Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

MKE WA RAISI (PRESIDENT‘S WIFE) SEHEMU YA 3/10

 

 


 MKE WA RAISI (PRESIDENT‘S WIFE)

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+ 

SEHEMU YA 3 KATI YA 10

 




Ndoto za dokta Ranjiti zikayanyuka kama barafu linavyo yayuka, kwani kitendo chake kiliweza kuonewa na mlinzi wa Shamsa, na kwaharaka akamuwahi hata kabla hajanyanyuka na kuondoka katika eneo hilo. Wanajeshi ambao bado wanaendelea kunzuia Shamsa wakashangaa kuona gari nyingi kutoka ikulu zikisimama katika nyumba hiyo.

“Niliwambia”

Shamsa alizungumza huku akiirudisha bastola yake kiunoni. Kwa haraka wanajeshi hawa wakafungua geti, gari hizo zikaingia ndani huku mlinzi wa Shamsa naye akiingiza gari lake ndani ya eneo la jumba hilo linalo milikiwa na Eddy. Shamsa akafungua mlango wa gari alilo kuna nalo na kumshusha dokta Ranjiti ambaye muda wote tayari emesha jikatia tamaa.

“Mleteni huku”

Shamsa alizungumza huku akitangulia kuelekea ndani, moja kwa moja wakaelekea katika chumba kilichopo chini ya ardhi ambacho Eddy anamehifadhi silaha zake. Dokta Ranjiti akafungwa mikono yake kikamilifu akageuzwa kichwa chini mihuu juu ya kufungwa kwenye bomba kubwa lililo fungwa juu ya dari. Walinzi hawa wawili wakatoka na kumkuta raisi Rahab amesimama nje ya mlango.

“Unaweza kuingia muheshimiwa”

Mlinzi mmoja alizugumza na Rahab akaingia ndani humo na kumkuta Shamsa, akiwa amefungua moja ya sanduku kubwa la mbao lililo jaa visu vikali vya ukubwa tofauti tofauti. Shamsa hakumsemesha kitu chochote Rahab zaidi ya kutazama ni kisu gani ambacho anaweza kukitumia katika kumpatia mateso dokta Ranjiti.

“Naamini umekuja wakati muafaka”

Shamsa alizungumza huku akigeukia Rahab anaye mtazama dokta Ranjiti.

“Yap”

“Okay karibu”

Shamsa alizungumza, akamsogelea dokta Ranjiti na kusimama mbele yake, akamvua koti la kidaktari alilo kuwa amelivaa. Akamvua na shati alilo livaa na kabaki tumbo wazi.

“Ninakuuliza kwa mara ya mwisho ni wapi alipo mwanangu?”

“Hahaaa, huwezi kumpata mwanao sahau hilo”

“Etii eheee?”

Shamsa kwa haraka akamchana dokta Ranjiti kwa kutumia kisu alicho kishika maeneo ya kifuani mwake na kumfanya dokta Ranjiti kupiga kelele kubwa za maumivu huku damu zikiendelea kumwagika.

“Yupo wapi mwanangu”

Shamsa alizungumza kwa sauti ya upole sana kama si mtu aliye kasirika.

“Ranjiti Zungumza, kila unacho kitegemea sasa kimekwisha”

Rahab alizungumza huku akitoa simu yake mfukoni, akamuonyesha dokta Ranjiti video inayo onyesha jinsi kisiwa kinacho milikiwa na John jinsi kinavyo teketea kwa moto. Dokta Ranjiti akazidi kulia kwa uchungu sana.

“Hapa ndipo ulipo kuwa unapategemea, papo wapi kumeteketea. Zungumza ni jinsi gani ambavyo tunaweza kumpata John, hilo ndio jambo la msingi”

“Hahahaaa, mutalipa kwa hili, nimewambia mutalipa kwa hili”

Dokta Ranjti alizungumza kwa kujiamini huku akicheka sana. Shamsa akataka kumchoma kisu cha tumbo ila Rahab akamdaka mkono.

“Niachie”

“Hapana Rahab,ipo njia ambayo itamfanya yeye aseme wala sio kwa kumchoma kitu chochote”

“Njia gani?”

“Usijali”

Rahab akamsogelea Shamsa, akamnong’oneza sikoni mwake, kitu kilicho mfanya Shamsa kutabamu huku akimtazama dokta Ranjiti ambaye hakujua ni kitu gani ambacho Rahab amekizungumza hadi Shamsa kutabasamu.

***

(Dakika 45 Nyuma)

Rahab akiwa ndani ya gari kuelekea katika nyumba ya Eddy aliyo kuwa anaishi, akaanza kutafuta historia ya dokta Ranjti, kwa bahati nzuri akafanikiwa kuipata. Akafanikiwa kumuona binti wa pekee wa dokta huyo ambaye amekamatwa na Shamsa. Kwa mawazo ya haraka haraka akatambua kwamba ni lazima dokta Ranjiti atakuwani mbishi wa kutoboa siri pale andapo ataulizwa mambo mengi kuhisiana na wapi alipo John. Kwa haraka akapiga simu kwa raisi wa nchi ya Marekani, ambaye ni asubihi ya leo tu ametoka kuzungumza naye na akakubaliana naye kumkabidhi Adrus ili awe msaada wa kuweza kutafuta vikosi vya Al-Quida na Islamic State ambavyo kwa pamoja vimeungana na kuyapelekea mashambulizi yao katika nchi hiyo.

“Samahani kwa usumbufu muheshimiwa raisi”

“Usijali madam raisi, nikusaidie nini?”

Rahab akaomba kuweza kukabidhiwa mtoto wa kike wa dokta Ranjiti, ombi ambalo raisi Dustan aliweza kulikubali kwa haraka. Askari wa kiko cha FBI wakatumwa katika chuo anacho soma mtoto wa dokta Ranjiti, hawakumchukua kwa kuomba uongozi wa chuo, ila wakatumia utaalamu wa kumteka kisiri siri pasipi hata wanafunzi na uongozi wa chuo kuweza kufahamu. Moja kwa moja binti huyo wa dokta Ranjiti akapakizwa katika ndege ya shirika hilo la FBI, na moja kwa moja safari ya kuja nchini Tanzania ikaanza huku binti huyo akiwa amechomwa sindano kadhaa za usingizi.

***

“Itachukua muda gani?”

Shamsa alizungumza huku akionyesha kujawa na furaha

“Usijali kila kitu kipo katika mstari. Ranjiti tutaonana”

Raisi Rahab alizungumza na kuanza kutoka humu ndani.

“Hei wewe malaya”

Dokta Ranjiti aliita kwa ukali sana na kumfanya Rahab kusimama mlangoni, kisha akageuka na kumtazama dokta Ranjiti.

“Nikitoka hapa lazima nitakuua, wewe na huyu malaya mwenzako”

“Ohoo sawa, kuna jengine ambalo unahitaji kuzungumza?”

Dokta Ranjiti akaka kimya, huku akimtazama Rahab kwa jazba kubwa sana.

“Tutaonana kesho dokta. Shamsa usipoteze nguvu zako, umpe muda wa kujifikiria zaidi”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Rahab akatoka na mlango ukafungwa.

“Natambua hujui uchungu ambao wanawake tunaupata tukiwa katika chumba cha kuzaa, nakupa muda hadi kesho hakikisha kwamba unanipa jibu la kuniambia ni wapi mwanangu alipo la sivyo, kichwa chaki kitakuwa zawadi yangu”

Shamsa akatoka chumbani humu, ulinzi mkali ukaendelea kuimarishwa katika eneo hilo. Shamsa akamkuta raisi Rahab akiwa amesimama sebleni akiitazama picha kubwa ya mama yake Eddy iliyo wekwa hapo sebleni kwa kumbukumbu maalumu.

“Alikuwa mama mwema sana”

Rahab alizungumza huku akiendelea kuitazama picha hiyo.

“Ni kweli alikuwa ni mama mwama, nina imani Mungu atamrehemu huko alipo”

“Ni kweli. Ehee niambie ukweli umezaa na Eddy?”

“Ndio Rahab huniamini?”

“Nitaamini ukinipa ushahidi”

Shamsa akatoa simu yake ambayo nayo ina video ambayo dokta Ranjiti aliituma. Akamkabidhi Rahab naye akaanza kuitazama video hiyo. Rahab alipo muona Junion Jr, akanyanyua macho yake na kuitazama picha ya Junio aliye fariki.

“Wanafanana sana”

“Yaa wana fanana”

“Phidaya analifahamu hili swala?”

“Nina imani kwamba ataanza kulifwatilia kwani huyu mjinga aliifichua siri ila ila Phidaya aliipuuzia”

“Mmmmm”

“Yaa, sikupenda watu mufahamu kwamba mimi na Eddy tulisha wahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi ila matatizo ya hawa wajinga”

“Ila kwa ushauri wangu, munatakiwa kumueleza Phidaya ukweli wa hili jambo, bila kufanya hivyo matatizo yanaweza kuwa ni makubwa?”

“Nitamshauri Eddy”

“Kwanza anaendeleaje?”

“Hali yake ni ile ile ila sijajua kwa sasa labda umpigie Phidaya umuulize”

Raisi Rahab akajishauri kwa muda, kisha akampigia simu Phidaya, simu ya Phidaya kiaanza kuita kisha ikapokelewa.

***

Woga mwingi ukamjaa Phidaya, kwani kumuona dokta Ranjiti anaamini kwamba matatizo tayari yameshanza. Woga wake ukamfanya anyanyuke kwenye kiti alicho kikalia na kuingia ndani ya chumba alicho lazwa Eddy huku akiwa amembeba mwanye, hata wazo la kufikiri maneno ya aliyo ambia na dokta Ranjiti juu ya mume wake na Shamsa wala hakulifikiria kabisa.

‘Oho watamuua mume wangu’

Phidaya alizungumza huku akiendelea kumatazama Eddy aliye lala kitandani. Simu yake ikaanza kuita kwa haraka akitoa mfukoni mwa suruali aliyo ivaa na kuitazmaa na kukuta ni Rahab ndio anaye mpigia, akaipokea na kiiweka sikioni mwake.

“Wifi habari za muda?”

“Sio nzuri wifi nina ogopa, Ranjiti alikuwepo hapa”

Phidaya alizungumza huku akilia. Jina la Ranjiti lilivyo tajiwa, likapenyeza katika masikio ya Eddy, moja kwa moja likatawala katika ubongo wa Eddy na kumfanya ayafumbue macho yake. Akamuona mke wake na mwanaye wakiwa wamakea pembeni yao huku Phidaya akiwa anaonge na simu.

“Usiogope wifi yangu, nitaongeza ulinzi wa vijana wa kazi hakuna chochote kibata kitakacho jitokeza.”

“Nashukuru wifi, watamuua mum…..”

Phiadaya akashindwa kuimalizia sentensi yake na kujikuta akimtazama mume wake aliye mshika mkono.

“Nani ataniua?”

Eddy alizungumza huku akiendelea kushikilia mkono wa kulia wa Phidaya ulio shika simu yake.

“Umeamka mume wangu……?”

“Niambie ni nani?”

“Dokta Ranjiti”

Eddy akawa kama mtu aliye tiwa upupu, kwa haraka kaakurupuka, kitandani akachoa sindano aliyo kuwa amechomwa mkononi mwake, akavua kifaa maalumu cha kumsaidia kupumua.

“Mume wangu haujapona”

“Nani kasema”

Eddy alizungumza huku akivaa viatu vyake vilivyopo chini ya kitanda, akajiweka sawa nguo zake.

“Yupo wapi Ranjiti?”

“Alichukuliwa na Shamsa”

“Mpigie simu”

“Shamsa nipo naye, tupo kwenye nyumba yako Eddy”

Sauti ya Rahab ilisika katika simu ya Phidaya amabayo bado hakukata mazungumzo yake na Rahab.

“Nani Rahab”

“Ndio makamu wa raisi unajisikiaje?”

“Vizuri sana, hakikisheni huyu mpumbavu mshenzi asiondoke hapo”

“Sawa mr vice President”

Eddy akamtazama mke wake, Phidaya akatabasamu huku akinyanyuka kitandani na Camila wake.

“Amelala ana njaa”

“Akiamka hakikisha anapata chakula”

“Sawa mume wangu”

Walinzi wakashangaa kumuona makamu wa raisi akitoka nje ya chumba hicho, wakampia saluti na kuondoka katika eneo hili pasipo hata kuaga kwa dokta Benjamini aliye kabidhi jukumu la kutazama makamu wa raisi.

***

“Nahitaji kwenda kujisaidia”

Adrus alimuambia Cookie huku akinyanyuka kwenye siti aliyo kali, akaanza kukatika kwenye uwazi wa siti nyingi za ndege hii kubwa huku akiwa amejawa na mawazo mengi sana. Akaingia katika choo cha ndege. Akasimama mbele ya kioo kilicho bandikwa katika ukuta.

‘Nitamuamini vipi?’

Adrus alizungumza kimoyo moyo huku akiendelea kujitazama.

‘Nikilisaliti taifa langu pamoja na nchi yangu ni nini kitakacho tookea?’

‘Mama yangu ni muhimu sana kwangu’

‘Nitamuona lini Naomi wangu?’

Adrus alizidi kuwaza ila majibu yote aliyo jiuliza mengi yalikosa majibu yake. Mlio wa mlango kugongwa ukamstua na kutoka katika dimbwi la mawazo. Akaguna kidogo ili kumuashiria mtu aliyopo nje atambua kwamba ndani ya choo hicho kuna mtu. Ila mtu huyo akaendelea kugonga na kumfanya Adrus kufungua mlango kidogo na kuchungulia nje. Akakutana na Cookie akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake, kwa haraka Cookie akaingia ndani ya choo hicho na kuufunga mlango kwa ndani.

“Cookie…..!!”

“Shiiii…….iiii”

Cookie akamshika Adrus shingo yake na wakaanza kunyonyana midomo yao, hisia kali za mapenzi zikatawala kati yao. Kila mtu akaanza kuhisi haja ya kupata ladha ya mwezake. Wasiwasi na woga wa kumsaliti mpenzi wake ukamuaondoka kabisa Adrsu, na kujikuta akifungua kifungo cha suruali ya jinzi aliyo ivaa Cookie, akazamisha kiganja chake cha mkono wa kulia hadi katika kitumbua cha Cookie na kumfanya Cookie kutoa mgudo wa kimahaba. Adrus akaanza kuchezea kitumbua cha Cookie kwa kuingiza kidole cha kati cha kiganja chake cha mkono wa kulia. Cookie naye hakuhitaji kuwa mzembe kwani ana miaka kadha hajakutana na mwanaume yoyote, akafungua kifungo cha suruali ya Adrus, akaishusha zipu kwa harka ana kuingiza kiganja chake ndani ya boksa na kumshika jogoo wa Adrus aliye simama kisawa sawa akitamani muda wowote aweze kupata kitumbua.

“Unauhakika utataka tufanye hili tendo?”

Adrus alimuuliza Cookie huku akimtazama usoni mwake. Cookie akameza fumba zito la mate, kigugumizi cha kuzungumza kikamkamata kooni mwake na kwa haraka akajikuta akishusha surulia yake tayari kwa kumkabidhi Adrus utamu wake wakiwa katika choo cha ndani ya ndege hii yenye abiria zaidi ya mia nane na hamsini.



Adrus hapata tabu ya kuisogeza chupi aina ya bikini aliyo ivaa Cookie, akakisogeza kimkanda cha chipi hiyo, akamchomoa jogoo wake katika boksa, akampaka mate kiasi, akamgeuza Cookie na kumbong’olesha kiasi kisha taratibu akamuingiza katika kitumbua cha Cookie. Adrus hakuwa na ugeni tena katika tendo hilo, alicho kifanya ni kuhakikisha anamuhimili Cookie na kumsugua katika kila kona ya kitumbua chake.

“Una nipenda?”

Adrus alizungumza kwa sauti ya chini huku akiongeza kasi ya kukitafuna kitumbu cha Cookie.

“Yee?”

“Kwa nini hukuniua?”

“Kwa sababu ninakupenda Adrus?”

Cookie alijibu kwa sauti iliyo jaa mahaba mengi huku akiendelea kusikilizia utamu wa jogoo wa Adrus ambaye amehimili haja ya kitumbua chake. Ndani ya dakika kumi na nane wakamaliza mzunguko wa kwanza, hawakuwa na haja ya kuendelea kutoka wapo ndani ya ndege na choo hicho kinatumia wa abiria wengi na cha kumshukuru Mungu katika muda wote walio kuwa wakipeana burudani hapakuwa na hata mtu aliye hitaji kukitumia choo hicho. Kila mtu akachana kipane cha toilet pepar na kujifuta kitendea kazi chake. Wakajiweka sawa,wakanyonya midomo yao kwa kupongezana.

“Ninakupenda sana Adrus wangu”

“Ninakupenda pia Cookie”

Wakaachiana na Cookie akawa wakwanza kutoka choni humo, Adrus akasubiri kwa dakika nzima kisha akatoka na yeye, akakutana na muhudumu wa kike wa hiyo ndege aliye baki akimshanga.

“Nini?”

Adrus aliuliza huku akiwa amejawa na aibu.

“Zipu yako”

Adrus akaijishika mbele na kujikuta zipu ikiwa wazi jambo lililo zidi kumtia aibu, kwa haraka akajifunga zipu yake na kueleeka kwenye siti yake pasipo hata kugeuka nyuma kumtazama muhudumu huyo aliye baki akitabasamu kwani aliweza kumuona Cookie akitoka katika choo hicho.

***

Eddy na Phidaya pamoja na walinzi wake wakafika katika nyumba yao walio kuwa wakiishi, wakakuta mlinzi mkali kutokana raisi Rahab yupo katika eneo hilo. Moja kwa moja wakaelekea sebleni na kumkuta Rahab na Shamsa wakiwa wamekaa katika masofa ya kifahari yaliyopo katika seble hiyo.

“Yupo wapi Ranjiti?”

Aliuliza huku akivua koti lake la suti, Rahab na Shamsa wakabaki wakimtazama pasipo kujibu chochote.

“Munaniangalia nini yupo wapi?”

“Eddy tulia kwanza hali yako bado haijahimarika?”

Raisi Rahab alizungumza huku akimtazama Eddy usoni mwake.

“Una uhakika, ningekuwa sijaihimarika nisinge kuwa ninatembea peke yangu na wala nisinge kuwepo hapa”

“Nalitambua hilo Eddy, ila ninakuomba ukae kwanza utulie kisha mambo mengine yanaweza kufwata”

“Hembu niachie upuuzi, Shamsa yupo wapi Ranjiti?”

“Yupo chini”

Shamsa alijibu kiwoga, Eddya akaanza kueleka katika eneo alilo elezwa na Shamsa, kitendo cha raisi Rahab kupiga hatua kadhaa ili kumfwata Eddy akageuka kwa haraka.

“Sihitaji mtu wa aina yoyote aweze kunifwata sawa”

“Ila Eddy tumemteka mwamnaye, nina imani kwamba atazungumza ukweli”

“Nimekuambia sihitaji mtu anifwate, nimeeleweka.”

Eddy baada ya kumaliza kuzunngumza maneno hayo akaondoka na kushuka hadi ardhini ambapo ndio eneo lenye chumba alicho hifadhiwa dokta Ranjiti. Walinzi walipo mlangoni wakamfungulia na Eddy akaingia ndani, akamkuta doka Ranjiti akigugumia kwa maumivu huku amening’inizwa kichwa chini miguu juu.

“Hei”

Dotka Ranjiti akayafumbua macho yake mara baada ya kusikia sauti ya kiume, woga ukazidi kumjaa baada ya kumuona adui yake namba moja akiwa amesimama mbele yake.

“Unanifahamu kwamba mimi sio mtu wa masihara. Swali moja jibu moja.”

Eddy alizungumza huku akikunja mikono ya shati lake. Alipo hakikisha ameikunja vizuri. Akamsogelea karibu kabisa dokta Ranjiti akalitazama jeraha ambalo lipo kifuani mwa dokta Ranjiti.

“Mwanangu yupo wapi?”

“Utaniua ila huto weza kufahamu ni wapi mwanao alipo”

“Etie ehee?”

Eddy aliitikia huku akikunja ngumi ya mkono wake wa kulia, akamtazama dokta Ranjti kisha akampiga kwa nguvu katika maeneo ya viungo vya siri na kumfanya dokta Rajiti kulia kwa nguvu sana kwani maumivu anayo yahisi ni zaidi ya mauvi ya hata hichi kidonda kilichopo kifuani mwake.

“Nimekuuliza mwaangu yupo wapi?”

“Nimekuambia sijui mimi. John ndio amemteka mwano”

“Ohooo John, eheee?”

Eddy akampiga tena dokta Ranjiti katika eneo hilo hilo, jambo lililo zidisha maumivu makali kwa dokta Ranjiti.

“Yupo wapi?”

“Sijui”

“Ulikuja Tanzania kumchukua mke wangu ehee?”

Dokta Ranjiti akayang’ata meno yake kwa nguvu, ili kuzuia maumivu anayo endelea kuyahisi katika eneo lamaeneo yake ya siri.

“Hii sehemu si ndio inakutia jeuri ehee, subiri sasa”

Eddy akaendelea kumpiga dokta Ranjiti katika maeneo yake ya siri hadi, kwa maumivu makali yakapeleeka dokta Ranjiti kupoteza fahamu kabisa. Zoezi hilo lilimchukua Eddy kama dakika tano hivi na kujikuta akichoka kwani ametumia nguvu nyingi sana katika kumpiga dokta Ranjiti katika maeneo hayo. Eddy akatoka chumbani humo na kurudi sebleni, kila aliye mtazama aliweza kutambua kwamba huko chini shuhuli ya mateso ni kubwa sana kwani shati zima la Eddy limejaa jasho jingi sana. Kila mtu uoga wa kumsemesha ukamjaa, Eddy akaka kwenye moja ya sofa huku akiitazama mikono yake, taratibu akatabasamu kwa maana anatambu hata dokta Ranjiti akifanikiwa kutoweka katika eneo hilo basi hato kuwa na uwezo wa kusimamisha jogoo wake.

“Eddy”

Phidaya aliita kwa sauti ya chini na kuwafanya watu wote kumtazama yeye, kisha wakamtazama Eddy aliye yahamisha macho yake kutoka katika kuitazama mikono yake hadi kumtazama Phidaya usoni mwake. Ishara ya amcho ya Eddy ikamuamuru Phidaya kuzungumza kile ambacho kimemfanya amuite.

“Nikuandalie chakula gani?”

“Chohote”

“Sawa”

Phidaya akanyanyuka huku akiwa amembaba Camila, Shamsa akamfwata kwa nyuma na kuwaacha wakiwa wamekaa wawili katika eneo hilo la sebleni.

“Eddy ninaweza kupatamuda kidogo wa kuzungumza na wewe?”

“Kuhusiana na nini?”

“Ninakuomba tafadhali tukazungumze nje”

Eddy akamtazama Phidaya kwa macho makali, kisha akasimama na kuanza kutangulia kuelekea nje. Phidaya akamfwa kwa nyuma, wakasielekea kwenye moja ya bustani kubwa ambayo ina vibanda viwili vya kupumzikia. Wakaka kwenye viti vilivyopo katika eneo hilo huku walinzi wao wakisimama kwa mbali kidogo huku wakiimarisha ulinzi. Ukimya wa dakika kama mbili ukapita, Eddy akataka kunyanyuka ila Phidaya akamzuia.

“Samahani Eddy ninakuomba ukae”

“Nitaendeleaje kukaa vipi ikiwa huzungumzi kitu chochote zaidi ya kunitazama.”

“Eddy kwa nini unakuwa na hasira kiasi hicho, kwa nini unashindwa kunisamehe”

“Umenikosea?”

Swali la Eddy likamfanya Rahab kukaa kimya kwa muda kisha akaendelea kuzungumza.

“Natambua kwamba nilifanya makosa ya kumuachia Adrus, ikiwa tayari ulisha mpatia kazi ya kumtafuta mwanao. Mimi ni binadamu na mimi pia nina mapungufu yangu, ninakuomba unisamehe tafadhali”

“Nimekusamehe kuna jengine?”

“Jengine ni kuhusiana na maamuzi ambayo umeyachukua. Eddy wewe ndio raisi anaye stahili kuiongoza hii nchi, wewe ndio mwenye kuifanya hii nchi isonge, mimi hapa nimejiegesha ila wewe ndio mwanye nguvu ya uongozi kama ilivyo kuwa kwa mama yako na baba yako. Mimi nilikiwa malaya tuu, changudo wakujiuza barabarani, nikaja kuwa jambazi sina uawezo wa kuongoza nchi, tafadhali Eddy usije ukaniacha peke yangu katika hili.”

Rahab alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake, hakujali kama yeye ni raisi na ana mamlaka makubwa katika nchi, ila amejishusha kwa asilimia kubwa kwa Eddy ambaye ndio makamu wake wa raisi.

“Eddy nchi inakuhitaji, Tazama leo asubuhi jinsi ulivyo weza kunipa utamu wa penzi lako, kwa nini unataka kuniachia kikombe hichi ambacho kusema kweli kitakwenda kunishinda”

Eddy akazidi kumkazia macho Rahab.

“Eddy ukiacha ungozi na mimi nina jiudhuru, sioni haja wala furaha ya kuwa katika kazi hii ambayo kila Mtanzania ananiangalia mimi”

“Siku nyingie usirudie kuniamrisha mbele ya wajinga kutoka nchi nyengine. Kiongozi wa nchi yako kwanza hao wnegine nao ndio wanafwata na sio wao kwanza na mimi ndio nifwate ujinga sihitaji sawa”

Eddy alizungumza kwa msisitizo mkali sana.

“Nimekuelewa nina kuhakikishia kwamba hilo halita jitokeza tena”

“Sawa. Huyu mpuuzi huko ndani amesema kwamba mwanangu amechukuliwa na John, uwezea kujua chochote kuhusiana na John?”

“Hapana ila Sa Yoo ameweza kukombolewa na sasa hivi yupo njiani kuja nchini Tanzania, ila kisiwa ambacho ndicho kiliwa ni makazi ya John na watu wake kimeweza kushambuliwa na kuteketezwa, na hii ndio video ya ushahidi ya mashambulizi hayo yote”

Rahab akamkabidhi Eddy simu. Eddy akaitzama video hiyo alipo jiridhisha akamkabidhi Shamsa simu yake.

“Na huyu mtoto wa Ranjiti atafika Tanzania lini?”

“Leo, na ripoti za mwisho nimeaambiwa kwamba amapakiwa katika ndege maalumu ya FBI na na moja kwa moja wanakuja nchini Tanzania”

“Nitamchinja mwanaye mbele yake endapo tu atashindwa kuzungumza ukweli ni wapi alipo mwanangu”

Maneo ya Eddy yakamfanya Phidaya kukaa kimya huku macho yakiwa yamemtoka kwani lengo la binti huyo kuletwa nchini Tanzania ni kwa ajili ya kumtisha tu dokta Ranjiti ili azungumze ukweli na si kwa ajili ya kumuua kama alivyo zungumza makamu wa raisi.

***

“Shamsa”

Phidaya alizungumza kwa sauti ya upole huku akikata nyanya aliyo iweka ubao mdogo.

“Bee”

“Kuna siri gani ambayo inaendelea?”

“Siri, mbona hakuna siri mama yangu”

“Shamsa usinifiche, tambua ni wapi mimi na wewe tumetoka, kumbuka hilo swala na wala lisije likakusaulizsha mwanangu”

Phidayalizungumza kwa sauti ya unyonge na upole na kumfanya Shamsa ajihisi vibaya sana moyoni mwake, anatambua kwamba kwamba maumivu ambayo yatampata Phidaya kwa kuzungumza siri hiyo basi yatakuwa ni mamuvi makubwa sana ambayo wala hatambui ni maamuzi gani ya haraka ambayo Phidya atayafanya.

“Ni kweli mama sifahamu chochote, ninacho kijua ni kuja kwa dokta Ranjiti na nina imani kwamba lengo lake halikuwa zuri katika hii familia kama alivyo weza kutuahidi siku ile ya sherehe ya Camila”

“Sasa mbona wifi anasema wamemteka mtoto wa dokta Ranjiti kwa nini?”

“Kusema kweli inabidi hilo swali uwaulize wao, ila inaweza ikawa ni mambo ya kiserikali ambayo hawahitaji mimi na wewe kuweza kufahamu”

Shamsa akaizidi kumdanganya Phidaya huku akiendelea kujihisi maumivu makali sana moyoni mwake.

“Mmmm sawa, ila kile alicho kizungumza dokta Ranjiti pale hospitalini ni kweli?”

“Mama na wewe unasikiliza ujinga wa huyo mwanaume, tambua lengo na dhumuni yake kufika hapa ni kukuchukua wewe, kukuteka na kwenda kukufanya anacho jua yeye. Kumbuka dokta Ranjiti ni adui mkubwa kwetu, ni lazima akuharibu wewe kisaikolojia na ukimuamini basi matatizo yanarudi upya kwenye familia yetu”

Shamsa alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa hekima ndani yake.

“Ila sikui ni kwa nini huyu mwanaume anapenda kunifwatilia maisha yangu?”

“Yaani hata mimi nilipo muona pale nje ya hospitali ya Muhimbili nilishangaa, ila sikuwa naj insi zaidi ya kuhakikisha kwamba nina mkwida, na kurudi naye ndani”

“Ila umefanya jambo la maana sana, nina imani kwamba atakuwa amekuja na watu wake?”

“Sijajua kwa mana nimempiga hadharana na kama angekuwa amekuja na watu wake basi varabgati lingekuwa kubwa”

“Yaani siju ni kwa nini nilimuacha hai, ningemuulia pale pale hospitali kwa manaa amemkosesha furaha mume wangu”

“Yaani hii siku ya leo imekuwa ndefu sana, mmmm”

“Yaani hadi Camila wangu hajapata chakula ameshindia kunyonya hadi usiku huu”

“Amelala?”

“Ndio amelala, nasubiri chakula kiive nimuamshe nijaribu japo kumlisha ili hata akilala basi alale akiwa chakula tumboni mwake”

“Sawa”

Phidaya na Shamsa wakaandaa chakula cha usiku, wakakiweka mezani na Shamsa akaenda kumuina Rahab na Eddy. Phidaya akaingia katika chumba alicho mlaza Camila, akazitazama simu mbili ambazo moja ni ya dokta Ranjiti na nyingine ni ya Shamsa ambayo ameichomeka kwenye chaji. Akataka kumnyanyua Camila ila roho yake ikawa nzito sana na kujikuta akizisogelea simu hizo, akashusha pumzi nyingi sana, maneno ya dokta Ranjiti yaliyo kuwa yakimtajia namba za siri za simu yake yakajirudia kichwani mwake. Kwa haraka akainyanyua simu hiyo akatazama mlangoni, alipo ona hakuna dalili yoyote ya mtu kuingia, akaandika jina lake na kwa bahati nzuri simu hiyo ikafunguka. Phidaya akameza fumba zito la mate huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi tofauti na mara ya kwanza alipo kuwa ameishika simu hiyo. Akatafuta faili linazo hifadhi video, akalifungua cha kushangza akakuta video nyingi sana jambo lililo zidi kumshangaza na kujiuliza maswali mengi kwani kwa mara ya kwanza alipo kuwa amefungua hakuweza kukuta video hizo na imekuwaje sasa hivi amezikuta video hizo, ambazo dokta Ranjiti anadai kwamba ipo video yenye siri inayo endelea kati ya Shamsa na Eddy wake.



Mikono ya Phidaya ikaanza kumtetemeka, mapigo ya moyo yaliyo anza kumuenda mbio yakamkosesha kabisa ujasiri wa kufungu video yoyote katika eneo hilo kwa haraka akachomoa memory card, akaidumbukiza katika kijimfuko kidogo cha suruali yake aina ya jinzi aliyo ivaa. Akafuta kumbukumbu zote za simu hiyo ambazo zinaonyesha kama ilifunguliwa faili lolote. Akairudisha sehemu alipo itoa kama ilivyo kuwa. Kwa haraka akamnyanyua Camila ambaye bado amelala na kutoka naye chumbani humu. Akafika sebleni na kuwakuta Shamsa, Eddy na raisi Rahab wakiingia ndani humo.

“Bibie bado amelala?”

Raisi Rahab alizungumza huku akimtazama Phidaya pamoja na mwanaye.

“Yaaa leo siku imekuwa ndefu sana kwake”

“Kwa kweli, ila amezaliwa katika familia ya harakati za maisha kwa hiyo na yeye atakuwa hodari kama baba yake hapa”

“Hahahaa, kweli. Karibuni chakula jamani ninaona leo watu tumekuwa na mizunguko hadi tumesahau kula”

Phidaya alizungumza huku akitangulia ilipo meza ya chakula, wote wakaka kwenye viti vilivyo izunguka meza hiyo ya chakula.

Phidaya akaanza kumpakulia Eddy ambaye macho yake kila yanapo mtazama mke wake anatamani sana kuzungumza ukweli wa kila kitu kinacho endelea ila nafsi yake inasita kabisa katika kuzungumza hilo swala na kijifariji endapo atampata mwanye basi ataweza kuwa muwazi na kuzungumza kila jambo la ukweli mbele ya Phidaya na kukiri kosa hilo yeye na Shamsa. Phidaya alipo maliza kumpakulia Eddy chakula, akajipakulia na yeye chakula chake kisha Shamsa akampakulia raisi Rahab chakula.

“Kinatosha”

Rahab alizungumza huku akiitazama sahani ya chakula chake.

“Mmmmm mbona chakula kidogo hivyo?”

Kwa sasa sili sana jamani, wananchi wasije wakasema raisi ananenepa kutokana na pesa zete”

“Haa kwani hatuna mishahara?”

Eddy akadakia mada hiyo aliyo ianzisha Rahab

“Japo tunayo ila ndio hivyo si unajua watu bwana”

“Shamsa muongezee chakula, hembu acha mambo yako. Haupo kwenye harakati za kugombania u miss Tanzania”

Eddy alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Shamsa kuongeza chakula chakula cha Rahab aliye baki akitabasamu tu.

“Sasa hapo kinatosha jamani”

Rahab alizungumza huku akiivuta sahani yake. Shamsa akapakua chakula chake na wakaanza kula taratibu. Vilio vya vijiko pamoja na sahani za dongo ndio vikatawala katika eneo hili huku kila mmoja akiwa na mawazo yake.

“Baba Camila”

“Mmmm”

“Ninawe kukuuliza swali?”

“Uliza tu mke wangu”

“Unanipenda?”

Swala la Phidaya likawafanya watu wote kusitisha harakati ya chakula. Shamsa na Rahab kila mmoja akaanza kujiuliza ni kwa nini Phidaya ameuliza swali kama hilo huku kila mmoja akitambua kwamba ametoka kuiba penzi la Phidaya kwa muda wake ndani ya siku hiyo. Eddy akamtazama mke wake kwa macho yaliyo mtoka huku akili yake akifikiri madhabi aliyo yafanya kwa kuwapa penzi Shamsa na Rahab, na dhambi kubwa nyingine inayo muumiza kichwani ni kuhusiana na huyu mtoto wake wa nje ya ndoa.

“Yaa ninakupenda mke wangu”

Eddy alijibu kwa kujikaza tu ili kuto kuonyesha wasiwasi wake kwa mke wake.

“Unaniamini?”

“Ndio ninakuamini mke wangu, kwa nini nisikuamini mke wangu kipenzi?”

“Nashukuru kwa kuniamini mume wangu”

Phidaya alijibu huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana usoni mwake, ila moyoni mwake ameanza kustukia mchezo wambao unaendelea katika familia yake kwani mistuko walio ipata Shamsa na Rahab alipo kuwa anamuuliza mume wake swali ni mistuko ambayo hakuitarajia kuweza kuiona kwa muda huo.

“Wifi mbona kaka yangu anakupenda sana”

Rahab alizungumza kwa furaha sana huku akitafuna kipande cha ndizi alicho kula.

“Yaa nilitaka kusikia kama kweli ananipenda, kwa maana tangu amekuwa makamu wa raisi basi hata nyumbani kwenye kukaa ni shuhuli”

“Usijali katika hilo unajua majumu ya nchi ni makubwa hii kazi ni ya utumwa sana. Leo yenyewe nilimuita ofisini asubuhi nikimuomba nimkabidhi madaraka ya uraisi na mimi niachie ngazi ila alinifariji na kuniomba nisiache”

Phidaya akatabasamu huku akimtazama Rahab, akakumbuka Eddy alivyo rudi asubuhi nyumbani na kubadilisha nguo baada ya kutoka katika kikao hicho anacho kizungumzia Rahab, kitu kilicho anza kumpa mashaka Phidaya, ni harufu ya pafyumu ya Rahab aliyo kuwa akiisikia katika nguo za Eddy alizo zivua na kuvaa nguo nyingine.

“Ahaa ila kweli hiyo kazi yenu ni ngumu sana”

“Kwa kweli yani jinsi matatizo yanavyo pandiana basi mtu unaweza hata kuchanganyikiwa”

“Kwa kweli poleni sana”

“Asante”

“Honey”

Phidaya aliita huku akimtazama Eddy ambaye katika maongezi yote yeye Phidaya na Rahab alikaa kimya akiendelea kushindilai vijiko vya chakula ili kupunguza njaa kali aliyo kuwa nayo kwa siku hiyo nzima.

“Kwa mfano lakini ila si kweli. Siku ukanikuta nina mahusiano na mwanaume mwengine utanifanyaje?”

Mioyo ya watu wote watatu, Eddy, Shamsa na Rahab ikawastuka, glasi ambayo Shamsa alikuwa akiipeleka mdomoni mwake kwa ajili ya kujisuuza koo akaishusha taratibu na kuiweka mezani hata kabla hajanywa. Rahab mkono wake wa kulia ulio shika kijiko kilicho jaa ubwabwa nao ukawa mzito sana hata kukinyanyua kijiko chake.

Eddy akashusha pumzi taratibu huku akionyesha dhairi kwamba swali hilo limempata kisawasawa, na amekosa hata jibu la kumjibu mke wake ikiwa yeye ndio ameulizwa akitolewa kama mfano tu.

***

Adrus akarudi na kukaa kwenye siti yake huku akimtazama Cookie aliye jawa na furaha kubwa sana kwa kuweza kupewa penzi na mwanaume huyo.

“Mbona unafurahi?”

“Jamani mpenzi wangu unahitaji nikasirike ikiwa umenifurahisha?”

“Hahahaa hapana”

“Sasa, kusema kweli Adrus kitu ulicho nipa nilikiosa kwa miaka mingi sana nimekuwa nikiishi maisha kama masiter wa Kiroma”

“Nashukuru na wewe kwa maana kile ulicho nipa nimekipenda kwa kweli”

“Eti ehee ngoja tukifika nchi yoyote ambayo ndege itatua basi tutashuka na kuendelea na maisha yetu mengine”

“Ila kitu kikubwa ninacho kihitaji ni mama yangu awe salama”

“Usijali mpenzi wangu nitajitahidi kuhakikishak wamba mama yako anakuwa salama salmini”

Taratibu Cookie akamlalia Adrus kwenye bega lake huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana kwani amempata mwanaume ambaye amefufua hisia za mapenzi yake, kazi aliyo kabidhiwa na wakuu wake akaona haina maana yoyote kuliko mapenzi aliyo weza kupewa na Adrus.

Kinasa sauti kilicho wekwa katikati ya siti yao kwa eneo la nyuma na kufichwa sana, kikanasa mazungumzo yote ambayo binti wa kichina aitwaye Njing aliweza kuyasikia akiwa amekaa siti mbili mbele yao. Binti huyu ambaye ni mpelelezi wa siri na muuaji hatari aliye kabidhi kazi na Livna Livba, akatabasamu kidogo kama mawazo ya bosi wake yalivyo kuwa yakimuwazia Cookie ndivyo jinsi yalivyo enda. Njing akatabasamu baada ya kutambua kwamba Cookie ni msaliti, akamtumia Livna mazungumzo hayo, kisha akaandika na ujumbe mfupi kwa bosi wake.

‘Ninasubiri amri yako mkuu’

Baada ya meseji hiyo kusomgwa Jing akasimama taratibu huku akifungua mkanda wa siti yake ambao hakuufungua tangu walipo kuwa wanaambiwa kwamba wafunge mikanda yao ndege inahitaji kupaa angani. Akaanza kutembea kuelekea nyuma, akamtazama Cookie na Adrus kwa macho ya kuiba kisha akapita pasipo Adrus na Cookie kutambua jambo lolote linalo endelea, Njing akaingia kwenye choo cha kike kilichopo katika ndege hiyo, akazifungua kwenye zake ndefu na nyingi ambazo katika butu kubwa la hizo nywe zake ameficha sindano ndago nne, ambazo zina sumu kali ambayo endapo mtu atakuchoma basi nilazima ufariki ndani ya dakika tano tu. Ujumbe mfupi ukaingia kwenye simu yake, taratibu akaufungua ujumbe huo unao toka kwa Livna Livba kisha taratibu akatabasamu, akairudisha simu yake mfukoni, akaizitenga sindano mbili pembeni kisha sindano mbili nyingine akizurisha katika burunguku la nywele alili lifunga tena kichwani mwake na kumfanya azidi kuonekana mrembo. Akanyoosha vidole vya mikononi mwake, kisha akatoka chooni humu huku sindao hizo akiwa amezificha vizuri. Akaanza kutembea kuelekea alipo kaa Adrus na Cookie ambao wote wawili wanatakiwa kufa baada ya dakika tano zijazo.

***

Mazungumzo ya Cookie na Adrus, yakamfanya Livna kukasirika sana, kwani kwenye maisha yake yote haitaji kuona msichana wake yoyote anamsaliti kwa naamna moja ama nyingine, kwa haraka akaishika simu yake na kumpa ruhusa Njing aliye mtumia ujumbe huo aweze kuwaondoa duniani Cookie na Adrus haraka iwezekanavyo.

“Mkuu kuna ujumbe wako kutoka kwa mkuu wa Al-Quida”

“Muunganishe”

Livna alizungumza huku akiwa amesimama mbele ya Tv kubwa iluyomo ndani ya chumba cha mawasiliano. Msichana huyo anaye jishuhulisha na maswala ya kimtandao kwa haraka akamuunganisha kwa mazungumzo ya njia ya video.

“Ndio”

“Samahani nimebadilisha mpango wa kumteka huyo kijana ila ninacho kihitaji ni kuiteka ndege nzima ili kuzidi kuwapa hofu wa Marekani, muambie vijana wako wanao fanya mpango huo wafanye utaratibu wa kutoka katika ndege hiyo kwani hata kikiwezekana ninaweza kuilipua ndege yote ili kuzidisha maumivu kwa nchi ya Marekani”

Maneno ya kiogozi huyo yakamfanya Livna kushusha pumzi nyingi sana huku akimtazama.

“Ila unajua kanuni zangu, kiendacho kwa mganga huwa akirudi si unalitambua hilo?”

“Ninalitamua hilo na sina haja ya pesa zako ninacho kihiaji ni damu za watu walipo ndani ya ndege hiyo”

“Sawa nimekuelewa ila siku nyingine ukihitaji kufanya kazi na mimi uwe makini na maamuzi yako sipendi mtu kigeu geu”

“Sawa nimekuelewa Livna”

Livna kwa haraka akaaanza kuandika ujumbe wa meseji wa kumtahadharisha Njing kwa tukio linalo kwenda kutokea katika ndege hiyo.

***

“A….ah…nitategemea nimewakuta mupo kwenye mazingira gani?”

Eddy alijibu kwa kubabaika kidogo.

“Yaani umetukuta tupo kwenye sita kwa sita tunaburudishana je utafanyaje?”

“Mmmm ila wifi mbona umeuliza hivyo?”

“Samahani wifi hili ni swali la mume wangu”

“Ohooo samahani mwaya”

“Kama nimewakuta, wewe mwenyewe unanijia ni lazima huyo mwanaume nimuangamize kwa kifo kibaya sana.”

“Eheee…..?”

“Yaaa siwezi kuona mwaume mwenzangu anakula utamu wangu namimi nikakubali kirahisi”

“Mimi je utanifanyaje?”

Eddy akashusha pumzi nyingi huku akimtazama Phidaya usoni, akamtazama Camila anaye pambana na ziwa la mama yake katika kulinyonya.

“Kusema kweli sijui, ila si unajua mke anaume ninaweza nikakutia vibao viwili vitatu kisha nikakusamehe”

“Ahaaa nilitaka kujua hivyo”

“Ila kwa nini uliniuliza hivyo?”

“Ahaa nilitaka kujua tu”

“Au kwa sababu Ranjiti yupo hapa nyumbani kwangu?”

Eddy alianza kuaungumza kwa ukali kidogo huku akimkazia macho Phidaya.

“Hapana, tambua fika kwamba Ranjiti alinifutia kumbukumbu zangu, ila sikuwahi hata siku moja kumpenda nikiwa na kumbukumbu zangu za kawaida”

Phidaya alijitetea huku kichwani mwake akijua ni nini lengo lake la maswali yote hayo anayo yazungumza.

“Mke wangu ninakupenda, na sihitaji kukupoteza nitahakikisha kwamba ninafanya kila jambo ili maradi uwe wa kwangu peke yangu”

“Ninafurahi kusikia hivyo mume wangu kipenzi, jamani tambueni mume wangu ninampenda sana tena sana, kipindi kile alipo kuwa anafanya kazi ya upelezi akiwa katika mahusiano na Anna, nilikuwa ninaumia sana, nina imani kwamba Shamsa analitambua hilo swala. Nilikuwa ninajisikia kuua, nilikuwa ninajisikia kufanya dhambi kubwa sana, ila kitu cha pekee kilicho kuwa kinanipa moja ni mipango tulio kuwa nayo katika kumuondosha mzee Godwin katika madaraka yake”

Phidaya alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama kila mtu usoni mwake.

“Unajua inauma sana mwanamke mwenzako tena ukimjua kwamba anatembea na mume wako inauma ehee?”

“Sana, ndio maana mimi na mapenzi wala sitaki kabisa”

Shamsa naye alichangia mada hiyo.

“Mapenzi yanaumiza jamani, mapenzi yanaweza kupelekea mtu akatamani kumnyonga mtu”

“Sio kumnyonga, kumkata kata hata na mapanga”

“Shamsa ulivyo zungumza hivyo, ninakumbuka kipindi nilipo kuwa mwanafunzi wa A level bwana.”

“Eheee”

Wasiwasi ukaondoka kabisa kati yao, amani ikatawala tena huku kila mmoja akijaribu kukaa kimya akimsikiliza Eddy ni kitu gani ambacho anaweza kukizungumza.

“Madam Mery yule kipindi hicho nakumbuka nilikuwa na mahusiano naye ya kimapenzi, basi tuliweza kupata mtoto mmoja wa kiume”

Maeno ya Eddy yakamstua sana Phidaya na kujikuta akikaa vizuri huku akimtazama mume wake.

“Kumbe madam Mery alikuwa nampenzi wake, huwezi amini yule mpenzi wake alimuua yule mtoto wangu kwa kutupa chini na kumkanyanga kama kandambili….”

“Masikini weee”

Rahaba alizungumza huku wote wakiwa kimya.

“Basi niliapa kulipa kisasa, na kusema kweli nililipa kisasi kimoja kibaya sana. Yule jamaa nakumbuka alikuwa anaitwa Derick, kitu kama hicho kama sijakose. Basi nilimkatata kata kwa mapanga, kwa kugawanyisha viungo vyake kimoja baada ya kingine kisha nikavichoma moto vyote na nyama yake kuwapa mbwa kuanzia pale roho yangu ikawa ya kikatili sana na jambo la kuua mtu hivi basi ni dogo sana”

Watu wote wakaka kimya huku wakimtazama Eddy usoni mwake. Phidaya akalirudisha ziwa ndani ya siridia yake na kumkalisha vizuri Camila.

“Yote ilikuwa ni kwa sababu ya mapenzi ndio ukaamuua kuchinja huyo mtu wa watu?”

Phidayaaliuliza huku akimtazama Eddy usoni mwake.

“Yaa yote ni kwa ajili ya mapenzi”

“Jamani samahani kwa hichi ninacho kwenda kukizungumza”

Phidaya alizungumza kwa sauti ya upole sana na kuwafanya Shamsa, Rahab na Eddy kumtazama.

“Leo ni siku ambayo taifa la Tanzania litapoteza watu muhimu sana. Eddy umekataa kukiri ukweli ila natambua ni kitu gani kinacho endelea kati yako wewe na wanawake hawa wawili ambao wote wananing’ong’a kisogo changu pale ninapo geuka nyuma na wanakula utamu wangu kwako. Niliamua kukiweka chakula hichi sumu ili tukifa basi tufe sote, nina imani kila mmoja atakiri dhambi zake kwa muda wake kabla hajafa. Eddy umefanya hadi nimuue mwanangu pia kwani sihitaji kumuacha hai duniani ili azidi kuendelea na tabu za duninia hii”

Phidaya alizunungumza huku machozi mengi yakimwagika usoni mwake, Rahab, Shamsa na Eddy macho yakawatoka, miili yao ikaanza kutetemeka, kila mtu akaitazama sahani yake, wote wamebakisha kiasi kidogo sana cha chakula ikimaanisha ni sumu nyingi sana wamekula ambayo wanaamini ndani ya muda mfupi wanakwenda kufa kwa kugaramia mauvo yao ambayo wamemfanyia Phidaya ambaye hakuwahi kuwatendea jambo lolote baya kwenye maisha yao.



“Mama Camila kwa nini unafanya hivi mke wangu?”

Eddy alizungumza kwa sauti ya chini huku machozi yakimlenga lenga usonimwake. Shamsa, akaanza kujisokomeza vidole mdomoni mwake ili aweze kutapika japo kidogo ila akashindwa kabisa. Taratibu Phidaya akaanza kujenga tabasamu usoni mwake huku akimuweka vizuri mwanaye.

“Ninawatania jamni, siwezi kufanya ujinga kama huo nyinyi ndio familia yangu. Nilitaka kuwapima imani zenu”

“What?”

Shamsa aliuliza kwa mshangao sana huku akikitoa kidole cha kati cha mkono wake wa kulia.

“Yaa, nisameheni jamani kama nitakuwa nimewatisha. Namuona bwana mkubwa chozi, chezea kufa wewe hahaaa”

“Phidaya kuna utani, ila si huu, tutakuja kuuana hata kama tumezoeana vipi ila huwezi kufanya utoto wa dizaini kama hii kweli vile”

“Jamani wifi, nisipo kutania hapa nyumbani ni wapi nitakutani ikiwa muda wote upo katika majukumu yako ehee, hembu niambie jamani.”

Phidaya alizungumza huku akiendelea kutabasamu. Eddy akasogeza kiti chake nyuma na kusimama tu, kwani hata imani ya kukaa na mke wake imeanza kumtoweka, anahofia kinywa chake kina weza kushindwa kuhimili kutunza siri za usaliti alizo zifanya kwa mke wake na kujikuta akiropoka vitu ambavyo mbeleni vinaweza kumsababishia tabu na matatizo.

“Baba Camila unakwenda wapi sasa jamani?”

“Ninakuja”

“Hahaaa ndio umekasirika mume wangu, ni utani tu jamani”

Phidaya lizungumza huku akimtazama Eddy anaye pandisha gorofani.

“Amekasirika”

Shamsa alizungumza huku akimtazama Eddy.

“Ahaa hawezi kukasirika kwa utani kama huu”

“Ila umetustua kwa kweli”

Rahab alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Ila umefikiria nini kutudanganya?”

“Wifi nimeona munanificha ficha kila nikiwauliza ni nini kinacho endelea kila mmoja anaingia huku na kutokea kule na mimi basi nikaona njia ya nyinyi kuzungumza ni kuwadanganya kwautani kama huu. Na nyinyi mumekuwa wazembe ni sumu gani hiyo muliyo kula ambayo hata mtu utumbo haukuchezi”

“Weee mama kuna sumu nyingine zinaua taratibu taratibu”

“Mmmmm hata kama ila ukila kitu chochote ambacho hakina mahusiano mazuri na mwili wako lazima uhisi kitu fulani”

“Ila ni kweli, kusema kweli hapo wifi umejua kutubamba.”

“Hahahaaa na ndio muniambie sasa ni kitu gani kinacho endelea”

Maneno ya Phidaya yakawafanya Shamsa na Rahab kukaa kimya huku wakimtazama usoni mwake. Eddy akasimama mbele ya kioo kikubwa kilichopo chumbani kwake, akajitazama uso wake ulio jaa huzuni nyingi sana.

‘Lazima nimueleze ukweli Phidaya, kama ni kuumia ni vyema aumie sasa kuliko kuumia hapo badaye’

‘Eddy’

Eddy alisikia sauti ya marehemu mama yeka na kumfanya ageuka kwa haraka huku wasiwasi mwingi ukiwa umemtawala. Hakuamini macho yake alipo kutana na sura ya mama yake akiwa amesimama kwenye mlango wa kuingilia katika chumba chake hichi. Mama yake mwili umzima umefunikwa na mavazi meupe yanayo meremeta, Eddy akajaribu kuyafumba macho yake akihisi mawazo na fikra zake zinaweza kuwa ni tofauti na anacho kiona hapo mbele yake. Baada ya dakika mbili akayafumbua macho yake akazidi kustuka sana kwani mama yake amemsogelea karibu sana.

‘Eddy usiniogope mwanangu’

Mama Eddy alizungumza huku akitabasamu sana.

‘Mama…..”

‘Beee mwanangu’

‘Kweli ni wewe?’

‘Ndio Eddy, nimekuja kukuambia kitu kimoja na ninahitaji ukitekeleze haraka iwezekanavyo la sivyo kitakuletea matatizo makubwa sana kwenye maisha yako’

Eddy mwili ukazidi kujawa na woga, akatamani kumshika mama yake ila mikono yake ikawa kama mtu aliye chomwa sindano ya ganzi.

‘Nilimkataa Phidaya tangu awali usiwe naye kwenye maisha yako, atazidi kukuletea matatizo ambayo sasa yatakupelekea wewe pabaya na taifa kwa ujumla. Phidaya sio mwanamke sahihi kwenye maisha yako, kila mtoto ambaye utazaa na Phidaya ni lazima atakufa usipo fanya maamuzi ya kumuua. Muuae Phidaya uokoe maisha ya Camila, muue Phidaya umpate Junion Jr wako. Muue Phidaya uokoe maisha yako wananchi wako. Leo amekutania kukuwekea sumu. Kesho atakuua, MUUE PHIDAYAAAAAAAAAAA…………………………….’

Mama Eddy akatoweka kwenye upeo wa macho ya Eddy huku sauti yake ikiendelea kusikika masikioni mwa Eddy kama mwangwi, mlango ukafunguliwa na Phidaya akaingia ndani jambo lililo mstua sana Eddy, macho yakamotoka, jasho likaanza kumwagika usoni mwake.

“Eddy, Eddy, EDDY”

“Eheeee?”

“Mbona umestuka baada ya kuniona vipi?”

Eddy akamtazama Phidaya kisha akamtazama Camila aliye bebwa na Phidaya, mwili mzima ukazidi kumtetemeka Eddy kitu alicho kutana nacho leo ni kitu cha kuogopesha na kushangaza sana, hakuwahi siku hata moja kukutana nacho kwenye maisha yake.

“Eddy niambie basi mume wangu ni kitu gani amacho kinakufanya utokwe na jasho, chumba A/C inafanya kazi mbona una nini?”

Eddy akamtazama vizuri Phidaya, kisha taratibu akamshika mkono wake na kumvuta karibu yake, akamchukua Camila aliye lala kisha akamkumbatia kwa nguvu huku akilia kwa uchungu, kumbukumbu ya matukio mema ambayo aliyefanya na Phidaya ikaanza kupita kichwani mwake.

“Siwezi mke wangu, siwezi ninakupenda sana mke wangu”

“Ninakupenda pia mume wangu!!”

Phidaya alijibu huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana kwani hajui ni kwa nini mume wake emezungumza maneno kama hayo.

***

“Mkuu nina habari mbaya”

Mlinzi wa John alizungumza huku akimtazama John usoni mwake ambaye muda wake mwingi sasa anautumia kwa kucheza na Junion Jr aliye anza kumteka moyo wake na kumpenda kama mwanye wa kumzaa.

“Habari gani mbaya?”

“Dokta Ranjiti amekamatwa na walinzi wake wamengukia na contena na wote wawili wamekufa”

John macho yakamtoka na kumtazama mlinzi wake huyu aliye ileta habari ambayo hakutarajia kuipata katika wakati huu mgumu anao ugulia maumivu ya kusambaratishwa ngome yake ya jeshi la D.F.E(Destination of my Enemis)

“Na mtu aliye mkamata ni mama wa huyo mtoto hapo ambaye ni Shamsa”

“Fu**k,fu**k, fu**k”

John alizungumza kwa hasira sana huku akikunja ngumi katika mkono wake wa kulia, akamtazama Junion Jr akatamani hata kumshika na kumkunja kunja, ila Junion Jr akaendelea kutabasamu pasipo kuelewa ni kitu gani ambacho kinaendelea.

“Inavyo elekea watamtesa sana dokta Rajiti aweze kuzungumza ukweli ni wapi ulipo na ukumbuke kwamba sasa Uingereza imeungana na Tanzania katika kukutafuta wewe”

“Mumeweza kufahamu ni wapi alipo dokta Ranjiti?”

“Ndio tumeweza kufahamu, yupo katika jumba la makamu wa raisi Eddy hapo ndipo signal yake inapo soma”

“Shit……..Eddy, Eddy, Eddy”

John aliendelea kuzungumza kwa hasira huku akiipiga piga meza yake hadi Jonion Jr akaanza kuangua kilio.

“Hakikisheni kwamba munakwenda kumuokoa Ranjiti iwezekanavyo”

“Mkuu hilo swala kwa sasa ni gumu sana kwa maana hatuna vikosi vya kuweza kuifanya hiyo kazi”

“Agrhagaaaaaaaaaaahhh”

John alizidi kulalama kwa hasira kali sana ambayo inaendelea kuusumbua moyo wake.

“Ila mkuu nina mtu ambaye anaweza kuifanya hiyo kazi”

“Mtume haraka iwezekanavyo”

“Sawa mkuu ila atahitaji kiasi cha pesa”

“Mpatie haraka nahitaji ranjiti awe hai, ikiwezekana wakimkamata hata huyo Shamsa mwenyewe wamuangamize”

“Sawa mkuu”

Mlinzi wa John akaanza kuelekea mlangoni.

“Hei Maik ni nani huyo unaye mugiza usije ukafanya makosa yatakayo tugarimu”

“Anaitwa Livna Livba, ni msichana mwenye uwezo mkubwa sana wa kumpoteza mtu kwa muda mfupi sana”

“Ngoja kwanza ni mwanamke?”

“Ndio mkuu”

“Hahaaa, sasa mwanamke na hizi kazi ni wapi na wapi?”

“Niamini sana mkuu, kama huti jali ninakuomba niweze kuwasiliana naye ili ufahamu kwamba nimekupeleka sehemu ambayo ni sahihi kabisa”

“Mpigie simu hapa hapa nimsikie japo sauti ili niweze kuamini kama anaiweza kazi ya kumkomboa dokta Ranjiti”

***

Kabla Livna hajairudisha simu yakemfukoni ikaanza kuita, akaitazama namba ya mtu anaye mpigia anaifahamu vizuri sana, kwani ni mmo wa marafiki zake alio wahi kufanya nao kazi mbalimbali za kijasusi. Taratibu akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Upo hai?”

Livn alizungumza huku akiisikiliza sauti hiyo.

“Yaa, ndio maana nimekupigia”

“Natambua huwa ukinipigia basi kuna dili mpya niambie ni nini kinacho endelea”

“Kuna daktari mmoja ninahitaji unisaidie kumrudisha mikononi mwatu”

“NIkusaidie, wewe unajua katika kazi zetu huwa hakuna msaada. Weka pesa mezani nifanye kazi yako na kama ni ngumu sana basi dau ni kubwa”

“Pesa sio tatizo kubwa kwangu kikubwa ni kurudishwa kwa daktari huyu kwenye mikono yetu”

“Nipe details zake”

“Anaitwa dokta Ranjiti, amakamatwa na binti mmoja anaitwa Shamsa, mtoto wa makamu wa raisi wa Tanzania bwana Eddy Godwin. Kwa sasa Ranjiti ameshikiliwa katika jumba la kifahari la Eddy Godwin nchini Tanzania. Ranjiti anasiri ny….”

“Hayo maelezo mengine mimi hayanihusu. So ni two point five million dollars”

“Livna hata mimi unanifanyia bei kubwa kiasi hicho”

“Maik umeshataji serikali, ina maana hapo ni lazima macho yangu yatakuwa yanaangalia eneo kubwa sana, nitatafutwa sana, so weka pesa ambayo hata likitokea la kutokea ninaweza kuondoka na kupotelea popote kule”

“Haloo hiyo nitakupatia na nitakuongezea kama ukimuua Eddy Godwin na raisi Rahab”

Sauti ya John ilisikika akizungumza kwa shauku kubwa iliyo ambatana na hasira kali sana.

“Wewe ni shetani gani unaye ropoka kiasi hicho?”

“Shetani, nimekupa kazi fanya kazi”

“Hahaaa, sipokei kazi kutoka kwa mbwa kama wewe, na sina dhiki ya pesa kama unavyo fikiria unanielewa wewe mtoto wa malaya”

Livna alizungumza kwa hasira hadi watu wote ndani ya chumba alichopo wakamtazama.

“Hivi unanitambua mimi ni nani?”

“Sijali wewe ni nani na ukiendelea ninaweza kukugeuza kichwa chini miguu juu ndani ya muda mchache ukasahulika kama ulisha wahi kuwepo duniani.”

“Maik malaya gani huyu anaye zungumza kwa kujiamini umemuambia kwamba mimi ni nani eheee?”

Ilisikika sauti ya John akiendelea kuzungumza kwa hasira sana.

“Bosi nakuomba upunguze jazba”

“Nipunguze jazba wa changudoa kama huyu nitatoka na nitamtafuta utaniambia ni wapi alipo na nitahakikisha ninamgeuza chini juu kama alivyo dai yeye mwenyewe”

Livna akatabasamu kisha akakata simu yake huku akishusha pumzi taratibu kabisa.

“Kukiwa na taarifa yoyote mutanijulisha sawa”

“Sawa mkuu”

Livna akatoka chumbani humo na kuelekea katika chumba alicho patiwa bibi yake, muanzilisha wa kikosi chote hichi cha wasichana wanao pata mafunzo makali ya kijasusi.

***

Njing kabla hajazirusha sindazo mbili alizo ziandaa kwa kuwaua Cookie na Adrus, mngurumo wa simu yake ukamstua na kujikuta akisitisha zoezi hilo huku akisimama, akaitoa simu yake mfukoni na kusoma ujumbe alio tumia na bosi wake.

‘Zoezi limekatishwa na wahusika, tafuta njia yoyote ya kutoka kwenye ndege hiyo sasa hivi, kuna watu wanailipua ndege’

Njing kwa hasira akaminya simu yake kwani siku zote huwa hapendi kusitishiwa kazi aliyo pewa ruhusa ya kufanya mauaji kwa wahusika. Akawatazama Cookie na Afrus wanao onekana kufurahia maisha yao mapya ya mahusiano. Akageka nyuma na kwa bahati mbaya akagongana na muhudumu aliye shika sinia lililo jaa vikombe kadha vya kahawa na kupelekea vikombe hivyo kuanguka chini. Mpasuko wa vikombe hivyo ukawafanya abiria wa eneo hilo kuchungulia ili kujua ni nini kinacho endelea.

“Samahani”

“Usijali dada”

Muhudumu alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Hakuna tatizo ninawaomba muwe na amani tu”

Muhudumu alizungumza ili kuwatoa wasiwasi abiria. Njing akarudi bafuni, huku macho yake yakiwa yametawaliwa na uwekundu unao tokana na hasira, roho ya kuua tayari ilisha utawala moyo wake. Akajitazama kwenye kioo kwa sekunde kadhaa, akazirudisha sindano zake kwenye bunda la nywele alilo jifunga kichwani mwake. Akili yake kwa haraka ikabadilika na kuanza kufikiria ni mbinu gani ambayo anaweza kuitumia ili kutoka ndani ya ndege hiyo.

Rubani aliye pewa jukumu la kuhakikisha kwamba anailipua ndege hiyo, na kiongozi wake wa kundi la Al-quida, akaanza harakati zake za kufungulia mafuta ya ndege hiyo yaanze kumwagika hewani.

“Unafanya nini?”

Msaidizi wake alimuuliza huku akimtazama usoni mwake. Rubani huyo hakijibu chochote zaidi ya kutoa bastola yake iliyo funga kiwambo cha kuzuia sauti, iliyokuwa ameiweka chini ya siti yake, akampiga risasi mbili za kichwa msaidizi wake na kupelekea kifo chake pale pale. Akazima ijini moja ya ndege hiyo kubwa, akavaa jaketi maalumu la parachuti kisha akatazama jisni alama maalumu ya tanki la mafuta inavyo onyesha jinsi mafuta hayo yanavyo shuka kwa kasi kubwa sana. Akaitazama saa yake ya mkononi na kugundua kwamba ndani ya dakika kumi zijazo ndege hiyo italipuka vipande vipande, akafungua mlango wa chumba chao hicho ya marubani, akatoka na kukutana na wahudumu wawili ambao wakabaki wakishangaa kumuona rubani wao akitoka katika chumba hicho kabla hata ya safari.

“Mr Methew una……”

Muhudumu huyo hakumalizia sentensi yake, rubani huyo akampiga risasi kadhaa kifuani mwake na kumsababisha muhudumu mwengine kupiga yowe kali, lililo wastua abiria walio keti daraja A, wakiwemo Adrus na Cookie ambao wote kwa pamoja wakasimama wakitaka kujua ni nini kilicho tokea katika chumba kidogo wanacho pumzikia wahudumu wa ndege hiyo.



“Shiiiiii…………………”

Mr Meteh alizungumza kwa ukali na kumfanya muhudumu wake kunyamaza kimya. Mr Methew akatambua fika kwamba kelele za muhudumu huyo lazima zitakuwa zimewastua ambiria kwa haraka akamvuta na kumkaba shingo yake huku na yeye akiwepo nyuma Akafunua pazia la chumba hicho na kutokea katika upande wa abiria ambao wote wakabaki wakishangaa.

“Kaeni chini”

Rubani alizungumza kwa ukali huku akiwanyooshea Cookie na Adrus bastola aliyo ishika. Adrus na Cookie wakatii amri ya kukaa kwenye siti zao.

“Yoyote atakae nayanyuka anakufa. Nyoosheni mikono yenu juu sehemu ambayo ninaweza kuiona”

Abiria wote wa daraja hili, wakanyoosha mikono yao juu. Mr Methew akausogelea mlango wa ndege hiyo, kwa nguvu akaufungua na upepo mkali akamvuta nje yeye na msichana huyo ambaye hana parachuti la kumsaidia angani humo. Upepo mkali unao ingia kwenye ndege hiyo ukaanza kuifanya ndege kuyumba. Abiria wa madaraja B na C wakapata mstuku mkubwa, hata wahudumu waliopo katika madaraja hayo wakatamani kuweza kufahamu ni kitu gani kinacho endelea ila wakashindwa kabisa kufahamu. Adrus akasimama huku akiwa ameishikilai siti yake kikamilifu.

“Unataka kwenda wapi?”

Cookie aliuliza huku macho yakiwa yamemtoka.

“Hatuwezi kufa kizembe hivi ndege hii inakwenda kuanguka”

Adrus alizuungumza kwa sauti ya juu ili aweze kusikika kwani upepo unao ingia ndani ya hiyo ndege unaimeza sauti yake kwa asilimia kubwa sana. Adrus akaanza kujitahidi kupingana na upepo huo wenye nguvu sana, kila abiria amejiwahi kujifunga mkanda wa siti yake la sivyo anakwenda kufa. Adrus akazidi kujitahidi kuufwata mlango wa ndege hiyo, japo ni sehemu ya karibu tu ila upepo huo umemfanya kumaliza zaidi ya dakika mbili hadi kufika mlangoni hapo. Kwa nguvu zake zote huku akijitahidi kubana pumzi ili upepeo huo usimdhuru, akauvuta mlango wa ndege hiyo na kuufunga na kusababisha hali kuwa shwari ndani ya ndege. Kwa haraka akakimbilia katika chumba cha wa hudumu na kumkuta muduhumu mmoja akiwa ameuwawa, hakuhitaji kumtazama ana hali gani kwa haraka akafungua mlango wa chumba cha marubani na kukuta rubani msaidizi naye ameuwawa, huku alama zinazo onyesha mafuta ya ndege hiyo, zikionyesha taa nyekundu ya hatari ikiashiria kwamba mafuta katika ndege hiyo yanakwenda kuisha. Kwa haraka Adrus akaka kwenye siti ya rubani mkuu, akakumbuka mafunzo kadhaa aliyo yapata nchini Cubya yanayo husiana na uendeshaji wa ndege za kivita. Akaanza kuminya batani za kufunga matanki ya mafuta ya ndege hiyo yasiendelee kumwaga mafuta. Alipo fanikiwa kufanya hivyo akawasha inshiri ambayo ilikuwa imezimwa na kuifanya ndege kukaa katika hali ya usalama.

‘Ehee Mungu nisaidie”

Adrus alizungumza baada ya kuona dakika zinazo muashiria kwamba ndege hiyo inaweza kutembea kwa kiasi cha mafuta kilicho bakia, ambazo ni dakika thelathini na tato tu. Wahuhudumu walio kuwa kwenye madaraja mangine wakikmbilia hadi kwenye chumba chao, wote wakashangaa baada ya kumkuta mwenzo mmoja ameuwana na mwengine akiwa hayupo kabisa. Mmoja akaingia katika chumba cha marubani na kumkuta Adrus akijitahidi kuweka mambo sawa.

“Wewe ni nani?”

Muhudumu huyo aliuliza kwa hasira huku akimtazama rubani mwengine aliye lala kwenye siti yake huku akiwa amefariki dunia.

“Rubani wenu mpya, ninahitaji msaada wako”

“Msaada wa nini ikiwa umeumuua rubani mkuu na wafanyakazi wezetu”

Adrus akamtazama tu dada huyu ila hakumjibu kitu cha aina yoyote. Cookie akanyanyuka kwenye siti yake na kumfwata Adrus aliye husika kwa asilimia mia moja katika kuokoa maisha ya watu wengi sana ndani ya ndege hiyo. Akawakuta wahudumu ndani ya chumba chao wakilia , akaitazama maiti ya muhudumu aliye fariki kisha akapita hadi katika chumba alichopo Adrus na kumkuta akiwa na muhudumu mmoja pamoja na maiti ya rubani mwengine.

“Jamani nisikilizeni, rndege haija mafuta, tuna dakika thelethini na tatu tu za kutembea angani na kama munavyo fahamu kuna mawili, ndege kulipuka angani ikiwa imeisha mafuta au kuanguka, sasa sijajua tunapata vipi msaada wa mafuta”

“Bado hujanijibu uwaue wezetu”

“Dada kama kusoma huwezi picha pia hujua, huyu mwanaume ndio ametusaidia sasa hivi mimi na wewe kuwa hai hadi sasa hivi, kwa nini kipindi ndege ilipo kuwa inayumba usinge lete kwato zako huku kuokoa jahazi. Kikubwa tutazame ni nini tunaweza kufanya katika hii safari basi na si kukalia kuulizana upuuzi tu hapa. Aliye fanya mauaji ya wezenu ni aliyekuwa amekaa katika eneo hili hapa”

“Mr Methew?”

“Hatujui ila rubani mkuu ndio aliye fanya mauaji na pia amemuua muhudumu mwengine kwa kutoka naye nje ya ndege sasa hatujui lengo na dhumuni lake lilikuwa ni nini kufanya hivyo”

“Sikilizeni, tunahitaji msaada wa mafuta, na hapa tuliopo hakuna nchi hata moja ambayo tunaweza kutua tupo katikati mwa Kaskazini mwa bahari ya Atlantic kuna zidi ya kilomota elfu tau hadi kuzimaliza”

“Ohoo Mungu wangu sasa inakuwaje?”

Muhudumu huyu alijikuta akiuliza kwa swali lililo ambatana na wasiwasi, hasira ambayo alikuwa nayo yote ikamyayuka kama donge la barafu.

“Cha kufanya tangaza kama kuna mtu ambaye anaweza kuwa na ushirikiano mzuri na shirika lolote la ndege akaomba msaada wa mafuta ya dharula au kama nyinyi muna weza kupata msaada wa dharura wa mafuta ya ndege basi tunaweza kuishia, tukishindwa hivyo sote tunakwenda kulipukia angani”

Maneno ya Adrus aykazidi kumchanganya muhudumu huyu ambaye muda wote anaonekana kama haamini kile kinacho endelea.

“Unaniangalia, fanya nilicho kuambia.”

Muhudumu huyo akatoka katika chumba cha rubani, na kurudi ilicho chumba chao na kuwakuta wezake wakiwa wamekaa na huzuni kubwa.

“Hei nisikilizeni, kila mmoja achukue daraja lake, sasa sio muda wa kuhuzunika, tuna muda mchache sana kabla ya ndege kulipuka, tunacho takiwa ni kuwahudumia abiri wetu, huku tukiendelea kulishuhulikia tatizo lililopo mbele yetu”

Muhudumu huyu alizungumza huku akiwatazama wezake wawili hao walio jawa na huzuni kubwa sana.

“Matha kuna tatizo gani linalo endelea?”

“Rubani Methew alijaribu kuilipua hii ndege, kwa kufungulia mafuta yakawa yanamwagika hewani, kijana ambaye ametupa msaada hivi sasa anasema ndege ina mafuta machache sana yanayo weza kuifanya ndege kuendelea kuwa hewani kwa nusu saa, na tunahitaji kuweza kupata msaada wa haraka wa ndege japo kujazwa mafuta yatakayo tufikisha katika nchi yoyote tutakayo omba hifadhi ya kutua kwa muda tukiendelea kushuhiika kwa taratibu nyengine za…..”

“Jamani tuambieni ni nini kinacho endelea?”

Mzee mmoja mnene na mwenye kitambi kikubwa alizungumza huku akiwa amelifunua pazia la chumba hichi kidogo.

“Mzee tunakuomba urudi kwenye siti yako tafadhali”

“Siwezi kurudi ikiwa sifahamu ni kitu gani kinacho endelea”

“Hichi ndiocho kinacho endelea sawa mzee”

Matha alizungumza kwa hasira huku akimuonyesha maitiya mwenzo waliye mfunika shuka mwilini mwake. Mzee macho yakamtoka na kubaki amemtumbulia macho muhudumu huyo aliye fariki.

“Rudi kwenye siti yako sasa hivi”

Mzee akandoka na kuwaacha Matha na wezake.

“Charity nenda daraja C, na Lucy nenda daraja B, mimi nitashuhulika na hili A na huyu rubani tuliye naye hapa”

“Sawa mkuu”

Wahudumu hawa wandege wakoondoka na kila mtu akaelekea katika eneo alilo uliza. Martha akarudi katika chumba alipo Adrus na Cookie.

“Umeweza kupata watu wa kuwasiliana nao wanao weza kutupatia msaada?”

“Hapana ila sasa hivi ndio ninahitaji kuwasiliana nao”

“Fanya haraka muda unazidi kwenda”

“Ila ninaihitaji kujua jina lako unaitwa nani?”

“Adrus, Adrus Maldin.”

***

Taratibu Phidaya na Eddy wakaachiana, Eddy akapihga hatua hadi kitandani na kukaa huku akiwa amembeba Camila wake, sauti ya mama yake ikaanza kujirudia katika mfumo wake wa akili ikisisitiza kwamba amuue Phidaya la sivyo mwanaye Camila naye hato weza kuishi kabisa duniani.

“Eddy mbona unaonekana kuwa na mawazo mengi, kuna nini kinacho endelea kwako mume wangu?”

“Ni uchovu tu mke wangu ninaomba nilake kwa sasa”

“Sawa”

Eddy akavua nguo zake na kubakiwa na boksa, apanda kitandani, akajilaza chali na kumlaza Camila kifuani mwake.

“Hato anguka kweli hapo?”

“Hawezi kuanguka”

“Sawa, mimi ngoja nikatoe vyombo vya chakula”

“Sawa”

Phidaya akasimama kitandani na kutoka chumbani humo. Akafika sebleni na kumkuta Rahab akizungumza na walinzi wake.

“Wifi bora umekuja, hapa walinzi wangu wananiambia ni muda wa kurudi ikulu sasa”

“Hee jamani wifi nilijua una lala?”

“Hapana walinzi wangu hawawezi kuliruhusu hilo, ni lazima nirudi ikulu si unajua raisi si kila kitu anapanga hususani mwaswala ya usalama wake”

“Sawa wifi ninashukuru kwa kuwa nasi katika siku nzima ya leo”

“Usijali, walinzi kadhaa watendelea kuwepo hapa na kuimarisha ulinzi nina imani kesho ni siku mpaya basi tunaweza kujua ni nini kitakacho fwata”

“Sawa wifi nikutakie usiku mwema”

“Sawa vipi huyo bwana mkubwa amelala?

“Yaa amelala na mwanaye hapo”

“Basi utaniagia”

“Sawa wifi”

Phidaya na Rahab wakakumbatia kidogo kisha wakaachiana na Rahab akaondoka eneo la sebleni akiwa ameongozana na walinzi wake. Rahab akafunguliwa mlango wa gari lake, akaingia ndani na kuondoka katika eneo hili la jumba la Eddy. Phidaya akaelekea katika meza ya chakula na kukuta vyombo vikiwa vimesha ondolewa akaelekea jikoni na kumkuta Shamsa akiwa anaviosha.

“Ehee, umeniwahi nilikuwa nimepanga kuja kuviosha”

“Ahaa usisumbuke mama yangu, kupika umepika wewe, japo nilikusaidia pia kousha uonye wewe na mimi nipo itakuwa sio tabia nzuri”

“Sawa mwaya”

“Ila mama kwa nini uliamua kuttania vile unajua hadi sasa hivi kile kitendo kinajirudia kichwani mwangu?”

“Unahisi kweli ningeweza kuwawekea sumu?”

“Najua huwezi”

“Sasa kwa nini uwe na wasiwasi na mimi?”

“Mmmm mama hakuna siku hata moja uliyo wahi kututania kwa stail kama ya leo”

“Musijali nina wapenda sana na kuwaamini, nilitaka kuwachangamsha tu kwa mana siku ya leo ina onekana kwa ngumu kwetu sote”

“Yaa yanani hapa nina usingizi, nikiingia huko chumbani ni kulalala vipi baba naye amelala?”

“Yaa amelala muda mrefu sana na Camila”

“Ahaa sawa”

Phidaya na Shamsa wakasaidiana kuosha vyombo, kisha Shamsa akelekea chumbani kwake kulala na kumuacha Phidaya sebleni akijifikiria kuiweka memory card kwenye simu yake ili aweze kuona siri ambayo dokta Ranjiti alimueleza.

‘No’

Phidaya alizungumza na kunyanyuka kwenye sofa alilo kalia, moja kwa moja akashuka chini kilipo chumba alicho fichwa dokta Ranjiti, akawaomba walinzi wamfungulie mlango wa chumba hicho. Walinzi wakatii, Phidaya akaingia ndani ya chumba hicho na kumkuta dokta Ranjiti akiwa amening’inizwa huku jeraha kubwa lililopo kifuani mwake, lilikwa bado linaendelea kumwaga damu.

“Hei Ranjiti”

Phidaya aliita huku akimpiga piga dokta Ranjiti vibao katika shavu la upande wa kulia. Dokta Ranjiti akayafumbua macho yake yaliyo jaa ukungu mwingi ulio sababishwa na machozi yaliyo myoka kwa muda mrefu.

“Phidaya”

“Yaa, una muda mchache sana wa kuzungumza kabla sijakuua kwa mkono wangu mimi mwenyewe, kwa maana ulinitesa sana na ukayafanya maish ayangu kuwa ya ajabu na kukuona kwamba wewe ndio mtu kumbe ni jini. Sasa eleza ni kwa nini unahitaji kunichonganisha na wana familia yangu”

Phidaya alizungumza kwa msisitizo huku akichukua kishoka kikali, akakigeuza geuza na kusimama mbele ya dokta Ranjiti.

“Phidaya nimekuja kukueleza ukweli moyo wangu, ninakupenda ninakuhitaji Phidaya napenda niwe nawe”

“Nyamaza acha kuzungumza ujinga wako, unanipenda ikiwa umeniiba kwa mwanaume mwenzako ehee?”

“Phidaya, hembu tambua kwamba Eddy hakupendi, Eddy yupo na wewe ili mradi awepo na wewe ila ukweli ni kwamba Eddy hakipendi”

“Koma Ranjiti, hujui mimi na Eddy tumepitia wapi, hujui mimi na Eddy tumepitia mambo mangapi hujui mimi na Eddy tumefanya nini hadi kufika hapa. Unajua ni shida gani ambazo Eddy alipitia kwa ajili ya kinipata mimi kutoka kwako mpuuzi wewe?”

Phidaya alizunguma kwa kufoka sana huku akimtazama dokta Ranjiti anaye endelea kuning’inia kichwa chini miguu juu.

“Laiti kama ungeona video niliyo kuambia, usinge zungumza hivyo. Eddy ni malaya, Eddy si mwanaume anaye kujali pale anapo ona uchi wa mwamke mwengine, Eddy ni mwanaume katili sana, Eddy na matatizo yake ndio alipelekea mwanao Junio kufa, wewe utakuwa ni mwanamke wa aina gani utakaye kuwa unazalishwa na wanao wanakufa eheee?”

Dokta Ranjiti alizungumza kwa ukali kidogo.

“Eddy na Shamsa wanakung’ong’a kisogo na kwa habari yako wana mtoto wa kiume, laiti kama ile video ingekuwepo basi ungeweza kuiona”

Mapigo ya Phidaya yakaanza kumuenda kasi, taratibu akaitoa memory card iliyopo mfukoni mwake akamuonyesha dokta Ranjiti.

“Ninaiweka hii memory card kwenye simu yangu ole wako nikute hakuna video inayo muhusu mume wangu nitakuua hapa hapa kwa kukukata kata kama nyama buchani sawa”

Dokta Ranjiti macho yakamtoka, akaitazama memory card hiyo, ambayo kusema kweli hana uhakika nayo kabisa, akameza fumba la mate baada ya kuona Phidaya akiitoa memory card yake kwenye simu yake kisha akaiweka memory cad hiyo.

‘Ehee Mungu naomba iwe ndio yenyewe’

Dokta Ranjiti alizungumza kimoyo moyo huku akiutzama mwanga wa simu ya Phidaya aliyo iwasha ili kuangalia ni kweli kile anacho kisema ndicho kilichopo kwenye memory card hiyo.



Taratibu Phidaya akaingia katika faili la kutunzia video. Video alizokuwa ameziona kwenye simu ya dokta Ranjiti ndio hizi zote zilizopo katika hili faili, akaifungua video ya kwanza. Video hii ikaanza kumuonyesha Sa Yoo akiwa amefungwa kwenye kiti, kisha wakanza kuyasikia mzangumzo ya John ambaye amembeba mtoto mdogo wa kiume aliye mstua sana Phidaya kwa maana anafanana kabisa na Junion wake kipindi alipo kuwa mtoto mdogo. Sauti ya John ikamfanya dokta Ranjiti kushusha pumzi nyingi sana kwani video hiyo ndio yenyewe aliyo kuwa ameikusuidia kumuonyesha Phidaya.

Phidaya machozi yakaanza kumwagika usoni mwake, mikono nayo ikaanza kumtetemeka, hakuamini usaliti ambao Eddy na Shamsa wameufanya, ni bora tu wangefanya mapenzi, ila hadi kufika hatua ya kuwa na mtoto inaonyesha mahusiano yao yamedumu kwa muda sasa.

“Nimekuambia Phidaya, Eddy na Shamsa sio watu wanao kutakia mema kwenye maisha yako. Ona walivyo fanya, tazama walivyo kuzunguka kweli bado unaendelea kuwaamini”

“Nyamaza pumbavuuu wewee”

Phidaya alizungumza kwa hasira huku akitafuta sehemu ya kukaa kwani miguu nayo imeanza kumuishia nguvu. Akaegemea meza iliyopo ndani humo, akaitazama vidoeo hii hadi mwisho, akahisi labda ni kiini macho alicho kiona, akairudia zaidi ya mara tano, na kudhibitisha kwamba kile alicho kiona kina ukweli kabisa. Akamtazama dokta Ranjiti anaye endelea kupata mateso ya kuning’inizwa kichwa chini miguu juu.

Phidaya kajifuta machozi usoni mwake. Akajiweka sawa nguvu zake alizo zavaa, akaitoa memory card hiyo kisha akaiweka ya kwake na kumsogelea dokta Ranjiti alipo simama.

“Nitaendelea kufanya upelelezi wangu, nitakapo gundua basi nitakuwa nawe maisha yangu yote”

Phidaya baada ya kuzugumza hivyo akatoka chumbani humo, na kumucha dokta Ranjiti akiwa na matumaini makubwa sana ya kuishi, kwani kusema kweli moyo wake unampenda sana Phidaya na alisha apa kwamba yupo tayari kufa na kupona kwa ajili ya Phidaya tu.

Phidaya akafika sebleni, akatazama ngazi za kupandisha kueleka sebeleni vilipo vyumba vya kulala. Hasira kali iliyo utawala moyo wake kusema kweli hatamani hata kumuona Eddy na Shamsa kwa muda huu, kwa inaweza kuwa tatizo kubwa kwa pande zote mbili.

Akafungua friji kubwa lilipo jikoni, akatoa pombe kali aina ya wisky, akachukua na barafu moja, akalivunja vunja, na kuliweka kwenye glasi kubwa kisha akatoka navyo nje.

“Mom, muda umekwenda ninakuomba uweze kurudi ndani”

Mlinzi mmoja aliye simama mlangoni kwa nje baada ya kumuona Phidaya akiwa amesisia katikati ya mlango akitazama ni wapi aelekee.

“Kazi yako ni nini?”

“Kukulinda madam”

“Endelea kunilinda, si lazima nilale ndani hata huku nje pia ninaweza kulala”

Phidaya alizungumza kwa sauti ya kukwaruza kwaruza, akaanza kushuka kwenye ngazi na kuelekea eneo yalipo makaburi ya mama Eddy pamoja na mwanaye Junio. Akasimama kwenye kaburi la mwanaye huku mlinzi akiwa mita kadhaa kutoka sehemu alipo simama akihakikisha kwamba mke wa makamu wa raisi anaendelea kuwa salama.

“Hei Junio, mamy nipo hapa unaniona?”

Phidaya alizungumza kwa sauti ya chini huku akiitazama picha ndogo iliyopo juu ya kaburi hilo.

“Mama ninakupenda, ila baba yako………”

Phidaya hakuimalizia sentensi yake machozi yakaanza kumwagika usoni mwake, taratibu akafungua chupa hii ya pombe kali, akaimimina kwenye glasi yake hii iliyo jaa mabarabu, akanza kunywa mafumba kadhaa hadi ikaaisha pombe hiyo. Akapiga akamimina tena kwenye glasi na kunywa huku machozi yakiendelea kumwagika. Japo sio mzoefu na pombe kali, ila kwa siku ya leo hadi yeye mwenyewe akajishangaa kwani koo lake halihisi uchungu wala ukali wa pombe hiyo ambayo ukimeza japo fumba moja ni lazima ufumbe hadi macho.

Mlinzi akanza kuhisi kuna tatizo kwa mke wa makamu wa raisi, kwani unywaji wake wa pombe hiyo kali ni wa kasi sana jambo ambalo linaweza kuhatarisha maisha yake. Taratibu akaanza kujishauri kisha akaanza kufwata sehemu alipo simama Phidaya.

“Mom”

“Nini?”

Phidaya alizungumza kwa hasira kali huku macho yakimtoka, mlinzi huyu akameza fumba la mate huku akitamani kumuomba Phidaya kuacha kunywa pombe hiyo ila ukali alio kutana nao ukamkatisha tamaa kabisa ya kuzungumza alicho kikusudia.

“Niacheni, ninazungumza na mwanangu, kama munanilinda nyingi endeleeni kunilinda sawa?”

“Sawa mom”

Mlinzi huyu akarudi sehemu alipo kuwa amesimama huku walinzi wengine wakiendelea kulinda meneo mengi, ya hili jumba kubwa la Eddy.

***

Eddy akayafumbua macho yake, akamtazama Camila alite mlalia kifuani mwake, taratibu akamnyanyua na kumuweka taratibu kitandani ili asije akastuka na kuanza kulia, akatazama saa ya ukutani inaonyesha ni majira ya saa tisa usiku na mke wake Phidaya bado hayupo kitandani. Tratibu akanyanyuka kitandani huku akipiga miyayo, akatembea hadi bafuni ambapo taa inawaka, akafungua mlango na kuchungulia nda ila hakumuona Phidaya. Eddy akafungua kabati na kuchukua pensi pamoja na tisheti akavaa na kutoka chumbani humu, akashusha kwenye ngazi na kukuta sebleni napo hakuna mtu wa ina yoyote.

‘Amekwenda wapi?’

Eddy alijiuliza huku akichungulia eneo la jikoni ila huko napo Phidaya hayupo, akakumbuka uwepo wa Shamsa, taratibu akageuza na kuanza kupandisha ngazi hizo akiamini kabisa Phidaya atakuwa amelala chumbani kwa Shamsa.

Eddy akashika kitasa cha mlango wa chumba cha Shamsa,a kafikiria abishe hodi ila akaona sio sahihi kwa yeye kuweza kumgongea Shamsa, ikiwa muda umekwenda sana, akausukua mlango na kwa bahati nzuri akaukuta upo wazi na haujafungwa kwa ndani. Taratibu akaingia ndani, akatazama kitandani na kumkuta Shamsa akiwa amelele kifudifudi huku kijimkanda cha chupi ya bikini aliyo ivaa, kikiwa kimekatiza katikati ya makalio yake.

Msisimko wa kimapenzi na kumbukumbu za matukio ya kimapenzi waliyo fanya ndani ya ofisi yake asubuhi, yakaanza kujirudia kichwani mwake huku yakikatiza kama mkanda wa video. Jogoo wake akaanza kukurupuka ndani ya pensi hiyo, mapigo ya moyo yakaanza kumuenda mbio kwani shetani wa mahaba anataka kuzidi kuizamisha ndoa yake ambayo kwa sasa imesha anza kuota nyufa pasipo yeye mwenyewe kuelewa.

Eddy akajaribu kurudi nyuma ila miguu ikamuwia uzito mkubwa sana, akajaribu kupiga hatua ya mbele ili kuelekea kitandani alipo lala Shamsa ila miguu yake ikawa myepesi sana, na kadri alivyo zidi kukisogelea kitanda hichi, ndivyo jinsi alivyo zidi kukumbuka shuhuli ya Shamsa.

Taratibu Eddy akaka pembeni ya Shamsa, akamtazama jinsi alivyo jaaliwa uzuri na mwenyezi Mungu, taratibu akammshika makalio yake na kumfanya Shamsa kufumbua macho yake kwa haraka sana.

“Shiiii ni mimi”

Eddy alizungumza huku kidole chake kimoja cha mkono wake wa kulia akikiweka mdomoni mwake.

“Baby umefwata nini huku?”

“Nilikuwa nina mtafuta Phidaya, ila nimeingia humu chumbani mwako, ila nimeshindwa kutoka bila ya kukusalimia”

“Unamtafuta, kwani hakuja kulala huko chumbani kwako?”

“Sijajua, ila nahisi atakuwepo hapa hapa nyumbani”

“Basi toka chumbani kwangu baba, tusije kuleta tabu zaidi si umemuona machale yameenza kumcheza huyu punguani amekuja kutuharibia kila kitu”

“Usijali, ila naomba japo kimoja cha fasta fasta”

“Baby, tutakamatwa bwana”

“Kimoja tu”

Eddy alizungumza huku akimuinamia Shamsa, wakaanza kunyonyana midomo yako, hisia zikazidi kuwatawala na kujikuta wote kwa pomoja wakizama katika dimbwi zito la mapenzi.

***

“Sawa bwana Adrus”

Martha alizungumza huku huku akikamtazama Adrus aliye toka kujitambulisha jina lake. Kwa pamoja wakaanza kushirikiana kuomba msaada wa kuweza kupata msaada wa mafuta, kwani kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi mafuta yanavyo zidi kwenda.

Jing akatoa simu yake mfukoni, baada kuona misuko suko ya ndege hiyo ikiwa imekwisha na mtu wa pekee aliye jitahidi kuiokoa ndege hiyo ni Adrus aliye takiwa kumuua. Akaanza kuandika meseji kwa haraka.

‘Watu wako unao hitaji wafe kwa sasa ndio wanaongoza ndege hii, niambie nifanye nini?’

Jing baada ya kuituma meseji hiyo akachungulia katika chumba cha wahudumu na kumuona Cookie akiwa ameshika moja ya kitabu akionekana kama anasaidiana na muhudumu wa ndege hiyo kutafuta kitu. Ujumbe ukaingia kwenye simu yake akaufungua kwa haraka.

‘Bado hutatoka tu kwenye hiyo ndege?’

‘Sina parachute unahisi nitatokaje?’

‘Kwa hiyo na wewe unataka kufa si ndio?’

‘Nimekuomba ushauri na si kuniuliza kama ninataka kufa, kumbuka kwamba kazi yenyewe umenipa kwa kustukiza’

‘Sasa Jing kila kitu ni akilini mwako, nilikuambia utoke kuna watu wanataka kulipua, ila umeamua kukaa, sasa unataka nipaee nije kukutoa humo ndani ya ndege, kama vipi ruka hewani’

Macho ya hasira yakamtoka Jing, hadi abiria aliye kaa naye pembeni akaligundua hilo. Hakutarajia Livna anaweza kumjibu upuuzi kama huo ikiwa tayari amesha muomba msaada, akanyanyuka kwa haraka.

“Unakwenda wapi dada wakati tumea……”

Mzee huyo hakuimalizia sentensi yake kwani kwa jicho kali alilo tazamwa na Jing, yeye mwenyewe akaka kimya. Jing akaanza kutembea kwa harak akuelekea katika chumba cha wahudumu wa hii ndege.

“Dada tumewaomba muweze kukaa kwenye siti zenu”

Martha alizungumza huku akimtazama Jing usoni mwake.

“Ndege ina tatizo gani niwasaidie”

Martha na Cookie wakakaa kimya huku wakimtazama Jing usoni mwake.

“Zungumzeni munaniangalia nini?”

“Ina upungufu wa mafuta, na hadi sasa tuna mafuta machache sana ambayo hayato tutosheleza kuweza kukatisha katika bahari hii ya Antlantic”

“Mumepata msaada?”

“Bado kila shirika tunalo jaribu kuwasiliana nalo wanatoa sababu zisizo tosheleza”

“Shirika lenu je?”

“Nao tumewasiliana nao ila hadi nge itoke huko inapo toka, ili iweze kufika hapa tulipo itatugarimu”

“Nipeni simu yenu”

Jinga alizungumza kwa msisitizo, Martha akamkabidhi Jing, simu maalumu iliyo ndani ya ndege hiyo. Jing ajaingiza namba za simu za baba yake kisha akampigia. Jing akaanza kuzungumza kichini ambacho si Martha wala Cookie wanakielewa. Jing akaingia katika chumba cha rubabi , akamtazama Adrus kwa sekunde kadhaa, kisha kwa ishara ya mkono huku simu akiwa bado ameiweka sikioni, akamuomba Adrus aitoe maiti ya rubani msaidizi. Adrus hakuhitaji kumuuliza chochote Jing, zaidi ya kufaya alichoa elezwa, akaanza kuifungua mikanda ya siti ya maiti hiyo na kuifungua. Akamtoa maiti hiyo na kuirudisha katika chumba cha wahudumu.

Jing akaka kwenye siti aliyo tolewa maiti, Adrus naye akarudi na kukaa kwenye siti yake. Adrusa akaka kimya huku akimtazama Jing, jisni anavyo cheza na baadhi ya batani zilizopo ndani ya ndege hiyo, huku akionekana akipokea maelekezo kwa mtu aliyopo kwenye simu aliyo iweka sikioni mwake. Jinga alipo maliza kupotea maelekezo aliyo pewa na baba yake, akaiweka simu pembeni, akachukua kitambu kidogo cha marubani, wanachoa ndikia baadhi ya kumbukumbu muhimu, akaanza kuandika kwa kutumia mkono wake wa kushoto huku kwa mara kadhaa akitazama dira ya ndege hii, inayo waonyesha ni wapi inapo elekea. Alipo maliza, kuandika, akaichukua simu tana na kumpigia baba yake. Akaanza kuzungumza kichina, kisha akakata tena simu na kushusha pumzi nyingi.

“Ahaa…..samahani mwenzangu labda ni nini ulicho kufanya?”

Adrus alizungumza kwa sauti ya upole huku akiitazama kasi ya ndege ikipungua sana na kwenda kwa mwendo wa taratibu. Njing akamtazama Adrus kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kuzungumza.

“Nilikuwa ninashuhulikia kuweza kuisimamisha ndege hii angani, na nimefanikiwa kwa maana ina uwezo huo. Kilicho baki hivi sasa ni kusubiria kupata msaada wa mafuta yaakayo letwa na ndege ya shirika la baba yangu, ndani ya saa moja na nusu inaweza kufika”

Jing alizungumza kwa haraka haraka huku akinyoosha maelezo yake vizuri.

“Unataka kusema kwamba ndege kwa sasa itasimama angani?”

“Ndio, unashangaa nini kwani hujawahi kuona hicho kitu?”

“Yaa kusema kweli leo ni mara yangu ya kwanza kuweza kuona kitu kama hicho”

“Inawezekana, si kila ndege ina uwezo huo, ila ndege hii ina uwezo huo, na hapa mafuta hatato tumika, tunaendelea kusubiria kwa kwa muda wa hilo saa moja na nusu, tukijaziwa mfuta basi tunaweza kuendelea na safari yetu”

Adrus akajikuta akiaanza kutabasabu taratbu, ila Martha na Cookie walio wakashindwa kabisa kuzuia hisia zao na kujikuta wakishangilia kwa furaha. Kwa haraka Martha akachukau kipaza sauti na kuwalekeza abiria kitu kinacho endelea kwa muda huo ndani ya ndege, huku sifa nyigi akiwapa Adrus na Jing.

***

Eddy kwa haraka akavua pensi yake, Shamsa, akampaka mate jogoo wa Eddy na kumuingiza katika kitumba chake ambacho tayari kiliha anza kulainika.

“Ohoooo…..aiiisii…..”

Shamsa alitoa miguno ya kimapenzi huku akiendelea kuifungua mikanda ya chupi ya bikini yake. Eddy akakishika vizuri kiuno cha Shamsa, na kuanza kumshindilia jogoo wake katika kitumbua cha Shamsa kwa kasi kubwa sana. Utamu na raha wanazo zipata, zikawasahaulisha kabisa kama wapo katika eneo la hatari ambalo muda wowote wanaweza kufumaniwa na Phidaya amabye hadi sasa hakuna hata mmoja wao anaye tambua kwamba yupo wapi. Kwa utaalamu wa Shamsa, ukazidi kumchanganya Eddy ambaye naye akazidi kuonyesha kwamba yeye ni mjuzi na mkongwe wa mambo hayo tangu alipo kuwa kijana mwenye umri mdogo.

“Eddy ninakuependa mume wangu”

“Nakupenda pia, nizalie mtoto wa pili”

“Eheee?”

“Nizalie mtoto wa pili please baby?”

Eddy alizungumza huku akiongeza kasi ya kumshuhulikia Shamsa, ambaye taratibu akaanza kumvuta Eddy tisheti yake huku akiendelea kulifikiria ombi la Eddy.

“Unataka kuzaa na mimi eheeee”

Shamsa alimuuliza Eddy huku akimpita vibao kadha mashavuni mwake.

“Yeee baby”

“Fuc*** me hardddddddddddd”

“Okkay babyyyy”

Eddy alijibu huku akiongeza mwendo wa kiuno chake kuhakikisha kwamba anamridhisha Shamsa zaidi na zaidi ili aweze kunzalia mtoto kwani tayari tahadhari aliyo pewa na mama yake imeshaanza kujenga mazingira mabaya kichwani mwake.

Phidaya taratibu akapiga magoti pembeni ya kaburi hilo huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake, akaanza kupitisha vidole vya kijanja chake cha kulia, juu ya picha ya Junion mwanaye.

‘Junio, kwa nini baba yako ana nisaliti, kwa nini atembee na dada yako eheee?’

Phidaya alizungumza kimoyo moyo huku akiendelea kumwagikwa na machozi.

‘Kwa nini baba yako anapandikiza chuki moyoni mwangu, kwa nini baba yako ameuwa hivi jamani eheee?’

‘Nilijitoa maisha yangu yote kwa ajili yake, haya ndio malipo aliyo nipatia, kwa nini amekuwa si muaminifu, nilijua tumefunga ukurusa mpya wa mapenzi ila kumbe ndio matatizo mapya yameanza eheee?’

Phidaya kwa haraka akanyanyuka huku akiwa ameishika chupa yake, akatazama eneo zima la nyumba hii, kwa haraka akaanza kurudi ndani na kumfanya mlinzi kumpisha na kuwa nyuma yake, Phidaya akaingia ndani na kusimama katika mlango wa sebleni, na kumuacha mlinzi nje.

‘Eddy ninakupenda sana mume wangu, ninakuomba uniambie ukweli, kwa nilicho kiona”

Phidaya alizungumza kimoyo moyo huku akizitazama ngazi za kuelekea gorofani, taratibu akaanza kupandisha ngazi hizo huku akiwa na shauku ya kumuuliza Eddy ni kweli emazaa na Shamsa, na kama ni kweli yupo tayari kumsamehe kwa moyo wake mmoja na mtoto huyo atamlea kama mwanaye wa kumzaa kabisa. Phidaya akaanza kutembea katika kordo ya kuelekea chumbani kwake, huku chupa na glasi akiwa amevibaba. Akaupita mlango wa chumba cha Shamsa, akafika hadi mlangoni mwa chumba chake. Akasimama kwa muda na kugeuka nyuma akisikiliza miguno ya kimahaba inayo tokea katika chumba cha Shamsa.

Ujasiri ukazidi kumjaa moyoni mwake, akarudi kwa hatua kadhaa za kunyata hadi katika mlango wa chumba chicho, akashika kitasa na kuufungungua kidogo, akachungulia ndani, macho yakamtoka, hasiria ikazidi kuongezaka mara dufu, hakuamini macho yake baada ya kumuona Eddy na Shamsa wakifanya mapenzi kwa kasi kubwa sana, kwa hasira iliyo mtawala Phidaya, akajikuta akiiminya glasi aliyo ishika, kwa nguvu zake zote hadi ikamvujikia kiganjani, na kusababisha damu zianze kumwagika, huku roho yake ikitawaliwa na sauti inayo muhitaji aingie ndani ya chumba hicho na kuwaangamiza Eddy na Shamsa kwa chupa nzito na ndefu alivyo ishika mkono wake wa kulia.



Ubaridi mkali sana ukautawala mwili wa Phidaya, taratibu akashika kitasa cha mlango huo na kuufunga kama ulivyo kuwa. Akautazama kiganja chake kilicho chanwa na glasi, kwa haraka akaelekea jikoni, akachukua kisanduku kinacho hifadhia vifaa vya huduma ya kwanza. Akaanza kujihudumia mkono wake kwa kuvichomoa vipande vilivyo ingia ndani ya kiganja chake, katika zoezi hilo hakuhisi maumivu ya aina yoyote, alipo hakikisha kwamba kila kitu kimekwenda vizuri, akajisafisha na dawa maalulu kisha akajifunga bandeji. Akarudishaa kila kitu sehemu yake, kisha akaelekea chumbani kwake huku akiwa ni mtu mkimya, akamtazama mwanye Camila aliye lala kitandani, taratibu akavua nguo zake kisha akapanda kitandani. Machozi mengi yakaendelea kumwagika usoni mwake, huku moyoni mwake akiapia ni lazima atahakikisha kwamba anawaangamiza Eddy na Shamsa ambao wanamfanyia maovu.

Baada ya kama nusu saa, Eddy akaingia chumbani kwake, akastuka sana kumuona Phidaya akiwa amelala kitandani, taratibu Eddy naye akavua nguo zake kisha akapanda kitandani. Eddy akamtazama Phidaya kwa muda kwa sekunde kadhaa kisha akageukia upande wa pili na kumpa Phidaya mgongo. Phidaya akayafumbua macho yake na kumtazama Eddy kwa macho yaliyo jaa hasira, kisha akatabasamu kwani tayari amesha fahamu kila kitu kinacho endelea.

Kwa shuhuli na utamu walio peana Shamsa naye akapitiwa na usingizi mzito, hakuona hata haja ya knyanyuka na kwenda kuoga bafuni.

Asububuhi na mapema Shamsa akawa ndio mtu wa kwanza kumka kutokana na kubanwa na haja ndodo, akaingia bafuni huku akipiga miyayo mingi sana. Akajisaidia haja hiyo, kisha akaanza kuoga, alipo hakikisha kwamba amemaliza, akatoka chumbani kwake huku akijinyoosha viungo vya mwili wake, akafungua kabati na kuchukua nguo zake za mazoezi, akazivaa, akachukua simu yake akavaa earphone na kuanza kupiga hatua kuelekea mlangoni, taratibu akafungua mlango, damu iliyo mwagika ktika sakafu ikamstua sana na kujikuta akivua earphone zake, akatazama kwenye kordo hii ili haionyeshi kama kuna dalili yoyote ya jambo baya lililo tokea, akatazama mlango wa chumba cha Eddy na Phidaya, ila hakuja jambo lilote baya. Akaigusa damu hii na kukuta kwamba imeganda, ila vipande vipande vya glasi hii vikazidi kumstua sana.

Taratibu akanyanyuka huku wasiwasi mwingi ukiwa umemjaa moyoni mwake, akatoka na kuanza kutembea kueleka sebleni. Akataka kutoka nje ila nafsi yake ikasita kabisa, akachukua mopu pamoja na ndoo yake akaweka maji kiasi na kurudi navyo hadi mlangoni mwake, akaanza kuifuta damu hii taratibu huku maswali mengi yakizidi kumjaa kichwani mwake. Akamaliza, akabeba kindoo hicho pamoja na fagio hilo maalumu la kudekia. Akayamwaga maji hayo kisha fagia hilo akalisafisha. Akatoka nje na kuwakuta walinzi wakeindelea kuimarisha ulinzi, akamuita mlinzi aliye kuja naye jana katika jumba hili.

“Ndio madam”

“Nahitaji kukimbia, nipatie ulinzi wako”

“Sawa madam ni jukumu langu kukulinda”

Mlinzi huyo akavua koti lake na kubakiwa na shati jeupe, wakatoka nje ya geti hilo na kuanza kukimbia taratibu huku akihakikisha kwamba Shamsa anakuwa salama. Wakakimbia zaidi ya lisaa zima pasipo kupumzika hadi mlinzi huyu akashangaa, kwani hajui binti huyu naa mafunzo gani.

“Umechoka?”

Shamsa alimuambia mlinzi huyo huku akisimama.

“Ahaa hapana ni jukumu langu hili madam”

“Ohoo, usiniite madam, wewe niite Shamsa”

“Sawa”

“Sawa unaitwa nani wewe?”

“Musa”

“Ohoo Musa, kwenye kitengo chako una jukumu gani?”

“Jukumu langu ni kuilinda familia ya makamu wa raisi, ukiwepo wewe mwenyewe”

“Ahaa, hivi hii kazi yenu ni ngumu sana?”

“Ni ngumu pale kunapotokea hali ya hatari, ila pia ni ngumu, je ninaweza kukuuliza swali?”

“Uliza?”

“Ila samahani kama litakuwa linakukera kwa maana ni swali la kifamilia zaidi”

“Uliza tu Musa”

“Jana usiku mke wa raisi alikuwa anakunywa sana nje, na alikuwa katika ya le makaburi mawili pale nje, ni nini kinacho endelea?”

Shamsa akaaka kimywa kidogo huku akijaribu kufikiria ni kitu gani anaweza kukijibu.

“Naona nimekuuliza swali gumu kidogo samahani sana”

“Hapana, niliuwa ninajaribu kufikiria kitu cha kujibu, unajua pale kwenye yale makaburi alizikwa mdogo wangu anaitwa Junio pamoja bibi yangu, sasa kidogo mama akiwa katika eneo hili basi huwa anakumbuka matukio mengi sana hususani mdogo wangu”

“Ahaaa, ila kusema kweli jana mama alikunywa sana, alikunywa hadi sisi walinzi tulikuwa tunamshangaa na mbaya kabisa alikuwa anakunywa pombe kali”

“Alikuwa na glasi?”

“Ndio”

Shamsa hapo akaanza kupata picha ya zile damu alizo zikuta mlangoni mwake.

‘Kwa nini alijikata mlangoni mwangu, au ameona kile tulicho kuwa tunakifanya?’

Shamsa alijiuliza maswali mengi huku wasiwasi mwingi ukianza kumjaa moyoni mwake.

“Shamsa kuna tatizo?”

“Ahaa hapana”

**

Phidaya akafumbua macho yake, akamtazama Eddy anaye koroma kwa usingizi, taratribu akashuka kitandani. Hasira kali ikazidi kuutesa moyo wake, Eddy akajigeuza na kulala chali, jambo lililo mfanya Phidaya kuitazama shingo ya Eddy. Roho yake ikavamiwa na shetani, kwa haraka akazunguka kitanda chao hicho ambacho ni kikubwa, akasimama pembeni ya Eddy huku akimtazama kwa macho makali sana. Akavitazama viganja vyake vinavyo mtetemeka kwa ahasira, kwa haraka akaishika shingo ya Eddy na kuanza kuiminya kwa nguvu, jambo lililo mfanya Eddy kuishika mikono ya Phidaya ili kujitia ili maradi kujiokoa kutoka kwa mke wake huyu aliye dhamiria kumuua kabisa. Phidaya hakujali kuliwa kwa mwanaye Camila aliye stuka kwa mikurupushani ya wazazi wake. Kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi Eddy alivyo zidi kuishiwa nguvu hadi macho yakaanza kumtoka.

Phidaya akazidisha kuiminya shingo ya Eddy ambaye anaona sasa anaelekea kufa, baada ya muda Eddy akaishiwa nguvu kabisa na kupoteza uhai wake.

`***

Galfa Phidaya akakurupuka kitandani na kukaa kitako. Jasho jingi linamwagika mwilini mwake, akamtazama Eddy na Camila na kuwakuta wote wakiwa bado wamelala. Akajishika kichwa chake huku akiifikiria ndoto mbaya aliyo iota.

“Honey vipi?”

Eddy alizungumza kwa sauti nzito huku akimtazama Phidaya aliye kaa kitandani huku akiwa amejikunyata. Phidaya hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kumtazama tu Eddy.

“Baby una tatizo gani ehee?”

Eddy alizungumza kwa sauti ya mahaba huku akiupeleka mkono wake wa kulia na kukishika kiuno cha Phidaya.

“Hamna tatizo”

Phdaya alizungumza kwa ukali kidogo kitu ambacho hata Eddy kikaanza kumpa tahadahiri kwa maana anatambua kosa alilo lifanya jana. Phidaya akashuka kitandani, kwa haraka akazunguka upande alipo Eddy, akasimama karibu yake huku akiwa amemkazia macho jambo lililo mfanya Eddy kujiweka vizuri kitandani. Phidaya akamfunua Eddy shuka lililo mfunika, kisha kwa haraka akaimshika jogoo wa Eddy, akaanza kumcheza chezea, hazikupita hata sekunde thelathini jogoo akasimama. Phidaya akaanza kumnyonya jogoo huyo hadi Eddy mwenyewe akabaki akishangaa, kwani ni maandalizi ya haraka haraka ambayo mke wake anayahitaj kupata utamu.

“Baby muhamishie basi mtoto kwenye kitanda chake”

Eddy alizungumza huku akimtazama Phidaya usoni mwake. Phidaya akamtazama mwanye kisha akamkalia Eddy kiunoni, akamshika jogoo wa Eddy na taratibu akaanza kumkalia huku akichezesha kiuno chake kwa nguvu. Hasira na uchungu wa kuibiwa penzi lake na binti aliye mlea tangu akiwa mdogo sana.

Kila jinsi Phidaya anavyo zidi kujihudumia katika jogoo wa Eddy ndivyo jinsi machozi yalivyo zidi kumwagika hadi Eddy mwenyewe akabaki wakiwa ameshangaa kwa mana si kawaida ya mke wake kuwa katika utamu wa mapenzi hadi machozi kumwagika usoni mwake.

***

Ndege ya shirika la FBI, likatua katika kiwanja cha mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Kikosi cha NPS(National President Security) kikafika katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere. Wakafanya mabadilishano ya kumpokea mtoto wa dokta Ranjiti. Ambaye muda wote amefunikwa kigunia cheusi kichwani mwake, huku mikononi mwake akiwa amefungwa pingu huku kwenye miguu yake akiwa amefungwa cheni ndefu.

Wakamuingiza binti huyo ndani ya magari walio kuja nayo na kuandoka naye, na moja kwa moja wakazan safari ya kuelekea nyumbani kwa makamu wa raisi Eddy Godwin.

Hawakuchukua muda mwingi sana wakafika katika jumba la makamu wa raisi, ulinzi ukazidi kuimarika, huku kila mlinzi akiwa makini sana.

Shamsa na mlinzi wake wakafika getini, wakajawa na mshangao kwa muongezeko wa walinzi hawa walio valioa mavazi meusi pamoja na makofia magumu meusi.

“Ni wezetu ila hawa huwa wana kazi yao maalumu sana”

Musa alizungumza ili kumtoa wasiwasi Shamsa.

“Wamekuja kufanyaje?”

“Hadi niulize”

“Hembu uliza au raisi yupo hapa?”

“Hapana, ungeona walinzi fulani, sisi wenyewe huwa tunajuana”

Musa akamsogelea mwenzanke mmoja na kumuuliza juu ya hili swala linalo endelea katika jumba hili.

“Yule mtoto wa gaidi Ranjiti ameletwa hapa”

“Ohooo sawa”

Musa akamfwata Shamsa sehemu alipo simama na kumueleza maelezo hayo. Shamsa akatabasamu sana, kwa manaa anatambua muda wa kumpata mwanaye umesha anza kukaribia. Kwa haraka akaanza kukimbia kuelekea ndani, sebleni akawakuta walinzi wawili wakiimarisha ulinzi, akapandisha gadi gorofani na moja moja kwa moja akelekea katika chumba cha Eddy na Phidaya, bila hata ya kubisha hodi akafungua mlango huo ili kuweza kuwapa taarifa hiyo ambayo kwao ni taarifa ya ushindi.

Macho yakamtoka, mapigo ya moyo yakaanza kumuenda mbio baada ya kumkuta Phidaya akiwa anapewa uroda, Phidaya akageuza shingo yake na kutazama mlangoni walipo muona Shamsa, akaanza kulia kwa kilio cha furaha huku akimsifia Eddy azidi kumpa utamu jambo lililo mfanya Shamsa kukasirika sana hadi machozi yakaanza kumwagika, kwani tayari moyo wake umetawalliwa na wivu wa mapenzi dhidi ya Eddy japo yeye ndio mwizi wa mapenzi.



Shamsa kwa hasira akatoka ndani humo na kubamiza mlango kwa nguvu jambo lililo mstua hata Eddy mwenyewe.

“Kuna nini kinacho endelea?”

“Tulia unit**e sawa”

Phidaya alizungumza huku akimzuia Eddy kutazama mlangoni. Eddy akaheshimi kauli ya mke wake kwani huyu ndio mke wake wa ndoa na hapo hana sababu ya msingi ya kumkatalia mke wake, kwa haraka akamgeuza Phidaya na kumlaza chali, na shuhuli ikaandelea, bandeji aliyo jifunga Phidaya kwenye kiganja chake kidogo ikamstua Eddy, kwani hadi muda wa jana usiku mke wake akitoka chumbani humo hakuwa na jeraha lolote mkononi mwake.

“Umefanyaje mkononi?”

Eddy alizungumza huku akiendelea kujitahidi kuhakikisha kwamba anamridhisha mke wake.

“Hakuna tatizo”

Phidaya alizungumza kwa sauti ya kawaida, vilio vyote alivyo kuwa ana viigiza alipo muona Shamsa vikatoweka.

***

Hadi inatimu lisa moja na nusu hapakuwa na ndege ya aina yoyote ambayo imeweza kufika katika anga walio Adrus na abiria wengine.

“Mbona hawafiki?”

Adrus alizungumza huku akimtazama Jing usoni mwake.

“Ngoja”

Jing akachukua simu aliyo kuwa anawasiliana na baba yake, ila kitu cha kushangaza mawasiliano hayatoki ndani ya ndege hiyo.

“Kuna nini?”

“Simu haitoa wamasiliano”

Adrus akatoa simu yake kwa haraka mfukoni mwake, akakaitazama na kukuna nayo haina mtandao.

“Cookie”

Adurs aliita na suati yake iliweza kusikika vizuri katika chumba cha pili alipo Cookie na Martha. Cookie kwa haraka akingia katika chumba hicho.

“Hembu tazama simu yako ina mtandao?”

Cookie akaitaoa simu yake kwa haraka na kuitazama cha kushangaza na yeye simu yake haionyeshi mtandao wa aina yoyote.

“Kuna tatizo kinalo endelea”

Jing alizungumza huku akimtazama Adrus usoni mwake.

“Ni tatizo gani?”

Jing akaanza akaanza kuminya minya batani zilizopo mbele yake.

“Hakuna batani inayo fanya kazi”

Jing alizungumza huku wasiwasi mwingi sana, kwani hali iliyopo hivi sasa ni hali ya hatari sana. Hata kabl hawajarikiria kitu kingine gafla ndege ikaanza kwenda chini kwa kasi sana jambo llilo wafanya watu wote ndani ya hiyo ndege kupiga kelele huku kila mmoja akimuomba Mungu wake.

***

Eddy na Phidaya wakamaliza kupeana burudani ambayo Phidaya ameifaya ili marafi kuifurahisha nafsi yake ambayo imejaa hasira ya kulipiza kisasi. Phidaya akashuka kitandani na kuelekea bafuni kuoga, Eddy akajifikira kwa muda ni kwa nini mke wake amebadilika kwa kiasi hicho, taratibu akashuka kitandani, akafungua dirisha akakuta idadi ya walinzi ikiwa imeongezeaka, huku Shamsa akionekana kuzungumza na miongoni mwa walinzi hao walio fika.

Simu ya Eddy ikaanza kuita na kumfanya kupiga hatua hadi pembeni ya kitanda chake, akachukua simu yake na kukuta ni raisi Rahab ndio anye mpigia, akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio madam president”

“Mumeamkaje?”

“Salama tu”

“Mtoto wa Ranjiti amesha fikishwa nyumbani kwako mbona hutoki nje?”

“Amefikishwa?”

Eddy aliuliza kwa shauku kubwa huku akianza kupiga hatua akirudi dirishani.

“Ndio”

“Okay, okay ninatoka sasa hivi”

“Ila Eddy hakikisha kwamba huyu binti haumuui sawa”

“Nakuahidi kwamba sinto weza kumua”

“Nakuamini kwa maana huyo binti anatakiwa kurudi nchini Marekani na kuendelea na masomo yake”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Eddy akakata simu kwa haraka, akakimbilia kabatini kwake, akafungua na kutoa suruali ya jinsi, akaivaa kwa haraka, akachukua moja ya tisheti nyeusi kisha akatoka katika chumbani kwake, kwa haraka akatoka nje, walinzi wakaanza kumpigia sauti kama heshima.

“Habari yako muheshimiwa”

Mlimzi mmoja alizungumza huku akimpa mkono Eddy.

“Salama”

“Unatakiwa kusaini hapa”

Mlinzi huyo alizungumza huku akiwa akimkabidhi Eddy fumo ya makubaliano kwamba amempokea binti huyo kwa ajili ya mahojiano zaidi.

“Nahitaji kumuona kama ni yeye, kisha ndio nitasaidi”

“Sawa muheshimiwa makamu wa raisi”

Gari maalumu alilo pakizwa mtoto wa dokta Ranjiti likafunguliwa na Eddy akaingia ndani na kuwakuta walinzi wawili wakiwa wanamlinda binti huyo.

“Mfunueni”

Eddy alizungumza huku akimtazama binti huyo. Kwa haraka binti huyo akatolewa kigunia alicho funikwa nacho kichwani mwake Eddy alipo dhibitisha kwamba ndio mtoto sahihi wa dokta Ranjiti akaamuru kutolewa ndani ya gari hili. Eddy naye akashuka kwenye gari hili, akasaini fomo hiyo ya makabidhiano kisha akaanza kuongozana na walinzi wake pamoja na mtoto wa dokta Ranjiti kuelekea katika chumba ambacho wamemuweka dokta Ranjiti.

Wakakutana na Phidaya aliye simama kwenye ngazi huku akiwa amembeba Camila, wakatazama na Shamsa kwa macho makali sana. Shamsa akastuka sana baada ya kuona Phidaya kwenye moja ya mkono wake amejifunga bandeji. Wakaelekea katika chumba alicho dokta Ranjiti, Eddy na Shamsa wakaingia na mtoto wa dokta Ranjiti na walinzi wote wakabaki nje.

Mtoto wa dokta Ranjiti alipo muona baba yake kwa haraka akakimbilia hadi sehemu anapo ning’inia baba yake.

“Baba baba”

Dokta Ranjiti taratibu akayafumbua macho yake, akastuka sana kumuona mtoto wake akiwa katika eneo hilo.

“Anna”

“Baba ni nini kinacho endelea”

Eddy akachukua kisu na kuikata kamba aliyo fungwa kwenye miguu ya dokta Ranjiti na kumfanya kuanguka vibaya na kusabisha mwanaye kuzidi kulia kwa uchungu sana.

“Ranjiti nahisi sasa ngoma ni droo”

Eddy alizungumza huku akimtazama dokta Ranjiti anaye jitahidi kunyanyuliwa na mwanye.

“Sikutaka tuweze kufika huku, ila wewe umeniladhimisha mimi kuweza kufika huku, nakuuliza kwa mara ya mwisho kabisa, ni wapi alipo John na mwanangu?”

“Sijui mimi”

Eddy kwa haraka akamshika mtoto wa dokta Ranjiti, nywele zake na kumvuta kwa nguvu, jambo lililo mfanya dokta Ranjiti kuliwa ka uchungu sana, kwani ukweli ni kwamba hafahamu ni wapi alipo John.

Eddy akakiweka kisu chake shingoni mwa mtoto wa dokta Ranjiti tayari kwa kuikata shingo ya binti huyo.

“Ninakuuliza kwa mara ya mwisho yupo wapi mwanangu”

Phidaya kwa haraka akapandisha ngazi na kuingia chumbani kwake, akamlaza Camila kitandani, akafungua moja ya kisanduku cha siria ambacho kinahifadhiwa nyaraka muhimu za mume wake, akatoa bastola pamoja na magazine yake, akaitazama magazine hiyo iliyo jaa risasi za kutosha, kisha akaichomeka katika bastola hiyo na kuikoki vizuri kabisa.

‘Hawawezi kumfanyia Ranjiti na mwanaye hivi ikiwa mimi nipo’

Phidaya alizungumza huku akiichomeka bastola yake nyuma ya kiuno chake. Kwa haraka akaanza kutoka na kuelekea eneo la chini ya adhiri alipo dokta Ranjiti.

“Eddy haki ya Mungu nimekuambia kwamba mimi sijui ni wapi Jo….”

Milio kadhaa ya risasi iliyo sikika nje ya chumba hicho ikawastua watu wote ndani ya chumba hicho na kumfanya Shamsa kwa haraka kukimbilia moja ya droo ya kabati lililopo ndani ya chumba hicho, akatoa bastola moja tayari kwa mashambulizi ya yoyote ambaye ataingia katika chumba hicho basi atakuwa ni halali yake, kwani nje tayari wamesha sikia hali ya hatari sana.



Eddy akamtazama Shamsa aliye shika bastola huku akioneka kuwa makini sana na mlango wa kuingilia ndani hapo. Taratibu Eddy akaanza kutembea kuelekea mlangoni hapo huku akiwa ameshika kisu chake vizuri sana. Kwa ishara akamuomba Shamsa kuwa makini zaidi ya umakini alio nao hapo alipo, kwani anakwenda kuufungua mlango wa chumba hicho, taratibu Eddy akaufungua mlango wa chumba hicho, akawaona walinzi wakiwa wameshika bastola zao mikononi.

“Pisiiii”

Eddy alimuuita mlinzi mmoja kwa sauti ya chini, mlinzi huyo akageuka na kumtazama. Kwa ishara Eddy akamuuliza mlinzi huyo kuna nini kinacho endelea huko nje. Mlinzi akamuita kwa ishara Eddy ambaye akapiga hatua mbili mbele na kuchungulia nje, akamuona Phidaya akiwa amesimama huku naye akionekana kushangaa ni wapi milio hiyo ya risasi ilipo tokea. Kwa haraka mlinzi huyo akawahi kumshika Phidaya mkono wake na kumuingiza ndani ya chumba hicho huku akipokelewa na Eddy.

“Milio imesikika wapi?”

“Juu mkuu”

Mlinzi huyo alizungumza.

“Eddy mwanangu”

Phidaya alizungumza huku mwili mzima ukimtetemeka.

“Naombeni bastola”

Mlinzi mmoja bila ya kujifikiri mara mbili akamkabidhi Eddy bastola, kwa haraka Eddy akarudi ndani ya chumba hicho, akafungua kabati na kuanza kutoa majaketi ya kuzuia risasa, akaanza kumkabidhi kila mtu jaketi lake hadi walinzi walipo nje ya mlango huo.

“Shamsa hakikisha kwamba kila kitu kinakwenda vizuri huku chini”

“Sawa baba”

Eddy akaanza kutoka ndai humo huku akiwa ameishika bastola yake. Milio ya risasi ikaanza kurindima eneo la juu ya nyumba hilo jambo lililo washangaza Eddy na walinzi wake ambao tayari walisha anza kujiandaa kuelekea neo la juu.

Kati ya walinzi 15 walio msafirisha mtoto wa dokta Ranjiti, walinzi wanne, ni miongoni mwa wanachama wa D.F.E(Destination of My Enemies). Kazi na jukumu walilo kabidhiwa na kiongozi wao ni kuhakikisha wanamkuokoa dokta Ranjiti pamoja na mwanaye waliye weza kuchukuliwa kama mateka. Walinzi hao kipindi mtoto wa dokta Ranjiti anapelekwa ndani wao walibaki nje kuendelea kusoma mazingira ya jinsi gani wanaweza kufanya tukio hilo la kumuokoa dokta Ranjiti na mwanaye.

Walipo hakikisha kwamba walinzi wa nje wanaweza kuwahimili, wakapeana ishara za macho, kisha wakaanza kuwashambulia walinzi hawa kwa risasi. Shambulizi hili la kustukiza likawachanganya walinzi walipo katika eneo hili, japo walinzi alijaribu kijibu mashambulizi hayo, ila hawakuweza kujiandaa, kwani wezao walisha wazidi kiuwezo. Ndani ya dakika tatu walinzi wote walipo nje, wakawa wameuwawa. Walinzi walipo sebleni wakajiweka sawa kuhakikisha kwamba hakuna hata adui anaye weza kuingia ndani ya seble hiyo. Ila walicho kifanya wasaliti hawa, wakaingia mabomu kadhaa ya machozi kisha wao wakavaa vifaa malumu vya kuzuia kuadhiriwa na moshi wa mambomu hayo ya machozi. Walinzi walipo ndani kwa bahati mbaya sana wakashindwa kabisa kuweza kujizuia kwani moshi huo ni mkali sana.

Wasaliti ahao wakaingia ndani, hawakuwa na huruma kwa rafiki zao hao wanao fanya nao kazi kitengo kimoja, wakaanza kumpiga risasi mmoja baada ya mwengine. Na kuzidi kusonga mbele kuhakikisha kwamba wanaondoka na dokta Ranjiti na mwanaye katika eneo hilo.

Moshi wa mabomu ya machozi, ukamfanya Eddy na walinzi wake kuanza kurudi nyuma wakaingia katika chumba walipo Phidaya na wezake. Eddy hakuzungumza kitu cha aina yoyote zaidi ya kulisogelea kabati lake hilo ambalo ni kubwa na amehifadhi vitu vingi. Akachukua vifaa hivyo vya kuzuia moshi wa mabomu ya machozi. Eddy akachukua magazine sita na kuzichomeka katika mfukoko wa suruali yake.

“Muheshimiwa unatakiwa kukaa nyuma”

Mlinzi mmoja alizungumza huku akimzuia Eddy.

“Nimesha fanya matukio mengi zaidi ya hili, hakikisheni munajilinda wenyewe na mimi ninailinda familia yangu mwenyewe sawa”

“Sawa muheshimiwa”

Eddy akamtazama Phidaya ambaye amepooaza, akamsogelea karibu yake na kumshika mkono wa kulia.

“Mtoto wetu atakuwa salama sawa”

Phidaya akajibu kwa kutingisha kichwa, akimaanisha amekubaliana na maneno ya mume wake kipinzi. Kwa haraka Eddy akatoka chumbani humo na kuanza kutembea katika kordo hiyo iliyopo chini ya ardhi, akafika katika ngazi za kupandishia kuelekea juu, akautazama mlango wa kuingilia humo ndani na anaamini kwamba ni lazima maadui zake watakuwa wanatafuta ni sehemu gani ya kuingilia.

Simuu ya Eddy ikaaanz akuita mfukoni mwake, kwa haraka akitoa na kukuta ni raisi Rahab ndio anaye piga, akaipokea.

“Oohoo asante Mungu Eddy wangu upo salama”

“Maadui wapo ndani ya nyumba yangu na kitu ambacho ninahitai unisaidie ni ku hack camera zangu zote za humu ndani kisha nitumieni recod zake kwenye simu yangu sawa”

“Nimekuelewa, ila nimesha tuma wanajeshi wanakuja kukusaidia”

“Shukrani, ila ninakuomba utulie kwani upo wapi?”

“Nipo chini ya ardhi ila mwanangu yupo chumbani kwangu, endapo watampata itakuwa ni tatizo kwangu, watamchukua mateka na kunilazimisha mimi kutoka nje”

“Ohoo Mungu wangu, ngoja unatumia sasa hivi”

“Sawa”

“Eddy”

Raisi Rahab aliita kwa sauti ndogo na ya upole sana.

“Naam”

“Ninakuomba uwe makini sana ukiachilia mbali na familia yako kukutegemea tu, ila kumbuka hata taifa linakutegemea”

“Sawa muheshimiwa”

“Nakutakia kazi njema”

“Asante”

Eddy akakata simu, ikauingia ujumbe wa simu yake kuunganishwa na camera za ulinzi za hapo nyumbani kwake zipatazo ishirini na tano. Camera za hapo sebleni zinaonyesha walinzi sita walio kuwa hapo sebleni wamepigwa risasi huku kukiwa na walinzi wawengi wawili wakiwa wanawakagua hawa walinzi, aliye hai wanammalizia kwa risasi.

“Shit”

Eddy alizungumza kwa hasira hadi walinzi wawili alio nao wakastuka.

“Nini mkuu?”

“Ni wezenu ndio wasaliti wangu”

Eddy akabadilisha muonenakano wa kamera na kuwaona walinzi wawili wakiwa katika kordo za gorofani wakitembea kwa kunyanya huku akikagua chumba kimo baada ya kingine.

“Sebleni wamebaki wamgaidi wawili na juu gorofani wapo wawili, sasa naamini munajua nini cha kufanya?”

“Ndio”

“Poa”

Taratibu Eddy akaingiaza namba za siri za kufungulia mlango wa kutokea katika eneo hili, wakatokea katika chumba hicho ambacho wasaliti hao walisha kifungua na kukuta kina vita vya kawaida na kushindwa kuona mlango wa kuingilia katika eneo hili ulio kaa kama ukuta. Eddy akatazama simu yake na kuwaona wasaliti hao wakiwa wamesimama katika mlango wa kuingilia chumbani kwake huku bastola zao wakiwa wamezielekeza mbele.

Kwa haraka Eddy akatoka na kuanza kuwashambulia walinzi hao, ambao nao kwa haraka wakajirusha kwenye masofa yaliyopo hapo sebleni na kuanza kujibu mashambulizi hayo ya silaha ambayo ni makali sana.

***

Kuto kulipuka kwa ndege, tofauti na mategemeo ya Mr Methew, anaye shirikiana na kundi la Al-Quida. Vijana wa kundi wa Al-Quida, walio mpokea baada ya kutua na parachute katika meli maalumu iliyopo katika bahari ya Atlantic, wakampelekea moja kwa moja Mr Methew hadi kwenye chumba wa manahodha na kukutana na msaidia wa kikundi hicho cha Al-Quida, bwana Abood Salehe. Wakasalimiana kwa kukumbatiana kisha wakaachiana.

“Nusu saa limepita sasa”

“Ndio muheshimiwa ila nina shangaa sana”

“Kuna kitu nina imani kitakuwa kinafanyika ndani ya ndege kwa maana kifaa changu hapa kinanionyesha ndege inakwenda vizuri sana”

Mr Methew kwa haraka akatazama kifaa hicho kidogo cha kunasa rada, kinacho fananini mithili ya laptop ndogo.

‘Haiwezekani nilifungua mlango wa ndege imekuwaje aisee’

Mr Methew alizungumza huku akitazama kifaa hicho.

“Ninaweza kupata Laptop yenye uwezo wa hali ya juu katika swala la mtandao?”

“Ndio ipo”

“Naombeni”

Mr Methew akakabidhiwa laptop hiyo, kisha akaanza kuhakikisha ana uingiza mfumo mzima wa uendeshaji wa ndege hiyo. Ikamchukua dakika kama kumu na tano hivi, akafanikiwa kumiliki mfumo wa ndege hiyo, kitu cha kwanza alicho kifanya ni kukata mawasilino ya simu zote na hakuna simu inayo ingia wala kutoka ndani ya ndege hiyo. Alipo hakikisha kwamba ameweza kukata mwasiliano, akamgeukia bwana Aboo Salehe.

“Tuifanyaje ndege kwa maana kwa sasa hapa mimi ndio rubani wao?”

“Iangushe chini”

“Sawa mkuu”

Mr Methew akaanza kuminya minya batani za ndege hiyo na kuifanya ianza kwenda chini kwa kasi jambo lililo zidi wafurahisi watu wote ndani ya ndege hiyo.

***

Raisi Rahab mwili mzimwa unamtetemeka, akiwa ndani ya chumba maalumu cha mawasiliano, kwani mapambao yanayo endelea katika nyumba ya makamu wa raisi yanampa wasiwasi mwingi. Si yeye tu hata wafanyakazi walipo ndani ya chumba maalumu cha mawasiliano walio husika ku hack camera za ulinzi nyumbani makamu wa raisi Eddy, nao pi wasiwasi mwimgi umewatawala.

Mashambulizi ambayo Eddy anayafanya akiwa na walinzi wake yakazidi kupamba moto, magaidi ambao walikuwa wakielekea katika chumba cha Eddy, wakagairi na kurudi sebleni ambapo wanaisikia milio ya risasi.

Kitendo cha mlinzi mmoja wa Eddy kupigwa risasi ya kichwa, kikamstua sana Rahab, mapigo ya moyo yakazidi kumuenda kasi sana, kwa haraka raisi Rahab akanyanyua simu yake na kumpigia kamanda wa kikosi maalumu aliye muagiza katika oparesheni hiyo ya kuelekea katia nyumba ya Eddy.

“Mume fika wapi?”

Rahab aliuliza kwa hasira kali sana.

“Muheshimiwa raisi tumebakisha dakika kama tano kuweza kufika”

“Harakisheni bwana makamu yupo kwenye hatari”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Gari za jeshi zenye ving’ora vya zikazidi kuongezwa mwendo ili kuwahi kufika nyumbani kwa makamu wa raisi ili kuweza kuyaokoa maisha ya makamu wa raisi.

***

Eddy macho yakamtoka baada ya kumuona mlinzi wake akiwa amelala chini huku damu zikiwa zinamtoka kichwani mwake. Eddy akawatazama maadui wake walio jibanza kwenye ngazi za kuelekea gorofani. Eddy kwa haraka huku akihema akabadilisha magazine ambayo imesalia risasi moja, kisha kwa haraka akachoneka magazine nyingine nauanza kuwashambulia maadui zake.

Gaidi mmoj alipo ona mashambulizi yamezidi kuwa magumu kwa haraka akakimbilia chumbani alipo anasikia sauti ya mtoto mchanga akilia kwa nguvu. Gaidi huyo akaupiga teke teke mlango, akaingia kwa kubingirika, akanyanyuka kwa haraka huku akitazama ndani ya chumba hicho alipo ona kwamba hakuna mtu zaidi ya mtoto wa kike aliyopo kitandani, kwa haraka akamshika mtoto huyo na kuanza kurudi naye eneo la sebleni. Alipo fika sebleni akashuhudia mwenzake mmoja akiwa ametandika risasi ya kichwa na Eddy ambaye anaonekana amekamilika kila idara. Gaidi huyo akamtazama mtoto huyo wa kike ambaye ni Camila, kisha kwa akamtazama Eddy aliye jificha kwenye moja ya nguzo kubwa. Eddy macho yakamtoka baada ya kumuona gaidi huyo amemshika mwanaye, kwa haraka gaidi huyo akamuachia Camila gorofani na akaanza kwenda chini jambo lililo mfanya Eddy kuanza kukimbia kwa kasi ili awahi kumdaka mwanaye, jambo lililo wapa magaidi hao nafasi nzuri ya kumshambulia Eddy kwa risasi kadhaa mwilini mwake.



Eddy akaanguka chini huku akiwa amemdaka mwanaye Camila huku akiwa amemuweka kifuani mwake. Tendo hilo la ujarisi likampa hamasa kubwa mlinzi huyu mmoja aliye salia, kwani, hakuhitaji tena risasi zake ziweze kwenda bure, kwa kulifumba jicho lake moja na moja aliwa amelielekezea katika mikono yake iliyo shika bastola yake, akaanza kuelekeezea kila sehemu alipo jificha gaidi. Akafanikiwa kuwaua magaidi walipo juu ya ngazi, kisha akafwatia gaidi mmoja aliye salia aliye jificha kwenye sofa. Kwa haraka mlinzi huyo akakimbilia sehemu alipo anguka makamu wa raisi bwana Eddy Godwin. Kwa haraka akamchukua Camilia na kumchunguza na kumkuta akiwa salama salimini.

Mapigo ya moyo yakawandenda kasi Phidaya na Shamsa, wakatazamana kwa pamoja. Wakamtazama dokta Ranjiti na mwanaye, kisha kwa pamoja wakatoka nje huku wakikimbilia sebleni, hawakujali ni hatari gani iliyopo huko sebleni ila kila mmoja moyo wake umejawa na wasiwasi mwingi sana na msukumo mkubwa sana wa kutaka kwenda sebleni kushuhudia ni nini kinacho endelea. Wote wakajikuta wakipata vigugumizi vya miguu mara baada ya kumuona mlinzi akijitahidi kumpa Eddy huduma ya kwanza huku damu nyingi zikiwa zimesambaa chini.

***

Raisi Rahab na wapembe wake wakajikuta wakijawa na simanzi kubwa sana, kwani kila mmoja aliweza kushuhudia risasi kama sita zikipigwa mwilini mwa makamu wa raisi Eddy. Raisi Rahab akashindwa kabisa kuendelea kujihimili kihisia zake, akaanza kumwaga machozi, jambo lililo mfanya mlinzi wake wa kike kumtoa eneo hilo kwa haraka sana na kumepekea hadi chumbani kwake, ndani ya ikulu hiyo.

“Mama yanguuu weeeee Eddy wangu”

Raisi Rahab alizungumza huku akilia kwa uchungu sana, picha za Eddy aliye toka kuzungumza naye muda mfupi kabla ya tukio hilo, zikazidi kumpa mawenge raisi Rahab, kwa hasira akaanza kuvuruga kila kitu kilichopo ndani ya chumba chake, jambo lililo wafanya walinzi wake wengine kuhitaji kuingia ila mlinzi wake huyu wa kike akawazuia wasiweze kuingia kwanza, kwani anamtabua raisi Rahab vizuri sana kuliko hata walinzi wengine, ambao jukumu lao ni kumlinda tu raisi pasipo kimjua kiundani.

***

Gari za jeshi zikafika katika eneo la nje ya jumba la makamu wa raisi, wanajeshi wakashuka kwa haraka, mkuu wao akawa wa mwisho kushuka. Akashangaa sana kuona maiti za walinzi wa makamu wa raisi zikiwa zimezagaa kila eneo. Kwa haraka wanajeshi wake wakajipanga na kuanza kuingia ndani kwa kasi huku wakiwa makini sana. Galfa mlango ukafunguliwa na macho yao wakakutana na mlinzi wa Eddy akiwa amembeba Eddy mikononi mwake akijitahidi kwenda naye kwenye gari. Kwa hara wanajeshi hao wakawahi kumpokea makamu wa raisi, na kumkimbiza kwenye moja wapo ya gari aina ya Hammer.

“Anna”

Dokta Ranjiti aliita kwa sauti ya kukoroma, mara baada ya Shamsa na Phidaya kutoka chumbani humo.

“Mmmm”

“Nisaidie”

Dokta Ranjiti alizungumza kwa tabu sana kwani maumivu anayo zidi kuyapata ni makali sana. Anna kwa hamasa ya mbaba yake na hali yake jinsi ilivyo kuwa mbaya, akaona hakuna haja ya kuendelea kuwa legelege katika hali mbaya ya hatari kama hiyo ikiwa yeye mwenyewe amenusurika kuchinjwa kama kuku. Kwa haraka akajitahidi kusimama, akaisogelea mezi iliyopo humo ndani ambayo kuna baadhi ya vitu vingi vimewekwa juu yake, akabahataika kupata fungua ya kufungulia pingu hizi, kwa haraka akaanz akuvungua pingu za miguuni mwake kisha akachukua mashinde ya kukatia vitu vizito kama vyuma, akaiwasha na kuanza kuukata mnoroto alio fungwa miguuni mwake, akafanikiwa kulimaliza zoezi hilo. Akamsogelea baba yake na kumfungua mikono pamoja na kamba ngumu aliyo fungwa miguuni. Akalitazama jereha lililopo kifuani mwa baba yake ambalo kusema kweli ni kubwa, akanyanyuka na kuchungulia mlangoni hakuona mtu yoyote akija humo. Kwa haraka akaanza kutafuta ni sehemu gani anaweza kupata vifaa vya kidaktari ili aweze kutoa huduma ya kwanza kwa baba yake huyo ambaye hali yake ni mbaya kwa kweli.

Kwa bahati nzuri ndani ya chumba hicho kimekamilika kisawa sawa, kwani kila huduma muhimu ipo, akachukua kisanduku kilicho chorwa msalama mwekundu, akakiweka pembeni ya baba yake, akakifungua na kutoa kichupa kidogo, akakisoma maelezo yake na kukuta ni dawa ya kuupa mwili ganzi. Kwa haraka akachukua bomba la sindano, akaliunganisha na sindano ndogo iliyo kuwa pembeni. Kwa haraka akachomeka ncha ya sindano hiyo wenye kijimfuniko kilaini sana cha kichupa hicho, alipo hakikisha kwamba amefanikiwa, kwa haraka akaanza kuvuta dawa hiyo, ilipo fika ujazo alio jiridhisha akaichomoa, akauchukua mkono wa kihosto wa baba yake akaupiga piga kwa vidole vyake maeneo fulani ya kiungio, alipo uona mshipa akamchoma sindano hiyo baba yake kisha akasukuma dawa ya kutosha hadi ikaisha kabisa ndani ya bomba hilo.

“Kafunge mlamgo”

Dokta Ranjiti alizungumza huku akinyoosha mkono wake wa kulia kuelekea kwenye mlango huo uliopo wazi. Anna kwa haraka akanyanyuka na kuanza kutembea kwa haraka hadi mlangoni, akaurudishia kisha akarudi alipo kaa baba yake.

“Baba niambie ni kitu gani kinacho endelea”

Anna alizungumza huku akichuku sindano maalumu inayo tumika katika kushonga ngozi ya binadamu, akaunganish ana uzi maalimu kisha akaanza kumshona baba yake maeneo ya kifuani hapo kwenye jeraha la kuchanwa na kitu chenye makali sana.

“Mwanangu samahani, najua nimekuuingiza kwenye matatizo ambayo hukuyatarajia”

“Niambie tu baba ni using** gani unao endelea sihitaji msamaha?”

Anna alizungumza kwa ukali sana huku akimtazama baba yake, dokta Ranjiti machozi yakaanza kumbubujika katika macho yake, Anna hakulijali hilo kwani bado yupo kwenye hali ya hatari. Akaendelea kushona baba yake kwa nguvu, hadi akamaliza. Miguu ya mtu kama anaye kimbia kuja katia eneo hilo ikamfaya Anna kwa haraka kusimama na kusimama pembeni ya mlago huo akijiandaa kwa chochote ambacho kinaweza kutokea katika eneo hilo.

Shamsa kwa hasira kali akaanza akarudi katika chumba alichopo dokta Ranjiti, huku akikusudia kabisa kwamba ni lazima atamuua dokta Ranjii, kulipiza kisasi kwa kile kilicho tokea kwa Eddy ambaye hadi sasa hawafahamu kamba yupo hai ama emekufa. Kitendo Shamsa kuusukuma mlango na kuingia ndani huku akiwa ameishika bastola yake, akakutana na teke zito la kifua lililo muangusha chini na bastola yake kuanguka pembeni. Shamsa akamtazama Anna aliye simama mbele yake kwa kijiamini huku macho yake yakiwa yametawaliwa na uwekundu uonao dhihirisha kwamba ana hasira kali sana.

Taratibu Shama akasimama huku akijipangusa mikono yake iliyo shika mchanga, akafungua mikanda ya jaketi la kuzuia risasa, akalitupa pembeni na kujiweka sawa, ili kuanza kumpa mateso Anna pasipo kumjua vizuri. Shamsa akanza kupiga hatua za kuingia ndani, akaufunga mlango huku akizidi kujiamini sana, akamtazama dokta Ranjiti aliye kaa chini akijitahidi japo kupata nguvu.

Anna akaanza kurusha ngumi kadha kwa Shamsa, ila Shamsa kwa umakini wa hali ya juu akazikwepa ngumi zote hizo. Shamsa naye akaanza kuepekeka mashambulizi akijitahidi kuruka juu huku akiwa anarusha mateke kadhaa, cha kushangaza Anna naye pia akafanikiwa kuyakwepa mateke hayo jambo lililo mfanya Shamsa kutambua kwamba ana pambana na mtu ambaye sio wa mchezo mchezo na endapo atafanya makosa basi anaweza kuudhurika

***

Kelele za vilio vikazidi kutawala ndani ya ndege aliyomo Adrus. Jing na Adrus wakazidi kuchanganyikiwa kwani hadi sasa hawaelewi ni kitu gani kinacho sababisha ndege hiyo kuzidi kwenda chini kwa kasi namna hiyo.

“Allah, nisamehe dhambi zangu”

Adrus alizungumza kwa sauti ya juu, hazikupita hata dakika mbili ndege hiyo ikatulia, jambo lilio zidi kuwashangaza watu wote ndani ya ndege hiyo.

“Asalam Alykum”

Ilisikika sauti nzito ya kiume kwenye vipaza sauti vilivyo ndani ya ndege hiyo, jambo liloo wachanganya watu wote kwani ni sauti ya kutisha sana.

“Kila mmoja ninamuona, ninahitaji waislamu wote nendeni daraja A na wakristo wote kaaeni daraja C fanyeni haraka”

Sauti hiyo ilitoa amri kali jambo lililo wafanya abiria wote kutazamana na kuto kujua nini adhima ya mtu huyo ambaye kwa sasa ndio ana uwezo wa kufanya kitu chochote ndani ya ndege hiyo.

***

Meneno ya Adrus yakamfanya bwana Aboo Salehe kumuamrisha Mr Methew kusitisha zoezi la kuhitaji kuilipua ndege hiyo.

“Vipi mkuu”

“Kuna waislamu humu ndani ya hiyo ndege umeisikia hiyo sauti?”

Bwana Aboo Swalehe alizungumza huku akiwatazama askari wake.

“Ndio”

Mlinzi wake mmoja alimjibu.

“Huwa sipendi kuwaua waislam wezangu, niunganishie maiki nizungume nao”

Mr Methew hakuwa na namna zaidi ya kuunganisha laptop hiyo na maiki kisha akaanza kuwasilimia abiria hao waliomo ndani ya ndege hiyo. Mr Methew akamnyooshe kidole ngumba akimtaarifu kwamba sauti yake inasikika vizuri ndani ya ndege hiyo. Mr Methew aka hack kamera zilizopo ndani ya ndege hiyo na zikaanza kuonyesha video za kila kitu kinacho endele ndani ya ndege hiyo kuanzia chumba cha rubani hadi kwenye madaraja yote waliyo kaa abiria.

Baada ya Bwaba Aboo Swalehe kuwaamrisha waislamu kukaa daraja A, watu wakatii amri hiyo, cha kushangaza waislamu wakawa ni wengi sana kuliko hata wakristo, jambo lililo zidi kuwashangaza ni hadi mzee mmoja, aliye valia shati jeusi lenye kola nyeupe ambayo mara nyingi hutumia na wachungaji wa makanisa tofauti tofati hata yeye pia amekaa kwenye eneo walipo waislamu.

“Wanatudanganya hawa huyu si mchungaji wa kikristo?”

Bwana Aboo Swalehe alizungumza huku akimgusa mchuganji huyo kwenye kioo cha laptop hiyo.

“Ndio muheshimiwa”

“Iangushe chini huwa sipendi uongo”

Mr Methew akafwata amri hiyo na kuminya batani iliyo sababisha ndege hiyo kuanza kwenda chini tena kwa kasi kubwa sana.

***

Vitengo maalumu nchini Marekani vinavyo shuhulikana maswala ya anga, vikaweza kuipata ndege ya shirika la KLM, ambayo kwa sasa imetekwa na magaidi kwa njia ya mtandao. Video ya kila kinacho endelea ndani ya ndege hiyo vikatumwa nchi kwenye ikulu ya White house. Raisi Dustan na wa wasaidizi wake wakashuhudia jinsi abiria wa ndege hiyo wanavyo lia kwa uchungu sana kwani ndege hiyo inakwenda kuanguka chini muda wowote.

“Huyu si Adrus?”

Raisi Dustan alizungumza huku akimtazama Dustan akiwa katika chumba cha marubani akijitahidi kuhakikisha kwamba anaiokoa ndege hiyo.

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Fanyeni jambo basi”

Raisi Dustan alizungumza kwa ukali huku akiwatazama wataalamu wa maswala ya mawasiliano walimo katika chumba hicho. Kila mmoja kwa ujuzi wake na uwezo wake nazidi kujaribu kuhakikisha kwamba wanaikoa ndege hiyo ambayo inazidi kwenda chini. Raisi Dustan akatoa amri kwa ndege za kijeshi(Jeti) zipatazo kumi kuelekea ilipo ndege hiyo.

***

Mwanajeshi mmoja wa kike, taratibu akamsogelea Phidaya aliye shikwa na bumbuwazi huku akiwa amembeba Camila mikononi mwake, macho yote ya Phidaya yapo wenye damu za mume wake, zilizo samba katika eneo hilo.

“Madam, madam”

Mwanajeshi huyo aliita huku akimchukua mtoto huyo. Phidaya akarudi kwenye hali ya kwaida, baada ya kuona mwanaye amechukuliwa.

“Mlete mwanangu”

Phidya alizungumza kwaukali huku akimchukua mtoto mwanaye kutoka mikononi mwa mwanajeshi huyo wa kike. Mlinzi wa Eddy akaanza kutaoa maelekezo kwa kiongozi wa kikosi hicho cha jeshi lillicho fika katika nyumba ya Eddy. Akawaeleza juu ya chumba kilichopo chini ya Ardhi na jinsi ya kuingia ndani ya chumba hicho. Kwa haraka mkuu huyo wa jeshi akawaamuru vijana wake kuelekea katika chumba hicho.

Shamsa akaanza tene mashambulizi huku wakijaribu kujitahidi kumsoma Anna, nyendo zake za kupambana kwani naye anaonekana ana mafunzo makali ya kareti. Anna naye hakuwa nyuma, akili yake na macho yake yote yapo kwenye viungo vya Shamsa, mikono na miguu. Kitu alicho weza kukigundua kwa haraka kwa Shamsa ni kwamba narusha ngumi na mateke kwa kasi ila anajishau kulinda eneo la kifuani mwake hadi tumboni. Shamsa akamtandika Anna ngumi kadhaa za usoni na kumfanya Anna kuanguka chini huku akiwa amechanika sehemu ya chini ya jicho la upande wa kushoto.

“Comoon babyyyyy”

Dokta Ranjiti alizungumza kwa ukali na kwa msisitizo huku akimtazama binti yake huyo. Anna taratibu akajigusa sehemu inayo pata jeraha katika jicho lake. Akamtazama baba yake aliye lala chini na kukosa nguvu ya kunyanyuka. Hasira zikazidi kumpanda Anna, kwa kasi ya ajabu akabingirika na kumfikia Shams eneo alipo simama, Shamsa akajaribu kumkanyaga kutokana Anna yupo chini ila ikwa ni kosa kubwa sana kwake, kwani Anna kitu alicho kifanya, kikamuangusha chini Shamsa mzimama mzima na kupoteza fahamu hapo hapo.



Anna akasimama wima huku akihema sana, akamtazama Shamsa aliye lala chini. Akachukua moja ya kisu na kuhitaji kumchoma ila dokta Ranjiti akamzuia wa kumnyooshe amkono.

“Nini?”

“Achana naye, tutafute njia ya kutoka katika eneo hili”

Anna akamtazama baba yake kwa sekunde kadhaa, kisha akaanza kumfwata sehemu alipo simama, taratibu akamnyanyua chini alipo kaa. Kabla hata hawajaelekea mlangoni, mlango ukafunguliwa na wakaingia wanajeshi wanne wenye silaha mikononi mwao, jambo lililo wakatisha tamaa kabisa, kwani wamemriwa kuonyoosha mikono juu huku Anna akiamrishwa kukitupa kiu alicho kishika pembeni.

Phidaya akawatazma wanajeshi walio ingia kwenye chumba kilichopo chini ya ardhi. Kumbukumbu za kumkumbuka dokta Ranjiti na mwanaye aliye pelekwa chini humo zikamjia akilini mwake. Akamtazama Camila aliye mbeba, akajipapasa nyuma ya kiono chake na kuikuta bastola aliyo ichomeka alipo kuwa amedhamiria kwenye chini ya chumba hicho. Kwa haraka akanyanyuka, kila mwanajeshi katika aneo hili anaonekana kuwa yupo bize kuimarisha ulinzi huku wengine wakitoa miili ya wasaliti walio uwawa pamoja na mlinzi aliye kuwa akimlinda makamu wa raisi. Phidaya akaanza kutembea kuelekea katika chumba chenye mlango wa kuingilia katika aneo la chini ya ardhi katika nyumba hiyo. Akafika katika chumba walipo dokta Ranjiti na mwanaye, akawakuta wanajeshi wanne wakiwa katika harakati za kuwafunga pingu dokta Ranjiti na wezake.

“Madam unatakiwa kuwa juu kwa saa hili eneo ni hatari”

Mwajeshi moja alizungumza huku akimtazama Phidaya usoni mwake.

“Mume wangu anakufa kwa ajili ya hawa washenzi siwezi kuwaacha waendelee kuishi”

Phidaya alizungumza huku akitazama huku na kule ili aweze kumuweka mwanaye. Phidaya hakuona sehemu ya kumuweka mwanaye, akamtazama Shamsa aliye lala chini akionekana kupoteza fahamu.

“Pia mwanangu mumeniulia eheee?”

Phidaya alizungumza kwa hasira, hadi wanajeshi hawa wakakosa neneno la kuzungumza.

“Mshike”

Phidaya alizungumza huku akimkabidhi Camila kwa moja ya wanajeshi, mwanajeshi huyo akaining’iniza bunduki yake nyuma ya mgongo wake, kisha akampokea Phidaya. Phidaya akachomoa bastola yake na kumfanya dokta Ranjiti macho kumtoka, kwani hasira aliyo nayo Phidaya, ni lazima waweze kufa. Phidaya akanaza kutembea kwa haraka hadi kwenye kabati lililopo ndani humo. Akachukua kiwambo cha kuzuia risasi, huku wanajeshi wote wakiwa wanaangalia ni nini mke wa makamu wa raisi anaweza kukifanya. Phidaya akatembe ahadi mlangoni, akaufunga kwa ndani, wanajeshi hawa macho yao yote kwa Anna na dokta Ranjiti walio jawa na nyuso za kukata tamaa. Phidaya akakifunga kiwambo hicho cha kuzuia risasi kwenye bastola yake, galfa akaanza kuwapiga risasi za vichwa wanajeshi watatu na wote wakaanguka chini, jambo lililo mshangaza kila mmoja humu ndani.

“Anna mchukue mwanangu”

Anna kwa haraka akanyanyuka, akamchukua Camila.

“Wafungue pingu”

Mwanajeshi huyu taratibu akaanza kumfungua pingu dokta Ranjiti, kisha akamfungua pingu Anna aliye mbebe Camila kwa tabutabu kutokana mikono yake haipo huru.

“Hutakiwa kuishi na wewe”

Phidaya akampiga risasi mwanajeshi huyo na kumsababishia kifo hapo hapo.

“Vaani nguo za hawa wanajeshi, hiyo ndio nafasi ya nyinyi kuyoka humu ndani”

Phidaya alizungumza huku akimchukua Camila, kwa haraka dokta Ranjiti na mwanaye wakaanza kuwavua nguo wanajeshi wawili, kwani kusema kweli hii ndio nafasi yao ya pekee kuweza kutoka humu ndani. Wakavua nguo zao na kuvaa nguo za wanajeshi hawa pamoja na viatu, walipo hakikisha kwamba wamejiweka vizuri, dokta Ranjiti akamtazama dokta Ranjiti ambaye analengwa lengwa na machozi ya furaha.

“Tutakutana siku nyingine, ondokeni humu”

Phidaya alizungumza kwa msisitizo huku akimkabidhi dokta Ranjiti bastola yake. Dokta Ranjiti akashindwa kujistahimili kwa haraka akamsogela Phidaya akamshika shingoni mwake na kuaza kumnyonya denda, Phidaya hakuwa na hiyana yoyote kwa maana anatambua kwamba mume wake ni msaliti.

“Nikupenda sana Phidaya wangu”

“Nenda”

Anna akachukua bunduki mbili pamoja na kofia mbili za wanajeshi hawa, moja akaivaa yeye na nyingine akamkabidhi baba yake.

“Baba ni muda wa kuondoka”

“Nipige risasi ya mguu”

Phidaya alizungumza.

“Nini?”

“Fanya hiyo nipige risasi ya mguu”

Dokta Ranjiti akaanza kutetemeka kwa woga, Anna akaona baba yake anapoteza muda, kwa haraka akampokonya baba yake bastola aliyo kabidhiwa na Phidaya, akamtandika Phidaya bastola ya paja la mguu wa kushoto na kumfanya aanguke chini huku akiwa amemshikilia mwanye vizuri.

“Tuondoke baba”

Dokta Ranjiti, akatamani kumsaidia Phidaya anaye lia kwa maumivu makali anayo yapata, ila akashindwa kufanya hivyo kwani ni muda wakuondoka katika eneo hili. Wakaanza kutembea kwenye eneo hili huku Anna kwa mara kadhaa akimsisitizia baba yake kujikaza na kuacha kutembea kwa mwendo wa kuchemea. Wakafika sebleni na kutazama eneo hili kwa umakini, kila mwanajeshi anaoneknaa kuwa bize na mambo yake. Wakaanza kutembea kuelekea nje, wakakuta gari nyingi za askari zikisimama katika eneo hili. Askari wakiwa na mbwa wakali na wakubwa, wakashuka kwenye magari yao.

“Twende huku”

Anna alizungumza huku akiongoza kuelekea getini, wakafanikiwa kutoka nje ya geti lililo wazi na gari kadhaa za jeshi zipo katika eneo hilo.

“Camptain”

Mwanajeshi mmoja aliita kwa nyuma huku akiwafwata Anna na dokta Ranjiti walio simama. Dokta Ranjiti akatazama begani na kuona cheo cha mwanajeshi huyo aliye vaa nguo zake ni captain.

“Ndio”

Dokta Ranjiti alizungumza kwa sauti nzito huku akiwa amesimama.

“Mkuu anasema chukua gari, uelekee Muhimbili kuna kikosi kimepelekwa kule, ukakisimamie mukaimarishe ulinzi kwani ndipo makamu wa raisi alipo pelekwa”

“Sawa”

Dokta Ranjiti akatazmaa magari mawili ya jeshi yaliyopo mbele yao. Wakaanza kutembe kwa kujiamini hadi kwenye moja ya gari, wakafungua milango na kuingia, kwa bahati nzuri wakakuta funguo ya gari hilo ikiwa haijachomolewa katika eneo husika. Anna akawasha gari hilo na kuondoka katika eneo hili kwa mwendo wa kasi huku mioyoni mwao wakiwa wamejawa na furaha sana.

***

Wanajeshi wengine wawili wakashuka katika vyumba vya chini ya ardhi kwani kila walivyo jaribu kuwasiliana na wezao hawakuweza kupewa jibu la aina yoyote. Wakiwa karibu na mlango wa kuingilia ndani ya chumba hicho wakaanza kusikia sauti ya mwanamke akiwa analia kwa maumivu. Kwa umakini wa hali ya juu wakazishika bunduki zao vizuri, taratibu wakausukuma mlango wa chumba hicho. Macho yakawatoka baada ya kukuta miili ya wezao ikiwa imelala chini huku wakiwa wamekufa.

“L1 hapa, matuhumiwa wametoroka, na wamewaua wanajeshi wanne, narudia, watumihiwa wametoroka na wamewaua wanajeshi wanne na kumjeruhi mke wa makamu wa raisi.”

Mwanajeshi huyu anaye jiita L1 alizungumza, sauti yake ikasikika kwenye simu za upepo walio zishika baadhi ya wanajeshi. Kwa haraka mwanajeshi huyo akavua mkanda wake na kumshika mnyoosha Phidaya mguu ulio pigwa risasi, wakamfunga mkandao huo, eneo la juu kidogo ya jeraha hilo la risasi ili kuizuia damu inayo endelea kumwagika kukata.

Mkuu wa kikosi hicho akiwa ameongozana na wanajeshi zaidi ya sita wakaingia katika chumba hicho, hasira kali sana ikampanda, na kuwakumbuka wanajeshi walio waona wakiondoka eneo la nyumba hiyo, akiamini ni wanajeshi wake, kutoka hawafahamu wote kwa sura.

“Pumbavu”

Alizungumza kwa hasira sana huku akiiminnya kitufe cha simu yake ya upepo aliyo ishika mkononi mwake.

“Magaidi wamevaa nguo za jeshi, hakikisheni kwamba wanakamatwa mara moja na wameondoka na gari la jeshi”

Mkuu huyo alitoa amri kwa kila mwanajeshi mwenye simu ya upepo, akamtaarifu na mwezake na msako mkali wa kumtafuta dokta Ranjiti na mwanaye ukaanza.

Taratibu mkuu huyu wakikosi, akatoa simu yake mfukoni na kumpigia raisi Rahab ili aweze kumpa taarifa ya hatari ambayo imetokea. Simu ya raisi Rahab ikapokelewa.

***

Mlinzi wa kike wa raisi Rahab akaipokea simu ya raisi aliyo ishika yeye ili kama kuna taarifa zozote yeye ndio anakuwa wa kwanza kuipokea.

“Ndio”

“Nahitaji kuzungumza na muheshimiwa raisi”

Sauti nzito ya kiume ilisikika na kufanya mlanzi huyo kugonga mlango wa chumba cha kulala cha raisi Rahab, akaruhususiwa kuingia ndani, akamkuta Rahab akiwa amevua nguo zote na kubakiwa na chipi aina ya bikini.

“Madam kuna simu yako”

“Imetoka wapi?”

“Kwa mkuu wa kikosi cha jeshi”

“Nipe”

Rahab akaichukua simu yake kwa haraka na kuiweka sikioni mwake.

“Ehee mumefikia wapi?”

Rahab aliuliza kwa shauku kubwa sana.

“Muheshimiwa raisi, dokta Ranjiti na mwanaye wametoroka, wameuwa wanajeshi wwetu wanne, wamemjeruhi mke wa raisi pamoja na mwanaye Shamsa, hadi sasa hivi amedhirai”

Raisi Rahab akatamani kupiga ukunga mkali wa hasira ila akajizuia huku akiwa ameziba mdomo wake.

“Muheshimiwa raisi tunajitahidi kuhakikisha kwamba tunawatafuta na kuwakamata kwa maana wana gari letu la jeshi, silaha pamoja na sare zetu za jeshi”

“Ninakupa masaa ishirini na nne uwe umawakamata la sivyo baada ya hapo nitakufuta kazi sawa?”

Rahab aliuliza kwa ukali sana.

“Sawa muheshimiwa raisi”

Rahab akakata simu na kukaa kitandani huku picha ya sura ya dokta Ranjiti ikikatiza katiza kwenye ufahamuw ake wa akili.

“Nitamuua kwa mkono wangu mimi mwenyewe”

Rahab alizungumza huku akimtazama mlinzi wake ambaye yeye pekee ndio anaruhusiwa kuingia ndani ya chumba hicho.

“Eddy hali yake ipo vipi?”

“Amekimbizwa hospitali ya muhimbili, nina imani kwamba madaktari wanamshuhulikia”

“Sawa naomba uniache”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Mlinzi huyo akatoka nje na kumuacha Rahab peke yake. Rahab akaitzama simu yake akaingia upande wa majina na namba za simu, alivyo vihifadhi katika simu yake hiyo. Akaanza kushuka taratibu hadi akalikuta jina la Fetty rafiki yake wa zamani sana tangu walipo kuwa wasichana wadogo, na wamehusika kwenye matukio mengi ya umalaya na ujambazi wa kutumia silaha. Akampigia, simu ya Fetty ikaanza kuita kwa muda, kisha ikapokelewa.

“Muheshimiwa raisi?”

Sauti ya Fetty ilisikika akizungumza kwa furaha.

“Habari yako”

“Salama vipi mbona unazungumza kama unaumwa?”

“Hapana, nakuomba mujiandae wote watatu, kuna kazi ninahitaji tuweze kuifanya leo”

“Kwema lakini?”

“Fetty si kwema, tunatakiwa kurudi kwenye uhalisia wetu wa awali”

“Rahab ngoja kwanza, kumbuka kwamba wewe ni raisi, na sisi ni mawaziri wako, sasa ukisema turudi kwenye harakati zetu za zamani unanitisha, hembu niambie ni kitu gani ambacho kinaendelea?”

“Nitakujulisha, hakikisha kwamba kila kitu kinakwenda sawa, wapigie weako simu, ninahitaki kuonana nanyi leo hii, sawa”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Rahaba akakata simu huku macho yakiwa yamemtoka. Akapiga hatua hadi kabatini kwake, akajitazama kwenye kioo, akaanza kujinyoosha viongo vya mwili wake kujiweka tayari kwa kazi moja tu, kuhakikisha kwamba anamkamata dokta Ranjiti na mwanaye na kuwaua kwa mkono wake yeye mwenyewe.



Raisi Rahab akapiga hatua hadi kwenye kabati lake, akafungua akatazama nguo zake, taratibu akachukua suruali ya jinzi ambayo inavutika kwa kiasi fulani, akaivaa, akachukua tisheti nyeusi na raba nyeusi. Akafungua sanduku lake maalumu la kuhifadhia nyaraka maalumu, akaikuta picha yake aliyo piga na mume wake Praygod, aliyekuwa raisi wa Tanzania, aliye tolewa madarakani na raisi Godwin kisha akauwawa kwa kulipuliwa na bomu katika eneo la Mlimani City. Taratibu Rahab akaibusu picha hiyo ambayo ni kumbukumbu ya kutosha kwenye maisha yake, akairudisha ndani ya sanduku hilo la chuma. Akatoa bastola yake pamona ja magazine nne, akazichomeka katika mifuko ya suruali yake, alipo hakikisha kwamba yupo sawa, akatoka chumbani kwake humu na kuwafanya walinzi wake wote kushangaa.

“Nahitaji kuelekea mbezi Beach kwa waziri Fetty”

“Sawa muheshimiwa”

Rahab akaongozana na walinzi wake hadi kwenye magari yake, akaingia ndani ya gari lake aina ya Range Rover Sport na msafara ukaanza kuondoka eneo hilo la ikuku taratibu.

“Muheshimiwa”

Mlinzi wa kike wa Rahab aliita kwa sauti ya chini kidogo huku akiwa amekaa siti ya mbele katika gari hilo.

“Ndio”

“Ninaweza kukuuliza swali?”

“Muda huu sio muda wa maswali, subiri nikiwa sawa ndio utaniuliza maswali yako”

“Sawa”

***

“Baba hatuwezi kusonga mbele na nguo hizi na hili gari”

Anna alizungumza huku akipunguza mwendo wa gari la jeshi analo liendesha.

“Kwa nini?”

“Nilazima tutakuwa tunatafutwa na kusakwa”

“Sasa hapa tunafanyaje?”

Dokta Ranjiti alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi, maumivu nayo yanazidi kumsumbua katika majeraha yake na sehemu zake za siri. Anna akataza kila aneo, akafungua mlango wa gari na kushuka huku akiwamakini sana. Katika eneo hillo walipo simamisha gari kuna maduka kadhaa ya nguo za kiume, Anna akageuka nyuma na kumtazama baba yake.

“Baba kuna yale maduka pale twende”

Dokta Ranjiti akayatazama maduka hayo, kisha taratibu akashuka kwenye gari, akazunguka upande wa pili wa gari hilo, kabla hata hawajavuka barabara gari ainaya Hummer, likasimama mbele yao. Mlango wa mbele wa gari hiyo ukafunguliwa, akashuka mwanaume aliye valia suti nyeusi.

“Ingieni kwenye gari kwa usalama wenu”

Mwanaume huyo mwenye mwili mkubwa na ulio jengeka kimisuli alizungumza kwa msisitizo huku akionyesha dhairi kwamba anacho kizungumza ana kimaanisha.

“Wewe ni nani?”

Dokta Ranjiti aliuliza huku akimtazama mwanaume huyo.

“Ingieni kwenye gari, utajua mbele ya safari”

Dokta Ranjiti akamtazama mwanaye, Anna kwa ishara ya macho akamuomba baba yake waweze kufwata kile anacho kizungumza mwanaume huyo, wakingia kwenye gari hilo na wakaondoka katika eneo hilo kwa mwendo wa kasi sana.

“Kuna simu yako hapa”

Mwanaume huyo alizungumza huku akimgeukia dokta Ranjiti, akamkabidhi simu aina ya Samsung S7, dokta Ranjiti akaichukua simu hiyo na kuiweka sikioni mwake kwani ipo hewani.

“Habari yako Ranjiti?”

Sauti ya kike ilisikika upande wa pili wa simu hiyo jambo lililo mstua kidogo dokta Ranjiti kwa maana haitambui sauti hiyo.

“Salama nani mwenzangu?”

“Sio muhimu kwa wewe kuweza kunifahamu kwa sasa. Nimepewa maagizo niweze kukusaidia, hadi pale nchi itakapo kuwa salama, vijana wangu watakupeleka katika nyumba ambayo itakuwa ni salama, wewe na mwanao mutaishi humo kwa kipindi chote hicho sawa?”

“Sawa ninashukuru kwa hilo, ila ningependa kufahamu wewe ni nani mwenzangu?”

“Nimekuambia sio muhimu sana kwa wewe kufahamu kwa sasa”

“Ohoo sawa, ila yote katika yote ninashukuru”

“Asante”

Simu ikakatawa na dokta Ranjiti akairudisha simu hiyo kwa mwanaume huyo.

“Tunaelekea wapi?”

Anna aliuliza huku akimtazama mwanaume huyo.

“Huruhusiwi kufahamu”

Mwanaume huyo alijibu kwa sauti nziti na kuwafanya dokta Ranjiti na mwanaye kutazama na kukaa kimya.

***

Phidaya akaingizwa kwenye gari la wagonjwa na kuanza kuwahiswa hospitalini huku Shamsa naye akwia ameingizwa kwenye gari jengine la wagonjwa. Phidaya akatoa simu yake kwa haraka na kuandika ujumbe wenye maelezo na kuutuma kwa madam Merry. Hazikupita hata dakika mbili ujumbe huo ukajibiwa, ikionyesha kwamba madam Merry ameamua kuufanyia kazi ujumbe huo alio elezwa.

“Nesi nakuomba mwanangu mumumtazame vizuri”

“Sawa madam”

Gari hizo za wagonjwa ambazo zinasindikizwa na gari nne za polisi, wakafika katika hospitali ya Muhimbili, Phisaya akaingizwa katika chumba cha upasuaji ili kutolewa risasi ambayo imezama kwenye paja lake huku Shamsa akiingizwa katika chumba cha mapumziko akisubiriwa kuweza kuzinduka.

Idadi ya wanajeshi na askari wanao endelea kuimarisha ulinzi katika hospitali hiyo ya Muhimbili ikazidi kuongezeaka hadi wananchi wa kawaida, wakazidi kushangaa kwani hawajui ni kitu gani kinacho endelea hadi sasa hivi. Hapakuwa na muandishi wa habari aliye ruhusiwa kuingia ndani ya hospitali hiyo yote ni kwajuli ya swala la kiusalama zaidi.

Madaktari wakafanikiwa kutoa risasi mbili ambazo zimeingia kwenye mguu wa kulia wa makamu wa raisi bwana Eddy Godwin, ila idadi kubwa ya risasi alizo kuwa amepigwa, zote ziliingia kwenye jaketi la kuzuia risasi na hicho ndicho kitu cha pekee kilicho yaokoa maisha yake. Walipo hakikisha kwamba wamemaliza zoezi la kumuhudumia makamu wa raisi wakampeleka katika wodi malumu ambayo hulazwa viongozi pale wanapo ugua. Ulinzi mkali ukazidi kuimarishwa kwenye jengo lenye chumba alicho lazwa makamu wa raisi na kuhakikisha kwamba hakuna mtu anaye weza kudhubutu kufanya kitu chochote kwa makamu wa raisi.

Taratibu Eddy akafumbua macho yake baada ya fahamu zake kumrudia, taratibu akaanza kujishika kifuani mwake na kujikuta akiwa hana tatizo lolote.

“Karibu duniani muheshimiwa”

Dokta Benjamini alizungumza huku akimtazam Eddy. Eddy hakujibu kitu chochote zaidi ya kutazama mazingiri ya eneo hili na kugundua kwamba yupo hospitali. Akautazama mguu wake na kuukuta ukiwa umefungwa bandeji jeupe.

“Nina tatizo kubwa?”

“Hapana muheshimiwa cha kumshukuru Mungu ni risasi mbili ziliingia kwenye mguu wako na tumefanikiwa kuweza kuzito”

“Mke wang na mwanangu wapo wapi nao?”

“Ahaa kwa taarifa nilizo zipata dakika tano zilizo pita nimeweza kuambia kwamba mke wako na wanao wapo hapa hospitalini”

“Nenda wakaite waje kuniona?”

“Ahaa mke wako yupo naye kwenye chumba cha upasuaji amepigwa risasi ya mguu na mtu niliye ambiwa kwamba anaitwa dokta Ranjiti”

“Nini?”

Eddy aliuliza kwa shahuku huku akijaribu kushuka kitandani ila dokta Benjamini akamzuia asiweze ufanya hivyo.

“Muheshimiwa mguu bado haujawa sawa, ninakuomba utulie”

“Dokta nitendeleeaje kukaa hapa hospitalini ikiwa familia yangu ipo katika matatizo, niache niende nikaione familia yangu”

Eddya akajaribu kushuka kitandani, ila kwa maumivu aliyo yasikia yeye mwenyewe akajikuta akikaa sawa na kuto taka kushuka tena kitandani.

“Muheshimiwa nitakuwa ninakufahamisha kila kitu kitakacho kuwa kinaendelea”

Dokta Benjamini alizungumza kwa upole sana, Eddy akabaki akimtazama tu pasipo kujibu chochote. Dokta Benjamini akatoka ndani hapa na kumuacha Eddy akijiapiza kwamba akipona lazima kazi ya kuongoza aiweke kando kwanza kisha atarudi kwenye maisha yake ya mishe mishe ili mradi ahakikishe kwamba analipiza kisasi kwa maadui zake walio baki.

 ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG