Search This Blog

Saturday, February 26, 2022

THE WORLD HATES ME (DUNIA INA NICHUKIA) - 5

   

Simulizi : The World Hates Me (Dunia Ina Nichukia)

Sehemu Ya Tano (5)


"nakuja sasa hivi..."mudy alisema na kukata simu....

hii ndo plan aliyokuwa ameipanga harooney alikuwa ameamua kumuua abdul na kumzika asionekane milele na kisha achimbe shimo na kufikia mzigo aliokuja nao kutoka ufaransa kwa paul na kisha angecheza mchezo wa kuonesha abdul ndo alio wasaliti na kuwa leta mstuni na kuwa funga kamba kisha ionekane abdul ndo amekimbia na mzigo ... na ndomaana harooney alisema atamua abdul kifo cha faida...haroone y alijua kama ange muua abdul na kumfukia kisha kuchimbia chini mzigo aliotoka nao ufaransa ni lazina mudy angeamini kuwa kweli abdul msaliti kwani na abdul asinge onekana milele na huu ndo ulikuwa ushindi wa harooney na harooney alipanga amzike abdul akiwa mzima akipumua.

wakati bausa anaendelea kuchimba ndipo waliposikia yowe la mtu liki ambatana magwi mkubwa, wote wawili harooney na bausa wakashtuka na kipindi wanaendelea kushangaa wakasikia yowe lingine mfululizo huku zile sauti za yowe harooney akizifahamu kuwa za mabausa wake na baada ya sekunde kama kumi na mbili pakawa kimya kabisa hofu ikatanda kwa harooney na bausa walitulia kama dakika saba hawakusikia kitu

"oya huyu maraya amesha wa chenjia wana ..... chukua hilo begi kubwa fukia fasta acha mimi nizungukie upande wapili nika angalie nini kime wakuta wenzetu "alisema harooney huku akitoa bastola yake na kurudi kwa mabausa kwa kupitia upand tofauti tofauti na ule walio utumia mwanzo wakati wakija, akamuacha bausa akifukia lile begi .,. harooney alitembea kwa kunyata na kwa utulivu mkubwa na wakati anatembea mara akasita na kujimbanza nyuma ya mti mkubwa harooney alihisi kuona mtu kwa mbali akielekea kule alipotoka akitumia njia walio tumia kina harooney mwanzo wakati wanaenda kuchimba shimo..harooney alipo angalia vizuri kwa mbali alijua kuwa ni abdul! ni kweli alikua abdul.

abdul yeye alianza kufuatilia nyao za kina harooney kutokea kwenye hiace (nyayo za kina harooney zilionekana kutokana mvua ndogo iliyo kuwepo)

abdul alitembea harakaharaka akifuata zile nyayo , kosa alilo lifanya abdul ni kuto kuangalia huku na kule kwani alivyo karibia eneo ambapo bausa alikuwa anafukia begi na ndo muda huo harooney akiwa anaondoka alimuona abdul.

abdul alimuona yule bausa akiwa anamalizia kufukia kisha abdul akamuona bausa akichukua jiwe na kuweka pale alipo fukia ...na begi lingine lilikuwa pembeni.

abdul akanyata na kumkaribia yule bausa

"tulia mikono juu..harooney yuko wapi?" abdul alifoka huku akiwa amemuelekezea bausa bastola...abdul hakujua harooney alikuwa nyuma yake.

harooney alimuona abdul na harooney akatoka kwa kunyata kwenye mti aliukuwa amejificha na kusogea pale alipokuwa abdul ...harooney akanyata kimya na kumkaribia abdul

"haya ukijitikisa ume kufa ...dondosha siraha chini...umejileta kwenye kaburi lako" harooney alifoka akiwa ame mnyooshea bastola abdul akiwa hatua chache kutoka pale alipokuwa abdul....abdul akawa hana ujanja mwingine....abdul amenaswa na harooney



abdul alishtuka sana na akajua tayari ameshaingia kwenye mikono mibaya na akajua kosa alilo lifanya

"tupa bastola pembeni " harooney alifoka na abdul akatupa bastola yake pembeni na harooney akarudi nyuma hatua moja

"geuka uniangalie" haroone alizidi kufoka

"wewe nilikuwa nimekuchagulia kifo kizuri cha kuzikwa ukiwa unapumua sasa umejifanya mjanja ...wewe na mwili wako utakufa ukiwa na matundu mengi ya risasi" harooney alifoka kwa kiburi na kumtisha abdul

abdul alijua ya likuwa yame mfika...abdul alihisi kusikia muungurumo wa gari kwa mbali ...abdul akawa hana uhakika na anacho kihisi

"lakini harooney ni kipi nime kukosea.."abdul alisema huku akiwa kama anamsogelea harooney na hapohapo haroney akafyatua risasi na kuchimba chini karibu na miguu ya abdul "wewe nimekuambia usijitikise usitake nikuue kabla ya muda " alifoka harooney...harooney alikuwa amefanya kosa kubwa kupiga risasi ambayo ilitoa mripuko mkubwa!...

*kwa* bausa walio chomwa visu na abdul*

kitu ambacho abdul hakujua yule polisi alie mchoma kisu na kumuacha alikuwa na radio call, abdul alivyoondoka kuelekea kule walipo elekea kina harooney yule askari kwa kujikaza na kuchukua radio call kutoa mfukoni mwake huku mkono mmoja ukiwa umeshika kwenye jeraha tumboni alipo chomwa kisu na abdul huku maumivu makali yakitawala mwili wake, polisi akabonyeza moja ya vibonyezeo kwenye ile radio call na kisha kuweka karibu na kinywa chake

"insepector juma wa kituo cha polisi mjini...nahitaji msaada nipo porini kuna mtu alituteka nikiwa na rafiki yangu amenijeruhi na kuondoka na rafiki yangu katokomea nae ndani ya pori ...naomba msaada nimejeruhiwa natokwa na damu" polisi aliongea kwa sauti ilio onesha alikuwa kwenye maumivu makali polisi baada ya kumaliza kutoa taarifa aliweka radio call pembeni kisha akaanza kujivuta kwa kujivuluta na kujisogeza kwenye mti mkubwa na kukaa kisha kwa mkono wake mmoja akiziba tumboni pale alipo chomwa kisu huku damu nyingi zikimtoka na maumivu makali yakitawala mwili wakd----taarifaaliyo toa polisi ilienda kwenye kituo cha polisi ambacho hakikuwa mbali na msitu ule na polisi wa kituo kile walivyo sikia taarifa ile na kwakuwa alie toa taarifa alikuwa inspector na ali kuwa amejeruhiwa ika bidi waondoke haraka wakamsaidie insepector na kwakuwa walisikia kuwa alie wateka alikuwa mmoja ikabidi waondoke tena wakiwa watatu pamoja na dereva wao wakachukua bunduki zao na kuingia ndani ya gari na kuanza safari wakifuata maelekezo ya polisi .. muda mchache badae wakaanza kuingia mstuni kwenda kumsaidia insepector.

wakiwa njiani wakaona tairi za gari na bila shaka wakajua kuwa ndio tairi za gari lilo la kina harooney polisi wakaanza kufuatilia tairi zile wakiwa wanaendelea kwenda mara wakasikia mlipuko mkubwa wa risasi ulikuwa ni ule mripuko wa bastola ya harooney aliyopiga chini kumtisha abdul na askari wakashuka kwenye gari na kuanza kuelekea kule ulipotokea mlipuko wa risasi wakiwa na bunduki zao makini mkononi kwa kukabiliana na hatari yoyote....

abdul*na*harooney*

"sikia ni kwambie abdul mimi ndo mtoto wa mwisho kwenye nyumba ya kaka mudy...na mimi ndo natakiwa kuwa msimamizi wa mali zile lakini wewe unataka kujifanya kuwa don kwenye nyumba yetu ...na ndio kosa lako you must die" alisema harooney na kurudi nyuma hatua moja na akaanza kubonyeza kifyatulio cha risas ili ampige abdul

"HAPO MLIPO CHINI YA ULINZI NA WALA MSIJITIKISE" sauti kubwa ili wafokea kina harooney! ilikuwa ni wale askari walio walioingia mstuni mule walikuwa umbali wa kama hatua arobaini kutoka pale walipokuwa abdul na harooney..

harooney alihamaki na kujikuta akigeuza shingo yake akiangalia kule sauti ilipotokea kosa kubwa sana alilifanya harooney ! .

abdul aliona kitendo cha harooney cha kuhamanika na kugeuka kuwaangalia maafande abdul akaona ulikuwa ni muda wake wa yeye kuokoa maisha yake hapo hapo alishika kiganja cha harooney kilicho shika bastola na kwa wepesi abdul akaunyonga mkono wa harooney yowe likamtoka, abdul akaipokonya siraha ya harooney na hapohapo akamvuta harooney kwa mbele na kumkaba abdul akawa nyuma ya harooney harooney akawa kama ngao kwa abdul..abdul akamuwekea bastola kichwani "mkinisogelea namuua huyu raia mwema wekeni siraha chini" abdul alipaza sauti kuwaambia polisi ...muda wote yule bausa alibaki amepigwa butwaa asijue ajiokee vipi

polisi wali baki kwenye hari ya kutojua wafanye nini kwani wao walikuja kumuokoa inspector sasa walishangaa kuwa kuta kina abdul na harooney na cha ajabu abdul kamuwekea bastola harooney ...polisi wakashindwa kujua hawa ni kina nani.

"wote watuhumiwa weka siraha chini kabla hatuja wavunja miguu" mmoja wa polisi alifoka na abdul akahisi yupo kwenye hatari, abdul hakutaka kabisa kunaswa na polisi abdul akawa anarudi kinyume nyume na mkono wake wa kulia ukiwa umemkaba shingoni harooney na mkono wa kushoto ukiwa umeshika bastola ambayo mdomo wa bastola ile ulikuwa upo kwenye kichwa cha harooney , polisi nao wakawa wana msogelea abdul huku wakiwa wanapata cover kwenye miti ili wasije wakashambuliwa ghafla na abdul

ama hakika abdul yalikuwa yamemkuta, yule bausa alibaki amesimama kama sanamu la posta, na manyunyu ya mvua yaliendelea .

abdul akiwa anaendelea kurudi kinyume nyume mara nyuma ya askari aliona kama kuna watu wakija kwa kujificha kutokea nyuma ya askari abdul akahisi kama maluweluwe hakuamini kili alicho kiona alihisi ni mawazo yake mwenyewe kipindi abdul anaendelea kujiuliza mara pah pah milipuko ya risasi ilitokea nyuma ya maaskari kule abdul alipo hisi kuona watu askari mmoja akatupwa chini huku kelele nyingi zikimtoka na askari watatu walio bakia wakajitupa pembeni na kujikinga kwenye miti huku milindimo ya risasi ikilindima na baadhi ya risas ikibenjua magome ya miti waliyo kuwa wameji kinga wale askari...... abdul alihamanika kusikia ile milipuko abdul akajikuta akiwa amelegeza kumkaba harooney na kubaki ame zubaa abdul akawa amefanya kosa! kwani harooney aligundua kuwa abdul alihamanika harooney kwa wepesi alipeleka mkono wake wakulia kwa juu na kushika mkono wa abdul wenye bastola na muda huo mkono wa kushoto wa harooney ulirudi nyuma na kumpiga abdul tumboni kwa kiwiko [kipepsi] kipigo kile kili mrudisha nyuma abdul na kujikuta kamuachia harooney na harooney akageuka na kutazamana na abdul huku mkono wa harooney ukiwa umeshika kwenye maungio ya kiganja cha abdul kilicho shika bastola ...harooney akaunyonga mkono wa abdul ili ampokonye bastola kama alivyo pokonywa yeye ...lakini kipindi harooney anaunyonga mkono wa abdul mara bastola aliyo iwania harooney ilikohoa zaidi ya mara mbili huku harooney akitupwa nyuma kidogo huku risasi tatu ziki toboa kifua cha haroone! abdul alikuwa amefyatua risasi wakati harooney ana unyonga mkono wa abdul...harooney akadondoka chini huku damu nyingi ziki mtoka na uhai ukimkimbia... muda huohuo abdul aligeuza bastola na kumtandika yule bausa ... abdul akajitutpa chini asije akapatwa na risas zilizo tokea kule nyuma wa askari na abdul akajisogeza mpaka kwenye lile begi ambalo HALIKUFUKIWA abdul akalichukua kwani alijua begi lile lilikuwa na mdawa ya kulevya au pesa abdul akalivaa mgongoni kisha akachukua ile bastola yake iliyo kuwa chini abdul akatambaa hatua kadhaa kisha akainuka na kujikunja kutokea kiuno ili asipatwe na risasi..abdul akaanza kukimbia kutokomea polini huku akiacha polisi wakishambuliwa na wale watu walio zuka...

hawa watu walio washambuli polisi walikuwa ni mudy na watu wake...

<<< kwani mudy alipopata taarifa kutoka kwa harooney kuwa abdul kawasaliti mudy aliwapigia simu na kuwaita watu wake na kuingia kwenye tax wakiwa na bastola na kuanza safari ya kuelekea kwenye ule msitu kwa kufuata maekezo ambayo mudy alipewa na harooney.

tax iliyo wabeba kina mudy iliendeshwa kwa kasi nana muda mchache gari iliufikia ule msitu na kukata kushoto na kuingia kwenye ule msitu na kuanza kufuata taili za gari na baada ya muda walishangaa kuliona gari ya polisi ikiwa imeegeshwa kati kati ya barabara kina mudy wakashuka na ndipo wakaona alama ya viatu vya polisi kina mudy wakaanza kufuatilia viatu vile wakiwa na bastola mkononi mwao wakiwa watu saba pamoja na mudy , walivyo zidi kusogea ndipo waliwaona polisi kwa mbali wakiwa wame wanyooshea bunduki kina abdul , kina mudy kimya kimya wakawasogelea polisi wale na kuwa shambulia wale polisi na wakati mashambuliano yanaendelea mudy alishudia kwa mbali lile balaa kati ya harooney na abdul na ndipo mudy kwa macho yake kwa umbali kama hatua hamsini alishuhudia mdogo wake akianguka chini na kumuona abdul akitokomea na begi porini....

majibishano ya risasi kati ya polisi na kina mudy yaliendelea huku kina mudy wakizidi kuwa sogelea askali na hatimae askali walizidiwa na kuawa na kina mudy..

mudy alipo ona wamefanikiwa kuua polisi akasogea pale kwenye mwili wa mdogo wake mudy hakuamini alicho kiona mdogo wake alikuwa amelala kwenye dimbwi kubwa la damu...japo mudy na harooney kila siku walifokezana lakini kifo cha harooney kilimtoa chozi mudy... mudy akiwa kapiga goti kwenye mwili wa mdogo wake mara mwenzao akaja akitweta "boss tupo kwenye hatari... nimesikia radio call ya hawa polisi walio kufa ikiongea taarifa ya tukio hila na askari wapo njiani wanakuja...inaonekana kabla ya kufa hawa askari walitoa taarifa kwa wenzao" aliongea mwenzao na kina mudy

"shit ...tuondoke ilisha kua kesi" alisema mudy huku akiinuka na kuacha mwili wa harooney mudy aliona kama ange ubeba mwili wa marehemu mdogo wake basi kungekuwa na hatari pindi wangekutana na trafiki na kingine harooney angekuwa mzigo maana wenyewe tu kina mudy walikuwa wapo saba sasa wangeubeba vipi mwili wa harooney.

mudy na wenzake wakaanza kukimbia kurudi walipo acha tax yao ...

haraka wakaingia kwenye tax na kuanza kuondoka kwa kasi huku mudy akitamani arudi porini kumsaka abdul mudy alikuwa na hasira nyigi hakuwahi kufikiria kama abdul angewasaliti na kumuua mdogo wao "abdul nitamuua kifo kibaya kabisa" alisema mudy...kina mudy walifanikiwa kutoka ndani ya msitu na kukamata barabara ya igoma na wakiwa njiani walikutana na magari ya polisi yakiongozwa na insepector hussen! yakielekea kwenye ule msitu ulio zagaa maiti.

*abdul*mstuni*

abdul alikuwa ndani ya msitu akikimbia kwa kasi huku akihisi kuwa atakuwa anafutwa nyuma abdul alikimbia mstuni mule huku akitafuta njia itakayo mtoa mstuni mule ...alikimbia kwa muda na hatimae alifanikiwa kutoka mstuni mule na kuipata barabara kubwa na bahati nzuri akakutana na tax abdul akaikodi impeleke mkuyuni sehemu aliyo panga .

abdul alifika kwake na kujifungia kwa ndani abdul akaamua kulifungua lile begi aangalie lilikuwa na mzigo gani ..abdul hakuamini alicho kiona kwani begi lilikuwa limejaa dola za kimalekani abdul hakuamini kuwa alikuwa na utajiri abdul akajitupa kitandani huku akifiria afanye nini na ndipo akapata wazo abdul akatoa simu na kuiwasha na kumpigia mudy ili amueleze hali harisi juu ya kitu alicho taka kufanywa na harooney... simu ikaita kidogo mara ikapokelewa na mudy..mudy akawa kapokea simu huku akiwa na hasira na kumsikiliza abdul anasemaje...abdul akaeleza kila kitu kilichotokea mstuni na kumuambia uwongo kuwa harooney alipigwa risas na watu walio zuka abdul hakujua wale walio zuka mstuni walikuwa ni kina mudy na mudy alimuona wakati anamua harooney

"sawa nimekuelewa dogo nae miyayusho amejitakia mwenyewe...upo wapi nije tufanye mpango wa kuuchukua mwili wa harooney mstuni" mudy aliongea na kumlaghai abdul kuwa amemuelewa

"ah nipo home kaka njoo nilipo panga chumba mkuyuni" abdul aliongea akijua mudy anakuja kwa nia nzuri

"sawa na kuja sasa hivi nisubiri" alisema mudy na kukata simu

"twendeni tukamuue kifo ambacho dunia nzima itashangaa na italaumu..si anajifanya mtoto wa town" alisema mudy na kuingia kwenye gari yeye na vijana wake wakiwa na bastola...na muda mchache baadae walikuwa barabarani wakielekea kwa abdul ili wakamuue na wachukue mzigo alikimbia nao abdul.....kwa upande wa abdul yupo ndani ya nyumba yake akiwasubiri kina mudy bila kujua anasubiri kifo kibaya kabisa kutoka kwa mudy...

haya nikipi kitajiri kati ya mafia abdul na boss wake mudy...

vipi hussen atagundua nini kule mstuni?




mudy akiwa ndani ya gari wakielekea kwenye getto la abdul mara simu ikaita kuangalia namba ya mdogo wake harooney mudy akashtuka lakini akaamua kuipokea

"hallow" alisema edward baada ya kupokea

"sorry naongea...na mudy....sasa kuna matatizo yamemkuta mwenye hii namba sijui ni nani yako" sauti ya kipolisi ikaongea

"yah ni mdogo wangu ... kapatwa tatizo gani?" mudy aliuliza kanakwamba alikuwa hajui chochote tayari mudy amesha jua anaongea na polisi

"basi popote ulipo tukutane bugando ...kuna tatizo limemkuta wahi tafadhari" sauti ya kipolisi ilihimiza

"oya jamani mpo wanne mkifikamumteke akileta ujanja

mumuuwe na muingie ndani mchukue

mzigo...acha mimi nika solve hii kesi coz

inabidi nikatoe maelezo batili kuhusiana

na harooney" alisema mudy

"poa boss" ali jibu kijana mmoja...mudy

akashuka kwenye gari na kuchukua tax

na kuelekea bugando .

na hawa watu wanne wenye bastola

wakaenda kwa abdul....

abdul akiwa ndani ya chumba chake

aliamua aende kuoga kwani alikuwa na

jasho na amelowa sababu ya mvua

abdul akachukua maji na kuelekea

bafuni huku akiwaacha wapangaji

wenzake mara abdul akakumbuka

ameacha bastola zake kitandani abdul

akarudi ndani na kuficha bastola moja

na nyingine akaivingilisha kwenye

taulo lake la kujifutia maji ...hii ndo

kawaida ya abdul hata akienda kuoga

lazima awe na bastola.

wakati abdul anaendelea kuoga ndipo

alipo sikia muungurumo wa gari

ukiingia eneo lile abdul akachungulia

kupitia dirisha la bafuni ...abdul

alishangaa watu wanne wa kishuka

kutoka kwenye tax wakiwa na bastola

na kisha wakaelekea kwenye chumba

chake na wale wapangaji wenzake na

abdul walipoona watu wanne wenye bastola wapangaji wakakimbia kwa kutawanyika na kwenda mbali na eneo lile ... abdul akiwa ndani ya bafu akashuhudia wale watu wanne wenye bastola wakiingia kwenye chumba chake kwa mtindo wa kuvamia na ndipo abdul akajua kulikuwa na hatari abdul alipoona wale watu wameingia wote kwenye chumba chake abdul akajifunga taulo na kuchukua bastola yake na kwenda pembeni ya chumba chake kwenye kona abdul akawa yupo mbali kidogo na mlango na abdul akaweka sawa bastola yake akisubiri wale watu watoke nje ili wajute kufika pale.....ndani ya chumba cha abdul watu wanne walishangaa kukuta hakuna mtu ndani mule wakabinua kitanda lakini hawa kumuona abdul ila waliliona lile begi lenye dola za kimalekani kwa hasira wakavunja tv ya abdul na kutoka nje huku baadhi yao wakiwa wanarudisha bastola zao kiononi wakiwa na begi wakiwa wanwahi kwenye gari yao ...kosa walilifanya hawa watu wanne kosa walilolifanya hawa watu wanne hawa kuwa na tahadhari yote juu ya eneo lile na kibya zaidi hawa watu hawa kuangalia kushoto na kulea mwao !

abdul aliwasikia wale watu wakati wanatoka nje abdul akaji ficha nyuma kidoGO ya ukuta.. abdul alipo hakikisha kuwa wote wametoka nje tena wakiwa hawana tahadhari, abdul akajitokeza huku akifyatua risasi kuwaelekea watu hawa mfululizo huku abdul akifyatua risasi kwa shabaha...katika watu hawa wanne hakuna hata mmoja aliepata muda wa hata kugeuka kila alie jaribu kujiokoa alipatwa risasi nakuanguka chini na hakuna alie simama wote waliauawa na risasi za abdul ... abdul alipoona wote wamekufa akasogea ili kujua ni kina nani wale abdul alishangaa kutambua kuwa wale ni baadhi watu wa mudy abdul akashindwa kujua kwanini watu hawa walikuja kumvamia ...muda huo watu mtaani mule walikimbia ovyo ovyo huku wengine wakichungulia madirishani huku wakiwa hawaamini kumuona jirani yao abdul akiua kwa bastola... abdul alijua yupo kwenye hatari na alijua muda sio mrefu polisi wange fika eneo lile abdul akaingia ndani na kuvaa nguo zake na kuchukua pesa zake pamoja na na lile begi lenye pesa zenye thamani watu wengi walikuwa wamezagaa na kushangaa wakati abdul anaondoka kabla abdul hajaondoa abdul alienda mpaka pale walipo lala wale maiti na kuwapekua akatoa risasi kwenye bastola zao na kisha abdul akachukua bastola moja iliyo kuwa na kiwambo cha kuzuia sauti abdul akawa na bastola mbili ...abdul akapiga risasi mbili hewani watu wakatawanyika wakikimbia ovyo ovyo abdul akaweka bastola zake kwenye begi na kuanza kuondoka eneo lile akiwa na tahadhari kubwa.


abdul alienda pale kwenye gareji ambapo alikuwa amekodi kwa ajili ya kuweka pikipiki zilizo kuwa mradi wake ,abdul akachukua pikipiki moja aina ya BAJA akajaza mafuta na kuwasha kuondoka kutokomea ndani ya mtaa wa igoma na kuzama uswahilini ambapo alienda kupanga chumba kwenye guest ilio kuwa na huduma nzuri kidogo abdul akajitupa kitandani akijiuliza afanye nini....


mudy alienda mpaka bugando ambapo alikutana na afande hussein ambae alikuwa na maswali mengi juu ya maafa waliyo ya kuta mstuni na alishindwa kujua muuaji ni nani.

mudy alipelekwa ulipo hifadhiwa mwili wa harooney, mudy alijifanya ndo kwanza anamuona mdogo wake akiwa maiti mudy akaanza kuangusha kilio .


hussen ikabidi upelelezi wake uanzie kwa mudy ,hussen akamchukua mudy na kwenda nae pembeni

"sisi tulipata taarifa kutoka kwa polisi ambae nae alikuwa eneo la tukio amejeruhiwa kwa maelezo ya haraka alisema muhusika wa tukio lile ni dereva wako... anaitwa abdul" hussen alimuuliza mudy huku akiwa amekosea taratibu za kumuhoji mudy kwani ili bidi amuulize maswali ya kimitego

"ah abdul ni dereva wetu tulikuwa tume muajili na leo nilikuwa nimemtuma akampokee airpot mdogo wangu harooney sijui kwanini ametutenda hivi" mudy aliongea kwa majonzi huku akianza kuhisi kesi kuwa nyepesi

"ujue hii kesi utata ...mstuni kumeonekana kuwa kulikuwa makundi mawili tofauti ..tumekuta askari wetu wamekufa huku mabausa watatu wakiwa wame chomwa visu na mmoja kafungwa kamba akiwa kachinjwa muda mchache ulio pita..mstuni kumeonekana nyayo zawatu wengi na inaonekana kuna gari liliingia na kutoka ...unahisi hawa watu watakuwa kina nani" hussen alirudisha swali kwa mudy

"afande mimi sina jibu kwakweli huwenda ikawa ni kundi la abdul" mudy alizidi kumkandamiza abdul

"unafikiri sababu ipi imemfanya abdul afanye mauji hayo.."

"hapana labda wanawake"

"harooney hakuwa na kitu chochote cha thamani ambacho huwenda ikawa sababu ya abdul kuwapeleka mstuni na kuwaua...."

"hapana kwa mimi binafsi hakuwa nachochote labda kama alikuwo na hakuni shirikisha"

hussen akashusha pumzi na kuona kesi ngumu...hussen hakujua abdul anaemuongelea ndo yule abdul mtoto wa marehemu I.G.P ibrahimu

"sawa fanya utaratibu wa kuuchukua mwili wa mdogo wako ...kama utakuwa na picha ya huyo abdul uilete ili atangazwe na atafutwe popote alipo jitahidi uonane na mimi ...kwako wapi?" alisema hussen na mudy akamuelekeza .."acha kwanza nikakutane na ndugu na jamaa tupange taratibu za mazishi" alisema mudy huku akiri yake ikiwaza akawaangalie vijana wake alio watuma waka mnase abdul..mudy akaondoka na kuchukua tax na wakati akiwa kwenye tax anarudi kwake akatoa simu na kuwapigia vijana wake alio watuma mudy alipiga kwa namba ambayo haikusajiriwa kwa jina lake, simu ikaita na mara ikapokelewa

"hallow ...habari yako ndugu" sauti nzito ya kukwaruza ambayo mudy hakuifahamu kabisa iliongea upande wa pili, mudy akashtuka kwani alitegemea kusikia sauti ya kijana wake...na kwa mbali mudy akawa anasikia minong'ono mingi ya watu tofauti kwenye simu! tayari mudy akawa na wasi wasi ,mudy akakata haraka simu na kuzima na kupiga kwa mtu mwengine

"enh mark... upo hom...sawa basi na kuomba uende alipo panga abdul uangalie kuna tatizo gani eneo hilo halafu utanipa taarifa .." aliongea mudy na kukata simu kisha aka piga tena

"oya dogo ommy fanya mpango upande basi uje hata kama huja maliza kuuza mzigo kuna matatizo huku" alisema mudy ,kumbe kipindi yote yanatokea ommary alikuwa amesafiri.


mudy alifika nyumbani kwake na kabla hajakaa simu yake ikaita kuangalia mpigaji alikuwa ni mark mudy akapokea

"riport mark" alisema mudy

"kaka majanga nimekuta vijana wako wanne wamekufa ... na polisi wamejaa ... yaani majirani neno abdul haliwatoki vinywani nimejaribu kuuliza majirani wamesema abdul ndo ameua... kwani ni kipi kimetokea kaka... abdul si mtu wako?" maneno ya marl yaliupasua moyo wa mudy

"we acha huyu mtoto nitamuua kifo kibaya sana" alisema mudy na kukata simu na hasira zika upanda kichwa cha mudy mpaka mudy aka angusha kilio kikubwa cha uchungu na kumlaani abdul.


sehemu aliyo panga abdul hapo mkuyuni polisi walikuwa wamejaa wakishangazwa na matukio kufuatana siku hiyo , majirani wengi wali ishuhudia polisi kuwa abdul ndo alie uwa wale watu wenye siraha, polisi wakaingia chumbani na kusakanya na bahati mbaya wakapata picha za abdul wakazichukua kwani picha zile ndo zinge tumika kumtangaza abdul kuwa anatafutwa

polisi wakaichukua miili ya ile ya watu wanne na kuondoka na kuwaacha majirani huku kila jilani akiongea maneno yake juu ya abdul...abdul akawa gumzo mtaani kwao jina abdul likatamkwa na kila mtu kwenye mtaa ule wa mkuyuni.


mudy alikaa na kutafakari hatimae alipata ufumbuzi akaamua kumpigia I.G.P wa mwanza na kumuambia mambo yaliyo mkuta ...bahati nzuri na mbaya I.G.P na mudy walikuwa wanafahamiana kidogo hii ilitokana na kuna wakati harooney aliwahi kukamatwa na tuhuma za madawa ila mudy alienda kuongea na I.G.P na hatimae kumtoa harooneyg. na sasa mudy alimpigia simu I.G.P amweleze yaliyo mkuta harooney

"yah amemua na kutokomea huwezi amini I.G.P abdul alikuwa dereva wangu lakini ametusaliti " alisema mudy

"subiri ujue kuna kama taarifa mbili zimenifikia za jina hilo hilo la abdul ...kituo cha mkuyuni kime nipa taarifa kuwa kuna mtu anaitwa abdul amefanya mauaji ya watu wanaosadikika kuwa majambazi wenzake" alise I.G.P

"ndio huyo huyo afande" mudy alidakia kwa kiherehere

"basi muda sio mrefu vyomba vya habari nchini vitaanza kutangaza kutafutwa kwa abdul"

"ahsante afande...kuna kitu kidogo" alisema mudy

"poa nitakutumia namba yangu ya m pesa " alisema I.G.P

mudy akakata simu na kabla hajashusha pumzi mara simu ikaita mudy akaangalia kwenye kioo macho yakamtoka mpigaji alikuwa abdul

mudy akapokea

"hallow...kaka mudy mbona sikuelewi so ulinitumia watu waje waniue...mudy why kaka mudy"abdul aliongea kwa sauti ya chini

"abdul nilikuona ulivyo muua mdogo wangu....abdul nina mashaka kama utaweza kuliona jua la kesho kutwa likichomoza...nitakuua kifo ambacho hata izlael atanishangaa" alisema mudy na kukata simu.


abdul akabaki akiwa amepigwa butwaa asijue ajisuhulishe vipi na mudy "ebwana asinizingue mi simuogopi atakufa yeye boya tu siwezi kubembeleza ujinga" alisema abdul akiwa amekaa kitandani


mudy akaenda bugando kwenye chumba alicho lazwa yule polisi alie chomwa na kisu na abdul.. akakuta polisi amepata fahamu na mudy akamuuliza polisi kuwa abdul aliwateka vipi

polisi akaeleza kuwa abdul alimshulutisha harooney aendeshe gari mpaka mstuni ambapo abdul alikuwa na watu wake ,polisi alisema uongo na kuzidi kumpakazia ubaya abdul, ni huyu ni huyu polisi aliemchinja yule bausa aliefungwa na abdul kwa kamba za viatu kule mstuni ili kufuta ushahidi wa kuwa wao ndo walitaka kumuua abdul, kwa maelezo ya polisi ilimdhirihishia mudy kuwa abdul ana kundi ikabidi mudy akatafute vijana ili aweze kumdhibiti abdul .


ilikuwa ni saa mbili usiku mama abdul akiwa anaangalia tv akisubiri muda ufike aangalie taarifa ya habari...

"HABARI KIJANA ABDUL MKAZI WA MKUYUNI AFANYA MAUJI YA WATU ZAIDI YA KUMI NA POLISI WATANO KWA WAKATI TOFAUTI SEHEMU TOFAUTI KWA SIKU MOJA NDANI YA MASAA YASIYO ZIDI MATANO...." ilikuwa ni taarifa ya habari huku picha kubwa ya abdul ikitanda kwenye kioo cha tv aliyo kua anaangalia mama abdul

"ABDUL ANATAFUTWA NA POLISI NA KWA YEYOTE ATAKAE FANIKISHA ZOEZI LA KUMKAMATWA KWA JAMBAZI HILO ATAPATA ZAWADI. " haya maneno yakawa mwiba kwa mama abdul , mama abdul hakuamini kuwa ni mwanae ndo anatafutwa na ndo kauwa watu wanaotajwa kwenye tv , mama abdul akahisi kukosa pumzi presha ikampanda na kupoteza fahamu ...house girl alishangaa hali na alipo muangalia mama abdul house girl akagundua kuwa mama abdul kapoteza fahamu...house girl akachanganyikiwa na akaamua kumpigia simu abdul lakini ikawa haipatikani mungu wangu ikawa patashika ndani ya jumba la kina abdul kwani house girl hakujua amsaidie vipi mama abdul na ukizingatia alikuwa peke yake ndani ya jumba lile!....


muda huu wa saa mbili usiku abdul abdul alikuwa ndani ya bar ambayo ipo pembeni ya guest aliyo panga ...abdul alikuwa akinywa pombe kuondoa mawazo na muda huu alikuwa ameanza kulewa na muda wote alikuwa amezima simu hakutaka usumbufu.


abdul alikuwa amekaa kwenye kaunta na kulikuwa na tv na pembeni kulikuwa kuna vijana wanacheza mchezo wa pool table.


ndipo ghafla abdul alishtuka kuona kwenye kioo cha tv picha yake huku akitangazwa kuwa anatafutwa...hata vijana waliokuwa wanacheza pool walitazama taarifa ile kwani ilikuwa nzito

"shit!" alisema abdul huku akipiga ukuta wa kaunta...abdul alishindwa kuzuia hasira za pombe iliyo mpelekea kusema "shit" na kupiga ukuta wa kaunta kwa nguvu ikawa kosa kubwa!

kwani watu wote waligeuka na kumuangalia na ndipo watu hawa wakatambua ndo yule abdul anae tangazwa kwenye tv

"oya wazee si ndo huyu anaetafutwa" kijana mmoja kwenye pool alitamka

"yah na akikamatwa tunapewa zawadi...oya dili" mwingine akadakiiza na wakaanza kumsogelea abdul


abdul alishtuka na kutaka akimbie lakini hapohapo akapigwa kichwani na fimbo ya kuchezea pool na watu wakaanza kumzingira wamkamate apelekwe kituoni ,...abdul akawa amezungukwa na watu wengi ndani ya bar ile ya uswahilini



"oya mmenifananisha" alisema abdul kujitetea huku pombe zikianza kumtoka kichwani

"wewe boya nini... hapa kichapo hadi kituoni usisababishe tuka kuchoma moto" kijana aliongea huku akianza kumsogelea abdul akiwa na fimbo ya kuchezea pool table , kama ilivyo kawaida ya raia wakimkamata mtuhumiwa lazima mtuhumiwa ataje majina yake matatu na ndicho alichokuwa anaenda kutendewa abdul

yule kijana mwenye fimbo alimsogelea abdul na kuinua fimbo ili ampige abdul kichwani lakini abdul hakuwa wa kupigwa ovyo!kwami abdul aliidaka ile fimbo na kabla yule kijana haja fanya chochote ngumi nzito ya abdul ilitua shavuni kwake na na kumpeleka chini abdul hapohapo akapiga tambo kana kwamba anakimbia kuelekea kwale watu walio mzingira na alivyo wakalibia abdul akaruka teke na kumshindilia mmoja wao kifuani ambae alisukumwa nyuma na kusababisha watu watawanyike kidogo na abdul akawa amepata upenyo , hii ni kawaida watu wakiwa kikundi na ghafla mmoja wao akapigwa lazima watawanyike japo kidogo, na ndivyo ilivyotokea na abdul ndo aliona nafasi ya kuokoa maisha yake abdul alipita akikimbia kwenye ule upenyo huku akikoswa koswa kushikwa na kupigwa mitama na wale watu na abdul alichoropoka na kuendelea kukimbia kwa kasi.. . ,

kukimbia kwa abdul hakukuwafanya wale watu wamwache aondoke , watu hawa hawakutaka kumuacha abdul aondoke kirahisi walianza kumkimbiza "mwiziii kamata mwiziii" hizi ni sauti za hawa watu waliomkimbiza abdul.

abdul aliendelea kukimbia huku watu walio mkimbiza wakimtupia chupa za bia na mawe , abdul alikimbia huku baadhi ya chupa zikimpata kichwani na kumjeruhi na nyingine zikimpata kwa wingi mgongoni .

abdul hakusimama japokuwa alijeruhiwa vibaya kichwani kwani alikuwa amechanwa na vyupa na damu ziliendelea kumtiririka lakini abdul hakupunguza mwendo na nyuma yake watu wali mkimbiza huku wakiwa na uhakika wa kumkamata abdul.

abdul alikimbia kuelekea kwenye ile guest aliyokuwa amefikia ambapo hapakuwa mbali na ile bar iliyo mletea majanga.

abdul alikimbia na kufanikiwa kufika kwenye ile guest huku nyuma raia wakiwa karibu kabisa.

abdul hakuuliza wala kubisha hodi kwenye ile guest, aliingia ndani ya ile guest huku akiendelea kukimbia abdul akapita kaunta na kuingia kwenye korido yenye vyumba huku masikio yake akisikia dhahiri kuwa anafutwa ndani ya guest , abdul alienda mpaka kwenye chumba chake na hakujisumbua kufungua kitasa cha mlango abdul alipiga teke mlango na kuvunja kitasa abdul akaingia kwenye chumba chake akaelekea kwenye kitanda chake na kutoa godoro na kuchukua bastola zake mbili alizo kuwa amezificha chini ya godoro haraka haraka abdul akachukua begi lake lenye dola za kimarekani na kulivaa mgongoni akashika bastola zake mbili mkononi na kuanza kutoka kwenye korido akiwa amekunja ndita na damu nyingi zikimtiririka huku akizisikia kelele za wale raia wakiwa wameingia koridoni....

hawa watu waliomkimbiza walikuwa wameingia ndani ya guest na walimuona abdul akiingia koridoni na wao wakaanza kuingia , kijana mmoja alikuwa wa mbele katika kumkimbiza abdul na yeye ndo alikuwa wa kwanza kuingia kwenye korido huku akiwa na wahka wa kumkamata abdul maskini ya mungu huyu kijana hakujua alichokuwa anakifanya muda ule!

kwani wakati anaendelea kukimbia koridoni nyuma akifuatwa na wenzake ghafla alimuona abdul akitoka kwenye chumba na kabla hata haja simama alitupwa nyuma na milipuko miwili ikasikika na risasi mbili ziki badili makazi kutoka kwenye bastola ya abdul na kuweka makazi mapya kwenye kichwa cha huyu kijana aliekuwa wa mbele kumkimbiza abdul, kijana akatupwa nyuma na kusababisha taflani kubwa kwa wenzake walio , kwani wenzake walikuwa kasi kitendo cha kijana kutupwa nyuma kikapelekea baadhi ya watu walio mfuata nyuma kuanguka kutokana na kujikwaa kwenye mwili wa kijana kimbelembele...

abdul alikuwa ameshaamua kuua na sio kuwatania na kuwatisha eti wakimbie abdul alikuwa ni kama nyati aliepigwa risasi na muwindaji lakini kabla hajafa nyati awe kamuona aliempiga risasi.

abdul akafyatua risasi nyingine mbili ambazo ziliangusha watu wengine.

ilitokea taflani kubwa ndani ya guest ile kelele za woga na hofu zilitanda , kwenye korido walikuwa wamejaa watu hawa waliokuwa wanamkimbiza abdul , korido ikawa ndogo kila mtu akataka awe wakwanza kutoka nje baadhi yao walidondoka na kukanyagwa na wenzao vishindo vya risasi vili shamili huku baadhi ya watu wakidondoka na kuupoteza uhai .

abdul aliendelea kuwasogele huku akiwa katapakaa damu kana kwamba alikuwa jini,

abdul akageuka izlael kwa hawa watu ambao kwa njia moja au nyingine walikuwa wamefuata kifo.

abdul alifyatua risasi mara kadha wa kadha na kila risasi iliyotoka kwenye bastola ya abdul basi na mtu mmoja alianguka hii ikazidisha baadhi ya watu wawapandilie wenzao migongoni huku wakitamani watembee juu ya vichwa vya wenzao hii ikazidi kuongeza maafa ndani ya guest hii ,

walifanikiwa kutoka nje na kukimbia ovyo ovyo na kusababisha vulumai kubwa kuliko.

abdul akaenda pale ilipo pakiwa pikipiki yake aina ya baja abdul akaweka bastola moja kwenye begi na kubaki nayo moja mkononi ile isiyokuwa na kiwambo cha kuzuia sauti.

abdul akavaa element akawasha pikipiki ambayo ilitoa mlio mkali abdul akaondoka kwa kasi kupitia katikati ya hawa watu walio kimbia ovyo huku mara moja moja mkono mmoja wa abdul uliachia steling ya piki na kuchomoa bastola na kufyatua risasi ambazo ziliangusha watu kazaa na abdul akazidi kutokomea huku akiacha maafa kana kwamba ni watu kumi walio fanya maafa yale , abdul akashika barabara kubwa na na kutokomea.

abdul aliendesha pikipiki mpaka nyumbani kwa MEJA GEORGE .

george alimshangaa abdul kwa hari aliyo kuja nayo na kushindwa kujua ni yapi yameo mkuta kijana wake huyo wa zamani, george akamkaribisha abdul.

mama abdul

house girl alihangaika alitamani kumbeba mama abdul lakini ilikuwa ngumu , ndipo house girl alipo kata shauri la kwenda kuwaita majirani

majirani walikuja moja kwa moja hadi ndani ya nyumba ya kina abdul na wakakuta tv bado inaonesha habari za kutafutwa kwa abdul kila jirani alishangaa sana kuona habari ile kwa hakuna jirani hata mmoja asie mjua abdul ni nani.

majirani wakasaidizana kumbeba mama abdul huku minong'ono mingi yakuhusu abdul ikiendelea kwa hawa majirani.

mama abdul alifikishwa hosptalini na haraka haraka akaanzishiwa matibabu, . . huku majirani wakimpigia simu abdul bila mafanikio.

abdul

abdul alimweleza george juu ya matatizo yote yaliyo mkuta...george akasikitika sana na kumkumbusha abdul kuwa alimpa onyo kuhusu biashara alojiingiza ..waliongea mengi lakini abdul hakumuambia kuwa ana beg lililo jaa pesa za kimarekani,

george akamuambia abdul alale apumzike kesho yake ndo watayaongea.

abdul alienda kulala huku kichwa chake kikiwa kimegubikwa na mawazo pamoja na kumbukumbu za mambo aliyo yapitia akakumbuka mara ya kwanza akiwa kwenye matatizo ya mama yake na ndipo alipo ingia kwenye uporaji na hatimae tamaa ya pesa ikamuingia na kujiunga na dealers drug na sasa yupo kwenye matatizo makubwa na amejikuta akiua watu wengi kwa siku moja, abdul akakata shauri usiku huohuo akamuomba george simu yake na abdul akatumia simu ya george kumpigia rafiki yake beka

"hallow kaka beka"aliomgea abdul baada ya simu kupokelewa

"hellow kaka abdul" aliitikia beka

"beka samahani nakuomba kesho uje mwanza kwa basi...kuna matatizo yamejitokeza kaka"abdul aliongea kwa kuhimiza

"matatizo gani kaka?" beka aliuliza kwa wasiwasi

"ah tutayaongea hukuhuku ukija...sio matatizo makubwa kivile" abdul aliongea kumuondoa wasiwasi beka

"poa kaka kesho mi napanda basi usiwe na hofu kaka"alisema beka

"poa usku mwema"

abdul aliongea na kukata simu akamrudishia george simu abdul akarudi chumbani mwake abdul hakutaka kabisa kuwasha simu yake.

hussen alipigwa na butwaa pale aliposikia kuwa kijana abdul ndie alie fanya mauaji kule mstuni na amefanya mauaji kwenye mtaa aliokuwa anaishi na majirani zake wame mshuhudia kuwa niyeye abdul aliefanya mauji pale mtaani.

hussen akiwa kwenye mawazo ndipo alipo alifiwa kwenye tukio lililotokea kwenye guest moja mtaa wa igoma hussen haraka akaenda eneo la tukio.

hussen alishangaa kukuta maiti zisizo pungua kumi huku majeruhi wakiwa wanawahishwa hosptal hussen akauliza imekuwa vipi na ndipo shuhuda mmoja akasimulia jinsi walivyo muona abdul na kuanza kumkimbiza hatimae kugeuziwa kibao na kuuawa kama kuku .

hii ikazidi kumuogopesha hussen , hussen kwa akiri ya harakaharaka akihisi abdul amezinguana na wafanya biashara wa madawa ya kulevya, hussen akaanza kuhisi kuna kitu katikati ya huyu mwarabu ambae mdogo wake ameuwawa na abdul yaani mudy na abdul... hussen akahisi watakuwa wamezurumiana .

amri ikatoka ngazi za juu kuwa abdul atafutwe popote alipo awe mzima awe amekufa, na hussen hakuwa na njia nyingine zaidi ya kuingia mawindoni kumuwinda abdul ambae ameanza kuwa habari ya mjini.

taarifa za mauaji aliyo yafanya abdul ndani ya siku moja zilitapakaa mwanza nzima .

asbuh ya siku ya pili radio na tv nchini zilikuwa ziatangaza habari za kutafutwa abdul.

magazeti karibia yote yalikuwa yanapicha ya abdul huku abdul akawa ndo habari kuu kwenye vyombo vya habari.

kama ingekuwa ni usupper star na umaarufu basi abdul alikuwa ameupata kwa muda mchache sana lakini huu ulikuwa ni umaarufu ulio hatarisha maisha ya abdul .

habari hizi za abdul zilifika mpaka kwa waziri wa mambo ya ndani alietwa JACOB MARK ,waziri jacob alishituka sana kupata habari hizi za abdul! jacob hakushtuka kwa sababu et abdul kafanya mauaji kilicho mshtua abdul ni pale alipo jua kuwa huyu abdul ni yule mtoto wa marehemu I.G.P ibrahim, waziri akaanza kuhisi hatari mbele yake waziri akachukua simu na kupiga namba flani

"hallow bone... et ni kweli huyu abdul anaetafutwa ndie yule mtoto wa yule bwege tulie msababisha!" waziri aliongea maneno ya kihuni japo haya kuendana na

umri wake

"ndio jacob...riport hizi

tulizipata kwa hussen" alijibu

bone

"sikia ni kwambie jitahidi uwezavyo akamatwe na

akikamatwa auwawe ...nina

mashaka kama ataijua siri yetu

na anaonekena ni hatari"

waziri jacob aliongea kwa

kufoka kidogo "pouwa na simu ikakatwa" bone alikuwa ni inspector

ambae baadhi ya jacob

alimtumia kwa kazi zake

binafsi, bone alikuwa

mkakamavu mwenye roho

mbaya sana tena kuua kwake ilikuwa kama mchezo. bone baada ya kupata oda

kutoka kwa waziri akapanga

timu yake yenye polisi wasio

kuwa waaminifu na kuingia

mtaani kumsaka abdul. saa nane mchana mudy

alipokea wageni kutoka

ufaransa walio kuwa na

mabegi na ndani ya mabegi

mlikuwa kuna siraha zao

walizo tokanazo ufaransa, ni wafaransa kumi na mbili

wenye miili mikakamavu

wenye kila dalili ya kuwa

mamafia walikuwa kwenye

nyumba ya mudy wakipanga

mipango ya kumnasa abdul na kila mfaransa alikuwa

amekabidhiwa picha ya abdul,

wafaransa hawa ilikuwa ni

timu ya paul ilio kuja kumpa

msaada mudy ili abdul anaswe na wamuue

wachukue mzigo wao,

wafaransa wakawa kwenye

mikakati ya kutafuta wapi

abdul anapatikana. Beka alipanda basi alfajiri basi

lililo elekea mwanza .

beka aliingia mwanza, na

alivyo shuka nyegezi na

kuangalia mazingira ya

mwanza akakakumbuka miaka iliyopita na balaa alilo lifanya

beka akawa na hamu ya

kumkamata edward lakini

tatizo hakujua atampatia wapi. beka alielekezwa na abdul

mpaka kufika nyumbani kwa

george na alipokutana na abdul

wakatoka faragha mara moja

abdul akamueleza kwa ufipi

beka juu ya mambo yaliyo tokea

"nimekuita kuna mzigo nataka

kukupa utangulie nao mimi

nataka nikamchukue mama

nitoroke nae tuje dar ambapo

nitamnunulia nyumba... mwanza kimesha nuka'"abdul

alisema kwa simanzi

beka akakubali, abdul

akaendea beg na kumpa beka

kisha abdul akamkabidhi beka

bastola hii ni pesa nyingi boya

akijipendekeza ua...ina bidi

urudi stend ukakate ticket

kesho urudi" alisema abdul na

beka akaipokea abdul

akamuelekeza jinsi ya kuitumia kwani beka ndo ilikuwa mara

yake ya kwanza .

Laiti kama beka angejua

matatizo yanayo mkabiri abdul

na kuwa abdul anatafutwa na

polisi pamoja na wafaransa

hatari ,beka asinge ondoka angebaki ili amsaidie abdul,

lakini beka hakujua kwani

abdul alimwambia anatafutwa

na mtu mmoja tu ambae ni

mudy tu. beka akaondoka

kurudi stendi akiwa na pesa pamoja na beg akirudi dar es

laam. baada ya beka kuondoka abdul

akawasha simu yake na kupiga

namba ya mama yake ili

amuambie kuwa anataka

ahame akamjengee nyumba

mbali na mwanza. ndipo abdul alipo kutana na

majibu ambayo hakuyatarajia

kabisa....abdul alishtuka kusikia taarifa aliyo pewa

kuwa mama yake yupo

bugando kalazwa hali yake

ilikuwa sio nzuri hata kidogo,

abdul alikuwa anampenda

mama yake kuliko kitu kingine na ndomaana alitaka

amhamishe akamjengee

nyumba dar ili mudy asije

kutambua mama yake yupo

mwanza kwani lazima mudy

ange fanya kitu kibaya kwa mama abdul.

abdul alishindwa kuvumilia

akaangalia muda uliku saa tatu

usiku abdul akaingia chumbani

mwake na kujiandaa kisha

akaenda kwenyekwenye kabati lililo kuwa

na makoti ya george abdul

akachukua kofia ya pama rangi

ya khaki akavaa akachukua na

miwani ya macho ya george na

yenyewe akavaa akawa amebadili muonekano wake

muda huu george alikuwa yupo

anaoga bafuni , na abdul

akaondoka bila kuaga akakodi

tax na kuelekea bugando .

abdul alikuta muda wa kuimgia wagonjwa umeisha na kwa

kuwa alikuwa na pesa

akamuhonga mlinzi na

kuruhusiwa , abdul akaanza

kuingia bugando , maskini ya

mungu abdul hakujua alichokuwa anakifanya kwa

muda ule !

<<<< asbuh ya siku hii hussen alienda

kwa mama abdul na ndipo

akapata habari kuwa mama

abdul yupo hosptal

hussen akatoa ripoti hii kwa

I.G.P ambae ndo yule mwenye urafiki na mudy !

na I.G.P akampa riport mudy

ambae alifurahi na kuona kazi

imerahisishwa , haraka haraka

wakapanga mipango na ilipo

fika saa mbili usiku wafaransa pamoja na baadhi ya vijana wa

mudy walikodi gari za

wagonjwa mbili na kuwapa

hela mdereva wa gari hizi za

wagonjwa ili wawaingize

bugando bila matatizo , walifanikiwa kuingia ndani ya bugando, mudy pamoja na hawa wafaransa walikuwa na makoti meupe ya kidoctor kwenye mabegi yao ya mgongoni, mudy akawatawanyisha vijana wake kwenye baadhi yanjia zinazo ingia hosptalini ili wawe pale kama watamuona abdul anaingia ndani basi watoe taarifa , mudy alijua abdul kulikuwa kuna uwezekano mkubwa wa abdul kufika pale hosptal. mudy na wafaransa wakaanza kuingia bugando kila mtu kwa wakati wake na kila mmoja alipopata upenyo alitoa koti kwenye beg na kuvaa pamoja na kifaa cha kupimia presha.

mudy na wafaransa walifanikiwa kufika ghorofa namba sita kwa nyakati tofauti , na wakawa wametawanyika huku wakitembea tembea kana kwamba walikuwa madaktari wanao kagua wodi , katika ghorofa hii chumba namba C 20 ndicho alichokuwa amelazwa mama abdul alikuwa amelazwa na kina mudy walisubiria wapate upenyo waingie kwenye wodi ya mama abdul wamteke na kuondoka nae ....

>>>>

abdul alitembea haraka haraka akiwahi ghorofa namba sita alipokuwa amelazwa mama yake.

abdul wakati anaendelea kutembea kuna watu

aliwakuta njiani na hakutilia

manani na kuna mmoja

walipishana karibu kabisa na

mtu huyu akashtuka baada ya

kupishana na abdul karibu, mtu huyu alihisi ktmfahamu abdul

na juu ya miwani ya abdul

kulionekana ule mshono ambao

upo kama herufi "i" mtu huyu

akageuka kumuangalia abdul

aliekuwa anatembea haraka haraka , mtu huyu akautambua

mwendo wa abdul na

kujihakikishia kuwa ni abdul .

mtu huyu ambae alikuwa ni

kijana wa mudy haraka haraka

akatoa simu na kumpigia mudy simu kumpa taarifa , mudy

akasema amfuatilie na kijana

huyu akaanza kumfuatilia

abdul, abdul alivyofika ghorofa

namba mbili akaamua kuingia

kwenye lifti na kuanza kupandishwa juu, yule mtu

aliekuwa anamfuatilia abdul

akampa taarifa mudy kuwa

abdul anakuja akiwa ndani ya

lifti. lifti ili simama ghorofa ya

sita mlango ukafunguka na abdul akatoka huku mbele yake

akiona madaktari alio hisi ni

wazungu "FREEZE OR DIE" sauti

yenye lafuzi ya kifaransa

ilimfokea abdul na hapo hapo

wale madaktar aliowaona abdul wakatoa bastola zao na kumuelekezea abdul alie

kuwa hatua moja umbali

wakutoka ilipo lifti , midomo

ya bastola kumi na tatu

ikamuelekea abdul, huku mudy

akimtazama abdul kwa macho ya chuki.... abdul kazungukwa...

itaendelea.... nina imani mpo

mnao kumbuka mambo aliyo

yafanya beka kwenye

hosptal...beka alifanikiwa



abdul alihamaki akiwa hajui atafanya nini lakini mara wazo likamuingia haraka abdul akageuka nyuma na kuiona lifti bado haija ondoka ila mlango ulianza kujifunga, abdul hakuwa tayari kukamatwa na kundi hilo ...abdul akaamua acheze bahati nasibu ambayo ilikuwa hatari kwa uhai wake.


abdul kwa wepesi aligeuka na kujirusha kwa mtindo wa mchomo na kujitupia ndani ya lifti huku akikoswa koswa kubanwa na mlango wa lift kwani wakati anajirusha abdul mlango ulikuwa umeanza kujifunga na ulikuwa umebakia uwazi mdogo sana mlangoni na ile anamalizikia

kujitupa ndani ya lifti na

mlango ukajifunga. hakuna hata mmoja kati ya

hawa wafaransa pamoja na

mudy alietegemea kitendo cha

abdul kujitupa ndani ya lift ,

hapohapo baadhi ya wafaransa

wakafyatua risasi ambazo hazikutoa mlio na kuanza

kutoboa mlango wa lifti lakini

ilikuwa kazi bure kwani abdul

alikuwa amelala na risasi

hazhkumpata na muda huohuo

lifti ikaondoka kupanda juu . "oya tumfuate ghorofa ya juu "

alimaka mudy bila kujua

alikuwa anaongea na

wafaransa na amesema

kiswahili

mudy akaanza kupandisha ngazi kwenda juu na

wafaransa wa kamfuata

"bitch... we must kill him"sauti

ya kifaransa ikafoka lifti ilifika ghorofa namba 8 na

abdul alitoka haraka ili akimbie

lakini akaona mtungi wa gesi

ulio kuwa pembeni abdul

akabadirisha wazo lake la

kukimbia abdul akaenda kuuchukua ule mtungi wa gesi

na kuenda nao mpaka

palipokuwa na ngazi

zilizotokea ghorofa za chini

abdul akabanza kwenye ukuta

na kutoa bastola yake na mara akaanza kusikia vishindo vya

watu wakipandisha juu alipokuwa abdul

akajiandaa kuwashambulia mudy na wafaransa walifika

ghorofa namba saba wakakuta

lift imesha pita mudy akabadili

muelekeo akawambia

wafaransa wamfuate abdul juu

ghorofa ya nane na yeye arudi kwa mama abdul kuna kitu

alienda kukifanya ... wafaransa

wakaenda juu na mudy akarudi

moja kwa moja kwenye wodi

alimukuwemo mama abdul.

wafaransa wakaanza kupandisha ngazi kwenda

ghorofa namba nane

alipokuwepo abdul na mtungi

wake wa gesi , wakati

wafaransa wanapandisha mara

ghafra kwenye varanda mwisho wa ngazi walimuona

abdul katokeza na kurudi

kwenye kona ya ukuta ambao

uliwafanya wasimuone abdul

na wafaransa bila kujiuliza

wakaanza kufyatua risasi kuelekea ule ukuta aliojificha

abdul wafaransa hawa

kujiuliza kwanini abdul

kajionesha na kisha kajibanza

kwenye ukuta na abdul

alikuwa amejionesha makusudi! abdul akiwa kwenye ule ukuta

uliobanjuliwa na risasi za

wafaransa akashika ule mtungi

wa gesi na kuurusha kuelekea

kuelekea kwenye mtelemko

wa ngazi walipokuwepo wafaransa! wafaransa wakiwa

wanaendelea kufyatua risasi

mara baadhi ya wafaransa

waliona kitu kikija kikibiringita

kuja chini walipo kuwa na

wengine "stoop .." sauti moja ya mfaransa ilisikika kuzuia

wasishambulie ili wasije

wakaupiga mtungi , wafaransa

wakaacha kushambulia na

wakaanza kuupisha mtungu

uliokuwa unakuja kasi, mtungi ukiwa kama hatua mbili kufika

kwa wafaransa mara PAH PAH

PAH! na mlipuko mkubwa

ukafuata huku baadhi ya

wafaransa wakitupwa hewani. ilikuwa nikazi ya abdul kwani

abdul alivyo ona wame acha

kushambulia akajitokeza ghafla

huku akifyatu risasi tatu

kuulenga mtungi na risasi

zikaupata mtungi ule na kusababisha mlipuko ulio

watawanisha na kuwa tupa

wafaransa

ilikuwa ni patashika kwa

wafaransa kwani ilikuwa

wameingia kwenye msitu wenye mnyama mkali anae

itwa abdul. baadhi ya

wafaransa walikuwa nguo zao

zilikuwa zimeshika moto

wakihangaika ovyo huku

wengine wakiwa chini taabani mtu akianza basi wewe

maliza , abdul akafyatua risasi

huku akishukangazi na huku

risasi zikiwapata na kuwaangusha wafaransa

waliokuwa wakitapatapa huku

mayowe yakiwatoka na

kusababisha bugando kuwa na

magwi zilizo waogopesha

madaktari na wahudumu. bastola ya abdul ilikuwa inatoa

sauti kubwa sana mpaka

walinzi wagetini wakasikia

wakaanza kuingia bugando

kuangalia nini kimetokea. abdul aliogota bastola za

wafaransa ambao idadi yao

ilikuwa imepungua huku

wengine wakiwa kwenye hari

mbaya abdul alikuwa

ameamua awamalize kabisa hakuna hata mfaransa mmoja

alie kuwa na bastola mkononi

kwani ule mlipuko uli

wachanganya na walikuwa

wanahangaika kuzima moto

ulishika kwenye nguo zao...hii ikampa urahisi wa abdul kuwa

twanga wote risasi!

abdul alipoona kuwa kazi

imekwisha akaona ni wakati

wa yeye kwenda kumciukua

mama yake na kuondoka nao abdul akaweka bastola mbili za

wafaransa kiunoni (hili tukio

lilikuwa limetendeka ndani ya

dakika nne) abdul akiwa

anataka kuondoka mara

akasikia purukshani za watu wakikimbia ovyo abdul akatoa

bastola yake na kufyatua risasi

akipiga baadhi ya mitambo ya

umeme vilivyo kuwa kwenye ukuta wa hosptal ile na kusababisha shoti na taa zote za eneo lile zikazima pakawa giza .


ile milipuko ya risasi na mtungi wa gesi uliwashtua wagonjwa na wauguzi wagonjwa wakajua kulikuwa na shoti ya umeme ndipo wakaamua kuanza kukimbia wakielekea kwenye ngazi ili washuke chini na ndipo mara umeme ukazimika na kuleta taflani kubwa kwani kuna walio endelea kukimbia kutafuta ngazi za kushukia chini na kuna walio sita na wakasukumwa wakaanguka na kukanyagwa ila wengi waliendelea kukimbia kwenda kwenye giza na kufanikiwa kupata ngazi ambapo walikuta masalia salia ya moto yalio wasaidia kuona, wapo walio anguka kwenye ngazi na wengine walijikwa kwenye miili ya wafaransa basi ikawa zahama tupu ndani ya bugando.


abdul alijibanza ukutani na walivyofika hawa watu walio kimbia ovyo abdul akajichanganya na hawa watu akaanza kushuka chini huku akiwa na mawazo ya kwenda kumchukua mama yake .


walifika namba sita penyewe palikuwa na mwanga lakini na hapa kulikuwa kuna purukushani kubwa watu walikimbiaili watoke nje kwani

walikuwa wamesikia ile

milipuko na walihisi jengo lili

pata shoti

abdul akaanza kupishana na

wale watu ambao wengi walikuwa wagonjwa , abdul

akawa anawahi kwenye wodi

ya mama yake ili amchukue na

kuondoka nae.

abdul alifanikiwa kufika

wodini na akakuta hamna wagonjwa kwenye vitanda ,

alipotupia jicho kwenye

kitanda kilichokuwa pembeni

na abdul akaona kuna mtu

amelala abdul akamsogelea

mtu huyo ili kuangalia kama atakuwa ni

mama yake

mtu huyu alikuwa amejifunika

shuka gubigubi huku katikati

ya shuka kukiwa na damu

abdul alivyozidi kusogea ndipo alipoona michirizi ya damu

ikitokea juu ya kitanda cha mtu

huyu , abdul akataka kusita

kwenda kwa huyu mtu akihisi

kuwa mama yake hayupo wodi

hii lakini moyo ukamtuma akamuangalie huyu mtu abdul

akaenda kumfunua shuka mtu

huyu!

abdul alihisi kapigwa shoti ya

umeme hakuamini sura

aliyoiona ilikuwa ya mama yake mpendwa

mama abdul alikuwa amelala

bila kujitikisa huku damu

zikimtoka kwenye kinywa!

abdul akahi si mambo yapo

tofauti abdul abdul akafunua shuka

kifuani mwa mama yake ili

asikilize mapigo ya moyo na

hapo ndipo alipokutana na kitu

kilicho utia ganzi moyo wake

na kufanya asiangalie mara mbili kifua cha mama yake !

maskini ya mungu mama abdul

kifuani alikuwa ana matundu

ya risasi na alikuwa

amekwisha fariki .

abdul alitamani dunia ipasuke imfunike asiwepo kabisa

kwenye uso wadunia hii,

mama yake aliempenda kuliko

kitu chochote alikuwa amekufa

na msababishaji alikuwa ni

yeye mwenyewe abdul hakika abdul alijiona ndo alikuwa

muaji wa mama yake kwani

bila yeye mama yake asinge

kufa!

kilio kikubwa kilimtoka abdul

kilio kilicho jaa machungu na majuto makubwa! abdul

alikumbuka pendo la mama

yake abdul akajiona mkosaji

asie sitahili kusamehewa abdul

alikuwa hana hata nguvu

kwani miguu yake iliishiwa nguvu na kushindwa kukibeba

kiwiwili chake abdul akawa

amekaa chini huku kilio

kikubwa kikimtoka . kilio hiki cha abdul kili sikiwa

na askari watano waliokuwa

wameingia ghorofani humo

wakipishana na watu na wao

wakitafuta ni wapi mlipuko

ulipotokea na muda huo huo

wakasikia sauti ya kilio cha

abdul askali ikabidi waende

wakidhani atakuwa amekutwa

na hatari ili waka muokoe ! askari wakaenda mpaka

kwenye wood aliyo kuwemo

abdul na wakaingia kumkuta

abdul akiwa amewapa mgongo

"sisi ni maaskari inabidi

uondoke eneo ili sio salama"alisema afande na

kumsogelea alikuwa nyuma ya

abdul !

abdul alishtuliwa na sauti ya

huyu askari na akageuka na

hapo wakakutana uso kwa macho na huyu askari askari

akashtuka kumuona abdul

"ni abduuuul" askaal alipaza

sauti tayari abdul alikuwa

amesha julikana kwa maaskari itaendelea.... abdul bado yupo ndani ya

mjengo na anazidi kutigwa



hapo hapo akiwa amekaa abdul alichomoa bastola za ke na kwa umahiri abdul alifyatua risas bila mlipuko wowote kusikika

tatizo hawa askari walikuwa hawana tahadhari hata kidogo na ikampa urahisi abdul kuwatandika wote risasi na abdul akaamka akihisi yupo kwenye hatari kwani alijua lazima hawa askari watakuwa na wenzake , abdul akamsogelea mama yake na kwa uchungu abdul akambusu mama yake na kumvua mama yake bangili ya chuma mkononi mwake abdul akaondoka na kujichanganya kwenye kundi la watu walio kuwa wana malizikia kushuka chini abdul akaanza kushuka chini kwa haraka akitataka atoeke eneo hilo .

kati yahawa askari walio pigwa risas na abdul mmoja akiwa hoi alichukua radio call na kutoa taarifa kuwa abdul yumo ndani ya bugando na amewashambulia

na kuwa anaondoka.

taarifa ilisambaa bugando walinzi na polisi wakaanza kukimbia kuzama ndani ya bugando kumsaka abdul.

abdul akiwa amejichanganya na watu walio kimbia ovyo alishuka chini na alivyofika ghorofa yatatu alibadili mwelekeo na kuelekea upanda mwingine akiwa anakwepa asipite carteen .

abdul alivyo fika tu ghorofa namba mbili mbele yake ambapo kulikuwa na njia ya kutokea nje kwanjia ya miguu na pembeni kulikuwa na ngazi zinazo shuka sehemu zinapo egeshwa gari abdul muda huu alikuwa hana kofia yake aliiacha pale kwenye balaa la wafaransa .

"abdul simama"

mara ghafla kwa kihoro abdul alisikia sauti mbele yake na alitazama mbele akaona polisi walikuwa mbele yake ...

abdul hakusita alijitupa pembeni na kuanza kubilingita kwenye ngazi zinazo elekea sehemu wanapo egesha magari ... polisi wakaanza kufuata abdul alipo elekea huku wakitoa taarifa kuwa abdul yupo upande wa kuegesha magari .

abdul alibiringita na mara akasimama na kuinuka akaanza kukimbia kuelekea wanapo paki magari na mara akaona gari la wagonjwa likiingia kuegesha abdul akaona ulikuwa ukombozi abdul akasogelea lile gari kabla halija paki

akasogea mpaka kwenye mlango wa amburence ile na kuchomoa bastola kumuelekezea dereva

"shuka fasta kabla sija kupiga risasi' abdul alifoka na dereva akaanza kushuka na abdul akageuza bastola na kumpiga kitako cha bastola jamaa akaanguka abdul akaingia kwenye amburence na kuwasha na ile anaanza kuondoka gari lake likaanza kupigwa risasi kutokea nyuma! walikuwa ni polisi walimuona abdul akiingia kwenye gari .

abdul aliinama na kuwasha gari kwa speed na kuwasha king'ora kana kwamba alikuwa anaendea mgonjwa ..abdul akaanza kuelekea kwenye geti la kutokea.

walinzi walivyo iona gari haraka haraka wakafungua geti kwani walijua kuna mgonjwa anafuatwa ! abdul akatoka nje na kushika barabara inayokwenda mjini .

polisi nao waliingia kwenye gari yao na kuanza kumfukuzia abdul huku wakitoa taarifa kupitia radio call kwa wenzao kuwa wanamkimbiza abdul , polisi walikuwa kama hatua miambili kufikia amburance iliyo endeshwa na abdul.

abdul akaacha barabara ya kwenda mjini akakata kushoto kuingia barabara inayoelekea igogo abdul akazidi kukanyaga mafuta huku akiongeza mwendo kuwapoteza polisi walio mkimbiza ...lakini kama abdul alivyo jitahidi awaache polisi na ndivyo polisi waliongeza speed wamkamate abdul.

abdul akaacha barabara ya rami na kuingia barabara ya vumbi na kuanza kukata mitaa huku kichwa chake kikumbuka alivyo wahi kuwakimbia polisi akiwa na madawa ya kulevya .

polisi nao ndo kwanza walizidi kuwapa taarifa wenzao waje wawape msaada

abdul alikimbiza gari kisha kubadiri mwelekeo na kuanza kuingia mrungushi .

abdul akaingia kwenye barabara moja ya mtaani ambayo haikuwa pana sana na mara abdul akaanza kupunguza mwendo wagari lake kana kwamba gari lili ishiwa mafuta !

polisi nao walikuwa sanjali na mara wakashangaa gari ya abdul inaishiwa speed, polisi wakaongeza mwendo na kukaribia gari ya abdul kama hatua kumi!

abdul alikuwa amepunguza mwendo kwa makusudi na umbali wa kama hatua mia tatu kulikuwa kuna gari kubwa la soda lililo simama barabarani na kusababisha kubaki upenyo mdogo barabarani wa kuwezesha kupita gari dogo. abdul alipoona gari ya polisi imemkaribia akaongeza speed ghafla na polisi nao wakachochoe mafuta na kuanza kuifuata gari ya abdul kama hatua ishiri, polisi akawa anaendesha kwa speed ili ampite abdul na kisha kumuwekea ambush kwa mbele! tatizo ni kwamba polisi hawa kujiuliza ni kwanini abdul alipunguza mwendo? na kosa jingine ni dereva wa gari ya polisi alidili kuiangalia gari ya abdul na kutafuta nafasi ya kuipita gari ya abdul.

abdul alipo ikaribia ile gari kubwa ya soda akapunguza mwendo kidogo na alipoifikia akaingi kwenye ule upenyo mdogo wa barabara ulio bakizwa na gari ile ya soda na abdul alipoingia tu akafunga breki gari yake ikawa imeringana na gari kubwa na kuziba kabisa barabara.

polisi hawakuwa mbali sana na gari ya abdul dereva wa gari ya polisi alipoona gari ya abdul inaingia kwenye ule upenyo na yeye akafuata apite kwenye upenyo ambao abdul kafuata! dereva wa gari ya polisi hakupunguza mwendo akidhani abdul atamuacha eneo lile polisi hakujua abdul alikuwa na lake jambo.

macho yalimtoka dereva wa gari la polic kihoro kikubwa kilicho jaa woga na mshituko ukampitia !baada ya kuona abdul kasimamisha gari ghafla na yeye alikuwa kama hatua tatu kutokea ilipo gari ya abdul.

dereva wa polisi alifunga breki huku akikata kona akijaribu kuhama upande ! lakini ilikuwa ni kazibure kwani alikuwa speed sana hakuweza kuzuia gari yake kuparamia gari moja wapo kati ya amburece na gari la soda.

kwakuwa alikuwa amekata kona basi alilivaa gari kubwa ya soda na kusababisha kishindo kikubwa na gari ya polisi ikapinduka mara mbili huku askari wakivunjwa viuno.

abdul alishuka na kusogea kwenya gari ya polisi na askari wote walikuwa mahututi, abdul akafungua mlango wa gari ya polisi na kuchukua bastola iliyo kuwa kiunoni mwa dereva

abdul akarudi nyuma akarenga tanki la mafuta na kulifytulia risas mbili na kujitupa pembeni na mlipuko mkubwa ukalipata gari la polisi na kufanya kusiwe na uwezekano wa kupona hata polic mmoja kwenye ajali ile.

abdul akainuka na kuanza kuondoka akikimbia kuelekea maeneo ya makaburi ya wahindi .

makaburi ya wahindi yapo karibu kabisa na stesheni na abdul alipofika kwenye makaburi ya wahindi akasikia kitu kama honi kubwa, hapohapo abdul akapata wazo aliloliona linafaa abdul akatoka mbio kuelekea upande kulipokuwa na reli .

abdul akafika relini na mara akaona gusi (treni ya mizigo) na abdul hakuwahi kurukia treni ila kwa kuwa alikuwa kwenye matatizo ikabidi afanye hivyo abdul , abdul akadandia behewa lililokuwa wazi na kuingia ndani ya behewa lililo kuwa na giza cha kutisha....abdul akawa anaondoka mwanza kwa usafiri asio ujua unaelekea wapi .

polisi walio taarifiwa na wenzao kuwa wanamkimbiza abdul walifanikiwa kufika pale palipotokea mlipuko na kukuta maiti za polisi zikiteketea na haikujulikana abdul amekimbilia wapi

***

ilikuwa ni asubuh ya siku ya tatu tangu abdul aanze kutafutwa jijini mwanza na asbuh hii polisi na viongozi mbali mbali walikuwa wapo hosptal ya bugando palipotokea janga ambalo halikuwahi kutokea katika hosptal ile, watu wengi usiku wa jana walikuwa wamekufa hosptalini hapo kufuatia balaa alilolifanya abdul na hata watoto pia wali kuwa wamekufa! hii ilitokana na wakati watu wanakimbia jana baada ya kusikia mlipuko na abdul alivyo piga risasi kwenye vyombo vya umeme na kusababisha kijishoti cha umeme na umeme ukazima kukawa giza..watu wengi walianguka kwenye hili giza hasa wamama wenye watoto walianguka na kukanyagwa na watu walio kimbia ovyo.

wagonjwa wenye presha wengi walikuwa wamekufa baada ya kusikia ule mlipuko wa mtungi wa gesi... maiti za wafaransa zilizokuwa zime babuka babuka kwa moto zilizidi kuzua maswali mengi kwa polisi walio kuwa pale.

hussen alikuwa kwenye mshangao mkubwa kwani taarifa zinaonesha abdul jana alikuwa bugando na ndie alie sababisha janga lile na mara ya mwisho alikutwa kwenye wodi aliyo lazwa marehemu mama yake.

hussen alihuzunika sana alipo tambua mama abdul amefariki hussen akajua ni wazi kuwa wafanya biashara wa madawa ya kulevya ndio walio mua, na hussen akahisi huenda akawa ni yule mwarambu ambae abdul alimuulia mdogo wake, swali lingine lililo muumiza kichwa hussen ni juu ya maiti kumi na mbili za wafaransa hussen alijiuliza hawa watu kina nani kwani walikutwa wakiwa na bastola hussen akazidi kuwa matatani .

kikao cha dharula kili itwishwa na na baadhi ya viongozi na makamanda wa jeshi la polisi walikusanyika na kuanza kupanga wapi pa kumpata abdul kwani hakuna hata mmoja alie fanikiwa kuona wakati abdul akipanda gusi,

iligundulika kuwa hawa wafaransa walio kufa nao walikuwa kwenye harakati za kumkamata abdul, swali kwanini wanamtafuta abdul swali hili lili kosa jibu .

waziri jacob alipata habari kuwa kuna wafaransa nao walikuwa wanamtafuta abdul na ni hao walio shambuliana na abdul , waziri akaona kama angeweza kuungana na wale wafaransa angeweza kumpata abdul kwa urahisi , waziri akampa kazi afande bone ya kuchunguza ni wapi wanapotokea wale wafaransa ili kama watafanikiwa kuonana na boss wa wafaransa hawa wapeane ushirikiano kumkamata abdul kwani hawa wafaransa wanaonekana kuifahamu mienendo ya abdul, mamlaka ya upelelezi wa kesi ile akapewa afande bone ili aweze kutambua ni wapi wanapopatikana hawa wafaransa,

hussen alichukia pale alipojua kuna mtu mwingine anae ifanyia uchunguzi kesi ile, hussen alikuwa anataka aipeleleze yeye na kuwakamata kwaza wafanya biashara wa madawa na kisha kumtia mbaloni abdul, lakini hussen akawa ameikosa nafasi ile na amepewa nafasi ya kuwa kiongozi wa kuendesha msako wa kumsaka abdul.

mudy na omary walikuwa wamekaa kwenye jumba lao wakifikiri ni njia ipi waifanye wamkamate abdul, mudy kwa upande mwingine alikuwa na furaha kwani alikuwa amemua mama abdul na aliamini lazima abdul atakuwa kwenye majuto makubwa mno .

na upande mwingine mudy alikuwa kwenye simanzi kwani wale wafaransa wote walikuwa wameuwawa na abdul , walishindwa kujua abdul alikuwa mtu gani, mudy akaanza kuhisi abdul huwenda atakuwa jini kama sio shetani ,mudy akawa anajiuliza aweke mtego gani aweze kumkamata abdul

"KAKA KUNA WAZO LIMENIJIA UNAJUA ABDUL HUWA ANA MSICHANA WAKE NA ANA MTOTO ..ABDUL NAHISI TUKIWAPATA ABDUL TUTA MNASA....NA NAPA FAHAMU ALIPO PANGA " omary alisema kumwambia kaka yake mudy akiwa anamaanisha violla

kidogo ikawa tumaini lingine kwa mudy na omary na mudy wakapanga mipango yao ya kumnasa abdul.

baada ya mipango siku hiyo hiyo omary akiwa na vijana watatu walipanda ndege kwenda dar es salaam ili wakakamilishe mipango yao ya kumuwekea chambo abdul chambo ambae kwa hakika alikuwa ni violla!

mudy alimpa habari mfaransa paul kuwa vijana wao wote wametafunwa na simba abdul, paul akajua sasa walikuwa wana pambana na jini na sio abdul,

paul akapanga safari akiwa na mafia wake huku wafaransa wenye uzoefu mkubwa wa kutu mia siraha, paul alipanga safari ya haraka na siku hiyo jioni akaingia tanzania akiwa na vijana ishirini, paul alimpigia simu kijana wake alieitwa johnson na kumpa mwaliko wa kazi maalumu ya kuja kumuwinda kijana abdul ndani ya tanzania, johson alikuwa kijana mwenye asili ya kimexeco, johnson alikuwa kijana hatari kwenye hizi biashara halamu alikuwa mlengaji mzuri wa masafa marefu na alikuwa mtu mwenye uwezo wa kutumia kila aina ya siraha, alifahamiana sana na paul kwa muda huu johson alikuwa yupo mexco , paul akamwambia johnson kuwa kuna kazi ya kumsaka abdul alianza kutikisa nchini, johnson akaahidi kufanya maandalizi ya kuanza safari aje tanzania kumuwinda simba abdul.

afande bone siku hiyo hiyo alifanya uchunguzi na kugundua kuwa wafaransa walio kufa hosptalin waliingia kwa njia ya amburence mbili...bone akawakamata wale madereva wa amburence waliowaingiza wafaransa hostalini , madereva wa amburence waliteswa na bone kwa muda wa nusu saa mpaka wakamtaja mudy na kuelekeza anapo patikana.

bone akafunga salafari kwenda nyumbani kwa mudy.

bone alifika kwa mudy na kumueleza kuwa hata waziri wa mambo ya ndani anamtafuta abdul ili amuue kwa sababu binafsi, na ameona vyema waunganishe nguvu kumsaka kwani wao wanazijua nyezo za abdul waziri anachotaka ni abdul kufa na sio kitu kingine ,

mudy hakuwa na pingamizi kwani ilikuwa habari njema kwake . vijana wa waziri akina bone na mudy wakawa wamejiunga ,hii ikazidi kuwa mbaya kwa abdul kwani mudy alizidi kuwa na utanda wazi wa kumsaka abdul, kina mudy wakabaki wana subiri mipango kutoka kwa ommy alienda dar.

taarifa zilizidi kutapakaa za kutafutwa kwa abdul na sasa nguzo za umeme na kuta za watu zilikuwa zimebandikwa matangazo ya kutafutwa kwa abdul huku vyombo vya habari vikitangaza abdul amemua mama yake mzazi na kutokomea....

***abdul

abdul alikuwa ndani ya giza la behewa machozi yakimtoka huku akijiona nishetani ,kwani yeye ndie alie sababisha mama yake auuliwe, ni kweli alihama kwao akiepusha matatizo kama yaliyo tokea, lakini ndo hivyo tena matatizo haya kimbiwi

abdul aliwaza ajitwange risasi ya kichwa atoeke kabisa lakini wazo lingine lili mkumbusha kuwa ana mchumba na mtoto wake kipenzi joel , pamoja na hayo bado wazo la abdul kujiuwa lilimsumbua sana, alijifikiria ni wangapi kawa uwa wasio kuwa na hatia na ni askari wangapi alio wa ua na kuwaacha wake zao wakiwa wajane , abdul alijua wazi tayari yeye amesha weka uadui na mungu na ameweka urafiki na shetani , alikuwa hana faida tena kwa mungu. abdul akajiona yeye ndie anaengoza kundi la watenda zambi duniani akahisi huwenda shetani anae ongelewa kila siku kanisani misikitini ni yeye mwenyewe abdul kama sie pacha wa shetani.

abdul akaendelea kulia ndani ya behewa huku macho yakizidi kubadirika rangi na kuwa mekundu akiwa na bangiri ya mama yake ameivaa mkononi kama ukumbusho .

gusi lilianza kupunguza mwendo na muda ilikuwa saa kumi na moja alifajiri lilikuwa limeingia shinyanga abdul akaruka kabla ya kuingia stesheni , abdul akatembea mpaka mbugani na kukaa mbugani akisubiri pakuche aanze kuangalia utaratibu mwingine, abdul akiwa amekaa mbugani alipigiwa simu na george aliekuwa na wasi wasi abdul akamwambia kilakitu nakumwambia kuwa mama yake hayupo duniani. george nae alihuzunika sana na kumuuliza abdul yupo wapi kwa muda ule lakini abdul alimficha george na kumuambia kuwa yumo ndani ya mwanza amejificha kwa rafiki yake flani.

palianza kupambazuka na abdul akaanza kujongea kwenda mjini akapita sokoni ambapo alikuta wauza nguo wameanza kufungua biashara zao abdul akanunua kofia yake aina ya kapelo ambayo ilimfanya asijulikane sura kisha abdul akaenda kutoa pesa zake kwenye m pesa , na kisha kuenda kwenye maduka ya nguo za thamani akanunua suti nyeusi miwani ya macho na viatu aina ya foengo kisha akaenda kuoga kwenye mabafu ya kulipia na kuvaa suti yake, abdul alikuwa amebadilika muonekano wake na sasa alikuwa anaonekana kama kijana flani mwenye pesa zake, nywele zake ndefu kidogo zilizo chanwa na rangi ya ngozi yake nyeupe ukiweka suti aliyo vaa vilimfanya aonekane kijana mtanashati ambae kwa haraka ungeweza kusema anafanya kazi benki, miwani yake ya macho ilifanya wekundu wa ma macho yake usionekane na alima ya mshono wa nyuzi juu ya jicho lake ikiwa ndo alama pekee inayo weza kumtambulisha kuwa ni abdul.

abdul alienda stend lakini akaso basi linaloenda dar kwa muda ule ikabidi abdul aongee na dereva mmoja wa fuso ambae gari yake ilitarajiwa kuondoka kwenda dar saa kumi alasari , abdul akaongea na dereva yule wakakubaliana bei, na abdul akabaki anasubiri muda ufike aanze safari ya kwenda dar.

saa kumi na moja jioni fuso lilo mbeba abdul lilianza safari huku abdul muda wote akiwa na mawazo na simanzi ya kumkosa mama yake.

safiri ilizidi kusonga na ilipo fika saa tano usiku fuso iliangia kwenye mi mdogo na kwenda kupaki kwenye gereji moja, dereva akashuka na kumuacha abdul odani ya gari.

abdul akiwa ndani ya gari simu ikaita na abdul akaangalia mpigaji abdul akashtuka mpigaji alikuwa ni violla, abdul akajua bila shaka habari zake zimemfikia violla.

"hallow baby" aliongea abdul kwa sauti ya mashaka

"hallow baby pole kwa matatizo..baby kuna nini mbona sielewi" sauti ya violla iliyo mchoma abdul ]

"hapana baby ni matatizo nitakuja tuyaongee" abdul aliongea huju akijizuia asilie

"eeh..unakuja lini.... upo wapi" violla aliongea kwa sauti ilionesha kuongea vitu alicho ambiwa aseme huki sauti yake ikiwa na dalili zote za woga

"nafikiri kesho nitaingia dar es salaam vipi baby mbona unaongea kwa kitetanisha" aliuliza abdul baada ya kujua violla anaongea kwa sauti iliyo tofauti na siku zote

"hapana abdul nakuhofia"

"tuta yaongea nikifika dar " alisema abdul, abdu akakata simu.

*mwanza*

kina mudy wakiwa mwanza kuna taarifa walizipata kutoka kwa omary mida ya saa tano usiku! na usiku huo huo safari ikapangwa na kwakuwa walikuwa na ubia na waziri walipata helkopta iliyo wapeleka dar usiku ule, mudy akiwa na paul pamoja na mafia wa kifaransa wakaingia dar usiku usiku

**|**

abdul aliingia dar akashushiwa kimara muda ulikuwa saa tano asubuh , akapanda hiace iliyo mpeleka ubungo.

abdul akashuka ubungo na abdul alikuwa amesha mtaarifu violla kuwa anaingia dar , abdul hakuchelewa aliingia ndan Ya tax na kumuambia ampeleke river side kma violla, tax ikaanza kumpeleka abdul...

wakati abdul anaanza kuondoka ,kuna gari moja iliyo endeshwa na mfaransa huku ndani yake kukiwa na wafaransa wenye siraha ikaanza kuifuata tax ilio mbeba abdul...



abdul alipo ingia kwenye tax macho yake yalikuwa makini kuchunguza kama alifuatwa.

abdul alikuwa ameiona ile gari iliyo mfuatilia japo hakuwa na uhakika kama ilimfuata yeye ,dereva wa tax alimuomba abdul wakajaze kwanza mafuta kwenye sheri iliyopo barabara ambayo inaelekea kariakoo, abdul akakubari, dereva akakata kona na kuingia barabara ya kariakoo ,na ndipo abdul alipoiona ile gari na yenyewe ikikata kona kuwafuata , tax iliyo mbeba abdul iliingia sheli na ile gari ya wafaransa ikazuga kupitiliza na kwenda kusimama mbele ,

tax ya kina abdul ilijazwa mafuta na wakaanza kurudi walipotoka ili washike barabara ya river side, na hapo abdul akaiona ile gari ikigeuza na na kuwafuata tena hapo abdul akajua tayari yupo kwenye kufuatiliwa na abdul akashindwa kujua ni nani alie wajulisha watu hawa kuwa ameingia dar abdul akakosa jibu, abdul akajua kama ataenda kwa mpenzi wake violla basi angekuwa amepeleka balaa akapiga hesabu za fasta akaona bora aende tandika "oya fanya fasta ukaniache stend ya river"abdul alisema huku akiangalia gari lililo kuwa linawafuatilia .

tax ilimfikisha stend ya river na abdul akashuka huku akiliona gari ya wafaransa ikipunguza mwendo abdul alivyo shuka tu akaona haice iliyo beba abiria hapohapo abdul akaikimbilia na kuingia na muda huo hiace ikaondoka.

wafaransa wali shtuka kwani wenyewe walijua kama abdul kashuka angeelekea kwa violla lakini ghafla kabadirisha mamaamuzi na sasa alikuwa kwenye hiace . wafaransa wakaongeza speed kuifata daradara ile huku wakiwa na kazi ngumu ya kuchunguza kwa makimi abdul asije kushuka bila wao kujua, abdul nae kwenye gari akawa anaangalia gari ya wafaransa iliyo mfuata .

muda huu hapakuwa na foleni katika barabara hii maarufu kama mandela road, hiece aliyo panda abdul ilikuwa ni hiece inayo kwenda mbagala na muda huo barabarani abiria walikuwa wachache njiani hiace haikusimama mara kwa mara na ilikuwa speed wafaransa walitoa taarifa na kumuambia paul kuwa abdul amepanda kwenye basi na hawajui atashukia wapi, paul akampigia waziri jacob kumuambia mtego wao wa kwanza umeshindwa waziri akasema atapanga mpango kambambe muda huo huo . basi alilopanda abdul lilifika uwanja wa taifa abdul akashuka na akaenda kwenye kituo cha tax na kumfuata dereva na kumuambia ampeleke tandika , abdul akaingia kwenye tax ambayo haraka iliingia barabarani na abdul akageuka na kuona gari ya wafaransa ikiwafuata, alicho gundua abdul ni kuwa wafaransa hawa walikuwa na kazi ya kumfuatilia na sio kumshambulia, abdul akatoa bastola na kumuelekezea dereva wa tax "endesha kwa speed haraka" abdul alifoka, na dereva akiwa kwenye woga asijue nini kitamkuta akaongeza speed, wafaransa walishtuka kuona kasi ya tax aliyo kuwemo abdul ikiongeza speed , na wenyewe wakaongeza speed,

wafaransa wakati wanaendelea paul ali wapigia simu na kuwa ambia wawashe GPS ambayo ingeweza kuutrack mtaa waliopo ili iwe rahisi kujua mtaa walipo, wafaransa wakawasha GPS maalumu kwa njia ya simu ya thamani na wakaanza kuonekana kila hatua waliyo pita na ilitambulika walielekea mtaa wa tandika na muda huu hari ya hewa iligeuka ghafla na kutanda wingu kubwa na muda si muda mvua kubwa ikaanza kunyesha .

tax aliyopanda abdul iliingia barabara za mtaa wa tandika huku hatua miambili nyuma akifuatwa na gari ya wafaransa, ghafla abdul akamwambia dereva akatekona na kuingia kulia abdul akamwambia dereva asimamishe tax, abdul akashuka akiwa na bastola mkononi "washa gari uondoke fasta"abdul alimwambia dereva na abdul akaanza kurudi kwenye barabara ambayo gari ya wafaransa ilisikika ikija, abdul akakoki bastola yake na kuanza kusogea,

wafaransa walivyona tax imekata kulia na wao wakawa wana wahi wakate kona haraka abdul asiwapotee,

wafaransa wakiwa bado kidogo kuifikia ile kona ghafla abdul alitokeza mbele yao na kufyatua risas mbili kuelekea kwenye kioo cha gari yao , risasi zilimpata sawia mfaransa aliendesha gari na gari likapoteza muelelekeo na kwenda kugonga ukuta huku abdul akilisogelea wafaransa wakiwa wanafungua milango ndipo walipo kutana na risasi za abdul zenye shabaha isiyo pimika hakuna aliepona ukizingatia walikuwa kwenye mshtuko wa ajari. abdul akasogea na kuchukua bastola moja yenye kiwambo cha kuzuia sauti ,abdul akaanza kuondoka eneo lile asikutwe na wananchi ,abdul akaicha miili ya wafaransa ikiwa pembeni ya gari na ni hii gari na hii miili iliyo zua maswali mengi lwa inspector moses kipindi riwaya hii inaanza!.

waziri jacob alitoa amri kuwa polisi wote dar es salaam waelekee tandika kwani huko ndiko alipo kimbilia jambazi abdul.

jacob akampigia simu rafiki yake I.G.P ahmed na kumuambia juu ya swala la abdul "ndo yule mtoto wa yule mjinga...yah huwezi amini amekuwa mtu hatari...jitahidi kuongoza oparesheni ipaswavyo" waziri jacob alimwambia ahmed kwa msisitizo,

ahmed nae akampigia inspector robert na kumpa mamlaka ya kwenda kuongoza oparesheni kubwa hapo tandika...

muda mchache baadae polisi wengi walikuwa walikuwa wakipita kila kona ya mtaa wa tandika bila kujali mvua na kuzidi kutia hofu ndani ya mtaa huu wa tandika ...ABDUL KAMALIZA KUMSIMUlIA BEKA.....(mpenzi msomaji hapo ndipo riwaya ilipo anzia kwa wale tulianza anao watakuwa wanakumbuka balaa alilo lifanya abdul ndani ya tandika huku inspector wawili wakiongoza oparesheni hii .....ilikuwa ni balaa ndani ya tandika ,kwa ambao hawakusoma sehemu ya kwanza hadi ya kumi ya story hii nafikiri nitaanza kupost sehemu ya kwanza kwa wall yangu ...KWA SASA TUNAENDELEA ABDUL YUMO NDANI YA GETO LA BEKA NA NI USIKU WA MANANE ABDUL ALIKUWA ANASIMULIA

endelea ....*abdul&beka *dar*

"niambie beka nina faida gani tena hapa duniani? na hawa jamaa kila napo kwenda wananifuta sasa niende wapi beka, tazama polisi wote wa tanzania wana nisaka kifo kipo mbele yangu" ] alisema abdul huku muda huu macho yake yalikuwa mekundu kwa sababu ya kulia, hali kadharika beka nae alikuwa analia kwa hasira huku akitamani muda wowote amuone popote alipo mudy ili akamue hata kwa kujilipua

"ABDUL YOU NEVER DIE" BEKA alisema kwa sauti ya kukwaruza

"na kama kufa nitaanza mimi kaka yako...abdul wazazi wangu wamekufa muda mrefu uliopita na muda wote tumeishi ukiwa ni msaada mkubwa kwangu....sioni bitch wa kukua...ulisha uwa watu kibao ukiwa peke yako ...naamini walio bakia tutawau kifo ambacho hawakuwahi kukiota....abdul mimi sita kufa mpaka mudy awe amesha kufa kama wameanza sisi tuta maliza " beka alisema maneno yaliyo mtia moyo abdul huku kwa upande mwingine ilikuwa akimfariji tu, kwani kwa sasa abdul alikuwa kwenye hatari kubwa alikuwa ana maadui wasio hesabika

"beka sipendi nikuponze kama nilivyo mponza mama yangu hawa watu ni hatari ...nashindwa hata nifanye nini...beka kifo changu ndo njia pekee ya kukwepa haya matatizo....beka nakuomba uwatunze violla na joel nalazimika kujiua! nikajibu mashtaka yangu kwa mungu niliyo fanya ni mengi" abdul aliongea kwa huzuni akiwa anamaanisha anataka kujiua , hapohapo abdul alichapwa kofi zito

"are you mad...unaongea nini abdul ...kwa nini unaongea ujinga...unataka kujiua? abdul unata kuniacha katika dunia hii abdul wewe ?" beka alifoka na kwa mara ya kwanza tangu urafiki wao uanze beka akawa amemchapa kofi abdul...na kabla abdul hajafanya lolote simu yake abdul ikaita , abdul akatoa na kuangalia kwenye kioo cha simu na mara abdul akashtuka kama ameona simba

"mudy anapiga" abdul alisema kwa sauti ya kinyonge . beka akamnyang'anya abdul simu na kuichukua yeye na kuipokea

"son of bitch you must die" alisema beka baada ya kupokea

"wewe ni nani mbona sio sauti ya abdul" upande wa pili uliuliza

"ah ulikuwa hunijui mimi ni kaka yake abdul ...wewe boya siku zako zina hesabika" beka alizidi kufoka kwa sauti kubwa bila kujali ulikuwa ni usiku wa manane

"hahaha mwambie abdul nikiamua kumkamata hata sasa hivi naweza hata kumuita sasa hivi na akaja huku akifuata mashariti yangu lakini nataka kumkamata mazingira ambayo abdul atahisi kizungu zungu" sauti ya upande wa pili ambayo ni ya mudy iliongea kwa kujitapa huku ikionesha kuwa mudy anakitu anacho jivunia ! kabla beka hajajibu kitu mara puh...mlango ulipigwa kwa nguvu na kufunguka huku watu wenye makoti wakiingia kwa mfumo wa kuvamia kwenye chumba alichokuwemo beka na abdul, na kabla beka na abdul hawaja fanya lolote walishangaa wakiwa wameelekewa na midomo mitano ya bastola

"mtulie tuta wau mkileta ujuaji" sauti kali ili wafokea

<< wadau mnakumbuka afande robert alikuwa amekodi watu wake binafsi na kuwaweka ndani ya mtaa wa tandika na kwa ajili ya kupiga patrol usiku kwani robert alijua abdul yumo ndani ya mtaa ule,

usiku huu watu hawa wakiwa wanapiga patrol ndipo mmoja wao alipata kusikia sauti ya beka ikimfokea abdul juu ya swala la kutaka kujiua, beka alikuwa amefoka kwa sauti kubwa, mtu huyu alisikia jina abdul likitajwa na hapo akagundua abdul wanae muwinda alikuwa ndani akiwa na mtu alie muhifadhi, watu hawa walikuwa kumi ila watano walikuwa wameenda mtaa jirani na hawa watu hawa walio kodiwa na robert walikuwa ni wanajeshi wastaafu , huyu mtu aliondoka kimya kimya na kuwaita wenzake na kuja wakiwa na bastola mkononi na walipofika wakasikia beka akiongea na simu na ndipo muda huo wakavunja mlango na kuwavamia kina abdul

"utulie kama ulivyo abdul ukileta ujanja kidogo ume kufa" sauti kali ya mwanajeshi mstaafu ili wafokea beka na abdul , kina abdul wakawa chini ya ulinzi.....




"oya huyu jamaa dili .... acha kwanza tukamdhibiti maskani ...oya kasogeze gari tuwapeleke wote"alisema mmoja wa wanajeshi hawa wastaafu alieonekana kuongoza watu hawa watano, mwana jeshi huyu alikuwa ameanza kwenda kinyume na maelekezo ya robert ,kwani robert aliwaambia wakifanikiwa kumuona abdul watoe taarifa kwa robert lakini sasa mwanajeshi huyu alikuwa na mpango mwingine.

wanajeshi mmoja akatoka kufuata gari yao walio kuwa wameificha mbali kidogo,

muda mchache badae gari ilisogezwa na abdul na beka wakaanza kuamuliwa watoke nje bila kuleta ujanja wowote, muda wote wanajeshi walimnyooshea bastola abdul kwa tahadhari kubwa mno , abdul na beka wakaanza kutoka nje kuelekea ilipo kuwa gari ya hawa ya hawa wanajeshi ambao kwa hakika walikuwa na uzoefu wa kupambana ,

abdul na beka wakaingizwa kwenye gari hii abdul akawa amekaa siti ya nyuma huku akiwa katikati ya wanajeshi watatu na beka alikuwa mbele katikati ya wanajeshi wawili huku wakiwa wamemuwekea bastola kichwani na abdul alikuwa amewekewa mdomo wa bastola kwenye mbavu zake na gari ikaanza kuondoka eneo hili la tandika , na kukamata barabara ya mbagala na kuanza kuendesha kwa kasi .

dereva akiwa anaendelea kukimbiza gari mara alisita na woga ukamuingia! mbele yake alikuwa ameona polisi wa piki piki maalufu kama tigo na walikuwa wanapunga mkono kuisimamisha gari ya hawa wanajeshi, wana jeshi walishtuka wakajiuliza hawa polisi wanafanya nini usiku wote ule na kwanini wamesimamishwa.

"oya ficheni hizo bastola " yule kiongozi alisema na hawa watu wakatoa bastola zao kwenye mbavu za abdul na kuzificha kwenye makoti yao , na dereva akasimamisha gari na wale polisi wawili wakaanza kuwasogelea.

abdul kwa pembe ya jicho lake aliweza kuona bastola ikiwa kwenye mfuko wa koti la mwana jeshi aliekuwa pembeni yake huku kitako cha bastola ile kikiwa njenje akiri ya abdul ikaanza kufanya kazi.

polisi wenye pikipiki walisogelea gari na kugonga kioo cha mbele kifunguliwe dereva akafungua

"mbona usiku huu mna kimbiza gari kama mmekimbizwa" afande aliuliza na hapo wanajeshi wote wakawa wana muangali polisi na kutokua makini na abdul, abdul kwa wepesi alipeleka mkono wake mpaka kwenye bastola ilio nig'ing'inia kwenye mfuko wa koti na alipoishika tu bastola ikakoholea kwenye tumbo la mwana jeshi yowe likamtoka mwanajeshi na hapohapo abdul akampiga mwanajeshi wa pili kwa kiwiko cha mbavu huku muda huo akifyatua risasi kwa yule mwanajeshi wa tatu, milipuko ikawa imesikika ndani ya gari ile na kuzua taharuki ndani ya gari, abdul akafyatua risas nne zilizo wapata hawa polisi, beka nae alifurukuta kwa haraka akamtupia ngumi mtu aliekuwa pembeni yake iliyo mpata kichwani na muda huohuo beka akachomoa bastola kiunoni mwa mtu alie mtwanga ngumi na kumpiga risasi ya kifua na muda huo akageuka haraka na kumtwanga risasi dereva wa gari aliekuwa anataka achomoe bastola yake beka haraka akageuka nyuma na kumuona abdul alikuwa amemuweka chini ya ulinzi yule mwanajeshi mstaafu alionekana kuwa kiongozi "wewe tulia...ni nani alie watuma" abdul alimfokea huyu mtu

"afande robert"alisema yule mwanajeshi mstaafu , na mara pah pah ,bastola ya beka ikatoa mlipuko

"pumbavu robert ndo nani ...katoka kwa mudy huyu boya angetucheleweshea muda tuondoke tusije tukakutwa hapa" beka aliongea huku tayari akiwa amesha mchapa risasi huyu mtu

"poa tunafanyeje?" aliuliza abdul

tuna watoa hawa wafu sisi tunasogea mbele hatutakiwi kurudi tandika kwani pamesha kuwa noma" alisema beka

"na begi la pesa liko wapi" kwa mara ya kwanza abdul akamuuliza beka kuhusu lile begi lenye dola za kimarekani

"ah lipo darini hakuna atakae liona" beka ali maliza.

abdul na beka walitoa zile maiti na kuziacha barabarani na wao wakaondoka na gari huku likiendeshwa na abdul kwa kasi.

abdul na beka walivyo karibia mbagala rangi tatu walishuka na kuliacha gari barabarani na kuanza kutembea kwa mguu hadi maeneo ya shule ya rangi tatu ,beka akamwambia abdul amsubiri maeneo ya hapo shuleni na yeye akatafute chumba guest ,abdul akakubari na beka akaenda.

beka akaenda kwenye bar moja inayo itwa ZUEINI BAR & GUEST iliyopo karibu na shule ya rangi tatu ,beka akaenda na kulizia chumba akapatiwa na akafanya malipo na kuingia kwenye chumba alicho lipia akazuga zuga kama dakika kumi na baadae akatoka akidai anaenda kumchukua mgeni wake stend, beka akatoka na kwenda kumchukua abdul, abdul alipita bila matatizo hakuna alie mbuguzi kutazama sura yake na muda huu wafanya kazi walikuwa wamechoka na kazi , abdul akafanikiwa kuingia kwenye chumba cha guest bila kujulikana kuwa ndo yule anaetafutwa, abdul na beka wakawa chumbani wakifikiria wafanye vipi watoke kwenye matatizo

"hawa jamaa sijui walijuaje nipo pale?" abdul alijiuliza akiwa amekaa kitandani

"kwani hakuna uliemwambia kuwa upo tandika?" beka aliuliza kwa utulivu

"hapana yaani hata huyo violla alinipigia mara kibao but sija pokea maana najua ataanza kujiliza liza.... hakuna nilie mpa taarifa hizi" abdul aliongea kwa uhakika

"sasa sijui tunafanyaje maana hawa watu balaaa tupu"

"nakusikiliza wewe kaka yangu" abdul alijibu

"ah cha muhimu hapa kusepa hili jiji!...tukimbilie arusha ikiwezekana mpaka kenya" beka aliongea kwa utulivu mkubwa"

"unafikiri itakuwa rahisi ujue natafutwa nchi nzima" abdul aliuliza kwa mashaka

"hakuna kinacho shindikana....acha nimpigie rafiki yangu beda ni mpange" alisema beka nakutoa simu yake aliyo kuwa nayo akaenda kwenye orodha ya majina na kupiga kwenye jina la beda simu ikaita kwa muda ikapokelewa

"hallow ina kuwaje B?" sauti ya beda iliyo jaa usingizi iliuliza

"poa inakuwaje b...sikia beda kuna kazi nataka unisaidie "

"kazi gani?"

" nataka kesho mida ya saa moja uende geto kwangu utakuta mlango hujafugwa na kufuli ingia ufunue godoro utaona kuna pesa milioni moja...zichukue uenda ubungo ukakate ticket za wawili na ukifanikisha naomba tukutane kesho temino" beka aliongea na kumkabidhi maelekezo yote beda huku akimuamini

"poa dogo kuna usalama lakini?" aliuliza beda

"usalama upo naomba ufanye nilivyo kuelekeza" beka akamwambia beda kuondoa wasi wasi kwa beda, simu ikakatwa

"sikia abdul mchuzi wa mbwa unanywewa bado wa moto kesho asbuh tunampitia shemeji violla na mnatangulia moshi mkisha ondoka mimi nitarudia begi lenye dolla na kupanda basi jingine kuja huko moshi" beka alimueleza abdul mpango mzima wa kutoroka ndani ya dar.

usiku huu mida ya saa mbili kulikuwa na jopo la viongozi serekalini jopo hili lilikuwa la mara ya pili na tangu abdul aingie dar es salaam, robert na moses na wao walikuwepo kwenye jopo hili lililo mjadili abdul ambalo lilikuwa zito kitaifa na lilikuwa linaanza kuwashinda, robert alitoa maelezo jinsi walivyo mkosa abdul kwenye mazingira ya ajabu.

hussen alikuwa amesafiri kutoka mwanza hadi dar alikuja kulieleza jopo hili jinsi anavyo mfahamu abdul toka akiwa kijana mdogo akisoma alience.

viongozi na polisi hawa walikuwa wamekaa kwenye viti kuizunguka meza ndefu, na mbele ya hussen kulikuwa kuna dada aliekuwa na kalamu akiandika maelezo, dada huyu alifahamika kwa jina la GILDA na alikuwa ni INTERPOL kutoka kenya.

Gilda alikuwa msichana mrefu mwenye mwili ulio jengeka kimazoezi ,alikuwa mdada asiependa kucheka ovyo kitu ambacho kilipunguza sifa ya urembo wake, alikuwa ni interpol aliekuwa na uzoefu wa upelelezi hasa katika kufanya upelelezi unaofanikisha kukamata magaidi alikuwa ni mzoefu wa kazi hii na leo alikuwa ameteuliwa kuja kuungana na polisi wa tanzania ili kufanikisha kumkamata abdul, gilda alikuwa yupo makini akisikiliza na kuandika maelezo ya maofisa wenzake,

Hussen akaanza kueleza jinsi alivyoanza kumjua mtoto abdul

"....nili mjua siku ile nilipokuwa nafuatilia kesi ya kijana BEKA alie fanya mauaji kwa mjomba waka..,huyo BEKA alikuwa rafiki mkubwa wa abdul...." hussen akiwa anaendelea kueleza mara alikatishwa na gilda

"wait kidogo hili jina la BEKA....mbona na robert kalitaja" alisema gilda huku akiri ikimzunguka kwani alimsikia robert akilitaja kuwa abdul alipotelea mazingira ya nyumba ya beka na kwa mara nyingine anamsikia hussein akisema kuwa abdul alikuwa na rafiki wake alie itwa beka. Gilda akawa kama ameliamsha jopo lile na hata moses na robert wakahisi kitu

"wewe huyo beka unaesema alikuwa rafiki wa abdul kwa sasa yupo wapi" gilda aliongezea swali kwa hussen

"alitoroka jijini hatukumuona na hatukujua yuko wapi mpaka hivi leo" hussen alieleza kimya kikatanda muda kwenye jopo lile

"vipi kama huyo beka wa tandika walie muona kina robert akawa ndo huyu beka alie kuwa rafiki wa abdu? Itakuwa kweli na ndomaana abdul alikimbilia tandika"gilda aliongea akizidi kuonesha kuhisi kitu

Kila mtu aliafikiana na wazo la gilda, na maamuzi yakatoka beka akakamatwe!

Walitaka waondoke usiku huo huo lakini robert aliweka vipingamizi kwani alijua kama wataenda usiku ule lazima wangegumiana na wanajeshi ali waweka wapige patrol usiku.

hatimae wakakubaliana waende kesho.

asubuh palikucha mwana dada gilda na husen pamoja na mose na robert , saa kumi na mbili asubuh walipitiana na kuingia kwenye gari moja wakaanza safari ya kwenda tandika, na njiani walikutana na foleni kidogo ila walifanikiwa kufika tandika.

asubuh hii beda aliamka na kuanza safari ya kwenda tandika ili akafanye alicho elekezwa na beka ,

beda alifika kwenye geto la beka na kukuta mlango umerudishiwa beda akaingia ndani.

timu ya kina robert na gilda ilifika kwenye chumba cha beka na kukuta mlango upo wazi , bila kuchelewa wakaingia ndani na ndipo wakashangaa kumkuta mtu akiwa na burungutu la pesa ,alikuwa ni beda akiwa na milioni alizoelekezwa na beka, haraka sana kina hussen wakamuweka chini ya ulinzi "beka yuko wapi?" sauti kali ya robert ikamfokea beda...beda akawa matatani

beka & abdul waliamka saa kumi na moja giza giza wakatoka na kukabidhi funguo na wakaondoka, wakaenda stend na kukodi tax na kumwambia dereva awapeleke river side,

safari hii ilikuwa ilikuwa ya kwenda kumchukua violla, abdul alitaka kumpigia simu violla amwambie ajiandae wana mpitia lakini simu ya abdul haikuwa na charge ikamlazimu aende kimya kimya .

walifika river side na waenda mpaka kwenye nyumba aliyo pangishiwa violla

"oya nenda ukamuamshe umuambie...mimi akiniona anaweza kushtuka na kupiga kelele" abdul alimwambia .abduk akabaki pembeni beka na beka akaenda kugonga mlango wa violla

"nani unagonga" sauti ya violla iliuliza

"ni mimi beka shemu fungua mlango" beka aliongea kwa sauti ya chini nusu kama ana nong'oneza, mara kimya kikapita muda kidogo na mara beka akaona mlango unafunguliwa

beka alishangaa mlango ulifunguliwa na mwanaume na hapohapo beka akawekewa bastola kwenye paji la uso wake.... .. ... .

*usiku ulio pita ndo johnson kijana wa kimexco mwenye tatoo kubwa ya msalaba shingoni ,mwake aliingia dar na alikuwa amefikia kwenye hotel kubwa dar*



beka akiwa amedua mara alishangaa akirukiwa na damu huku mtu aliemuwekea bastola akitupwa nyuma!

abdul alikuwa ameona na hakuwa mbali alikuwa kwenye ukuta wa nyumba abdul ndie aliefyatua risasi kwa shabaha na kumtwanga mtu alie muwekea beka bostola kwenye paji la uso

"oya vamia" alisema abdul kwa sauti huku akijitahidi kuibana abdul alikuwa amesha hisi kuna kasoro eneo lile!

beka alitoa haraka bastola yake kiunoni na kujitupa ndani, na abdul nae alitoka mbio kuelekea kwenye chumba cha violla

"wote mpo chini ya ulinzi"sauti ya beka ilifoka na muda huo abdul nae akajitupa ndani ! lakini abdul alivyoingia tu na kuona watu walio kuwemo mule aliona hakuwa na haja ya kuchelewa kwani aliwajua, kulikuwa na wafaransa wawili walikuwa wamekaa kwenye kochi na ilionesha walikuwa wameamka muda sio mrefu na pembeni alikuwepo omary mtu ambae aliwahi kufanya kazi na abdul na walikuwa na urafiki ,na pembeni kidogo kama hatua nne kulikuwa na violla pamoja na mtoto wa abdul aliekuwa kalazwa kwenye kitanda kidogo cha watoto ndani ya chandarua abdul akafyatua risas mara tatu na kuwa piga wale wafaransa waliokuwa wamepigwa na butwaa na muda huo beka akamuona omary akipiga hatua kwenda kwenye kitanda cha mtoto na violla, omary alitaka amuweke bastola yule mtoto ili iwe ngao kwake kwa abdul,

lakini omary alikuwa amechelewa kwani beka alifyatua risas iliyo mpata omary begani na kumtupa chini na muda huo abdul akapiga hatua na kwenda alipo omary na kumtwanga risas ya mguu yowe likazidi kumtoka omary , abdul akamsogelea omary na kumnyang'anya bastola aliyo kuwa nayo omary, "Oya muweke chini ya ulinzi huyu fala...acha mimi niongee na huyu maraya!" abdul aliongea huku akimfuata violla mpenzi wake, abdul alivyo mfikia violla aliinua mkono wake na kumchapa kofi zito violla ! yowe likamtoka violla na kupepesuka ...muda huo huo abdul akamuelekezea bastola violla

"wewe maraya wamekupa shilingi ngapi mpaka uniuze kwao na kunisaliti! yah ni wewe nilikupa taarifa kuwa na kuja dar na wewe ukavujisha siri...violla wewe umeamua kudeal na hawa watu walimuua mama yangu....wewe fala lazima nikuue" abdul alifoka kwa hasira, kitendo cha kuwakuta wabaya wake kwenye nyumba ya violla kilimaanisha violla amepewa pesa na mudy ili amsaliti abdul...na abdul alikuwa kapaniki na alitaka kumuua mpenzi wake

" abdul walikuja kunivamia na kunishurutisha" violla alisema huku akilia

"waliniambia nitaje ulipo nikakataa wakanipiga na kumshika mwanetu joel na kusema nisipo wapa ushirikiano wanamua joel....sikuwa na jinsi abdul..."violla aliendelea kueleza huku akilia,

ni kwel omary na wenzake walivyo kuja kutoka mwanza walieenda kwa violla na kumshurutisha na kumtisha kuwa watamuua mtoto wao kama hata mpigia abdul simu na kumuuliza yupo wapi , omary na wenzake wakamwambia violla kuwa kama ataleta ujanja wa kwenda kupeleka taarifa kituo cha polisi basi wangemuua mtoto wake

wafaransa walipo kuja dar ndipo wakawa wanamuwekea violla kifaa kidogo kwenye nguo zake bila yeye mwenyewe viola kujua, na hicho kifaa kila violla alipo kwenda alionekana kwenye simu za wafaransa, kuna siku violla aliondoka kimya kimya na kuelekea kituo cha polisi lakini alipo karibia kufika kituo cha polisi alipigiwa simu na omary , omary akamwambia violla kuwa wanamuona anapo kwenda kituoni omary akamuonya violla kama ataenda kituoni basi wanamuua mwanae joel, tangu siku hiyo violla aliogopa kufanya lolote akihofia maisha ya mwanae , na kinaomary wakaendelea kuwa pale usiku na mchana wakimfanyia mawindo abdul, na hata siku abdul anaingia dar wafaransa walijazana kwa violla wakimsubiri abdul aje kwani abdul afike kwani abdul alikuwa amesha mwambia violla kuwa atafikia kwake .

*tuendelee*

hayo ndo yaliyo mkuta violla na abdul ndo amesimuliwa

abdul hasira zilimshuka na kujilaumu kwa kitendo alicho taka kumfanya violla, abdul akageuka alipokuwepo omary chini akigumia maumivu

"wewe umediriki kuja kuishika familia yangu wewe..." abdul aliongea kwa hasira na hapo akampiga risasi nyingine mguuni omary , omary akazidi kulia kwa maumivu

"nyie ndo mlio ni karibisha kwe biashara ya madawa...but leo mnataka kuniua.... pumbavu mme muua mama yangu" abdul aliongea kwa hasira na kufyatua risasi zilizo mpasua kifua omary, abdul alikuwa na hasira sana

"bado kaka yako!" alisema abdul na kuachia risas mfululizo na kukitoboa kabisa kichwa cha omary.

abdul alimpa pole violla na kumwambia kusudio lake la kuondoka kwenda arusha, violla hakuwa na pingamizi kwani alimpenda sana abdul na alikuwa yupo tayari kupelekwa sehemu yoyote.

violla alifanya maaodalizi ya haraka haraka , alitaka achukue mabegi ya nguo zake lakini abdul akamkataza akamwambia wanaondoka kijeshi wasipoteze muda wachukue vitu muhimu pekee

haraka haraka violla akachukua vinavyo mfaa na kuanza kuondoka akiwa na begi dogo akiwa kambeba mwanae joel wakaondoka wakaenda mpaka kina abdul walipo iacha tax, dereva tax alikuwa haja sikia chochote kwani risasi wazo fyatua kina abdul haziku sikika kwani bastola za kina abdul ilikuwa silince,

abdul na beka wakiwa na violla wakaingia kwenye tax

"samahani kaka utasubiri tumpigie mtu flani but tutakupa pesa ya ziada " abdul alimwambia dereva

"haina shida kaka" alisema dereva

beka akachukua simu yake na kumpigia beda , simu ikaita kwa mrefu

"hallo niaje beda...vipi umefanikiwa" beka aliuliza

"ah ...ndo nipo nafanya mikakati nilichelewa kidogo" alisema beda ,kwa sauti iliyo onesha kuna mtu anamuambia asema maneno hayo

"oya fasta utanipigia ukifanikisha "

"poa" simu ikakatwa

*beda* na* timu ya robert*

kina robert walimuweka chini ya ulinzi beda na kumkalisha kwenye kiti

"beka yupo wapi" robert alihoji

"sijui" alijibu beda na hapo akawa amejiletea tabu kwani kichapo kizito kili muangukia kutoka kwa robert alie kuwa na hasira pamoja na hamu ya kumkamata abdul ,beda alishindwa kuvumilia kichapo na hakujua beka alikuwa na kesi gani, ikamlazimu beda kueleza kila kitu kuwa alikuwa katumwa na beka aje kuchukua pesa na akakate ticket za watu wawili, na hapo timu nzima ikagundua kuwa zile ticket mbili zilikuwa kwa ajili ya beka na abdul na wakati wanaendelea kumuhoji beda mara simu iliingia kwenye simu ya beda, gilda akamnya nganya simu beda na kuangalia mpigaji alikuwa ni beka "mwambie bado unafanya mpango asubiri kidogo" gilda alimpa maneno beda ya kumuambia beka na beda akafanya hivyo, haraka haraka wakamchukua beda na kuingia kwenye gari yao na robert akaanza kuendesha gari kwa kasi kuelekea ubungo ili wakamuwekee ambush abdul na beka, robert alitoa taarifa kwa askari wawe tayari muda wowote ikiwezekana wasogee karibu na ubungo.

robert aliendesha gari kwa kasi na kufanikiwa kufika ubungo eneo la mataa wakashuka na kumshusha beda na kumpeleka pembeni ya barabara na kumuambia ampigie simu beka na kumuambia aje achukue ticket zake ubungo mataa beda akapiga simu kwa beda ambayo haikuchelewa kupokelewa

"kaka ticket tayari njoo hapa mataa" alisema beda

"poa dakika sifuri" alisema beka na kukata simu

baada ya kina robert kuhakikisha beka na abdul wanakuja robert hussen na moses wakaondoka wakaenda pembeni na kumuacha mwana dada gilda akiwa pembeni kidogo ya beda kulinda beda asije kukimbia huku bastola yake ikiwa sawia kiunoni,

na muda huo huo polisi wakaanza kuingia ubungo kwa usiri mkubwa kama walivyo elekezwa na robert huku polic wengine wakiwa wamevaa kiraia.

baada ya kina beka kupewa taarifa na beda kuwa mpango tayari, walimwambia dereva awapeleka ubungo mataa tena ikiwezekana kwa speed, tax walio kuwemo kina abdul ikaingia barabarani na kuanza kwenda ubungo mataa.

kitu ambacho kina abdul hawakujua ni kwamba ndani kwa violla mmoja wa wale wafaransa waliopigwa risasi alikuwa hajafa , kina abdul walivyo tu yule mfaransa kwa shida alichukua simu yake na kumpigia mmexeco johnson na kumueleza johnson kuwa abdul kaja na ameondoka na violla na akampa habari kuwa nguo aliyo vaa violla ilikuwa na kifa chao ambacho kina mtrack popote anapokwenda,

johnson alikuwa kwenye hotel moja iliyo kuwepo magomeni , haraka haraka johnson akachukua simu ambayo ni aina ya simu za wale wafaransa , john akaanza kukifuatilia kile kifaa kilichopo kwenye nguo ya violla, johnson akagundua kuwa violla alikuwa ndani ya tax ambayo ilikuwa imesima na ilikuwa kwenye uleule mtaa,

johnson hakutaka kupoteza muda alichuku begi lake jembemba lililo kuwa kama mfuko wa gita akalivaa na kutoka nje ya hotel kuchukua piki piki yake aliyo andaliwa na paul kwa ajiri ya dharula, johnson akawasha pikipiki na kuondoka kwa kasi huku muda mwingi akipunguza mwendo na kuangalia GPS kuwatrack kina abdul.

muda walio utumia kina abdul kumsubiri beda ndo muda huo alio utumia johnson kutoka magomeni mpaka ubungo na muda kina abdul wanaondoka kwenda ubungo mataa kuchukua ticket johnson tayari alikuwa amesha ingia barabara ya ubungo alikuwa amesha papita mataa.

johnson akiwa amesha papita mataa alishtuka pale alipo angalia GPS na kugundua gari aliyo kuwemo violla ina kuja ambapo yeye anakuja, haraka johnson akatembeza macho na kuona pembeni kulikuwa kuna mjengo wa ghorofa ambao bado una jengwa, johnson akapaki piki piki na kuelekea ndani ya hilo ghorofa alimomkuta mlinzi na kumtwanga risasi yenye silence, johnson akapanda mpaka ghorofa ya pili kisha akaenda upande ambao aliiona sawia barabara ya ubungo, johnson akafungua begi lake na kutoa kunduki ndefu maalumu kwa kulenga masafa ya marefu na kuelekeza barabarani!

tax ya kina abdul ikiwa kasi ilipo fika kwenye lile ghorofa mara taili ya mbele ya tax ile ilipigwa! na kitu na kupasuriwa vibaya tax iliyumba vibaya lakini dereva alifanikiwa kuisimamisha , dereva akafungua mlango na kutoka ili akangalie kwenye taili, dereva alivyotoka tu alitoborewa shingo na kitu kama msumari na kutupwa chini akishindwa hata kulia akawa ana galagala chini, abdul alishtuka kuona dereva kapasuriwa shingo abdul akashuka na kutoa bastola na kuangaza eneo lote "oya beka shuka umchukue violla muanze kukimbia mzame mtaani" abdul alipaza sauti, abdul ameshahisi kuna kitu.

beka na viola walishuka na kuanza kukimbia kwenda upande mwingine,

abdul aliangaza macho hakuona kitu kilicho mpiga dereva, abdul akatazama na kuona beka na violla wameshaanza kuingia uchochoro uliopo upande wa pili,

abdul akaondoka mbio huku akikimbia mfumo wa zigizaga kwani amesha jua pale kuna SNIPER mdunguaji,

abdul alifanikiwa kuvuka barabara zote lakini akiwa anakaribia kuingia kwenye ule uchochoro walio ingia kina beka, mara alipigwa na kitu kizito kwenye paja lake akazolewa na kutupwa hewani kisha akabwagwa chini kama mzigo, yowe kubwa la maumivu likimtoka abdul huku damu ziki mtoka,

beka alisikia yowe la abdul beka akageuka na kumuona abdul akigalagala chini, beka akaanza kurudi akamsaidie abdul lakini hapo hapo beka alipigwa na kitu chenye kama shoti ya umeme begani mwake na kutupwa nyuma na kuanguka vibaya huku bastola yake ikimtoka mkononi !.......beka na abdul wote wakawa wapo matatani leo walikuwa wamekutana na SNIPER mafia kutoka MEXCO JOHNSON...




violla nae alishuhudia balaa lile na hakuwa mbali akaanza kurudi alipo anguka abdul...beka akiwa chini alimuona violla akiwa anataka kurudi kwa abdul beka akajua violla alikuwa kwenye hatari ya kupigwa risasi na sniper , beka kwa nguvu alizo bakinazo aliinuka na kumdaka mkono violla na kumvuta haraka na kuingia nae kichochoroni kilicho kuwa karibu na ile wanatoka tu!risasi moja ili wakosa na kwenda kuchimba ukuta!, beka na violla wakawa kwenye uchochoro wenye ukukuta ulio zuia wasionekane "violla tulia utakufa..acha ni muokoe abdul" alisema beka na kujipapasa mfukoni na kutoa bastola nyingine isio na kiwambo cha kuzuia sauti ,beka akaikoki bastola na kuvuta pumzi.

abdul akiwa pale chini alijua wazi kabisa kifo kilikuwa mbele yake maana tangu ameanza uharifu hakuwahi kukumbana na zoluba ile "beka mchukue violla mkapande basi muondoke" abdul alipaza sauti akajua muda wowote atapigwa risasi na sniper

beka alikuwa amesha jua sehemu zinapotokea risas kuwa ni kwenye lile ghorofa, beka aliesabu moja mpaka tatu na kutoka alipo jificha huku akifyatua risas kuelekea sehemu aliyo hisi kulikuwa kuna sniper "abdul inuka fasta uje nimekupa cover" beka alipaza sauti huku akiendelea kufyatua risasi...risasi alizokuwa anapiga beka zilikuwa zinaenda pale pale maeneo aliyokuwepo johnson , johnson akala cover na kushindwa kupiga risas

abdul kuona hivyo aliianza kutambaa akihofia kuinuka atapigwa risasi za beka ....abdul akainuka na kujikunja kutokea kiunoni na kuanza kujivuta kwa tabu "ingia uchochoroni" beka alimwambia abdul ,na abdul akajitupia uchochoroni nyuma ya ukuta . beka akaacha kufyatua risasi na kurudi uchochoroni, beka ile anamalizikia risasi mbili zilichimba kona ya ukuta waliyo jificha na kuzidi kuweka hofu kwa kina abdul

"pole abdul " violla alisema na kumsogelea abdul

"oya ni sniper tume kwisha" alisema abdul huku akiugulia maumivu

"never" alijibu beka

"tuta fanyaje jamani" violla alidakia

"oya ondokeni mimi na baki kumsubiri huyu swine najua anakuja hapa tulipo ondokeni fasta" abdul alisema maneno ambayo hakuna hata mmoja kati ya beka na violla aliye ya afiki, hakuna alie kubali kumuacha abdul

"abdul siwezi kukuacha mpenzi wangu"violla alisema kwa huzuni

"abdul hapa tunaondoka wote hakuna anaebaki hapa" beka alisema kumpinga abdul

"beka nakwambia huyu mtu alie tushambulia lazima atakuwa anatufuata hapa tulipo jificha, jifikirie tukiondoka wote kwa pamoja si atatutokea kwa nyuma na kututwanga risasi" abdul alifafanua nia yake ya kubaki pale

"pamoja na hayo siwezi kukuacha hapa abdul" beka alizidi kumpinga abdul, abdul akageuka na kumuwekea bastola beka kichwani

"nita kuua nasema muondoke..save life of my son and life of violla...run" abdul alifoka akiwa amemuwekea bastola beka

"Abdul nikikuacha utakufa" beka alimsihi abdul

"haitajitokeza ondoka"

"ok naondoka but naenda kuteka gari barabarani na narudi kukuchukua" beka alitoa wazo ambalo kidogo lilikuwa la maana kwa muda ule

"poa ila nenda na violla" abdul aliafiki..na beka akaanza kuinuka aanze safari

"abdul nakupenda" alisema violla huku akishikwa mkono na beka

"hata mimi violla nakupenda ..ondokeni haraka"alisema abdul na beka na violla wakaanza kutokomea.

abdul akabaki peke yake akashusha pumzi ndefu na kusimama akiwa kaegemea ukuta huku mguu mmoja ukiwa una maumivu makali

mmexco johnson alipoona kina beka wameingia kichochoroni haraka johnson akachukua bunduki yake ya masafa na kuanza kushuka ngazi mbio akiwawahi kina abdul kichochoroni , johnsoni alivuka barabara na kuanza kuingia kwenye kichochoro mikononi mwake akiwa ameshika bunduki kwa makani tayari kwa kushambulia,

johnson alijua tayari alikuwa amesha mjeruhi abdulna alijua muda ule abdul na mwenzake walikuwa wanakimbia kuokoa maisha yao, johnson akawa anauambaa uchochoro kuelekea walipo ingia kina abdul .

abdul akiwa amesimama kwanye ukuta akiwa amebana pumzi akaanza kuhisi kuna kitu kina sogea kwa kunyata kuja eneo alilokuwepo , na abdul alipotupa macho akaona kivuli cha bunduki kikijongea , abdul akajua kuwa mtu alie mfuata alikuwa karibu kabisa abdul akaona kama akisema atumie bastola basi niwazi mtu yule ange muwahi na kumtwanga risasi abdul akaona njia rahisi ni kumvaa na kumshutukiza,

abdul alitulia kidogo mpaka akaanza kuaona kivuli cha kichwa cha mtu kikizidi kujongea ghafla abdul alitoka pale alipokuwa kajimbaza na kuipangua pembeni bunduki ya johnson kisha akamvaa mpaka chini wakajibwaga chini huku abdul akiwa juu ya johnson huku akimshindilia ngumi za uso johnson.

johnson alikuwa kashitukizwa sana na alikuwa amebwagwa chini huku akipigwa makonde mazito kutoka kwa abdul.

johnson akiwa chini kakandamizwa na abdul, alipeleka mkono wake kwenye paja la abdul ambapo abdul alikuwa kapigwa risasi ,johnson akapeleka mkono kwenye jeraha la abdul ambalo lipo nyuma ya paja la abdul, johnson kwa nguvu akaingiza kidole gumba chake kwenye jeraha la abdul yaani pale alipo pigwa risasi!, yowe kubwa lilimtoka abdul likiambatana na maumivu makali ya kutoneshwa kidonda chake abdul akawa ameacha kumpiga johnson , na hapo hapo johnson alimtwanga ngumi nzito ya shavu abdul na muda huo johnson akamsukuma pembeni abdul na haraka johnson akasimama na kumtwanga teke zito kwenye uso wa abdul ,na muda huo johnson akatoa bastola yake na kuichukua ya abdul iliokuwa imedondoka pembeni

"mother fu**ck get up.... am the don of mexco" johnson aliongea na kumtwa nga teke li la tumbo abdul aliekuwa anaugulia maumivu

"son of bitch get up" johnson akazidi kufoka, abdul akawa chini akiwa hana hata bastola wala mtu wa kumsaidia........

zile sauti za risasi zili sikiwa na kina robert haraka wakamfunga pingu beda na kuanza kukimbia kuelekea kwenye mlipuko wa risasi ,waliamua kwenda kwa miguu kwani mlio wa risasi ulisikika karibu kabisa.

beka alivyoondoka na violla alikimbia akiwa amemshika mkono violla aliekua na mtoto ,beka baada ya kukimbia kama dakika tano alikata kona na kuanza kurudi barabarani na alivyo fika karibu na barabara akasimama "shemeji nisubiri hapa nikachuke gari"alisema beka akiwa na nia ya kwenda kuteka gari na kumrudia ndugu yake abdul "shemeji beka kuwa makini" violla alisima kwa huzuni

"usijali shemeji" alisema beka huku akiondoka kuelekea barabarani,

beka anatoka tu akawa ameiona gari ipo pembezoni mwa barabara beka akaingia barabarani bila kuwa na tahadhari yote beka!

robert gilda hussen na moses wakiwa wanaelekea eneo waliposikia mlipuko wa risas mara ghafla robert alisita baada ya kumuona m2 alie mfahamu akiwa mbele yao anavuka barabara

"beka!" robert alisema kwa sauti na beka akashtuka na kuangalia sauti ilipotokea

"ni beka" moses alilopoka huku akitoa bastola yake na kumuelekezea beka, na gilda robert na hussen walitoa bastola zao na kumzunguka beka aliekuwa kapigwa bumbu wazi .... JE? nini kitamkuta beka na je? vipi abdul kwa johnson?



"utulie usijitikise beka mikono juu" sauti kubwa ilimfokea beka aliekuwa anatokwa na damu na muda huo kuna gari la polisi liliingia kwani polisi walikuwa wamesikia ile milipuko ya risasi, hussen alibaki amekodoa macho ni kweli huyu alikuwa ni yule beka ambae miaka mingi iliopita alimtoroka kwenye mazingira ya kutatanisha ,

beka hakuwa na ujanja mwingine alikuwa kazungukwa..."kimbia violla" beka alisema bila kugeuka kuangalia alipokuwa violla, beka alifanya hivyo ili kina robert wasijue kama alikuwa na violla, kina robert wakashangaa kumsikia beka akisema vile, gilda akahisi kitu na akaangaza macho na ndipo alipo muona violla akitaka kukimbia gilda akatoka mbio

kumkimbiza violla' violla alikuwa na mtoto alishindwa kufika mbali akawa amekamatwa .beka akapigwa pingu na violla akakamatwa akihusishwa na kina beka wakati kina rober wana muweka beka kwenye gari la polisi ndipo waliposikia yowe kubwa la abdul likisikika "hallo kuweni makini na beka acha tukatazame ni nini" alisema robert na muda huo robert na kina gilda wakaondoka mbio kuelekea kule walipo sikia yowe .kina robert wakiwa wanafuata uchochoro kuelekea walipo sikia kelele ndipo walipo shangaa kumuona mtu mwenye asili ya kizungu akiwa ameshika bastola mbili kamuelekezea mtu alie kuwa chini "police! dont move" sauti kali ya gilda ilifoka huku wote wakitoa bastola na kuwaelekezea kina abdul na johnson pale walipokuwa.

johnson alishtuka na alitaka kushambulia akasita kwani alikwisha ambiwa na paul kuwa hata sumbuliwa na polisi katika kazi ya kumtafuta abdul -johnson akatulia

"drop down your guns " gilda aliongea huku wakipiga hatua na mara .

hussen ndo alikuwa wa kwanza kumtambua abdul akiwa chini

"abdul " hussen alisema kwa kihoro huku akiwa haamini kilicho mbele yake na hapo ndipo timu nzima ilipo pata taharuki kwani hawakutegemea kumuona abdul katika mazingira yale "who are you and what's matter between you and abdul?" safari hii moses alimaka huku akikumbuka lile tukio la zile maiti za wafaransa alizozikuta tandika

"am a inter pol

" johnson aliongea kwa kujiamini huku akiwa makini kamuelekezea abdul bastola abdul , johnson akawaambia yupo kwa ajili ya kumkamata abdul na sasa alikuwa mikononi mwake . kina robert hawa kuyaamini maneno ya johnson ukizingatia hawakuwahi kumuona, johnson kwa kuwahakikishia akawambia wampigie waziri wa mambo ya ndani muda wote gilda alikuwa amemuelekezea bastola johnson na kina robert walikuwa wamemuelekezea bastola abdul alikuwa chini akiri ikimzunguka' ikabidi robert ampigie simu I G P ahmed na kumuambia kuna mzungu wamemkuta amemnasa abdul na anadai anaitwa johnson , kitendo cha kina robert kumtajia ahmed jina la johnson haraka ahmed akawambia wasimfanye chochote maana ni inter pol! robert ya baada kuyasikia hivyo akaweka bastola yake kiunoni mwake na kuchomoa pingu nakuanza kumsogelea abdul "oya kuweni makini huyu mtu hatari...naendakumfunga pingu " alisema robert huku akimsogelea abdul aliekuwa chini akitembeza macho.

mwili mzima wa abdul ulikuwa na maumivu, abdul alijifikiria afanye nini aweze kukimbia , hata kama angefanya shambulizi la ghafla sawa angeweza kubahatika kukimbia swali zito je angeweza kukimbia na kumundu maumivu ya mguu aliopigwa risasi, kiukwel asinge weza kufika mbali wazo la mwisho ilikuwa ni kujiua lakini pale alipo alikuwa hana siraha yoyote ya kujiulia....na muda huo robert alifika akiwa na pingu na kumfunga abdul kwa nyuma.

kila mtu alishusha pumzi ndefu ya kushusha mzigo uliokuwa ukiwakabili , hussen pekee yake alionekana kuwa na mawazo mengi yaliyo ambatana na kumbu kumbu za mambo yaliyo pita , hussen alikumbuka kuwa ni abdul aliwahi kumsababishia ajari kubwa huko mwanza, hussen akakumbuka kuwa aliwahi  kumuonya abdul juu ya watu aliojiunga nao ,na leo wamewakamata mtu na rafiki yake kwa wakati mmoja kwa upande mwingine hussen alikuwa na huzuni!

abdul alitembea akisaidiwa kutembea na moses na robert huku johnson akifuata nyuma ,

abdul alishtuka pale alipokuta beka na violla nao wamekamatwa "waacheni hawana makosa hawa" abdul alimaka na kusita kutembea na mara akasukumwa na johnson "keep moving" alisema johnson na abdul akageuka kumuangalia johnson "i will kill you bastard" abdul aliongea huku akimuangalia kwa hasira johnson alie sababisha kukamatwa kwake , abdul alikuwa na hasira sana juu ya johnson ...lakini hakuwa na lakufanya akapandishwa kwenye gari lingine chini ya ulinzi mkali na safari ya kupelekwa kituo cha polisi posta ikaanza....

magari yaliyo wabeba beka na abdul yalifika kituoni na abdul beka violla wakashushwa, abdul na beka wakaingizwa kwenye chumba na haraka simu ikapigwa daktari akaletwa kuja kuwatibu kina abdul wakiwa chini ya ulinzi mkali, violla na mwanawe wakabaki kaunta akitoa maelezo ya kuhusu uwepo wake kwa hawa watu wawili.

taarifa ya kuwa abdul amekamatwa zilizagaa na zilitangazwa kwenye vyombo vya habari, ilikuwa ni furaha kwa wananchi wengi na watu wengi walisema abdul ahukumiwe kifo maana amefanya mauji mengi.

taarifa nyingine ilikuwa ni kukamatwa kwa beka aliewahi kutafutwa miaka mingi iliyo pita kwa kosa la kumuua binamu yake, na vyombo vya habari vilitangaza kuwa popote alipo edward ambae ni mjomba wake beka aripot haraka kituoni dar ili kesi ifunguliwe upya inayo mhusu beka, beka akawa na kesi mbili.... kesi ya kujihusisha na jambazi abdul na kesi ya mauaji aliyo yafanya akiwa kijana mdogo kabisa....

kwa waliokuwa wanaujua urafiki wa beka na abdul tangu utotoni...na sasa abdul na beka walikuwa wanakabiliwa na kesi ambayo hukumu ndogo kwao ilikuwa ni kifungo cha maisha .. hii ilikuwa hadithi ya kuhuzunisha sana.

violla baada ya kutoa maelezo kuwa abdul alikuwa mpenzi wake, violla aliachiwa kwani hii kesi alikuwa ameingia kwa makosa ya kibina adamu. 

***

"beka nilikuambia ukimbie kaka kwanini hukufanya niliyo kuambia" abdul aliongea akijuzuia asilie wakiwa kwenye chumba chenye giza

"abdul nisinge weza kukuacha ukiangamia ...bora tufe wote" beka aliongea huku akishindwa kulizuia chozi

"but kama ungeondoka na mimi ningekamatwa wewe ungeweza kuja kuniokoa..au ungesepa tu na violla kwenda kuanza maisha mapya kwa kutumia zile dolla tulizoacha geto" abdul aliongea kwa utulivu, na kabla beka hajajibu mara mlango wa chumba walichokuwa ulifunguliwa na wakaingia watu wawili na kumvisha mfuko mweusi abdul aliekuwa na pingu mkononi ,abdul akainuliwa akiwa amefumbwa macho na mfuko mweusi akaanza kutembezwa akielekea asipo pajua na muda huu alikuwa na bandeji kwenye jeraha alilopigwa risasi, beka akabaki akiwa na wasi wasi mkubwa,

abdul akahisi ameingizwa kwenye chumba chenye hewa na mara akakalishwa kwenye kitu alicho hisi kuwa ni kiti, na mara akavuliwa ule mfuko na macho yakapata shida kidogo kuukabili mwanga.

abdul alishtuka! sana akapatwa na kihoro kikubwa macho yakamtoka!

mbele yake kulikuwa na meza na nyuma yameza alikuwa amekaa mfaransa paul ! pembeni ya alikuwa kasimama johnson na mudy huku wafaransa wanne wakiwa wamesimama pembeni kma walinzi, mudy alikuwa anamtazama abdul kwa macho yaliyo jaa chuki kwani tayari abdul alikuwa amesha waua wadogo zake wote wawili omary na harooney, hasira alizokuwanazo mudy zilikuwa hazieleki, na alionekana kujizuia....

"hi abdul" paul alimsalimia abdul kwa dhihaka abdul hakujibu kitu

"abdul the mafia of tanzani...now you are in my hand" paul alizidi kuongea kwa utulivu

"bloody swine...kill me if you delay to do... then i will kill you....kill me " sauti nzito ya abdul iliongea akiwa amemkazia macho paul, maneno ya abdul yalimpandisha hasira johnson alietulizwa na paul

"mother f*cker then when i kill you who will pay me my black diamond ? abdul where my diamond" (pumbavu nikisha kuua nani atanilipa almas zangu nyeusi? abdul almas zangu ziku wapi?) alisema paul na kumshangaza abdul,

"black diamond?" abdul aliongea kanakwamba hakumsikia paul

"yah my diamond" paul alisema

"you are mad bitch ...which diamond" (wewe maraya chizi almas gani?) abdul alisema na kuwakasilisha watu wote waliokuwa kwenye chumba kile, paul alichukia na kutoa ishara kwa walinzi wake, walinzi wakamsogelea abdul na kumshika asitikisike na johnson akachomoa kisu na kushika mguu wa abdul na kupeleka kisu kwenye kidole cha mwisho na kukikata kwa nguvu, yowe kubwa lilimtoka abdul huku akishuhudia kidole chake kikitupwa chini huku maumivu ya kimtembea mwilini

"nimekwambia nataka almasi zangu nyeusi" paul alifoka kwa kingreza

"almasi gani mbona sielewi?"abdul aliongea kwa uchungu

"ok abdul huwa sina masihara kwenye kazi...oya sogezeni vifaa" alisema paul na hapo walinzi wakasogeza begi na kutoa waya za umeme pamoja na pasi, na muda huo wakaonganisha ile pasi kwenye umeme na zile waya maalumu kwa kumpigia mtu shoti ya umeme, na abdul akiwa na pingu akaenda kufungwa kwenye chuma kipana na kuvuliwa shati kwa ajili ya kuanza kuteswa kwa  Shoti ya umeme na pasi ya umeme.

..abdul akiwa na maumivu ya kukatwa kidole bado anataka kupigwa shoti na kibaya abdul hajui kabisa hizo almasi wanazo ongeleaa....



abdul akiwa kafungwa pale kwenye chuma , johnson akachukua ma zile waya mbili zilizokuwa tayari zime onganishwa na kwenda kumgusisha abdul kwenye mwili wake, yowe lingine kwa mara ya pili lilimtoka abdul huku akitetemeshwa na umeme mkali huku akipatwa na maumivu makali, na mara johnson akasitisha zoezi lake

"abdul nakuuliza tena almasi ziko wapi ulizo mpora harooney na kusepa, usitake nikuue kifo ambacho hujawahi kukihisi" paul aliongea huku akimtazama

"ebwana mi sijui hizo almasi zenu zilipo mimi kwa harooney nilichukua begi lenye dolla na sio almasi" abdul alisema kwa kujitetea na kusema ukwel wake

"sikia harooney alikuwa na mabeg mawili moja lilikuwa kubwa na ndilo lilikuwa na almas zangu....na hizo dolla ni za mudy yeye mtamalizana ...kwa sasa nacho hitaji ni almasi zangu" paul alifafanua, na hapo abdul akakumbuka kuwa siku ile harooney alikuwa na mabegi mawili na hapo abdul akakumbuka kuwa alimuona yule baunsa akimalizia kufukia kitu na kuweka jiwe juu ya sehemu aliyo fukia, abdul tayari akajua kilicho tokea,

"where is the black diamond" alisema johnson huku akimtwanga abdul ngumi nzito ya uso

"i will show your diamond" abdul alisema na kunyamanza

"zipo kwenye poli nilipo muulia harooney" abdul alisema

"pumbavu inabidi utupeleke..." mudy alifoka

"nikisha wapa almasi zenu kipi kitatokea kati yenu na mimi" abdul aliuliza

"kifo chako "mudy alidakia

"no tutakuacha huru"paul alisema huku akimkonyeza mudy!

"nita wapeleka" alisema abdul na kuinamisha kichwa chake kwenye kifua chake, paul alimuita pembeni mudy na kuongea nae kwa muda kisha paul akatoa amri abdul afunguliwe na kwenda kuwekwa kwenye chumba kingine tofauti na chumba alichokuwemo beka,.....

robert hussen moses na gilda walikuwa kwenye hari ya sito fahamu kwani oder ilikuwa imetoka ngazi za juu kuwa kuanzia muda ule hawakutakiwa kujihusisha na kesi ya abdul kazi yao ya kumkamta abdul ilikuwa imeishia pale, japo walikuwa wamepandishwa vyeo lakini wote moyoni mwao hawakupendezwa na maamuzi yale, moses alisha hisi kuna mkono wa mtu binafsi unaingilia kesi ya abdul, inter pol gilda nae siku hiyo hiyo safari yake ilipangwa kurudi kenya huku akipewa sifa tele za kufanikisha kukamatwa kwa abdul, gilda nae alikuwa na maswali mengi juu ya kesi ya abdul kwani alikuwa amekwishaona utaratibu tofauti kwenye hii kesi ya abdul, kina robert waliambiwa warudi kwenye vituo vyao kwani kesi ya abdul ilikuwa haiwahusu tena,

hussen aliamua kurudi kwenye kituo cha polisi posta kwa ajili ya kuzungumza na abdul ikewezekana apate ukwel wote.

hussen alifika kaunta na kutoa kitambulisho na kudai anataka kuzungumza na abdul, lakini hussen akaambiwa kuwa kwa muda huo abdul haruhusiwi kuonana na mtu yoyote,

majibu haya hayakumlizisha I.S.P hussen akashindwa kujua kuna nini kinaendelea,

hussen wakati anazidi kumdadisi polisi aliekuwa kaunta juu ya abdul ndipo hussen alishtuka alipomuona abdul akiwa katikati ya wafaransa wawili akisunta huku akionekana kuwa na dalili za kutoka kuteswa na uso wa abdul ulionekana kuvimba, hussen akiwa bado anashangaa ndipo alipo waona kina mudy na paul pamoja na wafaransa wengine wakitoka sehemu aliyotokea abdul, hussen akageuza sura wasimuone, kina mudy wakatoka nje wakionekana kuwa na haraka, na wale wafaransa walimpeleka abdul kwenye chumba cha peke yake na wao wakaondoka.

tayari hussen alitambua kuna kitu kibaya kina muandama abdul, hussen akamuomba sana yule polisi aliekuwa kaunta kuwa akaongee na abdul

hatimae hussen akaruhusiwa kwenda kuongea na abdul.

hussen akapelekwa mpaka kwenye chumba alichofungiwa abdul,

hussen alimkuta abdul akiwa amelala sakafuni akiwa hoi

"abdul" hussen aliita kwa huruma ,abdul akashtuka kumuona hussen ,abdul akajiinua akiwa na pingu na kuanza kusunta kusogea kwenye nondo za mlango ule na kuushika....ni kweli hussen siku zote alikuwa anamtafuta abdul lakini kwa sasa hari ya abdul ilikuwa ya kuuzunisha sana

"abdul ...pole ila abdul nili kuonya.... abdul niambie kunani kinacho endelea" hussen aliuliza huku akimwangalia abdul machoni, abdul hakujibu kitu alimpa ishara hussen iliyo maanisha hussen asogee karibu na hussen akasogea, abdul akaanza kuongea kwa sauti ya kunong'oneza ambayo haikusikiwa na mtu yoyote zaidi ya hussen, abdul aliongea kwa muda mrefu kidogo kwa kunong'oneza, na mara abdul akamaliza maelezo yake na kurudi chini kwenye sakafu na kukaa , macho ya hussen yakamsindikiza abdul kwa kuchunguza na muda huo hussen akaondoka na kutoka nje ya kituo!

**

paul na mudy wakiwa na johnson walipoondoka walienda moja kwa moja kwa waziri jacob, paul akaeleza kuwa yeye shida yake imekwisha maana abdul amekubali kwenda kumpa almasi zake , sasa kazi ilibaki kwake waziri yeye alitaka nini kwa abdul

"shida yangu abdul afe .." alisema jacob

"acheni nimuue mimi" mudy  alidakia

"shida yangu afe maana ni mtu hatari akijua kuwa ni mimi nilimua baba yake lazima ataniua, " jacob alisema

"vipi yule mwenzake tumuache au" paul aliuliza akimaanisha beka

"wote wafe kukata mzizi wa fitina" mudy alisema,

"sawa mtakuwa na I.G.P ahmed atakae fanikisha nyie kumchukua abdul kupitia mamlaka yangu" jacob aliongea.

hatimae walimaliza kufanya mipango yao yote ya kuwaua abdul na beka , kina mudy na jocob wakaachana na kwenda kupumzika kwenye hotel walizofikia.

**

beka akiwa kwenye chumba alicho fungiwa akiwa na kihoro na mawazo mengi juu ya abdul mara ghafla kuna mtu alie valia nadhifu alikuja akasimama mbele ya mlango wa nondo "uncle beka!" sauti nzito ilimuita beka ,beka akamtazama mtu alie muita na mara beka akashtuka akahisi kumtambua mtu huyu

"beka uliniulia mwanangu yona"mtu yule alisema alie kuwa edward mjomba wake beka!

beka alishtuka baada ya kutambua aliekuwa mbele yake alikuwa ni mtu alie ua wazazi wake miaka mingi iliyopita,edward alikuwa amepata taarifa ya kuwa beka amekamatwa na yupo kituo cha polisi, bahati mbaya na nzuri edward alikuwa yupo dar es salaam ki biashara na baada ya kupata taarifa hii akawa ameriport na kujitambulisha kuwa yeye ndo baba wa mtoto alie uliwa na beka, edward akawa kaletwa alipo fungwa beka ili aje amtambue. "uliwaua wazazi wangu" beka aliongea kwa sauti ya kukwama kwama huku akihisi kizungu zungu

"yah nili wauwa na wewe muda sio mrefu unawafuata...utuache tuendelee kuishi kwenye nyumba yenu" edward aliongea akiwa kafula

"alaah laiti kama kabla sija kamatwa ningetambua kuwa unaishi kwenye nyumba yetu nyegezi basi ningekuwa nimesha kuua muda mrefu" beka aliongea kwa hasira

"hayo ni majuto...wewe lazima nikuulie jela labda ukafungiwe ujerumani. kawa salimie wazazi wako" alisema edward na kuondoka kwani alimuona polisi akija, edward akaondoka ili polisi asije kusikia mamgezi yao, edward akasaini kuwa aliekamatwa ndie beka alie muulia mwanawe,

beka akabaki kwenye chumba kile akiwa na hasira huki akiwa anajilaumu kwanini  hakujua mapema kuwa edward anaishi kwenye nyumba yao nyegezi na kwenda kumuua yeye na familia yake, lakini kwa beka ilikuwa ni majuto tu hakuwa na matumaini tena na kwa hakika alijua anaenda jela kama sio kuawa.

paul na mudy walirudi kituoni na kumtaarifu abdul kuwa siku ya kesho usiku wataondoka kwenda mwanza ili akawape almasi zao na akiwapa wanamuacha huru yeye na beka...mudy akamwambia abdul ampe begi lake la dolla zakimarekani abdul akasema hana zilipotea kwenye harakati! ya kukimbia polisi

"sawa nita wapeleka ila naomba nimpigie simu mpenzi wangu aje niongee nae"abdul alisema na paul akatoa simu yake na kumpa abdul ,abdul akaweka namba za violla na kumpigia violla ambae kwa muda huu alikuwa kwao akiwa kwenye mawazo na masimango kutoka kwa wazazi wake, abdul akamwambia violla kuwa aje kituoni,

violla akaondoka kwao bila kuaga na kwenda kituoni ambapo alimkuta abdul na wafaransa , abdul akawambia wafaransa wawapishe faragha kina mudy wakawapisha,

violla akabaki na abdul peke yao , abdul  akaonekana kumpa violla wosia huku viola akilengwa na machozi, na abdul aliongea kwa kunong'oneza hakuna alie sikia maneno aliyo ongea abdul, abdul baada ya kumaliza maongezi yake na violla, violla aliondoka kurudi nyumbani na abdul akarudishwa kwenye chumba

**

ilikuwa saa mbili usiku abdul na beka walitolewa kituoni na kuingizwa kwenye gari wakiwa na pingu zao mikononi na msafara wa magari mawili ukaanza kuelekea airpot, I.G.P ahmed na mudy pamoja na johnson ndio walikuwa viongozi wa msafara huu wa kwenda mwanza kuchukua almasi ,paul hakuwa kwenye msafara huu yeye alikuwa amebaki hotelin huku majukumu yote akiwa amemkabidhi johnson, na hata waziri jacob hakuwepo yeye alimpa majuku I.G.P ahmed kusimamia na kuhakikisha abdul ana uwawa, mudy nae usiku huu alikuwa na hamu ya kwenda kumuua abdul na kulipa kisasi kwa vifo vya wadogo zake ambao abdul aliwaua.

dakika chache baadae msafara uliingia airpot na beka na abdul wakatelemshwa na kupelekwa mpaka kwenye helkopta na kuingizwa ndani ya helkopta , mudy johnson na ahmed wakaingia na wafaransa saba wengine wakaingia na mlango ukafungwa ...panga boy ikaanza kuzunguka na safari ya kwenda mwanza kwenye poli lilo chimbiwa almas ikaanza....



beka alikuwa hoi taabani na alikuwa amesha jua kinacho enda kuwatokea huko waendako nacho ni si kingine bali ni kifo, machozi yalimtoka beka alipojua anakufa bila kulipa kisasi cha wazazi wake, beka hakuwa na jinsi zaidi ya kusubiri muda ufike izalael achukuwe roho zao.

abdul alikuwa kimya kainamisha sura yake chini hakutaka hata kumuangalia beka machoni, muda huo abdul alikuwa na majeraha kaza wa kaza kwenye mwili wake...

wafaransa nao walikuwa makini kumtazama abdul kwani walijua walikuwa na mtu hatari sana mbele yao.

mudy nae aliona muda unachelewa kiu yake ilikuwa ni kumuua abdul mtu alie sababisha kuwa maarufu .

*** helkopta ilitua jijini mwanza majira ya saa tano usiku na kina abdul wakiwa na pingu zao wakapakiwa kwenye gari wakiwa chini ya ulinzi mkali, na mara safari ikaanza ya kwenda kwenye pori ambalo harooney alifukia almas, almas ambazo zilikuwa na thamani kubwa, almasi hizi zilikuwa na uwezo wakutengenezewa nyukilia hatari , almasi hizi paul na kundi lake walizipora kwenye adhina ya serekali ya ufaransa ,na kukatokea msako mkubwa na ndipo paul kwa usalama ikabidi aongee na mudy ziletwe tanzania, harooney ndo alie ziendea na baada ya kuingia nazo tanzania akataka kufanya njama ambayo iliyapoteza maisha yake.....

**hatimae bus dogo aina ya toyota iliyo wabeba kina abdul iliacha barabara na kuingia porini huku abdul akielekeza akiwa kafungwa pingu , gari ikakatiza porini huku ikiwa kitu pekee kilicho toa mwanga mstuni mule,

walipo fika yale maeneo ya karibu na sehemu husika walishuka na kuwasha tochi zao na abdul na beka wakatangulinzwa, muda huu watu wote walikuwa na bastola mikinoni wakiwa makini.

msitu ulikuwa kimya kabisa wenye giza la kutisha...

kufikia hapa beka akajua wazi uhai wake ulikuwa unaiacha unaiacha ulimwengu ambao mara nyingi aliishi kwa majonzi ,huku akihisi ulimwengu huo unamchukia,

wote abdul na beka tangu wapande kwenye helkopta hakuna aliemsemesha mwenzaka hata mara moja

abdul akiwa anasunta kwa maumivu aliongoza mpaka pale ambapo siku ile aliumuua harooney, abdul akatembeza macho na kuona lile jiwe lilo wekwa na yule baunsa "ni pale zilipo almasi zenu" sauti ya abdul yenye kukwaruza ilitamka na kuonesha sehemu husika, mfaransa mmoja akachukua koleo alilo kuwa nalo na kuanza kuchimba

alichimba kwa muda na badae akaona begi jeusi na kulitoa begi lililoanza kutoboka, muda wote yanaendelea hayo kina abdul walikuwa wameelekezewa bastola, johnson akasogea kwenye begi na kulifungua na ndipo akaviona vipande vya almasi nyeusi vilivyo jaa kwenye begi, johnson akatabasamu kwa furaha

"my freedom"sauti ya abdul ili sikika akimaanisha anataka wamuache huru

"uhuru wako anao mudy na ahmed" johnson alisema huku akicheka, na muda huo mudy akamuelekezea bastola

"aya ongozeni haraka upande wenu wa kushoto nikawape uhuru wenu" mudy alifoka kwa hasira, "ongoza haraka" mudy alizidi kufoka, abdul na beka wakageuka kueleke kushoto kwao wakaanza kutembea, safari hii beka uaga ulimtawala na sasa alikuwa anatetemeka, ahmed na mudya wakaanza kuwafuata kina abdul,

kina abdul walitembea kama hatua kumi kutoka walipo waacha kina johnson na wafaransa, "haya simameni msali sala zenu za mwisho"mudy alifoka na kuanza kubonyeza kitufe cha kufytulia risasi

"wait usiwatwe kwanza...acha kwanza abdul afe akiwa anamjua muuaji wa baba yake!" sauti ya ahmed ilimshtua abdul abdul ikamlazimu ageuke

"abdul hata baba yako alivyoingia kwenye biashara za madawa ya kulevya alitaka kujifanya mafia kuzidi wakongwe ...kama wewe ulivyo jifanya kuwa mafia kutuzidi hata sisi" ahmed aliongea na kunyamaza kidogo

"kosa dogo likampeleka kuzimu yeye alitaka kumzidi waziri jacob na mimi ..... na ndipo mimi na jacob tukaamua kumua jacob alimua baba yao na leo tuna kuua mtoto wake " maneno ya ahmed yaliutia ganzi moyo wa abdul abdul akahisi donge zito likimkaba siku zote alimtafuta muaji wa baba yake na leo aliambiwa kuwa ni waziri jacob

"so jacob ndo alimuua baba" abdul aliuliza kwa utulivu

"jacob na mimi ..hahaha" ahmed alisema na kucheka

"oya umesha mweleza inatosha ...ni muda wa kuwaua "mudy alisema na kumuwekea beka mdomo wa bastola kwenye paji lake la usoso...beka tayari akajua muda umewadia jasho likamtoka ghafla beka akafumba macho akisubiri risasi itoboe paji lake la uso..mudy akapeleka kidole chake kwenye kiftulio cha risas... PAH PAH ......

mlipuko mkubwa wa risasi

....loading.....network search.........

pause ....

endelea....

mudy kabla haja fyatua risasi ,ghafla alipigwa risas begani mara mbili huku milipuko ya risasi ikitawala eneo lile...beka alivyo sikia hiyo milipuko akajua tayari amekufa! kelele za maumivu zilimtoka mudy na muda huohuo ahmed nae alipigwa risasi ya mgongo na kuanguka chini!

abdul haraka haraka akachukua bastola mikononi mwa mudy aliekuwa anaugulia maumivu ya risasi mbili begani abdul akiwa na pingu zake alizo fungwa kwa mbele alichukua bastola ya mudy na hapo hapo akafyatua risasi moja iliompata mudy kwenye bega lingine mudy akaanguka chini na kugalagala , beka alifumbua macho akiwa bado anajihisi kufa kufa akiwa anajua milio yote ya risasi ni risasi walizopigwa wao "lala chini wewe" abdul alipaza sauti huku akimsukuma beka chini na yeye akijitupa huku akifyatua risasi kadhaa kuelekea lilipo kundi la wafaransa waliokuwepo kama hatua kumi kutoka pale kina abdul walipokuwa,

wafaransa walishtuka kuona vurugu ile ilio ambatana na milipuko ya risasi, huku wakishindwa kujua ni wapi zimetokea risasi zilizompiga mudy na ahamed na muda huo wafaransa wawili walipatwa na risasi za abdul, "take cover"johnson alipaza sauti kwani alishajua kuna hatari!

wafaransa walikuwa wame chelewa kwani wakati wanataka kutawanyika wapate kava kwenye miti muda huo milipuko ya risasi za ak 47 ilisikika huku wafaransa wakipatwa na risasi bila kujua ni wapi risasi zinapotokea!

msitu ukalindima milipuko ya risasi na harufu ya baruti ikatanda.

johnson alishindwa kujua afanye nini wafaransa ndo tayari walikuwa wanaangushwa na risasi ambazo zilitokea gizani na yeye muda huo alikuwa chini akijinusuru na risasi.

mara ghafla tochi kali zikawashwa kutokea kila upande "msijitikise tuta waua" sauti kali ilifoka huku watu wenye tochi kali walizo zivaa kichwani wakitoka kwenye maficho na kusogea palipokuwa na miili ya wafaransa, johnson hakuwa na ujanja zaidi ya kutulia pale chini akimulikwa na tochi kali.

na muda huo mtu mwingine aliekuwa na juu ya mti mrefu akawasha toch na kuanza kushuka mgongoni kwake ikininginia bunduki maarumu kwa kulenga masafa ya mbali

"abdul mzima" sauti ya mtu alieshuka kutoka juu ya mti iliuliza

"wow meja george mi mzima...beka amka fasta" abdul alisema huku akijinua

ni kweli huyu alieshuka kutoka juu ya mti alikuwa ni meja george na ni yeye alie mpiga risasi mudy kabla hajampiga beka kwa kutumia bunduki yake ya masafa marefu,

na hawa watu walio shambulia wenye tochi walikuwa ni timu inayoitwa D.M yaani dealers drug, watu ambao abdul aliwahi kuwa dereva wao katika maswala ya uporaji,... swali ni kwamba walijuaje abdul kaletwa porini hadi kuja kumuokoa....

REJEA nyuma abdul akiwa kituoni posta dar.... abdul alipo mnong'oneza hussen,.,.

"wanampango wa kuniuA ...serekali yako unayo itumikia imeniuza kwa wafaransa" abdul alimnong'neza hussen

"kwanini wakuue na kwa nini walikutafuta kwa hali na mali" hussen aliuliza, na abdul akamwambia kuwa kuna almas za wafaransa zilizo fukiwa na harooney kule porini, na wanataka awapeleke na bila shaka wakamuue huko huko

"naomba unisaidie"

"nita kusaidiaje? abdul"

"unapafahamu alipokuwa anaishi beka tandika?.. basi nenda mpaka kwenye nyumba yake uingie ndani upande juu ya dali utakuta begi lililo jaa dolla za kimarekani...zichukue umtafute violla uchukue namba yake ya simu...kisha wewe uende mwanza umtafute mtu mmoja anaitwa george..."abdul alisema na kumuelekeza hussen mahari nyumba ya george ilipo, "mwambie yote yaliyo nikuta na umwambie juu ya mpango wa wafaransa kuja kuniulia kwenye lile pori nilipo muulia harooney....pesa zile ni nyingi mno uta change na kumpa george kiasi atakacho taka na itakayo bakia itakuwa yako chukua namba kwa violla kisha nenda mwanza" abdul alimpa maelezo hussen , hussen hakuyaamini maneno ya abdul ila hussen aliamua kwenda kuhakikisha.

hussen alienda tandika kwa beka na hussen baada ya kujitambulisha kwa mjumbe kuwa yeye ni afande, hussen akaruhusiwa akaingia na kupanda dalini

hussen hakuamini alivyo fungua begi dalini na kukuta pesa ambayo hakuwahi kuiota

hussen akaenda tabata kwa kina violla na kubadirishana namba za cm na violla huku akimwambia kuna mkakati juu ya abdul.

hussen akapanda ndege na kwenda mwanza akiwa na pesa nyingi,

hussen baada ya kuingia mwanza akamtafuta george na kumpa taarifa zote, george akasema abdul ni kijana wake hata hitaji pesa kwa ajiri ya malipo ya kazi ya kumuokoa abdul,

george akawaita D.M na kupanga nao mpango juu ya kumuokoa abdul.

siku ambayo abdul aliambiwa na kina mudy kuwa kesho usiku ndo wanaenda porini abdul aliwaambia anaomba kuongea na violla paul akampa simu abdul akampigia simu violla na kumuambia aje, violla alipo fika abdul akawaomba wafaransa wawapishe faragha yeye na violla, kuna maneno abdul alimwambia violla kama wosia...rejea....

"mpigie simu hussen umwambie kuwa kesho ndo wananipeleka mwanza wakaniue...mwambie ampe taarifa hii george waandae rescue mission" haya ndo maneno abdul aliyo mwambia violla.

taarifa hii ilifika mwanza kwa george na george aliipokea na kuifanyia kazi

george aliandaa vijana wake wa D.M na kupanga mpango wa kumkomboa mwana mpotevu abdul.

wakati kundi la wafaransa na kina mudy wanaingia mstuni tayari kundi la d.m likiongozwa na meja pamoja na hussen lilikuwa mstuni eneo husika , george akiwa kavaa nguo nyeusi alikuwa juu ya mti akiwa na bunduki yake ya masafa, na d.m wote wakiwa na bunduki za ak 46 walikuwa wamejificha na kuzunguka eneo lile...

ndivyo ilivyo kuwa sasa songa nayo abdul kaisha kombolewa....

Abdul aliinuka pale alipo kuwa huku akimshukuru mungu, kwa beka huu ulikuwa ni muujiza mkubwa sana

"abdul na beka wazima"sauti ya hussen iliuliza

"sisi wazima ahsante hussen" alisema abdul

"oya uweni walio bakia tusepe fasta"george alitoa amri

"hawa wawili niachieni" alisema abdul akimaanisha mudy na ahmed , abdul akasogea mpaka kwa ahmed na kuichukua bastola ya ahmed ilio kuwa chini... Johnson alikuwa chini mitutu ya bunduki za d.m ikimuelekea,

mtu mmoja wa d.m akamsogelea ahmed aliekuwa chini hoi akampekua na kuchukua funguo za pingu na kuwafungulia kina abdul pingu wakawa huru, abdul akampa beka bastola moja "kamuue johnson aliesababisha tuka kamatwa"abdul alimwambia beka na beka akachukua bastola na kuanza kuenda alipokuwa johnson, muda wote mudy alikuwa chini akiwa hawezi hata kuamka

Abdul akasogea kwa ahmed

"wewe utaeleza makazi ya waziri jacob alie muua baba yangu"abdul aliongea akiwa amemuwekea ahmed bastola shingoni

"ni ue siseme"sauti ya ahmed ya kukoroma iliongea, na hapo hapo bastola ya abdul ikakohoa na risas ika toboa shingo ya ahmed

"kikubwa umesha nitajia jina mtu mwenyewe ni maarufu..nenda ukajibu mashtaka ya baba" alisema abdul na kusogea alipo kuwa mudy, abdul alimkumbuka mama yeke kuwa aliuliwa na mudy ...abdul akakumbuka upendo wa mama yake kwake, akakumbuka kipindi mama yake amepata kiharusi alivyo hangaika kupata pesa hatimae kuangukia kwenye ujambazi, hasira zilimpanda abdul na kumfuta mudy...pah pah ..abdul alifyatua risas zilizo penye kwenye magoti ya mudy " for ma mather" alisema abdul

"abdul please nisamehe ni shetani tu" mudy alisema huku akigumia maumivu

"abdul ua fasta tuondoke"meja alihimiza ..pah pah pah "aaaaaaah" yowe kubwa lilimtoka mudy alie kuwa kalala chali huku mikono ya mudy ikishika sehemu zake za siri! risasi tatu abdul alifytua risas zilizompata mudy sehemu zake za siri!

"ukiweza kujipeleka hosptal ndo itakuwa msamaha wako" abdul alisema na kuanza kuondoka kumuacha mudy akiwa kwenye maumivu makali , mudy maumivu aliyo kuwa nayo alitamani aridhi ifunuke na imfukie, mudy akatamani abdul arudi ammalizie kabisa lakini abdul ndo alikuwa amesha maliza kazi.

beka alisogea mpaka alipo johnson na kuchutama mbele yake

"the don of mexco" alisema beka

"fuck you" johnson alitukana kwa hasira, ..pah... beka akafyatua risas iliyo mpata johnso kifuani yowe likamtoka johnson na hapohapo beka akakitoboa kichwa cha johnson kwa risas..kazi ikawa imeisha "oya tuondokeni huyo mudy muacheni afe taratibu" alisema abdul na kuchukua begi la almasi nyeusi na kundi zima la d m wakiambatana na kina abdul wakaanza kuondoka na kuacha mudy akiwa kwenye maumivu makali huku damu nyingi zikimtoka sehemu za siri.

D M na kina abdul walitoka ndani ya msitu na kuenda moja kwa moja kwenye gereji yao. george alimwambia abdul hakutakiwa kuwa tanzania tena usafiri ulikuwa umesha andaliwa na alitakiwa usiku huo aanze safari ya kwenda kenya,

beka na abdul walibadili nguo na kuvaa safi , katika zile dolla za kimarekani abdul alichukua milioni hamsini tu , nyingine zote akawaachia kundi la D M na hussen , abdul akabadilisha begi la almas na kuweka kwenye begi lingine, abdul alipanga kwenda kuziuza kenya kama atafika salama.

saa nane usiku gari kubwa ya mizigo iliya andaliwa na george ilianza safari kukamata barabara ya silali inayoenda kenya , ndani ya gari hili kulikuwa na abdul na beka, kichwa cha abdul kilimfikilia sana waziri jacob alie uwa baba yake..abdul akawa na hamu ya kumua jacob lakini kwa muda ule ilimlazimu akimbilie nchi jilani...... beka nae japo kuwa alikuwa ameokoka kutoka kwenye kifo lakini akiri yake yote ilikuwa kwa edward na familia yake alikuwa anahamu ateketeze familia yote.... abdul na beka wakawa wana hamu ya kuripiza visasi lakini mazingira yaliwalazimu wakimbilie kenya.. ......lakini tukumbuke paul na waziri jacob wapo dar...na kibaya zaidi violla nae yupo dar na ananguo yenye kifaa kinachoonesha popote anapokwenda...je? paul na waziri watachukua hatua gani? pindi wakijua kuwa kina mudy johnson wameuwawa na abdul kakimbia..... tulisoma kuwa inter pol gilda ametokea kenya na anaishi kenya na leo kina abdul wanatoroka tanzania na kuingia kenya je? nini kitatokea iwapo abdul atakutana na mwana dada gilda aliekuwa mmoja wa watu walio mkamata? ....MI SINA MENGI YA KUONGEA ILA NI KWAMBA SEHEMU YA KWANZA YA THE WORLD HATES ME INAISHIA HAPA YAANI MWISHO.....


MWISHO


0 comments:

Post a Comment

BLOG