Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

SLAVE SEX SEHEMU YA 7/10


SLAVE SEX
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 7 KATI YA 10
*******

Makazi yake maalumu hayakueleweka, yeye popote alilala lakini mara nyingi alionekana
Mabibo.Alivyotoka hapo alitembea mpaka kwenye saluni ya rafiki yake Misanya ili kuosha nywele zake.
“Misanya eeh”
“Vipi mwanangu?”
“Hivi yule demu,aliyehamia mtaa wa huku nyuma anaitwa nani?”
“Anha yule mwenye mkungu wa ndizi?”
“Huyohuyo,duu yule demu ana kalio bwana.Sema nini mwanangu”
“Nini tena?”
“Ana sura baya”
“Hahahaha! Rei bwana ushaanza sasa”
“Any way tuachane na hayo nitakuja basi jioni unipe lile American boot lako”
“Poa we ibuka jembe”
Ni kweli usiku wa siku hiyo ulipofika Leythan alikuwa amependeza kwa nguo za kuazima.
Akawa yupo simuni anapewa maelekezo na Mwanamke aliyeitwa Edna wakutane Samaki samaki,Mwenge!
“Poa Love,mimi naibuka leo lakini sina gari”
“Usijali,bwana mkubwa kasafiri, nitatumia gari yake,tena nataka mwenyewe uendeshe”
“Sawa Mamito”
Kwa Leythan hiyo ikawa kama ahsante Mungu, haraka akatafuta daladala mpaka Mwenge,aliitambua gari ya Edna vizuri sana baada ya kufika Mwenge, kivulini.

Kila mtu alikuwa anaitumbulia macho Range rover spot nyeupe pembezoni mwa barabara.Leythan akavuka barabara na kuzunguka upande wa kushoto wa gari ili aingie ndani,lakini alivyofungua alimkuta Edna yupo upande huohuo.
“Zunguka huko uendeshe”
Haraka Leythan akazunguka upande wa pili,akakaa nyuma ya usukani.Jinsi mapaja ya Edna yalivyokuwa wazi yakamfanya Leythan ayaangalie kwa mataminio, alikuwa ni mwanamke mtu mzima lakini aliyeenda na wakati,kimini alichovaa kilimfanya awe kivutio.
Leythan akashindwa kuvumilia akamsogelea karibu na kumvuta upande wake wakaanza kulana denda,ilikuwa ni kama Edna alijua kwani baada ya kitendo hicho alipeleka mkono wake mpaka juu ya karoti ya Leythan akaanza kuipapasa,kutokana na gari hiyo kuwa na vioo vyeusi sana watu waliopita nje hawakuweza kujua kilichokuwa kinaendelea.
Wakaendelea kushikana kila sehemu ya miili yao.
Mkono wa Leythan ukatua juu ya maziwa ya Edna taratibu akaanza kuchezea chuchu za juu, akamtoa blauzi yake na kuanza kuyanyonya maziwa yake,hapo ndipo ulipokuwa udhaifu wake.Leythan hakuwa mzuri wa sura tu hata kitandani alikuwa na sifa hiyohoyo,taratibu walianza kujisogeza viti vya nyuma na kuanza kuvuana nguo zao.
Kimini cha Edna kikapandishwa juu na chupi yake ikashushwa chini, Leythan akaipanua miguu ya mwanamama huyu na kuutoa ulimi wake uliokuwa na sentimita kadhaa,ncha yake ikagusa kitumbua cha mama huyu ambaye alikuwa hoi hajiwezi tena, haishi kutapatapa.
“Mh,Ah Leythaaa…n hi..vy..o hivy..o”
Edna akazidi kutoa sauti ya puani huku akiyashika maziwa yake,mambo yalivyokuwa tayari mechi ikaanza hapohapo,Baada ya dakika kumi walikuwa wamelaliana Edna juu Leythan chini, majasho yanawatoka kwa mbali.
“Baby leo nataka tulewe mpaka basi yaani mpaka majogoo”
Kauli hiyo aliitoa Edna,picha lilionesha kuwa alipagawishwa vibaya sana.

Hapo ndipo walipoamua kuruka kila kiwanja,kilikuwa kikitoka hiki wanahamia huku,mpaka inafika saa tisa ya usiku walikuwa bwii kwa pombe.Usiku huo ukawakutia mikocheni na badala yake walipanga wakalale Ubungo Landmark Hotel, wakaendeleze starehe yao.Leythan ndiye alikuwa nyuma ya usukani anaendesha Range Rover sport na mara kwa mara alikuwa akishikana na Edna ndani ya gari wakiwa barabarani.
“Kuuuu”
Mlio huo uliwashtua,walikuwa wamegongwa kwa nyuma,wa kwanza kushtuka alikuwa ni Leythan akatizama kioo cha nje akaona Rexas nyuma yake imemgonga,mara ghafla akaona inaondoka kwa mwendo wa kasi.
“Ba….by viipi?”
“Acha nimkiiiiimbizeee huyu mshenziii,katugonga aalaafu anatakaaa kukimbia”
Leythan akabonyeza ‘overdrive’ na kufungua ‘turbo’ gari ikaanza kuserereka kwa kasi kulifukuzia Landcruiser Rexas.
***
Sonia aliogopa kupita kiasi,gari aina ya Range rover spot aliyoigonga ilizidi kumfuata kwa kasi,ikampita na kupaki mbele yake,akashuka mwanaume mzuri mrefu aliyebana nywele zake,mpaka upande wake na kugonga kioo.
“Wewe malaaya fungua fungua kiooo fanyaa fastaa”
Hiyo ndiyo kauli aliyotoa Leythan Jabir kwa sauti ya ulevi iliyosindikizwa na ukali.


 “Fungua basi mlango,nitavunja kioo hiki ujue..Husikiiii”
Leythan Jabir aliongea huku akizidi kugonga kioo cha gari la Sonia,hakutumia ustaarabu hata kidogo.Sonia akiwa ndani ya gari sio kwamba aligoma kushusha kioo bali aliogopa na kuhofia usiku huo,kadri sekunde zilivyozidi kwenda mbele ndipo Leythan alizidi kugonga kioo kwa fujo,Sonia akaona isiwe tabu akabonyeza kidude cha kufungua kioo pembeni ya mlango wake,kioo kikaanza kuteremka,kikafika nusu kikatulia.Sonia hakutaka kushusha kioo mpaka chini.
“Shukaaa ndani yaa gari,uone ulichokifanyaaaa”
“Kaka naomba tumalizane”
Sonia akaongea kwa uwoga,pombe alizokunywa zikawa zimemwisha.
“Umalizane na naniiii?embu shuka kwanza chiini.Usilete dharau na kigari chako hicho cha mkopo”
Hakukuwa na namna ya kuzuia fujo alizosababisha Leythan,Sonia akatii amri na kuteremsha mguu wake wa kulia uliokuwa na kicheni yaani kikuku,Leythan akabaki ameduwaa mavazi aliyovaa Sonia yakampagawisha lakini hakutaka kuliweka swala hilo waziwazi.
“Shuka bwanaaaa,usiniletee mapozi”
Leythan akafoka wakatembea mpaka nyuma ya Range rover spot,ni kweli taa za nyuma zilikuwa zimepasuliwa vibaya sana na rangi imechubuka,bampa limepinda.
“Unaona ulichokifanyaaaaa wewe malaaaaya?,Usiniangalie,unaona ulichokifanya,unaijua gharama yake hii gari?”
“Kaka,naomba unisamehee”
“Nani akusamehee kwanza unanuka pombe,unaendesha gari umelewaaa,jina lako nani?”
“Soniiiia”
“Unaishi waaaapi?”
“Sinzaa”
Mlango wa gari akafunguliwa Edna akashuka ili kutizama gari yake ilivyoumia, alivyotaka kuingilia Leythan akamzuia.
“Edna ingia ndani acha nimalize haya mambo”
Alijua kivyovyote vile Edna angeunguza picha endapo angeendelea kubaki.
“Hii gari nimeinunua Juzi tu,hivi kwanini mnakuwa hivi nyie mabinti?Mnaiba magari kwa baba zenu matokeo yake ndiyo haya,gharama yake hiii sawa na bei ya kigari chako hiko cha kukodi”
“Kwani ni shilingi ngapi?”
“Embuu usinikere,nipe kadi yako ya gari au uondoke na hili gari”
“Kaka,haina haja ya kwenda huko mbali kote”
“Shut up,nipe kadi yako ya gari,usinipotezee muda”
Japokuwa ilikuwa ni usiku Sonia alichukia vibaya sana,katika maisha yake hakuwahi kusababisha ajali, akachukulia huo ni mkosi mkubwa,akaingia ndani ya gari lake kwa hasira na kutoa kadi yake ya gari akamkabidhi Leythan.
“Gari yanguu utaitengeneza lini?”
“Lakini si nimekupa kadi yangu ya gari”
“Haijalishi,nachotaka kesho gari yangu iwe sawa”
“Poa,nigee namba zako za simu”
Sonia akachukua namba za Leythan akiwa amechukia mno,akaingia ndani ya gari na kuubamiza mlango kwa nguvu.
Akatimka mbio huku nyuma akiacha vumbi,akiwa juu ya usukani alikuwa akisonya tu.
“Watu wengine bwana,pumbavu sana..Na kesho nitamlipa fala sana yule jamaa,Eti gari la kukodi usikute pale yeye ndiye gari lake la mkopo,keshaniaribia mudi zangu”
Sonia alijisemesha mwenyewe na kuendelea kukanyaga mafuta,akafika Mwenge na kukunja kulia hapo alinyoosha mguu mpaka ‘Round about’ akaingia kushoto,barabara ilikuwa nyeupe na usiku ulikuwa mnene,akafika kwake Sinza na kulipaki gari nje,akaona tabu kufungua geti na kuliingiza ndani,kabla ya kuingia getini akatembea mbele ya gari lake na kulikagua.
“Kumbe gari langu halijaumia sana,isingekuwa hii ngao ingekuwa hasara nyingi”
Alivyoridhika akabonyeza funguo na ku ‘lock’ milango.Akaingia ndani ya geti na kulifunga akapandisha ngazi na kutoa funguo,alivyofungua mlango akatembea moja kwa moja mpaka chumbani kwake,kwa kuwa alikuwa anaishi peke yake,hakuwa na haja ya kuweka kituo popote pale.

Alivyoingia chumbani kwake tu, alichojoa nguo moja baada ya nyingine akabaki kama alivyozaliwa,akazama bafuni na kufungua bomba la Mvua.
Ghafla sura ya Sebastian ikamjia kichwani jinsi walivyokuwa Sweden wakiwa katika hali ya furaha,picha zikazidi kumiminika kama mkanda wa filamu ndani ya kichwa chake, ghafla akajiona yupo juu ya kiti anaunguzwa na moto, wazungu wakiwa wamesimama pembeni yake Sebastian akamtemea mate,hasira ikamjia, mara akamuona Partson tena jinsi walivyoanza mapenzi yao, baadaye akamtenda vibaya sana.
Akayachukia mapenzi mno,maji yakazidi kumiminika mwilini mwake huku akijitizama mbele ya kioo kikubwa,akajiangalia kuanzia juu mpaka chini,ni kweli maneno aliyoambiwa kuwa yeye ni mzuri aliyakubali mwenyewe,dakika kumi na sita nzima alitumia kujikagua na kuwaza vitu mbalimbali vilivyotokea katika maisha yake.
Alivyohisi ametakata akatoka bafuni na kuchukuwa taulo,akajifunika mwili mzima mapaja yake manene yakawa wazi,taulo liliishia juu ya magoti.
“Mafuta yangu yale yako wapi?”
Sonia akajiuliza,akiwa anatafuta mafuta yake ya usiku,alivyoyaona alichukuwa na kujipaka.Ilikuwa tayari imefika saa kumi na moja kasoro nane asubuhi,akaona bora ajitupe kitandani alale.
****
“Sasa nitakupata wapi?”
“Sasa hivi huwezi kunipata nipo Mbali sana”
“Sasa itakuwaje?”
“Itakuwaje nini?uliniambia utanitafuta asubuhi sasa hivi saa ngapi?”
“Samahani kaka angu”
“Jibu swali,sasa hivi saa ngapi?”
“Saa kumi jioni”
“Mbona unakuwa mswahili?”
“Kaka angu samahani”
“Samahani haisadii chochote, nipo Iringa sasa hivi inabidi nirudi leoleo kumalizia hiyo shughuli”
“Sawa kaka angu”
“Kwahiyo kesho nitakutafuta”
“Sawa Ah…tititi”
Sonia alikuwa simuni anazungumza na Leythan Jabir tena kwa adabu zote,jinsi alivyokaripiwa usiku wa jana kulimfanya aogope sana.Siku hiyo hakutoka nyumbani kwake alikaa Seblen akiangalia televisheni, alivyohisi njaa aliingia jikoni na kupika akala,usiku ulivyoingia akalala.
****
Swala la pesa kwake halikuwa tatizo lolote lile,wakapatana na Leythan kuwa wakutane kwenye gereji ya wachina Mikocheni kwa warioba.
Ni kweli Sonia aliwasha gari na kufika Mikocheni kwenye gereji ya Wachina waliosifika kutengeneza magari,hapo alisubiri kwa nusu saa lizima bila ya kumuona Leythan,akaamua kumtafuta hewani.
“Mbona unaniweka hapa?”
Sonia akauliza akiwa amekerekwa,tayari alikuwa amechomeshwa mahindi.
“Nipo njiani,nisubiri nafika sasa hivi hapo”
“Okay”
Baada ya simu kukatwa,hazikupita hata dakika ishirini gari la kifahari aina ya BMW X6 likawa linaingia ndani ya lango la gereji ya kichina,Sonia akalipuuzia lakini akashtuka baada ya kumuona Leythan anashuka,moyo wake ukapiga paa!Mwanaume huyo alipendeza kupita kiasi cha kutosha,jinsi alivyochomekea na shati jeupe ilimfanya aonekane mtanashati zaidi.
“Samahani kwa kukuweka,si unajua foleni za hapa na pale,mambo vipi lakini”
Leythan akaanza kuongea kwa uchangamfu huku akitabasamu,hakuelewa ni jinsi gani anamuumiza Sonia mtima.
“Sa sa safi tu,wala hujaniweka sana,hiyo gari iko wapi tumalizane?”
“Ikaushie,nimekusamehee njoo uchukuwe kadi yako ya gari.Hivyo ni vitu vidogo kwangu”
Leythan alijigamba kwa sifa ilhali hakuwa na lolote,wakatembea na Sonia mpaka kwenye BMW akafungua mlango na kutoa kadi ya gari na kumkabidhi Sonia.
“sasa mbona umeniita mpaka huku?Anyway nashukuru kwa kulitambua hilo”
“Poa,usiwaze”
Kweli ndege mjanja hunasa kwenye tundu bovu,uzuri wa Leythan ulimchanganya sana hakuwahi kumuona mwanaume mzuri anayejipenda kama huyo, akajikuta anashikwa na kigugumizi cha ghafla.
“Kaka..ka..ka samahani,basi naomba hata tukapate lunch hapo Splash”
“Nina haraka,hapa nimechelewa”
Leythan akajifanya kuringa,ukweli ni kwamba tangu asubuhi alikuwa hajaweka kitu chochote kile mdomoni,usiku wa jana yake alikesha akizunguka akiomba magari kwa matajiri tofauti tofauti aliowajua,alifurahi sana kupata BMW X6 kutoka kwa tajiri wa kiyaha Mzee Kibumu.Kitu hiko kilimfurahisha sana,mahesabu yake yalikuwa yameitika.
Hata yeye pia alikuwa kimawindo,kwa jinsi alivyomuona Sonia alielewa kwamba ni msichana mgumu tena wa kishua,nia yake ilikuwa amvue nguo yake ya ndani kwa njia yoyote ile.
“Tafadhali nakuomba,usikatae please.Utakuwa umenidhalilisha”
“Kivipi?”
“Ni vibaya kwa mtoto wa kike kuomba kama hivi,mimi sijazoea”
“Okay tusichelewe basi”
“Thank you”
Kauli hiyo ilimfanya Sonia atabasamu na kukimbia harakaharaka mpaka ndani ya gari lake,akawasha akapita mbele na Leythan na nyuma kufuata BMW X6,safari yao ikakomea Splash Hotel.
Hapo wakaagiza chakula na gharama zote alilipa Sonia.
***
Hakutegemea kama mambo yangekuwa rahisi kiasi hicho,ilikua ni kama kuokota embe chini ya mpera,Leythan alifurahi sana kutongozwa na Sonia tena hakuamini hata kidogo akajiona yeye ndiye yeye,mbali na hapo hakuacha tabia yake ya kubadili wasichana kila kukicha,hakuweza kupitisha siku bila kufanya tendo la kuzini,alikuwa mtumwa wa ngono,hakuchagua msichana,hata kama ungekuwa mke wa nani Leythan hakujali.Mpaka zinapita wiki mbili hawakuwahi kukutana na Sonia kimwili akimdanganya kuwa amesafiri kikazi kumbe yupo jijini,alitaka kuonekana ni mwanaume mwenye majukumu na wala sio mrahisi.
“Baby leo narudi”
“Kweli love?”
“Yes,nipo njiani”
“Alafu kwanini usiwe unatumia ndege Baby wangu?”
“Unajua nini love”
“Nini baby”
“Mimi napenda sana Ku drive”
“Lakini ni risk mpenzi wangu”
“Naelewa”
“Mimi sipendi unanipa presha ujue, then i can’t wait to see you honey”
Sonia alikuwa akideka kwenye simu,akiongea akidhani Leythan yupo safarini kumbe alikuwa kigogo luhanga!
“Breki ya kwanza nahitaji kukuona”
“Baby,unafika saa ngapi kwani?”
“Saa kumi na mbili jioni ntakuwa hapo”
“Poa baby,nikupikie nini laaziz?”
“Chochote kizuri”
“Poa baby,leo nitawahi kurudi kwa ajili yako”
Simu ilivyokatwa ikamuacha Sonia akiwa na kihoro moyoni.
Akatamani muda uende harakaharaka,ndani ya akili yake alimuwaza kijana mtanashati Leythan Jabir.
Japokuwa hawakujuana kwa muda mrefu lakini alijikuta amedondoka, hakuelewa ni kamtamani au kampenda alishindwa kuuelewa moyo wake,akatamani kuuzuia usifanye ivyo lakini ikashindikana,hiyo ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kumtongoza mwanaume katika maisha yake.
***
Kitendo cha kumaliza chakula mezani usiku huo na kunywa maji walianza kushushiana madenda hapohapo,Leythan alimkamata shingo vizuri Sonia na kumnyonya lips zake,wote wakajikuta wamesimama huku wakiendelea kubadilishana mate,asteaste wakafika mpaka chumbani na kufungua mlango.
Wakatembea na kutupana kitandani wote wawili.Leythan akajua ni wapi aanzie akang’ang’ana na mdomo wa Sonia huku mkono wake taratibu ukishuka chini kwenye kitovu,mkono ukazidi kupita ukakutana na chupi akaipachua na kuzidi kuudidimiza, akapata alichokuwa anakitafuta,akaanza kuchezea kitu kama kinyama kilaini kilichokuwa pembezoni mwa pango,hapo ndipo Sonia alipoanza kuhisi mabadiliko kabisa,mwenyewe kwa mikono yake akafungua suruali yake ya ‘jeans’ akaitupa pembeni akatoa na chupi akaitupa chini, akamvuta Leythan karibu yake zaidi,akautoa mkanda wa suruali akapitisha mkono wake na kuanza kulishika tango,harakaharaka akaanza kumvua nguo,wote wakabaki kama walivyozaliwa.
Leythan aliushangaa mwili wa Sonia ulivyokuwa mweupe mno,hilo lilimshangaza sana,alivyogusa ikulu ya mrembo huyo ilikuwa na majimaji,kumaanisha kuwa mechi inatakiwa ianze,akachukuwa mkonga wake na kuuchomeka,kutokana na Sonia kutokufanya mapenzi siku nyingi,mgodi wake ulikuwa bado mgumu.
Leythan akalazimisha,akazidi kuukandamiza mpaka ukaingia wote,hapo ndipo Sonia alipohisi raha za ajabu,taratibu akaanza kukinyonga kiuno chake.Leythan nayeye akaanza kupeleka misumbwi, hakuelewa anachofanya ni kuupakuwa ugonjwa hatari wa UKIMWI!


Mambo yalikuwa mukidemukide,kwa wapenzi hawa wawili juu ya kitanda kikubwa wanafanya mambo ambayo yaliwaleta duniani tena taratibu mno,Leythan siku zote alipenda kufanya tendo hilo taratibu sana.Alikuwa anakinyonga kiuno chake mara kushoto mara kulia na katikati hakusahau.Sonia kazi yake ilikuwa ni kushikashika mashuka akiyavuta huku na kule.Ukubwa wa koki aliyokuwa nayo Leythan ilikuwa imekidhi upana wa pango lake.Wakaanza kubinuana huku na kule.Sonia akainuliwa na kukalishwa, kichwa kikawa kinaangalia mbele huku nyuma akiwa amebinuka wakawa wanatumia mbuzi kagoma,hiyo ndiyo ilimfanya Sonia azidi kuhisi kuwa yupo juu mbinguni vitu vyote anavitizama kwa chini kutokana na raha za ajabu alizokuwa anahisi ndani ya mwili wake,ki ukweli alikuwa katika sayari nyingine ya huba.
Alitoa sauti za puani akilalamika bila kujielewa, mwili wake wote ukabadilika rangi na kuwa mwekundu alikuwa ni kama yupo juu ya mtumbwi ana piga kasia.Tendo hilo lilidumu na kila sekunde kumi mikao ilikuwa inabadilishwa badilishwa,baada ya nusu saa Leythan alikuwa juu ya Sonia amemlalia juu ya kifua chake bado mashine ipo ndani mgodini haijatolewa.
“Leythaaaan!”
Sonia aliita akiwa chini tena kwa sauti ya puani huku vijasho vikiwa usoni.
“Yes baby”
“Nakupenda sana”
“Kweli?”
“Ndio nakupenda kweli naomba uwe mwanaume wangu wa mwisho,sikujua kuwa hata kitandani ni fundi”
“Nikuulize kitu baby?”
“Niulize”
“Lakini niambie ukweli”
“Mimi sio mwongo”
“Una mwanaume mwingine?”
“Wewe ndiye mwanaume wangu,niamini nachokwambia”
“Kweli love?”
“Sina sababu ya kukudanganya”
Kutokana na uzuri wa Sonia, Leythan haikumwingia akilini kwamba yupo peke yake lakini kwake ilikuwa potelea mbali,mchezo wake ulikuwa ni uleule wa pata potea.
Hakumpenda Sonia kutoka ndani ya moyo wake yeye alikuwa ni kama abiria na Sonia ni daladala.

Waliongea mengi na Leythan alidai kuwa anampenda sana Sonia kutoka moyoni,walivyotoka hapo wakaingia bafuni kuogeshana huko walicheza michezo ya kimahaba na kitendo cha kurudi kitandani tu Sonia akaanza uchokozi akitaka kupewa tena mapenzi,ni kwa muda mrefu sana hakushiriki tendo hilo, hivyo siku hiyo usiku kucha aliutumia kujivinjari na Leythan akijiburudisha.
***
Siku zote akipenda alikuwa anaingia mazima, katika mapenzi yeye kitu kujaribu alikuwa hana,alimpenda sana Leythan muda wote akawa anamuwaza, aliulaumu sana moyo wake kwa kupenda kiasi hicho,hata hivyo alijipa matumaini kuwa Leythan ndiye mwanaume wake wa mwisho,alijutia kuwajua wengine waliopita wakampotezea muda wake.Uzuri wa Leythan ukamfanya atake kumuona kila wakati mbele yake lakini haikuwezekana.
“Baby upo wapi jamani?”
Sonia alimtafuta Leythan simuni kwa sauti ya kudeka.
“Nipo mbali kidogo, Arusha”
“Love hata kuniaga,ulienda lini?”
“Jana usiku,simu yangu ilizima chaji nikashindwa kukwambia mpenzi wangu”
“Nimekumisi sana”
“Mimi pia”
“Unarudi lini?”
“Wiki ijayo my love”
“Baby bwana aaah,basi mimi nakuja”
“Hapana baby usijali,mimi nitarudi”
“Mimi nakuja upo Arusha sehemu gani?”
“Baby,nitakupigia baadaye”
“La…tititi”
Leythan alikata simu,alijua kwamba angeendelea kuzungumza na Soina angeumbuka,Sonia hakushindwa kupanda ndege na kwenda Arusha kufata penzi.

Leythan hakuwa Arusha alikuwa ndani ya Mark II Grande anaendesha kuelekea Mtoni Kijichi kwa demu wake mpya aliyeitwa Farida,hakuwa na habari na Sonia alishamvua nguo yake ya ndani hivyo hakumuhesabia sana katika harakati zake za kusaka wasichana.
Aliingia kijichi jioni ya siku hiyo na kuweka gari kandokando ya barabara akateremka.Alishuka kwa mikogo na kukitingisha kichwa chake kilichokuwa na rasta zilizowekwa vizuri kichwani.
Akachukuwa simu yake na kuanza kuibonyeza bonyeza,kabla ya kuiweka sikioni ghafla akatokea mzee mmoja mfupi kiasi mwenye kitambi,amevaa suti nyeusi.
“Kijana”
Mzee akamshtua.
“Naam”
“wewe ndiye Leythan?”
“Wewe ni nani?”
“Kunijua mimi sio muhimu sana lakini nachotaka kukwambia kuwa achana na mke wangu,nilikuwa nikikufuatilia sana.Nakwambia kiuungwana kuwa achana na mke wangu kaa naye mbali.Hutoniona tena nikija tena.Kitakachokupata utaeleza kitu kilichomtoa kanga manyoya”
Yalikuwa ni maneno ya kutisha kupita kiasi,Leythan aliogopa mno.Mzee hakuongea tena zaidi ya kuondoka zake.
Katika hesabu za Leythan kichwani hakuelewa ni mwanamke yupi anazungumziwa sababu alikuwa nao wengi sana.
“Mke wake gani huyo tena?wazee wengine vichefuchefu sana.Mke, mke, mke, Mke bongo”
Leythan akapuuzia na kumtafuta Farida simuni,walikuwa tayari washakubaliana wakafanye mchezo mchafu wa ngono,Leythan hakuelewa kuwa anatembea na mdudu hatari wa ugonjwa wa ukimwi ndani ya damu yake kwa maana hiyo alikuwa akiusambaza bila mwenyewe kujijua.

******

“Baby huyu Sonia ni nani?”
“Ni stori ndefu sana Brenda,nisingependa kuliongelea hilo swala lakini huwa najaribu kuifuta inagoma ni miaka mingi nilijaribu kulifuta hili jina,ninalichukia sana”
“Kama halitoki basi baby,usije ukafa bure.Alafu bado nakupenda”
“Leo twende wapi?”
“Mh!nataka kwenda kuogelea”
“Unapenda sana kuogelea?”
“Mnoo”
“Nitakupeleka Miami beach leo jioni”
“Darling nitafurahi sana”
Sebastian na Brenda walikuwa wakizungumza kimahaba wakiwa ndani ya gari,bado mapenzi yao walifanya kwa siri kubwa, wazazi wa pande zote walidhani watu hao wawili ni washkaji tu wa kawaida kumbe tayari walianza kufanya matendo ya kikubwa.
Walipendana kupita kiasi kila sehemu waliongozana na walipigana madenda ndani ya gari kama vichaa!

Kitu kilichokuwa kinamsumbua Sebastian ni mchoro wa ‘tatou’ iliyokuwa shingoni mwake kila alipokuwa anaoga bafuni akijiangalia alihisi kuikata shingo yake,alimchukia sana Sonia,wakati mwingine alitamani asafiri Mpaka Afrika Tanzania akamuuwe lakini alishindwa kutokana na ‘Passport’ yake kushikiliwa bado serikalini,alikuwa amepewa kifungo cha nje,hivyo bado alikuwa ajakimaliza.
“Nakuchukia sana Sonia,ipo siku nitakutafuta nikuuwe mwenyewe kwa mikono yangu”
Hayo ndiyo maneno aliyokuwa akiyasema Sebastian karibia kila siku iendayo kwa Mungu alipoiona ‘Tatoo’ ya jina la Sonia shingoni mwake,
siku hiyo alioga harakaharaka na kujipulizia marashi,akaingia kabatini na kuchukuwa pamba mpya,akachukua kiatu aina ya ‘All star’ ya blu akaiweka mguuni,hakusahau kofia yake ya chepe kichwani.
Akatembea kwa kudunda na kuchukua funguo za gari la kifahari escelard lililovimba,akalipiga moto na kutoka nje ya geti,safari yake ilikuwa kwa mpenzi wake Brenda.
Alivyofika nje ya geti la Mzee Santiago tu alimuona ndiyo Brenda anatokeza amevaa kaptula ya jinsi na miwani,mapaja yake yakawa wazi, topu aliyovaa juu ilifanya kitovu chake kiwe nje,hiyo ikamfanya apendeze zaidi na aende na wakati.Kukaa sana na Sebastian kulimfanya abadilike na kuwa na tabia za kizungu.Akasahau maadili yote ya Afrika.
“Mtoto umependeza sana,una kitovu mwanana!”
Sebastian akamwaga sifa.
“Embu toka hapa,kwani kitovu changu hukijui?”
“Wala sikijui”
“Kwenda zako.Lakini ahsante Mpenzi”
Waliongea kimahaba na kupigana madenda ndani ya gari,Sebastian akapiga gia wakaondoka zao.

Breki ya kwanza ilikuwa wafike Miami mbali kidogo na mji wa Los Angeles, Sebastian siku hiyo hakutaka kupanda ndege alitaka kufanya ‘Road trip’.
“Unajua kuendesha gari?”
Sebastian alimgeukia Mpenzi wake na kumuuliza huku mikono yake ikiwa juu ya usukani anaendesha gari.
“Hapana”
“Sogea nikufundishe”
“Hapana mpenzi tutapata ajali”
“Embu panda hapa ukae juu ya mapaja yangu,taratibu usiiguse gia”
Sebastian akapunguza mwendokasi na kuvuta kiti kwa nyuma, Brenda akamkalia kwa juu na kushika usukani.
Alifanya hivyo sababu walikuwa wanapita maporini na hakukuwa na kamera za usalama barabarani.
“Shikilia usukani,nyoosha baby usikaze mkono”
Brenda alitabasamu kwa furaha akiwa nyuma ya usukani juu ya Mpenzi wake, Sebastian kazi yake ilikuwa ni kupiga gia na kucheza na clunch,walifanya michezo hiyo kimahaba, mara wapigane madenda mara watekenyane ili mradi raha mustarehe.
**
Pembeni ya fukwe ya bahari Miam beach kulifurika watu,pembeni kwenye mchanga kulikuwa kuna michezo mbalimbali kama ‘Valleyball’ na ‘Boatracing’ tena wazungu walicheza wakiwa na vichupi,walikuwa wenye furaha mno na mara nyingi walijitupa mchangani kwao siku kama hizo huziita ‘Summer time’.
Sebastian alitia maguu, baadhi ya watu walimsabai na kumletea shobo mtoto huyu wa tajiri Waytte.
“Seba vipi?”
“Poa mshkaji,swimming ni wapi hapa?”
“Leo hujui?”
“Sikuwahi kuja siku nyingi unajua”
“Ni kule pembeni”
“Leo mbona kuna fujo hivi?watu kibao mimi sipendi jau,nzi wengi”
“Kuna wachezaji wa mpira leo wapo hapa,wamekuja ndiyo maana unaona fujofujo”
“Ningejua nisingekuja mimi sipendi mafujo kama haya”
Sebastian na Brenda walitembea mpaka kwenye bwawa la kuogelea.
“Sasa mpenzi,unataka kuogelea hapa au baharini?”
“Mimi napenda maji ya bahari,alafu pia nataka kuendesha maboti”
“wewe tu”
Hivyo ndivyo ilivyokuwa,Brenda akaingia ndani ya chumba maalum na kuvaa chupi na sidiria kwa ajili ya kupiga mbizi na kuendesha boti.
***
“Oyaa oyaaa Partson,nipige picha basi nitupie Instagram tupo Miami,nataka nimtag na Yusrat”
“Unanisumbua,embu niache niangalie chupi zile,embu mwangalie yule mtoto mwenye bikini,ayayayayaya kudadeki,mimi sirudi Tanzania wallahi tena”
“Partson,acha umalaya”
“Mimi sio Malaya,nakwambia ukweli wacha nisuuze macho bwana”
Wachezaji kutoka nchi ya Tanzania walikuwa nchini Marekani tena ndani ya mji wa Miami,walikuwa wakicheza mechi na Wajerumani wakawafunga, hivyo walibakiza siku mbili warudi Tanzania.Uongozi na udhamini wa FIFA ukaamua kuwatembeza sehemu mbalimbali za mji huo kabla ya kurudi nyumbani.Jiji lilikuwa na warembo waliozidiana kwa uzuri.
“Unamuona yule mtoto pale?”
“Yupi?”
“Wewe huna macho?”
“Wapo wengi”
“Yule aliyevaa bikini,yule yule kashika mpira,yule mlatino yule unajua.Kile kifaa.Lakini… Mamaaa yangu embu tizama kule,yule demu mbona kama muafrika?”
Wote wakatupa macho kwa Brenda aliyekuwa anatembea na chupi kandokando ya fukwe hizo.
“Embu subiri kidogo hapo”
Partson akasimama akatembea mpaka kwa Brenda.
“Excuse me,Hey Excuse me!”
Partson akatembea na kumshika bega Brenda.
“Haaa!”
Brenda akashtuka, sura hiyo haikuwa ngeni kwake lakini hakuwa na uhakika.
“Jamani”
Kwa kuongea neno hilo kwa Kiswahili kukamfanya Partson atabasamu.
“Vipi?Mtanzania wewe?”
“Ndio,wewe ni Partson?”
“Yap”
“Nimefurahi kukutana nawewe,huwa naishia kukuona kwenyae mabango na t.v hongera kaka angu”
“Ahsante”
Sebastian alikuwa kaunta ananunuwa vinywaji,alivyogeuka kwa mbali alimuona Brenda anaongea na mwanaume.
Akaangalia vizuri ili kupata uhakika akawaona wanatembea wote huku wakicheka.
“Hivi hawa watu wananitafuta nini?”
Sebastian akaongea kwa wivu uliochanganyika na hasira,akaweka glasi kwenye moja ya meza na kuzidi kutembea kuelekea upande alipokuwa Brenda na Partson huku akikunja ngumi,dalili zilionesha kuwa kitakachotokea sekunde chache hakitakuwa kitu kizuri.

 Ndani ya moyo wake alihisi uchungu ajabu,Brenda kusimama na mwanaume mwingine kulimaanisha usaliti wa hali ya juu,wivu ukazidi kumkaba kila alipozidi kupiga hatua moja huku akiwa amekunja ngumi kali.Alikuwa yupo tayari kwa lolote litakalo tokea.
Alivyofika akamshika Partson bega.
“Vipi hapa,mbona unasimama na mademu za watu bila mpango?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Sebastian,mkono wake ukiwa umekunja ngumi anasubiri jibu litakalompandisha hasira ili atupe ngumi.
“Sebastian huyu ni Mtanzan….”
“Nyamaza,siongei nawewe,funga bakuli lako”
Brenda alivyotaka kuingilia akatulizwa,hakuwahi kumuona Sebastian akiwa katika hali kama hiyo kabla,ikamfanya aogope na kubaki kimnya.
“Bwana mdogo,nimekuuliza swali”
Sebastian akazidi kumsogelea Partson karibu kabisa,wachezaji na wapambe wa Partson waliokuwa pembeni kila kitu walikishuhudia,nao wakakaa tayari kumtetea mwenzao,wakawa wanausoma mchezo.
“Samahani ndugu yangu,kwanza mimi ni Mtanzania pili sikujua kama huyu ni Demu wako,kama vipi Amani”
Partson nayeye alikuwa mkorofi wa kichinichini,kitu kilichomfanya awe mpole ni kwasababu tu alifanya yeye makosa na isitoshe hakujipanga vizuri,ndiyo maana hakutaka shali.
“Potea basi”
Sebastian akazidi kupiga mkwara.
Partson akarudi kinyumenyume kama gari akageuka na kuondoka zake.
“Nawewe unatongozwa unachekacheka tu”
“Baby,hakunitongoza”
“Kumbe?alikuwa anakutekenya sio? mimi niliwaona tangu kule,twende huku ushanichefua”
Sebastian na Brenda wakaondoka zao wakaongozana mpaka kaunta,ambapo waliagiza vinywaji na kunywa.

Sebastian alimfundisha Brenda kunywa pombe siku hiyo tena kali iliyoitwa takira,ilikuwa na ‘alchol’ nyingi mno na ndiyo maana ilipimwa kwenye viglass vidogo mithili ya vikombe vya kahawa!
“Sebastian, inatoshaa”
“Hapana,kunywa bwana.Tukitoka hapa tunaenda kuvuta shisha”
Hayakuwa kwa matakwa yake bali ni kwa nguvu ya penzi,akajikuta anazidi kunywa pombe kali.
Mpaka zinafika Glass tano alikuwa hajielewi tena,anarembua ameweka kichwa chake juu ya meza,amezima.
“Baby vipi?”
“Naooomba nieeende chooooni sasaaa hiviii nanana kichwa changu kiziito mpenzi”
Brenda aliongea kwa sauti ya kilevi,akashika meza akaleteza na kudondoka.
Sebastian akamuinua na kumuweka sawa.
Brenda akaanza kujikongoja taratibu hatua kumi nyuma moja mbele.Msaada wake ulikuwa ni viti alivyokuwa anavishika.
Mpaka anafika chooni na kuvua nguo zake alikuwa yupo bwiii.Kwa sekunde kama kumi akawa tayari amemaliza.Alivyotoka nje akayumba na kugongana kikumbo na mtu.
“Heeee,wewe tenaaaa Partsoooon mpeeeenzi”
Pombe zilikuwa zinampeleka sio masihara,na pombe aliyokunywa ilikimbilia sehemu mbaya.
Brenda alihisi kupandwa na nye** na alihitaji mtu yoyote yule azitoe.Akajikuta ameanguka mikononi mwa Parston Ngono Jr.Bila aibu akaanza kumfakamia mdomoni na kuanza kulazimisha denda.Mara amfungue vifungo,ilimradi vurugu tupu.
Kwa mambo yalivyoendelea Partson akashindwa kuwa mvumilivu, Mashine yake ikawa taratibu inaanza kuwa ngumu mara ghafla ikasimama.
Akamshika kiuno Brenda akamvuta pembeni kwa nyuma ambapo kulikuwa kuna giza totoro.Huko ndipo aliamini hatoonwa na mtu yoyote yule.
Akazidi kumpiga denda Brenda huku taratibu akishusha mkono wake chini kwenye kitovu chake,akazidi kuudidimiza mpaka ulipofika ikulu.
Hapo ndipo msichana huyu alipokuwa hoi bin taaban,akazidi kuuchezesha ulimi ndani ya mdomo wa Partson huku akihisi raha za ajabu.Alitamani jambo hilo la ngono lianze haraka,akapitisha mkono wake juu ya zipu ya Partson na kutoa mtalimbo akaanza kuuchua kwa fujo, kutokana na pombe alizokuwa nazo kichwani kila kitu alikifanya chapchap.
**
Dakika kama tano zilipita Sebastian alikuwa akimsubiri Mpenzi wake Brenda bila kumuona,wasiwasi ukaanza kumuingia na fikra zake zilimtuma wenda amedondoka chooni,lakini alivyosubiri kwa sekunde mbili akatupa mawazo yake mbali akaongeza takira na kunywa.
“Mh!”
Akaguna baada ya kuangalia saa yake ya mkononi.
“Sio kwa huo mkojooo,muda woote huo”
Sebastian akajisemesha na kuangalia upande wa chooni, hakukuwa na dalili yoyote ile ya Brenda kutokeza,akasimama kwa kuyumba na kuingia mwenyewe.
Hakuwa na aibu yoyote kuingia choo cha kike,kazi yake ikawa ni kufungua milango.
“Bibi samahaaaani”
“Pumbavuu,huna adabu”
Sebastian alikumbana na Bibi kizee chooni anakata gogo,yupo uchi wa mnyama baada ya kufungua mlango,akazidi kusonga na kufungua kukagua kila mahali bila kuambulia chochote.
Hakuona sura ya Brenda.
“Brendaa,Breendaaaa”
Sebastian akazidi kuita huku akitoka nje,alivyopiga jicho pembeni aliona kuna giza mbele yake.Japokuwa lilikuwa linatisha lakini alisogea taratibu,kila alipozidi kupiga hatua alizidi kusikia sauti za watu wakiguna na sauti za mabusu.
Hakutaka kuwaharibia watu hao starehe zao,akageuka na kuondoka zake kurudi kaunta,akaikuta Takira yake na kupiga fundo refu mpaka ikaisha.

Ghafla kitu kikamwambia arudi gizani,hapohapo akasimama na kurudi aliposikia sauti za watu wanapigana mabusu wanatoa sauti za mahaba.
Nywele za Brenda zilikuwa ndefu kiasi,na alipotokea Sebastian alikuwa amepewa mgongo,hakutaka kuyapa mawazo yake kipaumbele kuwa huyo ni Mpenzi wake Brenda akazidi kusonga mbele.
Hakuamini alivyofika karibu na kumkuta anapigwa denda huku kashikilia mashine anaichuwa.
Kama Sebastian angekuwa na bastola angemimina risasi nyingi siku hiyo,alitetemeka kwa hasira,katika maisha yake hakuwahi kufumania na ndiyo maana hakuelewa ni kitu gani akifanye.Akabaki ameganda,akamshika Brenda na kumvuta pembeni.Akamfuta Partson na kumtandika ngumi ya pua,hakuishia hapo alimvaa shingoni na kumkaba huku akimshindilia ngumi za tumbo zisizokuwa na idadi kamili.
Partson nayeye hakutaka kukubali, aliweka suruali yake vizuri akaanza kujibu mashambulizi ikawa rusha ngumi nijibu,wakaanza kutupana kwenye michanga na kugalagazana.

******

Mguu mmoja wa Sonia ulikuwa begani,mwingine upo pembeni alikuwa kama alivyozaliwa hana nguo hata moja, kazi yake ilikuwa ni kutoa miguno ya puani huku jasho jembamba likimtoka,ni dhahiri kuwa hakuwa hapo,akili yake ilisafiri mpaka kwenye sayari ya huba akajiona yupo juu angani anapaa.
Akazidi kumtaja Leythan huku mara kadhaa akimvuta mdomoni mwake akiomba busu.
Leythan alizidi kukizungusha kiuno chake taratibu kabisa,mara kushoto mara kulia,hakusahau katikati.Sonia nayeye hakutaka kuwa mzembe akajitahidi kadri awezavyo kukizungusha kiuno chake huku akiwa ameyafumba macho yake, anahisi vitu vya ajabu mwilini mwake.
Mwenyewe akam-binua Leythan nayeye kukaa juu yake,hapo ndipo alipata nafasi nzuri uwanjani ya kuonesha kuwa yeye pia avumi kumbe yumo.Akainama kwa Leythan aliyekuwa chini na kuanza kumpa denda huku akikizungusha kiuno chake.Kwa kuwa alimpenda sana Leythan ndiyo maana alifanya kila jitihada ili kumridhisha.Wakazidi kuoneshana ubavu katika mchezo huyo usiohitaji hasira.
Mpaka inafika saa kumi jioni Sonia aliweza kuzunguka mara nane tena kwa mara ya kwanza tangu aanze kumjua mwanaume,jambo hilo likamfanya azidi kustaajabu.Alikuwa hoi bin taaban.
“Ba..by”
Sonia akaita kimahaba.
“Niambie mpenzi”
“Nakupenda sana”
“Mimi pia,naona kama nimekuzidi”
“Sio kweli”
Kila kitu kilikuwa sawa kwa Sonia,alimpemda sana Leythan kwa kila kitu kuanzia ‘swaga’ mpaka utanashati wake,kila alichokifanya kwake alikiona ni sawa.Moyo wake ulimsukuma kwa kasi azidi kumpenda.

Siku hiyo usiku wakatoka wote na kwenda kufanya ‘shoping’ ya nguo tofautitofauti.
“Baby hii kofia imekupendeza,inakufaa.Embu ijaribu”
“Mh kama Michael Jackson”
“Sasa hii kofia ukivaa na ile suti ya siku ile, Mme wangu nitampiga mtu ngumi”
“Hahahaha”
Walitaniana na hapohapo kuanza kupigana madenda bila aibu yoyote ile,kila mtu alikuwa ana furaha.
Waliowaona waliwatamani mno.Utanashati wa Leythan na Uzuri wa Sonia ndiyo ukafanya wazidi kutingisha.
***
“Unasemaje Dokta?”
“Kama nilivyokwambia,ugonjwa huu sio kwamba ndiyo mwisho wa maish…”
“Hilo sio jibu,nakuuliza daktari mimi ni muathirika kweli,au unaleta utani?vitu vingine sio vya mzaha”
Mzee Martin Kussa,akili yake ilionekana kuvurugika kupita kiasi, majibu aliyopewa na daktari yalimchanganya akili yake,hakutaka kuamini kuwa ameathirika na ugonjwa hatari wa ukimwi ambao aliuogopa mno.Hakuelewa ni wapi alipoutoa, katika kumbukumbu zake hakuwahi kumsaliti mke wake hata mara moja.
“Embu embu embu pima tena dokta,inawezekana mashine ikawa imekosea.Hahaha si unajua mambo ya wachina ni fake.Embu jaribu kupima tena Mwanangu”
Mzee Martin akajaribu kujifariji akitaka kupindisha majibu,bado hakuyaamini majibu ya daktari.
“Mr.Kussa,vipimo vyetu havibahatishi na ninavyokwambia niliangalia majibu mara tano tano ndio maana nikachelewa kutoka,kama nilivyokwambia hapo awali ni….”
Dokta alizidi kutoa ushauri,kwa Mzee Martin haikusaidia chochote na maelezo ya Dokta aliamini ni ya kumpa moyo tu.
Hakutaka kuendelea kubaki, akasimama na kuondoka zake.Kutokana na mawazo mengi kichwa chake kikapoteza ‘network’akashindwa kuelewa ni wapi alipo.
Alisimama nje ya geti na kutizama huku na kule, bado kumbukumbu zake zilishindwa kukaa sawa.
“Samahani kidogo kijana”
Mzee Martin alimsimamisha kijana aliyekuwa anapita barabarani.
“Bila samahani Mzee, shikamoo”
“Marahaba,eti hapa wapi?”
“Hapa Mnazi mmoja,baridi”
“kweli,ahsante sana”
Bado alikuwa ana msongo wa mawazo, kwa miaka kumi kuwa mwaminifu ilikuwa ni bure.
“Kweli mimi nina virusi?Hapana bwana.Nimetoa wapi?kwa Mama Angela itakuwa”
Mzee Martin alijiongelesha mwenyewe huku jasho jingi likiwa linamtoka mwilini,akapiga picha baada ya miaka kadhaa atakavyokuwa anateseka kitandani mpaka kifo chake,alijionea huruma mwenyewe.Ni kweli ugonjwa wa Ukimwi unatesa sana,hilo alilijua.
***
“Mama Angela,kipenzi changu”
“Nambie Handsome boy,alafu nimesikia habari zako”
“Habari gani?”
“Unatembea na kile kinyago”
“Nani huyo tena?kinyago kipi?”
“Si yule Swaumu,wewe Leythan kweli wa kutembea na Swaumu kwa uzuri wote huo”
“Ndio nikuulize wewe na nikushangae.Mimi wa kutembea na Swaumu,kweli?embu nitake radhi”
“Mimi nimesikia tu,sasa love leo tukutane basi palepale Riverside”
“Pale pa siku ile?”
“Sasa kumbe wapi”
“Poa tu,bwana mkubwa vipi?”
“Hana shida,nitampiga Kiswahili.Nimekumisi unajua”
“Mimi hunishindi”
Leythan hakuweza kutulia na mwanamke mmoja hata siku moja,siku hiyo alikuwa na Mama Angela Mke wa mtu.
Walifanya mchezo huo kwa muda wa miezi kumi bila kugundulika,ilikuwa ni siri kubwa sana kwa watu hao.

Rangi ya maji ya kunde ya Mama Angela na mwili wake ulivyojigawa ulimfanya Leythan adate sio masihara,Mwanamama huyo alikuwa ana mapaja manene na kitandani alikuwa akijiweza kisawasawa.
Hakuelewa kuwa anaupakua Ukimwi kutoka kwa Leythan.Hata hivyo alivyorudi kwake vilevile alifanya ngono na Mme wake hivyohivyo akiwa amechoka,ilimradi asishtukiwe,Ukimwi ukawa umeingia ndani ya familia kwa njia hiyo.
Idadi ya wanawake aliotembea nao Leythan ilitisha,kwa harakahara alikuwa na wasichana tisa lakini aliowahi kufanya nao mapenzi ni zaidi ya thelathini tena bila kinga,alizidi kusambaza ukimwi bila yeye mwenyewe kujijua,kifupi alikuwa kama wakala wa Ukimwi jijini Dar es salaam.
**
“Mama Angelaaa, wewe Mama Angelaaaaaa”
“Abeeee”
“Embuu njooo upesi”
Mzee Martin aliita kwa hasira akiwa anatetemeka, alikuwa yupo tayari hata kuuwa mtu,kwa jinsi akili yake ilivyokuwa imevurugika.Macho yake yakabadilika rangi na kuwa mekundu hiyo ikamfanya mke wake apatwe na hofu.
“Kamata hii karatasi”
Mama Angela akakabidhiwa karatasi ya majibu,akaitizama lakini hakuielewa.
“Ndiyo nini hii?Mme wangu upo sawa?Mbona macho mekundu?”
“Hivi ulikosa nini?nimekuwa mjinga kukuamini.Nataka uniambie sasa hivi huu Ukimwi nimeupata vipi?”
Mama Angela,akamtizama mume wake akionekana kama mtu ambaye hajasikia vizuri.
“Sijakusikia mume wangu”
“Huu UKIMWI,umeutoa wapi?mpaka umekuja kuniambukiza mimi?”
“Mungu wangu,una una una una ukimwi?”
Lilikuwa ni swali la kijinga na la kipumbavu kuuliza.Isingekuwa Mzee Martin kuzizuia hasira zake yangekuwa mengine.
“Mama Angela,nina uhakika wewe ndiye umeniambukiza.Tangu nimekuoa huu mwaka wa sita,sijawahi kulala na mwanamke mwingine yoyote zaidi yako”
Akili ya Mama Angela ikasafiri mbali,akamkumbuka Leythan Jabir.Kwa asilimia zote aliamini kuwa huyo ndiye alimpa virusi vya ukimwi.
“Hapana Mume wangu sio mimi”
“Ni nani?”
Ndani ukazuka ugomvi mkubwa mno kwa wanandoa hawa waathirika.
***
Leythan alizidi kutamba na Sonia huku pembeni akiwa na wasichana wengine wengi,asilimia thelathini ya wanavyuo alitembea nao kwa siri kubwa,akazidi kuutembeza ukimwi.
Siku hiyo akiwa na Sonia ndani ya gari mara ghafla simu yake ikaita.Alivyotaka kuichukuwa pembeni ya gia,Sonia akaiwahi.
“Acha nipokee,wewe endesha gari baby”
Sonia akasema huku akiwa na simu mkononi mwake.
“Acha baby,nakujua wewe hukawiii kuharibu.Acha nipokee mwenyewe,usikute ni simu ya maana wewe utaanza kutukana”
“Ah! Ah! kwani kuna ubaya gani nikipokea simu yako?”
“Son..”
Kabla ya kumalizia sentensi yake Sonia tayari alibonyeza kidude cha kijani,akaweka simu sikioni.
Kitu cha kwanza kukisikia ni sauti ya mwanamke analia kwa kwikwi.
“Leytha..n kwa..nini umeniua la..kini kwa..nini hukuniambia ku..wa wewe ni muathirika wa uki..wi”
Maneno hayo yakapenya sikioni kwa Sonia,moyo wake ukapiga paa!


 Mwili wake wote aliuhisi umepigwa na ganzi,maneno aliyoyasikia yalikuwa ya kutisha kwake.Vitu mbalimbali vikaanza kumiminika dakika hiyohiyo ndani ya kichwa chake,akajiona jinsi alivyokuwa kitandani anafanya ngono na Leythan tena bila kutumia kinga yoyote ile,akajiona jinsi alivyompenda mwanaume huyo kutoka ndani ya mtima wake.Isingewezekana hata kidogo ugonjwa huo kumpita mbali,akamuona mama yake jinsi alivyokondeana kitandani kwa ugonjwa huo hatari wa Ukimwi akawa kama anatizama mkanda wa filamu,akayakumbuka maneno mengi ya marehemu Mama yake akajuta sana,mbali na hapo hakutaka kulipa jibu hilo moja kwa moja kuwa ni muathirika wa Ukimwi ingawa bado hakujiamini.Kama ungebahatika kuonana na Sonia siku hiyo ndani ya gari basi machozi yangekutoka.

Alitia huruma, wakati vitu vingi vinapita ndani ya ubongo wake yeye Leythan alikuwa bize juu ya usukani anaendesha gari.Sio kwamba hakumuona Sonia analia lakini alijifanya yupo bize na alimsubiri tu aanze kutukana ili amkatae hapohapo,hivyo akawa kama amemuwekea maneno mdomoni!
“Leythaan”
Sonia alijikaza kisabuni na kuita.
“Yes baby”
“Simu yako”
Leythan alivyoiangalia simu na kuona juu ya kioo akaikata,hakutaka kuongea chochote na hakuelewa ni kitu gani kilizungumziwa kwenye simu.Sonia hakuwa na raha hata kidogo moyo wake wakati wote ulikuwa una moto,maneno ya mama yake yakaanza kupita kichwani mwake na kujirudia.
“Baby,tumefika”
“Baby shuka kwenye gari,tumefika love”
Leythan alimuongelesha Sonia lakini hakujibiwa.
“Baby”
“Oh,samahani nina mawazo kidogo”
“Twende bwana”
Leythan hakutaka kujali,alielewa jambo hilo ni la kawaida kwa Sonia kususa hasa akipokea Simu za wasichana wengine,akamvuta na kutoka nje kwa ajili ya kwenda kula chakula cha usiku lakini Sonia hakula hata kidogo,mara nyingi alionekana akiwa mwenye mawazo huku machozi yakimlenga.
“Leythan”
“Naam Love”
“Naomba funguo zangu za gari”
“Unasema?”
“Naomba funguo zangu za gari”
“Baby kwani vipi?”
“Umenisikia”
Kiunyoge Leythan aliingiza mkono mfukoni na kutoa funguo za gari na kumkabidhi Sonia.
“Sasa unaenda wapi?hii bili nani atalipa?”
Leythan aliongea lakini Sonia alitembea hatua mbilimbili,akili yake ilimtuma moja kwa moja aende angaza kupima afya yake,japokuwa jambo hilo aliamini ni hatari kwake lakini hakuwa na jinsi ya kufanya ilibidi achukue maamuzi hayo magumu ya kupima afya yake.
Hakuelewa angefanya nini endapo angejikuta ameukwaa Ukimwi.Aliendesha gari akiwa mwenye mawazo kisado.
“Eh Mungu,niepushe na hili balaa.Kama nisipokuwa nao itabidi niokoke leoleo sitaki tena mambo ya wanaume”
Sonia alijisemea mwenyewe akiwa nyuma ya usukani anaendesha gari,japokuwa alijisemea maneno hayo lakini alikuwa mwenye wasiwasi mno.

Akafika Sinza Makaburini akakunja kushoto akanyoosha mpaka kwenye kibao kilichoandikwa MICO HOSPITAL akalala nacho akaingia barabara ya vumbi,taratibu akakwepa mashimo akakunja kushoto na kuweka gari lake vizuri kandokando ya ukuta mweupe,akateremka na kuingia hospitali.
“Samahani Nesi”
“Bila samahani dada angu”
“Dokta nimemkuta?”
“Ndio yupo,subiri pale kwenye kiti”
“Nesi nina haraka kidogo,nataka kujua afya yangu”
“Ndio subiri pale”
“Nataka kupima Ukimwi”
“Anha, sasa ungesema muwahi daktari,nyoosha na hii korido kushoto mlango wa kwanza”
“Ahsante”
Sonia akatembea harakaharaka na kuufikia mlango wa dokta,hapo ndipo mapigo yake ya moyo yalizidi kumwenda kwa kasi,akatamani kughairi arudi alipotoka,lakini haikuwezekana sababu maji alishayavulia nguo.

Akagonga na kuingia.Mbele yake alitizamana na Mzee wa makamo aliyevaa miwani ambapo juu ya meza yake kuliandikwa Dokta Mnyau.
“Karibu binti”
“Ahsante Dokta”
“Nambie mwanangu”
“Mimi sina usemi,nahitaji kujua afya yangu”
“Sawa,hakuna shaka.Una mpenzi?”
“Ndi..hapana nipo Single”
“Nini kimekufanya uje kupima?”
“Nimeamua tu kufanya hivi ili nijue afya yangu,si unajua sisi vijana”
“Ni jambo zuri sana,ni watu wachache wana mioyo kama yako,upo tayari kwa majibu yoyote yale yatakayokuja?”
“Ndio”
Dokta Mnyau kabla ya kumtoa damu ili aanze vipimo alijaribu kuituliza akili yake na kumpa ushauri,kama nusu saa lizima aliweza kuiweka sawa akili ya Sonia iliyoonekana kutokuwa tayari kupokea majibu yake.
Hiyo ndiyo ilikuwa kazi ya Dokta Mnyau kabla ya kutoa majibu,na ndani ya dakika hizo walikuwa wakicheka na kugongesha mikono yao kama marafiki wa siku nyingi.
“Sasa naenda kukupima”
“Sawa hakuna shaka”
Daktari alivyochukua damu yake na kumuacha mwenyewe,mambo yakawa yaleyale mapigo yake ya moyo yalianza kupiga kwa nguvu akatamani kukimbia juu ya kiti,jambo alilokuwa akilifanya lilimtisha mwenyewe.

Hakuelewa ni kwa namna gani ataishi na ugonjwa huo hatari.Lawama zote alijitupia mwenyewe kwa kumuamini Leythan aliamini huyo ndiye aliyempa ukimwi kama ikitokea majibu yangeonesha anao.
Dakika kumi na tano zilikuwa nyingi Dokta Mnyau akatokeza.Kwa jinsi uso wa daktari huyo ulivyokuwa aliamini kwamba hakukuwa na habari nzuri kabisa,kuna kitu alijifunza kupitia sura na macho ya dokta Mnyau.
“Dokta”
“Sonia Shayo”
Dokta Mnyau akaweka tabasamu lakini hakuweza kuficha kitu alichokuwa nacho moyoni,hakutaka kuamini kama binti kama huyo mzuri angeweza kuwa na ugonjwa huo hatari wa ukimwi,alikuwa ni binti mdogo mwenye malengo katika maisha yake.
“Sonia Nickson Shayo,sasa majibu yako ninayo hapa ina…”
“Dokta,naomba unipe majibu nipo tayari kuyapokea”
Sonia akaongea akionesha hali ya kukata tamaa kabisa.
“Kama tulivyoongea kuupata ugonjwa huu sio mwisho wa maisha yako na majibu yamaeonesha kuwa wewe ni HIV POSITIVE,una maambukizi ya ugonjwa huu ambao hapa tuna dawa za kuongeza maisha na isitoshe tunatoa ushauri”
Mwili wa Soina ulikuwa kama umepigwa ganzi,aliganda akashindwa kuongea chochote akabaki anamtizama daktari,nguvu zake za miguu zilimuishia akashindwa kusimama.Akahisi moyo wake unachemka mno, jasho likaanza kumtoka usoni japo hakujua lilitokana na nini.
Alihisi tumbo linamuuma,ugonjwa huo aliuogopa na leo hii anao yeye mwenyewe,alitamani jambo hilo liwe ndoto ili ashtuke.
“Kwa kwa kwahiyo dokta Mimi nina Ukimwi?”
Sonia aliuliza huku akicheka,sababu iliyomchekesha hakuijua.
“Ndio Sonia,ninakuhakikishia kuwa utaishi miaka mingi,sababu wewe sio wa kwanza na hautokuwa wa mwisho kuupata wapo wengi wenye tatizo kama lako”
“Ahsante kazi njema”
Sonia alisimama na kutembea kinyonge akatoka nje na kuingia ndani ya gari lake,baada ya kufunga mlango aliangua kilio kama mtoto mdogo.
“Eh,Mungu kwa..nini mimi jamani?”
Sonia alilia machozi,moyo wake ulimuuma mno.Alivyokumbuka jinsi ugonjwa huo unavyouwa ndiyo alizidi kulia Zaidi na Zaidi.
***
Bado hakutaka kukubali kabisa kuwa ni muathirika wa Ukimwi,ni wazi kwamba aliuogopa ugonjwa huo kupita kiasi,alikuwa yupo radhi hata kukomba pesa zote kwenye akaunti yake ili anunuwe dawa na kuutowa mwilini mwake lakini ugonjwa huo haukuwa na tiba.
Siku mbili nzima alijifungia chumbani kwake akilia kwa uchungu,chakula kwake hakikupita maji ya kunywa ndio kabisa, mara kadhaa alipigiwa simu kutoka kwa marafiki zake lakini hakupokea mwisho aliamua kuzima simu kabisa, akitafakari ataishi vipi na gonjwa hilo hatari ambalo lilikuwa linatangazwa kila siku kwenye vyombo vya habari kuwa watu wawe makini kwani ugonjwa huo unauwa vibaya sana mbali na hapo hauna tiba.
Aliutumia muda wake kukaa chumbani kwake na kuwaza vitu vingi sana.Wakati mwingine alifikiria kujiua lakini alihisi halitokuwa suluisho,alielewa ni jinsi gani vitabu vya dini vinakataza kufanya kitendo hicho.
***
Baada ya kukaa siku mbili ndani mfululizo akaamua kutoka nje siku hiyo ili kwenda sehemu akakae mwenyewe atafakari juu ya maisha yake,akavaa sketi ndefu na shati la jinsi,hata hivyo mwili wake ulikuwa umejichonga sawia utafikiri alijiumba mwenyewe.
Umbile lake lilionekana jinsi lilivyojikata vizuri na kufanya kama tarakimu namba nane,Sonia alikuwa ni mzuri sio masihara.Kwa jinsi alivyonona ungebahatika kumuona usingeweza kuamini kuwa ana virusi vya ukimwi mwilini mwake,kwa mwendo wake wa kobe akatembea mpaka kwenye moja ya baa maarufu iliyoitwa Meeda,alivyofika akatizama huku na kule na kutafuta kona nzuri.
“Dada karibu”
Muhudumu alimkaribisha.
“Ahsante,una Jack Daniels?”
“Ndio ipo”
“Naomba niletee Jack Daniels na Coca baridi”
“Sawa”
Bado hakutaka kuamini kuwa ni kweli ana maambukizi ya ukimwi,bado alitamani kuishi ili kuifaidi dunia ya Mungu,akazidi kuwaza jinsi atakavyopata maumivu siku hiyo akiwa kitandani.Picha ya Mama yake jinsi alivyokonda ikamjia tena kichwani kwake.Akamuona jinsi alivyokuwa mwembaba kama ‘pin’ mbavu zimemtoka.
Akajiweka nayeye na kujiona hivyohivyo.
“Dada karibu”
Muhudumu akamtoa katika mawazo.
“Ahsante”
Akatupa mawazo kule na kumimina Soda ya Coca Cola kwenye glass,akachanganya na pombe kali akapiga fundo la kwanza lote likaisha.
Akaimimina tena akafanya ivyoivyo,alivyohisi kichwa chake kimeanza kuchanganya,akahema ndani kwa ndani.
“Oh Mrembo,habari”
Mwanamme mmoja alijitokeza mbele yake,akamsemesha.
“Nzuri”
“Kuna mtu hapa?”
“Hapana”
“Naweza nikakaa?”
“Ndio”
Sonia aliendelea kunywa kinywaji chake taratibu huku akitafakari.
“Mimi naitwa Kimz Manture ni mfanyabiashara mkubwa sana ndani na nje ya nchi,nimewekeza kwenye mafuta hizi shell za Camel nadhani unazijua,mimi nina shea pale,Mmiliki wa ile sheli anaitwa Mahmud,sasa yule haniambii kitu”
Kijana alianza kuongea mwenyewe bila kuulizwa,mara ghafla akaanza kumtongoza Sonia,uzuri wa msichana huyo ulimpeleka puta,akamtamani hapohapo kiungo chake cha uzazi kikawa kimesimama wima.
Wakati anaongea hayo yote Sonia alikuwa kimnya anamsikiliza,hakuelewa ni jibu gani ampe mwanaume huyu anayepiga porojo.
“Mbona wanaume ni waongo hivi,niwafanye nini sijui?”
Sonia aliwaza na kumtizama mwanaume huyo mwenye pete ya ndoa kwenye kidole chake cha kushoto tena mpya bado,ilionekana ndoa yake haina hata mwaka.
“Mbona anataka kunitafutia dhambi,sitaki kumuuwa, eh Mungu naomba niepushe na jaribu hili”
Bado aliendelea kuwaza vitu vingi kichwani mwake,alimsikitikia Kijana mdogo aliyetaka kuyaaribu maisha yake mwenyewe.
“Kaka nashukuru nimekusikia,ahsante nina mpenzi wangu”
Hatimaye Sonia akajibu.
“Mimi sitojali,Huyo mpenzi wako ana utajiri kuliko mimi?”
“Unadhani kila mwanamke anapenda pesa?kaka angu sikia una mke tafadhali mpende sana mkeo.Usije ukafa bado mdogo”
Sonia aliongea maneno hayo na kusimama, hakutaka kuendelea kubaki katika meza hiyo.
Kitendo cha kusimama na kwenda kulipa bili yake ya vinywaji wanaume wote waligeuza shingo zao,hata baadhi ya wahudumu walimshangaa msichana mwenzao alivyokuwa mzuri.Akalipa pesa na kuondoka zake huku nyuma akiacha minong’ono.
***
“Pede..shee Kway,Nya..gogo,Mchungaji Pa…trick…”
Sonia alikuwa ameshika karatasi iliyochoka mno,baada ya kufungua na kukagua droo za kabati,ulikuwa ni mwandiko mbovu.Akavuta kumbukumbu akamkumbuka marehemu Mama yake alivyokuwa akimpa wosia,akakumbuka jinsi alivyoandika barua hiyo akiwa katika hali ya mateso.
Moyo wake ukamuua hasa alivyoyatizama majina hayo.
Kipindi mama yake anaumwa ugonjwa huo hakuna hata mmoja kati ya watu hao waliokuja kumuona,mbali na hapo hakuna hata mwanaume yoyote aliyefika mahali hapo.Vitu vikaanza kumiminika kichwani akakumbuka jinsi alivyokuwa mdogo,Mama yake akiwa anabadilisha wanaume mbele yake.Akazidi kuwachukia wanaume akaona ndiyo walewale,hasira ikamkaba.
“Nitaanza na hawa watu,nitaanza kuteketeza ukoo mmoja baada ya mwingine.Pedeshee Kway,Nyagogo,Mchungaji Patrick.Nitaambukiza kizazi chenu chote,na yoyote atakayeingia site yangu tunakufa wote”
Sonia aliongea na kuitizama karatasi hiyo,kwa upande wake ikawa kama ndiyo picha limeanza!


***
Isingekuwa askari wa ulinzi kutokeza eneo hilo basi Partson na Sebastian wangepigana mpaka kihama,kila mtu alikuwa ana hasira akivuja damu, walishapigana mpaka kuchoka kabisa wapo hoi.Kitendo cha Brenda kutoka na kutafuta msaada wa polisi ndicho kilichowafanya watulie.Kila mtu alishikwa na kuwekwa kando.
“Ebwana niachie nimfunze adabu huyu fala”
Sebastian alikuwa akitaka kutoka mikononi mwa Polisi aliyemshika mikono yake huku damu zikiwa zinamtoka usoni, jicho limemvimba mdomo umemuumuka.
“Mimi nitakuonesha,usinichukulie mimi bishoo,wewe mpaka poda”
Partson nayeye akatupa maneno yake.Askari hawakuwa na sababu ya kuwachukuwa na kuwahoji chochote, waliwachukulia kama walevi au wavuta bangi.Sebastian akatembea huku akijifuta damu midomoni mpaka ndani ya gari lake.
Lakini ghafla akasikia kioo chake kinagongwa,akashusha.
“Wewe Malaya unataka nini?”
Alikuwa ni Brenda.
“Sebastian nisamehee, naomba nikuelezeee mpenzi wangu”
“Ujielezee nini?”
“Kilichotokea”
“Unikome!nakwambia unikome.Iwe mwanzo na mwisho kulitaja jina langu”
“Lakini Seba…”
“Nyamaza,nenda kaendelee na bwana ako, Malaya mchafu wewe”
“Basi nirudishe nyumbani”
“Nani akurudishe?kamwambie bwana ako”
Sebastian aliongea maneno hayo huku akiwasha gari,akapiga gia na kuliondoa kwa kasi isiyoelezeka huku nyuma akimuacha Brenda asijue ni kitu gani akifanye.
Bado alijawa na hasira kupita kiasi,akaweka kioo cha mbele sawasawa, akajitizama.
“Son of a bitch!”
Alijisemea alivyoona jinsi sura yake ilivyojaa manundu,jicho lake lilivimba sura yake ikawa kama fenesi.
Alitamani kugeuza gari na kurudi alipotoka akapigane na Partson,lakini ulikuwa usiku umeingia na isitoshe alikuwa yupo mji mwingine mbali kabisa na Los Angeles umbali wa kama kilomita mia moja na ushenzi!
Sebastian alikimbiza gari mno,kamera zilimnasa zikawa zinapiga picha gari alilokuwa anatembelea.

Hata breki alizopiga nje ya geti lao kubwa ilisikika ndani, matairi yalijikwaruza mpaka yakatoa moshi.
Akabonyeza namba za siri pembeni ya geti,likafunguka.Akaingiza gari na kuliweka sehemu sahihi akashuka mbiombio,mpaka ndani.
“Sebastian”
Sauti ya Mama yake ilimshtua alivyokuwa anaingia,lakini hakutaka kugeuka.
“Naam Mama shikamoo”
Bado hakugeuza shingo yake,hakutaka mama yake agundue chochote kilichotokea,alikuwa anaficha sura yake,hakutaka ahojiwe maswali.
“Vipi baba za utokako?”
“Mama salama,ngoja nikaoge”
“Mbona unaongea ivyo?sasa si ugeuke”
“Hapana mama ngoja nikaoge harakaharaka”
“Ule basi”
“Mama nimeshiba”
Sebastian bado alimpa Mama yake kisogo.
“Sasa ndiyo uwezi kugeuka,hata hivyo nina habari nzuri Passport zenu zimeachiliwa mwanangu sasa hivi mpo frii,mwezi ujao Mzee Santiago amesema twende Afrika”
“Aya Mama ngoja niende chumbani”
Habari alizopewa na Mama yake hazikumshtua sana.Kuna kitu Mama alikihisi, akasimama na kutembea taratibu mpaka kwa mwanaye,akaenda mbele yake.
“Mungu wangu,Seba mwanangu umefanya nini tena?”
Mama aliuliza kwa simanzi,moyo ulimuuma.
“Amna Mama kesho,wacha nikapumzike”
“Sebastian,Sebastian”
Mama aliita lakini Mtoto hakugeuka akapanda ngazi na kuubamiza mlango wake.

Hakuna siku iliyomsikitisha Mama Sebastian kama hiyo,hakutaka kulifumbia swala hilo macho, akatembea mpaka chumbani kwake na kumuelezea Mume wake kila kitu huku machozi yakimlenga.
“Itakuwa keshafanya ukorofi wake,yuko wapi?”
“Yuko chumbani kwake”
“Embu twende”
Mzee Waytte akashuka kitandani na kujifunga taulo, wakaongozana na mke wake na kupanda ngazi,wakafika mpaka mlangoni kwa mtoto wao.
“Sebastian,Sebastian”
Mzee Waytte aliita bila kuitikiwa.
“Wewe Seba”
“Naam Mzee”
“Embu fungua mlango”
“Sawa Mzee nafunguwa”
Dakika moja mlango ukafunguliwa,Mzee akabaki anamuangalia mwanaye jinsi alivyoumuka usoni jicho limevulia damu.
“Imekuaje?”
“Sio kitu Mzee kawaida tu”
“Kawaida?nini kimekupata?”
“Mzee si nimekwambia kawaida,mbona hunielewi ah”
“Mimi ni baba yako,alafu usinipandishie sauti”
“Aya nimedondoka kwenye ngazi”
“Ach….”
Kitu kilichowakatisha mazungumzo ni simu ya mezani kuita usiku huo mnene,haikuwa kawaida hata kidogo.Mama akashuka ngazi na kwenda kupokea.
“Ndiio,amefika.Nani Brenda?hapana yeye sijamuona.Sawa ngoja nimuulize nitakupigia simu.Hakuna shaka”
Maongezi ya simu yalisikika mpaka juu kwa Sebastian akaelewa kuwa simu hiyo ilitoka kwa Mzee Santiago na aliyekuwa anauliziwa ni Brenda,aliyemuacha jijini Miami.
“Sebastian,kwani leo ulikuwa na Brenda?”
Mama akauliza baada ya kupanda ngazi na kumfikia.
“Hapana sikuwa naye”
“Sio kweli,Santiago kaniambia ulimfuata mchana,ameona kwenye kamera”
“Ndio nilikuwa naye”
“Umemuacha wapi?kwao wanamuulizia hajafika mpaka sasa hivi”
“Miami”
“Niniiiiiiii?Miamiiii?”
“Ndio”
“Mlienda kufanya nini?”
“Mama si nimekujibu,naombeni nikalale basi,Brenda yupo Miami Beach.Usiku mwema”
Sebastian akabamiza mlango kwa hasira na kwenda kujitupa kitandani.
***
“Mama lakini nampenda sana Sebastian”
“Ishia hapohapo,sitaki kukusikia tena na kuanzia leo sitaki tena kukuona na huyo mtu wako,kumbe mlikuwa wapenzi”
“Mamaa”
“Shii shiiiiiiii,nyamaza sitaki kukuona ukiwa na Sebastian unajua ni kiasi gani kwanza tumekutafuta jana na Baba yako,kama hutoweza nakurudisha Tanzania naona Marekani hutoweza kuishi”
Pendo Jonas,alikasirika ajabu mahusiano ya mwanaye na Sebastian hakuyafurahia hata kidogo,alichukizwa kwa kiasi cha kutosha.
“Tena nisikusikie tena,pumbavu”
Pendo akazidi kufoka,hakuelewa ni kwanini anamchukia mwanaume huyo mtoto wa tajiri, Aidan Waytte.
“Tuna safari ya kwenda Tanzania,nadhani mwezi ujao,si ajabu ukabaki hukohuko kama utaendelea na ujinga wako,kwanza inabidi uwende shule”
Brenda alibaki akilia machozi,maneno aliyokuwa anaongea mama yake yalimuumiza moyo.Ndani ya moyo wake alihisi anaingiliwa na ananyimwa haki za msingi,penzi alilopewa na Sebastian isingewezekana hata kidogo kumuacha kirahisi.
Mzee Santiago alivyoyasikia makelele hayo alitoka seblen na kuingia chumbani,hakuelewa lugha ya Kiswahili waliyokuwa wanazungumza ilibidi haoji na kuuliza.
“Hamna kitu Mpenzi wangu,najaribu tu kumweka sawa”
“Usiwe unamfokea mtoto kiasi hicho Pendo,sio vizuri huku Marekani utashtakiwa”
“Sawa nimekuelewa,sitomfokea tena”
Santiago na Pendo Jonas walitoka chumbani kwa Brenda na kuelekea seblen huku nyuma wakimuacha anamwaga machozi,bado alimuwaza Sebastian haikuwa rahisi kukubaliana na maneno ya Mama yake.
***
Nguo fupi aliyovaa Sonia ilizidi kumfanya atamaniwe na mwanaume yoyote yule aliyemuona,watu waligongana vikumbo na wengine kujikwaa na kudondoka, hakuna mtu aliyeamini kwamnba wasichana kama hao bado wapo duniani.
Uzuri wa Sonia ulitingisha kila alipopita.Pembeni alikuwa na Mwanaume Mrefu kiasi, kwa picha iliyoonekana walikuwa ni wapenzi tena waliokolea.
“Baby”
Sonia aliita kwa sauti ya puani wakiwa uwanja wa ndege tena ‘boarding pass’ wanasubiri dakika kumi geti lifunguliwe waingie ndani ya shirika la ndege FLY EMIRATES ili warejee nchini Tanzania wakitokea nchini Rwanda,Kigali.
Huko walikuwa wakitanua na kula maisha,katika muda mchache Sonia alishawaambukiza ukimwi wanaume watatu huyo alikuwa wanne.
Kennedy Sangusangu alikuwa ana ukimwi tayari bila kujijua,Sonia siku zote hakutumia kondom na ndiyo maana ilikuwa rahisi kwa kazi yake hiyo ya kusambaza ugonjwa huo hatari.
“Yes honey”
“Mbona ndege imechelewa sana?”
“Hata sielewi kwa kweli”
Sonia alikuwa amevaa miwani na kofia juu yake,chini alivaa kiatu aina ya supra,jinsi alivyokuwa ukichanganya na uzuri wake ikafanya kila mtu amtizame wengine walidhani ni ‘model’.
Muda wote Kennedy Sangusangu alikuwa nyuma yake kamkumbatia.
“Abiria wa shirika la ndege fly emirates namba k1256 ndege ipo tayari uwanjani ivyo mnatakiwa kuingia,ahsante kwa kuchagua Fly emirates”
Sauti nyororo ilisikika kwenye spika,ikajirudia tena kwa lugha nyingine.
Sonia na Kennedy wakaanza kutembea taratibu na kuingia ndani ya ndege,wakakaa kwenye siti ya pamoja.Safari yao ilikuwa inakomea jijini Dar es salaam,nchini Tanzania.
“Baby,ngoja niende chooni naomba kupita”
Kennedy aliomba njia baada ya ndege kukaa sawa angani,Sonia akampisha.
Moyo wa Sonia ukapiga paa!baada ya kugeuza shingo yake kushoto na kuonana na sura ambayo kamwe haikuweza kumtoka,hakuwa mwingine bali ni Sebastian Aiden Waytte, tena kamgeukia.
“You beautiful”(wewe ni mrembo)
Sebastian akamwambia Sonia.
Picha mbalimbali zilikuwa zinapita kichwani mwake,akapandwa na hasira ajabu.
“Sebastian,umeingia mwenyewe kwenye mikono yangu.Si uliniacha na kusema nina ukimwi sasa ndio nakupa kweli”
Sonia aliwaza huku akitabasamu,alielewa kabisa kwa jinsi alivyovaa haikuwa rahisi kwa Sebastian kumgundua.


***
Ni wazi kuwa Sebastian alistahili kuuwawa kwa njia yoyote ile,kwa matendo aliyom-fanyia Sonia ilitosha kabisa kumfanya msichana huyu mdogo amchukie,alimtelekeza na kumuumiza moyo mbali na hapo alishirikiana na Baba yake kutaka kuutoa uhai wake.Kama Sonia angekuwa na uwezo basi angemchoma na kisu hapohapo lakini hakutaka kufanya hivyo alitaka afe kwa kuteseka na ugonjwa wa Ukimwi.
“Mpenzi”
Kennedy Sangusangu alitokea na kumtoa kutoka kwenye dimbwi la mawazo.
“Abee”
“Upo sawa?”
“Yah”
Sonia alikuwa mbali kimawazo japokuwa mwili wake ulikuwa hapo.Alivyopiga jicho lake pembeni alimuona Sebastian bado anamtizama tena kwa macho yaliyokuwa yana kitu ndani yake!
***
Zilikuwa zimebaki maili tano ili shirika la ndege fly Emirates liweze kutua uwanja wa kimataifa Mwalimu nyerere, hivyo abiria waliombwa kufunga mikanda.Kichwa cha ndege kikaelekea chini huku matairi yakichomoka, yakaanza kugusa taratibu lami,ndege ikatingishika kidogo na kukaa sawa, ikatembea kwa kasi kisha kupunguza mwendo mpaka ikasimama kabisa.
Abiria waliokuwa wanashuka walianza kuvuta mabegi yao juu.Muda wote Sebastian alikuwa ana mahesabu na msichana mrembo wa pembeni,alikuwa akipiga hesabu ni kwa namna gani amuanze.Akatizama huku na kule na kuchukuwa peni na karatasi,hapohapo akaandika anuani yake na kuiweka vizuri mikononi mwake.Kwa utaalamu wa ajabu akamshika Sonia Mkono na kumbambikia kikaratasi kidogo bila mtu yoyote yule kuona tukio hilo.
Hakuelewa kuwa anafanya makosa makubwa sana na amejiingiza mwenyewe ndani ya kumi na nane.Kwa Sonia ikawa kama kazi yake imekwisha moyo wake ukajawa na furaha akajikuta anatabasamu.
Kilichowatenganisha na Sebastian ni kundi la watu lililokuja kumpokea Kennedy hata hivyo Sebastian alikuwa akimtupia macho kwa kuibia ibia.Kennedy na Sonia wakaingia ndani ya gari na Sebastian na familia yake pia hivyohivyo.
**
“Ndiyo nishakwambia sasa sikutaki”
“Ah!Ah!una matatizo gani lakini Sonia?mimi nakupenda kwanini unataka kuniacha sasa?”
“Basi tu nimeamua Keni,nashukuru kwa kunipenda,lakini mimi sikupendi”
“Sonia”
“Keni niache niende,umenielewa kabisa.Mapenzi yetu yamekwisha”
Ndani, chumbani kwa Kennedy Sangusangu kulikuwa kuna mtafaruku mkubwa,kwa Sonia kazi yake ilikuwa imekwisha na hakuhitaji tena kubaki na Kennedy kimapenzi sababu alikuwa ana kazi nyingine ya kusambaza ukimwi kwa wanaume wengine waliobaki wenye tamaa,aliwachukia kupita kiasi.
“Sonia”
“Kennedy niache basi,niache niende”
“Kwahiyo pesa zangu ushakula,sasa unataka kuondoka?”
“Unasemaa?pesa zipi ulizonipa.Any way piga hesabu ni kiasai ga…”
“Sonia usifike huko”
“Basi niache”
“Sonia nakupenda”
“Kampende Mama yako mzazi”
Hakujali ni maumivu ya kiasi gani anayopata Keneddy, alichofanya ni kutoka nje haraka haraka na kutafuta pikipiki,kisha kuondoka zake mpaka Sinza nyumbani kwake.Kitu cha kwanza kukifanya ni kujitupa kitandani na kutafakari juu ya maisha yake,bado alikuwa na kazi kubwa ya kufanya mbeleni.
“Mungu naomba unisamehee,sina jinsi nipo tayari kuchomwa moto lakini niwe nishaondoka na wanaume karibia wote wenye tamaa”
Sonia akajisemea maneno hayo na kuangalia juu darini.
***
Nguo za jinsia mbili tofauti zilikuwa zipo chini juu ya malumalu,mvua na radi ilikuwa ikipiga mno na kufunika kelele za kitanda kilichokuwa kinanesa taratibu.Baridi lililokuwa linapita dirishani na kupuliza mapazia ndilo liliendelea kuwafanya wapate stimu.Kila mtu alikuwa akijitahidi kumuonesha mwenzake ubavu kitandani.
“Ley…than aaah sssh aaash”
Sauti ya mwanamama aliyefahamika kwa jina la Conie alikuwa akitoa sauti ya puani yupo chini, mguu wake umetanuliwa umewekwa juu ya bega la Leythan wanafanya ngono.
Alikuwa akihisi raha za ajabu kupita kiasi ndiyo maana hata yeye alikuwa akikinyonga kiuno chake na kuvutavuta mashuka huku na kule.
Leythan alifanya hivyo huku akiyanyonya maziwa ya Mwanamama huyo, alikuwa ni kama yupo kibaruani vile.
**
“Wewe Gingi huwezi kufungua mlango?”
“Naweza bosi”
“Mbona unachelewa”
Mzee Ikanza alikuwa nje mlangoni amelowa chapachapa kwa kunyeshewa na mvua huku mkononi akiwa na bastola anatetemeka kwa hasira,pengine alitamani kuupiga mlango na risasi azame ndani dakika hiyohiyo.
Ni kweli kuwa hakusafiri kama alivyomuongopea mke wake Conie,habari za Mke wake kuchepuka alisikia, mbali na hapo alimkanya mwanaume huyo anayetembea na Mke wake.
Mzee Ikanza alijisikia uchungu wa kuuwa mtu ndiyo maana akawa anamuharakisha kijana wake afunguwe mlango haraka iwezekanavyo,mvua ilikuwa inanyesha mno na radi zinapiga.
“Kaa pembeni”
Mzee Ikanza alisema kwa hasira baada ya mlango kufunguliwa, akanyonga kitasa na kuzama ndani,kitendo alichokiona kilizidi kumtia hasira.
Mke wake alikuwa yu uchi wa mnyama mguu wake umewekwa kando tena anasema ‘I love you Leythan’ ukweli ni kwamba alikuwa katikati ya dimbwi la mapenzi.
Mzee Ikanza alihisi kupigwa ganzi ya ghafla, akashindwa hata kuinua bastola, japokuwa alitamani kufanya hivyo.Conie aliyatumbua macho yake, hakuwa ana uhakika na kitu anachokiona mbele yake,akili yake ilimtuma kuwa wenda yupo ndotoni lakini haikuwa hivyo,alikuwa yupo macho tena mbele yake amesimama mume wake wa ndoa akiwa na bastola mkononi,akamtupa Leythan kando.
“Conie”
Mzee Ikanza aliita huku jasho likimtoka mwilini lililochanganyika na maji ya mvua,alihema kwa hasira.
“Simama kijana”
Jasho lilimtoka Leythan kupita kiasi,akawa anatetemeka kwa hofu hakuna kitu alichowaza zaidi ya kifo mbeleni.
Alijaribu kukitafakari kifo na kushindwa kuelewa kinafanana vipi sababu hakuwahi kufa,kutoka kitandani alitaka lakini alishindwa.Alihisi tumbo linamuuma hakuelewa kama la kuharisha au la uwoga wa kifo!
“Mzee Mzee usi usini niue tafadh..ali mimi si..”
“Nimekwambia simama,sijataka maelezo yako”
Conie alijihisi ni msaliti alijuta kupita kiasi,alibaki akilia machozi.
“Nawewe unalia nini?unalia nini?Unamlilia baasha ako?ndio… naenda kumuuwa ulie vizuri…Kijana nadhani hii sura sio ngeni kwako,mara ya mwiso nilikwambia nini kuhusu mke wangu?”
Lilikuwa ni swali aliloulizwa Leythan, bado alikuwa akihema amejikunyata ukutani,anasubiri kifo cha kupasuliwa na risasi sura ya mzee aliyekuwa mbele yake haikuwa ngeni.
“Baba uliniambia kuwa..”
“Mimi sio baba yako”
“Sama..hani uliniambia kuwa niachane na Mke wako”
“Ukapuuzia”
“Hapana,sikupuuzia”
“Kumbe?”
“Mzee nilikuwa nishaachana naye….naomba unisamehe”
Leythan na Conie bado walikuwa wapo uchi wa mnyama,hawakuelewa hatma ya maisha yao ni nini baada ya dakika chache,kutokana na hasira za Mzee Ikanza lolote baya lilikuwa mbeleni kutokea.
“Shuka kitandani,au nije nikushushe?”
“Ha hapana nashuka”
Leythan kiunyonge akashuka,alivyotaka kuchukuwa boxa yake akazuiliwa.
“Acha,shuka hivyohivyo,nataka nidhihirishe ulimwengu kuwa mke wa mtu ni sumu.Nataka uwe wa mfano kwa wajinga wote wenye tabia kama zako”
Ujanja wa Leythan na maneno yake havikuwepo tena mbele ya Mzee Ikanza mwenye bastola na mwenye uchungu wa mke.
“Hivi unajua mke anauma kiasi gani?”
Hakukuwa na jibu kutoka kwa Leythan zaidi ya kuanza kutubu dhambi zake,kimoyomoyo.
“Kachakacha”
Bastola ilikokiwa,Conie aliyekuwa pembeni alifunika macho yake,hakutaka kushuhudia damu zikiruka.Leythan akayafumba macho yake pia akisubiri kifo cha maumivu ya risasi.
“Mzee nisa..mehe sitorudia te…”
“Nyamaza”
Bastola ilikuwa utosini mwa Leythan.Mzee Ikanza akamwangalia mke wake,akamtizama na kijana mdogo,akaanglia uume wake,akauona jinsi ulivyokuwa mrefu na mnene,hapohapo akapata wazo jipya.Akashusha bastola chini.
“Ongoza mbele”
Ilikuwa ni kauli ya kutisha,Leythan hakuelewa ni kitu gani anaenda kufanyiwa wakatoka mpaka nje.
“Gingi kaa naye huyu nakuja hapa”
Mzee Ikanza akaingia ndani,alivyotoka nje alikuwa na mke wake akiwa amejifunga shuka huku yeye akiwa na sime yenye makali kotekote.
“Wewe si hodari wa kutembea na wake za watu,sitokuuwa ila nitakachokufanya utaenda kuwasimulia wenzako”
Mzee Ikanza aliongea na kukaa viti vya nyuma,mtu wake wa Kazi Gingi ndiye alikuwa anaendesha gari.
“Twende msasani beach gingi”
Mvua ilikuwa bado inanyesha.Leythan hakutaka kuyapa nafasi mawazo yake kuwa anaenda kuchinjwa lakini upande mwingine wa akili ulimwambia kitu kingine tofauti.
Kifupi alijifananisha na kondoo anayepelekwa machinjiano,bado alishindwa kuelewa ni adhabu gani anaenda kukutana nayo mbeleni.
Ndani ya dakika arobaini walikuwa wamefika Msasani wakashuka,Leythan akashushwa akiwa hana nguo hata moja,akajaribu kujiziba sehemu zake za siri lakini alizuiwa.
“Toa mikono hiyo,tembea kama unavyotembeaga.Nitabadilisha mawazo nikuuwe sasa hivi”
Ulikuwa ni usiku wenye giza totoro na mvua ilikuwa inanyesha mno,Leythan alitamani kukimbia lakini aliogopa kupigwa risasi ya kisogo na isingewekana kukimbia risasi na kumkosa,bastola ilimtisha.
Wakazidi kutembea mpaka kwenye mapango makubwa.
“Hizo korodani zako leo zitakuwa chakula cha samaki”
Yalikuwa ni maneno ya kutisha mno kwa Leythan,sehemu zake za siri zilikuwa zinaondolewa ni kweli haikuwa utani.Mzee Ikanza kwa kutumia sime alimnyanyua nyoka wa Leythan na kumuweka juu ya jiwe kubwa,kisha kunyanyua sime juu,kulishusha kulimaanisha nyoka wa Leythan kukatwa na huo ndiyo ungekuwa mwisho wake kufanya ngono.
Lilikuwa ni jambo la kinyama kufanyika.Kila mkono wa Mzee IKanza ulishika silaha,mmoja sime mmoja bastola.Pembeni alisimama Conie akiwa analia machozi ya uchungu,alimlilia mume wake asifanye kitu kama hicho kwa binadamu mwenzake lakini haikusaidia,nyoka wa Leythan alikuwa amewekwa juu ya jiwe tayari kwa kukatwa,alianza kuyasikia maumivu hata kabla ya kitu hicho kufanyika.Kabla ya panga kushuka Conie akamvaa mume wake wakadondoka chini.
“Leythaaaan kimbiiiaaaaaa”
Kitendo cha Leythan kufumbua macho yake na kumuona Mzee Ikanza yupo chini,alipata nguvu mpya,alikimbia mpaka miguu ikagonga kisogo na kupotelea kwenye miti gizani,hakutaka kujua ni kitu gani kiliendelea kwa Conie na mume wake.
****
“I’m Lissa”
“Call me Sebastian,but your voice sounds familiar.Are you a Tanzanian?”(Niite Sebastian,lakini sauti yako sio ngeni,wewe ni Mtanzania)
“No,I’m Nigerian”(Hapana,mimi ni mnaijeria)
“I’m happy to be with you today”(Nafurahi kuwa nawewe siku ya leo)
“Thank you”(shukrani)
“Any drink?”(kinywaji chochote)
“No, just Cigarrete”(hapana labda sigara)
“You smoke?”(unavuta sigara)
“Yes I do”(ndio)
Mtego wa Sonia ulikuwa tayari umemnasa Sebastian,alijifananisha kama ndoano iliyowekwa chambo.Alivyojiweka Sonia isingekuwa rahisi kugundulika,kitu alichokifanya ni kubadili rangi ya macho yake yakawa kama ya paka.
Hayo aliyanunua na kuyabandika ndani ya kiini cha macho yake.Wigi kubwa alilovaa likamfanya abadilike kiasi.Mbali na hapo bado Sebastian hakuweza kuisahau sauti hiyo, lakini akashindwa kuelewa ni wapi aliisikia.Ili kumtoa na kutokushtukiwa Sonia alinunua Sigara na kuanza kuvuta,walikuwa ndani ya Pub ya kishua iliyokuwa imetulia.Sonia akavuta fundo moja akakohoa baada ya moshi kumpalia sababu hakuwa mvutaji wa siagara.
“I have cough that’s why”(Nina kikohozi ndio maana)
Sonia alizuga.
“Why don’t you stop smoking,its very dangerous for your health”(Kwanini usiache kuvuta sigara,ni hatari kwa afya yako)
“Don’t mind, Its okay.You told me you are American?”(Usijali,uliniambia wewe ni Mmarekani)
“Yes”
“What are you doing here in Tanzania”(Unafanya nini hapa Tanzania)
Kitu kilichofanya Sonia azidi kushangaa ni baada ya kuona ‘tattoo’ ya jina lake shingoni kwa Sebastian,akakumbuka vitu vingi sana vilivyopita nyuma,akajiona alivyokuwa kitandani anavunjwa bikra yake,wanafanya ngono na kula kila aina ya sterehe.
Akakumbuka vitu mbalimbali lakini hiyo haikumfanya arudishe moyo wake nyuma.Sonia aliendelea kuvuta Sigara huku wakiendeleza stori,kitu alichokifurahia ni Sebastian kumshika paja lake, akaona tayari mambo yameiva na kuku ameelekea kibra bado kuchinjwa.
Alichofanya ni kutulia wala hakuonesha kushtuka,Sebastian akachukulia kama huo ndiyo ushindi.Akamvuta karibu kabisa na mdomo wake akatoa ulimi na kuutumbukiza mdomoni mwa Sonia,Sonia alivyoona hivyo nayeye akaachia meno yake ulimi wa Sebastian ukapita wakaanza kubadilishana mate.
“Lissa,come with me”
Sebastian akasema baada ya kuachiana,Sonia hakuwa na kipingamizi wote wakasimama na kutoka nje kutafuta taxi.

Dereva Taxi aliambiwa atafute Hotel nzuri iliyokuwa karibu,haikuwa kazi ngumu,dakika kumi baadaye taxi ikasimama nje ya hotel kubwa MK Hotel,dereva akalipwa chake.
Kazi ikawa ni kutafuta chumba.
Kitendo cha Sebastian kuingia ndani ya chumba akam-beba Sonia juu na kumuweka ukutani na kuanza kumla denda huku akianza kumvua nguo moja baada ya nyingine.Akazidi kumpandisha juu ya ukuta huku wakipigana madenda,alivyoona Lisa au Sonia hana nguo ya juu alifakamia maziwa yake na kuanza kuyanyonya,hapo ndipo Sonia alipoanza kuhema ndani kwa ndani,akatupwa kitandani.Sebastian akamfuata juu yake.Sketi ikatolewa.
“Mh!”
Sebastian aliguna,kuna kitu kilimshangaza,alama aliyokuwa nayo msichana huyo kiunoni ilimfanya akumbuke kitu.
“Soniaaaaaa!”
Sebastian akaita na kuzidi kumtizama msichana huyu mrembo vizuri, kuanzia juu mpaka chini akiwa yupo na chupi nyeupe peke yake.

***
Isingekuwa rahisi kwa mwanaume yoyote yule rijali kuchomoka kwa Sonia kirahisi,hata kama ungekuwa ‘hardcore’ kiasi gani.Sebastian alikuwa ni kama amerudiwa na fahamu zake,kumbukumbu zake zikamrudisha nyuma akamkumbuka Msichana anayemchukia kuliko yoyote yule duniani baada ya kuona alama ya kidoti cheusi kiunoni mwa Sonia, ndiyo maana akashtuka.Sonia alilielewa hilo akamuwahi mdomoni na kumpa ulimi, haraka akaupitisha mkono wake chini kwenye karoti ya Sebastian,hapo ndipo kila kitu kikayeyuka,mawazo yake yakapotea damu yake ikamwenda mbio.Sonia akauchukulia huo ni kama ushindi,akazidi kuichua karoti yake,taratibu akaanza kumvua nguo ya chini akamtoa na boxa,ili kumpagawisha zaidi akakusanya mate mengi mdomoni akainama chini kidogo na kushika vizuri karoti ya Sebastian na kuibugia mdomoni,hakutofautishwa na mtu anayekula koni.Hapo ndipo Sebastian alipotulia, hakuwa na kauli yoyote zaidi ya kuanza kutoa mihemo ya ki utu uzima.
Sonia alizidi kujaza mate mdomoni akizidi kucheza na maiki mdomoni mwake,hiyo yote alitaka kumpagawisha Sebastian ili kesho yake arudi tena, ndiyo maana alijaribu kufanya juu chini,hakuishia hapo alipanda mpaka sikioni mwa Sebastian,akatumbukiza ncha ya ulimi wake ndani ya sikio la mwanaume huyu aliyekuwa hoi hajiwezi kitandani,mambo yalikuwa mazito kupita kiasi.Sebastian alilambwa karibia mwili mzima, akanyonywa mpaka macho,yote hayo aliyokuwa anafanyiwa yalikuwa mageni kwake,Sonia alijituma mno,alivyoona Sebastian kalegea akaiweka mashine vizuri,akaitoa chupi yake na kukalia karoti ya Sebastian mpaka akaifikisha mwisho,akaanza kukinyonga kiuno chake taratibu juu ya Sebastian.
***
Kwa mapenzi aliyopewa na Sonia au Lissa kama alivyojua ilimfanya aifurahie nchi ya Tanzania,hakutaka kuondoka,penzi la Sonia lilimpagawisha kupita kiasi,kila siku alimuona ni mpya,Sebastian na wazazi wake walifikia hotelini.Mzee Santiago na Mke wake Pendo Jonas hata pia wao walifikia hotel hiyohiyo lakini vyumba tofauti.
“Brenda nilikwambiaje lakini?”
“Mamaaa”
“Nilikwambia nini kuhusu huyo mwanaume?”
“Mama nampenda”
“Naona hutaki kunisikia,sasa ni hivi utabaki hapahapa Tanzania”
“Lakini Mama kwanini humpendi?”
“Bado wewe ni mdogo kuingia kwenye mapenzi”
“Mamaaa laki..”
“Eh eh nyamaza,mimi natoka.Nitarudi baadaye”
“Okay Mama”
Siku hiyo Pendo Jonas aliamua kutoka kwenda kutembea mjini ili kuwasalimia ndugu,jamaa na marafiki nia ya safari yake ilikuwa aende kwa rafiki yake wa kufa na kuzikana, Tito.

Alitembea mpaka nje na kukodi Taxi,kichwani aliwaza vitu vingi sana hakuelewa ni kwa namna gani itakuwa akikutana na Tito,alivikumbuka sana vituko vyake na alihisi amem-misi mno.
Baada ya dakika arobaini walikuwa tayari wamefika Kijitonyama,dereva akaweka gari kando ya geti la rangi jekundu.Pendo akalipa pesa na kushuka,akagonga geti na kuzama ndani.
“Peeeeeeeendoooooo”
Mke wa Tito ndiye alikuwa wa kwanza kumuona, akaacha kufuta vioo vya dirishani na kumkimbilia kwa furaha na kumkumbatia.
“Hee jamani Pendooo,siamini ni wewe kweli?”
“Ndiyo mimi,wala huoti”
“Kumbe Marekani hakudanganyi, umenona sana”
“Hahahaha”
“Titoooo,wewe Titoooooo”
Mke wa Tito akaita kwa sauti ya juu.
“Niniiiiii?kuna nini tena?”
Tito akaitika,kwa jinsi mke wake alivyoita akadhani wenda kuna tatizo ndiyo maana akatoka huku akiwa ana haraka,alivyomuona Pendo hata yeye alipigwa na bumbuazi,Pendo alinona kupita kiasi.
“Pendo?Ni wewe?”
Tito nayeye akauliza kwa mshangao wa waziwazi.
“Ndiyo,ni mimi”wote wakarukiana kwa furaha.
Hapohapo wakaanza kupiga stori huku wakiingia ndani.
Tito bado hakuacha kupenda pombe,jioni ya siku hiyo walitoka na kutafuta ‘grocery’ ya jirani ili wapate moja moto moja baridi,hakuna mtu aliyekuwa na kipingamizi.Waliongea mengi siku hiyo.
“Nani Titoo,wewe Titooo.Hivi Sonia yuko wapi?”
“Sema mwanangu Sonia yupo wapi,si mwanao yule”
“Naelewa”
“Yupo,Kuna kipindi niliisikia alipata majanga”
“Nini tena?”
“Kuna kipindi alikuwa anasoma Ulaya huko sijui”
“Enhee”
“Wewe hukusikia?”
“Embu niambie”
“Alipata matatizo Ku** make”
Tito alianza kuhadithia kila kitu kinagaubaga tena akitumia lugha zake za kihuni,kila kitu kilivyotokea.
“Yesu wangu,sasa nani alimsaidia?”
“Kuna ndugu yake Mmoja hivi Marehemu Nickson,nadhani utakuwa unamjua bila shaka anaitwaaaa… anaitwaaaaa Dustan yes Dustan,jamaa mmoja smart sana,hapendi kujichanganya na watu, nayeye ni mwanasheria na ndiyo anamsimamia Sonia sasa hivi,ningemuita sema nayeye bize bize mno bila huyo jamaa Sonia angekufa,mbona hiyo inshu ilitokea kitambo tu hata kabla hujaondoka”
“Tuachane na hayo,natamani kumuona unajua,sipati picha alivyokuwa mdada”
“Sawa,utamuona kwani unaondoka lini?”
“Bado nipo,mwezi ujao”
“Basi utamwona,Psiiii pssiiiiii wewe weita,wewe weitaaaaa….Mbona unakuwaaa na mambo ya Kise**** ulikuwa wapi?nitamwambia bosi wako,leta vinywaji haapaaa”
Tito alianza fujo zake tayari, pombe zilianza kupanda.
“Titoo,hujachaa tu?”
“Hawa bila kuwachangamsha,hawaendi”
Pombe ziliendelea kunyweka.
***
Kila alichokifanya Sonia kwa Sebastian kilikuwa kipya kitandani,ni kweli Sebastian hakuwa limbukeni wa Mapenzi lakini kwa Sonia alinawa mikono,mapenzi aliyopewa na staili mbalimbali juu ya kitanda ziliogopesha,akili yake yote ikachukuliwa na msichaha huyu mzuri na mrembo bila kujua yupo ndani ya tanuli lenye makaa ya mawe na analichochea mwenyewe moto.
Kwa asilimia mia moja Sebastian alikuwa tayari ana virusi vya ukimwi,hivyo ndivyo Sonia alivyoamini.Kufanya ngono bila kondom kulimaanisha kumpa ugonjwa huo hatari usiokuwa na tiba na hayo ndiyo yalikuwa mahesabu ya Sonia siku zote.
***
Kila siku Brenda alilia msamaha kutoka kwa Sebastian lakini hakuweza kumshawishi vya kutosha,Sebastian alikazia msimamo wake kuwa hatokuja kutembea na Brenda kimapenzi tena,mbali na hapo Sebastian alikuwa siyo mtu wa kutulia hotelini,ratiba yake ilikuwa ni kutoka asubuhi sana kisha kurudi jioni,hiyo ilimuuma sana,akataka kujua ni kitu gani kinamfanya Sebastian achelewe kurudi,siku hiyo akawa wa kwanza kudamka kitandani asubuhi,akaoga harakaharaka na kuvaa nguo akawa anatega sikio lake vizuri,kutokana na ukaribu wa vyumba aliweza kusikia mlango ukifunguliwa,akajua ni lazima atakuwa Sebastian anatoka,nayeye akafungua kidogo mlango akachungulia kuhakikisha,ni kweli fikra zake zilikuwa sahihi.
Sebastian alivyoingia ndani ya lift yeye akatumia ngazi kushuka haraka haraka kutoka gorofa ya nne ambapo hapakuwa na umbali sana,alivyofika mapokezi akamuona Sebastian anaingia ndani ya Taxi,hakutaka kupoteza muda akaingia kwenye taxi nyingine.
“Kaka”
“Naaam,wapi unaenda?”
“Fuata hiyo Taxi nyuma”
“Ile kule?”
“Ndiyo”
“Sawa”
Brenda macho yake yakawa kwenye Taxi ya mbele yake ambayo iliwaacha kwa kama mita kumi na mbili hivi,akaishuhudia inasimama kandokando ya Hotel nyingine kisha Sebastian akashuka.
“Kaka sikia”
“Ndiyo”
“Pesa utakuja kuchukua pale Hotelini jioni,mapokezi”
“Okay sawa”
Brenda nayeye akashuka ili akamilishe upelelezi wake,akili yake ilimtuma kuwa Sebastian ana msichana mwingine lakini hakutaka kuyapa mawazo yake kipaumbele, alitaka kushuhudia kwanza ndiyo apate uhakika.

Alitembea taratibu mpaka nje ya baa na kutulia,ni kweli alichohisi ndicho kilichokuwa na wala hakukosea,alihisi moyo wake unamuuma mno.Msichana aliyekuwa naye Sebastian alimuumiza moyo,hakujua ni kitu gani akifanye akabaki analia tu,licha ya yote hakutaka kuwafuata alimuogopa Sebastian kama ukoma sababu ya ukorofi wake,aliogopa kupigwa vifuti ama makofi na hakutaka kujidharirisha,taratibu akasimama lakini nafsi nyingine ikamwambia asubirie.
“Inabidi niongee na yule msichana ili aniachie Sebastian wangu bado ninampenda”
Brenda aliwaza na kusubiri kwenye kiti huku akilia machozi,akamuona Sebastian anaondoka na kuingia ndani ya Taxi.
Alivyopiga jicho pembeni akamuona Msichana aliyeachwa na Sebastian anatoa funguo ndani ya mkoba na kuingia ndani ya Landcruiser Rexas.Brenda hakutaka kumuacha nayeye akaingia ndani ya Taxi.
“Fuata hiyo gari nyeusi”
“Hiyo Cruiser?”
Dereva taxi akauliza.
“Ndio”
“Sawa”
Hivyo ndivyo ilivyokuwa,nyuma nyuma Sonia alifuatiliwa bila kujijua.
***
“Nishampa Ukimwi najua,Ha!Haa!Haaa!Haaaa!Haaaaa!Haaaaaaaa! wuuuuuuuuuu”
Sonia alishangilia na kuweka mikono yake juu na kuongeza sauti ya mziki ndani ya gari,akawa anaendesha gari kwa mkono mmoja akiwa mwenye furaha kupita kiasi huku akitingisha kichwa chake kwa madoido,moyo wake aliuhisi mweupe mno.
“Sebastian,nakupa miaka michache tu.Malipo ni hapahapa duniani…..pipiiiiiiii nawewe pisha bwana toa kibao cha nazi mbele yangu,nitakugonga”
Sonia aliongea mwenyewe na kupiga honi baada ya pikipiki aina ya vespa kumchomekea mbele yake,bila kuweka mguu kati angeshamgonga.

Taratibu akakata kona Sinza Mori,akaendesha gari taratibu kabisa.Akaingia barabara ya vumbi na kupaki gari nje ya geti jeusi.Akashuka kwa mikogo na kuzama ndani ya geti,nyuma ya gari yake ikafika Taxi nayo ikasimama.
Sonia alivyoingia ndani seblen kazi yake ikawa ni kutupa kila kitu pembeni,akatupa wigi pembeni na kubandua macho yake ya bandia,akavua vitu vyote akajitupa juu ya Sofa,akabaki na ‘skintight’.
“Leo ni gambeeeee,kazi imekwisha,wazungu wanasema DEAL DONE!au kushneii kwa kihindi”
Sonia akajisemesha mwenyewe,akasimama na kuzama kwenye friji ambapo kulikuwa na kila aina ya kilevi.Akamimina glasi ya Wisky na kujitupa juu ya sofa tena,miguu juu ya meza.
“Hodiiiii”
Sauti hiyo ndiyo ilimshtua Sonia,akasikiliza vizuri.Akaisikia tena.
“Nani?”
“Brenda”
“Brendaaa?”
Sonia akasimama na kuweka glasi yake mezani,kabla ya kufungua mlango akavuta pazia ili kuona sura ya mtu anayegonga,alimtizama msichana huyo lakini akashindwa kujua ni wapi amemuona.Hakuwa na jinsi zaidi ya kufungua mlango.
“Karibu”
Sonia alisema huku akimtizama msichana huyo kuanzia juu mpaka chini akijaribu kukusanya kumbukumbu zake,lakini bado hakupata jibu sahihi ni wapi walionana.
“Karibu kiti,have a seat”
“Ahsante”
“Enheee”
Brenda hakuelewa ni wapi aanzie kuongea,kitu cha kwanza alianza kujitambulisha jina lake na mahali alipofikia.
“Umesema unaitwa Brenda?”
“Ndio”
“Sasa unamuulizia nani?”
Kabla ya Brenda kujibu,machozi yalianza kumlenga.
“Dada najua unatembea na Sebastian,tafadhali naomba uachane na mpenzi wangu,nakuomba, sina uwezo wa kumwambia akuache lakini wewe kama mwanamke mwenzangu nakuomba nipo chini ya miguu yako”
Brenda aliongea lakini Sonia alitabasamu huku akimwangalia msichana aliyekuwa mbele yake anaongea maneno mengi kuhusu Sebastian.
“Ndicho ulichokuja kuniambia?”
“Ndiyo dada angu ni hayo tu”
“Nikushauri kitu”
“Kitu gani?”
“Achana na Sebastian,kabla hujachelewa.Huo ndiyo ushauri wangu kwako na pili naomba uwende.Mimi na Sebastian tushamalizana”
Brenda hakuelewa nini maana ya Sentensi hiyo,yeye aliendelea kulia machozi.Haikuwa rahisi kumuachanisha na Sebastian kirahisi rahisi namna hiyo.
“Siwezi kuachana naye,siwezii”
Brenda aliongea kwa nyodo na kumsonya Sonia,akimtizama kama kinyesi na kuondoka zake.
“Ha!Haa!Haaa!Haaaa!Haaaaa! utakula jeuri yako,ona sasa unavyoenda kufa,nakwambia uachane na Sebastian hutaki.Aya shauri yako”
Sonia akajisemea na kupiga fundo la pombe.
***
Mezani kulikuwa kuna msitu wa chupa za pombe,meza nne zilikuwa zimeunganishwa kulikuwa kuna shangwe za kufa mtu ndani ya ukumbi ulioitwa Kawe club usiku huo,karibu na msasani.
Tito alikuwa na marafiki zake pamoja na Pendo Jonas,ambapo pembeni alikuwa amekaa Brenda hana raha hata kidogo.
“Unajuaaaa niniiiii Pendoo,angekuwa Marehemu Nickson haaapaaa,mngecheka saaaana,yaani yeye akilewa kwanza anajifanya mpole kama pasta,mimi ndiyo nilikuwa nampatia mnoooo,akijifanya pasta mimi naharibu.Basi tunaanza kutukanana,Marehemu Nickson Mungu ailaze roho yake pema peponi”
“Usinikumbushe kipenzi changu jamanii,tumuachie Mungu…Brenda nikuongeze Soda?”
Pendo alimaliza kuongea na Tito,akamgeukia mwanaye kushoto kwake.
“Hapana Mama”
“Alaaafu ujuue nini Pendooo”
Tito akaingilia tena maongezi.
“Enhee”
“Brendaa kafanana na Nicksooon ujue nini?”
“Umeanza”
“Umeona alivyotulia hivyo,alivyoweka pozi hilooo alivyoyafanya macho yake”
Tito alikuwa kapendeza kichwani,tayari yuko bwii anaongea kwa sauti ya juu.
“Yaaani Nicksooon,angekuwepo hapaaaaaa,uwiiiiiii Mungu jamaaani”
Mara akaanza kulia tena,alisikia uchungu mpaka basi.
“Titooo,acha bwana,tumekuja kufurahi acha kulia sasa.Umesema Sonia yupo njiani anakuja?”
“Inaniiumaaa Pendooo,Sonia anaakujaaa ndio, mara ya mwisho aliniambia yupo Mwenge kuna foleni”
“Anakuja na usafiri gani?”
“Ana gari,sasa sijui yake au la,mara ya mwisho nilimuona mwezi uliopita sheli anajaza mafuta, sikupata muda wa kuongea naye.Amekuwa mdada mkubwa sana,amenenepa huyooo.Sasa yule ndiyo Nickssson mtuuupu”
Maongezi ya Tito na Pendo yalipita Kwa Brenda kama yalivyo,hata hivyo siku hiyo alikuwepo kwa sababu maalum,habari za dada yake kufika siku hiyo alipewa na ndiyo maana alikuwa ana msubiri kwa hamu hata yeye,alitamani sana kutambulishwa ndugu yake.
**
“Njoo njooo,kata kwakoo”
“Hivii?”
“Zungusha tairi kwako,no sio huko..Enhee rudi taratibu njoo njoo njooo baaasi inatosha hapohapo”
Mlinzi alikuuwa anafanya kibarua chake,Landcruier Rexas nyeusi iliyovimba inagonga mziki mkubwa ilikuwa teyari imefika Kawe club.
Sonia ndiye alikuwa anaelekezwa jinsi gani aweke gari vizuri kwenye maegesho.Kila kitu kilivyokuwa sawa akashuka na kubonyeza rimoti gari ikawaka taa kumaanisha milango ime ‘lock’.
Sio siri, kila mtu alimgeukia,japokuwa alivaa sketi ndefu lakini umbo lake likachomoza nyama kwa pembeni zikatokeza,ndiyo kwanza alizidi kuonekana maridadi.
Alivyoingia ndani ya ukumbi,macho karibia yote yakatupwa kwake,Sonia alijua kutembea kwa mikogo.Alivyopiga jicho kwenye kona, aliona amepungiwa mkono na mtu aliyemfahamu,alikuwa si mwingine ni Tito,akatembea na kuwafikia.
Kwa heshima zote alianza kusalimia meza nzima akianza na Tito,hata marafiki zake Tito walianza kukanyagana miguu kupeana ishara, Sonia aliongea huku akitabasamu,hapo ndiyo ikawa tatizo zaidi.
“Mambo!”
Hiyo ndiyo salamu aliyotoa kwa Brenda,aliyekuwa anachezea simu alivyoinua kichwa chake juu akapigwa na bumbuazi, kila mtu akaganda, kumshangaa mwenzake.
“Unaona watoto wa Nickson walivyofanana?Marehemu Nickson ana daamuu kali”
Tito alimnong’oneza rafiki yake pembeni,maneno hayo yakapita moja kwa moja mpaka kwa Brenda,na Sonia akayasikia pia.

*****
“Huyu demu ni mwizi”
“Ndio sawa,kaiba nini?”
“Kaingia hapa dukani na wenzake,wameiba nguo juzi, leo tena hivyohivyo wamekuja tena,sasa wenzake wamekimbia mimi nitadeal naye,atawataja wenzake wote”
“Embu subiri kwanza,kwanini mambo haya usipeleke polisi mkamalizane”
“Haina haja ya polisi,mimi nitadeal naye papendikula.Wewe kaka niachie mimi, dawa ya hawa mademu ninaijua”
Hakukuwa na maelewano yoyote yale ndani ya duka la Makoba lililokuwa linasifika kwa uuzaji wa nguo za gharama za kike na kiume.
Baadhi ya watu walikusanyika ili kumshangaa msichana aliyesadikika ni mwizi wa nguo,tabia hiyo ya wasichana kuiba nguo madukani ndiyo ilikuwa imekithiri, kila mtu aliichukia,hasa wakazi wa Sinza.Ndiyo maana wakazi wa sehemu hiyo walikuwa wenye usongo wa kufa mtu.
“Oyaaa,mtoeni basi huyo mwizi nje tumshughulikie,alafu mtoto mzuri kabisa.Mtoe tumchede wahuni”
Wahuni waliokuwa nje walisikika wakisema,wakiwa wenye ugwadu.
“Kaka angu naomba nisikilize,Mimi sijaiba haki ya Mungu tena..Huyu kaka mimi nimekuja hapa kununua nguo...”
Msichana mrembo alianza kujielezea bila breki huku akiwa ameshikwa mkono na baadhi ya wasamalia wema.
“Dada subiri kwanza unaitwa nani?”
“Naitwa Nasra”
“Enhee Nasra,unaishi wapi?”
“Ninaishi Mtoni mtongani”
“Unasema kuwa hujaiba?mbona huyu jamaa anasema umeiba?”
“Kaka angu,mimi sio mwizi.Niamini nayokwambia.Ananionea tu bure”
Muuza duka hakumuelewa Nasra, japokuwa alikuwa anajielezea na kuanza kutoa machozi.
“Usijifanye kulia”
“Kaka angu,mimi sijaiba nilikuwa nachukuwa nguo nakuja kulipa sasa nimeiba vipi?Mimi nashindwa kumuelewa”
Hakuna kitu kilichomuuma moyo kama kusingiziwa kitu hicho cha wizi,Nasra alilia machozi ya kwikwi kwa jinsi mambo yalivyokuwa yanaenda alielewa ni lazima apigwe au kupelekwa polisi,kitu ambacho hakutaka kitokee katika maisha yake.
Ni kweli kitu ambacho hakutaka kitokee ndicho kilikuwa mbioni sekunde chache zijazo,alikuwa anatolewa nje ili akapigwe pengine auliwe,jinsi alivyokuwa anasubiriwa nje na watu.Hakuwa na uhakika asilimia mia moja juu ya usalama wa maisha yake.
“Nakutoa nje wakupige,iwe fundisho”
Nasra alilia akiomba msamaha,lakini muuza duka akazidi kumburuza, kabla ya kuufikia mlango Nasra akashikwa mkono na Mwanaume mrefu mweusi kiasi,akamzuia na muuza duka asitoke, tena kwa lugha ya kiingereza.
“Hold on,what is going on here?why are you treating her like this?”
Kila mtu akamshangaa mwanaume huyo ambaye muda mrefu alikuwa akiwatizama dukani humo.
***
Kitu hicho kilikuwa wazi kabisa kuwa Sebastian kwa Lissa ama Sonia hapindui tena,alikuwa ni kama amewekewa limbwata akawa zuzu,hakuelewa wala kuhisi kuwa yupo kwenye mdomo wa mamba.
Hakuwa na mawazo kabisa kuwa mwanamke anayetembea naye ni Sonia, aliyetokea kumchukia kuliko wanawake wote wa nchi kavu na baharini.Wakati mwingine alitamani amtafute jijini humo Dar es saalam lakini nafsi nyingine ikamwambia asubiri kwanza.
Hakutaka kutoa msamaha kwa Brenda hata kidogo,Sonia alimteka na siku hiyo alitamani kukuche mapema.
“Leo mbona hakukuchi?”
Sebastian alizinduka usingizini lakini bado kulikuwa kuna giza nene.
“Nataka niende na Lissa Marekani,nikamuoe awe mke wangu,nilikuwa nawachukia waafrika kisa Malaya Mmoja Sonia,lakini nitamtafuta Sonia kenge yule,ama zake hama zangu.Nyumbani kwao nimepasahau lakini nitapakumbuka tu”
Yote hayo yalimiminika kichwani mwa Sebastian, kwa wakati mmoja. Aliwaza mambo hayo ilimradi tu asukume muda mbele, lakini masaa yalisogea taratibu kama kinyonga,akawa ana jigeuza huku na kule licha ya hayo usingizi kwake haukuja tena.
Mpaka inatimia saa kumi za asubuhi bado alikuwa macho, hivyo aliamua kuwasha televisheni ili aangalie habari mbalimbali za hapa na pale.
***
“Hivi mbona sikuelewi Seba?”
“Kivipi Baba?”
“Wewe ni wa kutoka asubuhi kurudi usiku,siku nyingine hulali hapa”
“Kwani vibaya Baba”
“Siyo vibaya,uwe una aga sasa.Unasema ulipo.Hata namba za huku huna,sasa unadhani tutakupata vipi?ukipata tatizo je?”
“Baba si unitafutie sasa”
“Una wazimu wewe,sifanyi hiyo kazi.Nilichokuitia hapa ni kitu kimoja”
“Ndio Baba”
“Sisi tunaenda Arunga,sijui Arusha huko kutembea,utaenda?”
“Hapana mimi siendi,nyie mwende tu.Unaenda na nani?”
“Naenda na Mr.Santiago”
“Mimi siendi,nitabaki hapahapa.Nishapata washkaji,alafu sina mkwanja,inakuwaje?nitaishi vipi?”
“Utaongea na Mama yako,alafu huoni aibu kuniomba pesa mwanaume mwenzako,kwanini usifanye kazi,usubiri kupewa”
“Baba sasa unanipa au unataka kuanza mahubiri”
“Mama yako anazo,na kuna gari nilinunua jana kwa ajiri za safari zenu za hapa na pale.Mtakuwa mnatumia”
“Hapo fresh sasa,mimi nakutakia safari njema”
Jinsi Sebastian alivyoongea na baba yake,ilikuwa sio adabu kwa desturi za kiafrika, aliongea akiwa amekaa tena amechora nne mkono mmoja upo mfukoni.
Hakutaka safari yoyote ile zaidi ya kumfikiria Sonia siku hiyo,baba yake alivyotoka chumbani kwake na kuondoka,akasimama akatembea mpaka chumba cha wazazi wake na kwenda kudeka kwa Mama yake,akitaka pesa.
“Sina pesa za kitanzania,nina dola tu hapa”
“Mama hakuna shida wewe nipe tu”
Mama akatoa kitita cha dola elfu mbili,zilikuwa ni pesa nyingi mno katika nchi ya Tanzania, kwenye familia hiyo pesa hizo zilikuwa ni kama za kunywa maji.
“Mama,nimesikia kuwa kuna gari,nipatie funguo basi niende misele”
“Seba,unalijua jiji vizuri?Msubiri Brenda aamke muende wote au Anti Pendo”
“Hapana nitaenda mwenyewe,mji nina ujua vizuri”
“Aya,uwe makini”
Sebastian akachukuwa funguo za gari,akarudi chumbani kwake.Haraka akaingia bafuni kujimwagia maji,akapiga mswaki na kuzama kabatini.
Kama kawaida yake kwenye mavazi hakukosea,akajipulizia na marashi akashuka ngazi.Ghafla akarudi ndani kuna kitu ilionekana amesahau.
“Mamaaaa,Mamamaaaaa”
“Sebastian, nini tena?”
“Kuna kitu nimesahau kukuuliza”
“Nini?”
“Hilo gari silijui”
“Marcedez Benz,nyeusi ipo karibu na getini,ukimuuliza mlinzi atakuonesha”
“Sawa,Mama nakupenda mwaa mwaaaa”
Sebastian akatoka haraka huku akikimbia,akashuka ngazi harakaharaka mpaka chini.Akaangaza huku na kule akaliona gari aina ya Marcedez Benz ya rangi nyeusi tena ya kisasa.
“Itakuwa ndiyo ile,safi sana tena kibanda wazi”
Ilikuwa ni gari ya kisasa yaani ‘open roof’ linajifunga juu na kujifungua.Sebastian akabonyeza rimoti,alivyoona limetoa mlio akalisogelea na kuingia.
“Nishazoea kuendeshea kushoto,njia yenyewe sikumbuki vizuri”
Akarudisha gari nyuma na kulitoa getini,akaendesha taratibu huku akiwa ana uliza uliza njia.
Hakutaka kufika kwa Sonia kwanza, kabla ya kupita dukani na kununua nguo,hapo ndipo alipopaki gari maeneo ya Sinza madukani baada ya kuona kuna maduka mengi ya nguo.
Akashuka kwa mikogo ya ki’brathamen’ akadundika,akaufikia mlango wa kioo na kuusukumiza,akazama ndani.
Baada ya dakika tano akasikia kelele na neno ‘mwizi’ alivyogeuka akamuona msichana analia machozi,anavutwa huku na kule.

Kuishi sana Marekani kulimfanya aone hicho ni kitu cha ajabu,mwanamke kuvutwa kiasi hicho.Kwa picha aliyoiona alijua kabisa hakukuwa na kitu cha kawaida,alivyotupa macho nje akaona kundi la watu.Akaelewa ni kitu gani kinataka kutokea.Akahisi huruma kupita kiasi.Alivyoona wanataka kumtoa nje akafika mlangoni na kuhoji.
****
“Help me,they claims i have stolen”(Nisaidie,wanasema nimeiba)
Nasra akamwambia Sebastian huku akimwaga machozi,kutolewa nje kulimaanisha kugombaniwa kama mpira wa kona.Sebastian akamtizama muuza duka.Bila kuongea chochote akatoa dola mia mbili na kumkabidhi.
“I think you will let her free”
Sebastian alitoa pesa kumkomboa Nasra,muuza duka akashindwa kutoa maamuzi ya haraka.
“Yes my friend”
“Then, how much i’m i suppose to pay,for all these?”
Sebastian akataka kujua ni kiasi gani anadaiwa,alikuwa ananunua nguo lakini hajalipa.Hakuwa na muda tena na Nasra wakaenda kuhesabiana na Sebastian akalipa,alivyotaka kutoka nje akashikwa mkono na Nasra.
“Kaka nisaidie tafadhali,hapo nje nikitoka watanipiga”
“Mimi nishakulipia tayari,unataka nini tena?”
“Tafadhali kaka yangu,pesa ulizolipa hazitakuwa na maana kama ukiondoka na kuniacha hapa”
Nasra aliongea harakaharaka,akitumia lugha ya kiingereza,ni kweli alihitaji msaada.
“Sawa”
Kwa kujiamini,Sebastian akamshika mkono Nasra na kuweka uso wa mbuzi,akaweka uso wa ujasiri na kuvuta mlango akatoka nje,ambapo watu walitaka kumvaa Nasra,kazi yake ikawa ni kumkinga.
Kilichomsaidia ni gari lake kuwa karibu na duka,akamuingiza Nasra ndani ya gari nayeye kuingia vilevile.Bila wasiwasi akaingiza gari barabarani tena kwa mwendo wa kawaida,ulikuwa ni ujasiri uliomshangaza Nasra pia.
“Kaka,nakushukuru sana.Mimi naitwa Nasra”
“Naitwa Seba,sasa nakushushe wapi?”
“Hata ukinishuha hapo mbele ni sawa”
Gari likazidi kutembea,alivyofika mbele likawekwa kando, lakini kabla ya Nasra kushuka,alizuiwa.
“Sikia samahani kidogo,naiulizia hii hotel”
Sebastian alisema na kutoa kadi yenye jina la hotel.
“Anhaa,hiyo ipo Msasani.Mpaka kufika huko pana urefu kidogo”
“Namimi ni mgeni,utanisaidiaje?”
“Kwa kweli sijui”
“Naomba,nipeleke”
Kwa msaada aliotoa Sebastian kwake,hakuwa na haja ya kukataa.Gari ikageuzwa safari ya msasani ikaanza.
Sebastian alifika hotelini lakini hakumkuta Sonia,alimsubiri mpaka usiku lakini wapi.Ilibidi arudi ndani ya gari.
“Vipi nimekuweka?”
“Hapana”
Sebastian,alichoka na aliendelea kusubiri mpaka inafika saa tano ya usiku Sonia hakuonekana.
****


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG