Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

BEDROOM PROFESSIONALS SEHEMU YA 6/10



BEDROOM PROFESSIONALS
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 6 KATI YA 10 MWISHO
*******


Miili yao ilikuwa ikichemka kuliko kawaida,walizidi kunyonyana ndimi zao kama njiwa.Na
kilichowafanya wafanye tendo hilo bila papala ni kwasababu tu,hawakuwa wanaiba.Mapenzi yao yalikuwa wazi kabisa kwahiyo ilikuwa raha mustarehee,Issa alisogea juu ya shingo ya Katrina na kuanza kuinyonya akaona haitoshi,akatoa ulimi wake na kuupenyeza sikioni mwa Katrina,hapo ndipo binti huyu wa makamo alihisi kufakufa,raha alizohisi alitamani asimame na ukucha wa mguu lakini haikuwezekana kutokana na mambo kuwa kasi namna hiyo, ilibidi mwenyewe anyooshe mikono juu yaani alisalimu amri,hapohapo alichukuwa mkono wake mmoja na kushika gunzi la Issa lililokuwa limesimama imara kama mnara,akamvuta karibu kisha kuipanua miguu yake huku na kule,Issa akaelewa nini anatakiwa kukifanya ingawa walikuwa ndani ya maji lakini haikuwa vigumu kwake,akampitisha nyoka wake mrefu na mnene mpaka ndani ya mgodi tena taratibu kabisa,kitendo cha Mnara kuzama ndani Katrina alihisi joto lake limepanda sana,raha alizohisi hazikuwa na mfano wa kuzifananisha ni wazi kuwa alikuwa anaelea katika bahari ya huba,hajiwezi tena.Taratibu akaanza kukinyonga kiuno chake huku gunzi likiwa ndani haikuwa hivyo peke yake,Katrina alisogeza mdomo wake karibu na Issa akatoa ulimi wake wakaanza kunyonyana ndimi,kifupi mtoto huyu wa kihindi alidata kuliko kawaida.
“Aaaaaaah”
Akatoa sauti ya puani ilielekea Issa katika kunyonga kwake kiuno kuna pembe ya mgodi aligusa,akazidi kunyonga zaidi na zaidi,akawa mara spidi mia ishirini mara anapunguza ilimradi amridhishe Katrina,wakati zoezi la unyongaji kiuno linaendelea Issa akachomoka mdomoni kwa Katrina na kukifakamia kifua ambapo hapo alianza kulamba chuchu za Katrina zilizokuwa zimesimama kama embe bolibo.
“Aaaaaaashhhh aaaaah Iss……..a”
Katrina alilalamika na haikujulikana kama alijijua ama raha zilizidi,akafumba macho akawa kama mtu anayechokonoa masikio na pamba,ghafla akaanza kuhisi kama kuna vitu kama utitiri vinatembea ndani ya damu yake kwa kasi ya ajabu,akamvuta Issa kwa nguvu na kumkumbatia huku akizidi kutoa sauti kubwa sana.
“Ah ah ah asssh assh asssh aaah aah aah,Iss..a uniachi..e aaah aaaah”
Katrina alilalamika huku akimng’ang’ania Issa kwa nguvu zake zote,ilikuwa wazi kabisa kwamba ndio anafika mlima Kitonga,bahati nzuri pia Issa ndiyo alikuwa anakaribia kufika hiyo ilifanya wapishane sekunde moja tu,Katrina akatulia akiwa bado ameyafumba macho yake mwili wake umechoka kiasi.
“Beibiiiii”
Katrina akaita kwa sauti ya kudeka.
“Naaam”
“Nakupenda sana,nakupenda kuliko kitu chochote kile duniani”
“Ahsante Katrina,namimi nakupenda sana”
“Naomba usije kuniumiza”
“Sitoweza kufanya hivyo”
“Niangalie usoni”
Issa akatii,akamuangalia mpenzi wake machoni wakawa wanatizamana.
“Nakupenda Issa”
“Namimi nakupenda Katrina wangu”
Baada ya kutamkiana maneno matamu ya kimahaba wakanyonyana ndimi kisha kuanza kuoga,ambapo baada ya hapo waliingia kitandani.Siku hiyo hakuna mtu aliyelala, kilichoendelea zilikuwa ni stori kwa kwenda mbele.
“Sio hivyo baby,nitakuzalia watoto hata mia moja ukitaka,wewe ndio baba watoto wangu”
Katrina akasema wakiwa na Issa kitandani wamejifunika shuka moja.
“Ndiiiooooo ndioooooo”
“Nataka unioe lakini……Baby umelala?”
Tayari Issa alikuwa kapotelea usingizini na ndiyo maana alikuwa akijibu maswali kama mlevi,alichofanya Katrina ni kumfunika vizuri kisha kujiweka kifuani kwake,nayeye akalala huku akitabasamu.
*********
Hawakuwa wanaiba tena,walikuwa wakiishi pamoja sasa kama mume na mke japokuwa ndoa haikuhalalishwa msikitini sababu wote walikuwa waislamu na walijuwa wanafanya dhambi,Katrina alitamani kuolewa na Issa siku zote na kwa upande wa Issa ilikuwa hivyo hivyo pia.Na jambo hilo alivyopelekewa Dokta Khaila,hakuweka kipingamizi lakini alishauri kitu fulani.
“Katrina mwanagu,usiwe na haraka yoyote ile”
Dokta Khaila aliongea kwa upole kidogo ilielekea alitaka kumpa kisomo binti yake.
“Kwanini mama? Mimi nampenda Issa”
“Naelewa unampenda lakini maswala ya ndoa yanahitaji subira,unajuwa kuwa upo peke yako?”
“Ndio Mama”
“Nawewe ndio unatakiwa uongoze mali za Baba yako,unatambua vitu vyake vyote?Ushawahi kuyaona mashamba aliyoyaacha kule Vikindu?”
“Hapana Mama”
“Akili kumkichwa,najua huwezi kuongoza peke yako”
“Kivipi Mama?”
“Mwanangu Katrina,mwanaume atakayekuoa inabidi awe makini sana”
“Issa,yupo makini Mama”
“Sio kirahisi kama unavyodhani,ana elimu gani?”
Hapo Katrina aliangalia chini,hakuwa na jibu la harakaharaka la kumpa mama yake mzazi.
“Nimekuuliza ana elimu gani?Niambie ukweli”
“Kaishia la saba”
“Nakushauri kitu kimoja,mshauri asome kwanza huku wewe ukimaliza elimu yako.Ndiyo mfunge ndoa vinginevyo mali za baba yako zitapotea zote.Elimu ndio kila kitu hapa duniani”
Lilikuwa ni wazo lenye mantiki kwa Katrina na aliamini kabisa bila elimu kichwani hakuna kitu kabisa, hata yeye siku moja alitamani Issa asome awe na elimu ya juu sana.Hakuweza kubaki na kitu hiko ndani ya kifua chake,siku hiyo usiku alilipeleka swala hilo moja kwa moja kwa mpenzi wake.
“Nilipenda sana kusoma sema sikupata nafasi,nitafurahi Katrina”
Issa alizipokea habari hizo kwa furaha kupita kiasi kwani alikuwa mwenye kiu ya kujuwa vitu vingi na kuamini kuwa bila elimu kichwani asingeweza kufanya lolote lile na ndiyo maana alikuwa masikini wa kutupwa.
“Ahsantre baby kwa kukubali”
Swala hilo halikuwa na longolongo,Katrina akampelekea Mama yake habari hizo kama zilivyo,ilikuwa ni furaha kubwa sana.Shule ikaanza kutafutwa yaani ya watu wazima ,QT!Issa akaanza kuingia darasani baada ya siku nne,kuhusu maswala ya karo ya shule Dokta Khaila alisimamia,kwa kuwa Katrina alitaka kuwa karibu na Issa,ikafanywa mipango ya kuhamishwa chuo.Matokeo yake yakatumwa nchini Tanzania,akaanza kutafuta chuo.Ilikuwa ngumu kidogo kwa Tanzania hivyo alilazimika kuanza chuo mwaka wa kwanza.Hivyo ndivyo ilivyokuwa,ikifika Jioni wakati Katrina akiwa anatoka chuo alimpitia Issa shule aliyokuwa anasoma Buguruni Rozana,Mopac!
Ilikuwa ni fuaraha sana.Nafasi hiyo kwake aliifananisha na dhahabu na hakutaka kuichezea hata kidogo,Issa alisoma na watu wazima wenzake na darasani alikichimba kitabu kisawasawa na hakutaka kukosa kipindi hata kimoja darasani.Katrina akaona haitoshi akamtafutia na mwalimu wa kiingereza nyumbani,hiyo ilimfanya Issa awe bize kupita kiasi,akitoka darasani basi nyumbani atakutana na mwalimu wa kiingereza.
“Usichanganye tenses.Past tense ya Come ni Came.Go ni Went.Hapa umekosa.Hi sentensi ilitakiwa iwe hivi She came last night.Na hapa pia umekosea….”
Yalikuwa ni maelekezo kutoka kwa mwalimu wa Kiingereza,wakiwa mezani.Na hakuishia kusoma hivyo! Walivyokuwa chumbani na Katrina aliuliza maswali lukuki,sio siri Issa alianza kubadilika na baada ya wiki moja kupita angalau aliweza kuomba hata maji kwa kimombo.
“Yes drinking water baby,Cold one!Not Warm”(Ndio maji ya kunywa mpenzi,ya baridi sio ya moto)
Ni Issa ndiye alikuwa anatema ung’eng’e.
“Heee,mwaka huu nitakoma.Sio kwa kiingereza hiko baby,kama mzungu”
Katrina nayeye akaweka utani kidogo,wote wakacheka.
“Au nimechapia?”
“Hapana”
“I want to sleep.Don’t forget to switch off the light”(Nataka kulala usisahau kuzima taa)
“Okay baby,ilove you”(Sawa mpenzi,nakupenda)
“Me more than a word love says”(Mimi zaidi hata la neno lenyewe)
“Darling hilo neno umelitoa wapi?”
Katrina alishtuka Issa aliongea neno ambalo hata yeye hakulitarajia,ndio maana akamwangalia huku akitabasamu, aligundua ni jinsi gani alivyobadilika.
“Juzi nilikuwa naagalia movie ya Ramsey Noah”
“Ile ya Nigeria yupo na Geneviv?”
“Ndio Darling,hilo neno nikaiba huko.Nikasema siku ukinigusa tu nakupa”
“Ha! Haa! Haaa! Haaaa! Haaaaa!”
Ilikuwa ni furaha sana kwa wapenzi hawa,Katrina akasogea karibu na kumkalia mpenzi wake juu ya miguu yake,akatoa ulimi wake wakaanza kunyonyana midomo yao kimahaba,sio siri walipendana kupita kiasi na walikuwa wenye furaha sana.
“Twende chumbani Katrina”
“Poa”
Msobemsobe wakaingia mpaka chumbani huko walitupana na kuanza kuvuana nguo zao harakaharaka huku wakipigana mabusu na baada ya kutomasana kwa muda wa dakika moja nzima wakaanza kufanya tendo ambalo watoto hawaruhusiwi kuona!
*************
Kufumba na kufumbua maisha ya Issa yalikuwa yamebadilika kwa kiasi cha kutosha alikuwa ana ngozi nyeusi lakini ilionekana kutakata,hakuwa Issa wa kipindi kile anauza mitumba Manzese,alinona na mashavu yakapanda juu kiasi.Hiyo ni kutokana na kuwa mwenye furaha muda wote mbali na hapo Katrina alijuwa kumtunza vizuri.Dokta Khaila pia alimpenda sababu alijuwa ndiye mwanaume pekee anayempa furaha binti yake,miezi ikasogea harakaharaka, kozi aliyokuwa anasoma Issa akamaliza na kutunukiwa cheti,licha ya kumaliza kozi aliyosoma.Katrina alimshauri aendelee kupiga kitabu na ilibakia mwaka mmoja kwa Katrina kupokea shahada yake ya udaktari huku Issa akisomea maswala ya biashara.
Hayo ndiyo yalikuwa maisha yao,wa kwanza kupokea shahada alikuwa ni Katrina na alipata alama za juu sana,hiyo ilimfurahisha sana Mama yake kwa mapenzi akampa zawadi ya gari pamoja na nyumba mbezi beach,Siku hiyo Katrina alilia kwa furaha mno alivyokabidhiwa nyumba na mama yake.Na ilimaanisha kwamba hakutakiwa kwenda peke yake kuishi, ilikuwa ni lazima awepo na Issa na hicho ndicho kilichofanyika,huko ndipo maisha yao yalipoanzia.Ilikuwa ni nyumba kubwa tena ya kisasa,Mama yake hakumpa nyumba na gari peke yake pia alimuajiri Katrina katika hospitali yake ya Aghakhan akawa miongoni mwa madaktari katika hospitali hiyo akilipwa mshahara kama wafanyakazi wengine.
Jambo lililofanya ale na kujikimu katika maisha.
“Baby hii gari ni yako”
Siku hiyo Katrina alimwambia mpenzi wake.
“Baby kivipi?”
“Kivipi?Ni lako,nataka uwe una nidrive Issa mpenzi wangu”
“Mimi hata baiskeli siwezi kuendesha,itawezekana vipi”
“You know what darling,everything is possible under the sun.Give me romance”(Unajua nini mpenzi,kila kitu kinawezekana chini ya jua,nipe denda)


Haikuwa utani wala kanjanja!Watu hawa wawili walipendana na kushibana vilivyo,wakiwa hapohapo juu ya sofa walianza kunyonyana ndimi zao kama njiwa.Hakukuwa na mtu yoyote wanayeishi naye ndani ya nyumba, ndio maana walijiachia watakavyo wao sababu walikuwa huru,walikuwa juu ya sofa kubwa na laini.Katrina akaaa vizuri yaani alimgeukia Issa baada ya kuipanua miguu yake huku na kule akawa anamuangalia usoni.
“Issa nakupenda sana”
Alivyosema maneno hayo,akashika mashavu ya Issa na kumvuta midomoni mwake wakaanza tena kulana denda kwa fujo,Katrina akaona isiwe tabu.Akaanza kuvua nguo ya Juu ya Issa, hiyo ilimaanisha tayari alikuwa mwenye morali ya kufanya ngono.Hata Kwa Issa nayeye ilikuwa hivyohivyo,alikuwa mwanaume aliyekamilika kila idara kwa maana hiyo alikuwa tayari kapandisha mori,akazungusha mikono yake mgongoni kwa Katrina na kuteremsha zipu ya gauni alilolivaa,akapapasa mgongo wa Katrina kwa nyuma akakumbana na sidilia,akatoa ‘lock’ zake,kifua cha Katrina kikawa wazi chuchu zake zilikuwa zimesimama kama miba,jinsi nyama zao zilivyogusana ikasababisha damu zao ziende mbio kuliko kawaida,hapo ndipo walipoanza kuvuana nguo zao,Katrina akasimama kwa haraka akatoa gauni lake lote na kumvua nguo Issa,akaanza kumtomasa.Mara masikioni,mara amkwaruze kifuani.Mara ashushe mkono wake mpaka kwenye ndizi,ilimradi vurugu za mahaba,Issa alikuwa amelala juu ya Sofa,hakutofautishwa na mtu aliyepalalaizi mwili wake ukawa kama umepigwa ganzi,wakaendelea kupigana mabusu na kunyonyana ndimi.Walivyoona kila kitu kipo sawa Katrina akakaa sawa akapanua miguu yake huku na kule kisha kuingiza ndizi ndani ya mgodi wake,hapo ndipo mechi ilipoanza!Siku hiyo kama Seble ingekuwa na mdomo basi ingesema,jinsi walivyoitumia iliogopesha,mara wawekane juu ya meza.Mara Katrina ashike stuli,ilimradi raha tupu na baada ya dakika sita kila mtu alikuwa hoi,walikuwa chini juu ya kapeti lenye manyoya sababu hapo ndipo walipomaliza na kufika mshindo.
“Nakupenda sana Issa”
Katrina alisema na maneno hayo yalitoka kabisa ndani ya kiini cha mtima wake,hakutania hata kidogo.
“Nakupenda pia Katrina”
“Kweli mpenzi?”
“Ndio love”
Hivyo ndivyo ilivyokuwa siku zote.Katrina hakuwa mtu wa longolongo kama alivyohaidi,wiki moja baadaye Issa akaanzishwa ‘driving school’ili baada ya kufuzu masomo ya udereva apatiwe leseni kisha baadae akabidhiwe gari,hayo ndiyo yalikuwa mambo yanayopita kichwani kwa Katrina kila kukicha.Na hilo lilifanikiwa sababu mwezi mmoja baadaye Issa aliweza kuendesha gari mwenyewe na kupatiwa cheti cha udereva na Leseni yake pia,hiyo ilikuwa furaha kubwa sana kwa Katrina.Badala ya Katrina kuendesha gari ikawa ni Issa.Katrina alivyomaliza shughuli zake alimpigia simu Issa kwenda kumchukuwa huku akiendelea na masomo yake.Siku zote penye nia pana njia hatimaye Issa akamaliza shule na kutunukiwa cheti cha biashara hiyo ilikuwa furaha kubwa sana kwa Katrina na Dokta Khaila kwa ujumla.
Marehemu Kapoor aliacha sheli za mafuta alizoziita Big Bon.Kutokana na elimu aliyokuwa nayo Issa ilibidi akabadhiwe akawa kama Meneja wa sheli hizo,yeye ndiye alikuwa msimamizi mkuu,akapewa ofisi kubwa na nzuri Kariakoo Msimbazi.
Kwa Issa mambo yakawa yamebadilika kwa kiasi kikubwa sana,kufumba na kufumbua alikuwa mwenye maisha mazuri kupita kiasi.Bado hakutaka kuamini kama amepata zali kama hilo,hio ilifanya anenepe na ngozi yake kubadilika rangi,Issa akatakata.Ungebahatika kumuona na kuambiwa kuwa alikuwa muuza mitumba manzese habadani ungebisha.
“Bosi,chai au kahawa?”
“Nipe kahawa”
“Sawa”
Mbele yake alisimama sektretari wake aliyefahamika kwa jina la Naomy Naftal,alikuwa ni msichana mdogo mrembo wa kiarabu aliyeajiriwa na Katrina mwenyewe.Naomy Naftal alimuheshimu Issa kama bosi wake ingawa kuna kitu alikihisi ndani ya moyo wake ndiyo maana muda wote alitamani kuingia ofisini kwa Issa, ilikuwa wazi kuwa alihisi kumtamani Issa kingono na ndiyo maana alifanya jitihada zote ili kumvuta karibu lakini mitego yake ilionekana kugonga mwamba,kila siku Naomy alibadilisha nguo fupi niya yake ilikuwa ni kumtega bosi wake.
“Bosi kahawa tayari”
Naomy alifika siku hiyo ofisini akiwa ana sketi fupi ambayo ilionesha mapaja yake,akainama kidogo na kuweka kikombe cha kahawa mezani na alifanya hivyo kwa makusudi sababu kifua chake alikipiga jeki,nusu ya maziwa yake yalikuwa wazi.
“Ahsante,kaendelee na kazi”
Sio kwamba Issa hakuyaona maziwa ya Naomy mwili wake ulimsisimka kama mwanaume lijali lakini hakutaka kuhamisha mawazo yake kwa kufanya hivyo aliamini kuwa ni usaliti mkubwa sana.
“Ahsante”
Naomy akasema kwa kujishaua huku akimwangalia Issa machoni,macho yake alikuwa ameyalegeza kupita kiasi.
“Bosi”
“Naomi kaendelee na kazi”
Issa alisema bila kumuangalia Naomy usoni alikuwa bize sana na karatasi zilizokuwa juu ya meza yake.
“Lakini bosi ni…”
“Niitie Yona Mtaita”
Issa hakumuangalia usoni msichana huyu mdogo anayejitahidi kujipendekeza kwake na kutaka mazoea.
“Lakini bosi”
“Yes”
“Juzi yule mkurugenzi wa Oilcom alikuja hapa”
“Alisemaje?”
“Alikuwa ana shida nawewe”
“Hakuacha maagizo?”
“Hapana kasema mpaka wewe uwepo”
Naomy mbali na kumuheshimu tajiri yake lakini siku zote alikuwa msichana mapepe asiyekuwa na mshipa wa aibu kichwani,akawa anaongea huku anazunguka upande wa kiti kikubwa alichokuwa ameketi Issa anaandika mambo Fulani kwenye karatasi ili amvae na kumla denda.
Kabla ya kumfikia ghafla mlango wa ofisini ukafunguliwa,Issa alitaka kujua ni nani aliyeingia ofisini kwake bila kubisha hodi hapo ndipo macho yake yalikumbana na Katrina kakunja sura.
“Wewe Naomy unafanya nini hapa?”
Katrina aliuliza kwa hasira za waziwazi,jicho lake lilikuwa kali kupita kiasi wivu umemshika anamtizama Naomy kuanzia juu mpaka chini.
“Nakuuliza unafanya nini huko?”
Alikuwa ana haki ya kuuliza sababu Naomy alikuwa anazunguka upande aliokuwa Issa kumjulisha nguo alizovaa ndiyo ikamfanya Katrina aanze kuhisi kwamba hakukuwa na usalama wowote ule,kifupi wivu na hasira vilimkaba kwa wakati mmoja!Hiyo ilimfanya Naomy apate kigugumizi cha ghafla sababu hakuwa ana kitu cha kujitetea.
“Ni ni ni….”
“Nilimuita mimi aje kunionesha hii program kwenye kompyuta hapa”
Issa akadakia ili kumtetea Naomy,alielewa nini kingetokea sababu Katrina akikasirika moto wake unakuwa sio wa kitoto.
“Issa acha kumtetea na sijakuuliza wewe”
Katrina akaongea kwa ukali.
“Kwahiyo mnafanya hii ofisi ni dangulo?”
Katrina akauliza ni wazi alishikwa na wivu na jinsi Naomy alivyokuwa amevaa ilimtibua kabisa.
“Wewe kahaba Naomi,naongea nawewe”
“Katrina,Naomy alikuwa an…”
“Nyamaza,nita deal nawewe nyumbani Issa.Niache niongee na kahaba wako”
“Katrina..”
“Issa tuheshimiane”
Hiyo ilimfanya Issa akae kimnya lakini ki ukweli jambo hilo lilimuuma sana na hata siku moja hakutarajia kama Katrina angemdhalilisha namna hiyo.Katrina aliendelea kumfokea Naomy kama mtoto mdogo kisha akaondoka zake.Hiyo ilimfanya Issa asiendelee na kazi kichwa kikawa kimevurugika na alilichukulia jambo la kutukanwa na Katrina mbele ya Naomy ni kama dharau.
Jioni ilivyofika alifunga ofisi,akawasha gari na kurudi nyumbani ambapo huko alifika na kuoga akajitupa kitandani.Hakukaa sawa Katrina nayeye akawa ameingia.
“Daaarling”
Katrina akaita kwa tabasamu na bashasha kana kwamba hakukuwa na kitu chochote kinachoendelea.
“Darliiing”
Akaita tena.Na sio kwamba Issa hakusikia anaitwa bali alikuwa bado amechukia na hakujisikia kumuongelesha Katrina siku hiyo, wakati mwingine alitamani kuweka nguo zake ndani ya begi na kuondoka zake lakini hakutaka kuchukuwa maamuzi ya haraka kama hayo.
“Bebiii,mbona nakuita huitiki?”
Katrina alivyoingia chumbani aliuliza swali,hakuelewa ndani ya moyo wa Issa kuna nini.
“Darling kuna nini?”
“Sio kitu”
“No,niambie”
“Katrina leo umenikera sana,sikupenda”
Issa alifunguka,hakutaka kubaki na dukuduku moyoni sababu aliogopa kubaki na kiungulia.
“Baby I’m sorry.Ni hasira na wivu,usikasirike”
“Sijapenda Katrina,usifanye kitu kama hiko tena”
“Sitorudia”
Ni wazi kuwa Katrina alilijuwa kosa lake ndio maana akawa mdogo na kukubali kosa lake ili maisha yaendelee.
Kuanzia siku hiyo maisha yalikuwa ya raha mustarehee.Na siku zote walifikiria kutumia pesa ili kupata pesa na kwa kuwa Issa alisomea masomo ya biashara kazi yake ilikuwa ni kutoa ‘business plan’ nini kifanyike ili utajiri walioachiwa uongezeke.Siku moja Issa aliibuka na wazo kabambe.
“Tununue mashamba ya miti ya mbao.Kuna pesa kule”
Issa alishauri siku hiyo asubuhi kabla ya kwenda kwenye shughuli zao za kuwapa mkate wa kila siku.
“Kwanini unasema hivyo?Nishawishi”
“Faida yake haitaoonekana sasa hivi.Itachukuwa muda kidogo,miaka zaidi ya kumi”
“Mmmh,mbona mingi sana.Hiyo pesa si bora tujenge gorofa moja Kariakoo pale.Tupangishe,mfano pale Kariakoo sasa hivi frem kwa mwezi sio chini ya laki sita.Tunajenga gorofa,chini frem juu hoteli.Mimi sijasoma biashara lakini nimekupa wazo,unaonaje Love?”
“Hiyo nayo itachukuwa muda kidogo”
“Tutachukua mkopo benki”
“Mambo ya benki mimi naogopa”
“Usijali,niachie mimi”
Katrina na Issa walikuwa wakinywa chai lakini walifanya kikao kidogo kilichokuwa kizito mno.Mbali na kuwa na pesa lakini Katrina hakuridhika hata kwa Issa ilikuwa hivyohivyo pia.Haukuwa utani baada ya siku tatu Katrina alianza kufanya michakato ya kuomba mkopo benki,hakufanya peke yake alimshirikisha Mama yake.
Kwa kuwa walikuwa na mali nyingi sana hilo halikuwa tatizo,barua ikaandikwa na kutumwa Diamond Trust Bank na kabla ya benki kutoa mkopo ilibidi atumwe wakala mmoja achunguze mali za Katrina na biashara gani anasimamia.
“Ndio,hizi ni sheli.Aliniachia Marehemu Baba yangu.Hata hivyo nina mashamba pia ya katani Tanga,nina nyumba moja hapa Dar.Mbali na hapo hii hospitali inaendeshwa na Mama yangu mzazi,yeye ndiye mdhamini wangu”
Katrina alikuwa anajielezea huku mkononi akiwa ameambatanisha karatasi kama kithibiti,mambo hayakuishia hapo wakala wa Diamond Trust Bank akataka kuhakikisha mali hizo kwa macho yake mawili,wakaambatana na Katrina mpaka Mbezi beach.
“Hapa ndio nyumbani kwangu”
Katrina alimwambia Mr.Thomas Martin baada ya kumfikisha katika nyumba yake ya kisasa anayoishi.
“Sawa,basi njoo ofisini Jumatatu ili uonane na Branch meneja”
“Okay,ngoja nikudrop unapoenda”
Hivyo ndivyo ilivyokuwa!Kabla ya kupewa mkopo Katrina alianza kuwatafuta wakandarasi maarufu mjini ili baadaye wachonge ramani ya gorofa,aliamini kwamba haikuwa kazi ndogo kwa msichana mdogo kama yeye lakini alipiga moyo konde na kujiamini kuwa anaweza.Baada ya kufanya upekuzi wake akaambiwa amtafute Mr.Mike Urio mkandarasi aliyechora ramani ya jengo la Benjamin Tower,haikuwa kazi ngumu kumsaka mpaka kumpata.
“Unataka gorofa ngapi?”
Mr.Mike Urio alimuuliza Katrina siku hiyo wakiwa Girrafe Hotel kwa ajili ya kikao hicho,Issa akiwa pembeni anasikiliza.
“Gorofa sita”
“Sawa,inabidi pia nione hilo eneo”
“Nitakutafuta ili nikuoneshe”
Baada ya kikao kuisha alimtafuta mwarabu aliyeitwa Mwisheshe huyu ndiye alikuwa anauza kiwanja kidogo alichoachiwa urithi.Mambo yalienda ngazi kwa ngazi tena kwa mpangilio.Japokuwa eneo la kiwanja lilikuwa dogo lakini Katrina alikuwa ana mikakati yake kichwani.
“Baby kiwanja hiki mbona kidogo?”
Issa akauliza baada ya kuoneshwa kiwanja.
“Subiri,hapa tukishajenga tutanununa hapo mbele kisha tunavunja inakuwa parking”
Mambo yalikuwa mubashara kwa binadamu hawa wawili wapenzi,baada ya wiki moja bank ya DTB ilimuingizia shilingi milioni 600 Katrina kwenye akaunti yake na kuanzia siku hiyo,hekaheka zikaanza.
Vibarua wakaanza kufanya kazi yao baada ya kiwanja kununuliwa.Issa akawa ana kazi moja tu,kuandika vitu vitakavyotakiwa.Baada ya kukamilisha hilo Katrina akaanza kutafuta makampuni ya kusambaza mahitaji hayo yaani ‘supplier’.Maelezo aliyoyapata ni TRANSCONTINENTAL GENERAL SUPPLIES ilikuwa kampuni ya kusambaza vifaa vya ujenzi,hapo hapo akapewa namba za simu za mkurugenzi wa kampuni hiyo,akaruka hewani.
“Halloo,naongea na nani?”
Sauti ya upande wa pili ilisikika baada ya simu kupokelewa.
“Samahani sijui nazungumza na Mr.DEO KAREKEZI?”
“Ndio,nikusaidie nini?”
“Nahitaji vifaa vya ujenzi”


Watu wengi walimtuliza Deo wakimsihi apunguze hasira lakini haikusaidia!Muda wote alikuwa akilia tu tena kwa hasira na wakati mwingine alitamani achukuwe panga au rungu amdhuru mtoto mdogo wa kizungu ambaye alizaliwa na mkewe,bado hakutaka kukubaliana na hali hiyo, ndiyo maana muda wote aliutumia kwa kunywa pombe kali sana,analewa na kulala.Hakuelewa amfanye nini Marietha aliyekuwa bado yupo hospitalini,kufumba na kufumbua mambo yaligeuka ghafla.Lilikuwa ni pigo kubwa kuliko yote yale duniani ambayo aliwahi kukutana nayo,jinsi kichwa chake kilivyojaa mawazo ilifanya mpaka ahisi kinataka kupasuka,Deo alishinda ndani na hakutaka kuongea na mtu yoyote yule sababu alihitaji kuteta na moyo wake kwanza kabla ya yote, hiyo ilimfanya mpaka azime simu zote na aliacha ujumbe kwa mlinzi kuwa asiruhusiwe mtu yoyote yule kupita,siku mbili nzima alikuwa chumbani kwake,chakula hakikupanda kabisa alimuwaza Marietha na mtoto wa kizungu aliyezaliwa, ni wazi kuwa alikuwa wa Amadour mwanaume wa kifaransa.Shetani alimvaa na kumtuma anywe pombe akimdanganya kuwa atapunguza mawazo,hiyo ilifanya kwa siku aweze kumaliza chupa mbili mpaka nne za Dompo na baada ya hapo alikuwa akilia na kutukana matusi kisha kulala lakini alivyozinduka habari ilikuwa ileile,sio siri Deo alipungua uzito kwa kiasi cha kutosha.
Mawazo yalimkondesha,siku moja alikuwa ndani kwake chumbani alihisi kuna kelele getini na alimsikia mlinzi wake anazungumza na watu,hiyo ilimfanya asimame kutoka kitandani akavaa bukta na kutoka mpaka nje.Akakutana na Biko analumbana na watu ambao hakuwajua sababu walikuwa nje ya geti bado.
“Biko wakina nani hao?”
Deo akauliza,kilichomshangaza sana ilikuwa bado ni alfajiri.
“Sijui bosi”
Hiyo ilimfanya Deo mwenyewe atembee mpaka getini na kutoa kichwa chake nje.Akawaona Tujaely Mnzava,Agricola,Tatu Kiondo na Melisa.Wote hawa walikuwa marafiki wa Marietha na Deo aliwatambua,mbali na hayo alielewa fika kuwa ni kitu gani kimewaleta asubuhi kama hiyo.Ingawa alitoa kichwa nje lakini hakuongea chochote, alibaki akiwatizama kwa maana hiyo aliwasubiri waanze kusema shida zao.
“Shemeji za asubuhi?”
Mwanamke mmoja aliyeitwa Mellisa ndiye alikuwa wa kwanza kutoa salamu baada ya kuona wenzake wanasua.
“Salama”
“Tunaweza kuzungumza kidogo?”
“Kuhusu nini?”
Deo akajibu kwa swali.
“Naomba tuingie ndani tuongee”
Kufuatia hapo Deo alikaa kimnya na kuwatizama tena upya,hakuwa mwenye jibu la kuwapa hapohapo.
“Kama ni habari za Marietha,naomba msijisumbue.NIACHENI,narudia tena kama ni habari za Marietha naomba msijisumbue.Mmenielewa?”
Kwa namna ambavyo Deo alivyokuwa anaongea ilifanya waogope na ni kweli sababu ya msingi iliyowapeleka asubuhi hiyo walitaka kuzungumzia habari za Marietha na walitaka kumuweka Deo kikao.
“Sawa”
Tujaely akadakia lakini kwa wasiwasi sana.Deo na wanawake waliofika siku hiyo wakaongozana mpaka seblen ambapo walikaribishwa na kuketi,nyumba ya Deo iliwafanya wahofie sana sababu chupa za pombe kali zilizagaa kila kona.
“Semeni shida yenu”
Deo akasema na alitaka kujuwa nini kiliwaleta watu hao asubuhi kama hiyo.
“Shemeji”
Huyu aliitwa Agricola ndiye aliyemuita Deo na kukaa vizuri, ilielekea ndiye alikuwa muongeaji kuliko wenzake.
“Naaam”
“Kwanza pole alafu hongera”
Agricola akaongea na kunyamaza akitegemea neno ‘ahsante’ kutoka kwa Deo lakini hakupewa jibu lolote, Deo alibaki kumwangalia machoni kwa umakini sana hiyo ilimfanya aendelee kuongea.
“Siku zote mtoto akishika kinyesi mkono haukatwi unaoshwa kisha ana onywa na maisha yanaendelea”
“Ni kweli”
Tujaely akadakia.
“Upo sawa kabisa”
Tatu Kiondo nayeye akatia neno.
“Upo sahihi”
Melissa hakukosa la kusema.Deo hakutaka kujibu chochote alibaki tu akiwatizama sababu alijuwa nini mwisho wake lakini alitaka kuwasubiri wamalize kuongea.
“Shemeji wewe ni msomi na ni mtu mzima vilevile al…”
“Embu sikilizeni,mna shida gani?Nini kimewaleta hapa kwangu?Hizo mithali mithali zinatoka wapi?”
“Najua una hasira Shemeji lakini hilo sio suluisho”
“Nini kimewaleta?”
“Kuhusu Marietha”
“Kama mmekuja kumuona hayupo.Yupo hospitali otherwise naomba muwende.Nyie ni watu wazima pale getini niliwaambia nini?”
“Lakini she..”
“Tuja,waambie marafiki zako waondoke nadhani unanijua.Sitaki kuwavunjia heshima”
Deo aliongea kwa ukali na macho yake yalikuwa tayari mekundu kiasi kwamba iliwafanya waogope,wote wakaanza kujizoa zoa,hakukuwa na namna nyingine ya kumfanya Deo atulize hasira zake,walichofanya ni kukodi bajaj mpaka hospitalini ambapo huko walimpelekea habari Marietha jinsi walivyotimuliwa.
“Sa..sa nitaishi vi..pi!Bor..a nimuuwe huyu mtot..o”
Marietha alizungumza kwa uchungu sana huku akibubujikwa na machozi na kwikwi ilimbana kohoni.
“Marietha usiseme hivyo,huyu ni mtoto wako”
“Ha..ta kama lakini siju.i kama nitampenda”
“Mpende tu.Mungu ana makusudi yake kufanya hivyo”
“Mungu?Hapana!Mungu hawezi kuni..acha ki..la siku nitese..ke mimi,kwanini?Ili iwe..je?Usimsingizie Mungu na msi..nipe moy..o naamini nimezaliwa niwe mtu wa ku..lia..Basi bora nife tu haina maana ya mimi kuishi ha..pa dun..iani”
Yalikuwa ni maneno ya kuchoma na yalimsikitisha kila mtu aliyemzunguka,Marietha aliongea huku akimwaga machozi ya uchungu, ni wazi kwamba vikwazo alivyokuwa anapitia vilitosha kusindikiza na maneno aliyokuwa anayatoa kifuani kwake,Tujaely alishindwa kuvumilia akajikuta anatoa leso na kujifuta machozi,alimuurumia sana Marietha na aliguswa kwa kila kitu kilichotokea mbali na hapo alikuwa ni mwanamke mwenzake.Kazi ikaanza upya ya kumtuliza Marietha asilie lakini jitihada zote ziligonga mwamba.
Walimfariji na kumpa moyo wakimwambia kwamba kila kitu kitakwisha na uzuri siku hazigandi.
“Hii ai..bu nitaiwek..a wapi Tujaely?Ungeku..wa wewe ungefanya ni..ni?Ungefa..nya nini?Lakini nilikwambia tangu mwanzo,niitoe hii mi..mba.Yote umetaka wewe.Nakuchukia sana”
Bado Marietha aliongea huku akibubujikwa na machozi yakapita mpaka mashavuni na kudondoka chini, akaanza kumtupia lawama rafiki yake.
“Marietha usiseme hivyo”
“Nisem..e nini Tuja?Mtoto yuko wapi?Nataka nimuuwe”
“Marietha”
“No,nipe mtoto”
Hicho ndicho kitu ambacho kingeenda kutokea endapo Marietha angepewa mtoto ikawa ngumu kukabidhiwa.
“Nipeni mtoto wangu basi..ii”
Marietha akaendelea kupayuka,akataka kutoka kitandani bahati mbaya akateleza na kudondoka chini puuu,hapohapo akapoteza fahamu zake!
**********
Kama ilivyo kawaida ya tabia za Kibongo!’Mjini utanyimwa chakula lakini sio maneno’Habari za mke wa Deo Karekezi kuzaa mzungu zilienea kwa kasi ya umeme na haikuleweka ni nani aliyekuwa anasambaza habari hizo, kuna wengine walibisha lakini kuna baadhi yao walitaka kushuhudia na kwenda hospitali hivyo ilijulikana habari hizo hazikuwa uvumi bali ni kweli.
“Aiseee,Sijui Deo itakuwaje?Ningekuwa mimi,yule mwanamke sijui ningemfanya nini?Kazaa na mzungu?Sasa mzungu kamtoa wapi?”
“No Pascal yule mke wa Deo ni Malaya,malaya mbwa.Yupo kimaslai zaidi,yule hata ukimtaka wewe unamchukua dau lako tu”
“Hapana bwana,haiwezekani”
“Mimi ndio nakwambia kabla ya hapo alikuwaga na bwana ake Fulani hivi huko Manzese Deo ndio akaja kumpora mchizi,akamuoa.Demu bado ana chembechembe za umalayaaaaa,demu yule Malaya.Na isitoshe Deo ana ukimwi tayari”
“Sikia nikwambie Domo,tatizo unaropoka tu.Hivyo vitu unavyozungumza una uhakika navyo?”
Mambo aliyokuwa anaongea mwanaume aliyeitwa domo yaliendana naye sababu alikuwa ana mdomo mkubwa mno, kutokana na mdomo wake kuwa mkubwa wengine walimbatiza jina na kumuita chai jaba, hiyo ilitokana na tangazo la majani ya chai lakini kwa majina aliitwa Matto Peter!
“Kama unabisha mfano yule mkewe akitoka hospitali kama una laki moja unamtomb***kiulainiii kabisa”
“Kumbe yule mwanamke wa hivyo mimi nilikuwa namuheshimu sana,mtoto mzuri kama yule anakosa nini kwa Deo”
“Nimekwambia yule malaya yupo kimaslai.Wewe hunielewi”
“Sasa hivi Deo yuko wapi?”
“Sijui,hapatikani kwenye simu”
“Isije ikawa amejinyonga”
“Deo mjanja,sio limbukeni wa mapenzi mpaka ajinyonge.Ninavyomjua mimi atakuwa sehemu tu anakunywa pombe.Kwanza mtafute Mtui ndio tutajua wapi alipo Deo,yule ni mwanaume mwenzetu inabidi tukae naye chini tumwambie”
“Namba ya Mtuiiii,ngoja niicheki kama ipo”
“Fanya hivyo maana ndiye rafiki yake mkubwa sana.Na usikute sasa hivi wapo wote wanalewa”
Kikao hiko chenye kelele na matusi kilifanyika ndani ya baa ya Mikasa maeneo ya Tabata,siku hiyo walimjadili Deo na ilikuwa ni lazima aitwe ili wamshauri ni kitu gani akifanye lakini kabla ya kufanya hayo yote ilikuwa ni lazima apigiwe simu mtu aliyeitwa Mtui.Jambo hilo lilifanyika na bahati nzuri Mtui alipatikana hewani.
“Sawa nakuja,Mpo hapo Mikasa?”
Mtui aliuliza.
“Ndio”
“Sawa nakuja”
Vijana waliagiza vileo na kuendelea kumjadili rafiki yao Deo jinsi gani wamsaidie kama mwanaume mwenzao!Lisaa limoja baadaye Mtui alikuwa anapaki gari yake akashuka na kuwasalimia wote kisha kuketi,vinywaji vikaletwa.
“Hivi Deo yuko wapi?”
Bwana pascal alianza kuuliza,alitaka kumchimba Mtui.
“Deo?Deo sijaonana naye muda sana.Mara ya mwisho ilikuwa miezi kama miwili nyuma”
“Wapi?”
“Nilikutana nayee,Naniiii.Hapaaaa hapaaa wanapaitaaa”
Mtui akaonekana kufikiria kidogo,akijaribu kuvuta kumbukumbu.
“Chang’ombe,hii supermarket ya pale sheli ya Okobil”
“Mpaka leo?”
“Ndio mpaka leo,juzi nikampigia simu hakuwa hewani mpaka jana najaribu hapatikani.Sababu mkewe alikuwa mjamzito nataka nimjulie hali”
“Mtui ina maana hujui kuwa Mke wa Deo kajifunguaaa tayariiii?”
“Kajifunguaaaa?Hapana sijui”
“Acha maigizo”
Jibu la Mtui liliwafanya wamshangae, haikuwezekana hata kidogo habari za Marietha asizijue.
“Nawaambieni ukweli.Kwani yuko wapi?”
“Sisi tukuulize wewe”
“Mimi sijui alipo,hapatikani hewani.Lakini hakijaharibika kitu. Kwenda Nitaenda kwake leo hii”
Wazo hilo lilikuwa jipya.Na ikafanya kila mtu atake kwenda nyumbani kwa Deo ili ajue nini kilimpata.Ni kweli haikuwa utani Mtui alikazia swala hilo na nusu saa baadaye waliingia ndani ya gari lake na safari ya kwenda kwa Deo kuanza mara moja,kulikuwa kuna giza la usoni yaani, saa moja jioni.Kutoka Tabata mpaka Kimara iliwachukuwa dakika sitini na saba,mpaka wanafikia nyumba ya Deo ikalazimika wapoteze dakika nyingine mbili kutokana na msongamano wa magari.
“Piii piiiiiiii”
Mtui akapiga honi Mlinzi wa getini akafungua geti dogo ili ajuwe ni nani anapiga honi,akasogea mpaka karibu na gari.
“Hujambo?”
Mtui akatoa salam.
“Sijambo..Shikamoo”
“Nimemkuta mzee”
“Ndio yupo”
“Mwambie Mtui kafika,au fungua geti”
“Kasema hataki kumuona mtu yoyote”
“Embu fungua geti kijana”
Mtui alivyoona zoezi linakuwa gumu akafungua mlango wa gari na kushuka lakini kichwani alijuwa kuna tatizo kubwa linamsumbua rafiki yake kipenzi,akatembea mpaka getini na kuingia ndani.
“Hodii hodiiii…Deooo Deoooooo”
Mtui aliita kwa sauti ya juu baada ya kufika seblen lakini hakuitikiwa na mtu yoyote yule na chini kulikuwa na chupa nyingi za pombe kali.
“Deooooo,Deooooo”
Akaufikia mpaka mlango wa chumbani na kuanza kupigapiga lakini pia hakuitikiwa.


“Deoo,Deooo”
“Naniii?Mtui?”
Sauti kutokea ndani ndiyo iliyosikika ilikuwa wazi kabisa alikuwa ni Deo lakini alizungumza kwa kukoroma kuashiria kuwa alitoka kwenye usingizi mzito,sekunde moja baadaye mlango ukafunguliwa.Deo akatokeza,macho yake yalikuwa mekundu na alionekana kuchoka kuliko kawaida hiyo ilifanya mpaka Mtui amuangalie kuanzia juu mpaka chini bila kum-maliza.
“Vipi Deo?Mbona unalala sasa hivi?Unaumwa?”
“Nimechoka tu,uchovu.Umekuja muda mrefu?”
“Ndio nimeingia nipo na akina Domo”
“Umekuja nao?”
“Ndio”
“Subiri nivae basi nitoke”
“Poa,nakusubiri”
Kama ingekuwa amegonga mtu mwingine mlango wake Deo asingefungua,hiyo ilitokana na kumuheshimu Mtui vinginevyo asingejisumbua kufungua mlango,alichofanya ni kupita moja kwa moja bafuni na huko alijimwagia maji na kuvaa nguo,akapitiliza mpaka seblen.Akawakuta marafiki zake wanamsubiri kwa hamu kubwa sana.
“Naona leo mmenivamia,Domo ndio ulinitupa kabisa”
Deo alionesha tabasamu kana kwamba hana matatizo ya aina yoyote yale.
“Sio kweli Deo mara ya mwisho tulikutana kwenye msiba wa Mzee Mocha”
“Sasa Mzee Mocha alifariki mwaka gani?Si mwaka juzi.Anyway karibuni.Pascal vipi mambo”
Deo alizidi kuwachangamkia washkaji zake na ilikuwa mara aseme kile mara arukie hivi, hakutaka kujifanya ana matatizo kabisa hiyo ilifanya mpaka washindwe kujua waanzie wapi.
“Tukae hapahapa au twende mahali tukapate mbili tatu”
“Twende tukapate mbili tatu maana nina kiu sana”
Mtui akashauri,mchaga huyu na bia ilikuwa ni sawa na shuka chafu na kunguni.Kufatia kauli hiyo hakuna hata mmoja wapo aliyepinga wote wakaungana na kuingia ndani ya magari kisha safari ikaanza ambapo walifika baa moja maeneo ya Kimara baruti hapo ndipo Deo alipoweka gari kando ili kwenda kupooza makoo yao,nyuma yake akapaki gari Mtui wote wakateremka na kutafuta kona ya mwisho.Baa ilichangamka na ilikuwa na wahudumu wa kutosha,baada ya kusikilizwa vinywaji vililetwa na kuanza kunywa huku wakipiga stori za hapa na pale.
“Deo,shem vipi! Mzima?”
Mtui ndiye aliyeanza kuuliza akimaanisha Marietha.Swali hilo lilimfanya Domo na Pascal watege masikio yao vizuri sababu walitaka kumsikia Deo angejibu nini.Lakini badala ya Deo kujibu aliweka glasi ya bia mdomoni sio kwamba hakusikia swali bali hakutaka kusikia habari za Marietha hata kidogo.
“Psii psiiiiiii”
Deo akapiga mluzi muhudumu akasogea.
“Mtu wa jikoni yuko wapi?”
“Ngoja nikuitie”
Mbali na kuhisi tumboni hakuna kitu, Deo alitaka kuzuga kwa staili ya kuagiza chakula,kijana wa jikoni alivyosogea,akamsikiliza.
“Una nyama choma?”
“Mbuzi au ng’ombe?”
“Mbuzi”
“Ndio kiongozi”
“Niletee ya elfu thelathini na ndizi kumi.Mtui Mbuzi si anapanda?”
“Unauliza swali au jibu?”
“Ha ha haaaa.Sawa leta basi,weka kila kitu”
“Sawa kaka”
Baada ya kutoa maelezo hayo,stori ziliendelea kama kawaida.Na mtu aliyeonekana kuchangamka kuliko wenzake ni Deo, jambo hilo liliwafanya Domo na Pascal washindwe kumuelewa hata kidogo sababu haikuwezekana mtu mwenye matatizo kama yeye awe mwenye furaha namna hiyo.Ni wazi kuwa Deo alibeba matatizo makubwa sana kichwani kwake na pengine angekuwa mtu mwingine asingeweza kuyamudu na sio kwamba alicheka kwa kupenda bali aliamini kwamba siku zote tabasamu huficha mambo mengi mno.
“Niletee na kisichana kidogo”
Deo akaagiza mzinga wa Konyagi alivyoona halewi alitaka achakachuwe na bia.
“Deo shemeji hajambo?”
Lilikuwa ni swali lilelile kutoka kwa Mtui bado alitaka kujua hali ya Marietha sababu mara ya mwisho alikuwa mjamzito.Deo hakujibu alimtizama na kuweka glasi ya bia mdomoni.
“Nakumbuka majuzi nilikuwa Paris,wale jamaa wanaishi vizuri sana”
Deo akabadili mada akapotezea swali la Mtui!
“Hivi Deo Paris kule ulienda kibiashara?”
“Hapana,nilienda kushangaa shangaa kidogo”
“Ulienda na wife?”
“Ndio”
“Kwanza hali yake vipi?”
“Mtui eeh.Embu tunywe bia.Ukiona mtu hakujibu swali ulilouliza jua kwamba hajisikiii.Mambo ya wife wangu embu tusiongelee, hapa ni baa ungeniuliza nyumbani.Tunywe bia tufurahi siku ziende”
Maneno hayo yalitoka kinywani kwa Deo na yalimshangaza sana Mtui,tangu aanze kumfahamu ama kumjua Deo hakuwahi kujibiwa majibu kama hayo,hiyo ilimfanya aanze kuhisi kuna kitu kinaendelea.
“Tugonge cheers kwanza”
Deo akasimama na glasi kisha wote wakagongesha glasi zenye bia kwa furaha na kuziweka mdomoni,hawakukaa sana nyama ikaletwa na hapo hakukuwa na maongezi, kila mtu alikuwa yupo bize na mnofu wa nyama.Nusu saa lizima walikuwa wanatafuna na nyama zilivyoisha waliendelea kunywa pombe.
“Mtuiiiiii…….”
Deo aliita na kucheua,akapiga fundo moja refu la bia na kuweka glass juu ya meza.
“Nambie rafiki yangu”
“Mwenzakoooo……..ninaaa matatizooooo makubwaaa sanaaa.Sijuii utanisaidiejeee”
Hiyo ilikuwa ni sauti ya Deo tayari alikuwa keshalewa na aliongea kilevi huku kichwa chake kikiwa kinapepesuka,anamtizama Mtui kwa umakini.Kuna kitu alitaka kukitoa kutoka ndani ya kifua chake.
“Una shida gani Deo?Wewe ni kama mdogo wangu.Ni kama nduguu yanguuuu,tumetoka mbali saaana.Najua kuna kitu kinakusumbuaa sana”
“Ulishaambiwa nini?”
“Na naniiii?”
“Wambeyaaa”
“Hapanaaa,mimi nakujuwa haupo sawa kabisa.Una niniiii?”
Deo akainama kidogo kwa kama sekunde moja hivi kisha kuinua shingo yake juu na kumtizama Mtui.
“Kuhuuusu mke wangu,Mariethaaa”
“Kafanya nini?”
“Tayari amejifunguaa,ameshazaaa”
“Sijakuelewa Deoo”
“Huwezi kuniielewaaa Mtui,Mariethaaa hawezi kunifanyiaaa mimi hivii.Kazaaa na mzunguuu.Aaah inauma saaanaa,inaumaa sanaaa”
Deo alipiga piga kifua chake kwa uchungu na machozi yalimlenga.Habari hizo zilikuwa ngeni kabisa Kwa Mtui ndio maana akabaki kinywa wazi,akasogea karibu kabisa.
“Deo,haiwezekaniii.Itakuwa sioo ukweliii”
“Sioo ukweliii?Sio ukweliii?”
“Haiwezekani”
“Ndio nakwambiaaa hiviiii…Marietha ana mtotooo mzunguuuu.Na na na naaaa”
Deo alikuwa ana uchungu ajabu kama mwanamme hakustahili kuwahadithia wenzake maana lilikuwa ni jambo la aibu sana,kila mtu alimuonea huruma na kwa upande mwingine alikuwa jasiri sana, isingewezekana hata kidogo kwa mwanamme yoyote yule kumwacha mwanamke kama Marietha hai ilikuwa ni lazima mtu atolewe uhai.
“Deo punguza jazbaaaa”
“Haki ya Mungu,nitamuuuwa”
“Haifai kabisa,haifai”
“Sasaa nifanye niniiii?”
“Mwanao Abraham yuko waaapi?”
“Yuuuko Magomeniii,kuna mtu yuko naye”
“Cha kufanya punguza kwanza jazbaa jambo hili lishatokea.Hiko ndio kipimo chako cha akili,wewe ni msomi.Amua mambo kisomi.Kwanza ilikuwaje?Huyo mzungu unamfahamu?”
“Siweziiii,Mtuii siweziii.Ungekuwaaa wewe,ungefanya niniiiiii?Ungekuwaa wewe ungefanya niniiii,msishangae siku mkisikia nimefungwaaa jela.Huyo mzungu ninamfahamu”
Deo alizungumza kwa hisia kali sana,alikuwa ana maumivu ya mapenzi.Kutokana na pombe alizokunywa ilifanya aongee kwa hasira huku akipiga piga meza,hiyo ikafanya mpaka baadhi ya chupa zidondoke chini na kupasuka.
“Deoo Deo”
“No Mtuiii lazimaa niongee kutoka moyoni mwanguuu inaniuma…..”
“Deo tuliaaaa,punguza haifai”
“Mtuii usinishikeeee,niachie”
Mzozo ulitokea mkubwa ndani ya baa,Deo hakutaka kuelewa na aliumia sana mtima.Marafiki zake walimtuliza lakini haikuwa kazi rahisi kwani aliendelea kuropoka na kutoa maneno machafu mno.
“Yule mwanamke ni malayaaaa………”Akacheua na kumuangalia Pascal usoni.
“Pascal najuaaa umeoaaa alafuuu kati ya watuu wote tuliokaa hapa weweee ni mtotoooo.Sasa nisikiliiize embu agizaaa bia nyingineeee.Tufanyee sherehee mimi naendaa kumuacha Mama watoto”
“Deooo,nisikilize mimi najua umelewaa”
Mtui aliingilia na siku zote alionekana ni mwanaume mwenye busara sana!
“Mimi sijalewaaa,nipo ngangaaaali yaaani.Psiii psssiiiii”
Ni wazi kuwa Deo alikuwa amelewa lakini alibisha na alitaka kuongeza pombe nyingine ingawa walimsihii asiongeze lakini ikawa kazi bure.
“Unajuwaaa Diamond ana akiliii sana.Kuna ile nyimbo anasemaaa niacheee nileweee eeeh niache nileweeeee”
Badala ya Deo kumaliza kusema ya moyoni alianza kucheza ndombolo ya solo mara asimame apige makofi mara akinyonge kiuno ili mradi apoteze mawazo yake kichwani.
“Domo,Domo.Deo keshalewa tufanye ustaraabu tumtoe hapaaa”
Mtui akatoa ushauri,Deo alivyopewa taarifa akagoma.
“Nyiee nendeniiiii,mimi ndio kumekucha hapa”
“Hapana Deooo,Tuondokeee”
“Weweeee Pascal,unajuwa kuwa heshima hainaaaa duka.Heshima ni kitu cha bure sanaaaa.Tueshimiane”
Lilikatika lisaa limoja lingine kumtuliza Deo arudi nyumbani,haikuwa kazi rahisi kumuweka sawa.Kwa kupepesuka akaingia mpaka ndani ya gari lakini hapohapo akatokea domo.
“Deo acha nikuendesheeee maana hali yako sio nzuriiiii”
“Weweeee nyokooo nini?Hiviii unadhaaani nimelewa.Usinizoeee hivyooo,umenielewa?Kamuendeshe baba yakoo mzaziiii shambaaa”
Kitendo cha kupewa kashfa kuwa amelewa kilimfanya atibuke kupita kiasi hiyo ilimfanya mpaka afungue mlango wa gari na kushuka.
“Weweeee domooo,unaniambiiia niniii?”
Domo akawa amekunjwa shati.Kikazuka tena kibarua kingine cha kumtuliza Deo.
“Mimi nimeleewaaaaa?Nakuuliza mimi nimelewaa.Nikupige vichwaaa”
Nje ya baa kukawa kuna vurugu mtindo mmoja mpaka baadhi ya watu wakatoka nje na aliyetuliza gasia ni Mtui peke yake,alimtoa Deo pembeni na kumuonya kwa ukarimu.
“Deooo,achanaa na watoto wadogooo.Wewe ni mtu mzimaaa.Huweezi kufanya kitu kama hichoo.Twende kwenye gari,mimi nitakaa kushotoo wewe utaendeshaaa”
Mtui alijaribu kumtuliza swaiba wake akitumia diplomasia,kutokana na kueshimiana ikabidi gari ya Mtui aendeshe Domo kisha yeye apande na Deo ilikuwa ni lazima ahakikishe kuwa rafiki yake anafika salama nyumbani.
Hapohapo safari ikaanza,Deo aliendesha gari huku akitoa matusi na katika kuropoka kwake alimtaja Marietha.
Walifika Kimara nyumbani na kuweka gari kando lakini kabla ya kushuka lilitokea gari lingine mbele yao,Deo akasita kushuka sababu lilisimama mkabala kabisa na ukuta wa nyumba yake.Akataka kujuwa ni nani anashuka,akaangalia vizuri mbele.Akashuka mwanamke mmoja mnene kiasi mfupi ingawa alikuwa yupo bwii lakini alimtambua ni Tujaely Mnzava,akafatiwa na Marietha ambaye mkononi alikuwa ameshika mtoto.Hapo ndipo mapigo ya Deo yakabadili kasi.
“Mtuiiii,nigee bastola yakooo”
Deo akasema akimwangalia Mtui kwa macho makali kama Simba.
“Mtuiii nipe bastolaa yakooo”
“Bastola yangu ya nini Deo?Embu mkemee Shetani”
“Unanipaa bastola yako hunipiii bastolaaaa?”
Ingawa alikuwa anaongea kilevi lakini sauti yake ilikuwa ina chembechembe ya ukali kidogo na ilikuwa ni lazima akampige risasi Marietha na mtoto wa kizungu endapo angepewa bastola.
“Siwezi kukupa Deo”
“OKAY”
Kwa kasi ya umeme Deo akafungua mlango wa gari na kuanza kutembea,alivyomfikia Marietha bila kuuliza akamnyakua mtoto.


Kila mtu hakutegemea kama mambo yangetokea kwa kasi ya umeme namna hiyo,jinsi alivyomnyakuwa mtoto mchanga ilikuwa ni ghafla sana.Na kwa jinsi Deo alivyokasirika ilikuwa ni lazima mtoto angepata matatizo kwa kumdhulu na hilo lilikuwa wazi ndiyo maana Tujaely Mnzava alipigia kelele na kusogea karibu ya Deo,Marietha alibaki akitetemeka na hakujuwa ni kitu gani akifanye.Na isingekuwa Mtui kutokea kwa nyuma na kuikumbatia mikono ya Deo basi mtoto mchanga angetupwa mbali kama kokwa la embe.
“Mtuiiii niachieeee”
“Deo usifanye jambo hilo,hasira hasaraaa.Utafungwa”
“Niache nifungweee”
“Marietha mchukuwe mtotooo,fanya harakaaa”
Nje ya geti kulizuka kelele nyingi,Deo alitaka kumrusha mtoto lakini Mtui alikuwa nyuma yake kamshika mikono,hapo ndipo Tujaely aliposogea na kumchukuwa mtoto huyu mchanga!
“Tuja mlete huyoo mtoto hapaaaa”
Deo akasema huku akijaribu kujitoa mikononi mwa Mtui lakini alishindwa sababu ya kuzidiwa nguvu,kila kilichotokea siku hiyo ilikuwa ni kama sinema ya kuigiza.Marietha alishindwa kuvumilia,kwake ilikuwa ni zaidi ya aibu na mbaya zaidi Deo alianza kumtukana matusi ya nguoni akimdhalilisha.
“Weweeee ni malayaaa.Tena uliye kubuhuuu.Hivi ulikosaa nini kwanguuu wewe mwanaamkee na unatakaa nini kwangu?Kama unataka kifo endelea kuja kujaaa hapaaaa.Sitaki kukuona Mariethaaaa,umenisikiaaa wewe Malaya wa kizungu”
“Deoo mdogo wangu,acha hayo mambo.Siku zote mwanaume huwa haongei hivyoo”
“Mtui nawewe niachie mimi naonaaa unataka kujifanya mtoa ushauriiii.Nasema kuwa Marietha simtaki teena”
Huo ndio ulikuwa msimamo wa Deo.Ilikuwa ni sawa na kukifuata kifo chake mwenyewe endapo angeingia ndani ya nyumba,Marietha aliogopa na isitoshe alihofia usalama wa mtoto,isingewezekana hata kidogo kwa yeye kumlea mtoto huyo ndani ya nyumba ya Deo hilo lilikuwa wazi kabisa.
“Ondokaa Mariethaaaa.Naweweee Tujaaa sitaki kukuona nyumbaniii kwanguuu”
“Deooo la…”
“Nyamazaa Tujaaa,usinitie kichefuchefuuuu ondokaa hapa”
Deo alikuwa akiongea huku akiwa mikononi mwa Mtui bado na endapo angeachiwa basi yangekuwa mengine.Kutokana na picha lilivyoenda ilibidi Marietha na Tujaely waingie ndani ya Taxi waliofika nayo,wakaondoka.Baada ya dakika thelathini na walivyohakikisha kuwa Deo kaingia ndani mpaka gari lake, wote wakamuacha na kuondoka zao.
Kila kitu kilichotokea kwa Deo alikifananisha na ndoto ya kutisha,kufumba na kufumbua kila kitu kilikuwa kimeharibika na familia yake imesambaratika.Hakujitofautisha na kinda la ndege aliyeachwa na wazazi wake,moyo ulimuuma hakuna mfano.Haikupingika kuwa anampenda Marietha na atampemda mpaka mwisho lakini ilikuwa ni vigumu sana kumsamehe kwa kitendo alichokifanya cha kuzaa na mzungu ilikuwa ni bora angemweleza mapema ili angalau waitoe mimba hapo ndipo Deo alipolipitisha swala hilo moja kwa moja kuwa Marietha alifanya makusudi na alijuwa kuwa mimba niya Amadouer.
“Wala hakumbakaaaaa.Nishaanza kupata picha”
Kitu usingizi kwa Deo kilikuwa ni kitu hadimu kupatikana siku hiyo,alijitahidi kujigeuza huku na kule kitanda kizima lakini wapi haukuja na badala yake kichwani alitawala Marietha na kutokana na jambo la kuzaa mtoto wa kizungu kwake hakukuwa na mjadala tena zaidi ya kutaka kuvunja mkataba naye wa mapenzi ingawa ingekuwa vigumu kwake lakini aliamini ipo siku atakuja kumsahau tu.
“Siwezii kuwa naye teena”
Wakati binadamu wenzake usiku huo wanakoroma yeye alikuwa katikati ya mawazo mengi sana,wakati mwingine alijihisi wenda ana mkosi ama laana.Akili yake ilivyotulia sura ya mama yake mzazi ikamjia kichwani!
“Zitakuwa laaana za Mama yangu tuuuuu”
Yote hayo aliyasema Deo akiwa kitandani anajigeuza huku na kule.
Usiku wa siku hiyo kwake ulikuwa mrefu kuliko kawaida.Asubuhi kulivyopambazuka aliingia bafuni na kujimwagia maji baada ya kutoka aliingia ndani ya kabati na kuvaa kila kitu kisha kutoka nje ambapo aliwasha gari na kulitoa nje,kichwani bado alijaa Marietha.Picha ya mtoto wa kizungu ilimsumbua sana na hata siku moja hakuwahi kuja kuwaza kwamba mapenzi yao yangekuwa na mwisho tena mbaya kama huo,ni wazi kuwa viapo walivyokula kanisani viliyeyuka kama barafu juani! Ilikuwa ni aibu sana kwa mwanaume mwenye heshima kama yeye na alijihisi kama yupo kwenye televisheni kubwa na kila mtu anamtizama yeye,kumegewa mkewe na mzungu na kisha kumzalisha mtoto ndilo jambo lililomuumiza mtima wake!Mpaka anafika katikati ya jiji na kupaki gari nje ya ofisi yake hakuwa ana raha hata kidogo,akaingia ndani ya ofisi yake,akampita kila mfanyakazi bila kutoa salamu na hata walivyomlaki yeye alipita,alikuwa mbali kifikra!Akafika na kuketi,akaweka kichwa chake juu ya meza na kuzidi kutafakari juu ya maisha yake yatakavyoenda bila Marietha sababu aliamini ndiyo tayari ulikuwa mwisho wao!Mezani kulikuwa na kazi nyingi sana zinamsubiri na alilijuwa hilo lakini aliogopa kuziangalia sababu aliamini angeharibu kazi za watu hata hivyo kichwa chake kilikuwa kizito kwani usiku wake alikunywa kiasi kingi cha pombe na hakupata usingizi hata kidogo!Wafanyakazi wake walijua siku hiyo tajiri yao hayupo sawa ndiyo maana hawakutaka hata kumfuata ofisini ingawa walitamani kufanya hivyo,waliogopa kufukuzwa kazi ama kufokewa!
“Zile oda tangu mwezi uliopita,nimepigiwa simu Jiji”
Mmoja wa wafanyakazi wa Deo aliwaambia wenzake.
“Ndio,kamwambie sasa”
“Wewe ndio inabidi uwende”
“Aah mimi nina kazi hapa”
“Kwani unashindwa kwenda mara moja tu?”
Ndani ya ofisi ulizuka mzozo wa chini kwa chini,kila mtu alimuhofia Deo siku hiyo jinsi alivyoingia macho mekundu bila kumsemesha mtu ilimuogopesha kila mtu na ndiyo maana kila mfanyakazi alimtupia mwenzake mpira aingie ofisini na kutoa taarifa.
“Kwani nani alipewa ile L.P.O?”
“Hannah Golden”
“Haa!Ni simple sana.Aende mwenyewe”
Huo ndio ulikuwa muafaka wao kwamba aliyepewa Local purchasing Order(L.P.O)Ndio akaseme kila kitu kwa Deo.
“Hannah Yuko wapi?”
“Ameenda kutoa photocopy hapo nje”
“Akija aambiwe”
Hivyo ndivyo ilivyokuwa.Hannah alivyopewa habari hizo hakuweka utata wowote labda wenda alikuwa mgeni ndiyo maana hakumjua Deo sawasawa.
“Iko wapi?”
Akauliza akiwa amesimama.
“Hiyo hapo mezani”
“Sawa”
Bila kuelewa chochote alipandisha sketi yake juu na kuchomekea vizuri na kujitosa ofisini kwa Deo bila wasiwasi wa aina yoyote ile,kifupi alijiamini na alitaka kumfikishia bosi wake maagizo aliyoachiwa.
“Shikamoo Bosi”
Ni Hannah ndiye aliyetoa salamu baada ya kuingia ndani,ofisini kwa Deo.
“Sema Hannah”
Deo akazungumza baada ya kuinua kichwa chake juu,macho yake yakakumbana na kimwali huyu mrembo,macho ya Deo yakaanza kushuka kutokea juu ya nywele mpaka kifuani kisha kutua juu ya miguu mikubwa ya Hannah,hapo ndipo Deo alipoanza kuhisi mapigo yake ya moyo yanabadilisha kasi,alihisi kusisimka kidogo na akili yake ilihama.
“Kuna L.P.O hizi hapa kutoka Jiji,wanasema deadline ni wiki ijayo.Mfinanga alinipigia simu leo tuwaishe zile items”
“Sawa nimekusikia….Lakini Hannah..”
“Abee bosi”
“Embu kaa kwenye kiti”
Historia ya Deo kufukuza wafanyakazi ilimfanya Hannah aogope,kauli hiyo ilimfanya aanze kuogopa na kujuwa tayari kibarua chake kingeota nyasi siku hiyohiyo lakini akayatupilia mbali mawazo yake sababu aliamini kuwa hakuwahi kufanya kosa lolote lile.
“Hivi unaishi wapi?”
“Kurasini”
“Kurasini..Kurasiniii..Kurasini sehemu gani?”
“Highway”
“Highway,karibu na Uhasibu?”
“Ndio lakini huku kwa nyuma”
“Kwahiyo kila siku huwa unatokea Kurasini?”
“Ndio bosi”
“Unaishi na nani?”
“Na dada angu”
“Well”
Kufatia hapo Deo hakuwa ana swali lingine la kuuliza lakini alitaka Hannah aendelee kubaki ndani ya ofisi yake,sio siri uzuri wa msichana huyu ulifanya mpaka damu yake iache kutembea kwa muda,hakuelewa kama kampenda au kamtamani kingono.
“Ndio bosi”
“Shule ulisoma Wapi?”
“Iringa”
“Kumbe sio mkazi wa hapa?”
“Wazazi wangu wapo Iringa lakini nilikuja Dar baada ya kumaliza Chuo”
“Karibu Dar”
“Ahsante bosi”
“Una namba zangu za simu?”
“Ndio bosi,ninazo”
“Mmm!Nani alikupa?”
“Kuna siku nilivyokuja kufanya interview nilipewa.Ili nionane nawewe lakini sikukupata hewani”
“Okay.Leo una ratiba gani?”
Maswali yalikuwa kama mvua siku hiyo.Deo alitaka kumjua Hannah kiundani zaidi na ndiyo maana alijaribu kumdadavua zaidi.Na kila alichokiuliza Deo Hannah alikijibu kiufasaha zaidi wala hakuelewa ndani ya moyo wa Deo kuna nini hata kidogo,huo ndio ulikuwa mwanzo wa Deo na Hannah kuzoeana ilikuwa haiwezi kupita siku bila ya Deo kumuita Hannah ofisini.
Hiyo ikapelekea mpaka wafanyakazi waanze kuhisi kuna kitu kinaendelea baina ya watu hao wawili na walivyojaribu kumuuliza Haanah alikana na walivyotaka kumuuliza Deo walihofia,mpaka wiki moja inapita Deo hakueleza nini anachokitaka kutoka kwa msichana huyu ingawa ilikuwa kila siku ni lazima amshushe Kurasini kisha arejee nyumbani.
Baada ya mambo yote kutulia na kila kitu kukaa sawa alitaka kitu kimoja tu,kuishi na mwanaye Abraham, siku hiyo jioni badala ya kupita nyumbani kwake alinyoosha mpaka Kijichi ili kumuona mwanaye na ikiwezekana amchukuwe akae naye yeye mwenyewe,alivyowasili hakutaka kupindisha maelezo yoyote yale.
“Mwanao hayupo”
“Hayupo kivipi?”
“Marietha kamchukuwa”
“Rachel,tutakosana!Mimi ndiye nilikupa mtoto.Iweje aje kumchukuwa?Yuko wapi Marietha?”
“Sijui alipo”
“Rachel.Usinitanie”
Hapohapo Deo akatoa simu yake kutoka mfukoni na kuiwasha ili kumtafuta Marietha lakini cha ajabu simu iliita bila kupokelewa.
“Alimchukuwa lini?”
“Juzi”
“Amekwambia nini?”
“Hajaniambia kitu chochote”
“Basi fanya unavyofanya,mwambie namuhitaji mtoto wangu”
“Kwani kuna nini?”
“Namuhitaji mwanangu”
Deo alimaliza na kuondoka zake!

*********
Isingekuwa msichana mdogo na mrembo aliyeitwa Hannah Golden basi Deo asingekanyaga ofisini hata siku moja,uzuri wa msichana huyu ulimsukuma Deo awahi ofisini ili tu aonane naye,kifupi alitaka kumuweka ndani na azibe pengo la Marietha ndio maana alikuwa naye beneti.Siku hiyo wakiwa katikati ya maongezi ofisini simu ya Deo ikaita na namba zilikuwa ngeni.
“Ndio ndio.Ndio mimi……Nitumie hizo oda sasa hivi ili niziandae sawa!Umesema unaitwa nani?Katrina Kapoor..Okay sawa,ukishaandaa nitakuja!Ama kwa maelezo zaidi unaweza ukaja ofisini kwetu ili tufikie muafaka.Okay ahsante,Halloo ndio hata leo ikiwezekana njoo.Nitakuwepo.Okay”
Deo alikata simu na katika mazungumzo yake simu ilionekana kuwa atakuwa na mgeni siku hiyo.
“Sawa Hannah,endelea na kazi”
“Ahsante bosi”
*********
“Ndio Darling nishaongea na huyo supplier,twende ofisini kwake”
“Ofisini kwake ni wapi?”
“Posta mpya kule.Samora Avanue”
“Sawa twende”
Alikuwa ni Katrina na kipenzi chake Issa na mazungumzo hayo yalifanyika wakiwa pembeni ya mafundi wanaoanza kujenga gorofa ambalo wangelifanya hoteli lakini wasingeweza kufanya hivyo bila kununua vifaa vya kujengea.Walivyohakikisha kila kitu kipo sawa waliingia ndani ya gari na safari ya kwenda Posta kuanza mara moja,walivyofika maktaba kuu ya taifa Katrina alinyanyua simu na kumtafuta Mr.Deo Karekezi hewani ili kupewa maelekezo,haikuwachukuwa hata dakika tano wakawa wamefika nje ya jengo lenye vioo kisha wote kushuka na kunyoosha ndani.
“Mimi naitwa Katrina nimetoka kuongea na Mr.Deo Karekezi sasa hivi.Sijui naweza kumuona?”
Katrina alianza kujieleza huku pembeni akiwa amesimama Issa anazungusha funguo za gari.
“Subiri kidogo”
Msichana wa Mapokezi alifuata taratibu na kuinua mkonga wa simu ili amuulize bosi wake,akabonyeza namba fulani na kusubiri upande wa pili wa simu.
“Ndio bosi kuna wageni wako,aya..”
Msichana wa mapokezi akaweka mkono kwenye spika ya simu kisha kuwageukia wakina Katrina.
“Jina lako nani?”
“Katrina”
Hapohapo akarudi kwenye laini.
“Katrina…Sawa bosi”
“Piteni kwenye ule mlango!”
Issa na Katrina wakapewa ruksa na kuanza kutembea kuelekea kwenye ofisi ya mkurugenzi DEO KAREKEZI!


Deo alikuwa ndani ya ofisi yake amejitanua anawasubiri wageni watakaoingia na kumpa tenda ya pesa ndefu,aliamini hivyo sababu mazungumzo yake aliyofanya simuni muda mfupi yalifanya awe na amani ya moyo mbali na hapo walikuwa tayari wameshafika ndani ya jengo hilo!Mlango ukafunguliwa akaingia msichana mdogo wa makamo mwenye asili ya kihindi, hiyo ilifanya ofisi nzima ienee marashi ya kihindi,kwa harakaharaka msichana huyo alikuwa mwenye uwezo kifedha sababu shingo yake nzima ilijaa mikufu ya dhahabu na bangili za madini ya gharama.
“Karibu sana”
Deo akamkaribisha Msichana aliyeingia ambaye alionekana kama anasuasua kidogo.
“Karibu,karibu uketi”
“Nimekuja na mume wangu. Yupo hapo nje anaongea na simu”
“Sawa.Asaalam Aelekuy”
Deo akatoa salamu ya kiarabu sababu ya asili ya msichana huyu na hapohapo akapiga simu ili kahawa iletwe ili mazungumzo yaanze.Hazikupita hata dakika mbili kahawa ikawa mezani, Katrina akakaribishwa!
“Ndio Mimi naitwa Katrina Kapoor.Ni daktari,mume wangu ni mfanyabiashara!Tunaj­enga hoteli sasa tulikuwa tunahitaji vifaa.Kampuni yako si ina supply?”
Katrina akahitimisha na swali baada ya kujielezea.
“Yaani kila kitu,mwanzo mpaka mwisho.Mpaka hoteli yenu inaisha”
“Kweli?”
“Niamini ninachokwambia”
“Mpaka Aliminium unazo?”
“Yaani kifupi kila kitu kipo.Wewe tu unipe mahitaji yako”
“Sawa hakuna tabu.Ngoja kidogo”
Habari hizo zilikuwa njema kwa Katrina na wakati huo nzuri kwa Deo Karekezi sababu alikuwa anaenda kupiga mkwanja mrefu mno.
“Halloo Darling uko wapi?....Okay nakuja”
Katrina ilielekea alikuwa anaongea na Issa simuni na baada ya kukata alisimama na kutoka nje.
“Issa...Sasa mbona upo hapa?”
Katrina aliuliza baada ya kumuona Issa amesimama anatafakari!
“Nimepigiwa simu niwahi ofisini.Amita ameshafika sasa tunafanyaje mpenzi wangu?”
“Inabidi uwahi ili tupate hiyo tenda,tulihangaika kwa muda mrefu sana”
“Okay Darling”
“Lakini Ile karatasi iko wapi?”
“Kwenye gari”
“Twende ukanipe”
Katrina na Issa wakaongozana mpaka ndani ya gari na kupeana karatasi ya mahitaji ya hoteli watakayo jenga,wakapigana mabusu ya midomoni kama ishara ya kuagana!
“Okay baby take care”(Sawa mpenzi kuwa makini)
“Take care too”(Nawewe uwe makini)
Katrina alibaki kwenye maegesho ya magari mpaka alivyoshuhudia Issa anatokomea na kuingia barabara kubwa ndipo yeye akaingia ofisini kwa Deo huko waliongea mengi hususani bei za vitu na jinsi watavyolipana.
“Utalipa nusu ya malipo ili kazi yako ianze mara moja.Hii mifuko ya Cement kesho utaletewa pamoja na tipa za mchanga”
“Nikupe cash au Hundi?”
“Nipatie cheki ndiyo itakuwa vizuri”
“Hakuna tabu nadhani mpaka jioni utakuwa umepata cheki yako,nitamtuma kijana aje hapa”
“Aya ahsante dokta, acha namimi nianze kuifanya kazi yako”
“Kazi njema”
Katrina akaaga na kuondoka zake.Kuanzia dakika hiyo Deo alikuwa mwenye hekaheka kupita kiasi na alionekana kuwa mkali kuliko pilipili, akiwafokea wafanyakazi wake watafute vitu ili kazi ikamilike mara moja sababu kazi hiyo ingemuingizia zaidi ya shilingi milioni 150 mpaka gorofa likamilike na ndiyo maana hakutaka kubolonga!
“Nisikilize Sadick,nenda pale Kariakoo kwa yule Muhindi.Akupe bei za hivyo vitu,nataka bei ya Jumla.Sasa hivi,yes yes!Okay ahsante.Umwambie Devotha pia aangalie bei za mifuko ya Cement kule petenari naona yule mnyakyusa ana bei kubwa sana”
Deo alikuwa simuni anawaelekeza wafanyakazi wake juu ya kitu gani wakifanye,hivyo ndivyo mambo yalivyoenda harakaharaka na jioni ya siku hiyo akapewa hundi ya shilingi milioni 70 kama nusu ya malipo.
“Ulipata Cheki yako Mr.Deo?”
Ilikuwa ni simu kutoka kwa Katrina akiulizia jioni ya siku hiyo.
“Ndio ilifika”
“Naomba usiniangushe kwenye hilo”
“Ondoa shaka”
Simu ilivyokatwa tu, Deo akasimama na kuvuta koti lake la suti, akatoka nje ya ofisi!Moyo wake ukapiga paa,alivyomuona Hannnah Golden Mukumba!Hakuelewa ni kwanini mapigo yake ya moyo yamebadilisha muelekeo hiyo ilifanya ashindwe kujizuia.
“Hannah”
Deo akaita,Hannah akageuka.
“Abee bosi”
“Njoo ofisini mara moja”
“Sawa bosi”
Ilikuwa wazi kabisa msichana huyu alijaaliwa kupewa nyama nyingi kwa nyuma na umbo lake lilikuwa kama tarakimu nambari nane,hiyo ilifanya akitembea nyuma atingishike.Wanaume wengi na wafanyakazi wenzake walimmezea mate wakitamani japo wawe naye kitandani kwa usiku mmoja lakini ilishindikana kwani walitolewa nje na kupigwa vibuti,kutokana na ukaribu wake na Deo ikaonekana kwamba ndiye yupo naye kimapenzi.
“Utaondoka saa ngapi?”
Deo akauliza baada ya Hannah kuingia ofisini kwake.
“Saa kumi na mbili bosi”
“Nitakusubiria”
“Nitapitia Keko Machungwa lakini”
“Hakuna tabu,nitakudrop huko”
“Ahsante bosi”
Kitendo cha kugeuka nyuma na kuuendea mlango kilimfanya Deo abaki akila kwa macho kwani makalio ya Hanna yalikuwa yakitingishika,hamsini hamsini Mia!Damu yake ikaanza kumwenda mbio mno ikapelekea mpaka jogoo wake apande mtungi,suruali yake ikatuna kiasi.Hisia zake zilihama hapohapo, kichwani ikajaa picha ya Hannah,kichwa chake kikavurugika akatamani awe naye usiku huohuo kitandani afanye naye ngono!
Saa kumi na mbili kasoro robo ambapo zilibaki dakika kumi na tano ili ofisi ifungwe Deo alisimama na kumpitia Hannah ambapo wote waliingia ndani ya gari kwa safari ya kwenda Keko,niya ya Deo ilikuwa ni kuelezea kile kilichokuwa kinamsumbua siku zote ndani ya mtima wake na muda wote mdomo wake ulikuwa mzito kuongea,kushoto ama siti inayofuata mbele alikuwa ameketi Hannah, sketi aliyovaa ilikuwa laini mno na ilipanda juu kimtindo hiyo ilifanya mapaja yake manene yawe nje,hilo likawa tatizo kwa Mwanume huyu Deo ambaye muda mwingi alikuwa akimuwinda,Macho yake wakati Fulani yaliganda juu ya mapaja ya mrembo huyu aliyekuwa pembeni yake.
“Hannah,una boyfriend?”
Lilikuwa ni swali kutoka Kwa Deo,kwa Hannah alishindwa kuelewa kama aliulizwa yeye ama alisikia vibaya sababu hakutegemea hata kidogo kuulizwa kitu kama hicho na bosi wake.
“Mimi?”
Nayeye akajibu kwa swali,hakuwa ana uhakika kama aliulizwa yeye.
“Yes.Wewe”
“Ndio ninaye”
“Anaishi wapi?”
“Yupo hapahapa,sema sasa hivi yupo Arusha”
“Anajishughulisha na nini?”
“Yupo benki CRDB”
“Well,huwa anakuja au?”
“No,huwa ninaenda kama hivi wik endi”
“Ina maana wiki endi huwa unaenda Arusha?”
“Yes”
“Vizuri,aisee”
Ingawa Deo aliendelea kuuliza maswali lakini moyoni alijisikia wivu kupita kiasi.
“Hannah”
“Abee”
“Naomba uwe mke wangu”
Deo alifunguka na hakutaka kuzunguka mbuyu aliweka mambo waziwazi.
“Sijakuelewa bosi”
“Hannah nakupenda,najua ni ghafla na una mpenzi wako lakini nielewe kuwa nina maanisha”
Hivyo ndivyo Deo alivyokuwa akimtongoza sekretari wake akidhani kuwa angesema maneno hayo na hapohapo Hannah angesema ndiyo nimekubali na ninakupeda pia lakini haikuwa hivyo kwani Msichana huyu alipindua na kukataa.
“Hapana,sitoweza bosi.Una mke tayari”
“Ndio ninaye.Huyo asikupe shida”
“Kwani mkeo mna matatizo gani?Mrudie tu”
Kitendo cha Hannah kuongea maneno hayo kilimfanya Deo ashtuke kidogo sababu katika kumbukumbu zake hakuwahi kumuhadithia mtu yoyote yule wa ofisini juu ya familia yake, iweje leo hii anaambiwa maneno hayo,ni lazima kuna mtu atakuwa amepitisha umbea huo,hivyo ndivyo alivyolichukulia jambo hilo.
“Kwa mambo aliyonifanyia siwezi kumsamehe”
“Ni mambo gani hayo?”
“Tuyaache hayo lakini juwa kuwa nimevutiwa nawewe”
“Bosi,haitowezekana.Alafu nikiwa nawewe kimapenzi,kazi hazitoenda”
“Usijali kuhusu kufanya kazi.Mimi sindo bosi wako?”
“Ndio”
“Sasa una wasiwasi gani Hannah”
“Bosi,bado moyo wangu mgumu sana!Tuendelee kuwa hivihivi marafiki”
Jinsi Hannah alivyo na maneno aliyokuwa anatamka vilikuwa ni vitu viwili tofauti na Deo hakutegemea kama mambo yangekuwa kama hayo,aliendelea kuimbisha lakini wapi.Mpaka wanafika Keko, Hannah hakutoa jibu lililoeleweka.
“Okay chukuwa hizi elfu hamsini,utaweka vocha”
Deo akachomoa kibunda cha pesa na kuanza kuchambua pesa ili kulainisha maneno yake lakini Hannah, hakupokea!
“Ahsante bosi,usijali.Usiku mwema”
Hakuna siku aliyoumia mtima kama siku hiyo,Deo alichomolewa na kukataliwa ‘live’ bila chenga.Alijihisi kuumia moyo na jinsi alivyokuwa anamuangalia Hannah anavyotingishika kwa nyuma ndio usiseme,hiyo ilifanya jogoo wake azidi kunyanyuka juu!
“Haiwezekani lazima nimpate,mimi ndio bosi wake”
Alinuwia kisha kugeuza gari.
Hali aliyokuwa nayo Deo asingeweza kurudi nyumbani na kulala kwa raha, ilikuwa ni lazima atafute mwanamke yoyote ili apunguze kichupa na hicho ndicho kitu kilichotokea.Akili yake ikamtuma moja kwa moja kwa mwanamke mmoja anayeitwa Ash Lee,huyo ndiye angetibu kiu yake siku hiyo.Kichwa chake cha chini kilikuwa kimesimama hivyo akili yake haikufanya kazi sawasawa,hapo ndipo alipoinua simu yake na kumtafuta mwanamke huyo usiku huohuo.
“Uko wapi?”
Deo akauliza bila hata ya salamu kwa kuwa mwanamke huyo alikuwa anamshobokea,asilimia mia moja zilikuwa kwake kwamba ni lazima amvue nguo yake ya ndani apunguze uzito.
“Nipo home”
“Toka basi,tukutane Kinondoni hapo”
“Kinondoni sehemu gani Deo?”
“Studio,pale pa siku ile”
“Uko na nani?”
“Niko mwenyewe”
“Deo kweli?”
“Njoo tutalala”
“Deo,kweliiiiii?”
“Ash,Njoo.Anza kujiandaa.Fanya fasta.Chukuwa hata pikipiki mimi nitalipa”
“Poa basi”
“Ahsante”
Deo alikata simu na akili yake ikawa ipo kitandani na mwanamke huyo mrembo.Haikuwa kazi ngumu kuonana na kutokana na Deo kuwa na ugwadu,hakupoteza wakati hapohapo akatafuta chumba wakaingia na Ash Lee chumbani,kabla ya yote wakaanza kunyonyana ndimi na Deo alionekana kuwa na haraka zaidi ndiyo maana akamvua mwenzake nguo harakaharaka na kumtupa kitandani chali,hapohapo akachomoa mkanda wake akavua suruali tena bila hata kutoa shati akampandia kwa juu Ash lee!
*********
Maisha kwa Marietha yalikuwa magumu kwa mara nyingine!Baada ya kuzaa mtoto wa kizungu,Deo hakutaka tena kumuona nyumbani kwake na aliapia angemuuwa endapo atafika eneo hilo.Kwa kuwa Tujaely Mnzava ndiye alikuwa rafiki yake kwa wakati huo,aliamua kumchukuwa na kuishi naye nyumbani kwake.Ilikuwa ni faraja sana lakini kuna kitu alihisi kimekosekana katika maisha yake,Mumewe!Kila alivyofikiria kitu kama hicho,aliumia mtima na alijisikia uchungu ajabu.
“Sasa utaendelea kulia mpaka lini Marietha?Jikaze na sahau,chukulia ni kama historia tu ili maisha yaendelee,yashatokea”
Siku hiyo Tujaely alimpooza rafiki yake,akimfariji.
“Ahsa..nte Tuja”
“Futa machozi”
Maisha ndani ya nyumba ya Tujaely yalikuwa mazuri na alijisikia faraja sana akiwa na watoto wake wote wawili,Abraham na mtoto wa kizungu ambaye bado hakumpa jina kwa wakati huo.Ndani ya nyumba hiyo waliishi watu watatu,Tujaely,Marie­tha pamoja na kaka wa Tujaely aliyeitwa Gilberto!Kitu kilichomchanganya Marietha ni tabia ya Giliberto ya kumgasi akimtaka kimapenzi.
“Hapana Gilly,ukiendelea kunisumbua nitamwambia dada yako”
Huo ndio ulikuwa msimamo wa Marietha kila siku akimwambia Gilberto lakini haikusaidia kwani kijana huyu aliyekuwa mdogo kwake aliendelea kumsumbua Marietha.
“Hii ni mimi nawewe,sasa kila siku mimi nipige selfie!Nionee huruma”
Gilberto siku hiyo alitumia kiswahili cha kihuni akijaribu kumwambia Marietha kuwa amechoka kutumia sabuni kila siku bafuni!
“Kwani wewe huna demu?”
“Sina”
“Mimi ni mkubwa kwako.Mimi ni kama dada yako”
“Kwahiyo?Kwani haipiti?”
“Kuwa na adabu Gilberto”
Haikuwa kazi rahisi kwa Marietha kukubali kuwa na Gilberto hata ingekuwaje na hilo lilikuwa wazi kabisa.
Siku hiyo usiku Gilberto uvumilivu ulionekana kumshinda, akadamka na kuanza kunyata taratibu na kunyonga kitasa cha mlango anaolala Marietha,akazama ndani akiwa na boxa peke yake,jinsi msumari wake ulivyokuwa umesimama ilifanya mpaka ujichore waziwazi kwa nje.Mbele,juu ya kitanda alikuwa amelala Marietha akiwa na ‘nightdress’ peke yake,hapo ndipo alipochanganyikiwa zaidi.Akasogea mpaka karibu kabisa na kupanda kitandani,akamziba mdomo na kuipanua miguu ya Marietha.
“Mmmh mmmmh”
Marietha aligugumia akitaka kutoa sauti lakini mdomo wake ulikuwa umezibwa,kwa nguvu za ajabu akitumia miguu yake alijivuta na kufanya Gilberto apoteze muelekeo, akadondoka puu chini sakafuni,kishindo hiko kilisambaa nyumba nzima na kumfikia Tujaely chumbani kwake,Kama mwanajeshi akavuta kanga yake na kufungua mlango akatembea katikati ya kordo mpaka mlangoni kwa Marietha.
“Mariethaa,Mariethaaa”
Tujaely akanyonga kitasa na kuingia chumbani kwa Marietha,alipigwa na bumbuazi baada ya kumuona Gilberto yupo chini,boxa yake imetuna kwa mbele,Marietha yupo kitandani anahema, kanga ipo upande!Lazima kuna mchezo walikuwa wanaufanya,hicho ndicho kitu cha kwanza kumjia kichwani kwake!



Gilberto yupo chini,ndizi yake bado imetuna.Marietha amelala kitandani nusu uchi!Upande mmoja wa kanga upo pembeni,amepigwa na butwaa mdomo wake mzito baada ya kumuona Tujaely amesimama pembeni ya mlango anawashangaa.Hakuelewa ni kitu gani akiseme kwa wakati huo!Na kilichomchanganya zaidi ni baada ya Tujaely kufunga mlango bila kuongea chochote,akawaacha chumbani.Kutokana na aibu kubwa Gilberto alisimama na kuondoka zake, hakutaka tena kuendelea na kitu anachokifanya kwani alimuogopa sana dada yake kuliko kitu chochote kile na kitu kilichomjia kichwani kwake kwa wakati huo ilikuwa ni lazima asubuhi ya kesho yake atimuliwe na kurudi Mkoani Mara kijiji cha Bugoji akacheze na ngedere,swala hilo lilimnyima usingizi kabisa na alijihisi kujuta sana kuingia chumbani kwa Marietha kwa niya ya kumuingilia kimwili bila ridhaa yake!
Wakati Gilberto anawaza chumbani kwake pia ilikuwa vivyo hivyo kwa Marietha,aliwaza rafiki yake angemchukulia vipi na jinsi picha ilivyoonekana ilikuwa wazi kabisa amemfikiria vibaya!Ni wazi kwamba alikuwa kama ametabiri kwani asubuhi siku iliyofuata Tujaely Mnzava alidamka asubuhi na mapema,akakaa seblen akamuita Marietha na kumwambia aketi pembeni.
“Za tangu jana?”
Tujaely akauliza na sura yake ilionekana kuwa makini tofauti na siku zote asubuhi anamchangamkia Marietha.
“Salama”
Marietha akajibu kwa unyonge huku kichwa chake kikiwa chini, alijisikia aibu mno!
“Marietha”
“Abee”
“Wewe ni rafiki yangu sana”
“Ndio Tuja”
“Ninaomba uniambie ukweli”
“Sawa”
“Mmeanza lini hii tabia na Gilberto?”
“Tabia gani?”
“Marietha niambie ukweli,usinifiche”
“Tabia gani?”
Kichwani mwa Tujaely kulizuka vitu vingi sana na jinsi alivyoona picha lilivyokuwa alijuwa kabisa kuwa Marietha na Gilberto wameanza mambo ya kishenzi ndani ya nyumba yake,jambo ambalo hakulitegemea hata yeye na ilikuwa ni dharau kubwa sana ambayo hakutaka kuifumbia macho.
“Marietha nambie ukweli.Ukweli siku zote umuweka mtu huru”
“Lakini kitu unachofikiria sio kabisa”
“Kitu gani?Marietha niambie ukweli”
Tujaely akaongea kwa hasira kidogo.Hali hiyo ilimtisha sana Marietha na jinsi macho ya Tujaely yalivyokuwa makubwa ilimfanya aogope zaidi!
“Ki ukweli Gilberto,alikuwa akinitaka kimapenzi”
“Kwahiyo mkaamua muwe mnafanya mapenzi ndani ya nyumba yangu?Marietha sawa sijakataa kufanya ngono,kwani hakuna gesti?Hakuna hoteli?Mngeenda kufanyia huko.Alafu pia huyu ni mdogo kwako”
“Sio hivyo Tuja”
“Kumbe nini sasa?”
“Sikumkubalia”
“Alifuata nini chumbani kwako?Mimi sio mtoto mdogo”
“Sijui hata mimi nilishtuka”
“Ulishtuka siooo…Giliiiiiii.Wewe Giliiiii”Akaita!
Tujaely alikasirishwa na kitendo kilichotokea na alianza kumchukia Marietha tayari kwani alimuhusisha moja kwa moja na kahaba!
“Nishajuwa kwanini Deo kakuacha.Kumbe wewe Mapepe sana”
Hapo Marietha hakuwa nala kusema,alibaki kimnya na alijisikia aibu sana.
“Unataka kumuambukiza mdogo wangu magonjwa ya zinaa.Hilo swala siwezi kulifumbia macho”
Gilberto alivyoitwa na kukalishwa chini aliongea vitu tofauti kabisa kwani alitaka kujisafisha kwa kufanya hivyo ilibidi amkandie Marietha.
“Ndio Dada Tuja…Naomba unisamehe dada angu,mchezo huu tulianza siku nyingi na alisema tufanye siri!”
Hayo ndiyo maneno aliyokuwa anasema Gilberto bila aibu yoyote ile tena bila ya kumuangalia Marietha usoni.
“Gilberto..Mungu anakuona”
Marietha akajitetea lakini hakuaminika.
“Mungu ananiona nini?Naongea ukweli”
Gilberto akazidi kuongeza chumvi na kujisafisha.Hilo halikuwa na mjadala tena,Tujaely aliingia chumbani na kutoa mabegi ya Marietha,akamwambia kuwa akaishi sehemu nyingine yeye hatoweza kuishi naye tena.
“Tafadhali Tuja..ely.Usinifuku..ze”
Tayari alikuwa anaongea huku anamwaga machozi na kuongea kwa kwikwi,aliumia moyoni kwa kosa la kusingiziwa na kwa mara nyingine alikuwa anenda kukumbana na matatizo mbeleni.Machozi aliyokuwa analia hayakuweza kubadili kitu chochote kile kwani alifukuzwa na kutolewa nje ya geti akiwa na watoto wake wawili wadogo,hakuelewa aende wapi kwani mfukoni hakuwa na senti hata moja!
***********
“Mbona huyu hapokei simu.Vitu bado havijaja mafundi wanasubiri waanze kazi”
“Hapokei simu?”
“Ndio”
“Kwani mlikubaliana saa ngapi?”
“Saa tatu”
“Sasa itakuwaje?”
“Niambie cha kufanya”
“Subiri tena dakika thelathini nyingine kama kimnya.Nipigie”
Katrina alikuwa simuni anaongea na mpenzi wake Issa juu ya uzembe uliotokea asubuhi iliyofuata baada ya kuongea na Deo kuwa muda huo vifaa vingekuwa tayari vimefikishwa eneo husika.Lakini matokeo yake mambo yalienda kinyume kwani Deo hakupatikana hewani na dalili ya vifaa kuletwa siku hiyo haikuwepo.Jambo hilo lilimkera sana Katrina ndiyo maana alizungumza mpaka mishipa yake ya shingoni ikamsimama.Mafundi tayari walikuwa pembeni wameshachimba msingi na wanasubiri nondo ili kazi iyanze lakini matokeo yake mpaka inafika saa sita bado kazi ilikuwa imesimama.Katrina akapandwa na jazba,akamtuma kijana mmoja posta ili ajuwe nini kiliendelea lakini matokeo yake alipewa taarifa kuwa Deo hakukanyaga ofisini siku hiyo.
“Kwahiyo kanitapeli au?”
Katrina alimuuliza kijana anayetoa ripoti.
“Sijui Mama lakini nipo hapa ofisini kwao,hajafika leo”
“Okay”
Simu ilivyokatwa Katrina akampandia hewani Issa na kumueleza kila kitu.
“Achana naye.Huyo tutamfunza adabu nitamuweka ndani!Cha kufanya tutafute Supplier mwingine.Sasa hivi nakupa jibu nipe dakika kumi hivi”
Hata Issa alionekana kupata jazba na pesa walizotumia na muda ilikuwan ni lazima wamshtaki Deo kwa kuvunja mkataba wao.Kwa wakati huo Issa alipata kazi nyingine ya kutafuta wasambazaji wa vifaa vya ujenzi.Kwa uwezo na nafasi aliyokuwa nayo ikawa kazi rahisi sana kumpata mkurugenzi wa kampuni ya vifaa vya Ujenzi aliyeitwa Jaqlin Nyambega kutoka Masumin Co LTD, alikuwa ni Mama anayemiliki maduka ya vifaa vya ujenzi maeneo ya Mwenge.
“Mama ni emergence.Mimi ni mkurugenzi wa Kampuni ya Bigborn.Naomba uniamini”
“Hapana nitakuamini vipi?Wengi mnakuwa matapeli,mjini hapa”
“Wewe uko wapi?”
“Nipo Mwenge hapa Mpakani.Karibu na vinyago”
“Sasa ngoja nikuunge na mtu mmoja hivi”
“Sawa”
Hapohapo Issa akatoa simu sikioni na kumtafuta Katrina kwa nia ya kumuweka kwenye laini,simu iliita mara moja ikapokelewa.
“Baby,nakuunganisha na huyu director wa Masumin sasa hivi.Tufanye small conference”
Hivyo ndivyo mambo yalivyoenda na Katrina alijielezea kila kitu kinagaubaga.
Kitu kilichofanyika ni Issa kuchapa barua na kutafuta mwanasheria hapohapo ili aishtaki kampuni ya Transcontinental inayoongozwa na Deo Karekezi na chini ilibidi alipishwe faini zaidi ya shilingi milioni 20 kama usumbufu,Katrina aliliunga jambo hilo mkono na mambo yalienda harakaharaka!Ikabidi waingie tena benki ili waanze mkataba mwingine wa ujenzi na kampuni ya Masumin CO Limited.
*************
“Aaaaaaah aaaaaaah aaaaaah sssshhhhsssss aaaah aaaaah sshss De..o aaaaah aaaaah aaaaah”
Ilikuwa ni sauti ya puani na kama ungeisikia kupitia dirishani usingeuliza ni kitu gani kinaendelea!Ash Lee alikuwa amekunjwa miguu yake imepanuliwa huku na kule ulimi wa Deo upo katikati ya mgodi wake anadeki bahari,hiyo ndiyo ikafanya mpaka mwanamke huyu apige kelele kwa sauti sababu alihisi raha za ajabu mno,mbali na hapo ilielekea ndiyo alikuwa anafika mshindo ndiyo maana alimkandamiza Deo kwa ndani kwa staili ya kumshika kichwa chake huku akikinyonga kiuno chake!Hayo ndiyo mambo yaliyokuwa yanaendelea asubuhi na mapema ndani ya chumba namba 19.Ingawa walifanya ngono usiku kucha lakini walionekana bado wana Kiu na ndiyo maana asubuhi walipasha tena.Deo alivyoona tayari Ash Lee kafika kitonga akaipanua miguu yake kwa haraka kisha kutumbukiza karoti yake ndani kwa ajili ya kumalizia kile walichokianza.Sio kwamba hakujuwa kwamba ana kazi za watu siku hiyo na alitakiwa kupeleka vifaa bali aliamini kuwa atawahi na hata hivyo alilichukulia jambo hilo kirahisi.Hata hivyo alilipwa tayari pesa nusu,kivyovyote vile wateja wake wasingeweza kuruka ni lazima wangempigia simu.Kutokana na kutaka kucheza mechi hiyo bila bugudha aliamua kuzima simu kabisa.Mambo yakawa bado yanaendelea,walivyomaliza mzunguko wa kwanza walirudia tena,mpaka inafika saa saba ya mchana kila mtu akawa amekata kiu yake.
“Mimi naondoka sasa,wacha niwahi ofisini”
“Beibiii..Nguo sasa!Utaenda nazo hizohizo?”
Ash Lee aliuliza kimahaba akiwa yupo kitandani,amejifunika na shuka.
“Mmmh,ngoja nipite nyumbani.Nibadili”
“Hapo sawa..Alafu sina nauli”
“Ndio nataka kukupa”
“Okay baby”
Deo aliingia bafuni kuoga na kutoa shilingi elfu hamsini akamkabidhi Ash Lee.
“Bebiiiiii,haitoshi bwaaaanaaa”
“Okay,ongezea hii”
Deo akamwaga elfu hamsini nyingine zikawa jumla laki moja kisha kuondoka zake.Ambapo alipitia moja kwa moja nyumbani kwake na huko akabadili nguo na kutoka,hakutaka kupoteza wakati akanyoosha mpaka ofisini kwake.
“Bosi kuna barua yako”
Ilikuwa ni sauti ya sekretari wake Ruth Edson,hapo ndipo akasimama na kuichukuwa baasha ya kaki kisha kuingia nayo ofisini.Bila kuisoma aliwasha simu na kuanza kupigia watu ili waandae vifaa vinavyohitajika.Akaagiza vitu vinunuliwe harakaharaka na alivyopelekewa ‘Invoice’ ikasoma shilingi milioni kumi na mbili na laki saba,kila kitu kikawa sawa.
“Naniiii Ruth njoo ofisini”
Akaweka mkonga chini kisha sekretari akaingia ndani akiwa tayari kumsikiliza bosi wake.
“Pigia yule mtu wa Canter,akapakie mizigo pale Kariakoo.Fanya fasta”
“Sawa Bossi”
Mambo yalienda kwa haraka mno na hiyo ilitokana na Deo kuwapeleka mchakamchaka.Lakini cha ajabu alipokea simu baada ya lisaa limoja kuwa vifaa alivyotuma vimekataliwa na ana kesi tayari.
“Kesi gani?”
Deo akauliza simuni kwa mshtuko,akiwa anaongea na Katrina.
“Hukuona barua ofisini kwako?”
“Barua?”
“Ndio”
“Subiri kidogo”
Baada ya kukata simu aliinua bahasha ya kaki na kuifungua.
Ni kweli alikutana barua kutoka kwa mwanasheria inayomshtaki na alitakiwa alipe faini ya mamilioni ya pesa,hiyo ilifanya achanganyikiwe na alihisi mkojo unataka kumpenya sababu kilikuwa ni kiwango kikubwa cha pesa mbali na hapo benki alikuwa tayari ametoa kiasi kingine kwa ajili ya kununua vifaa vya ujenzi,ambavyo vilikuwa vimekataliwa.Bila chenga alikuwa amepata shoti ya pesa nyingi!


Hasara aliyoingiza ilimchanganya akili yake kwa kiasi cha kutosha,akahisi mwili wake umepungua uzito mkubwa sana!Hapohapo ikabidi amtafute Katrina hewani ili waweke mambo sawa na aombe radhi kwa mambo yaliyotokea lakini badala yake Katrina alimpandishia kibezi na kufoka kuliko kawaida akidai kuwa ameidharau kazi yake na alitakiwa alipe faini hiyo kabla hajampeleka mahakamani ili amfungulie mashtaka.
“Hatuwezi kuongea nawewe tena.Ongea na Mwanasheria”
Katrina alihitimisha simuni.
“Niwie radhi”
“Hapana siwezi.Siwezi kabisa”
Katrina aliendelea kusimamia msimamo wake na haikuwa kazi rahisi kubadili maamuzi yake,hivyo ndivyo ilivyokuwa na jambo hilo lilimuumiza sana Deo.
“Katr…tititi”
Katrina hapohapo alikata simu sababu aliamini hata kama angebembelezwa kwa vinanda asingeweza kubadili kile anachotaka kukifanya,alichukia kupita kiasi na alivyokuwa simuni anazungumza na Deo pembeni yake alisimama Issa.
“Amesemaje?”
Issa akauliza.
“Anasema tumsamehee”
“Alipe kwanza pesa zetu”
“Atalipa tu”
Hiyo ndiyo ilikuwa mipango ya watu hawa wapenzi wawili,Deo alitakiwa alipe pesa walizompa pamoja na faini ya mkabata waliovunja,hilo lilikuwa wazi kabisa la sivyo Deo angefungwa.Mkabata mpya walioanza na kampuni ya Masumin ilianza kama kawaida na vitu viliendelea kushushwa cement na maroli ya michanga,mambo yalienda mpelampela na Issa ndiye alikuwa msimamizi wa kila hatua inayoenda,mafundi walizidi kuchimba misingi na zege lilianza kuchanganywa.Mpaka inafika jioni walifanikiwa kuweka nondo ndani ya msingi.Baada ya hapo Issa na Katrina wakaingia ndani ya gari na kuondoka zao,siku iliyofuata ikawa kama kawaida na usimamizi uliendelea kama kawaida, mafundi walikasirika sana sababu walishindwa kuiba chochote kile hiyo ilitokana na uangalifu wa hali ya juu sana!
“Nataka gorofa likiisha tufunge ndoa Issa”
Siku zote msichana huyu mdogo alitamani iwe hivyo,kuolewa na Issa ndilo lilikuwa jambo muhimu sana kwake.Na jambo hilo alilifananisha na ndoto lilikuwa ni lazima litimie.Kutokana na mapenzi tele na mapendo mengi, Katrina aliamini hakuna mwanaume yoyote yule atakayekuja kumtingisha ama kuja kumchukuwa Issa wake sababu walipitia mambo mengi sana nyuma, aliapia kuuwa mwanamke yoyote yule atakayejua anakula naye tunda moja,misukosuko waliyopitia ilikuwa kama filamu iliyotakiwa kuchezwa na kuuzwa.
Kila mtu aliowaona aliwaonea gere.Ujenzi uliendelea kama kawaida na mafundi walisimamiwa, msingi ukaanza kupanda taratibu sana.Wakati maisha ya Issa yakiwa yamenyooka anaishi kwa raha Mustarehe yeye Marietha alikuwa anatangatanga akiomba vibarua walau afanye kazi na kupata angalau shilingi mia tano akale,kila aliyemuona alimsikitikia sababu alikuwa amebeba watoto wawili tena wakati wa jua kali.Alivyokosa kibarua aliamua kukaa barabarani na kuomba,hayo ndiyo yalikuwa maisha ya Marietha duniani.Bado hakuamini kama ndiye yeye aliyekuwa anaendesha magari ya kifahari miaka ya nyuma na kutembelea hoteli yoyote anayotaka akiwa na Mumewe Deo.Maisha yalimpiga na mambo yalibadilika ghafla,akawa anasota huku na kule akihangaika.Bado hakuelewa mwisho wa maisha yake ungekuwaje.Kulala kwake ilikuwa ni popote pale,usiku ukifika hapohapo atalala.Kutokana na shida,tabu na mateso ilifanya mpaka mwili wake upunguwe uzito,uzuri wake wote ukapotea kabisa na hakuwa Marietha yule wa Kipindi kile aliyekuwa anapapatikiwa na kila mwanaume hali hiyo ilimuuma sana.Licha ya kupata mateso yote lakini hakuacha kumuomba Mungu na kumshukuru bado aliendelea kuamini kuwa mambo yote yana mwisho na ipo siku Mungu atamuinua upya.
“Sasa hivi vyombo mbona hujapangusa?”
Ilikuwa ni sauti ya Mama Ntilie akifoka,Marietha alifanya kazi siku hiyo ya kuosha vyombo lakini ilionekana alibolonga ndiyo maana akafokewa na mama ntilie ambaye alikuwa ni tajiri yake.
“Nimevipangusa”
“Ndio kuvipangusa hivi?Kweli?Hapana Marietha.Naona huwezi kazi,shika pesa yako”
Ilikuwa wazi kabisa siku hiyo kibarua cha Marietha kinaota nyasi,jinsi alivyoongea Mama Ntilie aliyefahamika kwa jina la Kidawa hakukuwa na namna yoyote ile ya kutuliza jazba zake.
“Kidawa nitaenda wapi tena?”
“Utaenda wapi hiyo viipii?Shika elfu tano yako.Tafuta kitu kingine cha kufanya”
Huo ndio ulikuwa mwisho wa Marietha kuosha vyombo kwenye mgahawa huo maeneo ya Mtoni Kwa Azizi Ali, Mbagala.Alisikitika lakini hakuwa na jinsi ya kufanya.Jioni ilikuwa imeingia na alikuwa amebeba watoto wake wawili,hakuelewa ataishi vipi bila kazi ambayo aliyokuwa anaitegemea.Kwa kuwa hakuwa na eneo maalumu la kulala,akatafuta nyumba yenye kibaraza na kutandika kipande cha boxi na kujiegesha.Usiku ulikuwa mrefu sana siku hiyo,alivyosikia hazana ya saa kumi kasoro kutoka msikitini akajua tayari kumekucha.Akaweka vizuri watoto na kuanza kuchapa mwendo.Wazo lililomjia ni moja tu,kwenda katikati ya jiji kutafuta vibarua vingine ili afanye kazi,ale yeye na wanaye!Akatafuta daladala la Kariakoo akapanda,baada ya dakika arobaini na tano akawa amefika Kariakoo,akashuka na kuanza kusaka vibarua.Kazi ilikuwa ngumu kuliko alivyodhani kwani kila alipoenda kuomba alifukuzwa na wengine walimtaka kingono.
“Hapa hakuna kazi.Embu nenda nyumbani kalee watoto!Hauna mume?”
Sauti hiyo ilikuwa ya kukwaruza na ilitoka kwa mzee mfupi mwenye kitambi,amesimama kandokando ya watu wanaobeba maboxi wanapakia ndani ya gari kubwa,Marietha alitaka japo anyanyuwe maboxi ili alipwe lakini alitoswa na kufukuzwa.
“Embu toka bwanaa.Asubuhi hii usilete nuksi”
Mzee akazidi kufoka na kufanya Marietha aanze kutembea akiwa mwenye mawazo chungu mzima,hakuelewa ni kitu gani afanye na hakujuwa ni njia gani atumie ili apate riziki ale yeye na wanaye.
Ni sawa alifukuzwa kila alipokuwa anaenda lakini hakukubali kushindwa akazidi kuomba vibarua sehemu tofautitofauti,mpaka inafika saa saba na jua kuwa kali hakuambulia kupata kibarua chochote kile.Chini ya unyayo wake alihisi kama kunawaka moto sababu ya kutembea kwa muda mrefu bila kupumzika,alivyofika mtaa wa masasi akaona kuna pilika pilika za ujenzi zinaendelea,akasogea karibu ili angalau aombe kibarua cha kuchota mchanga,akasogea mpaka karibu na mafundi waliokuwa wanachanganya zege.
“Fanya fasta wewe.Muda wa lunch huu”
Mmoja kati ya mafundi alisema akimwambia mwenzake,kazi yao ilikuwa ni kuchanganya zege na kwenda kumwaga sehemu nyingine,wote walionesha kuchapa kazi.
“Kaka samahani”
Marietha akaongea na kusogea karibu zaidi,alionekana amechoka sana ndiyo maana aliongea huku mikono yake ikiwa kiunoni.
“Vipi Mama”
“Naweza kupata kibarua chochote hapa?”
“Kazi hizi wewe hautoweza”
“Nitaweza kaka”
“Utaweza kubeba zege wewe?”
Kijana akauliza huku akimwangalia Marietha,hiyo ni kutokana na watoto aliowabeba ndiyo maana walimshangaa!
“Ndio nitaweza”
“Hauwezi bwana wewe nenda tu”
“Naomba niongee na msimamizi wa hapa”
“Ameenda Lunch”
“Mimi nitamsubiri”
Kwa mara ya kwanza mafundi walidhani wenda Marietha anatania lakini kitendo cha yeye kukaa chini kiliwashtua mno lakini hawakutaka kujishughulisha naye,waliogopa kuweka vigenge kwani tajiri angefika muda huo pengine wangepoteza kazi zao.
Njaa ilimkung’uta Marietha sio mchezo na midomo yake ilimkauka,akamuweka mtoto vizuri ili amnyonyeshe na Abraham alivyoamka akaanza kulia machozi,hiyo ndiyo ilimchanganya Marietha zaidi.Kazi za ujenzi ziliendelea kupigwa chapchap na vibarua waliopewa kazi hiyo walifanya kazi kwa juhudi zote sababu walijua tajiri yao yupo maeneo ya karibu na walivyoona gari nyeusi aina ya Volks wagen imeingia ndipo walipoanza kugongana vikumbo na kubeba matofali harakaharaka.
“Wambura njoo”
Ilikuwa ni sauti ya tajiri baada ya kushuka ndani ya gari la gharama,ilielekea kuna jambo alitaka kuuliza.
“Naam bosi”
Kijana alitii wito na kutembea mpaka kwa tajiri yake,mikono nyuma.
“Trip ngapi za mchanga zilikuja?”
“Tano bosi”
“Mifuko ya cement?”
“Hamsini”
“Una uhakika?”
“Ndio bosi”
“Yule mwanamke aliyekaa kule ni nani?”
“Simjui”
“Mwambie hapa sio clinic”
Sentensi hiyo ilikuwa wazi kuwa Marietha hatakiwi eneo hilo na ndivyo alivyotambua kijana mjenzi wa gorofa,akatembea mpaka kwa Marietha aliyekuwa anamnyonyesha mtoto.
“Dada naomba uwende”
Marietha akamuangalia kijana anayemuongelesha!
“Sasa niende wapi kaka yangu?”
“Bosi kasema uwende”
“Yuko wapi niongee naye?”
“Dada kuwa mwelewa basi”
“Naomba niongee na bosi wako”
Marietha alinga’ang’ania na kukazia msimamo wake,alitamani kuonana na tajiri anayejenga jengo hilo walau aongee naye na kumuomba kazi, aliamini labda akimweleza shida zake atamuelewa japokuwa hakuwa mwenye uhakika.
“Uongee naye nini?”
“Nioneshe yuko wapi?”
“Yule pale,kavaa shati jeusi kachomokea”Kijana akatumia kidole kuonesha.
Marietha bila kuuliza kitu kingine chochote akaweka ziwa lake ndani ya blauzi na kusimama,akajifunga kanga vizuri ili akaonane na tajiri aliyeoneshwa,kimoyomoyo alikuwa akiomba Mungu sana.
Mwanaume aliyekuwa amesimama mbele yake alimpa mgongo na alikuwa umbali wa kama mita ishirini hivi kutoka alipokuwa amekaa,akaanza safari ya kutembea mpaka alipomfikia.
“Shikamoo”
Marietha akamsalimia mwanamme mtanashati aliyechomekea.Nyuma yake alihisi kuna mtu anakuja lakini hakutaka kugeuka nyuma sababu alikuwa anachati,salamu alisikia na kuitikia bila kugeuka nyuma.
“Marahaba”
Issa akaitikia salamu akidhani wenda mtu aliyekuwa nyuma yake ni mpita njia,ndiyo maana hakujisumbua kugeuza shingo yake sababu alikuwa anachati na Katrina akitaka kujuwa wamefikia wapi na Deo kuhusu Kesi yao ya madai.
“Anco Shikaamooo”
Marietha akasalimia tena hapo ndipo Issa alipogeuka nyuma akitaka kujuwa ni nani anayempa salamu tena kwa mara ya pili.



Issa aligeuka nyuma akitaka kumjua ni nani anamuongelesha.Moyo wake ukapiga paa kwa nguvu sababu alipata mshtuko wa ajabu na butwaa alilopigwa halikuwa na kipimo chake,mwanamke aliyekuwa pembeni yake amebeba watoto wawili alimfahamu fika ndiyo maana aliganda na kubaki anamshangaa kwani haikuwezekana hata kidogo jambo hilo kuwa halisi.
“Mariethaaa”
Issa aliita kwa mshangao wa waziwazi bado hakuamini kama mwanamke huyu ndiye yeye,aliendelea kutafsiri jambo hilo ni ndoto ya mchana,Marietha alikuwa amechoka nywele zake hazijapakwa dawa zimemsimama,uso umempauka hiyo ndiyo ilifanya Issa ashindwe kulipitisha jibu lake moja kwa moja.
“Issaaaa!”
Marietha nayeye alikuwa kama mtu asiyeamini akapiga jicho pembeni na kuona gari la gharama limeegeshwa,akaanza kumtathmini Issa kuanzia juu hadi chini,hakuwa Issa muuza mitumba huko Manzese.Issa alinenepa alipata mashavu makubwa na kitambi kiasi,alikuwa mwenye ngozi nyeusi lakini iliyokuwa inawaka.Hilo lilikuwa wazi kwamba kwa wakati huo ni matawi ya juu.
“Marieta ni wewe au naota?”
Issa akauliza tena bado hakutaka kuamini.
“Ndio mimi”
“Mbona upo hapa?”
“Maisha tu Issa.Umependeza sana”
“Ahsante,Mumeo hajambo?”
Issa akauliza sababu alitaka kujuwa mbali na hapo yeye na Marietha walitoka mbali na ndoto zao zilizimika baada ya mwanaume anayeitwa Deo kuingilia katikati.
“Ndio hajambo.Lakini Issa nisaidie japo pesa ya chakula,nina njaa sana”
Watu hawa wawili kukutana ilikuwa ni kama mazingaombwe hakuna hata mtu mmoja kati yao aliyekuwa tayari kuamini jambo hilo ingawa waliongea.Issa na Marietha walipendana sana na walishawahi kuwa mtu na mpenzi wake na walikuwa wenye ndoto za kufika mbali hakuna hata mmoja kati yao aliyedhani wenda watakuja kuachana walikuwa ni kama wamekula yamini!Lakini mambo yalibadilika ghafla tamaa za Marietha zikamfanya asaliti penzi, hakujali ni kiasi gani aliuumiza moyo wa mwenzake mbali na hapo akakubali kufunga ndoa akawa mke wa mtu ingawa alimshuhudia Issa kanisani analia hakujali na baada ya hapo Issa alipata ajali mbaya sana ya gari.
Mambo yote hayo yalikuwa yanapita kichwani kwa Issa huku anamtizama Marietha machoni jinsi alivyochoka, ilielekea anashida kuliko kawaida.
“Marietha”
Issa akaita huku akimtizama Matrieta usoni kuna vitu vingi alivikumbuka,ahadi walizopanga.
“Abee”
“Sina pesa ya kukusaidia.Naomba uwende”
Issa alitamka maneno hayo waziwazi bila kukwepesha.Sio kwamba hakuwa anapesa la sasha lakini moyoni alisita na hakujisikia kutoa hata shilingi mia yake kumsaidia mwanamke kama Marietha ambaye alimsaliti bila sababu yoyote ile.
“Issaaa”
“Marietha,siwezi kukusaidia.Not me....Not today.Please leave”
Ingawa moyo ulimuuma baada ya kutoa majibu hayo akichanganya na kimombo lakini hakuwa na jinsi alipiga moyo konde na hakutaka kumuangalia Marietha usoni.
Hazikupita hata dakika mbili gari nyingine aina ya BMW x5 ikawa inaingia na kusimama karibu kabisa na Issa,akashuka msichana mrembo mwenye nywele ndefu za singasinga mwenye asili ya kihindi na kumsogelea Issa kisha kumkumbatia,wakanyonyana ndimi yaani denda.
“Darling,ujenzi unaendeleaje?”
“Unaendelea vizuri love”
Mambo yote hayo Marietha aliyashuhudia na alihisi kuumia moyo ajabu bado hakutaka kuamini kama Issa aliyekuwa ana uza mitumba leo hii anamiliki gorofa na gari la kifahari, alishindwa kuelewa pesa hizo kazitoa wapi wakati mwingine alitamani siku zirudi nyuma ili abaki naye lakini haikuwezekana kwani maji yalishamwagika.
“Huyu ni nani?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Katrina akihoji huku akimtizama Marietha.
“Anaomba msaada”
“Umemsaidia?”
“Hapana,sina pesa.Haina haja ya kumsaidia”
Issa alisema maneno hayo bila kumuangalia Marietha usoni na kweli alimaanisha sababu alikuwa siriazi,aliogopa kumuhadithia Katrina nini kinaendelea kati yao kwani alihofia sababu alimjua Katrina ni jinsi gani alivyokuwa mwenye wivu na mkorofi.
“Msaidie baby”
“Okay”
Issa aliingiza mkono mfuko wa nyuma na kuchomoa wallet.Alikuwa ana noti za shilingi elfu kumi nyingi,akazichambua chambua kisha kurudisha mfukoni bila kutoa pesa yoyote ile akaingiza mkono kwenye mfuko wa shati na kutoa noti ya shilingi mia tano.
“Shika hii itakusaidia”
Badala ya Marietha kuongea Katrina akaingilia kati.
“Issa,Sio vizuri”
Yalikuwa ni maneno kutoka kwa Katrina ilielekea hakuelewa chochote ndani ya moyo wa Issa,laiti kama angejuwa angemfukuza Marietha kwa matusi alichofanya ni kuingia ndani ya gari na kutoa pochi yake ndogo,akanyofoa noti mbili za shilingi elfu kumi kisha kumkabidhi Marietha.
“Nenda kale Mama”
“Ahsante sana Dada Mungu akubariki.Ahsante ahsante”
Shukrani alizotoa Marietha hazikuweza kuelezeka lakini moyoni mwake bado alikataa kuwa Issa hawezi kumfanyia kitu kama hicho,akageuza na kuondoka zake huku akiwa anageuka geuka nyuma akidhani wenda ataitwa.
“Deo hapokei simu,hapatikani pia”
Katrina akaanza kusema kilichokuwa ndani ya moyo wake.
“Hapatikani?”
Issa nayeye akauliza kwa hamaki.
“Tangu jana hajakanyaga ofisini kwake,nyumbani kwake pia”
“Kwahiyo anataka kutufanyia utapeli?”
“Ndio,ninahisi”
“Hawezi”
“Tusipomuwahi hatutopata hiyo pesa.Ngoja nimtafutie RB yake kwanza ili nikimuona nimuweke ndani”
“Ni wazo zuri sana”
“Una namba ya Meja Timam?”
“Namba yakeee,labda kwenye ile simu nyingine”
Katrina alikasirika ajabu ndiyo maana mpaka macho yake yakawa mekundu,haikuwa kazi rahisi kumtapeli msichana huyu msomi kwa njia moja ama nyingine ndiyo maana alitaka sheria ifate mkondo wake.
“Tumchukulie RB kwanza”
Hayo ndiyo makubaliano waliyofanya mtu na mpenzi wake,ilikuwa ni lazima Deo aswekwe ndani na faini atoe.
**********
Zilikuwa ni pesa nyingi sana kwake kuzitoa,ukizingatia alikuwa tayari keshanunua mzigo wa mamilioni ya pesa hiyo ilikuwa ni hasara kubwa kwa mtu kama yeye ambaye anathamini matumizi ya pesa,Katrina alizidi kumsumbua kila kukicha na baadaye alitumwa mwanasheria ofisini kwake.
“Hilo deni nitalipa na ndiyo nimekiri kuwa nilichelewesha mzigo.Katrina hakuwa na haja ya kupeleka kesi huko juu,ilibidi tuzungumze mambo yaishe”
Deo alijielezea mbele ya Advocate Edward Kakone.
“Sawa sikatai Mr.Karekezi nachotaka hapa mimi kujua ni lini utamlipa mteja wangu?”
“Hii wiki haitoisha”
“Basi mimi sina maneno mengi kwa kuwa umekubali haina haja ya kufungua kesi mahakamani.Tutamalizana ila nachokuomba saini hapa”
Advocate Edward Kakone alikuwa yupo makini sana kwenye kazi yake na ndiyo maana alifika na nyaraka zote,akatoa karatasi ambayo Deo alitakiwa kusaini na kukubali kwamba ni kweli alitakiwa kulipa kiasi cha pesa kilichoandikwa juu ya karatasi.Deo akaipitia lakini hakuwa tayari kuweka sahihi yake,aliogopa kujiwekea kitanzi shingoni.
“Haina haja ya kusaini”
Deo akagoma sababu hakuwa tayari kwa wakati huo.
“Siwezi kuondoka hapa bila wewe kukubali kuwa unadaiwa.Mr.Karekezi weka sahihi yako”
“Okay”
Hakukuwa na namna nyingine tena ya kujinasua,akachukuwa peni na kukoroga sahihi yake na baada ya hapo Advocate Edward Kakone akaaga na kuondoka zake.
Kichwa cha Deo kilivurugika kwa kiasi cha kutosha hakuelewa ni kitu gani akifanye,ilikuwa ni lazima alipe zaidi ya milioni tisini za kitanzania.
“Hii sasa kasheshe”
Akaropoka na kuweka kichwa chake juu ya meza akijaribu kutafakari ni kitu gani akifanye.Ghafla kuna wazo hapohapo lilimjia kichwani.
“Bora niuze ile saluni,haina maana yoyote”
Hicho ndicho kitu kilichomjia kwa wakati huo,akainua simu yake ya mkononi na kumtafuta msimamizi wa saluni anayomiliki.
“Njoo ofisini kwangu..Yes sasa hivi!Sasa hivi ndio”
Deo akasisitiza na kukata simu,akashusha pumzi ndefu na hapohapo mlango wake wa ofisini ukagongwa.Aliyeingia hakuwa mwingine bali ni msichana anayeunyanyasa moyo wake,Hannah Golden Mkumba.Alikuwa ameshika mafaili mkononi mwake!
“Hannah karibu”
Deo akachanua tabasamu habari za kudaiwa zote zikayayuka.
“Kuna mafaili hapa,kuna Quotation kutoka ARU na TRL”
“Sawa weka hapo”
Faili kubwa ambalo ndani lilikuwa na karatasi alizotakiwa kujaza Deo ziliwekwa mezani kisha Hannah akageuka na kuanza safari ya kuuendea mlango lakini kabla ya kufika na kuvuta mlango wa kioo,akaitwa!
“Abee bosi”
“Vipi lile swala sasa?”
“Swala lipi?”
“Mara hii ushasahau?”
“Ndio bosi”
“Kuhusu kuwa mke wangu”
“Bosi nilishakujibu.Haitowezekana”
“Kwanini isiwezekane?”
“Nina mtu wangu tayari”
Huo ndio ulikuwa msimamo wa binti huyu aliyetokea kuunyanyasa mtima wa bosi wake,Deo hakutaka kuamini na hakuelewa ni kipi hasa kinamfanya Hannah asimkubalie kimapenzi,alijisikia vibaya.
“Sawa tutaongea”
“Sawa bosi”
Deni alilokuwa anadaiwa lilimsumbua na masaa mawili baadaye katika ofisi yake kulikuwa kuna ugeni,kikao kilifanyika mara moja kuwa saluni ipo sokoni.
“Kelvin,ndio nataka kuuza ile saluni”
Deo akasisitiza tena.
“Ndio bosi”
“Cha kufanya tafuta mteja”
“Sawa bosi,nitatafuta”
Siku mbili nzima tangu saluni itangazwe kuwa inauzwa hakupatikana mteja wa kuinunua ikabidi Deo atangaze kwenye magazeti, kilichokuwa kinamuumiza zaidi ni jinsi Katrina alivyokuwa anamsumbua,hiyo ikapelekea mpaka azime simu zake zote na asitishe kufika ofisini kwake, hakuelewa kwa kufanya hivyo ndiyo ana haribu kabisa.
“Hapa nitawasha simu nikipata pesa zao”
******** *******
Taarifa juu ya saluni kubwa iliyokuwa Sinza inauzwa ilifika mikononi mwa watu wabaya sana,kwao ilikuwa ni dili kubwa kupita kiasi.
“Zabron.Tunafanye hapa Master plan?”
“Kazi ndogo hiyo,fyatua pesa feki.The rest niachie mimi”
“Ha ha ha haaa hapo ndipo napokukubali jembe”
“Mjini hapa”
Ndani ya nyumba ndogo ndipo kikao hiko kizito kilipofanyika,walikuwa ni vijana wadogo lakini wenye akili nyingi za kuishi mjini,hawakuwa na kazi ya aina yoyote ile bali utapeli.Juu ya meza kulikuwa na gazeti lilioandikwa tangazo la saluni inayouzwa Sinza na chini kulikuwa na namba za simu.Hapohapo kijana mmoja kati yao,akaichukuwa na kuipiga.
“Halloo”
Upande wa pili wa simu ukapokea.
“Unaongea na Mr.Zabron Kihaka.Ni mfanyabiashara wa madini aina ya Tanzanite nimeingia juzi nchini Tanzania,nimeona tangazo hapa kuwa saluni inauzwa.Sijui wewe ni mhusika?”
Jinsi Zabron alivyokuwa akiongea kwa sauti ya upole haikuwa rahisi kwa Deo kushtuka kama anazungumza na tapeli wa kimataifa.
“Mimi naitwa Mr.Karekezi,hiyo saluni ni yangu”
“Yes Yes Mr.Karekezi.So far, mimi kama nilivyokwambia ni mfanyabiashara.Ningehitaji kuonana na nawewe nikifika Dar es salaam maana sasa hivi nipo Arusha mara moja lakini nitaingia na ndege ya saa kumi jioni”
“Hakuna tabu.Ukifika Dar es salaam nambie”
“Okay thank you”
Zabron akakata simu na mpango wao ukaanza hapohapo.
Mikakati waliyopanga kwanza ni kumtafuta mteja atakayenunua saluni kisha baadaye watengeneze pesa bandia sababu walikuwa wana mtambo huo kimagendo.Hiyo ndiyo kazi iliyofanyika!
“Inabidi nitumie gari ya Mussa Mbangwe”
“Ile Range?”
“Ndio”
“Nakupa big up”
Haikuchukuwa hata dakika kumi gari la gharama ikapatikana.Saa kumi na moja akamtafuta Deo hewani ambapo walipanga waonane Peacock hotel kwa ajili ya mazungumzo yao.
“Milioni tisini na tano?”
Zabron aliuliza,suti aliyovaa na jinsi alivyochomekea hakutofautishwa na meneja wa benki.
“Ndio milioni tisini na tano”
“Okay well.Ndio nimetoka safari sasa hivi.Kesho nadhani nitakupa Cash,tutawasiliana”
“Sawa ahsante”
Deo kwa heshima zote akasimama na kupeana mkono na tapeli Zabron kama ishara ya kuagana,kilichomfanya Deo apagawe zaidi ni gari alilofika nalo,Range rover spot!Hapo ndipo alipoamini mnunuaji sio mtu wa gozigozi.Mambo yalikwenda harakaharaka siku iliyofuata Deo aliitwa Magomeni Hotel ili apewe kitita cha pesa.
“Nina kuamini ndio maana nakupa pesa kwanza.Ninajua wewe ni mtu na heshima zake.Twende ukanioneshe hiyo saluni pamoja na nyaraka zote,tuandikishiane”
“Hilo halina tatizo”
Moyo wa Deo ulipiga sambasoti kwa furaha wakaongozana na Zabron mpaka Sinza akamuonesha ukubwa wa Saluni pamoja na mali zote,wakaandikishiana karatasi na kila kitu kikatimia.
“Nakutakia kazi njema”
Mr.Zabron akaaga na kuingia ndani ya Landcruiser V8 kisha kuondoka zake.Hapohapo Deo akawasha simu na kumtafuta Katrina hewani ili ampashe habari za pesa zake!Kutokana na kuvunja uaminifu ilimlazimu Katrina awashirikishe polisi kwenye zoezi hilo,aliwapakia polisi watatu ndani ya gari lake na safari ya kwenda kuonana na Deo kuanza mara moja!Ni kweli walionana.
“Samahani Katrina nilipata msiba wa ghafla nikaenda Serengeti lakini pesa zako ninazo”
Deo alijitetea baada ya kuona Katrina kawa mkali kama pilipili mbuzi!
“Sawa kaniwekee benki”
“Sasa hivi?”
“Ndio,nakupa akaunti namba yangu”
“Hakuna shaka”
“Lakini hapana twende wote benki nishuhudie unaingiza pesa”
“Hilo halina shida”
Deo Karekezi na Katrina waliwasha magari mpaka Posta,hapo Deo alishuka na mfuko mkubwa wa rangi nyeusi ambapo ndani kulikuwa na pesa.Akazama mpaka benki akajaza karatasi na kuandika namba za Akaunti za Katrina kumaanisha kuwa pesa hizo zote zilikuwa mali ya Katrina akapanga foleni akisubiri zamu yake.
“Karibu”
Msichana mmoja wa dirishani alisema huku akimtizama Deo ambaye alitoa mfuko mkubwa wa pesa pamoja na karatasi aliyojaza.Kabla ya kuingizwa kwenye akaunti ilikuwa ni lazima pesa zihakikiwe kwa kuingizwa kwenye mashine.
Lakini cha ajabu mashine ilitema pesa,zikawa zinaruka pembeni.Cashier akaziweka tena,hali ikawa ileile kumaanisha kuwa pesa zilikuwa bandia.
“Subiri kidogo kaka”
Msichana wa kaunta akatoka kwenye kiti na kumuacha Deo anatizama huku na kule haelewi hili wala lile.Katika hali ya kushtukiza askari kumi walitokea mlangoni na kumfuata Deo alipo.
“Njoo mara moja”
Deo akaitwa na mmoja wa maaskari,hakuwa mwenye wasiwasi wowote ule.Wakati hayo yote yanatokea Katrina alikuwa ndani nayeye anashuhudia.Deo akaingizwa ndani ya chumba kidogo cha mahojiano.
“Kwanini unatengeneza pesa feki?Naomba tuoneshe huo mtambo kabla sheria haijafata mkondo wake”
Kauli hiyo ilimfanya Deo ahisi kinyesi kinataka kumtoka!




Bila kuulizwa kitu kingine chochote hapohapo alipigwa pingu kwa mbele,bado hakuelewa ni kosa gani alilofanya na kwanini amefungwa pingu.
“Kwanza kaa chini”
Askari mmoja wapo akafoka kwa ukali, Deo akawa anasua lakini alilazimishwa kukaa chini kwa staili ya kukandamizwa bega lake na kilichokuwa kinasikika hapo ni kelele za redio upepo.
“Afande kosa langu nini?”
Ni Deo ndiye aliyeuliza sababu alitaka kujuwa amehusishwa na nini mpaka akawekwa chini ya ulinzi na kuvishwa pingu mikononi kama muhalifu mkubwa.
“Wewe ni moja kwa moja Segerea.Kelele hapo. Afande Amosi,difenda ipo nje hapo?”
“Kaondoka nayo Soja”
“Muulize yuko wapi huyu jambazi apelekwe Msimbazi”
Maneno hayo yalikuwa yanapita masikioni mwa Deo bila chenga yoyote ile na kwa jinsi mambo yalivyotokea na picha ilivyokuwa ilikuwa ni lazima alale kituo cha polisi ingawa hakujuwa ni kosa gani kalifanya.Dakika mbili baadaye wakatokea askari wengine wawili lakini hao walikuwa wamevaa nguo za kiraia wakiwa na redio upepo mikononi mwao.
“Huyu ndio mchonga pesa bandia?”
Ni swali alilouliza askari aliyeingia.
“Ndio”
“Difenda ipo nje hapo,kampakieni.Hivi vijana mbona mnakuwa hamtaki kufanya kazi,mnataka njia za ujanja ujanja”
Deo alinyanyuliwa juu juu msobemsobe na kutolewa ndani ya chumba ambapo huko kulikuwa na wateja wengine wanaweka pesa zao benki,ilibidi wasitishe wanachofanya na kumtizama Deo.Kwa hali iliyotokea ilibidi Katrina asogee karibu zaidi na kumtafuta askari aliyekuwa mstaarabu kati ya wote.
“Afande samahani”
Katrina akamsimamisha askari mmoja wapo baada ya kutoka nje.
“Mama unasemaje?”
“Huyo kaka kafanya nini?”
“Wewe ni nani yako?Au tukupakie kwenye difenda?”
Askari akapiga mkwara kidogo ilionekana hakutaka kuzoeleka kirahisi, alifanya hivyo ili kujenga picha ya kuogopeka.
“Ni mshtakiwa wangu,nataka nijue”
“Kwahiyo ana kesi pia nawewe?”
“Ndio”
“Utamkuta msimbazi”
Deo alisokomezwa ndani ya difenda nyuma na kukalishwa chini,hapohapo safari ya kwenda kituo cha polisi ikaanza.Bado katika akili yake hakuelewa ni kosa gani alilofanya ni sawa aliambiwa yupo chini ya ulinzi kwa kukutwa na pesa bandia lakini hakutaka kulipitisha swala hilo moja kwa moja.
“Afande,kosa langu nini?Na kwanini mnifunge pingu?”
Deo akauliza sababu alielewa askari wanavunja sheria kwa kufanya kitendo kama hicho,jambo hilo kwake alilichukulia moja kwa moja kama udhalilishaji sababu alikuwa ni mtu mwenye wadhifa wake.
“Kelele wewe jambazi”
Askari mmoja akamfokea na kumkanyaga na mguu kichwani hapo Deo akatulia sababu aliamini angeendelea kuongea wenda angechezea kipigo kikali na si ajabu wangempakazia kesi nyingine sababu alijuwa askari wa kibongo walivyo,safari haikuwa ndefu sana.Baada ya dakika kumi na tano difenda iliingia ndani ya kituo cha Msimbazi,kariakoo.
“Shuka shuka shuka.Umefika nyumbani kwako”
Deo akasimama na kutua chini ambapo aliongozana na maaskari mpaka mapokezi.
“Afande huyu tulikuwa tunamtafuta muda mrefu sana.Mtengeneza pesa bandia”
Afande alimwambia mwenzake aliyekuwa zamu.
“Kaaa chini kwanza!Jina lako nani?”
Lilikuwa ni swali liliongozana na mkwara wa sauti kubwa kutoka kwa afande huyu mrefu mnene mwenye sauti ya kukoroma.
“Naitwa Deo Karekezi”
“Kaza sauti,usinitongoze.Kijana kama wewe mdogo unafanya mambo makubwa kama hayo?Umeanza lini tabia hiyo?Na huo mtambo uko wapi?”
“Tabia gani afande?”
Deo akajibu kwa swali.
“Yaani nauliza swali nawewe unauliza swali.Vua mkanda,mjusi wewe.Vua mkanda pumbavu”
“Lakini Afand..”
“Vua mkandaa,vua na saa na viatu,weka mezani hapo.Unaleta usanii.Vua vua vua vua upesi”
Askari alifoka na Deo alitii sheria,akavua mkanda, viatu na saa akaweka mezani.
“Njoo huku”
Bado alidhani ni utani,hakuamini kama siku hiyo anaenda kulala nyuma ya nondo na kama kweli pesa alizotoa zilikuwa bandia alijuwa ungekuwa mwisho wake kuishi uraiani maana hukumu yake isingekuwa ya kitoto,ndiyo maana mapigo yake ya moyo yalibadili mapigo.Kufuli la rumande likafunguliwa akatupwa ndani.
“Afande naomba basi nimpigie rafiki yangu simu anaitwa Mtui namba zake ni 071…..”
Kabla ya kumalizia sentensi akatulizwa na kibao cha mdomo.
“Tulia hotelini humo.Kuku maji”
Kufuli likabanwa!
Maabusu ilikuwa chafu mno na ndani kulikuwa na dirisha moja dogo, hiyo ilipelekea hewa kuwa finyu na kutokana na uchafu wa vinyesi na mikojo ikasabisha hewa kuwa nzito,Deo aliumia pua.Kilichomtisha zaidi ndani kulikuwa na maabusu wengine kumi,sura zao zilimtisha.
“Oyaaaa,unaziba hewa.Mbona upo hapa?”
Ni maabusu mmoja ndiye aliyeuliza swali hilo, ilionekana ndiye alikuwa mkubwa yaani nyapala.
“Nakuuliza wewe,mbona upo hapa?Umefanya kosa gani?”
Deo akameza fundo la mate kwa uwoga.
“Nilimfumania mke wangu,nikamuua yeye pamoja na awala wake na nimemjeruhi askari”
Stori za rumande Deo aliwahi kuzisikia kuwa ukiingia inabidi nawewe ujifanye umetenda tukio zito ili maabusu wakuheshimu,ndiyo maana akadanganya.
“Wewe umeua?”
Jamaa akauliza tena hiyo ikafanya mpaka maabusu wengine wainue shingo zao na kumgeukia Deo,walitaka kumuona mtu huyo anafanana vipi.
“Ndio nimeua”
Deo akasisitiza!
“Ilikuwaje?”
“Nilimfumania mke wangu.Nilimdanganya na safiri kumbe haikuwa hivyo,nikamshtukiza nikamkuta msela mwingine,nikamuua kwa mikono yangu.Baada ya hapo nikamnyonga mke wangu na mto.Kesi ikaenda enda akaja polisi mmoja akataka kuchonga,nikapambana naye nayeye nikamuumiza vibaya sana.Ndiyo maana nipo hapa,sasa wakati naruka ukuta wakanishika”
“Safi sana,wewe jembe letu.Wewe mwizi wa ndala msikitini,toka huko.Mpishe kamanda akae hapo”
Historia aliyotoa Deo ilifanya nyapara amfurahie ndiyo maana akadiriki kumfukuza maabusu aliyekaa kwenye kona.
“Wewe fala yaani unaiba ndala msikitini?Kuna vitu vya kuiba bwege wewe.Kaaa pembeni,kabla sijakupiga beto”
Deo akapewa heshima yake,akaakaa kwenye moja ya pembe.
**********
Katrina aliingia kituo cha polisi msimbazi dakika ishirini baadaye,hata yeye alikuwa akimdai Deo kwa maana hiyo alitaka kujuwa itakuwaje madai ya pesa zake na mbaya zaidi alikuwa ana RB yake tayari,akafika na kujielezea kila kitu kilivyokwenda.
“Yaaani kuna mtuhumiwa kakamatwa alafu pia nawewe unamdai?”
“Ndio afande”
“Una mdai nini?”
“Pesa”
“Mlipeana katika mazingira gani?”
Bila wasiwasi wowote ule Katrina akafunguka na kuongea kila kitu kilivyoenda mpaka mkataba wao.
“Kwahiyo huyu jamaa ni tapeli?”
“Ndio afande”
“Na hapa ana kesi nyingine.Amekutwa na pesa bandia benki.Amekutwa na shilingi karibia milioni kumi za bandia,alikuwa anaenda kuweka benki”
“Mimi sitaki mengine afande,nachotaka anilipe pesa zangu”
“RB yako umeifungulia wapi?”
“Oysterbay”
“Iko wapi?”
Katrina akafungua mkoba wake na kuchomoa karatasi ya kaki yenye kumbukumbu ya namba za faili na kumkabidhi afande,nayeye akaiandika kwenye karatasi nyingine.
“Sasa huyu hapa hatoki cha kufanya,nenda pale oysterbay lete faili lake hapa.Huyu yupo kwenye mdomo wa mamba,atajamba cheche”
“Ahsante afande”
“Sasa Mama unaniachaje?Si unajua lazima tumlinde huyu.Hata likija difenda mimi nitamzuia”
Afande alizunguka mbuyu kidogo lakini Katrina alimuelewa kuwa anataka kifuta jasho!Hakuwa ana shida akaingiza mkono mfukoni na kutoa noti ya shilingi elfu kumi.
“Mama nakuhakikishia,yaani hiyo pesa atatoa.Tutamminya mpaka akojoe damu.Ikishindikana tunampeleka Magomeni kule akakalie chupa”
Maneno hayo yalimtoka afande baada ya kupewa pesa.Hilo lilikuwa halina mjadala ilikuwa ni lazima Deo akae nyuma ya nondo
********
Kwa Katrina swala hilo alilichukulia moja kwa moja kwamba Deo sio mtu mzuri tena ni tapeli mkubwa,hakutegemea kuwa mwanamme kama Deo mwenye heshima zake angefanya kitu kama hicho cha kihuni,ilivyofika jioni na kuonana na Issa alimpelekea swala hilo kama lilivyo.
“Kwahiyo alitaka kututapeli?”
Issa akauliza akiwa mwenye mcheche!
“Ndio baby.Kwanini sijui nilimuamini”
“Yupo kituo gani?”
“Msimbazi pale”
“Kwahiyo kesho watamuhamisha?”
“Kivipi?”
“Kisheria mtuhumiwa haruhusiwi kulala zaidi ya masaa ishirini na nne kituoni.La sivyo anapelekwa mahakamani”
“Sasa itakuwaje?”
“Yaani hapa,twende mguu wa mguu mpaka oysterbay tukachukuwe hilo faili.Mimi nitaongea na OCS Kamuhanda ili nijue hiyo kesi inakuwaje”
“Sawa baby,basi twende sasa hivi”
Hawakuwa na haja nyingine ya kusubiri,wakaingia ndani ya gari na kunyoosha mpaka kituo cha polisi Oysterbay,hapo walipewa askari mmoja pamoja na faili wakawasha gari mpaka Msimbazi polisi.Jinsi Issa Mpelembe alivyochomekea na kitambi kiasi ilifanya kila askari aliyemuona ashoboke,gari la kifahari alilopaki nje ndiyo liliwatisha zaidi.
“Mzee Karibu”
Ingawa hakuwa mzee lakini walimpa cheo.
“Ahsante,huyu ni mke wangu nadhani alikuja leo asubuhi”
“Ndio, Mama alikuja hapa”
“Sasa tumeleta lile faili”
“Sawa.Sasa hapa cha kufanya,kesho asubuhi mje ili mpewe mpelelezi wa kesi yenu.Lakini inabidi muonane na mtuhumiwa wenu ili mthibitishe kama ni yeye kweli”
“Sawa hilo halina shaka”
Afande alivyomaliza kurekodi kwenye faili akasimama mpaka nje ya nondo.
“Deo Karekezi.Deoo Karekezi”
Afande akaita kwa sauti.
“Naam afande”
Deo akaitikia kisha kusimama kwenye nondo.
“Unawafahamu wale?”
Deo alimuangalia Katrina na sura yake aliikumbuka lakini alivyomuangalia Issa alihisi kumfananisha,hakuwa mwenye uhakika.
“Ndiyo huyo dada namfahamu”
“Mzee,mtuhumiwa ndiyo huyu?”
Moyo wa Issa ukapiga paa!Hakuamini kuwa mtu anayemuona ndani ya maabusu ni Deo Karekezi ambaye alimtesa kipindi cha nyuma na mbali na hapo alimchukulia mpenzi wake Marietha kinguvu akitumia pesa zake kama fimbo!


Bado hakutaka kuamini aliyekuwa nyuma ya nondo ndani ya maabusu alikuwa ni Deo Karekezi,kichwa chake kikaanza kumimina vitu vingi sana vilivyopita nyuma,hususani alivyoteswa na kusingiziwa kesi ya wizi akapigwa na kudhalilishwa kisa alikuwa kabwela yaani maskini wa kutupwa mbali na hapo alinyang’anywa furaha yake,Marietha!Jambo hilo lilikuwa la kinyama kupita kiasi.Damu ya Issa ilianza kutembea kwa kasi mapigo yake ya moyo yakabadili mwendo,akaanza kuhema juu juu,kifua chake kikaanza kupanda juu na kushuka,akawa anamtizama Deo kwa macho yaliyojaa hasira za waziwazi jambo ambalo Katrina alishindwa kulielewa.Na alijuwa kuwa hali kama hiyo haikuwa ya kawaida.
“Baby,mtu mwenyewe ndiyo huyo”
Katrina ndiye aliyemzindua Issa kutoka katika dimbwi kubwa la mawazo ambayo yalifanya apandishe mori.
“Okay”
Issa akaitikia,akamshika mkono mpenzi wake wakatoka nje ambapo huko hakuongea chochote,zaidi tu waliingia ndani ya gari
Na kuondoka zao!Ukinywa ulitawala na Issa alionekana kuwa mwenye mawazo chungu mzima kichwani kwake.
“Baby are you okay?”(Mpenzi upo sawa)
Katrina alihoji alivyoona Issa ameshika tama,alijuwa ni lazima kutakuwa na tatizo kubwa linalomsumbua mpenzi wake.
“I’m okay”(Nipo sawa)
Akasema huku akijitahidi kupachika tabasamu la plastiki lakini kichwani kwake alikuwa ana mikakati mikubwa sana dhidi ya Deo.
“Lazima nimfunge jela”
“Unaongea namimi?”
“Ndio,lazima huyo tapeli wa kimataifa tumfunge.Au unamuonea huruma?”
“Hapama baby lakini akitulipa pesa zetu,hakutakuwa na haja ya sisi kumfunga”
“Mimi nishasema.Nitamfunga kama hutaki ni wewe.Mimi nitamfunga”
Hakukuwa na sababu yoyote ya Issa kufoka kwa sauti namna hiyo na kumkaripia Katrina jambo ambalo halikuwa la kawaida kabisa,hiyo ilimuogopesaha sana Katrina sababu hakutegemea kujibiwa kwa ukali namna hiyo,akaogopa na kukaa kimnya!
“Umenisikia?”
“Ndio baby”
Wakazidi kusonga mbele na walivyofika Issa akaegesha gari lake na kushuka.Akapitiliza moja kwa moja mpaka chumbani ambapo alijitupa kitadani na kichwa chake kukielekezea juu!
“Dunia ni duara.Mimi nitamfunza adabu na iwe funzo kwa watu wote wenye dharau,alinidhalilisha sana”
Issa aliwaza mwenyewe kichwani, bado hakuelewa amfanye nini Deo Karekezi lakini ilikuwa ni lazima amfunze adabu na kumpa somo kuwa usimdharau mtu kwa maana hujui kesho yake itakuwaje,kwake swala hilo akataka kutengeneza liwe kisasi.
“Una namba za RPC Dalton Bayeke?”
Katrina alikumbana na swali hilo mara baada ya kuingia chumbani.
“Za nini?”
“Unazo au?”
“Ndio lakini za nini?”
“Naziomba”
Kufuatia hapo Katrina hakuwa na swali lingine lolote lile zaidi ya kutoa namba za RPC na alichofanya Issa ni kuzihifandi kwenye simu yake.
“Naenda kukuandalia chakula”
“Okay Darling”
Maisha ya Issa yalibadilika mazima kutoka umaskini mpaka kuwa tajiri mkubwa wakati mwingine aliamini ule msemo unaosema ‘Everything happens for a reason”yaani kila kitu kina makusudi yake,kuachana na Marietha ndiyo sababu ya kukutana na Katrina vinginevyo angeendelea kuwa maskini vilevile,aliendelea kutafakari akiwa juu ya kitanda yupo chali.Akainuka na kuingia bafuni kwenda kuoga,ambapo kulikuwa na bafu la kisasa ambalo unaingia ndani alafu unafungua yaani yakuza, humo ndipo aliwasha bomba la mvua na maji kuanza kummwagikia kichwani.Hakukaa sana bafuni akahisi mlango umefunguliwa,kabla ya kugeuka nyuma akahisi kiuno chake kimeshikwa na mikono laini sana haikuwa kazi ngumu kugundua ni nani.
“Baby tuoge wote”
Ilikuwa ni sauti ya Katrina akiwa nyuma yake ananong’ona masikioni mwake kimahaba huku akimkwaruza na kucha zake laini mgongoni mwake.Jotoridi la Issa likaanza kupanda taratibu na hisia zake zikahama,ndizi yake taratibu ikawa inakaza mara ikasimama kabisa,Katrina alilijuwa hilo akaishika na kuanza kuichuwa taratibu kabisa.Midadi ilivyompanda akamgeuza Katrina na kumsogelea midomoni wakaanza kunyonyana ndimi kama njiwa,Issa hakuishia hapo akajichomoa mdomoni mwa Katrina na kunyonya shingo,huku mkono wake mwingine taratibu ukipita chini mpaka kwenye mgodi na kuanza kuuchekecha kidogo.Hapo ndipo Katrina akawa hajiwezi tena,alihisi joto la ajabu mno ndiyo maana mpaka akafumba macho yake kwa niya ya kusikilizia raha za ajabu.
“Mmmmmh”
Katrina akaguna na rangi yake ilikuwa tayari imebadilika,akawa mwekundu kama ubuyu.Issa alizidi kushughulika naye bila kukoma.
“Beeibiiiiii.Tweeendee chumbaaani”
Katrina akasema kwani tayari alikuwa hoi na alitaka tendo alilotaka lianze mara moja.
“Nooooo”
Issa alivyojibu akamuinua Katrina kwa Juu na kuishika miguu yake huku na kule na kumuweka ukutani,akashika ndizi yake iliyokuwa imesimama na kuingiza ndani ya mgodi wa Katrina.
“Aaaaaah”
Ndizi ilivyoingia ndani ya mgodi wake,akatoa mguno hiyo ilimaanisha mambo ni mazuri,Issa akaanza kuzungusha kiuno chake tena kwa kasi ya ajabu huku akinyonya mdomo wa Katrina ambaye hata yeye mikono yake ilikuwa nyuma ya shingo ya Issa,wanapigana madenda.Zilikuwa ni raha ambazo hazikuweza kuelezeka kiwepesi.Hazikupita hata dakika mbili wakawa tayari wamemaliza!Wakaoga na kuingia chumbani.
“Niwekee ile movie ya jana,niangalie”
“Movie ipi baby?”
“My Virginity”
“Ile ya Catherine?”
“Ndio,Catherine na Enock”
“kumbe baby uliipenda?”
“Ndio.Mule nimempenda sana Mama Nattu.yule Mkongo mtata sana”
“Ngoja nikuwekee”
“Okay”
Issa na Katrina walikuwa chumbani na ilikuwa kila ikifika usiku ni lazima waangalie filamu yoyote ile na kupiga stori za hapa na pale,sio siri watu hawa walipendana sana na walionekana kuwa wenye furaha mbali na hapo katika mapenzi yao walikuwa na historia kubwa sana mpaka kufikia walipo.
***********
Kesi ya Deo Karekezi kukutwa na pesa bandia bado iliendelea kumuweka pabaya sana,faili lake lilipanda ngazi za juu na ndiyo maana hata marafiki zake wakina Mtui walipojaribu kuongea na maaskari angalau watoe rushwa ili Deo awe huru haikuwezekana.
“Hili faili halipo mikononi mwetu,natamani kukusaidia lakini nashindwa”
Afande Panzi alimuelezea Mtui siku hiyo kituoni baada ya kuambiwa kila kitu,Mtui alisikitika sana.
“Faili lipo kwa nani?”
“Kwa RPC Bayeke.Na unajuwa jinsi gani alivyokuwa mnoko”
“Naelewa”
“Tuombe tu mambo yasizidi kufika mbali”
Sio Mtui peke yake aliyemuhangaikia Deo bali karibu jopo zima la wafanyabiashara wenzake walipishana kituo cha polisi lakini hawakuweza kumuweka huru,ilikuwa ni lazima Deo apandishwe mahakamani na ikiwezekana afungwe,nyuma ya yote hayo alikuwa Issa Mpelembe na mpenzi wake Katrina wote waliungana ili kumuweka Deo ndani kwa kosa la kutaka kukimbia na pesa zao.
Maabusu hakukuwa sehemu sahihi kwake na muda wote alitamani kulia machozi, bado aliendelea kudhani vitu vinavyotokea katika maisha yake ni ndoto sababu haikuwezekana mabalaa yaongozane.Mkewe kuzaa mzungu,kushtakiwa na Katrina,kuwekewa pesa bandia hivyo vyote aliviunganisha na kuvijumuisha.Akiwa rumande alimtumia Mtui ili afatilie watu aliowauzia saluni yake lakini majibu aliyorudishiwa hayakuwa mazuri kwani Saluni yake ilikuwa inabomolewa na kiwanja aliuziwa mtu mwingine,alichoka!Hakuamini kama kufumba na kufumbua dunia imempa kisogo.Hakukuwa na mjadala mwingine zaidi ya faili lake kupelekwa mahakamni na mnamo tarehe 10 March alisomewa mashtaka ya kukutwa na fedha bandia pamoja na kujaribu kufanya utapeli.
Kutokana na mambo kufika mbali na alikuwa akidaiwa ilibidi auze magari yake mawili ili amlipe Katrina lakini hiyo haikufanya awe huru kwani alikuwa ana shtaka lingine la kukutwa na pesa bandia,kwa kosa hilo serikali haikutaka kulifumbia swala hilo macho!Nyumba zake zikashikiliwa pamoja na akaunti zake za benki.Siku zote mkutwa na ngozi ndiye aliyekula nyama japokuwa alijielezea kila kitu kilivyokwenda lakini haikuwa rahisi.
“….Deo Karekezi unahukumiwa kifungo cha Miaka Kumi na tano gerezani na faini ya shilingi milioni tisini….”
Hakimu aligonga nyundo mezani baada ya kesi kuunguruma karibia miezi mitatu,Deo alilia machozi hakuamini kama maisha yake hata siku moja ataenda gerezani.
“Kooorrtiiiiiiiiii”
Wazee wa baraza walisimama na kutoka nje huku Deo Karekezi akiwepo Kizimbani anamwaga machozi kwani miaka kumi na tano gerezani haikuwa midogo,askari wakamsogelea na kumpiga pingu mikononi, wakatoka naye nje kwa ajili ya kumuweka ndani ya karandinga la gereza na huko ndipo yangekuwa makazi yake mapya!


Kifungo cha Deo kilitia simanzi mno hasa kwa watu waliomfahamu.Hakuna hata mmoja kati ya marafiki zake waliotaka kukubali kuwa mtu kama Deo anaenda gerezani,kila mtu alimsikitikia na wengi walitamani swala hilo liwe ndoto.Nyuma ya Deo kulikuwa na askari magereza watatu wanamsindikiza kuelekea ndani ya karandinga la magereza.
“Deo,yote yatakwisha kwani hiyo miaka ni michache sana.Pole kaka”
Mtui alimsogelea Deo karibu na kumshika bega akimpa moyo kwani ndiye rafiki yake wa karibu aliyepambana na kesi hiyo mpaka tamati, hatimaye akashindwa.Deo alihisi kitu shingoni kinamkaba na hapohapo machozi yalianza kumtoka.
“Nina mwana..ngu Abraham tafadha..li naomba asijuwe kuwa nipo gerezani”
Deo aliongea kwa uchungu mno,alitia huruma!
“Deo,inabidi ajuwe ukweli.Sasa ataambiwa nini?”
“Mwambie baba yake alikufa”
“Deo”
“Mtui,mwambie hivyo.Akikuwa kuna mali zake.Mtafute Advocate anayeitwa Jonathan Mlawa pale kisutu”
“Lakini keshokutwa tu utatoka.Chukulia hii ni kama changamoto katika maisha,kila jaribu lina mlango wake Deo,elewa hivyo”
“Msalimie Abraham,yupo kwa Marietha.Usisahau niliyokwambia”
Deo alikuwa anaongea maneno yaliyowatia watu simanzi hata askari waliokuwa nyuma yake walijisikia uchungu ndiyo maana walidiriki kusimama naye ili walau azungumze na marafiki zake.Wafanyakazi wake waliokuwa pembeni wanaangalia walimwaga machozi sababu walimzoea tajiri yao,licha ya yote vibarua vyao vingeota nyasi kifupi ilikuwa ni picha ya kuuzunisha kupita kiasi.
“Twende twende.Muda tayari”
Askari magereza akatoa kauli hiyo na kumsukumiza Deo asonge mbele,akaingizwa ndani ya karandinga! Ndani kulikuwa na wafungwa wengine zaidi ya kumi. Bado ilimuwia vigumu kuamini kuwa anaenda kuanza maisha mapya gerezani,alijaribu kuyatafakari maisha ya jela na kushindwa kuelewa yanafanana vipi sababu hakuwahi kuwa mfungwa kabla.Akiwa ndani ya gari alilia machozi huku akiwatizama ndugu,jamaa na marafiki zake.Karandinga likaanza safari ya kwenda Ukonga huko ndipo Deo alipohukumiwa kifungo chake.
*********
Maisha ya Marietha yalizidi kuwa magumu kupita kiasi,watoto wawili aliokuwa nao walihitaji kunyonya na kupata malezi bora.Marietha asingeweza kufanya hivyo bila kuwa na kitu chochote mfukoni,hakupata chakula kizuri hiyo ilifanya mpaka maziwa yake yashindwe kutoka.Abraham alikuwa akilia kila kukicha,hiyo ilizidi kumuumiza sana kichwa chake mbali na yote alipambana kwa kufanya vibarua vya hapa na pale ili kupata pesa za kujikimu yeye na watoto wake wawili aliokuwa nao tayari.
“Isingekuwa nyinyi watoto,ningejinyonga”
Hayo ndiyo yalikuwa maneno ya Marietha kila siku iendayo kwa Mungu,kutokana na shida alizokuwa nazo wakati mwingine alitamani kufa ingawa alijuwa kwa kufanya hivyo anamkufuru Mungu kwani yeye ndiye mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa kiumbe chochote kile duniani.
“Eh Mungu,kwanini hivi?Mfano ungekuwa wewe unapata mateso kama yangu,ungefanya nini?”
Ni Marietha siku hiyo alikuwa akiongea mwenyewe nje ya kibaraza cha duka la mkinga,Kariakoo!Hiyo ndiyo ilikuwa sehemu yake ya kulala siku zote.Siku inayoitwa Kesho kwake hakujua anakula nini na siku zote ilikuwa ni afadhali ya jana,Abraham alishaanza kutambaa na alimjua Mama yake tayari.
“Ng’aaaa ng’aaaaa”
Abraham ndiye alikuwa anasumbua baada ya Mama yake kusimama na kuanza kujifunga kanga.
“Abraham nyamaza,siondoki.Mbona mwenzako amelala.Aya njoo basi”
“Mamaaaaa mamaaaaa”
Kifupi alishaijua sura ya Mama yake na haikuwa kazi rahisi kumuona akiwa mbali naye akae kimnya ilikuwa ni lazima apige kelele,hiyo ilikuwa ni asubuhi ya saa kumi ndipo Marietha alizinduka kutoka usingizini.Akaweka kila kitu sawa na kuwabeba watoto wake.Kibarua cha kuanza kutafuta kazi kilikuwa kilekile,Jua kali la mchana lote lilikuwa halali yake lakini alifanya hivyo kama Mama ili watoto wake waishi vizuri, siku hiyo hakupata sehemu yoyote ile ya kujiegesha ili afanye kazi na kula na wanaye hiyo ilimchanganya akili sababu kila alipoenda alitoka kapa.Njaa na kiu vilimbana,ilivyofika usiku alikaa sehemu yenye giza na kufungua nguo yake ya juu,akatoa ziwa moja ili amnyonyeshe Abraham kisha baadaye mtoto wake mwingine wa kizungu ambaye bado hakumpa jina,alijitahidi kukamua maziwa lakini hakukuwa hata na tone hiyo ilitokana na kutokula siku nzima.Aliumia mtima na aliwaurumia wanae!
“Wewee Mama unafanya nini hapo?”
Ilikuwa ni sauti iliyomzindua akiwa katikati ya mawazo.
“Nakuuliza unafanya nini hapo?”
“Ninapita njia”
“Unaenda wapi?”
“Kariakoo”
“Usiku wote huu na watoto huoni ni hatari?”
“Najua”
“Unaenda Kariakoo sehemu gani?”
Mzee aliyevaa kanzu alizidi kuuliza maswali yasiyokuwa na msingi.
“Kule mtaa wa Sikukuu”
“Mbona unaonekana una wasiwasi.Njoo hapa”
Haukuwa utani,Marietha alionekana mwenye wasiwasi sana na mwenye hofu kupita kiasi akasogea huku akiweka maziwa yake vizuri.
“Unaitwa nani?”
“Marietha”
“Unaishi wapi?”
“Mimi,Mimi nakaa hapo Kariakoo”
“Usiku huu unatafuta nini?”
Mzee huyu alizidi kuuliza maswali mengi kama polisi na yasiyokuwa na msingi wowote ule.Niya ya kuuliza maswali yote hayo aliijuwa mwenyewe sababu alimuangalia Marietha kwa jicho la tatu.
“Inaelekea una matatizo sana”
“Ndio ninayo”
“Nieleze,nitakusaidia”
“Wanangu hawajala,namimi nina njaa sana”
“Kingine?”
“Hayo tu”
“Sawa,mimi naishi mtaa wa huku nyuma.Twende nikakusaidie”
Mjini hakukuwa na msaada wa bure hata siku moja!Kabla ya kupewa vitu anavyohitaji alihitajika kingono kwanza na hayo ndiyo yalikuwa mahesabu ya mzee huyu aliyejitambulisha kwa jina la Aziz,wakatembea mtaa kwa mtaa lakini walipofika mbele zaidi Marietha alisimama na kuonekana kusita,alikuwa ni kama amechezwa na machale.
“Mzee wangu,kwani huwezi kunisaidia mpaka kwako?”
Marietha aliuliza baada ya kuona wanazidi kusonga mbele zaidi.
“Usiwe na wasiwasi wowote ule,twende”
Kwa kuwa alikuwa ana njaa na aliwahurumia wanaye akaendelea kusonga mbele mpaka walipotoka mtaa wa Agrey,hapo waliuvuka na kuingia mtaa wa pili,wakaingia kichocholoni na kuibuka kwenye nyumba zilizopangana, Mzee Aziz akatoa funguo ndani ya mfuko wa kanzu yake.
“Aasalam aelekuy”
“Waalekuy msaalam”
Alisalimiana na majirani zake,akafungua Mlango na kumkaribisha Marietha ndani,ilikuwa ni nyumba ndogo yenye sable na chumba kimoja.
“Karibu jisikie huru.Karibu hapa ndiyo kwangu”
Marietha alitolewa wasiwasi,Mzee Aziz akaingia jikoni na kurudi na hotpot lenye chakula kilichopikwa vizuri,mbali na Marietha kukaribishwa vizuri lakini alionekana kuwa mwenye wasiwasi bado.Angalia ya Mzee Aziz haikuwa ya kawaida kabisa,kuna kitu alianza kukihisi kisichokuwa cha kawaida! Alikuwa ni kama ametabiri vile kwani Mzee Aziz alimsogelea karibu na kuweka mikono yake juu ya paja lake,Marietha akautoa mkono.
“Vipi?”
Mzee akauliza kana kwamba walikubaliana.
“Naomba niende”
“Uwende wapi sasa?Chakula hiko hapo mezani”
“Hapana nimeshiba”
“Pesa hizi hapa”
Mzee Aziz akaweka shilingi elfu arobaini mezani,Marietha akaziangalia na kutafakari, bado alikuwa njiapanda hakuelewa ni kitu gani akifanye.Alikuwa ana njaa na mwenye matatizo makubwa sana katika maisha yake na msaada aliokuwa anautaka ulikuwa mbele yake.
“Nashukuru naomba niende”
“Au ngoja niongeze”
Mzee Aziz akaongeza elfu ishirini.Pesa na Chakula kwake alivifananisha na ndoano.
“Tafadhali,kama unaamua kunisaidia usi…”
“Mbona una mashaka sana.Unataka chakula,hiko hapo.Waweke watoto chini,ule ushibe kisha uwende.Lakini kitu kimoja,nisaidie namimi nikusaidie”
“Nikusaidie nini mzee?”
“Wewe mtu mzima alafu wewe ni mzuri.Najuwa una njaa na shida ya pesa”
“Unahitaji nini?”
“Twende chumbani tukamalizane,ule uchukuwe pesa uwende”
Marietha aliangalia chini,akasikitika mno!Ni kweli alikuwa ana matatizo makubwa lakini hakuwa tayari kupanua miguu yake ili apatiwe msaada.Alivyowaangalia watoto wake aliumia sana!
“Chagua haraka,hutaki nenda”
Mzee Aziz aliongea huku akimuangalia Marietha usoni jinsi alivyokuwa mzuri na tayari damu yake ilikuwa inamwenda mbio,alimshukuru Mungu kwa kupata kitoweo usiku wa siku hiyo.Marietha bado alitafakari kichwani,aliwasikitikia sana watoto wake walivyodhoofika!Akapiga jicho mezani na kuona noti za pesa na pembeni kulikuwa na wali nyama.Alijisikia kuondoka lakini hakuelewa huko mbele ya safari ingekuwaje na watoto wake,hiyo ilimlazimu amuweke Abraham pembeni pamoja na mtoto wa kizungu.Kumaanisha kuwa amekubali kufanya ngono na Mzee Aziz kwa makubaliano ya kupewa pesa na chakula.
“Twende chumbani”
Kitendo cha Kumuweka Abraham chini alianza kulia machozi lakini Mzee Aziz hakujali,akazama na Marietha chumbani.
“Abr..aham nakuja mwana..nngu nafanya hivi kwa aji..li yako”
Mzee Aziz kabla ya hili wala lile akafunga mlango, akavua kanzu yake na kumshika Marietha,akamtupa kitandani na kung’ofoa kanga yake,akamvua chupi nayeye akavua nguo yake ya ndani.Hapohapo akampandia kwa juu ili auburudishe mwili wake!
“Huu mguu weka hivi”
Mzee Aziz alitoa maagizo,akanyanyua mguu wa Marietha na kupanua vizuri,akaingia katikati yake na kuingiza ndizi yake ndani ya mgodi.
*********
Maisha ya Issa na Katrina yalikuwa ya raha mustarehe,walipendana kupita kiasi!Ujenzi wa gorofa ulienda kwa kasi ya ajabu na ndani ya wiki nne walikuwa wamepiga hatua kubwa mno.Gorofa sita zilikuwa tayari zimeisha.Baada ya hapo taratibu za kuweka mabomba ya maji na umeme ulianza na plasta zikafutia,mafundi wa umeme wakaitwa kuangalia mfumo wa nyaya utakavyoenda.Mikakati ikaenda kama ilivyopangwa kwani mwezi mmoja baadaye waya za umeme ziliwekwa,kilichofuatia ni rangi.Issa alikuwa makini na mkewe alikuwa nyuma yake akifanya juhudi za kutafuta pesa.Ratiba yao ilijulikana siku zote,ikifika saa kumi jioni baada ya shughuli wanakutana Kariakoo na kuangalia jinsi ujenzi unavyokwenda kisha baadaye wanarudi wote nyumbani.
“Baby leo nimechoka sana”
Katrina alimdekea Issa siku hiyo walivyofika chumbani.
“Hata mimi”
“Mh,nikwambie kitu Love?”
“Niambie mpenzi”
“Nina mimba”
Katrina akasema kwa furaha huku akimtizama Issa.
“Sema ukweli mpenzi!”
“Yes nina mimba yako Issa nimetoka hospitali leo.Ndoto zangu zimetimia,nakupenda sana”
Wote wakapigana mabusu kwa furaha,wakajitupa kitandani na kuanza kutomasana kila mahali.


Kwa Issa lilikuwa ni jambo la furaha kupita kiasi.Na jinsi mambo yalivyokwenda aliamini ulikuwa ni wakati muafaka wa yeye kuwa na familia ndiyo maana muda wote alikuwa ana furaha sana.Baada ya kufanya tendo hilo ambalo kwao bado halikuhalalishwa kidini,walikoga na kurudi kitandani ambapo huko walianza mazungumzo yao mpaka kunapambazuka, hakukuwa na mtu yoyote yule aliyelala usiku huo.
“Bebii leo najisikia kubaki tu nyumbani”
Katrina alizungumza asubuhi ya siku hiyo.
“Acha uvivu wako”
“Ndio ukweli.Alafu nina usingizi sasa”
“Jana hatukulala hata kidogo”
“Ndio maana nina usingizi,nikienda huko nitaharibu kazi.Nisije nikaua wagonjwa,nahitaji kupumzika”
“Basi mimi naenda”
“Kwani hujachoka?”
“Kuna mambo natakiwa kumalizia”
“Lakini baby uwahi kurudi”
“Sasa unadhani nitapitia wapi?”
“Ah ah ah mimi nasema mpenzi,mdomo haulipiwi kodi”
“Baby una maneno.Naenda kuoga”
Hivyo ndivyo ilivyokuwa,Issa akajiandaa kisha kuondoka zake huku nyuma akimuacha Katrina kitandani anamtizama kwa jicho la huba,hakukuwa na kitu chochote kile cha kumtenganisha naye isipokuwa kifo, hivyo ndivyo alivyoamini siku zote.
Wakati mwingine alijifananisha na gari na Issa ndiyo mafuta,bila Issa si kitu kabisa!Alijihisi ni mwanamke mwenye furaha kuliko yoyote yule.Kwa upande wa Issa yeye pia ilikuwa hivyo hivyo bila Katrina maisha yangekuwa ni sawa na basi bila konda,bado hakutaka kuamini kama amepata zali na kuwa tajiri jambo ambalo hata siku moja hakuwahi kuliota.Leo hii anamiliki magari na nyumba ingawa havikuwa mali yake.Akatoka mpaka nje na kuangalia magari yalivyopaki,akaingia ndani ya gari kubwa aina ya Nissan Patrol hilo ndilo alilochagua kutembelea siku hiyo,akarudi kinyumenyume na alivyofika getini, likajifungua lenyewe.Lilikuwa ni geti kubwa la kisasa,gari lilivyotoka, geti likajifunga!
Kitendo cha kufika ofisini siku hiyo alifanya kazi kama kawaida akiwa mwenye furaha kupita kiasi.
“Ingia”
Issa alisema baada ya kusikia mlango wa ofisi yake unagongwa.
“Niambie Siwema”
“Kuna ujumbe wako hapa bosi nimeachiwa”
“Sawa ahsante”
Msichana mdogo ama sekretari wa Issa ndiye alikuwa ndani ya ofisi anatoa ujumbe.
“Alafu Siwema…”
Issa akaita baada ya Siwema kuufikia mlango.
“Abee Bosi”
“Yule mwanasheria alikuja leo?”
“Alikuja jana jioni ndiyo kanipa hiyo baasha”
“Oooh,ahsante”
Hapohapo Issa akafungua bahasha ilikuwa na karatasi ndani,zilikuwa ni hundi za pesa nyingi walizolipwa baada ya mali za Deo kupigwa mnada ili deni lao lilipwe,ilikuwa ni furaha kubwa sana kwao.Akiwa anapitia karatasi kwa umakini akaingia mwanamke mwingine mdogo wa makamo,huyu alikuwa katika kitengo cha manunuzi.Alikuwa ni mwanamke mrangi,mweupe mrefu kwenda hewani,amebarikiwa kuwa na makalio makubwa sio mchezo na ungebahatika kumuona usingedhani kama kuna wanawake vimwali kama yeye.
“Khadija,karibu”
“Ahsante”
“Kuna nini kipya?”
“Hakuna kitu nilitaka kujua kama kuna tatizo,nasikia unaniiita”
“Hapana sijakuita”
Khadija hakuitwa bali alikuwa ana lake jambo, niya yake ilikuwa ni kujilengesha kwa Issa alale naye japo siku moja na ndiyo maana aliingia ofisini kwa bosi wake na mikogo tofauti tofauti akiwa mwenye niya ya kumtega aingie laini na aliamini kwa jinsi alivyovaa Issa asingechomoka.Alivaa sketi ndefu lakini laini na ilikuwa na mpasuo mkubwa uliovuka mpaka juu ya magoti yake hiyo ilipelekea mpaka paja lake lionekane waziwazi,siku zote hisia zake zilimpeleka puta na alijitahidi kwa kiasi cha kutosha kujizuia lakini alishindwa ndiyo maana akajitosa kimasomaso.
“Lakini bosi”
Khadija akaita huku akijilegeza.
“Nakusikiliza”
“Leo naomba nidrop nyumbani sijisikii vizuri”
“Unaishi wapi kwani?”
“Goba”
“Uko mbali sana.Cha kukusaidia nikupe pesa ya taxi,umenielewa?”
“Lakini bosi nili…”
“Nitakupa pesa ya taxi,kaendelee na kazi.Nina shughuli za kufanya hapa Khadija”
“Ahsante bosi”
Khadija aliondoka akiwa mwenye simanzi nyingi sana moyoni,hakutaka kumkosa Issa hata kwa sekunde moja na aliapia siku hiyo ni lazima alale naye kwa njia moja ama nyingine ndiyo maana hata alivyokuwa anatembea akawa anajitingisha nyuma kwa makusudi ili kumnasa Issa kirahisi.
“Aya bosi ahsante”
Khadija akaaga tena lakini Issa hakuitikia badala yake akaishia kumuangalia na kuendelea na shughuli zilizokuwa mezani kwake,hazikupita hata dakika tano simu yake ya mkononi ikaita.Hakuwa mwingine bali ni kipenzi chake, Katrina.
“Baby nikupikie nini leo?”
Ilikuwa ni sauti kutoka kwa Katrina.
“Chochote tu”
“Hapana niambie bwana”
“Pika wali samaki”
“Okay love,alafu vitu vimeisha isha ndani ya friji.Vya kuongeza”
“Nitakuja navyo”
“Acha tu,nitaenda kununua.Ngoja nijiandae hapa harakaharaka love.Kazi zinasemaje?”
“Ndio namalizia,alafu pesa yetu tayari ipo kwenye akaunti.Tushalipwa”
“Sema ukweli Issa”
“Nakwambia ukweli”
“Kwahiyo zipo kwenye akaunti tayari?”
“Yaah”
“Bora,maana nilikuwa nimekata tamaa tayari”
“Mungu ni mwema”
“Uwahi kurudi mpenzi,nataka tuzungumze kitu”
“Okay usijali”
Katrina alifurahi siku hiyo kupita kiasi,habari za pesa kuingia ndani ya akaunti zilimfanya apate nguvu mpya ya kuingia bafuni na kujimwagia maji ambapo huko alifanya kila kitu na kuingia chumbani,akakaa juu ya meza ya vipodozi hapo alitumia dakika kumi nzima kuukarabati uso wake,akasimama na kuchukuwa baibui akaivaa,akabeba na miwani ya jua na kukwapua funguo ya gari kwa safari ya kwenda kununua vitu vya jikoni,kupika.Alivyokuwa njiani alikuwa mwenye furaha iliyozidi kifani ndiyo maana akadiriki hata kuongeza mziki wa sauti akisikiliza kaswida.
“Griii griiiii”
Simu ikamshtua akahamisha macho yake mbele na kuangalia pembeni ya gia kulipokuwa na pochi yake,ndani kulikuwa na simu.Akaingiza mkono ndani,kitendo cha kuangalia mbele bila kutarajia alimuona mwanamke anavuka barabara akikimbia,moyo wake ukapiga paa!Kwa kasi ya umeme akaweka mguu kati lakini bahati mbaya alikuwa tayari amechelewa kwani alimgonga mwanamke huyo vibaya sana.
************
Mzee Aziz alikuwa juu ya kiuno cha Marietha bado anakidhi haja zake, kutokana na kukaa miezi miwili bila kufanya tendo hilo la ngono,alikuwa ana ugwadu kupita kiasi ndiyo maana alifanya kwa pupa mno na papala,hazikupita hata dakika moja akaanza kuhema harakaharaka huku akizidisha kasi,Marietha alikuwa chini yake analia sababu aliamini alifanya kwa ajili ya wanaye wale nayeye aweze kuishi.Mzee Aziz alifika mshindo na kutulia kwa kama sekunde mbili nzima,akatoka pembeni jasho lilikuwa linamtoka kwa mbali.Marietha akachukuwa nguo zake harakaharaka na kuvaa akasimama na kutoka kitandani na kufungua mlango.Aliumia zaidi baada ya kumkuta Abraham analia machozi ya uchungu mpaka mishipa ya kichwa ikamtoka,akamnyanyua na kuchukuwa pesa zilizowekwa mezani na kuziweka katikati ya sidiria.
“Kula chakula”
Mzee Aziz akatoka akiwa tayari amevaa kanzu yake.
“Hapana ahsante nitakula mbele ya safari”
“Binti kula chakula,umekitolea jasho”
Mzee Aziz jambo hilo alilifananisha na biashara,alimchukulia Marietha kama changudoa.Kwa kuwa alikuwa ana njaa na mwenye uchovu ilimlazimu ale chakula kilichokuwa mezani akiwa mwenye wasiwasi mwingi sana.
“Maji ya kunywa haya hapa.Jina lako nani?”
Mzee akauliza,alitaka kumjua Marietha kiundani zaidi.
“Marietha”
“Una jina zuri”
“Mumeo yuko wapi?”
“Alifariki”
Alidanganya.
“Sasa hivi unaishi na nani?”
“Nilikuwa naishi Vingunguti lakini nimefukuzwa kodi”
“Pole sana,unaonaje ukawa unaishi hapa namimi?”
“Hapana siwezi”
“Usiogope Marietha.Wewe ni mwanamke mzuri sana”
“Ahsante”
Hata angewekewa kisu shingoni asingekubali kuishi na Mzee Aziz hata kidogo hilo aliapia ndani ya moyo wake,ndiyo maana alivyomaliza kula akaaga na kuondoka zake.Kulala kwa Mzee Aziz ilikuwa ni sawa la kulala na Simba mwenye njaa kali ilhali yeye ni Swala,ni lazima angeliwa!
“Unaenda wapi usiku wote huu?”
Marietha hakujibu chochote zaidi ya kutoka na wanaye mpaka nje huko alianza safari ya kutembea mtaa kwa mtaa,alivyotokea stendi ya Kongo akasimama ili kusubiri daladala ingawa hakuelewa ni wapi anaelekea!
“Nirudi tu kijijini”
Hilo ndilo wazo lililomjia kwa wakati huo,akaingia ndani ya basi la Ubungo ili akifika alale stendi na kukikucha apande basi la mkoani Tanga,aende Lushoto huko ndipo aliamini atatua mzigo wa matatizo aliokuwa nao.
Alipakia basi la Ubungo ambapo lilimfikisha lakini alivyofika stendi hakukuwa na basi lolote lile,hiyo ilimlazimu atafute sehemu ajiegeshe,usingizi ukaanza kumchukuwa taratibu.
“Habari yako dada”
Ni sauti ikitokea nyuma yake ndiyo iliyomshtua,kwa mara ya kwanza alidhani wenda yupo ndotoni lakini alivyofumbua macho yake akakumbana na mlinzi aliyevalia gwanda.
“Salama tu afande”
“Mbona upo hapa?”
Afande akauliza huku akimuangalia Marietha,akaangalia pembeni kulikuwa na watoto wachanga wawili!
“Nasubiri basi la Tanga”
“Sasa si ukasubiri nyumbani kwako”
“Nina matatizo kaka angu”
“Hapa sio sehemu ya kulala.Una matatizo gani?”
“Sina sehemu ya kwenda”
Marietha aliongea kwa uchungu mno!Na alitamani kulia,hakuamini kama kufumba na kufumbua dunia imempa kisogo tayari.
“Umetokea wapi?”
“Kariakoo”
“Kariakoo?”
“Ndio,nina matatizo kaka angu!Naomba nilale hapa,kesho asubuhi nitaondoka.Nionee huruma nina watoto wawili,hawajala”
Maneno ya Marietha yalikuwa ya kuuzunisha,mlinzi akamsogelea karibu kabisa,akapunguza jazba.
“Hapa sio sehemu nzuri dada angu.Nataka kukusaidia”
“Hapana hapa patanitosha”
Marietha alihofia,aliamini atafanyiwa kitendo cha mara ya kwanza.
“Mimi ni mtu mzuri,usiniogope tafadhali.Kwangu ni huku nyuma,twende nikupeleke alafu asubuhi nikirudi nitakutafutia basi upande”
Hilo lilikuwa wazi kuwa Mlinzi alikuwa ni maskini na alijisikia kumsaidia Marietha bila kumdai chochote na hivyo ndivyo ilivyokuwa.
“Pelee,nilindie basi hapo.Nakuja sasa hivi”
Alimuaga mwenzake.
“Poa poa,naona unaenda kuponea”
“Nilindie nakuja bwana,acha maneno”
Katika kuongozana mlinzi wa Ubungo alijitambulisha kwa jina la Masimba na alijaribu kumdadisi Marietha akagundua kuwa ana matatizo makubwa sana,wakatoka nje ya lango la geti na kuzunguka nyuma ambapo huko waliingia katikati ya mitaa na kuibuka nje ya kichumba kidogo yaani geto,Masimba akatoa funguo na kuingiza ndani ya kufuli.Ingawa kilikuwa ni chumba kidogo lakini kilipangwa vizuri,kulikuwa kuna makochi na televisheni ndogo kwa pembeni.
“Karibu mgeni,pumzika hapo.Pole na matatizo na ninaomba nikutoe wasiwasi.Mimi sitohitaji chochote kile kutoka kwako,nimeamua kukusaidia kama binadamu mwenzangu au kama dada angu”
“Ahsante sana,nashukuru.Ubarikiwe”
Kazi ya Masimba ikawa ni kumuonesha Marietha chumba cha kupumzika na kila kitu.
“Huku nje ni bafuni,maji kwa pale nje kuna kisima lakini bafuni maji yapo.Utapumzika huku chumbani kwangu,mimi nitarudi asubuhi saa tano.Sawa dada”
“Nimekuelewa”
“Kitu kingine,asubuhi ikifika hili jiko la gesi utachukuwa maji utachemsha,mkate huo hapo”
Masimba alivyohisi kamaliza kutoa maelezo,akaondoka akimuacha Marietha akitafakari aina ya msaada huo mwisho wake ungekuwa nini,bado hakutaka kuwaamini wanaume kirahisi na kukubali kuwa kuna msaada wa bure,alichofanya ni kumuweka Abraham na mwenzake kitandani vizuri,wakalala!
Akatafuta taulo na kubadili nguo,akatoka nje na kuingia bafuni huko alioga na kurudi ndani kisha kupanda kitandani,kwa kuwa alikuwa amechoka na mwenye uchovu mwingi usingizi ukamchukuwa hapohapo!
**********
“No Masimba sasa kwanini hutaki niingie ndani?Kuna nini?Hapana usinifanye mimi mtoto najuwa kuna Malaya wako humo ndani”
“Mwajabu nisikilize”
“Siwezi kukusikiliza Masimba mpaka ufunguwe mlango tuingie ndani”
“Kabla ya wewe kuingia ndani,ngoja nikuelezee kila kitu”
“Hapana,hivi kwanini hutaki kuniruhusu niingie ndani?Huku ndani kuna Malaya wako na nikimkuta Masimba,hutoamini nitakachomfanya.Ndiyo utajuwa mimi Mwajuma ama nani.Mwanaume kichefu chefu sana wewe”
“Mwajuma,unanipenda?”
“Wala sikupendi,sogea nipite ndani.Nikuoneshe kazi”
Kelele hizo zilikuwa zikitokea nje,Marietha alikuwa ndani anasikia kila kitu na ilikuwa tayari asubuhi ya saa tano kasoro.Sauti ya mwanaume iliyokuwa inatokea nje aliitambua vizuri lakini hakumjua mwanamke anayefoka na kutoa lugha chafu,licha ya yote alielewa nini kinachoendelea nje!
Bila kujiuliza chochote akaanza kuvaa nguo zake harakaharaka,akamuweka Abraham vizuri kitandani akisubiri chochote kitakachotokea.
“Kubuuuuum”
Kilikuwa ni kishindo kikubwa cha mlango wa seblen na ilielekea mlango ulikuwa umevunjwa.
“Wewe Malaya kama upo toka humo ndani,nina taarifa zako.Toka mwenyewe”
Sauti ilienea chumba kizima na kumfikia Marietha bila chenga,katika kujishauri mlango wake ukafunguliwa.Akamuona Mwanamke mnene,mwenye midomo mipana,mkononi ameshika gongo kubwa la mti.
“Sasa leo,tunagawana majengo ya serikali.Utaenda Monchwari mimi Segerea,kumbe wewe ndiye unakula sahani moja namimi.Masimbaaa njoo.Na mna watoto kumbe Asha aliniambia ukweli kumbe”
Marietha alihisi nguo yake ya ndani imelowa hakuelewa ni jasho ama mkojo,akajuwa tayari amekwisha na alichoumia zaidi kubebeshwa msalaba usiokuwa wake,ukweli ni kwamba yeye alikuwepo humo ndani kwa ajili ya kupewa msaada tu na si vinginevyo!Kabla ya kuongea chochote alishtukia amepigwa na gongo la bega.Mwajuma alipandwa na jazba kama mbogo hakujali na hakutaka kusikiliza maelezo yoyote yale, akainua gongo tena ili ampige nalo Marietha kichwani lakini Masimba alitokea kwa nyuma na kumzuia.
Hapo ndipo Marietha bila kujifikiria akapata upenyo wa kuchomoka na kuanza kukimbia,akatoka nje akaanza kukimbia kama mwendawazimu,akatokea barabarani na kuvuka ya kwanza alivyoingia upande wa pili hakuangalia pembeni.Hapohapo akahisi kitu kizito kimemgonga akadondoka chini juu ya lami,lilikuwa ni gari aina ya BMW X5 hakuwa ana nguvu tena,akashindwa kuinuka.
********
Katrina alikuwa tayari amegonga na alihisi kuchanganyikiwa sababu watu walianza kujaa kutokea huku na kule wengine wakimgongea vioo,kutokana na hofu kumtanda hakutaka kushuka sababu alihofia maisha yake.
“Wewe dada fungua kiooo,kabla hatujapasua.Umeua huku”
Sauti za wakazi wa Ubungo zilisikika,Katrina aliendelea kushikwa na hofu.Akatoa simu yake nyingine na kumtafuta Issa hewani.
“Baby upo wapi?”
Katrina aliongea bila breki baada ya simu kupokelewa.
“Nipo ofisini,vipi umeshatoka nyumbani?”
“No,kuna matatizo nimepata.Nipo hapa Ubungo terminal,nimemgonga mtu”
“Niniiiiiii?Imekuwaje?”
“Alikuwa anavuka barabara,sasa nika…”
“Sasa hivi upo wapi?”
“Bado nipo ndani ya gari”
“Usitoke kwenye gari nakuja hapo sasa hivi,umenielewaa?”
“Ndio darling,njoo sasa hivi”
“Okay”
Simu ilivyokatwa ilimuacha Issa akiwa kama ameranduka, akatoka ofisini na kukwapua funguo za gari ili atoke nje na kwenda kumuangalia Mpenzi wake anayedai kuwa amemgonga mtu na gari!



Hazikuwa tena kelele za kumtaka Katrina ashuke ndani ya gari bali ziligeuka kuwa fujo,ilikuwa kidogo wapasue vioo vya gari.Kuna walioshika magongo na wengine mawe wakiwa nje ya gari na baadhi yao waligonga gonga gari, hiyo ilimfanya Katrina atandwe na hofu kubwa sana,hakukuwa na usalama tena wahuni na vijana wa mtaani ndiyo walikuwa wanamfanyia fujo.Wakitaka ashuke na ilikuwa wazi kabisa kama Katrina angeshuka basi angeibiwa kila kitu chake achilia kupigwa vibaya sana, ndiyo maana hakutaka kufanya hivyo kabisa,mapigo yake ya moyo yalibadilika na yalienda kwa kasi.Nusu saa baadaye kwa mbali aliona Nissan Patrol,alilitambua gari hilo ingawa lilikuwa upande wa pili kabisa,hapohapo simu yake ya mkononi ikaita na aliyekuwa anapiga alikuwa si mwingine bali ni Mpenzi wake, Issa!
“Nimekuona Baby,njoo huku”
Katrina alisema simuni.
“Nakuja,namsubiri askari kwanza.Usishuke ndani ya gari”
“Sawa”
Ni kweli,Issa alivyokuwa njiani anatoka ofisini kwake aliweza kuwasiliana na askari kwanza kwa ajili ya usalama,hakuelewa akili hiyo kaitolea wapi.Na hazikupita hata dakika mbili difenda ya polisi ikawa imefika.Askari wawili wakashuka na kutembea mpaka kwenye gari la Issa!
“Mr.Issa,vipi bwana?”
Askari akatoa salamu huku akiangaza upande wa pili kulipokuwa na fujo.
“Ile ndiyo gari ya mkeo?”
“Ndio afande”
“Amegonga mtu?”
“Ndio”
“Kwanini asimpakie ampeleke hospitalini?”
Kama kawaida ya polisi kuhoji maswali.
“Anaogopa kushuka,kuna fujo sana pale”
“Umefanya jambo la maana sana, Afande Marwa,twende pale tukasafishe watu.Tufanye utaratibu”
Hakukuwa na muda wa kupoteza askari wakaanza kutembea kuelekea upande wa pili wakiwa na mitutu yao begani,kuona hivyo raia mmoja baada ya mwingine akaanza kusambaa, wenye mawe waliyaachia na kutafuta usawa hawakutaka ushahidi, polisi wakalifikia gari la Katrina na kumtaka arudi nyuma ili wampakie mwanamke aliyelala chini hawezi kusimama.Hivyo ndivyo ilivyokuwa!
“Marwa njoo na gari pale Amana,njoo na Issa”
“Nitakuja,huyo mwanamke kaumia sana?”
“Hapana”
Katrina alipata amani baada ya askari mmoja kuingia ndani ya gari lake,Marietha tayari alipakiwa akiwa mwenye maumivu makali sana, ilionekana kwa nje hakuumia sababu alikuwa ana michubuko kwenye mkono na miguuni.
“Dada umeumia wapi na wapi?Na ulikuwa unatokea wapi?”
Askari akaanza kupiga mkwara akimuuliza Marietha ambaye alikuwa analia kwa kwikwi,hasemi chochote kile.Bado moyo wa Katrina ulikuwa ukidunda na aliogopa kwa kiasi cha kutosha,mbele yake umbali wa mita mia nane aliliona gari la Issa na ndiyo alikuwa anamfuata nyuma mpaka walipofika hospitali ya amana,wakatoa maelezo na Marietha akaingizwa ndani ya chumba ya x ray ili mwili wake upigwe picha,wajue kama ameumia kwa ndani.
“Haaa!”
Mdomo wa Issa ulibaki wazi na alishindwa kuamini kama ni kweli ama macho yake yanamdanganya,hiyo ni baada ya kumuona Marietha mbele yake anatolewa ndani ya chumba cha x ray akiwa na daktari.
“Vipi?”
Katrina akahoji,jinsi Issa alivyoshtuka ilimuogopesha mpaka yeye.
“Kuna kitu nimekiona...Lakini basi”
Hawakukaa sana daktari akatoka na kumtaka Katrina ofisini kwake.
“Twende baby”
Akamuinua na Issa, wote wakatembea mpaka ndani ya ofisi,Marietha alikuwa amelala kitandani.
Alionekana amechoka mno na alitia huruma, hiyo ilitokana na kuandamwa na matatizo kila kukicha,alivyomuona Issa kaingia moyo wake ukapiga kwa nguvu,hakuelewa amefika fikaje eneo hilo.Hakutaka kulipitisha wazo lake moja kwa moja kuwa alikuwa ni daktari sababu aliamini hana elimu hiyo.
“Huyu ni mke wangu”
Hapo ndipo alipopata jibu la swali lake kuwa Mwanamke aliyemgonga na gari ni mke wa Issa ambaye alikuwa mpenzi wake wa zamani,alijisika vibaya na wivu kwa wakati mmoja.Ulikuwa ni ukweli mwanamke aliyelala kitandani ni Marietha na aligongwa na Katrina!
“Huyu mwanamke hajaumia sana lakini bega lake ndiyo kidogo limeteguka,tutampa dawa na zingine za kuchuwa kisha tutamruhusu”
“Ahsante daktari,maana ilikuwa bahati mbaya sana.Ahsante Mungu,nilijuwa nimemuumiza sana”
Maongezi ya dokta wakiwa na Katrina pamoja na Issa yalihitimishwa baada ya daktari kuandika dawa ambazo angetumia Marietha baada ya kuruhusiwa hospitali.
“Issa”
Ni Marietha ndiye aliyeita,moyo wa Katrina ukapiga paaa!Hakuelewea ni kivipi mwanamke huyo amelijua jina la Mpenzi wake,ndiyo maana akageuza shingo kumuangalia akidhani wenda amesikia vibaya.
“Issa”
Marietha akaita tena,Issa akageuza shingo na kumuangalia.
“Naomba unisamehee”
“Issa,unamfahamu huyu mwanamke?”
Katrina akahoji,bado alikuwa njiapanda.
“Ndio namfahamu”
“Mlishawahi kuonana wapi?”
“Siku ile pale kariakoo,alikuja kuomba pesa alikuwa ana watoto wawili.Humkumbuki?”
Maelezo aliyotoa Issa yalikuwa ya kweli lakini mahusiano yake na Marietha yalikuwa makubwa kuliko kawaida kifupi walikuwa na historia.
“Kumbe ndiyo huyu?Maskini.Pole sana dada,pole sana.Alafu una bahati ya kukutana na sisi,Mungu anajaribu kutuonesha kitu.Unaishi wapi?”
“Sina sehemu ya kuishi”
“Kivipi?Na watoto wako wapi?”
Hapo ndipo Marietha akili ikamjia,kutokana na kuchanganyikiwa aliwasahau mpaka watoto wake,akaruka kutoka kitandani kama swala na kutoka nje,lilikuwa ni jambo lililomshangaza kila mtu.Daktari akasimama na kumfuata nyuma, Katrina nayeye akaunga mkia,Issa akafuata.Marietha hakufika hata mlangoni akawa amezuiwa kutoka nje na walinzi, hapo ndipo alipotulizwa na alivyohojiwa akajielezea na alitaka watoto wake aliowaacha Ubungo Terminal kwa bwana Masimba!
“Watoto wangu nimewaacha.Naombeni mniache,Watoto wanguu”
Marietha aliangua kilio huku akiwa anapiga kelele,Katrina akafika mara moja na kumtuliza akitaka kujuwa nini kimemkumba.
“Dada watoto wangu,niacheni niende nishapona”
Jukumu la kumpeleka Marietha Ubungo alipowaacha watoto wake alilivaa Katrina kama lilivyo, wakaingia ndani ya gari na safari ya kwenda Ubungo kuanza mara moja,baada ya kufika hawakumkuta mtu yoyote, ilibidi waulize majirani.
“Wametoka kama dakika thelathini zilizopita”
Jirani mmoja alisema.
“Wameelekea wapi?”
“Kwa kweli sijui lakini nilisikia Masimba anasema,anaenda kituo cha polisi”
“Alikuwa amebeba watoto?”
“Ndio”
“Una namba zake za simu?”
“Ninazo ndio”
“Naomba umpigie”
Hiyo ilikuwa ahueni kwa Marietha,Masimba akapigiwa simu hapohapo na haikuchukuwa muda akawa tayari amefika akiwa ameshika watoto wawili,Marieta alimkimbilia na kuwachukuwa watoto wake,akawapiga mabusu mengi kwa furaha!
“Ahsante sana Masimba,Mungu akubariki”
“Usijali sana,vipi lakini?Nilisikia baada ya kutoka nje ukagongwa na gari ndio nilikuwa naenda kuripoti polisi hapa,nilichanganyikiwa sana”
“Wee acha tu”
Hawakuwa na maongezi marefu, Marietha akarudi ndani ya gari ili warudi hospitalini na matibabu yaendelee,alivyofika alitembea mpaka kwa Issa na kumuomba msamahaa ingawa hakuelewa ni kwanini anafanya hivyo,alihisi amemkosea sana na hakustahili kumfanyia Issa jambo alilomfanyia nyuma,alihisi kujuta na matatizo yanayomkumba aliyachukulia ni laana kwani malipo ni hapahapa duniani mbinguni ni hukumu tu.
“Usijali Marietha kila kitu kinatokea kwa makusudi.Mungu hakupanga tuwe pamoja,nilishakusamehe lakini sitoweza kukusahau katika maisha yangu.Yule unayemuona ni mke wangu mtarajiwa.Marietha nilikupenda sana lakini sijui nini kilikupata…….”
“Issa najua lak…”
Katrina alitokeza hapohapo na kuwakuta Marietha na Issa wanazungumza,kuna kitu alikihisi lakini hakutaka kuyapa mawazo yake kipaumbele.
“Unaendeleaje?”
Katrina akahoji.
“Salama tu,sasa hivi najisikia vizuri.Ahsante kwa ukarimu wenu”
“Ulisema hauna sehemu ya kuishi?”
“Ndio”
“Kwanini usikae nyumbani kwangu?”
“Hapana ahsante”
Kilikuwa ni kibarua kingine kwa Marietha kukubali kuishi nyumbani kwa Katrina na Issa,asingejisikia vizuri lakini alishawishiwa kwa nguvu kubwa sana hakuwa na jinsi zaidi ya kuingia ndani ya gari la Katrina,Issa nayeye akaingia ndani ya gari lake,wakaanza kuongozana!
*** *******
Macho ya Marietha yaliangaza huku na kule baada tu ya geti kubwa kufunguka lenyewe bila mtu yoyote yule kufungua,ndani alikumbana na uwanja mpana uliopambwa vizuri na majani na mbele kulikuwa na nyumba kubwa ya kisasa yenye rangi nzuri ya kuvutia.Hakuishia hapo, alipiga jicho pembeni na kuona magari mengine mawili ya kifahari,maisha kama hayo yalimkumbusha mambo mengi sana!
“Karibu nyumbani”
Katrina alimshtua kutoka katika mawazo aliyokuwa nayo,akateremka.Kabla ya kupiga hatua aliona geti linajifungua lenyewe gari lingine likaingia ndani,huyo alikuwa Issa tayari amefika,akaweka gari vizuri kwenye moja ya maegesho na kushuka!Bado hakutaka kuamini kuwa Issa ndiye anaendesha gari na maisha yake yamebadilika ni dhahiri ulikuwa ni muujiza.
“Tunafunga ndoa mwezi ujao,usikose kwenye harusi yetu”Katrina akasema.
Hakujua lolote linaloendelea baina ya Marietha na Issa,alikuwa nyuma ya kila kitu.Wote wakaingia ndani na huko ndipo kulimuacha kinywa wazi,alikumbana na seble safi na nzuri iliyopambwa kiustadi sana!
“Baby njoo ndani mara moja,naomba kuzungumza nawewe”
Issa alipendekeza akatangulia chumbani kumaanisha kuwa Katrina amfuate nyuma!
“Huyu mwanamke kafuata nini hapa?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Issa tena akiuliza kwa sauti ya juu baada ya kuingia chumbani,ni wazi kuwa hakupendezwa na uwepo wa Marietha.
“Huyu mama sindo niliyemgonga na gar a…”
“Ndio naelewa,sasa kwani mpaka aje hapa?”
“Ana matatizo”
“Matatizo gani?Una muamini?Wewe ni msamalia mwema eti?”
“Sio hivyo mpenzi wangu”
“Ni hivi,sitaki kumuona.Aondoke”
“Lakini mpenzi….”
“Nini?Unataka kusema nini?Katrina sitaki kumuona huyo Mwanamke hapa nyumbani.Yeye abaki au mimi niondoke”
“Siwezi kumfukuza na atakaa hapa”
“Katrina”
“Nini Issa,unataka kuniambia nini?Nataka kumpa msaada,kwani huyu mwanamke kakufanya nini?Kakufanya nini?Ni binadamu kama wewe”
Hakukuwa tena na maelewano mazuri, Katrina aliuwasha moto mpaka ngozi yake ikabadilika rangi akawa mwekundu kisa kumtetea Marietha,mishipa ya shingo ikamsimama kitendo alichokuwa anaambiwa akifanye Issa hakikumuingia akilini hata kidogo,ndiyo maana aliwaka sio kitoto.
“Sitaki kumuona.Mimi naenda kumtoa”
Issa nayeye aliwaka,alijisikia hasira sana kumuona Marietha machoni mwake mambo aliyomfanyia yalitosha kabisa kumfananisha na shetani ndiyo maana alimchukia kuliko kinyesi.Haukuwa utani Issa alitoka chumbani kwa hasira na kuibuka seblen.
“Marietha toka”
Ni maneno mawiili tu yalitoka kinywani kwa Issa akiwa amekasirika.
“Toka,sitaki kukuona hapa.Ondoka sasa hivi”
“Sawa naondoka haina haja ya kunifokea Issa,naomba unisamehee kwa yote yaliyopita nyuma,ni shetani tu”
“Acha kumsingizia shetani”
“Issa,nambie ukweli huyu mwanamke ni nani?”
Katrina alitokea kwa nyuma na kuuliza swali huku akiwatizama wote wawili,maongezi waliyokuwa wanazungumza yalimfanya atake kuelewa kinachoendelea.
“Naomba mniambie,nini kinaendelea hapa?Issa talk to me now”
Kwa msisitizo Katrina akamwaga na ung’eng’e akiwa mwenye jazba.



Hakukuwa na haja ya kuficha mambo sababu Marietha alikaliwa kohoni na Katrina, akimwambia kuwa aseme ukweli yeye na Issa walifahamiana vipi,swali hilo liliambatana na wivu mkubwa sana, kuna kitu alikihisi mwanamke huyu wa kihindi ambacho hakikuwa cha kawaida,haikuwezekana hata kidogo kwa Issa kumchukia bila sababu ya msingi ni lazima kutakuwa na historia iliyojificha nyuma yake ndiyo maana akamtaka Marietha aseme kila kitu.Ukimnya ulitawala ndani ya seble,sio Issa wala Marietha wote walibaki kimnya.
“Issa,alikuwa mpenzi wangu!Nilishawahi kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi miaka ya nyuma….”
Moyo wa Katrina ukakita kwa nguvu akahisi kama uti wake wa mgongo umepigwa na ubaridi,hakutaka kulipitisha swala aliloongea Marietha kuwa ni ukweli moja kwa moja,alimtizama Issa kwa kitambo na kurudisha macho yake kwa Marietha akitaka kusikiliza alichoanza kuongea.Hapo ndipo Marietha aliendelea kutiririka kila kitu kilichotokea nyuma,alikusanya matukio yote na kuyaanika kama yalivyo, hakuacha tukio hata moja nyuma,mpaka anaolewa na Deo na mwisho alisisitiza na kusema kuwa asemehewe kwani anastahili adhabu,Issa alibaki kimnya mambo aliyokuwa anazungumza Marietha yalimkumbusha mbali mno,mwili wake ulimsisimka hasa alivyosikia kuwa Marietha aliingiliwa kimwili na mzungu bila ridhaa yake ndiyo maana akapata mtoto wa kizungu na hiyo ndiyo ikafanya watengane na Deo Karekezi.
Mpaka Marietha anamaliza kusimulia kila kilichotokea ilichukuwa dakika arobaini na tano,Katrina alibaki kimnya bado hakutaka kuchukulia jambo lililoongelewa lilikuwa ni ukweli,haikuwezekana hata kidogo mambo yawe kama yalivyokuwa.
“Issa,ni kweli?”
Katrina akamgeukia Issa.
“Ndio ni kweli”
“Kwanini hukuniambia?”
“Hakukuwa na sababu yoyote yawewe kujuwa”
“Issa,Real?”
“Ndio mpenzi.Huwa sipendi kukumbuka mambo yaliyopita”
Kufuatia hapo Katrina aligeuka na kuingia chumbani,akajitupa kitandani na kuanza kulia machozi ingawa hakujuwa ni kwanini machozi yanamtoka, alihisi uchungu kuliko kawaida.Hisia zake zilimtuma kuwa Issa anamdanganya na bado ana mahusiano na Marietha!Seblen alibaki Issa na Marietha na hakuna hata mtu mmoja aliyemuongelesha mwenzake.
“Marietha nenda,nimekusamehee”
Huo ndio ulikuwa uamuzi wa Issa mwanzo mwisho na alimtamkia Marietha waziwazi akimuangalia machoni,akimtakia maisha mema huko aendapo.
“Lakini kumbuka kitu kimoja Marietha.Unayemdharau leo ipo siku moja utamsalimia kwa heshima”
Yalikuwa ni maneno machache lakini mazito na yenye ujumbe uliomuingia Marietha akiwa anafungua mlango na kutoka nje,bado hakuamini huyu ndiye Issa wa kipindi kile anashindia mihogo na magimbi siku nzima huko Manzese akiuza mitumba,haikumuingia akilini lakini ukweli ulibaki uleule kwamba Issa ametusua kimaisha.Marietha akatoka nje ya geti akiwa amenyong’onyea mwili mpaka akili yake,kwa kuwa alikuwa ana pesa zake mfukoni alizopewa na Mzee Aziz, hizo ndizo alizotumia kupanda daladala mpaka Ubungo ampabo huko alifika stendi na kukata tiketi ya basi kuelekea mkoani Tanga,akaanze maisha mapya!Kwa mambo yalivyotokea hakutaka kabisa kumkumbuka Mumewe Deo hata siku moja!
“Naenda kuanza maisha mapya na wanangu”
Marietha alitamka maneno hayo akiwa ndani ya basi lililokuwa linatoka nje ya lango la Ubungo.
*********
Siku hiyo Katrina alinuna mdomo wake aliubinua na hakujisikia kuongea na Issa ingawa alibembelezwa kila wakati,jambo lililotokea kwake alilichukulia ni kama usaliti.Haikuwezekana hata kidogo alale chumba kimoja na kuishi naye siku zote hizo lakini amfiche jambo kama hilo zito.
“Katrinaa”
Issa alimuita mpenzi wake lakini hakujibiwa,Katrina alikuwa bize anaangalia luninga seblen amekaa juu ya kochi miguu yote ipo mezani.
“Sikiliza nikwambie,haikuwa na haja ya wewe kujua.Huwa sipendi mambo yaliyopita nikwambie.Nisamehee”
“Katrina naongea nawewe”
Issa alizidi kuimbisha,moyo ulimuuma alivyomuona Mpenzi wake ana hali kama hiyo alitumia kila mbinu na jitihada zote kumuweka sawa lakini ilishindikana,hiyo ilimshangaza sana sababu hakuwahi kumuona katika hali kama hiyo kabla.
“Katrina mbona unakuwa hivyo mpenzi wangu?”
Issa alizidi kujiongelesha mwenyewe na badala ya Katrina kujibu alibadili mkao,hakumuangalia Issa usoni.
“Katrina”
“Katrina”
“Katrina nimekufanya nini?Niambie kosa langu”
Alichofanya Issa ni kutembea mpaka kwenye switch ya umeme na kuzima,televisheni ikazima.Hiyo ilifanya Katrina asimame bila kusema chochote na kuingia chumbani kwani huko kulikuwa na luninga nyingine akawasha na kuendelea na kitu alichokuwa anatizama.
“Huyu mbona ananiletea mahaba ya kihindi?Hajui kuwa mimi muhuni wa Manzese,ngoja nikamuoneshe kazi”
Issa aliwaza na kuingia mpaka chumbani ambapo baada ya kufika alifungua kabati na kuanza kutoa nguo zake,akatafuta begi lake na kuanza kuziweka.Alivyoangalia kwenye kioo cha mbele alimuona Katrina anamtizama,akaendelea kuweka nguo zake!Akafunga begi na kuliweka vizuri,akaanza kuburuza kuelekea mlangoni ili atoke.
“Unaenda wapi?”
Hatimaye Katrina akauliza lakini Issa nayeye akajifanya hajasikia,hakuwa anaenda popote niya yake ilikuwa ni kutingisha kiberiti na tayari alifanikiwa kumtingisha Katrina.
“Issa unaenda wapi?”
Katrina akauliza tena,akasimama wima na kutanda mlangoni.
“Vipi?Niache niende zangu.Wewe si hutaki kuongea namimi”
“Nani amekwambia sitaki kuongea nawewe?”
“Niache niende”
“Baby,I’m sorry.Baki bwana nilikuwa na kutania.Au wewe hujui mahaba”
Kilichofuata hapo haikuwa kitu kingine bali ni kutupana kitandani na kuanza kupigana madenda mtindo mmoja,siku hiyo ilielekea kila mtu alikuwa ana hamu na mwenzake sababu kila mtu alimuona mwenzake mpya, ilikuwa Mara washikane hapa mara huyu amshike kule ili mradi vurugu za mahaba.Issa siku hiyo alitaka kufanya kufuru mechi hiyo na vilevile Katrina alitaka kufanya hivyohivyo alitaka kumpagawisha mpenzi wake kuliko siku yoyote ile,na ndiyo maana alikuwa anabadili kila mikao kwenye kitanda,mara akae chuma mchicha,mara kifo cha mende na mwisho akamalizia kibaiskeli.Hata hivyo alionekana bado anautaka mchezo sababu walivyotoka kuoga na kujitupa kitandani alianza kumchaji Issa kwa kumtekenya,kutokana na Issa kuwa ngangari akaanza kupandisha moto,hakuchelewa wakaingia tena kwenye dimbwi la raha za ajabu.Masaa mengi yalikatika usiku huo baada ya kila mtu kuridhika kisawasawa.

***** ******

Kulivyokucha siku iliyofuata Katrina akawa wa kwanza kuamka, akaanda chai kwa ajili ya mpenzi wake na Issa alivyoamka alikuta kila kitu kipo tayari mezani, wakaungana na kuanza kunywa wote huku mara kadhaa wakilishana.
“Baby nataka tufunge ndoa”
Katrina alitoa pendekezo.
“Honey si ulisema mpaka hoteli iishe?”
“Hapana nimebadili maamuzi,nataka tuzae mtoto wetu tukiwa ndani ya ndoa”
“Sawa hilo ni wazo zuri love”
“Anza kufanya mambo basi mpenzi wangu,nataka unioe kabla mwezi wa ramadhan haujafika”
“Ngoja nifanye utaratibu wa kutafuta mshenga”
Hilo halikuwa jambo la mchezomchezo hata kidogo na katika swala hilo Katrina alilivalia njuga,akimshinikiza Issa afanye mambo harakaharaka.
Siku tatu baadaye Issa aliwasha gari na kwenda mpaka Manzese Tip top akiwa amevaa suti nyeusi kanyonga tai,ungemuona ungesema ni mtu mkubwa serikalini,kitambi na rangi yake ya ngozi vilitosha kabisa kuelezea kuwa ana pesa na maisha yake bomba,alivyoshuka tu aliingia katikati ya nguo za mitumba na ilielekea kuna mtu alikuwa anamtafuta.Kila mtu aliyemuona alimshangaa sababu hadhi yake haikufanana na maeneo hayo,hakuna hata mmoja aliyejuwa kuwa mwanaume huyo aliyevaa suti kipindi cha nyuma alikuwa muuza mitumba Manzese,alivyofika kwenye kibanda kilichokuwa na mashati meupe na jinsi akasimama.
“Mambo vipi?”
Issa akatoa salamu kwa kijana mmoja aliyevaa pensi fupi juu hana shati,sura hiyo ilikuwa ngeni kwake,alishtuka sababu eneo hilo lilikuwa la Kishipa.
“Poa kaka karibu,hapa kuna jeans hizo na mashati.Cheki cheki hapo,kuna mikato mikali babkubwa anco”
Kijana alimchangamkia mteja wake.
“Ahsante,mimi namuulizia mtu mmoja”
“Nani mkuu?”
“Kishipaa”
“Kishipa!Kishipa,katoka sasa hivi hapa.Ngoja hapo kidogo,nakuja sasa hivi”
Kutokana na hadhi aliyokuwa nayo Issa ilifanya kijana aruke nguo zake mbio mbio na alivyorudi alikuwa ameambatana na kishipa pembeni yake.
“Jamaa mwenyewe ndiyo huyuu”
Kishipa alipigwa na butwaa la waziwazi,kwanza hakuamini kama siku moja atakutana na Issa duniani sababu alijuwa tayari ameshakufa kutokana na mara ya mwisho walivyoachana.Alafu kilichomshangaza kingine ni jinsi Issa alivyojipiga pamba za bei mbaya na anavyonukia marashi ya kihindi,kitambi kikubwa!Tai ndefu.
“Isssaaaaaaaa!”
Kishipa akaita kwa mshtuko mkubwa sana akimkagua Issa kuanzia juu mpaka chini,hapohapo wakarukiana na kuanza kupigana migongoni wakiwa wenye furaha za ajabu hiyo ilifanya mpaka watu wawaangalie.
“Issa ndio weweee.Kakaaaaa,Siamini”
Baada ya kuongea hivyo wakakumbatiana tena,ilikuwa ni furaha kubwa sana kukutana tena katika maisha yao,kifupi walitoka mbali.
“Njoo Kishipa nimekufuata wewe ujuwe”
“Kuna nini tena Issa?maana umekuwa mnene mwanangu umekuwa mshuwa.Kifriji hiko sio mchezo mwana”
Bado Kishipa alizidi kumshangaa mwenzake kama anaangalia tangazo na hapo hawakukaa sana,Issa akatangulia mbele na Kishipa akafuata nyuma wakatokeza mpaka barabarani ambapo lilikuwa limepaki gari kubwa la kifahari aina ya BMW X5.Issa akatoa funguo na kubonyeza rimoti gari ikapiga kelele akafungua mlango,bado kishipa alishangaa tukio hilo.
“Kishipa ingia ndani”
“Ndani ya gari?!”
“Ndio Ingia”
Hapo ndipo Kishipa akaingia ndani ya gari lakini bado hakuamini kama ni kweli Issa yupo nyuma ya usukani na mbali na hapo aliwasha gari na kuanza kuliendesha.
“Issa ndio wewe?”
“Ndio,amini nakwambia”
Gari likaondoka eneo la Manzese.
Mpaka walipofika Ubungo land mark Hotel Issa akaingiza gari ndani ya hoteli hiyo kubwa.
Wakashuka kutoka ndani ya gari na kukaa kwenye kona iliyotulia,akaja muhudumu kuwasikiliza.
“Kishipa,agiza usiogope.Nataka usafishe kidogo tumbo lako leo”
“Ha ha ha haaa Issa kaka,nani atalipa sasa?”
“Mimi nitalipa”
“Mambo yako makubwa siku hizi”
Chakula cha gharama kikaagizwa na Kishipa akaanza kula.
“Kaka,mimi siwezi kutumia uma bwana.Ngoja nikanawe mikono”
Kishipa akaona uma na kisu vinamsumbua,akatembea na kwenda kunawa mikono yake kisha kurudi na kuanza kupiga matonge ya wali,walivyomaliza kula vinywaji vikaletwa,kwa mara ya kwanza tangia azaliwe Kishipa kula hotelini jambo hilo kwake alilifananisha na ndoto ya mchana.
“Kishipa,nimekuita hapa nina makusudi yangu”
“Issa,nakusikiliza ndugu yangu”
“Moja,sitaki uendelee kubaki pale Manzese,nitakupangia chumba kingine na kukupa pesa ya mtaji mkubwa wa biashara ufungue duka la nguo.Pia naomba nitafutie Chogo alipo nasikia kahamia Tandale.Alafu kitu kingine nahitaji uwe mshenga wangu,nataka kuoa


Ilikuwa ni furaha kubwa sana kwa Issa ambayo ilizidi kifani na ilionekana machoni mwa Kishipa kwa namna alivyokuwa anaongea muda wote huku anatabasamu, ilikuwa ni picha tosha kabisa.Mbali na hapo mshenga wa harusi hiyo alikuwa ni rafiki yake kipenzi,hiyo iliongeza furaha maradufu.
“Issa mimi suti wapi na wapi?Na huu mwili?”
Kishipa akaweka utani kidogo huku akiukagua mwili wake ulivyokuwa kimbaombao.
“Suti inanunuliwa inapigwa modo”
“Mimi sijawahi kuvaa suti,inabidi nianze kufanya mazoezi leo”
“Ha! Haa! Haaa! Haaaa! Ni kweli kabisa na ujifunze jinsi ya kutembea.Ile tembea yako kama masai aliyepoteza shuka lake usije ukafanya hivyo kwenye harusi,utaua bendi”
“Nipeleke kozi”
Marafiki hawa siku hiyo walipiga stori kwa furaha huku wakicheka na Issa alivyosimama alitoa wallet yake na kutoa kitita cha pesa kisha kuanza kuzihesabu.
“Laki tatu hizi,utaweka mfukoni”
“Issa,hizi za nini?”
“Utaweka mfukoni hizo”
“Nikuwekee au?”
“Tumia tumia, pocket money.Wiki ijayo nataka uhame pale Manzese,sitaki kukuona tena pale”
“Issa,nakuuliza hizi laki tatu za nini?”
“Hizo zako,matumizi yako binafsi,uhonge ukanywe pombe.Utajua mwenyewe”
Kwa kishipa hizo zilikuwa ni pesa nyingi sana kumiliki na hakuwa ana kumbukumbu vizuri mara ya mwisho ni lini kumiliki pesa kama hizo,ndiyo maana alibaki akizitizama.Akaangalia huku na kule na kuziingiza sehemu za siri ili kuzificha, hiyo ikafanya Issa aangue kicheko,muhudumu alivyokuja Issa akalipia kiasi cha shilingili elfu arobaini na tano,wakaingia ndani ya gari na Kishipa akashushwa Manzese hapo Issa alichukuwa barabara ya moja kwa moja ili aingie kazini kwake akafanye kazi zake kama kawaida,kifupi siku hiyo ilikuwa ya furaha sana katika maisha yake na bado hakuamini hata siku moja ndiye yeye, ilifika kipindi mpaka alijikataa mwenyewe,siku hiyo alifika ofisini kama kawaida na kufanya shughuli zote. Kitu kilichokuwa kinamnyima raha ofisini ni mwanamke anayeitwa Khadija,kila muda alikuwa akijipitisha na mbaya zaidi alikuwa akifanya vituko,mara apandishe sketi yake juu mara aweke maziwa yake wazi, ilimradi amtege Issa.Jambo hilo lilifanikiwa sababu damu ya Issa ilianza kumwenda mbio.
“Shetani shindwa!”
Issa alikemea kimoyomoyo baada ya mwili wake kumsisimka alivyomuona Khadija kajifungua maziwa yake huku akimtengea chai mezani.
“Karibu bosi”
“Ahsante kaendelee na kazi”
Namna ambavyo mwanamke huyu mzuri alivyoyazungusha macho yake iliogopesha na mwanamme yoyote yule lijali ilikuwa ni lazima angenasa kwenye mtego wake tu tena ndani ya sekunde sifuri lakini kwa Issa haikuwa hivyo kabisa kwani alijikaza na hakutaka kufanya Usaliti,aliapia hilo.
“Khadija kaendelee na kazi”
Issa akaongea kwa ukali kidogo,Khadija alivyoondoka ilibidi asimame na kuweka suruali sawa sababu nyoka wake alikuwa tayari amesimama dede,akarudi tena kwenye kiti na kuendelea na shughuli zake.Furaha yake ilimjia baada ya swala la harusi yake kumpitia kichwani,alifurahi kupita kiasi na alianza kuvuta picha jinsi itakavyokuwa siku ya harusi yake,hiyo ilimfanya atabasamu na kumuwaza Katrina.
“Nakupenda sana Katrina”
Alikuwa ana sababu zaidi ya tilioni mbili za kumpenda Katrina endapo angeulizwa kwanini amemchagua,hilo lilikuwa wazi kabisa Katrina ndiye mkandarasi wa maisha yake kuwa kama yalivyo kwa sasa.Kwa maana alipaswa kumuheshimu na kumuonesha mapendo yote.Hata ingetokea siku angemdharau ama kumkasirisha aliamini hata Mungu angemuadhibu.
“Bosi,samahani lile faili la Oilcom lim…”
“Khadija kwanini umeingia bila kupiga hodi?Hapa ni chooni? Mimi ni bosi wako,uniheshimu umenielewa?Kwanza You know what, you are fired”
Hakuna siku Issa aliyoongea kwa hasira kama hiyo na hakuelewa zimetokana na nini,hiyo ilitokana na Khadija kuingia bila kubisha hodi mbali na kosa hilo kuna kitu kingine alihisi anakitaka mwanamke huyu hivyo alitaka kumfukuza kazi kabla ya matatizo mengine hayajatokea.
“Toka ofisini kwangu,nooooow”
Issa akafoka na kusimama,akatembea mpaka nje.
“Kitulo,Khadija sio mfanyakazi wa hapa.Nimemfukuza,mwandikie barua niletee ofisini nije kusaini haraka sana.Umevaaje kwanza?Mimi nimeruhusu kuvaa hivi?Kitulo chapa barua”
Hayo yalikuwa maamuzi ya Issa ya mwisho kuyatamka na alimaanisha kusema hivyo tabia za Khadija zilimfika shingoni na angemuendekeza aliamini pengine uhusiano wake na Katrina ungeingia dosari na hakutaka hilo litokee sababu siku zote usipoziba ufa utajenga ukuta.
“Bosi naomba nisamehee”
Khadija aliingia ofisini kwa Issa kwa magoti akiomba msamahaa akijaribu kumsihi asichukuwe maamuzi hayo magumu lakini hiyo haikufanya Issa abadili msimamo wake.
“No Khadija,nenda kajaribu sehemu nyingine.Siwezi kukuacha ufanye kazi hapa.Huna nidhamu na unafanya kazi kwa mazoea.Sio mara ya kwanza kufanya kitu kama hicho”
“Nitajirekebisha”
“Hapana,toka ofisini”
Khadija alibaki akilia machozi na alijutia kwa kitendo alichokuwa anakifanya sababu kilifanya kibarua chake kiote nyasi,katika kulia kwake mlango ukafunguliwa akaingia kijana mmoja mrefu kiasi,mkononi alikuwa ameshika bahasha ya kaki.
“Bosi karatasi hii hapa”
“Ahsante Kitulo”
Bila kumuangalia Khadija usoni Issa akaweka sahihi kupitisha kuwa Khadija hana kazi.
“Nenda”
Issa alitamka.
“Bosi,naomba nikwambie kitu kimoja.Hapa hukuniajiri wewe.Huwezi kunifukuza nampigia simu aliyeniajiri”
Mwanamke huyu akasema kwa kiburi huku akisimama,akatoa simu yake na kumpigia Katrina akiamini kwamba atamkingia kifua na Issa alishangaa sana kuona jinsi gani mwanamke huyo anajiamini kufanya hivyo.
“Ndio kanifukuza kazi”
Khadija alifunguka simuni.
“Hata hivyo nipo njiani nakuja huko”
“Sawa nakusubiri”
Hapohapo simu ikakatwa,Khadija akamgeukia Issa.
“Sasa tuone leo nani zaidi,Wewe si umemwaga mboga mimi namwaga Ugali.Mimi ndiyo Khadija mtoto wa kariakoo.Naelewa Katrina ni mkeo lakini leo nauwasha moto”
Issa hakuelewa nini mpango wa mwanamke huyu kichwani kwake ndiyo maana akabaki kimnya anamuangalia na haikuchukuwa hata dakika moja simu yake ya mkononi ikaita,aliyekuwa anapiga ni Katrina ni wazi kuwa alitaka maelezo yaliyonyooka kuhusu Khadija,hivyo ndivyo alivyohisi ni kweli ni kama alitabiri vile sababu baada ya salamu za hapa na pale akauliza swali.
“Ndio nimemfukuza kazi”
Issa akasema.
“Kwanini baby?Any way nipo njiani nakuja ofisini hapo mara moja”
“Okay”
Dakika kumi na tano baadaye Katrina akawa amefika ofisini kwa Issa,hakuwa na sababu ya kugonga mlango sababu ilikuwa ofisi ya mumewe ingawa alijuwa anavunja protocol za kiofisi.Alivyofika tu breki ya kwanza ilikuwa ni mdomoni kwa Issa akamla denda kisha kuketi.
“I miss you”
Katrina akadeka.
“I miss you mob”
“Kabla ya yote nina habari njema”
“Zipi hizo?”
“Mama pia amesapoti mpango wa harusi yetu na kasema atagharamia ukumbi na mapambo”
“Baby nawewe una moto sana.Nitampigia baadaye nimshukuru”
“Ninao sio mchezo,Issa ujue nakupenda sana.Sijui unalijua hilo?”
“Nalifahamu hata mimi nakupenda sana”
“Jambo la pili huyo Khadija yuko wapi?Na imekuaje?”
“Kuna vituko alikuwa ananifanyia vingi vya ajabu.Isitoshe anafanya kazi kwa mazoea”
Hakuwa anatoa unoko bali ni katika kunusuru penzi lake,hakujali Katrina atamfikiria vipi lakini ilikuwa ni lazima auweke ukweli wazi kwa mwandani wake.Sura ya Katrina ilibadilika rangi na alianza kuhema kwa jazba, ilikuwa ni wazi kuwa alikuwa ana wivu uliozidi kipimo.Hapohapo akasimama na kutoka ofisini ambapo alimuita Khadija.
“Ilikuwaje?Embu nieleze vizuri sasa hivi”
Swali la Katrina liliambatana na ukali juu yake,hakuonesha mzaha.Ilikuwa ni bora ucheze na vitu vyake vyote lakini sio uwe karibu na Issa wake.Hilo ndilo lilimfanya mpaka jasho la pua limtoke.
“Khadija naongea nawewe”
“Kanifukuza kazi ndio”
“Ilikuwaje?Kwanini?”
“Alikuwa ananitaka nikamkataa nadhani ndiyo hiyo sababu”
Moyo wa Issa ulipiga paa!Mdomo wake ukajaa mate ghafla na hakuelewa ni kitu gani akiseme akakosa ujasiri wa kujitetea akabaki kimnya,hiyo ilifanya Khadija azidi kuongea vitu vingi vya uwongo.
“Mara nyingi nilikuwa nikimkatalia lakini alinitishia kunifukuza kazi.Leo alitaka kufanya mapenzi namimi ofisini hapa.Akataka kunibaka nilivyokataa ndiyo akanifukuza ofisini kwake na kunifukuza kazi pia”
Hayo yalikuwa maelezo ya Khadija na alipigilia uwongo wake msumari wa nchi saba,akakamua na machozi mililita mbili ili kusindikizia,Katrina akamgeukia Issa akamkata jicho kali la hasira.
“Issa,real?”
Katrina akauliza.
“Anayoongea yote ya uwongo.Good thing kuna Cctv kamera pale juu.Sitaki kubishana chochote kama ukiona nimemshika hata mkono wake amua chochote”
Isingekuwa ushahidi wa Kamera wenda mahusiano yake yangekuwa hatarini,Katrina hakutaka kuacha vitu juu juu,akazunguka mpaka upande wa pili na kuangalia kwenye kompyuta.Akaona kila kitu mpaka malumbano yalivyoanza na mwisho wake.
“Khadija,toka ofisini kwangu.Na nisikuone tena katika hili eneo,fanya haraka kabla sijakuitia polisi”
Huo ndiyo ulikuwa mwisho wa Khadija kufanya kazi kwenye ofisi hiyo,akapewa mshahara wake na barua.
“I’m sorry baby”(Nisamehe mpenzi)
“Kwahiyo isingekuwa kamera usingeniamini?”
Issa akatoa hoja.
“Sio hivyo mpenzi.Hata wewe ungekuwa mimi ni lazima ungeniwekea mashaka,Issa nina wivu sababu ninakupenda kweli Mume wangu”
“Nakupenda sana.Na ninakuhaidi kuwa sitomfungulia mwanamke yoyote yule zipu yangu”
“Nafurahi kusikia hivyo”
Yalikuwa ni mahaba mazito mno na ilifahamika binadamu hawa walipendana sana,Swala la harusi yao lilipelekwa harakaharaka na siku zilikimbia mno.Kishipa akaitwa na kupewa barua ambayo aliipeleka kwa Mama Katrina akiwa na kanzu mpya kama mshenga,siku hiyo alipendeza kwa kiasi cha kutosha.
Wajomba na wazee wa kihindi wakakaa vikao ili kujadili swala hilo jepesi lakini zito,japokuwa kuna wengine walivyosikia Katrina anaolewa na Muafrika walisusa,hiyo haikumsumbua Mama Katrina kwani aliendelea kushikilia msimamo wake na wiki moja baadaye barua ikajibiwa.Haikuchukuwa hata wiki mbili Issa akalipa mahali aliyopangiwa na kilichokuwa kinasubiriwa ni siku ya harusi.
Kuanzia siku hiyo mambo yalikuwa yanapelekwa mkukumkuku.
“Haiwezekani yule kinyagalagosi amuoe Katrina,Mimi ni baba yake mdogo.Marehemu kaka yangu angekuwepo asingekubali huu upuuzi utokee”
“Hata mimi nakuunga mkono Khan,hii ni aibu ni nuksi kwenye ukoo wetu.Sikubali hata kidogo”
“Hili swala nalizuia,subiri uone nitakachokifanya.Bora nimuuwe huyo kijana.Najisi kabisa”
“Nasadiki,ni bora afe tu”
Wakati hekaheka za harusi zinaendelea huku nyuma ndani ya jumba la mzee Khan kulikuwa na kikao cha siri,hawakukubali kushindwa na Dokta Khaila na ilikuwa ni lazima wazuie harusi isifungike kwa gharama yoyote ile,hiyo ndiyo mipango waliyokuwa wanafanya.Ilikuwa ni lazima Issa awekewe Sumu afe kabla ya kwenda msikitini kufunga ndoa na Katrina,hilo ndilo walipanga wahindi hawa makatili wakijifanya ni wema kwa nje.
***********

Ilikuwa ni tar 24 April kila mtu alikuwa mwenye furaha siku hiyo ilikuwa ni harusi ya Katrina na Issa,Dokta Khaila ndiyo usiseme ndugu,jamaa na marafiki walifurika kutokea nchini India ili kushuhudia jambo la kihistoria,kususa kwa baadhi ya ndugu haikumtingisha Mama Katrina,aliwapuuzia alichojali yeye ni furaha ya mwanaye.Nyumbani siku hiyo alibaki Issa peke yake kumaanisha kuwa masaa machache baadaye akutane na Katrina msikitini kama taratibu zinavyotakiwa zifuatwe na hivyo ndivyo ilivyokuwa Kwani masaa mawili baadaye alikuwa ndani ya gari la katikati likiongozwa na msafara ambao ungewapeleka msikitini na huko angekutana na Katrina ili ndoa yao ifungwe.
“Issa,maji ya kunywa”
Mmoja wa wazee wa Kihindi akasema huku akimkabidhi Issa chupa ya maji,kwa heshima na tahadhima Issa akaichukuwa na kuanza kuifungua.
“Ahsante sana”
Akashukuru na kuiweka chupa ya maji mdomoni bila kujuwa kuwa ina sumu kali sana aina ya DDT poison.



Ndani ya chupa ya maji kulikuwa na sumu kali sana ambayo ingemuondoa Issa ndani ya muda mchache endapo angekunywa na hicho ndicho kitu kilichokuwa kinasubiriwa na wahindi waliosuka mpango huo sababu walikuwa ndani ya gari, wanamtizama ili anywe maji kisha afe kwani hawakuwa tayari kumshuhudia Issa anamuoa Katrina,asili yao ilikataa kabisa na ilipiga vita jambo hilo ndiyo maana walitaka kumpoteza duniani haraka iwezekanavyo tena hata kabla ya ndoa kufungika.
“Griii griiiii”
Simu ya Issa ndiyo ilikuwa inaita kutokea ndani ya mfuko wake wa kanzu nyeupe na safi aliyovaa siku hiyo ambayo ingekuwa ya histroria katika maisha yake.
Kabla ya kumimina maji ndani ya mdomo wake akapitisha mkono ndani ya mfuko na kuitoa,akatabasamu baada ya kugundua anayepiga alikuwa ni Mkewe mtarajiwa,Katrina!
“Yes halloo”
Issa alipokea simu lakini hakuweza kujiachia sababu alikuwa ameketi na wakwe zake ndiyo maana alishindwa hata kumuita mpenzi wake majina ya kimahaba.
“Nambie mume wangu mtarajiwa,mmefika wapi?”
“Ndio tupo njiani”
“Mimi ndio namalizia kurembwa hapa,sipati picha ulivyopendeza mume wangu”
“Hapana kawaida”
“Mbona kama haujachangamka?”
“Si unajua tena”
“Nini unaona aibu gani?Nambie unanipenda”
“Katrina nipo na wazee jamani”
“Hapana,nataka wajuwe kama unanipenda”
“Kwani mimi huwa sifanyi hivyo?”
“Niambie unanipenda,nataka nifurahi leo ndio siku yetu”
“NAKUPENDA SANA”
“Malizia jamani”
“NAKUPENDA SANA MKE WANGU MTARAJIWA”
“Namimi nakupenda sana hapa nimepaka hina mikono yote mpaka miguuni,ukiniona utanisahau”
“Wacha wee”
Kwa kiasi kikubwa maongezi hayo yaliwakera sana Khan na wenzake ambao waliopanga kumuuwa Issa kwa sumu waliyomuwekea kwenye maji ambayo alikuwa ameyashika mkononi, hiyo ilitokana na kupokea simu,wahindi hawa walikasirishwa sana na kitendo hiko kwani bila Katrina kupiga simu Issa angekuwa tayari ameshika tumbo lake anagalagala na kutoa mapovu na huo ndio ungekuwa mwisho wake duniani kwa maana hiyo kusingekuwa na harusi wala cha nini.Msafara ulizidi kusonga mbele ambapo magari mawili yalikuwa mbele yamepakia ndugu wengine la tatu ndilo alipanda Issa na wahindi hawa waliokuwa baba zake wadogo na Katrina.
“Okay Darling,I can’t wait to see you”(Sawa mpenzi.Sipati picha nikikuona)
“Me too”(Mimi pia)
Mazungumzo yaliishia hapo, simu ikakatwa na Issa akawa anatabasamu! Bado hakuamini kama siku hiyo anaenda kufunga ndoa na mwanamke anayempenda kuliko wote duniani isitoshe ndiye aliyemfanya mpaka anaheshimika.Kutokana na kuwa mwenye bashasha moyoni mwake hata maji alisahau kunywa akajikita kwenye mawazo makubwa mno,akapiga picha siku hiyo ya harusi itakuwaje ukumbuni.
“Issa,Maji patia maji pata nguvu wewe”
Hiyo ni sauti ya mzee wa kihindi liyekaa siti ya mbele,alikuwa ana sharubu nyeupe pembeni ya mdomo mithili ya brashi ya chachandu hapo ndipo Issa alichukuwa na kuiweka mdomoni,akanywa maji kwa mfululizo mpaka yalipofika nusu,akachukuwa tena na kuiweka chupa mdomoni,alivyoitoa ilikuwa imekwisha akaweka chupa tupu pembeni na kuzidi kutafakari.
Shekh maarufu jijini Dar es salaam aliyefahamika kwa jina la Hassan Mpila kutoka katika Msikiti wa Islaa ndiye aliyetakiwa kufungisha ndoa hiyo siku hiyo, ndiyo maana asubuhi baada ya kuswali aliwahi Ilala Boma ili kuwasubiri Issa na Katrina kwa hamu kubwa sana.Msafara wa magari ulikuwa tayari umefika Ilala Bungoni kumaanisha kuwa bado mita chache wafike Ilala Boma ili tafrija ianze mara moja kisha baada ya hapo sherehe ianze.Katika hali ya kushangaza Issa alianza kuhisi tumbo la kichomi lakini kwa mara ya kwanza aliipuuzia akidhani wenda ni hofu tu ama furaha ya harusi atakayoenda kufunga!Kadri sekunde zilivyozidi kwenda mbele ndipo alipohisi hali ni mbaya,ikawa kama kuna mtu yupo tumboni mwake anamkata na viwembe vikali,akaanza kujikunja.
“Vipi?”
Muhindi mmoja akauliza ilhali alijuwa nini tatizo la Issa.
“Dereva simamisha gari”
“Kwanini?”
“Kuna mgonjwa hapa”
Maumivu aliyoyahisi Issa tumboni mwake hayakuweza kuelezeka kiwepesi ikapelekea mpaka akaanza kujikunja na hakuelewa ni kwanini hali kama hiyo imemtokea ghafla tena siku kama hiyo iliyokuwa ya furaha kwake.
“Tu…mbo lina lina uma..aaaa”
Issa aliongea kwa taabu na wahindi waliokuwa ndani ya gari walijifanya kumuonea huruma lakini haikuwa hivyo,walitamani gari isimame ili sumu izidi kuingia.
“Dereva simamisha gari”
Muhindi mmoja alifoka akitaka kitendo hiko kifanyike mara moja lakini kutokana na kwamba walikaribia kufika dereva hakutaka kufanya hivyo aliendelea kuufuata msafara mpaka msikiti wa Ilala Boma!
********
Katrina alikuwa mwenye furaha kupita kiasi kwa jinsi ambavyo alionekana akiwa mwenye tabasamu muda wote,nyuma ya furaha hiyo ilijulikana kuwa anaenda kuolewa na mwanamme wa ndoto zake siku zote na ndiyo maana muda wote alikuwa ana mchecheto wa kupambwa haraka,baada ya kupakwa ina kwenye mwili wake hususani mikononi na miguuni,wakamuweka nywele zake vizuri.Mapambo na kila kitu vilimalizika baada ya masaa manne,kufuatia hapo magari yakafika nje ambayo yalikuwa na wapambe pamoja na ndugu zake.
“Mwanangu kumbe wewe ni mzuri sana”
Dokta Khaila alimwaga sifa baada ya kumuona mwanaye amependeza na kupambwa vizuri kuanzia nywele mpaka uso,sio siri alikarabatiwa vizuri na akazidi kuwa mrembo.
“Ahsante Mama”
“Umependeza sana”
Mavazi ya kihindi aliyovaa Katrina na jinsi alivyojifunika ikamfanya apendeze zaidi na zaidi.
“Jamani muda umekwenda,Shekh kashafika twendeni kwenye magari”
“Tunakuja,Bibi harusi twende”
Kutokea katika saluni kubwa iliyokuwa Sinza mpaka Ilala ingewachukuwa masaa mengi kiasi kutokana na msongamano wa magari hivyo ilibidi dereva anayeongoza msafara awapange madereva wenzake ili wapitie njia ya Kijitonyama wafupishe njia.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa, safari ikaanza mara moja huku Katrina akiwa mwenye furaha kuliko kawaida.
Kutokana na kutokuwa na msongamano wa magari haikuwa kazi ngumu kwa msafara kuibukia Kigogo Sambusa,hapo walichukuwa barabara kubwa na kukunja kulia.
“Yes halloo”
Mama Katrina ndiye aliyepokea simu na kufanya Katrina amuangalie huku akitabasamu sababu alijua ni ndugu ndiyo walikuwa wanasumbua simuni kutokana na simu kupigwa mara kwa mara siku chache nyuma wakitaka kujua mtiririko mzima wa sherehe.
“Ndio ndio..Whaaaaat?Imekuaje?Saaa ngapiii?Unasema ukweli?Mpo waaaapi?”
Yalikuwa ni maswali ya mfululizo tena kwa staili ya mshtuko hiyo ilimfanya Katrina amuangalie mama yake kwa umakini ni dhahiri kuwa kulikuwa na habari mbaya sana.
“Mama kuna nini?”
Katrina akauliza huku akimuangalia Mama yake usoni.
“Hapana,hakuna kitu”
Dokta Khaila akabaki kimnya habari alizopewa zilimsisimua mwili wake na kupata mshtuko mkubwa sana moyoni.
Mbali na hapo tayari walikuwa wamefika msikiti wa Boma ambapo harusi ya Katrina ilitakiwa kufugwa.Kilichomshangaza Katrina ni kitu kimoja,mtawanyiko wa watu nje ya msikiti akaona kuna watu wameweka duara kisha baada ya hapo gari mbili zikaondoka kwa kasi.Bado hakuelewa picha nzima lakini alijuwa kwa namna yoyote ile kutakuwa na tatizo limetokea.Mbali na yote hayo alitaka ndoa yake kwanza ifungwe ndiyo aulize mambo mengine.
“Katrina,usishuke nisubiri”
Dokta Khaila alivyoacha maagizo akashuka kutoka ndani ya gari na kuwaendea wanaume waliokuwa nje.
“Nini hapa?Pigiwa simu na Mudi anasema Issa patwa na matatizo”
Dokta Khaila alivyofika akaanza kuuliza nini kilichotokea.
“Ndio Mama,anatoa mapovu.Alivyofika hapa akadondoka ghafla”
“Sema nini?”
Hakukuwa na maelewano tena dokta akawa kama mwendawazimu ripoti alizokuwa anapewa hazikumuingia akilini,kazi yake ikawa ni kuzunguka huku na kule.
“Kaondoka na nani?”
“Khan”
“Mungu wangu.Issa…”
Hapohapo Dokta Khaila akainua simu na kumtafuta shemeji yake Khan hewani ili amuulize nini kimetokea,habari alizopewa zilimtisha na alihisi kwamba uti wake wa mgongo umepigwa ubaridi.
“Peleka yeye Aghakhan sasa hivi,Nasema peleka yeye aghakhan mimi nafika.Sasa hivi Khan,sasa hivi ndio”
Kelele za Dokta Khaila zilifanya zienee eneo zima hiyo ikafanya mpaka Katrina aliyekuwa ndani ya gari ateremke ili ajuwe nini kinaendelea.
“Mama kuna nini?”
Katrina akauliza.
“Katrina Issa ame…”
Mama mmoja alivyotaka kuropoka Dokta Khaila alimbania jicho kuashiria kuwa asiropoke lakini alikuwa amechelewa sababu Katrina aliona tukio hilo.
“Mama unataka kunificha nini?Mbona siwaelewi kuna nini?Issa amefanya nini?Yuko wapi?Nataka kumuona tukafunge ndoa”
Kuwa na hali mbaya kwa Issa kungesababisha tatizo lingine kwa Katrina ndiyo maana Dokta Khaila hakutaka kuweka mambo wazi,alihofia sana jambo hilo.
“Mama Issa yuko wapi?Anti Zulfa niambie Issa yuko wapi?”
“Amepelekwa hospitali”Anti Zulfa akafunguka mzima mzima!
“Kwanini?Kafanya nini?”
Katrina aliuliza huku akitoa macho yake mapigo yake ya moyo yalibadilika hapohapo, akaanza kuhema juu juu.
“Alivyofika akadondoka na kuanza kutoa mapovu,mpaka sasa hivi hatujui hali yake”
Kitendo cha kumalizia sentensi hiyo Katrina aliporomoka chini na kudondoka puu,kila mtu akaogopa hususani mama yake mzazi dokta Khaila!


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG