Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

X SEHEMU YA 8/10

   


X  

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA


WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 8 KATI YA 10


“Huu si mgongo”

“Wewe una angalia mgongo au ramani dogo”

“Mmmm una taka kuniambia ume mgonga huyu demo?”

“Leo ni muendelezo ya migongano iliyo anza huko nyuma”

“Hahahahaa mamae walai, mjinga nimekuvulia kofia. Khaa hadi mdogo mtu?”

“Sasa kama kataka mwenyewe kwa nini nidhalilisha chama cha mashababi, tuna kula mzigo maisha yana endelea, ukijifanya kukataa kata ana weza kuona huyu shem hanisi nini. Ila ukimpa vitu kama vya dada yake lazima awe na heshima”

“Ehee kweli nimekukubali ndugu yangu. Cauther ana kazi kweli kweli”

“Hembu scan hiyo ramani tujue ni ya eneo gani kwa maana sidhani kama ni ramani ya nchi?”

“Yaa hakuna nchi yenye ramani kama hii, dakika sifuri”

Willy akaanza kuitafuta ramani ya eneo hili na sote tukajikuta tukipigwa na bumbuwazi.

“Shinyanga?”

“Ndio hili eneo ni Shinyanga vijijini”

“Una taka kusema kwamba mzee ana eneo Shinyanga?”

Nilimuuliza Willy swali ambali hata yeye mwenyewe ameshindwa kulijibu.

“Sawa nina zifuta hizi picha. Hakikisha una lichunguza hilo eneo ujue kuna shuhuli gani zina endelea hapo”

“Hapa kuna mashamba makubwa ya mpunga, pamba na mahindi”

“Kuna nyumba?”

“Kuna vibanda nahishi ni vya waismamizi”

“Sawa endelea kuchunguza hilo eneo”

“Poa kaka”

Nikatoka ofisini hapa na kurudi nyumbani kwangu na kuwakuta wakwe zangu wakizungumza kwa furaha sana.

“Shangazi pole sana mwaya kwa kukuweka”

“Wala usijali mkwe najua kuongoza nchi sio shuhuli ndogo lazima uwe na vikao vya mara kwa mara”

“Ni kweli shangazi yangu. Ila mbona mapema una hitaji kuondoka hivyo?”

“Nawahi msibani si una jua mimi ni mdogo wa marehemu hivyo uwepo wangu pale una toa nguvu fulani kwa wafiwa”

“Sawa shangazi, walinzi wangu wana weza kukupeleka”

“Nashukuru”

Nikamuita Ruben kwa kutimia signal maalumu kupitia saa yangu niliyo ivaa mkononi ambayo ina niwezesha kuwasiliana na walinzi wangu wangu pale ninapo kuwa peke yangu na walinzi wangu wakuu wanne ndio wana saa ya aina hii hivyo huwa nina amua kuchagua nimuite nani kati ya hao wanne.

“Ruben naomba shangazi yangu afikishwe nyumbani kule awahi msiba”

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Shangazi tuta onana baadae”

“Sawa mkwe niwatakie siku njema”

“Nawe pia”

Shangazi na Ruben wakatoka ndani hapa.

“Nadia yupo wapi?”

“Yupo huko chumbani ana kazi ya kucheza na wajina wake”

“Hahaa, sawa mama naomba tuzungumze kidogo”

“Sawa”

Tukaingia ofisini.

“Ehee kumbe hapa napo kuna ofisi?”

“Ndio mama yangu. Hii ni ofisi yangu ya hapa nyumbani kama siku sijisikii kuingia ofisi kuu basi shuhuli zote nina ziendeshea hapa hapa”

“Sawa sawa mwanangu. Mwenyezi Mungu aendelee kukufanytia wepesi kwenye kazi zako”

“Amen mama yangu. Aha kuna maswali kidogo ningeoenda kujua”

“Sawa”

“Hivi baba ana eneo lolote analo miliki katika mikoa ya kanda ya ziwa?”

“Ndio, tuna hoteli mbili jijini Mwanza, moja ni ya hadhi ya nyota tano na nyingine ni ya hadhi ya nyota tatu. Tuna maduka mawili makubwa ya vitu vya jumla Shinyanga mjini, pia tuna migodi eneo la Shinyanga, Singida pale tuna Hoteli, loudge, sheli mbili kubwa za mafuta. Nimseahau Shinyanga pia tuna mashamba makubwa ya mpunga yapo vijijini huko”

“Ahaa sawa sawa”

“Baba yenu alikuwa ni mtu wa kupenda kuwekeza kwenye vitu mbalimbali hivyo usishange kuona ana vitu vingi vingi”

“Nashukuru sana mama yangu kwa maana kwenye kipindi kama hichi cha msiba, kuna watu wenye uchu na mali wana jitokeza kwenye familia nyingi za kitajiri. Wengine wana dhulumu mali za marehemu ilimradi shida tu. Sasa kama wakitokea wapuuzi wa ana hiyo basi nita dili nao kisawa sawa”

“Nashukuru sana baba. Mwenyezi Mungu akubariki kwa kweli ume kuwa msaada mkubwa kwetu”

“Huna haja ya kushukuru mama, nikiwa kama mkwe ina nipasa kufanya hivyo kwani nami nimesha kuwa mwana familia kwenu”

“Ni kweli”

“Basi mama nina shukuru”

“Nashukuru nawe pia baba”

Mama mkwe akatoka ofisini hapa, nikashusha pumzi nyingi kiasi kwamba nikajikuta nikukymbuka mambo ya nyuma waliyo kuwa wana yafanya juu yangu wakihakikisha sifungi ndoa na mtoto wao.

‘Ila hata mini nitakuwa mkali sana kwa bwege atakaye jiingiza kwa mwaangu kirahisi rahisi tu’

Nilizungumza kimoyo moyo huku nikinyanyuka na kutoak ndani hapa. Nikaingia chumbani kwangu na nikawakuta Cauther na Nadia wakiwa wamekaa kitandani, na mtoto akiwa katikati yao.

“Shem shikamoo”

Nadia alijifanya kuniamkia kana kwamba hatujaonana.

“Marahaba. Karibu asie”

Nami nilienda na mapigo hayohayo ya kujikausha.

“Asnte naona umenizalia wa jina wangu”

“Yee”

“Namuambia Nadia hapa amshukuru saba marehemu baba kwa maaba bila yeye wala tusinge mpatia mtoto wetu hili jina”

“Mimi kitukuu cha mtume ndio maana baba aliamua kumpatia jina langu. Mwneyezi Mungu amrehemu baba yatu huko alipo na kumpunguzia adhabu ya kaburi”

“Amen”

Nilijibu kwa sauti ya upole. Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kukuta ni namba ya Willy,

“Dogo”

“Kaka njoo uone”

“Nina kuja sasa hivi”

Nikakata simu na nikamuaga mke wangu kwamba nina elekea ofiisni. Nikaingia ofisini na kumuona Willy akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Ehee nipe ripoti”

“Hij ni picha niliyo inasa kupitia satelaite na nimejaribu kuiscani na ime matched kwa asilimia mia moja kwamba huyu hapa aliye vaa kofia na kuva anguo kama za wakulia ndio baba mkwe wako”

Nikajikuta moyo wangu ukinilipuka kwa furaha kiasi cha kumpiga piga Willy begani mwake kwani kusema kweli kijana huyu amekuwa ni msaada mkubwa sana kwangu, kabla na baada ya kuingia madarakani na kupitia hili la kumpata baba mkwe akiwa haid basi nina uhakika familia ya waarabu hawa ita nipenda kuniamini mara mia moja zaidi ya sasa.



“Kazi nzuri dogo. Nahitaji sasa kuonana naye”

“Una taka kuniambia uende Shinyanga?”

“Ndio nahitaji kumdhibitisha kwa macho yangu kabla ya kuwaambia familia kama yupo mzee yupo samala”

“Kumbuka una walinzi wanoko?”

“Najua hilo ila cha kufanya mpigie Judy aandae ziara ya kustukiza mkoa wa Shinyanga, wewe hakikisha una kuwa macho katika hilo eneo”

“Sawa kaka ziara lini?”

“Kesho alfajri na mapema, chai ya asubuhi tunywee shinyanga”

“Sawa kaka”

“Naenda kupumzika na familia yangu sasa”

Nikatoka ofisini kwangu na kuelekea ninapo ishi. Nikamkuta mama mkwe jikoni akisaidiana na wapishi kuandaa chakula.

“Mama mbona una jisumbua?”

“Usijali mwanangu, nina andaa chakula kitakacho kuwa kizuri kwa mama na mwanaye.”

“Sawa mama yangu ila hawa wapo kwa ajili hiyo”

“Usijali baba”

Mama Cauther alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Basi ngoja tusaidiane”

“Ahahaa baba kwa mila zetu mwanaume haingii jikoni hususani kwa mama mkwe kupika na mkwewe wa kiume?”

“Hiyo ni zamani mama yangu. Wapishie tupisheni na mama”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Waposhi wote wakatoka jikoni hapa.

“Ila baba Cauther akitoka na kukuta una pika ata kasirika?”

“Wala hato kasirika kwa maana siku nyingine huwa nina mpikia”

Nilizungumza huku nikichukua kitamaa maalumu cha wapishi na nikakiva shingoni huku kikishuka hadi magotini mwangu mikanda mingine nikajifunga kiunoni.

“Yaani kumbe una vituko sana mwanangu”

“Hahahaa hakuna mama, ehee niambie tuna fanyaje?”

“Ila nakuonea aibu baba”

“Mama mimi ni sawa na Salumu hivyo usinionee aibu ya aina yoyote ile.”

“Sawa baba, naomba unisaidie kumenya vitunguu swaumu”

Nikaanza kumenya vitunguu hivi ambavyo tayari vilisha andaliwa kwa ajili ya kumenywa. Ukimya ukatawala kati yetu huku mama mkwe kwa mara kadhaa akinipiga jicho la kuiba iba.

“Eddy mwanangu?”

“Ndio mama”

“Historia yakow ewe na Cauther imenifundisha kiti kikubwa sana kwenye maisha yangu ambacho kina nifanya kila siku niwe muumini mzuri wa kuwaeleza wamama wa jamii yetu kuepukana nacho na wengi nashukuru Mungu wana nisikiliza”

“Historia gani mama?”

“Namna tulivyo kukatalia usiwe na binti yetu ila mwisho wa siku mtoto wetu sasa hivi ana tambulika kama first lady wan chi ya Tanzania. Yaani umenifundisha kwamba usimdharua mtu kuyokana na rangi yake au uhalisia wake.”

“Ni jambo zuri kama kweli zile imani zenu za kwamba mtu mweusi hawezi kumuoa muarabu, kama zime toweka. Kikubwa endeleeni kuelimisha kwani sio kila mtu mweusi hana akili au uwezo wa kumilikia vitu vikubwa kama nyinyi na laity ningekuwa ni kijana muoga ningesha achana na Cauther ila niliamua kupambana na kufunga naye ndoa japo hamkuhudhuria ili ilifanikiwa”

“Tusamehe kwenye hilo baba yangu”

“Usijali mama nilisha sahame hayo”

“Waoo hii ni ina penda sana mama mkwe kupita chakula na mkwe wake wa kiume”

Nadia alizungumza mara baada ya kuingia jikoni humu.

“Umefurahi ehee?”

Nilimuuliza Nadia huku nikimtazama.

“Yaa sijawahi kuona nime rufahia sana kuwaona muna shirikiana.”

“Usipeleke umbea kwa dada yako?”

“Kwani mama kuna ubaya gani hadi usema nisipeleke umbea”

“Kwa milia yetu umesha wahi ona hili?”

“Ahaa mila zimepitwa na wakati mama, sasa hivi mambo yamebadilika, mambo yamekuwa mapya kabisa kwenye hii duniani. Eti shemu kuna haya ya kuendekeza mila za ajabu ajabu?”

“Kwa upande mmoja hakuna haja na kuna upande mwengine kama mila muda mwengine zina saidia kwa mambo fulani fulani”

“Mambo fulani ila sio kwenye hili la kupika?”

“Yaaa”

“Umeona mama. Mimi nimekuja kumchukulia machungwa sister nyinyi endeleeni kukarangiza”

“Yaani wewe toto vivu. Badala ya kumuambia shemeji yako apumzike wewe msaidie ndio kwanza una sema tukarangize, Yaani huyo atakaye kuoa ata pata shida sana”

“Wala hato pata shida, nita kuwa nina pikiwa mapocho pocho mie”

“Hahaaha haya kama kuna mwanaume ambaye ataacha kazi zake akupikie, basi huyo atakuwa ameshushwa kutoka dunia nyingine”

“Mbona shem ana mpikia sister?”

“Sasa dada yako amebahatika, wewe je?”

“Nitabajatika bwana mama”

Nadia akachukua machungwa kadhaa ndani ya friji, akayamenya na akatoka ndani hapa.

“Yaani atakaye muoa Nadia atakuwa na kazi sana, yaani ana penda kula ila kupika ni mvivu sana”

“Ila anajua kupika kuna siku alisha wahi kutupikia”

“Mungu wangu hamkula mabokoboko”

“Hahahaha alipika vizuri, ni kama mara mbili hivi”

“Mmmmm. Ila mwanangu kuna kitu moyoni mwangu najaribu kukikubali ila naona kama kina kata kabisa kukikubali na kukiamini”

“Kitu gani mama?”

“Nahisi kama mume wangu hajakufa. Yaani najaribu kuamini kama baba Cauther amekufa ila moyo wangu una kataa n ahata ule uzito wa msiba haupo kabisa moyoni mwangu. Hapa tuna subiria kupata hayo majibu ili tudhibitishe DNA yake”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama mama mkwe usoni mwake.

“Naamini vyombo vyangu vya uchunguzi vita tuletea majibu mazuri kwenye hilo.”

“Mwenyezi Mungu asaidie kwa kweli ila kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo ninavyo amini kwamba mume wangu hajafa”

“Kwa nini?”

“Yaani najikuta nina hisia hizo tu mwanangu”

“Ngoja tuone itakavyo kuwa mama yangu”

“Sawa baba”

Tukaanda chakula cha Cauther kisha tukaandaa chakula cha sisi watatu na kwa pamoja tukatenga chakula hichi mezani. Kwa wakati huu mfupi nilio kaa na mama mkwe kuna vitu vingi sana nimeweza kuvifahamu kwake na ule mpaka mkubwa kati ya mama mkwe na mimi ukapungua na ndani ya mud amchache ametokea kunizoea kama kijana wake wa kiume Salumu. Nikangia chumbani.

“Mume wangu nasikia leo ulikuwa una pika na mama”

“Wee acha tu. Tumesha waandalia chakula, twendeni tukake”

“Mtoto amelala now, ina bidi tule dada yaani shemeji mkeo hataki kunyanyuka hata kwenda chooni muda wote yupo karibu na mwanaye”

“Yaani ungejua jinsi nilivyo pambana huko chumba cha kujifungulia wala usinge sema hivyo Nadia. Ila siku zako za kupata mtoto zikifika uta nikumbuka mimi”

“Ni hapo zikifika dada ila kwa sasa ngoja nile nile ujana”

Mtoto muweka kwenye hicho kitanda chake cha matairi tutoke naye sebleni. Tuwe naye karibu”

“Hapo ume nena mume wangu”

Cauther akafanya kama nilivyo muagiza na tukaelekea sebleni, kwa pomoja takajumuka mezani na kuanza kula.

“Mmmmm chakula kitamu sana”

Nadia alizungumza huku akiendelea kula.

“Kwa kusifia wewe haujambo”

“Jamani mama kwani sipaswi kusifia ikiwa chakula kitamu sana”

“Haya mama kula”

“Mama nina omba leo ulale hapa kwani kesho asubuhu na mapema kuna ziara nina kwenda kuifanya hivyo najua Cauther ana weza kuwa mwenyewe bila ya uangalizi wa mtu yoyote”

“Wala usijali mwanangu, nitamuangalia”

“Mume wangu huchukui hata siku ya mapumziko?”

“Leo mke wangu ndio siku ya mapumziko yangu, ila ni ziara moja tu ya kikazi”

“Sawa mume wangu ila kumbuka sasa hivi ume kuwa baba. Mtoto atahitaji sana muda kwua nasi”

“Nimekulewa mke wangu”

Asubuhi na mapema mimi, washauri wangu na walinzi wangu tukaingia katika helicopter maalumu ya raisi ambapo moja nimepanda na washauri wangu watatu. Mzee, Judy, Willy pamoja na Ruben mlinzi wangu namba moja. Katika helicopter nyingine wamepanda walinzi wangu. Saa kumi na moja na robo tukaondoka hapa ikulu.

“Willy kuna bamadiliko yoyote?”

“Hapana bado yupo”

“Sawa sawa”

“Mkuu tuna kwenda Shinyanga ila sijui tuna kwenda kufwatilia nini?”

Mshauri wangu mkuu alizungumza huku akinitazama machoni mwangu.

“Kuna mambo mengi sana ya kwenda kutazama kwenye mkoa huo. Hivyo tuta jua tukifika huko huko”

“Sawa muheshimiwa”

Sikutaka kumuweka wazi mshari wangu kwamba safari hii ina kusudia kuonana na baba mkwe.

“Tukafika mkoa wa Shinyanga na ndege hizi zikatua kwenye ikulu ndogo iliyopo mkoani hapa. Tukaingia kwenye magari maalumu yaliyo andaliwa kwa safari hii na moja kwa moja tukaelekea kwenye hospitali ya mkoa. Wauguzi na madaktari wakastushwa sana na ziara yangu hii.

“Muna endeleaje?”

Niliwasalimia wananchi nilio wakuta eneo hili.

“Salama muheshimiwa”

“Ehee niambieni muna pata huduma vizuri?”

Niliwauliza wamama hawa.

“Yaani muheshimiwa katika hii hospitali hakuna usawa kabisa. Yaani madaktari na manesi ni wavivu sana, sio watendaji kazi wazuri. Mgonjwa mmoja ana weza kuingia ofisini kwa daktari akaka hata dakika hamsini, sasa niambie muheshmiwa wangongwa tupo mia na hivi kweli tuna weza kuhudumiwa kwa muda”

Mwana mama mmoja alilalama.

“Dokta mkuu hembu niambie hizo dakika hamsini hapo ofisini mgonjwa ana kuwa ana tibiwa au?”

“Aha muheshimiwa raisi kusema kweli sija jua sana juu ya hilo”

“Ni ofisi gani kuna uzembe huo?”

“Mkuu ofisi ya hawa madaktari ambao tuna takiwa kuzungumza nao kisha watuandikie twende maabara tukapime. Yaani una kuta wana piga stori sana ofisini, na jambo jengine wana kuwa na watu wao. Kuna sisi tuna dimka asubuhi kuwahi hapa. Ila mtu ana weza kuja saa nne, akapita hadi ofisini kwa dokta. Sasa una jiuliza kwani sisi sio watu.”

Wamama hawa walilalama.

“Niambieni ni ofisi ipi na ipi waletea hizo shida”

“Ofisi ya dakatri wa kina mama, daktari wa watoto na daktari hawa wanao sikiliza shida zetu kama malaria na wengine. Yaani ni wazembe. Jambo jengine mkuu, huwezi amini hospitali kubwa kama hii, unaandikiwa kwamba hakuna dawa na tuna elekewa tuka nunue dawa hapo nje. Yaani mkuu ni vimbwanga. Sisi wengine tuna bima za afya ila mambo ndio hayo hayo ya kunuua dawa nje ya duka lililo upande wa pili tu wa barabara”

“Eti hilo duka ni la hispitali au ni la nani?”

Niliwauliza madaktari hawa na wakaanza kutazamana machoni.

“Ni la nani hilo duka hapo nje ambalo, dawa humu ndani zina kosekana na zina nunuliwa duka la nje hapo”

“Mkuu hawawezi kutajana ila hilo duka ni la huyo mganga mkuu”

Mwana mama huyu aliye amua kuzungumza kwa ujasiri alizungumza kwa kujiamini huku akimtazama mganga mkuu wa hospitali.”

“Mzee ni lako kweli?”

“Aha muheshimiwa, unajua….”

“Mzee wangu nimekuuliza ni lako au sio lako?”

“Ni langu mkuu”

“Hivi MSD hawaleti dawa za kutosha kwenye hospitali kubwa kama hii?”

“Wana leta?”

“Zina kwenda wapi?”

Mganga mkuu akakosa jibu la kunipa.

“Ina maana dawa zikileta hap nyinyi muna kwenda kuziweka kwenye maduka yenu ili mjipatie pesa si ndio?”

“Mkuu hapana?”

“Kama ni hapana una taka kuniambia dawa zinazo letwa hapa hazikizi matumizi ya watu wanao hudumiwa hapa hospitalini?”

Mkuu huyu akakaa kimya huku akinitazama machoni mwangu.

“Alafu nyinyi sio muligoma kwa kudai madai yenu na nika yashuhulikia ndani ya masaa kumi na mbili. Ina kuwaje leo hii wananchi wana kosa dawa mzee wangu na bila ya aibu na woga muna jenga kabisa duka hapo nje. Mkurugenzi wa hospitali yupo wapi?”

“Yupo safari mkuu”

“Nani ana husika na usainishaji wa kupokea pesa kutoka serikali kuu na madawa yanayo letwa na hospitali”

Wakamauangalia mama mmoja ambaye hata kunyooshewa kidole akajitaja ni yeye.

“Mama yangu mulipokea mzigo wa mwisho wa dawa lini?”

“Wiki iliyo pita”

“Ambapoi dawa hizo zipo kwenye stoo yenu?”

“Mkuu mimi nimeokoka na msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Najua nita chukiwa ila ni bora kuchukiwa kuliko kubeba mzigo huu ambao sio haki yangu”

“Ehe niambie mama yangu”

“Mkuu bwana bosi wangu hapa huwa ana niamuru robo tatu ya madawa yanayo letwa kupelekwa dukani kwake. Hili swala nilimuambia mkuu wa mkoa ila kwa bahati mbaya hakulishuhulikia kwa mana yeye na huyu bosi wangu wana kula sahani moja. Mkuu kwenye hii nafasi nina omba nijivue tu kwa maana nina pokea lawama nyingi sana”

“Mkuu wa mkoa yupo wapi?”

“Hajakuja bado mkuu”

“Yaani nipo mkoani mwake alafu hayupo au dharua?”

“Mkuu bora tuongee juu ya huyo mkuu wa mkoa. Yaani yule baba ana tunyanyasa sisi wafanya biashara wa chini na kati. Tumekuwa ni watu wa kupandishiwa kodi bila ya kufwatwa kwa taratibu. Wafabiashara wadogo wadogo wana hamishwa tu maneo ya kufanyia kazi, sasa mkuu tunao umia ni sisi wamama wenye maisha ya chini, hawa wamekalia vitu tu, hawajui mateso tunayo yapata muheshimiwa. Yaani wana tumia askari kutupiga, wana tupora mali zetu, tusaidie kwenye hili muheshimiwa raisi”

“Kumbe kuna madudu mengi ehee?”

“Yapo mengi sana muheshimiwa raisi”

“RPC umesikia jinsi askari wako wanavyo fanya. Una lijua hilo?”

“Hapana mkuu

“Sasa nahitaji huyu mzee muiba madawa apigwe pingu, wananchi nata kusikia kero zenu musiogope, kama kuna daktari, nesi au mtu yoyote anaye fanya kazi kwenye ofisi ya serikali hii ninayo iongoza. Hafanyi vile anavyo paswa nitajieni majina yao, wote leo wana kwenda ndani na watapisha uchunguzi ufanyike na wakikutwa na hatia wote wana kwenda jela. Hatuwezi kuwa na nchi ambayo wengine wana tumia madaraka yao vibaya kisha tukawaangalia tu”

Wananchi hawa wakapiga makofi mengi na wakaanza kunyoosha vidole juu huku kila mmoja akitamani kutoa dukuduku lake, nikawatazama madaktari na wauguzi hawa nikaona jinsi wanavyo tetemeka kwa woga na hii ni ishara tosha kwamba kuna uchafu mwingi sana una fanyika katika hospitali hii.



“Mkuu hapa ni hospitali, kuna wagonjwa hivyo kufanya mjadala ina weza kuleta shida wa wagonjwa”

Mshauri wangu namba moja alininong’oneza sikioni mwangu”

“Sawa”

Nikamchagua mzee mmoja.

“Muheshimiwa raisi, serikali ina sema sisi wazee, wamama wajawazito pamoja na watoto, tutibiwe bure ila hapa tuna lipishwa kama kawaida”

“Eheee na nani?”

“Hawa madaktari muheshimiwa sasa tuna jiuliza au sisi hatupo nchini Tanzania au hatnahaki ya hiyo”

“Aise hiyo haki munayo na nyinyi ni wa Watanzania, msemaji wa hospitali yupo wapi?”

“Nipo hapa muheshimiwa”

Mama mmoja kaajitokea kwenye kundi la madaktari hawa.

“Eehee elezea hili kwa nini wamama wajawazito, watoto chini ya miaka mitano na wazee kama huyu wana lipishwa”

“Ahaa muheshimiwa raisi, muda mwengine wangonjwa wana tusingizia”

Karibi wagonjwa wote wakapiga kelele za kumshutumu huyu mwana mama huyu.

“Tulieni tulieni. Mama yangu ina maama watu hawa wote una sema wana wadanganya au wana wasingizia”

“Muheshimiwa raisi wewe hujawajau hawa Wasukuma ni waogoo sana”

Kauli ya mwana mama huyu nikajikuta nikikasirika dhahiri na hata yeye akajua nimekasirika. Wananchi hawa wakamjia juu ula nikawatuliza kwa kuwapa isha ya mkono.

“Wewe ni kabila gani?”

“Mchaga”

“Mama yangu katika maraisi wote walio pita kwenye hii nchi, hakuna raisi aliye ongoza kutokana na kabila lake. Unatoa wapi ujasiri wa kusema eti hawa Wasukuma ni waogo, eheee. Wewe ni nani haswa kwenye hii nchi?”

Nilizungumza kwa ukali hadi Judy akanisogela na kunishika mkono.

“Naomba unisamehe muheshimiwa raisi”

“Laiti ningekuwa sio rahisi ningekuzaba makofi ila kutokana na cheo changu ina nizuia hilo. Hii kazi muliyo nayo jni adhamana, nia uwezo wa kuajiria madaktari kutoka nchi yoyote duniani wakaja kufanya kazi hapa nchini alafu nyinyi mukafanye kazi nyingine. Kila mmoja asimamae kwenye majukumu yake na sio kuwanyanyasa hawa wananchi, iwe kwa dini zao, kwa makabila yao au kwa mionekano wao. Hawa ndio mabosi wenu nyinyi, hawa ndipo wana wafanya asubihi mutoe miguu yenu kwenye majumba yenu na kuja hapa. Ingekuwa sio hawa tungefunga hospitali na musinge ajiriwa au mungekuwa wengine mumesha punguzwa. Mkuu wa kityengo cha upelelezi”

“Ndio muheshimiwa”

“Nahitaji ufanyike upalelezi ndani ya masaa ishirini nanne, kabla sijaondoka hapa Shinyanga muwe mumenipatia mafaili yote. Nahitaki kujua hospitali ina ingiaza kiasi gani, wana nchi wana hudumiwa vipi, nahitaji kufahamu kila kitu kinacho endelea ndani ya hii hospitali. Masaa ishirini na nne umenielewa?”

“Nimekuelewa muheshimiwa raisi”

“Ukinidanganya ukaniletea ripoti feki, tuta juana mimi na wewe unanielewa?”

“Nina kuelewa muheshimiwa raisi”

“Wananchi nina omba nikashuhulike na majukumu mengine. Ila nina wahakikishia kabla sijaondoka hapa mkoanoi kwenu lazima hizi changamoto ziwe zimeisha. Alafu hakikisheni muna toa ushirikiano wa kutosha kutoka kwa wapelelezi musifiche chochote tuna elewana”

“Ndiooooo”

Wananchi walujibu kwa furaha, tukaondoka hospitalini hapa. Ukimya ukatawala huku washauri wangu wakinitazama jinsi ninavyo pambana kuishusha hasira yangu.

“Mkuu tuna elekea wapi?”

Judy aliniuliza huku akinitazama machoni

“Ikulu ndogo”

“Sawa, muheshimiwa raisi ana rudi kwenye ikulu ndogo”

Msafara ukageuzwa na safari ya kuelekea ikulu ndogo ikaanza.

“Kuna watu wana kera sana duniani”

Nializungumza huku nikishusha pumzi.

“Ndio hivyo msamehe tu muheshimiwa raisi”

“Mshenzi sana yule mama amenikwaza sana”

“Pole mkuu”

Tukafika ikulu

“Willy umefikia wapi kwenye lile eneo?”

“Mkuu bado mzee yupo”

“Sawa nahitaji kuelekea huko ila nahitaji twende sisi watatu”

“Walinzi je?”

“Sihitaji mlijnzi wa aina yoyote na hii sio ombi ni amri”

“Ila muheshimiwa raisi una vyunja sheria za kiusalama wako”

Mashauri wangu namba moja alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Nisikilize mzee, ukiachana na mimi kuwa raisi, mimi ni zaidi ya komandoo, hakuna anaye weza kunidhuru. Nahitaji kutembea na watu watatu. Willy, Ruben na Judy nyinyi wengine wote muta baki hapa ikulu. Kingine sihitaji kufwatiliwa”

Nilizungumza kwa msisimamo na kutokana mimi ndio amirijeshi mkuu hakuna mtu anaye weza kupinga amri yangu. Ikaangaliwa gari aina ya BMW X7 ambayo imeundwa kwa ubora maalumu ambao sio rahisi kuingia risasi ya ina yoyote. Ikabadilishwa namba za ikulu na kufungwa namba za kawaida.

“Naendesha”

Nilimuambia Ruben mara baada ya kuhiyaji kuendesha.

“Sawa mkuu”

“Willy nisetie gprs hapa”

“Dakika sifuri”

Willy akaweka ramani ambayo ina tuongoza kufika hadi kwenye kijiji tunacho elekea.

“Kwa kweli wewe ni jasiri”

Ruben alizungumza huku akiwa amekaa siti ya pembeni yangu.

“Kwa nini Ruben?”

“Sijawahi ona raisi aliye weza kuwazuia walinzi kama wewe?”

“Muda mwengine ina bidi utumia nguvu ya zaida”

“Sasa huku muheshimiwa tuna kwenda wapi?”

“Kuna mzee nina kwenda kumuona. Willy hakikisha kwamba hatupotei”

“Usijali kaka”

Tukazidi kusonga mbele huku nikizidi kuendesha gari hili kwa mwendo wa kasi sana. Tukafanikiwa kufika katika mashamba haya ya baba mkwe. Tukalisimamisha gari hili kwa mbali sana eneo ambalo sio rahisi kwa wakulima kuliona.

“Kutemba hapa hadi kule ni kiasi gani Willy?”

“Kwa mwendo kama dakika ishirini”

“Sawa”

Tukaanza kutembea kwa mwendo wa umakini hadi tukafanikiwa kufika kweye nyumba hizi. Nikamuona baba mkwe akitoka kwenye moja ya kibanda akiwa amevalia kofia kubwa.

“Sikutarajia kama una weza kuja hapa”

Baba mkwe alizungumza huku akitabasamu.

“Ilibidi kufikiria nje ya boksi”

“Karibuni sana, mbona umekuja na vijana wachache?”

“Kwa sababu nilijua umuhimu wa hili unalo pitia. Shikamoo”

“Marahaba kijana wangu, nashukuru kwa kuja, karibu ndani”

Tukaingia ndani ya kibanda chini. Nikaona ngazi za kushaka chini na tukaingia katika nyumba kubwa iliyo jengwa kwa ustadi mkubwa sana ndani ya nyumba hii.

“Aise kwa juu ina onekana kawaida?”

“Yaa niliamua kujenga nyumba ya chini ya ardhi ili nikiamini ipo siku mambo yana weza kuwa ndivyo sivyo. Ningependa tuzungumze sisi wawili”

“Ohoo Judy naomba mutupishe”

Judy na wezake wakatoka ndani hapa.

“Vipi maisha ya mke wangu na wanangu?”

“Wana huzuni na nina habari njema, mke wangu amejifungua”

“Waoo mbona haraka hivyo?”

“Mstuko wa kifo chako ulipelekea kujifungua mimba ikiwa na miezi saba”

“Aisee poleni sana na hongereni sana”

“Tumesha poa amejifungua mtoto wa kike na tumempa jina la Nadia kama ulivyo hitaji”

“Aisee nina shukuru sana kwa kutimiza haja ya moyo wangu. Una hitaji kahawa?”

“Hapana nipo vizuri mzee. Utaendelea kujificha hadi lini?”

“Kwa kipindi kirefu sana. Sitarajii kujitokeza mbele ya macho ya watu kwani kujitokeza kwangu ina weza kuleta shida kwa familia yangu hususani wewe na mke wako”

Nikaka kimya huku nikimtazama mzee huyu ambaye kwa kweli kwa hili alilo lifanya nime muamini kwamba ni mtu hatari sana kwani tuna jua sote kwamba tuna amekufa kwenye ajali ya ndege.

“Ulijuaje kwamba ndege ina kwenda kulipuliwa?”

“Kwenye chama cha Scorpion sio kila mtu ana nichukia na toafuti yangu na wao imeanza mara baada ya kuona kwamba siwapi ushirikiano wa kuwapatia information za uhakika kutoka kwako jambo lililo wafanya kuniwekea mitego mingi ya kuniangamiza. Nilipo kuwa ndani ya ndege, dakika chache kabla ya ndege kulipuka, kijana wangu walinipa taarifa na mpango mzima namna gani ndege itakavyo lipuliwa. Nilishindwa kabisa kumueleza rubani au mtu wa aina yoyote juu ya jambo hilo kwani kijana alinieleza kuna bomu ndani ya ndege na yeye hafahamu ni wapi lilipo fichwa. Hivyo alicho nisaidia yeye ni kuniambia ata zisimamisha video za cctv kwa sekunde kadhaa na iwe nafasi ya mimi kuondoka ndani ya ndege hiyo na nisionekane tena. Nilifanya hivyo kwani niliogopa sana kufa. Nilifanikiwa kupata begi lenye parachute hivyo nilitoka kwenye ndege kwa kutumia mlango wa dharura na ndani ya muda mchache hata kabla sijafungua parachute ndege ikalipuka”

Maleezo aliyo nipatia Willy yana endana kabisa na maelezo aliyo nipatia baba mkwe.

“Kwa hiyo sio kwamba ndege ilidunguliwa ila kulikuwa na bomu ndani ya ndege?”

“Kwa maelezo ya kijana ni kwamba kulikuwa na bomu hili la kudunguliwa kwa kweli sijafahamu kama ni kweli au laa. Ila umepokea mzigo wangu kutoka kwa Nadia?”

“Ndio na nina endelea kuufanyia kazi. Ila nina shindwa kujua namna ya kuanzisha vita kwani kuna watu hadi ndani ya ikulu ambao ni Scorpion”

“Hilo nalifahamu na nilsihindwa kukuambia kwa maana nina tambua ungechukua maamuzi ambayo yata leta madhara makubwa kwako na familia yako kwa ujumla. Ndio maana niliamua kujitoa muhanga mimi kama mimi ili nyinyi wengine muwe salama. Ila ili upambane na hawa Scorpion, usipambane nao ukiwa ndani ya ikuku, pambana nao ukiwa nje ya ikulu”

“Kwa nini iwe nje ya ikulu?”

“Kwa sababu, mapigo yao ya kulipiza wata piga ndani ya nchi kwa raia ambao hawana hatia ya aina yoyote. Nitakuwa tayari kukusaidia kupambana nao kimya kimya pale tu utakapo kuwa umetoka ndani ya ikuku”

Nikamtazama baba mkwe kwa sekunde kadhaa.

“Nahititaji kufahamu historia yako ya kweli mzee”

Baba mkwe akaka kimya huku akinitazama machoni mwangu.

“Kipindi nilipo kuwa na umri wa miaka kumi na tisa nilijiunga na jeshi la India”

“Ngoja kwanza wewe sio muarabu ila ni Muhindi?”

“Ndio mimi ni Muhindi wa kuzaliwa, japo baade nilibadili mambo. Nilipewa mafunzo ya kijeshi na kipindi hicho vita ya Pakistani na India ilikuwa ime pamba moto sana, hivyo nami nikaingizwa kwenye vita hiyo. Nilipambana nikiwa mstari wa mbele kabisa na tukafanikiwa kumpiga Mpakistani kwa asilimia kubwa sana. Nilipo kuwa jeshini kuna msichana nilimpenda alikuwa ni mtoto wa jenerali wetu. Alipo gundua lile jambo, jenerali alipanga mpango wa kuniua kisiri kwani hakupendelea kabisa mwanaye kupendwa na mimi mwanajehsi wa hali ya chini ikiwa kuna watoto wa waziri mkuu kwa kipindi hicho alikuwa ana mfukuzia yule binti. Jaribo la kuniua lilifanikiwa kwa asilimia sabini kwani nilipigwa riasi kama nne mwilini mwangu na nikatupwa kwenye maporomoka. Kama unavyo jua jeografia ya nchi ya India jinsi ilivyo ina milima mikubwa sana na yenye baridi. Ila Mungu si athumani wala Shabani, nilisaidiwa na mzee mmoja afanya biashara kutoka Dubai, aliniokota chini kwenye mabonde hayo alipo kuwa kwenye uchunguzi wake wa kutafuta eneo la kuchimba Madini. Mzee yule alinilea kama kijana wake wa kumzaa na kwa bahati nzuri hakuwa na mtoto hata wa kusingiziwa.Hivyo tulihamia nchi za uarabuni ambapo, nilibadilisha jina langu na maisha yangu kwa ujumla na nilimchukua mama yangu na baba yangu na kuishi nao Oman. Oman nilikuwa msimamizi wa kampuni kubwa yam zee yule na kwa bahati mbaya alifariki kwenye ajali ya helicopter yake, usiku wa ajali hiyo kulikuwa na mawingu mengi sana akiwa nchini India hivyo ile helicopter iligonga mlima na ikalipuka. Kutona mzee hakuwa na kijana mwengine na aliniandikisha kwenye mali zake hivyo nikawa mrithi kamili wa mali zake na utajiri wangu ndivyo jinsi ulivyo chipukia. Nilipo fikisha miaka ishirini na sita ndipo nilipo muoa mama Cauther na nikafunga naye ndoa ya kidini na kuishi naye rasmi. Hivyo hata mama Cauther hajawahi kujua kama mimi ni Muhindi, wewe ndio mtu wa kwanza kukuambia hivi”

Baba mkwe akaka kimya kidogo kisha akaendelea kuzungumza.

“Niliendelea kupitia mafunzo mbalimbali ya kijasusi ili mradi niweze kujilinda mimi mwenyewe na niliyanya kwa siri bila mke wangu kuja na ndipo tulipo kuka kukutana na makamu wa raisi. Alikuwa rafiki yangu mkubwa sana na aliweza kuniomba sana niweze kuja kuishi nchini Tanzania na kuwekeza na akaniahidi ata nifanyia mpango wa kuishi nchini hapa”

“Kipindi hicho alikuwa nani?”

“Alikuwa kanali wa jeshi. Sikukubali kwa haraka, ila nikaja kuichunguza Tanzania na kukuta ni nchi inayo endelea kukua kwa kasi kiuchumi na ina fursa nyingu sana tofauti na Oman ambapo jangwa ndio limetawala. Hivyo nikahamia rasmi nchini Tanzania huku mama Nadia akiwa na mimba ya Salumu. Hivyo nilipatiwa uraia na makamu wa raisia kanishirikisha kwenye mpango wa kuanzisha chama cha Scoprion na utendaji wake wa kazi.”

Baba mkwe akaka kimya kisha akaendelea kuzungumza.

“Kutokana mimi ni mfanya biashara na siku zote mfanya biashara ana hitaji kupata zaidi na kile alicho nacho. Nilikubaliana naye, tukawekeza pesa na chama kikaunda na tukaingia wanachama taratibu na kukikuza zaidi na zaidi hadi nyinyi muna ingizwa jeshini nilikuwa nina tambua. Ndio maana ulipo kuja kujaribu kumuoa mwanangu nilikataa kwa maana niliijua historia yako toka una kamatwa ukiwa nyumbani kwa makamu wa raisi kipindi kile ulipo kuwa na wezako. Na ile siku muna kamatwa mimi nilikuwa ndani ya ile nyumba na mimi ndio nilizima taa na nyinyi ikawa rahisi sana kukamatwa. Mara ya kwanza makamu wa raisi alihitaji kuwaua, ila nikampa wazo kwa nini tusiunde kikosi kazi kitakacho kuwa kina fanya kazi za kijasusi kwa mgongo wa serikali ila sisi ndio tuna nufaika na utendaji wenu wa kazi”

Nikashusha pumzi nyingi, kisha taratibu nikakunja nne huku nikimtazama baba mkwe.

“Hivyo Scorpion ilianzishwa mimi na makamu wa raisi ndio maana alinihofia sana na akapanga kunia kwani nina jua A hadi Z juu ya chama hicho”

“Sasa kwa nini usimdhuru baada ya kujua ana mpago wa kukuua?”

“Familia, kitu alicho nipiga bao yule mzee ni kuto kuwa na familia. Hana hata mtoto wa kusingiziwa. Ila ukiangalia mimi nina watoto na wajukuu sasa. Nyinyi nyote ninge walinda vipi, ikiwa akiuwawa mmoja wenu kwangu ni maumivu. Hivyo nikaona ina tosha ngoja niwe mpole tu”

“Ila kuwa mpole adui yako una mpa nafasi na sio kwamba hatuwindi ila alinipigia simu na akaniambia kama nina hitaji kuishi kwaa amani niache kumfwatilia la sivyo ata muua mke wangu pamoja na mwanangu”

“Amesama hivyo?”

Baba mkwe alizungumza huku akiwa amejawa na mstuko mkubwa sana.

“Ndio”

“Mshenzi sana yule. Endapo ata mgusa yoyote kwenye familia yangu. Haki ya Mungu nita muua vibaya sana”

“Sasa hapo hapo, nataka kujua uta muuaje kwa maana kwa sasa nina mzigo mzee wangu”

Baba mkwe akaka kimya kisha akasimama, akaingia kwenye moja ya chumba kilichopo hapa kisha akatoka akiwa ameshika laptop, akaifungua kisha akaiwasha, amaminya minya batani za laptop hii kisha akanigeuzia.

“Scorpion wana shika asilimia tisini na tano ya silaha zilizopo kwenye nchi zote duniani. Wenye hayari kubwa ni sisi tunao miliki silaha za nyuklia. Kwani waki amua kulipua haya maghala ya silaha dunia nzima itakuw ani kuzimu. Hii ndio nguvu yao namba moja wanayo jivunia ndio manaa una ona maraisi wengi wakipata shida kwani waliingizwa kwenye scorpion wakiamini wata kwenda kula keki ila mwisho wa siku, keki ina badilika na kuwa andazi”

Nikaona alama nyekundu kwenye ramani hii ya dunia na kila nchi ina alama hizo nyekundu.

“Hizo alama nyekundu ni nini?”

“Nchi ambazo wana miliki silaha hivyo kwenye maghala ya silaha kuna mabomu hayo yameihifadhiwa hivyo mzee akika huko alipo akiamua kichangua maghala ya silaha ya nchi yoyote wana changua. Na kama unavyo jua nchi zina wekaza pesa nyingi sana kutengeneza na kununua silaza bora na za kisasa.”

“Silaha yao pili na wanayo itumia ni uchumi wa duniani. Kwenye scorpion ndio maana matajiri wengi na nchi tajiri wameijiunga. Kama ni tajiri upo nje ya chama hicho basi jua utafilisiwa hadi ukose mia mbili ya kununua nguo mpya. Na mzee yeye ndio anashikilia uchumi wa hizo nchi na watu wote yaani akuhitaki kuhamisha pesa ya mtu ni sawa na kuuzima mshumaa kwa kuupulizia”

“Aisee, je kuna uwezekano wa kuhaki mfumo wake huo ambao ana shikilia hizo akaunti za watu matajiri na nchi tajiri na tukaziiba hizo pesa?”

“Haiwezekani kwa maana mimi nilijaribu kufanya hivyo ia nilishindwa na endapo ukiweza basi utakuwa ume imega Scorpion kwa njia rahisi na kwa muda mchache kwani wenye pesa zao waya mjia juu kwani hakuna kiti kinacho uma kama kupokonywa pesa uliyo itumikia miaka yako yote ya maisha kisha opokonywe kirahisi rahisi”



“Una utaalamu wa maswala ya I.T?”

“Niliajiri ma genius wenye uwezo wa kuifanya hiyo kazi ila walishindwa”

“Huyu kijana wangu mmoja ana uwezo mkubwa sana kwenye maswala ya T.I nina weza kumshirikisha?”

“Utakavyo penda kwani adui yetu ni mkubwa, vichwa vyetu sisi wawili haviweza kupigana naye na tukashinda. Ndio maana ina hidi tufikirie nje ya boski na sio ndani ya boksi”

“Sawa ngoja nimuite”

Nikatoka nje na kumuita Willy na nikaingia naye hapa ndani. Tukamuonyesha mfumo wa pesa ambazo makamu wa raisi anao umiliki kwa wafanya biashara wote walipo chini yake.

“Mmm hii ni kazi kweli kweli, sijawahi kuuona huu mfumo na sijui ume tengenezwa na watu gani?”

“Wa Israel”

Baba mkwe alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Kitu alicho kitengeneza Muisrael ni ngumu sana kwa mtu wa taifa jengine kukidukua. Labda awe muisrael mwenyewe na awe professional”

Willy alizungumza huku akitutazama.

“Kwa hiyo haiwezekani?”

“Nisiwe muongo kaka, siwezi kwa maana huu mfumo ni waaina yake”

“Sawa Willy tutajaribu kutafuta namna”

“Sawa kaka na muda wa kurudi ikulu umebaki mchache”

“Sawa muambie Ruben alete gari”

“Sawa”

Willy akatoka ndani hapa.

“Ina bidi mama na familia yako watambua juu ya uwepo wako”

“Haito kuwa salama kwao kwani najua watatamani kuniona”

“Najua hilo ila wana paswa kujua uwepo wako, japo msiba uta endelea kama kawaida ili kupoteza maboya kwa maadui zako”

“Uta weza kuhimili mihemko yao ya kuhitaji kuniona?”

“Ndio naweza”

“Sasa una taka nifanyaje?”

Nikatoa simu yangu mfukoni kisha nikaweka upande wa kamera kisha nikakaa pembeni ya baba mkwe.

“Ahaa najua itakuwa ni kitu cha kustusha sana kwa wana familia kutokana na video ambayo alitumiwa mke wangu Cauther ikionyesha baba akilipuka kwenye ndege. Ilikuwa ni video ya kweli ila baba alifanikiwa kutoka ndani ya ndege kabla ya ndege hiyo kulipuka. Yupo hai na ana afya njema. Baba hembu wasimulie kilicho tokea”

Baba mkwe akaanza kuwaadithia wana familia yake video hii ninayo irekodi na alipo maliza nikaihifadhi video hii ndani ya simu.

“Tutakuwa tuna wasilian vipi?”

“Kuna hii simu yangu ambayo mawasiliano yake hayanaswi na satelaite yoyote hivyo tuta wasiliana na wasipo amini nipigie nizungumze na mke wangu”

“Sawa baba na huu mfomo ningependa kuuondoka nao”

“Una flash”

Nikamuita Willy na akaiungiza mfumo huu katika laptop yake kisha tukaagana na baba mkwe na tukaianza safari ya kurudi ikulu ndogo na safari hii anaye endesha gari ni Judy.

“Una watambuwa Waisrael wowote?”

Nilimuuliza Willy huku tukiwa tumekaa siti za nyuma pamoja.

“Hapana sina ninao wafahamu.

“Judy”

“Ndio mkuu”

“Una muisrael yoyote unate mfahamu?”

“Hapana mkuu”

“Mimi yupo ninaye mfuhamu mkuu.”

Ruben alizungumza huku akigeuka nyuma na kunitazma.

“Anapatikana?”

“Huwa nina waisliana naye mara kwa mara yeye ni mwana usalama wa ngazi za juu kwenye serikali yake ya Israel”

“Sawa tukifika ikulu unikumbushe tuzungue. Na wapigieni marubani wa ndege wajiandae sihitaji kuendelea kukaa hapa.”

“Sawa mkuu”

Ruben akawasalina na walinzi wezake pamoja na marubani na safari ya kurudi Dar es Salaam ikaandaliwa.

“Ila muheshimiwa kuna swala la mkuu wa mkoa lilizungumzwa pale na wananchi vipi hilo?”

Judy alizungumza.

“Hivi naye amehusika kwenye swala la wizi wa dawa?”

“Ndio”

“Ngoja uchunguzi ukamilike naye ata kipata cha mtema kuni”

“Sawa sawa mkuu”

Tukafika ikulu ndogo, nikakuta walinzi wnagu wakinisubiria. Moja kwa moja nikaelekea kwenye helicopter ambayo tayari imesha washwa.

“Vipi huko ulipo toka salama?”

Mshauri wangu mkuu aliniuliza.

“Yaa salama”

“Tulikuwa na hofu kubwa sana tukahisi umepatwa na tatizo”

“Nipo salama mzee wangu. Nahitaji ujaribu kufwatilia wataalamu wa I.T kutoka nchini Israel. Uta saidiana na Ruben hapo kuhakikisha muna pata watu sahihi”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Helicopter hizi zikapaa hewani na tukaondoka eneo hili. Tukafika jijini Dar es Salaam na zikatua katika uwanja wa hapa ikulu. Moja kwa moja nikaelekea ninapo ishi, nikamkuta mama mkwe sebleni.

“Shikamoo mama”

“Marahaba, pole na safari”

“Nashukuru”

“Nimeona kazi yako kwenye tv kwa kweli nina jivunia kuwa na mkwe kama wewe”

“Asante sana mama yangu. Umepata taarifa zozote za msibani?”

“Ndio nina wasiliana nao”

“Sawa mama yangu. Ningeomba muweze kuwasiliana na wana familia unao wamaini waweze kuja hapa kuna mazungumzo muhimu kidogo nahitaji kuwaambia”

“Mmmm wote?”

“Au nahitaji wanao wote, bibi, shangazi”

“Sawa, ngoja niwasiliane nao sasa hivi, ila kuna usalama?”

“Ndio mama yangu wala usijali”

“Sawa”

“Mimi nipo ndani wakifika utanijulisha”

“Sawa baba”

Nikaingia chumbani na kuwakuta Nadia na dada yake wakiendelea kupiga story.

“Umerudi mume wangu?”

“Ndio mama watoto”

“Pole na uchovu”

“Nashukuru mke wnagu”

Nikambusu Cauther mdomoni mwake kisha nikavua koti langu la suti.

“Shem nipo sebleni”

“Sawa shemeji”

Nadia akatoka ndani hapa.

“Ngoja nioge mke wangu kwa maana natoka vijijini huko”

“Wapi tena?”

“Shinyanga vijijini huko”

“Kwema?”

“Kwema tu mke wangu”

Nikaingia bafuni nikaoga haraka haraka kisha nikarudi chumbani. Nikapanda kitandani huku nikiwa nimefunga taulo.

“Bi mdada amelala?”

Nilizumgumza huku nikimtazama mtoto wetu aliye lala kwenye kitanda chake.

“Yaa aliamka akalala tena. Nashukuru Mungu nimepata mtoto ambaye hasumbui kabisa”

“Ana kula vizuri”

“Nampa maziwa kama madaktari walivyo nielekeza”

“Sawa mke wangu nina habari njema”

“Habari gani?”

“Ahaa tumempata baba”

“Baba yako?”

Cauther aliuliza huku akiwa na mshangao kwani ana tambua kwa kipindi kirefu sana huwa nina mtafuta sana baba yangu.

“Hapana mke wangu”

“Baba gani sasa, au umeupata mwili wa baba?”

Cauther aliuliza kwa sauti ya unyonge huku akinitazama.

“Nimempata baba kama baba, hajafa yupo hai”

“Kivipi Eddy sija kuelewa?”

“Yaani baba kwenye ila ajali ya ndege aliweza kutoka kabla ya ndege haijalipuka”

“Kivipi mume wangu”

Nikachukua simu yangu mezani na kumuonyesha Cauther mazungumzo yangu mimi na baba. Hadi video hii ina isha Cauther akanikumbatia kwa furaha na kunipiga mabusu mfululizo.

“Ooohooo asante mume wangu”

“Ndio maana nilikwenda Shinyanga vijijini huko. Hivyo baba yupo hai”

“Ohooo nashukuru Mungu. Mungu hamuachi anaye muomba kwa kweli”

“Yaa Mungu ni mwema mke wangu. Hapo nimemuambia mama awaite wana familia wote na tuzungumze nao juu ya hili.”

“Hapo umefanya jambo la maana mume wangu. Nafurahi kuwa na wewe mume wangu”

“Haa mimi nina furahi kwa kuwa mke wangu”

Mlango wa chumbani kwangu ukagongwa. Nikapiga hatua hadi mlango na nikafungua.

“Samahani shem wana ndugu wamesha fika”

“Sawa tuna kuja?”

“Vipi lakini kwema?”

Nadia aliniuliza huku akinitazama machoni mwangu.

“Ndio”

“Sawa, tuna kusubiria”

Nadia akanikonyeza kisha akaondoka. Nikarudi ndani na nikavaa nguo, tukatoka ndani hapa tukiwa na mtoto wetu. Tukasalimiana na wana ndugu hawa kisha tukaa.

“Nashukuru kwa kuja, natambua mumeacha msiba na kwaheshima mume weza kuja hapa”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikiwatazama wana ndugu hawa.

“Kama munavyo fahamu, mzee wetu alikuwa kwenye ndege ambayo ililipuliwa na magaidi. Jambo ambalo lime leta msiba kwa wana ndugu pamoja na taifa kwa ujumla”

“Nikiwa kama raisi wan chi nina jukumu la kuhakikisha kwamba nina fwatilia kila jambo linalo endelea kwa wananchi wana na familia yangu pia. Kutokana na hilo niliweza kuingia kazini na kufanya upelelezi juu ya ajali ile iliyo tokea”

Nikaka kimya kidogo huku nikimtazama Cauther usoni mwake.

“Upelelezi wangu uliweza kunisaidia kugundua kwamba mzee wetu. Hajafariki kwenye ajali”

Wanandugu wote wakastuka huku wakinitazama.

“Kivipi baba?”

Mama mkwe aliniuliza kwa sauti ya upole.

“Nita waelezea.”

“Baba yupo salama?”

Nadia aliuliza huku akinitazama.

“Ndio yupo salama salmini na mwenye afya. Ila ninapo zungumza haya nahitaji yabaki humu humu ndani. Tukitoka kwenye huo mlango hapo, msiba una endelea kama kawaida”

“Una maanisha nini shem”

Salum aliniuliza.

“Kwa usalama wake binafsi na nyinyi pia, inabidi sas tuvae joho la usanini, hususani kuigiza kwenye hili”

“Ina maanisha kwamba?”

Shangazi alinihoji huku akinitazama.

“Nitawaleza kwa ufupi sana. Mzee alikuwa ni mwanachama wa chama kimoja kinacho itwa Scorpin. Ni chama kilicho ishikilia dunia, kuanzia uchumi na hadi kiusalama. Ni chama chenye watu matajiri duniani na nchi tajiri. Kina wapelelezi wengi dunia nzima. Chama hichi kazi yake ni kupanga nani aongoze na nani asiongoze. Nani aishi na nani asiihi. Nani awe tajiri nani awe masikini na kwa wakati gani. Ni watu ambao wakihitaji lao basi hakuna anaye weza kuwazuia labda zitokee kudra za mwenyezi Mungu kama ilivyo tokea kwa mzee”

Nikaa kimya kidogo kisha nikaendelea kuzungumza.

“Hivyo mzee alihitaji kutoka kwenye chama hicho. Na sheria ya kutoka kwenye chama hicho ni lazima uuwawe. Hivyo walimuwinda mzee kwa kipindi kirefu sana tena na wakaona wana mkosa kwenye kumi na nane zao. Hivyo juzi kwenye ndege waliamua kufanya maamuzi ambayo walimini ni lazima mzee ata kufa kwani asinge weza kutoka kweye ndege ile. Na kweli waliilipua, kuna video ambayo Cauther alitumia ikionyesha jinsi mzee alivyo kuwa ndani ya ndege hiyo”

“Ila sekunde kadhaa kabla ya ndege kulipuka mzee aliweza kuruka kutoka ndani ya ndege na hiyo ndio ikawa pona yake.”

“Samahani mkwe, hayo yote unayo yazungumza yametokea au?”

“Ndio mama yangu, unaweza kuona ni kama simulizi ya filamu ila ni jambo la kweli kwani mtu anapo amua kuokoa roho yake basi ana weza kufanya jambo lolote ili maradi kuwa hai”

“Leo hii nimeonana naye n anime zungumza naye”

“Weeee”

Shangazi alihamaki.

“Ndio”

Nikachukua simu yangu nakuichomeka kwenye waya wa USB na kuiunganisha na tv iliyopo sebleni hapa. Nikaweka mazungumzo yangu na baba mkwe. Wanandugu wote nyuso zao zikajawa na furaha, sura ya huzuni na ya msiba yote ikafutika.

“Nina wapenda sana, ndio maana hahitaji kushi kama mtu aliye kufa. Nina jua nikujitokeza kwenu nina weza kuiletea shida familia yangu pamoja na familia ya mkwe wangu Eddy na mkewe pamoja na mjukuu wangu Nadia. Nilifanya makossa hapo nyuma sasa ni wakati wa kurekebisha makossa yangu. Sihitaji makossa yangu yahukumiwe kwa watu wengine.”

Baba mkwe alizungumza kwenye video hii kwa sauti ya upole.

“Mke wangu, ume kaka na mimi miaka arobaini na tano sasa ila hujajua asili yangu wala jina langu halisi nililo pewa na wazazi wangu. Naomba unisamehe kwenye hilo. Mke wangu jina langu la kuzaliwa ni Ishan Khan. Mimi asili yangu ni Muhindi”

Wanafamilia wakatazamana hususani Nadia na ndugu zake.

“Nimezaliwa India na nilikuwa ni mwanajeshi wa India hadi pale nilipo fanyiwa jaribio la kuuwawa na mkuu wangu na ndipo nilipo elekea nchini Oman na kukua kwa familia ya mzee aliye nipatia jina langu hili ambalo ndio hadi leo una lifahamu mke wnagu.”

“Nina omba Eddy awe kiongozi wa familia hii. Simchagui kama ni raisi au laa. Ila ni mtu ambaye amenionyesha ana uwezo gani na upendo wa aina gani. Kwani kama ni mtu ambaye alipaswa kunisweka jela kutokaa na mambo maovi niliyo yafanya huko nyuma alikuwa ni Eddy. Ila hakuweza kufanya hivyo na alinishimu hata pale nipo mvunjia heshimia. Nina wapenda sana na Mungu aendelee kuwalinda, nitakapo kuwa nina hitaji kuwaona basi nita watafuta mimi na musijaribu kunitafuta kwani muta kufa”

Mazungumzo ya baba mkwe yaliishia hapa na kuwafanya watu wote kushusha pumzi.

“Ina maana sisi ni wahindi?”

Nadia alizungumza huku akinitazama.

“Hilo kwa sasa sio muhimu mwanangu. Muhimu ni kwamba baba yako yupo hai”

“Ni jambo zuri kwa baba kuwa hai. Nina wapigia simu watu msiabani na kuwaambia watu msiba umekwisha na kila mtu atawanyike kwani baba yupo hai”

Salimu alizungumza kwa furaha na kutufanya sote tumtazame hadi akajistukia kwani naona amesahau kauli yangu niliyo waambia msiba uta endelea kama kaiwaida ili maadui zasiweze kujaa kwamba baba mkwe yupo hai.



“Hivi kaka upo vipi, hujamsikia shem akisema kwamba msiba uta endelea kama kawaida na hili jambo ni siri’

Nadia alilama huku akimtazama kaka yake usoni.

“Hivyo jamani hali ipo kama hivyo sinto hitaji mtu yoyote aitoe hii siri kwani ikitoka si nyinyi wala mimi atakaye kuwa salama tunaelewana?”

“Ndio baba tumekuelewa”

Mama mkwe alizungumza kwa furaha huku tabasamu pana likiwa limemtawala usoni mwake.

“Baba nina weza kuzungumza naye?”

“Ndio mama hakuna shaka”

Nikampigia simu baba mkwe na baada ya sekunde kadhaa akapokea simu yake.

“Ndio Eddy”

“Baba nipo na mama pamoja na wana familia wengine hapa hivyo wana hitaji kukusikia”

“Sawa ila kabla ya yote wameiona video yetu?”

“Ndio mzee”

Baba mkwe akakaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha akaomba nimpatie simu mke wake. Nikabidhi simu mama mkwe na baada ya sekunde kadhaa akasimama na kuingia katika chumba cha wageni na kutuacha watu wote hapa sebleni tukimtazama. Baada ya dakika kama kumi hivi mama mkwe akatoka huku macho yakowa yametawaliwa na uwekundu na dhahiri ina onyesha kwamba ametoka kulia.

“Cauther baba anataka kuongea na wewe”

Mama mke akamkabidhi Cauther simu kisha akakaa alipo kuwa amekaa awali.

“Shikamoo baba”

“Nina furahi sana kuzungumza na wewe na kuisikia sauti yako kwa mara nyingine mara baada ya kuingiwa na kiza cha kuja kwamba uta kuwa haupo nasi tena duniani.”

“Nashukuru baba ni wakike”

“Ndio tumempa jina kana vile ulivyo hitaji tumpatie”

“Hahaa asante sana baba, nina tamani kukuona baba yangu”

“Yaa baba Nadia hapa ametueleza kwa nini umejificha”

Nikajisikia faraja sana mara baada ya kumsikia Cauther akiniita baba Nadia.

“Sawa naamini mwenyezi Mungu ata kuongoza baba yangu hakuna baya litakalo kupata”

“Asante baba yangu nina kupenda sana”

“Sawa baba”

Mara baada ya Cauther kumaliza kuzungumza na simu, akampatia simu Salumu naye akazungumza na baba yake. Kila mwana familia akazungumza na baba mkwe ili kudhiitisha kwamba yupo hai. Walipo maliza nikazungumza naye.

“Ndio mzee”

“Nakuomba ulisimamie hilo la siri yangu kuto kutoka”

“Usijali mzee, nime waleza na nita rudia tena kuwasisitiizia”

“Nashukuru sana mwangu kwa upendo wako ulio nionyesha”

“Nashukuru nawe pia”

Nikakata simu kisha nikawaangalia wana familia hawa.

“Nina waomba mukitoka hapa kila mmoja akawe na huzuri kama aliyo kuwa nayo awali. Nina rudia tena kuwaambia, sasa hivi sote tupo kwenye hatari. Nina waomba tusifungue vinywa vyetu juu ya hili swala, yaani hata kwa bahati mbaya tusifungue vinywa vyetu. Sawa”

“Sawa shemeji tumekuelewa”

“Nashukuru kwa muda mulio nipa na tuendeleeni na jukumu lililopo mbele yetu.”

“Tuna shukuru nawe pia mkwe. Mungu akubariki”

“Amen”

Wakwe zangu na mashemeji zangu hawa wakoandoka hapa ikulu na nikabaki na Cauther ambaye kutona na mtoto mdogo na nafasi aliyo nayo kwenye nchi hawezi kwenda kawaida hadi ulinzi maalumu kama mke wa raisi. “Sinto acha kujivunia kuwa na wewe Eddy”

“Kwa nini mke wangu?”

“Umekuwa ni mwanaume wa tofauti sana kwenye maisha yangu. Yaani matatizo yangu, ya familia yangu na ndugu zangu yote ume yabeba na hujajali kwa yote waliyo kufanyia ila bado una tufanyia wema nina kupenda sana Eddy”

“Nina kupenda pia mke wangu, haya ni maisha. Na huwa nina amini kwamba maisha ni kusaidiana”

“Ni kweli mume wangu. Asante sana”

“Nashukuru mama Nadia”

“Hahaa siamini na sasa mimi nimekuwa mama”

“Yaa ndio hivyo umekuwa mama na mimi nimekuwa baba”

“Hahaa haya bwana mume wangu. Msibani leo tunakwenda?”

“Ndio tuta kwenda saa mbili usiku”

“Sawa baby”

Judy akaingia sebleni hapa, akasalimiana nasi.

“Muheshimiwa una muda kidogo tukazungumza”

“Ndio”

“Nakuonba”

Tukatoka ndani hapa tukiwa tumeongozana na Judy.

“Aha muheshimiwa, ningeomba muda wa kupumzika siku mbili hizi kwa maana sijihisi vizuri”

Judy alizungumza huku akionekana kuchoka choka. Nikaweka kiganja cha mkono wangu wa kulia shingoni mwake na kuhisi joto kali sana.

“Una joto kali. Una umwa?”

“Kitu kama hicho”

“Hembu fanya ukapime aisee. Usije ukazidiwa, kwani Willy yupo wapi?”

“Yupo nyumbani aliondoka”

“Basi kapime na uniambie umekutwa na nini”

“Sawa mkuu”

“Jambo jengine yule padre ana shuhulikiwa na Gody hivyo kama utahitaji ripoti zake zipo kwa Gody”

“Sawa sawa, je yule binti?”

“Naye pia Gody ana mshuhulikia na afya yake ina endelea vizuri”

“Basi ni jambo jema. Nitamtafuta Gody”

“Sawa mkuu”

“Ila pole sana Judy, wewe pumzika hadi pale utakapo kuwa sawa”

“Sawa mkuu”

“Je naweza kukusindikiza hospitalini?”

“Hapan usijisumbue mkuu, nitakwenda tu”

“Au muambie daktari wa hapa akufanyie vipimo”

“Hapana mkuu usiwe na mashaka na wala usijisumbue”

“Sawa, hakikisha unaniambi, ila una onyesha una dalili zaaa……”

“Nini?”

Judy aliwahi kujibu huku akitabasamu.

“Au ndugu yangu ndio amesha fanya mambo?”

“Mkuu mbona hivyo jamani?”

“Hamna, una ishi na mwanaume yule na ni shababi kweli kweli”

“Naomba niende kaka”

Judy akaondoka huku akitabasamu na dalili zote zina onyesha kwamba ni mjamzito. Nikarudi ndani na kuelekea chumbani.

“Nahisi Judy ni mjamzito”

“Weee”

“Ndio kwa jinsi ninayvo muangalia, na ameniomba ruhusa ya kwenda kujisikilizia hivi hivi ina onyesha mambo yamesha tiki”

“Afadhali jamani nay eye ajipatie mwanaye kwa maana maisha bila ya mtoto ni shuhuli kweli kweli”

“Umeona ehee”

“Ndio mume wangu. Mungu amtangulie sana”

“Amen, nimechoka, ngoja nipumzike hadi hiyo saa saa moja usiku kisha uta niamsha kwa ajili ya kuelekea msibani”

“Sawa mume wangu, pumzika mimi nita kuamsha”

Nikampigia simu Ruben na kumpa ratiba yangu hii ya msibaba na akaanda mazingira kwa ajili ya safari hiyo, nikapumzika na majira ya saa moja usiku Cauther akaniamsha na tukapata chakula cha usiku kisha tukajiandaa kuelekea msibani. Saa mbili na dakika ishirini, tukafika katika nyumba ya baba mkwe na kuwakuta watu wakiwa wengi na vilio vikiendelea kutanda kila mahali. Cauther akazidisha kilio huku akiwa amembeba mwanaye. Akaenda kujumuka na wamama wezake.

‘Kweli ni waigizaji wazuri’

Nilizungumza huku nikiwatazama baadhi ya wanafamilia wakiwa wametawaliwa na huzuni kubwa sana.

“Shem karibu sana”

Salumu alinikaribisha huku tukipeana mikono.

“Nashukuru naona mambo yamekwenda kama vile tulivyo panga”

“Ni kweli shem hatuhitaji kuwaangusha wewe na baba”

“Nafurahi kusikia hilo”

“Ila shemeji nina wazo”

“Niambie”

“Mamlaka zinazo husika na ajali hiyo walisema kwamba wata pima vipimo vya DNA Kwa majivu ya watu walio fariki kwenye ndege wa maana miili yao imeteketea vibaya sana kwa moto. Huwezi ona hiyo ina weza kukuletea shida kama wakipima na kuto kuona majivu ya mzee na kama ulivyo sema, hao Scorpion wapo kila mahali?”

“Ni wazo zuri sana hilo ila najua namna gani ya kulichekeche hilo jambo na DNA yake itapatikana na majvu yatalewata hapa nyumbani kwa ajili ya maziko”

“Sawa shemeji. Narudia tena nakuomba unisamehe kwa yote yaliyo pita”

“Ngoja nikuambie jambo moja shemeji. Wanaume sisi sote huwa tuna kosea na endapo mtu akasoea na akaomba msamaha mara moja basi hakuna haja ya yeye kuomba msamaha tena. Mimi nipo sawa na nipo pamoja nanyi kwenye kila hatua’

“Allah akufanyie wepesi kwenye kila umuaombalo, sijawahi kutana na mwanadamu mwenye roho kama yako”

“Amen. Tuendendelee na msiba”

“Sawa shemeji”

Salmu akaichanganya na wazee wengine. Nikasaliana na wazee hawa ambao baadhi yao wapo kwenye chama cha Scorpion. Nikaingia ndani na nikasalimiana na wamama walio hudhuria msibani hapa. Mama mkwe akaniomba tuzungumze na tukapandisha gorofani na kuingia kwenye moja ya chumba huku walinzi wangu wawili, Ruben na kijana mwengine wakisimama nje ya chumba hichi kwani jukumu lao ni kunilinda kika ninapo kwenda.

“Ndio mama yangu”

“Kusema kweli baba nina jaribu sana kuvumilia ili nina hamu ya kuonana na mume wangu uso kwa uso. Niongea naye na nimeona video yake. Ilala kama unavyo jua mapenzi ni kitu kingine.”

Nikatabasamu huku nikimtazama mama mkwe usoni mwake.

“Ngoja hili swala la msiba liishe mama yangu kisha nita kukutanisha naye”

“Nashukuru sana kwa kunielewa mwanangu”

“Usijali mama yangu tupo pamoja”

“Sawa ngoja nijajumuike na wezangu”

“Hakuna shaka”

Simu yangu ikaanza kuita, nikaitoa mfukoni na kuona namba ya Willy.

“Dogo”

“Niambie kaka”

“Safi mbona una furaha sana vipi?”

“Aise wife ni mjamzito”

“Weeee!!”

“Haki ya Mungu vile kaka, yaani nina raha isiyo kifani”

“Safi sana, hongera sana dogo”

“Nashukuru sana kaka yaani daa siamini”

“Amini kikubwa sasa hivi ni kuhakikisha ana kuwa kwenye hali ya utulivu na salama. Asipate pate kazi ngumu, ale vizuri, anywe vizuri na mazoezi mepensi mepesi si unao ilivyo kuwa kwa shemeji yako”

“Ndio kaka nina kumbuka”

“Basi nenda naye taratibu usimkere wala kumbugudhi”

“Sawa sawa kaka nashukuru sana kwa ushauri wako”

“Usijali nyonte ni ndugu zangu na nina jukumu la kuwaangalia kwa kila jambo”

Nikakata simu huku nikiwa na furaha kwani kile nilicho kihisi kwa Judy ndio kimekuwa cha ukweli. Nikatoka ndani hapa na kurudi eneo la nje ambapo kuna wazee pamoja na waombolezaji wengine. Kutokana mimi ni mtu wa watu nikajichanganya nao pasipo kujali cheo changu.

“Kwa kipindi chako kidogo ulicho ongoza muheshimiwa raisi kusema kweli nchi imekwenda kwenye msingi na taratubu nzuri sana. Ukihitaji tukuunge mkono kiuchumi tuambie sisi tupo tuta hakikisha kwamba una rudi kwenye kiti chako”

Wazee hawa ambao ni wafanya biashara wakubwa sana walinishauri.

“Nina shukuru sana wazee wangu kwa moyo mulio nipata. Kusema ukweli, siwezi kuenda kinyume na katiba ya nchi kwani katiba ndio ina tuongoza nini tufanye na nini tusifanye. Hivyo kusema ukweli sijakidhi vigezo vya kugombania uraisi kikatiba. Uraisi huu wa sasa umekuja kutokana na jinsi hali iliyo tokea na nimebakisha mwezi sasa baada ya hapo nitakurudi kuwa raisi wa kawaida”

“Mkuu kwani katiba haiwezi ikabadilishwa kwenye kipengele hicho?”

“Sio rahisi namna hiyo na ita onyesha dhahiri kwamba nina uroho wa madaraka. Unajua hizi nafasi bwana za uongozi ni kama nguo ya kuazima tu. Leo una weza kuwa nayo na kesho ukairudisha kwa muhusika. Hivyo naamini raisi ajaye ata kuwa ni mkakamavu na mwenye uwezo mkubwa. Ningeomba sana muweze kumuunga mkono”

Nikaendelea kuzungumza mambo mengi na wazee hawa. Majira ya saa sita usiku ikatulazimu mimi na mkwe wa kngu kurudi ikulu hii ni kutokana na usalama wetu wa mtoto wetu.

“Muheshimiwa raisi kuna tatizo limetokea”

Chief Secretary alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Tatizo gani?”

“Kuna shambuzili la kimtandao kwa lugha nyngine ni cyber attack, mawasiliano ya sattelaite zetu za mawasiliano zime dukuliwa na hii ime pelekea sisi kuwa offline kwa dakika ya kumi sasa”

“Ohoooo, baby tangulia ndani nina kuja”

“Sawa mume wangu”

Nikambusu Cauther mdomoni na akaongozana na walinzi wake wa kike kisha mimi na chief secretary moja kwa moja tukalekea kwenye commanding room. Watu wote wasimama mara baad ya mimi kukaa kwenye kiti change nao wakakaa.

“Mumegundua udukuzi umetokea wapi?”

“Hadi sasa muheshimiwa raisi tuna endelea kupambana na kuhakikisha tuna okoa data zetu zisiendelee kunyonywa”

Ruben akanifwata na kuninong’oneza sikioni mwangu.

“Muheshimiwa hili tatizo lina weza kusaidia na wezetu wa Israel kwani hii sio mara ya kwanza kukumbwa na hili tatizo kwani hata awamu ya raisi aliye pita miaka miwili iliyo pita tulikumba na hili jambo na wezetu wakatusaidia”

“Una mawasiliano nao?”

“Ndio”

“Wapigie”

Ruben akapiga simu na akaanza kuzungumza ki Israel ambacho mimi sikifahamu hata kidogo.

“Wamesema wana lishuhulikia na wata tueleza hacker ana tokea aneo gani?”

“Sawa huyo uliye zungumza naye ni nani?”

“Ni yule rafiki yangu na moja kwa moja ata wasilina na raisi wao na raisi wao ata wasiliana na wewe ndani ya dakika chache ili kuidhinisha juu ya utendaji wa kazi hiyo”

Hazikupita dakika tano simu kutoka kwa raisi wa Israel ikaingia.

“Habari muheshimiwa raisi Eddy”

“Salama muheshimiwa habari ya wewe?”

“Salama nimepokea taarifa juu ya shambulizi la kimtando?”

“Ndio moja ya satelaite yangu kubwa imeweza kushambuliwa”

“Basi kutokana mahuaisno mazuri kati yetu na nyingi basi vijana wangu wana lishuhulikia hilo na hivi karibuni litafanikiwa”

“Nashukuru sana muheshimiwa raisi na kama ita wezekana baada ya hili niweze kufanya ziara moaj nchini mwako kabla ya muda wangu wa kuondoka madarakani haujakwisha”

“Karibu sana muheshimiwa raisi. Hivyo ni wewe tu uta niambai ni muda gani una weza kuja”

“Baada ya siku tano zijazo nitafanya ziara hata ya siku mbili nchini mwako”

“Nashukuru sana kwa ujio wako muheshimiwa raisi na nine endelea kukushukuru sana tena na karibu sana”

“Asante sana”

Nikakata simu huku nikishusha pumzi nyingi, kwani ziara yangu hii niliyo ihitaji itakwenda kunisaidia kwa namna nyingi huku moja wapo ni kuhakikisha kwamba nina pata wataalamu watakao ufumua mfumo mzima wa kundi la Scorpion na tuta hakikisha kila wanacho kimiliki basi tuna wapokonya.



Wataalamu wetu na wataalamu wa nchini Israel wakasaidiana kutatua tatizo la udukuzi wa taarifa zinazo pita kwenye satelaite yetu iloyopo angani. Ndani ya dakika kumi na tano kila kitu kikatatuliwa na mambo yakaendelea kama kawaida huku mdukuwaji wa satelaite akionekana yupo nchini Marekani. Tukatuma ombi kwa nchi ya Marekani kutusaidia kumkamata mdukuaji huyo kwani kila nchi ina utaratibu wake wa kazi na sio rahisi kwa wapelezi wa Tanzania kuingia nchini Marekani kuendesha oparesheni yoyote ya kiusalama bila ya kusaidiana na vyombo vya ulinzi vya nchi hiyo. Nikawaga wafanyakazi wangu na kuwatakia majukumu mema kisha nikarudi nyumbani kwangu.

“Vipi mume wangu mambo yamekwenda vizuri?”

“Mungu amesaidia yamekwenda vizuri mke wangu. Nitakuwa na ziara ya kikazi, nita elekea nchini Israel”

“Kuna nini huku mume wangu?”

“Nahitaji kudili na hwa Scorpion kupitia upande wa pili wa mlango. Nahitaji kuhakikisha kwamba nina wangusha ili familia zetu ziweze kuishi kwa amani. Makosa ya mtu mmoja hayawezi kutufanya tukaishi kwa hofu. Hofu ambayo itaendelea hadi kwa kina hawa Nadia na wengine watakao zaliwa”

“Sawa mume wangu, mimi nipo nyuma yako na nita kuombe kwa kila jambo ili mwenyezi Mungu akapate kulifanikisha.”

“Amen na muda wetu sasa wa kuondoka ikulu ume wadia”

“Yaa naona siku zimebaki chache. Alafu mume wangu hivi kuna haja yoyote ya sisi kuondoka na kwenda sehemu nyingie kuanzisha maisha ikiwa familia ita kuwa hapa?”

“Nikuulize swali mke wangu?”

“Niulize tu mume wangu”

“Baada ya haya maisha ya ikulu je utapenda tuishi Tanzania au nje ya Tanzania?”

Cauther akashusha pumzi nyingi huku akinitazama machoni mwangu.

“Naomba nifikirie, kwa sasa una jua nimesha kuwa mama mume wangu na binti yetu sidhani kama atakuwa na furaha atakapo kuwa ana badilishiwa badilishiwa maeneo ya kuishi. Ila acha niwaze upya mume wangu ila samahani kwa hilo”

“Usijali nina kuelewa mke wangu na nina jua kwa nini una waza hivyo. Zamani tulikuwa tuna juwazia sisi ila kwa sasa lazima ujiwazie na wewe”

“Asante mume wangu”

“Nashukuru nawe pia mke wangu. Alafu ina bidi nikamtazame Judy nijua hali yake ina endeleaje?”

“Tuta enda wote”

“Sawa mke wangu”

Asubuhi na mapema mara baada ya kumaliza kusaini baadhi ya mafaili yaliyo wekwa ofisini kwangu nikajianda akwa ajili ya safari.

“Hongera.”

Maria alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Hongera ya nini?”

“Kwa kupata mtoto na mkeo”

“Asante”

“Ila Eddy una tabia mbaya sana”

Maria alizungumza huku akiwa amesimama mbele ya meza yangu hii ya ofisi.

“Kwa nini?”

“Yaani siku hizi umenipotezea kabisa”

“Ila Maria mshkaji wangu si ulikuwa likizo wewe?”

“Sawa kuwa likizo ndio hata simu usinipigie?”

“Wewe hujui namba yangu, umeshindwa nini kunipigia?”

“Nilihisi nikikupigia uta kuwa bize”

“Ulidhani, kwa nini udhani ikiwa wewe ndio mtu unaye jua tariba yangu kama raisi. Una jua muda gani nipo ofisini na muda gani nipo kwangu”

“Yaani toka wewe uwe raisi, ratiba yako una ijua wewe mwenyewe kichwani. Mimi siitambui, ehee niandae nini na nini kwa ajili ya safari yako ya kuelekea Israel?”

“Kila kitu ambacho nina hitaji nikwia kama raisi nikiwa nje ya nchi kiandae, ila leo umependeza nipe siri ya kupendeza kwako?”

“Nimeamua kuishi ninavyo taka mimi. Likizo yangu ya mwezi huu moja na nusu, imenifanya nizunguke karibia ulimwengu mzima kwa kweli nime furahia sana”

“Ulikuwa na kale kajamaa kako”

“Nani?”

“Si kale kajamaa kako kanako kukamatia huo msambwanda?”

“Sina mwnaume yoyote mimi. Nilikupenda ila hukujali hisia zangu na kuzichezea na kuziona za kaiwada sana, nimeamua kuishi maisha yangu mwenyewe”

Maria alizungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa majonzi ndani yake.

“Hivi Maria kumbe ulikuwa una nipenda kweli?”

“Toka wakati mrefu hujakutana na hyuyu mkeo na hadi sasa hivi. Sema ng’ombe wa masikini sikuzote waswahili wana sema hazai”

Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama Maria ambaye kusema kweli ni mzuri na ni mwanaume yoyote ana weza kuwa naye.

“Naomba nikaendelee na kazi”

“No nahitaji kukuangalia, kaa, kwani ukisimama sana miguu yako isije ikaingia tumboni bure”

Maria akaka kwenye kiti kinacho tazamana na mimi.

“Ehee nikuulize swali?”

“Niulize”

“Kwa nini umenipenda kipindi chote na ukawa kimya?”

“Nilimuheshimu sana rafiki yangu ambaye una jufa fika ulikuwa una toka naye kimapenzi. Ila alipo fariki nikaweka wazi hisia zangu kwako”

“Ikiwa una jua nina mke?”

“Ndio najua ila nilikuwa nina kupenda na ina kupenda una hisi ningefanya nini?”

“Ehee endelea”

“Ila jamani Eddy mbona una makusudi kama vile sasa hivi ni kunifanyia interview au?”

“Okay tufupishe hii mada. Niambie una taka nini kwangu?”

“Mtoto”

“Yarabi tobaaaa!!”

“Ndio nahitaji mtoto kutoka kwako. Hata usipo mjali ua kumuhudumia, nita muhudumia kwa mikono yangu mimi mwenyewe”

“Alafu?”

“Alafu nafsi yangu ita kwua imeridhika”

“Ngoja nikuambie kitu kimoja Maria. Mimi sio kama wanaume wengine. Nimetembea na wanawake wengi ambao hata idadi yao siifahamu, ila kati ya wote hao niliye mpatia ujaumzito ni mmoja tu, ambaye ni Cauther. Una jua ni kwa nini?”

“Hapana?”

“Kwa sababu sihitaji kutelekeza watoto kama nilivyo telekezwa. Kwenye maisha yangu yote simjui baba wala mama. Nimeishi kwenye kituo cha yatima na maisha yangu yote nikawa kama mbwa jeshini. Nikiamrishwa kuua nina ua na nikiamrishwa kulinda nina linda. Laiti ningekuwa na wazazi labda ningejifunza kajiroho ka huruma kutoka kwao. Ila sijabahatika. Kama una hitaji mtoto kwangu, hato kuwa wako peke yako. Ata kuwa ni wangu na Cauther ata mjua huyo mtoto ili likitolea la kutokea basi niweze kumlinda mwanangu. Tunaelewana?”

“Ndio Eddy ila mkeo akijiua si ata niua mimi?”

“Na atakuua kweli wala sio uongo. Muone ni mzuri ana cheka, mpole ila ana uhatari wake pale mali yake inapo ibwa. Hivyo chagua kati ya kusuka au kunyoa. Utake mtoto kwangu ili upambane naye au tutomban** tu ilimradi siku zisonge mbele”

“Mmmm nita kujibu”

“Sawa”

“Naenda kufanya kazi”

“Pao”

Maria akanyanyuka, nikamtazama jinsi msambwanda wake unvyo tingishika katika suruali yake hii ya kitambaa aliyo vaa. Nikatoka ofisini hapa, kutokana niliwajulisha walinzi wangu juu ya safari ya kuelekea nyumbani kwa Judy hivyo nikampigia simu Cauther na kumjulisha juu ya kuondoka kwetu.

“Nina kuja mume wangu”

Cauther akatoka akiwa amembeba mtoto. Tukaingia ndani ya gari na kupndoka ikulu. Tukafika nyumbani kwa Willy na akatupokea kwa furaha.

“Karibuni sana ndani?”

“Tunashukuru, Judy yupo wapi?”

“Yupo ndani yaani amekuwa ni mtu wa kulala lala tu”

“Ni kawaida hiyo shem kwa siku zake za awali. Ila hali hiyo ikipita yeye mwenyewe ata kuwa vizuri”

“Eti shemee hee?”

“Ndio”

“Na amekuwa mkali mkali ana nifokea”

“Mvumilia tu shem, si una kumbuka niliuvyo kuwa nina mpelekesha shemeji yako kipindi kile”

“Nakumbuka shem, kwa hiyo ndio jinsi munavyo patwa kila mwanamke?”

“Hapana kuna wengine wana kuwa hawapo hivyo?”

“Hembu tuamshie basi”

Willy akaelekea chumbani na baada ya muda akarudi akiwa ameongozana na Judy. Tukasalinina nanaye.

“Jamani mbona mume sumbuka hivyo si mungesema tuje”

“Wala hautusumbui. Nilitaka kumuona mdogo wangu akiwa mjamzito ana tazamika vipi”

“Hahaa jamani”

“Wifi una onekana kuchoka”

“Yaani wifi wee acha. Yaani kila saa nina jihisi kulala lala sijio kwa nini, japo ni jitahidi kunywa kahawa nisilalae. Ila wape?”

“Usijaribu kutumia kahawa kwa fujo ili ulale. Wewe vumilia hivyo hivyo”

“Ila nina jihisi vibaya jamani”

“Ndio ila jitahidi kukubalian ana hiyo hali”

Cauther alimshauri Judy.

“Mmmm sawa jamani”

“Dogo kesho kutwa nita kwenda Israel”

“Kuna nini kaka?”

“Kushuhulika na lile swala la Scorpion, hivyo najua nitakwua safarini na Willy ningependa wewe na wifi yako mukakae Ikulu hadi nitakapo rudi”

“Sawa kaka hilo halina shida kabisa, uta kaa muda gani?”

“Siku mbili tu”

“Hakuna tatizo. Kikubwa kuwa makini na ukiuhitaji msaada wangu wa kiushauri uta nipigia simu”

“Yaa nita kujulisha na utakuwa karibu sana na makamu wa raisi”

“Sawa hakuna tatizo kaka”

Chakula cha mchana kisha tukarudi ikulu na nikaendelea na majukumu ya kiofisi kama kawaida.

Safari yak uelekea nchini Isarel ikakamilika. Maandalizi yote ya safari yapo tayari ikiwemo baadhi ya wapelelezi walio tangulia nchini Isarael kuhakikisha wana weka ulinzi mzuri. Mke wangu pamoja na Judy wakaungana nasi kwenye msafara hadi uwanja wa ndege wa J.K Nyerere.

“Mke wangu hakikisha mtoto ana kuwa salama. Judy na wewe hakikisha una jilinda vuzuri”

Nilizungumza kabla sijashuka ndani ya gari.

“Usijali mume wangu mwenyezi Mungu akutangulie na ukawe salama”

“Amen”

Nikampigia busu Cuther na nikamkumbatia kidogo, nikampiga busu mwanangu. Nikampa mkono Judy ambaye naye amemaliza kuangana na Willy.

“Muende salama na mukafanikiwe kwenye kila jambo”

Judy alinitazama usoni mwangu

“Amen”

Nikagunga kioo mara mbili cha mlango wangu na mlango ukafunguliwa. Nikashuka ndani ya gari hili, nikafunga vifungo vya koti langu hili la suti lililo nikaa vizuri mwilini mwangu. Nikaanza kutembea kwa mwendo wa kawaida kuelekea kwenge ngazi ndefu za ndege hii kubwa kuliko ndege zote za maraisi hapa duniani kwa sasa. Nikaanza kupandisha katika ngazi hizi huku wanajeshi wakiwa wamenipigia saluti. Nikafika mlangoni na askari wa hapa mlangoni akanipigia saluti. Nikageuka nyuma na kuwatazama Cauther na Judy walipo katika gari ya raisi, nikawapungia mkono kisha nikaingia ndani ya ndege hii. Wafanyakazi wa ndege pamoja na marubani wakanisalimia.

“Kila kitu kipo salama?”

Niliwuliza huku nikiwatazama wafanyakazi hawa.

“Ndio muheshimiwa raisi.

“Nashukuru”

Nikaingia katika ofisi yangu na kukaa katika kiti change tayari kwa kuianza safari hii ambayo kusema ukweli ninahisia nayo mbaya sana akilini mwangu.




Nikafunga mkanda wa siti yangu na taratibu ndege hii ikaanza kuondoka uwanjani hapa. Nikatazama dirishani jinsi tunavyo iacha ardhi ya nchi ya Tanzania.

‘Mungu nitangulie, huu wasiwasi una tokea wapi?’

Nilizungumza moyoni mwangu huku nikiianza kulitazama jiji hili la Dar es Salama kwa shini. Baada ya ndege kukaa sawa angani, nikafungua mkanda wa siti yangu, nikasimama huku nikitazama saa yangu ya mkononi, kwa sasa tuonyesha ni saa tano asubuhi. Mlango wa ofisi yangu ukafunguliwa, Maria akafungua akiwa amebeba kikombe cha hahawa.

“Kahawa muheshimiwa”

“Nashukuru”

“Mbona una onekana kama hauna furaha?”

Maria aliniuliza kwani ana nitambua vizuri, nikiwa na furaha nina kuwa vipi na ninapo kuwa sina furaha huwa ana nitambua pia.

“Niitie Willy”

“Sawa”

“Umeweka sukari kwenye hii kahawa?”

“Hapana”

“Sawa”

Nikachukua kikombe hichi kisha nikaanza kunywa taratibu. Baada ya dakika tano Willy akaingia ndani hapa.

“Vipi kaka”

“Moyo wangu kusema kweli hauna hamani kabisa na safari hii”

“Mmmm vipi kuna tatizo ume his?”

“Kitu kama hcho”

“Basi tugeuze ndugu yangu hakuna haja ya kulazimisha safari ambayo una mashaka nayo. Dude lisije likapiga chini hili.”

“Ndege hii kuanguka sio rahisi kwani imetengenezwa kwa ubora wa kila aina. Shida yangu nahisi kama nikikanyaga ardhi ya Israel ndipo shida ninapo anza kuiona”

“Duu sasa ina kuwaje?”

“Acha twende ila nahitaji kubadilisha suti na wewe hakikisha una badilisha hiyo suti yako.”

“Nivae suti gani?”

“Njoo”

Tukatoka ndani hapa namoja kwa moja nikaingia katika chumba maamlumu cha raisi ambacho endapo ndege ina vamiwa au kupata ajali akiingia ndani ya chumba hichi ana uwezo wa kuwa salama kwani chumba hichi kina weza kujimega kutoka katika ndege hii na kikaelea hewani kwa maparachuti maalumu na kimetengenezwa kwa chumba kigumu ambacho hakipitishi risasi wala mlipuko wa aina yoyote. Nikafungua kabati lenye suti maalumu za raisi ambazo zimetengenezwa kwa mfumo wa kuto kuingiza risasi.

“Chagua suti moja wapo itakayo kutosha. Hizi suti haziingizi risasi”

“Wee una jua nilikuwa nina ona tu kwenye movie kama za John Wick kumbe zipo suti za aina hizi?”

“Ndio. Tenknolojia ya dunia ina kimbia mdogo wangu. Hivyo ni mambo mengi sana yamebadilika”

“Sawa sawa kaka”

Tukabadilisha suti hizi, nikafungua kabati jengine na kuchagua bastola mbili, moja nikaichomeka kiunoni kwa nyuma na nyingine nikaichomkea katika soksi za mguu wangu wa kushoto.

“Una bastola?”

“Hapana kaka”

“Chagua moja hapo”

Willy akachagua bastiola moja na akaichomeka kiunoni mwake.

“Hii ni kujiandaa kwa lolote litakalo tokea”

“Ni kweli kaka”

“Niangalize ulinzi wa Airpot nzima ya Ben Gurion”

“Sawa kaka ngoja nikachukue laptop yangu”

“Uta nikuta ofisini”

“Sawa”

Willy akatoka ndani hapa. Nikaitazama saa yangu hii ya mkononi ambayo ina GPRS ambayo walinzi wangu wana weza kutambua ni wapi ninapo elekea pale ninapo tekwa. Nikabadilisha mkanda wa suruali yangu na kufaa mkanda maalumu ambao kwa ni mlaini sana ila sio rahisi kukatika. Nikatoka ndani hapa na kurudi ofisini kwangu, nikawakuta washauri wangu, watatu wakiwa na mshauri wangu mkuu.

“Ndio wazee wangu”

Nilizungumza huku nikikaa kwenye kiti.

“Muheshimiwa raisi tumeona tuzungumze nawe hili swala tukiwa hewani kwa maana ni jambo mahimu sana kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu kwa badae”

Mshauri wangu kwa maswala ya kijeshi alizungumza huku akinitazama machoni.

“Nakusikiliza”

“Mkuu, tuna penda uendelee na uongozi. Tumejaribu kutazama profile ya madame Caro uliye mpendekeza kuwa raisi tuna mashaka nayo”

“Kwa nini?”

“Kitu ambacho hujakijua kutoka kwa yule mwana mama ni kwamba alikuwa ni kimada wa makamu wa raisi ambaye kwa sasa ni adui namba moja wan chi yetu”

“Nini!?”

Nilizungumza huku nikiwa nimejawa na mshangao mkubwa sana.

“Ni kweli muheshimiwa raisi”

Tv ya hapa ofisini kwangu ikawashwa. Mshauri wangu huyu wa mambo ya kijeshi akachomeka flash na tukaanza kutazama picha za miaka ya nyuma ambayo makamu wa raisi alipiga akiwa madame Caro na kweli picha hizi zina dhihirisha kwamba ni wapenzi.

“Tuna hofia udhaifu wake wa mapenzi ukamfanya akamrudisha makamu wa raisi nchini na akimrudisha mkuu wangu una jua ni nini kinacho kwenda kutokea”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama mzee huyu,

“Mzee wangu una nishauri nini?”

Nilimuuliza mshauri wangu mkuu.

“Mkuu nilipo letewa hili swala na washauri wezangu, tulilifanyia upelelezi kabla ya kulileta kwako na nikajiridhisha ni kweli. Tukajaribu ku hack simu ya madame Caro kisiri ili kufahamu kama ata kuwa na mazungumzo ya kisiri na makamu wa raisi ila hatukubahatika kupata mawasiliano yoyote. Tukajaribu kuweka vinasa sauti kwa siri sana nyumbani kwake na katika gari lake, mkoba wake na baadhi ya viatu vyake pia hatukubahakika kupata chocho kinacho tilia mashaka. Ila hizi picha ndio kidogo zimetupa wasiwasi kuona kwamba kwa ushawishi wa mapenzi hili jambo lina weza kutuletea shida”

“Nikaka kimya huku nikimtazama mshauri wangu huyu”

“Hana simu ya pili ambayo ana weza kuzungumza na huyo makamu wa raisi?”

“Tuna endelea kulichunguza hilo mkuu na vijana wetu wana tupatia update kila muda”

“Ahaha….ila kama walikuwa ni wapenzi wakaachana sioni sababu ya yeye kubabaika kwenye hilo”

“Ni kweli muheshimiwa raisi ila ubaya ni kwamba makamu wa raisi ndio alikuwa mwanaume wake kwa kanza”

“Ina maana makamu wa raisi ndio aliye mtoa bikra Caro?”

“Ndio”

“Duu!”

“Ndio hivyo muheshimiwa raisi na kama unavyo jua udhaifu wa wanawake kwa wanaume wao wa kwanza walio watoa bikra, huwa hawawasahau kabisa”

“Hilo ni kweli, ila nahisi yule mama hadi pale alipo fikia amekomaa kiakili na kama ata kubali mapenzi yachukue nafasi kubwa ya kuongoza nchi, ina bidi tumuangalie kwa macho ya ukaribu sana”

“Ni kweli mkuu ila kwa hili tuna pata wasiwasi”

“Muna takaje labda?”

Ilibidi nikatishe mazungumzo haya ili wazee hawa waelekee kwenye pointi ya msingi.

“Mkuu tuna pendekeza uendelee kushikilia kitui hichi cha uraisi kwa miaka mitano ijayo na mingine mitano iwe kumi”

“Jamani wazee wangu. Mimi ni muumini mzuri wa katiba yetu. Nina imani katiba ya nchi yetu ndio Mungu wan chi yetu. Hivyo ninavyo vunja kanunu na katiba ya nchi tena kwenye nafasi kubwa na nyeti kama hii. Ipo siku ata tokea mwengine atakuwa mbaya sana na ata vunja katiba na muta juta kwa nini mumeruhusu watu wenye umri wangu kuchukua madaraka. Kikubwa tumuombe Mungu atuongoze na kwenye kila jambo. Tupate kiongozi mzuri ila kwa mimi kwa sasa hapana kwa kweli huo ndio msimamo wangu. Kama nita hitajika kwa miaka ya mbeleni huko huko kugombania hii nafasi basi hakuna tatizo, nita gombania”

Nilizungumza kwa msisitizo na wazee hawa wakatazamana.

“Tuna litambua hilo ila tuna kuomba ulifikirie hilo”

“Nashukuru”

Wazee hawa wakatoka na nikabaki na mshauri wangu mkuu. Willy naye akaingia ofisini hapa.

“Ehee Willy kuna mpya gani?”

“Ulinzi ni wa kutosha tu kaka, kama unavyo jionea”

Willy akahamishia video hizi za cctv camera zilizopo uwanja wa ndege, katika tv ya hapa ofisini.

“Ulinzi upo salama kabisa, walinzi wetu nao wapo kwenye position zao vizuri”

“Sawa nahitaji muhishauri nyinyi watu wawili hili jambo”

“Jambo gani kaka?”

“Hao wazee ulio pishana nao hapo mlangoni wana hitaji niwe raisi japo katiba hainiruhusu. Muna nishaurije?”

“Kwa mimi mkuu nimeona ni heri ukavuta subra. Sijahitaji kuwapinga mbele yao ila vuta subra. Umri wako bado mdogo na una miaka mingi ya kuishi hivyo sidhani kama kuta kuwa na haya yaw ewe kugombania kiti hichi. Kama Mungu amekupangia kuwa raisi hata ipite miaka mingapi. Utakuwa tu raisi, ila usiilazimishe nafsi yako kwa sababu ya shauri za watu wa pembeni kwa sababu wewe ndio kiongozi, mambo yakikiharibikia hawa hawa wanao kushauri sasa hivi ndio watakao kupinga.”

“Hapo umezungumza neon mzee wangu hivyo niendelee kusimia usimamo wangu?”

“Simama hapo hapa nah ii pointi ya mahusiano kati ya Madame Caro na makamu wa raisi kusema ukweli sijaona pointi ya msingi hapo. Nilitaka kuwaridhisha tu na kuto wapingia kwenye upelelezi wao”

“Nashukuru sana kwa kuyaunga mkono mawazo yangu”

“Mwenyezi Mungu akitupa uhai, nita kuwa nawe kwenye nafasi hii kwa miaka hii mingine”

“Kwani nikiachana na uraisi na wewe una acha?”

“Ndio sikutaka kukuambia mapema ila nita achana na nafasi hii nita pumzika. Kwa umri wangu nilio fikia ni umri wa kula maisha na watoto wazuri huko kwenye nchi za raha”

“Hahaa ina onekana mzee una penda totos eheee?”

Willy aliuliza huku akicheka.

“Wenyewe wazee wa zamani tuna sema totos for life”

Tukajikuta sote tukicheka kwa sauti ya juu kwa maana mzee huyu ana vituko.

“Alafu mkuu huyu Maria kama vile ana kuzimikia, kwa nini usimlambe”

“Hahaahaa mzee wangu nimesha pita mbona”

“Weee”

“Tena hajapita mara moja, ni mara kibao”

Willy alizungumza.

“Aisee kumbe na wewe ni kiwembe. Hahahaaa”

“Tuna weka heshima ya ukoo”

“Ewalaa hapo umenena. Watoto wazuri kama hawa una chapa chapa, ili ukizeka upate cha kusimulia”

“Hahaahaa mzee hembu tupe siri ya kuwa na watoto wengi”

Nilizungumza na kumfanya mzee huyu kukunja nne.

“Unajua fahari ya mwanaume ni kuwa na lundo la watoto. Hapo ndipo ina onyesha kwamba wewe ni lijari kweli kweli.”

“Ila mzee baba maisha magumu sasa hivi?”

“Willy alizungumza”

“Wewe una sema maisha magumu una tembea na raisi kweli. Je wale Wasukuma walipo vijiini au Wamakonde wenye watoto kumi na tano, thelathini nao vipi. Usiogope maisha kijana, wewe kama una hitaji kuwekeza, piga pumb** kisawa sawa, ukipiga kwa wanawake kumi tu, basi una mtaji wa timu ya basketball”

“Hahahahaaa”

“Musicheke huo ndio ukweli. Musiogope maisha. Hao watoto wata wasaidia baadae. Mimi sasa hivi sina stress kabisa. Nikihitaji kwenda Afrika kusini nina kwenda tu na sifikii hotelini, nafikia kwa mwanangu wa kumzaa. Hivyo una jikuta maisha yana kuwa ni mepesi sana”

“Hahaha ila mzee wangu kipindi chenu ni tofauti na sisi”

“Kweli ni tofautii, nyinyi kipindi hichi chenu muna kula machipisi chipsi mengi, mabaga, pizza na masoseji hivyo mujakuta nguvu za kuzalisha hamuna. Shawaha zikitoka ni upepo tu hazimtetereshi mwanamke. Kipindi chetu tuna kula doga la nguvu, yaani ukipiga bao hadi mwanamke analisikia jinsi linavyo mchoma choma tumboni”

Tukaangua kicheko kama vile tupo kijiweni.

“Ohoo nawaambia ukweli. Kipindi chetu tulikuwa tuna kula chakula halsii. Ona sasa hivi nina miaka sabini naikaribia themanini ila nipo fiti, hata nikimshika mtoto mbichi mbichi nina mpiga show ya kibabe hata goli tatu ana zipata””

“Weee mzee acha kutufunga kamba?”

Willy alizungumza huku akicheka.

“Haki ya Mungu vile. Nina uwezo wa kupiga goli tatun an kila goli moja ikachukua zaidi ya nusu saa”

“Mmmm”

Nilijikuta nikiguna.

“Ndio maana mabiti nilio walamba wenyewe wananiita sukari ya mabinti”

“Wacha wee kwa hiyo mzee wewe sukari?”

Willy aliuliza huku akicheka.

“Ndio tena sukari ya warembo. Sasa kwa vijana kama nyinyi na machipsi yenu sijui kama mukifikisha umri kama wangu kama muta weza kusimamisha. Visukari vitakuwa vimewajaa kede kede”

“Hahahaaa”

“Nawaambia ukweli, nyinyi tumieni muda na wakati wenu kama huu, mukishindwa ina kula kwenu”

“Sawa mzee wangu tuna shukuru kwa ushauri wako, tuta lifanyia kazi hilo.”

“Tukifika Israel nita wapeleka kwa mama yenu wa Kijerusalem”

“Ina maana huko una mwanamke?”

“Sio mwanamke, wanawake kama wanne hivi. Na wote kila mmoja ana vijaan wangu wawili”

“Ebwana wee”

“Ndio, nikiwaambia nipo vizuri nina maanisha vijana.”

“Ila mzee angalia usije ukafia kiunoni”

“Dhubu. Nakuambia Willy siwezi kufia kiunoni na kama ni kufa basi nita kufa na mengine ila sio juu ya kiuno cha mwanamke”

“Hivi mzee ni staili gani una ipenda?”

Nilimuuliza mzee huyu huku nikitabasamu.

“Staili ya chura chura”

“Hahahaha ndio ipoje hiyo mzee”

Willy alizungumza huku sote tukicheka.

“Wewe wa wapi. Kwani chura amekaaje?”

“Ameibong’oa hivi”

“Sasa, ndio hiyo, nyingine chuma mboga”

“Mzee una penda mikao hatari”

“Hiyo ndio mizuri na ina imarisha ujasiri wa mwanaume kwenda masafa marefu. Sio wale waseng** wanao penda kifo cha mende alafu dakika tano chali”

“Hhaahahahaaa”

“Ohoo wapo kuna raisi wakipiga mechi dakika tano tu kwishinei, alafu ukicheki ni kijana mdogo sana. Ndio maana sisi wazee tukiwakamatia mademu zenu hawabanduki”

“Mzee wangu ulichanjiwa muku nini kwa maana sio kwa mambo hayo?”

“Mbona kawaida hiyo”

“Sasa ni wapi wana chanjia huo Muku?”

Willy aliuliza.

“Alafu Willy wewe una bahati mbaya sana”

“Kwa nini mzee?”

“Yaani ukichanjiwa Muku na una mwanamke kama Judy basi jiandae kula kipigo kila siku”

“Kwa nini?”

“Una hisi Judy ata kuruhusu kuchepuka chepuka tu”

“Si kwa siri mzee wangu”

“Wewe dunia haina siri na akijua yule demu wako ana kuua. Ila mimi karibia wanawake wangu wote wana juana”

“Duu”

“Ndio wana juana ndio maana huwa sipati tabu nao”

Tukaendelea kupiga story za hapa na pale hadi rubani mkuu alipo tutangazia sasa tuna tua kwenye kiwanja cha ndege cha Ben Gurion stori ndio zikaisha na tukafunga mikanda ya siti zetu. Ndege taratibu ikatua katika kiwanja hichi majira ya saa moja kasoro usiku. Taratibu nikaanza kushuka katika ngazi za ndege na kila hatua ninayo piga kuelekea chini kwenye ardhi ndivyo jinsi ninavyo jihisi wasiwasi na ujasiri ukianza kupotea na woga ukanitawala kiasi kwamba nikaanza kujihisi joto kali sana mwili mwangu jambo ambalo sio kawaida.




“Karibu sana muheshimiwa raisi”

“Nashukuru sana muheshimiwa raisi”

Nilizungumza kwa kujikaza, baada ya kupeana mikono na raisi wa Israel, nikatoa kitamba na kujifuta jasho la usoni mwangu.

“Mkuu upo salama?”

Ruben aliye simama nyuma yangu alininong’oneza.

“Yaa”

Tukaanza kukagua gwaride la jeshi lililopo enep hili kwa ajili ya mapokezi yangu. Baada ya sherehe hizi za mapokezi nikaingia kwenye gari nililo andaliwa, huku nikiwa na mlinzi wangu, dereva wangu, pamoja na mshauri wangu mkuu. Misafara hii hii ikaondoka eneo hili kwa mwendo wa taratibu huku ulinzi ukiwa umeimarishwa imara sana.

“Mkuu una tatizo”

Ruben aliniuliza kwa mara nyingine.

“Nilijihisi wasiwasi muda ule nilipo kuwa nina shuka kwenye ndege. Sija jua kuna nini kita tokea”

“Ila ulinzi upo wa kutosha”

Mshauri wangu alizungumza huku akinitazama machoni mwangu. Tukafika katika ikulu ya nchi hii ya Israel ambayo jina lake maarufu huitwa Beit Hanassi. Tukakaribishwa kwa ukarimu wa hali ya juu mimi na watu wangu nilio ongozan anao. Tukapata muda wa kuzungumza na raisi huyu wa Israel sisi wawili katika chumba maalumu kilocho andaliwa kwa ajili ya mazungumzo yetu.

“Aise hongera sana kwa umri mdogo sana una ongoza nchi tajiri na yenye nguvu kubwa sana duniani”

“Nashukuru sana ndugu yangu. Imetokea kama bahati kuongoza baada ya msiba wa raisi wetu”

“Aise poleni sana. Vile vifo vilikuwa ni vifo vibaya sana kuwahi kutoka kwenye historia ya dunia”

“Ni kweli asie na ni jambo la kumshukuru Mungu nasi sasa tupo hai”

“Ni kweli ndugu ndugu yangu. Ehee niambie una tatizo gani kwa maana ukiona nchi kubwa kama Tanzania ina omba msaada kwetu basi ujue kuna tatizo kubwa”

“Ni kweli, nina imani una kumbuka baada ya ule mlipuko. Alkaida walijitokeza na kusema kwamba wao ndio wamehusika na ule mlipuko”

“Yaa nakumbuka”

“Ila kama umewahi kusikia chama kimoja kinacho itwa Scrorpion”

“Yaa nin kijua nami pia ni mwana chama. Vipi una hitaji kujiunga?”

Nikabasamu huku nikishusha pumzi kwani nilicho kifwata kime kwenda tofauti na hichi ninacho jisikia kwa raisi huyu.

“Kumbe wewe ni mmoja wao?”

“Yaa na mimi ni miongoni mwa wenyekiti wa kanda ya huku. Na nina imani hata raisi wenu aliye pita alikuwa ni mwanachama wa chama chetu”

“Ndio”

“Na walio pota kwenye ule mlipuko sote ni wale watu ambao tuna fwata taratibu za chama chetu. Wasaliti wote walikufa na mlipuko ile siku”

“Sawa sawa. Ahaa kilicho nileta kikubwa ni kuomba vijana wako wa maswala ya I.T ambao wana uwezo wa kiwango cha juu wakawafundishe vijana wa nchini mwangu. Kwani hadi Satelaite kudukuliwa sio jambo dogo”

“Ahaa hakuna shaka muheshimiwa raisi. Nina timu ya vijana wenye uwezo mkubwa sana kwenye maswala hayo na ukihitaji zaidi na zaidi nita kusaidia. Raisi aliye pita alidumisha mahusiano yetu na yakawa mazuri kwa kweli nina furahi kwa niaba yake”

“Nashukuru sana ndugu yangu”

“Kama una hitaji nawe kujiunga na chama chetu una weza kuiniambia na nikawasilisha kwa God”

“Gody ndio nani?”

“Katika chama hichi kuna mtu au muanzilishia tuna muita Mungu. Ni mtu ambaye wanachama wengi hatumtambui na hatujawahi kuonana naye”

“Okay kwa hiyo huyo Mungu mun awasiliana naye vipi?”

“Ahaa ni maswala ya siri ila nitakumegea kidogo. Mungu huyo huo ana code zake maalumu za kuzungumza naye na huwa zina badilika kila baad ya siku kadhaa. Hivyo yeye akihitaji kututafuta ina kuwa ni rahisi ila sisi kumtafuta ndio ngumu”

“Okay hapo nimekuelewa ndugu yangu.”

Baada ya mazungumzo haya tukatoka katika chumba hichi, kisha tukajumuika chakula cha usiku huku ratiba ya kesho ikiwa ni kutembelea miji kama Yerusalemu ambapo miji hii ina historia kubwa ya maisha ya Yesu Kristo. Baada ya chakula cha usiku tukaelekea katika hoteli ambayo tumeandaliwa kulala. Ulinzi wa hotelini hapa kusema kweli ni mkali sana kiasi kwamba sio jambo rahisi kuhisi kama tatizo lina weza kutokea.

“Sihitaji kulala hotelini hapa”

Kauli yangu ikawafanya walinzi wangu kustuka hata mshauri wangu naye akastuka.

“Kwa nini mkuu”

(OFA KWA WASOMAJI WA FACEBOOK na WHATSAPP

Leo katika sikukuu. Ukinunua episode 12 za X au Rise up. Nitakupa ofa ya episode 5 BUREEE. Episode 12 ni sh 3000. Angalizo ofa ni kwa episode 12 na utapata za hadithi unayo nunua.

Malipo MPESA 0742334453 AZARIA MSULWA AU TIGOPESA 0657072588 AZARIA MSULWA

like page yangu Story Za Eddy-tz)

“Willy nitafutie hoteli ya kawaida san aambayo najua sio rahsii kwa mtu kugundua kama nina weza kulala hapo”

“Ila mkuu hapa ulinzi ni wa kutosha, na kwenda kulala kwenye hizo hoteli ni jambo la kuhatarisha maisha yako na kama unavyo jua tupo ugenini kabisa”

Mshauri wangu alizungumza huku akinitazama. Nikanyanyuka na kuingia chumbani kwangu na kuwaacha walinzi, mshauri wangu sebleni hapa.

“Mzee nakuomba”

Nilizungumza huku nikiwa nimefungua mlango.

“Una jua kwa nini nilikuwa na wasiwasi?”

“Sijajua?”

“Nimepata jibu la wasiwasi wangu. Huyu kiongozi wa hii nchi naye ni miongoni mwa wana chama wa Scorpion tena ni mwenyekiti kwa nchi za ukanda huu wa kwao huku”

“Ohoo hiyo ni hatari?”

“Ndio maana nina wasiwasi. Kwa jinsi ninavyo kwanzana na hawa Scorpion, nina imani kwamba details zangu zote ninazo, ndio maana sihitaji kulala kwenye hii hoteli.

“Hiyo ina weza kuwa hatari kuliko kitu chochote. Kumbuka kwamba hata baadhi ya walinzi nao ni wanachama wa chama hicho”

“Najua ila…..”

Kabla sijamalizia sentensi yangu, taa za humu ndani zikazima. Kwa haraka nikakimbilia dirishani na kuchungulia nje. Nikawaona wana uslama kadhaa wakiwa wamelala ndani. Nikachomoa bastola yangu.

“Wapo hapa”

Nilizungumza huku nikipiha hatua za haraka hadi mlangoni.

“Kina nani?”

Mzee huyu aliniuliza huku akiwa na wasiwasi.

“Scorpion”

Nikafungua mlango wa chumbani kwangu na kuwakuta walinzi wangu wakiwa wamewasha tochi zao.

“Mkuu rudi chumbani”

Ruben alizungumza huku akiwa ameshika bastola mkononi.

“Willy, Maria nahitaji muwe karibu nami. Mzee kaa karubu nami. Ruben una vijana wangapi humu ndani?”

“Wanne”

“Walipo nje?”

“Tumepoteza mawasiliano na nina ona kuna mashambulizi yametokea”

“Willy naomba ramani ya hii hoteli”

Willy akawasha ipad yake na kunionyesha mfumo mzima wa hoteli hii na tukaona alama nyekundu zikiwa zina tembea tembea kwenye gorofa za chini zikimaanisha hawa ndio maadui.

“Hawajafika kwenye gorofa yetu. Tutokeni”

Nilizungumza huku nikifungua mlango wa kuingilia sebleni hapa kwani ninacho paswa sasa hivi ni kuwalinda vijana wangu na kujilinda mwenyewe kwani nina tambua kwamba Ruben na vijana wake hawana uwezo mkubwa kama nilio nao mimi.

“Mkuu vaa hii miwani”

Ruben akanipa miwani inayo niwezesha kuona kwenye giza vizuri.

“Acha sisi tutangulie”

Ruben alizungumza kabla hata hajarpiga hatua, tayari nikawa nimesha toka. Nikaanza kutembea kwenye kordo hii kwa umakini mkubwa huku nikiwa nimeishika kiwasa sawa bastola yangu.

“Wapo kwenye lifti”

Willy anaye nifwata nyuma yangu alizungumza huku akiwa ameshika tablet yake.

‘Alafu hawa jamaa wawili tulio nao pia nao ni Scorpion’

Willy alininong’oneza sikioni mwangu na kunionyesha walinzi wawili walipo nyuma yetu.

“Tangulieni mbele”

Niliwatanguliza walinzi hawa na wakatii. Ruben akafungua mlango wa kuelekea katika eneo la kushuka kwenye ngazi. Tukaanza kushuka huku tukiwa makini. Gafla risasi zikarindima zikitokea chini kuja eneo tulipo ikatubidi kujibaza kwenye ngazi hizi huku tukijibu mashambulizi. Umakini wangu mkubwa upo sana kwa hawa walinzi kwani wao ndio adui wanao weza kunidhuru kwa uharaka kuliko hawa wnegine.

“Ruben rudi nyuma”

Nilimuambia Ruben kwa ukali na akarudi nyuma na kuwaacha walinzi hawa waili wakiendelea kujibu mashambuliuzi kuelekea walipo wezao.

“Hakikisha mzee, Maria na Willy wana kuwa salama, nyinyi wawili nifwateni”

“Ila mkuu ni hatari”

Ruben alizungumza huku kifua chake kikihema kwa nguvu.

“Ni amri sio ombi”

Nikaanza ksuhuka kwenye ngazi hizi kwa kasi huku nikifyatua risasa kueleka walipo maadui zetu. Uzoefu wangu kwenye matukio kama haya ukawa ni mwiba kwa maadui zangu kwani kila risasi ninayo ipiga ina ondoka na mdu na nina zidi kuwasogelea.

“Gafla nikasikia risasi ikinipiga kwa nyuma na nikajiangusha chini makusudi kwani huu mchezo nilio ufanya ni kuhakikisha nina wajua kiuhalisia hawa walinzi wangu wawili.

“Pole mkuu, ilibidi ufe”

Mlinzi mmoja alizungumza pasipo kuja kwamba suti hii niliyo vaa haiingizi risasi. Akaknielekezea bastola ili anipige risasi ya kichwa kwa kasi ya ajabu nikajizungusha mithili ya watu wana cheza ngoma za paranawe. Mateke niliyo zunguka nayo yakawaangusha chini bila ya kutegemea. Nikachomoa bastola niliyo ichomeka kwenye soksi, bila ya kuuliza maswali mengi nikawatandika risasi mfululizo kwenye miili yao na wakafa hapa hapa.

“Hakuna nafasi ya msaliti kwenye msafara wangu”

Nilizungumza kwa ukali na nikawatemea mate kila mmoja. Nikaokota bastola yangu iliyo kuwa imeanguka.

“Willy”

“Ndio kaka”

“Mupo salama?”

“Ndio”

“Shukeni”

Willy na wezake wakashuka.

“Wamekufa”

Ruben alizungumza kwa mshangao.

“Wasaliti hawa. Wamehitaji kuniua. Tazama mgongoni walunipiga risasi kwa nyuma”

“Hujaumia mpenzi?”

Maria aliniuuliza huku akiettemeka.

“Suti haiingizi risasi. Willy wamebaki wangapi?”

“Ngoja niangalie”

Willy akaangalia kwenye ipade yake.

“Wapo wanne chini. Wengine wapo kwenye gorofa tuliyo toka.

“Wewe kijana usiwe kama hawa nita kuua?”

“Mimi sio miongoni mwao muheshimiwa”

“Una itwa nani?”

“Lameck”

Nikamtazama mlinzi huyu aliye salia pamoja na Ruben. Kisha tukaanza kushuka kuelekea chini huku nikihakikisha kwamba nina waua watu wote walio tumwa kunishambulia. Tukafanikiwa kufika eneo la maegesho yamagari yaliyopo chini ya ardhi.

“Bakini hapa”

Niliwaacha Ruben na wezake wakiwa wamebana kwenye moja ya kona. Nikatembea kwa tahadhari huku nikijificha ficha ficha kwenye magari, hadi nikaifikia gari moja aina ya Range Rover. Nikauvua mkanda wangu wa suruali kwa kutumia kipini chake kirefu, nikafungua gari hii kwa kutekenya eneo la kuingizia funguo kwa kutimia kipini hichi. Nikafungua mlango wa gari hili na nikaingia ndani, nikatafuta funguo ila sikuweza kuziona. Nikakata nyaya maalumu za kuwashia gari hili, baada ya gari kuwaka nikashuka kwa haraka kisha nikachungulia chini ya gari hili kama kuna bomu la kitega niliondoe, kwa bahati nzuri hakuna bomu, nikalikagua gari hili lote na nikabahati kulikuta likiwa salama. Nikaingia ndani ya gari, nikaliendesha kwa kasi hadi nilipo waacha Willy na wezake. Willy na wezake wakazama ndani ya gari kwa kasi.

“Willy nipatei GPRS ya kuelekea uwanja wa ndege”

“Dakika moja nataka kujua hii gari ina uwezo gani?”

Willy alizungumza huku akichomeka waya wa USB kwenye ipade yake na katika gari hili.

“Range Rover…..aahahaha”

Willy akasoma maelezo anayo yaona kwenye ipade yake.

“Shukrani Mungu. Gari haingii risasi, hivyo tupo salmaa ndani ya hili gari. Willy akaminya screan ya gari hili na ramani ikatokea eneo hili.

“NI dakika kumi na tano kufika uwanja wa ndege”

Wiily alizungumza, tukaanza kuondoka kwa kasi katika eneo hili. Tukafanikiwa kutoka nje ya hoteli hii ambapo miili walinzi wengi imeuwawa kimya kimya.

“Wasilianeni na marubani wa ndege yetu”

“Sawa mkuu”

Gafla nikaanza kuona gari mbili zikitufwata kwa kasi kubwa. Nikaona watu wakijitokeza kwenye vioo vya magari hiyo na kuanza kulishambulia gari hili kwa nyuma na risasi zao zikapiga tu kwenye kioo cha nyuma na haziingii ndani ya gari.

“Tuna hitaji muandae ndege ya raisi kwa haraka tuna ondoka muda huu. Raisi amevamiwa. Narudi raisi amevamiwa”

Mlinzi wangu alizungumza.

“Tume kuelewa mkuu, ndege ya raisi tuna iandaa”

“Mpigie raisi wa hapa”

Nilitoa maagizo kwa mshauri wangu na kaampigia simu raisi wa Israel.

“Nina omba nizungumze na muhehsimiwa raisi”

“Amelala?”

“Raisi wa nchi yangu amevamiwa una niambia amelala. Nina hitaji kuzungumza na raisi wako sasa hivi”

Mshauri wangu alifoka.

“Wana semaje.?”

Nilizungumza huku nikijiatahidi kuifwata ramani hii inayo onekana kwenye screen hii.

“Ana dai kwamba raisi wake amelala, hivyo ana kwenda kumuamsha”

“Simu ipo hewani?”

“Ndio”

“Weka loud speaker”

“Halloo”

Tulisikia suati ya kike.

“Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Eddy Jr nina zungumza. Nina hitaji kuzungumza na raisi wako”

“Raisi wangu amesema kwa sasa ni wakati wake wa kulala na haitaji kuzungumza na mtu wa aina yoyote.”

“Kwa hiyo usingizi ni muhimu kwake si ndio?”

“Samahani muheshimiwa raisi”

Simu ikakatwa

“Fuc** huyu mseng** ana husika na hili jambo. Wapigie marubani sasa hivi”

Nilizunguzma kwa hasira.

“Mkuu wapo hewani”

“Weka loud speaker”

“Raisi hapa nina zungumza”

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Ndege ipo salmaa?”

“Ndio muheshimiwa raisi ndege ipo salama, na tumeiweka tayari kwa kupaa”

“Sasa nisikilizeni kwa umakini, nina hitaji ndege muweze kuipaisha sasa hivi na sio ombi ni amri, ondokeni katika ardhi ya Israel tuna elewana?”

Amri yangu ikamshangaza kila mmoja kwani kufanya hivyo ita kuwa ni jambo la hatari kwa usalama wa maisha yangu na watu nilio nao kwani matumaini ya kuturudisha kurudi kwetu ni ndege ya raisi yenye uwezo mkubwa wa kujilinda pale inapo shambuliwa na adui na raisi ninapo kuwa ndani ya ndege hiyo basi ina kuwa salama salmini kuliko hata ninapo kuwa ndani ya ikulu.



“Mkuu…..!!”

Mshauri wangu aliuliza kwa mshangao mkubwa sana.

“Muheshimiwa raisi hatuwezi kuondoka na kukuacha wewe?”

Rubani mkuu wa ndege yangu alizungumza.

“Hili sio ombi ni amri ondokeni sasa hivhi nchini Israel”

“Sawa mkuu”

Nikakata simu huku ukimya ukitawala ndani ya gari hili huku risasi zikiendelea kupigwa kwenye kioo cha nyuma cha gari hili.

“Ruben”

“Ndio mkuu”

“Au basi, Willy wasiliana na white house”

“Sawa mkuu”

Nikazitazama gari hizi jinsi zinavyo tufukuzia kwa kasi ya ajabu.

“Kila mmoja akae vizuri”

Nilizungumza huku huku nikitazama upana wa barabara hii ambayo kwa usiku wa leo imetulia na kabisa na haina magari. Nikanyanyua hand brake huku nikizungusha usukani wa gari hii na kuifanye igeuze tunapo toka huku ikiserekeka na kumfanya Maria kupiga kelele za woga. Nikaanza kuirudisha gari hii nyuma kwa kasi, nikafungu kioo cha upande wangu na kwa kutumia mkono wangu wa kushoto nikaanza kufyatua risasi kuelekea zilizo gari hizi. Shababa, ujuzi na ujasiri nilio nao, risasi zangu hazikuenda bure. Risasi zilizo piga kioo cha mbele za gari inayo tufukuzia zimpata dereva na kusababisha gari hiyo kupoteza muelekeo.

“Kona ipo nyuma yetu mkuu?”

Mshauri wangu alizungumza na kunifanya nipunguze mwendo wa gari hii na nikaigeuza kwa utaalamu ule ule nilio utumia mwanzoni na ikakaa sawa na mkimbizano huu ukaendelea huku kwa sasa ikiwa imesali gari moja.

“Kaka makamu wa raisi yupo online.”

Willy alizungumza huku akimkabidhi Ruben laptop hii kwani mazungumzo yanyo endelea hapa ni kwa njia ya video.

“Muheshimiwa raisi upo salama?”

“Ndio nipo salama ila nimepoteza walinzi wangu wengi sana na raisi wa nchi hii amekataa kutusaidia. Yeye ni miongoni mwa Scorpion. Hivyo wamepanga kuniangamiza mimi na timu yangu nzima. Nahitaji mufanye shambulizi la kijeshi. Nahitaji mutume bomu la maangamizi la Nyuklia katika mji wa Jerusalem”

“Muheshimiwa raisi hiyo una jua haiwezekani kwa sababu nyinyi wenyewe mupo Jerusalem endapo tuta shambulia tuta wadhuru na nyinyi pia?”

“Ni amri sio ombi”

“Ila muheshimiwa mkuu hayo ni maamuzi makubwa sana. Tuna weza kuiingiza nchi kweye migogoro ya kivita na kama unavyo fahamu ni kwamba nchi haiwezi kumwaga damu kwa nchi nyingine na kama unayvo jua Israel ni taifa teule la Mungu na endapo tuta washambuliza sijui kama tuta baki salama”

Kauli za Caro zikanikera nikatamani kumshushushia matusi ila nikajikaza tu.

“Kitu ambacho nimekifanya mkuu nime tuma kikosi cha wana usalama kuja kukuokoa wewe na watu walio salia”

Nikamtazama Caro huku nikisikilizia jinsi risasi zinavyo piga gari yetu kwa nyuma. Nikashusha pumzi nyingi sana.

“Nimekuambia hii ni amri na hakuna anaye simama mbele ya amri yangu. Ishambulieni Isreal”

“Pasipo kukuvunjia heshima muheshimiwa raisi, siwezi kufanya shambulizi la nyuklia kwenye hiyo nchi muheshimiwa raisi”

“Kata mazungumzo”

Ruben akafanya kama nilivyo muagiza.

“Sipendi watu waoga kama huyu mpuuzi”

Nilizutukana huku nikipunguza mwendo na nikalisimamisha gari na kuwafanya maadui zetu nao kusimamisha gari lao mita hamsini kutoka hapa tuliipo.

“Una fanya nini mkuu”

“Hatuwezi kuwa mchezo wa kuku jike na jogoo kukimbizana tu. Asishuke mtu ndani ya gari kwa maana wanao nihitaji ni mimi na sio nyingi. Tafuteni njia na namna ya kurudi nchini Tanzania”

“Eddy no baby. Huwezi kufanya hivyo, hapana huwezi kuniacha peke yangu. Kama hunifikiriaa mimi mfikirie mwanao Nadia na mama yake wata kuwa kwenye hali gani. Tafadhali Eddy please”

Maria alizungumza huku akilia kwa uchungu. Nikachomoa magazine ya bastola yangu na kuitazama risasi zilizo salia, nikaona ni mbili. Nikabadilisha magazine ya bastola hii huku nikiwatazama jamaa jinsi wanavyo shuka kwenye gairi lao huku ndunduki zao wakizishika kwa umakini sana.

“Eddy nakupenda na una jua kwamba nina kupenda”

“Maria kaa kimya. Sasa hivi huu sio muda wa mapenzi, wote hapa muna hitaji roho zenu ziwe na amani na murudi nchini Tanzania hivyo sitaki ujinga”

Nilizungumza kwa kujiamini huku nikiwatazama jinsi wanavyo fanya kosa la kuanza kutembea kwa mwendo wa kunyata na akilini mwao nina imani kwamba wanacho kifikiria ni gari yetu kuishiwa na mafuta na wana jua hatuna sehemu ya kukimbilia.

“Wana kuja”

Ruben alizungumza huku naye akiwatazama kwenye kioo chake cha pembeni(site mirrow)

“Umevaa bullet proof?”

“Hapana mkuu”

“Usishuke ndani ya gari”

Nikafungua mkanda wa siti niliyo ikalia taratibu. Kitendo cha kubakisha mita arobaini hadi tulipo kwenye gari letu. Nikafungua mlamgo kwa kasi nikajirusha chini na kubingirika huku nikifyatua risasi kuelekea walipo majambazi hawa. Shambulizi hili la haraka nina imani hata wenyewe hawakulitegemea kwani walihisi tumeishiwa mbinu. Mashambulizi yangu yakawafanya waanze kurudi nyuma nyuma ila sikutaka kuwapa nafasi hiyo kwani ninacho kihitaji ni kuhakikisha kwamba nina wamaliza wote. Japo kuna baadhi ya risasi zina piga mwilini mwangu ila kitu kinacho nisaidia ni hii suti ambayo toka nilivyo ivaa katika ndege sikuwahi kuivua. Ruben akashuka na yeye akanisaidia na tukafanikiwa kuwaua majambazi hawa walio salia.

“Upo salama mkuu?”

Ruben aliniuliza huku akiwa amesimama pembeni na mimi.

“Ndio”

Nilishusha pumzi huku huku nikizisogelea maiti hizi. Kila maiti nikaitandika risasi na kuhakikisha wame fariki duniani.

“Chukua silaha zao”

Nilizungumza kwani hapa tulipo hatuna Silaha za kutosha. Nikafungua gari la majambazi hawa, nikaona screan ndogo iliyopo katika gari hili ikonyesha alama nyekundu.

“Mmmm hii si alama yangu?”

Nilizungumza huku nikijaribu kusogea sogea na kweli ni alama yangu kwani katika mkono wangu wa kushoto nina GPRS iliyo ingizwa ndani na ina wasaidia walinzi wangu kutambua kila ninapo elekea. Nikatoa kisu kidogo kwneye mfuko wa koti langu la suti, nikakikunjua kisu hichi kisha taratibu nikajichana eneo ambalo niliingizwa GPRS hii.

“Vipi mkuu”

Ruben aliniuliza huku akinitazama.

“Washenzi wameni tracke”

Nilizungumza huku nikikanyaga kifaa hichi kidogo kilicho jaa damu yangu na katika screan ya tv katika gari hii ikapotea.

“Mumempata?”

Tulisikia sauti ya kiume ikitokea katika simu ya upepo kwa mmoja wa majambazi aliye lala chini. Sauti hii haikuwa ngeni kabisa kwetu kwani ni sauti ya raisi wan chi hii ya Israel.

“Nauliza mumefanikiwa kumpata?”

Ruben akapiga hatua hadi kwenye simu hii ya upepo akajikoholesha kidogo kisha akajibu.

“Gari yao ime pinduka mkuu hivyo tuna kagua kama wapo hai wau wamekufa”

Ruben alizungumza kwa lafudhi ya Kiisrael.

“Hakikisheni amekufa na asirudi nchini mwake”

“Hilo halina shaka tuna lihakikisha”

Nikaangaza angaza angza katika maiti hizi na nikaanza kuzipekua. Nikapata simu moja kwa mmoja wa maiti, nikajaribu kuifungua simu yake na kukuta ikihitaji finger print. Nikaanza kuvigusisha vidole vyake kwenye simu hii hadi ikafunguka. Nikasoma mfumo wa mawasiliano katika simu hii na nikauelewa vizuri kwamba mawasiliano yana tumwa kwa namba gani.

“Sikia”

“Ndio”

Nahitaji unipie picha nikiwa nimelala kama nime kufa”

“Sasa huna damu mkuu”

Ruben alizungumza huku akinitazama. Nikavua koti langu hili na nikabaki na shati tu.

“Nipige risasi hapa”

Nilimuonyesha Ruben sehemu ya kupiga risasi katika tumbo langu.

“Hapana muheshimiwa raisi siwezi kufanya jambao hili”

Mshauri wangu, Willy, Maria pamoja na mlinzi mmoja niliye salia naye wakashuka kwenye gari na kutufwata sehemu tulipo tukawaeleza ni namna gani hali inavyo endelea.

“Nipige risasi”

“Kwa nini usichuke damu za hizi maiti na kujiwekea kwenye shati lako mkuu kuliko nikakupiga risasi”

Tukashauriana na tukaafikiana nikajipaka damu na nikalala eneo ambalo ina onyesha ni ajali nimepata. Ruben akanipiga picha kadhaa kisha tukazituma kwa raisi wa Israel.

“Hongerani sana vijana wangu ngoja nizitume kwa makamu wake na kumuhakikishia kwamba ni lazima afe. Naamini nafasi ya yeye kuwa raisi ipo wazi sasa”

Sote tukastuka, mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi kwani mtu ninaye muhofia kupata wasiwasi ni Cauther na mwanangu. Je akiambiwa nime kufa ita kuwaje.

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Rudin na mwili wake hapa na watu wake vipi?”

“Wameteketea kwenye gari”

“Safi sana, rudini”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Kwa jinsi Ruben anavyo zungumza huto mtofautisha na Muisrael. Lafudhi yake ana ipatia kisawa sawa.

“Ina maana Caro ndio msaliti?”

Nilizungumza kwa jazba.

“Kaka tumepokea simu ya siri kutoka kwa rubani mkuu wa ana sema kwamba ndege yako ipo nchini Misri wamepewa hifadhi ya siri na raisi wa Misri.”

Willy alizungumza huku akinitazama usoni mwangu.

“Wale wazee wapo wapi?”

“Wapo kwenye ndege na baadhi ya walinzi wachache sana.”

“Wangapi?”

“Kumi na mbili”

“Nisilikilizeni, Caro nahisi amekosa uvumilivu na sasa ameonyesha sura yake halisi. Ina bidi twende hadi Jordan na tuta ondokea hapo tuna elewana?”

“Ndio mkuu”

“Hardi Jordan, ita tula masaa mangapi Willy?”

“Dakia moja”

Willy alizungumza huku akiwa amekunja laptop yake.

“Masaa sita, Ila kuna short cut. Itatubidi tukatize Jericho na tuingie Jorda”

“Willy hembu nisaidie kupiga namba hizi”

Mshauri wangu alizungumza na akamtajia Willy namba hizi za kupiga. Simu hiyo ikapigwa kwa mfumo wa Satelaite ambapo hakuna anaye weza kuyanasa mazungumzo haya.

“Ina ita”

Willy alizunugmza huku akiweka loudspeaker.

“Haloo”

Tulisikia sauti ya kike iliyo tawaliwa na usingizi mzito.

“Ni mimi?”

“Ni wewe kweli au nina ota?”

“Ni mimi mumeo. Nina matatizo na nipo Israel hapa nahitaji msaada”

“Niambie mpenzi wangu. Una hitaji msaasa wa nini?”

“Nahitaji helicopter itakayo nipeleka hadi Jordan”

“Mmmm upo wapi kwa sasa?”

“Nina kuja nyumbani kwako”

“Karibu mpenzi wangu”

Mshauri wangu akakata simu. Tukalikagua gari la majambazi hawa, kisha kwa kutumia gari hili hili tukaondoka eneo hili.

“Willy”

“Au basi”

Tukafika katika nyumba ya kifahari ya mwana mama huyu. Wakakumbatiana na mshauri wangu huku wakipena mabusu motomoto.

“Mkuu huyu ni mke wangu ana itwa Carmel ni mfanya biashara mkubwa sana hapa Israel na maeneo mengine. Carmel huyu ni raisi wa nchi yangu ana itwa Eddy Jr.”

“Nashukuru kukufahamu muheshiwa raisi na pia nina mfahamu. Huwa nina fwatilia sana speech zako toka ulipo kuwa nchini Ujerumani kwenye ule mkutano. Ujasiri ulio uonyesha nikajua kabisa kutoa kuwa jenerali wa jeshi basi uta kuwa ni raisi mahiri sana. Hongera sana kwa hilo”

“Nashukuru sana”

“Naamini mume wangu hajutii kufanya kazi chini yako”

“Ni kweli”

“Karibuni jamani na mjisikie mupo nyumbani”

“Asante sana”

Willy na wezake waliitikia. Mshauri wangu akamuelezea Carmel kila kilicho tupana na nani yupo nyuma ya hili swala.

“Sishangai yaliyo wakuta”

“Una maanisha nini?”

“Raisi wetu amekuwa ni kama mdoli unao chezeshwa kwa rimoti. Hivyo kila analo agizwa kufanya huwa ana fanya hata kama sio matakwa yake hufanya. Jambo linalo pelekea nchi kuingia kwenye sifa mbaya na aibu kubwa ya kuwa na raisi kama yeye. Muheshimwia raisi”

“Ndio mama”

“Ina bidi uiangalie serikali yako kwa jicho la tatu. Hao walio panga kufa kwako sio watu wa kuishi kabisa”

“Sawa sawa. Nimekuelewa”

“Umesema ndege yenu ipo wapi?”

“Misri”

“Basi nitawapeleka kwa Privet Jet yangu hadi Misri”

“Uwanjani tuta pita vipi ikiwa tuna windwa?”

“Wala musijali. Ungozaneni nami”

Hatukuwa na muda wa kupoteza. Tukaingia katika gari mbili za mwana mama huyu huku gari nyingine ikiwa na walinzi wake. Moja kwa moja tukaelekea hadi uwanja wa ndege na tukaelekea eneo la maegesho ya ndege binafsi huku wanajeshi wanao linda uwanja huu wakiziruhusu gari hizi kirahisi.

“Kwa nini wamekuwa warahisi sana kuturuhusu”

Nilimuuliza Carmel

“Wananitukuza sana hawa watu kwa sababu nimekuwa ni mtu ninaye toa misaada kwa watu, majeshi na sehemu mabalimbali. Nikuibie siri ndogo tu, nina mpango wa kugombania uraisi”

“Hongera sana”

“Nashukuru sana.”

Tukaingai kwenye holi kubwa linalo hifadhia ndege binafsi.

“Hi ni ndege yangu. Nina weza kuwasindikiza hadi Misri”

“Tuna shukuru sana”

Tukaingia ndani ya ndege hii na taratibu ikaanza kutoka eneo hili na baada ya muda mchache ikapaa angani na tukaondoka eneo hili huku furaha na amani zikitawala mioyoni mwetu. Japo nina furaha kiasi ila nina mfikiria mke wangu ambaye kama amepewa habari ya mimi kufa basi sijui sasa hivi ata kuwa kwenye hali gani.



“Willy”

“Ndio kaka”

“Kuna habari gani nchini Tanzania?”

“Wana taka saa mbili asubuhi makamu wa raisi atangane kifo chako”

“Mpuuzi sana na atanijua mimi ni nani”

Baada ya masaa kadhaa hewani tukafika nchini Misri na kweli tukafanikiwa kuikuta ndege ya raisi ikiwa katika kiwanja ambacho hakitumiki kabisa.

“Pole sana muheshimiwa raisi”

Raisi wa Misri alinisalimia kwa njia ya video mara baada ya kuingia ndani ya ndege.

“Nina shukuru sana ndugu yangu nikuahidi kwa hili mwenyezi Mungu ata zidi kuimarisha upendo na urafiki wa nchi zetu mbili”

“Amen historia imeandikwa”

“Yaa historia imeandikwa”

“Ni kweli na shukrani sana”

“Asante na nikuatike safari njema na karibu sana Misri”

“Nahukuru sana muheshimiwa raisi.”

Tukaagana na Carmel kisha taratibu ndege ikaanza kuondoka eneo hili na baada ya muda mfupi ikapaa hewani.

“Nahitaji kuoga”

Nilizungumza, nikaingia chumbani kwangu nikaoga kwa dakika tano, nikavaa suti nyingine kisha nikatoka ndani hapa huku washauri wangu wakinisubiri ofiisini kwangu. Moja kwa moja nikaelekea katika chumba cha marubani.

“Poleni sana kwa kila lililo tokea?”

“Tuna shukuru muheshimiwa raisin a tumesha poa. Pia pole na wewe kwa kila jambo kwa maana haikuwa jambo rahisi kwa sisi kufanya maamuzi ya kurudi nyumbani ndio maana tuliamua kuzima GPRS ya ndege na hapakuwa na rada ya nchi yoyote wala nchini Tanzania hawakuweza kujua tupo wapi.”

“Mume iwasha?”

“Hapana muheshimiwa raisi”

“Safi sana nahitaji moja kwa moja tukatue katika uwanja wa ndege wa jeshi la anga. Dar ES Salaam”

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Kazi njem”

“Asante nawe pia muheshimiwa raisi”

Nikatoka ndani hapa na nikaingia ofisini kwangu. Nikaka kwenye kiti changu.

“Nipeni update”

“Muheheshimiwa raisi kama tulivyo kuambia kwamba yule mwana mama ni msaliti. Ona sasa ameungana na raisi wa Israel kwa ajili ya kukuangamiza. Haya ni mazungumzo yake”

Mshauri wangu mmoja alizungumza kisha akaplay mazungumzo hayo kwenye tv iliyomo humu ofisini.

“Ndio ni mimi bwana”

“Caro ni kipindi kirefu sijakusikia”

“Si una jua harakati za kimaisha jinsi zinavyo kwenda. Kuna jambo moja nina omba unisaidie”

“Jambo gani?”

“Raisi wangu yupo njiani ana kuja nchini kwako. Najua una hitaji kupata nafasi kubwa zaidi ndani ya kundi la Scorpion.”

“Yaa hata nikiwa mkuu Scorpion kwa Asia nzima nita furahi sana”

“Sawa hilo ndio jambo la msingi. Mkuu wako wa Scorpion mimi ndio mwananume wangu”

“Sijakusikia una sema?”

“Mku wako ambaye hamjui mimi ndio mwanaume wangu wa kwanza. Tuna hitaji kuifanya dunia kuwa kitu kimoja na Scorpion iendelee kuwa na nguvu zaidi na zaidi ila tuna kipingamizi ambacho kikiendelee kuwepo basi itatugarimu sana kwenye mienendo yetu”

Niliisikisa sauti ya Caro vizuri sana.

“Kikwazo gani hicho mkuu”

“Raisi huyu wa sasa. Akili zake hazipo sawa na anavyo onekana ana weza kuwehuka akiwa madarakani. Japo amebakisha miezi michache ila sina uhakika kama ata nisimamisha na kuwa raisi kwenye uchaguzi. Sasa ninacho kihitaji ni wewe ni wewe kumuua akiwa ndani ya nchi yako”

“Mmmm una taka mimi kuingia vitani na nchi yako?”

“Huwezi kuingia vitani. Mimi nikiwa raisi basi tambua kwamba nchi yako ina kwenda kuwa na nguvu kubwa na nita kwenda kukuunga mkono kwa asilimia mia moja kwenye uchaguzi unao fwata na uta rudi madarakani na kuendelea kula memna ya nchi”

“Ehee niambie ana kuja na ulinzi gani kwa maana ulinzi uliopo hapa nina ujua?”

“Ana kuja na walinzi hamsini na mbili. Ila angalizo yeye mwenyewe ni mtu hatari sana, ila katika wale walinzi hamsini na mbili kuna ambao nimewapandikiza. Nao ni wanachama wa Scorpion. Wapo sita, hakikisheni munapo fanya shambulizi hamuwamalizi kwani hao ni Makomredi wetu”

“Sawa sawa mkuu. Kwa hiyo tumuulie wapi?”

“Hoteni atakapo kuwa amelala.Hakikisheni muna mvamia kimya kimya na kumuua kimya kimya”

“Nime kuelewa, nita andaa timu ya makomandoo wangu watakao ongoza oparesheni hiyo”

“Nashukuru sana muheshimiwa, raisi. Nina tarajia kupokea habari njema kutoka kwako”

“Asante ila ningependa kuzungumza na mkuu wa kundi la Scorpion”

“Nipo naye hapa”

“Kweli?”

“Ndio”

“Haloo”

Niliisikia sauti ya makamu wa raisin a kujikuta nikishusha pumzi nyingi sana.

“Mkuu na nafurahi sana kuzungumza na wewe. Sauti yako hakika sio ngeni masikioni mwangu.”

“Fanya kama mke wangu alivyo kuambia, baada ya hapo uta kula matunda ya dunia”

“Nashukuru sana mkuu, nitawapa majibu mazuri”

“Shukrani sana mkuu”

Mazungumzo yakaishia hapa. Nikawatazama washauri wangu hawa ambao kwenye sekeseke la nchini Ujerumani tuliokuwa nao na wanavyo onekana wana mikosi sana kwani kwa safari hii ya rahsii wana kumbana na majanga makubwa makubwa.

“Mkuu hizi ndio juhudi zetu tulizo zifanya kukuhakikishia kwamba yule mwana mama ni msaliti”

“Willy”

“Ndio kaka”

“Scan hizo sauti na nahitaji kujua ni za wahusika wenyewe au laa”

“Nimesha fanya hivyo ni za wahusika wenyewe”

Nikaka kimya kwa sekunde kadhaa huku nikitafakari.

“Familia yangu ipo wapi?”

“Nilikuwa nachati na Judy wapo ikulu bado”

“Kuna harakati gani zinazo endelea Ikulu?”

“Kupo kimya tu hakuna kilicho badilika”

“Mpigieni simu Luteni Jenerali nahitaji kuzungumza naye kwenye simu line iliyo salama”

Simu ikapigwa na L. jenerali akapokea simu.

“Ni mimi”

“Muheshimiwa raisi?”

“Ndio”

“Mbona tumetumiwa picha ambazo zina onyesha umefariki””

“Upo wapi?”

“Nipo kambini. Makamu wa raisi ameniagiza kuandaa vikosi kwa ajili ya kuhakikisha mipaka ya nchi ina kuwa salama zaidi”

“Sasa nisikilize kwa umakini”

“Ndio mkuu”

“Makamu huyo wa raisi niliye mchagua amenisaliti. Ametuma watu akishirikiana na raisi wa Israel pamoja na yule makamu wa raisi mwengine ili waniangamize. Sasa ninacho kitaka kuanzia hivi sasa ukaiweka ikulu chini ya Ulinzi no body in no body out hadi nitakapo fka mimi mwenyewe. Njia zote za chini ya ardhi ziimarishwe. Nahitaji Caro awekwe chini ya ulinzi”

“Sawa muheshimiwa raisi nime pokea amri yako na nita itekeleza.”

“Uitekeleze bila ya huruma atakaye kuletea upuuzi au kipingamizi. Muuaeni nita jibu mimi mbele ya watu”

“Sawa muheshimiwa raisi”

“Familia yangu, nahitaji ikae ndani ya ikulu hadi nitakapo kuja”

“Sawa mkuu”

“Nahitaji run way na uwanja wa jeshi la anga usafishwe ndege yangu itatua huko”

“Sawa muheshimiwa raisi nimekupata”

Baada ya kutoa amri hiyo nikakata simu, huku nikiwatazama washauri wangu hawa.

“Mkuu tuna kuomba sana uwe raisi. Nchi hii ina madudu mengi, usaliti mkubwa. Tafadhali tuna omba uwe raisi”

Washauri hawa waliniomba. Nikasimama huku nikiwatazama washauri wangu hawa.

“Katiba ili kubadilishwa ina chukua muda gani?”

“Miezi kadhaa kwa maana tuta pitisha maoni kwa wananchi kisha katiba itengenezwe”

“Nimebakisha siku kutoka madarakani. Hiyo hiyo miezi haitonikuta nikiwa ikulu. Ngojeni kwanza nimalize hili hayo ya uraisi yatakuja baada ya hili”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Nikatoka ndani hapa na kukutana na Maria mlangoni.

“Njoo”

Nikaingia na Maria chumbani kwangu na nikakaa juu ya kitanda.”

“Una nishauri nifanye nini juu ya wasaliti?”

“Mkuu msaliti hapaswi kuishi. Kama alihitaji kutua why umuache hai ni wakati wa yeye kufa. Hivyo una weza kumuua”

“Ila nashinda kujua huyu mwana mama alihadahika vipi hadi akaamua kunisaliti?”

“Binadamu sisi, na siku zote binadamu tumeumbiwa tamaa na uchu wa madaraka. Ila kwako hicho kitu ninakiona tofauti kama angekuwa ni mwengine ana aambiwa wawe raisi nahisi angekubali haraka haraka bila ya kupinga”

“Una hisi nina weza kuwa raisi mzuri?”

“Siwezi kuju kama utajujak uwa raisi mzuri au mbaya kwa maana maisha ndio mfanya mtu kubadilika. Una weza ukawa umeumbwa na wema ndani yako ila kuna watu wakakufanyia ubaya nawe ukajikuta una kuwa mbaya kwenye kulipiza kisasi. Hivyo hilo nina liona kwako lina weza kuja”

“Kwa hiyo una nishauri niwe raisi au nisiwe?”

“Usiwe Eddy. Ina bidi ukafanye maisha mengine nje ya uraisi nan je ya kushika bunduki. Mwenyewe kwa hili nahitaji kuacha kazi, sihitaji tena kufanya kazi ikulu wala ofisi ya raisi, nita endeleza biasara za maduka yangu na mambo mengine hii kazi, kama mara ya kwanza nilipunyuka, ya pili nika punyuka, ya tatu hii nime punyuka aisee ukimaliza nafasi yako na mimi nina maliza. Sitaki tena hizi shida, niliyo kumbana nayo yana tosha”

Nikatabasamu huku nikimtazama Maria usoni mwake.

“Ingia bafuni uoge”

“Na nuka jasho ehee?”

Maria alijistukizia.

“Hapana haunuki jasho. Ila nahitaji uuchangamshe mwili wako”

“Siwezi kuuchangamsha mwili wangu kwa kuoga. Laba unitomb*** hadi nikirudi Tanzania nisikutamani”

Maria alizungumza huku akivua nguo moja baada ya nyingine. Akabaki kama alivyo zaliwa na taratibu akanikalia mapajani mwangu na tukaanza kunyonyana denda. Hisia zikazidi kupamba moto, Maria akanivua nguo zangu zote.

“Mmmmmmm usinyanyuke”

Maria alizungumza huku akinilaza chali. Taratibu akamnyonya jogoo wangu kisha tartaibu akamkalia na akaanza kukata mauno.

“Leo nataka nijipime kwa kiasi changu”

“Sawa mam ila usitoe kelele kwa maana watu nje wata sikia”

“Usija….jali…I baby”

Maria kaafika kileleni kwa mara nne mfululizo ndipo nami nikamalia.

“Zimebaki dakika arobaini kabla ya kutua. Hivyo tuoge”

“Mmm jamani nina hamu bado Eddy”

“Usijali tutaendelea siku nyingine”

Tukaoga na kuvaa nguo zetu. Nikaingia ofisini kwangu na kumkuta Willy peke yake.

“Pole asie”

“Ya nini kaka”

“Si kwa jinsi tulivyo vamiwa”

“Ahaa yaani kaka mimi nikiwa na wewe huwa sina wasiwasi wa ana yoyote kwa kweli”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu ndio maana kama ume gundua nilikuwa bize kufanya kila unacho niagiza kufanya pasipo kupanic kwa aina yoyote. Ila kama ningekuwa na watyu wengine nahisi ningetetemeka hadi utumbo”

“Hahaa hivi yule mama nimfanye nini?”

“Caro ni shetani kaka. Mwenyewe nilipo sikiliza yake mazungumzo kwa mara ya kwanza ikanilazimu kurudi tena na tean, ili kudhibitisha ni sauti yake nika iscan mara nne n azote zika matche kwamba ni sauti yake. Nilichoka ndugu yangu.

“Wanajeshi wamefika ikulu?”

“Ndio, nimeongea na Judy ameniambai ikulu ipo chini ya ulinzi kama ulivyo agiza na hakuna anaye ruhusiwa kuingia wala kutoka”

“Caro yupo?”

“Ndio na amewekwa chini ya ilinzi mkali sana kwani tulituma mazungumzo kwa Judy na amemsikilizisha Luteni Jenerali hivyo amakamatwa kama muhaini wa kutaka kuipindua nchi na kupanga mauaji ya raisi”

“Safi mpigie video call mke wangu”

“Sawa”

Baada ya simu kupokelewa nikamuona Cauther akiwa amekaa chumbani kwetu.

“Honey upo salama mume wangu?”

“Yaani nipo salama niambie”

“Safi naona ikulu ina wanajeshi wengi na walinzi wa kawaida wameondolewa kuna shida gani?”

Swali la Cauther likanifanya nitambua kwamba Judy hajamueleza chochote kilicho tokea.

“Ni kuimarisha usalama si una jua kwamba sipo nchini”

“Una rudi kesho?”

“Hapana baada ya kama lisaa nitakuwa hapo ikulu”

“Sawa mume wangu karibu sana nime kukumbuka”

“Asante mke wangu vipi wewe na mtoto muna endeleaje?”

“Tuna endelea vizuri tu mume wangu.”

“Nafurahi kusikia hivyo mke wangu”

“Mwanao huyu hapa amelala”

Cauther akanionyesha Nadia jinsi alivyo lala katika kitanda chake kidogo.

“Waooo naona amekuwa mkubwa”

“Hahahaa mume wangu siku moja tu. Ila ana kua kwa haraka”

“Yaa ana kua kumuacha masaa kadhaa ila namuona amekuwa wa tofauti sana. Sawa mke wangu badae”

“Sawa honey”

Nikakata simu na kuipokea simu nyingine kutoka kwa lutein jenerali.

“Ndio”

“Mkuu naomba tumuhamishe makamu wa raisi na kumpeleka katika kambi ya jeshi la anga ambapo uta kunana naye uso kwa uso kwani haya aliyo yafanya sio ya kuendelea kumuweka sehemu takatifu kama hii”

“Una hakika ata fika salama?”

“Ndio mkuu, ikulu ina lindwa na makumandoo na atasafirishwa na makomandoo”

“Uliisikia sauti ya makamu wa raisi?”

“Ndio ila katika mahojiano ana dai kwamba aliunganisha simu hizo ila hawakuwa pamoja”

“Mpelekeni baada ya muda mchache nitakuwa hapo kambini”

“Sawa muheshimiwa raisi”

Nikakata simu hii huku nikimtazama Willy, nikafungua dirisha la moja na nikaona Jet nne za jeshi la Tanzanai zikiwa pembeni ya ndege hii. Huwa ni kawaida, ndege ikiingia katika zone ya anga la Tanzania huwa ndege nane aina hii zina ilinda, nne zikiwa upande wa kulia na nne upande wa kushoto.

“Una waza nini kaka?”

Willy aliniuliza mara baada ya kuona kimya wa muda mrefu.

“Nawaza adhabu ya kumpa Caro”

“Hana haja ya kuishi. Muhukumu kunyongwa hadi kufa”

“Sawa ila nani ana kwenda kukalia hichi kiti?”

“Kaka bado hufikirii kuendelea kuiongoza hii nchi?”

“Sina kipawa cha kuongoza watu asiee”

“Unacho ndugu yangu.”

“Najua muna hisi nina uwezo wa kuongoza. Ila nikiongoza hii nchi ita kuwwa kam kuzimu. Hakuna ambaye ata penda utawala wangu na kila mmoja ata chukia utawala wangu. Hivyo kuondokana na hizo shida ina bidi niachane na maswala haya na uongozi. Nikatafute maisha nchi nyingine, mwanangu mdogo mke wangu bado ana nihitaji kama ningeuwawa una hii angakuwa katika hali gani?”

Willy akashindwa kunijibu swali langu. Baada ya muda mfupi tukatua uwanjani hapa, nikapokelewa na Luteni Jenerali pamoja na wananchi wengine. Nikapelekwa hadi kwenye chumba ambacho Caro amefungiwa. Nikasimama kwenye kioo kinacho onyesha upande pili alipo Caro. Nikavua koti la suti yangu na kumkabidhi mmoja wa walinzi wangu kishan ikafungua mlango huu na nikaingia ndani ya chumba hichi na kumfanya Caro kustuka sana na kuanza kutetemeka kwani aliye mtendea maovu amerudi akiwa salama japo alikuwa ana juwa kuwa amefariki.


Nikavuta kiti na kukaa huku nikimtazama Caro machani mwake. Uso wake umetawaliwa na woga ambao dhahiri unaonyesha taswira ya kile alicho kifanya.

“Kwa nini?”

Nilizungumza kwa sauti ya upole huku nikimtazama Caro mahconi mwake.

“Haya ndio malipo ya uaminifu wangu kwako si ndio?”

Niliiendelea kuzungumza kwa upole na unyenyevu tofauti na watu walivyo tarajia wakuhisi kwamba nita mfokea au kumzaba mangumi mwana mama huyu.

“Ulishindwa nini kusubiria, ikiwa nilikichagua kwa akili zangu timamu bila ya kushauriwa na mtu yoyote. Kwa nini umejaribu kuonyesha makucha yako kipindi hichi ambacho sikutarajia kuyaona?”

Caro machozi yakaanza kumwagika. Nikatoa simu yangu mfukoni na kuiweka juu ya meza hii, nikaminya kitufe cha kuruhusu audio ya mazungumzi yao kusikika.

“Niambie nilikukosea wapi, hadi umegarimu maisha ya vijana, wababa wa watu ambao walikuwa wakinilinda ila leo hii tumeiacha miili yao nchini Israel na watazikwa kama mbwa na hawato lindwa na familia zao. Ni nini umekosa Caro.?”

“Mbona unafahamu dhahiri kwamba mimi sina mpamgo wa kuwa raisi wa hii nchi. Au nilifanya kosa kukupa nafasi ya kuwa makamu wa raisi?”

Niliendelea kuzungumza kwa upole na usikivu wa hali ya juu.

“Mwanangu hajafikisha hata mwezi, ulitaka nife nani angemlea, ni historia gani angejifunza kwa baba yake ikiwa nimekufa akiwa na siku kadhaa duniani?”

“Ni mapenzi au ni nini yaliyo kufanya unisaliti? Okay achana na mimi, pia nchi una isaliti ehee?”

“Je ni familia yako imetekwa na kushinikizwa kufanya hivi?”

Caro akatingisha kichwa akimaanisha hapa.

“Ila uliamua tu Caro?”

Caro akakaa kimya.

“Naomba unisaidie kumpata makamu wa raisi”

“Siwezi”

Caro alinijibu huku akijipangusa machozi.

“Kweli?”

“Ndio”

Nikashusha pumzi taratibu huku nikimtazama mwana mama huyu. Nikasimama huku nikiendelea kumtazama Caro machoni mwake.

“Ni jambo jema uka shirikiana na mimi vizuri kwa maana una jua sina huruma. Nina zungumza kwa sauti ya upole na iliyo jaa upendo. Nisinge penda kuvuka mstari kama ulivyo vuka wewe. Nipe makamu wa raisi nikuachie huru?”

“Siwezi kwa sababu siwezi kutoa siri”

“Kweli?”

“Ndio”

“Sawa”

Nikatoka ndani hapa na nikamfwata mshauri wangu.

“Nahitaji familia yake iletwe hapa”

“Haipo nchini?”

“Wote?”

“Ndio mkuu kwa manaa niliagiza watu kufwatilia hili jambo ila kwa bahati mbaya familia yake ilisha ondoka nchini toka wiki iliyo pita”

“Wameenda nchini gani?”

“Kwenye ripoti wana onekana wamelekea USA. Ila tumewasiliana na serikali ya Marekani muda mchach ulio pita na wakasame familia hiyo iliomba visa ya kukaa siku mbili Marekani na baada ya hapo wakaondoka na kuelekea Colombia”

“Colombia si ndipo alipo yule mpuuzi”

“Ndio muheshimiwa”

Nikashusha pumzi.

“Nahitaji kurudi ikulu”

“Sasa hivi?”

“Ndio”

“Na huyu mwana mama”

“Nitawapa jibu la cha kumfanya”

“Sawa mkuu”

Msafara ukaangaliwa na safari ya kurudi ikulu ikaanza huku ndani ya gari nikiwa nimejawa na mawazo mengi sana nikitafakari usaliti alio ufanya Caro.

“Willy”

“Ndio kaka”

“Kwa kilicho tupata tufanyaje?”

“Hapo wakosaji ni wengi kaka, kuna huyu mwana mama, kuna yule Raisi wa Israel na watu wake hivyo wote wana paswa kupata adhabu ya kifo. Hawa sio watu wa kuwaacha hai”

Nikakaa kimya huku nikimtazama dereva wa pikipi wa kikosi cha askari wa usalama barabarani anaye linda gari hili pembeni yangu.

“Sawa”

“Sawa uta wachukulia hatua za kisheria au kwa maana nilisikia ukisema uta msamehe yule mama kumbuka ana kujua vizuri”

“Haniju, katika watu wanao nijua ni wewe, Cauther na Judy ila zaidi ya hapo hakuna anaye nijua. Mimi ni mtu mzuri dakika moja na mtu mbaya kwa muda wote.”

Tukafika ikulu na wanajeshi wote wakanipokea kwa kupiga saluti. Nikashusha pumzi nyingi mara baada ya kumuona Cauther akinikimbilia, nikanyoosha mikono na akanipokea kwa kukumbatia kwa furaha huku akinipiga mabusu mfululizo. Akaninyonya denda kwa sekunde kadhaa.

“Unaendeleaje mke wangu?”

“Namshukuru Mungu mume wangu nipo salmaa, vipi wewe?”

“Mimi nipo poa kabisa mke wangu”

Tukaingia ndani, moja kwa moja nikaeleka nyumbani kwangu, nikamtazama mtoto wangu ambaye yupo na mama yake mdogo Nadia.

“Shem karibu bwana”

“Nashukuru naona una bembeleza”

“Yeeah”

Nadia akanikabidhi mwanangu, tabasamu la mwanangu likanifanya hasira inayo endelea kuzunguka ndani yangu kutulia kwa muda na kujihisi faraja moyoni kwani kumbeba mtoto ambaye ni damu yako ni jambo zuri sana.

“Mkuu karibu sana”

Judy alizungumza.

“Ohoo nashukuru mama kijacho. Naamini mupo salama kabisa”

“Ndio muheshimiwa”

Nikamkabidhi Nadia mtoto kisha Cauther akanishika mkono na tukaingia chumbani kwetu.

“Nimekumiss mume wangu”

Cauther alizungumza huku taratibu akianza kuvua nguo zake.

“Hata mimi nimekumiss mke wangu. Ila dokta amesha kuruhusu tukutane kimwili?”

“Hapana ila tutafanya taratibu. Nina hamu sana mume wangu”

Cauther taratibu akanilaza kitandani, akanivua suruali yangu pamoja na boksa. Akamshika vizuri jogoo wangu na taratibu akamkalia huku akifumba macho akisikilizia raha.

“Aisii….iiai….”

Cauther alilalama huku mechi hii akiiendesha taratibu kwani bado hajapona vizuri.

“Mmmmm tamu baby?”

“Yeeha tamu mke wangu”

“Nakupenda mume wangu”

“Nakupenda mia mke wangu kipenzi”

Cauther alizungumza huku akiendelea kujihudumia hadi sote tukamaliza mechi hii. Taratibu Cauther akajilaza kifuani mwangu huku akihema taratibu.

“Kwa nini alikusaliti?”

Swali la Cauther likanifanya nistuke kidogo.

“Nani?”

“Caro, najua kila kitu kilicho wapata Israel na nilisikia mipango yale aliyo kuwa amepanga”

“Nani amekuambia?”

“Mume wangu mimi ni first lady. Nina haki ya kujua wapi ulipo, nini kimetokea na nini kinaendelea wakati wowote ule nitakapo hitaji. Hivyo nilitumia cheo changu hicho kujua kilicho kupata nchini Israel”

Nikamtazama Cauther kwa sekunde kadhaa kisha nikatabasa.

“Kumbe umekipenda hicho cheo”

“Hahaha kidogo kwa maana nina kuwa ni mwanamke wa tofauti na wengine. Ila jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba umerudi nchini salama japo ulipoteza vijana wako”

“Ndio hivyo mke wangu, watu wana uchu na madaraka. Acha nimalize haka kamwezi, kwenye vyama huko si wamesha anza kutangaza nia za kugombania uraisi?”

“Yaa vyama karibia vyote kasoro hichi chama ambacho raisi wake ameuwawa ndio bado hawaja tangaza mgombea wao”

“Walikuwa wamtangaze huyu mwana mama sema naye sijui kaingiwa na mdudu gani amenisaliti”

“Sasa mume wangu utamfanya nini Caro?”

“Adhabu yake ni kifo”

“Una hisi ukimuua nafsi yako ita ridhika?”

“Mimi hadi sasa hivi nimepatwa na ganzi juu ya kufanya maamuzi dhidi yake. Kwani ni mtu niliye muamini hadi kumpendekeza agombanie uraisi baada yangu, ila kumbe upande wa pili ni jini”

“Kama una ganzi naweza kukushauri?”

“Ndio mke wangu nishauri”

“Muachie huru, dunia ndio ita msulubisha ila sio wewe, usiendelee kuijaza damu mikono yako. Kumbuka ukimuua Caro ana familia, watakao weka kisasi juu yako. Sasa hii kazi ya kupita isije ikakujengea maadui wa kudumu kwenye maisha yako mume wangu. Kumbuka nasi tuna mtoto hivyo ana maisha yake ya baadae, isije ikamletea shida”

“Ila kubuka mke wangu huyu mwanamke ametaka kuniua mimi”

“Ni heri amefanya hivyo kabla hajaingia madarakani kuliko angefanya hivyo akiwa madarakani. Huoni kwamba angekuwa na nguvu kubwa. Mungu siku zote ana makusudi yake kwenye kila jambo mume wangu. Ni heri kumjua mbaya wako kabla ya kuingia kwenye uwanja wa vita. Kuliko ukamjua adui yako kwenye uwanja wa vita ata kusumbua sana”

Cauther alizungumza kwa sauti ya mahaba huku akiwa badoa amejizala kifuani mwangu.

“Wewe kwa sasa ndio umeyashika maisha ya Caro una weza kumfanya aishi au afe. Hivyo nafasi ya kuishi ila aondoke na kwenda kukaa nje ya nchi”

“Ila kuna jambo moja hujalijua kwa yule mwana mama”

“Jambo gani mume wangu”

“Huyu alikuwa ni mkuu wa kitendgo cha NSS hivyo maswala ya usalama wa hii nchi ana yajua sana. Anaweza kuigeuka nchi kwa kutumia ujuaji huo wa mambo”

“Hawei”

“Kwa nini hawezi?”

“Kwa sababu endapo uta muachia huru akaondoka nchini, kitakacho mtafuna ni kwa nini Eddy ameniachia huru, ataendelea kuishi kwenye maisha ya mateso hadi kufa kwake. Wala hatokuwa na nafasi ya kurudi nchini”

Nikamtazama Cauther machoni mwake kwa sekunde kadhaa.

“Una uhakika?”

“Asilimia mia moja mume wangu. Adui yako ukimsamehe, ukimya wako na msamaha wako uta kuwa ni ndio siha kubwa ya kumpiga.”

Nikashusha pumzi huku nikimtazama Cauther machoni mwake. Simu yangu ukaanza kuita nakumfanya Cauther taratibu kushuka kifuani mwangu na akaitoa katika mfuko wa suruali na akanikabidhi. Nikaitazama namba hii ya Luteni Jenerali.

“Ndio”


ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

BLOG