Search This Blog

Saturday, February 26, 2022

ENDLESS LOVE - 1

  

IMEANDIKWA NA : KENDRICK LINCOLN JR

********************************************************************************

Simulizi : Endless Love

Sehemu Ya Kwanza (1)

HATIMA YA MAPENZI


Ilikua ni jumatatu tulivu,upepo mwanana ukivuma na wingu jepesi likichukua nafasi yake. Kwa wakati huo wa saa 10 alfajiri watu wengi katika jiji la Dar es salaam walikua bado wapo usingizini isipokua kwa wanafunzi wanaosoma shule za mbali walikua wamekwishaamka ili kuwahi adha ya usafiri na foleni ndani ya jiji hili. Pia baadhi ya wafanyakazi

walikua wapo macho wakijiandaa kuelekea kwenye majukumu yao ya kila siku yanayowawezesha kupata chochote ilimradi mkono uende kinywani.


Sekunde na dakika zilizidi kusogea na hatimaye ikatimia saa 12 asubuhi. Kijana Ally anaamka kutoka usingizini baada ya kushtuliwa na sauti kubwa ya alarm iliyokua inaita kwenye simu

yake..Haraka haraka akainuka kutoka kitandani na kuchukua mswaki wake na kwenda kusafisha kinywa.Baada ya hapo akaingia bafuni kuoga na kumaliza haja zake zote.Akatoka akiwa anaonekana

kua ni mtu mwenye haraka sana na kitu fulani.Haraka haraka akajiandaa na kuvaa nguo zake nadhifu na kumaliza kwa kujipulizia perfume yenye manukato

mazuri.Hakika alionekana kupendeza pengine kuliko siku zote za maisha yake...

Akachukua simu yake na kuanza kuangalia notifications mbalimbali za marafiki zake.Akazijibu zote na baada ya hapo akaingia upande wa message na kukuta message mbili,moja ilikua ya

rafiki yake aliyesoma nae secondary school aitwaye Saleh Mwaya na nyengine ya dada yake wa hiyari aliyekutana nae facebook aitwaye Diana. Akawajibu wote na baada ya hapo akalog out. Akafungua WhatsApp akakuta message tatu za

marafiki zake Abdallah Bin Kleb, Salum Kuziwa na rafiki yake wa dhati kabisa ambaye walikua ni kama ndugu,Tobby Aguriz. Wote walikua wanamtakia masomo mema pamoja na kumtumia

picha zenye maneno mazuri hiyo yote ilikua ni kuonyesha upendo wa dhati kwa rafiki yao..Ally alifurahi sana na akawajibu wote kwa kuwashukuru kwa kumjali katika siku zote za maisha yake.


Ally alikua amejiunga na chuo cha Tanzania Institute of Accountancy (TIA) campus ya Dar es salaam kilichopo maeneo ya Kurasini katika viunga vya barabara ya Kilwa na Mandela akiwa anachukua Diploma in Accountancy

(DA) na hiyo ndiyo ilikua siku yake ya kwanza ambayo alikua anaenda kuripoti chuoni..Akatoka sebuleni ambapo alikutana na mfanyakazi wao wa ndani akiwa busy kwa kufanya usafi wa ndani..

Mambo Sarah...ilikua ni sauti ya Ally akimsalimia mfanyakazi wao wa ndani...

Poa tu umeamkaje?

Sarah akamjibu huku akionekana kua na uso wenye tabasamu na bashasha la aina yake.

Namshukuru Mungu niko fresh kabisa,hofu kwako..

Mmhhh me mzima wa afya.

Sarah aliendelea kujibu..

Sawa! Vipi breakfast tayari umekwishaandaa?

Ndio tayari ipo mezani..

Basi sawa nashukuru.

Ally alijibu huku akielekea

dining room kwa ajili ya kupata kifungua kinywa...


Baada ya kama dakika tano mzee Mohammed Kirumbi, baba mzazi wa Ally alitoka chumbani kwake na kuelekea kupata kifungua kinywa pamoja

na mwanae..

Good morning dady! (Habari za asubuhi baba)

Good morning son, how are you?(Nzuri

mwanangu,unaendeleaje?)

I'm fine!(Sijambo).

Hayo ndio yalikua mazoea ya mzee Mohammed pamoja na mwanae,.ndio salamu yao kila inapoanza siku mpya...

Wakamaliza kupata breakfast na wote wawili walikua wapo tayari kwa ajili ya kuondoka.

Ooh!sorry, I've forgotten my key. (Ooh!samahani nimesahau funguo yangu)

Mzee Mohammed

alimwambia mwanaye huku akitoka nje kuelekea alikopaki gari yake aina ya Verrosa.

Where? (Wapi?)...

Ally akauliza.

On my dressing table. (kwenye dressing table yangu)

Okay I'm coming. (Sawa nakuja baba)

Ally alijibu huku haraka akirudi ndani kwenda kuchukua ufunguo wa gari..


Aliingia mpaka chumbani kwa baba yake na moja kwa moja akaelekea kwenye dressing table ili akachukue ufunguo..Baada ya kuupata wakati anaondoka kuna kitu alikiona hadi akahisi moyo wake ukimpasuka...JE,ALLY ALIONA KITU GANI?


Akakisogelea hiko kitu huku akionyesha kuwa na uso wenye huzuni.Ilikua ni picha ya marehemu mama yake Bi. Amina Ally aliyefariki dunia miaka 14 iliyopita wakati huo Ally akiwa na umri wa miaka 7 tu. Kwa hakika hakuyafaidi sana mapenzi ya mama kama ilivyokua kwa baba na hiko kilikua ni kitu kinachomuumiza sana na kumkosesha raha haswa anapoiona picha ya mama yake kipenzi... Alikumbuka maneno aliyoambiwa na mama yake wakati anaanza darasa la kwanza katika shule ya msingi Wailes iliyopo Temeke, "Mwanangu kuwa makini sana katika masomo yako, usihadaike kabisa na

haya maisha mazuri ya hapa nyumbani. Kilichokua cha wazazi wako kitabaki kuwa cha wazazi wako. Inabidi usome kwa bidii ili utafute kilichokua cha kwako".. Ni maneno yaliyoingia vizuri akilini mwake na kuishi kwa takribani miaka 14..Aliichukua

picha ya mama yake na kuibusu..


Ghafla akasikia sauti ya baba yake ikiita kutokea nje.

"We Ally unafanya nini ndani muda wote huo? Hebu toka haraka tuwahi kuondoka.

Haraka Ally aliirudisha ile picha kama ilivyokua kisha akatoa leso na kujifuta

machozi ambayo yalikua yameanza kutanda kwenye mboni za macho yake..Akatoka sebuleni akakutana na mfanyakazi ambaye aliiona hali ya

Ally ilivyobadilika usoni.

Vipi Ally mbona upo hivyo?..aliuliza Sarah.

Kwani nipo vipi mbona mimi nipo kawaida tu!..

Alijibu huku akililazimisha tabasamu usoni mwake.

Hapana wewe siyo Ally ninayekujua,lazima

kuna kitu kitakua hakipo sawa tu.

Usijali Sarah me nipo sawa kabisa,acha niwahi nje maana baba ananisubiri muda mrefu.

Aliongea Ally huku akiwa anafungua mlango wa kutokea nje..

Sawa bwana siku njema na masomo mema pia.

Sarah alimwambia Ally huku akiachia tabasamu pana usoni mwake..

Poa nawe pia na nashukuru sana kwa kunijali.

Ally alijibu huku akifunga mlango wa kutokea nje...

Vipi mwanangu mbona umechelewa sana, yani kuchukua funguo tu?

Aliuliza mzee Mohammed.

Samahani baba nilisahau wallet yangu halafu pia nilisahau mahali nilipoiweka.. Alidanganya Ally kwa ajili ya kujitetea.

Kwa hiyo sasa umeiona?

Ndio baba nimeiona.!

Akajibu huku akificha uso wake wa huzuni aliokua nao mwanzo..

Sawa panda kwenye gari tuondoke..

Wote wakaingia kwenye gari na safari ya kuelekea chuo ikaanza..


Safari ya kutoka Temeke hadi chuo cha Uhasibu haikua ndefu sana. Kwa dereva mzuri inaweza kumchukua dakika 10 mpaka 15 kama hakuna foleni..Walifika salama kisha wakaagana na mzee Mohammed akaendelea na safari yake ambapo alikua anaelekea Posta mpya

katika bank ya CRDB tawi la Azikiwe alipoajiriwa kama afisa masoko...

Kwa mwendo wa taratibu Ally alivuka barabara na kulielekea geti kuu la chuo.Aliingia ndani na kukutana na mamia ya wanafunzi wakiwa wamekaa

kwa vikundi vikundi wengine wakijisomea huku wengine wakipiga story..Hakuwa na rafiki hata mmoja chuoni hapo kwani alikua mgeni hivyo hakujua hata

aanzie wapi na aelekee wapi..Akasogea mbele zaidi na kukutana na wasichana watatu wazuri wakiwa wamekaa

wanatazama mahali anapotokea yeye..

"Kaka mambo."

Ilikua ni sauti ya mrembo mmoja kati

ya wale watatu. Alishtuka kidogo kwani hakutegemea kusalimiwa na mtu yeyote mahali pale..

Safi tu mzima wewe? mambo zenu jamani.

Ally alimjibu yule msichana huku pia akiwasalimia wale wenzake aliokaa nao.

Poaa...

Walijibu wale wasichana wengine wawili kwa sauti za madaha.

Me mzima kabisa, unaonekana kuwa

mpya hapa maana tangu unatokea kule nakuona kama mtu unayebahatisha njia.

Aliongea yule msichana wa kwanza kumsalimia Ally huku akionyesha sura ya ukarimu.

Yaah! ndo kwanza naingia leo eneo hili, yani hata application na mambo mengine yote nilifanyiwa na mzazi wangu.

Alijibu Ally huku akionekana kuwa

ni mwenye kujiamini..

Okay! so unachukua kozi gani hapa? aliuliza tena yule msichana.

Diploma in Accountancy.

Akajibu Ally huku akimtizama usoni yule msichana.

Okay! so unalijua darasa lako?

Hapana! yani hapa kusema ukweli hata sijui nianzie wapi.

Ally akajibu huku akitabasamu...

Okay never mind! may I escott you? (Sawa

usijali, naweza nikakusindikiza?)

Okay!I will thank you!(Sawa, nitakushukuru)

Ally alijibu huku akiachia tabasamu pana usoni mwake.

Hey guys,I will be back in ten minutes. (Hey jamani, nitarudi baada ya dakika10)

Yule msichana aliwaaga marafiki zake.

Poa usichelewe basi,,maana wewe huchelewi kuzusha safari nyengine huko huko juu kwa juu.

Aliongea kwa mzaha mmoja kati ya wale wasichana wawili.

I promise you! (Nawaahidi) sitachelewa.

Aliongea yule msichana huku akianza kuondoka na Ally..

Jamani asanteni sana tutaonana mungu akipenda.

Ally aliwaaga wale wasichana

huku akiondoka na yule msichana wa kwanza.

Poa usijali karibu sana.

Walijibu kwa pamoja wale wasichana.

Asante nashukuru sana.


Walianza taratibu safari ya kuelekea darasa analosoma Ally..Njiani waliongea mambo mbalimbali kuhusu pale chuoni huku yule msichana akimuonyesha Ally mazingira ya pale chuoni..Yule msichana alionekana kuwa mkarimu sana kupita maelezo kiasi kwamba mtu yoyote ni rahisi sana kuzoeana nae..


Mara ghafla Ally alimwomba yule msichana wasimame walipofika

sehemu moja ambayo kulikua na mti wa

mwarobaini...J



Yule msichana akasimama huku akimtizama Ally usoni bila ya kumwambia kitu chochote.

Napenda kukushukuru sana kwa ukarimu wako ulionionyesha kwa siku ya leo,mimi sina cha kukulipa ila Mungu mwenyewe ndio anajua akulipe nini...aliongea Ally huku akionyesha kuwa ni mtu aliye makini.

Nami nashukuru pia,ila usijali ni kawaida yangu kuwasaidia watu pale ninapoona inawezekana,so nahisi Mungu amepanga leo nikusaidie wewe..

Aliongea yule msichana huku akiwa

anatabasamu. Basi wote kwa pamoja

wakajikuta wanacheka..Meno meupe ya yule msichana yaliyopangiliwa

vizuri yalionekana barabara machoni mwa

Ally..Lips laini zilizopakwa lipshine zilichanua vizuri na kuyafanya mashavu yake kutengeneza vishimo vidogo maarufu kama dimpoz...Macho yake meupe makubwa wastani yalizidi kuupamba uso wa huyu msichana. Pua yake nyembamba ndefu wastani ikazidi kutia ndimu katika uso wake mzuri.

Samahani, ujue tangu tumeonana tumeongea mambo mengi lakini hata majina hatufahamiani.. Sijui mwenzangu unaitwa nani?

Aliuliza Ally huku akiliweka vizuri begi lake

mgongoni..

Naitwa Recho!

Alijibu yule msichana kwa sauti

yake laini yenye uwezo wa kumwamsha

usingizini mgonjwa aliyelala kwa miaka 10.

Aanha! Recho, nice to meet you. (aanha! Recho, nafurahi kukutana na wewe) Mimi naitwa Ally.

Aliongea huku akiendelea kuachia tabasamu usoni mwake.

Okay! me too, it's my pleasure.(Sawa,mimi pia nafurahi) Halafu unaonyesha kuwa mpole sana.

Aliongea Recho kwa mapozi.

Kidogo tu sio sana.

Alijibu kwa mzaha.

Mm mmh! okay! (Mm mmh! Sawa)


Wakaendelea kutembea hadi walipofika darasa analosoma Ally..Alimshukuru sana Recho kisha wakaagana maana mda wa kuingia darasani ulikua tayari umeshafika...Recho alirudi mpaka kwa rafiki zake na kuanza kuwahadithia kuhusu Ally..

'Yaani nyie acheni tu, yule mkaka ni mpole na mkarimu sana,halafu pia ni. handsome

sana mpaka Recho mimi akili yangu ikasimama kufanya kazi. Halafu anaonekana mcheshi na anajali..Sio siri jamani kiukweli amenivutia"

Aliongea Recho kwa maidoido huku akizungusha macho yake laini..

Mmhhh! wewe tena, haya bwana it's up to you mumy! (Ni juu yako mama)

Aliongea kwa mzaha rafiki yake Recho

anayeitwa Tayana...

Ila una haki ya kupagawa shoga yangu maana yule mkaka mmhhh! hata sijui niongee nini! Nahisi chuo kizima hapa yeye ndo handsome namba moja..akazidi kusifia rafiki yake mwengine Recho anayeitwa Najma.

Waliendelea kumuongelea Ally hadi mmojawapo alipowashitua wenzake..

Hey guys! time (hey!jamani muda) twendeni class.

Aliongea Tayana na wote wakainuka

kuelekea darasani.


*** *** *** *** ***


Saa nane kamili mchana ndio ulikua mda ambao Ally anatoka darasani..Akatoka akiwa ameongozana na kijana mmoja wa rika lake.

Sasa Allan hii assignment inabidi nikaifanye nyumbani then nitakupigia simu tuwe tunashirikiana mpaka tutakapoimaliza, au sio?

Aliuliza Ally.

Fresh hamna noma mwanangu nakuaminia.

Alijibu Allan Stanford, rafiki mpya wa Ally

aliyekutana nae chuoni hapo. Wakapeana namba za simu kisha wote wakatoka nje ya chuo na kwenda kusimama kwenye kituo cha mabasi..Allan ndio alianza

kuondoka kisha Ally nae akapanda basi

linaloelekea nyumbani kwao Temeke.


**** **** **** ****


Jioni akiwa amekaa sebuleni anaangalia movie akasikia simu yake inaita..kuangalia akakuta rafiki yake Allan ndo anampigia.

Ally...oy!

Allan...Niaje mwanangu?

Ally...kama kawa,nambie

Allan...Mzuka,ile assignment vipi ushaanza kuifanya?

Ally...daah! bado mwanangu,nilikua nimelala yani ndo nimeamka mida hii hii.

Allan...Okay! so inafanyika leo au kesho asubuhi?

Ally...Inafanyika leo, ngoja kuna movie nacheki hapa ikiisha nitakuvutia waya, amanini?

Allan...Baridaa hamna noma mida basi.

Ally...poa.


Akakata simu kisha akaendelea kuangalia ile movie ya action...Mara kidogo mfanyakazi wao Sarah akaja akitokea jikoni.

Yani Ally leo tu kwenda chuo tayari ushapata rafiki?

Aliuliza Sarah kwa mzaha.

Yaah! mimi tena kama unavyonijua kipenzi cha watu nitakosaje rafiki.

Alijibu Ally huku nae akileta mzaha.

Hahahaaa yani wewe! Leo nilikumisije humu ndani? Nshakuzoea muda wote kukuona.

Aliongea Sarah huku akienda kufungua fridge na kummiminia Ally Juisi...

Wow! kitu cha embe, kama umeongea na koo langu vile. Nashukuru sana Sarah... Aliongea Ally na kuanza kuinywa ile juisi...

Poa usijali, mimi nipo hapa kwa ajili ya

kuwahudumia nyie, kwahiyo chochote

utakachokihitaji utaniambia..

Alijibu Sarah huku akitabasamu..

Poa acha mimi niendelee kuangalia hii

movie maana imefika patamu sana..

Poa acha na mimi niende jikoni ili nikamalizie mapishi..Sarah aliongea huku akielekea jikoni...


Baada ya kama dakika kumi na tano Ally alisikia makelele kutoka jikoni Sarah akiomba msaada. Haraka haraka Ally alitoka mbio mpaka jikoni ambako alimkuta Sarah akiwa ameanguka chini huku jiko la umeme likiwaka moto mkubwa na sufuria ya chakula ikiwa ipo pembeni. Akamsogelea Sarah ili ampe msaada. Upande mmoja wa kanga ulikua upo wazi hivyo kuliacha paja lake jeupe likiwa linamtazama Ally.........JE NINI KITAENDELEA?



Mapigo ya moyo ya Ally yalianza kwenda kasi kwani katika maisha yake hakutegemea kuliona hata goti la Sarah kwani muda mwingi anakua amevaa nguo ndefu.

Sarah! Sarah!..Nini kimetokea?

Ally aliuliza huku akiwa ni mwenye wasiwasi sana..

Jiko limelipuka na kuniunguza mkononi.

Sarah alijitahidi kujibu huku akiwa analia kwa maumivu aliyokua anayapata...

Haraka haraka Ally akazima switch ukutani na kumuinua Sarah pale chini alipoanguka... Akamsaidia kutembea kwa kuuzungusha mkono wa kushoto wa Sarah begani kwake..Alimkokota

mpaka chumbani kwake na kumlaza

kitandani..Akaenda chumbani kwake kuchukua first aid kit(box la huduma ya kwanza) na kurudi nalo hadi chumbani kwa Sarah.Akampatia Sarah huduma ya kwanza kwani alikua vizuri sana kwenye somo la Biology wakati yupo secondary school kisha alipomaliza akampa na

painkillers ili apunguze maumivu.

Baada ya hapo akamuuliza anajisikiaje...

Afadhali kidogo tofauti na ilivyokua

mwanzo, nashukuru sana Ally kwa msaada wako kwani kama ningekua peke yangu hata sijui ingekuaje..

Alijibu kwa sauti ya chini sana..

Usijali,mimi nipo hapa kwa ajili yako haswa yanapotokea matatizo kama haya..Ally alijibu huku akiendelea kumwambia Sarah maneno

yenye kumfariji. Akamuaga Sarah na kurudi sebuleni kuzima TV na kwenda chumbani kwake ili akafanye assignment waliyopewa chuo yeye na rafiki yake Allan.


Akampigia simu Allan wakajadiliana mambo mbalimbali mpaka wakaimaliza ile assignment. Akiwa anajiandaa kwenda kuoga chooni kwake, ghafla alishtuliwa na hodi iliyopigwa chumbani kwake.

Akaenda kufungua mlango na kukutana uso kwa uso na baba yake..

Good evening dady(habari za jioni baba)

Ally alimsalimia baba yake huku akionyesha kuwa na uso wenye simanzi.

Good evening my son.(nzuri mwanangu)..mbona upo hivyo,kuna tatizo lolote?

Aliuliza mzee Mohammed.

Yes dady(ndio baba) Sarah amelipukiwa na jiko wakati alipokua anapika chakula. Ameungua sana kiganja chake cha mkono.

Yuko wapi?

Aliuliza mzee Mohammed huku

akionyesha kuwa ni mwenye wasiwasi.

Chumbani kwake amelala.

Ally alijibu huku wote wakianza kuelekea chumbani kwa Sarah.. Wakapiga hodi kisha wakaingia mpaka ndani..Mzee Mohammed alisalimiana na Sarah

kisha akamuuliza hali yake.Sarah alimjibu jinsi anavyojisikia kisha mzee Mohammed akampa pole na kumtia moyo ili afarijike.

Walivyomaliza mzee Mohammed akamtuma mwanae akanunue chakula kwenye restaurant moja maarufu maeneo ya mtoni kwa Azizi Ali kwani ndani hakukua na chakula cha kula kwa usiku huo. Akachukua ufunguo na kuwasha gari la baba yake kisha akaondoka.


**** **** **** ****


Recho alikua amejifungia ndani kwake huku mawazo yake yote yakiwa yapo kwa Ally.Muda mwengine alijikuta mwili

ukimsisimka kila alivyofikiria jinsi ambavyo Ally atakua mwanaume wake na kumruhusu auchezee mwili wake jinsi anavyotaka. Alipata hisia za ajabu mpaka yeye mwenyewe akaanza kujishangaa.

"Kwanini mimi nakua hivi lakini?..Yani mtu niliyemuona

siku moja tu ndio ananifanya nafikiria mambo yote haya!! mmmhhh! Nahisi nampenda kwa dhati Ally.Natamani hata sasa hivi awe boyfriend wangu ili moyo wangu utulie.Lazima nifanye kila

mbinu ili nimpate,. Lakini itakua rahisi

kweli?.. Maana kwa jinsi leo nilivyomuanza mimi kumuongelesha na kumfanyia yote yale hata kuniomba namba ya simu? Hapana haiwezekani

kwa wanaume wa sikuizi..Au labda ana girlfriend wake na anamuheshimu?"

Recho alijikuta akiongea maneno yote hayo na kujiuliza maswali ambayo hayakua hata na majibu kwa wakati huo. Mama yake alikuja kumuita ale chakula lakini alikataa kwa kisingizio kuwa ameshiba. Mama yake alilalamika sana lakini hakumsikiliza kabisa.. Kilichokua ndani ya akili yake kwa muda huo ni Ally tu na hakutaka mtu yoyote amuharibie hizo hisia. Aliendelea kuwaza mpaka usingizi ukampitia.


**** **** **** ****


Kesho yake asubuhi na mapema Recho aliamka na kuanza kujiandaa kwa ajili ya kuelekea chuo.Akamaliza na baada ya hapo akaenda kumsalimia na kumuaga mama yake.

Mbona leo mapema sana Recho? Yani hata saa kumi na mbili kamili bado haijafika?

Kuna kazi tuliachiwa jana mimi na kundi

langu kwahiyo bado hatujamaliza ndio tunataka tukamalizie hii asubuhi.

Ilibidi Recho amdanganye mama yake ili asiulizwe maswali mengi zaidi..

Mama yake akamuelewa na baada ya hapo wakaagana na Recho akaelekea chuo.. Alifika chuo mapema sana kuliko kawaida na kukutana na watu wachache sana wakiwa wamekaa vikundi vikundi wakipiga story huku wengine wakionekana kuwa busy kwa kujisomea. Akachukua simu na kuwapigia simu rafiki zake Tayana na Najma ambao wote walisema kuwa wapo njiani..Akatembea zaidi na kuelekea ilipo lecture room ya kina Ally..


Alikaa karibu kabisa na darasa analosoma Ally ili pindi atakapokuja tu amuone.. Alikaa kama nusu saa ndipo alipomuona Ally akitokea huku akiwa anachezea simu yake.Moyo wa Recho ulipasuka kwa woga huku akihisi mwili wake ukimuisha nguvu......



Pumzi zilikua zinamwenda mbio sana Recho kiasi kwamba alikua haamini kile ambacho anataka kukifanya.. Alipoona Ally anakaribia kufika aliinuka pale alipokua amekaa na kuanza kusogea upande ambao alikua anatokea Ally..

Hey! mambo.

Alikua Recho akianza kumsalimia Ally.

Wow! Recho? safi, mzima kabisa?

Yaah! Ndo mimi, mzima kabisa, vipi za tangu jana?

Nzuri,sijui wewe.?

Mmhhh!!

Vipi mbona unaguna, kuna tatizo?

Hapana hakuna tatizo!!

Mmhh! kama hakuna tatizo sawa.

Recho alikua kimya akiwa hajui hata aanzie wapi kumuambia Ally jinsi anavyojisikia kwake.. Akabaki

akichezea vidole vyake vya mikono huku akiwa kama anatoa uchafu kwenye kucha..

Nahisi kuna kitu kinakutatiza Recho, tafadhali naomba uniambie labda naweza nikakusaidia hata kwa ushauri tu.

Aliongea Ally huku akimshika bega Recho ambae alikua ameinamisha uso wake chini..

Yaah! ni kweli Ally kuna kitu hakipo sawa kwangu, ila nashindwa hata nianzie wapi

kukuambia. Nahisi kuchanganyikiwa halafu kama sijielewi.

Aliongea Recho huku akiona aibu na kuangalia chini..


Ally alianza kushtuka hali aliyokua nayo

Recho.Alimuangalia sana usoni na kukubali yeye mwenyewe kuwa Recho ni msichana mrembo sana..Lakini kitu kimoja tu ndo kilikua ndani ya moyo

wake, alijiapiza kuwa hatajihusisha kimapenzi na mwanamke yeyote chuoni hapo..Akahisi labda atakua anakisaliti kiapo chake tena mapema sana hata wiki moja hajamaliza..Akamshika Recho mkono kisha akamwambia.

Samahani Recho. Kwa mda huu sidhani kama itakua muda muafaka kuniambia hiko kitu kinachokusumbua. Nahisi yanaweza yakawa mazungumzo marefu kidogo yanayohitaji utulivu hivyo kwa muda huu naomba uende class maana imebaki kama robo saa vipindi vianze..

Baada ya kuambiwa hivyo Recho alimwangalia Ally usoni huku akionyesha waziwazi kuwa moyoni mwake ana huzuni..

Sawa Ally nimekuelewa, kwahiyo tutaonana lini tena?

Leo nilikua nina ratiba nyingi sana sidhani

kama tutapata muda mzuri wa kuongea. Labda unipe namba yako ya simu tuwe

tunawasiliana ili uniambie hilo tatizo

lako.

Aliongea Ally huku akitoa mfukoni simu

yake. Kwa Recho huo ulikua ni ushindi mkubwa sana. Akaichukua hiyo simu na kuandika namba yake kisha akajibeep.. Alipomaliza wakaagana kisha Ally akaingia class na Recho akaelekea

darasani kwake.


***** ***** *****


Jioni ya siku hiyo Recho alikua ni mwenye furaha sana kwa kitendo cha kuongea na Ally na

kupata namba yake ya simu.Alikua amekaa chumbani kwake akisubiri labda Ally atampigia. Alikaa mpaka saa 3 ya usiku lakini hakuona hata message ya Ally. Alianza kuingiwa na huzuni na kuhisi labda Ally alikua na girlfriend wake na hataki kabisa kumsaliti..Ilipofika saa nne usiku baada ya kumaliza kula na kufanya kazi zake zote aliamua kumpigia simu Ally. Simu iliita mara ya kwanza hadi ikakata lakini haikupokelewa.

"Mmhhh! kwanini lakini ananifanyia hivi. Yani hata kupokea simu yangu hataki"

Aliongea peke yake huku machozi yakianza kumtoka..Aliwaza sana mpaka

aliposhtuliwa na mlio wa simu iliyokua

inaita.. Kuangalia alikua Ally ndiye anayepiga..Moyoni alifurahi sana na furaha yake ikaanza kurejea upya.. Akapokea simu na mazungumzo

yao yalikua hivi.

Recho...Hellow!

Ally...Hellow! Mambo vipi?

Recho...Poaa, sijui wewe.

Ally...me nipo fresh kabisa,sorry bado sijakujua nani mwenzangu?

Recho...mmhhh! Ina maana namba yangu

haukuisave?

Ally...Yaani mambo mengi halafu ni watu wengi wanaonipa namba zao kwahiyo sijakujua bado.

Recho...mimi Recho!

Ally...ooh! kumbe Recho,samahani sana..Unajua mida ile wakati naingia class nilikua na mambo mengi sana hadi nikasahau kuisave namba yako.

Recho...usijali,vipi uko wapi?

Ally...Nipo home ndio najiandaa kulala, niende wapi sasa hivi.

Recho...Okay!

Ally...Halafu nimekumbuka vipi kuhusu yale mambo uliyotaka kuniambia asubuhi, vipi unaweza kuniambia muda huu?

Recho...Natamani hata nikuambie sasa hivi lakini sidhani kama utanielewa...

Ally...Kwanini sasa nisikuelewe? Kwani mambo yenyewe yana uzito sana?

Recho...Ndiyo Ally yana uzito mkubwa sana kwangu ndio maana sidhani kama utanielewa.

Ally..Mmhh sawa nimekuelewa.Basi tupange siku kama weekend hivi tukutane ili uniambie vizuri hayo mambo yenyewe..

Recho...nashukuru sana kusikia hivyo.


Baada ya hapo walipanga sehemu ambayo watakutana kisha Ally akakata simu...Recho alikua ni mtu mwenye furaha pengine kuliko siku zote za maisha yake..Alichukua mto wake na kuukumbatia kwa nguvu akihisi kuwa

Ally ndiye aliyekua pembeni yake.

Ashki zilimpanda sana na kujikuta akianza

kuyaminya minya maziwa yake madogo

yaliyosimama vizuri..Alishtuliwa na sauti ya mama yake akimuita ili akachukue hela yake ya kwenda chuo kesho..

Baada ya kuchukua Recho alifunga mlango kisha akaamua kulala..


**** **** ****


Dakika, masaa na siku zikasogea na hatimaye ikafika siku ya Jumapili..Recho alijiandaa vya kutosha ili akakutane na mwanaume anayempenda kuliko wote..

Alitoka nyumbani mida ya saa sita mchana na kuanza kuelekea kwenye fukwe za Sea Cliff.


Alifika maeneo hayo huku akiwa anamsubiri Ally kwa hamu..Mara akasikia message ikiingia kwenye simu yake kuangalia alikua Ally akimuuliza amekaa kwa wapi..Recho alimjibu na baada ya

dakika tatu akamuona Ally akija akiwa ametupia mpaka akahisi kama amemfananisha... JE NINI KITAENDELEA?



Ally akasogea mpaka pale alipokaa Recho kisha wakasalimiana.Recho alimsifia sana Ally kwa jinsi alivyopendeza huku Ally nae akimsifia Recho kwa jinsi alivyomatch mavazi yake kuanzia nguo,viatu mpaka hereni. Waliongea mambo mbalimbali na kufurahi kwa pamoja kiasi kwamba akipita mtu asiyewajua anaweza akadhani labda wamejuana miaka mingi iliyopita..

Vipi mbona hujaagiza kinywaji?

Ally alimuuliza Recho huku akiangalia kama kuna muhudumu aliye karibu..

Nilikua nakusubiri wewe ufike sasa nitakaaje nianze kunywa peke yangu wakati najua kuna mtu anakuja kuwa pamoja na mimi hapa..

Alijibu Recho na sauti yake kama inayotokea puani..

Yaah! ni kweli kabisa.

Walimuita muhudumu kisha wote wakaagiza juisi maana walikua hawatumii kilevi cha aina yoyote..

Muhudumu alirudi na vinywaji kisha

akawaribisha na kuondoka.Walibaki kimya kama dakika mbili Recho akiwa hajui hata aanzie wapi kumwambia Ally. Pia aliona labda Ally atamuhisi kuwa ni malaya na hiyo ndiyo ilikua tabia yake kujirahisisha kwa wanaume. Hakuwa na cha kuanza kuongea mpaka Ally alipovunja ukimya..

Eeeh! niambie Recho nini kinakusumbua maana tangu siku ile tulivyoongea pale chuo basi muda mwingi sana huwa nafikiria una tatizo gani mpaka umeamua

kunishirikisha na mimi..

Hapana Ally sina tatizo lolote kubwa isipokua....

Recho alishindwa kumalizia akabaki anamtazama Ally kwa macho yake yaliyolegea.

Isipokua nini Recho?

Yani nakosa kabisa ujasiri wa kuongea hata sijui kwa sababu gani..

Ally alimuangalia Recho kwa makini kisha

akakumbuka mambo yote aliyofanyiwa na

Recho tangu siku ya kwanza walipoonana.

Akakumbuka na ile siku aliyofuatwa nje ya darasa analosoma na jinsi Recho alivyokua anaminya minya vidole vyake na kushindwa kuongea..

"Nahisi atakua ananipenda ndio maana

anashindwa kabisa kuongea. Lakini kwanini nisimpe nafasi kuliko kumuacha aendelee kuwa na hali hii?"

Ally alijisemea mwenyewe moyoni

kisha akasogeza kiti chake mbele na kumkaribia kabisa Recho.

Recho!

Ally aliita kwa utulivu sana.

Abee!

Kuna kitu nakihisi kutoka kwako lakini sijui kama nitakua sahihi kwa asilimia mia moja.

Kitu gani hiko?

Ally alikohoa kidogo kisha akaendelea.

Nahisi unanipenda kwa dhati kabisa ndio maana unashindwa kabisa kuongea unapokua na mimi.

Recho alibaki kimya asijue hata ajibu nini..Alibaki kama mtu aliyeduwaa huku machozi yakianza kujitengeneza taratibu kwenye mifereji ya mboni za macho yake.


Ally hakuamini alipoona machozi yakitiririka kwenye mashavu laini ya Recho huku kilio cha kwikwi kikianza kusikika kwa mbali..Akahisi labda itakua amemuudhi kwa kumwambia maneno

yale..Ikabidi aanze kumuomba msamaha kama itakua amemkosea..

Hapana Ally haujanikosea kitu chochote na wala sifikirii kama kuna siku utanikosea. Ni kweli kabisa nakupenda sana tangu siku ya kwanza nilipokuona. Moyo wangu umejikuta umezama

kwenye mapenzi mazito juu yako ndani ya muda mfupi sana tangu tujuane mpaka nahisi kama akili yangu haifanyi kazi..

Aliongea Recho huku kilio kwa sasa kikiwa waziwazi..

Ally akazidi kumsogelea Recho na kuanza

kumfuta machozi kwa kutumia viganja vya

mikono yake. Akamtazama usoni kisha

akausogeza mdomo wake kwenye lips laini za Recho na kumbusu kisha kwa sauti ya taratibu akamwambia.

"I love you too Recho" (Nakupenda pia Recho.) Hata mimi kuanzia ile siku uliyokua unanisubiri nje ya darasa letu nilianza kuhisi kitu tofauti. Niliapa kuwa sitajihusisha katika mapenzi na mwanamke yeyote pale chuoni lakini wewe umeyabadilisha kabisa mawazo yangu.

Recho hakuyaamini masikio na macho yake kwa kile alichokua anakisikia na kukiona..

Nashukuru sana Ally wangu kusikia hivyo..Kwa hakika wewe ndiyo

chaguo sahihi la moyo wangu na sijamuona mwanaume mwengine yeyote.. Nakukabidhi moyo wangu uwe nao milele na milele mpaka mmoja wetu atakapoondoka duniani..

Waliongea mambo mengi ya kimapenzi na

kufurahi sana siku hiyo..Walipiga picha nyingi za pamoja wakiwa wamekumbatina na nyengine wakipigana mabusu..Walikaa huko mpaka jioni ya saa 12 kasoro ndiyo wakaamua kuondoka kurudi nyumbani..

Walipofika eneo lenye parking za magari Recho alishangaa kumuona Ally akiliendea gari jeusi aina ya

Verrosa..

Mmhhh! Kumbe una gari baby?

Ally alitabasamu kisha akamjibu.

Hapana sina baby..Hili ni gari la baba ila leo hajaenda ofisini ndio maana nimeamua kulitumia..

Ooh! Sawa.

Ally alimfungulia mlango kisha Recho akaingia ndani ya gari na safari ya kurudi nyumbani ikaanza..Ally alimpeleka Recho

mpaka nyumbani kwao Tabata Bima kisha

wakaagana kwa mabusu motomoto na kukumbatiana ..Ally alirudi nyumbani kwao Temeke na huo ndio ukawa

mwanzo mpya wa penzi lao.


**** **** **** ****


Recho alikua amekaa na Tayana pamoja na Najma akiwasimulia jinsi alivyotoka out na Ally na kumfanya hadi wakawa wapenzi. Pia akawaonyesha na picha walizopiga kwenye simu yake wakiwa kwenye mapenzi motomoto..

Mmmm! sio siri best yangu, yani mmependezana sana. Yani mnaonekana kama mlikua wapenzi kwa mda mrefu kumbe ndo kwanza mambo ya moto. hongera sana shosti yangu..

Aliongea Tayana akimpongeza Recho.

Mmhhh! Ila my dear sikuwezi. Kweli ukitaka lako mpaka litimie.Yani umejuana na Ally kwa wiki moja tu na tayari umemfanya kuwa boyfriend

wako!!

Aliongea Najma kwa mzaha kisha wote wakacheka.. Walikaa sana pale chuoni baada ya vipindi vya kawaida vya masomo wakiongea sana kuhusu mapenzi na wanaume zao kisha kila mmoja akaondoka zake nyumbani kwao.


***** ***** *****


Mapenzi yao yalizidi kushamiri kiasi cha kila mmoja kuanza kumtamani mwenzake

kimwili..Recho alitekwa sana na mapenzi ya Ally akawa hasikii wala haoni..Mara nyingi wakiongea kwenye simu usiku alikua akijishika sehemu mbalimbali za mwili wake zenye msisimko na

kukichezea k*s*m* chake kwa kutumia kidole chake. Muda mwengine alijikuta mpaka anaanza kutoa majimaji laini meupe kwenye naniliu yake bila

kuelewa ni kitu gani.. Ally aliingiwa na mshawasha wa kutosha baada ya kusikia sauti ya Recho akilalamika kwenye simu kwa raha alizokua anazipata. Alijikuta

dunguso yake ikienda mnara na kuanza kuishika shika..

"Beiby hivi ni lini ukija kwetu utaingia mpaka ndani maana kila siku unaishia nje tu kama sio kwenu vile.

Ilikua ni sauti laini ya Recho akimlalamikia

mpenzi wake..

Usijali my love, ipo siku tu nitaingia mpaka ndani maana kila siku nikija nakua nina haraka sana ya kuondoka.

Basi weekend hii nataka uje na uingie mpaka ndani maana keshokutwa Alhamisi mama anasafiri anaenda Dodoma pamoja na wafanyakazi wenzake kuna mashindano ya netball wanaenda kushiriki atarudi kati ya Jumatatu au Jumanne.

Sawa beiby wangu me sipendi wewe ukose raha, nitafanya kila jambo linalowezekana ilimradi nikufanye uwe

mtu mwenye furaha muda wote.. Nakuahidi hiyo weekend nitakuja na kuingia mpaka ndani kwenu...

Basi Recho kusikia hivyo alifurahi sana na

kumshukuru sana Ally kwa kumbadilisha maisha yake kumfanya awe mwenye furaha muda wote. Waliongea mambo mengi mpaka usiku mwingi sana kisha wakaagana na kila mmoja akalala..


***** ***** ***** *****


Kesho yake Ally baada ya kurudi chuo aliamua kupumzika maana alikua amechoka sana..Jioni akaamka na Kufanya usafi pamoja na kujisomea.. Alijisomea sana mpaka ilipofika mida ya saa mbili akaamue kwenda sebuleni akapumzishe akili kwa kuangalia TV.

Sarah alikuja na kuanza kupiga nae story tofauti tofauti..Sarah alionekana waziwazi kuifurahia sana ile nafasi ya kukaa na kuongea na Ally kwani alihisi wapo wasichana wengine wanatamani hata kupata nafasi ya kusalimiwa tu lakini wanaikosa..Waliangalia TV hadi Mzee Mohammed aliporudi kutoka kazini kisha wote wakapata chakula cha usiku na walipomaliza kila mmoja akaingia chumbani kwake.. Alikaa chumbani kwake juu ya kitanda akiwa anachat na mpenzi wake Recho huku akisikiliza mziki laini..


Usiku wa kama saa tano akasikia mlango wa chumbani kwake ukiwa unagongwa.. Aliamka na kwenda kuufungua na hakuyaamini macho yake alipomkuta Sarah akiwa na kivazi ambacho kilimuacha hoi sana na kutoyaamini macho yake.......



Ilibidi Ally aanze kumuangalia Sarah kuanzia juu mpaka chini na asipate majibu kwanini siku ile alivaa vile mbele yake..

Sarah alikua amevaa night dress ambayo

ilichora vilivyo maungo yake na kuyafanya

maziwa yake makubwa wastani yaliyosimama na kutokeza kwa juu kuwa kama anavyoyaweka mwanamuziki wa Marekani Nick Minaj.

Heeh! Sarah vipi, kuna tatizo? Mbona muda huu?

Hapana hakuna tatizo lolote Ally ila nilikua naomba uniazime charger yako nikacharg simu maana ya kwangu imeharibika..

Aliongea Sarah huku akimuangalia Ally usoni na macho yake makubwa yaliyolegea utadhani amekula kungu..

Ally hakujibu kitu akaingia ndani kisha akatoka na charger na kumkabidhi Sarah..

Asante nashukuru, usiku mwema.

Ok! nawe pia ulale salama..

Asantee..

Alijibu Sarah huku akiondoka na

mwendo wake kama anajitingisha na kuyaacha makalio yake makubwa yakihesabu hatua anazotembea..Ally alimuangalia vizuri mpaka anafungua mlango wa chumba chake na kuingia ndani..

"Mmmhh! mbona Sarah amekua hivi siku hizi? Haya mambo anayofanya ni bahati mbaya au makusudi? Usiku huu huu wakati tunaangalia TV alikua anachaji simu sasa hivi tena anasema anataka akachaji na charger yake imeharibika,

mmhh! Anyway ngoja nisiumize kichwa changu labda inaweza ikawa ni kweli!"

Ally alijikuta akijiuliza maswali peke yake bila ya kupata majibu..Akaendelea kuchat na Recho kisha wakaagana, akazima taa na kulala..


***** ***** *****


Kesho yake chuoni Ally alikua yupo na rafiki yake Allan wakijisomea baada ya muda wa vipindi vya kawaida kuisha.. Mara akasikia simu inaita kucheki alikua mpenzi wake Recho ndio anapiga..

Ally...Hello!

Recho...hellow my hubby, I miss you so much (hello mume wangu, nimekukumbuka sana) yani mpaka naumwa.

Ally...ooh! I miss you more my love(oh! nimekukumbuka zaidi mpenzi wangu) uko wapi?

Recho...Mimi bado nipo chuo, vipi wewe

ushaondoka?

Ally...Hapana bado nipo..Nipo huku forest karibu na stationary najisomea..Vipi unaweza kuja?

Recho....Usijali Ally wangu, nitakua hapo baada ya dakika 10..

Baada ya kumaliza kuongea na mpenzi wake, Recho alikata simu na kuwashtua Tayana na Najma ili wakamsalimie

shemeji yao..Kweli wote wakainuka na kuanza kuelekea alipokua Ally..Walifika na kumkuta akiwa amekaa na mwenzake ambaye wote hawakumfahamu..

Tayana na Najma walimsalimia shemeji yao kwa kumkumbatia kisha wakamsalimia na Allan..Baada ya hapo Ally akamtambulisha Allan kwa Recho,Najma na Tayana kisha wote

wakakaa chini na kuanza kupiga story..

Muda mwingi Allan alikua akimkodolea macho Tayana lakini Tayana alipomtazama yeye haraka haraka aliyakwepesha macho yake.. Waliendelea

kupiga story mpaka ilipofika saa 10 wote wakaanza kuondoka huku watu wakiwakodolea macho Ally na Recho kwa jinsi walivyokua na mapenzi ya waziwazi hata muda mwengine wakikiss midomoni mbele ya macho ya watu..

"Aaahh ushamba tu ule.Wanajiona kama wao ndio wa kwanza kupendana dunia

nzima"

Aliongea dada mmoja aliyepishana na wakina Ally..

"Mmmhh! Acha wivu shosti au kwa sababu wewe na Danny mapenzi yenu mshazoea chumbani tu ndio ya wenzenu ya hadharani unayaona mageni..Hebu waache wajiachie wanapendana

wale"

Alijibu mwenzake aliyekua anatembea

nae..


Ally na Allan wakawasindikiza wakina Recho mpaka kituoni wakapanda gari kisha Ally na Allen wakabaki Wao wawili kituoni na baadhi ya watu wengine.

Oya mwanangu mimi yule Tayana nimemuelewa sana sijui utanisaidiaje kumpata..

Aliongea Allan huku akitoa leso mfukoni kujifuta jasho..

Daah! hiyo kesi nyengine tena ambayo haina hata hakimu. Hata sijui tunaanzia wapi maana mimi mwenyewe sina mazoea nae kiviile..

Alijibu Ally huku akiwa kama anacheka..

Daah!Inabidi tupange plan buddy(rafiki). Sitaki kabisa kumkosa yule mtoto kwa jinsi alivyokua mzuri..Yani hata kwa miaka kumi nipo tayari kusubiri..

Sawa mwanangu ngoja siku tukikaa vizuri tutajua jinsi gani ya kumpata au sio?

Nakuaminia kamanda wangu..

Waliongea mambo mengi sana haswa kuhusu Recho na Tayana kisha kila mmoja akapanda basi linaloelekea kwao na kuondoka..


***** ***** *****


Siku ya Alhamisi jioni Recho alimpigia simu Ally na kumtaarifu kuwa mama yake

amekwishaondoka kuelekea Dodoma.

Wakakubaliana kuwa Jumamosi ndio ingekua siku nzuri ya Ally kwenda nyumbani kwao..Baada ya hapo wakaagana kisha Recho akakata simu..


Kila siku zilivyozidi kwenda mbele Ally alizidi kumshangaa Sarah kwa jinsi alivyobadilika.Siku nyengine anaweza akashinda kavaa kanga moja tu au skin jeans kuanzia asubuhi mpaka jioni..Lakini

akahisi labda mwanzo hakuwa hajawazoea hivyo alikua anaona aibu kuvaa mavazi hayo..Ilibidi abaki kimya na kujiridhisha na majibu hayo..


***** ***** *****


Siku ya Jumamosi Recho aliamka mapema na kuanza kufanya usafi wa ndani mwenyewe wakati haikua kawaida yake..Ilipofika saa nne akaanza kuandaa vyakula vya kila aina kwa ajili ya mgeni wake muhimu anayekuja siku

hiyo...Mpaka inafika saa 7 alikua ameshaandaa kila kitu pamoja na kutengeneza juisi ya parachichi iliyochanganywa na passion kwa

mbali...Akaingia bafuni kuoga kisha akajiandaa kwa kujifukiza udi,ubani na vitu vyengine vinavyonukia vizuri kwa ajili ya mgeni wake wa siku hiyo ili atakapokuja amsikie ananukia vizuri kisha akavaa kigauni kifupi na kilaini ambacho kiliyaacha mapaja yake wazi kwa kiasi

kikubwa.. Mpaka saa nane na nusu wakati yupo chumbani kwake akasikia kengele ya getini inapiga kelele. Akainuka na kutoka haraka haraka nje na kukutana na

mfanyakazi wao akienda kufungua geti..

"Hapana usiende kufungua Vero, we endelea na kazi zako naenda kufungua mimi mwenyewe"

Aliongea Recho kisha Vero akaondoka na kuelekea chumbani kwake kupumzika..


Kwa mwendo wa taratibu Recho alitoka nje na kuanza kuelekea getini.Moyo wake ulimuenda mbio na furaha yake iliongezeka baada ya kufikiria kuwa mtu anayeenda kumfungulia geti ni mwanaume anayempenda kuliko kitu

chochote duniani..Akalishika geti na alipofungua akamkuta Ally akiwa amependeza zaidi ya alivyomuona Sea Cliff..Akamrukia na kumkumbatia na kupeana mabusu motomoto...........



Recho hakuyaamini macho yake kumuona Ally wake akiwa amekuja mpaka nyumbani kwao kwani kwa mara mbili alizoenda alikua anaiishia nyumba ya tano kutoka ilipo nyumba yao.Wakashikana mikono kisha Recho akamkaribisha Ally mpaka sebuleni.Baada ya kuketi Recho alimuuliza mpenzi wake amletee kinywaji gani ili apoze koo lake kwani alikua

ametoka kutembea kwenye jua kali..

Niletee maji tu yatanitosha kwa sasa kwani nina kiu sana..

Recho alienda kwenye fridge akachukua chupa ya maji na glass iliyokua kabatini kisha akaenda kummiminia mpenzi wake..

Karibu my sweety.

Aliongea Recho huku akimpa Ally ile glass mkononi.

Thank you so much beiby.(Asante sana

mpenzi.)

Ally alikunywa maji yote kisha akaongeza mengine..Alipomaliza alimshukuru

mpenzi wake kisha wakakaa pamoja kwenye kiti na kuanza kuongea. Waliongea mambo mengi sana hususani mahusiano yao huku wote wakionyesha waziwazi kuwa wanapendana sana.. Ilipofika saa 9 na robo Recho alimuomba mpenzi wake wakale chakula pamoja na Ally bila kipingamizi akainuka na wote wakaelekea mezani. Akiwa ni mwenye furaha kubwa sana Recho akafungua hotpot na kuanza kumtilia chakula

mpenzi wake huku akimtazama sana usoni kisha akamtilia na mboga. Alivyomaliza akajitilia na yeye size yake na baada ya hapo akaleta matunda yaliyokua ndani ya fridge..


Walianza kula taratibu huku wakiendelea na maongezi yao..

Huwezi amini Recho,yani hapa tunavyokula na jinsi tulivyokua wawili napata hisia kama tayari umeshakua mke wangu na hapa ndio tupo nyumbani

kwetu..

Aliongea Ally huku akijimiminia juisi iliyokua kwenye jagi..

Hata mimi pia..Nahisi kama leo hatujaenda kazini na tupo nyumbani tunapata lunch.Ila usijali amini kuwa kila kitu kinakwenda kwa mipango na wakati.Amini kuwa mimi ni wako na

ipo siku tutahalalishwa tuwe pamoja.

Ally alifarijika sana kusikia maneno matamu kutoka kwa mpenzi wake..

Aisee hiki chakula kitamu. Yani hapa nimeshashiba lakini kwa jinsi kilivyo kitanifanya nivimbiwe. Unajua sana kupika mke wangu yani nyumbani kwetu tutakua hatuna haja ya house girl labda aje kufanya usafi tu..

Aliongea Ally kwa mzaha..

Recho akabaki anacheka huku mashavu yake yakitengeneza dimpoz zilizofanya mpaka Ally aache kula na kubaki akimtazama..

Mpenzi wangu wewe ni mzuri sana. Nimekutana na wazuri wengi sana katika maisha yangu lakini sidhani kama kuna hata mmoja aliyefikia hata nusu ya uzuri wako..Tafadhali naomba huo uzuri

uutunze kwa ajili yangu tu na sio mtu

mwengine..

Usijali na nashukuru sana kusikia hivyo honey wangu..Huu uzuri wote unaouona ni wa kwako na kile kilichokua changu basi ni cha kwako..Lakini hata wewe mume wangu ni handsome sana mpaka inafika kipindi nakuonea wivu haswa kwa pale chuoni..Nakuomba usinisaliti hata siku moja maana pale chuo kuna wasichana wajanja sana na wana kila mbinu kuiba waume za watu..

Ally alimhakikishia Recho kuwa yeye ni wake peke yake na hakuna atakayekuja kuingilia mapenzi yao..

Waliendelea kuongea mpaka walipomaliza kula kisha Ally alimshukuru sana Recho kwa chakula chake kitamu..


Alirudi sebuleni na kuendelea kuangalia movie aliyoikuta imewekwa tangu wakati

anakuja. Baada ya kama dakika 8 Recho alikuja na kukaa karibu ya mpenzi wake.

Samahani kwa kukuacha peke yako kuna kazi nilikua namalizia.

Hata usijali mke wangu yani kuondoka dakika mbili tu?

Recho alibaki akitabasamu huku moyoni

akishukuru kwa kumpata mwanaume

anayempenda, anayemjali, mcheshi na

mnyenyekevu. Pia alijivunia kuwa na mwanaume handsome kwani akitembea nae njiani huwa anajiamini sana..

Waliendelea kuangalia ile movie huku wakipiga story mpaka ilipokwisha ndipo Recho alipoinuka na kwenda kuleta CD ili Ally achague kisha waangalie..Kile kigauni alichokivaa kilianza kuamsha hisia za Ally kwani mapaja yake meupe na yaliyojaza nyama yalionekana vizuri wakati

anainuka..Ally alizidi kumtazama Recho vizuri kuanzia juu mpaka chini wakati anatafuta zilipo CD na kuuona vizuri uzuri wake wa asili aliokua nao..

"Kweli hapa mke nimepata.Ana upendo wa

dhati kwangu, ananijali na kuniheshimu na pia ni mkarimu sana.Sasa kwanini nisije kumuoa? Lazima nimuoe Mungu akipenda ili awe mama wa watoto wangu..

Ally alijisemea peke yake kimoyoni..Recho alizipata CD alizokua anazitafuta na kurudi nazo mpaka kwenye sofa alipokaa na Ally..

Eehh! haya chagua sasa tuangalie movie gani?

Uvumilivu ulimshinda Ally kwani safari hii Recho alikaa upande kwenye sofa na kile kigauni chake kilizidi kupanda juu na kuyafanya mapaja yake yazidi kuonekana. Yani ilibaki sentimita chache tu ili kufuli la Recho lionekane..Ally alianza kuchagua

zile CD ambazo nyengine Recho aliziweka

kwenye mapaja yake.Ally aliendelea kuchagua na kuanza kuchukua zile CD zilizokua kwenye mapaja ya Recho.. Wakati anachukua CD ya tatu iliyoandikwa "Love Don't Cost A Thing" akajikuta amelishika paja la Recho.. Mwili wa Recho ulikua kama umepigwa shoti ya umeme kwa kitendo kile na wakaanza kuangaliana usoni kwa macho ya kila mmoja kumtamani mwenzake..Mara wakajikuta

midomo yao ikianza kusogeleana kwa mwendo wa taratibu kama kobe anavyotembea.. Kilichofuata baada ya hapo ni kubadilishana mate tu huku Ally akiishika shingo laini ya Recho ambayo joto lake lilipanda kama mgonjwa

anayeumwa homa ya Dengue.Waliendelea kula denda kwa muda kama wa dakika mbili kisha wakaachiana taratibu. Waliendelea kuangaliana usoni huku macho ya Recho yakiwa yamelegea

utadhani mtu mwenye usingizi.. Mara wakajikuta tena wakianza kula denda ila

safari hii ilikua ni kwa kasi kidogo tofauti na ilivyokua mara ya kwanza.Huku wakiendelea kula denda mikono ya Ally ikaanza kutalii taratibu kwenye mwili nyororo wa Recho juu ya kale kagauni alikokavaa na kuyafikia matiti yake madogo wastani yaliyosimama kama ndizi

mshale inayotolewa mgombani ikiwa bado mbichi kabisa.Recho alishtuka sana na mwili wake ukaanza kutetemeka kama mgonjwa wa degedege..Ally akayaminya kidogo yale matiti na kumsikia Recho akitoa mguno wa taratibu.. Mikono ya Ally iliendelea taratibu kutalii na kushuka kwenye mwili wa Recho na kufika

maeneo ya nyonga na akawa anafanya kama mikono yake anaipandisha juu na kuishusha taratibu yani kama mtu anayetekenya huku kale kagauni kakizidi kupanda juu..


Baada ya hapo wakaachiana midomo na ndipo Ally alipoliona kufuli jeupe la Recho likiwa waziwazi huku kitumbua chake kikiwa kimetuna na kutengeneza kama alama ya mstari katikati..Dunguso lake likazidi kusimama vilivyo hadi akahisi kuumia kwa lile jeans alilolivaa..

Hapana Ally twende chumbani kwangu hapa sio mahala pake maana mfanyakazi anaweza akatoka muda wowote akatukuta..

ilikua ni sauti iliyolegea kama mgonjwa anayekata roho huku akimshika mikono yote miwili mpenzi wake na kuanza kumuinua pale kwenye sofa..

Waliondoka na TV waliiacha vilevile bila ya

kuizima.Walipofika chumbani kwake Recho alifunga mlango na funguo kisha wakaanza tena kula denda palepale waliposimama.Waliendelea kubadilishana mate huku taratibu wakisogea kitandani na kujimwaga taratibu..Recho akaanza kumfungua Ally vifungo vya shati alilolivaa kisha alivyomaliza akamvua na kuliweka pembeni kisha akamvua na vesti nayo

akaiweka pembeni..


Akaanza kukishika shika kifua cha Ally

kilichogawanyika kwa mazoezi aliyokuwa

akiyafanya zamani..Alijisikia raha sana

kukichezea kile kifua huku Ally akianza kusikia raha kwa kupapaswa na mikono laini ya Recho kifuani kwake.Taratibu akakishika kifungo cha jeans na kuanza kukifungua lakini akashindwa

hadi Ally alipojifungua mwenyewe na kulivua jeans na kubaki na boxer tu huku dunguso yake ikionekana imetuna vilivyo..

Mwili wa Recho ulisisimka sana alipomuona Ally akiwa katika hali ile. Akamsogelea na kuanza kumshika dunguso yake ikiwa ipo mule mule

ndani ya boxer..Ally alizidi kujisikia raha kwa kitendo kile nae akakishika kile kigauni cha Recho na kukipandisha juu pole pole kama jinsi mayai yanavyowekwa sakafuni..Alimvua gauni lote na akabaki na ch*p* tu.Alipoyaona yale maziwa ya Recho jinsi yalivyokua mazuri akayashika na kuanza kuyachezea kiufundi.Recho alianza kutoa miguno kwa sauti

ya juu kidogo huku macho yake akiwa ameyafumba..Ally hakua na haraka, aliendelea kuyachezea matiti ya Recho taratibu kisha akaanza kuyanyonya kwa ufundi na kufanya kama anazivuta chuchu kwa kutumia meno yake..

Aa..aah..aaahh. Mmhhh..mmhhhh.

Recho aliendelea kutoa miguno safari hii kwa sauti ya juu zaidi..Ally aliendelea kuyanyonya maziwa ya Recho mpaka machozi yakaanza kumtoka bila kupewa taarifa ya msiba..

Katika maisha yake tangu abaleghe, alikua

hajawahi kukutana na mwanamke wa aina hii kwenye uwanja wa fundi seremala.Mwili wake ulikua wa moto sana huku akitetemeka kama mtu aliyepandwa na kifafa..Wakati huo ukimya ulitawala huku miguno tu na sauti ya kilio kwa

mbali ndio iliyotawala katika chumba

hiko..Recho alikua hajielewi kabisa na wala alikua hajui nini kinaendelea duniani..


Ally alizidi kumpagawisha Recho kwa michezo yake huku akianza kushuka taratibu kwa kulinyonya tumbo la Recho kisha akahamia kwenye kitovu. Alikinyonya taratibu na kukibusu

huku akiendelea kushuka chini.Alipofika kwenye naniliu akaanza kumtanua miguu ili amvue ch*p*.Akashangaa alipoona Recho anabana miguu kwa nguvu huku akianza kulia.........


Recho aliongeza zaidi kilio huku mwili wake ukiwa unatetemeka kuliko kawaida. Hali ile ilimuogopesha sana Ally na kuanza kuhisi labda mpenzi wake atakua ana mashetani..Mzuka wote ukaanza kumuisha huku dungusho nayo taratibu ikianza kusinyaa...

Vipi mpenzi wangu mbona hivyo? una tatizo gani?

Ally alimuuliza mpenzi wake huku akimuinua pale kitandani alipokua amelala. Recho hakujibu kitu zaidi ya kuongeza kilio mpaka Ally akazidi kupatwa na wasiwasi..

Tafadhali Recho naomba uniambie umepatwa na nini maana muda mchache uliopita ulikua na furaha lakini ghafla unaanza kulia..Hivi unategemea mimi nitakua kwenye hali gani kama usiponiambia kitu?

Ally alimwambia Recho huku akimfuta machozi yaliyokua yakitiririka kama mvua kwa kutumia leso yake. Recho akaacha kulia na kubaki kimya akitafakari namna ya kumwambia Ally hali aliyokua nayo..

Please my love,talk to me(Tafadhali mpenzi wangu, ongea na mimi) unaniweka kwenye wakati mgumu sana unavyokua kwenye hali hiyo, hebu jaribu kunionea huruma.


Ally alikua anaongea yote hayo huku akiwa na boxer tu wakati Recho akiwa amebaki na kufuli tu..

Hivi Ally unanipenda kweli.?

Ilikua ni sauti laini na ya upole ya Recho..

Ally alibaki kimya kidogo huku akionyesha

kushangazwa na lile swali.

Ina maana mpenzi

wangu haya yote tuliyokua tunayafanya ulikua unaona ni maigizo? Mambo yote niliyofanya na upendo wangu wote ninaokuonyesha bado hujaniamini tu?Tafadhali Recho,kama ulikua haujaukabidhi moyo wako kwangu kwa asilimia mia moja naomba sasa hivi unikabidhi..You are

my end and my begining(wewe ndo mwanzo na mwisho wangu).Nakupenda zaidi ya unavyofikiria..Mimi sio aina ya wanaume kama ambao unaweza kuwafikiria..Nakupenda wewe tu katika maisha yangu..Tafadhali naomba uniamini'

Aliongea Ally maneno ambayo yalikua na hisia sana na kuugusa vilivyo moyo wa Recho..

Nakupenda sana Ally. Katika maisha yangu sijawahi kupenda kwa kiasi hiki mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Sikuwahi kufikiria kumpa mwili wangu mwanaume yoyote auchezee mpaka pale nitakapoolewa. Lakini tangu nimekutana na wewe imekua tofauti kabisa. Umebadilisha sana mawazo yangu pamoja na maisha yangu. I love you from the bottom of my heart (Nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu) Tafadhali naomba usiniache..

Ina maana Recho wewe ni bikra?

Ndio Ally, tangu nizaliwe hakuna mwanaume hata mmoja aliyewahi kuliona hata tumbo langu tu. Niliwahi kuwa na boyfriend lakini alikua malaya sana. Mara nyingi sana kwenye simu yake nilikua nakuta message za wanawake wake

na wakati mwengine wanampigia simu mbele yangu..Niliumia sana kwenye mapenzi na niliapa sitapenda tena ila wewe umeyabadilisha mawazo yangu..

Ally alimuangalia Recho huku akiwa haamini kwa yale aliyoyasikia. Kwa furaha ya ajabu aliinuka na kumkumbatia Recho..

Kile kitendo cha kukumbatiana kilianza kuamsha upya hisia za Ally kwani maziwa mazuri ya Recho yaliyosimama na kuchongoka kama kichuguu yalikua yanamchoma choma kifuani kwake. Recho naye alianza kuhisi joto linapanda

kwa kasi huku pumzi zake zikianza kubadilika.


Wakaachiana kisha wakawa wanaangaliana machoni kwa hisia kali huku Recho akiwa kama anataka kuongea kitu lakini ana kigugumizi..

I love you Recho wangu.(Nakupenda Recho wangu)

I love you too Ally wangu.(Nakupenda pia

Ally wangu). Nimekuchagua wewe ndio uwe mwanaume wa kuitoa bikra yangu kwa sababu najua unanipenda na hautoniumiza..Naomba tuiweke hii ahadi mpaka mwisho wa maisha yetu..

Ally hakusema kitu zaidi ya kumsogelea Recho na kumbusu midomoni. Walitazamana sana huku macho yao yakionyesha waziwazi kuwa wanapendana.. Wakaanza tena kula denda huku safari hii ikiwa ni kwa hisia zaidi kiasi kwamba hata Ally nae alianza

kutoa miguno kwa mbali..Walikula sana denda kisha Ally akamlaza tena Recho pale kitandani na kuanza kumnyonya maziwa kama mtoto mdogo anavyonyonya kwa mama yake..Recho

alitoa miguno ya raha huku akijipinda pinda mwili wake.Ally aliendelea kuyanyonya maziwa ya Recho kwa ufundi mkubwa huku mkono wake wa kulia akiushusha chini na kukishika kitumbua laini cha Recho ambacho hakijawahi

kuingia mchanga hata mara moja..

Aa..aah...mmmm..mmm...aassshhh...aaa!!

Recho aliendelea kutoa miguno ya raha kwa sauti kubwa kiasi kwamba kama kuna mtu atapita nje ya chumba chake anaweza kumsikia..

I...Lo..ve...you Ally!!

Ally hakujibu kitu akaendelea kuwajibikika.


Akamuweka vizuri kisha akaanza kumvua

ch*p* taratibu. Safari hii Recho hakuleta kipingamizi kama mwanzo na kumuacha mpenzi wake afanye kila analotaka kufanya..Alipomaliza kumvua akachukua kidole chake cha kati na kuanza kukichezea k*s*m* cha Recho kwa

uangalifu mkubwa..Kitendo cha kuguswa naniliu yake kilimfanya Recho arudi nyuma kidogo huku akiendelea kuugulia kwa raha..Alipomaliza akamtanua miguu vizuri na kuzama uvinza (chumvini) huku kidole chake kikiendelea kuichezea naniliu yake inayobana na yenye nyama laini..Akili ya Recho kwa muda huo ilikua kwenye mbingu ya saba akiota yupo kwenye

pepo nzuri iliyozungukwa na malaika wa kila aina..Safari hii alitoa miguno kwa sauti ya juu sana mpaka Ally akamziba mdomo kwa kuhofia mtu aliyekuwepo

nje anaweza akawasikia... Aliendelea kuinyonya naniliu ya Recho huku ulimi wake akiuzungusha vizuri kama mtu

anayechora herufi O.. Alikinyonya k*s*m* mpaka akahakikisha Recho ameiva kabisa na anangojea kuliwa tu..Akamuacha na kuvua boxer yake na kuanza kuichezea chezea dunguso yake ambayo

ilikua imesimama imara kama msumari. Alimuweka Recho vizuri kwa ajili ya mkao wa maalum wa kumtengeneza..Akaipaka mate mashine yake na taratibu akaanza kuipeleka kwenye naniliu ya Recho iliyokua inabana sana..Akaanza kuiingiza

taratibu huku Recho akiwa anatetemeka kwa uoga..Alipotaka kuisukuma kwa nguvu ili aitoe bikra, Recho alipiga kelele kwa nguvu kwa uoga aliokua nao..

Ally akaanza kumpa maneno mazuri na kumtia moyo kuwa hataumia sana na ni kawaida kwa msichana kujisikia vile siku yake ya kwanza kufanya mapenzi..


Recho akamuelewa na kutulia akisubiria

kutolewa bikra yake..Ally akaipaka tena mate mashine yake kisha akaanza tena kuiingiza taratibu kwenye naniliu ya Recho. Akaanza kama anaisugua kwa juu juu taratibu kisha kwa haraka akaiingiza

yote..Recho alipiga kekele kwa sauti kubwa sana huku Ally akizidi kuiingiza ndani dunguso yake.......



Recho alipiga kelele kwa maumivu makali

aliyokua anayoyasikia huku damu ikianza

kumtoka kwenye naniliu yake na kutapakaa kwenye shuka.Mwili wake ulikua unamtetemeka kama mtu anayesikia baridi wakati wa mvua za

masika huku macho yake akiwa

ameyafumba.Ally aliigandisha mashine yake kwa muda kama wa dakika moja huku kilio cha Recho kikiaanza kukata taratibu.Akaanza kuichomoa mashine kwa mwendo ule ule wa pole pole huku yote ikiwa imetapakaa damu..Akambusu mpenzi wake huku akichukua leso yake na kuanza kuzifuta damu zilizokua zinamtoka na kisha akajifuta damu zilizotapakaa kwenye dungusho yake. Alipomaliza akalala ubavuni mwa Recho kisha

akaanza kumuuliza jinsi anavyojisikia..

Najisikia maumivu kiasi ila yanaanza kupoa taratibu..

Pole sana mpenzi wangu. Hiyo ni kawaida kwa msichana yeyote kujisikia hali kama hiyo uliyokua nayo siku ambayo anatolewa usichana wake..Hautasikia tena maumivu wakati mwengine utakapofanya kitendo hiki..

Aliongea maneno mengi yenye kumpa moyo na kumfariji mpenzi wake ili ajisikie vizuri..Recho alimuelewa vizuri na baada ya muda kama wa dakika ishirini akaanza tena kufurahi na kucheka pamoja na mpenzi wake..

Sasa mke wangu naweza nikaendelea? maana hii hali niliyokua nayo sidhani kama leo nitalala vizuri..Naomba uniruhusu nitoe hata kimoja tu..

Recho akatabasamu kisha akamruhusu mpenzi wake aendelee kwani alihofia anaweza akaanza kufikiria mwanamke mwengine ili akamalize shida zake..


Ally Akaanza tena upya kuamsha hisia za mpenzi wake kwa michezo tofauti tofauti huku akiyanyonya tena yale matiti yake yenye kutia mshawasha.Alimnyonya sana huku kidole chake kimoja akikiingiza kwenye naniliu ya Recho huku kwa taratibu akikiingiza ndani na kukichomoa ili atakapomuingilia asihisi maumivu sana..Recho alikua anaugulia kwa sauti laini sana iliyofanya dunguso ya Ally kusimama huku safari hii ikiwa hata haitikisiki..Baada ya kuhakikisha kuwa

Recho ameshaiva kwa ajili ya kuliwa akamgeuza upande huku mguu wake mmoja akiuinua kwa juu na kuanza kuiingiza mashine yake taratibu..Aliingiza nusu kwa kuhofia kumuumiza mrembo wake na kuanza mchezo wa kuiingiza na kuitoa kwa speed ile ile ya taratibu..Kadri

muda ulipozidi kwenda Recho hakuwa akihisi tena maumivu bali raha zilizochanganyikana na utamu..

Ally akaanza kuongeza speed yake taratibu huku mkono wake mmoja ukichezea na kukisugua k*s*m* cha Recho..Hali ile ilizidi kumpagawisha Recho na kuanza kuongea maneno ambayo Ally hakuyajua kuwa ni kichina

au kijapan.. Akachomoa mashine yake kisha akamwomba mpenzi wake wabadilishe style na kumueka mkao wa mtaka cha uvunguni.Akaichomeka

tena mashine yake kwenye naniliu ya Recho huku safari hii akiwa anaizamisha yote na kuanza kumsikia Recho akitoa kilio kilichochanganyikana na raha alizokua anapewa.Aliendelea kuisugua mashine yake kwenye kuta zote za naniliu na kumuona Recho kama anapatwa na kwikwi kisha maji mengi yakatoka kwa kasi yakaruka kutoka kwenye naniliu ya Recho na kumrukia Ally tumboni

ambaye aliichomoa mashine huku mengine yakiangukia kitandani.Kitendo hiki wenzetu wazungu wanakiita 'squirting' ila kwa kiswahili bado sijalipata jina lake..Hutokea pale mwanaume anapomsugua vizuri mwanamke

kwenye kuta za uke wake na kumfanya asikie raha kwa hali ya juu sana (climax)..


Akaichomeka tena mashine yake na kuanza kuipeleka kwa mwendo wa kasi na baada ya dakika mbili Recho akarudia tena kile kitendo cha kutoa yale maji yanayoruka kwa kasi na kuufanya mwili wake ukose nguvu kabisa na kujilaza kitandani huku akiwa anatetemeka sana

na mapaja yake ameyabana..Ally akimpanua yale mapaja na kumuweka mkao wa chura kafa unaopendwa sana na wanandoa wengi katika harakati za kutafuta watoto..Akaiingiza mashine

yake huku na yeye utamu ukizidi kumkolea na kuhisi goli lipo njiani..Hakutaka afike peke yake mwisho wa safari huku mrembo wake akiwa bado yupo njiani hivyo aliongeza kasi huku akikisugua vizuri kile k*s*m* na kumfanya Recho ajinyonge nyonge kwa raha..Baada ya

muda mfupi Ally alifanikiwa kumfikisha Recho mwisho wa reli kisha na yeye aliendelea akaanza kuhisi vitu visivyoeleweka vikitembea ndani ya mwili wake na kumfanya ajisikie raha za ajabu

na baada ya muda mfupi alifanikiwa kulivunja dafu..Hakutaka kummwagia mpenzi wake ndani yale maji ya dafu

kwa kuogopa kumpa mimba kwani wote

hawahua tayari na majukumu ya kuitwa baba na mama..Aliyamwaga maji yake yote kwenye kile kitambaa alichomfutia Recho damu kisha akajilaza kitandani wote wakiwa wanahema kwa shughuli nzito waliyotoka kuifanya..

Walikaa kimya kwa muda kisha Ally akampa pole mrembo wake na kumwambia maneno mengi

ya kumfariji..

''Nakupenda sana Recho wangu.Hiki kitendo sio kwamba nimekidhamiria sana au nimetaka kuwa na wewe kwa ajili ya uzuri wako ili nikutumie,Hapana. Hata wewe mwenyewe umeona jinsi mazingira yalivyokua,ilikua ngumu sana sisi kujizuia kutokufanya kitu hiki''...

Hauna haja ya kuongea maneno mengi,najua kama unanipenda sana kwa dhati hata kama mdomo wako hautaniambia ila macho yako yanatosha kuniambia kila kitu..Hata mimi nakupenda

sana na ndio maana nimekuchagua kuwa

mwanaume wa kuitoa bikra yangu kwani wengi sana walishanifata kwa vishawishi tofauti tofauti hata kutaka kunifungulia account bank na kuniwekea pesa nyingi sana..Lakini hiyo yote ni kwa sababu sikuwapenda ila wewe bila ya kuniahidi kunipa kitu chochote nimekukabidhi

moyo wangu..Nakupenda sana Ally"

Recho aliongea maneno hayo yenye hisia huku akijisogeza kifuani kwa Ally na kumlalia..Ally alifarijika sana na maneno ya mpenzi wake na kuona kuwa amepata mwanamke sahihi wa maisha yake na kujuta alipomkabidhi moyo wake girlfriend wake wa zamani Husna ambaye alimfanyia mambo mengi sana ya kumuumiza ikiwa ni pamoja na kukuta picha za uchi kwenye simu yake akiwa amepiga na mwanaume mwengine..


Waliongea mambo mengi sana hadi Ally

alipoangalia simu yake na kuona ilikua imefika saa 3 na dakika 18 usiku..

Mmhh!baby,mda umeenda sana.Acha mimi nijiandae ili niondoke..

Aaahh! jamani,me nilidhani leo unalala

kwetu,usiondoke bwana utaniacha mpweke sana si unaona jinsi nilivyokua peke yangu hapa..

Alilalamika Recho..

Sawa naelewa lakini nyumbani sikumuaga

kabisa baba wakati naondoka maana alikua hayupo hivyo kama nisiporudi nitamtia wasiwasi sana...

Mmmhh! kwa hilo tu, sawa nimekuelewa baby wangu..Basi Tujiandae ili nikusindikize..

Baada ya hapo wakainuka na kuingia bafuni kuoga na kucheza michezo mbalimbali ya mapenzi kisha wakatoka na kujiaandaa..Walivyomaliza wakatoka hadi sebuleni kisha Ally akasalimiana na Vero, mfanyakazi wakina Recho na kuondoka. Walitembea njiani wakitaniana mpaka walipofika kituo cha daladala cha Bima. Wakaagana kisha Ally akaingia kwenye

daladala na kuondoka huku Recho nae akikodi bajaji na kurudi kwao..


***** ***** *****


Siku ya Jumatatu asubuhi na mapema Ally

aliamka na kujiandaa ili aende chuo..Alipomaliza akatoka sebuleni kama kawaida ili akapate breakfast.Alikutana na Sarah wakasalimiana kisha akaenda mezani.Alipata kifungua kinywa na baada ya hapo akakaa sebuleni akimsubiri

baba yake ili waondoke huku akichezea chezea simu yake..

Ally juzi ulienda wapi mbona ulichelewa sana kurudi wakati sio kawaida yako?

Aliuliza Sarah ambaye alikua anafanya usafi..

Nilikua mahali fulani na rafiki zangu tukifurahia maisha..

Mmhh na wifi nae alikuwepo nini?

Ally alicheka kidogo kisha akamjibu.

Sasa nitafurahia vipi maisha bila ya yeye

kuwepo, lazima mke wangu awepo ndio bata likamilike'..

Mmhh!haya mwaya hongera yako.Ila wifi yangu itakua anajisikia raha sana kuwa na boyfriend kama wewe.!

Kwanini unasema hivyo?

Kwa jinsi ulivyokuwa handsome na

mkarimu,nahisi anajivunia sana na hataki

akupoteze maana siku hizi wanaume wa aina yenu mpo wachache sana..

Eti eehh!haya bwana Sarah nashukuru sana kwa kunisifia..

Waliendelea na maongezi mara kidogo mzee Mohammed alitoka kisha akasalimiana na mwanaye na Sarah kisha akamtaka waondoke maana walikua wamechelewa sana.. Wakaagana na Sarah kisha wakaondoka..


***** ***** *****


Siku hiyo wakati yupo chuoni na rafiki

zake,Recho alikuwa na furaha sana hadi Najma akamuuliza..

Mbona mwenzetu leo una furaha sana kama umekabidhiwa dunia yote uiongoze wewe.?

Guess what?(Otea)

What?(Nini)

I'm not a virgin anymore.(Mimi sio bikra tena)

Wewee Recho! haah..Yani unafurahi kutolewa bikra yako wakati wenzako tuliozipoteza bikra zetu tunaombea kama tuzaliwe upya..

Sio kwamba nafurahi kutolewa bikra,ila

nafurahi kuwa mtu aliyeitoa bikra yangu ni

mwanaume ninayempenda kuliko kitu

chochote..Hata sijutii yani kwa sababu na yeye ananipenda sana..

Mmhh!sisi hatuna usemi,njia ishakuwa wazi hiyo sasa kuwa makini siyo kila anayetaka kupita na wewe umruhusu tu apite,, youtake care my dear.

(kuwa mwangalifu mpendwa wangu)

Aliongea Tayana..

Yani huu mwili wangu ni maalumu kwa

mwanaume mmoja tu,Ally peke yake.Yeye ndio mwenye uhuru wa kuufanya anavyotaka..Ila nashukuru sana kwa ushauri wako rafiki yangu.. Waliongea mambo mengi sana mpaka muda wa

kuondoka ulivyofika wote wakarudi nyumbani...


***** ***** *****


Darasani kwao kikundi cha Ally pamoja na rafiki yake Allan kilianza kupata umaarufu kutokana na kufanya vizuri sana kwenye test na assignment mbalimbali walizokuwa wanapewa.Wanafunzi wengi walihitaji msaada kutoka kwao hivyo kuwafanya kutengeneza urafiki karibu na darasa zima..

Sasa mshikaji wangu kama tulivyopanga,inabidi leo ukaongee na Recho ili weekend tutoke out twende sehemu yoyote tulivu haswa ufukweni

kisha yeye aje na marafiki zake wote.Nafikiri itakua nafasi nzuri sana ya kuongea na yule mtoto..

Alikua ni Allan akiongea na Ally wakati

wanaondoka chuo..

Poa nitafanya hivyo..Furaha yako ndio furaha yangu..Lazima umpate Tayana.

Walizungumza mambo mengi sana kisha wakaagana na kurudi nyumbani..


Ally alikuwa ndio kwanza anaingia nyumbani kwao akitokea chuo.Akafungua

geti kubwa la nje na kuingia mpaka ndani na kuanza kutembea akielekea sebuleni. Akashika kitasa na kufungua mlango ila kile alichokikuta kilimfanya abaki mdomo wazi.....




Sarah alikua amelala kwenye sofa huku upande wa kanga aliojifunga ukiwa umepanda juu hivyo kuliacha kufuli lake likiwa wazi kabisa..Ally alimtazama kwa sekunde kadhaa kisha akaufunga mlango taratibu na kuanza kutembea kwa kunyata akielekea chumbani kwake.. Hakutaka Sarah amuone kwani alihisi anaweza akajisikia fedheha kutokana na yeye

kumkuta katika hali ile..Aliingia ndani kwake kisha akafunga mlango na funguo..

Muda mfupi baada ya Ally kujifungia ndani

kwake,Sarah alifumbua macho na kukaa vizuri pale kwenye kiti kisha akaanza kujiuliza.

"Hivi huyu mwanaume atakua mzima kweli? yani mitego yote hii ninayomtega lakini hata hashtuki..Hivi ananichukuliaje mimi au kwa sababu nacheka cheka nae kila siku..Ila dawa yake ndogo sana lazima atanasa tu hapa..mimi ndio Sarah mtoto wa mjini"

Alijisemea maneno hayo huku akiinuka na kuelekea chumbani kwake.. Ally alizidi kujiuliza mambo mengi sana kuhusu

Sarah. Alihisi labda ilikua bahati mbaya tu kumkuta katika hali ile..

"Mh! lakini mbona siku hizi naona amebadilika sana? Hata mavazi yake kiujumla pia amebadilika.Ina maana mwanzo alikua anaficha makucha yake au alikua hajatuzoea? Inabidi niwe nae makini sana maana nishaanza kuhisi taa ya kijani ikinimulika machoni..Nahisi Sarah ana siri nzito sana kwenye maisha yake. Ngoja nianze kumdadisi ili nijue dhamira yake ya kubadilika hivi"

Aliwaza hadi usingizi ukampitia pale pale

kitandani.


***** ***** *****


Maisha ya Recho yalizidi kuwa na furaha kila siku kwani mpenzi wake alikua anafanya vitu vya kumfurahisha kila siku..Alijihisi ni mwenye amani na furaha kuliko wakati wowote ule katika maisha yake..Popote alipokua na Ally alijitahidi

kumuonyesha ni kiasi gani anavyompenda ili kuzidi kuimarisha mapenzi yao..

Wanaume wengi walikua wanamfata ili wapate nafasi moyoni kwake lakini wote aliishia kuwapiga chini.Wengine walidiriki kutaka kuwekwa hata spair tyre ili tu wapate nafasi ya kuutumia uzuri wake lakini aliwatolea mbavuni huku wale wengine waliokua wasumbufu sana

aliamua kuwapa maneno makali sana hata kuwatukana ili tu waachane nae..Hakika Recho alikua mpofu kwenye mapenzi ya Ally. Alikua hasikii wala kuambiwa chochote kuhusu Ally.


Siku moja usiku alimpigia simu rafiki yake Najma ili kumjulisha safari ya kwenda ufukweni pamoja na Ally na Allan..Najma hakuleta kipingamizi na baada ya kumaliza wakaagana. Baada ya hapo akampigia simu na Tayana ambaye alisema kuwa siku hiyo atatoka out na boyfriend wake..Recho hakuwa na jinsi na ilibidi akubaliane nae...Baada ya kumaliza kuongea na marafiki zake akampigia

simu mpenzi wake na kumtaarifu kila kitu..Ally alimuelewa kisha wakaagana na Recho akaenda kujisomea..


***** ***** *****


Allan alikua mnyonge sana darasani baada ya kupewa taarifa na rafiki yake kuwa Tayana hatajumuika nao na atatoka out na boyfriend wake..Aliumia sana kwani moyo wake ulishaanza kuzama kwenye mapenzi na Tayana..Ally ilibidi

amfariji rafiki yake na kumuahidi kuwa

watapanga siku nyengine ili watoke nae

out..Allan ilibidi akubali na kuendelea

kujisomea..

Mwalimu wa Commercial Arthmetic aliingia na kuanza kugawa mitihani ya test waliyoifanya..Kama ilivyozoeleka Ally aliendelea kuwakimbiza wanafunzi wenzake huku safari hii rafiki yake Allan akishuka hadi nafasi ya tano..

"Naona mzee Tayana ameshauteka ubongo wako, safari hii kwa mara ya kwanza umekua wa

tano!!"

Ally aliongea kwa mzaha akimtania rafiki

yake. Allan alicheka kidogo kisha akamwambia.

"Daah! we acha tu mwanangu.Sometime nahisi kuchanganyikiwa, sijielewi elewi yani kama akili yangu anaiendesha mtu mwengine"

I know my buddy(Najua rafiki yangu), siku

zote mapenzi ya dhati ndivyo yalivyo..Ila

nakushauri kitu kimoja. Punguza kuwaza sana na uko'concentrate sana kwenye masomo. Kama imeandikwa atakua wako basi hata iweje ni lazima atakua wako tu. Be patient man.(kuwa mvumilivu mwanangu.)

Allan alimuelewa rafiki yake kisha wakaendelea na ratiba za darasani kama kawaida..


Muda wa kuondoka ulipofika waliinuka na

kuanza kuondoka..Walipofika nje walishangaa kumuona msichana mmoja anayeitwa Zuwena akiwa anawaita..Walisimama na kumsikiliza

shida yake..

"I'm very sorry(samahani sana) kwa

kuwasimamisha safari yenu..Ally nilikua nakuomba private kuna kitu nataka tuongee".

Mhh! sasa hivi au wakati mwengine?

Ally aliuliza kana kwamba hakuelewa vizuri alichoambiwa.

Right now.(sasa hivi)

Ally ilibidi akubali na kumwambia rafiki yake amsubiri kisha akaenda pembeni kidogo na yule msichana..

"Samahani kama nitakua nimekutisha sana ila hakuna jambo lolote baya..Nina rafiki anaitwa Nusrat yupo mule mule darasani..Sasa anahitaji ajiunge kwenye kundi lenu wewe na Allan ili mumsaidie katika masomo.Tafadhali naomba

mumkubalie kwani ni muda mrefu sana amekua anatamani kuwa pamoja na nyinyi ila anaona aibu kuwaambia"

Ally aligeuka na kumtazama rafiki yake kule aliposimama kisha akarudisha shingo na kumtazama Zuwena.

Tupe muda mimi na Allan tujadiliane kwa sababu siwezi kufanya maamuzi kama haya peke yangu"

Zuwena alimuelewa Ally kisha akamuaga na kuondoka.

Ally alimfuata Allan na kumweleza kila kitu.Allan hakuwa mzito kuelewa na wote wawili wakakubaliana kumruhusu Nusrat ili ajiunge na kikundi chao kwani hawakuona ubaya wowote ikiwa kama watamsaidia katika masomo yake. Walienda kituoni kisha kila mmoja

akapanda basi linaloenda kwao..


**** ***** *****


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG