Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

SIN SEASON 1 SEHEMU YA 1/10

 


SIN SEASON 1

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+

SEHEMU YA 1 KATI YA 10



Kila mwanachuo ndoto zake ni kuweza kupata ajira nzuri sana kwa kile alicho kisomea kwa miaka mingi sana kipindi alipo kuwa chuoni. Ila mambo ni tofauti sana kwa kijana Evans Shika. Elimu ya Masters of Business Administration – International Business aliyo isoma katika chuo cha IFM, inamfanya azidi kutesaka sana katika swala zima la kutafuta ajira. Kila ofisi aliyo weza kupeleka maombi ya kuajiriwa, ana kataliwa na kujikuta ana zidi kukumbana na maisha magumu sana yaliyopo katika jiji la Dar es Salaa.

“Evans”

Lukas rafiki yake wa karibu alimuita huku akimtazama usoni mwake.

“Niambie kaka”

“Nina mazungumzo muhimu nahitaji kuongea na wewe. Kmaa unaweza kunipatia muda wako basi nakuomba tuzungumze”

“Sawa kama tuzungumze tu”

Evans alizungumza huku akikaa kitako kitandani na kumtazama Lukas aliye kalia stuli moja iliyomo ndani ya geto hilo.

“Lidya ni mjamzito na hapa ninavyo zungumza kwao wametambua hilo na baba yake ameamua kumfukuza”

“Mungu wangu….Sasa utafanya nini kaka?”

“Sina jinsi zaidi ya kumleta hapa kaka. Nilazima niishi naye kwa maana hakuna namna”

“Mmmm kaka sasa kweli tutaweza kuishi watatu geto moja!?”

“Ahaa kaka hatuta weza. Mimi naona kwa sasa uweze kujitafutia maisha mengine ndugu yangu. Usinifikirie vibaya au kuhisi kwamba nina kufukuza nyumbani kwangu. Hapana, ila shemeji yako ndio huyo ana kuja na kwakweli sikujipanga kabisa kuhimili maisha ya kuhudumia watu wawili.”

Maneno ya Lukas yakamstua sana Evans. Mapigo yake ya moyo yakaanza kumuenda kasi huku kijasho kikianza kumtiririka usoni mwake. Hakika toka alipo maliza chuo na kukosa ile mikopo ambayo wanapatia kwa ajili ya kujikimu, maisha yake yamekuwa magumu sana, kiasi cha kujikuta akipata hifadhi kwa rafiki yake Lucas ambaye naye kwa sasa amekabiliwa na majukumu mazito sana.

“Kaka wewe ni mwanaume. Ninakushauri, hembu jishikize kwenye vibarua vidogo vidogo japo upate vimiambili mia tatu vya kukukimu. Haya maisha ya kusema utafute kazi hizi ambazo mwisho wa siku unatoka hola, huoni kwamba una jicheleweshea malengo yako?”

Maneno ya Lucas hayakuweza kuleta matumaini wala faraja kwa Evan ambaye hatambui ni wapi atakapo kwenda. Kila akijaribu kulichanganua hili jiji la Dar es Salaam, hakika hana ndugu wa kuweza kuishi kwake.

“Evans, Evans”

“Naam kaka”

“Sijui umenielewa nilicho kuambia?”

“Yaa nimekuelewa kaka”

“Kuna ishu nyingi sana hapa mjini. Tazama mimi, ninaosha magari japo elimu yangu ni form four ila kidogo nina pata mia mbili mia tatu bro. Changamka hapa ni mjini usiamini sana kwenye maswala ya vyeti kaka.”

Evan taratibu akanyanyuka kitandani, akachukua begi lake la nguo pamoja na begi lake la mgongoni. Akafungua begi la mgongoni na kuhakikisha kwamba bahasha yenye vyeti vyake ipo salama. Alipo jiridhisha akalifunga na akalivaa mgongoni na kumtazama Lukas.

“Nashukuru kaka kwa kipindi chote ulicho weza kunivumilia kwa kukaa humu ndani. Nitaufanyia kazi ushauri wako”

“Nashukuru sana kaka. Kamata hii buku tano itakusaidia japo hata kwa chakula cha mchana huu na usiku”

Evans akautazaama mkono wa kulia wa Lukas unao mpatia kiasi hicho cha pesa. Kisha taratibu akaipokea na kuiweka mfukoni mwake.

“Asante kaka”

“Poa kaka ila nakuomba usinifikirie vibaya”

“Wala usiogope kaka, nimekuelewa na ninaelewa hali uliyo nayo ndugu yangu”

“Nashukuru sana kwa kuweza kulitambua hilo”

Lukas akanyanyuka kisha wakakumbatiana. Evans akatoka ndani ya chumba hichi. Akasimama eneo la nje la chumba hichi, akayatazama mazingira ya nyumba hii iliyopo, Tandale kwa tumbo. Taratibu akaanza kukatiza kwenye vichochoro vya nyumba hizi huku kichwani mwake akiwa na mawazo lukuki. Kila anavyo jaribu kumfikiria mama yake na mdogo wake wa kike walipo mkoni Kigoma, anashindwa kabisa kupata ujasiri wa kurudi kwao, kwani ufukara wa nyumbani kwao ndio umemfanya aweze kusoma kwa juhudi ili kujikomboa kwenye umasikini huo.

“Siwezi kurudi Kigoma”

Evans alizungumza mwenyewe huku akiendelea kukatiza kwenye vichochoro vilivyo jaa maji machafu, hii ni kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha kwenye jiji la Dar es Salaam. Evans akiwa katika chochoro moja, gafla akakutana na kundi kubwa la wahuni likiwa limebananisha dada mmoja aliye shika deli lililo jaa maandazi.

“Jamani maandazi yangu hayo ninauza musiyafanye hivyo”

Dada huyu alilalama huku akiwa amebananishwa ukutani, huku wahuni wengine wakiendelea kuyatafuna maandazi hayo bila hata ya kumuonea huruma.

“Tulia wewe. Kama hutaki tuyale tutakupa kifir** ambacho hujawahi kukipata toka uzaliwe”

Muhini mmoja alizungumza huku akimnyooshea panga la usoni dada huyo.

“Wewe mseng** una kodoa kodoa nini macho au unataka na wewe tuje kukupaku** hapo”

Muhuni mwengine alizungumza huku akimnyooshea Evans kisu. Katika maisha yake yote Evans amekuwa ni mtu ambaye hapendelei kushuhudia mwanamke ana nyanyasika mbele ya macho yake. Kushikwa shikwa kwa dada huyu, kukazirudisha kumbukumbu zake miaka kumi na mbili iliyo pita, kipindi akiwa na miaka kumi na mbili. Marehemu baba yake, alikuwa akimtesa sana mama yake na kumpa kipigo kizito mithili ya mwizi. Mzee Shika alisifika kwa ulevi na ubabe katika kijiji chao. Alikuwa ni mtu mwenye roho katili sana asiye jali utu wa mtu mwengine. Si mama yake tu aliye kuwa akishushiwa kipigo bali hata yeye mwenyewe alikuwa akibamizwa kisaswa sawa. Chuki na hasira juu ya mateso anayo yapata mama yake, yakatengeneza tabaka baya sana moyoni mwa Evans dhidi ya baba yake.

Usiku wa siku moja kama kawaida, baba yake alirudi akiwa amelewa chakari. Kitendo cha mke wake kuchelewa kumfungulia mlango, ikawa ni kosa kubwa sana kwake. Alimkama mke wake na kuanza kumpiga bila ya huruma, huku mama Evans tumboni mwake akiwa ni mjamzito. Vilio vya mama yake akiomba msaada kwa watu vikamfanya Evans, kuvuta shoka alilo liweka chini ya kitanda chake na kutoka chumbani kwake huku akiwana hasira sana. Akaelekea kilipo chumba cha mama yake. Kwabahati nzuri akakuta chumba cha wazazi wake kikiwa wazi. Akaingia ndani na kumkuta mama yake akiwa amelala sakafuni huku akiendelea kushindiliwa mangumi ya uso na mzee Shika.

Shetani wa hasira na ujasiri, akamjaa Evans moyoni mwake. Akanyanyua kishoka hicho na kumpiga nacho baba yake usogoni na kikazama karibia nusu, na kusababisha damu nyingi sana kuanza kutapakaa ndani ya chumba hicho.

“Evan..s mwanangu umeniua”

Mzee Shika alizungumza huku akianguka chini na kupoteza uhai wake hapo hapo. Kofi zito alilo pigwa dada huyo muuza maandazi likamtoa Evans kwenye dibwi zima la mawazo. Akashuhudia jinsi wahuni hao wanavyo mchania nguo dada huyo huku wengine wakimshika shika maeneo ya siri pamoja na maziwa yake.

“MUACHENIII NIMESEMA”

Evans alizungumza kwa ujasiri na sauti ya juu. Wahuni hao wapatao sita, wakamtazama kwa sekunde kadhaa, kisha wakaanza kuangua kicheko cha dharau na kejeli.

“Mchekini huyu matak** ametokea wapi?”

Muhini mmoja alizungumza huku akianza kumsogelea Evans. Taratibu Evans akaweka begi lake chini na kujiandaa kwa lolote ambalo linaweza kujitokeza. Muhuni huyu aliye shika kisu mkononi mwake, akamvamia Evans, ila Evnas, hakuwa mjinga wala mzembe. Akamtandika ngumi nzito ya kichwa na kumfanya jamaa huyu kupepesuka na kuanguka chini. Wezake wakajawa na hasira na wakagairi zoezi la kumbaka mwana huyo. Wakamvamia Evans kwa pamoja na kuanza kupambaba naye. Wingi wao ukamfanya Evans ashindwe kabisa kuwakabili, wakamtembezea kichapo huku mmoja wao akimkita kisu cha tumboni na kumfanya Evans kuanguka chini.

“Oya mwana umeua. Msala msala huu.”

Mmoja wao alizungumza mara baada ya damu nyingi zilizo toka tumboni mwa Evans kumrukia mwilini mwake. Wakanza kuchanguka huku wakibeba mabegi yake yote mawili ya Evans, wakiamini kwamba ndani ya mabegi hayo wana weza kupata chochote kitu.

Mwana dada huyo akaanza kupiga kelele za kuomba msaada kwa watu kwani Evans anaendelea kutokwa na damu nyingi sana mwilini mwake. Wasamaria wema wakajitokeza na kuanza harakati za kumpa msaada Evans ambaye tayari amepoteza fahamu zake. Evans akafikishwa kwenye hospitali ya mwana nyamala.

“Amefanyaje?”

Nesi mmoja aliuliza huku akiwatazama watu hawa alio mleta hapa hospitalini.

“Amevamiwa na wahuni”

Dada muuza maandazi alijibu huku jasho na machozi yakimwagika.

“Muna pf3 ya askari?”

“Hatuna dada, tunaomba mutusaidie”

“Sasa hatuwezi kumtibu mgonjwa aliye vamiwa bila ya kibali kutoka polisi. Akitufia hapa hamuoni kwamba itakuwa ni hatari kwetu.”

“Dada nipo chini ya miguu yako nakuomba mumpokee. Nipo tayari kwenda kuitafuta hiyo sijui pp3 polisi. Ila nakuomba mumtibu huyu kijana”

Dada muuza maandazi alizungumza huku akimpigia nesi huyu magoti. Ushawishi wa watu wengine walio msaidia Evans, ukaulainisha msimamo wa nesi huyu na kujikuta akikubaliana nao na kuwaomba wahakikishe kwamba wana tafuta kibali cha matibabu kutoka polisi.

“Nashukuru nashukuru sana dada”

Dada muuza maandazi alizungumza huku akitoka baru ndani ya hospitali hii na kuelekea kituo cha polisi. Akafanikiwa kufika polisi na kuelezea hali nzima ya tukio lilivyo tokea.

“Mgonjwa yupo wapi?”

Afande Mwahila aliuliza huku akimtazama dada huyu.

“Mwanayamala hospital”

“Unaitwa nani dada?”

“Naitwa Magreth”

“Hao vijana walitumia silaha gani kuwashambulia?”

“Visu na mapanga”

“Hao ni panya road. Wanarudi tena ehee?”

Askari mwengine alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake. Magreth hakuweza kujibu jambo lolote zaidi ya kukaa kimya. Akaandikiwa ruhusa hiyo na kurudi hospitali ya Mwananyamala. Akamkabidhi nesi hati hiyo na matibabu ya Evans yakazidi kuendelea.

“Sasa mgonjwa amepoteza damu ya kutosha. Benk yetu ya damu hapa hospitalini ime kwisha. Kama unaweza kumchangia japo chupa moja itakuwa ni vizuri sana kwani kwa sasa mgonjwa yupo kwenye chumba cha upasuaji”

“Nipo tayari nesi”

“Basi jaza hii fomu hapa majina yako matatu. Kisha nifwate”

Magreth akasoma fomu hiyo ya kuchangia damu. Alipo ridhishwa na maelezo yaliyo andikwa kwenye fumo hiyo akajaza kilicho hitajika kisha akafwatana na nesi hiyo. Magreth akapimwa HIV na kwa bahati nzuri akakutwa yupo salama.

“Sasa unaweza kuchangia damu”

Nesi huyo alizungumza huku akianza taratibu za kutoa kiasi cha damu mwilini mwa Magerth.

“Ila mgonjwa atapona ehee?”

“Tuombe Mungu kwani kwa sasa yupo kwenye chumba cha upasuaji, madaktari wandelea na kazi ya kumuhudumia.”

“Ehee jehova, shusha muujiza wako mgonjwa aweze kupona. Damu ya Yesu kristo ikamuangazie”

Magreth alijikuta akipiga maombi na kumfanya nesi huyu kumshangaa.

“Mgonjwa ni nani yako?”

“Ni mpita njia”

“Mpita njia tu ndio una muombea hivyo. Mimi nilidhani ni kaka yako au ndugu yako kumbe mpita njia?”

Maneno ya nesi huyu yakauumiza moyo wa Magreth, ila hakuhitaji kumjibu chochote zaidi ya kuendelea kumlilia na kumuomba Mungu wake kimoyo moyo.

Madaktari wakazidi kujitahidi kwamba wana fanya upasuaji wa kukitoa kisu alicho chomwa Evans tumboni mwake. Upasuaji huo ukafanikiwa kuisha salama ndani ya masaa mawili. Evans akapelekwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi huku akiwa hajitambui kabisa.

“Nina weza kumuona mgonjwa wangu dokta?”

Magreth aliuliza swali huku akiwa amesimama nje ya chumba cha wagonjwa mahututi.

“Hapana kwa sasa huwezi kumuona kwani hali yake haijawa sawa”

“Ila anaweza kupona?”

“Hilo ni jambo la kumuomba Mungu, ila kwa sisi tumeweza kuikamilisha kazi yetu. Hatua inayo fwata ni hatua ya Mungu”

Dokta Mkama alimjibu Magreth kwa sauti ya upole huku akimtazama usoni mwake.

“Nashukuru”

“Nifwate ofisini kwangu”

Dokta Mkama na Magreth wakaongozana hadi ofisini na wakaka kwenye viti vilivyomo ofisini humo..

“Mgonjwa wako ana itwa nani?”

Magreth akaka kimya huku akimtazama dokta Mkama.

“Mbona kimya”

“Ahaa…simfahamu mgonjwa”

“Humjui? Mbona ume muhangaikia kwa kiasi kikubwa sana ikiwa mtu umtambui?”

“Bila ya huyu kaka mimi sasa hivi wala nisinge kuwa nimekaa mbele yako na kujibu maswali unayo niuliza. Alijitolea kupamabana na kundi la wahuni wa Panya Road, ili kuweza kuyaokoa maisha yangu.”

Magreth alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Okay nimekuelewa. Je upo tayari kubeba garama za kutibiwa kwa mgonjwa au kuna namna nyingine labda ya kuwasiliana na ndugu zake, wakakusaidia?”

Magreth akaka kimya huku akitafakari. Kwaufupi maisha yake naye ni magumu sana, biashara ya kutembeza maandazi mtaani ndio inayo mfanya aweze kuishi katika jiji hili la Dar es Salaam. Japo na uzuri wa kipekee alio barikiwa na Mungu, ila haitaji kuutumia uzuri wake huo kuwa kigezo cha kujipatia kipato kwa njia ya umalaya wa kujiuza.

“Nakusikiliza upo tayari tukuandike wewe ndio msimamizi wa mgonjwa huyu”

Magreth akamtazama daktari Mkama kisha akamuitikia kwa kutingisha kichwa, akimaanisha kwamba ame kubaliana nahilo.

“Sawa nitakuandikia garama zote hapa ambazo tumeweze kuzitumia katika kumuhudumia mgonjwa wako. Na tutakupigia bei ya yeye kulala ICU kwa siku moja”

“Sawa dokta”

Magreth akakaa kimya huku akimtazama dokta Mkama jinsi anavyo endelea kucharaza kwa peni karatasi iliyopo mezani mwake. Dokta Mkama alivyo maliza kuiandika karatasi hiyo, akaipitia kwa kuisoma kama kila alicho kiandika ni sahihi kisha akamkabishi Magreth. Taratibu Magreth akatupia macho yake kwenye karatasi hiyo. Moyo ukampasuka, kwani garama iliyo andikwa kwenye karatasi hiyo ni kubwa na toka kuzaliwa kwake hajawahi kumiliki kiasi hicho cha pesa .



“Laki nane dokta….!!!?”

Magreth alishangaa sana huku mikono yake iliyo ishika karatasi hiyo ikimtetemeka kisawa sawa. Akamtazama dokta Mkama kwa mara nyingine, hakuamini kwamba mikono ya daktari huyo ndio aimeandika kiwango hicho kikubwa cha pesa.

“Ndio ni lakini nane. Laiti kama mgonjwa wako angekuwa na bima basi garama hapo zingepungua”

“Na hii pesa inahitaji ndani ya muda gani?”

“Ndani ya siku mbili hizi la sivyo mgonjwa wako tuta kukabidhi na hato endelea kupata huduma kwenye hospitali hii.”

Maneno ya dokta Mkama yakazidi kumtisha Magreth. Akanyanyuka taratibu huku uso wake ukiwa umepoteza furaha na matumaini. Kila alipo jaribu kutafakari ni wapi ataipata pesa hiyo, akakosa kabisa jibu. Moja kwa moja akarudi nyumbani kwake huku leo ikiwa ni siku mbaya sana kwenye maisha yake.

“Ehee Mungu nitafanya nini ikiwa sina kiasi hichi cha pesa?”

Magreth aliwaza huku akitazama karatasi hiyo ambayo imemkosesha amani kabisa. Taratibu akapiga magoti chini, akachukua biblia yake iliyopo katika kitanda chake cha tano kwa sita. Akaanza kusali huku machozi yakibubujika usoni mwake. Hadi ana maliza kusali maombi ya kumuomba Mungu ampe njia ya kuweza kupata pesa hiyo, aka mkumbuka nabii Sanga, ambaye ni kiongozi wa kiroho katika kanisa analo sali liitwalo HEAVEN LIGHT MINISTRY(H.L.M). Magreth akakumbuka juu ya ukaribu wake na mchungaji huyo. Kwajinsi anavyo jitoa katika huduma za kanisani hapo kidogo akapata matumaini ya kuweza kupata msaada wa kiwango hicho cha pesa.

‘Atanisaidia tu’

Magreth alizugumza huku akinyanyuka chini. Akafungua begi lake la nguo na kutoa gauni ambalo kwa mara nyingi hulitumia kuenda nalo kanisani huko. Akamimina maji nusu kwenye kindoo chake cha bafuni na kutoka chumbani kwake kwa haraka.

“Wee weee Mage Mage”

Sauti ya mama mwenye nyumba ikamsimamisha Magreth kwneye kordo hii huku mapigo yake ya moyo yakipoteza matumaini mengine kwani siku zote amekuwa akimkwepa kwepa mwana mama huyo kutokana na

deni la kodi anayo daiwa. Taratibu Magreth akageuka na kumtazama mwana mama huyo.

“Ehee siku hizi nakuona wewe ndio umekuwa mama mwenye nyumba si ndio?”

“Hapana mama shikamoo”

“Shikamoo yako ingekuwa ni pesa basi nina imani kwamba ningekuwa tajiri. Sikuzote unajifanya kutoka alfajiri na kurudi usiku ili usinipe pesa yangu. Sasa ninataka pesa yangu la sivyo nitakufukuza humu ndani”

Bi Ngedere alizungumza kwa jazba huku akifunga tenge lake vizuri. Hakika mwana mama huyu karibia wapangaji wake wote wana muogopa, hii ni kutokana na mdomo wake ulio jaa maneno machafu na usiombee akiwa ana kudai.

“Mama ninakuomba unipe japo siku mbili hizi nitakupatia pesa yako”

“Mwana haramu wewe, huna hata haya. Mama nipe japo siku mbili. Hivi ulikuwepo nilivyo kuwa nina firw** na mume wa mtu hadi kunihonga nyumba eheee?”

“Hapana mama”

“Nilifirwa** mkund** ndio nikajegengwa hii nyumba. Sasa kama na wewe umeshindwa kulipa kodi humu ndani kwangu, nenda kampuanilie mkund** mwanaume akujengee ya kwako. Mwana hizaya huoni hata haya. Unajifanya mlokole, mlokole wa mav**. Sasa usipo nipatia pesa yangu leo, haki ya Mungu naapa kesho alfajiri nina kuja kukutolea vitu vyako nje na tuone utafanya nini”

Bi Ngedere mara baada ya kuzungumza maneno hayo, akaachia msonyo mkali na kuanza kurudi chumbani kwake.

“Na nyinyi munachungulia chungulia nini, muniandalie pesa zangu la sivyo na nyinyi yatawakuta ya huyu mwana hidhaya”

Bi Ngedere aliwaambia wamama wawili walio kuwa wakichungulia tukio la mpangaji mwenzao kuchambwa na mwana mama huyo. Magreth huku akiwa amefadhahika, taratibu akanyanyua kindoo chake na kuanza kutembea kwa hatua za wasiwasi na kuelekea katika choo ambacho kwa juu hakijaezekwa na jina maarufu la vyoo hivi huitwa passport toilet.

Magreth akaanza kuoga huku maneno ya bi Ngedere yakiendelea kumtesa kichwani mwake. Akamaliza na kurudi chumbani kwake. Akavaa gauni hilo na kuainza safari ya kuelekea kanisani. Hakuweza kuwasiliana na nabii Sanga kwa maana vijana walio mvamia, waliondoka na pesa zake pamoja na kasimu kake ka tochi. Akafika kanisani hapo majira ya saa kumi na mbili jioni. Akakuta nabii Sanga akiwa na mazungumzo na mama mmoja ambaye naye ni muumini wa kanisa hilo.

“Mage nisubirie hapo nje kwa dakika kadhaa”

“Sawa baba”

Magreth aliitikia kwa unyenyekevu na kukaa eneo la nje ya ofisi hii ya mchungaji anaye muamini kwenye swala zima la kiroho. Hadi ina timu saa moja, mwana mama huyo akatoka huku usoni mwake macho yakiwa ni mekundu na anaonekana ame toka kulia muda si mrefu.

“Mage ingia”

Magreth akasimama na kuingia ndani ya ofisi hii, ambayo imetawaliwa na vitu vya thamani ya juu sana. Ofisi hii ya mchungaji ina hadhi kama ofisi ya raisi.

“Karibu ukae”

Nabii Sanga alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti chake cha kuzunguka, akamuonyesha Magreth aneo lenye sofa za garama na kwa pamoja wakaketi. Nabii Sanga akakunja nne huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Mwanangu una onekana kujawa na mawazo. Kuna tatizo lolote?”

“Ndio baba mchungaji nina matatizo makubwa sana”

Magreth alizungumza huku akivikunja kunja vidole vya mikononi mwake na uso wake akiwa ameuinamisha chini kwa aibu.

“Ohoo pole sana mwanangu. Ehee hembu nieleze ni nini unahitaji nikusaidie mwanangu”

Magreth huku machozi yakimwagika, akaanza kusimulia jinsi siku yake ilivyo kumbwa na matatizo makubwa sana. Hadi ana maliza, nabii Sanga naye alijikuta akilengwa lengwa na machozi.

“Pole sana mwanangu. Sasa fanya hivi, twende hapo Mwananyamala nikamuone huyo kijana kisha nitakupatia pesa ukamlipe huyo mama”

Magreth akalipuka kwa furaha, akamfwata nabii Sanga na kupiga magoti huku akimshika miguu yake.

“Asante, asante sana baba”

Magreth alizungumza huku akiibusu miguu ya Nabii Sanga. Macho ya nabii Sanga yakashindwa kujizuia kutua kifuani mwa Magreth. Kitendo hicho cha kuinama kimeyafanya maziwa ya Magreth yaliyo jaa na kunona, kuonekana kwa asilimia hamsini.

‘Weee shetani niondokee’

Nabii Sanga alizungumza kimoyo moyo huku akimnyanyua Magreth hapa chini. Magreth kwa kuchanganyikiwa akajikuta akimkumbatia mchungaji huyo, ikiwa ndio mara yake ya kwanza kumkumbatia mwanaume maishani mwake. Kwajinsi maziwa ya Magreth yanavyo mchoma choma nabii Sanga kifuani mwake, hakika yakasababisha akili ya nabii Sanga kuhama kabisa. Akajikuta naye akiupitisha mkono wake wa kulia kiunoni mwa Mageth na kuanza kukiminya minya. Kutokana na furaha ya kutatuliwa matatizo yake, Magreth wala hakuhisi kwamba hisia za nabii Sanga tayari zimesha hama.

“Nashukuru sana baba yangu. Mungu azidi kukufunilia na kupata waumini wengi na wengi na ninakuapia, haki ya Mungu nita hakikisha kwamba nita endelea kualika rafiki zangu kuja kusali hapa kanisani kwako”

Magreth alizungumza huku akimuachia nabii Sanga.

“Nashukuru kusikia hivyo mwanangu. Niletee lile koti langu nyuma ya kiti, na fungua hapo kwenye droo yangu, utakuta kibunda cha pesa, pamoja na funguo ya gari. Tuwahi kwenda hospitali wasije wakakataa sisi kuingia”

“Sawa baba”

Magreth akaanza kutembea kwa hatua za haraka kuelekea ilipo meza hiyo. Makalio yake makubwa yanayo tetemeka mithili ya simu yenye vibration yakamfanya nabii Sanga kumeza fumba zito la mate, huku shetani wa ngono akiwa tayari amesha tawala kichwa chake. Nabii Sanga sasa akaanza kupata wakati mzuri wa kumchunguza Magreth. Moyo wake ukazidi kushangazwa na uzuri wa binti huyu ambaye siku zote amekuwa akimchukulia ni binti wa kawaida.

‘Umasikini wake ume ficha huu uzuri wake masikini weee’

Nabii Sanga alizugumza kimoyo moyo huku akimtazama Magreth jinsi anavyo rudi eneo alilo simama yaye. Magreth kwenye maisha yake yote hakuwahi kushuhudia pesa nyingi kama hizo. Akamkabidhi mchungaji vitu vyake.

“Ahaa binti yangu”

“Ndio baba”

“Sasa kama maandazi yako waliyamwaga. Utapata wapi mtaji mwengine wa kuendesha maisha yako?”

Swli hili likamfanya Magreth kukaa kimya na kushindwa kulijibu.

“Ila usijali, hilo nalo nitalitazama kwa jicho jengine na Mungu aweze kutusaidia ili tulipatie uvumbuzi”

“Asante baba mchungaji”

Wakatoka ofisini hapa. Nabii Sanga akafunga ofisi yake na kumuachia mlinzi wa kanisa hilo maagizo ya kuhakikisha kwamba awe makini katika ulinzi wa siku yake hiyo.

“Usijali nabii nitakuwa makini”

“Usije ukasinzia sinzia, kwa maana kuna siku huwa nina pitaga hapa usiku na kukuta ukiwa ume lala”

“Sinto sinzia mzee”

“Haya nifungulie geti”

Nabii Sanga alizungumza huku akifungua mlango wa gari lake hilo aina ya Toyote VX V8.

“Ka tu siti ya mbele”

Nabii Sanga alizungumza huku akimzuia Magreth kufungua mlango wa nyuma la gari lake. Wakaingia ndani ya gari na kuianza safari ya kuelekea hospitalini.

“Mage”

“Naam baba mchungaji”

“Nikikufungulia mgahawa, utaweza kuuandesha”

“Mgawaha!!?”

“Ndio mbona ume tahamaki?”

“Haki ya Mungu baba mchungaji nitakuwa nina fanya kazi kama mbwa. Sinto kuangusha katika hilo haki ya Mungu niamini katika hilo”

“Hahaaa usijali, ngoja kwanza”

Nabii Sanga akatoa simu yake mfukoni, akatafuta jina la moja wa dalali ambaye mara nyingi humtafutia nyumba kwa jiji hili la Dar es Salaam.

“Tomas”

“Shikamoo baba mchungaji”

“Marahaba. Hivi kwa maeneo ya Kinondoni tunaweza kupata ofisi ambayo ninaweza kufungua mgahawa?”

“Ahaa ndio mzee zipo sehemu nyingi sana pale, japo ada ya pango kidogo inakuwa juu”

“Kuhusiana na kodi hilo usiwe na shaka, wewe tafuta sehemu ambayo ina mzunguko mzuri wa biashara na niambie ni kiasi gani”

“Sawa baba mchungaji nitafanya hivyo”

“Hili swala usimuambie mama yako”

“Sawa mchungaji”

Nabii Sanga akakata simu huku akijawa na tabasamu pana usoni mwake. Magreth hakuamini kwamba ipo siku mambo yanaweza kubadilika kwa haraka namna hii hii. Maombi aliyo sali masaa kadhaa yaliyo pita hakika yana mfanya ajione ni mwenye bahati sana.

“Tomas akipata eneo hilo nitakujulisha.”

“Nashukuru baba mchungaji hakika Mungu amekuletea kwenye maisha yetu kwa makusudi sana”

“Usijali ehee kwenye hiyo nyumba una lipa kiasi gani kwa mwenzi?”

“Elfu kumi na tano?”

“Kumi na tano!!!?”

“Ndio na yule mama ana nidai kodi ya miezi miwili, kidogo biashara yangu imekuwa ngumu kutokana na hizi mvua mvua. Mbaya zaidi wale vijana wamenipora na pesa zangu hivyo basi sina chochote kilicho salia kwenye mifuko yangu.

“Ngoja tukipata hiyo sehemu ya mgahawa basi nitakupangishia nyumba maeneo hayo hayo ya kinondoni ili usiwe una pata shida ya kuelekea ofisini kwako”

“Ohoo asante Mungu, asante sana baba mchungaji”

“Usiwe na shaka katika hilo mwanangu”

Wakafika hospitalini na kutokana na umaarufu wa nabii Sanga, katika jiji la Dar es Saalam na Tanzania, walinzi na madaktari hawakusita kumruhusu kumuona mgonjwa.

“Hajazinduka hadi sasa?”

Nabii Sanga alizungumza huku wakiwa katika chumba cha wagonjwa mahututi, alipo lazwa Evans.

“Hapana bado hajazinduka, tunatarajia kwenye majira ya saa nane usiku au alfajiri basi ana weza kuzinduka”

“Acha nimfanyie maombia, nina imani kwamba Mungu anaweza kufanya jambo katika hili. Dokta na wewe si dini yetu au wewe ni upande wa pili?”

“Mimi pia ni mkristo”

“Basi tuombe”

Wote watatu wakafumba macho na mchungaji Sanga akaanza kusali kwa sauti ya chini kidogo, kwani katika chumba hichi mtu haruhusiwi kupiga kelele.

“Amen”

Nabii Sanga mara baada ya kuzungumza neno hilo linalo ashiria kwamba sala imeisha, wakafumbua macho yao.

“Dokta nitalipa garama zote za huyu kijana anazo daiwa. Endapo kutatjitokeza haja ya kupelekewa hospitali kubwa basi munifahamishe kwanza mimi”

“Sawa mchungaji, tutafanya hivyo”

“Hii ni business card yangu. Utawasiliana nami wakati wowote”

“Sawa sawa mchungaji”

“Mage nitakupeleka nyumbani na asubuhi utakuja hapa kumtembelea ili ufahamu maendeleo yake.”

“Sawa baba mchungaji”

Wakatoka kwenye chumba hichi cha wagonjwa. Nabii Sanga akalipa garama zote za matibabu kisha wakaanza safari ya kurudi nyumbani.

“Mage hivi una mchumba kwa maana sijawahi kusikia fununu pale kanisani kama kuna mchumba wako?”

Magreth akatabasamu huku akimtazama nabii Sanga kwa uso ulio jaa aibu aibu kidogo.

“Hapana baba mchungaji. Nina endelea kuulinda usichana wangu hadi pale Mungu atakapo nipatia mume wa kwangu peke yangu”

“Unataka kusema wewe bado hujawahi kutana kimwili na mwanaume?”

“Ndio baba mchungaji, bado mimi ni bikra”

Kauli hiyo ikaulipua moyo wa nabii Sanga, kwa umri wake wa miaka arobaini na sita hadi sasa, hajafanikiwa kukutana na mwanamke bikra na siku zote alikuwa akitamani sana kupata binti ambaye ni bikra kwani hata mke wake aliye muoa hakumkuta akiwa bikra.



“Safi sana mwanangu. Unajua vijana wa siku hizi maisha yao wameyafanya kuwa ni mabaya sana. Utakuta mabinti wenye usichana wao kwa hapa tu Dar es Salaam, hawazidi hata elfu moja. Ila wengi wao wanadumbukia kwenye mahusiano wakiwa bado ni wadogo sana”

“Ni kweli baba. Marehemu mama yangu alijitahidi sana kunilea kwenye mazingira ya dini sana. Alinichunga na kunifundisha yaliyo mema na bora. Hadi sasa nina mshukuru kwa malezi yake”

“Kweli mshukuru kwa hilo.”

Nabii Sanga alizungumza huku akiyatupia macho yake kifuani mwa Magreth, ila hakuweza kupata nafasi ya kuyaona maziwa ya Magreth kama jinsi alivyo yaona akiwa ofisini kwake.

“Wikii ijayo nitasafiri kuelekea nchini Nigeria. Ninataka nikiondoka huku nyuma niwe nimesha kuachia mazingira mazuri kama nilivyo kuahidi mwanangu”

“Ohoo nitashukuru sana baba”

“Ila haya yote ambayo nitakufanyia. Tafadhali nina kuomba usiweze kumueleza mtu yoyote”

“Kwa nini baba?”

“Unajua mimi ni mtumishi wa Mungu. Endapo watu watatambua kwamba nimekufanyia haya yote. Wanaweza kuyapaleka mawazo yao mbali sana. Watazalisha skendo ambazo hakika sinto zipenda kwa maana watu hatuto wazuia kusema.”

“Baba ila sijakuelewa hapo kidogo?”

“Ni hivi endapo watatambua kwamba mimi nimekufungulia mgahawa, na kukupangishia nyumba. Watahisi kwamba mimi na wewe tuna mahusiano ya kimapenzi. Huoni hilo jambo lina weza kuleta mpasuko katika huduma ya kanisa langu?”

Magreth akaka kimya huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.

“Ndio maana nahitaji usimueleze mtu yoyote. Haya yote nina fanya kwa kuguswa kwa matatizo yako. Nasiku zote ulikaa kimya ikiwa unapitia kipindi hichi kigumu”

“Nimekuelewa baba, sinto fungua kinywa changu kusema kwa mtu”

Nabii Sanga akamfikisha Magreth nyumbani kwake. Akavuta noti zenye thamani ya milioni moja kutoka kwenye kibunda cha pesa zake.

“Kalipe kodi ya siku hizi utakazo kaa kwenye hiyo nyumba. Kesho ununue simu ya maana ambayo tutakuwa tuna wasiliana sawa Mage”

Magreth macho yakamtoka. Kiwango hichi kikubwa chapesa hajawahi kukimiliki yeye binafsi. Leo kwa mara yake ya kwanza ana miliki kiwango hicho kikubwa cha pesa.

“Pokea tu mbona una shangaa”

“Mbona ni pesa nyingi baba?”

“Hakuna, unajua Mungu ana fungua baraka za mtu mmoja mmoja kwa aina yoyote aitakayo. Je unapenda kubaki kwenye umasikini kila siku, je unapenda kuishi kwenye maisha ya uswahilini kama hivi?”

“Hapana”

“Basi Mungu ana endelea kujibu maombi yako. Jambo la msingi usifanye jambo kinyume na mpango wa Mungu. Jitunze usichana wako hadi pale utakapo vishwa pete kanisani na mwanaume ambaye Mungu atakuwa amekuletea”

“Nashukuru sana baba Mungu akubariki”

Magreth alizungumza huku akichukua pesa hizo.

“Sinto weza kushuka na kuingia ndani. Acha niwahi nyumbani”

“Nashukuru sana baba mchungaji”

Magreth mara baada ya kuagana na mchungaji akashuka kwenye gari. Akasimama hadi nabii Sanga akatokomea na gari lake. Akapiga hatua na kupandisha ngazi za kibarazani, katika nyumba anayoishi. Akakutana na mama mwenye nyumba kwenye kordo.

“Leo umerudi mapema eheee?”

Bi Ngedera alizungumza kwa sauti iliyo jaa kejeli pamoja na dharau.

“Una nidai kiasi gani mama?”

“Thelathini na ninataka kodi yangu ya miezi sita”

“Hata ya mwaka ukihitaji nitakupa, ila hata hiyo miezi sinta sinto imaliza kwenye hii nyumba yako. Hivyo nakulipa deni lako la miezi miwili pamoja na mwezi huu.”

“Hiyo miezi iliyo baki vipi?”

“Hujanielewa kwamba sinto kaa kwenye hii nyumba yako. Mama una mdomo machafu, tambua Mungu hapendi dharau kwa maana huwajui watu wapi wana tokea na wapi wataelekea”

Bi Ngedere akakosa la kuzungumza mara baada ya kuona Magreth akihesabu noti za shilingi elfu kumi kumi. Alipo ridhika ni kiwango gani anahitaji kumpatia bi Ngerede, akamkabidhi.

“Yaani wewe mama una bahati kwamba nina hofu ya Mungu. Ila kama ingekuwa si kuwa hivyo, leo ningekubamiza hadi ungenijua jina langu la utotoni nilikuwa naitwa nani”

Magerth alizungumza huku akifungua mlango wa ndani kwake na kuingia. Akamuacha bi Ngedere, akiwa amejawa na aibu kubwa.

***

Taratibu nabii Sanga akafunguliwa geti la kwanza kwenye jumba lake kubwa analo ishia na familia yake. Akafunguliwa geti la pili, na kusimamisha gari lake kwenye maegesho ya magari yake ya kifahari yapatayo kumi na tano. Msichana wa kazi, akawahi kusimama mlangoni mwa gari hilo kabla ya nabii Sanga kushuka.

“Shikamoo baba”

Binti huyo mwenye umri wa miaka kumi na tisa alisalimia kwa heshima kubwa akipokea koti la nabii Sanga.

“Marahaba. Mama yako yupo?”

“Hajarudi bado?”

“Hajarudi!! Amekwenda wapi?”

“Alitoka, mchana ila bado hajarejea”

“Haya kaweke koti langu ndani”

Nabii Sanga, akatoa simu yake mfukoni na kuitafuta namba ya mke wake. Akaipiga na kwa bahati mbaya akakuta haipatikani. Moja kwa moja akeleeka ndani, akamkuta mwanaye wa mwisho Julieth akijisomea.

“Shikamoo baba”

“Marahaba, vipi mbona una jisomea sebleni ikiwa maktaba kupo?”

“Ni kazi ndogo tu naimalizia”

“Mama yako alikuaga ana kwenda wapi?”

“Hakuniaga”

“Ulikuwepo alipo toka?”

“Hapana, nimerudi sijamkuta”

“Chuo vipi?”

“Safi tu dady. Alafu wiki ijayo tuna ziara ya kichuo kuelekea kwenye mbuga za wanyama ngorongoro. Itakuwa ni ziara ya siku tano”

“Kinatakiwa kiasi gani cha pesa?”

“Milioni mbili”

“Nitakupatia asubuhi”

Nabii Sanga akaelekea chumbani kwake. Akakitazama chumba hichi jinsi kilivyo pangwa vizuri kisha akavua nguo zake, akaingia bafuni, akaoga na kuvaa nguo nyingine. Akarudi sebeleni, akapata chakula cha usiku, huku saa ya ukutani ikionyesha ni saa sita kasoro usiku. Hadi binti yake pamoja na msichana wa kazi wanaingia kulala mke wake bado hajarejea kwenye safari ambayo hajafahamishwa.

‘Huyu mwanamke atakuwa amekwenda wapi?’

Nabii Sanga alizungumza huku akichukua simu yake na kupiga tena namba ya mke wake. Majibu aliyo yapokea awali ya kuto patikana kwa simu hiyo, ndio majibu aliyo yapokea muda huu. Akazima taa za sebleni na kukaa kwenye moja ya sofa huku giza likitawala eneo zima la sebleni. Baada ya nusu saa, akasikia, mngurumo wa gari la mke wake aina ya BMX X6. Hakunyanyuka kujisumbua kuwasha taa, akaka kwenye sofa hilo ambalo mtu anaye ingia mlangoni anamuona vizuri. Mrs Sanga, akafungua mlango wa sebleni hapo taratibu huku akitembea kwa mwendo wa kunyata. Hakuwasha taa, ila kwa haraka nabii Sanga akawasha tv kubwa iliyopo sebleni hapa na kumfanya Mrs Sanga kustuka sana kwani hakutarajia kumuona mume wake akiwa eneo hilo.

“Unatoka wapi mke wangu?”

Nabii Sanga alizungumza huku akinyanyuka taratibu kwenye sofa hilo. Akaiweka rimoti mezani na kumsogelea mke wake aliye anza kutetemeka kwa woga.

“Saa saba kasoro ndio muda wa kurudi nyumbani?”

“Ahaa tulikuwa na huduma sehemu ya wamama, hivyo nilichelewa mume wangu. Nina kuomba unisamehe”

Nabii Sanga akawasha taa ya sebleni hapo na kumuona vizuri mke wake jinsi nywele zilivyo mtibuka.

“Naona mapepo walikuwa ni wagumu sana kutoka hadi nywele zimechanguka? Usiku mwema”

Nabii Sanga akapandisha gorofani na kumuacha mrs Sanga akijishika shika nywele zake na kushindwa kujua ni kwa nini alisahau kuziweka nywele zake sawa huko alipo toka.

***

Asubuhi na mapema, Magreth akaandaa chai ya maziwa pamoja viazi vya kushemsha. Akaweka viazi hivyo kwenye hotpot kisha chai hiyo akaiweka kwenye chupa kubwa ya chai. Vitu hiyo akaviweka kwenye kikapu, alipo hakikisha kwamba kila jambo muhimu ambalo ana hisi kwamba Mgonjwa anaweza kula lipo tayari. Akajiandaa na kuianza safari ya kuelekea hospitali ya Mwanayamala. Kabla ya kufika hospitalini, akapita kwenye moja ya duka na kununua simu aina ya Tecno C9 ambayo siku zote amekuwa akiitamani na kuwaona baadhi ya marafiki zake wakiitumia na kuisifia.

Akasajili laini mpya, kutokana namba ya nabii Sanga ana ifahamu kichwani mwake, haikuwa shida kumpigia na kumfahamisha kwamba ana elekekea hospitalini na hiyo ndio namba atakayo itumia kuanzia leo.

“Sawa nikipata muda nitapitia hapo hospitalini”

“Sawa baba”

Magreth akafika hospitalini, akaulizia hali ya mgonjwa na kuelezwa kwamba alizunduka majira ya saa kumi usiku, ila kwa sasa ame lala.

“Amejitambua yeye ni nani?”

“Ndio na aliuliza kwamba yupo wapi? Nani amemleta na tukamjibu kila alicho kiuliza”

Nesi alimjibu Magreth huku akimtazama usoni mwake.

“Kwahiyo kuna matumaini ya yeye kupona?”

“Ndio”

“Nimemletea viazi vya kushemsha pamoja na chai ya maziwa je vitakuwa ni vyakula vizuri kwake?”

“Kwa viazi hapo ni sawa kidogo ila kwa chai hapana. Bado ana kidonda tumboni mwake”

“Ahaa sawa sawa”

Magreth akaka hospialini hapa hadi Evans alipo zinduka kutoka usingizi. Magreth akapewa na fasi ya kwenda kumuona tena katika wodi aliyo lazwa, kwani amehamishwa kutoka katika wodi ya wagonjwa mahututi hadi wodi ya wagonjwa wa kawaida na amepewa chumba cha kwake peke yake, hii ni kutokana na hadthi ya nabii Sanga.

“Hei wewe, hawajakudhuru wale wahuni?”

Evans alizungumza huku akitabasamu kwa furaha.

“Hapana, unajisikiaje?”

“Maumivu kwa mbali hapa tumboni”

“Pole sana rafiki yangu”

“Nashukuru kusikia hawajakudhuru. Washenzi wale nikitoka hospitalini nilazima niwawinde”

“Hapana usifanye hivyo. Unajua kwamba Mungu ana makusudi yake kwenye haya maisha yako. Munge amekupa nafasi nyingine ya kuishi, tafadhali usiizembee”

“Vyeti vyangu”

“Vyeti vyako, vipi tena?”

“Kwenye lile begi langu la mgongoni kuna vyeti vyangu vya kuanzia primary school hadi chuo kikuu”

Evan alizungumza huku akiwa amejawa na tahamaki kubwa sana. Magreth kwa kumbukumbu zake, akakumbuka wale vijana waliondoka na mabegi yote mawili. Kabla hajamueleza chochote, mlango ukafunguliwa ana akingia nabii Sanga.

“Kijana amepata nafuu?”

“Karibu baba”

“Nashukuru Mage”

“Kaka huyu ni baba yangu wa kiroho anaitwa nabii Sanga”

“Jina na sura sio ngeni kwangu, nilisha wahi kukuona kwenye kitoa cha tv ukihubiri?”

“Ndio hujakosea kabisa. Ninaona maombi niliyo yafanya yameleta bamadiiko na kuzaa matumaini mapya. Unaitwa nani kijana?”

“Evans Shika”

“Nashukuru kukufahamu. Nilipita hapa mara moja, ila kuna kikao cha wachungaji mahala fulani, inabidi niende. Ila Magreth nakuomba tuzungumze nje mara moja”

“Sawa baba”

Nabii Sanga akaaga, kisha wakatoka katika chumba hicho alicho lazwa Evans na kusimama kwenye kordo.

“Sehemu ya kufungua mgahawa imepatikana pia nyumba imepatikana, hivyo nikiwahi kutoka kwenye mkutano nitakupitia twende ukazione hizo sehemu, kama utazipenda basi tutazichukua, ila kama utakuwa hujazipenda, basi tutatafuta nyingine”

Habari hiyo ikamuacha Magerth mdomo wazi, macho yakamtoka huku akijaribu kuzuia mlipuko wa furaha yake. Nabii Sanga akatoa laki mbili na kumkabidhi Magreth bila ya kumuambia ni za nini hizo pesa. Akaondoka huku simu yake akiweka sikioni, akizungumza na mmoja wa wachungaji katika kanisa lake. Magreth akatamani kumfwata ila akashindwa, akazitazama pesa hizo na kuzishika vizuri, kisha akarudi ndani ya chumba hicho. Magreth na Evans, wakajikuta wamezoeana kwa muda mfupi sana huku kila mmoja akimuelezea mwezake maisha ya nyuma. Japo wote wametoka kwenye maisha ya kimasikini, ila kidogo maisha aliyo yapitia Evans yana mateso makubwa sana kuliko maisha ya Magreth.

Majira ya jioni, nabii Sanga akampitia Magreth hospitalini hapo na moja kwa moja wakaelekea maeneo ya Kinondoni, wakapelekwa na Tomas kwenye eneo la mgahawa, hakina ni eneo zuri sana na kuna mzunguko mkubwa wa watu.

“Nyumba ipo mbali na hapa?”

“Hapana baba mchungaji, ipo hapo mtaa wa nyuma”

Wakaelekea eneo la nyumba, wakasimama kwenye nyumba ya gorofa moja.

“Ndio hapa baba mchungaji, tunaweza kuingia ndani?”

Wakaingia ndani ya nyumba hii nzuri, ambayo muda wote imemuacha Magreth mdomo wazi.

“Wamesema ni kiasi gani?”

“Milioni mia sita hamsini, ila nimezungumza nao, hadi kwenye milioni miatano watauza”

“Mage umaipenda hii nyumba”

“Ndio baba ila mbona kodi yao ni garama kiasi hicho?”

“Hapana, jana usiku nilibadilisha mawazo, nikaona nisichukue nyumba ya kupangisha ila ninunue kabisa. Nina imani utaishi kwa amani kabisa kwenye hii nyumba”

Maneno ya nabii Sanga kidogo, yakabakisha kidogo yamuangushe Magreth kwa furaha. Katika maisha yaku hakutarajia hata siku moja kuja kumiliki nyumba ya kwake peke yake, tena nyumba yenye hathi ya mamilioni ya pesa.



“Au hujapenda mimi kukununulia hii nyumba?”

Nabii Sanga alimuuliza Magreth swali la mtego ikiwa jibu ana lifahamu kwamba ni lazima atahitaji kumiliki nyumba kama hiyo.

“Yaani baba sina hata cha kuzungumza”

“Usijali, hivi ndivyo jinsi Mungu anavyo fungua baraka kwa kila mja wake. Hivyo Mungu amezipitisha baraka zako kupitia mimi”

“Asante sana Mungu na ninazidi kukuombea baba Mungu azidi kukubariki kwenye kila hatua ya huduma yako”

“Nashukuru sana mwanangu”

Tomas akawatembeza kwenye nyumba hiyo yenye vyumba vitatu vya kulala huku vyote vikiwa ni master room na seble mbili za kupumzikia, pamoja na jiko kubwa.

“Kutokana muda umwekwenda, kesho tutakutana na mmiliki wa hii nyumba”

“Sawa baba mchungaji na uzuri ni kwamba hii nyumba ni mpya kabisa, nimali ya shirika moja la ujenzi”

“Ahaa kumbe”

“Ndio kwa hiyo hatununui kwa mbabaishaji, ila tuna nunua kwa shirika ambalo hapo baadaye hawato weza kutudhulumu”

“Ndio maana nina kupenda sana Tomas, huwa una fanya kazi zako kwa uhakika na uaminifu mzuri. Endelea hivyo hivyo, Mungu atazidi kukufungulia milango ya baraka”

“Amen”

Wakarudi ndani ya gari, wakamrudisha Tomas hadi eneo alipo liacha gari lake na kuagana naye.

“Baba mchungaji nina weza kuuliza swali?”

“Uliza tu?”

“Kwa nini una nifanya haya yote kwa wakati mfupi, yaani kuanzia jana nimeona maisha yangu yamebadilika kwa kiasi fulani?”

“Swali zuri sana mwanangu. Unatambua kwenye maisha, hususani haya maisha ya kumcha Mungu, yana changamoto zake na faida zake. Ngoja nikusimulie kisa kidogo ambacho kinahusiana na misha yangu.”

Nabii Sanga alizungumza huku akipunguza mwendo kasi wa gari lake.

“Kipindi nilipo kuwa nina ianza hii hudumua. Nilianza kwenye maisha ya chini sana tena maisha ya ufukara. Watu wengi walinisimanga, ikiwemo ndugu zangu wa tumbo moja. Walidai kwamba nina igiza igiza. Sikumuacha Mungu, na nilikutana na mke wangu, barabarani akishambuliwa na wasichana wezake”

“Akishambuliwa kwa nini alikuwa anashambuliwa?”

“Ahaa alichukua mwanaume wa mtu. Hivyo siku hiyo alikutana na mwenye mume wake. Niliweza kuuamua ugomvi ule huku akiwa amejeruhiwa sana kwa kucha. Hakuwa na sehemu ya kuishia kwa maana huyo mwenye mume wake, aligundua kwamba mume wake ame mpangishia nyumba nzima na alifanya kila analo liweza kuhakikisha ana mfukuza ndani ya hiyo nyumba”

“Basi nilimsaidia na kipindi hicho nilikuwa na kachumba kamoja tu. Takribani miezi tisa tulikuwa tuna ishi kama mtu na dada yake. Niliweza kumbadilisha tabia yake na akwa mcha Mungu kweli kweli. Baada ya kuridhika naye basi nilifanya taratibu zote za kanisa na nikamuoa. Hivyo katika kipindi chote hicho hicho sikuweza kukutana naye kimwili hadi nikamuoa na yeye ndio alikuwa mwanamke wangu wa kwanza kukutana naye kimwili”

“Aiseee!!”

“Yaa. Ona sasa Mungu alivyo kuwa wa ajabu. Mara baada ya kufunga naye ndoa. Huduma yangu ikaanza kutanuka, wadhamini kutoka ndani na nje ya nchi wakazidi kunisaidia. Nikaanza kutajirika taratibu hadi sasa hivi nina utajiri mkubwa sana, ambao hata nikiwaambia wanangu na mimi tisifanye kazi yoyote ya kutuingizia kipato. Basi tunaweza kukaa na pesa niliyo nayo kwa zaidi ya miaka mia moja, tukiwa tuna kula, kunywa na kulala”

“Sasa maana yangu ya kukuadithia wewe hivyo ni ili uweze kujua kwamba Mungu ana makusudi yake kwa kila hatua ya mafanikio kwenye maisha yako. Mimi lango la uchumi lipo kwa mke wangu na wewe lango la uchumi lipo kwa yule Evans aliye lala pale kitandani. Laiti kama asinge kutana na wewe, muda huu usinge kuwemo ndani ya gari langu na wala nisinge jua matatizo yako”

“Ni kweli baba mchungaji”

Magreth alijibu kwa unyonge sana huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.

“Hivyo weza kutambua makusudi ya kila jambo kwenye maisha yako”

“Amen”

Wakapitia katika hospitali ya Mwanayamala kumjulia hali Evans. Walipo ridhishwa na afya yake, nabii Sanga akamrudisha Magreth nyumbani kwake kisha yeye akaelekea kwake.

‘……….wewe lango la uchumi lipo kwa yule Evans aliye lala pale kitandani. Laiti kama asinge kutana na wewe, muda huu usinge kuwemo ndani ya gari langu na wala nisinge jua matatizo yako’

Maneno ya nabii Sanga yakajirudia akilini mwa Magreth na kujikuta akihisi hali ya tofauti sana kwenye moyo wake. Hali hii hakuwahi kuihisi toka abalehe.

‘Nahisi nina mpenda Evans’

Magreth alizungumza kimya kimya huku akielekea kwa muuza chips katika mtaa huo. Akanunua chipsi mayai na soda.

“Da Mage chupa yangu hukunirudishia”

“Usijali mdogo wangu nitakuletea”

“Fanya hivyo, kesho nitaagizia kreti la soda”

“Sawa miskaki hivi ni bei gani?”

“Mia tano”

“Niwekee miwili”

Japo Magreth ana pesa ya kutosha, ila maisha yake ya kuishi kwa bajeti bado yapo pale pale. Akapita dukani kwa Mangi na kununua daftari kubwa na kalamu, kisha akarudi nyumbani. Akapata chakula hicho cha usiku, kisha akaanza kuandika mipango atakayo ifanya kwenye Mgahawa wake. Alipo hakikisha kwamba bajeti hiyo anayo taka kuanza nayo ime mtosheleza akatamani kumujulisha nabii Sanga muda huo, ila moyo wake ukasita na akajipa matumaini ya kumpatia bajeti hiyo siku inayo fwata.

***

Gari aina ya Ford Ranger, ikalipita kwa spidi gari la nabii Sanga na kulizuia gari la nabii Sanga kwa mbele. Kitendo hicho kikamfanya nabii Sanga kufunga breki za gafla huku akiwa na wasiwasi mkubwa sana. Wanaume wanne wenye bunduki huku sura zao wakiwa wamezifunika, wakasuka kwenye gari hilo na kumuamrisha kwa ishara nabii Sanga kushuka ndani ya gari hilo.

‘Ehee Mungu ni nini hichi kinacho endelea?’

Nabii Sanga alizungumza huku akifungua mkanda wa siti ya gari lake. Wanaume hao mmoja wao akapiga risasi kwenye kioo cha mbele upande ambao hakuna mtu. Tobo la risasi hiyo likamfanya nabii Sanga kushuka kwenye gari bilia kushurutishwa.

“Jamani kama muna taka pesa chukueni, chukueni tu”

Nabii Sanga alilalama huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga.

“Hatutaki pesa zako na tuna kutaka wewe”

Wakamfunga mikono yake kwa nyuma, kisha wakamfunga kitambaa na kumuigiza kwenye gari lao na kuondoka eneo hilo kwa mwendo wa kasi sana huku wakilitekeleza gari la nabii Sanga eneo hilo.

Gari hiyo inayo endeshwa kwa mwendo wa kasi sana ikazidi kuchacha Mbuga usiku kwa usiku, huku nabii Sanga akiwa amewekwa chini ya ulinzi mkali sana.

“Jamani nyinyi ni kina nani, mbona mume niteka ikiwa sina uadui na mtu”

Nabii Sanga alilalama, ila kisuku suku alicho pigwa kwenye mbavu za kulia kumfanya atulie tuli.

“Ukirudi kuuliza swali jengine basi utakufa kabla ya masaa yako”

Gari hilo likafika katika wilaya ya Mkinga. Wakasimamisha gari hilo kwenye moja ya pori ambalo lina nyumba nne tu zilizo jengwa na kikundi cha watekaji wanao fanya kazi zao kwa kulipwa na watu binafsi au makampuni. Wakamshusha nabii Sanga, mzoga mzoga na wakamuingiza kwenye moja ya chumba na kuifunga mikono yake juu na taratibu wakaanza kumvuta na kumfanya nabii Sanga aning’inie hewani, juu asifike wala chini asikanyage.

***

‘Done’

Meseji hiyo ikaufanya moyo wa mrs Sanga kutawaliwa kwa tabasamu pana sana. Akamtazama mfanyakazi wake wa ndani anaye fwatilia tamthiia ya kikorea.

“Hivi wewe una jua wanacho kizungumza hao watu?”

“Ndio mama”

“Wewe Rose kweli unataka kuniambia kwamba una jua kikorea? Hembu acha kunitania bwana”

“Najua kidogo kidogo”

“Umejifunzia wapi wewe mtoto?”

“Si kwenye hizi tamthilia. Wakisema jonaaaaa ni sawa sawa na kusema mfalmeeeee”

Maneno ya Rose yakamfanya mrs Sanga kucheka kwa furaha sana. Akaondoka sebleni na kuingia chumbani kwake. Haraka akatoa line iliyopo kwenye simu hiyo, akafungua pochi na kutoa line nyingine ambayo hata mume wake huwa haifahamu wala mwana familia wake yoyote yule. Baada ya kuiingiza line hiyo, akatafuta jina lililo andikwa T.

“Niambie mpenzi wangu”

“Salama, kazi vijana wame ikamilisha”

“Weee eheee imendaje endaje?”

“Mara baada ya mimi na wao kuachana. Nikaanza kuwafwautilia taratubu hadi sehemu aliopo mpeleka msichana yule. Nikawapa vijana ratiba nzima na wamemteka karibu kabisa na hapo kwenu”

“Kazi nzuri Tomas, ndio maana nina kupenda. Mwanaume ana taka kuniletea upuuzi wa kijinga. Hatosheki na kutomban** huko nje, ana taka hadi kufungua migahawa na kumnunulia nyumba mtu, haiwezekani kwa kweli”

“Usijali mpenzi wangu, mpango acha uendelee”

“Sawa, ila Tomas ile mechi ya jana mwenzio, unajua nilisahau kuondoka huko kwako hata sija chana nywele”

“Weee ehee ilikuwaje sasa?”

“Huyo mkund** si ndio nikamkuta amekaa sebleni kama kibwengo. Alinitakia tu usiku mwema kisha akenda zake kulala.”

“Usijali mpenzi wangu. Hakikisha kwamba unakuwa makini na hakuna mtu ambaye ana weza kugundua juu ya mahusiano yetu”

“Wala usijali katika hilo. Ila Tomas nina hamu sana na wewe, yaani hapa nilipo mkund** wote una kutamani tamani”

“Hahaa usijali, kesho ukipata muda kidogo njoo nikukune mama”

“Nakupendea hapo. Hakikisha kwamba huyo mpuuzi hajulikani alipo, hadi wiki ijayo”

“Nimekuelewa mke wangu”

“Yaani najisikia vizuri sana unapo niita mke”

“Kweli?”

“Haki ya Mungu vile. Najisikia amani na furaha kabisa.”

“Ehee na kale kabinti vipi nikapoteze?”

“Achana nako, nitapambana naye huku huku kanisani. Nitamuwekea vizingiti hadi ajute ni kwa nini alikaa karibu na mume wangu”

“Sawa mpenzi. Nakupenda sana”

“Nakupenda pia. Mwaaaaa”

Mrs Sanga akakata simu huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana moyoni mwake. Mapenzi yake ya siri na Tomas, dalali wa nabii Sanga, yana miezi saba toka walipo yaanzisha. Tabia mbaya za kufanya mapenzi kinyume na maumbile anazo fanyiwa mrs Sanga na Tomas, zimempagawisha hadi ana jikuta akitamani hata leo mume wake aweze kutoweka duniani.

“Na bado mwaka huu ata koma”

Mrs Sanga alizungumza huku akibadilisha laini hiyo na simu na kuirudisha laini yake halisi. Hazikupita hata dakika mbili simu yake ikaanza kuita. Moyo ukamstuka sana, kwani ni simu kutoka kwa mume wake Mr Sanga. Akaitazama kwa muda simu hiyo kisha akaipokea.

“Ndio mume wangu, upo wapi mbona hurudi nyumbani?”

“Samahani, mimi ni afisi wa polisi kanda maalumu. Ninaitwa ispeka Mussa Rajab. Tumepewa taarifa na wasamaria wema kwamba gari la mume wako limeshambuliwa kwa risasi na hadi ninavyo zungumza hatujajua ni wapi mume wako alipo”

“Ameshambuliwa kwa risasi….Ohooo Mungu waangu, jamani mume wangu”

Mrs Sanga akaanza kujiliza kinafki ila ukweli wa mambo ana utambua kwamba yeye na Tomas wamehusika katika kumteka mume wake.

“Usilie mama, unacho paswa ni kufika hapa eneo la tukio ili kuweza kutusaidia, kwa maana si eneo la mbali sana na hapo nyumbani kwenu.”

“Sawa nina kuja sasa hivi”

Mrs Sanga, akajifunga matenge mawili huku ndani akiwa amevalia suruali na tisheti. Akatoka kwa haraka haraka, akaingia kwenye moja ya gari la familia na kufika eneo la tukio ambalo si mbali na nyumbani kwake. Akakuta polisi pamoja na waandishi wa habari wakiendelea kufanya mahojiano japo kwa baadhi ya watu walio weza kushuhudia tukio hilo.

“Ohoo jamani mume wangu”

Mrs Sanga aliangua kilio huku akishuka ndani ya gari hilo. Askari wawili wa kike waka muwahi iku kumzuia asisogee eneo la tukio.

“Mama tafadhali baki kwenye gari lako. Hili eneo si salama.”

Askari mmoja wa kike alizungumza huku akimshika mrs Sanga mkono.

“Jamani huyo ni mume wangu”

“Ndio ni mume wako ila hapa hayupo kabisa. Jambo la msingi ni kuhakikisha kwamba una kuwa salama wewe na familia yako. Kama watekaji wamemteka mume wako basi kitakacho fwatia hapo ni familia yako.”

Baadhi ya askari pamoja na mkuu wao wakaondoka na mrs Sanga na kuelekea nyumbani kwake.

“Watoto wako wapo wapi?”

“Mmoja yupo chuo. Wawili wapo nje ya nchi”

“Huyu wa chuo, yupo chuo gani?”

“Hapo mlimani”

“Hakikisheni kwamba ana wekewa ulinzi wa kutosha huyo binti”

Mkuu wa kikosi hicho cha polisi alizungumza.

“Sawa mkuu”

“Ikiwezekana akachukuliwe na kuletwa hapa nyumbani”

“Tumekupata mkuu”

“Hembu niambie mume wako ana tatizo japo na mtu au kikundi cha watu?”

“Jamani kama munavyo tambua. Mume wangu ni mtumishi wa Mungu. Hata shida na mtu yoyote, yeye ni mcha Mungu kisawa sawa. Yaani sijui kwa nini wamamteka mume wangu ohooo”

Mrs Sanga alizungumza na kuanaza kuangua kilio kilicho mfanya mkuu wa kikosi hicho cha polisi kumuacha kwa muda apunguze machungu yake kisha mahojiano yaendelee.

“Mama Sanga, je unaweza hisi kidogo kwa nini watekaji wamemteka mume wako”

“Hapo itakuwa ni pesa tu. Hakuna jengine, oohooo Mungu wangu, ohoo jehova, muokoe mume wangu. Damu ya Yesu kristo, imfunike, wasimfanye jambo lolote baya. Mungu simama naye”

Mrs Sanga alisali maombi ya kinafki na laiti kama mioyo ya binadamu ingekuwa na uwezo wa kuoenaka na bindamu mwengine kwamba ina panga nini juu ya kila tukio. Basi polisi wasinge jisumbua kumuhoji mrs Sanga na siku nyingi sana wangekuwa wameswekwa rumande.

***

Katika siku ambazo Magreth amejawa na furaha pamoja hamu ya kupata kile alicho ahidiwa na nabii Sanga ni siku ya leo. Akajiandaa vizuri huku mdomoni mwake, akitawaliwa na mapambio ya kumsifu Mungu. Akaelekea kwenye kituo cha waegesha bajaji huku moyoni mwake akiamini sasa maisha ya kupanda dalala dala yanakwenda kuisha.

“Ila hii nchi sasa imetawaliwa na mambo ya ajabu sana.”

Muendesha bajaji alizungumza huku wakiendelea na safari ya kuelekea hospitali ya Mwananyamala.

“Kwa nini kaka?”

“Kuna watu wana wateka watu na wanavishwa jina la watu wasio julikana. Yaani nashindwa hata kuelewa, nchi inaelekea wapi?”

“Nani mwengine ametekwa?”

“Si yule nabii Sanga wa kanisa la Heaven light ministry”

Mapigo ya moyo wa Magreth, yakasimama kwa sekunde kadhaa, kisha yakaanza kumuenda kasi, mwili mzima ukaanza kumtetemeka na jasho likimtiririka usoni mwake, hadi muendesha bajaji akabaki akiwa ameshikwa na butwaa kwa nini hali ya abiria wake imebadilika gafla mara ya kusikia taarifa hiyo.



“Dada upo salama?”

Dereva wa bajaji aliuliza huku akimtazama Magreth kwa macho ya kuiba iba kwani anahitajika kuwa makini katika barabara hiyo yenye magari mengi sana.

“Dada”

“Beee”

“Upo salama?”

“Umesema wamemteka nani?”

“Nabii Sanga, “

“Wamemuaa?”

“Hapana, hakuna taarifa kama hiyo, ila polisi wana dai kwamba gari lake kwenye kioo cha mbele kilipigwa kwa risasi moja”

Magreth akazidi kutetemeka kwa woga huku hali ya kukata tamaa ikiendelea kumtawala. Akataka kupiga namba ya nabii Sanga na kujikuta nafsi yake ikiendelea kusita na kushindwa kabisa kufanya hivyo. Akafikishwa hospitalini, akamlipa muendesha bajaji kiasi cha pesa anacho kihitaji, kisha akashuka kwenye bajaji hiyo, huku mwili mzima ukiwa umeishiwa na nguvu. Akaanza kutembea kwa mwendo wa taratibu, huku akihisi kukata tamaa, ndoto zake zote ambazo kwa siku hiyo zilikuwa zinakwenda kutimia, zote zimepotea. Akaingia ndani ya chumba alicho lazwa Evans. Wakatazamana na Evans kwa sekunde kadhaa kisha akaanza kuangua kilio kizito, kilicho mfanya Evans kushangazwa.

“Hei Mage kwa nini unalia?”

“Mchungaji?”

“Mchungaji amefanya nini?”

“Ametekwa na watu wasio julikana”

Habari hii hakika haikuwa nzuri kwa Evans.

“Mchungaji gani lakini, au yule uliye kuja naye hapa jana usiku?”

“Huyo huyo, ohoo Mungu wangu. Ni kina nani wamemfanyia mambo hayo jamani”

Magreth alizungumza huku akiendelea kulia kwa uchungu sana, hadi ikamlazimu, Evans kuanza kumbembeleza.

***

Majira ya saa mbili asubuhi, watekaji wawili wakaingia kwenye chumba walicho muhifadhi nabii Sanga. Wakamfungua kamba walizo mfunga na kumkalisha kwenye kiti. Wakamfungua kitambaa usoni mwake. Nabii Sanga akakutana na wanaume hao ambao wameendelea kufunika sura zao. Mbele yake kuna meza iliyo wekwa kikombe cha chai ya maziwa pamoja na vipande vinne vya mkate ulio pakwa blueband vizuri.

“Pata kifungua kinywa”

Mtekaji mmoja alizungumza huku mkononi mwake akiwa na bastola.

“Vijana, ninaomba tuweze kuzungumza. Kama ni pesa ambayo mumelipwa kwa ajili ya kuniteka. Tafadhali, nipo tayari kuhakikisha kwamba nina walipa mara mbili ya pesa hiyo ambayo mume pangiwa kunilipa”

“Mzee acha siasa, unahitaji kula au unahitaji kufa?”

Mtekaji wa pili alizungumza kwa ukali sana, mwezake akamnyooshea mkono kwa ishara ya kumuomba aweze kutulia.

“Una weza kutupatia ofa gani?”

“Mkuu unakosea?”

“Hapa, tuna fanya kazi hii kwa pesa. Upo tayari kutupa ofa gani?”

Mtekaji huyo alizugumza huku akisimama mbele ya nabii Sanga.

“Semeni aliye wapa hii kazi amewalipa kiasi gani?”

“Milioni ishirini”

“Nipo tayari kuwapa milioni hamsini by cash”

“By cash, unazo hapo ili uweze kutupatia?”

“Mukikubali na mukiniamini basi nita hakikisha kwamba nina wapatia hicho kiasi. Ila kabla sijafanya hivyo, nina waomba muweze kunisaidia jambo moja”

“Jambo gani?”

“Ninahitaji kumfahamu mtu aliye weza kutoa kazi hii”

“Siku zote huwa tuna linda siri za wateja wetu. Hatuto weza kukuambia ni nani ambaye ametupatia kazi hiyo.”

“Milioni sabini nawapatia”

“Hatuwezi kutoa siri”

“Milioni themani”

“Mzee hatuto weza kukuambia siri kwa ajili ya pesa”

“Milioni mia moja cashe munazipata katika siku hii hii ya leo”

Watekaji hawa wakatazamana usoni. Hapakuwa na kazi kubwa walio ifanya kwenye maisha yao, ambayo walihi kulipwa milioni mia moja. Uchu wa pesa ukawajaa mioyoni mwao, wakavutana pembeni ya chumba hicho na kuanza kunong’onezana.

“Mkuu tukubali hiyo ofa, milioni mia moja ni kubwa sana”

“Kawaite wezako”

“Sawa”

Mtekaji huyo akatoka na baada ya dakika moja akarudi akiwa ameongozana na wezake ambao nao sura zao wamezifunika. Mkuu wao akawaeleza ofa iliyo wekwa mezani na nabii Sanga.

“Mkuu ni pesa nyingi, kama ana uhakika wa kutupatia hicho kiasi hakuna haja ya sisi kuendelea kumshikilia. Yaani hapo ni sawa una ambiwa uchague Vitz na Hammer”

Hapakuwa na mtekaji yoyote ambaye aliweza kukataa ofa hiyo.

“Natambua kwamba muna fanya kazi hii kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya maisha yenu, ikiwemo familia zenu. Nipo tayari kuwalipa kiasi hicho cha pesa na nyinyi mukawa ni watu wa mkono wangu wa kushoto”

Nabii Sanga aliendelea kuwashawishi watekaji hawa.

“Una maanisha nini kusema tuwe watu wa mkono wako wa kushoto?”

“Haya ni maisha, kesho na kesho kutwa nami nitakuwa na kazi ya kuwapatia, je mutashindwa kuifanya?”

Watekaji hawa wakatazamana huku sura zao wakiwa wamezifunika na kubakisha macho tu.

“Tutafanya”

“Basi kwa leo nipatieni hiyo nafasi ya kuwalipa na muweze kuniambia ni nani ambaye ameifanya kazi hiyo.”

Ushawishi wa nabii Sanga ukazidi kuwapagawisha watekaji hawa.

“Sawa tupo tayari ila kwa sharti moja”

“Niambieni”

“Pesa tuna ihitaji iweze kuletwa hapa”

“Ndio iletwe hapa, hatuwezi kurudi mjini. Polisi wapo makini kukutafuta nchi nzima. Changanua akili yako kisha hakikisha kwamba hiyo pesa ina letwa hapa na huyo atakaye ileta hapa awe ni mtu ambaye una muamini na asije akafanya kosa lolote la kipumbavu, kuwaeleza polisi. Akifanya hivyo nina apia kwa MUNGU. Nitakuchinja kama kuku”

Mkuu wa kikosi hicho cha watekaji alizungumza huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake. Nabii Sanga akaanza kuchanganua akilini mwake ni nani ambaye ata muamini. Akili ikatua kwa mke wake, ila akajikuta akipata ukinzani mkubwa sana moyoni mwake.

‘Kwa nini nafsi yangu ina kataa kwa mke wangu. Kuna nini?’

Nabii Sanga alizungumza kimoo moyo huku akiendelea kutafuta ni nani ambaye anaweza kumuamini na kumkabidhi kazi hiyo. Akafikiria baadhi ya wachungaji wa kanisani kwake, ila hapo napo hakuweza kupata mtu wa uhakika wa kuwaamini.

“Mzee una dakika moja ya kutujulisha ni nani utakaye muamini”

Mtekaji huyo alizungumza na kumfanya nabii Sanga kuongeza umakini wa kuwachanganua watu wake wa karibu na kujua ni nani anaweza kuwaamini. Akili ikaangukia kwa Magreth, mwanamke aliye tokea kumpenda na kumjali kwa kipindi cha hivi karibuni. Moyo wake katika kumuamini Magreth haukuwa na wasiwasi hata kidogo.

“Nimempata”

“Nani?”

“Ahaa ni muumini wangu wa karibu ana itwa Magreth”

“Muumini, hato weza kutoboa siri kwa askari?”

“Hapana. Nina muamini sana.”

Watekaji hawa wakatazamana kisha mkuu wao akamsogelea nabii Sanga. Akamtazama machoni mwake kwa sekunde kadhaa kisha akatoa simu yake na kuiweka mezani.

“Endapo utafanya kosa lolote, nitakufumua ubongo wako. Mpigie na uweke loud speaker”

“Sawa sawa”

Nabii Sanga akaichukua simu hiyo, akafumba macho yake kwa sekunde kadhaa, huku akijaribu kuikumbuka namba ya Magreth na kwa bahati nzuri akafanikiwa kuikumbuka, akaiingiza katika simu hiyo kisha akaipiga na kwa bahati nzuri akakuta ina patikana hewani.

***

Mlio wa taratibu unao ita katika simu yake, ukamfanya Magreth kuitazama simu yake. Evans aliye lala pembeni yake, naye akamtazama Magreth kwa sekunde kadhaa anaye endelea kuitazama simu yake inayo ita.

“Mbona hupokei simu?”

“Hii namba yangu ni mpya na hakuna mtu yoyote anye ifahamu”

“Mmmm sasa inakuwaje watu wameifahamu?”

Evans aliuliza, taratibu Magreth akaipokea simu hiyo na kuiweka sikioni mwake.

“Haloo”

Magreth alizungumza kwa umakini sana huku akisubiria kusikilizia ni nani huyo aliye mpigia.

“Ni mimi Magreth, usijaribu kutaja jina langu wala kuonyesha dalili yoyote ya kuweza kunifahamu, kwa maana nina hisi upo na watu”

Sauti ya nabii Sanga ikamfanya Magreth macho kumtoka. Akasimama huku akiwa amejawa na tabasamu.

“Nisikilize kwa umakini mkubwa sana, kwanza upo wapi?”

“Hospitali”

“Simama sehemu ambayo hakuna mtu anaye weza kusikiliza mazungumzo yetu”

Magreth kwa haraka akatoka ndani humo pasipo hata kumuaga Evans. Akatafuta eneo lisilo na mtu na akasimama.

“Unaweza kuendelea”

“Nipo chini ya watekaji, wanahitaji kiasi cha milioni mia moja.”

“Mungu wangu!!”

“Nisikilize, wewe ndio mtu wa pekee ambaye ninakuamini na unaye weza kunisaidia mimi kutoka katika kifungo hichi”

Nabii Sanga alizungumza kwa msisitizo mkubwa sana.

“Ehee”

“Nenda pale kanisani, password ya mlango wa ofisini kwangu ni tisa, moja, moja tisa moja, sifuri. Fungua mlango wa ofisini kwangu, kuna shelf kubwa imo mule ofisini, fungua hiyo shelf kwa kutumia password hizo hizo nilizo kutajia. Kuna pesa za kimarekani. Chukua dola alfu stini, weka kwenye begi, ukifanikisha kufanya hivyo hakikisha kwamba una piga namba hii, kwa ajili ya maelekezo zaidi. Ninakuomba Magreth usimuambie mtu wa aina yoyote. Ukifungua kinywa chako, basi tambua mimi huku nina kufa”

Magreth mwili mzima ukamtetemeka, akashusha pumzi huku akifikiria ni wapi anapo weza kuanzia.

“Baba mchungaji lakini upo salama”

“Ndio yupo salama na endapo utafungua kinywa chako kwa askari. Tutamuua na wewe tutakutafuta na kukuua”

Sauti hiyo nzito ya mwanaume, ikamstua sana Magreth. Mwili mzima ukazidi kutawaliwa kwa woga. Simu ikakatwa na kumfanya aishiwe hata nguvu za kusimama. Akaka chini kwa sekunde kadhaa huku akitafakari ni wapi kwa kuanzia.

‘Lazima nimsaidie, ndio lazima nimsaidie’

Magreth alizungumza kimoyo moyo huku akinyanyuka eneo hilo. Wazo la kurudi chumbabini kwa Evans wala hakuweza kuwa nalo kabisa. Akakodisha pikipiki na akarudi nyumbani kwake, akatoa nguo zilizomo kwenye begi lake la mgongoni. Alipo hakikisha begi hilo halina nguo akalivaa na kutoka ndani humu. Akapanda pikipiki nyingine na kufikishwa kanisani. Kutokana mlinzi wa kanisa hilo wana fahamiana, hapakuwa na tatizo la yeye kufunguliwa geti.

“Mage una habari yoyote ya kupatikana kwa nabii?”

Mlinzi aliuliza huku akiwa amejawa na unyonge mkubwa sana.

“Hapana kaka. Nimekuja kumuomba MUNGU japo aweze kulete rehema yake”

“Sawa Mage ila huko hakuna mtu yoyote”

“Hakuna shaka”

Magreth akamuongopea mlinzi huyo. Akaingia kwa mlango wa mbele wa kanisa hilo, ili kumdanganya mlinzi asiweze kufahamu kwamba lengo na nia iliyo mleta hapo kanisani ni kuingia katika ofisi ya nabii Sanga. Magreth akatoke katika mlango mwingine wa kanisa hilo na kuelekea ilipo ofisi ya mchungaji. Akasimama mlangoni hapo na kuchunguza eneo hilo kwa umakini. Alipo hakikisha hakuna mtu wa aina yoyote akaingiza namba hizo za siri alizo tajiwa na mchungaji. Mlango ukafunguka na kuzama ndani na huku nyuma mlango ukajifunga.

Magreth akaanza kuangaza macho yake huku na huku na kufanikiwa kuona shelf kubwa iliyomo ofisini hapo, akaisogelea na akaingiza namba hizo za siri. Mlango mzito wa shelf hiyo ukafunguka. Magreth macho yakamtoka mara baada ya kukuta vibunda vya pesa za kimarekani(USD DOLLARS) vikiwa vimepangwa vizuri. Akaanza kuvihesabu kwa haraka haraka. Alipo hakikisha kwamba ni dola elfu stini, akaziingiza kwenye begi lage na kulivaa mgongoni. Akaanza kutembea kuelekea mlangoni, ila kabla hajaufungua mlango, akasikia hatua za miguu ya watu zikija katika mlango huo. Akatazama eneo hilo na kwa haraka akakimbilia kwenye moja ya sofa iliyomo ndani humo. Akajificha nyuma ya sofa ambapo sio rahisi kwa mtu kuweza kumuona.

“Yaani mpenzi wangu, nimewakimbia maaskari nyumbani kwa ajili yako. Nimeona tusikutanie kwako kwa maana una weza kufwatiliwa na ukakamatwa bure”

Sauti ya mama chungaji ikamstua sana Magreth aliye jibanza nyuma ya sofa hilo.

“Usijali mpenzi wangu, acha nikupe chap chap tuondoke kwa maana nina hamu na wewe sasa”

Sauti ya Tomas haikuwa ngeni kabisa masikoni mwa Magreth, kwani mtu huyo ni jana tu ametoka kuonana naye uso kwa uso.

“Ila vijana wako walio mteka huyo mpuuzi, una waamini au ni watu wa ajabu ajabu?”

Magreth akazidi kujawa na mshangao ulio sababisha mapigo yake ya moyo kuanza kumuenda kasi sana. Siri ya Mrs Sanga na Tomas, imevuja masikioni mwake.

“Nina waamini sana, tena hakuna ambaye ana weza kuenenda kinyume na mimi. Unacho paswa ni wewe kunipatia milioni arobaini za kuwalipa tu”

“Usijali pesa sio tatizo kwangu, jambo la msingi ni kuhakikisha kwamba wana mshikilia hadi wiki ijayo, na akiondoka kuelekea nchini Nigeria, yule kimada wake aliye panga kumnunulia nyumba na kumfungulia mgahawa nitamuua kwa mikono yangu mimi mwenyewe.”

Maneno hayo ya Mrs Sanga yakamfanya Magreth kuhisi haja ndogo ikianza kumtoka. Kama mwana mama huyo amefanya maamuzi ya kumteka mume wake bila ya huruma na yeye ndio anaye fwatia kuuwawa, je itakuwaje endapo wata muona nyuma ya sofa hilo.



Magreth cha kwanza alicho weza kukiwazia, ni kuzima mlio katika simu yake kwa maana hajui muda wala saa, watekaji wanaweza kumpigia. Wazo la kurekodi kwa siri kila kinacho endela ndani ya chumba hicho likamjia kichwani mwake. Akaweka upande wa video katika simu yake na kuanza kuwarekodi mrs Sanga na Tomas.

“Sawa, ila kwa nini usiwape hao vijana kazi ya kumuua Magreth?”

Swali hilo la Tomas, likamfanya Magreth kuushika mdomo wake na kuzidi kushangaa jinsi watu hao ambao nyuso zao zinaonyesha ni wema, kumbe ni chui walio jivisha ngozi za kondoo.

“Etiii ehee?”

“Ndio mpenzi wangu na nina imani wana weza kumpoteza akapotea kabisa na hakuna atakaye jua kama sisi ndio tumehusika”

“Sawa tuachane na hayo baby, nipe vitu vitamu vitamu”

Mrs Sanga alizungumza huku akivua gauni lake. Magreth akaendelea kurekodi kila jambo kwa umakini sana huku akishangazwa na tabia chafu ya mrs Sanga ambaye ana heshimika sana ndani ya kanisa la mume wake.

“Fuc** me hard”

Mrs Sanga alizungumza huku akiwa ameinamishwa kwenye moja ya sofa. Tomas akaendelea kumburudisha mwana mama huyo.

“Ohoo mume wangu hawezi kunila mkund** oooohoo asante Tomas”

Mrs Sanga aliendelea kulalama kimahaba. Hadi wanamaliza, Magreth akawa amefanikiwa kurekodi kila jambo. Kutokana ofisini hapo kuna choo na bafu, wakaingia na kujisafisha miili yao kisha wakatoka huku wakiwa wamekumbatiana.

“Hizo milioni arubaini inabidi nikakutolee bank leo”

“Nitashukuru sana mke wangu”

“Ila hakikisha una waambia hao watekaji kwamba wasimdhuru kwa kumpiga”

“Nimesha waeleza hilo jambo”

“Pia waeleze wampatie chakula anacho hitaji”

“Usijali”

“Sawa tuwahi kupita bank, nikatoe pesa hiyo kisha uwapelekee”

Mrs Sanga na Tomas wakapeana denda zito kisha wakaliweka sawa sofa walilo litumia kufanya dhambi ya kuzini. Wakatoka ofisini humo na kuelekea lilipo gari, kwa jinsi Tomas alivyo ingia akiwa amejificha kwenye siti za nyuma za gari la Mrs Sanga ndivyo jinsi alivyo jificha kipindi Mrs Sanga anatoka getini kwa mlinzi. Hii yote ni kuhakikisha kwamba mlinzi hagundui chochote. Magreth akatoka nyuma ya sofa hilo huku akiwa haamini kwa kile alicho kiona na kukisikia. Ili kudhibitisha kwamba haoti wala hayupo kwenye ulimwengu wa kufikirika. Akarudia kuitazama video hiyo ya ngono, inayo muhusisha mrs Sanga na Tomas.

“Mungu nisaidie”

Magreth akafungua mlango kwa umakini, akachungulia nje. Alipo hakikisha hakuna mtu akatoka huku akijiweka sawa nguo zake. Akaingia kanisanani na kutokea kwenye mlango mkubwa wa kanisa, ili mlinzi asielewe chochote.

“Mage, umeonana na mama mchungaji?”

Mlinzi alimuuliza huku akimtazama usoni mwake.

“Hapana sijaonana naye”

“Ametoka sasa hivi. Basi atakuwa alifikia ofisini kwa mume wake.”

“Amesemaje kuhusiana na kupatikana kwa nabii?”

“Amenisalimia tu na hajaniambia chochote”

“Sawa kaka acha mimi nielekee nyumbani”

“Haya Magreth, tuendelee kumuombea nabii kwa maana, akipata matatizo makubwa yatakayo pelekea kufa, basi sisi wengine kazi zetu tutazisikia kwenye bomba”

“Usijali, Mungu ni mwema. Atasikia maombi yetu”

“Haya bwana”

Magreth akatoka getini hapo huku akiwa haamini kwamba amefanikiwa kutoka na kiasi hicho cha pesa. Ujasiri ukatawala moyoni mwake. Hakuwa na mashaka kutembea na kiasi hicho cha pesa alicho kibeba mgongoni mwake.

Akapanda pikipiki na moja kwa moja akaeleka hadi nyumbani kwake. Akaliweka begi hilo kitandani, akafungua na kutazama pesa hizo za kigeni ambazo leo hii ndio mara yake ya kwanza kuzishika. Akaitafuta namba ya watekaji, akaipiga. Simu ikaita kwa sekunde ishirini na kupokelewa.

“Pesa ninazo”

Magreth alizungumza kwa kujiamini sana.

“Una usafiri?”

“Hapana”

“Ngoja tutakupigia”

Simu ikakatwa na kumfanya Magreth kubaki na mshangao. Akavua gauni alilo livaa, akatafuta suruali ya jinzi na kuivaa. Akavaa tisheti pamoja na raba, akachukua kofia ya chama cha Chadema na kuivaa. Akaiweka simu yake sauti ili hata watekaji watakapo mpigia basi aweze kuisikia simu hiyo. Dakika kumi hazikuweza kuisha, akapokea simu kutoka kwa watekaji na kuanza kupatiwa maelekezo ya nini afanye.

***

Mrs Sanga na Tomas wakafika katika benk ya Bacrayse.

“Baki hapa, na usionekane kwenye gari endelea kuilaza siti yako hivyo hivyo”

“Sawa mke wangu”

Mrs Sanga akambusu Tomas mdomoni mwake. Akavaa miwani yake vizuri na kujifunika mtandio ili isiwe jambo rahisi kwa watu kuweza kumfahamu kwa maana na yeye ni maarufu kama mume wake. Akaanza kutembea kwa mwendo wa umakini hadi ndani ya benki. Moja kwa moja akaelekea mapokezi.

“Habari dada”

“Salama tu”

“Nahitaji kutoa pesa, ila nina hitaji kuonana na meneja”

“Sawa, naomba nifwate”

Mwana dada huyo aliye valia sketi fupi nyeusi pamoja na tisheti ya bluu bahari, akaanza kutembea hadi katika ofisi ya meneja wa tawi hilo.

“Habari yako baba”

“Salama tu karibu sana mrs Sanga”

Meneja alizungumza huku akimtazama Mrs Sanga usoni mwake. Imekuwa ni rahisi sana kwa meneja huyo kuweza kumfahamu mrs Sanga kwa maana na yeye ni miongoni mwa waumini wa kanisa la mume wake.

“Nashukuru”

“Kwanza nichukue nafasi ya kukupa pole kwa kila lililo tokea. Mungu akapate kumsimamia nabii wetu na aweze kurudi akiwa salama salmini”

“Amen. Ni mapito kwenye dunia ila Mungu ni mwema. Nimekuja hapa kwa ajili ya kutoa milioni arobaini. Nisinge penda watu waweze kufahamu kama nipo ndani ya benki hii”

“Sawa mama, ila ninaweza kufahamu unazitoa kwa ajili ya kufanyia kazi gani?”

Swali la meneja likamfanya mrs Sanga kukaa kimya kwa sekunde kadhaa huku akitafakari nini cha kumjibu meneja.

“Ni kwa matumizi yangu binafsi”

“Natambua ni hali gani ambayo una ipitia kwa sasa mrs Sanga. Ila kama ni pesa ya kuwalipa watekaji kwa ili wamuachie mume wako. Ni vyema ukanipa nafasi ya kukushauri.”

Meneja alizungumza kwa upole huku akiendelea kumtazama mrs Sanga.

“Ninaimani watakuwa wamekuagiza hicho kiasi cha pesa. Ila ningependa ushirikiane na polisi ili muweze kuweka mtego wa kuwakamata hao watekaji. Utakuwa ume muokoa nabii pamoja na pesa wanazo hitaji kupatiwa”

“Nitaufanyia kazi ushauri wako. Ila tafadhali unaweza kunipatia hizo pesa?”

“Ndio, jaza fomu hiyo hapo kisha nitalishuhudilikia hili jambo”

“Nashukuru”

Mrs Sanga akaanza kujaza fomu ya kutoa pesa aliyo pewa na meneja huyo. Alipo hakikisha kwamba amemaliza kuijaza na kusaini. Akamkabidhi meneja fomu hiyo.

“Naomba unisubirie hapa”

Meneja alizungumza na kutoka ofisini hapo na kuelekea kwa muhasimu wa benki hiyo. Ila akiwa njiani akapata wazo ambalo kwa namna moja akaamini kwamba linaweza kumsaidia mrs Sanga. Akatoa simu yake mfukoni na kuitafuta namba ya mkuu wa polisi wa kanda maalumu.

“Habari bwana Chacha”

“Salama mzee Albet, ni siku nyingi hatujawasiliana?”

“Ni kweli mambo nimengi sana si unajua mambo ya kibenki”

“Ni kweli”

“Hivi mumefikia wapi katika swala la kumpata nabii Sanga?”

“Mmm!! Bado tunaendelea kufanya upelelezi kwa umakini sana.”

“Sasa nina imani kwamba nimepata mtu ambaye ana weza kuwasaidia kumpata nabii Sanga sehemu aliyo tekwa”

“Ni nani tena huyo!!?”

“Mke wake yupo hapa benki kwangu, amekuja kutoa kiasi cha milioni arobaini, nina imani kwamba watekaji watakuwa wamempigia na kumpa vitisho vya kutoa kiasi hicho cha pesa ili awapatiea. Nina imani muna utaalamu wa kuhakikisha kwamba muna mfwatilia na kujua ni wapi na nani atamkabidhi hizo pesa”

“Nashukuru sana mzee Albet. Nitatuma vijana waanze kumpeleleza, unacho paswa kufanya ni kuhakikisha kwamba una mchelewesha hadi vijana wangu kufika hapo benki”

“Sawa Chacha”

“Nashukuru sana kwa taarifa hii muhimu jwetu.”

“Sawa”

Meneja kakata simu na kuelekea kwa muhasibu. Akamkabidhi fomu hiyo aliyo ijaza mrs Sanga, na wakadhibitisha juu ya utolewaji wa pesa hiyo. Kisha pesa hizo zikaanza kuhesabiwa, zilipo fika milioni arobaini zikafungwa vizuri na kuingizwa kwenye mfuko maalumu wenye nembo za benki hiyo ya Bacrays. Meneja akarudi ofisini kwake.

“Samahani sana kwa kuchelewa kidogo mtandao ulikuwa una sumbua.”

“Usijali mzee wangu”

“Pesa zote zipo hapa, milioni arobaini”

“Asante na ubaki salama”

Mrs Sanga alizungumza huku akichukua pesa hizo, wakapeana mkono na meneja kisha akatoka. Kabla hata meneja anajampigia simu kamanda Chacha, simu yake ikaita.

“Ndio kamanda”

“Vijana wangu wamesha fika hapo wamevaa nguo za kiraia. Mama Sanga amevaaje?”

“Amevaa gauni jeusi, miwani nyeusi na emejifunika mtandio wa rangi ya machungwa”

“Sawa”

Simu ikakatwa. Mrs Sanga, akaanza kutembea kuelekea kwenye gari lake huku akiwa ameinamisha uso wake chini, pasipo kujua kwamba tayari polisi wamesha anza kumfwatilia.

***

“Mkinga!!?”

Magreth aliuliza kwa mshangao sana. Japo anaishi nchi hii ya Tanzania ila eneo hilo halifahamu na wala hajawahi kulisikia.

“Ndio ni wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga. Hakikisha una fika hapa kabla ya saa mbili usiku”

Baada ya mtekaji huyo kutoa maelekezo hayo, akakata simu na kumfanya Magreth ashushe pumzi taratibu. Akafungua begi lake lake kubwa la nguo. Akatoa laki tano kati ya laki tisa zilizomo kwenye begi hilo, akazishindilia kwenye mfuko wa suruli yake. Akalifunga zipu begi lenye pesa na kuliva amgongoni. Akatoka ndani kwake na kuufunga mlango wake vizuri na kuondoka. Akafika katika kituo cha waendesha taksi ambao wengi wao wana mfahamu kwani ni wateja wake wazuri sana wa maandazi.

“Mage mbona siku mbili hizi huonekani?”

Dareva mmoja alimchangamkia mara baada ya kumuona.

“Yaani Shebi wee acha tu, nina matatizo”

“Matatizo gani sister?”

“Panya road walinikaba na kuchukua hadi msingi wangu wa biashara”

“Weee usiniambie”

“Ndio hivyo, yaani hapa nilipo nina matatizo makubwa sana. Hivi gari lako linaweza kwenda masafa marefu”

“Masafa marefu kama yapi, au unataka twende mkoani?”

“Yaa nahiji twende Mkinga, una pafahamu?”

“Ndio napafahamu na gari langu lina kwenda bila shaka. Tena nimetoka kuitoa gereji asubuhi ya leo, nimeibadilisha vitu vingi sana, na matairi yote hayo ni mapya, hivyo chombo kipo poa kwenye safari”

“Sawa, twende basi”

“Sasa hivi?”

“Ndio Shebi”

“Sawa tuingie kwenye gari”

Wakaingia ndani ya gari huku Shebi akiwa haamini kama Magreth anaweza kumlipa kiasi cha pesa atakacho mtajia kwa maana siku zote wana muona ni mfanya biashara mdogo mdogo.

“Kabla hatujaondoka Magreth tukubaliane kabisa bei”

“Utanipeleka kwa sh ngapi?”

“Laki mbili kwenda tu. Kama utarudi na mimi basi laki mbili”

“Kwa hiyo ni laki nne?”

“Ndio”

Magreth akazama mfukoni mwake na kutoa laki tano hiyo, akaihesabu na kumkabidhi Shebi laki nne na kumuomba waize safari ya kueleka Mkinga haraka iwezekanavyo.

***

Wapelelezi wawili wa jeshi la polisi, wakazidi kumfwatilia mrs Sanga jinsi anavyo ondoka na gari lake katika eneo la benki ya Bacrays. Wakiwa na gari lao aina ya Toyota Alateza wakazidi kulifwata kwa nyuma gari la Mrs Sanga pasipo yeye mwenyewe kujua chochote.

“Hii pesa hakikisha kwamba una wapelekea leo Tomas”

Mrs Sanga alizungumza huku akimkabishi Tomas pesa hiyo.

“Sawa mke wangu.”

Tomas alijibu huku akiwa ameilaza siti ya mbele ya gari hilo, ili watu wasiweze kumuona.

“Maelekezo niliyo kupatia hakikisha kwamba huyasahau”

“Sinto yasahau mpenzi wangu”

“Nakupenda sana Tomas wangu”

“Nakupenda pia mpenzi wangu”

Tomas alizungumza huku akipandisha juu gauni la mrs Sanga na kuanza kumchezea cheza mapaja yake malaini na yaliyo nona vizuri. Tomas, akaupeleka mkono wake wa kushoto hadi katika kitumbua cha mrs Sanga na kuanza kukichezea.

“Tomas bwanaaa…..nina endesha bwana, utanipandisha nyeg**”

Tomas akakitoa kidole chake alicho kuwa amekizamisha katika kitumbua cha mrs Sanga na kukilamba.

“Yaani wewe mwanamke una kum** tamu sana”

“Kweli?”

“Yaani sijui kwa nini uliaolewa na yule mzee”

“Ahaa ni maisha tu. Tumefika baba yangu”

Mrs Sanga alizungumza huku akisimamisha gari lake nyuma ya gari la Tomas alilo liacha kwenye maegesho ya ofisi za rafiki yake.

“Haya shuka, acha mimi niwahi nyumbani”

“Sawa mke wangu”

Tomas taratibu akafungua mlango wa gari la mrs Sanga na kushuka huku akiwa na mfuko wenye pesa. Mpelelezi mmoja akaanza kazi ya kumpiga picha Tomas bila ya yeye kufahamu. Huku mpelelezi mwengine akitoa ripoti kwa mkuu wao kwamba wamempata jambazi aliye mteka nabii Sanga.



“Hakikisheni kwamba hamumpotezi mtuhumiwa”

“Sawa mkuu”

“Pia kuweni makini kumfwatilia na ikiwezekana muweze kumkamata hata kabla hajafanya jambo lolote”

“Sawa sasa mkuu”

Tomas pasipo kujua chochote akaingia kwenye gari lake aina ya Toyota Prado Tx. Tomas akaanza kuondoka eneo hilo huku akiwa na furaha ya kujivunia milioni ishirini za bure, kwani makubaliano yake na watekaji ni kuwalipa milioni arobaini.

***

“Mage Mkinga una ndugu?”

Sheby aliuliza huku akipunguza mwendo, kwani mbele yao kuna tuta refu kidogo.

“Hapana”

“Au unakwenda kwa shemeji?”

“Hakuna kitu kama hicho Sheby”

“Ila nini tena jamani?”

“Kuna mambo yangu nakwenda kuyafanya”

“Mmmmm….ila unaweza kunipa nafasi ya kuzungumza”

“Kuzungumza nini?”

“Ahaa….katika siku zote za maisha yangu, nimetokea kukupenda Mage, ila nilikuwa nina tafuta muda muafaka wa kuweza kukueleza hilo”

“Ila Sheby wewe si unaishi na mwanamke?”

“Ndio nina ishi naye tu, ila ukweli ni kwamba sina mapenzi naye”

“Acha uongo Sheby na yule dada alivyo mzuri, inakuwaje huna mapenzi naye?”

“Unaweza kuishi na mtu ila usimpende. Hivyo ni sawa na mimi, nina ishi naye tu ila ukweli ni kwamba simpendi”

“Inakuwaje una ishi na mwamke usiye mpenda?”

“Ana mimba yangu na hicho ndio kinacho mfanya kuwepo kwangu. Ila ingekuwa sio mimba wala nisinge kuwa naye”

“Sheby muogope Mungu. Mpende mtoto wa watu usije ukamuumiza kwa chochote”

“Ila simpendi?”

“Sawa humpendi na mbaya ana kwenda kuwa mama wa mwanao. Hivyo mpende na kumuheshimu bwana”

“Haya bwana. Ila hata siku moja sijawahi kumuona shemeji yetu. Vipi?”

“Usijali utamuona”

“Ni nani?”

“Ahhaa….wewe si unataka kumuona. Utamuona siku itakapo fika”

“Haya bwana”

Safari ikazidi kusonga huku wakizungumza mambo mengi sana kuhusiana na maisha. Majira ya saa moja kasoro wakafika Mkinga. Magreth akatoa simu yake na kupiga namba ya watekaji.

“Nimefika Mkinga”

“Upo na nani?”

“Dereva taksi”

“Muache hapo stendi na panda pikipiki na umpatie simu dereva wa pikipiki nitampatia maelekezo ya wapi anapaswa kukuleta”

“Sawa”

Simu ikakatwa.

“Nani huyo”

“Ni jamaa yangu. Ameniambia nikuache hapa kwa maana huko ninapo kwenda gari haiwezi kuingia. Nitapanda pikipiki, kisha nitapelekewa huko ninapo pahitaji”

“Sawa, kwa hiyo nikusubirie hapa kwa muda gani?”

“Hadi nitakapo rudi. Nipatie namba yako ya simu”

Sheby akamtajia Magreth namba yake ya simu. Magreth akashuka kwenye taksi hiyo. Waendesha pikipiki kama kawaida yao ya kumkimbilia mteja, ndivyo jinsi walivyo fanya kwa Magreth. Magreth akamchagua dereva mmoja kati ya watano walio mfwata. Akapiga simu kwa watekeji.

“Mpatie dereva pikipiki simu”

Magreth akampatia dereva pikipiki simu. Baada ya kuelekezwa wapi ampeleke Magreth simu hiyo ikakatwa.

“Una pafahamu?”

“Ndio”

“Itakuwa kiasi gani?”

“Elfu kumi”

“Ni mbali sana?”

“Sio sana”

“Haya”

Magreth akapanda pikipiki na kuondoka eneo hilo la stendi. Ndani ya dakika arobaini na tano, wakafanikiwa kufika karibu kabisa na msitu huo. Magreth akashuka na kumlipa na dereva pikipiki akaondoka. Simu ya Magreth ikaita na kuipokea. Tembea hatua kumi mbele kisha kunja kushoto utaona gari nyeusi”

Magreth akaanza kutembea huku simu yake ikiwa sikioni mwake. Baada ya hatua hizo kumi akakunja kushoto na kuona gari nyeusi ikiwa imefichwa vichakani. Japo kigiza kimeanza kuingia ila hakuweza kuogopo kwa lolote kwani tayari amesha dhamiria kumuojoa nabii Sanga. Wanaume wawili walio zifunika sura zao wakatoka ndani ya gari hilo huku wakiwa na bastola mikononi mwao.

“Vua begi”

Magreth akavua beigi hilo mgongoni na kulishika mkono wa kulia. Watekeji hao wakaanza kumpapasa mwili wake wote. Walipo hakikisha hana silaha wala kinasa sauti wakaichukua simu yake kisha wakamfunga kitambaa cheusi usoni mwake. Wakamuingiza ndani ya gari, ili kumchanhanya Magreth asitambue ni wapi anapo elekea, wakaanza safari ya kurudi mjini. Walipo karibia na mjini, wakageuza gari na kuianza safari ya kurudi msituni huku gari hilo likiendeshwa kwa kasi sana. Wakafika msituni, wakamshusha Magreth kwenye gari, wakaongozana naye hadi kwenye chumba walipo muweka nabii Sanga.

***

Wapelelezi hawa wakazidi kulifwafilia gari la Tomas kwa umakini sana. Tomas akatoa simu yake mfukoni, akatafuta namba ya Rama D, ambaye ndio kiongozi mkuu wa kikosi cha watekaji hao.

“Mzee baba”

“Niambie mwana”

“Vipi huyo boya ana endeleaje?”

“Yupo fresh, ana mbwela mbewle tu hapa”

“Chok** huyo. Sasa ni hivi mzee baba. Ninawaletea mpunga wenu muda huu”

“Muda huu?”

“Ndio”

“Fresh mwana, ni wewe ila kuwa makini”

“Usijali mwana nipo makini sana. Ila hakikisheni kwamba hamumpigi kwa maana bibie ana mbwela kishenzi”

“Ahahaa”

“Yaa nyinyi hakikisheni kwamba ana kuwa salama huyo mzee”

“Poa poa mwana, hilo halina tabu, kikubwa mpunga uwe mezani”

”Fresh mida”

“Poa”

Kitendo cha Tomas kukata simu, akastukia gari ndogo ikimpita kwa kasi na kupunguza mwendo hadi ikamlazimu na yeye kupunguza mwendo.

“Huyu mseng** nini, anapunguzaje mwendo?”

Tomas alizungumza kwa hasira huku akipiga honi. Dereva wa gari hilo akaligeuza gari lake na kulifanya liifunge barabara nzima. Tomas akasimamisha gari lake na kushuka kwa hasira sana huku akimfwata dereva wa gari hilo.

“Wewe mseng** umelewa nini?”

Tomas aliporomosha matusi. Wapelelezi hao wakashuka kwenye gari lao huku wakichomoa bastola zao. Kitendo hicho kikaanza kumtetemesha Tomas.

“Ka…kaaakkk…..ma…..”

Mpelelezi mmoja hakumpa nafasi Tomas ya kumalizia sentensi yake. Akampiga mtama mmoja matata na kumfanya arushwe juu kimo cha mbuzi na kuanguka mzima zima. Mpelelezi huyo akamgeuza Tomas na kumlaza kifudifudi. Akamuwekea kigoti cha shingoni huku akiichomeka bastola yake kiunoni mwake na kutoa pingu mfukoni mwake. Akaifunga mikono yake hiyo na kumnyanyua. Kitendo hicho kikamfanya Tomas atambue kwamba watu hao ni polisi na si majambazi kama alivyo hisi kwa mara ya kwanza.

“Munanikamata nini? Kosa langu ni nini?”

“Ushibitisho wa pesa upo hapa”

Mpelelezi ambaye alikuwa akikagua gari la Tomas alizungumza huku akitoa mfuko huo wenye milioni arobaini.

“Poa piga pishaushahidi kisha endesha gari lake na mimi nina muingiza huku. Una haki ya kukaa kimya, kila kitu utakwenda kukijua kituoni”

Mpelelezi huyo alizungumza huku akimuingiza Tomasa, ndani ya buti ya Alteza na kuifunga. Akaingia ndani ya gari hilo, kisha wakageuza na kuanza safari ya kuelekea central Polisi.

***

Magreth akafunguliwa kitambaa alicho fungwa usoni mwake. Macho yake yakakutana na nabii Sanga, aliye kaa kwenye kiti huku pembeni yake wakiwa wamesimama watu wa wiwili wenye mitutu ya bunduki aina ya AK47. Akataka kumkimbilia na kumkumbatia, ila mtekaji mmoja akamzuia.

“Tunahitaji kuziona pesa”

Magreth akaliweka chini begi hilo na kulifungua. Vitita vya dola za Kimarekani, vikawafanya watekaji hao wawili walio kuwa karibu na begi hilo kutazamana. Kwa isharaha mkuu wao akamuagiza mmoja wao kuzimwaga pesa hizo juu ya meza. Vibunda hivyo vikamwagwa juu ya meza na kuifanya mioyo ya watekaji hao kujawa na furaha.

“Kalete meshine”

“Sawa”

Mtekaji mmoja akatoka, baada ya dakika mbili akarudi akiwa na mashine ya kuheshabia pesa. Wakaanza kazai ya kuhesabu vibunda hivyo vya pesa. Ilipo timia dola elfu stini, mkuu wao akampa mkono wa kumshukuru nabii Sanga.

“Unaweza kuzungumza chochote mzee”

“Ni nani ambaye amewapa oda ya kuniteka?”

“Ni kutoka kwa kijana wako Tomas ambaye ni dalali wako”

“Tomas?”

“Ndio na hapa ninavyo zungumza yupo njiani ana ileta milioni ishirini kwa ajili ya kazi tuliyo mfanyia.”

Nabii Sanga akakaa kimya huku akiisikilizia hasira jinsi inavyo utafuna moyo wake. Akanyanyuka kwenye kiti hicho huku macho yakitawaliwa na uwekundu. Muda wote Magreth yupo kimya akishuhudia jinsi nabii Sanga alivyo kasirishwa kwa kitendo hicho kibaya alicho fanyiwa.

“Ana kuja hapa eheee?”

“Ndio mzee”

“Sasa hiyo ni milioni mia na ishirini. Hizi ishirini anazo zileta chukueni na hiyo ishirini ya ziada aliyo zidi, hakikisheni muna mchinja mume nielewa?”

Kauli ya nabii Sanga ika mstua sana Magreth, ila hakuweza kufungua kinywa chake kwa maana hajajua ni makubaliano gani nabii Sanga ameingia na watekaji hao.

“Sawa mkuu”

“Tena nina hitaji mumkate kate kiungo kimoja baada ya kingingine na mumuambie kwamba mimi ndio nimetoa kazi hiyo”

“Sawa mzee”

“Na kuanzia hivi sasa, nitakuwa nina wapa kazi zangu. Nahitaji muzifanye kwa uhakika na sitaki kabisa mulegelege, kama muna taka pesa zaidi ya hii basi mushikamane na mimi sawa”

“Sawa, ila tunahitaji kukudhibitisha kwamab huto tusaliti. Wote hapa tumeingia kiapo cha damu hivyo na wewe tuna hitaji uingie kiapo cha damu”

“Hilo halina shida. Niambieni nifanye nini?”

Mmoja wao akatoa kisu. Wakamtazama Magreth, wakampa ishara ya kutoka ndani humo na Magreth akatii. Wakaufunga mlango wa chumba hicho. Wakavua vinyago vilivyo ficha sura zao.

“Mimi ninaitwa Rama D. Sisi sote ni watoto wa familia moja na mimi ndio kaka yao. Huyu anaitwa Selemani D. Huyu anaitwa Rashid D na huyu ni mdogo wetu wa mwisho ana itwa Abdalah D. Baba yetu alikuwa ni komandoo wa jeshi la nchi hii. Alitupa mafunzo toka tukiwa wadogo na tumekuwa ni professional wa mbinu za kijeshi. Tuna uwezo wa kufanya kila aina ya tukio hivyo karibu katika familia”

Rama D, alizungumza huku akimtazama nabii Sanga. Nabii Sanga alipo hakikisha kwamba amewakremisha sura zao vijana hao. Akajikata sehemu ndogo ya kiganja chake na akapewa kikopo cha kuiweka damu hiyo inayo mchuruzika kiganjani. Rama D na wadogo zake wakajikata na wao na damu zao wakaziweka katika kikopo hicho, ikiwa ni ishara ya muungano wa damu.

“Nimekaribia. Nina juana na watu wengi sana duniani. Nitahakikisha nina wawezesha kisilaha, kifedha na kila aina ya mbinu mpya nitawapatia kwa maana, hadi leo hii nimekuwa tajiri si kwamba ni Mungu amenibariki, ila nilitumia kila aina ya njia kuwa tajiri. Hivyo natambua shida kama hizi”

“Karibu sana.”

Baada ya nabii Sanga kukaribishwa katika familia hiyo. Rama D na wadogo zake, wakavaa vinyango vyao. Wakafungua mlango na kumuita Magreth ndani.

“Simu yako”

Selemani D, alizungumza huku akimkabidhi Magreth simu yake.

“Huyu mwanamke nina imani wote mume muona”

“Ndio”

“Hakikisheni kwamba hakuna anaye msogelea na kila anaye jaribu kumsogelea basi munajua nini muna paswa kufanya”

“Tumekuelewa.”

Kutokana Magreth sio mwana familia wao. Wakamfunga kitambaa machoni mwake, kisha wakainaza safari ya kuelekea Mkinga mjini huku wakiwa pamoja na nabii Sanga ndani ya gari lao.

***

Tomas akatolewa ndani ya buti ya gari hilo. Kwa mwendo wa haraka, akaingizwa kwenye kituo hicho kikubwa cha polisi. Umaarufu wake wa udalali katika jiji hilo la Dar es Saalam, likawafanya baadhi ya askari kushangaa juu ya uwepo wake hapo kituoni. Ila kutokana ameletwa na pingu mikononi mwao hapakuwa na hata mmoja aliye wazuia wapelelezi hao kumpeleka katika chumba cha mateso. Tomas akavuliwa nguo zake zote, akafunguliwa pingu za mikononi mwake na kufungwa minyororo mizito. Akaning’inizwa hewani huku mikono yake ikiwa imechanuliwa mithili ya Yesu alivyo sulubiwa msalabani. Wapelelezi hao wakamwagia maji mwilini mwake, kisha mmoja wao ahachukua nyaya mbili za umeme, zenye hasi na chanya. Akazigusanisha na zikaanza kutoa cheche cheche, zilizo mfanya Tomas kujawa na mshangao hata kabla ya kupachikwa na nyaya hizo mwilini.

“Ukijibu kwa usahihi basi adhabu hii huto ipata. Ila ukijiu kwa jeuri basi adhabu hii utakumbana nayo.”

Kauli ya mpelelezi ikamfanya Tomas macho kumtoka huku akiwa haelewi ni kosa gani lililo mfanya kukumbana na shurba zote hizo.

“YUPO WAPI NABII SANGA”

Mapigo ya moyo ya Tomas yakaanza kumdunda kwa kasi sana kwani hakutarajia kwamba, mpango wa siri alio upanga yeye na mrs Sanga utajulikana kirahisi namna hiyo.



“Mi……mi sijui”

Tomas alizungumza kwa kubabaika. Kutokana na utaalamu walio nao wapelelezi hawa. Wakatambua kabisa jibu la Tomas si la kweli. Mpelelezi aliye shika nyaya hizo zo umeme, akazipatichika kwenye mbavu za Tomas na kumfanya aanze kutetemeshwa huku akipiga mayowe makubwa yatokanayo na maumivu hayo makali sana.

“Ni wapi mulipo muhifadhi nabii Sanga?”

“Nitasema nitasema”

Tomas alizungumza huku machozi yaliyo ambatana na mkojo vikianza kumchurukika kwa pamoja.

***

“Hapa panatosha. Chukua hii kofia uvae ili watu wasiweze kukugundua.”

Rama D alizungumza huku wakilisimamisha gari lao karibu kidogo na stendi ya Mkinga. Nabii Sanga akachukua kofia nyeusi aliyo pewa na akaivaa.

“Hakikisheni kwamba muna fanya kile nilicho waeleza muweze kufanya”

“Sawa tutafanya hivyo”

Magreth akafunguliwa kitambaa machoni mwake na wakashuka na nabii Sanga kwenye gari hilo. Rama D na wadogo zake wakawasha gari na kurudi porini huku wakiwa wamejawa na furaha ya kupata kiasi kikubwa sana cha pesa.

“Upo salama baba?”

Magreth aliuliza huku akimtazama nabii Sanga mwilini mwake.

“Ndio. Ulicho kiona na ulicho kisikia hakikisha umuambii mtu”

“Sawa baba sinto fanya hivyo”

“Inabidi tutafute usafiri wa kurudi Dar”

“Nimekuja na dereva taksi, acha niwasiliana naye”

Magreth akampigia Sheby, baada ya sekunde kadhaa Sheby akapokea simu.

“Sheby, mimi Mage”

“Niambie upo wapi?”

“Nipo karibu na sheli hapa stendi”

“Poa ngoja nina kuja hapo kwa maana nilikuwa nimepitiwa na ka usingizi”

“Poa poa”

Sheby akawasha gari lake na kuelekea eneo ilipo sheli na kuwakuta Magreth na mwanaume ambaye hakuweza kumfahamu, hii ni kutokana na uvaaji wake wa kofia ulio ificha sura yake. Wakaingia kwenye taksi hiyo, na wote wawili wakaka siti ya nyuma.

“Tunarudu Dar ehee?”

Sheby alizungumza huku akitazama nyuma kwa kupitia kioo kilichopo pembeni yake.

“Ndio”

Magreth alijibu kwa ufupi.

“Poa”

Safari ikaanza huku ndani ya gari ukimya ukitawala. Nabii Sanga hakutamani hata kufungua kinywa chake, hii ni kuhofia sauti yake kujulikana na dereva taksi huyo. Majira ya saa saba usiku wakaingia jijini Dar es Salaam. Moja kwa moja wakaelekea nyumbani kwa Magreth.

“Hivi Sheby ni wapi sasa hivi watakuwa hawajafunga vibanda vya chipsi?”

“Zipo sehemu nyingi mbona”

“Basi ngoja nimpeleke mgeni wangu ndani. Nisubiri hapa tukachukue wote”

“Sawa bossi”

Magreth na nabii Sanga wakashuka kwenye gari hilo na kuingia ndani ya nyumba hiyo iliyopo uswahilini. Magreth akafungua mlango wa chumbani kwake na wakaingia ndani, pasipo mpangaji mwezake yoyote kugundua juu ya ugeni wa nabii Sanga.

“Hapa ndio kwangu jisikie huru”

“Nashukuru Magreth”

“Basi ngoja nikachukue chakula. Si unatumia chipsi za huku kwetu”

“Una maanisha nini ukisema huku kwenu?”

“Uswahilini, si unajua kuna utaofauti na zile chipsi za kwenye migahawa mikubwa mikubwa?”

“Wewe lete chakula chochote nitakula”

“Sawa”

Magreth akaliweka begi lake sehemu alipo litoa, kisha akatoka ndani humo na kurudi kwenye taksi.

“Mage wewe muongo”

“Kwa nini?”

“Uliniambia kwamba huna mtu”

“Hembu kumbuka vizuri”

“Ndio, nilikuuliza tunakwenda Mkinga kwa jamaa yako. Ukasema hapana, ona sasa umerudi na mtu wako. Yaani umenifanya njia nzima nikae kimya nishindwe hata kupiga stori”

“Hahaa woga wako tu.Twende bwana tukachukue chakula”

Magreth na Sheby wakaondoka eneo hili na kuelekea kwenye kibanda cha Masawe anaye sifika kwa kupika chipsi nzuri sana na ana wateja wengi wanao mfanya kila siku afunge kibanda chake saa kumi usiku au saa kumi na moja alfajiri.

“Na wewe uta kula chipsi na nini?”

Magreth alimuuliza Sheby anaye onekana kuchoka kiasi fulani.

“Chipsi kuku”

“Nakununulia wewe na mke wako. Hakikisha mtoto wa watu unampeleka hichi chakula. Nina imani atakuwa amekupigia simu urudi nyumbani ukale, ila ndio hivyo ulikuwa mbali”

“Sawa mama”

Magreth akashuka kwenye gari hilo, kutokana ana fahamiana na Massawe. Ikamuwia urahisi kuhudumiwa kwa haraka na kuondoka. Wakarudi nyumbani, Magreth akamuongezea Sheby kiasi cha shilingi elfu ishirini, wakaagana na yeye akaingia ndani.

Magreth akastuka kidogo mara ya kumkuta nabii Sanga akiwa na boksa tu huku amelala chali kitandani. Nabii Sanga aliye jawa na mawazo kichwani mwake, kumemfanya asitambue uwepo wa Magreth ndani humo. Magreth aliye anza kupepesa macho akijikaza asimtazame nabii Sanga. Akamsogelea na kushika mkono na nabii Sanga akastuka kidogo.

“Nimerudi.”

“Ohoo sawa sawa”

Magreth akachukua taulo na kumkabidi nabii Sanga huku akiwa ametazama pembeni. Kwani haitaji kabisa kuona maungo ya chini ya mtu anaye muheshimu kama baba yake. Nabii Sanga akajifunga taulo hilo na kumpa amani Magreth.

“Toka jana sikuweza kutia kitu chochote mdomoni mwangu”

“Pole sana baba”

“Mage”

“Bee”

“Ukiwa nami naomba usiniite baba wala nabii”

“Aha…a…ha…Kwa nini?”

“Niite tu Sanga peke yake, sinto pendelea ukitese kinywa chako kwa kuita jina refu”

“Ila baba hivi ndivyo nilivyo zoea na ninakupa cheo chako kutokana na mambo makubwa ambayo Mungu ana endelea kutufunulia juu yako”

“Sawa nina litambua hilo, ila tafadhali fanya hivyo nilivo kueleza”

“Nitajitahidi”

Magreth akaandaa chakula na wote wakaanza kula huku nabii Sanga kwa mara kadhaa ana endelea kutazama uumbaji wa Mungu alio ufanya juu ya Magreth. Ila Magreth kichwani mwake ana waza ni jinsi gani ambavyo anaweza kumkabidhi nabii Sanga ushahidi wa video unao onyesha uchafu wa mke wake pamoja na Tomas.

***

Tomas hakutamani nyaya hizo ziweze kurudishwa tena mwilini mwake. Ila kitu cha pekee ambacho ana jitahidi kukificha ni ushirikiano wake na mrs Sanga.

“Ni wapi?”

Mpelelezi huyo alimuuliza Tomas kwa upole huku akimtazama usoni mwake. Kabla ya Tomas kujibu RPC akaingia katika chumba hicho, huku akiwa ameongozana na body gard wake.

“Mume fikiwa wapi vijana?”

“Ana hitaji kutaja ni wapi walipo wezake.”

“Tunakusikiliza wewe kenge. Sema wapi alipo nabii Sanga?”

RPC alizungumza kwa ukali na kumfanya Tomas kuanza kuzungumza ni eneo gani walipo wezake.

“Wasiliana na RCO wa Handeni. Aniandalie vijana wanne, wakakamavu na wenye uwezo mkubwa. Nyinyi mutaongoza timu ya askari nane kuelekea msituni huko.”

“Sawa mkuu”

“Kamera muliyo piga picha ipo wapi?”

“Hii hapa mkuu”

“Nenda kazisafishe picha hizo sasa hivi”

RPC alimueleza body gard wake huku akiipokea kamera hiyo na kumkabidhi kijana wake.

“Sawa mkuu”

“Kikosi hicho hakikisheni kwamba nina onana nacho sasa hivi na wawe vijana mashupavu”

“Sawa mkuu acha nikiandae kikosi”

“Haya. Nahitaji kujusikia mazungumzo ya mwisho ya huyu kijana aliyo yafanya kwenye simu yake. Niunganishe na kurugenzi wa mtando wa simu anao utumia ili tuweze kutumiwa mazungumzo yake ya mwisho”

“Sawa mkuu”

Tomas akashusha kwenye minyororo hiyo huku mwili mzima ukiendelea kumtetemeka kwa woga na maumivu makali aliyo yapata.

Akavalishwa nguo zake na kutolewa katika chumba hicho cha mateso na kuwekwa chumba cha mapumziko kabla ya kuchukuliwa na kuongozana na askai hao kuelekea Handeni.

RPC akazungumza na mkurugenzi wa mtandao wa simu anao utumia Tomas na akatumiwa mazungumzo ya mwisho na watekaji na ushahidi huo ukazidi kumuweka Tomas sehemu mbaya kisheria. Simu inayo pigwa kila mara kwenye simu ya Tomas kukamfanya RPC kuendelea kuzikata simu hizo kwani namba hiyo imeandikwa kwa jila na Mke wangu.

“Kijana mshenzi huyu ana mke alafu ana fanya mambo ya ajabu”

RPC alizungumza huku akiizima simu hiyo. Akaingia katika chumba cha silaha na kuwakuta vijana wake wakiwa wana jiandaa.

“Tusikilizane”

Kila askari akaacha kazi aliyo kuwa ana ifanya na kusimama wima mithili ya mlingoti ili kumsikiliza mkuu wao.

“Muna kwenda kwenye oparesheni hatari sana. Msitu huo ni mithili ya misitu iliyopo Kibiti. Hakikisheni kwamba muna kuwa makini sana kwa kila jambo ambalo muna lifanya.”

“Akikisheni muna muokoa nabii Sanga akiwa hai. Ila ombi langu ni moja tu. Musiache pumzi ya ya jambazi yoyote, hata ikitokea wame jisalimisha. Hakikisheni kwamba muna waua sawa”

“Sawa afande”

“Mutaongozana na huyo kijana Tomas. Hakikisheni muna rudi naye akiwa hai na gereza lita muhusu, ili iwe fundisho kwa vijana wengine wote. Udalali wake kumbe si kwenye nyumba tu, hadi kwa watu”

“Niwatakie kazi njema na mapambano mema”

“Shukrani mkuu”

Askafi hao wakapiga sauliti na RPC akatoka ndani humo na kuwaacha vijana wake wakiendelea kujiandaa. Kikosi hicho cha askari nane walio valia mavazi meusi, huku wote wakiwa wamejikamilisha kwa mapambano, wakaingia kwenye gari nne aina ya Toyota land cruzer zenye rangi nyeusi na kuianza safari ya kuelekea Mkinga, Handeni, huku Tomas akiwa miongoni mwa walio ndani ya magari hayo, tena chini ya ulinzi mkali sana.


***

Kitendo cha Tomas kuto kupoekea simu yake na kuizima kabisa, kikazidi kumchanganya Mrs Sanga. Namba yake ya siri aliyo iweka hewani, ndio anayo itumia kuwasiliana na Tomas.

“Amekumbwa na nini baby wangu?”

Mrs Sanga ali haha huku akiendelea kuzunguka zunguka ndani ya chumba hicho. Mlango wa chumbani kwake ukagongwa, akastuka sana huku akiutazama. Saa yake ya mkononi ina onyesha muda huu ni saa saba usiku.

“Nani?”

Mrs Sanga alizungumza huku akiutazama mlango huo.

“Ni mimi”

Sauti ya mkuu wa polisi wa kikosi kinacho mlinda yeye na familia yake, ikamstua sana. Mrs Sanga akajifunga tenge na kutoka ndani humo.

“Samahani mama kwa kukuamsha wakati huu”

“Bila samahani”

“Tunaweza kushuka sebleni mara moja”

“Kuna nini?”

“RPC yupo hapa”

“RPC!!?”

“Ndio”

“Sawa nina kuja”

Mrs Sanga akarudi ndani kwake huku mawazo ya kwa nini ameitwa muda huu yakiwa yamemtawala sana kichwani mwake. Akaitoa laini hiyo ya siri na kuiweka katika pochi yake. Akaweka laini yake ya kawaida. Akavaa suruli na tisheti kisha akatoka ndani humo. Akafika sebeleni na kumkuta RPC akiwa na vijana wake sita wenye bunduki. Uwepo wa mzee huyo kidogo uka mstua.

“Ahaa kwema jamani?”

Mrs Sanga aliuliza huku macho yakiwa yamemtoka.

“Kwema, karibu unaweza kukaa tukazungumza mama”

RCP alizungumza huku akimkazia macho Mrs Sanga.

“Vijana wangu kwa sasa wapo njiani wana kwenda kwenye oparesheni ya kumkomboa mume wako. Tunashukuru sana kwa kuweza kutusaidia kumkamata mmoja wa watu walio mteka mume wako.”

Kauli ya RPC ikaufanya moyo wa mrs Sanga kumdunda mfululizo, huku moyo huo ukipoteza muelekeo wake wa kudunda.

“U…u…m….e…sema U…me….me..mkamata nani?”

Mrs Sanga alizungumza kwa kubabaika.

“Mtekaji wa mume wako.”

RCP akampa ishara kijana wake mmojaa kuweka bahasha ya rangi ya kaki, aliyo ishika mezani hapo.

“Fungua”

Mrs Sanga taratibu huku akitetemeka akaichukua bahasha hiyo. Akachungulia ndani ya bahasha hiyo na kukuta lundo la picha. Taratibu akazitoa picha hizo, Mrs Sanga alipo inaona sura ya Tomas akishuka kwenye gari lake, akahisi mwili mzima ukiishiwa nguvu, ubaridi mkali ukamtawala na kujikuta akiziangusha picha hizo na kuwafanya askari wote kumshangaa.


“Vipi mama mama mbona una wasiwasi?”

RPC alimuuliza Mrs Sanga huku akimtazama usoni mwake.

“Huyo kijana ndio….ndio yule aliye chukua pesa zangu”

“Yaa tuliweza kuweka mtego ambao umefanikiwa na hivi sasa kijana huyo yupo nasi na tuna kwenda naye kwenye oparesheni ambayo, Mungu aingize mkono wake ili tuweze kufanikiwa”

“Amen”

“Basi vijana wagu wanatendelea kuwepo hapa kwako. Mimi ngoja nikaendelee na majukumu ya kikazi na endapo kutakua na mabadiliko ya aina yoyote katika oparesheni hii basi nitakuja kukuambia”

“Sawa afande”

Mrs Sanga alijikaza tu kuzungumza ila mapigo yake ya moyo hayapo sawa kabisa. RPC akaondoka na vijana wake baadhi pamoja picha hizo. Mrs Sanga akakikimbilia chumbani kwake huku mwili mzima ukimvuja jasho kutokana na wasiwasi mkubwa alio upata.

“Ehhee MUNGU nini hichi tena jamani. Ooohoo jamani Tomas wangu”

Mrs Sanga aliendelea kulalama huku akitafuta bibilia yake ilipo. Akanaaza kusali maombi ambayo sidhani kama mwenyezi Mungu ana weza kuyapokea kwa haraka.

***

“Hembu simamisheni gari”

Rama D alizungumza na kumfanya Selemani D kusimamisha gari hilo.

“Kuna nini kaka?”

“Roho yangu nina iona imekuwa nzito gafla”

“Kwa nini?”

“Sijui kuna nini, alafu mshakiji hadi sasa hajatokea na nikimcheki hewani hapatikani”

“Kuna ishu imempata nini?”

“Sijajua, hembu turudini kambini tukachukue kila kilicho chetu na tuondoke”

“Poa poa”

Selemani D akawasha gari hilo na kuondoka kwa kasi huku wakiwahi kurudi porini. Wakafika katika kambi yao, wakaanza kukusanya kila kilicho chao ili kutokomea wanapo pajua wao wenyewe. Walipo hakikisha kwamba wamebeba kila kilicho chao wakaigia kwenye magari yao manne huku kila mmoja akiendesha gari lake moja na kuondoka msituni hapo na kuianza safari ya kuelekea mkoani Kilimanjaro.

Hadi polisi wanafika katika msitu huo na kuanza kuifanya oparesheni ya kuwasaka majambazi hao, taayari walisha chelewa. Wakakuta nyumba zilizo tengenezwa kwa mbao zikiwa tupu kabisa na ndani ya nyumba hizo kukiwa hakuna mtu wa aina yoyote.

“Wewe ni wapi walipo kwenda wezako?”

Askari mmoja alizungumza huku akiwa amemuekea bastola ya kichwa Tomas anaye endelea kutetemeka kwa woga.

“Ni hapa hapa tu”

“Wapo wapi sasa, au umewapa taarifa ya kuondoka?”

“Hapana, sikuweza kuwapa taarifa yoyote ile”

“Mkuu kuna aina nne za alama za matairi ya magari zimeondoka eneo hili”

Askari mmoja mwenye taaluma kubwa ya upelelei alizungumza huku akimuliaka kwa toshi alama za matairi za magari yalioyo ondoka hapo.

“Wanaonekana hawapo mbali”

“Ndio”

“Sasa tuanzeni kufwatilia alama hizo za magari. Hakikisheni kwamba muna wasiliana na askari wa Kabuku, Chalinze, Segera. Kote hakikisheni kwamba kuna pigwa patroo ya maana.”

Mkuu wa kikosi hicho alizungumza na askari wote wakarudi ndani ya magari yao na kuianza safari ya kufwatilia alama hizo za magari. Ubaya ni ni kwamba barabara aliyo pita Rama D na wadogo zake ni barabara ya yenye tope kiasi na ndio maana askari wameweza kufahamu kirahisi juu ya muelekeo wao.

Katika barabara nzima ya kutoka Chalinze hadi Segera, askari wame weka road block katika vituo zaidi ya mia moja. Hali ambayo imepelekea msongamano mkubwa sana wa magari makubwa yanayo fanya safari zake za usiku.

“Ni nini kinacho endelea?”

Rama D alizungumza huku akipungumza mwendo kasi wa gari lake na kuwafanya wadogo zake wanao mfwata kwa nyuma nao kupunguza mieondo ya magari yao. Rama D akatoa simu ya upepo(Redio call) na kuwapigia wadogo zake.

“Kuna ukaguzi wa magari unao endelea”

“Tuna fanyaje kaka?”

“Tupangeni foleni na tuwe makini ila hakikisheni kwamba silaha zenu muna ziweka tayari na endapo ikitokea kuna mjinga yoyote atazingua. Hakuna kufanya makosa”

“Poa”

Wakapanga foleni Yuma ya lori kubwa la mizigo. Jinsi foleni hiyo inavyo sogea ndivyo jinsi nao wanavyo kisogelea kituo cha kukaguliwa.

Taarifa ya ni aina gani za magari ambazo alama za matairi zake zilikutwa msituni zikaanza kusambazwa kwa njia ya whatsapp kwa kila polisi aliyopo katika vizuizi vya barabarani. Gari ya kwanza ni Ford Ranger, gari ya pili ni Range Rover,gari ya tatu ni Benz Compresa na gari ya nne ni Toyota Harrier. Umakini wa askari ukazidi kupamba moto na kuachana kabisa na malori makubwa na kuanza kutilia umakini kwenye gari ndogo.

“Tumeziona gari za majambazi zipo kwenye foleni hapa kwenye road block D20 Over.”

Askari alizungumza kwa kupitia simu yake ya upepo na kuwapata taarifa wezake wote waliomo kwenye hiyo oparesheni ya kuhakikisha kwamba wana wakamata majambazi walio mteka nabii Sanga.

“Hakikisheni kamba muna wazuia muwezavyo sisi tupo njiani tuna kuja”

Mkuu wa kikosi cha polisi kilicho toka makao makuu ya askari Dar es Salaam alizungumza kwa simu yake hiyo ya upepo na kuwafanya madereva wa gari hizo nne kuaongeza mwendo ili kuwahi eneo la tukio.

“Sawa mkuu”

Askari walipo katika road block D20 wakaendelea kuwahoji maswali madereva wa malori yaliyopo katika eneo hilo ili kuwaweka majambazi walipo nyuma ya malori hayo kuzidi kuchelewa, ili msaada uzidi kuwepo.

“Mbona wana tuchelewesha hawa?”

Selemani alizungumza huku gari lake likiwa ndio la mwisho kabisa kutoka nyuma.

“Tuweni wapole”

Rama D aliwasisitiza wadogo zake huku bastola yake ikiwa mkononi mwake.

“Au tuvunje vizuizi vyao?”

“Acheni ujinga. Mukivunja munahisi nini kitatokea?”

“Tunaliamsha dude na tunasepa”

“Nimesema tulieni. Mimi ndio mtoa amri wa mwisho sawa”

Rama D alizungumza kwa ukali kidogo mara ya kuona wadogo zake wana leta upinzani wa kubishana katika swala hilo. Selemani D, kwa kupitia site mirrow akaanza kuona gari zaidi ya nne zinazo fanana zikishuka kwenye kilima kilichopo nyuma yao kwa kasi sana zikija eneo walipo wapo.

“Waskaji huu nimtego. Tuondokeni”

Selemeni alizungumza huku akiwasha gari lake. Hakujali kama kuna kizuizi mbele yao, akaanza kuondoka kwa kasi sana huku ndugu zake wakimfwata kwa nyuma na kusababisha kuanza kwa mapambano makali sana kati yao na askari walipo kwenye kizuizi hicho.

***

“Niandalie maji nikaoge”

Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Sawa ila vyoo vyetu ni vya passport”

“Una manisha nini?”

“Ni vile vyoo ambavyo havijazibwa kwa juu”

“Duu sasa kama hakijazibwa kwa juu si nitaonekana?”

“Ndio utaonekana, ila kwa sasa ni usiku hakuna mtu ambaye atakuona”

“Hapana, sinto oga”

Nabii Sanga alizungumza huku akinawa mkono wake wa kulia mara tu baada ya kumaliza kula chipsi hizo.

“Ila nimepata wazo”

“Wazo gani?”

“Mimi nikienda kuoga. Nawe uoge humu ndani kuna dishi kubwa ambalo una weza kuingia na kuoga bila ya tatizo”

Nabii Sanga akamtazama Magreth kwa sekunde kadha kisha akatabasamu.

“Hembu nilione hilo dishi”

Magreth akainama na akalitoa dishi hilo chini ya kitanda chake. Nabii Sanga akalitazama kwa sekunde dishi hilo na kurishika kwamba ana weza kabisa kutosha ndani ya dishi hilo.

“Leo inabidi nirudi utotoni”

“Hahaa ndio hivyo”

“Haya niwekee maji nijimwagie”

Magreth akandaa kila kitu kwa ajili ya nabii Sanga kuoga, kisha yeye akachukua tenge lake na kindoo cha cha bafuni chenye maji na kuelekea katika choo cha nje ili aoge. Nabii Sanga akavua taulo hilo pamoja na boksa kisha akaingia ndani ya dishi hilo na kuanza kuchota maji katika ndoo ya pembeni na kujimwagia mwili wake. Dakika saba zikamtosha nabii Sanga kuoga. Akatoka ndani ya dishi hili, akajifuta maji mwili mzima na kujifunga taulo hilo. Magreth mara ya kutoka bafuni, akagonga mlango wa chumba chake na babii Sanga akafungua.

“Tayari”

“Ndio una weza ingia”

Magreth akaingia huku akiwa amejifunga tenge hilo, lililo mfanya nabii Sanga kupagawa. Magreth akabeba dishi hilo na kutoka nalo nje. Akamwaga maji na kurudi ndani na kuliingiza mvunguni. Nabii Sanga uvumilivu ukamshinda kabisa, akatamani amshike Magreth japo kalio ila woga na wasiwasi vika mjaa.

“Baba wewe utalala kitandani mimi nitalala hapa chini”

Magreth alizungumza huku akitandika tenge jengine chini ya sakafu hiyo.

“Ahaa…tuna weza kusali”

“Ndio baba, tena nilikuwa nime jisahau kabisa.”

“Sawa njoo ukae hapa kitandani”

Magreth bila ya wasiwasi akakaa kitandani. Hakuwa na wazo kabisa kwamba uumbaji wa mwili wake umesha vuruga kichwa cha nabii Sanga. Hata hayo maombi anayo kwenda kuyaomba hakuna hata moja ambalo litamfikia Mungu, kwani shetani wa ngono tayari amesha tawala mwili wake.

‘Hapana leo siwezi kumuacha’

Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.

“Lete mikono yako, tusali”

Nabii Sanga alizungumza huku akiishika mikono ya Magreth. Ukaribu walio sogeleana ukazidi kumuweka nabii Sanga kwenye wakati mgumu sana. Jogoo wake tayari alisha simama kiasi cha kulifanya taulo alilo jifunga kiunoni kumchoresha jogoo huyo kisawa sawa.

Mageth mapigo ya moyo yakaanza kumuenda kasi mara baada ya kuona eneo la mbele la nabii Sanga likiwa limetuna kisawa sawa. Akatamani kuiachanisha mikono yake na mikono ya nabii Sanga ila akashindwa kwani tayari nabii huyo alisha anza kusali kwa suati ya chini chini.

‘Hawezi kunifanya jambo baya’

Magreth alijipa moyo huku naye akiyafumba macho hayo kuungana na nabii Sanga katika maombi hayo.

***

“Wanakimbia, ongeza mwendo ongeaza mwendo”

Mkuu wa kikosi cha askari wanao toka makao makuu, alimuimiza dereva wa gari lake na akazidi kuongeza mwendo. Askari walipo katika road block D20 hawakuwea kuwazuia Rama D na wadogo zake kwani tayari wamesha gonga kizuizi chao na kuzidi kutokomea. Gari hizo za polisi nazo zikapita kwa kasi katika kizuizi hicho na kuwafanya askari wa kizuizi hicho nao kuingia kwenye Defender zao na kuanza kujumuika katika kufukuziana huko.

Makimbizano hayo ya magari kwa haraka haraka unaweza kuyafananisha na mafukuzano ya magari yanayo patikana katika filamu za Fast and Furios. Seleman D ambaye ndio anaendesha Range Rover akazidi kuwaacha wezake kwani gari lake hilo lina uwezo mkubwa sana katika kukimbia. Rama D naye ni wa pili kwani mwendo kasi wa Ford Ranger sio wa mchezo mchezo. Mkuu wa askari askashusha kioo cha upande wake na akajitokeza kwenye dirisha huku mkononi mwake akiwa ameishika bunduki aina ya AK47. Akaanza kulishambulia gari Toyota Harrier iliyo mbele yao. Mashambulizi ya risasi zake hayakwenda bure kwani risasi kadhaa zilipiga katika tairi za nyuma za gari hili lililopo kwenye mwendo wa kasi sana. Gari hilo linalo endeshwa na Rashid D, likapasuka tairi za nyuma na kupelekea kupaa hewani huku likipoteza muelekeo wake, likaanguka chini na kuanza kubingirika na kuelekea pembezoni mwa barabara.

“Rashid amepata ajali”

Abdalah D anaye endesha Benz Compresa alizungumza hukua kishuhudia gari la kaka yake huyo likibingirita pembezoni mwa barabara.

“Hakuna kurudi nyuma”

Rama D alizungumza huku akizidisha mwendo wa gari lake. Askari wa gari mbili za mbele wakalipita gari hilo la majambazi lililo pata ajali. Gari mbili za askari wa nyuma zikazimama na askari wakashuka na bunduki zao. Wakaanza kulisogelea gari hilo huku wakiwa makini sana. Askari wenye Defender zao mbili nao wakafika eneo hilo.

“Piteni piteni”

Askari moja aliwapa amri askari hao mbao hawakushuka kwenye gari zao na wakaendelea kuzifukuzia gari za majambazi. Rashid D, mwenye hali mbaya sana ya majeraha aliyo yapata kutokana na ajali hiyo, taratibu akafungua mkanda wa gari hilo huku akijikaza sana. Kitendo cha kutoka kwenye gari hilo lililo pinduka na matairi yapo juu, akakutana na askari wanne walio shika bunduki wakimsubiri kwa hamu atoke ndani ya gari hilo.

“Hana haja ya kuishi”

Mmoja wa askari alizungumza huku akiikoki bunduki yake. Akaachia risasi nne zilizo tua kifuani mwa Rashid D na akapoteza uhai hapo hapo. Askari wawili wakaingia kwenye gari lao na kuondoka huku askari wawili wakibaki kwenye eneo hilo kuhakikisha wana tafuta vitu ambavyo vita wasaidia kwenye upelelezi woa.

Milio ya risasi iliyo sikika kupitia simu zao za upepe, zikawafanya Rashid na wadogo zake kuumia sana mioyoni mwao. Kwani wamesha mpoteza ndugu yao mmoja.

“Hei nisikilizeni”

Rama D alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Rashida hatupo naye tena duniani. Ila tunatakiwa kufanya kitu juu ya hawa washenzi walio muua ndugu yetu. Hatuwezi kuwa kunguru na kukimbia zaidi. Tunatakiwa kupambana nao na kama ni kufa basi tufe kishujaa zaidi”

Rama D alizungumza huku mwili mzima ukimtetemeka kwa hasira.

“Tunafanya nini kaka?”

Selemani D aliuliza.

“Tufunge barabara”

“Poa”

Wakaanza kupunguza mwendo. Selemani aliyopo mbele na gari lake aina ya Range Rover akaligeuza kwa utaalamu mkubwa na kuifunga barabara. Rama D naye akampisha mdogo wake Abdalah D kumpita kisha naye akalisimamisha gari lake na kuifunga barabara na kuwafanya askari wanao wafwata nao kupunguza mwendo wa magari yao kwani hawajui ni kitu gani kilicho pelekea majambazi hao kujiamini sana na kufunga barabara hiyo.

***

“Amen”

Nabii Sanga alimaliza Sala yake na kufumbua macho. Macho yake yakakutana na macho ya Magreth. Wakatazamana kwa sekunde kadhaa kisha Magreth akaiachanisha mikono yake na mikono ya nabii Sanga.

“Nikutakie usiku mwema baba”

“Nawe pia mwanangu, ila ni vibaya kwa mtoto wa kike kulala chini huku mimi mwanaume niliye komaa nikilala kitandani. Huo utakuwa ni unyanyasaji mkubwa sana na nina weza nisipate usingizi kabisa mwanangu. Ninacho kuomba ni wewe uweze kulala kitandani na mimi uniache nilalale chini”

“Hapana baba wewe ni mgeni haina shinda. Wewe lala tu kitandani”

Magreth alizungumza huku akisimama, ila kwa bahati mbaya kitando cha nabii Sanga kumzuia katika kusimama kwake, kukapelekea tenge lake kulegea kishikizo alicho kuwa amekichomeka kifuani mwake na kupelekea tenge hilo kuanguka chini na kumfanya Magreth abaki kama alivyo zaliwa na kumfanya nabii Sanga ashuhudie uumbaji wa Mungu alio kuwa akiutamani kuuona siku zote mubashara.



Magreth akahisi kama amepigwa shoti ya umeme, hakutamani hata siku moja maungo yake yaweza kuonakana mbele ya mwanaume ambaye hajawahi hata kumfikiria akilini mwake. Akainama kwa haraka na kulikota tenge hilo na kuanza kujifunga. Nabii Sanga akatakamani kuupeleka mkono wake wa kulia huku akiendelea kumeza mate ya uchu, ila akajikuta akishindwa kwani tayari Magreth amesha sogea mita kadhaa.

“Ahaa….nalala hapa chini”

Magreth alizungumza huku akijilaza chini. Ni asilimia chache sana ya wanaume ambao wana weza kuvumilia pale wanapo yaona maungo ya ndani ya mwanamke ambaye wana mtamani kwa kipindi kirefu. Nabii Sanga, akajikuta akisimama na kuvua tauolo lake na kumfanya Magreth apigwe na butwaa, huku akimtazama jogoo wa nabii Sanga, jinsi alivyo simama kisawa sawa. Magreth kwa haraka akakurupuka chini hapo, kwani kwa kuendelea kujilaza kuna weza kumrahisishia nabii Sanga kukamilisha ushetani wake ambao tayari amesha anza kuudhihirisha mbele yake.

“Baba una fanya nini?”

Magreth alizungumza huku akiwa amerudi nyuma hadi ukutani.

“Mage natambua kwamba…..kwamba mimi pia ni binadamu. Nina hisia za kibinadamu. Tafadhali nina kuomba japo kidogo tu”

“Hapana baba, mimi ni mwanao tena mwanao wa kiroho, jifunge basi taulo lako.”

“Mage siwezi kuvumilia zaidi ya hapa, hembu tazama jinsi mbo** yangu ilivyo simama. Mishipa yake ina kwenda kupasuka kwa maumivu. Tafadhali Magre nionee huruma”

Nabii Sanga alizungumza mithili ya mtu aliye changanyikiwa. Wadhifa, heshima yake ambavyo watu wengi wana mpatia vyote amevitupa pembeni. Magreth akazidi kushangaa mara baada ya kumuona nabii Sanga akipiga magoti chini huku machozi yakimwagika usoni mwake.

“Magreth usiku wa leo ukipita hivi hivi nina weza kufa. Ninaweza kufa Mage”

Nabii Sanga alilalama huku akiendelea kupiga magoti mbele ya Magreth ambaye ukifananisha hadhi zao ni sawa na mbingu na ardhi. Hapa ndipo ule usemi wa mapenzi hayanaga komando ndipo unapo chukua nafasi. Magreth kwa haraka akachanganua akili yake na kuikumbuka video ya ngono kati ya Mrs Sanga na Tomas. Akaichukua simu yake kwa haraka na kumfanya nabii Sanga kutokwa na macho.

“Mage una taka kunipiga picha hivi!!?”

“Hapana”

Magreth alijibu huku vidole vyake vikiwa na kazi ya kuchambua ni faili lipi lina video hiyo. Mara baada ya kuliona, akanyoosha mkono wake ulio shika simu na kumfanya nabii Sanga ashangae kidogo.

“Nini?”

“Tazama”

Nabii Sanga akaichukua simu ya Magreth, akaanza kuitazama video hiyo. Hamu ya kumtamani Magreth yote ikakata. Akasijikuta akikaa chini sakafuni huku akiwa uchi kabisa. Hasira na uchungu wa kuibiwa mke na mtu wake wa pembeni vikazidi kuutawala moyo na mwili wake.

‘Samahani nabii Sanga, sikupanga kukuonyesha video hiyo kwa wakati huo. Nimefanya hivi ili kuokoa usichana wangu’

Magreth alizungumza huku akiendelea kumshuhudia nabii Sanga jinsi anavyo tetemeka kwa hasira huku jogoo wake aliye kuwa ame simama akilala tuli.

***

“Kila mtu avae bulletproof yake”

Rama D alitoa agizo hilo kabla ya kushuka kwenye gari lake. Wadogo zake wakafanya hivyo, kila mtu akashuka kwenye gari lake huku bunduki yake akiwa ameikoki kisawa sawa.

“Shukeni kwenye magri”

Mkuu wa kikosi cha polisi, aliwaamuru askari wake na wakatii. Wakashuka huku gari hizo mbili za askari zikiwa zime kaa sawa. Wakafungua milango ya gari hizo kwa ajili ya kuzuia risasi ambazo zimesha anza kungurumishwa kutoka kwa majambazi hao. Umbali wa mita hamsini walizopo, ziliweza kuwapa nafasi ya mapambano hayo kudumu kwa muda mrefu huku wote wakishambulia kwa kusubiriana.

“Mkuu wa namna hii hatuto weza kuwadhuru, tuna maliza tu risasi zetu”

“Inabidi wawekwe kati”

“Ndio mkuu, nimewasiliana na askari wengine, wapo njiani wana kuja wakitokea nyuma yao. Tukiwaweka kati nina imani tuna washinda”

“Kazi nzuri, hakikisheni muna tunza risasi zenu”

“Poa poa’

Askari wote wakaacha kushambulia na kuwafanya Rama D na wadogo zake kushangaa.

“Wana mpango gani mbona wameacha kutushambulia?”

Selemani aliuliza huku akichungulia jinsi askari walivyo jificha kwenye magari hayo.

“Sijajua kwa kweli”

Rama D alijibu huku jasho likimwagika usoni mwake. Siku zote Rama D na wadogo zake wamekuwa wakitekeleza kazi za utekaji wao kwa urahisi sana kwa maana hao wateja wao huwavamia kwa kustukiza. Ila leo wamekutana na kikosi cha askari ambao nao wana mafunzo ya hali ya juu.

“Fuc** wametuweka kati”

Selemani alizunugmza mara ya kuona gari nne zikija nyuma yao.

“Sisi tudili na hawa wa nyuma na wewe Abdalah dili na hawa wa mbele’

Rama D aligawa majukumu hayo kwa wadogo zake hao wawili walio salia. Wakaanza mashambulizi upya na kuwafanya askari wanao kuja kwa nyuma yao kusimamisha magari yao umbali kidogo na kuanza kujibu mapigano hayo. Askari hawakuwa wajinga wa kupoteza risasi zao kirahisi, jinsi Rama D na wadogo zake wanavyo mimina risasi pasipo mpangilio, kukawapa askari uvumilivu ambao wana imani kwamba ukifikia hatua fulani, basi wata imaliza vita hiyo kirahisi sana.

“Risasi zimekwisha”

Selemeni alizungumza huku akitazama bunduki yake inayo toa moshi mbele, kwani ameachia risasi nyingi sana na magazine nne alizo kuwa ana zibadilisha kila baada ya magazine moja kuisha, nazo zote zimekwisha.

“Kwenye gari lako kwani huna magazine?”

Abdalah D alimuuliza Selemani huku akimgeukia.

“Zimekwisha”

“Ohooo hata mimi hapa magazine yangu ina kwenda kuisha”

Abadlah alizungumza huku akisitisha kuwashambulia askari.

“Hata mimi nimeishiwa na risasi”

Kauli hizi zikaanza kuwaogopesha Rama D na wadogo zake. Kila mmoja matumaini yake ya kuishi tena yameanza kupotea taratibu. Abdalah akatoa magazine iliyopo kwenye bunduki yake na kukuta zikiwa zimebaki risasi tatu.

“Zimebaki risasi tatu na sina za ziada kaka”

Abdalah alizungumza kwa unyonge sana huku akikaa chini.

“Siwezi kukamatwa kijinga, tupigeni dua kisha tujiue. Mungu atatupokea vizuri”

Rama D alizungumza, wakashikana mikono wote watatu, wakaanza kusali dua hiyo huku wote wakiwa wamekaa chini. Dua hiyo haikuchukua dakika hata tatu tayari wakawa wamesha imaliza.

“Nitakuwa wa kwanza”

Rama D alizungumza huku akiichukua bunduki hiyo aina ya AK47 kutoka mikononi mwa Abdalah. Akajiwekea mdomo wa bunduki chini ya kidevu chake. Bila ya majadiliano, akaachia risasi moja ambayo haikufanya kosa zaidi ya kukifumua kichwa chake kwa juu.

Selemani D akamtazama mdogo wake Abdalah D anaye tokwa na machozi ya uchungu sana juu ya kushuhudia kaka yake akifa mbele ya macho yake. Woga wa Abadlah ukaanza kujidhihirisha usoni mwake na kumfanya Selemeni D kumtazama kwa sekunde kadhaa.

“Samahani Abdalah”

Selemeni D alizungumza na akampiga mdogo wake risasi ya kichwa na akapoteza maisha hapo hapo. Selemani D, akatoa kiberiti na pakti ya sigara mfukoni mwa suruli yake. Akatoa sigara moja na kuibana na lipsi zake, akaiwasha na akaanza kupiga mafumba mazito mazito, huku akishuhudia damu za ndugu zake jinsi zinavyo tapakaa kwenye barabara hiyo ya lami.

Selemani D akaivua bulletproof yake kisha akasimama huku bunduki hiyo akiwa ameishika mkononi mwake, akajitokea kwa askari na akaachia risasi moja iliyo salia kwenye bunduki hiyo, huku akitambua nini kinakwenda kumpata.

Askari wenye hasira kali sana na wenye uchu wa kuua wakaanza kuvurumisha risasi zisizo na idadi, kuelekea eneo alilo simama Selemani D. Hapakuwa na askari aliye piga risasi yake pembeni na risasi zote zikampata Selemeni D na kumuangusha chini huku mwili wake ukiwa umechakaa kwa kupigwa risasi hizo na huo ndio ukawa mwisho wa maisha yake.

Ukimya kutokea katika eneo zilipo gari za majambazi, zikawafanya askari kuanza kujitokeza kwenye magari yao huku wakianza kuzifwata gari hizo za majambazi kwa umakini sana. Wakamfikia Selemeani D na mmoja wa askari akaipiga teke bunduki iliyopo karibu na mwili wa Selemani D na kuifanya bunduki hiyo iserereke hadi pembezoni mwa barabara.

“Majambazi wote wame kufa”

Askari walianza kupeana ripoti huku wakikagua magari ya majambazi hao. Wakajikuta wakistushwa sana kwa kuto kumuona nabii Sanga katika eneo hilo.

“Nabii Sanga hayupo”

“Hayupo…………!!!?”

Mkuu wa kikosi hicho alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana, kwani lengo la oparesheni hiyo ni kumuokoa nabii Sanga na kuwaangamiza majambazi hao.

***

“Yaani hawakuona sehemu ya kufanyia uchafu wao hadi kanisani kwangu tena ndani ya ofisi yangu?”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa ame fura kwa hasira.

“Ndio baba na hapo wamezungumzia juu ya kuniuua mimi”

Magreth alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.

“Una MB humu ndani?”

“Ndio”

Nabii Sanga akajitumia video hiyo kwenye email yake, kisha akamrudisha Magreth simu yake. Akasimama na kujifunga taulo ambalo alilifungua kimakusudi.

“Baba naomba usitishe ule mpango wa kunifungulia mgahawa na kunipangishia nyumba. Wataniua kirahisi, nitaendelea kuishi maisha yangu ya kawaida na nitaendelea kuifanya biashara yangu ya kuuza maandazi baba. Kama Mungu hakunibariki kwa kupitia wewe basi ata nibariki kwa njiani nyingine.”

Magreth alizungumza huku machozi yakimwagika.

“Mage una ongea nini? Nitafanya kila kitu kwa ajili yako na kama yule mwana haramu Tomas wale jamaa zake watakuwa hawaja mfanya nilicho waagiza nita hakikisha kwamba nina muua kwa mkono wangu mimi mwenyewe”

Nabii Sanga alizungumza huku mwili mzima ukimtemeka kwa hasira. Leo hii amejua ubaya wa mke wake, si kuisaliti ndoa yao, bali amekwenda mbali sana hadi kupanga kumteka.

“Mke wako naye?”

“Nitadili naye ninavyo jua mimi. Ili kukuhakikishia kwamba sijabadilisha mawazo yangu ya kukusaidia, kesho kuki pambazuka, nitampigia simu muhasibu wangu aje hapa, mutaenda benki na utafungua akaunti yako na atakuingizia pesa nitakayo ihitaji mimi”

“Lakini baba, mke wako ata niua?”

“Achana na wasiwasi wa mke wangu. Niamini mimi, hembu njoo hapa”

Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini sana. Magreth akaka kitandani hapo huku wote wakibubujikwa na machozi.

“Hivi mwanamke kama huyu, katili, jambazi na ana analiwa hadi mkund** kweli ana stahili kuwa mke wangu. Ana stahili kuendelea kuitwa mama mchungaji? Hapana siwezi kuishi na adui nyumba moja na sijapewa upako wa kumvumilia mtu wa namna hii Mage”

Nabii Sanga alilalama kwa uchungu sana hadi Magreth akajikuta akiingiwa na roho ya huruma.

“Mimi najichunga siku zote. Yeye kweli ni wa kunisaliti mimi. Ona jinsi kanisa linavyo muheshimu. Ona kila siku ninavyo simama madhabahuni mwa bwana na kukanya watu wasitende mabaya, wasitumie miili yao vibaya katika swala la mapenzi. Kumbe makatazo yangu ndio anayo yafanya mke wangu, ehehee?”

Nabii Sanga alizidi kulia kama mtoto mdogo. Taratibu Magreth akakilaza kichwa cha nabii Sanga katika bega lake la mkono wa kulia na kuanza kumbembeleza.

“Pole sana baba”

Nabii Sanga akayatupia macho yake kwenye kifua cha Magreth na akayaona maziwa ya mwanamke huyu anaye zidi kumchanganya na kumpagawisha. Taratibu nabii Sanga akaupeleka mkono wake wa kulia kifuani mwa Magreth na kushika ziwa lake moja, huku akijifanya ana endelea kulia. Kitendo hicho kikausisimua sana mwili wa Magreth, ikiwa ndio mara yake ya kwanza maishani mwake kukumbwa na hali hiyo. Magreth akajikuta akikaa kimya na kumfanya nabii Sanga azidi kulitomasa ziwa hio la Magreth ambalo limenona kisawa sawa.

Taratibu nabii Sanga akamlaza Magreth kitandani. Joto kali analo lihisi Magreth mwilini mwake, likamfanya azidi kuwa mpole huku akitamani joto hilo liweze kushushwa haraka. Nabii Sanga, akalifungua tenge la Magreth na akabaki kama alivyo zaliwa.

Nabii Sanga akaanza kuyanyonya maziwa ya Magreth aliye jikuta akizidi kulegea huku akitoa miguno ya raha. Nabii Sanga akazidi kuonyesha uzoefu wake katika sekta ya kumuandaa mwanamke. Akaushusha chini ulimi wake hadi katika kitumbua kizuri cha Magreth. Akaanza kukinyonya taratibu na hapo ndipo alipo zidi kumuahamisha ulimwengu Magreth. Ulimwengu huo Magreth hakuwahi kuufika toka kuja kwake duniani, kila anavyo geuzwa na nabii Sanga ndivyo jinsi anavyo jiweka.

Nabii Sanga alivyo hakikisha kwamba amesha mlegeza Magreth, taratibu akampaka jogoo wake mate. Akamsugua sugua jogoo wake katika kitumbua cha Magreth kisha taratibu akaanza kumzamisha na kuifanya sura ya Magreth kutawaliwa na mikunjo itokanayo na maumivu.

“Pole baby”

Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kuvunja ungo wa Magreth. Taratibu nabii Sanga akaanzisha safari ya mapenzi kwa Magreth. Baada ya dakika kumi na tano za mwendo wa taratibu, nabii Sanga akajikuta akifika tamati huku jasho likimwagika mwili mzima. Ukimya ukatawala kati yao huku kila mmoja akitamani kumuanza mwenzake.

“Mage”

“Bee”

“Nina kupenda sana. Nina kuamini sana na nipo tayari kukufanyia kila kitu. Nitahakikisha kwamba una kuwa tajiri na umasikini una usahau. Umenielewa mama?”

“Ndio”

Magreth alijibu kwa sauti ya upole na iliyo jaa aibu kubwa sana. Hakutarajia siku hata moja kama atakuja kumkabidhi nabii Sanga mwili wake tena na bikra yake ambayo alikuwa akiitunza kwa ajili ya mwanaume atakaye muoa.

“Ila nina ombi moja. Endapo atatokea mwanaume akakuchukua mara ya mimi kukubadilisha kimaisha. Haki ya Mungu, nitamuua mbele yako na utashuhudia jinsi nitakavyo ufanya ukatili huo. Kwani sinto kuwa na huruma kabisa na yeye”

Maneno ya nabii SANGA yakamstua sana Magreth, kwani moyo wake haupo kabisa kwa nabii Sanga kwani mwanaume anaye mpenda kuliko kitu chochote ni Evans ambaye yupo hospitalini akipatiwa matibabu kwa pesa za nabii Sanga.



“Mage tume elewana?”

“Nimekuelewa baba”

“Usiniite baba, kunzi hivi sasa mimi ni mume wako”

Mage akakosa cha kupinga kwani kama ni usichana wake tayari umesha tolewa na nabii Sanga. Taratibu nabii Sanga akamkumbatia Magreth kwa nyuma na kulala, kumalizia masaa hayo machache yaliyo salia kabla ya kupambazuka. Mlio mkubwa wa redio, inayo imba wimbo wa taarabu, ukawastua nabii Sanga na Magreth.

“Nani huyo?”

Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amekerwa na makelele hayo.

“Ni mama mwenye nyumba”

“Ndio ana washa mziki mkubwa kiasi hicho?”

“Ahaa sisi tumesha zoea”

“Hapana kwa kweli. Leo hii hii nahitaji uhame kama ni kutafuta nyumba basi katafute sehemu ambayo ni nzuri na tuhame. Ume nielewa?”

“Ndio mpenzi”

Magreth akajikaza sana moyoni mwake kuita jina hilo, lililo mfanya nabii Sanga kuachia tabasamu pana akionekana dhairi kwamba amefurahi kuitwa jina hilo. Tartaibu nabii Sanga akaanza kunyonya lipsi za Magreth ambaye hakuwa na kipingamizi cha aina yoyote katika kukataa kitendo hicho.

“Unaweza kunywa chai na mihogo mpenzi?”

“Mihogo ya aina gani?”

“Kukaanga?”

“Ndio nina weza. Tena nina hamu nayo”

“Basi leo acha nika kununulie. Nabandika chai haraka haraka tunywe kisha tuendelee na ratiba nyingine”

“Sawa baby”

Magreth akashuka kitandani, akajifunga tenge lake na kutoka nje. Akakutana na mama mwenye nyumba uwani akifagia.

“Shikamoo mama”

“Marahaba, jana nimesikia miguno ambayo sikuwa nina ielewa elewa ndani kwako. Vipi kwema?”

Maneno ya mama mwenye nyumba yakamstua sana Magreth aliye shika kindoo cha chooni chenye maji kiasi.

“Kwema”

Magreth alizungumza huku akielelea bafuni.

“Naona hata kamwendo kame badilika, ni nani huyo aliye pata bahati ya kuzibua mgodi huo wa dhahabu?”

Magreth hakuyajali maneno hayo ya karaha zaidi ya kuingia chooni. Akamaliza huduma ya haja ndogo na kuoga haraka haraka kisha akarudi chumbani kwake.

“Huyo mama anaye washa mziki mkubwa hivyo, ana mume?”

“Hana”

“Ndio maana. Ametufanya tuamke kwa makelele yake. Ila usijali haya yote yatakwisha sawa mpenzi wangu”

“Sawa baby”

Meneno ya Magreth yakazidi kumpagawisha nabii Sanga. Magreth akajiandaa na kuelekea mtaa wa pili ambao una wafanya biashara wengi wanao pika mihogo ya kukaanga pamoja na chapati. Akanunua mihogo ya kukaanga na kurejea nyumbani kwake. Akaandaa chai na kwa pamoja wakaanza kunywa na Magreth huku furaha ikiwa ime tawala kati yao.

“Muhasibu wako una muamini?”

“Yaa nina muamini sana”

“Yasije kuwa mambo ya Tomas”

“Ila ni kweli yasije kuwa mambo ya Tomas. Nitajitahidi kumuamini”

Mabara baada ya kupata chai hiyo ya nguvu. Nabii Sanga akatumia simu ya Magreth kuwasiliana na muhasibu wake aitwaye Judithi Kiria. Akamuelekeza Judithi ni wapi alipo na akamuomba asiweze kuja na gari lake, bali atumie usafiri wa bajaji ili isiwe rahisi kwa watu wana mfahamu muhasibu huyo kumfwatilia. Ndani ya dakika ishirini Judithi Kiria akafika katika nyumba hiyo kwa msaada wa maelekezo aliyo patiwa na Magreth. Akapokelewa kwa furaha na Magreth, kwani ni watu wanao fahamiana.

“Shikamoo baba”

“Marahaba Judithi mwanangu”

“Pole sana kwa matatizo baba”

“Nashukuru mwanangu. Laiti ingekuwa si Magreth kujitoa sadaka maisha yake basi nisinge weza kuwa hapa hadi muda huu.”

“Ehee ilikuwaje kuwaje?”

Nabii Sanga akamueleza Judithi Kiria kila jambo lililo tokea hadi kufika usiku katika nyumba hiyo.

“Ohoo MUNGU ashukuriwe hawakuweza kukudhuru”

“Amen. Sasa nenda na Mage benki ya CRDB. Msaidie kufungua akaunti na ufanye uhamisho wa milioni mia mbili”

Magreth bado kidogo moyo wake umlipuke kwa shangwe, ila akajikaza kuizuia furaha hiyo.

“Kwa maana maisha yangu yeye ndio alikuwa muamuzi wa mwisho. Laiti kama angekataa kuja kule msituni basi nisinge kuwa hai sasa hivi”

Nabii alitoa sababu ya kusaidiwa, ila ukweli ni kwamba moyo wake wote upo kwa Magreth.

“Sawa baba, nitafanya hivyo”

“Jambo jengine, wewe si una ishi kule Kigamboni?”

“Ndio baba”

“Kuna nyumba nzuri nzuri za kununua au kupanga?”

“Zipo nyingi sana”

“Basi nitafutie nyumba ya kupanga. Hembu tazama maisha ya huyu binti jinsi yalipo. Sikia hayo makelele ya taarabu, japo nimelala hapa, ila sijajisikia vizuri kwa makelele hayo”

“Sawa baba ila kwa nini tusimtumie Tomas katika kutafuta nyumba nzuri kwa maana yeye ana fahamiana na watu wengi”

“Achana na Tomas”

“Naweza kujua kwa nini baba?”

Swali la Judithi Kiria likamfanya Magreth kumtazama nabii Sanga, anaye onekana kutafakari juu ya kulijibu swali hilo.

“Tomas yeye ndio alipanga mpango wa kuniteka”

“Nini?”

“Yaa alifanya hivyo kwa maslahi yake binafsi. Ila nina shukuru Mungu nilifanikiwa kutoka katika mikono ya watekaji hao mara baada ya kuwapa kiasi hicho cha pesa alicho kileta Magreth kule porini”

“Ohoo Mungu wangu!!”

“Mbona ume stuka sana?”

“Ahaa…hapana baba. Sikutarajia kama Tomas yule ninaye mjua mimi ana weza kuwa na akili za kijinga kama hizo”

“Ndio hivyo amefanya kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Sina jinsi zaidi ya kujitenga mbali naye”

“Sawa baba nimekuelewa, acha sisi tuondoke”

Judith na Magreth wakaondoka, huku wakipita katika ofisi ya mtendaji wa eneo hilo kwa ajili ya kuandikiwa barua ambayo wataitumia benki. Wakapita eneo la kupiga picha ndogo(passport size). Walipo hakikisha wana kila kitu ambacho benki ina hitaji. Wakelekea katika benki hiyo. Kufahamika kwa Judithi Kiria, kuka rahisisha zoezi la Magreth kufungua akaunti ya benki kwenda haraka haraka.

“Una bahati sana kwenye maisha yako Magreth”

“Kwa nini?”

“Huyu mzee ni mchumi sana. Sijui imekuwaje hadi amekupatia kiasi hichi kikubwa cha pesa”

“Sijajua kwa kweli. Hivi una muda gani ume fanya kazi na baba?”

“Huu ni mwaka wa saba. Nilipo toka tu chuoni aliweza kuniajiri, nimekuwa muaminifu sana kwake, nina mshukuru Mungu hadi sasa hivi nina maisha yangu mazuri sana ambayo yana nifanya nisaidie ndugu zangu na jamaa zangu pia.”

“Hivi ana penda nini baba?”

“Hapendi mtu ambaye si muaminifu. Yaani hapa namuwazia Tomas sijui ata mfanya nini? Hapendi mtu muongo, kama una matatizo au tatizo, hakikisha una mueleza mapema kabla ya yeye kufahamu tatizo lako. Hapendi mtu asiye jibidiisha, ana chukia sana uvivu na upuuzi”

“Ahaa”

“Yaa”

“Judithi akaunti yenu ipo tayari”

Muhudumu wa benki hiyo limueleza Judithi na Magreth walio kaa kwenye eneo la kusubiria. Wakanyanyuka na kumfwata muhudumu huyo. Judithi akafwata hatua zote za kuhamisha pesa kutoka akaunti ya biashara ya kanisa la nabii Sanga kwenda akaunti ya Magreth. Magreth akaonyeshwa salio lililopo kwenye akauti yake, akatamani kuzimia kwa furaha.

“Mama umesha kuwa milionea”

Meneja wa benki hiyo alizungumza huku akijawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Ohoo asante Mungu”

Magreth alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Akakabidhiwa kadi yakae ya kutolea pesa, akafundishwa jinsi ya kutoa pesa. Ili kudhibitisha kwamba ana pesa kwenye akaunti yake, Magreth akatoa milioni moja na ujumbe mfupi wa meseji ukaingia kwenye simu yake.

“Kwa hiyo nikitoa pesa huku muna nitumia ujumbe kwenye simu yangu?”

“Ndio dada, huduma ya ATM ime unganishwa na simu yako ya mkononi.”

Muhudumu huyo aliye mfundisha jinsi ya kutumia ATM mashine alimjibu kiufahasa.

“Pia kwa kupitia simu yako una weza kutoa na kuweka pesa kwenye akaunti yako. Hauna haja sasa ya kuja hapa benki na kupanga foleni”

Magreth akamaliza kupewa maelezo hayo. Wakaondoka benki hapo na kueleka hadi eneo Magreth alipo acha gari lake. Wakaelekea Kigamboni na kumtafuta dalali ambaye ni maarufu sana katika mji huo. Wakafanikiwa kumpata dalali, wakampa jukumu la kumtafutia Magreth nyumba nzuri ya kupangisha. Haikuwa kazi kubwa kwa maana kwa dunia ya sasa kila kitu kinapatikana kwenye mtandao. Wakaonyeshwa nyumba ambazo zipo wazi kupitia mtandao.

“Hii ina vyumba vitu ni nzuri sana”

Magreth alizungumza huku akitazama picha za nyumba hiyo.

“Basi kodi ya mwezi ni laki tano”

“Twende tukaione”

Judithi Kiria alizungu. Wakaelekea katika eneo ilipo nyumba hiyo. Katika mtaa huo kuna majumba makubwa ya kifahari na mazuri. Magreth na Judith wakatembezwa kwenye nyumba hiyo. Walipo ridika, Magreth akalipa kodi ya mwaka mzima, akaandikishana mkataba na mwenye nyumba kisha akakabidhiwa funguo. Wakarudi nyumbani kwa Magreth, wakamueleza nabii Sanga kila jambo walilo lifanya.

“Nashukuru Judithi, kaendelee na kazi na usimueleze mtu aliye yoyote juu ya hii siku wala uwepo wangu hapa”

“Sawa baba, naamimi una nifahamu na sinto weza kufanya hivyo”

“Nashukuru”

Judithi Kiria akaondoka na kumuacha nabii Sanga na Magreth. Magreth akafunga mlango wa chumba chake kisha taratibu akaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine jambo lililo mfanya nabii Sanga naye aanze kuvua nguo zake kujiandaa kwa mtanange anao kwenda kushiriki na Magreth.

***

“Tuna waambia nini familia yake na wana nchi?”

Mkuu wa polisi aliwauliza vijana wake walio kuwa wamekwenda kuifanya oparesheni ya kumuokoa nabii Sanga, katika kikao hicho cha dharura, katika makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam.

“Inabidi tusitoe ripoti yoyote mkuu zaidi ya kuendelea na upelelezi, nina imani kwamba hawaja muua nabii Sanga kwa maana kila eneo la msitu hakuna sehemu ambayo tumekuta damu wala shimo alilo fukiwa mtu.

“Maiti za majambazi zipo wapi kwa sasa?”

“Muhimbili”

“Yule mshenzi yupo wapi?”

“Yupo mahabusu ya kwake peke yake”

“Sawa, pesa na silaha na magari walio kuwa wakitumia majambazi. Viandaeni ili niweze kuzungumza na waandishi wa habari. Hilo swala la nabii Sanga, tutaendelea kulifanyia uchunguzi wa kujua ni wapi alipo”

“Sawa mkuu”

“Tawanyikeni”

RPC alizungumza na vijana wake wakatawanyika. Mkutano wa RPC na waandishi wa habari ukaanza. Vibunda vya pesa za kigeni na pesa za Tanzania walizo kamatwa nazo majambazi, zikawekwa mezani. Silaza zao nazo zikaweka mezani na waandishi wa habari wakaanza kuvipiga picha.

“Mapambano ya jana usiku na majambazi walio mshikilia nabii Sanga yalikuwa ni makali sana. Vijana wangu waliweza kuifanya kazi ya kuhakikisha wana kabiliana na majambazi hao na walifanikiwa kuwaua majambazi wanne. Hizi ni pesa ambazo tuliwakuta nazo, magari yao walio kuwa wana yatumia yapo hapo nje, tutawaonyesha mara baada ya kikao hichi. Nikaribishe maswali wawili tu”

RPC alizungumza kwa kifupi na kumchagua mmoja wa waandishi habari aulize swali lake.

“Je mumefanikiwa kumpata nabii Sanga? Kama mume mpata je yupo wapi kwa sasa?”

“Kutokana na sababu za kiusalama sinto weza kukujibu maswali yako. Nakaribisha swali la pili”

“Maiti za majambazi hao kwa sasa zipo wapi?”

“Muhimbili, ila tuna endelea kuzifanyia uchunguzi ili kuweza kubainisha wao ni kina nani na tutahakikisha tuna pata muunganiko wa wao na watu walio kuwa wana wauzia silaha za kivita kama hizo AK47 munazo ziona hapo mezani. Karibuni mukayaone magari yao”

RPC akatoka ukumbini humo na waandishi wa habari wakimfwata nyuma. Akawaonyesha magari walio kuwa wana yatumia Rama D na wadogo zake. Kila aliye yaona alishangaa, kwani yamejaa matundu mengi sana yatokanayo na risasi huku moja likiwa lime bondeka bondeka vibaya sana.

***

Mrs Sanga hakuweza hata kutia kitu chochote mdomoni mwake, hii yote ni kutokana na woga ulio mjaa. Hakutarajia kumuona Tomas akiingia katika kipindi hicho kigumu. Kila aina ya maombi, ameomba kwa ajili ya Tomas, wala hakuwa na shaka na mume wake ambaye hana hata chembe ya upendo juu yake. Taarifa ya askari anayo iona kwenye luninga yake kuhusiana na majambazi walio mteka mume wake, ikazidi kumpa wakati mgumu mrs Sanga. Habari ya kuuwawa kwa majambazi hao, ikamfanya ahisi Tomas ni miongoni mwao.

“Gari lake pale halipo”

Mrs Sanga alijifariji kwa hilo.

“Mama”

Julieth aligonga mlangoni mwa mama yake, mara baada ya kuto muona akishuka sebleni toka asubuhi.

“Mmmmm”

“Fungua basi mlango”

Mrs Sanga akajifunga tenge na kumfungulia mwanaye huyo wa mwisho mlango.

“Shikamoo”

“Marahaba. Vipi mbona haujaenda chuo?”

“Nitaendaje, ikiwa maaskari wamenizuia kwenda. Vipi na wewe mbona huja toka chumbani hadi sasa hivi ina kwenda saa saba mchana?”

“Nipo kwenye mfungo wa maombi. Nina muombea baba yako huko alipo asiweze kukubwa na jambo lolote baya”

Mrs Sanga alimuongopea mwanaye.

“Sawa, ila Mungu ata simama nasi, ata kuwa salama”

“Amen”

“Ngoja nikuache uendele na maombi yako mama”

“Sawa mwanangu”

Julieth akatoka ndani humo na kumuacha mama yake akiangua kilio huku akizidi kumuomba Mungu afanye muujiza kwa Tomas ili aweze kutoka mikononi mwa askari.

***

RPC mara baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari. Akaagiza Tomas kuingizwa kwenye gari lake, askari wake wakatii amri hiyo.

“Niacheni naye huyu kijana. Nina elekea naye Muhimbili”

“Mkuu ina bidi niongozane nawe”

Bodygard wake alizungumza kwani ni jukumu la kuongozana na bosi wake kila sehemu anayo kwenda.

“Wewe leo baki hapa. Niacheni kuna jambo nahitaji kwenda kumuonyesha”

RPC akaingia kwenye gari lake hilo aina ya Toyota VX V8 na kuondoka. Wakafika hospitali ya taifa Muhimbili. Moja kwa moja akaeleka katika jengo la kuhifadhia maiti. Akamshusha Tomas ndani ya gari huku akiwa amefungwa pingu za mikononi na miguuni akiwa na nyororo ndefu iliyo muwezesha kupiga hatua fupi fupi. Akamshika mkono huku akiichomoa bastola yake kiunoni.

“Nahitaji kuziona zile maiti zilizo letwa na vijana wangu”

RPC alimuambia muhudumu wa jengo hilo. Wakaongozana na muhudumu huyo hadi kwenye mafriji makubwa ya kuhifadhia maiti. Tomas japo ni mjanja sana, ila katika maisha yake yote hakuwahi kuingia katika jengo la kuhifadhia maiti(Mochwari). RPC akaagiza maiti hizo kutolewa nje ya mafriji hayo huku zikiwa zimefunikwa. Muhudumu huyo ambaye macho yake ni mekundu sana kutokana na uvutaji wa bangi ili kutoa woga wa kuhudumia maiti hizo akasimama pembeni yao huku akiwatazama. RPC akaifunua maiti moja na akamuonyesha Tomas maiti ya Selemani D iliyo chakaa kwa kupigwa risasi.

“Hawa jana tu walikuwa hai, wakisherekea pesa nyingi walizo zivuna kwa kumteka nabii Sanga. Ila sasa hivi wapo hapa hawajitambui. Wewe upo hai ila hii bastola yangu ina weza kukulaza na wewe hapa na ukajumuika na hawa wezako. Niambie ni wapi wezako walipo mpeleka nabii Sanga la sivyo, utaungana nao na wewe utaingizwa kwenye jokofu lile pale ukiwa maiti”

RPC alizungumza huku akimuwekea Tomas bastola ya kichwani na kumfanya Tomas kuanza kutetemeka mwili mzima huku akiona mwisho wa maisha yake sasa umefika, tena ana fia ndani ya chumba cha kuhifadhia maiti.



ITAENDELEA


0 comments:

Post a Comment

BLOG