Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

MY LIFE SEHEMU YA 2/10

 

 


 MY LIFE

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 2 KATI YA 10

 


‘Kweli mpenzi wangu, natamani hata nije kulala’

‘Hahaa njoo ninakusubiria’

‘Weee mtoto usinifanye leo nipande ndege nije huko’

‘Njoo tuzindue nyumba’

‘Mmmm, nina vikao kama vinne hivi na makampuni makubwa, ngoja vikiisha hivyo ninapanda ndege ninakuja’

‘Sawa mpenzi wangu, nina hamu na wewe ile mbaya’

‘Kweli?’

‘Ndio kweli yaani hapa nilipo nahisi kuchanganyikiwa’

‘Usijali nitakuja, ila jilinde mpenzi wangu’

‘Usijali nipo kwa ajili yako’

‘Asante, badae basi kwa maana nipo kwenye kikao’

‘Sawa mpenzi wangu, ninakupenda’

‘Ninakupenda pia baby’

Baada ya kumaliza kuchati na Nuru kwa njia ya Whatsapp, nikafuta meseji zote ili Judy asizione kwa maana anaweza kuishika simu yangu na kuona upuuzi wangu ambao sihitaji kabisa mdogo wangu aweze kuuona. Judy akatoka bafuni, akaanza kujiandaa.

“Mashine ile ya kuchemshia maji huko bafuni inafanya kazi?”

“Ndio, alafu Jojo nikirudi hivi nitahitaji unijibu maswali yangu”

“Mswali gani?”

“Jiandae tu kunijubu sitaki kukuuliza sasa hivi kwa maana ninakujua wewe ni mtu wa mahasira”

Nikaanza kujiuliza maswali mengi kichwani mwangu juu ya maswali ambayo mdogo wangu anahitaji kuniuliza, nikafikiria jinsi nilivyo kuwa ninazungumza na Nuru jana usiku.

‘Ila hakusika alikuwa amelala’

Niliwaza kimoyo moyo huku nikimtazama jinsi anavyo vaa nguo za ndani. Judy akamaliza kuvaa nguo zake pasipo kunisemeshe chochote, alipo maliza kujiandaa, sikuona hata hata ya kuoga tukaondoka nyumbani kwangu.

“Sister unatakiwa kuweka walinzi pale nyumbani”

“Mlinzi wa nini?”

“Wa kukulindia kila kitu kwa maana huwezi kukaa peke yako pale pasipo walinzi”

“Usijali nitatafuta tafuta”

“Haya mwaya”

Tukafika katika hospitali ya Agakhan, nikamkabidhi Judy katika uongozi wa hospitali, nikawaona madaktari na wauguzi ambao wataandamana na wagonjwa hao katika safari yao. Nikamkabidhi Judy pesa ya kutosha ambayo anaweza kuitumia akiwa nchi India kw amatumizi madogo madogo kwa maana pesa nyingine nimesha lipa katika uongozi wa hospitali.

“Ukipata nafasi nunua simu uwasiliane nami”

“Sasa hata namba yako sina”

Nikamuomba muuguzi mmoja kipande cha karatasi pamoja na kalamu, nikamuandikia Judy namba yangu kisha nikamkabidhi.

“Hakikisha unakuwa makini na kila siku wasiliana na mimi, nina imani kwamba hiyo hospitali wanayo kupelekea kutakuwa na simu katika mawaodi ya wagonjwa”

“Sawa itakavyo kuwa tutawasiliana”

“Dokta nina haja ya kuelekea na nyinyi hadi uwanja wa ndege?”

“Hapana, wagonjwa wote wanaondoka na helicopter za hospitali kwa manaa kuna wagonjwa ambao kwenye magari hawawezi kupanda”

“Ahaa sawa”

Nikamgekia Judy aliye kaa katika kiti kilichopo nyuma yangu.

“Kuwa Muangalifu sawa”

“Sawa”

“Nakutia safari nje”

Nilizungumza huku machozi yakinilenge lenga usoni mwangu, kwani tangu nimpate mdogo wangu tumekaa kwa kipindi kifupi na sasa anaondoka na kuniacha peke yangu. Judy akashindwa kujizuia na kuanza kulia, tukakumbatiana.

“Asanye dada yangu kwa kunijali, ninakuahidi nitakuwa ni msaada mkubwa sana kwako”

Maneno ya Judy yakazidi kuniumiza moyo wangu na kunishangaza kwa upande mwengine kwa maana amakuwa ni msichana mwenye busara kubwa sana.

“Yote ninafanya kwa ajili yako mdogo wangu”

“Nashukuru dada yangu”

Tukazidi kukumbatiana kwa nguvu, baada ya muda nikamuachia Judy, daktari mmoja akamshika mkono Judy ambaye anaendelea kulia na kuondoka naye katika eneo hili. Nikabaki nikimtazama Judy ambaye naye hakusita kugeuka nyuma na kunipungia mkono. Wakaingia kwenye chumba kimoja, nikajipungusa machozi yangu na kujifuta machozi yangu. Nikaanza kuelekea nje ambapo vijana ambao wamepewa jukumu na mkuu wa mkoa wana nisubiria. Simu yangu ikaanza kuita, taratibu nikaitoa mfukoni mwangu na kukuta ni namba ya Eddazaria ndio inayo nipigia. Nikajifuta machozi ambayo kwa mbali yalikuwa yakinichuruzika, nikaipokea simu yangu na kuiweka sikioni.

“Haloo”

Nilizungumza kwa sauti ya unyonge.

“Nimeiona meseji yako muda huu”

“Ahaa, samahani sana kaka yangu halikuwa kusudio langu”

“Usijali, sasa kesho nitarudi Dar es Salaam kuna mambo kadhaa yamenifanya nirudi, so sijui tunaweza kuonana kwa hiyo kesho”

“Hakuna tabu kaka yangu, nitafurahi sana”

“Basi sawa, nitaondoka saa kumi usiku huku nina imani daa hadi saa tatu hivi au saa nne nitakuwepo Dar es Salaam”

“Ahaa basi utaniambia ni wapi tuonane”

“Poa hivi ulisema unaitwa nani?”

“Jojo”

“Oohoo okay, nashukuru kukufahamu”

“Na wewe pia kaka yangu”

“Poa mchana mwema”

“Nawe pia”

Eddazaria akakata simu na kujikuta nikifumba macho yangu na nikahisi kitu cha baridi kikipita katika moyo wangu, hasira na huzuni nilivyo kuwa navyo kwa siku ya leo vikatoweka kabisa. Moyo wangu ukajawa shauku na hamu kubwa ya kuhitaji kumuona kijana huyo. Nikaingia kwenye gari la vijana hawa huku nikiwa nimejawa na tabasamu.

“Una furaha sasa?”

Kijana mmoja aliniuliza huku akinigeukia nyuma nilipo kaa na kunitazama

“Kwa nini unazungumza hivyo?”

“Leo tangu asubihi ulikuwa umefura kwa hasira,tukaogopa hata kukuongelesha”

“Ahaa…musijali hali hiyo imekwisha, jamani nia hitaji kuendelea kununua vitu vya ndani, sina Tv, sina friji”

“Sawa tutakuzungusha popote tunapo weza kupata vitu hivyo”

“Hivi mkuu wa mkoa hajanihitaji?”

“Amepata dharura amelekea Mkuranga huko kuna kazi imempeleka huko”

“Kurudi?”

“Hadi jioni nahisi”

“Sawa”

Vijana hawa wakanipelekea hadi Mlimani City, nikaingia kwenye maduka kadhaa na kununua friji pamoja na Tv moja kubwa, na mbili za kawaida ambazo nimepanga kuziweka chumbani kwangu na jikoni. Kama ilivyo kuwa katika maduka mengine nilivyo patiwa ofa ya kupekekewa mizigo yangu hadi nyumbani ndivyo ilivyo kwa maduka haya, wakanifungia Tv hizi kwenye ukuta pamoja na kunifungia ungo wa shirika la DSTV. Shuhuli ilipo kwisha, nikawaomba vijana hawa kuondoka na kuniacha peke yangu kwa maana tayari imesha timu saa moja usiku. Vijana hawa wakondoka, nikaanza kupanga vitu kadhaa, ikanichukua masaa mawili kumaliza, nikaingia bafuni na kuoga, nikavaa nguvo nilizo chagua kuzishindika kwa usiku huu wa leo. Nikachukua kiasi kidogo cha pesa na kutoka nyumbani kwangu, ubaya wa hili eneo ninalo ishi kuna majumba makubwa tu na kila mmoja nyumba yake ina ukuta na geti, hakuna vibanda vya chipsi kama ilivyo kuwa kwetu Mburahati.

‘Nitapatia wapi chakula’

Nilizungumza huku nikisimama kwenye barabara ya lami nikitazama mtaa huu jinsi ulivyo kaa. Akapita muendesha pikipiki mmoja, nikamsimisha.

“Ni bodaboda?”

Nilimuuliza muendesha pikipiki huyu huku nikimtazama usoni mwake.

“Yaa unaelekea wapi sister?”

“Nahitaji sehemu yenye kibanda cha chipsi”

“Kwa meneo haya hadi barabarani kule”

“Sawa twende na kurudi”

“Poa”

Nikapanda pikipiki na tukaondoka katika eneo hili, tukafika barabarni eneo ambalo limechangamka na kuna watu wengi sana.

“Nisubirie tutarudi wote”

Nilizungumza huku nikielekea kwenye kibanda kimoja cha chipsi, nikaagiza kiasi ninacho kihitaji. Muhudumu akanihudumia haraka na kunikabidhi chakula changu, nikamlipa na kurudi alipo muendesha pikipiki, ambaye muda wote ananitazama kwa macho ya matamanio ya kimapenzi.

“Unaitwa nani?”

Nilimuuliza muendesha pikipiki huyu.

“Jofu”

“Ahaa, sasa nitachukua namba yako utakuwa unanichukua na kunipeleka ninapo hitaji sawa”

“Sawa nitajie yako nikubip hapa hapa”

Nikamtajia Jofu namba zangu za simu, akanibip, nikaihifadhi namba yake katika simu yangu. Tukarudi nyumbani, akanishusha getini kwangu.

“Hapa ndio ma home?”

“Yaaa”

“Duu huu mjengo umetulia kishenzi”

“Etii ehee?”

“Yaa baba yako ni nani aliye nunua huu mjengo?”

Nikatabasamu tu pasipo kuzungumza chochote, nikatoa elfu kumi na kumkabidhi Jofu.

“Si inatosha hiyo?”

“Sanaa”

“Poa nitakucheki asubuhi”

“Poa, alafu hujaniambia kwamba unaitwa nani?”

“Jojo”

“Jofu, Jojo unaonaje tukaunganisha hayo majina”

“Hahaaa acha utani usiku mwema bwana”

Jofu akabaki akiashangaa baada ya kuona ninavyo minya rimoti ndogo na geti likifunguka.

“Mambo ya kubinya binya eheee?”

Jofu alizungumza huku akiwasha pikipiki yake na kuondoka, nikabaki kucheka tu kwa maana kijana huyu ni mcheshi sana. Nikazunguka eneo zima la nyumba yangu kuangalia ulinzi, japo ni jumba kubwa ila siogopi kutokana nina ujasiri wa kuishi katika eneo la kutika na wala sikuwa na wasiwasi wa aina yoyote. Nilipi jiridhisha nyumba ipo salama, nikaingia ndani, nikwasha tv na kuanza kutazama baadhi ya vipindi vinavyo onyeshwe kwenye baadhi ya chanel tofauti tofauti. Nikaichukua simu yangu mezani, nikafungua faili lenye simulizi ya Aiissii u kill me na kuendelea kuisoma, kadri nilivyo zidi kusoma ndivyo jinsi nilivyo jikuta nikianza kupata msisimko wa kimapenzi, mihemo ya kimahaba ikaanza kunitawala na kujikuta nikiushusha mkono wangu wa kushoto katika kitumbua changu na kuanza kukisugua taratibu. Mlio wa meseji ukanistua, kwa haraka nikaifungua na kukuta ujumbe kutoka kwa Eddazaria ambao ukanifanya nistuke kwani sikutarajia kabisa kuupata ujumbe huu kwa muda kama huu.



(Ninaomba unitext WhatsApp)

Ujumbe huu ukanifanya kwa haraka niingie Whatsapp, kosa kubwa ambalo nimelifanya ni kuto kuibadilisha namba yangu ambayo ninaitumia Whatsapp kwani ninaitumia namba niliyo jisajilia nchini China. Nikafanya marekebisho ya namba kisha nikamtumia ujumbe Eddazaria.

‘Hi, am Jojo’

‘Ok nimekupata. Dar unaishi maeneo gani?’

‘Ninaishi Tegeta na wewe?’

‘Mbezi’

‘Ohoo nashukuru kusikia hivyo’

‘Kama nitegeta nitapita na njia ya Bagamoyo, ili iwe rahisi mimi kupita kwako’

‘Sawa sawa, ukianza safari ninakuomba uniambie’

‘Sawa, nikutakie usiku mwema’

‘Nawe pia kaka. Ila ninaweza kukuomba kitu’

‘Niombe’

‘Ninaweza kupata picha yako, ili kesho hata tukionana isije nikaonekana kukushanga shangaa’

Eddazaria hakunijubu chochote, nikaanza kuona mfululizo wa picha nne zikingia kwa haraka, nikazifungua picha hizi, macho yakanitoka, nikabaki nikiwa na butwaa sana, fikra na mawazo yangu niliyo kuwa ninayafikiria yamekwenda tofauti kabisa, kwani nilihisi Eddazaria atakuwa ni mtu mzima mwenye umri kama miaka thelathini na kuendelea, ila kwa kumuona ni kijana anaye cheza kwenye miaka ishirini ambayo nahisi hata ishirini na tano hajanusa kabisa. Nikarudia rudia kuzitazama picha hizi kwa umakini sana.

‘Kanidanganya au, kijana mdogo hawezi kuandika hadithi kama hizi. Ila kesho ndio kuna mbivu na mbichi nitamuona mimi mwenywe’

Niliwaza huku nikizikagua picha moja baada ya nyingine.

‘I hope umezipata?’

‘Yaa, asante sana kaka’

‘Naweza pata yako moja’

‘Why not’

Kwa haraka nikamtumia picha kumi ambazo nimekaa katika mikao mizuri sana. Nikajisikia furaha baada ya kuona picha hizo zimefunguliwa.

‘U look gud’

Aliniandikia kwa ufupi.

‘Thanks, your handsome boy’

‘Noo nipo kawaida sana’

‘Ninaweza kuuliza tena swali, sorry kama nitakuwa ninakuudhi’

‘Uliza tu’

‘Wewe ndio unaye andika hizi story au?’

‘Yaa ni mimi kwa nini unauliza hivyo’

‘Real?’

‘Yaah huniamini?’

‘If ni wewe basi your so genius’

‘Thanks, nakuomba nijipumzishe, inabidi nianze safari usiku ili niwahi kufika na niendele na ratiba nyingine’

‘Sawa, samahani mwanya kwa kukuuliza maswali mengi, nikutakie usiku mwema na safari njema’

‘Asante nawe ulale unono’

‘Unono ndio nini?” ‘Salama’

‘Ahaa sawa’

Eddazaria akatika mtandaoni. Nikashusha pumzi nyingi huku nikiwa nimejawa na furaha ambayo kusema kweli sifahamu hata imetoke wapi. Nikajaribu kusoma hadithi japo kidogo ila usingizi na uchovu wa siku mbili hizi ukanifanya nipitie na usingizi kabisa. Mlio wa simu yangu ukanistusha na kujikuta nikurupuka kutoka kwenye sofa hili, nikaka kitako huku nikiitafuta simu yangu, nikasikilizia mlio na kugundua nimeikalia. Kwa haraka nikaichukua na kukuta ni Eddazaria ndio anaye nipigia. Nikaipokea na kuiweka sikioni.

“Za asubuhi Jojo?” “Salama kaka Eddy” “Nimesha ingia katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya dakika kadhaa nitaianza Tegeta, ingekuwa ni vizuri ungenielekeza upo eneo gani” “Ohoo Mungu wangu, maeneo ya huku mimi mwenyewe ni mgeni ila ngoja mara moja ninakupigia, ninamuomba mtu anielekeze” “Sawa” Nikakata simu, kwa haraka nikaitafuta namba ya Jofu, nilipo hakikisha nimeipata, nikampigia.

“Jofu vipi?” “Salama” “Njoo unichukue nyumbani sasa hivi” “Sawa, dakika tano” “Poa na hili eneo linaitwaje?” Jofu akanitajia eneo la sehemu hii. Nikakata simu na kumpigia Eddy.

“Ehee” Nikamtajia Eddazaria eneo ambalo nipo.

“Basi itakuwa vizuri ukinisubiria barabarani” “Sawa nitakuwepo hapo” Nikakata simu, nikanyanyuka kwenye sofa, kwa haraka nikakimbilia ndani kwangu, nivua nguo nilizo zivaa tangu jana, nikajinusa kikwapa changu, cha kumshukuru Mungu hakitoi jasho, ila usafi kwa mwanamke ni muhimu, nikachukua bodyspray yangu ambayo inanukia vizuri na inakaa mwilini mwa muda mrefu. Nikajipulizia kwa haraka kisha nikavaa nguo nyingine, nikaziweka sawa nywele zangu ndefu. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitazama na kukuta ni namba ya Jofu, kwa haraka nikaichukua na kuipokea.

‘Nipo getini’

‘Poa nina toka’

Kwa haraka nikatoka nje, nikapanda kwenye pikipiki na safari ya kuelekea barabarani ikaanza. Hatukuchukua muda mrefu sana tukafanikiwa kufika barabarani.

“Inabidi nisimame pembezoni mwa barabara ili aweze kuniona” “Kwani si ulisha muambia eneo husika” “Ndio” “Si analifahamu?” “Yaa” “Hamna haja ya kusimama barabarani, tulia pembeni pale akija hapa utamuona” Nikajikuta nikitetemea kwa wasiwasi nilio nao, ukichangia na hiji kijiubaridi cha asubuhi ndio usiseme.

“Mimi niondoke au?” “Ahaa….yaa” Nilizungumza huku nikijipapasa, nikagundua pesa nimeziacha kwenye suruali niliyo kuwa nimeivaa.

“Hela utakuja kuichukua baadaye” “Poa” Jofu akawasha pikipiki yake na kuondoka, nikabaki peke yangu, hazikupita hata dakika kumi, nikaona gari nyeusi aina ya BMW X5 ikisimama katika njia ya kuingia katika barabara ya kuelekea mtaani kwetu, nikaipuuzia kwa maana ninahisi kijana kama Eddazaria akimiliki gari basi ni Vitz au Passo. Nikiwa katika mawazo ya kumchambua Eddazaria, simu yangu ikaita, kwa haraka nikaitoa mfukoni mwangu na kukuta ni yeye ndio anaye piga.

“Best, nimefika katika njia ya kuingilia katika mtaa wenu” “Ahaa umesimaisha hiyo gari nyeusi hapo” “Yaa” Nikajikuta nikikata simu na haya pamoja na aibu vikinitawala, kwa maana nilimchukulia kijana wa watu ni mtu wa kawaida. Nikatembea kwa haraka hadi pembeni ya gari hilo, kioo cha upande wa dereva kikashushwa, nikakutana sura ya Eddazaria, akiwa amevalia miwani, nywele zake amezichana na zimesimama vizuri. “Mambo” Alinisalimia kwa sauti ya uchangamfu.

“Salama mambo” “Poa, zunguka upande wa pili” Eddazaria alizungumza huku akinitazama kwa umakini sana. Nikazunguka upande wa pili, nikfungua mlango wa mbele na kukaa siti ya pembeni yake. Harufu ya bodyspray yangu niliyo pulizia yakamezwa kabisa na manukato mazuri ambayo yananukia ndani ya hili gari.

“Sorry kwa kukuamsha asubuhi hii” “Oooh samahani wewe, kwa kukusumbua kwa maana nina imani haukuwa na mpango wa kurudi leo” “Hapana, mpango ulikuwepo, ila nimerudi kwa ajili ya chalii hapo nyuma ninamuwahisha shule” Nikageuka nyuma, nikakutana na mtoto mdogo ukikadiria kwa haraka ana miaka mitatu na kitu, sura ya mtoto huyu wala huwezi kuuliza kama ni mtoto wa Eddazaria au laa kwa maana wamefanana kila kitu. Sikuweza kumsalimia mtoto huyo kutokana amelala usingizi.

“Huyu ni mwanao?” “Yaaa ni mwanangu, nimetoka kumchukua alikuwa kwa bibi yake leo anatakiwa kurudi shule” “Waooo, aiisee umejizaa” “Kweli?” “Haki ya Mungu, tunaeleke kule” Nilizungumza huku nikimuonyesha Eddazaria ni sehemu gani ya kuelekea.

“Alafu wewe sio mtu wa kwanza kuniambia hicho kitu” “Yaani mtu akikutazama wewe, akamtazama huyu mtoto ahaa, habishi kabisa. Utakunja kulia utasimama hapo kwenye geti la jeusi kutoka nyumba ya tatu.

“Poa”

Eddazaria akasimamisha gari mbele ya geti la nyumba yangu, nikaitoa rimoti yangu mfukoni na kuminya batani ya kufungulia geti. Taratibu geti likafunguka, Eddazaria akaliingiza gari ndani na kulisimamisha katika eneo ambalo lina uwazi wa kutosha. Tukashuka kwenye gari huku Eddazaria akijinyoosha mikono yake, akamtazama mwanaye kwa muda kisha akafungua mlango wa siti ya nyuma alipo kaa mwanaye, akamfungua mkanda wa siti alio mfunga na kumnyanyua.

“Ehhee Mungu wee, toto lina kilo hilii ahaaa” Eddazaria alizungumza huku akimuweka mwanye vizuri mikononi mwake.

“Lete nikusaidie” “Weee angalia asije akakuangusha” “Mlete bwana” Eddazaria akanikabidhi mtoto wake, kusema kweli mtoto huyu ana kilo za kutosha kwani, hadi tunafika sebleni, nilijikuta nikihema sana kwa uzito wa mtoto huyu, nikamlaza kwenye sofa.

“Karibu ukae” “Asante, unaishi na nani hapa?” “Ninaishi na mdogo wangu ila kwa sasa ameelekea nchini India kwa ajili ya matibabu” “Ohoo, pole sana. Nimechoka kwa kweli, huwezi amini nimetumia masaa manne kutoka Tanga mjini hadi hapa” “Mmmm ulikuwa unakwenda kasi sana?” “Yaa usiku hakuna trafiki njiani wala magari mengi, ndio maana nilikuwa ninatembea na spidi zaidi ya mia mbili” “Utakufa kwa mwendo kasi” “Wamekufa wangapi mdogo wangu sembuse mimi” “Ahaa, kumbuka una mtoto na mama yake wana kutegemea” “Mtoto ndio ananitegemea peke yake na wala si mama yake” “Mama yake yupo wapi?” “Mmmm ni stori ndefu, tutazungumza siku nyingine. Nimeitikia wito naona muda wangu utakuwa ni mdogo sana, ningeomba tuzungumze lengo la kuonana hapa, kisha nimkimbize huyu home, akachukue vitu vyake na nimpeleke shule” “Sawa kaka yangu. Lengo la kukuita hapa ninahitaji kufanya kazi na wewe kama utakuwa tayari, ninahitaji kufungua kampuni kubwa ya kutengeneza filamu. Nikaona siwezi kutengeneza filamu pasipo kuwa na muandishi, si bora muandishi tu, ila kuwa na muandishi makini anaye weza kufanya filamu zangu ziweze kutoboa hata majuu huko na tukatangaza soko letu” “Ahaa ni wazo zuri, kabla hatujakwenda mbali sana. Umejipangaje kwenye kutengeneza filamu hizo kuanzia vifaa, kwa maana usije ukawa na ndoto ya kutoboa majuu, ukiwa unatumia vikamera vya kupigia wanyama pori, kwa maana ndio production za hao wanao jiita Bongo Movie?”

“Hahaa, kweli ninalitambua hilo kwa kweli, ila tambua upo na mtu ambaye anahitaji kuishangaza dunia, mtu ambaye anahitaji kufika mbali. Njoo nikuonyeshe”

Nilizungumza huku nikisimama, Eddazaria akanitazama kwa sekunde kadhaa, kisha akasimama huku akimtazama mwanye ambaye bado amelala kwenye sofa, nikamuingiza katika chumba cha kwanza kilicho jaa vifaa vya filamu. Nikamuona macho yakimtoka kwa mshangao, akaanza kupitia kifaa kimoja baada ya kingine huku akivitaja majina. Vifaa vyote vya chumba hichi akavifahamu.

“Jojo mdogo wangu umejipanga ehee?” “Njoo kaka huku” Tukatoka na kuingia katika chumba kingine ambacho kamera zate kubwa niliziweka humu.

“Yeahh this is what I need mother fuc**” Eddazaria alizungumza kwa furaha kubwa sana huku akizikagua hizi kamera.

“Jojo, kwa huu mzigo ninakuambia tunakuwa kama wamarekani wenyewe” “Kweli” “Mama yangu, bongo kuna waseng** wanajidai maproducer, ila kwa mziki huu, wajiuze wao, wake zao watoto wao, nyumba zao. Pia hawatokuwa na pesa ya kununua huu mzigo. Yaani kwa haraka haraka hpa nikiangalia umekata kama dola milioni nne au tano” Nikabaki nikitabasamu huku nikimtazama Eddazaria jinsi anavyo tazama hizi kamera, ambazo zote ni mpya.

“Ehee niambie Eddazaria.” “Nikatishe tu, niite Eddy watu wengi wananifahamu kwa jina hilo” “Oohoo sawa, haya kaka Eddy niambie tunaanzia wapi?” “Upo na kichwa, sasa ninacho kuambia, Ma-superstar wote wa Bongo movie, tunakwenda kuwaoaa, watakuwa wake zetu, subiri utaona matusi yangu nitakayo yafanya” Eddazaria alizungumza kw akijiamini sana na kujikuta nikitabasamu sana huku moyo wangu ukiwa umejawa na furaha kwani nimepata mtu sahihi na kiongozi atakeye niongoza katika mwanga wa mafanikio yangu


“Kweli?” Nilimuuliza Eddazaria huku nikimkazia macho.

“Trust me” Alinijibu huku akiwa amenisogelea karibu kabisa. Tukatazamana kwa sekunde kadhaa, kisha nikayakwepesha macho yangu kwani aibu ya kike ilisha anza kunitawala. Tukatoka ndani humu na kurudi sebleni.

“Changamoto kubwa mabayo kwa sasa ninayo ni ofisi, nikipata ofisi nina imani kila kitu kinaweza kwenda sawa” “Ofisi kama ofisi ya hii kampuni yako isiwe kama vyumba vya ofisi nyingine. Sifa namba moja unatakiwa kuwa na ukumbi mkubwa ambao filamu kwa asilimia themanini zitafanyiwa ndani ya huo ukumbi, asilimia ishirini zitafanyiwa katika maeneo ya nje” “Wait, umesema filamu zitafanyiwa ndani ya ukumbi, kivipi?” “Kuna swala moja linaitwa Blue au Green screan, kama unavyo ona filamu za kizungu za ajabu ajabu au za kuangusha ndege, mavitu mengi mengi ya ajabu usihi ni kweli, filamu zao wanazifanyia ndani kabisa. Umesha wahi kuona filamu moja inaitwa Titanic?” “Hapana” “Itabidi twende kwangu nikakuonyeshe, au una weza kuidownlod kwa haraka ukaitazama, ukimaliza kuitazama ingia Youtube, tafuta behind the sceen ya hiyo filamu hapo utakuwa umenielewa.” “Sawa nitafanya hivyo” “Kuna mambo mengi sana tunatakiwa kuweza kuyafanya kwa pamoja. Kama huto jali ninakuomba nielekee nyumbani na huyu bwana mdogo, nimpeleke shule kisha baada ya hapo nitakuwa nina muda wa kuweza kuzungumza mengi sana na wewe” “Sawa Eddy, kama huto jali ninakuomba tuongozane ili nikapafahamu kwako, kwa maana kwa sasa nipo free tu” “Sawa hakuna tatizo” “Dady” Sauti ya mtoto wa Eddazaria ikatustua na kutufanya sote tumtazame, Eddazaria akamsogelea mwanaye huyu anaye jinyanyua kwenye sofa.

“Vipi” “Tumefika?” “Yaa, kutana na anti Jojo” “Morning ant Jojo” Sauti ya uvivu ya mtoto wa Eddazaria ikanifanya nitabasamu sana huku nikimtazama usoni mwake.

“Morn whats is your name?” “Gody” “Only Gody” “Godlove Eddy” “Waooo nice name” “Thanks”

“Mwanao ni kichwa, udogo huu anaweza kuzungumza kingereza vizuri hivyo” “Bibi yake ni mwalimu wakiwa huko basi ni kingereza mwanzo mwisho” “Ehee kweli bibi hapa amepata mkukuu, naomba dakika tano nijiandae tuondoke” “Sawa” Nikaondoka sebleni huku nikiwa nimejawa na furaha sana. Nikaingia chumbani kwangu, kwa haraka nikaingia bafuni, nikaoga kisha nikatoka. Nikachukua nguo ambazo ninaona kwa siku ya leo zitanipendeza, nikajipamba mtoto wa kike, nikajitazama kwenye kioo kwa sekunde kadhaa.

‘Kweli mimi ni mzuri, Nuru asante sana kwa haya maisha’

Nilizungumza huku nikigeuka na kutazama jinsi shepu yangu nzuri ilivyo kaa. Nikava miwani yangu, nikabeba mkoba wange kwenye pesa kiasi za kigeni ambazo ni dola za kimarekani, nikatoka chumbani kwangu, nikaanza kushuka kwenye ngazi taratibu, Eddazaria akasimama, macho yakamtoka dhairi anaonekana kunishangaa sana.

“Jojo utanifanya nipigwe mimi huko barabarani” “Kwa nini?” “Si kwa kupendeza huko” “Hahaaa, huwezi kupigwa jiamini” “Ohoo usije ukawa na vibopa mjini hapa wakaniona wakanitumia watu wakanifanyia fujo. Kwa maana Dar es Slaam hapa ukiona demu mwenye umri kama wako anaendesha maisha mazuri, ujue hapo nyuma kuna kigogo wa serikalini au shirika kubwa amejiegesha anahudumia” “Hahaahaa, jiamini Eddy mimi sina mwanaume, wala sina anaye nichunga na kuniuliza kwamba nipo wapi na ninafanya nini, huwa ninafanya chochote ninacho jisikia” “Ahaa sawa, ikitokea si ndio nitajua” “Hahaa, labda wewe wifi ndio aniletee shida kwa kuniona”

“Hahaaa hakuna kitu kama hicho. Gody mwanangu tembea, baba nimechoka” Nikawahi kumshika mtoto wa Eddazaria mkono, tukatoka nje, nikafunga nyumba yangu, tukaingia kwenye gari na kuondoka hapa nyumbani kwangu.

“Eddy nikuulize kitu?” “Niulieze tu” “Kweli hii pesa niliyo wekeza itarudi kweli?” “Yaa kwa nini una wasiwasi, tena pesa hiyo itarudi ndani ya filamu moja. Kikubwa ni kuwa na watu makini, wasanii wanao jituma ila sijajua kama na wewe utakuwa msanii au utabaki kuwa kama producer?” “Nataka kuigiza” “Okay hilo ni jambo zuri, tena sana kwa maana muonekano wako ni mzuri. Ngoja kichwa kitulie kwanza, nimalizane na huyu bwana kaka, kisha tutapanga kila kitu katika mstari ulio nyooka” “Sawa, ngoja nikuambie ukweli ninakutegemea kwa asilimia mia moja. Nimetokea kukuamini sana, nina imani kwamba wewe ndio msaada wangu mkubwa katika hili. Mimi sina taaluma yoyote ya mambo haya ya filamu” Nilizungumza kwa sauti ya upole na unyenyekevu mkubwa hata Eddazaria mwenyewe akaonekana kunisikiliza kwa umakini mkubwa sana.

“Natambua leo ndio mara ya kwanza kuonana ila ninakuamini sana katika hili, ninaimani kwamba una mambo mengi ya kufanya ila ninaomba hili la kwangu nako ulipe nafasi” “Usijali mdogo wangu, nitahakikisha kwamba hujutii kuwa na mimi. Ndoto yangu pia ilikuwa ni kuwa producer mkubwa wa filamu, ila mtaji wa kufanya kazi ndio umekuwa hohe hahe, na sikuhitaji kutengeneza filamu wala tamthilia ya hadithi yangu yoyote kwa maana nilitambua kwamba ipo siku muda sahihi utafika. Na huu ndio wakati wangu sahihi, nipo tayari kuuza kila kitu changu, ila tutengeneze filamu moja ambayo itaturudishia pesa tuliyo wekeza hata mara kumi yake” “Usifanye hivyo kaka kama pesa ipo tutafanya” “Jojo ugumu wa hizi kazi ninautambua, kwani nilisha wahi kusomea na kupitia kipindi cha nyuma. Utakuja kuniambia heka heka zikianza” “Mmmm haya ila ninashukuru kwa kunikubalia katika hili na umenionyesha moyo wa kujitoa pia” “Yaa nitafanya hivi hadi wewe mwenywe uchoke” Tukafika nyumbani kwa Eddazaria, akasimama nje ya geti la nyumba yake, akapiga honi kadhaa, na geti baada ya muda kidogo likafunguliwa na mdada mmoja.

“Nina haja ya kuweka geti kama lako, yaani hapa siku nyingine unaweza kupiga honi hadi ukatamani kupaa” “Hahaaa” Eddazaria akasimamisha gari kwenye maegesho maalumu akashusha pumzi nyingi huku akifungua mkanda wa siti yake.

“Asante Mungu, tumefika salama” “Yaaa, yule ndio wifi yangu?” “Yaaa” “Mbona hukuniambia toka huko, nikajipanga kwa maswali na majibu nikiulizwa” “Usiogope bwana”

Eddazaria alizungumza huku akifungua mlango akashuka, Godlove naye akashuka hata kabla hajafunguliwa mlango akamkimbilia dada mweupe aliye simama karibu na gari, sura ya dada huyu haikuonekana kuwa na furaha baada ya kuniona mimi. Dada huyo akakumbatiana na Godlove, kisha akamshika mkono na kurudi naye hadi sehemu nilipo simama na Eddy.

“Jojo huyu ndio wifi yako, muite mama Gody. Honey huyu anaitw Jojo ni mdogo wangu” Nikamnyooshea mkono wa kulia Mama Gody, akautazama kwa muda kisha akanipa wa kwake.

“Nashukuru kukufahamu” Nilizunugmza huku nikijikaza kutabasamu.

“Sawa. Gody twende ndani nikakuandae” Mama Gody alizungumza huku akiondoka katika eneo hili, nikamtazama Eddazaria usoni mwake kwa maana kwa mapokezi haya tu inaonyesha kuna kitu kinacho endelea katika familia hii. “Puuzia usijisikie vibaya. Twende ndani” “Hapana, naona hapa panatosha kaka yangu” “Jojo……” Eddazaria aliniita huku akinitazama usoni mwangu, nikashusha pumzi nyingi na kuongozana naye hadi sebleni ambapo pamepambwa vizuri na vitu vyote vinaonekana ni vya thamani kubwa sana.

“Jojo naomba unisubirie ehee” “Sawa kaka” Nilijikuta nikiitikia kwa unyeyekevu na heshima zote, uhuru nilio kuwa nao nyumbani kwangu na ndani ya gari wote umetoweka. Eddy akaelekea kwenye kordo iliyo jaa mapazia yanayo ningi’inia katika vyumba husika. Hazikupita hata dakika tano nikaanza kusikia makelele yakitokea katika chumba alicho ingia Eddazaria nina imani kwamba yupo na mke wake.

“Nimechoka na wivu wa kiseng** seng*** kila mwanamke unahisi ni mwanamke wangu eheee?”

Sauti ya Eddazaria ilisikika ikizungumza kwa ukali.

“Kwani sijui, kwani sijui umeshindwa kuwatomb** huko unaona uwalete hadi nyumbani eheee” “Hivi unaakili gani wewe, eheee. Mwanamke gani usiye jiamini, muandae mtoto nimpeleke shule sawa” “Liandae mwenyewe litoto lako” “Unasemaje wewe mjinga” “Umenisikia” “Mama Gody nitakuvunja, ninarudia nitakuvunja ya nini asubuhi asubuhii hii unaanzisha fujo, hujali kuna wageni hakuna wageni ila hilo domo lako wewe huwezi kulifumba si ndio” “Niache bwana, utakufa na umalaya wako, mwanume kila muda ni kutomb** tuu nyoooo maradhi mengi mwanaume” “Gody twende zetu mwanangu, anti Jojo atakuandaa” “Ahaaa kwa hiyo mwanangu unataka kumpeleka kwa huyo malaya wako. Hapa mwanangu haendi popote” “Mama Gody muachie mtoto” “Simuachii, mwanangu hawezi kuongozana na malaya kama nyinyi” “Ninahesabu hadi tatu kama hujamuachia mwanangu nitakuvuja mama Gody” “Wee thubutu, thubutu kunipiga, kama ulienda labor wewe basi nitamuachia” “Si ulijitomb** mwenywee” Nikazidi kujisikia vibaya baada ya kaunza kuisikia sauti ya Godlove akilia, nikatamani hata kuingia ndani ya chumba hicho kumchukua malaika huyo wa Mungu ambaye hastahili kusikia matusi makubwa namna hii tena kutoka kwa wazazi wake.

“Ndio nilijitomb***…..” Nikasikia kibao kikali ambacho ninaamini kimetua shavuni mwa mama Gody.

“Sasa ninampeleka mwanangu shule, nikirudi, nisikukute ndani kwangu, nimechoka upuuzi wako. Nimekufungulia biashara umeifilisi, kwa mawivu yako ya kipuuzi sasa kama unahisi kila siku nitakuwa ninaendelea kukunyenyekea kisa mwanangu huyu sihitaji upuuzi umenisikia wewe mwehu?” “Leo hii, baba Gody unanipiga kisa huyo malaya wako?” Nikasikia kofi jengine ambalo ni mara mbili na mlio wa kofi la mara ya kwanza.

“Mwanzo leo mwisho leo kumuita mtoto wa watu usiye mjua malaya, umenielewa wewe ngedere wa kike” “Poa bwana, poa bwana nitamuonyesha, nitamuonyesha si nimemuona sawa” ‘Ehee Mungu wangu najuta kuja hapa, nini hichi?’

Nilizungumza kimoyo moyo huku mwili mzima ukinitetemeka kwa woga kwa maana mimi ndio imekuwa chanzo cha ugomvi wao.

“Kwenda zako huko” Nikamshuhudia Eddy akitoka, jasho likiwa limemjaa uso mzima, mkono wa kulia amemshika mwanaye anaye lia huku mkono wa kushoto anaburuza begi la nguo. Nikajiwahi kunyanyuka kwenye hili sofa.

“Jojo twende zetu”

Eddazaria alizungumza kwa sauti nzito, ile sauti ya upole na upendo niliyo kuwa ninkiifikiria yote imetokewa, sikuweka hata pozi, nisije nikakutwa na mwenye mali yake ikawa tatizo, tukatoka nje, Eddazaria akamuingiza mwanye ndani ya gari kisha yeye akaelekea getini na kufungua geti, akarudi kwenye gari na mimi nikaingia kwenye gari, akalirudisha nyuma kwa haraka na kutoka ndani ya nyumba yake hii. Akaliweka sawa, akashuka akafunga geti na kurudi ndani ya gari na kuondoka eneo hili kwa kasi sana hadi watu walipo pembezoni mwa hii barabara ya vumbi wakabaki wakishangaa. Nikageuka nyuma na kumtazama Godlove, nikamkuta bado anaendelea kulia japo ni kimya kimya ila anaonekana ni mtoto aliye jawa na machungu mengi sana moyoni mwake. Taratibu nikafungua mkanda wa siti, na kuhamia siti ya nyuma na kuanza kumembeleza Godliver.

“Kuna mijiwanawake, yaani sijui imeletwa duniani kufanyaje”

Eddazaria alizungumza huku akisunya, sikutaka kuzungumza chochoye zaidi ya kuendelea kubembeleza Godlove.

“Yaani leo asipo kwenda kwao, nitamkata kichwa. Mwanamke habebeki amekuwa mzigo kwa stahili hii ya kupeana miji mawazo isiyo na hata sababu nitaweza kufanya kazi kweli?” Nikaguna tu kimoyo moyo kwani yanayo zungumwa hapo mimi hayanihusu kabisa. Kwa mwendo anao uendesha Eddazaria nikajikuta nikijutia hata ni kwa nini nimepanda gari lake, nikatamani kumuomba japo nishuke ila kwa jinsi ninavyo mtazama alivyo jawa na mijihasira, nisije na mimi nikaambulia matusi. Tukafika katika shule moja ya watoto, heti likafunguliwa na tukaingia, Eddazaria akatugeukia katika siti ya nyuma tulipo kaa na mwanye.

“Jojo samahani kwa kile kilicho jitokeza leo hakita jirudia tena” Eddazari alizungumza kwa sauti ya upole sana kiasi kwamba nikajawa na mshangao, kwani si yule ambaye alikuwa akizungumza na kwa hasira dakika kadhaa zilizo kuwa zimepita.

“G love, sorry mwanangu, soma jitahidi nitakuja kukuchua ijumaa sawa” “Ok dady” “Deal” “Yaa Deal” Eddazaria na mwanaye wakagonganishiana mikono yao ya kulia wakiwa wamekunja ngumi. Tukashuka kwenye gari sote watatu.

“Twende ukaonekane kwenye uongozi siku moja moja ukipata muda utakuwa unakuja kumtembelea” “Eddy unataka kuzidisha matatizo bwana” “Niamini, twende bwana” Nikajikaza kisabuni mtoto wa kike na kujumuika nao, tukafika hadi katika ofisi ya waalimu. Eddazaria akamkabidhi mwanaye kwa mwalimu wa malenzi, kisha nikatambulishwa kama shangazi yake.

“Atakuja kumtembelea sasa picha leo hajakuja nayo ila nina imani atakuja nayo siku akija kumtembelea” “Sawa baba Gody, naamini umemuambia shangazi mtu kwamba zinazo hitajika ni passport mbili” “Nahisi kama ninazo” Nilizungumza huku nikiifungua pochi yangu, nina kumbuka kuna passport nilipiga nilipokuwa nchini China, nikazikabidhi na kujaza fomo kama shangazi. Tukaagana na waalimu wa hapa shule na kurudi kwenye gari.

“Tunaelekea wapi sasa?” Nilimuuliza Eddazaria huku nikimtazama usoni mwake.

“Ninakwenda kumfungashia yule mwehu mizigo yake, simtaki tena kwenye maisha yangu” Kauli ya Eddazaria ikanifanya nistuke sana, kujuana naye tu leo matatizo ndio kama haya je huko mbeleni itakuwaje. Nikajikuta nikikosa cha kuchangia katika hilo na nikaka kimya nikimtazama jinsi anavyo hangaika na mskani wa gari lake kuliweka sawa ili tuondoke katika eneo hili.



“Eddy”

Niliita kwa sauti ya upole huku nikimtazama kwa macho ya kuiba kwani ombi langu ninalo taka kulizungumza sidhani kama litakubaliwa.

“Zungumza tu Jojo, usiniogope na wala usiwe na mawazo kwamba wewe ndio chanzo cha hili tatizo. Mama Godlove ana fujo sana”

“Ninakuomba unishushe hapo mbele kama huto jal…..”

Mlio wa ujumbe wa meseji ulio ingia katik asimu ya Eddazaria ukanikatisha sentensi yangu, akaitoa simu kwenye mfuko wa pensi yake aliyo ivaa, akausoma ujumbe huo, nikamuona dhairi jinsi anavyo ng’ata meno yake kwa hasira. Akajukuta akiupiga mskani kwa nguvu kwa mkono wake wa kulia.

“Shika usome, shike usome hivi wanawake wote munakuwaga hivi?”

Eddazaria alizungumza huku akinikabishi simu yake.

‘Wewe si mwaume kweli na upo huyo malaya wako, sasa nitakuonyesha kama mimi ni nani’

Nikashusha pumzi taratibu, hapa ndipo nikaanza kuamini kwamba si kila mwenye pesa ana amani na furaha katika nyuma yake, japo sifahamu ni wapi walipo toka na mkewe ila kusema kweli huyu mwanamke atachangia sana mume wake hata kutoka nje ya ndoa.

“Jojo mdogo wangu hembu nishauri kitu nifanye nini, kichwa changu kitanipasuka jamani. Kichwa hichi hichi kiandike hadithi, kichwa hichi chihi kimfikiria mama Gody na mafujo yake, kicha hichi hichi kifikirie jinsi ya kuingiza pesa, kweli jamani hii ni haki au kutakiana matatizo?”

Eddazaria alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Nikajikuta nikijawa na roho ya huruma, ukimuona mwanaume amefika kwenye hatua kama hii basi utambue kweli amechoka, na anahitaji japo msaada wa mawazo.

“Ni eneo gani hapa Dar es Salaam limetulia, tukakae na kuzungumza?”

“Yaani wala sifahamu mdgo wangu, kichwa changu hakipo sawa kabisa. Una weza kudrive?”

“Ndio”

“Hembu njoo uendeshe, nimechoka nisije nikagonga mtu bure”

Eddazaria alizungumza huku akipunguza mwendo kasi wa gari, akasimamisha gari pembeni ya barabara, akafungua mlango na kushuka, kutokana mwili wangu kidogo ni mwepesi, nikahamia siti ya dereva pasipo kushuka ndani ya gari. Eddazaria alipo ingia ndani ya gari, nikafikiria sehemu ya haraka haraka ambayo ninaweza kukaa naye na kuzungumza naye mambo mawali matatu, nikakumbuka hoteli moja inayo itwa Bahari Beach.

“Eddy kama huto jali tuelekee Bahari Beach”

“Poa, yaani nazima simu, anitukane weee hadi achoke kwa maana simu ikiwa hivi hewani atanifanya nikambamize makofi”

Eddy alizungumza na kwa kusisitiza hilo akatoa na betrii ya simu yake na kuvirushia siti ya nyuma. Kutokana na foleni za hapa na pale ila tukafanikiwa kufika katika eneo hili la hoteli hii iliyo tulia na ipo pembezoni mwa bahari. Nikasimamisha gari katika magesho niliyo elekezwa na mlizi.

“Daa nimesahau kundoka na laptop nyumbani”

“Usijali leo pumzisha kichwa”

“Weee, raisi wangu wana fujo, nisipo wapostia hadithi kwenye magroup basi wanasumbua sana”

“Yaani laiti wangejua mateso na shida unazo pita kwenye mahusiano yako wangekuwa wastahimilifu”

“Yaani wee acha, tu watu wakiona hadithi imeandikwa basi wanahisi labda ni kitu cha dakika moja ama mbili”

“Huwa unachukua dakika ngapi katika kuandika hadithi?”

Nilizungumza huku nikikmabishi Eddy funguo yake.

“Kaa nayo, ninaweza kuipoteza. Mdogo wangu situmii dakika, ninatumia masaa zaidi ya matatu au manne”

“Mmmmm unaandika kitu kimoja?”

“Yaa”

“Mungu wangu, kumbe ni kazi ngumu ehee?”

“San, yaani ni mara mia moja na yule mtu anaye ingia ofisini akajaza mafaili ya ajabu ajabu alafu jioni akatoa. Huwa nikiwa nyumbani siku nikiwa sina amani na yule mwanamke ninaweza nisilale kwa kuandika”

“Masikini pole, hivi wifi umefunga naye ndoa?”

“Nimefunga naye ndoa wapi, yaani nimeishi naye kwa ajili ya mwanangu tu ila ingekuwa si Godlove wala nisinge ishi naye, ila kwa hapa alipo fikia sina mjadala naye kabisa”

“Usimuache bwana”

“Huo ushauri hata mama yangu aliniomba ila nilimkatalia, hamjui mateso ninayo yapitia kwenye hii ndoa bubu”

Nikajikuta nikianza kucheka chini chini, Eddazaria akanitazama na nikajifanya nikijikausha.

“Unacheka nini?”

“Nacheka unavyo sema ni ndoa bubu”

“Yaani wee acha tu kuna mambo mengine watu hawayajui, ila usione watu wanaendesha magari mazuri, wanaishi maisha mazuri wanakaa eneo zuri, ila wanakosa amani zaidi ya wale wanao lala vibarazani”

Tukatafuta viti vizuri vilivyopo kwenye fukwe ya bahari, tukaa. Muhudumu hakuchukau muda sana akatufwata.

“Sasa hivi ni saa ngapi?”

Nikatazama saa ya simu yangu na kugundua ni saa sita mchana.

“Sita na sakika ishirini”

“Niletee Chips kavu na juisi ya embe, mishikaki wekeni miwili tu”

Eddazaria aliagiza na kunifanya na mimi kuagizia chakula alicho kihitaji yeye.

“Sasa Eddy ninaomba tujadili mambo mawili matatu katika kampuni ambayo tunakwenda kuianzisha. Naomba uniambie ni vitu gani muhimu vya kuanza navyo ili tuweze kuhakikisha kwamba tunafanikiwa?”

Eddazaria macho yake yote ameyaelekezea baharini akionekana kama ni mtu anaye waza kitu, taratibu akanigeukia na kunitazama.

“Kitu cha kwanza tunacho takiwa kuwa nacho, ni hadithi zinazo endana na soko la kidunia na si soko la bongo movie”

“Ndio stori gani hizo?”

“Stori kama ninazo ziandika, mawazo yangu huwa hayafikiri kuandika kitu ambacho hata mtoto wa darasa la saba, akiwambiwa andike insha anaweza kuandika kama filamu za bongo movie”

Nikaka vizuri huku nikimtazama Eddazaria.

“Tunatakiwa kuumiza vichwa, tuangalie Marekani wana fanya nini, tuangalie India wana fanya nini, Korea Kusini, Uingereza. Kisha tuangalie South Afrika, Nigeria na Ghana wana fanya nini. Tukisha weza kufahamu ni kipi wanakifanya katika masoko yao, basi tunaleta kitu cha tofauti ambacho hakuna mtu mwengine ambaye anaweza kujaji kwamba tumekosea, ila kila mtu afurahi kwamba tumefanya kitu cha kuishangaza dunia”

“Kwa upande wangu mimi nina uwezo wa kucheza filamu za mapigano ya aina yoyote. Mapigano ambayo yatawavutia wengi sana”

“Unaweza kupigana wewe?”

“Yaaa”

“Mbona kama umechoka choka?”

“Hahaa, haki ya Mungu ninaweza au unataka tuzijaribu”

“Aahahaa mimi huko sipo best, usije ukanizalilisha hapa ufukweni, badae video zikarushwa kwenye WhatsApp”

“Hahaaa, okay tuachane na hilo. Ila nilizungumza hivyo ili uweze kufahamu kwamba ukiandika stori usiwe na wasiwasi wa kuweka matukio kama hayo”

“Hilo usijali. Kitu kingine ambacho tunatakiwa kuwa nacho ni wataalamu wa kutumia vile vifaa, kwa hapa Tanzania, nisiwe muongo hakuna, hawa wasanii wa bongo fleva, wengi wao wanakimbilia South Afrika kushooti miziki yao”

“Kuhusiana na mainjinia wa kutumia kamera hizo usijali, kampuni walio niuzia hiyo vitu waliweza kunipa ofa ya wataalamu wao”

“Hiyo ni habari nzuri”

Muhudumu akatuletea chakula, akatuwekea katika meza ndogo iliyopo katika eneo hili, Eddazaria akatoa waleti yake mfukoni, ila kwa haraka nikamuwahi mudumu huyu na kumpa noti ya dola mia.

“Si zinatumia hapa?”

“Yaa zinatumika”

“Sister mrudishie pesa yake, unatudai kiasi gani?”

“Ahaa kwa ujumla ni sh….”

“Dada wewe nenda tu, utaniletea chichi”

Ilinibidi kuingilia mazungumzo ya Eddazaria na muhudumu huyu wa kike. Dada huyu akaondoka na kutuacha peke yetu.

“Huwa sipendi kulipiwa kitu na mwanamke”

“Ahaa mimi ndio niliye kuleta hapa na kila kitu kinacho endelea hapa mimi ninatakiwa kuhisika”

“Mmmm”

“Yaa”

“Ok tuendelee, kitu kingine kinacho takiwa ni lazima uwe na malori japo manne ambayo yatakuwa yanabeba vifaa vya kampuni, yatakuwa na vyumba maalumu vya kuwekea nguo kutokana na location maalumu ambayo tutakuwa tunaiendea”

“Malori ya aina gani?”

“Kuna magari fulani hivi zinapatikana Marekani, ila kwa kuanzia tunaweza tukayapata mawili, moja litakuwa la kubeba vifaa na jengine la kubeba vitu nilivyo kueleza”

“Kitu kingine ni kusajili kampuni na kulipa kodi, kwa maana serikali ya sasa hivi sio ya mchezo mchezo tusije tukapigwa mnada hadi sisi wenyewe”

“Hahahaaa, acha kunichekesha”

“Ooohoo, unashangaa Jojo anapigwa mnada. Mara Eddy naye anapigwa mnada. Tutarudi kwenye utumwa”

Eddazaria alizungumza kwa masihara na kujikuta nikicheka sana.

“Wewe cheka, ndipo tunapo elekea sasa. Kitu cha mwisho kabisa ukiachilia ofisi, ni kuwa na nguvu ya kumchukua msanii yoyote duniani pale tu tutakapo kuwa na haja ya kumtumia, hii yote itatusaidia kuboost filamu na kampuni, hatuwezi kumchukua sijui fulani, sijui fulani tena wa Bongo movie, alafu tukafanya naye kazi. Tutapoteza pesa kwa maana sura za watu zitakuwa ni zile zile na hakuna jipya”

“Eddy unajua nini?”

“Sijui?”

“Kuanzia hivi sasa wewe ndio mkurugenzi wa kampuni yangu, maamuzi utakayo yatoa wewe kwangu yatakuwa ni sawa, ili maradi yawe ni sahihi na kwa ajili ya kampuni”

Eddazaria akaka kimya kwa muda kidogo, akayanyanyua macho yake na kunitazama usoni mwangu, sura yake akaonekana kama mtu ambaye hajapendezwa na maamuzi niliyo yatoa.

“Mbona kimya hujafurahishwa na maamuzi yangu?”

“No nimefurahishwa nayo, ila hiyo nafasi ninaomba kwa sasa tuiache wazi. Tufanye kazi kama timu, tusimamishe kampuni, ikisimama sasa hapo ndipo tutajua wapi tumuweke nani na awe anafanya majukumu gani”

“Ni wazo zuri pia, ila kama unavyo niona mimi bado ni binti mdogo, sijasoma kusema kwamba nina akili ya kuongoza kampuni ya…..”

“Ninamchukia mtu anaye jishusha kisa hana elimu. Elimu sio pesa, elimu sio kuwa na uwezo wa kuongoza. Jiamini hii ni kampuni yako, haijaja kama ndoto kwako. Mungu ana makusudi kukupa wewe, hao wenye degree zao, utawaajiri na watafwata amri yako sawa”

Eddazaria alizungumza kwa msisitizo huku akiwa amenikazia macho. Nikatingisha kichwa kama ishara ya kumkubali.

“Siku nyingine usije ukaonyesha udhaifu wako mbele yako wala kwa mtu mwengine, ukifanya hivyo nitakuacha ufanye vitu vyako peke yako kwa maana utakuwa unaendeshwa na si kuendesha”

“Nimeuelewa kaka Eddy”

Maneno ya Eddazaria yakanifanya nianze kujiona ni mtu mwenye thamani kubwa sana kwenye maisha yangu. Woga na wasiwasi ambao nilikuwa nao katika mpango wa kuanzisha hii kampuni ukanitoweka. Ujasiri ukanijaa, na moyoni mwangu nikapania kuhakikisha kwamba nina uwezo wa kufanya kitu kikubwa sana hapa duniani. Tukaendelea kula taratibu huku Eddazari akinisimulia matukio ya stori yake anayo sema anaipenda, aliyo nitajia kwa jila la My mom’s friend.

“Unataka kuniambia hiyo ndio stori unayo ipenda peke yake”

“Stori zangu zote ninazipenda, ila hiyo mimi ndio ninaipenda, kwanza ilinitoa chini na kunipandisha katika swala zima la uandishi, ilinifanya nijitambue kwamba oohooo kumbe na mimi ninaweza kufanya kitu kikkapendwa, ndio manaa nina ipenda sana hiyo hadithi, hizi nyingine zimekuja kutokana na matunda ya hiyo hadithi”

“Hongere sana kaka”

Tukakaa eneo hili la ufukweni hadi majira ya saa kumu na mija jioni, tukaondoka katika eneo hili na kurudi sehemu tulipo liacha gari.

“Endesha, tupitie nyumbani kwangu nikachukue laptop yangu, kisha baada ya hapo nitakwenda kulala hotelini”

“Kwa nini sasa?”

“Hivi unajua yule mwanamke anaweza kunichoma hata kisu”

“Hawezi”

“Hawezi, wee ugomvi tu wakawaida anashika hadi visu”

“Mmmmm, unanitania kaka”

“Haki ya Mungu”

“Sasa unakaaje na mtu wa aina hiyo?”

“Ndio maana ninakuambia hapa nilipo nimechoka kabisa, yaani amenifanya niwachukie wanawake na kuwaona ni watu sijui wa aina gani.”

“Hata mimi unanichukia?”

“Wewe ni msichana, hujafikia kiwango cha kuitwa mwanamke”

Tukaingia ndani ya gari, taratibu nikawasha na kuondoka katika eneo hili.

“Hivi maisha yako na huyo mama Godlove unaweza kuyaandikia japo stori ikaigizwa movie”

“Yaa ila ninaapia, haki ya Mungu, hiyo movie mabachelor wakiitazama hakuna hata mmoja ambaye atatamani ndoa, nitasababisha wasicha wa watu walio tolewa vimahari kutelekezwa bure.”

“Hahahaa atakeye muacha mpenzi wake kisa movie atakua hana akili”

“Ohoo, haya nitaiandika alafu utaniambia. Sasa na wale wanaume ambao wanapitia msoto kama wangu, watatelekeza familia zao bure”

“Hahaaa…………”

Tukiwa katika mtaa ilipo nyumba ya Eddazaria, tukaanza kuona makundi makundi ya watu wakiwa wamesimama wakionekana kujadiliana vitu baadhi. Nikamuona Eddazaria macho yakimtoka baada ya sote kuushuhudia moshi mwengi mweusi unao elekea angani ukitokea katika nyumba ya Eddazaria, hata kabla sijasimamisha gari katika eneo hili la karibu, kwani siwezi kusonga mbele zaidi kutokana na wingi wa watu. Kwa haraka Eddazaria akaruka kwenye gari na kuanza kukimbilia katika nyumba yake, na mimi nikashuka, nikaiona simu yake iliyopo siti ya nyuma, nikaichukua na kuirudishia betrii na mfuniko wake kisha nikaiwasha, nikaifunga milango ya gari na kuanza kukimbilia hadi katika eneo alipo simama na askari wa zima moto na askari wa usalama wa raia ambao nao wamemshikilia Eddazaria kwa nguvu zao zote wakimzuia kuingia ndani ya geti la nyumba yake, huku akilia kwa uchungu sana akiliita jina la mke wake ambaye hatujui kama amefia ndani ya moto huo au laa.



Askari walio mshikilia Eddazaria Msulwa, wakafanikiwa kumtoa katike eneo hilo na kumuingiza kwemye moja ya gari la RPC wa mkoa aliye weza kufika naye katika eneo hilo kushuhudia kitu kinacho endelea. Japo magari ya vikosi vya zima moto vinazidi kuongezeka kuhakikisha kwamba wanapamababa na moto huo unao zidi kutetekeza nyumba ya Eddazaria Msulwa, ila bado inaonyesha kwamba hakuna kitu hata kimoja ambacho kimeokolewa nje.

“Kuna wanawake wana roho za ajabu sana”

Nilisikia sauti za wadada wakizungumza nyuma yangu kwa sauti za kunong’onezana, sikugeuka zaidi ya kuyatega masiko yangu kwa umakini sana.

“Kwa nini?” “Shosti aliye ichoma hii nyumba ni mke wake yeye mwenyewe. Kuna yule bwana wake wa Kihindi anaye kujaga hapa jamaa akitoka, leo alikuja kwa haraka aliingia kwenye gari na wakaondoka akiwa na mabegi yake” “Sasa utasemaje hapo kama yeye ndio ameichoma” “Tangu alipo odoka yule dada, hazikupita hata dakika tatu nyumba ikianza kuwaka moto, sasa unataka kuniambia kwa akili zako tu hata kama hujasoma hapo utahisi nini?” “Mmmm makubwa, ila sijui kwa nini yule dada amemfanyia kaka wa watu hivi mwenyewe ni mpole mtaani hapa anapendwa na kila mtu” “Hapendwi na kila mtu, sote mimi na wewe tunajua kwamba mke wake ana mwanaume wa kihndi kama tungekuwa tunampenda tungemuambia mapema kabla ya haya mambo kujitokeza” “Hilo nalo neno” “Ndio maana yake, ila yule dada sijui amekosa nini kwa mume wake.” “Sema yule dada anajisikia sana, alafu anaonekana ana roho ya kwa nini?” “Hivi ni kabila gani?” “Mmmm sijui ni mchaga, kama sio mchaga basi ni mpare” “Mmmm jamani” “Kama unampenda huyo kaka, msaidie kuzungumza ukweli kwa polisi”

”Bibi weeee, sitaki matatizo na mtu, niache shida nilizo nazo zinanitosha, niongeeze na shida za kupelekwa polisi huko kuhijiwa, sitaki mie” Nikawageukia na kuwatazama wadada hawa na wote wakaka kimya. Nikamtazama dada aliye shuhudia jinsi mke wa Eddazaria alivyo ichoma nyumba yake moto.

“Unatakiwa kumsaidia” Nilizungumza kwa msisitizo huku nikimtazama dada huyu machoni mwake. Wadada hawa wakabakiw akiwa wamenikodolea macho tu. Kwa ishara nikamuita askari mmoja aliye kuwa amesimama pembeni yetu mika kadhaa akiimarisha ulinzi. Dada hawa wakaanza kutetemeka, walipo muona askari akisimama pembeni yangu.

“Hawa dada wanajua ni nini kilicho tokea, wasikilize mazungumzo yao” “Hatujui sisi”

“Acheni unafki wa Kiswahili. Zungumza uliyo kuwa unamuadisia mwenzako” Nilizungumza kwa hasira huku jasho likinimwagika usoni mwangu.

“Ahaa….aliye..ali…ye choma nyuma ni…..ni mke wake Eddy mwenyewe”

Dada huyu alizungumza kwa kigugumizi. Askari huyu akawaomba waongozane naye hadi kwenye gari lao, askari huyu akawashikiriksha wakuu wake walio weza kufika katika eneo hili. Sikutaka kupitwa na jambo, na mimi nikasogea katika eneo walilo simama kwa maana mkuu wao wa askari ananifahamu kutokana na tukio nililo lifanya siku kadhaa nyuma.

“Wapelekeni kituoni hivi sasa na muhakikishe munachukua maelezo yao ya kutosha” “Sawa mkuu” Wadada hawa wakaingizwa kwenye gari la polisi na kuwafanya watu washangae.

“Shikamoo mzee” “Marahaba…ohooo Jojo, upo na wewe hapa?” “Yaa, nipo na kaka yangu Eddy, sijui ninaweza kuingia kwenye gari nikazungumza naye?” Mkuu wa polisi akalitazama gari alipo kaa Eddazaria anaye onekana akiendelea kulia, kisha akanitazama na mimi.

“Yupo kwenye hali ambayo sio nzuri si…..” “Ni mtu wangu wa karibu sana hata simu yake hii hapa ninayo na funguo ya gari lake ninayo hii hapa” “Muna maelewano mazuri?” “Ndio” “Basi ingia ila kuwa makini” “Nashukuru muheshimiwa” Nikafungua mlango wa siti ya nyuma alipo kaa Eddazaria, niakaka pembeni yake huku nikishusha pumzi nyingi, Eddazaria akanitazama usoni mwangu huku macho yake yote yakiwa yamejaa wekundu kama mtu aliye vuta bangi.

“Mke wangu amekufa ndani ya nyumba yangu, kwa nini wameshindwa kumuokoa?” Eddazaria alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Sahau kuhusiana na kifo cha mke wako, hajakufa” “Hajakufa?” Eddazaria alizungumza huku akikaa vizuri kwenye siti na kunitazama usoni mwangu.

“Ndio, hajakufa” “Yupo wapi sasa?” Nikayakumbuka maneno ya wadada ambao walisema kwamba mke wa Eddazaria aliondoka na mwanaume wa kiarabu ambaye kwa lugha ya kisasa tunawaita mchepuko.

“Kuna wadada wanavyo dai kwamba mke wako walimuona akiondoka na mwaume wa kiarabu, na baada ya muda kidogo nyumba ikaanza kuwaka moto, wanavyo dai lakini kwamba eti, mke wako amehusika katika kuichoma moto nyumba yako” Eddazaria akanikodolea macho huku akionekana akiwa ameshikwa na bumbuwazi tu. Nikamshika mkono wake na akastuka kidogo.

“Simu yangu ipo wapi?” “Hii hapa” Eddazaria akaichukau simu yake akaiwasha, akaanza kuiminya minya huku akionekana akitafuta kitu fulani. Baada ya sekunde kadhaa nikaona video inayo onyesha mandhari ya nyumba yake.

“Nimetega kamera, kama ni yeye nitajua” Eddazalizungumza huku akiipeleka mbele video hii, ikafika sehemu ambayo sote tukaka kwa umakini. Tukamuona mama Godlove, akizungumza na mtu genitini, kisha mtu huyu akaingiza mitungi minne mikubwa ya gesi. Mitungi hiyo ya gesi ikaingizwa ndani na kijana huyo akaondoka zake. Kamera ya sebleni ikaonyesha jinsi mama godi akimwaga mafuta ya petrol kwenye masofa, baada ya kumaliza zoezi hilo akaingia chumbani kwake akiwa tatari ameuramba. Tukaona anavyo toa mabegi yake nje. Tukamuona akitoa mitungi miwili na na kuiweka sebleni, kisha akachukua dungu jengine la petrol na kuanza kumwaga mafuta hayo kuelekea nje. Alipo maliza akarudi ndani, akaitazama kamera ya sebleni na kunyoosha dole la kati kwa mkono wake wa kulia, akaifungua mitungi hiyo ya gesi, kisha akabeba mabegi yake na kutoka hadi getini. Kwa kutumia kiberiti cha gesi akakirusha kwenye mafuta aliyo kuwa ameyamwaga na moto huo ukaanza kwenda kwa kasi ndani na yeye akatoka nje, ila hatukuona amependa gari gani kwa maana nje hakuna kamera. Mitungi ya gesi ilipo lipuka ndipo ukawa mwisho wa video hii kuonyesha kwa maana kamera zote zimeungua kwa moto. Nikamuona Eddazaria jinsi anavyo tetemeka kwa hasira hadi mikono yake yote mishipa ya damu ikaanza kuonekana.

“Nitamuua huyu mwanamke” Eddazaria alizungumza huku akifungua mlango wa gari hili na kushuka, kwa haraka askari wakamuwahi na kusimama mbele yake.

“Hei hei Eddy, nakuomba urudi kwenye gari” Mkuu wa polisi alizungumza huku akimtazama Eddazaria aliye jawa na hasira kali sana. Na mimi nikashuka kwenye gari kwa kutumia mlango wa gari alio shukia yeye. Eddazaria akamkabidhi mkuu wa polisi simu yake naye akaanza kuitazama video hii.

“Ni mke wangu ndio amenitia hasara hiyo, sasa ninakuomba muheshimiwa nimtafute mwenyewe na nitamuua mwenyewe” “Hapana usizungumze hivyo jeshi la polisi lipo kwa ajili yako, tutahakikisha tunamsaka na sheria inachukua mkondo wake” “Muheshimiwa hujui ni kiasi gani kilicho teketea katika nyumba yangu, kweli unaniambia sheria ifwate mkondo wake?” “Eddy natambua una jazba, ila tazama upande wa pili, wewe ni nani katika jamii. Tanzama ni wananchi wangapi wanao kutazama kwa kazi zako za uandishi, chukua picha leo hii ukikamatwa na kufungwa kwa ajili ya kesi ya mauaji, maelfu wa mashabiki wako utawaacha katika hali gani ehee” Maneno ya mkuu wa polisi yakamfanya Eddazaria kukaa kimya.

“Mimi ni kama baba kwako, marehemu mzee wako Gershom aliniachia maagizo ya kukuangalia. Maagizo ambayo sinto weza kukiuka hadi siku ninaingia kaburini. Sizungumzi kama mkuu wa polisi, ninazungumza kama baba yako mlezi, pesa inatafutwa mwanangu, nyumba yako ina bima, utalipwa garama na thamani ambayo imepotea, sawa mwanangu” Hapa ndipo nikagundua kwamba Eddazaria na mkuu huyu wa polisi wana mahusiano mazuri.

“Sawa baba” “Eddazaria mama yako anakutegemea, mwanao anakutegemea, bado una umri wa miaka ishirini na tatu, usitamani gereza, hii video tutaifanyia kazi na ninakuahidi hadi kesho jioni muda kama huu muhusika atakuwa amekamatwa sawa” “Sawa baba” “Rudi kwenye gari, dereva atakupeleka nyumbani kwangu” “Hapana, nitaongozana na Jojo hadi kwake” Mkuu wa polisi akanitazama usoni mwangu.

“Nitamuangalia baba hakuna jambo lolote baya litakalo jitokeza” “Sawa, hakikisha anakuwa sawa” “Sawa mzee” “Nenda na laini yako, simu hii tuachie kwa ajili ya uchunguzi zaidi” “Sawa” Eddazaria akaifungua simu yake, akatoa laini ya simu yake kisha akamkabidhi mkuu wa polisi simu yake na tukaondoa katika eneo hili. Kila sehemu tunapo pita wananchi hawakusita kumpa pole Eddazaria, tukaingia kwenye gari, nikawasha gari na taratibu tukaondoka katika eneo hili. Ukimya ukatawala ndani ya gari, hadi tulipo karibia kufika kwenye moja ya super market Eddazaria akaniomba nisimamishe gari pembeni.

“Kwako kuna chakula?” “Hapana” Eddazaria akashuka kwenye gari, akaingia kwenye super market hiyo, baada ya dakika kama kumi akarudi akiwa ameshika fuko kubwa lililo jaa vitu, akafungua mlango wa nyuma ya gari, akaingiza na tukaondoka katika eneo hili.

“Eddy” “Mmmm” “Nitahakikisha kwamba unapata nyuma nyingine ya kuishi sawa kaka yangu?” “Hakuna haja ya kufanya hivyo, tuangalie mpango wa kampuni yako” “Ila ili ufanye kazi vizuri ni lazima usiwe na mawazo ya ajabu ajabu?” “Jojo nimekuambia sihitaji nyumba kwa sasa, nahitaji heshima kwa sasa, nahitaji kufanya kazi kwa heshima ili dunia inijue, ili watu wanitambu, ili wale wote ambao walikuwa akinichukulia mtu wakawaida wanijue mimi ni nani” Eddazaria alizungumza kwa msisitizo huku akiwa ameyang’ata meno yake kwa hasira sana. Nikaka kimya huku nikishindwa hata nianzie wapi katika kumbembeleza ili hasira yake imuishe. Tukafika nyumbani kwangu majira ya saa tatu usiku, tukashuka kwenye gari, Eddazaria akabeba mfuko alio nunua mavitu mengi, tukainia ndani, akauweka mfuko huo juu ya meza, kitu cha kwanza akatoa chupa kubwa ya Amarula, akaifungua na kuanza kuinywa kama maji ya kunywa jambo lililo nishangaza sana, nikatamani kumpokonya ila nikashindwa kabisa. Akaishusha chupa hiyo na kuitazama nikashuhudia ikiwa imebaki kidogo sana pombe hiyo ambayo ni kali katika kuimeza. Akaimalizia pombe hiyo kisha akairudisha chupa yake mezani na kujitupa kwenye sofa.

“Jojo nikimkamata mama Gody nimfanyaje?” “Ahaa msameheee?” “Hahaaa, na wewe akili zako ni kama yule mzee?” “Hapana Eddy ila wewe ni mtu muhimu” “Etii eheee, ulisha wahi kuua mtu?”

Swali la Eddazaria likanikumbusha maisha niliyo ishi nchini China, nikakumbuka jinsi bibi Sosiono alivyo kuwa akinifundisha jinsi ya kuua watu, na nikakumbuka jinsi niliyo karibia kumuua bibi Sosiono kwa ajili ya kumtetea Nuru. Nikamtazama Eddazaria aliye kaa kwenye sofa huku akinitazama.

“Kwa nini unaniuliza hivyo” “Nahitaji kumuua mama Gody, siwezi kumuacha aishi na mimi niwe hai, afe yeye au nife mimi. Hapo ndipo vita itaisha kati yetu” Eddazaria alizungumza kwa msisitizo, kisha akasimama akapiga hatua moja mbele akauzama mfuko wenye vitu alivyo vinunua. Akajaribu kuuchukua ila nikawahi kuuchukua na kuufungua ndani na kukuta chupa za pombe aina tofauti tofauti.

“Eddy usinywe zadi ya hapo utakufa” Eddazaria akanisikilza akarudi kukaa kwenye sofa, akanitazama kwa sekunde kadhaa, kisha kwa ishara ya mkono akaniita ili nikae kwenye sofa, jambo lililo nipa kigugumizi na kujikuta nikimuogopa kutokana hapo zinazo fanya kazi ni akili zake za pombe na si akili zake sahihi.



“Njoo ukae hapa una niogopa?”

Eddazaria alizungumza huku akinitazama usoni mwangu. Taratibu nikaka kwenye sofa alilo kaa yeye.

“Jojo kwanza nashukuru kwa kuniamini, pili kuna mambo muhimu ninahitaji kukushauri mdogo wangu”

Eddazaria alizungumza kwa upole sana huku akiviminya minya vidole vya mikono yake.

“Kwenye maisha kuna kupanda na kushuka. Kwenye maisha kuna mahusiano mazuri na mahusiano mabaya. Sasa haya yangu ni mahusiano mabaya. Tazama leo nyumba yangu ambayo nilihangaika kuinunua, ila leo mjinga mmoja ameichoma mato pasipo huruma ya aina yoyote. Nimesamehe, najua nyumba ni vitu vya mpito, ipo siku nitaondoka duniani na kuiacha kabisa kwa hiyo nimesamehe”

Eddazaria alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.

“Eddy”

“Mmmm”

“Mulikutana vipi na mama wa mwanao?”

Eddazaria akashusha pumzi nyingi na kujiweka vizuri kwenye sofa.

“Nilikutana naye kipindi nilipokuwa ninatoka nchini Nairobi kusoma. Tulikutana kwenye basi la kuyoka Arusha kuelekea Tanga, tulikaa siti moja, unajua mwanaume na mwamke wanapo kaa sehemu moja na kuzungumza mambo mengi, basi tukajikuta tukiingia katika mahusiano”

“Mulipanga kuzaa?”

“Hapana ilitokea kama bahati mbaya, ila sikuweza kukataa mimba ya mwanangu, japo kipindi kile nilikuwa sijulikani na sikuwa sijaanza kuandika hadithi kwenye socil media na nilikuwa bado ninakula ugali wa mama Mbwambo”

“Mama Mbwambo ndio nani?”

“Bi mkubwa”

“Sasa aliweza kufahamu kwamba umempa mwanamke mimba?”

“Hapana hakuna aliye weza kujua katika familia yangu, niliitunza siri hiyo kutokana na watu wa familia yangu ni wakali sana ukitegemea nilikuwa ndio mtoto wa mwisho kwenye familia, kwa hiyo ningewaambia na nikiwa sikuwa na kazi ya aina yoyote ingekuwa kitu kibaya”

“Mmmm sasa ilikuwaje hadi mukaishi pamoja?”

“Ilinibidi nijitoe sadaka”

“Ujitoe sadaka?”

“Yaa, ilinibidi niache masomo ya chuo huku mama Gody akirudi kijijini kwao. Nakumbuka pesa ya ada niliyo pewa kwa msimu ule ilinibidi nije kuanza maisha Dar es Salaam huku nikiwa nimenunua laptop moja kimeo na nikaendelea kuandika story zangu sasa kwenye social media”

“Mmmm sasa mama yako ilikuwaje, au hakujua kama umeacha chuo?”

“Sikumuambia mtu wa aina yoyote, nilipambana kisawa sawa kuhakikisha kwamba ninakuwa na maisha mazuri, kile kidogo nilicho kuwa nikipata ninamtumia mama Gody kwa ajili ya kuendesha maisha yake ya ujauzito hadi akajifungua. Baada ya kuzaliwa mwanangu, ndio ikawa kama Mungu amenifungulia njia kwani watu waliongezeka, nikafungua miradi mingi ya kuniingizia pesa za haraka haraka, hadi leo ninamshukuru Mungu nimefika sehemu ambayo ninaweza kusema ujio wa mwanangu ulinipa umakini na kuto kukata tamaa na ubaya sasa mwanangu nimempata nikiwa na miaka ishirini”

“Duuuu kaka yangu upo vizuri?”

Nilizungumza huku nikitabasamu kwa maana histori ya maisha ya Eddazaria inanifurahisha kwa kiasi fulani.

“Ahaa ilitokea na sikuwa na jinsi dogo.”

“Ilikuwaje baada ya kumuambia mama yako kwamba umeacha chuo?”

“Weee, hiyo siku ilinibidi kwanza nimpe kwanza milioni moja, kabla hata sijazungumza chochote, akiwa na furaha ya kupokea pesa hizo, nikamchomekea na swala la kwamba nimeacha chuo, nipo Dar es Salaam na nimefanya moja, mbili, tatu. Alinikoromea ila mbele ya pesa haikuchukua muda mambo yakapoletea hewani, akaja kwangu kunitembelea akaridhika na maisha yangu ya kipindi hichi nilikuwa na chumba kimoja, huku nikijitahidi kuwekeza pesa nitafute nyumba ya kununua”

“So hapo ulikuwa umesha anza kuishi na mama Gody?”

“Hapana, nimeanza kuishi naye baada ya mwanangu kufikisha mika miwili ndio hapo tukaanza kuishi, na mwisho wa mambo yamekuwa kama hivi”

“Pole sana kaka yangu”

“Shukrani, vipi wewe historia yako hujaniadisia, na ninaona unamilika jumba kubwa”

“Ahaa kaka yangu nina historia nzito ila nyepesi”

“Nzito au nyepesi maana yake ni nini?”

Sikuwa na jinsi zaidi ya kuanza kumsimulia Eddazaria historia ya maisha yangu kuanzia kifo cha mama yangu hadi hapa nilipo fikia, nikamficha kuhusu mahusiano yangu na wanawake wezangu hususani Nuru na wafungwa wa gerezani, nikamdanganya utajiri wangu nimepewa zawadi na Nuru baada ya kumukoa alipokuwa anataka kuuliwa na bibi Sosiono. Hadi nina maliza ukimya kama wa dakika tano ukatawala katikati yetu.

“Jojo, kwa hiyo unataka kuniambia hapo unaweza kupigana?”

“Sana, mtu asijaribu nitamchakaza mbaya”

“Hahaaaa”

“Umenipa idea fulani hivi”

“Ipi?”

“Wewe subiria…..Mungu weee?”

“Nini?”

“Laptop yangu imeungua na hiyo ndio ina idea ya story zangu zaidi ya mia moja”

“Mmmmm, itakuwaje sasa kaka yangu?”

Eddazaria hakunijibu chochote zaidi ya kuonekana kujawa na mawazo.

“Yaani bora hata hiyo nyumba imeungua kuliko laptop na laiti kama mama Gody ameondoka nayo basi ametajirika”

“Kaka Eddy usizungumze hivyo?”

“Kweli Jojo, idea ya hadithi mia moja, unahisi akikutana na waandishi akawauzia japo idea ya hadithi moja anaingiza kiasi gani?”

“Sasa itakuwaje?”

“Hembu naomba simu yako hapo”

Nikampatia Eddazaria simu yangu, akaingiza namba kadhaa na kuzipiga. Akaishusha simu kutoka sikoni mwake huku akiachia msunyo mkali.

“Chizi halipatikani hili”

“Ulikuwa umempigia mama Gody?”

“Ndio”

“Kwa tukio alilo lifanya wala hatoweza kuipokea simu yako”

“Daaa amenirudisha nyuma sana, ameniangusha”

“Ila si unaweza kukumbuka baadhi ya aidia zako?”

“Nikukumbuka basi hazizidi kumi. Unajua aidia zangu zinakuja kama maono ambayo ninatakiwa kutafanyia kazi ya kuyanakili kwa muda mfupi sana, nikisema nitaandika baadaye basi inapotea na huyo anaye niletea maono haniletei tena”

“Ni nani?”

“Sijui huwa nasikia tu akilini mwangu akizungumza nami, ila ukiniambia ni nani wala siwezi kumfahamu”

“Mmmm hiyo kali, sasa ngoja niandae chakula kwa maana ninaona tumbo limesha anza kukwaruza kwaruza”

“Sawa fanya hivyo, mimi hii amarura naona imeniletea njaa nayo”

“Hahaa sawa”

Nikabeba mfuko huu ambao una chupa nyingi za pombe kali kwa chini una pakti kazaa za soseji pamomja na pakti za maini. Nikaandaa chakula hichi cha soseji na maini na kula, tukatazama filamu za kizungu hadi majira ya saa nane usiku, mimi nikashindwa kuvumilia uchuvu na usingizi mwingi nikamuacha akitazama filamu na mimi nikaingia chumbani kwangu kulala huku nikiwa nimesha muonyesha chumba ambacho anaweza kulala kwa kipindi hichi ambacho Judy yupo nchini India.

Mlio wa simu ukanistusha, nikafumbua macho na kuitazama simu yangu na kukuta namba ngeni, nikaiweka sikioni mwake.

“Habari yako binti”

Nilisikia sauti ya mwanamke ambayo ni ngeni masikioni mwangu.

“Salama”

“Naomba nizungumze na Eddy”

“Wewe ni nani?”

“Mama yake”

“Ohoo shikamoo mama”

“Marahaba anaendeleaje?”

“Ahaa anaendelea salama tu, ngoja nimpeleke simu”

Nikaiweka simu kitandani, nikachukua suruali na kuvaa, nikachuku tisheti na kuvaa kisha nikatoka chumbani kwangu, nikaingia katika chumba ambacho nilimuelekeza Eddazaria kulala ila sikumuona, nikatoka chumbani humu na kushuka hadi sebleni na kumkuta akiwa amelala kwenye sofa huku kitandani kukiwa na chupa nyingine mbili za amarula ambazo tayri amezinywa. Nikamsogelea na kuanza kumtingisha huku nikimuita jina lake.

“Mmmmm”

“Mama anataka kuzungumza na wewe”

“Mama?”

“Ndio”

Nikamkabidhi Eddazaria simu huku akiwa amejawa na malepe ya usingizi.

“Shikamoo mama”

“Ahaa bado hawajampata”

“Asante”

“Nipo poa”

“Poa badae”

Eddazaria akanirudishia simu yangu.

“Asante”

Alizungumza huku akijigeuza na kulala vizuri. Nikamtazama kwa muda, nikazitazama na chupa hizi tatu za Amarula, nikatabasamu kwa maana anaonyesha yupo vizuri kwenye swala zima la unywaji. Nikarudi chumbani kwangu na mimi nikaendelea kuuchapa usingizi, huku nikijiuliza ni wapi mama Eddazaria ameipata namba yangu ya simu. Nikastuka saa sita kasoro, nikatoka chumbani kwangu na kumkuta Eddazaria kiwa hayupo sebleni, nikatoka nje na kukuta gari lake halipo jambo lililo nidshangaza.

‘Mbona ameondoka hajaniaga?’

Nikataka kurudi ndani, ila geti likaanza kufunguka taratibu, Eddazaria akasimamisha gari lake nilipokuwa nimelisimamisha, akashuka huku akiwa amevaa pensi nyingine ambayo inaonekana ni mpya.

“Vipi ndio una amka?”

Eddazaria alizungumza huku akifungua mlango wa nyuma ya gari lake, akatoa mifuko kadhaa iliyo andikwa Nakumati.

“Ndio, mbona umeondoka na hujaniaga?”

“Niliona nitakusumbua ila sijachelewa, njoo unisaidie kuingiza hivi vitu”

Nikamsaidia Eddazaria kubebea mifuko kadhaa ambayo imejaa vitu mbali mbali. Eddazaria akatoka tena nje, baada ya dakika kadhaa akaingia akiwa ameshika laptop pamoja na simu.

“Nimeamua kununua laptop nyingine”

“Ehee bei gani hizo macbook?”

“Hii milioni mbili na laki sita na nusu, hii iphone kama yako milioni mbili na laki saba”

“Duuu, umepoteza pesa nyingi si ungeniambia tu nikakupa?”

“Jojo, kuungua kwa nyumba yangu sio kama sina pesa, nipo vizuri mdogo wangu. Pesa yako wekeza kwenye filamu, zikirudi basi utanilipa, sasa hivi ninajimudu”

“Sawa mwaya”

“Leo tunaanza plan ya kampuni, kesho unawasiliana na hao watu wanao dili na hizo kamera, kesho hiyo hiyo tupate floor moja ya gorofa ambayo haijajengwa vyumba baada ya hapo mambo mengine yatafwata”

“Sawa bosi”

“Weee koma, mimi sio bosi.”

“Mimi napenda kukuita hivyo”

“Usiniite hivyo, ila kichwa ndio kimenifanya nitoke kwenda kutafuta hivi vitu kwa maana kilikuwa kinauma na huku kwenu hakuna hata sehemu wanayo uza supu, yaani wee acha tu”

“Pole jana ukasubiria niende kulala alafu ukagugumia mijiamarula yako”

“Mmm mbona hapo nimepunguza, ingekuwa si muda kwenda, ningekunywa mfuko mzima ule”

“Ehee haki ya Mungu leo tungekuzika”

“Hahaa hapana kama ni kunywa jana nimeonja”

“Mmmmm umeonja”

“Yaa”

“Sasa kwa nini kichwa kilikuuma?”

“Mawazo pia ya mama Gody kwa alicho kifanya pia vimechangia.”

“Pole”

Nikelekea jikoni nikaandaa chakula, nikarudi na kumkuta Eddazaria akifanya kazi kwenye laptop yake. Tkapata chakula cha muda huu, kisha akaanza kunielekeza mfumo mzima wa kampuni yetu inavyo takiwa kuwa. Kuanzia wafanyakazi wanao hitajika hadi viongozi, siku iliyo fwata nikafanya kama vile Eddazaria alivyo nielekeza, nikawasiliana na mejena wa kampuni hii waliyo niuzia kamrera, kwa maelekezo ya Eddazaria tukawaomba waje baada ya siku kumi. Kasi ya kutafuta ukumbi tuliyo wakabidhi madalali akiwemu aliye nitafutia nyumba ikazaa matunda. Tukapata ukumbi mkubwa katika eneo la Moroco katika moja ya gorofa jipya. Mkuu wa mkoa akatusaidia, kusajili kampuni yangu niliyo ipoa jina la J.O Entertiment. Ndani ya siku saba za mwanzo kila kitu kinacho takiwa kuwepo katika kampuni yangu kikawa kimekamilika. Siku ya nane ni siku ya kuwafanyia wafanyakazi usahili kama tulovyo tangaza kwenye vyombo vya habari, mambo yote haya mimi nikawa kama maidizi kwa maana Eddazaria ndio anatambua wafanyakazi gani ambao wanatakiwa katika kampuni hii. Tukafika katika ukumbia wa Landmark Hotel ambapo ndipo tumeitisha ushihili huu, tukakuta watu zaidi ya elfu moja ambao kuwaona tu nijikuta nikichoka kabisa.

“Eddy hawa watu tutawamaliza kweli?”

“Ndio watakwisha”

“Sisi wawili kweli hii kazi itaisha kwa maana mimi hapa nimekaa kama abosheni tu, ila wewe ndio unajua nani ni bora na nani si bora”

Tulizungumza huku tukiwa tumekaa katika viti maalumu huku mbele yetu kikiwa na meza kubwa.

“Tulia, wengine hapa wamekuja kuuza sura”

Nikamruhusu mlinzi tuliye mkodisha kwa ajili ya zoezi hili kuanza kuingiza mtu mmoja baada ya wengine, kwa kasi ambayo Eddazaria anauliza maswali yanayo husiana na mambo ya filamu kwa hawa watu, wengi walijikuta wanajing’ata ng’ata na kushindwa kabisa.

“Namba mia moja”

Eddazari alizungumza kwa sauti ya juu, macho yakanitoka baada ya kumuona mama Godlove akiingia ndani humu huku akiwa na karatasi ya namba mia moja kiunoni mwake. Eddazaria ambaye alikuwa akiandika andika majibu kwenye karatasi yake, akanyanyua sura yake, mikunjo ikaanza kutawala usoni mwake, mikono ikaanza kumtetemeka, nikatambua kabisa, hasira imempanda. Kwa haraka Eddazaria akasimama huku akihema akijiandaa kutoka kwenye meza hii na wala sijui ni kitu gani ambacho atakifanya akichomoka hapa alipo simama.



Kitu cha kushangaza mama Gody wala hastuki ndio kwanza amejawa na aibu kama baadhi ya wasichana ambao tayari tumewafajia usahili. Nikamtazama Eddazaria, nikamuona macho yakiendelea kumtoka akionekana kama kumchunguza msichana huyu, taratibu akarudi na kukaa kwenye kiti chake huku akifumba macho yake akijaribu kupambana na hasira ambayo inajaribu kumshinda uwezo wa kuistahimili.

“Habari yako dada?”

Nilizungumza huku nikimtazama Mama Gody.

“Salama”

Sauti ya dada huyu sote ikatustua na kujikuta tukimkazia macho kwa maana ni tofauti kabisa na sauti ya mama Godlove. Nikamtazama Eddazaria kwa jicho la kuiba, huku nikishusha pumzi kwani kuna uwezekano wa asilimia kadhaa kwamba huyu sio mama Gody na tutakuwa tumemfananisha.

“Unaitwa nani?”

Eddazaria alimuuliza dada huyu kwa sauti nzito.

“Tasiana Ramadhani”

“Tasiana?”

“Ndio mkuu”

Eddazaria akanyanyuka kwenye kiti alicho kikalia, akapiga tatua hadi alipo Tasiana, akaanza kumzunguka huku akiendelea kumkagua, jambo lililo nipa wasiwasi kwa maana anaweza hata kumkaba koo dada wa watu. Alipo ridhika, akarudi kwenye kiti na kukaa.

“Sio yeye?”

“Ohoo asante Mungu”

Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na furaha kwa maana laiti angekuwa ni yeye basi shuhuli ya usahili nina uhakika ingeishia leo hii hii.

“Tasiana tuambie, ukipewa nafasi katika kampuni ya kutengeneza filamu nimchango gani ambao unaweza kuutoa?”

Nilimuuliza Tasiana swali, akakohoa kidogo kuliweka koo lake sawa.

“Nina uwezo wa kupangilia wahusika wa filamu. Filamu nyingi za Kitanzania, uongo wanao ufanya ni katika kutupangia wahusika, unakuta msanii hana sifa ya kucheza tusema muhusika mkuu katika filamu, ila analazimisha kucheza kwa sababu yeye ndio amegaramia filamu au yeye ndio director wa hiyo filamu, mwisho wa siku unaweza kukuta kwamba filamu inakuwa ni mbovu na haileweki. Huo ndio uwezo wangu mkubwa nilio barikiwa na Mungu”

“Umesomea?”

Eddazaria alimuuliza Tasiana.

“Hapana sijasomea, ila nina kipaji kikubwa cha kuweza kufanya hivyo”

“Kwa mfano mimi kwa kuniangalia ninaweza kucheza nafasi gani kwenye filamu?”

“Kwa wewe kaka unaweza kucheza nafasi ya ushauri ama daktari, kwa nafasi nyingine sidhani kama zinaweza kukufaa”

“Haya asante nenda”

“Ngoja nina swali moja la mwisho”

Ilinibidi kumzuia Tasiana. Nikanyanyu kwenye kiti nilicho kikalia na kumfwata hadi sehemu alipo simama, nikaitafuta picha ya mama Godlove kwenye simu yangu, kisha nikamuonyesha.

“Huyu ni wewe?”

Tasiana kwa kushangaa akaichukua hadi simu yangu ili kuitazama vizuri picha ya mama Gody.

“Hapana ila tumefanana jamani?”

“Humtambui kabisa?”

“Ndio, hapa sasa hivi ndio nina muona”

“Ok asante na kwaheri”

Nikaichukua simu yangu na kurudi kwenye kiti changu.

“Huyu binti ana uwezo ila sinto weza kufanya naye kazi”

Eddazaria alizungumza huku akiiweka mikono yake nyuma ya kichwa chake na kuzungusha zungusha kiti alicho kikali.

“Kwa nini?”

“Kila nitakapo kuwa nina mtazama nitamfikiria mama Gody, na hasira ina nipanda nikimuona ninaweza hata kumuua”

“Hapa Eddy huu ni wakati wa kujaribu kuizuri hasira yako. Kama umeona ni mtu mwenye sifa na anafaa, tumapatie nafasi kumbuka tunatakiwa kufanya mambo makubwa na yaliyo mazuri”

“Jojo katika hili utanitesa kwa kweli”

“Naambua ila jaribu tafadhali”

Eddazaria akaishusha mikono yake na kuiweka juu ya meza.

“Sawa, ila akifanya kosa litakako nigusa, hiyo siku inaweza kuwa ni siku mbaya kwake”

“Nashukuru nina imani kwamba hiyo siku haito weza kujitokea”

“Ok poa”

Tukaendelea kufanya usahili ambao kusema kweli tunakutana na vituko, hadi watu ambao kusema kweli wanajitambua hawaelewi hata maana ya filamu nao wamejitokeaza ili maradi waje kusailiwa. Hadi inafika saa tatu usiku tukafanikiwa kumaliza kundi la watu zaidi ya elfu moja na mia sita tisini.

“Nimechoka kishenzi”

Eddazaria alizungumza huku akijinyoosha viungo vyake na kupiga miyayo mingi.

“Mimi hapa ndio usiseme kiuno changu chote kina niuma”

“Pole, njoo nikunyooshe”

“Mmmm sitaki”

“Hee kisa nini?”

“Watu wengi”

“Hembu njoo hapa”

Eddazaria akanimata kiuno changu na kuanza kukiminya minya na kukipiga piga.

“Basi inatosha bwana”

“Bado”

“Nini jamani Eddy, inatosha”

Nilizungumza huku nikicheka kwani kunishika kwake anasabisha kunitekenya. Tukatoka ukumbini hapa tukiwa tumebeba karatasi za wasahili walio fanikiwa kupita.

“Unaendesha, nikuendeshe”

“Endesha, hapa ninajihisi usingizi, nisije nikakutia mtaroni bure”

Nikazunguka upande wa dereva, tukaingia kwenye gari, nikawasha na kuondoka eneo hili. Tukapita kwenye moja ya mgahawa wa kisasa ambao huwa tunanunua chakula endapo tunapo kuwa maeneo ya mjini. Tukaagizia chakula tunacho kihitaji, tukafungiwa katika vijikontena maalumu na kuondoka katika eneo hili.

“Mmmm ndio jaa au umero mambo gani ya kuanza kula humu ndani ya gari”

Nilimuambia Eddazaria baada ya kumuona akitafuna paja la kuku.

“Eheee ng’ata”

Eddazaria alanisogezea kipande cha paja la kuku karibu na mdomo wangu. Nikamtama kwa sekunde kadhaa.

“Ng’ata unaleta pozi nitamla kuku wote ulie wewe”

“Haya mlete”

Nikang’ata kipande kikubwa cha nyama hadi Eddazaria akamaka.

“Heeeeee, upo vizuri mama”

“Hahahaaaaa…..si uliniambia ninaweka pozi?”

“Si kwa kung’ata kote hukuu”

“Hahaaa, Eddy unajua ni nini?”

“Sijui hiyo nini?”

“Uwepo wako kwenye maisha yangu umenifanya niwe mtu mwenye furaha, kweli wewe ni kaka sahihi kwenye maisha yangu”

Nilizungumza kwa upole huku tukiwa kwenye foleni kubwa kama kawaida ya jiji la Dar es Salaam.

“Usijali, wewe na mdogo wangu sasa nyinyi ni familia yangu, nitahakikisha kwamba malengo yetu sote yanatimia. Kikubwa ni kuwa wapiganaji, kutafuta nguvu na kuhakikisha kwamba tunakuwa wahamasishaji kwa vijana wengine”

“Kweli, ni vijana wengi hawana hajira, ila wana vipaji”

“Yaa, nataka niandike stori ya mazombi na wewe ucheze kama Zombi”

“Hahahaaa……chizi wewe nicheze kama zombie ulisha wahi kuona Zombi mweusi”

“Wa kwanza utakuwa wewe, ninaandika Jojo Zombiee”

Tukajikuta sote tukiangua kicheko kilali sana kwa maana ni vituko anavyo vizungumza kaka yangu huyu.

“Tena nakuweka Zombi uliye vunjika mguu, sasa tembea yake weeee watu wataipenda”

“Haahaa Eddy stop, nina endesha bwana gari please usinichekeshe”

“Umeiona ile tamthilia ya Gotham”

“Ipi?”

“Ile tulio kuwa tunaitazama jana usiku”

“Ehee”

“Sasa umeona ile tembea ya Pengui?”

“Hahahaaaaa”

“Sawa utatembea vile, alfu piga picha ni Zombie utaipendaje”

“HHahaahaaa”

Tukafika nyumbani majira ya saa tano kasoro usiku. Tukashuka kwenye gari, kawaida yangu nikaikagua nyumba nzima kwa kuzunguka eneo zima la nje, nilipo hakikisha lipo poa, nikaingia ndan.

“Jojo hivi akauti yako ya instergram ina watu wangapi?”

“Sijui mia mbili”

“Unatakiwa sasa kuhakikisha kwamba inajaa watu wengi, kwa maana unakwenda kuwa super star”

“Watu wata nifwata wenyewe”

“Ili kuhakikisha biashara yetu inakwenda vizuri nilazima akaunti zetu ziwe na watu wa kutosha, kwa maana kwenye mitandao ya kijamii ndipo walipo wateja wetu”

“Sawa, ngoja nile kwanza, hivi Empire imefikia wapi?”

“Iliishia pazuri sana”

“Marudio yake ni lini?”

“Kesho, ila ngoja ni download”

Maisha ninayo ishi na Eddazaria kusema kweli ni mazuri sana, kwa mtu ambaye hamfahamu anaweza kuhisi ni mtu anaye jisikia na asiye penda marafiki, ila kusema kweli ni mtu mcheshi sana. Tukamaliza kula na Eddazaria akanyanyuka na kueleleka chumbani kwake kuoga. Nikaitafuta namba ya Nuru na kumpigia, simu ya Nuru kwa bahati mbaya haipo hewani. Nikampigia mdogo wangu Judy aliyopo nchini India. Simu yake naye pia haikuwa hewani. Nikapandisha gofani, nikaanza kutembea kwenye kodro ya kuelekea chumbani kwangu, nikaupita mlango wa chumba cha Eddazaria ambao upo wazi kidogo, nikajikuta nikisimama kisha nikarudi nyuma kwa hatua za kunyata na kuchungulia kwenye uwazi ulio acha na mlango huu. Nikamuona Eddazaria jinsi anavyo tunisha misuli yake mbele ya kioo huku akiwa boksa tu.

Jinsi mwili wake ulivyo gawanyika kwa mazozi makali anayo yafanya, ukaanza kunivutia sana. Japo sina hisia namwanaume wa aina yoyote ila nikaanza kuhisi kitu mwilini mwangu.

‘Mmmmm…’

Nilizungumza huku nikiondoka eneo hili.

“Unakwenda wapi Jojo?”

Sauti ya Eddazaria ikanistua na kujikuta nikisimama kama nimegandishwa.

“Njoo”

Nikajishauri kwa sekunde kadhaa kisha nikaanza kurudi nyuma hadi mlangoni, nikaufungua mlango na kumkuta akiwa amenigeukia huku akinitazama usoni mwangu. Kwa macho ya kuiba nikaona jinsi maeneo ya mbele katika boksa yake yalivyo tuna jogoo wake amejichora vizuri.

“Kwa nini ulikuwa unanichungulia?”

“Aha.a…..a….”

“AHA….AHAHAA….EHEEE nini?”

“Nilikuwa nina pita”

Eddazaria akanitazama kuanzia juu hadi chini, akashusha pumzi nyingi kisha akanisogelea hadi mlangoni nilipo simama.

“Nitakupenda na kukuheshimu kama mdogo wangu nenda chumbani kwako”

Eddazaria akuzungumza kwa sauti ya chini kabisa huku akiwa ameushikilai mlango wake kwa ajili ya kuufunga. Nikakosa hata kitu cha kuzungumza zaidi ya kutingisha kicha na kumuitikia, nikaanza kutembea taartibu, kwa nyuma nikasikia mlango ukifungwa, nikakaribia kufika mlangoni mwangu ila miguu yote nikajikuta ikiwa nimizito. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio, jasho jingi likaanza kunimwagika usoni mwangu, picha ya mwili wa Eddazaria ikaanza kujirudia rudi kichwani mwangu, kilicho nichanganya zaidi ni kile nilicho kiona mbele ya boksa yake. Kauli yake ikajirudia masikioni mwangu, nikajikuta nikiuegemea ukuta, huku nikitamani kitu ambacho ninatambua kwneye maisha yangu hakiwezekani.

‘No nahitaji’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikijikaza kugeuka nyuma. Nikajikuta nikistuka baada ya kumuona Eddazaria akiwa amesimama hatua chache sana kutoka sehemu nilipo, huku akiwa na boka aliyo ivaa tu. Nikajitahidi kumeza mate ili nizungumza kitu cha aina yoyote ila nikajikuta nikishindwa kabisa, Eddazaria naye anaonekana kujishauri juu yangu, kwa kasi nikajikuta nikipata ukasiri wa kutembea, nikamrukia mwilini mwake na yeye akanipokea kwa kunikumbatia kwa nguvu, kwa mara yangu ya kwanza maishani mwangu, leo ndio ninaikutanisha midomo yangu namwanaume, kitu kilicho nisisimua na kunipagawisha kabisa mwilini na akili yangu yote. Nikaipitisha miguu yangu kiononi mwa Eddazaria na ikakutana kwa nyuma, kwa nguvu alizo nazo haikuwa rahisi kwa yeye kutetereka kuhimili uzito wangu, nikavua tisheti yangu na sidiria, maziwa yangu yaliyo simama kama chale ya mkungu wa ndizi, yakagusana na kifua cha mwanaume huyu na kumfanya azidi kunikumbatia kwa nguvu huku tukinyonyana denda na macho yetu tukiwa tumeyafumba na kuahimai katika dunia iliyo jaa furaha na burudani tele.


Eddazaria wala hakutetereka kwa kunibeba mimi, akatembea hadi katika mlango wa chumba changu, anikakishika kitasa na kuufungua mlango na kuingia ndani. Huku tukiendela kunyonyaa midomo yetu kwa hisia kali sana. Midomo minene kidogo ya Eddazaria ikazidi kunichanganya kihisia na kujikuta nikizidi kuzama katika hisia za kimapenzi na kuto tamani hata kuzitoa lipsi zangu kwenye midomo yake. Akanilaza taratibu kwenye kitanda changu, akanitazama kwa sekunde kadhaa kwa macho yaliyo jaa uchu makali wa mahaba.

Kwa haraka nikayashika mashavu yake kwa viganja vyangu, nikamvuta tena karibu na sura yangu hapo tukaendelea kunyonyana kwa kasi zaidi hata mara ya kwanza, Eddazaria akanifungua kifungo cha suruali yangu, akamalizia zipu na kuanza kuishusha chini suruali hii niliyo ivaa, moyo wangu huu hauna kipingamizi kwa manaume huyu kuuona mwili wangu. Nikawabikiwa na bikini iliyo niacha wazi mwili wangu tena maaneo ya maungo yangu ya siri kwa aislimia tisini na tisasa pointi tisa, hiyo pinti mija ya silimia iliyo baki ni ya Eddazria kunifanya anavyo taka.

Eddazaria akaifungua mikanda ya bikini yangu na kuiachanisha kabisa na mwili wangu, akanitazama kitumbua changu, akazilamba lipsi zake kisha kama vampire, akanza kukinyonya kitumbua changu, jambo lililonifanya niwe kama mtu niliye tupiwa jini la uwenda wazimu. Unyonyaji wake kusema kweli haufananii na mwamke yoyote ambaye aliwahi kuninyonya. Kwa jinsi anavyo zungusha ulimi wake kwenye kila kona ya kutumbua changu, raha ninayo ihisi ikanifanya hadi machozi kuanza kunimwagika mtoto wa kike mie.

Kwa nguvu akaninyanyua na kunigeuza na na kinibong’olesha, akaendelea kuninyonya kitumbua changu, machozi yanayo nimwagika kwa mfululizo yakanifanya niilowanishe sehemu ya mto niliyo egemesha kichwa changu.

“Ni…nyo….nye”

Eddazaria alizungumza huku akinigeuza, sikutaka kuleta uzito pale ninapo geuzwa kwa maana mimi mwenyewe ninajihimili na ni mwepesi. Nikayashika mapaja yake, taratibu nikaishusha boksa yake, nikashusha pumzi taratibu kwani jogoo niliye kutana naye kusema kweli ameshiba, nikamshika kwa kiganja cha mkono wangu wa kulia na kuanza kujipiga piga naye mashavuni kisha taratibu nikamuingiza mdomoni mwangu, nikaanza komnyonya kwa ujanja ambao ninaujua mimi mwenyewe, utamu ukazidi kuongezeka kati yetu baada ya Eddazaria kuniminya minya maziwa yangu na kusababisha sote kutoa miguno.

Eddazaria akanichomoa mdomo wangu kwenye jogoo wangu, akazishika nywele zangu ndefu kwa nyuma kisha akanisimamisha na kujikuta nikipiga magoti kitandani kama yeye alivyo piga. Tukaanza kunyonyana midomo yetu, huku nikimchua chua jogoo wake, akanisukuma kitandani huku nikitabamu, akaichanua miguu yangu, akamshika jogoo wake na kuanza kumuingiza kwenye kitumbua changu, nikaikunja sura yangu kutokana na maumivu makali ninayo yapata kwani hii ndio mara yangu ya kwanza kukutana na mwanume.

“Nini….”

Eddazaria alizungumza huku akiwa amesitisha zoezi la kumuingiza jogoo wake kwenye kitumbua changu. Nikashusha pumzi huku nikimtazama usoni mwake.

“Mbona unakunja sura?”

“Mimi ni bikra”

Nilizungumza kwa sauti ya chini na iliyo jaa wasiwasi kwani ninajitahidi sana kuutunza usichana wangu hadi pale nitakapo olewa kwani mama yetu alitusisitizia sana kwenye swala hilo. Eddazaria taratibu akaniachia na kurudi nyuma huku akionekana kujawa na mshangao mkubwa sana. Akaka kitandani na mimi nikajivuta taratibu na kuegemea kitanda changu. Ukimya ukatawala huku Eddazaria akionekana kujawa na mawazo mengi sana.

“Eddy”

“Mmmm”

“Samahani kwa kuto kuambia hilo swala mapema”

“Usijali, ilamimi sio mwaume sahihi wa kukutoa usichana wako, samahani kwa hilo”

Eddazaria alizungumza huku akiitafuta boksa yake, akaiona na kuichukua. Machozi yakaanza kunilenga lenga, si kwa huzuni ya Eddazaria kuniacha hivi, ila ni kutokana na ujasiri anao uonyesha kwangu wa kupingana na hisia zake, kwani ni wanaume wachache sana ambao wanaweza kutamka maneno kama yake.

“Ninaogopa sana kumuharibia mwanamke usichana wake alafu mbeleni nikashindwa kumuoa. Damu hiyo inayo mwagika hapo kusema kweli itaninilila hadi kufa kwangu kwa maana tutakuwa tumesha fanya agano la kidamu.”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya chini sana iliyo jaa hekima ambayo sikuitegemea na kujikuta nikizidi kumwagikwa na machozi. Kwa haraka nikanyanyuka nilipo kaa na kkumkumbatia kwa nguvu huku nikilia kwa furaha sana.

“Asante, asante Eddy. Nipo tayari kujitunza hadi utakapo nioa, nipo tayari Eddy”

Nilizungumza huku nikilia sana.

“Jojo, mimi ni mwaume ambaye ninayatambua mapenzi, moyo wangu umesha haribika. Moyo wangu umegawanyika vipande ambavyo sidhani kama kuna mtu anaweza kuviunganisha tena na kuja kupenda tena, Jojo usiw…..”

“Shiiii Eddy nitaweza, nitaweza kuurudisha upendo wako, nitaweza kukufanya unipende mimi tuuu”

Nilizungumza maneno ambayo kusema kweli sifahamu hata yametokea wapi, maneno ambayo yamechangayikana na uchungu sana. Eddazaria akanisogeza kidogo na kunitazama usoni mwangu.

“Jojo usihangaike kumrudisha mfu wa mapenzi akawa hai, ninaogopa kukuumiza, ninaogopa kukutenda, ninakuomba usinipende kama mpenzi wako, nipende kama kaka na mshauri wako. Kilicho jitokeza leo tumeteleza tu. Samahani kwa hilo”

Eddazaria alizungumza huku machozi yakimlenga lenga, akionyesha kujutia kwa kile tulicho kifanya taratibu akanijitoa mwilini mwangu, akaivaa boksa yake kisha akatoka chumbani humu na kuniacha nikilia kwa uchungu sana. Nikaukumbatia mto mmoja na kuung’ata kwa hasira sana. Usingizi ukaanza kuninyemelea, huku mawazo ya kumuwaza Eddazaria yakizidi kunikabili kichwani mwangu na mwisho nikajikuta nikilala fofofo.

Mwanga mkali wa jua ulio anza kunipiga machoni ukanifanya nikirupuke kitandani, nikamkuta Eddazaria akiwa anamalizia kulifungua pazia kubwa la chumbani kwangu hapa.

“Kumekucha, kumbuka leo tuna ratiba ndefu”

Eddazaria alizungumza huku akiwa amenigeukia. Nikajitazama mwilini mwangu na kujikuta shuka likiwa limenifunika, na kumbukumbu zangu zinanikumbusha kwamba jana usiku nililila bila ya kujifunika shuka.

“Saa ngapi sasa hivi?”

“Saa mbili kasoro, amka ukaoge, uje tunywe chai”

Tukatazamana kwa sekunde kadhaa na Eddazaria ila akayakwepesha macho yake.

“Ahaa ratiba inaanza kwenda kutazama ofisi zetu kama mafundi wameweka kama tulivyo hitaji, pili tunatakiwa kukutana na mkuu wa mkoa leo majira ya saa sita”

“Sawa”

Eddazaria akatoka chumbani humu, taratibu nikashuka kitandani huku nikijitazama mwili wangu ambao hauna nguo kabisa. Nikatembea kwa hatua za kivivu hadi bafuni mwangu, nikafungua maji kwenye sinki la kuogea, nikatumbukia na kukaa kwa dakika zaidi ya tano nikiwa ninafikiria tukio la jana ambalo kusema kweli limeanza kuchukua asilimia kubwa sana kwenye ubongo wangu.

Nikaanza kujisugua mwilini mwangu kwa dodoki lililopo humu bafuni, nilipo maliza nikatoka ndani ya sinki hili, nikafungua bomba la maji ya mvua, nikajisafisha mwili wangu na kutoka ndani humu. Nikarudi chumbani kwangu na kukuta nguo mbili zikiwa zimepangwa vizuri juu ya kitanda changu jambo lililo nishangaza sana.

“Eddy, Eddy”

Niliita huku nikitazama eneo zima la chumba changu ila sikumuona Eddazaria. Nijajifuta maji yote mwilini mwangu kwa kutumia taulo, nikachukua chupi na sidiria katika kabati langu, nikavaa kisha nikavaa nguo zangu hizi. Nikatoka chumbani kwangu, nikashuka hadi sebleni na kumkuta Eddazaria akiwa amesha jiandaa.

“Leo umevaa suti”

“Yaa, siku moja moja nionekanane ni mtu”

“Umependeza”

“Asante njoo tunywe chai, muda umekwenda”

“Sawa, mbona umenichagulia nguo?”

“Hujapenda hizo nilizo kuchagulia?”

“Nimependa, ila sio kawaida yako kunichagulia”

“Nimeokoa muda, kwa maana ungeanza kujiandaa wewe, ungetumia zaidi ya lisaa moja kuchagua nguo tu ya kuvaa”

“Hahaa”

Nikafunua hotpot moja na kukuta chapati zinazo nukia vizuri.

“Mmmmm, hizi chapati amezipika nani?”

“Kwani Jojo humi ndani sisi tupo wangapi?”

“Mimi na wewe”

“Basi jibu unalo, mpishi ni mimi”

Nikakata kipande cha chapati moja ili nikile ila Eddazaria kaniwahi kunishika mkono wangu wa kulia na kunizuia nisile kipande hicho cha chapati.

“Nini sasa?”

“Hujanawa mikono yako, weka kando kipande hicho nawa kisha ndio ule”

“Ahaa Eddy nimetoka kuoga sasa hivi bwana”

“Umeshika nini na nini tangu utoke kuoga? Tambua bacteria wanakaa katika maeneo mbali mbali, kama hapo umeshuka kwenye ngazi nimeona umeshika ukingo wa ngazi hizo, so umeshika bakteri”

“Jamani Eddy ahaa haya mwanya”

Nilizungumza huku nikianza kunawa mikono yangu.

“Kipindi nilipo kuwa mtoto mdogo mama yangu alikuwa ananifundisha kabla ya kula kitu chochote nilazima ninawe nikono la sivyo nitapata kipindu pindu”

“Wewe jana si ulimla yule kuku kwenye gari, ulinawa wapi?”

“Nilimshika na tishu”

“Mmmmm sasa unaamini tishu?”

“Kwa jana niliziamini kuliko viganja vyangu”

Nikamnawisha Eddazaria mikono yake, tukanza kula chakula taratibu huku kwa mara kadhaa macho yetu yakigongana kw akutazamana.

“Kuna stori moja ninahitaji ndio ianze kutengenezewa filamu na wewe utacheza kama muhusika mkuu?”

“Inaitwaje?”

“Mmmmm bado ni siri yangu ila kuna wahusika kadhaa ambao watatoka nje ya nchi, so kuna nikiifanyia final editing ndio nitakuambia inaitwaje na inahusu nini, nimeangalia hiyo endapo tutawekeza kiasi cha kutosha cha pesa tunaweza kuingiza hata dola milioni mia moja kwa mauzo ya kwanza tu”

“Dola milioni mia mia moja, acha kunitania Eddy”

“Am sure na kile ninacho kizungumza, tunakwenda kuwa zaidi ya hapa tulipo”

“Ahaa unataka kuniambia kwamba ni stori ambayo inaweza kubadilisha ndoto na maisha yetu?”

“Asilimia mia moja”

“Niambie bwana inahusu nini story”

“Nikikuambia tu, basi hadithi inakwenda kuwa mbaya. So acha niimalizie, kisha nitakuambia, unajua jana usiku sikulala kwa ajili ya kuindika”

“Mmmm pole”

“Usijali ni jukumu langu, hakuna mafanikio yanayo kuja kwa kulala au kufanya upuuzi ambao mtu hauto kufikisha popote”

“Ila leo unatakiwa upate muda wa kupuzika”

“Hapana nipo poa, nimekunya kikombe cha kahawa asubuhi so nipo sawa”

Tukamaliza kula, nikakimbilia chumbani kwangu kujiweka sawa nywele pamoja na uso wangu. Nikajianda haraka haraka, nilipo hakikisha kwamba nimependa sana nikatoka chumbani kwangu, sikumkuta Eddazaria sebleni na moja kwa moja nikaeleke na kumkuta Eddazaria akiw ndani ya gari. Tukaondoka moja kwa moja na kueleka eneo la Moroco zilipo ofisi zetu. Tukapandisha hadi gorofani ambapo tukakuta mafundi wakiwa katika hatua za mwisho mwisho katika kutengeza ofisi hihi ambayo ni kubwa sana na tuna imani kwamba kwa hapo badae tutakuwa na wafanyakazi wengi sana.

“Eddy ofisi yako itakuwa ni hii au unasemaje?”

“Yaa ipo vizuri, nikichoka nitakuwa ninasimama hapa na kuangalia mandhari ya huko nje”

Eddy alizungumza huku akiwa amesimama penbezoni mwa dirisha. Simu yangu ikaanza kuita nikaitoa mfukoni na kukuta ni Nuru ananipogia katika mtandao wa Imo. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi sana huku nikimtazama Eddazaria ambaye naye akanitazama kisha akaitazama simu yangu niliyo ishika. Nikajikaza taratibu na kuipokea simu ya Nuru.

“Mambo baby”

Sauti ya Nuru ilisikika kwetu sote jambo lililo mfanya Eddazaria kunitazama kwa macho makali sana kiasi kwamba nikajikuta woga ukinitawala huku kwa mbali kijasho kikianza kunimwagika usoni mwangu.



“Hi mamy”

Nilizungumza huku nikitoka ofisini humu na kumuacha Eddazaria akinisindikiza kwa macho tu.

“Upo wapi mbona kamereza inacheza cheza?”

“Nipo kwenye ofisi ambayo ndio tunahitaji kampuni iwepo hapa”

Nilizungumza huku nikimuonyesha Nuru eneo hili ambalo mafundi bado wanaendelea kufanya kazi

“Ohooo safi sana mpenzi wangu, hicho ndicho kitu nilicho kuwa ninakitegemea. Je umepata muandishi ambaye anaweza kufanya kazi na wewe kwa maana filamu ni hadithi?”

“Yaa nimepata muandishi ambaye yupo vizuri sana na hapa nipo naye tumekuja kutazama eneo la hii ofisi.”

“Hembu naomba nimuone”

Ikanibidi kurudi hadi ofisini nilipo muacha Eddazaria nikasimama mbele yake na simu nikaisogeza mbele kidogo na kutufanya mimi na Eddazaria kuonakana vizuri.

“Habari yako kijana?”

“Salama mama”

“Hapo Jojo ameniambia kwamba wewe ni muandishi mzuri, je ni kweli?”

“Yaa ila watu ndio wanasema kwamba mimi ninaweza hata Jojo mwenyewe amekubalianana kazi yangu”

“Ninahitaji mtu ambaye anaweza kuleta ushindani katika soko la dunia. Mukkiwa na shida ya aina yoyote musisite kuzungumza Jojo mwanangu hapo kidogo ananielewa mimi ni mtu wa aina gani katika kusaidia vijana”

Maneno ya Nuru yakanipa amani kubwa sana moyoni mwangu, wasiwasi nilio kuwa nao wote ukanitoweka.

“Sawa mama, sinto kuangusha mimi ni mtu wa vitendo na si maneno mengi kwenye kazi zangu”

“Sawa kikubwa muandalie binti yangu hadithi zitakazo mpandisha kwa haraka sana na kuwa maarufu”

“Usijali mama yupo na mtu makini sana”

“Sawa, ila kuna kitu kingine nahitaji kuongezea hapo. Mapenzi na kazi sinto yahitaji kuyasikia wala kuyaona sawa kijana”

Nuru alizungumza kwa msisitozo hadi mimi mwenyewe nikaogopa.

“Sawa mama”

“Unaitwa nani?”

“Eddy”

“Eddy nani?”

“Eddazaria Msulwa”

“Nitakufwatilia, ninashukuru kwa muda wako”

“Asante”

Tukatazamana na Eddazaria kwa muda, kisha nikatoka ndani humu.

“Mbona umemkoromea sasa Eddy?”

“Ninawivu na wewe, kijana mzuri huyo unahisi umeshindwa kumtamani wewe?”

“Hata kama Nuru ila sijapenda bwana, mimi sina hisia na wanaume hilo jambo nimesha kuambia”

Nilizungumza kwa hasira kidogo huku nikiwa nimemkazia macho Nuru.

“Sawa mpenzi wangu. Kama nimekuudhi naomba unisamehe, sikuwa na maana mbaya, ninalinda penzi langu baby”

“Poa bwana badae”

“Hapana Jojo usikate, naomba unisamehe”

“Nimekusamehe”

“Hapana sauti yako haina furaha kabisa, ninakuomba unisamehe mpenzi wangu natambua kwamba nimekuudhi samahani sana mpenzi wangu”

Nuru alizungumza kwa sauti ya upole huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake, nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama vizuri.

“Nimekusamehe, ila ninakuomba usirudie hayo maneno kwa mtu yoyote ambaye anajihusisha na swala zima la kampuni hii, naomba kila kitu ukiache mikononi mwangu. Mapenzi yetu mimi na wewe yatabaki pale pale sawa”

“Sawa mpenzi wangu nimekuelewa”

“Pao tutazungumza badae ngoja niendelee na shuhuli za hapa”

“Sawa mpenzi wangu samahani kwa kila jambo baya lililo jitokeza”

“Usijali mpenzi wangu”

Nikakata simu na kurudi katika chumba alipo Eddazaria.

“Eddy samahani kwa maneno ambayo amezungumza mama kwa maana inaonyesha kama yamekukosesha raha”

“Hapana, nipo poa kabisa, kwa maana kila mtu lazima amlinde mwanaye anaye mjali”

“Ila amekujengea mazingira ya wewe kuniogopa mimi jambo ambalo silipendi kabisa.”

“Usijali Jojo, naona muda wa kwenda kwa mkuu wa mkoa umekaribia, tufanye tuondokea basi”

“Sawa”

Tukawaaga wamfundi na kuondoka katika eneo hili, moja kwa moja tukaelekea katika ofisi za mkuu wa mkoa kwa bahati mbaya tukamkuta akiwa ametoka na kwa maelezo ya sekretari wake akatuambia kwamba amepata dharura ya kikazi, hatukuhitaji kufwatilia ni dharura gani kwani namba yake ya simu tunayo.

“Tunakwenda wapi kwa sasa Eddy”

Nilizungumza huku tukiwa tunaelekea kwenye gari.

“Laptop ipo ndani ya gari, tutafute eneo ambalo ninaweza kukaa na kuweza kuiandika hadithi”

“Mmmm, wapi ni eneo zuri?”

“Blue peal pale pametulia”

“Pale Ubungo?”

“Yaaa”

“Mbona kuna kelele za magari?”

“Sasa ni wapi unahitaji tukae?”

“Mmmm, naona kichwa changu hakisomi kabisa, twende tu hapo Blue Peal”

Nilizungumza, tukaingia kwenye gari na kuondoka katika eneo hili. Tukafika katika hoteli hii, Eddazaria akasimamisha gari kwenye maegesho, tukashuka, tukatafuta sehemu na kukaa.

“Si tungekaa ndani?”

“Hapa nimepapenda, nahitaji niangalie angalie watu kwa maana stori ninayo iandika inahitaji wahusika wengi kadhaa ambao ni wanawake, sasa nikiangalia hapa ninaweza kupata picha hao wanawake wawe vipi”

“Sawa muandishi wangu, mimi ngoja nichati chati”

Eddazaria akafungua laptop yake na kuanza kuandika hadithi ambayo amekataa kabisa, kunitajia. Tukaagizia chakula cha mchana, tukala baada ya kumaliza Eddazaria akamalizia kuaindika haidithi hiyo.

“Ahaaa mamamaaa, hii kazi ni ngumu asikuambie mtu”

Eddazaria alizungumza huku akijinyoosha viungo vya mwili wake.

“Pole, masaa mmane umetumia kuandika”

“Manne ehee?”

“Yaa manne”

“Laiti msomaji angejua hii kazi ni ngumu wala wasingekuwa wanatokwa na povu pale mtu unapo shindwa kupost chochote kwenye mtandao”

“Ila unajua mzuka, nao unachangia mwengine utakuta anahamu ya kujua ni nini kinacho endelea, ila ndio hivyo ukimuambia huweki hadithi lazima akulaumu”

“Ni kweli ila hii kazi ni bora na yule ananye beba zege kwa manaa anajua akitoka hapo anapumzika, ila mimi kila siku niunde matukio mapya mtu asome na kuelewa nilicho kiandika, ni kazi ngumu kwa kweli”

“Usilalamike ndio kazi ambayo Mungu amekuchagua, wapo wanao tamani kuwa kama wewe ila wanashindwa”

Mlio wa simu wa Eddazaria ukamfanya asinijibu chochote zaidi ya kuitoa simu yake mfukoni, akaitazama kwa sekunde kadha kisha akaiweka sikioni mwake.

“Salama”

“Amefanyaje?”

“Ohooo Mungu wangu, mupo hospitali gani?”

Nikastuka baada ya kusikia Eddazari akulizia swala la hospitalini.

“Okay ninakuja sasa hivi”

Eddazaria akakata simu yake na kuirudisha mfukoni mwake, kwa haraka akifunika laptop yake huku akionekana kujawa na wasiwasi mwingi sana.

“Eddy kuna nini tena?”

“Gody ameanguka na kuvunjika mkono”

“Ohoo Mungu wangu, sasa amelazwa wapi?”

“Wamemuwahisha Muhimbili”

Tukaanza kuondoka eneo hili kuelekea lilipo gari, muhudumu aliyekuwa akituhudumia kwa haraka akaniwahi kutufwata.

“Dada chenchi yako”

Nikamtazama muhudumu huyu kisha nikamkatalia chenchi hiyo ya pesa.

“Tunza”

Nilizungumza kwa ufupi tu huku tukiendelea kumfwata Eddazaria kwa nyuma.

“Unaweza kuendesha?”

Nilimuuliza Eddazaria huku nikimtazama usoni mwake.

“Ndio”

Tukaingia kwenye gari, akawasha gari na kuondoka katika eneo hili kwa kasi kubwa sana hadi watu baadhi wakawa wanachungulia. Tukasimama katika mataa ya Shekilango, tukisubiria magari yaliyo ruhusiwa katika upande mwingine wa barabara kupita kwa kasi. Tulipo ruhusiwa Eddazaria akaondoa gari kwa kasi huku akilipita gari lililopo mbele yake. Kwa jioni hii foleni kwa jiji la Dar es Salaam ni kubwa snaa jambo lililo mfanya Eddazaria kuigiza gari katika barabara ya mabasi ya mwendo kasi.

“Eddy tunavunja sheria, tutakamatwa”

“Tulia”

Eddazaria akazidi kuongeza mwendo kasi wa gari lake pasipo kujali hatari yoyote ya kuvunja sheria. Kitendo chake kikatusaidia sana kuwahi kufika katika hospitali ya Muhimbili japo kuna baadhi ya maeneo askari walijaribu kutusimamisha ila Eddazaria hakusimama. Tukashuka kwenye gari kwa haraka na kuanza kuelekea katika eneoe ambalo anadai mwanaye ndipo alipo lazwa. Hata kabla hatujafika huko askari wawili wenye bunduki wakatuwahi kutuzuia.

“Kaka fwatana na sisi”

“Kosa langu ni nini?”

“Utakwenda kulifahamu kituoni la fwatana na sisi”

“Ninawaheshimu sana, ila ninaomba nikamtazame mwanangu, amepata ajali”

“Utamtazama siku nyingine ila fwatana nasi”

“Unanitania wewe”

Eddazaria akamsukuma askari mmoja kwa nguvu na akaanguka chini, askari mwengine akajaribu kumshika ili kumfunga pingu, ila nikashangaa kumuona askari huyo akiwa amefungwa pingu hiyo yeye mwenyewe, kasi aliyo itumia Eddazaria katika kitendo hicho hata mimi mshuhudiaji ninashindwa kuitathimini.

“Twende”

Eddazaria alizungumza huku tukiwaacha askari hawa wakijiweka sawa, watu walipo katika eneo hili wakabaki wakitushangaa tu, tukaingia kwenye moja ya wodi na kukutana na waalimu wawili wa Godlove pamoja na mlenzi wa kiume.

“Mwanangu yupo wapi?”

Eddazaria aliuliza bila hata ya salamu.

“Yupo ndani ya chumba hicho anafanyiwa huduma”

“Ilikuwaje hadi akaanguka?”

“Aha..a…alikuwa anakimbizana na mwenzake, ila kwa bahati mbaya akaanguka na kuvujika mkono wa kushoto”

Mwalimi wa malenzi alizungumza kwa upole sana, kwani Eddazaria amevimba kwa hasira kali sana.

“Huo ni uzembe wenu, kwa nini hamuwi amkini na watoto wadodogo, hadi inatokea ajali kama hiyo?”

Eddazaria alizungumza kwa kufoka sana, hapakuwana mwalimu wala mlezi wa kiume wa watoto alite jibu swali hilo.

“Amevijikaje huo mkono?”

“Amefunjika maeneo ya katikati tu”

“Katikati kivipi mwalimu nyoosha maelezo bwana”

“Ni maeneeo haya ya hapa”

Mwalimu huyo akaonyesha aneo la katikati ya mkono wake wa kushoto.

“Eddy”

Nilimuita Eddazaria huku nikimuonyesha askari sita wakija katika eneo tulilo simama. Eddazaria akawatazama kwa sekunde kadhaa, hadi wanafika katika eneo hili sote tukaka kimya.

“Likamateni haraka sana”

Alizungumza baba mmoja mwenye lafudhi ya kikuria.

“Hamuwezi kunikamata bila ya kutambua kosa langu”

“Moja, umevunja sheria barabarani, mbili umepiga polisi na kuwajeruhi kisawa sawa”

“Nimepiga polisi, wee mzee una akili kweli”

“Kamateni nimesema?”

Askari wawili wakamshika Eddazaria mikono yake.

“Oya mimi sio muhalifu, nina haki ya kutembea mwenyewe pasipo kikamatwa sawa. Jojo toa simu yangu mfukoni, tafuta namba iliyo andikwa Bro Dustan,mpigie muambie nimekamatwa.

“Sawa”

Nikaingiza mkono mfukoni mwangu na kutoa simu ya Eddazaria pamoja na funguo ya gari.

“Niachieni basi, ya nini kukumbatiana ikiwa nimekubali kutembea mwenyewe, au munataka niwavuruge sasa hivi?”

Eddazaria alizungumza kwa kujiamini jambo lililo wafanya askari hawa kuendelea kumshikilia kwa nguvu huku waking’ang’ania kumfunga pingu mikononi mwake. Mlango wa chumba ambacho tuliambiwa kwamba Eddazaria yupo ukafunguliwa na kumfanya Eddazaria kusita kutembea na kumtazama dokta ambaye naye akaonekana kushangaa sana varangati hili linalo endelea hapa.

“Dokta mwanangu anaendeleaje?”

“Mtoto anahitajika kupatiwa damu, kama wewe ndio baba yake unaweza kuongeza damu kwa maana amepoteza damu nyingi sana, na maisha yake yapo hatarini”

“Wewe mwalimu si umesema mtoto amevinjika mkono?”

“Ndio amevujika, ila mfupa kwa bahati mbaya umekata mshipa wa damu na kupekelea damu nyigi sana kumwagika”

Daktari ilimbidi kuwahi kujibu swali alilo ulizwa daktari huyo.

“Oya niachieni nikamtolee mwanangu damu, kisha ndio munipeleke huko munapotaka kunipeleka”

“Hatuwezi kufanya hivyo, pelekeni kwenye gari”

Askari huyo anaye zungumza kwa lafudhi ya kikuria nikaastukia akipigwa teka la kifua lililo muangusha chini, akasir ambao wamemshikilia Eddazaria wote nikashangaa wakipepesuka, wakajaribu kutumia virungu vyao kumzuia ila walicho kutana nacho, ndani ya dakika moja tukashangaa askari wote wakiwa wamenguka chini huku kila mmoja akiugulia maumivu makali sana aliyo yapata kutokana na kipigo kikali alicho pigwa kwa kutumia mateke tu, kwani mikono yake imefungwa pingu, hapa ndipo nikagundua kwamba Eddazaria, ni mtu hatari sana asiye penda kuonyesha makucha yake hovyo hovyo.



“Mumeniladhimisha mimi kufanya hivi”

Eddazaria alizungumza huku akihema kwa jazba huku akiwatazama askari hawa.

“Dota nitoe damu haraka iwezekanavyo”

“Sawa ingia chumbani”

Eddazaria akaingia katika chumba hicho na sisi tukabaki nje huku macho yetu yote ni kwa hawa polisi ambao kusema kweli sidhani kama kuna mwenye hamu ya kutamani kumkamata mwanaume huyo.

“Tunahitaji msaada, narudi tunahitaji msaada hapa Muhimbili”

Askari mwenye lafudhiya kikuria alizungumza kwa kutumia simu yake ya upepo, nikatamani kumzuia ila nikajikuta nikisita kwani kufanya hivyo na mimi nitakuwa mwenye makosa na hakuna ambaye atatusaidia.

“Nyayukeni, ameelekea wapi?”

Askari huyo alituuliza, mimi na hawa walimu sote tukakaa kimya hakuna aliye dhubutu kujaribu kuonyesha ni wapi Eddazari ameingia.

“Mkuu ameingia humu”

Askari mmoja anaye zugungumza huku amalishika tumbo lake alizungumza huku akionyooshea mlango wa chumba cha matibabu kidole. Mkuu huyo aliye fura kwa hasira, akausukuma mlango huo kwa nguvu, nikawaona madaktari na Eddazaria wakistuka baada ya mlango huo kubamiza ukutani kwa nguvu.

“Mtoeni huyo haraka”

“Samahani muheshimiwa, mtu wenu anamtolea damu mtoto wake, ttunaomba muda kidogo aweze kutoa damu ya kotosha”

“Dokta hilo ni lijambazi, ritakuua humo ndani?”

“Oya mimi sio jambazi, hivi una mtoto wewe eheee?”

“Tazana rinavyo leta dharau, kamata hilo toa humo ndani?”

“Dokta endelea kunitoa damu, yoyote atakaye nishika ninaapia haki ya Mungu kaburi la baburi la baba yangu, nitawapeleka kuzimu mmoja baada ya mwengine na nitaanza na wewe kwa kuivunja shingo yako. Acha nimuhudumie mwangu mamabo mengine yatafwata sawa”

Sauti ya Eddazari iliyo jaa msisitizo wa maneno makali sana ikatuogopesa sote tulipo katika eneo hili, askari walio simama nyuma ya mkuu wao, wakatazamana nao wakionekana hivi hivi wakiwa wamejawa na woga mwingi sana.

“Mkuu tumpe muda kidogo, ataondoka na shingo zetu mkuu”

Askari mmoja mwembamba ambaye dakika kadhaa alipigwa teke kifua alizungumza kwa sauti ya chini ambayo alihisi mimi sinto sikia, nikajikuta nikiangua kicheko cha kimoyo moyo. Mkuu wao akakosa maamuzi kabisa na kujikuta akifwata kile alicho elezwa na Eddazari. Baada ya madakatri kuridhika kwa damu aliyo itoa Eddazari wakamruhusu huku akiwa na pingu zake mikononi.

“Shamsa hakikisha unamtembelea Godlove kila siku na unajua maendeleo yake sawa”

“Sawa”

“Pia mpigie bro Dustan, muombe anifwatwe sijui…..Munanipekeka kituo gani?”

“Hilo halikuhusu”

“Alfu wewe mzee mbona unadharau. Ninahitaji kuzungumza na mwanasheria wangu, sasa unakataa nini kuniambia ni kituo gani munanipeleka au unataka nigome tena?”

“Central Polis Station”

Askari mmoja alijikuta akiropoka huku akinitazama usoni. Nikaramani kuwafwata ila ikanibidi kumuuliza dokta ni hali gani anayo endelea nayo Godlove.

“Amesha tundikiwa dripu la damu, kinacho fwata hivi sasa ni kuhakikisha kwamba mfup wake tuna uweka sawa, kutokana ni mtoto mdogo basi mifupa yake itawahi kuunga”

“Sawa nashukuru”

“Sawa”

“Waalimu, naamini mumeshuhudia kilicho tokea kwa wale askari. Sasa askari wamefanywa vile je nyinyi, Eddy anampenda sana mwanaye kuliko hata yeye mwenyewe, sasa kaeni hapa hospitali hadi kesho nitakapo kuja kumtazama mtoto. Niwatakie usiku mwema”

Baada ya kuzungumza maneno hayo nikaondoka katika eneo hili nina imani kwamba waalimu hawa watakuwa wanajiuliza maswali mengi sana.

Nikatembea kwa haraka hadi kwenye maegesho ya magari, nikafungua mlango wa upande wa dereva na kuingia ndani, nikaanza kuitafuta namba ya Bro Dustan, nikaipata na kumpigia kwa kutumia simu ya Eddazaria mwenyewe.

“Eddy”

Nilisikia sauti ya upole ikizungumza upande wa pili wa simu, nikaka kwa sekunde kama thelathini nikipangilia kitu cha kuzungumza na kaka huyu.

“Ahaa mimi sio Eddy, ni mdogo wake ninaitwa Jojo”

“Okay habari yako Jojo?”

“Salama kwa upande wangu, ila kwa upande wa Eddy kidogo sio salama sana”

“Kuna tatizo gani?”

“Ahaa..Eddy kidogo amekurofishana na askari hapa Muhimbili, kutokana mwanaye Godlove amepata ajali na amevunjia kamkono wa kushoto. Sasa askari wamemkamata na kumpeleka kituo cha kati”

“Wamemkamata kwa kosa gani sasa?”

“Alivunja sheria za barabarani…?”

“Aligonga?”

“Hapana kipindi tulipokuwa tunawahi huku hospitalini, alipita barabara ya mabasi ya mwendo kasi”

“Okay nilikuwa nipo njiani ninaelekea nyumbani, basi ngoja nielekee huko”

“Shukrani sana”

“Haya Jojo, itakuwa vizuri pia na wewe ukaenda hapo kituoni”

“Sawa kaka”

Nikakata simu na kushusha pumzi nyingi sana, nikajifunga mkanda wa siti niliyo kalia, nikawasha gari na kuanza safari yakuelekea katika kituoa cha polisi. Foleni za hapa na pale zikanichelewesha kufika katika kituo kikuu cha polisi hapa jiji Dar es Salaam. Nikasimamisha gari mbali kidogo na kituo, kwa maana kwenda nalo katika eneo hilo linaweza kuzuiwa na likawa tatizo jengine kwangu. Nikashu ndani ya gari, nikafunga milango na kuelekea katika kituo hicho.

“Unasema Eddazari ni kaka yako?”

Askari mmoja wa kike aliyepo hapamapokezi, aliniuliza huku akinichunguza vizuri.

“Ndio”

“Huwezi kumuona kwa sasa ana mgeni anazungumza naye”

“Amefwata nini huyo?”

Askari mmoja miongoni mwa askari walio kuwepo katika kile kichapo walicho tembezewa na Eddazari alizungumza huku akinikazia macho yake akihisi kama nitamuogopa.

“Anamuulizia huyo Eddazaria”

“Pumbavu kama ni ndugu yako sahau kabisa kama atatoka lazima akanyee debe Segerea”

Askari huyu alizungumza kwa kujiamini sana, hapa ndipo nikgundua ujanja wa askari wengin ni pale wanapo kuwa kituoni ila wakitoka eneo la nje ya kituo chao basi huwa wanyonge.

“Hayo unayasema wewe”

Nilizungumza kwa dharahu huku nikimtazama askari huyu.

“Unasemaje wewe?”

“Umenisikia”

“Afande Mwanaidi kamata huyo msichana weka ndani, atatoka kwa amri yangu mimi”

“Unataka kuniweka ndani kwa kosa lipi labda ambalo wewe unataka kuniweka ndani?”

“Huwezi kunidharua?”

“Kisa umevaa hayo magwanda yako ndio unahisi nimekudharau. Umejidharau wewe mwenyewe, unazugumza atakwenda kunyea ndoo kama sheria ametunga baba yako”

Nilizungumza kwa kujiamini hata wamama kadhaa walio kuja kwa matatizo yao wenyewe wakabaki wakinitazama.

“Afande Mwanaidi unasubiri nini kamata huyo perege mdogo weka ndani”

“Ila afande sijaona kosa lolote la kumuweka huyu binti ndani”

“Na wewe unakiuka amri yangu”

“Sikia kaka, usihitaji hiyo kiji V chako kikaenda na maji. Kabla hujanikamta ngoja nimpigie mkuu wako alafu ndio uniweke ndani”

Nikatoa simu ya Eddazaria nikatafuta namba ya RPC, kwa bahati nzuri nikaikuta imendikwa jina la Baba mkubwa RPC, nikaipiga namba hiyo huku nikimtazama askari huyu ambaye sura yake imejaa dharau kubwa sana.

“Shikamoo baba, mimi ni Jojo”

“Marahab, huyo Eddy amefanya nini tena kwa maana mkuu wa kituo amenipigia simu analalama amepigwa, sasa sijaelewa”

“Baba mjukuu wako amepata ajali na wak….”

“Nani, Godlove?”

“Ndio”

“Amelazwa hospitali gani?”

“Amelazwa Muhimbili katika wodi za watoto”

“Aisee, ngona mama yenu aende sasa hivi, ehee imekuwaje hadi hayo maugomvi yakatoke?”

Katika harakati za kuwahi hospitali, akapita katika barabara za mabasi ya mwendo kasi, tunafika Muhimbili askari wakamzuia, katika kumzuia, akamuomba mmoja apite, ila wakendelea kumzuia. Eddy akalazimisha kupita, mmoja akaanguka kwa bahati mbaya. Tulipofika katika chumba cha matibabu, tukakuta hali ya Gody sio nzuri, basi askari wakaja tena, wakamkamata Eddy kwa nguvu, wakampiga virungu, daktari akahitaji mtu wa kumtolea mtoto damu kwa maana amepoteza damu nyingi, baba yake akaawaomba maaskari amtolee mwanaye damu ila maaskari wakakataa huku hali ya mtoto ikiwa si nzuri kabisa, basi hapakuwa na jinsi zaidi ya Eddazari kuamua kutumia nguvu, akatoa damu na wakamchukua tu”

“Vijana wa sasa hawana uweledi wa kazi kabisa, wewe upo wapi?”

“Nipo kituo kikuu hapa, kuna askari mmoja naye anataka kuniweka ndani eti kisha nimemuulizia Eddazaria”

“Khaa…anaitwa nani?”

“Amendikwa. A. Kalunde”

“Mpe simu”

Nikamnyooshea askari huyu aliye kwua akinikoromea, akaitazama simu kwa dharau kisha akichukua na kuiweka sikioni mwake. Gafla sote tukamuona akiwa amesimama kikamavu, macho yamemtoka hadi wamama wawili wakaangua kicheko.

“Sawa mkuu”

“Hapana mkuu”

“Nimekuelewa mkuu”

“Halito jitokeza tena mkuu”

Askari huyo akanirudishia simu, nikaiweka sikoni.

“Nampigia mkuu wa kituo hapa, amuachie kama ni tararatibu nyingine ziendelee asubuhi na si muda huu”

“Sawa baba”

Nikakata simu na kumtazama askari huyu aliye kuwa akinikoromea.

“Vipi niende ndani tena au umegairi afande Kalund?”

Nilizungumza huku nikimtazama afande huyu, aibu iliyo mpata hadi yeye mwenyewe akaondoka eneo hili, na kumfanya afande wa kike niliye weza kulijua jina lake kwamba anaitwa Mwanaidi naye akaangua kicheko.

“Yaani bora umemkomesha, hato dharua watu tena yaani ana vijiamri vya ajabu ajabu hadi wezake tumemchoka”

Afande Mwanaidi alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kumbe ndivyo alivyo?”

“Eheee, alafu sasa bora ata angekuwa ni mwenyeji, yaani ni mgeni tu ametoka zake huko mkoani amehamishiwa hapa basi ni kero”

“Jiji litamshinda hili”

“Na kweli”

“Haya dada yangu”

“Samahani Jojo, ninaweza kuzungumza na wewe japo kwa dakika mbili”

“Yaa, hapa au nje”

“Twende nje”

Nikatangulia kutoka nje, na afande Mwanaidi akanifwata nilipo simama.

“Samahani kwanza mdogo wangu najua hunitambui kabisa, ila ninakuomba nikuulize maswali mawili matatu”

“Sawa uliza”

“Aahhh ulite kuwa unazungumza naye ni nani?”

“Ni RPC wenu”

“Ahaaa, sasa mdogo wangu nilikuwa ninakuomba unisaidie kitu kama huto jali”

“Sawa”

“Ninakuomba unifanyie mchongo kwa mkuu huko juu, nihamishwe kwenye kile kitengo pale. Yaani unaweza kukaa asubuhi hadi jioni mdogo wangu ukajikuta unaingiza elfu mbili au elfu tano.”

“Ehee pole sana”

“Asante sana, yaani mdogo wangu kama ni baba yako mkuu wetu basi muombe aniweke hata barabarani mimi nitafurahi, mapokezi pale panachosha kuandika mikesi ya watu isiyo eleweka”

“Poa andika namba yangu ya Whatsapp, kisha utanitumia details zako baada ya hapo nitajia ni jinsi gani ya kuzungumza na mzee”

“Nitashukuru snaa mdogo wangu”

Nikamtajia afande Mwanaidi namba zangu ninazo tumia katika mtandao wa kijamii wa Whatsapp.

“Nikifika tu pale ninakutumia mdogo wangu”

“Usijali dada yangu”

“Poa poa aisee”

Afande Mwanaidi akanipa tano kwa mkono wake wa kulia kisha akaondoka, hapa ndipo nikapata muda mzuri wa kumtazama makalio yake makubwa yaliyo banwa na sketi yake ya blue ambayo kwa nyuma imepanda kiasi ya kuacha pingili za magoti yake kwa nyuma kuonekana vizuri. Nikajikuta nikianza kumvutia hisia za kitandani, mwili ukaanza kunisisimka, maziwa yakaanza kunisiamama uchu wa kumtamani afande Mwanaidi, ukazidi kunitawala mwilini mwangu. Gafla nikastukia nikiguswa begani, nikageuka kwa haraka, nikakutana na Eddazaria, pamoja na kaka mmoja mrefu mweusi ambaye moja kwa moja nikatambua ndio mwanasheriawa Eddazaria. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio baada kuliona jicho la upande wa kushoto mwa uso wa Eddazaria likiwa limevimba sana hadi kuto kuonekana na ana michirizi ya damu usoni mwake na shati lake limechanika chanika kwa kuvutwa, jambo lililo nifanya nianze kulengwa lengwa na mchozi ya huzuni kwani kwa kitu walicho mfanyia Eddazaria ni kibaya sana na mvuto wake wote umepotea kabisa.


ENDELEA

“Twende zetu”

Eddazaria alizungumza kwa sauti iliyo jaa mikwaruzo fulani ambayo imeifanya sauti yake nayo kukosa mvuto kabisa.

“Wamekufanya nini Eddy!!?”

Niliuliza huku nikiwa nimejawa na huzuni kubwa sana, machozi yakinilenga lenga.

“Wewe twende nyumbani, ila huyu ndio Bro Dustan”

“Shikamoo”

“Marahaba, nakushauri mupitie hospitali ili ukafanyiwe chake up zaidi”

“Usijali kaka ninajisikia vizuri”

“Eddy unajisikia vizuri hivi?”

Nilimuuliza Eddy kwa ukali kidogo kwa maana anadai kwamba yupo sawa ila si kweli kabisa.

“Eddy tutaonana asubuhi, mimi ngoja niwahi nyumbani kama tulivyo zungumza lazima tuwafungulie mastaka wale walio kufanyia hivyo”

“Sawa kaka nashukuru kwa muda wako”

“Usijali, Jojo hakikisha unamuhudumia vizuri kaka yako”

“Sawa kaka”

Bro Dustana akandoka katika eneo hili na kutuacha mimi na Eddy tukimsindikiza kwa macho, akaingia kwenye gari lake na kuondoka katika eneo hili.

“Hawa wajinga lazima walipe hawawezi kukufanyia hivi Eddy”

Eddazaria hakuzungumza kitu chochote zaidi ya kaunza kutembea hapa napo nikagundua kwamba mguu wake wa kushoto una tatizo kwani mwendo wake ni wa kuchechemea chechemea.

“Gari lipo wapi?”

Eddazaria alizungumza huku mkono wake wa kulia akiwa ameshika mbavu za upande wake wa kushoto.

“Gari nimeliacha kule”

Tukatembea hadi nilipo niacha gari, nikalikagua kwa kulizunguka kwa maana mitaa kama hii unaweza kukuta taa za nyuma za gari zikiwa zimechomolewa, nilipo hakikisha kwamba zipo salama, tukafungua milango na kuingia.

“Eddy inabidi twende hospitali bwana”

“Hapana, naomba simu”

Nikamkabidhi Eddy simu yake, nikawasha gari na kuondoka eneo hili.

“Shikamoo mama”

“Yaa waminipiga, walikuwa wakinihoji maswali”

“Wameniumiza jichoni, mbavu na mguuni”

“Gody yupo hospitalini”

“Sijajua, eti Jojo, Gody umemuacha anaendeleaje?”

“Daktari amesema kwamba ataendelea vizuri”

“Jojo anasema ataendelea vizuri”

“Sawa”

“Haya”

Eddy akakata simu na kuiweka pembeni yangu.

“Watalipa kwa hili walilo nifanyia”

Eddazaria alizungumza huku akijiweka vizuri kwenye siti. Sikuhitaji kumkera zaidi ya kufwata alicho niambia. Tukafika nyumbani, nikamsaidia Eddazaria kushuka kwenye gari, tukaingia ndani. Kitendo cha kufika sebleni, Eddazaria akavua shati lake, nikasimama huku nikiwa nimeshikwa na bumbuwazi kubwa sana, kwani maeneo ya mgongoni amejaa alamaza za fimbo nyingi. Hadi anakaa kwenye sofa ndipo na mimi nikastuka kutoka katika mshangao wangu.

“Nimeumia sana?”

“Eddy hapana, nyanyuka twende hospitalini, huwezi kuwa hivyo bwana. Imekuwaje wamekupiga sana?”

“Nijibu nimeumia sana?”

“Ndio umeumia sana jamani, hembu tazama hizo alama za fimbo, jamaani”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.

“Simu yangu ipo wapi?”

“Itakuwa kwenye gari”

“Kaniletee kuna mtu ninahitaji kumpigia”

Nikatoka nje, nikachukua simu yake ndani ya gari na kurudi ndani. Nikamkabidhi, akaanza kuminya minya kisha akaweka sikioni mwake.

“Clara”

“Yaa naumwa”

“Asante, upo wapi?”

“Unaweza kuja huku Tegeta”

“Yaa, au muda umekwenda sana?”

“Ngoja kuna mdogo wangu atakuja kukuchukua hapo kwako”

“Ahaa, ni ajali bwana”

“Jicho, mguu wa kushoto na mbavu za kushoto ndio vinauma”

“Okay basi chukua pikipiki, dogo atakuelekeza”

“Nashukuru”

Eddazaria akakata simu na kuiweka mezani.

“Clara ndio nani?”

“Daktari wangu, mpigia hapo umuelekeze aje huku nyumbani”

“Ila Eddy kwa nini unaleta ubishi ikiwa umeumia hivyo”

“Jojo unahisi ni ubishi, nipo kwenye vita ambayo sasa hivi ndio nimeanza kuijua. Hakuna sehemu salama kwangu ya kuugua zaidi ya hapa nyumbani kwako basi. Hospitali sio salama kabisa”

“Sijakuelewa Eddy una maanisha nini?”

“Utajua nikiwa vizuri, ila usijali nitapona mdogo wangu najua kwamba unamia kuniona nikiwa hivi ila usijali sawa”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya upole, taratibu nikaka pembeni yake na kumtazama usoni mwake.

“Eddy ninakupenda, sihitaji kukupoteza katika maisha yangu, wewe ndio kila kitu kwangu. Wewe ni kiongozi wangu tafadhali ninakuomba usiwe hivyo”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama Eddazaria usoni mwake, taratibu nikausogeza mdomo wangu karibu kabisa na mdomo wake na kumpiga busu la mdomoni. Eddazaria akabaki akinitazama tu, nikairudisha tena midomo yangu kwenye lipsi zake, nikaanza kumnyonya taratibu na kwa hisia kali sana za mapenzi. Simu ya Eddazaria ikaita tena, taratibu nikageuka na kuichukua mezani na kukutana na jina lililo andikwa My sister.

“Pokea weka loud speaker”

“Haloo”

“Mmmm”

“Nasikia umepigwa na polisi?”

“Ehee”

“Ilikuwaje na kwa nini wakupige?”

“Ahaa nitakusimulia kesho sijisikii vizuri”

“Sawa ila wamekuumiza sana?”

“Kidogo”

“Nimuongo wamemuumiza sana”

Ilinibidi kuingilia mazungumzo haya kwa maana Eddazaria anapenda kuficha sana.

“Mmmm nani wewe?”

“Ninaitwa Jojo, ni mdogo wake ninakaa naye hapa”

“Ahaaaa, sasa mupo hospitali gani nimuambie Rich kesho aje kukuangalia hako hospitalini kwa mana yupo Dar?”

“Nipo nyumbani”

“Hujakwenda hospitalini?”

“Kuna dokta atakuja hapa nyumbani nilipo na atanihudumia”

“Sawa, ila usije ukamuambia mama kama upo na hali mbaya si unajua isije presha zikampanda”

“Yaa nalijua”

“Sawa kesho Richi atakutafuta”

“Sawa, vipi Hevean light anaendeleaje?”

“Yupo poa amelala sahizi”

“Sawa usiku mwema”

“Na nyinyi pia”

“Poa”

Simu ikakatwa, nikaiweka mezani na kumgeukia Eddazari.

“Ila Eddy kwa nini unakuwa muongo kwenye mambo ya hatari kama haya”

“Jojo, sipendi mambo kama haya yajulikane kwa kila mtu sawa”

“Sawa”

Nilikubaliana na Eddazaria kwa unyonge tu, tukawasiliana na dokta Clara, kwa babati nzuri bodaboda aliye mleta anafahamu mtaa tunao ishi. Akaletwa hadi getini, nikampokea na kumlipa bodaboda huyo na akaundoka.

“Karibu sana”

“Asante”

Tukaingia ndani na kumkuta Eddazaria akiwa amesimama.

“Ohooo Yesu wangu, Eddy ni ajali ya nini hiyo iliyo kupata?”

Dokta Clara alizungumza huku akiweka mkoba wake mezani

“Ahaa tutazungumza”

“Unajisikiaje?”

“Maumivu yapo mwili mzima”

“Hee ngoja nikuchome sindano kwanza ya kutuliza maumivu”

“Ila kama tukaenda kumhudumia chumbani kwake, kwa maana hapa sebleni naona atashindwa kulala vizuri”

“Ni wazo zuri, tusaidiane kumpeleka chumbani kwake”

“Nitaenda mwenyewe nisiwasumbue”

“Eddy utaweza kupandisha hizo ngazi kweli?”

“Yaa ninaweza”

Eddazaria kaanza kupandisha ngazi huku tukimfwata kwa nyuma tukiwa makini sana. Tukafika chumbani kwake bila ya hata aibu akavua suruali yake na kubakiwa na boksa tu. Akapanda kitandani, dokta Clara akaanza kumuhudumia huku mimi nikimsaidia kwa kumpa kifaa atakacho kihitaji katika katika huduma yake. Huduma ikatuchukua kama dakika thelathini hadi kumaliza.

“Hadi asubuhi huo uvimbe hapo jichoni utakuwa umekwisha”

Dokta Clara alizungumza huku akivua gloves alizo zivaa.

“Damu yote iliyo vilia umeikamua?”

“Yaaa hadi asubuhi sura itakuwa imerudi kwenye ubora wake, cha kufanya hivi sasa, pumzika asubuhi nitakupatia dawa nyingine baada ya chai”

“Asante sana Clara, Mungu akubariki”

“Usijali Eddy mimi na wewe tumetoka mbali, ndio maana ulivyo niambia kwamba umepata ajali nilighairi hata usingizi wangu na kuja huku”

“Nashukuru sana”

“Tena una bahati, ninaanza likizo ya mwenzi mzima leo, nina imani kwamba ndani ya siku kadhaa utakuwa poa”

“Mungu ni mwema”

“Sawa ngoja nikuache, labda Jojo atakuwa na jambo la kuzungumza na wewe kwa maana ninamuona yupo kimya tu”

“Ahaa hamna huyu ni kaka yangu, kama ni jambo la kuzungumza ningezungumza naye hata wewe ukiwepo”

“Ahaa sawa, mimi nipo sebleni”

Dokta Clara akabeba mkoba wake na kutoka chumbani humu.

“Jojo kesho asubuhi nenda hospitali ukamuangalie Godlove ujue anaendeleaje?”

“Sawa ila twenda mbele na kurudi nyuma, askari wote walio kufanyia hichi nilazima niwashuhulikie na nitajua nini cha kuwafanya”

“Jojo usifanye kitu cha aina yoyote, kumbuka hilo sio lengo letu na hii ni vita ambayo haikuhusu”

“Inihusu, isinihusu ila nitahakikisha kwamba na wao lazima walipe, hawawezi kukufanyia hivi, hawajui ni mambo mangapi ambayo wameyakwamisha na nilihadi kukulinda acha nifanye kazi yangu”

Nilizungumza kwa msisitizo huku machozi yakinimwagika usoni mwangu.

“Jojo, jojo, sipendi uwe hivyo”

“Eddy ni lazima niwe hivyo, huwezi kunizuia katika hili. Wamemgusa mtu ambaye hawajui ana umuhimu gani kwangu”

“Jojo njoo hapa”

Nikamsogelea Eddazaria, nikaka pembeni yake, akanishika nyuma ya shongo yangu kwa mkono wake wa kulia kisha taratibu akanivuta karibu yake.

“Jojo una nipenda?”

“Ndio ninakupenda”

“Nakuomba basi uwe mpole katika hili, ninakuomba uwe mvumilivu hadi upone kwa mana ninajua una hasira kali sana dhidi ya hawa walio nifanyia hivi ila huwezi kuwajua hadi mimi nikuonyeshe”

“Kwani sio wale askari walio kuchukua hospitali”

“Sio wao kabisa”

“Ni kina nani sasa?”

“Subiria nikipona nitakuambia ni kina nani walio nifanyia hivi sawa”

“Sawa, niahidi utaniambia na tunawashuhulikia vizuri”

“Ndio usijali katika hilo, nenda kamuandalia mgojwa chakula”

“Poa”

Nikamnyonya Eddazaria lipsi zake kisha nikasimama na kutoka chumbani humu, nikamkuta Clara akiwa amekaa kwenye moja ya sofa.

“Dokta unahitaji chakula gani”

“Hapana jamani, nimesha kula tangu saa mbili usiku, hapa labda nilale tu kwa maana usingizi naona unanichukua chukua hapa kwenye kochi”

“Ohoo basi njoo nikuonyeshe chumba chako cha kulala”

Tukapandisha hadi gorofani, nikamuingiza dokta Clara chumbani kwangu, nikamkabidhi taulo, ili akaoge.

“Mimi nitakaa na mgojwa, jisikia amani dada yangu”

“Nashukuru Jojo”

Nikachukua kanga moja pamoja na taulo jengine, kisha nikatika chumbani humu na kuingia katika chumba cha Eddazaria.

“Vipi?”

“Dokta atalala chumbani kwangu, mimi leo nitalala huku”

“Utamuachaje mgeni alale peke yake?”

“Nataka kulala na wewe, nahitaji kukuangali muda wote isije usiku ukazidiwa na sisi tukawa chumbani tunautumbua usingizi”

“Hivi jojo unavyo hisi mimi ni mgonjwa sana, nipo poa mbona”

“Usiniletee porojo”

Nilizungumza huku nikivua nguo zangu, nikabakiwa na bikini nikajifunga taulo na kuingia bafuni. NIkaanza kuoga huku nikifikiria tukio la jana la Eddazaria kuniacha kutokana na kugundua nina bikra. Nikamaliza kuoga na kurudi chumbani, nikaufunga mlango wa chumba hichi kwa ndani nikasimama pembeni ya kitanda alicho lala Eddazaria ambaye muda wote ananitazama jinsi ninavyo zunguka humu chumbani kwake. Nikalivua taulo langu na kubaki kama nilivyo zaliwa, nikashusha pumzi nyingi huku nikiwa nimekazia macho Eddazaria, alite baki kimya akinisubiria kuona ni nini nitafanya baada ya hapa.



“Naruhusiwa kulala hivi?”

Niliuliza swali la kimitego huku nikimtazama Eddazaria kwa macho yaliyo jaa mahaba.

“Ahaa…..ni maamuzi yako”

Nikasogea karibu na kitanda, nikamruka Eddazaria aliye lala mwanzoni mwa kitanda, na mimi nikawa upande wa ukutani. Ukimya ukatawala kati kati yetu huku sote tukiwa tunatazama dari la chumba hichi, lililo tengenezwa kwa umaridadi mzuri sana.

“Ni kina nani ambao unadai kwamba una vita nao?”

“Kwa sasa ni mapema kuzungumza au kutaja ni nani na nani ambaye nina vita naye ila ninavyo hisi wale askari kuna mtu ambaye yupo nyuma yao kwani kama kunipiga wamenipiga kama jambazi ambaye ameua askari wengi sana”

“Eddy”

“Mmmmmm……”

“Kwenye historia ya maisha yangu, kuna baadhi ya vitu sikuwahi kukuhadisia kwa sababu ni vya siri sana”

“Kama ni vitu vya siri sana, ninakuomba usiniadisie sasa”

“Hapana Eddy, ninahitaji uweze kuvifahamu, ila hata siku ukija kuvisikia basi visikupe shida katika mawazo yako”

Nilizungumza huku nikijilaza kiubavu bavu na kumtazama Eddazaria usoni mwake. Taratibu Eddazaria akanitazama kwa jicho lake moja ambalo kwa sasa ndio linafanya kazi ila hili jengine bado lina uvimbe mkubwa.

“Eddy, kipindi nilipo kuwa nchini China nilisha wahi kuwa muuaji, muuaji niliye pata mafunzo makali ambayo kwangu ni kitu kirahisi sana kwa sasa katika kuipoteza roho ya mtu hapa dunia, kwa maana nina kila aina ya mbinu katika hilo”

“Hahaa…..Jojo usinifanye mimi ni mtoto, unataka kusema kwamba wewe unaweza kuua mtu?”

“Yaa huamini?”

“Siamini na sinto amini, Jojo wewe ni mdogo sana na sijui hata kama swala la kuua unaweza kulifanya, kuitoa roho ya mtu sio sawa na kumkanyaga mende na kumuua”

“Eddy trust me, tena sijaua mtu mmoja, ni zaidi ya wengi hata idadi yenyewe siikumbi”

“Hahaaa, sasa hivi ni saa ngapi?”

“Saa saba”

“Nenda kazime taa ulale, nahisi unaota huku unazungumza”

Nikatabasamu, nikanyanyuka kitandani na kuusogeza mkono wangu kwenye swichi zilizopo pembeni ya kitanda nikazima taa zenye mwanga mkali na kuacha taa mbili za ukutani ambazo mwanga wake ni hafifu. Nikajisogeza karibu na mwili wa Eddazaria, sikuwa na wasiwasi wowote kama ilivyo kuwa jana usiku, tayari nimesha mzoea Eddazaria. Nikausogeza mkono wangu wa kulia hadi juu ya boksa yake.

“Unataka ufanyaje?”

“Unajua nini nataka Eddy”

“Mwenzio ninaumwa?”

“I know”

Nilizungumza kwa sauti ya chini sana na ya kusisimua, nikauingiza mkono wangu ndani ya boksa ya Eddazaria, nikaanza kumchezea jogoo wake ambaye hakuchukua hata sekunde thelathini akawa amesimama kidedea, nikaka kitako na kumvua Eddazaria boksa yake, taratibu nikaanza kumnyonya jogoo huyu mwenye urefu na ujazo wa kutosheleza. Kila ninavyo endelea kunyonya jogoo huyu ndivyo jinsi Eddazaria alivyo toa miguno ya kimahaba, nilipo ridhika, nikajipaka mate kiasi katika kitumbua changu, taratibu nikamkalia Eddazaria kiunoni mwake, nikamshika jogoo wake nakuanza kumpenyeza katika kitumbua changu. Maumivu yaliyo changanyika na raha, yakaanza kunitawala, sikuhitaji kuipoteza hudumu hii ya kujihudumia mimi mwenyewe. Jinsi ninavyo endelea kumkalia jogoo huyu ndivyo jinsi nilivyo zidi kuzoea huku nikihisi kabisa, damu chache za bikra yangu zikinitoka. Mwendo wa taratibu, ukaanza kupungua na mwendo wa kasi ukaanza kutawala kiuo changu. Nikazidi kuhisi utamu ukinitawala, vilio vyangu vya mahaba vikazidi kuongezeka.

“Eddy ninakupenda, ninakupenda sana mpenzi wangu”

Nilizidi kulalama hadi ikafikia hatua nikaanza kuhisi vitu vikiingia mwilini mwangu, huku Eddazaria naye sauti ya kimahaba ikiwa imemuongezeka katika muda huu.

“Aha…ha….aa”

Eddazaria alitoa miguno hiyo huku akinitazama usoni mwangu, kutokana na mimi nilisha ridhika na kufika kileleni zaidi ya mare nne, nikajitoa juu yake na kujilaza chali huku nikihema sana, kwani kasi niliyo kuwa nayo ni kali sana.

“Eddy ninakuomba usiniache, umesha nifungua njia yangu. Tambua kwamba nina kupenda sana”

“Ninakupenda pia Jojo, nitajitahidi kuhakikisha unakuwa ni mwanamke mwenye raha furaha na amani katika maisha yako”

“Asante sana mume wangu”

“Hhaaa, mume bado”

“Ila ndio tumesha kuwa hivyo”

Kwenye maisha yangu yote ya hapa duniani sijawahi kupata usiku wenye furaha kama huu, japo Eddazaria ana majeraha kadhaa mwilini mwake, ila hakusita kunisogeza kichwa changu kifuni mwake, tukaendelea kuzungumza stori za hapa na pale hadi nikapitiwa na usingizi na kulala fofofo huku nikiwa nimemkumbatia Eddazaria.

“Hei morning?”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya upole huku akinitazama.

“Morn baby”

Nilizungumza huku nikipiga miyayo ya usingizi, nikakiweka sawa kichwa changu kifuani mwake.

“Kumekucha i hope Clara atakuwa amesha amka”

“Ohooo, sitamani hata kuamka jamani hapa”

“Najua hili, leo nimelala ndoto nzuri, japo nimepigwa ila sina mauvivu kabisa mwilini mwangu”

“Labda dawa zimekusaidia?”

“Hapana, joto lako ndio limenisaidia”

“Kweli baby”

“Ehehee”

Taratibu nikajisogeza karibu na uso wake, tukanyonyana midomo kwa dakika kadhaa kisha nikashuka kitandani. Nikaingia bafuni na kuoga, nikajifunga kanga yangu, kisha nikarudi kitandani.

“Unakwenda kuoga?”

“Yaa najifikiria hapa, niende sasa hivi au laa”

“Jikaze kaze ukaoge ili mwili upate nguvu, si unajua tangu jana hujaoga”

“Yaa, basi ngoja niende”

“Poa ngoja mimi nikaandae chai”

Nikambusu Eddazaria mdomoni mwake kisha nikatoka chumbani humu, nikaingia chumbani kwangu na kumkuta dokta Clara naye akitoka bafuni kuoga.

“Habari dokta?”

“Salama Jojo, vipi hali ya mgonjwa?”

“Ahaa anaendelea poa, nimemuacha akijiandaa kwenda kuoga”

“Ohoo sasa, kuna sindano natakiwa kumchoma hii asubuhi kabla hajanywa chai”

“Ahaa sawa hakuna tatizo, mimi ngoja niandae chai, ili muweze kupata kifungua kinywa”

“Sawa”

Nikachukua nguo kabatini mwangu, nikavaa na kutoka chumbani humu. Nikaingia chumbani mwa Eddazaria na kumkuta akinyanyuka kitandani.

“Dokta anataka kukuchoma sindano, sasa nenda kaoge ukiwa tayari utamjulisha”

“Sawa”

Nikatoka chumbani humu na kuelekea jikoni, nikaanza kuandaa kifungua kinywa, sikuchukua muda mwingi nikamaliza. Nikaweka kila kitu mezani, kabla ya kwenda kuwaita nikawaona dokta Clara na Eddazaria wakishuka kwenye ngazi.

“Jojo umepika chai na nini?”

“Mikate ya mayai, soseji na mayai ya kawaida”

“Mmmm protein plus protein, mutakuwa vibonge nyinyi”

“Hapana dokta Clara, kwa mimi siwezi kuwa kibonge labda Eddy”

“Tena na mimi mwili wangu ulivyo mbaya, nikijiachia tu siku chache ninakuwa kibonge kweli”

“Inabidi mupunguze kula vitu vya kunenepesha, kwa siku ukila haya yai moja la kuchemsha, slesi mboli au tatu zisizo pakwa hata blueband, basi munaweza kuepukana na ubonge”

“Si kwa mtu wangu hapa, ukimlisha hivyo asubuhi anaweza kufa”

Nilizungumza huku nikimtazama Eddazaria kwani maneno haya yanamuhusu yeye. Tukaa kila mtu kwenye kiti chake, nikaongoza sala fupi ya chakula hichi, kisha nikawakaribishaa na kuanza kula taratibu taratibu.

“Clara itanichukua muda gani hadi kupona?”

“Five au seven days?”

“Hivi hajaumia ndani kwa ndani kwa maana ninavyo muombia tukafanye chake up hospitalini mwenzangu hataki”

“Hajaumia kwa ndani, hapo ni maumivu ambavyo nikiendelea kumchoma sindano na vidonge vile nilivyo mpa akivizingatia basi afya yako itazidi kuimarika na kurudi katika hali yako ya kawaida”

“Sawa. Jojo ukimaliza kunywa chai basi nenda kamcheki dogo hospitalini, sijisikii poa sana”

“Na hiyo sindano haitaji kuangaika, inahitaji utulie kwa muda mrefu sana, kwaana ina nguvu sana. Umesema kwamba dogo yupo hospitalini?”

“Yaa, jana sikukuambia, mwanangu naye amapata ajali akiwa shuleni kwao na amevunjika mkono”

“Basi Jojo kama hoto jali tuongozane niende kumuona pia nikachukue dawa za kuendelea kukuponyesha”

“Hilo halina tatizo dokta, sio hatari kumuacha mgonjwa peke yake hapa nyumbani?”

“Hapana sio hatari, au mgojwa unasemaje?”

“Nyie nendeni, alafu Jojo usisahau kunitolea laptop yangu kwenye gari”

“Nimekupata bosi”

Nilizungumza huku nikinyanyuka kwenye kiti nilicho kikalia, nikanawa mikono yangu, nikachukua funguo za gari juu ya meza, kisha nikatoka nje, nikafungua gari na kuchukua laptop iliyopo siti ya nyuma na kurudi nayo ndani.

“Dokta ngoja nijipodoe fasta, tuondoke”

“Sawa”

Nikapandisha gorofani, nikaingia chumbani kwangu, nikajiandaa haraka haraka kisha nilarudi sebleni.

“Tayari dokta”

“Sawa”

Dokta Clara akatangulia nje na mimi nikamfwata Eddazaria kwenye kiti alicho kikalia katika meza hii ya chakula.

“Baby ninaenda nikuletee nini?”

“Ahaa….chochote, ila kabla hujakwenda hospitalini mnunulie Gody choocalate fulani hivi zinaitwa Milo, zipo kwneye ganda la kijana anazipenda sana”

“Usijali hilo, kitu kingine anacho kipenda?”

“Pinaple juis, picha na pop corn. Ukimpelekea hivyo basi atafurahi sana”

“Na wewe je?”

“Like a father like a son”

“Hahaaaa…..haya mwaye”

Tukanyonyana na Eddazaria midomo yetu kisha nikaondoka hapa, nikamkuta dokta Ranjiti akizungumza na simu, nikafungua mlango wa upande wangu, akapanda na yeye, nikawasha gari na taratibu nikaanza kuondoka nyumbani hapa.

“Munaonekana wewe na kaka yako munaishi kwa furaha sana ehee?”

“Yaaa, furaha ndio msingi wa maisha yetu”

“Ni kweli, sasa hivi ninaanza kumuona amekuwa ni mtu wa furaha, kipindi yupo kwenye ndoa hakuwa vile, alikuwa ni mtu mwenye mawazo, mtu asiye na furaha. Nilikuwa ninajaribu sana kumpa ushauri wa kisaikojia ila alikuwa ni mtu aliye kata tamaa kabisa, yaani laiti ingekuwa sio yeye kuwa na mtoto, basi angesha jiua siku nyingi”

“Weeee!!”

“Haki ya Mungu, Eddazaria mimi ndio mshauri wake wa mambo mengi sana, hata hili swala la wewe kufungua kampuni ya filamu, aliniomba ushauri afanye kazi na wewe au laa, nikamuambia afanye maamuzi sahihi, na nina imani maamuzi sahihi ameyafanya”

“Nashukuru sana dokta, kwa maana nisikufiche, mimi na Eddy kwa sasa tupo kwenye mahusiano”

“Ninaliona hilo”

Dokta Clara alizungumza huku akitabasamu, jambo lililo nifanya na mimi kutabasamu kidogo.

“Yaa kusema kweli nimekaa na Eddy kwa muda mfupi ila amekuwa ni mtu wa kunijali sana, amekuwa muwazi sana kwa mambo mengi sana kwenye maisha yake hadi pigo alilo lipata la kuunguziwa nyumba yake basi ameweza kulipoteza kwa kuwa karibu nami na mimi ninajitahidi kumjali sana”

“Hilo ni jambo jema sana kumjali, kitu ambacho nimekigundua kwa Eddazaria, huwa akipenda anapenda kweli na hatanii, ila mtu ukimuumiza, inamchukua muda sana kufanya maamuzi ya kuacha ila akikuacha basi kurudiana nawe inakuwa ni sawa na maiti ikafufuka. So jaribu sana kuishi naye vizuri, usimuumize kabisa, utampoteza”

“Siwezi kufanya hivyo dokta, hivi unajua kwamba Eddy ndio mwanaume wnagu wa kwanza kwenye maisha yangu”

“Waoooo, am happy kusikia hivyo. Ila kama ni wa kwanza basi awe ndio wa mwisho kabisa, najua utakuja kuwa super star, wanaume watakupenda, watakuhitaji, wengine watatumia vyeo vyao vya kiserikali ili maradi kukupata, so kuwa makini mdogo wangu katika hilo”

“Usijali dokta, tuombe uzima kwa Mungu, utashuhudia ndoa yetu na mwanaye Godlove nitampenda kuliko hata upendo ambao alikuwa akipewa na mama yake mzazi”

“Kweli unatakiwa kufuta ile misem ya kusema kwamba mama wa kambo sio mama”

“Ni kweli, ngoja kuna vitu nichukue hapa super makert, tumpelekee mtoto hospitalini”

“Sawa”

Nikasimamisha gari kwenye moja ya super makert, nikashuka na kuingia ndani, nikaanza kuchagua vitu Eddazaria aliniagizia. Nikafanya malipo kisha nikarudi kwenye gari na tukaendelea na safari yetu.

“Dokta una muda gani tangu ujuaje na Eddy?”

“Toka nikiwa A level, yeye alikuwa O level na mimi nikuwa A level, niliishi naye kama dada wake wa shule, na nilikuwa mshauri wake tangu shuleni hadi hivi tumekuwa sasa”

“Ahaa ni mtu wa aina gani kwenye maisha?”

“Ni mtu mwenye msimamo, ni mtu anaye jali, anasikiliza kile anacho shauriwa na hukifanyia kazi akiona kina mfaa. Pia ni mtu mmoja asiye penda kuyumbishwa, anaheshimu mawazo ya kila mtu. Ukifahamu hivyo basi utaweza kuishi naye vizuri sana”

“Nashukuru sana dokta kwa kulifahamu hilo, unajua mimi kwenye mapenzi bado ni mgeni kwa hiyo nisije nikafanya kitu kwangu nikaona ni sawa na badaye kikaniletea madhara”

“Ni kweli, ni swali zuri ulilo niuliza kwa hiyo siwezi kukudanganya kwa maana ninamjua vizuri Eddazaria, na ili mahusiano yako yawe na amani inabidi basi uweze kuendana naye”

Tukafika katika hospitali ya muhimbili, tukashuka kwenye gari, nikabeba mfuko wenye vitu alivyo nielekeza Eddazaria, tukaelekea katika wodi za watoto, tukapitia vitanda vyote ila hatukumona.

“Labda wayakuwa wamempeleka katika private room”

Clara alizungumza huku tukitoka katika wodi hii, Clara akamueleza daktari mwenzake akatuelekeze chumba alicho lazwa Godlove, tukafika katika mkango wa chumba hichi, ila tukakuta upo wazi kidogo, nikausukuma kidogo na kuchungulia ndani, macho yakanitoka na kustuka sana, hii ni baada ya kumuona mlezi wao wa kiume akiwa ameuwawa kwa kupogwa risasi kifuani mwake, jambo lililo zidi kutuchanganya akili mimi na dokta Clara ni kutokuwepo kwa Godlove katika chumba hichi tulicho elezwa kwamba ndipo alipokuwa amelazwa.



Kwa haraka dokta Clara akamuwahi melezi wa kiume katika shule hii ya kina Godlove, nikatoka nje na kuanza kupiga kelele za kuomba msaada, manesi na madaktari ambao walikuwa karibu na eneo hili kwa haraka wakaingia katika chumba hichi, kila mmoja aliye uona mwili wa mlezi huyu wa kiumea akaonekana kushangaa sana. Kwa haraka wakasaidiana kuuweka mwili huo juu ya kitanda na kuanza kuufanyia matibabu. Akili yangu ikazidi kuchanganyikiwa zaidi, baada ya kila mtu niliye muuliza kwamba amemuona mtoto mdogo wa kiume akitolewa katika wodi hiyo, kusema hapana. Jasho jingi likaendelea kunimwagika, huku nikijaribu kuvuta matukio japo nipate picha kwa mbali ya tukio zima lilivyo kuwa linatendeka. Nikabahatika kuona kamera ya ulinzi katika eneo hili na nikaamini ni lazima kamera hiyo itakuwa imerekodi matukio kadhaa.

“Dokta ninaweza kupata video za ile kamera ilivyo rekodi?”

Nilimuuliza daktari mmoja anaye toka katika chumba hichi. Akaitazama kamera hiyo kwa muda kidogo.

“Twende tukajaribu”

“Asante”

Tukangozana kwa mwendo wa haraka hadi katika chumba kinacho tumika kwa ulizi kwa njia ya kamera. Dokta huyu akamuelezea tukio kijana tulite mkuta humu ndani na kwa haraka kaanza kurudisha matukio ya nyuma katika kamera hiyo. Hadi inatimia matukio ya saa tisa usiku, tukaanza kushuhudia, madaktari wawili walio jifunika nyuso zao kwa vitambaa vyeupe huku wakiwa wamevalia makoti meupe, wakiingia katika chumba alichokuwa amelezwa Godlove huku wakisukuma kitanda chenye shuka jeupe. Hatukuweza kuona kitu kilicho tendeka ndani baada ya kama dakika kama nne hivi, madaktari hao wakatoka katika chumba hicho huku wakiwa wamemlaza Godlove juu ya kitanda na kumfunika kwa shuka jeupe.

“Wamelekeea wapi?”

Nilimuuliza kijana huyu, kwa haraka kamahamisha video hiyo kwenye kamera iliyo onyesha madaktari hao wakitoka na kitanda hicho na kuelekea katika maeneo ya magesho, wakamuingiza Godlove katika gari la wagonjwa, kisha wao wakaingia na kuondoka katika eneo hili na kutuacha tukiwa tumeduwaa kwa sekunde kadha.

“Ninaomba hii video uniwekee kwenye simu yangu”

“Samahani dada siwezi kufanya hivyo, na pia hapa nimewafanya fea kwa maana siruhusiwi kumuonyesha mtu yoyote hizi video pasipo amri ya mabosi wangu”

“Unalipwa kiasi gani kwa mwenzi?”

Swali hili likamfanya kijana huyu kunitazama usoni mwangu, kisha akamtazama daktari niliye ingia naye humu ndani.

“Zungumza, unanidharau kwa sababu ni mtoto wa kike au?”

“Hapana, maana yangu sio hiyo kabisa dada yangu”

“Ila?”

Niliuliza kwa msisitizo huku nikimkazia macho kakak huyu.

“Laki sita na nusu”

“Nitakupa mara mbili ya mshahara wako, niwekee hiyo video kwenye simu yangu na kama pia una utaalamu wa kuweza kutakatisha hizo sura za hawa watekaji, zitakatishe niweze kuziona na pesa yao itaongezeka”

“Mmmm, ila unajua dada kwa mimi siwezi kuifanya hiyo kazi kwa hapa ofisini na inavyo onyesha walio kuwa wameingia shifti ya usiku ndio watakuwa wamelala hadi hili tukio likajitokeza”

“Kaka mimi sihitaji hizo stori ninazo hitaji ni kupata uhakika wa nani muhusika wa hili tukio basi”

“Ila dada mbona unauliza sana juu ya hili tukio kwani huyo mtoto aliye tekwa ni nani kwako?”

Dokta aliniuliza huku akinitazama.

“Wajibu kama Mtanzania ni lazima niulize juu ya mtoto kama huyu, ila kwa nyinyi na uzembe wenu na munavyo penda kula rushwa nina hisi hata nyinyi mumehusika?”

“Hapana usiseme hivyo sister hapo utakuwa unaharibu, maana yangu ya kukuuliza haikuwa kama hivyo unavyo fikiria”

“Ni mwanangu. Umerishika?”

“Yaa nimeridhika, na tutakusaidia pasipo hata kukudai hayo malipo”

Mlio wa meseji kwa upande wa mtandaowa whatasapp ukaita nikaitoa simu yangu, hata kabla sijaufungua mjumbe huyo, simua yangu ikaanza kuita, nilipo liona jina la Eddazaria moyo wangu ukanipasuka, woga ukanijaa na nikajiuliza endapo ataniuliza kuhusiana na mwanye nitamjibu kitu gani. Nikajikaza na kuipokea simu yangun a kuiweka sikioni.

“Jojo, mama Gody amemchukua mtoto, ninatahakikisha kwamba anamrudisha mikononi mwangu”

Nikashusha pumzi nyingi sana hadi daktari na huyu kijana wakaniangalia.

“Umejuaje wewe?”

“Amenitumia video Whatsapp akiwa na mtoto, na nimejaribu kuitafuta hiyo namba anayo itumia ila haipo kabisa”

“Ninakuja hapo nyumbani sasa hivi sawa”

“Ninajiandaa kutoka hivi sasa”

“Eddy hembu angalia hali yako unataka kwenda wapi mpenzi wangu”

“Lazima mama Gody alipe kwa hili analo lifanya hawezi kunitenganisha na mwanangu siku hata moja, nitakujulisha sawa”

Hata kabla sijamjibu Eddazaria akakata simu yake, kwa haraka nikampigia ila namba yake nikakuta haipatikani hewani jambo lililo zidi kunichanganya akili yangu. Nikatka chumbani humu bila hata kuaga, nikakutana na dokta Clara njiani.

“Ulikuwa wapi Jojo, nilikuwa ninakutafuta”

“Mtoto ametekwa na mama yake, Eddy anadai anakwenda kumtafuta hapa nilipo nimechanganyikiwa kwa kweli”

“Weee, ngoja kwanza unataka kuniambia kwamba mama Gody ndio amemchukua mwanaye?”

“Hajamchukua, ila amemteka, angejekuwa amemchukua watu wake wasinge muua mlezi wa watu”

Nilizunguzma kwa msisitizo huku tukitoka katika eneo hili.

“Tutoe ripoti polisi, kwa maana hili ni tukio la kijambazi”

“Hakuna msaada tutakao upata huko polisi cha kufanya hivi sasa hakikisha kwamba tuna jua ni wapi alipo, hembu jaribu kumpigia kwa simu yako”

Dokta Clara akatoa simu yake na kumpigia Eddazaria, hadi tunafika lilipo gari simu ya Eddazaria haipatikani hewani.

“Mungu wangu sijui atakuwa amekwenda wapi?”

Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na wasiwasi mwingi moyoni mwangu. Tukaingia ndani ya gari huku sote tukiwa ni wapi tunaelekea.

“Yaani si kwa nini Eddy ameamua kufanya maamuzi kama haya jamani?”

Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu.

“Ninacho kihofia mimi ni afya yake kwakweli, hivi ni ajali gani ile aliyo ipata kwa maana ana michirizi kama ya vimbo”

“Alipigwa jana na askari, yaani sijui hata itakuwaje?”

“Twende nyumba?”

“Nyumbani kufanyaje kwa maana hatuwezi kumkuta?”

“Wewe twende tu tukaanzie kumuangalia nyumbani kwa maana kwa sasa hatuwezi kufahamu ni wapi alipo”

Nikakubaliana na ushauri wa dokta Clara, nikawasha gari na kuondoka katika eneo hili la hospitali. Tukatumia masaa mawili hadi kufika nyumbani kwangu, tukaingia ndani, wote tukajikuta tukiwa tumeduwaa baada ya kumkuta Eddazaria akiwa ameanguka kibarazani huku amelala kifudi fudi, sote kwa haraka tukashuka kwenye gari kwa haraka na kukikimbilia sehemu alipo anguka, dokta Clara akaanza kumpima pia kwa kiganja chake.

“Yupo hai, tumbebe tumuingize ndani”

Tukajikaza hivyo hivyo kumnyanyua na kumuingiza ndani, tukamuweka juu ya sofa. Dokta Clara kwa haraka akaanza kukimbilia gorofani, nikaichukukua simu ya Eddazaria na kuanza kuikagua simu hiyo, nikafanikiwa kuipata video aliyo tumiwa na mama Godlove.

‘Hei, Eddy, siwezi kumuacha mwanangu ateseke na kulelewa na mama wa kambo, usijisumbue kumtafuta mwanangu kwa maana hadi sasa hivi ninavyo zungumza hatupo nchini Tanzania, na wala huto weza kujua ni wapi mwanangu alipo. Mimi kama mama nina haki zote za kumlea mwanangu, Gody ndio mtu pekee ambaye nilikuwa nimemsahau kwako. Nikutakie maisha mema na huyo malaya wako Jojo nasikia unaishi naye’

Nikajikuta nikikaa kwenye sofa huhu nikiwa nimeishiwa nguvu kabisa kwani mazingira yanayo onekana kwenye video hiyo, ni ndani ya ndege. Dokta Clara akashuka akiwa na mkoba wake, akaanza kumuhudumia Eddazaria, akamchoma sindano kwenye mkono wake wa kushoto na kumfanya Eddazaria kufumbua macho yake.

“Hei hei, Eddy”

Dokta Clara alizungumza huku akimpiga vibao vya mashavu.

“Eheee….”

“Upo sawa”

“Ni nini kilicho tokea?”

Dokta Clara akanitazama huku akionekana kumshukuru Mungu kwa kile alicho kifanya.

“Pumzika kwanza”

Dokta Clara akasimama, kwa ishara akaniita pembeni, nikamfwata sehemu aliyo simama.

“Laiti kama tungechelewa japo dakika kumi tungempoteza duniani mpenzi wako”

“What?”

“Yaa alipata tatizo la mstuko wa moyo, kikubwa tumshukuru Mungu amenyanyuka kwa maana sasa hivi tungekuwa tunazungumza mambo mengine”

“Ohoo Mungu wangu, sasa tatizo hilo linatokana na nini?”

“Mstuko wa matukio makubwa ambayo yanaandamana na jazba kubwa. Sikutaka kukuambia pale tulipo kuwa tunamuingiza humu ndani kwa maana na wewe ungechanganyikiwa”

“Ila si atalikumbuka hilo tukio la kutekwa kwa mwanaye?”

“Sio kwa muda huu, sindano niliyo mchoma ni ya kuurudishia moyo wake nguvu ya kusukuma tena damu kwa maana alikuwa katika hali mbaya”

“Tumuwahishe hospitalini basi?”

“Sawa, nenda kamuandalie nguo za kutumia hospitali na mimi ninajaribu kuzungumza naye”

“Sawa”

Kwa haraka nikakimbilia chumani kwa Eddazaria, nikaanza kuchukua nguo kadhaa, kisha nikaziweka kwenye begi la mgongoni, nikatoka chumbani humu nikafika sebleni, nikawakuta Eddazaria na Clara wakiwa wanaelekea nje, huku dokta Clara akimsaidia kumshika mkono kwani anatembea kwa mwendo wa taratibu. Tukaingia ndani ya gari huku dokta Clara na Eddazaria wakikaa siti ya nyuma.

Kwa haraka nikwasha gari huku nikifungua geti kwa rimoti ndogo inayo tumika katika kufungulia geti. Tukaondoka nyumbani kwangu kwa haraka huku moyoni mwangu nikimuomba Mungu amsaidie Eddazaria apone haraka kwani ni mtu wangu wa muhimu sana kwangu.

“Jojo twende moja kwa moja muhimbili”

“Sawa”

Nikazidi kuongeza mwendo wa gari hili huku nikijitahidi kuhakikisha kwamba ninayapita magari yote yaliyopo mbele yetu. Nikiwa katika harakati za kuyapita magari manne yaliyo ongoza, galfa nikaona roli kubwa likija mbele yetu kwa kasi sana, nikakanyaga breki za galfa huku nikijitahidi kuhakikisha kwamba ninahimili kuserereka kwa gari hili ambalo taratibu ninaanza kuona likinishinda nguvu ya kulirudisha upande wangu wa barabara huku mwenye roli naye akiniwashia taa kali akionyesha kwamba nimpitesha kwenye upande wake la sivyo gari zetu zitagongana uso kwa uso na nina imani yaakuwa ndio mwisho wa maisha yetu.



Sikuhitaji kuchanganyikiwa katika hili, nikazidi kuhakikisha kwamba ninaweza kuepuka na ajali hii ambayo itatupata, kama Mungu alikuwa upande wangu, basi leo ni kweli emejidhiirisha kwangu, kwani nilipo jitahidi kulirudisha upande nina stahili kuwa, gari likaweza kufwata matakwa yangu na lori hilo likapita kwa kasi sana. Sikuhitaji kusimama wala kuwapa watu nafasi ya kushangaa, nikarudi tena upande ambao sio wangu, ninavyo zungumza hivi naamini wamadereva wananielewa. Nikaendelea kuyapita magari yaliyopo mbele yangu na kuzidi kuendesha gari hili kwa kasi.

Tukafanikiwa kufika hospitali ya muhimbili kwa mara nyingine, nikasimamisha gari kwenye maegesho sahihi.

“Asante Mungu tumefika?”

Nilizungumza huku nikigeuka nyuma, nikamtazama Eddazaria, akatabasamu kidogo kisha akafungua mlango na kushuka yeye mwenyewe, nikaufungua mlango wa upande wangu na mimi nikashuka ili kuwahi kumsaidia kutembea kwani bado anajisikia vibaya.

“Jojo wewe ni kichaa unajua?”

“Kwa nini Eddy?”

“Sio kwa mwendo huu”

“Nilitaka kukuwahisha hospitali”

“Twendeni huku”

Dokta Clara alizungumza na tukaanza kumfwata kwa nyuma.

“Hata kama ila Daa, umesababisha hadi mapigo yangu ya moyo kukaa fresh”

“Kwa nini?”

“Nilipo kupna unahangaika na hilo gari, na ulipo rudisha kushoto nikajihisi kama kaubaridi fulani kwenye moyo”

“Ila kusema kweli niliogopa, nilijua tunakufa leo”

“Mungu hajapanga tufe leo wala kesho”

“Hahaa kweli, yeye ni mwema”

Tukafika katika chumba cha daktari maalumu, Clara akaingia ndani na Eddazaria na mimi nikabaki nje. Nikachukua simu ya Eddazaria ambayo bado ninayo, nikairudia kuitaza video aliyo tumia na mke wake aliye pita. Mlango wa chumba cha daktari ukafunguliwa, ikanilazimu kuisimamisha video hii, akatoka dokta Clara na kukaa pembeni yangu.

“Vipi mgonjwa?”

“Anazungumza na daktari”

“Ila mwenyewe ameniambia kwamba anajihisi ana kijiubaridi kimepita kwenye moyo wake, na anajisikia vizuri baada ya lile tukio la kukoswa koswa na ajali”

“Yaani Jojo usinikumbushe, unajua ni lisha wazia sijui msiba wangu utakuwaje”

“Hahahaa, jamani kumbe waoga?”

“Ahaaa….ishu sio kuwa waoga, ishu ni je tukifa tutakufaje. Laiti tungekuwa ni waoga tungeanza kupiga makelele na mwisho wa siku mambo yangekuwa sio mazuri”

“Ila ni Mungu tu”

“Kweli hembu hiyo video”

Nikampa dokta Clara simu ya Eddazaria, akaitazama video hiyo kwa sekunde kadhaa, kisha akanirudishia simu hiyo.

“Kwa sasa hakikisha kwamba unajaribu kukaa na Eddazaria na kumshawishi atulie, kama ni kweli mke wake hapa anakiri amemchukua mtoto wa ajili ya kwenda kumlea basi atulie tu, kwa maana mtoto ni mtoto tu, lazima atarudi kwa baba yake”

“Yaa ni kweli, ila sijui ni kwa nini wamefikia hadi hatua ya kumsumbua mtoto kwa kumteka?”

“Unajua sisi wanawake kuna muda mwengine tunakuwa na matatizo, alafu tukiadhibiwa tunakuwa wa kwanza kulalamika kwamba tunaonewa”

“Ni kweli, ila mama Gody anatafuta bifu ambalo mwisho wa siku litakuja kuwa baya kwetu sote”

“Kwenye hili swala ninakuomba mdogo wangu ukae kando kwanza kwa maana ukiliingilia unaweza kujikuta malengo yako yanayumba”

“Ni sawa, ila sinto kaa kimya kuona anamgusa mtu ninaye mpenda”

“N..”

Dokta Clara akaikatisha sentensi yake mara baada ya mlango wa chumba cha daktari kufunguliwa, akatoka daktari pamoja na Eddazaria. Wote kwa pamoja tukasimama ili kuwasikiliza ni kitu gani kinacho endelea.

“Itabidi mgonjwa tumpumzishe, huku tukizidi kuiangalia afya yake”

“Sawa dokta”

“Kitu kingine dokta Clara ningeomba uangalizi wako japo upo likizo ila ninakuomba hilo”

“Usijali dokta nitamuangalia mgojwa hali yake hadi atakapo pona kabisa”

Nesi mmoja akaja na kiti che magurudumu, Eddazaria taratibu akaka, na nesi huyo akaanza kukisukuma huku nasi tukifwata kwa nyuma.

“Eddy”

“Mmmm”

“Unajisikiaje?”

“Poa”

“Kweli?”

“Yaa huniamini Jojo?”

“Nakuamini tena sana”

Tukaingia kwenyemoja chumba na kukuta kitanda kikiwa kimesha andaliwa vizuri, Eddazaria akabadilisha mavazi na kuvaa mavazi wanayo paswa kuvaa wagonjwa. Nesi, akishirikiana na dokta Clara pamoja na daktari huyu wakiume wakamshuhulikia Eddazaria kisha wao wawili wakatoka na kuniacha na dokta Clara pamoja na Eddazaria.

“Jojo, ukirudi nyumbani, chukua laptop yangu, kuna hadithi inaitwa Love Mask, isome vizuri uilewe, ikiwezekana kesho uje na Laptop hapa hospitalini, nikupe maelekezo zaidi, kwa maana hiyo ndio filamu ya kwanza tunayo kwenda kuitengeneza”

“Waooo, jina tu limeanza kunivutia”

Dokta Clara alizungumza kwa furaha sana.

“Hiyo Jojo ukiicheza haki ya Mungu lazima utatusua”

“Yaani hapa umesha nipa kiweluwelu, natamani sana hata kwenda sasa hivi nyumbani kuisoma”

“Uisome na kuielewa, alafu mpigie yule Tasiana, hakikisha kwamba anakuwa ni msaada wako kwenye kushuhulikia haya mambo hadi mimi pale nitakapo toka”

“Okay, namba zake si zipo kwenye zile fomu?”

“Ndio, zipo chumbani kwangu kwenye kabati”

“Poa ila unakumbuka kwamba kesho wale makamera man wanakuja”

“Sawa, haina shida, fanya utaratibu wa hoteli watakayo fikizia”

“Kama munahitaji hoteli basi kuna kaka yangu ana hoteli yake nzuri sana, anaweza kuwafanyia kwa ofa nzuri kama ni watu wanao kaa hapa Dar es Salaam kwa muda mrefu”

Dokta Ranjiti alizungumza huku akitutazama.

“Utakuwa umetusaidiaje, hapa tunahitaji hoteli ya watu kumi na mbili, kwa maana waliniambia kwamba wanakuja watu kumi na mbili”

“Jojo kwani kampuni yao haikusema kwamba ndio inawachukulia uangalizi watu wao?”

Eddazaria aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Katika swala hilo sikumbiki kwa kweli ila ngoja nitawasiliana nao nikifikia nyumbani ili niweze kuwauliza vizuri na ikiwezekana pia hadithi niweze kitafsiri kutoka katika kiswahi kuipelekea katika kichina”

“Unakifahami kichina vizuri?”

“Ndio ninakifahamu cha kuzungumza na kuandika”

“Poa ila usiibadilishe katika hiyo lugha hadi mimi mwenyewe niwepo”

“Sawa bosi”

Nikamkabidhi dokta Clara pesa ya kutosha kwa ajili ya kumnunulia Eddazaria chakula na matumizi ya hapa na pale, nikaondoka hapa hospitalini na kurudi nyumbani. Nikafika nyumbani majira ya saa kumi na mbili jioni. Niaichukua laptop ya Eddazaria, nikaiwasha, nikaitafuta hadithi aliyo niambai na kwa bahati nzuri nikafanikiwa kuipata.

Nikakaa kwenye sofa na kuanza kuisoma, kadri ninavyo zidi kuisoma hadithi hii ya Love Mask ndivyo jisni ninavyo zidi kutambua uwezo na kipaji kikubwa alicho nacho Eddazria, kila tukio ninalo lisoma kichwani mwangu ninajikuta kama ninaliona vile. Hadi ninamaliza kuisoma hadithi hii nikajikuta nikinyanyuka na kushangilia kwa furaha sana kwani ni hadithi ni nzuri hadi inachukiza kwa kweli.

‘Your genius my baby’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikivuta picha ya matukio ambayo nitakwenda kuyafanya kwenye hii filamu. Wazo la wasanii ambao watashiriki likanijia kichwani mwangu, kwa haraka nikapandisha gorofani, nikaingia chumbani kwa Eddazaria na kuanza kupekua pekua ndani ya kabati la Eddazaria, nikitafuta ni wapi ilipo fomo ya Tasiana. Nikaiona, kwa haraka nikaichukua nikaanza kuisoma fomu hii, nikakipata namba ya Tasiana, nikatoa simu yangu mfukoni, na kuanza uiandika namba hiyo kwa haraka, nilipo maliza nikampigia Tasiana. Simu yake ikaanza kuita kwa muda kisha ikapokelewa.

“Haloo”

Niliisikia sauti ya Tasiana, msichana anaye fanana sana na mama Godlove.

“Habari yako Tasiana”

“Salama nani mwenzangu?”

“Unazungumza na Jojo, mkurugenzi wa kampuni ya….”

“Nimekufahamu dada yangu, habari yako dada”

Tasiana hakuhitaji hata niimalizie sentensi yangu, sauti yake ikabadilika na kuwa ni mtu aliye tawaliwa na furaha kubwa sana.

“Salama, ninapenda kukuambia kwamba umefanikiwa kuchaguliwa kuwa miongoni mwa wafanyakazi katika kampuni yangu”

Tasiana akapiga kelele nyingi za kushangilia sana, kama mtu aliye pewa taarifa kwamba ameshinda bahati nasibu ya mamilioni ya pesa.

“Tasiana, Tasiana naokmba nisikilize”

“Ndio dada yangu, niambie…ohoo asante Mungu”

“Ninahitaji wasanii watakao anza kuingia location wiki ijayo”

“Dada yangu usijali, yaani hapa nipo katika kiundi chetu cha mazoezi ya kuigiza, yaani kuna wasanii wa kutosha, ikiwezekana unaweza hata wewe mwenyewe kuja na ukajionea wasanii jinsi walivyo na vipaji vikubwa sana”

“Ninaimani kwamba katika kikundi chako kuna uongozi, kama upo basi nitahitaji uwafikishie hiyo taarifa na kesho pajapo majaliwa ya Mungu nitakuambia ni wapi ulipo ili uweze kuja na twende pamoja kwenye kikundi chako”

“Sawa dada yangu yaani sasa hivi ninauambia Uongozi juu ya hili jambo”

“Sawa tutaonana kesho”

“Kesho mazoezini dada yangu tunaingia saa nane mchana”

“Basi utanielekeza ni wapi ili niweze kufika”

“Sawa dada”

Nikakata simu huku nikiirudisha karatasi niliyo itoa katika kabati. Nikaweka kila kitu vizuri na kutoka chumbani humu, nikaingia kwenye chumba cha kwanza tulicho hifadhia kamera, kila kitu nikakikuta kama tulivyo kipanga, nikaingia katika chumba cha pili napo nikakuta kuna kila kitu kipo sawa. Nikakumbuka kwamba nina jukumu la kuwasiliana na mkurugenzi wa kampuni iliyo husika katika kuniuzia hivi vafaa, nikaitafuta namba yake na kumpigia. Namba yake ikaanza kuita, baada ya muda ikapokelewa.

“Jojo”

“Ndio kaka, nina imani kwamba vijana wako umesha waandaa”

“Yaa na tayari wamesha panda ndege kuja nchini Tanzania, nina imani kwamba kesho mchana watakuwa katika ardhi ya Tanzania”

“Nashukuru sana kwa wema wako, hivi swala la malazi mimi ninatakiwa kulishuhulikia ehee?”

“Hapana Jojo, kila kitu kampuni itahusika, wewe kitu kikubwa unacho weza kushuhulikia ni usafiri, wa kuwatoa hotelini na kwenda eneo husika ambalo mutafanyia filamu”

“Basi kwa hilo wala usijali, kila kitu kipo sawa”

“Nikutakia kazi jema katika hilo, ninategemea kuona filamu nzuri itakayo uza hata huku nchini China”

“Usijali kaka yangu Mungu ni mwema atabariki”

“Sawa nikitakie usiku mwema, kwa maana huku kwetu ni usiku sana”

“Sawa sawa kaka nawe pia”

“Haya”

Nikakata simu, nikarudi sebleni, nikairudia kuisoma tena hii hadithi iliyo nipa hamasa kubwa sana ya kuanza kufanya mazoezi ya kugiza mbele ya kioo ili kujiandaa na kuhakikisha pale kazi itakapo anza basi ninafanya kufuru ya kuigiza hadi director wangu wa movie Eddazaria afurahi kwani nitakuwa ninaifanya haki hadithi yake ambayo inasisimua kwa kweli.



Kusema kweli shauku kubwa imetawala sana mwili wangu na moyo wangu, hadi ninapanda kitandani kulala kichwa changu kinafikiria mambo mengi sana kuhusiana na hii filamu. Usingizi wa taratibu na ulio jaa furaha ukanipia. Mlio wa simu yangu, ukanikurupusha usingizia, nikafumbua macho yangu na kuanza kuitafuta ni wapi simu yangu ilipo, nikafanikiwa kuiona chini ya mto, nikaichukua na kukuta ni namba ya Eddazaria, taratibu nikaipokea, huku nikijifunia shuka vizuri kwani ubaridi wa A/C(Air Condition) ni mkali kiasi.

“Baby umeamkaje?”

Nilizungumza kwa sauti ya chini na iliyo jaa mahaba.

“Nipo poa, umeisoma stori?”

“Weeee mimi tena, yaani nimesha anza kuifanyia hadi mazoezi”

“Hahaahaa, ninaimani kwamba unaweza kufanyia haki?”

“Kwa hilo baba yangu usijali, hapa nataka nifanye utaratibu wa kwenda kuona moja ya kikundi cha sanaa maeneo ya Tabata, nina imani kwamba kuna wasanii ninaweza kuwaona na tukafanya nao kazi”

“No usichague msanii bila ya mimi kukuambia”

“Kwa nini?”

“Wewe ni mchezaji, ila hujui nani anafaa kuwa sehemu fulani, na nani anatakiwa kuwa sehemu fulani, kwa hiyo hembu vuta subira hadi mchana nina imani kwamba nitaruhusiwa”

“Okay my director”

“Hahaa umesha nitunza jina jipya”

“Yaani hilo jina linakufaa sana Eddy, hivi kwichwani mwako huwa unafikiria nini?”

“Kivipi baby?”

“Unapo andika hadithi zako?”

“Hilo swalo ni mara ya pili sasa unaniuliza?”

“Yaa na leo nataka unijibu kwa maana hii hadithi, kwanza sikutegemea kama inaweza kuwa hivi, pili hata jina lenyewe. Love Mask, unajua lazima linampa mtu kiweluwelu cha kufikiria hapo ni nini kinacho tokea?”

“Ndio maana nikakuambia kwamba ninafanya kitu ambacho utakipenda. Ehee vipi hao makamera man?”

“I hope by saa nane au tisa hivi watakuwa Airport”

“Ahaa, sasa umeandaa usafiri wa kwenda kuwachukua?”

“Nitakodisha costa moja nzuri, pia swala la hoteli wao wenyewe wanajua ni hoteli gani wanayo paswa kufikia”

“Okay, si utakuja huku hospitalini?”

“Yaa lazima nije mpenzi wangu, kwa nini nisije?”

“Poa mimi nipo?”

“Umekula?”

“Jana nimekula na leo nimekula pia”

“Sawa mume wangu kipenzi ninakupenda sana”

“Ninakupenda pia mke wangu”

Nikambusu Eddazaria kisha nikakata simu huku nikiwa nimejawa na furaha kubwa sana. Hata kabla sijashuka kitandani, Nuru akanipigia kupitia mtandao wa imo, nikaitazama kwa muda kisha nikaipokea na kuiweka simu yangu mbele kidogo ili tuweze kuonana vizuri.

“Baby”

Nuru aliniita kwa sauti ya kimahaba.

“Nimenunua?”

“Najua utanuna mpenzi wangu, samahani kwa kuto kutafuta kwa siku toka juzi?”

“Najua hunipendi siku hizi”

“Hapana mpenzi wangu, Jojo ninakupenda kuliko kitu chochote, penzi lako linaishi moyoni mwangu usizungumze hivyo bwana”

“Najua kuna visichana vimesha anza kukunyemelea, nikivishika ujue nitaviua?”

Nilizungumza kwa kudeka.

“Hapana jamani mpenzi wangu, siwezi kuwa na visichana, ikiwa shuhuli yako tu inanishindaga kuicheza hadi mwisho”

“Hhaaa, ehee niambie ulikuwa wapi jana?”

“Jana nilikwenda Korea, kuna vikoa vya wafanya biashara nilikuwa ninafanya kule sasa vikanichelewesha kurudi Chini, ila nimemaliza na hapa nipo free”

“Sawa kama ni kweli”

“Ni kweli mpenzi wangu, niamini”

“Ninakuamini mwaya”

“Nafurahi kusikia hivyo mpenzi wangu, ehee umefikia wapi?”

“Ahaa Eddy ameandika stori hiyo yaani ni nzuri sana”

“Ipo kiushindani katika soko la filamu la kidunia?”

“Kwa asilimia mia moja kabisa, yaani hapa leo mchana ndio ninataka kwenda kuwachukua wale makamera man”

“Oohoo sawa, una hitaji nini na nini katika maandalizi yako?”

“Nahitaji mascani hata mawili ya kisasa ambayo yataumika kubeba viafaa vya kampuni?”

“Tene hilo nilitaka kukuuliza, kwa maana nilipita sehemu Korea, nikakuta wasanii wana shoot filamu, basi hata hayo magari niliyaona, kwa hapa China yapo, ila sijajua wanayauzaje.”

“Yatakuwa ni garama sana”

“Ngoja niulize bei, kama yatakuwepo basi nitanunua manne, na yatasafirishwa kwa njia ya ndege za mizigo”

“Mmm kuna ndege zina uwezo wa kubeba malori makubwa kama hayo?”

“Ndio zipo, tena nyingi sana, mashirika makubwa yanashuhulika katika hilo”

“Naami yakija nchini Tanzania kodi inaweza kuwa kubwa sana”

“Nitalipia kila kitu mimi sawa”

“Nashukuru mpenzi wangu kwa kunijali”

“Nakujali kwa sababu ninakupenda Jojo wangu, ninakuomba usije ukanisaliti, kwa maana nitakuwa mtu mbaya sana kwako”

Nuru alizungumza kwa msisitizo hadi mapigo yangu ya moyo yakaanza kunienda mbio, nikajikaza kuto kuonyesha utofauti wangu kwake, kwa maana tayari nimesha msaliti na hata bikra yenyewe niliyo kuwa nikiitunza imesha tolewa na Eddazaria.

“Usijali mpenzi wangu, natambua una nipenda na kunijali, sina haja yoyote ya mimi kuweza kukusaliti, sawa mama yangu”

“Sawa baby, ila kuwa makini katika hilo”

“Usijali”

“Poa ngoja nimpigie agent wa magari hayo nimuulize kisha nitakutumia picha ukiyapenda basi ninayanunua”

“Sawa mpenzi wangu”

“Hivi una gari kweli la kutembelea?”

Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikimtazama Nuru usoni mwake.

“Ukimya wako unaonyesha kwamba huna, ngoja niangalie gari zuri kisha nitakuambia sawa”

“Sawa mpenzi wangu ninakupenda sana”

“Ninakupenda pia, sisi kwetu huku ni mchana, nyinyi ndio munaamka”

“Yaa si tunapisha masaa kadhaa”

“Masaa sita kama sikosei”

“Yaa”

“Haya bwana nisikuchoshe, fanya uoge uendelee na majukumu mengine”

“Sawa mpenzi wangu”

Tukapeana mabusu, ya ishara za midomo kisha Nuru akakata simu nikaiweka simu yangu pembe huku nikiwaza endapo Nuru atafahamu nina mahusiana na Eddazaria kuna kitu gania mbacho kitatokea. Nikaushusha mkono wangu wa kushoto hadi katika kitumbua changu, nikakishika taratibu huku nikishusha pumzi nyingi sana.

‘Ahaa shauri yake bwana’

Nilizungumza huku nikijifunua shuka, nikashuka kitandani, nikatembea hadi kwenye dreasing table yangu, nikajitaza uzuri wa kuanzia sura hadi mwili ambao Mungu amenipatia, nikajigeuza kwa mara kadhaa, huku nikiziweka sawa nywele zangu ndefu. Nilipo jithaminisha vya kutosha nikaingia bafuni, nikachukua mswaki wangu, nikaweza dawa kiasi kicha nikaanza kujisafisha kinywa changu. Nikamaliza shuhuli hiyo kisha nikaingia ndani ya sinki langu la kuogea na kuanza kuoga taratibu.Nikamaliza shuhuli nzima ya kuuweka mwili wangu safi, nikarudi chumbani kwangu, nikachagua nguo ya kuvaa kwa siku hii ya leo, nilipo ipata nikazivaa, kama kawaida yangu ya kijiremba, nilipo hakikisha kwamba nimekamilika kila idara, mtoto wa kike mie, nikatoka chumbani humu na kuelekea nje. Nikaingia ndani ya gari na kuondoka nyumbani kwangu.

Nikapitia kwenye mgahawa ambao huwa tunapenda kununua chakula mimi na Eddazaria, nikautazama mgahawa huu, na kukumbuka moja ya tukio kwenye filamu yetu linahitaji mgahawa. Nikamuita muhudumu mmoja wa kike aliye nihudumia chai hii ya maziwa na sambusa mbili.

“Samahani ninaomba kuuliza”

“Uliza tu dada”

“Mmiliki wa huu mgahawa ni nani?”

“Ni mama Ngoi, ila hajafika bado, ila muda si mrefu sana atafika”

“Ahaa”

“Ulikuwa na shida naye gani?”

“Ni vyema hiyo haja yangu nikamuambia yeye mwenyewe”

“Ohoo sawa, tena una bahati nzuri mama mwenyewe ni yule anaye ingia pale mlangoni”

Dada huyu alinionyesha mwa mama mmoja mrefu, mweupe, aliye jazia meneo ya kiunoni kushuka chini, akiingia ndani humu huku akiwa ameshika mkoba mkubwa kiasi. Shingoni amevaa cheni kadhaa za dhahabu huku mkono wake ukiwa na saa moja kali ya dhababu pamoja na bangili kadhaa.

“Ninaweza kuzungumza naye hivi sasa?”

“Ngoja nimuambie, je ni swala la kibiashara au binafsi?”

“Ni swala la kibiashara”

“Sawa”

Muhudumu huyu akaondoka hapa kwa haraka na kuanza kumkimbilia mwana mama huyo, kwa bahati nzuri akafanikiwa kumfikia, akamnong’oneza, kisha kwa pamoja wakatazama hapa nilipo kaa, wakanong’onezana kisha mwana mama huyo akaondoka na muhudumu huyo akarudi hapa nilipo kaa.

“Ameseme ukimaliza uelekee ofisini kwake”

“Nashukuru sana kwa msaada wako”

“Usijali ni jukumu letu kumuhumia kila mteja wetu, vipi leo shemeji hujaja naye?”

Dada huyu alizungumza huku akitabasamu usoni mwake.

“Hahahaa…shemeji yako amewahi kazini”

“Ahaaa sawa, ila unajua nini dada yangu”

“Eheee”

“Pale kamani mwanaume umepata kwa maana ana kila sifa inayo tufanya kila mwamke kumtamani, yaani sikufichi dada yangu wafanyakazi wote wa kike tukiwaona mukija na shemeji yaani tunakuwa kama tumerukwa na akili vile muda wote macho yanakuwa kwenu”

“Haahahaa, nitawakimbia musije mukanichukulia mume wangu”

“Hapana bwana dada, tunakuheshimu”

Dada huyu alizungumza kwa furaha sana, kwa mtazamo wangu wa haraka haraka nimegundua kwamba dada huyu ni mcheshi sana.

“Unanidai kiasi gani dada yanu?”

“Elfu saba tu”

Nikafungua pochi yangu na kutoa elfu ishirini, ikamkabidhi dada huyu.

“Itakayo baki utakunywa soda, sawa”

“Asante sana dada yangu. Mungu akubariki sana”

“Amen”

Nikanyanyuka na kuelekea katika sehemu ya kunawa mikono, nikanawa mikono yangu vizuri na kuridi kwenye meza nilipo acha pochi yangu. Nikatoa kitambaa na kujifuta mikono yangu, pamoja na mdomo wangu. Nikaongozana na muhudumu huyu hadi kwenye ofisi ya mwana mama huyu iliyopo gofoani. Akagonga mlango na mwana mama huyo akaturuhusu kuingia, tukaingia sote wawili, mwana mama huyu akanikaribisha kwenye kiti kilichopo pembeni ya meza yake.

“Jane unaweza kwenda”

“Sawa bosi”

Muhudumu huyu akatoka na kutuacha na mwana mama huyu anaye onyesha ana pesa nzuri tu.

“Ehee binti zungumza ni nini unahitaji”

Mwanamama huyu alizungumza kwa lafufhi ya kichaga.

“Ahaa, kwa jina ninaitwa Jojo, ni mmiliki wa J.O Entertiment”

“Hiyo J.O ndio nini?”

“Ni kampuni inayo shuhulika na maswala ya uzalishaji wa filamu”

“Ohoo na mumekuja kuomba udhamini au kwa maana kama ni udhamini binti haujapata kwa mana nilisha wahi kuwadhamini wasanini fulani wa filamu, wakaingia mitini na wala hawakurudisha hata fadhila ya kusema asante ya maneno”

Nikakaa kimya kwa sekunde kadhaa, huku nikimtazama mwana mama huyu ambaye kwa muda mchache nilio kaa naye hapa ofisini kwake, nimeweza kumtambua kwamba ni mtu mwenye dharua na majivuno.

“Sihitaji udhamini, kwa maana sina shida ya udhamini wa mtu wa ina yoyote”

Maneno yangu yakamfanya mwana mama huyu kufumbua macho sana macho yake na kuyafanya yaonekane makubwa kiasi.

“Mimi ni mfanya biashara, ninahitaji tufanye biashara kama huto hitaji kufanya biashara na mimi basi ninaweza kunyanyuka na kuondoka”

Mama Ngoi akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akajilaza kwenye kiti chake hichi cha kuzungukza huku akiendelea kunitazama.

“Ni biashara gani ambayo unahitaji kufanya na mimi Jojo?”

“Ninahitaji kufanya filamu yangu katika mgahawa wako, kama upo tayari unaweza kunitaji bei kisha tukajua ni nini tunafanya”

“Hahaa binti una pesa ya kunilipa kweli, kwa maana hauwezi kufanya filamu kwangu bure bure”

“Utahitaji kiasi gani cha pesa”

“Yaani binti ninakuonea hata huruma kukutajia ni kiasi gani cha pesa ninacho kihitaji kwa maana sidhani kama nyinyi bongo movie muna hiyo pesa”

“Nahisi unadharau za kipuuzi wewe mama, na inavyo onyesha hujiamini katika biashara zako, kwaheri”

Nilizungumza huku nikinyanyuka kwenye kiti changu, nikaanza kutembea kuelekea mlangoni huku nikiwa nimechefukwa na dharau za mwana mama huyu.

“Subiri”

Mama Ngoi alizungumza na kunifanya nisimame, nikageuka taratibu, mama Ngoi akanyanyuka kwenye kiti chake, akajiweka vizuri sketi yake ndefu yenye mpasuo hadi kwenye paja. Akasimama mbele yangu huku akiendelea kunitazama.

“Nitakufanyia bure ukikubaliana na hichi kitu”

Mama Ngoi, akaupitisha mkono wake wa kulia na kunishika makalio yangu na kunivuta karibu yake na miili yetu ikagusana. Nikatambua kwamba mwana mama huyu naye ni timu Nuru, na hajua mziki wangu kwenye hili swala na anacho kitafuta ni kupagawishwa na mimi na anaweza kuniganda bure akaniletea tabu kwa Nuru aliye toka kunichimba biti asubuhi ya leo.



Taratibu nikautoa mkono wa mama Ngoi kwenye makalio yangu huku nikimkazia macho.

“Sijakuja haoa kufanya ujinga kama huo, nimekuja kuzungumza biashara na wewe kama huitaji kufanya biashara na mimi kwaheri”

“Hahaaa, binti hivi unachezea fursa eheee. Nina pesa ya kukulisha wewe hadi ukaachana na yule bwana wako unaye kuja naye hapa kununua chakula”

“Hivi unahisi mimi nina shida sana, wewe una utajiri wa kiasi gani unao kutua kiburi kama hicho?”

“Hahaa, Jojo unajiamini sana eheee, au kisa bwana wako amekuonga hiyo BMW X5?”

“Sikia mama jiheshimu, tena jiheshimu sana.”

Nikapiga hatua moja mbele mama Ngoi akanishika mkono wangu kwa nguvu na kunivuta karibu yake kabisa, akataka kuninyonya mdomo wangu ila nikaukwepesha na kunipiga busu la shavu , upande wa kushoto.

“Unakataa nini Jojo, mimi nimekupenda gafla, usione ninafanya hivi, tangu siku nilipo kuwa ninakuona unakuja hapa kununua chakula na bwana wako nilivutiwa na wewe, tafadhali nakuomba uzipokee hisia zangu”

Nikatabasamu kidharau huku nikimtazama mama Ngoi.

“Nisikilize kwa umak…..”

Mama Ngoi akaniwahi lipsi zangu na kuanza kuzinyonya kwa nguvu, nikajaribu kujitoa ila akawa amenidhibiti kichwa changu kwa kukishika kwa nyuma. Msisimko wa kihisia ukanipanda na kujikuta na mimi nikianza kuupitisha mkono wangu wa kulia shingoni mwake. Mkono wangu wa kilia ukamshika mama Ngoi kwenye makalio yake makubwa na kuanza kuyaminya.

“Mmmmmm…..”

Mama Ngoi aliguna kimahaba huku tukiendelea kunyonyana midomo yetu. Nikamgeuza mama Ngoi na kumkumbatia kwa nyuma, huku mikono yangu ikitaminya minya maziwa yake makubwa kiasi.

“Aiiss…….iiiii”

Mama Ngoi alilalama kwa utamu ninao mpatia kwa kumminya maziwa yake. Mlio wa simu yangu ukatustua sote wawili, taratibu nikamuachia mama Ngoi aliye kunja sura yake akionyesha dhairi kwamba simu imemkera. Nikaitoa mfukoni simu yangu na kukuta Eddazaria ndio anaye nipigia, kwa ishara nikamuambia mama Ngoi kuto kuzungumza chochote.

“Baby”

Nilizungumza kwa sauti ya upole.

“Niambie”

“Safi tu”

“Nimeruhusiwa sasa hivi, upo wapi?”

“Nipo kwenye huu mgahawa hapa tunao nunua chakula”

“Ahaaa….njoo basi unichukue kwa maana sihitaji kukaa hapa hospitalini, pasije pakanizoea bure”

“Sawa ninakuja mume wangu. Dokta Clara yupo hapo?”

“Hapana Clara amekwenda kwake, kubadilisha nguo”

“Ahaa basi ninakuja, ngoja nile fasta fasta”

“Poa, nijie na soseji mbili”

“Sawa”

“Za kukaanga lakini”

“Sawa mume wangu”

“Poa”

Nikakata simu na kurudisha kwenye mfuko wangu, nikauokota mkoba wangu ambao sijui hata niliubwana vipi chini.

“Tutafanya siku nyingine”

“Jojo”

Mama Ngoi aliniita kwa sauti upole huku akinitazama usoni mwangu kwa macho malegevu.

“Mmmmm”

“Naomba uchukue namba yangu tuwasiline”

Nikaitoa simu yangu mfukoni, nikamkabidhi akaandika namba yake ya simu, kisha nikatoka humu ndani na kuisave kwenye simu yangu, nikanunua soseji alizo niagiza Eddazaria na kuondoka katika eneo hili. Njia nzima mawazo yakaanza kumfikia mwana mama huyu, ambaye anakiri kwamba ananipenda, japo mimi mwanamke mwenza. Sikupata jibu sahihi kwa maana hata maisha mazuri niliyo nayo hivi sasa yametokana na kupendwa na mwamake mwenzangu. Nikafika katika hospitali ya Muhimbili, kabla sijashuka kwenye gari, nikafungua mkoba wangu, nikatoa rangi ya mdomo pamoja na kioo kidogo, nikaanza kujiweka vizuri lispi zangu, ambazo rangi yake iliondoka kutokana na kudendeka na mama Ngoi. Nilipo hakikisha kwamba nipo sawa nikashuka kwenye gari, nikaanza kutembea kwa haraka kuelekea katika wodi aliyo lazwa Eddazaria. Nikafika katika wodi hiyo na kumkuta akiwa amevaa nguvo nyingine ambazo jana nilimbebea.

“Mbona umechelewa?”

“Foleni mpenzi wangu”

Nikambusu Eddazaria mdomoni na kukaa pembeni yake, nikamkabidhi kifuko nilicho mnunulia soseji alizo zihitaji.

“Baby sasa hii tisheti imekubana, si itakuwa inakutonesha hiyo michirizi ya fimbo”

“Imeacha kuuma”

“Mguu na mbavu je?”

“Vyote vimeacha kuuma kuna sindano nimechomwa na dokta asubuhi hii ndio imeniondolea maumivu hayo”

“Dawa itadumu kwa muda gani mwilini?”

“Masaa ishirini na nne, baada ya hapo nitachoma tena sindano hiyo”

“Sasa Eddy mpenzi wangu, wewe utakuwa ni mtu wa kuchoma sindano za kutuliza maumivu hadi lini na inaonyesha kwamba hapa umelazimisha madaktari kukuruhusu kutoka hospitalini?”

“Hapana, kwani nina tatizo gani kubwa la kunifanya nilale hospitali kwa muda mrefu?”

“Eddy jana ulianguka na tulikukuta ukiwa umepoteza fahamu?”

“Nalitambua hilo, hapa ninaendelea kushuhulikia swala la kutafutwa kwa mama Gody”

“Sawa, umemkabidhi kazi nani?”

“Baba mkubwa?”

“Ila inavyo onyesha kwamba kama mama Godlove alikuwa kwenye ndege?”

“Yaa, anaendelea kutafutwa, cha kufanya sasa hivi, akili yangu nataka kuielekeza katika hiyo filamu”

Kwa furaha nikajikuya nikimbusu Eddazaria shavuni mwangu.

“Mmmm hiyo pafyumu umeitolea wapi?”

Eddazaria alizungumza huku akininusa kifuani mwangu. Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio, ila nikajikaza kidogo tu.

“Mbona hujibu, ulikuwa na nani muda huu?”

“Sikuwa na mtu mpenzi wangu, ila yule mama mmiliki wa ule mgahawa alinipulizia kidogo pafyumu yake baada ya kumuambia kwamba nimetokea kuipenda”

“Amekupulizia wapi?”

Eddazaria aliniuuliza huku akiwa amenikazia macho na kunifanya nizidi kujawa na woga.

“Huku”

Nilizungumza huku nikimuonyesha kwa ishara ya kidole, eneo la makwapa yangu. Kwa haraka Eddazaria, akaninyanyua kwapa la upande wangu wa kushoto na kuninusa.

“Mbona huku unanukia pafyumu yako, ila hapa kifuani ndio unanukia pafyumu ya huyo mama?”

Eddazaria alizungumza kwa hasira kidogo hadi nikajikuta nikisogea pembeni kidogo ili kukaa naye mbali.

“Ni….nili….”

“Nili nini? Makwapa yamegeuka kuwa kifua eheeee?”

Eddazaria alizungumza huku akiuachia mfuko wa soseji alio kuwa ameushika na ukaanguka chini, nikanyanyuka na simama mbali naye kwani sura ya hasira ambayo niliwahi kuiona akigombana na mama Godlove, ndio hii ninayo iona hivi sasa.

“Njoo hapa”

“Eddy niamini mpenzi wangu, ni pafyumu ya mama Ngoi, ndio amenipulizia”

“Nimekuambia njoo hapa”

Eddazaria alizungumza kwa hasira hadi mikono ikaanza kumtetemeka, woga ukazidi kujijaa, haja ndogo nikajikuta ikinibana. Nikaanza kumsogelea Eddazaria huku nikiwa nimejianda kwa lolote litakalo jitokea, iwe ni kofi au ngumi vyote nitavipokea, kwani ni kupenda kwangu. Hatua chake kabla hata sijamfikia Eddazaria, akanishika kiuno changu na kunivuta karibu yangu. Akanibananisha kifuani mwake, nikayafumba macho yangu kwa woga sana huku nikisubiria kofi au ngumi nitakayo pigwa. Dakika kama moja hivi ikapita pasipo chochote kufanyika, nikafumbua macho yangu taratibu huku midomo ikinitetemeka, nikatazamana na Eddazaria, gafla akatabasamu na kuanza kucheka kwa nguvu sana hadi akanifanya nishushe pumzi nyingi sana ili kuutoa woga ambao umenikabili.

“Hahaa…..Jojo kumbe wewe ni muoga, ila umeweza kuhimili uhusika wa woga hivyo ndivyo msanii anavyo takiwa kuwa sawa”

Eddazaria alizungumza huku akiniachia, akaokoa kifoko chenye soseji zake ambazo hazikutoka katika kifuko hicho. Taratibu nikaka kitandani huku nikiendelea kushusha pumzi zangu kwa nguvu hadi Eddazaria akaligundua hilo.

“Masikinii weee. Hahaa, Jojo mpenzi wangu ulihisi nina kupiga?”

“Eddy masihara mengine utakuja kuniua bwana haki ya Mungu vile”

“Huwezi kufa baby, sasa hapa tupo wawili, je tukiwa location?”

“Location ni location Eddy, yaani hapa ungenipiga sijui ningekufa kwa presha jamani haaa hapana”

“Pole baby, kula soseji ushushie woga”

“Ahaa…hembu niache kwanza”

“Kula bwana”

Eddazaria akanilazimisha kuila soseji aliyo ishika. Furaha ikaanza kunirudia baada ya Eddazaria kuanza mchezo wa kunitekenya. Mlango ukafunguliwa na kujikuta tukikakausha kimya. Akaingia dokta Clara aliye tabasamu baada ya kutukuta tukiwa katika furaha hiyo.

“Munapendezeana sana, alafu Eddy umeanza kuwa msiri eheee?”

“Msiri wa nini tena jamani?”

“Ahaa nimepata wifi yangu mpya unanidanganya ni mdogo wako?”

“Clara jamani nimekuambia usimuambie jamani”

Nilizungumza kwa utani huku nikimtazama Clara.

“Asiniambie kwamba mimi na wewe tuna mahusiano au?”

“Ahaa, ni kweli muna mahusiano au Joho ameji proud nimuumbue sasa hivi?”

Eddazaria akanitazama huku akiwa ametabasamu. Akanishika mashavu yangu na kuanza kuninyona midomo yangu. Dokta Clara akaanza kupiga makofi huku akiwa amejawa na furaha sana.

“Yeaah sasa hapo nimeamini”

“Eddy tupo hospitalini bwana”

“Haa si tupo kwenye chumba chetu, laiti ningekuwa nimelazwa kwenye wodi ya watu wengi hapo sawa”

“Haya bwana”

Na mimi nikaanza kulipiza kumnyonya Eddazaria lipsi zake. Baada ya dakika kadha tukaachiana.

“Baby wale wachina wa watu watafika muda si mrefu na Air port ni mbali?”

“Sawa, umepata hiyo costa?”

“Bado?”

“Costa ya nini?”

“Kuwapeleka wachina hotelini?”

“Ila pale uwanja wa ndege kuna makampuni ambayo yana magari ya kukodisha, so munaweza kupata pale pale uwanja wa ndege”

“Itakuwa ni vizuri”

“Wamekueletea kila kitu?”

Dotka Clara alimuuliza Eddazaria.

“Ndio”

“Sawa, tunaweza kuondoka sasa, au bado mgonjwa unataka kulala lala?”

“Weee, yaani sitaki kabisa kukaa hapa kwa maana mtu unaweza kufa bure kabla ya siku si zako”

Tukajikuta tukicheka kwa pamoja, tukatoka katika chumba hichi na moja kwa moja tukaelekea hadi kwenye maegesho ya magari, nikaliweka begi la nguo siti ya nyuma kisha sote watatu tukaingia kwenye gari na kuoandoka eneo hili. Tufika uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, dokta Clara akatupelekea katika ofisi ambazo zinahusika na kukodisha magari kwa abiria. Tukakodisha gari moja aina ya costa ambayo ni nzuri sana. Hatukukaa muda mwingi sana wachina ambao tulikusudia kuwapokea, wakafika. Wawili kati yao nina wafahamu na wao pia wananifahamu kwani wao ndio walio kuwa anahusika katika kunionyesha vifaa hivyo kipindi tupo nchini China. Tukasalimiana kwa furaha sana, nikaanza kuwatambulisha kwa Eddazaria na dokta Clara, baada ya utambulisho huo na wao pia wakaanza kujiambulisha kwetu. Nikamtazama Eddazaria na kumuona aiwa ametazama eneo moja la abiria wanao ingia katika kiwanja hicho, taratibu na mimi ikabidi nigeuze macho yangu kuzama eneo hilo, sikumuamini macho yangu baada ya kumuona Mama Godlove akiwa amembeba Godlove huku wakiwa na mwanaume mmoja wa kihindi wakielekea katika sehemu ya abiri wanao ondoka chini Tanzania, jambo lililo mfanya Eddazaria kuondoka hapa tulipo simama bila hata ya kutuaga.



Nikatamani kumfwata ila nikwashindwa kutokana na wageni hawa walio nizunguka, dokta Clara akaweza kutambua haja ya moyo wangu, kwa ishara ya kupunga mkono akaaga na kuanza kumfwata Eddazaria kwa haraka, nikawashuhudia wapotelea kwenye kona ambayo sikuweza kuwaona tena. Nikiwa katika sura ya kuigiza kama nina fura, ila moyoni mwangu sina furaha kabisa, nikaanza kuongozana na wachina hawa hadi lilipo gari tulilo wakodishia. Kiku ambacho kina nishinda kuondoka eneo hili ni funguo ya gari la Eddazaria niliyo nayo mfukoni mwanngu.

“Tanzania ina joto sana?”

Mchina mmoja alizungumza huku akinitazama.

“Yaa msimu huu joto ni kali kwa kweli”

“Ila nimependa mandhari ya huko, kule kwetu baridi muda mwengine inakuwa ni kali hadi itatuudhi”

“Ohoo poleni sana, ila hata mimi nimeishi kule?”

“Eheee nimekumbuka”

Mchina mwengine alizungumza huku akitoa simu yake mfukoni, akanionyesha picha yangu kipindi nilipo kuwa mahakamani.

“Hivi huyu ni wewe?”

Nikaitazama picha hii kwa sekunde kadhaa, nikajiona jinsi nilivyo kuwa nimechakaa kwa mateso niliyo kuwa ninayapata gerezani.

“Aha hapana, na watu wengi huwa wanatufananisha sana”

Nilizungumza hivyo ili hata kama kuna mpelelezi miongoni mwao asiweze kunitia hatiani, kwani niliweza kuingia kwenye maisha ya kuishia na bibi Sosiono, hata kabla ya mahakama kutoa hukumu yake japo tulikuwa na asilimia kubwa ya kuishinda kesi hiyo.

“Kweli mumefanana, na mimi nilikuwa ninawaambia kwamba huyu siyo wewe, wakawa wananibishia tangu kwenye ndege”

“Kweli, ila Jojo huyo nilisika amekufa na maiti yake iliweza kuzikwa na serikali?”

“Kweli, ila kifo chake kilihuzunisha baadhi ya watu, hivi unaonaje maisha ya yule binti yakaanza kufwatiliwa na yakachezewa filamu au tamthilia?”

“Ni wazo zuri, ila ni nani mtu wa karibu ambaye utaweza kumuuliza akakuelezea hilo swala?”

“Ila kusema kweli mimi nina mashaka na Jojo wewe, kwambe ndio yule ambaye ulikuwa kwetu China?”

“Hahahaa hapana, sio Jojo mimi jamani, au munataka kuniambia nilikufa kisha nikafufuka?”

Watu wote wakacheka, wasiwasi mwingi ukazidi kunitawala na kujikuta hadi nikipoteza furaha kabisa ya kukaa na wachina hawa.

“Jojo kuna tatizo?”

Mchina mmoja ambaye ni mtu mzima ambaye kwa haraka haraka ninaweza kumkadiria kwenye umri wa miaka hamsini na kitu hivi, aliniuliza huku akinitazama usoni mwangu.

“Naona rafiki zangu hawaji, sijui kuna tatizo gani huko?”

“Nenda kawaangalie tu sisi tutakusubiria hadi utakapo rudi?”

“Kweli jamani?”

“Yaa tupo kwa ajili yako”

“Asanteni”

Nikanyanyuka kwenye siti niliyo kalia, nikatoka nje, sikuona haja ya kutembea, nikaanza kukimbia kuelekea katike eneo walipo kuwa wamelekea Eddazaria na dokta Clara. Nilatoa simu yangu mfukoni na kumpigia Eddazaria, simu yake ikaita mpaka ikakata, nikarudi tena kupiga na jibu likawa ndio hilo hilo. Nikampigia dokta Clara, kwa bahati nzuri dokta Clara simu yake ikaita.

“Upo wapi?”

“Nipo kwenye ofisi za wana usalama, Eddy amekamatwa”

“Ohoo Mungu wangu, kisa nini?”

“Ameleta fujo ila wamemuweka ndani kwa muda ila wameniambia watamuachia”

“Mupo eneo gani?”

Dokta Clara akanielekeza, nikaanza kutembea kuelekea katika eneo hilo, nikamkuta dokta Clara sehemu ya mapokezi katika ofisi hizo.

“Ilikuwaje?”

“Eddy alimvamia mama Godlove aliye anaza kupiga kelele kwamba mwanaume huyo aliye mvamia ni mwizi, cha kumshukuru Mungu askari walikuwa karibu, basi wakamchukua na kumleta huku”

“Shitiii, pumbavu sana huyu mwanamke?”

Nilizungumza kwa jazba kubwa sana huku nikiwa nimesimama.

“Sasa mama Gody mwenyewe yupo wapi?”

“Ameaondoka zake na wamepanda ndege na huyu jamaa yake na ndege imeondoka muda si mrefu?”

“Ndege ya shirika gani?”

“Fly Emirates”

Kwa hasira nikatamani hata kufanya jambo ilimaradi nimtoe Eddazaria wangu, kabla hata sijafikiria jambo jengine baya, tukamuona Eddazaria akitolewa kwenye moja ya chumba, nikamfwata kwa haraka na kumkumbatia huku machozi yakinilenge lenga usoni mwangu.

“Pole baby?”

“Asante”

“Wamekupiga?”

“Hapana hawajanipigia”

Eddazaria alizungumza kwa ufupi fupi, nikamtazama machoni mwake, nikajua kabisa kwamba hayupo sawa. Tukaondoka katika eneo hili huku Eddazaria akiwa kimya kabisa, hakuhitaji kuzungumza na mtu yoyote. Tukafika kwenye maegesho ya magari, nikamkabidhi dokta Clara funguo ya gari la Eddazaria.

“Utakuwa unaifwata hii costa kwa nyuma, mimi ngoja nipande huku.”

“Sawa”

“Baby”

“Mmmm”

“Tutazungumza vizuri nyumbani”

“Poa”

Eddazaria akafungua mlango wa siti ya pembeni ya dereva na kuingia, tukatazamana na dokta Clara kwa muda, nikashusha pumzi na kuelekea ilipo costa. Nikamruhusu dereva wa costa kutagulia kuelekea katika hoteli amayo wachina hawa wanadai kwamba tayari wamesha muambia. Tukaondoka eneo hili huku dokta Clara akitufwata kwa nyuma, wachina hawa wakaendelea kunipiga stori za maisha yao katika nchi ya China. Tukafika katika hoteli ya Kilimanjaro iliyo mtaa wa Kivukoni. Tukafika mapokezi na wakajieleezea na kukabidhia funguo za vyumba vyao ambavyo wamevikodisha kwa miezi sita. Tukaagana nao huku tukiwapa ahadi ya kuonana nao asubuhi ya siku inayo fwata.

Tukarudi kwenye gari mimi na dokta Clara, tulipo muacha Eddazaria ambaye hakushuka kabisa, dokta Clara akanikabidhi funguo ili niendeshe gari ila nikamkatalia kabisa.

“Huyu bwana mkubwa akiwa hayupo sawa, basi hata mimi ninakuwa sipo sawa kwa kweli”

“Kwa sasa hivi muache usimsemeshe kitu chochote, tupitie sokoni, kuna chakula najua huwa anakipenda tukimpikia hicho basi furaha yake inaweza ikarudi, ila ukimsemesha basi unaweza hata ukagombana naye”

“Sawa dokta, ila ni chakula gani huwa anapenda?”

“Mmmm anapendelea sana viazi hivi vya kwaida, ila vina upikaji wake, nitakuonyesha tukivipa”

“Sawa”

Baada ya majadiliano hayo, tukaingia ndani ya gari na kumkuta Eddazaria akizungumza na simu.

“Sawa mama”

“Ila mama kusema ukweli nikimshika nitamuua, mama unanijua vizuri”

“Sawa ila hawezi kutoroka na mwanangu, kama alikuwa anahitaji kuondoka si angeondoka yeye na huyo mwanaume mimi sina haja naye”

Eddazaria alizungumza huku machozi yakimwagika.

“Sawa mama, ila haki ya Mungu vile, alipo fikia nitamuonyesha dunia inaindaje?”

“Poa”

“Haya”

Eddazaria akakata simu, mimi na Clara, tukaendelea kukaa kimya. Dokta Clara akawasha gari na tukaanza kuondoka katika eneo hili. Dakika thelathini nzima, ukimya umetawala ndani ya gari, ninatamani kuzungumza, ila ninajiuliza nitaanzia wapi. Tukafika sokoni, dokta Clara akasimamisha gari pembeni.

“Mbona tunasimama?”

“Kuna vitu nahitaji kununu”

Dokta Clara akazungumza huku akimtazama Eddazaria, ambaye hakijibu kitu chochote zaidi ya kumkazia macho dokta Clara. Dokta Clara akafungua mlango na mimi nikafungua wa kwangu.

“Na wewe unakwenda wapi?”

Eddazaria aliniuliza kwa sauti nzito, nikajikuta nikiufunga mlango pasipo kujibu kwani tayari nimejawa na hali ya woga.

“Nenda”

“Ila E….”

“Nenda kamsaidie mwenzako”

Nikashusha pumzi, nikachukua kiasi cha kutosha kwenye pichi yangu kisha nikashuka kwenye gari na kuufunga mlango kwa ndani.

“Mzoeee, ndivyo alivyo akiwa katika hali kama hiyo”

“Mmmm unajua anatisha?”

“Kila mwanaume akiwa katika hali ya hasira na mawazo tena ya matukio kama yake basi ni lazima atishe kwa kukasirika”

“Yaani sitamani hata siku ije kutokea nime muudhi kwa maana anaweza kunikunja kunja kama kikaratasi na kunibamizia huko”

“Hahaaaa, acha woga, mume akimbiwi akiwa amekasirika”

“Clara, Clara niachie tabu, oohooo anaweza siku akanikunja kunja, na ule mwili sasa mmmm, si ndio nitakufa kabisa”

“Hahaaa ila Eddazaria ni mskaji wangu sana, yaani huwa akiwa na hasira najua jinsi gani ya kucheza na hasira zake, yaani tangu tulipo kuwa shule alikuwa vile”

Dokta Clara alizungumza huku tukikatiaza katiaza katika masoko yaliyopo katika eneo hili, simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kukuta ni Tasiana ndio anaye nipigia. Nikaipokea na kuiweka sikoni mwangu.

“Sister mambo”

“Safi dada yangu, jamani samahani sana kwa kujisahau kukupigia simu”

“Usijali dada yangu najua wewe ni mtu mkubwa, lazima kumbushwe kumbushwe katika hili”

“Hapana Tasiana usiseme hivyo, mimi ni wakawaida sana. Ehee niambie”

“Sisi tupo tayari tumesha jiandaa, tunakusubiria wewe tu”

Nikajikuta nikikaa kimya huku nikifirikiria ni nini cha kuzungumza.

“Sister Jojo?”

“Yaa nakusikia, sasa ngoja baada ya dakika kama kumi hivi nitakupigia”

“Sawa dada yangu, njoo ujionee vipaji, wewe mwenyewe utafurahi”

“Usijali”

Nikakata simu na kuirudisha mfukoni mwangu.

“Masikini wee, sijui nitafanyaje?”

“Kuna nini kinacho endelelea?”

“Jana kuna binti nilimuahidi nitaweza kufika katika kikundi chao cha sanaa kuangalia wasanii, ila nimejisahau na haya matatizo basi ndio usiseme sijui huyo bwana mkubwa atanikubalia”

“Mmmm siwezi kusemea moyo, ila jaribu kuzungumza naye, akikubali basi nenda kawaone, akikataa basi hakuna jinsi”

“Nisaidie kuzungumza naye unajua mwenzako hadi nina ogopa”

“Usimuogope ndio mume sasa, kwa mfano mimi sipo utakaa kimya na kitu moyoni?”

“Nitajaribu”

Tukanunua mahitaji yote muhimu ya ndani, kisha tukarudi kwenye gari. Tukaiweka mizogo yote nyuma ya gari na kuingia ndani. Tukamkuta Eddazaria akicheza game ya mpira kwenye simu yake.

“Eddy”

“Mmmm”

“Nimezungumza na Tasiana, ameniambia kwamba wale wasanii wamesha patikana”

“Kweli?”

“Eheee?”

“Twendeni tukawaone basi”

Nikashusha pumzi kimya kimya kwani sikutarajia jibu kama hilo.

“Ahaa…labda nyinyi muende mimi nikaandae chakula cha usiku, leo ninajisikia kukupigia mgonjwa”

Dokta Clara alizungumza huku akimtazama Eddy.

“Utaweza kukaa peke yako kwenye lile jumba?”

“Yaa nimesha pazoea”

“Sawa, sasa labda hapa ukodi taksi ikupeleke, au Jojo unasemaje?”

Eddazaria alizungumza kwa furahakama si mtu ambaye dakika kadhaa tulimuacha akiwa amekasirika sana.

“Ni kweli, kwa maana tukisema twende nyumbani kisha turudi tena huku muda utakwenda sana”

“Sawa ngoja nichukue taksi tu”

Tukashuka kwenye gari na dokta Clara, kwa uzuri eneo tulilopo lina waendesha taksi wengi. Tukamuita mmoja wao, tukaelewana naye bei, tukahamisha mifuko yenye vitu mbalimbali kutoka katika gari letu na kuingia katika taksi hii. Nikamlipa dereva kiasi cha kutosha, kisha nikampa dokta Clara rimoti ndogo ya kufungulia getini. Tukaagana na dokta Clara, kisha nikazunguka upande wa dereva na kuingia ndani ya gari huku nikiwa nimeshika fungua mkononi mwangu. Tukaondoka eneo hili kwa mwendo wa taratibu, nikatoa simu yangu mfukoni na kumpigia Tasiana.

“Tasiana”

“Beee dada?”

“Tupo njiani tunakuja”

“Waooooo karibuni sana”

“Sawa, Mungu akibariki ndani ya dakika kama ishirini au thelathini tutakuwa tumefika hapo”

“Sawa dada yangu, asante kwa kunijali sana”

“Usijali”

Nikakata simu na kuiweka pembeni, Eddazaria akaacha kucheza game na kuichukua simu yangu, akaanza kutazama picha nilizo piga na Nuru nchini China.

“Mmmm”

“Nini?”

“Hii simu aliyo ishika huyu mama kama ile Samsung yangu”

“Yaa alafu unajua hujaichukua hadi leo polisi?”

“Badaye unikumbushe nimpigie baba mkubwa, anipatie simu yangu”

“Sawa”

“Alafu kuna kitu nimekumbua, pale nyumbani inabidi tufuge kamera maeneo yote, nyumba ni kubw aile”

“Sawa mume wangu”

Tukafika meneo ya Tabata, nikampigia simu tena Tasiana, akatuelekeza ni eneo gani walipo, kutaoana mimi ni mwenyeji wa Tabasa, sikuweza kupotea kirahisi, tukasimamisha gari letu nje ya holi kubwa. Tukashuka sote wawili, tukamuona Tasiana akitoka kwenye mlango wa kuingilia katika holi hilo. Eddazaria akasimama kwa muda na kumtazama Tasiana ambaye anatufwata huku amejawa na tabasamu kubwa sana. Tasiana akatufikia sehemu tulipo simama, akanisalimia mimi kwa furaha sana, kisha akamfwata Eddazaria, akampa mkono wa kulia kwa ajili ya kumsalimia Eddazaria akaendelea kumkazia macho Tasiana, gafla nikashukia akimashika koo lake na kuanza kuliminya kwa nguvu, jambo lililo washangaza hata watu walipo katika eneo hili, ubaya ni kwamba Tasiana anafanana na mama Godlove, kitu walicho tofautiana ni sauti tu, labda na matunzo kwani Tasiana anaonyesha dhahiri kwamba maisha kwa upande wake bado ni magumu.


“Eddy, Eddy, Eddy muache”

Nilizungumza huku nikitoa mikono ya Eddazaria kooni mwa Tasiana ambaye masikini ya Mungu alisha anza kukohoa kohoa, baadhi ya wasanii katika kikundi hicho wakatoka nje ili kwa ajili ya kumsaidia mwenzo huyo. Eddazaria taratibu akamuachia huku macho yakiwa yametoka, jasho jinsi linamchuruzika kwenye paji la uso wake.

“Eddy ni nini unafanya mbona unataka kuniaibisha?”

Nilizungumza kwa sauti ya chini huku nikiwa nimesimama mbele ya Eddazaria.

“Niambie pesa zangu zipo wapi wewe mwanamke?”

Eddazaria alizungumza kwa sauti nzito huku akimtazama Tasiana, kila mmoja akabaki amemtazama Tasiana.

“Pesa gani jamani mimi mbona sijui?”

“Tasiana huwezi kuleta ujinga, nimekuajiri ofisini kwangu, nimeacha pesa ndani ya droo ya meza yangu, mimi na wewe ni watu wa pekee ambao tunaingia katika ofisi yangu, sasa niambie zimekwenda wapi?”

“Bosi kusema kweli mimi sijui, utanionea bure bosi wangu”

Mazungumzo ya Tasiana na Eddazaria yakatufanya sote tuzidi kushangaa.

“Ila bosi muulize bosi Jojo anaweza kujua pesa zako zipo wapi?”

Tasiana alizungumza huku akininyooshea kidole, Eddazaria akanigeukia na kunitazama kwa macho makali sana.

“Munazungumza kitu gani?”

Nilijiuliza kwa kujishuku huku nikirudi nyuma nyuma.

“Jojo njoo hapa?”

“Eddy mimi sielewi munaonge kitu gani, pesa, pesa gani na ofisi gani?”

“Hahahaaa……Tasiana wewe ni msainii, ila huyu bibie hapa sio msanii”

Eddazaria alizungumza huku akicheka, nikashusha pumzi taratibu huku nikikumbuka utani wake wa kuigiza kama ule alio nifanyia leo hospitalini. Wasanii walio tuzunguka wote wakaanza kupiga makofi, Eddazaria akamsogela Tasiana na kumkumbatia kwa sekunde kadha akisha akamuachia.

“Jamani ninawaomba munisamehe kwa maana nimewastua sana kwa tukio hili, ila nilitaka kujua kwamba watu tunao kuja kuwaona ni wasanii ila ni wababishaji tu”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya upole kabisa, sura yake ya hasira ambayo tuliishuhudia dakika chache zilizo pita imempotea kabisa.

“Kaka Eddy hapa kuna vipaji vya kutosha, karibu mujionee”

Kijana mmmoja alizungumza huku akimtazama Eddazaria usoni mwake.

“Asanteni sana”

Tukaanza kuelekea ndani huku nikijaribu kumfikiria Eddazaria kichwani mwangu na kujikuta nikikosa jibu kabisa, kwani amekuwa ni mtu wa kubadilika badilika na kujifanya anaigiza.

‘Mmmm labda anataka kutujua kama sisi ni wasanii kweli’

Nilizunguma kimoyo moyo, tukaingia ndani ya ukumbi huu na kukuta watu wengi wakiwa wamekaa kwenye viti vya plastiki. Watu hawa walilipo tuona wakasimama na kutukaribisha, baadhi ya sura za watu ninazikumbuka, kwani niliwaona kwenye usahili tulio kuwa tunaufanya mimi na Eddazaria na nina imani kwamba hata wao wanatukumbuka. Tukakaribisha kwenye viti vilivyo andaliwa kabisa, huku mbele ya meza hii kukiwa na meza iliyo tandikwa kitambaa kizuri pamoja na juu yake kumewekwa soda mbili, ikimaandisha moja ni soda yangu na nyingine ni soda ya Eddazaria.

“Eddy umeona tumeandaliwa kama wageni rasmi, sasa tukitoka hapa bias kuwachukua hawavijana wa watu, watatulaani”

Nilizungumza kwa kumnong’oneza Eddazaria sikioni mwake

“Yaani wee acha tu”

“Hivi pale nje ulikuwa unaigiza au ulikuwa unafanya kweli?”

“Tutazungumza nyumbani”

Tukajikuta tukitasamu, kiongozi wao akasimama mbele ya jukwaa lililiopo hapa mbele. Akawatazama wasanii wake, kisha akatuzama na sisi.

“Dada Jojo na kaka Eddy hapo karibuni sana kwenye kikundi chetu cha sanaa, sisi tunaitwa New revolution arts group kwa kifupi tunajiita NRG. Kwa kifupi kundi letu limeanzisha miaka miwili nyuma na hadi tunavyo zungumza hivi sasa tuna filamu zaidi ya sita zipo sokoni”

Tukaanza kupiga makofi mimi na Eddazaria, ikiwa ni ishara ya kuwapongeza vijana hawa ambao sisi wametutangulia kwa kweli.

“Tunashukuru sana, kundi letu lina wasanii zaidi ya mia moja na hamsini, na hapa tulipo tupo mia moja arubaini na nane, wawili kidogo leo wamepata udhuru kutokana na sababu mbali mbali walizo tufikishia katika uongozi wetu”

“Tutakwenda kuwaonyesha vipaji vyetu, tunawaomba muwe pamoja nasi”

“Tunashukuru”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya juu na kunifanya nimtazame kwa kumshangaa, kwa ishara ya kidole akanionyesha nitazame mbele na niache kumtazama yeye. Wasanii wakaanza kupanda jukwani hapo na kuigiza maigizo ambayo kusema kweli yakazidi kunipa hamasa ya kuhitaji na mimi kuwa muigizaji mkubwa japo kwenye maisha yangu sikuwaza kuwa msanii wa kuigiza. Igizo moja la mama mjane ambalo anaigiza Tasiana na wasanii baadhi, likazidisha usikivu kati yangu na Eddazaria, kadri jinsi walivyo kuwa wakiigiza huku mama mjane ambaye ni Tasiana anavyo zidi kupata mateso kutoka kwa wifi zake pamoja na mashemeji zake baada ya kifo cha mume wake, yakanifanya machozi kuanza kunimwagika usoni mwangu. Hadi wanamaliza, nikajikuta nikishindwa kujihimi hisia zangu, nikanyanyuka kwenye kiti nilicho kikaa, nikapandisha kwenye jukwa hilo na kumkumbatia Tasiana ambaye machozi naye yanamwagika. Ukumbi mzima sauti ya vilio vyetu ndio inasikika.

“Sister Jojo, usilie ni kuigiza tu”

Tasiana alizungumza kwa sauti iliyo jaa majonzi mengi sana. Sikumjibu kitu chochote zaidi ya kuendelea kumkumbatia Tasiana, msisimko wa kimapenzi ukaanza kunipanda, jambo ambalo likanifanya kwa haraka kumuachia Tasiana na kuanza kurudi kwenye kiti changu, kwani sihitaji kuonyesha matamanio yangu kwa Tasiana mbele ya watu waliomo hapa ukumbini.

“Jamani naona mgeni wetu yupo kwenye hali ya majonzi, comedy on stage, nataka mumvunje mbavu dada yetu pale, machozi yasimtoke kwa sasa”

Kiongozi wao alizungumza huku akinitazama, kija mmoja akanyanyuka kwenye kiti chake, akaanza kutembea kama marehemu Kinyambe, alipo fika mbele ya meza yetu, akayafanya macho kama msaanii huyo aliye tutoka duniani.

“Wewe, wewe yaani unaliaa?”

Sauti ya kijana huyu ikanifanya niangue kicheko kikali huku nikifuta machozi yangu usoni mwangu. Kijana huyo akatembea hadi jukwaani na kuanza kuigiza na wezake, jambo lililo zidi kunifurahisha hata huzuni ambayo ilikuwa imenitawala ikandoka kabisa. Nikafungua mkoba wangu, nikatoa kibunda cha elfu kumi kumi kilicho fungwa na rambabend, nikanyanyuka na kupanda jukwaani, nikaanza kuwapatia kila kinana noti tatu tau za shilingi elfu kumi, jambo lililo sababisha wasanii wengine kupiga makofi. Nikarudi kwenye kiti changu, nikamtazama Eddazaria na kumkuta akiwa katika umakini mkubwa sana wa kuwatazama vijana hawa wachekeshaji. Vijana hawa walipo maliza kuigiza, ukumbi mzima ukatawala kwa makofi mengi.

“Naamini wageni wetu mumeweza kuona vipaji vyetu, kama muna maoni ninawaomba muweze kuzungumza”

Nikasimama kwa haraka huku nikiwa nimejawa na tabasamu pana sana.

“Jamani, kusema kweli sijawahi kushuhudia wasanii wakiigiza hivi kwenye jukwaa, ila kusema kweli mmuna weza, kusema kweli mumenionyesha kitu ambacho hata mume wangu hapa naamini kwamba amewakubali sana. Nitahakikisha kwamba tunafanya kazi na nyinyi kwa kila filamu ambayo tutakuwa tumepanga kuitoa mimi na mume wangu, kwa maana hatuwezi kuona vipaji vikubwa kama hivi vikapotelea hewani, au unasemaje baby?”

Nilizungumza kwa makusudi watu wafahamu Eddazria ni mpenzi wangu kwani tayari nimesha anza kuona dalili ya wanawake baadhi kumtolea macho mpenzi wangu. Eddazaria akaanza kutingisha kichwa akikubaliana na kile nilicho kizungumza.

“Kusema kweli sikutegemea kuona kitu kama hichi, yaani kama kulia wote mumeona nimelia na kama kucheka wote mumeweza kuona nimecheka yaani nimefurahi, nimefurahi sana na Mungu awabariki”

“Amen”

Watu wote waliitikia kwa pamoja, kisha taratibu nikaka kwenye kiti changu nikiwaacha wakipiga makofi ya furaha.

“Ahaa tumsikilize kaka yetu hapo Eddy”

Taratibu Eddazaria akasimama, akaanza kutembea kuelekea kwenye jukwaa, akapanda juu kabisa na kututazama.

“Mambo”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya upole, watu wakaitikia kwa pamoja.

“Mimi ni muandishi wa hadithi, pia nilisha wahi kuwa msanii wa kuigiza…..”

Eddazaria alizungumza kwa sauti ya upole na umakini sana huku sura yake ikoneyesha kuto kuwa na furaha, jambo lililo nipa wasiwasi kidogo.

“Naijua sanaa ya kuigiza ya Tanzania na pia nilisha isomea sanaa ya kimataifa nayo pia ninaitambua. Kusema kweli nyinyi ni amaizing….muna vipaji munajua ni nini munacho kifanya.”

Kelele za kushangilia zikatawala ukumbi mzima, jambo lililo nifanya hata mimi mwenyewe kutabasamu.

“Ila…..”

Eddazaria alizungumza na kuwafanya watu wtu wote kukaa kimya kwa ajili ya kumsikiliza.

“Ila bado ile sanaa niliyo kuwa ninaifanya mimi miaka ya elfumbili na kitu bado ni ile ile, hamjabadilika. Natambua kwamba wengi wenu munaweza kujiuliza kwa nini ninazungumza hivyo?”

“Tutofautishe kipaji na sanaa ya maigizo. Kwenye kipaji ninawapa asilimia mia moja, ila kwenye sanaa, nitawapa asilimia thelathini.”

Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi kwani kitu anacho kizungumza Eddazaria nina imani kwamba kitawaudhi wengi.

“Tunaelekea kupambana kwenye soko la kimataifa la utengenezaji wa filamu, kwa nini filamu zetu za Bongo movie tangu afe Kanumba hata hapo Kenya hazibambi, kwa nini?”

Swali la Eddazaria likawafanya wasanii kuanza kutazamana.

“Naamini hilo swali mutakuwa munajiuliza ila mumekosa jibu sahihi. Kitu kikubwa kinacho angusha soko la filamu nchini Tanzania, ni kupenda kurahisisha sana. Vipaji munavyo ila munarahisisha matukio na kila tukio munaliona ni jepesi sana”

Nikamuona kiongozi wa kikundi hicho akitingisha kichwa akionekana kukubaliana na kile ambacho Eddazaria anakizungumza.

“Ifikie wakati tuondoke katika sanaa ya mama fulani na baba fulani, au ya mjane fulani au ya yatifa fulani. Japo hayo ni maisha ambayo yapo kwenye jamii yetu ya Kitanzania, ila watazamaji wamechoka kuona hayo mambo ya kulia au kuchekeshana na baadhi ya maneno yanajirudia rudia kwenye kila maigizo, jambo ambalo sio sanaa”

“Tunahitaji watu ambao wapo serious katika hii biashara, watu ambao wakiambiwa hata piganeni denda hapo munapigana, na lisiwe denda la kuigiza, liwe ni denda kama munalalo nyonyana kwenye kwichikichwi zenu huko”

Watu wakaanza kucheka sana kwani maneno hayo yamewagusa wengi.

“Tuache sanaa yakinafki, kama mtu anakataa kuonyesha kifua ama maziwa yake kwenye filamu huyo sio msanii, japo wengi munaweza kukimbilia kusema kwambe sheria na tamaduni zetu haziruhusu kufanya hivyo, ila ndivyo jinsi soko la sanaa litakavyo zidi kuendelea kuwa la kiseng** na mtu utajikuta unacheza filamu zaidi ya kumi, unapata umaarufu wa kwenye Tv tu, ila mfukoni mwako huna chochote”

“Sema sema babaaa”

Kijana mmoja aliropoka na kutufanya watu wote kumtazama.

“Kusema kwlei nimependa kile mulicho kifanya, kinaburudisha na kufurahisha, ila kwa upande mmoja ama mwengine sio sanaa ambayo tunatakiwa kuwa nayo, sanaa kama hii ni ya kwenda kuonyesha kwenye mikutano ya vyama vya CCM huko”

“Hembu tuwatazame Wanigeria na Waghana, hawana kitu cha ajabu sana kwenye kuigiza kwao, na ubaya lafudhi zao wakizungumza lazima utawajua kwamba wao ni watu wa mataifa hayo. Ila hembu tazama filamu zao, zipo mbele zaidi yetu kwa nini, hawapendi kurahisisha, kama sehemu mtu anahitajika kuonekana amevaa bikini basi anaonekana hivyo, mtu anaonekana akinyonywa maziwa basi anaonekana hivyo. Hao wanao sema kwamba kuna swala la maadili ndio wnaaogoza kuingia Youtube na kutazama filamu hizo. Tubadilike, ninakwenda kuwa director wa filamu za kampuni yetu, endapo itatokea tukakuchagua na seen zako zinahitaji kucheza hivyo, basi jitoe ufahamu, cheza kesho na kesho kutwa utanikumbuka ukiwa na misha mazuri”

“Nimefurahi sana kuwa hapa na asanteni kwa kuweza kunisikiliza kwa kile nilicho kizungumza”

“Asante sana kaka Eddy na kusema kweli umenifungua masikio. Kaka Eddy ninakuomba usishuke kwenye jukwaa. Zari ninakuomba jukwaani?”

Akanyanyuka dada mmoja mweupe na mrefu, kidogo anafanana na Zari halisi kutoka nchini Uganda. Dada huyo kwa mavazi aliyo yavalia tu, lazima kwa upande wa pili utafahamu kwamba ni malaya. Dada huyo akasimama pembeni ya Eddazaria huku akitabasamu.

“Kaka Eddy huyo ni mke wako, umetoka safari ya mbali na ndio umerudi nyumbani una muda wa mwaka mmoja na nusu hujakutana naye, sijui mutachezaje. Jiandaeni, Action”

Maneno ya kiongozi huyo yakaanza kuusumbua moyo wangu. Zari kwa haraka akamkumbatia Eddazaria huko akishangilia, nikameza mate mengi baada ya kumuona Eddazaria akimkumbatia Zari huyo kwa nguvu sana

“Pole mume wangu kwa safa……”

Zari hakumalizia sentensi yake Eddazaria akamuwahi mdomo wake na kuanza kumnyonya denda, macho yakanitoka, mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi sana. Hasiri ikaanza kunipanda baada ya Eddazaria kumvua Zari tisheti yake na kubakiwa na sidiria, nikajikuta nikisimama kabisa huku mwili mzima ukinitetemaka kwa hasira, hii ni baada ya Eddzaria kumnyanyua Zari na kuishikilia miguu miguu yake na mkono wake wa kilia ukitomasa tomasa kalio la Zari la upande wa kulia huku Zari mwenyewe akiipitisha mikono yake shingoni mwa Eddazaria na wanaendeleaa kudendeka kihisia kali za kimapenzi kama vile mmiliki wa mume wangu sipo katika ukumbi huu.

 

0 comments:

Post a Comment

BLOG