Search This Blog

Saturday, February 26, 2022

ENDLESS LOVE - 3

   

Simulizi : Endless Love

Sehemu Ya Tatu (3)



Sarah alikua anapata maumivu makali sana kwa kitendo kile ila alijitahidi kuvumilia kutokana na kuwa anapewa hela nyingi kila akitoka kutumikishwa na mzee Mohammed.. Alijitahidi kuiingiza hadi ikazama yote na alisikia maumivu

kutokana na njia yake kuwa ndogo sana tofauti na maumbile makubwa ya mzee huyu wa makamo..Akaanza kuikatikia mauno taratibu huku akiendelea kusikia maumivu ambayo kila akiongeza speed ya kukata mauno yalianza kupotea taratibu. Mzee Mohammed alikua anatoa miguno ya kiutu uzima huku akisikia raha sana kutokana na dunguso yake kubanwa

sana na uwa mdogo wa Sarah. Alihisi joto kali sana mule ndani kila dunguso yake

inapozungushwa zungushwa na mauno ya

Sarah..Kitendo hiki cha kufanya mapenzi

kinyume na maumbile (Anal sex) kwa vijana wa kidigital wanakiita majina tofauti tofauti kama kula jicho, ndogo, kula tigo, kuruka ukuta ,mambo yetu na majina mengine mengi kwenye mitaa tofauti tofauti.. Sarah alizidisha speed huku akiwa anapiga kelele kama mwendawazimu na vidole vyake akivizamisha kwenye naniliu yake ya mbele. Kwa jinsi alivyokua kachanganyikiwa. Yale mambo

aliyokua anayafanya utaweza kusema walikua wanacheza movie ya X kwani mda mwengine aliitoa dunguso kwenye uwa wake na kuiingiza mdomoni na kuanza kuipigisha mswaki. Sarah alionekana kama malaya na alifanya vitendo vingi ambavyo kama wewe ndugu msomaji

ungekua unaviona ungeona ni uchafu mkubwa ambao pengine walistahili wafanye mbwa..Sarah aliendelea na balaa lake zito huku akimbadilishia mikao tofauti mzee wa watu ambaye kwa umri wake aliokua nao shughuli nzito kama zile alikua hawezi kuzimudu kabisa..Mzee Mohammed alizidi kutoa miguno kwa sauti ya juu ya kiutu uzima na kumfanya

Sarah aongeze speed na baada ya muda mfupi mzee Mohammed akavunja dafu lake na kuyamwaga maji yote mule mule ndani.


Alipomaliza akajitupa kitandani kama mzigo huku akiwa hatamani kitu chochote na kubaki akilitolea macho feni la juu jinsi linavyozunguka.. Walikaa pale kitandani huku wakiongea mambo mengi utadhani mke na mume kumbe walikua wanavunja amri ya sita kwa wakristo tena kwa

njia isiyokua ya halali(kinyume na maumbile)

"Wewe mtoto utaniua mimi..Hii michezo yako na speed kali unayonipeleka utanifanya siku moja nigande kwenye kiuno chako na kufia hapo hapo."

Sarah akacheka sana kisha akamwambia,, si umetaka mwenyewe kuingia kwenye miziki ya damu changa,basi ngoja upakuliwe chakula cha moto kikiwa bado kipo jikoni."

Aliongea maneno hayo huku macho yake akiyazungusha kama kahaba aliyekubuhu.

Waliongea mambo mengi sana huku mzee

Mohammed akimuahidi Sarah kumfanyia

mambo makubwa zaidi kwa kadri atakavyozidi kumfurahisha.


***** ***** ***** *****


Chuoni mapenzi ya Ally na Nusrat yalizidi kuwa ya moto kwani sasa mda mwingi Ally alikua anaenda room anayokaa Nusrat kupiga nae story huku muda mwengine akiwa anamfundisha..Siku hizi kitendo cha kula mate kilikua cha kawaida sana kwao isipokua kimwili ndo bado hawajakutana kwani Nusrat alikua

anamsubiri Ally amuanze wakati Ally akiwa hana mipango hiyo kabisa kichwani kwake..Waliendelea na maisha hayo huku mpaka muda huu Recho akiwa hajui lolote linaloendelea kati ya Ally na Nusrat na siku zote aliwaona kama marafiki wa kawaida tu..Walibakisha miezi miwili kabla ya kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza masomo yao huku Ally akizidi kupata ushawishi kutoka kwa Kassim kuwa waende viwanja wakale bata..


Siku moja ya jumamosi usiku Ally alimkubalia Kassim na kuanza kujiandaa na kutupia vibaya kama wanaenda kushoot video ya mziki..Wakakodi bajaj hadi maeneo ya club billicanas posta ambapo walikuta wasanii wengi wakiwa nje wakisubiri mda ufike ili waingie ndani wakampe support msanii mwenzao Jux

Vuitton ambaye siku hiyo alikua analaunch

video yake ya Uzuri Wako..Watu walitupia sana huku wakina dada nao hawakua nyuma kwa kujazana ndani wengi sana..Mwanga wa picha ndio uliotawala maeneo hayo kila mtu akitafuta picha iliyokua bora ili akaitupie kwenye

mitandao ya kijamii ilimradi marafiki zake

wamuone kuwa yupo viwanja vya bata..

Ilipofika saa tano na nusu usiku karibu watu wote walikua wameingia ndani na baadhi ya wasanii walikua wameshaanza kutoa burudani..Walipanda wasanii wengi sana huku wa mwisho akiwa mwenyewe Jux ambaye allimba nyimbo zake nzuri kama Napata Raha na Uzuri Wako

zilizowafanya mashabiki wake wapagawe kwa furaha..Muda wote huo Kassim alikua anakunywa pombe huku akitafuta msichana wa kuondoka nae ili akalale nae..Ally alikua anakunywa vinywaji laini

kama soda kwani katika maisha yake hakuwahi kabisa kutumia kilevi..Kassim alimsema sana rafiki yake kuwa anamtia aibu..

"Mambo gani sasa mwanangu unafanya?Kama tupo kwenye birthday ya mtoto bwana..Hebu acha ushamba bwana wa kujaza inzi humu ndani na sukari zako hizo chukua hela hii kagonge nyagi pale"

Kassim aliongea kwa kuyumba yumba huku akitoa sauti ya kilevi kisha Ally akapokea ile hela ili tu amridhishe asiendelee kuongea..


Akaenda kujificha hadi muda wa kuondoka ulipofika akampigia simu na kukutana nje ambapo alimkuta na msichana mmoja mzuri sana ambaye alistahili kuwa kwa mume wake na kuitumikia ndoa na sio kutumiwa kwa usiku mmoja kisha anaachwa..

"Sasa mwanangu mimi naondoka na

shemeji yako hapa tunaenda kupumzika wewe vipi unarudi chuo au?

"Hapana naenda kukodi chumba nilale

kesho asubuhi ndio nitarudi chuo."

"Sasa unaenda kukodi chumba peke yako?Wewe vipi mademu wote hawa waliojaa hata ukitaka fungu zima wanne, watano unapata kwa bei chee tu..Hebu acha swaga za bush wewe chukua malaya mmoja hapa ukalale nae."

Yule msichana aliyekua na Kassim alibaki

anacheka sana kutokana na yale maneno ya kilevi aliyokua anaongea Kassim..

Ally akamdanganya rafiki yake kuwa kuna msichana anamsubiria yupo ndani hivyo yeye atangulie na akitoka na yeye pia ataondoka. Kidogo Kassim

alimuelewa rafiki yake kisha wakakodi bajaj na kuondoka na yule msichana huku Ally akibaki pale peke yake..Wasichana

wengi walijipitisha mbele ya Ally wakijifunua funua nguo zao ili waitwe kumbe wangejua huyo mtu mwenyewe akili yake wala haikua pale..Baada ya muda mfupi Ally nae akakodi bajaj na kuondoka kuchukua chumba guest

apumzike ili asubuhi arudi chuo.


***** ***** ***** *****


Recho alianza kuhisi mabadiliko kutoka kwa mpenzi wake tangu ahamie hostel kwani mara nyingi akitaka aonane nae Ally alikua anasema yupo busy au hata akimpigia simu usiku mara nyingi ilikua haipatikani..Akaanza kuhisi labda mpenzi wake itakua amepata mwanamke

mwengine ndio maana anamfanyia vile..

"Mhh!Lakini Ally kweli ndio wakunisaliti mimi? Hapana haiwezekani. Namjua vizuri Ally wangu ananipenda sana hivyo sidhani kama anaweza kufanya kitu chochote kibaya kama mimi sipo..Ngoja nisiendelee kumfikiria vibaya Ally wangu labda itakua yupo busy sana kujiandaa na mitihani."

Recho alikaa peke yake akitafakari mustakabali mzima wa mapenzi yake yeye na Ally..Alikaa akiwa anachat na marafiki zake facebook na WhatsApp ili atoe upweke aliokua nao mara baada ya muda akaona Ally anampigia.. Alifarijika sana kwani muda mfupi uliopita alitoka kumuwazia mabaya kuwa labda atakua na

mwanamke mwengine anamchanganya.

Akapokea simu na kuongea kwa furaha huku akipewa maneno matamu na Ally. Alifurahi sana na kujiona mtu mwenye amani na kupendwa pengine kuliko mtu yeyote duniani..Alijitahidi kumwambia Ally hisia zake huku mda mwengine akilia sana akimwomba Ally asimuache kwani

atamwachia maumivu makali sana ambayo hayatafutika mpaka kifo chake..

Ally akamuahidi mpenzi wake kuwa hatomuacha kamwe na kumuhakikishia kuwa anampenda sana.


Recho alifarijika sana kwa yale maneno matamu anayoambiwa na mpenzi wake..

Waliongea mambo mengi sana kuhusu penzi lao hadi usiku mwingi wakaagana na kukata simu..Recho alifurahi sana na hakutaka tena kuingia facebook wala WhatsApp kwani alihisi anaweza akaja mtu akamuharibia furaha yake yote aliyoachiwa na Ally mda mfupi uliopita. Akaweka simu yake pembeni na kulala

huku akiwa na tabasamu pana usoni mwake akiwa anamuwaza Ally tu..Hakuna kitu alichokiona kina umuhimu katika maisha yake kama uwepo wa Ally..Moyo wake wote ulimjaza Ally na hakuwa anafikiria mwanaume yeyote mwengine. Aliendelea kufikiria hisia zile tamu hadi akapitiwa na usingizi bila kujitambua.


***** ***** ***** *****


Chuoni kila mda Ally alikua anaongea na Kassim kuhusu ile show ya Jux waliyoenda Billicanas..Aliipenda sana na akatamani kama siku nyengine waende tena.

"Wewe usijali kamanda wangu mimi ndio rais wa bata Tanzania ikulu wananijua, wiki hii bata linasomeka ambassadors lounge Izzo Bizness anakinukisha.."

Aah! kwahiyo itakua mzuka sana kama juzi yani?"

"Usipime tena hii itakua funika si unajua ile rnb hii hip hop?

"Eeh daah! sipati picha itakuwaje. Namkubali sana Izzo B..

"Basi hamna noma si tutaibuka maeneo yale kama kawaida tukafanye yetu."

Kweli wakaendelea na maongezi huku

wakipanga jinsi ya kutoka siku hiyo..

Jioni Ally alikaa na Nusrat na kumwambia

kuhusu ile safari ya kwenda ambassadors

kuangalia show. Nusrat hakua mtu anayependa sana kujirusha au kwenda club ila ilibidi amkubalie Ally ili apate

mda mzuri zaidi wa kukaa nae karibu..

Wiki ikasogea na hatimaye ikafika jumapili

usiku.Ally na Kassim wakajitupia kama kawaida yao na walipomaliza walitoka nje wakaenda kumsubiri Nusrat.


Ally akaongea nae kwenye simu na kumwambia kuwa wanamsubiri getini na baada ya kama robo saa ya kumsubiri walimuona Nusrat akija kwa mwendo wa madaha.Ally hakuyaamini macho yake kwa kumuona Nusrat akiwa katika muonekano ule kwani alivaa gauni fupi sana liliyafanya mapaja yake yaanze kuonekana huku kichwani akiwa yupo wazi na kuziona nywele zake nzuri za kipemba. Chini alivaa viatu virefu

(high heels) na kumfanya azidi kuwa mrefu utadhani yupo kwenye jukwaa la miss Tanzania..Akamsogelea na kumkumbatia kisha akambusu midomoni.

Wow! baby umependeza sana leo. Yani sikutarajia kabisa kama ungevaa hivi, mmh! Inabidi nikufunge kamba mguuni isije wajanja wakaniibia huko."

Nusrat aliachia tabasamu pana usoni lililomfanya kuzidisha uzuri wake mara mia moja..

"Nashukuru sana honey kusikia hivyo ila hata nyie mmependeza sana hadi nawaonea wivu."


Waliondoka pale chuo na kukodi taxi na kuanza safari ya kuelekea Ambassadors Lounge iliyopo maeneo ya posta. Walifika kisha Nusrat akamlipa mwenye gari na

kuelekea ndani..Nusrat akampa Ally elfu 60 ili akakate tiketi za watu watatu na kumfanya Kassim abaki mdomo wazi kwa jinsi Nusrat alivyokuwa na hela..Wakaingia ndani na kukuta watu wakiwa wameanza kujaa huku wengine wakiingia taratibu. Kassim akawaaga na kuwaambia kuwa atawatafuta baadae kwani kuna marafiki zake wapo mule ndani anaenda kuongea nao. Walibaki wawili juu ya meza huku wakiwa wanaangaliana sana..Walipiga story nyingi mpaka show ilipoanza ndipo watu wote wakainuka na kuanza kuruka ruka kwa midundo mizuri ya hip hop kutoka kwa wasanii tofauti waliokuja kumsindikiza mwenzao Izzo Bizness na

mwishoni kabisa akapanda mwenyewe Izzo B na kuimba nyimbo zake zote kali. Watu waliruka sana mpaka ilipofika saa 9 usiku ndio show ikaisha.


Nusrat alikua amechoka sana kwani hakuwahi kabla kucheza mziki wa nguvu wa aina ile..Wakatoka nje na kujishauri jinsi ya kuondoka kwani muda ulikua umeenda sana kwa wao kurudi chuo. Kassim alikuja kuwaaga na kama kawaida yake alikua kashachukua mwanamke wa kwenda kulala nae..Alipoondoka Nusrat akamwambia Ally na wao waende hotel iliyo jirani na pale ya New Africa Hotel ili wakapumzike na Ally ilibidi akubali.....



Nusrat akaita taxi iliyokua jirani na pale kisha wakapanda na kuanza safari. Kutoka Ambassadors Lounge hadi New Africa Hotel hapakua na umbali kabisa kwani baada ya dakika zisizozidi tano walikua wapo nje ya hotel ya nyota tano ya New Africa Hotel..Nusrat akamlipa mwenye tax kisha wakashuka na kushikana mikono wakielekea ndani. Nusrat alimlalia mpenzi wake begani akiwa kama anadeka hadi walipofika mapokezi na kumkuta dada mmoja mchangamfu sana ambaye aliwakaribisha. Akawatajia gharama za pale ambazo Ally alipozisikia ilibidi agune ndani kwa ndani ili wasimsikie kisha Nusrat akalipa na kukabidhiwa funguo. Kwa mwanafunzi kama Nusrat isingekua rahisi kuzimudu gharama zile ila kwa

sababu kwao wana uwezo sana na baba yake alikua akimuwezesha kwa pesa nyingi basi hakuona hatari kutumia shilingi laki mbili na arobaini kulipia gharama ya kulala pale..Alichojali ni kuwa yupo na

mwanaume anayempenda kuliko kitu chochote duniani..Wakapanda hadi ghorofa ya nne kilipo chumba chao walichokodi kwa kutumia lifti iliyokuwepo katikati ya jengo hilo kisha wakashuka

na kuanza kutafuta mlango namba 144 ambapo ndio kilikua chumba chao. Walivyoupata Nusrat akaufungua na wakaingia mpaka ndani kisha akaufunga na funguo..Walienda mpaka kitandani

na kukaa huku kila mmoja akitazama chini. Ally alionekana kuwa ni mtu mwenye mawazo sana hadi Nusrat akamshtua na kumuuliza.

"Vipi mpenzi wangu mbona upo hivyo, unaumwa?"


Ally alibaki kimya bila kujibu kitu chochote. Aliendelea kutazama chini huku akiwa ni kama mtu mwenye kutafakari kitu..

Ally!!

Ally akageuka baada ya kuitwa na Nusrat.

Mbona umekua hivyo ghafla mpenzi wangu umepatwa na nini? Muda mfupi uliopita ulikua unaongea na mimi na kufurahi vizuri ila baada kuingia humu nakuona ghafla umebadilika..Please

naomba uniambie umepatwa na nini, au unaumwa?"

Ally akatikisa kichwa na kukataa kuwa haumwi.

"Sasa kama hauumwi una nini baby mbona upo hivyo? Ujue unanipa wasiwasi sana mwenzie!! Please naomba uniambie honey wangu unitoe pressure."

"Samahani sana Nusrat kwa haya nitakayokuambia. Mimi sitaweza kulala hapa pamoja na wewe nahisi tunamkosea sana Recho hastahili kufanyiwa

hivi..Mimi naomba niondoke nikakodi chumba sehemu nyengine tutakutana kesho chuo..Recho ananipenda sana na nisingependa kulala na wewe hapa."

Nusrat baada ya kuambiwa maneno yale taratibu akaanza kuhisi machozi yakimtoka. Baada ya muda mfupi kilio kilishamiri na kumfanya mpaka Ally apatwe na uoga..Nusrat alilia sana mpaka macho yakaanza kubadilika rangi na kuwa mekundu..

"Kumbe haunipendi Ally, yani mambo yote haya ninayokufanyia kumbe ni bure kabisa. Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kukuonyesha mapenzi mazito lakini kwako imekua ni bure..Hivi unataka

nikufanyie nini Ally ili na mimi unithamini kama unavyomthamini Recho..Nishafanya mambo mengi sana yaliyo nje ya uwezo wangu ilimradi tu wewe ufurahi lakini yote imekua ni bure..Kwanini lakini Ally unanifanyia hivi?


Nusrat aliongea maneno hayo huku akilia kwa uchungu.. Ally alishindwa hata aongee nini kwani maneno aliyoambiwa yaliugusa sana moyo wake na kubaki

kimya..Nusrat alilia sana hadi akajitupa kitandani na kujifunika na mto..Ally hakua na jinsi zaidi ya kuanza kumbembeleza. Akamshika mkono na kumuita jina lake lakini Nusrat hakugeuka kabisa na aliendelea kulia..Ally alijihisi ni mkosaji sana na akajuta kwa kujiingiza katika mapenzi na wasichana wawili tena wote wakiwa wanampenda sana. Alimsogelea zaidi Nusrat na kuutoa ule mto aliojifunika na kuuona uso wake mzuri wote umejawa na machozi. Alimuonea huruma sana na akamuomba ainuke pale kitandani..Nusrat

akainuka na kukaa huku akiendelea kulia.

"Hivi kwanini Ally unanitesa hivi? Hivi unadhani ni wanawake wangapi wenye moyo kama wangu wa kukubali kushea penzi lako na Recho? Au unadhani hata Recho mwenyewe akisikia chochote

kuhusui mimi atakuelewa? Ndio ujue sasa kuwa nakupenda kwa dhati na nimeyakubali yote hayo pamoja na kushea mapenzi ilimradi niwe na wewe."

Ally akamshika Nusrat usoni na kuanza kumfuta machozi kwa kutumia viganja vyake vya mkono.

"Naomba unisamehe sana Nusrat kama nitakua nimekukwaza. Sijakusudia kukuumiza ila nimejikuta tu naongea maneno kama haya bila ya kujielewa. Naahidi hayatajirudia tena na mimi nabaki hapa ili tulale wote."


Baada ya kuambiwa maneno yale alifarijika sana na kuanza kujifuta machozi vizuri yaliyokua bado yapo kwenye mboni za macho yake..

"Nakupenda sana Ally na sitaki kabisa kukupoteza.. Nipo tayari kufanya kitu chochote kwa ajili yako ili nisikupoteze ila nataka kitu kimoja tu kutoka

kwako. Upendo wa dhati. Naomba unipende kama unavyompenda Recho."

"Sawa nimekuelewa Nusrat. Mimi nakupenda sana na ndio maana nilikubali kuwa na wewe..Haya mengine yanatokea kwa sababu tu mimi ni binadamu na muda mwengine inakua ni ngumu kuwaridhisha watu wawili ukizingatia wewe na Recho wote mnanipenda sana..Ila nakuahidi

sitakuumiza tena na hautalia."

Nusrat alifurahi sana na kumsogelea Ally na kumkumbatia kwa nguvu kisha akambusu mdomoni. Ally hakua na jinsi zaidi ya kumridhisha Nusrat kwa sababu alimuonea sana huruma na pia alikumbuka sana fadhila zake..

"Please baby (tafadhali mpenzi naomba

uniambie nikufanyie nini?"

Ally alikua ni kama ameshtushwa na hilo swali na wala hakujua ajibu nini..Alibaki kimya huku akimtazama Nusrat machoni..

"Naomba uniambie Ally, nikufanyie nini mpenzi wangu?"

Aaah! kitu kikubwa ambacho unaweza ukanifanyia ni kunipenda tu mpenzi na wala hakuna kingine..Naomba upendo wako wa dhati Nusrat hivyo tu."

Ally alikua ni kama amekurupuka tu

kujibu hilo swali kwani hakutarajia kabisa kuongea maneno hayo.

"Usijali Ally wangu, kuhusu upendo tu ongea kitu kingine..Nakupenda sana hata kabla ya wewe hujanijua..Hata kipindi kile wakati tunaanza chuo na kumtuma rafiki yangu akuombe ili nijiunge kwenye group lenu yote ilikua ni kutaka kuwa karibu na wewe..Nilijihisi kufarijika sana kila nilipokuona.. Nakupenda sana Ally."

"Nakupenda pia Nusrat."

Ally alijibu huku moyoni akiwa kama anajilazimisha kwani akili yake muda

wote ilikua kwa Recho na hakukipenda kabisa kile kitendo cha kulala pale. Alitamani hata kuondoka kwa nguvu ila alihisi angemuumiza zaidi Nusrat na

kumfanya alie zaidi ya mara ya kwanza..Akavua viatu vyake na kuviweka pembeni.


"Sasa mpenzi tunalala sasa hivi au bado tu tunapiga story maana najisikia usingizi sana."

Aliongea Ally huku akikaa tena pale kitandani baada ya kuviweka viatu vyake pembeni. Nusrat hakujibu kitu na kubaki akimtazama Ally kwa macho yake laini yaliyolegea kama mtu aliyekula kungu manga..Alizidi kumtazama Ally ambaye

nae alikua akimtazama. Nusrat akainuka na kumsogolea Ally karibu huku akimuwekea mkono wake begani. Ally alielewa Nusrat anataka nini ila alishindwa

kabisa kufanya kitendo kile kwa kuhofia kumvunjia zaidi heshima mpenzi wake Recho..Akabaki akimtazama Nusrat machoni ambaye alikua hajiwezi kabisa kwa kuzidiwa na ashki..

"Please (tafadhali) Ally, naomba joto lako. Nipo kwenye wakati mgumu sana mpenzi wangu kwani nina muda mrefu sana sijafanya hiki kitu..Naomba unihurumie Ally unitoe hamu zangu zote, nateseka sana juu yako."

Ally alikua hayupo tayari kabisa ila ilibidi akubali tu amridhishe Nusrat..Akamshika shingo yake laini ambayo ilikua na moto sana kama mgonjwa wa malaria na kuanza kubadilishana nae mate..Nusrat

alionyesha wazi kuwa kweli hajakutana na

mwanaume kwa muda mrefu kwani alikua

anahema sana mithili ya mtu aliyetoka kukimbia umbali mrefu..Waliendelea kubadilishana mate hadi kila mmoja aliporidhika wakaachiana..Nusrat alibaki

kimya akimsubiri mpenzi wake ampe mambo..Ally akamshika Nusrat kwenye mapaja na kuanza kukipandisha juu taratibu kile kigauni chake kifupi alichokivaa..Ngozi ya Nusrat ilikua laini sana kama mtoto mchanga na mapaja yake yalikua meupe sana..Muda huo Nusrat alikua hajiwezi kabisa na kujikuta akijilaza kitandani bila ya kuamrishwa. Ally akazidi kukipandisha kile kigauni kisha Nusrat akainuka na kumalizia kujivua yeye

mwenyewe. Akabaki na kufuli tu kwani maziwa yake ya wastani yaliyosimama vizuri yalikua hayahitaji hata sidiria..Ally akayashika taratibu yale maziwa

huku akiyapapasa papasa kiufundi na kumfanya Nusrat azidi kupagawa kwa raha..Akaanza kuyanyonya huku akiwa kama anazivuta chuchu kwa kutumia meno yake..Nusrat akaanza kupiga

kelele na kutoa vilio vya raha kwa ile michezo aliyokua anafanyiwa na Ally..Tangu atolewe bikra yake na boyfriend wake wa zamani Nassoro

hakuwahi kabisa kupewa raha kama zile..siku zote Nassoro alikua akimvamia tu na kumaliza shida zake kisha anamuacha kama alivyo..Alimuona Ally

ni mwanaume wa pekee sana kwani alikua ni handsome sana na pia utundu wa kitandani alikua anauweza sana..Alizidi kutoa miguno ya raha kwa kila kitu alichokua anafanyiwa na Ally.


Baada ya kumaliza kumnyonya maziwa na

kumpagawisha vilivyo Nusrat, akavua t-shirt yake na jeans na kuviweka pembeni kisha akavua na vesti nayo pia akaiweka pembeni..Akabaki na boxer tu

huku Nusrat nae akiwa na kufuli tu peke

yake..Nusrat alisisimka sana alipoiona dunguso ya Ally imetuna ndani ya boxer na kupeleka mkono wake na kuishika huku akiwa kama anaisugua sugua. Ally alipata raha sana na kutamani Nusrat

aendelee na ule mchezo kwa muda mrefu zaidi..Nusrat akamuacha na kuitoa dunguso ya Ally kwenye boksa na alipoona jinsi ilivyosimama alisisimka sana..Akaanza kuisugua sugua huku muda mwengine akiwa kama anaipitisha pitisha kwenye matiti yake mazuri na

kuisugulisha kichwa kwenye chuchu zake..Ally alipagawa sana na kuanza kutoa miguno ya chini chini hali iliyopelekea Nusrat aongeze speed. Alivyomaliza akaiingiza maiki mdomoni mwake na kuanza kutuma salamu nyumbani kwao Pemba..aliinyonya sana hadi akaanza kuhisi Ally anakaribia kuvunja dafu..Akamuacha huku Ally akionyesha kupagawa sana na vile vitu anavyofanyiwa na Nusrat kisha na yeye akamlaza kitandani na kuanza kumvua kufuli lake na kuliweka pembeni.


Kitumbua cha Nusrat kilikua kizuri sana na kimejaa nyama hali iliyomfanya Ally azidi kusisimka na kuongeza mautundu. Akachukua kidole chake cha kati na

kuanza kuichezea chezea naniliu ya Nusrat hadi akaanza kuona mvua ya manyunyu ikianza kwa mbali. Nusrat alikua hajielewi kabisa na wala alikua hajui yuko wapi na Ally akazidisha speed ya kuipekecha ile naniliu yake kwa ufundi mkubwa. Nusrat aliugulia sana hadi akamuomba Ally apunguze kidogo kwani alijihisi kuzimia. Ally akamuacha na kuiinua miguu yake juu na kuiweka begani kwake kisha akazama kunako chumvini uvinza..Mashetani ya Nusrat yalikua ni

kama ndo yanaamshwa kwani alianza kutoa vilio kwa sauti ya juu sana ila ile TV waliyoikuta inawaka ndio kidogo ilisaidia sauti isiende mbali..Nusrat alijinyonga nyonga sana kwa raha huku akiwa anang'ata meno yake..Ally aliinyonya vilivyo naniliu ya Nusrat huku akiwa kama anauzamisha ulimi wake kwa ndani. Nusrat alikua hajiwezi kabisa kwa utamu na kumshika Ally kichwani huku akiwa kama anamsukuma aendelee kumpa raha..Ally aliendelea kuwajibika hadi alipohakikisha Nusrat ameshaiva kabisa na yupo tayari kwa ajili ya kumpelekea

moto... Akamuachia na kuanza kuipaka paka mate mashine yake huku akiwa kama anaisugua kwa ajili ya kuiingiza kwenye naniliu ya Nusrat.


Ghafla akaanza kuhisi kichwa kinamgonga upande mmoja huku misuli ya kichwa ikianza kukaza..Mwanzo aliona ni hali ya kawaida na kuhisi ingepotea haraka lakini muda ulivyozidi kwenda ndio kilizidi kuuma na mbele kuona giza kabisa..Taswira ya Recho ilimjia kichwani na baada ya muda mfupi akadondoka chini kama mzigo.........




Alihisi kama mishipa ya kichwa inataka kukatika kwa jinsi kichwa kilivyokua kinamuuma na akaanza kupiga kelele kumuomba Nusrat amsaidie..Nusrat alishtuka sana kumuona Ally katika hali ile tena imekuja ghafla sana..Akamsogelea pale alipoanguka na kuanza kumuita jina lake..

Ally! Ally! Ally!! Umepatwa na nini jamani mbona upo hivyo ghafla mpenzi wangu?"

Recho! Recho! Recho!

Aliongea Ally taratibu huku macho yake yakifumba na sauti kupotea kabisa. Nusrat aliogopa sana haraka akainuka na kukimbilia simu kisha akapiga namba za mapokezi.. Simu iliita kidogo kisha ikapokelewa na sauti laini ya yule dada waliyemkuta wakati wanaingia ikasikika..

"Hallo, unaongea na Jackline Kweka mapokezi ya New Africa Hotel, tukusaidie nini tafadhali?"

"Samahani dada! Mimi ni mteja nimepanga chumba usiku huu huu muda sio mrefu na boyfriend wangu..Naomba huduma ya kwanza haraka iwezekanavyo chumba namba 144. Boyfriend wangu ghafla tu ameanguka wakati tupo kwenye

starehe sasa sijajua amepatwa na nini."

"Anhaa! si nyie mlioandikisha Ally na Nusrat?"

"Ndio dada ndio sisi, naomba muwahi tafadhali yupo kwenye hali mbaya sana."

"Sawa, baada ya dakika mbili watu wa huduma ya kwanza watakua wamewasili."

"Sawa nashukuru dada yangu."

"Sawa na pole sana kwa matatizo."


Nusrat akakata simu kisha akamsogelea Ally na kujaribu kumuita.Ally hakuitika wala kufumbua macho kabisa hali iliyomfanya Nusrat azidi kupatwa na wasiwasi.Akamshika kifuani ili kuangalia mapigo yake ya moyo na akakuta yanaenda vizuri..

"Sasa atakua amepatwa na nini Ally wangu? Mbona amekua hivi ghafla sana? Halafu pia mbona wakati anapoteza

fahamu alikua anamtaja Recho ina maana Recho anahusika na Ally kudondoka na kupoteza fahamu? Mmhh! nahisi kuna kitu kinahusika hapa"

Alijisemea peke yake huku akiwa amemuweka Ally kwenye mapaja yake mara baada ya kuvaa nguo zake na

kumfunika Ally shuka.. Baada ya dakika tatu akasikia watu wakipiga hodi na haraka haraka akaenda kufungua. Aliwakuta watu wanne wakiwa wamevalia mavazi ya msalaba mwekundu wenye kuashiria huduma ya kwanza. Akawaruhusu waingie kisha akaanza

kuwaeleza hali nzima jinsi ilivyokua. Haraka haraka wakatoa vifaa vyao na kuanza kumshughulikia Ally kisha wakampima pressure..Wakaona mapigo ya moyo yameshuka kwa kiasi kidogo hivyo wakaamua kumchoma sindano yenye kupandisha mapigo ya moyo haraka..Walivyomaliza mmoja akamuwekea barafu kichwani na kukiweka sawa kitanda chao kwa ajili ya kumuhamisha pale chumbani.. Walivyomaliza wakampakia na kuanza kutoka nae huku Nusrat akiwafuata kwa nyuma..Walimpeleka mpaka kwenye chumba maalumu ambacho kinatumika

kwa ajili ya kutoa huduma ya kwanza katika hotel hiyo ya nyota tano. Wakamuweka kitandani kisha wakamuomba Nusrat awasubiri kwa nje ili wafanye kazi yao..Nusrat akatoka huku akiwa na wasiwasi sana..Alizunguka huku na huko huku akiona muda unachelewa sana. Baada ya dakika 15 aliona mmoja kati ya wale watu wa huduma ya kwanza akitoka mule chumbani na kumfuata..

"Vipi dokta mgonjwa wangu anaendeleaje?"

Aliuliza huku akionyesha ni mtu mwenye wasiwasi sana. Dokta akamuangalia huku akionyesha yupo makini sana kisha akamjibu..

"Kulingana na vipimo tulivyomfanyia anaonyesha hajapata tatizo kubwa sana isipokua kuna mshtuko mdogo aliupata kwenye central nervous system (mfumo wa kati wa fahamu) na ndio iliyopelekea

mpaka akapoteza fahamu. Pia mgonjwa

anaonyesha kuishiwa maji na hali hii humfanya mtu yoyote anayepoteza fahamu kuona giza muda mfupi kabla ya fahamu hazijapotea kabisa..Ila ondoa hofu tatizo sio kubwa sana na ndio maana

tumeona tumtibie hapa hapa ila kama kutatokea mabadiliko yoyote basi tutamfanyia transfer (uhamisho) na kumpeleka muhimbili."

"Sawa nashukuru sana dokta kwa msaada wenu na huduma yenu muliyompatia mgonjwa wangu."

"Usijali, tunajali sana afya za wateja wetu wa hapa na ndio maana tunatoa huduma nzuri kila idara."

"Sawa nashukuru kusikia hivyo..kwahiyo anaweza akapata fahamu saa ngapi?"

Tunategemea mpaka kesho asubuhi atakua kasharejewa na fahamu ila tumuombe Mungu kwani yeye ndio muweza wa kila kitu."

"Amina. Nashukuru sana dokta. Basi ngoja

mimi nikapumzike asubuhi nikiamka nitakuja kumuangalia."

"Sawa dada na pole sana kwa matatizo."

"Asante kaka nishapoa."

Nusrat akaondoka na kurudi kwenye chumba walichokodi na Ally..Akajilaza

kitandani huku akiwa na mawazo mengi

sana..Alifikiria vitu vingi sana kuhusu penzi lake na Ally na kuhisi ana mkosi sana. Akawaza sana hadi usingizi ukampitia.


***** ***** *****


Saa moja na nusu asubuhi Ally alianza kurejewa na fahamu zake taratibu. Akapepesa macho huku na kule bila kuelewa yupo sehemu gani. Alijitahidi

kujiinua pale kitandani lakini alishindwa kwani mwili ulikua hauna nguvu kabisa. Pia alihisi maumivu ya kichwa kwa mbali hivyo akabaki pale pale amelala. Kugeuza shingo upande wa pili akaona dripu ya maji inamalizikia huku chumbani mule

kukiwa hamna hata mtu mmoja..Akabaki anavuta kumbukumbu zake na kuanza kukumbuka tukio zima la jana usiku wakati yupo na Nusrat..Akakumbuka mambo yote aliyokuwa anamfanyia Nusrat hadi alipoanza kujihisi kichwa kinamuuma..Baada ya hapo hakujua kitu chochote kilichoendelea hadi asubuhi hiyo alivyopata fahamu upya..

"Sasa hapa hospital nimefuata nini kama jana usiku nilikua nastarehe na Nusrat na hapa amenileta nani?"

Ally alijiuliza mwenyewe bila kupata majibu. Alibaki kimya akitafakari na baada ya kama dakika 8 akamuona Nusrat akiingia mule chumbani..

"Wow! umeamka jamani baby, alhamdullilah!"

Aliongea Nusrat huku akionyesha tabasamu pana usoni mwake. Akamsogelea Ally pale kitandani kisha akampiga busu mdomoni. Ally alijilazimisha kutabasamu lakini kichwani akiwa na maswali kibao juu ya kilichotokea hadi akawa pale..

"Unaendeleaje mpenzi?"

"Sijambo namshukuru Mungu, lakini bado

sijaelewa kwanini nipo hapa tafadhali naomba uniambie Nusrat nini kimetokea?"

Nusrat akamuelezea Ally kila kitu kilichotokea hadi akapoteza fahamu..Pia akamueleza kuwa pale hapakua hospital ila ni chumba cha huduma ya kwanza mule mule hotelini..Ally akamuelewa vizuri Nusrat kisha akamuambia..

"Daah! yani sikujua chochote kilichoendelea baada ya pale nimeshtuka tu kujikuta nipo hapa..Ila nashukuru sana kwa msaada wako."

"Usijali mpenzi wangu mimi nipo kwa ajili yako..Pia nawe pole sana kwa yote yaliyotokea,daktari aliniambia umepatwa na mshtuko katika mfumo wako wa kati wa fahamu ndiyo maana umepatwa

na hali kama ile..Pia alisema umepungukiwa na maji ndio maana wamekuwekea hii dripu ili uongeze maji kidogo."

"Daah aisee kumbe yametokea mambo mengi sana bila ya mimi kujua chochote. Kweli binadamu sisi dhaifu na muda wowote Mungu akiamua kutuchukua anatuchukua."

"Yaah kweli kabisa mpenzi wangu inabidi tushukuru sana mpaka umerudi katika hali hiyo maana jinsi ulivyokua jana nilichanganyikiwa sana kama ungeniona

ungenionea huruma."


Basi wote wakabaki wanatabasamu na kuendelea na story nyengine na baada ya muda mfupi akaingia yule daktari aliyeongea na Nusrat usiku uliopita..

Akawasalimia wote kisha akamuuliza mgonjwa jinsi anavyojisikia..Ally akamwambia kila kitu na kumueleza kuwa anahisi mwili umekosa nguvu tu ila maumivu ya kichwa yameacha kabisa..

Daktari akamuambia kuwa hiyo inatokana na ile dripu aliyowekewa ila akamwambia atampa glucose awe analamba mara kwa mara ili kurejesha nguvu zake..

Ally alimshukuru sana daktari kwa huduma yake nzuri aliyompatia..

"Usijali hiyo ndio kauli mbiu yetu kuu, huduma kwanza mengine baadae."

"Samahani dokta kwahiyo mgonjwa mtampa discharge(ruhusa) saa ngapi au mpaka jioni?"

"Hapana ni nyie tu ndio mnaweza mkaamua..Hata sasa hivi mkitaka mnaweza mkaondoka maana mgonjwa yupo sawa kabisa..Hii glucose nitakayompa inabidi ailambe sana na nina imani mpaka mchana itakua kasharejewa na nguvu zake."

Baada ya kuambiwa hivyo Nusrat ilibidi arudi kule chumbani kumletea Ally nguo zake pamoja na vifaa vyake vyote..Baada ya muda akarudi na kumpa Ally zile nguo avae ili waondoke..Ally akainuka na

kuzivaa zile nguo kisha akaingia chooni na kunawa uso ili apate nguvu kidogo..

Baada ya hapo yule daktari alirudi na kumkabidhi Ally glucose kisha akamwambia.

"Itumie sana hii Ally itakusaidia kurudisha

nguvu. Kama kuna tatizo lolote litajitokeza basi fanya haraka kuwahi hospital kwa matibabu zaidi."

"Sawa dokta nimekuelewa na nitafanya hivyo."

Wakamshukuru daktari kwa ukarimu wake kisha wakatoka nje na kuondoka. Walipotoka nje kabisa ya hotel Nursat akaita tax kisha wote wakapanda na safari ya kurudi chuo ikaanza.


***** ***** *****


Siku hiyo Recho baada ya kutoka darasani mchana akaenda lecture room ya kina Ally..Alimtafuta sana lakini hakumuona kisha akatoka nje.Wakati anataka kuondoka alikutana na Allan kisha akasalimiana nae.

"Vipi Ally yuko wapi?

"Mmhh! leo Ally wala hajaingia class."

"Kwanini?

"Hata mimi bado sijajua maana nimejaribu kupiga simu yake asubuhi wakati naingia lakini haikupatikana hivyo najiandaa hapa nikamcheki hostel..

"Mmhh! itakua amepata tatizo gani mbona sio kawaida yake kuzima simu. Basi fanya twende wote ili tukamuone."

"Allan alikubali kisha akaingia class kwao na kuchukua begi lake kisha akatoka. Wakaanza safari ya kuelekea hostel kumuangalia Ally na baada ya muda mfupi wakawa wamefika..


Walipanda ngazi hadi juu kwenye chumba

anachokaa Ally kisha Allan akaanza kuingia ndani akimuacha Recho nje. Akamkuta Ally amelala kisha akamuamsha na kurudi nje kumuita Recho. Recho akaingia ndani na kumuona mpenzi wake akiwa amejifunika shuka........



Recho alishtuka sana kumkuta mpenzi wake katika hali ile na haraka akasogea pale kitandani..

"Jamani my love(mpenzi wangu) vipi, umepatwa na nini jamani baby mbona hivyo tena?"

Aliongea Recho huku akiwa na wasiwasi sana huku akimshika Ally shingoni kumuangalia joto lake.. Ally akajiweka vizuri pale kitandani kisha akamtazama mpenzi wake ambaye nae pia alikua anamtazama. Ally alijisikia aibu sana kila

akifikiria mambo aliyofanya na Nusrat usiku uliopita hivyo akajikuta anaangalia chini..

"Jamani Ally wangu mbona hivyo, yani class hujaingia, nakukuta kwenye hali hii halafu nakuuliza unajisikiaje wala hunijibu. Please baby nijibu basi ujue unanitia wasiwasi sana mwenzio."

Ally alishindwa hata amuambie nini Recho kwani mambo yote yaliyotokea kama Recho atayajua basi ataumia sana. Alifikiria sana na mwisho akaamua kumdanganya..

"Hapana baby sina tatizo lolote kubwa sana ila tangu nilivyoamka leo asubuhi sipo vizuri kabisa. Nahisi mwili kukosa nguvu kabisa halafu kichwa kinaniuma sana..Nimekunywa diclopar na glucose hiyo nalamba ili nipate nguvu lakini

bado sipo sawa."

"Ooh! Pole sana mpenzi wangu. Sasa kwanini haukunipigia simu tangu asubuhi na ulizima simu? Hauoni ni hatari hii kuzima simu halafu upo kwenye hali hii?"

"Kweli baby na samahani sana kwa

kutokutaarifu. Nilizima simu mida ile najisikia vibaya kwani nikiongea nilikua nahisi kichwa kinazidi kuuma ndio nimesahau kuiwasha hadi muda huu."

"Daah! pole sana baby, kwahiyo sasa hivi

unajisikiaje?"

"Asante sana baby...Kidogo najisikia afadhali ila nahisi baridi ndio maana nimejifunika shuka."


Aliongea hayo huku ile picha ya kuanza

kufanya mapenzi na Nusrat hadi kupoteza

fahamu ikiwa inamsumbua..Aliona aibu sana hata kumtazama Recho usoni na kuhisi kuwa amemkosea sana..Alijuta sana kile kitendo alichofanya na Nusrat jana yake japokua hawakumaliza hadi mwisho. Akabaki anaangalia chini huku akiwa yupo kimya..

"Kwani vipi mbona upo hivyo Ally? Yani mbali na kuumwa nakuona upo tofauti sana leo. Hebu niambie una tatizo lolote jengine linalokusumbua?"

"Swali hilo lilikua gumu sana kwa Ally kwani hakuna kitu alichokua hakipendi kama kumdanganya Recho. Alijikuta akiwa anamdanganya muda huo ili asijue chochote kinachoendelea..Akaamua kufanya kitu kimoja ili amtoe wasiwasi mpenzi wake.. Akamsogelea kisha akamshika mikono yake huku wakitazamana machoni..

"Hapana sina tatizo lolote jengine mpenzi wangu kuumwa tu ndio kunanifanya niwe

hivi. Nakupenda sana Recho wangu na

nisingependa uendelee kuwa katika hali hiyo ya wasiwasi..Please baby naomba unielewe mimi nipo sawa kabisa isipokua kuumwa tu ndio kunanifanya unaniona katika hali hii hadi leo kushindwa kuingia class"

Aliongea Ally huku akionyesha yupo makini sana na kuendelea kumkazia macho Recho..

"Sawa baby nimekuelewa kama hauna tatizo jengine basi ndio vizuri maana ulikua unanitia sana wasiwasi Ally wangu. Nakupenda sana ndio maana napenda muda wote nikuone ukifurahi..Sipendi nikuone katika hali hii ya kuumwa baby so kama hujisikii vizuri ni bora nikupeleke hospital."

"Hapana baby hii hali niliyokua nayo ni ya

kawaida tu na nahisi mpaka jioni nitakua sawa kabisa maana hiyo glucose inazidi kunipa nguvu."

"Mhh! sawa kama mwenyewe unajiona upo sawa mimi sina neno mpenzi wangu na nafurahi sana kusikia hivyo."

Walikua wanaongea maneno hayo yote huku Allan akiwa pembeni amekaa akiwasikiliza..Mpaka muda huo Recho hakujua chochote kilichotokea na wala alikua hajui kama mpenzi wake ana tabia ya kwenda club usiku wa manane. Siku zote alimuamini sana Ally na wala hakuwahi kufikiria kama angeweza kumfanyia kitu chochote kibaya..

"Oya vipi class leo mwanangu, mzee Shayo ameingia?"

Ally alimuuliza Allan.

"Eeh! ameingia halafu kaleta na zile assignment tulizofanya wiki iliyopita."

Vipi ovyo au maana ile assignment ilikua ngumu sana hadi mtu mzima nikawa naona chenga tu."

"Kwetu sisi ovyo tu ila kwako kama kawaida umefanya yako."

Allan alimjibu huku akifungua begi na kumpa Ally mtihani wake wa assignment.

Ally aliupokea kisha akawa anautazamana

pamoja na mpenzi wake.


"Wow! baby you're so geniu (jamani, mpenzi una akili sana) Yani unasema assignment ilikua ngumu sana halafu unapata 94%.!! mmhh!! watakuroga mwaka huu."

Aliongea Recho huku akimlalia Ally kifuani.. Ally alicheka kidogo kisha akamwambia.

"Hamna baby kawaida tu. Halafu hata mimi sikutegemea kama ningepata hivi maana mtihani ulinisumbua sana ila nashukuru nimefanya vizuri."

"Yani ungekuwepo leo nahisi mr.Shayo

angekuzawadia nyumba. Ametusema sana kwa sababu mtu anayefuata baada ya wewe ana 73% halafu wengine wana 50% mpaka huku kwenye kumi..Kakusifia sana leo class na amesema kesho ukienda umtafute.."

Aliongea Allan kwa uchangamfu sana.

Ally alifurahi sana kusikia maneno yale kisha Recho akamwambia..

Baby you're natural gifted from heaven (mpenzi wewe ni zawadi ya asili kutoka mbinguni) Kila sehemu upo vizuri mpenzi wangu hata uzuri Mungu kakujaalia ndio maana wasichana wengi sana hapa chuo wanajigonga kwako..Nakusisitiza kuwa makini sana mpenzi wangu mimi nakupenda sana usinifanye nilie."

Ally akamshukuru sana mpenzi wake kwa

kumsifia huku akimuhakikishia kuwa yeye ni wake peke yake na siku zote atamlindia

heshima yake.


Waliongea mambo mengi sana wote watatu huku Recho na Allan wakiendelea kutaniana kama kawaida yao..Kadri muda ulivyozidi kwenda ndio Ally alivyozidi kupata nafuu..Hadi jioni mida ya saa kumi na moja akatoka mara moja na kwenda bafuni ili akaoge na kuwaacha Recho na Allan wakiendelea na maongezi mule

chumbani..Baada ya muda akarudi na

kubadilisha nguo mule mule chumbani mbele ya Recho na Allan ila alijiziba na shuka kubwa..Wote watatu walikua wamezoeana sana kiasi cha kutooneana aibu hata kidogo..Kila mmoja alikua huru kufanya jambo lolote mbele ya mwenzake bila ya kusita.. Ilipofika saa 12 Recho akamuomba mpenzi wake amsindikize kwani amechelewa sana..Kweli bila

kipingamizi Ally akakubali na wote wakatoka na kuwasindikiza kuelekea kituoni.Njiani Allan alikua busy akichat na mpenzi wake Tayana na kuwaacha nyuma Ally na Recho..Recho alionyesha kumpenda sana Ally kwani hakuona

aibu kumkumbatia au kumlalia popote pale wanapokua..Walikua wakitaniana huku muda mwengine wakisimama kabisa na kuanza kupigana mabusu..Walitembea hadi walipofika kituoni akaagana nao kisha Recho na Allan wakaondoka na Ally akarudi hostel..


Usiku akawasha simu yake na kukuta message mfululizo zikiingia na mwisho kabisa akakuta message ya Nusrat ikiingia..akaifungua na kukuta imeandikwa.

"Baby vipi mbona umezima simu?Unaendeleaje?"

Akataka kumjibu ila akaona Nusrat anampigia muda huo huo..

Akapokea kisha wakaanza kuongea,,

Ally...Hallo

Nusrat...eeh! hallo baby, mambo?

Ally...Poa tu, mzima kabisa?

Nusrat...Yaah mimi mzima baby wangu, vipi wewe umeshindaje maana muda wote nimejaribu kukupigia lakini ukawa hupatikani hadi muda huu naiona delivery report ya message niliyokutumia ndio nikajua umewasha simu.

Ally...Sasa hivi sijambo naendelea vizuri na mida hii ya jioni nimetoka hadi nje kumsindikiza Allan na Recho walikuja kuniona..

Nusrat...Aaha ok! nafurahi kusikia hivyo. Vipi naweza nikaja kukuona?

Ally...Sawa usijali, wewe njoo tu utanikuta.

Nusrat...Poa basi nitakua hapo baada ya kama dakika 5 hivi.

Ally...Poa karibu.

Nusrat...Ok asantee..

Walimaliza kuongea kisha Ally akapaweka ndani sawa ili Nusrat akija apakute pamekaa vizuri..Mpaka muda huo hakumuona Kassim akirudi na kuanza kujiuliza atakua wapi maana aliachana nae tangu jana usiku walipokua club. Akampigia simu kisha Kassim akamwambia kuwa tangu jana hajarudi bado yupo na yule msichana aliyeondoka nae jana yake..Akamuuliza kama atarudi na Kassim akamjibu kuwa atarudi kesho yake asubuhi. Wakati anaendelea kuongea na Kassim akamsikia Nusrat akigonga mlango.Akaenda kumfungulia kisha akaagana na Kassim na kukata simu..

"Haya niambie za tangu asubuhi.?"

"Nzuri tu mpenzi wangu. Yani nilikua nina

wasiwasi sana na hali yako hata class leo

sijasoma vizuri. Nilijaribu sana kukupigia lakini sikukupata kabisa."


Aliongea Nusrat huku akifungua mfuko aliokuja nao ambao ndani ulikua na juisi pamoja na chakula..

"Yani nimevinunua hivi tangu jioni ila nilitaka nije ndio ukawa hupatikani hadi sasa tayari vishapoa."

Akaviweka mezani kisha akamsogelea

Ally pale kitandani..

"Vipi mpenzi mbona unaonekana una mawazo sana una nini?"

Ally akamuangalia Nusrat kisha akamuambia.

"Yani kusema ukweli napata wakati mgumu sana kuwa na wasichana wawili wewe na Recho. Najikuta nipo katika wakati mgumu sana kuwaridhisha wote nyie wawili kila mmoja akafurahi..Naomba unisamehe sana kwa jambo lolote litakalotokea ila nashindwa kabisa kuwafanya wote mfurahi kwa wakati mmoja."

"Wala usijali mpenzi wangu kuhusu hilo mbona mimi nishakubaliana na yote..Fanya mambo yote ila upendo kwangu uwepo..Pia sina wivu kabisa na Recho kwa sababu ni mpole sana na

mcheshi. Yani kwa jinsi ninavyokupenda muda mwengine ukiwa nae nahisi kama upo na mimi kwani naona atakufanyia mambo yote ambayo napaswa niyafanye mimi ili wewe ufurahi. Kusema ukweli nampenda sana Recho na nipo tayari

hata aje kuwa mke mwenzangu..Hapo mwanzo nilikua namuona kama anakupotezea muda ila kadri nilivyopata kumjua nikagundua kuwa ni mtu mzuri sana kwako..Naomba utupende wote

Ally kwa upendo uliokua sawa kabisa kwa kila mmoja."


Ally hakuamini kabisa kusikia maneno mazito kama hayo kutoka kwa Nusrat. Alizidi kumuona ni msichana wa ajabu sana kwa kukubali hali ile ya kushea mwanaume tena kwa moyo mmoja na

kumpenda mwanamke mwenzie ambaye

anashea nae.. Akamsogelea zaidi Nusrat na kumbusu mdomoni..

"Nawapenda sana wote wewe na Recho. Kusema ukweli sijategemea kabisa kama ungeongea maneno mazito kama haya Nusrat, hakika una mapenzi ya dhati kwangu na ninaahidi kuwapenda wote hadi itakapofahamika hapo mbele itakuwaje. Nipo tayari kuwaoa nyie wote kama Recho na yeye atakuja kuridhia."

Ally alijikuta taratibu akianza kumpenda Nusrat na kukumbuka mambo yote aliyofanyiwa..Akajiona yupo kwenye mtihani mzito sana ila ilibidi akabiliane nao kiume kwani tayari maji ameshayavulia nguo hivyo hana budi kuyaoga.


"Sasa mpenzi ujue mwenzio jana uliniacha

kwenye hali mbaya sana baada ya wewe

kupoteza fahamu. Nilikuwa nishapagawa na nasubiri dunguso yako ili unikate kiu yangu lakini wewe ndo ukapatwa na ile hali. Please baby naomba leo tufanye japo mara moja tu angalau unikate kiu yangu."

Ally alibaki kimya akiwa hajui hata ajibu nini na akabaki akimtazama Nusrat ambaye nae pia alikua amemlegezea macho akimtazama..




Waliendelea kutazamana huku Nusrat akiuleta mdomo wake taratibu mdomoni kwa Ally..Ally alibaki akimtazama Nusrat anataka kufanya nini na alipoona anataka kugusanisha midomo ili wabadilishane mate akarudisha kichwa nyuma..

"Hapana Nusrat hatuwezi kufanya hivi kwa muda huu..Naomba uvumilie sana hadi siku nyengine mpenzi wangu ila kwa leo naomba tuyaache haya mambo..Nahisi nitakukata tena stimu maana hapa sipo sawa kabisa najihisi kizunguzungu na mwili kukosa nguvu."

Nusrat akasogea pembeni huku akionyesha waziwazi kukasirika.Aliinama chini huku taratibu akianza kulia. Ally akamsogelea karibu na kuanza kumbembeleza.

"Tafadhali mpenzi wangu naomba unielewe mimi sipo vizuri kabisa na sio kama sitaki kukuridhisha. Mbona jana nilikufanyia kila kitu hadi nilipopoteza fahamu ndio nikashindwa kuendelea. Tafadhali Nusrat naomba unielewe sio

kama nakuchukia, ningekua sikupendi

nisingethubutu kufanya yote yale niliyofanya jana na wala nisingekua kabisa na wewe katika mahusiano."

"Hapana Ally me siwezi kuvumilia hali hii. Hivi wewe unadhani mimi nitakaa hivi mpaka lini, au kwa sababu wewe ukijisikia hamu unakimbilia kwa Recho anamaliza hamu zako.? Hivi unategemea shida kama hii nikamwambie nani kama sio wewe mpenzi wangu..Mimi naondoka bwana nishachoka kila siku nakua kama

nakulazimisha yani wewe unakua hauna hamu kabisa na mimi..Unampenda sana Recho zaidi yangu na ndio maana kila jambo unakua unasita sana kulifanya. Hata jana ile hali ilikupata kwa sababu haukua tayari yani muda wote ulikua

unamuwaza yeye tu kwani hata wakati

unapoteza fahamu ulikua unalitaja jina lake tu..Kwanini lakini usinipe hata upande mmoja tu wa moyo wako ukanijaza mimi..Ina maana upendo wote huu ninaokuonyesha na mambo yote ninayokufanyia bado haunithamini."


Ally alibaki kimya na kuanza kuyatafakari

maneno ya Nusrat.

"Mmhh! ina maana jana wakati napoteza fahamu nilikua namtaja Recho kweli. Hivi inawezekana yeye ndio alichangia hadi

nikapatwa na ule mshtuko na kupoteza

fahamu.!! Recho itakua kanifanyia nini mimi hadi namuwaza muda wote hata nikiwa na mwanamke mwengine..Lakini hapana hakuna kitu chochote kingine zaidi ya upendo. Nampenda sana Recho"

Wakati Ally ameduwaa akiendelea kufikiria hayo alimuona Nusrat akiinuka na kuanza kubeba vitu vyake ili aondoke..

"Sasa unakwenda wapi Nusrat?

"Niache niondoke Ally nikapumzike chumbani kwangu. Nishachoka hali hii kila siku ya kunidharau mimi na kumpendelea sana Recho kwa kila kitu..Niache nikalale tutaonana kesho class."

"Hapana Nusrat naomba usubiri kidogo hauwezi ukaondoka ukiwa umekasirika hivyo, please naomba ukae tuongee tuyamalize haya. Sipendi kukuona kwenye hali hiyo mpenzi wangu so please (hivyo tafadhali) naomba urudi ukae tuyamalize."

Nusrat akamuangalia Ally kisha akaviweka chini viatu vyake na kukaa..

"Samahani sana Nusrat kwa haya yote

yanayotokea. Hata jana pia nilikuomba msamaha kwa jambo hili hili yani muda mwengine najikuta nashindwa kabisa kuwafanya nyie wote mfurahi wewe na Recho..Naomba unisamehe sana mpenzi wangu naelewa ni kiasi gani unanipenda

na kuumia juu yangu zaidi ya unavyofikiria. Ila mpenzi jaribu hata wewe mwenyewe

jaribu kufikiria, hivi tunawezaje kufanya mapenzi eneo kama hili na kuridhika kabisa. Hivi hauoni kulivyokua na kelele za watu na isitoshe muda wowote mtu anaweza akaja kugonga mlango na

kutufanya tusitishe mambo yetu si unajua

maisha ya hostel jinsi yalivyo."

Kweli angalau Nusrat aliweza kumuelewa Ally baada ya kuambiwa maneno hayo na kupunguza hasira zake..Akamuangalia tena Ally kwa macho yake yale yale ya kurembua kisha akamwambia..

"Sasa kwahiyo baby utanipa lini utamu ili unikate kiu yangu ya muda mrefu maana mwenzio nina hali mbaya sana kama unavyoniona hapa..Kama ningekua embe basi ningekua nishadondoka mwenyewe baada ya kuiva sana..Please baby ( tafadhali mpenzi) naomba usinicheleweshe siku hizi hizi tutoke ukanipe utamu tena safari hii hakuna kuzimia."


Ally alicheka kidogo kisha akamwambia..

"Acha masihara yako bwana baby kwani nilizimia makusudi au..Ngoja siku nyengine tukikutana utazimia wewe tu..Ila mpenzi wangu Mungu amekuumba sana yani kila sehemu mzuri kuanzia sura, umbo, tabia hadi yale maeneo fulani kule..Safari hii lazima nipande meli nije

kwenu Zanzibar kutoa mahari."

"Bwana baby acha utani wako nitakuchapa."

Nusrat alifurahi sana baada ya mpenzi wake kumsifia na akaanza kujisikia furaha kama mara ya kwanza..

"Unanifurahisha sana Ally na ndio maana sitaki kukuacha. Sidhani kama kuna mwanaume mwengine mwenye uwezo wa kunifurahisha kama wewe..Napenda sana macho yako baby yani nikiyatazama nahisi kupagawa sana."

Ally alifurahi sana kuambiwa hivyo kisha

akamsogelea zaidi Nusrat..

"Naomba nikukiss baby."

Nusrat hakujibu kitu kisha akategesha mdomo wake na kufumba macho..Ally akamsogelea taratibu na kuugadisha mdomo wake kwenye mdomo wa Nusrat kisha wote wakajikuta wanashirikiana kubadilishana mate..Nusrat alikua kama anaamshwa tena yale mashetani yaliyopanda jana yake kule hotelini..Ally akaanza kumtomasa Nusrat sehemu mbalimbali za mwili wake huku akizichezea chuchu zake ndogo na

kuziminya minya..Nusrat akaanza kutoa miguno ya taratibu huku macho yake akiendelea kuyafumba. Walishtuswa na hodi iliyokuwa inagongwa mlangoni kisha Ally akamuacha Nusrat na kwenda kufungua mlango..

"Oya genius vipi.?"

Alikua ni mwanafunzi mwenzake Ally anayeitwa Otega ambaye walikua wanasoma wote darasa moja..

"Poa niaje mwanangu?"

"Poa tu mbona hujatokea class leo?"

"Daah! nilikua sijisikii fresh mwanangu yani tangu asubuhi nimelala ndani tu hata sijatoka."

"Pole sana mwanangu,kwahiyo sasa hivi

unaendeleaje?"

"Sasa hivi niko fresh natembea nini sema nipo na shemeji yako humu ndani ndio maana sijatoka hapo nje kupiga story na washikaji."

"Wewe nawe, haya bwana Recho nini?"

"Hamna bwana huyu mwengine ila unamjua yupo mule mule class."

"Nani tena huyo hebu nimuone nimpe hi."

Ally akampisha kisha Otega akaingia mule

chumbani na kusalimiana na Nusrat..Wote

wawili walionyesha kujuana sura zao na kuongea mambo mawili matatu. Baada ya hapo akaagana nao na kumwambia Ally amtafute baadae kuna ishu anataka kuongea nae..Ally akamuelewa kisha Otega akaondoka..


"Yani baby kila siku mimi ni mtu wa kukatwa stimu tu kila mzuka ukinipanda basi kinatokea kitu chochote kuukatisha. Ngoja niondoke bwana kuna notes nataka nikaandike muda huu kisha nilale mapema maana jana tumekesha nina usingizi sana."

Ally alimuelewa mpenzi wake kisha akatoka nae nje na kumsindikiza hadi

hostel kwao..Akaagana nae kisha akarudi hostel kwake..


***** ***** ***** *****


Wiki ilikatika huku Nusrat akizidi kumng'ang'ania Ally akampe utamu. Wakapanga wakutane south beach kigamboni walale huko huko ili wakakate kiu yao.. Kadri siku zilivyokwenda Ally alizidi kumpenda Nusrat na kujikuta yupo tayari kufanya nae kitu chochote tofauti na mwanzo. Akapanga siku hiyo akampe vitu adimu tofauti na mara ya kwanza walipokutana New Africa hadi yeye akapoteza fahamu. Zilikua zimebaki wiki tatu kabla ya kufanya mtihani wao wa mwisho wa kumaliza chuo..Kila mwanafunzi alionekana yupo busy kujiandaa na mitihani lakini Nusrat mda mwingi alijikuta akimfikiria sana Ally na kjikuta anazidi kumpenda mara mia..Akapanga siku ya mahafali amfanyie kitu kikubwa sana iwe kumbukumbu maishani mwake..Alitamani sana muda wote kukaa na Ally kwani alikua akifurahia

sana uwepo wake..Akapanga baada ya kumaliza chuo amuombe Ally ampeleke nyumbani kwao ili akamtambulishe kwa baba yake kwani alishaahidiwa kupewa kila kitu pindi atakapoamua kuolewa na mwanaume atakayempenda..Hakusita kabisa kumchagua Ally kwani ndio aliona ni mwanaume sahihi wa maisha yake japo pia yupo na Recho..


Week ikasogea na hatimaye ikafika

weekend.Nusrat alimpigia Ally simu na

kumkumbusha kuhusu ahadi yao ya kwenda kulala south beach..Ally akamuelewa na kesho yake mchana ndio wakapanga waondoke..Nusrat alifurahi sana na kuanza kufanya maandalizi ili

akampagawishe Ally......



Akaanza kujifunza michezo ya mapenzi mule chumbani kwake nyumbani kwao kwani siku hiyo alienda kumtembelea mama yake na kuamua kulala huko huko..Akavua nguo zote na kubaki na kufuli tu peke yake..Akasimama kwenye kioo na kuanza kujitazama kuanzia juu

hadi chini kwenye kucha na kujikubali kuwa yeye ni mzuri sana.Akageuka nyuma na kujiangalia sehemu za makalio yake jinsi zilivyobinuka na kukaa vizuri..Akayatazama na matiti yake madogo yaliyosimama vizuri na

kuchomoza kwa mbele hadi akajitamani yeye mwenyewe..

"Hakuna mwanaume yeyote mwenye mamlaka ya kuuchezea huu mwili isipokua Ally tu peke yake..Yeye ndio nimemruhusu aufanye anavyotaka kwa sababu nampenda sana. Sijawahi kupagawishwa na mwanaume

yeyote kama alivyonipagawisha Ally"

Aliongea peke yake huku akiendelea

kujithaminisha pale kwenye kioo. Alishtuka baada ya kusikia mama yake anapiga hodi chumbani kwake. Haraka haraka akachukua kanga na kujifunga kisha akaenda kufungua..

"Vipi mwanangu mbona umejifungia?"

"Nilikua nabadilisha nguo mama nataka niende kuoga."

"Sasa ndio ujifungie wakati humu unalala peke yako."

"Si unajua humu ndani watu walivyokua na tabia ya kuingia vyumba vya watu tena bila ya kupiga hodi..Sasa fikiria angeingia kaka ingekuaje?"

"Mmh! haya mwanangu nimekuelewa. Sasa nilikua na jambo la muhimu sana nataka nikuambie."

"Jambo gani hilo mama?"

"Kesho kuna mahali nataka unipeleke maana sitaweza kwenda peke yangu."

"Jamani mama kesho na mimi nina safari yangu ya muhimu sana nataka niende na yule rafiki yangu Najma."

"Bwana mumy hiyo safari yako utaenda siku nyengine kesho twende huko ninapoenda. Kuna masuala ya umuhimu sana naenda kukamilisha. Nitakapofanikiwa nitaingiza pesa nyingi sana mama yako au hupendi mimi

nifanikiwe?

"Hapana sio hivyo mama yani hiyo safari ni lazima niende kesho. Hata nikimwambia Najma kuwa siendi atanishangaa sana kwa sababu ni muhimu. Napenda sana ufanikiwe mama hata uwe tajiri namba moja duniani lakini kwa hapo naomba unisamehe..Kwani si umuambie dada Hazrat akupeleke?"

"Ameniambia kesho anatoka na shemeji yako Hemed hivyo hataweza kwenda. Kwani wewe unaenda wapi hiyo kesho?

"Tunaenda picnic mama halafu safari yenyewe tushaghairisha kama mara mbili hivyo kesho ni lazima twende."

"Tafadhali nakuomba mumy unipeleke hiyo safari yenu fanyeni siku nyengine mimi nitaigharamia kila kitu na nitawapa na gari langu mulitumie."


Nusrat alibaki kwenye wakati mgumu sana kwani hakua na hiyo picnic kabisa na Najma ila alipanga akakutane na Ally hivyo akashindwa amwambie nini mama yake..Akafikiria Ally atamchukuliaje kama atamwambia wasitishe safari yao na kufanya siku nyengine kwani walishaipanga muda mrefu..

"Sawa mama ngoja nijaribu kuongea na Najma nimsikilize atasemaje maana sina jinsi ukizingatia wewe ndio mama yangu."

"Asante sana mwanangu ndio maana nakupenda sana..Kazi ikifanikiwa nitakuwekea na wewe hela kwenye account yako..Halafu kwenye mahafali yenu ya kumaliza chuo nimekuandalia

zawadi kubwa sana ila sikuambii acha iwe

suprise..Basi mimi nipo chumbani kwangu

ukishaongea na Najma utanijulisha."

"Sawa mama nimekuelewa."

Nusrat alijibu lakini kiunyonge sana kwani alikua kashapanga kila kitu na jinsi ya kwenda kumpagawisha Ally..Alijihisi kukosa raha sana na muda huo huo

akampigia Ally simu..Akamueleza kila kitu huku akiwa na huzuni sana..Ally alimuelewa na akamsihi amsikilize

sana mama yake kwani yeye ndio kila kitu katika maisha..Pia akamwambia kuwa wao watakutana siku yoyote wafanye mambo yao kwakua bado wapo pamoja. Nusrat aliweza kumuelewa Ally na

kumshukuru sana kwa kumpa maneno mazuri na kumfariji..Waliongea sana na kutaniana hadi Nusrat akarudi kwenye hali yake ya kawaida kisha wakaagana na kukata simu..Nusrat akamfuata mama yake na kumwambia kuwa kashaongea na Najma na kila kitu kipo sawa hivyo kesho wanaweza kwenda safari pamoja. Mama yake alifurahi sana na kumwambia mwanae kuwa anampenda sana.


***** ***** *****


Recho aliendelea kuwa busy kwa ajili ya

kujiandaa na mtihani wake wa mwisho chuoni hivyo akajikuta akipunguza sana mawasiliano na Ally kama ilivyokua mwanzoni. Akajikuta siku nyengine akiwasiliana nae mara moja tu kwa

siku tena muda wa kulala..Alijikuta akimmiss sana Ally ila hakua na jinsi kwa kuwa masomo yalikua muhimu sana katika maisha yake..Walipanga siku ya graduation (mahafali) yao wakalale pamoja sehemu yeyote ya mbali kama Bagamoyo ili iwe kumbukumbu nzuri sana

katika maisha yao pamoja na kufurahia maisha yao ya mapenzi..Recho alishajitolea kila kitu kwa ajili ya Ally na wala hakujali mtu yeyote anasema nini.


Siku moja ya ijumaa alikua amekaa na rafiki zake Najma na Tayana wakijisomea kwa kikundi na kujadiliana mambo mbalimbali..Ilikua imebaki wiki moja na siku kadhaa ili waingie katika mitihani

hivyo walizidi kuwa makini katika masomo na kila mtu alionekana busy chuoni hapo..Mara akasikia message ikiingia kwenye simu yake na kuangalia ilikua namba ngeni..Akaifungua na

kuikuta imeandikwa.

"Wewe huyo Ally wako unayempenda na

kumuona ndio kila kitu anakudanganya

tu..Wewe ukiondoka chuo mwenzio unamuachia uhuru sana wa kufanya mambo yake huku hostel..Kuwa makini sana bila ya hivyo atakuweka kwenye matatizo"

Recho alishtuka sana baada ya kumaliza kusoma huo ujumbe na akajikuta mwili wote ukimuisha nguvu.Hakutaka kuamini kabisa kuwa Ally wake anaweza kumsaliti tena pale pale chuo. Akajikuta hamu yote ya kusoma inamuisha na kukaa pembeni akishika tama huku akiwa ameinama..

"Wewe vipi mbona upo hivyo?"

Alikua Tayana akimuuliza Recho. Hakujibu kitu na kumpa Tayana simu ili aisome ile message. Tayana akaichukua simu na kuisoma message yote ambayo hata yeye alimshtua sana.

"Mmh Ally? No, this can't be true (Hapana, hii haiwezi kuwa kweli) Ally amsaliti Recho kweli? Hapana sitaki kuamini hata kidogo. Kwani huyu aliyekutumia hii message ni

nani?"

"Yani hata simfahamu imeingia tu muda huu huu tunajisomea."

"Mmh! sasa itakua kaipata wapi namba yako?"

"Yani hata mimi sielewi ndio najiuliza hayo

mambo yote hapa."

"Ngoja nimpigie ili niongee nae nijue ni

nani."

Aliongea Tayana huku akiipiga ile namba. Recho hakujibu kitu na kubaki kama mtu

aliyeduwaa.. Ile namba iliita sana mara ya kwanza bila kupokelewa na alipojaribu mara ya pili ikawa haipatikani..

"Kazima simu."

Aliongea Tayana huku akiwaangalia Najma na Recho..

"Sasa atakua nani na hizi taarifa kazipata

wapi? Au ndio wale wanafiki kazi kuharibu

mapenzi ya watu..Sasa kama kweli ana uhakika nazo hizo taarifa kwanini sasa hivi unampigia anazima simu.? Bwana eeh shosti wala usiumie kichwa hao ndio wale wale wanaokuonea wivu kuwa na Ally. Unajua Ally sio mwanaume wa kawaida yani hapa chuoni ukiwatafuta watu wa

aina yake hata watano huwapati..Ally

amejaaliwa kila kitu kuanzia u'handsome, ucheshi na hadi kwenye academic yupo vizuri..Sasa unafikiri kwanini watu wasione wivu kukuona upo nae..Hebu relax my dear (tulia mpendwa wangu) hakuna lolote hapa yani Ally akusaliti wewe kweli?.Hapana sio Ally huyu ninayemjua mimi anayempenda Recho."

Aliongea Najma tena kwa msisitizo sana.

"Kidogo rafiki zangu mnanipa moyo kwa

maneno yenu kwa sababu hata mimi sitaki kabisa kuamini..Yani Ally huyu kweli anisaliti mimi? Hapana haiwezekani."


Recho alimuamini Ally pengine kuliko mtu

yeyote katika maisha yake hivyo hakutaka

kusikia neno lolote la mtu mwengine. Alijikuta furaha yake inaanza kurudi na kuamua kumpigia Ally simu ili aongee nae..Simu iliita kisha Ally akapokea na kuanza kuongea.

"Hello my love. (hallo mpenzi wangu)"

"Hellow honey(hallo mpenzi) mambo."

"Poa tu Recho wangu mzima kabisa?"

"Mimimzima Ally wangu hofu kwako tu

mume."

"Niko poa kabisa..Vipi uko wapi?"

"Bado nipo hapa chuo na Najma pamoja

na Tayana tunajisomea."

"Naona mpo busy sana baby kujiaandaa na mitihani."

"Yani sana si unajua hatutaki mambo ya

kusapua."

"Hahahaa hata mimi naona mpenzi wangu. Ukimaliza kusoma njoo unicheki basi nina hamu sana na wewe Recho wangu."

"Sawa baby nitakuja wala usijali mimi

mwenyewe nimekumiss sana."

Waliendelea kuongea kidogo kisha baada ya hapo wakaagana..Recho alifurahi sana na akasahau yale mambo yote aliyoambiwa. Akaifungua tena ile message na kuifuta kwani hakutaka tena kuiona wala kuisave ile namba.


***** ***** *****


Ally alikua amejipumzisha chumbani kwake mule hostel akiwa anamsubiri mpenzi wake Recho aje kumtembelea. Alikaa kwa muda na mara akasikia mlango wake unagongwa..Akainuka na kwenda kufungua kwani moja kwamoja alijua atakua ni Recho kashafika. Alipoufungua hakuamini alipokutana na Nusrat kisha akamkaribisha ndani. Aliogopa sana kwani alijua kuwa muda wowote Recho nae atafika pale. Nusrat alikaa kitandani huku akionyesha kuwa sio mtu wa kuondoka muda huo. Alitamani kumfukuza lakini alihisi atamuudhi sana hivyo akaamua kumwambia kistaarabu..

"Samahani sana mpenzi wangu kwa haya

nitakayokwambia..Yani ninavyokuambia muda wowote kuanzia sasa Recho atafika hapa hivyo sidhani kama atafurahi kukukuta hapa kama unavyomjua Recho. Nakuomba sana muda huu uondoke Nusrat usiku nitakutafuta ili tuongee

vizuri."

Kweli Nusrat alimuelewa Ally kisha kuinuka na kumbusu mdomoni..Waliagana

kisha Nusrat akaondoka..


Muda huo huo hata hajakaa chini akamuona Recho anaifungua mlango na kuingia mule chumbani..Akamsogelea na kumpiga mabusu mfululizo na kumkaribisha. Recho alifurahi sana

kisha akauliza.

"Baby yule niliyemuona anatoka humu sasa hivi ni nani?"

Ally alishtuka sana kwani hakutegemea kama Recho alikua amemuona mtu aliyetoka ndani kwake...



Alitazamana chini kidogo kisha akamuangalia mpenzi wake na kumjibu.

"Yule ni rafiki yangu nasoma nae darasa moja anaitwa Nusrat. Nafikiri kuna siku ulishawahi kutukuta nae mimi na Allan tukiwa tunajisomea kama unakumbuka."

"Aanha! ok nimekumbuka kumbe ndiye

huyu aliyetoka humu?"

"Eeh ndio huyo mpenzi wangu."

Sasa kwanini baby unamruhusu aingie hadi chumba unacholala hauoni kuwa ni hatari.?

Hapana baby usiogope mbona kawaida tu kwa maisha ya hapa chuo..Hali hii tushaizoea na unaweza ukakuta hata chumba chengine mwanamke na mwanaume wanakaa peke yao kwa masaa matatu wakijisomea na hakuna

jambo lolote baya linalotokea..

Sawa mpenzi nimekuelewa ila mwenzio nina wivu sana naogopa watakuiba Ally wangu si unajua wasichana wa chuo hapa walivyokua wajanja?

Hata mimi naelewa Recho wangu ila nikutoe tu wasiwasi kuwa hakuna mtu yeyote atakayenifanya mimi nikusaliti wewe mpenzi wangu..Nakupenda sana na kukuheshimu."

Recho alifurahi sana kusikia maneno hayo na kumkumbatia mpenzi wake kwa furaha.

Nakupenda sana Ally wangu."

"Nakupenda pia Recho..Wewe ndio kila kitu kwangu..Wewe ndio furaha yangu na wewe ndio baadae yangu..Siwezi kuishi bila wewe mpenzi wangu..

Mimi pia Ally naomba usiniache honey..

Sitakuacha my sweetie, wewe ni wangu wa milele..


Walikua wanaongea maneno yote hayo huku wakiwa wamekumbatiana.. Wakaachiana kisha wakakaa kitandani na kuanza kupiga story..Waliongea mambo mengi sana hususani penzi lao na mitihani wanayokaribia kufanya..Ally alimsihi sana Recho azidishe bidii katika kipindi hiko cha mwisho ili afanye vizuri katika mitihani yake..Recho akamuhakikishia

Ally kuwa atajitahidi kadri ya uwezo wake ili afaulu vizuri na kuja kutengeneza familia bora ya wasomi..

"Yani baby sipati picha hiyo siku ya mahafali jinsi itakavyokua..Natamani ifike hata kesho ili tukajiachie Bagamoyo mpaka asubuhi..Mama nitamuaga vyovyote vile lakini lazima nikalale na

wewe Bagamoyo."

Hata mimi mpenzi wangu yani natamani hiyo siku ifike hata leo ili nikajiachie na wewe malaika wangu..Nimeyamiss sana yale mavitu yako uliyonifanyia siku zile Kinondoni..Yani sipati picha jinsi itakavyokua..Tena nitatia full tank gari

yangu ile tukajiachie vizuri tuepuke kero za

kupanda daladala si unajua itakua siku yetu maalumu."

"Yaah kweli mpenzi wangu hatutahitaji bugudha ya mtu yoyote..Yani tukishachukua vyeti vyetu tu basi safari ya Bagamoyo inaanza hakuna cha kusubiri. Nimelimiss sana joto lako mpenzi wangu na kifua chako kizuri.."

Waliongea mambo mengi sana huku kila mtu akionyesha kuwa na hamu na mwenzie. Muda mwengine walikatisha maongezi na kuanza kubadilishana mate huku Recho akionyesha kuwa katika hali mbaya sana na kutamani apewe pale pale..Ally alijaribu kumtuliza na kumwambia awe mvumilivu kwani pale sio mahala pake..Recho aliweza kumuelewa na kuendelea na mambo mengine..Ilivyofika jioni Ally akamsindikiza Recho kituoni kisha akarudi hostel..


***** ***** *****


Ilipofika weekend Ally akaenda nyumbani kwao kutembea kwani ilikua ni muda mrefu sana tangu aende kwa mara ya mwisho..Akafika na kuingia ndani ambapo alimkuta Sarah akiwa peke yake anaangalia tv..

"Mambo vipi Sarah?"

"Woow jamani Ally umekuja!!Poa tu mzima wewe?

Sarah aliongea huku akiinuka na kwenda

kumkumbatia Ally..Ally hakukataa na yeye

akamkumbatia Sarah..

"Yaah mimi mzima kabisa,vipi za hapa?

Nzuri tu naona umetususa?

Hamna bwana si unajua chuo ratiba nyingi sana halafu nipo busy kujiaandaa na mitihani..Ila hata mimi nimepamiss sana nyumbani ndio maana leo nimeamua kuja kutembea nilale hapa hapa japo siku moja tu..

"Jamanii, karibu sana..Yani nipo mpweke sana nimebaki peke yangu..

"Uko peke yako? Kwani baba ameenda wapi?"

"Ameenda Nairobi kibiashara leo ana siku ya nne."

"Sasa mbona hajaniaga? Au kwa sababu sipo nyumbani ndio maana kaona haina

umuhimu.? Anyway kasema anarudi lini.?"

"Kwa jinsi alivyoniambia inaonyesha hana

uhakika ila ni kati ya Jumanne au Jumatano."

"Ok pole sana kwa kubaki peke yako yani hadi nyumba imekua nzito."

"Haya mwaya asantee ndio nazoea hivi..

"Ok basi mimi nipo chumbani kwangu kuna vitu naweka sawa ila baadae nitatoka tupige story si unajua siku nyingi hatujaongea..

Kweli fanya haraka utoke yani nimekumisije!"

Poa usijali natoka sasa hivi..

Walipomaliza kuongea Ally akaenda kuingia chumbani kwake na kujifungia na kuanza kuweka sawa vitu vyake. Alipomaliza akaingia bafuni mulemule chumbani kwake kuoga kisha akatoka na kubadilisha nguo..Alivaa kaptula na juu alivaa vesti kisha akachukua simu yake na

kumpigia Nusrat kumtaarifu kuwa siku hiyo atalala nyumbani kwao hivyo asiende

kumuangalia kule hostel..Nusrat alilalamika sana kwa kile kitendo cha Ally kuondoka bila ya kumuaga ila Ally alijitahidi kumtuliza na mwisho

akamuelewa..Waliagana kisha Ally akakata simu na kumpigia mpenzi wake Recho..Nae alimpa taarifa kuwa siku hiyo atalala nyumbani kwao kuna vitu amekuja kufuatilia..Recho aliweza kumuelewa Ally kisha wakaagana na kukubaliana kuwa wataongea usiku..


Ally akaweka sawa kila kitu kisha akatoka sebuleni na kumkuta Sarah kajilaza pale kwenye sofa huku akiwa na kigauni kilaini kinachoishia mapajani akiwa anaangalia tv..Alienda kukaa kwenye sofa jengine huku akiwa busy na simu yake..Sarah alipomuona Ally akainuka na kukaa vizuri kisha akamwambia.

"Yani Ally umerudi hata kunishtua,au ndio upo busy na Recho kwenye simu?

"Hapana kuna mtu namalizia kuchat nae

hapa nasoma nae chuo kuna vitu alikua

ananiambia..

"Haya bwana nilidhani Recho maana

alivyokuchanganya huelewi lolote..

Ally akabaki anacheka kwani alikua anajua kama Sarah anamtaka siku nyingi na kumfanyia mitego mingi ambayo yeye aliikwepa..

"Sasa Leo Usiku tunakula nini maana nilikua sina hata ratiba ya kupika nshazoea mwenyewe humu nikila matunda au chips nalala bila wasiwasi..

"Hata sielewi utajua mwenyewe mama

mwenye nyumba wewe ndio unahusika masuala yote ya menu mimi hata usinishirikishe mimi bora tu mkono uende kinywani."

Sarah alicheka sana huku mda mwengine akiwa anapanua miguu yake na kuyafanya mapaja yake yaonekane mpaka kwa ndani..Ally aliiona ile hali na kumfanya dunguso yake ianze kusimama kwani mapaja ya Sarah yalikua yamenona sana..

"Basi ngoja niende jikoni nikaandae haraka haraka ile tule..

Sarah aliongea maneno hayo

huku akiinuka na kuanza kutembea kuelekea jikoni..Makalio yake makubwa yalikua yakitikisika kama simu iliyowekwa vibration hali iliyofanya dunguso ya Ally izidi kusimama..

"Mmhh mbona huyu Sarah ananitega,sasa

mambo gani haya anayonifanyia.? Ina maana bado tu itakua ananitaka?"

Ally aliwaza peke yake huku akiiweka vizuri dunguso yake ili Sarah akirudi asimuone katika hali ile..


Alikaa peke yake akiangalia movie na baada ya kama dakika 45 akamuona Sarah anarudi kutoka jikoni..Alikaribishwa chakula na baada ya hapo wote wakasogea mezani..Walianza kula huku

wakipiga story mbalimbali huku Ally akimsifia Sarah kwa chakula chake kitamu..Sarah alimshukuru sana huku akiwa kama anamlegezea macho...

Walipomaliza Ally aliinuka na kurudi sebuleni kuimalizia ile movie kisha baada ya muda Sarah nae akaja..Akakaa kwenye sofa lile lile alilokaa Ally la watu wawili. Ally akawa makini na kumuangalia Sarah alikua anataka kufanya nini..Mara akamuona anaegemea na kujilaza huku yale maziwa yake makubwa

yaliyochomoza kwa juu kama Nicki Minaj yakiwa yametokeza kwenye kigauni chake..Mara akamuona anaupandisha juu mguu mmoja na kuyafanya mapaja yake yazidi kuonekana kitendo kilichofanya dunguso ya Ally ianze kusimama tena..


Sarah akaacha kuangalia tv na kumtazama Ally ambae alimuona akiwa katika ile hali na dunguso yake imesimama balaa..Akamsogelea karibu na kuanza kukipandisha juu kile kigauni

chake na kuupeleka mkono wake kwenye

naniliu yake akiwa anaichezea chezea. Ally alizidi kuchanganyikiwa na kujikuta anaingiwa na hamu ya kufanya mapenzi 



Ally alizidi kuchanganyikiwa kwani kwa jinsiSarah alivyoumbwa ni lazima kwa mwanaume yeyote rijali jogoo wake kupanda mtungi..Sarah alipomuona Ally kashapagawa na dunguso yake imekasirika sana akaanza kukivua kabisa kile kigaunu chake..Alikitoa chote na kubaki na kufuli tu huku kiunoni akiwa amevaa chachandu nyingi zilizomfanya Ally akodoe macho kwani hakuwahi kumuona mwanamke amevaa shanga hata siku moja zaidi ya kusikia maongezi tu kwa watu..Yale matiti makubwa ya

Sarah yalizidi kumchanganya Ally na kujikuta anaanza kabisa kumsahau Recho wake. Roho ya usaliti ilimvaa Ally na alikuwa hawazi jambo lolote zaidi ya kumvamia Sarah pale walipokaa..Sarah alipoona Ally amezubaa huku akimtazama aliinuka na kwenda kumkalia kwa juu na kuifanya dunguso ya Ally imchome chome kwenye naniliu yake..Ally alizidi kupagawa kwa kitendo kile na kumwachia Sarah

afanye kila analolitaka..Sarah akaanza

kukipapasa kifua cha Ally huku akiwa

anakinyonya nyonya kwa kutumia ulimi

wake..Akasimama na kumpa Ally mgongo kisha akamwambia ashike yale makalio yake makubwa..Kila kilichotokea Ally alikiona kama maigizo kwani hakutarajia kabisa kufanya kitendo kile na Sarah. Wakati anataka kuinua mikono yake ili ayashike manyanga ya Sarah alisikia simu yake inaita..Akaichukua haraka na

kuitazama na kukuta jina la mpenzi wake

Recho..Aliipokea na kuanza kuongea nae..

Ally...Hallo.

Recho...Hallo baby uko wapi?(Huku akiwa

kama analia)

Ally...Nipo nyumbani mpenzi wangu, mbona upo hivyo kuna tatizo gani?

Recho...Mama anaumwa sana yani. Pressure yake imeshuka ghafla na hapa naelekea kituoni kuchukua taxi nimuwahishe hospital..

Ally...Aah! jamani pole sana mpenzi wangu

kwahiyo unampeleke hospital gani?

Recho...Maeneo ya Tabata Aroma pale kuna hospital moja hivi ipo njiani ina ghorofa moja..

Ally...Nakuja mpenzi wangu. Wewe fanya haraka umuwahishe mama mimi nipo njiani. Kama nikipotea nitamuuliza mtu ila sidhani kama nitapotea..

Recho...Sawa baby baadae.


Walimaliza kuongea kisha Ally aliinuka pale kwenye kiti bila ya kumuongelesha Sarah na kuanza kuelekea chumbani kwake..

"Sasa mbona unaondoka Ally unaniacha peke yangu? Hauoni hii hali niliyokua nayo unafikiri nitalala vipi.?"

Ally alimuangalia Sarah kisha akatikisa kichwa na kuelekea chumbani kwake. Alijiandaa haraka haraka kisha akatoka na kuanza safari ya kuelekea hospital. Sebuleni akakutana na Sarah akiwa amenuna sana kisha akasimama na

kumwambia..

"Kuanzia leo Sarah naomba tuheshimiane sana kama ulivyokuwa unaniheshimu hapo mwanzo. Sitaki tena kuona vishawishi vyako na kuniletea mambo ya kunitaka..Mimi nina mpenzi wangu na ninampenda sana hivyo naomba tubaki hivi hivi kaka na dada tusivunjiane

heshima.."

Sarah alimuangalia Ally bila kujibu kitu chochote kisha akainuka na kuelekea chumbani kwake..

"Na kile kilichotaka kitokee hapa chukulia kama ajali tu usidhani kama siku nyengine kitatokea tena."

Ally alimalizia kuongea maneno hayo kisha akatoka nje na kuelekea kituoni kupanda gari..


***** ***** *****


Mama yake Recho alipokelewa pale hospital na kuwahishwa chumba cha matibabu cha wagonjwa mahututi kwa ajili ya kupatiwa huduma ya haraka. Alilazwa kitandani kisha daktari akaja na kumuomba Recho atoke nje ili afanye kazi yake..Recho alitoka kwa unyonge huku akiwa na wasiwasi sana na hali ya mama

yake..Alienda kukaa kwenye viti vya kupumzikia watu huku kukiwa na watu wachache sana kwani kwa muda huo wagonjwa wengi walikua wodini na hata watu wao wanaoenda kuwatembelea walikua wamesharudi majumbani. Akaegemea kwenye kiti huku akitafakari mustakabali mzima wa maisha yake

huku akifikiria maisha yake yatakuwaje ikiwa mama yake atafariki dunia. Alimuomba sana Mungu ampe nafuu mama yake na kupona kabisa kwani alikua hawezi maisha bila ya mama. Alimpenda sana mama yake na hakua

tayari kumpoteza hata kidogo..Alikaa sana pale kwenye kiti huku akisubiri kwa hamu daktari atoke ili amwambie hali ya mgonjwa jinsi inavyoendelea.


Wakati akiendelea kuwaza alihisi mtu amemgusa bega na kukaa pembeni yake. Kugeuka alimkuta mpenzi wake Ally kisha

wakakumbatiana na Recho akaanza kulia..

Ally alishtuka sana na kuhisi pengine mama yake Recho itakua amepoteza maisha kisha wakaachiana na kumuuliza mpenzi wake huku akionyesha wasiwasi sana..

"Vipi tena baby mbona unalia kuna nini

kimetokea?"

Recho hakuweza kujibu kitu kisha akaendelea kulia na kumlalia Ally kifuani..

"Tafadhali baby naomba uniambie nini kimetokea ujue hata mimi unanipa wasiwasi sana. Najua ni jinsi gani ulivyokua kwenye kipindi kigumu ila

tambua hata mimi imenigusa sana na ndio maana nipo hapa. Tafadhali mpenzi wangu naomba uniambie."

Recho aliinuka na kumuangalia Ally kisha

akamuambia..

"Mama yupo kwenye hali mbaya sana Ally. Yani mpaka namfikisha hapa alikua hajitambui kabisa na pressure ilikua imezidi kushuka..Mpaka muda huu daktari bado hajatoka hivyo napata sana wasiwasi kuhusu hali ya mama. Nawaza jinsi maisha yangu yatakavyokuwa bila ya yeye kwani ni mtu muhimu sana katika maisha yangu."

"Hapana Recho hupaswi kuwaza yote hayo mbona kuumwa ni jambo la kawaida sana kwetu binadamu. Amini kuwa mama atapata nafuu tu na kurudi katika hali yake ile ile ya mwanzo..Huu ni mmoja kati ya mitihani ambayo wanadamu tunapitia hivyo inabidi tupambane nao..Mama

atakuwa sawa tu mpenzi wangu kikubwa ni kumuombea kwa Mungu ili ampe tena nguvu."

Recho alifarijika sana kwa maneno ya mpenzi wake kisha akamwambia..

"Nakushukuru sana mpenzi wangu kwa kunifariji katika kipindi kigumu kama hiki kwani kama usingekuwepo sijui nani tena mwengine angenifariji. Napenda sana uwepo wako kwani siku zote huwa ni faraja na amani moyoni mwangu."

"I will always be there for you(Siku zote nitakuwepo kwa ajili yako) Nakupenda sana Recho na sipendi kabisa uwe katika wakati mgumu."


Recho alifarijika sana kisha akamlalia Ally kifuani na kuanza kusinzia.. Baada ya muda daktari alitoka huku akionyesha kuchoka sana. Ally akamuamsha Recho na kumuuliza kama huyo daktari ndio yule kisha Recho alipomuona aliinuka haraka haraka na kumfuata bila ya kumjibu..Ally nae akainuka na wote wakamfuata daktari kisha Recho akamuuliza..

"Vipi dokta hali ya mama inaendeleaje?"

Daktari aliliweka koti lake sawa kisha

akawatazama Ally na Recho ambao wote

walionyesha kuwa na wasiwasi sana..

"Please dokta naomba uniambie, mama amekufa? Usinifiche dokta niambie tu kama mama hayupo tena duniani."

"Hapana binti mama bado mzima tu usiwe na wasiwasi..Tumempima pressure yake na kukuta imeshuka sana kuliko kawaida hivyo tumemuwekea mashine ili imsaidie katika kupumua..Pia mkono wake mmoja wa kulia tumeona umekosa nguvu kabisa na hali hiyo inaweza kumsababishia paralysis. Hivyo ili kuzuia hali hiyo tumemchoma sindano ya friscauteria ili

kuiwezesha damu kutembea kwa kasi sana na kuifanya misuli yake irudi katika hali ya kawaida."

"Kwahiyo dokta mama anaweza kurejewa

na fahamu baada ya muda gani?"

Ally akauliza.

"Huwa inategemea ila kwa sababu tatizo

lake linaonekana kuwa kubwa inabidi tuwe

wavumilivu kidogo..Inaweza kuchukua masaa 24 mpaka 48 ila pia na mipango ya mwenyezi Mungu..Kikubwa niwatoe tu wasiwasi kuwa mgonjwa atakua salama kabisa na kurudi katika hali yake ya kawaida."

Ally na Recho walimshukuru sana daktari kisha wakamuaga na kumuambia watarudi kesho yake asubuhi.


Walitoka nje na kuanza kuongea mambo mengi ikiwa ni pamoja na hali ya mgonjwa..Ally alitaka kuondoka kwao Temeke ili arudi kesho yake asubuhi ila Recho alimuomba sana abaki na akalale nyumbani kwao kwani hapakua mbali na

pale hospital..Ally hakua na kipingamizi kwani pia usiku ulikua ushaanza kuwa mkubwa yapata saa 5 na nusu. Wakasubiri kama watapata bajaj au taxi na baada ya kama dakika kumi ilitokea

taxi kisha wakaisimamisha na kupanda. Haikuchukua muda mrefu sana kufika kwa kina Recho kwani kwa mwendo wa taxi kutoka tabata aroma hadi tabata bima kwa kina Recho ni kama mwendo wa dakika 12..Ally alimlipa mwenye taxi kisha wakaingia ndani baada ya kufunguliwa geti na mfanyakazi wa ndani wakina Recho anayeitwa Vero..Walipitiliza moja

kwa moja chumbani kwa Recho kwani walikua wamechoka sana.


Recho akaanza kubadilisha nguo zake ili akaoge kisha na alipomaliza akaingia bafuni. Alioga na baada ya muda akatoka kisha na Ally nae akaenda kuoga. Alipomaliza alirudi na Recho akampa track suit yake ili alalie..Wakapanda

kitandani ila kabla hawajazima taa Recho

akamuita Ally na kumuambia.......



Recho alimuita Ally na kumuambia.

"Please baby naomba unikumbitie nasikia baridi sana."

Ally hakulete kipingamizi akamsogelea mpenzi wake na kumkumbatia..Walijilaza kitandani kisha Ally alimkumbatia Recho kwa kumzungushia mikono kiunoni mwake huku akiwa amepewa mgongo. Aina hii ya kulala hutumiwa na wanandoa wengi walio kwenye mapenzi motomoto..

"Sasa mpenzi hii taa tunaiacha hivi hivi au

tunaizima?"

"Iache hivyo hivyo bwana baby mwenzio

naogopa kulala na giza..Yani nikiwa peke yangu humu halafu nikizima taa nahisi kama kuna mtu ananifuata."

Ally alicheka kisha akamwambia.

"Kumbe baby muoga sana kiasi hiko. Hivi

utaweza kweli kuishi kijijini?"

"Nitaweza tu kama kweli itatokea nikaishi kijijini ila kwa kua hapa taa ipo basi siwezi kulala na giza. Naogopa sana yani hata umeme ukikatika huwa nawasha tochi mpaka asubuhi."

Ally alicheka sana huku akiendelea kumtania Recho kwa jinsi alivyo muoga..

"Natamani sana kama tungekuwa tushaoana na hapa tupo nyumbani kwetu tukifurahia maisha yetu ya ndoa. Natamani sana kila siku iwe hivi tuwe tunalala pamoja mpenzi wangu. Nakupenda sana Recho kwani kuna mambo yananitokea katika maisha yangu nazidi kuthibitisha kuwa nakupenda sana na wewe unanipenda na haipaswi kwa mmoja wetu kumsaliti mwenzie.

"Ally aliongea hayo huku akikumbuka

yale matukio ya kupoteza fahamu wakati akiwa na Nusrat pamoja na kile kitendo cha Recho kumpigia simu siku hiyo jioni wakati alipotaka kufanya mapenzi na Sarah..

"Mhh!mambo gani hayo baby yanayokutokea?"

"Kuna mambo mengi sana mpenzi wangu kwa mfano pale chuo kuna wasichana wengi sana wananisumbua ili nifanye nao mapenzi lakini najikuta napata ujasiri mkubwa wa kuwakataa huku wengine wakisema wapo tayari kunihonga kiasi chochote cha pesa..Pia yule Sarah

unayemuona pale nyumbani kashanifanyia kila aina ya vituko ili nifanye nae mapenzi lakini nimejikuta namkwepa sana kila nikikufikiria wewe. Nakupenda sana Recho wangu na sidhani kama kuna siku itatokea nitafanya mapenzi na mwanamke mwengine."

"Nafurahi sana kusikia hivyo Ally wangu yani nazidi kuamini kuwa nakupenda. Naomba Mungu atuwezeshe tuje kufunga ndoa na kuanzisha familia mimi na wewe. Wewe ndio mwanaume wa maisha yangu duniani na mbinguni."


Masikini Recho aliongea hayo akiwa hajui kuwa Ally amediriki kuanzisha mahusiano na Nusrat na pia walikua wameshavuliana nguo japokua hawakumaliza hadi mwisho kufanya mapenzi kutokana na Ally kupoteza fahamu..Pia alishamruhusu Sarah amchezee na kumnyonya kifua chake tena siku hiyo hiyo..Recho

alimpenda sana Ally na pia Ally alimpenda Recho ila alijikuta akishindwa kuvizuia vishawishi kutoka kwa wasichana wengine..Muda mwengine alikua anajilaumu sana kwa kujiingiza kwenye mapenzi na Nusrat kwani alikua anaona

anamfanyia usaliti mkubwa sana Recho..Alikua hana jinsi kwani Nusrat nae alikua amezama vilivyo kwenye penzi la Ally na pia alikua anamjali sana..

Waliendelea na maongezi mengine huku Ally akiwa anamfariji sana Recho kuhusu matatizo yanamkabili ya kuuguliwa na mama yake..Ally alimfariji sana Recho huku akimpa maneno matamu hadi Recho akapitiwa na usingizi..Ally akamfunika shuka kisha na yeye akajifunika na

kupitiwa na usingizi. Kesho yake asubuhi na mapema waliamka na kuanza kujiandaa ili waelekee hospital.Walitoka

nyumbani wakiwa wameongozana na kukodi bajaj kwani asubuhi hiyo maeneo ya Tabata daladala zinakua zinasumbua sana..Walifika mapema hospital na kuingia ndani kisha wakaelekea wodini alipolazwa mama yake Recho. Waliingia ndani na kumkuta akiwa bado amefumba macho na anahemea ile mashine aliyowekewa jana..Recho alimsogelea mama yake na kumbusu kwenye paji lake la uso na kuanza kuzichezea chezea nywele zake..Alikua na huzuni sana kumuona mama yake kwenye hali ile kwani alishazoea kucheka nae kila siku. Alimuomba mungu ampe tena uzima ili

arudi kama alivyokua mwanzo na kucheka nae tena. Baada ya muda daktari alikuja na kusaliamiana nae kisha Recho akamuuliza hali ya mama yake jinsi inavyoendelea..Daktari alimueleza Recho

kila kitu na kumuambia kuwa mapigo yake ya moyo yanaanza kurudi katika hali ya kawaida na wanategemea hadi kufikia jioni atakua amesharejewa na fahamu. Recho alimshukuru sana Mungu na kumshukuru dokta kwa huduma zao nzuri. Waliendelea kukaa pale hadi muda wa kuona wagonjwa ulipoisha wakatoka

nje na na kutafuta sehemu ili wapate kifungua kimya.


Walikaa kwenye mgahawa mmoja maeneo yaleyale ya karibu na hospital na

kupata kifungua kinywa kisha baada ya hapo Ally alimuaga Recho na kumwambia amjulishe kwa lolote litakalotokea..Recho alimshukuru sana mpenzi wake kwa kampani yake na moyo wake wa kujali kisha wakaagana na Ally akaondoka..


*************** ***************


Chuoni Ally aliendelea kuwa busy kujiandaa na mitihani kwani zilibaki siku chache sana kabla ya kuanza..Muda mwingi aliutumia akiwa peke yake kwani aliona muda wa kusoma kwa vikundi

ulikua umeshakwisha..Aliacha kabisa kuingia class na akawa anashinda hostel tu akijisomea kuanzia asubuhi hadi jioni..Nusrat hakuacha kumuomba waonane ila Ally alijitahidi kumzuia

na kumwambia asubiri hadi mitihani

ipite..Nusrat alishindwa kabisa kumuelewa na kupanga angemfuata usiku bila ya kumpa taarifa kwani alikua ana hamu nae sana ya kumuona. Nusrat alikua ana hali mbaya sana na alitamani kufanya mapenzi kuliko wakati wowote ule wa

maisha yake..Alijitahidi kuivumilia ile hali kimya kimya ila akaona anashindwa na kuona ile wiki moja kabla ya kumaliza chuo ni nyingi sana..Muda mwengine alikua anaenda chooni na kujaribu kujiridhisha mwenyewe lakini alishindwa kabisa kwani hakuizoea hiyo michezo. Akapanga iwe isiwe ni lazima Ally afanye nae mapenzi hata kwa usiku huo.


Akajiandaa vya kutosha na kufanya usafi mwili mzima kisha akaanza safari ya kuelekea hostel kwa kina Ally..

Alitembea taratibu na kuelekea chumbani kwa Ally bila kujali kama kuna mtu ataweza kumuona..Muda huo hakujali kitu

chochote zaidi ya kumuona Ally na kupewa mambo ili aridhike..Akafika chumbani kwa Ally kisha bila ya kugonga hodi akaingia moja kwa moja na kumkuta Ally akiwa anabadilisha nguo na alionekana kama muda mfupi uliopita alitoka kuoga..Ally alishtuka sana kumuona Nusrat amekuja tena bila ya taarifa ukizingatia alishamkataza kuja hadi mitihani ikishapita..

"Nusrat vipi mbona saa hizi?"

"Samahani sana Ally kwa kuja bila ya kukutaarifu ila nimeshindwa kabisa kuvumilia."

"Kuvumilia nini?"

"Kutoonana na wewe hadi mitihani ipite. Nina hali mbaya sana na nahitaji kufanya mapenzi tena muda huu. Siwezi kabisa Ally nimejitahidi sana kuvumilia ila nimeshindwa."

"Nusrat kwa nini unakua hivyo lakini? Hivi haujali kabisa hii mitihani inayotukabili?Uliweza kuvumilia kipindi chote kile ndio ushindwe kuvumilia hii wiki moja tu, hapana utanisamehe kwa hili mimi sipo tayari."


Baada ya kuambiwa maneno yale Nusrat

hakujibu kitu kisha akaanza kuvua nguo zake taratibu na kubaki na kufuli tu huku

akimtazama Ally..Ally hakuamini kabisa kama Nusrat angefanya kitendo kile hivyo akabaki ameduwaa akimtazama............



Nusrat akawa anamtazama Ally kwa macho ya kurembua huku akiwa anaanza kuvua na kufuli lake. Ally alipoona Nusrat anafanya hivyo akaanza kumsogelea taratibu huku Nusrat akiendelea kumtazama na macho yake yaleyale

ya kurembua. Akamshika kiunoni na kumbusu mdomoni huku Nusrat akiwa kimya anamsubiri Ally ampe vitu..Akaanza kuipandisha mikono yake kwenye nyonga kupitia mbavuni hadi mabegani na kumuona Nusrat akifumba macho huku akifumbua mdomo wake na kuachia sauti

laini ya mahaba..Ally akainama chini na

kuziokota nguo za Nusrat na kuzishika

mkononi..

"Tafadhali Nusrat naomba uvae hizi nguo, kwa leo sitaweza kufanya kitu chochote hapa ukizingatia haya mazingira hayaruhusu kabisa na pia akili yangu kwa sasa inawaza mitihani tu."

"Najua hunipendi Ally na ndio maana kila siku nikiwa na hamu unakataa kuniridhisha. Hivi kwanini lakini unanifanyia hivi au kwa sababu unajua nakupenda sana? Sasa mimi nakwambia

humu sitoki hadi angalau unipe japo kimoja tu nipunguze hii hali niliyokua nayo. Hivi hunionei kabisa huruma au kushangaa kwanini nafanya vitu kama hivi? Hapana Ally mimi sitoki na wala

huniambii kitu."

Ally akabaki anamtazama Nusrat huku akiwa hajui afanye nini..Akafikiria sana kisha akapata wazo.

"Sikiliza mpenzi wangu mimi sio kwamba

sikupendi au sitaki kukukata kiu yako ila haya mazingira ndio tatizo..Hebu fikiria Kassim akitokea hapa itakuwaje akitukuta tunafanya mapenzi? Hauoni kama itakua fedheha isitoshe hilo ni jambo la faragha kwa mimi na wewe.Tafadhali Nusrat naomba uvae hapa ni hostel muda wowote anaweza akaingia mtu humu au Kassim akarudi akukute katika hali hiyo hujavaa nguo..Tafadhali naomba uvae

kwanza hizi nguo kisha tuongee vizuri."


Baada ya kuambiwa hivyo Nusrat aliweza

kuelewa kisha akaanza kuzivaa nguo zake na alipomaliza akakaa kitandani huku akionyesha kukasirika sana..Ally akamsogelea na kukaa karibu yake pale kitandani.

"Tafadhali Nusrat naomba uwe muelewa mpenzi wangu mbona siku zile kule hotelini nilikufanyia kila kitu hadi nikapoteza fahamu? Ningekua sikupendi au sitaki kufanya mapenzi na wewe ningethubutu kufanya yote yale.?"

"Sasa hebu fikiria Ally, wewe ndio mpenzi wangu na mimi nipo kwenye hali kama hii, hivi unategemea nikamwambie nani anitimizie shida yangu kama sio wewe?"

"Yaah ni kweli Nusrat mimi ndio napaswa

nikutimizie hakuna mtu mwengine. Lakini hata wewe mwenyewe jaribu kufikiria, hivi haya mazingira yanaruhusu kweli?"

"Ni kweli hayaruhusu mpenzi wangu ila nimezidiwa sana ndio maana sijaliangalia hilo."

"Sawa usijali baby, sasa wewe chagua siku yoyote baada ya mitihani mimi nitakua tayari kwa ajili yako."

"Yani baby kwa jinsi nilivyo siwezi kabisa

kuvumilia kwa muda mrefu. Siku ya graduation tu baada ya kuisha naomba tuondoke ukanipe raha na kunikata kiu yangu yote maana baada ya mitihani nitaenda Pemba mara moja."


Ally alikaa kimya kidogo akitafakari maana siku hiyo hiyo alikua na ahadi na Recho wakalale Bagamoyo. Alijiuliza sana na kutafakari kisha akamwangalia Nusrat..

"Samahani sana baby siku hiyo sidhani kama tutaweza kuwa pamoja maana Recho alinialika mapema sana nyumbani kwao kuna party atakua anafanyiwa. Naomba unisamehe sana kwani siku hiyo sitaweza kuwa pamoja na wewe labda tupange siku nyengine."

Nusrat alibaki kimya huku akionyesha waziwazi kuanza kukasirika..

"Yani Ally kila ninachopanga mimi lazima kitafeli, kwanini lakini?"

"Sio hivyo Nusrat sasa ningekudanganya

ingesaidia nini si bora nilivyokuambia

ukweli. Jaribu kunielewa mpenzi wangu halafu isitoshe hiki ni kipindi cha mitihani inabidi tusifikirie kitu kengine chochote zaidi ya mitihani mbona haya mambo yapo siku zote."

Kweli Nusrat baada ya kuambiwa hivyo na Ally aliweza kumuelewa na kumuambia atampigia simu muda wowote kumuambia siku atakayopanga ili wakakutane wapeane raha..Ally alimshukuru sana mpenzi wake kwa

kuweza kumuelewa kisha wakaendelea na

maongezi mengine. Baada ya muda Kassim(mwenzie Ally anayekaa nae chumba kimoja pale hostel) alirudi na kuwakuta Ally na Nusrat wakiongea huku wakiwa wamefurahi sana..Aliwasalimia na baada ya muda Nusrat akawaaga na kuondoka huku Ally akimsindikiza.


***** ***** *****


Recho alianza kurejewa na furaha baada ya mama yake kuwa ameruhusiwa hospital na kurudi nyumbani..Alikaa siku mbili bila kwenda chuo akimuhudumia mama yake kwani ule mkono wake ulikua haujarejewa vizuri na nguvu. Alijitahidi kumuonyesha upendo mama yake pamoja na kumfariji kuwa muda sio mrefu atarudi kuwa kama zamani..Alitamani sana mama yake apone haraka ili siku ya mahafali

yake chuoni awepo na kufurahia nae. Zilibaki siku chache sana kabla ya mitihani

kuanza hivyo ilimbidi Recho aende chuo ili

kukamilisha taratibu za mwisho ili kuruhusiwa kufanya mitihani..Baada ya kuwa ashakamilisha taratibu zote akawatafuta rafiki zake na kuanza

kupiga nao story..Waliongea sana na

kuwaambia jinsi atakavyojisikia vibaya kama mama yake hatokuwepo siku ya mahafali..Tayana na Najma walijitahidi kumpa moyo na kumuambia kuwa mwenyezi Mungu atafanya miujiza yake na atapona kabisa..Recho alifarijika

kwa maneno ya rafiki zake kisha akawaaga na kuwaambia anawahi nyumbani ili akamuhudumie mama yake..Alipanga kuwa hatokuja tena chuo mpaka siku mitihani itakapokua inaanza.


***** ***** *****


Siku ya jumatatu wanafunzi wengi wa mwaka wa mwisho walifika mapema kwa ajili ya kufanya mitihani yao ya mwisho ya kumaliza chuo. Saa 2 kamili mitihani ilianza na kuchukua masaa kadhaa kabla ya kumalizika..Wanafunzi wengi walikaa kimakundi kujadiliana jinsi mtihani ulivyokua huku wengi wakionyesha uoga wa ku'sup..Ally hakua na pressure hata kidogo kwani siku zote alikua anajiamini sana pindi anapofanya mitihani..Alikaa na rafiki Allan wakijadiliana mambo mbalimbali haswa maisha yao baada ya chuo jinsi yatakavyokuwa..Ally na Allan walikua na maendeleo mazuri sana kwenye mitihani mbalimbali pamoja na assignment walizokua wanapewa pale chuo hivyo hawakujali kabisa kuhusu matokeo kwani siku zote walikua

wanafanya vizuri. Mitihani iliendelea kwa wiki nzima huku Ally akijitahidi kumpigia simu mpenzi wake Recho pamoja na kumfariji asahau matatizo ya mama ili afanye vizuri katika mitihani yake. Recho

alishukuru sana na kumuambia Ally kuwa

anampenda sana..


Baada ya wiki mbili wanafunzi wote wakawa wamemaliza mitihani yao yote huku wakiwa wana furaha sana kwani wengi walikua na hamu ya kuajiriwa huku wengine wakiwa na malengo ya kuchukua bachelor kwanza..Ally na Allan walipanga kufanya kazi kwanza kwa miaka angalau miwili kisha ndio wakachukue bachelor

in accountancy..Walipanga mambo mengi sana huku Allan akimwambia Ally kuwa baada ya kuanza maisha ya kujitegemea atamuoa Tayana wake huku Ally akibaki na kitendawili kwani alimpenda sana Recho kuliko Nusrat lakini alishindwa ataanzaje kumuacha Nusrat kwa yale

mazingira waliyofikia.


***** **** *****


Hatimaye siku ya mahafali ikawadia huku chuoni pale kukiwa na watu wengi sana wakiwemo wanafunzi, wazazi pamoja na wageni waalikwa wakiongozwa na naibu waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi..Ally alifika maeneo yale mida ya saa 5 asubuhi akiwa na gari lake na kukuta watu ni wengi sana kuliko kawaida..Akalipaki mahali salama na kumpigia simu rafiki yake Allan ambaye alimuelekeza mahali alipo na kwenda kukutana nae.Walifurahi sana huku wakikumbushana mambo mbalimbali waliyoyafanya chuoni hapo. Akamtumia message Recho na kumuuliza yupo wapi na Recho alimjibu kuwa yupo njiani anakuja.. Alikaa pale na Allan pamoja na rafiki zake wengine wakibadilishana mawazo pamoja na kupiga picha nyingi za ukumbusho wakiwa kwenye mavazi yao nadhifu ya majoho..Muda ulizidi kusogea na hatimaye shughuli rasmi ilifunguliwa kwa risala ya mgeni rasmi.


Ally alizidi kuangaza huku na huko kama mpenzi wake alikua ameshafika na baada ya muda akaona Harrier Lexus ya kisasa ikiingia taratibu maeneo hayo..Baada ya kupaki akamuona mpenzi wake Recho akishuka akiwa amependeza sana kuliko siku zote alizowahi kumuona huku akiwa ameongozana na mama yake pamoja na mwanaume ambaye yeye wala hakumfahamu ......



Alizidi kuwaangalia wakiwa wanakuja ule upande aliosimama na Allan pamoja na marafiki zake wengine..Walivyofika karibu Recho alimuona Ally na kuachia tabasamu pana lililopenya barabara machoni mwa Ally. Ally nae hakusita na kumrudishia tabasamu mpenzi wake kisha wakina Recho wakapita maeneo yale..Ally

alipigwa na butwaa kwani hakutegemea kama mpenzi wake Recho atapendeza kwa kiasi kile..Alimuona ni mrembo kuliko wasichana wote waliokuwepo mahali pale na kutamani angalau Amsogelee ili Akampige busu..Wakati wakina Recho wanazidi kutembea kuelekea eneo la

sherehe inapofanyika Ally akajiuliza juu ya yule mwanaume aliyekuwa pamoja na wakina Recho kwani alimuona wakiwa wanafurahi sana na kutaniana na Recho wakionyesha waziwazi kuwa wamezoeana sana..

"Mmhh atakuwa nani yule mbona sijawahi

kumuona wala Recho kuniambia hata siku moja? Halafu anaonekana amezoeana nae sana maana wanataniana sana pamoja na kufurahi. Ngoja baadae nitamuuliza isije kuwa ndio anayenizidi

kete nikaachwa kwenye mataa."

Alijikuta anapatwa na wivu kwa mpenzi wake kwa kuwaza mambo mengi mabaya. Aliendelea kubadilishana mawazo na marafiki zake hadi pale MC alipowaita wahitimu wote wakakae kwenye viti ili wafuatilie kwa makini mambo yote

yanayoendelea pale..Wahitimu wote walienda kukaa kwenye viti huku Ally akiwa pamoja na rafiki yake Allan.

Burudani mbalimbali zilitolewa na vikundi vya sanaa za maigizo, sarakasi, ngoma pamoja na ngonjera. Ulifika muda kwa ajili ya kuwatunuku wanafunzi waliofanya vizuri katika kipindi chote cha masomo yao na wanafunzi wengi walipewa tuzo pamoja na zawadi mbalimbali kutoka kwa

wazazi na wageni waalikwa..Ulifika muda wa kumtaja mwanafunzi aliyefanya vizuri zaidi kwa kipindi chote tangu wanaanza masomo yao na liliposikika jina la Ally Mohammed Kirumbi wanafunzi wengi walilipuka kwa shangwe haswa wanafunzi wenzake aliosoma nao darasa moja

kwani walimuelewa vizuri uwezo wake darasani pamoja na kuwasaidia watu wengine..


Ally akasogea mbele na kwenda kuchukua tuzo yake pamoja na zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni pamoja na baadhi ya wazazi waliofika pale..Baba yake mzee Mohammed akatangaza mbele ya umati kuwa anamkabidhi rasmi mwanae nyumba yake iliyopo maeneo ya Mbezi

ambayo alimuahidi kumkabidhi endapo atafanya vizuri chuoni..Ally alimshukuru sana baba yake kwa kumfanyia kitu kikubwa kama kile pamoja na watu wengine wote bila kuwasahau

wanafunzi wenzake aliyokuwa nao bega kwa bega katika kipindi chote..

Wakati anarudi kukaa hakutegemea kumuona Recho akiwa mbele yake akimsubiri..Alipomfikia Recho hakusita

kuonyesha furaha yake na kumkumbatia Ally pale pale mbele ya kadamnasi na kuwafanya wanafunzi waliokua wanaelewa vizuri mahusiano ya Ally na Recho kushangilia kwa furaha huku

kila mmoja akiongea neno lake..

"Nakupenda sana Ally wangu na hongera sana kwa hii hatua uliyofikia."

Aliongea Recho wakati wakiwa bado wamekumbatiana.

"Nakupenda pia Recho wangu na wewe pia hongera kwa hii hatua uliyofikia.. Naomba uendelee na moyo huo huo naamini utapiga hatua zaidi ya hapa."

Recho alimshukuru sana mpenzi wake kisha wakaachiana na kila mmoja akarudi sehemu yake aliyokaa..


Allan alimpongeza sana rafiki yake huku


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG