Search This Blog

Saturday, February 26, 2022

ENDLESS LOVE - 4

   

Simulizi : Endless Love

Sehemu Ya Nne (4)


akimtania kwa jinsi Recho alivyom'suprise

kwenda pale mbele na kumkumbatia..Ally

alicheka sana na kumshukuru sana Allan kwa kampani yake ya urafiki bora aliyompa tangu siku ya kwanza anaingia pale chuoni..Wakati wanaendelea kuongea Ally alisikia message ikiingia kwenye simu yake na kufungua akakuta ni Recho.

"Kuna zawadi yako kubwa sana nimekuandalia ila nitakukabidhi tutakapofika Bagamoyo."

Ally alifurahi sana kuiona ile message na akabaki akijiuliza ni zawadi gani hiyo aliyoandaliwa na Recho..

Kwa upande wa Nusrat alikua amejipanga vya kutosha ili kuhakikisha siku hiyo anafanya juu chini ili aondoke na Ally japokua Ally alishamuambia tangu nyuma kuwa siku hiyo atakua nyumbani kwa kina Recho kuna party inafanyika..Alimnunulia Ally zawadi nyingi sana za gharama pamoja na kumwekea kiasi kikubwa cha pesa katika moja ya mabox yenye zawadi

hizo..Akaamua kumtumia message Ally na

kumwambia kuwa baada ya muda wa kula

chakula kupita anaomba aonane nae kuna

zawadi zake anataka kumpa..Ally hakumkatalia na baada ya muda mfupi akamrudishia jibu kuwa amekubali..Nusrat alifurahi sana na kuona kuwa hiyo ilikua ni hatua yake ya kwanza katika kufanikisha kuondoka na Ally siku hiyo..Alishapanga aende akalale nae maeneo ya South Beach Kigamboni kwani kuna mandhari

nzuri ya utulivu pamoja na kupata upepo mzuri wa bahari..


Ulifika muda wa wahitimu wote kupewa vyeti vyao kisha akatajwa mmoja baada ya mwengine huku wazazi, ndugu jamaa na marafiki wakienda kuwapa zawadi pamoja na kupiga nao picha za ukumbusho..Ally alipewa zawadi nyingi sana kutoka kwa ndugu zake wengi kutoka upande wa baba yake huku upande wa mama yake akiwa yupo mmoja tu hali iliyomshangaza

sana..Siku zote nyumbani kwao wageni wengi walikua ni wa upande wa baba yake huku upande wa marehemu mama yake wakiwa hawaji kabisa kuwatembelea. Alibaki anajiuliza sana maswali bila majibu na akapanga kuwa ipo siku atamuuliza baba yake juu ya hali ile..Pia

alipata zawadi nyingi pamoja na pongezi kutoka kwa jamaa na marafiki zake wa karibu kwa hatua ile aliyofikia..Alifurahi sana na akapiga nao wote picha ya ukumbusho. Ilipofika zamu ya Recho kukabidhiwa zawadi Ally alishangaa kundi kubwa la watu wakiinuka na kwenda kumpa zawadi Recho huku wakimpongeza sana..Ally alifurahi sana kuona vile kwani alitarajia mpenzi wake atakua katika hali ya upweke kukosa kampani kubwa kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki. Akasimama na kwenda hadi mbele na kumpongeza sana mpenzi wake huku na yeye akimuambia kuwa amemuandalia zawadi kubwa sana ila atamkabidhi pindi watakapofika Bagamoyo..Recho alifurahi sana kisha wakakumbatiana na kurudi katika sehemu zao walizokaa. Nusrat aliona wivu sana kwa kitendo kile cha

Ally na Recho kwenda pale mbele na

kukumbatiana kila inapofika zamu yao kuitwa kuchukua vyeti..Ilipofika zamu yake akainuka na kwenda kuchukua cheti chake huku akisindikizwa na ndugu zake wengi ambao wengi walikua ni wapemba pamoja na wazazi wake..Baba na mama yake walimpa zawadi nyingi sana zisizo na idadi hadi nyengine akasaidiwa kuzibeba na kwenda kuzihifadhi..Baada ya kupiga nao picha alirudi kwenye kiti kwa

unyonge kwa kitendo cha Ally kushindwa

kutoka pale mbele angalau kumpa mkono na akaamua kumtumia message.


"Sawa bwana najua hunipendi na ndio maana umeshindwa kuja pale mbele kunipa hata mkono."

Baada ya muda mfupi Ally akamjibu na kumwambia isingeleta picha nzuri kwa watu kama yeye angetoka pale na kwenda

kumkumbatia au kufanya kitu chochote kwa kua tayari mara ya kwanza alishatoka na kumkumbatia Recho na hata Recho pia alifanya hivyo hivyo..Nusrat akamuelewa Ally na kubaki kimya..

Sherehe iliendelea na muda wa kula ulipofika

kila mtu alipata chakula cha kutosha pamoja na vinywaji huku wakiburudishwa kwa burudani ya muziki laini..Watu walikula na kusaza kisha burudani ikaachiwa ichukue nafasi yake. Wahitimu walilipuka kwa shangwe pindi

walipoingia wasanii maarufu wa bongo fleva kwa ajili ya kutoa burudani..Wasanii wengi sana maarufu walipanda jukwaani na kutoa burudani iliyowakonga nyonyo watu wote waliofika pale..Muda huo Ally alikua amekaa na Nusrat wakiongea akiwa ameitikia wito..

"Nakuomba Ally sherehe ikiisha tuondoke

tukalale wote nina hamu sana na wewe mpenzi wangu kama nilivyokuambia siku zile"

"Lakini Nusrat si nilishakuambia kuwa leo

hatutaweza kuondoka pamoja kwani Recho amenialika nyumbani kwao kuna party ameandaliwa?"

"Sawa Ally umeniambia lakini jaribu kunionea huruma na mimi. Hivi unafikiri nitaendelea kuvumilia mpaka lini.?"

"Tafadhali Nusrat naomba uwe muelewa. Mimi sitaweza leo kuondoka na wewe labda upange siku nyengine kama nilivyokuambia."


Nusrat akabaki amekasirika sana kisha Ally akamuaga na kuondoka sehemu ile..Akawafuata marafiki zake na kuanza kucheza nao mziki mzuri uliokua unatolewa na wasanii wa bongo fleva. Baada ya muda alimuona Recho anakuja

na kumuomba wacheze wote..Ally hakuleta kipingamizi na akamshika Recho kiuno huku Recho akimshika Ally mabega na kuanza kucheza nae. Walicheza sana na kufurahi hadi walipojihisi kuanza kuchoka Ally akamshtua Recho ili waondoke maeneo yale kwani jua lilishaanza kuzama..

Recho akamuambia Ally anaenda kumuaga mama yake na baada ya muda mfupi atampigia simu ili wakutane maeneo ya getini..Ally akamuelewa Recho kisha akaanza kwenda sehemu alipolipaki gari lake ili aanze kuandaa mazingira ya kuondoka maeneo yale..Akalitoa hadi nje ili kuepuka usumbufu pindi watu watakapoanza kuondoka kwani magari yalikua ni mengi sana eneo lile..


Akarudi hadi ndani na kuwaaga marafiki zake pamoja na ndugu zake kisha akamfuata baba yake na kumuambia kuwa siku hiyo hatarudi nyumbani kwani amealikwa kwenye party ya rafiki yake. Baba yake hakuleta kabisa kipingamizi na kumwambia awe makini..Ally alifurahi sana kisha akamuaga baba yake na kuondoka..Alifika hadi getini na kumpigia simu Recho ambaye alisema kuwa na yeye pia anamtafuta maeneo yale yale

ya getini..Baada ya kuangaza angaza waliweza kuonana na kuelekea kwenye gari kisha wakaingia na kuanza safari ya kwenda Bagamoyo..Kabla ya kuondoka Recho alimuomba Ally ashushe vioo kwanza vya tinted kwani kuna kitu anataka kufanya..Ally akavishusha na baada ya hapo akamuona Recho akimsogezea mdomo kwa ajili ya kunyonyana mate..Ally akampa ushirikiano mpenzi wake na

kuanza kubadilishana mate huku wakiwa na hisia kali za mapenzi bila ya kujali mahali pale kuwa ni njiani..Walipotosheka Ally aliwasha gari na kuingia barabara kuu kwa ajili ya kuanza safari yao. Njiani waliongea mambo mengi sana huku Recho akionyesha kufurahi sana kuliko siku zote alizowahi kuwa na Ally..

"Hivi baby yule mwanaume niliyekuona nae wakati mnakuja ni nani yako?"

Ally alimuuliza mpenzi wake.

"Kaka yangu yule baby yani kwetu yeye ndiye wa kwanza kabisa. Wa pili ni dada yangu yule niliyekuonyesha picha yake nikakuambia kuwa ameolewa anaishi Kimara na wa tatu na wa mwisho ndio mimi."

"Aaha! ok kuhusu dada yako nakumbuka

uliniambia na pia nimemuona leo, kumbe yule ndio kaka yako hadi siku zile tupo kule guest Kinondoni mama yako akakupigia simu kuwa amekuletea laptop uliyomuagiza?"

"Yaah una kumbukumbu sana baby, ndiye yule sasa. Tayari ameoa na ana mtoto mmoja anaishi Kigamboni."

"Ok hapo sawa nimekuelewa mpenzi wangu maana wakati mnakuja na jinsi ulivyopendeza nilipata wasiwasi sana na wivu na kuhisi labda nishaibiwa."

"Hahahaa! hapana bwana baby hakuna mtu wa kuniiba mimi ni wako daima."

Ally alifurahi sana na kuzidi kukanyaga mafuta akitamani wafike Bagamoyo haraka ili akale raha na mpenzi wake.


Wakati wapo njiani maeneo ya Bunju Ally

akasikia simu yake inaita ila akapuuzia na

kuiacha hadi ikakata..Baada ya muda mfupi ikaanza kuita tena kwa mara ya pili na alipoitoa na kuiangalia aliliona jina la Nusrat..Alishtuka sana na kubaki na kigugumizi asijue nini la kufanya.



Aliendelea kuiangalia ile simu ikiita huku

akiipunguza sauti mpaka mwisho ili Recho

asishtukie ule mchezo.Ilipokata akaamua

kuiweka silent ili Nusrat atakapopiga tena isitoe mlio wa aina yoyote..Recho hakuwa anajua chochote kinachoendelea kwani alikua yupo busy na simu yake akichat na marafiki zake kwenye mitandao ya kijamii. Baada ya muda akaona Nusrat anapiga tena lakini simu ikiwa haitoi mlio hivyo akaamua kuirudisha mfukoni iendelee kuita hadi itakapokata yenyewe. Akazidi kukanyaga mafuta zaidi ili wawahi kufika

Bagamoyo kwani muda huo jua lilikua

limeshazama kabisa ikielekea saa 1 jioni..Muda wote walibaki kimya kwenye gari Recho akiwa busy na simu yake huku Ally akiwa makini barabarani ili wasipate ajali..Baada ya mwendo wa zaidi ya masaa mawili wakafika salama maeneo

ya hifadhi ya wanyama Saadani ambayo

imepakana kabisa na bahari ya Hindi huku

wakionekana wamechoka sana..Ally akalipaki gari vizuri kisha wakashuka na kuanza kuelekea mapokezi..Walifika na kupewa taratibu zote za pale na kutajiwa gharama zake ambazo ziliambatana na malazi, chakula pamoja na kutalii kuona wanyama kisha Ally akalipa na kukabidhiwa mtu wa kuwapeleka kwenye

chumba chao..Walifikishwa hadi chumbani kwao na kukaribishwa kisha yule mtu aliyewasindikiza akaondoka.


Wakaingia ndani na kujifungia kisha Recho akajitupa vile vile kitandani akiwa kwenye lile vazi lake la joho.

"Baby unaonekana umechoka sana eeh?"

Aliuliza Ally.

"Yani weacha tu baby hakuna siku

niliyochoka kama leo ndio maana hata nguo sijabadilisha nimejitupa tu hapa."

"Pole sana mpenzi wangu kwani hata mimi nakuona jinsi ulivyochoka tangu tulivyokua njiani."

"Yaah kweli sweetie..Halafu pia nina njaa sana yani pale kwenye mahafali sijakula kitu chochote zaidi ya kunywa maji tu."

"Kwanini sasa baby haujala wakati chakula kilikuwepo cha kutosha halafu pia kilikua kitamu sana."

"Aah! basi tu halafu pia mida ile nilikua sijisikii njaa kabisa maana wakati natoka nyumbani nilikunywa chai nzito."

"Ok ila usijali ngoja niwapigie simu watu wa jikoni watuletee chakula."

Ally akamuuliza Recho atakula nini kisha baada ya kutajiwa akaifuata simu ya mezani iliyokuwepo pale chumbani na kutafuta namba za jikoni kisha akapiga. Aliongea nao na kuwaagiza chakula chake pamoja na Recho huku pia akiagiza na vinywaji. Waliendelea kupiga story huku wakifurahi na baada ya muda wakina dada wawili waliovalia mavazi ya upishi wakawaletea chakula pamoja na vinywaji kisha wakawakaribisha na kuondoka.


"Sasa baby si ungevua kwanza hizo nguo hauoni kama zitakutia uzito tu kwenye kula.."

Aliongea Ally huku akivua nguo zake na kuvaa mavazi maalumu ya kulalia yaliyokuwepo mule chumbani..Baada ya kuambiwa hivyo, Recho aliinuka na kumfuata mpenzi wake na kumuambia

amvue zile nguo..Ally hakuleta kipingamizi na taratibu akaanza kumvua Recho nguo moja baada ya nyengine. Wakati anamalizia kumvua gauni alianza kujisikia hisia zikimpanda taratibu baada ya kuona matiti mazuri ya mpenzi wake yaliyochongoka kama ndizi mshale. Hakuna kitu alichokipenda kwenye mwili wa Recho kama yale matiti yake kwani siku zote akiyaona yalikua yanampa mshawasha kwa haraka sana kwa jinsi

yalivyokua mazuri.Akamtoa gauni lote na

kumuacha Recho akiwa amebaki na kufuli tu kwani siku zote alikua havai sidiria kutokana na yale matiti yake yalivyokua ya wastani na kusimama vizuri kutohitaji msaada wa kupigwa jeki na sidiria. Akaanza kumuangalia mpenzi wake kwa

macho yaliyoonyesha uhitaji wa kitu kutoka kwake na Recho bila kipingamizi akamuitikia kwa kumsogezea mdomo wake na kuanza kubadilishana mate. Walibadilishana mate kwa muda mrefu kidogo huku Ally akilisikia vizuri joto

la mpenzi wake jinsi lilivyopanda kama mgonjwa wa homa ya dengue.

"Baby chakula kitapoa tule kwanza kisha ndio tupeane raha."

Aliongea Recho kwa sauti yake laini kama mgonjwa anayemalizia kukata roho. Ally alibaki akimuangalia mpenzi wake na

kukubali kuwa ni mrembo sana na kujiuliza kwa Nusrat anatafuta kitu gani cha zaidi ambacho anakikosa kwa Recho. Akakubali kuwa wanaume hawatosheki hata kama watakabidhiwa dunia nzima waiongoze wao.


"Nakupenda sana Recho wangu. Nakupenda zaidi ya unavyofikiria na nakuahidi kuwa sitokuacha hadi pale kifo kitakapotutenganisha."

"Nakupenda pia Ally wangu. Wewe ndio furaha yangu na wewe ndio maisha yangu. Huwa ninafikiria sana maisha yangu yatakuwaje bila ya wewe na huwa ninajiona sitaweza kupiga hata hatua moja kusogea mbele. Naomba usinitende

Ally na uwe muaminifu kama mimi nilivyo

muaminifu kwako."

Ally akabaki anaangalia chini na kujiona mkosaji sana kwa kumsaliti mpenzi wake na kuanzisha mahusiano na Nusrat Akamtazama tena Recho na kumwambia.

"I promise my love, I won't ever betray you because you're my end and my begining

(Nakuahidi mpenzi wangu, kamwe sitokusaliti kwa sababu wewe ndio mwanzo na mwisho wangu.)

Recho alimshukuru sana mpenzi wake kwa kumwambia maneno yale matamu kisha wakakaa chini na kuanza kula..

"Baby naomba uvae japo ile night dress pale maana nikiyaona hayo matiti yako napagawa sana yatanifanya hadi nishindwe kula."

"Hahaha baby bwana haya ngoja nivae usije ukapaliwa bure chakula kikutokee puani."

Recho akavaa ile night dress na kurudi kisha wakaanza kula..Walikua wanakula huku wakiwa wanatazamana kwa hisia sana na muda mwengine wakiwa wanatabasamu..Kitendo cha Recho kutabasamu kilimuacha hoi sana Ally kwani zile dimpoz zake zilimfanya azidi

kuonekana mrembo..Walipomaliza kula Ally akawapigia watu wa jikoni waje kuchukua vyombo na baada ya muda

alikuja dada mmoja na kuchukua vile vyombo kisha akaondoka..Ally akaweka kikaratasi maalum mlangoni kilichoandikwa 'Please Don't Disturb' kikiwa na maana 'Tafadhali Usilete

Usumbufu' kisha akaufunga mlango na funguo na kumfuata mpenzi wake.


"Sasa baby si tunaenda kuoga kwanza au?"

Aliuliza Ally.

"Yaah inabidi tukaoge kwanza ili tuondoe

uchovu wa siku nzima..Wakavua zile nguo za kulalia pale pale chumbani na wote kubaki kama walivyozaliwa kisha wakaingia bafuni..Ally

akaiset heater iliyokua ukutani itoe maji ya umoto moto kwa mbali ili yazidi kuamsha hisia zao..Akayafungulia kisha yakaanza kutoka taratiibu na kuwamwagikia..

Ally akachukua sabuni na kuanza kumpaka taratiibu mpenzi wake kuanzia maeneo ya shingoni mpaka miguuni. Alivyomaliza akaiweka sabuni pembeni na kuyafunga yale maji kisha akaanza kumsugua kuanzia shingoni..Akapitisha

mikono yake taratibu kuizunguka shingo ya Recho kisha akahamia kifuani kwenye matiti ya Recho..Akaanza kuyasugua kwa mwendo ule ule wa taratiibu huku akiwa kama anayapapasa na kuyaminya minya kwa ufundi mkubwa na kuanza kumsikia Recho akitoa miguno kwa sauti ya chini sana..Akaanza kuzidisha speed na

kuyasugua na kuyaminya kwa haraka haraka kidogo na kumuona Recho akiyafumba macho yake huku akijilamba lipsi zake na kujing'ata ng'ata..Akahamia mgongoni na kuanza kumsugua mpenzi wake huku akipitisha mkono wake katikati kwenye uti wa mgongo hadi chini kwenye mstari wa makalio.Recho alijisikia raha

za ajabu na kuanza kutoa vilio sauti ya juu na kumfanya Ally azidi kupandwa na

mzuka..Aliendelea na mchezo ule kwa

kuupandisha mkono wake juu na kuushusha chini kwenye mstari wa makalio hadi alipomuona Recho kapagawa sana kisha akamuacha na kuhamia mahali penyewe kwenye naniliu. Naniliu ya mpenzi wake aliikuta iko vile vile ndogo na inabana sana na kuamini

kuwa hakuna mwanaume mwengine aliyepata bahati ya kuigusa zaidi yake.


Akaanza kuisugua taratiibu kwa kutumia vidole vyake viwili na kuanza kumuona Recho akijinyonga nyonga na kutoa sauti laini iliyomfanya dunguso yake izidi

kusimama kwa hasira..Aliendelea kumsugua mpenzi wake na kuhamia kwenye k*s*m* ambacho alikisugua sana na kuanza kumuona Recho akikosa nguvu na kuigamia ukutani..Aliendelea na mchezo ule huku akiongeza kasi na baada ya muda akamuona Recho akilivunja dafu lake na kumwaga maji mengi na kuandika goli la kwanza na la kuongoza..Recho alikua hoi hajiwezi kabisa na kubaki akimrembulia macho Ally..

"Mmh baby ipo siku utaniua kwa hizi raha yani najihisi kama kudondoka lakini sidondoki."

Ally alicheka kidogo kisha akamjibu.

"Wala kufa hautakufa lakini cha moto utakiona"

Wote wawili wakabaki wanacheka kisha Ally akafungua tena maji na kumalizia kumuogesha mpenzi wake hadi alihakikisha ametakata na kumwachia uwanja Recho ili na yeye amuogeshe. Recho akalichomoa bomba na kuanza kummwagia maji Ally mwili mzima kisha

akaanza kumpaka sabuni..Alivyomaliza akaanza kumsugua kifuani kwa mikono yake laini iliyofanya hisia za Ally zianze kuamka tena..Akaendelea kumsugua huku akiziminya minya chuchu za Ally na kumuona akitoa sauti nzito ya mahaba iliyomfanya aongeze speed ya kumuogesha. Akaanza kushusha mikono yake taratibu na kumsugua tumboni na kisha akahamia kwenye dunguso..Hapo sasa ndipo alipoanza kukisikia kilio cha kiume bila kupewa taarifa ya msiba wala kufukuzwa kazi kwani kwa kadri Recho alivyokua anaisugua dunguso ndivyo Ally alipozidi kutoa miguno yenye kuashiria kupata raha za hali ya juu pamoja na

kutoa vilio vya chini chini..Alipomuona Ally anabadilika machoni huku dunguso yake ikiwa imekasirika sana akamuacha kidogo kisha akaanza kummwagia maji na kumuosha mwili mzima na alipohakikisha amekua msafi akainama chini na kuipeleka maiki ya Ally mdomoni na kuanza kutuma salamu..Akaanza kwa mwendo wa taratibu na kuonekana kama anajifunza ila kadri muda ulivyozidi kwenda ndio aliongeza speed na kumuona Ally akifumba macho huku akiwa kama anatafuna muwa wenye maji mengi. Recho alizidi kuionyonya maiki ya Ally

huku muda mwengine akiitoa na kuisugua

sugua..Aliendelea na mchezo ule hadi Ally

akavunja dafu lake na kummwagia maji kwenye matiti yake..Recho akainuka na

kumuangalia Ally kisha wakaanza kucheka na kutaniana kwa jinsi kila mmoja alivyompeleka mwenzake..


Wakajiosha vizuri na kumalizia kuoga kisha wakajifuta maji na mataulo yaliyokuwepo pale bafuni na kurudi chumbani. Walivyofika Recho akajitupa kitandani na kuonyesha kuwa amechoka sana huku Ally nae akija kujitupa pembeni yake..Walikaa kimya kidogo kila mtu

akiangalia juu na baada ya muda Recho

akamuuliza Ally..

"Hivi baby utanioa kweli?"

Ally alionyesha kushtushwa kidogo na hilo swali kisha na yeye akamuuliza.

"Kwanini baby umeuliza swali kama hilo?"

"Hapana usifikirie vibaya ila nina wasiwasi sana mwenzio kwa jinsi tulivyo..Wewe ni muislamu na mimi ni mkristo. Hivi unafikiri hapo ndoa itapita vipi?"

Ally akabaki kimya kwa muda kisha akamjibu.

"Kuhusu suala la kukuoa mpenzi wangu shaka ondoa. Nipo tayari kukuoa hata sasa hivi na hayo mambo ya dini yasikupe

sana mawazo kwani Mungu ndiye anayepanga kila kitu hivyo muda ukifika tutajua tufanye nini..Nakupenda sana Recho na sitaki kabisa nikukose."

Recho alifurahi sana kuambiwa vile kisha

akamgeukia Ally na kumlalia kifuani..

"Nakupenda pia Ally wangu na sitaki kukupoteza."


Kile kitendo cha Recho kumlalia kifuani kiliifanya dunguso ya Ally ianze kusimama tena kwani matiti yake madogo yalikuwa yanamchoma choma kifuani kwake..

"Baby naomba nianze tena."

"Sawa baby yani leo nataka unikate kiu yangu yote niliyokaa nayo kwa muda mrefu."

"Halafu baby leo naomba tutumie kondom kwani hiki kitendo cha kuchomoa kila siku wakati navunja dafu ipo siku nitajisahau kwa utamu na kukuvunjia humo humo..Halafu pia inapoteza stimu wakati wa kuvunja dafu hivyo naomba leo tutumie kondom."

"Aah! bwana baby usivae kondom kwanza nasikia zinaumiza kweli wakati wa tendo..Pia wewe ni kama mume wangu sasa kondom ya kazi gani ina maana hatuaminiani?"

"Siyo hivyo baby ila naogopa nisije nikakumwagia humo humo na kukusababishia mimba tusiyoitarajia.."


"Kweli baby hayo yote nayajua ila leo nipo

kwenye siku salama hivyo hakuna hatari yoyote ya kupata mimba hata kama utamwaga humo humo."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally akainuka huku dunguso yake ikiwa inampa support ya kutosha..Akamuweka Recho vizuri kisha akainama chini na kuzama uvinza. Alimnyonya sana Recho naniliu yake kwa ufundi mkubwa huku akiupitisha ulimi wake katika kona zote za naniliu ya Recho. Akahamia kwenye k*s*m* na kukinyonya sana hadi akaanza kumuona Recho anakauka sauti kwa vilio vyake kisha akamuacha na kuchukua mguu wake mmoja na kuuweka begani kwake. Akaishika dunguso yake na kuipaka paka

mate huku akiwa anamuangalia Recho ambaye alikua kwenye hali mbaya sana akiisubiri dunguso ya Ally ianze kumsugua naniliu yake..Ally nae hakumchelewesha akaishika vizuri mashine yake na kuanza kuizamisha taratiibu kwenye naniliu ya Recho iliyokua inabana kama ya mtoto mdogo..Ilipoingia nusu akaanza kumsugua kwa mwendo wa taratibu huku

mkono wake mmoja ukiwa busy kukisugua k*s*m* na mkono mwengine ukiwa umeushika mguu ili usianguke. Akaanza kuzidisha speed yake na kumpelekea moto kwa kasi na kumsikia Recho akitoa vilio vya kila aina..Alisikia Recho akiongea lugha ambazo hata

hakuzijua ni kabila gani huku muda mwengine akiliita jina lake nusu nusu...

"Aah..aaaaah..mmmmm....oooohh.....aaassshhhH...Al....ll....lllllyyy."

Akazidisha ufundi wa kumsugua na

kumbadilisha mikao mbalimbali na kuendelea kumpelekea moto wa kutosha. Alizidisha speed yake huku na yeye akiwa anapata raha za ajabu kwa jinsi ile naniliu ya Recho ilivyokua na joto kali pamoja

na kumbana bana dunguso yake. Alimsugua sana Recho huku mkono wake ukiendelea kukichezea k*s*m* chake na baada ya muda akafanikiwa kumfikisha Recho mwisho wa reli huku yeye akiwa bado yupo njiani..Alizidisha speed na baada ya muda akafanikiwa kulivunja

tena dafu lake na kuyamwaga maji yote

tumboni kwa Recho..Katika maisha yake

hakuzoea kabisa kufanya mapenzi na

mwanamke kisha akamvunjia dafu humo humo kwani aliogopa sana kuitwa baba wakati hajakua tayari..Alivyomaliza kabisa shughuli ile nzito akajitupa pembeni akiwa hoi huku Recho akienda chooni kujisafisha na baada ya muda akarudi na yeye kujitupa pale kitandani..Walibaki kimya kila mmoja akijisikilizia jinsi anavyojisikia na baada ya muda wote wakapitiwa na usingizi mzito.


Recho alikuja kushtuka mnamo saa tisa usiku huku akiwa anasikia baridi kali kwa kulala vile vile akiwa kama alivyozaliwa. Akaanza kuhisi mwili wake ukihitaji tena mshike mshike wa Ally ambaye alikua yupo fofofo usingizini..Akaanza kumuamsha na kumuambia kuwa anajisikia baridi hivyo anaomba ampe tena joto lake......



Baada ya kuambiwa hivyo Ally alianza

kujinyoosha nyoosha pale kitandani kutokana na uchovu aliokua nao huku akiwa kama alivyozaliwa..

"Tutafanya asubuhi baby sasa hivi nimechoka sana naomba nipumzike."

No! (Hapana) me sitaki baby yani kwa hii hali niliyokua nayo sitaweza tena kupata

usingizi, naomba unipe joto lako baby ili na mimi nilale."

Baada ya kuambiwa hivyo akaona haina jinsi ukizingatia yeye ndiye mpenzi wake na hakuna mtu mwengine tena wa kumpa Recho yale mambo hivyo akainuka na kwenda chooni kunawa uso ili akatoe uvivu..Alikaa kwa muda kidogo akijitazama kwenye kioo na Recho

alipoona Ally anachelewa kurudi akainuka na kumfuata chooni..Akamsogelea na

kumkumbatia mgongoni hali iliyomfanya Ally aanze kupata hisia za mapenzi kutokana na joto la Recho huku akiwa anachomwa chomwa na vichuchu vya Recho..Pale pale akaizungusha mikono yake kwenye nyonga za Recho na kuanza kumpapasa huku Recho akipitisha

mikono yake kwa mbele na kumchezea Ally kifua chake..Taratiibu dunguso ya Ally ikaanza kusimama kisha wakageukiana na kuendelea kuchezeana.Recho aliikamata dunguso ya Ally na kuanza kuisugua sugua kwa ufundi na alipoona imeshatii sheria akaanza kumvuta

kuelekea chumbani huku akiwa amemshika dunguso yake..

Alivyofika akajitupa kitandani na kumuacha Ally aanze kufanya mambo yake ya kupiga surundaka(nje ndani).


Ally hakupoteza muda na kuanza kuipaka mate dunguso yake na taratiibu akaanza kuizamisha kwenye naniliu ya Recho. Baada ya kuona imezama akaanza kumpelekea surundaka za taratiibu huku Recho akianza kutoa sauti za mahaba zenye kuashiria kupata utamu wa hali ya juu..Ally aliongeza speed na kumbadilisha Recho mikao tofauti huku Recho nae akiwa anajituma kwa kuzungusha kiuno chake ipasavyo. Ally alizidi kumpelekea moto huku kidole chake kimoja kikiwa busy kukisugua k*s*m* cha Recho

ambaye sauti yake ilizidi kuongezeka kadri Ally alivyozidisha speed yake. Baada ya safari ndefu ya kuvuka milima na mabonde hatimaye Recho akafanikiwa kufika salama mwisho wa safari yake kisha akamwambia Ally alale chini yeye

amkalie kwa juu ili amfikishe sehemu aliyofika yeye..Ally akajilaza na Recho akaanza kuikalia dunguso ya Ally na kuzama taratiibu kwenye naniliu yake na kuanza kuikatikia mauno..Aliongeza speed huku akimsugua sugua

Ally kwenye kifua chake na kumfanya azidi kupatwa na mzuka na kumuona akifumba macho huku akitoa sauti nzito yenye kuashiria kupata raha za hali ya juu. Safari hii ilimchukua muda mrefu sana Ally kufika kileleni kwani mara nyingi watu huwahi sana kufika kileleni kwenye

mzunguko wa kwanza na wa pili kiasi ila wa tatu inaweza kumchukua mtu aliyekua rijali kamili dakika 20 mpaka 30..Recho alizidisha ufundi na kumkatia Ally mauno hadi akahisi dunguso yake inakatika na baada ya muda Ally alivunja dafu bila kutarajia na kuyamwaga maji yote ndani ya naniliu ya Recho..Walipomaliza Recho akashuka chini na kujilaza pembeni huku wote wakiwa hoi kutokana na ile shughuli nzito waliyotoka kuifanya..

"Pole sana baby naona safari hii nimekuweza maana ulikua unahema kama umetoka kukimbizwa."

Ally alibaki anacheka kisha akamjibu.

"Yani baby umenipeleka mbio hata sijategemea kama ni wewe ndio unafanya mambo haya. Kwani ni nani kakufundisha maana unanipa wivu sana mwenzio na pressure. Nahisi kama kuna mtu mwengine anakufundisha haya mambo."

"Hapana baby wala usiwe na wasiwasi hakuna mwanaume yeyote dunia hii aliyeiona mali yako zaidi ya wewe..Kuna mama mmoja hivi ni kungwi yupo maeneo ya magomeni nilimfuata na ndio alinifundisha yote haya ili tu nije

nikirudhishe mume wangu. Nakupenda sana na sitaki kukupoteza Ally wangu ndio maana nafanya yote haya ili tu uridhike na kila kitu kutoka kwangu."

"Nakupenda pia Recho wangu na asante sana kwa haya mautamu unayonipa..Ila mpenzi leo tumefanya kitu cha hatari sana, wakati navunja dafu nimekumwagia ndani."

"Wala usijali mpenzi wangu wala haitakua na madhara yoyote kwani ni wiki mbili sasa zimepita tangu nitoke period (hedhi) hivyo hakuna kitu chochote kitakachotokea. Najielewa sana na pia sitaki nikupe majukumu ambayo bado haupo tayari nayo."

"Sawa kama ndio hivyo na unanihakikishia hakuna mimba yoyote itakayotokea basi nashukuru sana."


Wakaendelea na story nyengine tofauti huku wakiongea sana maisha yao yatakavyokua baada ya kumaliza chuo hususani mapenzi yao..Ally alimuahidi Recho kuwa atakua nae bega kwa bega katika kila jambo na Recho alimshukuru sana.. Walipitiwa na usingizi na kuja kuamka saa mbili asubuhi waliposikia kengele inaita na kisha Ally akaenda kufungua mlango..Walimkuta muhudumu akiwa amewaletea kifungua kinywa na kumkaribisha mule ndani kisha baada ya

kuweka akaondoka..Walienda bafuni na kunawa uso kisha wakapata kifungua kinywa na baada ya kumaliza wakaingia kuoga ili waanze safari ya kwenda kutalii kwenye mbuga ya wanyama iliyopo eneo lile..Walivyomaliza wakatoka nje na kuwakuta watalii mbalimbali wa kizungu pamoja na baadhi ya watanzania wakiwa wanasubiri muda ufike ili wapelekwe mbugani..Ilipofika saa 4 kamili wakapanda kwenye magari ya wazi ya

kutalii na kuanza kuelekea mbugani. Walivyofika walipiga picha nyingi pamoja na kufundishwa maisha na tabia za kila mnyama waliyemuona. Muda mwengine walishuka kwenye gari na kuanza kutembea na kuwasogelea wanyama wasiokuwa wakali kama pundamilia na kupiga nao picha..Hakika waliifurahia sana hiyo siku kwani kwa Ally na Recho hiyo ndio ilikua mara yao ya kwanza

kutembelea mbuga za wanyama..Waliendelea na utalii hadi ilipofika mida ya mchana wakarudishwa hotelini kwa ajili ya kupata chakula cha mchana ili jioni wapelekwe tena kutalii..

"Baby mimi naona baada ya kumaliza

kula tuondoke ili tuwahi kufika nyumbani si unajua leo Jumatatu na foleni za Dar es salaam jinsi zilivyo?"

Aliongea Recho.

"Yaah kweli baby hata mimi pia nimelifikiria hilo..Ila kabla ya kuondoka naomba kitu kimoja tu mpenzi wangu."

"Sawa usijali baby ni kitu gani hiko?"

"Naomba tukafanye kwa mara ya mwisho ili tukiondoka hapa hata tukikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi lisiwe tatizo sana."

"Sawa baby mimi ni wako hata ukitaka tufanye kwa mara kumi nipo tayari wewe tu."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally alicheka kisha wakaelekea kwenye mgahawa uliopo pale hotelini na kuhudumiwa chakula..Walianza kula huku Ally akimuangalia sana mpenzi wake jinsi

alivyokua mrembo wakati nywele zake

zikipeperushwa huku na huko na upepo mkali uliokua unavuma kutoka baharini..

"Baby mbona unaniangalia sana, unajua

nitapaliwa na chakula."

You're so beautiful my love. I look at you

hundred times but I still don't get enough. (Wewe ni mrembo sana mpenzi wangu. Nakuangalia mara mia moja lakini

sitosheki kabisa) Nahisi Mungu alikuumba kwa udongo wa peke yako wenye kila aina ya virutubisho."

Recho alifurahi sana kuambiwa hivyo.

"Thank you so much my honey. You're so

handsome too and I feel jealous when I see you talking to other girls, please don't let me go my love. (Asante sana mpenzi wangu. Wewe pia ni mzuri sana na huwa najisikia wivu sana nikikuona unaongea na wasichana wengine, tafadhali naomba usiniache mpenzi wangu.)"

"I promise you i will be yours forever and I will always stand right by your side. (Nakuahidi nitakua wako milele na siku zote nitakua upande wako)."

Recho alifurahi sana kusikia hivyo kisha

akamsogelea Ally na kumpiga busu mwanana na kuendelea kula.


Walipomaliza walielekea kwenye chumba chao na hawakupoteza muda haraka haraka wakavua nguo na kuvamiana. Muda huu kila mmoja alionekana kuwa na mzuka na mwenzie kwa sababu ndio

ilikua raundi yao ya mwisho..Ally akamuandaa vizuri Recho kwa kumnyonya sehemu mbalimbali za mwili wake na kumalizia kwenye naniliu ambapo alimsikia Recho akilia kama

mtoto mdogo..Alipomaliza Recho naye akaanza mambo yake kwa kumyonya mpenzi wake kuanzia masikioni, shingoni, kifuani na kumalizia kwenye dunguso ambapo alimsikia Ally akitoa sauti ya utamu..Baada ya kumaliza Ally

akamuweka Recho vizuri na kuanza kumpelekea mashine yake..Alianza kwa mwendo wa taratiibu na kumuona Recho akifumba macho na kuyaminya minya matiti yake kuashiria anapata utamu. Ally akaongeza speed na kumuona Recho

akizidi kupagawa huku wakibadilishiana mikao tofauti..Wote walipokaribia kufika mwisho wa safari Recho alimsimamisha Ally na kumwambia.

"Baby leo nataka tuvunje dafu wote hivyo niache mimi nije juu kama jana halafu ukitaka kuvunja dafu niambie ili kama mimi nikiwa bado nikuache kwanza, umenielewa sweetie."

"Ndio nimekuelewa mpenzi wangu. Haya njoo unipe tiba mwenzio nipo hoi hapa."

Ally akajilaza kitandani kisha Recho akaja kumkalia kwa juu na kuiingiza mashine na kuanza kukata mauno huku muda mwengine akiwa kama anakuna nazi..Ally alipotaka kuvunja dafu alimuambia Recho aache kidogo ili mzuka upungue kisha ndio waendelee..Asikuambie mtu hakuna kazi ngumu kama kumfikisha mwanamke kileleni kwani ndoa nyingi zinavunjika kwa wanawake wengi kulalamika kuwa hawaridhishwi na waume zao huku ndoa

nyingine zikiendeshwa kwa usaliti kwani

wanawake wengi hutoka nje ya ndoa zao na kuwatafuta wanaume wenye uwezo wa kuwafikisha mwisho wa reli na endapo wakiwapata hujikuta wanazisahau kabisa ndoa zao.


Baada ya Ally kupumzika kidogo akamuambia Recho aendelee na ile style yake ya kukuna nazi huku kila akitaka kuvunja dafu akimsimamisha mpenzi wake..Waliendelea na mchezo ule hadi

Recho alipohisi kutaka kuvunja dafu kisha

akaongeza speed na baada ya muda mfupi wakavunja dafu wote kwa pamoja huku Recho akimlalia Ally kifuani na kuonyesha kuwa amechoka sana..Ally nae alikua hajiwezi kabisa na kubaki kimya akiusikilizia mwili wake jinsi

ulivyokua unachemka kwa zile raha alizotoka kupewa..Walikaa vile vile kama dakika tano kisha Recho akamuamsha mpenzi wake na kumwambia wakaoge ili wajiandae waondoke..Ally aliamka huku akionyesha kukosa nguvu kabisa na kumsifia mpenzi wake kwa yale mambo aliyokua anamfanyia..Waliingia bafuni

na kuogeshana na baada ya kumaliza wakatoka na kuanza kujiandaa. Walivyomaliza kila kitu wakatoka na kufunga mlango na kuirudisha funguo mapokezi kisha wakaaga na kuondoka..

Njiani waliongea mambo mengi sana hususani mipango yao ya kuoana pindi watakapopata kazi huku Recho akionyesha kuwa na hamu sana ya

kuolewa na Ally..

"Baby mwezio sina nguvu kabisa miguuni yao hadi kukanyaga breki napata tabu. Sio siri umeniweza sana na kamwe siishiwi hamu kila ninapokuona."

Recho alicheka sana na kumwambia mpenzi wake awe makini njiani ili wafike salama..Waliingia Dar es salaam maeneo ya tabata jioni sana kutokana na foleni za mji huo na Ally akaenda kumuacha Recho mpaka getini kwao kisha wakaagana kwa mabusu moto moto na yeye akaelekea nyumbani kwao Temeke.


Alivyoingia chumbani kwake alikuta zawadi nyingi sana zikiwa zimejaa kitandani kwake na kuanza kuzifungua moja baada ya nyengine..Akaliona box moja likiwa limerembwa vizuri kwa maua na alama mbalimbali za upendo na alipolifungua hakuamini alipokuta kiasi

kikubwa sana cha pesa ambacho hakuwahi kuzishika tangu alipozaliwa. Pia akakuta kadi moja nzuri sana na ya gharama ikiwa imeandikwa maneno mazuri sana ya mapenzi na chini kabisa akaliona jina la Nusrat..Akajua kuwa zile hela zilikua zimetoka kwa Nusrat na akaanza kuzihesabu haraka haraka na hadi anamaliza hakuamini alipokuta ni shilingi milioni tano taslimu..Muda huo huo akampigia simu Nusrat ili amshukuru kwa zawadi zake lakini simu yake haikupatikana. Alijihisi kumtesa sana Nusrat na kuahidi kuwa liwalo na liwe ila ni lazima hata kwa mara moja tu akampe penzi ili amtoe unyonge aliokua nao kutokana na yeye kuwa anampenda sana na kumthamini..Akamtumia message ya kumshukuru ili atakapowasha simu yake aione imeshaingia.


***** ***** *****


Ally akaanza maisha ya kukaa nyumbani huku akiwa yupo yeye na Sarah kutokana na baba yake kwenda kazini kila siku asubuhi na kurudi usiku..Hakutaka kabisa kukaa karibu na Sarah kwa kuogopa mitego yake na muda mwingi aliutumia chumbani kwake..Siku zilizidi kusogea

huku akiendelea kuwasiliana na Nusrat ambaye hakuacha kumuomba waonane ili akampe raha..Ally alijikuta kuwa mzito sana kukutana na Nusrat japo siku hizi alikua anampenda kutokana na mambo ambayo Nusrat alikua anamfanyia. Akapanga siku moja kumpigia simu

na kumuomba akutane nae sehemu..

Baba yake Ally aliendelea na michakato ya kumtafutia mwanae kazi katika benki

anayofanya kazi ya CRDB ili aanze maisha yake ya kujitegemea..Ally alitamani sana aanze maisha yake binafsi ili ahamie katika nyumba aliyopewa na baba yake katika siku ya mahafali yao pale chuoni..Rafiki yake Allan hakuacha kuja kumtembelea na kujuliana hali mara kwa mara huku siku nyengine na yeye akiwa anaenda nyumbani kwao maeneo ya Kinondoni kwenda kumtembelea. Hakika walikua ni zaidi ya marafiki kwani walisaidiana kwenye mambo mbalimbali kimaisha wakati wa shida na raha.


Siku moja mchana baada ya chakula wakati Ally akiwa chumbani kwake akiangalia movie kwenye laptop alisikia Sarah akipiga hodi mlangoni kwake. Kwanza alijiuliza atakua ana shida gani ila akaamua kuinuka na kwenda

kumfungulia ili akamsikilize anasemaje ila kile alichokikuta kilimfanya apatwe na mshangao mkubwa.......



Hakuamini kumkuta Sarah akiwa amevaa kufuli tu peke yake huku kifuani akiwa hana kitu na kuyafanya matiti yake makubwa kumtazama Ally ambaye alikua anajihisi kama yupo ndotoni..Ally akabaki anamshangaa Sarah ambaye alikua haonyeshi kuwa hata na chembe ya aibu kisha alishtuka akisukumwa na Sarah

kuingia mule chumbani kwake..Baada ya

kuingia ndani Sarah akaufunga mlango na funguo kisha akamsogelea Ally na kuanza kumshika shika kifuani kwake. Alimpapasa kifua na kuanza kushusha mkono wake mmoja chini kuelekea kwenye dunguso. Alipoona Sarah

anataka kufanya vile ndio akawa kama

anakurupuka kutoka usingizini kwani alimsukuma kwa nguvu na kumfanya adondoke chini na kuangukia kichwa chake..Alishtuka sana alipoona Sarah anaanza kutokwa na mapovu mdomoni huku akitapatapa pale chini na kurusha miguu kama mtu anayekata roho. Akaanza kuhisi kuingia kwenye matatizo

makubwa na kuwaza kuishia jela kama Sarah atapoteza maisha. Haraka haraka akatoka na kukimbilia chumbani kwa Sarah ili akachukue kanga aje kumfunga kwani alikua yupo wazi kabisa akiwa na kufuli tu mwilini mwake. Alirudi haraka na kumkuta akiwa yupo kimya hatikisiki tena na kuanza kumsogelea kwa uoga na kuanza kumuangalia mapigo yake ya moyo kama bado yalikua yanaenda. Alimsikia akiwa bado anahema kwa mbali huku povu likiendelea kuchuruzika mdomoni mwake na macho ameyafumba. Haraka haraka akamuweka vizuri na kumfunga kanga moja kifuani kushuka chini huku nyengine akiianzia kiunoni kushuka chini. Akachukua funguo ya gari lake na kumuinua Sarah na kumbeba kisha akaanza kutoka naye nje kumuwahisha hospital..Alimpakiza nyuma kwenye gari lake na kumlaza kisha

akafungua geti na kulitoa gari nje. Akashuka na kulifunga geti kisha akalitoa gari kwa speed kali hadi watu waliokaa pembeni ya barabara wakamshangaa kwani haikua kawaida yake kuendesha namna ile..


Akaanza safari ya kuelekea hospital ya Good Hope ambayo ni ya mtu binafsi kwani aliogopa akimpeleka hospital ya serikali anaweza akahojiwa maswali mengi sana na pengine kuingia matatizoni. Aliendesha gari kwa speed

sana huku mara kwa mara akigeuka nyuma na kumtazama Sarah ambaye alikua yupo vile vile kimya kabisa..Baada ya dakika 15 akafika hospital pale na kushuka ndani ya gari kisha akaelekea ndani na kuwaomba wauguzi wa pale

wamsaidie kumbeba mgonjwa wake ambaye alikua amepoteza fahamu. Haraka haraka wakachukua kitanda cha matairi na kwenda kumpakia Sarah kisha wakaanza kumpeleka chumba cha

wagonjwa mahututi ili apatiwe huduma ya haraka pamoja na kufanyiwa uangalizi

mkubwa..Wakamfikisha mpaka chumba kile cha wagonjwa mahututi kisha wale wauguzi wakamuomba Ally atoke nje ili waanze kumpatia huduma mgonjwa. Baada ya muda mfupi akamuona daktari akiingia mule na ukimya ukatawala kwani hakukua tena na mtu anayeingia wala anayetoka..Akakaa kwenye kiti kimoja kati ya vile vilivyokuwepo pale na kuanza

kutafakari yale yote yaliyotokea huku

akimlaumu sana Sarah kwa yale yote

yaliyotokea na kumuhatarishia kuingia kwenye matatizo makubwa..Alijiona kama yupo peke yake eneo lile ingawa palikua na wagonjwa wengi na watu wao waliowaleta kwani alikua amezama kwenye dimbwi zito la mawazo na hakujua wala kuona chochote kinachoendelea pale. Aliendelea kutafakari na baada ya nusu saa

akamuona daktari akitoka huku akiiweka sawa mashine yake ya kupimia presha na kuvua miwani yake..Yule daktari alimuita mmoja kati ya wale wauguzi ili amuite mtu aliyekuja na Sarah kwani alikua na maongezi nae..Ally alikua anaona yale yote yaliyokua yanaendelea kati ya

yule daktari na muuguzi lakini hakuwasikia wanaongea kitu gani..Alishtuka kuona yule muuguzi akimfuata na kumwambia..

"Samahani kaka naomba ukaonane na yule daktari aliyetoka humu ana mazungumzo na wewe, ofisi yake ni ile pale chumba namba 9."

"Sawa nesi nimekuelewa ila samahani nataka kujua mgonjwa wangu anaendeleaje."

"Usijali kaka mgonjwa wako yupo salama tu ila nenda kwa daktari ndio atakuambia kila kitu."

"Sawa dada nimekuelewa na nashukuru sana."


Baada ya kumaliza kuongea na yule nesi

akaelekea kile chumba alichoelekezwa ili

akaonane na daktari..Akaingia mpaka mule ndani na kumkuta mgonjwa mmoja akiwa anamalizia kupewa maelekezo na kuandikiwa dawa na baada ya muda mfupi yule mgonjwa akaondoka..Alikaa kwenye kiti na kusalimiana na daktari kisha akamuuliza hali ya mgonjwa jinsi

inavyoendelea.

"Mgonjwa hajambo kidogo tofauti na mwanzo wakati unamleta kwani mapigo yake ya moyo yanaonekana kuanza kuongezeka huku pia akishituka shituka mara kwa mara na hiyo inaonyesha kuwa anaweza kurejewa na fahamu zake kamili muda wowote kuanzia sasa."

"Nashukuru sana daktari kusikia hivyo."

"Sawa. Lakini kuna maswali kadhaa nataka kukuuliza juu ya yule mgonjwa kwani kuna kitu tumekiona siyo cha kawaida.Yule mgonjwa ni nani yako yani una husiana nae vipi?"

"Ni mfanyakazi wetu wa ndani, ila umenishtua sana ni kitu gani hiko mmekiona siyo cha kawaida?"

"Kwa mujibu wa vipimo tulivyomfanyia na

kumfanyia scan kichwani kwake tumeona

sehemu ya nyuma ya ubongo wake yaani medula obulangata imepatwa na mshtuko huku ikionyesha kama kuna shock aliipata sehemu hiyo ya nyuma kama kuna kitu hivi kilimpiga..Naomba uniweke wazi ili niweze kukusaidia, alipatwa na nini haswa hadi akapatwa na hali ile?"

"Mmmm...kusema ukweli dokta mimi nilikua chumbani kwangu nafanya mambo yangu kwenye laptop ndio nikamsikia akipiga kelele kutoka chumbani kwake na nilipoenda kumuangalia nikamkuta amedondoka chini na amepoteza kabisa fahamu..Yani sijui kitu kingine chochote kilichomkuta kabla ya hapo nilimkuta tu akiwa amedondoka chini kabisa na kupoteza

fahamu."

Ilibidi Ally amdanganye daktari ili asijue

kitu kinachoendelea.

"Mmhh umesema ulimsikia anapiga kelele ndio ukaenda chumbani kwake, kwani kuna mtu mwengine alikuwepo nyumbani kwa muda huo?"

"Hapana hapakua na mtu mwengine zaidi

yetu. Nyumbani tunaishi watu watatu

tu, mimi,baba pamoja na huyo mfanyakazi lakini baba kwa muda huu wa mchana huwa anakua kazini na anarudi usiku."


Daktari akabaki anamuangalia Ally kwa umakini huku akionyesha kama kuna jambo analifikiria..

"Ok kijana unaweza kwenda kumuangalia

mgonjwa wako ila hakikisha una maintain (endeleza) hali ya ukimya utakayoikuta na

nakushauri ungezima simu kwani kile ni

chumba cha wagonjwa mahututi."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally akamuelewa yule daktari na kumshukuru sana kwa msaada wake kisha akatoka mule chumbani..Akaelekea ICU huku simu yake akiiweka silent ili kama mtu akipiga au message ikiingia isitoe sauti. Akafungua mlango taratibu na kuingia

ndani na moja kwa moja akapiga macho kwenye kitanda alicholazwa Sarah ambapo alimuona akiwa amewekewa mashine maalum ya kumsaidia kupumua. Alisogea mpaka pale kitandani na kuanza kumtazama Sarah ambaye alikua hajui chochote kinachoendelea kwa wakati ule..Akaikumbuka ile picha nzima

jinsi ilivyokua kabla ya Sarah kupoteza fahamu na kuanza kujilaumu kwa kitendo kile cha kumsukuma kwa nguvu kwani alihisi angeweza kufanya kitu kingine mbadala ili kuepusha mazingira yale. Alimuonea sana huruma na alipanga kumtafuta mvulana yeyote mwenye

nidhamu anayekaa maeneo yale ya karibu na kwao pindi Sarah atakapopona ili

amuunganishie kwa Sarah awe mchumba wake kwani alihisi anasumbuliwa na hamu za kufanya mapenzi (horny) na ndio maana huwa anamsumbua sana. Alikaa pale chumbani kwa muda mrefu akitafakari mambo mengi sana na

mustakabali mzima wa maisha yake huku

akiichukia sana ile hali ya kufuatwa fuatwa na wanawake kumuomba wafanye nae mapenzi kwani hata wakati yupo chuo pia hali ilikua ni ile ile. Baada ya muda muuguzi akaingia mule ICU

na kumuambia kuwa muda wa kuona wagonjwa ulikua umeisha hivyo inabidi aje kesho yake asubuhi pamoja na kulipa gharama za matibabu ya mgonjwa na kulazwa pale hospital..Ally hakua na hela za kutosha kwa wakati huo hivyo akamuahidi yule muuguzi kuwa atakuja kulipa kesho yake..Yule muuguzi akamwambia kuwa akaonane na daktari na kumpa hiyo taarifa kwani yeye ndio mwenye mamlaka ya kufanya maamuzi yote pale hospital..Baada ya kuambiwa

hivyo akamuaga yule muuguzi na kwenda kwa daktari ili kumwambia kuhusu kufanya malipo kesho yake asubuhi. Baada ya kuongea nae daktari alimuelewa na kumsisitiza atimize ahadi

yake kwani utaratibu wa pale ulikua ni malipo kwanza kisha ndio huduma inafuata..Ally alikubali na kisha wakaagana na kuondoka..


Akampigia simu baba yake na

kumwambia kila kitu kilichotokea huku

akimdanganya kuhusu lile tukio la Sarah na kumwambia kama vile alivyomuelezea

daktari..Mzee Mohammed akataka kwenda hospital muda ule ila Ally akamuambia kuwa hawaruhusu kwa muda ule kuona wagonjwa waliokua ICU hadi kesho asubuhi..Mzee Mohammed akamuelewa na kumwambia kuwa

wataongea zaidi nyumbani pindi atakaporudi usiku..Ally akakata simu na kuingia kwenye gari na kuanza safari ya kurudi nyumbani. Usiku baba yake alivyorudi alimuelezea vizuri kila kitu kilichotokea huku akimdanganya ili

asijue kuwa Sarah ana tabia ya kumfuata na kumuomba wafanye mapenzi. Akamuambia pia kuhusu zile gharama zinazotakiwa pale hospital na baba yake akaahidi kuwa atazilipa kesho yake asubuhi wakienda kumuona.


*************** ***************


Usiku huo huo Allan na Tayana walikua wapo guest wakiwa wamekutana kwa mara ya kwanza kabisa kwa ajili ya kufanya mapenzi tangu walipoanza mahusiano yao..Hakika Allan alimpenda sana Tayana kwani hakuwahi kabisa

kumgusia kuhusu kufanya mapenzi hadi pale Tayana alipomtamkia mwenyewe Allan kuwa amezidiwa na hamu..Aliweza kuishi kwa muda wote ule huku akitumaini kuwa ipo siku atakuja

kumuoa na mambo yale yote mengine

yangefuata..Tayana alionyesha kweli kuwa amezidiwa kwani alikua anahema sana huku akitoa sauti laini za vilio vya raha pindi Allan alipokua anashughulika. Allan alimuonyesha Tayana ufundi wa hali ya juu na kuzidi kumchanganya kwani alikua anamfanyia mambo ambayo Tayana hakuwahi kuyaona hata siku moja kwa boyfriend wake wa zamani anayeitwa Erick..Aliapa kutomuacha kamwe Allan kwani alikua anampenda sana pamoja na kumsaidia kwenye matatizo yake mbalimbali hususani kipindi kile mama yake Tayana alipokua anahitaji kufanyiwa upasuaji kuondoa

uvimbe tumboni na wao walikua hawana hela ya kutosha kuweza kufanikisha upasuaji huo. Alimuona Allan kuwa ni mwanaume wa pekee sana na ana moyo wa ajabu kwani alikua hamgusii hata siku moja kuhusu kufanya nae mapenzi na bado alikua anamuonyesha mapenzi

ya dhati. Akatamani siku zisogee haraka ili aolewe na Allan ili waanze maisha ya mke na mume na kutengeneza familia yao iliyojaa upendo na furaha tele..Usiku huo walipeana sana raha na kurudia mizunguko mitatu hadi hamu yao ilipowaisha kila mmoja akalala huku wakiwa wamekumbatiana.


**************** ****************


Asubuhi ya siku iliyofuata Ally na baba yake waliamka mapema sana kwa ajili ya kujiandaa kuelekea hospital ili wakamuone Sarah jinsi anavyoendelea. Mpaka wakati huo Ally hakumjulisha chochote Recho juu ya yale yaliyotokea na akaona itakua sio vizuri kwani yeye ndiye alikua ni mtu wake wa karibu na

labda angeweza kuingia kwenye matatizo kama hali ya Sarah itabadilika au kupoteza maisha..Akaamua kumpigia simu na kumueleza ukweli wote juu ya Sarah kumfuata chumbani kwake akiwa uchi na kumlazimisha kufanya nae mapenzi na yeye akamsukuma hadi akapoteza fahamu..Recho alimuhurumia sana mpenzi wake kwa kupitia katika kipindi kile kigumu na kumpa pole nyingi huku akimfariji kwa maneno matamu na kumwambia kuwa kila kitu kitakua

sawa..Ally alimshukuru sana mpenzi wake kwa kumpa moyo na kumwambia kuwa muda ule anaelekea hospital na baba yake kumuangalia Sarah hivyo atampigia simu baadae ili kumjulisha kila kitu kinachoendelea..Recho alimuelewa kisha wakaagana na Ally akakata simu na kutoka mule chumbani kwake na kuelekea nje kumsubiri baba yake ambaye alikua bado hajatoka..Baada ya dakika kama kumi mzee Mohammed akatoka na wote wakaingia ndani ya gari na kuanza safari ya kuelekea hospital. Haikuwachukua muda mrefu kwani kutoka kwao hadi hospital ni muda wa

kama robo saa hivyo walifika na kupaki gari kisha wakashuka.


Wakaanza kutembea na kuelekea ICU huku mzee Mohammed akiwa na shauku kubwa ya kumuona Sarah kwani alikua anampa mambo matamu sana..Ally akaona watu wakiingia na kutoka mlango wa ICU hivyo hakuona haja ya kukutana kwanza na daktari na moja kwa moja

wakaingia mule ndani..Alivyopiga jicho kitanda alichomuacha jana Sarah amelazwa hakumuona mtu hivyo akapatwa na mshangao mkubwa na

kuanza kuhisi huenda Sarah itakua amepoteza maisha...........



Ally aliogopa sana na kuanza kuhisi kuingia kwenye matatizo makubwa kwani yule daktari alionyesha kujua kinachoendelea kutokana na yale maswali yake aliyomuuliza jana. Wakasogea mpaka pale kitandani huku Ally akilishika shuka alilofunikiwa Sarah jana na kuonyesha kutoamini kile anachokiona..

"Mbona hayupo sasa na ulisema jana ulimuacha humu?"

Aliuliza mzee Mohammed kwa wasiwasi.

"Yani hata mimi sielewi chochote kinachoendelea. Jana wakati namleta na hadi naondoka alikua amelazwa kitanda hiki sasa sijui nini kimetokea hapa nyuma."

"Mmhh ina maana Sarah itakua amepoteza maisha?" Hapana sitaki kuamini ngoja nimtafute daktari ili nimuulize kinachoendelea."

Aliongea mzee Mohammed huku akionyesha kuchanganyikiwa sana zaidi ya Ally..Walitoka mule ICU na kuelekea

chumba cha daktari ambapo walikuta kuna foleni kubwa na ilibidi wakae wasubiri.


Walikaa kwa muda kidogo na Ally alipoona ile foleni inazidi kuchelewa akainuka na kumfuata nesi mmoja ambaye alikua ameingia zamu ya

asubuhi..

"Samahani nesi, habari za kazi?"

"Nzuri tu kaka sijui wewe."

"Salama kabisa. Samahani eti una taarifa zozote kuhusu mgonjwa anayeitwa Sarah Sadiki ambaye jana alilazwa ICU?"

"Anhaa! ok Sarah...."

Yule nesi aliongea huku akionyesha kufikiria kitu na kuangalia chini..Ally

alipoona hali ile alizidi kuishiwa nguvu na kujua kuwa muda huo tayari Sarah ameshapelekwa mochwari..

"Yaah nimekumbuka, yupo wodi namba tatu alifanyiwa uhamisho leo alfajiri baada ya kupata nafuu..Nenda pale mbele utaona mlango umeandikwa namba tatu utamkuta humo."

Baada ya kuambiwa vile kidogo pressure

ilimshuka na kuanza kurejewa na furaha. Alimshukuru yule nesi na kumshtua

baba yake kwa kumpa ishara kisha wakaenda ule mlango waliolekezwa. Waliingia mpaka ndani na kumkuta Sarah akiwa amelala huku pembeni kukiwa na mgonjwa mwengine aliyekuja kutembelewa na ndugu zake..Walienda mpaka pale kitandani na mzee Mohammed akamsogelea Sarah na kumshika mkono na kuanza kumuita kwa sauti ya taratibu..Sarah alifumbua macho na kukutana na sura ya mzee Mohammed ikiwa pembeni yake..Aliachia tabasamu dhaifu lililoonyesha kuwa bado hayuko sawa na kujitahidi kujiinua pale kitandani. Alipoangalia vizuri akamuona na Ally

pembeni akiwa amesimama.. Ally akasogea pale kitandani na kumsaidia Sarah kumkalisha vizuri kitandani..

"Vipi Sarah unaendeleaje leo?"

Aliuliza mzee Mohammed.

"Kidogo sijambo najisikia nafuu ila bado kichwa kinaniuma sana haswa kwa huku nyuma."

"Pole sana..Kwani ilikuaje jana mpaka ukapatwa na hali hiyo?"

Sarah alimtazama Ally usoni ambaye alikua kimya kabisa akisikiliza maongezi yao kisha akasema.

"Yani hata mimi sielewi ilikuaje. Ghafla tu wakati natoka kuoga nikahisi kichwa kinaniuma sana na hapo hapo ndio nikadondoka na kupoteza fahamu na sijajua kitu chochote kilichoendelea

hadi leo alfajiri ndio nimerejewa na fahamu."

"Daah aisee pole sana, sasa inakuaje kuhusu kupata kifungua kinywa maana sisi hatujakubebea kitu chochote si unajua tena mambo ya wanaume na kuhudumia wagonjwa..Ingekua ni wewe ndio umekuja kuniona mimi ungeshaniletea chupa ya uji au chai lakini sisi hatujazoea hivyo vitu."

Sarah alicheka kidogo kisha akasema.

"Ina maana hata wewe Ally umeshindwa

kunikorogea japo uji hata kikombe kimoja?"

"Aah si unajua tena wanaume hatuna kabisa mawazo hayo pindi tunapokuja hospital. Halafu pia tulikurupuka tu maana tumechanganyikiwa sana na haya matatizo uliyoyapata."

"Asanteni sana ila sasa kidogo sijambo na hata muda huu nipo tayari kwenda nyumbani kama daktari ataniruhusu."

"Basi kama ndio hivyo ngoja tumuite daktari tumsikie anasemaje na kama

atakuruhusu basi tuondoke wote nyumbani..Hebu Ally fanya mpango wa kumtafuta daktari ili tuje kumsikia anasemaje."

Mzee Mohammed alimwambia mwanae.


Baada ya kuambiwa hivyo Ally aliinuka na

kumfuata yule nesi aliyeongea nae mara ya kwanza na kumuelezea kuwa anaomba kuongea na daktari kuhusu yule mgonjwa wake..Yule nesi alionekana kuwa mkarimu sana kuliko manesi wote aliowahi kuwaona. Alimkubalia na

kumuambia aende wodini daktari atakuja muda sio mrefu..Ally alimshukuru sana yule nesi na kurudi wodini alipolazwa Sarah..Aliwakuta yeye na baba yake wakiwa wamefurahi sana kwa maongezi yao waliyokua wanaongea..Hakuamini

kabisa kama Sarah angerudi kwenye hali ile haraka kiasi kile kutokana na jana jinsi

alivyokua..Pia alishangaa jinsi Sarah

alivyozoeana sana na baba yake kiasi kile hadi wanaongea na kufurahi utadhani mtu yupo na rafiki yake wa siku nyingi. Alimtaarifu baba yake kuwa daktari atakuja muda sio mrefu na hazikupita dakika tano akamuona yule daktari

aliyeongea nae jana akiingia mule wodini. Walisalimiana nae na kumuuliza jinsi hali

ya mgonjwa inavyoendelea..

"Kiukweli hali ya mgonjwa inaendelea vizuri kama mnavyomuona na hata mimi sijategemea kama angepata nafuu haraka kiasi hiki kutokana na hali aliyokua nayo jana."

"Yaah hata mimi namuona anaonyesha kupata nafuu..Sasa nilikua nauliza anaweza kupata ruhusa ya kurudi nyumbani ili akamalizie kujiuguza maana amesema anajisikia vizuri na yupo tayari kwenda nyumbani kama atapata ruhusa yako."

Aliongea mzee Mohammed huku akimtazama daktari.

"Sawa hamna tatizo ni juu yenu tu ila kuna gharama bado hazijalipwa hivyo inabidi mzilipe kwanza ndo niwape ruhusa."

Daktari akawatajia gharama zote za matibabu na malazi kisha mzee

Mohammed akatoa wallet yake na kumkabidhi daktari kiasi kilichotakiwa..

"Hapo sawa mnaweza kwenda sasa ila inabidi mmoja apitie ofisini kwangu ili nikampe karatasi ya discharge pamoja na kumuandikia mgonjwa dawa ili akatumie pindi atakapokua nyumbani."

Baada ya kuambiwa hivyo Sarah akainuka na kuingia chooni kujiandaa huku Ally akimfuata yule daktari ofisini kwake. Sarah alimaliza kujiandaa kisha akatoka mule wodini akiwa ameongozana na mzee Mohammed na kuelekea nje alikopaki gari wakati anakuja..Ally akatoka ofisi ya daktari baada ya kuandikiwa kila kitu na kupitia duka la dawa lililopo mule mule hospital kununua dawa zilizoandikwa kwani hazikua na

bei sana hivyo hakuona haja ya kumwambia baba yake atoe hela..Wakati anaondoka baada ya kupewa zile dawa alisikia yule nesi aliyeongea nae mara ya kwanza akiwa anamuita..Akamfuata mpaka pale alipo na kumsikiliza anataka

kumuambia nini..

"Samahani sana kaka yangu naomba unipe namba yako ya simu kama hutojali kuna mambo muhimu sana nataka niongee na wewe."

Mmhh! mambo gani hayo, hauwezi kuniambia sasa hivi?"

"Hapana ni marefu kidogo halafu sasa hivi nipo busy na kazi hivyo naomba unipe namba yako ili baadae nikutafute."

Ally hakutaka kujiuliza mara mbili kwani yule nesi alimsaidia sana pamoja na kumuonyesha ukarimu wa hali ya juu..Akamuandikia namba zake kisha wakaagana na kutoka nje ambapo

aliwakuta baba yake na Sarah wakiwa

wanamsubiri..Aliingia ndani ya gari kisha

wakaanza safari ya kurudi nyumbani.


*************** ***************


Maisha ya Nusrat yaliendelea kutawaliwa na fikra na mawazo juu ya Ally huku akiwa hajamuona kwa muda mrefu kidogo tangu siku ya mahafali yao chuoni. Alijitahidi kuwasiliana nae mara

kwa mara na kumueleza hisia zake na

kumwambia kuwa anatamani sana kuonana nae..Ally alimkubalia japo alionyesha kuwa mzito kukutana nae huku akimpa sababu mbalimbali kuwa yupo busy sana na siku akiwa yupo huru

atamshtua ili wakutane..Nusrat alijaribu

kumvumilia lakini akaona siku zinazidi kusogea hivyo akapanga kufanya kitu ambacho hata Ally mwenyewe hatakiamini. Siku moja ya Jumamosi asubuhi alimpigia Ally simu na mazungumzo yao yalikuwa hivi..

"Hello sweetie mambo vipi?"

"Safi tu mzima mume wangu?"

"Yaah me mzima kabisa baby, za weekend?"

"Weekend iko poa kabisa, vipi leo utakua

nyumbani au utatoka?"

"Aah.! Leo sina ratiba ya kwenda popote

nahisi nitakua nyumbani siku nzima labda kama itatokea dharura."

"Ok haya bwana mume nakutakia siku

njema na nakupenda sana."

"Sawa baby nawe pia na nakupenda pia. ila kwanini umeniuliza kama nipo nyumbani?"

"Hapana hakuna kitu nilitaka tu kujua

kama mpenzi wangu utakua nyumbani au

utatoka."

"Haya bwana baby siku njema."

"Ok poa nawe pia honey."

"Okay."


Baada ya kumaliza kuongea Nusrat akakaa na kuanza kujiuliza kama kitu anachotaka kufanya kilikua sahihi. Alipanga kwenda nyumbani kwa kina Ally kwa kumshtukiza kwani alihofia akimwambia angeweza kumzuia na kumpa sababu zake nyingi..Mwisho akaona sawa tu hakutakua na tatizo kwa sababu yule ni mpenzi wake na yupo huru nae kufanya kitu chochote japokua kunakuwa na muda wake na muda wa

Recho..Alianza kujiandaa haraka haraka na mpaka mida ya saa 5 asubuhi alikua

ameshamaliza kila kitu..Akamfuata dereva wao na kumwambia ampeleke safari yake na bila kupoteza muda wakaingia ndani ya gari na kuanza safari ya kuelekea kwa kina Ally..Kwa siku hiyo ya Jumamosi hawakupata tabu kabisa

na suala la foleni kwani bado ilikua ni mapema sana..Haikuwachukua muda mrefu kutoka Magomeni hadi Temeke na baada ya muda Nusrat akawa amekaribia maeneo wanayoishi wakina Ally..Alipata tabu kidogo kuzikumbuka njia kwani alifika mara moja tu maeneo yale siku

ambayo Ally alikua anakabidhiwa gari na baba yake na kuandaliwa tafrija. Alijitahidi kuzikumbuka njia na alifika eneo moja ikabidi aulize..Alimuona kijana mmoja wa rika la Ally akiwa amekaa kijiweni na alishuka kwenye gari na kumfuata..

"Habari yako kaka?"

"Nzuri tu sijui wewe dada."

Salama kabisa, samahani nilikua na shida na mvulana mmoja anaitwa Ally anakaa maeneo haya ila nyumba nimeisahau maana nimefika mara moja tu halafu ilikua usiku, vipi unamfahamu?"

"Ally Torres au mwengine?"

"Mmhh hilo jina la Torres hata silifahamu ila alikua anasoma TIA amemaliza juzi tu hapo."

"Ndo huyo huyo Ally Torres, mbona umeshafika dada yangu nendeni mpaka pale mbele kisha kunjeni kulia hesabu nyumba ya kwanza, ya pili, ya tatu upande wa kulia utaona ina rangi ya Pink basi ndio hapo hapo."

"Aaha ok nashukuru sana kaka yangu kwa

msaada wako."

Aliongea Nusrat huku akifungua wallet na kumpa noti ya shilingi elfu kumi. Yule kijana hakuamini kabisa macho yake kwa

kupata hela kirahisi kiasi hiko na akamshukuru sana Nusrat kwa moyo wake wa kibinadamu..Wakaagana na Nusrat akapanda ndani ya gari na kuanza kuelekea pale alipoelekezwa na baada ya

dakika mbili wakawa wameshafika. Akatoa simu yake na kumpigia Ally kumtaarifu kuwa yupo nje kwao..Ally alionyesha kushtuka sana kwani hakutarajia kama Nusrat angeenda pale nyumbani kwao siku hiyo bila ya yeye kuwa na taarifa.


Akatoka nje na kweli akaliona gari ambalo Nusrat alikuja nalo siku ya tafrija ya yeye kukabidhiwa gari pale nyumbani kwao.Akasogea mpaka pale karibu na gari na kumuona Nusrat akiwa amekaa kiti cha mbele huku akiwa anatabasamu .....



Ally alionyesha kutofurahishwa na ule ujio wa Nusrat pale nyumbani lakini hakuwa na jinsi zaidi ya kumkaribisha ndani. Nusrat akashuka kwenye gari na kumkumbatia Ally huku akionyesha kuwa na furaha iliyopitiliza.

"I really missed you my hubby (nimekumiss sana mume wangu) ni muda mrefu hatujaonana tangu siku ya mahafali chuoni."

"I missed you too honey(nimekumiss pia mpenzi wangu) kweli ni muda mrefu kidogo maana tulishazoea kuonana mara kwa mara, karibu ndani."

Aliongea Ally huku akijitahidi sana kuonyesha hali ya uchangamfu japokua moyoni hakuupenda ule ugeni wa Nusrat..

"Sasa Suleiman nafikiri ungeenda na kuja

kunifuata baadae maana nitakuweka sana hapa..Kama una marafiki zako au sehemu yoyote unataka kwenda, wewe nenda na kama gari litakata mafuta utanipigia simu ili nikutumie pesa ya kuongeza ila nafikiri hayo yaliyokuwepo

yatatosha kwa mizunguko ya siku nzima."

Nusrat alimwambia dereva wao aliyemleta pale. Baada ya yule dereva kuambiwa vile aliweza kumuelewa na akawasha gari na kuondoka zake.


Ally alimkaribisha Nusrat mpaka sebuleni kwao na kuanza kupiga nae story..Nusrat

alionyesha kufurahi sana kuingia ndani kwa kina Ally kwani alijihisi ni kama ameshaolewa tayari..Ally alimuita Sarah na kumtambulisha kwa Nusrat kisha akamwambia amletee kinywaji..

"Niletee maji ya kunywa tu yananitosha dada yangu maana sijisikii kunywa soda wala juisi."

Sarah alimletea Nusrat maji huku akiwa

anamkata jicho la ukali kama anamdai deni la miaka kumi.

"Eenhe! baby hujaniambia una mpango gani kwa sasa baada ya kumaliza chuo."

Ally alimuuliza Nusrat.

"Yani baby bado sijajua ila nimeongea na

baba na amesema ataniweka katika moja kati ya makampuni yake ili niwe muhasibu mkuu..Vipi kuhusu wewe kuna dalili zozote za kupata kazi?"

"Dalili bado sijaziona ila baba ananihangaikia niingie pale CRDB anapofanya yeye kazi na kama itashindikana kuna kampuni moja hivi ya rafiki yake amesema pia kuna nafasi ya mimi kuingia."

"Wow! vizuri, vipi kuhusu wewe mwenyewe umependa hizo sehemu ulizoambiwa?"

"Hata kama sijazipenda nitafanyaje sasa na kazi zenyewe ndio hizi hupati hadi uwe na mtu wa kukushika mkono..Nipo tayari kufanya kazi katika mazingira yeyote ilimradi tu iwe na maslahi mazuri."

"Kama unahisi hizo sehemu zitakuwia vigumu niambie baby mimi nitafanya mpango hadi baba akuajiri kwenye moja kati ya kampuni zake na huko utafanya kazi kwa uhuru mkubwa sana kwa sababu nitakua nyuma yako nikikulinda. Baba ananisikiliza sana hivyo sidhani

kama nikimuambia kuhusu hili suala

atanikatalia..Kama utakua tayari hata ndani ya hizi wiki mbili utakua tayari umeshaanza kazi na pia mshahara ni mzuri sana tofauti na ukiajiriwa hizo sehemu nyengine."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally alibaki kwenye mtihani mkubwa kwani baba yake

alishamuambia kuwa kazi itakua tayari baada ya muda mfupi na Nusrat nae amemuahidi kumpatia kazi yenye maslahi mazuri zaidi pamoja na marupurupu mengine ya kila siku..

"Nipe muda kidogo wa kulifikiria hili na kuongea na baba maana nahisi sipaswi kufanya maamuzi peke yangu."

"Sawa nimekuelewa mpenzi na nitafurahi sana kama utakubali kuja kufanya kazi kwenye kampuni ya baba yangu maana nitakua napata muda mzuri sana wa kukaa na wewe huku tukiwa tunafanya kazi pamoja."

Ally akamuahidi Nusrat kuwa atalifikiria sana hilo na kumpa jibu zuri ndani ya siku chache zijazo..Muda wa chakula ulivyofika Ally akamkaribisha Nusrat mezani kwa ajili ya kupata chakula cha

mchana..Walikaa mezani wakiwa wawili peke yao kwani Sarah alienda kujifungia chumbani kwake baada ya kumaliza kuwaandalia chakula pale mezani..

"Yani leo nimefurahi sana mpenzi wangu kuja mpaka nyumbani kwenu na kuingia mpaka ndani kabisa maana ile siku ya tafrija ya wewe kukabidhiwa gari niliishia hapo uwani tu..Natamani siku moja uje kwetu nikutambulishe kwa baba na mama."

"Don't you worry my love, everything will be fine as days goes by.(usijali mpenzi wangu kila kitu kitakua sawa kadri siku zinavyokwenda). Kikubwa ni kuendelea kupendana na kujuliana hali kama hivi."


Nusrat alifurahi sana baada ya kuambiwa

maneno yale..Wakaendelea kula huku wakipiga story na kutaniana hadi walipomaliza. Walirudi sebuleni na kuendelea kutazama movie waliyoiweka tangu mwanzo..Walikaa kwenye sofa moja huku muda mwengine Nusrat

akimuegemea Ally kwa kudeka..Kama

mnavyojua movie za kizungu ndugu wasomaji vipande vya watu kufanya mapenzi kwenye movie nyingi huwa havikosekani. Nusrat alisisimka sana alipoona kipande hiko na kuanza kukunja kunja miguu yake..Ally hakuonyesha kushtuka na kitu chochote kwani aliendelea kuwa makini kuitazama ile movie..

"Baby nikuombe kitu?"

Ilikua ni sauti laini na nyororo kutoka kwa Nusrat.

"Yaah niombe baby wala usijali mimi nipo kwa ajili yako."

"Naomba tufanye mapenzi muda huu huu..Sio siri baby, yani usinione naongea hapa na kucheka lakini sijiwezi kabisa. Naomba angalau unipunguze hii kiu yangu maana ni muda mrefu sana kama

nilivyokuambia."

Ally hakutegemea kabisa kama Nusrat

angetamka maneno hayo pale nyumbani kwao na kubaki kimya akiyatafakari..

"Baby?..Baby?..Baby mbona hunijibu au

nimekuudhi?"

"Hapana baby wala hujaniudhi ila nimejaribu kufikiria haya mazingira ya hapa nyumbani naona hayaruhusu kabisa kufanya hiko kitu maana tutakua hatuna amani..Hivi unafikiri kama baba atapatwa na dharura na kurudi muda huu na kujua kuwa tunafanya hiki kitu itakuwaje? Nakuomba na leo Nusrat uwe mvumilivu. Hiyo hali ni moja kati ya mitihani katika mapenzi hivyo inabidi ukabiliane nao."

Baada ya kuambiwa hivyo Nusrat alibaki kimya kwa muda akitafakari huku akionyesha kuwa mnyonge sana..Kwa macho tu Nusrat alionyesha wazi kuwa alizidiwa sana na alihitaji kufanyiwa kitu maalumu kwa ajili ya kutuliza ile hali aliyokua nayo na Ally pia aliiona hiyo hali..

"Basi tufanye kesho maana mpaka hapa

nilipofikia sitaweza tena kuendelea kuvumilia kwa muda mrefu.Ukinikatalia na hapa nitajua kweli hunipendi maana sioni kizuizi chochote cha kukufanya ushindwe kunipa mambo."

"Sawa nimekuelewa kesho nitajitahidi

ili tuweze kuonana japokua nitakua busy

kidogo."

"Fanya juu chini Ally ili tuweze kuonana hali yangu ni mbaya sana kama unavyoniona."


Ally akamuelewa Nusrat na kuendelea na story nyengine. Siku hiyo waliongea sana na kufurahi hadi jioni ilipofika Nusrat akampigia simu dereva wao ili aje kumfuata..Baada ya kama nusu saa

yule dereva alimpigia simu Nusrat na

kumuambia kuwa ameshafika getini anamsubiri.

"Sasa baby mimi ndio naondoka ila kesho fanya kama hivyo nilivyokuambia na usikose kuja kuna zawadi yako nzuri sana nimekuandalia."

"Sawa mpenzi wangu nimekuelewa na lazima hiyo kesho nije ili nikupe mautamu."

Baada ya kuongea hivyo walisogeleana na kuanza kubadilishana mate kwa aijli ya kuagana..Wakati wanaendelea huku wakiwa wamejisahau kabisa Ally alihisi kama kuna kitu kimewamulika na akahisi huenda umeme ulikua umecheza kidogo kama ilivyo kawaida ya umeme wa

Tanesco..Wakaanza kushikana sehemu zao za mwili huku Ally akiipitisha mikono yake kwenye nyonga za Nusrat..Nusrat alikua anahema kwa tabu sana huku mwili wake ukiwa na joto kali kupita maelezo hadi Ally akakubali kuwa kweli

alikua kwenye hali mbaya..Waliendelea

kuchezeana na ghafla Sarah akatokea akiwa anatoka chumbani kwake. Walipomuona wakaachiana na kutoka nje huku Nusrat akionyesha waziwazi kuwa hajiwezi kabisa..Alimsisitiza sana Ally asikose kwenda kuonana nae hiyo kesho kwa ajili ya kupeana mautamu na Ally aliweza kumuelewa..Wakaagana kisha Nusrat akaingia ndani ya gari na kuondoka.


Ally alirudi ndani na kumkuta Sarah akiwa

amekaa kwenye sofa anaangalia tv huku akiwa kavaa kanga moja kama kawaida yake..

"Yani Ally kunipa mimi japo mara moja tu

unanikatalia na kunisukuma hadi nataka kufa lakini watu wengine tofauti na yule girlfriend wako Recho unawaruhusu wafanye wanachotaka."

"Sarah si nilishakuambia sitaki tena kuyasikia hayo mambo yako ina maana hunielewi au?"

"Sio kama sikuelewi Ally ila wewe ndio unafanya haya mambo mpaka yanakua makubwa. Kwani ukinipa siku moja utapungukiwa na nini?"

Ally hakujibu kitu na kuchukua simu yake

aliyoiacha juu ya meza wakati anamsindikiza Nusrat na kuelekea chumbani kwake.

"Anajifanya mjanja sana ila safari hii nishaipata

dawa yake. Hapa hakatai hata afanye nini na bila hivyo namuharibia kwa yule Recho wake anayejifanya anampenda kama kamuumba yeye."

Aliongea peke yake huku akiiangalia picha aliyotoka kumpiga Ally muda mfupi uliopita wakati anabadilishana mate na

Nusrat huku akiwa amemshika kwenye

kiuno..Pia akaisave namba ya Recho aliyotoka kuiiba kwenye simu ya Ally wakati alipoiacha pale sebuleni na kujiona kuwa anaenda kupata ushindi mkubwa sana..Hakutaka tena kuendelea

kukaa pale na akaenda chumbani kwake

kupumzika.


***************** *****************


Kesho yake Ally aliamka mapema sana na kufanya usafi ndani kwake pamoja na kufua nguo zake zote zilizokua chafu. Alipomaliza akaanza kujiandaa kwa ajili ya kwenda kukutana na Nusrat mahali walipokubaliana..Alitoka sebuleni na kumkuta baba yake akiwa anasoma

gazeti kwani siku hiyo ya Jumapili huwa haendi kazini..Wakasalimiana na baada ya hapo Ally akakaa chini kwani alikua na mazungumzo na baba yake kwa muda mrefu kidogo na aliona hiyo ndio ilikua nafasi nzuri ya kuongea nae..

"Samahani baba kuna mazungumzo lakini sio marefu sana nataka kuongea na wewe."

"Niambie mwanangu mimi nipo hapa kwa ajili ya kukusikiliza."

Ally alikaa kimya kidogo akiwa anatafakari aanzie wapi kisha akamuangalia baba yake na kumwambia.

"Hivi baba kwanini ndugu zangu wa upande wa marehemu mama wametutenga kabisa tofauti na ndugu

zako wewe? Kwa sababu hapa nyumbani sijawahi kabisa kuwaona wakija na hata siku ile kwenye mahafali nilimuona mjomba Azizi peke yake akiwa ndio amekuja lakini wengine wote

hawakuja."

Mzee Mohammed alionyesha kushtushwa kidogo na hilo swali na akavua miwani yake na kuiweka pembeni. Akakohoa kidogo huku akiwa kama

anatafakari jibu la kumpa na baada ya hapo akamuambia.

"Yani hata mimi sielewi ni kwa sababu gani na hali hii haikuanza leo wala jana ni muda mrefu sana tangu wewe ulivyokua mdogo unasoma shule ya msingi..Yule mjomba wako Azizi aliwahi kuniambia kuwa ndugu zake walikua wanataka kupewa urithi wa marehemu mama yako kitu ambacho sio sahihi kwani mtu

anayetakiwa kurithi hizo mali ni wewe pamoja na kaka yako Rashidy. Sasa mimi nilivyosikia hizo habari haraka haraka nikamtafuta mwanasheria wangu na kuziandikisha mali zote kwa majina yenu hivyo hawakuweza tena kuendelea

kuzipigania hizo mali na ndio maana mpaka leo wananichukia mimi pamoja na hapa nyumbani..Yule mjomba wako ni mtu mzuri sana kwani ameweza kuona kitu wanachofanya ndugu zake sio sahihi na kuja kunipa taarifa mapema sana lakini bila ya hivyo tungeweza kudhulumiwa vitu vingi sana kwani mama yako aliacha vitu vingi sana vya thamani."

"Aha ok kumbe ndio maana hawaji hapa

nyumbani!"

"Yaah ndio hivyo mwanangu ila hayo yasikuumize sana kichwa kwani ni mambo ya muda mrefu sana na sasa ni kama hayapo tena."

"Sawa baba nimekuelewa maana hii hali ilikua inanipa wasiwasi sana na kuhisi huenda kuna tatizo kubwa baina yetu."

"Hakuna tatizo lolote mwanangu ni hayo tu ndio yaliyofanya mpaka wametutenga."

"Sawa baba nimekuelewa, acha mimi niondoke kuna rafiki yangu naenda kuonana nae maeneo ya Kinondoni nadhani nitarudi jioni sana."

"Sawa mwanangu ila mbona siku hizi sikusikii ukiniomba hela ya mafuta au mambo mengine tofauti na zamani?"

"Usijali baba kwa sasa ninayo ila kama nitakua sina nitakuomba, nashukuru sana kwa kunijali."

Ally alimdanganya baba yake ili asijue

chochote kama anapewa hela na Nusrat za matumizi pamoja na kuweka gari mafuta.. Waliagana na Ally akaondoka kwa ajili ya kwenda kukutana na Nusrat..


Njiani alimpigia simu na Nusrat ambaye alimuambia kuwa ameshafika maeneo ya Land Mark hotel iliyopo maeneo ya ubungo ambapo ndio walikubaliana kukutana..Ally alizidi kukanyaga mafuta na baada ya mwendo wa nusu saa akawa ameshafika maeneo hayo ya Land Mark Hotel...........



Akalipaki gari lake vizuri na kushuka kisha akaingia ndani ya hotel. Alimpigia simu Nusrat na kumuuliza mahali alipokaa kwani alijitahidi kuangaza angaza huku na huko lakini hakumuona. Nusrat akamuelekeza mahali alipo kisha Ally akamfuata na kumkuta akiwa amekaa sehemu iliyojificha sana..Nusrat alivyomuona Ally alifurahi sana na akainuka kwenye kiti na kumkumbatia..

"Yani baby nilikua siamini kabisa kama ungekuja leo maana siku zote tukipanga tukapeane raha huwa kunatokea kikwazo cha aina yoyote aidha niwe mimi au wewe."

"Usijali mpenzi ilikua ni lazima nije kwa sababu nimeshakuahidi kuwa nitakuja ila kama ningekua sina nafasi basi nisingekuambia wewe uje hapa na kunisubiri."

"That's why I love you because you know how important i am. I love you so much darling(Ndio maana nakupenda kwa sababu unajua ni jinsi gani nilivyo na umuhimu. Nakupenda sana mpenzi)."

"I love you too sweety and I promise that I will always be there for you.(Nakupenda pia mpenzi na nakuahidi kuwa siku zote nitakuwepo kwa ajili yako)"

Nusrat alifurahi sana kuambiwa hivyo na kuhisi huenda Ally atakua anampenda sana tofauti na zamani..Kweli kwa upande wa Ally hakua akiigiza tena wala kujilazimisha ila alishazama pia kwenye penzi zito la Nusrat kama ilivyokua kwa Recho..Mwanzoni alimchukulia Nusrat kama ni mtu wa kumsaidia kwenye shida zake na kumuhonga pesa za matumizi lakini siku hizi alikua anampenda kweli tena kwa dhati..Ama kweli aliyesema "don't test love" (Usijaribu Mapenzi) hakukosea hata kidogo kwani Ally aliyachukulia mapenzi yale ni kama jaribio ila sasa yamekua kweli..

"Naomba uniambie nikufanyie kitu gani mpenzi wangu?"

Nusrat alimuuliza Ally.

"Give your all to me and I will give my all to you baby. Promise that you will never let me go.(Nipe kila ulichonacho na mimi nitakupa kila nilichonacho mpenzi.Niahidi kuwa hautaniacha)."

Alijibu Ally huku akionyesha yupo makini sana na kumaanisha kile anachokiongea..

"I promise you honey, you will always be happy and peacefully. (Nakuahidi mpenzi wangu,siku zote utakua na furaha na mwenye amani)"

Ally nae alimshukuru sana Nusrat kwa kumuhakikishia kumpa mapenzi mazito zaidi ya yale aliyomuonyesha.


Walimuita muhudumu na kuagiza chakula pamoja na vinywaji laini ili wapate nguvu ya kwenda kufanya kile kilichowapeleka pale..Baada ya muda waliletewa na kuanza kula huku wakiendelea kupiga story tofauti tofauti na kufurahi. Walipomaliza walipumzika kidogo kisha Nusrat akamuambia Ally wakachukue chumba ili wakapeane raha na wote wakainuka na kuelekea mapokezi. Waliulizia chumba na kupata chumba kilichopo ghorofa ya pili kisha Nusrat akalipa zile gharama na kukabidhiwa funguo ambayo ina namba ya chumba chao..Walipanda ngazi na kuuona mlango wa chumba chao kisha Nusrat akaufungua na wote wakaingia ndani.

Kabla hata ya kuvua nguo wakavamiana na kuanza kubadilishana mate kwa hisia kali sana huku Ally akitalii vilivyo kwenye mwili wa Nusrat kwa kuizungusha mikono yake taratiibu kama anahifadhi yai..Waliendelea kubadilishana mate hadi kila mmoja aliporizika wakaachiana. Wakaanza kuvuana nguo moja baada ya nyengine hadi kila mtu akabaki kama alivyozaliwa..Ally akakaa chini kwenye kitanda huku akimtazama Nusrat mwili mzima kuanzia juu mpaka chini..Alikubali mwenyewe kuwa Nusrat ni mrembo sana na kuhisi kuwa kwenye kitendawili cha kuchagua kati yake na Recho japo upendo kwa Recho ulizidi maradufu..

"You're so beautiful baby. (wewe ni mrembo sana mpenzi wangu) hakika Mungu alikuumba kipindi ambacho alikua hana kazi nyingi..Hongera sana na naomba unitunzie uzuri wangu."

"Don't you worry my love but you are so handsome too. (Usijali mpenzi wangu lakini hata wewe ni mzuri pia). Nahisi kila mtu aliumbwa kwa ajili ya mwenzake."

Waliendelea kuongea na kusifiana kisha wakaingia chooni ili kutoa jasho na kujisafisha..Waliogeshana huku wakicheza michezo mbalimbali ya kimapenzi hadi pale Nusrat alipohisi kuzidiwa na kumlazimisha Ally ampe dozi haraka..Ally hakutaka kumchelewesha sana kwani alimbeba na kumpeleka chumbani kisha akaenda kumlaza kitandani..Akachukua taulo na kumfuata Nusrat majimaji yaliyokuwepo mwilini mwake kisha akajifuta na yeye mwenyewe...Alipomaliza akaanza kumnyonya Nusrat masikioni na kushuka hadi shingoni huku mikono yake ikiwa inaziminya minya chuchu laini na nzuri za Nusrat. Nusrat alikua amezidiwa sana kwani kila sehemu ambayo Ally alikua anamshika alikua anaitika kwa haraka sana.


Wakaachiana na Ally akaanza vitu vyake kwa kupitisha ulimi waje taratiibu kwenye mwili wa Nusrat akianzia shingoni na kuja masikioni kisha akahamia kifuani kwenye matiti mazuri sana ya Nusrat.Nusrat akaanza kutoa sauti laini sana yenye kuashiria kupata utamu huku akiwa anajinyonga nyonga na macho ameyafumba..Ally aliendelea na utundu wake wa kumnyonya Nusrat kisha akashuka taratiibu na kuzama chumvini kufanya mambo yake..Akamtanua vizuri Nusrat miguu na kuanza kuinyonya naniliu yake kwa ufundi wa hali ya juu hali iliyofanya Nusrat azidi kuchanganyikiwa na kupiga kelele kwa sauti ya juu sana. Aliendelea na zoezi lile hadi alipoona Nusrat ameiva vizuri kwa ajili ya kuliwa..Akamuweka vizuri zaidi ili aweze kuipata naniliu yake kwa urahisi kisha akaipaka mate dunguso yake na kuizamisha taratiibu kwenye naniliu laini ya Nusrat.Akaanza kumpelekea moto kwa mwendo wa taratibu huku akimuona mpenzi wake amefumba macho na kujilamba lamba midomo yake kwa zile raha anazozisikia..Ally aliendelea kumpelekea moto Nusrat huku akizidisha speed yake na kumuona Nusrat akizidi kupagawa na kutoa sauti ya juu sana yenye kuashiria kupata utamu. Walibadilisha mikao tofauti huku Nusrat nae akionyesha kuwa hayuko nyuma kwa kumzungushia kiuno chake laini na kumfanya Ally azidi kupatwa na mzuka. Walipelekeshana mbio sana na hatimaye Nusrat akafanikiwa kulivunja dafu lake na kusikia mwili ukisisimka sana huku Ally akiendelea kupiga surundaka ili na yeye afike mwisho wa safari.Baada ya muda mfupi Ally nae alifanikiwa kulivunja dafu lake na kummwagia Nusrat humo humo ndani..Kila mmoja akajitupa pembeni na kuonyesha kuchoka sana kwa ile shughuli nzito waliyotoka kupeana..Ally alimpa pole Nusrat kwa moto mkali aliompelekea huku Nusrat nae akimshukuru sana Ally kwa kufanikiwa kumfikisha mahali anapopataka kwani hakuwahi hata siku moja kufikishwa mwisho wa safari na boyfriend wake wa zamani..


Waliongea mambo mbalimbali huku Nusrat akimwomba sana Ally asimuache hivi hivi bila ya kumuoa kwani atamsababishia maumivu makubwa sana moyoni mwake na hakua tayari kumpoteza. Ally alimtoa wasiwasi na kumuahidi kuweka sawa kila kitu na ikibidi atawaoa wote wawili yeye na Recho kwani pia hakutaka kumpoteza japokua alikua anamsaliti..Waliongea sana hadi Ally akaanza kuhisi dunguso yake kusimama tena na kumwambia Nusrat waende raundi ya pili..Wakaenda chooni na kujiosha vizuri kisha wakarudi chumbani na kuanza kupeana vitu. Nusrat akaitia maiki ya Ally mdomoni na kuanza kutuma salamu taratiibu kwa ndugu na rafiki zake..Alijua sana kuitendekea haki maiki ya Ally kwani muda mwengine alimuona akifumba macho na kutoa sauti nzito ya kiume yenye kuashiria kupata raha za hali ya juu..Alituma sana salamu hadi alipohakikisha maiki imesimama vizuri akamuacha Ally na kumuachia uwanja ili afanye vitu vyake..Ally akamuweka vizuri na kuizamisha tena mashine yake na kuanza kumpelekea moto. Safari hii alionyesha kuwa na mzuka sana kwani aliisugua vilivyo naniliu ya Nusrat huku kidole chake kikiwa busy kukisugua k*s*m*..Alimbadilisha mikao mingi na kuzidi kumchosha Nusrat kitendo kilichomfanya avunje dafu mara mbili mfululizo huku miguu yake ikikosa nguvu kabisa..Nusrat alikua anapiga kelele kama anakabwa au anauliwa lakini Ally alizidisha kumpelekea moto kwani raundi hii ya pili huwa inawachukua wanaume wengi waliokua marijali kamili muda mrefu sana kuimaliza..Alipoanza kuhisi anakaribia kuimaliza safari yake akajilaza chali na Nusrat akaja juu yake na kuanza kushughulika yeye huku akimkatia mauno kwa ufundi mkubwa sana..Ally alipagawa sana na muda huo Recho hakua kabisa kichwani kwake kwa sababu ya kuchanganywa na yale mavitu aliyokua anafanyiwa na Nusrat..Nusrat alionyesha kuwa vizuri sana kwenye uwanja wa fundi seremala kwani alijigeuza huku na huko na kuzidi kumkatia mauno Ally hali iliyosababisha avunje dafu lake kwa mara ya tatu mfululizo. Ally akaamini kuwa kweli ny*g* zilimjaa mpenzi wake kwani hakuwahi hata siku moja kuona kitendo kile kutoka kwa Recho au wanawake zake wa zamani..Baada ya safari ndefu hatimaye Ally nae akafika salama mwisho wa safari yake na kisha wote wakajitupa pembeni na kuhema sana kwa ile kazi nzito waliyotoka kuifanya.

Walipumzika na kuanza kupeana pole kwa shughuli nzito waliyotoka kuifanya kisha wakaanza kupiga story. Waliongea sana hadi Ally alipomvamia tena Nysrat na kuanza kumpelekea moto. Alimpa shughuli nzito sana iliyofanya Nusrat amalize majina yote ya Ally ya utoto. Kama kawaida Nusrat aliendelea kuvunja dafu mfululizo na kuchoka sana. Baada ya safari ndefu iliyojaa raha na utamu, Ally alifika mwisho wa reli na kujilaza kitandani kisha Nusrat akamsogelea mpenzi wake na kumlalia kifuani na baada ya muda wote wakapitiwa na usingizi mzito kutokana na uchovu waliokua nao.


Jioni sana Ally alikuja kushtushwa na simu yake iliyokua inaita na kuja kushtukiza ikiwa imeshakata..Alijisogeza kiuvivu na kuichukua na kushtuka sana alipokuta missed calls tatu za Recho. Wakati bado anashangaa na kuendelea kujiuliza aliona Recho anapiga tena na akaipokea huku akiwa na uoga sana. Walisalimiana kisha Recho alimuuliza mpenzi wake sababu ya kushindwa kupokea simu yake kwa mara tatu alizopiga mwanzo..Ally alimdanganya kuwa alikua amepitiwa na usingizi nyumbani kwao na alikuja kushtuka wakati anapiga kwa mara ya nne..Recho aliweza kumuelewa na alimwambia mpenzi wake kuwa amemmiss sana na ametoka kumuota muda mfupi uliopita wakati amelala..Ally alijilazimisha kucheka lakini alijihisi kumkosea sana Recho kwa kitendo kile cha kufanya mapenzi na Nusrat kwani Recho alikua anampenda sana na hakustahili kufanyiwa yote yale..Walipomaliza kuongea Recho alimuaga mpenzi wake na kumwambia kuwa anampenda sana huku akimsisitiza aendelee kuwa mwaminifu kwake..Ally aliitikia na kumuahidi kuwa atakua mwaminifu siku zote za mapenzi yao hadi kifo kitakapowatenganisha. Baada ya kukata simu Ally alikaa chini na kujishauri sana juu ya ule mustakabali mzima wa maisha yake na kujikuta anashindwa kupata jibu sahihi kuhusu suala lile linalomkabili la kuwa kwenye mahusiano na wasichana wawili tena wote akiwa anawapenda sana..Aliangalia saa yake na kuona kuwa imeshafika saa 12 jioni na akamuamsha Nusrat ili wajiandae waondoke.Nusrat aliamka huku akionyesha uchovu sana na kujivuta vuta kisha Ally akamuinua na kuelekea chooni ili wakaoge. Walijimwagia maji na kuanza kusuguana sehemu tofauti za miili yao hali iliyosababisha ny*g* kumuamka tena Nusrat na kumuomba Ally ampe cha mwisho ili amkate kiu yake yote ili wakiondoka asipate tena tabu kama mwanzo..Ally hakuleta kipingamizi na bila kupoteza muda akamshika Nusrat kwenye naniliu yake na kuanza kuisugua sugua kwa vidole vyake huku akiwa anamnyonya vichuchu vyake vizuri. Alipoona amashapagawa akamuinamisha vizuri Nusrat mule mule chooni na kuizamisha dunguso yake na kuanza kumpelekea moto mkali. Alimsugua vilivyo Nusrat ambaye alikua anaugulia kwa sauti laini sana iliyomfanya Ally azidi kupandwa na mzuka..Alipoona pale chooni hapatoshi vizuri alimuambia Nusrat waelekee chumbani kwani raundi hii ya tatu itamchukua muda mrefu sana kuimaliza. Kweli wakaelekea chumbani na hawakupoteza muda kwani Ally aliendelea kumpelekea Nusrat moto wa nguvu kwa mikao kama chura kafa, mbuzi kagoma na chuma mboga hali kitendo kilichofanya Nusrat avunje tena dafu lake na kujitupa kitandani kama mzigo kwa kukosa nguvu..Ally hakutaka amuache apumzike kwani alimuweka tena vizuri na kuendelea kumsugua vilivyo na kumuona Nusrat kama anataka kukata roho kwa zile raha alizokua anazipata..Akazidi kumpelekea moto wa nguvu huku akikisugua k*s*m* kwa ufundi mkubwa na kumuona tena Nusrat akivunja dafu..Nusrat alimuomba Ally amuache kwanza ili apumzike kwani alijihisi raha zilizopitiliza na kujiona kama anakosa pumzi vizuri..Ally hakutaka apumzike kwani na yeye utamu ndio ulikua unazidi kumkolea hivyo aliona atazirusha stimu.Aliendelea kumsugua na kumuweka mikao mbalimbali hadi pale alipoona anakaribia kuvunja dafu. Akajilaza tena chini na kumwambia mpenzi wake aje kwa juu ili ampe vitu lakini Nusrat alishindwa kabisa kutokana na kukosa nguvu..Ally akajilaza upande na kuichomeka tena mashine yake na kuendelea kumpelekea moto Nusrat na kabla ya yeye kuvunja dafu alimuona tena Nusrat akilivunja la kwake na kumuona akitoa sauti ya chini sana kama mgonjwa anayemalizia kukata roho..Alizidisha juhudi na akafanikiwa kulivunja dafu lake kisha akajilaza pembeni na kumpa pole mpenzi wake kwa ule moto mkali aliompelekea..Nusrat alikua hoi hajiwezi na akamshukuru sana mpenzi wake kwa kumpa raha za hali ya juu ambazo hakuwahi kupewa tangu azaliwe pamoja na kumkata kiu yake yote..Ally akajitahidi kumuinua Nusrat ambaye alikosa nguvu kabisa ili wakaoge wajiandae na kuondoka maana ilikua inaelekea saa moja kasoro usiku..Nusrat akajitahidi kutembea huku Ally akiwa amemshika na kwenda chooni kuoga.Walipomaliza walirudi chumbani na kujiandaa kisha wakaondoka pale hotelini..


***************** ******************


Ilipita wiki nzima tangu Ally na Nusrat wafanye mapenzi na waliendelea kuwasiliana huku mapenzi yao yakizidi kushika kasi tofauti na zamani haswa Nusrat ambaye ndio alikua hataki kuamini la kusikia wala la.kuambiwa.. Alishajitolea kila kitu chake kwa ajili ya Ally na aliamini kuwa Ally ndio alikuwa mwanaume sahihi wa maisha yake..Walipanga mipango mbalimbali ya kimaisha huku Nusrat akizidi kumsisitiza Ally akubali kufanya kazi kwenye kampuni ya baba yake kwani huku watapiga hatua kwa haraka sana tofauti na akifanya sehemu nyengine..Ally alizidi kushawishika kwani aliona baba yake anachukua muda mrefu sana kumtafutia hiyo kazi na akapanga kuongea nae juu ya lile swala aliloambiwa na Nusrat la kumpatia kazi kwenye kampuni ya baba yake..Akapanga kama baba yake atamuelewa basi amtaarifu mara moja Nusrat ili aanze kazi maana alishachoka yale maisha ya kukaa nyumbani kila siku..


Usiku mmoja wakati yupo chumbani kwake akicheza game kwenye laptop alisikia simu yake ikiita.Akaichukua na alipoitazama aliona namba ngeni ambayo hakuifahamu kabisa ni ya nani..Akaipokea na aliposikiliza upande wa pili alisikia sauti laini na nyororo sana ya mwanamke.


Alianza kuongea nae na mazungumzo yao yalikua ni kama ifuatavyo..

Ally...Mambo vipi dada.

Simu...Poa tu mzima wewe?

Ally...Mimi mzima kabisa, ila samahani bado sijakujua wewe ni nani.

Simu...Aaha usijali, mimi ni yule nesi uliyenipa namba yako ya simu siku ile uliyoleta mgonjwa pale Good Hope hospital.

Ally...Ok sasa nimekukumbuka, vipi habari za kazi nesi?

Simu...Nzuri tu ila sasa sipo kazini maana leo niliingia zamu ya asubuhi.

Ally...Okay, halafu nakumbuka siku ile ulisema kwamba kuna kitu unataka kuniambia hivyo sijui kama utaweza kuniambia muda huu au mpaka wakati mwengine tena.

Simu...Aaamm!! yaah ni kweli kuna kitu nataka kukwambia lakini nafikiri ingekua vizuri zaidi kama tungekutana uso kwa uso maana mazungumzo yenyewe yatakua marefu kidogo..

Ally...Sawa usijali, basi wewe panga siku utakayokua upo huru kisha utaniambia ili tuonane..

Simu...Sawa nimekuelewa na nashukuru sana kwa ukarimu wako.

Ally...You're welcome (karibu).

Simu...Thanks(asante). Sorry(samahani) naomba kujua jina lako kama hutojali.

Ally...Naitwa Ally sijui wewe mwenzangu.

Simu...Naitwa Ilham.

Ally...Wow! una jina zuri sana.

Simu...Nashukuru hata lako pia ni zuri sana.

Ally...Poa Ilham nafurahi sana kufahamiana na wewe.

Simu...Mimi pia Ally nafurahi sana kufahamiana na wewe halafu pia sikutegemea kama ungekua mkarimu na kunichangamkia kiasi hiki.

Ally...Usijali ndio kawaida yangu.

Simu...Sawa Ally nikutakie usiku mwema na nikipata nafasi nitakutaarifu ili tuonane..

Ally...Okay worry out, you can check me out at anytime. Goodnight to you too.(sawa usijali unaweza kunitafuta muda wowote...Usiku mwema nawe pia)

Simu...Thanks. (Asante).


Baada ya kumaliza kuongea Ally alibaki kimya kidogo huku akimtafakari Ilham na taswira yake jinsi ilivyokua siku ya kwanza kuonana nae pale hospital..Ilham alikua na sauti nzuri sana na laini kiasi kwamba hata akiongea mbele ya maelfu ya watu basi wote watakaa kimya ili wamsikilize yeye..Ally alivutiwa sana na ile sauti ya Ilham na kutamani siku akutane nae tena ili amsikie vizuri zaidi akiwa anaongea..Baada ya muda na alipoanza kuhisi usingizi akaamua kumpigia simu mpenzi wake Recho ili amtakie usiku mwema na kupumzika..


***************** ******************


Siku zilizidi kwenda huku Ally akiwa ameshayachoka yale maisha ya kukaa nyumbani kila siku kwani aliona baba yake anachukua muda mrefu sana kumtafutia hiyo kazi..Hatimaye usiku mmoja baada ya chakula cha usiku Ally alimuomba baba yake wazungumze kuhusu suala la yeye kupata kazi. Alimueleza kila kitu kuhusu kampuni ya baba yake Nusrat pamoja na mshahara na marupurupu mengine atakayokua analipwa na baba yake hakua na kipingamizi zaidi ya kumruhusu na kumtakia mafanikio mema ili afanikiwe kuipata hiyo kazi maana hata yeye alikubali kuwa ina maslahi mazuri tofauti na kazi aliyokua anamtafutia..Ally alimshukuru sana baba yake kwa kuweza kumuelewa na akamuhakikishia kuwa baada ya wiki moja au mbili atakua ameshaanza kazi kwani kila kitu tayari kimekwisha andaliwa. Baada ya kumaliza kuongea waliagana na kutakiana usiku mwema kisha kila mtu akaelekea chumbani kwake..Ally alikua na furaha ya ajabu kwa kuweza kukubaliwa na baba yake ili akafanye kazi kwenye kampuni ya baba yake Nusrat kwani mwanzo alihisi kuwa huenda baba yake angemletea vikwazo na kumkataza asiende kufanya kazi huko kwani kampuni yenyewe haikua na jina kubwa sana tofauti na CRDB Bank ambayo ndio alikua anafanyiwa mpango ili akafanye kazi..Akampigia simu Nusrat na kumueleza kila kitu kuwa ameshaongea na baba yake na amemkubalia hivyo kila kitu kilibaki kwake tu..Nusrat alifurahi sana kupita maelezo na akamuahidi Ally kulikamilisha hilo zoezi ndani ya siku tatu..Basi wote wawili walifurahi sana na kujikuta wamezama kwenye dimbwi zito la story za mapenzi..Walipeana maneno matamu sana, kubembelezana pamoja na kutiana moyo huku kila mtu akionyesha kuwa kwenye mapenzi mazito na mwenzake. Wakati wanaendelea kuongea Ally alisikia simu mpya ikiingia na alipoiangalia hakuamini alipokuta Recho ndio anapiga. Alitamani hata kukata simu lakini alihisi ndio angezidi kuharibu kila kitu kwani Nusrat nae angejisikia vibaya sana kukatiwa simu. Akabaki akijiuliza atamwambia nini Recho maana ni mara nyingi sana huwa anakuta akiongea na simu usiku mwingi tena kwa muda mrefu..Recho alipiga mara nne mfululizo lakini Ally hakupokea na kujua ni lazima itakua amemuudhi sana mpenzi wake .Japokua alikua anachepuka kwa Nusrat na kumuonyesha mapenzi mazito lakini aliapa kuwa kamwe asingemuacha Recho kwani alikua anampenda sana na kumuona ni kama mwanamke wa maisha yake.


Alipomaliza kuongea na Nusrat akampigia simu Recho ambaye hakupokea kabisa kwa karibu mara sita alizompigia..Ally alijua kuwa ameshaharibu kila kitu na alijuta sana kwa yale yote yaliyotokea..Akaamua kumuandikia ujumbe mfupi wa maneno uliosomeka "I'm sorry" (samahani)" kwa lengo la kumtaka radhi Recho kwa yale yaliyotokea..Alichelewa sana kupata usingizi akiwa anatafakari yale yote yaliyotokea na kuja kupitiwa na usingizi usiku sana bila ya yeye kujijua..

Alipoamka asubuhi kitu cha kwanza kabisa ilikua ni kumpigia simu Recho ili amuweke sawa kuhusu yale yaliyotokea usiku..Simu iliita na hatimaye Recho akapokea huku akiwa analia sana..Ally alishtuka sana na kujua kuwa amemuumiza sana mpenzi wake kwa kitendo kile cha kutopokea simu yake..Ilibidi amuelezee kila kitu kilichotokea na kumwambia kuwa alikua anaongea na mtu anayemtafutia kazi na ndio maana alishindwa kumkatia simu..Alimuambia maneno mengi sana Recho huku akimuomba msamaha kwa kile kilichotokea na kumuahidi kuwa haitajirudia tena..

"Sawa Ally najua unautumia udhaifu wangu wa mimi kukupenda sana ila tambua kuwa ipo siku utakuja kujuta kwa haya yote unayoyafanya."

"Please (tafadhali) mpenzi wangu usiongee hivyo maana unanisononesha sana mwenzio. Naomba tusahau yaliyopita na tuangalie yajayo."

"Sawa baby nimekuelewa. Nakupenda sana Ally na ndio maana unapoenda kinyume huwa naumia sana na kutoa machozi yasiokua na mfano. Jana usiku nililia sana na ndio maana wakati unapiga simu sikutaka kabisa kupokea maana nilikua nina hasira sana na nilihisi huenda ningeongea neno lolote baya ambalo baadae ningekuja kulijutia."

"Jamani pole sana mpenzi kumbe ulilia kiasi hiko!! Basi naomba nikufute machozi yako na nakuahidi kuwa sitakuliza tena."

"Sawa mpenzi nimekuelewa na nafurahi sana kusikia hivyo."

"Usijali. Halafu baby jiandae jumapili nakutoa out maana nimemiss sana kutoka out na wewe."

"Wow!! don't tell me sweety. (jamani, usiniambie mpenzi).Yani nitafurahi sana maana ni siku nyingi kidogo tangu tutoke out kwa mara ya mwisho. Basi sawa nimekuelewa mpenzi na naingoja kwa hamu hiyo Jumapili."

Waliongea sana asubuhi hiyo kisha wakaagana na kutakiana siku njema.


*************** ****************


Ally aliendelea kuchat na Ilham huku sasa wakiwa wamezoeana sana huku Ilham akimrushia Ally picha zake kupitia mtandao wa WhatsApp. Ally alivutiwa sana na kuzipenda picha za Ilham kwani alionekana ni kama msichana wa kihindi, pia kama wa kiarabu na pia muda mwengine alihisi ni msomali lakini hakupata jibu kwa jinsi alivyokua. Alitamani kumuuliza lakini akapanga mpaka siku watakayokutana ndio amuulize kila kitu..Ally nae pia alimtumia Ilham picha zake na Ilham hakuacha kumsifia kuwa ni handsome sana na kumpa hongera mwanamke anayemfanya apendeze vile. Ilipofika siku ya Alhamisi usiku Ilham akampigia Ally simu na kumuambia kuwa wakutane siku ya Jumamosi kwani siku hiyo yeye atatoka kazini mapema sana hivyo atapata nafasi ya kuongea nae..Ally aliweza kumuelewa na wakapanga sehemu ya kwenda kukutana..Baada ya kumaliza kuongea waliagana huku Ilham akimsisitiza sana Ally asikose kufika kwani alikua na jambo la muhimu sana anataka amuambie.

Ilipofika Jumamosi Ally alifanya maandalizi mapema sana ili akukutane na Ilham maana alikua na hamu sana na hilo jambo analotaka kuambiwa.


Ilipotimu saa sita mchana aliondoka na kuelekea maeneo ya Quality Centre (Uchumi) ambapo ndio walikubaliana kukutana..Alifika mapema sana maeneo hayo kwa kuwa mida hiyo foleni za Dar es salaam zilikua bado hazijachanganya sana..Akampigia simu na kumtaarifu kuwa ameshafika kisha Ilham akamuambia amsubiri hapo hapo nje kwani na yeye alishakaribia kabisa kufika maeneo hayo.......




Alikaa pale nje kama dakika 10 huku bado akiwa amekaa ndani ya gari yake akiwa anamsubiri Ilham kwa hamu kubwa ili apate kujua alikua na jambo gani anataka kumwambia hadi akataka wakutane pale..Baada ya muda mfupi alisikia simu ikiita na alipoitazama aliona jina alilomsave Ilham..Akapokea na kumuelekeza mpaka pale mahali alipopaki gari yake.Wakati wanaendelea kuongea aliona bajaj ikisimama pembeni yake na alipochungulia kwa nyuma alimuona msichana akiwa yupo peke yake huku akiwa anaongea na simu na kuitazama gari yake..Hakupata tabu kumfikiria mara mbili na kuikumbuka sura yake na moja kwa moja akajua kuwa yule ni Ilham..Akashuka ndani ya gari na kusimama mlangoni huku akimtazama Ilham akishuka ndani ya bajaj na kumlipa dereva pesa yake..Hakuamini macho yake kwa jinsi Ilham alivyovaa na kupendeza kwani siku ya kwanza kumuona pale hospital alikua amevaa nguo za kazi hivyo kumnyima nafasi ya kuliona vizuri umbo lake..Hakika Ilham alipendeza kwani skin jeans aliyovaa pamoja na blauzi viliendana sana huku viatu vyake vya visigino juu(high heels) vikimfanya awe mrefu zaidi na kuonekana mrembo maradufu..Nywele zake ndefu ambazo aliziweka mtindo wa kuzitupa kwa nyuma huku nyengine zikining'inia kwa pembeni ziliufanya uso wake mwembamba uzidi kung'aa na kuonekana mrembo mara mia..Baada ya bajaj kuondoka Ilham alimsogelea Ally na kumsalimia.

"Mambo..!!"

"Safi tu za huko utokako?"

"Huko kwema kabisa, samahani kwa kukuweka sana kuna mtu nilimpitishia mzigo wake mara moja anakaa hapo Tazara kwa mbele kidogo."

"Ok ila usijali maana hata sijakaa sana kama unavyodhani..Vipi tuingie ndani au ungependa tukae kwa wapi?"

"Aaamm!! Naona tungekaa kwa huku huku nje sehemu iliyotulia kidogo maana leo jumamosi huko ndani lazima kutakua na watoto wengi sana hivyo nadhani hali ya utulivu itakua sio nzuri."

"Sawa, vipi tunaweza kuingia ndani ya gari langu na kuongea maana kwa hapa nje sioni sehemu nyengine yenye utulivu."

"Sawa hakuna tatizo tunaweza kuongelea humo..Halafu kumbe una gari?"

"Yaah namshukuru Mungu nimeepuka suala la kugombania daladala japo siku moja moja huwa napanda."

"Wow! hongera sana na gari yako ni nzuri sana."

"Asante sana Ilham."


Wakaingia ndani ya gari huku wote wakikaa siti za mbele wakiwa wanatazamana. Waliongea mambo mbalimbali hususani kazi za pale hospital anapofanya kazi Ilham huku Ally akimueleza Ilham kwa wakati huo alikua ana mpango gani..

"Eenhe! Ilham naomba uniambie sasa ulikua na jambo gani serious unataka kuongea na mimi?"

Ilham alibaki kimya kidogo huku akiwa kama analitafakari swali aliloulizwa kana kwamba hakulielewa vizuri. Akamtazama Ally kwa macho yake laini sana yenye asili ya kiarabu na uhindi kwa mbali..

"Yaah ni kweli Ally nina jambo muhimu sana nataka kuongea na wewe ila sidhani kama utaweza kunielewa."

"Ongea tu Ilham wala usiwe na wasiwasi kwani ni jambo gani hilo hadi nishindwe kukuelewa.?"

Ilham akabaki anatazama chini kwa aibu huku akivichezea vidole vyake vya mikono na kuzilamba lipsi zake laini. Alibaki kimya huku akiwa anatazama chini na kuonyesha kama anamuonea aibu Ally.

"Vipi Ilham mbona huongei sasa?"

"Sorry (samahani) Ally najikuta nashindwa kabisa kufungua mdomo na kukwambia hiki ninachofikiria. Naogopa sana halafu nina wasiwasi na jinsi utakavyoyapokea haya maneno, nahisi utanifikiria vibaya sana au hata kunichukia."

"Mmhh! kwani kuna jambo gani zito hadi unasema maneno yote hayo Ilham?"

"Siwezi Ally siwezi. Yani nakosa kabisa ujasiri wa kukwambia. Naomba leo niondoke nitakwambia siku nyengine nikipata tena nafasi ya kuonana na wewe."

"Please (tafadhali) Ilham naomba niambie and I promise you that I won't get mad at you.(na nakuahidi kuwa sitakukasirikia)."

Baada ya kuambiwa hivyo Ilham alimuangalia Ally usoni huku akionyesha waziwazi kuwa kuna kitu kinamsumbua sana..Ally nae alimkazia macho Ilham huku akiwa anamsubiri aongee hiko kitu kinachomfanya aone aibu na kushindwa kabisa kuongea.

"Kiukweli Ally nimeshindwa kuficha hiki ninachojisikia kwako na lazima nikuambie maana naona nikikaa nacho ndio nitazidi kuumia. To be honest I've fallen in love with you since that day I saw you at the hospital. (Kuwa mkweli nimezama kwenye mapenzi mazito na wewe tangu ile siku niliyokuona pale hospital). I love you so much Ally and I won't ever deny that.(Nakupenda Ally na kamwe sitalikataa hilo)."


Ally alikua ni kama amepigwa shoti ya umeme mwilini mwake kwani hakutegemea kabisa kusikia maneno yale kutoka kwa msichana mrembo kama Ilham ambaye kama angeamua kujiingiza kwenye masuala ya ulimbwende basi angeshinda bila hata ya kufanyiwa mchujo..Ilham aliumbika vilivyo kuanzia sura hadi umbile lake kiasi kwamba akipita sehemu yoyote basi lazima wanaume wakware wamtolee macho na kumuita..Makalio yake makubwa ya wastani na hipsi zake zilizojaa zilimfanya kuukamilisha urembo wake kwa asilimia mia..Sura yake nzuri na macho yake makubwa wastani yalimfanya azidi kuwa kivutio machoni mwa wanaume kiasi kwamba akimtazama mgonjwa anapona hapo hapo..Midomo yake mipana yenye lipsi nzuri na laini yalimaliza kila kitu mwilini mwake na kumfanya aonekane msichana mrembo pengine kuliko wote walioumbwa duniani. Kwa hakika Mungu alimuumba Ilham na akaumbika maana ukimtazama usingeweza kumtoa kasoro ya aina yoyote mwilini mwake kuanzia sura mpaka unyayo..Ally aliendelea kumtazama Ilham kwa umakini huku akizidi kutoamini kile alichoambiwa na kubaki kimya akitafakari jibu la kumpa Ilham..

"Mbona huongei Ally?.Nimekuudhi?"

"Hapana wala hujaniudhi Ilham, kila binadamu ana hisia na ni lazima azionyeshe kwa mtu au kitu anachokipenda hivyo najua hata kwako ipo hivyo hivyo. Ni wasichana wachache sana hapa duniani wenye ujasiri kama wako wa kumfuata mwanaume na kumwambia maneno kama haya so (hivyo) nakupongeza sana kwa ujasiri wako Ilham..Ila naomba nikwambie kitu kimoja ambacho naomba radhi kama nitakua nakuumiza au kukuvunja moyo. Kiukweli mimi nina girlfriend wangu na ninampenda sana..Huu ni mwaka wa tatu tangu nianze nae mahusiano na sitegemei kabisa kumsaliti maana najua ananipenda pia. Samahani sana Ilham ila huo ndio ukweli na siwezi kuubadilisha."

"Huna haja ya kunieleza yote hayo Ally maana hata mimi nilishalijua hilo. Mwanaume handsome kama wewe hauwezi kukosa kuwa na girlfriend au mchumba tena wa hadhi yako maana wanaume kama nyinyi mpo wachache sana. Mimi nipo tayari unifanye unavyotaka ila unipe nafasi tu moyoni mwako. Nakupenda sana Ally na sipo tayari nikukose kwa gharama yoyote. Nimeshatongozwa na wanaume wengi sana ila nimewakataa na moyo wangu umejikuta umezama kwako tena bila ya kutegemea..Tafadhali Ally naomba usiniachie maumivu moyoni mwangu naomba niwe wako pia kama ulivyomfanya huyo girlfriend wako."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally alizidi kuchanganyikiwa na kutoamini anachokisikia na kubaki akiwaza na kujiuliza maswali mengi kichwani kwake..

"Kwani mimi nipo vipi mbona wanawake wananiandama hivi? Ina maana hakuna wanaume wengine zaidi yangu? Pia ina maana msichana mrembo kama huyu anakosa kabisa boyfriend hapa mjini? Hapana sitaki kuamini nahisi kuna kitu anakitaka kutoka kwangu."

Alimuangalia tena Ilham usoni ambaye alionyesha kutokuwa sawa hata kidogo akitamani kusikia neno zuri sana kutoka kwa Ally kwani alionyesha kumuhitaji kuliko wakati wowote ule wa maisha yake..

"Ina maana Ilham hauna kabisa boyfriend au unaponiambia hivi unamaanisha nini. Kwa sababu ni kitu cha ajabu sana na kutoamini, yani msichana mrembo kama wewe kweli ukose boyfriend hapa mjini?Hapana sitaki kuamini."

"Huo ndio ukweli Ally na kama ningekua ninae basi nisingethubutu kukufuata wewe na kukuambia maneno kama haya. Najua unaweza kunifikiria kwa mambo mengi sana ila ndio nipo hivyo. Sio kila msichana mzuri ana boyfriend au anautumia uzuri wake kupata pesa kirahisi kwa kupitia wanaume, Hapana. Mimi nipo tofauti sana na najiheshimu zaidi ya unavyofikiria. Ninachohitaji ni mwanaume mtulivu na mwenye hadhi kama wewe na ndio maana siku ile niliyokuona pale hospital sikutaka upotee moja kwa moja ndio maana nikakuomba namba yako ya simu..Naomba unikubalie Ally nakupenda sana."


Ally alibaki kimya huku akiwa haamini kabisa yale maneno anayoongea Ilham akiwa anahisi kama yupo ndotoni maana wasichana wa aina ile huwa anaishia kuwaona kwenye TV tu wakiwa video queen au actress kwenye movie mbalimbali..Alijiona hadhi yake sio ya kuwa na Ilham hata kidogo huku akiamini moja kwa moja kuwa Ilham itakua amemuacha kwa miaka miwili au mitatu..

"Hivi Ilham unadhani mimi nina hadhi kweli ya kuwa na wewe.? Hivi unadhani nitaweza kukugharamia kwa kila kitu na uonekane mrembo kama hivyo ambavyo unaonekana?"

"Hapana Ally usiongee yote hayo. Mimi sijakupenda eti kwa sababu una pesa au hauna. Ninachohitaji kutoka kwako ni mapenzi tu na hayo mengine wala sijali. Boyfriend wangu wa zamani alikua hana hata baiskeli ya kutembelea sasa wewe una gari kama hivi je nani ana hadhi hapo.? Usiongee hivyo bwana Ally naomba unikubali mimi nipo tayari kuwa na wewe katika hali yoyote ile."

Ally akavuta pumzi ndefu na kuzitoa nje taratibu huku akifikiria jibu la kumpa Ilham..Kiukweli ilikua ngumu sana kutongozwa na msichana mrembo kama Ilham halafu ukamkataa maana sura yake pekee inakufanya umwambie nakupenda muda wote unapomuona. Pengine ni wanaume wachache sana ambao hawazidi hata kumi dunia nzima ambao ndio wenye ujasiri huo..

"Sawa Ilham mimi nimekuelewa hayo yote uliyoyasema ila nakuomba unipe muda kidogo wa kulifikiria hili maana ni jambo gumu kidogo kama unavyojua kuwa nina girlfriend."

"Please (tafadhali) Ally naomba usinipe jibu lolote baya maana utaniumiza sana. Nipo tayari kukusubiri kwa muda wowote ule hata kama itanigharimu maisha yangu. Nakupenda sana Ally naomba uamini hivyo. Wewe ndio mwanaume unayestahili nikupeleke nyumbani na kukutambulisha sijamuona wa zaidi yako. Muda wangu wote wa maisha niliutumia katika kusoma na sikutaka kabisa kujiingiza katika mapenzi mpaka nitakapomaliza masomo yangu. Kweli nilifanikiwa kumaliza masomo yangu kama nilivyopanga na hapo ndio nikakutana na mvulana anayeitwa Feisal. Nilimpenda sana na kuona kama nishapata mwanaume wa maisha yangu lakini kumbe mwenzangu hakua na mawazo hayo kabisa na alitaka tu anichezee kisha aniache. Na ndivyo ilivyokua na kwa jinsi nilivyompenda na kumuamini nilimruhusu aitoe bikra yangu nikiamini kuwa ndio atakua mume wangu wa maisha kumbe ilikua tofauti kabisa. Baada ya kunitumia na kuchoka aliniacha na kuniachia maumivu makali sana moyoni mwangu ambayo yamechukua muda mrefu sana hadi kufutika. Niliapa kutopenda mwanaume hadi niingie kaburini lakini Ally umeyabadilisha kabisa mawazo yangu. Tafadhali naomba unikubali ili niwe wako na nakuahidi kuwa hutojuta kuwa na mimi."

"Mmhh! pole sana kwa hayo yote yaliyokukuta. Huwa yanawakuta wengi sana katika maisha na huyo mwanaume hakukupenda kabisa ila aliupenda urembo wako na alitaka autumie kisha akishatimiza haja zake akuache..Naomba unipe muda kama nilivyokuambia na nakuahidi sitachukua muda mrefu nitakupa jibu zuri."

Baada ya kuambiwa hivyo Ilham alifurahi kidogo na kuonyesha kupata matumaini japo furaha yake haikukamilika kwa asilimia mia moja..

"Sasa Ilham naomba nikuache maana kuna sehemu naelekea kuna mtu naenda kuonana nae."

"Mmmhh wifi nini?"

"Hahahaa hapana sio yeye kuna rafiki yangu mmoja yupo maeneo ya Kinondoni nilimwambia nitaenda kumtembelea leo."

"Mmhh! sawa mimi sina neno acha nirudi nyumbani."

"Kwani unaishi wapi?"

"Naishi hapo airport."

"Ok unaishi nyumbani au unajitegemea."

"Naishi peke yangu nimechukua vyumba viwili basi maisha yangu ndio yanasogea kwa namna hiyo."

"Hongera sana Ilham. Inaonyesha wewe ni msichana uliye makini sana na mwenye malengo mazuri ya kimaisha."

"Asante sana Ally."

"Ok, basi naomba nikupeleke maana sio mbali sana kutoka hapa ili niwahi kurudi nielekee huko Kinondoni."

"Usijali Ally nitachukua bajaj pale mbele wewe nenda tu nisikucheleweshe."

"No (hapana) Ilham naomba nikupeleke na wala hautanichelewesha."

"Mmmh! sawa nashukuru sana kwa upendo na ukarimu wako."

"You're welcome."(karibu)

Baada ya Ilham kukubali walianza kuondoka taratibu kuelekea maeneo ya airport ambayo Ilham ndio alikua anaishi. Haikuwachukua muda mrefu wakawa wameshafika mpaka anapoishi Ilham..

"Karibu ndani Ally angalau upate glass ya maji tu ili utie baraka ndani kwangu."

"No, I'm sorry Ilham (Hapana, samahani Ilham) naomba kwa leo niishie hapa ila nakuahidi nitakuja siku nyengine na kuingia mpaka ndani kabisa wala usijali kuhusu hilo."

"Okay (sawa) na naomba nikushukuru sana kwa kunipa lifti mpaka nyumbani."

"Usijali ukarimu ndio tabia yangu."

Ilham alifurahi sana na akatamani angalau ambusu Ally lakini bado hawakua wapenzi hivyo akajikuta akiishia kutabasamu tu..Waliagana kisha Ally akaondoka na Ilham akaingia ndani kwake.


**************** *****************


Siku moja mchana wakati Ally ametoka kuoga alikaa chumbani kwake na kuanza kujitazama kwenye kioo huku akijiuliza alikua na kitu gani cha ziada hadi wasichana kumsumbua kiasi kile na kujitongozesha kirahisi..Alisimama mbele ya kioo akiwa amevaa boxer tu peke yake na kuanza kujiangalia kuanzia juu mpaka chini..Lakini hata yeye mwenyewe alikubali kuwa ana mvuto mzuri na ndio maana wasichana hawakuacha kumfuata mara kwa mara wakiomba wapate nafasi moyoni mwake..

"Mmmh Ilham!!Yani msichana mrembo kama yule kweli anathubutu kunitamkia maneno yote yale.? Ina maana hajawaona wanaomiliki ma-hammer na ma-vogue hadi anifuate mim? Mbona napata changamoto nyingi sana hivi mpenzi wangu Recho akija kujua yote haya itakuaje!! Sijui kama nitaweza kumkataa Ilham kwa jinsi alivyokua mrembo na kunipenda maana ameumbika kila mahali hadi namuona sio wa hadhi yangu..Liwalo na liwe ila ni lazima niwe na Ilham niufaidi uzuri wake maana wasichana wa aina yake wapo wachache sana."

Wakati anaendelea kujiangalia kwenye kioo na kuwaza yote hayo alisikia simu yake ikiita na alipoiangalia alikuta ni Nusrat..Aliongea nae na Nusrat akamuambia kuwa ajiandae ili kesho yake aende na vyeti vyake vyote kwa ajili ya kufanya usaili wote maana alikwishaongea kila kitu na baba yake. Ally alifurahi sana kusikia hivyo na kumuahidi Nusrat kuwa lazima hiyo kesho aende maana alikua na hamu sana ya kufanya kazi. Baada ya kuongea kwa muda kidogo wakaagana na Nusrat akakata simu..Ally alifurahi sana na kuanza muda huo huo kuvipanga vyeti vyake vyote ili kesho aende kwenye interview..


Alishtuka sana kumuona Sarah akiingia chumbani kwake tena bila ya kupiga hodi huku mwilini akiwa na kanga moja tu aliyoifungia kifuani..Ally alitaka kumfokea na kumfukuza lakini Sarah akamuwahi kwa kutoa picha ikimwonyesha Ally na Nusrat wakiwa wanabadilishana mate kimahaba sana..Ally alishtuka sana alipoiona picha hiyo kwani hakutegemea kabisa kama Sarah angefanya kitu kama hiko...



Sarah alionyesha kujiamini na kutoogopa kwa kitu chochote ambacho kitaenda kutokea mbele yake hivyo aliendelea kumkazia macho Ally huku akimuonyesha ile picha..

"Sasa ndio umefanya nini Sarah, na umefanya hivyo ili iweje?"

Nimefanya hivi kwa lengo moja tu Ally, kukupata wewe na sio kitu kingine..Sasa chagua kimoja kati ya haya mawili nitakayokwambia..Kufanya mapenzi na mimi au kumkosa huyo Recho wako."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally alikasirika sana na kumsogelea Sarah kisha akampokonya ile picha akitaka aichane vipande vipande..

"Hata ukiichana haitasaidia kitu Ally kwa sababu zipo nyengine kama kumi na wala haujui mahali zilipo."

"Sasa kwanini unafanya yote haya Sarah si nilishakuambia sikutaki na usinisumbue?"

Sarah akajichekesha kicheko cha kinafiki huku akijitingisha tingisha mwili wake na kumtazama Ally usoni.

"Hivi mwanaume wewe upo vipi? Mbona unaringa sana, au unadhani kila siku ninavyokufuata fuata labda nina shida sana ya kufanya mapenzi au nina ny*** sana eeh."

"Hivi wewe Sarah ni kahaba eeh.! Uliokotwa barabarani unajiuza ndio ukaletwa humu utupikie, sio?"

"Ongea unavyoongea Ally mimi wala hainiumi, niokotwe barabarani niokotwe jalalani wewe haikuhusu..Kwanza naona unanichelewesha, utanipa au haunipi?"

Baada ya kuambiwa hivyo Ally alimtazama Sarah kwa jicho la ukali sana na kutamani hata amrukie ampige vichwa ila akahisi ndio atazidi kuharibu kila kitu..

"Tafadhali Sarah naomba utoke chumbani kwangu kabla sijakufanya kitu chochote kibaya."

"Kitu gani hiko? Hebu nifanye kwanza nione. Hivi ukoje wewe ina maana haunioni hivi nilivyo? Hivi utakua mzima kweli au unajitia ukauzu tu wakati unanitamani."

Aliongea Sarah huku akigeuka nyuma na kumtingishia Ally yale makalio yake makubwa.


Ally alijiona yupo kwenye wakati mgumu sana kwani alijua kwa akili mbovu za Sarah ni lazima atamtumia kweli Recho zile picha na kumueleza kila kitu..Alijuta sana kukaa pale nyumbani kwani aliamini ndio chanzo cha matatizo yote yale. Alikaa kitandani na kuinama chini huku akiwa anatafakari achukue uamuzi gani ili alimalize lile tatizo. Sarah alipoona Ally amekaa chini huku akiwa kimya ameinama akamsogelea na kukaa pembeni yake karibu kabisa pale pale kitandani..

"Lakini Ally kwanini unanifanyia hivi?Kwani ukinipa japo mara moja tu utapungukiwa na nini..Naomba bwana Ally mwenzio sijiwezi juu yako na ndio maana nakusumbua muda mrefu ila wewe unanikataa kila siku."

Safari hii Sarah aliongea kwa unyenyekevu sana na kwa sauti ya chini huku akimshika Ally mgongoni. Ally aliinua uso wake na kuutoa ule mkono wa Sarah mgongoni mwake kisha akamtazama na kumwambia..

"Nakuchukia sana Sarah na sikupendi. Umenifanya niyachukie maisha ya nyumbani kwetu wakati wewe ni mfanyakazi tu humu..Na nina wasiwasi umemroga baba maana kila ninapomwambia akufukuze anakung'ang'ania sana na kukutetea."

"Sasa nakwambia hivi, sina mzaha tena na wala sicheki..Utafanya mapenzi na mimi au haufanyi? Hayo ya baba yako hayahusiani na hapa tuachane nayo kabisa."

"Siwezi kufanya mapenzi na malaya kama wewe usiyejiheshimu na wala kuuheshimu utu wako."

"Sawa mimi malaya na sijiheshimu ila nitakuonyesha huo umalaya wangu na kutojiheshimu kwangu..Naomba usinilaumu kwa kitu chochote kitakachotokea maana umeyataka mwenyewe."


Aliongea Sarah huku akiinuka na kuondoka pale chumbani. Ally alimuangalia na kuumia sana moyoni kwa ile mitihani inayomkuta na kujikuta akiiona dunia chungu sana kwa wakati huo..Sarah alipoondoka Ally alibaki akitafakari mwenyewe pale chumbani jinsi ya kulimaliza lile tatizo maana lilikua linamkosesha raha sana.

"Nitafanya nae mapenzi ila ni lazima nitumie kondom maana simuamini kabisa kutokana na hizi tabia zake..Sina jinsi maana nahisi ataniharibia kila kitu kwa Recho"

Aliinuka na kuvaa nguo maana kwa wakati wote wakati Sarah alipoingia hadi kutoka mule ndani alikua amevaa boxer tu..Wakati anataka kutoka chumbani na kuelekea sebuleni kuongea na Sarah alisikia simu yake ikiita..Kwenda kuiangalia alikuta mpenzi wake Recho anampigia na mazungumzo yao yalikua hivi..

Ally...Hellow baby."

Recho...Hellow honey, I miss you."

Ally...I miss you too my love.vipi mzima kabisa?"

Recho...Yeah mimi mzima mpenzi hofu kwako."

Ally...Namshukuru Mungu niko poa kabisa mpenzi."

Recho...Siku hizi unanisusa sana baby yani unaweza kukaa hata siku mbili au tatu usinitafute..Tatizo nini Ally wangu?"

Ally...Hapana sio hivyo mpenzi yani najikuta nakua na mambo mengi sana hadi ikifika jioni nakua nipo hoi basi nalala tu..Ila naomba unisamehe sana mpenzi wangu."

Recho...Sawa baby nimekuelewa na usijali kuhusu hilo..Nakupenda sana mpenzi wangu ndio maana ukiwa kimya huwa nakonda sana na kufikiria vitu vingi."

Ally...Pole sana Recho wangu ila ondoa hofu mimi ni wako peke yako...Halafu baby nimekumiss sana yani tumetoka out juzi tu hapo lakini nimekukumbuka vibaya."

Recho...Hata mimi baby yani nimekumiss hadi najihisi vibaya..Vipi weekend hii utakua free tukutane tena?"

Ally...Nitaangalia mpenzi maana bado sijajua, ila nitajitahidi kutenga muda hata kama nitakua busy ili tuonane. Nakupenda sana Recho."

Recho...Nakupenda pia Ally na nashukuru sana kwa kunijali mpenzi."

Ally...Usijali sweetie hilo ni jukumu langu."

Recho...Ok poa baby nilikua nakujulia hali tu maana nimekumiss."

Ally...Nashukuru sana baby. Baadae nitakupigia ili tuongee vizuri maana hapa kuna kazi nafanya."

Recho...Sawa baby usijali, mchana mwema."

Ally...Nawe pia baby."

Recho...Ok"


Baada ya kumaliza kuongea na Recho alienda mpaka sebuleni na kumkuta Sarah akiwa anaangalia TV huku akiwa na ile ile kanga yake moja..Akamsogelea karibu kisha akamuambia..

"Sikiliza Sarah, mimi nimekubali kufanya mapenzi na wewe lakini kwa sharti moja."

"Wow!Usiniambie Ally, yani hata siamini kama haya ninayoyasikia ni kweli au naota..Haya niambie sharti gani hilo mimi nipo tayari kulifanya."

"Naomba kitakachotokea kiwe siri kati ya mimi na wewe tu na mtu mwengine yeyote asijue..Pia tukishafanya mapenzi usinisumbue tena yani ndio iwe mara ya kwanza na ya mwisho."

"Kuhusu hilo tu wala usijali Ally nimekuelewa. Tuanze basi maana ulivyoniambia hivyo mwili wote unachemka hapa."

"Hapana sio leo tutafanya kesho maana kesho nitaenda kufanya interview hivyo sitaki niyaingize kwanza haya mambo akilini mwangu."

"Jamani Ally nipe japo kimoja tu mwenzio hali mbaya hapa."

Aliongea Sarah huku akiifungua kanga yake na kuyaacha matiti yake nje. Ally alisisimka sana kuyaona yale matiti makubwa na yaliyokaa vizuri ya Sarah..Alihisi akiendelea kukaa pale angeweza kushawishika zaidi na kujikuta wakifanya mapenzi muda ule wakati bado alikua hajanunua kondom kama alivyopanga..Aliinuka na kutoka nje kwenda maskani kupiga story na rafiki zake na kumuacha Sarah akiwa analalamika sana.


**************** ****************


Kesho yake Ally alifika mapema sana kwenye ofisi ya baba yake Nusrat iliyopo maeneo ya Mwenge kwa ajili ya kufanya interview na kukutana na Nusrat ambaye alifurahi sana..Walisalimiana na kuongea mambo mbalimbali huku akimpa moyo sana kuwa atafanya kazi kwa uhuru mkubwa sana na kujipatia kipato kizuri..Baada ya muda aliitwa kwenye chumba cha usaili na kufanyiwa interview huku akiwakabidhi vyeti vyake..Muajiri alipoona CV za Ally na matokeo yake ya chuo wala hakumtilia shaka kabisa na kumwelekeza taratibu zote za kazi kwani shida ilikua ni kutaka kujua kama huyo mtu mwenyewe ambaye Nusrat amemleta ana uelewa mzuri au la!..Baada ya kumaliza taratibu zote akaruhusiwa kuondoka na kuambiwa arudi baada ya siku tatu kukamilisha baadhi ya mambo madogo yaliyobaki..Ally alifurahi sana kisha akatoka nje na kumkuta Nusrat ambaye alikua yupo busy na simu yake akichat kwenye mitandao ya kijamii..Ally alimfuata na kumwambia kila kitu kilichotokea kisha wote wakasimama na kukumbatiana wakiwa wanapongezana kwa ile hatua waliyofikia..Wakati bado wakiwa wamekumbatiana baba yake Nusrat alitokea na kuwakuta katika hali ile na walipomuona wakaachiana huku wakionyesha kuona aibu kidogo. Wakamsalimia kisha Nusrat akamtambulisha Ally kwa baba yake.

"Baba huyo kijana niliyekuambia ndio huyu hapa katoka kufanya interview sasa hivi humo ndani."

"Aaha ok! karibu sana kijana. Ngoja niingie ndani nikaulize jinsi interview ilivyokwenda maana nimekuja mara moja tu kuna kitu nimekuja kuchukua."

"Sawa mzee nashukuru sana. Sasa nikusubiri hapa hapa au?"

Hapana unaweza kwenda na chochote kitakachotokea basi tutawasiliana kwenye simu, kwani si umeacha namba yako?"

"Ndio nimeacha mzee wangu."

"Basi sawa unaweza kwenda."

Ally alimshukuru sana baba yake Nusrat kisha wakaagana na kuondoka na Nusrat..Alimpeleka Nusrat mpaka nyumbani kwao Magomeni kisha wakaagana na yeye akarudi nyumbani kwao Temeke.


Alipitia duka moja la dawa na kununua pakti moja ya kondom kama alivyopanga kisha akarudi nyumbani. Sarah alimfungulia geti na baada ya kupaki gari alishuka huku Sarah akionyesha kumchangamkia sana kuliko siku zote..Ally alijua Sarah atakua ameshafanya maandalizi yote kwani alimuona akiwa amevaa kigauni kifupi sana huku akinukia harufu nzuri mwilini mwake..Allingia chumbani kwake na kwenda kuoga kwa ajili ya kuondoa uchovu na kutoa jasho mwilini mwake na baada ya kumaliza alimuomba Sarah amwandalie chakula kwani alikua na njaa sana..Walikaa wote mezani na kuanza kula kwani hata Sarah nae alikua bado hajakula muda wote akimsubiri Ally arudi ili wale wote..Sarah alikua anamtazama sana Ally machoni huku akimrembulia macho yake makubwa utadhani amekula kungu..Ally alionyesha kama hayupo hapo kabisa kimawazo kwani alikua hataki hata kumtazama Sarah usoni kwa kile anachoenda kukifanya na kujiona ni kama mtumwa wa mapenzi kwani hakuwa tayari hata kidogo kufanya mapenzi na Sarah ila kwa sababu aliogopa kumpoteza Recho basi ilimbidi akubali kwa shingo upande.


Walipomaliza kula walipumzika kidogo kisha Ally akamuambia Sarah amfuate chumbani kwake ili akamtimizie haja yake..Waliingia hadi chumbani na bila kupoteza muda Ally alivua nguo zote na kumfuata Sarah ambaye nae alikua anachojoa kigauni chake taratiibu huku akimtazama Ally kwa macho yake laini sana na ya kurembua..




Akamsogelea Sarah na kumsaidia kuvua kile kigauni chake kisha akaanza kuichezea chezea dunguso yake ili isimame vizuri. Baada ya kuona imeshakubali sheria na kusimama kama msitimu akachukua pakiti ya kondom na kutoa 1 kisha akaanza kuivaa taratibu..

"Yani ina maana Ally ndio hata huniandai unataka uniingilie hivi hivi!"

"Kwani shida yako nini?"

"Hata kama lakini hupaswi kunifanyia hivi..Naomba unifanye kama unavyomfanyie girlfriend wako Recho."

"Usinione nafanya mapenzi na wewe ukadhani nafurahia ila imenibidi tu kutokana na hiko kitu cha kijinga unachotaka kukifanya hivyo naomba nifanye haraka haraka utoke humu chumbani kwangu."

"Please(tafadhali) Ally aomba japo unishike hapa basi."

Aliongea Sarah huku akimuonyeshea Ally naniliu yake. Ally alipoiona naniliu ya Sarah jinsi ilivyokua imejaa nyama nzuri akaanza kupatwa na hisia za ajabu na kutamani kumvamia haraka haraka na kuchomeka mashine yake..

"Kwahiyo unataka au hautaki? Ujue nitaghairi nikuache hivi hivi."

"Unataka ughairi! Sawa ghairi halafu tuone mimi na wewe nani atakua na shida."

"Lakini Sarah kwanini unanifanyia yote haya? Hivi hauoni wanaume wote hao huko nje hadi unilazimishe mimi kiasi hiki?"

"Sio kama sioni wanaume huko nje ila tatizo ni moja tu..Wao wapo tofauti na wewe. Hivi Ally unajijua kuwa wewe ni handsome sana?"

"Sina haja ya kujua yote hayo wala kusikia kutoka kwako..Kaa vizuri nikutimizie hiko unachokitaka utoke humu ndani kwangu."

"Sawa bwana, ngoja leo nionje utamu uliomfanya hadi Recho na yule mpemba wakapagawa."


Ally hakujibu kitu na bila kupoteza muda akamsogelea zaidi Sarah na kumuweka vizuri..Wakati anataka kuichukua dunguso yake na kuiingiza kwenye naniliu ya Sarah alihisi kama gari linapiga honi getini kwao..Ikabidi atulie kwanza na awe makini zaidi ili asikie vizuri..Kweli akasikia tena honi ikipigwa na safari hii ilikua mfululizo na kumfanya Ally amshtue Sarah ili atoke mule chumbani kwake..

"Nahisi atakua baba huyo hivyo vaa nguo haraka na uende ukamfungulie geti."

Baada ya kuambiwa hivyo Sarah alionyesha kukasirika sana ila ndio hakua na jinsi na ikambidi ainuke na kuelekea chumbani kwake haraka ili akavae gauni refu maana mule ndani kwa Ally aliingia na kigauni kifupi sana..Ally nae alivaa nguo zake haraka na kujitupa kitandani huku akijifanya kama amepitiwa na usingizi. Sarah akaenda kufungua geti na kweli akakuta ni mzee Mohammed kisha akaingiza gari ndani na kushuka.

"Vipi mpenzi mbona leo mapema sana?"

"Naumwa Sarah yani tangu asubuhi nilikua nahisi sipo sawa ila nimetoka basi tu..Nimepitia hospital na nimekuta nina malaria wadudu wawili hivyo nimepewa dawa hizi acha nikazinywe kwanza."

"Aaa! jamani pole sana mpenzi wangu."

"Haya asante sana. Ulikua umelala nini mbona umechelewa sana kufungua geti?"

"Ndio nilipitiwa na usingizi yani honi za gari ndio zilizoniamsha."

"Pole sana kwa kukuharibia usingizi wako."

"Wala usijali mbona ni jambo la kawaida sana."

Baada ya kuongea hivyo waliingia mpaka ndani kisha mzee Mohammed akanywa dawa na kumuambia Sarah kuwa anaenda kupumzika chumbani kwake hivyo wataongea baadae..Sarah akamuelewa kisha na yeye akaingia chumbani kwake kupumzika maana mchezo na Ally ulikua umeshakufa kwa siku hiyo kutokana na mzee Mohammed kuwa amerudi pale nyumbani.


**************** ****************


Mzee Mohammed hakwenda kazini kwa siku mbili mfululizo akiwa anaendelea kujiuguza homa lake na Ally akaona kuwa hiyo ndiyo ilikua nafasi pekee ya kupanga mpango wa nguvu ili aepuke ule mtihani wa Sarah. Akamfuata rafiki yake mmoja aliyekua anaitwa Tony ambaye wao mtaani kwao walizoea kumuita super handsome kutokana na kuwa na muonekano mzuri sana..Tony alikua hakai mbali sana kutoka pale anapoishi Ally hivyo walikua na mazoea ya kutembeleana japo sio mara kwa mara. Alipofika walisalimiana na kuanza kuongea nae kuhusu mpango wake aliokua nao hadi kumfanya aende pale..

"Sasa super handsome mimi nina bonge moja la shida na naamini wewe ndio mtu pekee ambaye unaweza kunisaidia."

"Mmmhh! Torres (Ally) yani mimi wakukusaidia wewe kweli? Hebu acha masihara mshikaji wangu."

"Hamna sina shida kama unavyofikiria wewe labda nimekwama kuhusu pesa au vipi. Ila nina shida muhimu sana ambayo nadhani hata pesa yenyewe kwa sasa haina umuhimu mkubwa kiasi hiko."

"Mmmh! eeh!e niambie shida gani hiyo maana hata mimi umeshaanza kunitisha sasa."

"No(hapana) sio ya kutisha ni jambo la kawaida tu. Shida yangu Tony ni kuhusu yule beki tatu wetu nafikiri unamjua vizuri."

"Nani yule Sarah au amekuja mwengine?"

"Yeah ni huyo huyo wala sio mwengine. Sasa bwana yule beki tatu ananisumbua sana. Yani ninavyokuambia juzi bado kidogo tu nimgonge ila baba alirudi nyumbani mida hiyo hiyo."

"Hahahaa acha kunichekesha bwana Torres. Sasa hapo kuna tatizo gani wakati kumbe ulishafikia hata hatua ya kutaka kumgonga.?"

"Nafikiri hujaelewa kwa undani ndio maana unaona kama masihara au mimi nafurahia hayo mazingira..Ngoja sasa nikuambie kila kitu ili upate kujua kwanini nimekuambia nina shida na nataka unisaidie."


Ally akamueleza Tony kila kitu kuhusu Sarah kumpiga picha akiwa na Nusrat wanabadilishana mate na kisha kumtishia kuwa atamuonyesha picha hizo Recho kama atakataa kufanya nae mapenzi..Alimuambia kila kitu na wala hakumficha maana aliona kuwa anaweza kumsaidia kwa kiasi kikubwa..

"Dah! kumbe ndio ipo hivyo! Aisee pole sana mshikaji wangu. Hawa mademu wengine kama wametumwa yani. Sasa ulikua unataka nikusaidie vipi katika hilo?"

"Ninachotaka ni wewe uende ukamtongoze Sarah yani ikibidi hata leo hii maana hakuna tena muda wa kupoteza..Nahisi nikiendelea kukaa kwa siku tatu zaidi bila kufanya kitu chochote atanidhibiti kama juzi na kufanya nae mapenzi wakati sitaki hiko kitu kitokee kabisa."

"Daah! aisee unanipa mtihani sana mshikaji wangu..Si unajua kuwa siku hizi nimeacha u'playboy?"

"Yaah najua Tony ila nakuomba unisaidie katika hili na nakuahidi zawadi nono sana kama utafanikisha huu mchongo."

"Sawa! sasa nikishamtongoza itasaidia vipi ili asikusumbue tena.?"

"Hayo yote niachie mimi Tony ila kazi yako ni kumpata tu Sarah na kumfanya awe karibu yako sana..Nakuaminia mwanangu yani uliweza kumng'oa yule mtoto wakishua Mary ndio umshindwe huyu kweli?"

"Siwezi kushindwa Ally yani nipe siku mbili tu kila kitu kitakua sawa."

"Nashukuru sana mshikaji wangu kwa kuweza kunielewa na kukubali."

Baada ya hapo waliongea sana huku wakipiga story za mpira kama ilivyo kawaida yao wakikutana na kila mtu akimsema mwenzie kuwa ni kibonde kwani Ally alikua ni shabiki damu wa Liverpool wakati Tony alikua ni shabiki wa Manchester United..Muda ulivyozidi kwenda Ally akamuaga Tony na kumsisitiza afanikishe huo mpango na kisha akamuachia noti tatu za shilingi elfu kumi na Ally akaondoka zake.


*************** ***************


Kesho yake Ally akapigiwa simu na baba yake Nusrat na kuambiwa kuwa ajiandae kwani jumatatu ya wiki inayofuata ndio siku ambayo alikua anaanza kazi..Ally alimshukuru sana baba yake Nusrat, mzee Salim na hakusita kuonyesha furaha yake kwa kitendo kile cha yeye kuanza kufanya kazi..Baada ya mazungumzo ya muda mrefu huku mzee Salim akimtia moyo Ally waliagana na kukata simu..Mtu wa kwanza kabisa kumpa taarifa zile alikua ni mpenzi wake Recho ambaye nae alifurahi sana na kumtakia kila la heri mpenzi wake huku akimsihi afanye kazi kwa bidii kwa ajili ya manufaa yao ya baadae..Ally alimshukuru sana mpenzi wake na kumuahidi kufanya kama alivyomuambia..Pia akamuambia kuwa anaomba siku ya jumapili aonane nae wapeane raha na kupongezana kwa ushindi alioupata. Recho alikubali na kupanga kukutana siku ya jumapili mchana..Baada ya kumaliza kuongea na Recho alimpigia simu Tony na kumuuliza alipofikia na kumjibu kuwa kila kitu kitakua sawa baada ya muda mfupi kwani tayari kashamtongoza Sarah na alikua anaelekea kukubaliwa..Ally alifurahi sana aliposikia taarifa hizo na kumshukuru sana Tony huku akimuahidi zawadi nzuri sana baada ya kufanikiwa kumaliza kazi..

Siku zilizidi kusogea na hatimaye ikafika weekend..Siku ya Jumamosi Ally alichat sana na Ilham huku Ilham akiwa anamsisitiza Ally akamtembelee pale anapoishi kwani alikua ameboreka sana kutokana na kuwa peke yake.Ally aliweza kukubali na kumuahidi kuwa jioni angeenda kumtembelea maana kwa muda huo kuna kazi alikua anaifanya. Ilham alifurahi sana na kuanza kufanya maandalizi kwa ajili ya kumpokea Ally..Alipika vyakula vizuri pamoja na kufanya usafi wa nguvu ndani kwake kisha akafanya na usafi wa mwili wake..


Ilipofika jioni Ally aliondoka na kuelekea maeneo ya airport anapoishi Ilham kwa kutumia gari lake..Hakuchelewa sana kufika kwani siku hiyo ya jumamosi foleni za Dar es salaam huwa sio kubwa sana kama katikati ya wiki..Hakupotea kabisa kwani Ilham alikua anaishi karibu sana na barabara na alipofika nje ya nyumba anayoishi akamtumia message kumtaarifu kuwa tayari ameshafika....



Alikaa ndani ya gari akimsubiri Ilham atoke nje ili amkaribishe ndani maana ndio ilikua mara yake ya kwanza anafika pale.Hazikupita dakika tatu akamuona Ilham anatoka akiwa amependeza na kuonekana mrembo sana japo alivaa mavazi ya kawaida..Ilham alisogea mpaka kwenye gari kisha Ally nae akashuka na kusalimiana.

"Yani nimefurahi sana Ally kwa huu ujio wako maana hata sijategemea."

"Usijali mimi pia nimefurahi kuja kukutembelea maana siku ile nilikuja ghafla halafu ilitokea ni kama dharura."

"Yaah kweli kabisa, karibu ndani Ally gari liache tu hapa hapa hamna neno huku kwetu wezi sio wengi halafu pia kuna ulinzi shirikishi."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally akailock gari na wote wakaingia ndani. Walifika hadi sebuleni na Ilham akamkaribisha Ally kwa ukarimu sana.

"Vipi nikuletee kinywaji gani?"

"Maji tu yanatosha."

"Mmmh sema kingine bwana yani maji tu?"

"Yaah usijali lete maji tu."

"Mmmh! haya bwana."

Ilham akampelekea Ally maji kwenye glass kisha Ally akayanywa yote.

"Vipi nikuongeze?"

"Hapana Ilham yanatosha, nashukuru sana."

"Usijali Ally."

Ilham akairudisha glass kisha akarudi na kukaa kwenye sofa la upande wa pili.

"Hongera Ilham, yani ndani kwako kuzuri sana."

"Mmmh mbona pako kawaida sana jamani."

"Hapana ni pazuri umejua kupapangilia."

"Asante Ally si unajua tena kidogo kidogo."

"Yaah kweli ila ipo siku malengo yatafikiwa."

Waliendelea na story tofauti tofauti za kimaisha huku Ilham akionyesha wazi kabisa kuwa amefurahi sana ule ujio wa Ally pale ndani kwake na kuonyesha kumchangamkia sana..

"Ila hujaniambia Ally unajishughulisha na nini maana naona mambo yako sio mabaya hadi unamiliki usafiri."

Ally alicheka kidogo kisha akamwambia.

"Bado sijaanza kujishughulisha na kitu chochote maana kwa muda wote nilikua nasoma ila keshokutwa Jumatatu ndio natarajia kuanza kazi. Hili gari nimepewa zawadi tu na baba yangu kutokana na kufanya vizuri chuoni."

"Anha ok, hongera sana."

"Asante sana Ilham."


Walikaa kimya kidogo huku ikionyesha kama kila mtu anatafuta neno la kuongea. Ilham alivunja ukimya akamtazama Ally na kumwambia.

"Vipi kuhusu vile nilivyokuambia Ally, umechukua uamuzi gani?"

Ally aliguna kidogo kisha akamtazama Ilham na kumwambia.

"Yani mpaka leo bado sijachukua uamuzi wowote. Sio siri hili suala linaniumiza kichwa sana na nashindwa hata jinsi ya kuamua.

"Tafadhali Ally naomba usiniache kwenye kifungo huru nateseka sana mwenzio. Nimejaribu kusubiri nikitarajia utanipa jibu zuri tukionana kumbe bado hujaamua. Nakuomba Ally unikubali hata sasa hivi niwe mpenzi wako na naahidi hautajuta kuwa na mimi."

Baada ya kuambiwa hivyo Ally alibaki kimya na kuangalia chini. Ilham alipoona Ally ameishiwa kabisa kauli ya kuongea akasogea mpaka alipokaa Ally na kukaa kando yake.

"Ally!"

Ilham aliita. Ile sauti ya kuliita jina lake iliifanya mishipa ya damu ya Ally kusisimka ghafla na kuifanya damu itembee kwa kasi sana.

"Naam!"

"Nakupenda."

Ally alibaki kimya na kushindwa kabisa kumpa jibu Ilham.

"Tafadhali Ally naomba unijibu naumia sana mwenzio nihurumie."

"Samahani Ilham naomba tuongee mambo mengine maana hapa naona akili yangu imevurugika kabisa."

"Kwanini?"

"Basi tu nahisi nipo kwenye wakati mgumu sana kuamua."

"Inaonyesha unampenda sana girlfriend wako."

"Hiyo sio uongo nampenda sana na ndio maana nashindwa kabisa jinsi ya kuamua."

"Nakuahidi sitokufanya umkose girlfriend wako na hii itakua ni siri kati yangu mimi na wewe hakuna mtu mwengine atakayejua."

"Sawa ilham ila kwa leo naomba tuache kuongea haya mambo tutaongea siku nyengine."

"Poa."

"Vipi mbona umejibu kimkato hivyo?"

"Wala sijakasirika."


Ally aliinama chini huku akionyesha kuwa na mawazo sana.

"Ngoja niandae chakula ili tule maana usiku ushaingia huu."

"Sawa acha mimi niendelee kutazama hii movie ya JB maana nampenda sana."

"Sawa we endelea tu kuangalia."

Ally aligeuza shingo na kumtazama ilham wakati anaondoka na kuyaona maumbile yake yaliyojengeka vizuri huku makalio yake makubwa wastani yakitingishika kama anacheza ngoma ya mdundiko. Sio siri Ilham aliumbika sana na kama hiyo bahati ya kutongozwa ungeipata wewe basi usingejiuliza mara mbili ni lazima ungemkubalia tu. Aliendelea kutazama movie na baada ya dakika kumi aliona Ilham akileta mahot pot tofauti tofauti na vyombo kwa ajili ya kuwekea chakula. Baada ya kumaliza kuandaa kila kitu akaanza kumuwekea Ally chakula ambapo alipika vyakula vingi sana kama biriani, ndizi, chipsi, macaroni, sambusa na catless pamoja na kutengeneza juisi nzuri sana yenye mchanganyiko wa matunda tofauti.

"Mmmh wewe ni mpishi mzuri sana yani vitu vyote hivi umepika wewe?"

"Yaah nimepika mimi ila ni kwa ajili yako."

Ally alitabasamu kisha akamshukuru sana Ilham..Walianza kula huku wakiendelea na story tofauti tofauti lakini Ilham akionyesha kama hayupo sawa..

"Mbona unaonyesha kama haupo sawa Ilham kuna tatizo lolote?"

"Najihisi vibaya Ally ninapokuangalia natamani ungekua mpenzi wangu. Naumia sana ninapokuona halafu najua umewahiwa na mtu mwengine."

"Ooh! usiwaze sana Ilham mbona ni mambo ya kawaida sana haya. Naomba tule kwanza then(halafu) tukishamaliza ndio tutaongea vizuri kuhusu hili."

Ilham alitingisha kichwa kuonyesha kuwa amemuelewa Ally. Waliendelea kula huku wakiwa wanatazamana mara kwa mara hadi Ally akahisi kupaliwa na chakula. Ilham alikua ni mrembo sana zaidi ya ambavyo ninaweza kumuelezea hapa na alikua ni burudani tosha kumuangalia usoni. Walimaliza kula na kunywa na Ally alimshukuru sana Ilham kwa kumuandalia chakula kitamu kama kile. Ilham akatoa vyombo na kufanya usafi na alipomaliza akarudi pale kwenye sofa alipokua amekaa mwanzo na Ally..

"Hivi Ilham hajawahi kutokea mwanaume akaomba akuoe?"

"Kwanini Ally umeniuliza hivyo?"

"Una sifa zote za kuwa mke wa mtu.

Ilham alitabasamu na kumtazama Ally..

"Wameshatokea wengi sana na kuniahidi mambo mbalimbali huku wengine wakitaka kuninunulia nyumba na gari lakini wote sikuwakubalia kwa sababu sikuwapenda."

"Mmmh una moyo wa ajabu sana yani wasichana wa siku hizi wakatae nyumba na gari!"

"Yaah inawezekana. Ujue sio wasichana wote wenye tamaa na kujirahisisha kwa wanaume kwa sababu ya mali zao wengine hatujali hayo tunataka mapenzi tu ya dhati na nafsi kumshiba mtu."

"Mmmh ila kweli inawezekana."

Ally alimuangalia sana Ilham usoni na kujidhihirishia kuwa hakuna mwanamke mzuri aliyewahi kumuona kama Ilham. Muda mwengine alikua anahisi kuna mtu mwenye pesa sana anammiliki maana ni vigumu sana msichana mrembo kama yule awe single.

"Ilham niambie ukweli hauna mchumba kweli?"

"Unataka nikuambie vipi Ally? Ina maana huniamini?"

"Hapana nakuamini."

Ilibidi sasa Ally aamini ukweli maana Ilham alionyesha kuwa anamaanisha kile anachokiongea.

"I love you."(Nakupenda).

Ilham alikua ni kama amepigwa na shoti ya umeme mwilini mwake kwa kusikia maneno yale kutoka kwa Ally kwani hakutegemea kabisa kuambiwa vile.

"What? I'm I dreaming?" (Nini? Ninaota?)

"You're not dreaming Ilham, that's the truth." (Hauoti Ilham, huo ndio ukweli)

"No, I don't believe it Ally, are you serious?" (Hapana siamini Ally, upo makini)

"Yaah I'm serious and I mean it." (Ndio nipo makini na namaanisha hivyo).

Ilham akamrukia Ally kwa furaha na kumkumbatia pale kwenye sofa na kuanza kulia.

"I...Lovee,,youuu,,, toooo Allllyyy." (Nakupenda pia Ally)

Alikua haamini kabisa na machozi ya furaha yalimtoka mfululizo.

"Don't cry baby." (Usilie mpenzi)

Aliongea Ally huku akimfuta machozi Ilham. Ilham alinyamaza na kumkumbatia tena Ally.

"Naomba usiniache Ally."

"Hapana siwezi nikakuacha Ilham nakupenda."


Baada ya kuambiwa hivyo akamuachia Ally na kukaa vizuri kisha wakaanza kuongea mambo mbalimbali hususani penzi lao jipya. Kila mmoja aliahidi kumfurahisha mwenzake na kupanga mambo mbalimbali ya kimaisha huku wakizidi kujuana zaidi kifamilia.

Ally aliitazama saa yake na kukuta imeshatimu saa tatu na robo usiku.

"Sasa mpenzi naomba niondoke maana muda umeenda sana."

"Sawa mpenzi wangu na nashukuru sana kwa kuja kwangu kunitembelea."

"Usijali baby kuanzia sasa hivi nitakuja mara kwa mara maana pameshakua nyumbani kwangu."

Ilham alicheka na kumwambia Ally.

"Usijali yani unaweza kuja muda wowote unaoutaka."

Walitoka nje na kuingia ndani ya gari ili waongee maongezi ya mwisho kabla Ally hajaondoka..Ilham alimtakia Ally safari njema na kumwambia kuwa anampenda sana. Ally alimshukuru kisha wakajikuta wanaanza kusogezeana midomo taratibu na kubadilishana mate..Ally alizinyonya vizuri lipsi za Ilham na kumsikia akihema kwa tabu na kuuzungusha vizuri ulimi wake kwenye mdomo wa ilham. Walinyonyana sana kisha wakaachiana na kila mmoja alionyesha kuwa anahitaji iendelee zaidi ya pale..

"Kwaheri mpenzi wangu tutaonana siku nyengine tutakayopanga acha niwahi nyumbani."

"Sawa mpenzi nashukuru sana kwa kampani yako ya leo hakika nimeipenda sana. Nakutakia safari njema ila ukifika usiache kuniambia kama umefika salama."

"Sawa baby nitafanya hivyo usijali."

Baada ya kuambiwa hivyo Ilham alimbusu Ally mdomoni na kushuka ndani ya gari.

"Bye baby."

"Ok bye, I love you."

"I love you too."

Ally aliondoka kurudi kwao kisha Ilham nae akaingia ndani kwake.


***************** *****************


Kesho kama alivyopanga akaenda kukutana na Recho maeneo ya karibu na kwao kwani siku hiyo hawakutaka waende mbali sana..Walikumbatiana kwa furaha sana na kupeana mabusu motomoto huku kila mtu akionyesha kuwa alikua na hamu na mwenzie.

"Nimekumiss sana mpenzi wangu."

Aliongea Recho huku akiwa amemshika Ally mabegani.

"Nimekumiss pia mpenzi yani wiki moja nimeiona kama mwaka."

Recho alitabasamu na kuyafanya mashavu yake yatengeneze vishimo vidogo vinavyoitwa dimpoz. Ally akavibonyeza vile vidimpoz na kumfanya Recho afurahi sana. Walitafuta sehemu nzuri iliyotulia na kukaa chini kisha wakaanza kuongea mambo mbalimbali ya kimaisha hususani penzi lao. Ally akamuambia kila kitu Recho kuhusu ile kazi aliyoipata na kumuambia kuwa yule mwanafunzi mwenzake aliyekua nae darasa moja Nusrat ndio aliyemtafutia kwani baba yake alikua na makampuni mengi sana..

"Mmh hivi unamuamini baby?"

"Kumuamini kivipi?"

"Hauhisi kama ana nia nyengine hadi akutafutie kazi wewe na isiwe mtu mwengine."

"Nia ipi hiyo?"

"Anakutaka."

"Mmh sidhani baby kwa jinsi tunavyoheshimiana sidhani kama itakua ana mawazo hayo. Ila ngoja nikutoe wasiwasi. Hakuna mwanamke yeyote mwenye nafasi moyoni mwangu isipokua wewe tu Recho. Umeujaza moyo wangu kwa upendo mzito na huwa sifikirii mwanamke mwengine kabisa."

"Asante sana baby na nafurahi kusikia hivyo. Naomba usinisaliti Ally maana utanipa maumivu sana ambayo siwezi kuyasahau hadi siku naingia kaburini."

"Nakuahidi baby kamwe sitakusaliti."

Masikini Recho alikua hajui lolote kumbe Ally alikua na mahusiano na Nusrat tena kwa muda mrefu sana tangu wakati wapo chuoni. Pia siku iliyopita yani jana yake alitoka kuanzisha mahusiano na mwanamke mwengine (Ilham) na yote hayo alikua hayajui ila alizidi kumpenda Ally kadri ya siku zilivyozidi kwenda.


Wakati wanaendelea kuongea Ally alisikia simu yake ikiita na alipoitoa mfukoni alikuta ni Nusrat ndio anapiga..Alitamani hata aikate ila alihisi Recho anaweza kushtukia mchezo na ikabidi afikie uamuzi wa kuipokea ili aongee nae...



Alianza kuongea na Nusrat huku akiwa na wasiwasi sana na mazungumzo yao yalikua hivi.

Ally...Hello

Nusrat...Hello mpenzi, mambo?

Ally...Safi tu, mzima kabisa?

Nusrat...Yeah mimi mzima kabisa..Uko wapi?

Ally...Nipo kwa kina Recho hapa nimekuja kumtembelea.

Nusrat...mmmh ndio maana unaongea chini chini hivyo, haya bwana nilikua nataka kukuambia kuwa kesho utakapokua unaenda kazini unipitie hapa nyumbani maana lile gari ninalolitumia limeharibika.

Ally...Ok basi sawa usijali nitafanya hivyo.

Nusrat...Asante nitashukuru sana.Ila baadae ukirudi nyumbani usiache kunitafuta ili tuongee kidogo maana najua hapo ulipo hatuwezi kuongea kitu chochote.

Ally...Sawa nitafanya hivyo nitakaporudi.

Nusrat...Ok poa bye, baadae eeh!

Ally...Ok bye!

Baada ya kumaliza kuongea nae Ally alimtazama Recho kwa wasiwasi maana alihisi huenda atakua amesikia neno lolote kati ya yale yaliyokua yanaongelewa.

"Nani huyo uliyekua unaongea nae?"

"Nusrat, kuna maelekezo alikua ananipa kuhusu kazini."

"Ok, ila bado nina wasiwasi sana na huyo Nusrat, kuwa nae makini sana baby."

"Usijali baby nitakua makini zaidi ya unavyofikiria."


Waliendelea na story nyengine huku wakifurahi sana na kutaniana hadi giza likaanza kuingia taratibu. Ally akamuambia Recho waende restaurant moja nzuri iliyopo maeneo ya Tabata Aroma kwa ajili ya kupata vinywaji na kula. Recho alikubali kisha wakaingia ndani ya gari na kuondoka maeneo yale. Hawakuchelewa kufika na baada ya kama dakika 10 wakawa wapo nje ya jengo hilo zuri kabisa na la kisasa. Wakashuka na kuingia ndani kisha wakatafuta meza nzuri sana na iliyojificha.Wakakaa kisha wakaagiza chakula na vinywaji na baada ya muda mfupi wakaletewa kila kitu walichoagiza.. Walikula na kunywa huku wakiangaliana sana na muda mwengine Recho alikua anamtekenya Ally miguuni kwa kutumia miguu yake.

"Mmmh yani baby ushanipandisha mizuka natamani hata sasa hivi ukaishushe."

Aliongea Ally huku akiwa ameacha kula na kumtazama Recho.

"Mmmhh baby sasa hivi ni usiku sana na isitoshe sikumuaga mama wakati natoka hivyo nikizidi kuchelewa atapata wasiwasi sana na kunigombesha nitakaporudi."

"Yaah ila kweli mama atakasirika sana. Unajua nyie watoto wa kike ni tofauti na sisi wa kiume. Mimi naweza hata nisirudi nyumbani leo lakini sitafanywa kitu chochote au kugombeshwa kama wewe. Halafu pia baba ananiamini sana hivyo hawezi kutilia shaka kitu chochote hata kama sitarudi. Basi tule haraka ili nikurudishe nyumbani."

"Sawa mpenzi wangu na nashukuru sana kwa kuweza kunielewa."

"Usijali baby."


Waliendelea kula na kutazamana kama kawaida hadi walipomaliza kisha wakashushia na vinywaji laini. Walipomaliza kunywa waliinuka na kuondoka ili Ally amrudishe Recho nyumbani kwao.Waliingia ndani ya gari na kurudi maeneo ya Tabata Bima kwa kina Recho na walipofika getini kwao Recho alishangaa kumkuta mama yake nae akiwa anapiga kengele ikionyesha kuwa nae ndio alikua anarudi mida hiyo..

"Yule nani pale getini kwenu?"

"Mama yule hata sijui anatoka wapi."

"Mmmh Mungu wangu! Sasa akituona hawezi kukasirika kweli?"

"Hapana, nitaongea nae na kumwambia kila kitu na naamini atanielewa tu."

"Mmmh haya sawa."

Ally alisimamisha gari getini kwa kina Recho kisha akaagana nae na kuondoka maeneo yale kurudi nyumbani kwao..

Recho alienda mpaka pale getini na kumkuta mama yake ambaye alikua anamshangaa sana.

"Recho!! unatoka wapi saa hizi?"

"Samahani mama nilitoka mara moja ila sijakuaga kwa sababu ulikua umelala."

"Na yule aliyekuleta hapa ni nani?"

Recho alikaa kimya akiwa hata hajui amwambie nini mama yake..Wakati anaendelea kujifikiria geti lilifunguliwa na mfanyakazi wao wa ndani anayeitwa Vero na wote wakaingia ndani. Walifika sebuleni na kukaa kisha mama yake Recho akamuuliza tena.

"Si nimekuuliza Recho mbona hujanijibu.Yule aliyekuleta pale nje ni nani?"

Recho alikaa tena kimya kidogo kisha akamjibu,

"Samahani sana mama kwa kutokukuambia siku zote hizi. Yule ni,,,nii,,ni..."

"Mwanaume wako."

Mama yake Recho alikua ameshahisi kuwa ni lazima yule atakua ni mwanaume wake Recho na ndio maana Recho alikua anashindwa kuongea.

"Ndio mama."

Recho alijibu na kuinama chini na kuonyesha kuona aibu huku akisubiria kwa uoga jibu la mama yake. Mama yake alikaa kimya kidogo na kuonyesha kama kutoamini kile kilichotokea. Akamuangalia sana Recho ambaye alizidi kuangalia chini.

"Ni muda gani tangu uanze nae mahusiano?"

"Mwaka wa pili huu mama nipo nae."

"Sasa kwanini ulikua unanificha siku zote hizo.?"

"Nilihisi nikikuambia haswa kipindi kile nilivyokua chuo ungekasirika sana."

"Na sasa hivi je nilivyojua, unahisi sijakasirika?"

"Samahani mama naomba unisamehe sana.Tuna mpango wa kutambulishana kwao na kwetu ila muda haujafika maana mtu mwenyewe hata kazi alikua hajaanza."

"Angalia mwanangu usihadaike na magari yale ukadhani ndio umempata mwanaume sahihi wa maisha yako. Jaribu kuchukua muda wako na kumchunguza vizuri pengine haujui upande wa pili wa maisha yake upo vipi."

"Usiwe na wasiwasi mama yule ni kijana mzuri sana na naamini hata wewe utafurahi pale utakapojuana nae."

"Sawa ila fanyeni mpango uje kumtambulisha maana haya mambo ya kujificha ficha hayana maana yoyote na mnaweza kujikuta mnachezeana tu."

"Sawa mama nimekuelewa na tutafanya hivyo."

Aliongea sana na mama yake na ulipofika muda wa kula Recho alikataa kula kwa kusema kuwa ameshiba. Mama yake alimlazimisha sana lakini Recho alikataa na akaelekea chumbani kwake ili akapumzike.


***************** *****************


Kesho yake asubuhi Ally alitoka akiwa nadhifu sana na kuelekea moja kwa moja hadi kwa kina Nusrat ili akampitie kama alivyomuahidi. Alimkuta akiwa amekwishajiandaa na wakaondoka moja kwa moja hadi kazini. Walipofika Ally alionyeshwa ofisi yake ambayo atakua anafanyia kazi na aliipenda sana kwani ilikua safi na yenye mpangilio mzuri huku hewa safi ya A.C ikiwa inakuburudisha kwa muda wote.

Nusrat alimtakia Ally kazi njema na kuagana kwa mabusu kisha akatoka na yeye akaelekea kwenye ofisi yake ambayo pia ilikua nzuri sana kama ilivyo ya Ally.

Walifanya sana kazi hadi ilipofika mchana wakatoka pamoja na kuelekea kwenye mgahawa ulio karibu kwa ajili ya kupata chakula cha mchana. Walikula na walipomaliza wakapumzika kidogo wakiwa wanaongea na kisha wakarudi tena ofisini kuendelea na kazi. Ilipofika jioni baada ya muda wa kazi kuisha walitoka na Ally akamrudisha Nusrat hadi nyumbani kwao kisha na yeye akarudi kwao. Alipofika akashuka na kwenda kuangalia kama geti lipo wazi ili afungue mwenyewe na kweli akalikuta lipo wazi. Akalifungua lote na kuingiza gari lake ndani kisha akashuka na kwenda kulifunga. Akasikia sauti ya radio ipo juu sana na moja kwa moja akajua kuwa ni Sarah huyo kwani akibaki peke yake ndani huwa anapenda kuweka CD ya taarabu na kufungulia kwa sauti kubwa sana.


Akatembea hatua za taratibu kuingia ndani ambapo alipofungua mlango wa sebuleni hakuamini macho yake alipowakuta Tony super handsome na Sarah wakiwa wanafanya mapenzi tena wakiwa wamenogewa sana. Hakujua hata afanye nini na moja kwa moja akaelekea kupunguza sauti ya radio ambapo wakina Sarah walishtuka sana na kuachiana......



Ally aliwatazama huku akionyesha kutoshangazwa sana na ile hali kwani alishiriki katika mpango mzima wa

kuwafanya hadi Sarah na Tony wakawa wapenzi..

"Unafanya nini Sarah? Nilikuambiaje kuhusu tabia yako ya kuleta wanaume ndani? Halafu ulivyokosa aibu unafanya uchafu wako hapa hapa sebuleni, hivi

ukoje we mwanamke?"

Sarah alibaki kimya kama amemwagiwa maji ya baridi huku akijifanya anajiziba sehemu zake za siri wakati tayari ameshamkalia Ally uchi kwa zaidi ya mara tatu.

"Kaka naomba uvae nguo zako utoke humu ndani kabla sijafanya kitu chochote kibaya. Ukimuhitaji huyu malaya wako muite huko huko nje mfanye mambo yenu wala sitawabugudhi lakini sio humu

ndani kwetu."

"Ally mimi nani?"

"Malaya."

Sarah akainuka na kuiokota kanga yake kisha akajifunga na kuelekea chumbani kwake kwa hasira.

Sarah alivyoingia chumbani kwake Ally

akamsogelea Tony na kumwambia.

"Sasa unafanya nini mwanangu?"

"Dah! samahani sana Ally yani hata mimi sijategemea kufanya kitu kama hiki hapa ila huyu mwanamke ndio amenishawishi tu na kunilazimisha."

"Poa fanya uende nitakutafuta maana hapa sijisikii kuongea kabisa."

"Poa, sasa vipi kuhusu hela yangu iliyobaki?"

"Nitakutafuta ila kwa muda huu nenda kwanza sipo sawa."

Baada ya kuambiwa hivyo Tony akavaa nguo zake haraka haraka kisha akamuaga Ally na kuondoka..Ally nae akaelekea chumbani kwake ili akapumzike maana alihisi kuchanganyikiwa ukijumlisha na uchovu aliokua nao kwa kufanya kazi siku nzima..


Kesho yake kama kawaida akatoka na kuelekea kazini na alifika mapema sana akiwa ndio mfanyakazi wa kwanza kufika siku hiyo. Muda ulivyofika alianza kazi na kufanya kwa ufanisi mkubwa sana huku siku hiyo akiwa hajamuona kabisa Nusrat. Muda wa lunch ulivyofika akaamua kumpigia simu ili kujua kama yupo maeneo yale au hajakuja kabisa.

"Vipi mpenzi uko wapi mbona sijakuona leo?"

"Nipo mpenzi wangu nimechelewa tu kuingia kazini, vipi na wewe upo ofisini kwako au?"

"Hapana nipo hapa nje nataka niende lunch mara moja ndio maana nimekutafuta."

"Ok basi nisubiri hapo hapo nakuja sasa hivi twende wote."

"Ok usijali utanikuta kwenye gari yangu."

"Ok poa"

Baada ya kama dakika nne Nusrat alikuja na wakaelekea kupata chakula cha mchana pamoja..


**************** *****************


Ilivyofika weekend Ally alimuomba Ilham watoke out maana tangu waanze mahusiano yao hawakuwahi kupata nafasi nzuri ya kukaa na kuongea kwa undani zaidi..Ilham alikubali na ilivyofika jioni Ally akaenda kumpitia nyumbani kwake Airport. Alivyofika akamtaarifu kuwa yupo nje na baada ya muda mfupi alimuona Ilham akitoka akiwa amependeza kuliko mrembo wa dunia aliyeshika namba moja huku shepu yake ikizidi kutia ndimu uzuri wake. Hakuamini kabisa kama yeye ndio anayemmiliki msichana mrembo kama yule kwani alijiona kuwa ni mtu wa kawaida sana. Ikabidi ashuke kwenye gari ili akamsalimie kwa mabusu na kumkumbatia maana Ilham alikua anavutia sana. Akamsogelea na kumbusu mdomoni na kumkumbatia huku akiwa anampapasa mgongoni..Walipomaliza wakaingia ndani ya gari kisha wakaanza safari ya kuelekea Mbaa La Mwezi Beach. Walifika mapema sana kwani hakukuwa kabisa na foleni kwa siku hiyo ya Jumamosi. Alipaki gari vizuri kisha wakashuka na kuelekea kwenye meza iliyojificha ili waongee mambo yao kwa utulivu zaidi. Muhudumu alikuja na kumuagiza vinywaji pamoja na chakula huku wao wakiwa wanaendelea na maongezi mengine..

"Mmhh sio siri Ilham yani umependeza sana hadi naona wivu. Hakika Mungu amekuumba kwa udongo wa upendeleo maana una uzuri ambao kumuona nao mtu mwengine inaweza kukuchukua hata miaka kumi."

"Hahahaa baby acha maneno yako bwana ina maana wazuri wote hao mimi ndio niwe zaidi yao?"

"Yah! mimi nakuona wewe tu na ndio maana wakasema mapenzi ni upofu. Hakika nimekua kipofu kwako."

"Asante sana mpenzi.Ila hata wewe ni handsome sana hadi nakua na wivu pindi unapokua peke yako. Najua wasichana wanakusumbua sana maana wanaume wa aina yako mpo wachache sana."

"Usiwe na wasiwasi mpenzi wangu. Kama nilivyokuambia nina girlfriend mmoja tu na hakuna mwengine tena. Yeye alinifanya nisione tena mtu mwengine ila wewe umeyabadilisha mawazo yangu. Na sielewi kwanini umekua tayari kushea mapenzi ilihali nimeshakuweka wazi kwa kila kitu."

"Tafadhali usiongee hivyo Ally maana unaniumiza sana. Natamani sana ungekua wangu peke yangu ila ndio ushakua na mtu mwengine tena unampenda. Ni mapenzi ya dhati ndio yamenifanya niwe na wewe na siwezi kabisa kuishi mbali na wewe. Tangu siku ya kwanza nilipokuona nilihitaji sana kuwa na wewe na sikutaka kukukosa kabisa."

"Nashukuru sana Ilham kwa upendo wako wa dhati na naahidi kukupenda kwa dhati kama ambavyo nampenda Recho."

"Kumbe huyo girlfriend wako anaitwa Recho?"

"Yah kwani sijawahi kukuambia?"

"Ndio hujawahi."


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

BLOG