Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

SLAVE SEX SEHEMU YA 2/10


SLAVE SEX
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 2 KATI YA 10
*******

 Kukwepesha macho yake pembeni alishindwa akabaki ameduwaa anamtizama Rukia aliyekuwa
mbele yake yu uchi wa mnyama,Rukia alikuwa ni binti mdogo kati ya miaka kumi na tisa mpaka ishirini, maziwa yake yalikuwa yamesimama kama mmea wa katani,kifua chake kilijigawa vizuri katikati kilichoyatenganisha maziwa yake vizuri,akili ya Nickson iliacha kufanya kazi kwa muda, akahisi vitu Fulani vinapita mwilini mwake,akajikuta anashusha macho yake chini akakumbana na kitovu kizuri kilichoingia ndani na kikachongwa vizuri,chini kidogo akaona njia iliyoelekea mapangoni.
Mapigo yake ya moyo yalizidi kumwenda kasi.Pepo la ngono likamvaa.Hata kwa Rukia ilikuwa ivyo ivyo yeye alijawa aibu kubwa mno,kitendo cha kanga kumdondoka mbele ya bosi wake.Alitamani kuiokota kanga, lakini alihisi hana nguvu kabisa.Akabaki anahema juu juu huku jasho likimtoka usoni.
“Sama..samaaahani..Sam…ahani”
Nickson alijikuta anapatwa na kigugumizi cha ghafla ambacho hakuelewa kimetokana na nini,hapohapo aligeuka na kutoka kasi mpaka chumbani kwake,huku nyuma akimuacha Rukia akichukua kanga yake na kuiweka mwilini,alitetemeka mno,alielewa kesho yake asubuhi hana kazi,ivyo aliogopa sana.
Asubuhi ya saa kumi na moja Rukia akawa wa kwanza kuamka, akadeki nyumba nzima akafagia nje,akafuta kila sehemu yenye vumbi na kuweka kila kitu sawa,kisha kubandika chai jikoni,alivyomaliza kila kitu alitafuta kopo la maziwa na kuanza kufanya kama alivyoambiwa,alitengeneza maziwa ya mtoto na kusubiri bosi wake aamke kisha amchukue Sonia.
Nickson alivyoamka alikuwa teyari kasha vaa, wakati huo ilikuwa teyari imegonga saa moja na dakika mbili asubuhi,akatoka na viatu ili kwenda kuvivaa seblen,alishangazwa sana na usafi uliokuwa seblen.
“Rukiaaaaa”
Nickson aliita huku akiwa anaingiza soksi mguuni.
“Abee baba”
“Njooo”
Rukia akatokeza.
“Shikamoo baba”
Aliamkia kwa adabu zote huku goti moja likiwa chini.
“Marahaba,kuna ujumbe nilikuwa nataka nikupe, humu ndani kwa sasa hivi tunaishi watatu mimi wewe na Mama yake mtoto, ambaye ni mke wangu,lakini huyo usimuhesabie sana kwa sababu ni mtu wa kusafiri safari sio mkaaji wa hapa”
Nickson hakutaka kuweka mambo yake wazi,Alidanganya!
“Ndio baba”
“Anaweza akaja muda wowote ule,kwahiyo umuheshimu,sawa Rukia?”
“Ndio Baba Mimi nimekuelewa,mtoto keshaamka nimpe maziwa?”
“Bado lakini nitakupa ukae naye,embu maziwa nione kama umeweka vizuri”
Rukia akapita mbele ya Nickson jinsi alivyokuwa akitembea,ungedhani wenda anafanya makusudi,mtoto huyu wa kisukuma kwanza alijaaliwa kuwa na mguu mzuri mnene na mwendo wake aliutumia sawasawa,alivyokuwa akitembea lilikuwa tatito,Rukia alitingishika kwa nyuma.
Nickson akajikuta anamuangalia bila kutegemea kutokana na asubuhi alikuwa amevaa kanga ndiyo ikafanya vimlima vitokeze kwa nyuma vizuri.Dakika moja baadaye alikuwa mbele ya Nickson na chupa ya maziwa na kumkabidhi.
“Hapa sawa,ngoja basi nikuletee mtoto”
Nickson akasimama na baadaye kuja na mtoto mchanga Sonia na kumkabidhi Rukia kisha yeye akaondoka zake!
****
Baada ya Gloria kutorudi siku mbili nyumbani, Nickson aliendelea kufanya kazi kwa bidii na kujituma, hatimaye kesi iliyokuwa ikimkabili Mama wa kireno akashinda jambo ambalo halikutegemewa kabisa,alikuwa ana kesi ya kushiriki ujambazi na vithibiti vilikuwa wazi mpaka alama za vidole vyake vilikuwepo ili kumuweka mama huyo Gerezani,lakini Nickson alimtetea mpaka dakika ya mwisho akiwa kama wakili wake.
Kila mtu alibaki kinywa wazi, hawakuamini kama kijana huyu Nickson angeshinda kesi hiyo ambayo wazee wote waliobobea kwenye kazi ya uwakili waliikimbia.Nickson ilikuwa ni kama anajaribu bahati,Mama Monrova alifurahi sana na siku hiyo kabla ya kuondoka alimuita Nickson ndani ya gari lake.
“Mwanangu?”
Mama Monrova aliita,kuishi sana Bongo kulimfanya ajue Kiswahili.
“Naam Mama”
“Ahsante sana,sikutegemea kama ningetoka shika ,hili begi ni zawadi yako na mwezi ujao naenda nyumbani,nitakutumia visa uje kutembea kule tafadhali”
Mama aliongea huku machozi yakimlenga huku akitoa ‘briefcase’ jeusi alivyolifungua almanusura Nickson azimie, lilikuwa limejaa dola za kimarekani mpaka juu.Moyo wake ulienda mbio akahisi umepigwa ganzi.
“Hizi? Zote?Ahsante Mama lakini sio Mimi ni Mungu ndiye aliyefanya haya yote,naomba umushukuru sana Mungu”
Nickson akapokea ‘Briefcase’la pesa hapo hakutaka kurudi ofisini kwake akanyoosha mpaka benk CRDB mnazi mmoja na kuziweka ndani ya akaunti yake,hakutaka kumwambia mtu yoyote Yule,baada ya siku mbili Nickson alifanyiwa sherehe na kampuni, akaongezewa mshahara asilimia ishirini akapanda cheo hapo hapo,akazidi kung’aa akapewa gari nyingine ya kifahari aina ya Landcruiser v8,ilikuwa ni shangwe kwake.
Alilia kwa furaha akiwa anapeana mkono na Mzee Paul Kasera mkurugenzi wake.
“Hongera Nickson,umetufanya Tung’ae,pia hongera kwa kupata mtoto vilevile”
Mr.Paul Kasera alizidi kutoa pongezi zake.
“Ahsante bosi,Mungu akubariki sana”
Nickson alifurahi mno,siku iliyoitwa Jumapili alienda kanisani na kutoa fungu la kumi, akimshukuru Mungu kwa kila kitu na hakusahau kumuombea Mke wake Gloria aje kuwa mke mwema,bado alimpenda, alitamani wawe wote washerekehe mali hizo.

Nickson hakuwa mwanaume mjinga hata kidogo alikuwa msomi na siku zote aliamini ardhi ndiyo utajiri, akawasha gari na kuanza kutafuta viwanja,alitaka kununua kiwanja ili aanze kujenga harakaharaka, hakutaka tena kuishi kwenye nyumba ya ofisini.Mungu sio Athumani,jioni ya siku hiyo alipata kiwanja kimoja Yombo vituka na kingine Sinza,siku hiyo hiyo akafanya malipo akarudi nyumbani akiwa amechoka hoi bin taaban,akakuta chakula mezani tayari kimeandaliwa na Rukia.
“Pole baba”
Rukia alisema na kumnawisha mikono,alijihisi ni mwanaume, Rukia alimuhudumia kwa kila kitu akamuheshimu kupita kiasi,kwa huduma alizokuwa anapewa na Rukia kulimfanya aanze taratibu kumsahau Gloria ambaye mpaka siku ya sita hakuonekana nyumbani lakini mara chache huongea naye kwenye simu,Nickson akitaka kujua hali yake lakini hakutaka kujua ni wapi alipo.
“Ahsante Rukia,Mtoto amelala?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nickson.
“Ndio baba”
“Alikunywa maziwa?”
“Ndio Baba”
“Sawa Ahsante,wewe ulikula?”
“Hapana,nilitaka mpaka wewe ule”
“Hapana bwana,wewe uwe unakula hata kabla yangu”
“Sawa Baba”
Nickson alivyomaliza kula alimuendea Sonia na kumbeba,Machozi yalimlenga alivyomtizama Sonia, ghafla akamkumbuka Gloria wake,akazidi kulia zaidi,alisahau kwamba Rukia alikuwa pembeni yake, jambo hilo alilishuhudia,alitaka kuuliza lakini alijizuia sababu kulia kwa bosi wake halikuwa halimuhusu, kuuliza kwake ingekuwa ni kumuingilia faragha.
Nickson akatoka huku akivuta kamasi mpaka chumbani kwake,alichosikia Rukia ni jina Gloria huku bosi wake akilia wa sauti.
“Glori…a nini nimekukosea lakini,mbo…na huna shukrani au ki..sa mim…i sina pesa nyingi Ehh Mungu,naomba uingilie kati nampenda mk..e wa…ngu nampenda sa…na nampen.da mno,tafadhali”
Nickson alilia kwa sauti ya Juu ikasikika mpaka Kwa Rukia.
****
Gloria alizidi kuponda mali,alikuwa akizifaidi pesa za Mr.Zuma wakiruka kila kumbi ya starehe,Gloria akawa popo,hakulala usiku hata kidogo alikuwa akikesha disco akitanua, alishafundishwa mpaka kuendesha gari tayari, jiji la Dar es salaam kwake likageuka ‘pepo ndogo’,akajua kupiga honi hilo ndilo likampa kichwa akapata kiwewe,starehe za mjini zikampagawisha,alitembelea kila gari la Mr.Zuma mwanaume huyu alikufa akaoza kwa mke wa mtu alikuwa nyuma ya pazia,hakuelewa kuwa Gloria bado yupo na Mume wake,na kuhusu mtoto Gloria alimdanganya kuwa yupo kwa Baba yake alimchukua.
“Baby paki hapo Slip way,nataka nikamuone rafiki yangu mara moja”
Mr.Zuma alimwambia Gloria.
“Sawa”
“Nooo!paki hapo pembeni kwenye hiyo Landcruiser V8 nyeusi nadhani itakuwa rahisi ukitaka kutoka”
“Sawa baby”
Gloria akakata kona vizuri akaweka gari sawa kisha wakashuka ndani ya BMW X5 na Mr.Zuma mpaka kona moja iliyokuwa na giza,wote wakakaa na kuagiza vinywaji.
****
Nickson siku zote hakuweza kumsahau rafiki yake Tito, akamchukua nayeye mpaka Slip way kutokana na siku hiyo ilikuwa Jumamosi walipanga kwenda kunywa sehemu ya kidosi,ili kusherekea ushindi.
“Shayoo..,sasa bwana ngoja nikumalizie si unamjua Sakina yule mpaka wife akanifuma naye, Yule bwana sikufichi anagongana balaa,aiseee mimi na umalaya wangu wote Yule kibokoo,mtoto anakatika alalalalalaaaa,yaani mpaka unahisi masikio yanaziba”
Tito alikuwa akiongea huku akiwa na chupa ya Heinken mkononi.
“Punguza umalaya ndugu yangu,sio kitu kizuri kabisa”
“Ahhhh,shenziii nani kakwambia, wewe kama mlokole ni wewe,Mimi nishajichokea sasa hivi,nasafisha tu rungu,na na na na……”
Ghafla Tito alianza kusita kuongea na kuyagandisha macho yake mbele.
“Vipi?”
Nickson akauliza.
“Sio Gloria Yule?”
Nickson akageuka ghafla,moyo wake ukapiga paaaa,alivyotaka kusimama Tito akamshika mkono.
“Tulia,unaweza ukapigwa risasi,unaenda wapi?”
“Nitulie nini ni mke wangu Yule”
“Sawa,utulie sasa,subiri kwanza usikurupuke utaaaibika bure, unakumbuka uwanja wa ndege kilichokutokea”
Nickson akawa amebaki kimnya anamtizama mke wake kila anachokifanya.

GHAFLA MOYO WA GLORIA UKAKABWA NA wivu,akabaki anaangalia vizuri kaunta, akamuona mwanaume ambaye anamfananisha,haraka kumbukumbu zake zikawa zimerudi alikuwa ni Pedeshee Kway,kibaya zaidi alikuwa amekaliwa na Esta rafiki yake.Hasira zikamkaba,akajikuta amechomoka kwenye meza akiwa na glasi ya pombe na kutembea haraka mpaka kaunta,bila kuuliza chochote alim-miminia Pedeshee kway pombe kichwani yote,ikalowanisha nguo zake.Taratibu Pedeshee Kway akageuka ili kujua ni mwanaharamu gani amefanya kitendo hicho cha kumdhalilisha,macho yake yakakumbana na Gloria,akakasirika ajabu,akamtoa Esta miguuni mwake na kumzaba kofi kali lililompeleka chini chali.Kitendo hicho kikashuhudiwa na watu wote akiwemo Mr.Zuma pamoja na Nickson shayo, Mume wake wa ndoa.


 Kilikuwa ni kibao kilicholia kwa sauti, hata wahudumu waliokuwa wanahudumia vinywaji waligeuza shingo zao,walishtuka.Gloria alidondoka chini chali,Mr.Zuma kwa hasira akasogea karibu ili kujua ilikuwaje mpaka Mpenzi wake apigwe kiasi kile.
“Vipi,nini hiki?
Mr.Zuma aliuliza kwa ghadhabu.
“Muuilze Malaya wako”
Pedeshee Kway akajibu kwa nyodo na kugeuza shingo yake kaunta,hakutaka kujua habari nyingine.Nickson Shayo nayeye akasogea karibu akaenda akamshika mke wake.
“Gloria mke wangu,unaona haya yanayokutokea tafadhali rudi nyumbani bado nakupenda,rudi tukalee mtoto wetu”
Nickson aliongea kwa simanzi huku akimshika Mke wake mkono, akamuinua kutoka chini.Alikuwa
mpole sana hasa alivyomtizama Pedeshee Kway,akakumbuka alivyowekwa polisi na mateso yote.Mr.ZUMA ilibidi ahoji.
“Kwani huyu ni mkeo?”
“Ndio Blazza,huyu ni mke wangu wa ndoa”
“Sasa…wewe Gloria mbona sikuelewi?”
“Sio ivyo,sio ivyo…..”
“Sio ivyo nini?wewe si uliniambia huyu ni ndugu yako sijui ni binamu yako,mbona wanawake mnakuwa waongo waongo kiasi hicho,Hapana siwezi kuishi nawewe tena,nipatie funguo zangu”
Mr.Zuma hakuwa na utani hata kidogo,alimpora Gloria funguo za gari akaondoka zake,Gloria alivyotaka kumshika shati akasukumizwa mbali.Mr.Zuma akatoka nje.
“Unaona Nickson,unaona wewe ulivyoniharibia,hivi nikwambie mara ngapi kuwa sikutaki”
Gloria alifoka,Tito alisikia kila kitu yeye alibaki kimnya akiwatizama.
“Gloria nakuomba twende,kuna mambo nataka kukwambia utafurahi”
“Shemeji,nendeni mkayamalize nyumbani tu”
Tito akaingilia, akamsihi Gloria wote wakaingia ndani ya Landcruioser V8, Gloria akashtuka sana lakini hakutaka kuhoji,Walivyomshusha Tito nyumbani Kwake.Nickson na Mke wake wakanyoosha mpaka nyumbani kwao Tabata Segerea.
***
“Gloria huyu anaitwa Rukia na Rukia huyu ni mke wangu”
Nickson alimtambulisha Mfanyakazi wa ndani kwa mke wake baada ya kufika.
“Shikamoo Mama”
Gloria akamtizama Mfanyakazi huyu juu mpaka chini akamshusha tena kwa mara nyingine kabla ya kuitikia salamu.
“Marahaba”
Hatimaye akaitikia salamu,akanyoosha mpaka chumbani,alivyomuangalia mtoto wake alivyolala roho ya huruma ikamuingia akajikuta anamsogelea na kumbusu usoni akambeba mikononi.
“Sonia Mwanangu Mama yako nimerudi,Mwanangu nakupenda samahani kwa yote”
Sonia alikuwa amelala usingizi, hakuelewa lolote isitoshe alikuwa bado yu mtoto mchanga.Nickson akaingia akiwa anatabasamu,akafika nyuma ya Gloria na kumshika kiunoni shingo yake akawa ameiweka mebagani mwa mke wake wakawa wanamtizama mtoto wao mchanga.
“Mweke alale, nilikumisi sana mke wake wangu”
“Hata mimi Baba Sonia”
Siku hiyo ilikuwa ni furaha sana kwa Nickson Shayo,ilikuwa ni shangwe moyoni mwake!Wakamuweka mtoto kwenye kitanda chake na Nickson akamsogelea Gloria mdomoni wakaanza kulana denda,
wakasogea asteaste mpaka mlango wa bafuni wakaingia,huko kila mtu alimvua nguo mwenzake taratibu huku wakiendelea kunyonyana midomo kama njiwa.
Mapigo ya moyo ya Nickson yakamuenda kasi, damu ikamwenda mbio,shati lake likawa limetupwa kando, jinsi akaivua akabakiwa na boxa,kwa mikono laini Gloria akalishika Tango la Nickson taratibu akaanza kulichua.Nickson nayeye alianza kumvua Gloria nguo akazungusha mkono wake na kutoa LOCK ya sidiria mgongoni,Gloria akabakiwa bila nguo ya juu,hakufanya makosa akatoa ulimi wake na kuanza kumnyonya mke wake maziwa taratibu sana hususani juu ya chuchu zake.
Akapitisha mkono wake kwa chini mpaka kwenye pango akaanza kuchezesha kidole chake ndani,Gloria akawa hajiwezi tena,hisia zake zilishahama tayari,akajiona yupo mahali fulani anapaa angani vitu vyote anaviona kwa chini na kushika vizuri bomba la sinki na kutoa ulimi wake nje,Nickson akawa keshajua nini maana yake akamsogelea karibu akaumeza ulimi wa Gloria wakaanza kunyonyana midomo kwa fujo Zote.
Nickson akatoa Kaptula fupi aliyovaa Gloria kisha chupi kufuata,akaingiza kidole ndani ili kupima oil,akafanya ivyo huku Gloria akiwa ameyafumba macho yake anang’ata lips zake,mambo yaliyokuwa yakimtokea yakamuhamisha hisia zake,akajikuta anamtaja Nickson kwa sauti ya puani huku akizidi kuchua tango la mumewe,Nickson hakuwahi kufanya tendo hilo siku nyingi,haikuchukua hata dakika moja akawa amefika mshindo akamwaga Risasi,
lakini hakutaka mke wake aishie njiani,alizidi kucheza na mgodi huku akimyonya maziwa yake mpaka alipohakikisha nayeye amelowa madini yametoka tayari.
Majasho kwa mbali yakawa yamewatoka wakafungua bomba wakaanza kuoga kila mtu akimsugua mwenzake.Nickson hakuamini kama Gloria amesharudi teyari na yupo kwenye himaya yake.Kila kitu alikiona ni ndoto.Walitoka bafuni wakiwa wamelowa maji kila mtu akaenda kujifuta walivyopanda kitandani.
“Nickson,naomba unisamehee”
Goria alisema maneno na kumfanya Nickson amvute karibu yake,hakujibu lolote bali alimuendea mdomoni na kuanza kupigana mabusu ya ulimi,shughuli ilianza upya,siku hiyo ilikuwa ni kama wanafungua ukurasa mpya wa mapenzi yao.

Nickson akawa anakazi ya kunyonya chuchu za mke wake huku mkono wake ukiwa chini,Alivyohisi mkono wake umelowa akaona ndio muda muafaka wa kuchimba madini,Akampandia juu yake taratibu akamuweka nyoka wake pangoni akazama, mkono mmoja akauchukua akauweka begani.Nickson akaanza kujituma taratibu na kila baada ya sekunde tano alikuwa anabadilisha mikao.Gloria akawekwa Mbuzi kagoma hapo ndipo ikawa raisi kwa Nyoka wake kufika ukingoni, akabinuliwa vizuri. Nickson akazidi kupeleka majeshi majeshi.Vita ikaanza akapinduliwa tena,safari hii Nickson alichukua miguu ya Gloria yote miwili akaishika na kuiweka mabegani mwake, huku mdomo wake ukawa unanyonya shingo ya Gloria,akawa hajiwezi tena.
“Assshs aaaaaah…..Niii…..ckson…..aaaah sssshssss mhhhhhh asssshhhhhh aaaaaaau aaaaaah Nick..son ivy…o ivyo….usiniachi…..e naku…pend…a mumeeee wangu”
Ivyo ndivyo Gloria alisikika akisema kwa sauti ya kudeka,alikuwa haelewi analolisema hiyo ndiyo ikazidi kumpa Nickson midadi zaidi,akaendelea kufanya juhudi za kukizungusha kiuno chake.Dalili zilionesha kuwa Gloria ndiyo anakaribia kufika kitonga.Hilo Nickson alilitambua, alivyofika tu kitonga akazidisha kasi baada ya sekunde kama mbili akawa yupo juu kifuani mwa Gloria nyoka wake bado yu ndani ya Mgodi.
****
Maisha yaliendelea nyumbani hapo kama kawaida.Hatimaye Gloria akawa ametulia hatoki tena nyumbani, alimuomba msamaha Nickson kwa yote yaliyotokea.
“usijali Gloria,Mimi nilishasahau haina haja ya kukumbushiana ya nyuma”
Nickson alisema siku hiyo wakiwa chumbani baada ya kurudi kazini.
“Kweli Mume wangu?”
“Ndio,alafu kuna kitu nataka nikwambie”
“Kitu gani?”
“Nimenunua viwanja”
“Wooow!”
“Ndio,Jumamosi tutaenda ukavione nataka tuanze kujenga nyumba yetu sasa”
“Mume wangu,Mungu atatuongoza”
“Amen,mke wangu”
Wote wakakumbatiana na kupeana haki yao kama wanandoa.

HAKUNA KITU KILICHOMUUMIZA MAGUGU kama kwa Nickson kupandishwa cheo kazini,hilo aliliweka wazi,ikawa baada ya Magugu basi cheo kinachofuata alikuwa Nickson,hakuweza kumfokea kama mfanyakazi wa kawaida aliogopa kushtakiwa.Nickson alikuwa ana nguvu kwa wakati huo na manyanyaso yakapungua,lakini licha ya Nickson kupandishwa cheo bado alikuwa ana hamu na Gloria.
Bado picha ya mke wa Nickson ilimjia kichwani.
“Sijui nitumie njia gani hapa?”
Aliwaza Magugu akiwa ofisini kwake.Alishindwa kupata jibu siku hiyo akabaki tu anawaza.
***
Maisha ya ndoa yalikuwa ya raha mustarehe kabisa,Wazazi wake na Gloria wakawa wameingia jijini Dar es salaam wakafurahi kumuona Mjukuu wao,Gloria siku hiyo akaingia jikoni akapika, wakala.
“Hongereni sana”
Mzee Urio alisema baada ya kula chakula,alifurahi kuwaona watoto wake wana amani ndani ya ndoa.Wazazi walikaa Dar es salaam kwa kipindi cha siku saba wakaaga na kuondoa wakiwaacha wanandoa na kurudi mkoani Kilimanjaro,Moshi.
“Twende leo tukaangalie kule shamba kunaendeleaje”
Nickson alimuomba mke wake siku hiyo asubuhi kulivyokucha.
“SAWA”
Gloria akakubali,wakajiandaa,siku hiyo hawakutaka kumuacha Sonia, wakamvalisha nguo wakamuacha Rukia peke yake nyumbani,hao wakaondoka mpaka Yombo,uwanja ulishaanza kuwekwa sawa kwa ajili ya ujenzi kuanza,huko walikaa mpaka jioni kisha kurudi nyumbani,Nickson akawa ameingia bafuni.
Hakuna kitu kilichomuuma kama alivyomuona Esta anakatiza nje na kuingia nyumbani kwake,kwa kuwa walikuwa majirani aliinuka na kuweka tenge lake vizuri akaenda mpaka nyumbani kwa Esta.
“wewe Malaya,uliyekosa haya….”
Gloria badala ya kutoa salamu alianza na matusi.
“Malaya ni wewe usiyeweza kutulia kwenye ndoa yako,kutwa kiguu na njia”
“Mnafki sana wewe,sikujua kama wewe ni nyoka mshenzi,mwanamke huna haya hasidi”
“Toka kwangu,wacha kelele zako”
“Sitoki,lazima nikufunze adabu leo”
“Heee”
Gloria alimsogelea Esta na kumnasa kibao kikamfanya ayumbe,alimsogelea na kuanza kupigana, wakaanza kuangushana huku na kule,wakatupana chini.Esta akasimama na kukaa juu ya Gloria akaanza kumpiga vibao,wakabinuana mpaka jikoni, ambapo mafuta ya chips yalikuwa jikoni yameiva.Katika kupigana Gloria akasukumizwa mpaka kwenye jiko la gesi ambapo alitingisha Sufuria kubwa lililokuwa na mafuta ya chips likamwagikia Gloria usoni,Uso wote ukababuka.
“Mamaaaaaaaaaaaa”
Gloria akaachia ukulele wa maumivu.


 Mafuta ya chips yaliyokuwa juu ya jiko la gesi teyari yalikuwa usoni mwa Gloria yakambabua ngozi yote ya usoni,hakutofautishwa na mfupa wa ng’ombe, ngozi yake ikawa kama imegeuzwa ndani- nje.
Alilia kwa uchungu huku akikaa chini taratibu, maumivu aliyoyasikia hakuweza kuyafananisha na kitu chochote kile,akawa analia huku anataja jina la Nickson,Wakati huo Esta alikuwa ameshakimbia tayari, hakutaka kukutwa kabisa na kesi hiyo au kwenda kuisaidia polisi.
“Nicksoooon nakufa mume waaanguu…nisaaaidieee”
Nickson akiwa bafuni alisikia sauti kama ya mtu anamuita,alijua sana ni ya mke wake Gloria, lakini hakutaka kuliamini jibu hilo moja kwa moja,akafunga bomba la mvua ili kusikiliza vizuri,sauti ikawa inazidi kupaa na kuita jina lake.
“Gloria!Gloriaaa!Gloriaa”
Nickson aliita ili kulihakiki jibu lake,kwasababu alimuacha Gloria chumbani muda wa dakika mbili uliopita kabla ya kuingia bafuni kuoga, isingewezakana kabisa akawa yeye,akajifunga taulo na kutoka bafuni,alivyomkosa haraka akarukia pensi yake kitandani na kuiweka mwilini, akatoka nje kama mkuki na kufanya agongane kikumbo na Rukia,hata yeye alikuwa njiani kugonga chumba cha bosi wake kumpa taarifa juu ya Gloria,
kitendo cha Nickson kutoka alijua fika nayeye aliisikia sauti ikitokea jirani ikiomba msaada.Nickson hakuelewa mke wake amekumbwa na nini, sauti ya kuomba msaada ilimshtua zaidi,akatembea kwa hatua mbili mbili.
“Gloriaaaa,Gloria”
Aliita huku akifungua mlango taratibu, ambao ulikuwa umesindikwa tu,akatembea mpaka sauti ya Gloria ilipo,Moyo wa Nickson ukapiga paaa!alishtuka na majasho yakaanza kumtoka mwilini baada ya kumuona mke wake amebabuka uso, ngozi yake ikiwa inaning’inia.Alikuwa ni kama mtu aliyechanganyikiwa,alishindwa ni kitu gani akifanye kwa wakati huo.

Haraka haraka alirudi kwake na kuomba msaada wa watu kumsaidia ili kumuingiza Gloria ndani ya gari.Gari likasogezwa na Nickson karibu kabisa na mlango, Gloria akapakiwa.Kwa spidi aliyotoka nayo Nickson ilitisha, kila mtu alilishangaa gari lake likiwa linatimua mavumbi,wengine wakadhani wenda ni gari la majambazi limetoka kuvamia benki.
Nickson alikanyaga mafuta na Landcrusier V8 likazidi kuchanja mbuga.
“Gloria,nini kimekupata mke wangu,ilikuwaje tena?”
Nickosn aliuliza huku akiwa katika kasi ya ajabu.
“Nicksoooon, Ngipfyaaa,Ngipfyaaaaa Nickson”(NICKSON nakufaa nakufaa Nickson”
Gloria akawa anaongea kwa kichaga,maumivu aliyokuwa akihisi yalimtisha,wasamalia waliokuwa pembeni yake walimuonea huruma.Kutokana na siku hiyo hakukuwa na msongamano wa magari waliweza kufika hospitali ya madona ndani ya dakika kumi.

Nickson akaweka mguu kati haraka akaruka kama mwanajeshi akiwa na kipensi,akiomba msaada kwa wauguzi.
“Kaka vipi imekuaje?”
Nesi mmoja aliuliza baada ya kumshusha Gloria kwenye gari.
“Sielewi, tafadhali naombeni huduma ya kwanza”
“Sawa,twendeni huku nadhani mafuta ndiyo yamemuunguza,pole dada”
Nesi alitoa pole lakini Gloria aliendelea kulia kwa sauti kubwa.
Nickson alichanganyikiwa kupita kiasi,maumivu aliyoyapata moyoni mwake yalizidi hata ya Gloria,walikaa hospitali takribani masaa matatu wakiwasubiri wauguzi wawape majibu.
“Vipi imekuaje,vipi hali ya mke wangu?”
Nickson akamuuliza Muuguzi mmoja aliyetoka wodini.
“Usiwe na presha anaendelea vizuri,tumemchoma sindano ya maumivu sasa hivi anaendelea tu vizuri na tumpaka dawa ambazo zitamsaidia”
“Naweza nikamuona?”
“Sawa,nifuate”
Dokta Mbele Nickson akawa nyuma yake mpaka chumba alicholazwa Gloria,ambapo kwa wakati huo alikuwa ana bandeji usoni mwake,alivyomuona Nickson, alilia tena.
“Gloria usilie sasa,kwani nini kimetokea?”
“Nickson,naomba unisamehee”
“Mimi nishakusamehee,niambie imekuwaje na unaendeleaje?bado unasikia maumivu?”
“Wamenichoma sindano ya maumivu,sasa hivi sisikii maumivu tena Nickson”
“Pole mke wangu utapona,sawa Mungu yupo”
“Ahsante”
Gloria alilia sana na kuanza kuhadithia kila kitu kilichotokea tangu walivyokutana na Pedeshee kway na Esta kumkuwadia,alijilaumu sana na alimuomba sana Mme wake msamaha,ni kweli alikiri makosa yake na alijiona mkosaji mbele za Mungu.Wakati mwingine aliona kama Nickson ana mdhiaki tu kwani hakuna binadamu ambaye angesamehewa makosa kama hayo,yalikuwa ni mapenzi mazito kutoka kwa Nickson.Hilo alilijua siku hiyo na tangu walivyorudiana.
“Nickson naomba unisamehee,sitorudia tena”
Gloria alisisitiza.
“Mimi nilishakusamehe Gloria,nilikusamehe kabisa,na ndiyo maana mpaka leo upo na mimi,naomba tugange yajayo,yaliyopita si ndwele”
“Ninakuhaidi nitakupenda daima”
“Tuachanae na hayo,tutaongea siku nyingine kwanza inabidi upatiwe matibabu kwanza”
Matitabu yaliendelea tangu siku hiyo,Gloria alikuwa akiwekewa bandeji yenye dawa na kufungwa kila siku,kila Nickson akitoka kazini ilikuwa ni lazima apite hospitali kumjulia hali mke wake kisha arejee nyumbani na wakati mwingine walikesha wote hospitali,mpaka Gloria aliporuhusiwa kwenda nyumbani baada ya siku saba kufika.
Nickson alimchukia Esta Vibaya sana lakini hakuwa na la kufanya sababu alijua sheria ingembana.
“Ningemfunga Esta,lakini wewe ndiye uliyeenda kwake kufanya fujo.kisheria hiyo unashtakiwa Gloria, sina kifungu cha kumbana ila angekuja hapa nyumbani na kuyafanya haya,ningemfunga kifungo cha maisha,hakyanani”
Nickson alimuongelesha Gloria siku hiyo baada ya kuulizwa kuhusu Esta kama alichukuliwa hatua yoyote.
“Kwahiyo huwezi hata kumshtaki?”
“Siwezi hata kidogo,sheria itanibana mimi,tumshukuru Mungu tu umepona na keshokutwa unaenda kutolewa hiyo bandeji”
“Ahsante Nickson,nataka kwenda kulala”
“Hapana,Rukia anakutengenezea Uji,We Rukiiaaaaa”
“Abeee Baba”
Rukia aliitikia akiwa jikoni.
“Huo uji bado tu?”
“Ndio naweka sukari baba”
“Haya fanya haraka basi”
Baada ya dakika moja Rukia alitokea na kumkabidhi Nickson kikombe cha uji,Nickson akawa ana kazi ya kumnywesha mkewe mpaka ulipoisha.
Siku zote Gloria aliomba Mungu sura yake isije ikawa imeharibika na mafuta mabaya yaliyomuunguza usoni,asilimia arobaini ya sura yake aliamini kuwa ingekuwa imebabuka vibaya mno.
********
Kama kuna siku ambayo Gloria hatoisahau maishani mwake ni siku hiyo ambayo alifunguliwa bandeji usoni,alishtuka na kuangua kilio baada ya kuomba kioo ajitizame,hakujitofautisha na nyama mbichi ya Nguruwe,uso wake uliharibika vibaya sana.Hakukuwa na namna ya kubadilisha ukweli huo,sura yake nzuri iliyokuwa nyeupe ya kung’aa sasa iliharibika na kuwa ya kutisha,hakuna mwanaume yoyote hata angekuwa kipofu angempenda Gloria.Nickson aliyekuwa mbele yake alishtuka hata yeye lakini hakutaka kujionesha waziwazi kuhofia kuwa angemvunja moyo mke wake.
“Yesu waaaaaanguuu,Nickson sura yaaaangu….naomba sura yaaangu”
Gloria alizidi kulia.
“Dada usilie,utapona tu taratibu taratibu kuna madawa tutakupa utatumia,mbona hali yako nzuri kabisa”
Nesi alijaribu pia kumfariji.
****
HALI ALIYOKUWA NAYO Gloria ilimtesa sana Nickson,moyoni aliumia sana kumuona mke wake anateseka, sura yake ikiwa ina mabaka kama gari la jeshi,ukapita mwezi mzima bila mafanikio makovu hayakuweza kupotea.
“Duuu nimekumbuka,ngoja nimtafute Nyagogo,aliniambia china kule alimpeleka mke wake akafanyiwa surgery akapona”
Nickson akamkumbuka rafiki yake Nyagogo mfanyabiashara anayemiliki maduka mengi Musoma na jiji la Dar es salaam,huwa anaenda china kupakua mizigo kisha kurudi.Akachukua simu yake ili kujaribu kama yupo China au bado Tanzania, hakuweka matumaini asilimia mia moja.
“Griii griiiii”
Bahati nzuri simu ikaita akafurahi na kukohoa kidogo!
“Hallooo”
Upande wa pili ulisikika baada ya simu kupokelewa.
“Naongea na Nyagogo?”
“Ndio,nani mwenzangu?”
“Nickson Shayo”
“Nickson Shayoo?,Nickson shayooo…aaaaaah Mangiiiii aise vipi bwasheee?,unanitenga sana siku izi nilikuwa naitafuta sana namba yako,ukawa hupatikani”
“Ile namba nilibadilisha,ndiyo maana ukaona kimnya,vipi biashara?”
Nickson alianza mzunguko kabla ya kusema jambo lililomfanya apige simu.
“Ivyo ivyo tu,biashara bado ngumu,tunawajibika”
“Bado unafanya biashara zako china?”
“Ndio,naanzaje kuacha”
“Unaenda lini tena huko Mzee?”
“Baada ya wiki mbili”
“Sasa,kuna kitu naomba unisaidie Mzee,nina matatizo kidogo nimepata”
“Nini tena?”
“Mke wangu ameungua na mafuta sasa nataka kidogo,akapigwe sop sop huko China,wamuweke sawa”
“Ahaaaaa,sasa hakuna tabu wewe weka mambo sawa tu”
“Hilo ondoa shaka,nitawasiliana nawewe kesho kutwa hapo tuanze taratibu inakubidi uje utokee huku”
“Lazima nije kutokea huko Dar Nickson”
“Basi sawa Ahsante”
Simu ikakatwa.Nickson akawa na furaha ya ajabu,ilivyofika jioni siku hiyo alivyorejea,habari ya kwanza alimwambia mke wake juu ya yeye kwenda nchini China.Gloria akafurahi kupita kiasi.
“Lakini utaenda peke yako,mimi nitabaki kazini pia inabidi nimwangalie Sonia”
“Sawa Mme wangu”
Kwa kuwa Nickson alikuwa na pesa Benki alienda kuchota na kuanza kufanya taratibu za visa na tiketi,haikuchukua muda mrefu kupitia kitambulisho chake cha serikali akizuga kuwa mke wake anahitajika mahakamani kutoa ushahidi wa kesi,visa ikawa imetoka baada ya wiki moja.Akawa anasubiriwa Nyagogo afike Dar es salaam ili baada ya siku mbili safari ya Kwenda china katika jiji la Beijing ianze.
****
KILA KITU ALIPEWA KUANZIA PICHA YA GLORIA MPAKA PESA ZA MATUMIZI, Gloria na Nyagogo walikuwa wapo ndani ya shirika la ndege ya Kichina,kila Nyagogo alipoitizama picha ya Gloria alishtuka,uzuri wa msichana huyu ulimtisha kupita kiasi,akaanza kumkagua akashusha macho yake mpaka kwenye kifua cha msichana huyu ambayo yalionekana kwa juu kidogo,weupe wa kifua cha mke wa rafiki yake ukawa umevuruga akili yake.
“Huyu nikimfanyia Surgery namuoa huko huko,Nickson hapa hana chake,huyu namkarabati mpaka shepu,nampiga kalio la kichina lile, Nickson Kushneiii”
Nickson ikawa kama amemkabizi fisi bucha la nyama.


 Macho ya Nyagogo yakawa yana kazi ya kukagua kila kitu kilichokuwa mwilini mwa Gloria,akampandisha juu chini,akamvua nguo kihisia na kumchungulia mpaka ndani, akamuona kila kitu,akajipeleka kitandani na kufanya naye ngono,sehemu yake ya uzazi ikajikuta imesimama imara,safari nzima wakiwa ndani ya ndege walikuwa kimnya mpaka muhudumu wa ndege alivyopitisha tololi la vinywaji.
“Gloriaaa”
“Beee”
“Kinywaji gani unatumia?”
“Chochote tu”
“Wine vipi?”
“Mhhh sawa”
Muhudumu akamimina wine kwenye glasi mbili kisha akaendelea kuwahudumia wengine,usiku kucha walikuwa angani na muda wote Nyagogo alimpa Moyo Gloria kuwa kila kitu kitaenda sawa kama kilivyopagwa,hata siku moja hakuweza kuisoma akili ya Nyagogo,ni wazi kuwa alikuwa anaenda kumpa msaada lakini haukuwa wa bure hata kidogo,Gloria baada ya kufanyiwa Surgury alihitajika kimapenzi na wala sio kitu kingine,
Baada ya ndege kutua vituo vingi, hatimaye ikagusa ardhi ya jiji la Beijing nchini China,ikaserereka na kutembea kwa kasi kisha kusimama kabisa.kulikuwa tayari kumechuka.Abiria walianza kushuka mmoja baada ya mwingine,Nyagogo alifurahi kufika nchini humo salama salmin.Hakupoteza muda hata kidogo akatafuta moja ya taxi ikawapeleka mpaka kwenye moja ya Hotel anayofikiaga Nyagogo,ili kumtoa wasiwasi Gloria, hapo hapo akamtafuta Nickson kwa njia ya simu.
“Halloo,unaongea na Nyagogo”
Nyagogo alijitambulisha.
“Vipi Nyagogo,mmefika?”
“Ndio,tumefika ndiyo nataka kuanza kufanya utaratibu wa matibabu hapa,baadaye kidogo nataka niongee na daktari wa Sajari,ili mambo yaende harakaharaka,Kesho tu Mkeo atakuwa supa”
“Aisee ahsante sana,naomba nizungumze naye kidogo”
Hapo hapo Gloria aliyekuwa pembezoni akapewa simu ili aweze kuongea na mume wake.
“Darling”
Gloria akaanza kuongea.
“Yes baby wangu,pole na safari nina amini utapona kabisa,usiwe na wasiwasi ninafanya haya yote sababu nakupenda sana,nakupenda sana Gloria,nakupenda mno”
“Nakupenda pia Nickson,nakupenda ninahaidi nitakupenda daima”
“Itabidi uongozane na Shemeji yako leo mtaenda Hospitali”
“Sawa Darling”
Simu akarudishiwa Nyagogo wakaagana na Nickson.
Bila kupoteza wakati Nyagogo akaanza mikakati ya kuongea na madaktari wa Surgery waliokuwa katikati ya jiji hilo la Beijing, haraka akamtafuta dokta Hong Lee daktari bingwa wa kucheza na miili ya binadamu.
“Uko wapi?”
“Mimi iko hospital,thatha si thawa,uko hapa china,uko hapa china?”
Dokta Hong Lee alizungumza Kiswahili kibovu,kutokana na watanzania wengi kwenda kwake kuweka makalio yao sawa na kuchonga shepu zao ikamfanya ajue Kiswahili cha kuokota!
“Nina kazi,nataka kuja kukupa nakuja na binti”
“Mimi ipo hapa,njoo saa hii njoo thawa nipo thuu”
Mazungumzo yao yakaishia hapo akamtaka Gloria ajiandae harakaharaka kwa ajili ya kwenda kufanya utaratibu wa kuweka sura yake sawa,jambo la kuukarabati uso wa Gloria likageuka na kuwa shangwe kwa Nyagogo,kichwani mwake kulimiminika vitu vingi mno na aliapia kwa gharama yoyote ile lazima amvue binti huyo nguo yake ya ndani iwe kwa kumbaka au kwa hiyari yake,tamaa ya mwili ili mwingia akawa akimtizama mpaka Gloria anaangalia chini akiwa anaona aibu,kuna kitu kisichokuwa cha kawaida Gloria alijifunza machoni mwa Nyagogo.
“Inaelekea una aibu sana?”
Nyagogo alianzisha maongezi wakiwa ndani ya lift peke yao.
“Hapana kawaida”
“Sio kweli,usiniogope bwana,nataka ukimaliziwa hii sajari tutembee tembee huku Beijing twende Bangkok na Hongkong”
“Mhhh…Siku nyingine tukija na Nickson,ndiyo tutambea”
“Ahhhh Shemeji,sio vizuri si tulikuja wote basi turudi wote”
“Hakuna shaka”
“Sawa”
Baada ya kufika gorofa ya chini, lift ikatoa mlio kisha kufunguka hao wakatembea mpaka kwenye moja ya taxi,ambapo walimkuta dereva wa taxi wa kichina wakamuomba awapeleke Tong Surgery Clinic kwa Dokta Hong Lee,umaarufu wa daktari huyu wa kichina ukawa umewaraisishia kazi,mara moja taxi ikaanza safari, tena bila ya dereva kuuliza kitu kingine chochote wakakata mtaa ulioitwa Teng Street, wakanyoosha moja kwa moja na barabara ya Lai kisha wakatokea katika gorofa refu lililoandikwa Tong Surgery Clinic kwa maandishi makubwa,hapo ndipo ulipokuwa mwisho wa safari yao,Dereva akalipwa ujira wake kisha Nyagogo na Gloria wakashuka.
Gloria alishangazwa sana na urefu wa gorofa hilo kwenda juu.
“Twende ndiyo hapa,yaani ukitoka hapa hata Nickson atakusahau”
“Kweli?”
Gloria aliuliza huku akitabasamu,aliichukia sura yake na akajichukia nayeye kwa ujumla,wakapanda ngazi mpaka mapokezi kisha kuingia ndani ya ‘Elevetor’Nyagogo akabonyeza kitufe namba tisini na saba,na lift hiyo yenye vioo ikaanza kupanda kuelekea juu.
Kwa kuwa Dokta Hong Lee alikuwa akijua ujio wao alikuwa teyari nje ya mlango akiwasubiria kwa hamu zote,
Ufupi wa dokta huyu na macho yake madogo vilimfanya akae vizuri ndani ya koti jeupe,akawaongoza Nyagogo na Gloria mpaka ndani,moja kwa moja wakaingia ndani ya chumba chenye mitambo mingi.
“You choose thiia thiaaaaa”
Dokta Hong Lee aliongea huku akisonta kidole chake juu ya kompyuta,alichukua picha aliyopewa na Nyagogo kisha kuikagua.
“I want also her to have a Bams!a big Bam,Do you know Bams Doctor Hong?a big ass like mountain everest”(nahitaji pia awe na makalio makubwa,makalio makubwa,unajua makalio wewe,Dokta Hong,matako makubwa kama mlima everest)
“Big Bang,big bang like this one?”
Dokta Hong Lee alijaribu kumuonesha Nyagogo wasichana waliokuwa ndani ya Kompyuta yake,waliokuwa na makalio makubwa.
“Yes,yes,yes, like that one”
“Okay go and seat there,seat there”
Baada ya maelezo mafupi Dokta Hong Lee akainuka kitini akaenda kwenye mtambo mkubwa uliofanana na mashine ya kukobolea mahindi,akabonyeza namba Fulani kisha kurudi kwenye kompyuta yake.
Akasimama tena akamchukua Gloria na kuingia naye kwenye chumba kikubwa chenye mitambo ya umeme,kulikuwa kuna baridi kali sana,Gloria akaambiwa aingize uso wake ndani ya kitu kama wiving la nywele kisha likameza sura yake.
*****
Ni dhahiri kwamba Gloria alikuwa mzuri kupita kiasi,sura yake ikawa imerudi kama kawaida,mbali na hiyo makalio yake yaliongezwa na kuwa makubwa yakatengeneza vimlima pembeni akawa amechongwa vizuri,kiuno chake kilikuwa chembamba kama dondora, shepu yake ikafanana na Chungu au kibuyu cha maziwa,Nyagogo kwa mshangao akawa ameweka mkono wake kinywani ni wazi alikuwa kama haamini uzuri wa Gloria.Alimtizama juu mpaka chini.
“Hapati kitu hapa”
Nyagogo akajikuta anaropoka kwa sauti na kumfanya Gloria amtizame.
“Nani hapati kitu?”
“Hapana,siongei nawewe nina mawazo kwelikweli,kuna mtu mmoja amenichanganya akili yangu sana”
“Shemeji ahsante sana”
Gloria alivyokwenda kwenye kioo alishtuka hata yeye,hakujiamini ni kweli alikuwa ni yeye kwenye kioo,kufumba na kufumbua alikuwa teyari yu mzuri tena mara tatu yake,Dokta Hong Lee alifanya zoezi hilo kwa muda wa siku tatu tu.
“Gloria nisubiri kidogo nikaongee na Dokta”
“Sawa”
Nyagogo akafungua mlango wa daktari na baadaye alitoka na kichupa kidogo cha dawa kisha kuondoka zao kurudi hotelini,baada ya kufika ilikuwa teyari jioni,Siku hiyo Nyagogo aliamua kufika Chumbani kwa Gloria alikaa naye na kupiga stori mpaka saa tatu ya usiku.
“Gloria”
“Abee”
“Hii dawa nilipewa na Dokta,alisema uweke kwenye chai kabla ya kulala,ili hiyo ngozi yako ikae sawasawa”
“Sasa chai nitapata wapi sasa hivi usiku shemeji?”
“Ngoja niagize”
“Ohh sawa”
Haraka Nyagogo akapiga simu mapokezi ili atengenezewe chai.Baada ya chai kuwekwa Nyagogo akatoa kichupa kidogo akaimimina dawa ambayo Gloria aliambiwa kuwa ya matibabu,kisha kuikorogea ndani ya chai.
“Kunywa tu usiogope”
Nyagogo alisisitiza.Bila kinyongo chochote isitoshe ndiye mtu aliyemsaidia, Gloria alijikuta anakunywa chai yenye dawa,mara ghafla akaanza kuhisi kichwa chake kizito hapo hapo akaweka kichwa chake juu ya meza,akapotelea usingizini.Alichofanya Nyagogo ni kumchukua Gloria na kumlaza juu ya kitanda ,haraka akavua nguo zake kwa kasi ya umeme akaanza kumvua nguo Gloria moja baada ya nyingine.
Weupe wa Gloria ukazidi kumchanganya akili,hatimaye akamvua nguo zote akaipanua miguu ya Gloria na kujiingiza katikati yake.

 Alikuwa ni kama yupo ndotoni,hakuamini kwamba Gloria yupo naye kitandani, tena kamvua nguo zake zote akawa kama mtoto aliyetoka kwenye tumbo la mama yake,jambo hilo lilikuwa ni usaliti wa hali ya juu, lakini yeye aliona ni sawa,alishaamua kumsaliti Nickson kwa kulala na Mke wake akifanya naye ngono,tayari alishamlewesha madawa ya Kulevya,akaipanua miguu ya Gloria huku na kule kisha kuitumbukiza karoti yake katikati ya Shimo,akawa anajiburudisha mwenyewe,Gloria alikuwa katika usingizi mzito, hakuelewa ni kitu gani kinaendelea kitandani,Nyagogo alizidi kutoa mihemo huku akipeleka majeshi majeshi kwa mwanamke huyu asiyekuwa na fahamu,asingejua ni jinsi gani angemueleza endapo atazinduka na kukuta ameingiliwa kimwili.

Nyagogo alimaliza Round ya kwanza bila kuamini akamtizama Gloria tena jinsi alivyokuwa mweupe mno,Jogoo wake akapanda tena Mtungi,safari hii akamgeuza kisha kumpandia kwa juu na kuzidi kufanya mashambulizi hayo,
dawa aliyompa Gloria ilikuwa ni kali,ilikuwa ina uwezo wa kumfanya mtu alale kwa masaa kumi,alivyomaliza alimuingilia tena na tena.
Alivyohitimisha adhma yake alimnawisha vizuri na kumpangusa akamlaza kitandani nayeye kutoka nje.
****
“Mhhhhh”
Gloria aliguna baada ya kuzinduka kitandani asubuhi ya saa tano akiwa hoi bin taaban,akarajibu kuvuta kumbukumbu zake nyuma ilikuwaje akafika kitandani zikagoma kabisa,mara ya mwisho alikumbuka alikuwa anakunywa chai kisha kuanzia hapo hakuelewa ni kitu gani kiliendelea.
Akagutuka na kufungua shuka akajikuta yu uchi wa mnyama hana nguo hata moja,alivyozigusa sehemu zake za siri zilikuwa salama,hakukumbuka kabisa kama aliingiliwa kimwili usiku uliopita japo alihisi hali ya utofauti,

Kilichomsumbua zaidi zilikuwa ni nguo zake kuzikuta chini.Picha ya Nyagogo ikamjia na akili yake ikamtuma kuwa wenda ndiye yeye alifanya hayo,lakini hakutaka kuyapa majibu hayo asilimia mia moja.
“Au itakuwa nimezivua mwenyewe nimesahau,lakini sidhani….”
Gloria alijiuliza na kujijibu mwenyewe mpaka alipopigiwa simu na muhudumu kuwa muda wa kifungua kinywa umefika,akasimama kivivu akiwa na shuka mpaka bafuni ambapo alikifikia kioo,alijishanga bado jinsi alivyokuwa mzuri wa kuvutia,hakuelewa amshukuru vipi Nickson Mume wake,akatamani apae siku hiyo hiyo akampige mabusu mengi mume wake kama shukrani,Mapenzi aliyokuwa nayo Nickson kwake hata shetani aliyaogopa hilo alilijua dhahiri.
Huko bafuni akapiga mswaki akanawa na kurudi kuvaa nguo zake,nguo alizovaa zilianza kumbana kimtindo!
akagundua kuwa ameongezeka kiasi, alivyopiga jicho nyuma ya kalio lake akajua kuna mabadiliko yalifanyika ya kimaumbile,akazidi kuchanganyikiwa alivyokuwa anayaona makalio yake yamezidi akakumbuka ule msemo’Mwanamke shepu sura hata mbuzi anayo’akatabasamu mwenyewe!
Hakukaaa sana mlango wake ukagongwa na Nyagogo akaingia, lakini uso wake ulionekana ni kama mtu anayeona haya,sababu mara nyingi alikuwa akiangalia chini ni dhairi kuwa aliona aibu kwa kitendo alichokifanya usiku wake wa jana.
“Vipi Shemeji?”
Gloria ndiye akawa wa kwanza kuvunja ukimnya.
“Safi tu,naona ushapendeza twende tukapate kidogo chai chini”
“Oooh! sawa”
Wote wakatoka Gloria akapita mbele,Nyagogo akawa ana kazi ya kuviangalia vimlima kibo na Mawenzi,bado moyoni aliendelea kuapia kwamba Nickson hana chake.Walishuka chini wakaenda kunywa chai na vitu ambavyo Gloria hakuvielewa.
“Hivyo vidude vitamu”
“Vi nini?”
“Hivyo tulivyokunywa na chai”
“Unajua ni vitu gani?”
“Hapana,ni vitu gani?”
“Nyoka wale”
“Niniiiiiiiiii?”
Gloria alishtuka na kuhisi kichefuchefu cha ghafla.
“Nakutania,sio nyoka”
“Sema ukweli shemeji”
“Haki ya Mungu tena, sio nyoka,ni vikababu vimechanganywa na nyama za kusaga”
“Ulinitisha”
“Nataka leo nikupeleke mahali Fulani utaenjoy sana”
“Wapi hapo tena?”
“We utaona mwenyewe,sitaki kuongea maneno mengi”
Baada ya kulipia kila kitu wakainuka na Nyagogo akaita moja ya Taxi zilizokuwa hapo karibu yao,ikatembea mpaka katikati ya jiji la Beijing, huko wakatafuta Treni ya umeme,mambo yote yaliyokuwa yanamtokea Gloria yalikuwa mageni mbele ya macho yake,treni za umeme alizisikia na leo hii yupo Ndani yake anazungushwa kwa kasi,mara treni ikasimama wakashuka.
“Hii ndiyo treni ya umeme?”
Gloria aliuliza, japo jibu lilikuwa wazi!
“Ndiyo,ndiyo hili! China wameendelea sana”
Wakatembea kidogo na kupanda mabasi makubwa,Gloria alishangazwa na wachina jinsi walivyokuwa wakiishi asili yao kiujumla,wote walifanana, isingekuwa wanawake kuwa na nywele ndefu basi asingeweza kujua lipi tui na kipi ni maziwa!

Wakaingia ndani ya uwanja mkubwa ambapo kulikuwa kuna maonyesho ya wachina kuvaa ngozi za wanyama huku ngoma zikiwa zinapigwa,mambo aliyokuwa akiyaona mbele yake hakuyatofautisha na sinema ya TAI CHI iliyochezwa na Jet lii.
Wachina waliruka huku na kule hewani,Gloria akawa anashtuka sana.Nia ya Nyagogo ilikuwa ni kumpumbaza Gloria, amleweshe kwa starehe asikumbuke tena Nchini Tanzania,amchukue kiulaini.
walivyotoka hapo wakaelekea sehemu nyingine ambapo wachina walikuwa wakipigana.Na kulikuwa kuna michezo mbalimbali,Usiku ukawa mzito Gloria akawa amenogewa kabisa,Nyagogo alilijua hilo na kesho yake ikawa ivyoivyo, akampeleka sehemu nyingine,hapo ndiyo Gloria akajiona yeye ndiye yeye.
“Kaaa hapa juu ya farasi,upo kwenye mashindano,hii kamba ishikilie, ukimuona Yule kule kaweka kitambaa chekundu basi vuta kamba,nakuaminia ukishinda hapa nakupa zawadi”
Nyagogo alitoa maelekezo huku Gloria akiwa juu ya farasi, anatetemeka kwa hofu kwani ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kupanda mnyama huyo.Pembeni yake kulikuwa kuna watu wengine wakiwa wanashindana kama yeye.
“Naogopa shemeji”
“Usiogope wala nini,hakuna anayejua hapa”
“Kwahiyo nitashinda?”
“Ndiyo maana yake”
Baada ya kutoa maelekezo hayo, Nyagogo akatoka pembeni akimuacha Gloria akiwa pembeni akisubiri kitambaa chekundu,kilivyooneshwa akavuta kamba farasi akainua miguu ya mbele juu huku akipiga kelele na kuanza kutoka kwa kasi huku akitimua mavumbi!
****
Kutokupatikana kwa Nyagogo na Mke wake Gloria kulizidi kumtia wasiwasi sana Nickson, hakuelewa ni kitu gani akifanye,mara ya mwisho kuwasiliana na watu hao ilikuwa ni siku sita zilizopita nyuma na mawasiliano yalikatwa ghafla bila taarifa yoyote,kilichompa moyo zaidi ni kwasababu mara ya mwisho aliongea na mke wake vizuri simuni.

Mawazo ya upande wa pili yakamjia wenda Gloria amerudia kwenye tabia yake tena, akifanya usaliti na rafiki yake Nyagogo.
“Ha! Haa! Haaa! Haaaaaa,Mimi mjinga sana,huu wivu utaniua shetani ushindwe,Nyagogo hawezi kunifanyia mambo ya ajabu kama haya itakuwa tu ni mitandao ya kule,usikute wanataka kunifanyia surprise wakirudi”
Nickson alijifariji na maneno yake na kujipa moyo kuwa hakuna kitu chochote kilichoenda vibaya kabisa,sasa akawa ana amani angalau,ulikuwa ni usiku wa saa mbili baada ya kutia maguu nyumbani kwake na kumbeba Sonia mikononi mwake,alikuwa akiangalia tamthilia.
Ghafla usingizi ukampitia akiwa juu ya kochi.
“Baaabaaa,Baaabaaa,Mbu wana kuuuma nenda kalale chumbani”
Ni Rukia ndiye alikuwa akimtingisha bosi wake.
“Aisee kumbe nililala,usiku mwema”
Nickson akatembea mpaka chumbani kwake akiwa na mtoto wake mikononi mwake,akaenda akamuweka vizuri juu ya kitanda chake kidogo kisha kumpiga busu la Usoni.
“Usiku Mwema Sonia,baba anakupenda sana”
Nickson alisema na kujitupa kitandani.
*****
“Ahhhh shsssss aaaaaah mmmmmh Nya……go…go haaaaaaaa.pooooo haaaaaapo aaasssh ssssss”
Gloria alitolea sauti puani,hakukua na haja ya kuuliza kwamba kulikuwa kuna nini ndani ya chumba hicho,nguo zao zote zilikuwa chini,hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna hata mmoja wapo aliyekuwa na nguo mwilini,
Ulimi wa Nyagogo ulikuwa chumvini unadeki bahari, hapo ndipo Gloria akawa anatoa sauti yake puani huku mkono wake mmoja ukiwa juu ya kichwa cha mwanaume huyu akimkandamizia kabisa kwa ndani,miguno aliyokuwa anatoa Gloria ilimfanya Nyagogo azidi kupandisha midadi,kwa Gloria hiyo ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kufanyiwa kitendo cha namna hiyo tena kwa ufasaha zaidi,Nyagogo aliweza kuupitisha ulimi wake ukiwa na mate mdomoni na kuugusisha kabisa kwenye ikulu.
Raha alizohisi Gloria hazikuweza kuelezeka kiwepesi, alikuwa katikati ya raha za ajabu.Raha na sterehe alizopewa na Nyagogo wakiwa nchini humo zikaubadili tena msimamo wake,Gloria akawa ameingia kwenye mikono ya mwanaume mwingine kisa starehe,akawa ametema big G’ kwa karanga za kuonjeshwa!
Pesa ikawa imebadili tena akili ya Gloria.
Mpaka anajipindua kitandani na kukinyonga kiuno hakuwa anaelewa kuwa anatoa sauti za huba,Nyagogo akampindua huku na kule na baadaye kuanza kumuingiza nyoka wake kisha kuanza kufanya ngono.
***
“NICKSON NAOMBA TU NIKUOMBE MSAMAHA KWA YOTE AU KWA KUKUPOTEZEA WAKATI WAKO,SWALA NI KWAMBA HUTONIONA TENA,SITORUDI TENA HUKO TANZANIA,KWANZA NCHI YENYEWE MASKINI SANA,MIMI NAWEWE IBAKI KUWA HISTORIA NIKO ZANGU CHINA NINA KULA MAISHA,RAHA MUSTAREHE KABISA.’SHEN SHEN’ NAJUA UMESHINDWA KUELEWA HAPO HIKO NI KICHINA MAANA YAKE NI AHSANTE…..NI MIMI GLORIA MCHINA”
Nickson ndiye alikuwa akisoma meseji hiyo juu ya kioo cha simu yake,ikiwa ni asubuhi, anaendesha gari kuelekea kazini,hakutaka kuyaamini macho yake kuwa maneno hayo yaliandikwa na Gloria,moyo ulimuuma hakutaka kuimalizia lakini aliendelea kuisoma akidhani wenda mwisho Gloria angesema kuwa anamtania.Moyo wake ukamuenda mbio akawa anairudia rudia meseji,macho yake yakawa juu ya simu,jasho linamtoka.
“Kuuuuuu”
Huo ndiyo mlio uliomshtua, alikuwa teyari keshagonga gari la mbele yake bila kutegemea,bado alikuwa katika hali ya kuchanganyikiwa na mawazo, akamshuhudia Mwanamke mtu mzima aliyekuwa anashuka ndani ya gari aina ya ‘Jaguar,akiwa kaukunja uso wake,akatembea mpaka kwenye kioo upande wa Nickson na kukigonga, kikafunguliwa.
“Kaka hukuniona au?huku niona? naomba ushuke tafadhali tuelewane,jamani mbona ivyo asubuhi asubuhi kutafutiana mabalaaa,shuka kaka,shuka upesi kwa usalama wako.Tena naomba ushuke upesi usinipotezee muda”

 “Pipiiiii piiiiiiiiiiii piii”
Honi za magari ndizo zilikuwa zikisikika kwa wakati huo,ilikuwa ni asubuhi tu,kulikuwa kuna msongamano wa magari,uliosababisha msululu mrefu mno,Nickson ndiye alikuwa amesababisha kitu hicho kitokee baada ya kuligonga gari la mbele yake,tayari walikuwa wameshuka na kutizama jinsi Jaquar la mwanamke huyo lilivyoumia.
“Aa! Aah! unaona ulivyopasua hii hendiketa,hii rangi imechubuka alafu ni metaliki hii,bei mbaya sana”
Mama huyo alizidi kufoka huku akimuonesha Nickson sehemu zilizopata matatizo.
“Mama naomba basi upaki pembeni ili tuepushe huu msongamano,haya ni mambo ya magari cha kufanya tuweke magari pembeni ili tuelewane vizuri”
“Nani?sitoi gari hapa mpaka trafiki aje kupima”
“Mimi nimekubali kosa nitakulipa garama zote”
“Nimesema hapa sitoi gari”
“Oyaaa mazaaa eeh,Bi.Mkubwa.Wewe Maza si muelewane tu hapo,mbona unakuwa sio mwelewa angalia msongamano”
Dereva mmoja wa DCM aliropoka baada ya kushuka ndani ya gari.
“Wewe hayakuhusu,hapa mpaka trafiki”
Ni kweli Mwanamke huyu aliweka mkazo wake,hakutaka kulitoa gari eneo hilo,dakika arobaini baadaye Trafiki alisogea eneo hilo na kupima ajali.
“Nipatieni leseni zenu”
Trafiki aliomba na akapewa leseni ya kila mtu.
Baada ya ajali kupimwa Nickson ndiye aliyeonekana ana makosa na alitakiwa kulipa faini kwa sababu alisababisha ajali kizembe,hakuwa na tatizo lolote akalipa kisha kuelewana na Mwanamke huyo kwamba amtengenezee gari yake,akamkabidhi kadi yake ya gari kisha kuondoka zake!

Bado alikuwa ana mawazo juu ya mke wake na wala hayakumwisha!hakuna siku aliyoonesha kuchanganyikiwa kama siku hiyo.Pesa nyingi alizotumia kumpeleka Gloria nchini china akitegemea kuwa amebadilika na wote kurudi waendelee kuwa na furaha maishani,ikawa ni shukrani ya punda.Alivyofika ofisini kwake alisalimiwa na wafanyakazi wake.
“Shikamoo bosi”
Hakuitikia hata salamu moja akapita moja kwa moja akapanda ngazi na kuingia ndani ya ofisi yake,huko hakuna alichofanya aliweka kichwa chake juu ya meza akazama kwenye mawazo.Bila ya kutegemea alijikuta akilia machozi mwenyewe, huku akilitaja jina la Gloria!
“Gl….oria ni ki..tu gani nilikufa..nya eeeh… mbona una..nitesa hiv…i nimekufanya nini mke wa..ngu au kwasababu ushajua kuwa na..kupenda sa..na”
Hayo ndiyo maneno aliyokuwa akiongea Nickson huku akimwaga machozi,alihisi moyo wake umepigwa na mkuki wenye moto,tena umechanika chanika.Machozi yalimtoka yakadondoka mpaka kwenye sakafu.Hata ivyo mawazo hayakumsaidia sana, ukweli ulibaki kuwa palepale kwamba Gloria yupo China na kivyovyote vile ana mahusiano ya kimapenzi na Nyagogo, hilo alilielewa wazi kutokana na kutokupatikana kwa Nyagogo.Alifuta machozi haraka haraka baada ya kuhisi mlango wake unagongwa.
“Ingia”
Alingia Wakili mwenzake aliyefahamika kwa jina la Debora,huyu alikuwa msaidizi wake.Tangu Nickson alivyopandishwa cheo na hapohapo akapewa mtu wa kumsaidia baadhi ya kazi endapo atakwama.
“Karibu kiti Debora”
“Bosi,kuna kitu hapa nilitaka kukwambia, Unamkumbuka Elizabeth Zackaria?Yule mama mwenye migodi kule mererani?”
“Ndio namfahamu,aliyeleta kesi ya kudhurumiwa na mume wake?”
“Ndio,basi alikuja hapa asubuhi akakusubiri sa….”
“Naomba uje baadaye,sasa hivi sipo sawa”
Nickson alimkatisha Debora ambaye alikuwa anataka kuanzisha kesi nyingine,kwa siku hiyo Nickson alijua kabisa kichwa chake kisingefanya kazi sawasawa,na ndiyo maana akamtaka Debora radhi.
“Bosi una tatizo gani?pia mbona macho yako mekundu namna hiyo unaumwa au?”
“Hapana nipo sawa,jana sikulala usiku nilikuwa napitia pitia baadhi ya kesi”
Nickson alidanganya ukweli ni kwamba hakukesha kupitia kesi bali alikuwa akimlilia Gloria.
“Inakubidi sasa hivi ukapumzike bosi,ili upate usingizi wa kutosha niachie mimi nitakusaidia kila kitu, nitakupigia simu nikihitaji maelezo mengine”
“Kweli?”
“Ndio Bosi”
“Akifika Mkurugenzi mwambie kuwa nimetoka kidogo”
“Nitajua cha kumwambia au nitakutetea mimi wakili bwana Shayo,nitakukinga wewe nenda nyumbani ukapumzike”
“Ha ha ha ha haaaaa,Dora una maneno wewe mwanamke”
Debora,alikuwa ni msichana mwenye roho ya ukarimu, alimuonea huruma Nickson akakubali kuubeba msalaba wake,kila kitu alikifanya kwa moyo mkunjufu.
Nickson akasimama huku akitoa shukrani zisizokuwa na maelezo ya kutosha.Akaingia kwenye gari akiwa na mawazo chungumzima!
***
Hakuna hata mmoja wapo aliyediriki kulitaja jina la Nickson, sio Gloria wala Nyagogo,kila walilofanya waliliona lipo sahihi,walijiachia wanavyotaka na kufanya mapenzi muda wowote ule watakao wao,mambo yaliyokuwa yanamtokea Gloria ni dhahiri kwamba alihisi yupo ndotoni anaota,mambo aliyokuwa anafanyiwa yalikuwa ni makubwa mno,ambayo hakuwahi hata kuyafikiria.
Alikuwa akila bata kama aliambiwa kuwa atakufa kesho,kufumba na kufumbua alikuwa kamsahau tena Nickson akasahau alipotolewa kijijini.

Gloria alizidi kuwa mlevi kupita kiasi, alikunywa pombe ikazidi kipimo.Mwanaume huyu mfanyabiashara aliyeitwa Nyagogo ndiye aliyempa kiburi.jiji la Beijing likamkoma akawa kiguu na njia kutwa wapo kwenye kumbi za starehe.
“Pondaaa maliiii kufa kwajaaaaaaaa”
Ni Gloria ndiye alikuwa akiongea maneno hayo huku mkononi akiwa ana chupa ya mzinga wa pombe kali,walikuwa wapo ndani ya Casino,wanawake wa kizungu wakichanganyika na wachina walikuwa wakipita mbele yao wakiwa wamevaa vichupi,huku mbele yao kukiwa na wanawake wengine wakichezea machuma yaani ‘strippers’kwa kimombo. Nao walikuwa wamevaa nusu uchi maziwa yao yapo wazi.walifanya Kufuru.Ilikuwa ni club iliyokuwa nje kidogo ya mji wa Beijing,
wafanyabiashara wengi walipenda kupumzika hapo na kutoa ‘stress’ zao.Wengi wao walikuwa ni matajiri na walizungukwa na wanawake warembo wakiponda mali.
“Bebiiiiii”
Nyagogo alimuita Gloria kisha kumvuta upande wake,akamvuta mdomo na kutoa ulimi wake ndimi zao zikakutana wakaanza kulana denda,hakuna hata mtu mmoja aliyewahangaikia,kila mtu alifanya mambo yake.
“Mhhhhhhh”
Gloria alikuwa akiguna ndani kwa ndani huku wakiendelea kubadilishana mate.
“Kesho inabidi turudi Tanzania”
“Eeeeeh,kwanini?”
Gloria akashtuka,hakutaka kuisikia kabisa nchi ya Tanzania, yeye alitegemea kwamba angeishi nchini China milele.
“Tubaki bwaaanaaaa huku huku,kwanini turudi tena,kwani wewe si uliniambia tukakaa huku mileleeee?”
“Ahhh,sasa biashara zangu nani ataziendesha?turudi kidogo nikaweke mambo sawa kisha tutarudi huku China”
“Kweli?”
“Niamini mimi Mke wangu,Mama watoto bebiiii,Gloria hivi kwanini wewe ni mzuri kiasi hichoooo?ujue sijawahi kuona mtoto mzuri kama wewe,nitakuoa unajua mimi sijaoa kabisa,wala sina mke”
Nyagogo alizidi kum-mwagia Gloria sifa kedekede,ni wazi kwamba alitakiwa kurudi Tanzania ili akaendelee na biashara zake, alishaelewa kuendelea kubaki nchini humo akila maisha,akaunti zake zingeyumba.
Nyagogo alikuwa ni mfanyabiashara mwenye akili.Ilivyofika saa tisa ya usiku walibebana na kutoka nje,huko walikodi Taxi iliyowapeleka mpaka Hotel waliyofikia,kitendo cha kujitupa tu kitandani, Nyagogo alimsogelea Gloria mdomoni na kuanza kulana denda,huku taratibu wakianza kuvuana nguo zao adoado,kiyoyozi kilichokuwa kinapuliza kiliwaamsha hisia zao.

Haraka Nyagogo akatoa shati na Gloria akavuliwa nguo zote kama umeme zikawekwa kando,kwa maluweluwe ya ulevi,shikana haikuwa sana.Nyagogo hakutaka kuchelewa aliipanua miguu ya Gloria na kuingiza mjegeja wake kisha kuanza kupeleka misumbwi.Kutokana na kunywa pombe nyingi alichelewa kufunga goli la kwanza, lilipopatikana alikuwa hoi akalala hapohapo kifuani mwa Gloria!
***
“Nickson mwanangu,mbona unateseka sana mshkaji wangu?..unakuwa kama sio mwanaume kila siku unalia wewe,kwanini usimpige chini huyo takataka,una mtoto sasa hivi,alafu ujue magonjwa mengi,achana na huyo malaya.atakuuwa,pole kwa mara nyingine..sasa usilie mwamba”
Nickson alikuwa akilia kwa uchungu sana,baada ya kuumizwa tena kwa mara nyingine na alipomwambia tena rafiki yake Tito ndiyo kabisa,akawa kama amejitonesha kidonda mwenyewe kilichoanza kukauka!
“Embu kwanza twende kwa Mushi tukale nyama choma,nikupe ushauri”
Hapo Nickson hakuwa na tatizo,akaingia chumbani kwake akabadili nguo na kumuachia Rukia pesa za chakula kisha yeye kuondoka na swaiba wake Tito.
“Leo kwanza twende kwa Mzee Mushi pale,tukalewe tupate akili mpya”
“Poa”
Wakaingia ndani ya landcruiser V8,Nickson akawasha gari wakaenda mpaka Kigogo Mburahati,kwenye Grocery ya mchaga aliyefahamika kwa jina la Mushi na aliyesifika kuwa na nyama nzuri za mbuzi za kuchoma.
Walivyofika tu Tito akaagiza mzinga wa Konyagi.
“Sasa mbona umeleta Moja dada,leta nyingine na Glasi safi”
Tito aliagiza huku Nickson akiwa kimnya.
“Psiiii jikoni,psiiii pssiiiiiii wewe jikoni wewe,unawaza nini?tengeneza ndizi kumi na nyama choma ya mbuzi ya elfu thelathini changanya mbavu na Mguu,weka na pilipili nyingi”
Tito alizidi kuagiza ilikuwa yapata jioni ya saa kumi hivi.Mzinga wa konyagi ukaletwa wakaanza kunywa taratibu bila kuongea zilivyofika nusu, ndipo wakaanza maongezi.
“Uliniambia kuwa Gloria yupoooo china Mamaee zake?”
Tito alianza kuongea kwa sauti ya kilevi,tayari alikuwa amependeza!
“Ndiooo,yupo huko china,alienda na Yule Nyagogo”
“Sasaaaa,wewe kweli unampa mtu aende na mkeo mbali,una akili sawa sawa?hapo ndipo ulifanya mistake,yaani ulibugi mzee mwenzangu,wewe ni ndugu yangu,tumetoka mbali sana mimi siwezi kukuona una angamiaaaaa kisha nikabaki kukuangalia,NOO nasema Noo Imposibleeee,swala ni kwamba Gloria keshakuwa Malaya,anatomb**** na yoyote Yule,ananuka.Ptuuuuu”
Tito aliongea akatema mate chini akipigilia neno lake msumari, kuwa Gloria ni kichefuchefu.
“Nishaurii nifanye nini ndugu yangu?”
“Hapo kuna ushauri teena,huyo piga chini wewe sasa hivi muangalie mwanao Soniaaaaa,Gloria keshaota pembe Yule,kibiritingoma,Kwani huyo Nyagogo kwake unapafahamuuuuu?”
“Ndio,anaishi Mwanza”
“Mwanza eeeeh?”
“Ndio,kule Kilumba”
“Ana mkee?”
“Ndio, pia na watoto watano”
“Mimi ningekuwa weweee,ningepita na mkewe kama mbwai mbwai tu,unagonga mke wake,kama ana watoto wa kike unachafua chafua tu,unatembeza dudu,sijalewa lakini nakupa fact,Weweeee ni nduguuuu yaaaanguuuu wa daaamuuuu,au nakosea?”
Tito alizidi kumshawishi Rafiki yake,akasisitiza kwamba aachane na Gloria.Walizdi kunywa na kulewa wakala wakashiba.Wakahama Grocery wakawasha gari mpaka Magomeni,Ilikuwa teyari saa nane ya usiku.
“Valuer zipo dadaaaaaa?”
Tito aliuliza hata kabla ya kukaa kwenye kiti.
“Ndioo”
“Leta lile lichupa likubwaaaaa”
“Pesa kaka”
“Wewe mpumbavuuu eeeh unagongwa nini,unahisiii tutakudhurumu pesa zako au?embu tuangalie vizuri tumekuja na V8,pumbavuuu zako.Pumbavu tena….”
“Dadaaa shika hii”
Nickson akaingilia maongezi kati ili kuepusha shali,alimuelewa rafiki yake Tito akilewa huwa ana sifa ya ukorofi na ni lazima agombane na mabaamedi.Pombe kali zikaletwa Nickson akawa anakunywa nyingi bila kupumzika.
“Gloriiaaaaaaaaaa,popote ulipo naachana nawewe rasmiiiiiiiii,naachanaa nawewe rasmi leoo hiiii,umenitesa saaaanaaa”
Aliongea Nickson huku akisimama na kuyumba yumba na kujipiga piga kifuani.Tito akasimama nayeye, akawa anashangilia ushindi, akanyoosha mikono hewani,akaanza kucheza mziki wa Rumba,baada ya kupigwa wimbo wa Koffi Olomide,akaanza kucheza katikati kwa furaha.
Nickson akazidi kunywa pombe,hazikupita hata dakika kumi akazima,akaweka kichwa juu ya meza.
“Ehhh Umezimaaaaaaaa?sasa twenzetu,oyaaa Nickson Nickiiii”
“Mhhh”
“Twenzetu”
“Niache nilale Gloriaaaa,nimechokaaaa kesho asubuhi, leo nimechokaaaaa Mke wangu,Sasa inabidii kesho twendee shambani tukalime,kuna mboga mboga kule za matembele na mchicha,tutaenda na Sonia nayeye apajue nataka yeye ndiye awe mrithi kabla sijafa,nimuandike kabisa mali zangu zoooooote,pia nina mpango wa kununua kiwanja kingine Videte”
“Weweeeeee Nickson,wewe Shayooo”
Nickson aliongea vitu vya ajabu huku akicheua,akavutwa na Tito wakaingia ndani ya gari,kwa kasi ya ajabu Nickson alitoa gari,japokuwa alikuwa amelewa chakali, lakini njia ya nyumbani kwake aliifahamu fika!
Lakini kwa mwendo aliokuwa akitembea nao ulitisha kupita kiasi,alikuwa ni kama yupo kwenye mashindano,kutokana na kutokuwa na magari barabarani baada ya dakika kumi na tano alipiga breki nje ya nyumba yake,akashuka na Tito.
“Weee Dadaaaaaa”
Rukia alivyosikia mlio wa gari akaruka kutoka kwenye shuka akafungua mlango,akamkaribisha bosi wake!
“Dadaaaa niangalie,huyu ni rafiki yanguuuu hayuko vizuri leo,asubuhi yaaa kesho umtengenezeee supu,hakikisha analala salamaa,mimi mwambie niliondoka na Taxi au bajaji,usiku mwema,Good night,sawa?”
“Ndio nitafanya ivyo”Rukia akaitikia,hali ya watu hao wawili ilimwogopesha.
Tito aliongea huku akipepesuka akaondoka Rukia akafunga mlango lakini alivyoingia chumbani kwake akashtuka kumkuta Nickson amelala.Moyo ukamuenda mbio.
“Bosiii”
“Gloriaaaaa,njooo basi mpenzi panda kitandaani tulaleee,Sonia amelala?”
Nickson aliongea huku akimtizama Msichana huyu wa kazi aliyekuwa mrembo mbele ya macho yake,akamvuta kama umeme kitandani kwake! Katika hali ya kutokutegemea akampandia kwa juu ya kuanza kulana denda,Nickson akili zake zilimtuma kuwa huyu ndiyo Gloria mke wake na hapo walipokuwa ni chumbani kwao.Rukia nayeye akajikuta anatoa ushirikiano wakaanza kubadilishana mate wakicheza na ndimi!


“Gloriaaaaa,njooo basi mpenzi panda kitandaani tulaleee”
Nickson aliongea huku akimtimza Msichana huyu wa kazi aliyekuwa mremo mbele ya macho yake,akamvuta kama umeme kitandani kwake! Katika hali ya kutokutegemea akampandia kwa juu ya kuanza kulana denda,Nickson akili zake zilimtuma kuwa huyu ndiyo Gloria mke wake na hapo walipokuwa ni chumbani kwao.
SONGA NAYO.

Mambo yaliyokuwa yanaendelea hayakuwa sinema ya ngono ya kuigiza bali yalikuwa ni ukweli mtupu,Kitandani alilala Rukia na Nickson, kwa waliyokuwa wanayafanya usingebisha ungeambiwa kwamba wanacheza filamu ya X.Rukia alikuwa juu ya Nickson, hakutofautishwa na kungwi mcheza ngono maarufu duniani aliyeitwa Pretty Diego.
Wakati Nickson akiwa chali yeye alikuwa juu yake, tena kapiga magoti kashika koni ya Nickson anailamba, hakutaka kufanya makosa,alielewa kuwa tendo hilo hakulifanya siku nyingi,kwake ilikuwa kama embe kudondoka chini ya mchungwa,alielewa kwamba kuna uwezekano mkubwa asubuhi ya kesho yake angefukuzwa kazi, ndiyo maana alitaka kufanya kila jitihada amfaidi bosi wake ambaye yeye mwenyewe aliingia kwenye anga zake.
“Mhhhh”
Nickson alitoa miguno baada ya Rukia kuzidi kunyonya koni tena akiwa amejaza mate mdomoni mwake,alikuwa akiichua taratibu mno na kuilamba kiufundi,alimuendea Nickson kifuani na kuanza kumnyonya kifua akaenda mpaka shingoni mwake na kuanza kumnyonya shingo,akapitisha ulimi wake mpaka ndani ya masikio ya Nickson,kila Nickson alipotaka kujiinua, Rukia alimrudisha hakutaka kumpa hata nafasi ya kujitetea hata kidogo na ivyo ndivyo ilivyotokea.Akazidi kumlamba kifua, macho na kushuka chini kwenye tumbo akashuka tena mpaka kwenye mkongojo,akaanza kuunyonya, tena kwa madoido,akashuka mpaka kwenye goroli akafanya ivyo ivyo pia.
Raha alizosikia Nickson hakuwahi kuzisikia tangu azaliwe, aliishia kuhema juu juu kama bata mzinga,huku akitoa miguno ya puani,alikishika kichwa cha Rukia vizuri na kuanza kukikandamiza vizuri kabisa kwenye koni yake huku akiwa ameyafumba macho yake.
“Ahhh Ivy..o ivy…o.”
Nickson alisema huku macho yake yakiwa yamefungwa,Rukia alishajua nini maana yake alichofanya ni kujitoa kimahaba.Ilibidi Nickson ayafumbue macho yake sababu utamu ulikuwa umekatika ghafla,kama chui Rukia akamrukia Nickson Mdomoni wakaanza kulana denda,mambo yalikuwa mazuri kwa Nickson pombe taratibu zikaanza kumwisha,mapigo yake ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi huku Jogoo wake akiwa wima amesimama imara,Rukia alishuka na kumlamba lamba tena huku akijishika maziwa yake,nia yake ilikuwa ayatoe madini kidogo kwenye ikulu yake,jambo hilo lilivyokamilika akapanua miguu yake akaikalia Karoti ya Nickson nayo ikapita bila wasiwasi kutokana na mgodi ulikuwa tayari umelowa,Rukia alikizungusha kiuoni chake na kukinyonga kisawasawa huku akiwa juu ameinama anampiga Denda Nickson, aliyekuwa ameyafumba macho yake kama mtu anayejichokonoa masikio na pamba ‘stick’.Rukia alizidisha madoido, akajichomoa na kujiweka upande wa chini yaani alikuwa akiitizama miguu ya Nickson,akaanza kujiinua na kukaa huku akiwa ameiweka mikono ya Nickson kwenye kiuno chake,alizungusha kiuno chake pande zote za dunia,akazidi kumpagawisha bosi wake,kadri sekunde zilivyozidi kwenda mbele ndipo Rukia alizidi kukinyonga kiuno chake vilivyo, Nickson ndiye akazidi kuchanganya, nayeye akijitahidi Rukia ndiyo akaweka gia namba tano,

kilichosikika hapo zilikuwa ni kelele za chaga,kila mtu alifanya juhudi.
“Aaaaaaah aaaaaaaaaah mmmhhhh”
Nickson ndiyo alikuwa akitoa mguno mzito wa ki utu uzima,huku akimvuta Rukia mdomoni wakaanza kulana denda na Rukia naye akamng’ang’ania ikawa wote kwa pamoja wamevunja yai la bata.Rukia hakuogopa alilala juu ya Kifua cha Nickson,kutokana na wote kuwa na uchovu walijikuta wamepitiwa na usingizi!
*****
Hakuna siku aliyoamka akiwa mwenye haya na aibu kama siku hiyo asubuhi,sio kwamba hakuweza kukumbuka yaliyotokea usiku wa jana bali alishindwa kuelewa atamuangalia vipi Rukia mfanyakazi wake wa ndani,alijikuta anazilaumu pombe kupita kiasi,kichwa kilimuuma sana siku hiyo alivyomka na kujikuta yupo chumbani kwa Rukia tena bila nguo zozote mwilini.
“Sijui itakuwaje,au nimfukuze ili nitoe hii aibu”
Nickson alijiuliza na kujijibu mwenyewe akainuka kivivu na kuvaa nguo zake harakaharaka bila kuangalia nyuma akapita mpaka chumbani kwake.Akajitupa kitandani akazama kwenye mawazo.
Hata kwa Rukia ivyo ndivyo ilivyokuwa, hakuelewa sura yake ataificha wapi,dalili za kufukuzwa kazi zilikuwa waziwazi hakutaka kuonana na Bosi wake,alitamani ardhi ipasuke aingie ndani ili aikimbie aibu!
“Bora hata niondoke zangu kuliko kusubiri kufukuzwa kazi,nishaharibu,sijui kwanini nilifanya vile jamani”
Aliwaza Rukia, akashika kikombe na semosi ya chai ili kuweka mezani kwa ajili ya bosi wake apate kifungua kinywa,akawa anatetemeka mno kitendo cha kushika vikombe akajikuta vimem-teleza na kudondoka chini vyote vikapasuka hapohapo.
Nickson aliyekuwa chumbani alitoka haraka na kufika mpaka seblen.
“Vipi?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nickson,lakini Rukia hakuweza kugeuka nyuma.
“Hakuna kitu bosi”
Alijibu bila kugeuka.
“Hujaumia?”
“Hapana sijaumia”
“Sonia amekunywa uji?”
Kwa Nickson hilo lilikuwa swali la kijinga ama jibu lake lilikuwa wazi kabisa,alijikuta anauliza bila kutegemea, sababu alimuacha Sonia chumbani kwake.
“Hapana bosi,kwani keshaamka?”
Hapo ndipo Nickson akageuza na kwenda chumbani kwake kisha kumbeba Sonia mpaka seblen akamkabidhi Rukia,Picha ya usiku wake wa jana ilikuwa ikipita kichwani kwake na kuonekana kama sinema ya kuigiza akajiona alivyokuwa na Rukia kitandani,wanafanya ngono zilikuwa ni raha ambazo alikuwa akizikumbuka,tena alivyogusisha mikono yake kwenye mwili wa Rukia akahisi kama amepigwa na shoti ya umeme wa Transfoma! akabaki anamtizama Rukia ambaye alikuwa anaangalia chini kwa aibu.
“Mpe maziwa ya kutosha”
“Sawa Bosi”
Nickson akarudi chumbani kwake kupumzika.
****
“Unamuulizia nani?”
“Nyagogo”
“Nyagogo?”
“Ndio!Nyagogo hapa ndiyo kwake?”
“Hapa ndiyo kwake,wewe ni nani?”
“Mimi ni mchumba wake”
“Tangu lini?”
“Haaa,mbona una maswali ivyo kama polisi?embu nipishe nipite basi nikapumzike”
“wewe mwanamke umetumwa au?”
“Nyagogo yupo au hayupo?”
“Subiri nikuitie,subiri hapo hapo”
“Ndio nasubiri”
Gloria alikuwa amevimba kwa hasira,yupo nje ya jumba kubwa la Nyagogo.Alimsubiri kwa hamu sana.Hakuna kitu kilichomuuma kama kuachwa Hotelini kwa muda wa siku kumi na moja wakiwa washarejea wapo Mkoani Mwanza, wakitokea moja kwa moja nchini China,Wahudumu wa Hotel iliyokuwa Kilumba walishachukua simu yake kutokana na kudaiwa pesa za kulala,alivyompigia Nyagogo simu hakumpata hewani na wakati mwingine ilivyoita haikupokelewa,hapo ndipo alipoamua kumtafuta nyumba kwa nyumba akimuulizia.Nyagogo alikuwa ni mfanyabiashara mkubwa ndiyo maana ilikuwa rahisi kuoneshwa nyumbani kwake.
Alikuwa amechanganyikiwa zaidi baada ya kufunguliwa geti na mwanamke mtu mzima.
“Huyu mwanamke ananijibu nyodo?hajui kuwa mimi hapa Nyagogo ndiyo kafunga breki,nikiingia humo ndani kwanza nitamfukuza.Hawezi kunijibu shombo”
Hayo aliwaza Gloria akiwa nje ya geti,baada ya dakika moja akasikia sauti ya Mwanamke aliyekuwa amemfungulia geti na baadaye akasikia sauti nzito,haikuchukua muda sana kuitambua kuwa ilikuwa ya Nyagogo,akatulia na geti likafunguliwa sura ya Nyagogo ikatokeza na mwanamke mtu mzima.
“Baba Irene,leo utanieleza huyu ni nani”
“Yupi?”
Siyo kwamba Nyagogo hakumuona Gloria bali alijifanya kuuliza swali.
“Yupi eeeh?huyu mwanamke ni nani?”
“Mimi?huyu?mimi simjui”
Nyagogo akamkana Gloria kama Petro alivyomkana Yesu!
“Nyagogo hunijui mimi leo?kweli?”
“Dada mimi sikujui,naomba usitake kuniharibia ndoa yangu kabisa.Ujue mke wangu hawa wanafunzi wa vyuo vya Sauti,wanakuwa wana shobo sana,nakumbuka hata Yule rafiki yangu Loso,alikumbwa na balaa hili hili akagombana na mke wake”
“Nyagogo,leo unaniambia mimi ivyo?kumbe una mke?umeniacha hotelini simu yangu imechukuliwa kisa we…..”
“Wewe dada,wewe dada….embu nitokee mbele yangu,toa lisura lako hapa sasa hivi.potea”
Nyagogo akaongea kwa ukali na kutaka kufunga geti lakini likazuiwa na mke wake.
“Baba Irene,usijifanye kuniletea vimaigizo vyako hapa,naona umenisahau,haiwezekani huyu mtoto atoke huko kooooooooote aje hapa,embu ongea ukweli,usiniletee za kuleta”
Mama Irene akawa amepandisha hasira ajabu,akawa amemkwida shati mume wake, yote yalikuwa yanatokea mbele ya Gloria.
“Niambie ukweli huyu mwanamke ni nani,baba Irene”
Kabla ya Nyagogo kujibu lolote alipokea ukofi mkali wa shavu akapigwa na kingine.Siku zote Nyagogo alimuogopa sana Mke wake,alikuwa amemuoa mwanamke wa Kikurya,alikuwa akifanya kosa kidogo lazima achezee misumbwi.
“Nawewe Malaya,bado upo?”
Mama Irene aliuliza kwa ukali huku akimgeukia Gloria.Kwa picha alioiona hapo Gloria alitimua mbio ndefu breki ya kwanza alipanda daladala na hakujua ni wapi anaenda,kutokana na hofu kumtanda.
****
SIKU ZOTE MKATAA PEMA PABAYA PANAMWITA! Kwa mara ya Kwanza Gloria alijua nini maana ya njaa,alikuwa hajaweka kitu chochote mdomoni tangu asubuhi mpaka usiku unaingia, mdomo ulimkauka alitanga tanga huku na kule,mwisho akaenda kukaa katikakati ya uwanja wa CCM kilumba,alikuwa ana mawazo mengi mno,dunia ilimpa kisogo,akajikuta anajuta kupita kiasi,hakuamini kuwa kulala na kuamka ametengwa kiasi hicho, wakati mwingine alidhani yupo ndotoni anaota ndoto ya kutisha.
Ghafla sura ya mume wake Nickson ikamjia kichwani akakumbuka mapendo na mema yote aliyokuwa amemfanyia,akaona ni lazima hiyo ilikuwa ni laana ya Nickson.
“Itabidi nimuombe msamahaa Nickson wangu,tukamlee Sonia,Mungu naomba unisamehee,Najua Nickson ananipenda sana nina imani atanisamehee tu”
Asilimia tisini na tatu zilikuwa kwake zote,msamaha ulikuwa teyari umetolewa, hilo Gloria alilijua kabisa,akajipa moyo akasimama na kujifuta michanga,akatembea mpaka barabarani ili kuomba msaada wa simu.Namba ya Nickson siku zote hakuweza kuisahau hata mara moja.
“Kaka habari”
Gloria akamsalimia mvulana muuza duka.
“Salama dada karibu sana”
“Ahsante,mimi mwenzako nina shida”
“Shida gani tena?nieleze”
“Nina shida na simu,nataka kupiga tafadhali naomba unisaidie”
“Duuu!simu yangu hapa dada haina pesa alafu ina deni,lakini ngoja nikuombee”
Kijana wa dukani akatoka nje,baada ya kama dakika moja akarudi na simu akamkabidhi Gloria,kwa haraka akaanza kubonyeza namba Fulani kisha akaweka simu sikioni.
“Halloooo,Nickson….Mimi Gloria mke wako”
Gloria aliongea harakaharaka.
“Gloriaaaaaaaaa!”
Nickson akashtuka simuni.
“Nickson naomba unisamehe mume wangu,nipo chini ya miguu yako najua nimekukosea sana mume wangu,ni shetani tu,nina matatizo makubwa Sana,niamini kwamba nitabadilika,nipo Mwanza,naomba uje kunichukua Baba Sonia,vipi Sonia hajambo?”
Gloria alikuwa akiongea lakini upande wa pili wa simu ulikuwa kimnya kabisa!Nickson hakujibu chochote.
“Nickson unanisikia Mume wangu?”
Gloria akauliza tena.
“Kwahiyo?embu nisikilize kwa umakini wewe Malaya mchafu,naomba uniache na maisha yangu nimekupa uhuru fanya unavyojisikia,ukiamua kuolewa na wanaume wengine sawa, nimekupa ruksa,usinitafute tusitafutane”
Nickson aliongea kwa sauti ya hasira kupita kiasi.
“Nickson Mume wangu samahani….tititiiiiii”
Nickson akamkatia simu Gloria,hakutaka kumsikiliza tena!

 Ilikuwa ni shangwe kubwa Kwa Tito aliyekuwa pembeni karibu na Nickson, simu aliyoipokea na kila kitu alichoongea Nickson Tito alikisikia lakini badala ya kusikitika yeye alinyoosha mikono yake hewani utadhani alikuwa mpirani ameona timu yake imeshinda,kwake ilikuwa ni ushindi mkubwa,siku zote alimuonea huruma rafiki yake na sasa aliona ameutua mzigo.
“Dadaaaaaaa,weka kreti la bia hapa tufanye sherehe”
Tito aliongea akiwa mwenye furaha huku akimpiga piga Nickson mgongoni.
“Jembee hilo,hayo ndiyo maamuzi ya kiume,piga chini mwanaume siku zote halii hata kidogo,Siku zote mwanaume ni kama simba,akikosa nyama yeye hula hata majani”
Nickson alikuwa kimnya mapigo yake ya moyo yalikuwa yakimwenda kwa kasi sana huku jasho lilkimtoka kupindukia,hakuamini kuwa ni yeye ndiye ameyatoa majibu hayo kwa mwanamke aliyempenda kuliko wanawake wote ulimwenguni,alibaki akimuangalia Tito na kushusha pumzi za ndani kwa ndani, wala hakufurahi kwa alichokiropoka dakika moja iliyopita.
“Tito,naomba nikalale kichwa kinaniuma”
“Aaaah Nickson za wapi hizo?”
“Kesho kazini,sijisikii poa”
Nickosn wala hakutania,alisimama na kuingia ndani ya gari lake akatimua mbio huku akiwa mwenye mawazo chungu mzima,Bado alihisi kumpenda Gloria moyo ulimuuma,akashindwa ni kitu gani akifanye.
Usiku ulikuwa mwingi tayari, baada ya dakika sitini na tano akawa tayari anaegesha gari lake nje ya uwanja nyumbani kwake, akashuka na kuingia ndani ambapo tayari alikuta chakula kipo mezani!
“Rukiaaaa”
“Abee Baba”
“Embu njoo”
Rukia akafika karibu na Nickson akasimama mbele yake huku kichwa chake kikiwa chini akiona aibu.
“Sonia alikunywa maziwa?”
“Ndio Baba”
“Yuko wapi?”
“Amelala”
“Ameshiba lakini?”
“Ameshiba ndio”
“Wewe umekula?”
“Hapana Baba”
“Aya,kaa hapo mezani ule”
“Nitakula tu”
“Kaa hapo,ule”
Kwa uso uliyojaa aibu Rukia akavuta kiti kwa nyuma na kukaa na wote kuanza kula kwa pamoja.Mpaka wanamaliza kula hakuna hata mmoja wapo aliye diriki kumuongelesha mwenzake ni milio ya kijiko na sahani ndivyo vilivyosikika vikigongana.

Nickson akawa wa kwanza kumaliza kula akasimama na kutembea mpaka Seblen, akamchukua Sonia na kuondoka naye mpaka chumbani kwake kisha kumuweka kitandani nayeye akajitupa kitandani.
Hakukaa sana kitandani picha ya Rukia ikamjia kichwani tena kwa ghafla,akakumbuka mambo yaliyokuwa yametokea siku iliyopita, hapo ndipo taratibu nyoka wake akaanza kusimama wima akitaka angalau kutulizwa,alijitahidi kuzuia jambo hilo lakini haikuwezekana.Hakuelewa ni jinsi gani atamuingia Rukia ambaye alikuwa ni mfanyakazi wake wa ndani,akatafakari kwa kama sekunde tano nzima kisha akavaa taulo na kufungua mlango akatembea mpaka mlangoni kwa Rukia akawa amesimama akiwa anajishauri ni kitu gani akifanye.
“Ngo ngo ngooo”
Nickson aligonga Mlango wa Rukia huku akisikilizia kwa umakini,akasikia kitanda kinacheza kisha baadaye mlio wa funguo unachezeshwa na mlango ukafunguliwa.Nickson akahisi amepigwa na ganzi mwili wake mzima,Rukia alitoka akiwa na kanga peke yake,Nickson alikiangalia kifua cha msichana huyu na kuanza kumshusha mpaka chini ambapo alikumbana na nyama zilizosambaa kwa pembeni yaani ‘hips’kanga ilikuwa imeishia kidogo juu ya magoti na mapaja yake manene yakaonekana, akashusha macho yake chini na kukumbana na mguu mnene uliojaa supu.Akahisi kama mwili wake umekaushwa na umeme na damu yake imeacha kutembea.
“Hi..vi..Hivi ulizima taa za jikoni?”
Swali hilo lilimtoka Nickson bila ya kutegemea.
“Ndio nilizima baba”
“Na na na naaaaa mlango mkubwa ta ta ta yari umefungwa au? Umeuacha wazi ujuwe kuna majambazi siku hi…zi,watatuvamia,watatuuwa”
“Hapo,sina uhakika ngoja nikaangalie”
Mashetani yalizidi kumpanda Nickson baada ya mtoto huyu mdogo kupita mbele yake na kanga,Nickson akashindwa kujizuia akamshika mkono,kama umeme akamvuta upande wake mpaka mdomoni,akashika kichwa cha Rukia na kukisogeza kwake, midomo yao ikakutana,Mpaka hapo Rukia alishaelewa Bosi wake hakuwa na lolote bali alitaka penzi lake,nayeye akajiongeza akazidisha njonjo,kwa ufundi akaudaka ulimi wa Nickson na kuuingiza vizuri mdomoni mwake,wakaanza kubadilishana ndimi kama njiwa wakiwa bado wamesimama wima kwenye korido,wakaanza kupiga hatua za asteaste mpaka seblen ambapo walijitupa juu ya masofa, Nickson akawa yupo Chini Rukia juu yake,kama chui akalitupa taulo la bosi wake chini akautoa mshidede na kuutumbukiza mdomoni na kuubugia,aliulamba taratibu sana,hapo ndipo Nickson alipoanza kutokwa na kijasho chembamba.
Msichana huyu aliweza kucheza na filimbi kisawasawa,akamfanya Nickson atoe miguno ya ndani kwa ndani,hekaheka zilianza Nickson jinsi alivyowekwa akashindwa hata kujipindua, Rukia alikuwa amembana, hakutofautishwa na kuku aliyewekewa mguu shingoni tayari kwa kupitishiwa kisu shingoni!
“Ahhhh”
Nickson aliishia kuguna huku akiwa ameshikwa mikono yake na Rukia na kwa wakati huo alikuwa anakula maiki taratibu,Nickson alihisi roho yake inaacha mwili,hakujitofautisha na mtu aliyekuwa peponi kwa jinsi alivyokuwa akihisi burudani,Rukia hakuishia hapo alipanda juu na kumuendea mpaka shingoni na kuanza kumnyonya Shingo,akapanda mpaka juu kidogo akaingiza ulimi wake ndani ya sikio la Nicckson,hapo ndipo Nickson akahisi shoti ya umeme imemuingia mwilini,alikuwa ni kama alipigwa sindano ya kistapeni, mgongo wote alihisi umepalalaizi,Rukia alishika koki na taratibu akawa anaichua tena taratibu mno,akarudisha mkono wake mdomoni na kutema mate juu ya kiganja chake kisha kuendelea na zoezi la kuchua koki huku akizidi kutumbukiza ulimi wake mdomoni mwa Nickson,kila alipotaka kujiinua alisukumwa chini akarudi kama alivyokuwa awali,hapo hapo mchezo huo mchafu uliendelea wakiwa juu ya Sofa.

Madenda yaliendelea kumiminika kwa wingi, kama masofa yangekuwa na uhai basi yangeongea kutokana na mambo yaliyokuwa yakifanyika.Rukia akamalizia kuitoa boxa ya Nickson akaweka mguu wake mmoja juu na mwingine kwa chini akaweka vizuri mgodi wake akaakaa vizuri juu ya Nickson na hapo ndipo filimbi ilipoanza kupigwa,mechi ilianza kuchezwa dakika hiyo hiyo.
“Asshhh I l..ove you Ni…ck aaaash mmmh aaaaah sssh aaaah Nic..kso…n na..kupe..n..d..a ivy..o ivyo..ivy..o”
Rukia alitoa miguno ya puani huku akizidisha kasi ya kukinyonga kiuno chake ni dhahiri kuwa raha alizosikia zilipenya mpaka kwenye uti wake wa mgongo, akahisi vitu vinakuja akazidi kukatika naye Nickson ikawa ivyo ivyo, alikuwa akijitahidi sana asiwahi kumaliza,Nickson akawahi kumaliza, kabla mashine haijapoa hapohapo Rukia nayeye akafika mshindo!
***
Maisha ya Nickson yalizidi kuwa ya raha mustarehe akajikuta anamsahau Gloria taratibu,raha alizokuwa akipewa na Rukia zilimfutisha kumbukumbu zote za nyuma, jinsi Rukia alivyokuwa akimpenda Sonia ni dhahiri ungesema kuwa ndiye mama yake wa kumzaa hii ilimfanya Nickson ampende zaidi na Zaidi.Wakawa wanaishi kama mume na mke japo ndoa haikuhalalishwa!
“Rukiaaaa”
Siku hiyo Nickson aliporejea jioni alimuita Rukia
“Abee babaa”
“Usiniiite Baba,mbona ivyo”
“Aya,abee mpenzi”
“Nimekuletea zawadi hapa”
“Zawadi gani?”
“Angalia mwenyewe”
Rukia hakuyaamini macho yake,kwanza akampokea mizigo Nickson kisha akafungua mfuko ambao aliambiwa kuwa kuna zawadi zake,mikono yake ikatoa gauni zuri la kuwaka waka pamoja na viatu na mikufu.
Kwa furaha akamrukia Nickson wakaanza kulana denda!
“Ahsante mpenzi wangu”
“Usijali sana”
“Alafu nimesahau,pole na kazi dia”
“Nishapoa”
“Kaoge,kisha tuje mezani tule,Sonia keshalala tayari,najua utaniuliza habari zake,kashakunywa maziwa tayari”
Njiani Nickson alivyokuwa akitembea alikuwa akifanyiwa utundu wa kila aina mara Rukia amtekenye amrukie amvute ampige denda ili mradi alifanya mambo yote ya kimahaba.
“Dia mdudu huyooo”
Rukia alipiga ukelele.
“Yuko wapi?”
“Huyo,juu ya kola ya shati”
“Mtoe basi jamani,asije akaning’ata”
Rukia alisogea karibu na kumnyonya Nickson shingo,hakukuwa na mdudu yalikuwa ni mahaba.
“Kumbe muoga Mpenzi”
“Mimi sio mwonga,nilikuwa najua sana unachotaka kufanya,ndio maana nikatulia kama komando”
“Mhh kwenda zako”
“Twenzetu tukaoge”
Kabla ya Rukia kwenda bafuni alipita kitandani kwa Sonia na kumbusu juu ya paji la uso,jambo hilo lilimuuma sana Nickson alitamani huyo ndiye angekuwa mama wa mtoto,akabaki anamtizama Rukia kwa simanzi.
Wote waliingia kuoga na kuanza kunyonyana midomo yao kwa fujo na kufungulia bomba la Mvua.Rukia akapiga magoti akashika filimbi ya Nickson, kama kawaida akaiweka mdomoni na kuanza kuilamba kama koni.
***
“Halloo Nickson,bwana Yesu asifiwe”
“Amen Mchungaji”
“Nakuomba uje kanisani leo jioni,ukitoka kazini naomba usiache kuja”
Simu ya Mchungaji Patrick ilimshtua Nickson,alitafakari kwa muda akiwa anafikiria hiyo ni siku gani akatizama kalenda iliyokuwa mbele yake ukutani, akajua ilikuwa ni Jumatano,akashindwa kuelewa mchungaji Patrick anamuitia nini wakati haikuwa Jumapili.
“Mchungaji kuna nini?”
“Wewe njoo ni muhimu sana,ni kuhusu mkeo Gloria!”

 Ilikuwa ni kama Mungu vile kwa Gloria kuonana na Mchungaji Patrick,alishateseka sana jijini Mwanza hakuna hata mtu aliyeweza kumsaidia,hakuelewa kwanini jambo hilo lilikuwa linamtokea,katika kipindi alichokuwa amepata shida hakuna hata mwanaume mmoja aliyemjali,kutokana na jinsi alivyokuwa mchafu sura yake nzuri ikapotea,haikuwekwa vipodozi tena kama hapo awali,Sauti ya Mchungaji Patrick ndiyo ikamshtua siku hiyo alivyokuwa akipita kandokando ya uwanja,akasogea karibu ya mkutano uliokuwa unaendelea.Watu walikuwa wamejazana wanamsikiliza Mchungaji Patrick.
“Naomba kupita kaka”
Gloria aliomba upenyo.
“Unataka kupita kwenda wapi?huku hakuna nafasi”
“Ni hapo tu napita, huko nyuma sisikii vizuri”
“Aya pita basi”
Kijana alionekana kukerwa na kumpisha Gloria njia.Kwa upenyo upenyo na kwa shida akafika mahali ambapo hakuweza kupita tena kwenda mbele,watu walikuwa wamejazana na hakukuwa hata na nafasi ya kunyanyua mguu,uwanja ulishona!
Gloria hakuwa na namna nyingine akasimama ili tu mahubiri yaishe na kumwendea Mchungaji Patrick,moyoni alifurahi sana na alijua fika kuwa hiyo ndiyo ingekuwa tiketi yake ya kurejea jijini Dar es salaam na huko angeomba msamahaa Kwa mume wake Nickson,ili maisha yao ya ndoa yaweze kuendelea, alijilaumu sana kwa mambo aliyokuwa anafanya na simu alizokuwa akipiga kwa Nickson hazikupokelewa kabisa iyo ilimuuma zaidi,kwa sababu hiyo alitaka afike Dar es salaam na akutane na Nickson ili wayamalize.
Baadaye mkutano ukawa umeisha Mchungaji Patrick akashuka kwenye madhabau na hapo ndipo fujo ilipoanza, kila mtu alitaka kumshika mkono mchungaji Patrick,Gloria akajitahidi na kusukumiza watu mpaka akafika mbele ya gari la mchungaji.
“Bwana asifiwe mchungaji”
Gloria alipaza sauti na kutoa mkono kwa Mchungaji Patrick,kutokana na umati wa watu wengi na jinsi Gloria alivyokuwa katika hali ya uchafu hakuweza kumtambua kiurahisi, akampa mkono na kumuitikia kama alivyofanya kwa waumini wengine,lakini alivyotaka kuutoa mkono wake akashindwa Gloria alikuwa ameung’ang’ania, hapo ndipo akatupa jicho ili kutaka kujua ni kitu gani kilichomfanya muumini huyo amvute!
“Mchgungaji Patrick,Mimi ni Gloria Mke wa Nickson nahitaji maombi yako tafadhali,Mume wangu Nickson nataka kurudiana naye nimemkosea sana nahitaji kutubu Mchungaji tafadhali usiniache Mchungaji”
Mchungaji Patrick alisimama na jopo la wenzake wakabaki kumuangalia mwanamke anayelia machozi huku akipiga magoti,alimtizama kwa umakini kama mtu anaye fananisha kitu kisha kumuinua.
“Kwa Yesu mambo yote yanawezekana Gloria simama twende nyumbani,Mchungaji Charles naomba huyu dada aingie ndani ya gari la mbele”
Mchungaji alitoa kauli hiyo akaendelea kuagana na watu kisha kuingia ndani ya gari,msafara wa magari ukaanza kuondoka huku waumini wakiendelea kupunga mikono.
Gloria akiwa ndani ya gari alizidi kulia machozi huku akitaka kuonana na Mchungaji Patrick ili atubu dhambi zake.
“Dada umefika mahali patakatifu,sisi ni watumishi wa Mungu dhambi zako zimesamehewa”
“Kweli,Na..omba tu ndoa ya..ngu irudi nampemda sa..na mume wangu,Mchungaji Patrick yuko wapi?”
“Yupo kwenye gari la pili kutoka hili”
“Kweli,ataniombea na ndoa yangu itarudi na mtaibariki?”
Lilikuwa ni swali lingine kutoka kwa Gloria.
“Ndio kazi yetu,Mungu ndiyo ametutuma duniani kufanya vitu kama ivyo”
“Nataka kuokoka namimi”
“Upo tayari kumpokea bwana Yesu awe mwokozi wa Maisha yako?”
“Ndio nipo tayari”
Wachungaji na waumini wa Mungu walishangilia na kuanza kuimba nyimbo za kuabudu humo humo ndani ya Costa,Waliamini kwamba malaika waliokuwa mbinguni walikuwa wakiimba na kufurahia.Kwa mwendo wa dakika kumi wakawa wameingiza magari yao ndani ya Hoatel iliyoitwa Gold crest Hotel.Costa zote zikazama ndani Gloria akashuka na Mchungaji Patrick ndipo alipotokeza.
“Mchungaji Charles na Muinjilisti Naike njoeni na huyo binti”
Jambo hilo likafanyika mara moja wakaenda mapokezi kuchukua funguo, wakaingia mpaka chumbani kwa Mchungaji Patrick,Gloria akapewa chakula ale na akaoneshwa chumba cha kuoga,akanawa kisha akapewa nguo nyingine mpya za kuvaa.
“Gloria Shayo,nini tena kimekutokea katika maisha yako?”
Hilo ndilo lilikuwa swali kutoka kwa Mchungaji Patrick.
“Mchungaji,Mungu anisamehee nimemkosea sana Nickson.Sidhani kama nitasamehewa”
“Nieleze tu,ilikuwaje”
Bila kuficha kitu chochote Gloria alianika kila kitu wazi,akaongea mambo yote yaliyomtokea katika maisha yake, jinsi alivyomkosea Nickson,alimwaga machozi na kulia kwa Kwikwi ni kweli alidhamiria kutubu dhambi zake zote.Ni wazi kwamba alijuta na alimuhitaji Nickson kwa garama yoyote ile,Mchungaji Patrick aliguswa akamwangalia Gloria usoni.
“NAWAAMBIA,KUNA FURAHA MBELE YA MALAIKA WA MUNGU KWA AJILI YA MWENYE DHAMBI MMOJA ATUBUYE,fungua Luka 15;10 bwana asifiwe sanaa”
Mchungaji Patrick alisema mistari hiyo kisha kusimama na Biblia, akafungua akaendelea kusoma.
“Simama Gloria,tuombe kwa pamoja”
Kuanzia hapo kilichosikika ni kelele za ‘SHINDWA SHETANI KATIKA JINA LA YESU’.
“Rakaraba shikaraba shikarababorite…..”
Mchungaji Patrick akazidi kusema na roho mtakatifu na maneno aliyokuwa anayaongea aliyaelewa mwenyewe.Baada ya lisaa limoja maombi yakawa yamekwisha na Gloria akapewa chumba akapumzike,tangu siku hiyo Mchungaji Patrick akawa anazunguka naye Mwanza kuhubiri injili na akafundishwa neno la Mungu,akawa anajua Biblia na baadhi ya mistari.
“Midomo ya uwongo ni chukizo kwa BWANA….”
“Bali watendao uaminifu ndio furaha yake”
Gloria alijibu na Mchungaji Patrick akatabasamu.Biblia ilikuwa imemuingia karibia yote kichwani akawa ameimeza.
“Kwenye maombi yako usije kusahau kuwaombea wajane”
“Amen Mchungaji”
“Usiku mwema”
Mchungaji Patrick akatoka chumbani mwa Gloria saa saba za usiku akaingia chumbani kwake.

Pamoja na kumfanyia mambo yote hayo mchungaji Patrick alikuwa ana mahesabu yake makali kupita kiasi kwa asilimia Fulani ilikuwa teyari amejipa matumaini.
“Huyu ngoja nizidi kumuweka karibu,Mimi ndiyo Mchungaji Patrick huyu atakuwa nyumba yangu ndogo,simba mwenda pole ndiyo mla nyama siku zote”
Maneno aliyokuwa akiyatamka Mchungaji Patrick kama kuna mtu angeyasikia asingeweza kuamini hata kidogo kama ndiye huyu mtumishi wa Mungu aliyekuja Duniani kutangaza habari nzuri za neno la bwana.
****
Mchungaji patrik na 'team' yake nzima walizunguka karibia jiji zima la Mwanza walianza na Igombe,Kayenze,Karumo,Busisi wakamalizia Capri point,Jiji zima la Mwanza lilizizima kila mtu alitaka kumuona Mchungaji Patrick cha kushangaza siku za mwishoni Mchungaji Patrick alipenda sana kuwahi kulala,saa moja jioni tu aliwaaga wenzake na kuingia chumbani kwake akidai kwamba anaenda kuongea na roho mtakatifu.
Hakuna mtu aliyeweza kutegua kitendawili hicho kila mtu aliamini kwamba Mchungaji yupo kwemye maombi ya kiroho kwa msisitizo aliwaambia kuwa hata wasiwe wanamgongea chumbani.
“Wacha mimi nikalale ndiyo mida yangu ya kufanya maombi,msisahau kusali. Mnakumbuka Bwana Yesu alivyowaambia wanafunzi wake alivyoenda kusali katika milima ya Yordan?”
“Ndio mchungaji”
“Wacha mimi niende chumbani kwangu,Amani ya bwana iwe nanyi”
Mchungaji Patrick aliwaaga wenzake kisha yeye kupandisha ngazi,mpaka gorofa ya nne badala ya kuingia chumba chake namba 104 yeye alizama chumba namba 106 karibu kabisa na chumba chake,hicho chumba ndiyo siku zote kilimfanya awahi kulala.
Mchungaji alipata mwanamke wa Kitanga katika kuhubiri kwake siku za mwishoni.Wakapanga njama, mwanamke huyo nayeye akawa amepanga ndani ya Hotel hiyohiyo.
“Karibu Baby”
Msichana mrembo aliyekuwa amelala na Kanga moja,alimkaribisha Mchungaji Patrick chumbani kimahaba.
“Darling,umenisubiri sana eeh?”
“Ndio,wewe si unajifanya unasali sana”
“Lazima nitengeneze mazingira kidogo ya kuwazuga si unajua mambo Fulani tena”
Mchungaji Patrick akasogea mpaka kitandani akapanda na kuanza kumla Denda msichana huyu wa kitanga aliyekuwa amekamilika kila idara.
“Fatma”
“Abee”
“Wewe unayaweza sana,mimi nilikuwa nikisikia kuhusu Tanga,aisee”
“Mchungaji tulia mimi ndio Fatma binti Hassan”
Fatma alimvuta mchungaji Patrick na kumtupa chali,akaanza kumtoa nguo moja baada ya nyingine taratibu huku akimshika kila sehemu ya mwili wake,Mchungaji Patrick alikamatika akawa anahema tu asemi kitu.Lisaa limoja baadaye mchungaji Patrick alichomoa laki moja na kumkabidhi Fatma baada ya mchezo kuisha,saa kumi na moja asubuhi akanyata mpaka chumbani kwake na kuingia bafuni kuoga.
****
Baada ya wiki moja kutimia ziara ya Mchungaji Patrick ikawa imeisha wakawa wapo njiani kurudi jijini Dar es salaam usiku sana,waliwasili mkoani Dar es salaam saa saba ya mchana na kitu cha kwanza kukifanya Mchungaji Patrick ni kumpigia simu Nickson baada ya kufika kanisani kwake.
“Ndio uje hapa Kanisani”
“Sawa mchungaji”
Simu ikakatwa, Gloria akawa ana hamu ya Kumuona Mume wake tena.Lisaa limoja baadaye mlango wa ofisi ya mchungaji ukagongwa na Nickson akaingia ndani,Moyo wa Gloria ukapiga kwa nguvu akapiga magoti hapo hapo na kuanza kulia akiomba msamaha ili asamehewe.
“Mchungaji,naomba unisamehe kwa hilo sitoweza kumsaheme huyu mwanamke Mungu atanisamehee”
“Nickson embu kaa kwanza chini”
Nickson akawa amekaa kwenye kiti hakutaka hata kumtizama Gloria, sababu alimtia kichefuchefu kila alipokuwa anamuangalia.
“Huyu ni nani yako?”
“Mchungaji ndiyo swali gani hilo?”
Nickson alijibu kwa swali.
“Ni swali,naomba unijibu”
“Ni Gloria, Mke wangu”
“Kanisani mliweka kiapo gani?”
“Hata kama,lakini mchungaji hivi unajua kuwa shetani nayeye alikuwa malaika?”
“Sisi wakristo hatupo ivyo”
“Mchung…”
Mchungaji Patrick akasimama na kuwaita wachungaji wenzake wote, wakajazana ofisini,wakaanza kuimba nyimbo za kusifu na kuanza kusali,huku Mchungaji Patrick akimshika Nickson kichwani.
“Baba wa Majeshi,naomba shetani aliyekuwa ndani ya kijana huyu ashindwe katika jina la Yesu,Pepo shindwa,pepo baya nakutoa katika jina la yesu”
Mchungaji Patrick alidondosha maombi.
“Oyaa Mchungaji eeh,mimi sina mapepo,embu niacheni niende zangu…”
“Pepo la kiburi lishindwe katika jina la Yesu Shindwa katika jina la Yesu,huna mamlaka ya kunijibisha”
Mchungaji Patrick alizidi kuomba na wenzake wakazidi kulitaja jina la Yesu,Kwa upande wa Nickson hakuhisi chochote, alivyozidi kuongea ndipo walizidi kupaza sauti wakisali, wakidhani kwamba wanabishana na pepo.

 “Mchungaji,naomba mniachie niende bwana nina majukumu mengi sana ya kufanya,mimi sina mapepo”
Hilo ndilo kosa alilofanya Nickson la kupaza sauti huku akisimama,wakamtuliza kwenye kiti na kuzidi kumshushia maombi,wachungaji wakazidi kuingia ndani kwa nia ya kutoa msaada baada ya kusikia kelele zinazidi!
“Pepo hili sugu Mchungaji,embu mwite Mchungaji Onesmo aje mara moja nayeye”
Wachungaji wakazidi kujazana na baadhi ya waumini waliokuwa kanisani siku hiyo wakisikiliza semina,Nickson akazidi kuombewa ilimbidi tu akae kimnya sababu alishaelewa kwamba akiendelea kupiga kelele wangezidi kumuombea.
“Sasa hivi unajisikiaje?”
Mchungaji Patrick alimuuliza Nickson baada ya kumuona yupo kimnya anawatizama.
“Niko sawa,naombeni niende”
“Hapana Nickson,huwezi kuondoka bila mke wako ni wazi kuwa unahitaji maombezi ya kina.Gloria amenieleza kila baya alilokufanyia hapo nyuma lakini hupaswi kufanya hayo mambo, inakubidi umsamehe”
“Mchungaji siwezi,nishasema”
Gloria aliangua kilio kwa sauti alivyosikia Nickson ametamka sentensi hiyo,akadondoka kwa magoti mpaka miguuni kwa Nickson akatubu dhambi zake zote.
“Nic..ckson mume wangu nisamaheee nakupenda bado, Yule ni shetani tu ali..kuwa nda..ni yangu”
Gloria alilia kwa kwikwi.
“Sio shetani,wacha kumsingizia shetani ni wewe mwenyewe, mara ngapi ulikuwa ukiniomba msamaha kama hivi mimi nakubali,mimi si uliniona fala nakupenda sana,eti”
“Usiseme ivyo Nickson,Mimi ni Gloria wa Tofauti,sio Yule tena”
“Acha unafki,kwanza naomba niondoke.Ahsanteni kwa maombi”
Nickson alivyosimama Gloria akawa ameushika mguu wa Nickson na kumfanya asiweze kutembea, kila alipotaka kujivuta alishindwa,Gloria aliung’ang’ania mguu wa Nickson huku akilia machozi kama mtoto mdogo, ni kweli moyoni alihisi anahitaji msamahaa na alielewa kuwa ni shetani ndiyo aliyempitia, akaapia kuwa hatorudia tena,hata wachungaji pia walikuwa kimnya wametulia wakawa kama watu wanaongalia sinema ya kuigiza tu.

Machozi ya Gloria na jinsi alivyokuwa akiomba msamaha ghafla Nickson akawa amerudisha moyo wake nyuma akaingiwa na huruma,picha ya mtoto wake Sonia ikamjia kichwani dakika hiyohiyo alishaelewa kwamba angeteseka bila ya kupata mapenzi ya Mama,hilo ndilo likamfanya amuinue Gloria taratibu juu ya sakafu!
“Gloria”
Nickson akaita huku akimfuta machozi mke wake akitumia viganja vyake.
“A..be …eee”
“Nimekusamehee mke wangu”
“Haleluyaaaaa”
Wachungaji wote wakakenua meno yao,huo ulikuwa ushindi mkubwa sana kwao.Nickson na Gloria wakakumbatiana, kabla ya kuondoka mchungaji aliomba wasali kwa pamoja wakimshukuru Mungu,baada ya sala fupi Nickson na Gloria wakatoka nje.
“Nickson nakupenda sana,naomba nikuhaidi kwamba sitorudia tena na kwa kukudhihirishia hili nimeamua kumpokea Yesu Kristo awe mwokozi wa maisha yangu,tafadhali naomba nawewe uokoke”
Gloria akawa anamshawishi Nickson ajaribu kulifuata neno la Mungu, hakuelewa kwamba haongei na mtu,mawazo ya Nickson yalisafiri maili nyingi akawa anamuwaza Rukia,ni jinsi gani atalifaidi penzi lake ni kweli alishaanza kumpenda Rukia kupita kiasi.
“Nickson,Nickson nakuongelesha”
“Naam,Naam Mke wangu.Tunaenda nyumbani bwana asifiwe, nilikuwa nakusikiliza hapa. Sawa nitaokoka namimi, wala usijali kwa hilo”
Swala la Rukia likazidi kumchanganya, akili yake yote ilihama kabisa akajisahau kuwa yupo barabarani anaendesha gari, japokuwa macho yake yalikuwa mbele,mkono mmoja ulikuwa juu ya usukani huku mwingine akiwa ameweka kwenye kioo ameukunja ameshika tama.
Dakika kumi hazikuwa nyingi wakawa wamefika nyumbani tayari,Wa kwanza kuingia akawa Gloria akakutana na Rukia mlangoni.
“Shikam..o Mama”
“Marahaba za hapa Rukia,jamani ndiyo umenenepa kiasi hiki?”
“Ndiyo Mama,karibu ndani,Shikamoo Baba”
Rukia nayeye alikuwa ana akili ya kuzaliwa, akajiongeza hakutaka kuharibu mambo, japokuwa moyo wake ulijawa wivu ajabu.Nickson na Gloria wakapitiliza mpaka chumbani kwao kisha mlango ukafungwa.
*****
“Ahhhhsssh aaaah Nic….kson ba…si aaaassh ssshsss aaaah mhhh,na…kupenda saaana mmmhh aaahshhhhs”
Sikio la Rukia lilinasa mawimbi,alikuwa mlangoni amelitega na aliweza kusikia jinsi Gloria alivyokuwa akiguna chumbani, moyo ulimuuma kupita kiasi,alishazoea kulala na Nickson chumbani humo,Gloria akawa ameingilia penzi lao ambalo lilikuwa teyari limeanza kuiva.
Alichukia na akatamani kugonga mlango nayeye aweze kuingia ndani.
Sauti ya Gloria ilizidi kuamsha wadudu wake.Mambo aliyokuwa akiyasikia ndivyo yalizidi kumuumiza nafsi,akiwa ana kanga moja peke yake nayeye alijikuta anajiingiza vidole ndani ya ikulu yake na kuanza kujishika shika kila sehemu mpaka maziwa yake ili kujiburudisha lakini hiyo haikutosha,
Ivyo ndivyo Rukia alikuwa akifanya kila siku ya Mungu ikifika usiku.Siku zikawa zinaenda mawasiliano aliyokuwa nayo na Nickson yakapungua kwa asilimia sabini,moyoni aliumia akawa anamchukia mno Gloria lakini hakutaka kulionyesha swala hilo waziwazi, alihofia kufukuzwa kazi na bosi wake Nickson.
Siku hiyo asubuhi alivyokuwa akitoka chumbani alikumbana na Nickson korido.
“Nickson”
Rukia akaita kwa sauti ya chini.
“Nini?”
“Mbona unanifanyia ivyo?”
“Nakufanyia nini?”
“Hujui au?mbona hunipi huduma?”
“Si unaona mke wangu amerudi,mambo hayo tuyaache tu”
“Unasema?”
Jinsi walivyokuwa wananong’ona,mfano angepita askari angewakamata hapohapo, hawakutofautishwa na watu wahalifu wanaopanga mikakati ya kuvamia benki kuu!
“Kama ulivyosikia”
“Nina mimba yako Nickson”
“Whaaaat?”(Nini)
Nickson aliuliza kwa kimombo, kuonesha kwamba ameshtuka kupita kiasi.
“Ndio ivyo,nina mimba tayari”
“Unasema una… una sema ukweli?”
“Ndio”
“Itoe,kama kweli itoe, sitaki kabisa mambo ya kuzaa nje ya ndoa”
“Siwezi Nickson”
“Kwanini?Kwanini usiwe…ze..? embu baki nasisi hapa, sasa ukiondoka unadhani itakuwaje hata kama kuna msiba mimi nitatuma rambi rambi,Sonia si unajua bado mdogo sana?usiondoke Rukia,Ongea na Ndugu zako kwanza”
Ghafla Somo likabadilika, Nickson akazuga baada ya kusikia mlango wa chumbani kwake umefunguliwa,hakuna mtu mwingine ambaye angeweza kufungua mlango isipokuwa Gloria.
“Sawa!Shikamoo Mama”Rukia nayeye akajiongeza.
Ni kweli aliyetokeza alikuwa ni Gloria,akapita mpaka seblen na kuanza kunywa chai.
“Mama Sonia,mimi naenda! baadaye basi”
“Sawa Mpenzi,baadaye”
“Atakuwa kasikia nini?tulivyoongea na Rukia”
Nickson aliwaza huku akitoka Seblen na kuelekea nje akawasha gari na kutimua mbio mpaka ofisini kwake,aliwaza vitu vingi mno aliwaza kama ni kweli Rukia alikuwa ana mimba ingekuwaje,ilikuwa ni aibu kubwa kumpa ujauzito mfanyakazi wake wa ndani,akavuta picha mpaka kwa mama yake angefanya nini endapo angebaini ukweli huo.
Akatamani ardhi ipasuke aingie ndani ili akimbie aibu.
***
Ni kweli Rukia hakutania, alikuwa amenasa. Tayari alikuwa ana mimba, dalili zilionekana baada ya wiki tatu kupita ili kudhibitisha hilo alitumia kifaa kidogo cha kupima mimba ni kweli alikuwa nayo haikuwa utani,na baba wa mtoto huyo hakuwa mwingine bali ni Nickson bosi wake!kutapika na kulala mara kwa mara kulimfanya Gloria aanze kuhisi hali ya utofauti kwa mfanyakazi wake wa ndani.
“Wewe Rukia”
Siku hiyo saa tano asubuhi Gloria hakukuta chai mezani alivyofungua mlango alimkuta Gloria amelala.
“Abee Mama”
“Mbona sikuelewi siku izi?”
“Hapana Mama”
“Hapana Mama ndiyo nini?unaumwa?”
“Mhh mhhh”
Alitingisha kichwa kukataa.
“Sasa nini tatizo?”
“Hakuna kitu Mama”
“Sasa hakuna kitu mbona sioni chai mezani?alafu Sonia mpaka sasa hivi hujamuogesha,Eiii naongea nawewe”
Gloria alifoka kwa hasira akaacha maagizo kuwa Rukia awe keshapika chai na mtoto awe keshaogeshwa muda huo huo.
Kadri siku zilkivyozidi kwenda ndipo hali ya Rukia ilizidi kuwa mbaya, alishikwa na homa kali kupita kiasi lakini alijikaza,alielewa kitendo cha kusema anaumwa angepimwa mimba na alitaka swala hilo liwe siri kubwa.
Siku hiyo ya Jumamosi kila mtu alikuwepo seblen asubuhi, Rukia akawa anaandaa chai akaweka vikombe na Semosi juu ya meza.Ghafla katika hali ya kushangaza alihisi kizunguzungu puu! akadondoka hapohapo mpaka chini,Nickson na Gloria walishindwa kuelewa ni kitu gani kilichomfanya adondoke, walichokifanya harakaharaka wakamchukua na kumpakiza ndani ya Gari,safari ya kwenda hospitali ikaanza mara moja.
“Huyu binti ana mimba ya miezi mitatu”Daktari alitoa majibu.
Nickson alihisi kinyesi kinambana,jasho jembamba lilimtoka, sio kwamba habari hizo zilikuwa ngeni kwake lakini alishindwa kuelewa ataiweka wapi sura yake na jinsi alivyokuwa anaheshimika, mbali na hapo Gloria alikuwa teyari amebadilika na kuwa mke mwema tayari.
“Dokta unasema?”
Gloria akauliza kwa shauku.
“Ana ujauzito”
“Okay sawa”
Gloria akajibu kinyonge,jambo hilo likazidi kumpagawisha Nickson,wote wakatoka kwenye viti na kwenda kumchukua Rukia,kutokana na hali yake kuwa shwari,wakaondoka naye mpaka nyumbani, mpaka hapo Gloria hakutaka kuuliza chochote.
Jambo hilo likazidi kumuumiza sana akili Nickson, mawazo tele yakamjaa kichwani kupita kiasi hata siku moja hakumsikia Gloria anazungumzia habari za Rukia, zaidi alimuona akiwa ana habari na Sonia tu.
“Baby”
Siku hiyo Nickson akamuita Gloria wakiwa chumbani.
“Yes Darling”
“Hivi hujawahi kufanya utafiti juu ya huyu Rukia kuhusu mimba yake,mshaongea lolote kuhusiana na hiyo Mimba yake?”
Nickson alipima maji.Badala ya Gloria kujibu alimkata jicho kali la hasira.

 Jicho la Gloria lilimtisha Nickson akajua teyari mambo yameharibika,lakini hakutaka kulipa jambo hilo kipaumbele akajikausha kama hajui linaloendelea.
“Nickson”
“Naaam”
Gloria alimtizama Mume wake na kushusha pumzi ya uchovu na kuendelea kuongea.
“Unajua kuwa mimi siyo mtoto mdogo”
“Ndio najua Mke wangu”
“Unanipenda?”
“Sana tu”
“Sasa nachokuomba,Rukia sitaki kumuona hapa nyumbani kuanzia kesho,kama kweli unanipenda au kama kweli mimi ni mkeo”
“Rukia anatusaidia sana hapa nyu….”
“Nyamaza Nickson,mimi sio mjinga kiasi hicho,najua hiyo mimba ni yako hilo nalielewa sana kaniambia kila kitu, tafadhali sitaki kumuona hapa nyumbani maana nitamuuwa”
Gloria alitibuka kama kiboko Mtoni,akanyanyuka kwa hasira na kutoka nje.Damu ya Nickson ilimwenda mbio ikasukumiza mapigo yake ya moyo kwa nguvu,akashindwa kuelewa ni kitu gani akifanye kwa wakati huo.Alichoongea Gloria ni kweli alikimaanisha, aliingia chumbani kwa Rukia kwa hasira.
“wewe malaya naomba unisikilize kwa makini,kesho naomba uondoke hapa ndani kabla sijafanya kitu kingine kibaya,kwa usalama wako”
Nickson akawa amefika yupo nyuma ya Gloria anajitahidi kumvuta atoke nje waongee.
“Gloria njoo tuongee”
“Uongee nini sasa namimi?Utaongea nini Nickson?ishatokea maji yashamwagika huwezi kuyazoa,sitaki kumuona Rukia.FULL STOP”
“Gloria”
“SHUT UP NICKSON”
Gloria alizidi kufoka huku akitetemeka kwa hasira kifua chake kikapanda juu na kushuka hakuna siku aliyojaa wivu kama siku hiyo,hakutaka kuelewa chochote alichotaka ni Rukia aondoke mara moja,msimamo wake ukabaki kuwa ivyo ivyo.
Kama masihara, kesho yake Rukia alikuta vitu vyake vipo nje kuanzia nguo mpaka viatu, Gloria alidhamiria kumfukuza kabisa kabisa,hakutaka kuishi na mwanamke mwenye mimba ya Mume wake.
“Unachofanya sio vizuri Gloria”
“Sio vizuri nini?atoke hapa,Rukia ondoka sasa hivi,kama unataka uhai”
Mifuko ya nguo ilizidi kurushwa nje na Gloria,Nickson hakuwa na la kufanya jambo alilolifanya mke wake aliliona ni sawa kabisa,ni kweli alitenda kosa.Hakutaka kuhesabu mangapi aliyofanyiwa na Gloria sababu walishaamua kufungua ukurasa mpya wa mapenzi yao hakutaka kukumbuka lolote lile.

Huo ndiyo ukawa mwisho wa Rukia kufanya kazi kwa Nickson, akaokota mifuko yake huku akilia machozi, akatembea mpaka barabarani ili kutafuta dalaladala, kwa senti mbili tatu za mshahara alizokuwa nazo aliweza kupata usafiri na aliamini kwamba zingemfikisha mkoani kwao, akamzae mtoto wake na kumlea,hakutaka kuitoa mimba hiyo hata kidogo!
***
Maisha ya Gloria na Nickson yakazidi kusonga mbele.Hatimaye Nickson akaamua kuokoka kabisa akaongeza upendo mara dufu kwa mke wake,Miaka ilisogea huku Sonia akizidi kuwa mkubwa,mpaka hapo uzuri wa Sonia ukaonekana machoni mwa Watu,kila mwanamke aliyemuona Sonia alitamani mtoto huyo awe wake,Japokuwa alikuwa mtoto mdogo lakini alitishia kwa uzuri.Akazidi kuwa mweupe kupindukia,rangi za wazazi wake zilimkaa vizuri.Uzuri wa Gloria na sura nzuri ya Nickson vikachanganyika ndani ya mtoto huyu akawa tetemesho, kila mtu alikuwa anasema yake.
“Mama Shayo,huyu mtoto wako ni mzuri khaaaa,kweli vya kuridhi vinazidi…Macho kachukua kwako Midomo ya Baba yake aisee hii combination nimeikubali,kama mmemuumba nyie”
Muumini mmoja wa Kanisa la Mchungaji Patrick alikuwa akiongea na kumsifia Sonia baada ya kumuona.
“Ni Mungu tu”
Gloria akajibu huku akitabasamu hata yeye alijivunia kuwa na mtoto mzuri kama huyo,japokuwa yeye vilevile alikuwa keshazaa lakini uzuri wake ulitulia na ndiyo kwanza uliongezeka,kutokana na vipodozi alivyokuwa akivitumia.
Siku hiyo Nickson hakuongozana naye kanisani alikuwepo peke yake,akaingia ndani ya Landcruiser V8 na kumuweka Sonia vizuri kwenye viti vya Nyuma!
“Mamiiiiiiiii…chodaa nataka choooda na aichikrimu”
Sonia alisema na mama yake akatoka Nje kumtafutia mwanaye anachokitaka.
“Mama Shayo”
Sauti hiyo ikamshtua,akageuka nyuma.
“Mtumishi,bwana asifiwe”
“Amina ,Amina”
Muumini mwenzake aliyeitwa MTUMISHI alikuwa pia ni kiongozi wa kwaya kuu ya kanisani hapo.
“Nina maongezi nawewe”
“Sasa hivi?”
“Hapana,nadhani hata baadaye kidogo sio mbaya”
“sawa wacha nikamnunulie mtoto soda,tutazungumza, namba yangu si unayo?”
“Ndio ninayo”
“Aya”
Kitendo cha Gloria kuanza kutembea,kilimfanya Mtumishi aanze kumsindikiza kwa Macho ya kuibia huku akitembea mbele,alikuwa akigeuza shingo yake nyuma mara kwa mara ili amshuhudie Gloria anavyotingisha kwa nyuma,udenda ulimtoka katika hali ya kushangaza akagongana kikumbo na Mchungaji Patrick aliyekuwa mbele yake.
“Bwana asifiwe mchungaji.Nina mawazo mengi sana ala….”
“ULIKUWA ukiongea nini na Mama shayo?”
“Nilimwambia tuonane baadaye,kuhusiana na mambo ya Kwaya,nataka awe mwanakwaya”
“Naomba uje ofisini kwangu”
***
Sonia alizidi kutingisha kwa uzuri kupita kiasi,uzuri wake haukuweza kuelezeka kiwepesi wengi walimtabiria anaweza akawa miss Dunia miaka ya baadaye,nywele zake za singasinga ndiyo ikamfanya azidi kung’aa zaidi na zaidi,alikuwa ana umri wa miaka nane lakini alishaanza kuwa mrembo,hakuna mtu aliyeweza kuamini kuwa kuna watoto kama hao duniani,kila aliyemuona alimbeba.
Baba yake alimpenda kupita kiasi, akamgharamia kumtafutia mwalimu atakayekuja kumfundisha mtoto wake nyumbani kwake.
“Mama Sonia,wiki ijayo tunahamia kwenye nyumba yetu ishaisha tayari”
“Ndio nilitaka nikuulize sasa hivi umeniwahi”
“Ndiyo ivyo wiki ijayo,anza kujiandaa”
Hivyo ndivyo ilivyokuwa, wiki moja ilivyokatika wakawa wamehama kwenye nyumba ya kampuni.Ikawa furaha kubwa sana kwa Nickson.Akatoa kanisani fungu la kumi kumshukuru Mungu wake kwa jambo alilomfanyia, aliamini kuwa bila MUNGU asingefanikiwa.
Nyumba ikawa imeongezeka kuwa na furaha wote wakafunga macho na kusali.

SIKU ZOTE MCHUNGAJI PATRICK ndani ya moyo wake alitamani vibaya sana kuwa na Gloria kimapenzi na aliamini kwamba muda huo kwake ulikuwa muafaka,haraka akampa cheo kanisani ili iwe rahisi kwake kusafiri naye atakavyo,ivyo ndivyo ilivyokuwa, ghafla akawa kiongozi wa wanakwaya.Mipango ya safari ikaandaliwa na Gloria akateuliwa kwenda kutoa neno katika kanisa la kipentekonste Mkoani Iringa.Mambo yakafanyika haraka, kanisa likatoa shilingi milioni sabini kwa ajili tu ya safari.
“sawa sina neno Mke wangu.Ni kazi za Mungu hizo uzidi kutuombea tu”
“Amen Mume wangu nitafanya ivyo,kila siku ninaiombea familia hii”
Nickson alikuwa nyuma ya kila kitu,hakuelewa jambo lolote na mipango ilivyokwenda, alimuamini mke wake pia na Mchungaji Patrick,akamruhusu Mke wake na kumpa kiasi cha shilingi laki tatu kama matumizi ya huko atakapokwenda.
Kesho yake Gloria akawa njiani kuelekea Iringa wakiwa kwenye msafara wa magari ya kanisa.

Jioni ya siku hiyo wakafikia katika wilaya ya Kilolo,hapo walipokelewa kwa kuwa walijua ujio wao.WALIPIGA MAOMBI na kumshukuru Mungu kwa kuwafikisha salama,wakatafuta nyumba za wageni kila mtu akatafuta chumba chake,kulikuwa kuna baridi mno hazikupita hata dakika tano mvua kubwa ikaanza kunyesha.Mchungaji Patrick akazinduka usiku mnene akasimama akagonga mlango wa Gloria.
“Nani?”
“Mchungaji Patrick”
Gloria hakuwa na tatizo akafungua mlango Mchungaji Patrick akazama ndani,japo alishindwa kuelewa ujio huo wa usiku ulikuwa una maana gani,hakutaka kuweka mashaka yoyote sababu alimuamini sana mtumishi huyu wa Mungu.
“Inabidi tuombe,kuna vitu nimeviota vibaya sana,Mungu naona anajaribu kunionesha kitu”
“Sawa tusali”
Hilo ndilo likawa kosa kubwa la Gloria kuyafumba macho yake,Mchungaji Patrick akatoa kitambaa chake alichokinyunyizia madawa makali mno ya usingizi, akampiga nacho Gloria puani huku akijifanya kusali,Kizunguzungu kikali kikamkamata Gloria,kabla ya kudondoka chini akadakwa na Mchungaji Patrick,akamuweka kitandani taratibu akaenda kuufunga mlango vizuri na ufunguo, hakuamini kama teyari yupo Chumba kimoja na Gloria tena wakiwa wawili tu,
kama umeme akaanza kuvua mkanda wake, akatoa nguo zake zote mwilini.Akamvua Gloria nguo zake kisha akapanda kitandani na kuanza kufanya tendo baya na mke wa muumini wake.
****
“Asshss ahhsss ahaaa na..ku..pen..da sana”
Hizo ndizo kelele alizokuwa akipiga Gloria baada ya kuwekwa Mbuzi kagoma, akiwa ameshika moja ya pembe ya kitanda,mchungaji Patrick tayari aliweza kumlanghai na pesa za kanisa,Gloria alivaa vitenge vya Wax vya bei mbaya kutoka Nigeria, akazidi kuwa mzuri akalewa na sifa za kila mtu,
hakukuwa na mtu hata mmoja aliyewawekea mashaka Mchungaji Patrick na Gloria,jambo hilo lilikuwa siri na mara nyingi walisafiri pamoja.Gloria alikuwa amelala kifudifudi Mchungaji Patrick yupo juu yake akavuta mto akauweka chini ya Tumbo la Gloria akawa amebinuka kwa nyuma kama bajaji za india,mambo yakazidi kuendelea huku Gloria akizidi kutoa miguno ya huba,ghafla akabinuliwa na kuwekwa kifo cha mende mguu wake mmoja ukawekwa mabegani mwa Mchungaji Patrick akazidi kukizungusha kiuoni kama sio yeye huku akitoa miguno ya ki utu uzima.

Hayo ndiyo yalikuwa maisha yao kila siku.Kuanzia hapo michango ya kanisani haikuisha waumini walichanga na pesa hizo zilitumiwa na Mchungaji Patrick pamoja na Gloria wakifanya starehe.Mara ghafla akaanza tena kuleta kiburi kwa mume wake, tabia zake zikabadilika, Mchungaji Patrick alimpa bichwa!
“Mke wangu mbona siku hizi sikuelewi?”
“Hunielewi kivipi tena?”
“SASA hivi unatoka wapi?”
“Kanisani”
“Kanisaniiiii?”
“Ndio,Kanisani”
Nickson akatupa macho yake juu ya saa ya ukutani ilikuwa ni saa nane ya usiku.
“Kanisa gani hilo usiku?”
“Wewe jua ivyo,naomba nipite nimechoka tafadhali”
Nickson hakutaka kuhoji tena.Kitu kilichomchanganya akili zaidi usiku huo Nickson, ni baada ya kunyimwa Unyumba, jambo hilo ndilo likamvuruga kabisa,alivyokuwa akimgusa Gloria kiuno, mkono wake ulitupwa mbali.
“Mke wangu”
“Nini?Nimechoka naomba nilale pleaseee niache”
“Mimi nina hamu sana,ni siku nyingi sana ujue tangu uondoke umekuwa bize mno,naomba haki yangu nimezidiwa”
“Nenda kapige puchu chooni leo”
Jibu hilo likamchanganya sana Nickson,alibaki akitetemeka, karoti yake ilikuwa imesimama na kweli alikuwa ana hamu na mke wake kupita kiasi na jinsi alivyokuwa amevalia nguo ya kulalia mishipa ya karoti yake ikawa imekakamaa kupita kiasi akitamani tendo la ndoa,kila alipojaribu kumshika mke wake, alikaripiwa!


 Pamoja na Nickson kutumia nyimbo zote za kumuimbisha, akitumia saundi na ujanja wa mjini akitaka kumshika Gloria sehemu ambazo aliamini kuwa ni Udhaifu katika mwili wake lakini wapi!
alikuwa anafanya kazi ya kutwanga maji kwenye kinu,Gloria alizidi kuutupa mkono wake mbali,hakutaka kabisa kushiriki naye kimwili,hisia na mume wake hakuwa nazo kabisa katika mwili wake,Nickson alijikaza akajikuta anajikamata mwenyewe,akatembea na kutoka chumbani ambapo alizama bafuni na kushusha boxa yake,alichokuwa anakifanya alikijua mwenyewe.Baada ya kukidhi haja zake alirudi kitandani na kulala.
****
Ilikuwa ni sherehe kubwa iliyokuwa ikifanyika nyumbani kwa Mchungaji Patrick,baada ya mtoto wake wa kiume kumaliza kidato cha nne na kupasua, alifaulu na kupata alama za juu yaani DIVION I.7, masomo yote alibutua akaweka alama A, Baba yake akamfurahia na ndiyo hiyo siku mama yake alirudi akitokea nchini Israel kuubiri injili,hiyo ikaongeza furaha.Waumini walijazana nyumbani kwa mchungaji Patrick.
“Alex Mwanangu,hongera sana hakika umeweka heshima kwenye ukoo wa Mwandambo,Mungu ni mwema sana.Na nina imani atakuongoza”
“Amen,Baba nimefurahi sana”
“Sasa Sisi wazazi wako tunakupenda,tunakupeleka ukasome Canada mpaka chuo kikuu”
Hayo ndiyo Maneno aliyokuwa akiyasema Mchungaji Patrick Mwandambo,akimpongeza mwanaye.Katika sherehe hiyo pia Nickson pamoja na Mke wake walikuwepo vile vile.Baada ya hapo waliimba nyimbo za kusifu na kuabudu wakimshukuru Mungu kwa kutenda miujiza,ilivyotimu saa mbili ya usiku kila mtu alisambaa kuelekea majumbani kwake.
**
Kwa mara ya kwanza alidhani wenda Gloria alikuwa akiumwa au hakuwa na hamu na tendo la ndoa lakini haikuwa ivyo,kila siku alimsihii mkewe aweze kushiriki naye, kila ilipofika usiku lakini alichomolewa na jibu la Gloria likawa ‘nimechoka sijisikii’ Nickson alivumilia lakini pia aliumia moyo kupita kiasi,hakutaka swala hilo alifumbie macho,ilivyofika Jumapili akamfuata mchungaji ofisini kwake baada ya ibada ya asubuhi kuisha ili kumueleza kila kilichotokea kwenye ndoa yake,hakuona aibu yoyote.
“Itakuwa labda pepo baya linamsumbua sana,yuko wapi kwani?”
Mchungaji alisema,akajifanya hajui kinachoendelea.
“Yupo hapo nje”
“Mwite hapa niwaombee”
Nickson akasimama na Kutoka nje,baada ya dakika mbili akaingia na Gloria ofisini.
“Mama Shayo,una tatizo gani na mumeo?”
Hilo ndilo swali la kwanza kulitupa,jinsi Mchungaji Patrick alivyojikausha haikuwa rahisi kwa Nickson kubutuka,alikuwa nyuma ya pazia!
“Abee Mchungaji,mbona sijafanya kosa”
“Sio Kweli,sijapendezwa na tabia zako,jirekebishe nyie ni wanandoa,nimeambiwa na mumeo kuwa unamnyima haki yake,mpaka amekuja kushtaki hapa ujue amekuvumilia sana”
Gloria akashindwa kuvumilia maigizo hayo,akajikuta anacheka bila kutegemea.Pamoja na Kucheka Mchungaji Patrick alijitahidi kujikausha.
“Mama Shayo unacheka?”
“Ha ha haaaa,nyie mnanifurahisha sana,eti nini?”
“Unasumbuliwa na mapepo wabaya sana,wamekufunga bila kujijua”
Hapo hapo mchungaji Patrick alisimama na kuanza kushusha maombi kwa wanandoa hawa,akajifanya kunena kwa lugha.
****
Tangu siku hiyo Ndoa ya Nickson ikawa shwari,akawa anapewa unyumba kama kawaida akazidi kumuamini mchungaji Patrick,akashindwa kwa namna gani amrudishie fadhila.
Siku hiyo alivyotoka tu ofisini kwake akiwa mwenye furaha badala ya kwenda moja kwa moja nyumbani kwake yeye alinyoosha mpaka kanisani bila hata kumpigia simu kama alivyokuwa anafanya siku zote.

Kwa furaha aliyokuwa nayo akajikuta anaingia bila kupiga hodi ndani ya ofisi ya Mchungaji Patrick.Boxi la Vidonge vilivyokuwa mezani vilimshtua sana,japokuwa hakuwahi kuchukua masomo ya sayansi lakini alivijua vidonge ivyo hutumia watu wenye maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ukimwi.Moyo wake ukamuenda mbio hakutaka kuchukuchua mawazo yake moja kwa moja kwamba vidonge ivyo anatumia Mchungaji Patrick.
“Shayooo”
Mchungaji Patrick alishtuka baada ya kutokeza ndani ya chumba kingine akachukua kiboxi cha dawa hizo na kuziweka kwenye droo lake.
“Mungu ni mkubwa sana,kuna mtu leo hapa nimemponya ugonjwa hatari wa Ukimwi,amenishukuru sana.Mwacheni Mungu aitwe Mungu”
Maneno aliyoongea mchungaji Patrick yakahamisha mawazo ya Nickson,akaacha kufikiria vibaya,akayapuuza.
“Vipo leo mbona ghafla sana?”
“Leo nina furaha sana,mke wangu amebadilika sana,sina cha kukupa leo nimekuja kumtolea bwana Fungu la kumi”
“Amen,Amen”
Nickson akatoa bahasha ya kaki yenye pesa ndani yake akamkabidhi Mchungaji Patrick,wakapiga maombi kama kawaida na Nickson akaondoka zake.
*****
“NAKUPENDA SANA FAARIS”
“HATA MIMI LUCI WANGU”
“KWELI?”
“NIAMINI NAYOKWAMBIA”
Sauti hizo zilisikika ndani ya chumba namba 17 ndani ya hotel iliyoitwa Bondeni Hotel iliyokuwa Magomeni,hakuna kilichoendelea zaidi ya kupigana madenda,Luci akasogea taratibu kitandani na kujitupa puu akalala chali,Bwana Faaris taratibu akamsogelea na kuanza kushusha kimini alichokuwa amekivaa mpaka chini huku akijisogeza taratibu shingoni kwa msichana huyu akatoa ulimi wake na kuanza kuinyonya shingo kimahaba,alivyohakikisha kamtoa nguo ya chini,akapitisha kidole chake mpaka chini kabisa akaanza kufanya kama anapima oil taratibu mno.
Kitendo cha kidole kuingizwa ndani ya Pango Luci alianza kukizungusha kiuno chake taratibu mno huku akionesha ushirikiano,jinsi alivyohema ilionekana kabisa alihisi raha za ajabu akajihisi yupo ulimwengu mwingime wa huba,mwenyewe akaitoa topu ya juu akitaka mechi hiyo ianze mara moja,hakutaka kuchelewa hata kidogo alikuwa ana kiu kupita kiasi.
Hapo ndipo Bwana Faaris alipotoa mkanda wake na kupanda juu ya kitanda,kabla ya kufanya lolote aliipanua miguu ya Luci na kupitisha mdomo wake katikati akatoa ulimi wake na kuanza kudeki bahari,hapo ndipo msichana huyu alipokuwa anahisi moyo wake unaacha mwili,alibaki akiwa ameyafumba macho yake huku akiachama mdomo wake bila kujijua.
****
Nje ya Hotel hiyo ya Gorofa lilitokea gari aina ya CARINA nyeusi na kufunga breki za ghafla,likatimua vumbi ilionekana kwamba dereva huyo alikuwa kama amesahau kitu au alikuwa anataka kufumania,kama dakika tano nzima hakuna hata mmoja aliyeonaka kushuka ndani ya gari.
“Junior shemeji yangu,Mke wangu yupo humu ndani ya hii Hotel,si umesema dada yako namsingizia,leo nataka ujionee mwenyewe”
“Sio kweli”
“Wewe si unabisha,leo namuuwa mbele yako,niamini nayokwambia”
“Ilagaba”
“Ndio Mimi,siwezi kufanyiwa dharau kiasi hicho,muda mrefu sana nilikuwa nikimchora,kaniambia ameenda Songea,wakati mimi najua yupo hapa,mimi ni mtoto wa Mjini,hawezi kunichezea akili”
Hasira zilimkaba Ilagaba,hakutaka kuamini kama mke wake yupo ndani ya Hotel hiyo chumba namba 17 kama alivyoambiwa na marafiki zake wa karibu,hata yeye hakutaka kuamini lakini alitaka kushuhudia,hakuelewa angemfanya nini mke wake endapo atamkuta ‘Live’ na mwanaume mwingine,akachukua sigara akawasha na kupuliza moshi akavuta tena,kisha akaweka mkono wake kiunoni,alivyoutoa ulikuwa umeshika bastola.
Jinsi alivyompenda Mke wake haikuwa rahisi kuelezea kwa maandishi.Junior Shemeji yake mdogo wake na Luci aliyekuwa pembeni, kijasho chembamba kilianza kumtoka kuanzia hapo hakutaka kutia neno lolote,Mguu wa kuku ulimtisha!

Giza lilivyoanza kuingia,Ilagaba akafungua mlango wa gari,kabla ya kufunga mlango akaingiza shingo ndani.
“Twende”
Kilichomtisha zaidi Junior ni baada ya kumuona Shemeji yake anachukua magazine nyingine chini ya kiti tena iliyojaa risasi,akatetemeka kupita kiasi,akashuka bila kutegemea.
“Wewe dada,hapo hapo ulipo inuka kwa usalama wako”
Msichana mdogo wa mapokezi almanusura akojoe ,alikumbana na mdomo wa bastola.
“Pe..sa hiz..i hapa kaka,hizi hapa ndio kwan…za nina La..ki ta…”
“Sitaki pesa,nataka unipeleke chumba namba 17 sasa hivi”
Msichana wa mapokezi,hakutaka kubisha akanyoosha mpaka mlangoni na kugonga mlango huku bastola ikiwa shingoni kwake,japokuwa Ilagaba alielewa anafanya jambo lililokuwa kinyume na sheria lakini hakujali.
“Ngo ngoo ngooo”
Msichana wa mapokezi aligonga mlango chumba namba 17.
Kwa kuwa Luci alikuwa bafuni anaoga ilimbidi Faaris atembee karibu kabisa na mlango.
“Naniii?”
“Muhudumu,fungua mara moja”
“Mbona ivyo,tupo kwenye starehe zetu bwana”Maneno hayo yakazidi kumtia hasira Ilagaba,akatamani kuvunja mlango.
Bila kujua lolote Faaris alitembea mpaka kwenye kabati na kujizungusha taulo kiunoni,akafungua mlango,akakumbana na sura iliyokasirika bila kupiga kelele alipigwa ngumi akaingia nayo ndani.
“Yuko wapi Mke wangu?”
Ilagaba aliuliza na moja kwa moja akaingia bafuni,akamkuta mke wake anaoga,akazama ndani.Huo ndiyo ulikuwa upenyo wa Faris,

kama Swala akasimama akatoa nduki,akaogopa kutoka nje akatafuta chumba kilichokuwa karibu na hapo ili ayaokoe maisha yake,akajikuta ameingia ndani ya chumba kingine.Akakumbana na watu wanafanya mapenzi.
“Kijana vipi?”
Mwanaume aliyekuwa juu ya Mwanamke wanafanya Ngono alikurupuka,kitendo hicho kilimshtua hata msichana aliyekuwa chali kifo cha mende.
“Shemeji Gloriaaaaaa”
Faaris hakuamini kuwa msichana huyo ni Gloria,alivyomuangalia vizuri mwanaume aliyekuwa ameduwaa aligundua kuwa ni Mchungaji Patrick,sura hiyo aliweza kuitambua sababu ya kumuona mara kwa mara kwenye televisheni.


 Mapigo ya moyo ya Faaris yalimdunda kupita kiasi,moyo wake ukataka kutokeza nje ya kifua, mpaka hapo hakuamini kama ameponea chupchup kwenye tundu la sindano,jasho jingi lilimtoka mwilini akahisi nguo yake ya ndani ina majimaji bado hakuelewa kuwa ni mkojo au jasho.
“NIPELEKE AMEINGIA CHUMBA GANI?”
Sauti ilifoka kutokea nje ya korido ikafanya Faaris azidi kutumbua macho yake mbele, akataka kuingia chini ya uvungu mchungaji Patrick akamzuia.
“Vipi?”
“Baba Mchungaji,naomba uniombee nataka kutubu dhambi zangu zote leoleo”
Faaris aliongea harakaharaka kwa hofu huku akitetemeka kama mtu mwenye homa kali ya usiku.
“Tatizo lako nini?”
“Naomba unifiche kwanza”
“Kwanini?”
“Mchungaji nitakwambia,okoa maisha yangu”
Faarisi alililia uzima,kuonekana kwake ndani ya chumba hicho kilimaanisha kifo chake tena kibaya cha maumivu ya kupigwa risasi,bastola aliyoiona ilimtisha,aliomba dua zote anazozijua yeye kwa Mungu wake huku akizidi kumsisitizia mchungaji ayakoe maisha yake.
“HODI HUMU”
Sauti hiyo kubwa iliyojaa hasira ikamfanya Faaris tumbo limuume, hakuelewa kama ni tumbo la kuharisha au la uwoga wa kifo!Mchungaji Patrick alimtizama Faaris kabla ya kuuwendea mlango.
“Njoo huku”
Harakaharaka akaingizwa bafuni.Mlango ukafunguliwa Ilagaba akasimama huku akiwa na bastola mkononi mwake amejawa na hasira kali,mchungaji akaogopa na hofu ikamtanda, Gloria ndiyo usiseme.Hali hiyo ilimtisha mno.
“Kuna mwizi namtafuta,yuko wapi?”
Ilagaba aliuliza huku akitaka kupitisha kichwa ndani.
“Mwizi?huku hajaingia mtu”
“Embu nipishe niingie ndani,kabla sijafumua huo ubongo wako haraka sana,kaa kando,Hunisikii?”
Mchungaji hata yeye alitamani amtaje mtu aliyemficha,hapo hapo alisali vile vile akaanza kujuta,Ilagaba akazama ndani akaanza kuangalia huku na kule akainama akachungulia uvunguni,akatembea mpaka kwenye makabati na kufungua.
“Bafuni kuna nani?”
Hilo lilikuwa swali kutoka kwa Ilagaba aliyekuwa ameshika bastola huku akioneshea bafuni.
“Nauliza hivi bafuni kuna nani?”
Kila kitu kilichokuwa kinaendelea nje Faaris alikisikia,jasho lilimtoka hakuna kitu alichowaza zaidi ya kifo, akajuta kutembea na mke wa mtu,akatizama choo cha kukaa kilichokuwa mita mbili mbele yake na kuanza kupiga hesabu za kuingia,ukweli ni kwamba upana wa tobo la sink hilo lilikuwa dogo kuliko mwili wake lakini akili yake ilimtuma aingie na kujificha ndani ya sink la maji machafu lililotumika kwa haja kubwa,
Katika kujishauri kwake akasikia kitasa cha chooni kinazungushwa,hapo ndipo alihisi tumbo la kuharisha linambana aliingia Ilagaba akiwa na bastola mkononi,akiwa anamtizama kwa hasira.
“Simama mwenyewe kwa usalama wako,SIMAMA, wewe si hodari wa kuchukua wake za watu,sijakwambia upige magoti, inuka”
Faaris alikuwa kama mtu aliyetoka kuoga alilowa majasho, akanyong’onyea na kuwa kama kifaranga cha kuku kilichomwagiwa maji,alijikuta akipiga magoti huku akiiweka mikono yake kifuani kama mtu anayesali.
“Ndugu ya…ngu mimi mimi ni binadamu mwe…nzio,na.omba tuon.ng.e ili tu..”
Kabla ya kumalizia sentensi alipigwa teke la kifua akadondoka juu ya malumalu chali,Taulo likaruka pembeni.

Ilagaba akamuinua na kutoka naye nje ivyoivyo akiwa ana boxa yake,akamburuza wakapanda naye ngazi mpaka gorofa ya juu namba ishirini na moja.Walivyofika juu Faaris akasimamishwa.
“kachakacha”
Ilagaba akakoki bastola yake na kumtizama Mbaya wake.
“Chagua kitu kimoja kati ya hivi,nikutie risasi ya kichwa au ujitupe gorofani mwenyewe, dakika moja nakupa”
Kwa Faaris ilikuwa vigumu kutoa majibu kwa wakati huo,kila alivyotaka kutoa jibu alijikuta analia machozi,Kutokana na hasira alizokuwa nazo Ilagaba aliamini kuwa kifo ni halali yake.
“Blazza nisameheeee sisi ni wana..ume ni ka..ma ndugu”
Ilagaba hakuongea alimvuta Faaris na kuikandamiza bastola shingoni kwake mpaka walipofika kwenye ukingo,kichwa cha Faaris akaweka kichungulie chini.Akaona jinsi magari yanavyopita kwa chini akazidi kulia kwa sauti.
“WEKA BASTOLA JUU,UPO CHINI YA ULINZI..USIJARIBU KUFANYA KITU CHOCHOTE KILE CHA KIJINGA”
Askari wasiopungua tisa walitanda eneo hilo wakiwa na mitutu mikononi tayari kwa kufyatua risasi endapo Ilagaba ataenda kinyume na matakwa yao.
Kwa hofu ya kushambuliwa na risasi Ilagaba akashusha bastola chini hapo hapo akapigwa pingu,hiyo ndiyo ikawa ponea ya Faaris.
*****
“HALLOOO”
“YES NANI?”
“FAARIS”
“FARIS… FARIIIS YUPI?”
“FARIS AMIR”
“AAH AH AH AH,ulikuwa wapi miaka yote nakutafuta swaiba wangu,hupatikani”
“Maisha Nickson,maisha si unajua mjini hapa mchaka mchaka”
“Upo wapi sasa hivi?”
“Mimi nipo kijiweni sasa hivi,nishatoka job”
“Aise siku nyingi sana,nitakuona lini?”
“sijui kwa kweli”
“Njoo kesho basi home,au?”
“Keshoo?kesho lini?”
“Jei Mosi”
“Sawa kesho nitatimba,kuna mambo nataka kuongea nawewe”
“Poa kesho basi”
Simu ikakatwa.
Kesho yake asubuhi kama walivyohaidiana kukutana na Nickson ili waongee mambo mengi na ndivyo ilivyokuwa.Faaris akafika nyumbani kwa rafiki yake asubuhi ya saa tano akamkuta Nickson kibarazani anasoma kitabu kilichoandikwa BIKIRA YANGU,ilionekana kilikuwa kimemteka kupita kiasi.
“Nickson”
Faaris aliita huku akikaa pembeni ya kochi kubwa lililokuwa pembeni,lakini Nickson aliitikia na kuendelea kuzamisha macho yake kwenye kitabu.
“Naona kitabu kimekuweka bize sana”
“Ahh tangu jana,hiki kitabu kimeniteka sana aisee,huyu mtunzi aliyetunga hiki kitabu ni ametulia sana,huyu Catherine jamani….”
“Kinahusu nini kwani?”
“Mapenzi tu na maisha haya tunayoishi”
Nickson akakunja kurasa aliyoishia kuisoma ya kitabu alichodai kuwa kimemteka hisia zake ili baadaye aendelee.
“Sema kaka”
“Bwana mimi sikai sana,si unajua mimi sikai na kitu mdomoni alafu sipendi kuona vitu vibaya vinaendelea nikavifumbia macho”
“Nambie Faaris”
“Kwanza shemeji yupo?”
“Ametoka,yupo kwenye maombi si unajua siku hizi bila Mungu mambo hayaendi,nawewe inakubidi uokoke”
“Ni vizuri sana,Anasali kanisa gani?”
“Kwa mchungaji Patrick”
Faaris alimtizama rafiki yake kwa macho yaliyojaa huruma alimsikitikia kwa kuwa hakuelewa lolote linaloendelea,alikuwa nyuma ya mambo yote,hakuelewa ni kwa namna gani aanze kumpa mkanda mzima.
“Nickson”
“Nambie Faaris,kwani vipi?”
“Fanya uchunguzi Mkeo na huyo mchungaji Patrick,hakuna lolote hapo wanafanya ushenzi”
“Ushenzi kivipi?”
“Kwa macho yangu niliwakuta chumba kimoja wapo uchi wa mnyama,wanafanya mambo ya ajabu”
Nickson aliganda na kumtizama rafiki yake,hakuongea kitu kwa kama sekunde tano nzima akijaribu kuchanganua vitu ubongoni.
“Faaris mdogo wangu,mbona unakuwa huwaeshimu viongozi wa dini.Umefika mbali sana,wewe dini gani?”
“Mimi muislam lakini nayokwa…”
“Hapana umevuka mipaka,unamkufukuru Mungu,siwezi kukubaliana nawewe”
Nickson alikataa katakata kuamini kwamba Mchungaji aliyemuamini kuwa anatembea na mke wake,jambo ambalo hakutaka kuliweka kichwani hata siku moja.

Kila Faaris alipotaka kumueleza ukweli Nickson alimkatisha na kumpa mistari ya Biblia.Alivyoamini yeye ni kwamba Faaris ana mapepo tena mabaya yanayotaka kumgombanisha na mchungaji wake,Faaris hakuwa na namna nyingine ya kufanya aliaga na kuondoka zake.
****
“ULISEMA UNANIPENDA?”
“NDIO”
“NIMEOLEWA LAKINI”
“MIMI SIJALI,HATA KAMA UNA MUME NJOO NIKUPE RAHA YA NDOA HATA MIMI NINA MKE PIA”
“SAWA BASI,UNAYAWEZA AU NDIYO UNIPAKE PAKE TU SHOMBO UNIACHE”
“MIMI NI MZIKI MNENE”
“MBALI NA MZIKI MNENE UNA NGAPI WEWE?”
“NGAPI KIVIPI?”
“UNA SHILINGI NGAPI MIMI NIJE NIKUPE PENZI?”
“ELFU ISHIRINI”
“MIMI SIO MWANAFUNZI,SIPOKEI PESA ZA MADAFU”
“UNATAKA NGAPI?”
“WEKA LAKI TANO”
“LAKI TANO?”
“NDIO,HIYO NI SIKU MBILI”
“NA MUMEO?”
“WEWE NIACHIE MIMI”
“SAWA KESHO ASUBUHI TUWASILIANE”
“POA”
“USIZINGUE LAKINI”
“USIWAZE”
Kitu kama mkuki wenye moto ulitua ndani ya moyo wa Nickson ukazama ndani na kutokea mgongoni,alihisi mwili wake umepigwa na ganzi baada ya kusoma meseji za mke wake Gloria kwenye simu,alichoka akili.
Alivyoangalia namba iliseviwa MAMA DORA MAOMBI alijua kabisa ilikuwa ni zuga ya Gloria.
Mkono wake ulitetemeka kama mtu aliyepigwa na shoti ya umeme jasho likazidi kumtoka hakuelewa ni kitu gani akifanye.Alivyosikia Gloria anatoka bafuni aliirudisha simu harakaharaka juu ya meza na kufumba macho yake akajifanya amelala.
Gloria akasimama mbele ya kioo huku akijipangusa mwili wake uliokuwa una maji.Alimtizama Nickson aliyekuwa amefumba macho yake amelala akatembea taratibu mpaka kwenye simu yake na kuendelea kuibonyeza akiendelea kuchat.
“Baby si ulale,unachati na nani usiku wote huu?”
Nickson alitupa swali huku akimtizama Gloria.
“Ohh alafu nimesahau kukwambia mume wangu,hapa nachat na Mama Dora,kesho tunaenda kwenye usharika mwingine kufanya maombi huko Tanga,ameniomba sana niende kesho,tutalala huko mpaka keshokutwa hapa ndio ninamjibu kama nitaenda,ila nimeona kwanza nikuombe wewe ruksa”
Gloria alizungumza,kwa nia ya kujitetea hakuelewa kuwa Nickson anajua kila kitu.Alizidi kuongea mambo ya uongo huku Nickson akizidi kumsikiliza akashindwa kuelewa amfanye nini mwanamke huyu mpumbavu!
 Siku zote anayekudanganya kwa maneno nawewe mdanganye kwa kumsikiliza,hiyo ndiyo kauli iliyomjia kichwani kwake Nickson akiwa kitandani pembeni akiwa amekaa Gloria anajaribu kupiga fix zake.Muda wote alioutumia Gloria akijaribu kuongea vitu vingi akidhani wenda Nickson haelewi chochote kile ilikuwa ni kazi bure kwani alikuwa anaongea na mtu anayeufahamu ukweli,akawa anachorwa.
“Ndiyo Ivyo Mume wangu kipenzi,naomba uniruhusu ili nikafanye kazi ya Mungu”
“Unatakaa kwa muda gani umesema?”
“Kama siku mbili tatu hivi,inategemea na mambo yatakavyo kwenda”
“Mimi sina neno,nitabaki na Sonia”
“Nakupenda sana Mume wangu,wewe ni mume bora na ndiyo maana kila siku namshukuru Mungu kwa kila jambo”
Nickson alijitahidi kupachika tabasamu ya plastiki usoni mwake,moyoni alikuwa amejawa na hasira kupita kiasi, jasho lilianza kumtoka machozi yakaanza kumlenga akajitahidi jambo hilo lisionekane kwa mke wake lakini likashindikana,kutokana na macho yake kubadilika rangi na kuwa mekundu ghafla.
“Nickson,upo sawa?”
Mke wake akauliza baada ya kuona hali hiyo imejitokeza.
“Nipo sawa,nimekuzoea sana mke wangu,Moyo unaniuma sana sitoweza kuishi bila wewe”
“Usijali nitarudi tu”
Usiku mzima Nickson hakupata usingizi hata kidogo,alikuwa ameyafumbua macho yake anatizama juu darini,usingizi kwake haikuwepo alikuwa akimuwaza mke wake na familia nzima kwa ujumla.Jambo alilotaka kulifanya ni kumfuata mke wake ili ajue ni wapi atakapoishia na nia yake kutaka kumjua ni nani hasa aliyekuwa anakula naye tunda moja.Hakuelewa atamfanya nini endapo akimgundua.

Hatimaye kukakucha Gloria akawa wa kwanza kutoka kitandani,akaingia bafuni na kuoga, kichwani alikuwa anafikiria shilingi laki tano alizoambiwa atapewa,kupanua miguu kwake haikuwa tatizo likitokea swala la pesa,Gloria alikuwa mtumwa wa Ngono tena bila kinga yoyote,aliichukia sana Condom katika maisha yake akidai kuwa ‘hawezi kula pipi na maganda yake’.Alivyojipulizia marashi vizuri akaingia kabatini na kubeba nguo fupi fupi na kuziweka ndani ya begi kisha kuvaa gauni ndefu,kama zuga.
“Nickson mimi ndiyo naenda Mume wangu”
“Sawa mamii,safari njema,nikusindikize?”
“Hapana Lov,kuna costa litakuja kutuchukua”
“Hakuna shida”
“Okay ubaki salama,utaniagia kwa Sonia”
“Kila lakheri”
Nickson akajifanya kugeuka upande wa pili na kujifunika Shuka,alivyohakikisha mlango umefungwa na Gloria katoka Nje alichungulia dirishani na kuona Gloria anachukua Taxi kisha kuondoka zake.Kama swala, Nickson akaruka na kuvaa kaptula iliyokuwa karibu akabeba funguo huku shati akiliweka begani,akazama ndani ya landcruiser v8 na kuanza kufuatilia Taxi aliyokuwepo Gloria ndani yake,alijitahidi kukaa umbali wa mita mia moja ili isiwe rahisi kugundulika,Kila Taxi ilipokunja kona Nickson alilala nayo.Ubungo, taa nyekundu zikawaka gari zikasimama.

Taratibu zikaanza kuchomoka baada ya taa za kijani kuwaka, Nickson akaweka gia akawa bado yupo na Taxi nyuma yake,wakanyoosha barabara ya kwenda mikoani mpaka walipofika Kimara Mwisho,Taxi ikakunja kushoto kuingia Kimara bunyokwa barabara ya Vumbi.Mwendo kama wa mita mia mbili Taxi ikasimama nje ya nyumba yenye geti la rangi nyeusi.Kwa macho yake akamshuhudia Gloria anashuka na mabegi mikononi akamlipa Dereva taxi kisha kufungua geti jeusi akaingia ndani,
Nickson akapitisha gari karibu na geti akaenda kulipaki mbele kidogo umbali wa maili moja.
****
“Baby huyooo,nilijua ungepotea”
Gloria alipokelewa na mabusu na Mzee Mmoja Mfupi mwenye mvi chache kichwani.
“Wala, siku hizi mimi ni mtoto wa town,nilivyomuelekeza Dereva taxi hakuleta shida”
“Vizuri,hii ndio nyumba yangu nyingine huwa napenda sana kupumzika huku kila mwisho wa wiki”
“Ni pazur….”
Mzee Mfupi alisogea karibu ya Gloria na kumuendea mdomoni.
“Aaaah subiri kwanza,pesa ziko wapi?”
“Nitakupa zipo kwenye begi,una wasiwasi?”
“Wala”
“Sasa kumbe”
Gloria alisogea karibu na kumtupa Mzee huyu kitandani,akampandia juu na kuanza kumnyonya midomo yake huku akianza kumvua shati,Mzee alihisi damu yake inamwenda mbio,akaona kama anapandwa na presha, Gloria akawa anacheza na kifua huku mzee akiwa anafungua vifungo vya Gloria akabaki na blazia peke yake huku Mzee akibakiwa na Suruali peke yake,kitambi nje.

BAHATI NZURI ILIKUWA KWAKE, SABABU GETI LILIKUWA WAZI AKAINGIA NDANI NA KUPITILIZA MPAKA KWENYE MLANGO MKUBWA akazama ndani,alimsikia sana Gloria anaongea,hasira zikazidi kumpanda kifuani,kitu kilichomchanganya akili yake ni sauti aliyoisikia chumbani, aliitambua lakini bado hakutaka kulipa wazo lake kipaumbele!
“Ngo ngo ngoooo”
Nickson akajitosa na kugonga mlango,akasikia kitanda kinanesa na miguu ya mtu inatembea, mlango ukafunguliwa na Mzee mfupi mwenye kitambi kikubwa kama kwenye katuni za kuchorwa,uso wake ulijisikia aibu alipoyagonganisha macho yake na Nickson.
“Shikamoo Mzee Mtui”
Nickson alimsalimia Mzee huyo aliyekuwa anamuheshimu kama baba yake wa kumzaa na ndiye alikuwa mzee wa Kanisa.
MZEE MTUI hakujua ni kitu gani akifanye ni kweli alifahamu kwamba Nickson ni mume wa Gloria.Alivyotaka kuongea alihisi mdomo wake mzito ilikuwa ni aibu kubwa.
“Vipi,Bwana asifiwe naona ghafla na…..”
“Nimekuja kumfuata mke wangu,namuomba”
Nickson aliongea kistaarabu huku akitia huruma, machozi yalimlenga hakutegemea kuwa Mzee kama huyu angeweza kufanya mambo ya kuchepuka tena na mtoto mdogo kwake kama Gloria.
“Mke…”
“Gloria naomba utoke twende nyumbani mke wangu”
Nickson akapaza sauti,Gloria aliyekuwa ndani alisikia kila kitu, alijihisi amekuwa mdogo kama pipi ya tofi,alivyotaka kusimana alirudi tena kitandani kutokana na nguvu za miguu kumuishia.
“Gloria,tafadhali mama twende nyumbani chukua begi lako turudi kwetu”
Gloria akatokeza Mlangoni huku akiangalia chini wote wakatoka nje,Nickson akamshika mkono akamfungulia mlango wa mbele, Gloria akaingia ndani ya gari,Nickson akazunguka upande wa usukani na kukaa,kabla ya kuwasha gari aliweka kichwa chake juu ya usukani,alivyoinua kichwa chake alikuwa akimwaga machozi ya uchungu akamtizama Gloria kwa simanzi.
“Na..kupenda sana”
Akaweka mkono wake pembeni ya gia akatoa kama kitabu kidogo,ilikuwa ni hundi ya benki akachukua peni akaandika maneno Fulani juu yake na kumkabidhi Gloria.
“Laki sita hizo,ulikuwa unashida na pesa hizo hapo nenda kachukue benki”
Nickson akawasha gari akalitoa kwa kasi bila kuongea chochote na Gloria,Udhaifu wa Nickson siku zote ulikuwa ni kulia,alikuwa ana machozi ya karibu alishuka kwenye gari huku akiwa analia.
“Daaaaaaad!”
Sonia alimkimbilia baba yake lakini alivyomtizama machoni aliyaona machozi ya baba yake tena kwa mara ya kwaza,alihisi kuna kitu kibaya sababu alielewa nini maana ya machozi.
“Why are you crying Dad?”(Kwanini unalia baba)
Sonia aliuliza akimtizama baba yake,alimpenda sana mzazi wake huyo kuliko kitu chochote.Nickson akambeba mwanaye mikononi.
“I love you,I love you Sonia My Daughter”(Nakupenda,nakupenda Sonia Mwanangu)
Nickson alimfariji mwanaye.
“Dad tell me why are you crying,who caned you?”(Baba nambie kwanini unalia,nani kakuchapa)
Mtoto alizidi kudadisi.
“Sonia,umefanya homework?”
“Ndio Dad….chitaki nambie kwanini unalia”
“Nina mafua”
“Dad nataka kekiii na iachikrimu”
“Baadaye Sonia”
“Daaaaad,sawa tu”
“Baadaye,ngoja nikabadili nguo”
Hakukaa sana chumbani akatoka akamchukua SONIA mpaka ndani ya gari, wakaenda supamarket ya karibu akamnunulia Sonia anachokitaka wakarudi nyumbani.

Maisha yakaendelea kama kawaida nyumbani,Nickson hakutaka kumkumbusha mke wake kwa lolote lililotokea.Ugeni wa ghafla ukatokeza, wazazi wa Nickson wakawa wamekuja kutoka mkoani Moshi ili kuwasalimia watoto wao.Nickson alifurahi kupita kiasi akawachangamkia wazazi wake.Siku moja asubuhi Wakiwa Seblen Mzee Shayo, mke wake pamoja na Nickson, ghafla akatokeza Gloria,nguo alizokuwa amevaa zilitia aibu asuhuhi hiyo, alivaa sketi fupi iliyoonesha mapaja yake mbele ya wakwe zake.
Mbali na hapo badala ya kutoa salamu ya heshima yeye alisema ‘Mambo zenu’ jambo hilo liliwashangaza sana wazee hawa.Nickson alihisi joto mwilini mwake.Nguvu zilimuishia lilikuwa ni jambo la aibu.
“GLORIA”
Nickson akaita.
“Una shida gani?Sema shida yako na……”Gloria aliongea kwa nyodo.
Kama chui Nickson akasimama, kwa kasi ya Umeme akamvaa Gloria akamvuta mkono na kumpiga kofi kali ya shavu,akamzungusha akampiga kofi lingine kali,ilikuwa ndio mara yake ya kwanza kukasirika.
Nickson alitetemeka kwa hasira kama mwenye kifafa, jasho lilimtoka aliangalia pembeni na kuona kikombe cha chai cha udogo akakichukua na kumpiga nacho kichwani.
“Wewe una unajibu jeuri leo nakuuuwa,leo nakuuuwa nimekuchoka”
Nickson alifoka na Gloria alikuwa akilia kwa uchungu.Alikuwa amekabwa ukutani Mzee Shayo alivyotaka kumtoa Nickson haiwekuwezekana hata kidogo.
“Nic…k son naku..faaaaa”
“Nakuuuwa leo”
Kutokana na hasira mbaya alizokuwa nazo Nickson, jambo la kuuwa lilikuwa asilimia themanini na tano.
 Hakukuwa na dalili yoyote ya Nickson kumuachia Gloria ingawa alikuwa amempiga mpaka akampasua usoni, bado aliendelea kumshindilia vibao na vichwa,hasira zilikuwa zimemkaba vibaya sana, kitendo alichokifanya cha kumjibu vibaya mbele ya wazazi wake kilimkera kupita kiasi,hicho ndicho kilimfanya akusanye na makosa yote aliyokuwa akimtendea kipindi cha nyuma.
Hasira zilimuendesha akabadilika rangi akawa mwekundu, kifua chake kilipanda juu na kushuka,Gloria alipiga kelele za kuomba msaada lakini Mzee Shayo na Mke wake walivyojaribu kuingilia walishindwa, Nickson alimng’ang’ania Gloria kama Mbwa na mfupa.Kila sekunde iliposogea ndipo hasira ziliongezeka alivyoangalia pembeni aliona televisheni aina ya flat skrin nchi thelathini na nane ya kampuni ya samsung akaisogelea na kuing’oa, kwa hasira alizokuwa nazo ilikuwa rahisi kuing’ofoa ukutani, akaibeba na kutaka kumshushia Gloria kichwani,hapo ndipo Mzee Shayo alipoikamata mikono yake akamzuia.
“Nickson tulia mwanangu,utaua bure ni nini unafanya?”
Mzee Shayo alijaribu kutoa maneno ya ki utu uzima.
“Baba Niache niaueee”Nickson alipayuka.
Kelele alizokuwa akipiga Gloria ziliweza kupaa na kufika nje,watu wakaanza kujaa mmoja baada ya mwingine,ghafla watu watano wakaingia wakamshika Nickson.
“Nickson,punguza jazba hasira hasara,mambo gani unafanya rafiki yangu?”
Jirani mmoja alisema huku akiwa amemshika Nickson mikono yote miwili.
“Saidi niachie,embu niachie tafadhali nimuoneshe huyu Mwanamke”
“Siwezi Nickson kukuachia”
“Acha niuwe tuu”
Dakika kumi nzima walijaribu kumtuliza Nickson hatimaye akatulia.
“Jamani embu tufanye ustaarabu wa kumpeleka huyu dada hospitali,Amani si una gari?”
“Sawa ngoja nikachukuwe hapo mbele”
Gloria alikuwa akivuja damu puani na mdomoni Analia machozi kama mfiwa,Nickson alikuwa pembeni analia kwa hasira huku kamasi zikimtoka, alitamani kumvaa tena Gloria lakini alitulizwa, aliamini kipigo alichompiga hakikumtosha kabisa.



*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG