Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

MCHACHUKO SEHEMU YA 9/10



MCHACHUKO
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 9 KATI YA 10
*******
 *******

Hakukata tamaa asubuhi kulivyokucha alimuendea Adrian alipokuwa amekaa anakunywa supu.

“Samahani kwa yaliyotokea jana”
“Usijali,mimi nishasahau”
“Samahani sana halikuwa kusudio langu”
“Usijali kabisa, karibu supu”
“Ahsante”
Babra aliagiziwa mchemsho wa kuku na wote kuanza kunywa huku wakiendelea kujuana kiundani.
“Hivi Adrian una watoto wangapi?”
“Nina mmoja”
“Muongo,haiwezekani na utajiri wote huu?”
“Kwani utajiri ndiyo nini?”
“Hapana kwanza nakushangaa umeoa bado kijana mdogo isitoshe una mtoto mmoja,mimi navyojua matajiri wengi wanakuwa wana watoto wengi”
“Mimi nipo tofauti,nilikuwa nina watoto wawili mmoja alifariki,huyu mtoto wa kike alikuwa ana pacha wake”
“Ooh! maskini pole sana”
“Nishapoa,vipi wewe hauna?”
“Mimi bado nipo kwanza,hata mume sina”
“Mwongo wewe na uzuri wote huo ukose bwana?”
“Mimi ndiyo nakwambia mimi mbishi wewe,mambo ya wanaume sipendi kabisa,kwanza ndoto yangu nataka nije kuolewa hapa Afrika nizae na muafrika”
“Mhhh vizuri sana”
Tangu siku hiyo Adrian na Babra wakawa marafiki,siku zote Adrian alimchukulia Msichana huyo kama msichana mwingine wa kawaida,hakuwahi hata siku moja kufikiria kuhusu kufanya naye ngono.
Babra alivaa vinguo vya ajabu na nusu ya mwili wake kuwa wazi mpaka wakati mwingine wafanyakazi wa hotel wakaanza kuhisi vibaya.
“Kaka! Bosi anakula ule mzigo mimi nakwambia,bosi anafaidi jamani,pesa sio mchezo,mimi namtamani sana Yule mtoto sijui asili yake ya wapi,yaani anaponipagawisha kifua chake yaani daa,ni checheeee”
“Mimi niliona hilo tangu siku ya kwanza,sema mtoto Yule ndiyo shobo kwa Chif,mimi ule weupe na macho,hivi wale watoto wanapatikana wapi?yaani usoni vile je kunako?”
“Mimi nashindwa kuelewa kaka,embu tazama mini aliyokula angalia mguu ule”
“Haki ya Mungu kuna wanawake wamependelewa,lakini hata ivyo unamuonaje mke wa bosi Mama Jovvana?”
“Mke wa bosi naye hatari naye ana uzuri wake unajua,yaani bosi ana dili na watoto wazuri tu kifupi,kuna jamaa mmoja juzi alikuja hapa akaniambia kuwa kipindi cha nyuma bosi alikuwa kicheche huyoo hafai”
Wafanyakazi walikuwa wakipiga umbea badala ya kufanya kazi,Ujio wa Babra ukawa tatizo kubwa na kila aliyekuja kulala katika Hotel akimuona ni lazima amuongelee, kifupi Babra alitingisha JJ HOTEL nzima. Kuonekana kwake na Adrian mara kwa mara ndiyo kulizua mtafaruku mkubwa.

Adrian siku hiyo alipokea simu kutoka kwa Jaqlin na ilimshtua vibaya mno!
“Nasikia unatembea na huyo mwanamke?”
“Mwanamke gani huyo tena?”
“Huyo muwekezaji sijui”
“Siwezi kufanya hivyo unajua kabisa,nani amekwambia hizo habari?”
“Wafanyakazi wako”
“Sio ukweli”
“Najua sio ukweli lakini kuwa makini”
“Kwanza nani aliyekwambia?”
“Dominick”
“Okay”
Baada ya kukata simu Dominick Mpishi wa jikoni alifukuzwa kazi siku hiyo hiyo.
Mdomo wake ukawa umemfukuzisha kazi.
“Bosi nisamehe”
“Huna kazi nenda kwa wazazi wako,umeshindwa kufanya kilichokuleta,nenda kwa cashier akakupe mshahara wako na wa miezi miwili mbele”
Huo ndiyo ukawa mwisho wa Dominick kupika JJ HOTEL.
Siku hiyo Adrian alitaka kwenda kutembea Mwakaleli kwa Mzee Mwangenya baba yake mzazi,kutokana na mvua kuwa kubwa ya kutisha alichukua gari aina ya NISSAN mkonge,Babra aliomba sana safari hiyo awepo na Adrian hakuwa ana kipingamizi chochote nia ya safari hiyo ilikuwa akamuage baba yake na aende Dar es salaam.
Babra alikaa kiti cha mbele na gari kuanza safari, wote walikuwa kimnya kadri walivyozidi kusonga mbele ndiyo mvua ilizidi kunyesha na radi kupiga.
Jambo hilo lilimtisha sana Babra.
Walipita katika kipori na barabara haikuwa nzuri,gari lilianza kutitia kwenye matope.
Adrian aliweka mkono kwenye gia yenye nguvu yaani 'for wheel drive', lakini cha ajabu tairi zilizidi kutitia chini na kufanya gari izidi kuingia kwenye tope.
“Mhhhhh”
Adrian aliguna, Mvua ilizidi kunyesha na baridi kali kupiga.
“Uko pembeni kuna sehemu ya kushuka?”Adrian alimuuliza Babra.
“Ndio kuna mzizi hapa wa kukanyaga”
Kutokana na pori kuwa zito Adrian kabla ya kushuka alikagua bastola kama ina risasi na kushuka ili kuangalia tairi lilivyozama.
Alivyoshuka mvua ilimpiga vibaya mno na kuloa tepetepe alivyoangalia chini alichoka,alivyotaka kurudi ndani ya gari aliteleza na kupiga mueleka chini.
Babra alishuka na kumfuata wote waliloa chapachapa na kuingia ndani ya gari,baridi lilikuwa kali mno.
Kila mtu alitetemeka kiasi cha kutosha japokuwa walifunga vioo lakini baridi lilipenya.
Sketi laini aliyovaa Babra ilikuwa imelowa na ilimchoresha maungo yake na mapaja kuwa wazi alitia huruma,
Adrian alivua shati na kumvalisha kisha yeye kubaki na vest,lakini Babra hakupata nafuu alimsogelea Adrian karibu na kumkumbatia akihitaji joto.
Ngozi zao ziligusana, Adrian uzalendo ulianza kumshinda, maziwa ya Babra yalikuwa yakimchoma choma, alihisi msisimko wa ajabu, damu ilimuenda mbio ajabu! kiungo chake cha mwili kilisimama kutokana na Suruali ya Adrian kulowana, Babra aliliona hilo na kuzidi kufanya makusudi, alizidi kujisogeza kwake huku akiyagusisha maziwa yake kifuani mwa Adrian huku taratibu mkono wake kuanza kuchua Tango la Adrian lililokuwa teyari limesimama,mpaka sekunde tatu zinapita Adrian hakusema lolote na ndiyo hapo alipolitoa na kuanza kulinyonya.

 Adrian alipigwa na baridi ndani ya uti wake mgongo,alikuwa akihisi raha za ajabu baridi aliliokuwa akilisikia lote liliyeyuka hakujua ni kwanini,Msichana Babra aliyekuwa ameinama ananyonya mashine yake ndiyo aliyefanya ajihisi katika hali hiyo.
Babra alikuwa hodari wa kucheza na kiungo hiko kilichofanana na kirungu. Aliweka mate mdomoni mengi kisha kufanya kama analamba ice crim iliyokuwa juu ya koni huku mkono wake mmoja ukiwa unapapasa kifua cha Adrian aliyekuwa amelegea mno,Babra hakuishia hapo alienda kwenye kifua cha Adrian na kuanza kumnyonya chuchu zake,hapo ndipo Nguli Adrian alipokuwa hoi bin taaban hajiwezi tena,ulimi wa Babra ulitumbukia sikioni mwake na kumfanya azidi kupagawa vibaya mno!Alimfuata midomoni na kuanza kubadilishana mate yaani denda.

Jinsi Babra alivyokua akiuzungusha ulimi wake ndani ya kinywa cha Adrian ndiyo ulizidi kunogesha mchezo.
Taratibu Babra alipitisha mkono kwenye kiti na kukibinua,kiti kililazwa na Babra kumpandia Adrian juu yake aliyekuwa kimnya kama mwanakondoo aliyekua anapelekwa machinjiano.
Hata angekuwa mwanamme gani asingeweza kutoka kwa jinsi Babra alivyokuwa akiutumia mwili wa Adrian, alikuwa gwiji mwanamke aliyeshindikana kitandani,fursa hiyo kwake alikuwa akiisubiri kwa kipindi kirefu.Ilikuwa ni kama mbuzi kufia kwa mpika supu!Mambo yaliendelea, jeans ya Adrian ilitupwa kule na vest aliyovaa kufuata,Adrian alibakiwa na boxa huku Babra akibakiwa na chupi nyeupe pamoja na Sidiria nyeupe.
Mwanamke huyu alikuwa mweupe sio masihara tena weupe wake ulikuwa wa kung’aa.Walizidi kupigana mabusu mtindo mmoja kwa fujo na kufanya gari lianze kunesa.
Radi lilizidi kupiga na baridi kuongezeka,lakini kwa wakati huo hakuna hata mmoja wapo aliyehisi baradi,mambo yalikuwa murua.
Taratibu Babra alitoa chupi na sidiria yake na kubaki kama alivyozaliwa Mgodi wake ulikuwa wa rangi nyekundu na hauna hata kipele kimoja, ulikuwa umefyekwa vizuri hauna hata nyasi moja.
Mwenyewe aliipanua miguu yake na kuweka mgodi wake mdomoni mwa Adrian.
Adrian alielewa nini alichotakiwa kukifanya kama Babra alikuwa kwenye akili yake,kitendo cha kutegesha Mgodi wake kwenye mdomo wa Adrian kilimaanisha adeki bahari na ndiyo hapo kazi ilianza mara moja.
Babra nayeye alikamatika alianza kulalamika kwa sauti ya juu, Adrian alikuwa hodari kwenye shughuli hiyo ya kudeki bahari,mkono wake mmoja ulikuwa kwenye chuchu za Babra ukichezea vizuri,mambo yalikuwa mazuri Babra alianza kukikatikia kidole cha Adrian, alijishangaa sana sababu hazikupita hata dakika kumi alikuwa anafika mshindo alizidi kujikandamiza mdomoni mwa Adrian huku akipiga kelele nyingi,alibadilika rangi na kuwa mwekundu,alivyofika mshindo alikaa vizuri na kuishika kombola ya Adrian kisha kutaka kukaa juu yake.

Lakini Ghafla alimsukumizwa! Adrian alikuwa ni kama aliyezinduka kutoka usingizini, picha ya Yeye kuteseka akiwa Mbeya Mwakaleli na baadaye Jaqlin kuja kumsaidia ndiyo vilipita ndani ya akili yake.
Alijiona msaliti sana na kupatwa na hasira, pembeni yake alimuona mtu kama Jaqlin akiwa analia machozi.
“What?”
Babra aliuliza kwa hamaki.
“Am not ready”(Sipo tayari)
Kitendo cha Adrian kukataa ghafla kilimkera sana Babra na kumfanya aanze kulazimisha, alimfuata mdomoni na kuanza kumnyonya mdomo lakini Adrian alimsukumiza.
“Sitaki nimekwambia vaa nguo zako”
“Adrian sikubali,nitavaaje wakati umeniacha njiani?haiwezakani nakwambia”
“Babra tueshimiane,naomba ujiheshimu sawa?”
“Wewe unajua heshima wewe,nimekwambia hapa sikubali mpaka tuendelee”
Ndani ya gari ulizuka mzozo wa ghafla Kila Adrian alipotaka kuvaa nguo Babra alimzuia,alikuwa kama Ruba alikuwa king’ang’anizi vibaya mno.
Katika vuta nikuvute Adrian alishikwa na hasira ya ghafla na kumtandika kofi lililomfanya aruke pembeni,hapo ndipo Adrian alipovaa nguo zake.
“Vaa nguo zako”
Babra alibaki akilia machozi ya uchungu mwili wake ulimbadilika rangi.
“Kwan..ini umenipiga Adrian?”
“Nakuuliza kwanini umenipiga ujue sijawahi kupigwa,…Naongea nawewe”
Mvua bado iliendelea kunyesha Adrian alitoka nje na kutafuta matofali na kuzama ndani ya matope kisha kuweka mawe chini ya matairi alivyoingia na kujaribu kuliondosha gari, ilishindikana!
***
Jaqlin hakuwa Mke mjinga hata siku moja,hata yeye aliingiwa na wasiwasi, kutokupatikana kwa Adrian usiku huo wa manane ndipo kulimuongezea Wivu zaidi,maneno aliyoambiwa kuhusu Babra ndiyo yalimfanya apige simu kwa mmoja wa wafanyakazi JJ HOTEL ili azungumze na Adrian.
“Mama shikamoo”
Upande wa pili ulisalimia usiku huo wa manane baada ya simu kupokelewa.
“Marahaba Tausi,unaweza ukampa simu Baba Jovvana nizungumze naye maana naona kwenye simu yake simpati”
“Baba Jovvana?”
“Ndio”
“Sidhani kama yupo”
“Kamwangalie kwanza,usikate simu”
Tausi alipanda ngazi mpaka gorofa namba nne chumba anacholala Adrian bosi wake lakini baada ya kugonga sana hakujibiwa.
“Hafungui mlango nadhani hajarudi bado”
“Kwani alitoka saa ngapi?”
“Jioni ya saa kumi”
“Ameondoka na nani?”
“Abee Mama”
“Ameondoka na nani?”
“Sijui, mimi sikuwepo”
“Tausi,hunijui nadhani nijibu swali langu”
“Lakini Mama”
“Nijibu swali”
“Naomba usimwambie kama nilikwambia”
“Sawa sitomwambia”
“Ametoka na Yule msichana mweupe Babra”
“Ahaa sawa hakuna shida,akirudi mwambie anipigie simu,usiku mwema”
Jaqlin alikata simu akiwa mwenye wivu kiasi cha kutosha.
Moyo wake ulimdunda na kuanza kufikiria namna gani aende Mbeya Mwakalaleli, ndoa yake changa aliona ishaanza kuingiliwa na kidudu mtu.
Alitamani kukuche haraka ili aweze kuanza safari,Usiku mzima aliwaza mambo mengi na kweli kuamini lisemwalo lipo.

Kulivyokucha aliamka asubuhi na mapema na kumuachia maagizo mfanyakazi wa ndani kuwa hatorudi.
“Mjuni njoo unipeleke Airport then urudishe gari”
Jaqlin hakubeba begi wala mkoba aliondoka kama alivyo.
Dereva alimpeleka mpaka Uwanja wa ndege mwalimu Nyerere asubuhi hiyo na alivyofika alipata ndege ya saa tano.
Alisubiri na baada ya lisaa limoja alikuwa angani na kutuwa Mbeya Songwe dakika sabini baadaye.
Hapo alichukua Taxi, kutokana na ubovu wa barabara na matope iliwachukua masaa mengi mpaka kufika JJ HOTEL na wakati anasafiri hakumwambia Adrian wala mtu yoyote Yule.
Hata alivyofika wafanyakazi walimshangaa sababu alitokea ghafla.Nia ya Jaqlin ilikuwa ni kufumania,alielewa sana anaenda kukutana na jambo ambalo lingemuumiza moyo wake.Bado hakuelewa ni hatua gani angechukua endapo angemfumania Adrian na Babra.
“Baba Jovvana amerudi?”
“Hapana Mama”
“Ahaaa na huyo Babra?”
“Hata yeye pia”
“Okay hakuna tabu”
Jaqlin alitembea mpaka juu gorofani kwa kuwa alikuwa ana funguo nyingine aliingia chumbani na kujimwagia maji.
“Sijui nitamfanya nini huyu Mwanamme”
Aliwaza Jaqlin.Mawazo yake yalimtuma kuwa Adrian huko alipo anafanya uchafu na Babra na ndiyo maana hawakutaka kulala wote kwenye Hotel kuhofia watu wanaomjua.
***
Bado Adrian aliteseka kuliondosha gari kwenye matope, juhudi alizokuwa akizifanya ziligonga mwamba na gari lilizidi kutitia ndani ya matope, matairi yote yalizama.Hakuwa na namna nyingine kutokana na hali ya hewa kuwa mbovu hata mtandao haikuwa mzuri.
Alichofikiria ni kulala mpaka asubuhi yeye na Babra ndani ya gari,kulivyokucha aliona gari kubwa na akaomba msaada ili gari yake ivutwe.
“Funga kamba hiyo vizuri”
“Poa poa”
“Tayari piga”
Gari kubwa lilianza kuvuta Nissan Mkonge kwa tabu sana mwishowe walifanikiwa kutoka.
Adrian alishukuru, kilichofuata hapo wote walienda kutafuta maduka ya nguo na kuzibadili kisha safari ya kurudi hotelini kuanza.
Kitendo cha kufika Hotelini kila mfanyakazi aliwashangaa,waliagana na Babra na kila mtu kuingia ndani ya chumba chake,Adrian alishtuka alivyomuona Jaqlin yupo kitandani.
“Unashtuka nini?”
“Umefika fikaje Jaqlin?”
“Umetoka wapi?”
“Hata salamu mke wangu?”
“Za kwako? Umetokea wapi?”
“Nilikwama”
Adrian ilibidi aanze kujielezea lakini katika maelezo yake hakumuweka wala kumzungumzia Babra.
“Kwahiyo gari lilikwama kwenye matope?”
“Ndio baby”
“Ulikwama au mlikwama?”
Hapo Adrian alionekana kubabaika,sio kwamba swali hakulisikia lakini alitaka kutoa jibu sahihi ambalo lingemridhisha mke wake,hakutakiwa kukurupuka.
“Oh tulikwama,nilikuwa na Babra aliniomba lift mvua kubwa jana ilinyesha ndiyo hayo yakatokea”
“Kwahiyo mkalala ndani ya gari?”
“Ndio Love”
“Okay hakuna shida”
Maelezo ya Adrian yakawa yameeleweka Jaqlin alikuwa msichana muelewa, alikubali na kuanza kupiga stori za kawaida,ilivyofika jioni ilibidi wote watoke.

Babra alipomuona Jaqlin aliachia msonyo mkubwa na kuwashtua watu na kufanya wageuke nyuma.
Adrian alimfungulia Jaqlin mlango kama malkia nayeye kuingia ndani ya gari kisha kuondoka.Ghafla Jaqlin alivyopiga jicho chini aliona kitu cheupe kama nguo, alivyokivuta na mguu aligundua kuwa ni chupi,alivyoangalia vizuri chini alikutana na Sidiria nyeupe.Hapo ndipo alipomgeukia Adrian kwa hasira,kuona Sidiria na Chupi ndani ya gari la Mumewe kilimuumiza moyo hasa alipoanza kuunga matukio,kivyovyote alijua kuwa nguo hizo za ndani ni za Babra na akili yake ilimtuma kuwa walifanya mapenzi ndani ya gari usiku wa jana yake.


*****

RAUL alizidi kuwa kivutio sio kwa wanafunzi hata kwa walimu wake.Hata alivyoanzishwa shuleni hapo wengi walijua ni mtoto wa kike,alikuwa na uzuri usio wa kawaida, kila mtu alimkodolea macho.Mwendo wake ndio usiseme japokuwa alikuwa bado mtoto mdogo lakini wengi walitamani kum-beba.

Mzee Ahsan alimuanzia shule hiyo ya watoto wa kitajiri iliyoitwa Mainadevi Bajaj international school katika mji wa Malad hapo jijini Mumbai.
SIKU zote alimpenda Raul japokuwa alijua hakuwa mtoto wake wa kumzaaa,siri hiyo alibeba yeye na Mke wake.Waliamini kuwa hiyo ndiyo ilikuwa bahati yake na siku zote walitamani akue haraka ili apewe mali hizo.
Raul alikuwa akitoka darasani saa kumi ya jioni na dereva maalumu aliajiriwa kufanya kazi hiyo ya kumtoa Raul shuleni na kumrudisha nyumbani.Kila mwisho wa wiki walikuwa wakienda kutembea Marekani na nchi nyingine tofauti.
Likizo ndiyo usiseme!
Walikuwa wakizunguka nchi nyingi tofauti, kifupi Raul shida alizisoma katika madaftari na kuzisikia kwa watu.Alipigishwa mswaki na hata kutawazwa na wafanyakazi walioajiriwa na Mzee Ahsan.
“Likizo hii unahitaji twende wapi mwanangu?”
Mzee Ahsan alimuuliza Raul.
“Mama nijibie”
“Hapana,Jibu Raul baba yako kakuuliza”
“Nimepapenda sana Florida Marekani,na pia Paris ufaransa Baba”
“Likizo ijayo tutaenda,fanya vizuri katika masomo yako”
“Sawa baba”
Maongezi hayo yalifanyika kwa lugha ya kiingereza ndani ya jumba kubwa usiku wa siku hiyo.Mzee Ahsan hakuwa mzee wa gozigozi, likizo ilipofika alikuwa teyari amekata tiketi tatu,ikiwemo ya Mke wake Hajrath na Raul za kwenda Florida nchini Marekani kutembea.Wote wakawa wenye furaha sababu zilibaki siku mbili ili safari ianze.
****

Mapigo ya moyo ya Jaqlin yalimwenda mbio na mapafu yake yakajaa hewa, kifua chake kilipanda juu na kushuka,kila alipotaka kuongea alihisi kohoni kuna kitu kimembana kutokana na hasira alizokuwa nazo,alikumbuka ni wapi walipotoka na Adrian.
Wakati hayo yanaendelea Adrian hakuwa anaelewa lolote, yeye alijua yameisha tayari, alikuwa bize kwenye usukani,likini alivyotupa jicho upande wa kushoto alipokaa Jaqlin alimuona analia kwa hasira.
“Vipi?”
“Adr..ia..n,sima..misha gari nakuomba”
“Kuna nini,umeona nini?”
“Nakwam..bia simam..isha gari”
Machozi yalishaanza kumtoka ya uchungu.
“Nitasimamisha vipi gari bila sababu”
“Sima.misha gari”
Adrian alitii na kuliweka gari pembeni, alichofanya Jaqlin ni kushika chupi na sidiria kisha kumpiga navyo usoni Adrian kisha kushuka ndani ya gari.
“Jaqlin Jaqlin”
Aliita Adrian lakini Jaqlin alizidi kusonga mbele akielekea upande wa pili wa barabara, alikuwa amechanganyikiwa kiasi kwamba hakuweza kuangalia upande wa pili wa barabara.
Kilichosikika hapo ni mkwaruzo wa matairi wa gari aina ya Isuzu journey iliyokuwa ikitokea kusini na ilikuwa katika mwendo wa kasi.
Adrian hakuweza kuyaamini macho yake,Jaqlin alikuwa hewani na kudondoka upande wa pili, Isuzu Jouney ilimchota mzima mzima,ilikuwa ni ajali mbaya ambayo iliyoshindwa kuelezeka kiwepesi.
Bado Adrian alikuwa ni kama mtu asiyeamini kwa alichokiona, alikuwa ameganda ameweka mikono kichwani.
“Jaqueeeee”
Baada kama ya sekunde mbili ndio akili zake zilirudi,watu walianza kujaa eneo la tukio.Jaqlin alikuwa akivuja damu kila sehemu ya mwili wake,kichwa chake ndiyo usiseme.
“Jaqlin Jaqlin”
Adrian aliita huku akiwa amemkumbatia, hakujali damu zilizokuwa zinavuja.
“Adr…i…an nak…upe..nda s….a..naaaaa”
Jaqlin aliongea kwa mbali huku akiwa amemshika Adrian shati akihangaikia kuvuta pumzi,damu nyingi bado ziliendelea kumtoka tena puani na mdomoni kisha hapo alitulia.
Dalili zlionesha kuwa amekata kauli.
“Naomba mnisaidie ndugu zangu,gari yangu ile pale”
Wasamalia wema pamoja na dereva wa Isuzu Journey iliyomgonga Jaqlin aliungana na Adrian mpaka kwenye Nissan Mkonge.
Baada ya kumuweka viti vya nyuma,Adrian alikaa kwenye usukani na safari ya kwenda hospitalini kuanza.
Alikuwa akikimbiza gari mno,Watu walioliona gari hilo walidhani ni la mashindano.Adrian alikuwa amechanganyikiwa kupita maelezo yaliyojitosheleza,alilia kama mtoto mdogo.
“Bratha kwani huyu ni nani yako?”
“Mkee, ni mke wangu”
Wasamaria wema waliokaa viti vya nyuma walimuurumia.
SABABU waliamini kuwa Adrian anapoteza wakati kwa sababu tu mgonjwa aliyekuwa mahututi viti vya nyuma alikuwa ametulia kumaanisha kuwa hana uhai.
Gari lilitolewa katika kasi isiyo ya kawaida mpaka wanafika hospitali walitumia dakika kumi na kupiga msele.
Walishuka harakaharaka kisha Jaqlin kupakizwa juu ya machela.

Kichwa chake kilikuwa kimefumuka vibaya mno mkono wake ulikuwa umevunjika kiasi kwamba mfupa wake ulitokeza nje, hicho ndicho kilimfanya Adrian alie kama mtoto mdogo wa miaka mitatu.
“Humu hauruhusiwi kuingia kaka angu subiri kwenye benchi”
“Hapana ni mke wangu”
“Sawa tunajua wacha tufanye kazi yetu,tutakupa taarifa ya nini kimetokea”
“Tafadhali naomba muokoe maisha ya mke wangu”
“Ndio kazi yetu”
Adrian akawa ameachwa kwenye benchi machozi yanamtoka, alijilaumu sana.Lawama zote alimtupia Babra kwa sababu bila nguo yake ya ndani kuonekana yasingetokea matatizo hayo makubwa.
Ajali ya Jaqlin ikawa imefunika furaha ya Adrian.

“Huyu mgonjwa ana hali mbaya Dokta Beni.Hapa tunachotakiwa kufanya ni kupiga simu India tu, ila vinginevyo atapoteza uhai”
“Hata mimi nimeona hilo swala, ubongo wake umetikisika vibaya mno”
“Andaa makaratasi haraka sana na taratibu, leo hii hii asafirishwe fanya ivyo,nenda kamwambie Yule mme wake aje ofisini kwangu”
“Sawa Dokta”
Hali ya Jaqlin ilikuwa mbaya ya kutisha,Madaktari walishindwa kumtibu walihofia hata kumfanyia upasuaji,kwa sababu mapigo yake ya moyo yalikuwa yakidunda kwa mbali mno.
Kichwa chake kilikuwa kina mpasuko mkubwa sana.
Hata madaktari walivyomuona walitetemeka ajabu!
Bila kupoteza muda Walimfuata Adrian na kumueleza tatizo la Mke wake.Hakuwa ana tatizo lolote, alichotaka yeye ni mke wake apatiwe matibabu kwa gharama yoyote ile.
“Sawa nimekubali,safari ni lini?”
“Leo hii safari inaanza saa mbili ya usiku,tushafanya mawasiliano tayari”
“Sawa namimi nataka niende na mke wangu,lakini Dokta mke wangu atapona kweli?”
“Kutokana na hali yake hapo nashindwa kukuhaidi,kuna mawili yatatokea kati ya hayo”
“Sawa Dokta,wacha mimi nikajiandae nitakuja hapa ili sote tuanze safari”
Nguo za Adrian bado zilikuwa zina damu nyingi, kwa mtu aliyemuona hakusita kusema kuwa amerukwa na akili zake.

Aliingia ndani ya gari na kulirudisha kwa kasi mpaka kugonga ukuta wa hospitali alivyokunja kona kutoka nje ya geti aligonga tena geti na kuondoka kwa kasi mpaka JJ HOTEL, wafanyakazi wake walimshangaa kuona bosi wao ana damu nyingi.
Alipandisha ngazi mbili mbili mpaka chumbani ili kupanga nguo zake kwa ajili ya safari.
“Bosi nini tatizo kuna amani?”
Mmoja wa wafanyakazi alijitosa na kumsogelea Adrian aliyekuwa anashuka ngazi mbili mbili na begi la nguo mkononi.
“Hakuna amani Vincent”
“Kuna nini tena?”
“Mama Jovvana amepata ajali ya gari”
“Eeeeeeh,ilikuwaje?”
“Amegongwa na gari yupo hospitali,wameshindwa kumtibu, saa mbili ya leo anapelekwa India na ndiyo naenda hivi”
“Hapana bosi sema unanitania”
“Naomba unipeleke Vice,sababu nitatokea huko”
“Sawa hakuna tabu”
Bado Adrian alikuwa haamini kilichotokea wakati wote alikuwa anadhani anaota na angeenda kushtuka na kumkuta Jaqlin yupo pembeni yake wanafurahi wote!
Costa la JJ HOTEL lililokuwa limembeba Adrian Mwangenya liliondoka Hapo Hotelini saa kumi ya jioni mpaka Hospitali aliyolazwa Jaqlin.
Vicent mfanyakazi wa hotel hata yeye hakutaka kutoka hospitalini alitaka ashuhudie kwa macho yake kama kuna ukweli.
Ni kweli saa kumi na mbili jioni hakuamini baada ya kuiona machela inatolewa na juu ya yake amelala Mama Jovvana amezungushiwa Bandeji akiwa na Dripu ya Maji, kama angekuwa mbali basi asingemgundua hata mara moja.
Kwa mara ya kwanza alimshuhudia Adrian analia kama mtoto huku akifuata machela nyuma nyuma mpaka ndani ya gari la wagonjwa mahututi yaani ambulance.
Adrian nayeye aliingia na gari kuondoka kuelekea uwanja wa ndege!Gari lilianza kupiga king’ora na safari kuanza mpaka wanafika uwanja wa ndege wa Songwe ilikuwa teyari imegonga saa moja kasorobo.
Wahudumu harakaharaka walifika na kulizunguka gari hilo kisha kumtoa Jaqlin aliyekuwa hasemi kitu chochote,machela ilitembezwa taratibu mpaka ndani ya ndege sehemu maalumu kisha baadaye ilianza kupaa angani.
Kitendo cha Ndege hiyo kutua Mumbai nchini India Jaqlin alitolewa ndani ya ndege na kuingizwa ndani ya gari lingine.

Adrian muda wote alikuwa nyuma nyuma na magari kuanza kuondoka!Hakuna hospitali waliyompeleka zaidi ya Apolo, Adrian akawa amefika hapo kwa mara nyingine.
Jaqlin aliingizwa ndani ya chumba cha upasuaji lakini alivyotolewa masaa tisa baadaye, liligundulika tatizo lingine kubwa mno na asingepatiwa matibabu ya haraka basi angeharibika kabisa na kupooza mwili kama sio kupoteza kumbukumbu zake zote kichwani.
“she has Alzheimer’s she will loss memory,things will get worse take her to Alabama Hospital”(Ana Alzhermer’s atapoteza kumbukumbu ,mambo yatakuwa mabaya mpelekeni Hospitali ya Alabama)
“America?”(Marekani)
“Yeah,America”(Ndio Marekani)
Kikao kizito cha madaktari watano kilifanyika majira ya saa nane mchana na kuhitimisha kuwa Jaqlin apelekwe katika hospitali kubwa iliyokuwa Marekani yenye wataalamu wa ugonjwa huo maana hapo walinawa mikono.
Adrian aliitwa na kupewa habari hizo.Hakuwa na tatizo.
Jaqlin alikuwa teyari amefumbua macho yake lakini hakuweza kuongea lolote lile, dalili zilionesha kuwa angepoteza kumbukumu au kupooza kama asingewahishwa hospitali.
Maandalizi yalianza mara moja na ndege ya Hopitali hiyo kukaa tayari uwanjani kwa ajili ya safari.
Asubuhi ya kesho yake walikuwa teyari wapo uwanja wa ndege kwa safari ya kuelekea Marekani katika hospitali ya Alabama jimbo la Carlfonia kwa ajili ya matibabu.

 Kitendo cha kufika Los Angeles ndege ya hospitali ya Alabama ilitua juu ya uwanja na Jaqlin Mwangenya akaingizwa ndani ya ndege hiyo ambayo ubavuni iliandikwa kwa maandishi mekundu Alabama Hospital.
Baada ya kupakiwa ndani ya Ndege madaktari wa kizungu bila kupoteza muda walianza kumchunguza,kitu kama tochi ndogo kilitolewa ndani ya koti la daktari na Jaqlin akafunguliwa macho yake.

Kifupi huduma zilianza ndani ya Ndege humohumo kabla ya kufika hospitalini kwa matibabu zaidi.Adrian alikuwa kimnya wakati wote haelewi ni kitu gani akifanye!Nusu saa baadaye ndege ilitua juu ya gorofa kubwa la hospitali katika maegesho ya ndege,wauguzi wa kike haraka haraka walitokea na kumuweka juu ya machela Jaqlin!Akiwa juu ya kitanda hakuelewa kitu gani kinaendelea lakini macho yake yalikuwa wazi muda wote.Ndani ya hospitali hiyo alikabidhiwa Dokta Philips Scott Morison ili aanze matibabu.
Alitoka haraka haraka mpaka chumba cha wagonjwa maututi.Akiwa na kipima moyo shingoni,huko alikutana na jopo lingine la madaktari ndani ya chumba cha maabara,Adrian alisimama nje kwenye kioo kikubwa mikono yake yote ikiwa kwa pamoja kifuani mithili ya mtu anayeomba!Alisikitika sana na siku hiyo alimkumbuka Mungu na kumuomba asiweze kumchukua Jaqlin kwani ni mapema mno.
“Ehh Mungu Baba uliye juu Mbinguni,naomba usimchukue Mke wangu,kwani bado ni mapema sana kufariki,naomba uipiganie nafsi yake”
Alisema Adrian kimoyomoyo.

****
Siku ya pili walikaa katika jiji la Paris nchini ufaransa wakila maisha.Mzee Ahsan siku zote aliipenda sana familia yake na ndiyo maana huchukua muda mwingi kuzunguka nayo nchi mbali mbali tofauti.Raul alikuwa ni mwenye furaha sana aliwapenda sana Mzee Ahsan na Mke wake akijua kuwa ndiyo wazazi wake waliomzaa,baada ya kukaa nchini humo siku ya tatu wakachukua ndege nyingine kwa safari ya kuelekea Nchini Marekani kisha baada ya hapo warudi India!
Raul alitamani kufika mapema, muda wote alikuwa akiuliza ni wakati gani watafika,Wakiwa Paris walipata ndege kubwa ya moja kwa moja Mpaka Marekani itakayofikia Los Angeles, wote wakawa wenye furaha.Waliburuza mabegi yao mpaka sehemu maalumu ya kuwekea mabegi kisha yakatokea upande wa pili na wao wakapita kwenye mashine za kuscan.
Dakika tano baadaye walikuwa ndani ya ndege katika viti vya watu watatu.Raul yeye aliketi Dirishani huku Mzee Ahsan na mke wake kukaa pembeni.
“Darling”
Mzee Ahsan alimuita mke wake.
“Abee Honey”
“Unaionaje safari?”
“Kwa kweli nimeifurahia sana tena sio kidogo,miji hii imejengeka sana,nafurahi kuwa na mme kama wewe Ahsan”
“Hata mimi nafurahi sana,uliweza kunivumilia tangu nazitafuta hizi mali,siku zote mchomea juani hulia kivulini,na kama tulichuma wote kuni,haina buni tuote sote moto”
Wote wakacheka na kupigana mabusu.Ndege ilianza safari saa mbili ya usiku, abiria wengi wao walikuwa wamelala.

Lakini ilipofika katikati ya usiku king’ora na taa nyekundu viliwashtua abiria.Ndege ilikuwa katika hali ya hatari mno,Hali ya hewa ilichafuka ulitokea upepo mkali wa ghafla na kufanya ndege ipoteze uelekeo wake.
Marubani walijitahidi kadri la uwezo wao lakini walishindwa,ndege ilianza kwenda kombo kila mtu alianza kusali sala yake ya Mwisho sababu walielewa ni kiasi gani wapo kwenye hatari ya kupoteza maisha yao.
Ndege ilianza kwenda chini kwa kasi na kujipiga kwenye maji ya bahari,Mzee Ahsan alijitahidi kuishika familia yake wakiwa majini,Raul alikuwa kushoto huku Mke wake Hajrath akiwa kulia wanatafuta ni jinsi gani watayaokoa maisha yao.
“Raul,bana pumzi zako kamata hili begi”
Bahati nzuri Rubani aliweza kujitahidi kuishusha ndege hiyo majini bila kusababisha mlipuko wa aina yoyote ile,Mzee Ahsan na Familia yake walihangaika kuogelea huku Raul akiwa amelikamata begi, alipandishwa juu yake huku wakiwa wanaelea.Walielea juu ya maji kwa takribani nusu saa nzima.

Baridi iliwakung’uta wakaanza kufa ganzi taratibu huku wakisubiri msaada.Mpaka masaa mawili yanapita Mzee Ahsan alimkumbatia mke wake na kushikana mikono.
“Ra…..ul si..si tun…aku..fa laki….ni pale ny…mban.. zile ma…”
Mzee Ahsan alishindwa kumalizia alichotaka kuongea wimbi kubwa la maji lilikuja na kumsukumiza yeye na mke wake mbali.
Raul alilia machozi kwa kuwapoteza wazazi wake alivyotaka kujitupa ndani ya maji alishindwa kutokana na Helikopta zilikuwa teyari zimefika na kumuokoa.
“Kuna wazazi wanguu kwenye maji wanahitaji msaada tafadhali”
Alisema Raul akiwa analia machozi,polisi wa kikosi cha majini hawakumpuuzia walijitupa ndani ya bahari lakini walikuwa wameshachelewa kwani Mzee Ahsan na mke wake walikuwa teyari wamekufa maji,
HAWAKUISHIA hapo waliendelea kuokoa maiti na wagonjwa wengine mahututi,mpaka inafika saa kumi na mbili kasorobo maiti mia tatu arobaini na saba ziliokotwa na majeruhi mia moja na kumi huku mahututi wakiwa hamsini na nane! Raul aliendelea kulia mpaka kunakucha akiwa amefikishwa katika hospitali ya Alabama kwa ajili ya matibabu zaidi!
Hakuelewa ataishi vipi bila ya wazazi wake.Adrian alishtushwa sana na sauti ya mtoto huyo aliyekuwa akiongea kiingereza na kihindi huku akilia machozi,aliinua kichwa chake na kustaajabu,Mtoto aliyemuona mbele yake alifanana kwa kila kitu na Jovvana.
Alipitisha mkono wake usoni akidhani anaota lakini alitulia baada ya kugundua kuwa binadamu ni wawili wawili.
“Mhhhhh”
Alijikuta akiguna na kuzidi kumdadisi alivyokuwa akipita mbele yake amebebwa huku akilia na kutupa tupa miguu yake huku na kule.

Raul alipatiwa matibabu kwa takribani siku tatu nzima na alipatiwa daktari wa kumtuliza akili yake, mwishowe alinyamaza kulia na kukubaliana na hali.Dada wa Marehemu Ahsan alifika Hospitali ya Alabama majira ya saa tisa alasiri,alilia machozi lakini moyoni alijiona tajiri sababu tu aliamini mali za kaka yake ndiyo zingeenda kuwa zake kwani alishaelewa Raul hakuwa mtoto wa Kaka yake wa kumzaa,alikumbuka siku ya malumbamo alivyotega sikio lake na kumsikia kaka yake alivyokuwa akibishana na Mkewe juu ya Raul.ALIJIONA kama kalala maskini na kuamka tajri!lakini hakutaka kuonesha swala hilo hospitalini.
Taratibu za kuchukua mwili wa Mzee Ahsan na Mke wake zilikamilika na kurudishwa nchini India kwa ajili ya mazishi.Ajali ya ndege iliyosababisha vifo vya watu ilizungumziwa katika vyombo vya habari mbali mbali vya habari yaani Redio,magazeti mpaka Televisheni.Marekani nzima kwa ujumla ilikuwa katika hali ya masikitiko makubwa mno!habari ya ndege kuzama ndiyo ikawa kama ‘headline’!
MZEE Ahsan na mke wake walizikwa kwa heshima kubwa mno, watu wengi waliudhuria kwenye msiba huo, matajiri mbali mbali walisikitika kupindukia.Baada ya mazishi kuisha Dada wa Marehemu Mzee Ahsan walianza kugawana mali bila uwoga,Raul alishindwa kuelewa mpaka siku moja Dada mkubwa aliyeitwa Khaira, alipopasua jipu kuwa Raul hakuwa muhusika.
“Wewe Raul,huyu hakuwa baba yako,kwahiyo nachokuomba kitu kimoja kesho uondoke humu ndani,baba yako na mama yako anawajua mtu anayeitwa Roshban,Mama yako mkubwa,hapa hauna chako,huoni hiyo ngozi yako na sisi haziendani,kifupi wewe uliibiwa hospitali ya Apolo”
Kwa mara ya Kwanza Raul alidhani wenda ni masihala,japokuwa alikuwa ana miaka kumi na mbili alielewa nini maana ya maneno aliyoambiwa.
“Sio kweli shangazi”
“Sasa kama unabisha sawa,sisi ndiyo tushakwambia hapa nyumbani hutakiwi, kawatafute wazazi wako”
Raul alilia machozi,ni kweli Khaira alimaanisha asubuhi ya kesho yake walimfungia nguo zake na kuzitupa nje kisha kumfukuza mbali tena kumwambia asidiriki kukanyaga eneo hilo.

Raul hakuelewa ataishi vipi, aliangalia jengo kubwa alilokuwa akiishi na kuanza kulia machozi ya uchungu.Maisha yakawa yamebadilika, vifo vya MZEE Ahsan na Mke wake ambao alidhani ni wazazi wake vikawa vimebadili muhimili wa maisha yake,wakati mwingine aliomba Mungu awafufue ili mambo yarudi kama yalivyokuwa hapo awali,lakini swala hilo halikuwezekana hata kidogo.HAKUJUA ni wapi aende sababu hakuwa na rafiki kutokana na kufungiwa ndani kila siku.
Marafiki zake wakubwa walikuwa ni Mzee Ahsan na Hajrath sasa hawapo duniani!Alitembea huku akilia kisha kukaa barabarani,njaa ilimtafuna kiasi cha kutosha.
“Vipi?”
Sauti hiyo ilimshtua Raul aliyekuwa amelala.Alikuwa ni mtoto wa mitaani yaani chokoraa.
“Safi”
“Mbona upo hapa?”
“Nina matatizo makubwa sana”
“Ndo ukae hapa unadhani yataisha,una matatizo gani?umepotea njia”
“Ni bora ningepotea njia”
“Bali?”
“Ni hadithi ndefu sana”
“Niambie tu”
Raul alikaa kitako na kuanza kumueleza mtoto huyo wa mitaani kinagaubaga jinsi maisha yalivyokuwa na alivyokuwa akiishi.
“Wewe ndiye ulikuwa ukiishi na tajiri Ahsan?”
“Ndio”
“Pole sana,mimi nitakusaidia,utakuwa unakula na tutaishi pamoja,twende”
Kwa mara ya kwanza Raul aliogopa lakini hakuwa na chaguo lingine zaidi ya kukubali.Walitembea mpaka mtaa mmoja uliokuwa na nyumba mbavu za mbwa!
“Mimi naitwa Sayid”
“Niite Raul”
Tangu hapo wakawa marafiki.Raul akawa mtoto wa mitaani na akawa ombaomba, aliyachukia sana maisha hayo mbali na hapo alimchukia sana Marehemu Ahsan kwa kuuficha ukweli!Mpaka mwaka unapita akawa amezoea na akawa amejichanganya na watoto wa mitaaani.Ungebahatika kumuona wala usingesema kuwa ndiye alikuwa akiishi katika jumba la Mzee Ahsan akibadili ndege na kuruka nchi tofauti akila bata!alisikitika zaidi alipoyaona magari makubwa ya Mzee Ahsan na aliumia moyo kila alipopita karibu na viwanda vya Marehemu Ahsan!

Alivyofikisha miaka kumi na mitano Raul alishawishiwa na wenzake waingie kwenye tabia ya kuvamia na kuibia watu,hakua ana tatizo nayeye alianza kuiba vifaa vya magari yaliyoegeshwa.
Mkono wake ulikuwa mwepesi kitendo cha kupiga 'site mirror' na mkono aliweza kuondoka nayo.Raul alipata senti mbili tatu na aliona kuiba ni bora!wenzake wakawa wanamtuma na kuiba kisha wanauza vifaa vya magari.
Siku moja aliliona gari la kifahari aina ya Jaguar limepaki, alinyata na kufungua ndani ya gari kisha kuanza kufungua redio alivyotoka alimuona Mzungu mmiliki wa gari hilo anakuja kwa kasi.Raul alikimbia kwa kasi mpaka miguu yake ikagusa kisogoni na kutupa viatu kule,Mzungu hakutaka kumuacha,alitoa bastola na kumpiga nayo ya mguu,Raia wenye hasira kali walikusanyika na kumzunguka.
Hakuna walichofanya zaidi ya kummwagia Raul mafuta ya Petroli ili wamchome,za mwizi ni arobaini na arobaini yake ikawa imefika siku hiyo.


 “stop,I said stop”
Mzungu alijaribu kuwazuia wananchi wenye hasira mbaya juu ya Mwizi Raul,lakini haikusaidia alichofanya ni kutoa bastola yake na kupiga risasi tatu hewani.
“Back off”
Raia waliogopa na kukaa chonjo,Raul alikuwa analia machozi alishaamini hiyo ndiyo siku yake ya mwisho na kutoka hapo labda ungetokea muujiza,lakini akiwa chini amelowana na mafuta ya petrol hakuelewa ni kwanini mpaka dakika hiyo hawakumuwekea kiberiti ili wamchome.

Zaidi aliinuliwa na mzungu kisha kuingia naye ndani ya gari yake,mpaka dakika hiyo hakuna raia aliyeelewa nini kinaendelea walijaribu kulifuata Jaguar ya mzungu lakini liliondoka kwa kasi.
Raul alihisi maumivu makali na alichokuwa akifikiria kwa wakati huo ni anapelekwa kituo cha polisi baada ya kupona katika mikono ya wananchi wenye hasira kali dhidi yake,gari lilienda kwa mwendo wa kasi kwa takribani dakika ishirini nzima kisha kupaki nje ya hospitali ya St.Theresa.
Mzungu alishuka na kuwaita wauguzi na kuja kumchukua Raul,waliomuona walimuhurumia,harakaharaka alishikwa huku na kule mpaka kwenye chumba cha matibabu.Hospitalini alikaa kwa muda wa siku saba ndipo hali yake ikawa vizuri kiafya.
“Raul mimi naitwa Steven Mackdonald,ni mwanasheria wa Marehemu Ahsan Abrahaman,nilikuwa nikikutafuta kwa kipindi kirefu sana,kuna mambo nilikuwa nataka uyajue”
Alijitambulisha Mzungu kwa Lugha ya Kiingereza.Raul alikaa kitako akimsikiliza Mr.Steven.
“Alafu pole na yaliyokukuta,kabla ya Marehemu Ahsan kufariki aliandika wosia kuwa wewe ndiye utakuwa mrithi wa mali zake zote kampuni mpaka nyumba zake zote na alikuja kwangu na mke wake kubadili vitu,vyote kaviandika kwa majina yako,na wewe ndiye mrithi wa kila kitu”
Steven Mackdonald alimuelezea kila kitu Raul na kuendelea kumpa pole.Siku mbili zilivyopita Raul aliruhusiwa hospitalini na waliongozana na Steven mpaka kwenye jumba na Marehemu Ahsan.Dada wa marehemu walipomuona walishtuka na kupandisha mori.
“Wewe takataka unafuata nini hapa?”
Mmoja wapo aliuliza.
“Naitwa Steven Mackdonald ni mwanasheria wa Mzee Ahsan huyu mnayemuona hapa ndiye mwenye hizi mali zote,kwahiyo ninyi hamna kitu,nilivyokuja hapa kumuulizia mliniambia hayupo sasa nimempata na nilisikia kuwa mmeuza kampuni moja wapo ya Marehemu Ahsan bila hithini ya Raul sasa basi mimi ninawafungulia kesi kwa mujibu wa sheria”
“Wewe unachekesha wewe,eti Raul ndiye Mrithi,huyu sio mtoto wake na hana uhusiano kabisa”
“Yote nayajua hayo na aliyaandika kwenye karatasi kabla ya kifo chake”
Habari hizo ziliwachanganya Khaira na dada zake wengine.Steven Mackdonald alifungua begi lake na kutoa makaratasi kisha kuwaonesha.
“Hizo mali mlizouza naomba mrudishe ziwe mikononi mwa Raul mna siku saba la sivyo nitawafunga”
Steven alimaliza na kumtaka Raul aweke sahihi juu ya karatasi zilizoandikwa.Baadaye walitoka na kwenda kwenye miradi ya Marehemu Ahsan,kuanzia viwanda,Visima vya mafuta mpaka majengo yote ya mjini pamoja na magari ya mizigo, shughuli hiyo iliisha saa tatu ya usiku.Raul alikuwa yupo hoi amechoka.

Tangu siku hiyo Raul alikuwa bosi na aliweza kuwasimamia wafanyakazi akisaidiana na Steven Mackdonald,hakutaka kusoma India tena alienda kusoma nchini Marekani,aliwasamehe wote waliomkosea na hata siku moja hakuweza kumsahau rafiki yake Sayid waliyekuwa wakiishi wote mitaani,hapo ndipo alipoamua kumtafuta maskani waliyokuwa wakiishi siku zote.
“Sayid,nimekutafuta sana rafiki yangu,sasa hivi nipo likizo nasoma Marekani,nataka nikuajiri sitaki uendelee kuteseka mitaani naelewa shida zake”
Alisema Raul siku hiyo wakiwa kwenye Mgahawa wa chakula.Nyuma ya Raul kulikuwa kuna wanaume wawili waliovaa suti nyeusi, hawa walikuwa walinzi wake,kila sehemu alitembea nao,na maisha kwake yalikuwa mazuri mno mbali na hapo aliheshimika kila alipopita.
“Sawa Raul,nitafurahi sana maana nitapishana na umaskini kando”
“Sawa leo tutaondoka wote,nikakupige sop sop,uoge utakate utoe vumbi la mtaani,uwende ukaoge kwenye maji safi”
“Sawa boss”
“usiniite boss”
“Sasa si ndiyo naanza kukuita bosi mapema,naanza kuchukua kozi,nikiwa ndani ya ofisi yangu umeniajiri”
“Wacha mambo yako kula chakula”
Wote walikuwa ni wenye furaha mno!

*****
Jaqlin alilala kitandani kwa takribani mwaka mzima,kumbukumbu zake zilikuwa zinarudi taratibu mno alitolewa hospitali ya Alabama miezi miwili kabla na alikuwa nyumbani kwa uangalizi wa madaktari maalumu waliojariwa na Adrian mume wake.
Siku zote Jovvana hakuwa ana amani hata kidogo na alitaka kujua nini kilifanya mama yake awe katika hali hiyo,jambo hilo lilimuumiza zaidi!Adrian alipungua uzito mara tatu kwa kila baada ya miezi miwili kifupi alipagawa.
“Wewe ulisema unaitwa Adrian ni mme wangu?tulikutana wapi mbona sikumbuki?”
Jaqlin alimuuliza Adrian kipindi amefika ndani chumbani kwao.
“Ndio ndiyo mimi,Mimi ni mumeo na huyu ni mtoto wetu anaitwa Jovvana”
“Jovvana!Jovaana sikumbuki kama nina mtoto mimi,kwani nilishawahi kuzaa mimi?”
“Mamaaa Mimi mwanao”
Jovvana aliangua kilio kwa sauti na kumkumbatia Baba yake, hakutaka kuamini kuwa mama yake mzazi ndiye anatamka maneno hayo.

Licha ya Jaqlin kuumwa lakini Adrian alimpenda, tena ndio aliongeza ukaribu wa juu mno.Madaktari kila siku walijaribu kuzirudisha kumbukumbu zake wakimuambia Adrian kuwa kumbu kumbu za mke wake zitarudi taratibu kadri siku zitakapo kwenda mbele.
“Huyu ni mwanao mke wangu,ulijifungua mapacha huko India, Mmoja wa kiume Jovvan alifariki akabaki Jovvana ndiye huyu hapa”
“Mhhh”
Jaqlin aliguna.
“Ndiyo wewe ni mke wangu kumbuka jaribu kuvuta kumbukumbu”
Bado Jaqlin hakuelewa lolote, lakini alishaelewa kuna kitu kimepungua ndani ya akili yake,alishaweza kutembea na kuzunguka nje ya nyumba lakini alitembea kwa kuchechemea, hata siku moja hakuwahi kukumbuka kuwa alipata ajali ya kugongwa na gari.
Siku hiyo asubuhi Adrian alimshika kiuno na kuanza kushuka ngazi taratibu kuelekea sable ya chini.
“Dada nilishawahi kukuona wapi?”
Jaqlin aliuliza baada ya kumuona msichana mweupe ameketi juu ya sofa.Adrian alipomuona Alishtuka sababu hakutegemea kama Babra angefika nyumbani kwake na hakuelewa Babra alipajuaje.
“Unatafuta nini hapa na umepajuaje?”
“Kwani huyu dada nishawahi kumuona wapi?”
JAQLIN aliuliza kabla ya Babra kujibu lolote,ilionekana ni kama mtu anayekumbuka kitu.
“Dada nilishawahi kukuona wapi?”
Jaqlin aliuliza tena akimkazia macho Babra.
Adrian hakuongea chochote ujio wa Babra ulimkera na alimchukia kupita kiasi, aliamini kuwa ndiye aliyesababisha matatizo ya mke wake kutokea.Na ndiyo maana hakutaka kufika JJ HOTEL tena na alivyotoka Hospitali ya Alabama Marekani alitua Dar es salaam moja kwa moja sababu hakutaka kuiona sura ya Babra ikikatiza mbele ya macho yake kuhofia kuwa angeweza kupata kesi ya kumpiga risasi.

Mpaka anaulizwa hayo na Jaqlin aliamini kuwa ni kweli Jaqlin kapoteza kumbukumbu na habari hizo alizozisikia hazikuwa uvumi.Mpaka Jaqlin anauliza hayo yote hakuonesha hali ya kumtambua Babra kabisa.
“Grace”
Babra alidanganya huku akimpa mkono Jaqlin.
“ooooh Grace nilikuona wapi?”
“Sorry I don’t speak your language,Adrian do something”(Samahani,siongei lugha yenu,Adrian fanya uwezalo)
Adrian badala ya kumjibu alimkata jicho kali Babra aliyekua amedanganya jina.
“Mbona unamuangalia ivyo huyu mgeni?kakukosea nini?”
“Hakuna kitu mke wangu,njoo tukae”
Babra alijifanya kumshika Jaqlin na kumkalisha juu ya sofa,kisha wakaendelea kupiga stori za hapa na pale.
“Nakuomba nje mara moja”
Adrian alisema na kutoka nje na Babra.
“Naomba ukae mbali na mimi ukae mbali na familia yangu Malaya mkubwa,umefanya nipate matatizo makubwa sana,toka kwangu ondoka zako,achana na mke wangu”
Adrian alifoka kwa sauti akimvuta Babra nje.
“Ba…bra”
Sauti hiyo iliwashtua mno Sio Babra wala Adrian wote waligeuka na kumtizama Jaqlin,aliyekuwa ametokeza mlangoni amesimama kwa tabu.
“Wewe ni Babra nimekukumbuka jina lako Babra”


 Wote walikuwa kimnya wanamtizama Jaqlin aliyekuwa ametanda mlangoni anaita jina Babra akijaribu kuzikusanya kumbukumbu zake zilizokuwa zimepotea kwa muda wa mwaka mmoja.Adrian alishtuka zaidi na kutabasamu huku akiachana na Babra sababu kwa wakati huo alichokuwa akihitaji ni kumbukumbu za mke wake zirudi na wala sio kitu kingine.Kitendo cha kuita jina hilo kilimaanisha kumbukumbu zake zimekaa vizuri.
“Jaqlin Mke wangu”
“Umeniitaje?”
“Jaqlin”
“Mimi naitwa Jaqlin?”
“Ndio”
“Mbona sikumbuki tena?”
“Wewe ni mke wangu unaitwa Jaqlin”
Kumbukumbu za Jaqlin zikawa zimepotea tena,ilikuwa ni kama televisheni iliyokuwa ina chenga,Adrian alisikitika sana, alishaelewa kuwa Jaqlin kumbukumbu zake zimepotea tena.Hapo hapo alimpigia daktari simu na kumuelezea kila kitu.Hakuna alichoambiwa zaidi ya kupewa moyo na kuambiwa kuwa kumbukumbu za Jaqlin zingerudi kwa muda mfupi siku hiyo.
****
Maximilian bado alimsumbua Babra juu ya wapi alipo na kazi yake ya kumsafirisha Jaqlin mpaka Ethiopia Adis Ababa,sababu ndipo Maximilian alipokuweop kwa muda huo,ilikuwa ni karibu kabisa na Tanzania.
“Nipe Mpaka kesho kazi yako itakuwa tayari”
“Kweli?”
“Niamini”
“safi sana sababu ni muda mrefu sana umepita,sioni kitu chochote”
“si nilikwambia alipata ajali mbaya sana na sasa kapoteza kumbukumbu”
“Hiyo itakuwa vizuri aje kuanza maisha mapya namimi huku,nina uhakika nitamfanya asahau kama alishawahi kuishi Afrika”
“Ndiyo ivyo,sasa…”
“Enheeee”
“Nitamsafirisha vipi?”
“Mmmmmh,mimi nitakuja mwenyewe lakini nitapitia Bandari ya Mombasa ndiyo nitamchukulia huko,unachotakiwa kufanya ni kumfikisha Mombasa tu na nimekurahishia kazi mrembo,hapo kazi yako itakuwa imekwisha”
“Kweli?”
“Niamini mimi”
“Basi utakuwa umenirahishia kazi,mimi nitabaki huku huku,nikikupa mzigo wako nitarudi”
“Sawa tu”
“Poa kazi njema”
Wote walikubaliana na kazi kuanza mara moja.

Babra alimchukia sana Jaqlin na siku zote alitamani afe ili yeye apate nafasi ya kuwa na Adrian, alikuwa ni mwenye wivu wa mapenzi.
Na mara nyingi alitamani kuwa na Adrian. kifupi kila sehemu ya mwili wa Adrian ulimvutia kupita kiasi lakini alishangazwa sana na msimamo wa mwanamme huyo sababu ya mitego yake yote kugonga mwamba,hakuwahi kuona mwanamme mwenye msimamo kama huyo katika maisha yake hasa kutokana na mwili wake ulivyokuwa una mvuto kupindukia,wakati anawaza hayo alikuwa mbele ya kioo amevua nguo zake zote anajikagua,yeye mwenyewe alivyojiangalia alijitamani.
“Huyu mwanamme ana nini?lakini sitokoma lazima alainike tu Mimi ndiyo Babra,kesho naanza kazi,nampenda sana Adrian sijui kwanini nimenasa kwake”
Yote hayo yalimiminika ndani ya ubongo wa Babra akiwa bado amesimama kwenye kioo anajitizama kila kiungo chake na alimshukuru Mungu kwa kumpa kila kitu.

Aliingia bafuni kuoga.Alikuwa amefikia hotel iliyoitwa Landmark iliyokuwa Ubungo Riverside.
Asubuhi kulivyokucha Babra aliamka na kuanza kujiaanda kwa safari ya kwenda Oysterbay nyumbani kwa Adrian na alishaelewa kuwa asubuhi ya siku hiyo Adrian hatokuwepo.
Alikodi Taxi iliyompeleka mpaka getini kwa Adrian kisha kushuka na kumlipa dereva taxi.
“Grace, welcome!”
Jaqlin ndiye aliyekuwa wa kwanza kumuona sababu alikuwa juu gorofani kwenye kibaraza anamuangalia kwa chini.
“Thank you,is Adrian around?”(Ahsante Adrian yupo)
“yes, but he is taking a shower”(Ndio,lakini anaoga)
“Ahaaa”
Babra alishtuka lakini hakutaka kuonesha hali hiyo waziwazi badala yake alitembea mpaka seblen akimuacha Jaqlin anazunguka ili ashushe ngazi wakutane seblen!Siku zote Jaqlin alimuona Babra ni mwema na hakuwahi kufikiria kuwa ndiye aliyesababisha mpaka apate ajali mbaya, isingekuwa nguo zake za ndani kuziona ndani ya gari la mume wake basi asingepata ajali mbaya na kupoteza kumbukumbu zake.

Wote walikuwa seblen na Jaqlin alikuwa ni mwenye furaha,Babra alikuwa mcheshi na kuonesha uchangamfu.Adrian alivyotoka alikunja sura na kumkata jicho kali la hasira Babra.
“Adrian,Grace ni rafiki mzuri sana,ameniambia kuwa anataka kukaa namimi siku nzima”
“Sawa mimi sina tatizo lolote,ndiyo naondoka”
“Sawa Adrian,niletee zawadi”
“Mimi naenda baki salama”
Adrian hakutaka kufanya kitu ambacho kingemshtua Jaqlin,alitoka nje na kuingia ndani ya BMW x6 na kulipiga moto kisha kuondoka zake,ndani ya ubongo wake hakufikiria kuwa Babra ana mipango gani,japokuwa moyo wake ulikuwa mgumu na aliuhisi ni mzito.
“Mbona moyo wangu mzito kiasi hiki?”
Adrian aliwaza akiwa kwenye usukani anaelekea Msasani kwenye biashara zake,aliweka gari na kushuka baada ya kufika Macho mita chache kufika koko bichi,huko alikuwa ana duka kubwa la spea za magari alifika na kuketi huku mikono yake akiwa ameiweka mashavuni yaani tama!
“Bosi upo sawa?”
“Nipo sawa Sadiki”
“Injini za Nissan zimeisha na taa za Range za hazard pia”
“Niandikie kwenye karatasi zote alafu niletee”
Akili ya Adrian haikukaa sawasawa kama siku zote,kuna kitu kibaya alihisi kitatokea.
*****
Jaqlin alikuwa ni mwenye furaha muda wote na alikuwa akicheka alipokuwa na Babra seblen na ndiyo maana hata alipomuomba watoke kutembea hakuonesha kuwa na tatizo lolote lile!
Babra aliingia kwenye usukani akitumia gari ya Jaqlin Range rover sport kisha kuanza kuondoka akisingizia kuwa wanaenda kutembea mara moja kumbe ndiyo 'bye bye'
Range rover sport iliondoka saa saba mchanana, kwa kasi aliyokuwa akiindesha Babra iliogopesha.Jaqlin alivyohoji alizibwa mdomo na dawa za usingizi akawa amelala.Gari hiyo ilikuwa ya kisasa na yenye mtambo wa GPRS hivyo Babra alibonyeza ramani ikitaka imuelekeze njia ya Kenya Mombasa,ramani ilionekana kwenye kioo na kumuonesha alipo,alikuwa bado yupo ndani ya Dar es salaam maeneo ya Kimara.

Kutokana na kasi ya gari hilo aliweza kufika Chalinze akitumia lisaa limoja na dakika kumi na tano,alizidi kusonga mbele kila Jaqlin alipozinduka alizibwa mdomo na kitambaa chenye dawa kali kisha kulala.
****
“Griiii griiiii griiiii”
Simu ya Adrian ilimshtua akiwa katika dimbwi la mawazo na alivyoangalia kioo aliona jina Kamanda Amata,simu hiyo ilikuwa ni ya Kamishna wa polisi mkoa wa Dar es salaam, aliyeitwa Amata,alishindwa kuelewa ni kwanini anampigia simu sababu ilipita kipindi kirefu bila kuongea, mara ya mwisho kukutana ilikuwa ni miezi kumi iliyopita JJ HOTEL.
“yes Kamanda Amata”
“Habari za kazi kijana?”
“Nzuri tu,sijui kwako kiongozi?”
“Aisee nzuri sana”
“Uko wapi sasa hivi?”
“Nipo Dar es salaam,hapa msasani”
“Mama Jovvana?”
“yeye nimemuacha nyumbani,kuna nini?”
“Gari yake nimepishana nayo hapa Chalinze ipo kwenye kasi sana,kama ni yeye mwambie apunguze mwendo kwa usalama wake,sababu hiyo kasi sio ya kawaida”
“Mke wangu?”
“Ndio si anatembelea Range rover nyeusi?gari yake mimi ninaifahamu na hakuna gari kama hiyo Dar es salaam hii,nina uhakika ndiye ana gari mwambie Mkeo bwana,siku njema nilikuwa nataka nikwambie ivyo”
Kutokana na utajiri aliokuwa nao Adrian gari zake zote zilijulikana,sio kwa polisi tu hata kwa raia.
Simu hiyo ilivyokatwa ,ilimuacha Adrian akiwa amechanganyikiwa mno, hakuwa ana fikiria kitu kingine zaidi ya kumtafuta mke wake hewani lakini simu haikupatikana.
Alizidi kuvurugika.Alitoka mbio mbio mpaka ndani ya gari na kuelekea nyumbani kwake oysterbay.Ni kweli alipoingia ndani ya geti hakuona gari ya mke wake,alivyomtafuta Babra kwenye simu mambo yalikuwa yaleyale,Babra hakupatikana hewani.Hapo ndipo alipoingia nayeye ndani ya gari kwa safari ya kuelekea Chalinze ili kumfukuzia mke wake,aliamini Babra alikuwa ana hila mbaya zisizo za kawaida.Aliendesha kwa mwendo wa kasi isiyo ya kawaida na kudiriki kuvunja sheria za barabarani.

Ndani ya dakika kumi alikuwa ubungo,ananyoosha kimara, barabara ilikuwa nyeupe na kuzidi kunyoosha mguu akiongeza kasi,lakini alivyofika mbele alisikia ving’ora vya polisi nyuma yake pamoja na mapikipiki wakimtaka aweke gari pembeni,lakini hakutii na alipogundua kuwa kuna msafara ndiyo alizidisha kasi ya kutembeza gari.
Askari walichukizwa na pikipiki zikampita na kusimama mbele yake, hapo ndipo alipofunga breki na kusimama na kufungua kioo cha gari, hilo ndilo lilikuwa kosa,askari waliingiza mkono ndani na kuchomoa funguo za gari,kitendo hiko kilimpandisha hasira zaidi.
“Upo chini ya ulinzi peleka gari kituoni,sisi tunakusimamisha wewe unaleta ukaidi”
Aliongea askari mmoja wapo wa usalama barabarani aliyevalia nguo nyeupe,Gari la Adrian liliwekwa kando ili msafara upite,huku yeye akiwa amesimamishwa pembeni.
Magari ya Jeshi mawili yalipita kwa kasi ya ajabu kisha mabenzi na kupita Hammer nne zilizofanana lakini Hammer hizo zilipofika mbele zilisimama,jambo hilo liliwashangaza sana maaskari na ilikuwa kinyume na msafara kama huo,
Mwanamme mrefu mwenye kombati za jeshi alishuka akiwa ana nyota nyingi mabegani pembeni yake kulikuwa kuna wanajeshi wengine wanne wanalinda usalama wake.
Alitembea mpaka aliposimama Adrian aliyekuwa analumbana na maaskari na kumshika bega.
“Adrian”
Sauti hiyo ilimshtua Adrian,hakuamini mwanamme aliyesimama mbele kuwa ni Brigedia Said Adam Sangu.


 Bado Adrian alikuwa ni kama haamini amenyamaza kimnya,anamtizama Brigedia Sangu aliyekuwa ana makovu usoni tofauti na alivyomuacha miaka mingi iliyopita.
“Naam Saidi”
“Za masiku?nilikutafuta sana kabla ya kwenda vitani Afghanstan”
“Afghanstan?”
“Ndio”
“Kulikuwa kuna nini?”
“Nilienda vitani,nachomshukuru Mungu nimepona na tumebaki watatu tu,tulienda wanajeshi elfu nane”
“Weee”
“Ndio ivyo mdogo wangu,hapa naelekea Ikulu tumeitwa na Raisi”
“Ndugu nilipata matatizo makubwa mno hapa katikati”
“Hapa unafanya nini?”
“Mke wangu ametekwa na ndiyo nilikuwa namfukuzia, hawa askari wakanipiga mkono wanataka kunifungulia mashataka”
“Nani kamteka?”
“Mwanamke Fulani hivi ni stori ndefu,nachokuomba naomba uwaambie hawa askari waniachie ili nimuwahi kabla hajafika naye mbali”
“Hivi unadhani hapa wataondoka nawewe?bila kuwaambia sasa hivi upo huru hakuna atakaye kugusa,cha kufanya wacha niwahi ikulu hiyo kazi tutaianza kesho asubuhi sana mimi na wewe,chukua namba yangu nenda kapumzike tafadhali,kesho nipo off tuanze mchakamchaka nina uchungu kwelikweli hapa nilipo”
Brigedia Sangu alimtia moyo Adrian na katika maongezi yake hakua ana masihala hata punje!

alijaribu kuzituliza hasira zake na kuzidi kumsisitiza kuwa akapumzike na kwa pamoja wangeanza msako huo asubuhi na mapema.
“Kesho asubuhi ya saa kumi nitakutafuta Adrian,kwanza tuna mengi ya kuongea ingia kwenye mchuma uondoke zako”
Brigedia alimaliza na hakuna askari aliyepinga Adrian alipewa funguo zake na kumshuhudia Brigedia akiingia ndani ya Hammer na msafara kuanza kuondoka.
****
Kutokana na kuhonga mpakani aliweza kupita Namanga na kuzidi kusonga mbele akitumia Range Rover spot, Jaqlin alikuwa amelala usingizi baada ya kuwekewa dawa kali za usingizi puani,ilikuwa imetimu saa moja ya jioni tayari, ndipo walipoingia Kenya na masaa manne baadaye walikuwa Nairobi,Babra alikuwa ana kazi ya kuangalia kwenye kioo kilichokuwa kina ramani huku akizidi kufanya mawasiliano na Maximilian ambaye alikuwa teyari amefika bandari ya Mombasa na boti ya kukodi,alimsubiri Jaqlin kwa hamu zote akiwa anachekelea meno yote yapo nje,amejiachia kwenye boti anakunywa mvinyo.
Saa nane ya usiku Babra aliegesha gari bandarini na kuchukua simu yake ya mkononi.
“Where are you?”(upo wapi)
“Mombasa Port”(Bandari ya Mombasa)
“Where exactly?”(wapi hususani)
“Behind you”(Nyuma yako)
Babra aligeuza shingo yake nyuma na kumuona Maximilian ameshika Glass mbili za pombe kali kisha kumpatia glass moja ili kusherekea ushindi,Wote walipiga cheers na kuanza kunyonyana midomo yao kwa furaha.
“Now what?”
Aliuliza Babra akitaka kujua nini kinafuata.
“Where is she?”(yuko wapi)
“In the car”(ndani ya gari)
Maximilian alivyotaka kulifuata gari Babra alimzuia.
“What?”(nini)
“Money first”(pesa kwanza)
“You don’t trust me?”(Huniamini)
“When it comes on money,I trust no one.Am sorry”(Kwenye swala la pesa.Simuamini yoyote Yule,niwie radhi)
“Fine! wait for me”(Sawa nisubiri)
Maxmilian akawa hana tatizo, alitembea mpaka kwenye boti kisha baada ya dakika mbili alitokeza akiwa ana begi jeusi kubwa lililojaa mabunda ya noti za kimarekani yaani dolla na kumkabidhi Babra.

Kazi ikawa imeishia hapo,Jaqlin alishushwa na kupakiwa ndani ya boti kabla ya hapo walipigana madenda tena.Na Maxilian kuingia ndani ya boti akiwa anachelekea,alivyomtizama Jaqlin alifurahi zaidi!Uzuri wa Jaqlin ulimvutia ajabu!Na alivyosikia amepoteza kumbukumbu ndipo aliingiwa na furaha mno, alishaelewa nini maana ya mtu kupoteza kumbukumnbiu zake.
Aliwasha Boti saa tisa kasorobo usiku huku akimuacha Babra anampungia mkono kwa mbali akilishuhudia boti likiishia kwa mbali nayeye kuingia ndani ya gari na kuondoka zake.

Boti lilikuwa katika kasi isiyo ya kawaida na Maximilian alitamani kufika katika kisiwa kinachofuata ili achukue ndege ndogo aliyoiandaa na safari ianze mara moja ili akaishi na Jaqlin kimapenzi.
Jaqlin aliyafumbua macho yake na kujaribu kuangalia mazingira aliyokuwepo kwa mara ya kwaza alidhani anaota lakini kumbukumbu zake zilimwambia kuwa yupo ndani ya boti sababu aliona Maji katika kila pembe.Alivyopiga macho mbele alimuona Mzungu amesimama yupo Kwenye usukani anaendesha boti hiyo.Alisimama taratibu na kumuendea.
“Adrian,Adrian yupo wapi?”
“There is no Adrian here”(hakuna Adrian hapa)
Maximilan alimjibu na kuendelea kutupa macho yake mbele akiwa anaendesha boti.
Jaqlin alizidi kutafakari na ghafla sura ya Babra ilimjia alivyoangalia katika mlango wa Boti hiyo, aliona picha ya Mwanamke aliyevaa chupi nyeupe na Sidiria nyeupe,alihisi kichwa kinamuuma.
“Adrian,Adrian, Babra”
Alikuwa ni kama anayerudiwa na kumbukumbu zake.
“Jovvana,Jovvana mwanangu,Adrian mume wangu”
Jaqlin alizidi kujiongelesha na alivyokaa vizuri sura ya Babra ilimjia hapo hapo kichwani ilikuwa ni kama anauona mkanda wa filamu kichwani mwake.Alimfuata Maxmilian aliyekuwa bize na boti akilikimbiza na kulifanya linese nese juu ya maji kutokana na mawimbi ya hapa na pale.
“Wewe nakufahamu Maximilian,tulikutana kwenye ndege,hapa nimekujaje?”
Jaqlin alizidi kumsumbua Maxmilian lakini badala ya kujibiwa Maxilian alikaa kimnya.
Jaqlin hakuishia hapo alimtikisa huku akitaja jina Adrian lakini alinyamazishwa na ukofi,Jaqlin hakukubali nayeye alirudisha ukofi,Boti ilianza kuyumba huku wakijaribu kulumbana,kofi alilorusha Maximilin lilimfikia Jaqlin tena na kuteleza kitendo hicho kilimfanya atumbukie ndani ya bahari.Maximilian alipagawa na kusimamisha boti akitafuta huku na kule.
****
Adrian hakulala usiku kucha alikuwa akimuwaza mke wake ni wapi alipo,alitamani kukuche haraka iwezekanavyo,Muda wote alikuwa na Jovvana lakini hakutaka kumwambia mama yake ni wapi alipo na wala hakupeleka swala hilo polisi lilibaki kuwa siri yake na Brigedia Sangu.
Ni kweli ilipofika saa kumi za asubuhi simu yake iliita na aliyepiga simu alikuwa ni Brigedia Sangu.
“Nipo Oysterbay stendi hapa,fanya fasta uje tuanze kazi”
Adrian alivyokata simu tu,alichukua shati na kulivaa huku akitoka mbio akishuka ngazi mbilimbili,alitoka nje ya geti na kuelekea kituo cha mabasi,kwa mbali aliliona Hammer ya jeshi imesimama na kufika mpaka mlangoni.
“Ingia ndani,hatuna muda wa kupoteza,hapa tunaenda Uwanja wa ufi kuna Helkopta inatungoja”
“Sawa”
Brigedia Sangu alianza kufanya mawasiliano na wanajeshi waliokuwa Chalinze, ni kweli walimueleza juu ya Range hiyo,alizidi kufanya ivyo na kuambiwa ilipita Namanga majira ya jana yake jioni.

Ndani ya dakika arobaini na tano walifika uwanja wa Ufi ubungo Maziwa,Adrian na Brigedia Sangu walishuka na kuingia ndani ya Helkopta iliyokuwa tayari mapanga boi yake yameanza kuzunguka tayari kwa kupaa angani.kelele za Helkopta ndizo zilisikika, wote walivaa vifaa vya mawasiliano kwenye masikio yao mithili ya ma DJ kisha Helkopta hiyo ilivyochanganya taratibu ilianza kupaa hewani kwa safari ya kwenda Kenya. Brigedia Sangu alitoa bunduki yake iliyokuwa na risasi tayari, Adrian nayeye akatoa yake.Walikuwa hewani kwa lisaa limoja tayari.
“Siku hizi nawewe una miliki?”
Aliuliza Brigedia.
“Ndio”
“Vizuri!mwanaume unatakiwa ukamilike kila idara,usiwe mzembe,Pius shusha shusha chini Helkopta,tua hapo”
Rubani wa Helkopta alitiii kauli hiyo na kuishusha juu ya uwanja mkubwa walivyofika Nairobi.

Brigedia Sangu alishafanya mawasiliamo na baadhi ya wananjeshi ivyo walipojaribu kuulizia Range nyeusi ni wapi ilipopita ilikuwa rahisi kutambua.Walirudi kwenye Helkopta na kuanza kuelekea upande wa kusini Mombasa.
“ILEEE PALE”
Adrian aliachia ukelele mkali baada ya kuona gari la Jaqlin lipo barabarani tena linatembea,alitamani kurudi kutoka kwenye Helkopta.
“Una uhakika?”
“Ndio”
Wakiwa juu angani waliweza kulifuatilia gari hiyo.
“Pius ukipata nafasi tua”
“sawa mkuu”
Helikopta ilizidi kusonga mbele huku chini kukiwa na Range.Rubani alipopata nafasi alianza kushusha Helkopta chini,kabla haijatua Brigedia Sangu aliruka kitaalamu kijeshi na kutua ardhini,alikimbia haraka haraka na kusimama mbele ya Range Rover.Breki zilifungwa za ghafla.Ndani alikuwa Babra na hakuelewa mwanaume huyo kwanini alitokeza mbele yake.

 “You son of a bitch! out of my way, do you want to die?”(wewe mtoto wa Malaya,ondoka mbele yangu,unataka kufa)
Hilo ndilo neno la kwanza kulitamka Babra akiwa mwenye hasira baada ya kuteremka ndani ya gari alivyomuona Mwanaume mrefu katokeza ghafla mbele ya gari amevaa shati jeusi.Hakuelewa anatoa kauli chafu kwa mtu wa aina gani,hiyo ilizidi kumpandisha Mori Brigedia Sangu aliyekuwa amefanya kazi ya Kumtafuta Msichana huyo bila kupumzika.Baada ya dakika moja Adrian alitokeza.
“Mke wangu yuko wapi?”
Aliuliza huku akitembea na kumfikia Babra, bila kufanya kitu kingine chochote alichukua kichwa cha Babra na kukipigiza juu ya boneti la gari na kutoa bastola yake kiunoni.
“Nahesabu mpaka tatu Babra, mke wangu yuko wapi?”
Akili ya Adrian ilikuwa imebadilika na alichowaza kwa wakati huo ni kuuwa, alivimba kwa hasira na kuwa kama chura, macho yake yalimtoka nje na yalikuwa mekundu na kweli alikuwa mbioni kumimina risasi kichwani kwa Babra kama asingeonesha aina yoyote ile ya ushirikiano,
mkono wake ulikuwa teyari kwenye triga na bastola ilikuwa ina risasi kumi na nane ndani yake ikiwa imekokiwa na kilichofuata hapo ulikuwa ni umauti wa Babra.
“Moja… mbili…”
Adrian alihesabu na ilikuwa ikisubiriwa ni namba tatu ili risasi imtoe uhai Babra hapohapo.
Raia walikuwa wamezunguka eneo hilo mita chache kutoka alipokuwa Adrian na Babra, wengine walidhani Adrian na Jambazi kwa kitendo kilichokuwa kinaendelea hapo na ndiyo picha iliyojionesha machoni mwa watu Asubuhi hiyo ya Saa kumi na Moja.

Mmoja wa wasamaria alipiga simu polisi na ndani ya dakika tano magari ya polisi matano yalikuwa yamepiga misele huku bunduki zao zikiwa zimekokiwa ameelekezewa Adrian aliyekuwa mbele yao mita Kumi.
Katika akili za polisi walidhani kuwa mwanaume huyo ni jambazi na tukio la Ujambazi lilikuwa limetokea mwezi mmoja kabla jijini Nairobi.
“Weka silaha chini kijana,wacha ukora,tunapiga sisi risasi”
Aliongea askari mmoja mweusi kwa rafudhi ya Kenya.
“Help me, he want to steal my money”(Nisaidieni anataka kuniibia pesa zangu).
Babra alisema akiamini kuwa polisi ndiyo msaada kwake na alitaka kutumia ujanja huo kumtoka Adrian.

Adrian alikuwa mkaidi hakutaka kushusha silaha yake chini, Brigedia Sangu alikuwa pembeni na alishaelewa nini kingefuata endapo Adrian asingetii amri za maaskari,akili yake ilifanya kazi kwa kasi ya umeme wa gesi!
“Jamani sisi sio majambazi sisi ni wanajeshi tumetokea Tanzania na bora mmefika mtusaidie zoezi hili”
Brigedia Sangu alitoa kitambulisho chake na kukiweka juu Hewani,mmoja wa maaskari alisogea taratibu na kukikagua, kwa haraka aliwaomba wenzake washushe mitutu yao chini maana mtu mwenye kitambulisho hiko alikuwa ni mwanajeshi wa kimataifa.

Askari wote walifyanta mikia na kunyong’onyea.Babra alizidi kupagawa alivyoona hali hiyo imetokea, alijua teyari alipata mkombozi lakini ilikuwa kinyume, kinyesi kilimbana.
“Naomba niongee na mkuu wenu,Adrian weka silaha chini ili tufanye mambo yawe maraisi”
Brigedia Sangu alitoa kauli hiyo, Adrian akashusha bastola chini.Moja kwa moja Brigedia Sangu alipelekwa kwenye gofu la polisi na kumueleza tatizo lake.
“Huyu mwanamke ndiye mtekaji”
“Sasa ulikuwa unahitaji msaada gani?”
Aliuliza Mkuu wa kikosi cha polisi Onyango Otorong’ong’o.
“Vijana wako,niondoke nao,nina helkopta pale”
“Hilo halina shida,sasa huyo mtekaji keshasema ni wapi alipompeleka mwenzake?”
“Hapana! Lakini atasema tu sasa hivi”
“Sawa mimi sina tatizo Mkuu”
“Okay”
Brigedia Sangu alitembea mpaka kwa Babra na kuzikamata nywele zake akimpeleka mbele bila kuongea chochote.Babra alipiga kelele nyingi na kuingizwa ndani ya Helkopta.
“Hapana huyu malaya hastaili kukaa na sisi”
Brigedia alimshusha Babra nje ya Helkopta na kumfunga kamba mguuni.Baadhi ya askari waliingia ndani ya Helkopta akiwemo Adrian,Helkopta ilianza kupaa angani huku Babra akiwa ananing’inia chini hewani kichwa chini miguu juu.
“Pandisha juu sana Helkopta mpaka juu kwenye upepo”
“Sawa Mkuu”
Helkopta ilizidi kupanda juu hewani, Babra alizidi kupigwa na upepo mkali angani na aliteseka mno!pumzi zilimushia akaanza kutafuta hewa.
“Sangu,unahisi kwa adhabu hii atataja?”
Adrian aliuliza kwa sauti kubwa kutokana na mlio wa Helkopta.
“usiombe upewe hiyo adhabu,pale alipo anatafuta pumzi kuna upepo mkali sana hawezi kupumua na tukifanya hivi kwa dakika Thelathini anafariki”
“kweli?”
“Ndio”
Rubani akawa ana kazi ya kuzungusha Helkopta angani,dakika ishirini na tano zilipofika aliambiwa ashushe chini na ikatua ardhini Brigedia akashuka,Babra hakuwa ana fahamu tena kutokana na kukosa pumzi,hakuna alichotumia kumuamshia zaidi ya kumtandika kofi zito usoni.Babra akakurupuka.
“Taja?”
Brigedia hakuongea sana, neno moja tu huku akiwa amekunja sura yake lilitosha kumfanya Babra afungue kinywa chake.
“Mom..basa Port”
Babra alizungumza kwa tabu mno.Hapo hapo alichukuliwa na kuingizwa ndani ya Helkopta na safari ya Kwenda bandari ya Mombasa kuanza.

Kazi yake ilikuwa ni kutoa maelekezo ni upande upi,walipofika bandarini walizidi kusonga mbele upande wa bahari sababu ndipo Babra alipowaelekeza.Kwa mbali waliona Boti inatembea ikiwa na mzungu anaiendesha.
“He is the one”
Babra alisema kumaanisha kuwa ndiye mwanaume wanayemtafuta.
Maximilian akiwa kwenye boti alishausikia mlio huo wa Helkopta na alijua kivyovyote vile walikuwa wakimfuata yeye,hivyo alichotakiwa kufanya ni kujitetea kabla ya Helkopta Kushuka. Maxmilian alitoa bunduki aina ya Sub-mashine Gun na kuanza kurusha risasi hewani.
“Pius! Pius! geuza geuza”
Aliamuru Brigedia Sangu sababu hakujiandaa kwa mashambulizi.Helkopta iligeuka haraka na kurudi ilipotoka, Adrian alikasirika akachomoa bastola yake na kumuwekea kichwani Rubani.
“Rudisha Helkopta”
Adrian aliamuru kwa hasira, Rubani akawa njiapanda mdomo wa bastola ukiwa shingoni mwake,hakuelewa asuke au anyoe!
“Adrian”
“Nyamaza Sangu,Yule ni mke wangu na mtu aliyemteka ndiye yupo pale unataka turudi wapi?”
“Sasa unataka kufanya nini?”
“Rubani arudishe Helkopta,mimi nitapambana nina bastola”
Ndani ya Helkopta ulitokea mzozo mkubwa kati ya Adrian na Brigedia Sangu.
“Sio rahisi Yule ana sub mashine gun,ni hatari tukirudi, sote tutakufa niamini niachie mimi hili zoezi,Naelewa cha kufanya nina maana yangu kufanya ivyo”
Walitumia dakika kumi nzima mpaka Adrian akaweka bastola yake chini.
“Pius sikia,una saa?”
“Ndio Mkuu”
“Tegesha dakika Kumi”
Pius alitii japo hakujua kwanini.
“Tayari”
“Ndani ya dakika hizo uwe umefika kwenye boti mimi najitosa kwenye maji,nadhani dakika kumi zitanitosha,cha kufanya uzuge kuondoka na Helkopta mbali kabisa”
“Sawa mkuu”
Kauli hiyo iliwashangaza Watu wote mpaka Askari.

Brigedia Sangu alimtizama Adrian na kumpa Mkono aliweka bastola yake kiunoni vizuri na kuhesabu mpaka tatu,alifungua mlango wa Helkopta na kujitosa hewani kijeshi ndani ya Sekunde mbili alikuwa majini na haonenekani.

Maxmilian alichekelea meno yake yakawa nje,aliamini kuwa Helkopta hiyo haitorudi tena,bado alikuwa amesimamisha boti yake akiwa na bunduki mkononi,Jaqlin alikuwa hana fahamu amemfunga na kamba baada ya kumtoa majini.
Aliangalia angani na kuishuhudia Helkopta ikizidi kusonga mbele.Alimtizama Jaqlin na kuwasha Boti alivyotaka kuliondosha alihisi kishindo kwenye injini,taratibu alianza kutembea, alipokaribia kufika kwenye injini alipokea teke juu ya Shingo na kudondoka chini Puu!Brigedia Sangu akaingia ndani ya boti kimafia.

 Adrian akiwa juu ya Helkopta alishuhudia kila kitu na alikuwa yupo tayari kuruka na kutua juu ya Boti lakini hakua na ujuzi wowote ule wa kijeshi na ndiyo maana alikuwa anasuasua.
Chini aliliona boti na Brigedia Sangu akiwa ana pambana na Maximilian,pembeni alimuona Jaqlin amelala amefungwa kamba hiyo ilimtia hasira zaidi!
Brigedia Sangu alikuwa ngangari, alimpiga Maxmilian vibaya mno na kuchukua kichwa chake kisha kukitumbukiza ndani ya maji kwa dakika moja nzima,alivyomtoa alimtwanga kichwa cha puani na kumtumbukiza tena ndani ya maji.Maxmilian alipagawa na aliishiwa pumzi, muda wote alikuwa akikohoa na kutema maji huku akilia machozi.
“Naomba kamba nishuke”
Adrian alisema na Rubani kutoa ngazi kisha Adrian kuanza kushuka,alivyotua juu ya boti alimuendea moja kwa moja Jaqlin aliyekuwa amelala na kuzifungua kamba alizofungwa.

Baada ya hapo alimlaza chali kisha kuweka kifua chake kifuani ili kusikiliza mapigo ya moyo,alitabasamu kwa sababu aliyasikia yakidunda kwa mbali.Hapo hapo alianza kumpa huduma ya kwanza akimpulizia pumzi mdomoni na kuziziba pua za Jaqlin ili kuyapa hewa mapafu huku akimkandamiza kifuani.Hazikupita sekunde, Jaqlin alianza kukohoa mfululizo huku akitapika maji.
“Adri…an”
Aliita Jaqlin huku akimtizama Adrian wote walikumbatiana wakiwa wenye furaha.
Kipigo kiliendelea kwa Maximilian kupita kiasi mpaka nusu saa zinapita hakuwa na fahamu tena.
“Ahsante sana Sangu?”
Adrian alisema.
“Usijali mdogo wangu,huyu itabidi akaungane na Kahaba mwenzake niende nao kambini kule wakaeleze ni nani aliyewatuma”
“Shemeji Sangu”
Neno hilo lilimshtua Adrian na kumgeukia Jaqlin aliyekuwa amekaa pembeni kwenye kona ya boti.
“Mama Jovvana?”Adrian aliita kwa mshangao kabla ya Brigedia Sangu kuitikia.
“Baba Jovvana”
Adrian alirusha mikono Juu na kumsogelea Jaqlin na kuanza kupigana mabusu, Jaqlin alikuwa amerudiwa na kumbukumbu zake,Waliongea mengi na kuanza kupanda juu ya Helkopta huku Maximilian akiwa begani kwa Brigedia sangu.

Baada ya wote kuingia ndani, Helkopta ilianza kurudi ilipotoka na kuwashusha askari wa Kenya na kuanza kuondoka kwa safari ya kurudi Tanzania.
“Gari yako kuna kijana nimemtuma aipeleke Tanzania nafikiri tayari imefika”
Alisema Brigedia Sangu.
“Ahsante Sangu”
Jaqlin na Adrian walikuwa wenye furaha mno ndani ya Helkopta huku Babra na Maxmilian wakiwa wamefungwa kamba wamelazwa chini.Helkopta ilituwa uwanja wa taifa saa tatu kasoro dakika saba na wa kwanza kushuka alikuwa ni Brigedia Sangu na Adrian pamoja na Jaqlin kufuatia.
“Sasa Adrian,mimi nakuacha hapa,hawa kama nilivyokwambia naondoka nao kwenda kambini,kaa na amani kabisa hakuna kitakacho haribika”
“sasa unaenda kuwafanya nini?”
“Hawa?nitakwambia namuheshimu shemeji,ngoja niwapigie vijana waje kuwachukua hapa mkapumzike”
“Sawa Mkuu”
Adrian alitania na kupiga saluti.Wote walicheka na kupeana mikono.Upepo mkali na vumbi vilipuliza, mapanga boi yalianza kuzunguka na Brigedia Sangu akaingia ndani ya Helkopta akiwaacha Adrian na Jaqlin chini wanampungia mkono.
Hapo hawakukaa sana Gari tatu za jeshi zilitokea na wote wakaingia ndani ya gari moja wapo mpaka Oysterbay.
****
“Baba Jovvana”
“Naam mke wangu”
“Nimekumisi”
“Kweli?”
“kwanini nikutanie”
“Mhhhhh”
“Usigune”
Jaqlin alimuangalia Adrian kimahaba,macho yake yalikuwa yamelegea sio mchezo!
Adrian alishajua nini maana yake na kama mwanaume ilibidi atimize wajibu huo,hapo ndipo ukawa mwisho wa kula chakula.Midomo yao iligusana na kuanza kupigana denda,Kiti kilisogezwa pembeni na Jaqlin kubebwa juu juu huku midomo yao ikiwa imegandana kama gundi,kilichosikika hapo ilikuwa ni mlio wa kama mtu anayenyonya ice crim ya sunvita!
Adrian alipandisha ngazi mpaka kufika chumbani kwao hapo Jaqlin aliweka mkono juu ya kitasa na ukafunguka walivyoingia tu walijifungia na Jaqlin akatupwa kitandani,Adrian akapanda juu yake,kila mtu alikuwa amemmisi mwenzake kwa kiasi cha kutosha kila mtu alimvua nguo mwenzake kama wafanyavyo wapenzi wakiwa wanataka kuanza mchezo huo wa kikubwa unaopendwa na watu wengi duniani.

Adrian akawa amebakiwa na Boxa tu huku Jaqlin akiwa na Chupi pamoja na Sidiria,hawakutaka kuwa na papara yoyote!walizidi kupigana madenda mfululizo Jaqlin akiwa juu katikati na Adrian chini yupo Chali kifua wazi,Mkono wa Adrian ulipita mpaka mgongoni kwa Jaqlin na kufungua Sidiria,Maziwa ya Jaqlin yalikuwa madogo kiasi na yametokeza kama embe bolibo,Adrian akajiinua kidogo huku mkono wake akiwa ameuviringisha Kiunoni kwa Jaqlin na kuanza kuyanyonya maembe, hapo ndipo Jaqlin ulipokuwa udhaifu wake.Kitanda kilikuwa kikubwa mno,Jaqlin alibinuliwa na Adrian akawa juu yake hapo ndiyo ikawa rahisi kwake,
alisogeza ulimi wake kifuani kwa Jaqlin na kuanza kumnyonya maziwa huku mkono wake mmoja ukiwa umezama ndani ya Chupi ya Jaqlin unapekechua karanga.
“Ahhhh Shhhhhs Adri…….an”
Jaqlin alihisi raha za ajabu kupita kiasi,damu yake ilimwenda mbio, rangi yake ya mwili ilibadilika na kuwa nyekundu kazi yake ilikuwa ni kuvuruga kitanda,hajui ashike kipi wala aache kipi, alikuwa akishika mashuka ya kitanda.
Huku akilitaja jina Adrian kwa sauti ya puani bila kujijua.

Hiyo ilimpandisha Adrian morari akawa anazidisha kuyanyonya maziwa tena kwa awamu tofauti, alitoa ulimi wake nje na kuupitisha masikioni mwa Jaqlin akizidi kuongeza Njonjo.Jaqlin hakutaka kuwa mzembe nayeye alikamata tango la Adrian na kulitoa nje, taratibu alianza kulichua,kidole cha Adrian kilianza kupima Oil na taratibu alianza kuitoa chupi ya Jaqlin baada ya hapo alisogea chini na kuipanua miguu na kuanza kudeki bahari, hapo ndipo Jaqlin alipoanza kujinyonga nyonga kama aliyemwagiwa maji yenye pilipili,kitendo cha kulambwa mgodi ndiyo ulikuwa udhaifu wake mkubwa maishani!
Adrian alilijua hilo na kuzidisha nguvu kazi,Jaqlin alikamata kichwa cha Adrian na kuzidi kukikandamiza ndani ya mgodi wake baada ya kuhisi raha za ajabu na alihisi anafika mshindo,Adrian alizidisha kasi,mpaka Jaqlin alipotoa miguno ya sauti kubwa ndipo alipoipanua miguu ya msichana huyo na kuingiza tango lake ndani.Mechi ilianza mambo yakawa mazuri Muda wote Jaqlin alikuwa akihema kama bata mzinga.

***
“Baby chai inapoa acha kucheza game utakuwa mtoto”
Jaqlin alisema siku hiyo ya Jumamosi asubuhi. Adrian akiwa seblen na Jovvana wanacheza game ya Playstation.
“Tuache bwana,Baba na Mtoto”
“Baba mwambie huyo,chai kitu gani tutakuja kunywa”Alijibu Jovvana huku akiwa makini juu ya kioo kikubwa cha Televisheni wakicheza game ya magari.
“Nipe tano”
Jovvana na baba yake walikuwa wenye furaha na kuendelea kucheza game baada ya kugonganisha mikono yao.Jaqlin alikasirika na Kwenda kuzima Runinga.
Wote walimtizama walitamani kumvaa na kumpiga makofi.
“Ahhh Mama Jovvana,mbona ivyo,unapenda kuharibu starehe za watu”
“Embu kanyweni chai acheni utoto,hilo game lipo,wewe Jovvana unamuharibu baba yako”
“Mama hujawahi kucheza ndiyo maana unasema hivyo”
“Nani acheze huo utoto?”
Wote waliingia mezani na kuanza kujumuika kunywa chai wakiwa wenye furaha.
Jovvana alichukua weupe wa Mama yake na macho vilevile, midomo ya Adrian pamoja na mashavu.Jovvana alitisha kwa uzuri na jambo hilo wazazi wake waliliona tangu akiwa bado mdogo mpaka anatimiza miaka kumi na sita uzuri wake ndiyo ukawa tishio.
Kitendo cha kujaaliwa nyuma ndiyo kilichomtisha Adrian, hakujua mwanaye ametowa wapi makalio makubwa kiasi hicho,hiko ndiko kikawa kitendawili kikubwa kwa Adrian na Jaqlin.
“Mama”
“Abee”
“Mimi sitaki chai”
“Sasa unataka nini?”
“Juisi ipo?”
“Ndio,nenda kwenye friji”
Kitendo cha Jovvana kusimama kwenye kiti Jaqlin na Adrian wakajikuta wameyagandisha macho yao juu ya makalio ya Mtoto wao na wote kutizamana.
“Baby”
“Abee”
“Huyu Mtoto karidhi kwa nani? Maana wewe haupo ivyo”
“Hapo nashindwa kuelewa hata mimi kwa kweli”
“Mhhh”
Jaqlin na Adrian walimteta Jovvana na aliporudi walibadili stori.
“kuna mtu kanipigia simu jioni ya leo,Jovvana leo hakuna shule chagua sehemu ya kwenda”
“Dad,mimi nataka kwenda sinema”
Jovvana jinsi alivyoongea ndipo uzuri wake ulionekana,alikuwa ana sura nzuri ya duara na pua iliyochongoka midomo yake muda wote ilikuwa myekundu kutokana na wazazi wake kuwa na pesa aliweza kujitunza na ngozi yake ilikuwa nyororo.


Nusu saa baadaye walikuwa teyari wamemaliza kupata kifungua kinywa.
“Griii griiiiii”
Simu ya Adrian iliita na alivyoitoa mfukoni aligundua kuwa ni meneja wa JJ HOTEL,hakuelewa asubuhi hiyo anahitaji nini.
“Bosi shikamoo”
Aliongea Meneja upande wa pili wa simu huku akiwa ana hema juu juu.
“Marahaba vipi?”
“Kuna matatizo hapa hotelini”
“Kuna nini?”
“Kuna uhalifu umetokea na kuna baadhi ya wafanyakazi wameshikiliwa”
“Unasema niniiii?”
Adrian alionesha hali ya mshangao Jaqlin nayeye aliyatoa macho yake na kusogea karibu.
“kama unaweza kuja nakuomba uje,kuna mauaji yametokea na unahitajika bosi”
“Sawa nakuja hapo,ngoja nitafute ndege”
Simu ilivyokatwa Jaqlin akawa anataka kujua nini kimeendelea.
“Mimi sijui,huyu ni Victor ndiyo kanipigia,anasema kuna uhalifu umetokea anahitaji niende”
“Sasa inakuaje?”
“Mimi nitenda”
“Sawa Baba Jovvana,kuwa makini utanijulisha nini kilichotokea”
“Naomba nipeleke Mwalimu Nyerere”
Safari ya kwenda kuangalia sinema na Jovvana ikaishia hapo.

Jovanna alitaka kwenda na baba yake lakini alizuiliwa.Adrian na Jaqlin waliingia chumbani ili kujiandaa.Walitoka mbiombio mpaka ndani ya gari wakiwa na Jovvana na Adrian akawa ana kazi ya kukimbiza gari,siku hiyo hakuzingatia sheria sana,alivyoona kuna foleni Maeneo ya Mandela Road alipandisha tuta na kuingia upande wa pili na kurudi alipotoka nia yake ilikuwa ni kukwepa msongamano wa magari.

Aliingia Buguruni sokoni na kupitisha gari kisha kutokea Relini hapo alizidi kuongeza mafuta na kukunja njia ya Gongo la Mboto.Dakika kumi na tisa baadaye waliweka gari katika maegesho ya uwanja wa ndege na wote kushuka mpaka mapokezi, hapo waliulizia kama kuna ndege ya kwenda Mkoani Mbeya.
“Ipo Kaka angu inaondoka baada ya lisaaa limoja”
“Sawa nahitaji tiketi”
“Ngapi?”
“Moja”
“Okay”
Msichana aliyekuwa mapokezi alimuelekeza mpaka ofisi za kukata tiketi.Adrian Alitembea kwenda kukata tiketi kisha kurejea mpaka ilipoketi familia yake.
“Umepata?”
Jaqlin aliuliza huku akisimama na Jovvana.
“Ndio nimepata”
“Ukifika utanijulisha nini kimetokea,usisahau kunipigia simu”
“Sawa hakuna shida”
Waliendelea kupiga stori na baada ya lisaa limoja Shirika la ndege la Preciuos Air lilikuwa likitoa matangazo yake kuwa ndege itaondoka baada ya dakika kumi na abiria waanze kuingia ndani ya ndege.
Adrian aliagana na familia yake na kuingia ndani ya kimlango maalumu.Kichwani hakuelewa ni mambo gani yametokea JJ HOTEL,
hiyo ndiyo ilimfanya atake kufika mapema zaidi.Dakika tano baadaye ndege ilianza kutembea kisha kupaa angani.
Ndani ya dakika tisini ilikuwa juu ya uwanja wa Songwe Mkoani Mbeya na abiria kuanza kushuka.

Adrian alivyoshuka tu alienda moja kwa moja nje ambapo alikuta anasubiriwa na wafanyakazi wake na kuingia ndani ya gari.
“Nini kimetokea?”
“Bosi ni habari ya kushangaza”
“Ndio maana nikauliza”
“Kuna mwanamke alikuja wiki iliyopita na mzungu Hotelini,kwa picha ya harakaharaka walikuwa wapenzi,wakachukua chumba vizuri sasa kilichotokea, Yule mwanamke kwanza usiku akaamka alikuwa anatetemeka sana kama mwenye homa”
“Hapo alikuwa na huyo mzungu?”
“Hapana, huyo mzungu alitoka mchana na hakurudi tena”
“Enheee”
“Mwanamke alivyotoka akarudi asubuhi ya saa kumi”
“Enheee”
“Sasa alivyorudi,sijui ikawaje bosi nikamkuta anapigwa na kijana nje na bila kuingilia kutetea angeuliwa”
“Unasema alipigwa na kijana?”
“Ndio”
“Sio huyo mzungu tena?”
“Sio huyo mzungu,mlinzi akatoka akamsaidia na akamkamata Yule kijana,sasa kilichotokea cha ajabu Yule mzungu alivyorudi akakaa siku mbili na siku hiyo jioni akatoka tulivyoenda kugonga chumbani tukaona kimnya,tukavunja mlango tukakuta Mwanamke huyo anavuja damu”
“Huyo mzungu kashikiliwa na polisi?”
“Ah wapi”
Dakika arobaini baadaye gari la JJ HOTEL likawa limeegeshwa nje ya Hotel kila mtu aliyemuona Adrian alimfuata, hasa mapaparazi wakitaka kujua mengi zaidi,lakini hakuongea chochote aliingia mpaka ndani na kukuta mapolisi wanachukua maelezo ya kila mfanyakazi.
“Aise habari afande?”
Adrian alimsalimia mmoja wa askari.
“Salama salama”
“Mimi Naitwa Adrian Mwangenya”
“Ndiye mmiliki wa hii hotel?”
“Ndio”
“Ahsante kwa kufika na pole na safari”
“Nashukuru sana”
Baada ya mahojiano na maaskari waliongozana mpaka kituoni ili Adrian atoe maelezo ya ziada na alichotaka kujua ni wapi huyo Mwanamke alipolazwa ili akazungumze naye.Hakukua na shida yoyote ile aliingia ndani ya Diffenda ya polisi na safari ya kwenda hospitalini kuanza.
“Lakini huyo mwanamke lazima ashikiliwe na jeshi la polisi”
“Kwanini?”
“Ni mtumiaji wa madawa ya kulevya”
“Kweli?”
“Kabisa”
Diffenda iliegeshwa nje ya hospitali kisha wote wakashuka na kuingia ndani hospitalini.

Walinyoosha mpaka wodi alilolawza Mwanamke aliyejeruhiwa vibaya na visu.Adrian alivyofika alishindwa kuamini mwanamke aliyelala juu ya kitanda,sura hiyo haikuwahi kumpotea hata kidogo alikuwa ni Consolatha, Mwanamke aliyemdhurumu mali zake na kuingia mitini,alijikuta hasira zimemkaba kohoni lakini alijikuta amenyong’onyea na huruma kumuingia baada ya kuona alivyoumizwa kiasi cha kutosha.
“Cons...o”
Adrian aliita huku akimsogelea akawa kama mtu asiyeamini anachokiona mbele yake.
“Kwani unamfahamu?”
Askari akauliza kabla ya Consolatha kujibu lolote.
“Mmefahamiana vipi?”
Askari mwingine nayeye alimtupia swali Adrian akawa hajui aanze na swali lipi kulijibu.
“Adrii…..an”
Aliita Consolatha akiwa kwenye tabu nyingi mno.
“Naaaam”
“Nao…mba unisamehee kwa niliyokufanyi…ia nateseka hapa nilipo Adrian nisamehe nip..o chini ya miguu yako.Leo nimeamini kuwa malipo ni hapa hapa duniani Mbinguni ni hukumu”
Mbali na kuwa katika hali ya mateso Consolatha alikuwa ana ugonjwa mbaya wa Arosto kutokana na matumizi mabaya ya madawa ya kulevya aina ya Herroin, isingekuwa dripu yake kuwekewa madawa hayo ili apate uhai basi angekuwa mfu.
Kupona kwake na kumaliza dozi kilimaanisha kwenda jela na hakutaka hilo litokee.
“Conso mimi nilishakusamehe muda mrefu,sina tatizo nawewe”
Alisema Adrian akizidi kumuonea msichana huyo huruma.Consolatha alikonda na hakutofautishwa na muathirika wa ugonjwa wa ukimwi kwa wakati huo.Kichwa ndicho kilionekana na macho, alibakiwa na mashavu tu.

Uzuri wake wote ulipotea na alijuta katika maisha yake kukutana na mwanaume Franco raia wa Brazil aliyemuharibia maisha yake,mwanamme huyo ndiye aliyemfundisha jinsi ya kutumia madawa ya kulevya na siku zote hakuweza kuishi bila kutumia dozi hiyo,kwake ilikuwa kama chakula, asipopata madawa hayo kwa masaa manane hutetemeka mwili na mapigo yake ya moyo hushuka.
Akawa mtumwa wa madawa hayo hatari!
“Nilijua nina..kukomoa lakini tafadhali nisamehe bure,naomba uniombee msamaha kwa Partson pia”
“Partson?sijawahi kukutana naye muda sana”
“Yupo kituo cha polisi ameshikiliwa,nilikutana naye na akanipiga sana kidogo aniue”

 Adrian alibaki akimwangalia Consolatha aliyekuwa kitandani mwenye maumivu mengi,alihisi kuingiwa na huruma lakini hakutaka kuruhusu moyo wake kumsamehe mwanamke huyo aliyefanya matatizo yamuandamane baada ya kutokomea na mali zake mitini.Consolatha alimuhadithia Adrian kila kitu na mpaka jinsi alivyomlaghai Partson na wakafanya mapenzi kifupi alimwaga mchele!
“Afande”
Adrian aligeuka na kumuita Askari aliyekuwa nyuma yake.
“Sema”
“Huyo Partson unamfahamu?”
“Ndio”
“Naomba nipeleke kituoni nikamuone,naruhusiwa?”
“Bila shaka”
Adrian na maaskari walitoka na kuongozana mpaka nje kwenye Diffenda na safari ya kwenda kituo cha polisi ikaanza.
Walipofika Adrian akashuka na Partson akatolewa kutoka ndani ya nondo.Kitendo cha kutokeza na kuyagonganisha macho yake na Adrian alijihisi kulia.moyoni alijiona mkosaji.

Kwa muonekano! alionekana ni mwanamme aliyechoka,kichaka cha ndevu kilionekana chini ya kidevu chake kichwani alikuwa ana msitu wa nywele zilizokuwa chafu,kifupi alifanana na chokoraa,Maisha yalimpiga na siku zote alikuwa akimtafuta Adrian ili amuombe Msamaha,ni kweli alikuwa akimuona kwenye magazeti,lakini alipojaribu kumtafuta alizuiwa na walinzi.Alimuangalia Adrian kwa macho yaliyojaa huruma na yenye kuona aibu.
“Adrian”
“Ndio jina langu”
Bado Adrian alikuwa ana hasira na mwanamme huyo alimuangalia akihema juu juu kwa ghadhabu.
“Naomba unisamehe ndugu yako,maisha yamenipiga sio mchezo siku hizi hata elfu kumi siioni,nimekuwa mtu wa kutanga tanga mitaani nimekuja Mbeya kwa basi la majani”
“Sasa hivi ndiyo unajua kosa lako.Mimi siwezi kukusamehe nataka kwanza ulimwengu ukufunze hapo bado,Conso alivyokuja kukulaghai ukakubali na mkanigeuka,Leo hii mwanamke anatutenganisha,hujui nilipata mateso kiasi gani!Uwezo wa kukusaidia ninao lakini sio sasa hivi labda siku nyingine,leo nimekuja kukuona tu”
“Adrian tusahau yaliyopita,binadamu tumeumbwa kukosea tunajifunza kutokana na makosa”
“Usiniambie methali zako! kwa sasa hivi hazitokusaidia,kumbuka nilipokutoa Partson hukua una mali hata moja,nikakuajiri umeishi kwangu kwa miaka mitatu,wewe haukuwa mtu wa kunifanyia mambo hayo,kwaheri P”
Katika maneno aliyokuwa akiongea Adrian,hayakuwa na utani hata kidogo kwa maana alitoka nje huku akimuacha Partson akiwa haamini macho yake,ni kweli alistaili adhabu yoyote ile kwa kitendo alichofanya,hapohapo Askari alikuja na kumrudisha lupango.
“Askari.. askari.. Yule ndugu yangu”
“Nyamaza wewe kelbu”
“Naomba umwambie anisamehe”
“Embu kaa utulie na wenzako usubiri Pizza”
“Mwambie nahitaji kuongea naye na….”
Partson hakumalizia sentensi yake alipigwa kirungu cha kichwa akiwa ndani ya nondo na kutulia kimnya.
“Funga bakuli lako simbilisi wewe,askari askari kenge mkubwa”
******
Wafanyakazi wa JJ HOTEL waliokuwa wameshikiliwa wote waliachiwa huru baada ya uchunguzi kukamilika na kutoa maelezo yaliyowatosheleza maaskari,wiki moja baadaye Adrian alipokea habari zilizomshtua sana kuwa Consolatha amefariki dunia.
“Kweli amefariki?Lini?”
“Leo asubuhi bosi”
“Mungu ailaze roho yake pema peponi”
Ni kweli habari za kifo cha Consolatha hazikuwa uvumi, alifariki kutokana na kansa ya damu iliyogundulika siku chache zilizopita kutokana na utumiaji wa madawa hatari ya kulevya.Adrian alisikitika mno na siku hiyo hakuwa na raha.
****
Adrian alibakiwa na wiki moja ili arudi Jijini Dar es salaam na yote yaliyokuwa yanatokea alimueleza Jaqlin lakini kamwe hakumwambia kama alikuwa na mahusiano na mwanamke huyo Consolatha kabla,alielewa ni jinsi gani Jaqlin angekasirika na hakutaka hio litokee.Usiku wakiwa wanaongea kwenye simu Jaqlin alionesha kuguswa sana na kifo cha Consolatha.
“Maskiniii amefariki lini?”
“Juzi ndiyo alifariki”
“Mungu ailaze roho yake pema, ulienda kwenye msiba?”
“Hapana wife”
“Sasa kwanini? sio vizuri”
“Nilikuwa bize sana ndiyo maana sikwenda mke wangu”
“Sio vizuri hata kama,huyo dada alipata matatizo kwenye hiyo Hotel ilibidi wewe ndiyo ungekuwa mstari wa mbele kuonesha ushirikiano”
“Sawa Mke wangu nimekuelewa,niwie radhi,Jovana anaendeleaje?”
“Yupo, tangu juzi ananisumbua unarudi lini”
“Sasa kwanini hukunipa niongee naye?”
“Mimi nina mambo mengi narudi usiku anakuwa amelala”
“Si ndiyo maana nikakwambia tumtafutie simu”
“Hapana,simu itamuharibu, mimi nishakataa mpaka angalau amalize Form four”
“Acha ukoloni mambo leo”
“Ndio ivyo,Mama nishasema,kwanza unarudi lini?”
“Narudi Ijumaa,Jumatano nitakuwa na Mzee Mwangenya”
“Msalimie jamani”
“Sawa usijali,kesho mchana nitapiga niongee na Jovvana”
“Poa baby,nakupenda”
“Mimi pia Mke wangu”
Maongezi ya kwenye simu yaliishia hapo na kumuacha Jaqlin akiwa mwenye furaha mno.
Siku zote alimpenda sana Mume wake na familia yake kiujumla na alitamani Adrian awepo naye usiku huo lakini kutokana na umbali ilimbidi ajikaze,hata siku moja hakuwahi kufikiria kuingiza ndoa yake dosari.
Aliingia bafuni na kujimwagia maji kisha kurudi chumbani na kujitupa kitandani.
***
Jovvana alizidi kusumbua shuleni kwa urembo,alikuwa gumzo kutokana na uzuri aliokuwa nao.Alikuwa ni msichana aliyevutia kwa kila idara, nyuma ndiyo usiseme alikuwa akitembea anatingishika alikuwa ana makalio makubwa mno na wanafunzi wenzake kumpachika jina 'Nick Minaj' Msanii wa miondoko ya Hip hop nchini Marekani,jina la Jovvana likafifia.

Jovvana alipata umaarufu shuleni hasa alipojiingiza katika maswala ya kuimba.Alikuwa ana kipaji cha kuimba na alimpenda Msaani aliyeitwa Celine Dione.
“Oya Leo Nick Minaji anapanda kuimba kaka”
“Kweli?”
“Ohoo mimi naenda Dinning,sitaki kupitwa kile kifaa sio mchezo kabisa bab kubwa,hapa shule hakuna”
“Hivi nani anampanda Yule mtoto?”
“Mhh hapa shuleni hakuna babu.Labda huko anapoishi”
“Anaishi wapi kwani?”
“Nasikia anaishi Oysterbay,toto la kishua lile,una mjua Chif Adrian Mwangenya?”
“Tunaelewa bwana ni mtoto wa Chif Adrian,kila mtu anajua usitake kujifanya unamjua sana Yule gashi Gibson,sema nasikia baba yake kauzu huyo hatari”
“Kauzu kitu gani?Simba na ukali wake anapandwa,mimi Yule mtoto namchukua mwanangu”
“Nyooo,una kiburi hiko wewe,au kisa wewe kaka mkuu”
“Sasa subiri uone,Mimi ndiyo Gibson Mshagalussa”
Gibson alijitutumua mbele ya marafiki zake,sio kwamba Wavulana walishindwa kumfuata Jovvana la hasha,walimuogopa.Jovvana hakutaka mazoea na mtu asiyemfahamu.

Dining Hall ilijaa wanafunzi wengi, kila mtu alitaka kumsikia Jovvana akiimba nyimbo ya Celine Dione iliyoitwa Titanic.Ukimya ulitawala na Jovvana akaanza kuimba,walimu walibaki midomo wazi wanafunzi ndio kabisa!
Jovvana aliimba kwa hisia na kubana sauti na kufanya watu wazidi kusisimka.Jovvana alikuwa akiimba kwa hisia zote akiwa jukwaani na alivyomaliza hakuna kilichosikika zaidi ya makofi.
“Nick Minaj,Nick Minaj..Nickiiii”
Aliita Gibson baada ya Jovvana kushuka jukwaani na kutoka nje Dinning.
“Nambie Gibson”
“Hongera yaani pale ulivyokuwa unaimba nikataka kulia”
“Acha vituko Gibson,usinichekeshe, sasa kwanini ulie?”
“Mtoto unajua kuimba kama Celine,kwanza tulifute hilo jina Nick nikuite Celine lakini nyuma ni flat Yule celine”
“Acha izo Gibson,naomba niwahi dereva kaja kunichukua ananisubiri nje”
Jovvana aliondoka na kumuacha Gibson akisoma Pleti namba zake kwa nyuma, alikuwa ni garika,makalioni alitingishika ‘Hamsini Hamsini Mia’!Gibson akabaki akila kwa macho!


*******
“Bebiiiiii”
Hiyo ndiyo sauti iliyosikika kutoka katikati ya kundi la Watu wengi wakiwa wanasubiri abiria wanaotoka mlangoni uwanja wa Ndege.
Kitendo cha Adrian kutokeza akiwa anaburuza kitololi ndipo jina hilo liliposikika kwa sauti ya Juu na kumfanya ageuze shingo kwani alishaijua sauti ya Mke wake Jaqlin,alitoka upande wa pili na kukumbatiana kwa furaha.
“Nimekusubiri sana ujue tangu saa kumi nipo hapa”
“Mimi nilikwambia nimepanda ndege ya usiku na sikutegemea kama ungekuja usiku huu kunipokea”
“Weeee nani kasema,pole na safari mume wangu”
“Ahsante nishapoa,za kwako?”
Maongezi yaliendelea huku wakielekea kwenye maegesho ya Magari kisha kuingia ndani ya Range rover spot,Jaqlin akawa kwenye usukani anaendesha huku Adrian Akiwa kushoto kwake na safari ya kwenda Oysterbay kuanza.Muungurumo wa gari ndiyo ulikuwa ukisikika kuanzia hapo mpaka walipofika getini na kupiga Honi.
Geti lilifunguliwa na mlinzi na gari kuingia ndani.Jovvana alitoka mbiombio mpaka kwenye gari kabla ya baba yake kufungua mlango wa gari alishaelewa ujio wa baba yake na hakutaka kulala mpaka amuone.
“Dadiiiii Shikamooo”
“Marahaba Malaika wangu, hujambo?”
“Sijambo Baba umeniletea nini?”
“Vitu vingi kwanza twende ndani”
Jovvana aliingiwa na furaha ajabu,Ujio wa Baba yake ndiyo uliofanya arejewe na tabasamu usoni.
Waliingia ndani na Adrian akawa ana kazi ya kumpa kila mmoja wapo zawadi.
“Hili shati la Mlinzi”
“Ehh Baby mpaka mlinzi?”
“Ndio,tena huyo nina muheshimu, ndiye anayetulinda embu mwite hapa ndani”
Mlinzi wa getini wa KK security aliitwa na kupewa shati nzuri, alishukuru sana na kuondoka kurudi getini kuendelea na lindo.
Wote waliingia mezani na kuanza kula ilikuwa imetimu saa tano na nusu ya usiku.
“Jovvana kula haraka ulale kesho shule”
Mama yake aliongea.
“Lakini Mamaaa”
“Jovvana msikilize Mama yako kesho shule uwahi kulala ili uwahi kuamka sawa malaika wangu”
“Sawa Dad”
Baada ya chakula kuisha Jovvana aliwaaga wazazi wake na Jaqlin akawa ana kazi ya kusafisha meza.Wote wakaingia chumbani, kitendo cha kuufunga mlango Adrian alimfuata mke wake na kumshika kiuno kwa mikono miwili na kuusogeza mdomo wake karibu na kuanza kulana denda kila mtu alikuwa ana hamu na mwenzake!ulimi wa Jaqlin ulikuwa ndani ya mdomo wa Adrian unazunguka kila kona huku wakishikana shikana kila sehemu.
Jaqlin alipitisha mkono wake kwenye zipu ya Adrian na kutoa ndizi iliyokuwa wima tayari na kupiga magoti kisha kuiweka mdomoni.
Hapo ndipo Adrian alipopandisha Mori alizikamata nywele za Jaqlin na kumshika Vizuri huku akiangalia juu darini kama mtu anayesali,mambo yalikuwa yameshaanza, kama gari lilikuwa limewaka tayari.Jaqlin ilibidi siku hiyo aoneshe ni kiasi gani amelimisi penzi la Mume wake.
“Mk…e wan…gu”
Adrian aliita huku akisikilizia utamu.
“Ab….e…e Mu..me wangu”
Jaqlin nayeye alishindwa kuitikia vizuri kutokana na maiki iliyokuwa ipo mdomoni.
“Naku…penda”
“Ha..ta mi..mi Mume..wa..ngu”
Mambo yalikuwa asteaste na hayakuishia hapo, Adrian alisogezwa na kutupwa kitandani na Jaqlin kuendelea kubwia maiki mdomoni mwake japokuwa alikuwa anamdomo mdogo ukilinganisha na mzigo mkubwa lakini alijitahidi kuizamisha mdomoni na wakati mwingine akawa anailamba kwa juu.
Siku hiyo nayeye Adrian akawa ana kazi ya kuhema juu juu kifupi alikuwa ametulia kama mwanakondoo anayepelekwa machinjioni nia yake ilikuwa ni kumuachia mke wake uwanja aserebuke nao na ndivyo alivyotaka Jaqlin iwe.Jaqlin alivyoona haitoshi alivuta Jeans ya Adrian na kuitoa yote kisha Boxa kufuatia na hapo ndipo alipoishika Maiki vizuri na kuzidi kuilamba.
Ghafla alisimama na kwenda kwenye friji na kurudi na asali aliiweka mdomoni na nyingine kuipaka juu ya maiki ya Adrian na kuendelea na zoezi la kulamba Koni.Siku hiyo Jaqlin alijituma siyo utani, alirudi mdomoni mwa Adrian na kuanza kulana denda tena huku akiwa juu yake,Adrian kazi yake ilikuwa ni kushika ikulu ya Jaqlin ili kidogo itoe madini.
Na ndiyo hapo Jaqlin alipata stata na kupanua miguu yake kisha kuikalia mashine ya Adrian huku akikatika taratibu mno na kumuendea Adrian mdomoni.Alikuwa yupo juu huku wanapigana denda.Mambo yalienda vizuri Jaqlin alitoa miguno ya Puani kuliko siku nyingine yoyote ile na baada ya dakika moja alikuwa amefika mshindo na hapohapo Adrian akafika.
Bado Mashine ilikuwa ndani ya mgodi, Jaqlin akaweka kichwa chake juu kifuani kwa mume wake.
“Baby nakupenda sana”
Jaqlin alisema.
“Hata mimi mke wangu”
“Kweli?”
“Niamini,Leo umeniweza lakini bado zamu yangu ya kukuonesha”
“Mhhh sawa,ile ilikuwa tu rashia rashia kidogo bado sijanogewa”
“Basi twende tukaoge”
“Sawa”
Wote walisimama, Adrian akawa amembeba Jaqlin mpaka Bafuni na kumuingiza ndani ya sink la kuogelea yaani Yakuza, kisha Adrian nayeye kuingia huku wakianza kupigana tena madenda ilikuwa ndiyo kama wanaanza.
****
Siku zote Adrian alimpenda Mtoto wake wa kike Jovvana na hakutaka awe ana mahusiano yoyote yale sababu aliamini kuwa wanaume watamchezea na kwa umri aliokuwa nao na uzuri, binti yake, aliamini kuwa kuna wanaume walishaanza kummezea mate.Ilibidi amuangalie kwa jicho la tatu kwa kila hatua atakayo piga na aliapia endapo atajua kama kuna mvulana anamahusiano naye atakula naye sahani moja kama sio kumpiga risasi.
“Jovvana,nataka leo nikupeleke Swimming”
Siku hiyo Jumapili Adrian aliamka na kumkuta Jovvana seblen amejiachia anaangalia sinema.
“Dad shikamoo,Swimming?”
“Marahaba,ndio Swimming, nataka tukakae huko tuongee mimi nawewe tu”
“Kweli Dad?”
“Ndio mimi nawewe”
“Mama je?”
“Yeye tutaenda naye siku nyingine,kajiandae sasa hivi”
“Lakini bado sijanywa chai”
“Utakunywa huko huko”
Jovvana alisimama na kupanda ngazi harakaharaka mpaka chumbani kwake na kujimwagia maji.
Alivyotoka alikuwa tayari amevaa vizuri na wote kuongozana,cha ajabu Adrian alimpa funguo za gari Jovvana nayeye kupita kushoto kumaanisha kuwa Jovvana alitakiwa kuendesha BMW X6,alishtuka sababu hakuwahi kuendesha gari kabla.
“Baba,sijakuelewa”
“Ingia ndani ya gari shika usukani nataka leo uniendeshe”
“Dad”
“Jovvana washa gari twende”
“Dad sijui”
“Sikiliza weka huo mguu hapo ingiza hapa funguo alafu uzungushe kuelekea kule”
Jovvana alifanya kama alivyoambiwa na Baba yake na gari likawaka.
“Bonyeza hapa vuta gia mpaka kwenye herufi R angalia nyuma huku unaachia iyo breki”
Jovvana alitiii na kuachia breki,kitendo cha kuachia breki alijikuta anakanyaga mafuta mengi na kufanya gari lirudi nyuma kwa kasi na kuligonga Range Rover spot la Mama yake.
Hiyo ilimshtua Jaqlin gorofani sababu ya mlio mkubwa, alitoka mbio mbio chooni na kuharibu starehe yake na kufungua mlango akiwa juu gorofani aliona ni jinsi gani gari yake ilivyopasuka taa na kubonyea.
“Mtalipa gari yangu leoleo.Inakuwaje unampa mtoto aendeshe gari jamani,ona sasa”
Jaqlin alifoka kwa sauti ya ukali mno.
“Mbona unakuwa ivyo jamani Baba Jovvana!”
Adrian alinyamaza kimnya na kushuka garini.
“Eeeeh tutatengeneza gari yako,Wacha mtoto ajifunze gari”
“Leo leo mlipe hapo”
Kelele za Jaqlin hazikufanya safari yao iishie hapo, alichofanya Adrian ni kushuka na Jovvana na kuingia ndani ya Landcruiser Vx na safari ya kwenda kunduchi water world kuanza.

Adrian siku zote alitaka binti yake aogopwe na wavulana.Na ndiyo maana alitaka kumfundisha gari mapema mno na ikiwezekana amnunulie ili awe tishio, alielewa hilo lingekuwa kinga na alikuwa akijaribu kumpeleka sehemu za kifahari ili azoee na asiwe limbukeni.
Walivyotoka kunduchi siku hiyo walienda Kilimanjaro Hotel kula chakula cha Mchana.
“Jovvana”
“Abee Baba”
“Baba yako nakupenda sana,Baba ndiye mwanaume anayekupenda kwa dhati na wala sio mwanamme mwingine,wengine ni waongo,hakuna mwanamme mkweli na mwenye mapenzi ya dhati hapa duniani kama Baba”
“Kweli?”
“Mimi ndiyo ninaye kwambia au unaye tayari?”
“No Dad,mimi nakupenda wewe hapo tu”
“Mwanamme yoyote akikwambia nakupenda mwambie yeye ni muongo baba ndiye ananipenda.sawa?”
“Ndio Baba”
Walikula chakula cha mchana na walivyotoka hapo wakahamia Hotel nyingine ya kifahari.
Aliamini kuwa katika sehemu alizompeleka hakuna hata Mvulana yoyote atakayeweza kukanyaga na binti yake na hiyo ndiyo ilikuwa nia yake.
“Likizo ijayo nataka nikupeleke Marekani”
“Dadiiiiii! Unanidanganya”
“Nakwambia ukweli,nitakupeleka New york”
“New york City?”
“Ndio huko huko”
Jovvana aliingiwa na furaha na siku zote aliamini hilo lingewezekana kabisa kutokana na wazazi wake kuwa na uwezo kipesa na hilo alilijua.Ilivyofika usiku wa saa mbili walirudi nyumbani wakiwa wenye furaha.
***


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG