Search This Blog

Saturday, February 26, 2022

ENDLESS LOVE - 2

   

Simulizi : Endless Love

Sehemu Ya Pili (2)



Jumapili ilipofika,Ally alijiandaa na kumpigia simu Allan kuwa anaenda kumpitia nyumbani kwao kinondoni. Akachukua gari la baba yake na kwenda sheli kulijaza mafuta kisha akaanza

safari ya kuelekea Tabata kumpitia mpenzi wake Recho ambaye alikua kashafika maeneo ya Bima akimsubiri mume wake..Ally alifika na kumchukua kisha wakaanza safari ya kuelekea Kinondoni kumpitia Allan..Walifika kwao na kumkuta Allan akiwasubiri kisha wote watatu wakaanza safari ya kuelekea Watern ambapo walipanga kukutana..

Walitumia barabara ya Ally Hassan Mwinyi kisha wakaingia Bagamoyo road na baada mda mchache wakafika kwani siku hiyo ya Jumapili hapakua na foleni..Wakati wote wapo kwenye gari Recho alikua anachat na rafiki zake Najma na Tayana. Tayana alimtumia message Recho na kumwambia kuwa na yeye atakuja huko watern kwani safari yake aliyopanga na boyfriend wake

ilikua imekufa ila akamwomba asimwambie Ally wala Allan kwani alitaka kuwa'suprise. Najma nae alimwambia kuwa yupo kituoni Mwenge akisubiri daladala za kwenda Kunduchi..


Walipaki gari kwenye maegesho ya pale beach kisha wakashuka na kwenda mpaka ndani..Walikaa sehemu moja tulivu kisha wakaagiza vinywaji. Waliendelea kufurahia mandhari nzuri ya maeneo yale huku wakipata vinywaji laini.Ally na Recho walikua wanabadilishana mate mara kwa

mara kuonyesha mapenzi mazito waliyokua nayo. Allan alibaki peke yake akichezea simu..

Wakati wanaendelea pale Recho alisikia message ikiingia kwenye simu yake. Kucheki alikua Najma ambaye alisema alikua yupo na Tayana na alikua hajui wapi walipo.


Recho akamuelekeza kisha akaendelea kuongea na mpenzi wake. Baada ya muda mfupi Najma na Tayana walifika huku wakiwa wamechangamka sana..Allan hakuamini kumuona Tayana maeneo hayo kwani alishajua kuwa hatokuja..Alibaki akiwa anatazamana na

Ally huku wakitabasamu.... J



Allan alikua ni mtu mwenye furaha sana kwani mwanamke anayempenda ndio alikua anawasili bila ya yeye kutegemea. Tayana na Najma walikaa kwenye viti baada ya kusalimiana na wenzao kisha na wao wakaagiza vinywaji...Waliendelea kunywa na kupiga story hadi ilipofika

saa 9 na nusu alasiri ndipo Ally alipowaomba wote wajiandae na kwenda kuogelea..Baada ya hapo Recho,Najma na Tayana walienda kubadilisha nguo kisha wakarudi wakiwa na nguo za kuogelea huku watu wote wakiwatazama kutokana na walivyokua wanavutia. Ally na Allan nao walikwisha badilisha nguo na kubaki na nguo maalum kwa ajili ya kuoga..Allan

alikua akimtazama sana Tayana kwa jinsi

alivyokua mzuri na ile nguo ya kuogelea

ilivyouchora mwili wake na kuyaacha mapaja yake yakiwa wazi..Waliingia kwenye bwawa la kuogelea na kuanza kuogelea huku wakicheza michezo mbalimbali ndani ya maji..Hakika

waliifurahia sana hiyo siku huku wakipiga picha nyingi sana za ukumbusho kwenye simu zao.


Baada ya kuoga kwa muda mrefu,Tayana alitoka kwenye maji na kukaa pembeni sehemu yenye jua kwani alikua anahisi baridi..Allan alimfata mpaka pale alipokaa kisha akaanza kuongea nae. Kwanza waliongea mambo mengi sana ya maisha hususani maisha ya chuoni kwao jinsi

yalivyo huku Allan akiutumia muda huo

kuonyesha jinsi alivyokua mchangamfu na

mkarimu mbele ya Tayana..Baada ya

mazungumzo marefu, Allan alijikuta akiwa kimya kwani mwanamke anayempenda alikua tayari yupo na mwanaume mwengine hivyo alishindwa hata aanzie wapi kumtongoza..Alikaa akafikiria sana kisha akavunja ukimya.

Unajua Tayana kuna vitu vinanitatiza sana lakini hata sijui nianzie wapi kukwambia.

Mmhh! vitu gani tena hivyo wangu?

Allan alibaki akimtazama msichana huyu wa kipare kwa jinsi alivyokua mrembo na mpole kisha akamuomba ampe mkono wake wa kushoto..Tayana hakukataa, aliutoa mkono wake na kumkabidhi Allan..Aliupokea ule mkono kwa uangalifu kisha akauchukua mkono wake wa

kushoto akaulaza ule mkono wa Tayana kisha mkono wake wa kulia akiwa ameuweka juu ya mikono yote ile miwili..

Samahani sana Tayana kama haya

nitakayokwambia nitakua nakuudhi au

kukukwaza kwa namna moja ama nyengine, ila kiukweli nimeshindwa kujizuia na inabidi nikwambie.

Mmhh! kitu gani nakusikiliza.

Kusema ukweli tangu siku ya kwanza

nilipokuona moyo wangu ulihisi kitu kimoja kizito sana na tofauti ambacho sikuwahi kukihisi kabla katika maisha yangu..Nilitamani sana kukwambia hata

siku ile ile ila niliona kuwa muda bado haujafika na ukizingatia pia tulikua hatujajuana vizuri..


Tayana alikua ameshaanza kujua kitu

anachotaka kuambiwa kwani wanaume wengi waliowahi kumtongoza walipita njia zile zile hivyo hakuona kitu kigeni..Alibaki kimya akiwa makini huku akimtazama Allan usoni akisubiri kuambiwa neno lenyewe..

Kusema ukweli Tayana kutoka ndani ya moyo wangu ninakupenda sana. Ninakupenda zaidi ya unavyofikiria. Sijawahi kukutamani hata siku moja ila ni mapenzi tu ya dhati ndio yaliyojaa ndani ya moyo wangu.. I love you(Nakupenda)

Tayana alibaki kimya asijue la kufanya kwani hakutaka kumpa jibu lolote baya Allan ambalo litauumiza moyo wake na pia hakupenda Ally akasirike kwa kitendo cha kumkataa rafiki yake.

Sawa nimekuelewa vizuri Allan ila kuna tatizo moja tu. Mimi tayari nina boyfriend na ananipenda kwa dhati.Sijawahi kufikiria kumsaliti hata siku moja na hata yeye sidhani kama anafikiria hivyo. Tunapendana sana na tumetoka

mbali hivyo siwezi kuugawa moyo wangu nikawa napenda watu wawili. Nikishapenda huwa nimependa Allan please (tafadhali) naomba usinifikirie vibaya"

Maneno hayo yalikua kama mkuki moyoni mwa Allan hivyo alibaki kimya akiwa anayasikilizia maumivu makali anayoyasikia. Hakuwa na cha kuongea zaidi na alijikuta mdomo umebaki wazi

huku akimtazama Tayana ambaye alikua

anaangalia chini.. Tayana nae alibaki kimya kidogo kisha taratibu akautoa mkono wako kwenye mikono ya Allan

na kumuomba kuondoka kwani muda huo

alikua anahitaji kukaa peke yake..

Allan alibaki kama bubu huku kila kinachotokea alikua akikiona kama ni ndoto. Hakuusikia hata mkono wa Tayana wakati unatoka kwenye viganja vyake na ghafla alimuona Tayana akiwa anaondoka pale walipokaa..

"Sorry Tayana,ina maana kuwa hunipendi?

Sio kama sikupendi Allan, hapana ila nakupenda kama rafiki tu. Kuhusu mapenzi inabidi ujifunze kupenda tena Allan maana me tayari nishawahiwa.. Samahani sana kama nitakua nakukatili ila sina jinsi..

Tayana alitoa majibu hayo ili Allan asiumie sana na hakua tayari kuwa na wanaume wawili kwa wakati mmoja..Aliondoka pale na kwenda kukaa peke yake akitafakari maneno aliyoambiwa na

Allan.

"Ila inaniuma sana kumkatili mtu

anayenipenda. Lakini naamini hata mungu

atanisamehe kwani tayari nina boyfriend

wangu..Nampenda sana Erick na nilimuahidi kuwa sitomsaliti..Acha nitimize kiapo changu"

Aliwaza Tayana huku akichezea simu yake kupoteza mawazo..


Allan alibaki palepale kimya kwa muda kama wa nusu saa mpaka aliposhtuliwa na rafiki yake aliyemmwagia maji ya mgongoni..

Oya vipi wewe, mbona kinyonge tena kama tupo msibani? Amka bwana tukafanye yetu"

Daah! yani sasa hivi mahala hapa napaona pazito sana. Nimeongea na Tayana lakini

hajanielewa, ameniambia ana boyfriend wake na anampenda sana. Sasa tunafanyaje jembe langu?

Mmhhh! kesi nzito hiyo, inabidi tupate muda mzuri ndio tutapata jibu sahihi, amka bwana usiwe mnyonge sana. Kama imeandikwa atakua wako basi atakua wako tu wala usiwe na hofu na isitoshe huu ni mwanzo tu so huwezi kujua nini

kitatokea hapo mbele.."

Allan alifarijika sana kwa maneno aliyoambiwa na rafiki yake na kujikuta akitabasamu..

"Poa nimekuelewa rafiki yangu na nashukuru sana kwa maneno yako yenye kunipa moyo..Ila kuoga mimi basi tena maana nishaanza kuhisi baridi mwili mzima''

Poa basi acha me nikacheze na shemeji yako, au vipi?

Poa mtanikuta hapa hapa..

Allan alijibu huku akitoa simu yake na kuingia mitandaoni ili apoteze mawazo...

Walikula sana bata siku hiyo na jioni ilipofika wote wakajiandaa na kurudi nyumbani...


***** ***** ******


Mwezi mmoja baadae urafiki wa Ally, Allan na Nusrat, yule msichana aliyeomba kuwa kwenye kundi la kina Ally ulizidi kupamba moto hata kufikia hatua ya kubadilishana namba za simu..Wakati mwengine akiwa nyumbani Ally alipigiwa simu na Nusrat akiombwa msaada wa kufanyiwa baadhi ya maswali..Walijikuta wamezoeana sana na muda mwingi chuoni wanakua pamoja.. Recho alikua yupo darasa wanalosoma Procurement mwaka wa kwanza diploma kwani mwaka uliopita alikua anasomea ngazi ya certificate..

Mapenzi ya ally na Recho hayakua siri tena kwani muda mwengine walikua wanatembeleana hadi madarasani kwao...

Allan nae hakukata tamaa kumpata Tayana akiamini kuwa ipo siku atayabadilisha mawazo yake..Waliendelea kuwasiliana mara kwa mara na hata muda mwengine Allan alimpelekea zawadi. Tayana alifurahi sana kwa jinsi alivyokua

anamjali na akawa anamshukuru kwa zawadi zake. Maisha ya pale chuoni yaliendelea kuwa mazuri kwa upande wa Ally huku yeye na Allan wakifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuyabadilisha maendeleo ya Nusrat kiasi kwamba mara nyingi kwenye mitihani alikua anaingia hata kumi

bora..


Siku moja Ally na Allan wakati wakiwa

wanasoma pale chuoni walimuona Nusrat akija huku akiwa amebeba bahasha kubwa mbili.Alivyofika akawasalimia kisha akawakabidhi ile bahasha na kuwaambia ilikua ni kama mwanzo wa shukrani kwa kumsaidia kwenye masomo yake. Walimshukuru sana kwa zawadi kisha akamkabidhi kila mmoja bahasha yake. Baada ya kumaliza aliwaaga na kuondoka.

Walikaa pale mpaka jioni wakijisomea kisha walipomaliza waliondoka nyumbani.


Ally alipofika alifanya kazi zake zote na kula chakula kisha akaingia chumbani kwake ili akapumzike. Alipokuwa kitandani wakati anataka kulala akakumbuka kuwa kuna zawadi alikua amepewa na Nusrat na bado

hajaifungua. Akalichukua begi lake na kuitoa ile bahasha. Aliichana ili aione zawadi yake ila alichokikuta kilimfanya apigwe na butwaa.......


Hakuyaamini macho yake pale alipoziona picha mbili za Nusrat akiwa kwenye mapozi tofauti..Pia kulikua na kadi iliyoandikwa maneno mazuri ya urafiki..Akaifungua na kadi nyengine ambayo ilikua imebanwa. Alizidi kushangaa kwani alikutana na kiasi kikubwa kidogo cha pesa bila kujua thamani yake. Akazihesabu na kugundua kuwa zilikua ni laki 2 taslimu..Alishangaa sana mtoto wa kike kama Nusrat ambaye bado alikua mwanafunzi anawezaje kupata kiasi kama kile cha pesa na kumpa tu kama Zawadi..Alijiuliza maswali mengi sana bila majibu..Pia alijiuliza alikua na maana gani hadi akampa zile picha lakini hakuambulia hata jibu moja hivyo akabaki njia panda na msongo wa mawazo. Alizichukua zile picha na kadi na kuzitia kwenye droo kisha zile hela akazitia

kwenye wallet yake..


Aliamua kumpigia simu Nusrat ili amshukuru kwa zawadi zake..

Kweli Nusrat akapokea simu na kuongea mambo mengi sana huku akimuahidi Ally kuwa kuna mambo mengi mazuri bado yanakuja..Ally nae alimshukuru sana kwa zawadi zake..Kuna muda alitaka kumuuliza kuhusu zile picha lakini

akajikuta anashindwa na kuamua kukaa

kimya..Waliongea sana hadi Ally alipoamua kumuaga Nusrat kisha wote wakalala..


***** ***** *****


Kesho yake chuoni Ally alimuhadithia Allan kila kitu kuhusu Nusrat na zile zawadi alizopewa jana yake..

"Mhh! kuna kitu nishaanza kuhisi..Yule mtoto wa kipemba atakua anakupenda. Haiwezekani mimi anipe laki moja halafu wewe akupe laki mbili tena na picha juu pamoja na kadi..Nina wasiwasi sana na hili..Kama kweli unampenda Recho basi kuwa nae makini sana..Anaonekana

ana mbinu zote za kumteka mwanaume"..

Sikutegemea kabisa kama ungeniambia maneno kama hayo Allan..Yani Nusrat anipende mimi kweli? hahahaa!! hapana haiwezekani..Siku zote ananichukulia kama kaka na amekua akiniheshimu sana ndio maana sina wasiwasi nae..Kama ni kadi mbona ni vitu vya kawaida sana marafiki kutumiana!!

Tatizo sio kutumiwa kadi ila tatizo lililonifanya mpaka nikahisi yote haya ni jinsi kadi yenyewe na hizo picha zilivyotoka..Kwani si wote tumemsaidia mpaka anafanya vizuri darasani?

Ndio.

Sasa hujiulizi kwanini mimi kanipa laki

moja bila ya picha wala kadi halafu wewe

amekupa laki mbili pamoja na picha na kadi..Bila kuumiza kichwa yani, Nusrat ana kitu na wewe..

Mhhh!!

ilimbidi Ally agune na kubaki kimya

akitafakari mambo yote yaliyotokea kwa muda kama wa dakika moja.

"Sasa naanza kukuelewa rafiki yangu. Kuna mambo mengine yalikua yanatokea ila mimi yote niliyaona kawaida tu..Kuna siku nilikua naongea nae kwenye simu alikaa kimya kwa muda mrefu kidogo. Hakuweza kuongea chochote hadi akaamua kukata simu.. Nilivyomtumia message na kumuuliza nini tatizo hadi

akate simu akanijibu hata yeye haelewi ila

amejikuta tu mdomo mzito na hawezi kuongea lolote..Basi inabidi niwe nae makini kwa sababu nampenda sana Recho na sitaki nimsaliti hata mara moja..

Waliongea mambo mengi sana kuhusu masomo yao, Nusrat pamoja na maisha yao kwa ujumla..Ilipofika jioni wote wakarudi nyumbani..


***** ***** *****


Miezi ilizidi kusogea huku mapenzi ya Ally na Recho yakizidi kushika kasi.. Waliendelea kutembeleana nyumbani kwao mara kwa mara pale wanapopata nafasi huku wakiwa hawajawahi kukutana tena kimwili tangu ile mara ya kwanza wakati Recho anatolewa bikra..

Hatimaye mwaka mmoja ukapita na wakaingia mwaka wao wa mwisho pale chuoni..Ally alizidi kupata umaarufu kwani wiki moja baada ya kufungua chuo, principal wa chuo chao aliandaa

tafrija kwa ajili ya kumpongeza Ally kwani katika historia ya chuo hiko hakukuwahi kutokea mwanafunzi aliyefaulu kwa alama za juu sana kama alizopata Ally..Walialikwa wanafunzi mbalimbali kutoka chuo hiko wa kutoka campus nyengine. Ally alifurahi sana na pia

baba yake mzee Mohammed alimuahidi

kumnunulia gari lake mwenyewe ili awe

analitumia kwa safari zake za chuo na sehemu nyenginezo..Siku hiyo Ally alijuana na watu wengi sana na kubadilishana nao namba za simu bila kujali ni mwanamke au

mwanaume..


Tafrija ilipoisha Recho alimuita

mpenzi wake na kummiminia mabusu kama mvua..Alimpongeza sana kwa matokeo aliyoyapata na kuzidi kumpa moyo aendelee kufanya vizuri..Ally alimshukuru sana na wote wakakumbatiana.

Ally!

Naam!!

Nakuonea wivu sana mpenzi wangu.

Kwanini?

Kwa jinsi wasichana wengi wanavyokufata na unaongea nao. Ni wasichana wengi sana wanatamani kuwa na mtu kama

wewe hadi naanza kupatwa na uoga..

Kuhusu hilo wala usiwe na hofu mpenzi

wangu. Amini kuwa mimi ni wako peke yako. Hao wengine watabaki kuwa marafiki tu wa kawaida. Nakupenda wewe tu Recho na sio mtu mwengine.

Recho alifarijika sana kusikia hivyo na

akamkumbatia kwa nguvu mpenzi wake huku machozi yakimtiririka mashavuni mwake..


***** ***** *****


Nyumbani kwao Ally alibadilisha mfumo mzima wa maisha yake.Alikua hapendi kabisa kukaa na Sarah kwa kuogopa vituko vyake anavyomfanyia..Muda mwingi aliutumia akiwa mwenyewe chumbani kwake..Sarah alijitahidi kufanya kila aina ya mitego lakini Ally hakunasa ila aliendelea kujiapiza kuwa ni lazima siku moja Ally anase kwenye mikono yake na kumpa tunda lake..


***** ***** *****


Chuoni kila kona ilimjua Ally. Kila alipopita alikua na marafiki hivyo alijikuta akisimama na kusalimiana nao..Watu wengi walimpenda Ally kutokana na ukarimu wake, ucheshi pamoja na

maendeleo yake katika masomo..Baadhi ya watu walikua wanamuita genius kutokana na uwezo wake darasani..

Nusrat, msichana mrembo wa

kipemba alishafanya vitu vingi sana ili kumpata Ally lakini alishindwa kabisa. Kikwazo kikubwa alichogundua ni kwamba Ally alikua na mahusiano na Recho ndio maana kwake alikua mzito sana kuwa nae.. Alitamani afanye kitu chochote kibaya ili awatenganisha lakini alijiona atakua mkosefu sana hata mbele ya Mungu kwani alikua amepitia vizuri

mafundisho ya madrassa..

"Sina jinsi ila inabidi nifanye kitu kimoja cha mwisho..Inabidi nikutane na Ally ili nimueleze kila kitu ilimradi nitoe dukuduku langu moyoni..Vyovyote atakavyonifikiria sawa tu, ila ni bora niutue huu mzigo"

Aliwaza Nusrat akiwa peke yake chumbani kwake wakati wa usiku..Alimpenda sana Ally kuliko kitu chochote na alitamani kusikia neno lolote zuri kutoka kwake..Alisisimkwa sana na mwili kila alipofikiria jinsi Ally atakavyomkumbatia na kumbusu midomoni pindi watakapokua wote..Alijihisi ni mwenye amani sana kila alipomfikiria Ally..Aliwaza sana hadi usingizi ukampitia..


***** ***** *****


Ally alikua amekaa na mpenzi wake ambaye alikuja kumtembelea nyumbani kwao..Alikaa naye chumbani kwake na hivyo ndivyo walivyozoea kila Recho alivyoenda nyumbani kumtembelea.. Waliongea mambo mengi sana huku muda mwengine wakiutumia kufundishana.. Hakika Ally na Recho walipendana sana kwani kwa

kipindi cha karibu miezi 14 tangu waanze

mahusiano, ni mara moja pekee ndiyo

waliyokutana kimwili na bado mapenzi yao yalikua motomoto..Ni vigumu sana kwenye mapenzi ya siku hizi kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi lakini wao waliweza..


Wakati anaendelea kuongea na mpenzi wake pale chumbani alisikia message ikiingia kwenye simu yake.Akainuka na kwenda kuichukua simu yake kuiangalia alikua ni Nusrat ambaye alimtumia ujumbe uliomfanya abaki akimtazama Recho kwa wasiwasi..........



Nusrat alikua anamuomba Ally wakutane Steers kijitonyama siku inayofuata kwani alikua na mazungumzo muhimu sana anataka kuongea nae. Pia alimuomba sana aje peke yake ili aweze kuongea nae kwa utulivu..Aliisoma message yote kisha alipomaliza akaifuta.Recho alikua amejiliza kitandani hivyo hakuelewa kitu

chochote kinachoendelea.Ally alibadilika ghafla na kuonyesha kuwa na mawazo hadi mpenzi wake akamshtukia..

Mbona umekua hivyo mpenzi wangu yani muda mfupi uliopita ulikua umechangamka vizuri lakini ghafla unaonyesha kuwa kama una huzuni

au mawazo, una tatizo gani Ally wangu?

Ally alibaki kimya akiwa hajui hata amuambie nini mpenzi wake ili amuelewe. Alitafakari sana na mwisho akaamua kulimaliza hilo tatizo mwenyewe kwani alihofia anaweza akamuumiza kipenzi chake ukizingatia alikua na wivu sana..ilibidi amdanganye ili amtoe wasiwasi..

"Hapana sina tatizo lolote baby wangu. Ghafla tu nimejikuta nafikiria mambo ya miaka mingi liyopita. Nimemkumbuka sana mama yangu kipenzi kwani baada ya kukupata wewe nahisi yeye ndio kitu pekee nilichokikosa katika maisha. Nimemiss sana upendo wake..

Ooh!Pole sana sweety love..Najua ni kiasi gani inauma ila haina jinsi, kazi yake mola siku zote huwa haina makosa..Kikubwa unatakiwa umuombee sana ili apumzishwe mahali pema peponi..Hata mimi kama nilivyowahi kukuambia mapenzi ya baba katika maisha yangu huwa nayaona kwenye movie au kuyasikia kwa wenzangu tu. kwani alifariki wakati bado nikiwa mdogo sana wakati nina miaka sita..Nilikua bado mdogo mno hivyo

kumbukumbu nzuri hata ya taswira yake

imenipotea kabisa.Ila nahisi kuna siri nzito sana juu ya kifo chake kwani mara nyingi

ninapomuuliza mama huwa ananipa majibu yasiyoeleweka..

Mmhh! pole sana mpenzi wangu..We have got something in common in our life. (tumepata kitu kinachofanana katika maisha yetu) Wewe ulimpoteza baba yako na mimi nilimpoteza mama yangu wakati wote tukiwa bado wadogo..Inauma sana.


Waliongea mambo mengi sana kuhusu maisha yao kiujumla na kuzidi kufahamiana zaidi na zaidi..Recho alikakaa sana nyumbani kwa kina

Ally hadi ilipofika jioni ndio akaanza kujiaandaa ili aondoke..Alipomaliza walianza kuagana na mpenzi wake kwa kupigana mabusu na kubadilishana mate..Ally alizungusha mikono

yake kwenye mbavu za Recho na kukutana mgongoni huku akiwa anampapasa papasa. Recho alisisimka sana kwa kitendo kile na kumfanya pumzi zake zianze kubadilika..Walijikuta wakikaa kitandani na kuendelea kubadilishana mate huku Ally akipitisha mikono

yake kwenye tumbo la Recho kwa mwendo wa taratibu hadi kifuani..Aliyaminya minya maziwa kwa staili ya kichokozi na kumuacha Recho

akitoa sauti ndogo ya kuugulia huku macho yake akiwa ameyafumba. Waliendelea na kuchezeana hadi Ally alipohisi kitu na kuamua kumwambia Recho..

"Muda umeenda sana mpenzi wangu. Hatuwezi kuendelea kufanya hivi kwani tutachukua muda mrefu sana hivyo utachelewa nyumbani..Sitaki umtie mama wasiwasi ukizingatia sio kawaida yako kurudi nyumbani ukiwa umechelewa sana. Nakuomba kwa leo tuache haya mambo

tutafanye siku nyengine..

Mmhh! sasa ulikua na maana gani Ally kunichezea hivi.? Hebu fikiria mimi nitalala vipi na hali kama hii.Hapana nipe hata kimoja tu angalau nitaridhika"

"Hapana Recho, sio kama sitaki kukuridhisha ila muda umeenda sana.Saa moja hii hivi unategemea utafika nyumbani saa ngapi na foleni za hapa mjini..Nakuomba kwa leo tuache tutafanya siku nyengine..Mimi ni wako so muda wowote nitakuwepo kwa ajili yako..Panga siku yoyote unayoitaka me nitakua tayari.Kwa leo naomba uvumulie hii ni moja ya mitihani katika mapenzi."


Recho alimuelewa mpenzi wake kisha wakatoka hadi sebuleni ambapo walimkuta Sarah akiwa anaangalia TV..

"Bye aunty"

Recho alimuaga Sarah.

Sarah alikaa kimya kidogo kisha akamjibu kwa unyonge huku akionyesha dharau.

"Haya karibu."

Ally aliiona ile hali na alijua lazima mpenzi wake atahisi kitu tu..Alianza kumchukia Sarah kwa vitendo vyake alivyokua anavifanya..Walitoka mpaka nje na kweli Recho akaanza kulalamika kwa Ally.

"Hivi Ally ni kitu gani kinaendelea kati ya wewe na yule mfanyakazi wenu? Mbona amenijibu vile yani kama mtu anayenichukia au kunionea wivu sijui.

Aliongea Recho huku akiwa amekasirika..

Calm down my love.(Punguza munkari mpenzi wangu) Yani hata mimi simuelewi kabisa Sarah..Ni mwaka mmoja sasa amekua akinifanyia vituko vya kila aina hadi muda mwengine kunifata chumbani kwangu na kanga moja tu. Lakini kutokana na kukuheshimu wewe mpenzi wangu hata siku moja sijawahi kukusaliti kwake au kwa mtu mwengine"

Ally alimwambia Recho maneno mengi sana ya kumuweka sawa kisha Recho akamuelewa na kumsindika hadi kituoni ambapo alipanda daladala ya kwenda kwao tabata na Ally alirudi nyumbani..


***** ***** *****


Kesho yake Ally aliamka asubuhi na mapema na kufanya usafi kama kawaida pamoja na kufua nguo zake..Alivyomaliza akatoka nje ambapo alikutana na Sarah akamsalimia kisha akaanza kuongea nae..

"Hivi Sarah kwanini unanifanyia vituko vyote hivi? Unanitafuta kitu gani? Hivi si nilishakwambia kuwa nina mpenzi na wewe unamjua vizuri? Sasa kwanini

unaendelea kunifanyia vituko hivi..Jana kidogo tu unigombanishe na Recho kwa sababu ya tabia zako. Sasa nasemaje, kama utaendelea na hii tabia hapa nyumbani utapaona pachungu"

Alimwambia maneno mengi sana

kuhusu tabia yake kisha kuondoka kwa hasira. Sarah alibaki kimya kama mtu aliyemwagiwa maji kisha akaacha kazi na kuingia ndani..


***** ***** *****


Nusrat alikua ameshafika maeneo ya Steers kijitonyama mapema kabisa akiwa anamsubiri Ally. Aliendelea kuchat nae wakati Ally bado yupo njiani..Moyo wake ulikua unamdunda sana na kuhisi kupooza kwani alihisi anataka kufanya kitu tofauti kabisa na jamii.Alimpenda Ally kwa dhati na alikua yupo tayari awe mume wake

japokua kwao Pemba walishamchagulia

mwanaume wa kumuoa ila yeye hakumpenda kabisa..


Wakati bado yupo pale akiwaza na kuwazua alishtuka alipomuona mwanaume anayempenda akija kwa mwendo wa taratibu..Alijisikia kama

kutapika kutokana na uwoga aliokua nao. Mapigo yake ya moyo yaliongezeka sio kawaida na kuanza kujihisi kizunguzungu.......



Alijihisi kama anataka kuanguka pale alipokua amekaa hivyo alikishika kiti kwa nguvu kwa mikono yake miwili.Hakuamini alipomuona Ally akiwa amesimama mbele yake na kumpa mkono akiwa anamsalimia. Aliinua mkono wake taratibu

na kushikana na Ally kisha akaurudisha sehemu aliyokishika kiti ili asianguke. Alikaa kimya kidogo akitafakari jinsi ya kuanza kuongea..Hakika Mwenyezi Mungu amewapa wanawake mtihani mzito sana kwani hata kama wanampenda mtu basi inakua vigumu sana kuwaambia. Kitu pekee wanachoweza kukifanya ni kumuonyesha dalili mtu wanayempenda ili waanzwe wao

kutongozwa. Ndivyo ilivyokua kwa Nusrat, alijaribu kila njia kumuonyesha Ally ni kiasi gani anampenda lakini aliambulia patupu kwani Ally hakua na hisia nae kabisa za mapenzi zaidi ya kumsaidia katika masomo.. Alikaa kimya kwa muda kisha akapiga moyo konde baada ya muhudumu kuwa ashawaletea vinywaji..Alianza kumsifia Ally kwa jinsi alivyopendeza huku Ally nae akimsifia kutokana na yale mavazi yake ya heshima aliyoyavaa..

"Unajua dini yetu haituruhusu kabisa sisi

wanawake kuonyesha miili yetu na ndio maana mara nyingi sana ninapotoka nyumbani huwa najitahidi kujistiri kadri ya uwezo wangu"..

"Mashallah! Mungu azidi kukuongoza katika misingi hiyo hiyo ili uwe katika njia

iliyonyooka.


Ally alimsifia sana Nusrat huku kadri

muda ulivyokwenda ndivyo Nusrat alivyozidi kumzoea sana Ally huku uwoga wake ukipungua kwa kiasi kikubwa. Waliongea mambo mengi sana hadi ulifika muda vinywaji viliisha na kuongeza vyengine..

"Lakini Nusrat tangu nimekuja hapa tumekua tunapiga story tu bado hujaniambia haswa kitu kilichokufanya uniite hapa."

"Ni kweli Ally.Ila samahani sana kama nitakua nakupotezea muda wako maana nahisi ulikua na ratiba zako nyengine siku ya leo ila mimi ndio nimezikatisha. Samahani sana kwa hilo."

"Usijali,Nimeona umuhimu wako na ndio maana nimekuja hapa ili kukusikiliza shida yako."

Kidogo Nusrat alifarijika baada ya kusikia maneno hayo. Alipata ujasiri mkubwa sana na kuamua kuwa muwazi kwa kila kitu..

"Kitu kikubwa kilichonifanya nikuite hapa ni juu ya utumwa niliokua nao..Najihisi mtumwa sana kwa mtu ninayemfikiria ambaye sidhani kama hata siku moja yeye ameshawahi kunifikiria japo kwa dakika moja tu."

"Utumwa? Una maana gani unaposema utumwa.?"

"Mimi ni mtumwa wa mapenzi Ally. Ninampenda sana mtu lakini yeye hanipendi kabisa na wala sidhani kama ameshawahi hata kulitaja jina langu wakati akiwa hayupo na mimi..Naumia sana Ally na sijui maumivu haya yatakwisha lini. Mpaka muda mwengine najiuliza au kosa langu kupenda.? Kwanini ananifanyia hivi.?"

Aliongea maneno hayo huku akiwa na huzuni sana hali iliyopelekea hata Ally kuanza kumuonea huruma..

"Sasa Nusrat wewe unafikiri kwa tatizo kama hili mimi nitakusaidia vipi?

Unaweza kunisaidia kama ukitaka na

kukubali..Una uwezo mkubwa sana wa

kulimaliza tatizo langu zaidi ya unavyofikiria."

Mpaka muda huo Ally hakuelewa chochote kinachoendelea akilini mwa Nusrat kwani alikua anaambiwa maneno ambayo yalikua ni kama fumbo kubwa kwake..

Lakini Nusrat nawezaje au naanzaje kukusaidia ikiwa mtu mwenyewe simfahamu hata sura yake wala kupajua anapoishi?

"Unamfahamu Ally na pia anapoishi unapajua vizuri."

Aliongea maneno hayo huku safari hii

huzuni ikizidi kuongezeka na macho yake kwa mbali yakianza kutengeneza machozi.


Ally alizidi kuchanganyikiwa kuambiwa vile na kubaki akijiuliza maswali mengi kichwani..

"Namfahamu? Na kwao pia napajua? Hapana hii haiwezi kuwa kweli. Hata siku moja Nusrat hajawahi kunihusisha au kuniambia juu ya maisha yake ya mapenzi so nitamjuaje huyo mtu? Hapana hii haiwezi kuwa kweli."

"Sasa Nusrat unaniambia huyo mtu namfahamu na kwao pia napajua. Nimejaribu kufikiria na kukumbuka lakini sipati jibu kabisa, labda ungenionyesha picha ya huyo mtu au hata ungenitajia jina lake labda kweli naweza nikawa namfahamu."

Nusrat alibaki kimya huku machozi yakizidi kujaa machoni mwake na taratibu yakatiririka mashavuni mwake. Kadri muda ulivyozidi kwenda ndio Nusrat alizidi kulia huku kilio cha kwikwi ndio kikitawala zaidi..

Ally aliogopa sana hali ile na kuhisi watu wa pembeni wanaweza wakawaona na kuhisi kuna tatizo. Pia aliona Nusrat akiendelea kulia atajaza watu pale. Alijaribu kumbembeleza sana Nusrat

kwa kumwambia maneno mengi sana ya kumtia moyo pamoja na kumuomba amtajie huyo mtu au kumuonyesha picha yake labda anaweza akamsaidia..

Nusrat alipunguza kilio taratibu na baada ya muda akanyamaza kabisa. Alimuangalia sana Ally ambaye pia alikua akimuangalia yeye.

"Najihisi vibaya Ally, naona napenda sana hadi nimevuka hata mipaka ya kupenda. Sijui nitaishi vipi kama huyo mtu atanikataa."

Usiwe na hisia hizo Nusrat. Kuwa muwazi kwake naamini hata yeye pia atakua anakupenda. Jaribu

kutafuta muda ili uongee nae naamini

atakuelewa. Usiendelee kuwa na kidonda moyoni, ukimya wako ndio muendelezo wa maumivu yako. Mwambie"


Nusrat alibaki kimya kwa muda kidogo kisha akamtazama tena Ally usoni. Kila alipotaka kuongea alihisi kitu kizito kikiuzuia mdomo wake. Alizidi kuumia moyoni kwani mwanaume anayempenda alikua mbele yake ila hakuonyesha dalili zozote kuwa hata yeye anampenda pia..

"Tafadhali Nusrat naomba uniambie basi huyo mtu anaitwa nani ili nijue naanzaje

kukusaidia. Hivi unadhani ukibaki na hali hii utakuwaje.? Niambie basi au nionyeshe picha yake labda naweza nikamjua hivyo ikawa rahisi kukusaidia."

Taratibu Nusrat akaanza kurudisha upya

kilio. Alilia sana ila kwa sauti ya chini ili watu wasijue kinachoendelea..

"Please Nusrat niambie basi maana sipendi kukuona katika hali hii."

"Mwanaume mwenyewe hata hayupo mbali na hapa."

Alisita kidogo huku akiendelea kulia kisha

akamalizia..

"Huyo mwanaume mwenyewe ni wewe

Ally. Nakupenda sana hadi nahisi kuchanganyikiwa..Naomba unipe nafasi kwenye moyo wako, sitaweza kuendelea kuumia hivi. Tafadhali usikatae Ally kwa sababu utanisababishia matatizo makubwa sana."

Ally alipigwa na butwaa na hakuamini kusikia maneno mazito kama yale kutoka kwa Nusrat. Alimuangalia usoni kwa umakini na kumuonea sana huruma.

"Kwanini msichana mzuri kama huyu mapenzi yamfunge jela. Hivi kweli amekosa mtu mwengine wa kuwa? Sawa ananipenda sana lakini nitawezaje

kuwapenda watu wawili kwa wakati mmoja? Hapana kwanza siwezi kumsaliti Recho wangu. Nampenda sana na hata yeye ananipenda pia..

"Samahani sana Nusrat kwa haya

nitakayokwambia ila imenibidi kufanya

hivi..Najua ni kiasi gani unaumia juu ya mapenzi yako kwangu ila muda mwengine katika maisha sio kila kitu kinaenda sawa au kila kitu tunachokitaka lazima kifanikiwe..Siwezi kuwa na wewe Nusrat kwa sababu tayari nina mpenzi kwa muda mrefu sana ambaye hata wewe unamfahamu.Sasa hata wewe mwenyewe

unadhani itakuwaje nikiwa na wote nyie

wawili..Hapana siwezi na ukizingatia mimi na Recho tunapendana sana. Naomba unisamehe sana kwa hili."

"Najua Ally na ndio maana nimekuita hapa. Nipo tayari hata unifanye spea tairi lakini unipe japo nafasi hata kidogo moyoni mwako..Siwezi kuishi bila ya

wewe na nakuahidi sitamchukia Recho wala kumfanyia kitu chochote kibaya."


Maneno hayo ndio yalizidi kumchanganya

kabisa Ally. Hakutaka kushare penzi la Recho na mtu mwengine..Alichofanya ni kumtuliza Nusrat na kumpa maneno mengi ya kumfariji..Alimuonea huruma sana kwa jinsi anavyoteseka ila hakua na jinsi zaidi ya kuendelea kumchukulia

kama rafiki kwani tayari Recho alishaujaza moyo wake..

"Nimekuelewa Nusrat ila kama unavyojua kuwa mimi nina mtu ninayempenda sana. Nakuomba unipe muda wa kuyafikiria haya kwa umakini kwani sitaki uendelee kuumia. Kuna wanawake wanastahili kuumia kutokana na tabia zao lakini

sio wewe..Nakuomba uwe mvumilivu."

Kidogo Nusrat alimuelewa Ally na kumuahidi kusubiri hata kwa miaka 10..Ally alishukuru sana kusikia hivyo na kuhisi kuutua mzigo kwa kiasi fulani..Siku zote katika maisha yake Nusrat amekua akimjali na kumthamini sana kwani

ameshamfanyia mambo mengi sana. Akakumbuka siku aliyokaa nae chuo kisha

akamuambia anapenda sana tablet ila hajakua na uwezo wa kuinunua na baada ya siku tatu Nusrat alimletea tena kwa kum'suprise.

"Kweli ananipenda ila ndio hivyo sitaweza kuwa nae, tayari Recho ameshaujaza moyo wangu kwa kila nafasi."

Waliongea mambo mengi sana pale na walipomaliza wote wakaondoka.


***** ***** *****


Baada ya mwezi mmoja mzee Mohammed alitimiza ahadi yake ya kumnunulia mwanae gari ya kutembelea baada ya kufanya vizuri katika

masomo yake ya mwaka wa kwanza. Aliandaa tafrija fupi nyumbani na kuwaalika wageni wachache..Ally nae aliwaalika marafiki zake wote aliosoma nao secondary na wale aliokua nao chuo. Pia rafiki yake kipenzi Allan nae alikuwepo..Mpenzi wake Recho nae alifika akiwa ameongozana na rafiki zake Najma na Tayana..Nusrat nae alifika akiwa

ameongozana na dada yake..Hakika watu

walipendeza sana siku hiyo utadhani ilikua

harusi au send off..Wageni walipata vinywaji vya kutosha huku wapishi wakiwa busy kuwawekea

watu vyakula..Ilipendeza sana na kila mtu

alifurahi kwa tukio lile..


Ulifika muda wa mzee Mohammed kumkabidhi mwanae gari na wote wakasogea eneo lilipopaki

huku likiwa limefunikwa kwa turubai

kubwa..Hakuna aliyejua ni gari ya aina gani hata Ally mwenyewe hakujua. Mzee Mohammed aliongea mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na kumsifia sana mwanae kwa jinsi alivyokua mtoto mwema kwake..Pia hakusita kusema kuwa

anatamani sana mwanae aje kupata mke

mwema pia ili awe chachu ya maendeleo kwao na kujenga familia nzuri na imara..Ally aliposikia hivyo alimtazama sana Recho huku na yeye akimtazama mpenzi wake na kukonyezana..Nusrat aliiona ile hali na kujikuta akiumia sana

moyoni. Alipomaliza kuongea gari ikafunuliwa na wote wakapata kuiona Altezza ya kisasa ikiwa mpya kabisa..Ally hakuyaamini macho yake na kumfuata baba yake kisha akamkumbatia kwa nguvu..

Thank you dady, I love you so much. (Asante baba, nakupenda sana)

I love you too son and I'm very proud of you. (Nakupenda pia mwanangu na najivunia sana kuwa na wewe)

Me too dady.(mimi pia baba)

Ally alimshukuru sana baba yake huku machozi ya furaha yakimtoka na kujifuta kwa leso.. Baada ya hapo ni picha tu ndio zilizotawala huku wageni wote wakiwa wamepata picha na muhusika wa sherehe ambaye ni Ally...Tafrija ilipokwisha Ally na baba yake waliwashukuru wageni wote kisha kila mmoja alitawanyika na kurudi nyumbani kwake..Nusrat aliondoka na

dada yake aliyekuja nae huku Recho, Najma na Tayana wakisindikizwa na Ally kwa kutumia gari ya baba yake kisha akawakodia Najma na Tayana taxi ambao walikua wanakaa maeneo ya Mwananyamala na Sinza huku yeye akimpeleka mpenzi wake hadi nyumbani kwao tabata kisha alirudi nyumbani..


***** ***** *****


Maisha ya Ally yalizidi kuwa na furaha huku wanawake wengi chuoni pale wakiwa wanamtamani kutokana na kumuona labda atakua mtoto wa kishua..Chuo kizima hapakuwa na mwanafunzi wa umri wake anayetembelea

gari labda kwa wale wanafunzi wakubwa ambao wengine walikua pia wanafanya kazi. Alijikuta akisumbuliwa sana na wadada wa pale chuo huku yeye akiwa makini ili asinase kwenye mitego yao kwani alimpenda sana Recho

wake. Recho nae hakujiweka nyuma kwani

alijionyesha hadharani kuwa yeye ndiye mpenzi wa Ally kwa kumkumbatia mara kwa mara na kumbusu hadharani..Alifanya yote hayo ili kuwaumiza roho wale wote wanaomtaka Ally..


Ally na Nusrat waliendelea na mawasiliano huku wakipeana zawadi mara kwa mara na kumfanya Ally amuone Nusrat kuwa ni mwanamke wa kipekee sana kwani alimpenda kwa dhati mtu

ambaye anajua ana mpenzi wake tena

wanapendana kwa dhati..Ilibidi aendelee kuwa nae vile vile tu ili asiendelee kuumia..Nusrat alifurahi sana kupata angalau kujaliwa na Ally. Hakuisha kuota kuwa ipo siku Ally atakua wake peke yake..Aliamini hiyo siku inaweza kuwa hata kesho hivyo alizidisha mapenzi

mazito kwa Ally...

Siku moja asubuhi wakati Ally akiwa chuoni alijihisi kuumwa..Asubuhi hiyo hiyo aliamua kurudi nyumbani ili akapumzike..Siku hiyo

hakutumia gari lake kwani liliharibika

rejeta siku tatu zilizopita.


Alifika nyumbani mida ya saa nne na

nusu na kuingia mpaka ndani..Akaanza

kutembea na kuelekea chumbani kwake ila alipofika mlangoni kwa Sarah alisikia watu kwa ndani wakitoa vilio na miguno ya kupeana raha..Alishtuka kidogo na ilibidi asimame na kusikiliza ili ajue nini kinaendelea......



Alisogea zaidi pale mlangoni na kuchungulia kwenye kitobo cha ufunguo kama ataweza kuona chochote..Alijitahidi kuangalia vizuri na kuona miguu ya mwanamke na mwanaume ikiwa inashughulika kitandani lakini hakufanikiwa kuziona sura zao..Alikaa pale akiendelea kusubiri labda watajigeuza ili awaone sura zao lakini hakufanikiwa kwani muda wote

walibaki kwenye staili ile ile tu hadi walipovunja dafu..Alikaa kidogo akisubiri wakae kwenye usawa wake ili awaone au hata kusikia sauti zao lakini walibaki kimya muda wote..Alikurupuka pale mlangoni baada ya kuona miguu ya kiume

ikiinuka pale kitandani, hivyo kwa mwendo wa kunyata alitembea haraka na kuingia chumbani kwake..Alikaa kimya huku akijiuliza maswali mengi sana kichwani kwake kuhusu lile tukio aliloliona..

"Hivi ina maana huyu atakua Sarah au mtu

mwengine? Na kama kweli ndio yeye ameanzalini hii tabia ya kuleta wanaume humu ndani? Hapana hii tabia sijaipenda hata kidogo inabidi nimwambie baba ili tumrekebishe au ikishindikana aondoke kabisa hapa nyumbani. Haiwezekani anatutia aibu sana kwa majirani na kuonekana kama tunaishi kwenye danguro la wanaojiuza".


Alikaa sana chumbani kwake na baada ya muda akasikia mlango ukifunguliwa na kweli akaisikia sauti ya Sarah akiongea na mtu aliyekua mule ndani ambaye hakumsikia kabisa sauti yake..Hakutaka

kabisa kutoka nje kwani alihisi anaweza akaenda kufanya kitu kibaya sana na baadae akajilaumu nafsi yake..Alikaa akiwaza na muda mfupi baadae akaamua kujipumzisha kutokana na hali ile ya homa anayojisikia..


***** ***** *****


Recho alikaa siku nzima akiwa hana raha baada ya mpenzi wake kumpa taarifa kuwa anaumwa na aliondoka chuo mapema..Aliongea nae sana kwenye simu na kumpa pole pamoja na kumfariji huku akimuahidi kuwa siku inayofuata ataenda kumuona..Ally alimshukuru sana mpenzi wake kwa kumjali na walipomaliza

maongezi akaanza kujiandaa na kuanza safari ya kwenda hospitali ili akapate tiba..

Wakati yupo njiani alisikia simu yake inaita na alipoiangalia alikuta Nusrat ndie anayepiga.

Hello!!

Hello, mambo vipi?

Poa,unaendeleaje?

Mimi mzima kabisa. Vipi mbona leo

umeondoka chuo mapema sana, una tatizo gani?

Najihisi kama nina homa na muda huu nipo njiani naelekea hospital. Ila samahani sana kwa kutokutaarifu nilipitiwa..

Ooh! pole sana na usijali kwa hilo. Unaelekea hospital gani?

Maeneo ya Kariakoo kuna hospital moja

hivi mtaa wa Sikukuu ila siijui vizuri jina lake kuna mtu alinielekeza..

Sio ile hospitali ya wahindi?

Yaah, itakua ndo hiyo maana hata huyo aliyenielekeza aliniambia ni hospitali ya wahindi.

Napajua pale, basi nitakuja baada ya kama dakika 45 maana mida hii nipo Posta kuna mambo nayafuatilia..

Sawa basi me utanikuta nishafika maana

mida hii nipo njiani..

Ok, you take care Ally. (sawa kuwa

mwangalifu Ally)

Thank you. Meet you there.(Asante tutakutana pale)

Okay!!


Walimaliza kuongea huku muda huo Ally akiwa ndani ya bajaj kwani gari yake ilikua

imeharibika..Alifika hospital mida ya saa 12 jioni na kuanza kufuatilia process za kuonana na daktari. Alifanikiwa, akapimwa kisha akaenda pharmacy na kupewa dawa. Alilipia gharama

zote na alipomaliza aliitoa mfukoni simu yake ambayo aliiweka silent.Alikuta missed call 7,mbili zikiwa za baba yake na tano zikiwa za Nusrat. Alimpigia simu baba yake na kumjulisha kila kitu na walipomaliza kuongea akampigia

Nusrat..Alimuelekeza mahali alipo na baada ya dakika mbili alimuona Nusrat akija.. Walisalimiana kisha Nusrat alimpa pole Ally kwa kuumwa. Akamuuliza anaelekea wapi muda huo na Ally akamjibu kuwa hajisikii vizuri hivyo inabidi aende nyumbani moja kwa moja..Nusrat

alimuomba Ally ampeleke kwa kutumia gari lao ambalo huwa wanalitumia kwao kwa safari za kawaida wakiwa wamemuajiri dereva..Maisha ya Nusrat nyumbani kwao yalikua mazuri sana

kwani baba yake alikua ni mfanyabiashara

mkubwa sana wa madini huku akimiliki

makampuni makubwa ya uuzaji na usambazaji wa bidhaa ndani na nje ya nchi. Ally alikubali na wote wakaingia ndani ya gari na kuanza safari ya kuelekea Temeke, nyumbani kwao Ally.


Njiani waliongea mambo mengi sana

huku Ally akimshukuru sana Nusrat kwa kumjali na kumthamini..

"Nafanya yote haya Ally kwa ajili ya

kukupenda. Nakupenda sana hata zaidi ya

unavyoweza kufikiria. Pia nilishawahi kukwambia kuwa nipo tayari kusubiri hata kwa miaka 10. Nakupenda sana na kukuthamini..

Hata mimi pia nahisi kukupenda Nusrat ila kitu kinachofanya tusiwe pamoja ni kwa sababu tayari nipo na Recho na nampenda sana..Siwezi kumuacha kabisa kwa sababu moyo wangu umeshamshiba..

Huna haja ya kunieleza yote hayo Ally kwani hata mimi najua kuwa hiyo ndiyo sababu inayotufanya hadi tusiwe pamoja. Sitachoka kukusubiri hata kama itanigharimu maisha yangu..

Ally alimuangalia sana Nusrat na kuzidi

kuthibitisha kuwa anapendwa kwa dhati..Nusrat nae alimuangalia Ally kwa hisia sana na wote wakajikuta wakisogeleana na kupeana midomo na kuanza kubadilishana mate..Nusrat alikua anahema sana kwani mara ya mwisho kunyonyana denda ilikua ni miaka mitatu iliyopita na boyfriend wake wa zamani Nassoro..Wakati wanaendelea kunyonyana mate mule ndani ya gari ghafla Ally alikurupuka kama mtu anayetoka ndotoni baada ya kuanza kumfikiria mpenzi wake Recho..

"Vipi Ally mbona hivyo jamani?"

Hapana Nusrat, hatuwezi kuendelea kufanya hivi..Nahisi namsaliti Recho..No siwezi kabisa naomba tuache kabisa haya mambo..


Nusrat alikaa kimya kwa muda kisha taratibu akaanza kulia..Alilia sana hadi dereva wao akaamua kusimamisha gari walipofika maeneo ya Chang'ombe..Alibidi Ally apate kazi ya kumbembeleza Nusrat ambaye muda wote alikua analia. Alimwambia maneno mengi sana ya

kumtuliza huku akimlaza kifuani kwake na

baada ya muda Nusrat akanyamaza. Waliendelea na safari hadi walipofika kwa kina Ally kisha wakaagana na kuondoka huku Nusrat akiwa mnyonge sana..


***** ***** *****


Usiku huo Nusrat alipofika nyumbani kwao Magomeni hakupata usingizi kabisa kwani muda wote alikua akimuwaza Ally tu. Alijikuta mwili wake ukisisimka pale alikumbuka jinsi alivyokua anabadilishana

mate na Ally.Aliiona hiyo siku kua ni siku nzuriana pengine kuliko zote katika maisha yake..Alikumbuka jinsi Ally alivyombembeleza kwa maneno matamu wakati analia na jinsi alivyomlaza kifuani kwake.Alijikuta akimkumbuka sana Ally na kutamani kama angekua nae kwa muda huo ili amliwaze..Akaamua kumpigia simu lakini ilikua inatumika. Alijaribu kwa mara nne na mara zote ilikua bado inatumika. Alianza kujisikia wivu kwani alijua kuwa

lazima Ally atakua anaongea na Recho hivyo akajikuta akianza kumchukia Recho kwa sababu alimuona ndiye kikwazo kikubwa cha yeye kushindwa kuwa na Ally..Alilia sana hadi alipopitiwa na usingizi usiku wa manane..


***** ***** *****


Allan aliendelea kuwasiliana sana na Tayana ambaye alikua anafarijika sana.Mara nyingi Allan alimpa zawadi huku akimsaidia sana kwenye matatizo yake hata kumpa pesa pale alipohitaji. Tayana alijihisi mkosefu sana kwa

kutomkabidhi moyo wake Allan kwani boyfriend wake Erick alikua akimkosea sana hata muda mwengine alikua akitukanwa matusi ya nguoni mbele za watu..


Siku moja ya Jumamosi alimuomba Allan

wakutane kwani alikua na mazungumzo

muhimu sana anataka kuongea nae..Allan

alikubali na kufika mapema sana mahali

walipokubaliana..Alimsubiri sana Tayana na baada ya muda akamuona anakuja huku akionekana kuwa mnyonge sana


Tayana alifika mpaka pale alipokaa Allan kisha wakasalimiana.Alionekana waziwazi kama mtu ambaye kuna kitu kinamsumbua..

Vipi Tayana mbona unaonekana haupo sawa leo una tatizo gani?

Tayana alibaki kimya akiwa hajui hata aanze kumjibu nini Allan. Aliangalia pembeni kama mtu anayefikiria kitu kisha akamgeukia Allan..

"Ndio Allan, nina matatizo makubwa sana. Nahisi kuchanganyikiwa kwani haya matatizo niliyokua nayo hayaendani kabisa na umri wangu..

Mmhh! matatizo gani tena hayo Tayana mbona hata mimi unanitisha sana?

Hapana sio ya kutisha sana ila ni makubwa ukilinganisha na umri wangu..

Sawa naomba uniambie basi ili na mimi nipate kujua labda naweza nikawa hata na msaada wa mawazo tu..

"Ni kuhusu mama."

Mama? mama amefanya nini tena?

"Mama anaumwa sana. Ni miezi minne sasa amekua akilalamika kuwa anasikia maumivu makali sana tumboni.Wiki mbili zilizopita tulienda muhimbili kumfanyia check up ili tujue tatizo na alionekana kuwa ana uvimbe mkubwa tumboni..

Aahh! Poleni sana. Kwahiyo sasa hivi yupo wapi?

Yupo nyumbani ila wiki ijayo amepangiwa

kufanyiwa operesheni ili kuondoa huo uvimbe..

Poleni sana..Najua ni jinsi gani inauma kupitia kipindi kigumu kama hiki. Mungu atakua pamoja nanyi na kila kitu kitaenda sawa..

Mmm mhh! asante..Ila kuna tatizo moja kubwa ambalo ndio linazidi kunitia mawazo..

Tatizo gani hilo Tayana?

Hospital inahitajika laki 7 ili upasuaji uweze kufanyika..Muda umebaki mdogo sana halafu mimi ndio kwanza nina laki mbili. Hali yetu kiuchumi imeyumba sana tangu mama aanze kuumwa.Tumetumia pesa nyingi sana tangu tulipoanza kumtibia lakini hatujapata mafanikio

yoyote..Kazini kwake mama wamekataa kabisa kugharamia matibabu yake yani tunachofanya ni kutumia mshahara wake tu ambao haukidhi kitu chochote. Nimemwambia Erick lakini hayo majibu

aliyonipa nilijuta hata kwanini nilimshirikisha..Alinikashifu sana mimi na familia yangu kuwa ni masikini..Inaniuma sana yani mtu kama boyfriend wangu kuniambia hivyo..

Tayana alikua anaongea yote hayo huku akiwa analia.. Allan alimuonea huruma sana kwa jinsi alivyokua katika kipindi kigumu..

"Usijali Tayana hii yote ni mitihani ya Mungu tu na lengo lake kubwa ni kumpima mwanadamu imani..Mimi nitajitahidi kutafuta hiko kiasi kilichobaki ili mama akatibiwe..Sipendi kuona

mama akipoteza maisha kwa ajili ya kukosa pesa za matibabu na pia sipendi kukuona wewe ukiwa kwenye hali kama hii..

Tayana hakuamini masikio yake kusikia yale maneno kutoka kwa Allan na alibaki akimtolea macho tu asijue la kufanya..

Usijali Tayana,nafanya yote haya kwa ajili ya upendo wangu kwako..Nimeanza kukupenda tangu siku ya kwanza kukuona na mpaka leo bado nakupenda kwa mapenzi yale yale ya mara ya kwanza. Katika maisha huwa tunafanya machaguo tofauti na mimi nahisi nimefanya

chaguo sahihi sana kukuchagua wewe lakini wewe haukufanya chaguo sahihi

kumchagua Erick..


Tayana alibaki akilia baada ya kuambiwa

maneno yale mazito ambayo yalikua na ukweli mtupu ndani yake..Alilia sana huku Allan nae akijitahidi kumbembeleza. Alipotulia akamuangalia Allan na kumwambia..

"Samahani sana Allan kwa kukutesa kwa kipindi chote hiki. Nahisi kosa langu kubwa ni kuchelewa kumjua mtu anayenipenda kwa dhati na kunithamini. Sasa nazidi kuamini na kuthibitisha

kuwa huyo mtu ni wewe..Nakupenda Allan. Nakupenda sana na najuta kuchelewa kukukabidhi moyo wangu. Erick amenifanyia mambo mengi sana ya kuniumiza lakini niliendelea kuwa nae. Nahisi nilikua mjinga sana kwake ila kuanzia leo nakukabidhi wewe moyo

wangu..Wewe ndio mwanaume wa maisha yangu Allan..

Allan hakuamini kusikia vile kutoka kwa Tayana na akamwinua kisha wakakumbatiana..

"Nakupenda sana Tayana."

"Nakupenda pia Allan."

Walikaa sana pale wakiongelea penzi lao jipya huku kila mmoja akionekana waziwazi kumpenda mwenzie.Pia walijadili sana jinsi ya kumsaidia mama yake Tayana ili akatibiwe na Allan alimuahidi kuwa atajitahidi kwa uwezo

wake wote aipate hiyo hela iliyobaki ili mama akatibiwe.Tayana alimshukuru sana na kuahidi kumpenda kwa maisha yake yote..


***** ***** *****


Kesho yake Allan alimpigia simu Ally na

kumwambia kila kitu kilichotokea kati yake na Tayana..Ally alimpongeza sana rafiki yake kwa ushindi alioutafuta kwa kipindi cha mwaka mzima..Allan alimshukuru kisha akamuomba Ally amuazime kiasi

cha shilingi laki 2 ili akaongezee kwenye

matibabu ya mama yake Tayana kwani yeye alikua na laki 3 tu..Ally alimkubalia rafiki yake huku akimwambia asimrudishie hiyo hela kwani yeye ni rafiki yake na kusaidiana ni jambo la kawaida..Allan alimshukuru sana Ally kwa wema wake. Waliongea mambo mengi kisha wakaagana huku Ally akimuahidi kuwa

atampatia hiyo pesa baada ya siku mbili.


***** ***** *****


Baada ya wiki moja mama yake Tayana

alifanyiwa operesheni salama na kuruhusiwa kurudi nyumbani ili akauguze kidonda chake..

"Hivi mwanangu ulizitoa wapi hela zote zile mpaka nikafanyiwa upasuaji?

Alikua mama yake Tayana akimuuliza mwanae..

"Mmhh! weacha tu mama. Nadhani ni majaliwa yake Mungu mpaka nikafanikiwa kuzipata."

Tayana akamwambia mama yake kila kitu

kuhusu Allan na jinsi alivyomsaidia kumpa hizo pesa..

"Jamani hata sijui nimshukuru vipi huyo mkwe wangu maana inahitaji moyo sana kumsaidia mtu kiasi kikubwa cha pesa kama hiko ukizingatia yeye bado ni mwanafunzi..Naomba siku umlete nyumbani ili nipate kumjua na kumshukuru kwa wema wake..

Sawa mama nitamleta siku sio nyingi..

Waliendelea kuongea kisha baadae Tayana akampigia simu Allan na kumwambia kuwa mama yake anahitaji kumuona. Allan alikubali na kumuahidi kuwa siku ya jumapili atakwenda nyumbani kwao..


***** ***** *****


Ally na Recho waliendelea kufurahia maisha yao ya mapenzi kwani kila siku upendo wao ulizidi kukua ingawa Ally alikua anapata majaribu kutoka kwa Nusrat..

Baby?

Naam!!

Nataka unioe.

Unataka nikuoe baby wangu?

Ndio tena nataka unioe sasa hivi..

Aah! usijali baby wangu,nitakuoa mara baada tu ya kumaliza masomo yetu. Nikikuoa sasa hivi hatutaweza kufurahia vizuri ndoa yetu kwani masomo yatakua yametubana sana..Ondoa hofu Recho wangu, mambo yatakapokua sawa nitakuoa tu mimi ni wako.


Wakati wanaendelea kuongea mara simu ya Ally

ikawa inaita,kuangalia alikua Nusrat..Ally

aliogopa sana kupokea kwani alihofia Nusrat anaweza akaongea maneno ya ajabu na mpenzi wake akayasikia..Simu iliita lakini hakuipokea hadi ikakata..

Mbona baby hupokei simu?

Aahh! achana nao wananisumbua tu hawana lolote jipya. Muda huu nipo na wewe mpenzi wangu sitaki mtu yoyote anikate stimu..aliongea maneno hayo huku akiizima simu bila Recho kujua..

Mmhh! ungepokea tu huwezi kujua labda itakua ana taarifa muhimu sana anataka kukupa..

Usijali baby, nitampigia baadae sasa hivi

tuendelee na story.

Recho alimuelewa mpenzi wake na wakaendelea na maongezi..

"Halafu baby mimi nna hamu sana na wewe..Yani tangu siku ile uliponichezea na kuniacha hivi hivi nyumbani kwenu nimekua sina raha kabisa. Nalihitaji joto lako mpenzi wangu..

Usijali mke wangu. Nilishakuambia mimi ni wako na nitakuwepo muda wowote utakaponihitaji hivyo kuhusu hilo shaka ondoa..

Recho alifurahi sana kusikia hivyo na wakapanga wakutane nyumba ya wageni siku ya Jumapili..

Mmhh!! lakini baby naogopa maana sijawahi kuingia guest hata mara moja..

Sasa haina jinsi baby wangu unafikiri

tutafanyaje ukizingatia nyumbani kwenu mama yako yupo na hata kwetu siku ya jumapili mzee haendi kazini..

Mmhh!! sawa ila nitapata wakati mgumu sana kwani itakua ndio mara yangu ya kwanza kuingia humo.

Usijali mpenzi wangu naamini utafurahi sana kwani utakua upo huru na hautakua na wasiwasi na mtu yoyote..

Kweli Recho alikubaliana na mpenzi wake na wakaendelea na maongezi mengine.


***** ***** *****


Ally alipofika nyumbani na kuiwasha simu

yake..Akakuta message mfulizo zikiingia na zote zilitoka kwa Nusrat..Akazisoma na kuona jinsi Nusrat alivyokua akilalamika..

"Hivi Ally utaendelea kunifanyia hivi mpaka lini? Ina maana kosa langu kubwa ni kukupenda kwa dhati? Naomba unionee huruma Ally mimi pia ni binadamu nina nyama, naumia.!!"

Alizisoma message zote na kuanza kuhisi

kumtesa sana Nusrat. Alijiuliza maswali mengi sana juu ya Nusrat na mustakabali mzima wa maisha yake.

"Hivi haiwezekani nikawa nao wote wawili? Nitaendelea kumtesa mtoto wa watu mpaka lini? Mbona kuna watu wanaoa hadi wake wanne na wote anaenda nao sawa tu? Lakini Recho akijua

itakuwaje.!! Si atanichukia sana mimi! mmhh!! hata sijui nifanye nini, nampenda sana Recho lakini pia Nusrat ananipenda sana na anaumia sana kwa ajili yangu sasa nitamuacha aendelee kuteseka mpaka lini.? Inabidi nifanye maamuzi ya kiume bila hivyo naweza nikaharibu kila kitu"

Alimpigia simu Nusrat ambaye hakupokea

mpaka inakata na alipojaribu kumpigia mara ya pili simu yake ilikua haipatikani..

Ally alijihisi mkosefu sana kwani Nusrat alikua anamfanyia fadhila nyingi sana pamoja na kumuonyesha upendo wa dhati..Akaamua kumtumia message ili amuombe msamaha kwa kitendo alichofanya cha kumzimia simu na

kumwambia kila kitu kilichotokea kuwa alikua pamoja na Recho..Alipomaliza aliamua kulala ili angalau apunguze mawazo..


***** ***** *****


Siku ya jumamosi usiku Ally alikua anaongea na Nusrat ambaye alimuomba kesho yake wakutane kwani ana mazungumzo muhimu sana anataka kuongea nae..

"Samahani sana Nusrat, kesho nina safari

muhimu sana inabidi niende labda tupange siku nyengine."

"Hivi kwanini Ally kila ninachokitaka mimi huwa unakikataa ila wewe mambo yako yote huwa siyapingi? Ni mara ngapi nimekatisha safari zangu za muhimu ili tu niweze kuonana na wewe.? Tafadhali naomba kesho tuonane angalau hata kwa nusu saa tu kuna maongezi muhimu

sana zaidi ya unavyofikiria nataka kuongea na wewe..

Mmhh!! sawa nitajitahidi nitafute muda hata jioni ili tuonane...

Nusrat akamuelewa na kufurahi sana..

"Najua jinsi ulivyo kwenye wakati mgumu ila wewe ni mwanaume inabidi uwe imara.

Ally alibaki kimya huku akimsikiliza Nusrat

maneno aliyokua anaongea..


Wakati bado wanaongea Ally alisikia simu mpya ikiingia na alipoangalia alikua ni Recho ndiye anayepiga..Alishindwa afanye nini na alibaki kimya akiitazama simu yake...



Aliitazama simu yake ikiendelea kuita hadi

ilipokata na akajua ni lazima Recho atahisi kitu kwani mara nyingi akimpigia hata kama akiwa anaongea na mtu basi ni lazima ampokelee simu yake..Alibaki kimya huku akiwa haelewi chochote anachoongeleshwa na Nusrat..

"Ally mbona kimya hivyo umepatwa na

nini?"

"Dah! samahani sana Nusrat kuna kitu

nilikua nawaza ndio maana nikajisahau kabisa."

"Mhh! kitu gani hiko hadi unajisahau kuwa

unaongea na mtu?"

"Usijali ni cha kawaida tu ila ni cha kifamilia zaidi!"

"Mhh! haya bwana."

Wakati wakiwa wanaendelea kuongea mara Ally akaona Recho anapiga tena..Alizidi kuchanganyikiwa kwani hapa aliamini kuwa ni lazima Recho ajue kuwa alikua anaongea na mwanamke kwani akiongea na rafiki zake huwa anampokelea simu..Alitamani amkatie simu Nusrat ili aongee na mpenzi wake lakini aliogopa sana kwani muda mfupi uliopita alikua ametoka kumuomba msamaha kwa kosa hilo hilo..Simu

iliita hadi ikakata na baada ya muda mfupi

akasikia message inaingia kisha akaifungua akakuta imeandikwa..

"Hivi kwanini Ally unanifanyia hivi? Unaongea na nani usiku wote huu hadi unashindwa kupokea simu yangu? Sawa bwana ila najua kosa langu ni kukupenda sana ndio maana unafanya mambo

yote haya"

Alimaliza kuisoma message yote na kuhisi

kuchanganyikiwa.Alibaki kama bubu kwani hata Nusrat akimuongelesha alikua hamjibu..

"Ally?...Ally? We Ally?"

"Mmhh! Eeeh..!!"

"Mbona umekua hivyo ghafla ujue unanitia

wasiwasi sana .Tafadhali naomba uniambie umepatwa na nini?"

"Samahani sana Nusrat, kwa muda huu sipo sawa kabisa naomba uniache nipumzike..Kesho tukikutana nitakwambia kila kitu."

"Mmhh! haya sawa ila nakuomba upunguze mawazo ili ulale vizuri, umenielewa?"

"Ndio nimekuelewa Nusrat na nashukuru sana."

Ally alimwambia hivyo Nusrat ili akate simu kisha ampigie Recho..Waliagana kisha haraka haraka akampigia simu Allan na kumpanga kuwa kama Recho atampigia basi amwambie kuwa muda wote alikua akiongea nae..

"Ila na wewe ndugu yangu umezidi

majanga yani kila siku hayaishi mapya."

"Weacha tu, mbona mwaka huu mtanizika

mzima mzima."

Waliongea kidogo kisha Ally akakata simu na kumpigia mpenzi wake..


Simu iliita kisha Recho akapokea..

"Hivi kwanini Ally leo umenifanyia hivi na muda wote huo ulikua unaongea na nani?"

Samahani sana mpenzi wangu..Nilikua naongea na Allan kwa kutumia earphone na simu niliiweka chini ya mto ndio maana wakati unapiga hata sikusikia kabisa."

Kwani hata ukivaa earphone ndo mtu mwengine akiwa anapiga haumsikii?"

"Sawa unaweza ukamsikia ila tulikua tunaongea mambo muhimu sana ndio maana akili yangu ikahama kabisa mahala hapa hivyo hata ulivyokua unapiga sikukusikia."

"Mmhh! Wewe!! haya bwana.."

"Niamini mke wangu, sina mwanamke yoyote wa kuongea nae usiku huu wala mchana kwa muda wote ule isipokua ni wewe tu."

Ilibidi amdanganye Recho ili angalau apate kumuelewa..Kweli Recho akamuelewa na kuanza kuzungumza mambo mengine..

"Sasa mume wangu kesho si ndio ahadi yetu ya kukutana ili ukanipe raha?"

"Ndio mke wangu nakumbuka vizuri tu wala usiwe na wasiwasi."

"Kwahiyo tunakutana wapi?"

"Guest house ila inabidi twende maeneo ya mbali kidogo kama Kinondoni hivi au Mwenge."

"Sawa nimekuelewa mume wangu. Hiyo kesho ndio tutapanga vizuri jinsi itakavyokua."

"Sawa mpenzi wangu nimekuelewa..Acha mimi nipumzike mapema ili nipate nguvu za kuja kukupa raha vizuri hapo kesho."

Waliongea mambo mengi sana ya kutiana

mshawasha huku Recho ndo akiwa kwenye hali mbaya zaidi kwani hisia zake za mapenzi zilikua karibu sana.


***** ***** *****


Kesho yake asubuhi Ally aliamka huku kichwani akiwa na mawazo sana..Alikua hajui ajigawanye vipi kwani siku hiyo alikua na ahadi ya kukutana na Nusrat pamoja na mpenzi wake Recho. Alifanya kazi zake zote na alipomaliza akapata

wazo la kumpigia simu Nusrat ili amuambie kuwa wakutane mida ya saa sita kwani kuanzia saa nane atakua busy kuna sehemu anaenda na baba yake...

Kweli baada ya kumwambia hivyo Nusrat akamuelewa kisha haraka haraka akaanza kujiandaa ili awahi kufika mahali walipokubaliana kukutana ili awahi

kurudi akaonane na mpenzi wake Recho.

Ilipofika saa 5 akawasha gari lake na kuondoka..Njia nzima alikua anawaza Nusrat alikua ana maongezi gani ya muhimu hadi akamuomba wakutane bila kukosa..Akapata wazo la kumpigia simu mpenzi wake ili itakapofika mida ya saa 7 na nusu atoke nyumbani na kuja hadi

maeneo ya magomeni ambapo atakua

anamsubiri..Aliongea nae wakaelewana na baada ya hapo akakanyaga zaidi mafuta ili akamuwahi Nusrat..Baada ya nusu saa akafika hotel ya Blue Pearl maarufu kama Ubungo Plaza maeneo ya Ubungo ambapo ndio walipanga kukutana na Nusrat..Akapaki gari na kuingia hadi ndani na kukaa sehemu moja tulivu na iliyojificha..

"Mmhh! huyu mtoto kweli wakishua yani sehemu anazotaka tukutane kila siku ni za gharama tu..Vinywaji tu bei ndio hii je ukiagiza chakula itakuwaje?"

Ally aliongea mwenyewe huku akitabasamu alipofikiria gharama za pale

hotelini kwani aliona ni matumizi mabaya ya hela..


Hakukaa sana kwani baada ya robo saa kama walivyokubaliana Nusrat alifika huku safari hii akiwa tofauti kidogo kwani mara nyingi hata chuo alishazoea kumuona na mabaibui ya kila aina ila leo alivaa gauni moja refu lililombana vizuri mwili wake na kuyafanya maziwa yake madogo wastani yajichore vizuri kifuani kwake..Kiunoni alikua na hips zilizojazia haswa huku makalio yake ya wastani yakiupendezesha

mgongo wake..Kichwani kama kawaida

hakuacha kujizungushia mtandio na kumfanya azidi kuonekana mrembo sana..

"Samahani nimekuweka sana eeh!"

Alikua ni Nusrat akimwambia Ally baada ya kusalimiana.

"Hapana wala hujaniweka sana, hata mimi nimefika muda sio mrefu..

"Vipi mbona hujaagiza chakula wakati ni muda wa lunch huu.?"

Aliongea huku akimuita muhudumu ili awaletee chakula. Ally hakuwa na usemi kwani yeye aliogopa kuchukua chakula kwa kuhofia gharama inaweza ikawa kubwa sana na yeye hakua na pesa ya kutosha kwani hela yake alipanga akatumie na mpenzi wake Recho pamoja na kutia gari mafuta..

Alishangaa pale Nusrat alipoagiza chakula cha bei mbaya sana hivyo na yeye ilibidi aagize chakula hiko hiko ili waende sawa..

"Utaratibu wa hapa mteja analipa kwanza ndio anahudumiwa."

Ilikua ni sauti ya muhudumu waliyemuagiza chakula..

Ok usijali dada kwa hiyo jumla inakua

shilingi ngapi pamoja na vinywaji vyote?"

"Elfu hamsini na mbili."

Kweli Nusrat akafungua pochi yake na

kumkabidhi muhudumu hiyo hela na baada ya muda mfupi waliletewa vyakula vyao na kuanza kula.


Wakati wanaendelea kula walikua wanaongea mambo mengi sana hususani maisha ya pale chuoni kwao. Walipomaliza muhudumu alikuja na

kuondoa vyombo kisha Nusrat akaagiza vinywaji vyengine ili washushie chakula.

"Thank you a lot Nusrat for your treatment." (Asante sana Nusrat kwa huduma yako)

"No, it's okay, don't mention." (Hapana usijali, usizungumzie bwana)

Ally alitabasamu na kukaa kimya kidogo kisha akamwambia.

"Eenhe! Nakusikiliza Nusrat maana kama

nilivyokuambia sina muda mwingi wa kukaa hapa."

"Kwanza kabisa nashukuru sana kwa kuitikia wito wangu, hiyo inaonyesha ni jinsi gani unanijali."

Kweli Nusrat nakujali sana ndio maana nipo hapa.."

"Nashukuru..kitu cha muhimu sana kilichofanya nikuite hapa ni kuhusu mustakabali wetu mimi na wewe."

"Mhh! una maana gani unavyosema hivyo?

Namaanisha tangu kipindi kile nilipokuambia kuwa nakupenda umeniweka katika fungu gani maana nakua kama sielewi muda mwengine

unaonyesha kunijali, mara muda mwengine unabadilika Mimi nakua sielewi kabisa."

"Kama nilivyokuambia hapo awali mimi tayari nina mpenzi wangu na tunapendana sana hivyo sidhani kama naweza kukupa nafasi tena na wewe."

"Sawa uliniambia yote hayo.Ila leo nipo tofauti kidogo na kipindi kile ulivyoniambia.

"Tofauti kivipi?"

"Leo sikubaliani na huo ukweli unaoniambia siku zote kuwa upo na Recho.. Kumbuka mimi ni binadamu Ally nina nyama naumia sana. Hivi jaribu kufikiria hayo maneno ungeambiwa wewe

ungejisikiaje.. Nimechoka kulia kila siku kwa ajili yako..Leo naomba unipe kauli ya mwisho,je utakua na mimi au hauwi na mimi?"


Nusrat aliongea maneno hayo huku akiwa yupo serious sana hadi Ally akaanza kumuogopa. Ally alibaki kimya asijue hata ajibu nini..

"Naongea na wewe Ally utakua na mimi au hauwi na mimi? Ila nahisi hilo swali sio zuri kwa sababu sitaki jibu la hapana. Ninachotaka kutoka kwako ni jibu la ndio na tuanze ukurasa wa mapenzi kati yangu mimi na wewe..Nimechoka kuumia

kila siku na kulia kwa ajili yako wewe ambaye huonyeshi kujali kabisa..Leo nimeamua kuyamaliza haya machozi na natumaini utakua wangu..Tafadhali Ally naomba uniambie nakupenda."

Kwa muda wote huo Ally alijihisi kama yupo ndotoni au anacheza movie ya mapenzi na yeye akiwa ndio muhusika mkuu kwani hakutegemea kabisa maneno yale kutoka kwa Nusrat..Alibaki kimya akiwa hajui hata ajibu nini..

"Ally si naongea na wewe jamani ina maana hunisikii au? Hivi kwanini lakini unanifanyia hivi mimi Nimekukosea nini haswa kisichosameheka. Naomba uniambie leo ili nikuombe msamaha hapa hapa yaishe."

"Hapana Nusrat sio kama umenikosea au

nakuchukia ila unanipa wakati mgumu sana pengine kuliko wakati wowote niliowahi kupitia katika maisha yangu.. Nashindwa hata niamue nini ili nisimuumize mtu yeyote. Hata mimi sitaki mtu yoyote aumie katika hili."

"Nipo tayari kushea mapenzi na Recho ila kila mmoja uwe unampa nafasi sawa na

mwenzake..Najua kama mnapendana sana hivyo kuwatenganisha itakua sio vizuri hata Mungu atanichukia..naomba nafasi yangu ndani ya moyo wako nakuahidi nitakupenda kwa wakati wote wa maisha yangu."

Ally alimuona Nusrat msichana wa ajabu sana kuongea maneno kama yale na alibaki akimuangalia tu machoni...

"Kama ameamua hivi acha nimpe nafasi ili

nisiendelee kumuumiza maana anaonyesha ananipenda sana na kunijali"

Alijikuta akijisemea mwenyewe moyoni kisha akamwambia..

"Sasa Nusrat nimefikiria kitu kimoja,,nakukubalia ombi lako lakini kwa sharti moja tu ambalo naomba uniahidi kama utalitekeleza."

"Oh! my God i can't believe." (Oh! Mungu wangu sitaki kuamini) Sharti lolote lile nipo tayari kulitekeleza ilimradi tu uwe wangu. Naomba uniambie ni sharti gani hilo?"

"Naomba mapenzi yetu mimi na wewe yawe ya siri..Siri ambayo itakua ni kati ya mimi na wewe tu basi..Sitaki mtu yoyote mwengine ajue,umenielewa?"

"Kwa hilo tu usiwe na hofu nimekuelewa Ally. Nakupenda sana zaidi ya unavyonifikiria na kadri muda utakavyozidi kwenda naamini hata wewe utazidi kunipenda kwa mambo mazuri nitakayokufanyia."

"Sawa Nusrat na nashukuru sana kwa

kunielewa.

"Ally.?

"Naam!

"Naomba unikiss mpenzi wangu."

Ally alisogea karibu na Nusrat na kumkiss

shavuni..

"No, sio hapo, nataka unikiss mdomoni."

Ally alikubali na kumkiss Nusrat mdomoni ili tu amridhishe..

"Nashukuru sana mpenzi wangu..Siku ya leo nimefurahi sana kuliko siku zote za maisha yangu..Mwanaume ninayempenda leo amekua wangu..Asante sana mungu."

Ally alibaki akimtazama Nusrat ambaye alikua ni kivutio kikubwa sana cha macho yake maeneo yale..Akajihisi kuanza kumpenda lakini hakuziamini hisia zake kwani mwanamke aliyekua kwenye akili yake ni Recho tu yani hata umtoe kwenye usingizi mzito hawezi kulisahau jina lake.


Waliongea mambo mengi sana kuhusu penzi lao jipya na kuendelea kupata vinywaji... Ilipofika saa 7 na nusu Ally alimuomba Nusrat aondoke kwani muda wa kukutana na baba yake ulikua umeshafika..

"Mhh! jamani baby yani kukaa kidogo tu unataka uondoke.!!"

"Samahani sana Nusrat ila sina jinsi. Baba

ananisubiri muda huu hivyo inabidi niende

haraka..Tutapanga siku nyengine tukutane ili tufurahi vizuri kuanzia asubuhi mpaka jioni."

"Sawa mpenzi wangu nimekuelewa, kwa hayo uliyoniambia sina jinsi na siwezi nikakuzuia. Nenda umuwahi baba maana ndio inaelekea saa 8 hii..

"Nashukuru sana mpenzi wangu kwa

kunielewa..

Nusrat alikua hajui kabisa kuwa muda

huo Ally anaenda kukutana na

Recho, wakaagana kisha Ally akaondoka na kumuacha Nusrat pale pale hotelini akiendelea kupata vinywaji.


***** ***** *****


Recho alitoka nyumbani kwao Tabata Bima mida ya saa 7 na robo huku akiwa amempania sana Ally kumuonyesha mautundu kwani siku ya kwanza wakati anatolewa bikra na Ally alikua hajui lolote kuhusu kufanya mapenzi ila alikusikia tu..Alivaa skin jeans nyeupe na body

ya pink kisha chini akavaa simple za nyeupe zilizochanganyikana na pink kwa mbali..Hakika Recho alipendeza sana japo alivaa kawaida tu..Wavulana wakware njiani hawakuacha kumuita kila alipokatiza lakini hakugeuza hata

shingo..

Alipanda daladala inayoelekea Ubungo na

alipofika alipanda nyengine inayoelekea

magomeni..Njiani alikua akichat na mpenzi wake ambaye alimuambie ameshafika muda mrefu na

anamsubiria.. Alivyofika magomeni usalama akashuka na kumuuliza mpenzi wake yupo kwa wapi..Akaelekezwa na wakakutana.Bila kujali wingi wa watu pale pale njiani Recho alimkumbatia mpenzi wake na kummiminia mabusu kama mvua..


Wakaingia ndani ya gari kisha wakaanza safari ya kutafuta guest house. Walizunguka maeneo ya Kinondoni

mkwajuni lakini hawakupata guest nzuri na wakaendelea mbele hadi maeneo ya Kinondoni B..Wakaingia ndani ndani na wakaiona guest moja nzuri ambayo ilikua na self contained rooms...Wakaridhika nayo na kuingiza gari ndani ya geti kisha wakashuka..Walielekea mapokezi kuulizia chumba na walipoambiwa bado vipo vingi Ally akalipa gharama zote za pale kisha wakakabidhiwa funguo.


Wakawa wanatembea taratibu wakiwa

wameshikana viuno huku Recho akimlalia

begani mpenzi wake..Walitembea hadi karibu na mwisho wakaona mlango umeandikwa namba 117 ambacho ndio kilikua chumba chao.Ally akafungua

mlango wakaingia ndani kisha akaufunga na funguo.Walitazama kwa macho yaliyojaa mahaba kisha wote wakaanza kucheka......



Walikua ni kama hawaamini yale mazingira waliyokuwepo ya kubaki wawali tu huku wakijua kabisa kuwa hakuna mtu yeyote atakayewasumbua au kujua pale walipo..Recho alionekana kuwa na aibu kwani ndio ilikua mara yake ya kwanza kuingia guest lakini Ally aliona kawaida kwani alishawahi kuingia mara kadhaa

huko nyuma na girlfriend wake wa

zamani..Recho alienda kujitupa kwenye sofa dogo lililokua pembeni huku akimtazama mpenzi wake..Ally aliona itakua vizuri kama atazima simu ili kuepuka usumbufu kutoka kwa mtu yeyote haswa Nusrat..Akavua na tisheti

yake aliyovaa na kubaki na vest..Mda wote huo Recho alikua amejilaza kwenye sofa akimtazama mpenzi wake mambo yote anayoyafanya. Alimuangalia Ally kwa macho yaliyojaa mahaba na matamanio hivyo alijikuta taratibu hisia zikianza kumuamka na kuanza kuwa kama hatulii pale kwenye sofa..Ally alimfata mpenzi

wake pale kwenye sofa na kumuinua kisha

taratibu wakaanza kubadilishana mate..

Mikono ya Recho ilikua inakichezea kifua cha mazoezi cha Ally huku wakiwa wanaendelea kunyonyana mate.Akaanza kuushusha mkono wake taratibu kuelekea chini na alipofika kwenye dunguso akaishika na kuanza kuisugua sugua ikiwa ndani ya jeans..Ally alijisikia raha sana kwa kitendo kile na kuzidi kumnyonya mate mpenzi wake..

"Baby twende nikakuogeshe."

Ilikua ni sauti laini ya Recho akimwambia mpenzi wake. Ally alikubali na taratibu wakaanza kuvuana nguo..Ally alisisimka sana pale alipoyaona matiti mazuri ya Recho yakiwa yamechongoka kama ndizi mshale inapotolewa mdizini..Alitaka

aanze kuyanyonya ila Recho akamkataza na kumwambia mambo mazuri hayataki haraka.. Recho nae alimvua nguo zote Ally na wote wakabaki kama walivyozaliwa.


Hakika Recho alisisimka sana alipoiona dunguso ya mpenzi wake ikiwa imesimama imara kisha akaishika na

kuanza kama anamvuta wakaelekea

chooni..Walivyofika Ally alionekana kuwa na haraka ya kutaka kuanza kumchezea Recho ila Recho hakumruhusu na kumwambia asiwe na pupa kama mfungwa aliyepewa nyama ya kuku. Ilibidi Ally awe mpole na kumuacha mpenzi wake aongoze mechi nzima akiwa yeye ndo referee na mshika kibendera. Alikalishwa kwenye sinki la kujisaidia la kukaa na akawa anamtazama mrembo wake jinsi mwili wake unavyovutia.. Recho alilichomoa juu bomba linalotolea maji ya kuogea na kuweka maji ya uvuguvugu ili yazidi kuamsha hisia zao..Akawasha kisha akaanza kummwagia mpenzi wake ambaye alikua amekaa kimya pale

juu ya sinki..Alipomaliza akachukua sabuni na kuanza kumpaka kuanzia shingoni kushuka chini na alipohakikisha sabuni imemkolea mwili mzima akaanza kumsugua ili itoe povu..Alipofika

kifuani akaanza kumsugua kwa ufundi huku akizivuta chuchu za Ally na kumfanya asisimke sana..Alimuinua pale kwenye sinki na kumsimamisha kisha akaendelea kumchezea kifuani kwa kumsugua taratibu.. Alipomaliza akaanza kushuka chini na kumsugua tumboni pamoja na mgongoni huku sasa akimwambia maneno matamu ya mapenzi. Ally hakujibu kitu kwani akili yake ilihama kabisa kwa yale mambo aliyokua anafanyiwa na Recho. Alipomaliza kumsugua mgongo akashuka chini hadi kwenye dunguso na kuanza

kuisugua taratibu. Hapa sasa sauti ya Ally

ikaanza kusikika kwa mbali akilalamika. Recho akachukua sabuni na kuipaka nyingi sana kisha akaanza kumsugua taratibu.Alikua ni kama anampigisha punyeto huku mkono wake mmoja

ukikichezea kifua cha Ally.Aliendelea na mchezo ule huku povu jingi likitoka na kuifunika dunguso..Kadri Recho alivyoendelea na mchezo ule ndivyo Ally alipozidi kupagawa na kumfanya atoe miguno kwa sauti ya juu kidogo..Aliendelea na mchezo ule hadi alipomuona Ally anabadilika machoni na kuhisi kuwa anakaribia kuvunja

dafu..Akamuacha kisha akaanza kummwagia maji na kumsuuza mapovu yote..Alimuosha vizuri na kumuondoa mapovu yote kisha akapiga magoti mulemule chooni ambapo palikua ni pasafi sana..Akaishika maiki ya Ally na kuipeleka mdomoni kwake na kuanza kutuma salamu kwa rafiki zake..Alianza

kwa mwendo wa taratibu huku Ally akizidi

kulalamika kwa raha..Aliitoa maiki mdomoni na kuanza kuisugua sugua kama anaipigisha tena punyeto kisha akaiingiza tena mdomoni..Safari hii akawa anatuma salamu haraka haraka ili awahi kumaliza kwani majina yalikua ni mengi

sana..Alizidi kuinyonya huku akiamia kwenye kichwa cha maiki na kuanza kukisugua na ulimi wake..Aliuzungusha vizuri ulimi wake na kuichezea vizuri sehemu ya chini ya maiki ya Ally ambayo ndiyo ina msisimko mkubwa sana

kwa wanaume..Ally alijikuta machozi yakianza kumtoka kwani tangu azaliwe hakuwahi kupewa raha kama zile..Alijihisi miguu inaisha nguvu kutokana na msisimko alioupata na kuanza

kuunguruma kwa sauti iliyochanganyikana na utamu. Recho alizidisha ufundi wake kwa kukinyonya vizuri kichwa cha maiki na kumtazama mpenzi wake ambaye alimuona machozi yakimtiririka bila kulia kama mtu anayeungua na uji wa moto. Aliendelea na mchezo ule wa kumnyonya

hadi uzalendo ukamshinda Ally na kujikuta

akipasua dafu na kummwagia Recho maji mengi mdomoni..


Alitetemeka sana mwili na kuhisi kuanguka ila akajishikilia kwenye bomba lililokua ukutani.. Recho aliyapokea maji yote ya dafu mdomoni mwake huku mengine yakimmwagikia mashavuni. Kuna baadhi ya watu wanasema

mapenzi ni uchafu kwa vitendo kama hivi ila huwa wanakosa mambo mengi sana. Mapenzi ni uchafu kama wapenzi watakutana kwenye mazingira machafu au mmojawapo hajajiandaa na usafi wa mwili ila kama wote mkiwa wasafi basi kila kitu kinakuwa kisafi na mtakifurahia..

Recho aliinuka pale chini na kwenda kuyatema yale maji ya madafu kwenye sinki la choo. Ally hakuamini kama Recho wake angefanya mambo yote yale na alibaki akimshangaa..

Recho alinawa uso na kusukutua mdomo kisha akaendelea kumuogesha mpenzi

wake..Alipomaliza akataka amfute maji ila Ally akamkataza na kumwambia kuwa na yeye anataka amuogeshe..

"Mhh! sawa mpenzi wangu njoo na mimi

unikumbushe enzi za utoto.."

Ally alicheka kisha akamuuliza.

"Hivi mpenzi umejifunzia wapi mambo yote haya hadi mwenzako unanitoa machozi?"

Recho alicheka sana kisha akamwambia.

"Usitake kujua nimejifunzia wapi ila kaa ukijua nimejifunza yote haya kwa ajili yako."


Ally alitabasamu kisha na yeye akaanza

kumuogesha mpenzi wake..Alimmwagia maji mwili mzima kisha akaanza kumpaka sabuni kuanzia shingoni kushuka chini. Alipomaliza akaanza kumsugua kuanzia shingoni kisha akashuka taratibu hadi kwenye maziwa laini ya Recho na kuanza kuyasugua huku muda mwengine akiwa kama anayachua..Mashetani ya Recho yalianza kuamka upya na kujikuta

akilalamika kwa raha anazopewa na mpenzi wake..Ally alizidi kuyachua maziwa ya Recho kwa ufundi mkubwa huku akiwa anazivuta chuchu zake..

Aaassssss.. aaaaahhh...mmmmm!!Aaah..aaaaa..mmmmm..aaaaaah!!

Recho aliugulia kwa sauti nzuri na kumfanya Ally aanze kuhisi dunguso yake inaanza kusimama tena..

Alishuka mpaka chini kwa mwendo wa taratibu na kuifikia naniliu nzuri ya Recho..Akachukua sabuni na kuipaka nyingi mkononi mwake kisha akaanza kumsugua taratibu..kadri alivyozidi kumsugua k*s*m* na naniliu yake ndivyo Recho alivyozidi kupiga kelele. Aliendelea kumsugua kwa speed kidogo na kumfanya Recho awe anajinyonga nyonga na kukatika viuno kwa raha..Aliendelea kumsugua huku akimla denda na kumfanye Recho akose nguvu kabisa na

kumuigamia yeye.. Alimzungusha mkono mmoja kiunoni na kuendelea kumsugua haraka haraka..


Mashetani ya Recho yalizidi kupanda na kujikuta akiimba nyimbo ambazo Ally hakuzielewa ni za kabila gani..

Alimuingiza kidole cha kati na kuanza

kumpekecha pekecha naniliu yake nje ndani kwa mwendo ule ule wa speed na kumfanya Recho azidi kulalamika huku akizidi kumlalia kwa kukosa nguvu...

Aliendelea na mchezo ule huku akiwa

anamnyonya tena mate na akaanza kumuona Recho akitoa machozi huku macho akiwa ameyafumba..Alihisi naniliu ya Recho ikianza kubana na aliendelea na mchezo ule kwa ufundi mkubwa na baada ya muda mfupi akamuona Recho akivunja dafu na kuanguka mpaka chini kwa kukosa nguvu..Mwili wa Recho ulikua unatetemeka kuliko kawaida huku Ally akiwa amemshikilia ili asianguke vibaya akaumia. Baada ya hapo akamuinua na kuanza kumuosha vizuri naniliu yake. Alipomaliza akampaka tena sabuni na kuanza kumuogesha vizuri hadi alipohakikisha amekua msafi kabisa ndio

akaanza kujisafisha na yeye kisha walipomaliza wakatoka mule chooni..


Walirudi chumbani na kuanza kujifuta maji kisha wakapanda kitandani ili waanze rasmi shughuli iliyowapeleka..Ally akamsogelea Recho na kuanza kubadilishana nae mate huku akihisi joto

kali kwenye mwili wa Recho.Wakati

wanaendelea kula denda Recho alisikia simu yake inaita..Akamuachia Ally na kuifata ila alipofika na kuiangalia alishtuka sana kwani mama yake ndio alikua anampigia........



Recho aliiangalia simu yake kwa woga na kuhisi labda mama yake alimuona wakati anaingia mule guest..

"Vipi mbona hupokei simu kwani nani huyo anayepiga?

"Mama!

Pokea umsikilize anasemaje kabla haijakata..

Mmhh! naogopa Ally nahisi mama atakua

ameniona wakati naingia humu..

"Hakuna kitu kama hiko mpenzi wangu, yani kwa maeneo kama haya sio rahisi kwa mtu yoyote awe ametuona. Pokea simu kabla haijakata umsikilize mama..

Kweli Recho akamuelewa mpenzi wake na kupokea simu..

Hello mama..

Eeh vipi mwanangu?

Salama tu mama, za muda?

Nzuri. Bado upo huko kwa kina Najma?

Ndio mama bado nipo huku.

Kwahiyo nyumbani utarudi saa ngapi?

Nafikiri mpaka kwenye saa mbili hivi nitakua nisharudi.

Haya sawa nilikua nataka nikwambia kuwa kaka yako amekuletea ile laptop uliyomuagiza akununulie..

Kweli mama?

Ndio tena yupo hapa bado hajaondoka.

Jamani nashukuru sana. Mwambie baadae nitampigia simu ili nimshukuru..

Sawa usichelewe kurudi basi si unajua siku hizi wahuni wengi huku?

Ndio mama najua na nakuahidi sitachelewa. Mpaka muda huo niliokwambia nitakua tayari nisharudi..

Sawa mwanangu kuwa mwangalifu.

Thank you mom, I love you.(Asante mama nakupenda)

I love you too my daughter.(nakupenda pia mwanangu)

Walimaliza kuongea kisha Recho alikata simu na kumuangalia mpenzi wake na kuanza kucheka..Ally alibaki anatabasamu huku akiwa amekaa kitandani.

Kumbe unajua kudanganya eeh?

Mwenzangu saa nyengine inabidi nijifunze

uongo tu ili mambo yangu yaende sawa..Hivi Ally unajua kuwa mama anajua mimi bado ni bikra?

Mhh! Kweli?

Eeehh!

Daah! Kwahiyo siku akija kujua unadhani

itakuaje?

Haina jinsi itabidi nimuambie ukweli wote. Zamani alikua na tabia ya kunichunguza

kila baada ya miezi miwili kama bado bikra yangu ipo lakini tangu nilipofikisha miaka 18 ameacha kabisa ila anajua bado ninayo..

Mmhh! Ila kama ameacha kukuchunguza basi hawezi kujua kirahisi kiasi hicho labda kama kuna mtu atampa maneno kuwa una boyfriend..

"Ila hata kama akijua sidhani kama litakua tatizo kubwa sana kama ilivyokua zamani kwani sasa hivi nimeshakua na naelewa kila kitu ninachokifanya na hata yeye analijua hilo ndio maana ananiamini sana..

Sawa mpenzi wangu,ila ninachokuomba

usionyeshe mabadiliko yoyote yale kwa mama kama kumdharau au mabadiliko yako wewe binafsi ya kitabia..Endelea kuwa hivyo na umuheshimu sana. Umenielewa baby?

Sawa nimekuelewa mpenzi wangu..


Walikua wanaongea yote hayo huku wakiwa kama walivyozaliwa na Recho akamsogelea mpenzi wake kisha akaanza kumshika shika dunguso yake huku akitabasamu. Walianza tena kunyonyana mate huku Recho akiendelea kuichezea dunguso ya Ally. Waliachiana kisha Recho akainama na kupiga magoti kisha akaanza tena kutuma salamu..Aliingiza maiki mdomoni na kutuma

salama kwa ufundi sana. Ally alikaa akimtazama Recho kwa mautundu

aliyokua anamuonyeshea siku hiyo na kubaki na mshangao mkubwa kwani alitegemea mechi nzima angeitawala yeye kama siku ya kwanza wakati anamtoa bikra.. Recho alizidisha ufundi na speed ya kutuma salamu na kuifanya maiki ya Ally isimame balaa na kusikia utamu sana..

Aaah..!! baby niache kidogo nisije nikakuvunjia dafu kama mwanzo.

Ilikua ni sauti ya Ally ikiongea kwa shida na kukoroma kutokana na raha alizokua anapewa na mpenzi wake. Recho hakumjibu chochote na kuendelea

kumnyonya dunguso yake kwa ufundi hali

iliyopelekea Ally azidi kulalamika kwa utamu.. Recho aliendelea na kuinyonya maiki ya Ally hadi pale alipoona imesimama vizuri ndipo akamuachia..Akaanza kumnyonya shingoni taratibu na ulimi wake kisha akahamia sikioni. Aliuingiza ulimi wake taratibu na kuanza kuuzungusha hali iliyopelekea Ally kusisimka kama kapigwa na shoti ya umeme. Aliendelea kumnyonya kisha akahamia kifuani

na kuutelezesha ulimi wake taratibu kama chatu anayetaka kumeza windo lake. Alikinyonya kifua cha Ally kisha akahamia kwenye chuchu ambapo alimsikia Ally akisaga meno yake kama anatafuna karanga..Alizinyonya chuchu kwa

ufundi mkubwa huku mkono mmoja ukiichezea maiki ili isisinzie..

Alipomaliza akajilaza kitandani na kumuachia mpenzi wake aanze kufanya vitu vyake.. Ally akaanza kwa kumnyonya Recho shingoni taratibu kisha akahamia kwenye maziwa. Hakuna kitu alichokipenda kwenye mwili wa Recho kama maziwa yake kwani yalisimama vizuri na kuchongoka kwa mbele huku yakiwa na joto kali..Alianza kuyanyonya kwa ustadi mkubwa huku pia akiyatumia meno yake kuzivuta chuchu..Recho alibaki kwenye hali mbaya kwani alikua anajichezea naniliu yake na vidole huku

akinung'unika kwa utamu aliokua anapewa..Ally aliyanyonya sana maziwa ya Recho hadi aliporidhika akashuka chini taratibu na kukinyonya kitovu cha Recho kilichoingia ndani kama mfereji wa suez..Aliingiza ulimi wake na kufanya kama anatafuta kitu..Recho alijisikia

raha sana na kuwa kama anataka

kucheka.. Akashuka chini hadi kwenye naniliu ambayo ilikua imeanza kutoa maji maji (Vaginal Fluid) kutokana na kusisimka sana..Alianza kuishika shika taratibu na kuisugua kisha akaupeleka ulimi wake na kuzama uvinza. Alikinyonya k*s*m* cha Recho huku kidole chake kimoja cha kati akikiingiza kwenye naniliu na kuanza kukipeleka nje ndani.


Alimnyonya sana huku Recho akitoa sauti

za vilio vya raha huku mikono yake akiwa

kayashika maziwa yake na kuyabinya binya huku macho kayafumba..Ally aliendelea kumpa raha mpenzi wake kwa michezo ile hadi akahisi Recho anakaribia kuvunja dafu lake na kuendelea kumnyonya naniliu yake kwa kasi..Kweli baada ya muda mfupi Recho alivunja

dafu na kuyafanya matokeo kuwa mbili kwa moja Ally akiwa anaongoza..

Aliinuka na kumwinua Recho kisha akamuweka style ya mbuzi kagoma na kuanza kuipaka mate dunguso yake ambayo ilikua imesimama balaa. Akaishika vizuri na kuipeleka kwenye

naniliu ya Recho iliyokua inabana kama ya

mtoto mdogo..Wakati anataka kuichomeka Recho akaidaka na mkono wake kisha akaanza kuisugua sugua pale juu ya naniliu yake na kumfanya Ally ajisikie raha sana..Aliendelea na mchezo huo kama dakika mbili huku akifika

kwenye pango lake la amboni anafanya kama anaichomeka halafu anaendelea kuisugua..Ally alipata wakati mgumu sana na kuona anaonewa kwani alikua anahisi kama kapiga chenga uwanja mzima hadi golikipa ila alipofika golini anataka kufunga refa anapiga filimbi ya offside..

"Tafadhali Recho usinifanyie hivyo,nipe kidogo unitoe kihoro..utaniua mwenzako kwa kihoro."

Ally aliongea maneno hayo kwa

kulalamika lakini Recho hakumsikiliza..

Akaendelea na mchezo ule na kila akifika

kwenye pango la amboni Ally alikua anafanya kama anaikandamiza mashine yake ili izame lakini Recho hakuiruhusu. Aliendelea kumpa mateso Ally hadi ukafika muda akamuonea huruma na kuizamisha taratibu..

"Aaah,,aa,,aaaaaah..aaaassshhh!!"

Ilikua ni sauti laini ya Recho akiugulia wakati mashine inaingia kwenye naniliu yake.. Ally alianza kwa mwendo wa pasi fupi fupi huku akiwa kamshika Recho kiunoni..Recho akaanza kulia kwa utamu kwa sauti ya chini kabisa huku Ally akiendelea na mpira wake wa pasi fupi

fupi..Kadri muda ulivyozidi kwenda ndio speed ya Ally ikaanza kuongezeka na kumsugua haraka haraka hadi Recho akaanza kuzidisha sauti na kulia kwa sauti kubwa hata mtu akipita nje dirishani anamsikia..Ally hakujali, aliendelea

kumpelekea moto kwa speed kubwa hadi

akamuona Recho anaishiwa nguvu na

kushindwa kukaa ile mbuzi kagoma na taratibu akanza kujilaza kitandani kifudifudi..Ally alimuweka vizuri na kumfanya naniliu yake ibane zaidi na kuendelea kumpelekea moto huku Recho akiwa anatoa sauti za vilio vya

utamu.. Alimsugua vilivyo hadi Recho akaanza kuhisi naniliu yake inawaka moto huku utamu nao ukizidi kuongezeka.


Ally alimlalia Recho mgongoni huku akiwa

anaendelea kumpelekea moto kisha akamgeuza na kumuweka upande huku mguu mmoja wa Recho akiuinua juu na kuichomeka tena mashine yake..Akaanza tena kuipeleka taratibu huku Recho akihisi vitu kama wadudu vikikimbizana ndani ya mwili wake kwa kasi..Kuna muda Recho alikua anamsukuma Ally achomoe dunguso yake ili apumzike lakini Ally

hakuelewa kitu na kuendelea na kumpa vitu huku Recho akijipaka mate kila mda kwenye naniliu yake ili kuipoza..

Baada ya muda mfupi Ally akafanikiwa

kumfikisha Recho Kigoma mwisho wa reli huku na yeye utamu ukizidi kumkolea na kutoa sauti ya kukoroma iliyochanganyika na raha.. Baada ya dakika mbili na yeye akavunja dafu na maji yote akayamwaga mapajani mwa Recho huku mengine yakidondoka kwenye shuka..Siku zote hakutaka kusikia neno kumpa mtu mimba kwa kipindi kile akiwa chuo kwani

alijiona hayupo tayari kwa majukumu mazima ya kuitwa baba..


Walipomaliza na kila mtu alijitupa upande wake akiwa hoi huku Recho akiisikilizia naniliu yake iliyokua kama inawaka moto..Walipeana pole pamoja na kupongezeana huku kila mmoja akimsifia mwenzake kwa raha alizompa. Ally alishangazwa sana na jinsi Recho alivyokua fundi kwani siku ya kwanza alikua hajui kitu kabisa. Baada ya muda walirudia tena raundi nyengine mbili ambapo walipozimaliza ziliwachosha sana na kubaki wamejilaza kitandani.


Walikaa kimya hadi wote wakapitiwa na usingizi mzito uliowafanya waje kukurupuka saa 12 jioni huku wakijihisi kuchoka sana..

"Baby amka tukaoge muda umeenda sana.

Ally alimuamsha Recho ambaye bado alikua na usingizi.

"Mmhhh baby nimechoka."

Jitahidi bwana uamke ili uwahi kufika nyumbani si unakumbuka mama alivyokuambia?

"Sawa nimekuelewa honey ila naomba unipe kimoja cha mwisho ili kiu yangu ikate kabisa..

Kweli Ally hakumkatalia mpenzi wake na

taratibu kuchezeana huku Ally akiisugua naniliu ya Recho kwa kutumia kidole

chake hadi ashki zikampanda upya kisha

akajilaza na Recho akamkalia juu yake na

kuanza kumkatikia mauno..Recho alianza

taratibu kama mtu anayejifunza kukuna nazi kisha akawa anaongeza speed taratibu..Aliendelea kukata mauno huku Ally akitoa miguno ya taratibu kwani alihisi kama dunguso yake inapigwa msasa na naniliu ya Recho inayobana kama mtoto wa miaka tisa kwa sababu hii ndio ilikua mara yake ya pili kufanya mapenzi. Aliendeleza ufundi wake wa hali ya juu wa kukata mauno huku Ally akizidi kuchanganyikiwa na kujikuta akilitaja jina la Recho nusu nusu.. Wakabadilisha style na safari hii Ally akawa anapewa ile mugongo mugongo huku miuno ya

Recho ikizidi kuongezeka kama feni isiyokua na nati wala scrubu..Aliendelea kupewa vitu adimu huku safari hii akichukua muda mrefu sana tofauti na mizunguko yote huku Recho nae akiwa anatamani kufika tena fukwe tamu za

manza bay ili akayafurahie maisha..Wote

walikua na hamu ya kufika mwisho wa safari na kujikuta wakiongeza speed yao huku Ally na yeye akianza kumpelekea Recho moto mkali..Recho aliendelea kuzungusha kiuno chake kilichokosa mfupa na baada ya muda akafanikiwa kufika salama fukwe za manza bay huku Ally nae akiongeza mwendo ili akaungane

na mpenzi wake pale ufukweni..Baada ya muda mfupi na yeye aliwasili ufukweni huku maji yote ya dafu akimmwagia Recho tumboni kwake..Mechi ikaisha salama huku Ally akiibuka

mshindi kwa kumpigisha Recho nyayo 7 wakati Recho akimpigisha mpenzi wake nyayo tano. Waliingia bafuni na kuanza kuoga huku Recho akijisafisha vizuri naniliu yake ambayo alihisi kama inawaka moto kutokana na shughuli nzito waliyokua wakipeana.. Wakamaliza kuoga kisha wakajiandaa na walipomaliza kila kitu waliondoka pale guest na moja kwa moja Ally akampeleka Recho wake nyumbani kwao tabata kisha na yeye akarudi kwao temeke.


***** ***** ***** *****


Waliendelea kufurahia maisha yao ya mapenzi kadri siku zilivyozidi kusogea huku Ally akiwa na mtihani mzito wa kuwafurahisha watu wawili,Recho na Nusrat.Kwa muda wote huo Recho hakujua chochote kinachoendelea na

alizidi tu kumpenda mpenzi wake huku

akiombea hata leo aolewe na Ally.

Ally hakuonyesha mabadiliko yoyote kwa mpenzi wake na kuzidi kumjali ikiwa ni pamoja na kum'suprise na zawadi za mara kwa mara.. Nusrat nae alikua anajitahidi kuzidi kumfurahisha Ally ili azidi kupendwa kwa kumpa zawadi mbalimbali za gharama kama kumnunulia simu aina ya iPhone ambayo Ally alikua anaiota siku zote..Alifurahi sana na Nusrat aliahidi ataendele kumfurahisha siku zote..Pia

alikua anampa kiasi kikubwa cha pesa kwa matumizi ya kawaida mara kwa mara kwani account yake ilikua na hela nyingi sana ambazo baba yake huwa anamuwekea kila mwezi ili zimsaidie baadae katika maisha yake kama

litatokea tatizo lolote.. Ally alizidi kupendeza huku pia akijitahidi kumpendezesha mpenzi Recho wake ambaye maisha ya kwao yalikua ya kawaida tu..


Siku moja wakati wakiwa chuoni,Ally alikua amekaa na Allan pamoja na Nusrat wakijisomea..Mara Recho akamtumia message na kumwambia anataka kuonana nae..Ally alijitahidi kumzuia ili asije lakini Recho hakumuelewa na kumwambia kuwa anakuja baada ya muda mfupi. Kweli hazikupita dakika nyingi Recho alifika akiwa amefurahi sana na

kuwakuta Ally, Allan pamoja na Nusrat............



Akawasalimia wote huku akikaa lakini akiwa kama anamshangaa Nusrat kwani hakuwahi kumuona hata siku moja. Nusrat alibaki kimya huku akiwa anatazama chini kwa aibu kwani hata siku moja hakuwahi kukaa karibu na Recho. Alianza kujihisi uwoga moyoni mwake na

alihisi kama Recho amemshtukia kwa jinsi

alivyokua anamtazama..

Vipi baby mbona upo hivyo unaumwa?Recho alimuuliza Ally baada ya kumuona na hali ya unyonge tofauti na asubuhi alivyoongea nae kwenye simu..

"Ndio baby, yani tangu tumekaa hapa

tunajisomea nimekua sijisikii vizuri. Nahisi itakua homa.

"Jamani pole sana mpenzi wangu.Basi fanya tuondoke ili nikupeleke hospital..

"Usijali baby, acha niende nyumbani tu

nikapumzike baadae mzee akirudi kazini

nitamuambia anipeleke..Nashukuru sana kwa kunijali baby ila usijali baadae nitaenda tu..

"Mmhh! haya ila sio unanidanganya tu, uende kweli..

"Poa mke wangu usijali."

Ally alikua anaongea yote hayo huku akiwa na uwoga sana kwani alihisi Nusrat anaweza akaropoka neno lolote na kuharibu hali ya hewa..

Waliendelea na story nyengine huku Recho akizidi kumtazama Nusrat ambaye alikua busy anachezea simu yake..

"Hivi baby huyu dada ni classmate wenu au?"

Recho alijikuta akimuuliza mpenzi wake baada ya kumuangalia sana Nusrat bila ya kupata utambulisho wowote..

Ally alishtuka sana kwa swali lile kwani

hakutegemea kama Recho angemuuliza kitu chochote kuhusu Nusrat..

"Yaah! baby ni classmate wetu mimi na

Allan anaitwa Nusrat.."

"Ok..Nashukuru sana kukufahamu Nusrat, mimi naitwa Recho."

Ally alibaki akiangalia chini kwa wasiwasi kwani alihisi Nusrat anaweza akatoa jibu lolote baya ambalo litamfanya Recho ajue kila kitu kinachoendelea..

Ok nice to meet you.(Sawa nafurahi kukutana na wewe)

Me too, it's my pleasure.(Mimi pia, nimefurahi)


"Recho unazidi tu kupendeza yani kila siku

nakuona mpya."

Allan alimtania Recho kama kawaida yao.

"Hahaha acha utani wako bwana Allan sasa unaniona mpya kwa kitu gani kipya wakati mimi ndo yule yule wa kila siku..

"Kweli shemeji yangu yani unapendeza sana kila siku inapobadilika..

"Nashukuru sana kusikia hivyo shem ila zote hizi ni juhudi za rafiki yako bila yeye usingeniona hivi."

Ally alitoa tabasamu la kulazimisha kwani kwa muda ule hakua sawa kabisa na alihisi kuchanganyikiwa..

"Hata mimi naziona jitihada zake maana

muda wote anakuongelea wewe tu hata sijui umempa nini ndugu yangu."

"Hahaha sijampa chochote ni mapenzi tu motomoto..

"Basi wote walibaki wakicheka huku wakiendelea na utani..

"Samahanini jamani naomba niwaache

maana kuna sehemu inabidi niwahi kuna mtu nina miadi nae.

Alikua ni Nusrat ambaye yale mazingira ya pale yalimshinda kabisa kutokana na

maneno yaliyokua yanaongelewa..

"Aaah! jamani kwani si tulikubaliana

tunakaa hapa mpaka jioni, imekuaje tena?

"Hata mimi pia ninapenda sana niendelee kuwa na nyinyi hapa ila sina jinsi kwani huyo mtu ni wa muhimu sana inabidi nikaonane nae leo hii hii..

"Mmhh! Sawa bwana me sina usemi, nakuruhusu uende."

Alijibu Allan huku akimtazama Ally ambaye aliishiwa kabisa kauli kwa muda huo..

"Sawa Nusrat we nenda tu ukaonane na

huyo mtu tutaonana kesho Mungu akipenda."

Ally nae alimjibu kwa unyonge sana.

Nusrat aliitikia kwa kichwa huku akijilazimisha kutabasamu lakini moyoni mwake aliumia sana kwa kitendo kile..


Nusrat akaondoka na kuwaacha wakina Ally pale wakiendelea na maongezi..

"Nahisi baby hiyo homa yako itakua kali sana ila unajikaza tu, kwanini tusiende hospitali sasa hivi? Unajua unanitia sana wasiwasi mwenzio.!"

"Usijali baby na ondoa hofu kuhusu hilo. Nina homa ila ni ya kawaida sana isipokua kuna mambo fulani nayafikiria ndio yananipa unyonge sana."

"Mambo gani tena hayo mpenzi wangu?"

"Kuhusu mama yangu kama nilivyokuambia siku ile uliyokuja nyumbani."

"Oohh! pole sana mpenzi wangu. Lakini si

nilishakuambia kuwa usifikirie sana mambo hayo yaliyopita kwani yanaumiza sana. Najua inauma sana ila inabidi usahau kila kitu na maisha yaendelee. Hata mimi hapo mwanzo nilikua naumia sana kumkosa baba ila imefika kipindi

imenibidi nisahau kila kitu na maisha yangu yaendelee.!!"

Recho alijitahidi kumliwaza mpenzi wake

ambaye aliamua kumdanganya ili asijue lolote kuhusu kinachoendelea..

Waliendelea na maongezi mengine huku Ally akijitahidi arudi kwenye hali yakawaida ili mpenzi wake afurahi..

"Halafu baby mwenzako nimemiss sana

kutoka out na wewe."

"Hata mimi pia baby wangu ila nilikua sitaki kukwambia kwa sababu muda huu tunakaribia kuingia kwenye mitihani hivyo inabidi tusome sana ili tufanye vizuri..

Kweli mpenzi, hata mimi nimefikiria hilo. Basi mitihani ikiisha tu siku hiyo hiyo unitoe out."


Aliongea Recho kwa utani.

"Hahaha sawa Recho wa Ally, kwa sababu nakupenda basi nitafanya kila kitu unachotaka.."

Kweli waliongea sana siku hiyo huku Recho na Allan wakitaniana sana hadi ilipofika jioni kila mtu akaondoka kwao..


***** ***** ***** *****


Ilipofika usiku Nusrat alikua peke yake

chumbani kwake akifikiria lile penzi la kushea yeye na Recho..Alijihisi kuumia sana kwani yeye hakupewa nafasi kabisa kwa sababu penzi lake na Ally lilikua la siri ambayo wanaijua watu watatu tu, yeye, Ally pamoja na Allan. Alitamani sana Ally awe wake peke yake na muda wote awe naye..Aliamua kumpigia simu ili amuambie kile kitendo alichomfanyia mchana kuwa hakukipenda..

Simu iliita sana mwishoni Ally akapokea.

Hallo..

Eehh! mambo vipi..

Poa tu unaendeleaje?

Me mzima kabisa sijui wewe hilo homa lako!

Hahahaaa homa gani hilo?

Si hilo ulilomwambia Recho mchana!

Hahaha weacha tu, yani muda ule nahisi akili haikua yangu kabisa..Nilihisi ungeweza kuongea kitu chochote pale kibaya Recho akajua kila kitu..

Umetaka mwenyewe, kwanini umruhusu Recho aje pale wakati unajua mimi nipo.?"

"Sio hivyo nilijaribu kumzuia asije lakini

hakunielewa kabisa..Samahani sana kwa kila kilichotokea."

"Mmhh! Hivi Ally utaendelea kuniumiza mpaka lini? Hivi haujui vitendo kama vile mimi vinaniumiza sana?"

Najua Nusrat na ndio maana nimetangulia

kukuomba samahani..Sikudhamiria kabisa yote yale yatokee but sometime things happen just out of control.(Ila muda mwengine mambo yanatokea nje ya uwezo)

"Sawa nimekuelewa Ally ila nisingependa ijirudie tena mwenzio naumia na ndio maana pale niliamua kuondoka ili nisizidi kuumia. Siku nyengine kama Recho anakuja ni bora uniambie mapema ili niondoke.

"Sawa nimekuelewa mpenzi na nakuahidi

haitajirudia tena..

Wakaendelea na maongezi mengine ya mapenzi huku Nusrat akitamani sana siku akutane na Ally ili wafanye mapenzi..Ni muda mrefu sana umepita tangu Nusrat akutane na mwanaume kimwili na mara ya mwisho ilikua ni miaka mitatu iliyopita alipofanya mapenzi na boyfriend wake wa zamani Nassoro ambaye alimuacha na

kuoa mwanamke mwengine nyumbani kwao Pemba..

Alitaka kumwambia Ally ila aliogopa sana labda anaweza akamfikiria vibaya labda ni malaya au ndio ilikua tabia yake kuwafuata wanaume na kuwaomba afanye nao mapenzi..Ilibidi akae

kimya na kusubiri huenda siku Ally akamuanza yeye..Waliongea sana hadi usiku mwingi kisha wakaagana na wakalala.


***** ***** ***** *****


Maisha ya nyumbani kwao yalizidi kumchosha Ally kwa vitendo alivyokua anafanyiwa na Sarah kwani alijitahidi kumwambia baba yake lakini hakumsikiliza na kumwambia hawawezi

kumfukuza kwani wametoka nae mbali na

anafanya kazi vizuri pamoja na kuwapikia

chakula kitamu..Hakua na jinsi zaidi ya

kuendelea kuvumilia yale maisha huku akijipa moyo kuwa ipo siku atakua na nyumbani kwake na zile kero ataziepuka..


Usiku mmoja Ally alilala na kusahau kabisa kufunga mlango kama ilivyokua kawaida yake na alipitiwa na usingizi fofofo..Alijihisi kama mtu anampapasa mwilini na kumshika dunguso yake huku akimvua boxer taratibu..Alishtuka sana na

kupiga kelele na alipomuangalia huyo mtu vizuri hakuamini alipomuona Sarah akiwa pembeni yake uchi kama alivyozaliwa......



Sarah aliruka pembeni kutokana na zile kelele alizopiga Ally na kuogopa sana kwa kuhisi labda Ally anaweza kumfanya kitu chochote kibaya..

"Hivi wewe Sarah unanitafuta nini mimi?Unataka nikufanye nini ili uache kunifatilia fuatilia?

"Lakini Ally jaribu kuwa na huruma na mimi. Ni mambo mangapi mazuri ambayo nimekufanyia tangu nimekuja humu ndani? Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kujionyesha kwako kuwa nakupenda lakini wewe haunijali kabisa wala kuhisi chochote. Leo uzalendo umenishinda na

sitoki humu hadi unikate kiu yangu."

"Hivi wewe Sarah mzima kweli Umechanganyikiwa? Kwanza mnafiki mkubwa wewe,hivi unadhani huu uchafu wako unaoufanya humu ndani wa kuleta wanaume mimi siujui? Unataka na mimi kuniletea maradhi sio? Sasa nasema hivi, haunipati hata siku moja."

Sarah alibaki kimya na kuangalia chini kwa aibu kwani hakuamini kama Ally alikua anajua kuwa yeye anafanya mapenzi na mwanaume mule ndani wakati yeye yupo chuo..

"Mmhh Ila kajuaje? Au kuna mtu anampa umbea anakaa maeneo ya hapa hapa karibu? Lakini haiwezekani kwa sababu huyo mtu mwenyewe anakaa humu humu sasa mtu wa nje atajuaje? Lazima atakua ametuona huyu..Sasa kama ametuona mbona simsikii akimtaja mtu mwenyewe tena kwa jazba kwa sababu nafanya

kitu ambacho sio sahihi? mmhh! hata sielewi kajulia wapi"


Sarah alibaki kimya huku akijiuliza maswali mengi sana kichwani kwake..

"Sarah naomba tuheshimiane kama zamani na hii ni last warning(onyo la mwisho) bila ya hivyo nitakufanya kitu kibaya sana hautakaa usahau duniani mpaka mbiguni."

Sarah aliogopa sana ule mkwara wa Ally kwani alibadilika sana tofauti na siku zote alizowahi kumuona..Haraka haraka akaiokota kanga yake aliyoitupa chini na kujifunga kisha akafungua mlango na kwenda chumbani kwake.. Ally alibaki pale chumbani na mawazo sana na kuanza kutamani kupahama pale nyumbani ili

akaishi hostel.. Alikuwa na mawazo sana na akaamua kumpigia simu mpenzi wake Recho na kumwambia kila kitu kilichotokea. Recho alimpongeza sana mpenzi wake kwa ujasiri aliokua nao kwani ni wanaume wachache sana wenye uwezo wa kuruka mitego ya mwanamke mwenye shebu iliyojazia na makalio

makubwa kama Sarah. Pia alimshukuru kwa kumtunzia penzi lake na kuwa mwaminifu..Waliongea mambo mengi sana kisha wakaagana na Ally akakata simu. Alibaki chumbani kwake akiichezea tablet yake aliyopewa zawadi na Nusrat na kuingia mitandao ya kijamii kuchat na marafiki zake ili apunguze mawazo kwani usingizi wote ulimruka kwa yale mambo aliyofanyiwa na Sarah.


***** ***** ***** *****


Mwezi mmoja baadae Ally alifanikisha mipango yake na kweli alihama nyumbani kwao na kwenda kuanza maisha mapya ya hostel pale pale chuoni kwao..Akapata chumba kimoja na jamaa mmoja anayeitwa Kassim ambaye alikua anapenda sana maisha ya kula bata..Kila

ilipofika weekend ilikua ni lazima Ally alale peke yake kwani Kassim alienda kwenye viwanja vikubwa vya starehe kila kona ya Dar es salaam ..Kadri siku zilivyokwenda alizidi kuyazoea maisha ya pale hostel na kujiona kama yupo nyumbani huku mara nyingi mpenzi wake Recho akija

kumtembelea na muda mwengine kupumzika hadi jioni..Ilikua imeshafika nusu mwaka wa mwaka wao wa mwisho chuoni hapo huku kila mmoja akizidisha juhudi katika masomo ili afanye vizuri katika mitihani yake ya mwisho.


Siku moja wakati Ally yupo hostel kwake

amepumzika alisikia simu yake inaita kuangalia alikua Nusrat na alianza kuongea

Hallo..

Hallo! mambo vipi mpenzi wangu.?

Poa tu za muda..

Nzuri sijui wewe..

Niko poa kabisa, vipi bado upo class au

ushatoka?

Ndio natoka muda huu ila nina maongezi

muhimu sana nataka kuongea na wewe muda huu sijui kama tunaweza kuonana..

Sawa njoo hostel huku utanikuta..

Poa nakuja sasa hivi..

Ally alimkubalia Nusrat aende hostel kwa sababu alijua mpenzi wake Recho ameshaondoka kwani walishaagana kuwa anaondoka tangu muda anatoka chuo.. Kweli baada ya dakika kadhaa Nusrat alifika hostel na kuingia chumba cha Ally kwani alishafika kama mara nne siku za nyuma tangu Ally ahamie..

Karibu nyumbani kwangu mpenzi..

Hahaha! haya asante nishakaribia..

Haya niambie unakunywa kinywaji gani?"

"Hahaha bwana baby acha masihara yako ujue sasa hivi nimekuja nipo serious..

"Mmhh!mbona unanitisha, serious tena?

Wala usiogope baby ni mambo ya kawaida tu..

"Eeh eenhe! haya niambie ni mambo gani hayo?"

"Nataka kuhamia hapa hostel ili niwe karibu sana na wewe mpenzi wangu. Nahisi nikiwa hapa angalau nitapata nafasi ya kuwa na wewe haswa wakati wa usiku kwani Recho atakua hayupo."

"Mmhh! mbona unataka uweke mambo hadharani hauoni kuwa kuna baadhi ya watu watajua kwa sababu marafiki zangu wengi wa darasani kwetu wanamjua Recho na wengine wapo humu humu

hostel."

"Sawa mpenzi naelewa ila tutaendelea kufanya siri kama kawaida."

"Mmhh! haya kama umeamua hivyo sawa sina kipingamizi ila pia uje na dhumuni la kusoma sio kwa ajili yangu tu, si unajua kuwa tunaelekea kwenye mitihani ya mwisho?

Ndio naelewa mpenzi wangu na ndio maana pia nimetaka kuhamia huku ili tupate muda mwingi zaidi wa wewe kunisaidia katika masomo."

Wazo lako zuri mpenzi wangu, kwahiyo

unahamia lini?"

"Ndani ya wiki hii moja nitakua nishakamilisha taratibu zote na nafikiri nitakua tayari nishahamia..

"Sawa mimi nakutakia kila la heri..

Nashukuru sana kusikia hivyo na nashukuru sana kwa kunielewa. Ndio maana nakupenda sana kwa sababu upo tofauti na wanaume wengi sana niliowaona."

"Nashukuru kusikia hivyo Nusrat..

Wakaongea mambo mengi sana hadi jioni kisha Ally akamsindikiza Nusrat hadi nje kituoni na akarudi hostel.


***** ***** ***** *****


Ally na Kassim walikua ni watu wanaoelewana sana na kusaidiana kwenye shida mbalimbali ila tofauti yao kubwa ilikua ni suala la moja tu la

starehe..Kassim alikua anapenda sana starehe na kwenye simu yake kulikua na picha za wanawake tofauti tofauti aliowapiga picha wakati anafanya nao mapenzi..

"Hivi mshikaji wangu utaendelea kulala lala mpaka lini wewe.? Kila ikifika weekend natoka peke yangu utadhani naishi na mzee bwana kumbe kijana mdogo kabisa tena sukari ya warembo. Hebu changamka bwana kama kijana

wa mjini tukafanye yetu sisi viwanja watoto wakali kama wote, wewe tu."

Unajua Kassim sio watu wote tunaofanana. Kila mtu ana kitu chake anachokipenda katika maisha hivyo huwezi kujua mimi napenda nini.

"Unapenda nini, taarifa ya habari au? Acha uzee wewe.kijana mdogo kabisa unajizeesha..Mchukue dogo wako yule Recho mkale bata maisha yenyewe mafupi haya sijui mnasubiri nini."

Ally alicheka sana kwa maneno ya rafiki yake na ilibidi akae kimya tu maana alishachoka kujibizana nae kwani Kassim alikua na maneno mengi sana.


Baada ya wiki moja kweli Nusrat akahamia pale hostel na alikua ni mwenye furaha kwa kuwa karibu na mwanaume anayempenda. Usiku walikaa kwenye bustani sehemu iliyojificha na kuongea mambo mengi sana kuhusu mapenzi yao. Nusrat alionekana ni mwenye furaha kuliko siku zote alizowahi kuwa na Ally..

"Unajua baby leo nina furaha sana..

"Kwanini?"

"Kukaa pamoja na wewe hadi muda huu. Wow! yani najihisi kama tayari ushanioa na hapa tupo honey moon.(fungate).

"Kweli kabisa mpenzi wangu hata mimi pia

nimefurahi sana kuwa karibu zaidi na wewe kwani tutapata muda mwingi sana wa kuwa pamoja."

Ally alikua anaongea maneno yote hayo ili tu amfurahishe Nusrat kwani alishajilazimisha sana kujaribu kumpenda Nusrat hata kidogo tu lakini ameshindwa. Moyo wake ulikua umezungukwa

na upendo mzito kwa Recho..Alikua kwenye mapenzi na Nusrat ili tu amfurahishe na asiendelee kuumia kwa sababu yake ukizingatia Nusrat alikua anamsaidia sana Ally pamoja na kumnunulia vitu mbalimbali vya gharama

pamoja na kumpa hela za matumizi..

"Halafu baby kuna zawadi nimekununulia ila nimeiacha room..Nilipanga siku nikiingia tu hapa basi nikukabidhi ili iwe ukumbusho kwamba hii Nusrat alinipa siku ya kwanza anaingia hostel."

"Mhh! jamani,yani mwaka huu mimi ni mtu wa mazawadi zawadi tu, haya niambie mpenzi wangu ni zawadi gani hiyo?

"Please(tafadhali) naomba unisubiri hapa hapa kama dakika tano, narudi sasa hivi."

"Sawa baby usihofu mimi nakusubiri."


Nusrat aliondoka na kuelekea kilipo chumba chake na baada ya muda mfupi akarejea akiwa na kitu amekishika kikiwa ndani ya bahasha kubwa ya kaki..

"Haya fumba macho mpenzi wangu nikupe zawadi yako nzurii."

Ally akafumba macho huku akitaka kujua kwa hamu anapewa zawadi gani..

Nusrat akaitoa ile zawadi ndani ya ile bahasha kisha akaishika mkononi..

"Haya fumbua macho baby."

Ally akafumbua na hakuamini macho yake

alipokutana na laptop mpya kabisa aina ya

Apple macbook

"Nakukabidhi hii ili ikusaidie zaidi katika masomo na kufanya mambo yako mengine kwani ina uwezo mkubwa sana tofauti na ile unayotumia sasa hivi."

"Asante sana mpenzi wangu,yani hata sijui

nikushukuru vipi ila nimefurahi sana. Siku zote nilikua nazitamani hizi laptop ila nilijaribu kuulizia dukani lakini hiyo bei yake hadi leo sijaulizia tena..Nashukuru sana baby wangu."

Ally aliongea maneno hayo kisha akamsogelea Nusrat na kumbusu mdomoni. Nusrat alifurahi sana na kumuahidi atamfanyia mambo mengi mazuri zaidi ili aendelee kufurahi..

Walikumbatiana pale huku wakipigana mabusu mfululizo.


***** ***** ***** *****


Nyumbani kwa kina Ally kulikua na siri nzito sana. Kwa muda wa takribani miezi tisa mzee Mohammed baba yake na Ally alikua akifanya mapenzi kwa siri kubwa na Sarah..Mara ya kwanza Sarah alikua hataki kabisa lakini mzee Mohammed alimpa vitisho mbalimbali ikiwa ni

pamoja na kumwambia atamrudisha kijijini kwao Rukwa. Sarah hakua na jinsi kwani katika maisha yake hakuna kitu ambacho hakutaka kukisikia kama kuyarudia maisha magumu ya nyumbani kwao Sumbawanga..Ilibidi akubali na

kumuachia mwili wake mzee Mohammed

auchezee anavyotaka..Kipindi wakati Ally yupo nyumbani walikua wanautumia sana muda ambao Ally anakua yupo chuo kufanya mambo yao kwani siku nyengine mzee Mohammed alikua anatoroka kazini kutokana na kunogewa na mapenzi ya Sarah. Kwa muda huu ambao Ally kahamia hostel walikua ni kama panya waliopata uhuru baada ya paka kuondoka kwani hawakua na hofu yoyote na muda mwengine walikua wanafanya mapenzi hata sebuleni. Kila mtu alinogewa

haswa mzee Mohammed ambae alikua anapewa vitu adimu sana na Sarah huku na yeye akijitahidi kumhonga sana Sarah ili ampe mambo matamu zaidi..

"Hivi baby unahisi siku Ally akijua haya mambo tunayoyafanya itakuwaje?"

"Hawezi kujua kabisa labda wewe umuambie.Tena kwa muda huu yupo hostel ndio hawezi kujua kabisa."

"Mmhh! haya ila kuna siku aliniambia maneno fulani hadi nikahisi amejua kila kitu."

"Maneno gani hayo?"

Mzee Mohammed aliuliza kwa mshangao.

"Aliniambia kuwa hapendi tabia yangu ya kuleta wanaume humu ndani kwani kuna siku alishawahi kunisikia chumbani kwangu nikifanya mapenzi na mwanaume."

"Mmhh! lakini huyo mwanaume alimjua au

hajakwambia chochote.?"

"Kwa jinsi alivyoniambia sidhani kama alikua anajua chochote kwani hakuonyesha kabisa kugusia kuhusu mimi na wewe."

"Mmhh! inabidi tuwe waangalifu sana bila ya hivyo mambo yote yatakua hadharani."

"Kweli hata mimi najitahidi sana kuitunza hii siri kwani Ally au watu wengine wakija kujua itakua aibu kubwa sana haswa kwako wewe...


Siri nzito sana ilikua inaendelea kati yao kwani Ally hukujua chochote na hata mzee

Mohammed hakujua kuwa Sarah alikua

amejaribu kumshawishi mara nyingi mwanae wafanye mapenzi lakini hakufanikiwa kwani Ally alimuonyesha msimamo mkali..

"Hebu nipe raha zangu Sarah tuache

kuzungumza haya mambo..Nayapenda sana makalio yako jinsi yalivyokua makubwa. Nahisi nikiyashika kama nimeishika dunia nzima naiendesha mwenyewe."

Sarah alibaki anacheka na kumkalia kwa juu mzee Mohammed. Akaanza kumpa michezo ambayo kwa umri wake wa miaka 54 ilikua ni adimu sana kuiona. Walichezeana sana pale hadi mzee Mohammed akaanza kutoa vilio vya

utu uzima kutokana na yale mambo aliyokua anapewa na Sarah..Hakujiweza kabisa mbele ya Sarah kwani kwa umri wake alikua hawezi mikiki mikiki ya msichana ambaye damu inachemka.


Sarah akaitia maiki mdomoni na kuanza kutuma salamu nyumbani kwao Rukwa. Aliinyonya vizuri ile maiki huku akiifanya kama anapiga mswaki.Alipohakikisha kuwa mzee Mohammed hajiwezi kabisa aliichukua na kuanza kuiingiza taratibu katikati kwenye makalio yake sehemu

ya kutolea haja kubwa. Lahaula! hii ndio ilikua michezo yao waliyoizoea kila siku

wanapokutana....



ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG