Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

AIISSII U KILL ME LEGACY SEHEMU YA 6/10

 


AIISSII U KILL ME LEGACY

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 6 KATI YA 10

 


“Ndio Randy, sikuwa ninatarajia kama kuna mwanaume mwenye mapenzi ya kweli kwenye haya maisha, ila nilipo kuana na wewe nikaona kuna jambo fulani limebadilika moyoni mwangu na kweli, wewe umenibadili sana mpenzi wangu”

“Nashukuru mke wangu”

Tukaendelea kuzungumza mambo mawili matatu hadi usingizi wote wawili ukatupitia.

***

Siku iliyo fwata majira ya saa nane mchana Dany akarudi nyumbani huku akiwa amebaba zawadi za matunda huku akidai ni kwa ajili ya mkwewe.

“Asante Dany”

Victoria alizungumza huku akimkumbatia Dany kwa nguvu.

“Kuna matunda ambayo Dunia nzima yapo Tanzania tu”

Dany alizungumza huku huku akitutazama mimi na Victoria tunao endelea kukagua kagua vifuko hivi vya matunda.

“Matunda gani hayo mzee?”

“Nenda ka google”

“Haaaaa”

“Unacheka, nenda ka google utayaona.”

Dany alizungumza kwa furaha sana.

“Vipi wamepata ndege?”

“Yaa walikodi ndege private jet, waliondoka majira ya kama saa tisa usiku, kwani kutoka hapa hadi Dar nilitumia masaa manne na nusu hivi”

“Mmmmmm!!”

“Chezea hiyo chombo, ina tembea, huko njiani ni mwendo wa kuyapita malori makubwa. Hadi Camila akawa anapiga mayowe ya kushangilia kwa uendeshaji”

“Baab mkwe nikuulize swali?”

“Niulize tu”

“Hivi yule Livna Livba yupo wapi?”

Dany akashusha pumzi taratibu huku akitutazama.

“Sifahamu kwa kweli, niliachana naye miaka mingi sana. Unaonekana kwamba historia yangu unaifahamu vizuri sana eheee?”

“Ndio nina ifahamu”

“Randy kuna simu yako hapa”

Jojo alizungumza huku akiwa amesimama kwenye ngazi za kupandishia gorofani, nikawaacha Victoria na baba yake mkwe waendelee na mzungumzo yao kisha nikamfwata Jojo sehemu alipo simaa.

“Ni kutoka kwa nani?”

“Professa”

Nikaichukua simu hii na kuiweka sikioni mwangu.

“Ndio professa”

“Umerudi Tanzania hata kunijulisha?”

“Hapana professa kuna mambo yaliingiliana tu. Heshima yako kwanza”

“Salama. Kuna tatizo”

“Tatizo gani tena?”

“Njoo leo nyumbani kwangu tuweze kulitatua hili tatizo, kabla mambo hayajawa mabaya zaidi”

Mapigo yangu ya moyo taratibu yakaanza kunienda kasi kidogo huku nikijiuliza ni tatizo gani ambalo limetokea. Nikatamani kumuomba professa aweze kunieleza hilo tatizo ila tayari akawa amekata simu.

“Vipo mbona umepoteza furaha?”

Jojo aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Professa amesema kuna tatizo”

“Tatizo gani?”

“Sijajua na amehitaji niweze kwenda kwake leo hii hii”

“Kama unakwenda huyu mama kijacho muache hapa nyumbani sawa”

“Sawa sister”

Nikarudi sebleni na kuwakuta Victoria na Dany wakicheka sana.

“Baba ninaomba funguo ya gari lako”

“Vipi una safari ya wapi tena?”

“Unatoka mume wangu?”

“Ninakwenda kumuona Professa kuna mambo nahitaji kuyaweka sawa”

Dany akanikazia macho yangu kisha akasimama na kumuomba Victoria atusubirie hapa sebleni. Tukatoka nje ya nyumba hii na kusima kwenye sehemu ambayo si rahisi kwa mtu aliyopo ndani kuweza kusikia mazungumzo yetu.

“Mambo gani ambayo unataka kwenda kuyaweka sawa”

“Professa hajanieleza kabisa juu ya hayo mambo ila ameniomba niweze kuelekea kwake”

“Kama kuta kuwa na tatizo kubwa nijulishe haraka iwezekanavyo. Sihitaji huyu mtoto wa watu aboreke kukaa hapa peke yake. Umenielewa?”

“Nimekuelewa baba”

“Muage na maneno ya kueleweka, sihitaji akufikirie vibaya. Ninahitaji kumuona mjukuu wangu”

Dany alizungumza huku akinikabidhi funguo ya gari lake, akanipiga piga begani mwangu kisha akaingia ndani, baada ya muda kidogo Victoria akatoka na kunifwata sehemu nilipo simama.

“Ninakwenda kwa Professa wangu, yule ambaye alinisaidia kwenye ile oparesheni ya kuvamia kundi la Islamic State kule Syria”

“Ahaa ndio yule uliye kuwa una chati naye kwenye simu yangu?”

“Ndio”

“Sawa mume wangu kuwa makini tu, si unajua siwezi kuwa mbali sana na wewe”

“Nalitambua hilo mke wangu, nakupenda sana”

Nikaagana na Victoria kisha niakingaia kwenye gari hili la Dany na kuianza safari ya kuelekea jijini Dar es Salaam. Safari yagu, ndani ya masaa sita nikawa nimefika nyumbani kwa Professa. Kitendo cha kuingia sebleni kwake, niakmkuta Jane akiwa amekaa kwenye moja ya sofa, akanyanyuka kwa haraka na kusimama mbele yangu huku sura yake ikiwa imejaa hasira kiasia. Akanizaba kofi zito, nikiwa katika hali ya kusikilizia maumivu ya shavu la kulia akanizaba kofi jengine la shavu upande wa kushoto hadi nikaanza kujihisi giza giza kwneye macho yangu.



Bi Jane kwa nguvu akanikumbatia huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Randy kwa nini, kwa nini umefanya hivyo?”

Bi Jane alilalamika huku akiendelea kunikumbatia mwilini mwangu. Nikapata kigugumizi kwani sifahamu ana zungumzia jambo gani.

“Si….si…”

Bi Jane akanishika mkono na tukaingia kwenye moja ya chumba ambacho tulikuwa tunalala kipindi nilipo kuwa ninaa hapa kwa Professa. Jane akanisukumia kitandani huku akianza kuvua nguo moja baada ya nyingine. Nikatamani kunyanyuka kitandani ila nikajikuta nikitulia na kumtazama bi Jane usoni mwake. Bi Jane akapanda kitanda na akaanza kunifungua mkanda wa suruali yangu.

“Hei Jane tuzungumze basi mpenzi wangu”

“NO”

Jane alizungumza huku uso wake ukiwa umejaa ndita nyingi. Akaishusha suruali yangu kidogo na kumtoa jogoo wangu nje ya boksa. Bi Jane akamnyonya kidogo jogoo wangu kisha akasongea bikini yake pembeni na kumkalia huku macho yakimtoka jambo lililo nifanya nami nisikilizie utamu wa kitumbua chake. Bi Jane hakuhitaji kuendelea kupoteza muda wala kusubiri mimi nini nifanye, akaanza kuzungusha kiuno chake huku akitoa miguno ya kimahaba kwa sauti ya juu kiasi cha kunifanya nijaribu kumziba mdomo wake, ila akausuogeza pembeni.

“Nini, niache huko”

Bi Jane alizungumza huku akiutoa mkono wangu na kuuweka pembeni, akaendelea kuzungusha kiuno chake hadi alipo choka, ndipo alipo kubali nami nianze kumshuhulikia. Mtanange wetu ukatuchukua takribani lisaa kasoro dakika chache sana, ukafikia tamati huku kila mmoja akiwa katika hali ya kuchoka.

“Ohoo asante, nilikuwa na nyeg** hadi nikawa na hasira na wewe mpenzi wangu”

“Kweli?”

“Ndio, yaani hapa nilipo nimekuwa mwepesi kwa maana hakuna mwanaume anayejua kunikuna miwasho yangu yote zaidi yako. Randy nina kupenda, nina kuhitaji na nina wivu mkubwa sana na wewe. Sinto hitaji uwe na mwanaume wa aina yoyote zaidi yangu”

Mapigo ya moyo yakaanza kuniaenda kasi kwani kwa akili ya haraka haraka, bi Jane hatambui kwamba nina mke tena niliye funga naye ndoa halali.

“Mmmmm…..!!”

“Ndio Randy nina kupenda sana, tena sana mume wangu. Nilipo zungumza na wewe siku ile japo sauti yako ilikuwa haieleweki, ila niliweza kukutambua kwamba ni wewe. Nilijawa na matumaini sana moyoni mwangu na nilitamani niweze kuja huko ulipo ila Professa alinizuia na kuniomba nisiweze kufika huko kabisa.”

Bi Jane alizungumza huku akiwa amekilaza kichwa chake kifuani mwangu huku akichezea chezea bustan ndogo ya vinyweleo iliyopo kifuani mwangu.

“Unajua ile nchi haina amani kabisa. Ingekuwa ni hatari kubwa sana kwa wewe kufika”

“Pia Professa alinieleza jambo hilo hilo. Ila mapenzi Randy. Ninakupenda yaaani endapo nikitambua kwamba una nisaliti basi huyo mwanamke nitamfanya kama ulivyo mfanya yule mwanaume uliye nikuta naye”

Nikamkazia macho bi Jane taratibu nikamsogeza pembeni na kukaa kitako hadi yeye mwenyewe akanishangaa.

“Mpenzi wangu mbona umekuwa hivyo?”

“Rudua maneno uliyo yazungumza?”

“Kwani yana ubaya wowote mume wangu?”

“Naenda kuoga, nahitaji kuzungumza na Professa”

Nilizungumza huku nikishuka kitandani, nikaingia bafuni na kuanza kuoga. Jane akanifwata ndani ya bafu hili.

“Randy nimezungumza vile kutokana na upendo wangu”

“Upendo wa kuuana?”

“Wewe mbona ulifanya hivyo. Tambua ninajifunza kutoka kwako mpenzi”

“Jifunze mambo mazuri na si kujifunza mambo mabaya”

“Natambua hilo Randy, ila hata huo uamuzi ni mzuri kwangu. Ndio maana hadi leo sijawahi kufanya jambo lolote baya kwako toka ulipo muua yule kijana”

Jane alizungumza kwa msisitizo sana. Naikatamani kumueleza ukweli ila nikajikuta nikishindwa kabisa. Tukamaliza kuoga na kuvaa nguo zetu, tukaingia katika ukumbi mkubwa ambao Professa ana utumia kama ofisi yake, nikasalimiana na Professa kwa furaha kidogo.

“Ndio ndio Professa niambie kuna tatizo gani?”

Professa akatembea hadi kwenye computer yake na kuanza kuiminya minya. Akanionyesha kidole kwenye tv kubwa iliyopo ukutani. Sikuamini ichi ninacho kiona, kwani yule balozi wa Pakistani nchini Syria ame uwawa kwa kupigwa risasi kichwani mwake.

“Ni kina nani ambao wamefanya hivyo Profesa?”

“Farida, na wamekubambikia hii wewe”

“MIMI…..!!?”

“Ndio na ninavyo zungumza hivi sasa. Pakistani wameomba msaada kwa nchi ya Marekani juu kukukamata wewe na isitoshe tayari msako umesa anza”

“Washenzi wana utani na mimi hao”

Nilizungumza huku nikiitazama picha yangu kubwa, yenye maandishi ya MOST WANTED ikimaanisha kwamba nina swakwa kama muhalifu.

“Haki ya Mungu nita wau”

“Kwa sasa huwezi kuwasogelea watu hao kwa maana wamesha pata muunganiko mkubwa na nchi ya Marekani na kama unayo jua damu yenu na Marekani ni vitu viwili tofauti”

“Una manisha nini?”

Professa akaniwekea picha ya Dany, huku kukiwa na maandishi ya kwamba ni gaidi namba moja ambaye bado nchi ya Marekani inaendelea kumsaka.

“Je watambua kwamba Dany yupo Tanzania?”

“Ndio wanatambua”

Professa akaanza kunionyesha picha za majasusi wa FBI ambao tayari wamesha ingia nchini Tanzania kwa ajili ya kunitafuta mimi pamoja na Dany kwa ujumla.

“Mtoaji maekezo mkubwa ni mama yako Yemi. Hili ndio tatizo ambalo tumekuitia ili uweze kuliona”

Nikaka kimya huku nikitazama picha ya mama kwenye tv hii kubwa iliyomo humu ndani.

‘Kwanini hujamuambia Dany?”

“Laiti kama ningemuambia Dany moja kwa moja juu ya hili jambo, angeanzisha vita na ingekuwa ni rahisi kwa nyinyi wote kuweza kukamatwa”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikifikiria nini cha kufanya kwani ile furaha ambayo nilikuwa nayo tayari imesha anaza kupoteza taratibu.

“Tutafanyaje Professa?”

“Hata mimi sifahamu tunafanya nini?”

“Ila serikali ya Uingereza wameweza kunipa ofa ya kuweza kushirikiana nao katika utendaji wa kazi katika sekta ya ulinzi?”

“Unahisi hiyo inaweza kusaidia kwa wakati huu ambao picha yako imezagaa na kuambiwa kwamba wewe ndio muuaji balozi huyo wa Pakistani”

“Balozi mkuu wa Uingereza ana niamini sana na yeye ndio mtu ambaye amesimamiaupasuaji wa kuirudisha sura yangu ya halisi una fanikiwa”

“Randy ngoja nikuambia kitu kimoja mjukuu wangu. Mambo kwenye dunia ama serikali siku zote uwa yanabadilika. Nchi ya Uingereza na nchi ya Marekani, hawa watu ni marafiki sana, ni sawa na pua na mdomo. Hilo ni moja, mbili Uingereza hawaweza kukukingia kifua, kwanza si raisi wa nchi yao, mbili historia ya baba yako sababu nyingine kubwa sana ambayo kwa namna moja ama nyinngine endapo itafumuka katika raia wa nchi hiyo lazima watailazimisha serikali kuhakikisha kwamba inakuachia mikononi mwa mikono ya Wamarekani, so unahisi hapo kinacho kwenda kufwata ni nini kwako na kwa familia yako kwa ujumla”

“Randy anacho kizunugmza Professa ni kweli, ukizingatia kwa nchi kama Uingereza inaongozwa na katiba yenye nguvu sana, wana nchi wana weza kuwaajibisha viongozi wao na wengine hupelekea kujiuzuru kabisa”

Bi Jna ealizungumza kwa msisitizo huku akinitazama usoni mwake.

“Hivyo muna nishauri juu ya hili nisiweze kufana mawasiliano kabisana na waziri mkuu wa Uingereza?”

“Ndio”

“Hata mimi pia nakushauri hivyo usidhubutu kumueleza chochote”

“Nahitaji kurudi nyumbani kwenda kuzungumza na Dany”

“Sawa”

“Jane tukipata muda tutazungumza”

“Ila unaonaje ukalala kwa maana usiku umekuwa mkubwa sana”

“Huu ndio muda mzuri wa mimi kusafiri”

“Jamani, ni hatari bwana Randy”

“Usijali mpenzi wangu. Hili swala si la kungojea kesho. Naomba unisaidie kitu kama hoto jali”

“Kitu gani?”

“Naomba pesa ya mafuta ya gari langu”

“Sawa”

“Ehhee”

Professa akanikabidhi bastola, nikaitazama kwa sekunde kadha akisha nikaipokea.

“Itakusaidia endapo utapata tatizo lolote njiani”

“Nashukuru Profesa”

Nikaagana na Professa na nikatoka ndani humu pamoja na Jane. Tukaingia chumbani kwa pamoja na akanikabidhi kibunda cha pesa za Kitanzania.

“Si inatosha?”

“Ndio zitatosha”

“Nakuomba uwe makini mpenzi wangu na ninaomba uweze kurudi ukiwa salama”

“Nashukuru”

Taratibu Jane akanisogelea na kuanza kunyonya lipsi zangu taratibu kisha akatoa simu moja kwenye pochi yake na kunikabidhi.

“Simu ina pesa ya kutosha, na namba yangu imo humo ndani”

“Nashukuru”

“Hakikisha una nipigia ukifika”

“Sawa mpenzi wangu”

Jane akanisindikiza hadi nje, nikaingia kwenye gari langu na kuondoka eneo hili kwa mwendo wa kasi. Nikafika kwenye moja ya sheli na kusimamisha gari hili na karibia wafanyakazi wote wa hili eneo wakaanza kulishangaa shangaa gari langu. Nikashusha kioo cha gari langu na muhudumu wa kike akanisogelea.

“Niwekee lita mia moja”

“Sawa”

“Kuna supermakert hapa?”

“Ndio kaka”

Nikashuka kwenye gari langu na kuingia kwenye duka hili. Nikaanza kuzunguka zunguka taratibu ndani ya duka hili, nikachukua juisi pamoja na boksi kubwa la biskuti kwa maana tomboni nina njaa kali kidogo. Nikiwa katika duka hili nikaona picha yangu ikiwa imebadikwa katika ukuta ambao mbele kidogo kuna meza ya muhudumu wa hili duka na kuna maelezo yanayo yakiwa kutoa ripoti polisi pale endapo kuna mtu anaweza kuniona. Muhudumu huyu akatabasamu huku usoni mwake anakionekana kujawa na mashaka. Nikachomoa noti kadhaa kuoka katika kibunda alicho nikabidhi Jane. Nikaweka pesa hizo juu ya meza hii kisa nikatoka na kuelekea kwenye gari langu.

“Kaka pesa”

Muhudumu aliye niwekea mafuta kwenye gari langu alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Nikamkabidi muhudumu huyu kiasi cha pesa ambacho nina imani kwamba ni kingi kuliko pesa ninayo paswa kulipa kwa sasa. Nikaingi ndani ya gari langu, kabla sijaliwasha nikashuhudia gari mbili nyeusi aina ya Range Rover zikiingia katika sheli hii kwa kasi. Nikajifunga mkanda wa siti wa gari hili, huku nikiendelea kutazama gari hizi, nilipo wanaona wanaume kama wanne wakishuka kwenye gari la kwanza, ambao wote asili yao ni Wamarekani, nikatambu moja kwa moja hawa ni FBI ambao wametumwa kuja kunikamata nchini Tanzania. Nikawasha gari langu na kuondoka kwa kasi huku wasiwasi mwingi sana ukiwa umenijaa.

Kwakupitia kioo cha pembeni, nikaona gari hizi zikija kwa kasi nyuma yangu. Nikaishika simu aliyo nipa Jane, na kumpigia, simu ikaita kwa sekunde kadhaa kisa ikapokelewa.

“Baby”

“Nina tatizo”

“Tatizo gani mpenzi wangu”

“Mpelekee Professa simu”

“Nipo naye hapa”

“Mpe simu”

“Randy”

“Professa kuna gari mbili nyuma yangu zina nikimbiza nyuma yangu na nina hisi kwamba ni FBI. Naomba uniunganishe na Dany na umueleze juu ya hili tatizo”

“Ohoo boy. Dakika moja usikate simu”

Nikaendelea kuongeza mwendo kasi wa gari hili.

“Randy una tatizo gani?”

Niliisikia sauti ya Dany akizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.

“Hapa ninavyo zungumza nawe kuna gari mbili za FBI, zinanifukuzia nyuma yangu na wanahitaji kunikamata”

“Kukukamata kisa nini?”

“Kuna habari za uongo zimeenea kwamba mimi nimemuua balozi wa Pakistani nchini Syria ikiwa ni habari za uongo ambazo wamezisambaza mama na Nuru”

“Ohooo, unaweza kuihimili hiyo gari ikiwa katika mwendo kasi?”

“Ndio”

“Upo wapi?”

“Sijajua baba?”

“Kuna daraja moja liatwa Wami, ni jembaba kidogo umelipita?”

“Bado?”

“Sawa, jitahidi unawaleta hadi huku nyumbani ukianza kuingai kwenye huo msitu tu. Kama bado watakuwa wanakufukuzia. Watafurahi na roho zao”

Dany mara baada ya kuzungumza maneno hayo akakata simu, jambo lililo nifanya nijawe na ujasiri mkubwa sana na kuzidi kuongeza mwnedo kasi wa gari hili.



Sikutaka kufanya majibizano na askari hawa kwa maana moja sina atia ya kosa lolote ambalo nimelifanya pili sina udhoefu na barabara za Tanzania kwani nikifanya shambulizi kuna asilimia kubwa sana ya mimi kuweza kupata ajali kubwa.

“Ohoo Boy”

Nilizungumza mara baada ya kuona gari nyingi za polisi zikiwa zimeziba daraja jembaba ambalo nakumbuka Dany aliniuliza kwamba linaitwa Wami. Sikuwa na jinsi yoyote ya kufanya zaidi ya kufunga breki za gari langu kwani sinto weza kupita na endapo nitahitaji kuipeleka gari hii pembeni basi nitaingia kwenye mto ambao sifahamu una kina gani kuelekea chini. Nikachuka simu yangu na kumpigia Dany, kisha nikaiingiza mfukoni mwa suruali yangu, askari wakazidi kulisogelea gari langu huku wakiwa wameishika mitutu yao kikamilifu.

“Mikono juu”

Sau ya askari kadhaa zilisikika, huku kila mmoja akionekana kujawana uchu mkubwa sana wa kunikamata. Nikatii amri huku mikono yangu nikiinyoosha juu, askari wakanikamata mikono yangu kwa nguvu na kuishusha chini, wakanifunga pingu kwa nyuma huku wakinipapasa kiunoni mwangu, wakachomoa bastola yangu pamoja na simu niliyo kuwa nimempigia Dany. Askari mmoja wa kimarekani akaitazama kwa umakini namba ya Dany kisha akaikata simu ambayo ipo hewani. Wakaanza kunisukuma sukuma kueleeka kwenye mojaya gari la hawa FBI, nikaingizwa na kuwekwa katikati na safari ya kuelekea pasipo julikana ikaanza. Ukimya ukatawala ndani ya ya gari hili huku gari moja ikiwa imetutangulia mbele.

“Kosa langu ni nini jamani”

Niliwauliza makachero hawa wa FBI ila hapakuwa na mtu ambaye aliweza kunijubu swali langu. Safari ikazidi kusonga mbele huku kasi ya magari hii ikiwa ni kubwa sana. Gafla tukashuhudia gari la mbele likiyumba na kupaishwa juu angani kimo cha ngombe dume kisha likaangushwa chini na kuanza kuserereka, jamabo lililo mfanya dereva wetu kujitahidi kufunga breki za gari hili huku akijitahidi kuhakikisha kwamba ana likwepa gari la wezao ambalo linaendelea kuserereka.

“What the fuc**?”

Kachero mmoja aliye kaa siti ya mbele alizungumza huku kila mmoja akitamani kuweza kufahamu ni kitu gani kinacho endelea. Gafla gari letu nalo likaanza kuyumba na mwishowe likaanza kubingirika barabarani huku kila mmoja ndani ya gari hili akimuomba Mungu wake kwa jinsi anavyo mjua yeye mwenyewe.

Hadi gari inatulia, ukimya mwingi ukatawala humu ndani huku sote vichwa vyetu vikiwa vimeelekea chini, kwa mwanga wa mbalamwezi, niliweza kuona funguo ya pingu niliyo fungwa, ikiwa ina ning’inia katika moja ya kishikizo cha mkanda katika suruali yake, nikaichomoa funguo hiyo kwa shida shida kisha nikajifungua pingu nilizo funga. Nikafungua mkanda wa siti hii niliyo fungwa kisha taratibu nikaanza kuusukuma mlango ulio bondeka bondeka kwa kutumia mguu wangu wa kulia. Nikiwa katika zeozi hili nikastukia kuona mlango ukifunguliwa kwa nguvu. Nikaishuhudia miguu ya mtu aliye valia viatu ambavyo kwa haraka nikagundua ni viatu vya kike. Mwanamke huyo akachungulia ndani humu, huku sura yake akiwa ameiziba, akanipa mkono wake wa kulia ulio valia gloves nyeusi, nikautazama mkono wake kwa sekunde kadhaa kisha nikaushika, akanivuta njee kwa kasi sana. Nikamtazama msichana huyu kuanzia chini hadi juu, akanishika mikono yangu yote miwili na kuninyanyua. Tukaanza kutembea kuelekea barabarani, nikajikuta nikishangaa mara ya kukuta gari ambalo nilikuwa ninalitumia, likiwa limeegeshwa vizuri, akanifungulia mlango wa upande wa abiria nikaingia ndani kisha akazunguka upande wa dereva, akapanda, akaligeuza gari hili kwa kasi na kuanza kuelekea kule nilipo kuwa nimekamatwa.

“Wewe ni nani?”

Nilimuuliza msichana huyu huku nikihisi maumivu makali sana kwenye mbavu zangu za pande zote mbili. Hakunijibu chochote zaidi ya kufungua kinyago alicho kivaa usoni mwake, sikuamini macho yangu mara ya kugundua kwamba ni Joho, akaziweka nywele zake vizuri huku akiendelea kuendesha gari hili.

“U…ume…kuja kujaje hapa?”

“Wewe shukuru Mungu upo salama na usizungumze sana, mbavu zako zimevunjika hizo”

Maneno ya Jojo yakawa kama yamenifungua akili yangu, mauvimu ambayo niliyahisi mara ya kwanza yakaongezeka mara mbili huku mwili ukianza kunyong’onyea.

“Na…na…kufa”

Nililalama huku nikiendelea kushika mbavu zangu zinzo uma sana. Hali yangu ikazidi kuwa mbaya kadri muda unavyo zidi kwenda, maumivu makali yakanifanya nipate kizunguzungu kizito huku macho yangu yakianza kujawa na ukungu ambao baada ya muda ukapelekea giza zito sana na sikuweza kuona ni kitu gani kinacho endelea.

***

Milio mizuri ya ndege, taratibu ikanifanya nifumbue macho yangu. Nikatazama eneo hili na ikawa ni haraka sana kulitambua kwani ni chumbani kwangu. Eneo zima la tumboni nimezungushiwa bandeji moja kubwa sana, nikaangaza angaza pembezoni mwa kitanda hichi na sikuweza kumuona mtu wa aina yoyote, nikajaribu kunyanyuka ila maumivu niliyo weza kuyasikia, sikutamani hata kuendelea kunyanyuka. Nikatamani kuweza kumuita mtu yoyote ila nikanyamaza kimya. Akaingia Victoria huku akiwa ameshika chupa ya juisi. Akanifwata kitandani nilipo kaa huku akiwa na tabasamu pana sana. Taratibu akanipiga busu zito mdomoni kisha akaka kitako.

“Niambie mume wangu”

“Safi tu mke wangu. Mbona nyumba imetulia kuna nini inacho endelea”

“Mmmm mume wangu weee acha tu”

“Nini?”

“Baba amekasirika kwa ajili ya wewe kutekwa na amewatangazia dunia nzima kwamba yupo hai na anacho kwenda kukifanya hivi sasa ni kulipiza kisasi kwa kile walicho kifanya Wamarekani la sivyo basi wahakikishe wana waondoa majasusi wao wote walio watuma ndani ya nchi ya Tanzania na pia amewapa onyo Pakistani kwa kukusingizia kosa ambalo haukulifanya”

“Mmmmm acha utani?”

“Haki ya Mungu mume wangu. Tanzama”

Victoria alizungumza huku akitoa simu yake kwenye mfuko wa suruali yake, akaniweka video hiyo ambayo baba alikuwa akizungumza na ulimwengu.

“Nahitaji kuzungumza naye?”

“Hawapo yeye na wifi wameondoka hapa muda mrefu sana”

“Toka lini?”

“Umelala hapa kitandani zaidi ya masaa thelathini, wifi amesema hali ya mbavu zako zitaendelea vizuri pale utakapo anza kunywa dawa hizi hapa”

Victoria alizungumza huku akinionyeshea vipakti vya vidonge vilivyo wekwa mezani.

“Ameniomba niweze kunywa kwa muda gani?”

“Kwa muda wa wiki moja. Kila siku vidonge vitatu, kimoja asubuhi, mchana na jioni”

“Unaweza kuniambia kwamba wamekwenda wapi?”

“Hapana wahakunijulisha, ila jambo walilo nieleza ni wewe uwe salama tu. Walinunua kila kitu cha ndani. Friji imejaa matunda ya kila aina na hawataki tuweze kutoka nje ya nyumba hii”

“Wanaweza kwenda kufanya jambo baya mpenzi wangu?”

“Sasa mume wangu, kama unavyo mfahamu baba yako. Mimi ningefanya nini, sina uwezo wa kumzuia. Ni mtu mwenye maamuzi yeye kama yeye, japo nilimshauri juu ya hili ila sikuwa na nguvu juu yake?”

“Jojo je uliweza kuzungumza naye?”

“Ndio ila yeye mwenyewe ameniambia kwamba ana fwata amri ya baba yake na ukitegemea Jojo si binadamu wa kawaida”

“Si binadamu wakawaida?”

“Ndio”

Nikabaki nikiwa nimeshikwa na kigugumizi huku nikimtazama Victoria usoni mwake.

“Kwani hujajua uhalisia wa Jojo?”

Haraka akili yangu ikalikumbuka hili swala na nilisha wahi kuambiwa maneno haya na Professa, sema sikuweza kuyafwatilia kwa umakini sana.

“Sifahamu”

“Kwahistoria niliyo weza kuisoma. Baba yako alikuwa na mahusiano na mwanamke mmoja anaye itwa Olvia Hitler, alikuwa ni Mjerumani, ila ni jini, baba yake sijui babu yake alikuwa ni Adolfu Hitler, so Jojo alizaliwa na huyo mama jini. Hivyo Jojo upande mmoja ni binadamu na upende mmoja ni jini na pale inavyo waona yeye na baba yako hawawezi kuzeeka miaka nenda rudi”

Stori hii ya Victoria ikaniweka kinywa changu wazi na nikashindwa kabisa kuuliza swali lolote kwa maana kukaa kwangu kote sikuweza kuufahamu ukweli huu.

“Jojo ana nguvu za ajabu, ana uwezo mkubwa sana.”

“Una….una taka kuniambia kwamba Dany naye ni jini?”

“Si jini yeye amezaa na jini tu, sasa sifahamu walifanyana fanyana nini hadi wakashindwa kuzeeka na kuwa vijana hadi sasa. Ila kwa historia yao walitakiwa kuwa na umri mkubwa sana kwa maana Jojo alipo zaliwa alikuwa ana kua kila siku iendayo kwa Mungu”

“Kukua kila siku?”

“Ndio, anaongezeka makuzi yake kila siku, si kama sisi tunaweza kuongezeka labda kwa mwezi au miezi”

“Ahaa. Tuachane na hiyo stori ila nahitaji kuweza kufanya mazungumzo na Dany.”

“Huwezi”

“Kwa nini?”

“Dakika ya mwisho aliniambia kwamba anakwenda North Korea”

“Ohooo MEN”

“Yaaa na kama unavyo fahamu Marekani na North Korea kwa sasa wana uhasama. Uhasama wa maneno na inavyo elekea Dany amekwenda kuongeza uchochozi wa vita hiyo”

Nikafumba macho yangu huku nikianza kuona jinsi dunia inavyo kwenda kuumia kwa sababu ambazo zinaweza kuongelewa na watu wakapatana. Gafla tukastusa na breki za magari nje ya nyuma hii, Taratibu nikakinyanyua kichwa changu na kuchungulia nje ya nyumba hii. Sote wawili mimi na Victoria tukajikuta tukistuka sana mara baada ya kuona kundi kubwa la wasichana walio valia nguo nyeusi wakishuka kwenye gari sita aina ya Hammer wakianza kuizunguka nyumba yetu huku mikononi mwao wakiwa wamesika silaha, jambo lililo tufanya mimi na Victoria kuchanganyikiwa sana.



“Bastola…….”

Nilijikaza kuzungumza huku nikijitahidi kunaynyuka kitandani hapa, ila nikashindwa kabisa kunyanyuka. Victoria akaanza kufungua fungua droo za kabati lililomo humu ndani, ila kwa kila droo aliyo ifungua hakuweza kuona kitu cha aina yoyote. Mlango wa chumba chetu ukafunguliwa na wakaingia wadada wawili walio shika bunduki mikononi mwao na kutufanya tubaki katika hali ya kuto kufahamu ni nini kinacho fwata. Wadada hawa ni warefu kwenda hewani, wamejazia kidogo viunoni mwao ila kwa mtazamo wa haraka haraka wanajulisha kwamba ni watu wa mazoezi. Sura zao ni nzuri za kutamanisha na nywele zao wamezifunga vizuri na zinaning’inia kwa chini.

“Wooo habari zenu vijana”

Mama mmoja aliingia ndani humu huku akiwa amevalia miwani nyeusi pamoja gloves nyeusi mikononi mwake. Kwaishara ya kidole akamuomba Victoria ambaye amesimama pembeni ya kabati, arudi kitandani nilipo keti na Victoria akatii kile alicho elezwa huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga mwingi sana. Mama huyu akavuta moja ya kiti cha mbao, akakiweka mbele yetu na taratibu akakaa, akavua miwani yake pamoja na gloves zake.

“Habari zenu”

Mama huyu alizungumza huku akitupa mkono wake wa kulia. Tukautazama kwa sekunde kadhaa na Victoria akaanza kuushika huku akiendelea kutetemeka, akauhamisha mkono wake huo wa kulia na kunielekezea mimi, nikaushika huku nikimtazama usoni mwake.

“Mimi ni rafiki wa baba yenu, aliniomba niweze kuja hapa kuwasaidi kuimarisha ulinzi hivyo kuweni na amani na musiwe na wasiwasi wa aina yoyote. Mume nielewa?”

“Baba amekutuma?”

“Ndio Dany amenituma, au una baba wangapi?”

“Mmoja na kwa nini amekutuma, yeye yupo wapi?”

“Mmmm si jukumu langu la kufahamu yeye yupo wapi. Ila nimepokea maelezo na nimeyafanyia kazi hivyo”

Mwana mama huyu alizungumza kwa kujiamini sana.

“Najua wewe ni mgonjwa huto weza fanya chochote na mkwe wangu hapa naye ni mjamzito. Hivyo ni lazima tuweze kuwatazama sana na kwa umakini wa hali ya juu kwani tunapo elekea. Kila kitu kinakwenda kulipuka PUUUUUUU…….!!!”

Mwana mama huyu alizungumza huku akitabasamu sana.

“Wewe ni nani kwani?”

“Ohoo nilijisau kujitambulisha jina langu. Mimi ni mama yako, mke wa baba yako”

“Mke wa baba yangu!!!?”

“Yaaa kwani kuna shida ya baba yako kuwa na mwanamke kama mimi?”

“Hakuna”

“Sasa, unashangaa nini?”

“Okay niambie wewe ni nani?”

“Ninaitwa LIVNA LIVBA, hawa nilio ambatana nao ni walinzi wangu na watakuwa nasi hapa hadi pale Dany atakapo rejea”

“Nakujua wewe”

Victoria alizungumza kwa furaha huku wasiwasi ukiwa umemuondoka kabisa.

“Mkwe unanijua kweli?”

“Ndio, nilisha wahi kusoma historia yako. Ulikuwa una miliki jeshi la wasichana bikra tu si ndio”

Livna akatabasamu huku akimtazama Victoria usoni mwake.

“Yaa hujakosea mkwe.”

“Ila baada ya ile meli yenu kushambuliwa na kuzama haijulikani ni wapi mulipo elekea”

“Unaonekana wewe ni mfwatiliaji sana wa mambo kama muandishi wa habari vile”

“Yaa mimi ni muandishi wa habari tena kutokea katika kituo cha Al Jazeera”

“Woooo , safi sana. Huwa ninaipenda sana hiyo tv steshion yenu kwa maana ina toa habari za uhakika na hata zile za hatari wao wapo tayari kutuma waandishi wa habari kwenda kutangaza”

“Nashukuru mama mke”

Victoria dhairi furaha yake ameshindwa kuizuia jambo ambalo kwangu bado lina mashaka.

“Mabinti nisubirini hapo nje mlangoni, humu ndani nipo salama”

Wasichana hawa wakatoa heshima ya kuinamisha kichwa kidogo kisha wakatoka ndani humu na kuufunga mlango.

“Umejuana juana vipi na baba yangu?”

“Mmmm sikuanza kujuana na baba yako. Ila nilijuana na babu yako kwanza na mimi ndio nilimfunza ngumi na mambo ya ujasusi huyo baba yako, japo kipindi hicho alikuwa anafanya kazi serikalini ya upelelezi”

“Ni kweli anacho kizungumza mume wangu”

Victoria aliyaingilia mazungumzo haya na kunifanya nimtazame usoni mwake kwa macho makali.

“Hivi una mpenda sana mama yako?”

“Kwa nini unaniuliza swali hilo?”

“Ninahitaji kufahamu kwa maana haya yote yanayo tokea chanzo kikubwa ni mama yako. Anacheza na kete tasa, kete ambayo haioni hasara kupoteza ila ilimradi iweze kupata kikubwa zaidi”

Nikaka kimya huku nikimtazama Livna usoni mwake.

“Nimeishi na baba yako na nimeishi na mama yako pia na nilikuwepo kipindi ana angamizwa mpenzi wake raisi Donald Bush”

“Ila ninacho ona ni hatari kubwa sana kwa mana yako ni huku kukengeuka kwake”

“Unapo sema kukengeuka una manisha nini?”

“Amekuwa ni mtu mwenye kigeu geu. Mara ampende baba yako, mara aache kumpenda. Yaani ni vurugu sana”

“Hayo ni mambo yao binafsi ila ninaweza kukuomba kitu kimoja?”

“Kitu gani?”

“Nahitaji uweze kumzuia Dany mara moja katika mpango wake huu anao uendea kuufanya”

“Mmmmm kwa kweli, sinto weza kwa maana kama ni mpango tayari umesha anza kwa asilimia zaidi ya sabini hivyo mimi kama mimi sina kauli kwa Dany. Ila cha msingi acha tuweze kuona ni nini kinacho kwenda kutokea”

“Ila mama mkwe una onaje ukatuunganisha naye kisha nikazungumza naye?”

“Si kwa leo, nipeni muda kw amaana nipo hapa kwenu hadi pale atakapo rudi nchini Tanzania”

Livna akasimama kwenye kiti alicho kikalia na kuviweka viungo vyake sana ambavyo vinatoa mlio wa kuvunjika vunjika kama vile mtu akunjavyo vidole vyake vya mikononi.

“Nahitaji kutembea tembea kwenye hii nyumba. Mkwe unaweza kunitembeza?”

“Wooo wooo, mke wangu hawezi kutoka hapa na kuniacha mimi peke yangu.”

“Ina maana bado huniamini?”

“Ndio siwaamini nahitaji kujua kama ni kweli baba amekuagiza au laa”

Livna akatoa simu yake mfukoni, akaminya minya kwa sekunde kadhaa kisha akamkabidhi Victoria ambaye moja kwa moja akaiweka mbele yangu na tukamuona Dany.

“Vipi kuna tatizo?”

Dany aliuliza huku akionekana kuwa sehemu yenye giza giza, ila kutoana na ubora wa simu yake tunaweza kumuona vizuri.

“Ndio baba huyu uliye muagiza ni nani?”

“Ni Livna, mama yako mkubwa huyo sawa. Atakuwepo hapo hadi nirudi. Muheshimu naye atakuheshimu umenielewa?”

“Nimekuelewa baba, ni lini unaweza kurudi Tanzania na upo wapi?”

“Sijui ila kuweni makini. Kwaherini”

Mawasiliano haya ya video yakaishia hapa na nikamrudishia Livna simu yake huku nikiwa na uhakika na nikianza kumuamini. Wakatoka ndani humu na Victoria na kuniacha peke yangu.

Kadri siku zilivyo zidi kwenda ndivyo jinsi hali yangu ya afya ilivyo zidi kuimarika. Maumivu ya kazidi kupungua na ndani ya wiki moja nikawa fiti kabisa. Livna Livba, akaanza kunipangia mkakati wa mazoezi huku yeye akiwa ndio mwalimu wa mazoezi ya kijasusi. Kwakumtazana unaweza kuhisi ni mwana mam ammoja mzembe na asiye jiweza ila kwa jinsi mwili wake ulivyo mwepesi anaweza kunipa mbinu na kanuni nyingi sana na kupigana.

“Baba kama mwana”

Maneno ya Livna Livba yakanistua sana kwani macho yangu nilikuwa nimemkazia mlinzi wake mmoja ambaye ni mzuri sana na ameumbika kupita maelezo na mbaya zaidi yeye ndio kiongozi wa wezake. Nikatabasamu huku nikimtaza Livna usoni mwake.

“Tambua kwamba una mke ndani si ndio”

“Ndio”

“Anakupenda sana yule binti wa kizungu ndio maana amekubeba ujauzito”

“Kwani mwanamke kukupenda ni hadi akubebe ujauzito?”

“Ndivyo ilivyo kwa wanawake wengi, ila kuna baadhi yao wanajifanyaga mabichwa nunda, eti wanataka kuzaa kwenye ndoa. Ni uongo, wanatamani ndoa kuliko kutamani vitu muhimu kama mimi nilivyo kuwa nikitamani kuzaa na baba yako”

Livna alizungumza kwa sauti ya upole huku tukiendelea kutazama mazoezi wanayo yafanya walinzi wake katika huu uwanja wa hapa nyumbani, asubuhi hii.

“Ulitamani kuzaa na baba yangu?”

“Yaa alikuwa ni mwanaume wangu. Kipindi nipo naye alikuwa anatumilikiwa wanawake kama wanne hivi”

“Wanne?”

“Ndio, nilikuwepo mimi, Yemi mama yako. Mariam na binti mmoja hivi jina limenitoka. Wezangu wote watatu aliwatandika mimba”

“Wewe je hukupata mimba”

Livna Livba akatulia kidogo huku akionekana kujawa na huzuri kubwa sana. Akanitazama kwa sekunde kadhaa uzoni mwake, kisha akajifuta machozi yanayo mlenga lenga usoni mwake.

“Nilipata ujauzito wa Dany, ila meli yetu ambayo tulikuwa tunaishi ilivyo vamiwa na Wamarekani, katika hali ya kujiokoa bahati mbaya ujauzito wangu ulitoka. Niliumia san asana”

Livna alizunugmza kwa masikitiko makubwa, taratibu nikamsogeza karibu yangu na kukiegemeza kichwa chake katika bega langu la upande wa kushoto.

“Hivi sasa ungekuwa na mdogo wako. Ila ndio hali ilivyo kuwa”

Livna akashindwa kujizuia na kuanza kulia. Ili kuto wafanya walinzi wake waweze kufhamau ni kitu gani ambacho kinaendelea kwa bosi wao, taratibu nikamkumbatia. Nikamuona Victoria akija eneo hili tulipo simama huku akionekana kujawa na mshangao wa kwa nini mimi nina mkumbatia Livna.

“Isinge kuwa Wamarekani, mwanangu angekuwa hai leo. Ina uma sana Randy, ina niuma”

Victoria akaniuliza kwa ishara ya mikono ni kitu gani kinacho endelea. Taratibu Livna akaniachia na kuanza kujifuta machozi yake.

“Ohoo mkwe umekuja?”

Livna alizungumza huku akijipangusha machozi yake.

“Ndio. Samahani kwa kuwaingilia mazungumzo yenu”

“Hakuna tatizo. Randy acha nikajipumzishe”

Livna akaondokaa na kuniacha na Victoria.

“Amefanyaje?”

“Kipindi walipo vamiwa kwenye meli yao, alipoteza ujauzito wake, hapa amekumbuka mambo hayo na ameanza kulia”

“Ohoo masikini jamani anatia hadi huruma”

“Yaani wee acha tu”

“Kifungua kinywa tayari, twende ukapate chakuka”

Tukaondoka eneo hili na Victori na kurudi ndani. Tukapata kifungua kinywa kwa pamoja.

“Mke wangu inabidi uanze huduma ya clinic si unaona jinsi tumbo linavyo kuwa?”

“Ndio mume wangu ila si unaona hali ya hatari ambayo tupo nayo”

“Sawa, ila nitazungumza na Livna aweze kukupa walinzi wawili wawe wanakupeleka hospitalini asubuhi na kukurudisha baada ya huduma”

“Haito kuwa hatari kwa upande wetu?”

“Sidhani, kwa maana hakuna mtu ambaye ana kufahamu wewe hapa”

“Sawa mume wangu”

Jioni ya siku ya leo kama nilivyo panga kwenda kuwinda kwenye msitu huu ambao tayari nimesha uzoea. Nikabeba silaha zangu, upinde wa chuma pamoja na mishale ya chuma.

“Mume wangu kwenda peke yako huogopi?”

“Siogopi, nina ujua msitu mzima na nina hamu ya kula kitoweo cha porini leo. Acha nikawinde mke wangu sawa”

“Sawa”

Tukatoka chumbani kwetu na nikakutana na Livna sebleni akifwatilia baadhi ya vipindi kutokana naye nilisha mueleza kwamba ninakwenda kuwinda hakuwa na mswali mengi juu yangu.

“Mama mkwe hembu mpatie mlinzi Randy, kwenda peke yake huko msituni mimi wala roho yangu haija afiki”

Victoria alizungumza kwa kulalama, Livna akanitazama machoni mwangu.

“Toka hapo nje muambie Tayana akusindikize”

“Sawa mama”

“Hapo moyo wangu utakuwa na amani”

Nikatoka nje na kuliita jina la Tayana, sikuamini macho yangu mara baada ya kumuona yule kiongozi wao akinifwata na kusimama mbele yangu.

“Mkuu wako ameniomba tuweze kuongozana porini kuwinda.”

Tayana japo na uzuri wake wote alio nao si mwanamke muongeaji sana na muda mwingi mambo yake ana yapeleka kijeshi jeshi. Akaingia ndani alipo Livna na baada ya muda akatoka na kwa ishara akaniomba niweze kutangulia kuelekea huko porini. Tukaanza kukatika kwenye vichaka vikubwa vya kutisha, japo huu msitu una wanyama wengi wakali ila hawakuweza kutusogelea kwa maana wana nitambua mimi.

“Ukiwa ndani yam situ huu usitumie bunduki yako umenielewa?”

Nilimuambia Tayana huku nikimtazama usoni mwake, akanijibu kwa kutingisha kichwa kamba amenielewa. Gafla nikasimama huku taatibu nikichomoa mshale mmoja kwenye podo nililo livaa mgongoni mwangu, nikauweka sawa kwenye upinde wangu huu wa chuma na wenye kamba zilizo tengenezwa kwa umara waya mgumu.

“HILI ENEO KUNA WATU”

Nilizungumza huku nikiendelea kuwa makini sana jambo lililo mfanya Tayana kunisogelea kwa ukaribu sana huku naye akichomoa bastola yake tukisubiria kuona ni watu wa aina gani walio ingia kwenye msitu huu bila kupata madhara ya aina yoyote. Tukiwa katika hali ya kuduwaa, galfa akakatiza mtu aliye valia mavazi meupe sana mbele yetu kwa kasi ya ajabu sana, jambo lililo tufanya tuweweseke kwani kasi aliyo pita nayo si kasi ya binadamu wa kawaida



“Umeona?”

Nilimuuliza Tayana kwa sauuti ya kumnong’oneza.

“Ndio”

Tukiwa katika majadiliano hayo, mtu huyo akapita kwa mara nyingine tena safari hii akapita kwa kasi zaidi ya mara ya kwanza alivyo pita jambo lililo endelea kutuweka katika hali tata. Upepo mkali sana ukaanza kuvuma katika eneo hili, upepe huu, ukaanza kutusogeza hata sisi.

“Shika mkono wangu”

Nilizungumza huku nikimpa Tayana mkono wangu wa kushoto huku mkono wangu wa kulia nikishika mti ulio karibu yetu ili tusiweze kupata madhara na upepo huu ambao hatujui ni wapi umetokea. Tatiyana taratibu akaanza kusogea karibu yangu na kufanikiwa kufanikiwa kuukumbatia mti huu.

“Ni nini kinacho endelea?”

Nilimuuliza Tatiyana kwa sauti kubwa kwnai upepeo huu jinsi unavyo vuma ukizungumza kwa sauti ndogo hakika huwezi kusikika.

“Sifahamu”

Baada ya kama dakika kumi hivi, taratibu upepo huu ukaanza kutulia na ukaisha kabisa. Galfa tukamuona mtu aliye valia mavazi meupe pee, akiwa amesimama mbele yetu huku akiwa ametupa mgongo na nywele zake ni ndefu sana. Kwa ujasiri mkubwa nikaushika upinde wangu vizuri pamoja na mshale wangu vizuri. Nikavivuta kwa nguvu huku nikiwa nimemuelekezea mtu huyo ambaye hatujui ni wapi ametokea. Taratibu Tatiyana akanishika mkono wangu wa kulia na kuniomba niweze kushusha upinde wangu taratibu.

“Wewe ni nani na unahitaji nini?”

Tatiyana alizungumza kwa sauti ya unyonge sana huku sote tukimtazama mtu huyo. Taratibu mwanamke huyu akageuka na kukutazama. Sura ya mwanamke huyu inaendana kabisa na sura ya baba yangu Dany, mwanamke huyu akaweka tabasamu pana usoni mwake akiashiria kwamba yeye si kiumbe kibaya kwetu sisi.

“Naamini mutanishangaa. Randy mimi ni shangazi yako”

Tukatazamana na Tatiyana kisha nikamtazama na yeye.

“Kivipi?”

“Niatwa Diana, mdogo wa Dany. Miaka zaidi ya thelathini tuliweza kuuwawa katika ile nyumba munayo ishi. Vifo vyetu havikuwa vya haki, ila tumeweza kupata nafasi tena ya kurudi uniani tukiwa na uwezo mwengine na nguvu nyingine tofauti na hapo awali”

Maneno ya Diana yakazidi kutushangaza sana. Taratibu akaanza kutembea na kutusogelea hapa tulipo simama, kwa woga nikaanza kurudi nyuma ila mwishowe nikajikuta nikiishia kwenye mti ambao tulikuwa tumeukumbatia.

“Usiniogope Randy, sina ubaya na nyinyi. Sisi ndio tunaulinda huu msitu na kuwalinda nyinyi nyote”

“Sisi sote?”

“Ndio hadi hao walinzi wa Livna hawana uwezo wa kuwalinda. Ni muda tu wanapoteza”

Tatiyana akabaki kumkodolea macho Diana. Diana taratibu akachuchumaa mbele yangu.

“Nishike”

“Nini?”

“Nishike popote unapo hitaji kunishika”

Nikaivuta pumzi nyingi kisha taratibu nikaanza kuishusha ili kuyaweka sawa mapigo yangu ya moyo ambayo kwa sasa yananienda kasi sana, kiasi cha kunifanya niwe muoga sana. Taratibu nikaupeleka mkono wangu shavuni mwake, kitu kilicho nistusha sana ni jinsi mkono wangu ulivyo pita kwenye shavu lake hilo mithili ya kupitisha mkono kwenye moshi mwingi ambao unakusudia kuushika.

“Mimi ni ghost. Roho isiyo na mwili halisi kama nyinyi binadamu”

Diana akasimama na kumsogelea Tatiyana, akamtazama kwa muda.

“Moyo wangu unampenda shangazi yangu. Kuwa makini si unafahamu kwamba ana mke?”

Tatiyana akatingisha kichwa kwa woga sana akimanisha ni kweli kwa kile anacho kizungumza.

“Sheria za kundi lenu si unaifahamu kwamba unatakiwa muendelee kuwa bikra?”

“Ndio”

“Sawa, kuwa makini usije ukagombanisha ndoa ya shangazi yangu”

“Sawa”

“Nisubirini”

Diana akaondoka kwa kasi sana na baada ya muda kidogo akarudi huku akiwa na wanayama pori wawili ambao tayari wamesha uwawa. Akatukabidhi kila mmoja mnyama wake.

“Hawa wanyama gani?”

“Swala”

“Ni waukweli au wa miujiza kama ninayo iona kwako?”

Diana akatabasamu kisha akanisogelea karibu yangu.

“Mnyama hawezi kuwa kama nilivyo kuwa hivi. Ila haya muliyo yaona leo sihitaji mumuambia mtu yoyote sawa”

“Kwa nini nisimuambie hata baba?”

“Baba yako na Jojo wanafahamu juu ya uwepo wetu humu porini”

“Kwa nini hawakuniambia?”

“Hata wangekuambia usinge sadiki. Ungehitaji kuona ndio maana nimeamua kujitokeza kwenu”

“Sawa”

“Ondokeni sasa kabla giza halijatawala anga”

Hatukuwa na budi zaidi ya kuwabeba wanyama hawa na kurudi nyumbani. Njia nzima hatukuzungumza chochote, tukafika nyumbani Victoria akatupokea kwa furaha sana, nikajitahidi kuijenga furaha usoni mwangu ili mradi nisiweze kumuadisia Victoria kwa kile ambacho kimetokea porini.

“Hakikisha ufungui kinywa chako kwa wezako”

Nilimuambia Tatiana huku nikimtazama usoni mwake.

“Sawa”

Nikamfwata Livna na kumuomba niweze kuzungumza na Dany.

“Tusubiri kesho kwa maana kwa sasa yupo kwenye kikao na raisi wa Korea ya Kaskazini”

“Hivi kweli unahitaji kuniambia kwamba baba amedhamiria kuamsha vita na Marekani si ndio?”

“Ndio, Dany huwa akiamua jambo lake haitaji kushindwa. Anahitaji liweze kuisha ndio atulie”

“Akitoka nahitaji kuzungumza naye. Ni muhimu”

Nilizungumza kwa msisitozo huku nikimtazama Livna usoni mwake. Nikaondoka eneo hili na kuelekea chumbani kwangu.

“Mume wangu nyama yako ni ichome au niku kaangie?”

“Ichome”

“Sawa”

Victoria akatoka ndani humu huku akiwa na furaha s ana. Muda wa chakula ukawadia, tukapata chakula hichi cha usiku kisha nikawaaga watu wote na kwenda kulala. Usiku mzima sikuweza kupata usingizi huku kwa mara kadhaa nikikumbuka tukio lililo tupata mimi na Tayarna katika msitu huu ulio zunguka nyumba yetu.

‘Inawezekanaje?’

Nilijiuliza maswali ambayo sikuweza kupata jibu lolote. Siku iliyo fwata ratiba ya mazoezi ikaendelea kama kawaida huku kwa mara kadhaa, Tayana akinikodolea macho ambayo kwa namna moja ama nyinngine yana lugha fulani ya kimapenzi ambayo bado hajaifafanua mbele yangu, hii ni kutokana na kuwa na mke.

“Randy ukipata muda ninakuomba tuweze kuzungumza”

Tayana aliniambia kwa sauti ya chini, huku akipishana na mimi na kuelekea ndani. Nikamuona Victoria akitoka ndani akiwa amependeza sana huku walinzi wawili walio valia suti wakiwa nyuma yake. Nikamfwata hadi sehemu alipo simama huku nikiwa ninajifuta futa jasho kwa kutumia kitaulo kidogo nilicho kiweka begani mwangu.

“Safari ya wapi?”

“Jana usiku nilikuona umechoka mpenzi wangu. Nahitaji kuanza Clinic na mama mkwe Livna amewaelekeza walinzi wake ni wapi wanipeleke?”

“Wapi wakupeleke?”

“Yaa hospitali nzuri ambayo ninaweza kuanzia clinic. Kumbuka toka nipate ujauzito sijafahamu hali ya mtoto tumboni mume wangu”

“Sawa ila kuweni makini, si unafahamu hali ya usalama kwetu”

“Ndio mume wangu”

Nikampiga bsu la mdomoni Victoria, kisha wakaingai kwenye gari na walinzi hawa na kuondoka eneo hili. Sikuona haja ya kuendelea na mazoezi tena, nikelekea chumbani kwangu nikaoga kisha nikamfwata Livna chumbani kwake.

“Ndio Randy umaemkaje?”

“Salama mama, nahitaji kuzungumza na Dany”

“Sawa”

Livna Livba akashuka kitandani mwake huku akiwa na chupi pamoja na sidiria. Hakunionea aibu ya aina yoyote. Akafungua kabati lake la nguo na kutoa laptop, akarudi kitandani na kuanza kuiminya minya.

“Kwa sasa wewe unaishi wapi?”

“Nani?”

“Wewe, unaishi wapi na hawa watu wako?”

“Tunaishi mbali san asana na hapa. Sehemu ambayo hakuna mtu ambayeanaweza kuifahamu”

“Ahaa.”

Livna akanikabidhi laptop yake, baada ya sekunde kadhaa nikamuona Dany mbele ya kioo hichi.

“Dogo vipi”

“Salama baba nahitaji kuzungumza na wewe”

“Zungumza”

Nikamtazama Livna kwa sekunde kadhaa, kisha nikatoka chumbani humu na kuelekea katika chumba changu. Nikaufunga mlango kwa ndani na kukaa kitandani.

“Kuna jambo limetokea nahitaji ufafanuzi”

“Jambo gani?”

“Jana nilipo kwenda kuwinda msituni niliweza kukutana na shangazi Diana, hembu naomba ufafanuzi katika hilo”

Danya akaka kimya huku akinitazama usoni mwangu. Akashusha pumzi taratibu huku akionekana kujifikiria kitu cha kuzungumza.

“Ni jambo la kushangaza kidogo, ila ukweli ni kwamba shangazi yako anaishi katika mfumo wa nafsi. Kwalugha moja ama nyingine tunaita mzimu kwa Kiswahili cha kueleweka”

“Mzimu!!?”

“Ndio, hayo yote aliweza kuyafanya dada yako Jojo, natambua kwamba bado hujajua historia ya dada yako?”

“Nimesha ifahamu. Kwahiyo Jojo yeye anaweza kumfufua mtu?”

“Hapana, ila ana uwezo wa kumfanya mfu kuishi katika hali kama ya shangazi yako. Usiogope kwa maana hawana madhara kwako wala kwa watu walipo katika eneo hilo. Pia Wanalinda hilo eneo la msitu mmoja na si shangazi yako tu, unaweza kuonana na bibi yako ama dada yenu mkubwa kabisa”

“Mmmmm?”

“Ndio usishangae kuona hilo”

“Sawa tuachane na hayo umefikia wapi katika mpango wako”

“Tumebakisha siku chache kabla ya kufanya mashambulizi katika nchi ya Marekani”

“Baba unakwenda kuiamsha vita ya tatu ya dunia huoni kwamba kuna madhara makubwa yatapatikana kwa watu wasio na hatia?”

“Katika vita kila kitu ni sawa mwanangu. Natambu hujakua na kufika hatua hii ya kuwa gaidi, nafanya hivi kwa ajili ya usalama wako na familia kwa ujumla”

“Natambua hilo baba, ila nina kuomba uweze kurudi nyuma. Kumbuka una mjukuu tumboni mwa mke wangu. Kumguka kuna mambo mengi ambayo unapaswa kufanya pamoja nami. Tafadhali ninakuomba sana baba rudisha majeshi muliyo yapanga nyuma”

Nilizungumza kwa msisitozo na kwa upole wa kumnyenyekea Dany. Danya akaka kimya kwa dakika kama tano hivi kisha akatingisha kichwa.

“Nitafanya kwa ajili ya mjukuu wnagu aliyopo tumboni mwa mke wako”

“Nashukuru sana”

“Nitazungumza na raisi wa Korea Kaskazini ili waweze kustopisha haya mapigano waliyo kuwa wamepanga kuyafanya.”

“Ninashukuru sana baba”

“Ila endapo Marekani watadhubutu tena kuleta choko choko, basi tunawafanya kitu ambacho hawajawahi kufanyiwa”

“Nashukuru kusikia hivyo. Ila ninakuomba kitu kimoja”

“Kitu gani?”

“Naomba umsamehe mama. Nahitaji kuona familia yetu inarudi katika mstari mmoja. Nahitaji kuona familia yetu inakuwa ni jambo moja. Tafadhali sana baba”

“Hilo hatuwezi kulizungumza sasa hivi. Baadae”

Dany akakata mawasiliano. Nikashushusha pumzi huku kwa namna moja ama nyingine nikiwa na furaha sana moyoni mwangu. Nikatoka chumbani kwangu, nikiwa kwenye korodo ya kuelekea chumba cha Livna nikakutana na Tayana.

“Randy naelekea nyuma naomba uje”

“Sawa”

Nikamkabidhi Livna laptop yake kisha nikazunguka nyumba ya nyumba hii ambapo kuna stoo moja kubwa. Nikakuta mlango upo wazi kidogo, huku nje kukiwa na walinzi wawili, kwa ishara wakaniomba niweze kuingia ndani humo.

“Nipo hapa”

Tayana alizungumza huku akitokea kwenye sehemu yenye giza kwani hakuna taa hata moja humu ndani, nikamfwata sehemu alipo, kwa haraka akanishika tisheti yangu na kunivuta karibu yake na kunikumbatia kwa nguvu huku akitoa mihemo mizito ya kimahaba.



Taratibu nikajitoa mwilini mwake huku nikimshika mikono yake.

“Nini unataka kufanya Tatiana?”

“Randy nashindwa kujizuia hisia zangu kwako. Tafafhali nahitaji uni fuc**”

“No siwezi fanya hivyo nina mpenda mke wangu”

Nilizungumza kwa kujiamini huku nikiendelea kumzuia Tatiana asifanye jambo lolote la kijinga mwilini mwangu.

“Natambua Randy, ila macho yako yana onyesha una hitaji kitu kwangu. Nionee huruma Randy tafadhali”

Tatiana alizungumza kwa suati ya kubembeleza ili mradi niweze kuingia kwenye mtegeo wake. Nikwa kama mwanaume lijari, viongo vyangu havi kusita kujawa na msisimko mkali sana, ikiwemo jogoo wangu kuanza kusimama dede. Nikabeza fumba zito la mate huku nikishusha pumzi nyingi sana kisha nikarudi nyuma hatua kadhaa.

“Tutafute sehemu nyingine salama ila si hii”

“Jamani Randy”

“Nielewe hivyo, kama hutaki mimi na wewe hatuto weza kufanya jambo lolote sawa”

Tatiana akatingisha kichwa akimaanisha kwamba amenielewa kile nilicho kizungumza. Nikatoka ndani humu humu huku nikijitahidi kumuweka jogoo wangu sawa ndani ya hii suruali. Nikarudi ndani kwangu huku nikiwa na mawazo kedekede juu ya Tatiana.

Siku zikazidi kwenda huku ulinzi katika nyumba hii ukizidi kuimarika, baada ya wiki moja Dany na Jojo wakarejea nyumbani huku vuguvugu la kupigana kati ya nchi ya Marekani na Korea kaskazini likiwa limeisha kwa asilimia kubwa sana. Huku kukiwa na makubaliano kati Marekani kuto kudhubutu kunifwatilia wala kumfwatilia Dany ili kumkamata. Furaha na amani ikarejea tena katika familia hii huku Dany akisisitiza kuweza kutufanyia harusi kubwa sana mimi na Victoria kabla hata ya hajajifungua mtoto wake wa kike ambaye kwa siku kadhaa walitueleza jinsi ya kiumbe hicho.

“Unajua katika maisha, hakikisha kwamba kitu chako cha kwanza na muhimu ni familia yako”

Dany aliniambia huku tukiwa tumesimama kwenye moja ya maporomoko marefu ya maji yaliyomo katika msitu huu.

“Ni kweli baba”

“Ingekuwa si nyinyi familia yangu. Ningerudi tena kwenye historia ya dunia kwa kufanya jambo jengine kubwa hususani kwa hawa Wamarekani. Ila nilipo fikitia kuhusiana na wewe, mjukuu wangu na isitoshe hapo nyuma niliweza kumpoteza mama, mdogo wangu, mwanangu pamoja na mama yake basi nilijifikiria sana na nikaona hilo swala lisiweze kujirudia katika wakati huu”

Dany alizungumza kwa upole na unyinge mkubwa sana.

“Sikuzote kwenye maisha yangu nilikuwa ni mtu wa matukio. Nisipo fanya hili basi kesho nitafanya hili kubwa na kubwa zaidi. Sikuwa nina tamani kufanya vile ila ni hasira na uchungu mwingi ambao ulikuwa upo moyoni mwangu ndio umenifanya niweze kufanya hivyo. Sasa nahitaji tuisha kwa amani”

“Nimekuelewa baba”

“Mimi sikuwa na ndoa hata ya bahati mbaya. Nilikuwa ni mtu wa wanawake, nilikuwa ni mtu wa kufungua zipu kwa kila mwanamke pasipo kujali kama kuna magonjwa au laa. Na kweli niliwaburuza wanawake wengi sana”

“Hahaa…una kumbula kama wangapi?”

“Hahaha dogo acha zako”

“Kweli niambie baba?”

“Ahaa sikumbuki idadi yao”

“Kwenye mia hivi?”

“Wanapita”

“Mmmmmm”

“Yaa na nilikuwa fiti tena fiti kabisa hata kwa siku kuwaburuza wanne watano nilikuwa nina weza”

“Aisee wewe kiboko”

“Ila tuachane na hayo. Mimi sihitaji wewe uwe kama mimi, kuwa na mwanamke mmoja, mpende muheshimu, mjali usimkorofishe na imetokea nimempenda sana yule binti hembu hakikisha kwamba una mpa furaha kwenye maisha yake”

“Sawa baba, ila kwa kipindi hichi ni mjamzito. Natamani sana kuweza kupiga mechi naye ila nashindwa kwa maana kikiri kakara zangu yeye mwenyewe ana zitambua. Je ikitokea nikachepuka kidogo kwa maana kuna mmoja wa walinzi wa Livna asiee ana nitamani tamani, ila najizuia baba”

Nilizungumza kwa sauti ya chini chini na kutokana na mazingira ambayo Dany amenijengea amekuwa kama rafiki kwangu.

“Nisikilize Randy. Katika asilimia mia moja ya wana ndoa, hususani wanaume. Wasio chepuka ni kama asilimia mbili au tano. Ila wote walio baki wana chepuka, hivi unaja ni sababu gani ambazo zinawafanya wachepuke?”

“Ahaaa…..”

“Kwanza kumzoa mke wake na kumuona ni wa kawaida. Tofauti na pale mwanzo walivyo kuwa kwenye mahusiano. Mbili mwanamke mwenyewe kujifanya ni wakawaida, kama pale awali alikuwa ana kuwekea mitego mitego, ila akiwa kwenye ndoa basi anajifanya ni mama, hilo nalo ni kosa. Tatu tamaa, endapo uteendekeza tamaa basi tambua kwamba hiyo ni shida nyingine mwanangu”

“Sasa baba wewe unanishaurije?”

“Jibu umesha lijua. Acha tamaa, siku hizi kadhaa nimekuwa ninakufwatilia sana nyendo zako na Tatiana ndio maana nilikuiata huku na mazungumzo hayo yote ni kutokana na huyo binti. Usithubutu kumvua chupi yake”

Nikamtazama Dany huku nikishusha pumzi taratibu.

“Tatizo la wale wasichana wa Livna ni kwamba hawajawahi kutomb**. Wote ni bikra”

“Weeeee!!”

Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na mshangao.

“Ndio, na endapo ukimvua tu chupi basi Victoria lazima ajue na penzi lenu litaenda mrama. Kutakuwa na mmoja ambaye atatamani kuanzisha vita na hapo atakaye taka kumdhuru mwezake ni Tatiana kwa maana moja ni jasusi ana uwezo mkubwa wa kupambana, mbili atakuonea wivu na wale wanawake wakipenda basi jua wanapenda kweli na kukuganda kweli. Ni kama Livna hadi kesho ananipenda, japo nimerudi ila ameniambia haondoki atabaki hapa hapa”

“Heee ina maana baba Livna wewe ulimtoa bikra?”

“Hapana, tena aliingilia penzi langu na dada mmoja hivi anaitwa Mariam. Miaka hiyo ya nyuma, walikuwa maadi na Mariam na mwishowe ilibidi wote wakubali kwamba wao ni wake wenza”

“Hee!!”

“Ndio. Hivyo simama kwenye msisitizo wangu kama nilivyo kuambia. Sihitaji uje kumdhuru Victoria, yule ndio mkwe wangu ninaye mpenda na kumuheshimu tu sawa bwana mdogo”

“Sawa baba”

Tukaendelea kutembea tembea kwenye haya maporomoko ya maji huku Dany akinionyesha baadhi ya maeneo ambayo hapo awali sikuweza kuyafika. Tukaingia kwenye moja ya pango kubwa sana lenye giza nene sana.

“Usiogope”

Dany aliniambia huku akiwa amenishika mkono kwani hata kama ni jasiri kiasi gani basi kwenye hili pango ni lazima uwe muoga.

“Simama hapo hapo”

Dany alizungumza hukua akiniachia mkono wangu.

“Unakwenda wapi baba”

“Simama, nipo hapa pembeni yako”

Dany akapiga makofi mara tatu na taa zikaanza kuwaka ndani ya pango hili. Sikuamini macho yangu, kwani ndani ya pango hili kuna dhahabu nyingi sana kiasi cha kunipagawisha.

“Usiguse chochote”

Dany alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Akachomoa kisu kidogo mkononi mwake na kujichana kidogo kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto, akaanza kunyunyizia damu yake kwenye moja ya mdomo wa sanamu moja kubwa na kusababisha hali ya hewa humu ndani kubadilika. Upepo mwingi ukaanza kuvuma ila cha kushangaza hakuweza kupeperusha hata kitu kimoja hususani hata mimi na Dany. Upepo huu ukaendelea kuvua kwa dakika kadhaa kisha ukatulia.

Nikamuoana shangazi, akiwa ameongozana na bibi mmoja, msichana mwengine pamoja na mwanamke mwengine huku wote wakiwa wamevalia mavazi meupe. Taratibu Dany akapiga goti moja chini na kwa ishara akaniomba na mimi niweze kutoa heshima hiyo kwao nami nikatii. Bibi huyo akasimama mbele ya Danya na taratibu akamnyanyua kichwa chake na kutazama naye.

“Nashukuru umekuja mwanangu”

Bibi huyo alizungumza kwa sauti ya upole sana.

“Ni jukumu langu kuweza kuja kuwaona mama”

Hapa ndipo niagundua kwamba huyu ndio bibi yangu mzaa baba. Bibi huyu akanitazama na konisogelea nilipo, akanishika mkono wa kuume na kuninyanyua taratibu. Bibi huyu akatabasamu mbele yangu kisha taratibu akanikumbatia kwa nguvu. Kitu kinacho nishangaza amewezaje kunikumbatia ikiwa hawa ni mizimu ambayo hawana miili kama ya binadamu.

“Najua nini unawaza kichwani mwako mjukuu wangu. Damu ya baba yako ndio imenifanya niweze kukushika kama hivi”

“Ahaa…!!”

“Karibu hapa ndipo tunapo ishi, mimi na familia nzima”

“Nashukuru bibi”

“Huyu ni shangazi yako nina imani kwamba umesha wahi kuonana naye. Huyu ni mama yako na huyu ni dada yako naye anaitwa Diana”

“Nashukuru kuwafahamu”

“Sisi hatuwezi kukushika hatuna mwili kama wa mama”

Shangazi alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Dany simama”

Dany taratibu akasimama huku akiwa katika hali ya heshima kubwa.

“Naona harusi yako itakuwa ni nzuri sana”

“Umejuwaje bibi?”

“Najua niliwasikia wewe na baba yako mukizungumza juu ya harusi yako. Ila kuna kitu kitatokea kwenye harusi yako?”

Bibi alizungumza huku akitabasamu.

“Kitu, kitu gani?”

“Usikiwazie sana mjukuu wangu. Ngoja nikupe zawadi”

Bibi akaniasha na alama ya kujiuliza, hata nilipo mtazama Dany mwenyewe hakujua ni nini kinacho kwenda kutokea. Bibi akarudi akiwa na mkufu wa dhababu ambao ni mzuri sana huku mkono wa kushoto akiwa ameshika pete mbili ambazo nazo ni za dhahabu.

“Huu mkufu utampatia mjukuu wangu. Na hii ni pete yako na hii itakuwa ni pete ya mke wako”

“Nashukuru sana bibi”

Taratibu bibi akanishika shavuni mwangu huku machozi yakimlenga lenga ila usoni mwake akiwa na tabasamu pana sana.

“Dogo msalimie wifi na dogo Jojo”

Diana alizungumza huku akinitazama.

“Sawa dada”

“Shangazi kafurahie harusi yako”

“Nashukuru shangazi”

Mama Diana akanisogelea na kunitazama kwa dakika kadhaa.

“Muangalie baba yako”

“Nitafanya hivyo mama”

“Haya tunawashukuru kwa kuja munaweza kwenda sasa”

Bibi alizungumza na kwa ishara akituonyesha mlango wa kutokea. Tukaanza kuelekea nje huku kwa mara kadhaa nikitazama nyuma. Kusema kweli kila kitu ninacho kiona kwenye maisha yangu ni kama ndoto. Hii familia yetu kusema kweli kwa hili ninalo liona hakika lina nishangaza. Kitando cha kutoka nje ya hili pango sehemu yote ndani ya pango ikawa giza kama la mara ya kwanza.

“Baba nina ota au?”

“Kila kitu kilicho tokea hapa, hakikisha kwamba humuelezi hata mke wako na wala usidhubuti siku nyingine kuja eneo hili ukiwa peke yako ume nielewa?”

Dany alizungumza kwa msisitizo mkubwa sana huku akinitazama usoni mwangu.

“Nimekuelewa baba”

Tukaanza safari ya kurudi nyumbani ambapo ni mbali kidogo.

“Huo mkufu na pete usimuonyeshe mke wako”

“Sawa baba”

Tukafika nyumbani na kumkuta Victoria na Livna wakiwa jikoni wakisaidiana kupika. Tukasalimiana nao huku Victoria akinikumbatiwa kwa furaha na kunipiga mabufu mfululizo.

“Unapika nini mke wangu?”

“Siri yetu, nyinyi inabidi mukaendelee na mambo yenu mutuache sisi tupike”

Victoria alizungumza kwa utani kidogo.

“Hivi Livna mara ya mwisho kula chakula chako kilikuwa ni lini?”

“Mmmmm kitambo sana mume wangu”

“Hee nimesikia vibaya au? Livna umemuita Dany nani?”

“Mume wangu”

“Mmmmm”

“Unashangaa nini sasa Randy ikiwa mimi na baba yako tunapenda hata kabla hujazaliwa”

“Ila hamjatutambulisha”

“Mimi najua”

“Toka lini Victoria una jua?”

“Toka siku baba amerudi. Alafu baba nina ombi kwako”

“Ombi gani?”

“Nahitaji kukufanyia mahojiano ya historia yako kuanzia mwanzo wa maisha yako hadi sasa ulivyo. Matukio mabaya na mazuri uliyo fanya kisha baada ya hapo tunaouza mahujiano hayo nina imani kwamba yatupatia pesa nyingi sana”

Dany akakaa kimya huku akimtazama Victoria usoni mwake, huku akionekana kutafakari kitu cha kumjibu mke wangu.



“Unahisi ni good idea?”

Dany alimuuliza Victoria huku akimtazama usoni mwake.

“Yaa tena ni wazo zuri. Kesho na kesho kutwa baba mkwe wapo wajukuu wako kama huyu anaye kuja atahitaji kuweza kufahamu historia yako. Pia unaweza kutengenezewa tamthilia kama walivyo tengenezewa watu wengine maarufu kama Pablo Escobar”

“Sawa jiandae wewe, utaniambia lini na saa ngapi basi tunaweza kufanya mazungumzo”

“Waooo”

Victoria kwa nguvu akamkumbatia Dany huku akimshukuru sana kwa maamuzi kama hayo.

“Sasa ninacho hitaji ni kamera, kuna vinasa sauti vidogo pamoja na taa”

“Baba hivyo kwa huku vinapatikana?”

“Hapana hiyo hadi Dar es Salaam”

“Utaniandikia nitakwenda kuvinunua”

“Ila mume wangu sio salama kwa wewe kuwepo huko?”

“Usijali kila jambo lipo sawa mke wangu”

Nilizungumza huku nikimvuta Victoria karibu yangu na kumkumbatia. Tukawaacha jikoni humu kisha nikaelekea chumbani kwangu na kutafuta sehemu nzuri na salama na kuhifadhi zawadi hizi ambazo nimepatiwa na bibi yangu ili Victoria asiweze kuvioana. Siku iliyo fwata Dany akanipatia pesa za kutosha pamoja na gari.

“Ukifika Dar muambie professa kwamba nina hitaji akutafutie ukumbi kwa ajili ya harusi yenu”

“Unataka kuniambia kwamba sherehe yetu itafanyika jijini Dar es Salaam au?”

“Ndio, kuna marafiki zangu wengi sana wata udhuria hivyo tunahitaji ukumbi wenye hadhi kubwa sana na ukumbi ambao utakuwa salama na hakuna mtu ambaye ataweza kuuvamia kiurahisi”

“Sawa baba”

“Kingine tafuta suti yako nzuri ambayo ukivaa siku ya sherehe basi itakuwa ni nzuri sana”

“Sawa baba”

“Poa safari njema”

Nikaagana na Dany kisha nikaagana na mke wangu pamoja na Livna. Nikaingia ndani ya gari na kuanza safari ya kuelekea jijini Dar es Salaam. Safari yangu ikanichukua masaa kadhaa kuweza kufika kwa Professa.

“Jane yupo wapi?”

“Ana kama siku tano hivi sijamuona”

“Hujawasiliana naye?”

“Ninajaribu kumpigia ila hapokei simu”

“Kuna usalama juu take?”

“Yaa nahisi ila kuna jambo moja niliweza kumueleza nahisi ndio limemuweka kwenye hali ya kuto kupokea simu”

Professa alizungumza kwa unyonge huku akinitazama usoni mwangu kwa umakini sana.

“Jambo gani?”

“Baada ya baba yako kunieleza kwamba una mpango wa kuoa, nilimueleza Jane na kuanzia siku hiyo ndio aliondoka hapa kwangu na kila nikijaribu kumpigia simu hapokei”

“Ooohoo Mungu wangu kwa nini lakini Professa umefanya hivyo?”

“Sikuona haja ya kumficha na kama ulikusudia kumfanyia suprize ingekuwa ni maumivu makali sana kuliko hata hayo anayo yapitia hivi sasa Randy. Kumbuka yule mwanamke anakupenda kwa moyo wake mmoja.”

Nikahisi kuchanganyikiwa kwani kwa vitu ambavyo bi Jane aliniaeleza hakika ni vitu ambavyo nikivikutumbuka nina imani kwamba lazima atafanya jambo lolote ambalo ni baya na hata kujiua yeye mwenyewe anaweza kufanya hivyo.

“Una weza kumtafuta na kujua ni wapi alipo?”

“Yupo nyumbani kwake kwa maana toka alivyo ondoka simu yake inaonyesha kwamba yupo hapo”

“Okay, kabla sijasahau. Nahitaji suti nzuri, mbili baba anahitaji ukumbi mzuri wa sherehe. Ninaondoka nitarudi baadae”

Nilizungumza huku nikitoka eneo hili. Nikaingia kwenye gari na kuianza safari ya kueleeka nyumbani kwa Jane, nikajaribu kumpigia kwa simu yangu ila kwa bahati mbaya simu yake ina ita tu na haipokelewi.

“Ohooo Mungu wangu ni nini hichi kinacho kwenda kutokea kwenye maisha yangu jamani”

Nililalama huku nikipunguza mwendo wa gari langu na kusimama nyuma ya lori moja kwenye hii foleni. Taratibu foleni ikaanza kutembea na sikuweza kuendesha kwa mwendo hii ni kutokana na wembamba wa barabara hii ya kuingia jiji la Dar es Salaam. Majira ya saa mbili na nusu nikafika nyumbani kwa bi Jane. Nikasimamisha gari langu nje ya geti lake kisha nikaanza kuminya kitufe cha kengele lilichopo pembezoni mwa gili geti. Zaidi ya dakika tano sikuweza kupata jibu wala kuhisi mtu kuweza kutembea kuja kunifungulia. Nikatazama eneo hili na kwa bahati nzuri sikuweza kumuona mtu wa aina yoyote. Nikaparamia ukuta huu kwa umakini sana kwani kwa juu una nyaya za shoti ya umeme. Nikafanikiwa kuingia ndani ya nyumba hii ya bi Jane, nikatembea kwa hatua za haraka hadi kwenye mlango, nikashika kitasa na taratibu nikajaribu kuusukuma ndani. Kwa bahati nzuri nikaukuta ukiwa wazi. Nikaingia ndani humu huku taa za sebleni hapa zikiwa zimezimwa.

Nikatoa bastola yangu huku nikitazama ngazi za kuelekea gorofani ambapo ninasikia mlio wa mziki mlaini ukiimbwa. Nikaanza kupandisha ngazi hizi kwa umakini sana, nikafika kwenye kordo yenye milango ya vymba vitatu pamoja na seble moja kubwa. Mlango wa chumba cha bi Jane ndio kina toa mwanga mdogo kupitia uwazi wa chini ya mlango huo.

Nikanyata hadi mlangoni mwake, nikavuta pumzi nyingi kiasi kisha kwa utaratibu nikaanza kuishusha chini kwani ninacho kwenda kukutana nacho humo ndani sifahamu ni kitu cha aina gani. Nikajaribu kuusukuma mlango huu na kukuta ukiwa umefungwa.

“Jane…..Jane”

Niliita, ila sikuweza kuisikia sauti yake ikiitika zaidi ya mziki huo.

“Jane ni mimi Randy, fungua mlango”

Jane hakuweza kunifungulia mlango huu, nikarudi nyuma hatua kadhaa kisha nikaurukia kwa bega lango la mkono wa kulia na mlango huu ukafunguka. Nikamkuta bi Jane akiwa amekaa kitandani huku nywele zake nyingi zikiwa zimemchanguka. Chini ya kitanda kuna chupa nyingi za bia pamoja na pombe kali huku vipisi vya sigara vikiwa imejaa kwenye kisinia kidogo alicho kaa nacho kitandani. Uso wake umefubaa na dhairi anaonekana ni mtu ambaye amelia kwa muda mrefu sana. Taratibu nikaichomeka bastola yangu kwa nyuma kisha nikaanza kumsogelea bi Jane kitandani mwake huku nikimtazama kwa umakini sana. Bi Jane akatazama kipande cha sigara alicho kishika mkononi mwake, kisha akakiweka mdomoni mwake na kuvuta fumba moja zito na kulipulizia hewani huku moshi mwengine wa sigara hiyo ukitokea puani mwake.

“Wewe mtoto wa malaya umekuja leo?”

Bi Jane alizungumza kwa sauti ya kilevi huku huku akinitazama kwa macho ya dharau na hasira.

“Yaa nimekuja mpenzi wangu”

“Fuc** u am not your womer”

Bi Jane alizungumza kwa hasira huku akinirushia kipisi hicho cha sigara na kikanipiga usoni mwangu. Nikakiokota kwa haraka ili kisiweze kuunguza godoro hili na kusababisha majanga mengine makubwa.

“Jane naomba unisikilize mpenzi wangu”

“Fuc** you. Nimekuambia mimi sio mpenzi wangu. Stop calling me BABY…….!!!”

Bi Jane aliendelea kuzungumza kwa hasira sana, nikashusha pumzi taratibu. Kipisi hichi cha sigara nilcho kishika nikakitupa chini.

“Unaniacha mswahili mwezako unakwenda kutoka na wale nguruwe heeeee. Anakupa nini ambacho mimi sikupi wewe mwanaume?”

Bi Jane alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“SEMAAAAAA. Ana pesa kuliko mimi eheee?”

“No sio hivyo Jane”

“Ila nini, ana kum** nzuri kuliko hii ya kwangu eheee?”

Bi Jane alizungumza huku akifunua shuka alilo jifunia nusu mwili na kunionyesha kitumbua chake. Nikakosa jibu la kumpa mwanamke huyu aliye changanyikiwa kwa hasira.

“Au unataka nikupe mkund** wangu ndio ujue kwamba ninakupenda?”

“Jane twend ukaoge”

“Motherfuc** nani akaoge, nimekuambia unataka MKUND** wangu malaya wewe”

Bi Jane alizungumza huku akinizaba kofi zito usoni mwangu. Bi Jane akakurupuka kwa haraka na kunilaza chali na akanikalia kiunoni mwangu.

“Nimejitoa maisha yangu kwa ajili yako malaya wewe. Nimekufanyia mema mengi mseng** wewe sasa hivi unaamua kunirudishia mabaya kwa kwenda kuoa kujizungu chako. Hakina mbele wala nyuma, hana tako kama langu. Wanaume kibao wananitaka ila nina wabania kumanin** kwa ajili yako. Fala wewe eheeee?”

Bi Jane alizungumza huku akinishambulia kwa makofi mfululizo. Kusema kweli anayo yazungumza bi Jane ni kweli na sioni haya ya kumzuia kufanya hichi anacho kifanya kwani ni hasira ambayo ikiisha atakuwa salama.

“Nimepagawa na penzi lako alafu unaniletea uchuro eheee?”

“Jane naomba unisikilize”

“Usifungue kinywa chako tena mmmm”

Bi Jane akaniziba kwa kiganja cha mkono wake wa kushoto. Akajisogeza mbele kidogo na kunikalia tumboni mwangu. Akafungua mkanda wa suruali yangu, amakalizia na zipu. Akamtoa jogoo wangu na kuanza kumshika huku akimchua chua.

“Leo nataka unifanye kitu ambacho ujawani kunifanya mseng** wewe”

Jogoo wangu taratibu akasimama, bi Jane akatoa kiasi kidogo cha mate mdomoni mwake na kumpaka jogoo wangu. Akajirudisha nyuma kisha taratibu akamchomeka, mkund**i mwake jambo lililo nifanya nishangae sana. Japo kuna ugumu wa jogoo wangu kuingia eneo hilo ila bi Jane akaendelea kumng’ang’aniza aingie hivyo hivyo.

“Nitoe bikra ya mkund** motherfuck”

Bi Jane alizungumza huku akikunja sura yake na dhairi anaonyesha kwamba ana hisi maumivu makali sana ila ana jikaza tu.

“Kuna umuhimu wa wewe kufanya hivyo?”

Nilimuuliza bi Jane huku nikiwa nimesogeza kiganja chake pembeni kodogo ya mdomo wangu.

“Nyamaza mbwa wewe”

“Ila huku ni kunibaka Jane”

Kauli yangu hii haki ya Mungu, ni kama nimepandisha mapepo bi Jane hakujali nini ninazungumza zaidi ya kumkalia jogoo wangu karibia nusu nzima, akaanza kunitandika makofi mfululizo huku akiyatingisha makalio yake makubwa kiasi. Ujanja wote ukaniisha mtoto wa kiume, na kilocho baki ni mimi kuwa mnyonge kwake. Bi Jane alipo ona ameridhika na anacho kifanya akamuahimishia jogoo wangu kwenye kitumbua chake na kuendelea kujishuhulikia yeye mwenyewe.

“Na ole wako ukujoe mapema”

Bi Jane akaendelea kunipiga mikwara ambayo kimoyo moyo nikajikuta nikicheka mimi mwenyewe.

“Sema, kum** yangu tamu eheee?”

Bi Jane alizungumza huku akinizama kofi usoni.

“Yeeea?”

“Yeaha What……Niambie kum** yangu tamu”

“Ndio tamu baby”

“Kuliko ya huyo kitimoto wako?”

“Eheee”

Nikazabwa kofi jengine zito.

“Ndio ndio mke wangu”

“Utaniacha?”

“Mmmmm”

Bi Jane akanishika koo langu kwa nguvu huku akiendelea kukata mauno. Hata swali lake nikalisau akili yangu yote na nguvu zangu nikazihamishia katika kutoa mkono wake kooni mwangu kwani nikifanya masihara anaweza kuniua na hivi ndio ninahisi wanaume wanavyo kufa wakiwa wakifanya mapenzi.

“Jane tufanye kiustarabu basi”

Nilizungumza kwa hasira kidogo ila nikapokea kofi jengi ambalo sasa likanifanya nijawe na jazba ambayo hapo mara ya kwanza sikuweza kuiruhusu na kuchukulia hili jambo ni kama moja ya Jane kulipiza kisasi chake kwangu. Nikamgeuza kwa nguvu na kumlaza chini, huku nikimtazama kwa hasira sana usoni mwake.

“Unataka nini wewe mwanamke?”

“Fuc** me hard?”

“Nilo?”

“Yaaa”

Nikavua nguo zangu zote na bastola nikaiweka pembeni. Nikaikata siridira yake na kuyaacha maziwa yake yote wazi.

‘Hunijui wewe mzee’

Nilizungumza kimoyomo moyo huku nikivuta pumzi ya ziada katika mapafu yangu kwani hili ninalo kwenda kumfanya bi Jane hato lisaau maisha yake yote. Nikaanza kumpa mikiki mizito mizizo ambayo kwa mara nyingi huwa nina itumia pale ninapo fanya mapenzi na wanawake kuanzia wawili kwa wakati mmoja. Bi Jane macho yakamtoka kwani kile ninacho kifanya hakika kukipata kwa mwanaume wa aina yoyote. Bingili bingili ninazo mzungusha hapa kitandani hakika zikaanza kuzaa matunda. Kwani vilio vya mabaha vikaanza kubadilika na kuwa vilio vya uchunguna maumivu kwani kuna mikao miwili kila ninapo muweka ni lazima nihakikishe ninakifikia kizazi chake.

“Aiisss…you kile me Randy”

Bi Jane alizungumza huku akijitahidi kujitoa mikononi mwangu, kwani jinsi nilivyo muinamisha hapa kitandani. Shetani ndio shahidi kwa kweli.

“Oohoo mama, ooooohooo. Uwiiiii Ra…nda….y nafa….aaaaa”

“Hiki si ndio ulikuwa unata eheee?”

Nilizungumza huku nikiongeza kasi na mikono yangu ikiwa imekishikilia vizuri kiuno chake ambacho kwa mara kadhaa ana ng’ang’aniza kukiachanisha na mikono yangu ila ana shindwa. Bi Jane akaanza kupiga piga godoro hili kwa nguvu huku akilia mithili ya mtu anaye tahiriwa bila kuchomwa sindano ya ganzi. Bi Jane akapiga ukelele mmoja mkubwa na gafla mwili mzima ukamlegea jambo lililo nifanya nistuke sana. Taratibu nikamuachia huku jasho likinimwagika mwili mzima, nikamgeuza taratibu. Nikajikuta nikistuka mara baada ya kukuta mapovu yakimtoka bi Jane mdomoni mwake huku damu zikimtiririka puani mwake taratibu.



Nikajikuta nikijishika kichwa changu huku macho yakinitoka. Nikashuka kitandani kwa haraka sana huku nikiwa sijui nini cha kufanya. Nikaitafuta suruali yangu sehemu ilipo na kutoa simu. Nikaitafuta namba ya Dany kwa haraka nikaipata, nikaipata huku mwili mzima ukinitetemeka kwani katika maisha yangu sikuwahi kukutana na jambo kama hili.

“Vipi umefika salama”

“N…d…i..o baba ila kuna…a….a tatizo”

Nilizungumza kwa sauti iliyo jaa mtetemesho kiasi cha kuyafanya maneno yangu kuwa ya kukatika katika.

“Kuna tatizo gani? Hembu tuliza wasiwasi Randy”

“Upo na Victoria?”

“Hapana nipo chumbani na Livna”

“Kuna yule mwanamke, mwana mama nahisi nime muua”

“Umemuaa kwa nini?”

“Tulikuw atunafanya mapenzi na hapa hali yake ni mbaya. Ana tokwa na povu mdomoni na damu puani mwake”

“Ooohoo hayo ni ya mama Mariam?”

“Nini?”

“Sikiliza huyu hajakufa. Tuliza akili, mwagie maji ya baridi sawa”

“Alafu?”

“Atarudi kwenye hali yake ya kawaida. Hili tukio lilisha wahi kunitokea kwa mama mwenye nyumba yangu. Hivyo fanya kama nilivyo kuambia”

“Sawa”

Nikakata simu na kuirusha kitandani. Nikambeba bi Jane hadi bafuni mwake, nikamuweka kwenye sinki la kuogea kisha nikaanza kufungua bomba la maji ya baridi huku nikiijitahidi kumwagia maji kichwani mwake ili kuhakikisha kwamba ana rudi kwenye hali ya kawaida. Zoezi hili likanichukua kama dakika ishini na sita hivi. Bi Jane akafumbua macho yake huku akiwa amechoka sana.

“Hei Jane”

Nilimuita Jane kwa sauti ya upole huku nikimtazama usoni mwangu. Jambo la kumshukuru Mungu kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi bi Jane anavyo pata hauweni. Tukatoka bafuni humu na kurudi chumbani, taratibu nikaanza kumfuta maji huku ukiwa umetutawala.

“Nitandikie kitanda”

Bi Jane alizungumza kwa upole. Akanionyesha kabati analo hifadhia shuka. Nikatoa shuka moja kubwa na kubadilisha na shuka hili kisha akapanda.

“Nahitaji tulale wote”

“Sawa, ila nahitaji kuoga kwanza”

“Poa’

Nikaoga haraka haraka na kurudi kitandani.

“Vipi unajisikiaje?”

“Kidogo afadhali. Tulale mimi nina usingizi”

Bi Jane alizungumza huku akinipa mgongo. Taratibu nikamkumbatia kwa nyuma huku mkono wangu wa kushoto ukiyatomasa tomasa maziwa yake taratibu hadi usingizi ukanipitia.

Asubuhi na mapema nikaamka na kukuta bi Jane akiwa hayupo kitandani. Nikaingia bafuni napo hakuna mtu, ila kitu kilicho nipa matumaini ni usafi alio ufanya ndani ya chumba hichi. Nikavaa boksa yangu na kutoka ndani humu, nikamkuta Jane jikoni akiandaa kifungua kinywa.

“Za asubuhi mume wangu”

“Salama tu, vipi unaendeleaje?”

“Nipo poa hapa mwili mzima ni mwepesi na hasira yote imesha kishwa”

“Nafurahi kusikia hivyo. Ehee niambie mwenzangu ni kitu gani kilicho kupata?”

“Yaani wee acha tu. Kuna sehemu ulikuwa una nikusa yaani ni zaidi ya utamu”

“Mmmm pole mpenzi wangu”

Tukasaidiana na bi Jane kuanda kifungua kinywa hichi kisha taratibu tukaanza kupata kifungua kinywa.

“Randy”

“Naam”

“Unajua nimefikiria sana juu ya jambo lako ambalo unakwenda kulifanya mbeleni. Hakika ni jambo moja zuri na siwezi kukuzuia mpenzi wangu”

Bi Jane alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa usikuvu wa hali ya juu.

“Kitu ambacho ninakiomba kwako ni penzi letu lisiweze kufa. Nipo tayari uoe, upate familia ila muda wowote ukinihitaji au nikikuhitaji nina kuomba niweze kupata haki yangu kama mwanamke.”

Nikashusha pumzi taratibu kwa maana hili jambo alilo lizungumza bi Jane ni la hekima sana.

“Usijali mpenzi wangu nimekuelewa na ninashukuru sana kwa maamuzi yako na ninakuahidi kufanya kama vile ulivyo kusudia mimi kuweza kufanya”

“Asante sana Randy”

“Hivi hapa Dar ni sehemu gani ina ukumbi gani mkubwa na mzuri?”

“Upo ngoja kuna ukumbi wangu mmoja ni mzuri, nitawapatia bure”

“Asante sana”

Mchana tukaelekea kwenye maduka ya nguo na kutafuta suti nzuri. Tukapitia nyumbani kwa Professa na kwa bahati nzuri tukakuta amenunua kile nilicho muagiza kununua ikiwemo kamera ambazo Victoria alikuwa ana zihitaji kwa ajili ya kumfanyia mahojiano Dany.

“Suti ipo katika hatua za mwisho katika kuimalizia”

“Ila nimenunua suti nyingine”

“Hiyo suti ninayo itengeneza hivi sasa ina ubora mkubwa sana hivyo ni nzuri pale utakapo itumia hiyo siku ya arusi yako”

“Sawa.”

Tukakaa nyumbani hapa kwa Professa kwa siku mbili na mipango yote ambayo imenitelea jijini Dar es Salaam nimeimaliza salama. Nikarudi nyumbani kwetu na kupokelewa kwa shangwe sana na Victoria.

“Baba amesha tangaza tarehe ya harusi yetu”

“Ni lini?”

“Mwenzi ujao tarehe kumi na tano”

“Aha sawa”

Nikamkabidhi Victoria vitu alivyo hitaji nikamnunulie. Siku iliyo fwata akandaa mazingira ya kuanza kufanya mahojiano hayo na Dany .

“Kuna ulazima wa mimi kuwepo katika eneo hili la mahojiano?”

“Sio sana”

“Basi nipo nje nyinyi endeleni na mahojiano yenu wenyewe”

Nikatoka nje na kuelekea kwenye moja ya bustani ya maua.

“Hei Randy”

Sauti ya Tatiana ikanistua na kunifanya nigeuke nyuma na kumtaza.

“Ndio”

“Tunaweza kuzungumza?”

“Usijali tuzungumze”

Tatiana akasimama pembeni yangu, ukimya ukatawala kwa sekunde kadhaa.

“Natambua kwamba una mpenda sana mke wako Victoria na unakwwenda kufunga naye ndoa”

“Mbona nilisha funga naye ndoa”

“Okay sawa. Ila kuna jambo moja nahitaji uweze kufahamu kutoka moyoni mwangu. Nimejivumilia kukaa na hili jambo ila nimeshindwa. Randy ninakupenda sana, ninakupenda kutoka moyoni mwangu. Sijawahi kumpenda mwanaume kwenye maisha yangu kama ninavyo kupenda wewe. Tafadhali Randy nakuomba unielewe”

Nikakaa kimya huku nikimtazama Tatiyana usoni mwake.

“Unanipenda?”

“Ndio Randy. Najizuia nina shindwa nakuomba unielewe”

Tatiyana alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.”

“Nimekuelewa ila nakuomba niweze kulifanyia kazi hilo jambo”

“Sawa nashukuru”

Tatuyana akaondoka kwa unyonge. Kusema kweli hata uwe hodari vipi ila mapenzi ni kitu cha ajabu sana.

***

 ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG