Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

SLAVE SEX SEHEMU YA 3/10


SLAVE SEX
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 3 KATI YA 10
*******

Watu walizidi kujaa nyumbani kwa Nickson, wengi hawakuamini kama Nickson kijana mpole ndiye
aliyempiga mke wake na kumuharibu uso wake.
“Huyu kapigwa na Nickson?”
Mama mmoja wa jirani alimuuliza jirani yake kwa sauti ya kunong’ona.
“Ndio,aise kampiga vibaya sana mpaka namuonea huruma”
“Huruuuma?huyu mwanamke kazidi kama nini,Nick kamvumilia sana mimi nawasikia kila siku tangu siku ya kwanza kumtoa Moshi alivyokuja mjini hapa,akawa kama mbwa kila bwana anampa tu mambo”
“Sema ukweli!”
“Huyu Mwanamke ni kicheche balaa,mimi namuogopa sana nilishawahi kumuona viwanja vingi tofauti lakini sukutaka kufungua kinywa changu,atakuja kumuuwa mkaka wa watu kwa magonjwa”
“Duu”
WAMAMA walizidi kuteta pembeni.Dakika tano baadaye wakaingia vijana wawili wakamchukua Gloria na kumuingiza ndani ya gari kwa safari ya kwenda hospitali kwa matibabu Zaidi!
Nickson akagoma kwenda nao wakamwacha kama alivyo.
***
Kwa kipigo alichochezea kutoka kwa Nickson ili kumnyoosha na kumrudisha kwenye mstari, hospitali ilimladhimu alazwe kwa wiki nzima na kuandikiwa dawa,Nickson hakutaka kabisa kwenda hospitali, alihofia angeenda kummaliza,ili kuepuka hilo alivyotoka kazini alipitiliza moja kwa moja nyumbani,taarifa za Gloria alipewa tu kupitia simu na madaktari,siku mbili zilivyopita tangu Gloria apigwe wazazi wake waliaga wakimsihi mtoto wao akae kwa Amani, wakaondoka zao.
“Hodi humu jamani”
Sauti hiyo ilimshtua Nickson aliyekuwa seblen anasikiliza Redio usiku wa saa tano,hakuweza kuitambua sauti hiyo harakaharaka lakini alivyotuliza mawazo aliikumbuka ilikuwa ni ya jirani yake aliyeitwa Upendo Mrangi mwanafunzi wa chuo cha Ustawi,akasimama na kufungua mlango.
“Karibu jirani”
“Ahsante”
Upendo akapita ndani,ugeni huo kwa Nickson ulikuwa wa ghafla, hakuwahi kujenga mazoea na binti huyo tangu aanze kumfahamu isipokuwa salamu tu za ‘mambo vipi’ basi!
“Pole kwa kila kitu Nickson”
“Ahsante sana,nishapoa ni mambo tu ya kupishana maneno,niambie nikuletee nini?”
“Chochote tu,hata maji sawa”
Nickson akasimama na kutembea mpaka jikoni na kurudi na jagi la maji ya baridi pamoja na Glasi akamimina maji akamkabidhi Upendo,Badala ya msichana huyu kunywa maji yeye alibaki kumtizama Nickson jinsi alivyokuwa mzuri,akaziangalia lips za midomo yake na weupe wa Nickson uliobeba sura nzuri yenye macho makubwa ya kulegea,akahisi mwili wake umepigwa na ganzi akazidi kumtathimin.
“Vipi?”
Nickson akahoji.
“Hakuna kitu,hakuna kitu Nickson,vipi wifi bado hajaruhusiwa?”
“Yupo hospitali,mpaka wiki ijayo”
“Nani,huyu mwanao Sonia je?”
“Yupo chumbani kwake amelala”
“Inabidi usimwambie kilichotokea”
“Wala siwezi, hata hajui kama mama yake yupo Hospitali”
“Et..i etii …I eeeh”
Kadri maongezi yalivyozidi kufanyika ndipo Upendo alizidi kujihisi vibaya mwilini,alikuwa amebanwa na ugonjwa wa kikubwa taratibu akaanza kujisogeza kwa Nickson akajikaza kisabuni na kumshika kidevu.
“Vipi,mbona ivyo?”
“Nickson,acha unifikirie vibaya nimeshindwa, mimi nakupenda sana tafadhali jua ivyo”
“Lak…”
Nickson akashindwa kumaliza sentensi yake Upendo akamvaa mdomoni na kumnyonya mdomo wake wakaanza kulana denda.
Tendo la Kunjunju kwa Nickson siku nyingi hakuwahi kulifanya mpaka wakati huo tayari alikuwa amekamatika,akatulia kama maji mtungini, Upendo akazidi kucheza na ulimi wake ndani ya mdomo wa Nickson akasogeza meza ya Kioo pembeni akashusha mkono wake mpaka chini ya Suruali ya Nickson na kuitoa POWER BANK ya Nickson iliyokuwa tayari ina moto, taratibu akaanza kuichua,alivyoona haitoshi akapiga magoti na kuiweka mdomoni, aste aste akawa anailamba mithili ya mtoto mdogo alambavyo koni ya Bakhresa,Nickson akahisi roho yake inaacha mwili akabaki kuzishika nywele za upendo zilizokuwa ndefu kiasi,Ulimi wa Upendo ukazidi kulamba POWER BANK kutokana na joto la ulimi chaji ilianza kujaa taratibu,Nickson akazidi kuyatoa macho yake kama mjusi kafiri, akawa anatoa mihemo ya ki utu uzima.Mambo hayakuishia hapo, Nickson alisukumizwa akalazwa chali kama yupo ‘Martenity labour’ anasubiri kujifungua.Utamu aliousikia ukapita mpaka kwenye mishipa ya medulla oblongata akahisi akili yake imeacha kufanya kazi kwa muda na kushindwa kujua ni saa ngapi shati lake lilitolewa,alishtukia tu yupo kifua wazi Upendo akavamia chuchu zake na kuanza kuzinyonya hapo ndipo Nickson akahisi anasimama na ukucha,Mwanamke huyu alikuwa hodari sio masihala,akatoa nguo yake ya juu kisha blazia kufuata,akalala chali kifuani mwa Nickson,maziwa yaliyochongoka yalivyotua tu kifuani mwa Nickson akazidi kupagawa,Upendo akasogea karibu na shingo ya Nickson akaanza kumnyonya shingo huku akiwa kama anampuliza.
“U…pend…o”
“Ab…..eeee”
“Up..oo up..o una… mpe..nzi?”
Nickson akauliza swali la kipumbavu kwa kigugumizi ilhali alijua fika kuwa binti huyu mwenye rangi ya maji ya kunde mzuri hawezi kukosa mwanaume.
“Ndi..o ninaye”
“Ach..ana naye na ubak..i namimi”
“Kweeeli?”
“Nd..io”
“Twe..nde chu..mbani”
Kuambiwa ivyo Nickson kama paka shume akasimama na Kumbeba Upendo,haraka haraka wakazama chumbani na kufunga mlango,Upendo akatupwa kitandani puu Nickson akafuata juu yake na kuanza kubadilishana mate,Nickson nayeye hakutaka masihala siku hiyo vilevile hakutaka kuharibu mechi hiyo ya ghafla,alichofanya ni kuitoa suruali laini ya Upendo na kuiweka kando, ikafuata chupi,Upendo akabaki kama alivyozaliwa miguu ikapanuliwa Nickson akaingiza kichwa katikakti yake,akatoa ulimi na kuanza kulamba TAMU ya Upendo taratibu sana huku akitumia kidole chake kimoja kukichomeka ndani,Upendo nayeye akasalimu amri akatulia kama Ngamia aliyetaka kuchinjwa.Ikawa zamu ya Nickson kufanya yake,akaenda mpaka kifuani kwa upendo na kuanza kumnyonya maziwa hususani chuchu za mrembo huyu ambazo zilikuwa zimesimama imara na kumfanya Upendo aanze kujikunja kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa.
Akajinyonga nyonga akishika mashuka huku na kule akiyatibua,hakuelewa ashike kipi aache kitu gani,raha alizosikia hazikuweza kuelezeka hata kidogo.
“Asssh Nicki….son aaaaashhh aaaaaah mmmhhhh aissshhhhh aaaaah Nikiii…ivy…o ivyoooo”
Upendo alitoa sauti ya puani bila kujijua huku akiwa ameyafumba macho yake,vitu kama maji maji vilianza kutoka ndani kwa Ndani, Nickson akaelewa nini maana yake lakini hakutaka kuwa na papara mpaka atakapofika ndani ya kumi na nane ili akiachia shuti ashinde bao.
Na ivyo ndivyo ilivyokuwa, mahesabu yake aliyapanga vizuri Upendo alivyokuwa anaibana miguu yake huku anautoa mkono wa Nickson mgodini,hapohapo aliipanua na kuingiza power bank kwenye chaji,taratibu sana akaamsogelea mdomoni wakaanza kulana denda,Nickson alikinyonga kiuno chake lakini pia Upendo hakuwa mzito.Hazikupita hata dakika mbili Upendo akamng’ang’ania Nickson kwa nguvu hapo ndipo Nickson akapiga shuti kali mpaka nyavuni wote wakatoka ‘draw’.Bila kutoa Mashine ndani Nickson akalala kifuani kwa Upendo huku jasho kwa mbali likiwa linamtoka.
“Upendo”
“Abee”
“Nani kakufundisha haya yote?”
“Kunifundisha nini?”
Upendo alijibu kwa swali.
“Utundu kitandani”
“Mimi ni mtoto wa kike lazima nijue”
“Mhhh”
Nickson alibaki kuguna, kwa kuwa siku hiyo ilikuwa ya ghafla walibaki wakiongea na ilipofika saa kumi alfajiri Nickson akamtoa Upendo nje,hakutaka Sonia amuone pia alitaka kuendelea kujijengea heshima mtaani,alitaka jambo hilo lizidi kuwa siri kubwa.
***
UKWELI ULIKUWA WAZI KUWA MCHUNGAJI Patrick alikuwa ana maambukizi hatari ya ugonjwa wa ukimwi,siri hiyo alibaki nayo kifuani mwake, hata siku moja mke wake hakuelewa lolote mbali na hapo hakutaka kumwambia,alimuonea sana huruma sababu aliamini ni jisni gani ugonjwa huo unavyotesa kabla ya kukuondoa duniani,ugonjwa huo aliamini aliutoa kwa Msichana wa kiarabu alivyokwenda nchini Israeli kwenda kuangalia nyayo za bwana Yesu na huko ndipo aliporudi na ugonjwa wa UKIMWI,
akakasirika ajabu,hakutaka kufa peke yake ivyo alikuwa anafanya kama kisasi kwa wanawake wote,aliwachukia wanawake ndani ya mtima wake,aliamini kwamba kila mwanamke aliyelala naye teyari alishampa virusi vya ukimwi,kwa asilimia tisini na tano Gloria alikuwa tayari ana maambukizi hayo hata huyo alimsikitikia sababu aliamini ni lazima pia Mume wake Nickson angeupata endapo angefanya naye tendo la Ndoa bila kinga.
Asubuhi ya saa tano kama kawaida yake alienda ofisini kwake na kuchukua vidonge aina ya ARV na kuvimeza ilikuwa ni lazima kila siku ameze vidonge ivyo saa tano asubuhi ili azidi kurefusha maisha yake.
Hakuna hata mmoja aliyeweza kugundua kwamba Mchungaji Patrick alikuwa ni muathirika wa ugonjwa hatari wa Ukimwi.
“Mpaka nilimalize kanisa zima,ndiyo nitafurahi ili nichomwe moto vizuri huko jehanam”
Alisema Mchungaji Patrick na kuweka dawa zake ndani ya droo akafunga na funguo.

 Gloria aliruhusiwa kutoka hospitalini baada ya hali yake kuonesha matumaini,akarudi nyumbani akapumzika.
“Mama ulikuwa unaumwa?”
Sonia akamuuliza Mama yake baada ya kumuona ana bandeji na P.O.P mkononi,moyoni alitaka kujua nini kilimsibu Mama yake ambaye aliambiwa amesafiri kwenda Mkoani Singinda,Badala ya Gloria kumjibu Mwanaye, alipita tu mpaka chumbani akajilaza na kutafakari ni kitu gani akifanye.
Bado hakuamini kama ni kweli Nickson aliyemfahamu kampiga nusura amuuwe,alibakia kuamini kwamba ilikuwa ni ndoto tu.Kutokana na uchovu mwingi alipitiliza na kulala fofofo.
Kilichomzindua kutoka usingizini ni Nickson kuufungua mlango wa chumbani.Nickson hakutoa salamu yoyote akapitiliza mpaka bafuni kutoa haja ndogo na kurudi kitandani akamtizama Mke wake na kukaa kitako kitandani.
“Vipi hali yako?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nickson,Gloria akalichukulia kama ni usanifu wa hali ya juu, badala ya kujibu akaangalia pembeni.
Nickson hakuangaika naye akatoa nguo zake mwilini akavaa taulo na kuzama bafuni kuoga,alivyotoka alivaa kaptula na tshirt.
“Unaenda wapi?”
Gloria akauliza baada ya kuona maandalizi hayo ya usiku usiku!
“Nipo hapo Seblen na Sonia”
“Aya”
Nickson akatoka mpaka Seblen, ni kweli alikuwa na mtoto wake Sonia,anamfundisha mambo mbalimbali.
“Ujifunze kusamehe siku zote,usiwe una dharau mwanangu,hata ukiwa mkubwa una pesa usiwanyanyase maskini”
“Dad,hata mimi shuleni mwalimu huniambia hivyo hivyo,ananiambia eti mimi ni mzuri sana”
“Ndio wewe ni mzuri mwanangu kama malaika,hakuna mtu mbaya hapa Duniani,Wote tumeumbwa na Mungu”
“Dad….”
“Yes”
“Mama amefanya nini?”
“Mama yako?”
Sio kwamba Nickson hakusikia swali,alitaka kulijibu ki utu uzima ili mtoto wake asijue lolote, hakutaka kumuweka wazi kwa lolote lililotokea kwani alikuwa bado mdogo sana kuyabeba mambo mazito.
“Kwani umemuuliza?”
“Ndiooooo”
“Akasemaje?”
Sonia akatingisha kichwa kukataa kuwa ajaambiwa chochote. Japokuwa alikuwa ni mtoto mdogo lakini alikuwa ana upeo mkubwa wa kuchanganua mambo, alimpenda sana baba yake kuliko kitu kingine chochote kile duniani.
“Home work umefanya?”
Nickson akauliza akipoteza mada, hakutaka mwanaye amuulize habari yoyote kuhusiana na Mama yake kupata majeraha.

Siku zikazidi kwenda mbele, Nickson na Gloria wakawa hawapikiki chungu kimoja wakiwa chumbani, lakini wakitoka nje walijifanya kuongea,hakuna mtu yoyote aliyekuwa akijua siri ya nini kiliendelea chumbani kwao.
“Gloria,Gloriiia,si nakuita”
Nickson aliita lakini hakuitikiwa, Zaidi tu aliitikiwa kwa misonyo kutoka kwa Mke wake huku akijifunika shuka Gubigubi.asubuhi wakiwa na Sonia ndipo walipopata muda wa kuongea.
“Mama Sonia”
“Abeee Baba”
“Jumamosi kuna semina,inabidi twende na Sonia kwenye maombi”
“HAKUNA SHAKA,Sonia umesikia?”
“Ndio Mama”
Huo ndiyo ulikuwa mchezo wao, Sonia alifurahi kuwaona wazazi wake wakiwa pamoja,aliwaona wakiwa wenye furaha kuliko wazazi wowote wale aliowahi kuwaona,walikula pamoja walicheka pamoja na kukumbatiana mbele ya Sonia, lakini walipofika Chumbani,walikuwa ni maadui wakubwa.
“Sasa tutaishi kwa kuakti mpaka lini Gloria?”
Ulikuwa ni usiku wa saa saba, Nickson alikaa kitako na kumuuliza mke wake,alichoka na maisha hayo.
“Mpaka kifo,usiniongeleshe una shida gani?wewe bwege nini”Gloria alijibu kwa hasira na kurudisha kichwa chake upande wa pili.
“Gloria nakupenda mama,ile ni misunderstanding tu ya kawaida,jaribu kusahau tusonge mbele mimi nakupenda,hivi ni mwanaume gani utakayampata kama mimi,jaribu kuvuta kumbukumbu ni mambo mangapi umenifanyia nikasahau mke wangu?yaliyopita si ndwele tugange yajayo”
Nickson alijaribu kutumia kila aina ya maneno matamu akaweka na mithali, akimuimbisha mke wake aweze kumsamehee ili waweze kusonga mbele na maisha, wasahau yaliyopita.Nusu saa nzima alikuwa akipiga saundi za mjini lakini hazikuzaa matunda,Gloria alikuwa upande wa pili amejifunika amempa mgongo hana habari, maneno aliyoambiwa yalipita sikio ya kushoto na kutokea upande wa pili,Nickson hakukata tamaa ni wazi kwamba alimpenda sana Gloria kupita maelezo yaliyojitosheleza,akasimama kutoka kitandani na kuzunguka mpaka upande wa Gloria akapiga magoti akaweka mikono yake kifuani kama mtu anaye sujudu!
“Gloria, am so sorry my WIFE” (Gloria nisamehe mke wangu)
Kitu kama mkanda wa filamu vikapita kichwani kwa Gloria ukapiga ‘rewind’akaona mambo yote yaliyotokea katika maisha yake, jinsi alivyotolewa kijijini Moshi akiwa katika mateso ya kukata kuni migombani,akajiona jinsi alivyokuwa mshamba wa kutupwa akaletwa mjini akaoga maji safi ya Dar es salaam.Moyo wake ulimsuta kupita kiasi alijiona ni aliyestaili moto wa shetani akaelewa kwamba Mwanaume aliyekuwa mbele yake hakustaili kupiga magoti,akili ikamjia hapohapo hakuelewa ni kitu gani kilimkumba, kwa mara ya kwanza akaanza kulia huku akimtizama Mume wake Nickson aliyekuwa mbele yake kapiga magoti.
“Nic…kson”
Gloria aliita akiwa katika kwikwi.
“Naa..m”
“Nakupenda,naomba nisamehee”
Maneno hayo yalitamkwa na Gloria akiwa katika hali ya majuto,wote wakakumbatiana wakaanza kunyonyana midomo yao kama njiwa!
Hakuna kitu kilichofuata hapo Zaidi ya kuanza kushikana shikana kila sehemu ya miili yao,Mkono wa Gloria japokuwa ulikuwa bado mbovu lakini hakuyasikia tena maumivu, alihisi ana Amani ya moyo,kwa kuwa tayari Gloria alikuwa ndani ya vazi ya kulalia yaani ‘Night dress’iliyokuwa laini inaonesha kila kitu ndani yake,ukichanganya na Weupe wa msichana huyu Gloria na Mapaja manene aliyojaaliwa, Nickson akajikuta tayari amesimamisha fimbo yake bila kutegemea akamfuata mdomoni na kutoa ulimi wake,Gloria akaumeza wakaanza kulana denda taratibu sana ndimi zao zikawa zinacheza ndani kwa ndani huku kila mtu akiguna na kutoa mihemo ya ndani kwa ndani.Kutokana ma Gloria Kucheza mechi nje nyingi ilimfanya awe mbunifu akasogeza kichwa chake kwa chini kidogo akaitoa boxa ya mume wake akatoa kombola na kuliweka mdomoni, akaanza kulinyonya huku mkono wake mmoja ukiwa juu kifuani kwa Nickson unapapasa ‘garden love’Nickson akahisi kupaa akajiona yeye ndiye mmiliki wa dunia nzima na sio Mungu tena,akajihisi yupo juu yake anaviangalia viumbe vingine vyote kwa chini,Gloria hakuishia hapo,akazidisha njonjo na madoido akatoka hapo akaenda sikioni kwa Nickson na kupitisha ulimi wake ndani,Nickson akahisi kama amepigwa na shoti ya umeme mwilini wake wote ukawa umekakamaa.Katika hali ya ghafla nayeye akampindua mke wake akawa juu yake akabinua kamab ya ‘night dress’Gloria akabaki kifua wazi,hapo ndipo Nickson alipoanza kuyanyonya maziwa haya yenye chuchu nyeusi kwa juu huku mkono mmoja taratibu ukishuka kwenye ikulu,akakitafuta kinyama kilichokuwa juu kidogo kiilchofanana na kiharage akaanza kukisugua taratibu sana akitumia kidole kimoja,Gloria akawa hajiwezi tena anahangaika akawa anavuta vuta mashuka huku akiinua shingo yake juu mara anamshika Nickson mkono wake.
Akahisi raha za ajabu kupita kiasi akajiona yupo angani ana paa.Nickson akazidi kufanya shughuli yake, hakukomea hapo tu,alishusha mdomo wake baada ya kutoka kuyanyonya maziwa ya Gloria akaanza kumyonya kitovu mara akashuka mpaka chini akawa ameishika Miguu ya Gloria huku na kule akaweka kichwa chake katikati ya miguu akazama chumvini akatoa ulimi wake akaanza kulamba akautumbukiza kabisa ndani ya mgodi akawa kama anapiga denda.Hapo ndipo Gloria alianza kuongea kichaga.
“Yes…. Aaaa aaaah sshhsss kereeeeeu…..wiii Uuuuuuh aaaaah ssshss hapoha…po Nick….son us..ito…e ul..imi ivy….o ivyo”
Kelele hizo zilizotoka puani mwa Gloria zikazidi kumpa Stimu Nickson na kuzidisha kasi ya mashambulizi,alivyohisi ndani ya mgodi kuna utelezi Nickson akatoa Boxa yake kisha kumseti nyoka wake aina ya KUBOKO vizuri, akamtumbukiza ndani ya shimo vizuri nayeye akapita vizuri mpaka mwisho,filimbi ikapigwa mechi ikaanza hapo hapo.
****
“Noo siwezi Patrick,haya mahusiano yetu yaishe,ukiendelea kunisumbua nitaliambia kanisa zima,mambo unayoyafanya”
Maneno hayo alitamka Gloria akiwa mkavu, kwa mara ya kwanza Mchungaji Patrick alidhani wenda ni maigizo na Gloria hakuwa Siriazi.Akaendelea kumtomasa.
“Patrick niache nakwambia”
Mkono wa Mchungaji Patrick ukatupwa mbali,Gloria akasimama kutoka kitini,malumbano hayo yaliendelea wakiwa ndani ya Ofisi ya mchungaji.
“Mbona sikuelewi Gloria eeeh?”
“Hunielewi nini?Nimechoka siwezi. Na huu mchezo naomba uishe leo hii hii mambo tuliyofanya yabaki kuwa historia tu,nimerudiana na Mume wangu rasmi sitaki tena mambo yako,nampenda Nickson”
“Haiwezekani”
“Itawezekana tu,utake usitake”
Mchungaji Patrick alimtizama Gloria kwa macho ya masikitiko makubwa sababu alikuwa tayari amechelewa yaani amekumbuka shuka kumeshakucha.Uhakika wake ulikuwa kwamba Gloria tayari keshapata maambukizi ya virusi vya ukimwi.
“Okay,lakini umechelewa”
“Nimechelewa nini?”
“Safari njema,Mimi nitajua cha kufanya”
“Usinitishie wala nini”
Gloria alijitamba hakuelewa Mchungaji Patrick ana maana gani,akasimama na kuondoka zake.
****
UKWELI NI KWAMBA GLORIA ALIAMUA KUBADILIKA NA KUZIDISHA UPENDO KWA NICKSON,akampenda kupita kiasi ili mapenzi kuyanogesha ilikuwa kila Jumamosi na Jumapili watoke kwenda maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam wakiwa na mtoto wao Sonia.Siku hiyo waliamua kwenda kula chakula cha mchana NEW AFRICA HOTEL ili mradi tu wabadili mazingizra,Gloria akafurahi,Sonia ndiyo usiseme akajihisi ni mtoto wa Kishua,Hotel hiyo ilikuwa ya kisasa,walivyomaliza kula,wakatoka nje sababu jioni ilikuwa teyari imefika.
Wakaingia ndani ya gari lao la kifahari LANDCRUISER V8 wakaanza safari,Nickson akawa bize kwenye usukani muda wote anatabasamu.Ghafla walivyofika maeneo ya Kariakoo mtaa wa kongo, kupitia ‘site mirror’ za nje pembeni Nickson aliona Deffender zinakuja kwa kasi ya ajabu nyuma yake, mbili zikampita kwa spidi na mbili zikabaki nyuma yake.
Katika hali ya kushangaza Diffenda zilizompita zilipiga breki za ghafla wakashuka askari watano ardhini huku wakiwa na mitutu mabegani,kumi wakatoka kwenye magari ya nyuma,Nickson akaweka mguu kati akapiga Breki,hapo hapo maaskari wakaliweka gari lake kati,Wakalizingira!
“’Fungua Kioo”
Askari mmoja aliamuru,kwa mbali Nickson aliisikia sauti hiyo,akakubali kushusha kioo.
“Habari za wakati huu afande?”
“Salama shuka ndani ya gari”
Gloria na Sonia walikuwa wakitetemeka kupita kiasi, lilikuwa ni tukio la kutisha kwao.Nickson akatoa mkanda wa gari na kuteremka, akatii amri ya jeshi la polisi.
“Twende huku,fungua boneti fanya upesi”
Askari mmoja aliamuru akiwa na mtutu begani,raia walikuwa tayari wameanza kujazana ili kushuhudia tukio zima,kama kawaida ya wabongo wenye simu za kisasa walianza kupiga picha.
Nickson akajiamini na kuvuta boneti la gari mlango wa nyuma ukafunguka.Macho yake yakashangaa kuona boxi kubwa,katika akili yake hakukumbuka kama aliweka kitu kama hicho ndani ya gari lake.
“Hicho nini?”
LILIKUWA ni swali kutoka kwa Kamishna wa polisi wa wilaya ya Ilala, afande Miraji.
“Sijui afande”
“Hujui sio?”
“Ndiyo”
“Litoe”
Nickson alilitizama boxi hilo,kabla ya kufanya lolote aligeuka kwa maaskari.
“Hapana siwezi kuligusa,nyie ndiyo mlitoe au kama kuna askari mwenye gloves afanye ivy….”
Nickson kabla ya kumalizia sentensi alipigwa na kitako cha mtutu akajing’ata ulimi damu zikaanza kumvuja, akalazimishwa alishike boxi lililokutwa ndani ya gari lake,Kwakuwa alikuwa ni mwanasheria na anajua sheria hakutaka kufanya ivyo kuogopa kusingiziwa kesi au kupoteza ushahidi.
Wakazidi kumpiga mpaka akadondoka chini akawa anavuja damu puani.Gloria na Sonia walivyotaka kutoka nje walitulizwa.
“Af…ande siiwe…zi kushika hilo boxi mimi silijui”
Nickson aliongea akiwa katika hali ya uchungu,akapigwa kirungu cha kichwa kikampasua vibaya sana akawa anavuja damu nyingi sana zinamchuruzika kama mchuzi unaovuja kwenye sufuria.
“Afande Moses,embu toa hilo boxi”
Boxi likavutwa,likafunguliwa hapohapo Askari wote wakatupa macho ndani, wakashtuka baada ya kukuta kichwa cha ALBINO.



Butwaa alilopigwa Nickson halikuwa na kipimo chake,hakuamini macho yake hata kidogo, hakuelewa kichwa Cha Albino ni nani aliyekiweka kwenye kiboxi ndani ya gari lake,alitetemeka kwa hofu sababu alishaelewa nini maana ya kesi hiyo,akiwa bado anatafakari alikudwa shati na kusogezwa karibu na Boxi.
“Nini hiki?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa afande huku akiwa ameukunja uso wake,ni wazi kwamba jibu lilikuwa wazi.
“Afa..”
“Nimeekuuliza nini hichi?Nyie ndiyo serikali inawatafuta ndiyo kwamba mnataka utajiri kwa kuchukua viungo vya binadamau wenzenu”
“Hap…”
“Nyamaza”
Kabla ya Nickson kutaka kujitetea alitulizwa na kitako cha mtutu cha mdomoni akapasuka mdomo,akavutwa mpaka ndani ya Diffenda huku akisindikizwa na virungu visivyokuwa na idadi kamili.
Gloria alikuwa ndani ya gari,alishuhudia kila tukio, alikuwa ni kama amechanganyikiwa, mpaka Difenda zinampita mbele yake alikuwa akilia na Sonia tu,Kama chura akaruka upande wa Usukani akaweka gia na kuanza kufukuzia Difenda za polisi ili ajue ni wapi Nickson angepelekwa,Kwa kasi ya ajabu Diffenda zikazidi kusonga mbele mpaka walipofika Buguruni kituo cha polisi.Nickson akateremshwa.
“Andika maelezo yako hapo”
Askari aliamuru baada ya kumfikisha Nickson mapokezi.
“Afande Maria chukua maelezo ya huyu Muuaji”
Nickson alitia huruma Jicho lake moja la kulia lilikuwa teyari limevulia damu akawa kama chongo,uso umeharibika kutokana na virungu alivyokuwa akipigwa.
“Unaitwa nani?”
“Ni..ckso Shayo”
“Unaishi wapi?”
“Tabata Segerea”
Afande Maria alihisi huruma ndani ya moyo wake,Sura ya Nickson ya kipole ilimfanya aguswe na kipigo alichopokea,Kabla ya usahili kuendelea akatokeza Gloria akiwa Analia machozi kama Mfiwa akaingia mapokezi.
“Gl..oria nyamaza,mpigie simu Dustan,Mpigie simu Dustan sasa hivi mwambie kila kitu kilichotokea”
Nickson alizungumza maneno hayo huku akionesha matumaini kwa mbali.
***
“Griii griiiiii,Griii Griiiii”
Mlio wa simu ulisikika ndani ya gari aina ya DISCOVER nyeusi,mwanaume mrefu kiasi maji ya kunde,aliingiza mkono ndani ya suruali yake na kuitoa,juu ya kioo ilisomeka jina GLORIA SHAYO, ulikuwa ni usiku wa saa tano tayari,Kwa furaha kijana huyu akatabasamu,akaiweka simu sikioni baada ya kuipokea.
“Shem,Shem up…o wap…i?”
Upande wa pili wa simu ulisikika kwa sauti ya Kwikwi ukafanya kijana aliyekuwa anaendesha gari abadili simu aweke sikio la kulia,kilio kilimtisha.
“Shemeji,nini tena mbona unalia,kuna msiba?”
“Hapana Dustan,naomba uje hapa kituoni”
“Kituo gani?nani amekamatwa tena?kuna shida gani?”
“Nickson,Nickso…n ameka..twa Shemeji”
“Kituo gani?”
“Subiri niulize”
Baada ya dakika moja Gloria alirudi kwenye laini.
“Ni Bugu…runi Buguruni hapa kituo cha Polisi”
Namna Alivyogeuza gari Dustan kila mtu aliweka mikono yake kichwani,akapanda tuta la katikati akarudi alipotokea,Japokuwa alikuwa tayari amefika karibu na Nyumbani kwake Msasani lakini hakujali.
Akazidi kubadili gia na kulikimbiza gari kama mwendawazimu huku akiwa ameukunja uso wake,kutokana na mwendokasi dakika thelathini zilikuwa nyingi kwake, akapiga breki kituo kidogo cha Polisi Buguruini Sokoni,akashuka haraka akaingia mpaka mapokezi.
“Shemeji”
Dustan alimuita Gloria.
“Dustan bora umekuja Nickson,Ni..ckson Mume wa..ngu ame…”
Kabla ya Gloria kumalizia Sentensi yake akaingia Askari mfupi mwenye kitambi.
“Afande,Mimi naitwa Dustan”
“Nikusaidie nini?”
“Nimekuja kumuona Ndugu yangu,huyu ni mke wake,ilikuwaje?”
“Kesho asubuhi njoo,huyu ana kesi kubwa mno”
“Naomba kumuona”
“Hapana,njoo kesho nimesema”
Hakuna watu waliokuwa wasumbufu kama Jeshi la polisi.Dustan alikuwa ni miongoni mwa wanasheria wakubwa kutoka katika kikundi cha Law Legal Chember, kilichokuwa na wanasheria wakubwa walioheshimika hata serikalini.Kujibiwa ivyo na askari kukamfanya azidi kukasirika Zaidi, mbali na hapo Nickson alikuwa ni Zaidi ya Ndugu yake,akiwa mdogo alikuwa akiishi kwa Mzee Shayo baada ya likizo kipindi anasoma shule ya sekondari Vunjo, akawa kama baba yake Mzazi, akamchukulia Nickson kama mdogo wake wa damu,Walipendana kama mapacha, mpaka Dustan alivyorudi kutoka masomoni Marekani kuhitimu Masters ya sheria alimkuta teyari Nickson ameoa,alisikitika sana kuikosa harusi yake,kilichokuwa kinawatenganisha muda mwingi walikuwa wana majukumu ya kikazi!
“Afande,unanikatalia kumuona ndugu yangu?”
Dustan hakufanya kitu kingine Zaidi ya kupiga jicho lake juu ya shati la askari akameza namba,akatoka nje na kupiga simu kwa Kamishna wa Mkoa wa Dar es salaam George JOHNSON MWANGUKU.Akamueleza kila kitu na kutaja namba,simu ilivyokatwa akasikia simu ya mezani kituo cha polisi inaita.Akapokea Afande Maria.

Afande mfupi mwenye kitambi akaitwa.Jinsi alivyokuwa anaongea na upande wa pili wa simu ni dhahiri kuwa alikuwa akiongea na mkuu wake wa kazi,sura yake ilionesha upole na utii wa hali ya juu.
“Ndio Mkuu,Ndio…sawa hakuna shida”
Bila kuongea chochote akaenda mpaka kwenye nondo akamfungulia Nickson,Dustan kidogo amwage machozi, hali aliyomuona nayo Nickson ikampandisha hasira kupita kiasi.
“Afande nani alifanya hivi?”
Lilikuwa ni swali kutoka Kwa Dustan tena kwa ukali kama mtu mwenye madaraka!
“Nauliza nani kahusika kumpiga?”
Akauliza tena.Hapo hapo akapiga tena simu, safari hii simu ilienda moja kwa moja Kwa Mwanasheria wa Raisi wa Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania Vital Kamere,japokuwa ilikuwa usiku sana akamueleza mambo yalivyokwenda kesi ikanunuliwa,Ikafunguliwa tena upya,Dustan akakata rufaa kwa kosa la Askari kumpiga Nickson.
“Polisi hana mamlaka ya kumpiga mtu yoyote yule,sasa basi hii kesi mimi naifufua naamini hicho kichwa alichowekewa amesingiziwa mtatajana tu”
Dustan aliongea kwa Hasira maaskari wakaanza kutafutana.
Ni kweli Dustan akafuatilia kesi ya Nickson faili likaandaliwa mashtaka yakapelekwa mahakamani,
kila kitu kilikuwa chini ya wanasheria makini kutoka katika kikundi cha LAW LEGAL CHAMBER.Maaskari waliohusika walianza kuhama mji wakitaka kutoroka lakini wote walikamatwa,Kamishna Mponda alipotaka kutorokea Kenya hakufanikiwa kwani alikamatiwa mpakani Namanga, akarudishwa na kufunguliwa shtaka jingine,kila mtu alianza kutaja.
“Ni Mr.ZUMO wa Afrika Kusini alitupa hiyo kazi kusema ukweli sina haja ya kuwadanganya”
Siku hiyo afande Mponda alitoboa siri mbele ya mahakama,akasema kila kitu.
“Alikuwa akitaka kumfungisha Nickson ili yeye awe kimapenzi na Mke wake,kila askari aliyeshiriki alipewa dola elfu mbili huo ndio ukweli wangu”
Kila kitu kiliwekwa wazi,kutokana na mambo yalivyokwenda Mr.Zumo alisakwa kwa wudi na Uvumba,Dustan alihakikisha atakula naye sahani moja mpaka dakika ya mwisho.Ndani ya mwezi mmoja akakamatwa akiwa Jiji la Mogadishu, akafungwa jela.
****
Mwaka mzima ulipita tangu kesi ya Nickson ilipotulia akawa anaishi kwa raha mustarehe na familia yake,Uzuri wa mtoto wao Sonia ukazidi kukolea ingawa alikuwa mdogo lakini kiuno chake kilikuwa kimechongwa vizuri akabinuka kwa nyuma akapewa nyama nyingi kifupi Mungu alimpendelea.
Weupe wake aliouchukua kutoka kwa wazazi wake wote wawili ukamfanya azidi kushangaza jamii inayomzunguka!
Mama yake alianza kumvalisha vimini akiwa bado mdogo mapaja yakawa nje muda wote, hilo ndilo likawa tatizo kubwa mtaani.
“Gloria,Mtoto usiwe unamvalisha nguo kama hizo”
Siku hiyo Nickson alisema,hakupendezeshwa na mavazi aliyovalishwa Mtoto wake.
“Mambo ya mjini”
“Hapana,mbali na hapo sisi ni watu wa Mungu”
“Hata kama,unataka sasa nimvalishe nguo zinazomfunika magotini na joto hili la Dar es salaam?”
Gloria alimtetea mwanaye,Nickson hakuwa na la kusema.Sonia alivyotimiza miaka kumi na sita,akazidi kuwa mzuri mara sabini yake,Kifua chake kilianza kuota maziwa taratibu, ngozi yake ikaanza kubadilika na kuwa laini,tayari alianza kupevuka,akawa anaanza kuhisi vitu vya ajabu ndani ya mwili wake, aliuhisi una mabadiliko makubwa mno.
Vijana wakaanza kumpigia misele, lakini hakuna hata mmoja wapo aliyeambulia.Sonia aliringa kupita kiasi, akajua kuongea kwa dharau jibu lake moja tu,lilikata maini!
“Sonia,Soniiiia”
Siku hiyo akiwa anatoka darasani alisikia sauti ya kijana ikimuita.
“Sema”
Jinsi alivyomtizama kijana huyu hakutofautishwa na mtu anayetizama Kinyesi,alimpandisha juu mpaka chini kwa dharau na kuangalia pembeni.
“Ongea shida yako,nina haraka Frank”
“Sasa kwanza umependeza…ninahitaji muda kidogo tukae chini tuongee”
Frank alijibiwa kwa msonyo mkali,Sonia akaondoka zake akitembea kwa mwendo wa taratibu huku nyuma akiacha mtikisiko wa ajabu kwenye makalio yake.
****
NDOTO YAKE SIKU ZOTE ILIKUWA ni kufanya tendo baya la kuzini na Gloria,aliamini ipo siku ndoto yake itatimia tu.Magugu aliamua kufanya sherehe ndogo nyumbani kwake akawaalika watu wachache ikiwemo familia ya Nickson.Furaha waliyokuwa nayo ilizidi kifani, wakafurahi na kunywa ndani ya nyumba ya Mzee Magugu, lakini wakati wote jicho lake lilikuwa kwa Gloria, Licha ya kuwa na mke wake lakini alimuhitaji Gloria kimapenzi.
“Mama Jenifa,huyu ni mfanyakazi mwenzangu anaitwa Nickson, huyu unayemuona hapo pembeni yake ni mke wake”
Mzee alitoa utambulisho mfupi kwa Mke wake,na kuanza kupeana mikono, lakini alivyopeana mkono na Nickson kitu kama shoti ya umeme akahisi imemuingia mwilini mwake,Sura ya Nickson ilimpagawisha mke wa Bosi Magugu,ili lisigundulike hilo akatoa mkono wake haraka.Wakaendelea na Vinywaji lakini mwanamke huyu hakuwa hapo kimawazo.
***
ULIKUWA NI KAMA mchezo wa kuigiza tu lakini ndiyo ukweli, Mama Jenifa alipagawishwa na Nickson akawa anatafuta namna ya kumnasa,kichwani mwake alianza kufikiria mikakati mingi kabambe.
Siku moja aliivizia simu ya Mume wake na kuchomoa namba za Nickson, akasevu kwenye simu yake.Akili yake yote ilivurugika, kichwani alikuwepo Nickson na sio Magugu tena.
“Huyu kijana anaonekana hata kitandani ni mjuzi sana,lazima nimnase sijui inakuwaje hapa”
Aliwaza Mama Jenifa huku akijipaka mafuta mwilini asubuhi.Akatoka na kuwasha gari na kuanza safari ya kuelekea Shekilango, alivyofika Rombo Hotel akapaki gari na kuulizia kama kuna vyumba.
“Vyumba vipo ndio”
Dada wa mapokezi akampokea na hapohapo akapatiwa chumba,Mama Jenifa alipanda haraka ngazi mpaka gorofa namba tatu akaingia chumba namba 59.Kitanda kilichokuwa mbele yake kilivuta hisia zake,akajiona akiwa na Nickson wanafanya Ngono.Bila kupoteza muda akachukua simu yake na kuzipiga namba za Nickson.
“Halloo Nickson,Upo wapi?”
Hilo ndilo swali la kwanza kulitupa Mama Jenifa baada ya upande wa pili wa Simu kupokelewa.
“Nipo kazini, nani mwenzangu?”
“Mteja wako, napiga simu kutoka Shekilango kuna jambo nataka unisaidie nataka kufungua kesi”
“Kwanini usije ofisini kwetu?”
“Hapana Nickson, tafadhali naomba unisaidie,nipo chini ya Miguu yako.Nikitoka nje nitauliwa”
Mama Jenifa alizidi kuomba na Kusihi,sauti ya Mama Jenifa hakuweza kuikumbuka tena, kutokana simu hiyo ilikuwa ni ya kazi vilevile, alijikuta anasimama na kuwaaga wafanyakazi wenzake.

Ilikuwa ni saa sita ya mchana tayari,akawasha gari mpaka Shekilango alipoelekezwa.
Akaingia mpaka chumba alichokuwemo Mteja wake.Akapanda ngazi,lakini baada ya kufika alipigwa na butwaa la ajabu alivyokumkuta Mke wa Bosi wake Magugu akiwa na kanga moja peke yake amejilaza chumbani huku mapaja yake manene yakiwa wazi.
“Karibu Nickson”
Mama Jenifa alilegeza sauti yake na kusimama kitandani,mapigo ya moyo ya Nickson yakazidi kupiga kwa nguvu.

 Mwili wake aliuhisi una ganzi,akatamani kufanya ngono wakati huohuo na Nickson, ni wazi kuwa alimpenda kijana huyu mdogo wa umri kwake, akawa yupo tayari kwa lolote lile, ilimradi aonje ndizi yake.Nickson alikuwa kama mtu aliyepigwa na shoti ya umeme haelewi ni kitu gani akifanye, macho yake yalitua juu ya mapaja ya Mke wa bosi wake,mwili wake ukamsisimka.
“Naomba nie nie niende,au vaa basi uniambie hiyo kesi”
Nickson akashikwa na kigugumizi cha ghafla, hakuelewa kimetoka wapi.
“Nickson sogea karibu basi,mbona upo mbali?”
“Hapana,hapa pananitosha”
“Sawa, basi ngoja nikufate”
Mama Jeni au Mke wa Bosi Magugu akasimama akiwa na kanga moja, ambayo iliyafunika maziwa yake ikawa imeishia mapajani,mguu wake mnene ulibeba makalio makubwa kiasi,akatembea mpaka kwa Nickson na kumshika mashavu.
“Unajua kuwa wewe ni mzuri sana?”
“Ma..ma naomba nien…nde niwahi ofi...fisini”
“Unawahi wapi Nickson jamani”
Mama akapitisha mkono wake kwenye kitasa na kuufunga na funguo kisha kuzichomoa kwenye kitasa,akamuendea Nickson karibu yake,akamfuata midomoni akatoa ulimi wake, lakini Nickson akakwepesha mdomo wake.
“Nick…”
“Mama,mimi naomba niende bwana”
“Nickson naomba, nakuomba,nip….”
Mama akashika mashavu ya Nickson akaanza kumnyonya mdomo wake taratibu,Damu ya Nickson ikazidi kumwenda mbio, akahisi kama amepigwa shoti ya Umeme, mama huyu alichukua mkono wake na kuushusha mpaka kwenye suruali ya Nickson na kuanza kuchua Pump.Akili ya Nickson haikuwa hapo tena ilisafiri maili nyingi sana akakumbuka mateso aliyokuwa anateswa na bosi wake kazini,
akatafakari jinsi alivyodhalilishwa kama mbwa,na leo hii yupo na mke wa bosi huyohuyo aliyekuwa ana mdharau.Ilikuwa ni kama mbuzi kafia kwa mpika supu,akapata hasira akaapia kwamba ni lazima amdatishe mke huyu wa bosi ili kesho arudi tena,japokuwa mama huyo alikuwa ana mwili mkubwa Nickson alimbeba na kumtupa puu! Kitandani kisha yeye kufuata juu yake,akaitoa kanga ya Mama Jeni akaanza kumnyonya maziwa taratibu huku akiupitisha mkono wake taratibu kwenye Pango akagusa kinyama cha juu kilaini,
hapo ndipo Mama huyu alipoanza kutoa milio ya ajabu.
“Mt…ukane Mum..eo”
Nickson akatingisha kiberiti,akamkumbuka rafiki yake Akinyemi Malekano mpenda wake za watu,kila akilala na mke watu ni lazima amwambie hilo neno akazidi kukumbuka stori mbalimbali za kihuni.
“Mtukane Mum.eo”
“Mum..e aaah aaaah Mu..me wangu Msen** aaaaaah aaah Nicks..on”
“Mtukane tena”
“Mu..me wa..ngu hanisi ha…nisi ha..na lol…t..te aaaah aaah shhsss aaah”
Mama Jeni alizidi kutoa sauti za huba,Nickson hakuishia hapo alishusha ulimi wake mpaka chini akaishika miguu ya mama huyu huku na kule akaingiza kichwa chake katikati, akatoa ulimi wake na kuanza kudeki bahari taratibu sana tena bila madoido huku akitumia kidole,alitema mate juu ya mgodi na kuendelea kuulamba.
Mama Jeni alishindwa kuvumilia alichofanya ni kuendelea kushika kichwa cha Nickson, akizidi kukikandamiza kwa ndani huku akiyashikashika maziwa yake.
Hayo yote yalitokea akiwa hajitambui yupo hoi bin taaban hajiwezi.Ni kweli kwamba Nickson aliipania mechi hiyo, alitaka amkomeshe bosi wake,ikawa vita vya panzi furaha kwa kunguru.Mama Jeni alizidi kujikunja kunja, Nickson akapanda juu ya maziwa yake na kuanza kunyonya chuchu za Mama huyu mtu mzima.
Haraka haraka akavua shati lake, Mama Jeni akamsaidia kuitoa suruali yake kisha Boxa kufuatia,kabla ya Nickson kufanya lolote Mama Jeni akashika AK47 yake haraka akaiingiza ndani ya msitu wa solondo ili vita ianze.Kitendo cha Mtutu kuingia ndani ya ikulu, Mama Jeni aliachia mdomo wazi akazidi kuusikilizia,akaanza kukatika taratibu akiwa chini amewekwa kifo cha mende.Nickson akamtoa kitandani.
“Shika hapa Mama”
“Mhhh”
“Shika vizuri”
Mama akabong’oa, akawa ameshika pembe ya kitanda, Nickson akamshika kiuno kwa mikono yake miwili,akaingiza Turbo ndani ya Gear box ya Mama Jeni,hapo ndipo Mama huyu alihisi joto la hali ya juu,Urefu na unene wa Gunzi la Nickson ulimfanya Mama Jeni aanze kukatika kama feni,Nickson hakutaka kwenda mbio,Mechi hiyo alitaka asiharibu hata kidogo,akazidi kupeleka misumbwi.Mguu wa Mama Jeni mmoja ukawa umepanuliwa Nickson akachomoa akaingiza tena.
Mambo yalienda asteaste.Mama Jeni akaanza kusema siri zote za mume wake.
“Uhhh..ahaaa Nick…son na..ungu..a Mume wa..ngu ana ki..pipi hana uwezo wa kuni.fi.kisha Nickson ivyo i..vyo Ba..by aaaashhhh aaaaah”
Mama Jeni alizidi kusema kwa sauti ya huba.Huku Nickson akisikiliza kwa umakini sana siri hizo.
*****
“Nickson yuko wapi?”
Mzee Magugu alikuwa ofisini, alimuulizia Nickson baada ya kupiga simu yake bila kupokelewa.
“Aliaga,kuna kesi anafuatilia”
“Ndivyo alivyoaga hivyo?”
“Ndio bosi”
“Katoka saa ngapi?”
“Tangu saa tatu asubuhi”
Mzee Magugu alipoangalia saa yake ya mkononi ilikuwa imegonga saa tisa ya alasiri.
“Anyway endelea na kazi”
Mzee Magugu akaenda mpaka ofisini kwake na kuketi,akawa anakagua kagua makaratasi ndani ya ofisi yake,akavuta madroo akaonekana kuchanganyikiwa mno, kuna kitu alionekana akiwa anakitafuta lakini akakikosa,akatafakari kwa muda na kutoa simu yake mfukoni akaenda mpaka kwenye majina akatafuta neno WIFE akaipa simu ‘ok’ ili itoke,Simu ya Mke wake au Mama Jeni ikaanza kuita.
“Halloo Mama Jeni”
Mzee Magugu alisema baada ya simu kupokelewa.
“Abee”
“Sasa hapo Mezani....!upo nyumbani kwanza?”
“Mimi?mimi ndiyo nipo Nyumbani”
Mama Jeni alidanganya.
“Hapo chumbani kuna document yangu,ndani ya kabati embu niangalizie vizuri kama ipo,ukifungua droo la katikati chini kuna bahasha kubwa ya kaki”
“Ngoja kidogo nitakupigia subiri niiangalie”Simu ikakatwa.
Mama Jeni alikuwa akiongea maneno hayo akiwa juu ya kifua cha Nickson wala sio kwake,tena amejiachia kama ndiye mume wake halali wa ndoa,akasahau kwamba alikuwa ni mchepuko tu,raha alizopewa dakika tano zilizopita zilimpagawisha mno!
Hakutamani kurudi tena nyumbani kwake akamchukia mume wake kupita kiasi,kwa kumnyima haki anayostaili.
“Sasa itakuwaje?”
Nickson akauliza huku akitabasamu,alishaelewa ni aina gani ya dozi aliyotoa, hata yeye alijikubali.
“Nickson”
“Naam Mama”
“Usiniite Mama”
“Naam,Mpenzi”
“Nakupenda sana,hatuwezi siku tukatoka nje ya mji huu tafadhali hata ikiwezekana tutoroke tu”
“Tutoroke!?”
“Ndio”
“Twende wapi?”
“Popote pale,ili mradi tu niwe nawewe”
“Mimi nina Mke ujue”
“Hata kama Nickson,mimi sijali ili mradi nitakuwa nawewe, nipo kukufanyia chochote unachotaka”
“Kweli unataka kutoroka namimi?”
“Niamini Mpenzi,umenipagawisha sana”
“Nitafutie Milioni Mia mbili”
“Nickson!nitatoa wapi pesa zote hizo?”
“Iba hata kwa mumeo,kwani hujui akaunti zake za benki,kama hutaki basi achana na mimi”
Nickson akatingisha kiberiti.Alifanya ivyo makusudi,nia yake ilikuwa Mzee Magugu aibiwe pesa katika akaunti zake zote hata za ofisi ili afukuzwe kazi, kwa upande mwingine Mzee Magugu alikuwa ni muhasibu mkuu na huo ndiyo ulikuwa wakati wa Nickson kumtesa Mzee Magugu,akataka kumfunza adabu na kulipiza yote yaliyotokea nyuma.
“Sawa,nitajaribu Mpenzi”
Ni kweli, kwa jinsi Mama Jeni alivyopagawishwa alikuwa yupo radhi kufanya chochote ilimradi Nickson afurahi.


Moyo wa Nickson ulijawa furaha ajabu,aliamini kwamba muda wake wa kulipiza kisasi umewadia tena kwa njia ya kufanya ngono na Mke wa Magugu,mambo yaliyopita nyuma ya kudhalilishwa mbele ya wafanyakazi wenzake yalimuumiza moyo bado,kwa muda mrefu sana alifikiria ni kitu gani akifanye ili amkomoe Bosi wake Magugu,Kwake ikawa kama ‘Ahsante Mungu’.
Wakapigana madenda na Mama Jeni kisha kusimama na kuchukua Suruali yake.
“Darling,hauogi sasa?”
Mama Jeni aliuliza akiwa bado kitandani amelishikilia shuka.
“Wacha niwahi ofisini,nitaoga home”
Furaha aliyokuwa nayo hata kuoga alisahau.Simu ya Mama Jeni iliita na aliyepiga alikuwa ni Mume wake,alijua kwamba alitaka kujua amefikia wapi kuhusu Documents.
Hakutaka kuipokea simu, akazidi kumuangalia Nickson kwa jicho la huba.
“Nitakumisi Nickson,kesho uje tena basi”
“Nawewe usisahau,nilichokwambia”
“Mimi siwezi kusahau wiki hii tu nakupa hiyo pesa,lakini usije ukaniacha kwenye mataa baada ya kuchukua hizo pesa”
“Siwezi kukuacha Mpenzi wangu,nakupenda”
Nickson akajifanya kumsifia mke wa bosi wake.

Baada ya Nickson kuondoka na kumuacha Mama Jeni Rombo Hotel akiwa mwenye furaha kedekede akaamua kunyoosha moja kwa moja nyumbani kwake,kwa kuwa muda ulikuwa tayari umekwenda,hakutaka tena kurudi ofisini kwake.Akafika nyumbani kwake saa kumi na moja.
“Mbona leo mapema Love?”
Gloria alimtupia swali mume wake!
“Uchovu,uchovu tu sijisikii freshi hata hivyo”
“Pole Mume wangu,ukaoge basi alafu upumzike”
“Poa poa,Sonia kesharudi kutoka shule?”
“Bado”
“Okay”
Nickson akapita chumbani akavaa taulo na kuingia bafuni,akaoga na kutoka, hapo alijitupa kitandani na usingizi ukampitia.
***
AKILI YAKE HAIKUWA KWA MAGUGU TENA,ikahama akawa kila wakati anamkumbuka Nickson,mapenzi motomoto aliyompa kitandani siku chache zilizopita yalimfanya ashindwe kufikiria sawasawa,alikiri kwamba kijana mdogo Nickson ambaye ni kama ‘Serengeti boy’kwake,aliyajua mambo sio kitoto, alidiriki kusema kwamba,hakuna mwanaume kama Nickson.Na kumbatiza Jina na kumuita ‘Mwanaume wa Shoka’.Kwenye simu yake alimsevu DICKSON II akimaanisha kuwa kuna DICKSON mwingine ndani ya simu yake,huyo alikuwa ni mdogo wake.
Mama Jeni alikuwa mwenye akili kupita kiasi,huo ndiyo ujanja alioutumia hata ikitokea siku Nickson kapiga simu akiwa na mume wake asingeweka mashaka yoyote yale.Kilichomuumiza kichwa wakati wote ni jinsi gani atakavyoenda kupakua shilingi milioni Mia mbili ili amkabidhi Nickson,aliwaza na kuwazua.
Kadi za mume wake sio kwamba hakujua zilipo lakini kilichomnyima raha ni namba za siri,hakuwa nazo.
“Mhh,sijui itakuwaje anipe namba za siri za akaunti yake”
Aliwaza Mama Jeni,akijaribu kutafakari ni mbinu gani aitumie.
Akili ya Mama Jeni ilifanya kazi kwa kasi, mithili ya kompyuta isiyokuwa na mafaili,akasubiri siku iliyofuata Mume wake yupo kazini akampigia simu,akimueleza kuwa yupo kwenye mashine za ATM na kadi yake imemezwa na mtambo,hivyo anahitaji pesa ana dharura.
“Sasa itakuwaje?”
Mama Jeni akauliza.
“Alafu…juzi hukunijibu ulikuwa wapi,kila nikikuuliza unapindisha swali langu,nilikupigia simu ukadai upo nyumbani ukanikatia simu yangu leo unaniambia una shida, nashindwa kukuelewa ujue Mama Jeni”
“Mume wangu,naomba tuongee hayo maswala baadaye,tutamalizana baadaye sasa hivi nimekwama hapa,nahitaji msaada wako naomba nitajie pin zako ili nitoe pesa kwenye akaunti yako”
“Ina maana umebeba mpaka kadi yangu?”
“Uliisahau mezani”
“Tisa,tisa,mbili,nne”
“Tisa au sita?sijakusikia vizuri”
Mama Jeni alisikia vibaya ikamfanya aulize tena.
“Tisa,Nine”
“Okay ahsante Mume wangu”
Hapo hapo Mama Jeni akachomeka kadi ndani ya mashine ya ATM kitu cha kwanza kuangalia ni salio,alipigwa na butwaa baada ya kukuta kuna salio ya shilingi milioni mia sita na laki tatu na tisini na mbili.
Moyo wake ukapiga paa!akabaki akitetemeka hakuelewa ni kitu gani akifanye,alichofanya siku hiyo ni kutoa kiasi kidogo cha pesa shilingi laki moja ili mume wake asije kushtuka baadaye,Maadam alishajua namba za siri hakupata shida yoyote, alivyomaliza kuchota pesa aliingia ndani ya gari na kurudi haraka nyumbani kwake, akifikiria ni kwa namna gani aibe pesa za mume wake na kumkabidhi Nickson maana tayari alishakuwa MTUMWA WA NGONO kwa Nickson,hakuwahi kupewa dozi kama hiyo.
***
Miguu ya Mama Jeni ilikuwa imepanuliwa huku na kule yupo uchi wa mnyama,kichwa cha Nickson kikiwa katikati ya miguu ametoa ulimi wake anadeki bahari,Mama Jeni alikuwa hajiwezi tena keshatoa sauti zote mpaka akachoka, kwa raha alizohisi hata angetokea simba asingethubutu kukimbia.Ni kwa mara ya pili kukutana na Nickson na siku hiyo aliona kama dozi ilizidi.
Siku hiyo Nickson aliipania sababu alikuwa amepaka asali juu ya mgodi wa mama Jeni akawa anaunyonya barabara!Ni dhahiri kwamba mama huyu alihisi mambo kama hayo hayapo duniani,Nickson alimpatia sio utani,Nido zake zilikuwa zikitomaswa na vidole vya Nickson hususani juu ya chuchu,ndiyo likawa tatizo lingine,Nickson akatoa ulimi wake na kuanza kulamba kitovu akapanda juu shingoni akamnyonya shingo akapita na kuingiza ulimi wake sikioni.Mama Jeni alihisi mwili wake kama umepigwa na shoti ya umeme, aliweweseka hakuelewa ashike kipi aache kipi,mara amkwaruze mgongoni Nickson na kucha zake mara avute vute mashuka ili mradi vurugu tupu.
Nickson hakujali hayo aliendelea na kibarua chake utadhani ameajiriwa vile,akazidi kuchapa kazi.Taratibu akaanza kupitisha kidole chake chini ambapo alikumbana na nyasi chache chache ambazo zilikuwa zinaota kwa mbali, akazidi kuupeleka mkono wake chini mpaka kwenye andazi la mama Jeni, akaingiza kidole cha katikati ndani,mara akiingize mara akitoe, mchezo huo ukaendelea na kumfanya Mama Jeni aanze kukatika taratibu akahisi raha za ajabu,kidole cha Nickson kilizidi kupenya ndani kikatoka nje kikakumbana na nyama laini ya juu ya MAMA JENI,alivyohisi ameishika vizuri, Nickson akashusha kichwa chini na kuanza kukilamba kitu hicho kilichofanana na kiharage.Hata angekuwa mwanamke wa aina gani kwa jinsi alivyofanyiwa Mama Jeni asingeweza kutoka sababu ndiyo sehemu ya udhaifu ya wanawake wengi.
Nickson hakuwa na papala mpaka alivyohisi kidole chake kina maji maji,hapo ndipo alipoona ndiyo muda muafaka wa kucheza mechi ambapo wachezaji wake watakuwa wanateleza tu bila kuchubuka.Taratibu akauchukua mguu wa Mama Jeni wa kulia na kuuweka begani kwake, akajisogeza karibu na kuingiza MKUNGU wake ndani,akauzamisha taratibu mno mpaka akahisi hapo ndiyo ukingoni akautoa na kuuweka tena, mambo yalikuwa yanaenda taratibu sana huku midomo yao ikiwa imegusana yaani wanapigana denda.Mama Jeni alitoa miguno ya ki utu uzima,akawa anahema ndani kwa ndani mikono yake miwili imeshika makalio ya Nickson anamkandimizia ndani ya Mgodi wake.Nickson akazidi kupeleka majeshi majeshi akazidi kuupeleka Mwiko wake kila pembe, kama mtu anayepiga mswaki, mara magharibi, kidogo Mashariki hakusahau Kusini na kumalizia na Kaskazini kila pembe aliigusa,Mama Jeni akapinduliwa akawa amelalala chali,Nickson akavuta mto akamuwekea chini ya tumbo, akawa amebinuka kwa nyuma yaani ‘dog style’Hapo ndipo mama huyu mtu mzima alihisi kuchanganyikiwa,

Nickson akawa anampiga makofi kwenye makalio ‘paaaaa’ yakawa yanalia kwa nguvu,hapo Mama Jeni alizidisha spidi.
“Ahhhs aaaah,Mhhh aaashsss mhhh Nick….son na…ku..peeeeeeeeeenda baaab…y aaashh aashsss”
Mama Jeni alitoa sauti za puani akibubumia kwa raha zisizoweza kuhesabika hata kidogo! Ni wazi kwamba milioni mia mbili zilikuwa za Nickson bila ubishi wowote ule.Kwa uhodari wa hali ya Juu Nickson alivyoshinda goli la kwanza hakuweka mpira kati, aliunganisha hapohapo juu kwa juu,Mama Jeni akashindwa kuelewa mchezo huo ni wa aina gani,itawezekana vipi goli lifungwe bila ya mpira kuwekwa kati?alijiuliza Mama Jeni huku jasho likimtoka sababu ya kukosa mapumziko,Nickson akazidi kupeleka misumbwi,kila dakika alimuweka mikao tofauti,Mpaka anashinda goli jingine Mama jina alishinda magoli tisa bila ya kutegemea.
“Nikiiii”
Mama Jeni akaita kwa sauti ya uchovu,Nickson alikuwa amempa Mgongo,amelala.
“Yes”
“Nakupenda,nakuhakikishia kuwa milioni mia mbili nakupa leoleo hata kwa kuvamia benki,Nita muuwa hata mume wangu”
Mama Jeni alijikuta akiongea maneno hayo,kudhihirisha alipagawishwa kupita kiasi.
HIVYO NDIVYO ILIVYOKUWA,jioni ya siku hiyo Mama Jeni alinyoosha mpaka CRDB mnazi mmoja tawi la vijana,akaingia kwenye mashine za ATM akachota milioni Moja,alipotaka kujaribu kutoa tena ikashindikana, kiwango cha pesa kilikuwa kimefika mwisho kutoa kwa siku hiyo,akakasirika, akaingia kwenye akaunti zake nyingine nne na kuchota Milioni moja katika kila akauti,akarudi ndani ya gari mkuku mpaka nyumbani kwake.
Fikra zote zilikuwa kwa kijana Nickson, ilikuwa ni lazima amkabidhi shilingi milioni Mia mbili za Kitanzania kivyovyote vile,kila sekunde mkanda kama wa sinema ulimiminika kichwani mwake akaona jinsi walivyokuwa wakifanya ngono na Nickson,akatamani tena na tena!
“Mama Jeni”
Mzee Magugu aliita siku hiyo wakiwa seblen usiku baada ya kumuona mke wake ameganda akiwa kama anatafakari kitu.
“Abee”
“Upo sawa?”
“Ndio nipo sawa”
“Kweli?”
“Ndio,Nickso…ooh Mume wangu”
Mzee Magugu hakusikia vizuri,akamtizama mke wake.
“Punguza Mawazo,utakufa kwa presha”
“Sawa Baba”
Mama Jeni aliwaza na kuwazua usiku kucha hakupata usingizi hata kidogo,mikakati mingi ilikuwa ikipita kichwani mwake ni jinsi gani atapata milioni mia mbili na kumkabidhi Nickson.Akatabasamu kidogo baada ya kukumbuka kitu.
“Nauza gari yangu moja,kumbe jibu nipo nalo nina magari mawili nauza moja kesho kesho,Alafu mimi bwana….”
Hicho ndicho kilichotokea ndani ya akili yake,kulivyokucha tu, akaanza kuwapigia simu madalali.
“Ndio Safi,Marced benz… ndio ndio unasema? ni cc 3200 ni mpya kabisa hata mwaka haijafikisha,ndio sasa sikia, njoo ulione mwenyewe uangalie vitu vingine mwenyewe,okay okay leoleo njoo saa nane,ndio hapa nyumbani,Ahsante”
Mama Jeni alikuwa simuni anazungumza na dalali maarufu wa magari nchini Tanzania aliyejulikana kwa jina la SAFI GUSHU,akafurahi na kuingia bafuni kuoga.
***
Nickson alishaona nguo ya ndani ya Mke wa bosi wake akaujua uchi wake. Zaidi na hapo alikuwa akisubiri kitita cha milioni Mia mbili,udenda ulimtoka, kila alivyokumbuka maneno ya Mama Jeni kuhusu Bosi wake Magugu alikuwa akicheka na kutabasamu.Alijiona yeye ndiye mwanaume wa shoka!
“Tito mwanangu embu njoo nikwambie”
Siku hiyo Nickson alipita na kumuita Tito,jinsi uso wake ulivyokuwa na tabasamu Tito akatamani kujua ni kitu gani.
“Nije ofisini kwako?”
Tito akauliza.
“Ndio,njoo nikwambie”
Tito akamfuata swaiba wake nyuma na wote kuzama ndani ya ofisi kubwa yenye fanicha za bei mbaya.
Nickson akachukua rimoti na kubonyeza kitufe chekundu, Kiyoyozi kikaanza kupiga kelele,ubaridi wa AC ukaanza kutoka.
“Za siku nyingi mshkaji?pole na safari vipi Mbeya huko?kwanza hongera”
Mazungumzo yalianza baada ya salamu.
“Ahsante,kesi ile nilishinda lakini kwa mbinde ujue,namshukuru Mungu lakini Niki mwanangu sikufichi Mbeya kuna mademu hatari,wanyakyusa wazuri khaaaa,wanagongana hao watoto wana mauno kishenzi”
“Inabidi kwanza wiki endi hii tukutane tuongee vizuri,unipe stori zote maana najua ukianza hutomaliza”
“Hilo pigia mstari,nimerudi akaunti inasoma wife nimempiga pesa zake katulia,sasa nataka hiyo Wik end niwe na Neema,unamkumbuka?”
“Namkumbuka vizuri,yule aliyekuja na Pendo sijui Wema Sepetu?”
“Ewaaa huyo huyo,embu niambie kwanza umeniitia nini?”
“Si unakumbuka Bosi alikuwa akileta dharau bwana,kumbe hana lolote ndani”
“Mhh,Kivipi?sijakuelewa”
“Mke wake kanibwagia manyanga,mimi ndiyo namtia siku hizi,kaniuzia ubuyu wote”
Nickson alizungumza Kiswahili cha geto!
“Acha masihala”
Hapo ndipo Nickson alipoanza kumsimulia swaiba wake kila kitu kilichoendelea, lakini hakumwambia kuhusu milioni Mia mbili, hiyo ilibaki kuwa siri yake.
“Safi sana mwanangu,safi sanaaaaa,mimi ndiyo nilitaka ufanye ivyo ana mwanaye pia anaitwa Jenifa,unamfahamu?”
“Hapana”
“Yupo Morogoro chuo,nayeye pita naye kudadeki,fanya hivyo yeye si anakuonesha dharau wewe tulia alafu fanya manuva,mtom*** mwanaye pia,ayayaya mwanangu umenifurahisha,nitakununulia kreti tano za bia,nipe gwala”
Moyo wa Tito ulifurahi kupita kiasi, wakagonga tano,alimpongeza Nickson mara mbili mbili.
****
Alikuwa ni mtu kama asiyeamini macho yake,ndani ya begi kulijaa mabunda ya pesa.Akazidi kumtizama Mama Jeni aliyekuwa mbele yake wapo ndani ya hotel,chumba kimoja.
“Hizo hapo mpenzi wangu tena ni milioni Mia tatu love”
Nickson alizidi kuyatumbua macho yake kama mjusi aliyebanwa na Mlango!
“Lakini nakuomba kitu kimoja”
“Kitu gani?”
“Nataka tutoroke,maana hizo pesa zingine nimeziiba,na ikijulikana nitauwawa”


 Ilikuwa sio rahisi kuamini kwamba Mke wa Bosi wake,ndiyo anatamka maneno hayo tena akiwa ametoka kuiba pesa,Nickson hakutaka kuamini.Mama Jeni hakuwa na utani hata punje, kila alichokizungumza alikimaanisha,Nickson alimpagawisha kupita kiasi ndiyo maana akazitafuta pesa kwa udi na uvumba hatimaye akafanikiwa,kitendo alichokifanya hakutamani kabisa kubaki jijini hapo ilikuwa ni lazima apange mikakati mingine ya kukimbia,na ndivyo alivyomueleza Nickson.
“Tutoroke?kivipi?”
Nickson akauliza kwa mshangao.
“Ndio Mpenzi,tutoroke tuhame huu mji”
“Subiri kwanza,nipe muda wa kufikiria kidogo”
“Baby nakutaniaaaaaa bwanaaaa”
Mama Jeni akamrukia Nickson kitandani, hapohapo akaanza kumla denda la kama sekunde tatu huku akiwa ameyafumba macho yake.
“Baby”
Mama Jeni akaita.
“Naam”
“Nakupenda sana,najua utashangaa sana kusema maneno haya lakini ukweli ndiyo huo,nilikuwa nikiteseka sana ndani ya ndoa yangu,miaka saba nimeishi bila kuifaidi.Naamini nimepata mkombozi,umejua kunifikisha”
“Nami nafurahi kukupata wewe,lakini pia naomba utambue mimi ni mume wa mtu”
“Hilo nalijua lakini sasa usije kuninyanyasa kisa mkeo”
“Hilo ondoa shaka kabisa,sitofanya hivyo”
Kwa pamoja wakasogeleana wakaanza kupigana madenda kwa fujo.
Ilikuwa ni kama sherehe kwa Nickson kuvuna shilingi milioni mia tatu,akausifu mkuyati wake akaamini ule msemo wa vijiweni ‘Mjini msingi kiuno’akatabasamu na kuzidi kuyabinya binya makalio ya Mama Jeni.
****
Gloria alikuwa Mama tayari, mwenye mtoto mmoja lakini bado alizidi kumelemeta,akazidi kuchanua mwili, akawa kama bata mzinga akazidi kufumuka akapata mwili wa umama,na jinsi alivyojua kujitunza akazidi kuwa kivutio.
Bado alizidi kusumbuliwa kupita kiasi,kila ofisi aliyoenda aliombwa namba za simu,iwe benk, supermarket hata njiani.Wachache waliambulia kupata namba zake za simu, Gloria aliangalia na mtu,hakutaka kuongea na vidampa au makabwela!
Gloria alikubali kusimama endapo atapigiwa honi.Siku moja akiwa na Sonia wanatoka kufanya shoping ya hapa na pale Mlimani City, wakinunua vitu vya jikoni pamoja na baadhi ya nguo wanataka kutoka nje ya geti, ghafla likasimama gari la kifahari aina ya RANGE ROVER VOGUE nyeusi, karibu kabisa na miguu yake,gari hilo alilifananisha lakini hakuwa na uhakika nalo, mbali na hapo lilikuwa lina vioo vyeusi yaani tinted.

Kioo cha kushoto kikashuka taratibu,Gloria hata siku moja hakuweza kuisahau sura hiyo japo ni miaka mingi ilikuwa imepita,mwanaume huyu ndiye aliyefanya mpaka akamwagiwa mafuta ya chips usoni.
“Pedeshee Kway!”
Gloria akaita kwa mshangao.
“Yeah!ingia ndani ya gari nimepaki vibaya”
Gloria akamshika Sonia mkono akapanda siti ya mbele huku Sonia akifungua mlango wa nyuma,Pedeshee Kway akakanyaga mafuta na kulitoa gari nje ya lango la Mlimani city.
“Za masiku Gloria?”
“Nzuri za miaka,hivi ulikuwa hapa Tanzania au?”
“Tangu kipindi kile unaulizia, au?”
Pedeshee Kway akauliza huku akiangalia magari yanayotoka mwenge kisha kuingia barabarani kwa mwendo wa kawaida kabisa.
“Ndio,tangu kipindi kile”
“Ohh Noo,nilienda uingereza,Nikakaa London,Sweden kidogo yaani hapa ndiyo nimeingia last night kutoka Paris na hi…..”
Pedeshee Kway akashindwa kumalizia maneno anayoongea simu yake ikawa inaita,gari alilokuwa akitembelea lilikuwa la kisasa,karibu na gia kulikuwa kuna screen, akaitizama akaona jina Kusa,kwa kuwa alikuwa ana kidude maalumu cha sikioni kwa ajili ya simu akaweka mkono sikioni na kukibonyeza,simu ikawa imepokelewa.
“Kusa,Nambie…Ndio nakusikia, ndio nimetoka benki sasa hivi,sijaona salio lolote lile, ndio… hapana ilikuwa ni milioni mia tisa,alafu mwambie Gerald lile deni langu litamtokea puani asiniletee gozigozi,ndio hakunilipa zile dola elfu kumi,Just make it happen if possible kama unaweza,nitafurahi mno….Tukutane kesho asubuhi Kilimanjaro Hotel kuna kikao,okay Merci,Merci….”
Pedeshee Kway akakata simu akatizama kioo cha katikati.
“Gloria huyu ni mwanao,au?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa pedeshee Kway!
“Kumbe sijakutambulisha,ni mwanangu huyu anaitwa Sonia”
“You can’t be serious”
“Kweli tena,Sonia…..”
Gloria akamuita Mwanaye na kugeuza shingo.
“Abee Mama”
“Huyu anaitwa Kway,ni mjomba wako,unaweza kumuita Anco Kway”
“Sawa,shikamoo Ancoo”
Sonia akasalimia.
Mbali ya yote Pedeshee Kway alimtamani tena Gloria kingono,uzuri wake ulizidi kuchanua kama maua ukampagawisha kupita kiasi.
Akiwa macho yake kayagadisha mbele ameshika usukani kwa mikono miwili akasimama maeneo ya ubungo nje ya jengo kubwa lililoandikwa kwa Juu MAWASILIANO kwa maandishi ya kijani!
“Jamani nakuja sasa hivi,kuna mtu naenda kumcheki mara moja hapo”
“Sawa hakuna shida”
Pedeshee Kway akashuka.Gloria akawa amebaki ndani akitafakari mara akawa amesahau kila baya alilofanyiwa na Pedeshee huyu,akamuona kama mpya.
Nayeye katika akili yake alitamani siku hiyo apewe penzi na mwanaume huyu tajiri.
“Sonia,inakubidi nikuache nyumbani mimi kuna mambo nafuatilia na mjomba wako”
“Sawa,kwahiyo nishuke hapa?”
“Ndio itakubidi ushuke hapa,shika hii pesa panda bajaji,Baba yako akiniulizia mwambie umeniacha benki kuna foleni”
Japokuwa Sonia alikuwa msichana mdogo lakini maneno ya mama yake hayakumwingia akilini hata kidogo,alimtizama mama yake lakini hakutaka kuhoji lolote,akapokea pesa alizopewa na kushuka garini.
Hazikupita hata dakika kumi Pedeshee Kway akawa ameingia garini.
“Mwanao yuko wapi?”
“Ameenda nyumbani,Vipi kwani?”
“No,hakuna kitu una inshu gani sasa hivi?”
“Sina ishu”
Pedeshee Kway akamtizama Gloria akasogeza mdomo wake karibu ndimi zao zikakutana wakaanza kubadilishana mate!
***
“Halloo Glori baby wangu, upo nyumbani?”
Ilikuwa ni sauti ya upande wa pili kutoka kwa Nickson Mume wake wa ndoa.Ulikuwa ni usiku wa saa mbili yupo ndani ya chumba kimoja na Pedeshee Kway.
“Vipi kwani?”
Gloria badala ya kujibu swali akauliza swali,ikawa swali kwa swali.
“Mimi,nipo mbali kidogo nilikuwa shamba alafu tena nikapigiwa simu ya dharura, leo nitachelewa kurudi nyumbani ndiyo kwanza nipo huku Mlandizi kuna foleni sana”
Nickson akajieleza,ukweli ni kwamba hakuwa mlandizi alikuwa Rombo Hotel, Shekilango uchi wa mnyama na Mama Jeni wanakula raha za maisha na kufanya matendo yaliyowaleta duniani.

 Ilikuwa ndiyo kawaida, ikawa kama chai.Mama Jeni alileweshwa penzi la Nickson akawa teja wa ngono,akikosa penzi la Nickson siku moja anashikwa arosto, anaweweseka.
Siku zote akawa msumbufu kupita kiasi.Siku hiyo ya Jumamosi kulikuwa hakuna kazi, jioni yaa saa kumi na moja wakakutana Rombo Hotel ndani ya chumba kimoja,wanashikana shikana kila sehemu ya miili yao, damu zao zinawaenda mbio.Nickson alikuwa ana boxa peke yake huku mtalimbo wake ukiwa nje umesimama kama msumari, Mama Jeni anauchua taratibu mno akajipinda kidogo na kuubugia mdomoni akawa anaunyonya kwa madoido huku akiulamba.
Nickson akahisi raha zilizopitiliza, kama kungekuwa kuna kipimo cha mapigo ya moyo kwa wakati huo kingeonesha moyo wa Nickson unapiga mara mia mbili kwa dakika,ni wazi kwamba alihisi yupo peponi.
Mama Jeni akazidi kushughulika na mwiko mara amlambe mara amshike kifua,taratibu akaitoa Boxa ya Nickson nayeye akatoa ‘skin tight’ yake akabakiwa na chupi peke yake huku juu akiwa na sidiria tu.Nickson alivyotaka kuinua kichwa chake alirudishwa kitandani.
“Leo ni zamu yangu Honey,nataka namimi nijaribu kama naweza”
Mama Jeni akaongea akitaka yeye ndiye amiliki mchezo, siku hiyo Nickson akatulia ili kusubiri.
Mama Jeni akaanza kumlamba kila sehemu akasogeza midomo yake mpaka mdomoni Mwa Nickson na kuanza kunyonya lips zake,Mama Jeni hakuishia hapo alitoa ulimi wake na kuupenyeza mpaka ndani ya sikio la Nickson, ncha ya ulimi ikawa imeingia ndani ya sikio inachezeshwa,Nickson akazidi kujikunja kama nyoka aliyemwagiwa mafuta ya taa,hakutofautishwa na mtu anayechokonoa sikio lake na ‘pamba stick’alihisi mwili wake umepigwa shoti ya umeme.
Mama Jeni akazidi kuonesha njonjo zote, nayeye kwenye mambo hayo alijitahidi akakumbuka maneno ya ‘kitchen party’ akazidi kuyafanya anayoyajua yeye.Wakati anafanya hayo Nickson alikuwa ametulia anahisi kama kuna vitu vinatoka mwilini mwake na kuzidi kusikia utamu,akaanza kuhema ndani kwa ndani.
Mama Jeni akapanda juu akavua chupi yake na kuukalia gogo la Nickson, taratibu akaanza kujinyonga huku akitoa sauti za huba.
“Aaash aaah mhhh aaashs aaaaah”
Mama Jeni akazidi kutoa sauti za huba,akazidi kukinyonga kiuno chake Juu ya Nickson huku akiyashika maziwa yake na mara kadhaa kukiinamisha kichwa chake chini wakilana denda!
****
Wakati mambo mazito yakiendelea Rombo Hotel,Mzee Magugu alikuwa nyumbani kwake kichwa kinamuuma kupita kiasi,haikumuingia akilini hata kidogo, kiasi cha shilingi milioni tisini na tano hakuziona,akajaribu kuhesabu pesa moja moja lakini wapi!
ukweli ukabaki kuwa ule ule ana Salio la shilingi milioni mia moja laki tano na hamsini.Katika kumbukumbuku zake alikumbuka hakuacha salio kama hilo.Akazidi kuhesabu Zaidi na Zaidi.Kilichomchanganya akili yake ni umuhimu wa pesa hizo, zilikuwa zinahitajika kuendesha kesi siku mbili zijazo,upotevu wa pesa hizo, kulimaanisha yeye kwenda kukaa nyuma ya nondo!
“Sasa hizi pesa ziko wapi?”
Alijiuliza Mzee Magugu na kuiendea simu yake ya kiganjani.Akatafuta majina mpaka kukutana na jina TITO akaipa simu ‘ok’ ili itoke.
“Halloo Tito”
“Eeeh,shikamoo bo….”
“Sasa….hivi ulinipa kiasi gani cha pesa?”
“Lini bosi?”
“Ile wiki iliyopita, ulivyokuwa na Edna”
“Ahaa,subiri kidogo bosi.Nipigie baada ya dakika tano nitafute karatasi”
“No usikate simu”
“Sawa”
Simu ikawa imebaki hewani kwa dakika kama sita hivi,upande wa pili ukawa unasikika madroo yakifunguliwa vitu vikitupwa huku na kule.
“Bosi”
Tito akarudi kwenye laini!
“Nakusikiliza”
“Ni shilingi milioni mia moja tisini na tano elfu laki tano na hamsini”
“Kweli?”
“Ndio Bosi,kwa sababu hata wewe ulihesabu ukahakikisha Edna nayeye akahesabu pia”
“Sawa,usiku mwema”Simu ikakatwa.
Mzee Magugu akahisi mwili wake unapungua taratibu na kuwa kama mchanga,presha ikampanda akaanza kuhema kama mtu mwenye pumu.Pesa nyingi zilikuwa hazionekani!
“Au Mama Jeni?”
Mzee Magugu akazidi kujiuliza,akapiga simu ya mke wake lakini iliita bila kupokelewa.Akajaribu tena ikaita kwa sekunde kadhaa kisha kupokelewa.
“Mama Jeni”
“Abeee”
“Umefika tayari?”
“Basi liliharibika, ndiyo kwanza tupo Dodoma hapa,nimechoka mume wangu nimetafuta hotel nimelala”
Kutokana na ukimnya ulivyokuwa upande wa pili,Mzee Magugu hakuweka mashaka yoyote.

Aliendelea kuamini kwamba alikuwa safarini anaelekea Kahama kwa Shangazi yake,anaumwa.
“Pole,kuna mzigo niliuweka kwenye kabati ulichukua kiasi chochote kile?”
“Mzigo?Mzigo gani tena?”
“Kuna pesa niliweka ndani ya droo,sizioni”
“Mume wangu,unaniongopea unakumbuka jinsi nilivyokuwa nina shida na pesa mpaka nikauza benzi ili nimpeleke shangazi yangu India akatibiwe,kwa kweli siwezi kufanya ivyo kwanza sikujua kuwa kuna pesa.Labda uangalie vizuri”
“Nimeangalia kila mahali”
“Zidi kuangalia angalia kwa makini”
“Sawa ngoja nijaribu”
Mzee Magugu akakata simu.Bado jasho lilizidi kumtoka, akaanza kutupa vitu mara afungue madroo, ainue magodoro achungulie mvunguni mwa kitanda na kila sehemu.Mpaka inafika saa kumi za asubuhi chumba kilikuwa shagala bagala,nguo zipo chini godoro pembeni,lakini hakuambulia chochote!
***
Mama Jeni aliendelea kujificha Rombo Hotel chumba namba 27,shekilango.Na wala hakuwa Mkoani Dodoma kama alivyomueleza Mume wake,Nickson ndiye alikuwa akimla uroda,ilivyotimu saa saba za usiku baada ya kufanya mchezo mchafu wa Ngono Nickson akaingia bafuni na kujimwagia maji,akavaa nguo zake na kuchomekea vizuri shati jeupe na kulivaa koti jeusi la suti,wakati anafanya hayo yote Mama Jeni alikuwa kitandani amejiachia anamtizama.
“Darling natamani hata usiondoke”
Mama Jeni akavunja ukimnya.
“Inabidi nirudi nyumbani,si unajua mke wangu yupo home ataweka dought, wewe baki humu usitoke nje kabisa,Kesho asubuhi nitakuja,si Jumapili kesho?”
“Ndio Darling kesho ni Jumapili”
“Okay nitakuja hapa asubuhi nikitoka church”
“Poa baby,kiss me!”
Nickson akasogea kitandani na kuanza kumpiga denda Mama Jeni kama ishara ya kuagana.
Haraka haraka akashuka ngazi akaingia ndani ya gari alilolificha nyuma ya Hotel hiyo na kuanza safari ya kurudi nyumbani kwake Sinza,Kutokana na utulivu wa barabara usiku huo, ilimfanya afike ndani ya dakika kumi akapaki gari na kushuka.

Gloria aliwahi kurudi tena walipishana kidogo tu,hazikupita hata dakika mbili tangu Nickson kuweka gari pembeni hata hakubadili nguo alizotoka nazo,alivyosikia muungurumo wa gari akaruka haraka kabatini na kuchukua ‘Night dress’akavua nguo kwa kasi ya umeme na kuiweka mwilini akajitupa kitandani akafumba macho yake,akahisi mlango unafunguliwa.
“Baby”
Nickson aliita lakini Gloria akajifanya yu usingizini,akauchuna!
“Nimechoka kwelikweli”
Nickson akajisemesha nayeye akiact,akaingia bafuni na kujimwagia maji ili kumzuga Gloria kuwa huko alipotoka alikuwa hajakoga,alivua nguo zote na kubakia na boxa pamoja na vest akajilaza kitandani.
“Po….le n aka…zi”
Hatimaye Gloria akaongea kwa sauti ya kichovu na kupiga miayo ya kizushi.
“Ahsante,kumbe upo macho?”
“Ndio Mume wangu”
Wakapiga stori za hapa na pale kisha wote kulala.
*****
‘LEO UNAKUJA SAA NGAPI DARLING?JANA NILI ENJOY MNO,P’SE BBY UWAHI KUJA,NIMELALA JANA NAKUWAZA WEWE TU,I LOVE YOU NICKSON,UKITOKA TU KANISANI UJE’
Ujumbe mfupi ulikuwa juu ya kioo cha simu ya Nickson, lakini ulikuwa ukisomwa na Gloria Mke wake wa ndoa, akiwa kitandani Asubuhi, Nickson akiwa bafuni anaoga ili wawahi kanisani!Gloria akaingiwa na wivu kupita kiasi,alichofanya ni kuchukua simu yake na kuikopi namba iliyotuma meseji,alivyohakikisha kaisevu vizuri kwenye phonebook alirudisha simu ya Nickson juu mezani.
“Kanajifanya kapole sana,kumbe nayeye Malaya mkubwa,subiri nimuoneshe huyu Malaya kuwa mimi ni Mafia,nitamfunza adabu shenzi”
Gloria aliwaza kichwani mwake na Nickson akatoka bafuni kuoga,akaanza kujiandaa kwa ajili ya kanisani!

*****
Gloria akajifanya hajui lolote linaloendelea,akabaki kujiandaa na kuvaa kitenge chake akajifunga na kitambaa kichwani akawa kama wanawake wa Nigeria,akapendeza kupita kiasi.
Nickson akamaliza kujiandaa akamshika mkono Mke wake wakaenda mpaka seblen, ambapo walimkuta Sonia yupo tayari,wote wakatoka nje na kuingia ndani ya gari tayari kwa safari ya kwenda Kanisani misa ya kwanza.

Kama siku zote inavyokuwa walisikiliza neno la mchungaji Patrick na baada ya masaa matatu wakamaliza,wachungaji wakiongozana na wainjilisti walianza kutoka mmoja baada ya mwingine huku waumini wakifuata.
“Mama Sonia”
Nickson aliita.
“Abee”
“Nenda na gari nyumbani,mimi kuna sehemu nawahi mara moja,nimepigiwa simu ya dharura kuna kesi naenda kui solve ni muhimu sana sana sana,nitachelewa kidogo kurudi, leo usiweke shea yangu…”
Hayo ndiyo yalikuwa maelezo ya Nickson kwa Mke wake, Gloria.Hakuelewa kuwa alikuwa anazungumza na mtu anayeufahamu ukweli,alizidi kujielezea kama anayeomba kazi ikulu ya raisi.
“Sawa,hakuna shida mimi nakutakia kheri kila kitu kiende sawa,najua kazi zako hizo za sheria hazina mapumziko,lakini kuwa makini”
“Okay Mpenzi!Sonia…”
“Abee Baba”
“Nitawahi kurudi ili twende beach”
“Okay Dad”
Nickson akatembea hatua mbilimbili mpaka nje ya geti la kanisa, akatizama huku na kule na kupunga mkono, bajaj ikafika mpaka miguuni mwake.
“Nipeleke Shekilango Rombo Hotel”
“Poa,kumi na tano hapo utanigea blaza”
“Hakuna tabu wewe twende”
Bajaj ikaanza kuondoka, Gloria akaisindikiza kwa macho mpaka ikapotea kwenye upeo wa macho yake, nayeye akaingia ndani ya Landcruiser v8,akaanza safari ya kuondoka,hakutaka kuifuatilia bajaj alichotaka kwanza ajue anaenda kwa mwanamke gani,sio siri alijikuta akiumia moyo sana,wivu ulimkaba.

Akawaza vitu vingi huku akiwa kwenye usukani,alivyofika Sinza akapaki gari getini akashuka na Sonia,haraka akaingia chumbani na kubadili nguo.Akachukua funguo za gari na kutimua mbio mpaka Msasani, hapo akapaki gari na kuagiza pombe kali.
***
Hakukuwa na maelezo ya kutosha ambayo yangeweza kuelezea uzuri wa Sonia,siku hiyo akiwa anatembea barabarani akitokea dukani alishtukia ameshikwa begani na kupigwa kibao cha nguvu shavuni, kabla hajajiuliza akapigwa kingine,hakuelewa kosa lake.
“Malaya mkubwa wewe”
Mwanamke mtu mzima aliongea kwa sauti huku akiwa ameshika kiuno chake,Sonia alibaki akilishika shavu lake.Kila mtu alibaki akiwaangalia, vijana wauza chips waliacha kupasua mayai wakatizama mchezo unavyokwenda.
“Changudoa wewe,umefanya mume wangu anakutizama wewe tu,mpaka anataka kuingiza gari mtaroni”
Mama alizidi kuongea kwa jazba,ghafla Mzee wa makamo akatokea nyuma yake.
“Mke wangu nini tena?”
“Shut up,huyu ndiye anakufanya utake kuingiza gari kwenye mtaro si ni kama mwanao huyu? Si nakuuliza wewe”
“Mbona unakuwa ivyo?embu twende ndani ya gari”
“Siendi”
Mzee akamvuta mkewe mpaka ndani ya gari,Uzuri wa Sonia ukaleta ugomvi kwenye ndoa.
Huku akihisi maumivu shavuni na kupewa pole na vijana walioshuhudia tukio zima,alitembea taratibu mpaka nyumbani kwao na kuingia ndani ya geti,moja kwa moja akaingia chumbani na kuanza kulia.Hakukuwa na mtu yoyote yule siku hiyo,akabaki chumbani akilia mwenyewe,akauchukia uzuri wake kwa kitendo kilichotokea.
“Mbona mimi wananiambia ni mzuri?”
Sonia alijiuliza maswali kichwani akasimama na kukiendea kioo kikubwa akajitizama,akaiona alama ya mkono shavuni mwake kutokana na weupe aliokuwa nao wa ngozi ukafanya damu ivulie kwa juu.
Ni kweli alivyojitizama kwenye kioo alikiri mwenyewe kuwa ni mzuri, akatizama kwenye kioo tena akaona jinsi sura yake ya duara ilivyochongwa vizuri na pua yake iliyojichonga kama mwiba,akashuka kwenye midomo yake midogo iliyokuwa m-yekundu,akazidi kujichunguza akagandisha macho yake kwenye ‘hips’ zilizotokeza pembeni,akatulia kidogo na kugeuka nyuma,hapo ndipo aliposhtuka, alivyoliangalia kalio lake lilivyobinuka,akastaajabu mno.
Akawakumbuka rafiki zake shuleni wanavyomuita jina bata mzinga, akajifananisha na ndege huyo na kuona ni jinsi gani walivyoshahabiana.
****
“Iseboya alobi na bakandja,Bakandja kamata kwanga…bakandja bakandja ndamata mobele..Mhh,haiku kyomba,haiko kyomba bombelo mosomba……..”
Zilikuwa kelele za nyimbo iliyoitwa Bakandja iliyoimbwa na Fally Ipupa,ndani ya ukumbi maarufu wa DDC lango la jiji kariakoo, ulikuwa ni usiku mzito wa kutisha ndani walijazana wanawake mashangingi,wanakunywa pombe na kulewa,siku hiyo ilikuwa kama sifa, mwanamke mmoja baada ya mwingine alikuwa akisimama na kwenda kumwaga mauno, Gloria akachomoka mikononi mwa Pedeshee Kway na kuingia katikati akaanza kuonesha uwezo wake,kwa jinsi alivyovaa na uzuri aliokuwa nao kila mtu macho akayatupa kwake.

Taa za ‘disco light’ zikawa zinamulika huku na kule kimini alichovaa kilionesha mapaja yake.
Pedeshee Kway nayeye kwa sifa akasimama na kwenda kumwagia pesa hawala wake,watu wakaanza kushangilia,hapohapo wakakumbatiana na kuanza kunyonyana midomo yao bila aibu,walitoka hapo na kuhamia kiwanja cha watu wastarabu lakini nyuma waliacha stori,kila mtu aliwazungumzia na jinsi Pedeshee Kway alivyokuwa maarufu ndiyo ikawa tatizo lingine.
“Bebiiii bebiiii nimekumbuka yule Malaya waaaaakooooo yuko waaaaaapi?”
Gloria aliuliza akiwa bwii pombe zipo kichwani.
“Yupi huyo?”
Pedeshee Kway akajibu kwa swali.
“Yule Esta.. Malaya asiyejua kuoga”
“Sijui mimi,tufanye mambo yetu, tuachane naye”
“Nipe sigara,leooo ninaaaaa furaha,nipe cigarette ni smoke,natakaaaa nitoe moshiiii haaaaa mdomoni”
Gloria akapewa sigara na kuvuta,yote alifanya hayo kwa ajili ya kumkomoa Nickson,ilikuwa ni kama kisasi!
“Bebiii nikwaaambieee kituuuuuu”
Gloria akasema kwa sauti ya kilevi huku akimpulizia moshi wa sigara usoni pedeshee Kway.
“Tell me”(Niambie)
“Usije hataa siku mojaaa ukachinja mbuziiii kwa odaaa ya maaainiiiiii”
“Unasema?”
“Kama hujanisikiaaaaa basiiiiiiiii,maaana naona husikiii vizuriiiiiiiii,una matatizo ya masikiiioooooo sijui, eti Nickson stupid saaanaaaa yule,idiot,mbuziii,Ng’ombe,Ngamiaaaaa,fisiiii maaaajiii”
Gloria alijiongelesha,muda ulizidi kwenda Pedeshee Kway akamvuta Gloria mpaka ndani ya gari na kuanza safari ya kuondoka!
*****
Mama Jeni alikuwa yupo juu ya kiuno cha Nickson anajizungusha huku na kule,mchana kutwa walikuwa wakifanya ngono na michezo mbalimbali ya kimahaba.Nickson nayeye akawa mtumwa wa ngono,kila alipomaliza mzunguko alitaka tena na tena,Penzi la Mama Jeni ambaye ni mke wa bosi wake,likawa tamu mpaka kisogoni,akasahau kwamba ni usiku mnene tayari umeingia.Mama Jeni hakutaka kabisa Nickson amuache,alizidi kukatika huku na kule huku sauti kama ‘Baby I love you’zikiwa nyingi.
Akachomoka na kuanza kunyonya gobole la Nickson,hazikupita hata dakika tatu likatoa risasi,Nickson akanyong’onyea.
Alivyotupa macho yake juu na kuiona saa akashtuka baada ya kugundua ni saa saba za usiku.Hakuelewa imekuaje masaa yamekimbia kiasi hicho,kama swala akarukia suruali yake,akaweka mwilini akachukua shati na kulivaa.
“Nickson vipi tena?”
“Niache kwanza nawahi,muda umekwenda”
“Si tulale tu”
“Niniiiiii?”
“Ndio mpenzi”
Mama Jeni aliongea nayeye akianza kuvaa nguo moja moja.
“Basi nakusindikiza”
“Baki tu”
“Noo”
Wote wakawa wamevaa, Nickson akatoka nje.
Barabara ilikuwa nyeupe hakuna hata gari wala pikipiki.Nickson akazidi kuchanganyikiwa Zaidi akataka kutembea kwa miguu mpaka kwake.
“Haaa,jamani Nickson noo, ni kheri uombe hata lifti kuliko kutembea kwa miguu”
“Ni hapo sinza ni karibu baby”
“Noo,gari hilo hapo ngoja nikuombee lifti japo likusogeze,tena linaenda huko huko”
Mama Jeni akasema huku akisogea barabarani na Nickson,sura yake aliificha kuhofia kujulikana,taa za gari zikazidi kusogea karibu, Mama Jeni akapunga Mkono,gari la kifahari aina ya RANGE ROVER VOGUE likapunguza mwendo,taratibu likasimama.

Mama Jeni na Nickson wakasogea karibu,kioo cheusi kikaanza kushuka.Sura ya Pedeshee Kway ikaonekana huku kushoto akiwa Gloria.Nickson akayatumbua macho yake kama mtu anayetafuta sindano!


 Nickson alipigwa na butwaa la waziwazi akabaki amefumbua mdomo wake ameganda anatizama ndani ya gari,sura ya Mwanaume aliyekuwa dereva wa Range Rover alijaribu kuivuta kichwani aliiona wapi na kushindwa kukumbuka sawasawa!
“Mna shida gani?”
Gloria akauliza.Kila mtu akabaki anamuangalia, Mama Jeni ndiye aliyeonesha kuchanganyikiwa kupita maelezo yaliyojitosheleza,alishaelewa nini maana yake,siri ilikuwa imevuja tayari.
Lakini hakutaka kushtuka sana, alizidi kujiziba sura yake na kanga usoni.Nickson hakuwa na chaguo lingine Zaidi ya kufungua mlango na kuingia ndani ya gari.Pedeshee Kway alikuwa kimnya kabisa akaliondosha gari huku Gloria na Nickson wakiwa na mikusanyiko ya mawazo vichwani mwao,hilo likazidisha ukimnya Zaidi ndani ya gari.
“Kata kushoto hapo,ukivuka hiyo Sheli,alafu utanyoosha moja kwa moja”
Gloria alivunja ukimnya akitoa maagizo,Pedeshee Kway nayeye akatii amri,akazidi kufuata maelekezo mpaka wakafika nje ya geti jeusi akasimamisha gari na kuliweka sehemu anayohisi ni salama.
Pedeshee Kway akasubiri mpaka wote wakashuka akarudisha gari kinyume nyume na kuliondoa.
“Yule jamaa nilimuona wapi?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nickson akimuuliza Gloria.
“Na yule Mama ile sura sio ngeni kwangu”
Gloria nayeye akatupa swali.Nickson akazuga na kubaki kimnya huku kichwani akibaki na maswali mengi ya kujiuliza, lakini alipoweka mguu ndani ya geti alisita na kumgeukia Gloria.
“Gari iko wapi?”
“Kwa rafiki yangu”
“Sasa mimi nitaendaje Kesho kazini?”
“Kesho asubuhi litaletwa”
“Lipo wapi kwanza?”
“Nickson si nimeshakujibu au?”
“Sio kirahisi hivyo,lile gari la ofisi ujue”
“Ndio nimeshakujibu lipo kwa rafiki yangu”
Ponea ya Gloria ilikuwa ni Sonia kuchungulia dirishani wote wakajikuta wamenyamaza,wakaingia ndani na kunyoosha mpaka chumbani kwao.
“Yule Mama namfahamu,nishamkumbuka Mke wa Bosi wako,kumbe ndio zenu, sio?”
Sonia akapasua jipu ni kweli macho yake yalikuwa sahihi, alivyokuwa ndani ya gari na pedeshee Kway alimgundua, japo Mama Jeni alijitahidi kuuficha uso wake lakini haikusaidia chochote kile.
“Sasa usiku wote mlikuwa mkifanya nini?”
“Mimi mwenyewe nilimkuta pale,sijui alikuwa anafanya nini”
“Ha! Ha! Ha! Ha! Kusoma sijui hata picha nisiweze kuona,anyway sio mbaya bila bila, leo ngoma draw Kudadekiiiiiiii,kumbe nawewe nuksiiiii eeehhh.Usiku mwemaaaa lakini kuwaaa makini kuna magonjwaaa mengi,unatumia kingaaa lakini?unatumia condom?”
Gloria aliongea huku akimtolea macho Nickson aliyebaki kumtizama asijue nini cha kufanya.

Siku hiyo wote wakalala lakini bila maelewano mazuri.Mapenzi aliyokuwa nayo Nickson kwa mke wake hata shetani aliyaogopa,kitendo cha kufumaniwa akiwa na Mama Jeni kilimuuma kupita kiasi,akaamua kuacha mitikasi ya kuchepuka akakutulia kwenye ndoa yake,kila kukicha alimuomba Gloria msamaha huku akiona aibu.Alitaka wamlee mtoto wao Sonia kwenye misingi imara ya kumpenda Mungu.Kuomba msamaha kwake ndipo kukampa Gloria bichwa akazidi kuwa Malaya wa kutupwa tena wakati mwingine alifanya mbele ya mwanaye Sonia bila kuona aibu.
“Umwambie baba yako kuwa nimeingiza leo Mwanaume,sawa?”
Aliongea Gloria huku akiwa ameshikwa kiuno na mzee wa Makamo wakipita Seblen mbele ya Sonia, wakipigana Madenda,moyo wa Sonia ulimuuma mno tena alivyomuoma Mama yake anaingia chumba cha Baba yake,umri wake ulitosha kabisa kuelewa nini maana ya picha hiyo,aliingia chumbani na kumwaga machozi.
Hakuamini pia kesho yake Mchana alivyomuona Mchungaji Patrick nayeye akiwa nje ya geti lao anamnyonya mama yake mdomo.Hicho ndicho kitu kilimchomshtua kupita kiasi,iweje mtumishi wa Mungu afanye vitu kama ivyo?
“Hapana siwezi kuingia ndani,si unajua itakuwa noma,nishai”
Mchungaji Patrick alitumia Kiswahili cha kihuni,akijaribu kumueleza Gloria madhara ya kuingia ndani kwake.
“Sawa Baby,nakupenda”
Baada ya kuagana akashuka ndani ya gari la Mchungaji,yote hayo yalishuhudiwa na Sonia,akaingia chumbani kwenda kulia machozi,huzuni ulimtawala,alimpenda sana baba yake akahisi kuingiwa na wivu,kwake ulikuwa ni usaliti wa hali ya juu.Hata baba yake alivyoingia jioni siku hiyo hakutoka chumbani, alibaki akilia tu.
“Sonia,nini tatizo mwanangu?”
Baba alimuuliza Mwana.
“No..Da…d am okay”
“Baby tell me”
“Am okay Dad”
Nickson akasogea karibu na kitanda cha mwanaye,akamshika na kutoka naye mpaka seblen.
“Unaumwa?”
“No Dad”
“Una tatizo gani?Mama kakuchapa?”
“Hapana,NAKUPENDA DAD,I LOVE YOU”
Sonia akamkumbatia baba yake huku akilia machozi,Nickson mpaka hapo alikuwa njia panda hakuelewa ni kipi kinamliza mwanaye kila alipotaka kujua ilishindikana,Sonia hakutaka kutoboa siri.
******
“Upo wapi?”
“Kwani nilikwambia nipo wapi Mume wangu?”
“Haujanijibu swali”
“Nipo kwenye kitchen pati”
“Sio kweli”
“Hauniamini?”
“Nina mashaka nawewe”
“Okay…shauri yako..”
Moyo ulimuuma sana Nickson,wenda mpaka kujuta ni kwanini aliamua kujikita kwenye maswala ya ndoa wakati bado ni kijana mdogo.
Alimpemda sana mke wake Gloria,alimvumilia mambo mengi sana licha ya kushuhudia na kusikia maneno mengi mabaya juu ya mke wake lakini aliweka masikio yake pamba.Habari za Gloria kutokuwa kwenye Kitchen party alizipata kwa mashosti zake,ndiyo maana alipiga simu ili kuhakikisha.

Ni kweli Gloria hakuwa kwenye kitchen Party usiku huo kama alivyomuaga Mume wake.Alikuwa yupo juu ya kitanda kama aliyetoka kwenye tumbo la Mama yake na mwanaume mwingine, wanashikana shikana kila sehemu ya miili yao.Tena wanafanya mambo maovu yasiyostaili duniani,walikuwa wakivunja amri ya saba taratibu na nyimbo iliyokuwa ikitumbuiza ya Celine Deone POWER OF LOVE.Hana habari hata kidogo na Nickson.
NICKSON ALIENDELEA KUUZUNIKA baada ya kutoka kujibiwa majibu ya mkato na mke wake,hakulazimishwa kumuoa lakini alimpenda kwa mapenzi yake.
Licha ya yote aliamini ipo siku moja Gloria atabadilika na kurudi katika mstari wakisherekea matunda ya ndoa yao,lakini hakujua siku hiyo ni lini,kila mtu alikuwa yupo kinyume na Nickson mpaka wazazi wake walimshauri aachane na mwanamke huyo,maana atakuja kumuuwa kwa magonjwa lakini Nickson hakuwasikiliza, aliyokuwa akiambiwa yalipita sikio la kushoto na kutokea kulia.
Bado alikuwa akitafakari akiwa seblen usiku huo wa saa tisa,ghafla alimkumbuka mtu muhimu kwake ambaye mara kibao huifanyia ndoa yake sala na kuwapatanisha,alivuta simu pembeni ya kochi na kuanza kuisaka namba ya mchungaji Patrick.
Baada ya kuipata,alivuta pumzi na kuiruhusu simu iruke hewani,siku zote mchungaji huyo ndiye alikuwa akimpa moyo.
“Halloo Mchungaji Patrick!”
Nickson aliongea baada ya simu kupokelewa,akakaa sawa juu ya sofa ili aanze kumuelezea kila kitu kinagaubaga,ikiwezekana waanze kuomba.

Lakini alishindwa kuongea kitu chochote baada ya kuusikia wimbo wa Celine Deone ukipigwa upande wa pili wa simu ambao ndio huo hata alivyompigia mke wake aliusikia vile vile.
Picha iliyomjia kichwani ilimtisha na alitetemeka, aliuhisi mwili wake umekufa ganzi.dalili zilionesha kuwa mchungaji Patrick yupo na mke wake.
“Naomba niongee na Mke wangu”
Ivyo ndivyo alivyosema Nickson kwa kujiamini na kufanya upande wa pili wa simu ukatwe.

 Nickson bado hakutaka kuamini kuwa Mchungaji Patrick yupo na mwanamke anayempenda kuliko wanawake wote chini ya jua, isitoshe ni mke wake wa ndoa na ndiye yeye alikuwa mshauri wa ndoa yao kuhusiana na ugomvi wowote uliyojitokeza.
Nickson bado hakuamini kama Mchungaji Patrick ni mkia wa fisi,akajisikia uchungu ajabu,moyo wake ukawa kama nguo inayokamuliwa maji.Akabaki analia machozi ya kwikwi,akajawa na hasira kupita kiasi!
“Da..d”
Sonia aliyetoka chumbani ghafla alimuita baba yake.Nickson akashtuka akaanza kufuta machozi yake harakaharaka.
“Yes Daughter,kwanini hujalala mpaka sasa hivi?”
“Sina usingizi,Mama yuko wapi?Na kwanini unalia?”
“Mafua yananisumbua hapa,nenda kalale mwanangu kesho shule”
“Dad niambie ukweli,unalia kwa sababu ya Mama?”
Sonia akafunguka.Nickson akabaki akimtizama mwanaye,akamvuta na kumuweka juu ya kiti.
“Mwanangu nikifa hata le..o hii,tambua kuwa nakupenda sana,hii nyumba unayoiona hap..a ni yako,nina mashamba matatu,njoo chumbani Mara m.oja”
Nickson aliongea huku akimwaga machozi mbele ya mwanaye,ulikuwa ni kama msiba, Sonia nayeye bila kutegema machozi yalianza kumlenga.Wakasimama wakanyoosha mpaka chumbani, ambapo Nickson alifungua kabati,akavuta draw ya chini.
“Unaona hi..zi kara..tasi,nim..ekuandika ji..na lako,mali zote zi..na jina lako,asije kukudanganya mtu.Na lolote likitokea kuanzia sasa hivi jua kuwa mama yako ndiyo kataka,Unamjua Anco Dustan?”
“Da…d”
“Just Listen to me”(Nisikilize mimi)
Nickson akaongea kwa sauti ya ukali.
“Nakwambia hivi,utamtafuta Anco Dustan ana kila kitu,yule ndiye mtu ninaye muamini ndiye wakili mwenye nyaraka zangu zote,kuhusu wewe”
Yalikuwa ni maneno ya kuogopesha na kutia uchungu kutoka kwa Baba yake,alishaelewa nini maana ya kauli hizo,alijua huo ndiyo ulikuwa usia, japo alikuwa msichana hajakuwa vizuri alielewa nini maana ya maneno ya mtu anayetaka kukata roho na hapohapo alianza kudondosha machozi.

Ni kweli Sonia hakukosea, pepo baya la kujiuwa lilimkaba Nickson kohoni, alitaka kujiondoa duniani na aliamini ana masaa machache ya kuishi ulimwenguni,alishindwa kushindana na pepo hilo baya lililomvaa ghafla!
“Usilie,usilie Sonia,kama nilivyokwambia”
“Da..d nakupenda”
“Hata mimi na..kupenda..TAKE CARE”
Nickson akamkumbatia mwanaye huku akilia machozi,dakika moja baadaye akajitoa akabeba funguo za gari,akatoka nje na kufungua geti kisha kulitoa gari kwa kasi.
Sonia alibaki mlangoni akilia machozi ya uchungu,hakuwa ana uhakika kama baba yake angerudi salama huko anapoenda.
****
Jinsi alivyokuwa akikimbiza gari ni dhahiri kwamba alikuwa ni kama mtu aliyechanganyikiwa,hazikuwa akili zake kabisa,akili ya kujiua ilimjia akalikumbuka daraja la salenda na hapo ndipo alipowaza kwenda kujiulia,akazidi kukanyaga mafuta,japokuwa kulikuwa kuna giza lakini vumbi lilionekana mguu ukanyooka gari ikazidi kukimbia,ulikuwa ni mwendo wa kilomita kumi kwa dakika!
Akapita barabara ya Mwenge akanyoosha Coca-cola na kukunja njia ya kuelekea mikocheni, akapita shule ya EAST AFRICA INTERNATIONAL school akatembeza gari na kulala na lami kulia bila ya hata kupunguza mwendokasi.
“Glori..a Gl…oriaaaaaaa”
Aliropoka Nickson huku akizidisha kasi,dakika kumi akawa amerikaribia daraja la salenda akaona huo ndiyo mwisho wake akazidi kunyoosha,mshale wa speed gage ukagota mwisho.
Ulikuwa umebaki umbali wa kama mita kumi ili alifikie daraja hilo lenye maji mengi sana ya bahari ya Hindi.
“Griii griiiii griiiiiiii”
Ni mlio wa simu iliyokuwa pembeni ya kiti ndiyo uliomzindua kwenye fikra za kutaka kuutoa uhai wake,alivyoangalia kwenye kioo akaona jina MY SWEET DAUGTHER kitu kama mkanda wa filamu ukapita kichwani mwake,akamuona Sonia jinsi atakavyokuwa akilia siku ya msiba wake.
Maisha bila yake aliyaona ni sawa na kinda la ndege bila Mama,akakumbuka mambo ya Gloria,akamuona mwanaye jinsi atakavyokuja kuteseka,kitu kama sauti ya mtoto ikilia ilimshtua,akamuona Sonia alivyomuacha nyumbani akilia.Ilikuwa imebaki sekunde mbili ili azungushe usukani na kulitupa gari ndani ya daraja la salenda, lakini alijikuta ameghairi akanyoosha moja kwa moja,alivyofika sehemu salama akaweka gari kando,akachukua simu yake iliyokuwa teyari imekata,akatafuta namba ya Mwanaye.
“Da…d please I love you Dad,Da…d please don’t do that I’ll suffer”(Baba tafadhali,nakupenda sana,usifanye ivyo nitateseka)
Hiyo ndiyo sauti ya Sonia ikisikika upande wa mbili wa simu ikiwa katika hali ya majonzi.
“Sonia…”
“Da…d”
“I love you too”
Presha ya Nickson ikashuka,alikuwa tayari amelowana majasho,akajishangaa kwa kitendo alichotaka kwenda kukifanya muda mfupi uliopita,aliamini kwamba lilikuwa ni pepo baya lililotumwa na shetani,akatafakari kwa sekunde chache na kugeuza gari mpaka nyumbani kwake ambapo alimkuta Sonia Analia machozi.
****
Sio Kwamba alimsamehee Gloria,Nickson aliapia kuwa kwa mambo aliyofanyiwa sasa yamefika kikomo, mapendo kwa Gloria yote yalitoka,alichofanya ni kumuhamisha Sonia shule siku inayofuata.
Nia yake alitaka kumtafutia shule nje ya Tanzania ili asiweze kuona mambo mengine yanayoendelea.Michakato ilianza mara moja,fomu zikatumwa kutokea nchini UGANDA.

Akapata mawasiliano na shule yenye elimu bora iliyoitwa MUKONO PARENT’S,Nickson akazama mitandaoni akawa anajaza fomu.Kisha baadaye akatumiwa kila mahitaji yaliyotakiwa apewe Sonia endapo atafika shuleni hapo.
“Yes Mr.Kiwanuka this is Nickson Speaking,I have already cleared the school fees, did you get it?”(Ndio Mr.Kiwanuka Nickson naongea,nishafanya malipo ya ada,ulipata)
“Yes,but can you scan the bank slip and send it to my email please”(Ndio,lakini unaweza ukanitumia risiti ya malipo kwenye barua pepe)
“Okay in a minute”(Sawa,nipe dakika)
Nickson ndiye alikuwa simuni anafanya mazungumzo na mkuu wa shule,baada ya simu kukatwa harakati zilianza kufanywa, ilikuwa ni lazima Sonia apelekwe nchini Uganda kivyovyote vile.Nickson akaingia kwenye Kompyuta akaweka risiti kwenye printa akascan,akaingia kwenye mtandao na kutuma,mambo yakawa bomba!

Nia ya kumpeleka Sonia mbali aliijua mwenyewe binafsi,Sonia akajisikia uchungu ajabu mara ya mwisho alivyokuwa ana agana na baba yake uwanja wa ndege mwalimu nyerere asubuhi ya saa tano,kilichomuumiza Zaidi ni kutokumuona Mama yake wiki nzima.
“Baba nakupenda sana,kwanini lakini umeamua kunipeleka mbali au hunipendi? hutaki kuniona?”
“Mimi nakupenda,nataka huko ukapate elimu bora,mimi nitakuja next week,sasa ukifika pale airport Entebbe utaona kibao kilichoandikwa jina lako,ukikiona tu mfate huyo kijana kisha mwambie anipigie simu”
“Okay Dad”
Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa kutengana na Sonia.
Muda ulivyofika akatembea mpaka ndani ya mlango wa wasafiri huku wakipungiana mikono,mpaka Sonia alipopotelea machoni mwake.

Hata hivyo hakutaka kubanduka uwanja wa ndege akasubiri mpaka ndege aliyopanda Sonia ipo angani ndipo alipozama ndani ya gari lake.Akaondoka zake kurudi ofisini.
“NICKSON NDIYO NINI SASA?MBONA UNAKUWA IVYO BAADA YA KUKUPA PESA ZANGU NDIYO UNAKUWA MJANJA KIIVYO SIO?”
“HAPANA MPENZI,NIPO BIZE HIVI KIDOGO,UPO WAPI?”
“NIPO BAGAMOYO”
“NAKUJA LEO”
“SAA NGAPI?”
“JIONI SAA MOJA NITAKUWA HAPO”
“I LOVE YOU”
“MIMI PIA”
Nickson alikuwa akichat na Mama Jeni,kwenye simu huku akiwa kwenye mataa ya Karume,taa za kijani zilivyoruhusu akaweka gia kwenye herufi D akatembeza gari.Baada ya kufika ofisini akashusha pumzi ndefu ya uchovu.Siku hiyo akafanya kazi kama kawaida,ghafla sura ya Pendo Jonas ikamjia kichwani.Akamkumbuka akamuona mbele yake jinsi alivyokuwa mzuri wa kuvutia.Akainua mkonga wa simu.
“Tito,njoo ofisini kwangu”
Nickson akatoa amri,hazikupita hata dakika mbili,Tito akatokeza.
“Kaa Mwanangu,mbona kama unaogopa ogopa?”
“Lazima niogope,maana ulivyoniita”
“Usiogope”
“Naogopa Nickson muda wowote napigwa chini,ule msala wa bosi kupoteza pesa si unajua bado unafanyiwa uchunguzi,balaa hapo,mimi nimeusishwa akaunti yangu imepekuliwa Ku*** make kama nini,onesha bank statement,bosi akanitumia watu mpaka home,akajua mimi ndio nimekula njama sijui”
Tito alianza kusema mambo yaliyomshangaza Nickson,hata ivyo alikuwa anajua kila kitu akatulia,akajifanya kushtuka.
“Enhee,mimi nilisikia juu juu tu,Tausi aliniambia”
“Weee! ilikuwa mshikemshike,patashika chupi kuchanika,mbili haikai tatu haikai,Kitambi cha bosi kile kiliisha unaambiwa jasho linamtoka,ana jambajamba maskini,kwa mara ya kwanza kumuona kawa mpole,mpaka nikamuonea huruma”
“Sasa kesi imeishia vipi?”
“Nyumba yake,inapigwa mnada,unacheza na Kasera nini,Kasera anatisha,akamwambia NAKUPA MASAA MATANO NATAKA PESA ZIONEKANE,huku macho yakimtoka,asikwambie mtu kitu babuu ohooo!”
Jinsi Tito alivyokuwa akiongea,hata kiziwi angekuwepo angeweza kumuelewa, Tito aliongea kwa vitendo,akisema ‘Macho yalimtoka’basi nayeye alikuwa akiyatoa macho yake makubwa,mara asimame atupe tupe mikono,ili mradi tu apate kufikisha ujumbe kamili.
“Ndiyo ivyo mzawa,niambie kwanza,umeniitia nini?”
“Nipe namba za Pendo”
“Wacha masihala,vipi kwanza Mama Jeni,yupo?”
“Nishaachana naye,sijui alipo”
Nickson hakutaka kufunguka juu ya Mama Jeni.
“Poa poa ngoja nikupe namba za Pendo,alafu alinipigiaga aliniambia ulimzinguaga,hizi hapa nakusomea”
“Poa nisomee”
“0750 996623”
Nickson akawa anakazi ya kuziandika, alivyozisevu akaweka simu chini na kuanza kupiga stori za hapa na pale.
***
Siku hiyo Nickson aliwahi kurudi nyumbani kwake mapema,saa kumi na mbili akatia timu kwake, nyumba ilikuwa kimnya akachukua funguo chini ya maua na kufungua mlango wa mbele,kitu cha kwanza kukifanya ni kuzitoa nguo zote za Gloria na kwenda nazo uwani,akazimwagia mafuta ya taa na kuzitia kibiriti.
“Naanza maisha mapya sasa,Kwaheri Gloria,sasa hivi nipo Siriazi.Nilikupenda lakini ndiyo ivyo,kwenye miti mingi siku zote hakuna wajenzi,nashukuru Mungu mwanangu kafika salama huko alipo…”
Nickson akaongea mwenyewe akitabasamu.
Huku akishuhudia nguo za Gloria zikiwaka moto,kila kitu kilivyokamilika akarudi ndani na kutafuta wapi simu yake ilipo,akapekua jina la Pendo na kumuendea hewani.
“Mimi Nickson,rafiki yake na Titoo”
“Jamaani?Leo ndiyo umenikumbuka tabia mbaya hiyo”
“Nilisafiri ndiyo maana,vipi hali?upo wapi?”
“Nipo Hostel”
“Una inshu gani kwani?”
“Nasoma soma tu hapa,nina mitihani wiki ijayo”
“Unaweza ukaja nyumbani sasa hivi”
“Mhhh”
“Tafadhali nakuomba lakini”
“Na mkeo je?”
“Wewe njoo”
“Nielekeze basi”
Nickson akaanza kutoa maelekezo hakutegemea kama mambo yangekuwa marahisi kiasi hicho,akahitimisha kuwa achukuwe bajaji ili awahi kufika.
“Sawa,ngoja nikaoge”Simu ikakatwa.
Macho yake yakawa kwenye televisheni.Lisaa limoja na nusu akasikia sauti ya mtu getini anabisha hodi,akainuka na kwenda,moyo wake ukadunda kwa kasi baada ya kuiona sura ya Mrembo pendo Jonas.
Akakiri kwamba anafanana na Madam Wema Sepetu kwa kila kitu mpaka swaga za kuongea!
“Thank you!”
Alisema Pendo akitumia ung’eng’e,wakaingia ndani.Nickson akapita mpaka kwenye friji na kutoa juisi huku wakianza kupiga stori za hapa na pale.Mara habari ikaanza kubadilika taratibu Nickson akaanza kujisogeza midomoni mwa Pendo,ikagusana hapohapo wakaanza kulana denda.
Asteaste blauzi ya Pendo ikatolewa kisha sidiria kufuatia,Nickson akaanza kunyonya nido za Pendo.
“Ngo ngo ngooo”
Sauti ya mlango ndiyo ikawakatisha starehe yao


 Nickson akasimama na kuweka shati lake sawa huku akimuacha Pendo anaweka vizuri blauzi akionesha hali ya wasiwasi kupita kiasi,kichwani alielewa tayari lilikuwa fumanizi akaanza kujuta ni kwanini alifika ndani ya nyumba ya mume wa mtu,akamlaumu Ibilisi.
Mlango ukafunguliwa na Nickson,hakushtuka hata kwa Nukta Moja alivyomuona Gloria yupo nje mlangoni amejipala usoni,mdomo umewekwa rangi nyekundu,bila kusalimia akataka kuingia ndani Nickson akaweka mkono,akatanda mlangoni.
“Vipi unaenda wapi?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nickson.
“Kwangu”
“Wapi? hapa?”
“Nickson,acha ufala niache nipite”
“Hapa upiti,rudi ulipotoka”
“Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Nickson bwana”
Gloria akajichekesha,bado alikuwa anadhani Nickson anaigiza.
“Usicheke nipo Siriazi ujue”
“Basi poa,tena ndiyo vizuri naomba niingie ndani nikachukue nguo zangu nijiendee kwa watu wenye mafwezaaa yao,upo?”
“Nilivyokutoa Moshi,ulikuja na nguo zako?”
“Unasema?”
“Bahati mbaya ni kwamba hauna chako,ondoka hapa sasa hivi,sitaki kukuona”
“Acha utani basi,naomba nipite maana nimechoka kwelikweli”
“Gloria bado huamini kwamba nipo siriazi.Tena ni hivi kukanyaga hapa iwe mwanzo na mwisho,umenielewa?Toka usinitie kichefuchefu nisije nikakupiga nikuuwe”
Ilikuwa kama utani,kutoka sauti ya chini ili Pendo aliyekuwa ndani asisikie sasa alipaza sauti kwa hasira,macho yakambadilika rangi yakawa mekundu,midomo ilimcheza kifua chake kilimpanda juu na kushuka.

Mambo aliyofanyiwa na Gloria yalifika tamati hakutaka tena kumuona mbele yake.Kadri sekunde zilivyozidi kusogea ndipo Nickson alizidi kupandisha hasira.
“Unadhani Mimi nakufagilia,sikufagilii wala nini,tembea tafuta usawa wako Malaya wewe”
Nickson akafoka kwa sauti huku akimsukuma Gloria.
“Usinishike ivyo Nickson,unanichafua unadhani nina babaika nawewe,Kwanza bora umenifukuza.Hapo ni sawa na kumpiga chura teke,shenzi weweeee,sibabaiki wala nini,pole sana kama unadhani unanikomoa,sura inalipa hii”
Gloria akazidi kuongea maneno ya kejeli,Nickson alivyotaka kumpiga akasita,akaogopa kupata kesi,akamsukumiza na kumtoa nje ya geti na kulibamiza,kwa jambo alilofanya aliamini alikuwa yupo sahihi,hakujuta wala hakuhisi kitu chochote moyoni kama hapo zamani ilivyokuwa akimpenda na kumpapatikia kama yai.

Akashusha pumzi ndefu na kuingia ndani ambapo alimkuta Pendo Jonas amesimama akiwa mwenye wasiwasi tena anataka kuondoka zake,aliogopa kugeuziwa kibao!
“Pendo vipi?unataka kwenda wapi?”
Nickson alizungumza huku akitabasamu akijaribu kumtoa wasiwasi.
“Naomba niende”
“Hapana,unaenda wapi?”
“Hostel jamani,nimechelewa usiku ushaingia”
“Kwani ukilala hapa kuna tatizo?”
Nickson hakutaka kumkosa Pendo hata kidogo,alijaribu kutumia maneno yote matamu na malaini ili kumlainisha Mrembo huyo.
Kwa kuwa hakuna mkate mgumu mbele ya chai Pendo akajikuta ameleewa somo akaketi juu ya sofa,kila alipofikiria jinsi Nickson alivyokuwa anamfokea mwanamke aliyekuwa akigonga hodi muda mfupi uliopita nafsi yake haikutulia,akatamani kuuliza lakini akasubiri kwa kama dakika moja nzima.
“Nickson yule uliyekuwa unamfokea ni nani?”
“Nitakwambia ngoja sasa hivi nikakuletee chips”
“Sawa”
Nickson akatoka nje,dakika kumi baadaye akarudi akiwa amebeba mifuko ya chips mkononi mwake,akaziweka mezani akatembea mpaka kwenye friji na kumimina Juisi.Wote wakaanza kula taratibu huku wakishushia na Juisi baridi ya maembe!
Nickson mawazo yake yalikuwa hayapo hapo, alikuwa mara chache akiibia jicho moja akimtizama Pendo Jonas,rangi ya maji ya kunde iliyochanganyika na chocolate ikazidi kumdatisha,akapiga jicho lake kifuani akaona jinsi kilivyojichonga akajikuta anameza mate mengi bila kutarajia,akashusha macho yake mpaka chini akaona mapaja yaliyonona, mpasuo wa sketi aliyovaa Pendo ukafanya aweze kuona,hali yake ikazidi kuwa mbaya kisaikolojia, nyoka wake akaanza kufurukuta.
“Pendoo”
Nickson akaita huku akiwa na kipande cha kuku mkononi.
“Abee”
Alichofanya Nickson ni kumlisha kipande cha Kuku kwa bahati mbaya hakikukaa vizuri mdomoni kikadondoka juu ya blauzi kifuani,Nickson akaweka mkono kama anakitoa lakini mkono wake ukabaki hapohapo,wakati huo Pendo alikuwa ametulia.
“Nickson nimeshiba,maji ya kunawa wapi?”
“Pale kwenye Sinki”
“Ahsante kwa chakula”
Alisema Pendo huku akisimama na kutembea, Nickson nayeye akasimama akamuendea kwa nyuma nayeye akanawa mikono,Kabla ya Pendo kupiga hatua ya pili Nickson akamdaka mkono, kama umeme akamvaa mdomoni huku mkono wake mmoja ukizunguka kiunoni mwa Pendo,akamvuta karibu, nyuso zao zikagusana Nickson akafungua kinywa chake akatoa ulimi pendo akaupokea wakaanza kubadilishana mate huku kila mtu akiwa ameyafumba macho yake anasikilizia raha,vitu kama shoti ya umeme vilikuwa vinapita ndani ya binadamu hawa wenye damu.
Wakazidi kufyonzana midomo huku wakipiga hatua za taratibu,wakajimwaga juu ya sofa mojawapo kubwa kuliko yote,Nickson akawa juu ya Pendo,akaitoa nguo ya juu ya Pendo haraka,akamvua na Sidiria vyote akavitupa chini,alichofanya ni kufakamia Nido,akaanza kunyonya chuchu za mrembo huyu aliyemfananisha na Wema Sepetu,kitendo hiko kikamfanya Pendo azidi kuhema juu juu,alihisi raha za ajabu ambazo asingeweza kuzielezea kiwepesi.
“Ahhhsssssh”
Pendo alizidi kuguna huku akihangaika kulivua shati la Nickson lakini hakufanikiwa,Nickson akainuka kidogo wote wakasaidiana shati likatupwa kando wakazidi kushikana huku na huku.Mikono laini ya Pendo ikazidi kumpapasa Nickson mgongoni aliyekuwa juu yake.Kila mtu alikuwa sayari nyingine.
Mkono wa Nickson ukateremshwa mpaka chini mapangoni mwa Pendo,akapachua Chupi akazidi kuudidimiza ndani,akakutana na kitu anachokitaka,akafanya kama mtu anayefukua fukufuku mchangani,akakumbuka kipindi alivyokuwa mtoto mdogo wa miaka mitano.
Hapo ndipo Pendo akazidi kujikunja kunja,Nickson alivyoona hiyo haitoshi akamuinua Pendo kwa juu kidogo akamfungua kifungo cha sketi aliyovaa akaiteremsha mpaka miguuni akaitoa Yote.Mwili wa Pendo ulikuwa unatetemeka kupita kiasi, akahisi kama jambo hilo linacheleweshwa kuanza, mwenyewe akavua na chupi kabisa ili kuokoa muda.Nickson hakutaka kuweka papala kama jogoo,akazidi kumuandaa Pendo,akaanza kufokoa mgodi akitumia kidole chake taratibu mno huku mara kadhawa akilamba Nido za Pendo.

WAKATI HAYO YANAENDELEA Gloria alikuwa nje ya geti kubwa anabonyeza kengele bila mtu yoyote kutokea masaa mawili alisimama nje,haikuwa kawaida hata kidogo,akazidi kubonyeza tena na tena lakini hakukuwa na jibu,alivyotaka kuondoka aliona mwanga wa gari unatokeza,gari aina ya Fortuner ikawa imesimama nje ya geti hilo,akashuka Mtoto mdogo wa kike chotara,akafuatiwa Mwanamke wa kizungu.Gloria akashindwa kuelewa ni kitu gani,wakati mwingine alidhani anaota au amekosea nyumba.
Mwanamke wa kizungu akatembea pembeni akatoa simu yake akaonekana kama anazungumza na mtu.Gloria akasubiri kuona nini kingefuata,akatembea kandokando kidogo na kukaa juu ya jiwe kubwa,japokuwa ulikuwa usiku lakini hakujali.
Upande wake wa Magharibi akasikia muungurumo wa gari,likatembea na kusimama nje ya geti kubwa lilikuwa umbali wa mita saba kutoka alipokuwa amekaa,Pedeshee Kway akashuka garini hakuamini baada ya kumuona anamkumbatia Mwanamke wa Kizungu na kuanza kumpiga denda,akadhani hiyo ni ndoto na angeshtuka muda mfupi.
“Daaaaaad”
Mtoto wa kichotara akaita huku akimrukia Pedeshee Kway.Hakuamini kwamba mwanaume huyo tayari ana familia.Gloria akashindwa kuendelea kukaa juu ya Jiwe, akajitokeza mafichoni akamuendea Pedeshee Kway.
“Ndiyo nini?”Gloria aliuliza kwa ghadhabu.
Pedeshee Kway akashtuka,lakini hakutaka kuonesha hali hiyo waziwazi.
“Baby who is this?”(Mpenzi huyu ni nani)
Kim Mama watoto wa Pedeshee Kway akauliza,alivyomuona Gloria katokeza kama mzuka.
“Lemmi handle this honey,just get inside here the keys”(Acha nilimalize hili Mpenzi,chukua funguo ingia ndani)
Kim hakuwa na matatizo yoyote akamtii mumewe, akamchukua mwanaye wakaingia ndani ya geti.
“Wewe,unataka nini usiku wote huu?nilikwambia nini juzi,uwe unakuja na taarifa,sio unakuja tu from nowhere kama kifaru”
“Kumbe una familia?”
“Ndio nina familia,embu niache nikamalizane na huyo mzungu maana hapo ataweka dought,tutaonana”
“Kway”
“Niache,usinishike wewe alaa!”
Pedeshee Kway akaingia ndani ya geti na kulifunga na komeo.Gloria akazidi kuchanganyikiwa usiku huo, hakujua ni wapi aende,ndani ya pochi yake alibakiwa na shilingi elfu kumi na saba peke yake,akakumbuka akaunti ya benki aliyofunguliwa na Mr.Zuma miaka mingi iliyopita,haraka akatafuta Taxi ambayo ilimpeleka mpaka Mwenge,Mpakani.
“Kaka nisubiri hapo,naingia hapa ATM nakuja kukupa pesa yako”
Gloria alisema na kutembea mpaka kwenye ATM Mashine,alivyochomeka kadi na kutaka kuchota pesa,mambo yakagoma akajaribu tena ikashindikana,wazo likamjia kuwa aangalie salio.

Moyo wake ukazidi kumwenda kasi kiasi cha pesa alichokuwa nacho kilimshangaza sana,salio lilikuwa ni shilingi elfu tano tu,ambayo haikuwezekana kutoka.Ulikuwa ni usiku wa saa sita kamili.
“Sista eeeh,fanya fasta basi mimi nataka kusepa”
Dereva Taxi alipiga kelele akitaka ujira wake,Gloria akasogea karibu na taxi akitia huruma.
“Kaka unanidai kiasi gani?”
“Thelathini,nipe basi nisepe”
Gloria hakuelewa ni jibu gani alitoe,kiasi alichokuwa nacho hakikutosha.
“Kaka mtandao unasumbua,nimeshindwa kutoa pesa”
“Ah! Ah! za wapi hizo?usilete uzuri hapa,alafu nyie mademu nishawashtukia hasa hasa nyie masista duu,mnafanya makusudi,sasa sikiliza mimi nipe changu,sikuelewi”
Dereva Taxi akaongea na kushuka ndani ya gari,akamvaa Gloria na kukwapua pochi yake,alivyochungulia ndani ya mkoba alikutana na simu mbili.
“Mimi nasepa nazo hizi”
Ni kweli hakutania,alirudi ndani ya gari na kulitoa mbio.
Gloria akabaki kama mtu aliyechanganyikiwa akashindwa ni wapi aende,kwa mara ya kwanza dunia ilianza kumpa kisogo,akaona sehemu moja yenye giza giza akaenda kukaa ili atafakari ni wapi aende.Ghafla akasikia kelele za watu zikibishana,alivyochungulia akaona kikundi cha watu sita kinatembea wanaambatana.Akazidi kutandwa na hofu, kwa picha iliyojionesha watu hao walikuwa ni wahuni na wavuta bangi,akarudi gizani.Hiyo haikusaidia, kabla hajajificha vizuri,Kijana mmoja mwembamba mweusi akawa amemuona.
“wewe ni nani?”
Kijana wa kihuni akauliza kwa sauti ya kukwaruza.
“Unachelewa,mimi nina ugumu,wallahi mimi simuachi huyu.siku nyingi sana sijaduu”
Kijana mwingine aliyekuwa pembeni,akamsogelea karibu akaikamata nguo ya juu ya Gloria akaichana kama karatasi la gazeti.
Hakuishia hapo akampiga Gloria mtama mpaka chini, haraka akashusha nguo yake.
“Oya namimi basi Mwanaaa,fanya fasta”
Gloria akakamatwa, akapanuliwa miguu yake sketi yake ikachanwa vilevile,kijana wa kihuni hakuangaika kuivua chupi ya Gloria nayo akaichana,mmoja mmoja akaanza kumuingilia kimwili tena kwa zamu, hata wengine wakadiriki kuzunguka mizunguko ya Pili,vijana sita wakawa wanamwingilia Gloria kimwili yaaani wanambaka,
mpaka akawa anavuja damu sehemu zake za siri akalia kwa maumivu wamuache lakini ndiyo kwanza walizidi kuendelea.
Mpaka Gloria anapoteza fahamu wao hawakujali lolote.
“Oyaa,msala huo demu kakata moto,tusanzuke nishai hii itakuwa soo bure”
Wahuni wakasemezana kila mtu akavaa nguo yake vizuri,wakaanza kuangalia huku na kule wakatimua mbio.

*****

“Vipi?hapa kuna nini?”
“Hata sijui ndio nimekuja sasa hivi,ndio nakuta watu wameweka duara namimi nikaamua kusogea”
“Sasa kama kuna bomu si ndiyo utakufa”
“Ah wewe mbona umefika pia?”
“Mimi?mimi napita tu…Eti blaza samahani imekuaje?”
Kama kawaida ya tabia za wabongo,asubuhi ya siku hiyo walikusanyika eneo la mwenge vinyago,wakimtizama mwanamke aliyelala chini anavuja damu sehemu za siri, kila mtu aliogopa kusogea karibu kuhofia kwenda kuisaidia polisi.
Mama mmoja mwenye busara aliguswa na mwanamke mwenzake akasogea karibu akamfunika mwanamke huyo aliyesemekana kuwa amekufa.Hakuna hata mtu mmoja aliyemtambua,mpaka inafika saa tatu asubuhi hakuna hata polisi aliyesogea, japo walipiga simu karibia mara sita sasa.
“Jamani,hao polisi vipi? waje kuitoa basi hii maiti mimi nataka kufungua duka langu”
Mwanamke mmoja aliongea kwa hasira.Hazikupita hata dakika kumi Diffenda ikafika, askari wawili wakasogea eneo la tukio.Baada ya uchunguzi wa kina wakagundua kuwa mwanamke huyo yupo hai.Wakamchukua mpaka ndani ya diffenda na kuondoka naye ili wakamuhoji vizuri.
Walichukua maelezo yake kila kitu, lakini Gloria hakutaka msaada wowote mwingine kutoka kituo cha polisi,akaondoka zake,alichoomba ni pesa ya nauli.Askari wakampatia shilingi elfu mbili na nguo za yeye kujistili.
“Una uhakika utafika binti?”
“Ndio,ahsante”
Gloria alianza kutembea huku akiwa mwenye maumivu chungu mzima.
****
Nickson hakukata kiu yake sawasawa, saa kumi ya asubuhi akaanza kumpapasa Pendo Jonas aliyekuwa pembeni yake amevaa kanga peke yake,hakujali kuwa ametoka kufanya naye mchezo huo lisaa limoja lililopita.Mchovya asali siku zote hatoshekwi.Akaanza kumtomasa Pendo juu ya chuchu zake,Pendo nayeye kama alikuwa amepewa maelekezo, taratibu akapeleka mkono wake mpaka kwenye karoti ya Nickson na kuanza taratibu kuipapasa, nayo ikaanza kusimama mpaka ikawa wima kabisa.
Akamtoa boxa na kuanza kuilamba, Nickson akabaki ameyatoa macho yake asijue ni kitu gani akifanye,alibaki tu akikishika shika kichwa cha Pendo mara ampapase mgongo wake ili mradi vurugu tupu!nayeye hakukubali akatoa mkono wake na kuanza kuushusha chini mpaka kwenye pango la Pendo, akauzamisha taratibu akitumia kidole chake,akamvuta karibu yake na kuanza kunyonya Nido,Pendo akahisi kuchanganyikiwa raha alizohisi zilizidi kipimo.Nickson hakutaka kuwa na papara yoyote na hakwenda pupa,aliitoa kanga ya Pendo na kuishika miguu yake huku na kule akapitisha kichwa chake katikati, akatoa ulimi wake na kuanza kulamba mgodi,hapo ndipo Pendo alipoanza kuhisi kama vitu vinatembea ndani ya mwili wake,vitu kama utitiri.Akawa ana kazi ya kutibua mashuka huku akiwa amekishika kichwa cha Nickson anakikandamiza ndani kabisa ya mgodi wake,Nickson alianza kutumia mikono uwanjani,alifanya ivyo bila ya refarii kuona,alivyohisi uwanja umelowa akamfuata Pendo mdomoni huku taratibu akishika karoti yake,akaichomeka ndani ya ikulu taratibu ikapita adoado mpaka mwisho, hapo ndipo mchezo ukaanza.Taratibu Nickson alianza kukinyonga kiuno chake huku akiwa ananyonya maziwa ya Pendo.Mambo yalienda vizuri,mechi ilichezwa taratibu mno,hakuna hata mmoja aliyempeleka mwenzake puta!Mambo yakabadilika mguu mmoja wa Pendo ukawa juu begani kwa Nickson huku majeshi majeshi yakiendelea,akambinua taratibu na kumuweka mbuzi kagoma, ambapo Nickson alikuwa nyuma amepiga magoti ameiweka mikono yake miwili kiunoni mwa Pendo.
“Ahh Shhs aaaah”
Pendo alitoa miguno hiyo ya huba,akihisi raha za ajabu,Nickson akazidi kukinyoga kiuno chake.Chaga kwa mbali zilikuwa zikilalamika.Baada ya dakika moja na sekunde saba, walikuwa teyari wamechoka wamelala wamejifunika shuka moja!
***
“Honey mimi naenda kazini,tutaonana basi baadaye”
“Sawa nitaenda hostel lakini”
“Sawa,kuna pesa ndani ya draw utatoa shilingi elfu hamsini nadhani itakutosha”
“Ahsante baby”
Nickson na Pendo walikuwa wakiagana.Baada ya kila kitu kwenda sawa, akachukua funguo za gari na kutoka nazo nje,lakini alivyofungua geti alikumbana na sura ya Gloria.
Akajifanya hajamuona akaendelea kufungua geti lakini kabla ya kwenda ndani ili kuingia ndani ya gari,Gloria akamshika mkono.
“Nini?”
Nickson akauliza kwa hasira huku sura yake ikiwa imejichora makunyanzi!
“Nickson mume wangu”
“Mimi sio mume wako.Mbona unanigasigasi?nimekupa uhuru uwende ukafanye unayojisikia.Mimi sio mumeo tena,unanichelewesha ofisini tena uondoke hapa”
“Naomba tuzungumze kidogo”
“Sina muda huo,embu toka Gloria”
Nickson hakuwa anafanya masihali hata kidogo,akamsukumiza Gloria kando akaingia ndani ya gari na kulitoa nje baada ya hapo alirudi na kulifunga geti.Mpaka hapo Gloria hakuamini kama Nickson ataendelea kusimamia msimamo wake,siku zote alielewa kuwa ni mwanaume dhaifu.
“Hee bado upo?mimi ningekuwa wewe ningeshaondoka zamani sana”
“Naomba nisamehe”
Badala ya Nickson kujibu aliingia ndani ya gari akaweka lock na kuliondoa,hakutaka kumsikia tena mwanamke anayeitwa Gloria katika maisha yake.Alimchukia kuliko Kinyesi.

Mambo aliyomfanyia yalitosha kabisa.kwa Kitendo alichokifanya hakuhisi chochote wala moyo haukumuuma hata kidogo,akatembeza gari na kufika ofisini kwake.
KUTOKANA NA KUFANYA KAZI HARAKA ofisini na kuweka kila kitu sawa alipata muda wa ziada wa kuongea na ‘best’ yake Tito. Alitaka kumpasha habari juu ya kila kitu kilichotokea,alivyoingia tu ofisini akaachia tabasamu na kumkaribisha rafiki yake kiti akae,Tito ndiye alikuwa rafiki yake wa kufa na kuzikana.
“Vipi Mzee,jana ulifanikiwa kumpata Pendo?”
“Hilo jibu,uliza swali”
“Ah ah mbona sikuelewi?”
“Chombo kipo nyumbani pale”
“Una ubavu huo wewe,Gloria je?”
“Gloria gani?sasa hivi hana chake nimemtimulia mbali”
“Embu rudia tena,wazungu wanasema, what did you just said?”
Tito bado hakumuamini rafiki yake,haikuwezekana hata kidogo maneno hayo yakamuingia akilini kwamba, Nickson aliamuacha Gloria.
“Sipo na Gloria tena,nimemtimua”
“Mhh,unaongea tu ili ufurahishe genge wewe huna ubavu huo hata kidogo,wewe kwa Gloria hutoki hata kidogo”
“Sasa unabisha nini?ndiyo nakwambia sasa kama hutaki sikushikii fimbo,kesho Jumamosi unajua”
“Enhee umenikumbusha kesho FM ACADEMIA wapo Sunsiro pale,ni balaa alafu huku Maisha ndiyo usipime,kesho tuanze mapema monde monde”
“Au sio?”
“Sio unasema ivyo,kesho lazima kieleweke”
“Poa Tito sana tu”
Baada ya kazi kuisha jioni,Nickson akabeba funguo zake za gari akatoka nje lakini kabla ya kulifikia gari lake,simu yake ikaita alivyoiangalia aliona jina Mchungaji Patrick,akatabasamu kabla ya kuipokea.
“Huyu naye anataka kuniambia nini?ngoja nimsikilize”
Nickson aliwaza na kupokea simu,akaiweka sikioni.
“Halloo”
“Nickson nakuomba ofisini kwangu,ni Muhimu sana tafadhali usikose leo”
“Sawa”
Nickson akakata simu akajibu kifupi,alishaelewa nini maana ya simu hiyo.Kichwani kwake picha iliyomjia ni ya Gloria na alielewa kuwa ni lazima atakuwa ofisini kwa mchungaji.
Huo ndiyo ulikuwa muda muafaka wa kumpa mchungaji vipande vyake,ilikuwa ni lazima ampe makavu yake,akawasha gari akaliondoa.

Akafika kwa Mchungaji Patrick akapaki gari na kugonga mlango.Akakaribishwa,alikuwa ni kama ametabiri,pembeni yake alimuona Gloria amekaa,picha ikawa imejirudia,kitu kama hicho kilishawahi kujitokeza nyuma.
“Naam Mchungaji”
Nickson akaitikia,akawa amaejiandaa na majibu ya shombo akayaweka ili kusubiri muda muafaka.
“Huyo mke wako,umemfanya nini?Mungu hapendi ujue kwenye ndoa ndivyo mlivyofundishwa……”
Mchungaji alizidi kuongea, Nickson kazi yake ikawa kutingisha kichwa.
“Umenisikia Nickson,inabidi tusali”
“No,umemaliza?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Nickson.
“Nakuuliza umemaliza?”
“Naomba tusali”
“Unajua kuwa wewe mchungaji ni mnafki sana.Hivi unajua ni moto wa aina gani utaenda kuchomwa nao?sasa nakwambia hivi wewe ni mpumbavu tu,huna nguvu zozote zile na……”
Kabla ya Nickson kumaliza maneno anayotaka kuzungumza akaingia Mama mtu mzima ndani ya ofisi ya mchungaji akiwa amejawa na hasira.
“Mchungaji kumbe una ukimwi?Umeamua kuniaua?”
Mama aliongea huku akimwaga machozi, maneno aliyotamka yalikuwa ya kutisha.


Mchungaji Patrick alihisi kubanwa na kinyesi,Maneno ya Mwanamama aliyeingia ofisini kwake yalikuwa yana ukweli,jinsi mambo yalivyokuwa yamemtokea sambamba ni dhahiri kwamba asingeweza kuruka,alihisi mwili wake umekufa ganzi, hakuelewa ni kauli gani aitoe ili aepukane na balaa lililomkumba.
“Mchungaji,siamini yaa…ani”
Mwanamama huyo alikuwa akilia machozi ya uchungu huku makamasi yakimtoka,Mchungaji Patrick tayari alimuharibia maisha yake.

Nickson alikuwa akiyasikiliza maongezi hayo kwa umakini, akajaribu kupiga hesabu zake kichwani za hapa na pale,akajumlisha matukio tofauti yaliyojitokeza.
Akahisi boxa yake inaanza kulowana, hakuelewa kwamba ni jasho au mkojo.Akakumbuka siku aliyoingia ofisini kwa mchungaji na kukuta vidonge vya kuongeza maisha,akamtizama Mke wake na kushindwa kupata jibu kamili,kwake ilikuwa ni asilimia mbili ya kutokupata ugonjwa huo hatari wa Ukimwi.Isingewezekana hata kidogo Nickson kutoka salama.
Kichwa chake kikavurugika,akabaki ameganda kama roboti.Mara ghafla Kama umeme akatoka nje ya chumba cha Mchungaji Patrick bila kuuliza chochote akaingia ndani ya gari lake,haraka akatimua mbio kama mwendawazimu,afya yake ilikuwa matatani na ili kudhihirisha hilo ilibidi ajipatie uhakika.

Akapiga picha na kujiona ni jinsi gani atakavyo teseka kitandani akiwa amekonda kama njiti ya kiberiti,alijilaumu sana kumsamehe Gloria na kujikuta amefanya naye mapenzi bila kinga,akawaonea huruma baadhi ya wasichana aliotembea nao.
“Oh God have merci”
Nickson akajisemea mwenyewe,alimuomba Mungu wake aliye juu amuurumie,aliendelea kuendesha gari huku akitetemeka,alivyoangalia pembeni akaona duka la madawa.Haraka akapaki gari na kushuka akaingia ndani.
“Dada habari”
Nickson akasalimia.
“Nzuri tu karibu”
“Hivi dada una vile vidude vya kupimia ukimwi vile?”
“Ndio vipo”
“Embu nipatie”
Dada wa duka la madawa akafanya kama alivyoambiwa na kupewa pesa yake,lakini alivyokuwa akitafuta chenji ili ampatie mteja wake,hakumuona tena,Nickson alikuwa ameondoka tayari akasahau mpaka na chenji.
“Mhhh,sasa hii chenji ngoja niiweke hapa akirudi nitampa”
Msichana wa dukani akajiongelesha,alishaelewa ni jinsi gani mteja wake alivyokuwa amechanganyikiwa.
***
Ni kweli Nickson alikuwa amechanganyikiwa kiasi cha kutosha,akaingia ndani ya gari lake na kulitoa mbio,alifahamu kwamba ukimwi anao tayari lakini alichotaka ni kupata uhakika Zaidi.Alivyoona anachelewa aliweka gari pembeni.
“Ehh Mungu”
Nickson alijisemea huku jasho likimtoka mwilini ingawa kulikuwa kuna kiyoyozi.Akaruka viti vya nyuma na kuchana kimfuko ambapo alifanya kama anavyotakiwa kufanya,baada ya kujitoboa damu ikaanza kutembea kwenye kidude hicho.
Hapo ndipo mapigo yake ya moyo yalizidi kwenda resi,akayafumba macho yake na kutizama pembeni,mambo aliyofanya aliyaogopa mwenyewe,akasali kidogo na kuanza kufumbua jicho lake moja taratibu baada ya kama dakika kadhaa kupita,akakitizama kidude hicho.Moyo wake ukapiga paa!
Akaanza kuhema kwa fujo, jambo aliloliona lilizidi kumshtua,akili yake ikaacha kufanya kazi kwa muda,hakuamini hata kidogo.

Ilibidi aende Hospitali moja kwa moja ili kuyahakikisha majibu hayo.Alikiangalia kidude hicho mara mbili mbili akidhani wenda kitabadili majibu lakini wapi, jibu likabaki kuwa lilelile.
“Hivi vidude vya kichina wakati mwingine vinakuwa vinatoa majibu ya uongo,watu hawa ni feki sana”
Nickson hakutaka kukubaliana na majibu,akanyoosha mguu mpaka alivyofika Tabata Liwiti,akaingia barabara ya vumbi mpaka kwenye moja ya Zahanati aliyokuwa akitibiwa zamani kabla ya kuhama Tabata Segerea.Haraka akashuka mpaka chumba cha kupimia virusi vya ukimwi.
“Dokta habari,nimekuja kuhakikisha kama kweli sina ukimwi maana nina jua ninao, sasa hivi vidude naona vinataka kunidanganya vinipe tu moyo,embu nipime unipe aina gani za dawa nitumie,sitaki ushauri wala nasahaa.Au nipe tu hizo dawa nianze kumeza,daktari unanisikia lakini”
Yalikuwa ni maneno yaliyotamkwa kama mtu aliyekuwa na kipisi cha mkaa wa moto mdomoni,Nickson aliongea harakaharaka bila ya kumeza mate hata kidogo,Daktari alinyamaza na kumuacha mpaka amalize maneno yote mdomoni,alishaelewa kuwa mgonjwa ameathirika tayari kisaikolojia,yaani ana ‘brain torture’ kitaalam!
“Embu shusha pumzi kwanza kijana,hapa ndiyo umefika jieleze vizuri,sijakuelewa hata neno moja.Na wala usiogope mimi mwenzako naitwa Dokta Hassan Ukwaju,ngoja nikwambie kitu kuishi na ugonjwa huo sio kwamba ndiyo unakufa,hapana. Wapo watu wana miaka Zaidi ya kumi bado wanaishi,unachotakiwa ni kukubaliana na hali ilivyo na kufuata kila kitu,hilo la kwanza la pili….”
“Dokta kabla ya yote naomba unipime kwanza kisha hayo mengine baadaye”
“Inabidi kwanza nikupe counciling kabla ya yote”
“Mimi ni mwanasheria bwana,najua tu utajaribu kunipa moyo lakini ukweli utabaki kuwa ukweli,shika mkono huu hapa nitoe damu fasta,unipe majibu”
Mkono ukawekwa mezani na Nickson,alikuwa yupo tayari kupima lakini hakuelewa ni kitu gani angekifanya endapo angekutwa na ugonjwa huo hatari usiokuwa na tiba.
Daktari akachukua waya wa mpira na kumfunga mkononi,akampiga piga mkono ili kutafuta mshipa,akachukua bomba la sindano na kumchoma kwenye mshipa,akavuta damu kwenye bomba na kuingia mahabara.
Kwa Nickson hayo aliyahesabia ni maamuzi magumu kuliko mengine yoyote yale aliyowahi kuyafanya miaka yote.Nusu saa aliloambiwa asubiri kwake ikawa kama mwaka,akaona masaa hayasogei kiti alichokalia alikiona kinawaka moto.Mapigo yake ya moyo yakazidi kumdunda kwa kasi na kutaka kutokeza nje ya kifua.
“Kijana”
Daktari akamshtua kutoka katika bahari ya mawazo.
“Dokta,enheee sasa majibu hayo ime ime kuaje?”
Sio kwamba aliuliza kwa ujasiri,alikuwa akihisi kinyesi kinambana.
“Kamata hii karatasi”
“Sasa hiyo ni nini?embu nipe majibu na dawa zangu kabisa,sitaki uzunguke mbuyu sisi wote watu wazima bwana, pengine mimi inawezekana nikawa nimekuzidi umri”
“NEGATIVE,hapa majibu yanaonesha kwamba,hauna maambukizi yoyote ya virusi vya ukimwi”
Majibu ya daktari yakamfanya Nickson agande, hakujua ashangilie au alie.Wakati mwingine alihisi daktari alikuwa anamtania tu ili kumpa moyo,akamtizama.
“Dokta,embu acha utani.Hili ni jambo la siriazi ujue,napima ukimwi sio Malaria”
“Niamini ndugu yangu,jina lako nani,mpaka nimesahau kukuuliza jina,nikagushi hapo”
“Mimi naitwa Nickson”
“Mr.Nickson,wewe hauna maambukizi,cha kufanya uje baada ya miezi mitatu”
Bado haikumwingia akilini hata kidogo akasimama lakini kabla ya kuufikia mlango aligeuka na kumrudia Daktari.
“Lakini daktari”
“Nambie”
“Inawezekana vipi ukalala na mwanamke mwenye ugonjwa wa ukimwi alafu usipate?hapo ndiyo nashindwa kukuelewa”
“Swali zuri sana,uwezekano wa kutokupata maambukizi ya ukimwi hapo ni asilimia themanini,Wengi hujiuliza sana hayo maswali,Virusi vya ukimwi vinaambukizwa kwa njia ya damu,kama unafanya zinaa mfano na mwanamke mwenye ukimwi au Mtu mwenye ukimwi,ukimuandaa vizuri katika tendo,hapo unaweza ukatoka salama,hakikisha hamchubuki kwenye tendo…..”
Daktari akavuta pumzi na kuzidi kutoa somo.
“Mwanamke inabidi umuandae hata kwa dakika kumi nzima,hakikisha amelowa ana uteute hapo ndiyo unaweza kuuingiza uume wako,kama hakuna michubuko yoyote sehemu yoyote ile basi uwezekano utakuwa ni mdogo,sehemu za siri ni laini sanaaaa,kwahiyo hapo ndiyo maana nikakwambia asilimia themanini.Wanawake kati ya asilimia sabini na tano hawaandaliwi na wanaume zao”
Daktari alizidi kuelezea,Nickson akaanza kupata picha.Kidogo akaanza kujipa moyo kuwa wenda hatakuwa na maambukizi ya virusi,akatoka nje mbio mbio na kuzama ndani ya gari,haraka akaenda nyumbani kwake Sinza.
“Leo lazima nifanye sherehe aiseee na kuanzia leo nitakuwa natembea na vifaa vyangu vya kupima Ukimwi”
Nickson akawaza na kutoka nje akaingia ndani ya gari na kulitoa kasi,akaingia ATM MASHINE na kuchota laki nane.Alivyotoka hapo akaenda kwenye maduka ya jumla akaanza kununua vinywaji na pombe kali na baadhi ya vyakula.
Huyo akarudi mpaka kwake na kupaki gari vizuri na kuanza kupanga vinywaji ndani ya friji.
Akachukua simu yake na kumtafuta Pendo.
“Baby upo wapi?”
“Nipo Njiani naenda Hostel”
“Njoo sasa hivi,kuna kitu nataka unisaidie”
“Sasa hivi?”
“Nitafurahi ukija sasa hivi,chukua bodaboda”
“Okay honey”
Kama alivyohaidi.

Alishanusurika kwenye tundu la sindano, akatoka nje mpaka kwenye duka la madawa,akanunua vifaa vya kupimia Ukimwi vingi sana.Akaviweka kwenye mfuko na kurudi ndani kwake.Alichukua maji ya Kunywa akashushia.Moyoni alifurahi mno,moyo wake ukapiga sambasoti alitamani apige kelele za furaha.
Akawasha mziki kwa sauti ya juu.
Akaweka nyimbo ya R.Kelly iliyoitwa ‘SNAKE’ akaanza kucheza mara atingishe kichwa mara apande juu ya makochi,hakutofautishwa na mtoto wa sekondari ambaye hajakuwa.
Akajisahau kabisa akazama kwenye furaha iliyozidi kifani,kilichomshtua ni Pendo aliyetokeza nyuma yake na kumshika kiuno.
“Baby,kumbe unajua kucheza?”
Pendo akauliza.
“Wapi bwana,kwanza kabla ya yote hapa sogea karibu njoo huku”
Nickson na Pendo wakaongozana mpaka chumbani,kidude cha kupimia Ukimwi kikatolewa.
“Baby kwanza embu tupime”
“Kweli?Mwenzako hata siogopi nimetoka kupima afya wiki iliyopita,leta hicho kidude chako”
Bila uwoga au kwa kujiamini, Pendo akajitoboa na Nickson pia vile vile.Baada ya kusubiri majibu yakaonesha kwamba kila mtu alikuwa safi.
Hapohapo Nickson alimsogelea Pendo akaanza kumnyonya mdomo,wakaanza kulana denda kwa fujo kama ugomvi,pendo akatupwa kitandani, Nickson akapanda juu yake akamtoa nguo ya juu na haraka akafakamia maziwa ya Pendo na kuanza kuyanyonya huku wakiendelea kulana denda na kushikana shikana kila sehemu ya miili yao.

 Hakuna kilichofuata hapo Zaidi ya tendo hilo kuendelea,kwa furaha aliyokuwa nayo Nickson hakutaka kuiharibu kabisa ‘show’ hiyo,alitaka kuicheza kiumakini kupita kiasi.Taratibu akapitisha mkono wake nyuma ya ‘Lock’ ya sidiria akaibanjua,ikaachia maziwa ya Pendo yakawa nje nje.
Nickson akayasogelea akatoa ulimi wake nje wenye sentimita kadhaa ukatua juu ya chuchu,hapo ndipo Pendo alipohisi vitu vya ajabu, akaanza kutoa miguno ya ki utu uzima,ni wazi kwamba alikuwa amekamatika,Mtu mzima Nickson hakuishia hapo tu bali alipitisha mikono yake mpaka chini akapenyeza vidole vyake mdogomdogo mpaka karibu kabisa na mapango, hapo aliupitisha mkono na kukumbana na nyasi fupifupi kiasi,hilo halikuwa swala lake, lengo lake lilikuwa ni kukutana na mapango ya Oldvai Gorge,mkono ukapita na akapata anachokitafuta,ki ufundi stadi akaanza kufanya mambo anayoyajua yeye mwenyewe.Hali ya Pendo au Wema Sepetu ilikuwa mbaya kabisa,alikuwa yupo sayari nyingine ya huba,mambo aliyohisi hayakuelezeka hata kidogo.Kazi yake ilikuwa ni kutingisha kichwa chake huku akiachama mdomo wake,dalili ilionesha kwamba alikuwa mbali kihisia,akaanza kuyatomasa maziwa yake.
“Ahhhhs ssshsssss aaaaah,Nicks…son I lov…e you”Pendo aliguna.
Kazi ya Nickson ilikuwa ni kucheza na pango hilo,vidole vyake akaamua kuvipa nafasi na hapo ndipo alipoamua kuiteremsha sketi ya Pendo,alivyoona inakuwa ngumu akapitisha mkono kiunoni mwake akafungua kishikizo na kushusha zipu ya sketi yake,akaanza kuivuta chini.
Pendo nayeye akanyoosha miguu ili kuokoa muda,Sketi ikatupwa chini.Boxa ikafuata vilevile, hatimaye Pendo akabaki kama alivyotoka tumboni mwa Mama yake,Miguu yake ikapanuliwa huku na kule Nickson akaingiza kichwa chake katikati akatoa tena ulimi wake,kazi ikawa ni kulamba kibuyu cha asali,akazidi kukinyonya huku mkono wake ukiwa juu ya Nido za Pendo.Kwa mambo aliyoyafanya Nickson hata angekuwa mwanamke gani asingeweza kutoka hata angetokea simba mwenye meno makali.Pendo alikuwa yu hoi bin taaban hajiwezi hata kujitingisha lakini uwezo wa kutoa sauti ulikuwepo.
Nickson akazidi kulamba kibuyu cha asali mpaka alivyohisi asali imetoka,akajaribu kuhakikisha kwa kuingiza kidole chake,akachovya kibuyu cha asali akakuta kuna asali ya kutosha.Kama Umeme akazivua nguo zake zote,akaishika MODEM yake ambayo ilikuwa tayari imewekwa kifurushi cha kutosha kwa ajili ya matumizi ya mwezi,akaichomeka vizuri kwenye Port mambo ndipo yalipoanzia hapo.Mguu mmoja wa Pendo ukawekwa juu begani,misumbwi ikazidi kuendelea.
“Ahhh Shhss aaah aaah ssshhhhh Bei…bi aaaaaaa aaashsss”
Pendo alikuwa akitoa sauti za puani huku nayeye akijitahidi kukizungusha kiuno chake,pembe zote za dunia.Akajihisi anaelea juu,hapo akapinduliwa akawa amelala huku kwa nyuma amebinuka kama breki ya bajaji,Nickson akapiga magoti akaanza tena kuseti mitambo, akashika kiuno cha Pendo kwa mikono yake miwili akaendelea na shughuli yake aliyoianza,hapo ndipo Pendo alipoanza kupiga kelele nyingine za raha,mbuzi kagoma ikamfanya ahisi raha mno.Mambo yaliendelea mpaka yanafika masaa mawili kila mtu alikuwa hoi.Wamejifunika shuka moja,Pendo yupo kifuani kwa Nickson anamkwaruza na kucha zake ndefu ndefu kiasi.
“Baby,nani kakufundisha haya mambo?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Pendo.
“Wewe hapo”
“Toka hapa”
Pendo alijibu huku akimpiga kikofi cha mahaba Nickson, kifuani.
“Sasa hutaki,sio siri nime enjoy sana leo,unajua kwanini nimekuita love?”
“Kwanini?”
“Kesho kuna tafrija hapa,nataka nifanye sherehe sasa nataka upambe pambe vitu,upike”
“Pati ya nini tena?”
“Basi tu,nina furaha nataka kufanya pati,tatizo wabongo tunakariri sana pati sio lazima mtu sijui ifike birthday au harusi,mimi kila siku kwangu sherehe”
“Wacha wee,Nickson una vituko”
“Ukweli nakwambia,kesho uwahi kutoka basi chuo,sababu hata mimi nitawahi kutoka kazini,nitawahi kuja kisha nitawaalika marafiki zangu”
Kama mambo yalivyopangwa,Nickson na Pendo wakakubaliana kila kitu kiende sawa kesho yake.

Kulivyokucha Nickson akawa wa kwanza kuamka akamuacha bado Pendo amelala,akamfunika vizuri na shuka kisha kuvaa nguo haraka haraka,akaelekea kibaruani.
****
“Cheerssssssss My meeeen,that’s my boy Nickson,Long time sana my friend tumetoka mbali ujue,tangu kipindi kile wewe Nickson upo darasa la tatu,ulipigwa ngumi ya Jicho na huyu jamaa jina lake limentoka…..”
Baadhi ya watu walikuwa wapo nyumbani kwa Nickson,Tito ndiye aliyeonekana alikuwa ana manemo mengi kuliko mgeni yoyote yule huku akiwa ameshika glasi ya pombe kali mkononi mwake.
“Ahhh pendo,Mama mwenye nyumba”
Tito akaweka utani huku akimuangalia Pendo.
“Tito huachi tu,wacha maneno mengi”
Nickson akadakia,Pendo alikuwa mkono wake wa kuume wakati wote, mara amlishe chakula mara wapigane mabusu ili mradi furaha tele!
“Nickson njoo nje mara moja”
Sauti ya ndugu yake Dustan ndiyo ilimnong’oneza sikioni,Nickson akamgeukia mpenzi wake Pendo.
“Baby nakuja,ngoja nikaongee na ndugu yangu”
“Okay love”
Dustan na Nickson wakatoka nje ili wakatete.
“Nickson mimi naondoka,muda umekwenda sana,si unajua Shemeji yako sijamuaga,nashukuru kwa kunialika mdogo wangu,lakini huyo ni nani?Na Gloria yupo wapi?”
Dustan alimaliza kwa kuuliza swali.
“Ni stori ndefu Dustan lakini kifupi sipo na Gloria tena,wala sihitaji kuwa naye naomba nikuhadithie siku nyingine tafadhali”
“Okay,no problem let me go back home chief,have a good night,but you should take care”(Sawa,hakuna tatizo ngoja mimi narudi nyumbani mkuu,uwe na usiku mwema lakini kuwa makini)
Dustan akaaga na kutoka nje ya geti ambapo aliingia ndani ya gari lake na kuondoka akiacha sherehe inaendelea.
“My Boy Nickson”
Tito aliongea kwa furaha tena kwa sauti kubwa alivyomuona Nickson anaingia mlangoni,sherehe ilipamba moto watu walikunywa walilewa mpaka wakasaza na kuacha.
Mpaka ilipofika saa tisa za usiku kila mtu alikuwa amesambaa kuelekea makwao kupumzika.
***
UKWELI ULIBAKI KUWA UKWELI TU kwamba mkataa pema siku zote pabaya panamwita, Gloria alikuwa ana maambukizi ya ukimwi, wakati wote alikuwa akijuta,akatamani mambo yanayotokea yawe ndoto,ashtuke.Maisha yake yakabadilika haraka,hakusahau siku hiyo Mchungaji Patrick anaongea mbele ya Kanisa kuwa ni muathirika wa Ukimwi.
Akaanza kutaja majina ya wanawake wote aliowahi kulala nao.Karibia nusu ya kanisa walipoteza fahamu,wanakwaya ndiyo usiseme,kanisa likageuka na kuwa kama msiba,wakina mama walilia na kusaga meno!
“Namuomba Mungu anis…ame..he dhamb..i zangu zo…te isitoshe nilishawahi pia kulala na mke wa Mchungaji Yona,Mama Paulo. Na isi…..”
Hapo hapo mchungaji Patrick alipigwa ngumi ya kolomeo kabla hajamaliza kuongea maneno yake,akadondoka chini. Mchungaji Yona akaweka uchungaji pembeni shetani akamvaa akaanza kumshushia kipigo Mchungaji Patrick huku akilia akisema kwamba amemuuwa.
“Patrick,umeniua ha..di mimi?namimi leo nakuuwa”
Mara gahfla kanisa likageuka na kuwa kama soko la kariakoo shimoni mambo yakawa timtim,hakukuwa na maelewano tena.
Watu wakaanza kufika madhabauni na kuwaachanisha wachungaji,waandishi wa habari hawakueleweka ni wapi walipotokea,wakazama kanisani na kuanza kufanya kazi yao.Picha nyingi zilipigwa.Gloria hakuwa na sababu ya kubaki kanisani tena,akaondoka akiwa analia machozi,akamkumbuka Nickson akafikiria mambo mengi sana waliyofanya naye,ghafla akajiona alivyokuwa kijijini Moshi amebeba mkungu wa ndizi na mwanamme mzuri akaenda kumposa hakuwa mwingine bali ni Nickson.
Muda ulikuwa umeshakwenda, kifupi alikumbuka shuka na pameshakucha akajuta kwa matendo aliyomfanyia Nickson.
“Hata ivyo ngoja nikamuombe Msamahaa anaweza kunisamehee”
Hakuwa ana nauli wala kitu chochote mfukoni akaanza kutembea kwa miguu taratibu, Mpaka anafika tabata relini alihisi miguu yake inawaka moto,
bado alikuwa ana safari ndefu ya kufika sinza tena kwa miguu.
“Kaka habari”
Gloria akamsalimia mvulana mmoja aliyekuwa anatembea kandokando ya barabara.
“Salama,vipi?”
“Naomba msaada sina nauli”
“Unasema?”
Kijana akauliza huku akimuangalia Gloria kuanzia juu mpaka chini.
“Nisaidie pesa ya nauli kaka angu nafika Sinza”
“Kwenda zako,sitotoa tena msaada mimi,nyie wanawake ni matapeli sana,juzi kuna demu nilimpa pesa nikajisachi baadaye nikajikuta sina hata mia,toka hapa kwanza kabla sijakupasua,Pumbavu”
Kijana akaondoka huku akitoa matusi machafu,akamtukana Gloria bila kumpa msaada wowote ule.
Gloria akazidi kutembea,mbele akakutana na mwanamke muuza mahindi akajaribu tu kuomba msaada wa nauli,akapatiwa shilingi mia tano,akashukuru kupita kiasi,kwake shilingi mia tano ilikuwa kama milioni moja.

Haraka akapanda daladala la Mwenge,akashuka Mlimani City,akavuka barabara na kuitafuta njia ya vumbi,umbali wa kama mita mia moja akaliona geti la rangi nyeusi akapata nguvu mpya.Akazidi kukaza mwendo mpaka alipolifikia na kuligonga.
“Karibuuu”
Sauti ya kike ndiyo iliyosikika,geti likafunguliwa ikatokeza sura nzuri ya maji ya kunde.
“Samahani dada,nimewakuta wenyewe?”
“Wakina nani?”
“Nickson,nimemkuta?”
“Yupo kazini bado hajarudi karibu ndani”
“Ahsante”
Gloria aliingia ndani kwa upole hakutaka kuuliza kuwa msichana huyo ni nani, lakini kwa haraka alielewa ni lazima angekuwa ana uhusiano na Nickson,alikuwa yupo radhi hata kubaki hapohapo ili mradi tu apate sehemu ya kulala.
“Karibu dada”
Pendo akaonesha tabasamu.
“Naomba maji ya kunywa”
Maji ya baridi yakaletwa.Gloria akayanywa akataka mengine, akanywa glasi tano akaomba na chakula ale,Pendo akafanya alivyoambiwa wala hakuwa na tatizo lolote lile.
Gloria akakumbuka vitu vingi,nyumba hiyo ilimkubusha mambo mengi yaliyopita,akasononeka.

Honi ikasikika nje ya geti ilipofika majira ya saa kumi na moja,Pendo hakuitaji kuuliza Zaidi, gari la Nickson alilijua.Akaenda getini na kufungua geti,taratibu Landcruiser v8 ikaingia ndani,likasimama sehemu yake maalumu,Nickson akashuka Pendo akampokea ‘briefcase’na begi jingine la laptop.
“Pole na kazi baby”
“Ahsante,vipi za kushinda?”
“Salama tu,kuna mgeni wako”
“Mgeni? Mgeni gani?”
“Sijui,ila ana kuhitaji wewe alikuja tangu asubuhi”
Pendo aliongea kwa hekima na busara zote,wakatembea wote mpaka ndani wakaingia mpaka Seblen, Nickson akawa ana kihoro cha kumjua mgeni wake.Macho yake yakatua usoni kwa Gloria,akamtizama kwa macho makali.
“Umetumwa au?UNATAKA NINI HAPA?”
Hilo ndilo lilikuwa swali la kwanza kulitupa Nickson

 “Nakuuliza unataka nini hapa?”
Lilikuwa ni swali lingine kutoka kwa Nickson.
“Nickson naomba unipe nafasi,nijielezee”
“Utajieleza nini?,huna cha kujieleza sina wakati huo naomba utoke hapa haraka sana”
“Nick…son”
Gloria akaanza kulia,akaanguka chini akatembea kwa magoti mpaka kwa Nickson akizidi kuomba msamaha.
“Embu simama”
Nickson akamshika mikono na kumuinua Gloria juu.
“Hayo machozi yako ya kisanii nishazoea, kwanza pole kwa ugonjwa uliokuwa nao.Naomba uwende tafadhali,nenda Gloria nenda,hata ulie machozi ya damu siwezi.Hata ashuke Yesu leo hii hapa siwezi kukusamehe hata kidogo,yapo makosa mengi ya binadamu ya kufanya lakini sio kurudia yaleyale”
Hakukuwa na utani ndani ya mazungumzo hayo hata kidogo,Mkuku mkuku Gloria akatolewa nje na mlango ukafungwa.
Wanawake waliokuwa nje wakacheka kwa kebehi kila mtu alifurahi kuona kitendo hicho kimefanyika,majirani walizichoka tabia za Gloria wengine walidiriki kuficha wanaume zao ndani.
“Ulimwengu utakufunza dada”
Mama mmoja wa jirani aliropoka huku akicheka.Gloria alijisikia aibu, akajizoa zoa na kujipukuta mchanga,akaanza kutembea kutojua ni wapi aende.Maisha kwake yakakosa dira,hakuwa na mbele wala nyuma akaanza kujuta mno.Alivyotoka hapo alionekana kutembea na kuelekea barabara ya kwenda Sinza Vatkan.
***
Maisha kwa Nickson yakazidi kwenda kwa raha Mustarehe,Mapendo yote akayaweka kwa Pendo Jonas, aliamini kuwa huyo ndiyo alikuwa chaguo lake kutoka kwa Mungu.Ni kweli Pendo Jonas hakutaka kuchezea bahati hiyo,akampenda Nickson kupita kiasi,akaachana na mambo ya usichana,miezi ikaenda miaka ikasogea,Nickson akaamua kwenda kujitambulisha kwa wazazi wake,hatimaye wakawa wanaishi wote kama mume na mke japokuwa bado walikuwa hawajafunga ndoa.Nickson akaanza kunawiri,kitambi kikaanza kumtoka, mashavu yakamvimba,akawa kwa mbali anaanza kupendeza,Pendo alimtunza na kumpa kila anachohitaji mwanaume kupewa.Akajikuta anampenda Mpaka Sonia, japokuwa hakuwahi kukutana naye macho kwa macho.
“Hivi Sonia hajapata likizo bado?”
Ni swali lililotoka kwa Pendo siku hiyo usiku wakiwa wanakula chakula.
“Yule siwezi kumleta kwanza,mpaka amalize fom six hukohuko Uganda ndiyo aje,sitaki nimchanganye na mambo yaliyotokea”
“Oh,sawa,natamani kumuona sana”
“Utamuona tu”
“Alafu nikwambie kitu?”
“Niambie”
“Sura karibia nzima kachukua kwa mama yake,wewe karithi kwako macho na midomo”
“Umejuaje?”
“Si kwenye album nimeona picha yake”
Maisha kwa wapenzi hawa yalikuwa ya raha mustarehe,kila alichokifanya Nickson basi nyuma yake alikuwepo Pendo Jonas,akamshauri awekeze kwenye ardhi Nickson akafanya ivyo, kazi yake ikawa ni kununua viwanja,mpaka miezi sita inapita akawa anamiliki viwanja kumi na saba ndani na nje ya mji na tayari Pendo Jonas alikuwa ni mjamzito wa miezi mitatu,furaha ikazidi kuongezeka ndani ya nyumba yao.
*****
“LEO NATAKA KUKUPA ZAWADI,NITASHINDA MAGOLI MATATU TU KWA AJILI YAKO,NAJUA KWA SIKU NYINGI HAUKUTAKA KUONGEA NA MIMI,KILA NIKIKUSALIMIA UNANITOLEA NJE,BASI LEO NIMEAMUA KUKUPA ZAWADI HII,NINAKUHAIDI NITAKUFUNGIA MAGOLI MATATU,KWA AJILI YAKO,TAFADHALI USIKOSE MPIRANI. NI MIMI PARTSON NGOGO JR.”
Ulikuwa ni ujumbe uliosomeka juu ya karatasi.Sonia ndiye alikuwa akisoma siku hiyo asubuhi siku ya Jumamosi siku ya mechi ya mpira.Sio siri alikuwa ni mzuri, aliweza kutingisha shule nzima ingawa shule ilikuwa na wanafunzi sio chini ya elfu moja lakini habari zake zilisambaa kama upepo wa kimbunga,uzuri wake ukampa umaarufu.

Lakini kilichokuwa kinawanyima raha wanaume wengi ni kwasababu ya tabia yake ya kuringa,Sonia hakuitikia salamu ya mwanaume yoyote yule,alikuwa ni msichana mwenye nyodo hata akiongea alikuwa akinata kwa mikogo.
Sentensi moja angeimaliza kwa nusu saa.Baada ya kumaliza kuisoma karatasi hiyo aliiweka ndani ya mfuko wake wa sketi na kuelekea bwenini.
“Mechi ya leo lazima tushinde,namkubali sana Partson Ngogo,yule mkaka jamani anajua kucheza mpira yaani akiingiaga tu,mimi roho yangu inadunda mno na mechi ya leo ndio fainali unajua,sijui itakuwaje.Seeta nao wapo vizuri sana”
Wasichana ndiyo walikuwa wakiteta bwenini huku wakiwa na shamrashamra za kushuhudia mechi hiyo ya kukata na shoka.
Sonia alivyosikia jina hilo la mchezaji mpira anayefagiliwa akatoa karatasi yake ili kujua kama ndiye mvulana anayezungumziwa.
Akaona jina Partson Ngogo.Nayeye akajikuta ana hamu ya kushuhudia mechi hiyo.Akaingia bafuni kuoga na kutoka nje.

Wanafunzi walikuwa wengi kupita kiasi,Wengi walionekana ni wa timu Pinzani SEETA SECONDARY SCHOOL wakiwa wamewapania sana shule ya MUKONO PARENT’S, kwa jinsi walivyofanya mazoezi waliamini kwamba ushindi ulikuwa wao.
Upande aliokuwa amesimama Sonia walikuwa pia wamesimama wanafunzi wa shule yake Mukono Parent’s secondary,wengine walikuwa wakipiga ngoma.
Asilimia arobaini na mbili walikuwa watanzania wenzake.Aliamini kuwa alipokaa hapo angeweza kumuona Partson Ngogo vizuri lakini mpaka mpira unaanza kijana huyo hakuwepo uwanjani.Dakika tisa za mwanzo katika hali ya kushangaza wakafungwa goli moja, kelele zikazidi kusikika walimu wakachanganyikiwa,hawakukaa sana dakika ya arobaini wakapigwa goli la pili ikawa mapumziko.
Mpaka hapo hakumuona Partson Ngogo.Akachukia ajabu nia yake ilikuwa amshuhudie kijana huyo. Baada ya mapumziko mpira ukaanza tena.
“Lari Larii Lariiiiiii Lariiii”
Dalili zilionesha kuwa shule yao imezidiwa, kijana aliyekuwa timu pinzani ndiyo alikuwa akishangiliwa akatembea na mpira akapiga shuti kali lakini mpira ukadakwa na kipa.
Hapo hapo kipenga kikapigwa,refa akainua mikono hewani kumaanisha kuwa ni ‘sub’ yaani kuna mabadiliko ya mchezaji yanatakiwa kufanyika.Hapo ndipo kelele zikazidi kusikika,makofi yakapigwa watu wakataka kuzimia.
“Partson partson partsoooon,Ngongooooooooooo Ngogooo Ngogooo”
Tumaini la kushinda likawa limerudi tena Partson Ngogo alivyokuwa akiingia uwanjani,kabla ya kufika katikati akatupa jicho lake kwa Sonia,akamuona akampungia mkono akimpa ishara ya kushinda magoli matatu,kipenga kikapigwa,Mpira ukaanza.
Hata dakika moja hazikupita mpira ukawa mguuni kwa Partson akapiga chenga mbili tatu,akaenda chonjo karibu na chaki akakimbia kwa kasi ya umeme,akapiga breki akampiga kidari mpinzani wake akampita,Kelele zikazidi kufurika.Beki aliyekuwa amebaki naye hakumpa shida.
Akampiga mikasi akamvuka akabaki yeye na goalkeeper,akafanya kama anapiga mpira kulia,akapiga shuti,kipa akaruka kulia mpira ukapita kushoto,nyavu zikatingishika.
Kilichosikika hapo ni kelele za fujo.Watu wakaweka mikono juu ikawa ni moja kwa Mbili.Sonia alizidi kumtizama kijana huyu aliyekuwa anakonga nyoyo za watu akajikuta anatabasamu bila kutegemea.
Bao la pili likafungwa kwa kona,Partson Ngogo ndiye aliyepiga kichwa, mpira ukazama nyavuni,wakawa wamesawazisha, zikawa zimebaki dakika tano mpira uishe.Shule ya Seeta ikazidi kuchanganyikiwa,ushindi waliamini haukuwa wao tena,mikakati ikapangwa kuwa wamvunje Mguu Partson Ngogo ili wamdhibiti.
“Wewe Kibo,wewe kibo,kaa beki huyo jamaa akija mkwatue mpige njumu”
“Sasa inabidi nikae beki”
“Ndio nakwambia uje hapa ukae beki”
Hiyo ndiyo mikakati iliyokuwa ikiendelea uwanjani.
Ilikuwa ni lazima Partson Ngogo avunjwe mguu.Baada ya faulo kupigwa Partson akachomoka kama risasi, akapewa pasi akatembea na mpira akampita beki wa kwanza,akazidi kusonga mbele na mpira.HALI ilikuwa kimnya uwanjani kila mtu alihesabu hilo ni goli lingine la tatu lakini katika hali ya kushangaza ambayo hakuna hata mtu mmoja aliyeitegemea baada ya Partson kufika ndani ya boxi alipigwa mtama wa nguvu,akabiringika mpaka chini.
“Mamaaa yaaaaanguu mguuuuu”
Parston aliachia ukelele wa maumivu huku akiwa ameshika mguu wake,Sonia aliyekuwa pembeni alihisi kuchangayikiwa kila mtu akasogea karibu.
Baada ya refa kuchunguza vizuri ikagundulika kuwa mguu wa Partson umevunjika.Wanafunzi wa kidato cha tano wakaanza kusogea uwanjani akiwemo Sonia Nickson Shayo.
 “Pyeee pyee pyeeeeeeeeee”
Kipenga kilisikika kumaanisha kuwa mpira umekwisha.
“Refa,hii ni penalt haiwezekani,mpira haujaisha”
Hakukuwa na maelewano hata kidogo,dakika tisini za mpira kuisha zilikuwa bado na ukizingatia Partson kiungo wao alikuwa chini amevunjwa mguu tena ndani ya boxi au kumi na nane.Isingewezakana hata kidogo swala hilo likubalike kirahisi, refa alikuwa teyari ametoa maamuzi ya mwisho.
Haraka waalimu walifika na kumtoa Partson nje huku akiwa analalamika kwamba mguu unamuuma,akapelekwa mpaka chumba maalumu ambapo wanafunzi hutibiwa,Sonia nayeye alikuwa nyuma nyuma.
“Leta dawa ya kuchuwa”
Matron anayewashughulikia wanafunzi wagonjwa alisema na haraka dawa ikaletwa.
“Partson jikaze”
Alisema Matron huku akipaka dawa juu ya pamba,akaukamata mguu wa Partson kwa nguvu akaanza kuuchua,kelele alizokuwa anazitoa zilitisha,Partson alipiga kelele kama mtoto mdogo aliyetoka kutahiriwa.
Jambo hilo likamtisha sana Sonia akaingiwa na huruma Sababu aliamini kwamba yeye ndiye amesababisha, kushinda magoli matatu kwa Partson ilikuwa kama zawadi yake siku hiyo lakini kwa bahati mbaya alivunjwa mguu.Kwa jinsi mguu ulivyovunjika haikuwezekana kwa matron kumtibu Partson, haraka gari la shule likafika maeneo ya mabweni ya wasichana, Partson akaingizwa ndani ya gari na likaondoka kwa kasi.
***
“Sonia vipi mbona husomi?unawaza nini?”
“Nipo Normal,usijali nimechoka tu”
“Sio kawaida yako”
“Zandy,nikuulize kitu?”
“Niulize”
“Partson ni rafiki yako?”
“Saaaana”
“Unajua kuwa ameumia?”
“Naelewa”
“Haikuumi?”
“Nimeumia sana,nimeumia sana hapa sitolala mpaka nihakikishe amerudi”
“Atarudi leo kwani?”
“Nadhani, nilisikia matron anaongea maneno hayo”
“Na ile mechi je?”
“Hata sielewi,ndiyo imeharibika nasikia watu wamefanya fujo,vipi kwani?”
“Nothing,I was just asking”(Hakuna kitu nilikuwa nauliza tu)
“Enhee nimekumbuka Sonia,Mr.Kiwanuka nasikia anakutaka ni kweli au?”
“Hizo habari umetoa wapi?”
“Nitanyimwa chakula lakini sio maneno”
“Ndio!ananisumbua sana,simuelewi hata kidogo”
“Sasa huogopi kumkataa?”
“Nimemkataa mpaka Sakaboja”
“Heeee!Mpaka Sakaboja anakutaka?”
“Kwani Sakaboja peke yake sasa?Mpaka Director yule mzee anaye vaa miwani”
Maneno anayoongea Sonia ungebahatika kumuona usingekataa,alistahili kupendwa na mwanaume yoyote yule aliyempiga jicho.Uzuri wake haukuwa wa kawaida, shuleni walimbatiza jina na kumuita 'jini' kwa jinsi alivyokuwa mrembo.

Sio wanafunzi peke yake waliomzungumzia Sonia hata walimu.Shule mbalimbali zilizoalikwa kucheza michezo, wote walipeleka habari na kutoa ushuhuda wa msichana Sonia.Shule nzima alibahatika kuwa na rafiki mmoja tu aliyeitwa Zawadi Kasanga,hawa ndio waliongozana kama kumbikumbi,atakapo kuwa Zawadi basi Sonia naye yupo pembeni.Wakawa wanaitana ‘Pacha’
“Sasa pacha,wacha mimi nikapumzike,naona History haipandi kabisa kichwa changu hakipo sawasawa”
Sonia alimwambia Zawadi,kichwani hakuwa anawaza kitu kingine isipokuwa, Partson Ngogo.
“Sawa,mimi nipo nipo”
Sonia akasimama na kubeba daftari zake kwenda kulala,aliamua kuvunja ratiba ya Prepo.
Huko hakulala, kazi yake ilikuwa ni kutupa macho yake juu ya saa yake ya mkononi,muda kwake ulisogea kwa mwendo wa ajuza.
***
“Matron GoodMorning,how is Partson?”(Matron za asubuhi,Partson anaendeleaje)
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Zawadi Kasanga akiwa na Sonia Pembeni,swali hilo hakuuliza yeye bali alimezeshwa maneno na Sonia.
“Nadhani leo ataruhusiwa,hali yake ni nzuri kidogo nendeni paredi”
“Sawa,siku njema”
Zawadi wakiwa na Sonia wakatoka nje ya geti wakatembea mpaka paredi,ambapo walikuwa wanafunzi wote tayari wamejipanga mstari kama wapo kambini.
“Look at them,this is what I was talking about,you see! They are Tanzanian’s,You two come infront”(Embu watizameni,ndio nilikuwa naongelea mambo haya,mnaona.Ni watanzia,embu njoeni hapa mbele)
Alikuwa ni Mwalimu Mkuu wa shule Mr.Edward Kiwanuka akisema maneno hayo akiwa na jopo la walimu mbele.
Kitendo hicho kilimkasirisha ukizingatia alikuwa akimtaka Sonia kimapenzi na akachomolewa,hiyo ndiyo akatumia kama kigezo.
Alimuhaidi kuwa atamchapa viboko vingi kila kukicha.
“Lay Down, I said lay down,I don’t want stupidity,Murunji go to my office, get for me chiboko”(Laleni chini,nasema laleni chini,sitaki ujinga,Murunji nenda ofisini kwangu kaniletee fimbo)
Mr.kiwanuka akazidi kufoka kwa hasira huku akitoa ulimi wake nje akiwatizama Zawadi na Sonia kama takataka.
“But Sir,let me explain we we…”
“Keep quit,I will give you ten”
Zawadi alivyojaribu kujitetea akakatishwa,wanafunzi wote wakawa wanawatizama,fimbo ikaletwa wote wakalazwa chini vikobo vikatembea,kila mmoja akachapwa fimbo kumi.
Katika siku ambayo Sonia alilia ni siku hiyo,alilia kwa vitu vingi.
Alinyanyasika sana, akaingia darasani bila kumsemesha mtu yoyote yule,akawa analia tu tena kwa hasira hata chakula akasusa kula.

Jioni ilivyofika wakatoka madarasani akaenda kuoga ili ajiandae kwa Prepo.Alivyofanya kila kitu,kengele ikagongwa akatoka kinyonge akiwa na mawazo mengi akaingia darasani,akatafuta kona ya Mwisho akakaa na kufungua madaftari yake.
Akawa anajisomea somo la Geography II.Ni kwa muda mfupi sana akili yake ikawa imetekwa na Partson Ngogo, hakuelewa ni kwanini moyo wake haukuwa umetulia, muda wote ulikuwa waluwalu,akavuta begi akatoa karatasi yenye maandishi akawa anairudia barua aliyoandikiwa mara ya mwisho na Partson kabla ya kuvunjika mguu mpirani.Akamkumbuka sana mvulana huyo,akashindwa kuelewa angetokea ghafla angemwambia nini.Akawa hajiwezi tena.
“Nahisi nampenda Parston lakini sio kweli,sitaki sitaki sitaki”
Yote aliwaza Sonia,kichwani kwake kulikuwa kuna msululu wa mawazo juu ya Partson.Katika hali ya kushangaza akamuona Zawadi Kasanga anatembea kama mgambo aliyepoteza kirungu huku akielekea meza aliyokuwepo.
“Sonia,Partson amerudi,yupo bwenini”
Moyo wa Sonia ukapiga paaa!
“Real?”
“Ndio,twende ukamuone”
Bila kuuliza, Sonia akajikuta amesimama haraka wakawa wameshikana mikono mpaka bweni la wavulana dirishani,Partson akaitwa.Akatokeza dirishani.
“Sonia,mambo vipi?”
Partson akasalimia.
“Safi,pole mwayaa,vipi umepona?”
“Yah,now niko fit,Zandy niambie?”
“Nimekuletea Sonia,mtoto alikuwa hali,hanywi maji,kila saa Partson Partson”
Zawadi akawa anampigia mapande ya kiaina Partson.
“Mwongo,Zandy acha uwongo wako”
Sonia akaongea kwa sauti ya kudeka kama ya staki nataka.
Ulikuwa ni usiku wa saa mbili shule ilikuwa kimnya,wanafunzi wote walikuwa madarasani wanajisomea.
“What are you doing here?”(Mnafanya nini hapa)
Ilikuwa ni sauti ya Mwalimu Mkuu Mr.Kiwanuka Edward,ikawashtua Zawadi na Sonia,almanusura wamwage mikojo,ilikuwa ni kesi kubwa kuliko hata ya kubaka kukutwa eneo la mabweni ya wavulana tena usiku.Hiyo ilimaanisha kuwafukuzisha shule.


 *****
“Kumbuka nina familia tayari sasa unavyonipigia simu usiku inakuwa noma”
“Hata kama Mpenzi wangu,wakati mwingine nakuwa nakumisi ujue,sasa unadhani nitafanya nini?mfano jana uliondoka ghafla na kuniacha ivyo ivyo”
“Nilivyopokea simu kutoka kwa Mama Brenda si ulisikia lakini?”
“Ndio nilisikia,ilikubidi kidogo namimi unitibu,sio vizuri naelewa yule ni rafiki yangu lakini vitu vingine namimi nina kuwa nina wivu”
Msichana mdogo aliyekuwa naye Nickson ndani ya Landmark Hotel alikuwa ni gumzo,alikuwa ni mzuri pengine kuliko wanawake wote aliowahi kuwa nao kabla,akaamini kwamba uzuri unazidiana.
Kila akimuangalia msichana huyu hakuweza kumtathmini na hakutaka kumuachia lakini jambo lililokuwa linamuumiza kichwa ni Pendo Jonas,alikuwa teyari ameshazaa naye mtoto wakamuita Brenda, alimjali sana Mama wa mtoto wake ingawa alikuwa akichepuka kwa siri mno.
“Sasa Mariam unajua ka…..”
Kabla ya Nickson kumalizia maneno aliyotaka kuzungumza mdomo wake ukamezwa na lips za Mariam ndimi zikakutana wakawa wanabadilishana mate wakiwa wameyafumba macho yao.Hapo ndipo Nickson akambinua Mariam upande wa pili, akaitoa nguo yake ya juu wakazidi kuendelea kupigana madenda huku mkono mmoja wa Nickson ukishuka chini taratibu kana kwama anatafuta kitu,akakutana na chupi akazidi kupenyeza vidole vyake mpaka akafanikiwa kupata anachokitafuta,mambo hayakuishia hapo Nickson akakazana kulamba Maziwa ya Mariam sababu aliamini hapo ndipo udhaifu wa binti huyo ulipo.
“Ahs ahs mmh ahss Nick..son”
Mariam alikuwa akilalamika huku akikishika shika kichwa cha Nickson, tayari alikuwa hajiwezi tena amenasa,kile anachokiongea hakukielewa hata kidogo akabaki tu anasikilizia raha za ajabu ambazo hakuweza kuzielezea.Taratibu akaanza kukizungusha kiuno chake,adoado Nickson akaanza kuivuta ‘skintyt’ ya rangi nyeusi aliyovaa Mariam,almanusura ichanike kwa jinsi ilivyokuwa imelandana na ngozi.
Kitendo cha nguo hiyo kutolewa, Nickson akavuta na chupi, hapo ndipo uzuri wa Mariam ukaonekana,hakutaka kufanya lingine Zaidi ya kuipanua miguu ya Mariam huku na kule kisha kutoa ulimi wake,akaanza kudeki bahari.Hapo ndipo akawa kama ameivuruga akili ya Mariam akahisi kuzimia, kazi yake ikawa ni kushika hiki kuacha kile ilimradi vurugu,akamvuta Nickson akatoa ulimi wake wakaanza kulana denda huku wakihena ndani kwa ndani, kwa jinsi mambo yalivyokwenda,Mariam alizidi kupagawishwa mno.
Mara ghafla akaanza kuhisi vitu vinatembea ndani ya mishipa yake ya damu akamng’ang’ania Nickson huku akizidi kulalamika.Nickson alishaelewa nini maana yake akasubiri tu muda muafaka,kitendo cha Mariam kuibana miguu yake hapohapo ikapanuliwa na mitambo ikasetiwa, mechi ikaanza muda huohuo.Kila mkao walibadilisha,mtindo wa Nickson kukaa huku akiwa amenyoonsha miguu yake na Mariamu yupo juu yake wanatizamana ndiyo ilimfanya Mariam aweze kuumiliki uwanja vizuri akazidi kujitahidi kufanya kila analoweza ili kukizungusha kiuno chake,mambo yakazidi kuendelea, Nickson nayeye vile vile akaweka juhudi zake,mambo yakazidi kunoga.Baada ya kama dakika kumi na sita kila mtu alikuwa yupo hoi,wamelaliana,majasho yanawatoka kwa mbali.
“Nickson mpenzi wangu,nani kakufundisha mambo haya yote?”
Lilikuwa ni swali kutoka kwa Mariam akiwa juu ya kifua cha Nickson,anauliza huku akimkwaruza na kucha zake ndefu ndefu kiasi.
“Mambo gani hayo?”
“Usijifanye hujui hapa”
“Sijui ndio”
“Kwenda zako”
“Nambie basi mambo gani?”
“Haya uliyokuwa unanipa,nani kakufundisha au shoga angu Pendo?”
“Ha! Haa! Haaa! Haaaa! Haaaaa! Haaa! Haaaa!hivi pendo akijua kuwa tunamzunguka itakuwaje?”
“Nani atamwambia?”
“Za mwizi, si unajua?”
“Hakuna wewe,hawezi kujua hata kidogo.Ataanzaje labda? mimi mwenyewe mjanja sana,labda wewe ujisahau”
“Sio mimi wewe hapo,ulivyonipigia simu siku ile usiku ujue aliweka mashaka sema basi tu”
“Achana nae,sasa lile swala la kunitafutia kazi vipi?”
“Lipo pale pale”
Mazungumzo ya Nickson na Mariam yaliendelea kimahaba huku mara kadhaa wakipigana mabusu.
Ulikuwa ni usaliti wa hali ya juu kwa Mariam.Alitambulishwa kwa Nickson kama shemeji yake ili tu atafutiwe kibarua lakini mambo yakawa kinyume, alichofanya yeye ni kumvulia nguo yake ya ndani Nickson wakafanya ngono,akanogewa na penzi, mbali na kuiba lakini alikuwa Mwanamke makini kupita kiasi.
kitendo cha Pendo Jonas kugundua swala hilo ingemaanisha ushoga wao kuvunjika ivyo hakuwa tayari swala hilo litokee.
“Alafu baby nimekumbuka kitu,hivi?..”
Mariam akauliza swali huku akiwa ametoka bafuni kuoga amejifunga kanga moja ambayo ilifunika maziwa yake na kuishia kwenye mapaja,kutokana na kulowana na maji kanga ikawa imenata na mwili umbo lake likawa limejichora,sawa sawia,likafanana na namba nane!
“Kitu gani?”
“Hivi,ndio kwamba hatuaminiani au?”
“Kwanini unauliza ivyo?”
“Maana tabia yako ya kunitoboa toboa kupimana ukimwi kila wakati inanishangaza”
“Wewe huoni pia ni kwa manuufaa yako love wangu.Nafanya hivi kwa makusudi ili nawewe uwe na Amani”
Mariam ilibidi aulize kitu ambacho kilikuwa kinautatiza moyo wake,tabia ya Nickson kumpima Ugonjwa wa ukimwi kabla ya kukutana kingono kilimshagaza maana jambo hilo lilikuwa geni kwake.
Baada ya kufurahi na kulidhishana, wote walikuwa tayari wamevaa nguo zao wanatoka nje,wakaingia ndani ya gari na kuanza safari.
“Griii griiii”
Simu ya Nickson ikaita alivyoangalia juu ya kioo akaona jina la Mpenzi wake Pendo Jonas au Mama Brenda.Akaipokea na kuiweka sikioni.
“Nambie Mama watoto”
“Poa love,vipi leo utawahi kurudi?”
“Ndio nipo njiani hapa narudi,alafu nipo na rafiki yako Mariam”
“Kweli?Jaamani mpe simu niongee naye”
“Okay huyu hapa”
Hapo hapo Mariam akapewa simu akawa kwenye laini anazungumza na rafiki yake, Pendo Jonas.
“Mh shosti nambie,nipo na shemeji hapa tulikuwa kwenye interview huko Kibaha….ndio shosti kwenye kampuni ya WEIGHT AND MEASURES pale maili moja…tumuombe Mungu,nije naye?…hapana bwana nimechoka….okay sawa nitakuja basi…aya mamiii, bye”
Simu ikakatwa kisha kupewa Nickson, wote wakatabasamu.Hivyo ndivyo ilivyokuwa.
****


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG