Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

MCHACHUKO SEHEMU YA 5/10



MCHACHUKO
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 5 KATI YA 10
*******
 *******


**
“Ndio mpenzi kila kitu kipo sawa, utarudi lini?”

“Wiki ijayo nafikiri kuna mikataba namalizia kuifanya huku ikiisha tu narudi,pesa zinatosha?”
“Mhhh.. niongezee kidogo zinakaribia kuisha”
“okay sawa leo usiku nitatuma kwenye akaunti yako utakuta”
“sawa mpenzi kazi njema”
Baada ya kutoka kuongea na Adrian siku hiyo jioni akiwa seblen alitupa simu pembeni na kuachia misonyo kisha kumgeukia Charles na kuanza kumpiga denda huku akimshika shika sehemu mbali mbali za mwili wake, na baadae kuifungua zipu yake ya suruali na kuutoa MSHIDEDE wake.

“jana nimeangalia kitu ngoja nikuoneshe”
filamu ya ngono aliyotizama Sikuzani usiku wa jana ilimfanya aikariri na kupiga magoti kisha kuanza kunyonya mshidede wa dereva wake na kuuzamisha ndani ya mdomo huku akiuchukua taratibu,
“Lahaula!”
Mzee Mwangenya aliishiwa nguvu na kukema kwa sauti ya juu, nguvu zake za miguu zilimwisha na presha kumpanda baada ya kuona fumanizi hilo akimshuhudia sikuzani akifanya uchafu ndani ya nyumba ya mwanae, wakati mwingine alidhani anaota na kubaki akitetemeka sana!

 Mzee Mwangenya amechanganyikiwa presha imempanda jasho jembamba linamtoka mwilini,moyo ulimwenda sana mbio alishindwa kuamini anachokiona mbele ya mboni ya macho yake tena bila kuhadithiwa na mtu yoyote,angehadithiwa pengine angedhani ni uwongo.
Mwanamke aliyemuamini sana na kuamini kuwa atakuja kuwa mkwe wake na huyo huyo mwanamke alifanya mpaka agombane na kumtukana Mtoto wake Adrian leo hii anamkuta kwenye kochi akifanya mambo ya ajabu na mwanaume mwingine tena sio Adrian.
Bado mdomo wake aliuacha wazi ukicheza cheza kama kungekua na nzi basi wangeingia mdomoni!.
“Mwee Mwee,aseee!”
Aliropoka Mzee Mwangenya. Bado sikuzani hata yeye hakuamini kama Mzee huyo yupo Mbele yake amesimama Wima kwa mshangao, aliweka nguo yake vizuri na kuficha maziwa yake yaliyokua wazi tayari.Hakuelewa aanzie wapi kuongea, mdomo wake ulikua mzito,alijua teyari kesha haribu kila kitu.Mzee aliyekua mbele yake ndiye aliyefanya yeye afike mjini.
“Shikamo..o Shi..kamoo Baba”
Alibabaika Sikuzani akiwa mwenye wasi wasi.
“Panya Buku!, sikutegemea sikutegemea kuwa wewe ni mchafu…. Aseee yaani kumbe mwanangu alikua sahihi kabisa na akija lazima nimwambie huu uchafu unaofanya”
“Mzee naomba tuongee nitakwambia kila kitu”
“utaniambia nini hufai kuwa mkamwana, hufai kabisa, yaani hufai hufai hufaaiii… aseeee!”
Bado Mzee Mwangenya alishindwa kuamini aliona wenda yupo ndotoni. Alijilaumu sana kwa kitendo cha kumletea Adrian mwanamke huyo kutoka kijijini alijiona sio Baba kabisa, hakustaili msamaha pengine alitamani hata Adrian angekuweo kwa wakati huo ili amueleze kila kitu lakini haikuwa ivyo.
Ukweli ni kwamba Adrian alikua mbali sana nje ya nchi kikazi, ilibidi amsubiri ili aweze kumuelezea kila kitu alichokiona hata hakujua aanzie wapi kumuhadithia akimwambia kuwa Sikuzani siyo mwanamke wa kuishi naye hata kidogo!.
“Mpenzi kwani huyu nani?”
Aliingilia Charles baada ya kumuona Mpezni wake anashindwakujitetea.
“Baba yake na Adrian”
“Sasa mbona anatukata stimu,mtoe hapa ananuka”
Charls alishaona mambo yameharibika kivyovyote vile alijua ni lazima kibarua chake kingeota nyasi nakurudi kijijini kwao mchamba wima akacheze na ngedere ivyo ilibidi kama kuharibu aharibu mazima!.
“Mzee toka bwana, unanuka ugoro”
“Kijana tulia,huyu mwanamke asikupe jeuri mimi ndiyo baba yake na Adrian hilo kochi ulilokalia sijui kama unajua bei yake shwain wewe korodani za Mama yako mzaa Bibi yako pumbavu zako, mimi nanuka ugolo?”
“Mzee usinitafutie mada kesi ebwana nenda tu,huyo Adrian sijui nani, hapa hana kitu chochote sawa,tafuta usawa wako kwanza mzee ushazeeka tuache siye tule ujana, kama unataka Ku** si useme upate sio unachonga chonga tu”
Charles na Mzee Mwangenya walizidi kujibishana ila Charles ilionekana kuzidiwa maneno kutokana na mzee huyo kuwa na maneno mengi mdomoni mwake,hakutaka kuendelea kubishana naye alimfuata na kumsukumiza nje ya geti kisha kumtukana matusi ya nguoni,
Laiti Adrian angeyasikia angeua mtu na kufungwa moja kwa moja, hakuna kitu asichokipenda kama kusikia wazazi wake wanakosewa adabu aliwaheshimu kupita maelezo.
Kwa mara ya kwanza tangu miaka sitini kupita Mzee Mwangenya alijikuta analia kwa uchungu sana huku akipiga piga kifua chake alilia kwa mengi sana, jambo lililomliza ni kutukanwa na kijana mdog ambaye aliyemfananisha na Mjukuu wake kingine ni kumuamini sikuzani na kudiriki hata kumtukana mwanane na kumnunia ili tu mwanamke huyo aolewe na mtoto wake, alijiona ni Mzee asiye na maana kabisa aliyestaili adhabu kubwa!.
Kabla ya kukaa sawa geti lilifunguliwa kisha begi lake kutupwa nje na sikuzani huku nguo zake zikiwa zimezagaa chini huku na kule.
Taratibu alitembea na kuzikusanya nguo zake tayari kwa safari ya kurudi Mbeya Mwakaleli siku hiyo hiyo, hata kama angeenda na gari la mikaa, ili mradi asilale Jjijini Dar es salaam.
Alitafuta dala dala mpaka mahakama ya ndizi mabibo na kutafuta Fuso za Maminja mtoto wa rafiki yake, bahati nzuri alimkuta na ndiyo usiku huo huo walikua wamepakia ndizi ili wapeleke Mkoani Mbeya, ilikua kama bahati kwake, bila tatizo lolote alipanda Fuso hilo huku akitoa shukrani.
Kutokana na Fuso kutembea mwendo wa kinyonga walifika Mwakaleli kesho yake usiku wa saa mbili, alipelekwa mpaka nje ya nyumba kutokana na kufahamika sana kijijni hapo, aliwashukuru kisha kuingiandani kwake akiwa amechoka sana,hakutaka kuongea namke wake mpaka alivyokula.
Mke wake alishangaa sana kusikia habari hizo alishindwa kuamini hata yeye kwanini jambo hilo linatokea.
Kesho asubuhi na mapema waliwafuata wazazi wa sikuzani ili kuwaeleza kile kilichotokea hata wao walishindwa kuelewa na kuamini na ndo hapo walipoamua kumtafuta Adrian hewani ili arudi ikiwezekana hata kesho yake.
“Sawa Mzee kesho nitarudi kila kitu kipo sawa lakini?”
“ndio hakuna tabu yoyote ile, ukifika Dar es salaam tupigie simu Baba”
Mzee Mwangenya aliongea kwa upole sana akinyenyekea
“sawa Mzee kesho nafikiri nitaingia na Ndege ya saa sabamchana”
“Sawa Mwanangu safari njema”
“Ahsante Mzee”
Baada ya kufanya maongezi hayo kwa njia ya simu na Adrian aliyekua Oman roho zao zilitulia walipanga akifika tu wafanye kikao na kumueleza kila kilichotokea.
**

Shirika la ndege la QATAR AIRWAYS ilitoa matairi yake taratibu kisha kukanyaga ardhi ya Tanzania uwanja wa kimataifa Mwalimu Nyerere baada ya kukaa angani masaa sita.
Ilitingishika kidogo baadaya kutua na kutembea mwendo wa kasi na baadaye kutembea taratibu kishakukaa sawa,.
“Ahsante kwa kuchagua Qatar airways sasa tupo uwanja wa ndege wa kimataifa mwalimu Nyerere Tanzania,hakikisha unatoka na mizigo yako kwa niaba ya captain Omary Raul naitwa Mima Mohamedi”
Sauti kutoka kwa mrembo mrefu wa kiarabu aliyeshika kipaza sauti aliyevalia sketi ya kijani na shati jeupe ilisikikahuku akirudia rudia kwa lugha tofauti. Hapo ndipo Adrian alipo fungua mkanda wa kiti na kuchukua begi lake dogo lililokua juu sehemu maalumu ya kuweka mabegi madogo, kishakuanza kupanga mstari na kushuka ngazi taratibu sana.
Alimaliza kila kitu na kuchukua begi lake kubwa baada ya kupiga pasipoti muhuli.

“Chiiiiiiiif”
Sauti ya Partson Jr ndiyo iliyomshtua alivyokua bado anashangaa.
“Partson jr Ngogo niambie Mkuu”
“kaka shavu dodo, umepata mwarabu nini huko?”
“Ha!Ha! Ha! Ha! Ha! nimekuwa siku izi”
“thubutuuuuu,vipi lakini jembe pole na safari”
“Ahsante Nishapoa kaka”
Taratibu walitembea mpaka kwenye maegesho ya magari na kukomea kwenye Mark II grande nyeupe kisha kuingiza mizigo ndani ya boneti.
Walikua wenye furaha muda wote wawili hawa kuonana tena ni kipindi kirefu sana tangu Adrian asafiri kwenda Oman kukamilisha Mikataba mingine ya kampuni yake ambayo aliingia mikataba na waarabu wa Oman, ni simu ya Wazazi wake kuwa kuna tatizo kubwa ndiyo iliyo mfanya afanye mambo yake haraka haraka kisha kurejea Dar es salaam ili kuwasikiliza!.
“Wazee wamenipigia simu kuna tatizo kubwa sema nachoshuku Mungu kila kitu kimeenda sawa,mikataba nimefanya nao, wamesaini miaka kumi wanakuwa wananilipa”
“Mungu ni mwema utafanikiwa kaka, Wazee wanataka nini tena?”
“si nilikwambia walinichagulia Mke rafiki yangu”
“ndio ndio”
“sasa nashindwa kuwaelewa hata mimi mara nirudi huyo Sikuzani ana shida sijui nini,mimi yaani nimechanganyikiwa partson wananichanganya”
“doooooh,lakini wasikilize tu”
“huyu mzee wangu ni mkorofi sana hakubadiligi kushindwa kitu, sijui anavuta bangi nashindwa kumuelewa mambo anayofanya,lakini poa nitawapigia simu kesho,”
“poa tu mimi nitakudrop kwako ukapumzike kesho tutakutana job”
“sawa,waambie nimerudi waweke mambo sawa”
Waliinyoosha mpaka Tegeta Nyuki na kukunja kushoto kisha kupiga honi na geti kufunguliwa na Kimti dakika hiyo hiyo.
Alivyomuona Adrian alifurahi sana alijua bosi wake amerudi, alichoshwa na vituko vya sikuzani ki ukweli alimchukia alishalazwa bila kula siku mbili.
“Tajiriiiiiiiiiiiii”
Aliiita Kimti kwa furaha sana japo kua Bosi wake alikua mkorofi lakini alikua ni rafiki yake wa karibu sana kupita kitu kingine.
“Vipi kimti?”
“poa tu tajiri Mtoto karibu Tanzaniano, nchi ya amani,bosi umenenepa sana yaani umekua kama Yule Yule Yule Yule nani Yule Sunday Muna au Chigenyi”
“Ha!Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!, nishushie mizigo kwenye gari, Mama yupo?”
“No Bosi ametoka asubuhi sana”
“hajakuaga?”
“Hapana”
“okay”
Mizigo ilishushwa na Kimti kupewa viatu vipya na Adrian alivyotoka navyo Oman kama zawadi, Kimti aliruka ruka sana na kuanza kukatika kiuno kwa furaha mbele ya tajiri yake.
“hivi nitavaa jumapili bosi”
“ukienda kwa demu wako ukamuoshee”
Baaada kufanya Utani na Kimti Waliagana na Partson nayeye kuingia ndani na kujitupa kitandani, kutokana na uchovu wa safari alipitiwa na usingizi hapo hapo. Aliyemshtua alikua ni sikuzani usikuu wa saa saba.
“OOOH mpenzi umerudi?”
Aliuliza Sikuzani kwa kushangaa
“Ndio,ulikua wapi mbona usiku usiku?”
“kwenye kicheni pati cha rafiki yangu”
“okay sawa,nimeingia leo mchana kuna zawadi zako nimekuletea hapo kwenye begi”
Sikuzani alifurahi kukutana na nguo za gharama pamoja na mikufu mingine ya dhahabu lakini moyoni mwake alikasirika baada ya Adrian kurudi na kujua kuwa mapenzi yake na Charles yatakatika ghafla.
**
“Dia nina shida ya pesa kweli kweli!”
“kiasi gani?”
“milioni Nne”
“mmmh mbona pesa nyingi?”
“ndiyo ivyo nina shida nazo”
“okay sawa, Adrian ana Milioni sabini kwenye kabati mule, jana asubuhi alikuja nazo sasa utajua utafanya nini nishakupa ramani,mchana atakuja kuzichukua”
“okay sawa”
“nakupenda sana”
“namimi pia Dia”
***
Ni siku tatu zilishapita tangu aingie nchini Tanzania,alikusanya madeni yake yote kisha kuhifadhi pesa zake kabatini kwa ajili ya mchana arudi ili azipeleke bank kisha awahi ubungo kuwapokea wazazi wa sikuzani pamoja na wazazi wake ambao walikua njiani kuja Dar es salaam bila kumwambia sikuzani,
siku hiyo kulikua kuna foleni mjini ivyo gari hazikutembea mchana mzima alikuwa barabarani,kitendo cha Adrian kufika nyumbani kwake Tegeta ilikua saa nane tayari.ilikua ni lazima apeleke bank pesa izo siku hiyo hiyo, alifika na kubeba begi hilo lenye pesa kisha kuliweka ndani ya boneti nayeye kuingia, akianza safari ya kuelekea bank ya Baroda iliyopo Tegeta Afrikana. Hakuelewa kama kuna piki piki mbili nyuma yake zinamfuatilia, ghafla simu yake iliita hapo hapo iliyotokea kwa wazazi wake kuwa wapo Ubungo tayari alivyoangaliasaa yake ilikua teyari saa kumi kasoro, ilibidi tu aghairi kuweka pesa bank na kunyoosha Ubungo.
“Mbona mapema leo,”Aliwaza Adrian.
Hata yeye alishangaa sana sababu alijua urefu wa Mbeya mpaka Dar es salaam.
Alinyoosha mpaka ubungo akiwa mwenye mawazo mengi kisha kuwapokea wazazi wake pamoja na wa sikuzani.
Baada ya kusalimiana wote waliingia ndani ya AUDI nyeusi yenye kiyoyozi kikali sana na safari kuanza.
Kitendo cha taa nyekundu kuwaka ubungo mataa na magari kusimama ilisika milio ya risasi hewani na piki piki mbili kusimama mbele ya gari la Adrian.
Hapo hapo ilipigwa tena risasi hewani Adrian alishajua teyari huo mchezo, alishaelewa ndiye yeye wamemfuata sababu walilipiga kioo cha mbele nakitako cha mtutu aina ya SMG na kupasuka.
Mzee Mwangenya hapo hapo mkojo ulimtoka aliingia chini ya kiti cha nyuma mzima mzima na kujikunja, kila mtu alitandwa na hofu!.
“Wote kimnya, Toa pesa izo”
Aliongea jambazi mmoja wao akiwa na mtutu mkononi mwake bila utani.
“pesa zipi, sina pesa”
Adrian alibisha hakutaka kuwa mwepesi kiasi hiko ilikua nilazima awe mtata na ndiyo hiyo ilikua sifa yake kubwa.
Hapo hapo alishuudia Mama Sikuzani aliyekua mbele kushoto kwake kapigwa risasi ya kichwa na damu kuruka ni kweli alijua watu hao hawana masihala hata kidogo, na wangeenda kumuuwa endapo atafanya masihala.
“Shiiit”
Alikema Adrian akiwa ameulalia usukani baada ya kuona Ubongo wa Mama Sikuzani umetapakaa chini mpaka kwenye dashbodi hakuweza kuangalia mara mbili ili kua ni picha ya kutisha.
“Milioni sabini ziko wapi kijana usipoteze muda tupo kikazi ujue”
Idadi ya pesa alichotaja jambazi huyo na ndiko alichokua nacho alishaelewa anaye muibia ni mtu anaye mfahamu sana tena wa karibu yake.
“Paaa paaa”
Risasi mbili zilipigwa tena hewani kisha moja kufyatuliwa na kupenya ndani ya gari iliingia moja kwa moja na kuzama kwenye mguu wa Baba yake Mzazi Mzee Mwangenya aliyekua nyuma ya viti amejificha alilia kwa uchungu sana akilitaja jina la Yesu, na ndo hapo Adrian alipotoka kwenye gari akiwa ameweka mikono yake juu hewani.
Ubungo nzima ilikua nyeupe watu waliacha magari yao kuhofia uhai wa maisha yao, risasi ndizo zilikua zikisikika hewani matrafiki waliokuwa pembeni wanapiga mabao daladala hawakuonekana.wamachinga waliacha biashara zao kila mtu alitafuta usawa wa maisha yake.
Adrian hakua na chaguo lingine alienda nyuma na kutoa begi la pesa kisha kuwakabidhi.
“Paaaa paaa paaaaa paaaaa”
Risasi zilisika hewani.
“kacha kacha, paaaa”
Adrian nayeye alipokea Risasi ya begani na kudondoka chini akiwa mwenye maumivu mengi mwilini mwake huku damu nyingi zikimvuja, na kuwashuhudia majambazi wakitokomea na begi kubwa la pesa zake……

 Adrian Mwangenya Amepigwa risasi yupo hoi bin tabaan damu zinamvuja,Mama Mzazi wa sikuzani amefariki Dunia hapo hapo baada ya kupigwa risasi ya kichwa Mzee Mwangenya amejeruhiwa vibaya mguuni, Mama mzazi wa Adrian hana fahamu zake baada kupata mshtuko huo wa milio ya bastola alizirai hapo hapo,ni kitendo kilichotokea ndani ya dakika tano tu, majambazi waliofuatilia gari aina ya AUDI nyeusi aliyokua anaendesha Adrian kuvamia na kumpora pesa taslimu Milioni sabini ambazo alitakiwa kupeleka bank akadhifadhi.

Picha iliyomjia kichwani ilimwambia kuwa ni lazima majambazi hao watakuwa wametumwa na mtu wa karibu tena anaye mjua kabisa,
taratibu watu walianza kusogea huku wengine wakipiga picha na simu zao,Diffenda za polisi haraka haraka zilifika kisha baadaye kidogo gari maalumu la kubeba wagonjwa lilifika huku likipiga king’ora chake.
“tunaomba utulivu jamani,kaeni pembeni na eneo la tukio”
Alisema Askari aliyefika eneo hilo kisha Adrian pamoja na wazazi wake kupakiwa ndani ya gari la wagonjwa,
King’ora kilianza kupiga kele huku gari hilo likizidi kuchanja mbuga ili kuwawaisha wagonjwa hao hospitalini,

Haikuwachukua hata dakika kumi na tano walikuwa tayari wapo hospitali ya wilaya kisha Adrian kushushwa na wazazi wake, moja kwa moja waliingizwa kwenye vyumba vya upasuaji huku Mama sikuzani akipelekwa Monchwari chumba cha kuhifadhia maiti.
Risasi iliyopenya ndani ya mkono wa Adrian haikumdhuru sana iyo ilimpa sana faraja baada ya kutoka ndani ya chumba cha upasuaji.
“Mama yangu anaendeleaje?”
Ndilo swali la kwanza kuuliza Adrian.Roho yake ilitulia sana baada ya kupelekwa chumba alicholazwa Mama yake kisha baadaye kwa Baba yake mzazi, alisikitika sana alivyokumbuka yaliyomtokea Mama sikuzani, tayari alikua marehemu hakuelewa aanzie wapi kumpigia simu Sikuzani ili kumpa taarifa izo za msiba wa Mama yake uliosababishwa na majambazi waliomvamia na kumpiga risasi!.
Usiku huo huo askari walifika baada ya kusikia hali ya Adrian ipo vizuri na anaweza kujielezea ilikua ni lazima wayachukue maelezo yake na kuwaweka majambazi vizuizini,
walichukua maelezo kwa wazazi wake kisha baadaye kumfuata Adrian.
“Pole sana”
“Ahsante afande”
“ilikuaje?”
“Nilitoka kazini leo mapema sana ili kuwahi kuchukua pesa zangu na kupeleka benki, lakini sikufanikiwa kutokana na kuchelewa na nilitakiwa kwenda Ubungo kuwapokea wazazi wangu,kutoka hapo sasa narudi nafika ubungo, zikatokea piki piki mbili na watu wanne wakatoa bastola,nakumbuka mmoja alikua na SMG mwingine na bastola ndogo,wakapiga risasi hewani, huku na huku wakampiga mama yangu Mkwe risasi ya kichwa pale pale kisha wakachukua begi la pesa”
“hao watu walikua wamevaaje?”
“wote walivaa nguo nyeusi”
“sura zao waliziba?”
“walivaa mahelment”
“nitajie marafiki zako watano wa karibu”
“kuna Partson,Ommy,Jimmy jeezy,Frank na Pascal”
“ni kiasi cha pesa uliibiwa?”
“milioni mia mbili”
“una uhakika?”
“ndio nina uhakika”
“ahaaa sawa sawa”
“basi wacha nikafanye uchunguzi zaidi”
Maelezo hayo yaliandikwa vizuri kabisa kwenye karatasi na Afande Mocha kisha baada ya hapo kuondoka zake na kumuhaidi kuwa kesho asubuhi yake angerudi kwa ajili ya kuchukua maelezo mengine.

“Oya najua kuna milioni mia mbili humo msilete masihala, hapo pasu kwa pasu tena mimi ndiye mnayetakiwa kunipa pesa nyingi”
Afande Mocha aliongea na simu baada ya kuchukua maelezo ya Adrian, ukweli ni kwamba hata yeye alikula njama za pesa izo alishaelewa kila kitu, alichotaka ni kujua idadi ya pesa alichoibiwa Adrian kisha wagawane, Ilikuwa ni lazima wamshirikishe askari huyo ili aweke kila kitu sawa katika kituo chake cha ubungo,
Ni kweli mambo yalienda sawa kama yalivyo pangwa.
“hapana sio kweli kuna Sabini tu humu nakwambia”
“msiniletee habari,mimi ndiye nimechukua maelezo yote ya huyu kijana sasa msiniletee upimbi wenu msipoangalia nitawafanya kitu kibaya”
“aaah afande za wapi izo?”
“mpo wapi kwanza?”
“tupo maskani”
“poa nakuja hapo”
**
Asubuhi na mapema Sikuzani alipigiwa simu na kupewa shukrani na Charles baada ya kufanikisha zoezi hilo,hakuwa anaelewa lolote juu ya msiba wa Mama yake mzazi ambao majambazi hao hao waliotumwa na Charles walifanya mauaji hayo,furaha yake ilibadilika ghafla baada ya kupewa msiba huo wa Mama yake mzazi,

hakuamini kile anachokisikia alilia machozi ya uchungu,Adrian alipofika tu ndiye aliyedhibitisha kisha wote kuelekea hospitalini,
Muda wote alilia sana kwa kwikwi na kushindwa kuelewa ni mambo gani yanatokea katika maisha yake.Adrian aliyekuwa ameukunja Mkono wake na bandeji hata yeye alimuonea huruma sana na kumpa matumaini.
Simu nyingi alipokea siku hiyo Adrian za kupewa pole baada ya kuvamiwa na majambazi,Taarifa hizo zilivyomfikia Brigedia Saidi Sangu akiwa mkoani Arusha siku hiyo hiyo alipanda ndege mpaka jijini Dar es salaam ili kumpa pole Adrian, alivyofika tu alinyoosha mpaka hospitalini akiwa na walinzi wake pembeni, hata polisi waliokuwa wanamuhoji Adrian walitetemeka sana baada ya kumuona mtu mrefu mweusi aliyechafuka nyota mabegani,
hata wao walimjua sana alikua ni mkuu wa majeshi Tanzania nzima, alikua ni mtu wa kuogopeka sana.
“Dogo vipi?”
Aliuliza Brigedia Saidi sangu baada ya kutoka ndani ya chumba cha wazazi wake na Adrian kuwapa pole, hospitali nzima ili kua kimnya Brigedia saidi sangu alikasirika sana baada ya kupewa historia hiyo fupi ya kuvamiwa na majambazi kisha kupigwa risasi,

Alimchukulia Adrian kama mdogo wake wa tumbo moja walipitia mengi sana hakuweza kusahau fadhila za Adrian hata siku moja na utu aliomfanyia mpaka kufikia ngazi ya ubrigedia,
hakutaka swala hilo alifumbie macho alikasirika sana.
“Poa ndugu”
“hawa watu lazima nikazae nao kambini, Afande mmefikia wapi?”
“bado tuna fanya fanya uchunguzi”
“uchunguzi wa nini?, uchunguzi wa nini sasa, mnafanya nini, mimi naingilia kati na ninasema hivi yoyote aliyehusika nitazaa naye mapacha,huu ni upumbavu mna fanya uchunguzi gani,Mdogo wangu Adrian nipe siku mbili tu hawa watu nitawapata hata wawe zaire,Kongo sijui Kimara baruti,nitawapata tu wawe hai au wamekufa”
Alizidi kufoka Brigedia Sangu na kumfanya Afande Mocha aanze kutetemeka,
ni kweli katika maneno aliyokua anazungumza Brigedia Sangu hayakuwa na masihala hata kidogo ndani yake,
siku nzima askari walichukua maelzeo ya kila mtu baada ya kila kitu kukamilika Adrian aliruhusiwa kutokana na hali yake kuwa nzuri.

SIKU hiyo hiyo alirudi nyumbani kwake akiwa na sikuzani kisha kujitupa kitandani akiwa na mawazo mengi sana juu ya mambo yaliyo tokea siku iliyopita, picha ya ubongo wa Mama sikuzani haukuweza kumtoka katika akili yake hata siku moja.
Muda wote sikuzani alilia kwa uchungu sana kitu kilichomuuma alijua kabisa yeye ndiye aliyesababisha mpaka hayo yote yanatokea alijua kuwa yeye ndiye aliyesababisha mpaka Mama yake mzazi kufariki dunia,
hakika hakustaili msamaha hata Kwa Mungu,Adrian ndiye aliyekua pembeni yake anampa matumaini hakuelewa kuwa amemshika kondoo aliyevalia ngozi ya Simba!.
**
“LAKINI mimi sikusema muuwe mbona umefanya ivyo?”
“mimi sikutaka iwe ivyo, wanavyodai wenyewe jamaa alikuwa mbishi ndiyo wakafanya ivyo”
“Sasa Mama yangu ndiye amekufa sababu yako, unadhani itakuaje?”
“inakubidi tu ukae kimnya”
“nikae kimnya?!Mama yangu mume muuwa charles sikubali”
“sasa unataka kufanya nini?”
“naenda polisi wafungwe”
“unasemaje Sikuzani?”
“kama ulivyonisikia naenda kushtaki polisi”
“alafu iweje unajua kuwa nawewe utaenda jela?”

“jela kufanya nini,wataenda hao watu wako”
“acha utoto sasa,ngoja basi nije tuongee”
“siwezi kuongea chochote nawewe naenda polisi”
Huo ndio ulikua msimamo wa sikuzani kwenda Polisi kushtaki, ndani ya moyo wake aliumia sana kuwaona hai watu ambao wamefanya mauaji ya Mama yake mzazi,
Ni kweli hakuwa na utani hata kidogo alisubiri kesho yake kukuche ili aende kushtaki polisi.
“potelea mbali”
Aliwaza Sikuzani.
Charles alishaelewa maana yake, alishajua kuwa kitendo cha Sikuzani kwenda polisi basi ni lazima yeye ataenda jela na ndio hapo hapo alipowapigia watu wake simu ili kuwapa taarifa hiyo iliyowafanya hata wao wachanganyikiwe,

hawakutaka kupoteza muda waliaandaa silaha zao kwa nia moja tu kwenda kumuua sikuzani na kupoteza ushaidi huo, ilikua ni lazima wafanye ivyo kuliko kwenda kuozea jela.
“Sasa sisi usiku tunaenda kuharibu”
“poa tu,mimi siwezi kwenda jela kisa huyo Malaya mmoja, picha yake hii hapa”
Alisema Charles
“poa poa siye tupo tayari, atakaye leta shobo tunatandika risasi”
Baada ya kukaa kikao hiko kidogo jioni hiyo, walisubiri usiku uingie kisha waende nyumba ya Adrian ili wakamuuwe sikuzani.
Ni kweli baada ya saa nne za usiku kuhitimu walipanda piki piki zao na safari ya kwenda Tegeta kuanza, hawakuweza kupotea sababu Charles ndiye aliyewaelekeza.

Kitendo cha kufika tu walimuweka kimti mlinzi wa getini chini ya ulinzi na kumfunika kwenye kibanda chake walimuingiza shati mdomoni mwake ili asiweze kupiga kelele za aina yoyote ile.
Taratibu walitembea na kumkuta Sikuzani yupo kwenye kochi amekaa anaangalia Televisheni.
“KAAA kimnya Kahaba wewe”
Mmoja wa majambazi alitoa kauli hiyo kisha kutoa bastola yake…

 “usithubutu kupiga kelele ya aina yoyote ile nyang’au wewe,yaani tunapiga dili wewe unajifanya kenge?”
“jamani jamani nilikua natania tafadhali msiniue”
“hustaili kuishi kacha kacha”
Bastola ilikokiwa tayari, Sikuzani alikuwa anatetemeka kwenye kochi analia kwa kuomba msamaha!.
“Dofu usimuuwe huyu atatusaidia kupata pesa nyingine”
“kivipi?”
“tuondoke naye”
“alafu?”
“nitakwambia cha kufanya”
Hapo ndipo walipomtaka Sikuzani aongoze mbele huku mikono yake ikiwa juu hewani yupo chini ya ulinzi anatetemeka anasali sala yake ya mwisho na kumuomba Mungu wake atende miujiza.
Walimpakia kwenye piki piki hiyo moja akiwa kati kati na kutoa mbio.
***
“Piii piiiiiiiiiiiiii piiiiiiiiiiiiiiiii”
“huyu mlinzi wako amelala nini?”
Aliuliza Partson Jr akiwa ana mrudisha Adrian nyumbani usiku huo ili akapumzike kutokana na mkono wake kuwa na maumivu, ivyo hakuweza kuendesha gari,
rafiki yake wa karibu Partson Jr Ngogo ndiye aliyekua akimsaidia kwa kila kitu akimuendesha mpaka Ofisini na kumrudisha nyumbani,nusu saa nzima walipiga honi bila ya kuwa na dalili ya aina yoyote ile ya mlinzi huyo kufungua Geti,
ilibidi Partson Jr afungue mlango wa gari na kuligonga geti lisaa lizima.
“Oyaa chif eeh”
“vipi?”
“jamaa ako vipi huyu?”
“chukua funguo izi za spea fungua”
Wote walifika ndani ya kibanda cha Kimti na kumuona alivyokua amelala ana shati mdomoni ameka kamaa anahema kwa shida jasho lina mtoka,
hawakuelewa nini kimetokea kila mtu hofu ilimtanda,Partson jr alitoka nje mbio mbio kwa uwoga alishajua teyari kuna majambazi.
“Kimtii Kimtii kimtii”
Aliita Adrian huku akichungulia Dirishani kwa mlinzi wake
“Mhhhh”
Alichukua tena funguo zingine za spea kisha kufungua mlango wa mlinzi huyo kisha kumuendea na kulitoa shati mdomoni mwake.
“Bosi uwiiiii, Bosi sitaki tena kazi sitaki tena kazi kesho narudi kijijini,Haki ya Mungu sitaki tena hii kazi ya ulinzi bosi tafadhali nirudishe kwetu nirudishe kwetu sasa hivi”
Alizungumza kimti huku akiwa getini tayari kwa kuondoka!.
“nini kimetokea?”
“tajiri majambazi walifika hapa,Wanatisha sana Mungu wee nimepona kweli?”
“sasa ilikuwaje wapo wapi?”
“wameondoka teyari yaani tajiri”
“walikuwa wanataka nini?”
“tajiri nimilikishe bastola”
“kimti acha uchizi, niambie nini kimetokea”
Akili zake zilikuwa zimeweuka bado haamini kama kapona na anapumua,

hapo ndipo alipoanza kumuhadithia Adrian kila kitu kilichotokea tangu walivyoingia majambazi hayo na kumuwekea shati mdomoni mwake kisha baadaye kumsikia Sikuzani anabishana nao.
“walikuwa wanaongea kuhusu nini?”
“kuna neno nilisikia wanasema kuwa watapata pesa kupitia yeye”
“Lak…”
Kabla ya kumalizia kuongea simu yake iliita kwenye namba za sikuzani. Hapo hapo bila kujifikiria alipokea na kuweka sikioni.
“Kijana kesho saa nne asubuhi tuletee milioni kumi kama unampenda mkeo sawa”
“sasa….titiiiiii”
Sauti nzito ya kukwaruza ndiyo iliyosikika upande wa pili kisha simu hiyo kukatwa, alishaelewa nini maana yake kuwa wanamtumia Sikuzani kama chambo cha kuvuna pesa.

Hakutaka kukaa na habari hizo asubuhi ya kesho yake na mapema alidamka na kumtafuta Charles ili ampeleke hospitali akawaeleze wazazi wake, licha ya hayo siku hiyo ndiyo waliyokuwa wanaruhusiwa hospitalini ivyo ilibidi akawachukue.
“kwahiyo wame mteka Yule kenge mkosa adabu?”
Alikema Mzee Mwangenya na kumfanya Adrian ashindwe kuelewa.
“Kivipi Mzee ni Sikuzani ndiye ametekwa”
“ndio huyo huyo afe tu,tena usimtafute popote pale wamuuwe, Mwanangu naomba unisamehe baba yako”
“kwani nini kimetokea mbona sielewi?”
Hapo ndipo Mzee Mwangenya alipoanza kusema yote yaliyotokea tangu alipotoka Mbeya na kumfuma sikuzani akifanya vitu vya ajabu kisha kutimuliwa kama mbwa,

Adrian alishtuka sana hakuelewa na kuamini kwa yale yanayozungumzwa na Baba yake.
“Aseee! huyu shetani umemtoa wapi Adrian?”
Alikema Tena Mzee Mwangenya alivyoiona sura ya Charles, hakuweza kumsahau mwanaume huyo aliyemtukana matusi ya nguoni.
“ni Dereva wa sikuzani” “Shetani huyu sitaki kumuona,mtoto mb-ya sana huyu,dereva wako wa wapi, wakati mume mwenzio sipandi gari lako Adrian natembea kwa miguu”
“Mzee embu ngoja tufike nyumbani,itakuwa bado unaumwa”
“Adrian mimi naumwa!?,mimi naumwa jinga wewe,huyu hafai sio binadamu huyu ndiye alinifukuza pale kwako pumbavu sana huyu aseee”
Mzee Mwangenya alizidi kupayuka, licha ya kuongea hayo Charles alikua akicheka na kuzuga alishaelewa amekamatika.
“sasa mzee mimi siwezi kuendesha gari mkono wangu bado mbovu”
“Nitaendesha mimi nifundishe”
“Hapana Mzee gari sio baiskaeli kuwa utajua siku moja”
Ni kweli Mzee Mwangenya alikataa kata kata kupanda gari la Adrian, ili bidi akodiwe taxi iliyompeleka mpaka nyumbani kisha yeye kufuata nyuma nyuma mpaka alipofika kwake Tegeta.

Bado alizidi kusumbuliwa na Majambazi wakimkumbusha pesa ili sikuzani awe huru, alikua katika mawazo ili bidi amtafute Brigedia Sangu amueleze tatizo hilo sababu kwa wakati huo alishaingiwa na mashaka na kuchezwa na machale juu ya polisi.
“sasa sikia wewe kubali,nipe taarifa zote wameingia kumi na nane umemwambia mtu yoyote Yule?”
“hapana”
“iwe siri yetu”
“sawa”
“kila wanachokuambia uniambie”
“sawa”
Hapo ndipo walipoanza mawasiliano ya chini kwa chini na Brigedia sangu, alimuambia kila kitu kuwa majambazi hayo yanataka wakutane Gongo la Mboto huko Ulongoni ili wakabidhiane pesa kisha sikuzani awe huru,
saa ilivyotimu alichukua Taxi mpaka gongo la Mboto huku nyuma yake zikiwa gari mbili zilizo jaa wanajeshi ambao walivalia nguo za kiraia,

Walishafika ulongoni kisha Adrian kushuka na begi la pesa baada ya kuongea na watu hao, gari mbili Corrola zilimpita ambazo zilibeba wanajeshi kisha kwenda kusimama mbele kabisa wakijificha, kila kitu kilienda sawa, ili kuwa lazima wajue ni nani muhusika mkuu!,
“poa tushakuona tulitaka tu tujue kuwa kama hukuja na polisi, nyoosha barabara kubwa kata kulia utaona piki piki mbili”
Maelezo hayo ya Simu Adrian aliyafuatisha kisha kukuta piki piki mbili,
alisubiri hapo na kuona watu watatu wametokea wakiwa na Sikuzani,nayeye kuwakabidhi begi la pesa.
“mtu wako huyo hapo potea sasa hivi”
Kitendo cha Adrian kugeuza shingo yake na kumshika vizuri Sikuzani kundi la wanajeshi lilitokea hapo hapo wakiwa na mitutu walipiga risasi hewani mfululizo na kuwaweka majambazi chini ya ulinzi kabla ya kujihami,
Hapo hapo walianza kupigwa kipigo cha mbwa mwizi.
“sisi ni wanajeshi, hakuna cha kwenda kituoni hapa hapa mnasema, sisi tumefundishwa kuuwa kama ivi paaa paaa”
Sauti hiyo ilitoka kwa Mwanajeshi mmoja wao na kumtandika mmoja wao risasi mbili za kifua hapo hapo,kweli hawakuwa na masihala hata kidogo hakuna hata mmoja aliyecheka,
vitisho walivyopokea kutoka kwa Brigedia Sangu kuwa majambazi hao wakamatwe kiliwafanya wakasirike sana na kudhiirisha kuwa kazi hiyo ilikua rahisi sana kwao.
Risasi nyingine ilitua mguuni Mwa jambazi mmoja wao.
“Cha cha cha charle….s na Afande Mocha ndiyo waliyo tupa hiyo kazi”
“ongea vizuri kacha kacha paaa”
Risasi nyingine ilitua juu ya paja la jambazi huyo huyo, Adrian aliyekua pembeni alisikia kila kitu Sikuzani alishaelewa maana yake, jasho lilimtoka alitamani akimbie.
“Char…les yupi?”
“huyo Demu anamjua”
“yupi?”
“huyo hapo,ndiye ndiye aliyepanga njama pia”
“unaleta utani sio?”
“Kw..eli tena”
Hapo hapo simu ilipigwa kwa kikosi kingine cha jeshi ili waka muweke chini ya Ulinzi Charlses, haikuchukua hata dakika tatu tayari aliwekwa chini ya ulinzi na kumtaja sikuzani ndiye aliyechora mchoro!.

Adrian aliyekua pembeni alirusha kofi zito lililotua juu ya pua za Sikuzani na kumpeleka chini chali mzima mzima, aliendelea kumshushia kipondo cha Mbwa Mwizi na kumuinua alimuweka ukutani akiwa amemkaba na kumfanya Sikuzani ajambe kutokana na kukabwa sana kohoni!.
“Kumbe wewe Malaya ndiyo umefanya haya yote ku** wewe Wazazi wangu wamepigwa risasi, umemuuwa Mpaka Mama yako..”
“Adrian huyu tuachie sisi twende nae kambini kwanza”
Waliondoka na Sikuzani mpaka kambini huko alikutana na Charles ili wafunzwe adabu.
**
“Mwanangu naomba unisamehe ila nachokuomba ufunge ndoa na Yule binti uliyesema kuwa unampenda,uje naye hapa leo hii hii”
Maneno hayo yalitoka kinywani mwa Mzee Mwangenya baaada ya kusikia habari za Sikuzani baada ya wiki kupita,

yeye na Charles walihukumiwa vifungo vya miaka thelathini jela kwa kosa la kushiriki mauaji na uvamizi wa silaha za moto.
Mkono wa Adrian ulipona sasa na kurudi katika hali ya kawaida alifurahi sana kuruhusiwa na Baba yake aweze kufunga ndoa na Jaqin, siku hiyo hiyo aliwasha gari mpaka Mabibo Hostel ili kumuulizia lakini alishtuka sana baada ya kuambiwa kuwa alishamaliza Chuo na kupokea tayari shahada yake siku nyingi zilizopita,

haikumsumbua akili sana siku hiyo hiyo alinyoosha mpaka Kinondoni kwa Manyanya kwa shangazi yake lakini nje ya nyumba hiyo alikuta kufuli kubwa, namba za simu alizopewa zote zilikua hazipatikani. Kweli alishajua kuwa Jaqlin ndiye mwanamke wa maisha yake alikumbuka mengi sana waliyopitia na mwanamke huyo,

aliamini kuwa ni lazima wafunge ndoa ikiwezekana siku hiyo hiyo,
japo alikua hapatikani tena Hewani, alienda Mpaka mikocheni B kwa Mzee Kway ili aweze kumuelekeza kwa wazazi wa mwanamke huyo, lakini aliambiwa kuwa hapo alishahama siku nyingi sana na nyumba hiyo imeuzwa!.
“Huyu Mzee mbona kasha hama hapa, na hii nyumba kaiuza”
“Ahsante sana Mama”
“hujui alipohamia labda?”
“hapana kwa kweli”
“okay”
Siku nzima iliisha akijaribu kumtafuta Jaqlin bila mafanikio ya aina yoyote yale,
Kesho yake ivyo ivyo alijaribu kwenda tena kinondoni kwa Manyanya na kuwauliza majirani.
“kwanini hii nyumba imefungwa?”
“Mwenyewe alisafiri wiki iliyopita huko Moshi kwenye harusi”
“harusi?”
“ya ya ya nani?”
“alisema sijui mtoto wa kaka yake anaolewa ndiyo ameenda huko”
Moyo wa Adrian ulizidi kumwenda mbio sana,na jasho kumtoka.
“una namba zake anazotumia huko?”
“ndio ninazo”
“naomba nipatie tafadhali”
Hapo hapo aliletewa namba kisha kushukuru aliingia ndani ya gari na kupiga namba hizo kisha kujitambulisha.
“Nisha kukumbuka Adrian mwanangu za masiku?”
“salama Mama,vipi huko kwema?”
“kwema tu huku nipo Moshi,jaqlin anaolewa kesho”
“unasema?”
“jaqlin anaolewa kesho”
“wapi hapo?”
“kanisa la k.k.k.t hapa Marangu mtoni kesho saa sita mchana,nitakupigia baadaye sasa hivi nina heka heka”
Moyo wa Adrian ulilipuka na kumdunda kwa kasi sana,hakutaka hilo litokee hata siku moja alimpenda sana Jaqlin ilikua ni lazima akamuombe msamaha alimini kuwa angemuelewa,

hapo hapo aligeuza usukani na safari ya kwenda uwanja wa ndege kuanza ilikua ni lazima afike Mkoani Kilimanjaro siku hiyo hiyo na ndege ya jioni itakayo tua KIA Arusha kisha atafute usafiri mpaka MOSHI, kutokana na foleni alifika Kipawa uwanja wa ndege saa kumi za jioni,na kutoa pesa haraka haraka ili akate tiketi aweze kuondoka na ndege.
“kaka samahani ndege zimejaa hapa tuna nafasi ya ndege za kesho kutwa”
“No hapana inabidi nifike leo Arusha nina Dharura”
“hapana kaka hakuna nafasi”
Alishusha pumzi ndefu sana na kuangalia saa yake ya mkononi ilisha fika saa kumi na moja tayari jioni,hakutaka kulala siku hiyo Dar es salaam, hakua na chaguo lingine zaidi ya kurudi ndani ya gari lake JEEP na kufunga mkanda kwa safari moja tu kuelekea Mkoani Kilimanjaro akitumia usafiri wa gari lake mwenyewe binafsi ili kumuwahi Jaqlin kabla hajafunga ndoa kanisani…

***

Adrian Mwangenya yupo njiani anaendesha gari lake kama aliyekuwa kwenye mashindano ya olympic,taarifa alizozipata kuwa Mwanamke ambaye anampenda kuliko kitu chochote kile chini ya jua la Mungu sasa anaenda kufunga ndoa kesho yake asubuhi huko Mkoani Moshi Marangu Mtoni,

alikosa nafasi ya ndege ambayo angeamini ingemfikisha siku hiyo hiyo tena kwa dakika arobaini na tano angekua Arusha kisha kuchukua usafiri wa gari mpaka mkoani kilimanjaro.
Alimlaani sana Baba yake mzazi, aliamini kuwa yeye ndiye aliyesababisha yote mpaka mambo hayo yanafanyika sababu yeye ndiye aliyemchagulia mke kutoka huko mkoani Mbeya Mwakaleli,kisha baadaye mwanamke huyo kushiriki ujambazi na kusababisha vifo vya watu na yupo gerezani anatumikia kifungo cha miaka thelathini,

Basi kama Jaqlin angefunga ndoa na kuwa mke wa mtu aliapa kuwa asingeweza kumsamehe baba yake mzazi,saa moja ya jioni ndipo alipofika Chalinze na kushusha gia mpaka tatu kutoka namba tano,aliukunja usukani ivyo ivyo akiwa kwenye mwendo kasi kisha kukanyaga clanch na kuzidi kupandisha tena gia,
alikua katika kasi ya ajabu, ilikua ni lazima afike Mkoani Kilimanjaro tena kabla ya saa tano ya asubuhi kesho yake ili kumuwahi jaqlin asifunge ndoa kanisani,
bado alikua na safari ndefu sana mpaka kufika mkoani huko,alitamani gari ipae na afike muda huo huo lakini hilo halikuwezekana, alichoomba Mugu gari yake isije ikaleta matatizo njiani,Masaa matatu baadaye alikuwa anateremsha Mto wami, hapo alipunguza mwendo kasi kidogo kisha kukunja kunja kona na kumaliza mto huo uliokua na mamba,

baada ya hapo aliongeza tena mwendo kasi safari hii alizidi kukimbiza gari na kuyapita maroli ya mizigo njiani!.
Mpaka inafika saa saba ya usiku ndipo alipoingia mkoani Kilimanjaro Kijiji cha same, alijipa moyo kuwa ni bado kimebaki kipande kidogo ili afike Marangu mtoni, ni kweli aliendesha gari bila kupumzika hata kidogo,
“Puuf!”
Ilikua ni sauti kubwa sana iliyosikika na kufanya gari la Adrian liyumbe na kuhama barabara, kutokana na mwendo kasi alikuwa anatumia, ilikua ni pancha ya tairi la nyuma gari lilionekana kumshinda na kuingia kwenye mashamba ya katani huku likitoa vumbi nyingi kwa nyuma na kutulia juu ya gema kubwa hapo hapo!.

Adrian alikua amejibamiza kwenye vioo na kumfanya vimkate usoni, maumivu mengi aliyasikia kichwani alivyojigusa kichwani alihisi michirizi ya damu lakini maumivu aliyosikia hakuweza kuyafananisha na yale anayohisi ndani ya moyo wake ya mwanamke jaqlin ambaye masaa machache anaenda kufunga ndoa kanisani na alipaswa amuwahi,

baada ya kukumbuka hayo tu haraka haraka alifungua mlango wa gari na kushuka, alivyoangalia kwenye matairi aliona ni matairi mawili ndiyo yamepata pancha hayana upepo, alizidi kuchanganyikiwa sababu ndani ya gari lake kuna tairi moja la akiba.

Alihisi kuchoka sana alitoa jeki haraka haraka kisha kuweka jiwe ili kubadili tairi,hapo alifanikiwa kufanya zoezi hilo,jambo lililobaki ni kusimama barabarani ili kuomba msaada wa tairi la ziada lakini hakuwa na uhakika kama angepata msaada huo sababu ya magari kupita moja moja tena kila baada ya dakika tano mpaka kumi wakati mwingine!.
Alisimama Barabarani na kupunga mikono ili kuomba msaada lakini magari yalimpita na kumuacha hapo hapo, alihisi kuchanganyikiwa masaa yalizidi kukatika mpaka inafika saa kumi na mbili ya asubuhi hakuweza kupata msaada wa aina yoyote ile.

Alishakata tamaa tayari ya kumpata jaqlin alishaelewa kuwa anaenda kuwa mke wa mtu na jambo hilo likitokea hatakuwa na ujanja wa aina yoyote ile,alikaa chini ya mti na kuweka mikono yake kichwani na kushuhudia magari yanampita bila kutoa msaada wa aina yoyote ile.
Alisimama tena ili kujaribu bahati yake ya mwisho, Mungu sio Athumani na hawezi kumtupa mja wake hata siku moja,
Gari aina ya Verosa lilisimama kisha kupaki pembeni kidogo, Mzee mwenye kitambi na mvi chache alishuka ndani ya gari hilo na kumuendea Adrian alipokua amesimama.
“Vipi kijana?”
“Mzee Shikamoo naomba msaada wako”
“nini kimetokea?”
“gari yangu imepata matatizo”
“ndio ile kule mashambani?”
“ndio mzee wangu”
“ilikuaje mpaka ikafika kule sasa?”
“pancha… ndiyo likanishinda nikajikuta nimehama barabarani”
“sawa nitakusaidia, kafungue tairi twende tukalizibe hapo mbele Same mjini”
Haraka haraka Adrian alifungua tairi la gari kisha wote kuingia mpaka kwenye verosa mpaka Same mjini ili kuziba tairi!.
**
Ukumbi mkumbwa ulikua teyari umeandaliwa na wachaga, ni kweli walifanya kufuru haikuwa ndoa ya mchezo hata kidogo, Manase Shayo ndiye aliyekuwa bwana harusi aliyesifika kwa ujasiliamali hapo mkoani Kilimanjaro, leo hii ndiyo ilikua siku yake ya kufunga ndoa na mwanamke Jaqlin Lukas, hata yeye hakuamini kama angeweza kufunga ndoa na mwanamke huyo mrembo aliyekuwa akimfukuzia kwa miaka mingi sana hatimaye kumpata, hakutaka kuchelewa hata kidogo haraka haraka alijitambulisha kwa wazazi wa mwanamke huyo waliokuwa Arusha kisha baadaye kumpeleka kwa Mzee Shayo ili mambo ya ndoa yaanze,
ni kweli mambo yalipelekwa harakaharaka, ndani ya mwezi mmoja tu alitoa posa na kukabidhiwa mwanamke huyo,Kitchen party, send off vyote vilipita na ndiyo kitu kimoja tu ndiko kilikua kinasubiriwa siku hiyo ya ndoa, kila mtu alitamani ndoa ya mchaga huyu.
“Ehh Haloo bwana Masawe uko wapi bwana Meku,yesu na Maria bado hujafika tu?”
“Ndio shayo nipo njiani hapa Mangi nakuja hapo saluni baba angu,usijali kuhusu hilo”
“Ufanye haraka na upesi aisee Meku mimi ndiyo nakutegemea katika hii shughuli nzima wewe ndiye msanzu wangu aisee”
“usijali bwana”
Manase shayo alikata simu akiwa yupo saluni anapambwa kwa ajili ya harusi yake, ivyo ndivyo ilivyokua kwa Jaqlin nayeye alikua saluni anapambwa lakini hakuwa na furaha hata kidogo ndani ya moyo wake, akili yake ilikua mbali sana kimawazo hakumpenda Manase hata kidogo,

muda wote alimuwaza Adrian alikumbuka kipindi walivyoachana na baadaye kumtafuta kwenye simu ili kumpa habari ya yeye kuchumbiwa lakini hakuwa hewani na kuambiwa kuwa yupo nchini Oman, alimsubiri sana na kutumia sababu nyingi ili harusi isogezwe mbele, licha ya kufanya hayo lakini Adrian hakuweza kumpata wala hakuelewa ni lini angerejea nchini Tanzania, machozi yalimlenga muda wote, kama maji alishayavulia nguo ilikua ni lazima akoge tu,
alitamani kuhairisha harusi lakini hakutaka kuwatia aibu wazazi wake, pembeni yake alikuwa Fetty ndugu yake yeye alishaelewa kuwa nini kilikua ndani ya moyo wa Jaqlin!.
“usiwe ivyo lakini jaqlin wangu”
Alisema Fetty
“Hap…na Fe…tty”
Hapo ndipo Jaqlin alipoanza kulia machozi ya kwikwi huku akifikicha pua zake.
“usilie mamiii usilie tafadhali, huwezi jua ndiyo ,mipango ya Mungu”
“ha..ta kama hata Kama Fetty nina uchungu sijui lakini Mun..gu ndiye anayejua yote haya..”
Haikuwa kazi rahisi kumfanya Jaqlin anyamaze na aache kulia machozi ya kwikwi, ndugu wa upande wa Shayo hawakuelewa ni kitu gani kinamliza Wifi yao licha ya kumuona katika hali hiyo hawakutaka kumuuliza chochote, wao walichowaza ni kula na kuserebuka siku hiyo,

baada ya kupambwa vizuri na kupendeza wote walisimama na kuelekea ndani ya magari yaliyokuwepo nje tayari kwa safari moja tu kuelekea kanisani kufunga ndoa ili wawe mwili mmoja mke na mume kama agano ndani ya biblia linavyosema,
Jaqlin alitoa tabasamu la bandia ili kumfurahisha mume wake mtarajiwa Manase Shayo aliyekuwa teyari amevalia suti yake kichwani kapaka supa black.

Magari ya maharusi yalizidi kusonga mbele huku nyuma yao wakiongozwa na gari aina ya pick up iliyobeba wanakwaya waliokuwa na matarumbeta na ngoma kubwa wakizidi kupokezana kuimba,nyuma zilikua costa mbili zilizobeba na kuwajaza ndugu wa Shayo.
“wanamelemetaaa wanamelemetaaa,wana waka waka, wanawaka wakaaaaaa”
Sauti za akina Mama zilisikika ndani ya costa kubwa iliyowabeba.
**
Adrian Baada ya kuziba tairi lake pancha haraka haraka alilifunga vizuri na kuwasha gari mbio mbio, japo vioo vya milango vilikua vimepasuka na anavuja damu kichwani mwake hakujali hilo, alichojali yeye kwa wakati huo ni kumuwahi jaqlin mwanamke anayempenda na kuzuia ndoa itakayokwenda kufungwa japo hakua na uhakika kama atafanikisha zoezi lake,

alirudi kinyume nyume alivyokaa sawa alimshukuru Mzee aliyemsaidia kisha kuweka mguu kwenye mafuta na kutoka kasi ya ajabu,ndani ya masaa mawili na nusu alikua yupo njia panda na kupunguza mwendo kasi, aliangalia huku na kule kama kuna magari yanakuja alivyohakikisha kuna usalama alikunja kona kulia kuifuata njia ya kwenda HIMO alizidi kusonga mbele,
alishapewa taarifa juu ya saluni atakayo kua Jaqlin, aliulizia saluni hiyo kisha kuelekezwa, mara moja, aligeuza gari mpaka saluni kisha kuweka gari pembeni mbio mbio mpaka ndani saluni ya kike na kumuulizia Jaqlin.
“wameshatoka hapa wameelekea kanisani dakika ishirini zilizopita”
Alijibu mwanamke wa saluni
“wame.. wamepita njia gani huku au kule?”
“huko huko”
“sawa Ahsante!”
Adrian alipiga hatua mbili mbili mpaka ndani ya gari lake, haraka haraka aliweka gia na kulitoa mbio tena, hakutembeza sana gari, mbele yake aliona msululu wa magari yaliyopambwa hakua na haja ya kuuliza alishaelewa ndiyo hiyo harusi ya jaqlin, alizidi kutoa mbio kisha kuyapita magari hayo na kuweka gari lake mbele ili kuzuia msafara huo, yalikua ni maamuzi magumu sana aliyoyachukua hapo, magari yote yalisimama papo hapo kisha Adrian kushuka huku akiwa na damu kichwani hakuna hata mmoja aliyeelewa ni kwanini jambo hilo linatokea.
“Adri…..an”
Aliita Jaqlin akiwa ndani ya gari baada ya kumuona Adrian mbele, moyo ulimwenda mbio haamini kile anachokiona..


Moyo ulimwenda mbio alidhani wenda yupo kwenye njozi ndefu tena ya mchana,Mtu aliyemuona mbele hakutegemea kumuona siku kama hiyo, aliyafumba macho yake kwa nguvu na kuyafumbua akihisi wenda anaota na angeshtuka ndotoni,

Mwanaume anayempenda na kutoka naye mbali akidhani wenda yupo nchini Oman sasa yupo mbele yake tena katokea hata kabla ya ndoa kufanyika, alikumbuka vitu vingi sana walivyofanya na mwanaume huyu, alikumbuka ni jinsi gani walivyokua wakiishi kwa furaha enzi za mapenzi yao lakini yalikatishwa na wazazi wake walipomchagulia mke kutoka mbeya Mwakaleli, na hapo ndipo ndoto zao za kujenga familia kama mke na mume hapo baadaye ziliyayuka kama barafu!.

Mwanaume huyo pia hata kitandani hakuwahi kumchoka alikua anajiweza vilivyo, ni vitu vingi sana alivikumbuka vilivyopita hapo nyuma.
Alimtizama Mume wake mtarajiwa Manase Shayo aliyekua anayatoa macho yake na kuangalia mbele,ilionekana hakuelewa ni kwanini gari aina ya JEEP imefunga barabara lipo mbele.
Jaqlin hakujifikiria mara mbili aliusikiliza moyo wake unataka nini, hapo hapo alifungua mlango wa gari kisha kupandisha shela lake na kuanza kukimbia mpaka alipo simama Adrian na kumkumbatia kwa nguvu, yalikua ni maamuzi magumu aliyoyachukua hata yeye,
wageni waalikwa walianza kushuka ndani ya magari.
“Adrian tuondoke”
Alisema Jaqlin kisha kuingia ndani ya gari na kutoa mbio za ajabu,huku nyuma wakiacha waalikwa wakiwa wametawanyika huku na kule, hawaelewi ni kitu gani kimetokea na kulishuhuduia gari aina ya JEEP likitoka Kwa kasi sana huku likiacha vumbi kwa nyuma na kufanya watu wasionane!

Manase Shayo bado alikua haelewi ni kitu gani kinaendelea, kwa mara ya kwanza alidhani wenda kuna maigzio yanataka kutokea ila watu walivyozidi kupiga kelele ndipo akili ilipomjia kuwa mambo yameshaharibika na kutoka ndani ya gari.
“Mke wangu kaenda wapi?”
Aliuliza Manase.
“hatuelewi nasisi, inabidi tukuulize wewe”
“embu acheni masihala aroo,usifanye utani aisee unajua pesa ngapi nimetumia mpaka kufikia hii hatua,nauliza tena mke wangu yuko wapi na Yule chalii ni nani?”
Kila mtu alikua katika hali ya sitofahamu,walishindwa kuelewa Mwanaume aliyekuja kumchukua bibi harusi kisha kuondoka naye ni nani walikosa jibu kamili kabisa,

kwa wachache waliomjua Adrian walikaa kimnya hawakutaka kufungua midomo yao kusema lolote, Fetty na shangazi yake na Jaqlin hawa walielewa kuwa mwanaume huyo ni Adrian mpenzi wake na Jaqlin.
HATA wazazi wa bibi Harusi walishindwa kuelewa ni kitu gani kilitokea mpaka binti yao aharibu harusi na kuwaaibisha mbele ya kadamnasi, wote walipatwa na ghahabu,kilikua ni kitendo cha aibu sana kwa wachaga hawa walioipania harusi hiyo huku wengine wakitokea mikoa mbali mbali ya Tanzania ili kuhudhuria.

Manase Shayo alitembea moja kwa moja mpaka nyuma ya gari lililobeba wakwe zake kisha kugonga kioo cha gari.
“Mzee mbona sijaelewa huu mchezo?”
“hata sisi Baba hatuelewi,tupo njia panda”
“Hapana mtakua mnajua haiwezekani”
“Kweli Baba”
Manase Shayo alitafsiri majibu hayo kama maigizo.
“msiniletee maigizo,mimi sipo hapa kufanya maigizo kama hamkutaka mimi niwe na binti yenu mngeniambia kuliko kutuma watu waje kuharibu hii shughuli,ni pesa nyingi nimetumia”
Manase aliongea akiwa na hasira za waziwazi.
“Manase,wewe ni mkwe wetu hatuwezi kufanya huo mchezo hata siku moja sisi ni watu wazima”
“kumbe?”
“wacha tusubiri tuone”
Walikaa barabarani takribani masaa mawili bila dalili yoyote ile ya bibi harusi kuonekana wala kutokea,Manase alipandwa na hasira na kurudi na ndugu zake mpaka nyumbani kwake akiwa amejawa na hasira sana,ilikua ni aibu kubwa kwa mchaga kama huyo aliyejulikana Mwika,Himo mpaka majengo kuaibishwa mbele za watu tena siku ya harusi yake.
“hizi ni njama tu,sasa mimi ndiyo mchaga tutaoneshana,wale wazee si watu wa Arusha, mimi nimezaliwa Moshi tutaoneshana nasema wachaga sio watu wa kuchezea kabisa chaa!”
“Shayo punguza jazba vua basi hiyo suti”
“hii suti sivui nalala nayo mpaka asubuhi,Mimi ndiyo Shayo najua uchungu wa pesa Meku,nitawaonesha wale wazee,huu ni mchezo wananichezea”
Kikao kizima siku hiyo kilizungumzia kitendo kilichotokea asubuhi ya siku hiyo cha shayo kunyang’anywa tonge mdomoni kitendo hiko kiliwakera sana.
“Bora nifungwe tu kuliko kuendelea kukaa na hii aibu,Nitamwaga damu ya mtu”
Aliwaza Manase huku akiwa amekaa juu ya sofa na ndugu zake asielewe ni kitu gani akifanye.
**
Wakiwa ndani ya gari walipigana mabusu mengi ya mfululizo na kujisahau kuwa wapo ndani ya gari tena lipo kwenye mwendo wa kasi,na mara kadhaa gari kuyumba barabarani wakinusurika kugongana na malori yaliyokua yanapita kwa kasi,
kila mtu damu ilimwenda mbio walitamani wapate kitanda japo wakidhi haja zao,walibadilishana mate huku mkono mmoja wa Adrian ukiwa juu ya usukani, hisia zake zikiwa mbali tena kuhama na kujisahau kuwa yupo barabarani kwa mara nyingine na kukaa kati kati.

Hapo ndipo alipoona kibao kilichoandikwa SAI MOTEL na kuweka gari pembeni kisha wote kushuka huku bado jaqlin akiwa na shela lake kubwa amelishikilia mikononi mwake ili lisiweze kuburuzika chini,walitafuta chumba na kupata hapo hapo.
Kitendo cha kufika tu chumbani hakuna hata mmoja aliyekua na muda wa kumuongelesha mwenzake,
walinyonyana midomo yao kama njiwa huku wakishikana sehemu tofauti za miili yao tena kwa fujo bila kupumzika, walihema sana,Jaqlin alimvua Adrian shati la juu haraka haraka kisha vest nyeupe kufuata iliyokua bado na michirizi ya damu,
alitamani kumuuliza lakini hakuwa na muda huo mambo yalikua moto moto,

midomo yao iligandana muda wote wakicheza na ndimi ndani ya midomo yao huku wakibadilishana mate,
Adrian alipeleka mkono wake kwa nyuma na kufungua zipu ya shela na kufanya lidondoke chini na kumbeba juu juu kisha kumbwaga kitandani chali akizidi kumpiga mabusu na kuanza kumnyonya shingo yake,

hakuishia hapo alimfuata mpaka masikioni na kuingiza ncha ya ulimi sikioni mwake,hapo ndipo Jaqlin alipoanza kujikunja kama chavichavi mkono wake mmoja aliupeleka kwenye maziwa na kuifungua nguo ya juu aliyokua ameivaa jaqlin kisha baadaye kutoa sidiria na kuanza kunyonya chuchu zake zilizosimama kama embe bolibo bado yalikua yamesimama mabichi yana upepo wala sio pancha,

Hapo ndipo Jaqlin alianza kuhema kama bata mzinga hasa Adrian alipopeleka mkono wake chini kwenye MGODI wa mererani ili kuweka mazingira ya kuchimba madini vizuri,
taratibu alianza kusugua kwa juu kisha baadaye kuanza kupima oil taratibu sana bila fujo yoyote ile,
ulimi wake muda wote ulikua kwenye chuchu unanyonya taratibu sana alivyoona hana nafasi nzuri aliitoa chu** ya Jaqlin kisha kuipanua miguu yake nayeye kutumbukiza ulimi wake taratibu huku akilamba MGODI huo uliokuwa mdogo kiasi tena mweupe sana,
wakati hayo yanafanyika mkono wake bado ulikua unatomasa chuchu za Jaqlin, na kumfanya mrembo huyo uso wake kubadilika rangi na kuwa mwekundu sana, alianza kujikunja kunja huku akiyashika mashuka na wakati mwingine akishika kichwa cha Adrian ili asimuachie,

raha alizokua anasikia jaqlin hazikuweza kuelezeka kwa maneno,alihisi mabati yanafunguka nayeye kupaa angani tena bila mabawa, alikua katika dunia nyingine ya huba,katika wanaume wote aliowahi kufanya nao mchezo huo wa kikubwa unaopendwa na watu wengi ulimwenguni,
basi Adrian ndiye nambari moja yaani TAJIRI WA MAHABA hilo alikiri hata yeye,angejuta sana endapo asingetokea siku hiyo ya harusi na kuiharibu,wakati mwingine alidhani anaota na atashtuka na kujikuta yupo na Manase Shayo.
Mambo yalikua mukide mukide kama gari basi lipo kwenye mteremko mkali na linakaribia kufika mwisho wa safari yake, kama Mpira basi Christian Ronaldo yupo ndani ya boxi anajiandaa kupiga shuti kali ili mpira uingie nyavuni ndiyo yaliyotokea kwa Jaqlin, alikua hoi hajiwezi tena anazungusha kiuno chake tayari anakaribia kufika mshindo!.
“Ahhhhh….Driiiiaaaann aaaaaaah aaaaaah aaashhhhhs aaaaaaaah, aaaaaashhss aaaaaah ssshsssss,St..ooop”
Jaqlin alikua akitetemeka huku akitoa kelele za puani na kuibana miguu yake kuashiria kuwa teyari kafika mshindo,huo ndio ulikua wakati wa Adrian kufanya yake,
bila kuchelewa aliipanua miguu ya Jaqlin,kwa mara ya kwanza kwa hiyari yake hakutaka kutumia zana(condom) yoyote ile alimpenda sana mwanamke huyo siyo masihala na kuamua kuuza mechi,

alishusha suruali yake haraka haraka na kuitoa mwilini mwake, kisha boxa kufuata alizitupa nguo zake chini kisha kuipanua miguu ya Jaqlin na kuanza kuchimba MGODI huo akitafuta madini, kwa kuwa alishauzoea mgodi wa mwanamke huyo ilikuwa rahisi sana kupeleka majeshi majeshi,
MGODI ulikua una joto kiasi na mdogo na kufanya Mashine ibane,
Mambo yalianza!
wote walikua kama walivyozaliwa wanavunja amri ya sita, miguu ya Jaqlin sasa ilikua mabegani mwa Adrian huku mashambulizi yakizidi kuendelea, jina Adrian ndilo lilikua likitajwa muda wote tena kwa sauti za puani,
Mkao wa mbuzi kagoma ndiyo uliofuatia, Adrian alianza kukatika kama FALLY IPUPA taratibu sana huku mkono wake mmoja ukiwa kwa chini juu ya MGODI wa jaqlin kwa juu akichezea kitu kilichofanana na kiharage na hapo ndipo Jaqlin alipoanza kunyonga kiuno chake kama Cindy stage show wa Koffi olomide muimba Lingala huko Demokrasia ya kongo, kila Adrian alipotaka kushinda bao alighairi kwa kurudisha wachezaji wake nyuma,

Tayari Jaqlin alishinda goli lingine na kufika mshindo na hapo ndipo Adrian alipoachia shuti mpaka nyavuni,lakini licha ya hayo aliunganisha tena hapo hapo juu kwa juu na mechi kuanza upya bila kupumzika,

japo ilikua half time alikuwa na pumzi nyingi za kumudu mchezo,uwezo huo wanaume wachache ndiyo wanao mmoja wapo ni nguli Adrian,
Alimgeuza Jaqlin na kumuweka kifo cha Mende ili mechi iendelee, kutokana na baridi kali la Mkoa huo wa Kilimanjaro swala la mechi halikua tatizo,
Jaqlin alitabasamu, kweli alimuona Adrian ni mwanaume wa Shoka hakuwahi kufanyiwa kitendo kama hicho ‘two in one’.
Bado waliendelea kubadilishana mikao baada ya Adrian kushinda goli la pili alilala hapo hapo juu ya kifua cha Jaqlin huku kombola lake likiwa ndani ya mgodi,wote walionekana kuchoka!.
**
“Griiii griiiii. Griiii Griiiiiiiii”
Simu iliyokua ikiita mfululizo ndiyo iliyomshtua Adrian aliyekua amechoka asubuhi hiyo kulivyokucha, kwa uvivu alipapasa papasa mkono wake juu ya Meza na kushika simu yake bila kuangalia aliiweka sikioni baada ya kuipokea.
“Adrian, upo na Jaque?”
Sauti hiyo ya kike iliuliza kwa jazba sana upande wa pili wa simu tena bila salamu, alipotoa simu sikioni na kuangalia aligundua kuwa alikua akiongea na shangazi yake na Jaqlin!.
“Ndio, Nd..io nipo nae”
“tafadhali naomba niongee nae ni muhimu sana”
Adrian aligeuza shingo yake pembeni na kuona ni jinsi gani Jaqlin alivyokua amechoka amelala fofofo, hakua na chaguo lingine zaidi ya kumtingisha tingisha na kumuita.
“Adr..ian vipi baby nimechoka bwanaaaa niache nilale”
Aliitikia jaqlin kwa sauti ya kivivu huku akipiga miayo ya uchovu.
“kuna simu yako”
“Nani bwaana?”
“shangazi yako anasema ni muhimu”
Hapo hapo Jaqlin alijivuta na kuiweka simu sikioni
“Shikamoo Shangazi”
“Jaqlin mwanangu upo wapi?”
“nipo shangazi kwani vipi?”
“Wazazi wako wamevamiwa na majambazi asubuhi ya leo wamepigwa risasi…”

 ****

Wazazi wa Jaqlin wapo njiani wamejeruhiwa, tena wapo mahututi wanakimbizwa kuelekea hospitalini asubuhi hiyo na mapema, kila mtu alishindwa kuelewa ni kitu gani kilisababisha mpaka wao kuvamiwa na kupigwa risasi isitoshe majambazi waliowavamia waliwaacha watu wote na kuwafuata wao tena bila kuchukua kitu chochote kile,kila mtu aliwaonea huruma, furaha ya kuja kumuona binti yao akifunga ndoa sasa imebadilika na kuwa machungu sana.

Hayo tu ndiyo yalifanya kila mtu agundue kuwa kuna njama au kuna mtu anawajua,haraka haraka walifikishwa hospitali ya Wilaya ya Majengo lakini baada ya kuingizwa kwenye matibabu madaktari hawakuweza kuwatibu kwani risasi walizopigwa ziliwadhuru sana.
hapo ndipo kazi nyingine ilipoanza ya kuwapeleka hospitali ya taifa huko KCMC kwa matibabu.
Pili shangazi yake na Jaqlin alionesha kuchanganyikiwa sana kuliko mtu yoyote Yule, alilia na kuruka ruka kama mtoto mdogo, baada ya kutuliza akili yake ndipo alipomkumbuka Adrian ili ampe taarifa asubuhi hiyo Jaqlin kuwa wazazi wake wamevamiwa wamepigwa risasi na ni majeruhi.
Ni kweli kwa bahati nzuri aliweza kumpata Jaqlin na kumuelezea kile kilichotokea.

Moyo wa Jaqlin ulimwenda mbio alihangaika sana baada ya kupewa taarifa izo kutoka kwa Shangazi yake, wakati mwingine alidhani yupo ndotoni anaota,Alimtizama Adrian huku akibubujikwa na machozi ameganda kama barafu.
“Jaqlin”
Aliita ADRIAN kwa sauti ya chini sana.
“aaa..aaaabee”
“NINI Kinaendelea mbona unalia?”
“Adriaaaan. Wazaz..i wangu wamepigwa ri…sasi wamevamiwa”
Hata Adrian alitetemeka baada ya kusikia habari hizo,aliumia sana ndani ya moyo wake,
Hapo hapo bila ya kujifikiria walivaa nguo zao bila hata ya kuoga na kutoka nje mkuku mkuku mpaka ndani ya gari lao kisha kuanza safari ya kuelekea hospitalini KCMC alipoambiwa kuwa wazazi wake ndipo walilazwa,
njia nzima alilia mfululizo bila ya kunyamaza haikuwa kazi rahisi kwa Adrian kumbembeleza,
Moyo ulimuuma sana lakini alichomuomba Mungu wazazi wake wapone na asiwachukue.
Ndani ya dakika themanini na tisa walikua teyari wamefika ndani ya hospitali ya KCMC na kuegesha gari lao,
Wote walishuka na kutembea kwa haraka mpaka mapokezi,
ndugu zake walipomuona waliangua vilio vya uchungu.
“Jaqlin Wazazi wako jaqlin uwiiii kaka yangu”
Shangazi yake alipaza sauti huku wakiwa wamekumbatiana, baadhi ya ndugu walivyomuona Adrian walimkata jicho kali la hasira!,
Walimuona kuwa yeye ndiyo chanzo cha ndoa kuharibika.
“hivi wewe ni nani?”
Aliuliza mzee Mmoja kati ya wengine wanne huku akimgeukia Adrian,
sura hiyo haikuweza kumtoka kichwani.
Kabla ya Adrian kujibu lolote aliona kundi la watu lina kuja huku mbele likiongozwa na mwanaume mrefu mweupe.
Hakuweza kumtambua mpaka aliposikia kuwa ndiye Manase Shayo habari zake alizisikia kwa jaqlin usiku wa jana.
Ghafla alipokea ngumi kali ya tumbo na kumfanya ajikunje.
“wewe ndiye bingwa wa kuchukua wake za watu,sasa lazima ulipe kwa uliyofanya”
Alifoka Manase akiwa na ghadhabu sana.
“Manase taratibu tupo hospitalini”
Alidakia kijana mmoja wa pembeni.
“hakuna cha hospitali,lazima nimfunze adabu aroo,kanikosea adabu sana”
Alimshika Adrian shati na kuanza kumburuza na kufanya fujo zitokee,ilibidi jaqlin aingilie kati.
“Manase acha upumbavu, Nakwambia uache upumbavu wako, achana na huyo mwanaume humjui hakujui tueshimiane”
Jaqlin aliropoka kwa sauti ya juu sana tena akiwa mwenye hasira mno.
“unasema nini wewe?”
“kama ulivyonisikia hapa,”
Hakuna mtu aliyemuelewa mwenzake mpaka walinzi walipotokea na kuwatoa nje sababu ya kelele zilizo sababishwa na Manase.

****
Siku zilivyozidi kwenda ndipo wazazi wa Jaqlin walizidi kuendelea vizuri lakini ilikua kinyume kwa mama yake mzazi kwani risasi iliyokua imepenya ndani ya mbavu zake zilimsababishia ashindwe kupumua vizuri,
Dalili zilionesha kuwa hakua na siku za kuishi hapo mbeleni, siku zake zilihesabika za kuwepo duniani habari hizo alivyopewa Jaqlin ziliukondesha moyo wake.
Hata kwa Adrian hakutaka kubanduka hospitalini alikua yupo bega kwa bega na mpenzi wake Jaqlin kwa kila kitu, akiwa amekodi hotel karibu na MEMORIA hapo Moshi mjini,
‘ukipenda ua penda na boga lake’ matatizo aliyokuwa nayo jaqlin alihesabia nayeye pia ni yake japokuwa Mzee Mshana Baba yake na Jaqlin hakutaka kumuona hospitalini hapo alimchukia sana.
“Kijana nimekwambia toka,usikanyage tena hapa hospitalini nitakupeleka polisi”
“Baba usiseme ivyo”
“hapana nimesema atoke hapa hospitali,sitaki hata kumsikia”
Mzee Mshana katakata aligoma kabisa kuiangalia sura ya Adrian,hayo ndiyo maneno aliyokuwa akisema kila alipomuona Adrian.

***

Jeshi la polisi bado lilizidi kuchukua maelezo juu ya tukio la ujambazi lililotokea, walizidi kuwahoji watu wa karibu na kuyachukua maelezo ya kina, ili waanze kesi hiyo, kila mtu aliguswa kwa tukio lililotokea ivyo walizidi kuwahimiza polisi wazidi kufanya msako mkali.
“Bado hamjawakamata hao majambazi?”
Alifoka Manase Shayo siku hiyo akiwa amefika kituoni,kila mtu alimtambua mzee huyo wa kichaga aliyesifika kwa kuwa na maduka na biashara zake, jina lake lilivuma kama upepo wa kimbunga uendao kasi sana!.
“Bado ndiyo tupo katika uchunguzi wetu”
“hakuna cha uchunguzi fanyeni kazi, au mshakula rushwa?”
“hapana sio ivyo Mangi”
“kumbe?”
“tunafanya uchunguzi,tupe muda kidogo,”
“kumbuka wale ni wakwe zangu”
“Ndio tunaelewa Mr.Shayo”
Huo ndio ulikua mwanzo wa Shayo kuwasumbua polisi juu ya kesi hiyo kila kukicha,
hakuchoka hata kidogo. Alimwaga pesa nyingi sana kila kituo ili muhalifu awekwe ndani, hiyo ilizidi kuwafanya polisi wakeshe usiku kucha bila kupumzika,
habari zilizuka mpaka kwenye vyombo vya habari mbali mbali na dau kubwa la pesa kutangazwa kuwa atakae wajua majambazi basi kuna pesa nyingi atakabidhiwa kama zawadi.

****
Bado hali ya Mama yake Jaqlin ilikua mbaya sana tena ya kutisha Jaqlin alikua ni mtu wa kulia kila kukicha,
sababu Mama yake hakua ana uwezo tena wa kupumua vizuri madaktari bingwa walikaa vikao ili kujadili swala hilo, na kuamua kufanya utaratibu wa kumpeleka India kama pesa ikipatikana,
Ndugu walielezwa juu ya swala hilo pesa zilikua ni nyingi mno ili bidi waanze kuchanga, lakini habari hizo zilipo mfikia Adrian aliamua kusimama yeye mwenyewe na kutoa kiasi cha shilingi milioni kumi siku hiyo hiyo ili safari ya Mama yake Jaqlin ianze.
“Ndio nimejitolea pesa mimi kama mimi msichange chochote”
Alisema Adrian mbele ya Ukoo wa akina Mshana, kila mtu alimkata jicho na kumshangaa sababu kilikua ni kiasi kikubwa sana cha pesa kwa mtu mmoja kutoa,
hawakuwa na jinsi zaidi ya kutoa shukrani zao za dhati.
“wacha niende benki sasa hivi nikatoe izo pesa, waambie madaktari pesa imepatikana waanze kufanya utaratibu”
“Sawa hakuna tabu”
“okay wacha nikimbie benki hapo haraka haraka”
Haraka haraka walitoka akiwa na Jaqlin pembeni yake, mpaka ndani ya gari kisha safari ya kuelekea benki kuanza, ni kweli aliamua kujitolea ili kuyaokoa maisha ya Mama jaqlin kwani aliamini kuwa uhai wa Mama huyo ndiyo furaha ya Jaqlin, swala la pesa halikua tatizo kwake,
Wakiwa njiani ghafla waliona Deffender za polisi zimepaki mbele yao huku nyingine zikiwa kwa nyuma na kuwamuriwa wasimame hapo hapo.

Askari watano walishuka ndani ya gari na mitutu yao na kugonga kioo cha gari lake, Adrian hakuwa na wasiwasi alifungua kioo ili kuwasikiliza.
“habari za wakati huu afande?”
“salama tu,embu tunakuomba utoke nje ya gari tafadhali”
“naomba niende benki mara moja nina dharura tafadhali”
“hapana hatuwezi kukupa huo muda toka nje ya gari bwana mdogo”
Kauli hiyo ilimfanya Adrian atoe mkanda wa gari na kutoka nje ili asipoteze muda na kuendelea kulumbana,
Jaqlin aliyekua kushoto yeye alishindwa kuelewa ni kitu gani kinaendelea,
Maaskari watatu waliingia ndani ya gari na kuanza kulikagua, pembeni chini ya gia walikuta risasi mbili, walivyozidi kupekua walikuta boxi lililojaa risasi,
Bado walizidi kuendelea na msako mpaka walipofungua sehemu ya chini iliyojificha na kukutana na bastola ndogo.
Yote yaliyokua yanatokea Jaqlin alishindwa kuyaelewa sababu Adrian hakuwahi kumwabia kuwa anamiliki bastola.
“kijana una kibali cha hii silaha?”
Aliuliza Askari mmoja wao.
“nasdhindwa kuelewa imefuata nini ndani ya gari langu,mimi similiki silaha”
“acha kuleta usanii upo chini ya ulinzi”
Bila kujitetea Adrian alipigwa pingu kwa Nyuma na kuingizwa ndani ya Deffender ya polisi kwa ajili ya mahojiano kuhusu silaha aliyokutwa nayo.

Moja kwa moja alitupwa lupango ili wazidi kuchunguza bastola,baada ya utafiti kufanyika iligundulika kuwa risasi iliyo tumika kuwajeruhi wazazi wa Jaqlin ndiyo aliyekutwa nayo Adrian,’aliyeshikwa na ngozi ndiye aliyekula nyama’
Adrian tayari alikamatwa na bastola tena ndani ya gari lake.

“naomba uwataje wenzako uliowatuma kufanya ujambazi kabla kesi haijakwenda ngazi za juu”
“mimi sio mmiliki wa hio silaha,na sielewi imefikaje ndani ya gari yangu”
“yaani unathubutu hata kujitetea?”
“ni ukweli nina waambia,sina sababu ya kuongea uwongo”
“hapana hatukuelewi,ujue ulitusumbua sana mpaka kukukamata?”
“tutajie majambazi wenzako”
Adrian alizidi kukataa katakata,hapo ndipo walipoanza kumtesa na kumsulubu vya kutosha,
Ni kweli jumba bovu lilimuangukia kila aliyepewa kisa hiko alimkandamiza isipokuwa Jaqlin peke yake,
alizidi kusota Rumande kwa takribani wiki nzima sasa,
Ushahidi wa kumfungulia kesi Adrian ulikuwepo ivyo kesi yake ilifunguliwa faili mnamo tarehe tisa mwezi wa kumi,
baada ya wiki moja alipandishwa kizimbani mahakamani,
kwa kuwa hakuwa na kithibitisho cha kujitetea jaji aligonga nyundo mezani na kuhukumiwa kifungo cha miaka kumi jela kwa kosa la kufanya uvamizi,
Jaqlin aliangua kilio cha uchungu akidhani wenda anaota baada ya jaji Ilagabba Kuboko kutoka hukumu.

Hapo hapo askari magereza walitokea na kumfunga Adrian pingu kwa mbele na kutoka naye nje,
Manase Shayo muda wote aliyakenua meno yake yote thelathini na mawili nje,
“Adrian Mpenzi wanguuuu”
Aliita jaqlin huku akilia kabla ya Adrian kuingizwa ndani ya karandinga la magereza.
“Adri..an…kwanini sisi lakini?”
“Jaqlin ipo siku ukweli utajulikana ki ukweli mimi sikuwatuma watu kuwadhuru wazazi wako, sitaki kuongea lingine lolote wacha niende tu”
“Noo Adrian usiseme ivyo…”
“nakupenda Jaqlin wangu,baki salama”
Yalikua ni maneno ya uchungu sana na ya kutia simanzi,
Jaqlin alibubujikwa na machozi kama maji na kufanya mashavu yake yalowane na kulowanisha mpaka kifua chake, hakuwahi kulia kama siku hiyo katika maisha yake,
picha mbali mbali za waandishi wa habari zilipigwa,
Askari magereza walimchukua na kumpandisha ndani ya karandinga,
Machozi yalimlenga sababu ya kwenda kuanza maisha mapya ya gereza la JAKARANDA,ni kweli alishindwa kuzuia machozi yake na kujikuta analia kwa uchungu….


 Taarifa za Adrian kufungwa gerezani zilizidi kuwa gumzo kubwa sana na kupamba moto mkoani Kilimanjaro mpaka Arusha,wazee wa kichaga walimpongeza sana Manase Shayo kwa kuweza kufanikisha zoezi hilo la kufanya juhudi mpaka jambazi waliyekuwa wakimtafuta kwa kipindi kirefu kushikiliwa sasa yupo mikononi mwa sheria na teyari ilifuata mkondo wake, kwani alihukumiwa kifungo cha miaka kumi huko Gereza la Jakaranda,takribani wiki nzima magazeti yaliuza sana,kila mtu alitaka kusoma habari hizo za Adrian.
“HATIMAYE JAMBAZI SUGU LAKAMATWA MKOANI KILIMANJARO ANAMILIKI MALI NYINGI, HIZI NDIZO BAADHI YA MALI ZAKE HABARI KAMILI UK.9”
Izo ndizo habari zilizokuwa zikitolewa katika kila gazeti kisha juu yake ukurasa wa mbele magari yake ya kifahari na nyumba kubwa sana vikiwepo.
“Aisee bwana Shirima huyu dogo ana mali nyingi,sasa kama alianza ujambazi si angeacha embu tizama hili jumba”
Aliongea kijana mmoja siku hiyo wakiwa ndani ya daladala.
“Dunia hii bwana,alafu hafananii kabisa na ujambazi”
“bora wange mfunga hata kifungo cha Maisha,juzi juzi hapa kuna chalii yangu nayeye kaibiwa vitu kibao kavamiwa chumbani kwake na vibaka wale sijui wezi,mimi usiombe nikamate mwizi nauwa!”
Kila mtu alimzungumzia Adrian kwa mabaya,
isipokuwa kwa Jaqlin peke yake yeye hakutaka kukubaliana na ukwekli wa aina yoyote ile kwani alimjua Adrian vizuri sana,
hakukata mguu gerezani Jakaranda kwenda kumuona Adrian mchumba wake huku akilia machozi,
miaka kumi ilikua ni mingi sana,Moyo ulimuuma vibaya mno, alihisi kuchanganyikiwa, asingekuwa na moyo mgumu wenda angekunywa sumu na kufa,
aliona Dunia ipo chini juu,juu chini.
Adrian alimpa moyo sana kuwa ipo siku atatoka na wataendeleza mapenzi yao, kwani yeye sio wa kwanza kufungwa na wala hatokuwa wa mwisho!.
“Jaquuee inakubidi ujikaze mimi nitatoka,”
Alisema Adrian akijaribu kumfariji mpenzi wake.
“Siwe…zi Adrian, siwe..zi kujikaza isitoshe Mama yangu ana siku chache tu, pesa bado haijapatikana”
“mimi hapa sina cha kukusaidia mpenzi ila kama una uwezo uza ile JEEP yangu ili Mama akapatiwe matibabu, kama nikitoka tutatafuta gari nyingine, fanya ivyo sasa hivi Jaqlin”
Ilikua ni bora awe maskini na auze mali zake zote kuliko kumuacha Mama Jaqlin afie kitandani kisa kukosa matibabu wakati bado alikua ana mali nyingi,
japo kuwa baadhi ya akaunti zake zilifungiwa na hakuruhusiwa kutoa pesa za aina yoyote ile baada ya kuambiwa kuwa alivamia benki moja iliyokuwa huko Dar es salaam na kuiba pesa hizo, alisikitika sana lakini hakuwa na jinsi ya kufanya!.
Hapo hapo Jaqlin bila kupoteza muda alisimama na kutafuta dala dala mpaka kituo kikuu cha polisi Majengo ambapo lilipo kuwa gari la Adrian limeshikiliwa.

Bahati nzuri walimruhusu kuchukua gari na hapo hapo kuanza kulipiga mnada wa shilingi milioni kumi na tano,shida ndizo zilimfanya achukue maamuzi hayo gari la thamani ya shilingi milioni tisini leo hii analiuza kwa bei ya hasara, lilikua ni JEEP ya kisasa sana ambayo hata ikipita mbele ya macho ya watu ni lazima wainyooshee vidole,
Siku hiyo hiyo alipata mteja kutokea Arusha na kuandikishiana kila kitu, kisha kukabidhiwa kiasi cha milioni kumi na tano taslimu.
Alimshukuru Mungu sana kwani aliona ni kama muujiza kwake, haraka haraka alielekea mpaka KCMC hospitali ya taifa ya Mkoa huo.

Na hapo hapo kuanza kufanya utaratibu wa Mama yake kupelekwa INDIA kwa ajili ya matibabu kwani hali yake ilikuwa mbaya ya kutisha mno,
ndugu wote walishakata tamaa na baadhi yao kuandaa msiba tayari.
“Jaqlin pesa umepata wapi?”
Aliuliza Manase baada ya Jaqlin kutoa kauli ya mama yake ahamishwe.
Badala ya Jaqlin kutoa jibu aliachia msonyo mkali kisha kuelekea mpaka mapokezi ili utaratibu uanze siku hiyo hiyo ikiwezekana.

Madaktari kusikia ivyo haraka haraka walianza kuhangaika na kupiga simu moja kwa moja mpaka nchini India jijini Mumbai ili wawape taarifa za mgonjwa kufika kesho yake jioni.
Simu ziliruka hewani mpaka uwanja wa ndege wa KIA ili kuomba gari maalumu ya wagonjwa.

“Dokta Masha Amir usisahau kuandika dawa alizokua akitumia kwenye transfer,Muwekee na hiyo dripu ya Glucose, fanya haraka haraka gari lipo njiani linakuja”
“sawa,”
Madaktari waligongana vikumbo wengine wakitoka na kuingia, wote walikua bize sana kumuhudumia mgonjwa ili safari ianze mara moja.
Ndani ya nusu saa tayari Mama Jaqlin alikua juu ya machela yenye magurudumu akiwa na mtungi wa gesi mdomoni mwake ukimsaidia kupumua.
Haikuchukua hata muda mrefu gari maalumu lililotoka uwanja wa Ndege lilikua tayari linapiga king’ora nje ya hospitali hiyo, kisha kitanda cha magurudumu kuanza kusukumizwa na wauguzi mpaka ndani ya gari.
“PUPUPU”
Gari lili pigwa kwa nyuma kuashiria kuwa lianze safari, ndani ya gari alikuwepo Jaqlin na Baba yake mzazi.
“Ahsante mwanangu Jaqlin”
Alishukuru Baba yake baada ya gari kuanza safari.
“Ahsante ya nini Baba?”
“kwa kuyapigania maisha ya Mama yako”
“usijali Baba yangu,ni wajibu wangu huyu ni Mama yangu nitahakikisha nitafanya juu chini apone Mungu ataonesha miujiza yake, atampigania tu, kwani Mungu wetu ni mwema”
“Amen Mwanangu”
Mzee Mshana hata yeye hakutegemea sababu alikua ni miongoni mwa watu waliokata tamaa tayari,mchango waliokuwa wakichanga haukufikia hata nusu ya kiasi cha pesa kilichohitajika,
alitamani kumuuliza mwanae Jaqlin katowa wapi pesa lakini ilibidi akae kimnya tu, alichotakiwa kufanya ni kumshukuru binti yake na wala sio kuuliza maswali.

Magari yalizidi kupisha njia mpaka walipofika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro international airport(K.I.A) jioni hiyo ya saa kumi na mbili.
Taratibu wauguzi maalumu walitokea na kushusha kitanda alicholala Mama Jaqlin juu yake,alikua haelewi kitu chochote kinachoendelea kwa wakati huo.
“Mama utapona nakupenda Mama yangu,Mungu yupo pamoja nawewe”
Alisema Jaqlin na kuinama kidogo kisha kumbusu Mama yake juu ya paji la uso.
“Sawa Mwanangu ubaki salama”
Waliagana na baba yake na kumshuhudia wakiingia kwenye mlango maalumu,hakukaa sana aliona ndege ya shirika la uarabuni ikiwa angani kisha kuipungia mkono.
Tayari Mama yake alikua njiani kuelekea nchini INDIA jijini Mumbai kwa ajili ya matibabu.

***
Siku zilizidi kwenda akiwa bado anaenda gerezani kumfariji Adrian, alishachukulia sasa ni kawaida na aliamini kuwa ipo siku Adrian atakuwa huru na wataendeleza mapenzi yao.
“Nataka ukitoka tu gerezani tufunge ndoa Adrian wangu”
Alisema Jaqlin siku hiyo ambayo ilikua maalumu ya kuona Wafungwa gerezani,
alimpelekea vyakula vingi tofauti siku hiyo, mwenyewe aliingia jikoni na kupika kuku, mishkaki na nyama choma.
“mmh kweli Jaqlin?”
“Ndio Adrian nakupenda, kula basi umekonda sana”
Jaqlin aliongea huku machozi yakimlenga,ni kweli Adrian alichakaa mwili wote ulimwisha,hakuwa tena na matunzo.
“Nitatoka tu,sasa hawa kuku nitaharisha leo maana siku nyingi kweli sijawatia mdomoni”
Adrian aliweka utani ili kumfanya Jaqlin asilie sababu alishaliona hilo.
“Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! acha vituko”
“Alafu nimekumbuka ngoja nitampa rafiki yangu Dickson baadhi ya chakula”
“ushapata mpaka rafiki Darling?”
“sasa nitafanyaje unadhani, hapa ni kama nyumbani”
Waliongea mengi sana siku hiyo,mpaka muda ulipofika na jaqlin kuondoka zake,japokua hakutamani kumuacha Adrian lakini hakuwa na jinsi ilibidi tu arudi nyumbani.

***
Siku hiyo Jaqlin akiwa anaoga bafuni mchana alihisi mtu kafungua mlango wa chumbani kwake, kwa mara ya kwanza alihisi wenda ni shangazi yake sababu walikuwa wakiishi wote, alipojaribu kuita hakuitikiwa alinawa haraka haraka na kuvaa kanga yake mwilini, alivyotoka bafuni alishtuka baada ya kumuona Manase Shayo ametanda mlangoni kisha kuufunga mlango.
“Manase unataka nini?”
“swali gani hilo la kuniuliza?”
“mimi sikutaki naomba uwende,siwezi kuwa nawewe nielewe lakini”
“sio kirahisi ivyo,”
Manase alizidi kusogea karibu na Jaqlin kisha kumvuta kwake lakini alisukumizwa pembeni,alimfuata tena na kuanza kutumia nguvu akitaka kumvua kanga aliyokua ameivaa.

Alimkamata kwa nguvu na kumtupa kitandani kisha kupanda juu yake, aliipanua miguu ya Jaqlin bila mafanikio sababu ilibanwa kwa nguvu.
Jaqlin alishaelewa nini maana yake, alishaelewa kuwa Manase anataka kumuingilia kimwili tena bila ridhaa yake na hakutaka hilo litokee,
alijaribu kushindana nae nguvu na kuanza kupiga kelele lakini alizibwa mdomo,Manase alivyoona anapotezewa muda alimtandika kofi kali la shavu kisha kumpigiza pembeni ya mbao ya kitanda na kumfanya Jaqlin azirai,
hapo hapo Manase alivua nguo zake kisha kuipanua miguu ya mwanamke huyo mweupe na kuanza kumwingilia kimwili bila ridhaa yake ivyo ivyo,
baada ya kujiburudisha alivaa nguo zake na kuondoka.
***
Jaqlin alibeba siri kubwa sana ndani ya kifua chake mpaka mwezi kupita,kitendo cha kubakwa na Manase Shayo kilimuumiza sana, moyo ulimuuma kupita maelezo, alijiona kama ni mwanamke aliyekua anatembea bila nguo tena ukweni,kadri siku zilivyozidi kwenda alihisi hali yake sio nzuri kiafya kizunguzungu kilimtesa na mara kadhaa kutapika,

ilibidi moja kwa moja siku hiyo asubuhi aende hospitalini ili kujua tatizo.
Majibu aliyopata yalizidi kuukondesha moyo wake, alikua ni mjamzito ana mimba tumboni mwake, alishtuka sana kusikia habari hizo,fikra zake zilirudi nyuma kama mkanda wa filamu na kumkumbuka Manase Shayo siku hiyo alivyomuingilia kimwili bila ridhaa yake, hapo hapo aliangua kilio kama mtoto mdogo na kumfanya mpaka Daktari amuulize.
“Tatizo nini binti?”
“Hapa…na Daktaaaari, hakuna kitu”
Hayo ndiyo majibu aliyopewa hospitalini.
Hakutaka kupoteza muda hapo hospitalini alisimama na kufuta machozi yake,
alimpenda sana Adrian ilibidi tu anyooshe mpaka magereza ya Jakaranda ili kumwambia ukweli mapema kabla mambo hayajaharibika huko mbeleni.
Kwakuwa askari magereza walimzoea hakupata shida walipomuona tu walimtafuta Adrian.
Jaqlin alianza kulia kwa kwikwi baada ya kumuona Adrian, Moyo ulimuuma sana.
“Love nini tena?”
“Adria….n”
“Naaam”
Akili ya Adrian ilimpeleka mpaka kwa Mama jaqlin na kudhani wenda amefariki, lakini hakutaka kuyapa mawazo hayo kipaumbele!.
“Nina ujauzito, nin…a mimba Adrian”
“nyamaza kwanza mpenzi ili unieleze kwa utaratibu nashindwa kukuelewa sasa una mimba, kinachokuliza ni kitu gani?”
“Adriiian”
“nakusikiliza Jaque”
Jaqlin hakuweza kumalizia maneno anayotaka kuongea na kumfanya alie sana,
Siku hiyo hakuweza kumwambia chochote Adrian kutokana na kulia kwa uchungu mpaka maneno kushindwa kumtoka,
muda wa kuona wafungwa ulikwisha, kisha Adrian kurudishwa ndani ya chumba chake akiwa mwenye mawazo mengi sana.
**
Taarifa za Adrian kufungwa gerezani hazikuishia Arusha na Moshi peke yake zilifika mpaka Dar es salaam na wa kwanza kupata taarifa hizo alikua ni Partson Ngogo jr,
alichanganyikiwa mno zilikua ni taarifa za ghafla sana ambazo hakutegemea kuzipata, mara ya mwisho alipokea ujumbe kutoka kwa Adrian kuwa yupo njiani anaenda Moshi ivyo amsaidie kuchunga ofisi yake,
lakini leo hii kapigiwa simu kuwa Adrian kahukumiwa kifungo cha miaka kumi jela, kwa kosa la kufanya uvamizi.
“ndio ivyo sasa,nakwambia blazza KIDE chif yupo jela”
“kisa nini mbona ghafla?”
“hata sielewi,yaani juzi juzi tu hapa wazazi wake walimuulizia, mimi nilishindwa kuwajibu, si unajua jamaa mambo mengi”
“unanichanganya nashindwa kukuelewa”
“wewe hujui gereza,wanasema kavamia benki mara sijui ni jambazi sugu nataka niende kesho Moshi”
“tutaenda wote”
Marafiki zake na Adrian hata wao walishtushwa sana na habari hizo ngeni kutoka Mkoani Kilimanjaro kwa baadhi ya watu waliomfahamu,
kila mtu alisikitishwa sana ilibidi wakae kikao kidogo ili taratibu zianze za kwenda Mkoani Kilimanjaro gereza la Jakaranda kumuona.
“kwani Partosn, nikuulize kitu?”
“niambie”
“hauna namba ya Yule Brigedia Yule mkuu wa jeshi, Yule rafiki yake Adrian”
“ayaaa, nilikua nishasahau ninayo lakini sina hapa ipo kwenye dayari yangu nyumbani”
“mtafute kwanza Yule jamaa ili twende naye, nina imani atafanya kitu,sitaki kuamini kuwa Chif yupo gerezani, kama ni kweli yupo gerezani basi kasingiziwa iyo kesi”
“okay Man!,leo jioni nitamtafuta”
Baada ya maongezi hayo kuisha ilibidi Partson Jr jioni yake amtafute Brigedia Sangu kwenye simu, aliamini huyo ndiye msaada tosha kwake.

Ni kweli, simu zilianza kuruka hewani mpaka makao makuu ya jeshi la JWTZ Dar es salaam kisha simu kupokelewa na Sirgent Adam ARIRI.
“Halloo naongea na nani?”
Upande wa pili wa simu ulisikika.
“unaongea, unaongea, unaongea na patson Ngongo jr”
“jr ndiyo nini na unamtaka nani?”
“naomba niongee na Brigedia”
“hayupo una shida gani?”
“nina shida naye sana Sirgent, ni binafsi”
“ nimwambie nani?”
“Mwambie Partson Ngongo, rafiki yake na Adrian”
“sawa ngoja nikuunganishe naye, maana yupo Visiwa vya Comoro ndio ameondoka na kikosi kizima jana usiku”
“sawa nitashukuru”
Baada ya dakika mbili Brigedia Sangu alikuwa hewani.
“Partson.., Brigedia yupo hewani anakusikia unaweza kuongea naye”
“Halloo naongea na nani?”
Aliuliza Brigedia Sangu upande wa pili wa simu.
“Partson Partson Ngongo hapa Mkuu, rafiki yake na Adrian”
“sikusikii vizuri ongeza sauti ndugu,Adriaaaan”
“hapana mimi ni Patson”
“nakusikiliza nakusikiliza”
“Adrian yupo Gerezani ana matatizo nahitaji msaada wako mkuu”
“Sikusikii vizuri Adrian kafanya nini nipo kwenye Helkopta ngoja nikitua nitakutafuta ndugu yangu”
“sawa Mkuu”
Siku hiyo hawakuweza kusikilizana hata kidogo ili bidi Partson asubiri kesho yake amtafute tena.
Asubuhi kulivyokucha alipokea simu kutoka kwa Mama mzazi wa Adrian akitaka kujua mwanae yupo wapi,ivyo hakutaka kuongea lolote kwenye simu ilibidi awashe gari mpaka Tegeta nyumbani kwa Adrian akawaambie ukweli.

Mzee Mwangenya na mke wake waliketi juu ya masofa ili kusikia habari aliyokuwa nayo Partson Ngogo juu ya Adrian.
“Adrian yupo mkoani sema ana matatizo kidogo ndiyo maana mnashindwa kumpata”
“ana matatizo gani tena?”
Alidakia Mzee Mwangenya.
“kuna mambo yalitokea tokea hapa kati kati, sasa hivi navyowaambia yupo gerezani amefungwa miaka kumi”
Habari hizo zilimshtua sana Mzee Mwangenya na kuyatoa macho yake ameganda.
“Baba unasemaje mwanangu yupo jela hapana sio kweli sio kweli kabisa, mwanangu hawezi kwenda jela, nasikia uchungu uchungu umenibana uwii ejooo kyala ndulee…Mwanangu Adrian”
Mama Adrian alidakia huku akiongea kilugha cha kwao, alivyotaka kusimama alidondoka chini pale pale na kutulia bila kusema chochote, ukimnya ulitawala kila mtu alipigwa na butwaa,

Sio Partson wala Mzee Mwangenya, Wote walionesha kuchanganyikiwa haraka haraka walianza kumuamsha bila mafanikio, hapo ndipo walipombeba na kumuingiza ndani ya gari ili wampeleke hospitali ya jirani.
Baada ya kumfikisha hospitali aliingizwa haraka ndani ya chumba maalumu kwa ajili ya vipimo.
Daktari alitoka na kuwaita wote wawili mpaka ofisini kwake baada ya kuchukua vipimo,
Patson alishaelewa kuwa kuna taarifa mbaya kupitia macho ya daktari aliweza kuligundua hilo,.
“Mmechelewa Mgonjwa wenu alifia njiani, alipata mshtuko mkubwa sana. Poleni!”


 “Hapana sio kweli,Mke wangu hawezi kufa Mama Chiku hapana wewe daktari unaniongopea,nilikua naye sasa hivi”
Maneno hayo yalimtoka Mzee Mwangenya alihisi jotoridi kali sana,
Alidhani wenda daktari anamtania kisha baadaye amwambie kuwa mke wake yupo salama lakini haikuwa ivyo ulikua ni ukweli mtupu,
Partson Ngogo Jr hata yeye vile vile hakutegemea sababu ilikua ni ghafla sana,alianza kujuta ni kwanini aliropoka kuhusu habari za Adrian kufungwa jela,
aliinamisha kichwa chake chini huku akilia ndani ya moyo wake.

Haikuwa kazi rahisi kumnyamazisha Mzee Mwangenya aliyekuwa akilia kama mtoto, moyo ulimuuma sana kwa kufiwa na mke wake tena kifo cha ghafla bora angeumwa kuliko kuondoka ghafla Duniani,
licha ya yote hakutaka kumkufukuru Mungu wake aliye juu kwani aliamini kuwa ndiye aliyefanya maamuzi hayo.

Kesho yake asubuhi Hammer tatu za kijeshi zilitimua vumbi nje ya nyumba kubwa ya Adrian Tegeta nyuki, kisha sura ya mwanaume mrefu mweusi ilionekana baada ya kioo cha Hammer kushushwa,
Brigedia Generali Said Adam Sangu mkuu wa majeshi nchini Tanzania alikua teyari amewasili ameukunja uso wake kwa hasira,
habari za msiba wa Mama yake na Adrian ndizo zilimrudisha haraka sana Nchini Tanzania akitokea huko visiwani Comoro,
alifunguliwa mlango na kupigiwa saluti lakini hakumtizama hata mwanajeshi mmoja wao na kupita mpaka ndani ya geti akiwa na walinzi wake nyuma wakilinda usalama wake,
Watu walikua wengi sana walioudhuria msiba wa Mama Adrian kila mtu aliguswa, jioni ya kesho yake zilifika costa tatu kwa ajili ya safari ya kwenda mkoani Mbeya mwakaleli kwa ajili ya kuupumzisha mwili wa MAMA Adrian,
USIKU kucha walikua njiani wakisindikizwa na magari sita ya jeshini, Brigedia Sangu alitoa tena lori kubwa la jeshi kwa ajili ya watu kwenda msibani,
kila kilichoendelea Adrian hakuelewa chochote kwani walimficha hawakutaka kumueleza juu ya kufiwa kwa Mama yake mzazi!
Asubuhi ya saa mbili waliwasili kijiji cha Mwakaleli, hapo walifanya ibada ya kumuaga kisha saa tisa ya alasiri Mama Adrian alipumzishwa katika nyuma yake ya milele na huo ndio ulikua mwisho wa maisha yake ulimwenguni, ivyo ndivyo ilivyokuwa.

“Sasa Patson Ngogo leo nataka niende huko Moshi sasa hivi,tunaenda wote au utabaki na Mzee?”
Aliuliza Brigedia Sangu baada ya maziko kuisha.
“wewe tangulia wacha mimi nibaki na Mzee”
“sawa mpe pole zangu sana, mwambie kesho nitatuma rambi rambi zangu, wacha mimi nikamuone kijana huko Jakaranda kisha nitakupa taarifa,poleni na msiba”
“Tushapoa Mkuu Ahsante”
“sawa, wacha mimi niende,Ariri washa gari tunaelekea Kilimanjaro,kile kikosi alichokuja nacho MP Ngosu wahakikishe wale ndugu waliokuja nao kutoka Dar wamerudi wote”
“sawa Mkuu”
Brigedia Sangu alifunguliwa mlango wa Hammer ya kijeshi kisha kuingia siti za nyuma, alifunga mkanda na safari kuanza ya kuelekea Mkoani Kilimanjaro kwenda kumuona Adrian gereza la Jakaranda ambapo alihadithiwa kuwa alifungwa kwa kesi ya kufanya uvamizi.

**
Mimba iliyokuwa tumboni ilizidi kumtesa Jaqlin alitamani hata kesho aitoe lakini hakutaka kufanya ivyo bila kumshirikisha Adrian mpenzi wake,ni kitendo cha kinyama cha kubakwa na Manase Shayo ndicho kilicho mfanya atake kufanya dhambi ya kuuwa kiumbe kisicho kuwa na hatia kwani aliamini kuwa mimba aliyobeba ilikua ni ya Manase Shayo, hakuwa tayari kuzaa naye mtoto.
Siku hiyo asubuhi na mapema alinyoosha tena mpaka gereza la jakaranda ili kumueleza Adrian kila kilichotokea.
Ni kweli alifika na kuanza kumuhadithia bila kuficha chochote kile, Adrian alisikitika sana lakini hakuwa na cha kufanya sababu alikua yupo ndani ya nondo gerezani.
“Jaqlin haina sababu ya wewe kuuwa kiumbe kisichokuwa na hatia,Nipo tayari kumlea mtoto wako na sitopunguza hata asilimia moja ya upendo wangu kwako”
Alizungumza Adrian kwa upole, Maneno hayo yalimshtua sana Jaquue maana hakutegemea kupokea majibu kama hayo.
“Hapana Adrian kwa hili utanisamehe, mimi nitamtoa tu, hata useme nini”
“tafadhali usifanye ivyo, Jaqlin unanipenda?”
“Nakupenda Adrian lakini siwezi kumzaa huyu mtoto sipo tayari”
“usifanye ivyo mpenzi wangu,Kwani huyo mtoto anakosa gani mpaka utake kuitoa mimba, unaweza ukapoteza maisha na ukapata matatizo, wanawake wengi wanataka watoto wanashindwa, hawana uwezo, tena wengine hawana vizazi,kwa unachotaka kukifanya siwezi kukuunga mkono hata kidogo”
“Lakini sawa…..”
Jaqlin aliitikia kwa shingo upande lakini hakuwa na furaha.
“Nimemmisi sana Mama yangu juzi nili muota, naomba kama ukibahatika kuongea naye siku yoyote ile usimwambie kuwa nipo mahali hapa,utampandisha presha”
“Najua Mama yako anakupenda sana, na sitoweza kufanya ivyo…..”
Kabla ya kumalizia maneno ghafla waliona kundi la wanajeshi linakuja,
Adrian alivyopiga jicho lake vizuri alimuona Brigedia Sangu hata yeye alishtuka na kuonesha tabasamu na kuanza mazungumzo!.
Waliongea mengi sana ilibidi Adrian aelezee mkasa uliomkuta mpaka akakamatwa na polisi kisha kufunguliwa mashtaka na kufungwa jela kifungo cha miaka kumi.
“paaaaa”
Kilikua ni kibao kilichotua juu ya shavu la Adrian na kulia kwa nguvu kutoka kwa Brigedia Saidi Adam Sangu na kumtandika tena kofi lingine zito alivyotaka kumvaa wenzake walimshika,
Adrian hakuelewa ni kwanini anapigwa vibao, hakuelewa kosa lake.
“kumbe wewe ni jambazi?”
Alikema Brigedia Sangu.
“yani mimi nime funga safari yangu kutoka huko mbali nikidhani nakuja kukutetea hauna hatia,kumbe muda wote nilikua namlea jambazi Adrian sikutegemea”
“Saidi….”
“Nyamaza usiongee simbilisi,una miliki silaha hauna kibali, umeua watu, siwezi kukusaidia na ukimaliza kifungo chako nakufungulia mashtaka pia”
“Hapana sio kweli Sangu,siwezi kufanya kitu kama hiko”
“polisi sio wapumbavu kukusingizia, nimeoneshwa kila kitu,na kuanzia leo usinitafute tena sipendi upumbavu mimi siwezi kufuga wezi na majambazi ambao wana haribu Amani ya nchi yetu, Afande peleka hii taka taka ndani”
Brigedia Sangu alikasirika sana alijawa na hasira mno.
Kauli hiyo moja tu iliwafanya askari magereza wasimame na kumchukua Adrian msobe msobe mpaka ndani ya chumba chake,
Moyo ulimuuma sana hasa alipoyakumbuka maneno ya Brigedia Said Sangu mtu ambaye alimtegemea kuwa ndiye atakaye msaidia kwenye matatizo leo hii hayupo tena katika upande wake,
Mambo yanayotokea katika maisha yake hakuwahi hata kufikiria kuwa yatatokea, hakuwahi kuwaza kuwa siku moja atakuja kuhukumiwa na kuishi gerezani.
Aliamini kuwa pesa zake ndizo silaha tosha lakini haikuwa ivyo,
leo hii yupo gerezani na kahukumiwa kifungo cha miaka kumi.

**
“Kazi nzuri sana afande kamata hii”
“sawa Ahsante, mimi nilikwambia ile ni kazi ndogo sana kwangu umeona sasa”
“hivi ilikuwaje ujanipa mkanda Afande”
“pale pale hospitali kuna kijana wetu yupo pale , kaingia ndani ya gari kaweka mambo yetu yale kwenye gari, kisha sisi tuka muunganishia, very simple Mangi very very simple rahisi kabisa, ndivyo tunavyoishi mjini hapa, kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake kwisha habari!”
“HA!HA! HA! HA! HA! HA! HA!, umenifurahisha sana, mimi nilijua wenda mngeshindwa kufanikisha”
“Ah wapi,hata kidogo Mimi ndo RPC kimario”
Manase Shayo alijiona mshindi pengine ni bingwa kuliko mtu yoyote Yule, mipango aliyosuka ya kumfunga Adrian na kumuweka Gerezani ilienda sawa tena jambo hilo lilifanyika haraka haraka sana kuliko hata alivyodhani,

Alimwaga pesa kwa kila polisi, na siku hiyo kuamua kumuita RPC Kimario kuja kumpogeza, hawakuelewa kuwa Jaqlin yupo Dirishani anawasikiliza, baada ya kwenda kutaka kumtukana Manase kwa kitendo alichokifanya cha kumbaka, ni kama malaika ndiyo waliomuongoza siku hiyo ili akajue ukweli,
Alisita kidogo alivyoyasikia mazungumzo hayo, alishtuka sana na kuendelea kuyasikiliza mazungumzo hayo, alitoa simu yake haraka haraka na kwenda kwenye sehemu maalumu ya kunasa sauti, kisha kuiweka simu dirishani.


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG