Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

MY LIFE SEHEMU YA 3/10

 

 


 MY LIFE

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 3 KATI YA 10

 



Nikamtazama kiongozi wa hichi kikundi kwa macho makali yanayo dhihirisha kabisa kwamba sipendi ujinga na mume wangu.

“Cut”

Mwalimu huyo alizungumza na taatibu Eddazaria akamshusha Zari kutoka mikononi mwake. Macho yangu yakakutana na macho ya Zari anaye jilamba lamba midomo yake kana kwamba amelamba koni. Laiti tungekuwa sisi wawili katika ukumbi huu, hakika ningemuua.

“Asante kaka Eddy kwa seen nzuri uliyo tuonyesha”

“Asanteni nanyi pia”

Eddazaria akarudi kwenye kiti chake, sikumsemesha kitu cha aina yoyote kwani hasira niliyo nayo kusema kweli inanipa gadi kigugumizi cha kuzungumza, hapa ndipo ninapi tambua kwamba mapenzi yanaumiza moyo.

“Hei Jojo”

“Eddy naomba uniache”

Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikiutoa mkono wa Eddazaria aliye nishika paja. Eddazaria akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akajiweka sawa kwenye kiti alicho kikaloa. Mazungumzo anayo yazungumza kiongozi wa kikundi hichi kusema kweli hata siyaelewi kabisa, kwani ninahisi kama ananipigia makelele masikioni mwangu.

“Sister Jojo, Sister Jojo”

Sauti ya kiongozi wa kikundi hichi ikanistua kutoka katika dibwi la mawazo, la kufikiria ni kitu gani nitamfanya Zari, ilimradi nafsi yangu itulie.

“Ndio”

“Una meneno gani kwetu?”

“Maneno ya nini?”

Niliuliza kwa jazba pasipo kujali ni nini kitakacho endelea katika eneo hili. Wasanii wote wakanitazama mimi kwani jibu nililo litoa hawakulitegemea kabisa. Eddazaria akasimama kwa haraka kwenye kiti alicho kalia.

“Ahaa, nijibu kwa niaba yake, kidogo mke wangu kichwa kinamsumbua. Filamu yetu inakwenda kuanza siku si nyingi, kesho kutwa pajapo majaliwa ya mwenyezi Mungu basi tutakuja na kamera zetu ili kuanza kufanya mazoezi ya filamu hiyo ndani ya ukumbi huu, nina imani kwamba kila mmoja wetu ataweza kufurahia kile tunacho kwenda kukifanya”

Wasanii wote wakapiga makofi, nikatabasamu kinafki ilimradi watu waweze kuona kwamba tuna wajali, ila kusema kweli moyoni mwangu nimechefukwa, nimekuwa kama chui wa kike aliye shuhudia kuuwawa kwa mwanaye. Wasanii wote wakasimama na sisi tukatii ombi la kiongozi wao la kutuomba tusimame, wakamaliza mazoezi kwa sala kwa imani za dini mbili, uislam na ukristo.

“Kesho mapema jamani tuwahi, kazi ndio hivyo inaanza, viongozi wote ninawaomba mubaki”

Kiongozi hiyo alizungumza na wasanii wakanza kutawanyika, baadhi ya wasanii wa kike wakaanza kutuomba kupiga nao picha za ukumbusho.

“Kaka Eddy tunaweza kupiga picha?”

Sauti ya Zari ikanifanya ning’ate meno yangu, Eddazaria naye pasipo kujali akasimama pembeni ya Zari na kupiga picha hiyo, nikatamani kumsogeza Zari pembeni ya mpenzi wangu ila ninashindwa kutokana na kundi la wasanii walio nizunguka.

“Dada Jojo tupige pamoja picha?”

Zari alizungumza na kuyafanya mapigo yangu ya moyo kuanza kunienda kasi, kwani adui anajaribu kunisogelea taratibu, akanifwata hadi sehemu nilipo simama. Akainyoosha mbele simu yake aina ya Tecno C5.

“Siku nyingine usidhubutu kufanya upuuzi kama ule na mume wangu sawa?”

Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikiwa nimeitazama kamera ya simu aliyo ishika Zari.

“Jamani dada Jojo tunaigiza tu?”

“Usiniletee ujinga mimi sio mwanamke wa mchezo mchezo, kuigiza ingiza na wasanii wezako ila sio na mume wangu, nitakung’ofoa masikoo yako”

“Hee babu wee kwani mwanaume wako peke yako, nimekuambia kiustarabu kwamba tunaingiza unaleta swaga za kumaind”

Zari alizungumza kwa kejeli kubwa na kunifanya nimkate jicho baya sana ambalo ninaimani tangu kuzaliwa kwangu sikuwahi kumtazama binadamu mwezangu kwa jicho la namna hiyo.

“Hujanijua wewe?”

Nilizungumza huku kiuanzaa mkono wangu wa kushoto kuzibana mbavu za Zari, ila kabla sijafanya hivyo nikastukia nikishikwa mkono wangu, nikageuka nyuma na kumkuta Eddazaria akiwa amesimama.

“Picha ya wote watu”

Eddazaria alizungumza huku akitabasamu, Zari akapiga pich kadhaa tukiwa sote watatu, kisha akamuaga Eddazaria huku akiwa amemlegezea macho na kuondoka eneo hili.

“Ahaa dada Jojo na kaka Eddy tunawaomba kwenye kijikokao chetu cha viongozi hapa”

Tasiana alizungumza na kutufanya tusogelee mkusanyiko wa watu kama kumi nambili hivi. Macho yangu yote ninamtazama Zari.

“Tunawashukuru kwa kuja kusema kweli tunafurahi sana tena san asana, yaani kusema kweli tulihisi labda mutakuwa ni watu wa kuringa ila kwa upendo wenu mulio tuonyesah asanteni sana, sasa sana”

“Tunashukuru hata nyinyi kwa kutujali sisi, tunawahidi kufanya kazi nanyi”

“Asanteni sanaa”

“Sister Jojo unaonekana kama haupo sawa?”

Tasiana aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Hapana, kichwa tu kina nisumbua”

“Pole sana”

“Asante, Eddy mimi nipo kwenye gari”

“Poa”

Nilizungumza huku nikiondoka kuelekea nje alipo kwenda Zari. Nikatoka nje ila sikumuona Zari, kila linipo jaribu kuangaza huku na kule sikuweza kumuona.

“Sister Jojo unamtafuta nani?”

Msichana mdogo aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kuna yule dada anaitwa Zari yupo wapi?”

“Ameelekea chooni kule”

Msicha huyo aliniambia huku akinyoosha kidole ya sehemu kilicho choo cha ukumbi huo, nikafika katika vyoo vya jinsia ya kike, nikafungua mlango na kuingia ndani, nikamkuta Zari akiwa amesima mbele ya kioo kikubwa akijiweka weka sawa suruali yake. Nikaufunga mlango kwa ndani na kumfanya Zari kustuka kidogo.

“Rudia yale uliyo kuwa unazungumza kule”

Nilimuuliza kwa jazba huku nikimtazama usoni mwake.

“Weee vipi, unahisi mimi ninamtaka huyo mwanaume wako au?”

Zari dharua zake zikazidi kunikera kwani kusema kweli bado hajanitambua vizuri.

“Eti eneee?”

Nilizungumza huku nikimsogelea Zari, nikaushika mkono wake wa kulia na kuanza kuuzungusha kwa nguvu jambo lililo mfanya ajitahidi kujitoa mikononi mwangu, akajaribu kunikwaruza kwa kuchwa zake za kubandika, ila nikaliweza kulihimili hilo, nikamtandika makofi sita mazito ya mashavuni mwake, hadi wigi la bandia alilo livaa kichwanimwake likaanguka chini na kumuacha akiwa na upara.

“Jamani nisa….”

Zari alijaribu kupiga kelele ila nikawahi kumziba mdomo wake kwa kiganja changu.

“Ninakupa onyo endapo utaleta dharau za kipuuzi kwangu, nitakuua umenielewa?”

Zari akatingisha kichwa akiniashiria kwamba ameelewa kile ninacho muambia. Nikaanza kumpapasa kwenye mifuko ya suruali yake, nikaichukua simu yake.

“Toa password?”

Zari akatia neno hilo la siri, nikaingia upande wa picha na kufuta picha zote alizo piga na mimi pamona na Eddy.

“Ole wako uje kuzungumza kwa mtu kama nimekufanyia hivi, nitakupoteza duniani sawa”

“Sawa sister”

Zaria alizungumza huku mwili mzima ukimtetemeka, nikamuachia mkono wake, uso wake alio jichubua kwa mikoroga ya ajabu ajabu, wote umekuwa mwekundu sana, kwani vibao nilivyo mtandika ni vizito kwa kweli. Nikamuokotea wigi lake, na kumvalisha, nikasogelea koki ya maji, nikaifungua na kunawa mikono yangu, kisha maji kadhaa nikamwagia usoni mwake. Nikatoka chooni humu na kuelekea kwenye gari na kumkuta Eddazaria akiwa amesimama nje ya gari akinisubiria

“Ulikuwa wapi?”

“Chooni”

Nikafungua gari na sote tukaingia, sikuhitai kumsemesha Eddazaria chochote kwani kila ninapo mtazama usoni mwake, ninakumbuka denda alilo fanya na Zari.

“Mbona umeninunia, nini tatizo?”

“Hakuna”

“Jojo, ile hali uliyo ionyesha mule ukumbini sijaipenda?”

“Ahaaa kwa hiyo wewe ulivyo kuwa unadendeka na yule malaya ulihisi mimi tanapenda ehee?”

“Sasa si tulikuwa tunaigiza?”

“Niondolee using** wenu hapa”

Nilizungumza kwa hasira huku nikipunguza mwendo wa gari kwani mbele kuna foleni kubwa.

“Jojo umesemaje?”

“Umenisikia sina haja ya kurudia rudia mimi”

“Kwa hiyo mimi mseng** si ndio?”

“Bwana ehee emenisikia bwana, ya nini kurudia rudia?”

Niliendelea kuzungumza huku machozi yakinilenga lenga. Magari yakaanza kutembea taratibu na mimi nikaendelea kuufwatisha mwendo wa magari yaliyopo barabarani. Tukapita eneo hilo la mataa Ubungo na kuendelea na safari ya kuelekea nyumbani kwetu. Tukafika nyumbani pasipo kuzungumza chochote ndani ya gari. Tukashuka kwenye gari na Eddazaria akatangulia kuingia ndani, nikaingia ndani na kumuona Eddazaria akipandisha kwenye ngazi huku dokta Clara akiwa amesimama akimshangaa.

“Kuna nini kinacho endelea?”

Dokta Clara aliniuliza, nikashusha pumzi kidogo na kujitupa kwenye sofa.

“Jojo hembu niambie kuna nini kinacho endelea?”

“Ahaa tumepisha kauli tu”

“Kauli gani?”

“Clara tutazungumza bwana sipo sawa”

Nikanyanyuka na mimi kwenye sofa nililo kalia na kuanza kupandisha gorofani, nikiwa kwneye kordo nikakutana na Eddazaria akiwa anatoka chumbani kwake huku akiwa amebeba begi lake la nguo jambo lililo nistua sama moyo wangu. Hasira niliyo nayo yote ikaniyayuka moyoni mwangu na kujikuta mapigo yangu ya moyo yakianza kunienda kasi.

“Eddy, Eddy”

Eddazaria hakunijibu kitu chochote zaidi ya kuzidi kusonga mbele kuelekea katika ngazi, nikaanza kumfwata kwa nyuma huku nikimuita. Eddazaria akasimama kwenye ngazi huku akimtazama dokta Clara ambaye amesimama kwenye ngazi naye akionekana alikuwa akipanda kuja huku tulipo.

“Eddy ni nini kinacho endelea kaka yangu”

“Muulize Jojo”

Eddazaria alizungumza kwa sauti nziti huku akianza kushuka chini, ila dokta Clara akasimama mbele yake na kumzuia.

“Eddy niambie wewe ni kitu gani kinacho endelea?”

“Clara unanijua, sipendi dharau hususani mtu kinidharau, huyo dogo hapo hawezi kunidharua na kunitolea matamshi ya kipuuzi au kwa sababu nipo kwake, ehee?”

Eddazaria alizungumza kwa hasira na kujikuta nikizidi kutetemeka mwili wangu, nikakumbuka kauli za dokta Clara alizo wahi kunihusia nisiweze kumkera mwanaume huyu kwani ni mtu wa maamuzi ya haraka na magumu sana kwa upande wake.

“Eddy, Eddy, tazama kwanza afya yako, bado haujapona, pili unataka kwenda wapi usiku huu wote huu, kaeni chini muweze kulizungumza hilo swala, mbona unataka kunikosesha amani jamani?”

Dokta Clara alizungumza kwa sati ya upole sana.

“Funguo za gari langu zipo wapi?”

Swali la Eddazaria likanikosesha nguvu kabisa na kujikuta nikikaa chini kabisa huku mapigi ya moyo yakizidi kwenda kazi, jasho usoni mwangu likaanza kunimwagika.

“Eddy utamuua mwenzako kwa presha hembu acha hayo mambo, Jojo bado ni mdogo kama kuna kosa ambalo amelifanya msamehe, bado hajakujua, akikujua atajirekebisha, please fanya hivyo kwa ajili yangu, tafadhali sana Eddy ninakuomba hilo kaka yangu”

Eddazaria akamsogeza pembeni dokta Clara na kuanza kushuka kwenye ngazi, akatazama mezani, akaiona funguo ya gari lake niliyo iacha hapo, akaichukua na kuanza kutembea kuelekea mlangoni.

“Edd…..”

Niliita kwa sauti ya upole, nikamuona Eddazaria akigeuka na kunitazama, nikajaribu kunyanyuka ila nikashindwa kabisa kwani kizunguzungu kikali kikanichukua na kujikuta nikiaanguka chini na giza zito likatawala kwenye macho yangu.




“Jojo….jojo”

Niliisikia sauti ya Eddazaria kwa mbali sana, taratibu nikajitahidi kuyafumbua macho yangu ila nikakutana na ukungu mwingi ambao unanishinda kuona vitu halisi.

“Tulia atakuwa salama”

Niliisikia sauti ya dokta Clara, nikaka kwa dakika kadhaa, taratibu nikaanza kupata mwangaza wa macho yangu hadi ikafikia hatua nikaanza kuona hali halisi, nikamuona Eddy akiwa amekaa pembeni yangu huku dokta Clara amesimama pembeni yangu pia.

“Ohoo asante Mungu”

Eddazaria alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, nikatabasamu baada ya kumuona kwani nilidhani kwamba atakuwa ameondoka.

“Unajisikiaje Jojo?”

Dokta Clara aliniulza huku akinitazama.

“Salama tu”

Nilijibu kwa sauti ya chini huku nikimtazama usoni mwake.

“Pole inabidi ukajimwagie maji ili mwili upate nguvu”

Dokta Clara alizungumza kwa sauti ya upole huku ataratibu akinisaidia kuamka na kukaa kitako. Eddazaria akanishika mkono wangu wa kushoto huku akiendelea kunitazama na kushindwa kuzungumza chochote.

“Nipo sebleni, Eddy hakikisha kwamba anaoga tuje kula”

“Sawa Clara”

Tukabaki mimi na Eddazaria.

“Jojo”

“Mmmmm”

“Natambua kwamba mimi sio mwanaume sahihi kwenye maisha yako ila…..”

“Shiiiiiii, wewe ni mwanaume sahihi kwangu Eddy, pesa mali kwangu sio kitu cha muhimu kuliko wewe. Nimezungumza lugha mbaya mbele yako ninakuomba unisamehe ni makosa yangu niliyo yafanya”

“Nisamehe mimi niliye kusababishia hali hii ya kupoteza fahamu”

“Usijali “

Tukakumbatiana kwa nguvu na Eddazaria, baada ya dakika kadhaa tukaachiana na akaniomba niweze kuongozana naye bafuni. Tukaingia bafuni na kuvua nguo zetu, taratibu akaanza kuniogesha huku akinisugua maeneo mbalimbali ya mwili wangu.

“Eddy”

“Mmmmm”

“Nashukuru”

“Unashukuru kwa nini?”

“Kwa kila jambo unalo nifanya maishani mwangu, nimeweza kukujua sasa, hapo mwanzo nilikuwa nina kufahamu tu”

“Usijali mke wangu, nitajitahidi kila siku niweze kuizuia hasira yangu juu yako. Mama Gody ameniharibu sana moyo wangu, sikuwa hivi, nilikwa ni mpole na msikivu kwa kila mwanamke niliye mpenda”

“Usijali, ninalitambua hilo mume wangu kipenzi, ninatahakikisha kwmaba nina kubadilisha hiyo hali sawa”

“Sawa mke wangu, nashukuru kwa kunijali kwako”

Nikambusu Eddazaria mdomoni mwake, tukamaliza kuoga sote wawili kisha tukatoka chumbani humu, tukarudi chumbani, akanichagulia nguo za kuvaa kwa muda huu wa usiku.

“Hamjakula bado?”

“Weee unahisi tunaweza kula wewe ukiwa katika hali kama hiyo, yaani nilihisi kuchanganyikiwa”

“Masikini weee pole, sana”

“Yaani asikuambie mtu, nilijilaumu sana kwa maamuzi niliyo kuwa nimeyafanya, ila Clara alijitahidi sana kunifariji na kuniambia kwamba utarudi kwenye hali yako ya kawaida”

“Poleni jamani”

Tukatoka chumbani humu huku tukiwa tumejawa na furaha mioyoni mwetu, tukafika sebleni na kumkuta dokta Clara akitazama filamu ya kizungu.

“Filamu gani hiyo Clara?”

“Inaitwa Fast and Furious, hii ni namba saba”

Taratibu nikaka kwenye sofa la hapa sebleni na kuungana naye katika kutazama filamu hii.

“Ipo siku nitakuja kukuandikia hadihi kama hiyo ya kuendesha magari kwa kasi sana”

“Unataka nife?”

“Hapana si wanaigiza unadhani hivyo wanavyo dondosha hayo magari wakiwa ndani unahisi ni kweli, ni filamu tuu”

“Mmmmmm”

“Ndio, hata hiyo kasi yenyewe wanayo tembea nayo kwenye hayo magari inaongezwa kwenye maswala ya Editing”

“Kazi kweli kweli”

“Jamani ngoja nilete chakula hapa, au munasemaje?”

“Umenena dokta wangu”

“Hahaha Jojo acha utani”

“Clara hivi Muhimbili wanakulipa kiasi gani?”

“Eeehee Eddy hiyo siri yangu bwana”

“Nina maana yangu ya kuzungumza hivyo”

“Niambie hiyo maana yako kwanza kisha mimi ndio nitakuambia”

“Unajua kwenye kampuni yoyote kubwa ya filamu ni laizma iwe na daktari wake maalumu, pale msanii anapo patwa na tatizo watu wakiwa location basi dokta unaweza kuwajibika kumuhudumia”

“Alafu kweli”

“Sasa munataka kunipa ajira au?”

“Ndio maana yake, ndio maana nikataka kujua mshahara wako, ili tuweze kukupandishia dau”

Dokta Clara akakaa kwenye sofa alilo kuwa amekalia huku akiwa ameishika sahani yake ya viazi vya kukaanga pamoja na maini.

“Mmmmm kusema kweli wanananilipa laki nane na nusu kamili, ukiweka makato makato sijui ya bima bima za ajabu ajabu hapo, sijui kuchangia mifuko ambayo hatujawahi kuiona, mshahara huwa ni milioni moja kamili”

“Kwa hiyo hapo unakatwa kama laki na nusu hivi?”

“Yaaa”

“Sisi tutakulipa milioni mbili na nusu”

Nilizungumza huku nikimtazama dokta Clara usoni mwake.

“Acheni kunitania nyinyi”

“Haki ya Mungu Clara, milioni mbili na nusu, hau haitoshi”

“Na huu wembaba mutanifanya ninenepe kwa kweli”

“Hhahaaa”

“Kweli kabisa, kazi za serikalini hususani hii ya kwetu, muda mwengine huwa inatosha ila ndio hivyo mtu unakosa jinsi ya kufanya inabidi ufanye tu”

Tukazungumza mambo mengi sana na haswa mipango kuhusiana na kapui yetu, dokta Clara akatuaga na kuelekea chumbani kulala, mimi na Eddazaria tukabaki tukiendelea kupanga mfumo wa uendeshaji kampuni. Hadi inatimu alfajiri, hakuna kati yetu ambaye aliweza kulaza hata kichwa chake.

“Una usingizi?”

Eddazaria aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu

“Hapana”

“Leo ratiba si unaitambua?”

“Yaa”

Tukaanza kujiandaa asubuhi hii, hadi dokta Clara anaamka kutoka usingizini akatukuta tukiwa tumejianda kwa kila kitu. Tukaagana naye na sisi tukaondoka, moja kwa moja tukafika hotelini kuwachukua wachina hao. Tukawakodishia costa ambayo ni mali ya hoteli hiyo, moja kwa moja tukaelekea ofisini kwetu ambapo tayari ofisi imesha kamilika kujengwa, japo bado vitu hatujavileta katike eneo hilo, tukiwa katika kuwaonyesha onyesha eneo hili la ofisi yetu, simu yangu ikaingia ujumbe mfupi kwa mtandao wa whatsapp.

“Sorry”

Nilizungumza na kutoka katika chumba amabcho tupo na wachina hao, nikausoma ujumbe huu wa Nuru alio nitumia akinifahamisha kwamba amepata magari mawili ambayo ni makubwa na sasa yapo njiani kuja nchini Tanzania. Nikampigia Nuru simu, simu yake ikaita kwa muda, ila haikupokelewa, baada ya muda akaniandikia ujumbe kwamba atanipigia.

“Kuna nini kinacho endelea?”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya kunong’oneza.

“Mama amepata magari mawili haya”

Nikamuonyesha Eddazaria picha ya magari mawili ambayo Nuru amenitumia, tukayatazama kwa muda huku tukiwa tumejawa na furaha sana.

“Sasa Jojo hawa wachina wako hembu zungumza nao kwa maana nimetoka humo ndani kutokana sielewi wanacho kizungumza ni kitu gani”

“Inabidi leo vifaa viweze kufika hapa ofisini kwetu”

“Unataka kuniambia kwamba yale makamera yote yaletwe hapa?”

“Ndio”

“Tuna wiki nzima ya maandalizi so tuwe wavumilivu katika hilo kama ni kamera zitakuwa zinatumiwa na kurudisha nyumbani kama kawaida”

“Sawa”

Siku zikazidi kukatika huku kila siku tukizidi kusaidiana na wachina hawa kuhakikisha kwamba kampuni yangu inasimama imara, ndani ya siku tatu tukapata wasanii zaidi ya mia moja ambao watashiriki katika filamu hii ambayo inaitwa Love Mask. Makampuni mawili makubwa yanayo jishuhulisha na mitandoa ya simu makubwa nchini Tanzania yakaingia mkataba na sisi ili kuwa miongonimwa wadhamimi wa filamu hii. Vyombo vya habari mbalimbali nchini Tanzania na nje ya Tanzania, wakaanza kutangaza juu ya ujio wa filamu kubwa sana ambayo watu wengi wanaamini kwamba itakwenda kuvunja historia ya utengenezwaji ndani ya Tanzania.

“Jojo jojo?”

Eddazaria aliniita huku akiwa ameshika simu yake mkononi mwake.

“Beee?”

“Kampuni ya Toyota wamenitumia meseji, wanaseme kwamba watatuwezesha katika swala la magari kila aina ya magari tunayo yahitaji wao watatoa”

Kwa haraka nikajikuta nikukumbatiana na Eddazaria kwani kila kile tulicho kuwa tunakiomba kwa Mungu ndicho hichi tunacho kipata. Nikaisoma email kutoka kwa Mkurugenzi wa gari aina ya Toyota.

“Muwakilishi wao atakuja kesho hapa ofisini kuingia mkataba nasi”

“Ohoo asante Mungu”

“Jojo ninacho kihitaji ni kuhakikisha kwamba kwenye hii filamu huniangushi, watu wanawekeza pesa zao hapa, billions of shillings watu wamewekeza hapa”

“Usijali mpenzi wangu, ninakuhakikishia kwamba nitafanya kazi nzuri sana hadi wewe mwenyewe utafurahi”

“Tuna siku tatu kabla ya movie kuanza, tuliza akili, kila kitu wewe niachie mimi na Clara tutavishuhulikia”

“Sawa mpenzi wangu, yaani unavyo hangaika hadi ninakuonea huruma”

“Ni jukumu langu mpenzi wangu”

Eddazaria akanibusu mdomoni mwangu na kutoka ofisini hapa, nikaegemea kiti changu huku nikiwa na furaha sana, mlango wa ofisini kwangu ukagongwa, nikajiweka sawa.

“Ingia”

Mlango ukafunguliwa, nikajikusta nikistuka sana kwani sikutarajia kwa muda na wakati kama huu kukutana na Nuru ambaye uso wake umejawa na tabasamu pana, kwani dalili ya siri yangu kuanza kumbumburuka kwamba nina mahusiano na Eddazaria ataifahamu na siri ya kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi amabayo ni ya jinsia moja nayo itajulikana.



“Baby”

Nilizungumza kwa kujikaza huku nikijitahidi kuijenga furaha usoni mwangu. Nuru kwa haraka akanifwata sehemu nilipo kaa na kunikumbatia kwa nguvu sana huku akionyesha dhairi kwamba ana hisia kali za kimapenzi na mimi.

“Ohooo nmekumis Jojo wangu”

“Hata mimi nimekumiss mpenzi wangu”

Nuru bila hata ya kipingamizi akaanza kuninyonya midomo yangu, kusema kweli woga nilio nao ukanifanya hata hisia zangu zisipande kabisa.

“Baby tupo ofisini watu wanaweza kuingia”

“Mmmm jamani ina maana hujalimiss penzi langu?”

“Nimelimiss mpenzi wangu, ila hapa watu wapo wengi, si unajua penzi leti ni la siri”

“Ok mpenzi wangu nimekuelewa, ila ninatamani hata leo kwenda kulala hoteli na wewe”

Kabla sijazungumza kitu chochote, mlango ukafunguliwa, aakingia mfanyakazi wangu anaye shuhulika na maswala ya wana mavazi tu.

“Ohoo samahani madam”

“Hapana Lulu, ingia tu”

“Nilikuwa ninahitaji kukuonyesha sample ya nguo hii, vipi umeipenda?”

Kwa ishara ya mkono nikamuomba Lulu nguo hiyo, nikaitazama vizuri nguo hii.

“Hii ipo poa sana, ila huku weka kama vimetometo vile vya kuwaka waka huku maeneo ya kola”

“Sawa bosi”

Lulu akatoka ofisini hapa na kuniacha na Nuru.

“Ofisi yako ina wasichana warembo, hawaniibii utamu wangu kweli?”

“Hamna kitu kama hicho mpenzi wangu”

“Jojo ohooo unajua ni jinsi gani ninavyo kupenda, yote haya nimekufanyia kutokana ninakupenda, nikigundua kama kuna mtu ana iba utamu wangu, sijui nitafanya nini Mungu wangu”

Maneno ya Nuru kidogo yakanitisha, kwani idadi kubwa ya wafanyakazi hapa ofisini kwangu wanatambua kwamba mimi na Eddazaria tuna mahusiano, itakuwaje kama Nuru akaamua kuwaluliza watu na wakamueleza ukweli.

“Hakuna kitu kama hicho mpenzi wangu, tambua kwamba ninakupenda, ninakuhitaji na wewe ndio kila kitu kwenye maisha yangu, hakuna mtu anaye weza kuiba utamu wako”

“Nashukuru kusika hivyo mpenzi wangu, kwa maana ninaogopa kuibiwa, unajua maishani mwangu sijawahi kupenda kama hivi nilivyo kupenda Jojo wangu”

“Asante, umefikia hoteli gani?”

“Nimefikia Serena, nimakuja kwenye vikoa vya kibiashara. Vitafanyika siku tatu, kuanzia kesho. Vipi mumeweza kuona udhamini kutoka katika kampuni ya Toyota?”

“Yaa Eddy alinionyesha email waliyo tutumia”

“Yaa niliweza kuwaelezea juu ya kazi yenu basi wakakubaliana nami na kuamua kuwapa udhamini”

“Nashukuru sana Nuru”

“Usijali, mpenzi wangu, ngoja nielekee hotelini, kwa maana tuna kikao na waziri mkuu, by saa mbili usiku ninahitaji uwepo hotelini, nitakuwa ninakusubiria”

“Sawa mpenzi wangu”

Nuru akaninyonya midomo yangu kisha tukatoka ndani humu. Nikaanza kumuonyesha mandhari ya ofisi yangu ambayo kusema kweli ni kubwa sana.

“Una wafanyakazi wangapi hadi sasa?”

“Wanafika sabini na sita”

“Huuuu, kweli wewe ni kwicha, hujawa mchoyo”

“Ni kweli, nimezalisha ajiri kwa vijana wezangu na kadri muda utakavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nitakavyokuwa ninazalisha ajira”

“Safi sana”

Tukaingia kwenye lifti, ikatushusha chini, nikawakuta walinzi wanne wa Nuru wakiwa wanamsubiria bosi wao mlangoni.

“Hivi sijaona kama una mlinzi binafsi?”

“Baby umesahau kwamba mimi mwenyewe ninaweza kujilinda”

“Hata kama mpenzi wangu ila unatakiwa kuwa na walinzi, wewe ni mtu maarufu sasa”

“Nikihitaji kuwa nao nitafanya hivi ila kwa sasa nina walinzi wa kulinda mali ya kampuni tu”

“Sawa sawa, basi fanya kama nilivyo kuambia saa mbili usiku ninahitaji uwepo hotelini”

“Sawa mpenzi wangu”

“Kwa maana hapa nimekuona huku chini pamesha lowa, natamani hata unikate kiu yangu sasa hivi?

“Mmmmm jamani baby, usijali ila jiandae sawa baby wangu”

“Sawa”

Tukakumbatiana na Nuru, kisha yeye na walinzi wake wakaingia kwenye gari mbili za kifahari walizo kuja nazo eneo hili na kuondoka. Nikawasindikiza kwa macho hadi pale walipo kunja kona na kupotea kwenye upeo wa macho yangu. Nikashusha pumzi taratibu, kisha nikaanza kurudi ndani.

“Bosi kuna wageni wanakusubiria huko ofisini kwako”

Sekretari wangu alizungumza huku akinitazama usoni mwangu

“Wageni gani?”

“Wametoka katika kampuni ya ulinzi ya MO Security”

“Okay”

Tukaingia kwenye lifti hadi zilipo ofisi zetu, tukaanza kutembea kuelekea kwenye ofisi yangu, kabla hatujafika huko tukakutana na Eddazaria akiwa ameongozana na kijana kijana mmoja ambaye sikuwahi kumuona.

“Jojo huyu ni rafiki yangu anaitwa Emmanuel Kway, naye ni muandishi kama mimi”

“Habari yako Jojo”

“Salama Emma”

“Ahaa nilimuomba aweze kufika na tuipitie story, kwa bahati nzuri amekubaliana na kazi niliyo ifanya na kuna ongezeko dogo sana la matukio ambalo litazidi kuifanya filamu izidi kuwa nzuri”

“Ohoo nashukuru sana, Kway jisikie hapa ni nyumbani”

“Nashukuru sana”

“Sawa, Eddy mimi nipo ofisini kuna wageni ninamalizana nao”

“Poa”

Nikaachanana Eddazaria na kuingia ofisini kwangu, nikawakuta wazee wawili wakinisubiria.

“Karibuni wazee wangu”

Nilizungumza huku nikiizunguka meza yangu na kukaa kwenye kiti changu.

“Tunashukuru kwa muda wako”

“Heshima yenu kwanza”

“Tunashukuru, tumependezewa na uandaaji wako wa filamu, tukaona na sisi tujitokeze kwa ajili ya kuwezesha filamu yako iweze kusonga mbele”

“Karibuni sana”

Nilizungumza huku nikitoa moja ya fomu za wadhamini, wakapitia masharti ambayo sisi tumeyaweka kwenye mkataba wetu, wakakubaliana masharti yetu, nikamtumia meseji Eddazaria ya kuja ofisini kwangu, hazikupita hata dakika tano akaingia ofisini kwangu, nikamuelezea juu ya lengo la hawa wawakilishi wa hii kampuni. Tukakubaliana nao kuwa miongoni mwa wadhamini wetu kisha wakaondoka.

“Hivi unajua kwamba filamu yetu imekuwa maarufu hata kabla haijatoka?”

“Yaa, leo nilikuwa ninapitia baadhi ya wasanii wa bongo movies, wengi wanaonyesha kuona ni kazi gani ambayo tunaweza kuifanya. Sasa hapa tunatakiwa kukaza mpenzi wangu tukifanya kituko basi tutasemwa nahisi na Tanzania nzima jambo ambalo ninaliogopa sana Jojo”

“Mungu ni mwema atatusaidia kwa kweli. Hivi wasanii wote si wamesha pata mafunzo?”

“Yaa tumetoka kuwatazama leo na Kway, tumeona jinsi wanavyo fanya kazi kwa juhudi, kila mmoja amepania, makamera mani nao wameniambia kila kitu kwao wapo tayari kazi ni kwetu tu”

“Sawa. Eddy leo sinto lala nyumbani?”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama Eddazaria usoni mwake.

“Sijakuelewa hembu fafanua”

“Mama Nuru leo amekuja, hajakaa sana ameondoka amesema kwamba ana kikao na waziri mkuu so saa mbili usiku niennde Serena kuonana naye”

“Ndio ulale huko huko au?”

“Najua mama atakuwa na mazungumzo marefu sana, ameniambia anahitaji nimuelezee hatua na mikakati ya mbeleni tuliyo ipanga kama kuna msaada tuweze kuupatia”

“Tunakwenda wote”

Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi sana, kwani kauli hii sikuitegemea kabisa kutoka kwa Eddazaria, nikapata kigugumizi kizito ambacho kusema kweli hata kuzungumza neno nikajikuta nikishindwa kumjibu kabisa.

“Sawa”

Nilijibu kinyonge sana nikionyesha dhairi kwamba sijalifurahia jambo hilo.

“Niliwaona mulipo kuwa munatoka ila sikuweza kufika karibu na kuwasalimia, ila nitahitaji nikamsalimie huko hotelini kama utalala sawa”

“Sawa mpenzi wangu”

Nilijibu kwa furaha kidogo, Eddazaria akanisogelea na kunibusu mdomoni mwangu, kisha akatoka ofisini hapa. Masaa yakazidi kusonga mbele, ilipo timu saa moja usiku mimi na Eddazaria ndio watu wa mwisho kutoka hapa ofisini kwatu, kwani wafanyakazi wote wanatoka saa kumi na mbili jioni.

“Mungu atusaidie kwa kweli kwa maana tukishindwa kutengeneza filamu ambayo itakuwa ni tofauti kabisa, na kile ambacho watu wanakitarajia basi inaweza kula kwetu”

Eddazaria alizungumza huku tukizidi kusonga mbele kuelekea katika hoteli ya Serena.

“Usijali mpenzi wangu nitahakikisha kwamba kila jambo linakwenda sawa”

“Kumbuka kwamba wewe ndio muhusika mkuu wa hiyo filamu, so fanya kitu kizuri mpenzi wangu”

Eddazaria aliendelea kunisisitizia hadi tunafika hoteli hii ya Serena, tukashuka kwenye gari na kuelekea mapokezi, tukamuelezea muhudumu mtu ambaye tunamuhitaji, akampigia simu na kuzungumza na Nuru, baada ya kumaliza kuzungumza na Nuru akakata simu.

“Jojo unatakiwa kuingia ndani, ila samahani kaka wewe anadai kwamba hauna appointment naye”

Meneno ya muhudumu huyu akamfanya Eddazaria kunitazama kwa macho ya mshangao.

“Ahaa sorry ninaweza kuzungumza naye?”

“Hapana, huwa tunafata kile alicho kizungumza mteja wetu, unaweza kuelekea katika chumba ambacho nimekueleza”

Eddazaria akanishika mkono na kunisogeza pembeni kidogo kutoka katika eneo hili la mapokezi.

“Sikia, kuwa makini, sio lazima kuzungumza naye leo hata kesho ninaweza kuonana naye”

“Sawa mume wangu, ila najisikia vibaya kwa jibu lake alilo litoa”

“Yaa, muda mwengine utakuta mtu labda amevurugwa na anahitaji muda wa kuzungumza na mtu ambaye amemzoea, isitoshe mimi ni mwanaume labda anaweza akawa hapendi na mimi kukiona chumba chake.”

“Sawa”

“Poa lala salama, kesho nitakueletea nguo za kubadilisha”

“Mmmm nitachukua taksi inilete nyumbani wala usisumbuke mpenzi wangu”

“Sawa baby”

Tukaagana na Eddazaria na yeye akaondoka na mimi nikamsogelea humuhudumu huyo, akanitajia namba ya chumba ambacho ndipo alipo Nuru.

“Mmmm sidhani kama ninaweza kufahamu kilipo hicho chumba, ninakuomba twende wote”

Muhudumu huyu akamuita mwenzake, nikaongozana naye hadi kwenye chumba cha Nuru, nikawakuya walinzi wake wawili wakiwa nje. Nikagonga mlango, baada ya sekunde kadhaa mlango ukafungulia na Nuru, alipo niona kwa haraka akanikumbatia kwa furaha.

“Munaweza kwenda kupumzika sasa”

Nuru alizungumza mara baada ya kuniachia.

“Sawa mdam”

Walinzi wake hao wakaondoka mlangoni, akaufunga kwa ndani kwa haraka akanifwata sehemu nilipo simama, tukaanza kunyonyana midomo yetu huku viganja vya mikono yetu vikiwa na kazi ya kukatiza ktika kila kona ya miili yetu. Nuru kwa haraka akanivua nguo zangu na nikabaki na bikini niliyo ivaa. Akanilaza kitandani huku akivua nguo gauni lake la kulalia usiku.

Tukaendelea kupeana raha huku kila mmoja akihakikisha kwmaba anamnyonya mwenzake kila eneo la mwili wake. Nuru akaushusha mkono wake wa kulia hadi kwenye kitumbua changu na kuanza kukichezea kwa nje. Taratibu akaingiza kidole cha kati katika tunda lake, nikamuona sura yake ikibadilika na kutawaliwa na mikonjo kidogo.

“Jojo”

“Mmmm”

“Bikra yangu ipo wapi?”

Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa na akili yangu ikafanya kazi haraka kama computer.

“Nimejitoa mpenzi wangu, nilishindwa kujizuia, nilitumia mdoli wangu kujitoa”

“Una uhakika Jojo na unacho kizungumza?”

“Kweli vile mpenzi wangu, au unahisi kuna mwanaume ambaye anaweza kuniingilia mimi kimwili?”

Swali langu likamfanya Nuru kukaa kimya, nikamlaza Nuru chali kitandani, nikafungua mikanda ya bikini yake. Nikaitanua miguu yake na kuanza kumnyonya kitovu chake huku nikijitahidi kuhakikisha kwamba ninauchezesha ulimi wangu kwenye kitovu chake.

“Ahaa….aiiisiiisiiiaa….”

Nuru alilalama jambo ambalo kusema kweli ndio ninalo lipenda kwake kwani amejaliwa sauti nzuri ya kimahaba. Nilipo ona haitoshi nikaushusha ulimi wangu hadi kwenye kitumbua chake na kuanza kukinyonya taratibu, Nuru akazidi kulia kwa utambu.

“Jojo nakupenda, nakupenda mpenzi wangu”

“Nakupenda pia mpenzi wangu”

Nikazidi kuichezea kitumbua cha Nuru huku nikihakikisha kwamba ninaingiza vidole vyangu ndani ya kitumbua chake. Tukiwa katikati ya kupeana utamu, gafla kioo cha dirishani hapa kikavunjika na kuingia wagtu wawili wakiwa wamevalia nguo nyeusi huku sura zao wakiwa wamezificha kwa vitambaa vyeusi na mikononi mwao wamaeshika majambia mawali marefu yanayo meremeta huku macho yao yakitutazama kwa hasira kali sana.


“Ninyi ni kina nani?”

Nuru alizungumza huku sauti yake ikitetemeka kwa woga. Watu hawa kujibu kitu chochote zaidi ya kuanza kutusogelea kwa ajili ya kutuondoa maisha yetu. Kwa haraka nikalivuta shuka lililo karibu yangu, nikalikunga mithili kama ninalikamua maji. Nikasimama juu ya kitandani huku kwa ishara nikumuomba Nuru kukaaa pembeni ya kitanda ili niweze kukabiliana na wavamizi hawa. Wavamizi hawa kwa kuwatazama kwa haraka inaonyesha lengo lao ni kumuua Nuru kwani macho yao yote yapo kwa Nuru. Wakajaribu kunishambulia, ila kwa wepesi wangu na umahiri nilio kuwa nao na kufundishwa na bibi Sosiono, nikajikuta nikiwahimili hawa watu, kadri walivyo kajibu kumsogelea Nuru ndivyo jinsi nilivyo zidi kupambana nao kwa kuwapiga mateke ya kile sehemu kwenye miili yao huku shuka nililo likunja likinisaidia kuhakikisha kwamba ninayazuia majambia yao yasiweze kunipata mwilini mwangu. Kadri muda ulivyo zidi kwenda ndivyo nilivyo zidi kuwahimili wavamizi hawa. Pigo la teke nililo mpiga mmoja wao eneo la shingoni likamfanya aangukie meza ya kioo iliyopo ndani humu na ikaavunjika na yeye akatulia kimya.

Kwa haraka nikaokota jambia lake huku nikimtazama mwenzake huyu ambaye tayari woga ulisha anza kumtawala. Kitendo cha kulishika hili jambia, zikanirudisha kumbukumbu zanangu kipindi nilipo kuwa ninaagizwa na bibi Sosiono katika kuhakikisha kwamba ninawaangamiza maadui zake wote.

Mtu huyu akajaribu ninivamia pale alipo niona nimetulia, nikiwa katika usikivu mkali wa kuwaza nilicho kiwaza, kwa kasi ya ajabu nikapiga goti moja chini huku jambia hili nikilipitisha kwa nguvu kwenye tumbo mtu jambo lililo sababisha damu na utumbo wa mtu huyu kuanza kumwagika chini, huku akitoa ukelele mkali wa maumivu. Taratibu nikasimama huku nikimtazama mtu huyu mtu anaye akanza kupiga magoti chini taratibu huku akiwa ameshikilia tumbo lake. Nikamvua kitambaa chake kilicho funika sura yake na kukuta ni mwanaume mwenye asili ya Japan. Nuru alipo muona kwa haraka akashuka kitandanani huku macho yakiwa yamemtoka. Kwa haraka akamsogelea na kuchana nguo yake eneo la bega la kushoto, tukaona ana tattoo iliyo chora nyoka mwenye vicha saba.

“Shiitttti nilijua tu”

Nuru alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, jasho jingi sana likinimwagika, kwani shuhuli niliyo ifanya hapa sio ndogo kwa kweli, na laiti ningekuwa sijiwezi kwa lolote basi leo nami ningekuwa nimesha uwawa kikatili.

“Unawafahamu?”

“Ndio ninawafahamu. Ngoja nipige simu kwa uongozi wa hii hoteli”

Nikamtazama Nuru anaye tembea hadi pembeni ya kindana ilipo simu ya mkonga, akaanza kuminya minya namba na simu hiyo, kisha akaiweka sikioni mwake.

“Kuna uvamizi umetokea chumbani kwangu chumba namba elfu moja na mia mbili, ninahitaji msaada wenu sasa hivi”

Nuru baada ya kumaliza kuzungumza hivyo akakata simu.

“Jifunge taulo”

Nuru alizungumza huku akichukua nguo yake ya kulalia na kuvaa, sikuzungumza kitu chochote zaidi ya kulitupa jambia hili chini na kuingia bafuni, nikafungua maji ya bomba la mvua na kuanza kuoga huku picha ya tukio la kumuua mtu huyu ikianza kujirudia rudia kichwani mwangu. Hazikupita hata dakika mbili tukasikia mlango ukingongwa, baada ya muda mlango ukafunguliwa na nikaanza kusikia sauti za kiume zikiuliza ni kitu gani ambacho kinaendelea katika eneo hili.

Nikamaliza kuoga na kujisafisha damu zote zilizo nirukia mwilini mwangu, nikachukua taulo na kuzifuta nywele zangu maji kisha nikatoka chumbani humu na kuwakta walinzi wa Nuru pamoja na wafanyakazi wa hoteli hii na walinzi wakiwa ndani ya chumba hichi. Kila mmoja akaonekana kushangaa sana jinsi mtu huyu aliye kufa kwa kukatwa tumboni.

“Huyu bado yupo hai anapumua”

Mlinzi wa Nuru alizungumza huku wakiwa wamesha mvua kitambaa mtu niliye mpiga na kuangukia meza hii ya kioo. Naye ni mwanaume na anaasili ya kijapani.

“Polisi wapo njiani kufika eneo hili”

Mzee mmoja aliye valia suti nyeusi alizungumza huku akimtazama Nuru usoni mwake. Hapakuwa na mtu aliye jishuhulisha na mimi kuniuliza maswali ya nini kilicho endelea, nikakaa kitandani huku nikiegemea ukuta.

“Aisee, wamevuja kabisa hichi kioo”

Mfanyakazi mmoja naye alizungumza.

“Sijui wametumia mbinu gani kwa maana vioo hivi ni bulletproff”

“Inakuwaje ulinzi wenu kwenye hii hoteli unakuwa ni mdogo kiasi hichi?”

Nuru alizungumza kwa ukali huku akimtazama mzee huyo.

“Samahani mama, hata sisi tunashangaa, ila hawa waakuwa ni wauaji hodari sana”

“Liti ingekuwa sijiwezi katika kupambana leo hii mimi na mwanangu tungekuwa tumesha kufa”

Nuru alizungumza kwa kujiamini jambo lililo nifanya nicheke kimoyo moyo kwani yeye ndio muoga namba moja.

“Aha….samahani sana mama na hongere kwa kazi nzuri”

“Bosi hawa watu ninawakumbuka”

Muhudumu mmoja wa kike alizungumza.

“Unawakumbuka kivipi?”

“Walikuja leo mchana na kukodi chumba cha gorofa inayo fwata, usawa na chumba hichi”

“Ahaa watakuwa walikuwa wananilia rada eheee?”

“Ndio”

“Madam unbatakiwa uvae nguo tuondoke katika eneo hili sio salama kabisa.”

Mlinzi mmoja wa Nuru alizungumza huku akimtazama Nuru usoni mwake.

“Jamani mungewasubiri askari waje kuchukua maelezo?”

Meneja huyo alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Jojo vaa nguo tuondoke”

“Sawa mama”

Nikachukua nguo zangu na kuingia bafuni, nikaanza kuvaa haraka haraka, nilipo maliza kuvaa nikaziweka nywele zangu vizuri kisha nikatoa bafuni humu na kuwakuta askari wakiwa tayari wamesha fika.

Wakaanza kumuhoji Nuru ni kitu gani kilicho tokea, akawaelezea kwamb tulikuwa tumelala, sasa wavamizi hao wakavunja kioo na kuingia ndani, yeye akachukua jukumu la kupambana nao huku mimi nikiwa nimejificha bafuni ili nisione kinacho endelea.

“Inabidi tuelekee kituoni?”

“Siwezi kwenda kituoni kwenu ikiwa maelezo nimesha yatoa. Usalama wangu hadi sasa hivi ni mdogo kama kuna wauji hawa hodari wametumwa kuja kuniua basi ujue hata nikienda kituoni wanaweza kuniua tu”

Nuru alizungumza kwa ujali kidogo hadi polisi aliye zungumza swala la kuelekea kituoni akatulia kidogo akiwatazama wezake.

“Oda yangu ya kukaa hapa kwa kipinchi cha siku tatu ikateni, siwezi kuendelea kuaa hapa na muhojini huyo mtu, hakiksheni anawapa maelezo ni nani amewatuma na walikuwa wanataka nini kwangu. Utabaki kuongozana nao hao polisi kwenda kumuhoji huyo mtu sawa”

“Sawa mkuu”

Mlinzi aliye pewa jukumu hilo aliitikia, mimi na Nuru pamoja na walinzi wake watatu tukatoka chumbani hapa. Tukaingia kwenye lifti na taratibu ikaanza kushuka chini.

“Saa ngapi hapo?”

“Saa saba madam”

“Tunakwenda wapi muda huu?”

Nilimuuliza Nuru huku nikimtazama usoni mwake.

“Hata sielewi kwa mana nimesha pata wasiwasi.”

“Twende nyumbani kwangu”

“Nyumbani kwako kutakuwa na usalama kwa kweli?”

“Ndio”

“Sawa kama ni hivyo”

Tukaingia kwenye gari, huku walinzi wakiwa wakiwa wamepanda katika gari lilalo tangulia mbele yetu. Nikatoa simu yangu na kumpigia Eddazaria, simu yake ikaita kwa muda kisha ikapokelewa.

“Eddy”

“Mmmm, vipi?”

“Tunakuja nyumbani na mama”

“Usiku huu?”

“Ndio”

“Kuna nini kinacho endelea?”

“Tutakuja kuzungumza huko huko”

“Ila upo salama lakini?”

“Yaa nipo salama”

“Poa”

Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu.

“Jojo”

“Mmmmm”

“Asante”

“Kwa….?”

“Ni kwa mara nyingine leo umeyaokoa maisha mbele yangu, umepambana kwa ajili yangu asante sana”

“Usijali nimekuambia nipo kwa ajili yako”

“Nazidi kukuamini Jojo”

Nuru alizungumza huku akinishika kiuno changu na kukiminya minya taratibu.

“Niambie wale walio taka kukuua wewe ni kina nani?”

Nuru akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akinijifikiria.

“Ni story ndefu Jojo”

“Niambie kwa ufupi nipate kukuelewa na sihitaji unifiche kwa jambo lolote”

“Wale vijana ni watu wa tajiri mmoja kutoka nchini Japan, tajiri huyo mimi na yeye ni mwaka wa tano sasa tuna bifu la chihi chini. Kuna mizigo fulani hivi aliwahi kunidhulumu kisha akatengeneza mazingira ya kuonyesha kwamba mzigo huo ulio kuwa kwenye meli umeteketea kwa moto. Ila upelelezi wangu ukabaini kwamba mzigo huo haukuteketea kwa moto waliubadilisha katika meli nyengine na wakaweka makontena matupu kisha wakailipua”

“Ulikuwa ni mzigo wa nini?”

Nuru akaka kimya huku akinitazama machoni mwangu.

“Niambiea ni mzigo wa nini?”

“Ahaa…ni mzigo wa ngazi za wanyama na pembe za ndovu, ambazo thamani yake ilikuwa ni kama dola za kimarekani bilioni ishirini”

“Mmmmm”

“Yaaa ni pesa nyingi, aliniahidi atanilipa ila hadi sasa hivi hajanilipa anakazi ya kunitumia watu ili mradi waniue ila Mungu mwenyewe ndio ananisaidia tu”

Nuru alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Pole sana mpenzi wangu”

“Asante”

“Dereva wapite hao nikuelekeze njia ya kwenda nyumbani”

“Sawa”

Dereva wa gari letu akalipita gari la walinzi walio tangulia mbele, kisha nikaanza kumuelekeza njia ya kuelekea nyumbani kwangu.

“Ila kwa hili haki ya Mungu lazima nilipize, lazima na mimi nilipize”

“Ngoja kwanza Nuru, kama ni kulipiza kisasi unatakiwa kujipanga na uwe na mtu anaye weza kuifanya hiyo kazi?”

“Sawa ila nitahakikisha ninalipiza, kwa nini niishi bila amani au kwa sababu mimi ni mwanamke ehee?”

“Kuwa mwanamke sio sababu ya wewe unatakiwa kuwa mnyonge, ila huyo mtu mwenyewe labda ana kitu gani ambacho wewe unashindwa kumsogelea karibu?”

“Yeye hana makazi maalumu na si mtu wa kuonekana kiurahisi hivi hivi, nakumbuka nilionana naye kipindi ninahitaji huo mzigo, na nikampatia pesa zangu, ila baada ya hapo tulikuwa tunazungumza kwenye simu hadi ikafika hatua ya mimi na yeye kugombana ndio tukaingia kwenye vita kama hiyo”

“Kunja kushoto na simama hapo kwenye nyumba ya pili yenye geti jeusi”

“Sawa”

Dereva akafanya kama nilivyo mueleza, akasimisha gari getini, akapiga honi mara mbili na geti likafunguliwa, taratibu madereva wakaingiaza magari yetu haya ndani na kuyasimisha usawa na gari la Eddazaria lilipo simama.

“Dereva naomba utupishe mara moja”

Nuru alizungumza na kumfanya Dereva kushuka kwenye gari na kutuacha sisi wawili.

“Unataka kufanya nini Nuru?”

“Nina hamu na wewe mpenzi wangu bado?”

“Hapana Nuru, tupo nyumbani kwangu, ninakuomba heshima itawale hapa ninaishi na kaka yangu sinto penda ajue kama mimi na wewe tuna huo mchezo sawa”

“Sawa, ila nakuomba hata unibusu”

Kwa haraka nikamshika Nuru nyuma ya shingo yake na kumsogeza karibu yangu na kuanza kumnyona midomo yake, tukiwa katikati ya kunyonyana midomo mlango wa mbele ukafunguliwa, na macho yangu yakamuona Eddazaria jambo lililo nifanya mapigo yangu ya moyo kuanza kunienda kasi sana kwani hatambui kama mimi na Nuru tuna mahusiano ya jinsia moja na wala Nuru hatambua kama mimi na Eddazaria tuna mahusiano ya kimapenzi.



Kwa haraka Nuru akausogeza mdomo wake sikioni na kumpumbaza Eddazaria, aone kuna kitu cha siri ambacho Nuru ananiambia.

“Ohoo samahani jamani”

Eddazaria alizungumza huku akitaka kuufunga mlamgo wa gari hili.

“Hapana Eddy, unaweza kuingia”

Nuru alizungumza huku akiwa na tabasamu pana usoni mwake, Eddazaria akapanda na kukaa siti ya mbele na kuufunga mlango.

“Shikamoo mama”

“Marahaba Eddy, samahani bwana kwa kukusumbua usiku usiku huu, kule tulipo kuwa kuna matatizo kidogo yametokea”

“Ni matatizo gani tene mama?”

Eddazari aaliuliza huku macho yakiwa yamemtoka akionyesha dhairi kwamba habari hiyo imemstua sana.

“Kuna watu walikuja kutuvamia kule, ila tunashukuru Mungu tumetoka salama salami”

“Jojo upo poa?”

“Yaa”

“Umepooza hadi ninaogopa?”

“Eddy usijali atakuwa salama, kikubwa ni kumpa muda wa kupumzika”

“Sawa munaweza kushuka kwenye gari”

“Sawa nakuomba utupishe japo dakika mbili tuzungumze”

“Sawa mama”

Eddazaria akashuka kwenye gari na kutuacha sisi wawili, nikashusha pumzi kwa maana woga wa fumanizi ulinitawala hadi nikapoteza furaha.

“Kuwa na amani hajatuona”

“Mmmm nimejikuta nikishindwa hata kuzungumza kwa kweli”

“Kwa nini unamuogopa?”

“Haa….wewe unacho kiona tunacho kifanya ni kizuri kwa watu kujua?”

Nilimuuliza Nuru huku nikiwa nimemkazia macho, akaka kimya kwa sekunde kadhaa huku akinitazama usoni mwangu.

“Sawa mwaya, ila si tunalala wote”

Nikaka kimya kwa muda kidogo, kisha nikatingisha kichwa hukumkubalia kwa jambo alilo lizungumza. Tukashuka kwenye gari, tukaongozana na Eddazaria hadi sebleni.

“Waooo umejitahidi mwanangu”

“Asante mama”

“Jamani mumekula?”

“Kwa upande wangu sijisikii kula kwa kweli”

Nuru alizungumza huku akijishika shika tumbo lake.

“Mimi nina njaa, mama twende ninakuonyeshe chumba cha kulala”

Nilizungumza huku kumuondoka Nuru hapa sebleni, tukapandisha gorofani na kuingia naye chumbani kwangu. Nuru kwa haraka akanikumbatia na kuanza kuninyonya lispi zangu.

“Baby tupo nyumbani bwana”

“Ila si tupo chumbani au unahisihuyo kaka yako anaweza kuja chumbani kwako?”

“Hapana ila hapa nilipo viungo vyangu vyote vinaniuma”

Ilinibidi kusingizia hilo swala.

“Sawa mpenzi wangu, nilijisahau kwa hilo ila samahani sana”

“Usijali mpenzi wangu, ngoja nikachukue chakula”

“Sawa”

Nikatoka chumbani humu huku nikishusha pumzi nyingi sana. Nikafika sebleni na kumkuta Eddazaria akiwa anaandika andika hadithi kwenye laptop yake. Nikapitiliaza moja kwa moja hadi jikoni

“Chakula kipo hapo mezani”

Eddazaria alizungumza baada ya kuniona nimetoka jikoni nikiwa mikono mitupu.

“Sawa”

Nilizungumza kimkato na kukaa kwenye moja ya kiti kilichopo karibu na meza ya chuakula. Eddazaria akaacha kazi alizo kuwa akizifanya na kuja kukaa kwenye kiti cha mbele yangu, akaanza kunitazama jinsi ninavyo hangaika kufungua hotpot hili la chakula.

“Jojo?”

“Mmmm”

“Upo poa?”

“Kiasi”

“Kuna sehemu yoyote ambayo umeumia?”

“Hapana”

Nikafanikiwa kufungua hotpot hili, nikapakua chakula hichi ambacho ni wali na mharage, nikaanza kula taratibu huku moyoni mwangu nikimuomba Mungu sana hawa watu wawili wasionyeshe dalilili yoyote kwamba wana mahusiano na mimi.

“Ukiwa sawa utanijulisha, kuna hadidhi ninaiandika hapa”

“Poa”

“Ila mbona majibu ya mkato mkato?”

“Eddy sijisikii vizuri, nakuomba uniache tu”

“Sawa”

Eddazaria akanyanyuka na kurudi kwenye sofa, nikamaliza kula chakula, nimfwata Eddy kwenye sofa alilo kaa, nikambusu shavuni baada ya kuhakikisha kwamba hakuna dalili yoyote ya mtu kutuona.

“Usiku mwema baby badae”

“Sawa”

Nikarudi chumbani na kumkuta Nuru akiwa amejilaza kitandani kimitego kwani makalio yake yote yapo juu. Nikavua nguo zangu na kuingia bafuni, nikajimwagia maji na kurudi tena chumbani.

***

Asubuhi na mapema Nuru akaondoka na walinzi wake kuelekea hotelini kwa ajili ya kujiandaa kwa mikutano ya wafanya biashara iliyo mleta hapa nchini Tanzania. Ilipo timu muda ya saa mbili asubihi nikaingia chumbani kwa Eddazari na kumkuta akiwa anatoka chumbani kuoga. Nikamsogelea na kusimama mbele yake, tukatzamana kwa sekunde kadhaa kisha taratibu tukaanza kunyonyana midomo yetu kwa hisia kali sana. Eddazaria taratibu akaninyanyua na kunilaza kitandani huku akinitazama kwa macho yaliyo jaa uchu mkali wa mapenzi kwani kwa mizunguko tulio ifanya kwa wiki mbili sasa imetunyima hata uhuru wa kuweza kukutana kimwili.

Taratibu Eddazaria akanipandisha kigauni changu cha kulalia juu kidogo, kisha na mimi nikalivuta taulo alilo jifunga kiunoni mwake, na kumkuta Jogo wake akiwa tayari amesha simama.

“Mama yako bado yupo?”

“Hapana amesha ondoka”

“Ahaaa”

Taratibu tukaanza kupeana utamu huku sote tukijitahidi kila mmoja kumfurahisha mwenzake, kusema kweli hapa ndipo ninapo anza kuamini kwamba mwanaume ni mwanaume na mwanamke mwenzangu ni mwanamke mwenzangu, na kuna asilimia nyingi sana ambazo tunanyimana tukiwa mwamke na mwanamke. Tukamaliza mzunguko huu wa kwanza kwa dakika kama arobaini hivi, ikatulazimu sote kuingia bafuni na kuoga. Tukajiandaa na kueleke ofisini kwetu.

“Kesho ndio siku husika ya kuanza ku-shoot filamu umejiandaa?”

“Yaa nimejiandaa poa tu”

“Sawa, kikubwa ujiamini, elewa script, sihiji uwe na mawazo yoyote sawa”

“Sawa mpenzi wangu, nitahakikisha kwamba sikuangushi kabisa katika hili”

“Nategemea mambo mazuri kutoka kwako”

Tukafika ofisini, na kila mmoja akaendelelea na majukumu yake kama kawaida.

***

Siku iliyo fwata ikawa ni siku maalumu sana kwangu na hata katika kampuni ninayo imiliki, siku hii macho ya watu wengi sana yapo kwangu. Nikiwa nimevalia mavazi yangu maalumu meusi yenye vimetometo vingi pamoja na kinyago cheusi, huku mikononi mwangu nikiwa nimeshika bastola mbili. Ninasimama juu ya kontena la gari aina ya scani, huku nikitazama watu wanao fanya mazungumzo chini ya kontena hilo.

“Upo tayari”

Eddazaria alizungumza huku akiwa ameshika kipaza sauti akiwa umbali kidogo kutoka eneo ambalo tukio hili la filamu linatakiwa kutumika. Nikamnyooshea kidole gumba kwamba nipo tayari.

“Action”

Alizungumza na kunipa ruhusa ya kuruka kutoka juu ya kontena hilo kwa kujizungusha mara mbili kutoka hewani. Nikatua katikati ya watu watu hawa.

“Pause”

Eddazaria alizungumza huku akisogea karibu kabisa.

“Action”

Kama maelezo ya kipengele hichi kinavyo sema, nikaanza kuwashambulia hawa watu kwa kupambana nao. Makamera man wapatano sita wote kila mmoja ana jukumu la kuchukua matukio ya filamu hii. Hadi ninamaliza kipengele hichi jasho jingi linanimwagika usoni mwagu. Watu wanao tutazama ambao ni wafanyakazi wa kapuni yangu wakaanza kupiga makofi, huku Eddazaria akitingisha kichwa akiwa amejawa na tabasamu pan asana usoni mwake.

“Safi sana baby”

Eddazaria akanikumbatia kwa furaha sana ikiwa ni ishra ya kunipongeza kwa kazi ngumu na nzuri niliyo ifanya

“Ahaa, kumbe kuigiza ni kazi hivi?”

“Yaaa na bado kuna kuna vipande vigumu vinakuja mbeleni, unacho takiwa ni kuituliza akili yako sawa mpenzi wangu”

“Sawa”

“Make up mtu wenu”

Eddazaria alizungumza na watu wanao shuhulika na swala la kunipodoa, wakanichukua na kunikalisha kwenye kiti, wakaanza kunifuta jasho linalo endelea kunimwagika. Wakaanza kunipodoa na vipodozi vyao, kama ilivyo mara ya kwanza.

“Jojo kipengele kinacho fwata, unaonekana unafungua hili kontena, si unaikumbuka hii sceen”

“Ndio”

“Okay, nahitaji ukimya waungwana jiandae”

Eddazaria lizungumza kwa kutumia kipaza sauti huku huku jasho likimwagika usoni mwake. Eddazaria akanielekeza sehemu ambayo ninatakiwa kusimama, nikasimama eneo ambalo ndipo nilipo wapiga watu wanne nilio kuta wakijadilana vitu. Watu hao wakalala chini kama mara ya kwanza.

“Action”

Nikaanza kutembea kwa kunyata huku nikiusogelea mlango wa kontena hili huku nikiwa makini sana. Nikafungua mlango wa kontena hili, gafla nikajikuta nikistuka sana hata bastola nilizo zishika nikaziangusha chini jambo lililo mfanya hata Eddazaria mwenyewe kusttuka sana na kuanza kuja kwa kasi sehemu nilipo simama huku nikitetemeka.



Eddazaria akafika katika eneo hili niliso simama, akajikuta akishusha pumzi nyingi huku akionekana kunishangaa sana. Watu waliomo ndnaiya hili kontena walio pakwa pakwa madamu mengi na kuvalishwa nguo za ajabu ajabu wakaanza kucheka huku wakitutazama.

“Unaogopa nini sasa?”

Eddazaria aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kwani hao watu muliniambia kama watakuwa hivi?”

“Ila si ulijua ndani ya contena kutakuwa na watu?”

“Ndio”

“Kuwa serios Jojo, kuna sceen nyingi leo tunatakiwa tuweze ku-shoot, vuta pumzi nyingi”

Nikafanya kama Eddazaria anavyo nielekeza

“Haya ishushe taratibu”

Nikaanza kuishusha taratibu, hii ikiwa ni njia ya pekee ambayo mtu unaweza kukabiliana na wasiwasi pamoja na mapigo ya moyo kwenda kasi.

“Upo wpo?

“Ndio”

Eddazaria akaifunga milango ya kontena hili, kisha akanigeukia.

“Wewe unamtamfuta mtu ndani ya hili contena, kazi yako ni kumchukua mtu hoyo na kumtoa humu ndani, hawa watu kutisha, utawapiga na kumchukua muhisika sawa”

“Sawa”

“Upo tayari”

“Ndio”

“Camera roll, after short, Jojo standbye and Action”

Eddazaria alizungumza mara baada ya kumaliza kunielekeza na kuondoka katika eneo hili. Alipo fika nyuma ya mmoja wa makamera man hawa kutoka china, akaniruhusu kwa kuniambia Action. Kama nilivyo fanya mara ya kwanza nikafungua mlango wa kontena hili. Kutokana tayari nimesha tambu ni kitu gani kinacho takiwa kuendelea, nikaanza kushambuliana na watu hawa wakutisha ambao wengine wameshika vishoka. Nilipo hakikisha kwamba nimemaliza kuwashambulia, nikamfwata binti aliye kaa kwa kujikunja pembezoni mwa kontena hili huku mwili wake akiwa amevaa chupi tu, nywele zake zimechanguka changuna na anatetemeka sana.

Tartaibu nikachuchumaa, huku kidole changu kimoja cha mkono wa kulia nikimgusa nacho chini ya kidevu na kuanza kumnyanyua taratibu uso wake alio tazama chini.

“Hei”

Nilimuita msichana huyu huku nikiendelea kumtazama kwa umakini.

“Ni muda wa kuondoka sasa”

Nilizungumza huku nikimshika mkono wake wa kulia, ila akaurudisha nyuma huku akiendelea kutetemeka. Taratibu nikasimama na kutoa simua yangu mfukoni, nikampigia bosi aliye nikabidhi kazi hiyo.

“Ndio bosi”

“Umefanikiwa”

“Ndio nimempata, ila ana wasiwasi”

“Mpatie simu”

Nikamuwekea simu msichana huyu sikoni mwake, akazungumza na bosi wangu, kisha msicha huyu yeye mwenyewe akanipa mkono wake, taratibu nikamnyanyua na kuanza kutoka naye humu ndani ya kontena taratibu. Kabla hatuja hatujatoka nje, binti huyu akaanza kumkanyaka kichwani mmoja wa watu hawa walio vaa vitu vya kutisha huku akilia na kuzidi kutetemeka.

“Pause”

Tuliisikia sauti ya Eddazaria, ikatufanya tusimameme pasipo kutingishika, akatufwata akiwa na watu wanao shuhulika na maswaha ya kudizaini matukio, watu hao wakaweka kitu kinacho fanania na ubobo wa binadamu chini ya kichwa cha mtu hiyo.

“Utakamganyaga maeneo ya haoa na kichwa kitaonekana kimepasuka sawa”

“Sawa”

“Okay after shot, action”

Msichana huyu akamkanyaga mtu huyo na kweli ubongo huo wa bandia ukatoka, jambo lililo nifanya nifumbe macho kwa sekunde kadhaa kisha nikayafumbua, msichana huyu akamtemea mate mtu huyo aliye mkanyaga kichwa na kupasuka kisha tukatoka ndani ya hili kontena.

“Simama hapo”

Nilizungumza huku nikimsogelea mmoja kati ya watu nilio wapiga kwa mara ya kwanza, nikamvua shati lake alilo livaa na kumvalisha binti huyu. Tukaanza kukimbia huku nikiwa nimemshika mkono wake wa kushoto.

“Cut, safi sana”

Eddazaria alizungumza huku akipiga makofi, akatufwata tulipo simama.

“Kazi nzuri, tuna dakika thelathini za kupumzika, kupoza makoo yetu na kupata chakula kidogo.”

Eddazaria alizungumza na watu wakaanza kutawanyika, tukaongozana na Eddazaria hadi kwenye gari kubwa ambalo ndio tumelitenga kama sehemu yetu ya kupumzika baada ya kuigiza na pia lina huduma mbalimbali ikiwemo friji ndogo tulio hifadhi vinywaji na matunda.

“Eddy “

“Mmmm”

“Ulifikiria nini kuiandika stori kama hii?”

“Mmmm, kwa sasa siwezi kujibu kwamba nilifikiria nini, ila itakapo kwisha ndio nitaweza kukujibu, kwa maana sasa hivi tunavyo toka hapa kuna sceen tunatakiwa kwenda kushoot, barabara ya kuelekea mkoani Tanga, kisha barabara ya Lushoto.”

“Tunakwenda na magari?”

“Yaa, kuna gari zaidi ya kumi zipo ambazo tisa zitakuwa zinawafukuzia na huko njiani tutaziharibu haribu. Mimi na baadhi ya makamera man tutakuwa tunatumia helicopter, japo kuna makamera man ambao watakuwa wapo chini. Tukimaliza sceen hizo, basi hizo nyingine zinazo fwata ni za kawaida, hizo ndio sceen ngumu tunazo takiwa kuzifanya leo na kesho”

“Mmmm kazi kweli kweli, waacheni wasanii wa nje walipwe pesa nyingi aisee”

“Tena shukuru sisi tuna vifaa vingi kwa hiyo kuna baadhi ya matukio hatuyarudii rudi, kuna wengine wana kamera moja au mbili, basi kuna baadhi ya matukio ni lazima wayarudie ili kuipamba filamu yao”

Nikataa kunywa maji ya baridi ila Eddazaria akanizuia.

“Una tukio la kupambana mbeleni hapo, maji ya baridi yatakukosesha pumzi”

“Ohooo jamani”

“Yaa kunywa maji yaa moto yatakusaidia”

“Eddy”

“Mmmmm”

“Ila pole”

“Pole ya nini?”

“Kazi ya kuogoza filamu ni ngumu?”

“Kiasi chake ila tutamaliza leo ni siku ya kwanza tu”

“Ahaaa, ila Mungu akitusaidia hii filamu ikitoka, haki ya Mungu heshima tunapata”

“Ndio kitu ninacho muomba Mungu kila baada ya sceen kuisha kama vilivyo ikusudia”

Mlango ukagongwa, Eddazaria akapiga hatua hadi mlangoni na kuufungua mlango huo, akaingia dokta Clara akiwa amevalia koti jeupe la kidaktari.

“Eheee shosti pole sana na hongera kwa kujua kupigana”

“Hahaaa, wapi tunaigiza tu”

“Mmmmm ungekuwa ni kuigiza, kila kitendo ungekuwa unafundishwa, ila kusema kweli kila mmoja huko anakusifia na kukuaminia kwamba utaibeba hii filamu”

“Mungu asaidie”

“Bwana kaka naona jicho unalitoa, mkeo akiigiza”

“Hahaahaa……simuangalii yeye peke yake, hata watu wengine ninawaangalia”

“Na wewe pia hongera”

“Asante, hakuna mtu mwenye matatizo matatizo ya kiafya huko?”

“Hadi sasa kwenye kitengo changu sijapata mtu anaye jihisi vibaya mwilini mwake.”

“Ina bidi Clara apate sceen yake ya kucheza na yeye?”

“Mbona anayo, sikukuambia tu”

“Weeee”

“Tutaonana Lushotoooo”

Dokta Clara alizungumza huku akitoka ndani ya gari hili.

“Jojo gari zilizo kuwepo hapa zote ni Toyota, ila hii ni new model, wanayo itarajia kuitoa mwaka huu mara baada ya filamu hii kutoka”

Eddazaria alizungumza huku akinionyesha gari hizi ambazo kusema kweli ni nzuri sana.

“Gari langu hapa ni lipi?”

“Lenye rangi nyeusi”

Mlango ukagongwa, nikaruhusu mtu anaye gonga kuingia. Akiangia kijana mmoja ambaye simfahamu kwa maana katika kampuni yangu hii.

“Mkuu tuna dakika tano kabla hatujaendelea”

“Oohoo sawa, Jojo malizia kunywa maji yako tukaianze safari”

Kijana huyu akatoka ndani humu na kutuacha sisi wawili, taratibu nikasimama na kumsogelea Eddazaria sehemu aliyo egemea, nikaipitisha mikono yangu kiunoni mwangu na kukishika kiuno chake huku nikimtazama usoni mwake.

“Eddy ninakupenda sana, nashukuru kwa kila kitu unacho nitendea kwenye maisha yangu”

“Nashukuru nawe pia mpenzi wangu, kwa maana umenifanya nitimize ndoto zangu za kipindi kirefu”

“Usijali mpenzi wangu”

“Hivi Diana anarudi lini Tanzania?”

“Mmmm baada ya siku kama kumi hivi”

“Aahaaa, atakuta tumemaliza baadhi ya maeneo magumu ya hii filamu”

“Yaa”

Nikamnyonya Eddazaria lispi zake, kisha tukatoka pamoja humu ndani, tukaelekea hadi kwenye eneo ambalo dakika za mwisho ndipo nilipo kuwa nimesimama na msichana ambaye nimemepewa jukumu la kumuanda.

“Naamimi sasa hapa munategemeana katika kuchezeshana?”

“Ndio director”

“Johari, woga wako uwe vile vile, Jojo jukumu lako ni kumtoa Johari katika eneo hili. Kuna watu sita mbeleni watakuja wakiwa na suti nyeusi, wao ndio wahusika wakubwa wanao linda katika eneo hili, hakikisha kwamba unapambana nao na munatoka humu. Umenielewa?”

“Ndio nimekuelewa”

“Baada ya hapo kuna magari yamefunikwa pale mbele, ukifika, Jojo utafunua turubai la gari la mbele, baada ya kufunya hivyo munaondoka munaingia kwenye gari na kuondoka humu ndani”

“Sawa”

“Watu unao kutana nao tayari nimesha wapa maelezo ya kutosha, jiandaeni”

Eddazaria akaondoka, akasimama nyuma ya makamera man, akachukua kipaza sauti cha kubaba mkononi.

“Camera roll, all standbye. Action”

Tukaaendelea kukimbia na Johari huku nikiwa nimemshika mkono, kabla hatujafika mbele, tukakutana na vijana sita, Johari akazidi kuogopa.

“Hei kaa nyuma yangu”

Nilizungumza huku nikimtazama msichana huyu, tukaanza kupigana na vijana hawa.

“Cutt”

Sauti ya Eddazaria ikatufanya mimi na vijana hao kusitisha mapigano haya. Muongozaji mwengine wa maswala ya kupigana mwenye asili ya kichina, akatufwata katika sehemu tulipo simama na kuanza kuwaelekeza vijana hawa jinsi ya kurusha mateke. Alipo maliza akaondoka na Eddazaria akatuelekeza jinsi ya kupambana. Tukamaliza tukio hilo na kuhamia katika tukio la eneo la magari.

“Cut”

Eddazaria akatufwata sehemu yalipo magari huku akiwa ameongozana na makamera man wawili.

“Kuna kamera baadhi zitafungwa ndani ya hili gari kwa hiyo, tunaomba muda kidogo”

Kameraman huyo wa kichina wakaanza kufunga kamera ndani ya gari tunalo takiwa kuliendesha.

“Unajua mukiingia hapa, hamuta shuka hadi kufika Lushoto”

“Hatuto shuka?”

“Ndio, tunainza safari, kuna madereva maalumu kama tisa hivi watakuwa wanaendesha haya magari”

“Duu”

“Yaa gari zina mafuta full tank, Jojo hakikisha kwamba unakuwa makini sana katika uendeshaji wako”

“Sawa baby”

“Tayari, kwenye gari tumefunga kamera nane ndogo ambazo sio rahisi kwa mtu kuweza kuziogundua, pia kuna vinasa sauti, mazungumzo yote mutakayo kuwa manazungumza ndani ya hili gari yatakuwa yakisikika kwenye kamera zetu”

“Sawa”

Gari hili kikafunikiwa, Eddazaria akanibusu shavuani na kuondoka katika eneo hili.

“Action”

Kwa haraka nikalivuta turubai kubwa lililo lifunika gari hili, nikafungua mlango wa upande wa abiria na kumuingiza Johari, kisha kwa haraka nikazunguka upande wa pili na kuingia katika gari hili, nikaanza kufunua funiua kila eneo, nikafanikiwa uipata funguoa ya gari hili, nikaliwasha na kwa haraka tukaanza kuondoka katika eneo hili.

“Kwa nini unanisaidia?”

Johari alizungumza huku akiwa amejikunyata kwenye siti aliyo kalia.

“Funga mkanda wako”

Johari akafunga mkanda wa siti yake, kwa kupitia koo changu cha pembeni nikaanza kuona gari tatu zikitufwata kwa kasi.

“Jojo ongeza spidi?”

Johari alizungumza huku akiendelea kutetemeka, nikazidi kuongeza mwendo kasi huku nikitazama gari la mbele yetu lililo fungwa kamera maalumu nalo likizidi kwenda kasi sana. Gari lililopo mbele yetu ndio muongozo wa sisi kutonyesha ni wapi tunapaswa kupita, simu ikaanza kuita mfukoni mwangu na kukuta namba ya bosi wangu akinipigia.

“Nipatie ripoti”

“Mkuu tuna tatizo, kuna gari zinatukimbiza nyuma yetu”

“Hakikisha kwamba unawaua wote sawa”

“Sawa mkuu”

Nikakata simu na kuiweka pembeni, uzuri wa gari hii ni manual, nikaingiza gia kadhaa na kulipa uwezo gari hili kuzidi kwenda kasi. Gafla nikafunga breki za gari langu, kisha taratibu nikaligeuza kwa kasi ya ajabu na kugeuka kule tulipo tokea, nikanza kulirudisha gari langu nyuma kwa kasi huku nikiachomoa bastola moja na kufungua kioo cha pembeni na kutoa mkono wa kulia na kuanza kuwashambulia madereva hao.

‘Haki ya Mungu hii movie isipo nipa tuzo, kuna kijini kitakuwa kimetumwa’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kulifanya tukio hilo ambalo ninaimani kwa asilimia kubwa litaipendezesha filamu yangu hii, ninayo zidi kuitendea haki katika uigizaje wake.



Nilipo hakikisha kwamba kitendo hicho kimakamilika kama nilivyo pewa maelekezo yangu na director wangu, Eddazaria, nikaligeuza gari kwa haraka na kuendelea na safari hii. Tulio fika maeneo ya Chalize madereva wote tukaombwa kusimama na Eddazaria. Magari yote tukayasimamisha kwenye sheli moja iliyopo hapa Chalinze, baada ya muda nikamuona Eddazaria akija huku akiwa ameongozana na makamera man wawili. Watu wote wa eneo hili wakanza kutuzunguka wakitushangaa kama kawaida ya waswahili.

“Kazi nzuri sana, sijategemea kama unaweza kufanya hivi”

Eddazaria alizungumza huku akinikumbatia.

“Asante”

Nilizungumza kwa furaha sana, kila camera man akaanza kunipongeza kwa kila ambacho nimekifanya katika kipengele hichi cha kuigiza huku barabarani. Madereva wote wakatoka kwenye magari yao.

“Jamani tunashukuru sana kwa kazi nzuri ambayo kwa pamoja tunaendelea kuifanya. Tumetoka Dar es Salaam hadi mkoa huu salama, kitu tunacho kisubiria ni kupata ruhusa kutoka kwa mkuu wa mkoa wa hapa Pwani, kisha baada ya hapo tunaendelea na safari yetu.”

Eddazaria alizungumza huku akitutazama sote.

“Kitu kingine ninacho hitaji kuwakumbusha, hii barabara ina magari mengi yanayo kwenda mikoani na kuja mikoa ya huku tulipo. Kikubwa ni umakini wa hali ya juu ndio unatakiwa, japo kuna baadhi ya mabasi tayari tumesha wapanga madereva wake na makamera man wengine wapo kwenye hayo mabasi”

“Sawa director, kuna swali ninaomba niulize”

Dereva mmoja alizungumza huku akimtazama Eddazaria.

“Uliza tu kaka”

“Kwenye maelezo ya scripte, pale katika daraja la Wami, mimi gari langu linapoteza njia na kuzama kwenye ule mto sasa sijajua kuna trick gani ambazo zitatumia kuonyesha hilo”

“Usijali kaka, hapa kuna wataalamu wa graphics, na kuna hizi seen ambazo tayari zimesha editiwa kwa asilimia tisini munaweza kuja kuziona.”

Eddazaria alizungumza huku akiwa ameshika tablate kubwa mkononi mwake, watu wote tukamzunguka na kutazama. Nikajikuta nikishika mdomo huku mwili mzima ukinisisimka, kwani katika lile tendo la mimi kugeuza gari kwa kasi na kuanza kuliendesha kurudi nyuma, yale magari niliyo kuwa ninayashambulia kwa risasi yanaonekana yakipasuka pasuka vioo vyake ikiwa hakuna gari lililo vunjika kioo na risasi tunazo zitumia ni risasi baridi ambazo haziwezi kumua mtu.

“Duuuuu”

Dereva mmoja alishangaa sana, ambaye gari lake linaonekana kupasuka vioo kwa risasi zangu.

“Hichi ndio kitu ambacho ninakizungumzia, huko njiani kuna matukio makubwa sana ambayo mutakutana nayo, ila yote hayo yatatengezea kitaalamu kama hivi”

“Kum**ke walai, nyinyi sio watu wazuri kwa keli”

Dereva mwengine kwa furaha alijikuta hadi akitukana na kutufanya watu wote kucheka.

“Yaa ndio maana nikisema kwamba hii itakuwa ni the best movie ambayo kwenye ndoto yangu ninaifikiria fikiria Hollywood kwa mbali”

Eddazaria alizungumza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana.

“Hahahaaa”

“Kaka nakuambia kwa mfumo huu, kum**ke lazima tutoboe Hollywood, yaani vitu international”

Madereva hawa waliendelea kuzungumza kwa furaha sana, Eddazaria akamkabidhi mmoja wa madereva tablate hiyo kisha tukasogea pembeni huku akiwa amenishika mkono wangu.

“Unajisikiaje?”

Eddazaria aliniuliza kwa sauti ya upole sana.

“Nipo poa mpenzi wangu”

“Nashukuru kusikia hivyo mpenzi wangu, kusema kweli sijutii kuandika hii story”

“Kwa nini?”

“Yaani kila kitu unacho kifanya, ni kile ambacho nimekifikiria kwenye akili yangu, yaani hadi muda mwengine ninatokwa na machozi ya furaha”

“Hhahaaa, nilikuambia kwamba nitakufurahisha”

“Nashukuru, hapa tukipata kibali tunaianza safari”

“Nani amekifwatilia?”

“Yule msaidizi wangu.”

“Ahaaa”

Ukimya kidogo ukapita kati yetu huku tukitazamana usoni mwetu. Kwa wingi wa watu walio jazana hapa sheli unaweza kuhisi wanashuhudia kitu ambacho ni cha ajabu sana kwao. Eddazaria akatoa simu yake mfukoni na kunza kuiminya monya.

“Unampigia nani?”

“Clara, nataka kumuuliza wemefikia wapi na magari mengine”

“Ahaa”

Eddazaria akaiweka simu yake sikioni.

“Clara niambie?”

“Mumefikia wapi?”

“Duuu ndio mupo Kibaha?”

“Aisee sisi tupo Chalinze sasa hivi”

“Poa tunatonana mbele ya safari”

“Okay”

Eddazaria akakata simu.

“Wanakwenda kwa mwendo wa taratibu ehee?”

“Hapana unajua sisi tumeachiwa nafasi kubwa sana barabarani, ndio maana unaweza kuona baadhi ya mabasi, maroli yalikuwa yanatupa uhuru wa kuyapita. Mengine yamefungwa karma za siri ambazo zote zinatumika katika kuchukua matukio pale tunapo yapita”

“Hee, hivi Eddy mambo yote hayo muliyafanya saa ngapi?”

“Timu niliyo iandaa, ndio imenisaidia kwa kila jambo”

“Yaani tukimaliza hii filamu inabidi tufanye bonge moja la sherehe”

“Hahaaa sawa ni wewe tu”

Kijana aliye agizwa na Eddazaria kwa haraka akafika katika eneo hili, akamkabidhi Eddazaria karatasi nyeupe aliyo itoa kwenye bahasha kubwa ya kaki, akaanza kuisoma.

“Poa, ameturuhusu”

Eddazaria alizungumza huku akimrudishia kijana huyo karatasi hiyo,tukarudi kwenye magari yetu, Eddazaria akatufwata kwenye gari letu na kuinama.

“Johari vipi?”

“Safi director”

“Unaamuonaje dereva wako?”

“Mmmm hata kama ni kuigiza kwa kweli, muda mwengine nahisi utumbo inanicheza”

“Hahaaa, unakucheza kwa woga au njaa?”

“Wogaa, kama ingekuwa ni njaa tu ningeomba chakula”

“Hahaaa”

“Johari muoga, muda mwengine namuona hivi hivi anavyo fumba macho kwa kuogopa”

“Hahaaa, Johari hakuna tatizo baya litakalo jotokeza jiamini bwana”

“Ahaa, haya jamani”

“Nawatakia safari njema. Jojo take too itapigwa ukiwa unatoka huku na unakatika katika hii barabara na unaendelea na safari”

“Sawa”

“So utalirudisha gari hadi ile sehemu pale.Kisha baada ya hapo tunatembea”

“Wewe helicopter uliyopanda ipo wapi?”

“Ipo kuele nyuma kuna kijikiwanja tumetua hapo”

“Sawa”

Eddazaria akaondoka akazungumza na madereva wengine na wanaonekana wote kumuelewa, akaturuhusu kuanza kufanya matuko aliyo yazungumza. Watu wote wakaomba kutawanyika ili kulete uhalisia aombao ionekane ni tukio la kawaida, hata kama ni kushanga basi wasishangae kwa kukusanyika makundi makundi. Nikafika katika eneo ambalo niliambia na Eddazria, baada ya hapo nikaondoka kwa mwendo kasi, nikachepuka na kukatika katika eneo la sheli hii, kisha nikaendelea na safari huku magari hayo yakiendelea kunifukuzia kwa kasi sana.

Tukiwa katikati ya safari, gafla nikaonga gari nne za polisi zikianza kutufukuzia.

“Hawa nao vipi?”

Niliuliza huku nikiwatazama kwenye kioo che pembeni

“Jojo endelea, wapo kwenye script”

Niliisikia sauti ya Eddazaria ambayo kidogo ikanitoa wasiwasi nilio kuwa nao. Tukazidi kusonga mbele hadi tukafika eneo la daraja la Wami na Eddazaria akaomba msafara kusimamishwa, sote tukasimama, Eddazaria na watu macamera man anao tembea nao kwenye helicopter wakashuka katika helicopter hiyo iliyo simamishwa barabarani.

Gari la dereva aliye pangwa kuingizwa ndani ya mto huo wa Wami, likaanza kufungwa minyororo mirefu mabayo baada ya hapo ikainganishwa na helicopter hii.

“Kitu kinacho fanyika hapo gari utaielekezea kwenye mto, huku ukiwa unapiga makelelel. Helicopter hii italinyanyua gari mara baada tu ya kuingia kwenye maji sawa”

“Sawa director”

“Ila jamani nasikia kwenye huu mto kuna majini jamani gari lisije likashindwa kurudi”

Dereva mmoja alizungumza”

“Ni kweli director”

“Ila garisi limefungwa minyororo?”

“Mmmm director minyororo kwa majini wapi na wapi, inabidi hapa tufanye dua jamani”

Madereva hao wakaendelea kumshauri Eddazaria, akakubaliana na kila wanacho kisema, madereva wawili ambao ni waislamu wakanza kusali, baada ya hapo wakamfwata Eddazaria aliye simama karibu na gari langu.

“Director, bwana leo hii sehemu imekaa vibaya”

“Kivipi?”

“Majini ya hapa yanahitaji damu, sasa tunafanyaje?”

“Damu ya mtu au?”

Niliuliza huku macho yakinitoka kwa mshangao.

“Ya kiumbe chochote iwe mbuzi, au ng’ombe”

“Hapa ng’mbe tunampatia wapi?”

“Kuna vijiji vya wafugaji hapo juu juu, tunaweza kwenda na kutafuta”

Tukiwa katika majadiliano hayo, tukaona lori moja lililo jaza ng’ombe likitokea mikoa kati ya Arusha au Tanga. Madereva hawa wawili walio kuwa wanasali, wakalisimamisha, wakaanza kuzungumza na madereva wa lori hilo.

“Eddy na wewe unaamini hayo mambo?”

“Mambo yapi?”

“Kwamba hapa kuna majini?”

“Mmmmm Jojo nina amanini bwana kwa manaa hao majini si viumbe vya shetani”

“Yaa”

“Na unaamini kwamba shetani yupo?”

“Ndio nina amini”

“Basi ndio hiyo amini na hilo”

“Director tunakuomba”

Dereva mmoja alizungumza na kumfanya Eddazaria kuwafwata hadi eneo ambalo lori hilo limesimama.

“Ila ninasikia huu mto una mamba na hauna kina cha kusadikika”

Johari alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kweli?”

“Yaa, nasikia hapo hata lizame basi, basi kuja kuliona ni maajaliwa ya mwenyezi Mungu”

“Duuu”

“Yaani wee acha tu kuna historia histori marehemu mama yangu alikuwa akiniadisia juu ya hili eneo”

“Mmmmm wala usinisimulia, nitaogopa bwana”

“Hahaha kumbe na wewe ni muoga?”

“Hee nisiogope mimi nani jiamani, hayo mambo hayana ujasiri bwana”

“Hahaa”

Tukawaona watu wa lori hilo wakishusha ng’ombe mmoja aliye nona, wakaongozana na kina Eddazaria pamoja na madereva hao. Wakaanza kusali tena kisha wakaanza kumshichna ng’ombe hoyo huku damu yote wakiielekezea kwenye mto huo. Walipo maliza kufanya zoezi hilo, Eddazaria akarudi katike eneo ambalo tupo.

“Mumemaliza?”

“Yaa”

“Ahaa….mbona wamemdumbukiza yule ng’ombe kwenye maji?”

Niliuliza kwa mshangao huku macho yakinitoka

“Ndio kafara zenyewe hizo, sasa cha kufanya hapa, wewe unatakiwa kupita hapa darajani kwa kasi, huku nyuma tukio tulilo lipanga linatakiwa kufanyika”

“Sawa”

“Ila mbona kama una wasiwasi?”

Nikashusha pumzi nyingi sana kisha nikamjibu Eddazaria.

“Nipo sawa”

“Poa, ukifika kwenye kile kilima cha kupandisha pale uso wako utaangalia huko na utashuhudia hili gari likiwa linadumbukia ndani ya mtu sawa”

“Poa”

“Jojo naona umepoteza confidence”

“Nipo sawa Eddy”

“Poa”

“Baada ya kupita kile kilima”

“Utasimama na kutusubiria”

“Sawa”

Eddazaria akaondoka, nikafunga kioo cha gari hili. Akaturuhusu kwa kutumia ishara, nikawasha gari na kuondoka kwa kasi katika eneo hili. Tukapita katika daraja hili, na kweli nilipo fika kwenye kilima, nikageuza shingo yangu na kuona gari hilo likidumbukia mtoni. Nilipo kunja kona, tukaiskia sauti ya Eddazaria aktuomba tusimame. Nikasimamisha gari pembezoni mwa barabra sehemu ambayo hata madereva wa magari mengi ambayo hawapo kwenye filamu, wanaweza kutuona.

“Vipi gari limetoka?”

“Yaa, tumelitoa na dereva wake”

“Ohoo asante Mungu”

“Kumbe hapa unaweza kuzungumza na director na akakusikia?”

“Yaa ukiminya batani hii hapa unaweza kuzungumza na kukusikia”

“Director mazungumzo haya yanarekodiwa?”

“Yaa yanarekodiwa, ila yatakuwa behind the seen”

“Ahaaa sawa”

“Eddy what next”

“Subiri nitawaruhusu”

“Poa”

Tukaka ndani ya dakika kama nane hivi tukasikia sauti ya Eddazari ikituruhusu madereva wote kuendelea na safari na tukio letu limefanikiwa kwa asilimia mia moja. Nikawasha gari na kuendelea na safari hii, gafla nikaanza kuhisi kichwa kuniuma, nikajaribu kutingisha kichwa changu ili niweze kukaa sawa, ila ndivyo jinsi kilivyo zidi kuniuma na kujikuta nikianza kushindwa kulihimili gari hili na likaanza kuyumba kwa kasi na kutoka nje ya barabara jambo lililo mfanya Johari kupiga kelele kwa mana hili tukio sio la kuigiza na nitukio la ukweli ambalo linakwenda kuhatarisha maisha yetu.



Kwa ujasiri wa hali ya juu nikajitahidi kuhakikisha kwamba gari hili hapinduki japo limenishinda kabisa na kutoka nje ya barabara. Tukaparamia kichuguu kirefu kiasi na kwa bahati nzuri gari likasimama. Nikamtazama Johari na kukuta akiwa salama ila mwili mzima unamtetemeka, kadri nilivyo zidi kumtazama Johari ndivyo jinsi macho yangu yalivyo zidi kupoteza uwezo wa kuona, nikiajikuta nikiulalia mskani huu wa gari na kitu cha mwisho kukisikia ni honi kali ya gari hili ila kadri sekunde zinavyo zidi kwenda ndivyo jinsi honi hiyo ilivyo zidi kupotea katika uwepo wangu mawasikio na mwisho nikajikuta sisikii chochote kinacho endelea.

***

Sauti za mwanaume na mwanamke wanao zungumza, zikaanza kusikika masikioni mwangu, kadiri jinsi walivyo zidi kuzungumza ndivyo jinsi nilivyo weza kugundua kwamba ni Eddazaria pamoja na dokta Clara. Nikafumbua macho yangu taratibu na kukuta mrija mrefu ulio unganishwa na dripu ukiingiza maji taratibu kwenye mishipa yangu.

“Eddy”

Niliita kwa sauti ya uvivu sana, Eddy na dokta Clara ambao walikuwa wamekaa kwenye viti vilivyopo humu ndani wakageuka.

“Jojo”

Eddazaria alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti hicho, akasimama pembeni ya kitanda hichi huku dokta Clara na yeye akifika katika kitanda hichi.

“Unaendeleleaje?”

Dokta Clara aliniuliza huku akinishika maeneo ya shingoni.

“Najisikia kidogo afadhali?”

“Pole sana”

“Asante sana. Johari yupo wapi?”

“Ahaa yupo nje huko na wasanii wengine”

“Tupo wapi kwani?”

“Tumeweka kambi ya dharura hapa kabuki, kwa maana Clara hapa amekupima amesema una malaria kali sana”

“Ehhee”

“Jojo mara ya mwisho wewe kuumwa na malaria ni lini?”

“Duu ni siku nyingi sana, sijui nilipo kuwa darasa la kwanza ndio nakumbuka ilikuwa ni malaria ya mwisho kuumwa na nililazwa”

“Ndio maana hata hii imekulaza”

Dokta Clara alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Hivi inatokeaga kuwa hivyo?”

“Ndio mtu asipo ugua kwa muda mrefu na siku ikatokea akaugua, basi ujue kuna hati hati kubwa ya yeye kuuguzwa, isitoshe leo amefanya kazi kubwa sana huyu, nahisi vidudu vya malaria vilikuwa vimejificha”

“Nina vidudu vingapi vya maleria?”

“Kumi na mbili”

“Mmmmm”

“Yaa, yaani shukuru Mungu mwili wako ni wa mazoezi, ila ungekuwa tinginya tinginya basi sasa hivi tungekuwa tunazungumza mambo mengine”

“Alafu kitu kingine baby jitahidi kunywa maji”

“Yaa upungufu wa maji pia umechangia ukaumwa gafla”

“Na hili ni dripu la tano, Clara amekutundukia, yaani leo Jojo ungetuua kwa presha kwa kweli”

“Kwa nini?”

Niliuliza kwa sauti ya chini.

“Yaani nilivyo ona zile keshi keshi za gari lako, yaani ingekuwa sio yule kameramani Lee, kusema kweli ningejirusha kutoka kwenye helicopter ila aliwahi kunizuia”

“Masikini weee sasa si ungeumia”

“Ningeumia ndio, ila ndio mapenzi yenyewe hayo unadhani ningefanyaje”

“Mapenzi niueeee”

Dokta Clara alizungumza huku akitabasamu na kutufanya sote tucheke. Tukaendelea na mazungumzo ya kawaida, huku Eddazarai akituonyesha matukio mbayo ya filamu yangu ambayo tayari yamesha tengenezwa na mafundi mitambo wetu kupitia simu aina ya Tablate.

“Eddy kesho tunaendelea na kuigiza?”

“Hatuwezi hadi tupate ripoti ya Clara hapo.”

“Hali yako bado haijakaa fiti ukijaribu kuulazimisha mwili wako basi unaweza kupata tatizo kubwa zaiid ya hili la malaria”

“Jamani, yaani nikiona hayo matokea hadi ninapata mzuka”

“Hahaa mzuka ukupandie tu hapo kitandani ila si kwenye kuigiza tena kwa leo, kesho wala kesho kutwa”

“Heee ninakaa siku ngapi?”

“Hapa una siku nne za wewe kukaa bila kufanya kazi yoyote, tunahitaji kuitazama afya yako kwanza.”

“Sawa”

Siku hii ikapita huku nikipata shida sana ya kula, kila chakula nilicho letewa kwangu hakikuweza kunikaa mdomoni. Siku ya pili afya yangu ikaanza kuhimarika taratibu, nikapata hata nguvu ya kutoka nje ya contana kubwa la gari letu hili ninalo litumia mimi na Eddazaria kama chumba cha kulala na sehemu ya kupumzikia.

“Eddy unaenda nje?”

“Ndio”

“Niitie Johari”

“Sawa”

Eddazaria akatika humu ndani, baada ya dakika kama tatu hivi mlango ukagongwa, nikamruhusu anaye gonga mlango kuingia ndani. Johari akaingia huku akiwa amevalia suruali iliyo mbaya umbo lake hili la namba nane.

“Bosi unaendeleaje?”

“Kidogo afadhali, ila sipendi unite bosi jamani, wewe niite Jojo tu inayosha”

“Sawa”

“Vipi hukuumia?”

“Hapana sikuumia, ni mstuko tu shukushukuru Mungu tulikuwa tumefunga ile mikanda”

“Pole sana, hembu nenda kafunge mlango kwa ndani”

Johari akanyanyuka hapa ndipo nikapata nafasi yakuanza kumtazama Johari kwa nyuma, kusema kweli nyuma amajazia, kwa mara ya kwanza nilivyo muona na chupi sikumtilia maanani sana kutokana kuliwa na watu wengi sana na pia woga nilio kuwa nimeupata ulinifanya nisimfikiria kabisa. Johari baada ya kufunga mlango akarudi, taratibu nikaka kitako huku nikuweka mto nyima ya mgongo wangu na kuegemea taretibu.

“Kaa tu hapa”

Niluzungumza kwa sauti ya upole huku nikimuonyesha Johari akae katika chumba changu.

“Joahari”

“Mmmmm”

“Sahamani kwa kile kilicho toke siku ile, natambu ningesabisha ajali mbaya kwako”

“Hapana Jojo, unajua kila jambo Mungu ndio anaye panga, na kila jambo lina makusudi yake. Kwa hiyo usizungumze sana hivyo”

“NI kweli, ila kuomba msamaha ni jambo la kawaida kwa mwanadamu”

“Nimekuelewa mdogo wangu”

“Wewe una umri gani?”

“Miaka ishirini na mbili”

“Kweli umenipita”

Nikakitazama kifua hichi cha Johari jinsi kilivyo jazia vizuri, nikatamani kuupeleka mkono wangu kwenye kifua chake japo kushika maziwa yake ila nikashindwa kutokana na kumuonea aibu. Ukimya ukatawala huku nikijaribu kutafuta gia ya kumuingia Johari, japo nina umwa ila ninajikuta nikipata msukuno mkubwa wa kumtamani Johari.

“Maziwa yako umeyabana na siridia?”

Niluzungumza huku nikiishika shika tisheti ya Johari.

“Yaa kuna sidiria hizi zenye mikanda ya maji ndio nimevaa”

Johari alizungumza huku akijaribu kuishusha kola ya tisheti hiyo ila kutokana na kola hiyo kuwa ndogo ikamlazimu kuvua tisheti huyo, jambo lililo zidi kumchanganya zaidi Jojo.

“Sidiria hizi nzuri sana huwa zinayabana maziwa vizuri sana”

“Kweli, hembu cheki maziwa yako yalivyo banwa:

Niluzungumza huku nikiyaminya minya maziwa ya Johari. Johari hakuonekana kuhisi chochote zaidi ya kuendelea kuyaweka vizuri maziwa yake.

“Kweli, ila wewe Mungu amekubariki amekupa maziwa mdogo madogo haya hadi raha”

“Aaa wewe naamini mawaziwa yako yanawachanganya wanaume wengi”

“Hahaa wapi, wanaume wenyewe wanapenda vichuchu kama vyako”

Johari naye alizungumza huku akinishika maziwa yangu. Tukajikuta tukitishikana maziwa yetu pasipo kuzungumza kitu cha ina yoyote, kadri nilivyo zidi kumshika Johari maziwa yake ndivyo jinsi nilivyo muona analegea. Tatatibu nikaishika tisheti yake meneo ya kifuani mwake na kuanza kumvuta upande wangu. Midomo yetu imeachana sentimita chake kabla hata haijakutana. Nikailamba midomo yangu taratibu huku nikiendelea kumminya Johari maziwa yake kwa utaratibu mzuri.

Nikausogeza mdomo wangu karibukabisa na mdomo wa Johari, na yeye akaupokea mdomo wangu vizuri na tukaanza kunyonyana taratibu. Baada ya sekunde kama thelethini hivi ya kunyonyana midomo yetu Johari akautoa mdomo wake.

“Jojo unajua sijawahi kufanya kitu kama hichi”

“Kweli?”

“Yaaa, haki ya Mungu sijawahi kufanya kama ivi”

“Unaogopa”

“Jojo hii ni dhambi kuwa na mahusiano ya jinsia moja”

“Hujanijibu unaogopa?”

“Ndio Jojo ninaogopa”

Johari alizungumza huku mwmili mzima ukimtetemeka.

“Samahani kama nitakuwa nimekuudhi Johari”

Johari akashindwa hata kuzungumza kwa kutetemeka. Kwa haraka nikamvutia Johari kwangu nakuanza kunyonyana tena midomo yetu, huku nikihakikisha kwamba ninazihimili sehemu zake za mwili wake zenye hisia kali. Kwa haraka nikagundua kwamba sehemu ya maziwa ya Johari ndio ina hisia kali za kimapenzi. Nikamfungua sidiria yake na kuanza kumnyonya mawaziwa yake, jambo lililo mzidisha Johari kushindwa kuhimili kabisa hisia zake na kujikuta akitulia tu na kufwata kile ninacho kifanya mwilini mwake.

Nikamlaza chali na kuendelea kumnyonya maziwa yake, nikamshikisha Johari kiuno changu kwa manaa ninamuona amepooza sana. Galfa mlango ukagongwa na kutufanya tukurupuke kitandani. Johari kwa haraka akaichukua siridira yake na kuivaa , kisha akavaa tisheti yake.

“Nani?”

“Mimi”

Tulisikia sauti ya Eddazaria, Johari kwa haraka akakimbilia mlangoni na kuufungua.

“Director”

“Vipi?”

“Safi”

Johari alionyesha hali ya kujistukia.

“Heii toka nje leo hata watu wakuone bwana, unakaa ndani hadi watu huko wanawasiwasi mwingi”

“Sawa”

“Johari, Swedy anakuita”

“Sawa director”

Johari akatoka chumbani humu na kutuacha mimi na Eddazaria, nikavaa koti kubwa ili kuzuia mwili wangu kupata baridi. Tukatoka humu ndani na kuanza kutembea tembea katika eneo hili ambalo ndipo kambi yetu ulipo wekwa.

“Eddy watu wanaonekana wameboreka kwa kukaa hili eneo ehee?”

“Waboreke nini, ikiwa tunawalipa pesa za kutosha”

Nikasalimiana na wafanyakazi wangu na tukazungumza mambo mawili matatu. Kisha nikarudi kwenye sehemu yangu ya kupumzika baada ya kujihisi vibaya.

***

Baada ya siku tatu, nikarudi katika hali yangu ya kawaida huku nikiwa na nguvu za kutosha. Dokta Clara akatoa ripoti kawamba ninaweza kuendelea kufanya kazi. Nikavaa mavazi niliyo kuwa nimeyavaa kipindi nilipokuwa ninaigiza hata Johari mwenyewe akavaa kaama alivyo kuwa amevaa.

“Jojo, ninakuomba uwe makini sasa barabarani”

Eddazaria alizungumza huku akiwa amenitazama usoni mwangu.

“Sawa mpenzi wangu usijali”

Nikambusu Eddazari na kuingia kwenye gari hili.

“Eddy naomba script niipitie pitie”

“Sawa”

Nikaabidhiwa script ya filamu hii na kuanza kuisoma, nillipo hakikisha kwamba nimeielewa, nikamrudisha dada aliye nipatia scripti hii. Tukataazamana na Johari kwa sekunde kadha akisha nikaanza kusali kimoyo moyo ili Mungu aweze kutupa ujasiri kwani kusema kweli safari yetu bado ni defu.

“Upo poa?”

Nilimuuliza Johari anayeo nionea aibu.

“Yaa nipo poa”

“Sawa”

“Mupo tayari kila mmoja?”

Tuliisikia sauti ya Eddazaria akituuliza.

“Ndio”

“Okay, camera roll, action”

Tukaondoka eneo hili la barabarani kwa mwendo wa kasi huku gari mbili zilio fungwa kamera mbili zikiwa zimetangulia mbele huku zikiwa katika mwendo wa kasi sana. Safari yetu ikazidi kusonge mbele huku nikiendelea kufanya matukio kadhaa barabarani ambayo yote yameandikwa katika hadithi hii. Tukafika eneo la Mombo kwa kufwaya magari yaliyo tutangulia tukaanza kupandisha milima hiii kwa kasi huku tukikutana na kona ladhaa, ambazo tunakutana nazo.

Kwa kupitia kioo cha pembeni nikashuhudia gari analo endesha Swedy likiacha njia na kuporomoka kwenye gorongo kubwa lililopo eneo la hapa Soni, jambo lililo nifanya nisimamishe gari langu gafla, hata magari ya mbele nayo yakasimama. Johari akafungua mlango huku akilia kwa uchungu huku akimuita Swedy kwa jina la mume wake, jambo lililo nifanya nishikwe na mshangao huku nikiwa nimekaa tu kwenye siti yangu nikishindwa hata kushuka kwenye gari hili kwani kwenye hilo korogo garo hilo lilipo dumbukia sidhani kama kuna mtu atakuwa ametoka hai.



Nikashusha pumzi taratibu, kisha nikafungua mlango wa gari langu, nikatanguliza mguu wangu wa kulia kushuka, kisha mguu wa kushoto nao ukafwatia, nikajaribu kusimama ila nikajikuta nikiwa nimeishiwa nguvu hata za kusimama. Nikaegemea gari langu kwa sekunde kadha huku nikitazama jinsi watu navuo shuhulika katika kujaribu kuona ni jinsi gani wanaweza kumuokoa Swedy katika ajali hiyo. Mlipuko mkubwa ulitokea bondeni huko ukatufanya sote tuwe na hali ambayo kusema kweli hakuna aliye weza kujibu chochote. Nikamshuhudia Johari akianguka chini, madereva wengine pamoja na wasaidizi wa shuhuli hii nzima ya kutengeneza hii filamu, wakatunza kumsaidia, Johari na kumpa huduma ya kwanza.

Nikaanza kutembea kwa kujikaza, huku nikijitahidi kuhakikisha kwamba woga nilio nao haunizidi na kuniangusha chini kwani hata mimi mwenyewe mapigo ya moyo yananienda kasi sana. Moshi mwingi unao tokea chini ya korongo hilo, ukaanza kusambaa hewani. Nikastuka baada ya kushikwa mkono wangu wa kushoto kwa nyuma, nikageuka kwa haraka na kukutana na Eddazaria, ambaye macho yake yametawaliwa na uwekundu unao onyesha dhairi ametoka kulia muda mchache ulio pita. Nikamkumbatia Eddazaria kwa nguvu huku machozi yakianza kunimwagika usoni mwangu, gari za polisi na zima moto zikafika katika eneo hili. Taratibu za kushuka chini ya korongo hilo zikaanza, waukoaji maalumu kutoka katika jeshi la kuzima moto huku wakiwa na vifaa vyao vya kuokolea wakaendelea kupambana na moto huo kwa kuuzima.

Ajali hii ikasababisha msongamano mkubwa wa magari pamoja na wingi wa watu wakijaa kutazama ni nini kinacho endelea. Dokta Clara na kundi jengine la wasanii ambao wanatembea maskani pamoja na basi tulilo likodisha, nao wakafika katika eneo hili.

“Ohoo asante Mungu mupo salama”

Dokta Clara alizungumza huku akitukumbatia kwa nguvu. Taratibu tukaachiana huku nikijipangusa machozi usoni mwangu.

“Ilikuwaje kuwaje?”

Dokta Clara aliuliza huku akitutazama kwenye nyuso zetu zilizo jaa simanzi kubwa.

“Sipo sawa”

Eddazaria alizungumza, akaniachia mkono wangu na kuondoka aneo hili na kujitenga kabisa na watu wote walipo katika eneo hili. Nikataka kumfwata ila dokta Clara akanishika mkono wangu na kunizuia nisaifanye hivyo.

“Muache akae peke yake”

“Ila anahitaji mtu wa kuzungumza naye”

“Najua hilo, ila anaweza kukujibu chochote kibaya na kikakuudhi”

“Usijali, namjua Eddy sasa”

Nilizungumza huku nikiuachanisha mkono wangu na mkono wa dokta Clara alio nishika, nipandisha kijilima kidogo alicho kaa Eddazaria huku akiwa ameinamisha kichwa chake chini. Nikiwa hatua chache kutoka sehemu alipo kaa, nikasikia jinsi anavyo lia kwa uchungu sana hadi mishipa ya ya mikononi mwake imejitoke. Taratibu nikakaka pembeni yake na kumfanya ananyua uso wake na kunitazama, kwa mara nyingine kwenye maisha yangu ninamshuhudia Eddazaria akilia. Taratibu nikaupitisha mkono wangu shingoni mwake na kumlaza kichwa chake kifuani mwangu na kuendelea kubembeleza huku nami nikiwa ninamwagikwa na machozi ya kimya kimya.

“Jojo mimi ndio chanzo wa hii ajali”

Eddazaria alizungumza huku akiendelea kulia sana kwa uchungu.

“Shiiii….kivipi mpenzi wangu?”

“Ingekuwa si kuandika stori kama hii, Swedy wa watu leo asinge kufa, asinge acha mkewe na mtoto”

Maneno ya Eddazaria yakazidi kuniumiza moyo wangu sana.

“Mimi, mimi mwenyewe nilimuomba shem, nikamuambia mume wako afanye filamu hii, japo mke wake alikuwa hataki mumewe afanye hii filamau. Ona…..ona sasa ameukufa pale. Nitamuambia nini Mwanamkasi, eheee?”

Eddazaria alizidi kuzungumza huku akilia sana. Hapa ndipo nikagundua kwamba Eddazaria na Swedy ni watu wanao fahamiana kwa muda.

“Ahaaa…..nitasema nini, mwanae ndio kwana bado mtoto mdogo, ana miaka miwili tu, nitafanyaje sasa eheeee?”

“Eddy yametokea ya kutokea, na pia hatujajua kama amekufa au hajakufa kwa maana waokoaji wanaendelea kumsaidia huko chini”

“Jojo unasema nini, unasema nini Jojo, nimemshuhudika kabisa Swedy akipigiza kichwa kwenye kwenye jiwe, kwa maana gari zote zina kamera, na baada ya mlipuko hakuna kamera iliyo onyesha. Hata wakishuka kuokoa wataokoa nini sasa?”

Eddazaria alizungumza hadi makamasi yakaanza kumtoka kwenye pua zake, nikaanza kumfuta taratibu, kisha nikakumbatia kwa nguvu sana.

“Tazama, tazama”

Eddazaria alizungumza huku akijitoa mikononi mwangu, kwa haraka akatoa tasbii inayo tumiwa na waislamu katika kusali.

“Leo asubuhi aliniachia hii, na akianiambia niwe ninasali sali, kwa nini sasa, kwa nini amekufa hivi eheee?”

Sikuwa na kitu cha kuzungumza zaidi ya mimi uendelea kulia, kusema kwlei ninakosa neno la kumuambia Eddazaria. Simu ya Eddazaria ikaanza kuita, kwa haraka akaitoa mfukoni mwake, macho yakamtoka baada ya kuona jina lililo andikwa Shem Mkasi.

“Ohooo ona sasa, mke wake anapiga, nitamuambia nini , nitamuambia nini jamani”

Mapigo ya moyo kwa upande wangu nayo yakaanza kunienda kasi sana, kwani sijui cha kumshauri Eddazaria. Simu ikaita hadi ikakata, hazikupita hata sekunde tatu, simu ikaanza kuita. Eddazaria akakooa kidogo na kuajipangusa machozi yake, akaipokea na kuweka sikioni mwake.

“Shem”

Eddazaria alijitahidi kuzungumza na sauti ya kujikaza. Eddazaria akaweka loudspeaker na kunifanya na mimi niweze kusikia.

“Nampigia Swedy apatikani?”

Eddazaria akanitazama usoni mwangu, taratibu akashusha pumzi.

“Shem tupo katikati ya kuigiza”

“Ahaa sawa Shem, akiwa hewani muambia kwamba anipigie mtoto amelezwa hapa Kijitonyama, ana maleria”

Kusmea kweli maneno ya dada huyo yakaniumiza sana, nikamuona Eddazaria machozi yakizidi kumwagika usoni mwake.

“Sawa shem, anaumwa na nini?”

“Shem nimekuambia maleria”

“Ahaaa, so una pesa ya huduma?”

“Ndio Swedy alinitumia asubuhi laki mbili ya matumizi”

“Sawa nitakutumia na mimi baadae”

“Sawa shemeji yangu, vipi mbona kama haupo sawa”

“Ahaa nimechoka tu shem, si unajua kuigiza napo ni shida”

“Masikini wee pole, uniletee mke mwenzangu Jojo nimuone”

“Usijali shem nitamleta”

“Sawa shem, alafu shem nimesahau kitu, nakuomba umzuie zuie rafiki yako bwana huko wanawake wengi, mambo ya kuchepuka aache bwana”

“Usijali shem”

“Sawa shem, japo najua hata akichepuka huwezi ukaniambia, ila ukimzuia zuia na kumkumbusha kama ameacha mke na mtoto na tunampenda sana”

“Sawa shem badaye”

Eddazaria baada ya kuzungumza hivyo akakata simu yake na kuinama chini na kuzidi kulia, kwani alicho kuzugumza hapo chote ni uongo.

Tukaaka katika eneo hili kama dakika ishirini hivi, Eddazaria akasimama ikanilazimu na mimi kusimama. Hakunisemesha kitu chochote zaidi ya kuelekea eneo la tukio. Macamera man hawakuhitaji kupitwa na jambo lolote, nikamuona Eddazaria akizungumza na mmoja wa maaskari walipo katika eneo hili.

“Jojo”

Dokta Clara aliniita huku akinishika mkono, tukasogea pembeni kidogo.

“Vipi anaendeleaje?”

“Mmmm kuna kibarua kizuto”

“Kivipi?”

“Huyu aliye kufa hapa ni rafiki yake Eddy kabisa, na hapo alikuwa akizungumza namke wake”

“Amemuambia kwamba mumewe amekufa!!?”

“Hapana, hajamuambia, ila kuna shuhuli ya kumpanga mwanamke huyo na kuamini kwamba mume wake amekufa na ubaya kumbe Swedy ana mtoto”

“Ehee Mungu wangu, ni mtoto wa umri gani?”

“Miaka miwili, yaani hapa hadi na changanyikiwa, yaani hii ajali inamuweka Eddy katika mazingira magumu sana, ninatakiwa kuwa naye macho kila sehemu anapo kwenda, kwa maana analawama kubwa sana ameibeba mgononi mwake, kwani mke wa Swedy alikataa kwa mume wake kuigiza hii filamu, ila Eddazaria kwa ushawishi wake akafuanya hadi rafiki yake huyo kushiriki”

Niluzungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama Eddazaria anaye onekana akiwalalamikia wana uslama hao walio waza kufika hapa.

“Jamaniii sasa itakuwaje hapo?”

“Yaani ukiniambia hivyo kusema kweli nitashindwa hata na mimi niseme nini”

“Vuta”

Tulisikia sauti ikitoka chini ya korogo hili, wakoaji hawa wakenaza kuvuta kamba mbili kubwa huku wakisaidiana na wanaume wenye misuli yao.

“Wanavuta nini?”

Nilimuuliza dokta Clara huku tukiwatazama wanaume hao.

“Labda wanavuta gari hilo”

Ikatubidi na dokta Clara kusoegea eneo hilo ili kuangalia hicho kinacho vutwa, wanaume hao wakazidi kuongezeka katika kuvuta. Zoezi hilo likachukua dakika kumi, tukashuhudia gari hilo likitolewa huku likiwa libondeka bondeka vibaya na kuungua huku mwili wa Swedy ukiwa ndani ya gari huku umeungua vibaya sana hadi nikajikuta nikiingiwa na woga ulio nifanya nifumbe macho yangu.

“Twende huku”

Dokta Clara akanishika mkono na tukaondoka katia eneo hili. Tukaingia kwenye gari la kupumzikia na kumkuta Johari akiwa amelazwa ndani humu huku ametundikiwa dripu la maji.

“Hali yake inaendeleaje?”

Nilimuuliza msaidizi wa dokta Clara ambaye tumemkuta ndani humu.

“Anaendelea vizuri, mstuko ndio umemfanya apoteze fahamu”

“Ila si atazinduka, ubaya ni kwamba yule aliye pata tatizo ni mpenzi wake”

“Mmmm”

Niliguna tu kwa maana nimesha fahamu ukweli.

“Jojo kwani imetokeaje?”

“Mimi nilikuwa mbele kule, sasa kuna ile kona pale nasihi ilimshinda ndio gari likadumbukia huko kwenye korongo”

“Ila jamani hii barabara imekaa vibaya, panaitwaje hapa?”

Dokta Clara alituuliza.

“Soni”

“Ehee kumekaa vibaya leo unajua ndio mara yangu ya kwanza kufika huko”

“Hata mimi, ndio mara yangu ya kwanza kufika huku, seme ndio hivyo, imetokea na tumesha mpoteza mtu basi”

“Mungu kwa kweli asaidie hii filamu iishe salama kwa maana mmmm, hadi naogopa, wewe ulitoka salama siku ile, leo Swedy amekwenda, kesho hatujui ni nani?”

“Clara usionge hivyo bwana unanitisha”

“Sikutishi, kaka wa watu ameondoka bado mdogo sana, na juzi si ndio alikuwa akisali na yule mwenzake pale Wami”

“Ndi……”

Hata kabla sijamaliza kuzungumza mlango ukafunguliwa kwa haraka na kijana mmoja, jasho jingi linamwagika usoni mwake, akionyesha amekimbia kwa kasi sana.

“Wewe tulo kuna nini?”

Dokta Clara aliuliza huku sote tukimtazama kijana huyu anaye itwa tulo”

“Ni….ni….ni”

“Nini?”

“Direc….dorecto…..r….Eddy….ameangu……”

Mapigo yamoyo yakaanza kunienda kasi, sikuhitaji hata tulo kutomalizia sentensi yake kwa haraka nikashuka kwenye gari hili na kuanza kukimbilia sehemu nilipo muacha Eddazaria na kuwakuta watu wakiwa wanashangaa kwenye kingo za korongo hili kambo lililo nizidi kunichangaya nadi nikaanza kujihisi maumivu makali sana moyoni mwangu.


Nikajikaza kukimbia hadi kwenye korogo hilo ambalo watu wengi wamejazana wakitazama chini. Nikajipenyeza penyeza hili niweze kumuona Eddazaria ambaye sijapata maelezo ya kueleweka. Nikamuona Eddazaria akiwa ameng’ang’ania moja ya tawi la mti huku akijitahidi asiendee chini. Macho yakanitoka kwani tawi hilo kwa asilimi mia moja litakatika muda wowote, waokoaji ambao bado nao wapo chini katika eneo hilo la chini la korogo, wanaonyesha jitihada za kujaribu kumuokoa Eddazaria japo hata kwa kumdaka.

“Leteni kamba bwana”

Nilizungumza kwa haraka huku nikijitoa kwenye kundi hilo la watu. Nikaona moja ya kamba kubwa ambayo ni miongoni mwa kamba zilizo saidia katika kulitoa gari la marehemu Swedy. Nikaiokota kwa haraka nikaangaza angaza katika eneo hili, sikuona sehemu ya kuweza kuifunga kamba hii zaidi ya kwenye moja ya tairi kubwa la gari nikaanza kuifunga huku kimoyo moyo nikimumba Mungu aendelee kumsaidia Eddazaria wangu. Nikaanza kuivua kamba hii na kundua kwamba katika tairi hili la gari haiwezi kufunguka, nkajifunga kiunoni mwangu, nilipo hakikisha kwamba nimemaliza kujifunga, nikaanza kukimbia kuelekea kwenye eneo la korogo hilo huku nikiwa nimeshika baadhi ya kamba mkononi mwangu.

“Jojo?”

Nilisikia sauti ya Clara ila nikaipuuzia, nikatazama eneo ambalo Eddazaria ananing’inia, pasipo hata kufikiria mara mbili mbili, nikajitosha kwenye korogo hilo jambo lililo sababisha watu huku nyuma kupiga makelele. Umahiri wa mazozi niliyo fundishwa na marehemu bibi Sosiono kwa namna moja ama nyingine yamenisaidia kwa kweli. Kwa bahati mbaya nikaligonga tawi alilo shikilia Eddazaria na kusababisha tawi hilo kukatika, na kasi ya ajabu nikawahi kumdaka Eddazaria na mkono wake wa kulia.

“Shikilia Eddy”

Nilizungumza huku mapigo ya moyo yakinienda kasi. Eddazaria akaning’ang’ania huko sote tukishuhudia tawi hilo likianguka katika jiwe kubwa lililopo chini umbali kama futi mia moja kwenda chini. Eddazaria akaanza kujipandisha taratibu kuja kwangu, zoezi hili japo ni gumu kwetu sote ila hakuna namna wala jinsi ya yeye kufanya. Mazoezi na yeye yakamsaidia kujihimili, tukakumbatiana huku tukuhema sana.

Taratibu kamba ikaanza kivutwa kwenda juu. Tukafanikiwa kufika juu barabarani, tukatazamana na Eddazaria kisha tukakumbatiana kwa nguvu huku nikimwagikwa na machozi.

“Mkuu helicopter ipo tayari”

Mmoja wa wasaidizi wa Eddazaria alizungumza, taratibu tukaachiana na Eddazaria. Dokta Clara akatufwata sehemu tulipo simama, akatukumbatia kwa pamoja kwa maana huyu ndio mtu wetu wa karibu sana.

“Clara simamia kila kitu na mueleke Lushoto kwenye lile jumba”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimtazama dokta Clara.

“Sawa Eddy”

“Twende”

Tukaondoka na Eddazaria huku tukiwa tumeongozana na msaidizi huyu wa Eddazaria, tukapandisha kwenye moja ya kilima na kukuta helicopter ikiwa tayari imesha washwa, tukafunguliwa mlango na kuingia ndani na mlango huo ukafungwa.

“Tunaelekeea wapi?”

Nilimuuliza Eddazaria huku helicopter ikianza kunyanyuka taratibu.

“Tunarudi Dar msibani”

“Umemueleza mke wa Swedy ukweli?”

“Bado, maiti ikifika ndio nitamueleza ukweli”

“Ilikuwaje ukaelekea kwenye korongo?”

“Niliteleza kwa bahati mbaya”

Sikuhitaji kuuliza swali jengine kwani Eddazari anaonekena kujawa na mawazo mengi sana. Tukafika Dar es Salaam, helicopter ikatua kwenye kiwanja cha mpira kilichopo katika mtaa tunao ishi, tukashuka na kuanza kutembea kuelekea nyumbani kwetu na kuwafanya baadhi ya watu kutushangaa. Eddy akatoa rimoti ya kufungulia geti la hapa nyumbani. Tukaingia ndani na kukuta nyumba ikiwa imejaa majani mengi ya miti kadha iliyomo ndani eneo la hapa.

“Nahitaji kwenda kulala”

Eddazalizungumza kwa sauti ya upole na kunikabidhi rimoti ya kufungulia geti.

“Unakula nini leo?”

“Chohote niandalie”

“Sawa”

Eddazaria akatangulia ndani, mimi nikazunguka nyumba zima, nilipo hakikisha kwamba kuna usalma, nikaingia ndani. Nikapandisha gorofani na kumkuta Eddazaria amelala chumbani kwangu huku miguuni akiwa hajavua hata viatu vyake. Taratibu nikamfungua kamba za buti zake alizo zivaa kisha nikamvua.

“Ninakwenda kununa kwenye ule mgahawa”

“Sawa nijie na Grand moja”

“Eddy sihitaji unywe tuliza kichwa mpenzi wangu”

“Fanya kama nilivyo kuambia”

Nikashusha pumzi taratibu na kukubaliana na kile alicho kizungumza Eddazaria. Nikachukua funguo ya gari na pesa kiasi ambacho ninaona kinafaa, nikamsogelea Eddazaria na kumbusu shavuni mwake kisha nikatoka. Nikaingia kwenye gari na taratibu nikalitoa katika uzio wa ukuta wa nyumba yangu, nikafunga geti kisha na kuondoka eneo hili. Nikafika katika mgahawa tunao nunua chakula, nikasimamisha gari kwenye magesho, kisha nikashuka na kuingia ndani ya huo mgahawa. Wafanyakazi wote wa eneo hili wakaanza kunichangamkia, kwani nina imani kwamba sasa nimesha anza kuwa super star.

“Muna pronse?”

“Wapo”

“Si wale wakubwa?”

“Ndio”

“Niwekee wa elfu, ishirini, niwekee kuku mzima wa kukaanga, na chips kavu nzuri sahani mbili”

“Sawa Jojo”

“Wee mtoto upo?”

Nilisikia sauti huku nikishikwa begani mwangu. Nikakutana na mama Ngoi akiwa amejawa na tabasamu pan asana usoni mwake.

“Nipo mama yangu”

“Tangu uondoke hadileo, nimesubiri upige simu wapi?”

“Ubize mama yangu”

“Karibu ofisini kwangu. Nyinyi amewaagiza nini Jojo?”

“Ahaa pronse na….”

“Okay zipikeni vizuri na bili yake niandikieni mimi sawa”

“Sawa bosi”

“Jojo twende”

Sikuweza kukataa kwa mana wafanyakazi wote wanatusikiliza mimi na bosi wao. Tukaongozana na mama huyu, tukapandisha gorofani na kuingia kwenye ofisi yake. Akanikumbatia kwa furaha sana kama vile ameshinda bahati nasibu ya milioni mia.

“Karibu Jojo wangu”

Mama Ngoi alizungumza huku akifunga ofisi yake kwa ndani.

“Kwa nini unafunga mlango?”

“Jamani Jojo, kwani unahitaji usumbufu wewe?”

“Si usumbufu, ila kwa nini ufunge?”

“Nimefunga tu mpenzi. Kaa basi unywe hata juisi au soda”

Mama Ngoi alizungumza hukua kilifwata friji lake dogo kililomo ndani ya ofisi hiyo. Akafungua na kutoa mzinga wa wyne aina ya dompo.

“Situmii kilevi”

“Jamani, sasa unatumia nini Jojo wangu?”

“Nipe maji tu”

“Sawa mpenzi”

Mama Ngoi akaniwekea maji kwenye glasi na kunifwata sehemu nilipo simama na kunikabidhi.

“Kaa basi kwenye sofa Jojo, unasimama kama askari wa getini bwana?”

Nikamtazama mama huyu ambaye maneno yake yote hayo anayo yazungumza, maana yake ni moja tu, anahitaji penzi kutoka kwangu. Nikalisogelea sofa moja kubwa na kukaa pembeni yake.

“Umetoka kuigiza nini?”

“Ndio”

“Pole bwana, kuna siku nilikuja ofisi kwako ila nikakuulizia ila nikaambiwa kwamba haupo umetoka”

“Okay ulikuwa unahitaji nini?”

“Nilitaka kuwapa sehemu ya kuigizia kwa maana siunajua biashara siku zote ni matangazo na mimi nilijua labda ni wale wasainii wajinga wajinga wa filamu za sebleni na chumbani”

“Okay una kiasi gani cha kutupatia ili japo kajimgahawa kako kaonekane kwenye filamu yangu?”

“Heee, mimi tena ndio nilipe pesa?”

“Kama wezako wametoa magari ya kifaharina kuwekeza mamilioni ya pesa za kimarekani sembuse wewe. Hembu sikia kitu komoja, musipende kumdharau mtu musiye mjua. Nilikuja kwako kiustarabu sana na kukuomba ila kwa nyodo zako sijui ulihisi mimi ni nani? Weka pesa mezani tufanye kazi, kama huna sahau kuhusiana na mgahawa wako kuwepo kwenye filamu yangu”

Nilizungumza kwa kujiamini, huku nikimkazia mama Ngoi macho, uso wake ikaonekana kujaa hali ya kutahayari sana kwani hakutegemea kama anaweza kukuta na majibu kama hayo niliyo mpatia.

“Kama mazungumzo yameisha, kwa heri na sihitaji unilipie chakula kwa manaa nina pesa ya kununulia”

“Ahaa…Jojo maana yangu ya kukununulia, si kama hauna pesa, ila nimekupa kama zawadi Jojo. Natambua kwamba hapo awali nimekuwa ni mwenye makosa makubwa sana kwako ila ninakuomba unisamehe Jojo sawa Jojo wangu”

“Nimekusamehe, kingine?”

Nilizungumza kwa ufupi huku nikimtazam mama Ngoi. Akaanza kung’ata ng’ata zake midomo yake huku akinisogelea sehemu nilipo kaa, akajaribu kunishika paja langu ila kwa haraka akautoa mkono wake.

“Jojo unajua…una….”

“Sikia, sipo katika muda wa kufanya hilo jambo”

Nilizungumza huku nisikimama kwenye sofa hili nililo kalia, nikaiweka glasi ya maji mezani na kumgeukia Mama Ngoi.

“Siku nyingine ukihitaji kupatana na mimi usiniambie upuuzi wako. Umenielewa?”

“Jojo natambu hilo ila ninakuomba usikilie hisia zungu”

Mama Ngoi alizungumza huku akinishika mkono wangu wa kulia, akajaribu kunivuta kwenye sofa alilo kalia ila nikamshinda nguvu na kujikuta nikiutoa mkono wangu, nikaanza kutembea kuelekea mlangoni ila mama Ngoi kwa haraka akaniwahi kunikumbatia kwa nyuma. Jambo lililo nifaya nigeuka kwa kasi na kumsukuma, mama Ngoi akapepesuka pepesuka, viatiu vyenye kisigino kirefu alivyo vivaa vikamshinda uwezo wa kuvihimili na kujikuta akianguka chini mzima mzima na kutulia kimya. Nikapiga hatua hadi mlangoni, ila nafsi yangu ikasita kabisa na kujikuta nikigeuka tena na kuanza kutembea kwa hatua za umakini hadi sehemu ambayo mama Ngoi ameangukia, mapigo ya moyo yakaanz akunienda kasi sana baada ya kumkuta mwana mama huyu akitokwa na damu nyuma ya kichwa chake zilizo anaza kusambaa katika eneo hili. Kitu kilicho nifanya nianze kutetemeka mwili wangu wote kwa woga kwani ni kosa ambalo litaniweka matatani kwenye maisha yangu yote.



Mwili mzima ukaniishia nguvu na kujikuta nikikaa chini kabisa ya sakafu. Nikatamani kulia ila machozi hayanitoki, ninatamani kupiga kelel ila sauti nayo nikajikuta hainitoki kabisa. Nikaka kama dakika tano hivi, mama Ngoi akausogeza akaunyanyua mkono wake kidogo jambo lililo nipa matumaini na hata nguvu ya kusimama. Nikamsogela kwa haraka, nikaniamisha kichwa changu na kuweka siko la upande wa kulia kifuani mwake na kukuta mapigo ya moyo yakimdunda kama kawaida. Kwa haraka nikanyanyuka, nikafungua mlango na kutoka chumbani humo huku nikikimbia kwa kasi sana. Nikafika eneo la wahuduma, wote wakanishangaa baada ya kuniona ninahema juu juu.

“Bosi…bosi wenu amenguka kule”

Niluzungumza na kuwafanya wafanyakazi wa kiume kuanza kukimbia kwa kasi kuelekea juu gorofani ilipo ofisi ya mama Ngoi, sikuhitaji kuondoka, na mimi nikapandisha kwa haraka katika ngazi hizo na kuingia kwenye ofisi hiyo, nikawakuta vijana wawili wa kiume wakimsaidia mama Ngoi kunyanyuka huku akishika eneo la nyuma ya kichwa chake,

“Tumuwahisheni hospitalini”

Nilizungumza na wafanyakazi hao, hawakuhitaji kupoteza hata dakika moja katika kuifanyia kazi kauli yangu niliyo izungumza. Tukatoka nje na kumuingiza mama Ngoi kwenye gari langu, nikawasha gari hili na kuondoka huku nikiwa nimeongozana na vijana hao. Vijana hawa wakanishauri tuelekee kwenye hospitali mpya ya kichini iliyopo karibu kabisa na eneo la Mwenge. Hatukuchukua muda mrefu, tukafika katika hospitali hiyo, manesi kwa haraka wakatupatia kitanda na kumlaza mama Ngoi ambaye muda wote amayafumbua macho yake ila hazungumzi kitu cha aina yoyote. Mama Ngoi kwa haraka akingizwa kwenye chumba kimoja na kuanza kufanyia matibabu ya haraka.

“Sister ilikuwaje?”

Kijana mmoja alizungumza huku akijifuta jasho usoni mwake kwa kutumia kitambaa. Nikaka kimya huku nikifikiria ni uongo gani ambao ninaweza kuutunga na uendane na ukweli.

“Alijikwaa kwa bahati mbaya na kuanguka”

“Duuu sema bosi anavaa viatu vina vijincha nyembamba, wakati mwili wenyewe jumba”

Kijana wa pili kwa asilimia fulani naye akaniunga mkono uongo wangu nilio muambia.

“Una namba ya yule binti yake?”

“Sina, binti mwenyewe anaringa kishenzi”

Nesi mmoja akatoka katika chumba alicho ingizwa mama Ngoi huku akiwa ameshika kifuko cha nailoni kilicho hifadhiwa, simu, cheni, na pete zake za dhahabu.

“Nani muhisika mkuu wa mgonjwa?”

Vijana wote wakaniangalia mimi, wanashindwa kujibu wao kutojana na sare za kazi walizo zivaa. Macho ya vijana hao ikawa ni jibu tosha kwa nesi kufahamu kwamba mimi ndio muhusika wa mgonjwa huyo. Akanikabidhi kifuko hicho kinacho onyesha vitu vilivyomo humo ndani.

“Inabidi usaini hapa”

Nesi alizungumza huku akifunua kidaftari kidogo alicho kishika. Nikasoma maelezo yalio andika, yanaorodhesha kila kitu ambacho ni mali ya mgonjwa alivyo lentwa navyo hapo hospitalini. Nikaisaini na kumrudishia nesi kijidagtari hicho chenye kava lenye jina la hii hospitali.

“Hali ya mgonjwa inaendeleaje lakini?”

“Siwei kuzungumza kwa sasa juu ya hali ya ngojwa”

Nesi huyu alizungumza na kuondoka katika eneo hili na kuniacha na vijana hawa ambao nao wapo kimya akisikilizia ni kitu gani amacho kitaendelea. Wazo la kuwasiliana na hata ndugu wa mama Ngoi likanijia kichwani mwangu, nikaitoa simu yake ndani ya kifuko hichi, kwa bahati nzuri nikaikuta haina hata neno la siri ambalo lingeniwia ugumu katika kutumia simu hii. Nikiwa katika harakati za kutafuta hata namba ya simu ya mtoto wa mama Ngoi, simu hiyo ikaanza kuita na likatokea jina lililo andikwa ‘My daughter Lily’. Vijana hawa wakanitazama huku akinisikilizia kama nitaipokea simu hiyo. Nikaipokea simu hiyo na kuiweka sikioni mwangu.

“Haloo mama, upo wapi mbona nimesikia umapata tatizo”

Sauti nyororo ya kike ilisikika vizuri masikioni mwangu.

“Samahani mimi sio mama yako, ni mmoja wa watu walio mpa msahada”

“Oooo jamani Mungu wangu, niambie mupo wapi?”

Sauto ya binti huyo ikabadilika na kuwa sauti ya kilio. Nikamtajia jina la hospitali hii ya kichina na akasema kwamba anaifahamu na anakuja muda wowote kuanzia hivi sasa huku akimwaga asante nyingi sana juu yangu kwa msaada nilio mpatia mama yake. Nikakaa kiti cha pembeni yangu huku kimoyo moyo nikimuomba Mungu aweze kumsaidia mama huyu apone ili niepukane na kosa hili. Wazo la kumpigia simu Eddazaria likanijia kichwani mwangu. Kwa haraka nikaingiza namba ya Eddazaria na kumpigia, simu yake ikaanza kuita hadi ikakata, kutokana nilimuacha amelala nikarudi kumpigia tena ila ikaita na kuto kupokelwa.

Binti mrefu ambaye kwa kumtazama tu, nikagundua ni mtoto wa mama Ngoi, kwani wanafanana sura hadi maumbo yao, akaingia katika eneo hili huku akikimbia, alipo waona vijana hawa ambao ni wafanyakazi akasimama huku akiangaza angaza macho yake.

“Mama yupo wapi?”

Kijana mmoja kwa ishara akamuonyesha mlango wa chumba alicho ingizwa mama yake.

“Anaendeleaje?”

Vijana hawa wakakaa kimya, jambo lilio nishangaza na kuhisi kutakuwa na tatizo katikati yao na kauli ya kijana mmoja aliyo sema kwamba dada huyu anaringa nahisi hiyo tabia yake imechangia kwa vijana hawa kumletea maringo ya kumjibu.

“Dada eti mama anaendeleaje?”

“Sijajua kwa kweli, kwa maana hakuna nesi aliye weza kutueleza ni kitu gani kinacho endelea”

“Ehee Mungu wangu, muokoe mama yangu, ndio mzazi wa pekee niliye baki yaje jamani”

Dada huyu alizungumza huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake.

“Ndio mujue matatizo yanawakuta hata nyinyi matajiri”

Kijana mmoja alizungumza huku akiondoka aneo hili na kumfanya Lily kumtazama kwa macho makali, kisha akaachia msunyo hapo ndipo nikapata picha halisi kwamba biti huyu amejawa na dharau sana.

“Sikia Lily hembu huo uzuri wako uache kukuzingua, tunakueleza ukweli una dharua za kiseng** sana. Kama munanifukuza kazi poa tu, ila ukweli ndio huo, na kwa staili hiyo mama yako atakufa kwa rohoo mbaya yako”

Kijana wa pili alizungumza kwa jazba hadi macho yakamjaa uwekundu.

“Tena nikuambia kwamba laiti ingekuwa si kama kumkubali huyo dada Jojo hapo, basi hata mama yako tusinge msaidia, tungemuacha afie huko ofisini kwake”

Meno no ya kijana huyu yakazidi ukali kiasic ha kmfanya Lily kunyanyuka na kuanza kumfwata kinana huyo kwa jazba kubwa sana. Kijana huyo hakuteteraka wala kuogoa, akasimama na kumtazama Liliy anavyo zidi kumfwata sehemu alipo simama.

“Unapo zungumza kuhusiana na mama yangu shika adabu yako”

Lily alizungumza kwa hasira huku akijaribu kumpiga kofi kijana huyu, ila kijana huyo akauwahi mkono wa Lily na kudaka.

“Yaani ukijaribu siku hata moja kunipiga kibao nitakuchakaza sura yako. Kum** weweee”

Kijana huyo alizidi kuzungumza kwa jazba na kumfanya Lily azidi kuwa na hasira. Nikasimama taratibu na kuwasogelea kwani Lily anajitutumua kuutoa mkono wake ulio kamatwa na kijana huyu ila anashindwa.

“Kaka muachie”

Nilizungumza kwa sauti ya upole kabisa. Kijana huyu akauachia mkono wa Lily

“Huna kazi”

“Poa kwa mshahara gani munao tupa”

Kijana huyo alizungumza huku akivua kitambulisho chake na kumrushia Lily usoni mwake kisha akaondoka eneo hili kwa hasira kali sana. Lily akaanza kukanyaga kanyaga kitambulisho hicho huku akilia kwa uchungu sana, sikiona haja ya kumbeleza ikiwa ana dharua kama za mama yake.

“Vitu vya mama yako hivi hapa, ninaondoka zangu”

Nilizungumza huku nikimkabidhi Lily kifuko nilicho kishika pamoja na simu ya mama yake.

“Unaondoka jamani dada?”

“Ndio, mume wangu hajui kama hapa, nimempigia kupitia simu ya mama yako ninaona hapoke, ngoja niondoke”

“Jamani dada baki na mimi basi tujua hata hali ya mama inaendeleaje?”

Lily alizungumza huku akinishika mkono wangu wa kulia, nikamtazama jinsi alivyo jawa na huzuni. Roho ya imani na huruma ikanitawala, nikajikita nikurudi na kukaa kwenye kiti nilicho kuwa nimekalia huku nikijisema kimoyo moyo kama ingekuwa sio mimi wala mama yake asinge kuwepo hapa hospitali kwa muda huu.

“Ilikuwaje dada yangu?”

“Aliikwaa”

“Kwenye nini?”

“Elewa alijikwaa bwana, sipo sawa na mimi”

Nilizungumza kwa ukali kidogo, huku roho ya chuki ikinitawala kutokana na dharau alizo mfanyia kijana aliye msaidia mama yake.

“Samahani mwaya dada kama nimekuudhi kwa maswali yangu”

“Unatakiwa kuwaomba msamaha wale vijana wafanyakazi, bila wao mama yako sijui hata kama angefika hapa, mimi nimesaidia gari tu”

Lily akaka kimya huku akishusha pumzi nyingi sana na kupangusa machozi yake.

“Usipende kumdharau usiye mjuu, pia mama yako alisha wahi kunidharau. Sasa hiyo tabia sio nzuri kama toto wa kike kwa maana hakuna binadamu anaye weza kufahamu dakika hata moja ambayo inayo kuja mbele yake. Pesa, magari, majumba vyote tutaviacha hapa duniani”

Nilizungumza kwa upole kidogo ila maneno yenye uzito moyoni mwa Lily, kwani ninacho kisema ni ukweli tupu.

“Nyanyuka ukawaombe msamaha kama wapo huko nje, okota kile kitambulisho pale na umpelekee muhusika”

“Ila dada mimi sijaona kosa langu, mtu anamuombea mama yangu aweze kufa kweli unasema nimuombe msamaha?”

Lily alizungumza kwa ukali sana, nikamtazama kwa kumpandisha kuanzia juu hadi chini, kisha nikasimama na kuondoka na kumuacha akiniita ila sikuhitaji hata kugeuka na kumtazama. Nikatoka nje na kuwakuta vijana hawa nilio kuja nao wakiwa wamesimama kwenye moja ya nguzo katika hospitali hii, na inavyo onyesha wana mazungumzo wanayo yazungumza. Wakanifwata sehemu nilipo simama huku nikiwatazama.

“Sister samahani bwana, tuonaomba msaada wa lifti turudi ofisini tukakusanye virago vyetu”

Nikaka kimya huku nikimtazama kijana huyu aliye jawa na ujasiri wa kumueleza Lily ukweli wa tabia yake mbaya anayo ifanya.

“Sawa twendeni”

Nikaongozana na vijana hawa hadi eneo lililopo gari langu.

“Sister, sister?”

Tuliisikia saii ya Lily akiniita, ikatubidi tusimame na kugeuka. Tukamtazama jinsi anavyo kuja kwa kasi hadi sehemu tulipo simama huku mkononi mwake akiwa ameshika kitambulisho cha kijana alicho kivua. Lily kwa haraka akapiga magoti chini hakujali kama amevaa suruali nyeupe inayo mpendeza.

“Naombeni munisamehee jamani, ni hasira tu. Saidi nakuomba unisamehe, shika kitambulisho chako, natambua kwamba nimekukosea ila samahani sana Saidi. Hata dada hapo nisamehee jamani kwa kinywa changu”

Lily alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nikamtazama kijana huyo ambaye sasa nimegundua anaitwa Saidi, nikampa ishara ya kuukubali msamaha huo. Saidi akanyonyoosha mkono wake wa kulia na kumkabidhi Lily. Lily akautazama mkono huo kwa sekunde kadhaa kisha akaupokea. Saidi akamvuta na kumnyanyua.

“Nimekusamehe”

Kijana huyo alizungumza huku wakikumbatiana kwa nguvu. Tukatazamana na kijana wa pili, tukatabasamu.

“Run umenisamehe?”

“Ndio”

“Kweli nimetambua mimi ni mkosefu, ila nina habari njema. Mama anaendelea vizuri”

“Ohoo wamesha maliza kumfanyia huduma?”

“Ndio wanammalizia ila doktka ameniambia kwamba mama anaendelea vizuri sana”

“Nafurahi kusika hivyo, jamani mimi ngoja niwaache. Nimetoka kazini hata sijaoga”

“Alafu dada kama ninakujua hivi?”

“Lily alizungumza huku akinitzama usoni mwangu”

“Eti ehee”

“Ndio, wewe si Jojo?”

“Ndio mwenyewe”

“Waooo jamani nina furaha kuonana na wewe, ninaweza kupiga picha na wewe?”

Nikawatazama vijana hawa, kisha nikatingisha kichwa kwamba ninaweza kupiga naye picha. Wakanisogelea, akaitoa simu yake mfukoni na kujiweka pembeni yangu, tukapiga picha kadhaa.

“Asante sana sister Jojo”

“Usijali”

“Ila dada, mimi ninapenda sana kuigiza jamani. Kwenye kampuni yako hakuna nafasi za kuigiza?”

“Ahaa siwezi kusema zipo au hakuna kwa maana mimi sishuhuliki sana na mambo ya kuangalia wasainii. Ila mume wangu ndio anashuhulika”

“Ahaa mume wako si Eddy”

“Yaa ni Eddy”

“Jamani hongereni sana. Ninaipenda couple yenu kusema kweli imetulia sana”

“Asante n…..”

Sikuimalizia sentensi yangu, simu ya Mama Ngoi ikaanza kuita na kumfanya Lily kuitazama simu hiyo. Nikapata bahati ya kuitazama simu hiyo na kukuta namba ya Eddazaria ndio inayo piga.

“Ni simu yangu hiyo”

“Ahaa uliitumia ehee?”

“Ndio”

Lily akanikabidhi simu hiyo na nikaipokea, nikasogea umbali kadhaa ili wasiweze kusikia mazungumzo yangu na Eddazaria.

“Hei, nimekuta missed call yako, nani?”

“Ni mimi Eddy, nimeitumia simu ya huyu mama hapa kwenye huu mgahawa, kidogo amapata matatizo”

“Umepata matatizo……!!!?”

“Hapana sio mimi, hiyo mama ndio amapata matatizo, amenguka, sasa nimetoa msaada wa kumuwahisha hapa hospitalini”

“Hospitali gani?”

“Ipo hapa Mwenge ni ya Wachina”

“Ahaa, aiisee hembu nishauri, hapa usingizi sipati kabisa, ninaota mandoto mabaya mabaya. Namuona Swedy hivi hivi akinitokea usoni mwangu”

Eddazaria alizungumza akionyesha dhairi kwamba ana wasiwasi mkubwa sana.

“Mmmmmm”

“Yaani ninashindwa kulala mke wangu”

“Ngoja ninataka kuja huko mume wangu, sawa”

Sikusikia kitu chochote zaidi ya ukimya na wala simu haikukatwa jambo lililo nipa wasiwasi, gafla nikaanza kusikia sauti ya Eddazaria akipiga makelele jambo lililo anza kunichanganya na kunipagawisha kiasi cha kutamani hata kupaa ili niweze kwenda kumuona Eddazaria na kufahamu ni kitu gani kimtokea.


“Eddy, Eddy, Eddy”

Niliendelea kuita ila kelele tu ndizo nilizo zisikia. Baada ya muda ukimya ukatawala, kila nilivyo jaribu kuita sikuweza kupata matumaini yoyote. Kwa haraka nikakakata simu na kurudi kwenye gari, langu, sikuhitaji hata kuzungumza na mtu yoyote kwa haraka nikafunga mlango wa gari na kuingia ndani jambo lililo washangaza Lily na wezake. Nikawasha gari, kwa haraka nikaliweka sawa na kuondoka eneo hili kwa kasi kubwa sana. Nikaichukua simu ya mama Ngoi na kuanza kumpigia Eddazaria ila, simnu yake inaita hadi inakata. Kwa mwendo wa kasi ninao endesha hili gari nikafanikiwa kufika nyumbani, kitendo cha kusimaisha gari baada ya kuliingiza kwenye uzio huu wa jumba langu, nikashuka kwa kasi hata nikasahau kulizima. Nikakimbilia ndani na kumkuta Eddazaria akiwa amelala chali katikati ya seble, jambo lililo nichanganya sana.

“Eddy, Eddy”

Nilimuita huku nikimtingisha kifuani mwake, ila Eddy hakutingishaka. Nikayasikilizia mapigo ya moyo kifuani, nikayakuta yakifanya kazi.

“Eddy, Eddy. Amka bwanaaa Eddyyyyyy…….”

Nilimuita Eddazaria huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu. Gafla Eddazaria akakurupuka na kukaa kitako huku akihema sana.

“Nipo, nipo hapa mpenzi wangu”

Nilizungumza huku nikijaribu kumkumbatia Eddazaria ambaye macho yake yote anatazama tazama pembeni akionekana kama anatafuta kitu.

“Swedy yupo wapi?”

“Swedy amekufa mume wangu”

“Hapana, nimemuona kule chumbani na amenileta hadi hapa sebeleni”

“Hapana, itakuwa ni ndoto mpenzi wangu”

“Hapana Jojo sio ndoto hii, nimemuona kwa macho yangu kule chumbani akiwa amevalia mavazi meupe, bora hata ningekuwan imelala hapo sawa, ila nilikuwa na macho yangu hivi hivi unavyo niona mke wangu”

Eddazaria alizungumza huku jasho likimwagika shingoni mwake.

“Unataka kuniambia kwamba umemuona Swedy hivi hivi kwa macho yako?”

“Ndio Jojo, nimemuona kwa macho yangu haya ya nyama. Ningekuwa nimeokoka hapo ningesema nimemuona na macho ya kiroho ila ni macho yangu haya haya”

“Mmmm”

Eddazaria akanyanyuka na kukaa kwenye moja ya sofa, na mimi nikakaka pembeni yake huku nikimtazama na kukosa hata la kuzungumza kwani haya mauza uza anayo yaona yeye, mimi bado sijabahatika kuyaona.

“Leo silali hapa”

“Sasa mume wangu tutalala wapi jamani?”

“Jojo bora nilale hata kwenye gari ila si humu ndani”

Eddazaria alizungumza huku akinyanyuka kwenye hili sofa alilo kalia, akaanza kueleaa nje na mimi ikanilazimu kumfwata nje. Tukaingia kwenye gari, ukimya wa dakika kadhaa ukatawala katikati yetu.

“Twende Sinza”

“Sinza sasa hivi?”

“Ndio, twende Sinza, nyumbani kwa Swedy”

“Sawa”

Nikawasha gari na kuondoka nyumbani kwetu. Foleni ya maeneo haya ya Mwenge, ikatufanya tusimame karibia lisaa zima.

“Swedy anataka nimuambie ukweli mkewe”

“Anataka umuambie ukweli mkewe, ukweli gani?”

Eddazaria akanitazama kwa muda huku akishusha pumzi kidogo.

“Kwamba yeye amekufa, la sivyo ataendelea kunisumbua”

“Mmmm, Eddy unataka kuniambia kwamba unamuona hivi hivi kwa macho?”

“Jojo huniamini au, yaani sijui hata pale sebleni nimefikaje, wakati kumbukumbu zangu hazionyeshi kama nilishusha hata zile ngapi pale nyumbani”

“Mmmm labda utakuwa umesahau katika hilo”

Eddazaria akageuza shingo yake na kutazama nyuma.

“Hizi damu zimetokea wapi?”

Nikageuka na mimi na kuiona damu ya mama Ngoi ikiwa katika siti ambayo alikalia kipindi tunamuwahisha hospitalini.

“Ni damu yayule mama mwenye mgahawa tunao nunulia chakula”

“Naye amepatwa na nini?”

“Alijikwaa na kuanguka vibaya na kuoigiza kichwa maeneo ya kisogoni”

“Amepona sasa au amekufa?”

“Anatibiwa ila nahisi atapona kwa maana aliweza kutembea”

Eddazaria akanielekeza hadi kufika nyumbani kwa rafiki yake Swedy. Tukasimamisha gari mita chache kutoka katika nyumba hiyo, ambayo kwa nje hakuna heka heka yoyote ya watu.

“Hivi watakuwa wametoka hospitalini?”

“Sijajua kwa kweli, ila ngoja nimpigie simu”

Eddy alizungumza huku akianza kujipapasa mfukoni mwake.

“Simu nimeiacha nyumbani”

“Mmmm sasa tunafanyaje kwa maana ungekuwa na namba yake ya simu tungempigia”

“Hembu twende”

Tukashuka kwenye gari na kuanza kuelekea katika eneo la nyumba hiyo. Kwa bahati nzuri tukiwa haua chache kabisa kuifikia katika usawa wa nyumba hiyo. Bajaji ya rangi ya blue ikasimama, akashuka dada mmoja aliye valia dera na kujifunika na mtandio kichwani mwake. Eddy akatabasamu hapo ndipo nikagundua kwamba huyu ndio Mwanamkasi mwenyewe ambaye ni mke wa marehemu Swedy.

“Shemeji mbona saa hizi hapa, vipi mumerudi?”

Mwanamkasi alimuuliza Eddazaria na kunifanya nikose hata la kumjibu.

“Aahaa mimi na mke mwenzio hapa ndio tumerudi mara moja kuna vifaa tumekuja kuchukua”

“Ahaa, sawa. Mwenyewe nimekuja mara moja kumchukulia mtoto nguo. Kaka wa bajaji nisubirie ehee”

“Sawa dada”

“Shem, sijui muna ingia ndani”

“Ahaaa tutakupelekea hospitalini, mruhusu tu mwenye bajaji aondoke”

“Sawa ngoja nimpe pesa yake”

“Hapana nitalipa”

Nilizungumza huku nikimfwata mwenye bajaji.

“Unamdai kiasi gani?”

“Elfu tano”

Nikamkabidhi mwenye bajaji shilingi elfu kumi kisha nikarudu sehemu alipo simama Eddazaria, akimtazama Mwanamkasi anaye ingia ndani kabisa.

“Masikini hadi namuonea huruma shemeji”

“Eddy hakuna jinsi ni lazima umuambie ili hata marehemu aweze kuapata amani huko alipo. Labda ndio maana anakusumbua”

“Yaaa, ameniambia nimueleze ukweli mkewe kabla hata siku hii haijaisha”

“Mmmmm….ila Eddy umemuona vipi, isije yakawa ni mawazo yako binafsi ndio yamekuelekeza hivyo?”

“Sio mawazo yangu binafsi. Ila ninacho kuambia Jojo ni kweli kabisa”

“Mmmmm ila anaonekana ni mshika dini sana?”

“Sana yaani sio kidogo, sijawahi kumkuta huyu mwanamke amevaa suruali, yaani unavyo muona mavazi yake ndio hayo.”

“Sasa utamuambiaje ambieje kwamba mumewe amefariki”

“Yaani hapa wala sijui nina anzaje”

Tukamuona Mwanamkasi akitoka ndani akiwa amebeba pochi kubwa mkononi mwake.

“Jamani nimewaweka eheee?”

“Hapana”

“Alafu mke mwenzangu wala hatujasalimiana vizuri jamani. Naiona mtoto ananichanganya”

“Wala usijali, nalijua hilo”

“Sawa jamani”

Tukaingia ndani ya gari.

“Shem usiogope hizo ni damu, kuna mama mmoja alipata ajali hapo mbele. Tukamuawahisha hospitalini”

“Eheee nimestuka kidogo kuzioona laiti usinge niwahi ningekuuliza”

“Usiogope”

“Ehee hiyo filamu yenu inaendeleaje?”

“Tunamshukuru Mungu inaendelea vizuri, watu wapo kambi Lushoto”

“Swedy nampigia naona hapatikani?”

“Alafu niliondoka hata kabla ya kumpa ujumbe wako”

“Ahaaa sawa sawa, nahisi akipatikana atanitafuta. Kwani kuigiza ni ngumu eheee?”

“Ahaaa ni kazi ngumu sana, yaani inafikia hatua hadi watu tunachoka. Muulize mke mwenzio hapa”

“Jamani poleni yaani ninahamu ya kuona hiyo filamu, nimuone cha maneno wangu jinsi anavyo fanya mbwembwe, kwa maana ameondoka hapa kwa mbwembwe yaani”

“Hahaaaa, anafanyanya vizuri mbona”

“Weeee”

“Ndio”

Eddazaria alizungumza kwa kijichangamsha ukweli tunaufahamu mimi na yeye, kwani kila anacho kizungumza hapa ni uongo.

“Kusema kweli mimi ninawaombea kwa mwenyezi Mungu aweze kuwafanikisha katika hili kwa kweli”

“Amen”

“Ehee mke mwenzangu niamie”

“Ahaa mimi nipo safi tu, tunaendelea kupambana na filamu yetu”

“Pambaneni bwana, mimi kipaji cha kuigiza sina kabisa.”

“Hahaaa”

Tukaendelea kuzungumza mambo mengi sana hadi tunafika hospitali. Tukaelekea naye moja kwa moja hadi kwenye wodi aliyo lazwa mwanaye, ambaye baada ya kumuona Eddazaria alifurahi sana.

“Madokta wamesema wanaweza kumruhusu lini kutoka hapa hospitalini?”

“Ahaa….wamesema kwamba hali yake ikiendelea kuwa hivi basi kesho watamruhusu”

“Ahaa sawa sawa”

Simu ya mama Ngoi ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kukuta ni Lily ndio anaye piga, ikanibidi kutoka nje ya chumba hichi.

“Ndio”

“Habari yako sister Jojo”

“Salama, aissee samahani kwa kuondoka na simu ya mama yako”

“Hamna tatizo, pia imekuwa ni vizuri kwa maana mama ameruhusiwa, sasa hapa ndio tunakumbuka simu”

“Ahaa sawa sawa nitawarudishia kesho asubihi”

“Vipi uliondoka kwa haraka kuna tatizo lililo tokea?”

“Kuna ishu nilikuwa ninaiwahi”

“Sawa zungumza na mama huyu hapa”

“DOKTAAAAAAAAAAAAAA……….”

Nilisikia sauti ya Eddazaria ikitoke ndani ya chumba nilicho toka, kwa haraka nikakata simu na kuigia ndani na kumkuya Eddazaria akijitahidi kumnyanyua Mwanamkasi aliye anguka chini. Maneno wawili wakaingia ndani ya chumba hichi, kwa haraka Eddazaria akambeba Mwanamkasi na kutoka naye humu ndani ya chumba huku manesi wakimfwata kwa nyuma. Nikambeba mtoto wa Swedy ambaye naye analia sana. Tukatoka naye humu ndani, na kuwafwata Eddazaria na menesi hao hadi katika chumba walicho ingia, manesi wakatuomba tusubiri nje. Eddazaria akaegemea ukuta huku akioneana kujawa na mawazo mengi sana.

“Umemuambia”

Niliumuuliza Eddazaria kwa sauti ya chini huku nikiendelea kumbebeleza mtoto wa Swedy. Eddazaria akatingisha kichwa na kukubali kwamba ndio amemueleza ukweli Mwanamkasi kwamba mume wake amefariki.

“Mmmmm”

Juhudu zangu za kumbebeleza mtoto huyu zikaza matunda kwani baada ya muda kidogo akapitia na usingizi. Tukaendelea kusubiri nje ya chumba hichi, baada ya lisaa na nusu daktari mmoja akatoka katika chumba hichi, sura ya daktari huyu kwa haraka haraka ukiitazama unaweza kugundua kuna jambo ambalo sio nzuri.

“Vipi dokta?”

Eddazaria aliuliza huku akimtazama daktari huyu.

“Mgonjwa wenu….amepata mstuko wa moyo ulio pelekea kufariki duniani”

Nikamuona Eddazaria akikaa chini taratibu, hata mimi mwenyewe nguvu za kusimama zikaniishika kabisa, kitu ambacho daktari aliweza kukigundua kwa haraka na kuwahi kumchukua mtoto niliye mbeba na mimi nikajikuta nikikaa kwenye benchi lililopo hapa karibu na machozi yakaanza kunimwagika kwani ni dakika chache tu nimetoka kumuona Mwanamkasi, eti sasa hivi ninaambiwa amefariki dunia kusema kweli inaniuma sana.


“Kuseme kweli tumejitahidi kuyaokoa maisha yake, ila tumeshindwa, kwani mishipa ambayo inapelela damu kwenye moyo ilipasuka na kusababisha tatizo hilo.”

Maneno ya dokta wala hakuna mtu kati yetu aliye weza kuyaelewa, msiba huu ni pigo kuwa na jengine kati yetu hususani kwa Eddazaria ambaye nina imani kwamba anajutia ni kwa nini ameweza kumueleza Mwanamkasi juu ya kifo cha mumewe.

Eddazaria taratibu akanyanyuka na kuanza kutembea kuelekea nje, nikajikaza na mimi na kuanza kumfwata kwa nyuma. Tukakaa kwenye moja ya benchi lililopo nje ya hii hospitali.

“Hii ndio maana yake aliyo kuwa akiihitaji”

Eddazaria alizugumza maneno ambayo siyaelewi.

“Kivipi?”

“Mara ya mwisho, Swedy alihitaji kuondoka na mke wake, na ndio hivi amesha ondoka. Jukumu alilo niachia ni kumumlea mwanaye kama mwanangu”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akivikunja kunja vidole vya mkononi mwake.

“Eddy”

“Mmmmm”

“Kazi ya Mungu haina makosa”

“Yaa kweli haina makosa, ila jamaa aliweza kutambua kifo chake, kwa maana jana alizungumza mambo mengi sana juu ya kunihusia haya maisha. Tena nilikuwa nikimtania kwamba aache story zake hizo za kufa kufa ila ndio hivyo jamaa aliendelea kuzungumza hadi usiku sana ndio tukaachana mimi na yeye kuanzia hapo mambo ndivyo jinsi yalivyo tokea”

“Kikubwa ni kumuombea tu”

“Kweli”

“Maiti yake vipi imesha vika hapa Dar?”

“Sijajua kabisa”

Tukaka hapa nje kwa zaidi ya nusu saa kisha tukaingia ndani , kisha tukarudi ndani. Tukafwatilia ni wapi alipo mtoto wa Swedy, kwa bahati nzuri tukamkuta akiwa katika ofisi ya daktari aliye weza kumuhudumia mama yake.

“Nyinyi ni ndugu wa marehemu?”

“Ahaa…hapana, ila mimi ni mtu wa karibu kabisa na marehemu”

“Inabidi muweze kufanya mawasilinao na ndugu kabisa wa marehemu ili tuweze kuwakabidhi maiti pamoja na huyu mtoto”

“Sawa daktari”

Eddazaria alijibu kwa sauti ya upole, tukatoka katika ofisi hii na kuelekea lilipo gari letu. Tukaingia ndani ya gari na ukimya ukatwala katikati yetu.

“Tunafanyaje?”

Nilimuuliza Eddazaria huku nikimtazama usoni mwake.

“Turudi nyumbani”

“Sawa”

Nikawasha gari na safari ya kurudi nyumbani ikaanza taratibu.

***

Siku iliyo fwata taratibu za mazishi zikaanza kufanyika. Kama ilivyo kwa dini ya kiislamu, marehemu huwa hakai kwa muda mrefu mara baaada ya kufanya. Ni msiba ambao kusema kweli umewagusa watu wengi sana ambao wanawafahamu Swedy na mke wake Mwanamkasi. Mazishi yalipangwa kufanyika nyumbani kwa baba yake Swedy maeneo ya Mbagala Rangi tatu. Timu nzima ya waigizaji pamoja na wazalishaji wa filamu yetu. Tukafika eneo la mazishi, huku Eddazaria akiwa ndio mtu wa kwanza kufika alfajiri na mapema.

“Eddy”

Nilimuita Eddazaria mara baada ya kumuona akiwa anazungumza na mzee mmoja ambaye simfahamu. Eddazaria kwa ishara akaniomba niweze kumsubiria amalize kuzungumza na mzee huyo. Alipo maliza kuzungumza naye akanifwata sehemu nilipo simama.

“Umependeza na hiyo kazu na karakashia yako”

“Hahaaa…..unaweza ukasema shehe”

“Umeona eehee. Ehee utaratibu wa kuzika hapa unakuwaje?”

“Majira ya saa sita miili inapelekwa msikiniti kusaliwa, baada ya hapo tunaelekea kwenye shamba moja la mzee huyu ndipo alipo hitaji watoto wake wazikwe”

“Ahaaa, sawa sawa. Vipi wana familia wameelewa vifo vya wapendwa wao?”

“Yaa wameelewa, unadhani hapo watalamba dawa gani ikiwa mambo ndio yalivyo kuwa”

“Mmmm haya nenda kaendelea na shuhuli nyingine”

“Nimekumbuka kitu, hapa inabidi tutoe cheki ya milioni kumi kama kipoza maumivu ya hili tukio lililo tokea”

“Sawa hicho kitu hata mimi nilikwa ninakifikiria. Ila hapa si kuna wazazi wa familia mbilia?”

“Hapana, Mwanamkasi ni binti ambaye alisaidia na huyu mzee tangu alipo kuwa mdogo sana, kwa hiyo familia yake naye ndio hii hii”

“Masikini, mzee wa watu atakuwa ameumia sana?”

“Kila mtu ameumia, hata mimi mwenyewe nimeumia ila ndio hivyo hatuna jinsi ya kufanya zaidi ya kukubaliana na matokeo”

“Sawa utakavyo amua wewe, mimi nina fwata”

“Ujichanganye na wezako huko jikoni. Maswala ya kijifanya sister duu na kukaa kwenye gari tu. Utawachukiza watu si unajua waswahili mambo yao”

“Sawa mume wangu nimekuelewa”

“Poa fanya hivyo”

Eddazaria akaondoka eneo hili, nikamfwata dokta Clara na wasichana wengine wanao fanya kazi kwenye kampuni yangu. Tukajumuika pamoja kuelekea eneo la jikoni, tulipo wakuta wamama na wadada wakijishuhulisha na upikaji wa chakula.

Mimi na timu yangu, tukashiriki katika upishi pasipo kujali tunajua ua hatujui. Tulipo maliza kupika chakula hichi, tukawasubiria wanaume walio enda makaburini kurudi.

“Lakini wamekufa wakiwa dogo sana”

Mama mmoja alizungumza huku macho yakiwa yametawaliwa namachozi mengi.

“Yaani hapa kuna ajambo, sio bure. Mume na mke wafe siku moja hapana jamamani”

“Ahaa ni kazi ya Mungu bwana”

“Hata kama ila mimi nasema kuna jambo, lazima kutakuwa na kitu kunacho endelee”

“Wanasema kwamba eti Swedy amekufa akiwa anaigiza”

“Anaigiza nini?”

“Sijui filamu gani huko”

“Mmmm hao watakuwa wamemtoa mwezao kafara”

Tukatazamana na dokta Clara na kuendelea kuwasikiliza wamama hawa wanao jadiliana vitu ambavyo hawavijui na havina ukweli wowote.

“Nasikia hiyo filamu inashotiwa na wachina”

“Sasa si ndio ufrimasoon wenyewe huo”

Nikatamani kucheka, ila nikajikaza tu ili kuepusha mzozano, nikaichukua simu yangu kwenye mfuko wa dera nililo vaa, nikaiweka upande wa video na kuanza kuwarekodi wamama hao pasipo kujijua.

“Ila jamani muda mwengine tuacheni mawazo potofu. Ufrimasoon unahusinaa nini na hivyo vifo?”

Mwanamama mmoja alizungumza kwa ustarabu kabisa.

“Bibi hujui, hapa kuna kitu tu kinaendelea”

“Jamani mawazo potofu ndio yatakayo tupotosha jamani, waacheni marehemu wapumzike kwa amani”

Majibizano ya wamama hao yakaanza kuzua mzozo ulio pelekea hadi wamama wawili wakaanza kukwidana Madera yao na kutaka kupigana.

“Jojo tuondoke”

“Ngoja tuone watafanyaje”

Wamama wengine cha kushangaza hawakuingilia kabisa ugomvi huo. Wamama hao wawili ambao moja anasema ni freemason ndio wameachukua Swedy na mkewe, huku mwengine anadai si freemason walio fanya hiyo. Wakaanza kubiringishanana chini, huku wamama wengine wakishangilia, msiba ukabadilika na kuwa masumbwi ya wamama hao wanao onekana kuwa na visa vikubwa toka zamanani, kwani matusi wanayo tukanana yanaonesha dhairi kuna mmoja wapo wamemuibia mwenzake mume.

“Shika simu”

Nilimuambia dokta Clara, akaichukua simu yangu, nikamueleza aendelee kurekodi tukio hilo. Nikawasogelea wamama hao na kuanza kuwaamua mmoja baada ya mwengine, kwani nyumba haina waunume, wadada wengine ambao hawakupendezewa na tukio hilo wakajumuika na mimi katika kuwaachanisha wanawake hao.

“Ndio maana mumeo kwangu amekufa na kuooza”

Mama anaye tetea kwamba sio freemason walio husika na vifo hivyo alizungumza kwa kujiganmba.

“Kwenda zako, si anakufir*** ndio maana”

“Heheheee, ndio habari ya mjini. Na anamalizia kunijengea chezea mkund*** weweee”

“Na ninakuambia mwaka huu umalizi wewe lazima nikufanyie kitu kibaya”

“Hahaaaa, mwanga wewe ndio maana mwanaume amekukimbia malaya wewe. Mwanaume harogwi babuuuu weeee”

“Nyie mabinti waachieni waachieni”

Bibi mmoja alizungumza huku akinitazama hususani mimi.

“Niachieni nimuonyeshe mwanga mkubwa wewe”

“Nyooo niachieni, niachieni huyo mtoto ana dharau sana”

Nikawatazama wadada ambao tumesaidiana kuwaaachanisha wamama hawa. Nikakawakonyeza na wakaelewa maana yangu, tukaawachi wamama hawa na kuzungusha duara. Kutokana eneo tulilopo ni uwan na kumezungushikwa ukuta mkumbwa, ikatupa uhuru wakuhushuhudia masumbwi ya waamama hawa. Baadhi ya wapambe wakakimbilia getini kuangali kama wanaume wameenza kurudi kutoka makaburini watoe taarifa na ugomvi huo usitishwe.

Wamama hawa wakaanza kushikana shikana Madera yao, wakaangushana chini na kugarazana huku kila mmoja akijaribu kukaa juu ya mwezake.

“Wanarudi”

Tulisikia sauti kutoka getini na kuwafanya hata wamama ambao kwa mara ya kwanza hawakuamulia ugomvi huu, kuingilia kati na kuwatawashisha. Nikajukuta nikiangua kicheko hadi baadhi ya wamama wakanishangaa.

“Hhuyu naye hovyo, unajichekesha nini kama umeti** dol** la mkund***?”

Dada mmoja alizungumza huku akinitazama kwa kunipandisha na kunishusha, nikamgeukia nikiwa na sura tofauti ya hasira, kwa maana maishani mwangu huwa sipendi kabisa kutukanwa au kudharaulika tena mbele ya watu. Nikamsogelea karibu yake na kuwafanya watu wote kukaa kimya huku wakinitazama nini nitafanya. Dada huyu akajitunisha kifua chake kama baunsa anaye ingia kwneye ulingo wa mapambano. Nikamtandika kichwa cha pua dada huyu na kumfanya atoe ukunga mkali na kuanguka chini na watu wote waknishangaa. Nikageuka nyuma macho yanu yakakuta na Eddazaria akiwa na mzee ambaye nilikuta akizungumza naye. Sura ya Eddazaria ikajaa mikocho ya hasira, akioonyesha dhairi kwamba amekasiria kwa tukio nililo lifanaya eneo hilo la msibani.



Eddazaria akaniita kwa ishara ya macho ambayo watu wengine si rahisi kwa wao kuweza kugundua wala kufahamu kwamba ameniita. Nikaondoka eneo hili huku nikiwanimejawa wasiwasi mwingi sana, mzee huyo akanitazama kwa macho makali sana yanayo dhihiri kwamba amechukizwa na kitendo hicho. Tukaongozana na Eddazaria hadi kwenye gari letu, tukaingia ndani na kukaa siti za nyuma.

“Umekuja kuonyesha ubondia hapa eheee?”

Eddazaria alizungumza kwa hasira sana.

“Uliza kwanza tatizo lipo wapi nami nikujibu usikimbilie kufoka tu Eddy”

Nilizungumza kwa sauti ya upole nay a kujinyenyekeza, kwani kwa sasa ninamuelewa vizuri mwanaume huyu.

“Ni nini kinacho endele?”

“Yule dada alinitusi mbele za watu wote, unahisi mimi ninapenda ujinga wa kudharaulika kwa wajinga wajinga”

“Ndio ukaamua kumpiga kichwa?”

“Nimempa fundisho Eddy, au unapenda nidharaulike eheee?”

Nilimuliza Eddazaria huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.

“Sipendi udharuaulike, ila yule mzee unahisi atajisikiaje. Siku ya mazishi ya mwanae wewe niliye kutambulisha kwamba ni mke wangu, leo hii umeonekana unafanya tukio kama lile unahisi atatuchukuliaje sisi”

Nikashusha pumzi taratibu, kwani alicho kizungumza Eddazaria kina uzito kwa kweli na nimi sikufanya tukio lile kwa maana mbaya, ila nilifanya kuilinda heshima yangu mbele ya wamama wale ambao wengi wao wamekosa busara na maarifa, na tabia zao za kishwahili zinachangia kwa asilimia kubwa waonekane wapuuzi.

“Nitamuomba msamaha”

“Daaa ila Jojo unanipa wakati mgumu mke wangu”

“Natambua Eddy nitamuomba mimi mwenyewe wala hili usiliingilie kwa maana mkosefu ni mimi hapa na wewe ni mume wangu, so sihitaji kukubebesha matatizo”

“Sawa baby, mimi ngoja niangalie utaratibu mwengine hapa unaendeleaje”

“Sawa”

“Ila nenda kaendelee na shuhuli za kusaidia shuhuli za hapa”

“Siendi tena kule?”

“Usipo enda ndio utaonekana jeuri, wewe nenda tu”

“Sawa Eddy”

Eddazaria akanibusu mdomoni mwangu kisha akashuka kwenye gari hili. Nikaitazama simu ya mam Ngoi niliyo ichomeka upande wa nyuma wa siti ya dereva, nikaitoa na kuiwasha, kwani niliizima ili kuepuka kupigiwa pigiwa. Nikaanza kuikagua upande wa picha, nikakuta picha zake, nikaizima na kichomeka sehemu niliyo itoa, nikashuka kwenye gari na kulifunga. Nikarudi eneo la jikoni kila mwanamke aliye kuwa shuhudia nilicho kifanya akabaki akinitazama tu usoni. Sikujali hilo, nikamfwata dokta Clara eneo alilo simama.

“Kuna nini kinacho endelea?”

“Ahaa, yule binti wamemuhudumia hudumia hapo, kwa maana pua ilikuwa ikimwagika damu”

“Pole yake”

Tukaanza kubeba masinia ya vyakula na kuwapeleka wanaume walio kaa eneo la nje kwenye majamvi yao. Zoezi hili likakamilika na kujikuta nikichoka sana, kwani kubeba masinia makubwa ya pilau si mchezo.

“Eddy”

“Mmmmm”

“Mzee yupo wapi?”

“Sijajua, niliachana naye muda fulani hapa”

“Vipi umesha mpatia pesa?”

“Hapana, nataka nikimpatia watu wengine wajua, si unajua unaweza kumpatia akaziminya kimya kimya na hapa tukaonekana kwamba tumekuja kuuza sura”

“Na kweli, ila nimeinama hadi kiuno kinaniuma”

“Mmmm pole, mimi leo nitalala huku”

“Kwa nini?”

“Mke wangu msiba haijaisha, nitaonekana mtu wa ajabu nikiondoka hapa, ikiwa mimi ndio rafiki wa karibu na vifo vyote vya hawa watu vimetokea, mimi nikishuhudia”

“Sawa ila angalia visichana visichana usije vikakuletea upuuzi, nitaviua buree. Kwa maana nimesha ona kuna visichana hapa vimesha anza kukumezea mate”

“Niamini mke wangu siwezi kumpa nafasi mwanamke mwengine. Vipi umekula?”

“Sina hata njaa”

“Poa”

“Nitafutie mzee basi nizungumze naye”

“Poa huu ni muda wa chakula ngoja wamalize ninaweza kumuona.”

“Poa”

Tukaachana na Eddazaria na kurudi katika timu ya wasichana wangu ninao fanya nao kazi kwenye kampuni yangu. Masaa yakazidi kuyoyoma, hadi inafika jioni, nikawaruhusu timu yangu hii kuondoka eneo hili wakiongozanana dokta Clara wakaingia kwenye basi maalumu la kampunini na safari ya wao kurudi Lushoto kambini ikaanza. Nikamuona mzee ambaye Eddazaria liniambia ndio baba wa marehemu Swedy, nikamfwata na kumsalimia.

“Mzee wangu, naamini kwamba unaweza kuona mimi ni mkorofi ila ninakuomba uweze kunisamehe kwa kile kilicho jitokeza pale”

“Usijali binti yangu, nilisha lifwatilia na kugundua kwamba wewe huna kosa lolote”

“Asante sana mzee wangu”

“Nashukuru pia kwa kile mulicho weza kunipatia wewe na mwenzako. Kusema kweli Mungu awabariki”

“Amen baba yangu, na nyinyi pia Mungu azidi kuwajalia na kuwapa nguvu katika kipindi hichi kigumu”

“Amen”

“Sawa mzee wangu ninaomba ruhusa mimi niende nyumbani, naona muda umekwenda sasa”

“Sawa sawa, umesha muaga mwenzako”

“Hapana hapa ndio ninamtafuta”

“Ngoja nikamuite”

Baba Swedy akaondoka, nikaelekea lilipo gari letu, hazikupita hata dakika tatu, Eddazaria akanifwata ndani ya gari ninapo msibiria.

“Unanguo za kubadilisha?”

“Ndani si nina tisheti na pensi, hii kanzu nitaivua wakati wa kulala”

“Sawa”

“Umesha zungumza na mzee?”

“Ndio, amenielewa”

“Sawa, bwana. Kuwa makini barabarani”

“Tunaingia lini location?”

“Kesho nikija nyumbani tutazungumza”

“Nije kukuchukua asubuhi?”

“Mmmm upendavyo wewe”

“Poa mume wangu”

Tukanyonyana midomo na Eddazaria, baada ya hapo akashuka kwenye gari, nikawasha gari na kuondoka. Nikiwa katika foleni ya Ubungo mataa, nikaikumbuka simu ya mama Ngoi, nikatazama saa ya simu yangu na kukuta ni saa mbili usiku na dakika tano. Kuna muda wa kutosha wa mimi kuweza kuipeleke simu hiyo kwa mama Ngoi mwenyewe, nikaitoa nyuma ya siti niliyo ikalia, nikaiwasha, taa za kijani zikaturuhusu gari za upande wetu kuendelea na safari, nikaendelea na safari yangu. Nikaitafuta namba ya Lily na kumpigia kupitia simu hiyo hiyo, simu hiyo ikaanza kuita kwa muda kisha ikapokelewa.

“Jojo habari yako”

“Salama”

“Leo tumejaribu kukupigia hadi tumechoka”

“Nilikuwa msibani, nahitaji kuwakabidhi simu yenu mupo wapi?”

“Ahaa kwa sasa mimi nipo hapa Mlimani City, wewe upo wapi?”

“Nisubiri hapo hapo nafika baada ya dakika kama mbili hivi”

“Sawa”

Nikakata simu na kuiweka pembeni ya siti. Nikafika eneo la Mlimani City, nikasimamisha gari langu kwenye moja ya maegesho. Nikampigia Lily.

“Nimefika”

“Mimi nipo hapa Samaki Samaki, ninakula kama huto jali unaweza kuja, ila samahani sana”

“Poa”

Nikakata simu na kushuka kwenye gari gari, nikajiweka vizuri dera langu pamoja na mtandio wangu ulio funika nywele zangu vizuri kichwani mwangu. Nikafika kwneye mgahawa huu, na kumuona Lily akiwa amekaa peke yake, nikamftwata na kukaa kwenye kiti cha mbele yake.

“Unakula nini Jojo?”

Lily aliniuliza kwa sauti ya furaha huku akinitazama usoni mwangu. Sikumjibu kitu chochote zaidi ya kumsogezea simu ya mama yake.

“Kagua kama ni simu yenyewe”

“Ndio yenyewe?”

“Kagua, usiseme ni yenyewe kwa kuitazama kwa nje”

Lily akafanya kama nilivyo muagiza, alipo hakikisha kwamba ni yenyewe akatingisha kichwa kwa kukubaliana na mimi kwamba ndio simu yenyewe.

“Poa mida”

“Samahani Jojo, mbona unaonekana kama haupo sawa?”

“Nimetoka msibani, nimekueleza hilo”

“Nani tena amekufa”

“Rafiki yangu”

“Jamani pole sana”

“Asante”

“Kwa hiyo ukai na mimi na tukala japo kidogo”

“Nitaenda kula nyumbani kwangu”

“Ninaweza kupafahamu kwako?”

“Siku nyingine”

“Jojo jamani mbona unanijubu kimkato kato, kumbuka kwamba mimi ni rafiki yako na shabiki yako namba moja. Nakuomba usinikasirikie jamani”

Lily alizungumza kwa masikitiko hadi wadada wawili walio kaa meza ya pembeni yetu wakaanza kututazama.

“Naomba Jojo, twende kwako”

“Ndio mwenyewe”

Niliweza kuzisikia sauti za wadada hao wakinong’onezana. Muhudumu mmoja akatufwata.

“Dada nikuletee………”

Muhudumu huyu akasita kidogo huku akinishangaa.

“Nifungie chips kavu na mishkaki kumi”

“Wewe ni Jojo?”

Muhudumu huyu naye aliniuliza, hapa ndipo nikagundua kwamba jina langu limeweza kukua.

“Ndio mwenyewe”

Lily aliwahi kuniwahi.

“Mkuu, mkuu njoo”

Muhudumu huyu alimuita mzee mmoja wa kihindi. Mzee huyo akafika hapa nilipo simama, naye akaonekana kunishangaa sana.

“Huyu ndio Jojo, tuliye kuwa tunamzungumzia mchana kwamba atafaa kwa ajili ya matangazo yetu”

“Oooohoo Jojo, penda sana wewee. Jua taka wewe fanya tangazo kubwa ya gahawa yangu hii”

Kwa jinsi watu wanavyo nitazama na kunishangaa, nikaanza kujikuta nikitetemeka mikono yangu, kwani ni kitu ambacho sikukitarajia kukutana nacho kwa wakati huu ambao hata filamu tunayo itengeneza gado haijaanza kutoka.


“Ahaa….samahani jamani naomba kuondoka”

Nilizungumza huku nikinyanyuka kwenye kiti nilicho kikalia.

“Hapana Jojo, mimi shukuru wewe kuwa hapa katika Mgahawa wangu, omba hata dakika zungumza nawe, taka fanya biashara na wewe”

“Kweli Jojo, nakuomba umsikilize bosi wangu”

Muhudumu naye alizungumza. Wadada walio kaa pembeni yetu, wakasima, wakaniomba nianze kupiga nao picha. Nikakubaliana nao, Lily akajumuika na yeye katika hili zoezi la kupiga picha.

“Yaani Jojo huwezi amini, jana nilivyo weka picha yetu Instergram, imepata like milioni moja huku mimi mwenyewe nikiwa na watu laki tatu tu”

Lily alizungumza kwa furaha sana, hadi mimi mwenyewe nikaendele kupata kigugumizi na kukosa hata la kuzungumza.

“Jojo karibu ofisini kwangu”

Mzee huyu wa Kihindi alizungumza huku akinishika mkono, tukaondoka katika eneo ili na kuwacha Lily na baadhi ya wateja wakinishangaa kwa jinsi ninavyo nyeyekewa na watu hawa. Tukaingia katika ofisi ya mzee huyu, akanikabiribisha kwenye masofa yaliyomo katika eneo hili.

“Karibu Jojo, mimi itwa Kanjubai, ndio miliki hii place”

“Nashukuru kwa kukufahamu”

“Taki potezea wewe muda yako, taka weza ongelea Bussines. Taka wewe kuwa fanyia sisi tangazo, tangaza hii gahawa yangu, zidi kukua, vuta wateja kuja pata chakula, kunywa na mambo mengine mengi”

“Nimekuelewa mzee wangu, ila siwezi kuzungumza chochote pasipo kuwasiliana kwanza na meneja wangu, yeye ndio unaweza kuzungumza naye macho yote ya kibiashara”

“Hapana tatizo wewe, weza zungumza na meneja wako hata sasa, ambia yeye hii dili”

“Sawa”

NIkatoa simu yangu kwenye mfuko wad ere nililo livaa. Nikaitafuta namba ya Eddazaria na kuipata, nikampigia, simu yake ikaanza kuita na baada ya muda ikapokelewa.

“Vipi umesha fika nyumbani”

“Hapana baby, nipo hapa Mlimani City”

“Kuna nini tena?”

“Kuana dili nimelipata kutoka kwa mmiliki wa huu mgahawa wa hapa Samaki Samaki, si unapafahamu?”

“Ndio, ehee anataka nini?”

“Anahitaji niweze kufanya tangazo kwa ajili ya huu mgahawa wao”

“Anahitaji kukulipa kiasi gani?”

“Sijazungumza naye kuhusiana na malipo”

“Hembu muulize dau kisha utaniambia”

“Sawa, ila maxmum iwe kiasi gani?”

“Si chini ya milioni mambi mbili, kwa sasa ila akisubiria filamu ukatoka, ajue ni bilioni of money”

“Sawa baby”

“Poa”

Nikakata simu na kumtazama mzee Kanjubai.

“Wewe ita meneja yako baby”

“Ndio ni mume wangu mtarajiwa. Nimezungumza naye tayari na amenipa maelezo. Ila kabla ya kuyazungumza labda nisikilize ofa yako wewe inakwendaje?”

“Mimi weza lipa wewe milioni kumi”

Macho yakanitoka, hadi mzee Kanjubai akajistukia na kutabasamu.

“Acha kunitania, zungumza biashara mzee wangu”

“Kweli lipa wewe milioni kumi sasa ni kubwa sana”

“Kwa milioni kumi hatuwei kufanya kazi kwani hiyo pesa haifikii hata bei ya gari ninalo tembelea”

“Wewe taka kiasi gani?”

“Kwa sasa kabla sijaachia filamu yangu, nahitaji milioni mia tatu kufanya kazi ya kukutangazia, ila filamu yangu ikitoka, ujue ni dunia nzima itanitambua, hivyo basi utanilipa zaidi ya bilioni moja. So hapo siwezi kushuka”

“Mmmmmm”

“Ndio, nambo karatasi nikuandikie namba yangu, kama utakuwa tayari kufanya kazi na mimi utanitafuta kama hauto kuwa tayari kufanya kazi na mimi basi utaitunza.”

Mzee Kanjubai akanisogeza kitabu kidogo pamoja na kalamu, niakiandika namba yangu ya simu, kisha nikamkabidhia.

“Jojo punguza basi kidogo?”

“Siwezi kufanya hivyo yaani hapa meneja wangu aliniambia nifanya kwa milioni mia tano, ila niamemua kukupunguzia tu”

Ilinilazimu kumdanganya mzee huyu ili mradi kuiweka thamani yangu juu.

“Sawa, mimi ngoja kaa na yangu familia, patia wewe jibu”

“Asante”

Nikanyanyuka kwenye kiti na kumkabidhi mkono mzee Kanjubai, nikatoka ofisini hapa, nikakutanaa na wahudumu watatu wa huu mgahawa wakinisubiria nje, wakaniomba kupiga picha na mimi kisiri siri, tukafanya hivyo.

“Oda yako ipo tayari”

Muhudumu mmoja alizungumza, huku akitabasamu, nikongozana naye hadi nje, akanikabidhi chakula changu, nikataka kumlipa ila akakataa pesa.

“Yule dada pale amekulipia”

Alinionyesha Lily, sikuhitaji kuzungumza sana zaidi ya kumshukuru huyu muhudumu. Nikamfwata Lily aliye simama nje kabisa ya mgahawa huu.

“Asante”

“Usijali Jojo, hivi unakaa wapi?”

“Huko juu”

“Wapi jamani”

“Tegeta”

“Haaa kumbe tunakaa eneo moja”

“Ahaa”

“Ndio, tegeta ipi?”

“Siijui inaitwaje”

“Sawa, kwa maana hata mimi mwenyewe ninakaa huko huko, je unaweza kunisaidia lifti”

“Sawa twende”

Furaha ya Lily ikazidi kuongezeaka mara baada ya kumkubalia. Tukaondoka katika eneo hili. Kutokana na foleni kubwa muda huu wa usiku, neoe la hapa Mwenge mara nyingi linatuchelewesha watu wengi. Lily akatoa chupa ndogo kwenye pochi yake, nilivyo soma maandishi kwenye kichupa hichi nikajua kinaitwa Grands.

“Hiyo ni pombe?”

Nilimuuliza Shamsa kwa sauti ya upole huku nikimtazama kwa macho ya kuiba iba.

“Yaa”

“Kwa nini unakunywa?”

“Ahaaa…nime achana na boyfriend wangu”

“Kwa nini?”

“Nilimfumania na rafiki yangu, yaani inaniuma sana”

Lily alizungumza huku akifungua kichupa hicho, akaanza kupiga mfumba kadhaa ya pombe hiyo.

“Pole”

“Asante, yaani wanaume wote ninawaona mambwaaaa”

Lily alizungumza huku akirudisha chupa hiyo mdomoni na kuendelea kunywa pombe hiyo ambayo nikaanza kuihisi ni kali sana, kwani uso wa Lily ulijaa mikonjo kadhaa pale anapo inywa.

“Unahisi kunywa pombe inaweza kubadilisha hali halisi ya kile kilicho tokea?”

“Bora ninywe Jojo, bora iwe hivyo. Mimi ninamuhudumia mwaanume huyo kwa kila kitu, yaani kuanzia boksa yake ya ndani, mimi ninamnunulia, ila leo hii ananisaliti, inauma, inauma sana Jojo”

Lily alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Akamalizia pombe iliyomo kwenye kichupa hicho, akashusha kioo taratibu na kukitupa nje, kisha akafunga.

Kabla magari hayajaruhusiwa, dirisha la upande wa Liliy ukagongwa, tukamuona askari usalama wa barabarani ndio anaye gonga.

“Ahhh…..anataka nini huyu mseng***”

Lily alizungumza kwa hasira huku akinitazama.

“Fungua”

Taratibu Lily akafungua kioo cha upande wake.

“Nini?”

Lily alizungumza kwa ukali.

“Dada shuka uokote kichupa chako, unachafua mazingira na kumbuka hapa ni barabarani na chupa yako hiyo ni ya kiioo inaweza kukanyagwa na gari, ikapasuka ikasababisha ajali”

“Ahaa, si uokote kwani wewe unashindwa kuokota hadi mimi nishuke huoni hapa ni kwenye foleni”

“Dada kuwa mstarabu, nimekueleza kiupole kabisa na unaleta swaga za kipuuzi, nitakuweka ndani wewe”

Askari huyo wa kiume naye alizungumza kwa ukali kidogo.

“Hee uniweke ndani unajua mimi ni nani?”

“Kwenda zako shuka uokote kichupa chako”

“Sishuki”

“Wewe dada fungua mlango, nimshushe huyu mpuuzi”

Askari huyu alizungumza huku akiingiza mikono yake ndani ya gari.

“Afande kuna nini kinacho endelea hapo”

Asakri mwengine alizungumza huku akija katika eneo hili.

“Ni huyu binti ametupa chupa ya Grands hapo barabarani, ninamuambia aokote alafu ananitishia kwamba ninajua mimi ni nani?”

“Dereva weka gari pembeni”

Askari huyu wa pili alizungumza kwa ukali, begani mwake ana nyota kadhaa.

“Mkuu huko pembeni kuna gari, nitalitoaje na hapa nimebanwa”

“Hei ruhusu gari za upande huu, kuna gari tunalihitaji. Over”

“Nimekupata mkuu Over”

Gari za upande wetu zikaanza kuruhusikwa, huku askari huyu akikaa mbele ya gari letu na mwengine akizisimamisha gari za nyuma. Sikuhitaji kuwa mbishi au kuingia katika mafarakano na askari hawa, kwa maana huwa ninafahamu vuguvugu la askari pale wanapo amuaga jambo lao, kwani ni miezi kadhaa nyuma, walimbamiza Eddazaria hadi yeye mwenyewe akajisikia vizuri.

“Lily ungekubaliana nao tu”

“Usiogope maumbwa hawaa”

Lily alizungumza kwa kujiamini sana. Askari hawa wakamuamrisha Lily kushuka, ikanibidi na mimi kushuka ili kuweza kuisikiliza hii kesi kwani Lily ni hapa alipo ana pombe kichwani mwake, na kitu chochote anaweza kukifanya ambacho kinaweza kukuza tatizo hili ambalo hatujalitarajia kabisa kuweza kutupata muda kama huu.

“Kwa nini unakuwa mkaidi, kwanza umelewa ukiwa ndani ya gari. Pili umekuwa mmemletea kijana wangu fujo ikiwa amekuomba kiustarabu?”

“Kwa hiyo?”

“Binti usiendelee kuongea ujeuri, nitakupiga pingu sasa hivi”

“Heheeee, kifungu gani cha sheria kinasema unifunge pingu nikikujibu jeuri heee?”

“Utakijua huko mbele ya safari nyoosha mikono yako”

Askari huyo alizungumza huku akitoa pungu kiunonimwake.

“Jamani kaka zangu, nawaomba kama hili swala linaweza kuzungumzika, basi lizungumzike, samahani jamani. Huyu mtu amelewa hapa na ana mawazo mengi sana yanayo mpelekea kuwa hivi”

“Pombe zitakwenda kumuisha huko kituoni, huwa tunapenda watu jeuri kama hawa”

“Sikiani nyinyi, hakuna mtu hata mmoja kati yenu anaye weza kunifunga pingu. Wewe unaongoza ongoza magari hapa alafu munaniletea using**. Je sisi tunao shinda macho usiku kucha kwa ajili ya kulinda taifa munatuchukuliaje, au munaniona mimi boya eheee?”

Lily alizungumza kwa ukali, hadi nikaanza kuhisi mabadiliko fulani kwa hawa askari, kwani tayari wamesha anza kunywea.

“Zungumzeni, ehee. Huyo kijana wako ameshindwa tu kijiongeza, alishindwa kuokota kichupa hicho hadi anishushe kwenye gari, tena tupo kwenye foleni, bila haya tu anakuja kuanimbia nishuke na kuokota, isitoshe anaingiza mikono yake ndani ya gari, na kunishika shika mikono yangu anajua nina thamani gani eheee?”

“Ila una makosa ya uchavuzi wa mazingira”

“Kwa hiyo, hao wafanyakazi wa jiji wanao fanya usafi asubuhi watasafisha nini, sisi tusipo tupa taka, eheee?”

“Kwa hiyo ndio unachafua makusudi au?”

“Bwana munatupotezea muda, Jojo ingia kwenye gari tuondoke”

“Hembu nyoosha mikono tunakupeleka kituoni”

“Sinyooshi”

“Nyoosha”

Askari huyu alizungumza huku akijitahidi kumshika Lily mkono wake wa kushoto.

“Sinyooshi, usiniletee upuuzi wako”

Lily alizungumza huku akimsukuma askari huyo, kwa bahati mbaya askari huyo akapepesuka na kuingia pembezoni mwa mtaro.

‘Oohooo’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama baba huyo akinyanyuka kwenye mtaro huo, nguo zake zote nyuupe zikiwa zimejaa vumbi, kwa bahati nzuri mtaro huu hauna maji. Akaskari huyu mwengine akajaribu kupiga mtama Lily, ila Lily akaruka juu kidogo na mguu huo ukapita.

“Unataka kunipiga, unataka kunipiga mimi?”

Lily alizungumza kwa ujasiri huku akimsukuma askari huyu wa pili, ambaye kidogo akajikaza. Ila hata kabla hajajiweka sawa, akapokea kofi zito la shavu, nililo mfanya kuwa kama mbogo aliye jeruhiwa. Akamvamia Lily na kujaribu kummshika mkono ila Lily akajigeuka, kwa haraka, na kumzaba kofi ambalo kwa waswahili wenyewe wanaita kofi la ‘KELBU’ hadi kofia iliyo kichwani mwake ikaruka hewani kidogo na kuanguka chini. Askari huyu mwengine aliye jitoa kwenye mtarao kwa juhudi zake zote ili aje kumkamata Lily, nikashuhudia akirudishwa tena kwenye mtaro kwa teka lililo tua kifuani mwake na kumfanya atoe ukelele hadi akamuita mama yake ambaye kusema kweli sijui yupo mkoa gani kama ni hapa Dar es Slaam, basi nahisi amesikia ukelele wa mwanaye huyu, ambaye kwa kumkadiria anaweza kuwa na miaka zaidi ya arubaini.

“Jojo twende zetu”

Lily alizungumza huku akilifwata gari, askari huyu aliye pigwa kofi la keblu sikujua hata nikitu gani kilicho mfanya kurudi kwa Lily, kwani alipigwa ngumi ya kidevu kwa wataalamu tunaiita upper cut, kwani kwa macho yangu nikashududia meno mawili yakielea hewani, huku yakisindikizwa na michuzi ya damu damu, na yeye akamfwata askari mwenzake ambaye ni mkuu wa wake wa kazi kwenye mtaro na kuzimia hapo hapo ndani ya mtaro.



“Jojo tuondoke unashanga shangaa nini?”

Lily alizungumza huku akifaungua mlango wa gari na kuingia ndani, kwa haraka na mimi nikazunguka upande wa pili wa gari na kuingia ndani. Nikatazama kwenye kioo cha pembeni yangu huku nikiwasha taa inayo muonyesha dereva wa gari zinazo kuja kwa nyuma kwamba ninaingia barabarani. Dereva wa gari lililo kuwa likija nyuma yangu, akaniruhusu kwa kupunguza mwendo wake wa gari kwa maana alikuwa katika mwendo kasi akijitahidi kuziwahi taa zisije zikabadilsha mwanga na kurusu gari za upande mwengine kupita. Nikaingia barabarani kwa mwendo wa kasi sana na kwa bahati nzuri nikaziwahi taa hizo na safari ya kuelekea Tegeta ikaendelea.

“Wewe ni nani Lily?”

“Mimi?”

“Ndio wewe ni nani?”

Nilimuuliza Lily kwa msisitizo.

“Mimi nipo kitengo kimoja hatari serikali”

“Ni kitengo gani hicho?”

Lily akafunga mkanda wa siti ya gari, ikanibidi na mimi kujifunga mkanda huu, kwa mana kwa haraka haraka zile nilishindwa hata kujifunga mkanda.

“Nipo katika kitengo cha siri, kinacho shuhulika sana na maswala ya usalama wa hili taifa. Kwa haraka haraka na ninavyo jiweka hakuna mtu ambaye anaweza kunifahamu na ndio silaha ya pekee ambayo tunatakiwa watu kama sisi kuweza kujiweka”

“Duu ila lile ulilo lifanya pale ni kosa?”

“Muda mwengine tunatakiwa kuwachangamsha changamsha na vitambi vyao, najua lazima hili gari watalitafuta, inabidi leo siku nzima niwe na wewe, la sivyo nikikuacha ukaenda kwako peke yako. Watalitafuta kupitia satelait na mwisho wa siku wanakukamata wewe, na wewe huto jua mimi ni wapi ninapo ishi na nitakuingiza kwneye matatizo bure ikiwa unahiji kuendelea kufanya filamu yako”

NIkazidi kushangaa kwani hata zungumza ya Lily imebadilika, sio yule Lily aliye kuwa akijichekesha na kuniona mimi superstar wake aliye hitaji kupiga picha na mimi kila mara.

“Unataka niwe na wewe usiku huu nyumbani kwangu?”

“Ndio”

“Na askari waje kukukamatia nyumbani kwangu?”

“Ikiwezekana, watakuja kunichukua na si kunikamata. Kwa maana nitapewa ofisi tu na kitengo changu na si wao askari”

“Unaonaje tukaenda kwenu, ili kama ni kukamatwa uje kukamatiwa nyumbani kwenu”

“Sawa mimi sina tatizo katika hilo”

“Poa”

Lily akanielekeza hadi nyumbani kwao. Ni jumba kubwa la kifahari, geti likafunguliwa na tukaingia ndani, akanionyesha eneo ambalo magari yanasimamishwa.

“Jisikie huru Jojo hapa ni kama kwenu”

Lily alizungumza huku akishuka kwenye gari, hata kabla sijafunga mkanda wa sijafungua mkanda simu yangu ikaanza kuita, kwa haraka nikaichukua na kukuta ni Eddazaria ndio anaye piga. Nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.

“Baby”

“Upo wapi?”

Eddazaria alizungumza kwa ukali kidogo ulini nifanya nistuke kwani hadi tunaagana hatukuwa na tatizo lolote katikati yetu.

“Vipi baby kuna tatizo?”

“Sio jibu hilo niambie upo wapi na upo na nani?”

“Nipo na mtoto wa yule mama aliye mwenye ule mgahawa tunao nunulia chakula.”

“Ingia whatsapp, nimekutumia video na uangalie ujinga wenu mulio kuwa munaufanya”

Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbili, kutokana simu yangu ina uwezo wa kutumia application nyingine pasipo hata kukata simu, nikafanya hivyo. Nikaingia kwenye mtandao wa Whatsapp na kukuta video inayo muonyesha Lily jinsi alivyo kuwa akiwapiga askari polisi wa kikosi cha barabarani, na mchukuaji wa video hiyo alikuwa amejificha katika sehemu ambayo mimi wala Lily hatukuweza kumuona kabisa.

“Umeona ujinga wenu huo, na hiyo video imeshambaa kwa kasi sasa hivi na hapa ninavyo zungumza na wewe ba mkubwa ametoka kunipigia na ameniambia kwamba vijana wake wapo kwenye msako wa kulisaka gari pamoja na nyinyi”

“Ila Eddy mimi sijahusika hapo kwa chochote”

“Hujauhusika kwa chochote wapi, ulivyo ondoka kwa mwendo kasi na muhalifu unahisi kwamba hujahusika. Hapo hakuna tofauti ya jambazi aliye iba ndani ya benki huku mwenzake akimsubiria nje kwenye gari na alipo toka wakaondoka wote kwa pamoja”

Eddazaria aliendelea kuzungumza kwa ukali sana, hadi nikajukuta nikikosa kitu cha kuzungumza.

“Jojo kumbuka tumechukua pesa za makampuni ya watu na wamedhamini katika kampuni yetu. Hapo unahisi kuna kitu gani kitakacho tokea, watakapo ona hiyo video, eheee?”

“Eddy naomba unisamehe mpenzi wangu, sikujua kwamba lile tukio linaweza kuwa na matokea makubwa kama hayo”

“Mimi sina tatizo na wewe Jojo, tatizo lipo polisi na kwa watu walio wekeza pesa kwa ajili ya filamu hiyo, ni mara mia ungeonyesha hata dalili ya kuamua huo ugomvi, ila ndio kwanza umekaa ukishangaa shangaa”

Nikajikuta nikijifuta kajasho kanako anza kunichuruzika kwenye paji langu la uso.

“Eddy ila huyu binti amesema yeye eti ni usalama wa Taifa”

“Usalama wa taifa ndio awapige hao askari, kwa cheo gani alicho kuwa nacho yeye. Hata rahisi mwenyewe hana mamlaka ya kumpiga askari zaidi ya kumfukuza kazi tu au kumfunga anapo fanya kosa”

“Eddy nitafanya nini mimi jamani”

“Upo wapi, hukulijibu swali langu niliko kuuliza?”

“Nipo nyumbani kwa kila Lily, ameniambia niwe naye usiku huu kwa maana anatambua kwamba polisi watakuja kumkamata hapa kwao”

“Daaa, mambo ya kusumbuana hayo bwana, usiku wote huu Jojo na umemtoa wapi kwani huyo binti?”

“Tulikutana tu pale Mlimani City”

Ukimya ukatawala kati yetiu huku nikimtazama Lily anaye nisubiria nje ya gari.

“Eddy”

“Ngoja nafikiria cha kufanya hapa kwa maana askari wakiwakamata na wewe lazima utalala ndani, na ukilala ndani, CV yako inazidi kuharibika”

“Ohoo Mungu wangu, inakuwaje sasa Eddy, naogopa jamani”

“Nawasiliana na baba mkubwa, hakikisha kwamba unakuwa hapo hapo ulipo, mimi ninaomba pikipiki hapa, ninakuja huko sawa”

“Sawa”

“Hakikisha kwamba huzimi simu, na unakaa chumba cha kujificha ambacho si rahisi kwa askari kukufikia hata kama upo ndani ya nyumba hiyo”

“Sawa Eddy”

“Na upo wapi?”

Nikamuelewesha Eddy eneo ambalo nipo, akaniahidi atafika hapa baada ya nusu saa. Nikakata simu huku hasira ikianza kunijaa kifuani mwangu, kwani huyu mpuuzi ananisababisha matatizo ambayo sijayatarajia kwa wakati huu.

“Ulikuwa unazungumza na shemeji nini?”

“Hembu niachie upuuzi tena, hujui ni matatizo gani ambayo umenisababishia”

“Hee Jojo matatizo gani, wakati kama ni kupigana nimepihgana mimi jamani?”

“Nisikilize Lily, wewe sijui ni mwana usalama gani, hilo mimi halinihuusu. Endapo ikatokae, madhamini hata mmoja akaamua kusitisha mkataba na kampuni yangu, kitu ambacho nitakwenda kukufanya, hujawahi kusimuliwa au kukiona kwenye maisha yako umenielewa”

Nilizungumza huku nikiwa nimamkazia Lily macho.

“Nimekuelewa Jojo na hilo jambo wala halito weza kujitokea”

“Wewe Zungumza tu hivyo, swala kama hilo litokee, ndio utanijua Jojo wa upande wa pili nipo vipi umenielewa wewe?”

Niliendelea kuzungumza kwa jazba.

“Nimekuelewa, tujingie zetu ndani ukamuone mama”

Sikuitikia chochote, nikamkabidhi Lily simu yangu na kumuonyesha video niliyo tumiwa na Eddy.

“Watanzania wapo fasta”

“Weweee…..! sema watanzaniaa, wapo fast, ikiwa tunatafutwa sasa hivi polisi”

Nilizungumza huku niiibana pua yangu, Lily akaangukua kicheko kilicho zidisha hasira yangu.Tukaingia sebleni na kumkuta mama Ngoi akitazama televishion.

“Hee Jojo leo umekuja kututembelea……

Mama Ngoi alizungumza huku akinyanyuka kwenye sofa alilo kalia, akanifwata kwa haraka sehemu nilipo simama na kunikumbatia kwa nguvu. Nikamtazama bandeji alilo fungwa kichwani mwake.

“Unaendeleaje?”

Nilizungumza kwa sauti ya upole

“Salama mwanangu”

Simu iliyopo pembeni ya mlango wa kuingilia humu ndani, ikaanza kuita, kwa haraka Lily akaisogelea na kuipokea.

“Wamefika?”

“Usiwaruhusu hadi nikuambie”

Lily kwa haraka akairudisha simu hiyo sehemu yake.

“Wamekuja kina nani?”

Mama Ngoi alimuuliza Lily ambaye tayari alisha fika sehemu tulipo simama.

“Askari, wamakuja kunikamata”

“Kwa nini na kwa kosa gani?”

“Mama muda huu sio muda wa kuulizana maswali. Naomba umchukue Jojo na uende naye chumbani kwako, yeye atakuelezea ni kitu gani kinacho endelea”

“Jojo kuna nini kinacho endelea?”

“Mama kuwa muelewa basi, nendeni”

Lily alizugumza kwa kufoka sana na kumfanya mama yake kutangulia kupandisha gorofani, na mimi nikaanza kumfwata kwa nyuma. Tukaingia katika chumba chake kilicho pangiliwa vizuri.

“Jojo hembu niambie ni kitu gani kinacho endelea?”

Mama Ngoi alizungumza huku akielekea dishani akafungua dirisha kidogo na kuchungulia nje. Nikalisogelea dirisha hilo na kuchungulia nje. Nikaonga gari mbili za polisi zikiingizana ndani huku polisi wenye silaha pamoja na mbwa wakubwa wakishuka kana kwamba wapo kwenye msako wa magaidi porini.

“Jojo niambieee”

Mama Ngoi alizungumza huku machozi yakimlenga lenga, kwa haraka nikaiweka video ya ujinga alio ufanya mwanaye.

“Hilo ndio lililo wafanya hawa watu wawe hapa”

Nilizungumza huku nikiendelea kuchungulia dirisahani, askari hawa wakaendelea kuzunguka katika eneo hili la hili jumba hili kuhakikisha kwamba hatoki mtu. Nikamuona Lily akitoka ndani huku mikono yake akiwa ameinyoosha juu. Askari wawili kama wacheza myereka, wakamrukia Lily na kumuangusha chini na kuanza kumtandika vibao vya usoni. Mama Ngoi akataka kuja hapa dirishani ila nikamuwahi kumzuia, kwani kwa kitu anacho fanywa mwanaye, kwa mama yoyote ni lazima anaweza kupiga ukunga na kusababisha mimi kukamatwa pasipo Eddazaria kufika katika eneo hili.

“Ngoja nione”

“Tulia kwanza watatuona huku, ukifunua funua pazia”

“Hapana nataka kumuona mwanangu wanamfanyaje”

“Tulia mama”

Ilinibidi kutumia nguvu na kumkalisha mama Ngoi kitandani mwake, nikaichukua simu yangu, nikaanza kuitafuta namba ya Eddazaria, kabla hata sijampigia simu yake ikaaingia.

“Eddy”

“Upo wapi?”

“Umesha fika?”

“Ndio, upo wapi?”

“Nipo ndani?”

“Kaa huko huko, sawa”

“Sawa, ila umesha zungumza na baba mkubwa”

“Nimekuambia kaa huko huko kwanza”

Simu ikakatwa, kidogo nikapata kijiaamani moyoni mwangu.

“Kwa nini awapige polisi jamani?”

“Hayo maswali utamueliza Lily mwenyewe baada ya kumalizana na askari”

Nikarudi dirishani na kuwaona askari wakimnyanyua Lily, ambaye tayari uzuri wake ulisha potea kwa kipigo alicho tandikwa. Gari mbili nyeusi aina ya Toyota VX V8, zikaingia ndani ya geti huku zikwasha ving’ora vya kimya kimya vilivyopo katika kioo cha mbele. Wakashuka wanaume kumi walio valia suti nyeusi tupu, kwa haraka haraka nikatambua kwamba hao watakuwa ni wana usalama wa taifa.

Watu hao wakawafwata askari walio mshika Lily, na kumtoa mikononi mwao. Mzozano ukaanza kati yao.

“Kelele za nini hizo?”

Mama Ngoi alizungumza huku akinyanyuka kitandani.

“Shiiiii, rudi kitandani”

Nilizungumza kwa sauti ya kunong’ona. Mama Ngoi akanitazama kwa sekunde kadhaa, huku sura yake ikiwa imejawa na wasiwasi mwingi sana, kisha taratibu akarudi kitandani na kukaa. Kitendo cha kugeuza sura yangu na kutazama eneo hilo, nikaona wana usalama hao wakinyoosheana bunduki, polisi wakiwa wameshika SMG, huku wana usalama hao wakiwa wameshika bastola zao.

‘Mungu wangu kumbe hii ishu ipo serious sana’

Nilizungumza kimoyo moyo huku mwili mzima ukinitetemeka, kwani hili swala linaweza kusababisha hata vifo vya wana usalama hawa endapo tu wataamua kufyatuliana risasi, kwani polisi wanamuhitaji Lily wakampe adhabu na wana usalama wa taifa wanamuhitaji Lily waondoke naye.


Ujumbe mfupi wa meseji ukaingia kwenye simu yangu. Nikauyoa na kukuta ni Eddazaria ndio amenitumi, nikaufunga na kuusoma.

‘Yaani huko ulipo endelea kujificha, usije kujitokeza sawa Jojo’

Nikazidi kutetemeka, kwani meseji hii imeendelea kunitisha.

‘Sawa, ninaona jinsi hao watu walivyo nyoosheana bunduki’

‘Ndio hiyo, hali ni mbaya hapa, na muda wowote watu wanaweza kutoana roho. Askari wana hasira sana’

‘Baba mkubwa anasemaje?’

‘Mwenyewe ana mahasira yake haitaji hata kunisikiliza.’

‘Ohoo Mungu wangu, Eddy kumbe jambo hili limekuwa kubwa eheee?’

‘Nyinyi mulihisi wale ni wapiga debe munao wapiga?’

‘Mmmmm’

‘Wewe guna tu, umeona mwenzio jinsi alivyo chakazwa dakika sifuri’

‘Nimeona’

‘Ndio hiyo, yaani endelea kujificha huko huko, ukitoka na wewe, ujue movie imekufa’

‘Sawa baby, ila naomba unisamehe’

‘Mimi sina tatizo na wewe mke wangu, mwenye tatizo na wewe ni hawa raisi hapa’

‘Eddy naogopa jamani’

‘Mimi mwenyewe nina ogopa, kwa maana baba mkubwa hataki kabisa kunisikiliza’

‘Hapa wanamsubiria makamu wa raisi kuja kutatua hili tatizo’

Nikahisi haja ndogo ikanza kunitoka taratibu, ujasiri wangu wote ukaniishia. Nguvu hata za kuishika simu zikaisha na kujikuta nikiiweka chini na kumfanya mama Ngoi kunitazama kwa mshangao, akanyanyuka kitandani nakuanza kunifwata sehemu nilipo simama, hata nguvu za kunyanyua mkono na kumzuia asije eneo hili, sina. Taratibu akashika pazia na kulifunua kidogo. Nikamuona mama Ngoi akitetemeka miguu yake, na yeye taratibu akaka chini, kwani alicho kiona huko nje kinaogopesha. Meseji zinazo ingia kwenye simu yangu kutoka kwa Eddazaria ninashindwa hata kuzifungua na kuzisoma.

‘Ni kina nani wale?’

Mama Ngoi aliniuliza swala kama vile hajaona kilicho tokea, mbwembwe zote ninazo muonaga nazo mama huyu zimemuishia. Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama Mama Ngoi usoni mwake.

“Jojo eti ni kina nani?”

“Si askari wale”

“Ohoo Mungu wangu, wamekuja kumkamata mwanangu?”

“Mama mbona unauliza maswali yenye majibu akgahaaa”

Nikaichukua simu yangu, na kufungua meseji zote alizo nitumia Eddazaria. Nikakuta akiendelea kunisisitizia kujificha kwani hali huko nje sio nzuri kabisa, kwani bado majibizano makubwa yanaendelea.

‘Ehee Mungu wangu ninakuomba unisaidie’

Niliomba kimoyo moyo, nikantanyuka na kufungua pazia tena na kuchungulia nje. Nikaona gari kadhaa nyingine zikiingizana katika jumba hili, wakashuka walinzi wengine walio valia suti nyeusi, kisha gari moja ndogo aina ya BMW, akashuka makamu wa raisi. Wana usalama wa taifa pamoja na askari wakashusha silaha zao mara baada ya makamu wa raisi kusimama mbele yao.

‘Makamu wa raisi amefika’

‘Nimeona, wanazungumza nini’

‘Wanakuja huko ndani kuyazungumza’

‘Mmmmm’

‘Kwani upo wapi wewe?’

‘Nipo katika chumba cha mama mwenye nyumba’

‘Yeye mwenyewe yupo?’

‘Yupo nimejificha naye’

‘Ana ujasiri wa kutoka na kukutwa sebleni?’

‘Mmmmm hapa kwenyewe amekaa chini hana hata nguvu za kusimama’

‘Dooo kalegea’

‘Eddy hembu niambie ukweli na mimi nitafungwa?’

‘Sioni wakikuzungumzia, ila kimbebe kipo kwa huyo mwenzako. Yeye ndio ataisoma namba’

‘Masikini wee, hadi huruma’

‘Unamuonea huruma mwenzako, ikiwa la kwako halijaisha’

‘Eddy unaiogopesaha jamani’

‘Ndio hivyo Jojo, wewe Sali tu, na jamaa wamesha ingia ndani kujadiliana’

‘Ngoja nisikilize’

‘Tulia hapo ulipo acha kihere here’

‘Sawa baba’

‘Tena kama inawezzekana simu yako ipunguze sauti’

‘Mbona nimesha punguza hata kabla hujaniambia’

‘Sawa’

Masaa mawili yakaisha tukiwa ndani humu ndani.

“Mbona hawaondoki”

Mama Ngoi aliniuliza huku akinitazama soni mwangu.

“Sijui, makamu wa raisi yupo hapo sebleni”

“Sebleni?”

“Ndio wapo hapo sebleni”

“Ngoja nikaawanglie”

“Ukaawaangalie wemekuwa masanamu, hemu kausha kwanza, mwanao amefanya ujinga unao pelekea watu tushinde macho usikuu huu”

Nilizungumza kwa ukali kidogo, sikujali kama ni mwama mama ambaye anaweza kunizaa hata mimi.

‘Wanatoka’

Ujumbe huu wa Eddazaria ukanifanya ninyanyuke na kuchungulia dirishani, nikawaona wakitoka, wakampakiza Liliy katika moja ya gari jeusi. Makamu wa raisi akaingia kwenye gari aliko kuja nalo. Wana usalama wa taifa wakaondoka na Lily huku askari wao wakiingia kwenye difenda zao na kuondoka na magari yao.

‘Unaweza kutoka sasa’

Wala sikumuaga mama Ngoi nikatoka chumbani humu na kukimbilia nje, nikamkuta Eddzaria akiwa amesimama mbele ya gari letu. Nikamkumbatia kwa furaha, huku machozi yakinilenge lenga.

“Nisamehe mpenzi wangu”

“Usijali, tuondoke, wasije wakakurudia bure na wewe”

Nikatoa funguo za gari kwenye mfuko wangu wad era, na kumkabidhi Eddazaria. Tukaingia ndani ya gari. Taratibu tukaanza kutoka ndani hapa.

“Umeniambia kwamba umekuja na pikipiki”

“Yaa, kuna boda boda mmoja alipewa jukumu na baba Swedy la kunileta huku”

“Ahaaa. Ila Lily amepigwa?”

“Japo amepigwa, ila amekuwa maarufu kupita maelezo, huwezi amini hata mama amenitumia video yake”

“Mmmm”

“Yaani sasa hivi ukifanya jambo la kijinga ujue hata mama yako mkwe analipata”

“Mmmmm”

“Endelea kuguna tu”

Tukafika nyumbani, moja kwa moja nikaelekea jikoni kuandaa japo kitu cha kula usiku huu, kwa maana tangu asubuhi sijakula kitu cha kueleweka.

“Naenda kuoga”

“Sawa mume wangu”

Eddazaria akaondoka eneo hili na kuelekea gorofani, nikakaanga soseji kadhaa pamoja na mayai mawili, nikachukua juisi glasi moja na kuanza kunywa taratibu. Eddazaria akanirudi jikoni hapa akiwa na boksa tu.

“Hee umeandaa vya kwako peke yako?”

“Mi nikajua kwamba umeshiba”

“Ila nipo poa tu”

Eddazaria alizungumza huku akinishika kiuno changu kwa nyuma, na kuanza kukiminya minya taratibu.

“Mmmmm jamani baby”

“Nini?”

“Ngoja nimalize kula bwana”

Nilizungumza kwa sauti ya legevu iliyo jaa mahaba ndani yake. Eddazaria akazidisha mautundu, kwa kuanza kuninyonya siko la upande wangu wa kushoto kwa ulimi wake.

“Eddy jamaani”

Msisimko wa kimahaba ukaanza kunitawala, taratibu nikajukuta hata kipande cha soseji nilicho kuwa nimekishika, nikikirudisha kwenye sahani, nikamgeukia Eddazaria na tukaanza kunyonya midomo yetu. Eddazaria akalipandisha gauni juu dera langu huku akininyanyua na kunikalisha juu meza ya chakula iliyopo humu ndani. Mikono ya Eddazaria ikaendelea kukatiza kila eneo la mwili wangu. Mikono yangu nayo sikuhitaji kuizubaisha, nikaanza kukipapasa kifua cha Eddazaria, nikahamisha mkono wagu wa kulia katika jogoo wake aliye tuna vizuri ndani ya boksa yake.

Eddazaria akanivua dera langu, pamoja na sidiria niliyo vaana na nikabakiwa na skintait tu.

Taratibu Eddazaria akaanza kuyanyonya maziwa yangu, kitu kilicho zidi kunifanya nihisi msisimko, Eddazaria akamalizia kunivua skintait yangu pamoja na chupi, akaishusha boksa yake, taratibu akamshika jogoo wake, akamchezesha chezesha kidogo kwenye kitumbua changu na taratibu akaanza kumzamisha ndani.

“Ohoooo….aa…iiaaii…….”

Nilitoa miguno hii, huku nikizidi kufurahia shuhuli ninayopewa na mwauame huyu ambaye kusema kweli ninampa asilimia zaidi hata ya miwa, kwani ananihimili na kunikuna kila eneo la kitumbua changu.

“Baby”

“Mmmmmm”

“Nipo katika siku za hatari”

Nilizungumza huku nikimtazama Eddazaria aliye anza kupunguza kasi ya kukitafuna kitumbua changu.

“So nipige nje”

“Wewe unashaurije, kwa manaa bado hatujamaliza kushoot filamu”

“Sawa”

Shuhuli ikaendelea hadi muda ulipo fika, Eddazaria akafanya kama tulivyo kubaliana. Tukakumbatiana baada ya mzunguko huu wa kwanza kuisha. Tukapumzika kwa dakika kadhaa, kisha Eddazaria akanibeba mgongoni na tukaelekea chumbani kwetu.

***

Baada ya siku kadhaa za mapumziko, tukarudi Lushoto na kuendelea na uigizaji wa filamu ambayo tumeiachia katikati.

“Jojo”

“Beee”

“Nimefikiria kitu kimoja”

“Kitu gani?”

“Lile tukio la Lily unaonaje likaingia kwenye hii filamu”

“Mmm litaingiaje, ikiwa stori inaeleweka”

“Ngoja niingie ndani humu, nijaribu kuifumua kidogo hii story, nitapata tu sehemu ya kuichomeka lile tukio”

“Ila kwa nini unataka kuliweka hilo tukio?”

“Litazidi kuibeba filamu, kwa maana watu wakiliona tukio hilo kwenye trela ya filamu, watasahau kuhusiana na uhalisia wa lile tukio wakihisi kwamba itakuwa ni filamu”

“Ila hapo unatakiwa kuweza kupata ruhusa kutoka katika pande zote mbili. Polisi na usalama wa Taifa”

“Yaaa ngoja kwanza nilitafutie jinsi ya kuliweka kwenye filamu hii, kisha baada ya hapo nitazungumza na baba mkubwa”

“Poa”

Eddazaria akaingia kwenye gari tunalo litumia katika kupumzika, waasanii wengine waakendelea kushooti vipande ambayo tayari walisha elekezwa na Eddazaria. Email ikaingia katika simu yangu, nikaifungua na kukita ni ujumbe kutoka kwa mdogo wangu Judy aliyopo nchini india, ujumbe wake huu wa barua pepe alip nitumia, amaeambatanisha na cheti chake kinacho onyesha kwamba hali yake ya kiafya inaendelea vizuri na madaktari wamamuongezea mwenzi mmoja wa kukaa hospitalini ili hata akirudi basi atarufi akiwa salama salmini. Furaha ikanitawala usoni mwangu hadi machozi yakaanza kunilenga lenga usoni mwangu.

‘Mungu ni mwema mdogo wangu, Mungu azidi kukupigania afya yako irudi katika ubora wake’

Nikautuma ujumbe huo huku nikifuta machozi yangu usoni mwangu. Nikarudisha simu yangu mfukoni mwangu, gari mbili nyeusi zikafika katika eneo hili tunalo ingizia, wakashuka wanaume sita walio valia suti nyeusi pamojana miwanu nyeusi. Wakatazama tazama watu tuliopo katika eneo hili, walipo niona mimi moja kwa moja wakaanza kutembea kuja hapa nilipo kaa. Kabla hawajanifikia ikanibidi kusimama na kuwasubiria kunifikia.

“Wewe ndio Jojo?”

“Ndio”

“Twatana nasi, kwa mahojiano zaidi”

“Wapi?”

“Wewe fwata amri yetu, maswali ya wapi wapi, unayatakia ninia?”

Mmoja wao alizungumza kwa kufoka sana, hadi walinzi wetu wa kampuni wanao linda wakaanza kusogea katika eneo hili, kufahamu ni kitu gani kinacho endelea.


“Hamuwezi kunichukua tu kiholela holela na kuniambia kwamba twende nisipo pajua pasipo kunionyesha kitambulisho chochote”

Nilizungumza kwa kuijiamini huku nikiwakazia macho, waigizaji wengine nao wakaanza kutusogelea hapa tulipo. Mmoja wa wa wanaume huyu akatoa kitambulisho chake na kunionyeshea, nikakisoma na kinamuonyesha kwamba ametoka katika ofisi ya raisi na mwanau usalama wa raisi.

“Hei muite Eddy na umueleze juu ya hili”

“Sawa bosi”

Wanaume hawa wakaniweka katikati na kuanza kuelekea yalipo magari yao. Kabla hatujayafikia magari hayo, Eddazaria akatufwata na kutusimamisha.

“Munampeleka wapi?”

“Sio jukumu lako kufahamu”

“Mzee nimekuuliza kiustarabu, naomba unijibu kistarabu. Hayo majibu ya karaba siyapendi aissee”

Eddazaria alizungumza kwa kulalamika huku akimtazama mzee huyu aliye mjibu.

“Ingia kwenye gari”

“Hawezi kuingia, huyo ni mke wangu, mbili munatakiwa kunieleza ni wapi munampeleka na isitoshe tupo katikati ya kushoot filamu”

“Kijana acha mdomo mkubwa, kaa kimya tunampeleka na atarudi salama umelewa”

“Eddy please mume wangu, nitarudi sawa baba angu?”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama Eddazaria.

“Jojo siwezi kuwa na amani kwa maana siwajui hawa watu wametokea wapi”

Mzee huyo akatoa kitambulicho alicho nionyesha, Eddazaria akakisoma kwa muda, huku akiwatazama watu hawa kwa umakini.

“Ingia kwenye gari”

Nikafwata kauli ya mzee huyu, nikaingia ndani ya gari na mlango ukafungwa, nikamuona Eddazaria akizungumza na mwanaume huyo, ila mwanaume huyo hakimjibu zaidi ya kuingia ndani ya gari. Tukaondoka eneo hili, huku ndani ya gari ukimya ukitawala, nika. Kutokana nina jiamini kwa kila kitu sikuhitaji kujawa na wasiwasi wowote moyoni mwangu. Simu ya mmoja wa watu hawa, ikaanza kuita, akaitoa kwenye mfuko wa suti yake na kuipokea.

“Ndio mkuu”

“Ndio tumempata”

“Baada ya lisaa tutakuwa tumefika”

“Sawa muheshimiwa”

Akairudisha simu yake mfukoni, nikataka kukaa kimya ila ninahisi msukumo mkubwa moyoni mwangu wa kuuliza swali.

“Aha…samahani, munanipeleka wapi?”

Sikujibiwa kitu chochote. Tukafika Lushoto mjini, kwa akili yangu ya haraka haraka nikahisi gari hizi zitaelekea barabara ya kwenda Soni ila nikashangaa kuona gari hizi zikipandisha na kuelekea eneo moja ambayo Eddazaria aliniambia linaitwa Mangamba, katika kumbukumbu zangu aliniambi kuna msitu mkubwa sana ambao kipindi cha yeye alipo kuwa anasoma, magari yalikuwa yakitekwa na majambazi.

“Kaka munanipeleka wapi?”

“Binti tulia, mimi siwezi kukujibu, kwa maana sio mkuu wa hichi kikosi”

“Naomba tu uniambie kwamba ni sehemu gani na mimi niwe na amani kwa maana munanipekekea sehemu ambayo sielewi”

Mwanaume huyu hakunijibu chochote zaidi ya kushika sikio lake la upande wa kulia.

“Sawa mkuu”

Mwanaume huyu akatazama nyuma, nilihisi ananitazama mimi ila nilivyo yatazama macho yake nikagundua anatazama nyuma zaidi, nikageuza shingo na kutazama nyuma, sikuamini macho yangu baada ya kumuona Eddazaria akiwa katika moja ya gari ambalo tunalitumia katika uigizaji, akitufwata kwa mwendo wa kasi sana. Gari zikaanza kuongezwa mwendo kasi hapa sasa ndipo nikaanza kuisi kuna jambo ambalo linaendelea. Dereva wa gari hili akaanza kumzuia Eddazaria katika kumpita kwani kwa mara kadhaa anawawashia taa ya kuwaomba kuwapita ila dereva anamkatalia.

“Niambieni ni nini kinacho endelea”

“Kaa kimya”

Mwanaume huyo alizungumza huku akichoma bastola yake, akanielekezea mimi na kuniamrisha nikae kimya kabisa na nikifanya ujinga wa aina yoyote atanifumua. Hata kama mtu unajiamini vipi ila swala la bastola ni swala jengine kabisa, kwa maana inayo toka hapo ni risasi na si ngumi wala teke. Dereva wa gari la mbele akapunga mwendo kidogo na derva huyu wa gari nililipo mimi, akapita kwa kasi na kuongoza safari hii ambayo sifahamu ni wapi inapo elekea.

Nikatazama nyuma, nikaona wanaume hawa wajichomoza kwenye madirisha wakilishambulia gari la Eddazaria, gari likakunja kuona kushoto na kuingia porini kwenye msitu mkubwa sana, gari la pili nalo likatufwata, mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbilo. Mwanaume huyu akaendelea kuzidisha umakini juu yangu kwa kuninyooshea bastola yake. Nikageuka nyuma nikaliona gari la Eddazaria likizidi kunifwata jambo ambalo linazidi kuongeza hatari juu ya maisha yake kwa maana sielewi hawa watu wamejipanga vipi kwa hili swala ambalo sasa ninaamini kwamba ni utekaji.

Nikamtazama mwanaume huyu, kisha nikamtazama dereva.

‘Lazima nifanye kitu hapa’

Nilizungumza kimoyo moyo, kwani barabara hii tunayo ipita sio ya lami na ina mabonde bonde ambayo yanayafanya magari haya kidogo kuyumba. Gari hili tulilo lipanda, likayumba na kumfanya mwanaume huyu aliye nishikia bastola, kuyumba kudohgo, ikawa nafasi yangu ya pekee kuhakikisha kwamba ninatekeleza lile ninali liwaza.

Kwa haraka nikapiga teke la mkononi mwake, na kuifanya bastola hiyo kunyumba, kitendo cha yeye kujaribu kujiweka sawa, nikwa tayari nimesha iwahi bastola hiyo na kumnyooshea yeye.

“Simamisheni gari”

“Hahaa binti unafanya kosa kubwa sana”

Sikutaka upuuzi, nikampiga risasi ya mguu mwanume huyo na kumfanya dereva kufunga breki za gafla, kitendo kilicho basanisha nivutwe mbele kidogo na kujinga kwenye siti ya dereva, ila silaha sikuhitaji kuaichia kabisa. Gari la nyuma yetu ili lisitungonge dereva wake akajikuta akiliyumbisha, akafanikiwa kutukwepa, ila gari likamshinda nguvu na kujibamiza kwenye mti mkubwa na kutulia hapo hapo.

Eddazaria akaweza kulihimili gari analo liendesha na kufunga breki mita chache sana kutoka sehemu tulipo simama huku gari lake kioo cha mbele kikiwa kimejaa matundu mengi sana.

“Niambieni ni nani amewatuma?”

Nilizungumza kwa ukali sana, mwanaume niliye mpiga risasi hakiniujibu chochote kwa paana ameibamiza kichwa katika kioo cha mbele na kusababisha kuzimia hapo hapo. Nikaupeleka mkono wangu kwenye kiuno cha dereva na kichomoa bastola yake, dereva akanyoosha mikono yake juu akijisalimisha, kwani asilimia kubwa ya wezake tayari wapo kwenye matatizo.

“Niambie ni nin kinacho endelea?”

“Nikikuambia dada yangu nakuomba usiniue tafadhali”

“Siwezi kukuua, ukiniambi ukweli”

“Sisi si wana usalama na wala hatuhusiani kabisa na serikali hii….”

Mwanaime huyu akakatisha mazungumza baada ya kumuona Eddazaria akigonga kioo cha upande wangu, kwa haraka nikajaribu kufungua mlango ila nikakuta mlango umejifunga.

“Fungua milango”

Nilimuamrisha dereva na akafunuga mlango. Nikamkabidhi Eddazaria bastola moja kisha kwa ishara nikamuamrisha dereva huyu kushuka kwenye gari.

“Eddy wanagalia hao wa kwenye gari jengine”

“Upo salama lakini?”

“Ndio wewe je?”

“Nipo poa”

Eddazaria akaelekea kwa haraka katika eneo lilipo gari la watu wengine. Milio ya risasi iliyo sikika ikitoke katika eneo hilo ikanifanya nigeuka kwa haraka nak umtazama Eddazaria na kumkuta akimalizia kumpiga mmoja wa watu hawa risasi za kifua jambo lililo nistua sana. Nikastukia teke la kifua lililo niangusha chini na bastola ikaangukia pembeni. Dereva huyu akatoa kisu kidogo na kikikunjua. Nikanyanyuka kwa haraka huku nikiitazama bastola niliyo mbali kidogo na hapa nilipo. Dereva huyu akaanza kunishambulia, ila kutokana na uwezo wangu, nikajikuta nikimuhimili, kwa mapigo mazito ya mateke niliyo mpatia yakadhohofisha, nikapata nafasi ya kuokota bastola iliyo anguka chini na kumuelekea.

“Ukirudia ujinga ninakuua, niambie ni nani aliye waagiza”

Mwanaume huyu akanitazama kwa mcho ya huruma sana, ila sikuijali huruma yake kwa maana nina amani ni mtu mbaya kwangu. Milio ya risasi ikaendelea kusikika kwenye gari hilo, nikatazama kwa jicho la kuiba, na kumona Eddazaria akizunguka upande wa pili wa gari hilo.

“Niambie ni nani aliye waagiza”

Mwanaume huyu hakunijibu chochote, nikampiga risasi ya mguu na kumfanya anguke chini huku akito ukunga mkali.

“Niaambie mumetumwa na nani?”

“Nuru….Nuru”

Alijibu huku akilia kwa uchungu sana.

“Nuru, Nuru gani?”

Ilibidi kuuliza kwa msisitizo kwa maana kama ni Nuru ninaye mjua mimi hawezi kufanya kitu kama hichi cha kuniteka mimi japo tuna wiki kadhaa hatujawasiliana.

“Namjua bosi wangu anaitwa Nuru, yeye ndio alituagiza tukuteke na kukupeleka kule alipo”

Eddazaria akarudi hapa huku akiwa amejawa na jasho mwili mzima. Akamnyooshea dereva huyu bastola yake.

“Amesemaje?”

Nikakaa kimya huku nikipata kigugumizi cha kumjibu Eddy.

“Nimesha wamalizia wajinga wezako, sasa niambie ni nani aliye watuma”

“Ni Nuru”

“Nuru ndio nani?”

“Mama”

“Yeye ndio anauwezo wa kuwatuma watu wake kuja kukuteka hivi?”

“Eddy sijui, na kama kuua tumesha ua”

“Aliwatuma kwa lengo gani?”

“Alituagiza tumpeleke Jojo eneo la mbele huko”

“Ndiopo alipo huyo Nuru?”

“Ndio”

“Twende utupeleke”

Eddazaria alizungumza huku akimyanyua mwanaume huyu, nikazunguka upande wa pili wa gari hili, kabla sijafunga mlango wa mwanaume aliye kuwa amenishikia bastola, tukasikia mlio wa simu ikita, nikautambua mlio huo kwani ni simu ya mwanaume huyo ambaye amezimia. Nikafungua mlango wa siti aliyo kaa, nikaitoa simu yake mfukoni mwake. Nikaitazama namba ya mtu anaye piga, sikuweza kuifahamu haraka, kwa manaa haina jina kabisa. Nikaipokea namba hiyo na kuiweka simu sikioni mwagu.

“Jery mumempata huyo malaya, ninataka kuja kukikata kichwa chake kwa mikono yangu mimi mwenyewe, hawezi kunisaliti kwa kijimwanaume chake alicho kipata, na kama bado kinawafwatilia kipigeni risasi na mukiue sawa”

Sikuamini masikio yangu, kwani ni sauti ya Nuru ndio inayo zungumza kwa jazba kubwa sana. Nikatamani kuzungumza kitu ila nikajikuta nikishindwa kabisa, kwa maana mwili mzima umejawa na mshangao ulio ambatana na hasira kali sana ambayo kusema kweli sijui nimfanye nini Nuru huyu ambaye ameamua kuanzisha vita ambayo sikuwahi hata siku moja kuifikiria kwenye maisha yangu, kwani msaada wa pesa zake alizo nipatia kumbe ndio haya malipo anayo yataka kuyafanya kwenye maisha yangu.



Taratibu nikajikuta nikikata simu huku nikimtazama mwanaume huyu ambaye nimeichukua simu yake kutoka mfukoni mwake.

“Vipi?”

Eddazaria aliniuliza huku akiwa amenikazia macho usoni mwangu.

“Eheee?”

“Mbona unasangaa shangaa, ni nani huyo aliye piga simu?”

Sikumjibu kitu chochote Eddy zaidi ya kumvuta mwanaume hutu nje ya gari, nikapanda na kukaa siti ya mbele. Eddazaria akampandisha mpinzi huyu na kuanza kumfunga mikono yake kwa mkanda mrefu wa suruali, alipo hakikisha kwamba ameikaza mikono yake vizuri, akaingia ndani ya gari hilo na kunitazama kwa muda.

“Jojo ni nini kinacho endelea?”

Eddazaria aliniuliza kwa sauti ya upole na unyenyekevu.

“Ni ma Nuru?”

“Amefanyaje?”

“Anataka kuniua?”

“What……!!!??”

“Ndio ukweli?”

Eddazaria kwa haraka akamgeukia dereva huyu tuliye mchukua, huku akimshikia bastola.

“Una nafasi moja ya mwisho niambie ni wapi alipo bosi wako”

“Twendeni, twendeni ni huko mbele”

Alizungumza huku mwili mzima ukimtetemeka.

“Jojo muangalie”

Eddazaria akwasha gari na tukaendelea kuifwata barabara ndogo ambayo pembeni kumejaa miti mikubwa sana.

“Tunaelekea wapi wewe mbwa?”

Eddazaria alizungumza kwa kufuko.

“Huko huko mbele”

“Kwa nini Nuru ameamua kuhitaji kuniu?”

Nilimuuliza mwanaume huyu.

“Sifahamu mimi kazi yangu ni kufwata maelezo kutoka kwa bosi wangu tu”

Simu ya Eddazaria ikaanza kuita, kwa haraka akichomoa mfukoni mwake na kuipokea, akaiweka pembeni yake na kutufanya sote tuweze kuyasikia mazungumzo ya mtu anaye zungumza naye.

“Ndio ba mkubwa”

“Vijana wangu wanakaribia kufika eneo la tukio vipu kuna mabadiliko yoyote?”

“Ndio tumeweza kuwadhibiti na mmoja tumememteka”

“Hakikisha kwamba munabaki eneo la tukio hadi vijana wangu waweze kufika”

“Baba tumesha ondoka, hapa tupo njiani tunaelekea katika eneo ambalo yupo muhusika mkuu”

“Muhusika mkuu ni nani?”

“Anaitwa Nuru, aliagiza vijana wake kumteka Jojo na kwenda kumuua”

“Eddy, musizidi kusonga mbele pasipo msaada wa vijana wangu umenielewa?”

Eddazaria akaka kimya huku akiitazama simu yake, akanitazama usoni mwangu kwa sekunde kadhaa.

“EDDY UMENIELEWA?”

“Ndio baba”

“Usizime simu kwa maana vijana wangu tayari wamesha itrack simu yako na watajua ni wapi ulipo”

“Sawa”

Eddazaria akakata simu huku akipunguza mwendo kasi wa gari hili analo liendesha. Akasimamisha gari pembeni ya mti mkubwa uliopo katikati yam situ huu.

“Fuc****”

Eddazaria alizungumza huku akiupiga mskani wa gari hili, akanitazama kwa macho yaliyo tawaliwa na uwekundu wa hasira, akamgemkia mtu huyu tuliye mkamata.

“Hei unaitwa anani?”

“Alex”

Eddazaria akafungua mlango wa gari hili na kushuka huku akiwa ameichomoa funguo ya hili gari, akafungua mlango wa nyuma ya hili gari na kumshusha Alex, ikanibidi na mimi kushuka kwenye hili gari. Eddazaria akaanza kumkokota Alex hadi ndani ya kichaka kikubwa.

“Eddy unataka kufanya kitu gani?

“Hatuwezi kukaa pale barabarani, huwezi jua maadui wetu watatokea wapi”

“Unataka tujifiche hapa msituni?”

“Ndio, polisi wakija basi tutaondoka na kujua ni nini kinacho fwata”

“Ila kwa nini tusisonge mbele?”

Nilizungumza huku nikimtazama Eddazaria usoni mwake.

“Mutakufa”

Alex alijibu kwa kifupi huku akiwa amekaa chini.

“Nuru si wakawaida, ana walinzi wengi sana huko alipo ana ngome kubwa ambayo hamtoweza kuvuka hata geti moja”

“Kwa nini umeamua kutuambia hiyo?”

Nilizungumza kwa upole huku nikichuchumaa na kumtazama Alex usoni mwangu.

“Nyinyi ni wadogo zangu, na ninacho waambia ni ukweli mtupu, hamuwezi kupambana na Nuru kwani ana mkono mrefu hadi serikalini, ndio maana unaweza kuona tuna vitambulisho vya ukweli vya wana usalama”

“Kwa hiyo kuna watu ndani ya serikali hii anashirikiana nao?”

“Ndio”

“Umesema kwamba hatutoweza kuvuka geti hata moja una maanisha nini?”

“Katikati ya huu msitu, Nuru ana ngome, ngome ambayo si watu wa kawaida wanaweza kuifahamu. Ni ngome iliyo jaa vijana wengi sana kutoka nchini Kenya, Tanzania, maeneo ya milimani huku. Na wanafanya kazi ya kuzalisha madawa ya kulevya”

“Mungu wangu…..!!”

Ilinibidi kumaka kwa maana Nuru ambaye kwa haraka haraka nilimchukulia kama mtu mwema kwangu leo hii, ninaambiwa kwamba anajihusisha na madawa ya kulevya. Hapa ndipo nikaanza kuikumbuka historia ya bibi Sosiono, historia ambayo Nuru naye alikuwa miongoni mwa watu ambao bibi Sosiono alihitakji kuwaua. Nikanza kujutia moyoni mwangu baaada ya kuona kwamba nilimsaliti bibi wa watu na nikasababisha afe bila ya kutimiza malengo yake ya kulipiza kisasi kwa maadui zake.

“Mmmmm”

Eddazaria aliguna huku akunitazama usoni mwangu.

“Ndio hivyo wadogo zangu, hii kazi mimi ninaifanya hiyo basi kutokana na maisha magumu. Nina familia ninaisomesha, nina mke ananitegemea, nina mama yangu pia ananitegemea”

Alexy alizungumza kwa sauti ya masikitiko makubwa, hadi roho ya huruma ikaanza kuutawala moyo wangu.

Mlio wa simu ya Jerry ukatushtua sana na kujikuta wote tukiitazama simu hii niliyo ishika mkononi mwangu, nikaitazama kwa muda na kukuta ni namba ile ile ambayo Nuru alitoka kunipigia mda mchache ulio pita.

“Bosi wako anapiga”

Nilimuambia Alex huku nikikazia macho usoni mwake.

“Lete simu”

“Ahaa…Eddy muache azungumze naye yeye mwenyewe”

Nilizungumza huku nikimsogeza Alex simu hi, nikaipokea na kuweka loud speaker ili sote tuweze kusikia.

“Ndio bosi?”

“Alex”

“Ndio boss”

“Mbona umepokea simu ya Jerry kuna tatizo?”

Alex akatutazama huku akituangali. Nikatingisha kichwa kumuashiria kwamba azungumze kuwa

hakuna tatizo la aina yoyote.

“Aahaa hakuna tatizo muheshimiwa yupo porini kidogo anajisaidia”

“Huyo mpuuzi yupo”

“Ndio muhehimiwa”

“Mpatie simu”

Kutokana simu nimeishika mimi mwenyewe sikuwa na haja ya kumkabidhi, nikatoa loud speaker ili kuzungumza vizuri naye vizuri.

“Haloo”

“Malaya firauni wa kike wewe, ninakupatia pesa zangu na unakwenda kumuhonga mwanaume na unaidanganya kwamba ni kaka yako?”

“Kwani tatizo ni nini?”

“Hujui tatizo eheee, sasa subiri nitakuonyesha, nilisha wahi kukupa onyo kabla ya haya mambo kutokea, ila hujanisikia, sasa ni hivi nitahakikisha nina kupoteza wewe na huyo kahaba wako wa kiume umenielewa?”

“Ni kweli umedhamiria kuniua?”

“Huwa nikizugumza maneno yangu Jojo hayaangukagi chini”

“Hahaaaaa sasa yanakwenda kuanguka, nahisi ulisaua kwamba mimi ni nani. Na hivi ninavyo zungumza na wewe sasa hivi, tayari walinzi wako wote tumesha wau, na hapa nipo njiani kuja kukufwata wewe, sasa jiandaa kama ni mwanamke kweli umenilewa”

“What…..”

“Shangaa, kama nilimfanya bibi Sosiono vile nilivyo mfanya hivyo basi na wewe ninakwenda kukufanya hivyo hivyo umenielewa”

Nilizungumza kwa kujiamini sana, Nuru akaka kimya kwa muda huku akionyesha kujawa na wasiwasi. Nikakata simu hii na kuingiza mfukoni mwangu, Eddazaria kwa haraka akanifwata na kunishika mkono wangu tukasogea sehemu ambayo Alex hawezi kusikia kile tunacho kizungumza.

“Ni kwa nini umemuambia ukweli?”

“Eddy kuna siri kubwa huifahamu kati yangu mimi na Nuru, hii ni vita ambayo sihitaji wewe uweze kuiingilia”

“Maji nimesha yavulia nguo siwezi kuvaa pasipo kuoga, niambie ukweli ni kitu gani kinacho endelea kati yako na Nuru?”

Nikaa kimya huku nikimtazama Eddazaria usoni mwake.

“Niambie Jojo, kumbuka siri yako ni siri yangu, zungumza ukweli, ninahitaji kufahamu ni kitu gani ambacho kinaendelea kati yako na Nuru”

Nikameza fumba kidogo la mate, moyo unatamani kuzungumza ukweli ila mdomo wangu unashindwa kufunguka kabisa na kuzungumza.

“Jojo niaambie tafadhali”

“Eddy najua hili ninalo kwenda kuzungumza litakuumiza”

“Ni bora liniumize hivi sasa, kama ni swala la madawa ya kulevya ulishirikiana naye mimi nitakusamehe mpenzi wangu, mbona hilo ulisha nieleza”

“Sio hilo”

“Ni lipi tena?”

“Mimi….mimi na Nuru tulisha wahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi”

“Excuse me……”

Eddazaria alizungumza kwa mshangao hadi mapigo ya moyo wangu yakaanza kunienda kasi, kwani sidhani kama kunamwaume yoyote hususani kwenye jamii hii ya kiafrika anaweza kururahia kusikia kwamba mke wake au mpenzi wake ni msagaji.



Nikayafumba macho yangu kwa woga, kwani sitamani hata kuiangalia sura ya Eddazaria ambayo imejaa mikonjo ambayo inayo dhihirisha kabisa jambo hilo limemkera.

“Kwa hiyo mulikuwa munasagana sio?”

Eddazaria alizungumza na kunifanya nifumbue macho yangu, nikatingisha kichwa kidogo kukubaliana na hilo alilo niuliza.

“Ohoo Jesus Christ, hichi ni nini sasa?”

Eddazaria alizungumza maneno hayo na kuondoka eneo hili na kuniacha machozi yakinimwagika usoni mwangu. Japo ni ukweli unao umiza ila kwa upande mmoja ninaanza kujisikia amani moyoni mwangu, kwani ile siri ambayo niliificha kwa siku nyingi sana nimeweza kuitoa kwa mwanaume yule nimpendaye.

Tukasikia mingurumo ya gari ikija katika eneo hili, kwaharaka nikarudi sehemu alipo kaa Alex.

“Wanakuja wakiwakuta hapa watawaua”

Alex alizungumza kwa wasiwasi mwingi sana.

“Eddy tuondoke”

“Nini?”

“Tuondoke ni maadui hao wanao kuja huku”

Eddazaria akwa kama mtu aliyes hikwa na bumbuwazi. Kwa haraka nikamfwata katika eneo alilo simama, nikamshika mkono na kurudi naye kwenye kicha hichi tulicho muacha Alex. Gari zipatazo sita zikasimama katika eneo hili, wakashuka wanaume wenye bunduki mikononi mwao.

“Kimbieni”

“Na wewe je?”

“Msaada ninao weza kuwapa ni kuficha eneo ambalo mutaelekea kimbieni”

Alex alizungumza huku machozi yakilenga lenga. Hatukuwa na muda wa kupoteza zaidi ya kuanza kukimbia ndani ya msitu huu ulio jaa miti mingi sana. Hata kabla hatujafika mbali, tukasikia milio mingi ya bunduki, iliyo mfanya Eddazaria kusimama huku akihema.

“Eddy twendee”

Nilizungumza huku nikisimama.

“Hatuwezi kwenda mbele”

“Kwa nini jamani?”

“Askari wamefiki, nimesikia milio ya SMG, turudi”

“Eddy unaamini nini?”

“Nimekuambia kwamba turudi sawa”

Sikuwa na namna zaidi ya kukubaliana na amri ya Eddazaria, tukanza kukimbia, tukafanikiwa kufika eneo la karibu kabisa, na tulipo toka, tukaona jinsi askari wanavyo zidi kupambana na watu wa Nuru. Kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu, ninashuhudia mapigano makali ya risasi kama haya.

“Simu yako ina chaji?”

Eddazaria aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Ndio”

“Rekodi matukio yote haya sawa”

“Eddy huoni kama ni hatari?”

“Fanya hiyo, na ninaomba bastola yako sawa”

Nikatingisha kichwa kukubai tu, nikamakabidhi Eddya bastola niliyo ichukua kwa Jerry, akatoa magazine na kukuta risasi zikiwa zimejaa vizuri sana. Nikatoa simu yangu mfukoni na kuanza kurekodi. Eddazaria, alipo akazishika bastoka zote mbili na kuanza kuwashambulia watu wa Nuru ambao hawakuweza kufahamu uwepo wetu katika eneo hili.

Nikajikuta nikitabasamu baada ya kumuona Eddazaria kila shabaha anayo ilenga, anaondoka na mtu mmoja. Msaada wetu ukazidi kuwapa nguvu askari ya kusonga mbele kwani majambazi hawa wanazidi kusogea. Kazi yangu ni kuhakikisha kwamba sipitwi na tukio hata moja la Eddazaria analo lifanya.

“Fuc**am out?”

Eddazaria alizungumza hukua kijibanza kwenye moja ya mti na risasi kadhaa zinapigwa kwenye mti huo.

“Tunafanyaje sasa?”

Nilimuuliza Eddazaria huku nikiwa nimejawa na wasiwasi mkubwa sana kwani risasi ndio hizo zimemuishia. Nikachungukia kidogo kwenye eneo ambalo ndipo walipo majambazi hawa wa Nuru, nikawaona wawili wakiwa wanakuja katika eneo hili tulipo.

Kwa ishara ya vidole nikamuelewesha Eddazaria na kumuambia kwamba kuna watu wawili wanakuja eneo tulipo, ila kabla hata hawajatufikia, tukastukia wakianguka chini mara baada ya kupigwa risasi kadhaa kwenye miili yao.

Ukimya ukatawala, hapakuwa na jambazi ambaye had sasa amesimama, majambazi wote wameuwawa. Tukaanza kuwaona askari wakijongea katika eneo tulilopo sisi, Eddazaria akajitokeza huku akiwa aminyoosha mikono yake juu.

“Tupa silaha zako pembeni”

Eddazaria akatii amri hiyo, kwa haraka nikairudisha simu yangu mfukoni, kisha nikajitokeza huku nikiwa nimenyoosha mikono yangu juu.

“Eddy”

Askari mmoja aliita

“Ndio mimi”

Askari huyo akawaamrisha kwa ishara askari wengine kushusha silaha zao chini. Taratibu na sisi tukaishusha mikono yetu chini. Tukaondolewa katika eneo hili na kumkuta Alex akiwa amepakizwa kwenye moja ya gari la askari hawa.

“RPC anahitaji kuzungumza na wewe”

Askari huyo aliye liita jina la Eddazaria alizungumza huku akimkabidhi Eddazaria simu ya mkononi.

“Ndio baba”

“Yaa tupo salama”

“Sawa”

“Asante”

Eddazaria akamrudishia askari huyo simu yake.

“Inabidi tuwarudishe kambini kwenu sasa hivi”

“Ila kutokana na maelezo ya yule jamaa pale anadai kwamba kuna ngome huko mbele watu wanajihusisha na madawa ya kulevya na ndipo alipo mtu aliye husika katika kumteka mke wnagu”

“Eddy mimi nimepokea amri tu, kazi inayo endelea ni vyema mukatuachia sisi jeshi la polisi.”

“Basi mumbane yule jamaa pale aweze kufapa full details”

“Sawa, dereva anaweza kuwarusisha kwenye kambi yenu”

Askari huyu akatuonyesha gari ambalo tunatakiwa kupanda. Tukaingia katika gari hilo, tukaondoka eneo hili, ndani ya gari ukimya ukatawala, Eddazaria hakunisemesha kitu chochote hata mimi kwa upande wangu, ninaogopa kumsemesha jambo lolote.

“Hembu ile video”

Eddazaria alizungumza, nikaitoa simu yangu mfukoni na kumuwekea video niliyo irekodi, akapunguza sauti kidogo ili huyu askari anaye tuendesha asifahamu ni kitu gani kinacho endelea. Eddazaria akaitazama video hiyo kwa muda kidogo kisha akanirudishia simu yangu.

“Ipo vizuri, itunze”

“Sawa”

Eddazaria akanitazama kwa jicho kali kidogo, kisha akatazmaa nje. Majira ya saa kumi na mbili tujafika katika kambi yetu ilipo. Tukakuta wasanii wakiendelea kuigiza, kwani kwa sasa kuna muongozaji msaidizi wa filamu hii. Moja kwa moja tukaelekea hadi kwenye gari letu tunalo tumia. Eddazaria kwa haraka akanishika mabaga yangu na kunirushia kitandani, akaufunga mlango kwa ndani, kisha akanifwata kwa haraka kitandani nilipo.

“Hembu nieleze ni nini kilicho kuwa kinaendelea kati yako na Nuru?”

Eddazaria alizungumza kwa kukasiria, japo ninaiogopa hasira yake ila ni kitu ambacho tayari nilisha kitaraji kwake.

“Eddy nilisha zungumza ukweli juu yako, hakuna kitu kingine zaidi ya hicho nilicho kisema kwako, mimi nilikuwa ni msagaji, nilifanya hivyo ili niweze kuyaoata maisha haya ya sasa hivi. Eddy mimi nilizaliwa masikini, nilizaliwa kwenye familia ambayo baba hajulikani, familia ambayo tunategemea mama akafanye vibarua vyake ili aweze kupata pesa ya kutulisha sisi.”

Nilizungumza kwa uchungu hukumachozi yakianza kunimwagika usoni mwangu.

“Mama yangu alikua na kuniacha nikiwa mdogo sana, aliniachia mdogo wangu Judy nimlee. Sikuwa na kazi, niliacha shule ili nifanya japo vijikazi vidogo ili niweze kupata pesa. Niliutunza usichana wangu na wewe ndio mtu wa pekee uliye weza kuijua kum** yangu hadi sasa hivi. Najua umeumia kuona hilo jambo ila Eddy huo ndio ukweli”

Machozi yalizidi kunitoka machoni mwangu, nikamuona Eddazaria taratibu akikaa chini huku machozi yakimlenga lenga.

“Eddy niliyahatarisha maisha yangu kwa kubeba madawa ya kulevya na kuelekea chini, nilifungwa kwenye gereza ambalo nilipata mateso makalis sana, gereva ambalo sikuweza kuwa na kauli, na kama unavyo jua, chini mtu akikamatwa na madawa hayo ni lazima anyongwe. Nuru alikuwa ni msaada wangu sana pasipo kujua ni nini kilichopo nyuma yake. Eddy ninakupenda ndio maana nimekueleza ukweli mpenzi wangu, tafadhali ninakuomba unisamhe”

Eddazaria kwa haraka akanikumbatia huku machozi yakimwagika usoni mwake. Tukakumbatiana kama dakika tano, kisha Eddazira akaniachia.

“Ninakupenda Jojo wangu”

“Ninakupenda pia Eddazaria wangu”

Tukaanza kunyonyana midomo yetu, hisia zamaoenzi zikazidi kututawala na kujikuta tukianza kuvu nguo moja baada ya nyingine. Eddazaria akaka kitako kitandani, huku nami nikimkalia mapajani mwake. Taratibu nikamkalai jogoo wake na taratibu nikaanza kuzungusha kiuno changu.

Katika siku ambayo ninasikia raha ya penzi la mwanaume huyu, ni siku ya leo. Kwani nina amani asilimia mia moja kwenye moyo wangu. Tukaendelea kuburudishana kwa mwendo wa taratihbu hadi sote tukafika kileleni. Uzuri wa gari leli ambalo ni Scania, ndani kuna bafu. Tukaoga kwa pamoja na kubadilisha nguo zetu. Tukatoka nje na kukuta wasanii wakipata chakula cha usiku, tukajumuika nao huku tukipiga stori mbali mbali ila hatukuweza kuwaeleza ni wapi tulipo toka ili kuto wapa hofu ya kuendelea kukaa hapa wilaya ya Lushoto.

***

Siku ya pili tukaamkia katika kuigiza baadhi ya vipende ambavyo mimi nilitakiwa kuigiza alafajiri na mapema. Tulipo maliza kuigiza vipingele hivyo, Eddazaria akatupa muda wa kupumzika.

“Eddy”

“Mmmm”

“Tumebakisha sceen ngapi kumaliza kuigiza?”

“Mmmm kama kumi na nane hivi, cha kumshukuru Mungu tumeweza kumaliza vipengele vyote vigumu”

“Sawa sawa, hujapata habari yoyote ya kukamatwa kwa Nuru?”

“Bado sijafanya mazungumzo na baba mkubwa”

“Hembu jaribu kufanya naye mazungumzo ili tuweze kufahamu ni nini kinacho endelea, kwa maana japo tupo hapa ila sina amani kabisa. Tukasimama kwenye moja ya bustani ya maua iliyopo katika jumba hili kubwa tunalo litumia kama eneo la bosi wangu anaye niagiza kazi katika hii filamu.”

“Vipi?”

“Simu yake inatumika”

Ujumbe ukaingia kwenye simu yangu, nikaitoa mfukoni na kukuta ujumbe kutoka katika namba mpya ambayo ndio mara yangu ya kwanza kuiona katika simu yangu.

‘MUMENIHARIBIA SOKO LANGU, NA MIMI NITAHAKIKISHA HIYO FILAMU YENU HAIUZI HATA COPY MOJA, NA WADHAMINI WOTE WATAKWENDA KUWAFILISI NA MUTABAKI KUWA MASIKINI WA KUTUPWA MBWA NYINYI’

Kwa mshangao nilio upata hadi Eddazaria aliweza kugundua hili, kwa haraka akanipokonya simu yangu na kuusoma ujumbe huu.

‘Fuck hajakamatwa bado”

Eddazaria alizungumza huku macho yakiaza kujaa uwekundu unao tokana na hasira kwani kwa asilimia mia moja mtu aliye tuma huu ujumbe wameseji si mwengine ni Nuru tu.



Mlio wa simu ya Eddazaria ukatustua kwa haraka akaipokea na kuiweka sikioni mwake.

“Ndio baba shikamoo”

“Ahaa nilitaka kufahami hivi mumefanikiwa jana kumkamata Nuru?”

“Ahaaa”

“Sawa”

Eddazaria akakata simu na kuirudisha mfukoni mwake.

“Wamemkamata?”

“Hapana, wanasema kwamba wanaendelea na mipango ya kumsaka”

“Wahuni hao, utakuta wamesha pewa hongo”

“Hii ni vita ambayo inatupasa tuweze kupambana kwa kutumia akili nyingi sana. Lazima huyo Nuru wako atatuharibia katika mikakati ambayo tumeipanga”

“Eddy sasa tunafanyaje?”

“Inabidi tuweze kucheza rafu katika hili kwenye maisha yangu sijawahi kushindwa na wala siwezi kukubali kushindwa kirahisi hivi. Ni lazima filamu iweze kuuzika sawa baby”

“Nimekuelewa mume wangu”

***

Kutokana na onyo na tahadhari ambayo tayari Nuru alisha anza kutupatia, ikamlazimu Eddazaria kuongoza uendeshaji wa filamu hii haraka haraka. Ndani ya siku kumi na tano tukajiukuta tukiwa tayaru tumesha maliza kushoot filamu kwa eneo hili la Lushoto. Tukarudi jijini Dar es Salaam na kumalizia kushoot baadhi ya maeneo na tukaanda usiku mmoja wa kusherehekea kumaliza kutengeneza filamu yetu ya kwanza. Wasanii wote pamoja na watu walio shirikiana nasi katika kuikamilisha filamu hii. Furaha ikatutawala sisi sote kwani kwa upande wangu mimi na Eddazaria ni jambo kubwa sana mbalo tumeweza kulifanya katika maisha yetu.

“Habari za jioni”

Eddazaria alizungumza huku akiwa ameshika kipaza sauti. Watu wote tukaa kimya kumsikiliza.

“Salama”

“Cha kwanza ninamshukuru mwenyezi Mungu kwa kuweza kutuongoza na kutusaidia kuweza kufanikisha kutengeneza filamu hii ambayo kusema kweli sote tuliweza kupitia changamoto nyingi ambazo kwa msaada wake mola tumeweza kumaliza salama.”

“Kabla ya kuzungumza mengi pia ninapenda kumuombea rafiki yangu kipenzi pamoja na mke wake. Swedy kule walipo Mungu waweze kuwalinda salama salmin na awapunguzie adhabu ya kaburi”

“Amen”

Karibia watu wote tulipo ndani ya huu ukumbi tuliitikia.

“Mimi na Jojo tuliweza kukaa na kukubaliana, asilimi kumi ya mauzo ambayo yatatatokana na filamu hii, basi tunaipatia famili ya Swedy ili kujua mchango wa mtoto wao alio weza kuufanya kwneye hii familia yetu. Nasema ni famili kwa maana, tumedumu nanyi kwa muda mrefu, tulizoeana na kushirikiana kwa kila jambo hivyo basi sina haja ya kusema kwamba hii ni familia”

Watu wote tukapiga makofi kufurahia uamuzi huo wa Eddazaria.

“Siku ya kuweza kuitoa filamu hii tutaitangaza, kitu kikubwa cha kufanya sasa hivi ni kuanza kuisambaza trela ya hii filamu katika mitandao yote ya kijamii, iili ulimwengu mzima uweze kufahamu kwamba sasa Watanzania tumeamua kuweza kufanya kitu kilicho bora na cha kupendeza”

“Nilizungumza na editor mkuu, amedai kwamba trela ya filamu itatoka baada ya wiki mbili hivyo basi tunaweza kuwa wavumilivu, kama ilivyo kuwa wavumilivu katika siku zote tulizo kaa hapa kambini”

“Nisiwe mzungumzaji sana, kikubwa ninawashukuru kwa kile mulicho weza kukifanya, ushirikiano, upendo na hata mchango wa mawazo ambao muliweza kuutoa pale tu, mulipo ona labda sceen ina kasoro fulani. Ninawapenda sana na Mungu azidi kuwabariki. Tuendelee kunywa sasa”

Tukampongeza kwa kupiga makofi, Eddazaria akashuka kwenye jukwa dogo tulilo litengeneza katika ukumbi huu. Akanifwata sehemu nilipo simama na kunikumbatia.

“We done baby”

“Yaaa, umeongea kitu kizuri mume wangu”

“Kweli”

“Ndio”

“Basi inabidi tujichanganye na wasanii, tuweze kuagana nao kwa maana siku tutakayo kuja kuonana nao”

“Sawa baby”

Kutokana ndani ya ukumbi watu wote tumesimama haikutuwia ugumu kila mmoja kupita kwa wasanii na kuanza kuzungumza nao mambo mawili matutu kubwa kabisa likiwa ni kuwashukuru kwa mchango wao walio weza kutupatia.

“Dada Jojo”

Kijana mmoja tulio mzoea kumuita Luda, aliniita , tukapeana mikono ya kusalimiana.

“Niambie”

“Safi aisee kumbe ukivaa gauni unapendezaga eheee?”

“Hahaa acha zako”

“Kweli, nimesha kuzoea kukuona ukivaa mavazi ya kikomandoo komandoo tu”

“Hahaaa, niambie mdogo wangu”

“Mimi nipo poa, ila dada tunaweza kuzungumza jambo hata moja dogo tu?”

“Zungumza mdogo wangu”

Luda akaanza kulamba lamba lispi zake huku akinitazama usoni mwangu.

“Vipi zungumza, au hujalipwa pesa yako?”

“Hapana nimelipwa mbona”

“Haya niambie kwa manaa unajing’ata ng’ata”

“Jojo natambua kwamba unampenda Eddy, ila siku zote nimekuwa nikikufwatilia, nisiwe mnafki Jojo ninakupenda sana”

Nikajukuta nikitasamu huku nikimtazama Luda.

“Una uhakika na unacho kizungumza?”

“Ndio”

“Asante kwa kunipenda, kwani hata mimi ninakupenda”

“Kweli Jojo?”

“Yaa ninakupenda kama mfanyakazi mwenzangu, siwezi kukuchukia, wala kumchukia mtu yoyote ndani ya huu ukumbi, ninawapenda sana tena sana”

Jibu langu likaikatihsa furaha ya Luda ambayo ilimtawala sekunde kadhaa zilizo pita.

“Ila Jo….”

“Naelewa Luda, moyo wangu ameuteka yule mwanaume pale siwezi kumkabidhi mwanaume mwengine moyo wangu ninampenda sana”

Nilizungumza huku sote tukimtazama Eddazaria anaye cheka na kufurahi na wasanii wengine.

“Sawa sister nimekuelewa”

“Asante kwa kunielewa”

Nikaondoka eneo hili huku nikimuacha Luda akinitazama kwa macho ya matamanio. Nikaendelea na zoezi la kuzungumza na waasani wezangu. Tukapata chakula cha usiku kwa pamoja, kisha tukaondoka ukumbini hapa.

“Eddy”

“Mmmmm”

“Umejipanga vipi na soko la kuiuza hii filamu kwa maana meseji ya Nuru bado inaendelea kunitawala kichwani mwangu?”

“Usijali nimeweza kufanya mazungumzo na raisi wa Universal Studio, leo mchana, nikamgusia gusia juu ya jinsi gani anavyo weza kusambaza filamu yetu. Ameniomba niweze kutengeneza demo ambayo tutawatumia, baada ya kukubaliana nasi basi tunaweza kuingia nao mkataba wa kusambaza filamu yetu duniani mwote”

“Jamani Eddy unafanya mambo kisiri siri”

“Hapana mke wangu, nilihitaji kufanya kitu kikamilie ndio nikushirikishe, nilikuambia hii ni vita ambayo tunatakiwa kulenga shabaha yetu sehemu mbali mbali. Ningekushirikisha hata kabla hii siku haijasha, ila umeniwahi tu”

Eddazaria alizungumza huku akipunguza mwendo wa gari na kusimama kabisa, kwenye mataa yaliyopo maeneo ya hapa Mwenge.

“Ni wazo zuri lakini”

“Yaa ni wazo zuri, kwa maana wakiisambaza basi mauzo yake yatakuwa ni makubwa dunia nzima, na hata kile kiwango tulicho kuwa tumekitegemea kukipata, kinaweza kuwa mara kumi yake”

“Etii ehee?”

“Yaa trust me, hata huyo Nuru mwenyewe hato weza kutikamata. Alafu kesho tuna safari”

“Safari ya kwenda wapi?”

“Jua tu tunasafari utafahamu asubuhi tutakapo amka, hakikisha kwamba unaanda nguo kadhaa kwa maana huko tunakwenda kukaa siku mbili ama tatu hivi”

“Sawa, maana ni safari ya suprize”

“Hahaaaa”

Tukafika nyumbani kwetu. Eddazaria wala hakusubiri tuingie chumbani, hapa hapa sebleni tukaanza kupeana penzi moto moto lililo tufanya tuburudike sana.

***

Nilihisi kwamba ni utani wa safari ambayo Eddazaria aliniambia jana usiku, asubihi na mapema akaniamsha.

“Ila baby tunakwenda wapi jamani?”

“Jiandae fasta fast sasa hivi ni saa kumi na moja na nusu nahitaji saa kumi na mbili tuwe tumesha ondoka eneo hili”

“Ndio hutaki kuniambia amani kwamba ytunakwenda wapi mume wangu?”

“Jiande bwana”

Nikanyanyuka kitandani taratibu, nikaka na kumtazama Eddazaria anaye ingiza nguo zake kwenye kabeki kadogo.

“Gauni hili nikubebe?”

“Mmmm ndio”

“Hili je?”

“Ahaaa silipendagi hilo gauni”

“Kwa nini mbona zuri”

“Silipendi tu”

Eddazaria kamaliza zoezi hilo la kuweka nguo kwenye begi, akanishika mkono na kuingia bafuni. Tukaanza kuoga kwa pamoja, huku tukisuguana kila sehemu ya miili yetu.

“Eddy kwani tunakwenda wapi?”

“Tunakwenda ninapo pajua mimi”

“Wapi jamani mume wangu, siku hizi unanificha eheee?”

“Ningekuwa ninakuficha ningekwenda mimi mwenyewe”

Tukatoka bafuni humu, tukavaa nguo zetu, hadi inatimu saa kumi na mbili kamili, tukawa tumemaliza kujiandaa. Tukaingia ndani ya gari.

“Eddy siwezi kwenda mahali nisipo pajua”

Nilizungumza kwa ukali kidogo huku nikifungua mlango wa gari na kuhitaji kushuka kwenye gari hili.

“Huniamini au?”

“Nakuamini Eddy, ila hujawahi kunichukua chukua kama hivi, tunakwend safari ambayo haina jibu”

“Tunakwenda kwenda Tanga kwa mama Eddy umeridhika?”

Nikajikuta nikiwa nimejawa na aibu kwani hadi mwanaume anafikia hatua ya kukupeleka kwao tena kwa wazazi wake kukutambulisha basi ni upendo ulio tukuka na una asilimia kubwa ya kuweza kuishi naye kwenye maisha yake.



“Eddy…..!!!”

Nilimuita Eddy huku nikiwa nimejawa na mshangao ulio ambatana na aibu kubwa sana. Taratibu Eddy akaendesha gari hadi getini, tukasubiria geti kujifungua, lilipo malizika kufunguka, Eddy akalitoa gari taratibu, tukasubiri hadi geti kujifunga ndio safari ikaendelea.

“Eddy ungeniambia hata hizi nywele huku kichwani nibadilishe hii staili”

“Mbona umependeza tu, unataka upendeze mara ngapi Jojo wangu”

“Hembu ona mama atapenda kweli niwe na mjiwigi mkubwa kama huu, si ataniona mwanamke feki”

“Usijali, kinacho angaliwa ukweni ni nywele au tabisa”

“Baby hata muonekano wa mtu ni muhimu sana kuangaliwa. Laiti ingekuwa sio hivyo wakwe wangekuwa wanapokea wanawake wa ajabu ajabu Eddy”

“Funga mkanda wa siti yako”

Eddazaria aliniambia huku akisimamisha gari akisubiria gari zinazo pita katika barabara kubwa kupita. Akapata nafasi ya kuingia barabarani, na safari ikaendelea.

“Ila Eddy hatujabeba hata zawadi jamani, unahisi mimi nitaonekanaje, mkwe ninaenda ukweni mikono mitupu?”

“Jojo mbona unakigugumizi mke wangu, kwani wasiwasi wako haswa ni nini?”

“Wasiwasi wangu Eddy, ni kwamba sijajiandaa kwa chochote”

“Utajiandaa mbele ya safari”

“Eddy…….”

“Yaa”

Safari ikazidi kusonga mbele, njia nzima kusema kweli sina amani katika moyo wangu. Kila muda ninajichunguza kuanzia chini hadi juu, ila bado sipati muonekanno ambao kwangu nitaridhika.

“Eddy nakuomba mume wangu, nipo chini ya miguu yako. Tukifika kwenye mji wowote huko mbeleni unao hisi kuna maduka ama saluni, ninakuomba basi nikabadilishe hata hizi nywele please”

Nilizungumza kwa sauti ya unyenyekevu, Eddazaria akanitazama kwa huruma kisha akatabasamu kidogo.

“Una wasiwasi ehee?”

“Sana….nisiwe mnafiki kusema kweli nina ogopa, utanifanya nikose amani ya moyo tukifika nyumbani”

“Sawa, tutasimama Kabuku”

“Popote tu mume wangu, hili wigi niliweka jana kwa ajili ya sherehe ya jana usiku, sasa uniambie niende hivi ukweli….hapana, usitake nipunguziwe maksi bure na ndugu zangu”

“Sawa mama watoto nimekuelwa. Hivi Diana anarudi lini?”

“Ana wiki mbili mbele atakuwa Tanzania”

“Sawa, kwa maana amekaa muda mrefu sana”

“Ni kweli amekaa siku nyingi, ila akirudi afya yake itakuwa imeimarika vizuri sana”

“Sawa”

Safari ikazidi kusonga mbele, huku Eddazaria akijitahidi kufwata sheria za barabarani, kwani ni mara kadhaa tuliweza kukutana na askari usalama barabarani.

“Siku hizi kuna tochi nyingi barabarani”

“Tochi nyingi ndio nini?”

“Si askari wenye matochi hayo, ya kupima mwendo kasi wa gari”

“Ila wapo kwa ajili ya madereva kama nyinyi ambao munapenda kuendesha magari kwa mwendo kasi”

“Mmmmm”

“Ndio maana yake pasipo kuwasimamia, kila siku magari yatakuwa yakipinduka au kugongana”

“Sawa mama, una ona lile eneo pele?”

Eddazaria aliononyesha sehemu moja pembezoni mwa barabara”

“Ndio”

“Kuna siku nilikuwa ninatoka Tanga, kuja Dar es Salaam, nikakuta kiji Noha kimemwaga watu, pembezoni huko, sasa nikajiuliza dereva alikuwa amekunywa au laa, kwa maana hili eneo la kupata ajali kabisa”

“Ilikuwa saa ngapi?”

“Saa mbili tu usiku, mapema kabisa”

“Iliua?”

Sikufwatila, kwa maana nilikuta watu wengi sana, so sikusimama”

“Una roho mbaya”

“Roho mbaya ya nini sasa?”

“Si ungesimama ili uweze kufahamu ni nini kilicho endelea?”

“Hiyo itakuwa Roho mbaya au umbea. Kwa maana unaona watu tayari walisha anza kuwapa msaada kwa watu, ukisimama tu, kuna waokoaji wanahamia hadi kwenye taa za gari lako”

“Hahaaa haya bwana”

“Kweli, hili eneo sio zuri kabisa. Ukipita hivi unaliona kimya, ila funga breki hata za galfa na zisikike masikioni mwa watu, utaona kundi la watu wakijitokeza huko kila mmoja akiwa amekodplea macho”

Tukafika katika sheli moja iitwayo Lugoba, Eddazaria akasimisha gari pembeni ya basi moja.

“Una kofia uvae?”

Eddazaria aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kofia niitolee wapi, kumbe umesha ona wigi langu halijanipendeza na unataka kunipeleka ukweni hivi, ndio mambo gani sasa?”

“Maana yangu sio hujapendeza, umeona hawa watu hapa. Wote watakuwa wanakufahamu na kama wapo ambao hawakufahamu basi ni asilimia chache, watakua ndio hawakufahamu”

“Mmmmm”

“Guna tu, mimi hawanijui kisura. Wewe wanakujua kisura kazi unayo”

Eddazaria alizungumza huku akifungua mkanda wa siti yake akashuka kwenye gari, na mimi nikafungua mkanda wa siti, nikawatazama watu walio zagaa eneo hili linalo uza vyakula vya aina mbalimbali pamoja na vinywaji. Nikashuka, nikaanza kumfwata Eddazaria sehemu anapo elekea.

“Jojo”

Dada mmoja aliniita, nilicho haribu ni kumgeukia na kumtazama. Kundi la wasicha wezake alio simama nao, wote wakaanza kunifwata huku wakiwa wamejawa na furaha.

“Mambo zenu?”

Niliwasalimia huku nikitabasamu.

“Salama, jamani waooooo. Ndio wewe kumbe jamani, tupige picha”

Dada huyo alizungumza huku akitoa simu yake mfikoni. Akaiweka sawa na kusimama karibu yangu, akapiga picha kadhaa, wezake nao wakajumuika naye. Hawakuishia hao tu, hata watu wengine wakaanza kuniomba kupiga nami picha. Kutokama tuna usafiri binafsi sikuona haja ya kuwakatalia, kwani wengi wao ni abiria wanalio kuja na mabasi haya tuliyo yakuta hapa.

“I told you”

Eddazaria aliniambia huku akinikonyeza. Sikumjibu chochote kutokana na kuzungukwa na watu. Eddazaria akanionuesha kwa ishara ya mkono kwamba anaelekea msalani.

“Yule ndio mume wako?”

Dada mmoja aliniuliza huku akinitazama

“Yaaa”

“Waooo mumeendana, ndio Eddy?”

“Yes”

“Weeee, hatujamjua jamani. Mimi nasomaga hadithi zake nyingi sana, kama Tanga raha, My Mom’s friend, Sorry madam zote mbili”

“Ndio mwenyewe”

“Jamaa ndio aliye andika Aiissii u kill me?”

Kijana mmoja aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Yaa ndio yeye”

“Daaa jamaa kumbe wa kawaida sana”

“Kivipi?”

“Nilihisi jamaa atakuwa mtu mzima wa miaka kama thelathini huko kumbe chalii kabisa”

“Yaa mume wangu bado chalii”

Nilizungumza na mashabiki wangu hawa, kila mmoja akionyesha ana shahuku kubwa sana ya kuiona filamu yetu ambayo tayari imesha anza kuwa gumzi hata kabla bado haijatoka trela yake.

“Jamani karibuni tupate luch kwa pamoja”

“Ehee mimi ningepata, ila gari langu naona ndio dereva anapiga honi”

“Sawa”

“Twende tu”

Nikajumuika na wasichana ambao walianza kuzungumza na mimi, tukatafuta meza nzuri na kukakaa. Muhudumu akafika katika eneo hili, nikamuomb aweze kuwasilikilza kila mmoja anacho kihitaji. Kila mtu akaagiza akipendecho, Eddazaria akatufwata hapa tulipo kaa, wasichana hawa wakaanza kumsalimia kwa bashasha nyingi kila mmoja akiomba akumbatiane naye.

“Umeagiza nini baby?”

“Sijaagiza chochote, nilikuwa ninasubiria uje ndio tuagize chakula pamoja”

“Waooo, una mjali sana mume wako, sijapata ona jamani. Sisi wengine wala hatulijali hilo”

Dada huyu alizungumza kwa furaha sana.

“Tumesha zoea kuwa hivyo. Ngoja nikachukua basi si chochote”

“Yaa chocote mimi nakula”

“Kweli?”

“Kweli ehee”

Eddazaria akanibusu mdomoni mwangu, kisha akaondoka.

“Wondefull couple, yaani hamjivungi”

Msichana mwengine alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Asante”

“Umepata mume mzuri sana, anakujali ana onyesha dhairi kwamba si mchepukaji”

“Hahaaa, mchepukaji munamjuaje jamani?”

“Weee macho tu yanaonyesha, kuna mwengine kama hivi kundi hili kubwa la wasichana, angemtaamani mmoja wapo kati yetu ingali wewe upo hapo. Ila yeye ametutazama kwa macho ya kawaida kabisa”

Eddazaria akarudi na chupa mbili za maji makubwa, akavuta kiti kisicho na mtu katika meza ya pembeni na kukaa karibu yangu.

“Nyinyi mumesha agiza jamani, nisije nikawa nimefanya upendeleo kumuuliza mke wangu”

“Tayari kaka Eddy”

“Hapo sawa, ehee niambieni wezetu munaelekea wapi?”

“Sisi tupo na gari letu, tunaelekea Tanga mjini”

“Aaa….basi tupo safari moja”

“Waooo nyinyi pia munaelekea Tanga eheee?”

“Yaaa tunakwenda nyumbani kwa mapumziko kidogo”

“Hahaa ndio maana umeamua kuandika stori ya Tanga raha kumbe Tanga ndio kwenu eheee?”

“Hahaaa…..”

Muhudu akawaletea kila mmoja chakula chake.

“Jamani karibuni, sisi chakula chetu bado kinaandaliwa”

“Sawa”

“Eddy hujanijibu swali langu, kwa nini uliamua kuandika Tanga Raha?”

“Mmmm, kusema kwamba nilikuwa nina sababu itakuwa ni uongo. Mara nyingi sana huwa ninaandika kitu kutukana na hisia ambazo huwa zinatembea kwenye akili yangu”

“Ni hisia tu unataka kusema?”

“Yaaa”

“Na stori zote huwa unaandika mwenyewe au wifi yetu Jojo anakusaidia?”

“Mmmm mimi hata kutunga siwezi kwa kweli anaandka yeye mwenyewe”

“Waooo”

“Mimi kazi yangu ni kumliwaza akichoka”

Tukajikuta sote tukicheka. Mudumu akatuletea wali ulio andaliwa vizuri na kunikia hadi hawa mashabiki wetu tulioa ungana nao kupata chakula cha mchana wakabaki wakiukodolea macho.

“Karibuni”

“Ehee kumbe wanapika wali?”

“Yaaa….wanapika”

“Jamani, si ningeagiza na mimi”

Tukaendelea kula na kunywa huku tukizidi kupiga stori na mashabiki wetu hawa ambao kusema kweli tumetokea kuzoeana nao haraka sana. Na mtu akija eneo hili na kutukuta jinsi tunavyo zungumza na kucheka, wanaweza kuhisi ni watu ambao tunafahamiana nao kwa muda mrefu. Simu ya Eddazaria iliyo anza kuita mfukoni mwake ikatufanya kukatisha vicheko vyote. Eddazaria akaitazama kwa muda simu yake na kuipokea.

“Mama shikamoo”

“Yaa ndio kwanza tupo Lugoba hapa tunakula”

“Nipo naye hapa”

“Haya. Heii zungumza na mama”

Eddazaria alizungumza huku akinikabidhi simu yake. Nikaichukua na kuiweka sikioni mwangu.

“Haloo”

“Shikamoo mama”

“Marahaba, pole na safari”

“Asante mama yangu,hapa ndio tunakula”

“Sawa, sisi tunawasubiri mwanangu”

“Asante mama”

“Niwatakie safari njema, muambie huyo mwenzako awe makini barabarani. Ule mwendo wake wa vurugu vurugu auache”

“Sawa mama yangu”

“Haya”

Mama mkwe akakata simu, nikamrudishia Eddazaria simu yake huku moyoni mwangu nikianza kujawa na furaha kwani nina imani makaribisho ni mazuri ukweni. Tukamaliza kula, Eddazaria akalipa bili ya vyakula pamoja na vinywaji tulivyo tumia na mashabiki wetu hawa wapatao saba.

“Gari lenu ni lipi?”

Eddazaria aliwauliza wadada hawa, huku tukiwa tunaelekea eneo lilipo gari letu.

“Lile pale”

Dada ambaye alikuwa ni muongeaji sana alizungumza huku akitonyesha Harrier new model.

“Munatosha wote saba?”

Niliwauliza huku nikiwatazama.

“Tunapakatana”

“Wawili munaweza kuhamia huku kwenye gari letu”

Niliwaomba, kwa haraka wasichana wawili wakatufwata sisi huku tulipo huku wakizomeana na wezao walio tamani kuja kwenye gari letu ila wamewawahi. Tukainia kwenye gari, wasichana hao wakatangulia mbele yetu. Safari ikaendelea, huku dereva wa gari la wasichana hao akiendesha mwendo wa kasi sana, akijaribu kufanya mashindano.

“Pamela pale atajitia mtaalamu katika kuendesha gari”

Msicha mmoja alizungumza siti ya nyuma yetu.

“Munataka nikampite?”

“Yaaa”

Wasichana hawa walizungumza, sikuhitaji kuzungumza chochote kwani wengi wapewe. Eddazaria akanitazama kwa jicho la kuiba, kisha akaongeza mwendo kwa gari, kadri alivyo zidi kuongeza mwendo wa gari ndivyo jinsi alivyo likaribia gari la wasichana hao.

“Niwapite?”

“Yaaa”

Eddazaria akaanza kuwapita wasichana hao, macho yangu nikatazama spidi ya gari nikakuta mshale unaelekea kwenye spidi moja na themanini. Nikajiweka vizuri kwenye siti yangu kwani spidi hii ni kubwa sana, isitoshe hii BMW yetu ina spidi mia mbili arobaini. Wasichana hao wakaanza kuwazomeaa wezao tunao wapiti. Eddazaria akazidi kuongeza mwendo na tukaanza kuwaacha, akalipita roli moja lenye mabehewa mawili.

“Eddy mwendo mkubwa, punguza bwana”

“Ohoo Fuc*****…….!!!”

Eddazaria alizungumza kwa mshangao mkubwa sana huku macho yake yote akiwa ametazama kioo cha pembeni ya gari lake, ikatulazimu kugeuka nyuma. Hatukuweza kuona kitu kwani lori lililopo nyuma yetu limetuzibia.

“Kuna nini?”

“Ajali, wezetu wamepata ajali”

Eddazaria alizungumza huku akijaribu kugeuza gari hili, akafanikiwa japo mwenye lori naye alifunga breki za galfa ili kuto kutugonga. Tukaanza kurudi tulipo tokea, macho yakanitoka, wasiwasi mwingi ukanitawala, kwani gari la kina Pamela, limeanguka kichwa chini miguu juu na limeminyika minyika mithili ya kumtisha kila mmoja wetu kwani sidhani kama kunamtu amnaye yupo hai ndani ya hilo gari.



ENDELEA

Eddazaria kwa haraka akasimamisha gari letu pembezoni mwa barabara, akafungua mlango kwa haraka, akakimbilia katika eneo lilipo gari hilo. Wasichana nilio baki nao ndani ya gari wakaanza kuangua vilio. Magari mengine nao yakaanza kusimama, watu wakshuka kutoa msaada. Nikamuona Eddazaria akisaidiana na wanaume wengine kuwachomoa kina Pamela mmoja baada ya mwengine. Nilipo muona Pamela amesimama, kidogo nikapata ujasiri wa kushuka ndani ya gari. Nikaanza kusogea eneo la ajali, wasichana wengine wana wamezimia ila wana majeraha madogo madogo kwenye miili yao.

Wakatolewa wote watano, huku Pamela na msichana mwengine wao wawili tu ndio hawajazirahi, ila hawa wengine hawajitambui.

“Wapo hai?”

Mzee mmoja alizungumza huku akisikilizia mapigo ya msichana mwengine ambaye kidogo majeraha yake ni makubwa kuliko wezake. Pamela akaanza kuangua kilio, watu wenye magari madogo wakajitolea kuwabeba majeruhi kuwakimbiza hospitalini. Wasicha nilio waacha ndani ya

gari wakashuka na kumkimbilia rafiki yao huyo na kumkumbatia na kuendelea kilio.

“Amepindukaje sasa hapa?”

Mwanaume mmoja aliuliza huku akiwatazama kina Pamela.

“Hili eneo si kupinduka kabisa,”

“Unaona alipo anza kufungia breki ni pale ameserereka, gari likamshinda, nikabingiria”

Mwanaume mwengine alijibu.

“Uliwaona?”

“Yaa niliiona hii ajali mimi nilikuwa ninashuka kule kilimani na hili gari nalo ndio linataka kulipita lori moja naona halijasimama, sasa akawa anachungulia, anarudi anachungulia anarudi. Sasa ile kuchungulia ya tatu, akaanza kuyumba, gari ikamshinda, ikapiga samasoti tatu na kutulia kichwa chini miguu juu. Cha kumsgukuru Mungu nilikuwa kwenye mwendo mdogo, laiti kama ningekuwa spiddi basi hata mimi ningewagonga”

“Ahaaa watoto wa kike wengine wamejifunza kuendesha magari jana, wanakuja kuendesha barabara kubwa huku”

“Ajali ni ajali kaka, haina cha mwanamke wala mwanaume. Unataka kuniambia kwamba ajali zote zinazo tokea humu mabarabarani, zinasabaishwa na wanawake pekee”

“Ahaaa….ni mtazamo wangu kwa hawa mabinti”

“Daaa alafu gari mpya kabisa hii”

“Yaaa mpya si unauna platenamba yake hiyo”

“Kweli”

Eddazaria akanishika mkono na tukasogea pembezoni mwa barabara lilipo gari letu.

“Vipi unaogopa?”

“Swali gani baby, lazima niogope mume wangu. Watu tulikuwa tumeongozana nao vizuri tu, sasa hivi unawaona wamelala pale chini hawajitambi”

“Cha kumshukuru Mungu hawajakifa, kwa maana mmmmm”

“Eddy kipande kilicho baki nitakiendesha mimi mwenyewe. Maswala ya mashindano ulio kuwa unayafanya, ndio yamewaponza wezakko. Walipo kuwa wakijaribu kulipita gari masikini ya Mungu wakashindwa na kuanguka”

“Kutembea kwenyewe unatetemeka, ndio sembuse kuendesha gari, unataka univunje meno nini?”

“Ahaaa…Eddy ni bora niendeshe mimi. Tutakwenda mwendo kama wa kobe, hivyo hivyo. Kikubwa ilimradi tufike tu”

“Muna umekwenda, tukitoka hapa, inabidi twende kwa mwendo kasi, kwani kuna saline moja ninahitaji uende ukatoe hilo wigi laki, sitaki unilalamikie”

“Eddy kama ni mwendo wa kasi, boa niombe lifti kwenyemabasi ua kuelekea kwenu Tanga. Wewe una roho gani. Watu umeona kabisa tumetika kula nao, sasa hivi wanatokwa na damu, bado tu unataka twende mwendo kasi, ahaaa hapana”

Nilizungumza kwa msisitizol, kwani nafsi na roho yangu vyote vimepoteza amani kabisa.

“Poa ngoja niwaulize hawa kama ni wa kwenda au laaa?”

“Kina nani?”

“Si hao kina Pamela?”

“Eddy unahisi kwamba watwaweza kukujibu kwa sasa pale akili zao wala hazifanyi kazi kabisa, zaidi ya kulia lia.

“Basi nenda kawaulize wewe”

Eddazaria alizungumza huku akifungua mlango wa gari na kuingia ndani. Nikawatazama Pamela na wezake ambao wamesimama pembezoni mwa barabara. Nilipo wakaribia, Pamela akawaachia wezake na kunikumbatia mimi kwa nguvu huku machozi yakiendelea kumwagika machoni mwake.

“Jojo nimewaua rafiki zangu?”

Pamela alilia huku akizidi kunikombatia.

“Nooo usieme hivyo hawajafa. Wapo hai kabisa”

“Mbona sisi tumetoka, tunatembea ila wao hawatembei?”

Pamela aliniuliza huku akizidisha kilio.

“Ni matatizo magodo tuwatakuwa poa sawa”

Nilizungumza huku nikiendelea kumbembeleza Pamela.

“Nataka kuongea na baba”

Pamela alizungumza huku akijipapasa pasasa mfukoni mwake.

“Simu yangu haipo”

“Itakuwa imeanguka”

Pamela akaanza kurudi lilipo gari lao, ila baadhi ya watu wakamzuia wakihisi amachanganganyikiwa, ikanilazimu kumsaidia katika kuitazama simu yake ndani ya gari hilo, sikuweza kuiona ila kwa akili ya haraka haraka nikatambua kwamba lazima kunawatu ambao si wema watakuwa wameiiba. Nikamfwata sehemu Pamela alipo simama, nikatoa simu yangu mfukoni na kumkabidhi.

“Hujaiona simu yangu?”

“Ndio sijaiona”

“Oooohoo Mungu wangu, jamani nani amechukua simu yangu”

Pamela alizungumza kwa sauti ya juu.

“Hembu jaribuni kuipiga”

Jamaa mmoja alizungumza huku akitutazama mimi na Pamela. Pamela akasikiliza ushauri wa mtu hiyo. Kwa kutumia simu yangu akaipiga namba yake.

“Inaita”

Pamela alizungumza na kutufanya tuanze kuangaza angaza macho, kwani hata mimi nina ufahamu mlio wa simu yake. Nikausikia wa simu hiyo kwa mbali, nikafumba macho yangu kwa nugvu ili kuweza kusikiliza kwa umakini sana ni wapi mlio huo unapo tokea, kwani kwa makelele ya watu yaliyopo katika eneo hili ni ngumu sana kuweza kuweza kufahamu. Nikatambu ni upande gani ambapo simu hiyo ipo.

“Endelea kuipiga”

Nilimuambia Pamela huku nikiyafumbua macho yangu, nikazidi kusinga mbele kuelekea kwenye eneo ambalo ninasikia mlio huo. Kila jinsi ninavyo zidi kusonga mbele ndivyo jinsi ninavyo zidi kusikia mlio huo. Nikafika katika eneo ambalo mlio wa simu unatokea kwa mwanadada mmoja hivi aliye valia baibui na kujifunga mtandio. Nikamnyooshea mkono nikimuomba anipatie hiyo simu kimya kimya pasipo watu kuelewa chochote kinacho endelea.

“Nini?”

Alivyo mjinga alizungumza kwa kupayuka.

“Simu”

“Yako kwani?”

“Dada sihitaji kujibizana na wewe, naamba simu hiyo”

“Weee dada vipi”

Nikamuona Pamela akija eneo hili huku akiwa ameiweka simu yangu sikioni mwake. Baadhi ya watu walisha anza kututazama wakijaribu kufwatilia mkasa huu kwa macho.

“Naomba simu yangu”

Pamela alizungumza huku macho yamemtoka. Dada huyu cha kushangaza akaendelea kubisha kwamba simu hawezi kutoa akidai ni yake.

“Weee fala nini, nipe simu yangu”

Pamela alizungumza huku akimkwida dada huyu baibu lake. Dada huyu akaendelea kujitetea na kudai simu ni yake. Pamela kutokana na mwili wake mkubwa kiasi na nguvu alizo jaliwa, akafanikiwa kuuzungusha mkono wa kulia wa dada huyu na kumbaa huku akianza kumpapasa kwenye mapaja yake.

“Jojo nisaidie kuitoa simu kwenye mfuko wake wa suruali ya ndani”

Mpambe siku zote hapewi rungu, ila Pamela amenipatia ruhusa, iliyo nifanya nimpandishe dada huyu baibui lake juu, nikaitoa simu ya Pamela kwenye mfuko wa suruali ya huyu dada na kuwafanya watu walio hamishia akili zao kwenye eneo hili kuana kunong’ona.

“Mwehu wewe, unadhani unaweza kuiba iphone seven wewe. Yaani hata ungeenda Maramba ndani ndani huko ningekufahamu mjinga wewe”

Pamela alizungumza huku akimsukumiza dada huyu pembeni.

“Jojo twende zetu”

Tukamuacha dada huyu akisimangwa na baadhi ya watu, wakidai kwamba alicho kifanya sio kitu kizuri amejidhalilosha bure kwa tabia yake ya wizi. Pamela akaanikabidhi simu yangu huku akianza kiminya minya simu yake. Akaiweka sikioni mwake na kusikilizia kwa muda.

“Baba shikamoo”

“Hatujafika bado ila tumepata ajali”

“Ndio, tumepinduka, ila mimi sijaumia na wezangu wawili watatu ndio kidogo wamepata majeraha,”

“Hata sijui hapa ni wapi?”

“Ahaa kuna dada mmoja hivi amenisaidi, tutaelekea Tanga na kuchukua hoteli huko, gari ningeomba uagize dereva wako alifwatilie”

“Hapana, bado hatujafika wapi, yaani tumetoka Lugoba tu kama kilomita tano hivi ndio tumepata ajali”

“Asante baba”

“Sawa ila naomba usimuambie mama si unajua sukari isije ikampanda bure”

“Sawa baba, dereva aniletee ile Lexus kubwa”

“Sawa”

Pamela akakata simu na kuirudisha mfukoni mwake. Gari mbili za polisi zikafika katika eneo hili. Wakaanza kuweka alama ili waweze kuipima ajali hiyo.

“Inabidi tuondoke hapa, watakusumbua sana”

Nilizungumza huku tukielekea kwenye gari letu.

“Wezangu sio wamepelekwa hospitali gani”

“Sijajua”

Tukaingia ndani ya gari na kumkuta Eddazaria akizungumza na simu.

“Sawa baby i love you. Mwaaaa”

Maneno hayo ya Eddazaria yakanifanya moyo wangu kuhisi kama umechomwa na kitu chenye ncha kali, wivu ulio ambatana na hasira vikaanza kunitawala, msukumo wa kumpokonya Eddazaria simu yake ukanitawala, nikajikuta nikiyang’ata meno yangu kwa hasira sana hadi Pamela mwenyewe akaanza kuniogopa.



Eddazaria akakata simu huku akitabasamu, hasira yangu wala hakuujali.

“Nini?”

Eddazaria aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Ulikuwa unazungumza na nani?”

“Mke mwenzako”

Kusema kweli uvumilivu ukanishinda kwa haraka nikampokonya Eddazaria simu yake, nikaitazama namba ya simu aliyo toka kuzungumza nayo, imeandikwa kwa jina la Shem Mkubwa. Kwa haraka nikaipiga na kuiweka sikiooni mwangu.

“Shem”

Nilisikia sauti ya kike, iliyo nizidisha hasira kiasi ila nikajikaza kuzuia matamshi mabaya kwa mwanamke huyu kwani ninahitaji kumjua zaidi.

“Ahaa”

“Jojo siku zote nakusikia tu ukizungumza na mama. Karibuni tumewaandalia mapochopocho mengi”

“Asantemwaya, wewe ndio ulizungumza na Eddy muda huu?”

“Ndio au umeogopa busu nililo pigwa jamani, hahaaaa”

“Hahaa…ahaa….hapana si unajua kijiwivu lazima”

“Kweli, kuwa na amani. Mimi ni shemeji yake, kama mulikaa akakuzungumzia kuhusiana na mama Gody mkubwa basi ndio mimi”

“Nashukuru kwa kukufahamu”

“Hata imi kazibu sana mwaya. Wewe kuwa naa amani katuka hilo”

“Nashukuru, badaye mwaya”

“Haya”

Nikakata simu huku nikiwa nimejawa na aibu, hata kumrudishia Eddazaria simu yake nikajikuta nikishindwa hata kumrudishia.

“Wale wezenu wapo wapi?”

Eddazaira alimuuliza Pamela huku akiwa amemtazama.

“Sijui yupo wapi ahaa…..”

“Ngoja nikawaangalie”

Pamela akashuka kwenye gari na kutuacha sisi wawili.

“Eddy vituko vingine siku nyingine tutakuja kuuana kwa presha”

“Presha gani sasa hapo Jojo, wewe mwenyewe vivu wako tu. Ngoja nikuambia siri moja ambayo huifahamu. Kwenye maisha yangumaisha yangu huwa nikimpenda mwanamke ninampenda kutoka moyoni mwangu na ninakuwa nina jiepiusha sana na wale ambao ninahisi watanifanya nimuumize yule nimpendaye. Ila mambo hubadilika pale tu yule nimpendaye atakapo nisaliti, au akaenenda kinyume na yale ninayo yategemea, hata akama nitakuwa nimekutambulisha kwa ndugu zangu au mama yangu, basi utakwenda na maji.”

Maeno ya Eddazaria kwa upande mmoja yanafurahisha ila kwa upande mwengine yanaogopesha.

“Nimekuelewa, haito kuja kutokea kuenenda kinyume nawe”

“Mungu abariki kwa kweli iwe hivyo”

Pamela akarudi kwenye gari akiwa ameongozana na wezake watatu, jumla wakawa wanne, ikawalazimu mmoja kupakantwa na wezake, kwani siti kidogo zimejaa na kuwabana.

“Mumefahamu wezenu wamepelekwa hospitali gani?”

“Wanasema wamepelekwa Teule Muheza”

“Mmmm mbona wamewapeleka mbali sana, hapo kati kati si kuna hospitali lakini?”

Eddazaria alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao.

“Hata sisi hatujajua, kila kitu kimefanywa haraka haraka”

“Sawa tuelekee huko, ila kuna uhakika lakini na sehemu walipo pelekwa?”

“Ndio”

Msichana mmoja alijibu Eddazaria kwa msisitizo sana. Hilo eneo ambalo wanalizungumzia kwa upande wangu kusema kweli silifahamu kabisa. Taratibu tukaanza kuondoka eneo hili huku ukimya ukiwa umetawala ndani ya gari hili. Kila mtu ninaye mtazama anaonekana kujawa na mawazo mengi sana usoni mwake.

“Pamela”

Niliita kwa sauti ya upole na iliyo jaa unyonge sana.

“Mmmm”

“Ilikuwaje?”

“Jojo hata sielewi kabisa ilikuwaje. Yaani muda ule nilivyo hitaji kulipita lile lori, nilihisi kama nikiishiwa nguvu hivi, nikajaribu kulirudisha gari katika upande nilio kuwepo, nikajikuta gari likizidi kuyumba na mwishowe, nikajikuta likianza kuzunguka mara kadhaa hadi likatulia”

“Ila muda mwengine jamani humu barabarani tukiwa tunaendesha magari inabidi tusali, bila ya kusali kuna majini, vibwengo. Yaani takataka za kila aina, muda mwengine unaweza kuhisi kabisa mtu huelewi kama unaendesha au laa yaani unajikuta tu mambo yanaharibika na kupata ajali”

Eddazaria alizungumza huku akipunguza mwendo, kwani mbele yetu kuna basi la abiria liendalo mkoani.

“Ni kweli, si unakumbuka ile siku nilivyo paja ajali baada ya kuvuka Wami tu pale, nilijihisi tu kichwa kikiniuma gafla, nikajikuta gari likitoka nje ya barabara, cha kumshukuru Mungu nilikivaa kile kijichuguu”

“Kumbe na wewe Jojo ulisha wahi kupata ajali?”

“Ndio, tena tulikuwa tunaigiza”

“Ehee jamani”

“Yaani wee acha tu, hapa baby alivyo kuwa akizungumzia maswala ya majini sijui na nini barabarani, nimeamini kabisa”

“Ila kusema kwlei hii barabara ya Tanga, Dar huwa siipendi, yaani tunaipita hiyo basi tu”

“Mmmm, jamani tuachane na hizo stori mwenzenu ninaogopa sana”

Msicha mmoja amabye sifahamu jina lake alizungumza kwa sauti ya upole na kutufanya tukatishe mazungumzo hayo. Ukimya ukatawala ndani ya gari, tukapita daraja la Wami salama salmini, nikaitazama sana sehemu niliyo wahi kupata ajai.

Ikatuchukua masaa matatu na nusu hadi kufika katika hospitali ya Teule ambayo ndipo walipo letwa rafiki zake Pamela. Tukaulizia kwa bahati nzuri tukafanikiwa kuweza kutambua ni wodi gani ambayo wamelezwa. Japo muda wa kutazama wagonjwa umekwisha ila kutokana na maelezo aliyo weza kuyazungumza Eddazaria tukaruhusiwa kuweza kuwaona. Tukawakuta wamelezwa katika vitanda vitatu vilivyo aongozana. Walipo tuona furaha zikawajaa.

“Munaendeleaje?”

  ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG