Search This Blog

Wednesday, November 18, 2020

MKE WA RAISI (PRESIDENT‘S WIFE) SEHEMU YA 7/10

 

 


 MKE WA RAISI (PRESIDENT‘S WIFE)

WRITER…………………………………………EDDAZARIA G.MSULWA
WEBSITE………………………………………… www.storyzaeddytz.com
CONTACT……………………………………….. 0657072588/0768516188
AGE……………..18+ 

SEHEMU YA 7 KATI YA 10

 




Lvina na vijana wake wakaingia ndani ya boti mbili zinazo kwenda kwa mwendo kasi sana. Wakaondoka na mwendo wa kawaida huku wakitazama muda wao, kwani wanahitaji kuweza kufika nchini Tanzania majira ya usiku na huu ni muda wa jioni.

“Hei wasichana”

Livna alizungumza kwa sauti ya utaratibu kwa kutumia kinasa sauti alicho jifunga mkononi mwake. Wasichan wote waliweza kusikia.

“Hatuwezi kuondoka huko tunapo kwenda pasipo kuhakikisha kwamba tunaikamilisha dhamira yetu iliyo tupeleka huko sawa”

“Sawa mkuu”

“Iwe ni kufa au kupona ila ni lazima hii kazi tuweze kumaliza leo.”

Livna alizungumza kwa msisitizo, ulio wafanya vijana wake wazidi kupata munkari wa kwenda kuifanya kazi hii iliyopo mbele yao.

“Emmy, hadi sasa umefanikiwa kufahamu ni sehemu gani alipo makamu wa raisi?”

Livna alizungumza huku akitazama simu aliyo shika, inayo muonesha Emmy aliye muacha katika maao makuu ya kikosi chao ambapo ni ndani ya meli kubwa.

“Ndio muheshimiwa, kwa sasa makamu wa raisi yupo ikulu”

“Sawa hakikisha kwamba unanipa taarifa kila baada ya dakika kumi na tano”

“Sawa muheshimiwa”

***

“Muheshimiwa raisi kikao tayari”

Sekretari wa raisi Rahab alizungumza, huku akiwa amesimama kwenye mlango wa kuingilia katika ofisi hiyo ya Rahab.

“Sawa tunakuja”

Sekretari hiyo akatoka na kumuacha Eddy na Rahab.

“Ajenda kubwa ya kwenda kujadili hiko ni nini?”

Rahab aliuliza huku akimtazama Eddy usoni mwake.

“Tutajua huko huko tutakapo kwenda”

“Ila Eddy nahitaji kuachana na hii kazi, naomba ulielewe hili, nipo tayari hata kuwatangazia hawa wakuu wa vikosi vya majeshi kwamba ninakwenda kuachana na uraisi”

“Muda wake bado ni kitu gani haswa kinakukatisha tamaa?”

“Majukumu ni mengi sana, ambayo yananikosesha amani”

“Vumilia kidogo mambo yataisha”

“Wee twende”

Taratibu, Rahab akaanza kukisukuma kitu alicho kikalia Eddy, wakatoka ofini humo na kuanza kuongozana na walinzi wao walio waweka katikati. Wakafika katika ukumbi wa mikutano, wakuu wote wa vikosi tofauti tofutti vya jeshi, wakasimama na kuwapigia saluti. Eddy na Rahab wakaka katika viti walivyo kuwa wameandaliwa kukaa. Wakuu wote wakaaa chini ili kuwasikiliza Eddy na Rahab ni kitu gani wanacho kwenda kukizungumza.

“Habri zenu?”

Eddalizungumza kwa sauti nzito kidogo na iliyo jaa mikwaruzo.

“Salama tu muheshimiwa”

“Kwa sasa nchi inakwenda kukabiliwa na majukumu mazito, majukumu ambayo yanaweza kwenda kugairimu taifa katika swala zima la kiulinzi na usalama wa waanchini wetu.”

Eddy akapumzika kidogo huku akimeza fumba la mate.

“Nyinyi wote munaweza kuwa mashahidi wa matukio ya kigaidi na uvimizi yaliyo anza kutokea kwenye familia yangu, yamegarimu maisha ya vijana wetu, huku yakituachia majeraha wengine kama hivi munavyo weza kuona. Kitu ambacho ninahitaji kuanzi hivi sasa, ni kuakikisha kwamba kila gaidi ambaye tunamkamata, hakikisheni kwamba munamuua, katika hilo yotote ambaye atahitaji kuuliza maswali, muelekezeni kwangu sawa”

Wakuu wote wakapiga makofi kwani kauli hiyo imewafurahisha kwa namna moja ama nyingine.

“Ifikie kipindi watu waweze kuelewa kwamba hii ni nchi ambayo inaongozwa kwa misingi ya kisheria na ina viongozi wa ngazi zote, sio kama Marekani wametuma vijana wao, kuja kumchukua raia wetu pasipo idhini ya raisi, wala yangu, wala kiongozi yoyote. Kilicho tokea ni vijana wao kuuwawa katika ardhi yetu”

“Kila kiongozi katika kitengo chake cha usalama, ahakikishe kwamba usalama unaiumarisha mara mia zaidi ya huu ulipo hivi sasa, nina imani Wamarekani wanaweza kuwatumia watu, kulipiza hichi kisasi, jambo ambalo litaweza kugarimu damu za watu”

“Sinto pendelea kuona damu ya mwananchi wangu, au kijana wangu yoyote ikimwagika eti kisa cha wajinga wachache, hahaa, kwa kweli hapo nitakuwa ni mtu mmoja mkali na mwenye roho mbaya sana. Mimi mwenyewe, nina uwezo wa kuingia kwenye mapambano, sio kiongozi wa kubweteka na kutia amri, nina imani mulio weza kunishuhudia juzi hapa mutakuwa mumeelewa ni nini ninacho kizungumza”

“Kama unahisi kuna kikundi chako cha majambazi amacho una kifadhili au sikui unakifanyia msaada hata wa habari zinazo endelea, hakikisha kwamba unajivua madaraka yako haraka iwezekanavyo na unaachana kabisa na swala hili. Nilimuuangamiza baba yangu aliye nizaa kabisa, kwa ajili ya uzalendo mkubwa wa nchi yangu, hivyo kukuamngamiza wewe mtu baki halitokuwa jambo la kukwepeshana, nitakuua”

Eddy alizungumza kwa msisitizo na kuwafanya viongozi hawa kutazama.

“Yaa niwe muwazi, kama huto niua mimi, basi nitakuua, wewe. Ninaimani kwamba kila kitu mumeweza kukielewa”

“Ndio mkuu”

“Labda nimpe nafasi muheshimiwa raisi weze kuzungumza”

“Habari za jioni”

“Salama”

“Mimi hapo ninacho hitaji kuongezea msisitizo ni kwamba kila mtu ajitambue katika nafasi yake, sinto penda kuona kile kilicho jitokeza kwa makamu wa raisi na familia yake vije kujitokeza tena kwa mmoja wetu hapa”

Mlango ukafunguliwa, sekretari wa raisi Rahab moja kwa moja akafika katika kiti alicho kalia Rahab, na kumnong’oneza.

“Muheshimiwa kuna tatizo”

“Tatizo gani tena?”

“Kuna waviamizi ambao hatujafahamu wametokea wapi ila satelaiti zimeweza kuwanasa na hivi sasa wapo katika fukwe za bahari, jambo ambalo kwa haraka haraka tunahisi kwamba ni Marekani wametuma vijana wao”

Mapigo ya moyo ya Rahabu yakaanza kumuenda mbio, akawatazama viongozi waliomo ndai ya hili eneo, kisha akamsogelea Eddy sikioni mwake.

“Eddy, kuna uvamizi ambao umefanyika”

“Unatoke wapi?”

“Wanavyo hisi kwamba ni Wamarekani kwa maana wapo kando kado ya bahari na wamekuja kwa boti”

“Nilijua tu, tunaweza kuona kwa Tv hizi zilizopo ndani ya hii ofisi?”

“Ndio muheshimiwa”

“Fanyeni hivyo je mumeweza kunasa mazungumzo yao yoyote”

“Ndio wanajitahidi kuweza kuhakikisha kwamba wananasa mazunguzo yao”

“Hembu fanyeni hivyo”

“Sawa”

Sekretari akawasha Tv hizi mbili zilizopo ndani ya ukumbi huu, akawapigia watu waliomo katika chumba maalumu cha mawasiliano, wakawapa maelekezo ya kuweza kutuma video hizo zilizo rekodiwa na satelaiti katika tv zilizomo katika chumba hicho cha mkutano. Taa zote zikazimwa na watu wote macho yao wakayaelekezea katika tv hizo na kuwaona wasichana hao wakiwa kama watu wanao subiria muda uweze kusonga ili waweze kusonga mbele.

“Muheshimiwa si tunaweza kuwazuida hata kabla hawajasonga mbele?”

Mkuu mmoja wa jeshi alizungumza huku akimtazam Eddy na Rahab.

“Hapana tusubiri kwanza tuweze kufahamu ni kitu gani ambacho kuimewaleta katika nchi hii”

“Muheshimiwa mazungumzo yao yamesha patikana”

Sekretari alizungumza mara baada ya kumaliza kuzungumza kwa simu yake.

“Yawekeni tuweze kuyasikilize”

Rahah alizungumza huku akimtaza sekretari wake. Sekretari wake akachukua rimoto na kuruhusu sauti hizo ziweze kusikika. Eddy akajiweka vizuri kwenye kiti chake mara baada ya kusikia kwamba watu wanapanga kumuangamuza yeye na familia yake.

“Wanasubiria muheshimiwa utoke ikulu ili waweze kukufanyia ambushi”

Sekretari huyo alizungumza huku akimtazama Eddy usoni mwake.

“Mkuu tuwaweke vijana tayari?”

“Subirini kwanza”

Jibu la Eddy likamshangaza kila mmoja katika chumba hichi kwa maana wahusika tayari wamesha wapata na kilicho bakia kwa wao ni utekelezaji wa kuhakikisha kwamba wanamuangamiza mmoja baada ya mwengine.

***

“Pole mwaya”

Phidaya alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama madam Mery ambaye uso wake umetawaliwa na uwekundu wa kutikana na maumivu na kulia sana.

“Asante yaani ninawaombayule kijana muweze kumshuhulikia”

“Usijali nitahakikisha kwamba anashuhulikiwa kisasa sawa, natambua kwamba mimi ndio chanzo cha wewe kuingai kwenye matatizo hivyo ninakuomba unisamehe sana”

“Usijalia, ila roho yangu inaniuma sana”

Madam Mery alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.

“Kwa nini?”

“Shamsa mwanao amemuua kijana wangu, hadi sasa hivi ninajaribu kufikiria tatizo ni nini lililo pelekea hadi kumuua ila ninashindwa kuelewa kwa kweli”

“Jamaani”

“Yaaa, amempiga risasai”

Phidaya akashusha pumzi nyingi huku akitazama nje ya kioo cha gari hilo walilo panda wakirudi nyumbani. Walinzi wote wakapewa taarifa ya kuhakikisha kwamba wanamuwahisha mke wa makamu wa raisi nyumbani. Gari zote zikawasha ving’ora na mwendo kasi wa magari ukaanza kuongezwa jambo lililo washangaza Phidaya na madma Mery.

“Kuna nini kinacho endelea?”

Phidaya alizuliza huku akimtazama mlinzi aliye kaa siti ya mbele.

“Samahani madam kuna wavamizi wanahitaji kukungamiza wewe hivyo inatupasa tuweze kukupeleka nyumbani salama.”

Mameno hayo yakamfanya Phidaya na madam Mery kujawa na woga.

“Madma tunaomba ufunge mkanda wa siti yako”

Mlinzi huyo alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Phidaya kudunga mkanda wa siti yake huku akimtazama kijana huyo akiikoki bastola yake tayari kwa lolote ambalo litakwenda kujitokea.

***

Miguno ya kimahaba ya Cookie ikazidi kumteza Jing aliye lala chumbani kwake, hisia za kimapenzi zikampanda, taratibu akaingiza kiganja chake katika chupi aliyo ifaa, akajaribu kuchezea kitumbua chake ila akashindwa kabisa, na kujikuta akikurupuka kitanda na kusimama huku mapigo ya moyo yakizidi kumunda mbio. Msukumo wa kumuhitaji mwanaume ukazidi kumtawala, akafungua mlango wa chumba chake huku akiwa na chupi tu. Akaanza kutembea hadi sebleni, akamshuhudia jinsi Adrus anavyo mpa Cookie pesa zito sana.

Taratibu Jing akaegemea ukuta huku akiwatazama kwa mbali jinsi wanvyo endelea uburudishana.

“Oohoo….aiiss…..iia….hu…u…….”

Cookie aliendelea kulia kwa raha huku akiwa ameinamishwa kwenye sofa la hapo sebleni. Jinga uvumilivu ukamshinda kabisa na kuanza kuwasogelea huku macho yaliyo jaa uchu na tamaa ya ngono yakiendelea kumtawala. Adrus akajikuta akipungusa kasi yamashambulizi kwa Cookie baada ya kumuona Jing akiwa amesimama pembeni yake, kwani hakutarajia wala hakutegemea kwamba Jing anaweza kuwakuta katika hali kama hiyo.



“Ohoo sory”

Adrus alizungumza huku akifuta jasho usoni mwake. Jing akakosa hata kitu cha kuzungumza, aibu nyingi ikamtawala. Cookie naye akabaki kimya akimtazama Jing aliye kosa hata kitu cha kuzungumza.

***

Ukimya ukazidi kutawala ndani ya ofisi. Eddy muda wote macho yake yote yapo kwenye tv kubwa iliyopo ndani ya ofisi hiyo akiwatazama wasichana hao wamekuja Tanzania kwa ajili ya kumuagamiza yeye na familia yake yote.

“Mkuu tunasubiri jibu lako”

“Andaeni msafara wangu”

Watu wakazidi kushangaa maamuzi ya makamu wa raisi, hapakakuwa na mtu ambaye bado aneweza kuamini maamuzi hayo ya Eddy.

“Eddy huwezi kutoka ndani ya ikulu ikiwa sasa hivi kuna watu wapo kwa ajili ya kutaka kukuangamiza”

Raisi Rahab ilimbidi na yeye aweze kuzungumza.

“Hawa tukisema tuwavamie pale walipo kuseme ukweli hatujui ni jinsi gani walivyo jipanga. Hiyo ni moja. Mbili sehemu walipo ni karibu kabisa na bahari, muda na wakati wowote wanaweza kutorokea na tukawakosa. Kitu amabancho ninahitaji muweze kukifanya ni kwamba. Undaliwe msafara wangu, itafutwe gari moja ambayo ni imara haito weza kuingiza risasi wala itakuwa si rahisi kwa kulipuliwa na bokmu. Baada ya hapo uandaliwe mtego ambao tutawaleta katikati ya mji, itakuwa si rahisi kwa wao kuweza kutoka na itakuwa ni njia rahisi ya sisi kuwakamata na kuhakikisha kwamba tunawashuhulikia kikamilifu”

“Edddy hapana hatuwezi kuyaweka maisha yako matatani kwa kiasi hicho, taifa bado linahitaji mchango wako sawa”

Rahab alizungumza kwa ukali kidogo huku akimkazia macho sana Eddy.

“Samahani wakuu, nina wazo moja hapo ambalo ninaomba nizungumze”

“Zungumza”

“Msafara wa makamu wa raisi kweli ungeandaliwa, ila angewekwa raisi wa bandia ambaye atafaninia sana na mheshimiwa, ila huyo atakuwa ni mwana usalama. Hata ambush itakwenda kutokea basi ataweza kuihimili”

“Ni wazo zuri hili, bora hilo Eddy lifanyiwe kazi kuliko likafanyiwa kazi haraka iwezekanavyo”

Rahab alizungumza kwa msisitizo, kazi ya kumtafuta mtu ambaye atatengenezewa sura ya bandia na kuonekana kama Eddy ikaanza. Ndani ya dakika kumi na tano, akapatikana mwana usalama, aliye anza kufanyia matengenezo ya sura ya bandia na madaktari maalumu kutika katika kitengo maalumu cha jeshi la kulinda taifa.

“Waheshimiwa kazi imesha malizika”

Mkuu wa jeshi la kulinda taifa alizungumza baada ya kupokea simu kwamba kijana huyo yupo tayari

“Tunaweza kumuona”

“Ndio muheshimiwa”

Mkuu huyo akafanya mawasiliano, baada ya muda kijana huyo akaingia kwenye ofisi hiyo. Eddy na Rahab wakabaki kushangaa kwani kijana huyo hana toafauti kabisa na Eddy.

“Kumbe inawezekana kutengeneza mty anaye fanana nami?”

“Ndio muheshimiwa ndio huyu hapa sasa”

“Basi kazi ianze mara moja”

“Sawa muheshimiwa”

“Ila vijana wote si mume was ha taarifu?”

“Ndio watu wote wapo tayari kwa kazi”

“Kijana kazi njema”

Eddy alizungumza huku akimpa mkono kijana huyo aliye fanania kama yeye.

“Shukrani muheshimiwa”

Kijana huyo akatoka nje na kukaa kwenye kiti cha magurudumu na kuanza kusukuma kuelekea nje. Wakaingia kwenye gari za msafara wa makamu wa raisin a taratibu safari ya kuelekea nyumbani kwa mamaku wa raisi Eddy Godwin ikaanza taratibu.

***

Phidaya na madam Mery wakafikishwa nyumbani salama, nyumba ya makamu wa raisi ikaongezewa ulinzi mara tano ya ulinzi uli kuwwa.

“Kuna nini kinacho endelea?”

Sa Yoo alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa, mara baada ya kuona magari ya wana usalama yakizidi kumiminika, huku kamera za ulinzi zikikaguliwa moja baada ya nyingine.

“Hata mimi sifahamu kwa kweli”

Shamsa alijibu huku akitazama walinzi hao wanao zidi kutawanyika kila kona ya nyumba hiyo. Wakawaona Phidaya na madam Mery wakishuka kwenye moja ya gari walio kuwa wameondoka nalo.

“Karibuni”

Sa Yoo alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana usoni mwake.

“Samahani, munatakiwa kuingia ndani hivi sasa”

Mlinzi mmoja alizungumza.

“Kaka kuna tatizo gani?”

Sa Yoo aliuliza.

“Kuna wauaji wanahitaji kuja kuwaua hivyo basi munatakiwa kukaa ndani”

“Kutuua sisi?”

“Ndio, ninawaomba muweze kuingia ndani”

“Sawa, madam mbona sura ipo hivyo?”

“Kuna mambo yametokea nitawaambia.”

Madam Mery alizungumza huku akiingia ndani

***

“Mkuu amesha toka ikulu”

Mmoja wa vijana wa Livna alizungumza huku akitazama simu aliyo ishika mkononimwake.

“Haya sasa tunaingia mjini”

Livna alizugumzahuku akiongoza hadi kwenye magari mawili yaliyopo katika eneo hilo, ambayo yaliandaliwa mapema na kijana wao kabla hata kabla hawajafika.

“Mkuu”

“Mmmmm”

“Nina hisia mbaya na hili ambalo tunakwenda kulifanya”

Kijana mmoja alizungumza huku akimtazama Livna ambaye tayari alisha ushika mlango wa gari na kuhitaji kuingia ndani.

“Kivipi?”

“Nahisi kuna mtego ambao upo mbele yetu”

“Hakuna kitu kama hicho, hii kazi ni lazima kuhakikisha kwamba tunaimaliza leo hii hii”

Livna alizungumza kwa msisitizo.

“Sawa mkuu”

Wakaingia kwenye gari hizo mbili na taratibu wakaanza kuondoka katika eneo hilo kwa mwendo wa kasi huku wakiwa wamedhamiria kuhakikisha kwamba wanamuua Eddy.

“Tuna dakika ngapi kuwafikia”

“Kama dakika kama tano hivi tuweze kuwafikia”

“Kila mmoja aweze kuandaa silaha yake”

Livna alizungumza huku akitoa magazine kwenye kwenye nduki yake, kuhakikisha kwamba anaiweka tayari kwa mashambulizi.

***

Kikosi maalumu kutoka jeshi la kulinda nchi, kikawa tayari kimesha jiandaa kuhakikisha kwamba wanaulinda msafara wa makamu wa raisi kisiri sana na chochote ambacho kinakwenda kutokea basi wanaweza kukabiliana nacho na kazi yao ni kuhakikisha kwamba wanawakamata wafuasi hao wanao taka kumuua raisi wakiwa hai.

“Wanazidi kutukaribia”

“Kila mmoja ahakikishe kwamba silaha yake inakuwa vizuri”

“Sawa mkuu”

“Kila mmoja aweze kuvaa miwani yake”

Mkuu wa kikosi hicho alizungumza kupitia kinasa sauti chake maalumu alicho kivaa sikioni mwake. Kikosi hicho cha vijana kumi wakavaa miwani zao zinazo wawezesha kuona vizuri usiku.

“Dakika mbili”

Mkuu huyo alizungumza huku akitazama simu yake inayo onyesha gari hizo zinavyo zidi kufika katika eneo ambalo gari za makamu wa raisi zilipo.

Livna na vijana wake kwa kasi ya ajabu wakauzuia msafara wa makamu wa raisi, kwa haraka wakajirusha nje ya magari yao na kuanza kushambulia gari hizo. Mvua ya risasi ikaanza kuwamwagikia vijana wa Livna ambao hawakutajarajia kukutana na dhahama kama hiyo.



“Mkuu nilikuambia huu ni mtego”

Msicha huyo alizungumza huku wakishuhudia maiti za wezao watano zikiwa zimelala chini. Livna hakuwa na cha kujibu zaidi ya kushusha pumzi nyingi sana, kwani kila kona wamedhibitiwa na hakuna sehemu ambayo wanayo weza kutoka, wakiwa salama.

“Mkuu inabidi utoroke hapa, sisi tunakulinda”

“Siwezi kuondoka na kuwaacha”

“Noo mkuu hakuna jinsi ni lazima uondoke”

Msichana huyo alizungumza huku wakiwa wamejibanza kwenye moja ya gari lao linalo endelea kumiminiwa mvua ya risasi na kusababisha upande unao pigwa kujawa na matundu mengi sana ya risasi huku vioo vyote vikiwa tayari vimesha vunjika.

“Mkuu tunakufa kwa ajili yako, hakuna jinsi fanya utoroke”

Msichana mwengine alizungumza kwa kusisitiza jambo lililo mfanya Livna kuanza kumwagikwa na machozi usoni mwake. Gafla wakiwa katika majadiliano hayo, gari mbili aina ya Hammer zikasimama mbele yao, wakashuka watu walio valia nguo nyeusi, pamoja na vingago vyeusi ambayo zimetengenezwa kwa mfumo wa chuma. Watu hao wakaanza kushashambulia walinzi wa serikali pamoja na wanajeshi ambao walipewa jukumu la kuhskikisha kwamba wana watia mikononi Livna na kundi lake.

Mashambulizi hayo yakawapa nguvu Livna na vijana wake, nao wakaanza kujumuika katuka kuhakikisha kwamba wana wanaendeleza mashambulizi hayo amabyo kwa tayari yalisha kuwa magumu. Kwa ishara mtu mmoja akawaomba waweze kuingia ndani ya gari hizo.

“Twendeni”

Livna alizungumza kwa haraka wakaingia katika gari hizo aina ya Hammer, kisha wakaondoka katika eneo hilo kwa mwendo wa kasi na kuacha maiti za walinzi wa makamu wa raisi pamoja na kikosi maalumu cha jeshi.

***

“Ni using** gani unao endelea?”

Eddy alizungumza huku akiwa amejawa na hasira kali sana, kwani kwa kupitia video zinazo chukuliwa na satelait waliweza kushuhudia walinzi na wanajeshi wakiwa wameuwawa kikatili sana. Kila mmoja ndani ya ukumbi huo wa mikutano akabaki na mshangao ulio wakosesha majibu kwamba ni kina nani ambao wamehusika katika kuwaokoa wasichana hao ambao tayari walisha wazidi nguvu.

“Munashangaa nini tafuteni mufahamu ni kina nani ambao wamehusika katika hilo tukio”

Eddy alizungumza kwa kufoka sana kitu kilicho wafanya wakuu wa majeshi kila mmoja kuanza kujishuhulisha kwa namna anavyo jua yeye mwenyewe kwani tayari hali imesha kwua tete kwa upande wao

“Na hakikisheni kwamba hamuwapotezi, video za satelaite ziendelee kuwafwatilia”

“Sawa mkuu”

Eddy akajikuta akinyanyuka kwneye kiti chake na kuzna kutembea tembea ndani ya ukumbi huo jambo lililo washangaza wengi sana kwani wanafahamu bado ana kidonda ambacho kinamsumbua.

“Eddy mpenzi nakuomba ukae chini, kidonda chako bado hakijapona”

Raisi Rahab alizungumza kwa sauti ya upole sana huku akimsogelea Eddy karibu yake.

“Siwezi kukaa ikiwa vijana wangu wamesha kufa wote”

“Sawa Eddy ila hili tatizo tunakwenda kulitatua”

“Kivipi, ikiwa mtego ambao tuliweka umeteguliwa dakika za mwisho na umegarimu maisha ya vijana wangu. Hivi unaelewa ni kitu gani ambacho kinaendelea lakini”

Eddy alizungumza kwa msisitizo.

“Ninaelewa, ila ninakuomba uweze kutulia hili jambo halihitaji hasira Eddy”

“Unahisi linahitaji nini, kuna kuzungumza kwa kubembelezana hapo. Laiti wakiwa ni Wamarekani wameamua kuwasaidia hao wasichana, si wewe wala si nani, nitahakikisha kwamba ninakwenda kuamsha vita dhidi yao”

***

“Samahani jamani”

Jing alizungumza na kuanza kuondoka katika eneo hilo la sebleni na kuwaacha Adrus na Cookie wakiwa wamejawa na mshangao huku nao pia aibu zikiwa zimewatawala.

“Kwa nini alikuja hapa?”

Adrus alizungumza kwa sauti ya chini.

“Hata mimi sijui, babda sauti zetu ndio zimemkera, akaona aje atuonyeshee kwamba tuache kelele”

“Mmmm”

“Ndio maana yake”

Cookie alizungumza huku akinyanyuka katika sofa, akabeba nguo zao na kuondoka katika eneo hilo la sebleni akiwa kama alivyo zaliwa. Adrus, akamfwata chumbani, wakaingia bafuni na kuoga kwa pamoja.

Usiku wa siku hiyo ukapita, asubuhi na mapema wakaamka na kuanza kupanga mikakati ya kuelekea katika kisiwa cha madagamscar. Mikakati yao ikakamilika ndani ya dakika kumi na tano. Wakaingia katika ndege ya kifahari iliyo andaliwa kwa ajili yao uhku kila mmoja akiwa amevalia vizuri, na kwa haraka haraka ni ngumu sana kwa mtu kuweza kufahamu kwamba ni watu ambao wanatafutwa.

“Mtu mwenyewe mbona mzee hivi?”

Cookie alizungumza huku akitazama picha ya dokta Ranjiti kwenye laptop aliyo ipakata mapajani mwake.

“Kwani mtu akiwa mzee ndio hawezi kufanya matukio mabaya?”

“Anaweza, ila hawezi kuizuia serikali yenye watu wengi kushindwa kumkamata”

“Mmmm kikubwa hatufahamu kwamba wamejipangaje, unaweza kukuta ana kundi kubwa la vijana ambao wanamfanyia kazi”

“Sijui lakini”

“Unajua nini?”

“Mmmmm”

“Hiyo kazi ya kumfwatilia huyo mzee niachieni mimi, kwa maana mimi na asili yangu hii ya kichina sidhani kama itakuwa ni rahisi sana kwa wao kuweza kunistukia”

“Alafu kweli, wakiniona mimi mswahili wanaweza kuhisi ndio nimeagizwa kuwakamata”

“Ni kweli, ila rafiki yangu atatupa muongozo wa nchi hiyo, si munafahamu kwamba kila nchi ina kazi yake na sheria zake isije ikatokea tukafanya kazi na mwisho wa siku tukajikuta tukikamatwa na kuwekwa ndani”

“Kweli kwa maana hii sio kazi ya kiserikali”

“Kweli, ila baada ya kumaliza hii kazi wezangu mutakwenda wapi kwa maana mimi nitarudi China”

“Hatumshuhulikii tena Livna au?”

Cookie aliwauliza.

“Tuachane naye kwa maana matatizo ambayo tunayaendea ni makubwa kuliko”

“Mmmm kwa alicho tufanyia tumaamua kumsamehe au?”

“Boraiwe hivyo kwa maana Livna si mtu wa mchezo mchezo jamani”

Jing alishauri wezake.

“Sawa”

***

“Mkuu tutakuwepo hapa kwa kipindi cha muda gani?”

Dokta Ranjiti alimuuliza John wakiwa mezani wanapata chakula cha asubuhi.

“Inabidi tukae hapa kwa muda kwa maana inabidi tujipange kivingine, kwani hadi sasa hivi hatujui ni wapi tunapo weza kuweka kambi yetu na isitoshe vijana wetu kwa sasa wamepungua sana”

“Ni kweli muheshimiwa”

“Baba ina maana kwa sasa mimi ndio si rudi tena chuoni?”

“Mmmmm muulize mumeo mtarajiwa, jukumu hilo kwa sasa lipo kwake”

“Kurudi tena chuoni kwa sasa haiwezekani, macho ya serikali ya Tanzania yana angaza kila upande kuhakikisha kwamba wana wakamata ninyi”

“Mmmmm sawa”

“Ila mkuu ibabidi ufanye hima uhakikishe kwamba unamuoa binti yangu”

“Kweli mzee, ila nakuomba kwa sasa usiniite muheshimiwa”

Sauti ya Junion Jr anaye lia chumbani ikamfanya Anna kwa haraka kunyanyuka kwneye kiti akachukua kitambaa na kijifuta mikono yake na kuingia chumbani kwake alipo mlaza Junion Jr.

“Hei mr umeamka?”

Anna alizungumza huku akimsogelea Junion Jr. Taratibu akamnyanyua na kumkagua na kumkuta amejikojelea. Akamvua pampas aliyo mvalisha, akaingia naye bafuni na kuanza kumuogesha taratibu huku akiwa amejawa na furaha sana kwani upendo alio nao juu ya Junion Jr ni kama mwanaye wa kumzaa

***

“Hadi muda huu mume wangu hajarudi nyumbani kuna nini kinacho endelea?”

Phidya aliuliza huku akimtazama mlinzi mmoja aliye simama ndani ya seble hiyo.

“Kusema kweli sifahamu ni kitu gani kinacho endelea”

“Ila mama usiwe na wasiwasi atarudi tu”

Shamsa alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama Phidaya usoni mwake.

“Jamani angalieni”

Sa Yoo alizungumza huku akiongeza sauti ya tv iliyopo hapo sebleni. Taarifa inayo rusha na kituo cha EMTV inaonyesha taarifa ya dharura ya msafara wa makamu wa raisi Eddy Gowdwin kuvamiwa na watu wasioo julikana na hadi muda huu inavyo semekena kwamba walinzi wote wa makamu wa raisi wameuwawa.

Taafira hiyo ikamwafanya wote ndani ya seble hiyo akiwemo mama Adrus pamoja na madam Mery kujawa na wasiwasi mwingi sana. Phidaya machozi yakaanza kumwagika usoni mwake huku akiwa kama haamini kwa kitu ambacho anakisikia kwa muda huo.

***

“Nyinyi ni kina nani na kwa nini mumeamua kutusaidia”

“Hakuna muda wa kuulizana hivi sasa”

Sauti mbaya na ya ajabu iliweza kusika kwa mmoja wa watu ambao waliweza kumsaidia Livna na vijana wake. Mashambulizi yakazidi kuendelea kwa gari za askari zinazo wafukuzia kwa nyuma. Mashambulizi yakazidi kuwa makali kwa upande wao kwani kadri jinsi wanavyo zidi kwenda mbele ndivyo jinsi gari za askari wenye usongo wa kuhitaji kuwakamta ukizidi kusonga mbele.

“Inabidi tukutoroshe wewe”

Mtu huyo alizungumza”

“Kivipi ikiwa tuna andamwa nyuma na magari zaidi ya ishirini”

“Inawezekana”

Mtu huyo aliendelea kujibu kwa sauti iliyo mbaya inayo washangaza Livna na watu wake. Wakazidi kusonga mbele hadi kwenye msitu wa Magwepande, gari hizo zikasimama na kuzifanya gari hizo za polisi nazo kusimama. Gari walilo panda Livna na wezake likafunguka kwa chini eneo la siti za nyuma walipo kaa.

“Inabidi mushukie hapa”

Mtu huyo alizungumza huku akiwaonyesha shimo linalo ingia chini ya ardhi lililo sawa kabisa na gari hili lilipo simama.

“Anza kushuka wewe”

Mtu huo alizungumza huku akimnyooshea Livna shimo hilo, Livna pasipo kujiuliza mara mbili akaanza shukuka ndani ya shimo hilo lenye ngazi. Akafwatia mtu huyo aliye mpa maelekezo hayo.

“Watu wangu”

Livn alimuuliza mtu huyo mara baad ya kumuona ana ufunga mfuniko wa shimo hilo.

“Watu wako wapo kwa ajili ya kutoa sadaka maisha yao kwa ajili yako, twende zetu”

Mtu huyo alizungumza huku akianza kutembea kwenye nji hiyo iliyo jaa maji maji mengi, huku akiwa ameiwasha tochi ndogo ila yenye mwanga mkali sana inayo wawezesha kuona wanapo kwenda.

“Kwa nini lakini umeamua kunisaidia”

“Unahitaji nikurudishe ufe kama watu wako wanavyo kufa?”

“Hapana”

“Tusonge mbele”

Wakazidi kusonge mbele huku Livna akionekana kujawa na shauku kubwa sana ya kuhitaji kumfahamu ni nani huyo ambaye amemsaidia. Wakatokea kwenye moja ya jumba moja kubwa lilipo maeneo hayo ya porini. Moja kwa moja wakaingia ndani ya jumba hilo.

Mtu huyo taratibu akaanza kuvua kinyago chake, Livna hakuamini kumuona ni mwanamke mwenzake, ila hakujua ni sababu gani inamfanya awe na sauti mbaya ikiwa amejaliwa uzuri mzuri sana.

“Kumbe wewe ni mwanamke?”

“Ndio”

Livna akazidi kushangaa sana baada ya kusikia mwanamke huyu akizungumza kwa sauti nzuri na ya kawaida sana.

“Nimekusaidia kwa maana na wewe ninahitaji unisaidie”

Mwanamke huyo alizungumza huku akimtazama Livna.

“Nikusaidie nini?”

Mwanamke huyo akafungua kabati lililopo hapo sebleni akatoa karatasi mbili zenye maandishi pamoja na kalamu na kumkabidhi Livna mikononi mwake.

“Za nini?”

“Huo ni mkataba ambao nahitaji uingie mimi na wewe, kwa maana kila kitu kina thamani yake”

“Kwani wewe ni nani na umenijuaje mimi?”

“Mimi ninaitwa K2, na nimekujua hata kabla ya wewe kujua ni nini kinacho kwenda kukupata leo na watu wako leo, so amua kusaini au nikuue ukajumuike na watu wako huko ambao tayari sasa ni marehemu.”



Livna macho yakamtoka huku akimtazama K2 ambaye taartibu alianza kufunga kiwambo cha kuziia sauti ya risasi kwenye bastola yake. Livna akashusha pumzi nyingi huku akiendelea kumtathimini K2. Livna kwa taratibu kwa dharau akaichana karatasi hiyo aliyo ishika na kumfanya K2 kushangaa sana.

“Sijawahi na sinto weza kufanya ujinga kama huo una niambia”

“Hahaaaa……kwa hiyo unahisi kwamba siwezi kukuua hapa?”

“Ndio huwezi kuniua, na kama ni mwanamke uliye jikamilisha. Weka silaha yako pembeni kisha tupambane, atakaye muweza mwenzake basi ndio atakuwa mkuu kwa mwenzake”

“Khaaa….sawa”

K2 alizungumza huku akimtazama Livna kuanzia juu hadi chini, K2 akitupa bastola yake pembeni na taratibu akavua gloves nyeusi alizo zivaa kwenye vignja vyake, akavuaa jaketi jeusi la kuzuia risasi(bullet proof). Akabaki na tisheti nyeusi iliyo shika vizuri mwili wake. Livna naye akavua jaketi la kuzuia risasi na kubaki na kaushi nyeusi. Akajiweka vizuri viungo vya mwili wake, kisha kwa kasi akaanza kurusha ngumi mfululilzo zilizo mpata K2 barabara na kumuangusha chini huku damu kiasi zikianza kumtoka mdomoni mwake.

***

Ofisi nzima ikatawala kwa makofi mara baada ya ripoti kuwafikia kwamba kikosi cha magaidi ambao walikuwa wakihitaji kumuu makamu wa raisi kimekamatwa huku baadhi yao wakiwa wameuwawa.

“Wapo wangapi?”

Eddy alimuuliza mkuu wa kitengo cha polisi aliye piga simu hiyo, ambayo imewekwa mezani na kila mtu ndani ya ofisi hiyo anaweza kusikia.

“Maiti za wasichana zipo mbili, mmoja yupo hai, wengine hawa walio kuwa wamevalia vinyago maiti zao zipo nne”

Eddy akaka kimya kwa muda huku akipiga mahesabu ya hara haraka, akakumbuka idadi ya watu walio kuwa kwneye shambulizi la msafara wake. Akakumbuka idadi ya watu walio weza kuja kuwasaidia wasichana hao.

“Kuna wawili hawapo hapo”

Maneno ya Eddy yakawafanya wakuu wote wa jeshi kushangaa kwani tayari walisha amini kwamba wameweza kuihimili vita hiyo.

“Kuna wawili ambao inaonekana ndio wakuu wao hawapo hapo. Hakikisheni kwamba munawatafuta na kuwapata. Nitumieni picha za maiti zote”

“Sawa mkuu”

“Eddy umejuaje?”

Rahab aliuliza kwa sauti ya chini, kwani hata yeye mwenyewe alisha amini kwamba vita imesha kwisha.

“Nyinyi yale mapigano mulikuwa mikiyatazama kama filamu au?”

“Hapana”

“Sasa wawili hapo hawapo kabisa, tunatakiwa kuhakikisha kwamba tunawapata. Hao wameweza kujitoa muhanga kwa ajili ya wakuu wao, kwa hiyo wakuu wao wawili hawapo”

Eddy alizidi kuzungumza kwa msisitizo mkali sana.

“Mkuu picha zimesha tumwa”

Sekretari wa raisi Rahab alizungumza huku akiminya rimoti ya tv, picha za maiti hizo zikaanza kuonekana kwenye tv.

“Pelekea mbele”

Eddy alizungumza huku akiendelea kutazama maiti hizo kwa umakini sana.

“Picha ya yule msichana mrefu, mwembamba na mwenye asili ya kama muafrikast yupo wapi?”

Eddy aliuliza na kuwafanya watu wote kukaa kimya huku wakishangaana.

“Huyo ndio atakuwa ametoroka na huyo si ndio alizungumza kwamba anahitaji kuniu mimi na familia yangu?”

“Ndio mkuu”

“Sasa mtafuteni, nitumieni picha za eneo hilo kwa chini”

“Sawa mkuu”

Maelekezo ya makamu wa raisi Eddy Godwin yakeendelea kufanyiwa kazi kikamilifu, ndani ya muda mchache picha hizo zikatumwa tena. Akatazama gari la mbele aina ya Hammer, kisha gari jengine la nyuma yake aina hiyo hiyo akalitazama kwa umakini.

“Hilo gari la mbele lina funguo”

Eddy alimuuliza mkuu wa kikosi cha pilisi kupitia simu iliyopo mezani na ipo hewani kwa muda wote.

“Ndio mkuu”

“Liwasheni na mulisogeze mbele”

“Sawa mkuu”

Wakafanya kama walivyo agizwa.

“Zoom karibu”

Eddy alimuambia mtu anaye shuhulika na swala zima la kuongoza satelati zinazo chukua matukio katika eneo hilo walipo askari.

“Kwenye hayo majani hapo hembu jaribuni kuchimbua”

“Sawa mkuu”

Hawakumaliza hata sekunde thelathini wakaona mfuniko wa chuma amba kwa haraka haraka kwa juu mtu ukiiutazama utayaona majani hayo.

“Yess hapo ndipo walipo torokea hao mashetani, haya sasa wapange vijana wako kuanza kuwafwatilia”

Eddy alizungumza huku akiwa amejawa na furaha sana.

“Eddy umejuaje jamani mambo yote haya?”

“Mtoto wa nyoka ni nyoka tu”

“Una maana gani?”

“Baba yangu alikuwa nyoka, na mimi nitakuwa nani?”

“Hahaaaa haya mwaya”

Rahab alizungumza huku akitabasamu.

“Hakikisheni humo chini wanakwenda vijana wenye uwezo mkubwa sana, musipeleke watu ambao hawana uwezo, kwa maana hao watu munao kwenda kuwafwatilia ni hatari sana”

“Sawa mkuu”

”Hei naimba kikombe cha kahawa”

Eddy alizungumza huku akimyooshea sekretari wa raisi Rahab.

“Sawa mkuu”

“Jane acha tu ngoja nikamuandalie mimi”

“Muheshim…….”

“Shiiiii…..nitamuandalia mimi, nyinyi endeleani kuatazama ni kitu gani ambacho kinacho endelea, kwa maana kicha kimoja cha makamu wa raisi ni sawa na vichwa elfu moja”

Rahab alizungumza huku na kuwafanya baadhi ya watu kucheka.

“Nani mwengine anahitaji kahawa?”

Viongozi baadhi wa jeshi wakanyoosha mikono juu.

“Basi ninatengeneza nyingi sana ili leo watu wote muweze kunywa kahawa iliyo andiliwa na madam president”

Rahab alizungumza kwa utani kidogo, akaingia mlinzi wa makamu wa raisi kwenye ukumbi huu wa mikutano, moja kwa moja akaelekea hadi sehemu aliyo kaa makamu wa raisi.

“Muheshimiwa kuna simu yako hapa”

Mlinzi huyo alizungumza kwa sauti ya kungong’oneza.

“Imetokea wapi?”

“Kwa mama nyumbani”

Eddy akaichukua simu hiyo, na kuiweka sikioni mwake.

“Halooo”

“Baby jamani kuna nini kinacho endelea, nimeona kwenye taarifa ya habari kwamba msafara wako umevamiwa na walinzi wako wote wameuwawa”

Phidaya alizungumza kwa sauti iliyo jaa wasiwasi mwingi sana

“Nani amezungumza hiyvo?”

“Ni taarifa ya habari nimeiona kwenye tv sasa hivi”

“Shiitiiii……!!! Mimi nipo salama mke wangu, ila ngoja nakupigia sasa hivi”

“Sawa”

“Ila na nyinyi si mupo salama salmin”

“Ndio”

“Haya”

Eddy akakata simu na kumtazama mlinzi wake huyo.

“Niachie simu yako, nenda kanisubiri nje”

“Sawa muheshimiwa”

Mlinzi huyo akatoka, Eddy kwa ishara akamuita sekretar wa makamu wa raisi.

“Hembu fwatulia hizo taarifa zinazo rushwa kwenye vyombo vya habari zimerusha na nani na hakikisha kwamba unaniletea mmiliki wa hicho chombo cha habari sawa”

“Sawa mkuu”

Jane kwa kutumia tablate aliyo ishika mkononi mwake, akaanza kutafuta chanel moja baada ya nyingine ambazo zipo nchini Tanzania. Akabahatika kuipata taarifa hiyo kwenye chanel ya EMTV, kwa haraka akanza kutafuta namba ya mmiliki wa kituo hicho, haikuwa kazi ngumu kwake kuipata. Akampigia, simu hiyo ikaanza kuita baada ya sekunde kadhaa ikapokelewa.

“Halooo”

Sauti nzito ya kiume ilisikika.

“Unazungumza na Jane kutoka ikulu ya raisi, kuna taarifa inarusha kwenye chombo chako cha habari. Tunakuamrisha uweze kuifuta na kutangaza kwamba umeirusha kimakosa”

“Hahaa…..samahani dada umekunywa au?”

Swali hilo likamfanya Mery kumtazama Eddy anaye endelea kufanya mazungumzo na viongozi wengine wakijeshi. Kwa hatua za haraka akamfwata Eddy.

“Muheshimiwa, mmiliki wa kituo hicho amekuwa mkaidi”

“Lete simu”

Eddy akaichukua simu hiyo na kuiweka sikioni mwake.

“Unatangaza taarifa ambayo si sahihi una maana gani?”

Eddy alizungumza kwa kufoka kidogo na kuwafanya wakuu wote wa jeshi walio kuwa wakizungumza mambo mawili matatu kukaa kimya na kumsikiliza.

“Aha…wewe ni nini hadi uwe unazungumza hivyo?”

“Unataka kunijua mimi ni nani?”

“Ndio, kwa maana huwezi kupiga simu na kunichimba chimba biti ikiwa nchi hii ina uhuru wa habari”

“Ahaaa sawa uhuru wa habari utaupata kabla ya hakujapambazuka”

Eddy akakata simu na kumrudishia Jane simu yake.

“Hakikisha kwamba ndani ya nusu saa awe amekamatwa”

“Sawa mkuu”

Jane akatoka ukumbini humo, moja kwa moja akaelekea jikoni alipo raisi Rahab.

“Ndio”

“Mkuu kuna kazi amenipatia makamu wa raisi, ninaomba nikaishuhulikie sasa hivi”

“Ni nje ya ikulu?”

“Ndio muheshimiwa”

“Inahusiana na nini?”

“Kuna kituo cha tv kimetanganza juu ya kuuwawa na makamu wa raisi pamoja na watu wake wote”

“Pumbavu, wanatangazaje swala hilo ikiwa srrikali bado haijaidhinisha”

“Ndio hivyo”

“Na mumezungumza na miliki wa kituo hicho”

“Ndio ameleta dharau na kejeli”

“Nenda kahakikishe kwamba munamkamata usiku huu huu na unamleta hapa ikulu”

“Sawa madam”

***

Mida ya saa tisa usikiku, Adrus akiwa ameongozana na Jing pamoja na Cookie wakafika katika kiwanja cha kimataifa cha ndege cha Ivato kilichopo katika mji wa Antananarivo, Madagascar. Wakashuka kwenye ndege yao na kupokelewa na Leen Ji, rafiki kipenzi wa Jing.

“Karibuni Antananarivo”

“Shukrani best kunana na marafiki zangu, huyu anaitwa Adrus, na huyu anaitwa Cookie”

“Nashukuru kuwafahamu”

“Jamani huyu ndio yule rafiki yangu niliye kuwa nikiwaambia, anaitwa Leen Ji, nimecheza naye toka tukiwa watoto wadogo sana hadi tumekuja kuwa wadada”

“Tunashukukuru kuwafahamu”

“Asanteni jamani, tuingieni kwenye gari isije mukaonekana”

“Hahaaa…..”

Jing alicheka kidogo, wakaingia kwenye gari aina ya Range Rover sport na kuaondoka katika kiwanja hicho cha ndege kuelekea nyumbani kwake. Hawakuchukua muda sana wakafanikiwa kufika.

“Karibuni sana na mujisikie mupo nyumbani”

“Asante, jamani kazi tunaianza saa ngapi?”

“Mbona munaweza kuianza hata sasa hivi kama mutakuwa hamjachoka kwa maana nimesha fahamu ni hoteli gani wahusika wapo”

“Basi kama ni hivyo tuifanye sasa hivi, tusipoteze muda, hadi kuna pambazuka, tuhakikishe kwamba kila kitu kimekisha, au Adrus mpenzi wangu unasemaje?”

“Mimi nipo tayari kwa lolote muda na wakati wowote”

Adrus alizungumza huku akitabasamu. Lee Ji, akawaingiza katika chumba chake cha kuhifadhia silaha za kila aina pamoja na mabomu mepesi mepesi jambo lililo zidi kuwapa hamasa ya kwenda kuifanya kazi ya kumuokoa mtoto wa makamu wa raisi wa Tanzania Junion Jr Eddy Godwin.


“Jamani hatuwezi kwenda sura zetu zikiwa zipo wazi, ni lazima tuweze kutafuta mbinu na namna ya kuweza kuzificha”

Coookier alishauri huku akiwatazama wezake usoni.

“Musijali hilo niliweza kulitambua, kuna vinyago hivi hapa nyeusi nimeweza kwuaandalia kila mtu atavaa cha kwake na sidhani kama inaweza kuwa rahisi kwa nyuso zetu kuonekana”

Lee Ji alizungumza huku akivitoa vinyago hivyo. Maandalizi yakazidi kuoamba moto, walipo hakikisha kwamba kila mtu amejiweka tayari, wakatoka ndani ya chumba hicho, wakaingia kwenye gereji kubwa ya Lee Ji iliyopo pembezoni mwa nyumba yeke, wakabadilisha plate namba ya gari aina ya BMW X5. Taratibu wakaanza kuondoka katika eneo hilo na kueleka katika hotel ambayo dokta Ranjiti na mwaye ndipo wanapo patikana,

***

Ulinzi katika hoteli ya kifahari ya nyota tano, waliyopo dokta Ranjiti, Anna na John umeimarikishwa kwa asilimia kubwa sana kwani ukiachilia mbali John na walinzi wake, ila hoteli hiyo pia wanaishia watu matajiri na wenye hadhi mbali mbali kutoka mataifa yote duniani.

“Hakikisheni kwamba ulinzi unakuwa kila mahala sawa”

John aliwaambia walinzi wake mara baada ya kumaliza kutazama filamu ambayo anaipenda sana. Akaingia katika chumba ambacho analala na Anna, akaamtazama jinsi alivyo mlaza Junion Jr kifuani mwake na kujikuta akijawa na tabasamu pasana sana usoni mwake. Taratibu John akavua nguo zake na kuingia bafuni kuoga, alipo hakikisha kwamba amemaliza kuoga vizuri akarudi kitandani, akamchukua Junion Je kifuani mwa Anna aliye fumbua macho yake.

“Vipi?”

“Safi ndio umemaliza kuangalia sasa hivi movie?”

“Yaaa”

Jon akamlaza Junion kwenye kitanda kidogo kilichopo katika eneo hilo.

“Yaaa niliipenda sana ile filamu”

“Njoo sasa tulale mume wangu”

Anna alizungumza huku akilifunua blanget kubwa alilo jifunika, John taratibu akapanda kitandani huku akipiga miyayo ya hapa na pale. Taratibu akaanza kuzinyonya lips za Anna.

“Mmmmm baby tutafanya asubihi”

“Umechoka”

“Mmmm….”

“Haya sawa”

John alizungumza huku taratibu akiaanza kumkumbatia Anna kwa nyuma. Adrus na kikosi chake wakafika katika hoteli hiyo, kwa mbali kidogo wakalisimamisha gari lao iki kusoma mazingira ya eneo hilo.

“Walinzi wapo wengi sana”

Jing alizungumza huku akiwa amekaa siti ya mbele.

“Yaa hii hoteli ina hadhi ya kimataifa ulinzi ni lazima uwe mwingi”

“Sasa tunafanyaje jamani?”

Cookie naye aliuliza, ukimya ukatawala ndani ya gari hilo huku kila mtu akifikiria ni mbinu gani ambayo anaweza kuifanya kwa wakati huo.

“Hapa kuna mawili, tutumie akili nyingi kuingia ndani ya hoteli hiyo au kuhakikisha kwamba tunatumia nguvu ya silaha iku kuweza kujua moja na katika hilo kuna mawili. Kufa na kupona kukamatwa na kutoroka. Tuchague”

Adrus alizungumza kwa sauti iliyo jaa msisitizo na kuwafanya warembo hawa wote kukaa kimya kila mmoja akijaribu kufikiria lake.

***

K2 akamtazama vizuri Livna kwani hadi hapo muda huu hajaambulia ngumi hata moja na ametandikwa kisawa sawa. Livna akaendelea kuendeleza mashambulizi ya nguvu kwa K2 ambaye mbinu sahihi ambayo ameiona kwake ni kuhakikisha kwamba anajilinda ili asipigwe sana. K2 akaendelea kusoma mbinu mbalimbali anazo zitumia Livna alipo hakikisha kwamba amemsoma kisawa sawa, akaanza kujibumashambulizi kwa kurusha mateke mazito ambayo yalimshinda Livna kuyahimili na kwa mara kadhaa Livna alijikuta akianguka chini kwani hapo awali alisha tumia nguvu nyigi sana kuhakikisha kwamba ana muhimili K2.

“Nyanyuka”

K2 alizungumza huku akimtazama Livna aliye anguka chini huku akisikilizia maumivu ya teke zito alilo pigwa tumboni mwake. Livna akajikaza na kusimama wima huku akiwa ameyang’ata meno yake kwa hasira kali sana iliyo mtawala.

‘Namuua sasa huyu malaya’

Livna alizungumza kwa hasira huku akikunja ngumi ya mkono wake wa kilia, kitendo cha K2 kurusha teke ikawa kosa kubwa sana kwake kwani Livna kwa kasi ya ajabu aliinama chini na kumpiga K2 ngumi nzito kwenye sehemu zake za siri na kumfanya K2 kutoa yowe kali lililo ambatana na kuanguka chini huku mikono yake yote akiwa ameishika sehemu hiyo.

***

Haikuchukua mud asana kwa Jane na kikosi cha walinzi wanne kutoka ikulu kufika nyumbani kwa mmiliki wa kituo cha Televishion cha EMTV, anaiye ishi maeneo ya Mbezi Temboni. Kutokana ni amri kutoka ikulu hawakuna na haja ya kuchukua kibali kutoka kwa mwenyekiti wa mtaa wala mjumbe wa nyumba kumi. Wakalizingira jumba hilo na mlinzi mmoja akapanda ukuta huo kimya kimya. Akamfwata mlinzi wa getini aliye jilaza kwenye kibanda kilichopo pembeni ya getini, alicho kifanya ni kumzimisha. Kisha akafungua geti hilo na wezake wanne wakaingia ndani ya geti.

“Siter inabidi usubiri nje”

“Peke yangu?”

“Chukua hii”

Mlinzi mmoja alizungumza huku akichomoa bastola yake yake ya zaida na kumkabidhi Jane.

“Nenda kwenye gari”

“Sawa”

Jane akatoka nje ya nyumba hiyo na kuingia ndani ya gari. Walinzi hao wakachungulia madirishani na kufahamu ni chumba gani ambacho analala mmiliki wa kituo hicho.

Kwa kutumia risasi wakavunja kitasa cha mlango wa mbele wa nyumba hiyo. Kutokana na bastola zao zimefungwa viwambo vya kuzia risasi wakaingia ndani taratibu. Moja kwa moja wakaeleka hadi katika chumba cha mmiliki wa kituo hicho cha Tv, wakafungua mlango huo kwa kuusukuma kwa nguvu kwa kutumia mabega yao. Kwa bahati nzuri mlango ukafunguka na kuwafanya mzee huyo na mke wake kukurupuka kitandani.

Hapakuwa na mahojiano mengi zaidi ya kuwachoma sindano ya usingizi, mzee huyo na mke wake, walipo hakikisha kwamba wamelala, wakambeba mzee huyo na kutoka naye nje, wakaingia ndani ya gari na kuondoka katika eneo hilo kwa mwendo wa kasi sana.

***

“Usitake kuniambia kwamba wewe ndio umehusika natukio la kuuvamia msafara wa makamu wa raisi”

Raisi Dustan alizungumza huku akimkazia macho mshauri wake.

“Hapana muheshimiwa, siwezi kufanya jambo pasipo idhini yako, ila hadi sasa hivi Tanzania inaendelea kutafuta ni kina nani walio husika katika tukio hilo”

“Jaribu kutafuta ni kina nani ambao wamehusika uniletee taarifa kamili “

“Sawa”

Simu ya mezani iliyo katika ofisi ya raisi Dustan ikaanza kuita na kuwafanya yeye na mshauri wake kuitazama kwa muda kisha raisi Dustan akaipokea.

“Halooo muheshimiwa raisi”

Sauti ya kiume iliweza kusikika

“Salama ni nani mwenzangu?”

“Unazungumza na mkuu wa Airport nchini Madagascar, ninaitwa bwana Rodguizer Gerrad”

“Ndio nikusaidie nini?”

“Naamini kuna vijana unawatafuta nchini kwako”

“Vijana gani?”

Raisi Dustan alizungumza huku kwa ishara akaimuonyesha mshauri wake aweza kuichukua simu nyingine ya mezani ili aweze kusikiliza mazungumzo hayo.

“Kuna vijana watatu, mmoja mwanaume, na wengine wawili ni wasichana, mmoja ana asili ya kichina, naamini hadi hapo utakuwa umenielewa ni nini ninacho kimaanisha”

“Ndio”

“Ninafahamu sehemu gani walipo, na ukiwahitaji basi unaweza kuwapata kupitia mimi”

“Sawa sawa shukrani sana tena sana kwa msaada wako ambao unahitaji kunipatia”

“Ni msaada kwako ila kwangu pia ninaimani kwaba utakuwa ni msaada, tunaweza kuzungumza”

“Zungumza”

“Ninahitaji kiasi cha dola milioni kumi ili niweze kuwaonyesha ni wapi walipo”

Raisi Dustan akashusha pumzi taratibu hukku akimtazama mshauri wak eambaye naye anayasikiliza mazungumzo hayo vizuri sana.

***

“Mkuu kikosi cha watu watano kimesha patikana ambacho kinaweza kupita katika njia ya chini kuelekea sehemu walipo kimbilia magaidi”

Mkuu wa kikosi cha polisi alizungumza kwa kutumia simu. Eddy akakaa kimya kwa sekunde kadhaa.

“Wana uwezo kama ule ambao ninaufikiria?”

“Ndio muheshimiwa”

“Sawa nahitaji waingie na ninawahitaji wakiwa hai”

“Sawa muheshimiwa”

Raisi Rahab akaingia ndani ya ofisi hiyo huku akiwa amebeba chupa kubwa aliyoijaza kahawa, vikombe vidogo vidogo vimebebwa na mlinzi wake wa kike.

“Jamani kahawa ipo tayari”

Raisi Rahab alizungumza huku akiiweka chupa hiyo juu ya meza, akachukua vikombe viwili, akamimina kiasi kidogo cha kwa kila kikombe akavibeba vikombe hivyo na kumkabidhi Eddy kikombe kimoja.

“Jamani hii kahawa nilijifunza kuipika kipindi nipo nchini Mexco, kwa hiyo ni ya kimexco zaidi”

Eddy akaonja kahawa hiyo, akaisikilizia kidogo kisha akaanza kutingisha kichwa.

“Ni tamu sana”

“Kweli”

“Yeee sijawahi kunywa kahawa kama hii kwenye maisha yangu, jamani onjeni mapishi ya muheshimiwa wetu”

Wakuu wa jeshi wakaanza kumimina kila mtu kikombe chake cha kahawa. Jane akaingia na moja kwa moja akawafwata Eddy na Rahab sehemu walipo kuwa amwakaa.

“Waheshimiwa, mtuhumiwa tayari yupo mikononi mwetu”

“Mumeleta hapa ikulu?”

“Ndio muheshimiwa”

“Safi tutamuona asubuhi huyo”

“Sawa mkuu”

“Jane na wewe onja kahawa yangu, kila siku wewe huwa ndio unaye nitengenezea”

“Sawa muheshimiwa”

***

K2 akaitazama saa yake ya mkononi iliyo anza kuwaka alama nyekundu. Taratibu akaanza kujizoa zoa kunyanyuka chini, Livna akataka kumfwata, ila akanyoosha mkono kwa ishara ya kumzuia asimpige.

“Wanakuja”

“Nini?”

“Wanakuja kutukamata”

K2 alizungumza huku akijikaza kusiogelea rimoti iliyopo kwenye sofa moja hapo sebleni, akaichukua rimoti hiyo na kuwasta tv kubwa iliyopo hapo sebleni, akaweka upande wa kamera alizo zifunga kuanzia katika njia iliyopo ardhini hadi kwenye nyumba nzima. Wote wakashuhudia jinsi kikosi hicho cha jeshi la polisi kinavyo zidi kujongea katika nyumba hiyo. Jambo lililo wafanya watazamane na hakuna namna ya wao kuweza kufanya zaidi kuhisirikiana na kuhakikisha kwamba wanaondoka haraka iwezekanavyo ndani ya nyumba hiyo kwani kuzubaa kwao ndio mwanzo wa wao kukamatwa.



Livna akamtazama K2 kwa muda kisha akamsogelea na kumnyooshea mkono wa kumsaidia kunanyuka. K2 akautazama mkono huo kisha akaupokea. Livna akamnyanyua K2 na wakatazamana kwa sekunde kadhaa kisha wakakumbatiana.

“Kuna gari lolote tunalo weza kuondokea katika eneo hili?”

“Ndio, ila inabidi tubadilishe nguo”

“Hakuna muda wa kopoteaza, si wanamalizia kona ya mwisho hao?”

“Ndio”

“Tuondoke zetu”

Livna alizungumza huku akiokota bastola yake. K2 naye akaokota bastola yake na kutoka ndani humo. Wakaingia ndani ya gari ana ya Harrier, na kuondoka kwa kasi katika nyumba hiyo. K2 akatoa simu yake mfukonina kumpigia kaka yake.

“Vipi mbona usiku”

“Kaka ninahitaji msaada wako wa hifadhi nyumbani kwako”

“Kuna nini kinacho endelea?”

“Nitakuambia pale nitakapo fika”

“Sawa karibuni”

K2 akakata simu na kiongeza mwendo kasi wa gari ili waweze kuondoka eneo hilo la nyumba yake ya mafichoni.

***

Kikosi hicho cha polisi kinacho ongozwa na bwana Mabula wakafika katika nyumba ya K2, wakaizingira, kuhakikisha kwamba magaidi ambao wanaamini kwamba wapo ndani ya nyumba hiyo hawezi kutoka nje. Bwana Mabula na kijana wake mmoja wakaingia ndani huku kila mmoja akiwa makini sana. Tv inayo onyesha maeneo ya njia iliyopo chini ya ardhi, ikawadhihirishia kwamba magaidi hao ni lazima wametambua kuja kwao hapo. Wakazitazama majaketi ya kuzuia risasi yalio vuliwa na magaidi hao, na kugundu kwamba ni lazima watakuwa wametoroka.

“Mkuu magaidi wametoroka”

Bwana mabula alizungumza kupitia simu yake ya mkononi, na kuwasiliana na watu makamu wa raisi aliyopo ikulu.

“Shitiii, mume kagua nyumba nzima?”

Sauti ya Eddy ilikisika masikioni mwake vizuri sana

“Vijana hivi sasa ndio wana endelea kugagua nyumba nzima na kuna dalili inayo onyesha kwamba wametoroka. Kwani katika hii nyumba kuna kamera nyingi ambazo zinaonyesha hadi chini ya ardhi ambapo tulikuwa tunapita.”

“Umesema kwamba kuna kamera katika hiyo nyumba?”

“Ndio muheshimiwa?”

“Hakuna sehemu ambayo munaweza kugagua na kupata sura ya huyo gaidi wa pili, aliye watorosha wezake?”

Sauti ya raisi Rahab nayo ilisikika vizuri tu.

“Labda tuendelee kutafuta”

“Sawa tafuteni na mutupatie majibu”

“Sawa waheshimiwa”

Bwana Mabuda akakata simu.

“Mkuu kuna alama za tairi za gari huku nje, na inavyo onyesha kwamba gari hilo limeondoka muda mchache sana”

Bwnaa Mabula akaongozana na kijana wake huyo hadi eneo hilo la nje, wakatazama njia ambao tairi hizo za gari zimeelekea, akachukua simu yake na kaunza kumpiga tena katika namba ya Ikulu.

“Tafuteni kama kua gari lolote tuweze kuwafwatilia”

“Sawa mkuu”

“Ndio Mabula”

“Muheshimiwa raisi, kuna alama za tairi za gari ambazo zinaonyesha kwamba wahusika wameondoka muda machache sana kuanzia hivi sassa. Kama ina wezekana tunaomba msaada wa magari pamoja na msaada wa satelait, watafute ili wafahamu ni eneo gani ambalo wahusika wapo kwa muda huu”

“Sawa mumepata, simu yako si ina uwezo wa kupokea signal itkayo wonyesha ni wapi walipo wahusika?”

“Ndio muheshimiwa makamu wa raisi”

“Basi kaa hewani, tunatuma kikosi cha helicopter kitafika hapo muda si mrefu kuanzia hivi sasa”

“Sawa muheshimiwa”

Bwana Mabula akakata simu, na kurudi ndani.

“Muheshimiwa kuna picha hii ya mwanamke tumeikuta humu ndani”

Bwana Mabula akaitazama picha ya K2 na kujikuta akistuka sana, kwani anamfahamu K2 kwa kipindi kirefu sana na walisha wahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi toka walipo kuwa katia mafunzo ya jesho la polisi katika chuo cha jeshi hilo, Moshi.

***

“Hadi sasa hivi bado hujalala?”

Shama alizungumza huku akimtazama Phidaya aliye kaa sebleni mara baada ya kutoka chumbani kwake.

“Siwezi kulala ikiwa sifahamu ni nini kinacho endelea juu ya mume wangu”

Shamsa akakaa kimya kwa muda huku akimtazama Phidaya usoni mwake.

“Mama”

Shamsa aliita kwa sauti ya upole sana. Phidaya akamtazama tu pasipo kuzungumza jambo lolote.

“Najua nimefanya makosa mengi sana kwenye maisha yetu, japo tulisha weka maswala yetu sawa, ila ninahitaji kutumia nafasi hii na muda kama huu kukuomba msamaha mama yangu. Nakuomba unisamehe nahitaji kuwa na amani, ninahitaji kuweka maisha yangu sawa na wewe”

“Shamsa”

“Beee”

“Nimekusamehe kwa moyo mmoja, naamini mimi ndio mtu wa kulaumiwa.”

“Kivipi mama?”

“Kwa umri nilio kukuta nao, ilinipasa niweze kukufundisha jinsi ya maisha yanavyo takiwa kwenda, ila matatizo ya hapa na pale nikashindwa kukusaidia kukufundisha maisha mazuri. Yote yaliyo tokea ni kwa ajili ya yangu, tusamehene”

Maneno ya Phidaya yakamfanya Shamsa kulengwa lengwa na machozi. Taratibu akasimama na kumfwata Phidaya kwenye kiti chake na kumkumbatia.

“Nashukuru mama kwa kunijali”

“Usijali mwanangu, nitawale nyote na mwanao. Mungu abariki aweze kupatikana”

“Nashukuru mama kwa maombi yako”

Sa Yoo aliye simama kwenye ngazi akiyafwatilia mazungumzo hayo, akatabasamu huku akiwatazama Phidaya na Shamsa, kisha akarudi chumbani kwake kuendelea kulala, kwani amani aliyo itamani iweze kupatkana kwa Phidaya na Shamsa, kwa sasa imewea kupatikana.

***

“Ila hii kazi ni ya kwangu, kaaeni hapa nje na munilinde sawa”

Adrus alizungumza huku akiwatazama Cookie na wezake.

“Ingekuwa ya kwako peke yako Adrus sisi tusinge kuja hapa”

Cookie alijibu kwa msisitizo.

“Lee niambie ni gorofa namba ngapi alipo dokta Ranjiti na mwanaye?”

“Gorofa namba tano, chumba namba elfu mbili na tisa”

Lee alizungumza huku akiminya minya laptop ndogo inayo onyesha ramani nzima ya hoteli hiyo. Lee akamkabidhi Adrus kinasa sauti pamoja na simu itakayo msaidia katika kutazama ramani nzima ya eneo alipo dokta Ranjiti.

“Unanisikia?”

“Ndio ninakusikia vizuri?”

“Nahitaji kupanda katika gorofa hili ili niweze kufika katika hoteli ile”

Adrus alizungumza huku wakitazama gorofa lililopo pembeni yao.

“Ila Adrus kwa nini unahitaji kuhatarisha maisha yako?”

“Noo, hapa kikubwa ni akili, Jing na Cookie nyinyi kila mtu aweze kuchukua nafasi yake eneo la nje kuhakikisha kwamba munanilinda, Lee, utabaki ndani ya gari kuendelea kunipa maelekezo ya nini nifanya na ni jinsi gani ninatakiwa kupita kamera hizo pasipo kuonakana.”

“Sawa”

“Cookie niamini, hapa akili ndio inahitajika kutumika sawa mama”

“Sawa”

Jing na Cookie kila mmoja akavaa kinasa sauti kwenye sikio la upande wake wa kushoto. Taratibu Adrus akazinyonya lipsi za Cookie kwa sekunde kadhaa, kisha wakaachiana na kila mtu akaanza kuvaa kinyago chake kwa ajili ya kuficha sura yake. Adrus akachokua kifaa kidogo chenye uwezo wa kutoa kama nyembaba ila ngumu. Alipo hakikisha kwamba amejipanga vilivyo, akavaa gloves zake nyeusi na taratibu akaashuka kwenye gari, akatazama eneo hili, halina mtu wa aina yoyote. Kwa haraka akaingia katika uchochoro unao tengenisha gorofa hizi mbili kabla ya kuifikia hoteli hiyo., ambayo katikati imetengenishwa na barabara ya magari. Akaanza kupanda kwa kasi gorofa hii tenye gorofa kumi kwenda juuu. Haikuwa kazi ngumu sana kwake kutokana na mafunzo aliyo yapitia. Ndani ya dakika tano akawa amefanikiwa kufika juu kabisa ya gorofa hilo.

“Nimefanikiwa”

Adrus alizungumza na sauti yake iliweza kusikika kwa wezake wote watatu amba kila mmoja amaweza kufwata maelekezo aliyo mpatia.

“Hongera baby”

“Asante”

Kutokana kuna uwasi mzogo ulipo katika gorofa hilo na goroa jengine, haukumpa shida Adrus ya kuruka na kutua katika gorofa hilo la pili, akaanza kukimbia kuelekea katika upande wa pili wa gorofa hilo ambapo ndipo ilipo hoteli hiyo kubwa. Akafika katika ukingo wa gorofa hiyo, akaitazama umbali huo ulipo. Akachukua kifaa hicho chenye kamba ndefu na ndugu akaminya batani ndogo iliyopo katika kifaa hicho na kuruhusu kamba hiyo kutoka kwa kasi, kutokana ameielekezea katika katika gorofa hilo la hoteli, ncha kali zilizopo mbele ya kamba hiyo zikanasa katia ukuta wa hoteli hiyo. Adrus akaifunga kamba hiyo kwenye moja ya bomba la chuma lililopo juu ya gorofa hiyo. Akaitingisha kamba hiyo, alipo hakikisha kwamba imenasa vizuri. Akaishika na kujigeuza mgongo chini na miguu yake na mikono yake juu. Akaanza kupita katika kamba hiyo kwa umakini shaa, ndani ya dakika mojaa akawa amefanikiwa kufika juu ya gorofa hilo la hoteli.

“Nimfanikiwa”

“Sasa nenda upande wa kulia, utaona bomba la maji”

“Poa poa”

Adrusa kwa umakini akatembea hadi katika upande alio elekezwa na Lee. Akaliona bomba hilo na kuanza kushuka taratibu, alipo fanikiwa kufika katika gorofa namba tano, akaruka katika upande wa dirisha la chumba cha dokta Ranjiti, akajibaza taratibu katika dirisha hilo.

“Katika chumba cha pili ndipo alipo mtoto”

“So nianze wapi?”

“Anza na mzee kwanza”

“Sawa”

Adrus taratibu akaifungua dirisha hilo la kioo na kuingia ndani ya chumba hicho. Akachomoa bastola yake na kuifunga kiwambo cha kuzuia sauti huku akimtazama dokta Ranjiti aliye laa pasipo kujitambua kwamba kifo kipo mbele yake na kama angefahamu basi angefumbua hata jicho ili maradi kuona mwanga wa mwisho wa duniani, kwani Adrus bastola yake amaielekeza kichwani mwa dokta huyo.

***

Mwanga wa helicopter ya polisi ulio anza kulimulika gari analo liendesha K2 huku akiwa amempakiza Livna ukaanza kuwamulika jambo lililo wastua sana.

“Wamejuaje?”

Livna alizungumza huku akimtazama K2 anaye jitahidi kuhakikisha kwamba analiendesha gari hilo kwa kasi anayo iweza yeye mwenyewe.

“Hata mimi sifahamu wamefahamu vipi”

“Inabidi kuwatoroka”

“Tutawatoroka vipi sasa?”

“Fanya chochote kuhakikisha kwamba una watoroka”

Livna alizungumza huku akiikoko bastola yake, akafungua kioo cha mlango wa upande wake, akajitokeza kidogo na kuanza kuishambulia helicopter hiyo ya polisi. Ila kwa bahati mbaya risasi zote hazikuweza kuipata helicopter hiyo kwani rubani wake alikuwa ni mjanja sana.

Helicopter ya pili ya jeshi la polisi, ikiwa imebeba kikosi cha bwana Mabula nayo ikaongezeka katika msafara wa kukimbizia gari hilo la magaidi.

“Muheshimiwa tuatakiwa kulisimamisha?”

Askari mmoja alizungumza huku akimuangalia bwana Mabula usoni mwake.

“Hapana”

“Mkuu?”

“Nimsema hapana sikilizeni amri yangu”

Bwana Mabula alizungumza kwa kofoka jambo lililo washangaza hadi vijana wake ambao hawakutarajia kupokea amri kama hiyo kutoka kwa bosi wao.

***

“Wanaelekea wapi?”

Raisi Rahab aliuliza wakuu wa vikosi vya majeshi huku wakitazama jinsi helicopter hizo za polisi zinavyo fukuzia gari walilo panda magaidi hao.

“Kuna road block ipo maeneo ya Ubungo”

“Hie hembu zoom picha ya dereva”

Rahab alimuambia mtu anaye shuhulika na masewala ya kuongoza satelaiti hizo zinazo waonyesha matukio ya moja kwa moja ya jinsi oparesheni hiyo inavyo kwenda.

“Hu….huu….huyu sio ndio alikuja na kaka yake?”

Rahab alizungumza huku akimtazama Jane usoni mwake.

“Ndio muheshimiwa”

“Kumbe ni gaidi na anahitaji eti tuanzishe kikosi sijui cha ulinzi”

“Ndio huyo?”

Eddy naye aliuliza

“Yaaa ndio yeye”

“Mabula”

“Ndio muheshimiwa raisi”

“Hakikisha kwamba muna liangusha gari hilo”

Amri ya raisi Rahab ikamfanya bwana Mabula kujawa na kigugumizi kikali sana cha kufanya maamuzi yake, kwani moyo wake kusema kweli una mpenda sana K2 kabla hata hawajapotezena mara baada ya mafunzo ya jeshi la polisi kumalizika.



Watu wote ndani ya ukumbi huu wa makutano, macho yao wameyaelekeza kwenye tv hizo mbili zililomo ndani ya ukumbi. Hamu na shauku yao ni kuona jinsi magaidi hao wanawake jinsi gari lao linavyo zuiliwa kwa kupigwa risasi ili kuhakikisha kwamba linakamatwa.

“Mabula unasubiri nini?”

Mkuu wa jeshi la polisi alizungumza huku macho ya kimtoka.

***

Mabula jasho likaanza kumwagika usoni mwake, japo wapo hewani na upepo ni wa kutosha, ila jasho hilo limetokana na woga wa kumyangamiza mwanamke anaye mpenda. Vijana wake wote wakabaki wakimkodolea maho mkuuw ao wa kikosi hicho, kwani kwa ujasiri wake na umahiri wake wote wa kulitumiakia jeshi la polisi hawakuwahi kumuona akiwa na kihuhumizi kama hicho.

“Mkuu wapo kwenye targeti tuwazuie”

“Eheee?”

“Tuwazuie wapo kwenye targeti”

Bwana Mabudla taratibu akavua kinasa sauti chake ambacho husikia mazungumzo yote kutoka ikulu. Akawatazama vijana wake kwa umakini kisha kwa ishara ya mkono akawaruhusu kuanza kushambulia gari hilo. Vijana wake wenye uchu na hasira ya kuuwawa kwa wezao, wakaanza kulishambulia gari walilo panda K2 na Livna.

“Fuc*****”

Livna alizungumza mara baada ya tairi la nyuma la gari hilo kupigwa risasi. Gari hilo likaanza kuyumba, K2, akajaribu kujitahidi kuhakikisha kwamba analihimili, ila mwendo kasi na mvua ya risasi zinazo zidi kumiminika kutoka kwenye helicopter hizo zinazo wafukuzia, zikalifanya gari hilo kupinduka na kuanza kubingirika mara nne mvululizo ba kukivaa kituo cha mabasi ya mwendo kasi kilichopo eneo la Ubungo maji.

Bwana Mabula akajikuta akifumba macho, kwani kwa kupinduka huko ni lazima watu wote waliomo ndani ya gari hilo watakuwa ni marehemu.

“Hei”

Livna aliita kwa sauti ya chini huku akimtazama K2 anaye vujwa na damu usoni mwake.

“Hei”

“Mmmm”

“Upo poa”

“Ehee?”

“Upo poa?”

“Ndio”

Livna akaufungua mlango wa gari hilo lililo pinduka na matairi yake kutazama juu. Akatoka huku akisikiliza ving’ora vya polisi jinsi vinavyo zidi kukaribia eneo hilo, huku mwanga wa helicopter hiyo ukiendelea kuangaza katika kituo hicho.

“Hei toka wanakuja?”

Livna alizungumza huku akizunguka upande wa pili wa gari hili, akauvuta mlango huo kwa nguvu kwa bahati nzuri ukafunguka, akamsaidia kumvuta K2 nje, na kumsimamisha.

“Unaweza kutembea?”

“Eheee!!!?”

Livna akampiga K2 vibao viwili vya mashavuni ili kumuweka sawa, kwani akili yame amekuwa kama mtu aliye pagawa.

“Niangalie, unaweza kutembea?”

“Ndio”

Livna akachungulia upande wa pili wa kituo hicho na kuona gari nyingi za polisi zikizidi kujongea katika kituo hicho. Akatazama upande wa jengo kubwa la gorofa la shirika la Tanesco akaona hiyo ndio sehemu ya pekee na salama kwa wao kukimbilia.

“Kule ndio tunaweza kwenda sawa”

“Wapi?”

“Kwenye lile jengo”

“Tutatokaje hapa?”

“Kwa miguu, swali gani la kijinga”

Livna alizungumza kwa kujiamini, kwa kasi ya ajabu akaanza kukimbia kuelekea katika jengo hilo, K2 hakutaka kupoteza hata dakika moja, akaanza kukimbia kuelekea katika eneo hilo. Walinzi wawili wenye silaha aina ya gobore wakajaribu kuwazuia ila kilicho wakuta ni kupigwa mateke yaliyo wazimisha. Gari za polisi zipatazo kumi na nane zikasimama nje ya jego hilo huku askari wapatao thelathini na tisa wakishuka huku kila mmoja akiwa na hasira ya wapata wasichana hao.

“Tutafute simu”

Livna alizungumza huku wakipandisha gazi kuelekea gorofa la kwanza

“Simu tutaitolea wapi?”

“Mbona una maswali ya kipuuzi, kwani ninajua simu tuaitolea wapi? Tugawane majukumu”

Livna alizungumza kwa hasira kali sana, huku wakiingia kwenye moja ya ofisi. Kwa ha hara akaanz kupekua pekua dorro zilizopo katika eneo hilo, akatoka katika ofisi hiyo na kuingia katika ofisi ya pili. Kazi ya K2 ikawa ni kuhakikisha kwamba askari hao hawapandishi ngazi za gorofa la kwaza, kila walivyo karibu kupanda, aliwazuia kw akuwafyatulia risasi.

”Umepata?”

K2 aliuliza mara baada ya kumuona Livna akitoka katoka ofisi nyingine.

“Bado”

“Fanya haraka, watanizidi nguvu hawa”

Livna akaingia katika ofisi ya tatu, akafungua moja ya droo ya meza, kwa bahati nzuri akapata simu aina ya iphone5s. Akaiwasha na kukuta ikiwa na chaji ya kutosha, hakuhitaji kujiuliza maswali mengi ni kwa nini muhisika ameweza kuificha simu hiyo kwenye droo hiyo.

Akaaikagua na kukuta ina salio la kutosha akatoka kwenye kordo hiyo na kuanza kutembea kwa kasi kuelekea eneo alilo muacha K2 anaye endelea kupambana. Livna akapiga simu kwenye makao makuu ya kikundi chake, simu yake ikaita baada ya muda ikapokewa.

“Ni mimi”

“Mkuu tumejaribu kuwatafuta ila tumeshindwa kuwapata”

“Nisikilize sina muda wa kuzungumza sana, cha kwanza ninahitaji msaada tumeni vijana waje kunichukua. Nipo kwenye jengo la Tanesco, Dar es Slaam. Mbili hakikisheni kwamba munafunga satelait za Tanzania, na hawawezi kuona kitu chochote sawa”

“Sawa mkuu, ndani ya dakika ishirini msaada utapatikana”

“Fanyeni hivyo”

Livna akakata simu, na kuichomeka kwenye mfuko wa suruali aliyo ivaa,

“Simu yako ipo wapi?”

“Nahisi nimeiacha kwenye gari kule”

“Sawa”

“Kwa nini umeiulizia?”

“Kupitia simu yako, wameweza kusana mawasiliano na kufahamu sisi ni wapi tulipo ndio maana ukaona wameweza kutufwatilia na helicopter”

“Hivi inawezekana?”

“Kama isingekuwa inawezekana sasa hivi tusinge kuwa hapa”

Livna alizungumza huku akijibu mashambulizi ya askari wanao jaribu kuhakikisha kwamba wanapanda ngazi hizo.

***

Adrus akamtazama dokta Ranjiti, ambaye bado ameendelea kulala usingizi fofofo. Taratibu akavuta traiga ta bastola yake aliyo ifunag kiwambo cha kuzuia risasi na risasi moja ikatua kichwani mwa dokta Ranjiti na kumsababishia mauti hapo hapo.

Anna akastuka kutoka usingizini na kukaa kitako kitandani huku akihema jambo lilolo mfanya John naye kufumbua macho yake.

“Baby vipi?”

“Mume wangu nahisi kuna tatizo”

“Tatizo gani?”

“Nahisi kuna mtu ametuvaamia?”

“Mtu, hahaa haiwezekani mke wangu ulinzi ni mkali sana nje?”

“Hapana baby mapigo yangu ya moyo yananienda kasi sana, na sijawahi kujiwa na hisia kama hizi za sasa hivi”

John akamtazama Anna usoni mwake kwa sekunde kadhaa, kisha akashusha pumzi nyingi. Taratibu akanyanyuka kitandani akaichukua simu yake na kuwapigia walinzi wake wanao endelea kulinda nje.

“Hei usalama upo wa kutosha?”

“Ndio mkuu”

“Hakikisheni kwamba kila eneo linakuwa salama”

“Sawa mkuu”

John akakata simu na kuirudisha mezani.

“Baby nje ulinzi upo wa kutosha kuwa na amani”

“Mmmmm…..hapana John, moyo wangu unakataa, unakataa kurudi kitandani”

Anna alizungumza huku akishuka kitandani, akamtazama Junion Jr aliye lala kwenye kitanda chake. Akaanza kutembea kuelekea mlango wa chumba hicho jambo lililo mfanya John kuanza kuangaza huku na kule ili kutafuta nguo yake ya ndani.

Anna akafungua mlango wa chumba hicho, akafika sebleni, akakagua kila eneo na kukuta kwamba lipo salama, akatembea hadi kwenye mlango wa chumba cha baba yake, dokta Ranjiti, akautazama kwa muda huku mapigo ya moyo wake yakizidi kumuenda kasi sana. Adrus akajibaza kwenye mlango huku akiwa ameishika bastola yake vizuri kwani aliweza kusikia hatua za mtu akija katika chumba hicho. Anna akaunyanyua mkono wake wa kulia huku akiwa amevikunja vidole vyake taratibu akijaandaa kugonga mlango.

“Baby unamsumbua mzee tu muda huu amelala”

Adrus aliisikia sauti ya mwanaume, ambaye hakujua ni nani ila kwa mazungumzo hayo inadhihirisha ni mume wa mtoto wa dokta Ranjiti.

“Ila sijui kwa nini mapigo yangu ya moyo yananienda kasi hivi”

“Usijali mke wangu kila eneo la hii hoteli lipo salama, ni muda gani tupo hapa, hata panya hajawahi kukatiza, sembuse binadamu, ninaimani kwamba atafanywa chujio kwa kupigwa risasi”

“Kweli baby?”

“Yaa, wewe kuwa na amani”

John alizungumza huku akimshika mkono Anna na kuanza kutembea naye kueleka chumbani ili wakaendelee na kulala usingizi. Taratibu Adrus akaufungua mlango wa chumba hicho, akawachungulia na kuwaona jinsi wanavyo malizikia kuingia ndani ya chumba chao.

“Ohoo baby ngoja nikachukue simu yangu sebleni”

Anna alizungumza huku akimuachia John mkono.

“Sawa”

Anna akatoka ndani kitendo cha kutazama mbele akakutana uso kwa uso na mtu aliye valia kinyago usoni mwake. Akajaribu kunyanyua kinywa chake ili apige kelele tu, ila tayari risasi ilisha fika katika paji la uso wake na kumuangusha chini mzima mzima. Kishindo cha kunguka kwa Anna, kikamstua sana John ambaye alisha anza kuivua boksa yake kwa ajili ya kupanda kitandani. Adrus kwa haraka akajibaza kwenye mlango wa chumba alichopo John.

Kitendo cha John kutokeza mguu wake tu ili maradi aweze kuangalia ni nini kilicho mpata mpenzi wake, akarudishwa ndani kwa teke zito la kifua na kumfanya arudi ndani pasipo kupenda na kuanguka chini. Adrus akaingia ndani huku akiwa ameishika bastola yake mkononi.

“We……we…..wewe ni na…anaa…nani?”

John aliuliza kwa sauti ya kubabaika. Adrus akatazama kitanda kidogo cha mtoto, alipo muona Junion Jr akamtazama John anaye endelea kuugulia teke hilo kwani nit eke zito lililo mpotezea nguvu zote za mwili.

“Kunifahamu mimi sio jambo muhimu sana”

Adrus alizungumza huku akiendelea kumtazama John anaye jiburuza buruza kurudi nyuma kuelekea kitandani.

“U…u…usiniue kama ni pesa nitakupa kiasi chochote ukitakacho wewe”

“Huna pesa ya kunipa, na haja yangu ni wewe na mtoto”

“Kama ni Eddy ndio aliye kutuma mchukue mchukue tu mtoto tafadhali, nakuomba nakuomba sana tena sana usiniue”

Mazungumzo hayo yakiweza kuwafikia, Lee Ji na wezake.

“Adrus mpenzi wangu msikilize ofa yake huyo”

“Kweli, kama ana kiasi cha kutosha cha pesa, inaweza ikwa ni njia rahisi kwa wewe na mpenzi wako kwenda kuanza maisha mapya kwa pesa hizo.

Jing naye alishauri.

“Nitakupa….kias…i chochote ukitakacho please”

“Ninahitaji kiasi ambacho kitanifanya nikusamehe maisha yako, ila mtoto nitaondoka naye”

“Sawa, sawa mimi nipo tayari kikubwa ni maisha yangu tu”

John alizungumza huku jasho jingi likimwagika usoni mwake. Kwani mtu anaye zungumza naye dhairi anaonyesha kwamba ni muuaji hatari sana, kwani japo kuna ulinzi mkali sana alio jihakikishia kwamba hato weza kupatwa na baya la aina yoyote ila muuaji huyo ameweza kuingia ndani na hadi sasa hivi anaamini kwamba baba mkwe wake, dokta Ranjiti pamoja na mpenzi wake Anna watakuwa ni marehemu.

“Nahitaji dola bilioni moja, sasa hivi uingize kwenye akaunti yangu, la sivyo kifo kitakuwa ni halali yako”

Macho yakamtoka John, kwani hata utajiri wake haujafikia kiasi cha pesa alicho tajiwa.

“Do…do….do….la bilioni moja ni nyingi sana”

Adrus akaikoki bastola ake na kumuelekezea John kichwani mwake.

“Huwa nikinyoosha mkono wangu wenye silaha huwa sishushi, mzee nilimuua akiwa usingizini, demu wako nimemuua akiwa amesimama, sasa wewe ninakupa nafasi ya kusali sala yako ya mwisho, una sekunde thelathini kabla sijakupelekea kuzimu.”

Maneno ya Adrus yakamfanya John kuzidi kutetemeka, haja ndogo ikaanza kulowanisha boksa yake, tukio la kukatwa katwa viungo vyake na Eddy miaka mingi ya nyuma, likajirudia kichwani mwake. Taratibu akajikuta akifumba macho yake na kusali sala yake yake ya mwisho kwa sekunde hizo thelathini alizo pewa na muuaji huyu, anaye onyesha kwamba hanamzaa kabisa kwa kazi aliyo kabidhiwa



“Okay okya nakutafutia”

Jonh alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Adrus akaitazama saa yake ya mkononi kwa sekunde kadhaa kisha akamtazama John.

“Unazitafutia wapi?”

“K….uu….na account ina hicho kiasi cha pesa, nitakupatia”

“Nahitaji uweze kufanya hiyo kazi sasa hivi”

“Sawa, naomba nichukue simu yangu niweze kuziamisha hizo pesa kwenye akaunti yako”

“Atatupotezea muda jamani kama umempata mtoto tuondoke, hichi kiasi ni kikubwa sana, hadi aanze kutafuta sijui ni akanti gani ahamishe pesa ni kiasi kikubwa.”

Jing alishauri.

“Adrus mpe dakika mbili aweze kuhamisha hizo pesa”

Cookie naye alishauri.

“Una dakika mbili kuahimisha pesa hizo, ukifanya ujinga wa kuwajulisha walinzi wako waolipo nje, nitahakikisha mmoja baada ya mwengine anakufa kifo cha kinyama na utajutia ni kwa nini umewapigia”

“Nimekuelewa”

John akachukau simu yake, kila hatua ambayo anaifanya katika simu yake, Adrus akawa anaifwatilia kwa umakini sana.

“Nitajie akaunti yako”

John alizungumza kwa sauti iliyo jaa uchungu, adrus akampokonya simu aliyo ishika, akaingiza namba ya akaunti yake, kisha akamrudishia John simu yake. John akaingiaza kiasi cha pesa hizo kutoka kwenye akaunti ya D.F.E, kitengo anacho kimiliki kutoka kwa marehemu mzee Godwin. Alipo hakikisha kwamba pesa hiyo tayari imehamishika, akamkabidhi Adrus simu na kumuonyesha meseji hiyo. Pasipo kutegemea, John akajuikuta akipokea ngumi nzito ya kichwa na kumfanya anguke chini na kupoeza fahamu hapo hapo. Adrus akaifunja simu ya John kwa kuikanyaga kanyaga, ksiaha akanyanyua Junion Jr aliye lala usingizi fofofo kwenye kijitanda kidogo. Moja kwa moja akaelekea naye hadi kwenye chumba cha marehemu dokta Ranjiti, akafungua dirisha na akamkumgatia Junion Jr viauri kwa kutumia mkono mmoja na miguu yake miwili aliyo izungusha vizuri kwenye kamba hiyo, akaanza kutembea kwa umakini kwenye kamba hiyo, japo ni njia ya hatari ila hakuwa na jinsi zaidi ya kupita na mtoto huyo mdogo. Akafanikiwa kufika upande wa pili wa gorofa alilo funga kama hiyo. Kwa haraka akaikata kamba hiyo kisha akaanza kukimbia na kuruka katika gorofa la tatu, kwa kasi akaanza kushuka chini huku akiendelea kumshikilia Junion Jr vizuri sana. Wakaingia kwenye gari na kuondoka eneo hilo kwa mwendo wa kasi.

“Pole sana baby”

“Asante mpenzi wangu”

Adrus alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu sana. Akamkabidhi Junion Jr kwa Cookie.

“Mtoto mzuri jamani”

“Kweli eheee?”

“Yaaa”

“Jamani kuna tatizo”

Lee Ji alizungumza huku akitazama laptop yake ndogo.

“Kuna nini?”

“Kuna kikosi nahisi cha Wamarekani wametumwa nyumbani kwangu”

Lee Ji aliweza kufahamu hilo kwani nyumba yake yote ameifunga kamera za ulinzi na hata awe mbali na nyumbani kwake anaweza kuona kila kitu kinacho endelea ndani ya nyumba yake hiyo.

“Ohooo…..ni wamekuja hadi huku?”

“Yaa nahisi kuna mtu ametoa siri, ila hakuna kitakacho haribika, usiku huu huu inabidi tuweze kuondoka hapa Madagascar”

“Tutatumia usafiri gani tena?”

“Inabidi tutumie boti”

Lee Ji alizungumza huku akimtazama Jing usoni mwake.

“Sawa”

“Kunja kushoto”

Lee Ji alizungumza huku akimuelekeza Jing anaye endesha gari hilo kwa kasi.

“Nina wauli wote kwenye nyumba yangu”

“Kivipi?”

Adrus aliuliza huku akimtazama Lee Ji, akaminya batani yenye kijinmshale kilicho jikunja kidogo. Wakashushudia jinsi nyumba hiyo ikilipu na kikosi hicho cha wanajeshi kutoka Marekani, chenye watu kumi na mbili wakafika ndani ya nyumba hiyo.

“Nyumba yanyu yote nilitega mabomu”

“Kwa nini?”

“Kwa usalama wangu binafsi na nyaraka zangu binafsi”

“Kwa hili inatabidi tukupatie mgao wako”

“Musijali, Jing mwenyewe anafahamu nini namaanisha.”

Wakafika katika bandri ndogo, Lee Ji, akaongoza hadi kwenye boti yake ya kifahri, wakaingia ndani na usiku huo huo wakaanza kuondoka katika eneohilo huku wakiwa wamejawa na furaha kubwa sana kwani kazi imekwenda vizuri sana.

“Inabidi niweze kuwasiliana na makamu wa raisi, niweze kumuelezea juu ya hili swala”

“Sawa”

“Simu yako si inaweza kupiga nchi yoyote”

“Ndio ila ngoja kwanza niweze kuifung, code zake isiweze kunaswa na satelait ya ina yoyote”

“Sawa”

Lee Ji, akafanya kama alivyo zungumza, kisha akamkabidhi Adrus simu hiyo, Adrus akapiga namba ya ofisini kwa makamu wa raisi, ikaanza kuita kwa muda kisha ikapokelewa.

***

Simu ya Jane ikaanza kuita, akaipokea na kutoka katika ukumbi huo wa mikutano kwa maana viongozi wote kuanzia raisi, wamechanganyikiwa kwa balaa wanalo lifanya Livna na K2.

“Ndio”

“Kuna mtu anahitaji kuzungumza na makamuw a raisi”

Sekretari wa makamu wa raisi alizungumza na Jane.

“Ni nani?”

“Anaitwa Adrus”

“Muambie kwa sasa makamu wa raisi kwamba yupo bize sana hawezi kuzungumza na simu”

“Anasema ni muhimu sana, ninakuomba uweze kumpatia simu makamu wa raisi”

Jane akajifikiria kwa muda kisha akaingia ofisini humo, moja kw amoja akalekea hadi katika kiti alicho kaa Eddy aliye fura hasira.

“Nini?”

Eddy alizungumza kwa hasira huku akimtazama Jane kwa macho makali sana.

“Kuna simu yako muheshimiwa”

“Kutoka kwa nani?”

“Mtu anaitwa Adrus”

Eddy akamtazama Jane kwa muda kisha akaichukua simu hiyo.

“Haloo”

“Muheshimiwa ninakuunganisha na Adrus”

“Niunganishe naye”

“Habari muheshimiwa”

 ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG