acha nife mimi ila nilazima nimuue K2 kabla ya mimi kufa’

Niliwaza kimoyo moyo, nikakaa kitako kitandani, hata kabla sijanyanyuka, mlango ukafungulia na nikamuona Magret akiingia akiwa katika sura ya huzuni. Akaufunga mlango kwa ndani na taratibu akaanza kunisogelea nilipo na akakaa pembeni yangu.

Ukimya ukatawala katikati yetu, nikamtazama Magret kwa jicho la kuiba na nikamuona akimwagikwa na machozi usoni mwake.

“Unalia nini?”

Nikamuuliza Magreti huku nikimgeukia.

“Dany, sina familia sasa hivi. Wanafamilia wangu wote nimeshindwa kuwalinda na wote wamekufa. Nina haja gani ya mimi kuendelea kuishi kwenye hii dunia.?”

Maneno ya Magreti yakaanza kuufanya moyo wangu kuanza kunienda kasi sana kwa maana ni muda mchache tumetoka kuzungumzia juu ya kumua.

“Kwa nini unazungumza hayo maneno?”

“Dany, nilisha zoeza kuishi kwenye ile meli, unahisi kurudi huku uraiana na tunaishi sehemu hii ambayo kusema kweli sijazoea Dany, nasikia kufa, nahitaji kufa”

‘Masikini weee’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazam Magreti usoni mwake, taratibu akanikumbatia kwa nguvu huku akiendelea kulia kwa uchungu. Taratibu akausogeza mdono wake hadi kwenye mdomo wangu, tukaanza kunyonyana midomo yetu huku ndimi zetu zikwa na kazi ya kuchezeana mdomoni.

Hisia za mapenzi zikazidi kupamba kwenye mmili yetu na kujikuta tukianza kuvua nguvo zetu na ndani ya muda mchache sana tukajikuta tukiwa kama tulivyo zaliwa.

Magreti akamshika jogoo wangu na kuanza kumnyonya kwa pupa sana, kazi yangu nikuhakikisha ninayaminya maziwa yake ili kumuongezea hisia za mapenzi. Magret akamuachia jogoo wangu na taratibu akaurudisha mdomo wake kwenye mdomo wangu na taratibu akaanza kuunyonya huku akitoa mihemo mingi sana. Nikamlaza chali kisha nikamshika jogoo wangu na kumchomeka taratibu kwenye kitumbua chake na kumfanya Magreti kutoo ukelele mkali sana kwani hii ndio mara yake ya kwanza kukutana kimwili na mwanaume.

Nikaanza kumshuhilikia Magreti ambaye yeye mwenyewe amedhamiria kwamba anahitaji kufa kwenye mikono yangu. Kila muda unavyo zidi kwenda na ninavyo itazama shingo yake, ninajikuta nikianza kuingiwa na roho inayo nishawishi nimng’ate kwenye shingo yake hii.

Ili kuto kuipata tamaa hii, nikamgeuza Magreti na yeye akawa juu yangu huku akiwa amemkalia jogoo wangu kisawa sawa.

“Naumia Dany”

“Jitahidi”

Magreti akaanz akuzungusha kiuno chake huku sura yake akionekana kuyavumialia maumivu anayo yapata juu ya jogoo wangu.

“Da….d….y nina…..nina……kupe……”

Gafla nikastukia kumuona Magreti akilala kifuani mwangu, huku shingo yake ikiwa imevinjika. Nikamuona Jojo akiwa amesimama mbele yetu huku akiwa katika hali ya kukasirika na kutisha sana, mikononi mwake anavuja damu nyingi sana.

“Baba unafaya nini sasa…..”

Jojo alizungumza huku akihema mihemo inayo tisha.

“Wewe ndio nikuulize unafanyaje?”

“Baba hiyo sio kazi ambayo nimekuambia. Haya sasa nimekurahisishia kumuua kunywa damu yake”

Jojo aliendelea kuzungumza huku akiwa amenikazia macho, kwa kulidhihirisha hilo, akamsukuma Magreti aliye poteza maisha, pembeni yangu. Jojo hakunionea aibu kumuona jogoo wangu ambaye bado amesimama na anahitaji la kuendelea na mechi.

“Siwezi kuionyonya damu yake nikiwa katika hali hii”

“Hiyo ndio hali nzuri baba, fanya”

Jojo alizungumza kwa ukali, akazichomeka kucha zake zilizo chongoka kwenye shingo ya Magreti na damu ikaanza kutoka nje.

“Mnyonye haraka kabla damu yake haijakauka”

Nikamtazama Jojo kwa muda kidogo kisha taratibu nikausogeza mdomo wangu karibu kabisa na shingo ya Jojo na kuanza kumnyonya taratubu damu yake. Sikuweza kuisikia ladha wala harufu ya damu yake zaidi ya kuhisi kama ninakunywa maziwa fulani hivi yaliyo changanywa na choclate. Nikajihisi nikipata nguvu nyingi sana hadi ninamaliza mdomo wangu wote umejaa damu. Jojo akanipa mkono wake wa kulia taratibu nikaushika na akaninyanyua kitandani hapa, akaanza kunilamba sehemu zote za mdomo wangu lilizo jaa damu.

“Tunamiaka mingi ya kuishi baba yangu”

“Kweli”

“Ndio, ingia bafuni sasa ukaoge, tujiandae na kazi iliyopo mbele yetu”

Nikamtazama Jojo kisha nikamtazama jogoo wangu ambaye bado yupo kwenye ubora wake wa kusimama kama namba moja.

“Mimi ni mwanao siwezi kukusaidia katika hilo”

Maneno ya Jojo yakaniondoka hapa chumbani na kuingia bafuni, nikaoga baada ya muda nikatoka na kukuta maiti ya Magreti ikiwa haipo kitandani mwangu na kitanda kikiwa kimebadilishwa shuka kabisa.

Nikakuta suti nzuri nyeupe pamoja na shati jeupe na viatu vyeupe vikiwa juu ya kitanda. Taratibu nikaanza kuviva taratibu hadi nikamaliza.

“Tunadakika ishirini za kukaa hapa kabla ya kuondoka”

Jojo alizingumza huku akiwa amejifunga taulo kifuani mwake.

“Jiandae sasa tuondoke”

“Dakika chache tu nitakuwa nipo tayari”

“Ok fanya hivyo”

Nikamaliza kuvaa na kutoka chumbani humu, nikakuta bastola kadhaa zikiwa zimepangwa juu ya meza pamoja na majambia mawili yenye urefu mkubwa kiasi. Jojo akatoka chumbani kwake huku akiwa amevalia suruali nyeusi inayo meremeta pamoja na kikoti kinacho fanania na surualia yake. Chini amevalia viatu virefu vinavyo fahamika kwa jina la travota. Mkononi mwake ameshika kitambaa cheusi na nywele zake amezibana kwa nyuma.

“Nipo tayari baba mbona unanishangaa hivyo”

“Ninakushangaa mwangu uvaaji wako umependeza sana”

“Eti eheee”

“Yaa umependeza sana mwanangu, sasa kweli utaweza kuifanya kazi iliyopo mbele yetu?”

“Niamini baba nitaweza, nimekuandalia bastola zako ninaimani unazipenda kwenye utendaji wako wa kazi”

“Yaaa umejuaje, mimi kubebe silaha kubwa kusema kweli siwezi kabisa”

“Nimeligundua hilo”

“Yaani labda itokee kama dharura tu, ila nikiwa na bastola chochote kilichopo mbele yangu ni lazima nitahakisha ninakihimili.”

Jojo akachukua majambii haya mawili na kuyachomeka mgongoni mwake kwenye sehemu maalumu iliyopo kwenye kikoti chake. Nikachukua bastola nne pamona na magazine za kutosha, tulipo hakikisha kwamba tumekamilika katika maandalizi yetu tukaelekea eneo ambalo lina boti yetu na taratibu tukaaondoka eneo hili, huku moyoni mwangu nikijihisi mwenye furaha kubwa sana kwani ninakwenda kukamilisha kibaru kilichopo mbele yangu japo ni hatari ila moyoni mwangu ni furaha sana.

“Baba hii inabidi tuingilie na ufukwe wa baharini, kuna ulinzi mkali, ila inabidi kuhakikisha kwamba tunapambana nao, natambua sasa hivi una hisia za kuweza kusikia kitu chochote cha hatari ambacho kinaweza kuja mbele yako, sasa huu ni muda wa kuitumia”

“Sawa Jojo”

“Baba mbona una furaha hivyo”

“Ahaaa nina imani kwamba leo itakuwa ni kazi yangu ya mwisho kwenye maisha yangu kuikamilisha”

“Yaa ni ya mwisho ila ni badae sana tutakuwa na kazi nyingine”

“Badae leo?”

“Hapana, ni miaka mingi mbeleni”

“Ok”

Taratibu Jojo akasimamisha boti hii anayo iendesha tukiwa bado hatujafika mahala husika.

“Mbona umesimamisha boti”

Jojo hakunijibu kitu chohchote zaidi ya kukaa kimya, akaitazama saa yake ya mkononi.

“Sasa hivi ni saa kumi na mbili jioni inabidi tukae hapa hadi saa mbili usiku”

“Mmmm mbona unapelekea masaa mbele?”

“Baba usiku ndio muda mzuri kwako, ngoja nikuambie udhaifu wako mmoja ambao ninauona kwako”

“Ni nini?”

“Kukiwa na mwanga, wa jua, hutoweza kuifanya kazi yako kikamilifu, na maadui zako ni lazima uhakikishe kwamba unakabiliana nao usiku”

“So huo ndio udhaifu wangu?”

“Ndio baba, ni vyema nikakuambia mapema kuliko nikaa kimya alafu likajitokeza tatizo na mwisho wa kisku likatokea tatizo na ukashindwa kulihimili hilo tatizo”

“Sawa mwanangu, ila mbona kama tulikwenda kuvamia kwenye meli kule?”

“Ulikuwa bado hujapata mtu wa kukufanya uishi miaka mingi kama ulivyo, umeipata damu ya Mageti na umebadilika sasa baba”

“Sawa mwanangu”

Tukakaa hapa hadi ilipo timu usiku wa saa mbili tukaindoka eneo hili kwa kasi sana. Kwa mbali tukanza kuona boti za jeshi zinazo zingira ufukwe wa ikulu. Jojo hakupunguza mwendo kasi wa boti, wanajeshi hawa walivyo jaribu kutuzuia ikawa ni kosa kubwa sana kwako kwani nikaanza kazi ya kuwashuambulia kwa kasi sana ubora wa mashambulizi kwa upande wangu kusema kweli umeongezeka sana. Kila risasi yangu moja inaua mwanajeshi mmoja.

Tukafanikiwa kufika kukingoni, Jojo kama kawaida yake akazidi kuwashambulia wanajeshi hawa kwa kuwakata kata kwa wanajeshi kila alio wafwaata. Baba na mwana kwa kazi ikazidi kuwa nzito, hatukuwa na huruma yoyote na mwanajeshi yoyote katika eneo hili.

Ndani ya nusu saa tukawa tumewamaliza wanajeshi wote wanao linda nje ya ikulu. Ngou zangu zote zimenijaa damu, Jojo ukimtazama mwili mzima naye amatapakaa damu kwani uuaji wake kusema kweli ni zaidi ya ukatili. Tukaingia ndani ya ikulu, na kukuta walinzi wengine walio jitahidi kutuzuia ila hakuna ambaye anaweza kutuzuia, tukazidi kupambanana nao hadi tukafanikiwa kuwamaliza wote. Nikafumba macho yangu, nikavuta hisia kwa kasi sana na kugundua kwamba K2 yupo katika mlango mbele yetu.

Nikaanza kutembea kwa taratibu hadi nikafanikiwa kuufikia, nikausukuma kwa nguvu. Nikawakuta wanajeshi wanne walio simama mbele ya K2 huku mikononi mwao wakiwa wameshika bunduki zao.

“Washambulieni………………”

K2 alizungumza kwa ukali sana, nikajaribu kufyatua risasa, ila bastola zangu zote mbili zimeisha risasi na sina magazine yoyote mifukoni mwangu yenye risasi. Hata kabla hawajanifyatulia risasi mbele yangu kwa haraka nikatukia vichwa vya wanajeshi hawa vikianguka chini na miili yao ikafwata kwa kuanguka na akabaki K2 na mwanae wakiwa wanatetemeka kwa woga sana. Hata bastola aliyo ishika mkonon mwake ameshindwa kabisa kuitumia na kujikuta ikimuanguka chini.

“K2 ulihisi hatuto onana eheeee?”

Nilizungumza kwa dharau huku nikivua koti langu lililo jaa damu ambazo unaweza hata kulikamua na ukajaza glasi kadhaa za juisi.

“Watu wote hawa wamekufa kwa ajili yako, familia yagu imekufa kwa ajili yako. Mamilio ya wamarekani wamekufa kwa ajili yako. Umejisikiaje?”

K2 akazidi kutetemeka, mwanaye haja ndogo ikamtoka.

“Ulihisi kwamba unaniweza, mimi ni DANY, DANY HITLER. Nimezaliwa kuwa gaidi na nimekuwa gaidi, ulinifanya kijakazi wako, ulinitumikisha NSS, ukanifanya fala nikutumie kum** yako na mku** wako, ukanifanya niwe mbali na wale ninao wapenda. So leo hii nipo mbele yako una kipi cha kiniambia.”

K2 naye akaanza kujikojolea, ujanja na umahiri wake mwana mama huyu ukamuisha wote. Hakuishia katika kujikojolea tuu bali hata kujinyea napo kukamtawala.

“Huyo ni mwanao, Bonge. Hembu niambie nimuuaje?”

“Da….add….ny huyo ni mtoto hana tatizo lolote na wewe naomba umsamhehe maisha yake”

“Mmmmmm eti eheee?

“Malaika wangu ulimchinja kwa ujinga wako alikuwa na haki yoyote”

Nilizungumza huku nikimnyooshea mkono Jojo, akanikabidhi jambia lake moja, nikavuta mtoto wa K2 kutoka mikononi mwake kuku nikimtazama K2.

“Maamamaaaaa”

Mtoto wa K2 alilia na kumfanya K2 kujaribu kumshika ila Jojo kwa uhodari akamtandika teke la kifua lililo mkalisha chini.

“Sema kwaheri kwa mpumbavu mama yako”

“Ma……..”

Mtoto wa K2 hakuimalizia sentensi yake nikakikata kichwa chake na kumfanya K2 kupiga kelele za kulia kwa uchungu sana nikamrushia kichwa cha mwanae jambo lililo mfanya K2 kurudi nyuma akiogopa kichwa cha mwanae.

“Nahitaji dunia iweze kujua leo ninamuua K2, so ni…..”

“Kipo baba chumba cha kurushia matangazo”

Nikamnyanyua K2 kwa mkono mmoja na kuanza kuondoka naye hapa ndani huku Jojo akiongoza kuelekea katika chumba cha mawasiliano. Tukafanikiwa kufika katika chumba hichi, Jojo akaanza kuwasha karma moja baada ya nyingine.

“Mambo tayari”

Nikamvuta K2 mbele ya kamera hizi kisha Jojo kama kawaida akaninyooshea dole ngumba.

“Ninaimani kwamba huyu atakuwa ni mtu wa watu kumuua mbele ya macho yenu. Leo hii nipo tayari kuitangazia dunia kwamba chanzo cha mimi kufanya hivi ni kutokana na K2 kuniuliza wazazi wangu kwa kuwachinja.”

Nilizungumza huku nikiwa nimepitisha jambia langu shingoni mwa K2.

“Leo ndio itakuwa mara yangu ya mwisho kumuu mtu kwenye maisha yangu na nipo kwa ajili ya kuisaidia Tanzania, maraisi wajao musiwe kama K2 kwa maana nitakuwepo na nitaendelea kuwepo kwa ajili ya kuilinda Tanzania yangu. Mungu ibariki Tannzania, Mungu ibariki Afrika”

Baada ya kumaliza kuyazungumza maneno yangu bila ya huruma nikaanza kuichinja shingo ya K2 na kusababisha damu nyingi kuruka hewani na nina imani kwamba watu wanao angalia matangazo haya ni lazimwa watafumba macho yao kumshuhudia raisi wao anavyo kufa kikatili sana. Nikakishika kichwa cha K2 na kuusukuma mwili wake pembeni.

“Nitarudi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wangu, liwekeni hili akilini”

Baada ya kuzungumza maneno haya nikaondoka mbele ya kamera hii huku nikiwa nimekishika kichwa cha K2, kwa haraka Jojo akanikumbatia huku akiwa na furaha sana.

“Baba umefanikisha, umefanikisha baba yangu kumaliza kila kitu”

“Asante mwanangu. Kina Livna je?”

“Wapo mikono salama baba yangu, twende tukaishi maisha ya amani”

Jojo alizungumza huku akiwa ameniachia mkono wangu, tukaondoka eneo hili la ikulu huku nikitazama maiti za wanajeshi hawa wengi. Tukaingia kwenye boti yetu na kuondoka eneo hili huku tukiwa na furaha na amani sana kwani tunakwenda kuanza maisha mapya yasiyo na tabu wala kutafutana, nikakitazama kichwa cha K2 kwa sekunde kadhaa. Nikakipiga busu kwenye mdomo wake.

“Kwa heri mpenzi wangu K2”

Taratibu nikakitupa kichwa cha K2 baharini na kuanza kushangilia kwa furaha sana kwani sasa amani ipo moyoni mwangu.


MWISHOOOOOOOOOO

0 comments:

Post a Comment

BLOG