Search This Blog

Saturday, February 26, 2022

ENDLESS LOVE - 5

   

Simulizi : Endless Love

Sehemu Ya Tano (5)


"Ok, basi ndio jina lake hilo."

"Ana jina zuri sana na naamini pia atakua mrembo zaidi ya nilivyo mimi."

Ally akabaki anacheka asijue jibu la kumpa Ilham.


Wakaletewa chakula na kuanza kula huku wakiendelea na story mbili tatu. Kila Ally alipokua akimtazama Ilham kuanzia akiongea, akitabasamu au akizilamba lipsi zake alijihisi kupandwa na hisia za mapenzi bila kutarajia..Wakati wanaendelea kula Ilham akamuomba Ally aende chooni mara moja maana alijihisi kubanwa na haja ndogo. Ally alimkubalia na Ilham akainuka na kuondoka. Lile umbo lake na jinsi nguo ilivyomchora makalio yake ndio vilizidi kumchanganya na kuanza kuhisi mzee wake wa kazi anasimama taratiibu.

"Mmhhh! Tayari nishapandwa na hisia sijui itakuaje na naanzaje kumwambia Ilham. Nahisi ataniona simpendi na nataka kumchezea tu. Ngoja nijaribu kujizuia na kukaa kimya maana naweza nikaharibu kila kitu."

Ally alijikuta akitamani kumwambia Ally wakakodi chumba ili wafanye mapenzi maana alishazidiwa hoi. Baada ya muda Ilham alirudi na kumkuta Ally akiwa kama anawaza kitu.

"Vipi mpenzi mbona unaonyesha kama una mawazo tofauti na nilivyokuacha?"

"Hapana Ilham nipo sawa tu usiwe na wasiwasi. Tuendelee kula."

"No baby, naomba uniambie. Siwezi tena kuendelea kula wakati wewe nakuona haupo sawa. Please naomba uniambie baby."

Ally alikaa kimya na kuinama chini akitafakari aanze kumwambia nini Ilham maana aliona ni kazi ngumu sana zaidi ya kuifanya dunia kuwa kijiji.

"Ally."

"Naam."

"Mbona huniambii mpenzi wangu.? Tafadhali naomba uniambie una shida gani au tatizo gani."

Ally alikaa kimya kidogo kisha akamuangalia Ilham usoni na kumwambia.

"Kuna kitu kinanisumbua sana mpenzi wangu na sijui nikikuambia utanichukuliaje."

"Mmhhh kitu gani tena hiko baby?"

"Nashindwa hata jinsi ya kuanza kukuambia maana nahisi nakukosea heshima sana kwa sababu huu sio muda wake."

"Naomba kuwa muwazi Ally mimi ni mpenzi wako. Kuwa huru kuongea kitu chochote aidha kiwe kibaya au kizuri."


Baada ya kuambiwa hivyo Ally alijikuta anapata moyo wa kumwambia Ilham kile anachokihisi kwani alishindwa kabisa kuvumilia.

"Samahani sana Ilham na naomba usinifikirie vibaya. Tangu tufike hapa najihisi kupandwa na hisia sana juu yako. Tafadhali naomba tufanye mapenzi.".........


Baada ya kuambiwa hivyo Ilham alishtuka sana na kujikuta akiwa amemtolea macho Ally asijue neno la kujibu.

"Vipi mpenzi mbona upo hivyo, nimekukwaza?"

Ilham aliendelea kukaa kimya huku akizidi kumuangalia Ally ambaye alionyesha kuwa makini kumsubiri atasema kitu gani. Ilham aliendeleza hali ya ukimya hadi Ally akapatwa na wasiwasi na akahisi huenda itakua amemkosea sana Ilham kwa kumuambia maneno yale.

"Please talk to me my love. I'm so sorry if I pissed you off." (Tafadhali ongea na mimi mpenzi wangu. Samahani sana kama nimekukwaza)."

Ghafla taratibu bila kutegemea Ally aliona machozi yakianza kutiririka kwenye mashavu laini ya Ilham na kuulowanisha uso wake.

"Mmhhh! naomba unisamehe Ilham sitarudia tena kukwa...."

Mara alikatishwa na kidole cha Ilham ambacho kiliuziba mdomo wake usiendelee kuongea zaidi.

"Huna haja ya kuongea yote hayo Ally. Ila naogopa kitu kimoja tu kuhusu kufanya mapenzi na wewe. Boyfriend wangu wa kwanza baada ya kumpa mwili wangu na kuufanya anavyotaka aliniacha na kunipa maumivu makali sana ambayo yamenichukua muda mrefu kufutika. Kilichoniuma zaidi ni kuwa nilimuamini kiasi kwamba nilimruhusu yeye kuwa mwanaume wa kwanza kuitoa bikra yangu lakini matokeo yake leo hayupo tena. Naogopa Ally, naogopa sana na wewe utanikimbia."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally alivuta pumzi ndefu na kuzitoa nje taratibu huku akiwa anafikiria maneno ya kumuambia Ilham. Alikaa kimya kidogo kisha akamuambia.

"I'm not a man of that kind. I really love you and respect you so don't expect any negativity from me." (Mimi sio mwanaume wa aina hiyo.Nakupenda na kukuheshimu hivyo usitarajie ubaya wowote kutoka kwangu)

"Ally, promise that you won't dump and leave me alone." (Ally, niahidi kwamba hautanitupa na kuniacha peke yangu)

"I promise you honey. I love you so much. The only thing that I want is your trust, I need you to trust me." (Nakuahidi mpenzi nakupenda sana. Kitu pekee ninachotaka ni uaminifu wako. Nahitaji uniamini)

"I trust you Ally that's why I'm willing to do anything for you." (Nakuamini Ally ndio maana nipo tayari kufanya kitu chochote kwa ajili yako.)

"Thank you baby, let's eat" (Asante mpenzi, tule.)


Baada ya kuambiwa hivyo Ilham aliitikia kwa kichwa na kuendelea kula huku akiwa anamtazama Ally kwa macho yake laini na yakurembua. Baada ya kumaliza kula walikaa wakiendelea na maongezi huku wakiwa wanatiana hamu taratibu kwa vitendo walivyokua wanafanyiana.

"Let's go baby I'm so horny and I can't bear it anymore."(Tuondoke mpenzi nina hamu sana na siwezi kuvumilia zaidi.)

Ilham alitabasamu kisha akachukua vitu vyake juu ya meza na kujiweka sawa na taratibu wakaanza kuondoka huku Ally akiwa amemshika Ilham kiuno. Wakaingia ndani ya gari na kuanza safari ya kuelekea guest house kukodi chumba ili wakafanye mambo yao. Ally akaona ampeleke Kinondoni ile guest ambayo alishawahi kuingia na Recho siku za nyuma.

"Fanya haraka baby maana ushanitia hamu yani natetemeka mwili mzima."

Ilham alimwambia Ally kwa sauti ya kudeka huku akiwa kama analia.

"Usijali baby tunafika sasa hivi tumeshakaribia."

"Ok, ila baby naomba upaki gari pembeni kwanza kabla hatujafika."

"Mmhh kuna nini tena baby?"

"Wewe paki tu utaona nini kitatokea."

"Sawa ngoja nitafute sehemu nzuri ya kupaki."


Kweli baada ya hatua kadhaa Ally akalipaki gari pembeni na kumuangalia Ilham anataka kufanya nini. Bila kutarajia alimuona akiinuka na kumsogelea kwenye kiti chake na taratiibu akamsogezea mdomo wake kuashiria kuwa anataka wabadilishane mate. Akampokea kiutulivu na kumpa mdomo wake kisha kilichoendelea baada ya hapo ni kubadilishan mate tu. Baada ya kujiona ameridhika kiasi akamuachia Ally huku akiwa anahema kwa kasi sana utadhani ametoka kukimbia umbali mrefu. Waliendelea na safari huku Ilham akiwa anajikunja kunja kwenye kiti na kujishika sehemu zake za naniliu kwani ashki zilikua zimempanda sana na alitamani zishushwe hata palepale kwenye gari. Ally nae alikua kwenye hali mbaya kwani dunguso ilikua imekasirika balaa.

Walifika guest house na kupaki gari kisha wote wakashuka na kuelekea mapokezi. Walilipia chumba na kukabidhiwa funguo kisha wakaanza kutembea taratibu kuelekea kwenye chumba chao. Baada ya kufika walifungua mlango na kuingia ndani kisha wakaulock na funguo..

Hawakutaka kabisa kuchelewa kwani walirukiana na kuanza kubadilishana mate huku Ally akimtomasa tomasa Ilham mwiliini mwake. Walianza kuvuana nguo moja baada ya nyengine huku Ally akizidi kumshika shika Ilham kwenye kila kona ya mwili wake. Baada ya kumaliza kuvuana nguo zote na kubaki watupu kama walivyozaliwa Ally hakuamini kabisa kile anachokiona kwani alihisi kama ameshushiwa malaika kutoka mbinguni. Ule uzuri wa nje wa Ilham haukuufikia hata robo ya uzuri aliokua nao ndani kwani zile hipsi zake ndio zilikua kama zimezidi mara mbili huku makalio yake yakiwa yamebinuka vizuri na kukitenganisha vizuri kiuno pamoja na mgongo. Mapaja yake yaliyojazia vizuri yalizidi kumuongezea sifa Ilham na kumfanya aonekane kuwa ni mrembo aliyekamilika.

Hapo kifuani sasa ndio palizidi kumchanganya Ally kwani matiti ya Ilham yalikua ni kama ya mtoto aliyevunja ungo leo kwani yalisimama vizuri na kuchongoka kwa mbele kama ndizi mshale ikiwa inachomoza mdizini.


Akamsogelea taratibu kwa macho yaliyoonyesha kuwa na uhitaji wa kitu na kuanza kumnyonya matiti yake ya wastani huku mkono mmoja ukiwa upo chini unachezea k*s*m* taratiibu. Hapo sasa wazimu wa Ilham ndio ukaanza kuonekana kwani alikua anapiga kelele na kung'ata ng'ata mdomo huku macho akiwa ameyafumba kwa zile raha alizokua anapewa. Ally akazidisha ufundi maradufu kwa kuzidi kumnyonya Ilham kwenye matiti huku safari hii akiwa anazivuta vuta chuchu kwa kutumia meno yake. Ilham alizidi kulalamika huku akiwa anajinyonga nyonga kama mtu anayeumwa tumbo la kukata.

"Aaaasssshhh,,aaaahhh,,ooosshhh

,,ooohhh,,,mmmhhhh....mmhhhhh..."

Ilham alitoa kila aina ya sauti kuashiria kweli alikua anapata utamu wa hali ya juu huku safari hii na yeye akiwa ameishika dunguso ya Ally ambayo ilikua imesimama kama nguzo ya umeme ya TANESCO. Akaanza kuisugua sugua taratibu na kumsikia Ally akitoa miguno ya kuashiria kupata utamu na kumsisitiza aendelee na ule mchezo. Ilham nae alizidi kuishika shika na kuisugua dunguso ya Ally na kumfanya apagawe kabisa asimuwaze tena Recho kwa muda huo.


Walichezeana sana kiasi kwamba kila mtu alishaanza kuchoka na ilibaki shughuli yenyewe nzito ya Ally kupiga surundaka.Akamuweka Ilham vizuri na kuipanua miguu yake huku akiichezea naniliu yake taratibu na kuipaka mate.Alipoona Ilham yupo tayari kuanza kupokea vishindo vyake akaanza kuipeleka taratibu dunguso yake kwenye naniliu ya Ilham lakini kabla hajaiingiza Ilham akamzuia na kumwambia..

Hapana Ally hatuwezi kufanya hivi subiri kwanza.....



Ilham aliinuka kidogo na kukaa kisha akamuangalia Ally ambaye alikua kashapagawa kabisa.

"Hatuwezi kufanya ngono isiyokua salama Ally ukizingatia mimi na wewe hatukaa kwa muda mrefu kiasi cha kila mtu kumjua mwenzie vizuri. Naomba uvae kondom Ally, please." (tafadhali)

"Ina maana Ilham hauniamini?"

"No(hapana) sio hivyo Ally ila ukivaa ndio tutakua salama zaidi halafu isitoshe mama yangu ameshaniusia sana kuhusu suala hili. Naomba usinifikirie vibaya mpenzi wangu nakupenda."

"Sawa nimekuelewa sasa hapa kondom nitapata wapi?"

"Jaribu kwenda kuulizia mapokezi nahisi watakua nazo."

"Mmhh hauoni kama ni kujizalilisha huko yani tukitoka kila mtu ajue kuwa tumetoka kufanya mapenzi."

"Ilham alicheka kidogo kisha akamjibu Ally kwa utani."

"Sasa unafikiri siku hizi watu wanaoingia guest wanaenda kufanya nini? No matter what (hata iweje) lakini tukitoka lazima kila mtu ajue tumetoka kufanya nini."

Ally ilibidi akubali na kuvaa nguo zake kisha akatoka nje kuelekea mapokezi. Alimkuta yule yule jamaa waliyemuacha mwanzo hivyo hakupata wakati mgumu kumuelezea.

"Samahani bro'(kaka) nahitaji kondom sijui kama naweza kupata."

"Mbona kondom zipo kwenye vyumba vyote. Fungua droo kwenye lile kabati dogo kisha utazikuta humo."

"Daah ok asante kumbe nimehangaika bure tu."

Ally alirudi chumbani na kumkuta Ilham akiwa amejifunika shuka hadi kifuani.

"Vipi mbona umerudi mikono mitupu?"

"Yani nimehangaika bure tu kumbe tunazo humu humu ndani."

"Mmhhh zipo wapi?"


Ally hakujibu kitu akaelekea kwenye lile kabati aliloambiwa na kufungua droo ambapo alikuta pakiti za kondom zisizokua na idadi.

"Mmhh zipo nyingi hizo hata sijui zitaisha lini."

Ilham alicheka kidogo kisha akamjibu.

"Siku hizi tena watu wanavyopenda kuparamiana zitaisha siku mbili tu."

Ally alifurahi na kurudi kitandani na pakiti yake moja kisha akamsogelea Ilham na kuanza kumtomasa tomasa huku wakiendelea na maongezi. Kadri Ally alivyozidi kumtomasa Ilham kuanzia shingoni hadi kifuani ndio ilham alivyozidi kukata kauli na kubaki kama bubu kwa kila alichokua akiambiwa. Ally nae akaona huo ndio wakati mzuri wa kuanza kufanya mambo yake kwani Ilham alionyesha kuzidiwa sana na alihitaji dozi ya haraka ili kumponya maradhi yake. Akaanza kuishika shika naniliu ya Ilham huku akiingiza kidole kimoja na kuisugua sugua ambapo alimuona Ilham akiwa kama anarudi nyuma na kutaka kumtoa mkono wake. Aliongeza speed ya kuisugua ile naniliu huku mkono mwengine akiwa anaishika shika dunguso yake ili ipate moto vizuri..Kwa wakati huo Ilham alikua hajui kitu chochote kinachoendelea duniani kwani alijiona yupo kwenye sayari nyengine kabisa yenye kila aina za raha tena wakiwa watu wawili tu yani yeye na Ally. Akaanza kutoa vilio vyake vya mara ya kwanza ambavyo ndio vilizidi kabisa kumchanganya Ally ukijumlisha na ile sauti yake laini yenye kumfanya kiziwi akasikia..Baada ya kumchezea sana na kuona kuwa Ilham ameshakua teketeke na hajiwezi akaichana pakiti na kuitoa kondom kisha akaanza kuivaa taratibu ili asiipasua kwa kucha. Alipohakikisha imekaa vizuri akapaka mate kwenye vidole vyake na kuisugua sugua naniliu ya Ilham ili kuilainisha kumwezesha kuingiza dunguso yake kirahisi. Akaishika mashine yake na kuipeleka mlangoni kisha akaanza kuiingiza taratiibu ambapo alimuona Ilham akirudi rudi nyuma kuashiria kuwa anaisikia jinsi inavyoingia. Naniliu ya Ilham ilikua inabana sana hadi yeye mwenyewe akawa anashangaa kwani wasichana wa rika lake naniliu zao zinakua zimetanuka sana kwa kufanya mapenzi mara nyingi. Moja kwa moja akajua kuwa Ilham hajakutana kimwili na mwanaume kwa muda mrefu na pia amefanya mara chache sana.

Pia alimuona mapigo yake ya moyo yakienda kasi sana hadi yeye mwenyewe akaanza kuogopa kwani aliona sio hali ya kawaida.Ila akaanza kuhisi huenda itakua ni ny*g* zimemzidi sana Ilham na ndio maana anapatwa na hali kama ile.

Alipohakikisha imezama vizuri akaanza kazi taratiibu kwa mwendo wa nje ndani ambapo alianza kumsikia Ilham akiongea maneno yasiyoeleweka kabisa. Kadri alivyozidi kuisugua naniliu ndio ilivyozidi kupata hali ya utelezi hivyo kumfanya kupiga surundaka kwa urahisi zaidi. Akazidisha speed yake na kumshika Ilham kiunoni na kwenye hipsi zake zilizojazia vizuri. Ilham alizidi kulalamika na kujikunja kunja huku akiwa amemshika Ally kifuani akipapasa mikono yake. Ally nae ndio kama alikua anachochewa kuni kwani alizidi kutoa dozi nzito iliyomfanya Ilham aanze kutokwa machozi kama ameletewa taarifa ya msiba..Kilichotawala kwa muda huo ni sauti ya kilio ya Ilham iliyochanganyikana na utamu ndani yake. Alimbadilisha mikao tofauti kwani Ilham alionyesha hakuwa fundi sana kwenye mambo yale kutokana na kutoyafanya sana. Ally alimpa dozi nzito sana na kumzidishia kilio kilichoambatana na machozi laini kwenye macho yake..Utamu ulizidi kumkolea na kujikuta akianza kupunguza speed ili asifike kileleni kabla ya mpenzi wake hivyo ikabidi atumie akili ya ziada kwa kuanza kumchezea k*s*m* chake na kukisugua huku akimpelekea moto mdogo mdogo. Kadri alivyozidisha ule mchezo ndio stimu zilivyozidi kumpanda Ilham na kujikuta akiinuka na kumkumbatia Ally kisha akavunja dafu lake lililotoa maji mengi sana. Mwili wote wa Ilham ulikua unatetemeka kwa kitendo kile hivyo alizidi kumlalia Ally ambaye alikua anambusu mfululizo maeneo ya shingoni. Baada ya Ilham kupoa kidogo akamlaza tena kitandani na kuanza kuitafuta pwani ili na yeye apumzike maana safari ilikua ni ndefu sana. Akazidisha speed huku mikono yake ikiwa kifuani inaziminya minya chuchu za Ilham ambaye alikua amechoka hoi huku macho yake akiwa ameyafumba. Ally alimkamata Ilham vizuri maeneo ya kiunoni kwani alihisi goli linakaribia kufungwa hivyo akajiandaa kulishangilia kwa mbwembwe zote. Alimlalia Ilham na kuisugua dunguso yake taratiibu kwenye naniliu ya Ilham ambapo sasa ndio alilivunja rasmi dafu lake. Alijihisi kama yupo juu ya anga anaelea kwani alijihisi utamu ambao hakuwahi kuupata kabla. Alipomaliza kuyamwaga maji yote ya dafu akatulia pale pale kifuani kwa Ilham akisikilizia jinsi mwili ulivyokua unachemka kwa zile raha.


Walikaa vile vile kama dakika moja kisha Ally akainuka kwa uchovu na kuivua kondom ambapo alikuta amemwaga maji mengi sana kuliko kawaida yake hadi yeye mwenyewe akajishangaa. Lakini moja kwa moja akahisi ni ule uzuri aliokua nao Ilham ndio umechangia kwani kila akimwangalia ndio alizidi kumtia mzuka wa kufanya mambo. Akaitupa kondom kwenye ndoo ya kuwekea uchafu kisha akamsogelea Ilham na kumpa pole.

"Pole sana mpenzi wangu kwa kukutoa machozi ila asante kwa penzi lako tamu ambalo sijawahi kulionja kabla."

Ilham alikaa kimya kidogo kisha akamtazama Ally kwa macho ambayo hata akitazamwa hanisi asiyewahi kusimama hata siku moja basi ni lazima jogoo wake apande mtungi.

Ndio ilivyokua kwa Ally kwani alihisi kama hisia zinaanza kuamka tena upya ila akaamua amuache kwanza Ilham apumzike maana ule moto aliotoka kumpelekea ulikua sio mchezo.

"Asantee baby yani sikutarajia kama unayajua mambo kiasi hiki hadi kunifanya nitoe machozi. Ila na wewe asante sana kwa penzi tamu ulilonipa maana umenifikisha pale ambapo sijawahi kufikishwa na mtu yeyote. Ama kweli aliyesema raha ya mapenzi umpate anayeyajua hakukosea maana leo ndio nimeijua raha ya mapenzi."

Ally alicheka kidogo kisha akamjibu kwa mzaha.

"Hapa umefika penyewe mtoto wa kitanga tena ninavyoyajua mapenzi. Yani haya yote nimefundishwa na marehemu babu yangu na kamwe sitaweza kumsahau kwani amenifanya nimridhishe kila mwanamke ninayekutana nae."

"Kwani umeshakutana na wanawake wangapi?"

Ally alicheka kidogo na kushindwa kumjibu Ilham swali lake.

"Usicheke mwenzio nipo serious. Niambie hadi leo umeshakutana na wanawake wangapi?"

Ally alivuta pumzi kidogo na kumwangalia Ilham kisha akamjibu huku akiendelea kucheka tena.

"Wawili tu."

"Mmhhh muongo, nani na nani?"

"Wewe pamoja na Recho."

"Muongo wala sitaki kuamini. Mwenyewe umesema unamtendea haki kila mwanamke unayekutana nae yani hapo ina maana ushatembea na wanawake zaidi ya kumi."

"Ahahaha hamna bwana sio hivyo mpenzi mimi sipo hivyo. Wewe ndio mwanamke wa pili katika maisha yangu."

Safari hii Ally aliongea kwa umakini kidogo ili kumfanya Ilham aamini kile anachokiongea.

"Niahidi kwamba hautaniacha Ally maana naogopa sana."

"I promise you that I will never let you go, trust me." (nakuahidi kwamba kamwe sitakuacha, niamini)

"I trust you honey." (nakuamini mpenzi)


Waliendelea na maongezi kuhusu penzi lao na baada ya muda Ally akamuomba Ilham warudie raundi nyengine kwani stimu ziliamka tena upya. Ilham hakuleta kipingamizi kwani zile raha alizopewa mara ya kwanza alitamani zijirudie tena na tena. Wakaenda chooni kujiosha kwanza kisha walipomaliza wakarudi wakiwa vile vile uchi kama walivyozaliwa. Lile umbo la Ilham lilimtia uchizi sana Ally na kutamani hata angekua analala nalo ndani kwake kila siku awe analifaidi usiku kucha.

"Samahani baby naweza kukupiga picha ukiwa hivyo?"

"No(hapana) Ally naomba tusifanye hiko kitu. Kuna picha za watu wengi sana nimeshaziona zimevuja mitandaoni so (hivyo) naogopa isije na mimi ikawa hivyo hivyo."

"That means you don't trust me, right?“ (Hiyo inamaanisha kuwa hauniamini, si ndio?)

"Please baby I beg you, I'm really scared."(tafadhali mpenzi nakuomba, naogopa sana)

"Okay baby take it easy. I won't ask for it again." (Sawa mpenzi chukulia kawaida tu. Sitokuomba tena)

"Are you mad at me.?" (Umenikasirikia?)

"No, I'm not mad at you at all." (Hapana sijakukasirikia kabisa)

Ilham hakujibu kitu akaichukua simu ya Ally na kumkabidhi kisha akaweka pose na kumruhusu Ally ampige picha akiwa vile. Ally alikaa kimya kidogo akimtazama Ilham huku simu akiwa ameishika tu mkononi.

"Mbona haupigi sasa?"

"Nakulazimisha kufanya kitu ambacho haupo tayari kufanya."

"Hapana Ally nimekuruhusu piga. Nipo tayari kufanya kitu chochote ilimradi ufurahi."


Baada ya kuambiwa vile Ally akaishika simu vizuri kisha akampiga Ilham picha tatu akiwa kwenye pose tofauti vile vile kama alivyozaliwa.

"Kuna sehemu nazihifadhi hawezi kuziona mtu yoyote hata kama simu itaibiwa au kupotea."

Ilham alitabasamu kuonyesha hajakasirika kwa kile kitendo kisha akamkumbatia Ally na kuanza kubadilishana nae mate. Hapo sasa wakaanza rasmi mshike mshike wa kurudia mechi yao huku kila mmoja akionyesha kuwa na hamu na mwenzie. Safari hii hawakucheleweshana sana kwani baada ya Ilham kuwa ameshakolea Ally alichukua kondom nyengine mule kwenye droo kisha akaivaa na kuizamisha dunguso yake kwenye naniliu ya Ilham inayobana kama ya msichana aliyetolewa bikra leo. Safari hii alimpeleka speed sana huku Ilham nae akijitahidi kuonyesha ufundi wa kuzungusha kiuno kwa kutumia maneno anayoyasikia kwa watu wakiongea. Hakuwahi kabisa kumpata mtu akamfundisha jinsi ya kumpagawisha mwanaume zaidi ya kusikia maneno ya juu juu kwa marafiki zake au watu wengine..Walipelekana mbio sana huku wakibadilishana mikao tofauti tofauti ili mradi kuongeza mbwembwe kwenye mechi yao..Safari hii Ally alifanikiwa kumfikisha Ilham mapema sana mahali anapopataka huku yeye akiwa bado yupo njiani akishughulika. Aliongeza speed yake maradufu na kujikuta stimu zikimpanda sana na hatimaye na yeye akalivunja tena dafu lake na kujilaza pembeni akiwa yupo hoi..Walikaa tena kimya kwa muda wakisikilizia mwili unavyochemka pamoja na mapigo ya moyo yanavyokwenda kasi.

Ilham alijisogeza kwa Ally na kumlalia kifuani huku akiwa anampapasa papasa.

"Asante sana baby kwa hizi raha unazonipa. Hakika wewe ndio mwanaume sahihi niliyekua nakusubiri kwa wakati wote huu."

Ally akamshika Ilham kichwani kwenye nywele zake na kumwambia.

"Usijali baby hii pia ni moja ya majukumu yangu kuhakikisha kuwa unarizika unapokua na mimi."

"Ila baby muda umeenda sana inakaribia saa nne hii."

"Yah kweli kabisa. Natamani hata tulale hapa hapa pamoja lakini naona itakua sio vizuri."

"Hapana baby siwezi kulala hapa. Pale ninapoishi kuna mama mmoja ana mawasiliano ya karibu sana na mama hivyo kama akijua kuwa sijalala pale ni lazima atamwambia mama na itakua haijaleta picha nzuri japokua mimi ni mtu mzima sasa. Unajua hata binadamu tukue vipi lakini kwa wazazi wetu tutabaki kuwa watoto siku zote hivyo sitaki kumkwaza mama. Anachohitaji ni kumpeleka mwanaume nikamtambulishe ili na yeye amjue hivyo hapo tunaweza kuwa huru kidogo hata nisipolala nyumbani ninaweza kusema nililala kwako."

"Upo sawa kabisa mpenzi wangu basi fanya tujiandae tuondoke."

Kweli wakaingia bafuni na kuoga haraka haraka kisha wakatoka na kuvaa kisha wakatoka na kuondoka pale guest.


****************** ******************


Upande wa Recho weekend hiyo haikua nzuri kabisa kwake kwani alijihisi kuhitaji joto la mwanaume kuliko wakati wowote ule..Muda wote alikua nyumbani na kujitahidi kuzipotezea zile hisia lakini alishindwa kabisa..Baada ya chakula cha usiku aliingia ndani kwake na kufunga mlango kisha akatafuta namba ya Ally na kumpigia simu..Simu iliita na kupokelewa kisha Ally akaanza kuongea.

"Hello."

"Hello baby."

"Yes vipi mpenzi wangu?"

"Poa tu mzima kabisa."

"Yah me mzima hofu kwako Recho wangu."

"Mmhh mimi wala sipo sawa kabisa."

"Nini tena jamani unaumwa?"

"Yani bora hata ningekua naumwa ningeenda hospitali ningepatiwa dawa ningekunywa."

"Mmhhh sasa una nini baby mbona unanitisha?"

(Recho alikaa kimya kidogo kana kwamba kuna kitu anakifikiria kisha akamjibu)

"Yani baby ninavyoongea hapa sijiwezi kabisa. Ny*g* zimenipanda sana hata sijui kwanini."

"Mmhhh imekuaje tena mpenzi hadi umepatwa na hali hiyo?"

Nahisi zile picha zako ulizonitumia WhatsApp ndio zimenifanya hadi nimekua hivi maana nimeziangalia sana leo jioni."

"Mmhhh jamani baby pole sana. Sasa itakuwaje?"

"Yani ninavyokuambia baby siwezi kabisa kuvumilia kesho fanya mpango ili tukutane unitoe hii hali maana hapa nipo hoi sijiwezi."

(Ally nae alikaa kimya kidogo akitafakari maana alikua hajisikii hamu kabisa ya kufanya mapenzi kwani muda mfupi uliopita ametoka kufanya mapenzi na Ilham)

"Vipi Ally mbona upo kimya?"

"Nafikiria itakuwaje maana kesho kuna sehemu nilikua nataka niende na nitachelewa sana kurudi."

"Ina maana hiyo sehemu ina umuhimu sana kuliko tatizo langu mimi?"

"Hapana baby sio hivyo ila kuna mtu wa muhimu sana naenda kuonana nae kikazi."

"No baby naomba utafute muda wowote kesho tuonane mimi sitaweza kabisa kuvumilia maana najua nikikukosa kesho ndio hadi weekend ijayo."

"Ok sawa baby nitajitahidi ili tuonane."

"Asante sana mpenzi kwa kunielewa."

"Ok usijali mpenzi."

Waliendelea na maongezi mengine kama kawaida yao wakiongea usiku kwani inawachukua muda mrefu sana hadi kumaliza kuongea.


Walipomaliza na kukata simu Ally alibaki kwenye wakati mgumu sana kwani alihisi dunguso yake haitafanya kazi vizuri kutokana na kutoka kumpa dozi nzito Ilham hivyo akashindwa afanye nini. Akahisi huenda Recho atamshtukia kwa ile hali na kuhisi huenda atakua amemsaliti kwa mwanamke mwengine. Usiku huo ulikua ni mrefu sana kwake akiwa amekosa kabisa hata lepe la usingizi akifikiria jinsi ambavyo itakua..........



Alijitahidi kuutafuta usingizi lakini alishindwa kabisa na mwisho akaamua kuchukua simu yake na kuanza kusikiliza miziki aipendayo haswa ya msanii wa Marekani, Chris Brown aliyekua anapenda sana kumsikiliza.

Kesho yake alikuja kushtuka kama mida ya saa mbili bila ya kujua alipitiwa saa ngapi na usingizi huku earphone bado zikiwa masikioni na mziki ukiwa unaimba. Ilibidi aanze kucheka yeye mwenyewe maana hakutegemea kabisa kama

angepitiwa na usingizi akiwa katika hali ile na kuja kushtuka akiwa vile vile.. Aliiangalia simu yake na kuona chaji ikiwa imekwisha kabisa hivyo akaiweka

kwenye chaji kisha akatoka kitandani na kuanza kufanya shughuli zake za kila siku akiamka pindi anapokuwa nyumbani.

Ilipofika saa nne asubuhi alimaliza kazi

zake zote na kukaa kwenye bustani akiwa

anatafakari ile appointment ya kukutana na Recho. Baada ya kama robo saa alimuona Sarah akiwa anakuja maeneo yale huku akiwa kama anaona aibu tofauti na siku zote walizokaa pamoja. Sarah alifika mpaka pale na kuketi kwenye kiti cha pembeni ya Ally na kumtazama machoni kisha akamsalimia.

"Za asubuhi Ally."

"Nzuri tu, umeamkaje?"

"Salama kabisa namshukuru Mungu."

Sarah alijibu huku akiwa anatazama chini na kuona aibu kana kwamba kuna kitu amemfanyia Ally.

"Kwani vipi mbona leo upo hivyo?"

Sarah alishtuka kidogo baada ya kuulizwa swali hilo na ilibidi ainue uso wake na kumtazama Ally.

"Ni kweli Ally sipo sawa."

"Ok una tatizo gani? Ila tafadhali, chonde chonde sitaki kusikia ujinga wako wa siku zote maana tutagombana."

"Hapana Ally sio hivyo wala sijakuja hapa kwa dhumuni hilo."

"Ok haya niambie kilichokuleta."

"Nimekuja kukuomba msamaha Ally."

"Msamaha? msamaha wa nini?"

"Kwa mambo yote yaliyotokea juzi yani sio siri inaniuma sana ndani ya moyo wangu kunikuta nafanya kile kitu tena sebuleni."


Ally aliguna kidogo kisha akamtazama Sarah na kumwambia.

"Kama ni hivyo wala haujanikosea kwa sababu ile ni sehemu ya maisha yako na mimi siwezi kukuingilia.Ila ulichokosea ni kumleta yule mwanaume mpaka humu ndani na kuanza kufanya nae mapenzi tena sebuleni."

"Kweli Ally nimelijua kosa langu na ndio maana leo nipo hapa kukuomba msamaha. Naomba unisamehe sana Ally nakuahidi haitajirudia tena. Na pia naomba baba asijue chochote kilichotokea maana ndio itakua aibu zaidi na anaweza kunifukuza hapa."

"Kuhusu hilo ondoa shaka Sarah mimi nimekwisha kusamehe. Ila na wewe nikuombe kitu kimoja."

"Kitu gani tena Ally?"

"Naomba kuanzia muda huu uniheshimu kama kaka yako wa tumbo moja au kama ulivyokua ukiniheshimu zamani. Nakuahidi kama utabadilika

basi tutaishi kwa amani kama ilivyokua siku za nyuma."

"Nakuahidi kwamba sitakufuata fuata tena kukulazimisha tufanye mapenzi yule alikua ni ibilisi tu amenitawala kwa jinsi ulivyokua handsome. Sio siri Ally naamini wasichana wengi huko njiani wanatamani sana nafasi ya kuwa na wewe ila

wanaikosa na hata mimi pia ilikua hivyo hivyo.Ila kuanzia sasa nitakuheshimu kama zamani na kukuona kama kaka yangu."

"Nafurahi sana kusikia hivyo Sarah. Vipi baba amekwisha amka?"

"Ndio yupo sebuleni anasoma gazeti."

"Ok poa ngoja nikamsalimie kisha nijiandae maana kuna sehemu nataka niende mara moja."

"Mmhhh kwa Recho nini maana weekend hii."

"Hahaha yaah kwa huyo huyo si unajua tena yeye ndio kila kitu kwangu."

"Sawa bwana ukienda kamsalimie sana."

"Ok usijali zimefika."


Ally aliingia ndani na kusalimiana na baba yake kisha akakaa na kuongea nae mambo mbalimbali hususani kuhusu kazini na mazingira ya kazi jinsi anavyoyaona. Alipomaliza kuongea nae aliingia ndani na kumpigia simu Recho ili kumuuliza muda mzuri wa kukutana.

"Tufanye saa kumi jioni ila tusichelewe sana kurudi si unajua tena mimi mtoto wa kike.?"

"Usijali kuhusu hilo nitakurudisha nyumbani mapema sana."

"Thank you baby." (Asante mpenzi)

"Worry out." (Ondoa shaka)

Waliongea sana huku wakianza kupandishana mizuka mapema japokua kwa upande wa Ally hakuwa na hamu kabisa kwani jana yake alitoka kumpa dozi Ilham. Baada ya kumaliza kuongea

waliagana kisha Ally akakata simu.

Alijaribu kujishauri afanye njia gani ili apate mzuka wa kufanya mapenzi kwani alihisi ni lazima Recho atamshtukia ile hali aliyokua nayo. Akakumbuka

maneno ya watu kuwa kuna dawa za kimasai zina uwezo wa kumfanya mtu apige hata nyayo tano mfululizo bila kuchoka hivyo akaona hilo ndio suluhisho pekee. Akatoka nje na kukodi bajaj kisha

akaanza kuzunguka kutafuta walipo wamasai. Baada ya kuzunguka sana alifanikiwa kumuona mmasai mmoja

akiwa ameweka bango lake kuwa anatibu

magonjwa mengi yakiwemo magonjwa

sugu. Alimwambia dereva wa bajaj aelekee eneo lile na walipofika alishuka. Alimfuata yule mmasai na kumsalimia kisha akamueleza tatizo lake.

"Eeh nnayo dawa yake iyo lafiki inaitwa Mkuyati. Yani uuuhh!! ukitumia iyo, lasima mama yeyoo atoke nduki ch*p* mkononi."

Ilibidi Ally aanze kucheka kutokana na maelezo ya huyo mmasai na kisha akamuuliza jinsi matumizi yake yanavyokua pamoja na gharama yake.

Yule mmasai alimuelekeza Ally jinsi ya kuitumia pamoja na kumtajia bei.

Ally aliweza kumuelewa na akamlipa yule mmasai pesa yake na kukabidhiwa dawa. Waliagana kisha akaingia ndani ya bajaj na kuondoka eneo lile. Alipofika nyumbani haraka haraka akaanza

kuiandaa ile dawa kama alivyoelekezwa na kuichanganya vizuri kisha akaimimina kwenye kikombe na kuanza kuinywa taratibu. Mambo yote hayo aliyafanya chumbani kwake kwani alihofia kuulizwa na baba yake au Sarah ile dawa anainywa kwa sababu gani. Alipomaliza akasafisha kikombe na kuihifadhi ile dawa ya Mkuyati na kupumzika akisubiri kama itafanya kazi. Ilipita nusu saa kama

alivyoambiwa na yule mmasai lakini hakuhisi kitu chochote na ilibidi ajipe moyo kuwa bado haijafanya kazi vizuri. Lilipita lisaa lizima lakini hakuona dalili yoyote na kuanza kuhisi labda yule mmasai atakua ni muongo.Muda ulizidi kusogea na ilipofika saa nane na nusu alianza kujiandaa ili akakutane na

Recho. Baada ya kumaliza kila kitu akatoka na kumuaga Sarah kisha akawasha gari lake na kuondoka.


*************** *****************


Walifika guest moja nzuri maeneo ya Sinza kijiweni kisha akaingiza gari ndani na kushuka. Walitembea taratibu huku baadhi ya watu waliokaa pembeni

wakipata moja moto moja baridi wakiwa

wanawatazama sana. Recho alijisikia aibu sana kwani kitendo kile cha kuingia guest alikua hajakizoea sana tofauti na wasichana wengine ambao wanaweza kuingia muda wowote tena wakiwa macho makavu bila ya kumuonea aibu mtu yoyote. Walifika mapokezi na kukodi chumba kisha wakapelekwa na kuonyeshwa chumba chao. Waliingia mpaka ndani na kufunga mlango

kisha Recho akajitupa kitandani.

"Yani leo nataka unimalize hamu zangu zote kama siku ile tulivyoenda Bagamoyo maana ulijua kunikuna kiasi cha kukaa mwezi mzima bila ya kujisikia ny*g*."

Ally alijilazimisha kucheka lakini moyoni akiwa hana amani kabisa kwani alikua hana uhakika kama dunguso yake itafanya kazi vizuri..Aliogopa hata

kumsogelea Recho na kuanza vitu vyake kwani alijua fika kwa siku hiyo hakuwa kamili.

"Vipi niagize chakula kwanza au upo sawa?"

"Hapana hata usiagize nipo sawa kabisa. Leo njaa na kiu yangu ni wewe tu so (hivyo) nangoja uanze kunipa chakula nishibe."

"Hahahaa ila angalia usile sana hadi ukavimbiwa."

Recho alicheka sana huku wakiendelea kutaniana na kufurahi..Baada ya muda Recho akajisogeza karibu zaidi na kuanza kumshika shika Ally maeneo ya kifuani na kuanza kumfungua vifungo vya shati. Ally alikua kimya akimuangalia mpenzi wake akianza kumchokoza taratibu. Baada ya kumaliza kumfungua vifungo akalivua shati lote na kuliweka pembeni kisha akamvua na vesti. Recho alipoona kifua cha Ally alipagawa sana kwani alikua anakipenda sana kwa jinsi kilivyogawanyika kwa mazoezi. Akaanza kukishika shika na kisha kukinyonya kwa ufundi mkubwa huku mkono mmoja ukiwa upo chini unachezea dunguso.

"Baby nishike hapa!"

Aliongea Recho kwa sauti laini inayotokea puani.

"Wapi baby?"

"Hapaaa...!!!"

Alijibu huku akimuonyesha chini kwenye naniliu yake.


Ally akaanza kumvua Recho suruali yake ya skin jeans aliyokua ameivaa na kisha akamvua na blauzi. Alianza kuhisi dunguso yake inapata moto taratibu kwani vichuchu vya Recho huwa vinamtia mzuka sana kwa jinsi vilivyokua vidogo wastani na kusimama vizuri bila kuhitaji msaada wa kupigwa jeki na sidiria. Akaanza kuvishika shika na kuviminya minya huku Recho nae akiwa anaipapasa dunguso. Akaanza kumnyonya matiti na hapo ndio aliamsha rasmi mashetani ya Recho kwani ny*g* zake zote zilikua kifuani. Alimnyonya kwa ufundi mkubwa sana huku muda mwengine akiwa anazivuta vuta chuchu kwa kutumia meno yake. Recho alipagawa sana kiasi cha kuongea maneno mengi akimsifia Ally huku akimuahidi kutomuacha kwa yale mambo mazito aliyokua anampa.

Ally hakujibu kitu zaidi ya kuendelea na mambo yake huku safari hii mkono mmoja akiwa ameupeleka chini kwenye naniliu. Alipomaliza kumnyonya matiti akaanza kumvua kufuli na kumuacha kama alivyozaliwa. Hakika Recho alionekana mrembo sana machoni mwa Ally hadi yeye mwenyewe akaanza kujiuliza.

"Hivi nakosa nini mimi kwa Recho. Uzuri wote huu aliokua nao lakini bado siriziki nahangaika kwa wanawake wengine. Hakika huyu ni mke wangu hao wengine ni kama mahawara tu. Nampenda sana Recho wangu na sipo tayari kumpoteza kwa gharama yoyote ile."

"Vipi baby mbona unaonekana una mawazo?"

Ally alikaa kimya kidogo kisha akamjibu.

"Nakufikiria jinsi ulivyokua mzuri baby na jinsi muda mwingi unavyokua upo peke yako. Nahisi kupata wivu sana juu yako hata sijui ni kwa sababu gani."

No (hapana) baby mbona unakua na mawazo ya aina hiyo? Yani mimi kweli nikusaliti wewe? Never(kamwe), siwezi kukusaliti kwa gharama yeyote ile."

Ally alifurahi sana kusikia vile lakini alijiona ni mkosaji sana.

"Hebu nipe vitu kwanza baby halafu ndio tutaongea maana hapa hamu zimenizidi sijiwezi kabisa."

Kweli Ally hakuleta kipingamizi na moja kwa moja akaupeleka mkono wake kwenye naniliu ya Recho na kuanza kuisugua sugua. Aliingiza kidole ndani na na kukitoa nje mfululizo huku mkono mwengine ukichezea matiti. Baada ya hapo akamtanua miguu na kuzama uvinza kuanza kufanya vitu vyake. Aliuzungusha ulimi wake kwenye kila kona ya naniliu ya Recho na kumuona akijilamba lamba mdomo huku akirusha rusha miguu.aliuingiza ulimu kwa ndani na kuutoa nje huku kidole chake akiwa amekiingiza ndani anaipekecha naniliu. Alikinyonya sana k*s*m* na kumsikia Recho akitoa kila aina ya kilio kuashiria anapata utamu wa hali ya juu. Baada ya kumaliza na kumuona Recho amelegea sana akamuacha na kuanza kuishika shika dunguso yake ili ipate moto vizuri. Recho akaona huo ni muda wa yeye kufanya vitu vyake hivyo akainuka na kuikamata maiki ya Ally kisha akaipeleka mdomoni na kuanza kutuma salamu. Alianza taratibu huku akiwa anamtazama Ally ambaye alikua amefumba macho kwa zile raha anazozipata. Recho aliongeza speed na kuinyonya sana dungudo lakini aliona inachelewa sana kupata moto tofauti na siku zote walizowahi kukutana.

"Ally vipi mbona hivi leo?"

"Nipo vipi?"

"We hauoni jinsi ulivyo?"

Ally alishtuka sana na kujua moja kwa moja kuwa Recho amemshtukia jinsi alivyo. Alishindwa hata jinsi ya kumjibu na kubaki kama bubu.

"Mbona haunijibu sasa? Nakuuliza mbona hivi leo?"

"Mmhhh yani hata mimi mwenyewe sielewi imekuaje maana sio kawaida yangu."

"Hapana Ally sitaki kuamini. Kuna hisia huwa nazipata kuwa unanisaliti ila leo naanza kuamini."

"Please baby(tafadhali mpenzi) usiongee hivyo bwana yani mimi nikusaliti kweli?"

"Sasa kwanini upo hivi.?"

"Sijui baby yani hata mimi mwenyewe najishangaa."

"Hapana Ally najua umenisaliti tena sio siku nyingi. Haiwezekani kwa jinsi ninavyokujua leo uwe hivi yani mashine haina nguvu kabisa tofauti na siku zote."


Recho alisogea pembeni na kuanza kuangusha kilio cha taratibu huku akiwa amejiziba usoni. Ally aliogopa sana na kujua kuwa ule ndio mwanzo wa kumpoteza Recho. Alijishauri aanze kumwambia nini Recho ili amuelewe lakini alijikuta akiishiwa uongo kabisa na kubaki kama bubu.........


Recho alizidi kulia kwa uchungu na kujifunika shuka usoni huku akiwa analalamika na nafsi yake. Ally alijisikia vibaya sana kwa kitendo kile na kujikuta akianza kujuta kwa yale yote aliyoyafanya kwa Nusrat pamoja na Ilham. Akaona akiendelea kuwa kimya ndio atazidi kumuumiza Recho hivyo ilibidi amsogelee karibu na kuanza kumuongelesha kama atamuelewa.

"Mbona unapenda kunihukumu pasipo na makosa mpenzi wangu? Hivi una uhakika gani kuwa nimetembea na mwanamke mwengine? Ina maana haujui kuwa mimi ni binadamu siku nakua sawa na siku nyengine nakua sipo sawa. Mbona siku zote huwa nakutimizia haja zako vizuri na unaondoka ukiwa umerizika. Ina maana leo kutokuwa sawa ndio unaanza kufikiria yote hayo, kwanini lakini?"

Ally alijitahidi kuupanga uongo wake vizuri ili Recho aweze kuelewa maana alihisi akikubali kuwa kweli alitembea na mwanamke mwengine ndio ataharibu kila kitu. Recho alianza kunyamaza taratibu huku akiuinua uso wake ambao ulijaa machozi kama maji na kumtazama Ally ambaye alikua makini kumsikiliza atajibu nini.

"Sitaki kuamini Ally, ni ugonjwa gani huo au tatizo gani lililokufanya hadi leo ukawa hivi?"

"Najihisi nina homa halafu pia nina msongo wa mawazo unanikabili hivyo nakutegemea wewe angalau ndio unifariji lakini matokeo yake unazidi kuniongezea mawazo."

Recho alikaa kimya na kutazama chini huku akiwa ameacha kabisa kulia kutokana na yale maneno aliyoambiwa na Ally.

"Come on baby(njoo mpenzi) hebu tuache haya yapite nahisi ni shetani tu anajaribu kutugombanisha."

Ally alimfuta Recho machozi yake kwa kutumia leso yake kisha akamsogeza kifuani kwake na kumlaza.

"Nakupenda sana Recho wangu. Hakika wewe ndio mwanamke pekee wa maisha yangu ambaye Mungu ameniandalia."

"Nakupenda pia Ally. Wivu ndio unanisumbua mpenzi na ndio maana yote haya yanatokea. Kwa jinsi ulivyokua handsome huwa napata mashaka sana unapokua mbali na mimi na ndio maana moja kwa moja nikawaza vile. Naomba unisamehe mpenzi kama nimekukera."

"No, take it easy baby(hapana,chukulia kawaida tu mpenzi). Siku zote huwa wanasema wivu ndio mapenzi ya dhati hivyo sishangai wewe kuwa na wivu juu yangu."


Waliendelea kupeana maneno ya kufarijiana huku Recho akiwa amerudi kwenye hali yake ya kawaida na kuanza kufurahi kama mwanzo.

"Kumbe mpenzi huwa unabadilika kiasi hiki?"

"Wee, yani mali zangu ziibiwe au kutumika sehemu nyengine halafu mimi nikae kimya tu. Lazima niwe mkali."

Ally alicheka sana kisha akamuuliza Recho.

"Ny*g* zimeshuka nini baby maana nakuona kama upo sawa hivi."

"Yani huwezi kuamini baby, hapa stimu zote zimekata baada ya kuona vile nikajua tayari nishaibiwa. Ila siwezi kuondoka hivi hivi lazima unipe kilichotuleta."

Ally alicheka kisha wakaanza kutomasana upya huku Ally akijitahidi kupunguza mawazo ili awe vizuri maana wanasaikolojia wanasema kuwa, ukiwa na mawazo mengi huchangia kutoshiriki kikamilifu kwenye tendo la ndoa na pia huchangia kwa mtu mwenye mawazo sana kuchelewa kufika kileleni wakati wa tendo. Ally alijisahaulisha kila kitu na sasa akili yake yote akaihamishia pale huku akiwa anamchezea chezea Recho kwenye matiti. Akaanza kumnyonya taratibu huku mkono mmoja ukiwa busy kuichezea naniliu ya Recho. Taratiibu Recho akaanza kulalamika na kutoa sauti laini iliyomfanya Ally azidishe ufundi ili ampagawishe zaidi mpenzi wake. Baada ya kumuona ameanza kulegea akamtanua vizuri miguu yake na kuzima kunako uvinza ili akachimbe madini ya chumvi.Alijitahidi kuyachimba madini kwa ufundi mkubwa huku Recho akiwa anamsifia kwa kuchimba madini yale ya gharama ambaye yatawafanya watajirike ndani ya muda mfupi. Ally akazidi kufanya vitu vyake chumvini huku Recho akiwa hajiwezi kwa zile raha na kumsifia sana mpenzi wake kisha akamuacha na yeye ili afanye vitu vyake. Kweli Recho hakupoteza muda kwani tayari mzuka ulikua umempanda na haraka haraka akaikamata dunguso ya Ally na kuanza kuisugua sugua huku akiwa anaipitisha kifuani kwenye matiti yake madogo ambapo alimuona Ally akitafuna miwa bila ya kuwa nayo huku macho akiwa ameyafumba.Aliupitisha taratiibu hadi kwenye chuchu zake zilizochongoka na kuanza kukisugua sugua kichwa cha dunguso kwenye maeneo hayo.Hapo ndio akazidi kumchanganya Ally kwani alimuona akiachia mdomo na kukunja uso kama mtu aliyekanyaga sindano ya kushonea nguo. Baada ya zoezi hilo akaitia maiki mdomoni na kuanza kutuma salamu kwa ndugu na jamaa zake ambao hakuwaona siku nyingi. Kitendo hiko ndio kilizidi kumchosha Ally kwani alikua akilalamika kama mtoto mdogo anayeonewa kwa kunyimwa haki zake. Recho alizidi kumwonyesha ufundi Ally na hiyo yote ni kutaka arizike asihangaike kwa wanawake wengine. Ally alipojihisi anakaribia kuandika goli la kuongoza akamuomba Recho amuache ili asifunge lile goli mdomoni mwake. Kweli Recho akamuacha na Ally akatulia kidogo huku dunguso yake ikiwa imekasirika balaa tofauti na mwanzo.

"Please njoo baby usiniache hivi mwenzio."

Alilalamika Recho huku akiwa anaishika shika naniliu yake ambayo alikua anahisi kama inapigwa vibration kutokana na zile ny*g* alizokua nazo.


Ally akamsogelea na kumuweka vizuri staili ya mbuzi kagoma kisha taratiibu akaanza kuiingiza dunguso yake kwenye pango la Recho. Alipoona imezama vizuri akaanza kupiga surundaka za taratiibu huku akiwa amekishika kiuno cha Rexho ambaye alikua analalamika sana. Alizidisha speed na kumuona Recho akianza kuongea vitu vya ajabu ambavyo hakuwahi kuvisikia hata mara moja. Walibadilisha mikao tofauti huku Ally akizidi kumpeleka mbio Recho ambaye alikua hajiwezi kwa zile raha. Baada ya muda akafanikiwa kumfikisha Recho kileleni na kumuona jinsi anavyozifurahia zile raha za muda mfupi. Akazidi kupiga surundaka za nguvu ili na yeye afike mwisho wa safari huku akiwa anajituma sana. Baada ya ile shughuli nzito akafanikiwa kuvunja dafu huku akimmwagia Recho tumboni kwake kutokana na kutotumia kinga kwenye mechi yao. Ally alijitupa pembeni ya Recho huku akiwa yupo hoi kutokana na ile shughuli waliyotoka kupeana. Recho aliinuka na kuelekea chooni kujisafisha na baada ya muda mfupi alirudi.

Kama kawaida yake alijisogeza kifuani kwa Ally na kumlalia kisha akamuuliza.

"Baby utanioa lini?"

Ally alikaa kimya kidogo akiwa anafikiria jibu zuri la kumwambia mpenzi wake na kisha akamjibu.

"Usijali baby nitakuoa tu japo sijajua ni lini. Ngoja kazi ichanganye kama miezi mitatu hivi kisha nihamie kwenye ile nyumba niliyopewa na baba kule Mbezi nitakuambia siku ya kukuoa."

"Really?" (kweli)

"Yeah why not?" (Ndio kwanini isiwe?)

Baada ya kuambiwa hivyo alifurahi sana kwani hamna kitu alichokua anakisubiri kama kuolewa na Ally.Hakika Recho alimpenda Ally kwa moyo wake wote na hakubakisha hata chembe ya upendo. Alijitoa asilimia mia moja akiamini kuwa yule ndio mwanaume sahihi wa maisha yake.

"Baby tuendelee bwana mwenzio nishaanza kusikia hamu tena."

Aliongea Recho huku akimtazama Ally usoni ambaye hakutaka kuleta pingamizi.

Ally akainuka na kuanza mshike mshike upya japokua hakua akijisikia sana hamu ya kufanya mapenzi. Ilibidi akubali ili tu amrizishe Recho ambaye alikua kwenye hali mbaya. Wakaanza kubadilishana mate huku kila mkono wa mmoja ukiwa kwenye naniliu ya mwenzake akiichezea chezea. Baada ya muda mfupi Recho alikua ameiva kabisa na alikua akisubiri vishindo vya Ally. Kweli Ally nae hakutaka kuendelea kumchelewesha kwani aliichomeka dunguso yake na kuanza kupiga surundaka za hatari hadi Recho akamuomba wapumzike kwanza. Ally hakuelewa kitu zaidi ya kuzidi kumpelekea moto wa nguvu huku akiwa anamsugua k*s*m* kwa ufundi mkubwa. Bila kutegemea akamuona Recho akivunja dafu lake huku safari hii ikiwa mapema sana kuliko kawaida. Recho alikua anatetemeka sana kwa zile raha anazozipata na kujiona kama yupo peponi. Ally akazidi kupiga surundaka huku wakiwa wanabadilishana mikao tofauti. Raundi hii Ally alichelewa sana kufika mwisho kwani ilimchukua muda mrefu sana huku utamu nao ukizidi kumkolea. Alimsugua sana Recho na akamuona akivunja tena dafu kwa mara ya pili mfululizo na kuamini kuwa kweli ny*g* zilimzidi. Akaweka tena vizuri na kuendelea kuwajibika huku na yeye akijihisi anakaribia kuvunja dafu na baada ya muda mfupi akafanikiwa kufika mwisho wa reli. Kama kawaida akammwagia tumboni kwa sababu hakutaka kabisa kumpa mimba Recho kwani hakuna kitu ambacho alikua hakipendi kama kuitwa baba wakati hakua tayari. Recho alienda tena chooni kujisafisha na kisha akarudi huku akionyesha kuwa amechoka sana. Alimlalia tena Ally kifuani na kukaa kimya kwa muda kisha akamwambia.

"Asante sana baby kwa hizi raha unazonipa. Hakika umejaaliwa kwa kila kitu kwani unajua jinsi ya kunifanya nirizike na kunikata hamu zangu zote."

"Usijali mpenzi. Hata wewe nashukuru sana kwa ufundi mkubwa unaonionyesha kwani najihisi kama nipo dunia ya peke yangu."


Recho alifurahi sana huku wakiwa wanaendelea na maongezi yao mengine. Baada ya kuongea sana Ally akamshtua Recho kuwa waondoke kwani muda umeenda sana.

"Aah! me najua utanipa cha mwisho."

"No baby,I'm sorry. (hapana mpenzi samahani). Si nimekwambia jinsi ninavyojisikia leo. Yani sipo sawa kabisa hivyo nahisi nikijilazimisha tufanye tena nitachoka sana na kunifanya kesho nisifanye kazi vizuri."

"Ok usijali baby hata hivi pia nimerizika sana. Yani leo umenisugua hadi naniliu yote hapa inaniwaka moto."

Basi wote kwa pamoja walijikuta wanacheka na kuanza kutaniana. Waliingia bafuni na kuogeshana huku wakicheza michezo mbalimbali ya kitoto na baada ya kumaliza walitoka na kujiandaa.Walipohakikisha kuwa wapo sawa kabisa walitoka na kurudisha funguo mapokezi kisha wakaondoka pale guest.


****************** *****************


Upande wa Nusrat alikua hana raha kabisa kwani nyumbani kwao walikwisha mtafutia mwanaume wa kumuoa ambaye alikua ni mfanyabiashara mkubwa anayefanya biashara zake nje ya nchi. Naye pia alikua ni mpemba mwenzao hivyo wazazi wake waliona kuwa huyo ndio alikua ni mtu sahihi kumuoa binti yao. Nusrat hakukipenda kabisa kile kitendo kwani tayari moyo wake ulishampenda Ally na aliona ni mtu sahihi wa kuja kumuoa. Alishindwa kabisa kuwakatalia wazazi wake kwani kwenye tamaduni zao ilikua ni matusi makubwa kumkataa mwanaume uliyechaguliwa na wazazi wako. Hakika alikua na mawazo sana na ilibidi afikirie afanye nini ili aepukane na lile janga. Mwisho kabisa akaona kuwa Ally ndio alikua ni solution yake pekee ya yale matatizo yake hivyo akapanga aende kuongea nae kwa umakini ili aweze kumuelewa. Hakika weekend hiyo ilikua chungu sana kwa upande wake haswa baada ya kupewa taarifa hiyo na wazazi wake. Hata chakula kilimshinda na ilibidi alale mapema ili angalau apunguze yale mawazo.


Kesho yake aliamka mapema sana na kuelekea kazini kama kawaida na alipofika alijitahidi kufanya kazi japokua akilini hakua sawa. Ulipofika muda wa chakula cha mchana akampitia Ally ofisini kwake na wakatoka pamoja kwenda kupata lunch. Walipofika waliagiza chakula kisha Nusrat akamuangalia Ally usoni na kumwambia....




"Baby nina tatizo kubwa sana limetokea nyumbani."

Ally alionyesha kushtuka kiasi cha kuacha kula na kumtazama Nusrat usoni kisha akamuuliza.

"Tatizo gani tena mpenzi mbona unanishtua sana?"

Nusrat akaguna kidogo kisha akamrudishia Ally swali badala ya kujibu alichoulizwa.

"Hivi Ally unanipenda kwa dhati?"

"Nafikiri hilo sio swali tena kati yangu mimi na wewe kwa maana kila kitu kipo wazi. Nakupenda sana zaidi ya unavyoweza kufikiria. Lakini kwanini umeniuliza swali kama hilo?"

Nusrat akatulia kimya kidogo akiwa kama anafikiria kitu cha kuongea.

"Kama unanipenda naomba uniokoe."

Ally akashtuka kidogo baada ya kuambiwa hivyo kisha akamwambia.

"Sijakuelewa Nusrat unamaanisha nini, nikuokoe kivipi?"

"Nyumbani wamenitafutia mwanaume wa kunioa lakini mimi sipo tayari kwa sababu nakupenda wewe Ally. Kitu kinachonitia mawazo ni kuwa kwenye tamaduni zetu sisi wapemba ni matusi makubwa sana ukimkataa mwanaume uliyetafutiwa na wazazi wako haswa baba."

Ally akaguna kidogo kisha akamuuliza Nusrat.

"Kwahiyo wazazi wako walivyokwambia hivyo uliwajibu nini?"

"Yani kama nilivyokwambia, kutokana na hali jinsi ilivyo nilishindwa hata jinsi ya kuwajibu ila kwa ninavyomfahamu baba hilo tayari limeshapita kwenye halmashauri ya kichwa chake."

"Daah! sikutegemea kabisa kama yote haya yangetokea. Kwahiyo ulikua unanishauri tufanye nini?"

"Ninachotaka ni mimi na wewe twende nyumbani kwetu ili nikakutambulishe kwa maana nikisema niwakatalie tu hivi hivi hawatanielewa kabisa."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally alionyesha kushtuka kidogo kwani alihisi kwa kufanya hivyo atakua amejikatia tiketi ya kumpoteza Recho moja kwa moja katika maisha yake ukizingatia ndio mtu anayempenda kuliko kitu chochote katika dunia.

"Vipi Ally mbona haunijibu kitu umebaki kimya tu?"

"Samahani sana Nusrat kwa kwa haya nitakayokwambia. Kusema ukweli kwa sasa sipo tayari kwa jambo hilo."

Baada ya kuambiwa hivyo Nusrat alionyesha kukasirika sana huku akiwa kama anataka kulia.

"Samahani mpenzi naomba usinifikirie vibaya. Naomba uelewe pia situation niliyokua nayo hivi unafikiri nikichukua maamuzi kama haya Recho nae itakuaje. Hauoni kama itakua sijamtendea haki?"

"Najua haunipendi na ndio maana haupo tayari kunioa. Ila sawa fadhila zangu zote hizo nilizokufanyia atanilipa Mungu."


Aliongea Nusrat huku akiinuka mahali pale kwa hasira na kuanza kuondoka.

"Nusrat please naomba usikasirike kiasi hiko tutafute muda mzuri zaidi wa kuongea haya mambo."

Aliongea Ally huku akimshika Nusrat mkono ili asiondoke.

"Kama umeshindwa kunielewa sasa hivi nina imani hauwezi ukanielewa tena hata kama tutaongea kwa mara kumi zaidi."

"No usiseme hivyo Nusrat naomba tutafute muda mzuri zaidi wa kuongea pindi tukiwa free kama weekend naamini tutapata muafaka mzuri sana kati yetu."

"Ok nimekuelewa turudi ofisini tukaendelee na kazi."

"Nashukuru sana kwa kunielewa mpenzi."

Ally alikua anampenda pia Nusrat haswa akikumbuka kwa jinsi alivyokua anamsaidia pamoja na kumpa vitu mbalimbali vya gharama wakati wapo chuo. Pia Nusrat huyo huyo ndio aliyemtafutia kazi nzuri kama ile ambayo mshahara wake ulikua mzuri sana pamoja na kupata marupurupu mengine ya kila siku. Kwa sababu hizo alijikuta akimpenda Nusrat japokua moyo wake wote ulikua upo kwa Recho. Waliingia ndani ya gari na kuondoka pale restaurant walipoenda kupata chakula cha mchaoa na kurudi ofisini.


*************** ****************


Recho alikua anahangaika juu chini ili apate kazi maana yale maisha ya kukaa nyumbani na kumtegemea Ally ampe hela za mahitaji yake madogo madogo yalikwishamchosha. Alitamani sana kupata kazi kwenye bandari ya TPA kitengo cha Procurement and Logistics ambapo alisikia kua kuna ulaji mzuri sana. Alijitahidi sana kufuatilia huku akipata msaada mkubwa kutoka kwa Ally ikiwa ni pamoja na kuhonga hela kama wengi tunavyojua kwenye utafutaji wa kazi hali jinsi ilivyo. Siku moja wakiwa wamekaa pamoja, Recho alimuomba Ally aende kwao ili akamtambulishe kwa mama yake kwa maana mama yake alikua akimgusia hilo jambo mara kwa mara. Kwakua Recho ndio alikua mwanamke anayempenda zaidi kuliko Nusrat na Ilham na pia ndio mwanamke aliyemchagua awe ubavu wa kushoto wa mwili wake, hilo hakuona kua ni jambo gumu kwake.

"Sawa mpenzi nimekuelewa soon nitakuambia kua nipo tayari ili twende kwa mama."

"Asante sana Ally wangu ndio maana nakupend sana hadi sijielewi."

"Come here baby." (Sogea hapa mpenzi.)

Recho akajisogeza kifuani kwa Ally na kumlalia huku akiwa anamwambia maneno matamu ya mapenzi.


Zilipita kama week mbili Recho akiwa anasubiria kwa hamu kama ataitwa TPA kwa ajili ya interview. Ally nae alikua kwenye kibarua kizito cha kuwafanya watu watatu wafurahi kwa wakati mmoja.


Weekend moja alialikwa na Ilham aende anapoishi kwani alikua na suprise kubwa sana amemuandalia



Ally alikubali bila kipingamizi na ilipofika jioni akaanza kujiandaa kwa ajili ya kuelekea anapoishi Ilham. Alipomaliza aliwasha gari yake na kuondoka kuelekea maeneo ya upanga.Hakuchelewa sana kufika kutokana na foleni za Dar es salaam kuwa za kawaida siku za weekend. Alimtaarifu Ilham kuwa ameshafika na baada ya muda mfupi Ilham alikuja huku akiwa ni mwenye furaha sana kisha akamkumbatia Ally na kuanza kumpa mabusu mfululizo.

"I really missed you my darling" (Nimekukumbuka sana mpenzi)

Aliongea Ilham kwa sauti laini yenye kumtoa nyoka pangoni.

"I missed you more sweetheart."

(Nimekukumbuka zaidi mpenzi)

Waliongea mambo mawili matatu kisha Ilham akamkaribisha Ally ndani na wakaingia hadi sebuleni ambapo palikua na mama mtu mzima akiwa anatazama tv. Ally akamsalimia kwa adabu zote kisha akaketi chini.

"Nikuletee kinywaji gani?"

"Mmmh! kama juisi ipo nitashukuru sana."

"Ipo nimeitengeneza special kwa ajili yako maana ninavyokujua wewe kwa juisi."

Aliongea Ilham kwa mzaha kisha akaenda kumchukulia Ally juisi kwenye fridge. Baada ya kuletewa Ally alipiga mafunda kadhaa kisha akaiweka glass chini na kuanza kuongea na Ilham huku yule mama akiwa kimya anatazama tv.

"Aammm! baby, this is my mom, (aaaammm! mpenzi huyu ni mama yangu) anaitwa bi.Zukra, and mom(na mama) huyu ndiye Ally niliyekua nakwambia siku zote."

"Oohh!!kumbe..Yani muda wote nipo hapa nilikua sijui lolote kama huyu ndo mama. Nashukuru sana kukufahamu mama."

"Mimi pia mkwe wangu nashukuru na nimefurahi sana leo kukufahamu maana huyu mwenzio kila siku haachi kukutaja tukiwa tunaongea."

Ally alitabasamu kuonyesha kufurahishwa na ule utambulisho kumbe moyoni hakukipenda kabisa kile kitendo cha Ilham kumtambulisha kwa mama yake bila kumtaarifu yeye mwenyewe kwanza. Waliongea mambo mengi sana huku bi.Zukra akimsihi sana Ally asimuache binti yake kwani kwake ndio alikua kila kitu ukizingatia ndio mwanae wa pekee. Ally alimuahidi kutomtenda Ilham na atampenda kwa maisha yake yote.


Waliongea sana siku hiyo hadi giza likaingia kabisa. Ilham aliandaa chakula haraka haraka na kutayarisha pale mezani.Bi Zukra alitoka nje na kuwaacha wao wawili tu pale sebuleni. Walianza kula na kuongea mambo mbalimbali huku Ilham akionyesha kuwa na furaha kupita kiasi. Walipomaliza Ilham alimuita mama yake kwani Ally alikua anataka amuage.

"Nashukuru sana mkwe wangu kwa kukufahamu leo ila sijui lini utakuja kwangu."

"Usijali mama nitamwambia Ilham anilete siku yoyote. Tegemea ugeni kutoka kwangu."

Mama yake Ilham alifurahi sana na kutokea kumpenda Ally kwani alimuona kuwa ni kijana makini na mstaarabu sana anayejielewa. Baada ya kumaliza kuagana Ilham akamsindikiza Ally nje na huku uso wake ukionyesha waziwazi kuwa ni mtu mwenye furaha.

"Thank you so much baby." (Asante sana mpenzi) Yani hata siamini kama leo nimekutambulisha kwa mama yangu."

"Usijali baby mbona ni kitu cha kawaida tu."

Alijibu Ally huku moyoni akiwa anaumia sana kwa Ilham kumfanyia kitendo kile cha kumtambulisha kwa mama yake bila ya kuwa na taarifa. Waliongea kidogo kisha kama kawaida yao wakaanza kubadilishana mate ikiwa ni kama ishara ya kuagana. Walipomaliza waliagana kisha Ally akaondoka na kurudi kwao Temeke huku kichwani akiwa na mawazo sana.


***************** *****************


Jioni moja Recho aliona namba ngeni ikiwa inaingia kwenye simu yake na bila kusita aliipokea huku akiwa mtulivu sana.

Walisalimiana kisha yule kaka aliyepiga akajitambulisha kwa Recho.

"Mimi naitwa Rafael Kafula, afisa rasilimali watu kutoka TPA. Bila shaka naongea na Recho Edward."

"Yeah ndio mimi."

"Sawa. Basi Jumatatu ya tarehe 16 mwezi huu tunakuomba ufike kwenye interview ofisini kwetu kwani wewe ni mmoja wa watu waliochaguliwa kwa ajili ya interview."

"Ok nashukuru sana kwa taarifu na naahidi siku hiyo nitafika mapema sana hapo ofisini kwenu."

Baada ya kumaliza kuongea Recho alifurahi sana na moja kwa moja mtu wa kwanza kumtaarifu juu ya taarifu zake alikua ni mpenzi wake Ally.

Ally alifurahi sana kwani alikua anahangaika juu chini ili Recho nae apate kazi yake. Alimpa moyo pamoja na kumfundisha mbinu mbalimbali za kufanya wakati wa interview ili aweze kufanikiwa. Recho alimshukuru sana mpenzi wake kisha wakaagana na kukata simu.


Siku ilipofika aliamka mapema sana na kujiandaa kisha akaanza safari ya kuelekea kwenye interview. Alifika mapema sana kwani siku hiyo alitumia usafiri wa tax ili kuepuka kuchelewa. Palikua na kundi la watu wanaokaribia 100 wote wakiwa wanazigombania nafasi 5 pekee ambazo ndizo zilikua zinatakiwa. Muda ulivyofika mmoja mmoja akaanza kuitwa kwa ajili ya kuingia kikaangoni. Ilipofika zamu yake, aliingia kwa kujiamini sana huku akiwa anazikumbuka vizuri sana mbinu zote alizofundishwa na Ally. Alijibu kwa ufasaha sana pamoja na kutoa maelezo ya kina na yenye kueleweka kwa kila alichoulizwa. Uhodari wa msichana mdogo kama Recho kujibu namna ile uliwafanya wale wazee wawili waliokua wanasimamia lile zoezi kutazamana na kupeana ishara fulani ambayo Recho hakuielewa kabisa. Baada ya kumaliza kumuhoji walimkabidhi bahasha fulani ya kaki na kumwambia kuwa aifiche yani wakati anatoka watu wengine wasimuone.


Recho aliweza kuwaelewa kisha akaiweka ile bahasha ndani ya mkoba wake na kuanza safari ya kurudi nyumbani. Alitamani hata aifungue njiani ile bahasha ila akatulia hadi alivyorudi kwao.Alipofika aliingia chumbani kwake na kujifungia kisha akaifungua ile bahasha na kuikunjua karatasi iliyokuwa ndani yake. Alichokiona kilimuacha mdomo wazi na kumfanya kutokuamini kabisa macho yake.




Kichwa cha barua hiyo tu kilitosha kumfanya ajue dhumuni la barua yote kwani kilisomeka,

YAH: Kuajiriwa mamlaka ya bandari Tanzania (TPA)..Recho alifurahi kupita maelezo na kuanza kuisoma barua yote ili kuelewa zaidi kilichoandikwa. Alipomaliza moja kwa moja alimtumia message mpenzi wake Ally kwani huwa hapendi kumpigia wakati akiwa kazini. Baada ya muda mfupi aliona Ally akimpigia simu na akaanza kuongea nae. Hakika Ally nae alifurahi sana kusikia kipenzi cha moyo wake amepata kazi sehemu nzuri kama TPA.

"Sasa mpenzi tufanye kitu gani kusheherekea huu ushindi?"

Aliuliza Ally ambaye alionyesha kuwa na furaha sana.

"Mmmh! Twende picnic?"

"Sawa mimi nakusikiliza wewe tu Recho wangu utakalosema ndio litakalokua."

Recho alifurahi sana kusikia hivyo kisha wakapanga weekend waende sehemu ya mbali kidogo wakalale huko huko. Baada ya kumaliza kuongea Recho akaanza kuandaa chakula kizuri sana ili jioni asheherekee na mama yake pindi atakaporudi kazini.


**************** *****************


Nyumbani kwa kina Nusrat hali ilizidi kuwa mbaya kwani wazazi wake waliendelea kushikilia msimamo wa binti yao kuolewa na Feisal ambaye alikua ni mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa na mwenye pesa za kutosha huku Nusrat mwenyewe akiwa hataki hata kidogo jambo hilo litokee. Akili yake yote ilimuwaza Ally tu muda wote na hakutaka kumsikia mwanaume yoyote yule chini ya jua. Lakini pia alijua fika kuwa kuolewa na Ally litakua suala gumu kwake kwani tayari Ally yupo na Recho na wanapendana sana. Alijua kwamba Ally yupo nae kwa muda tu na pindi siku atakapoamua kuoa basi ni lazima atamchagua Recho kwani ndiye aliyekua anampenda sana. Hakutaka kabisa jambo hilo kulishuhudia likitokea na ndio maana alijitahidi kuiteka akili ya Ally kwa kumfanyia mambo mengi makubwa. Akapanga kumpeleka Ally nyumbani kwao kumtambulisha bila yeye mwenyewe kushtukia mchezo kwani alishamuomba mara nyingi ila alikua akiweka vikwazo.


**************** ****************


Ilipofika weekend siku ya Jumamosi,Ally na Recho wakakutana maeneo ya Tabata Bima tayari kwa kuanza safari yao ya kwenda Bamba beach Kigamboni Gezaulole ambapo ndio walipanga waende.

"Sasa mama umemwambia unaenda wapi?"

"Nimemdanganya nimemwambia naenda kwa kina Tayana kuna sherehe hivyo nitalala huko huko."

"Mmmh je kama baadae akikupigia simu ili athibitishe kama kweli upo huko au akimpigia simu Tayana mwenyewe itakuaje."

"Mmmh sidhani kama anaweza kufanya kitu kama hiko. Kwanza Tayari nimeshaongea na Tayana na nimempanga kwa kila kitu so sidhani kama kitaharibika kitu. Halafu pia mama ananiamini sana so sidhani kama atakua na wasiwasi au kutilia shaka jambo lolote."

"Aisee..Kweli wewe kiboko ndo maana nakukubali mke wangu yani umecheza kama Pele."

"Recho alicheka sana kisha wakaanza safari yao kwa kutumia Altezza ya Ally."

Walifika Bamba beach mishale ya saa 10 jioni na moja kwa moja Ally akaelekea mapokezi kwa ajili ya kufanya booking ya chumba huku Recho akiwa amepumzika akipigwa na upepo mwanana wa baharini. Baada ya kumaliza waliingia ndani na kuweka mizigo yao kisha wakakaa na kuanza kupiga story na kutaniana.


Waliongea mambo mengi sana haswa mipango ya kuoana kwani muda muafaka ulikua tayari umeshafika. Ally akamuahidi kuwa baada ya kama week moja ataenda nyumbani kwao kutambulishwa kwa mama yake Recho kisha Ally nae akamtambulishe Recho kwa baba yake mzee Mohammed.

Recho alifurahi kupita maelezo na akamrukia Ally na kumpiga mabusu yasiyokua na idadi. Kitendo kile kilianza kuamsha hisia za kila mmoja na kujikuta wakianza kubadilishana mate huku wakitomasana mwilini. Wakaanza kuvuana nguo moja baada ya nyengine huku kila mmoja akionyesha kuwa na uchu na mwenzie kama vile hawajakutana kwa miaka mingi. Ally alipoziona chuchu za Recho mashetani yake ndio kama yalikua yanaamka kwani alikua anazipenda sana kwa jinsi zilivyokua ndogo na kusimama vizuri. Akazishika taratiibu na kuanza kuzichezea chezea kisha akaupeleka mdomo wake na kuanza kuzinyonya kwa ufundi mkubwa. Recho akaanza kutoa sauti tamu za mahaba huku macho yake akiwa ameyafumba kama kipofu. Baada ya kumaliza kumnyonya maziwa akaanza kumnyonya maeneo ya shingoni na masikioni huku mikono ikiendelea kutalii mwilini kwa Recho. Alimchezea sana hadi nguvu zikaanza kumuishia Recho.

Baada ya hapo akamlaza chali na kumvua kufuli lake taratiibu huku akiwa anamtazama usoni. Recho alikua hajiwezi kabisa na alitamani Ally aanze haraka haraka mshike mshike ili amponye maradhi yake. Alipoiona naniliu ya Recho alihisi kama anataka kuandika goli la mezani kwani alipata hisia kali sana kutokana na naniliu ya Recho ilivyokua nzuri na safi. Akaanza kuupeleka mdomo wake kwa ajili ya kuzama kunako uvinza kufanya vitu vyake ila Recho akamzuia na kumwambia amsubiri akajisafishe kwani wametoka umbali mrefu na kama unavyojua wanawake maumbile yao jinsi yalivyo. Kweli Ally akamuelewa lakini aliona kama vile anacheleweshwa kwani tayari mzuka ulikua umeshapanda. Akaamua kumfuata huko huko chooni na kuanza kumchezea tena.

"Mmmh baby umenifata hadi huku, au leo umekunywa mchuzi wa pweza?"

Ally alitabasamu tu bila ya kutoa jibu huku akiendelea kutalii kwenye mwili wa Recho. Akamsafisha vizuri naniliu yake na yeye akajisafisha dunguso yake iliyokua imesimama kama msitimu kisha akambeba na kumpeleka kitandani.

Akamlaza chali na moja kwa moja akazama uvinza kufanya vitu vyake.Aliupekecha vizuri ulimi wake na kumsikia Recho akitoa kila aina ya sauti kuashiria kuwa anapata utamu wa hali ya juu.Aliingiza kidole cha kati kupima oil na kulihisi vizuri joto la Recho kwani naniliu yake ilikua imepata joto hatari.


Alipoona kuwa Recho amelegea kama bamia la juzi akaanza kuishika shika dunguso yake kuipasha joto vizuri ili kuhakikisha inatoa dozi kisawasawa. Akamuweka Recho vizuri na kuanza kuipeleka dunguso yake taratiibu kuelekea kwenye pango zuri la Recho kwa ajili ya kuanza kupiga surundaka.....



Akaiingiza taratiibu mashine yake ambapo alimuona Recho akifumba macho na kung'ata lips zake huku akitoa sauti nzuri ya mahaba. Akaanza kupiga surundaka za taratibu huku akiwa amezishika vizuri nyonga za Recho. Baada ya kuona utamu unakolea akaanza kuongeza speed kwa kupiga surundaka za haraka haraka huku akiwa anamsugua Recho k*s*m* chake. Alimbadilisha mikao mbalimbali kama mtaka cha uvunguni, chura kafa, mbuzi kagoma, katerero na nyengine nyingi hadi Recho akawa hoi. Baada ya shughuli ndefu walifanikiwa kufika wote kwa pamoja mwisho wa safari huku Recho akimsifia sana mpenzi wake kwa ule ufundi anaomuonyesha. Walienda chooni kujisafisha kisha wakarudi chumbani na kuanza kupiga story. Waliongea sana na kutaniana huku wote wakiwa wamejifunga mataulo ya hotelini hapo. Recho aliendelea kumsisitiza Ally amuoe kwani alikua na hamu sana ya kuwa mke halali. Ally alimtoa hofu na kumuahidi tena kua baada ya siku chache wataenda kutambulishana kwa wazazi wao huku Ally akiwa na mpango wa kuhamia kwenye nyumba yake iliyopo Mbezi ambayo alipewa zawadi na baba yake baada ya kufanya vizuri chuo.

Recho alifurahi sana kisha akamsogelea Ally kifuani na kumlalia.

"I love you baby."

"I understand, i love you more my queen. Wewe ndio kila kitu kwangu bila wewe siwezi tena kuishi."

"Me pia Ally. Sikutegemea kama siku moja nitakuja kupenda kwa kiasi hiki hadi nilipokutana na wewe. Hakika umeyabadilisha maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana."

"Usijali mpenzi hilo ni jukumu langu."


Walikaa kimya kidogo kisha Ally akamwambia Recho.

"Can i start again?" (Naweza kuanza tena?)

"Mmmhhh mwenzio nimechoka bhana."

"Baby, cha mwisho tu unikate kiu yangu mwenzio bado sijaridhika."

Recho akamuangalia Ally kama vile mtu aliyekasirika kisha kwa kumshtukiza akamvamia na kumpelekea mdomo wake. Ally akamshika vizuri Recho na kuanza kubadilishana nae mate huku akimpapasa kwenye nyonga zake.

Recho akamvua Ally taulo na kulitupa pembeni kisha akaichukua dunguso na kuipeleka mdomoni mwake. Taratiibu akaanza kutuma salamu kwa ufundi mkubwa sana huku akikichezea vizuri kichwa cha naniliu. Ally alipagawa vibaya kwa kitendo kile hadi akaanza kutoa sauti nzito yenye kuashiria kuwa anapata utamu. Baada ya kuona dunguso imepata moto vizuri akamuacha kisha akapanda juu yake na kuanza kumkalia kwa juu. Akaichomeka mashine taratiibu kisha akaanza kuikatikia mauno ya kufa mtu. Hakika kungwi aliyemfundisha Recho hakuacha hata kipengele kimoja kwani alijua haswa jinsi ya kumpagawisha mwanaume. Ally alikua anapiga kelele kama mtoto mdogo huku akiwa haachi kulitaja jina la Recho. Muda mwengine alikua kama anakuna nazi au kufua dafu kwani miuno yake ilikua ya hatari.

Baada ya kukaa sana juu, akashuka na kumuacha Ally nae afanye vitu vyake. Ally akamuweka Recho vizuri mtindo wa katerero na kuanza kumpelekea moto wa kufa mtu. Recho akaanza kupiga kelele kama anachinjwa hadi Ally akahisi watu wa nje wanaweza kuwasikia. Akachukua mto na kumuwekea Recho mdomoni kisha akaendelea kumpelekea moto. Baada ya muda Recho akavunja dafu huku akiwa anasikia raha za ajabu kama anaelea angani. Ally akaongeza speed ya kupiga surundaka na baada ya muda mfupi na yeye akafika mwisho wa safari. Akajitupa pembeni akiwa hoi anahema kama ametoka kukimbizwa.

Walikaa kimya hadi wote wakapitiwa na usingizi mzito.


*************** ***************


Kesho yake mchana baada ya kupeana dozi ya kufa mtu walirudi mjini. Ally akamrudisha Recho nyumbani kwao kisha na yeye akarudi nyumbani kwao.

Siku zikasogea huku Nusrat akiendelea na mpango wake wa kumpeleka Ally nyumbani kwao kwa kumshtukiza ili akamtambulishe kwa wazazi wake maana kila siku alikua akimwambia lakini Ally alikua akimzuga zuga. Weekend moja Nusrat akampigia simu Ally aende kumtembelea nyumbani kwao na kumwambia baba yake na mama yake walikua wamesafiri wameenda kwao Pemba. Ally alisita kukubali lakini baada ya kulazimishwa sana ilibidi akubali kwa shingo upande.

Akaanza kujiandaa kwa ajili ya safari ya kwenda magomeni nyumbani kwa kina Nusrat. Alipomaliza wakati anajiandaa kuondoka akasikia simu yake inaita na alipoiangalia aliona jina la Recho. Baada ya kuipokea alishtuka sana alipomsikia Recho analia na ikabidi amuulize ana tatizo gani.


"Baby vipi tena mbona unanitisha, umepatwa na nini?"

"Ally nimeharibu mpenzi wangu."

"Umeharibu? umeharibu kitu gani?"

"Mwenzio nina mimba."

Alijibu huku safari hii kilio kikiongezeka mara mbili zaidi ya mwanzo.........


Ally hakutaka kuamini anachokisikia na ikabidi amuulize tena Recho.

"Baby, are you serious?" (Baby, upo makini?)

Recho hakujibu kitu zaidi ya kuendelea kulia kisha baada ya muda akakata simu. Ally alichanganyikiwa sana na ikabidi ampigie ili aongee nae vizuri. Simu iliita mpaka ikakata lakini Recho hakupokea kitu kilichomfanya Ally azidi kupata wasiwasi. Akampigia tena kwa zaidi ya mara nne lakini Recho hakupokea hivyo ikabidi amtumie message.

"Please baby naomba upokee simu nahitaji kuongea na wewe"

Baada ya muda mfupi Recho akamjibu.

"I'm so sorry Ally naomba uniache kidogo yani sijisikii kuongea na mtu yoyote."

Ally alizidi kuchanganyikiwa na akaamua kumtumia message Recho kumwambia kuwa anaenda nyumbani kwao.

Recho alikaa kimya bila kujibu na Ally akaona hakuna tena muda wa kupoteza. Akachukua funguo ya gari na kutoka nje kwa ajili ya kuelekea tabata kwa kina Recho.

Aliendesha gari akiwa na mawazo mengi sana kiasi kwamba ilibaki kidogo tu asababoshe ajali maeneo ya tazara kwenye junction ya Mandela road na Nyerere road. Hakukawia sana na baada ya mwendo wa kama nusu saa alifika maeneo ya karibu na anapoishi Recho. Akatoa simu yake kumpigia na safari hii Recho akapokea.

"Baby please naomba uje hapa kwenye kona karibu na kwenu nimefika nakusubiri."

Recho hakujibu kitu zaidi ya kukata simu hali iliyomfanya Ally aanze kuwaza kuwa huenda Recho atakua ameanza kumchukia kutokana na kumpa mimba. Alikaa kimya akiwa anatafakari huku akiwaza kitu cha kufanya ili amshawishi Recho aje kuongea nae.


Wakati akiwa anaendelea kuwaza alimuona kwa mbali Recho akiwa anakuja huku akionekana mnyonge sana tofauti na siku zote alizowahi kumuona. Baada ya Recho kufika alimfungulia mlango na kuingia ndani kisha akashusha vioo vya tinted na kuwasha AC.

Recho alikua mnyonge sana huku macho yake yakionekana wazi kuwa muda mfupi uliopita ametoka kulia. Alipomuangalia Ally machoni alijikuta akianza kuangusha kilio upya japo kwa sauti ya chini hali iliyomfanya Ally amlaze kifuani kwake na kuanza kumbembeleza.

"It's okay, it's okay baby. You will be fine. (Ni sawa, ni sawa mpenzi. Utakua vizuri.)

"Ally naumia mimi, nitamwambia nini mama na siku zote alikua akinikataza nisifanye mapenzi kabla ya kuolewa. Sura yangu nitaiweka wapi mimi."

Aliongea Recho kwa sauti ya kukata kata kutokana na kilio cha kwikwi alichokua analia. Ally alimuonea huruma sana mpenzi na kuona kuwa amemsababishia matatizo makubwa sana zaidi ya ambavyo yeye anavyojiona kuwa amejibebesha mzigo ambao wakati wake bado haujafika..

"Usijali mpenzi kama hakutakua na mtu wa kukusupport, basi milele mimi nitakuwepo. Nakupenda sana Recho wangu na kwa hili lililotokea limenifanya nizidi kukupenda ili usijione kuwa dunia umeibeba mgongoni."

Alijitahidi kuongea maneno mengi sana ya busara na yenye kufariji hadi Recho akaacha kabisa kulia.

"Kwahiyo baby imekuaje hadi umegundua kuwa una mimba?"

"Wiki yote hii tangu siku ile tulivyorudi kutoka kigamboni sijisikii vizuri kabisa. Mara nyingi nakuwa nalala, sijisikii hamu ya kula, kichefuchefu mara kwa mara hadi muda mwengine nakuwa natapika so leo ndo nikaamua nifanye kipimo cha mkojo ndo nikajiona kuwa nina mimba."

"Mmmh aisee. Yani hatukupanga iwe hivi kabisa. Mipango yetu ilikua ni kuoana kwanza halafu mambo ya kuzaa ndo yatafuata. Ila ndo hivyo tena imeshatokea inabidi tukabiliane nalo."

"Kwahiyo una mpango gani Ally?"

"Kukuoa. Tena haraka sana zaidi ya ilivyokua mwanzo. Nataka kabla ya tumbo kuanza kuwa kubwa niwe tayari nimeshakuoa."

Asante sana Ally. Leo ndio nimezidi kuamini kuwa unanipenda kwa dhati. Sikutegemea kabisa kama ungereact hivi yani nilijua moja kwa moja huu ndio utakua mwisho wetu na ndio maana nilikua nalia sana."

"Mwisho wetu? Yani mimi nikuache wewe kweli baby! Aaah hapana. Kifo peke yake ndio chenye uwezo wa kunitenganisha mimi na wewe."


Recho alifarijika sana kutokana na kuambiwa maneno hayo matamu na Ally na akajikuta anaanza kurejewa na furaha taratibu. Wakati wanaendelea kuongea mara simu ya Ally ikaita na alipoiangalia aliona jina la Nusrat. Akatamani hata ayeyuke kwa muda lakini haikuwezekana.

Akawaza aikate lakini akajua ni lazima Recho atamuuliza yule ni nani hadi amkatie simu. Akaamua kuipokea ili kumsikiliza Nusrat anasemaje lakini moja kwa moja akajua ni kuhusu yeye kutokwenda kwao hadi muda huo kwani tayari walikwishaelewana kuwa aende.

"Eeh hallo."

"Ally mbona unanifanyia hivi lakini, sasa mbona hadi muda huu haujakuja.?"

"Samahani nimepata dharura ya muhimu sana hadi nimechanganyikiwa na ndio maana nimesahau kukutaarifu kuwa leo sitakuja tena huko."

"Mmmh dharura gani hiyo?"

"Ni kuhusu Recho ila tukikutana nitakwambia vizuri."

"Yani nikikuita mimi unapuuzia ila akikuita Recho mara moja unaenda. Kwanini lakini Ally unanifanyia hivi?"

"Sorry nitakutafuta baadae sasa hivi kuna mazungumzo ya muhimu sana naongea hapa."


Nusrat akataka kujibu lakini Ally akakata simu na kuiweka silent kabisa kisha akaiweka pembeni.

"Nani huyo uliyekua unaongea nae?"

"Ni Nusrat."

"Mmmh yani wewe na huyo Nusrat, nishaanza kupata wasiwasi sasa maana kila tukiwa pamoja anakupigia simu. Je muda ambao hatupo pamoja, si mtakua mnakaa sana nyie na kuongea mambo mengi?"

"No baby mbona unakua na hisia za aina hiyo? Ina maana haujui kuwa Nusrat ni rafiki yangu tangu tupo chuo na pia ni mfanyakazi mwenzangu tupo kampuni moja? Ni kweli huwa tunaongea mara nyingi tu ila huwa ni maongezi ya kikazi tu hakuna jengine la ziada."

"Mmmh sawa nitaona mwisho wake itakuwaje."

"Come on baby acha mawazo ya kimasikinin bwana."

Aliongea Ally huku akijitahidi kumchekesha chekesha Recho.

Waliongea kwa muda mrefu sana hadi Recho akarudi kwenye hali yake ya kawaida kisha Ally akaamua amtoe out angalau wakale ice cream kupunguza mawazo.


*************** ***************


Baada ya wiki moja Ally akaenda kwa kina Recho kwa ajili ya kutambulishwa lakini hadi muda huo hakuna mtu yeyote yule aliyekua anajua kuwa Recho ana mimba. Walipanga kufanya siri hadi mambo ya kutambulishana yatakapopita mipango ya ndoa ikiwa inaanza ndio Recho amwambie mama yake. Alikaribishwa sebuleni ambapo aliwakuta wanaume wawili wakiwa wamekaa wanatazama tv. Aliwasalimia kwa uchangamfu wa hali ya juu kisha Recho akaenda kumuita mama yake. Mama yake alikuja na kusalimiana na Ally kisha na yeye akakaa chini. Waliongea maongezi mawili matatu kisha mama yake Recho akamuuliza Ally.

"Kwahiyo mwanangu wewe ni mwenyeji wa wapi?"

"Mimi ni mwenyeji wa Tanga mama kabila langu ni mdigo ila mama yangu ni msambaa japokua yeye alikwishafariki miaka mingi sana iliyopita."

"Ooh, aisee pole sana."

"Asante sana mama ndo mipango ya Mungu."

"Okay. Jina lako kamili ulisema ni Ally nani vile?"

"Ally Mohammed."

"Sawa. Yule unayemuona pale kulia ni mjomba wake Recho na yule pale mbele yako ni kaka yake Recho. Wamezaliwa watatu na Recho ndo kiziwanda wangu. Kuna dada yake anaitwa Rebecca ila leo ameshindwa kuja ana dharura."

"Ahaa..Nashukuru sana kuwafahamu shemeji pamoja na mjomba."

Aliongea Ally huku akiinuka na kuwapa mikono kuonyesha ukarimu.

"Sasa mwanangu mtaoana vipi ukizingatia wewe ni muislamu na Recho ni mkristo?"

Ally alikaa kimya kidogo akiwa hajui ajibu nini kuhusu alichoulizwa.

"Mimi nitabadilisha dini kuwa muislamu. Nampenda sana Ally na nipo tayari kufanya jambo lolote."

Mama Recho alimuangalia mwanae kama vile anafikiria kitu cha kusema kisha mjomba nae akasema.

"Kama mwenyewe umekubali kubadili dini sawa hamna tatizo maana wote tunamuabudu Mungu mmoja. Ilimradi tu muwe mnapendana na kuheshimiana, au nakosea mama Recho?"

Mama yake Recho alishusha pumzi ndefu kisha akakubali huku akiwa kama haamini yale maamuzi ya mwanae ila hakuwa na jinsi kwani tayari binti yake ameshapenda. Recho alifurahi sana na kumkumbatia mama yake huku machozi yakiwa yanamtoka.

"Nakupenda sana mama."

"Nakupenda pia mwanangu na ndio maana nipo radhi na yote haya ili tu mwanangu ufurahi."


Waliongea mambo mengi sana huku wakifahamiana zaidi kifamilia. Waliandaliwa chakula wakala kisha Ally akawaaga kuwa anataka kuondoka. Walimshukuru sana kwa kuja kujitambulisha na wakamsihi ampende binti yao kwa dhati na Ally akawahakikishia hilo. Walimsindikiza mpaka nje kisha wakaagana na Ally akaondoka. Recho alikua na furaha ya ajabu kuona amempeleka Ally nyumbani kwao na wamemkubali bila kipingamizi chochote. Muda huo huo akaingia ndani kwake kujifungia kisha akampigia simu Ally kumshukuru kwa kitendo kile cha kwenda kwao. Ally alionyesha kufurahi sana na akamuahidi Recho kumpigia simu akifika nyumbani ili waongee vizuri maana kwa muda huo alikua njiani anaendesha. Recho aliweza kumuelewa na akakata simu. Alipofika nyumbani alipiga sana honi getini bila kufunguliwa hivyo ikambidi ashuke kwenye gari na kujifungulia geti mwenyewe.


Aliingiza gari ndani kisha akafunga geti na kuelekea ndani. Alipofika sebuleni alikuta tv pamoja na radio vimewashwa lakini hakuna mtu anayeangalia wala kusikiliza. Akaamua aende chumbani kwake kwanza kubadilisha nguo kisha arudi sebuleni kuangalia movie. Alipofika mlango wa chumba cha baba yake alisikia mtu akitoa sauti laini ya kimahaba kuashiria kuwa anapewa utamu wa hali ya juu.......




Kwanza alikua kama haamini na kuhisi yupo ndotoni kwani kwa miaka yote hakuwahi kumuona baba yake akileta mwanamke ndani au hata kusikia kuwa ana mwanamke mwengine tangu mama yake alipofariki.

"Mmmh ina maana huyu mzee ndo ameanza kuleta wanawake zake humu siku zote alikua anaficha makucha tu."

Alijisemea moyoni kisha taratibu akaanza kuondoka na kuelekea chumbani kwake. Alijifungia huku akiwa na mawazo mengi sana juu ya kile kitu kinachoendelea chumbani kwa baba yake. Akaamua kutoka na kwenda sebuleni kuangalia movie ili angalau apunguze mawazo. Akakumbuka kuwa hakumtaarifu mpenzi wake Recho kuwa ameshafika nyumbani hivyo akaamua kumtext. Baada ya muda mfupi Recho akamjibu na wakaendelea kuchat huku akiwa anaangalia movie aliyoiweka. Baada ya kukaa pale kwa zaidi ya lisaa limoja na nusu akiwa anaangalia movie alisikia mlango wa chumbani kwa baba yake ukifunguliwa na mtu akiwa anatoka. Akatamani kwa hamu kubwa kumuona huyo mwanamke aliyekua anampa utamu baba yake lakini hakuona mtu yoyote akitokea pale sebuleni zaidi ya kusikia mlango mwengine ukifunguliwa na kufungwa tena kwa haraka sana. Ally hakutaka kabisa kuamini kile kinachoendelea pale na kuhisi huenda labda ikawa ni maigizo.

"Ina maana Sarah ndiye aliyekua chumbani kwa baba? Hapana sitaki kuamini hili hata kidogo."

Aliendelea kuwaza na kujiuliza maswali ambayo hakuwa na majibu yake.

Akapaona pale sebuleni ni pachungu na hapakaliki tena hivyo akarudi chumbani kwake kwenda kupumzika maana muda ulikua umeenda sana.


***************** *****************


Wiki iliyofuata akaanza harakati za kuikarabati nyumba aliyopewa na baba yake kwa ajili ya kuhamia huko kwani tayari alishachoshwa na maisha ya pale kwao haswa vile vituko vilivyokua vinaendelea. Lile tukio liliendelea kumtafuna sana mpaka muda huo kwani alikua hana uhakika kamili kama yule mwanamke alikua ni Sarah au sio. Akatamani aende akamuulize lakini akajua ni lazima Sarah atakataa kwa sababu hakuwaona macho kwa macho. Akaamua kuendelea kulifuatilia hilo kimya kimya hadi atakapojua ukweli wake. Aliwapeleka mafundi kwa ajili ya kufanya ukarabati wa vitu mbalimbali kwani wapangaji wa mwisho kuondoka waliharibu miundombinu mbalimbali ya nyumba hiyo. Aliwapa kiasi cha pesa walichokiomba kwa ajili ya kuifanya kazi hiyo hadi itakapokamilika na kuwapa muda wa siku 10 tu. Waliweza kuelewana kisha akarudi ofisini kuendelea na kazi zake za kila siku.


Siku moja usiku wakati anachezea simu yake akajikuta amefika mpaka alipohifadhi picha za utupu alizompiga Ilham siku ambayo alifanya naye mapenzi. Akajikuta joto linaanza kumpanda kwa kasi huku mashine yake ikiwa imekasirika balaa. Lile umbo zuri ukichanganya na urembo aliokuwa nao Ilham ndio vilivyomfanya azidi kupagawa kwani aliumbika vilivyo kama vile ameshushwa kutoka mbinguni. Akaanza kujiwa na hisia za kufanya naye mapenzi kwani ni siku nyingi hajafanya naye tangu siku ile walipofanya kwa mara ya kwanza. Ilham alikua busy sana na kazi na ndio maana walikua hawaonani mara kwa mara tofauti na ilivyo kwa Recho au Nusrat ambaye huonana nae kila siku anayoenda kazini. Akazi zoom zile picha tena na tena ili kumuona vizuri na akajikuta akimtamani Ilham muda huo huo.

"Mmmh sijui atakua wapi muda huu ngoja nijaribu kumcheki maana kwa hali hii sitaweza kabisa kupata usingizi."

Alimpigia ila simu ikaita sana bila kupokelewa. Akampigia tena kwa zaidi ya mara tatu lakini Ilham hakupokea na akahisi huenda atakua ameingia kazini zamu ya usiku. Aliendelea kuzitazama zile picha kwa muda mrefu na kuzidi kujipandisha mzuka hadi akahisi anataka kujichafua yeye mwenyewe. Wakati anaendelea kuziangalia akaona Ilham anampigia na haraka haraka akapokea.

"Hallo my baby boy, i missed you." (Hallo baby boy, nimekumiss.)

"I missed you too my baby girl." (Nimekumiss pia baby girl wangu.) Vipi uko wapi?"

"Nipo kazini na ndio maana umepiga sana bila mimi kupokea si unajua hapa haturuhusiwi kutumia simu."

"Okay dah!"

"Dah! nini tena baby wangu mbona huishi kusononeka."

"Yani ninavyoongea na wewe hapa baby natamani hata muda huu nionane na wewe."

"Mmmh kuna nini tena Ally mbona unanitisha?"

"Nimeziangalia sana zile picha zako nilizokupiga siku zile upo naked (uchi) basi nimejikuta nimeamsha wadudu wote waliokuwa wamelala."

"Jamani..Pole sana honey. Sasa mimi muda huu ndo kama hivi nipo kazini sijui itakuaje, kwani wewe upo wapi?"

"Me nipo home tu kitandani hapa."

"Mmmh..Ok subiri nitakupigia kama baada ya robo saa kuna mchezo nataka nicheze hapa."

"Yani nitashukuru sana mpenzi wangu maana kwa hali hii sitapata usingizi kabisa."

"Poa usijali honey, i love you." (Nakupenda)

"I love you too honey." (Nakupenda pia mpenzi.)


Ilham akakata simu na kumuacha Ally akiwa na shauku kubwa ya kuambiwa na Ilham kuwa wakutane muda huo. Alikaa kama dakika ishirini akaona Ilham anampigia tena.

"Eeh niambie baby imekuaje huko?"

"I'm so sorry baby (Samahani mpenzi) yani nimeomba ruhusa lakini wamenikatalia kabisa."

"Aah shit..Sasa itakuaje jamani si nitakufa mimi na hizi ny*g"."

"Hahaha nakutania bwana nipo njiani hapa nataka nichukue bajaj."

"Woyoooo..Baby utaniua mwenzio kwa presha."

"Hahaha wala kufa hautakufa baby. Mmmh kwahiyo tukutane wapi?"

"Popote pale baby nakusikiliza wewe tu."

"Basi tutakodi chumba maana yule mama pale ninapoishi anajua ninarudi kesho asubuhi halafu pia itakua sio vizuri nikilala na wewe pale."

"Yaah naelewa baby usijali kuhusu hilo."

Wakapanga mahali pakukutana kisha haraka haraka Ally akajiandaa na kumuamsha Sarah akafunge geti maana hatarudi mpaka kesho. Aliondoka na kuendesha gari kwa speed kubwa sana na baada ya muda mfupi akafika maeneo ya Airport ambapo ndio palikua na guest waliyopanga kukutana. Alimkuta Ilham akiwa ameshafika kisha wakaongozana mpaka mapokezi kwa ajili ya kujiandikisha kisha wakakabidhiwa chumba.


Waliingia ndani kujifungia na bila kupoteza muda Ally akamvamia Ilham.

"Mmmh baby kweli umezidiwa yani hautaki hata kupumzika."

Ally hakujibu kitu zaidi ya kuendelea kumchezea Ilham na kuanza kumvua nguo moja baada ya nyengine. Alipombakisha kama alivyozaliwa akajikuta anapatwa na mzuka wa ajabu kwani Ilham alikua ni mzuri wa ajabu kiasi kwamba siwezi nikamuelezea.

Akamvamia na kuanza kumnyonya maziwa huku mkono mmoja ukiwa unakisugua k*s*m.

"Baby please naomba usubiri kwan....za. Su....biri kwaaa...nza."

Ilham aliongea kwa shida huku macho akiwa ameyafumba.

Ally hakumuelewa kabisa kwani aliendelea kumchezea mpaka Ilham akalegea kabisa kama mlenda. Akamlaza chali kwa ajili ya kutaka kuzama uvinza kufanya vitu vyake ila Ilham akamzuia.

"No baby subiri kwanza. Ujue nimetoka hospital nikiwa hata sijaoga so subiri kwanza nikaoge."

Ally aliona anacheleweshwa sana kwani alikua na mzuka wa ajabu. Aliweza kumuelewa Ilham kisha akatulia na kumsibiri huku akiwa anautia kasi.

Alipomuona anachelewa akamfuata huko huko na kumalizia kumuogesha kisha akambeba juu juu kutokana na kuwa na mwili mzuri wa mazoezi. Hakutaka hata kumfuta maji kwani haraka haraka akaanza upya kumchezea. Alimchezea sana hadi Ilham akawa teketeke hajiwezi kabisa.


Akaipaka mate dunguso yake ambayo ilikua imekasirika balaa kama vile haijapata chakula kwa muda mrefu. Akamuweka vizuri Ilham ambaye alikua bado muoga muoga kutokana na kutofanya sana mapenzi. Akaipeleka dunguso yake kwenye naniliu ya Ilham na kuanza kuiingiza taratibu na kumuona Ilham akifumba macho huku akiwa kama anarudi rudi nyuma........



Akaiingiza dunguso yote ambapo alisikia Ilham akitoa sauti tamu iliyoyafanya masikio yake yapate burudani ya kutosha. Akaanza kupiga surundaka za taratibu huku akiwa amemshika Ilham vizuri kwenye kiuno chake. Kadri alivyozidi kuhisi utamu ndio alivyozidi kupiga surundaka za haraka haraka hali iliyomfanya Ilham apige makelele kama vile anatolewa roho. Ally hakujali akazidi kumpelekea moto wa nguvu hadi Ilham akaanza kutokwa machozi kama vile kawekewa pilipili ya machoni. Akambadilisha mkao mwengine na kuendelea kumpelekea moto wa kufa mtu hadi akafanikiwa kumfikisha Ilham mwisho wa safari yake. Akazidisha moto na baada ya muda akajihisi kutaka kuvunja dafu lake ambapo alikua amekunja sura kama vile amekanyaga sindano.

"Baby please, chomoa, ichomoe haraka usinimwagie ndani."

Aliongea Ilham kwa shida sana kwani mapigo ya moyo yalikua yanaenda kasi kama ametoka kukimbizwa. Kweli Ally akaichomoa mashine yake na kummwagia Ilham tumboni huku akiwa anahisi utamu wa hali ya juu. Alipomaliza akajitupa pembeni akiwa amechoka hoi kutokana na ule moto mzito aliokua anampelekea Ilham. Walikaa kimya kwa muda kisha Ally akampa pole Ilham kutokana na ile shughuli aliyotoka kumpa.

"Mmmh yani baby kama umetoka jela leo kwa jinsi ulivyonifanya kwa nguvu."

"Hamna baby ny*g* zilinizidi sana leo ndio maana nimekua hivi, vipi lakini sijakuumiza.?"

"Mmmh yani naniliu yote hapa inawaka moto."

"Pole sana baby mara nyengine nitafanya taratibu."


Waliendelea kuongea mambo mengi huku Ilham akiendelea kumsisitiza Ally kuwa asimuache kwani atamuachia kidonda kikubwa sana maishani mwake. Ally akamuahidi kutomuacha na kusema kuwa atampenda kwa maisha yake yote.

Wakati wanaendelea kuongea Ally alisikia simu yake inaita na alipoenda kuiangalia akaona Recho ndio anampigia. Akamtazama Ilham na kumpa ishara kuwa akae kimya kisha akaipokea huku akiwa na wasiwasi sana. Akaipokea na kusalimiana nae kisha Recho akamwambia.

"Yani baby ninavyokwambia mpaka muda huu hakuna siri tena"

"Mmh! hakuna siri tena? unamaanisha nini?"

"Mama ameshajua kuwa mimi ni mjamzito."

"Ooh my God! imekuaje sasa mpaka akajua na sisi tulipanga hadi mipango ya ndoa ikianza ndio tumwambie?"

"Yani hata sijui ila nilishangaa leo baada ya kula chakula cha usiku aliniita na kuniomba nimwambie ukweli kama nina ujauzito au sina."

"Kwahiyo wewe ukakubali tu kirahisi."

"Sasa ningefanyaje Ally? Hivi unadhani hata ningemdanganya ndio asingekuja kujua?"

"Mmhh!Okay kwahiyo amesemaje?"

"Amenigombesha sana na kunisema ila nimejaribu kumuelewesha kuwa ni bahati mbaya tu sisi hatukupanga iwe hivi. Ila amesema anataka haraka mipango ya ndoa ianze kwani hataki kuona mimba ikiendelea kukua nikiwa bado nipo nyumbani."

"Dah!Ila hakijaharibika kitu. Kesho inabidi tuonane ili tupange vizuri kitu cha kufanya maana hamna tena muda wa kupoteza."


Recho aliweza kumuelewa kisha wakaagana na kukata simu.

"Mmhh kumbe mwenzangu siku sio nyingi unaitwa baba."

Aliongea Ilham huku akiwa anamtazama Ally. Ally alibaki kimya kwa muda akiwa anatazama chini kisha akamsogelea Ilham na kumwambia.

"I'm sorry Ilham, i'm really sorry (samahani Ilham, samahani sana) kwa kutokukutaarifu haya mapema hadi umenisikia muda huu ninavyoongea na Recho."

Ilham alikaa kimya na baada ya muda bila kutegemea akamuona Ilham akianza kuangusha kilio kama vile ameletewa taarifa ya msiba.

"Vipi tena mpenzi mbona unalia?"

"Ina maana Ally mambo yote haya tunayofanya kumbe unanichezea tu? Kwanini lakini unanifanyia hivi kama ungekua haunitaki si ungeniambia mapema tu ningekua nifanye nini.?"

Ally alijiona mkosefu sana na ilibidi ampigie magoti Ilham ili kumuomba msamaha.

"No!sikua na maana hiyo mpenzi naomba unisamehe. Kila kitu kimetokea kama ajali tu na wala sikupanga kumpa Recho mimba."

"Sawa hukupanga kumpa mimba ni bahati mbaya, je hayo mambo ya kuoana nayo ni bahati mbaya?"

Ally akabaki kimya akiwa hajui hata amjibu nini Ilham kwani tayari alikua amekwishamkosea kwa kiasi kikubwa sana. Ilham aliendelea kulia kwa muda mrefu na ilibidi Ally amsogelee karibu zaidi ili angalau ajaribu kumbembeleza kama atamuelewa. Akajitahidi kumwambia maneno mengi sana ya kumfariji pamoja na kumwambia kuwa atawaoa wote yani yeye na Recho lakini Ilham hakumuelewa kabisa.

"Please naomba niondoke Ally siwezi tena kuendelea kukaa hapa."

"Sasa usiku wote huu unaenda wapi Ilham.?"

"Niache ninapokwenda napajua mwenyewe wewe hapakuhusu."

Ally alijitahidi sana kumbembeleza lakini Ilham hakumsikiliza kabisa kwani alivaa nguo zake na kisha akaanza kutoka mule chumbani.

"Basi subiri nivae nikupeleke nyumbani maana sasa hivi ni usiku sana kwenda wewe mwenyewe itakua sio vizuri."

"Nimesema niache ninapokwenda wewe hapakuhusu na wala sitaki kusindikizwa."

Ally akajua kweli amemuumiza Ilham kwani tangu amjue hakuwahi kumsikia akiongea maneno kama yale tena kwa ukali kiasi kile. Ilham akatoka mule chumbani na kuondoka zake huku akiwa amekasirika sana. Ally akabaki akiwa na mawazo sana na kuanza kujuta kwanini ameanzisha mahusiano na wasichana wote wale watatu halafu kibaya zaidi sio kama alikua anazuga tu, wote alikua anawapenda japokua Recho ndio alikua anampenda sana yani kwake ndio kila kitu. Aliendelea kuwaza hadi akapitiwa na usingizi usiku sana bila yeye mwenyewe kujitambua.


***************** *****************


Baada ya siku kadhaa Ally akampeleka Recho nyumbani kwao kwa ajili ya kumtambulisha kwa baba yake na kaka yake.

"Baba huyu ndio girlfriend wangu anaitwa Recho nilisoma nae chuo TIA na ndio tulikutana huko huko na kuanzisha mahusiano."

"Ooh! nashukuru sana kumfahamu, karibu sana binti jisikie upo nyumbani kwenu kabisa."

"Asante sana baba."

Alijibu Recho kwa sauti ya upole kabisa huku akionyesha kuwa na heshima sana.

"Kwahiyo mmepanga kuoana lini?"

"Yani wakati wowote kuanzia sasa maana kama nilivyokwambia kuwa tayari Recho ni mjamzito kwahiyo haitapendeza akiendelea kukaa kwao."

"Aaha sawa nimekuelewa umeongea point sana mwanangu. Basi ngoja sisi tujipange mimi pamoja na mjomba wako Azizi tupeleke barua maana leo ameshindwa kuja kwa sababu yupo safarini kikazi ila mpaka keshokutwa atakua amesharudi."

"Sawa baba nimekuelewa nitashukuru sana."

Waliongea mambo mengi sana huku pia Recho akipata kufahamiana na kaka yake Ally anayeitwa Rashidy maana siku zote alikua akiishia kumuona kwenye picha tu. Baada ya kuongea sana Sarah akawaandalia chakula kisha wote wakaelekea mezani. Walikula huku wakiongea mambo mbalimbali ya kifamilia hususani mambo ya harusi yao jinsi itakavyokua. Walipomaliza Recho aliwashukuru sana kisha akawaaga kuwa anarudi nyumbani. Baba yake Ally na kaka yake walifurahi sana kumfahamu na wakamkaribisha tena pale nyumbani.

"Sasa baba ngoja nimpeleke kwao mara moja nitarudi baadae."

"Ok my son take care." (sawa mwanangu, kuwa mwangalifu)

"Don't worry dady,i will." (Usijali baba, nitakua)

Ally aliondoka na Recho kwa ajili ya kumrudisha nyumbani kwao tabata.


Baada ya wiki moja Ally akaanza kununua furniture pamoja na vitu mbalimbali kwa ajili ya nyumba yake maana ukarabati ulikua tayari umekwishakamilika. Alijitahidi kununua vitu vingi sana huku vyengine akisubiri maagizo ya Recho maana alijua kuwa yeye ndio atakua mama mwenye nyumba hivyo angeelewa vizuri vitu vinavyohitajika humo ndani.


Wakati bado yupo kwenye nyumba yake akiwa anapanga panga vitu akisaidiana na rafiki zake walioenda kumpa kampani,alisikia simu yake inaita na alipoiangalia akaona Ilham ndio anampigia. Akasogea pembeni ili wale wengine wasimsikie maongezi yake kisha akaanza kuongea naye.......



Wakasalimiana na kujuliana hali kisha Ilham akamwambia Ally.

"Yani Ally unakaa siku zote hizi bila hata kunitafuta! Kweli siku hizi umepunguza upendo."

Ally hakutegemea kabisa kama Ilham angemwambia vile kwani mara ya mwisho kuonana nae aliondoka akiwa amekasirika sana hataki hata kuongea nae.

"Hapana Ilham sio hivyo ila majukumu ya kazi yananibana sana ndio maana nakosa hata muda wa kukutafuta na pia ukijumlisha na yale yaliyotokea siku ile kule guest house."

"Yani kumbe bado tu unayo yale mambo ya siku ile?"

"Yeah, nakumbuka nilikukwaza sana so nilikua natafuta muda maalum kwa ajili ya kukuomba msamaha."

"Achana nayo bwana me nishayasahau siku nyingi. Eeh niambie mpenzi wangu upo wapi?"

Ally hakuamini kama Ilham ndio anaongea vile kwani alikua anajua ni lazima bado atakua na hasira.

"Nipo mbezi huku kwenye nyumba yangu naweka vitu sawa maana siku sio nyingi nitahamia huku."

"Ooh that's so sweet! Natamani uje unipeleke huko ili na mimi nipajue."

"Usijali ngoja nikipata muda mzuri nitakuleta ili upaone."

Ilham alifurahi sana na wala hakuonyeshi kukasirika wala kuwa na chembe ya chuki kwa Ally kiasi kwamba Ally hakuamini kabisa. Waliongea mambo mengi hususani mipango ya kuonana ili wakapeane mambo maana siku ile hawakukata vizuri kiu yao kwa sababu ya ule ugomvi uliotokea. Walipomaliza kuongea wakaagana na kukata simu kisha Ally akarudi kuendelea na shughuli ya kupanga vitu mule ndani.


*************** ***************


Nyumbani kwa kina Nusrat hali ilikua tete kwani wazazi wake waliendelea kushikilia msimamo wa binti yao kuolewa na mwanaume waliomchagua wao kwani alikua na mali nyingi sana na pia alikua mpemba mwenzao kitu ambacho Nusrat hakukipenda hata kidogo. Kutokana na kuwaheshimu sana na kuwaogopa wazazi wake,alishindwa kabisa kumkataa huyo mwanaume japokua alionyesha kutokua na furaha kabisa. Siku moja ya usiku mama yake Nusrat alimuita binti yake ili aongee nae maana alishamuona kuwa hafurahii ile ndoa wanayomuandalia.

"Eeh niambie mwanangu, mbona siku hizi upo hivi kitu gani kinakusumbua?"

"Hapana mama hamna kitu nipo kawaida tu."

"Sio kweli mwanangu mimi nakujua wewe A to Z na wala hauwezi kunificha kitu. Tangu tulipokwambia kuhusu habari za kuolewa basi umekua mtu asiye na furaha kabisa yani muda wote unakua mnyonge. Hebu niambie mwanangu tatizo nini?"

Nusrat alikaa kimya kwa muda akiwa ametazama chini huku akiwa kama anaogopa kuongea kile anachojisikia.

"Naomba uniambie basi mwanangu nini kinakusumbua? Please niambie mommy mimi sio kama baba yako nitakuelewa tu."

Nusrat akapata moyo kidogo na kuona hiyo ndiyo nafasi pekee ya kuongea kile kinachomsumbua maana alijua fika kuwa baba yake asingemsikiliza kabisa kwani anachoamua yeye basi ndio hiko hiko kitakachokua.

"Kusema ukweli mama mimi sipo tayari kuolewa na huyo mwanaume mlionitafutia kwani tayari ninaye mwanaume ninayempenda kwa dhati."

"Mmh! mwanangu, hivi upo serious kweli wewe? Mwanaume ana pesa yule ana kila kitu halafu wewe unasema haupo tayari kuolewa naye?"

"Pesa sio kila kitu mama katika maisha, mimi ninachohitaji ni kuolewa na mwanaume ninayempenda kwa dhati na sio ilimradi tu awe na pesa."

"Mmh haya makubwa. Kwahiyo huyo mwanaume wako yuko wapi na anafanya nini kwa sasa?"

"Nipo nae kazini nafikiri baba anamjua vizuri. Nilijuana nae tangu nipo chuo na huko huko ndio tulianzisha mahusiano."

"Mmh! Sijui kama baba yako atakuelewa kwa hili."

"Please mama naomba uongee vizuri na baba maana me naogopa baba mkali sana."

"Si unamjua lakini baba yako tabia yake?Anaweza hata akanigeukia na mimi balaa lote likahamia kwangu."

"Please mom nakuomba wewe ndio msaada wangu wa mwisho. Hivi upo tayari kweli kuona mwanao anaolewa na mtu asiyempenda?"

"Kwa hilo mwanangu sipo tayari hata kidogo."

"Basi kama haupo tayari nenda ukaongee na baba nina imani na yeye atakuelewa tu."

"Mmhh mtoto unanipa mtihani wewe. Okay sawa nitajaribu kuongea naye na kumuelewesha."

"Thank you so much mom, i love you. (Asante sana mama, nakupenda.)

"I love you too my lovely daughter." (Nakupenda pia mwanangu kipenzi.)


Wakakumbatiana kisha Nusrat akamuaga mama yake kuwa anaenda kulala kwani hajisikii vizuri kutokana na kuwa na msongo wa mawazo. Mama yake aliweza kumuelewa,wakaagana na kutakiana usiku mwema.


*************** ***************


Recho alianza rasmi kazi katika mamlaka ya bandari Tanzania akiwa katika kitengo cha procurement and logistics management. Alichapa kazi kwa juhudi sana huku akiwa anashirikiana vizuri na wafanyakazi wenzake kitu kilichofanya watu wote waanze kumpenda. Ndani ya muda mfupi tu akajikuta ametengeneza marafiki wengi kutokana na kuishi nao vizuri huku akiwa mcheshi sana. Muda wake mwingi wa mapumziko aliutumia akiwa na Ally wakipanga mipango ya harusi yao pamoja na maisha watakayokuja kuishi hususani mtoto wao atakayezaliwa.

Nyumbani kwao mipango mbalimbali ya harusi ikaanza kufanyika kwani walitaka kila kitu kiende kwa haraka sana kabla ya Recho kujifungua. Ally akamtaarifu kuwa itakapofika Jumamosi ya wiki hiyo ndiyo itakua siku ya wao kupeleka barua nyumbani kwao hivyo wajitayarishe kwa ugeni. Recho alifurahi sana kwani hakuna kitu alichokua anakisubiri kwa hamu kama kuwa mke halali wa Ally na kuanzisha naye familia. Hakuna mtu aliyekuwa anampenda duniani kama Ally yani kwake ndio alikua alpha na omega.


Aliendelea kusubiri huku akiwa anaendelea na kazi kama kawaida na hatimaye ikafika Jumamosi siku ambayo wakina Ally wanakuja nyumbani kwao kuleta barua ya posa. Aliamka mapema sana na kuanza kufanya usafi wa nyumba nzima akiwa anashirikiana na mfanyakazi wao wa ndani anayeitwa Vero. Walifanya usafi wa hali ya juu na walipomaliza wakaanza kuandaa vyakula vya aina mbalimbali kwa ajili ya wageni watakaokuja huku mama yake naye akiwa anawasaidia kwa maana siku hiyo hakuenda kazini.

Recho alikua anapika huku akiwa anawasiliana na Ally kumjulisha kila kitu kinachoendelea ili wamalize kazi zao muda muafaka. Ilipofika mida ya saa 7 mchana,Ally akamtaarifu kuwa ndio wanatoka nyumbani kwao akiwa ameongozana na baba yake, kaka yake pamoja na mjomba wake. Haraka haraka Recho akaenda kuoga maana walishamaliza kazi zote za jikoni. Alivyomaliza akajipamba vizuri na kuvaa mavazi ya heshima kisha akamtumia Ally message kumuuliza wamefika wapi. Ally akamjibu kuwa wameshakaribia na muda wowote watafika pale nyumbani kwao. Kweli baada ya muda mfupi akasikia honi ikipigwa nje ya geti lao na moja kwa moja akajua tayari wageni wameshawasili. Akamtuma Vero aende kuwafungulia geti kisha yeye akaenda kumuita mama yake chumbani ili wakawapokee wageni.

Vero akawafungulia na wakaingiza gari ndani kisha mmoja mmoja akaanza kushuka. Akawasalimia na kuwakaribisha ndani na wote wakaanza taratibu kuelekea sebuleni.


Walipoingia walikutana na Recho ambaye aliwasalimia kwa uchangamfu sana na kisha akawakaribisha. Baada ya muda mfupi mama yake Recho alitoka chumbani na kuja sebuleni kwa ajili ya kusalimiana na wageni. Alipogongana macho na baba yake Ally alishtuka sana kiasi kwamba watu wote hawakuamini.

"Mzee Kirumbi!!! No! Noo!! Nooooo!!!."

Ghafla bila kutarajia akadondoka chini kama mzigo kitu kilichowafanya watu wote waliokuwepo pale kupigwa na butwaa.....




Baada ya kuanguka hakutikisika hata kidogo hali iliyomfanya kila mtu apatwe na mshangao.

"Mama! Mamaa!! Mamaaa!!"

Ilikua ni sauti ya Recho akijaribu kumuita mama yake kama ataitika huku akiwa anamsogelea kwa uoga sana. Alimtikisa tikisa lakini hakushtuka hata kidogo hali iliyomfanya Recho azidi kuchanganyikiwa.

"Mamaa!! Mamaaa!!"

Alimuita tena na tena lakini mama yake alibaki kimya kama vile mtu aliyepoteza maisha.

"Tumuwahishe hospital nafikiri hakuna tena muda wa kupoteza."

Aliongea Ally huku akimsogelea mama yake Recho na kujaribu kumuinua. Kaka yake akaja kumsaidia na wakaanza kumbeba kumtoa nje. Recho alijaribu kuwasaidia lakini nguvu zake hazikutosha kwani mama yake alikua na uzito mkubwa kiasi. Ally na kaka yake wakafanikiwa kumtoa mpaka nje na kumpakiza ndani ya gari waliyokuja nayo. Mzee Mohammed Kirumbi nae akatoka nje na kuelekea kwenye gari huku akionyesha kama kutoamini kilichotokea. Recho pia akaja na wote wakapanda ndani ya gari hilo aina ya toyota prado na kuanza safari ya kuelekea hospital iliyo jirani na pale.

"Baba naomba uniambie, ni nini kinaendelea kati ya wewe na mama yake Recho hadi alipokuona akapatwa na hali hii?"

"Endesha gari kwanza mwanangu tumuwahishe mgonjwa hospital hayo mambo mengine yataongelewa baadae."

Ally hakuleta kipingamizi na haraka akawasha gari kuanza kuelekea hospital. Recho alichanganyikiwa sana kwani muda wote alikua anampepea mama yake ambaye alimlaza mapajani kwake huku akiwa anaendelea kumuita kama ataitika. Baada ya mwendo wa kama dakika 10 huku ukimya ukiwa umetawala, wakafika hospitalini hapo na kumshusha haraka haraka mama Recho. Wauguzi wakafika haraka na kumuweka kwenye machela kisha wakamuendesha kumpeleka chumba cha matibabu. Wakina Recho wakabaki nje wakiwa na wasiwasi sana kiasi kwamba chini palikua hapakaliki. Ally akawatazama watu wote na kuona baba yake hayupo pale hivyo ikabidi atoke nje alipopaki gari kwenda kumuangalia. Alipofika alishangaa kutokuta gari maeneo yale na moja kwa moja akajua kwamba baba yake itakua ameondoka. Akarudi ndani kiunyonge na kumkuta kaka yake akiwa anamfariji Recho ambaye alikua na wasiwasi sana. Ally nae akasogea pale kwa ajili ya kumfariji mpenzi wake.

"Usiwe na hofu sana mpenzi mama amepoteza fahamu tu kutokana na mshtuko alioupata."

"Kuna nini kinaendelea Ally kati ya mama yangu na baba yako?"

"Hata mimi sielewi Recho na ndio maana nilipatwa na mshangao sana kuona mama yako analitaja jina la baba."

"Mmhh hapana itakua kuna kitu hapa tena sio kizuri."

"Hata mimi nahisi hivyo hivyo na ndio maana mama yako alishtuka sana na kupoteza fahamu."


Recho alikaa kimya kwa muda kisha akamuuliza Ally.

"Baba yako yuko wapi mbona simuoni hapa?"

"Nahisi itakua ameondoka maana nimeenda kumuangalia hapo nje sijamkuta na pia gari halipo."

Recho aliguna kisha akakaa kimya akiwa kama anawaza kitu. Baada ya kama dakika 45 waliona daktari akitoka chumba alichoingizwa mgonjwa na haraka haraka Recho akainuka kumfuata.

"Vipi dokta hali ya mama inaendeleaje.

Aah!hali ya mama sio mbaya anaendelea vizuri tu isipokua mapigo ya moyo yalikua juu sana. Ila tumemuwekea dripu ya anesthesiz pamoja na kumchoma sindano ili mapigo yake ya moyo yarudi katika hali yake ya kawaida."

"Kwahiyo naweza kwenda kumuona?"

"Hapana kwa sasa haturuhusu kwenda kumuona kwa sababu anahitaji hali ya utulivu sana ili kurejesha fahamu zake haraka."

Recho alikaa kimya huku akionyesha kuwa na wasiwasi sana. Muda huo huo wakina Ally nao wakawa wameshasogea pale na kumuuliza daktari hali ya mgonjwa. Daktari akawapatia maelezo kama aliyompa Recho na kuwashauri wapunguze pressure na mawazo kwani baada ya masaa kadhaa mgonjwa atarejewa na fahamu zake. Wakina Ally waliweza kumuelewa na wote watatu wakarudi kukaa kwenye viti wakimuacha yule dokta aendelee na shughuli zake nyengine.

Baada ya muda mfupi kaka yake Ally akawaaga na kuwaambia kuwa kuna sehemu anaenda kufuatilia mambo yake ya kibiashara hivyo atakuja kumuona mama yake Recho siku inayofuata. Ally na Recho waliweza kumuelewa na wakamshukuru sana kwa ushirikiano wake.

"Baadae usiache kunijulisha basi kuhusu hali ya mama."

Rashidy alimwambia mdogo wake huku akiwa anaondoka.

"Poa bro usijali nitafanya hivyo."

Wakabaki Ally na Recho wakiwa wanasubiri kama mgonjwa atarejewa na fahamu kwa muda huo. Recho akamlalia Ally kifuani na Ally bila hiyana akampokea na kuanza kumbembeleza huku wakisubiri kwa hamu taarifa yoyote kutoka kwa daktari.


*************** ***************


Kesho yake jioni waliruhusiwa kumtoa mgonjwa hospitalini na kumrudisha nyumbani kwani tayari alisharejewa na fahamu zake pamoja na kupata nguvu.

Ally akalipa gharama zote kisha wakaingia ndani ya gari yake ambayo alienda kuifuata nyumbani kwao siku hiyo na kuanza safari ya kurudi nyumbani kwa kina Recho. Muda wote mama yake Recho alikua kimya bila kuongea neno lolote hata pale Recho alipojaribu kumuongelesha. Walifika nyumbani na kuingia ndani kisha mama yake Recho akamuomba Recho ampeleke ndani ili akapumzike maana bado alikua hajisikii vizuri. Recho alimuelewa na akamsindikiza chumbani kisha yeye akarudi sebuleni kukaa na Ally.

"Hivi Ally unahisi kutakua na nini maana mama hataki kuongea kitu chochote hadi muda huu."

"Mmhh yani baby mimi mwenyewe sijui chochote kinachoendelea maana baba nae nilivyoenda nyumbani sijamkuta na nilipomuuliza Sarah akaniambia hajarudi tangu jana."

"Mmhh!! Nahisi kuna kitu kibaya kati ya mama yangu na baba yako sio bure."

"Kwanini unasema hivyo?"

"Kama kungekua kuna jambo zuri basi wangeshatuambia na pia mama asingepatwa na hali ile."

"Yeah kweli hata mimi nakuunga mkono. Sasa litakua jambo gani hili?"


Wakati wanaendelea kuongea Ally akasikia simu inaita na alipoiangalia akaona baba yake ndio anampigia. Haraka haraka akapokea na kuanza kuongea nae.

"Hallo, vipi baba?"

"Naomba uje nyumbani haraka sana."

"Kuna nini tena baba?"

"Nimekwambia njoo haraka kila kitu utakuja kujua huku huku."

"Sawa baba nimekuelewa nakuja sasa hivi."

Akakata simu na kumtazama Recho ambaye alikua kimya kama mtu asiyeamini kile kinachoendelea.

"Sasa baby kama ulivyosikia,acha mimi niwahi nyumbani nikamsikilize baba anasemaje."

"Haya poa ila usiache kunijulisha kama atakwambia kitu chochote kuhusu hili."

"Sawa baby usijali sitaacha kukujulisha."

Wakaagana kisha haraka haraka Ally akaondoka zake.


Muda huo huo Recho akaelekea chumbani kwa mama yake akamuangalie anaendeleaje na pia amuombe amuambie ni nini kinaendelea maana mpaka muda huo alikua yupo njia panda. Hakuamini alipoingia na kumkuta mama yake akiwa amekaa chini huku akiwa analia kama mtu aliyeletewa taarifa ya msiba.

"Mama! mbona hivyo kuna nini kwani si uniambie!!

Aliongea Recho kwa wasiwasi sana huku akimsogelea mama yake pale chini. Mama Recho akazidisha kilio hali iliyomfanya Recho azidi kuogopa na kuhisi huenda kuna tatizo kubwa sana kati ya mama yake na baba yake Ally.

"Please mama naomba unionee huruma mwanao naumia sana kukuona katika hali hiyo. Naomba uniambie ni nini kinaendelea maana tangu jana nina wasiwasi sana lakini sijui ni nini kinaendelea."

Mama Recho kidogo akapunguza kulia na kumtazama mwanae.

"Mwanangu hapa hakuna ndoa tena."

Recho alihamaki sana na haraka haraka akamuuliza mama yake.

"Hakuna ndoa? Kwanini mama unasema hivyo?"

"Wale watu sio wazuri hata kidogo kwetu. Wamenitia kidonda kikubwa sana kwenye maisha yangu na pia wamekuharibia wewe pamoja na kukupotezea furaha ambayo kila siku unatamani ungekua nayo."

"Mmhh mbona unanitisha mama.Bado sijakuelewa unamaanisha nini."

"Baba yake Ally sio mtu mzuri hata kidogo. Siku zote wakati upo mdogo ulikua unaniuliza kuhusu baba yako yuko wapi na mimi nilikua nakujibu kuwa aliumwa ghafla na kufariki dunia lakini leo nakuambia ukweli."

Mama Recho alisita kidogo kutokana na kilio kuwa kishatawala nafsi yake hivyo akashindwa kuendelea kuongea. Recho nae hali yake ikaanza kubadilika kwani alipokua akimtazama mama yake akilia kwa uchungu alijikuta na yeye machozi yakimlenga. Mama Recho alipunguza kulia kisha akaendelea kuongea kwa tabu.

"Ukweli ni..ni..nii..mzee Kirumbi ndiye aliyemuua baba yakooo."

"Niniii? Baba yake Ally ndiye amemuua baba yanguu? Ndiye aliyenifanya nikose mapenzi ya babaa!?"

Aliongea Recho kwa uchungu sana kisha na yeye akaungana na mama yake kulia kilio kizito sana. Walilia sana huku kukiwa hakuna mtu anayemuongelesha mwenzake zaidi ya sauti za vilio kuwa zimetawala eneo hilo. Mfanyakazi wao wa ndani alikuja na kujaribu kuwabembeleza lakini hakuna hata mmoja aliyeweza kumuelewa zaidi ya kuendelea kulia. Vero alijitahidi sana kuwabembeleza na kidogo kidogo wakaanza kupunguza kulia. Baada ya muda wote wakanyamaza kimya huku wakionyesha kuumia sana ndani ya nafsi zao. Recho akamtazama mama yake huku macho yake yakiwa mekundu sana kuliko kawaida kutokana na kile kilio kizito.


"Kwahiyo mama ilikuwaje kuwaje hadi ikafikia hatua ya kumuua baba?"

Mama yake Recho alikaa kimya kwa muda kisha akaanza kuwasimulia kila kitu kilichotokea........




Recho alikaa kimya kumsikiliza mama yake akisimulia juu ya ule mkasa mzima jinsi ulivyokua huku Vero naye akiwa pembeni anasikiliza.

"Miaka mingi sana nyuma wakati hata wewe bado haujazaliwa, marehemu baba yako alikua na maisha ya kawaida sana kiasi kwamba maisha yetu nyumbani yalikua ya dhiki sana. Alijitahidi kutafuta huku na huko ilimradi kujikwamua na ile hali lakini mwisho wa siku aliambulia patupu. Kulikua na rafiki yake mmoja hivi aliyekua anaitwa John Mhavile, alijaaliwa kuwa na maisha mazuri kiasi. Mara nyingi alipokwama John ndio alikua anamsaidia kwa kiasi kikubwa na kumtatulia matatizo yake. Nakumbuka siku moja alikuja na kuniambia kuwa kuna mtu amemuajiri awe anamsaidia katika biashara zake haswa kwenye suala la mahesabu kwa sababu marehemu baba yako alikua na elimu nzuri ya uhasibu. Mtu huyo aliunganishiwa na John kwa sababu alikua akifahamiana naye siku nyingi. Mara ya kwanza sikumjua huyo mtu ni nani lakini baada ya miezi kadhaa alikuja naye nyumbani ambapo ndio nikaonana kwa mara ya kwanza na mzee Mohammed Kirumbi".

Recho alikua makini sana kumsikiliza mama yake kiasi kwamba hakutaka hata neno moja limpite. Mama Recho aliendelea kumsimulia mwanae mkasa huo..

"Baba yako akanitambulisha na siku hiyo ndio tukaanza rasmi kufahamiana. Pia baada ya muda mfupi nikapata pia kufahamiana na marehemu mama yake Ally na mara kwa mara tulikua tunatembeleana. Kusema ukweli kwa siku za mwanzo tu mzee Kirumbi alimsaidia sana baba yako kwani maisha yetu yalibadilika ghafla hadi tukaanza ujenzi wa nyumba yetu wenyewe maana siku zote tulikua tunaishi nyumba ya kupanga. Yale maisha ya dhiki yakaanza kubadilika taratibu na hatimaye tukayasahau kabisa kwani tayari baba yako alikua na pesa nyingi sana. Tukafanikiwa kumaliza nyumba yetu maeneo ya Kinondoni na ndani ya muda huo ndio wewe ukazaliwa. Kipindi hiko kaka yako alishakua mkubwa kidogo hivyo tukaamua tumpeleke shule ya primary ya bweni ili apate kujifunza kwa utulivu na bidii. Urafiki kati ya baba yako na mzee Kirumbi ulizidi kushamiri hadi ikafika kipindi baba yako hakua tena mfanyakazi wa mzee Kirumbi bali walikua ni kama business partners. Walisafiri sehemu mbalimbali pamoja na walitengeneza hela nyingi sana. Siku moja baada ya miaka kadhaa kupita wakati wewe ukiwa na umri kama wa miaka mitatu hivi, baba yako aliniaga kuwa wana safari ya kwenda Abu dhabi yeye na mzee Kirumbi na wakifanikiwa kwenye hiyo biashara wanayoenda kuifanya basi tutakua ni watu wa level nyengine kabisa kwani ilikua ni biashara ya hela nyingi sana. Nilifurahi sana na moja kwa moja nikajua kuwa huo ndio mwanzo wa nyie watoto wangu kuishi maisha ya raha mpaka mtakapokua wakubwa. Kweli baada ya siku kadhaa walisafiri na kukaa huko kwa muda wa kama wiki mbili hivi. Siku waliyorudi baba yako alifanya sherehe kubwa sana kwani walifanikiwa kuifanya hiyo biashara na walipata hela nyingi sana. Ila baada ya siku kadhaa baba yako alianza kulalamika kuwa hamuelewi kabisa mzee Kirumbi kwani kila alipomwambia kuhusu kugawana hizo pesa alikua akimzungusha mara kwa mara. Pesa zote ziliingizwa kwenye akaunti ya mzee Kirumbi kwa sababu wale watu walioenda kufanya nao biashara huko Abu Dhabi walikua wakimfahamu mzee Kirumbi pekee na baba yako hawakumfahamu."


Recho alijiweka vizuri ili amuelewe vizuri zaidi mama yake wakati alipokua akimsimulia mkasa huo. Mama Recho alimeza mate kidogo kisha akaendelea.

"Kadri siku zilivyozidi kwenda mbele ndio mahusiano yake na mzee Kirumbi yalivyozidi kupungua kwani alizidi kumzungusha kuhusu kumpatia mgao wake. Nakumbuka siku yenyewe ya kifo cha baba yako, alitoka nyumbani mida ya kama saa 12 jioni akaniambia kuwa kuna sehemu anaenda mara moja na hatachelewa kurudi. Kweli aliondoka na kuelekea mahali ambapo mimi sikupafahamu. Nilimsubiri sana mpaka mida ya saa 6 ya usiku lakini hakutokea mpaka nikapatwa na wasiwasi. Kipindi hiko simu za mkononi zilikua bado hazijaingia hivyo sikua na jinsi zaidi ya kuendelea kukaa kumsubiri. Nilikaa sana hadi nikapitiwa na usingizi usiku mwingi sana huku akiwa bado hajatokea. Nilikuja kuamka siku ya pili yake kama saa 1 hivi asubuhi na kukuta karatasi ndogo ikiwa imefungwa vizuri na kuwekwa chini ya mlango wa kuingilia sebuleni. Nilipoifungua sikutaka kabisa kuamini macho yangu kwa kile kilichoandikwa mule ndani kwani.."

Mama Recho alisita na kujikuta akiendelea tena kulia kutokana na ule uchungu aliokua anaupata. Recho alijitahidi kumbembeleza huku na yeye akiwa analia chini chini kwani ule mkasa ulikua unasikitisha sana. Mama Recho aliweza kunyamaza na akaendelea kuwasimulia..

"Hiyo karatasi ilikua imeandikwa "nenda ukachukue mzigo wako mortuary ya mwananyamala hospital".

Sikutaka kujiuliza mara mbili kuwa atakua ni nani na moja kwa moja nikajua kuwa ni baba yako tu. Siku hiyo nililia sana sitakaa nije niisahau maisha yangu yote kwani baada ya kuondoka haraka na kuelekea mwananyamala hospital, kweli nikaiona maiti ya baba yako ikiwa imeharibika vibaya kama vile mtu aliyepigwa sana. Nilijihisi na mimi kama nataka kufa kwani mwili haukua na nguvu hata kidogo kwa muda huo na ndio siku hiyo hiyo niliyoanza kuugua maradhi ya blood pressure. Nilizimia kwa zaidi ya masaa 10 na hadi nakuja kupata fahamu nikajikuta nipo hospital huku nimezungukwa na ndugu zangu wengi wakiwa wanalia sana. Tulifanya taratibu za mazishi na tukamsafirisha baba yako nyumbani kwenu Iringa tukaenda kumzika. Baada ya mazishi kuisha tulirudi Dar es salaam na kuanza maisha mapya kabisa ya upweke bila ya kuwa na baba yako. Polisi waliendelea na uchunguzi juu ya kifo kile kwani hadi muda huo muuaji alikua hajajulikana. Nakumbuka kuna siku mama yake Ally alinipigia simu ya mezani na kuniambia anataka aje nyumbani ana mazungumzo ya muhimu sana anataka aniambie. Kweli siku iliyofuata alikuja na kuniambia kuwa anahisi kuna siri kubwa sana imejificha juu ya mauaji ya mume wangu kwani anamuhisi mume wake yani baba yake Ally kuwa anahusika. Alizidi kunieleza kuwa siku za mwisho za uhai wa marehemu, mume wake alikua hataki kabisa kusikia habari za baba yako na mara nyingi alipokua anaongea naye kwenye simu hiyo ya mezani alikua akigombana naye sana. Kikubwa zaidi akasema siku moja kabla ya kifo cha mume wangu aliona vijana wanne wenye miili ya kujazia wakiwa nyumbani kwake huku wakiwa kama na maongezi ya siri na mzee Kirumbi. Alisema kuwa alikua anayatilia shaka maongezi hayo na alipojaribu kuyasikiliza kwa mbali alisikia wakilitaja jina la Edward yaani baba yako na pia alisikia wakisema mwananyamala. Hivyo kutokana na lile tukio zima jinsi lilivyokua la maiti ya baba yako kuokotwa karibu na hospital ya mwananyamala akahisi moja kwa moja kuwa mume wake anahusika kabisa na mauaji yale..Mama yake Ally alikua ni mwanamke jasiri sana kwani sikutegemea kabisa kama angeweza kuniambia maneno kama yale ya kumuangamiza mume wake mbele ya sheria. Alisema kuwa aliniambia yale yote kwa sababu alishajenga upendo mzito juu ya familia yangu na pia alikua hafurahishwi kabisa na mwenendo wa mume wake kwani alibadilika kabisa na kuwa kama mtu katili asiye na huruma. Muda mwingi walikua wakigombana sana kwani hata mzee Kirumbi alishaanza kumuhisi mkewe kuwa anajua ukweli kuhusu kifo cha mzee Edward kutokana na aina ya maswali anayomuuliza. Aliendelea kuniambia kuwa mume wake alimtisha kuwa atamfanya kitu kibaya sana kama ataendelea kufungua mdomo wake kuongea vitu ambavyo havijui na wala havimuhusu."


Recho aliendelea kuwa makini kusikiliza kisha mama yake akaendelea..

"Mama yake Ally alinishauri niende kumfungulia kesi mahakamani mzee Kirumbi na yeye atakua shahidi wa kwanza kusimama kizimbani kwani alishachoshwa na tabia ya mume wake pamoja na kumpa vitisho vya mara kwa mara. Kweli sikuweka ajizi kwani baada ya siku kadhaa nilifungua kesi mahakamani na kumpandisha kizimbani mzee Kirumbi. Kesi ilisomwa mara kadhaa huku upelelezi ukiwa unaendelea ili kuupata ukweli wa tukio zima. Sikuja kuamini siku niliyopata taarifa kuwa mama yake Ally amevamiwa na majambazi na kuuawa wakati mumewe akiwa yupo safarini. Iliniuma kupita maelezo kwani aliwaacha wakina Ally wakiwa wadogo sana wakiwa wanahitaji malezi ya baba na mama na haswa mama. Taratibu za mazishi zilifanyika na mama yake Ally alizikwa ila mimi nilishindwa kuhudhuria kutokana na ile kesi iliyokuwa inaendelea nikiwa nahofia kuhatarisha maisha yangu. Kesi iliendelea kwa miezi kadhaa na mwisho wa siku mzee Kirumbi alionekana kuwa hana hatia. Kusema ukweli iliniuma sana ila nikajua kuwa moja kwa moja atakua ametumia nguvu yake ya pesa kumuhonga hakimu ili ashinde kesi. Sikua na jinsi zaidi ya kumshukuru Mungu na kumwachia yeye kila kitu maana mimi nilikua mnyonge sina la kufanya. Nikaamua kuiuza nyumba ya Kinondoni ili niepukane na mzee Kirumbi maana niliogopa anaweza kutufanyia kitu kibaya kwa sababu alikua anapajua nyumbani. Kweli nilifanikiwa kuiuza na kununua nyumba hii tunayoishi sasa hivi. Nakumbuka siku tuliyokua tunahamia hapa alikuja kijana mmoja na kunisalimia kisha akanikabidhi bahasha kubwa sana kisha akaniaga haraka haraka na kuondoka. Sikuifungua pale pale kwakua nilikua busy sana kuhamisha vyombo na nilipomaliza kazi zote na kuhamia rasmi hapa ndio nikaifungua kuangalia nini kipo ndani yake. Nilikuta barua ndefu sana ambayo aliandika yule kijana. Alieleza waziwazi kuwa mzee Kirumbi ndio alihusika na kifo cha baba yako kwani aliwatuma wao kwenda kumuua japokua na yeye mwenyewe alikua eneo la tukio. Alisema kuwa wao walimpiga sana marehemu baba yako lakini mzee Kirumbi ndio aliyemmalizia kwa kumpiga risasi mbili za kifua na kisha kwenda kumtupa eneo la hospital ya mwananyamala. Pia aliandika kuwa mzee Kirumbi huyo huyo ndio aliyehusika kwenye kifo cha mke wake kwani aliwatuma kwenda kumuua huku yeye akijifanya kuwa amesafiri ameenda mkoani. Kijana huyo aliandika mengi sana na mwisho wa siku aliniomba msamaha wa dhati kwani kwa wakati huo alikua halijui alitendalo na ni nguvu ya pesa ya mzee Kirumbi ndio iliyomshawishi kufanya ukatili wote huo. Alisema kuwa kwa sasa amebadilika na kumrejea Mungu wake na alikua anatubu dhambi zake zote na ndio maana aliamua kuwa mkweli juu ya yale aliyoyafanya..

Kwa hiyo ndio hivyo mwanangu kuanzia siku hiyo sijaonana tena na mzee Kirumbi na pia nilikua sijui kitu chochote kinachoendelea katika maisha yake."


Recho alilia sana kwani hakutegemea kabisa kama baba yake Ally, mwanaume anayempenda ndio angeweza kufanya mambo yote yale kwenye familia yake. Aliapa kutoolewa na Ally na akapanga kuvunja mahusiano naye kuanzia siku hiyo kwani alitokea kumchukia ghafla yeye pamoja na familia yake......




Aliona kuwa hawezi tena kuendelea kuwa na Ally na kufunga naye ndoa kwa sababu baba yake Ally aliifanyia kitu kibaya sana familia yake miaka mingi iliyopita.

"Nimekuelewa mama na nimeelewa kwa nini umeniambia hakuna tena ndoa itakayofungwa baina ya mimi na Ally."

Mama Recho aliendelea kulia na kuanza kujuta kwanini mwanae alikutana na Ally kwani amekuja kutonesha kidonda ambacho kilishaanza kupona siku nyingi.

"Nashukuru sana mwanangu kama umenielewa kwa hilo. Baba yake Ally ni mtu mbaya sana hivyo sipo tayari kuona anakua baba mkwe wako."

"Lakini mama, vipi kuhusu hii mimba?Hauoni kama mtoto akizaliwa atakosa haki yake msingi ya malezi ya baba na mama?"

"Kuhusu hilo wala usiwe na presha mwanangu nitafanya mpango ndani ya siku hizi hizi hiyo mimba ikatolewe maana bado haijakua kubwa hivyo haitahatarisha maisha yako.."

"Haah! mama!!! nitoe mimba?"

"Ndio. Sasa unadhani tutafanya kitu gani kingine?"

"Hapana mama mimi siwezi kutoa mimba ni dhambi kubwa sana kwa Mungu. Hiki kiumbe kilicho tumboni hakina hatia na pia ni dhambi kubwa sana kwa Mungu."

"Sasa upo tayari kuzaa na mtu ambaye baba yake amemuua baba yako?"

Recho alikaa kimya akiwa hajui amjibu nini mama yake kwani hakutamani tena kuendelea kuwa na Ally wala kuwa na mawasiliano nae ila akaona ile mimba tayari imeshamletea kikwazo. Aliondoka mbio na kukimbilia chumbani kwake ambapo alijifungia na kuanza kulia. Siku hiyo alilia sana utadhani ameletewa taarifa ya msiba akiwa anajuta kwanini alijuana na Ally. Muda mwengine alitamani afuatishe ushauri wa mama yake wa kuitoa mimba lakini nafsi yake ilimsuta kwani hakuwa tayari hata kidogo na kitu hiko.


************** ***************


Ally alimaliza kuongea na baba yake ambaye nae pia alikua anamsimulia mkasa mzima jinsi ulivyokua japokua yeye alidanganywa.

"Kwahiyo mwisho wa siku ilikuaje baba?"

"Kwakua kesi nilisingiziwa, baada ya uchunguzi makini wa zaidi ya miezi 6 niliweza kushinda kesi na kubaki kuwa huru. Baada ya hapo sikuonana tena na mama yake Recho na pia Recho mwenyewe alikua mdogo sana kama miaka mitano hivi au sita na ndio maana siku ile ulivyokuja naye hapa kumtambulisha sikuweza kumfahamu kabisa."

"Mmhh haya mambo mazito. Sasa baba unafikiri mimi nitamuoa kweli Recho kama mambo yenyewe ndio yapo hivi?"

"Kuhusu kumuoa Recho mwanangu inabidi usahau na utafute mwanamke mwengine maana familia yake yote inatuchukia sana."

Ally hakuamini kusikia maneno yale kutoka kwa baba yake na alibaki kimya akiwa amemtumbulia macho.

"Ina maana mimi na Recho ndio basi tena! Na vipi kuhusu mimba aliyonayo?Ina maana mtoto atazaliwa akiwa wa upande mmoja hamtambui baba yake!? Hapana sipo tayari kuona hili linatokea, sitaki kuona mwanangu anakua bila malezi ya mimi baba yake."

Ally alijisemea mwenyewe moyoni huku akiendelea kuwa kimya kama bubu.


Aliinuka na kuelekea chumbani kwake kisha akajifungia na kuendelea kuwaza mambo mengi sana. Hakutaka kabisa kuamini kuwa yeye na Recho ndio wamefika mwisho wa mapenzi yao bila ya kutimiza malengo yao.

"Mambo yote yale tuliyofanya pamoja na ahadi tulizowekeana leo tuachane kirahisi rahisi hivi!!? Hapana siwezi kuruhusu hili litokee sababu nampenda sana Recho na pia najua yeye ananipenda sana."

Alindelea kuwaza peke yake kisha akaamua kuchukua simu yake ili ampigie Recho aongee nae. Simu iliita sana bila kupokelewa na akaamua kumpigia tena. Iliendelea kuita hadi ikakata tena na akaanza kuhisi huenda Recho itakua ameshaambiwa kila kitu na mama yake na ndio maana hataki kupokea simu yake. Akajaribu kumpigia tena kwa mara ya tatu na iliita sana mwishowe Recho akapokea. Recho alikaa kimya bila kuongea kitu chochote ambapo ilikua sio kawaida yake kabisa.

"Vipi mpenzi mbona unapokea simu halafu hauongei kitu chochote?"

"Unataka niongee nini tena na wewe?Halafu sikia,kuanzia leo sitaki tena kukusikia unaniita hayo majina yako sijui mpenzi sijui nini umenisikia?"

"Aah! Recho hebu acha masihara bwana ujue nimekupigia nikuambie kitu cha muhimu sana."

"Nani hapa analeta masihara? Nina utani na wewe.? Sikiliza Ally, mama ameshaniambia kila kitu hivyo haina haja ya kunieleza kitu chochote. Kuanzia leo usinijue na wala mimi nisikujue. Sitaki tena unipigie simu wala kunitumia message. Nakuchukia sana wewe na familia yako yote."

"No! Recho usifanye hivyo, naomba tutafute muda tuongee vizuri haya mambo yatakwisha tu."

"Uongee na nani? Hivi unaona naongea masihara Ally eeh! sasa nakata simu na sitaki tena unipigie."

(Huku akianza kulia) "No Recho usinifanyie hivyo mbona unanikatili sana. Unanipa adhabu kubwa sana ambayo sistahili kuipata maana sijakufanyia kitu chochote kibaya. Hebu fikiria vipi kuhusu mtoto wetu atakayezaliwa. Vipi kuhusu mimi na wewe? Vipi kuhusu mipango yote ile tuliyopanga pamoja? Usichukue maamuzi hayo Recho bado nakuhitaji sana."

"Kuhusu mtoto inabidi usahau kabisa maana siwezi tena kuzaa mtoto na wewe. Hivi ninavyokwambia kesho naenda kutoa mimba. Inabidi usahau kila kitu Ally kuhusu mimi na uanze kujifunza kupenda tena."

(Huku akiwa analia waziwazi) "Noo Recho usifanye hivyo unamkosea sana Mungu. Sawa hunitaki tena mimi lakini hiko kiumbe kina makosa gani? Naomba usifanye hivyo Recho nakuomba."

(Recho alikaa kimya kidogo kisha akakata simu)

"Hallo!hallo! halloo!!"

Ally akajua kuwa Recho amemkatia simu hivyo akabaki akiwa analia kama mtoto mdogo. Hakutegemea kama ipo siku mapenzi yake yeye na Recho yatafikia mwisho kwa jinsi walivyokua wanapendana. Alilia sana hadi muda mwengine akajikuta anamkufuru Mungu kwa maneno aliyokua anaongea.


*************** ***************


Kesho yake mchana akaanza safari ya kuelekea kwa kina Recho ili akaonane nae na kuongea nae kwa maana alikua hajakubaliana na ukweli. Alifika mapema sana kwani kwa siku hiyo ya jumapili, foleni huwa ni za kawaida sana ndani ya jiji la Dar es salaam. Aliipaki gari nje na kupiga hodi getini. Baada ya muda mfupi alikuja mfanyakazi wa kina Recho ambaye alimsalimia na kumkaribisha ndani. Ally aliingia mpaka sebuleni kisha Vero akaenda chumbani kumuita Recho. Baada ya muda mfupi Recho alikuja huku macho yako yakiwa mekundu sana kwa kulia tangu jana.

"Umefuata nini hapa?Umefuata nini nyumbani kwetu?"

Ally alipiga magoti kisha akaanza kutembea kumfuata Recho.

"Please Recho naomba unipe adhabu nyengine hii adhabu uliyonipa ni kali sana. Nawezaje mimi kuishi bila wewe wakati unajua nakupenda sana."

"Haya wewe unanipenda ila mimi sikupendi, unasemaje?"

"Hapana Recho usiisikilize nafsi yako inataka nini usikilize moyo wako. Ina maana haunipendi tena?"

"Ndio Ally sikupendi na nakuchukia sana. Tena naomba utoke ndani kwetu haraka kabla hayajawa mengine."

Ally alikua analia kama mtoto mdogo kiasi kwamba hata kuongea alikua anashindwa.

"Recho...noo Recho usiniachee..Usiniache Recho.."

Ally alilia sana hadi Recho akaanza kuingiwa na huzuni. Baada ya muda mfupi mama yake Recho alikuja akiwa anatokea chumbani kwake.

"Vipi hapa mbona vilio kama tupo msibani? Ina maana wewe Ally haujui maana ya kuambiwa sikutaki? Mtu ameshakwambia hakutaki na utoke wewe unasubiri nini tena? Tukupigie kelele za mwizi au?"

Ally aliendelea kulia kama mtoto mdogo akiwa haamini kabisa yale yanayotokea mbele ya macho yake.

"Recho ndio hunitaki tena? Haunitaki tena Recho?"

Recho alipomuangalia Ally alivyokua analia na kuumia alijikuta na yeye machozi yakimtoka na kuanza kulia.

"Please Recho naomba usiniache nakupenda. Kumbuka una kiumbe changu tumboni hivi unadhani itakuaje pindi akizaliwa halafu baba yake akiwa hayupo?"

Recho alijikuta akizidi kulia na kuamua kukimbilia chumbani kwake ambapo alijifungia na funguo na kuendelea kulia.

"Baba nakuomba uondoke hapa ndani na usipakanyage tena yani upaone kama jela au kituo cha polisi."

Ilibidi Ally awe mpole na kuanza kuondoka pale ndani kwa kina Recho.

"Sawa mama mimi naondoka ila kaa ukijua nampenda sana binti yako. Hata yeye ananipenda sana na sidhani kama maisha yake yatakua ya furaha bila ya mimi. Naomba umtunze sana mwanangu atakayezaliwa na mumpe mapenzi kama ambayo mimi baba yake ninapaswa nimpe. Natamani sana ningemlea mwanangu ila ndio hivyo wewe na Recho hamtaki tena kuniona. Sawa mimi naondoka mama ila kaa ukijua nampenda sana Recho na pia nampenda sana mwanangu aliyekua yupo tumboni."

Ally alimaliza kuongea na kutoka nje kwa unyonge sana kisha akaondoza zake.

Mama Recho alijihisi mkosefu sana kwani alijua fika kuwa Ally hana makosa yoyote juu ya kile kilichotokea ila kikwazo kilikua kwa baba yake mzee Kirumbi.


Alienda chumbani kwa Recho ili akamuangalie na kuongea nae ila alipotaka kuingia alikuta mlango umefungwa kwa ndani. Alimuita sana lakini Recho hakuitika hata kidogo. Akaanza kupatwa na wasiwasi huenda mwanae atakua amepatwa na jambo baya kwani alikua yupo kwenye msongo wa mawazo sana. Akaamua kuzunguka nyuma ya nyumba na kwenda kumchungulia dirishani ambapo alipofika hakuamini kabisa macho yake kwa kile alichokiona.....



Alimuona Recho akiwa amelala chini huku mapovu mengi yakiwa yanamtoka puani na mdomoni. Aliogopa sana na haraka haraka akaanza kupiga kelele kuwaita majirani ili waje kuwapa msaada. Baada ya muda mfupi watu kadhaa waliokua wanaishi jirani na pale walikuja huku na wao wakienda kuchungulia dirishani kujionea kile kinachoendelea.

"Haah!jamani. Recho amepatwa na nini tena mbona yupo vile?"

Alisikika mama mmoja akiuliza swali ambalo hakuna aliyemjibu.

"Twendeni tukampe msaada sio kukaa na kumuangalia kama picha. Kwani hali hii imemtokea saa ngapi?"

Aliuliza mwanaume mmoja wa makamo ambaye alikua anaishi nyumba ya pili kutoka nyumba ya kina Recho.

"Yani hata mimi sijui ila muda sio mrefu aliondoka sebuleni akiwa analia, maana kuna matatizo ya kifamilia yanaendelea hivyo nimejaribu kumgongea lakini hajafungua na nilipokuja kuchungulia hapa dirishani ndo nikakuta hali ile."

"Mmhh! Nafikiri hapa hakuna tena muda wa kupoteza ngoja tuingie ndani tukavunje mlango maana nahisi hali yake inazidi kuwa mbaya."

Aliongea tena yule mwanaume jirani yao kina Recho.

Kweli wote wakaingia ndani na haraka haraka yule mwanaume akaomba zana za kazi kwa ajili ya kuharibu kitasa ili kuufungua mlango kirahisi. Baada ya muda mfupi akaletewa kisha akaanza kuuvunja mlango kwa haraka sana. Hakumaliza hata dakika tatu akawa ameshakiharibu kitasa na wakaweza kufungua mlango ambapo walimkuta Recho akiwa anakoroma kama vile mtu aliye usingizini.

"Anakoroma. Tufanyeni haraka tumuwahishe hospital maana anaonekana hali yake sio nzuri."

Aliongea tena yule mwanaume ambaye alionekana kuwa mstari wa mbele kumsaidia Recho. Akamuinua pale chini na kumbeba begani kwake kisha akaanza kutoka nae nje.Kijana mwengine ambaye alikua anaishi nyumba inayotazamana na ya kina Recho alileta gari yake kisha wakampakiza na kuondoka naye haraka kumuwahisha hospital.


*************** ***************


Ally hakuwa sawa hata kidogo kwani muda wote alijifungia ndani kwake akiwa analia. Nusrat na Ilham walijaribu kumpigia simu mara kwa mara lakini hakupokea hata mara moja zaidi ya kuitazama ikiwa inaita hadi inakata. Aliumia sana kwa kitendo cha kuachana na Recho kwani alikua anampenda kuliko kitu chochote na pia alikua amemzoea sana. Alilia hadi muda mwengine Sarah alienda mlangoni kwake na kujaribu kumbembeleza. Ally hakumuelewa kabisa Sarah kwani yale maumivu aliyokua anayasikia ni afadhali ya kuchomwa na msumari wa moto. Hakuamini kabisa kama ndio alikua ameachana na Recho yani Recho alikua hataki kumuona wala kumsikia.

"Ndio sikupendi Ally na nakuchukia sana. Tena nakuomba utoke haraka nyumbani kwetu kabla hayajawa mengine."

Maneno haya yalijirudia mara kwa mara kichwani kwake na kila alipoyafikiria alikua anaumia sana. Alikaa siku mbili mfululizo bila kwenda kazini na wala kutoka nje zaidi ya kujifungia chumbani kwake akiwa analia muda wote. Alikuja kushtuliwa na Sarah akiwa anamuita na kumwambia kuwa kuna mgeni wake amekuja kumuona. Kwanza alipuuzia kwani kwa muda huo hakutaka kuonana na mtu wa aina yoyote zaidi ya kuwa peke yake. Baada ya muda akasikia sauti laini ikiwa inamuongelesha kutokea mlangoni.

"Ally umepatwa na nini tena jamani mbona hivyo?"

Moja kwa moja akajua kuwa yule ni Nusrat kwani alikua anaijua vizuri sauti yake.

"Naomba utoke basi jamani tuongee ili nijue nakusaidiaje matatizo yako. Please Ally naomba ufungue mlango utoke mpenzi wangu maana unanipa wasiwasi sana."

Ally akajifuta machozi na kujiweka sawa kisha akaenda kufungua mlango. Hakutaka kutoka sebuleni kwani alimkaribisha Nusrat mule mule chumbani kwake.

"Jamani baby mbona hivyo umepatwa na nini?"

Nusrat alimuuliza Ally baada ya kuona hali aliyokua nayo huku macho yakiwa mekundu sana kwa kulia. Ally hakujibu kitu zaidi ya kuangalia chini na kukaa kimya. Nusrat akamsogelea zaidi Ally na kumshika kidevu kisha akamuinua uso wake.

"Please naomba uniambie mpenzi wangu maana hata mimi unanipa wasiwasi sana. Tangu juzi nakupigia simu yako haupokei na pia siku mbili haujatokea kazini tena bila taarifa yoyote wakati sio kawaida yako. Naomba uniambie mpenzi una tatizo gani.?"


Ally alipomtazama Nusrat alijikuta akishindwa kuongea na machozi yakimtiririka mashavuni mwake. Nusrat akamsogelea zaidi Ally na kumkumbatia huku akiwa anajiuliza mpenzi wake amepatwa na kitu gani kibaya hadi akawa kwenye hali ile. Alijitahidi kumbembeleza kwa muda mrefu sana na mwisho Ally akanyamaza.

"Haya naomba uniambie ni nini kinakusumbua Ally wangu maana hata mimi utanifanya nianze kulia kwa hiyo hali uliyokua nayo."

Ally alikaa kimya kidogo kisha akamtazama Nusrat na kumwambia huku akianza tena kulia.

"Nusrat, nimeachana na Recho. Nimeachana na Recho."

Nusrat alikua ni kama haamini kile anachoambiwa na Ally na kuanza kuhisi huenda yupo ndotoni. Kadri alivyozidi kuyachanganua yale maneno ndio akajijua wala hayupo ndotoni na kile kinachotokea ni ukweli mtupu.

"Umeachana na Recho? No sitaki kuamini Ally, yani wewe uachane na Recho!!"

"Ndio Nusrat, Recho hanitaki tena na wala hataki kuniona."

Nusrat alizidi kutoamini kwani kwa jinsi Ally na Recho walivyokua wanapendana, hakutegemea hata siku moja kama watakuja kuachana.

"Mmhh! Imekuaje hadi mkaachana?"

"Ni story ndefu sana Nusrat yani hata sijui nianze kukusimulia wapi."

"Niambie hata kwa ufupi tu ili na mimi nipate picha kamili na pia nijue tutafanya nini."

Kweli Ally akaanza kumsimulia Nusrat kisa chote kama alivyosimuliwa na baba yake kuanzia mwanzo hadi mwisho.

"Aisee kweli milima haikutani ila binadamu hukutana. Ina maana wewe na Recho mlijuana tangu wakati mpo wadogo?"

"Yeah ila tulikua bado hatujajielewa na ndio maana tulivyokutana kipindi hiki cha ukubwa hatujaweza kukumbukana kabisa ukizingatia ni miaka mingi sana imepita."

"Dah! pole sana mpenzi wangu. Kwahiyo hata ukijaribu kumpigia simu hataki kupokea.?"

"Ndio yani tangu juzi nampigia simu yake inaita tu lakini hapokei na pia kwao wamenipiga marufuku nisikanyage yeye na mama yake."

"Jamani yani Recho ndo wakukufanyia yote haya. Hata siamini kabisa."

"Kikubwa zaidi ni kuwa ana mimba yangu kwahiyo nafikiria itakuwaje kuhusu mwanangu akizaliwa."

"Mmhh! kumbe Recho ana mimba yako, tangu lini?"

"Ooh sorry kumbe sijawahi kukwambia. Inakaribia miezi miwili sasa."

"Mmhh haujawahi kuniambia hata siku moja. Ila usijali kuhusu kutoniambia ni kawaida tu. Jaribu kuongea nae kuhusu mtoto labda anaweza kurudisha moyo wake nyuma na kukuelewa."


Nusrat alikua anaongea maneno hayo upande mmoja akiwa anamuonea huruma Ally huku upande mwengine akiwa anafurahia kwani alijua hiyo ndio ilikua nafasi nzuri ya kumfanya Ally awe wake moja kwa moja na wafunge ndoa.

"Sidhani kama ataweza kunielewa maana simu yangu tu hataki kupokea. Naumia sana Nusrat maana nampenda sana Recho."

"Naelewa Ally na wala hauna haja ya kunieleza yote hayo. Usichoke kumtafuta na ikiwezekana uwe unamtumia message kumwambia jinsi unavyojisikia. Yule ni binadamu tu nina imani ipo siku atakuelewa na kusahau yote yaliyopita."

"Asante sana Nusrat kwa maneno yako mazuri ya kunifariji. Sikutegemea kabisa kama wewe ndio unaweza kuwa mtu muhimu sana kwangu kunifariji kwa wakati huu. Nashukuru sana Nusrat."

"Don't you worry, i will always be there for you"( usijali, siku zote nitakuwepo kwa ajili yako.)

Nusrat aliongea maneno hayo huku akimkumbatia Ally na kumliwaza.


*************** ****************


"Ally, Ally, Ally."

Alikua ni Recho akiwa analitaja jina la Ally wakati bado yupo hospital akiwa hajarejewa na fahamu zake.

"Dokta! dokta! dokta!"

Aliita mama yake Recho ambaye muda wote alikua yupo pembeni akimuangalia mwanaye. Baada ya muda mfupi dokta alikuja mule wodini.

"Vipi mama mbona umeniita kwa sauti kubwa sana?"

"Recho alikua ameanza kuamka na kulitaja jina la Ally lakini ghafla amelala tena."

"Mmhh! Ally? huyo Ally ndio nani?"

"Mmhh! ni story ndefu sana baba yangu."

Mama Recho akamuelezea dokta kwa ufupi mkasa mzima jinsi ulivyokua.

"Ok!sasa napata kuelewa kwa nini Recho anamtaja Ally. Kwa uzoefu wangu wa kazi na jinsi hiyo hali iliyotokea ya kulitaja jina Ally wakati bado hajarejewa vizuri na fahamu, Recho itakua ameathirika kisaikolojia."

"Mmhh! dokta kwahiyo itamletea madhara gani mwanangu?"

"Hataishi maisha ya furaha kama yale aliyoyazoea mwanzo na muda mwingi atakua ni mtu mwenye kupenda kukaa peke yake."

Mama Recho akakumbuka maneno ya Ally siku ambayo alikua anaondoka nyumbani kwake.

"Nampenda sana binti yako mama, na nina imani Recho hataishi maisha ya furaha kama ambavyo alikua amezoea."

Mama Recho alijikuta akitamani kulia lakini aliendelea kumsikiliza daktari.

"Hakikisha hana mawasiliano kabisa na huyo Ally maana kadri atakavyoendelea kuwasiliana nae basi ubongo wake ndio utakavyochelewa kupoteza kumbukumbu."

Yule daktari alimshauri vitu vingi sana mama Recho kisha alipomaliza alimuaga na kutoka wodini.


Baada ya siku kadhaa, usiku mmoja dada yake Recho ambaye alienda hospital kulala na mdogo wake alimsikia kama Recho anaongea peke yake na ilibidi ainuke ili amsikilize vizuri anaongea vitu gani.

"No Ally noo. Hauwezi ukaniacha mimi na kumuoa huyo. Noo! Noooo!!"

Recho alishtuka sana na kukaa kitandani huku akiwa anahema sana kama mtu aliyetoka kukimbizwa...........



Dada yake alimuangalia na kumuonea huruma sana mdogo wake kwa yale mateso anayoyapata.

"Vipi Recho mbona umeshtuka hivyo?"

Recho aligeuka na kumwangalia vizuri aliyekuwa pembeni yake ni nani kwani ndio kwanza alikua anarejewa na fahamu.

"Dada Rebecca!"

"Naam mdogo wangu."

Recho alimlalia dada yake na kuanza kulia huku akiwa anaongea maneno mengi sana yenye kumuhusu Ally.

"Basi usilie sana mdogo wangu maana sasa hivi ni usiku sana hivyo utawashtua wagonjwa wengine waliolala na kuwapa kero."

Recho hakumuelewa kabisa dada yake kwani yale machungu aliyokua anayapata yalikua hayaelezeki. Baada ya muda mfupi nesi aliyekua zamu alikuja na kuuliza ni nini kinaendelea hadi Recho akawa analia kiasi kile. Rebecca alimwambia nesi kila kitu kuhusu Ally na ndio sababu mpaka mdogo wake akawa analia kiasi kile.

"Jamani Recho, pole sana. Basi usilie sana usiku ushakua mkubwa huu hivyo unawapa kero wagonjwa wenzako. Jitahidi usahau hayo mawazo naamini utakua sawa tu. mmhh! mapenzi haya."

Aliongea yule nesi huku akiwa anamfuta machozi Recho. Kweli Recho aliweza kumuelewa yule nesi na kunyamaza kabisa kulia. Baada ya kuongea mambo kadhaa ya kumfariji na kumpa moyo Recho,yule nesi aliondoka zake.

"Nakuonea huruma sana mdogo wangu kwa haya yaliyotokea. Najua kama unampenda sana Ally na ndio maana unaumia sana kuachana naye tena sababu ikiwa ni mambo ya kifamilia. Ni bora ungemfumania ungemuona hafai lakini mambo yenyewe yeye hana hatia kabisa ila tu baba yake ndio mwenye makosa."

Recho alikaa kimya akimsikiliza dada yake kisha akamuuliza.

"Hivi unafikiri nifanye nini dada ili nisahau haya mambo maana itaniwia vigumu sana kumsahau Ally."

"Mmhh! Ni kitu kigumu sana kumsahau mtu unayempenda. Ila kuna kitu nimekiwaza nahisi angalau kinaweza kusaidia kama utafanya."

"Kitu gani hiko?"

"Uondoke hapa mjini na uende Mafinga, Iringa kwa bibi."

"Mmhh! Sasa nikienda huko itasaidia nini?"

"Utakua hauonani na Ally na pia ubadilishe namba yako ya simu ili asikutafute na kama ikiwezekana usiwe unatumia simu kabisa kwa muda hadi utakapokua sawa."

Recho alikaa kimya kidogo kisha akamjibu dada yake.

"Sawa nimekuelewa dada. Lakini itakuwaje kuhusu kazi maana tayari nishaanza kule bandari."

"Kuhusu kazi wala usiwe na wasi shemeji yako anajuana na watu wengi sana wa pale bandari hivyo utakaporudi utaendelea na kazi kama kawaida na nafasi yako atawekwa mtu kwa muda tu."

"Sawa dada nimekuelewa na nashukuru sana kwa ushauri wako."

"Usijali mdogo wangu mimi ni dada yako hivyo ni wajibu wangu kuwa na wewe bega kwa bega katika kila hali."

Recho alimkumbatia dada yake na kumshukuru sana kwa kuwa pamoja nae.


*************** ***************


Ally aliendelea na kazi kama kawaida japokua bado alikua hayupo sawa. Muda mwingi aliutumia akiwa peke yake akiwaza juu ya yote yale yaliyotokea. Nusrat alijitahidi sana kuwa karibu nae maana alijua kwa sasa yeye ndio alikua mtu wa muhimu sana kwa Ally. Alijitahidi kumtoa out Ally mara kwa mara ili tu apate kuchangamka na kurejewa na furaha kama mwanzo. Ally hakuchoka kumtafuta Recho japokua kila alipokua anampigia simu yake iliita bila kupokelewa. Baada ya siku kadhaa namba ya Recho ilikua haipatikani kabisa na kuhisi huenda Recho atakua amebadilisha namba. Aliumia sana moyoni lakini hakuwa na jinsi kwani tayari alishapigiwa marufuku kufika kwa kina Recho. Alijaribu kumtafuta Tayana, rafiki yake na Recho waliosoma wote chuo TIA na pia mchumba wa rafiki yake Allan kama anajua kitu chochote anachojua kuhusu Recho. Tayana alimjibu kuwa hata yeye hana mawasiliano na Recho kwani kila akimtafuta kwenye namba yake anakua hapatikani. Ally hakuwa na jinsi zaidi ya kutulia na kukubaliana na matokeo kuwa tayari ameshamkosa Recho.


Ilipita miezi miwili na Ally akahamia rasmi nyumbani kwake huku akiwa anaishi yeye na mvulana wa kazi ambaye alimuajiri kwa ajili ya kumpikia na kufanya usafi nyumbani kwake. Hakutaka kuajiri msichana kwa kuhofia kufanyiwa mambo kama aliyokua anafanyiwa na Sarah kipindi yupo nyumbani kwao. Ilham na Nusrat wakapajua nyumbani kwake kwani wote waliomba kupelekwa na yeye hakuleta kipingamizi.

"Baby naomba unioe niwe naishi hapa kwako."

Alikua ni Ilham akimwambia Ally siku aliyoenda kumtembelea nyumbani kwake.

"Usijali baby nitakuoa tu kwa kua Recho hayupo tena."

Ilham alifurahi sana na kuahidi kumpenda Ally kwa siku zote za maisha yake.

Siku hiyo walipeana sana raha usiku kucha kwani Ilham alilala hapo hapo nyumbani kwa Ally. Hakika Ally alishaanza kusahau yote yaliyotokea kuhusu Recho kwani alishakata tamaa kuwa Recho hamtaki tena japokua alijitahidi kwa kila njia kumrudisha tena. Alipanga kuanza maisha mapya na kumuoa mmoja wapo kati ya Nusrat au Ilham. Ilham ndio kama alikua amekaribishwa nyumbani kwa Ally kwani mara kwa mara huwa anaenda kumtembelea na mara nyengine kulala huko huko.


Ilipita miezi kadhaa Nusrat akiwa nyumbani kwa Ally alimuita na kumwambia.

"Baby, ujue wiki nzima hii nilikua sijielewi elewi yani kama vile nina homa mara natapika muda mwengine."

"Mmhh pole sana mpenzi wangu, kwahiyo umetumia dawa yoyote ya homa?"

Nusrat alikaa kimya kwa muda kisha akamtazama Ally na kumwambia.

"Hapana sijatumia dawa kwani nilienda hospital na...naa..na."

Nusrat alijikuta akishindwa kumalizia na kubaki akimtazama Ally.

"Na na nini sasa mbona haumalizii."

"Naogopa Ally kama utanielewa kwa hiki nitakachokwambia."

"Wewe niambie tu kwani ulishawahi kuniambia kitu na nikakupinga au kugombana?"

Nusrat aliendelea kumtazama Ally huku akiwa na wasiwasi juu ya kile anachotaka kuongea.

"Ongea basi Nusrat kwani una nini mbona upo hivyo leo?"

Nusrat aliinama chini na kumwambia.

"Ally nina mimba."

"Unasema? Una nini?"

"Nina mimba."

"Haa! Nusrat! Kwanini lakini umefanya hivyo kwani siku zote tulikua tunaongea nini? Si nimekwambia sitaki kuitwa baba mpaka nitakapokuoa?"

"Sawa Ally umeniambia hivyo. Sasa ulitegemea nini wakati wewe siku hizi haupendi kuvaa kondom."

"Mmhh! Kwanini lakini kila siku inakua hivi?"

Nusrat alimsogolea Ally na kumwambia.

"Usijali Ally kuhusu hii mimba kikubwa ni twende nyumbani tu ili nikakutambulishe ili wajue kuwa wewe ndio utakua baba wa mtoto wangu."

"Kwahiyo kwenu tayari washajua kuwa una mimba."

"Ndio ila ni mama peke yake ndiye anayejua."

"Mmhhh!Kwahiyo itakuwaje sasa?"

"Wewe usijali mpenzi niachie mimi kila kitu. Pia imekua kama bahati kwani baba alikua na mpango wa kuniozesha kwa mtu mwengine ambaye mimi simpendi hivyo sasa wewe ndiye utakayenioa. Pia baba aliniahidi kuwa nikishaolewa ataniachia kampuni ile niwe naiendesha mimi na mume wangu kwani yeye na mama wana mpango wa kuhamia Oman moja kwa moja na tayari wana nyumba huko. Sasa hauoni hapo tutakua matajiri sana na mtoto wetu ataishi maisha mazuri."

Kidogo maneno ya Nusrat yalimpa moyo Ally na kuikubali ile mimba kwa mikono miwili.


*************** ***************


"Mmhh! yani mjukuu wangu muda wote huo ulioenda kuchukua kuni ndo unarudi sasa hivi?"

"Samahani bibi si unajua tena na hii hali yangu ya ujauzito niliyo nayo. Yani kutembea tu naona shida hivyo njiani nilikua napumzika mara kwa mara."

"Sawa mjukuu wangu, nenda jikoni utakuta nimekubakishia ndizi zako na uji tena za leo ni tamu sana kuliko hata zile za juzi."

"Kweli bibi?"

"Ndio, nenda mwenyewe ukajionee."

Kweli alienda mbio jikoni na kuchukua ndizi na kuanza kula.

Kwa muda aliokaa kijijini hapo, tayari Recho alishaanza kusahau kila kitu na kuyazoea kabisa maisha yale ya kijijini. Alisahau kabisa kuhusu Ally kwani hata namba ya simu alibadilisha na alikua hawasiliani nae. Alipanga kumlea mwenyewe mtoto wake atakayemzaa na wala hakuogopa kitu chochote. Alimpenda sana bibi yake hivyo hakutamani kabisa kurudi Dar es salaam. Wanaume wengi sana pale kijijini walijaribu kumtongoza lakini aliwakataa kabisa kwa kuogopa kuumia tena kwa sababu ya mapenzi.


Siku moja ya usiku aliamua kumtafuta rafiki yake Tayana maana alikua hajaongea naye siku nyingi sana tangu alivyoondoka Dar es salaam.

"Haa!jamani Recho.za siku?"

"Nzuri tu Tayana, vipi wewe shoga yangu?"

"Safi, vipi mbona kimya sana best yangu na namba yako ile haipatikani.?"

"Weacha tu shoga matatizo. Vipi lakini Dar es salaam pako poa?"

"Yap pako poa kwani wewe uko wapi?"

"Niko Mafinga Iringa ila nakuomba usimwambie mtu yeyote hata Ally kama atakutafuta."

"Ok sawa sitamwambia mtu tena huyo Ally siku sio nyingi nasikia anaoa."

"Nini? Anaoa?".......


Ndio anaoa tena huyo mtu anayemuoa nahisi

utakua unamjua.

Nani huyo?

Yule msichana wa kipemba aliyekua anasoma

nae darasa moja.

Mmhh Nusrat au?

Hewala huyo huyo nilikua nimelisahau jina lake.

No,this can't be true(hapana,hii haiwezi kuwa

kweli)

True my dear(Kweli mpendwa wangu) Allan ndiye

anayenipa habari zote hizi maana yeye ndiye

bestfriend mkubwa wa Ally.

Ally!Nusrat!..

Recho hakumalizia kuongea na akakata simu

huku akiwa anaumia sana kusikia taarifa

zile.Alijuta hata kwanini alimtafuta Tayana

maana alishaanza kusahau kila kitu kuhusu Ally.

"Kwanini lakini naumia mimi kila siku.Kwanini

kila jambo baya linanitokea mimi tu" Recho

aliwaza peke yake huku akiwa anaumia

sana.Kiukweli bado Recho alikua anampenda

sana Ally ila yale mambo ya kifamilia ndio

yaliofanya ashindwe kuwa nae.

"Ila nahisi Ally alikua ananisaliti siku nyingi sana

kwa Nusrat kama nilivyokua namuhisi na ndio

maana ametangaza ndoa haraka sana baada tu

ya kutengana na mimi".

Recho aliwaza sana hadi akajikuta machozi

yakianza kumtoka.Muda mwengine alitamani

arudi Dar es salaam ili akazuie ndoa ya Ally na

Nusrat isifanyike lakini alijua kuwa haiwezekani

kwani tayari kulikua na kikwazo cha yeye

kuolewa na Ally.Alijikuta akilia kwa sauti kubwa

hadi bibi yake akaja mule chumbani kwake.

Vipi mjukuu wangu umepatwa na nini tena mbona

unalia?

Recho alimtazama bibi yake kisha akamjibu huku

akiendelea kulia.

Kwanini bibi kila siku naumia mimi tu?

Unaumia wewe?Una maana gani kusema hivyo?

Ally anaoa bibi?

Mmhh umejuaje,umeongea naye au?

Hapana nimeongea na rafiki yangu ndio

ameniambia yote hayo.

Lakini si nilikwambia usiongee na hao watu wa

huko Dar es salaam hadi utakapokua sawa

kabisa?

Ndio bibi mimi nilimpigia simu nimsalimie tu ila

yeye ndio akaniambia hivyo.

Mmhh pole sana mjukuu wangu.Naelewa ni kiasi

gani unaumia lakini haina jinsi inabidi tu

umsahau huyo Ally na kuanza maisha

mapya.Naamini ipo siku na wewe utampata mtu

utakayempenda na yeye akukupenda na

akakuoa.Ally hakupangwa kuwa wako na ndio

maana yote haya yanatokea.

Recho aliendelea kulia huku akiwa anaumia sana

moyoni mwake.

*************** ***************

Nusrat akampeleka Ally nyumbani kwao na

kumtambulisha huku baba yake Nusrat akiwa

haamini kama mfanyakazi wake ndiye anayeenda

kumuoa binti yake.

Ina maana kijana siku zote tangu haujaanza kazi

ulikua unatembea na binti yangu?

Ally aliangalia chini kwa aibu na woga kwani

alimjua vizuri baba yake Nusrat alikua na tabia

ya ukali.

Ndio mzee.Lakini samahani sana kwa kufanya

hiko kitu kwa siri na hiyo yote ni kwa sababu

nilikua sijajipanga vizuri kimaisha.Ila nataka

nikuhakikishie kuwa nampenda sana binti yako na

nitakua mume bora sana kwake.

Baba yake Nusrat alikaa kimya kwa muda akiwa

kama anafikiria kitu kisha akamwambia.

Sasa nakuomba kuwa makini sana na binti yangu

yani umtunze kama mimi nilivyomtunza kuanzia

mdogo hadi leo hii unavyomuona anapendeza

hivyo.

Sawa mzee wangu usijali kuhusu hilo.Nitakua

mlinzi bora kwake na kumtunza kwa kila hali.

Baba yake Nusrat hakuwa na jinsi kwa kuwa

tayari binti yake ni mjamzito hivyo alikubali tu

aolewe na Ally japokua mipango yake ilikua ni

kumuozesha kwa mfanyabiashara mwenzake

mkubwa sana ambaye alikua anaishi Uingereza.

Mama yake Nusrat alikubali kwa moyo mmoja

binti yake aolewe na Ally kwani alichokuwa

anahitaji ni kuona Nusrat akiwa na furaha.

Yani baby nina furaha leo sijui hata nikwambie

kitu gani..Alikua ni Nusrat akimwambia Ally mara

tu baada ya kuondoka nyumbani kwao na

kumsindikiza Ally.

Hata mimi nimefurahi sana kuona wazazi wako

wamenikubali.Sasa hapa kinachofuata ni

mipango ya ndoa ili kabla haujajifungua uwe mke

wangu wa halali.

Nusrat alifurahi sana kusikia hivyo kwani siku

zote hakuna kitu alichokua anatamani kama

kuwa mke wa Ally na kujenga naye familia.

Wiki zikasogea huku Ilham naye akizidi

kumuomba Ally apeleke posa kwao kwani

alishachoka yale maisha ya kuwa mbali naye na

alitaka haraka awe mume wake.Ally alijitahidi

kumdanganya ili tu amuweke sawa lakini akili

yake yote kwa wakati huo ilikua ni kufunga ndoa

na Nusrat kwa sababu alishabeba ujauzito

wake.Recho alishabaki historia kwake hivyo

hakuwa na jinsi zaidi ya kuendelea na maisha

yake mengine.

Siku moja ya jioni alipokea simu kutoka namba

ngeni asiyoifahamu na alipoanza kuongea alisikia

sauti laini ya kike kutoka upande wa pili.

Hallow!

Hallow nani mwenzangu?

Hauna haja ya kunijua mimi ni nani ila

ninachotaka kukwambia ni kuwa baba yako ni

mtu mbaya sana.Ana mambo mengi sana

mabaya aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya

mpaka sasa.

Mmhh!Samahani lakini si ungeniambia tu wewe

ni nani ili tupate kuongea vizuri?

Siwezi kukutajia jina langu hadi siku

nitakapohakikisha natimiza lengo langu

nililokusudia.

Lengo gani hilo dada yangu mbona unanitisha

sasa?

Mara ile simu ikakatwa bila ya kumaliza

maongezi.Haraka haraka akampigia lakini

alishangaa kukuta ile namba haipatikani.

Mmhhh!Atakua ni nani huyu?

Ally alibaki na mawazo sana akiwa hajui afanye

nini na akaanza kupatwa na wasiwasi kuhusu

baba yake na kuamini kuwa huenda ni kweli

alihusika kwenye kifo cha baba yake

Recho.Akatamani amfuate ili akaongee naye

vizuri lakini akaamua afanye uchunguzi kimya

kimya ili ajue ukweli wa mambo.

*************** **************

Recho alimuomba sana mungu amsahaulishe

yale matatizo yote yaliyotokea na kwa kipindi

hiko alikua ni mtu anayeshinda sana

kanisani.Anaweza akaitumia siku nzima akiwa

kanisani anasali na kuomba ili mungu

amsahaulishe yale yote.Bibi yake hakuacha

kumpa moyo na kumfariji kitu kilichofanya Recho

asitamani kuondoka pale nyumbani kwa bibi

yake.Alibakisha wiki chache tu ili ajifungue

maana ile mimba yake ilishakuwa kubwa

sana.Alifuatisha ushauri wa daktari wa kufanya

mazoezi mara kwa mara ili akiwa anajifungua

asipate sana tabu na ajifungue kwa usalama

kabisa.

Zilipita wiki kadhaa akapokea simu ya dada yake

Rebecca na kuanza kuongea naye.

Ndio bibi hajambo sijui nyie huko?

Huku wazima tu mdogo wangu.Sasa kuna kitu

nimepanga na tayari nimeshaanza kukitekeleza

kwa vitendo.

Kitu gani tena hiko dada?

Kulipa kisasi kwa baba yake Ally maana naumia

sana kuona mtu aliyemuua baba yetu anaendelea

kutesa tu na kufanya mambo yake.

Mmhhh dada Rebecca hauoni kuwa

unajihatarishia maisha yako?

Siogopi kitu chochote mdogo wangu.Kama baba

yetu aliuawa na mimi nipo tayari kufa lakini

mpaka nilipe kisasi......



Hapana dada nakuomba usifanye hiko kitu

naogopa nitakupoteza na wewe hivyo tumuachie

mungu tu.

Usijali kuhusu mimi mdogo wangu,nipo tayari kwa

lolote na ninaamini mungu ataniongoza kutimiza

lengo langu.

(Recho alibaki kimya akiwa hana la kusema kisha

wakaagana na kukata simu)

Mmhh!mbona dada anataka arudishe matatizo

upya kama yalivyokua zamani" Recho aliwaza

peke yake na kuanza kuhisi hali ya hatari kutokea

siku za usoni.

************* **************

Mipango ya harusi ya Ally na Nusrat iliendelea

kushamiri kwani tayari upande wa kina Ally

ulishapeleka posa na walikua wanasubiri

ikubaliwe tu ili wapange siku yenyewe ya

ndoa.Ally alionyesha kufurahi sana kwani alijua

anaenda kuishi na mtu atakayemzalia mtoto siku

sio nyingi.Alishakata kabisa tamaa ya kupata

mtoto wake kutoka kwa Recho kwani alikua

hataki kabisa kuonana naye na pia hawakua na

mawasiliano kwa muda mrefu.Kwa sasa Nusrat

ndiye alikua kila kitu kwake na aliridhia kwa

mikono miwili kumuoa.

Sasa baby unataka harusi yetu tuifanyie wapi na

honey moon twende wapi?.Alikua ni Nusrat

akimuuliza Ally siku moja waliyoenda baharini

kupunga upepo na kuongea.

Popote pale utakapochagua wewe mpenzi wangu

hata ukisema mbinguni then i will go with you

(Basi nitaenda na wewe)

Nusrat alicheka sana kusikia hivyo kwani alimjua

Ally kuwa ni mtu anayependa sana masihara.

Me nataka honey moon twende visiwa vya

Sychellis nasikia kuzuri sana huko na kuna raha.

Eti eeh!sawa mimi sina pingamizi kama

nilivyokwambia, utakapochagua basi ndio

tutaenda huko huko.

Nusrat alifurahi sana kupata mwanaume msikivu

na anayempenda kama Ally kwani alijua watu wa

aina yake wapo wachache sana katika dunia ya

leo..Waliendelea kukaa huko hadi usiku kisha Ally

akamrudisha Nusrat kwao na yeye akaelekea

kwake.

Baada ya siku kadhaa akaona ile namba ngeni

iliyompigia wiki kadhaa zilizopita ikiwa inampigia

tena.Ally alipokea haraka na kuanza kuongea kwa

jazba.

Kwani wewe nani lakini unayenisumbua kiasi

hiki?

Hauna haja ya kupanic Ally maana haitasaidia

kitu.Mimi ni mtu mzuri sana kwako na nina

mpango mzuri sana ambao nataka tushirikiane

mimi na wewe ili tuutekeleze.

Mpango gani huo unaotaka kushirikiana na mimi

wakati hata sikufahamu?

Usiwe na haraka utafahamu kila kitu taratibu.Hili

jambo halihitaji kukurupuka hivyo usiwe na

haraka sana.

Haya niambie ni mpango gani huo?

Siwezi kukwambia kwenye simu maana sio

mahala pazuri kuongea yote hayo.Naomba kesho

kwenye mida ya saa 11 jioni uje Coco beach ili

tukutane nikwambie kila kitu.

Hapana siwezi kuja maana siwezi nikaenda

kuonana na mtu ambaye simfahamu,je kama ni

jambazi na una nia mbaya na mimi?

Usiwe na hofu Ally nilishakwambia tangu mwanzo

kuwa mimi ni mtu mzuri sana na nina lengo zuri

kwako.Tafadhali naomba uje bila kukosa ni jambo

la muhimu sana na pia nakuomba uzingatie

muda.

Ally hakujibu kitu zaidi ya kukata simu na kubaki

akiwaza yule mtu atakua ni nani hadi anafanya

mambo yote yale.Aliwaza na kuwazua lakini

hakupata jibu na kujikuta na mawazo sana.

Kesho yake alienda kazini kama kawaida lakini

hakuwa sawa kabisa mpaka Nusrat akamshtukia.

Vipi mpenzi mbona leo unaonekana haupo sawa

kabisa?

Hapana mbona mimi nipo sawa tu kwani nipo

vipi?

Mmhh!hapana wewe sio Ally ninayekufahamu wa

siku zote lazima utakua na tatizo.

Hapana baby sina tatizo lolote labda itakua ni

uchovu tu maana nimechoka sana.

Nusrat alimtazama Ally usoni lakini alionyesha

kutoridhishwa na lile jibu lake.Alimkubalia kwa

shingo upande lakini alijua kabisa kuna kitu

hakipo sawa kwa upande wa Ally.

Ally alifanya kazi hadi jioni na ulipofika muda wa

kuondoka aliagana na Nusrat kisha akaondoka

zake.Alitamani hata asiende huko Coco beach

kuonana na huyo mtu asiyemjua lakini kila

alipoyakumbuka maneno yake kuwa ana jambo la

muhimu sana alijikuta akiamua aende ili akajue

huyo mtu ana kitu gani anataka kumwambia.Alien

desha gari kwa spidi sana japokua alikutana na

foleni za hapa na pale.Saa 11 kasoro robo

alifanikiwa kufika maeneo ya Coco na kuanza

kushangaa huku na huko kama huyo mtu

atatokea.Alipoona kimya akaipiga ile namba na

kukuta haipatikana hivyo akaanza kuhisi yule mtu

anataka kumuuza.Alisogea karibu na gari lake ili

kitu chochote kibaya kikitokea iwe rahisi kwa

yeye kuondoka maeneo hayo.Ilipofika saa 11

kamili aliona ile namba ikimpigia na haraka

haraka akapokea.

Vipi umeshafika?

Ndio nimeshafika muda kidogo lakini sioni dalili

zozote za wewe kutokea hapa.

Kwani wewe upo wapi?

Nipo huku pembeni ya hii bar nimesimama

kwenye Altezza ya kijivu.

Sawa nisubiri hapo hapo baada ya dakika 3

nitakua nimeshafika.

Ally aliweza kumuelewa kisha akakata simu na

kubaki akimsubiri huyo mtu kwa shauku kubwa ili

amjue ni nani.

Alisubiri kwa takribani dakika 5 dakika hakuona

mtu yeyote akija pale kumfuata.Akapiga ile

namba lakini alikuta haipatikani na kuanza

kuogopa huenda yule mtu anataka kumfanyia kitu

kibaya.Akaamua kuingia ndani ya gari yake ili

aondoke haraka lakini kabla hajafungua mlango

wa gari alimuona mtoto mdogo wa takribani

miaka 14 akija pale alipo.

Shikamoo kaka.

Marahaba haujambo?

Sijambo.Kaka nimepewa mzigo wako na dada

mmoja hivi nikuletee.

Ally akauangalia ule mzigo ambao ulikua ni

bahasha ya kaki ambayo ilionekana kama ndani

yake kuna kitu.

Yeye huyo mtu aliyekupa yuko wapi?

Nahisi atakua ameondoka maana wakati ananipa

alikua anaingia ndani ya gari yake.

Ally aliipokea ile bahasha kwa wasiwasi sana

kisha akamshukuru yule mtoto na kuingia ndani

ya gari.

Kaka naomba hata 500 basi nikanunue clips pale

mbele.

Ally hakujibu kitu zaidi ya kutoa noti ya shilingi

2000 iliyokua mfukoni kwake na kumkabidhi yule

mtoto.Yule mtoto alimshukuru sana Ally kisha

akaondoka mbio huku akiwa amefurahi

sana.Haraka haraka Ally akawasha gari yake na

kuondoka maeneo yale kwani alishahisi hayakua

salama tena.

Alipofika nyumbani kwake hakubadilisha hata

nguo kwani alikua na shauku kubwa ya kutaka

kujua mule ndani ya bahasha kuna kitu

gani.Haraka haraka akaifungua na kukuta

karatasi nyeupe mbili ambazo ziliandikwa maneno

mengi sana.Akaanza kuzisoma taratibu na kwa

umakini sana.Kila alipozidi kusoma alijikuta

kutoamini kabisa kile kilichoandikwa na kujikuta

akitoa macho kama mjusi aliyebanwa na

mlango.Alizisoma karatasi zote kwa umakini sana

na alipomaliza alizitupa pembeni na kuanza kulia

kama mtoto mdogo.

Nooo!! Yani baba ndiye aliyemuua mama.Hapana

sitaki kuamini,Noo! Noooooo!

Ally alilia sana kama mtoto mdogo hadi

mfanyakazi wake wa ndani alimsikia na kuja

kumuuliza amepatwa na nini.Ally hakumjibu kitu

zaidi ya kuendelea kulia huku akionyesha kuwa

anaumia sana.Mfanyakazi wake alijitahidi

kumbembeleza lakini alishindwa kwani Ally

aliendelea kulia mpaka usiku ukaingia.Hata

chakula hakutaka kula hivyo akajifungia

chumbani kwake akiwa anaendelea kulia na

kuumia sana.

*************** ***************

Bibi tumbo! tumbo bibi.Aaaaah tumbo

langu.Isshhhhh mmmmmm. Alikua ni Recho

akiwa analia na kupata maumivu makali sana

kwani uchungu ulikua umemjia mida hiyo yapata

saa 8 ya usiku.Kwa kuwa ulikua ni usiku sana na

kama unavyojua maisha ya kijijini,bibi yake

hakuwa na jinsi zaidi ya kuandaa vifaa

alivyovinunua kama dharura kwa ajili ya

kujifungulia mwanamke.Watu wengi wa kijijini

huwa wana hii tabia kwani hospital zinakua zipo

mbali sana na makazi yao hivyo inawawia vigumu

kwenda nyakati za usiku haswa yanapotokea

mambo kama haya ya kujifungua.

Recho alipata maumivu makali sana na kulia kwa

uchungu lakini kwa msaada wa mungu na bibi

yake alifanikiwa kujifungua salama mtoto wa

kiume.Bibi yake alifurahi sana kuona mjukuu

wake amejifungua salama japokua Recho

mwenyewe alionyesha kuwa na huzuni.

Mbona unaonyesha kama una huzuni mjukuu

wangu wakati umejifungua salama.

Recho alimtazama bibi yake kisha akamjibu kwa

unyonge.

Nawaza mwanangu ataishi maisha ya aina gani

bila kumtambua baba yake.Hivi akiwa mkubwa si

ataniuliza sana je mimi nitamjibu nini?

Bibi yake alibaki kimya huku na yeye akionyesha

kuguswa na yale maneno ya Recho.

*************** *************

Ally aliendelea kuitafuta ile namba mara kwa

mara ili aongee naye vizuri juu ya kile

alichomwambia kwenye zile barua lakini muda

wote ilikua haipatikani.Alijikuta akianza

kumchukia sana baba yake na hakutaka hata

kumuona kwani yeye ndiye mtu aliyefanya hadi

leo asiwe na mama.Muda mwengine alikua kama

haamini lakini kila akilinganisha maelezo ya baba

yake na ile barua kuhusu kifo cha baba yake

Recho vilikua vinaendana hivyo akahisi huenda

huyo mtu atakua anajua kila kitu kilichotokea.Al

itamani hata aonane naye muda huo lakini ndio

hivyo hakujua anaishi wapi na pia namba yake

huwa haipatikani kabisa labda yeye ndio apigiwe.

Akakumbuka kuwa mwisho wa barua paliandikwa

kuwa akitaka habari kamili zaidi na kuthibitisha

ile habari basi aende nyumbani kwa kina Recho

ili akaonane na mama yake Recho kwani yeye

alikua anajua kila kitu kilichotokea na pia

ushahidi alikua nao.Ally alitamani afanye hivyo

lakini alijiuliza anaanzaje kwenda kwa kina Recho

ukizingatia walishampigia marufuku asikanyage

kabisa nyumbani kwao.Akaamua amtafute kaka

yake Rashidy ili amsimulie kila kitu ili wajue

wachukue uamuzi gani....




Alimpigia simu na baada ya kaka yake kupokea

walisalimiana na kuanza kuongea naye.

Sasa kaka nilikua nakuomba tuonane hata leo

kama utakua na nafasi maana kuna kitu muhimu

sana nataka nikuambie.

Kitu gani tena hiko mdogo wangu kwani hauwezi

kuniambia hapa hapa kwenye simu.

Hapana kaka ni mazungumzo marefu kidogo

halafu ni muhimu hivyo nisingependa tuongelee

hapa.

Sawa kwakua umeniambia ni muhimu basi leo hii

inabidi tuonane ili uweze kuniambia.

Sawa kaka nashukuru sana kwa kuweza

kunielewa.Baadae basi.

Ok poa mdogo wangu usijali.

Baada ya kumaliza kuongea Ally akakata simu

kisha akabaki akiwa anatafakari jinsi ya kuja

kumueleza kaka yake lile tukio zima jinsi

lilivyokua.

Ilipofika jioni muda wa kutoka kazini walipanga

sehemu ya kukutana na Ally ndio aliyeanza

kufika baada ya muda kidogo kaka yake naye

alifika na kusalimiana kisha wakakaa chini na

kuanza kuongea.

Eeh haya niambie sasa umeniitia nini maana

sijafanya kazi kwa raha kabisa kila nilipokua

nikikufikiria.

Mmhh kaka,haya mambo ni mazito yani hata sijui

nianze kukueleza wapi.

Wewe anzia popote tu ilimradi nikuelewe.

Ally hakuongea kitu zaidi ya kutoa zile barua

mbili na kumkabidhi kaka yake.

Ndio nini sasa hizi?

Wewe soma tu zote mpaka mwisho ukishamaliza

ndio nitakuambia imekuwaje.

Kweli Rashidy akaanza kuzisoma taratibu na

kadri alivyoendelea kusoma alijikuta akitoa

macho kama mwizi kuonyesha kutoamini kile

alichokua anakisoma.

Baba!haaa hapana,haiwezekani kabisa yani

haiwezekani.

Malizia mpaka mwisho ili uielewe vizuri.

Kweli Rashidy akasoma barua zote mpaka

mwisho na alipomaliza alijikuta amechoka hoi.

Ndio hivyo basi kaka yani hata mimi unavyoniona

bado kama siamini hivi yani mtu amuue mke

wake mwenyewe?

Mmhh hapana.Vipi baba mwenyewe umemtafuta

na kuongea naye.

Hapana sijamtafuta na ndio maana nimekuita

wewe hapa ili tujue tunafanya nini.

Rashidy alikaa kimya kwa muda kisha

akamuuliza Ally.

Kwani huyo mtu aliyekwambia na kukupa hizi

barua ni nani?

Mmhh yani hapo ndio panaponichanganya zaidi

kwani huyo mtu hata simjui kabisa wala sijawahi

kumuona ila yeye anaonyesha kunifahamu.

Sasa kama hujawahi kumuona amekupa vipi hizi

barua?

Ally akamsimulia kila kitu kaka yake jinsi yule

mtu alivyokua akimpigia simu na hadi alivyoenda

Coco beach.

Mmhh nahisi kuna mchezo hapa unataka

uchezeke hivyo inabidi tuwe makini sana.

Yah hata mimi nimehisi hivyo hivyo na ndio

maana nakuwa na wasiwasi sana.

Rashidy alikaa kimya kwa muda kisha akampa

wazo mdogo wake.

Sasa sikia,inabidi twende nyumbani kwa kina

Recho ili tukaonane na mama yake Recho

naamini yeye ndiye anayejua kila kitu kama hizi

barua zinavyoeleza.

Mmhh kaka!Tunaanzaje kwenda kwa kina Recho

haswa mimi kwa haya yaliyotokea?

Usiwe na wasiwasi mdogo wangu hakuna kitu

chochote kibaya kitakachotokea.Inabidi kesho

Jumamosi twende ili tukaonane naye tumuombe

atueleze kila kitu.

Mmhh sawa.Ila kesho Jumamosi huwa anaenda

kazini yani Jumapili peke yake ndio anakua yupo

nyumbani.

Basi sawa hata hiyo Jumapili sio mbaya tutaenda

tu.

Waliongea vitu vingi sana na kupanga mambo

mengi hadi giza likaanza kuingia.Waliagana kisha

kila mtu akarudi nyumbani kwake huku

wakiahidiana kuwasiliana mara kwa mara ili

kujulishana kila kinachoendelea.

*************** ***************

Baada ya siku kadhaa kupita baada ya

kujifungua,Recho akaamua kumpa mwanaye jina

la marehemu baba yake yani Edward.Kila

alipokuwa anamtazama mwanaye alihisi machozi

yakimtoka kwani alifanana kabisa na

Ally.Alitamani sana Ally angekua pembeni yake ili

wamlee wote mtoto wao lakini ndio hivyo tena

yameshatokea.

Lakini mjukuu wangu utakua hivyo mpaka lini?

Kwanini huyo Ally aendelee kuutesa moyo wako

kwa muda wote huu wakati yeye ameshakusahau

kabisa na kuamua kutaka kuoa mwanamke

mwengine?

Sio kama namkumbuka Ally hivi hivi bibi ila mtoto

ndio ananifanya nawaza yote haya.Hebu ona

amezaliwa lakini baba yake hayupo je akija kuwa

mkubwa na fahamu zake unafikiri itakuwaje?

Kweli mjukuu wangu naelewa.Lakini ndio hivyo

yameshatokea unafikiri itakuwaje tena.Inabidi tu

uzoee kuishi hivyo hivyo na ufurahie uwepo wa

mwanao kwani yeye ndio kila kitu.

Recho alikaa kimya huku machozi yakiendelea

kumtoka kwa yale maumivu aliyokua anayapata

moyoni mwake.

Aliwasiliana na mama yake na kumtaarifu kuwa

amempa mwanaye jina la baba yake Edward na

mama yake alionyesha kufurahi sana.Akamuahidi

kuwa ataomba likizo japo ya wiki moja kazini ili

aende huko Iringa kumuona mjukuu wake

aliyezaliwa.

Recho alifurahi sana kwani pia ilikua ni muda

mrefu hajaonana na mama yake kipenzi.

*************** ****************

Ilipofika Jumapili Ally na kaka yake wakaanza

safari ya kuelekea tabata nyumbani kwa kina

Recho.Moyo wake ulimdunda sana kuliko

kawaida kila alipofikiria kuonana tena na Recho

kwani ni muda mrefu sana alikua hajaonana

naye.Walifika mapema sana kwani walikua

wanatumia usafiri wao binafsi.Walipiga hodi

getini huku Ally akiwa nyuma kutokana na kuwa

na wasiwasi sana.Baada ya muda Vero

mfanyakazi wa ndani alikuja na kufungua

geti.Kwanza alionyesha kumshangaa Rashidy

kwani alikua hamkumbuki vizuri ila alipotazama

nyuma aligongana uso kwa uso na Ally.

Haaa!Ally!!!

Vero!Mambo vipi?

Poa vipi mzima?

Ndio namshukuru mungu sijui wewe?

Me niko poa yani ndo kimya umetususa moja

kwa moja tangu ulivyoondoka.

Weacha tu Vero matatizo ndio yaliyofanya niwe

sionekani.Vipi lakini mama yupo ndani?

Ndio yupo ila..Natamani sana ningewakaribisha

ndani lakini kama mnavyojua mimi sina mamlaka

yoyote hapa hivyo ngoja nikamtaarifu mama

kwanza juu ya ujio wenu.

Sawa Vero usijali kuhusu hilo nenda tu

ukamwambie.

Kweli Vero aliondoka na kuingia ndani na baada

ya kama dakika 5 walimuona akija akiwa

ameongozana na mama yake Recho.Walipofika

pale getini na kuonana wote wakamsalimia kwa

upole na unyenyekevu sana.

Shikamoo mama.

Mama Recho aliitikia kwa dharau sana kiasi

kwamba kama wakina Ally wasingekua na shida

basi wangeondoka muda huo huo.

Marahaba.

Samahani sana mama naomba uturuhusu tuingie

ndani kwani tuna mambo ya muhimu sana

tunataka tuongee na wewe.Aliongea Rashidy kwa

unyenyekevu sana huku akimsubiri mama Recho

atajibu nini.

Nilikwambia nini wewe Ally kuhusu kuja hapa?Si

nilikwambia sitaki tena kukuona ukikanyaga

nyumbani kwangu.

Tafadhali mama naomba unipokee kama mwanao

wala sijakuja kwa ubaya.Naomba uturuhusu

tuingie ndani ili tukaongee vizuri haya mambo.

Mama Recho alikaa kimya huku akiwatazama

kwa dharau Ally na kaka yake.

Haya ongeeni hapa hapa nawasikiliza.

Ni kuhusu baba hivyo naomba tuingie ndani ili

tuongee kwa kina zaidi maana hapa getini sio

mahala pake.Aliendelea kuongea Rashidy kwa

unyenyekevu sana.

Mama Recho aliwatazama tena juu mpaka chini

kisha akageuka na kuanza kuingia ndani huku

akiwaonyesha ushara kuwa wamfuate.Kweli Ally

na Rashidy wakaingia haraka na kuanza

kumfuata mama yake Recho aliyekua anaelekea

sebuleni.

Walifika na kukaa kwenye sofa kisha mama yake

Recho akawaambia.

Haya semeni haraka haraka kilichowaleta ili

muondoke nyumbani kwangu maana sina muda

wa kuwasikiliza.

Rashidy alikohoa kidogo kisha akamwambia

mama yake Recho.

Naomba utusaidie kitu kimoja mama,juzi

tumepokea barua kutoka kwa mtu tusiyemfahamu

ikiwa inaeleza juu ya mambo mengi aliyoyafanya

mama siku za nyuma ikiwa ni pamoja na kumuua

mama yetu pamoja na baba yake Recho na

mwisho kabisa ikaandikwa tukitaka maelezo

kamili tuje kwako wewe maana ndiye unayejua

kila kitu.Hivyo mama nakuomba sana utuambie

ukweli wote maana ni jambo muhimu sana kwetu

wote.

Mama Recho alionyesha kushtuka kidogo kisha

akasema.

Hiyo barua yenyewe iko wapi?

Rashidy aliitoa na kumkabidhi mama yake Recho

ili aisome huku Ally akiwa na shauku kubwa sana

ya kumuona Recho kama atatokea pale

sebuleni....



Mama Recho aliisoma ile barua kuanzia mwanzo hadi mwisho kisha akawatazama Ally na kaka yake na kuwaambia

Kwahiyo kama mmeshajua ukweli mnataka mimi nifanye nini?

Shida yetu ilikua ni kutaka kujua kwanini baba alifanya vitu vyote hivyo maana inakua ni ngumu kidogo kuamini kuwa mtu anaweza kumuua mke wake.

Kwahiyo hamuamini au?

Sio kama hatuamini mama ila tunataka kujua tu ukweli jinsi picha nzima ilivyokua.Hili sio tatizo lako peke yako mama ila ni tatizo letu wote hivyo naomba tushirikiane katika hili.Rashidy alikua anaongea maneno ya busara sana kiasi kwamba jazba aliyokua nayo mama Recho ilianza kupungua kidogo.

Mama Recho alikaa kimya kidogo akiwa kama anafikiria kitu kisha akaanza kuwasimulia mwanzo mpaka mwisho jinsi mkasa mzima ulivyokua.Aliwaambia pia sababu ya baba yao kumuua mama yao kiasi kwamba wakina Ally wakaanza kutokwa na machozi.

Kwahiyo ndio hivyo tangu siku hiyo baba yenu alipoachiwa huru na kuonekana hana hatia sijaonana naye tena mpaka ile siku mliyokuja hapa kuleta posa.

Ally ndio alikua analia sana kwani hakuna kitu kilichokuwa kinamuumiza kama kutoyafaidi mapenzi ya mama yake tena mbaya zaidi hakufa kwa rehema za mwenyezi mungu ila aliuawa tena na baba yake mzazi.

I swear he must pay for this(Naapa lazima atalipa kwa hili)Kumbe mapenzi yote aliyokua anatuonyesha ni unafiki mtupu.Yani baba yetu wenyewe ndiye aliyemuua mama yetu.Oh my god lazima tulipe kisasi no matter if he is our father or not(Haijalishi ni baba yetu au sio).Ally alikua anaongea kwa jazba kubwa sana huku machozi yakiendelea kumtiririka kama maji.

Nakuunga mkono mdogo wangu yani kwa hili sitaangalia kuwa ni baba yetu au ni nani lazima sheria ifuate mkondo wake.

Mama Recho naye alijikuta akianza kulia kwani hakuamini kabisa kama wakina Ally wangeweza kuchukua maamuzi yale ya kumuangamiza baba yao.

Kwahiyo mnachukua hatua gani sasa?

Inabidi tuanze kuandaa ushahidi kamili juu ya kila kitu kilichotokea na naamini wewe mama ukishirikiana na sisi bega kwa bega basi tutalifanikisha hili kwa urahisi.

Mimi ninao ushahidi wote kuhusu hili tukio ngoja niende ndani mara moja narudi.

Kweli mama Recho akainuka na kuelekea chumbani kwake na baada ya dakika kadhaa alirudi akiwa ameshika faili ambalo ndani yake lilionekana lina vitu vingi sana.

Ushahidi wote upo humu.Nimejitahidi kutunza hizi kumbukumbu kwa zaidi ya miaka 15 nikiamini ipo siku zitakuja kunisaidia na kweli leo mungu amesikia kilio changu.

Wakina Ally wakalisogelea lile faili na kukuta picha nyingi za baba yao akiwa pamoja na marehemu baba yake Recho huku nyengine akiwa na marehemu mama yao.Pia kulikua na barua nyingi sana ambazo baba yake Recho aliziandika kuonyesha kuwa baba yao wakina Ally alimdhulumu hela zake nyingi sana walizofanya biashara pamoja.Pia kulikua na ile barua ambayo yule kijana aliyetumwa wakamuue baba yake Recho pamoja na mama yao wakina Ally aliiandika na kumkabidhi mama yake Recho miaka mingi sana iliyopita siku aliyokuwa anahama kinondoni na kuhamia pale anapoishi sasa.

Baada ya kumaliza kuangalia vitu vyote walichoka hoi na kujiridhisha kuwa kweli baba yao alihusika kwa 100% kwenye mauaji yote.

Sasa mama inabidi uwe attention yani muda wowote kuanzia sasa tutakuhitaji ili ukasimame mahakamani ukatoe ushahidi.Naamini mara hii hautaumia tena maana hata mahakama itashangaa kuona watoto wamemshitaki baba yao mzazi.Lazima baba akaozee jela yani hafai hata kidogo kuendelea kuishi uraiani.Aliongea Rashidy kwa jazba ambaye alionekana kuwa anaumia sana.

Sawa nimewaelewa yani nashukuru sana kwa ushirikiano wenu maana nilikua sijui kabisa nianzie wapi.

Usijali mama yani tutakua bega kwa bega maana hili ni tatizo lote sote.

Walimshukuru sana mama Recho na kubadilishana naye namba za simu huku wakimuahidi kumjulisha kila kitu kitakachoendelea.

Ally alitamani kuuliza Recho yuko wapi maana alikua hajamuona akitokea pale sebuleni lakini aliogopa kwani alijua anaweza kubadilisha hali ya hewa.

Hivi Recho yupo kweli au ametoka maana sijamuona kabisa hapa.Ally alishtuka sana kusikia kaka yake akimuuliza mama Recho swali lile wakati walipokua wanaondoka.

Mama Recho alikaa kimya kidogo akiwa kama anafikiria ajibu nini.

Hayupo.Alijibu kwa ufupi huku akionyesha hataki kuendelea na yale maongezi.

Ok akirudi utamsalimia basi.

Sawa nitamwambia.

Wakina Ally wakaondoka huku wakionyesha kuwa wamechanganyikiwa sana.

*************** ***************

Nini mama?wamekuja?

Ndio walikuja jana.

Walikuja kufanya nini sasa?

Kuulizia kuhusu kifo cha mama yao.

Wamejuaje kama baba yao ndiye aliyehusika kumuua mama yao?Kwani uliwaambia?

Hapana sio mimi ila ni dada yako Rebecca ndiye aliyepanga mchezo wote.Alimpelekea Ally baadhi ya karatasi za ushahidi na kuwaelekeza waje kwangu na ndio maana jana walikuja.

Mmhh aisee!Kwahiyo wamechukua uamuzi gani?

Wanataka wamfunge baba yao.

Heeh!makubwa.Wapo serious kweli au walikua wanatania tu?

Mmhh kwa jinsi walivyokua wakiongea na kulia hapa sidhani kama watakua wanatania.Yani wapo serious kabisa na ninavyokwambia muda wowote kuanzia sasa kesi inafunguliwa mahakamani.

Mmhh hatimaye mungu amesikia kilio chetu.Vipi Ally hajaniulizia kuwa nipo wapi?

Hata hajakuulizia nahisi alikua anaogopa kwa jinsi nilivyokua namuona.Ila yule kaka yake alikuulizia lakini sijamwambia kuwa upo wapi zaidi tu ya kumjibu kuwa haupo.

Dah!sawa mama yani siamini kabisa kama yamefikia huko.

Waliendelea kuongea kwa muda mrefu kisha walipomaliza wakaagana na kukata simu.

*************** ***************

Ally alikua amechanganyikiwa kuliko kawaida kwa yale mambo yanayoendelea kwani kila alipokua akiyafikiria alihisi kichwa kikimpasuka.

"Mmhh yani tukamfunge baba yetu mzazi kweli?Jamii itatuonaje?Lakini potelea mbali kwa hili la kumuua mama yetu siwezi kumsamehe duniani wala akhera."

Ally aliwaza peke yake akiwa amepumzika chumbani kwake.Baada ya muda mfupi aliona simu yake ikiita na alipoitazama akaona Ilham ndio anampigia.

Huyu naye anataka nini saa hizi usiku wote huu aah!! akaamua apokee ili amsikilize anasemaje.

Hallow vipi.

Poa tu baby upo wapi?

Nipo nyumbani nimepumzika ulikua unasemaje?

Nipo njiani basi nakuja baada ya muda mfupi nitakua nimeshafika.

(Ally alikasirika sana lakini hakua na jinsi zaidi ya kumruhusu aje)

Ok me nipo.

Akakata simu na kujilaumu kwanini alimleta Ilham pale kwake maana alipafanya kama chooni yani mda wowote aliojisikia alikua anaenda.

Akaamua asikilize mziki ili apunguze mawazo lakini alihisi kama unampigia kelele tu hivyo akaamua kuuzima.Akaanza kumkumbuka sana Recho na kubaki akijiuliza anaendeleaje na ujauzito wake kwani alijua fika kuwa miezi ya kujifungua ilikua imeshafika.Akajuta kwanini hakumuomba mama yake Recho amwambie jinsi anavyoendelea siku ile waliyoenda nyumbani kwake.

Alijaribu tena ile namba ya Recho na akakuta haipatikani hivyo akajua moja kwa moja atakua ameacha kuitumia hiyo namba.Alitamani sana aonane naye na akapanga ataenda tena nyumbani kwao ili akamuone na kumjulia hali anaendeleaje.

Wakati anaendelea kuwaza juu ya Recho akasikia kengele ya getini ikilia na moja kwa moja akajua tayari Ilham ameshawasili.Kweli baada ya muda mfupi akasikia mlango wa chumbani kwake ukigongwa na akaenda kumfungulia.

Jamani i miss you so much mume wangu,vipi unaendeleaje?

Niko poa tu karibu.Ally alijibu kiunyonge kuonyesha kutofurahia ule ugeni wa Ilham.

Haya asantee.Vipi mbona upo hivyo?

Nipo vipi?

Unaonyesha kama haupo sawa hivi.

Hamna mbona me nipo sawa wasiwasi wako tu.

Mmhh hayaa.Ngoja nikaoge kwanza maana hapa nimetoka kazini hata kwangu sijapitia.

Sawa nenda me tayari nishaoga muda mrefu.

Kweli Ilham akaanza kuvua nguo pale pale mbele ya Ally bila aibu na kubaki kama alivyozaliwa.Kwa jinsi alivyoumbika kuanzia juu mpaka chini,Ally akajikuta jogoo wake anaanza kupanda mtungi taratibu.Ilham akainama chini kuokota kufuli lake huku akiwa amempa mgongo Ally na hapo ndio Ally alipochanganyikiwa kabisa na kubaki ametoa macho kama mwizi...



TAMATI


0 comments:

Post a Comment

BLOG