Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

SIN SEASON 2 SEHEMU YA 7/10

   


SIN SEASON 2

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 7 KATI YA 10


“Ndio mpenzi”

“Umesha wahi kula nyama ya bata?”

“Bata!!?”

Nabii Sanga aliuliza kwa mshangao.

“Ndio”

“Sijawahi ndio nini?”

“Ngoja nikuonyeshe baby”

Caro akamtemea jogo wa nabii Sanga katika kichwa chake kisha akajinyanyua na kumkalia huku akimuingiza mkund** taratibu na kumfanya nabii Sanga kuguna tu.

‘Ungejua ndio mambo yangu wala usinge jipendekeza’

Nabii Sanga alizungumza huku akisikilizia utamu na jitojoto la mkund** wa Caro.

“Bab…b…y”

Caro aliita kwa sauti ya minung’uniko.

“Yes baby”

“Huyo ndio bata, una jisikiaje?”

“Raha sana?”

“Ulisha wahi kupewa vitu kama hivi?”

“Mmm”

“Ulisha wahi kula bata wewe?”

“Bado, mimi mtumishi wa Mungu nita yajuaje mambo hayo”

Nabii Sanga aliongopea.

“Basi uta jua”

Caro akaanza kukata mauno, katika maisha yake Caro huwa yupo tayari kutumia uzuri wake kuhakikisha kwamba ana pata pesa azitakazo kwa wanaume hao ana waona kwake wana uwezo wa kumaptia kiwango kikubwa cha pesa. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita.

“Ohoo simu yangu ina ita”

Nabii Sanga alizungumza huku akitazama suruali yake iliyo anguka chini.

“Achana nayo baby”

“Noo kuna simu muhimu sana nilikuwa nina isubiria. Hembu nipatie hiyo suruali”

Nabii Sanga alizungumza kana kwamba hasikii chochote. Caro akajichomoa taratibu, kisha akaiokota suruali hiyo ya nabii Sanga na kuitoa simu mfukoni mwake na kumkabidhi nabii Sanga aliye toa ishra kwa Caro aendelee kumkalia jogoow ake.

“Ndio”

“Mkuu vijana wame ahidi kuwafwatilia kukipambazuka”

“Ba…si hakikisha wana wapata”

“Sawa mkuu, ila upo vizuri?”

“Yaa nipo vizuri, baadae”

“Sawa mkuu”

Nabii Sanga akakata simu na kuiweka pembeni. Caro akaendelea na manjonjo hayo kiasi cha kumfanya nabii Sanga naye kuanz akuonyesha maujuzi yake ya kumshuhulikia Caro hadi akajikuta akianza kuomba mapumziko kwani alimdharau nabii Sanga akiamini kwamba ni mtumishi asiye jua mapenzi kabisa.

***

“Baby kume kucha”

Julieth alizungumza huku akiwa amekaa kitako kitandani. Mwanaga wa hafifu una penyeza kwenye pazia la chumbani kwake hapa kuliweza kumfanya aweze kutambua kwamba tayari kumesha kucha.

“Saa ngapi sasa hivi?”

Jery aliuliza kwa sauti iliyo jaa uchuvu mwingi sana. Julieth akachukua simu yake na kutazama saa.

“Mungu wangu ni saa kumi na mbili na dakika kumi, alafu asubuhi hii kuna kikao ikulu na nilazima niweze kuwepo”

“So uta wahi?”

“Ndio kwani wewe una baki hapa?”

“Namalizia usingizi mke wangu”

“Sawa ngoja mimi niwahi”

Julieth akanyanyuka kitandani, akaoga haraka haraka na kujiandaa. Akambusu mume wake aliye lala pasipo kuw ana nguo yoyote.

“Ila usiondoke hadi unywe chai hapa mume wangu, ukiondoka bila kunywa chai mama hato furahi”

“Sawa mke wangu”

“Poa baadae”

Julieth akatoka ndani hapo na kueleka chumbani kwa mama yake, akamgongea na kufunguliwa mlango.

“Mbona mapema sana?”

“Shikamoo”

“Marahaba vipi muna ondoka alfajiri hii?”

“Mimi ndio nina ondoka, kuna kikao muhimu sana ofisini. Ila mkwe wako nime muacha ame lala”

“Ahaa sawa, so uta rudi?”

“Sija jua itakavyo kuwa na pia leo raisi ana ziara ya kikazi Chalinze pale, hivyo tuna kwenda na kurudi tu, kwani kuna stendi kubwa pale ya magari ana ifungua”

“Ahaa vipi baba yako ame kupigia?”

“Hapana ila nina imani kwamba ata kuwa amefika salama”

“Sawa, wahi kazini”

“Sawa mama”

Julieth akaondoka nyumbani hapo na walinzi wake na kuelekea ikulu. Mrs Sanga alipo hakikisha Julieth ame tokomea, akasimama kwenye kordo hiyo huku akwia amejifunga tenge kiunoni mwake. Akautazama mlango wa chumba cha Julieth kishaa karudi chumbani kwake.

‘Si kwa msisimko ule alio nishika yule kijana. Ngoja nipo vizuri’

Mrs Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akiwa amevua tenge lake hilo na kusimama mbele ya kioo cha dreasing table iliyomo ndani kwake hapo.

“Kwa shepe hii lazima apagawe”

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana. Akaokota tenge lake hilo na kutoak chumbani kwake hapo. Akatembea kwa hatua za kunyata hadi chumbani kwa Julieth, akajaribu kushika kitasa cha mlango huo na kwa bahati nzuri akakuta mlango ukiwa upo wazi.

Akausukuma taratibu na kuchungulia ndani, akamshuhudia Jery akiwa wamelala chali.

‘Waoo kweli mwanangu ana faidi’

Mrs Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akinyata taratibu, akamtazama Jery ambaye bado haja hisi kiti chochote ndani hapo. Mrs Sanga akambusu Jery kwenye lispi zake.

“Baby bado huja…..”

Jery akakatisha sentensi yake huku akistuka kwani hakutarajia kumuona mama mkwe wake akiwa ndani hapo tena yeye akiwa uchi kabisa.

“Mama vi..pi?”

Jery alizungumza huku akiwahi kujifunika sehemu zake siri.

“Shiiiiii”

Mrs Sanga alizungumza huku akivua tenge lake na kumfanya Jery macho yamtoke. Umbo la mrs Sanga una jinsi ilivyo vizuri una weza kusema ni mwanamke mwenye miaka ishirini na tano. Japo ana umri mkubwa kidogo ila ngozi yake haina mikunyanzi kama ilivyo kwa wamama wenye umri kama wake. Kiunoni mwake amejaza shanga zilizo mtoa udenda Jery. Kwa asilimia tisini na tisa, Julieth ame chukua umbo hilo la mama yake ambalo ni namba nane tena ya uhakika.

“Tulia kijana nikuonyeshe mambo”

“Ila mama tuna msaliti mke wangu na baba ujue?”

“Najua ila kwani uta waambia?”

‘Ehee?”

“Uta waambia?”

“Mmmm”

“Sasa kama huto waambia tulia. Ulisha nipandisha maruhani yangu ya kingoni toka jana, sasa nataka uyashushe”

Mrs Sanga alizungumza huku akimshika jogoo wa Jery kwa kiganja kilaini cha mkono wake kulia. Kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi Jery alivyo jikuta akichaganyikiwa kwa mautundu ya mwana mama huyo. Mrs Sanga akamkalia jogoo wa Jery na kuanza kumkatikia mauno.

‘Haki ya Mungu, mwanao hanipi mambo kama haya’

Jery alijikuya akilalama.

‘Kweli?”

“Ndio mama, yaani ohoo….aii….”

“Huku je?”

Mrs Sanga alizungumza huku akimuhamishia jogoo wa Jery mkund** mwake na kumfanya macho ya mtoke. Kwenye maisha yake Jery aliapia kwamba hato kuja kumuingilia mwanamke yoyote kinyume na maumbile yake. Ila cha ajabu leo hii kiapo chake kime yayuka mithili ya barufu juani.

“Una jisikiaje?”

Mrs Sanga alizungumza huku akiayashezesha shezesha makalio yake na kumfanya Jery kuzungumza lugha zisizo eleweka. Kama ni show za kibabe, basi mrs Sanga ndio fundi kwa dakika tisini zote za mchezo yeye ndio ana miliki mpira, ana jiamulia apige mashuti ya mbele au mashuti ya nyuma. Jery hakuweza hata kukataa anacho fanyiwa, hadi mama mkwe wake ana maliza mtange huo, Jery mwili mzima ulimlegea kwa raha. Hakuwahi kupewa raha kama hiyo kutoka kwa manamke yoyote, hata Shani ambaye hapo awali alihisi kwamba ndio bingwa wa wote, yaani kwa mrs Sanga ameachwa mbali sana.

“Ngoja nikakuandalie brake fast ya uhakika, ukinywa tuje tundelee na mtanange huu”

“Sawa mama mkwe. Alafu nina ombi moja?”

“Ombi gani?”

“Naomba mfundishe Julieth mambo kama haya kw amaana si kwa kuniua huku”

Mrs Sanga alijikuta akicheka tu. Akanyanyuka na kujifunga tenge lake, akamnyosha Jery lispi zake, kisha akampiga busu jogoo wa Jery.

“Un ambo** nzuri sana mwanangu. Nina tamani sana kama mwanangu angekuwa ni mimi, kila saa nige kuwa nina jihudumia”

“Kwenye miti mingi hapana wajenzi mama”

Jery alizungumza huku akitabasamu. Mrs Sanga akatoka ndani hapo huku akidhamiria leo kuhakikisha ana kata kiu yake ya mapenzi yote kwa mkwe wake huyo.

***

Ukimya ukatawala ndani ya ofisi ya raisi Mtenzi. Wakuu wote wa majeshi mapamoja na makomandoo sita ambao wana kwenda nchini Nigeria kwa ajili ya kufanya kazi hiyo. Watu wote ndani ya ofisi hiyo wana subiria mazungumzo ya moyo kwa moja kwa njia ya video kutoka nchini Nigeria walipo Josephine pamoja Magreth. Baada dakika tatu, Josephine na Magreth wakawa hewani. Wakasalimiana na watu wote walipo ndani ya ofisi hiyo na wakwaeleza kinaga ubaga kilicho weza kutoka katika ajali hiyo ya ndege.

“Poleni sana”

Raisi Mtenzi alizungumza.

“Tuna shukuru muheshimiwa”

“Vijana wapo tayari na ime kuwa jambo zuri kutueleza kama mume fikia nyumbabi kwa waziri wa ulinzi. Je kwa mtazamo wenu muna ona ita kuwa vizuri kumshirikisha au laa?”

“Hapana muheshimiwa mpango uende kama vile tulivyo panga. Japo bado BokoHaramu wana endelea kutusaka na yule mtu ambaye tulimfwata huku yupo hapa nchini Nigeria”

“Ina maana mume sha mjua wapi alipo?”

“Hapana muheshimiwa raisi. Kama nilivyo kueleza ni kwamba mtu huyo ametumia ujanja wa kupanda ndege nyingine, ila njia pekee ya kumkamata ni kuhakikisha kwamba nina ingia mikononi mwao na kama unavyo jua nina divice tracker mwilini mwangu, hivyo ita kuwa ni rahisi kwa nyinyi kujua ni wapi nitakapo pelekwa”

Josephine alizungumza kw akujiamini huku mpango wake wa kukamatwa na kundi hilo la BokoHaramu ukiwa pale pale.

“Magreth vipi huu mpango una uunga mkono?”

“Ndio muheshimiwa raisi, na isitoshe alisha nionyesha jinsi hicho kifaa kilicho wekwa mwilini mwake kitakavyo kuwa kina fanya kazi”

“Ila serikali ya Nigeria haito ingilia kutekwa kwake kwa maana ata kuwa ame tekwa mikononi mwa waziri wa ulinzi?”

“Hilo tuta lifanyia uangalizi na ikiwezekana asubuhi hii tuta ondoka na kuelekea hoteli na huko tuna imani wata fanya kosa la kuhakikisha wana mteka Josephine na hapa ndipo kazi na mchaka mchaka utakapo anza”

“Sawa makomandoo wangu ni kama jinsi munavyo waona hapo. Zitazameni sura zao”

Makomandoo hao wakasimama huku wakiwatazama Josephine na Magreth.

“Ndio tumesha ziona”

“Nina imani kwamba Magreth uta fanya nao kazi moja kwa moja. Pia ninge omba Magreth mara baada ya kutekwa kwa Josephine uweze kwenda moja kwa moja ubalozi wa Tanzania nina imani kwamba uta weza kupewa maelezo ya kazi hii”

“Sawa muheshimiwa”

“Niwatakie kazi njema na mafanikio mema”

“Tuna shukuru muheshimiwa”

Magreth na Josephine wakajibu kwa pamoja kisha mawasiliano hayo yakaishia hapo na kumnfanya Julieth kuanza kujifikiria ni jinsi gani ana weza kumuokoa baba yake kwenye mpango huo ambao kutolewa sadaka kwa Josephine ndio kuna weza kumfanya baba yake mzaidi kuingia mikononi serikali ya Tanzania.

****************************


Kikao kikaishia hapo na safari ya ziara ya kuelekea katika mji wa Chalinze ikaanza kupangwa. Julieth kwa haraka akaingia ofisini kwake na moja kwa moja akapitiliza hadi katika chuoo kilichopo ofisini hapo. Akafunga maji ya bomba na kuanza kuitafuta namba ya baba yake ambayo huitumia nchini Nigeria.

“Fuc**”

Julieth alijikuta akitukana mara baada ya kukuta baba yake akiwa hapatikani hewani.

“Baba vipi?”

Julieth alilalama huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana. Kutokana dakika za kuondoa zime wadia hakuwa na namna zaidi ya kutoka ndani hapo na moja kwa moja akaingia kwenye gari la raisi na baada ya muda kidogo raisi Mtenzi akaingia kwenye gari hilo na msafara huo wenye ulinzi wa kutosha ukaanza huku magari hayo yakitembea kwa spidi mita mita mia moja na ishirini.

“Vipi uliwasiliana na mzee”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akimtazama Julieth usoni mwake.

“Hapana, ila nina imani kwamba ata mtafuta mama”

“Sawa ni jambo la heri yupo salama”

“Ni kweli”

Katika maisha yake Julieth hakuwahi kufikiria kama ipo siku ata kua kuishi maisha kama hayo ya kuongozana na walinzi pamoja na ving’ora vya gari za polisi na siku zote alihisi watu fulani ndio wame umbiwa kuishi maisha kama hayo.

***

“Kwa nini muna taka kuondoka mapema hivi?”

Waziri wa ulinzi wa nchini ya Nigeria aliwauliza Josephine na Magreth huku wakiwa wana pata kifungua kinwa asuhihi hiyo.

“Kuna maswala tuna hitaji kufwatilia muheshimiwa”

“Jamani hamtaki hata kukaa na sisi hapa?”

Mwana mama huyo alilalama.

“Ndio mama yetu. Ila kabla ya kurudi nchini Tanzania tuta kuja kuwatembelea”

“Basi muna weza kunakili namba zetu kwenye simu kisha tuta wasiliana kipindi mutakapo kuwa muna hitaji kuja kutuaga”

Mzee huyo alizungumza na akataja namba yake pamoja namba ya mke wake. Mara baada ya kumaliza kifunguka kinywa hicho, Josephine na Magreth wakakabidhiwa kwa walinzi wawili wa mzee huyo na moja kwa moja wakapelekwa kwenye hoteli iitwayo The George iliyopo katika jiji hilo la Lagos. Wakakodisha chumba kimoja na kulipa malipo ya siku tatu.

“So hao watu wata kuteka saa ngapi?”

Magreth alizungumza huku akimtazama Josephine usoni mwake.

“Majira ya mchana, ina bidi twende madukani ila hatuto kuwa tuna tembea pamoja. Kwenye simu yako si signal hiyo si ina onekana?”

Josephine alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake

“Yaa ina onekana”

“Basi nita anza kuondoka mimi alafu baada ya dakika kumi na tano uta fwata”

“Sawa”

“Naomba nisali juu ya jambo hili”

Josephine akaka kitadani kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kusali taratibu. Baada ya salama hiyo akajiandaa kwa safari ya kuelekea mjini.

“Kuwa makini”

“Usijali”

Josephine akatoka ndani hapo, akakodisha taksi na kuanza safari ya kuelekea madukani.

“Usiisogelee sana hiyo taksi”

Mmoja wa wapelezi kutoka Boko Haramu ambao muda wote walikuwa wakiwafwatilia Josephine na Magreth toka wakitokea katika jamba la waziri wa ulinzi na kuingia katika hoteli hiyo ya kifahari.

“Sawa”

“Alafu yule mwengine aliye baki hotelini?”

“Huyu n diopesa. Kumbuka Wamarekani wame weza kulipa pesa kwa ajili ya huyu. Yule ata kuwa ni rahisi sana, endapo tuta mteka huyu ambaye ndio plan yetu basi kwa huyu mwengine ita kuwa ni jambo rahis sana kulitekeleza”

“Hapo ume nena kaka”

Gari hili likazidi kusonge mbele huku Josephine naye akiwa amegundua kwamba ana fwatiliwa na watu hao kwani alisha liona gari hilo toka walipo kuwa wana toka kwa waziri wa ulinzi wa nchi hiyo ya Nigeria. Magreth naye hakuw amjinga, kwani aliweza kuona gari hilo jinsi lilivyo kuwa ina ondoka hotelini hapo kuwafwatilia Josephine.

“Hakikisha huwafwatilii hafdi wakagundua”

Magreth alimuambia dereva taksi aliye kuwa ana mfwatilia gari hilo la wapelelezi wa Bokoharamu. Wakafika kwenye moja ya duka la nguo. Josephine akashuka kwenye taksi hiyo na kumlipa dereva taksi hiyo kisha akaingia kwenye dula la nguo.

“Shukrani”

Magreth alizungumza huku akimlipa dereva taksi wake kisha akashuka mita moja moja kutoka ilipo gari ya wapelelezi kutoka Bokoharamu. Akatambea mita hamsini na kujibanza kwenye moja ya nguzo ambayo sio rahisi kwa wapelelezi wa Bokoharamu kuweza kumuona. Josephine akashusha pumzi huku mapigo yake ya moyo yakimuenda kasi. Japo ni lazima atekwe ila mapigo yake ya moyo yana muenda kasi sana kutokana na wasiwasi.

‘Ehee Mungu nina kuomba sana uweze kunisaidia katika hili”

Josephine alizungumza huku akitazama gari hilo jeusi. Josphine akanunua moja ya tisheti ikwa ni moja ya njia ya kuonekana kwamba aliingia kwenye duka hilo kwa ajili ya kununua bidhaa.

“Ana toka”

Mpelelezi mmoja alizungumza, kisha mwenzake akatoka huku akiwa na sindano ndogo mkononi mwake.

“Samahani dada”

Alimuitwa Josephine huku akimtazama usoni mwake.

“Ndio”

Josephine alizungumza huku akimsogelea kwa ukaribu jamaa huyo.

“Habari yako?”

Mpelelezi huyo alisalimia huku akimpa Josephine mkono, kitengo cha kuigusanisha mikono yao, akamchoma Josephine sindano hiyo kwenye mkono wa kulia na kumfanya Josephine aanze kuhsi kizungu kikali sana. Mpelelezi huyo akafungua mlango wa siti ya nyuma na kumuingiza Josephine pasipo mtu yoyote kuweza kugundua jambo lolote. Wakaondoka eneo hilo kwa mwendo wa taratibu huku Josephine akilala usingizi fofofo katika siti ya nyuma.

Magreth akatazama akatoa simu yake mfukoni na kupiga picha gari hilo kwa nyuma. Kisha akasimamisha taksi nyingine na kumuomba apelekwe ubalozi wa nchini Tanzania hapo nchini Nigeria. Wakafika katika ubalozi huo na Magreth akajitambulisha kwa walinzi wa getini hapo. Baada ya taarifa zake kufikishwa kwa balozi akaruhusiwa kuingia.

“Habari yako binti”

“Salama muheshimiwa shikamoo”

“Marahaba, nina itwa Mr Moses Mwalubadu. Nina imani wewe ndio Magreth.”

Balozi huyo alijitambulisha huku wakipeana mkono na Magreth.

“Ndio muheshimi.”

“Habari zako zilifika ofisini kwangu. Tuambie una hitaji nini na nini ili tukupatie kwa ajili ya kazi hiyo”

“Nita hitaji bastola nne zenye pamoja na magazine zenye risasi za kutosha”

“Hilo halina tatizo, dakika moja”

Balozi akanyanyua mkonga wa simu yake na kumpigia mlinzi wake anaye husika na chumba cha kuhifadhia silaha. Akaingia ndani hapo na kupewa maelekezo ya kumpelekea Magreth katika chumba hicho cha kuhifadhia silaha.

“Una weza kuchuagua silaha unayo hitaji. Je una hitaji niweze kukuelezea kila sifa ya silaha utakayo ihitataji?”

“Hapana nina zifahamu”

Magreth alizungumza huku akianza kutazama silaha zilizopo katika chumba hicho. Akaanza kuzitazama bastola zilizo pangwa vizuri na akachagua bastola nne zinazo fanana. Akaanza kuzitazama kwa umakini na kukuta zikiwa zina fanya kazi vizuri. Akachukua magazine za ziada zilizo jaa risasi za kutosha ishirini.

“Kinasa sauti”

“Vina patikana, hapo kwenye hilo boksi”

“Poa poa”

Magreth akajikamilisha vizuri kwa ajili ya kuianza kazi hiyo iliyo mbele yake. Akapewa begi digo kiasi na kuweka magazine hizo pamojana bastola hizo nne. Akarudi ofisini kwa balozi.

“Nina hitaji gari yenye uwezo wa kwenda spidi nzuri”

“Ipo una hitaji iwe na namba za ubalozi wa Tanzania au hapa nchini?”

“Nahitaji ziwe namba za hapa nchini kwa maana hii kazi ninayo kwenda kuifanya, kuna mawili kufa na kupona na sinto penda nchi iweze kupata kashfa kwa hili ninalo kwenda kulifanya kwa maana hata serikali ya hapa nchini Nigeria haijui juu ya oparesheni hii”

“Sawa hakuna shaka, nikutakie kazi njema”

“Shukrani”

Magreth akasindikzwa na mlinzi aliye kabidhiwa hadi kwenye maegesho ya magari ya ubalozi.

“Kuna hii BMW X5 tuna imani ina weza kukufaa”

Mlinzi huyo alimuonyesha Magreth gari hiyo yenye rangi nyeusi.

“Ndio ninia shukuru”

Akakabidhiwa funguo na kuondoka ubalozini hapo na kurudi hotelini alipo acha nguo zake za kazi. Akashuka kwenye gari na kuliacha begi hilo lwenye silaha ndani ya garu na kupandisha gorofani kilipo chumba chao. Akavua nguo alizo zivaa kwa haraka na kuvaa ngoo zake za kazi, alipo maliza akavaa nguo alizo kuwa amezivaa ambazo ni suruali pamoja na shati la mikono mirefu zilizo msaidia kuzificha nguo hizo za ndani. Akavaa gloves nyeusi, kisha kofia ya nguo zake hizo za kazi akiishika mkononi. Akaitafuta namba ya raisi Mtenzi na kumpigia video call kupitia mtandao wa IMO.

“Magreth habari”

Raisi Mtenzi alianza kuzungumza, huku akiwa ameipokea videoe hiyo.

“Salama. Josephine amesha tekwa na hapa nipo tayari kwa ajili ya kwenda kuianza hiyo kazi”

“Wala makomandoo wapo njiani una onaje uka wasubiria?”

“Hapana muheshimiwa, hatujio ni kitu gani kina weza kutokea kwa Josephine, ina bidi kuifanya hii kazi haraka sana”

“Hapana, hembu wasubirie wale Makomandoo, nina wasiliana nao ili uweze kuunganishwa kinasa sauti chako ili muwe muna wasiliana moja kwa moja pasipo hata kutumia simu. Si una kinasa sauti?”

“Ndio ninacho”

“Basi una weza kukivaa na kikaunganishwa”

Magreth akachukua kinasa sauti hicho kidogo na kukiingiza kwenye sikio la upande wa kushoto na endapo kikiwa ndani ya sikio si rahisi kwa mtu kuweza kukiona.

“Magreth hapa ni kombado Julius una tupata?”

“Ndio nina wapata vizuri mume fika wapi?”

“Baada ya masaa matatu tuta kuwa ndani ya nchi hiyo ya Nigeria na tuta kuambia ni wapi uende kutupokea”

“Sawa, je muna weza kuona signal ya Josephien?”

“Ndio hapa tuna kutumia video inayo naswa na satelaite ya kuonyesha ni wapi anapo elekea muda huu”

“Sawa nina shukuru”

Haikuisha hata dakika moja video hiyo ikaingia kwenye simu ya Magreth. Akaona jinsi gari hili linavyo chanja mbuga porini hulu kiliwa kasi sana.

“Samahano komandoo Julius hili tukio lina tokea sasa hivi au?”

“Ndio kwa hiyo hivyo tuna wafwatilia pasipo wao kujua kwamba wana fwatiliwa na sisi”

“Sawa, sasa nyinyi nikutane nao wapi?”

“Tusubirie hadi tujue wapi wanapo isha. Ila nina kuomba hapo hotelini huondoke tafuta sehemu ambayo ita kuwa salama kwa wewe”

“Nashukuru kwa hilo na nita fanya hivyo”

“Sawa”

Magreth akatoka ndani hapo na moja kwa moja akaingia kwenye gari lake na kuondoka eneo la hotelini hapo na kwa kutumia msaada wa ramani aliyo tumiwa na makomandoo hao inayo onyesha ni wapi anapo pelekwa Josephine, Magreth akaanza kufwata kwa nyuma ili kama ni kukutana na hao makomandoo basi akutane nao kwenye eneo ambalo kwa haraka wata ianza hiyo kazi.

***

“Una jua nilikuwa nina kuchukulia poa”

Caro alizunguma huku akiwa amejilaza kifudi fudi kitandani. Kila mara nabii Sanga alipo yatazama makalio ya Caro jogoo wake ana simama.

“Kwa nini?”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amekaa kwenye moja ya sofa akiwa uchi kama alivyo zaliwa.

“Nilihisi nyinyi watumishi wa Mungu, kitadani muna kuwa hamjui kitu”

“Hakuna kitu kama hicho, kwa maana hata sisi tuna hisia na shuhuli tuna zijua”

“Yaani mke wako hadi nime anza kumuoea viwu”

“Wivu wa nini tena?”

“Mmmm si kwa kunitomb** kule na kunifir** kule”

“Hahaa mke wangu huwa simgeuzi”

“Kweli?”

“Ndio”

“Mmmm na lile tako lake kweli humli bata?”

“Haki ya nani vile simlagi bata mke wangu”

“Umejisikiaje kumla bata wangu?”

“Amaizing”

Nabii Sanga alijibu hukua kiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita, kwa haraka akaichukua mezani kwake na kuitazama na kukuta ni namba ya mzee ambaye alimuunganisha na kundi hilo la Bokoharamu. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio”

Nabii Sanga alizungumza kwa sauti tofauti kidogo iliyo jaa besi hadi Caro akashangaa.

“Yule Josephine amekamatwa tayari na ana pelekwa kwambini na vijana”

“NA MAGRETH JEEEE?”

Nabii Sanga aliuliza kwa msisitizo na sauti ya kufoka kidogo.

“Hajakamatwa mkuu”

Nabii Sanga akashusha simu chini kwa hasira huku macho yakimtoka kwa maana mpango wake alio uhiytaji yeye ni kuhakikisha kwamba Magreth naye pia ana kamatwa.


ENDELEA

Nabii Sanga akashusha pumzi nyingi kisha akairudisha simu yake hiyo sikioni mwake huku akimtazama Caro ambaye ame mkodolea macho.

“Huyo muliye naye sio hatari kuliko huyu muliye muacha”

“Una taka kuniambia kwamba Josephine hakuwa muhimu sana?”

“Ni muhimu sana ila hakikisheni na hiyo wa pili ana patikana”

“Sawa mkuu. Je uta kwenda kwenye kambi yao?”

“Nita kujulisha”

Nabii Sanga akakata simu huku akimtazama Caro aliye mkdolea macho.

“Leo huna ratiba ya kutoka?”

Nabii Sanga alimuuliza Caro.

“Kutokana nipo na wewe hivyo siwezi kutoka leo.”

“So umekuja nchini Nigeria kimatembezi au?”

“Hapana ni kibiashara”

“Sija kujua ila nina taka kukujua zaidi, kwa nini ume kuwa mrahisi sana kwangu”

Nabii Sanaga alizungumza kwa sauti nzito hadi ikamfanya Caro kuanza kumuogopa .

“Aha….a…aa mimi nime tok….ea….a kukupenda”

Caro alijikuta akibabaika kiasi cha kumfanya nabii Sanga kuweza kumsoma haraka haraka na kutambua ni mtuw a aina gani.

“Una hitaji kiasi gani cha pesa kwa maana nina jua kwamba una hitaji kuvuna pesa kutoka kwangu”

Nabii Sanga aliendelea kuzungumza kwa msisitizo huku akimtazama Caro kwa macho makali sana.

“Aha…ha…hapa….na si….i…j….a….fwa…t….a pe….sa”

Caro alizungumza kwa kigugumizi kwa maana nabii Sanga hata uso wake ume badilika, tabasamu alilo kuwa nalo hapo awali lote lime potea.

“Kwa hiyo ume kuja nikutomb** na kukufir** bila ya kukupa pesa?”

Nabii Sanga alizungumza kwa sauti nzito zaidi na ya kukoroma hadi Caro akahisi haja ndo ina kwenda kumwagika kwani nabii Sanga ame mbadilikia kabisa.

“Hapana”

Caro alijibu huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga

“Nisikilize binti, haya tuliyo yafanya humu ndani yaishie humu humu ndani. Laiti nikija kusikia kwamba ume weza kuzungumza nje au kmuadisia mtu wa aina yoyote nita kuua. Ume nielewa?”

Nabii Sanga alizungumza huku akimsogelea Caro karibu na akaanza kurudi nyumba kitandani hapo.

“Ume nielewa?”

“Ndio”

Nabii Sanga akatabasamu huku akimtaza Caro usoni mwake.

“Uisjali mtoto mrembo. Nilikuwa nina hitaji kufahamu wewe ni mtu wa aina gani n anime fanikiwa kukujua. Sikia sahau yote niliyo kufanyia. Tuangalia mambo yaliyopo mbele”

Nabii Sanga alizungumza kwa sauti ya kumbembeleza Caro ambaye bado haamini kwamba ukaliwote alio kuwa ana onyeshwa na nabii Sanga ume kwisha.

***

Machozi ya raha yakaendelea kumwagika mrs Sanga. Mtanange huo wa kibabe ambao ana pewa na mkwe wake una zidi kumkuna hadi kiwango chake cha mwisho cha utamu. Mikono miwili ya Jery ima kamata kiino cha mrs Sanga huku akiwa amesimama na mrs Sanga ame bong’oa na mikono yake yote miwili ime shika pembeni ya kitanda hicho cha Julieth. Wote miili yao inamwagikwa na jasho na kila mmoja ana onyesha ujuzi wake wa kumridhisha mwenzake. Hadi Jery ana maliza mzunguko wa tatu, wote wakajikuta wakichoka hoi.

“Ohoo asante mwanangu”

Mrs Sanga alizungumza huku akimchua chua jogoo wa Jery amabye kwa kweli ame weza kumshuhulikia ipasavyo.

“Ume ridhika?”

“Mmmm kwa leo nime ridhika mwanangu, yaani umenifikisha kwenye kilele cha raha ambacho hapo mwanzoni sikuwahi kufika”

“Mmmm mama kwa umri huo una taka kuniambia kwamba hukuwahi kufika kileleni?”

“Haki ya Mungu vile sikuwahi kufika kwenye kiwango ulicho nifikisha wewe. Kufika nina fika ila kwa shida, hivi una weza kuamini kwamba umenikojoza mara sita”

“Kweli?”

“Ndio, yaani hapa nina jiona ni mwepesi sana. Kweli mwanangu hajakosea kuchagua mume”

“Nashukuru, ila mama nina kuomba sana chonde chonde usije ukamuambia Julieth wala kuonyesha ishara yoyote kwamba mimi na wewe kuna mauhusiano tofauti ya mama mkwe na mkwe wake”

“Mimi nina akili na ni mtu mzima na pia sinto hitaji mwaangu aumie. Siwezi kufanya kosa kama hilo”

“Nina shukuru sana mama yangu”

“Karibu sana mwanangu”

Wakazungumza mazungumzo mengi huku wakiwa wana garagara kitandani hapo.. Wanajamini kufanya hivyo kutokana Julieth aliwaambia yupo Chalinze kikazi. Baada ya mapumziko hayo yaliyo chukua dakika robaini na mbili wakaingia bafuni na kuoga kwa pamoja kisha Jery akavaa nguo zake.

“Ina bidi nirudi ikulu. Nataka Julieth akirudi aweze kunikuta”

“Sawa mwanangu. Kwa shuhuli ya leo ina bidi niweze kulala”

“Sawa mama yangu”

Jery akampigia simu Devi na baada ya muda kidogo akafika nyumbani hapo kwa nabii Sanga na wakaondoka na Jery amabye ana onekana kujawa na uchovu mwingi sana.

“Kaka vipi mbona una onekana ni mchovu?”

“Mmm hapana”

“Kweli?”

“Ndio”

Devi hakutaka kuendelea kumdadisi tena Jery ila ukwelia na hisi kwamba ame toka kufanya mapenzi kwa maana ana mjua kwa kipindi kirefu rafiki yake huyo. Mrs Sanga mara baada ya kubadilisha mashuka ya kitanda hicho cha Julieth, akaingia chumbani kwake na kujilaza kitandani.

‘Haki ya Mungu huyu mtoto amenipa show ya kibabe. Yaani hata Tumaini hapa hajaingia ndani’

Mrs Sanga alizungumza huku akijigeuza geuza kitandani hapo. Kila kiungo cha mwili wake kime choka, kwa maana alikuwa akigeuzwa mikao tofauti tafauti iliyo mfanya achoke kiasi hicho.

‘Mwanangu nisamehe, mama yako nahisi nina jini la kupenda mbo**’

Mrs Sanga alizungumza huku akiongeza baridi kwenye AC(Air condition) iliyomo hapo chumbani kwake, kisha akajifunika blangeti kubwa na kuanza kuutafuta usingizi ambao haukuchukua muda mwigi sana akajikuta akilala.

***

Josephine akafikishwa kwenye makao makuu ya kambi ya Bokoharamu huku akiwa hajitambui kabisa kwa maana sindano ya usingizi aliyo chomwa ina muwezesha kulala masaa sita pasipoku zinduka kabisa. Akaingiza kwenye moja ya chumba chenye kitanda cha chuma na kulazwa huku mkono wake wa kulia ukifungwa pingu ambayo nayo nayo ika fungwa kwenye kitanda.

“Kazi nzuri vijana”

“Tuna shukuru”

“Vipi kuhusiana na yule mwengine?”

“Yule mwengine tuna imani kwa asilimia mia moja lazima ata changanyikiwa mara baada ya kutambua kwamba mwenzake ame toweka kwenye mazingira ya kutatanisha”

“Mwenzake mume muacha wapi?”

“Yupo kwenye hoteli waliyo fikizia”

“Mmmm ila huyu ndio dili kubwa kwetu. Sasa kuna Marekani na yule mzee yupi tuweze kumchukua kati ya hawa wawili.?”

Mkuu wa kundi la Bokohamaru alishauriana na mkuu wa kundi la AL-Shabab huku wakimtazama Josephine aliye lala kitandani hapo.

“Marekani wana nguvu kubwa sana, kisilaha na wakihitaji kutusambaratisha wana uwezo huo. Chakufanya, tuchukua pesa za huyu mzee Mtanzania kisha na yeye tuna muu na tuna baki na Wamarekani tu”

“Ila Wamarekani nao tusiwaamini”

“Ni kweli ila huyu mtoto ni bomba sana. Acha nitulize nyege”

Mkuu wa kundi la Al-Shabab alizungumza huku akishika mkanda wa sulia yake akihitaji kuufungua.

“Hapana achana naye, hii ni pesa. Hatujui kwa nini wana muhitaji akiwa hai pamoja. Acha tgupate pesa kwa ajili ya maisha yetu ya mbeleni”

“Hapo ume nena”

Wakatoka ndani hapo na kurudi kwenye ofisi yao na kuendelea kupata ulabu huku wakiamini kabisa kwamba baada ya masaa mchache basi watatajirika kwa kupata kiwango kikubwa cha pesa kutoka kwa nabii Sanga na nchi ya Marekani ambao kwa asilimia kubwa wana muhitaji Josephine.

“Mpigie huyo mzee wako, amjulishe mwenzake kwamba makabidhiano yana kuwa wapi”

“Sawa”

Mkuu wa kundi la Bokoharamu akampigigia simu mkuu wake na baada ya muda simu ikapokelewa.

“Mzee amesha fikishwa kambini”

“Sawa nina wasiliana na mkuu wangu na ikiwezekana nita kuja hapo”

“Hakikisha kwamba hakuna mtu ambaye ana weza kuwafwatilia”

“Usijali”

Simu ikakatwa kisha wakagongesha glasi zao zenye wisky wakifurahia maisha mazuri na yajayo kwa maana kiwango cha pesa wanacho kwenda kukipata ni kikubwa sana.

***

Magreth akasimamisha gari kwenye moja ya kilima ambacho mbele kuna bonde kubwa ambalo baada ya bonde hilo una panda kilima kingine ambapo ndipo zilipo kambi za kundi la Bokoharamu. Magerth akatazama simu yake na kuona eneo laipo Josephine ni kwenye kilima hicho. Akavaa kofia ya nguo zake hizo za kufanyia kazi ambazo humsaidia kwa asilimia mia moja kujikinga na risasi.

“Nime fika sehemu ya tukio?”

Magreth alimuambia komandoo Julius

“Usifanye chochote kwani baada ya dakika kumi na tano tuta kuwa hapo”

“Sawa”

Magreth akaingia ndani ya gari na kulirudisha nyuma kidogo na kuliingiza kwenye moja ya kichana na sio rahisi kwa mtu yoyote kuweza kuliana. Akazikoki bastola zake mbili tauari kwa mashambulizi na kundi hilo la Bokoharamu.

Baada ya dakikwa kumi na tano Magreth akastukia kuona watu wakitokea nyuma yake, akageuka kwa haraka huku akiwa ameshika bastola zake mbili.

“Ni sisi”

Komandoo Julius alizungumza huku vijana wake wakiwa wamegeuka pande zote wakihakikisha wana imarisha ulinzi.

“Mume fikaje hapa”

“Wakati tuna zungumza na wewe tulikuwa tumesha ruka na parachuki kilomita kadha nyuma hivyo tulikuwa tuna tembea kwa miguu. Upo salama”

“Ndio nipo salama”

“Ume weza kuona kitu gani?”

“Sija ona chochote, kwa maana hadi kuona kwenye kile kilima kule kuna umbali kidogo.

“Sawa, dhana zako hizi hapa kwa maana tuliweza kupewa sifa zoko na tukaona kwamba ni jambo la heri tuweze kuzibeba”

Magreth akajawa na tabasamu pana sana kwani ameletewa upanga mrefu ambao umechomekwa kwenye kibebao chake ambacho una weza kukivaa mgongoni. Akauchomoa upanga huo na kuutazama vizuri, akauchezesha mara kadhaa na kwa kasi ya ajabu hadi komandoo Julius akatabsamu.

Magreth akachomeka upanga huo na kuuvaa kibebeo hicho mgongonina kuukaza vizuri mithili ya maninja wa Kijapani. Akatazama silaha hizo za nyota ambaoz zime chongeka vizuri, akavaa kifuko cha nyota hizo kiunoni mwake. Akaishika cheni ndefu ambayo mbele ina kisu kikali, akaizungusha hewani kwa utaalamu na kukata baadhi ya majini yaliyopo eneo hilo.

“Ni kali sana?”

“Ndio ni kali uta ipenda”

“Mkuu ramani ya kambii hii hapa”

Komandoo mmoja alizungumza huku akimsogelea komandoo Julius na kumuonyesha ramani ya kambi zima ya Bokoharamu. Wakaitazama kwa sekunde kadhaa.

“Tupo saba, tuta gawanyi katika makundi makuu mawili, kundi mmoja lita kuwa na watu watatu na kundi jengine lita kuwa na waty wanne. Tumeelewana?”

“Ndio”

“Mage uta vaa hii miwani ita kusaidia kuona usiku”

“Usijali ndani ya hii nguo yangu eneo la machoni hap anime weza kutengenezewa mfumo wa kuniwezesha kuona usiku”

“Ohoo sawa sawa. Alafu Mungu akibariki tukirudi nchini Tanzania basi uta nisaidia kuweza kupata ujuzi ulio tengenezwa kwenye hiyo nguo yako”

“Usijali muheshimiwa”

“Hii kamera sijui uta iegesha wapi kwa maana kila kinacho endelea basi kina onekana ikulu”

Komandoo Julius alizungumza huku akimkabishi Magreth kamera ndogo, ambayo akaitazama kwa sekunde kadhaa.

“Nime kosa sehemu ya kuiweka ila za kwenu zita saidia kwenye hii oparesheni”

“Mmmm sawa. Oparesheni yetu ita anza usiku wa saa nne, kama hakuto kuwa kume jitokeza jambo lolote. Hivyo ina tupana kuhakikisha kwamba tuna kuwa makini sana kwenye hii kazi”

“Sawa mkuu”

“Tawanyikeni”

Makomandoo watano walio salia wakatawanyika na kila mtu akatafuta sehemu yake kuhakiksiha kwamba ana jificha kuhakikisha kwamba usalama una kuwepo eneo hilo.

“Sisi hatujifichi?”

Magreth aliuliza.

“Hapana hapa tulipo tu tume jificha. Ehee una weza kuniambia ulijifunza wapi mafunzo yako?”

Magreth akaka kimya kwa sekunde kadhaa.

“Nilikijifunza toka utotoni.”

Magreth akaanz akumsimulia komandoo Julius historia yake yote ya maisha yake ya utotoni.

***

Majira ya saa moja usiku, msafara mzima wa raisi Mtenzi ukawasili ikulu, wakitokea Chalinze, eneo walipo kwenda kuzindua stendi mpya na ya kisasa.

“Julieth una weza kwenda kupumzika kidogo, ila saa tatu ile oparesheni ina kwenda kufanyika, hivyo nita kuhitaji control room”

“Sawa baba”

Julieth akaelekea nyumbani kwa raisi huku akiwa amechoka sana. Akakaribishwa na Jery kwa furaha na bashasha za mapenzi.

“Vipi mke wangu”

“Yaani hap anime choka sana. Ngoja nikaoge, nile”

“Sawa nime kipikia leo”

“Weee”

“Haki ya Mungu vile”

“Haya nina kuja kula:

Julieth moja kwa moja akaelekea chumbani kwao. Akavua nguo na kubakiwa na chupi, akachukua simu yake na kuingia bafuni, akafungua maji mengi ya bomba la mvua kisha akampigia tena baba yake. Jambo la kumshukuru Mungu simu hiyo ikaanza kuita kisha ikapokelewa.

“Baba shikamoo”

“Marahaba, ehee vipi kuna mpya gani?”

“Kwanza ulifika salama?”

“Ndio na habari ni kwamba Josephine ame patikana”

“Magreth je?”

“Yeye bado ila wana nihakikishia kwamba wana patikana”

“So una mpango gani?”

“Hapa nina jiandaa kwenda kambini kwao. Wana kuja kunichukua hivyo simu nita iacha hotelini”

“Usiende baba?”

“Kwa nini?”

Josephine alitolewa chambo ili kumpata muhusika ambaye ni wewe. Kama ina wezekana badilsiah mpango kwa maana tayari Makomandoo wata kuwa wamesha fika huko nchini Nigeria na ukijichanganya ume kamatwa baba”

Julieth alizungumza kwa msisitizo na kumfanya baba yake kustushwa sana na taarifa hiyo na jambo baya zaidi ni kwamba tayari askari hao wa Bokoharamu wana mshubiria chini ya hoteli hiyo kwa ajili ya kumpeleka kambini kwao na sharti moja wapo ni kwamba lazima wamzibemacho yake kwa kitambaa cheusi na sharti jengine hapaswi kwenda na simu yake.



“Nime kuelewa mwanangu”

“Sawa baba kuwa makini sana”

“Nita liangalia hilo”

Nabii Sanga alizungumza kisha akakata simu. Akaka kitandani huku akiacha kuichekecha akili yake kwa kasi ya ajabu.

‘Ina bidi nisiende hapa’

Nabii Sanga alizungumza huku akiitafuta namba ya mzee aliye muunganisha na BOKOHARAMU.

“Ndio mkuu”

“Upo wapi?”

“Nipo na hawa vijana hapa chini tuna kusubiria ili twende wote”

“Sawa nina kuja ila nina hitaji jambo moja”

“Jambo gani?”

“Pandishia huku gorofani kwangu. Njoo chumbani kwangu”

“Sawa”

Nabii Sanga alizungumza kisha akakata simu. Baada ya dakika mbili kengele ya mlangoni mwake ikaa gonga, akatembea kwa haraka, akachungulia kwenye kitobo kidogo cha mlango huo na kumuona mzee huyo. Akafungua mlango na mzee huyo akaingia.

“Habari yako bwana Emmanuel?”

“Salama mkuu”

“Hao vijana wapo wangapi?”

“Wapo wanne?”

“Sasa una weza kwenda kuniwakilisha kwa maana hap anime pata dharura moja muhimu sana”

“Mmmmm, nikuwakilishe kwenye jambo gani kwa maana yule mkuu wao ana hitaji kukuona wewe na kama ni biashara muweze kuingia pamoja”

“Ni kweli ila hii dharura ina bidi niiishuhulikie la sivyo mambo yana weza kuharibika kwa upande huu ambapo dharura hii ime jitokea. Nita kupatia cheki yenye thamani ya kiasi wanacho kihitaji”

“Wana hitaji cash mkuu”

Mzee Emmanuel alizungumza huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.

“Kama ni cash basi ina bidi niweze kwenda kuzitoa benki. Nina imani kwamba wewe una fahamu kwamba siwezi kutembea na pesa nyingi kama hizo”

“Ngoja kwanza”

Mzee Emmanuel alizungumza huku akitoa simu yake mfukoni na kumpigia mkuu wa kundi hilo la Bokoharamu.

“Ndio mjomba”

“Mkuu wangu ana hitaji kuzungumza na wewe”

“Sawa”

Mzee Emmanuela akamkabidhi simu nabii Sanga na akaiweka sikioni mwake

“Nahitaji mjomba wako aje kuwa muwakilishi wangu. Nimepata dharura, ata waletea pesa na maagizo yote nita mpatia”

“Hilo halina shaka kikubwa ni pesa yetu”

“Hakuna maneno”

Nabii Sanga akamrudishia simu mzee Emmanuel.

“Mkuu wako una muamini?”

“Asilimia mia moja”

“Sawa basi leta pesa”

“Hakuna shaka”

Mzee Emmanuel akakata simu.

“Hicho kiasi cha pesa tuta kipata wapi usiku huu”

“Kuna tajiri mmoja nina mfahamu. Yeye ana weza kutupatia cash na sisi tukamuingizia kwenye akaunti yake ya benk”

“Basi kama ni hivyo, twende tukaonane naye”

“Sawa”

Nabii Sanga na mzee Emmanuel wakatoka ndani hapo, nabii Sanga akagonga katika mlango wa chumba cha Caro na akafungua mlango.

“Nina toka mara moja, nikirudi nita kuhitaji ndani”

“Sawa mpenzi”

Nabii Sanga na mzee Emmanuel wakaingi kwenye lifti na kushuka chini. Wakaingia kwenye gari la mzee Emmanuel na kuondoka hotelini hapo huku nyuma yao wakifwatiliwa na hao gari la askari wa Bokoharamu. Wakafika kwa tajiri huyo na ambaye ana miliki visima vya mafuta ndani na nje ya nchi ya Nigeria. Wakakubaliana na nabii Sanga kupeana kiasi cha dola milioni tano. Kisha nabii Sanga akamuingizia tajiri hiyo kiwango cha dola milioni tano na nusu. Pesa hizo zikahesabiwa haraka haraka kwa maana tajiri huyo ndani ya jumba lake hilo la kifahari, chini ya ardhi ana benki yake kubwa ya kuhifadhia pesa. Pesa hizo zikapatika katika mebegi yapatayo kumi.

“Uta rudi hotelini na gari langu na mimi nina elekea huko”

“Sawa”

“Maagizo gani una hitaji niwapatie”

“Nahitaji kichwa cha huyo msichana”

“Kichwa?”

“Ndio”

“Sawa mkuu”

Nabii Sanga akakabidhiwa funguo ya gari la mzee Emmaneul na akarudi hotelini huku mzee huyo akielekea katika mji ilipo kambi ya Bokoharamu.

***

Viongozi wa ngazi za juu wa vyombo vya usalama, washauri wa raisi Mtenzi, wataalamu wa computer pamoja na raisi Mtenzi wenyewe wapo ndani ya chumba maalumu wakifwatilia oparesheni hiyo ya siri ya kuangamiza kundi la Bokoharamu pamoja na Al-Shabab.

“Muna nipata vizuri?”

Komandoo Julius alizungumza huku video ya kamera yake ikimuonyesha Magreth aliye valia nguo zake za kasi.

“Ndio komandoo”

“Oparesheni yetu ina anza sasa hivi saa nne kamili usiku, tuna amini ndani ya nusu saa tuta kuwa tume safisha eneo zima”

“Mungu awatangulie”

Raisi Mtenzi alizungumza huku akitazama tv hiyo kubwa iliyomo ndani ya chumba hicho.

“Shukrani muheshimiwa raisi”

Komandoo Julius na kikoso chake wakaanza kushuka kwenye kilima walichopo huku wakiwa makini sana. Magreth moyoni mwake, maombi yake yote ni kumuomba Mungu amsaidie wamkute Josephine akiwa salama salmini. Wakapandisha kilima ambacho juu ndipo ilipo kambi ya Bokoharamu. Kila mmoja mkononi mwake ameshika bundiki yake vizuri ambayo ime fungwa viwambo vya kuzuia risasi.

Wakafika eneo la karibu la kambi hiyo, komandoo Julius akatoa ishara kwa kutimia vidole vyake na wezake wakatawanyika na akabaki yeye na Magreth.

“T one on position”

“T two on position”

“T three on position”

Sauti hizo za makomandoo wengine zililisikika ikiashiria kwamba kila mmoja amefika kwenye eneo ambalo walikubaliana katika kuizunguka kambi hiyo. Kelele za mziko unao tokea katika kambi hiyo haukuwastua, kwani waliweza kuwashuhudia askari wa kundi la Bokoharamu pamoja na Al-Shabab wakicheza mziki huku kukiwa na wanawake wapatao ishirini na wanawake hao wamevalia chupi tu.

“Mkuu una ona tunacho ona?”

Mmoja wa makomandoo alizungumza akiwa upande wa kaskazini mwa kambi hiyo.

“Ndio nina ona”

“Hawa wanawake ni mateka mkuu. Tuna fanyaje?”

Komandoo mwengine aliye upande wa Kusini huku akitazama eneo hilo kwa kutumia darubini.

“Mission yetu ni kumkomboa Josephine na kuwapata hawa wakuu wa hivi vikundi. Hatuwezi kuwaamini hawa wanawake. Ikitokea wame ingia kwenye mpango wetu. Wamalizeni”

“Sawa mkuu”

Magreth akashangaa sana kutolewa kwa amri hiyo. Wanawake hao ambao wapo katika umri tofauti tofauti, hakika wana sikitisha. Kazi ya kuwaua kimya kimya magaidi hao ikaanza, wapo walio uwawa kwa kupigwa risasi, wapo walio uwawa kwa kunyongwa huku wengine wakiuwawa kwa kuchijwa kikatili sana. Kuna baadhi ya matuko yana tokea hadi Julieth ana kujikuta akifumba macho kwa maana ni ukatili mtupo.

“Hei”

Magreth alimstua mmoja wa wanajeshi wa Bokoharamu ambaye amevua suruali yake kwa ajili ya kumbaka msichana aliye mlaza chini. Kitendo cha kugeuka tu, Magreth akamkata jogoo wa mwanajeshi huyo na akamtawanya vipande viwili, hakuishia hapo akamsomkomeza upanga wa koromeo na kukitawanyisha kichwa chake.

Msichana huyo akaanza kumpiga kelele, ila Magretha akawahi kumpiga shingoni mwake na kumfanya azimie. Makomandoo hao wenye mafunzo ya hali ya juu kila eneo wanalo pita wana tega mabomu kuhakikisha kwamba wakifanikiwa kuwapata watu wanao wahitaji basi kambi hiyo ina sambaratishwa. Magreth akaendelea kunyata katika nyumba hiyo huku akitazama simu yake ya mkononi inayo muonyesha ni wapi alipo Josephine. Akafnikiwa kufika katika chumba hicho, akavunja kufuli la chumba hicho kwa risasi mbili, kisha akaingia ndani hapo. Akamkuta Josephine akiwa amelala kitandani.

“Jose ni mimi”

“Mage”

“Yes ni mimi”

Magereth akaanz akufungua pingu hizo kisha akamkabidhi Josephine moja ya bastola. Kabla hawajatoka ndani hapo wakasikia miguu ya watu wakija katika chumba hicho na ikawalazimu kujibanza ukutani.

“Mbona kufili limevunjwa?”

Mkuu wa kundi la Bokoharamu aliwaambia vijana wake huku wakianza kuziandaa bundiki zao kwa maana ni moja ya ishara mbaya. Mkuu wa kundi hilo la Bokoharamu akamuamuru kijana wake mmoja kuingiandani ya chumba hicho ambacho kina giza totoro. Galfa wakashuhudia kichwa cha kijana wake kikitoka ndani humo huku kikibiringita chini na kumwaga damu nyingi. Wakaanza kushambulia risasi mfululizo ambazo zikawastua askari wengine ambao kwa kweli wamepungua kwa kiasi kikubwa sana. Josehine na Magreth walio jibanza kwenye ukuta wa mlango wa chumba hicho, hawakupatwa na risasi hata moja.

Magreth akachomka kama risasi ndani hapo huku akibingiria kama tairi na ubanga wake mrefu ukiwa mkononi. Akaanza kuwafyekelea mbali wanajeshi hao wa Bokoharamu na mkuu wao akamkata viganja vyote viwili.

“Jose toka nje”

Magreth alizungumza na Josephine akatoka ndani hapo huku akitetemeka kwa maana hajawahi kushuhudia ukatili kama huo kwa rafiki yake.

“Wewe ndio tunaye kuhitaji ongoza njia”

Magreth alimuambia mkoo huyo wa Bokoharamu, anaye lia mithili ya mtoto mdogo. Makomdoo wengine kazi yao ni kuhakikisha kwamba wana ua wanajeshi wote walipo nje na wakafanikiwa kumkamata mkuu wa kundi la Al-Shabab huku wasichana wote waliokutwa eneo hilo wakiwekwa chini ya ulinzi.

“Tume mpata”

Magreth alizungumza na kwa haraka komandaa Julius akatoa jaketi la kuzia risasi na kumvisha Josephine.

“Upo salama?”

“Ndio”

Josephine alijibu huku akimtazama Komandoo Julius.

“Muheshimiwa raisi, watuhumiwa tume wakamata na Josephine yupo salama salmini.

Watu wote ndani ya chumba wanacho fwatilia oparesheni hiyo, wakaanza kushangilia kwa furaha huku wakikumbatiana.

“Ila muheshimiwa huyu mkuu wa Bokoharamu, muda wowote ana weza kutufia kwamaana damu nyingi zina mwagika”

Josephine alizungumza huku akishika sikio lake la upande wa kushoto ambapo ndipo alipo vaa kinasa sauti chake.

“Huyu ata tuambia ni nani ambaye ame husika?”

Sauti ya raisi Mtenzi ilisikika. Komandoo Julius akamshika mkuu huyo na kumpeleka mkuku mkuku hadi kwenye ofisi yake. Josephine na Magreth nao wakaingia kweye ofisi hiyo.

“Mkataba wenu mulio ingia mume uficha wapi?”

Josephine alizungumza kwa hasira huku akimtazama mkuu huyo wa Bokoharamu.

“Sijui una zungumzia nini?”

“Mkataba mulio ingia na Marekani”

Bila hiyana mkuu huyo wa kundi la Bokoharamu akawaonyesha moja ya shelfu ya chumba inayo hifadhia nyaraka mbalimbali.

“Neno la siri”

Josephine alizungumza huku jasho likimwagika usoni. Mkuu huyo akatamka neno hilo la siri na Josephine akafungua shelf hiyo. Akakuta baadhi ya hati za kusafiria nane, akakuta vibunda viwili vya pesa za kimarekani, kisha akakuta bahasha ya kaki. Akaifungua na kutoa mkataba huo na kuusoma, akawaonyesha komandoo Julius pamoja na Magreth. Magreth akaupiga picha mkataba huo na picha hizo moja kwa moja zikafika ikulu ya Tanzania.

“Kuna mwengine ambaye muna shuhulika naye kwenye mpango huu wa kumteka Josephine”

“Hapana hapana”

Mkuu huyo wa Bokoharamu alijibu huku akitemeka sana.

“Kazi yake ime kwisha”

Josephine alizungumza huku akimtazama mkuu huyo wa Bokoharamu. Komandoo Julius akampiga risasi mbili za kichwa mkuu wa kundi hilo la Bokoharamu kisha wakatoka ndani hapo wakiwa na mkataba huo. Ndege kubwa ya kijeshi walio kuja nayo eneo hilo, ikafika eneo hilo na kamba sita zikashushushwa.

“Shikilia kamba hii”

Magreth alimuambia Josephine na akashika kamba hiyo nene kisha naye akashika kamba hiyo hiyo na ikaanza kuvutwa juu. Makomandoo wengine nao wakapanda huku wakiwa wamemshikilia mkuu wa kundi la Al-Shabab ma kuingia nanye ndani ya ndege hiyo na kuondoka eneo hilo. Wasichana hao ambao wame tekwa wakaanza kutawanyika kwa kukimbia kila mmoja akijitahidi kuokoa maisha yake.

“Simamisheni gari”

Mmoja wa askari wa kundi hilo la Bokoharamu alizungumza huku wakitazama ndege kubwa ikipita juu yao.

“Hii ndege si ya jeshi?”

Walizungumza huku wakichomoza vichwa vyao kwenye gari hilo. Mzee Emmnanuel naye wasiwasi ukaanza kumtawala. Hata kabla hawajafanya maamuzi yoyote wakashuhudia jinsi mlina ambao una kambi yao ukianza kulipuka kitendo kilicho wafanya wastushwe sana.

“Mungu wangu”

Mzee Emmanuel alizungumza huku wakiendelea kuona jinsi kilima hicho kinavyo poromoka kwa milipuko hiyo. “Mzee tuondokeni”

Mmoja wa wanajeshi hao wa Bokoharamu alizungumza na dereva akageuza gari na kuanza kurudi wanapo tokea kwani hawajui ni nani ambaye ame husika katika kulipua kambi yao.

***

Makomandoo walipo ndani ya ndege wakaanza kumpongeza Magreth kwa maana hapakuwa na hata mmoja wap aliye weza kumfikiria Magreth kama angeweza kufanya kazi kama hiyo.

“Nina washukuru”

“Kwa nini usijiunge kwenye kundi letu kwa maana sisi kama unavyo tuona hapa sote ni makomandoo na ni kikundi ambacho tuna fanya kazi kama hizi kwa pamoja”

Komandoo Julius alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Nita lifirikia hilo ndugu zangu”

“Kusema kweli tume furahi sana kufanya kazi na wewe”

“Nina shukuru”

Magreth alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana moyoni mwake kwani ni kazi yake moja kubwa ambayo amefanikiwa kwa asilimia mia moja. Gafla mkuu wa kundi la Al-Shabab akaanza kutokwa na damu mdomoni mwake, kwa haraka komandoo mmoja akamuwahi na kuanza kumfungua kinywa chake.

“Shitiiii”

Komandoo huyo alizungumza kwa hasira sana huku kipande cha ulimi kikianguka kutoka kwa mkuu wa kundi hilo la Al-Shabab ikimaanisha kwamba amejiua kwa staili hiyo ili asiweze kuingia mikononi mwa serikali ya nchi ya Tanzania kwa maana ana tambua kifo ambacho angekwenda kukipata huko kitakuwa ni cha mateso kuliko hicho cha kujiua yeye mwenyewe.




“Shenzi sana huyu”

Komandoo Julius alimtusi mkuu huyo wa kundi la Al-Shabab ambaye ana malizia kukata roho. Wakatoa taarifa ikulu kwamba mwili wa mkuu wa kundi hilo ameweza kujia.

“Utupeni baharini”

Raisi Mtenzi alitoa amri hiyo.

“Sawa muheshimiwa”

Komandoo Julius alimjibu raisi Mtenzi.

“Rekodi tukio hili”

Komandoo Julius alimuambia mwenzake na akatoa kamera na kuanza kurekodi tukio gilo la kuudhibitisha mwili wa mkuu huyo wa kundi la Al-Shabab kwamba amekufa. Komandoo Julius akampiga risasi nne za kichwa mwili wa kundi hilo la Al-Shabab na walipo fika usawa wa bahari, wakafunga mlango wa ndege na kuutupa mwili huo baharini na safari ya kurudi nchini Tanzania ikaendelea.

“Mbona upo kimya”

Magrerth alizungumza huku akimfwata Josephine alipo kaa.

“Nime weza kuonyeshwa yule adui yetu bado yu hai”

“Mmmmm”

“Ndio bado yu hai”

“Sasa hujaonyeshwa sura?”

“Bado sijaonyeshwa sura ila nina imani Mungu ata nipatia mpango wa kuweza kumuona na kumtambua”

“Bora tuweze kumtambua kwa maana kwa hali kama hii tuta zidi kuteseka”

“Ndio hivyo tuta mpata”

Safari ikazidi kusonga mbele na majira ya saa kumi na moja alafajiri wakatua katika kiwanja cha ndege cha jeshi katika kambi ya Kigamboni. Majira hayo ya asubuhi Magreth na Josephine wakelekea ikulu na kukaribishwa na mzee Mbogo.

“Hongereni sana”

“Tuna shukuru”

“Muheshimiwa kwa sasa ame kwenda kupumzika nanyi muna weza kupumzika na asubuhi muka kutana naye”

“Sawa mkuu”

Josephine na magreth wakaingia kwenye moja ya chumba na kujipumzisha miili yao kwani kazi walio ifanya haikuwa rahisi kwenye maisha yao.

***


Nabii Sanga akashusha pumzi huku akitazama habari inayo tangazwa kwenye vyombo vya habari kuhusiana na kusambaratishwa kwa kambi ya Bokoharamu na majeshi ambayo hadi sasa hayajulikani yametokea wapi. Habari hiyo kwa namna moja ama nyingineni nzuri kwa serikali ya nchi ya Nigeria kwa maana ni kwa muda mrefu wame kuwa wakipambana na kundi hilo pasipo mafanikio.

“Shenzi sana”

Nabii Sanga alilalama huku hasira ikiwa ime mpanda kw amaana moja kwa moja ana tambua walio fanya kazi hiyo ni makomandoo wa nchi ya Tanzania pamoja na Magreth wakisaidiana na maono ya Josephine. Simu yake ikaanza kuita kwa haraka akaichukua mezani na kuipokea simu hiyo kutoka kwa mzee Emmanuel.

“Ndio”

“Mkuu tume weza kusalimika aisee”

“Poleni sana, upo wapi?”

“Nipo nyumbani kwangu pamoja na pesa zote”

“Wale vijana bado wapo hai?”

“Ndio nime amua kuwaingiza kwenye moja ya walinzi wangu kwa maana lile eneo lime changuliwa vibaya sana na sidhani kama kuna aliye pona pale”

“Sawa, chukua milioni moja kisha hizo dola milioni nne niingizie kwenye akanuti yangu”

“Nashukuru sana muheshimiwa”

“Sawa”

Nabii Sanga akakata simu, akaingia bafuni akaoga haraka haraka kisha akajiandaa kwa kuvaa nguo zake. Akatoka chumbani hapo na kugonga katika mlango wa Caro. Baada ya dakika moja hivi Caro akafungua mlango.

“Yes baby”

“Nina toka”

“Mapema yote hii?”

Caro alizungumza huku akiwa na wenge la usingizi.

“Ndio, nita rudi majira ya mchana”

“Sawa, ila hata jana usiku hukuniambia kama ume rudi”

“Nilihisi nita kusumbua, ila baade”

“Sawa, je luch tuta kula wote?”

“Tuta wasiliana”

Nabii Sanga akamuandikia Caro namba ya simu anayo itumia hapo nchini Nigeria, kisha akaondoka. Safari ya kuelekea katika makoa makuu ya mkuu wake anaye mpatia nguvu za giza ikaanza.

“Mzee hapa mbele hakuna njia ya kuendelea kusonga huko ni kilimani”

Dereva taksi huyo alizungumza huku akisimamisha gari oembezoni mwa barabara.

“Sawa”

Nabii Sanaga akamlipa dereva huyo na kushuka kwenye gari. Dereva taksi akaondoka na nabii Sanga akaanza kupandisha kilima cha kuelekea yalipo mapango ya mkuu wake huyo. Sehemu hiyo ni sehemu ya siri sana kiasi cha watu kuto weza kuifahamu. Safari ya kutembea kwa miguu ikamchukua lisaa moja na nusu na kufanikiwa kufika kwenye mapango hayo. Akavua nguo zake zote kama taratibu za kuingia katika mapango hayo na akaanza kuingia huku akizungumza baadhi ya maneno ya kishetani. Kila anapo pita ndani ya pango hilo, vijinga vya moto vina zidi kuwaka. Akafanikiwa kufika katika eneo kubwa la wazi ambapo ndipo alipo mkuu wao.

“Sanga ume kuja kufanya nini?”

Sauti ya kike na nyororo ilisikika vizuri masikoni mwake.

“Mkuu nina tatizo”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amepiga magoti chini.

“Msaada wa kumzidi Josephine?”

“Ndio”

“Sina uwezo wa kufanya hivyo kwa maana haya yanayo tokea hivi ume jitaki”

“Kivipi mkuu?”

“Kumbuka nilikueleza kwamba una paswa kumtoa sadaka Magreth. Ila kutokana na kupenda kwako ukajikuta una muacha hai na sasa haya ni matokeo yake”

“Nina jutia kufanya hivyo mkuu”

“Sasa kwa sasailipo fikia ni wakati wa wewe kulipa kwa ujeuri wako”

Nabii Sanga akashusha pumzi huku akiinamisha kichwa chini.

“Sadaka ya wanao wawili wa kiume haijatutosha kabisa. Tuna hitaji damu zaidi”

“Mkuu damu ya nani sasa?”

Ukimya kidogo ukatawala na kuyafanya mapigo ya moyo wa nabii Sanga kuanza kumuenda kasi sana kwa maana hana hamu ya kuwatoa sadaka wana familia yake.

“Nina hitaji ufanye jambo moja”

“Jambo lipi mkuu”

“Nina kuhitaji umuue raisi wako wa nchi kwa mikono yako wewe mwenyewe”

Nabii Sanga macho yakamtoka huku akinyanyua kichwa chake na kumtazama mkuu wake huyo.

“Kwa nini nimuue raisi?”

“Raisi ndio aliye mpatia mamlaka Josephine na ana msikiliza kuliko kitu chochote. Hadhina ambayo una ihitaji kuipata huwezi kuipata kama raisi Mtenzi ataendelea kuwa hai.”

“Je nikishindwa kulifanya hilo?”

“Huto weza kupata hadhina na uisahau kuipata kwenye maisha yako na wala huto weza kumdhuru Josephine kwa maana ana nguvu halisi kutoka kwa Mungu”

“Kwa hiyo mkuu nifanye hivyo tu?”

“Ndio fanya hivyo ila ukishindwa kufanya hivyo. Rudi kwenye mstari wako, achana na kumfwatilia Josephine na mwanao Julieth aache kazi mara moja ikulu na pia muhakikishe kwamba muna achana na biashara ya madawa ya kulevya. Lasivyo kila kitu kina kwenda mwisho kwenye maisha yako Sanga. Machaguzi ni wewe kuua au kokosa”

Nabii Sanga akashusha pumzi kidogo huku akimtazama mkuu wake huyo.

“Sanga ni muda wa wewe sasa kuondoka.”

“Sawa mkuu nina kushukuru”

Nabii Sanga akasimama na kutoa ishara za kuaga na kutoka katika pango hilo. Akavaa nguo zake na kuanza kuondoka mlimani hapo. Akafika barabarani na kuanza kutembea kuelekea kituo cha mbele kidogo ambapo kuna usafiri wa taksi. Akafanikiwa kufika eneo hilo huku akiwa amechoka sana. Akaingia ndani ya gari na kuianza safari ya kurudi hotelini.

***

“Hongereni sana”

Raisi Mtenzi alizungumza huku uso wake ukiwa umejawa na furaha kubwa sana.

“Nina shukuru muheshimiwa. Nina imani ume weza kupokea ule mkataba tulio wakuta nao Bokoharamu?”

“Ndio nime weza kuupokea na nita hakikisha tuna wastaki kwa kupanga njama hii”

“Sawa muheshimiwa”

“Kwa kazi hii kubwa mulio ifanya basi niwape mapumziko ya siku mbili hizi alafu tuweze kuendelea na mambo mengine”

“Sawa”

“Ahaa muheshimiwa nina kuomba niweze kuzungumza jambo”

Magreth alizungumza kwa sauti ya chini kidogo.

“Kuwa huru”

“Nina hitaji kuachana na shuhuli za kiserikali. Nina imani kwamba nime weza kutoa mchango mkubwa sana kwa nchi yangu na nime weza kufanikisha kazi iliyo kuwa ngumu sana ya kumpata mkuu wa kundi la Al-Shabab. Tafadhali nina kuomba sana muheshimiwa nirudi kwenye maisha yangu ya hapo awali”

Raisi Mtenzi akashusha pumzi kidogo huku akimtazama Magreth usoni mwake. Josephine macho yakamtoka kw amaana hakutarajia kama rafiki yake angezungumza mambo kama hayo.

“Mage!!”

Josephine alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao.

“Ndio Jose. Now nimefikia wakati wa mimi kutafuta familia, ni wakati wa mimi kuendeleza biashara zangu, hivyo nina omba iwe hivyo muheshimiwa raisi”

“Nakuomba nifikirie Magreth. Nina heshimu sana mawazo yako ila nina kuomba sana niweze kulitafakari hili jambo kwa maana ume kuwa ni mtu muhimu sana kwenye uongozi wangu”

“Nina shukuru sana muheshimiwa”

Mara baada ya mazungumzo hayo Josephine na Magreth wakaondoka ikulu na kurudi nyumbani kwa ajili ya kujipumzisha.

***

“Leo uingii ofisini?”

Jery alimuuliza mke wake huku akimtazama usoni mwake.

“Hapana, leo nipo mapumziko, baba aliweza kunipatia mapumziko mara baada ya ile oparesheni ya jana”

“Ahaa sawa sawa”

“Mume wangu leo nina hitaji twende Zanzibar tukapumzike”

“Zanzibar?”

“Ndio nina hitaji kwenda huko nikatulize akili yangu”

“Sawa hilo jambo ni zuri, tuna weza kwenda”

“Basi mjulishe baba ili tukienda twende na walinzi wa kutosha”

“Hakuna shaka”

Jery akamjulisha baba yake juu ya ombi hilo alilo litoa mkwewe. Hapakuwa na pingamizi lolote kutoka kwa raisi Mtenzi na akawakubalia juu ya safari hiyo na kuwapa mapumzikoyas iku mbili. Wakaondoka ikulu wakiwa na walinzi kumi, wakapanda boti maalumu ya ikulu na kuianza safari hiyo ya kuelekea kisiwani Zanzibar na wakafikizia katika hoteli iitwayo Gold Zanzibar Beach house and Spa.

“Nime papenda sana hapa mume wangu”

Julieth alizungumza kwa sauti nyororo huku akiangaza angaza ndani ya chumba hicho kilicho pangwa vizuri.

“Nina imani sasa akili yako ita weza kutulia ehee?”

“Ndio mume wangu”

Taratibu Jery akamshika kiuno Juleth kwa nyuma na kumgeuza. Kila anapo itazama sura ya mke wake ana muona mama mkwe wake mtupu.

“Mke wangu una jua ume fanana sanana mama yako?”

“Kweli?”

“Ndio yaani mume fananana. Jana ndio nilipata muda wa kuweza kugundua siri hiyo”

Julieth akatabasamu kwa furaha, laiti kama angefahamu kwamba mama yake ame weza kumuibia penzi lake wala asinge weza kujawa na furaha ya namna hiyo. Wakaanza kunyonyana denda, na taratibu wakaanza kuvuna nguo zao.

Kumbukumbu za Jery juu ya mwili wa mama yake mkwe, bado zina endelea kukitawala kichwa chake, akaanza kuyatomasa makalio ya mke wake huku akiendelea kumnyonya denda. Akamlaza kitandani na kuanza kunyonya maziwa yake. Jery akazidi kuonyesha mautundu yake na kuendelea kumuandaa mke wake na toka waoane hajawahi kumuandaa mke wake kwa kiasi hicho. Vitendo hivyo vipya vya Jery vikazidi kumpagawisha Julieth, hadi ikafikia kipindi akaanza kulia kuomba kushuhulikiwa na mume wake.

“Subiri baby”

Jery alizungumza huku akiwa amekishika kichwa cha jogoo wake na kukisuguu juu ya kisimi cha make wake. Julieth alizidi kulia kwa raha huku akijikuta akihisi kuingia kileleni. Mbinu zote hizo Jery aliweza kuzipata kwa mama yake mkwe kwani kuna kipindi alikuwa ana muomba aweze kumsugua kisimi chake kwa kutumia kichwa cha jogoo wake.

Jery alipo ridhika na maandalizi yake ya kumuandaa mke wake, akaanza mtanange huo huku akihakikisha kwamba tizi aliyo pewa na mama mke wake basi matunda yake yana onekana kwa mke wake. Julieth alijikukuta akizungumza lugha za kila aina kwa maana hakuwahi kushuhulikiwa namna hiyo.

‘Mume wangu nina kuomba unisamehe”

Julieth alijikuta akiropoka huku akisikilizia jinsi jogoo wa Jery anavyo endelea kumkuna kisawa sawa.

“Nikusamehe kwa kosa gani?”

Jery alizungumza huku akizidisha kasi kwa maana ana amini kwamba mke wake hana sababu ya kumuomba msamaha na kama ni mtu wa kuomba msamaha basi yeye ndio ana paswa kumuomba msaaha kwani ni jana tu ame toka kulala na mama mkwe wake.



ENDELEA

“Kwa…k….w….a..aa..a kuiangalia picha ya Evans kwenye computer “

Julieth alizungumza huku akilalama kwa raha anayo patiwa na mume wake. Jery akajikuta akitabasamu na kuongeza makeke ya utundu alio funzwa na mama mkwe wake.

“Una nipenda mke wangu”

“Ndio mume wangu nina kupenda sana”

Hadi wana fika tamani kila mmoja akawa ameburudika na kufurahia penzi la mwenzake.

***

Kutoka na kuelewa jitihada zake alizo zionyesha toka siku ya kwanza alipo jiunga na kundi la magaidi ambao ni majasusi wenye mafunzo ya hali ya juu. Evans Shika akafanikiwa kufunzu mafunzo yote ndani ya muda mchache. Uwezo wake wa kupigana Kareti, Taikondo, Kung Fu, Judo na uwezo wa kutumia silaha za aina zote kuanzia upanga hadi bunduki kubwa, ukawafanya wakuu wake kummpa ruhusu ya kumaliza mafunzo kabla ya wezake alio anza nao. Haikuwa siku raisi kwa Evans kuondoka kambini hapo kwa maana kuna marafiki zake wengi sana ame ishi nao kama ndugu na wengine walizoeana kiasi kwamba, wana jikuta wakimwagikwa na machozi kuona mwazo ana ondoka.

“Hakikisha una patwa na tatizo una nifahamisha”

Mwalimu wa karibu wa Evans alimuambia huku wakiwa wameshikana mikono.

“Usijali muheshimiwa, nita fanya hivyo”

“Nikutakie maisha mema katika kazi yako ya kulipiza kisasi”

“Asante”

Evans akaingia kwenye gari na moja kwa moja akaelekea jijini Mosscow katika jumba la kifahari linalo milikiwa na babu yake Baby Al. Akapokelewa na mzee huyo pamoja na mke wake.

“Sikutarajia kama unge rudi mapema kiasi hichi”

Mzee huyo alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana usoni mwake. Baaa ya dakika kumi Baby Al akafika hapo huku kakiwa na furaha sana. Wakakumbatiana huku wakipeana mabusu motomoto. Wakazungumza mambo mengi sana ikiwemo kazi ambayo Evans ana kwenda kuifanya.

“Una uhakika haito kuwana madhara?”

Baby Al alimuuliza Evans huku akimtazama usoni mwake.

“Ndio, kwa hapa nilipo fikia hakuna ambaye ana weza kunitatiza”

“Sawa mume wangu mimi nime ridhika kwa asilimia mia moja kwa maana hiyo serikali yako ime nishikia mtu wangu muhimu sana”

“Naelewa. Nita hakikisha nina muokoa, ila kwa sasa ninacho hitaji ni kuwekewa sura bandia.”

“Hilo lina wezekana, tena hata ukihitaji leo basi ina weza kufanikiwa.”

Mzee huyo alizungumza huku akimtazama Evans usoni mwake.

“Basi nina omba mzee wangu nisaidie katika hilo. Nina hofia sana nikirudi katika sura yangu ya kawaida basi itakuwa rahisi sana kwa wao kuweza kunigundua”

“Hakuna shaka hilo lime kamilika”

Hapakuwa na wakati wa kupoeza akapigiwa simu daktari huyo ambaye ni bingwa wa kutengeneza sura bandia. Kutokana na heshima ya mzee huyo akafika nyumbani hapo kwa haraka akiwa na vifaa vyake. Akamtazama Evans uso wake na akaanza kuunda sura ambayo ata muwekea Evans.

“Ina chukua muda gani kutengeneza hiyo sura?”

“Ita chukua kama dakika hamsini hivi”

Baby Al aliuliza na daktaria akaendelea kuunda sura hiyo. Baada ya lisaa oparesheni ikaanza huku Baby Al na babu yake wakiifwatilia kwa ukaribu sana. Oparesheni hiyo ikachukua masaa matatu naikaisha salama.

“Bandeji ita tolewa asubuhi”

Dakrari aliwaambia Baby Al na babu yake huku wakimtazama Evans aliye lala kitandani huku kichwa chake chote kikiwa kimezungushiwa bandeji nyeupe.

“Sawa dokta”

Asubuhi na mapema daktari huyo akazitoa bandeji alizo fungwa nazo Evans usoni mwake. Hakika sura yake hiyo mpya ni ngumu sana kwa mtu kuweza kumtambua kwa haraka kama ndio yule Evans wa mara ya kwanza. Baby Al na baba yake wakajawa na furaha kuwa sana.

“Ume zidi kuwamzuri mume wangu”

“Kweli?”

“Ndio”

“Nashukuru”

“Kijana ina bidi sasa hiyo sura yako uweze kuitumia vizuri”

“Usijali babu nita zidi kuitumia vizuri. Nina imani kwa kazi ambayo nina iendea kuifanya nchini Tanzani basi ita kuwa ni kazi itakayo leta manufaa. Alafu je dokta haya makovu mwilini mwangu nina weza kuyatoa?”

“Ndio, kuna aina mbili za utoaji wa hayo makovu yasionekane. Kuna njia ya dawa ya kupaka na sindano ipi una ihitaji?”

“Njia ya dawa ya kupaka ina chukua muda gani na sindano zina chukua muda gani?”

“Sindano una chomwa mara mbili na makovu yana potea ndani ya siku nne hadi tano. Dawa ya kupaka ina chukua wiki hadi siku kumi”

“Ita kuwa ni vizuri nikichoma sindano”

“Basi ina bidi twende hospitalini kwangu nika kuchome hiyo sindano kwani sikuweza kuja nayo”

“Sawa. Babu ninge pesa niweze kupata hati ya kusafiria?”

“Hilo halina shida, je jina utatumia hilo hilo Evans Shika au utatumia jina gani?”

“Tumia Geogre mume wangu”

Baby Al alipendekeza huku akiwa amejawa na furaha usoni mwake.

“Sawa nitatumia jina hilo kama hauto jali mke wangu”

“Sasa Geogre nani?”

“Mmmm Geogre Sang”

“Kwa nini Sanga mume wangu, ikiwa huyo ndio mtu ambaye una hitaji kumlipizia kisasi?”

“Nahitaji kuto msahau hivyo nina hitaji kutumia jina hilo”

“Mmmm sawa”

Wakaondoka nyumbani hapo na kuelekea hospitalini kwa daktari huyo. Evans akachoma sindano moja na akakabidhiwa kichupa cha sindano ambayo ana paswa kuchoma siku inayo fwata, muda na wakati kama huo. Baby Al na Evans wakarudi nyumbani na kukuta hati yake ya safari ikiwa imesha andaliwa.

“Mume wangu nipo kwenye siku za hatari, kama una hitaji tupate mtoto wakati ni sasa”

Baby Al alimnong’oneza Evans na wakajikuta wakitabasamu mbele ya mzee huyo.

“Kwa hiyo Evans una ondoka leo au kesho?”

Mzee huyo alimuuliza huku akiwatazama Evans na Baby Al.

“Nitakujibu babu yangu”

Evans alijibu huku akiwa amejawa na furaha sana. Wakakimbilia chumbani, na kila mmoja hakuwa na haja ya kuelezea ni kitu gani kinacho fwata. Wakavua nguoa na kupanda kitandani na kuanza kufurahia penzi lao. Hadi wanafika kileleni, Baby Al akijisikia jinsi waarabu weupe wanavyo ingia ndani ya mwili wake.

“Hapa sasa nahisi mimba ime ingia mume wangu”

Baby Al alizungumza huku akiwa amejilaza kifuani mwa Evans.

“Kweli?”

“Ndio, yaani shahawa zako nime zisikika kabisa jinsi zinavyo ingia huko tumboni mwangu”

“Hahaa, wata kuwa mapacha hao”

“Weeee nitafurahije”

“Hahaa kumbe una penda sana mapacha?”

“Ndio mume wangu nina penda mapacha”

Siku iliyo fwata Evans, majira ya saa tano asubuhi wakamsindikiza hadi kiwanja cha ndege. Safari ikaanza kuelekea nchini Tanzania.

***

“Sina muda wa kukaa hapa nchini Nigeria hivyo usiku wa leo nina ondoka”

Nabii Sanga alimuambia Caro huku akiwa amejilza kitandani na pembeni yake yupo Caro, huku wote wakiwa uchi kamawalivyo zaliwa.

“Kwa hiyo una niacha peke yangu mpenzi wangu”

“Kwani biashara yako iliyo kuleta huku haijakamilika?”

“Ime kamilika kiasi”

“So si turudi wote kwa maana kuna mambo muhimu sana nina hitaji kwenda kuyafanya nchi Tanzania”

“Kutokana ni wewe ume zungumza basi nipo tayari kurudi na wewe Tanzania”

“Hivi Tanzania una kaa wapi, kwa maana tume zungumz amambo mengi sana ila hukuaniambia?”

“Naishi Kimara Mwisho”

“Una ishi na nani?”

“Na mpenzi wangu, ila ni kijana tu ambaye kila kitu huwa mimi ndio ninaye muhudumia”

“Mmmmm”

“Ndio ni vyema nikakueleza ukweli kuliko huko baadae ukaja kugundua kwamba nina mahusiano na kijana uta nichukia”

“Sawa, ilakama unavyo tambua mimi ni mtu maarufu sana nchini Tanzania, sinto hitaji siku hata moja ije kujulikana kwamba tuna mahusiano na nita kuwa mimi pekee ndio ninaye kutafuta ni wapi tuonane na kwa muda gani. Umenielewa?”

“Ndio nime kuelewa”

“Maduka yako hadi sasa yana mtaji kiasi gani?”

“Kama milioni hamsini hivi”

“Poa, una masaa matatu ya kwenda kukusanya hizo biadhaa zako, nina kupa dila elfu hamsini sasa hivi ukachukue hizo bidhaa zako, uzitume kabisa zitangulie Tanzania nina kusubiri hapa hotelini turudi nchini Tanzania”

“Waooooo asante sana mume wangu. Mungu akubariki sana”

Caro alishangilia sana kwa maana hakuwahi kuongwa kiasi kikubwa cha pesa kama hicho. Nabii Sanga akashuka kitandani, akafungua begi lake na kutoa vibunda vya pesa na kumkabidhi Caro. Ambaye tayari ameyahamishia mabegi yake kutoka ndani kwake na kuyaingiza chumbani kwa nabii Sanga. Akajianda aharaka haraka na kuelekea madukani ambapo ndipo anapo chukulia bidhaa zake. Baada ya kukamilisha kilakitu, Caro akarudi hotelini akiwa amejawa na furaha kubwa sana. Majira ya saa mbili usiku walaekekea uwanja wa ndege na kuianza safari ya kurudi nchini Tanzania.

***

“Mage”

“Bee”

“Ume sema kwamba una acha kazi, una hitaji kuwa na familia je umesha pata mwanaume wa kumkabidhimoyo wako?”

Josephine alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Mungu anisaidie kwa maana upando wangu juu ya Evans bado haujaisha”

“So una mpenda Evans?”

“Ndio bado nina mpenda. Una jua Evans ndio mwanaume wangu wa kwanza kumpenda, japo yule jangili aliweza kudhulumu penzi la Evans kwangu”

Josephine akaka kimya kwa sekunde huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Hivi nabii Sanga ndio aliye kutoa usichana wako?”

“Ndio si nilisha kuadisia”

“Ndio nina kumbuka. So kama alikutoa usichana na akakuachanisha na Evans, basi ni lazima Evans ata kuwa na chuki dhidi yako na yeye?”

“Nahisi hivyo na sijawahi kumuona tena Evans, sijajua kama yupo hai au amesha kufa kijana wa watu”

“Nina hisia mbaya juu ya Ethan”

“Una maanisha nini?”

“Ninacho kihisi kwa ufahamu wangu tu wakibinadamu, ipo siku Evans ata rudi na kulipiza kisasi”

“Kama ata rudi kulipiza kisasi, mimi hakito nihusu kwa maana nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kumuokoa ile siku hadi tuka pata ajali. Ila tuachane kuzungumzia mambo ya Evans kwa maana kwa sasa hayupo kwenye maisha yangu”

“Ila una mpenda ume sema?”

“Ndio nina mpenda, ila simuhitaji kwa maana uliniambia ana ongozwa na jini, isistoshe alikuwa ana shirikiana na yule marehemu makamu wa raisi. Hivyo sitaki tuzungumzie mambo hayo. Kwanza nisikilize wazo langu, nahitaji kufungua mgahawa mkubwa kuliko ule wa kwanza”

“Sawa lile eneo lako si lipo?”

“Ndio lipo hivyo nataka nianze mchakato wa kujenga. Kesho twende tukaliangalie”

“Sawa tuta kwenda”

Magreth na Josephine wakaendelea kuzungumza mambo mengi huku wakikumbusha maisha ya nyuma. Walipo jihisi kuchoka, kila mmoja akaingia chumbani kwake na kulala.

***

Majira ya saa tisa usiku nabii Sanga na Caro wakafika jijini Dar es Salaama. Kutokana nabii Sanga hakumueleza mkewe chochote juu ya ujio wake wa siku hiyo hivyo ikamlazimu kukodisha kuelekea nyumbani kwake, huku Caro naye akikodisha taksi kulekeka nyumbani kwake. Nabii Sanga akafika getini kwake, akashusha mabegi yake kwenye taksi hiyo na akagonga mlango, walinzi wakamfungulia na kumpokea mizigo.

“Pole sana kwa safari mzee”

“Nina shukuru. Vipi mama yupo?”

“Ndio yupo”

“Ametoka leo?”

“Hapana siku nzima hajatoka leo”

“Sawa”

Nabii Sanga akamlipa dereva taksi huyo kiasi cha pesa walicho kubaliana, kisha moja kwa moja akaelekea ndani. Akatazama mazingira ya sebleni hapo na kuona chupa ya wyne pamoja na glasi moja ya wyne ambayo ipo nusu kiasi, akaisogelea na kuinusa na kugundua ni wyne ambayo mara nyingi mke wake ame kuwa akiinywa. Akapandisha garofani na kusimama mlangoni kwake, akajaribu kuufungua mlango na kwa bahati nzuri akakuta upo wazi. Akaingia dani kwake taratibu na kumkuta mke wake akiwa amejifunga kitende huku amelala kifudi fudi. Nabii Sanga akawasha taa yenye mwanga hafifu kisha akakaa pembeni ya kitanda na kumtingisha mke wake.

“Baby”

“Mmmm”

“Nimerudi”

Mrs Sanga akajinyanyua taratibu huku akiwa amejawa na lepe la usingizi.

“Woo mume wangu. Ume ingia saa ngapi?”

Mrs Sanga alizungumza huku wakimkumbatia mume wake.

“Muda huu”

“Mbona hukuniambia nije nikufwate Air port?”

“Ni usiku sana hivyo nikaona nita kusumbua mke wangu. Ngoja nioge nilele kwa maanan ime choka sana”

“Sawa mume wangu”

Nabii Sanga akaingia bafuni na kuoga haraka haraka, na kupanda kitandani. Mrs Sanga hakuhitaji kulala. Akaanza uchokozi wa kumchua chua jogoo wa mume wake na alipo simama wima, taratibu Mrs Sanga akamkalia jogoo wa mume wake na kuanza kujihudumia yeye mwenyewe.

***

Majira ya saa moja asubuhi ndege aliyo panda Evans Shika ikatua katika kiwanja cha mwalimu J.K Nyerere. Akafungua mkanda wa siti aliyo ikalia na kusimama taratibu. Akaanza kushuka kwenye ngazi taratibu huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana. Akafanikiwa kupita katika sehemu za kukaguliwa pasipo kujulikana na jina lake lina someka ni Geogre Sanga.

“HALOOO TANZANIA”

Evans alijikuta akizungumza kwa furaha huku akitazama mazingira ya uwanjani hapo, kwani ana amini kama amefanikiwa kupita salama uwanjani hapo pasipo kujulikana, basi ana uhakika mipango yake aliyo ipanga ndani ya ndege basi ina kwenda kukamilika kwani kisasi chake ana hitaji kukikamilisha kwa ustadi wa hali ya juu pasipo kukamatwa wala mtu yoyote kujua.



“Kaka taksi”

Dereva abiria kadhaa walimsogelea Evans huku kila moja akimsihi akapende taksi yake.

“Wewe twende’

Evans alimuambia mmoja wa madereva hao na wakaanza kutembea kuelekea alipo egesha taksi yake. Evans akafungua mlango wa nyuma na kukaa kwenye siti.

“Kaka wapi nikupekeke”

Dereva huyo alizungumza huku akifunga mkanda wake vizuri.

“Nemax”

“Sawa”

Safari ikaanza huku wote ndani ya gari wakiwa kimya. Ili kuutoa ukimya huo dereva akawasha redio na wakaendelea kusikiliza habari za asubuhi hiyo kwenye moja ya kituo cha redio kikubwa nchi Tanzania.

“Nchi yetu bwana hii”

Dereva taksi alizungumza huku akisimamisha gari lake nyuma ya moja ya basi dogo la abiri.

“Ina nini?”

Evans alizungumza kwa sauti ya upole kidogo.

“Yaani toka ilipo pata yale majanga ya milipuko, basi ujenzi wake una kwenda taratibu sana. Yaani ingekuwa ni nchi za wezetu kwama China na mataifa mengine sasa hivi ungekuta magorofa yamesha panda kama yalivyo kuwa”

“Ndio maana kuna utofauti wa China na Tanzania. Ila Mungu ni mwema nchi itarudi kwenye hali yake ya kawaida”

“Nahisi ni hadi watoto wetu waje kuwa watu wazima. Alafu hii serikali ya huyu Mtenzi sijui kwa nini ime kuwa ina kumbw ana mashambulizi ya ajabu ajabu”

“Hayo mimi na wewe hatuyajui. Hivi una mfahamu mtumishi mmoja anaye itwa nabii Sanga”

“Nabii Sanga ni nani asiye mfahamu Dar es Salaam hii. Hata usiku wa kuamkia leo nilimbeba kwenye hii taksi yangu na kumpeleka kwake alikuwa ana toka safarini”

“Ahaaa hivi maombi yake ni mazuri?”

“Sana yaani yule ni mtu wa Mungu kabisa. Yaani ana ombea watu kimaisha wana toka vibaya sana. Wagonjwa wana pona, wamama wana pata ujauzito. Kiufupi yule ni bonge moja la mtumishi wa Mungu. Mimi mwaka juzi nilipata ajali na gari la bosi wangu mmoja hivi. Mguu wangu pale Muhimbili walisema hauto pona kabisa kwa maana walisema hauto weza kupona na walihitaji uweze kukatwa. Ila mke wangu akaniambia hapa, akaenda pale kwa yule nabii, akaja na maji ya upako pamoja na mafuta ya upako, akaanza kunipaka mguu wangu, huwezi amini kaka, hadi madaktari walishangaa. Yaani nilikaa wiki mbili tu nikatoka hospitali nikiwa mzima kabisa. Yule tajari wangu alipanga nimlipe gari yake, sikkuwa na pesa, ila nilijikuta nina pata deiwaka za washakaji wangu, ninapata mpunga mara tatu ya ule nilio kuwa nina ingiza nikiwa na gari ya yule tajri. Nikamlipa na nika nunua hii gari yangu mpya kabisa. Yaani kusema kweli yule nabii Sanga nina mshukuru sana kwa maombi yake”

Dereva taksi alizungumza akiwa na furaha kubwa sana.

‘Laiti munge mjua musinge msifia hivyo’

Evans alizungumza kimoyo moyo huku akiwa ana tabasamu.

“Una kwenda kwake kaka?”

“Hapana, nahitaji nami niende kanisani kwake siku”

“Sawa kaka, yaani pale nina kuhakikishia uta pata upako wa kutosha”

“Nashukuru kwa kunipa moyo”

“Usijali”

“Hivi yule binti yake yupo nchini?”

“Yaa juzi hapa nilimuona pale air port. Amekuja na walinzi wa kutosha, akaingia kwenye gari la baba yake wakazungumza kidogo kisha akarudi kwenye magari aliyo jia nayo na kuondoka. Si una jua ame olewa yna mtoto wa muheshimiwa. Basi ulinzi wake ni lazima, ila nabii wetu alipitia kipindi kigumu sana kwa maana kwenye ile milipuko alifiwa na wanaye wawili wa kiume”

“Aise kumbe?”

“Ndio kwani wewe sio Mtanzania?”

“Ni Mtanzania, ila hayo mambo yote yalipo nilikuwa masomoni nchini Marekani”

Evans aliongopa.

“Aise hali ilikuwa ni ya kutisha. Nakumba siku hiyo nilikuwa mkoani Morogoro na familia yangu. Nilitamani sana kuudhuria harusi hiyo ila mama yangu alikuwa ana umwa hivyo ilitupasa mimi, mke wangu na mwanangu twende kule”

Dereva taksi alijikuta akizungumza mambo hata ambayo hayajuulizwa na Evans. Wakafika katika hoteli ya Nemax, Evans akamlipa dereva huyo.

“Nahitahi namba yako kwa maana nita kuwa nina hitaji kufanya mizunguko yangu hapa mjini hivyo ita kuwa ni vizuri kama tuta kuwa tuna zunguka kwa pamoja”

“Hakuna shaka kaka, nina bussines card hapa. Namba zangu zote zipo hapo, Tigo na Voda. Msasaa ishirini na nne zipo hewani”

“Nashukuru”

Evans akashuka kwenye gari na kuingia kwenye hoteli hiyo. Akalipia chumba cha hadhi ya juu na akakabidhiwa kadi na kuelekea katika chumba chake akifwata maelekezo aliyo pewa na muhudumu aliye mkuta. Evans akakikagua chumba hicho na kuhakikisha hakina kamera za siri wala vinasa sauti vya siri vilivyo fungwa ndani ya chumba hicho, kwani kuna baadhi ya mahoteli huwa wana wana funga balbu za taa ambazo ndani yake zina kamera ambazo huwa zina warekodi wageni wao wanapo kuwa ndani ya vyumba hivyo. Evana akamtumia ujumbe kwa njia ya whatsapp Baby Al na kumfahamisha kwamba ame fika. Saa yake katika simu ina onyesha ni saa mbili na dakika hamsini asubuhi.

‘Sanga, Magreth, Jery, Julieth na Josephine nime rudi kwa ajili yenu. Kabla sijawaua lazima mupitie kwenye mateso ambayo nime pitia mimi. Hahaaaa’

Evans alizungumza kimoyo moyo huku akijilaza chali kitandani na kuendelea kupangilia mipango yake ya namna gani atakavyo lipiza kisasi cha uchungu kwa watu hao watano anao wafikiria kichwani kwake.

***

Hadi kuna pambazuka, nabii Sanga hakuweza kupata usingizi kabisa. Japo mke wake aliye kuwa ana jihudumia kwenye tendo la ndoa, kukata haja yake na kusinzia. Nabii Sanga akaka kitako kitandani huku akijaribu kupia mahesabu ya nini afanye.

Akijaribu kutazama swala la kumuua raisi Mtenzi kwa kweli sio jambo dogo kwa manaa lazima ajulikane na mbaya zaidi ana paswa kumuua yeye mwenyewe kwa mikono yake mwenyewe.

‘Mke wangu na mwanangu nina weza kuwaacha katika mazingira mabaya sana’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku mapigo ya moyo yakimuenda mbio.

‘Hiyo hazina nina ihitaji ila kwa sasa ina bidi nitumie akili. Lazima nitafute mtu ambaye ata kuwa karibu na Josephine pamoja na Magreth kwa kufanya hivyo nina imani nita jua kila aina ya nyendo wanayo ifanya.’

Nabii Sanga alizungumza na kwa haraka akashuka kitandani, akaitazama saa yake na kukuta ni saa tatu kasoro dakika mbili asubuhi, wakachukua ismu yake na kuitafuta namba ya Juliethna kumpigia.

“Baba shikamoo”

“Marahaba, vipi ume lala?”

“Ndio, naona una tumia namba yako ya Tanzania. Umesha rudi nchini?”

“Ndio, nina weza kutana na wewe?”

“Kwa leo baba ita kuwa ni ngumu kwa maana nipo Zanzibar na mkweo tupo mapumziko ya siku mbili”

“Ohoo basi sawa. Hakikishaunapo rudi basi una wasiliana na mimi”

“Sawa, ume nijia na zawadi gani baba?”

“Mmmmm sija kuja na zawadi yoyote”

“Jamani baba”

“Yaa sia kuja na zawadi yoyote, ila kama una hitaji nita kutafutia mwanangu”

“Usijali, vipi mama yupo poa?”

“Ndio ame jipumzisha”

“Basi nita zungumza naye baadae”

“Hakuna shaka”

Nabii Sanga akakata simu na kuiweka pembeni.

“Una zungumz ana nani asubuhi hii yote mume wangu”

Mrs Sanga alizungumza kwa sauti ya uchovu.

“Nina zungumza na mtoto, ila sasa hivi ni saa tatu”

“Saa tatu asubuhi?”

Mrs Sanga alizungumza kwa kuhamaki.

“Ndio, vipi?”

“Ohoo Mungu wangu nime chelewa”

“Wapi tena?”

“Kuna wamama wa kanisa waliniomba niende nao kutembelea kituo cha watoto yatima asubuhi hii na nikawakubalia. Ohoo Mungu wangu nime chelewa”

Mrs Sanga akanyanyuka kwa haraka, kitendo cha kukimbilia bafuni huku makalio yake yakitikisika kika mfanya nabii Sanga kutabasamu na uchu wa mapenzi ukamkamata. Akaingia bafuni humu na kumkuta mke wake akiwa katika harakati za kupiga mswaki.

“Baby nime chelewa”

Mrs Sanga alizungumza huku akijitoa mikononi mwa mume wake amabaye tayari amekumbatia kwa nyuma huku akimtomasa tomasa maziwa yake pamoja na makalio.

“Kidogo tu mke wangu”

Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kugusa sehemu muhimu za mke wake ambazo ana jua akifanya hivyo basi ni rahisi kulainika. Mrs Sanga hakuwa na ujanja, taratibu akajikuta akilegea na kukubali ombi la mume wake na wakaanza kupeana utamu.

***

“Eneo hili una onaje”

Magreth alimuambia Josephine huku wakilitazama eneo kubwa ambalo ame linunua kwa ajili ya kujenga hoteli pamoja ma mgahawa.”

“Ni zuri sana na kwenye maono yangu nina ona jinsi gani hili eneo litakavyo kuwa kubwa sana na watu wengi watakavyo kuwa wana kuja hapa kwa ajili ya kula na kulala”

“Una jua ndoto yangu toka nilipo kuwa mtoto mdogo, nilikwuwa nina muambia mama yangu kwamba ipo siku nita kuja kumiliki hoteli. Nina amani tukiipata hadhina hiyo nita jenga hoteli ambayo ita kuwa ni kubwa sana Tanzania haijawahi kutoke”

“Kama una taka kujenga bonge la hoteli hapa. Inabidi uongeze kununua baadhi ya maeneo kama nyumba ile na ile ina bidi uzinunue”

“Sawa, ngoja tupate hizo pesa za hadhina”

“Ila Magreth nina swali”

“Swali gani?”

“Hii hadhina una jua ni muhimu sana kwa taifa na kwetu pia”

“Ndio”

“Sasa inavyo sema kwamba una hitaji kuachana na kazi ya kuisaidia serikali ita kuwaje ikiwa bila wewe mimi kukamilisha baadhi ya mambo ita kuwa ni vigumu”

Magreth akashusha pumzi taratibu huku akivua miwani yake. Akamtazama Josephine usoni mwake kwa sekunde.

“Ni lini tuta ipata hiyo hadhina. Hadi sasa hivi sielewi ni mambo yanavyo kwenda”

“Natambua kwamba Mungu hakawii wala hawai na isitoshe hadhina hiyo haiwezi kupatikana pasipo damu yangu na hata wakilitafuta vipi hilo eneo basi wana weza wasilione”

Simu ya Josephine ikaanza kuita, akaitoa katika mfuko wa suruali yake na kuitazama namba hiyo.

“Hii namba ni ngeni kwangu”

Josephine alizungumza huku akiendelea kuitazama namba hiyo.

“Ipokee na weka loud speaker”

“Sawa”

Josephine akaipokea simu hiyo na kufanya kama alivyo agizwa na Magreth.

“Haloo”

“Josephine mambo vipi?”

Sauti ya kike ilisikka masikopni mwake.

“Nani wewe?”

“Mimi Matha”

“Matha yupi?”

“Tule tuliye kuwa tuna imba kwaya kanisani”

“Ohoo mambo rafiki yangu”

“Safi najua utakuwa una jiuliza nime itoa wapi namba yangu”

“Ni kweli na ndio swali ambalo lilikuwa lian fwata”

“Ni kweli nime kabidhiwa na mpenzi wangu mtarajiwa una fanya naye kazi na ameniambia wewe ni bosi wake yaani nime shangaa kweli”

“Mimi ni bosi wake?”

“Ndio ame sema wewe ni bosi wake”

“Ni nani huyo”

“Huyu hapa ongea naye”

“Boss habari ya mapumziko”

“Samson!!”

Josephine alizungumza akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.

“Ndio boss”

“Wewe”

“Boss bwana leo ni birthday yangu nami nipo mapumziko”

“Waooo sherehe ina fanyikia wapi sasa?”

“Ndio tupo hapa Samaki Samaki mlimani City. Kama una muda njoo bosi wangu”

“Mage vipi twende?”

“Sawa”

“Kumbe upo na dada Mage”

“Ndio nipo naye. Basi tuna kuja hapo”

“Poa”

Josephine akakata simu na wakaondoka eneo hilo. Wakafika mlimani City na moja kwa moja wakaeleka katika duka la apple store na kununua laptop moja ya bei ya juu kupita zote. Kisha wakaelekea kwenye mgahawa huo wa Samaki Samaki. Wakamkuta Samson akiwa na Matha. Wakasalimiana kwa furaha sana.

“Mbona sasa keki hatuioni?”

Josephine aliuliza.

“Keki ina kuja musijali”

Samson alijibu huku akiwa amejawa na furaha sana. Wakaanza kupata vinywaji huku wakiwasubiri wazazi wa Samson na Matha waweze kufika eneo hilo. Macho ya Magreth yakajikuta yakiganda kwa mwana kaka aliye suruali yeusi, tisheti nyeusi pamoja na raba nyeusi, huku akiangaza angaza katika mgahawa huo akitafuta sehemu ya kukaa. Moyo wa Evans ukastuka kidogo, ila akazuia mstuko wake mara baada ya kumuona Magreth anaye mtazama kwa mshangao huku pembeni yake akiwa amekaa Josephine anaye zungumza na mwanaume mwengine pamoja na msichana ambao watu hao wawili hawafahamu.



“Habari yako dada”

Muhudumu mmoja aliye valia sketi fupi iliyo mkamata vizuri mwili wake na kulichora vizuri umbo lake la namba nane, alizungumza huku akiwa amesimama mbele ya Evans.

“Salama tu dada yangu”

“Kuna meza ile pale una weza kwenda kukaa”

“Nashukuru sana kwa ukarimu wako”

Evans alizungumza huku akimtazama mwana dada huyo jinsi alivyo mrembo. Akaongozana na mwana dada huyo hadi kwenye meza hiyo. Taratibu Evans akavuta kiti ambacho kina tazamana na meza waliyo kaa Magreth na wezake.

“Nikuletee kinywaji gani?”

Mwana dada huyo alizungumza huku naye akiwa amejaw ana tabasamu pana sana. Uzuri wa mwana dada huyu ukamfanya Evans kushusha pumzi huku akiendelea kumtahimini kwa haraka haraka.

“Niletee juisi ya tikitimaji na iwe me kamuliwa limao au ndimu ya kutosha”

“Sawa, kingine?”

“Nita kufahami. Ila una itwa nani?”

“Laila”

“Wooo jina zuri”

“Ninas hukuru”

Laila akaondoka huku akiwa amejawa na tabasamu pana. Magreth akamsindikiza Laila kwa macho makali ambayo yandani yake yamejaa wivu kiasi kwa maana uchangamfu alio uonyesha mwana dada huyo kwa mwanaume ambaye ame ustua moyo wake hakika, kwenye maisha yake mtu wa pekee aliye weza kuustua moyo wake ni Evans.

“Mage mbona huna raha?”

Josephine alimuuliza Magreth mara baada ya kumuona akiwa katika hali ya huzuni na hasira kiasi.

“Ehee?”

“Mbona huna raha, juisi yako hunywi una nini?”

“Nipo poa”

Magreth alijibu kwa kifupi na kupotezea huku akichukua simu yake na kuweka upane wa kamera. Akatoa mwanga ambao hata akipiga picha usionekane. Akajifanya kama ana piga picha kumbe tayari amemvuta kijana huyo na ambaye ana soma soma menu ya mgahawa huo.

“Una fanya nini Mage una mpiga picha yule kaka wa watu?”

Josephine alizungumza kwa sauti ya kunong’oneza huku akimshangaa rafiki yake.

“Bwana na wewe nini?”

“Nime kuuliza tu, sasa una pigaje picha kaka wa watu ambaye humjui”

Josephine alizungumza kwa sauti ya kunong’oneza.

“Yaani nisiwe mnafki Jose, yule kaka ametokea kuutetemesha moyo wangu”

“Yaani ume muaona sasa hivi tu na moyo wako ume tokea kumpenda?”

“Ndio”

“Mmmm nime kujua kwa muda mrefu sana na nina jua ume ona wanaume wengi sana ila kwa huyu ime kuwaje?”

Josepehine eliendelea kuzungumza huku akijawa na mshangao mkubwa sana.

“Hata mimi sielewei rafiki yangu ila ukweli ni kwamba nime tokea kuvutiwa na yule kaka.”

“Yaani yule muhudumu ana nikera”

Magreth alizungumza huku uso wake ume jikunja ndita hadi Samson na mpenzi wake wakastuka.

“Muhudumu gani tena dada mkubwa?”

Samson alizungumza kwa mshangao.

“Hakuna”

Magreth alijibu kwa kifupi huku akimtazama muhudumu anaye muhudumia mwanaume anaye muhitaji.

“Ehee Laila una toka saa ngapi?”

“Saa nane hii mchana”

“Ahaa, so tuan weza kwenda kupata lunch sehemu nyingine tofauti na hii baada ya muda wako kuisha?”

“Mmmm ngoja niangalia kwa maana zime baki kama dakika kumi na tano ili niweze kutoka”

“Sawa”

Evans akafungua pochi yake na kutoa noti moja ya dola mia na kumkabidhi Laila.

“Utakata bei ya juisi na itakayo saliaa uta chukua”

Leila akahisi kama ame sikia vibaya ika mbidi kuuliza tena na Evans akamjibu kama alivyo mueleza awali.

“Nashukuru sana kaka yangu”

“Una karibishwa”

“Nina kuja sasa hivi”

Leila akaondoka na kuelekea duka la kubadilisha pesa za kigeni. Akakabidhiwa kiwango cha shilingi laki mbili na ishirini kwa dola hiyo mia moja. Akarudi mgahawani na moja kwa moja akaelekea kwa muhasibu na kulipa pesa ya juisi hiyo moja huku pesa nyingine akizichimbia kwenye sidiria yake. Japo ame fanya kazi katika mgahawa huo kwa miaka mitatu mfululizo ila hajawahi kupewa pesa kama hizo na mteja yoyote aliye wahi kumuhudumia. Leila akachukua kikaratasi na kuandika namba yake ya simu na kukiweka katika kitabu maalumu cha kuwekea pesa na kurudi mezani kwa Evans.

“Nimesha lipa tayari. Humu ndani kuna namba yangu ya simu”

Leila alizungumza kwa sauti ya chini ili mfanyakazi mwenzake anaye hudumia meza ya jirani asiweze kusikia.

“Nashukuru, so nikupigie baada ya muda gani?”

“Kama ikiwezekana una weza kutangulia pale getini. Nina badilisha nguo na kusaini kisha nina toka”

“Sawa”

Leila akaondoka, Evans akafungua kitabu hicho na kutazama kikaratasi hicho, akakichukua na kuikremisha namba hiyo kichwani mwake, kisha kikaratasi hicho akakiweka mfukoni. Akainywa juiso hiyo haraka haraka na kunyanyuka na kuanza kutembea kuelekea nje.

“Jose nina kwenda kumfwata yule kaka”

“No huo ni utoto Mage. Ina kuwaje ame kuchanganya dakika hizi hizi. Hembu achana naye”

“Jose nime vutiwa naye?”

“Sawa ume vutiwa naye ila una mjua. Kaka mwenyewe ume ona alicho kifanyana yule muhudumu. Acha kuwashobokea hawa wanaume wa Dar ndugu yangu uta pata ukimwi”

Josephine alizungumza kwa msisitizo. Samson akamtazama Magreth na Josephine jinsi wanavyo bishana kuhusiana na mwanaume aliye toka ndani hapo.

“Nina kuja”

Samson alizungumza huku akinyanyuka na kuanza kutemeba kwa hatua za haraka kuelekea anapo kwenda Evans.

“Hei kama mambo vipi?”

Samson alimsalimia Evans na kumfanya asimame huku akimtazama kwa mshangao kidogo kwa maana hawajuni.

“Safi vipi?”


ITAENDELEA



0 comments:

Post a Comment

BLOG