Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

MCHACHUKO SEHEMU YA 4/10



MCHACHUKO
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 4 KATI YA 10
*******
 *******


 Mapenzi hayana mwenyewe hata uwe na mali nyingi kiasi gani huwezi kupingana na hisia, Adrian
kijana mdogo aliyetisha kwa pesa na kusifika kwa tabia yake ya umalaya ya kubadili kila mwanamke, alishaamua kupenda sasa na kutulia baada ya kukutana na mwanamke aliyeitwa Jaqlin na kufanya mpaka aghairi safari yake ya kwenda kuishi Ghana kisa mwanamke huyo mrembo ambaye alikiri hata yeye kuwa amemteka kihisia,
marafiki zake walimcheka sana lakini aliweka masikio pamba, leo hii yupo hospitali ana mgharamikia ili tu kuyaokoa maisha yake, daktari aliyekua mbele yake alizidi kumchanganya sana baada ya kuona dalili zilizoashiria kuwa kuna taarifa mbaya sana, moyo ulimwenda kasi sana,
hakutaka kuyapa nafasi mawazo ya kifo lakini yalimzidi kichwani, fikra zake zote alihesabia kuwa Jaqlin ni marehemu na alikua teyari kupokea habari izo japo alijua zingemshtua sana.
“nisikilize kwa makini sana, …”
Kabla ya Daktari kumalizia anachotaka kuongea nesi alitokea mlangoni akiwa ana hema sana.
“Dokta njoo haraka”
“kuna nini?”
“njoo tafadhali,”
Maneno hayo yalizidi kumchaganya Adrian na kuzidi kuwa na wasi wasi na kuzidi kuyatoa macho yake kama aliyepoteza nauli ndani ya dala dala!.
**
Baridi na homa ya ghafla ndivyo vilizdi kumsumbua Natu akiwa nyumbani kwao likizo,waliishi wawili tu yeye na dada yake, hamu ya chakula ilipotea kabisa kila alichokula alihisi kutapika na kupata kichefu chefu kikali, alijaribu kulificha swala hilo kwa dada yake, dalili zilionesha kuwa alikua ni mjamzito bila ya hata kwenda hospitali ila hakutaka kuliweka swala hilo wazi kwa mtu yoyote Yule hususani dada yake.
“Mbona sikuelewi siku izi mdogo wangu Natu?”
Aliuliza Dada yake siku hiyo asubuhi na mapema baada ya kuamka na kumkuta bado mdogo wake Natu amelala.
“kivipi dada Loveness?”
“naona tu, siku elewi elewi”
“sio kitu”
Hapo ndipo ulikua mwazo wa Loveness kuanza kumfuatilia mdogo wake kila hatua anayo piga, kama mwanamke aliyekua na akili zilizokomaa kichwani siku mbili tu zilitosha kumgundua mdogo wake ana dalili za ujazito.
Hata yeye alishtuka sana hakutaka kwenda nae papala alisubiri usiku mmoja wana kula mezani chakula cha usiku.
“hiyo Mimba nani kakupa?”
Swali hilo lilimchanganya Natu na kuanza kujichekesha.
“Ha ha ha Dada nani kakwambia nina mimba?”
“usijichekeshe nipo siriazi, usinifanye mimi mtoto, hiyo mimba nani kakupa?”
“dada sina mimba”
“hujui kuwa mimba haifichiki ni kama pembe la Ng’ombe”
Ukweli ni kwamba Natu alikua ni mjamzito tena mimba hiyo alipewa na Adrian, kitendo hiko alikifanya makusudi aliikumbuka siku
ambayo alivyokua juu ya kochi wakifanya mapenzi na mwanaume huyo kisha baadae kuichomoa Condom na alikua katika siku za hatari za kushika mimba, na ndo hapo mimba ilipoingia mawazo yaliyo mjia kwa wakati huo ni yeye baadaye kuishi na Adrian ndani ya nyumba kubwa akiwa kama mke wake,
hakuelewa kuwa Adrian yupo hospitali anateseka na mwanamke anaye mpenda na kumfanya aghaili mpaka safari yake.

Hali ya Natu ilizidi kuwa mbaya sasa, dalili na viashirio vya mimba vilionekana wazi wazi,
Siku iyo iyo asubuhi mguu kwa mguu na dada yake walinyoosha mpaka hospitalini ili kujua ukweli wa mambo.
“binti huyu ana mimba ya mwezi mmoja na wiki moja”
Alisema daktari akiwa ameshikilia makaratasi mikononi mwake baada ya kutoka maabara.
“ahsante daktari, wacha sisi twende”
Kitendo cha kufika nyumbani ili bidi aanze kumbana mdogo wake ni nani aliye mpachika mimba hiyo, alianza kumuhisi wenda atakua mangi muuza duka sababu ndiye muda mwingi sana hupenda kushinda nae.
“au ni mangi Yule kimario wa pale dukani?”
Aliuliza dada yake.
“hapana dada”
“kumbe nani, nitajie kabla sija mpigia simu Mama”
“hapana usifanye ivyo”
“ndio nataka nimjue sasa hivi”
“anaitwa Adrian, Adrian”
Alisema Natu na kumfanya dada yake ameze fundo la mate huku akimtizama kwa macho makali.
“Adrian yupi, embu nyoosha maelezo Adrian wapo wengi”
“dada huwezi kumjua”
“sema Malaya wewe”
“Adrian anaishi tegeta”
“yukoje?”
Natu taratibu alianza kumuelekeza jinsi Adrian anavyofanana na kumfanya dada yake moyo umdunde, hata yeye Alisha wahi kulala na mwanaume huyo tena alimpenda sana kuliko kitu chochoite kile,
leo hii kampa mimba mdogo wake, alikumbuka starehe nyingi walizofanya alikumbuka mpaka siku alipo tambulishwa kwa shangazi yake na Adrian, alikumbuka ni jinsi gani mwanaume huyo alivyokua fundi kitandani.lakini hakutaka kusema lolote
“sasa hivi yuko wapi huyo kijana aliyekupa mimba?”
“yupo yupo”
Baada ya kugundua alinyoosha mpaka chumbani kwake na kuanza kujiandaa ili kuelekea tegeta kwa mwanaume huyo huku akiwa mwenye hasira sana moyoni mwake.
***
Kitendo cha jaqlin kufumbua macho yake baada ya masaa matano kupita kiliwashangaza sana na kuwashtua madaktari na kufanya wajipongeze kwa kazi waliyoifanikisha kuifanya sababu walisha poteza matumaini hata wao,
walishajua kuwa ni lazima mwanamke huyo apoteze uhai wake muda wowote,
Haraka haraka walimtoa katika chumba cha wagonjwa mahututi na kumuhamisha chumba kingine, huko aliendelea na matibabu kama kawaida, kila siku zilivyozidi kwenda ndipo hali yake ilizidi kuwa nzuri aliweza hata kutembea hapo Wodini na kufanya mazoezi nje na wagonjwa wenzake. Hii ilionesha kuwa atarudi katika hali yake ya kawaida kama hapo awali, kwa Adrian hata yeye alionesha sura ya furaha sana kumuona mwanamke ambaye anampenda ana nafuu sasa hivi.
“Fetty!”
Aliita Jaqlin akiwa kitandani.
“Abee Mamii”
“Mathew ulimpata Hewani?”
“hapana”
“mmmh sawa”
Adrian aliyekua pembeni alikaa kimnya hakuongea lolote alibaki akimwangalia mwanamke huyo aliyekiri kuwa ni mzuri sana na ni chaguo la moyo wake, alikiri kutulia naye hata ndoa wafunge, bado alimpenda lakini kitendo cha mwanamke huyo kutaja jina Mathew kilimuuma ndani ya mtima wake,
hakua na jinsi zaidi ya kufikicha pua zake akitia huruma na kumtizama Fetty aliyekua pembeni yake.
“ina maana hakumbuki niliyomfanyia?”
Aliwaza Adrian akitafakari, licha ya yote hakuvunjika moyo kila siku alikua akikesha hospitalini kumjulia hali akija na chakula, gharama za chakula, vinywaji, mavazi na zawadi zingine zote aligharamia yeye.
“Adrian”
Kwa mara ya kwanza Jaqlin aliita jina hilo tangu apate nafuu na kumtizama Adrian wakiwa wamekaa kitandani wote.
“Naam Jaqlin”
“Ahsante kwa yote, Fetty alinihadithia msaada uliokubali kujitolea”
“Ahsante kwa kushukuru, nitahakikisha nitakuhudimia mpaka unaruhusiwa na kurudi katika hali yako, Jaqlin nakupenda sana sitochoka kukusubiri”
“kwanini unanipenda sana?”
“ni moyo tu sio kitu kingine Jaqlin naomba uwe mpenzi wangu”
“lakini nina mpenzi tayari si nilisha kwambia?”
“mpenzi wako yuko wapi, yuko wapi kipindi chote upo kitandani, mimi ndiye nimekuangaikia mpaka unapona mimi nimeghairi safari yangu, kisa wewe, hivi ni mwanaume gani ambaye ataweza kufanya haya niliyo fanya Jaqlin?”
Hayo maneno machache tu ndiyo yalimfanya Jaqlin anyamaze akae kimnya na kutafakari, ilionekana aliguswa sana kupita maelezo, alikumbuka wiki za nyuma zilizopita akiwa kitandani anateseka na mwanume aliyekua mbele yake ndiye aliye msaidia, alikumbuka Alisha msumbua kwa takribani miezi minne sasa,
“sawa wacha hali yangu iwe nzuri Adrian, nitakujibu”
Adrian alifarijika sana kusikia maneno hayo kutoka kwa Jaqlin, baada ya siku mbili aliruhusiwa kutoka hospitali na ndiye Adrian alikuja kumchukua hospitali na kumrudisha kwa shangazi yake kinondoni kwa Manyanya,. Urafiki wa karibu ulizidi mara dufu kila siku Jaqlin alikua ni mwenye furaha muda wote,
kila siku ya Mungu Adrian akitoka ofisini kwake ilikua hawezi kweda kwake bila kupita kinondoni akiwa na zawadi mikononi mwake,
hali iyo ilimpa sana faraja Jaqlin, hakika mambo hayo yalikua mageni sana kwake.
“Jaqlin, nataka twende kwangu leo”
“sawa hakuna tabu Adrian twende hata sasa hivi, nipo tayari”
“kweli?”
“jiamini”
“kamuage basi shangazi”
“okay poa”
Baada ya kumuaga shangazi yake ambaye muda wote alimuona Adrian ndiye mwanaume sahihi atakaye mfaa Jaqlin hakuwa na haja ya kuweka kizuizi chochote kile kwa moyo mkunjufu aliwaruhusu waende.
Adrian muda wote alikua mwenye furaha sana alipita kushoto na kufungua mlango wa gari lake AUDI kisha Jaqlin kuingia, mwanamke huyo alikua kama malkia siku hiyo, alifurahi sana alijiona mshindi meno yake yote thelathini na mbili yalikua nje akiyakenua, aliwasha gari na kuanza taratibu kuendesha.
“Jaqlin”
Aliita Adrian akiwa anaendesha gari.
“Abee”
“ unajua kuwa wewe ni binti mzuri sana”
“hapana sijui”
“ndio nakwambia, fungua hapo kwenye dash bodi, kuna zawadi yako”
Kweli baada ya kufungua alikutana na Perfume kubwa nzuri na kumfanya azidi kufurahi, hapo ndipo uzuri wa binti huyo ulipo onekana,
alikua ni mzuri sio masihara hasa akicheka, macho yake ya kusinzia ndiyo yalikua tishio akikuangalia.
Walizidi kupiga stori nyingi mpaka walipofika Tegeta nyuki na Adrian kukunja kushoto baada ya dakika mbili alikua akipiga honi na mlinzi kufungua geti, man-dhari ya nyumba kubwa ilimfanya hata Jaqlin amsifie.
“umejitahidi Adrian hii nyumba, ni yako au umepanga?”
“ni yangu, karibu ndani”
Walinyoosha mpaka ndani seblen na Adrian kutoka na juice akimtayarishia,
“au nikuletee pombe?”
“Noo mimi sinywi pombe na sipendi mwanaume anayekunywa pombe kama una kunywa naomba uache”
Walizidi kuongea mambo mengi sana kuhusiana na maisha, stori zilibadilika na Adrian kumsogelea Jaqlin huku akimshika kidevu chake taratibu sana, lips zao ziligusana damu zao zilianza kuwachemka na kuanza kunyonyana madenda.
“Adrian, Malaya mkubwa wewe”
Sauti hiyo iliwashtua wote wawili, mwanamke aliyesimama mbele yake mwenye midomo mipana alifoka kwa sauti baada ya kuwafuma.
“Malaya mkubwa, umelala na mimi ukanitelekeza umemtia mdogo wangu mimba alafu upo hapa una starehe na Malaya wako, hivi utaacha lini umalaya wewe mwanaume?”
Aliongea Loveness akiwa na hasira sana akiwa ametanda mbele yao.

 Wote waliganda hawaongei kitu chochote wanamtizama mwanamke Loveness aliyekua mbele yao anatukana matusi makubwa kama hana wazazi, na kuongea lugha chafu bila kuelewa yupo nyumbani kwa watu, alikua akiongea kwa hisia zote ndani ya moyo wake pengine angetamani hata kumnasa mtu vibao, aliongea huku akinyoosha vidole vyake na kujishika kiuno chake,
Adrian alimtizama Jaqlin machoni na kuona jinsi gani alivyokasirika, alishajua kinachofuata hapo, ilikua ni lazima aanze upya kumshawishi sababu miezi mingi alikua akimfuatilia jaqlin kimapenzi kisha kumpata siku hiyo.
“Loveenes kuwa mstaraabu”
Aliinuka Adrian alivyoona mambo yamefika kooni, alijua angeendelea kukaa kimnya angezidi kumpa nafasi Lovess azidi kubwabwaja mdomo wake, hakutaka hilo litokee.
“hakuna cha ustaarabu, ustaarabu unaujua wewe, ustaarabu unaujua hasidi wewe, huna haya, hivi unajionaje, dada angu ngoja nikwambie kitu kama kakwambia anakupenda jua anakudanganya”
“Adrian mimi naenda”
Alisema Jaqlin akiwa amechukia kwa kitendo cha kudhalilishwa, hakutaka tena kukaa eneo hilo, Alisha poteza tena imani juu ya mwanaume huyo, alishaanza kumpenda lakini mambo yalikua tofauti kabisa siku hiyo,
fikra zake zilimpeleka mpaka kwa Natu, tena leo kwa mwanamke Loveness, wanawake hao wawili tu walitosha kudhihirisha Adrian hafai tena na sio mwanaume wa kuishi nae.
“unaenda wapi,?”
“kwani hapa ndio naishi?”
“sina maana hiyo”
“kumbe, ngoja nikuelezee”
“sasa unielezee nini, kwani mimi nani yako, achana na mimi”
Jaqlin alitoka nje akiwa na hasira na chuki za wazi wazi kabisa,na kumuacha huku nyuma Adrian akimuita jina lake.
“Wewe Malaya toka nje sasa hivi”
“sitoki”
“umenisahau?”
“Adrian hapa sitoki”
“Lovenes sitaki mada kesi ujue”
“Mimi sitoki Adrian”
Kila aliloongea Lovenes alijiamini, dalili zilionesha kuwa hakutaka kutoka kabisa na kufanya Adrian apandishe juu ngazi mbili mbili harakaharaka kwa hasira mpaka chumbani, alivyorudi alikua kashika panga mkononi mwake,
Loveness aliogopa sana hakua na haja ya kusubiri kifo chake wakati miguu ya kukimbia anayo,
hapo hapo alichanganya miguu yake na kuchanja mbuga, aliuparamia mlango kidogo ang’oe kitasa alichoshukuru ni kulikuta geti liko wazi.
“WE kimtiii, njoo njoo njooo njooo upesi!”
Aliita Adrian akiwa bado na ghadhabu sana na kumfanya Mlinzi wake aanze kutetemeka kwa hofu, alishajua kosa lake tayari la kumruhusu Lovenes kuingia ndani wakati yeye aliikua na mwanamke mwingine ndani.
“Samahani tajiri,”
“nimekwambia njoo hapa karibu, sogea hapa”
“tajiri naomba unisamehe mlinzi wako,”
“mlinzi gani, una linda nini sasa, unacholinda nini?, nilishakwambia ukiona nina mwanamke ndani……”
Ilibidi tu arudi ndani sababu aliamini hata angemaliza hasira zake kwa kimti isingemsaidia yeye kumrudisha tena Jaqlin kwenye himaya yake, alijua swala hilo lilikua gumu sana. Alihisi kuchoka mwili mzima,alimlaumu sana Loveness kwa kitendo cha kuharibu mambo yake yote,
***
Siku zilizidi kwenda na majuma kupita na chuo cha UDSM kufunguliwa, taratibu wanafunzi walianza kurudi chuoni ili kuendelea na masomo yao, bado Adrian alizidi kumgasi na kumganda Jaqlin, hakukoma hakika alimpenda kweli, ilikua ni lazima atulie na mwanamke huyo maishani, hata ingemchukua miaka mitano mbele angesubiri tu bila kukoma, na ivyo ndivyo aliamini na kujipa moyo.
“mwenzetu kechanganyikiwa, sijui kawaje”
“Yule demu kamroga nadhani, sijawahi kumuona Chif akiwa katika hali kama hii katika maisha yangu yote tangu nianze kumjua”
“hata mimi nadhani”
Kikao cha rafiki zake Partson jr na Jimmy jeez walikuwa wakimzungumzia jinsi Adrian alivyobadilika kabisa na kumlilia mwanamke mmoja ambaye tangu aanze kumueleza juu ya hisia zake ziligonga mwamba, kweli walimuonea huruma sababu hakutaka hata kuongea na mtu yoyote hana furaha tena kama zamani.
hata alivyofika hapo nyumbani kwake walimueleza ukweli kuwa kuna wanawake wengi mjini lakini hakutaka kuwasikiliza.
“tokeni kwangu”
“aaaah brooo”
“tokeni kwangu sasa hivi,kwaio mmekaa mnaniwekea vikao”
“poa sisi tunaenda ila fikiria mara mbili, achana na huyo demu utakufa kaka”
“poa tu niacheni nife”
Ivyo ndivyo ilivyokua.
**
Uvumi ulianza kuvuma kama upepo uendao kasi, kila mtu alishajua teyari Natu ni mjamzito tena muhusika alikua ni Adrian, moyo ulimuua sana Jaqlin lakini hakuelewa kwanini, mawazo na chuki vilimsonga alijaribu kushindana na vitu ivyo viwili ndani ya moyo wake, hakutaka kudiriki hata kuwa na mahusiano na Adrian tena wala kuongea nae.
“hivi kweli NATU ana mimba ya Adrian Fetty?”
Aliuliza Jaq.
“mimi siamini hata kidogo”
“mmh.. wanaume bwana”
“vipi kwani?”
“vipi hujui, wewe ulikua ukimtetea nadhani umesikia yalitokea”
“Ebu subiri wacha tuone, mimi bado hainiingii akilini”
Waliongea mengi sana siku hiyo hususani juu ya Natu na mimba yake sababu alionekana kujinadi kwa wenzake huku maneno ya chini chini yakisikika kuwa Jaqlin alikua anajipendekeza tu na alikua akimtaka Adrian.
“mimi Ndio Natu, Yule bwege alikua akimtaka tu Adrian, shobo nyingi sana”
Alijitapa Natu mbele ya wanafunzi wenzake hapo chuoni jioni hiyo.
“Natu”
Aliita Jaqlin akiwa nyuma yake akiwa ameyasikia maneno hayo kwa masikio yake mwenyewe na kumfanya achukie sana.
“shida?”
“mbona unaongea maneno ya uwongo?”
“uongo upi wakati ni kweli,”
“sio kweli”
“kelele wewe”
Baada ya dakika mbili hayakua tena maongezi, Natu alirusha kibao kilichomfikia Jaqlin shavuni hapo ndipo walipoanza kushikana nywele zao na kuanza kupigana makofi mpaka kudondoka na kuporomoka chini kwenye ngazi…

 Kilicho wafanya waache kupigana ni baada ya wanaume wanafunzi wenzao wa chuoni kuja kuamulia ugomvi huo mzito uliosababishwa na Natu sababu ya wivu wake,
Alisha mchukia Jaqlin tayari kisa mwanaume Adrian aliyesadikika kuwa ndiye chanzo cha yeye kumkosa,wanaume walikuja waliwashika na kuwatoa pembeni kila mmoja akipelekwa mbali kivyake.
“Michael niachie nimfunze adabu huyu Malaya, hanijui vizuri mimi naona, Michael niachie”
“acha utoto Natu, kwani tatizo nini?”
“analeta mazoea ya kijinga,nataka nimuoneshe”
“achana nae”
“sasa ametangaza vita namimi”
Ilichukua muda kidogo kumtuliza Natu ambaye alikua akitamani tena kufanya ugomvi alishaamua kutangaza vita kali na mwanamke huyo Jaqlin hapo chuoni, zilipita siku mbili tangu ugomvi utokee bila kusemeshana kila wakikutana Natu huachia misonyo na kumuangalia mwenzake juu mpaka chini kwa dharau.

**
“nani huyo Mama Brian?”
“sijui subiri niangalie”
“Angalia wasije wakawa majambazi”
“sawa”
Mzee Kway na mke wake walitandwa na hofu baada ya kusikia muungurumo wa gari nje katikati ya usiku wa manane wakiwa seblen wanaangalia tamthilia, japokua kulikua kuna mlinzi getini analinda, haikuwafanya wamuamini.
“ni Adrian”
“Adrian?”
“ndio”
Mzee Kway aliangalia saa ya ukutani ilikua ni saa nane na dakika arobaini usiku,
“hodi humu hodi Mzee Shikamoo”
“pita Adrian Marahaba, vipi mbona usiku usiku namna hii, kuna tatizo?”
Aliuliza Mzee Kway hata yeye alishindwa kuelewa nini tatizo lililompata Adrian mpaka akaamua kufika nyumbani kwake usiku huo mnene.
Hakuwa na habari nyingine zaidi ya kumueleza mzee huyo kuhusu Jaqlin mwanamke ambaye bado aliendelea kumtesa sana moyoni mwake, na kilichomleta usiku huo wa manane ilikua apate namba za simu za wazazi wa mwanamke huyo ili aende Arusha akaongee nao.
“sasa si ungesubiri kukuche?”
“hapana Mzee Kway,naona muda unakwenda naomba unisaidie namba zake za simu”
“kesho kutwa naelekea Arusha nina kikao huko, ila nitafikia kwenye Hotel ya jamaa angu Gift Kipapa, kama una nafasi tunaweza tukaenda”
“mimi hata sasa hivi nitaenda”
“sawa hakuna shida, tutaenda sote mpaka kwa wazazi wake na huyo binti,”
“nitashukuru sana”
Adrian aliondoka akiwa mwenye furaha sana. Kulikucha kesho yake na kuanza kutafuta tiketi ya ndege ili kesho yake aanze safari ya kuondoka,
alikua mwenye furaha moyoni mwake kweli alikua akimuhitaji mwanamke Jaqlin.
akiwa njiani anarudi kwake ghafla simu yake ya mkononi ikaita tena ilikua ni namba ngeni.
“Halloo naongea na nani?”
“Adrian unaongea na Natu”
“una shida gani?”
Alisha mchukia sana Mwanamke huyo kupita maelezo hakutaka tena mazoea nae hata kidogo hasa aliposikia habari kua ana mimba yake, hata ivyo alijua ni njama za mwanamke huyo.
“nimekumisi”
“Ahsante!”
“sasa vipi hii mimba Adrian?”
“nimekwambia uitoe umenielewa vizuri sijui”
“siwezi kuitoa una fahamu hilo”
“alafu tangu nisikie ukiniambia una mimba hujawahi kunionesha vithibitisho, nani alikuambia una mimba yangu,alafu sikia nikwambie habari zako ninazo”
“habari gani?”
“pumbavu zako, pumbavu mwili mzima wewe mwanamke, umeenda kumwambia nini jaqlin mshenzi wewe. Sasa sikiliza usinitafute tena, kuhusu hiyo mimba mimi sio baba wa mtoto”
Hapo hapo Adrian alikata simu huku akiachia misonyo ya hasira sana.
“pumbavu”
Alisema mwenyewe na kuzidi kusonga mbele akiendesha gari mpaka alipofika nyumbani kwake, aliingia chumbani na kuweka nguo zake ndani ya begi tayari kwa safari atakayo anza kesho yake mchana na shirika la ndege la precious Air itakayo mpeleka mpaka uwanja wa KIA Kilimanjaro Moshi hapo atachukua usafiri mpaka Arusha,
“sasa huyu mwanamke akikataa na hapa sijui itakuaje, nitaachana nae nifanye mambo mengine, wanawake wapo wengi mjini”
Aliwaza Adrian akiwa kitandani chali anasubiri usingizi, usiku kucha hakulala alikua akitafakari, saa mbili ya asubuhi ilipofika aliwasha gari mpaka ofisini kwake ili kuweka mambo sawa alimkabidhi ofisi msaidizi wake nayeye kurudi ili ajiandae na safari ambayo yalibaki masaa matatu tu. Aliamini muda huo ungemtosha kufanya mambo yake.
Lakini alipofika kwake alishangaa nje ya ngazi kuna viatu vingi sana na kustaajabu sana,
alijua kuna ugeni ndani kwake lakini hakujua ni wakina nani, macho yake yalitua kwa baba yake mzazi Mzee Mwangenya akiwa ana ghadhabu sana, pembeni alikuwa amekaa mama yake mzazi na sikuzani, Mwana mke ambaye wazazi wake walimchagulia aweze kuishi nae, pembeni waliketi wazee wawili wakongwe, alishindwa kuelewa ni kitu gani akifanye zaidi ya kuanza kumsalimia baba yake mzazi.
“shikamoo Ba…”
“kama unaona mali ziweke, huna adabu pumbavu zako”
Alifoka baba yake na kusonya, kijijini walimuwekea kikao kuhusu kitendo alichomfanyia Sikuzani, sasa waliamua kufunga safari kutoka Mkoani Mbeya mpaka Dar es salaam.
Hawakuelewa kuwa Adrian ana haraka sana na amebakiza masaa machache ili awahi ndege aende Arusha.
“yaani tumekutafutia mwanamke umempiga kisa makahaba wako wa mjini, pumbavu wewe”
“sio ivyo mzee”
“nyamaza, ninapoongea upaswi kujibu, huyo mwanamke uliyesema tusubiri utamuoa yuko wapi?”
“Mzee naomba swala hili tulizungumze siku nyingine leo nina safari”
“Baba sisi tumekuja una sema una safari mwanangu?”
Alidakia Mama Yake.
“mimi nili kwambia hili litoto lina dharau, sasa nisikilize kama una baba mwingine niambie, kama ndiye mimi nimekutoa kwenye hizi korodani zangu baki hapo, ila kama una baba mwingine nenda na ndio nitajua leo na mama yako aseme kuwa baba yako ni nani”
Waliokua wamesimama mbele yake ni wazazi wake wakumzaa tena wamefunga safari kutoka mkoani Mbeya mpaka Dar es salaam, nayeye siku hiyo hiyo alikua na safari ya kwenda Mkoani Arusha ili kuonana na wazazi wa mwanamke anaye mpenda, hakuelewa ni kitu gani achague.
Kati ya mawili ilibidi achague moja na kuacha moja wapo, wazazi wake au mwanamke wa maisha yake japo hakuelewa hata angeenda Arusha angekubaliwa, alishusha pumzi ndefu na kuwatizama kila mmoja wao kwa zamu.
“nyie ni wazazi wangu,Baba na Mama kwa heshima yenu nitabaki hapa ili niwasikilize”
“ndio mimi ni baba yako mzazi inabidi uniheshimu kwa hilo jinga wewe,,kilichotuleta hapa ni kitu kimoja tu, tumemleta huyu sikuzani tena kwako”
“Mzee”
“wacha nimalize, na nina taka umuoe, hao unaowaona hapo ndio wazazi waliomlea kwaio nimewaleta kuwaonesha hapa, sasa nipe jibu moja utabaki nae au huwezi?”
Aliongea Mzee huyo kwa ukali na sauti kubwa ya juu.
“Mzee acha niwe mkweli, mimi sitoweza”
“sasa basi hutoweza?, hiki kiwanja ulichoweka hii nyumba yako nimekupa mimi, nataka kiwanja changu toa nyumba yako sasa hivi, ibomoe na mimi sitokua baba yako,”
Mzee Mwangenya alifoka sana huku akiongea kilugha cha kwao,, dalili zilionesha kuwa alishapandwa na hasira, Adrian alishindwa kuelewa ni kitu gani akifanye alikua katika wakati mgumu sana na kushindwa kuamua cha kufanya.

 Uzuri wake ulizidi maradufu hasa alipotoka bafuni kuoga akiwa na kanga moja tena iliyolowana laini, ndani hakuvaa kitu chochote na kufanya umbo lake lijichore vizuri,weupe wake ulizidi kung’aa sana, hata yeye alilijua hilo na kusimama mbele ya kioo, mwanaume aliyekua kifua wazi akiwa na boxa iliyotuna mbele alikuja nyuma yake na kumshika kiuno kwa mikono yake miwili.
“Adr..ian jamaani”
“nini Jaqlin mpenzi wangu”
“usinishike hapo ndio ugonjwa wangu ulipo”
“Naelewa mpenzi”
Alikua ni Adrian haraka alimgeuza na kuanza kunyonyana midomo yao huku ndimi zao zikigusana? kila mmoja wao damu ilimchemka na kumwenda mbio, Jaqlin alibebwa juu juu na kuwekwa juu ya sofa lililokua chumbani kisha Adrian kuipanua miguu yake na kutumbukiza ulimi katikati ya miguu yake na kuanza kulamba mgodi wa msichana huyo mrembo aste aste huku mkono wake mmoja ukiwa juu ya chuchu ndogo zilizosimama,

hapo ndipo mwanamke huyo Jaqlin alipoanza kujikunja kama chavi chavi akihangaika kwa raha alizokua akihisi alikua ulimwengu mwingine!.
Adrian hakuishia hapo alimfuata juu ya maziwa na kuanza kunyonya maziwa yake taratibu tena kwa zamu huku safari hii mkono mmoja ukiwa kwenye mgodi wa binti huyo unatalii akizidi kucheza na nyasi nyasi chache zilizokua juu,
kisha kukizamisha kidole chake ndani kidogo akiwa anakichezesha,
Hapo ndipo mwanamke huyo alipoanza kukatika taratibu huku akilitaja jina la Adrian kua anampenda sana, alitoa ulimi wake kama nyoka na kuuingiza ndani ya sikio la Jaqlin, alirudi tena kwenye maziwa na kuanza kumnyonya taratibu sana, kash kash zilizidi kuendelea alijuta sana ni kwanini alikua akimcheleweshea Adrian jibu lake sababu alihisi raha za ajabu sana,

Adrian alirudi tena chumvini akitumia ulimi wake kulamba mgodi na kufanya mwanamke huyo amshike kichwa akizidi kumkandamiza ndani ya mgodi wake, hiyo iliashiria kuwa tayari anafika kileleni ivyo raha zimezidi hakutamani Adrian atoke, alizidi kukatika kwa spidi huku akiwa ameyafumba macho yake akihema sana, hata wangekuja nyuki kumng’ata asingeweza kusikia maumivu yoyote yale!
“aaaa..h Adr….ian aaaah aaaaaah asshhsss mhhhhh”
Alizidi kuguna Jaqlin akizidi kukatika na kuhisi raha za ajabu.

“Jaqlin weee jaqlin unachelewa chuo”
Alikua ni Fetty akimuamsha rafiki yake, muda ulikua teyari umekwenda, Ni Fetty tu ndiye aliyemkurupua kwenye ndoto aliyokua akiota alifumbua macho kwa hasira, alivyojishika vizuri sehemu zake za siri alikua amelowana, japo kua ilikua ni ndoto alitamani alale tena ili ndoto aliyokua anaota aiendeleze tena, lakini haikuwezekana.
“ulikua unaota nini?”
“aaah sio kitu”
“sio kitu nini wakati muda mrefu ulikua ukimtaja Adrian”
“Tuna test saa ngapi?”
“saa kumi na moja”
“kumbe bado nina muda wa kusoma”
Jaqlin alinyoosha mpaka bafuni kujimwagia maji kisha kurudi na kujiandaa tayari kwa kwenda kujisomea lakini ghafla alivyofika nje alisimamishwa na vijana wawili.
“sisi ni hafsa wa polisi kutoka kituo cha kati,unahitajika kituoni”
“Nani mimi?”
“Ndio wewe jaqlin, tena tuongozane sasa hivi”
“Nimefanya nini?”
“Dada hatuna huo muda”
Akili yake ilivurugika hapo hapo, hakuelewa ni kosa gani alilifanya alizidi kutafakari ni kitu gani kibaya alitenda, lakini alishindwa kupata majibu sahihi zaidi ya kurudisha madaftari yake hostel na kuongozana na vijana hao wawili waliodai ni maaskari,

Waliingia mpaka ndani ya gari ndogo ya polisi na safari ya kwenda kituoni kuanza, kwa mara ya kwanza alijua ni utani lakini yaliyokua yanatokea yalikua yana ukweli na yupo njiani kupelekwa kituoni kujibu kesi ambayo hakuielewa,
baada ya dakika ishirini walikua kituo kidogo cha polisi tabata Mwananchi na wote kushuka, alishaanza kupata picha baada ya kumuona Natu yupo kituoni anatoa maelezo alishajua teyari mwanamke huyo ndiye kamfungulia kesi.
“Ndio afande, alishawahi kunitishia na kisu,ndio ile wiki iliyopita alinipiga tumboni na mimba ikatoka, muda mrefu sana alikua akitaka kutoa hii mimba yangu”
Alitoa maelezo Natu.
“kwanini hukutoa taarifa mapema kituoni?”
“sababu mara ya kwanza nilijua ni masihala tu”
“mlishawahi kushea mwanaume?”
“hapana ila alikua akimtaka mwanaume wangu kimapenzi, nilimwambia akae nae mbali lakini hakusikia”
“huyo mwanaume yuko wapi?”
“sasa hivi kasafiri”
“mimba ilikua na kipindi gani?”
“mwezi mmoja”
“vielelezo?”
“hivi hapa”
Maelezo hayo ndiyo yalikua ya Natu, mbele yake aliketi askari anayeandika maelezo yake juu ya karatasi maalumu ili baadae faili lipande ngazi za juu kisha kesi ifunguliwe kama utaratibu unavyokua, Natu alishachukizwa sana baada ya mimba yake aliyopewa na Adrian kutoka, sasa aliamua kumshtaki Jaqlin ili ateseke, kesi ya kuua mtoto ilikua ni kubwa ivyo ilikua ni lazima jaqlin akasote gerezani kama asipotoa maelezo ya kutosha yatakayo muweka huru.
“we Mwanamke”
Askari mmoja alimuita Jaqlin.
“Abee”
“unamjua huyu msichana?”
“ndio”
“kama nani yako?”
“mwanafunzi mwenzangu”
“mbona mnapigania wanaume wakati sisi tupo?”
“sijakuelewa afande”
“Huelewi nini sasa, umempiga mwenzako umetoa mimba yake tena makusudi, nyie watoto mbona mnakuwa mnafanya umalaya, wazazi wenu wanalipa ada kuwasomesha nyie mnaenda kupigania wanaume, sasa unakesi ya kuua na kumtishia mwenzako kisu,afande Wiliam mpeleke ndani”
Hakupewa hata nafasi ya kujitetea wala kusema lolote lile alitupwa mpaka selo ndani ya nondo, alilia machozi kwa kukosa testi chuoni, aliumia sana ndani ya moyo wake kwa kitu cha kusingiziwa wala hakufanya yeye.

Fetty alishafika kituoni ili kumuona rafiki yake hata yeye alivyoelezwa kesi inayo mkabili alistaajabu na kubaki kumonea huruma hakua na chaguo lingine zaidi ya kumtafuta Adrian kwa njia ya simu na kuanza kumtukana matusi.

“unasema nini?”
“unaona unayosababisha, Malaya wako yupo hapa kituoni kafungua kesi”
“Mbona sikuelewi Fetty, embu tulia unielezee vizuri”
“Tupo Mwananchi hapa jaq yupo kituoni, Natu kamfungulia kesi”
“Nisubiri usiondoke nakuja hapo sasa hivi”
Adrian alishtuka sana japo hakuyaelewa maelezo vizuri ilibidi atoke nje.

“Unaenda wapi Mume wangu?”
Alihoji sikuzani akiwa sablen Alisha kubaliana na wazazi wake aishi nae sababu aliwaheshimu licha ya kuishi nae lakini hawakuwa na maelewano hata kidogo ndani ya nyumba.

Adrian hakujibu kitu alisonya na kuondoka zake nje, aliwasha gari na kughairi kwenda ofisini, baada ya dakika sitini na mbili alikua teyari yupo kituo cha polisi Tabata mwananchi kaegesha gari na kushuka.
“Fetty vipi, kuna nini?”
“hujui au?,hujui au unajitoa fahamu umenikera sana wee na mwanamke wako Natu, alafu jaqlin anatest unadhani ni vizuri?”
“Jaqlin yuko wapi?”
“yupo kituoni”
“Embu twende”
Adrian alifika mpaka ndani kituoni na kutoa maelezo yake alimkata jicho kali Natu, na kuomba dhamana ili jaqlin aruhusiwe akafanye testi chuoni, lakini maaskari hao waligoma katakata.
“Huyu hapa hatoki”
“sikiliza mkubwa, wacha tuongee sisi wanaume, mimi namtolea dhamana, atakuja kwenye kesi”
“Hapana kwa kweli wewe nenda tu, kwanza umeona wapi mtuhumiwa ana mtolea mtuhumiwa mwenzake dhamana, ulipaswa nawewe uwe ndani bwana mdogo, wewe nenda tu ili usubiri hukumu yako, unawaharibu mabinti za watu”
“nikuulize kitu?”
“usiniulize, sitaki uniulize”
Hapo hapo Adrian alichukua simu na kumtafuta IGP Daniel MAYO wa kituo kikubwa cha urafiki Tip top kwenye simu yake ya mkononi, alimkumbuka sana walishawahi kukutana katika moja ya kumbi ya starehe na kumnywesha pombe nyingi na hapo ndipo urafiki ulipoanza.
“ooh nishakukumbuka Adrian nimekukumbuka kijana wangu”
“habari za kazi?”
“salama tu, naona leo umenikumbuka, leo tunaenda wapi kula masanga?”
“leo mzee wangu nataka unywe uje na kituo kizima mpaka asubuhi”
“haha ha ha ha ha ha ha ha Mtoto utanifukuzisha kazi,”
“sasa….”
“naam naam”
“nipo kituoni hapa Mwananchi kuna mchumba wangu amekamatwa yaani shemeji yako, kuna vijana wananiletea tabu kidogo hapa,naomba msaada wako alafu tutamalizana mimi nawewe hiyo jioni kiongozi”
“Hakuna tabu hakuna tabu, yukoje huyo askari?”
“mrefu mrefu mweusi, mwongeaji sana”
“Embu nisomee namba yake kwenye shati lake”
Adrian aliingia ndani na kusoma namba za askari huyo bila yeye kujua kisha kumtajia IGP.
“okay sawa dakika mbili shemeji atakua huru”
“sawa Ahsante”
Kweli haikupita hata dakika mbili Adrian aliitwa ndani na Askari ambaye alionekana amekasirika sana kupita kiasi akiwa amebinua mdomo wake kaukunja,
“sasa ndio nini kutaka kuharibiana kazi, mtu wako huyo hapo”
Hapo hapo Adrian alimfuata Jaqlin na kumkombatia kwa furaha, kitendo hiko kilimchukiza sana Natu aliyekua pembeni anashuhudia yanayotokea, hata yeye alishindwa kuelewa kwanini jaq yupo huru, hakuelewa kuwa Adrian ana damu ya kukubalika na watu wengi wakubwa katika mkoa huo wa Dar es salaam.

****

Ndani ya moyo wake aliweka chuki za wazi wazi lakini hakua na la kufanya ni kitendo cha kumuona Jaqlin yupo Huru ameachiliwa kutoka kituo cha polisi baada ya yeye kumfungulia kesi ya kuua kiumbe chake kilichokua tumboni mwake, lakini jambo lililo muuma sana ni kuwaona Adrian na Jaqlin wakiwa wamekumbatiana tena wakiwa wenye nyuso zenye furaha.
“Afande mbona sielewi?”
Aliropoka Natu baada ya uvumilivu kumshinda.
“huelewi nini?”
“mbona huyo Malaya yupo huru, wakati ni mtuhumiwa?”
“sasa hivi utalala ndani!, unamuita mwenzako Malaya?hujui kuwa hilo ni kosa la jinai kifungu namba…”
“hapana sija mtukana”
“kumbe?”
“lakini sio kitu kizuri, mimi lazima nitaenda kushtaki”
“nenda kashtaki”
Maaskari wote walimgeuka sasa, ni baada ya kupigiwa simu kutoka ngazi za juu iliyotoka moja kwa moja kwa mkuu wao IGP Daniel Mayo, walimuelewa sana mkuu wao huyo hana mzaha hata kidogo na akitaka jambo lifanyike litatekelezwa tu, hata ukiwa usiku wa manane, na ndiko hiko kilichowafanya wapate wasi wasi wa kupoteza vibarua vyao na pengine viote nyasi!.
“Jaqlin”
Adrian alivunja ukimnya wakiwa ndani ya gari wanaelekea mabibo hostel huku Fetty akiwa viti vya nyuma amenyamaza hana la kusema.
“Abee”
“pole na matatizo”
“nishapoa”
“vipi leo nataka nije nikuchukue na mwenzako Fetty, twende outing”
“mmmh mmmh… saa ngapi?”
“usiku saa mbili,”
“lakini tutawahi kurudi?”
“ondoa shaka”
Walifika mpaka Hostel na wote kushuka ndani ya gari mpaka chumbani, Jaqlin alichukua vitabu vyake na kurudi ndani ya gari la Adrian tayari kwa safari ya kwenda Mlimani chuo kikuu cha UDSM ili kufanya test aliyotakiwa kufanya,
njia nzima alimshukuru sana mwanaume huyo maana bila yeye wenda asingeweza kufanya test, Elimu kwake aliizingatia sana kuliko kitu chochote kile, aliamini kuwa ndiyo kila kitu katika maisha yake, kitendo cha kutolewa kituoni alichukulia ni kitu kikubwa sana katika maisha yake.
“Adrian”
“Naaam”
“ahsante, sina cha kukupa ila nakushukuru sana, umeyaokoa maisha yangu, ahsante sana”
“wala usijali, ni wajibu wangu kufanya hilo”
“wacha sisi twende”
“poa, lakini jioni ujiandae, nitakupigia simu kwenye ile safari tuliyoongea”
“oooh alafu nilikua nishasahau, anyway! Hakuna tabu yoyote”
“fresh mtihani mwema”
Kuongea na Jaqlin vizuri ndiko kitu kilichompa moyo kupita kitu kingine chochote kile, alinyoosha mpaka ofisini kwake posta na kuketi, alizungusha zungusha kiti chake akiwa mwenye furaha ya moyo kupita kiasi, furaha yake ilichangiwa na jaqlin mwanamke ambaye bado anampenda sana kutoka ndani ya mtima, japo ilikua ni vigumu kumpata,

aliyakumbuka sana maneno ya Fetty aliyoambiwa hapo mwanzo kuwa jaqlin ana matatizo makubwa sana.
“potelea mbali,”
Alisema Adrian na kuanza kubonyeza bonyeza kompyuta iliyokua mbele yake.
“Bosi”
Aliita Martha.
“sema”
“kahawa?”
“niletee”
“vipi mbona leo una furaha sana?”
“kaniletee kahawa”
Hakutaka kabisa kujenga mazoea na mwanamke huyo ambaye alishawahi kuwa mpenzi wake, hakua tena na hisia nae hata kidogo kimapenzi, hisia zake zote zilihamia kwa mwanamke Jaqlin, alitamani masaa yaende harakaharaka lakini yalienda mwendo wa kinyonga, kila wakati alikua akitizama saa yake ya mkononi ili muda ufike aweze kukutana na Jaqlin na waende disco kama alivyopanga nae mchana wa siku hiyo.
“Hivi Martha”
“Abee Bosi”
“mpenzi wako akikuletea zawadi gani huwa una furahi sana?”
“nani mimi?”
“ndio wewe”
“inategemea na wakati.. labda wakati wa Birthday vitu kama maua keki, inategemea bosi”
“mfano akikwambia anataka kukutoa outing mwende Disco kucheza mziki?”
“ahaa hapo sasa nguo na viatu ndio vitafaa”
“oooh ahsante kaendelee na kazi”
“mimi lakini napenda sana mini skati”
“aliyekwambia nataka kununulia wewe nani, kaendelee na kazi PUMBAVU”
Hapo hapo Adrian alisimama kutoka kwenye kiti na kuvaa koti lake, aliingia ndani ya lifti mpaka ilivyofika chini,
safari nzima aliwaza jinsi ya kumfanya Jaqlin apendeze siku hiyo usiku, aliwasha gari mpaka Karikoo kwenye maduka ya nguo na kuanza kuchagua nguo za gharama,

alipita kwenye viatu na kuchukua pea tano za viatu, alivyoridhika nayeye alitafuta nguo zake kisha kuingia ndani ya gari mpaka nyumbani kwake kwenda kuzijaribisha.
“hapa bomba yaani, hii tshirt black imenikaa safi sana,”
Alijisemea Adrian akiwa mbele ya kioo kikubwa kisha kuchukua simu yake ya mkononi na kumtafuta Mwanamke aliye itwa Zerish ambaye walishawahi kukutana Mombai nchini India kibiashara, na ndo hapo mwanamke huyo alipopiga pesa ndefu mpaka akafungua club iliyoitwa Sanciro iliyokua maarufu sana ndani na nje ya Dar es salaam!,
“Adrian Chif, niambie kaka angu,paper chaser”
“ha haha nipe habari, kwema lakini?”
“kwema tu”
“upo wapi, maana nime kukumbuka sana siku ya leo”
“nipo, sasa hivi nipo posta hapa karibu na ofisi zako”
“ahaa, ninataka kitu kimoja hivi!”
“kitu gani sema, maana ushaanza wewe uchelewi kutaka watoto wazuri”
“hapana mimi nishaacha kabisa,”
“sema sasa”
“nataka leo v.i.p ya watu wanne nawewe ukiwemo kwenye club yako,nina wageni”
“Adrian bwana una vituko we mwanaume, sasa hilo mpaka uniombe?, wewe nenda pale mtafute Kayahira atarekebisha, mimi nitakuja wala usijali lakini nitachelewa”
“hakuna shida ili mradi ufike tu Zerish”
Baada ya kukata simu hiyo alimtafuta Jaqlin kwenye simu ili ajiandae sababu muda tayari ulikua umesha kwenda,
***
“hapana usivae hiyo nguo jaqlin bwana, tunaenda club sio mazishini”
Fetty alimshauri mwenzake baada ya wote kutoka kuoga
“sasa nivae nini?”
“vaa ile sketi ya jinsi fupi fupi”
“aaha mamii”
“kweli tena”
Baada ya kubishana walivaa wote tayari kwa kumsubiri Adrian ambaye aliwaambia yupo njiani ana karibia kufika ni foleni tu za mjini ndizo zina mchelewesha,
haikuchukua dakika hata hamsini JEEP nyekundu ilikua inaingia hostel za mabibo kila mtu alilitolea macho wengi wao walijua ni Adrian sababu waliikariri gari yake,

Kama kupendeza siku hiyo alipania sana,tshirt nyeusi iliyomkaa vizuri mwilini na kuibana mikono yake ilifanya iendane na kaptura nyeupe iliyofanya mguu wake mnene uonekane vizuri ulivyoingia kwenye ALL STAR ya rangi nyekungu iliyoendana na kofia aina ya chepe kichwani,
alitembea taratibu mpaka kwa jaqlin na kumkabidhi mfuko wa nguo.
“kavae chap chap nguo na viatu nimekuletea”
“mimi?”
“yes wewe jaqlin”
Hapo ndipo jaqlin alipandisha ngazi kurudi chumbani kwake kubadili,
zilikua ni nguo nzuri alifurahi sana sababu hakutegemea, alivaa haraka haraka huku Fetty akibaki kumsifia, hata yeye siku hiyo alipendeza sana kupita maelezo yaliyojitosheleza, walitoka wote mpaka nje, yote hayo yaliyokua yakitokea Natu aliyekua chumbani alishuhudia, moyo ulimuuma sana.
“MALKIA,!”
Alivunja ukimnya Adrian na kumfungulia mrembo huyo mlango wa gari siti za mbele kama heshima.
“Baba na MAMA mmependeza sana”
Alitania Fetty na wote kucheka, uzuri wa jaqlin ulizidi kuonekana mara dufu, muda wote alitabasamu, muda mfupi walikua wameshafika sinza sunciro club usiku huo wa saa tatu, kila mtu aliyemuona Adrian alimchangamkia ili mradi tu wapate japo bia moja moja nando ivyo hufanya mara nyingi hakua na mkono wa birika,

Vinywaji vililetwa na wote kuanza kunywa baada ya kuingia v.i.p, ila ghafla sura ya jaqlin ilianza kubadilika rangi na kukunja uso wake,
“Fetty”
“Abee”
“Yule si Mathew?”
Kila mtu aligeuza shingo yake upande wa juu na kumuona Mathew akiwa na mwanamke mwingine, Adrian alimtambua mwanamke huyo alikua Stella ambaye aliyewahi kumuibia saa yake na pesa nyingi nando hapo aliposhikwa na hasira lakini alitulia kimnya.
“lakini si alisafiri?”
“hata mimi nashangaa Jaqlin”
“mimi namfata”
“achana nae”
“No”
Jaqlin alisimama moja kwa moja mpaka kwa Mathew aliyekua kaunta na mwanamke aliyevalia vikuku miguuni wanakunywa pombe na kufurahi, alikumbuka sana jinsi alivyoumwa na kuteseka kitandani bila kupata msaada wowote ule kutoka kwake tena bila mawasiliano, alikumbuka mengi waliyopanga na kushindwa kuongea, machozi yalianza kumtoka.
“Mathew”
Aliita Jaqlin na Mathew kugeuka hakutegemea hata yeye sababu aliamini kuwa Jaqlin hawezi kufika sehemu kama izo hata mara moja….

 Jasho lilianza kumtoka mwilini mwake na moyo kumdunda baada ya kumuona Jaqlin mbele yake, sio yeye tu hata kwa Stella mwanamke aliyekua nae pembeni wanakunywa pombe alitamani kukimbia baada ya kumuona Adrian, alikumbuka vizuri sana alivyompaka madawa ya kulevya na kumuibia vitu vyake vya gharama pamoja na pesa kisha kukimbia navyo, hapo ndipo alipoona ataumbuka kihoro,
“Dada samahani sijui nakufananisha?”
Aliuliza Adrian makusudi tu japo kua alikua anamkumbuka vizuri, hakika sura hiyo haikuwahi kumtoka hata kidogo.
“Well No, hapana hapana, sio mimi, duniani wawili wawili kaka angu”
“ahaaaa kweli?”
“yes kweli”
Adrian alimtizama kwa macho makali yaliyochanganyika na hasira kupita maelezo.
“hapa ndio safarini?”
Nayeye jaqlin alimuuliza Mathew
“nawewe unafanya nini hapa?”
“nijibu swali langu kwanza”
“unataka kujua nimefuata nini hapa?”
“ndio”
“kwani Mathew mpenzi wangu huyu kahaba ni nani?”
Aliuliza Stella na kumfanya Jaqlin asiongee lolote lile alibaki akiwatizama.
Upepo ulishaanza kubadilika tayari mambo hayakuwa mazuri kwa kila Mtu, hazikupita hata dakika mbili Jaqlin alikua amelowa pombe aliyomwagiwa na Stella,
hapo ndipo Adrian alipo kasirishwa na ndiko hiko kitu alikua akikisubiri muda mrefu sana.
Kofi alilorusha Adrian lilitua vizuri juu ya shavu la Stella na kumpeleka mpaka chini mzima mzima kama mzigo, aliinuka haraka haraka na kushika chupa ya bia na kuirusha, bahati nzuri ilipita pembeni alimfuata tena na kuanza kumpiga makofi mengi,
Mathew nayeye hakutaka kukubali alimfuata Adrian na kumshika Begani lakini alihisi maumivu kichwani mwake baada ya Adrian kugeuka na chupa ya wisky na kumpasulia kichwani, na kumpiga dosi puani.
“wewe Malaya pesa zangu ulizoniibia ziko wapi?”
Alivyoona Mathew yupo chini alimgeukia tena Stella
“nita kurudishia tafadhali naomba nisamehe”
Mabaunsa wenye misuli walikuja haraka haraka eneo hilo na kuanza kuwatoa nje, ugomvi haukuishia hapo, Mathew akiwa anavuja damu huku ameshika chupa mkononi alimfuata Adrian na kurusha chupa iliyokua mkononi mwake,
kitendo cha Adrian kuhepa kushoto chupa ilienda moja kwa moja na kutua kichwani kwa Jaqlin na kumpeleka chini hapo hapo.

Furaha sasa ilibadilika na kuwa ugomvi, damu zilimwagika siku hiyo, Jaqlin alikua yupo chini akilia machozi, Fetty ndiye aliyekua akimbembeleza, Adrian na Mathew walikua bado wameshikana mashati wanapigana.
“Adriannnn Jaqlin, Adriaaan Jaqlin ameumia!”
Fetty alipiga kelele nyingi kwa Sauti huku akimshika Adrian shati kwa nyuma akiomba msaada, alionesha kuchanganyikiwa mno, ilikuwa ni kama vita, ngumi aliyorusha Mathew ilimkosa tena Adrian na kutua mdomoni kwa Fetty puu!

Nayeye kudondoka chini watu walianza kujaa na kuanza kuwatenganisha mafahali hawa wawili ambao ndani ya mioyo yao wivu ndio uliochangia mpaka walipo fikia na kuanza kupigana.
“Niachie mwanangu nimuoneshe huyu BISHOO, asinichukulie poa kabisa, nimeishi sauzi Afrika mimi, mimi muhuni Asinichukulie poa kabisa, niache nimzingue, nimuoneshe varangati!”
Aliongea Adrian akiwa mwenye ghadhabu sana akiwa ameshikwa na watu watatu waliomfahamu.
“Chif kausha achana na huyo mchimba chumvi achana nae, mtu mwenyewe afya mgogoro,”
“funguo zangu za gari ziko wapi?”
“hizi hapa kaka nenda tu kapumzike.”
“nisaidieni kuwaingiza hawa mademu kwenye gari yangu twende hospitali, Patrick endesha gari, alafu kitu kimoja natangaza nae vita Yule bwege, labda huu mji ahame aende akaishi Matombo Morogoro ku** make zake!, analeta mambo ya kise**, !”
Safari nzima alikuwa akiongea kwa hasira na hakuweza tena kuendesha gari, safari ilikua moja tu mpaka hospitali siku hiyo hiyo, ili Jaqlin na Fetty waanze matibabu ya haraka, sababu damu zilikua zina mvuja hata Adrian mdomoni kutokana na kujing’ata ulimi,

Jaqlin alikua akilia muda wote bila kunyamaza huku kajishika kichwani, ndani ya dakika kumi na tano walifika hospitali ya Miko sinza makaburini na kuanza kupatiwa wote matibabu,
bahati nzuri hakuna hata mmoja aliyekua amejeruhiwa sana,
Siku hiyo hiyo waliruhusiwa na kupewa dawa baada ya vidonda vyao kusafishwa, njia nzima hawakuongeleshana kila mtu alikua kachukia sana, mpaka wanafika Mabibo hostel na wote kushuka.
“jaqlin”
Aliita Adrian
“Abee”
“naomba kuongea nawewe ingia ndani ya gari”
Baada ya kuingia ilibidi amuombe msamaha kwa yote yaliyojitokeza sababu aliamini yote ndiye yeye aliye sababisha kwa kuwataka waende club sunciro na wala sio kitu kingine.
“usijali Adrian”
“Jaqlin”
“Abee”
“nakupenda sana”
Taratibu Adrian alimvuta mwanamke huyo upande wake karibu kabisa na mdomoni bila kutegemea alifanikiwa tena kunyonya lips za binti huyo zilizokua nyekundu na laini,, hapo hapo walianza kubadilishana mate huku ndimi zao zikigusana,
kila mtu damu ilimuenda mbio sana, alimvuta kabisa karibu yake na taratibu kupeleka mkono wake juu ya maziwa na kumfaya mrembo huyo ashtuke sababu hapo ndipo udhaifu wake ulipo na wala sio sehemu nyingine yoyote ile,
aliupeleka mkono wake tena kwenye kitovu na kuushusha akitaka kuupeleka kwenye ikulu lakini Jaqlin aliweka mkono wake kuashiria kuwa hakua tayari kwa kitendo hiko kifanyike,
ilibidi Adrian aendelee na kibarua chake cha kumshika Maziwa kisha baadaye kuanza kuyanyonya taratibu sana wakiwa humo humo ndani ya gari,
Alivyojaribu tena kupitisha mkono kwenye ikulu uliingia bila matatizo.
“jaquee jaquee jaqquee!”
Fetty ndiye aliye wakurupua akiwa nje anagonga gonga kioo cha gari na kuwafanya waweke nguo zao sawa sawia,
“Vipi?”
“twende ukaone kilichotokea room”
“kuna nini?”
Walitembea kwa pamoja mpaka chumbani kwao, hawakuamini walichokikuta kila kitu kilikua kimelowa kuanzia vitanda mpaka chini, hawakua na haja ya kuuliza maswali walishaelewa kuwa sio mwingine bali ni Natu.
***
Njia nzima alikua ni mwenye furaha sana alifika nyumbani kwake na kuoga harakaharaka kisha kujitupa kitandani na kuanza akuangalia t.v
“Mume wangu chakula teyari”
Alisema Sikuzani
“sawa nakuja”
“sasa hivi kinapoa”
“nimekwambia nakuja”
Kwa kuwa alikua ana njaa hakua na jinsi zaidi na kushusha ngazi mpaka kwenye meza ya chakula kilichoandaliwa na mwanamke huyo aliyechaguliwa na wazazi wake, alimchukia sana lakini hakua na chaguo lingine kwa kuwa aliwaheshimu sana wazazi wake,
alisahau kuwa aliacha simu yake ya mkononi chumbani kwake,
picha kubwa ilitokea juu ya kioo ya mwanamke mweupe aliyevaa topu nyekundu huku ikiwa inaita alikua ni jaqlin, Sikuzani aliitizama simu na kuichukua, alitafakari na kuipokea
“wewe nani unaemsumbua mume wangu usiku usiku, hivi nyie wanawake si mutulie na wanaume zenu jamani niachieni mume wangu wazazi wake wananipenda”
maneno aliyokua ana ongea sikuzani na Jaqlin laiti Adrian angeyasikia wenda baada ya muda mfupi angekua hospitali tena kibogoyo hana meno,
hakuelewa kuwa huyu mwanamke anayeongea naye ndiye moyo wa Adrian, hakuelewa kuwa Adrian amehangaika naye kutoka mbali sana na nusu kupoteza uhai wake…..

 “sawa basi naomba unisamehe mimi sikujua, lakini usisahu kumwambia kuwa nilipiga”
“siwezi kumwambia”
“hakuna shida”
Sikuzani alikata simu na kuachia misonyo ya hasira, alitamani walau amfuate mwanamke aliyekua anaongea naye kwenye simu amtukane lakini haikuwezekana kwa wakati huo na kubaki akitukana mwenyewe matusi ya kilugha cha kwao,
Baada ya Adrian kula na kushiba alirudi chumbani na kujitupa kitadani akiwa bado mwenye furaha sana,
akili yake ilimuwaza Jaqlin, sababu ya muda mchache uliopita kumtomasa na kumshika sehemu za mwili wake wakiwa wote ndani ya gari, alichukulia huo ni kama ushindi tosha, alichukua simu yake na kuingia moja kwa moja Whatsapp ili achat na jaqlin.
“UMELALA?”
Alianza Adrian
“HAPANA,VIPI KWANI?”
“NILITAKA TU NIJUE,UNAENDELEAJE?”
“NIKO POA”
“SASA HIVI UNAFANYA NINI?”
“NDO NAJIANDAA KULALA”
“HATA MIMI NDIO NIPO KITANDANI, UMEVAAJE?”
“NIKUULIZE KITU ADRIAN?”
“ULIZA TU”
“UMEOA?”
“KWANINI UNANIULIZA IVYO?”
“NIJIBU KWANZA SWALI LANGU”
“HAPANA SIJAOA, ILA KUNA MAMBO NATAKA NIKWAMBIE”
“UNIAMBIE NIINI, I hate lies HUA CPENDI MWANAUME MUONGO, UMENIGOMBANISHA NA NATU LEO TENA NA MKEO, alf unaniambia unanipenda sasa c bora nirudi kwa Mathew kuliko kuwa nawewe, mimi nitashindwa”
Adrian aliusoma ujumbe huo mara mbili mbili na kumtizama Sikuzani aliyekua mbele yake amesimama anavaa kanga,
alishaelewa tayari ndiye yeye aliyepokea simu yake na kuongea na Jaqlin kwani hakuna mwanamke mwingine anaye ishi naye humo ndani kwake!,
“Sikuzani”
Aliita Adrian akiwa amekunja sura yake kama mtu aliyelamba ndimu.
“Abee mume wangu mtarajiwa”
“nilishakwambia hilo jina life, usinitibue kabisa nani aliyekutuma upokee simu yangu?”
“lakini nina haki hi…..”
“ishia hapo hapo, una haki gani, ujue utanitafutia kesi nitakupiga nikuue nikafungwe.., nakwambia nitakupiga nikuuuwe Haki ya Mungu nakwambia, mimi sio Mumeo sawa, Tena ukome na ukome pumbavu zako, mwanamke kichefu chefu kweli wewe!”
Haikuwa kawaida ya Adrian kupata hasira kama izo na kushindwa kurusha japo kofi au ngumi,

hakuelewa ni kwanini mpaka dakika hiyo haja mpiga Sikuzani makofi au kelbu,alijaribu kuchat na Jaqlin lakini tayari alikuwa keshalala sababu namba yake haikuwa hewani kwa wakati huo.

Alilala usingizi wenye mawazo mengi sana. Bado aliendelea kumsumbua Jaqlin hakukoma hata kidogo, mambo aliyo fanyiwa yote nyuma aliyasahau, lakini ilikua ni lazima ampate mwanamke huyo aliyekiri kuwa ndiye chaguo la moyo wake,
hata kwa gharama yoyote ile ampate, hata upande wa Jaqlin alishaona ni kero sana hakuelewa ni njia gani atumie ili athihirishe hamtaki Adrian sababu kila dalili alizionesha, Alisha mtukana matusi mengi na kumdhalilisha mbele ya kadamnasi, licha ya yote Adrian alizidi kumsumbua sana haelewi neno sikutaki.
“Hivi Fetty huyu mwanaume anataka nini?”
Jaqlin alimuuliza Ndugu yake
“mimi sielewi kwani bado anakusumbua?”
“ndio! navyokwambia juzi nilimtukana pale koti mbele za watu lakini bado hanielewi, hivi niambie ni njia gani nimfanyie ili anielewe?”
“mmmhh….hapo nashindwa kuelewa hata mimi”
“kinachonishangaza mimi karibia kila siku natukanwa na wanawake zake tofauti tofauti, alafu ananiambia ananipenda nashindwa kumuelewa huyu mwanaume,alafu kitu kimoja nimesikia ila sina uhakika”
“kitu gani?”
“unamkumbuka Marehemu Fiona, Yule aliyekatwa na mapanga?”
“Fiona!, ndio namkumbuka si Yule aliyekatwa na mapanga na bwana ake Mkurya?”
“huyo huyo!”
“kafanya nini?”
“Najua utashangaa, aliyesababisha mpaka Marehemu Fiona kukatwa na mapanga ni huyo huyo Adrian huwezi amini ndio nimejua juzi eti”
“Muongo Jaqlin, ina maana huyu Adrian alikua akitoka na Fiona?”
“ndio ivyo, mimi mwenyewe nilishindwa kuelewa”
Wote walikua hawataki kuamini kuwa Fiona aliuwawa kisa Adrian walishtuka sana, walimtafsiri kama mwanaume malaya ambaye anataka kumvua Jaqlin nguo yake ya ndani kisha kuingia mitini,

Jaqlin hakutaka hilo litokeee katika maisha yake japokua Alisha achana na mpenzi wake Mathew, hakutaka tena kujiingiza kwenye maswala ya wanaume, aliamini wote baba yao ni mmoja kwani samaki mmoja akioza wote huoza.
**
Watu walizidi kufurika ndani ya nyumba kubwa iliyopo Masaki ya mbuge wa Afrika Mashariki Mh. George Cosmas,
kitendo cha kupita na kupewa nafasi kubwa katika serikali aliona haitoshi, aliamua kufanya tafrija kubwa na kuwaalika watu mbali mbali aliowafahamu akiwemo Adrian na ndiye huyo aliyekua kama Mshehereshaji wa sherehe hiyo siku hiyo, alifanikiwa kugeuza shingo za watu kumtazama jinsi alivyopendeza kuanzia juu mpaka chini,
na ndio sifa yake kubwa akiamua kupendeza huwa hakosei hata kidogo, magari tofauti ya kifahari yalizidi kupaki nje ya maegesho maalumu, sherehe ilizidi kupamba moto watu waliingia kati kucheza mziki ilivyofika majira ya saa nne za usiku!.
“Jaqlin”
Aliita Adrian alivyomuona Mwanamke huyo mbele yake, hakutegemea kumkuta sehemu kama hiyo ya watasha.
“vipi?”
“nimeshtuka kukuona,umefika fikaje hapa?”
“nimealikwa na rafiki yangu Shokolata”
“kumbe una fahamiana na Shokolata?”
“ndio, ni demu wako nini?”
“hapana usiseme ivyo”
“sasa niseme nini wakati ndio tabia zako, na jina lako nalijua ALWATANI”
Ilibidi Adrian amuombe mwanamke huyo wacheze wote mziki na kuanza kucheza wote aste aste mziki wa taratibu sana, huku wakiwa karibu karibu mno,
“Adrian nimechoka nataka nipumzike”
“poa, twende tukapumzike ndani”
Walinyoosha mpaka ndani ya nyumba ambapo kulikua kuna watu wachache, kwa kua Adrian alikua mwenyeji wa nyumba hiyo kubwa hakupata shida walitembea mpaka seblen.
“Adrian ina kuaje unajuana na watu wengi tofauti tofauti?”
Alivunja ukimnya Jaqlin
“ha ha ha ha, ni kuishi na watu vizuri, unajua hapa Duniani ukijua kitu kinaitwa kufa utaishi na watu vizuri sana, hii Dunia siyo yetu dunia ni ya Mungu, ninaishi vizuri na kila mtu nina upendo,sigombani na watu”
“Mhhhhh. Lakini ni too much mimi sikutegemea kabisa kukukuta hapa, kwaiyo huyu Mbunge unamjua?”
“Namjua kuliko unavyo dhani”
“hongera”
Walizidi kuongeleshana kisha wote kukaa kimnya,

Lakini kwa Adrian ilionekana ana kitu bado kina msumbua ndani ya akili yake, hapo ndipo alipoanza kugusia tena juu ya hisia zake na kumkumbusha Jaqlin ni kiasi gani anavyompenda, alisogea karibu yake na kumshika kidevu huku akimvuta akiomba denda huku akimtizama machoni, Kwa mara ya kwanza Jaqlin alionekana mbishi ila baadaye walijikuta ndimi zao zina kugasana na kuanza kubadilishana mate,
hapo ndipo Adrian hakutaka kufanya makosa siku hiyo,
alichukua mkono wake na kuuweka juu ya maziwa ya jaqlin na kuanza kushika chuchu zilizokua na rangi nyeusi kwa mbali, hapo ndipo mwanamke huyu alipoanza kutoa mihemo ya Puani, ilikua ni bora apelekwe jela miaka Thelathini kwa kosa la kubaka ili mradi amvue nguo ya ndani mwanamke huyo tena usiku huo huo.
“Adr….iannn”
Aliita Jaqlin akiwa amelegeza macho yake huku yakiwa mekundu kama aliyekula kungu.
“Naam”
“ha..pa kuna watu”
Adrian alishaelewa maana yake hapo hapo bila kujali kuwa yupo kwa muheshimiwa George Cosmas, alimshika Jaqlin mkono wake na kutafuta chumba kilichokua hakina mtu kisha kujifungia na mwanamke huyo,
Kitendo cha kujifungia ndani alianza tena kumpiga mabusu ya midomoni taratibu sana huku akiitoa topu ya mwanamke huyo na kumfanya abaki na sidiria peke yake,
alimnyonya shingo yake kisha kurudi tena midomoni mwake na mwishowe kumtupa kitandani chali na yeye kufuata kwa juu, hali ilizidi kuwa tete kuliko kawaida, haraka haraka aliivuta jinsi ya Jaqlin na sasa mwanamke huyo kubakiwa na Boxa pamoja na sidiria mwilini mwake, hakutaka kufanya papara alimfuata kifuani na kuanza kunyonya maziwa yake akitumia ncha ya ulimi wake taratibu sana, alichukua mkono wake mmoja na kuushusha mpaka kwenye ikulu ya mwanamke huyu ambaye alimtesa miezi mingi sana iliyopita,
ilibidi afanye juu chini asiharibu mechi hiyo na kutoa boko, ilibidi amfanye mwanamke huyo ajute ni kwanini alikua akimkatalia kwa kipindi kirefu!,
“AAAAHHH SSSHSSS”
Jaqlin alitoa kelele za puani baada ya kuhisi joto kali ndani ya ikulu yake, Adrian alikua teyari kasha itoa boxa yake na sasa yupo chumvini ananyonya mgodi huo vizuri kwa ulimi wake huku wakati mwingine akiupuliza, damu ilimwenda mbio kupita kiasi chake!
Jina Adrian ndilo lilikua linatajwa mara nyingi sana ndani ya chumba hiko, Jaqlin alianza kuhema haraka haraka sana na kuanza kushika kichwa cha Adrian akikikandamiza kabisa ndani ya ikulu yake kweli alipata ngekewa hasa Adrian aliposhika kitu kilichofanana na kiharage na kuanza kukipekecha huku akiingiza ulimi wake ndani kabisa ya mgodi,

hata sekunde mbili hazikupita Jaqlin alikua akilia kwa sauti na kuibana miguu yake kwa nguvu baada ya kufika mshindo kwa mara ya kwanza tangu miaka mitano iliyopita, wanaume aliowahi kutembea nao hawakuwahi kumridhisha kama siku iyo na kufikia hatua ya kufika mshindo, hata yeye alihisi raha zisizokua na mfano na kujihisi sasa ni mwanamke kamili,
Kwa Adrian hakuishia hapo alisaula nguo zake haraka haraka na kutoa wallet iliyokua mfuko wake wa nyuma kisha kuvaa zana za maangamizi, kiulaini kabisa aliipanua miguuu ya Jaqlin magharibi na mashariki nayeye kuingia katikati yake na kuanza kuicheza mechi hiyo ya kikubwa, baada ya dakika mbili aliichukua miguu ya Jaqlin yote miwili na kuiweka mabegani na kuzidi kutoa dozi.
“Shhhs Ahhhhhhhsssshhh Adri……”
Hiyo ilionesha ni jinsi gani mwanamke huyo alikua mbali kihisia, taratibu sana Adrian alikua akizungusha kiuno chake kama Fally ipupa kwenye shoo zake akiwa jukwaani, hakutaka kwenda rafu sababu ndio kwanza zilikua dakika za kwanza ilikua ni lazima kwanza akizoee kiwanja ndipo aanze kutoa dozi ya uhakika,

Mashine ilikua ndani ya Mgodi ikichimba madini alisugua kila pembe ya kona akijaribu kusoma kina cha mgodi huo kina urefu kiasi gani, kutokana na ukubwa wa mashine yake na unene pia, ndani ya dakika mbili alikua teyari keshasoma mandhari ya mgodi wote ki ujumla na ndo hapo alipoanza kubadili mikao,
Alimpindua jaqlin na kumuweka Mbuzi kagoma na kuiweka mikono yake yote miwili juu ya kiuno cha Jaqlin kilichokua chembamba na kidogo,mambo yalikua mukide mukide kwa kungwa huyu wa mapenzi,
Mkono wake mmoja aliupeleka mpaka kwa mbele chini ya uvungu na kuanza kucheza tena na kisi** cha mtoto huyo mweupe sana na kufanya ngozi yake ibadilike rangi na kuwa nyekundu,

Ni kelele tu ndizo zilisikika kutoka kwa Jaqlin na kugeuza shingo yake nyuma akiomba denda,
Adrian alishaelewa nini maana yake alimgeuza na kumuweka kifo cha mende, hakutaka kumpa hata chembe ya nafasi ya kujitetea, kitendo cha kumuweka staili nyingine alimuingia tena na kuanza kwenda haraka haraka,
Kweli mwanaume huyu alibarikiwa kukatika kitandani alionesha ushirikiano wa kutosha jasho lilianza kumtoka kwa mbali Jaqlin huku akihema sana na kumshika Adrian makalio akimkandamizia ndani ya mgodi wake,

Adrian alishajua kuwa Jaqlin yupo ndani ya boxi ivyo muda wowote angeshinda bao, ilibidi nayeye apange majeshi yake, hapo ndipo Jaqlin alishindwa kuvumilia na kupiga shuti mpaka nyavuni’
Mpira ulivyowekwa kati tu haikupita dakika mbili Adrian nayeye alishinda goli ikawa mbili moja.
Alijilaza kifuani mwa Jaqlin baada ya kushinda bao, alimnyonya denda na kubaki anahema kwa mbali. Kwa jaqlin hata yeye vile vile alibaki kutafakari ni mapenzi ya aina gani aliyopewa, alijihisi amechoka sana kupita kiasi, hakuamini amefika mshindo tena mizunguko miwili kwa dakika arobaini tu.
“Adri..an”
“Naaam”
“nakupenda sana!”
Maneno hayo mawili tu yalimfanya Adrian ainue kichwa chake, maana hakuamini alichosikia alidhani wenda anaota ndoto ya mchana,alijipiga kofi la shavu mara mbili ili kama ni ndoto ashtuke lakini alichosikia kutoka kwa Jaqlin ulikua ni ukweli mtupu...

*****

Adrian yupo kitandani na mwanamke ambaye alimuhangaikia siku nyingi sana kumpata,alivumilia mengi na kupata matatizo chungu mzima pengine kutaka kuuwaawa baada ya kupigwa na kusingiziwa ni mwizi,
licha ya yote aliweka juhudi na kujipa moyo kuwa ipo siku atafanikiwa kumpata kwani hakuwa na kasoro ya aina yoyote ile.
Ni kweli alibadili mpaka tabia yake ya kubadili wanawake kama nguo au daladala aliyokua nayo akitumia pesa zake kama fimbo kuwachapa nazo, hata yeye, hata siku moja hakuwahi kuwaza kuwa atakuja kupenda na kuwaza ndoa.Hakutaka kuamini kuwa amemaliza kufanya mapezni na Jaqlin.
“Jaqlin,una sema ukweli?”
”Niamini Adrian, naomba usinifanye nijute kuwa na wewe katika maisha yangu, naamini pia una wanawake wengi sana,nahisi kuna kitu ndani ya moyo wangu,nimetokea kukupeda Adrian ni ghafla hata mimi sielewi kwanini ni hivi, mambo mengi ulinivumilia nilikutukana, ulinusurika kufaa kisa mimi”
“Nakupenda sana Jaqlin, naomba uje kuwa mke wangu ukimaliza tu chuo, naomba safari yangu ya mapenzi iishie kwako!”
Huo ndio ulikua mwanzo wa mapenzi ya wawili hawa.

Kila siku zilivyozidi kwenda ndipo Mapenzi yalizidi kuchepua mioyoni mwao, ilifika kipindi walikua hawawezi kupitisha siku bila kuonana. Adrian akitoka tu ofisini kwake basi hufika kwanza mabibo Hostel ili kumuona Jaqlin na wakati mwingine kuondoka nae kula chakula cha usiku, walikua wakiongozana kama kumbi kumbi ukimuona Adrian mbele, basi Jaqlin nyuma kama sio kushoto kwake.

Jaqlin alianza kupendeza akigharamikiwa na mpenzi wake Adrian, alikua ni mwanamke mwenye furaha sana.
uzuri wake ulizidi maradufu alikua akinukia kila wakati marashi ya bei kali sana, alikua matawi ya juu kiujumla, wanaume waliomfuata kumtongoza Adrian alivimba na kuwatoa mkuku!.
“Nisikilize wewe sijui Chingwe sijui nani, nishakukanya siku nyingi achana na Jaqlin sijui unataka nini,?!”
Adrian alifoka kwenye simu akiongea kwa sauti baada ya kupewa namba za simu na Jaqlin za mwanaume aliyekuwa akimsumbua sana chuoni kwao.
“poa bro!. lakini nini mimi namkubali sana huyo gashi”
“basi achana nae, mimi ndiye mchumba wake”
“Amani kaka peace,”
“Mia”
Adrian alikata simu na kumvuta Jaqlin karibu yake kisha kumnyonya mdomo wake.
“nakupenda baby”
“mimi pia Laaziz”
Waliachana usiku wa saa tano baada ya kutoka kula chakula cha usiku Nandos, kisha Adrian kuwasha gari na kurudi nyumbani kwake Tegeta.

Wazazi wake walishapata taarifa wakiwa mkoani Mbeya kuwa Mtoto wao alikua akimtesa sana Sikuzani mwanamke ambaye wao walimchagulia ili afunge nae Ndoa, walitafsiri hiyo ni kama Dharau,siku mbili nzima walimuwekea kikao Adrian na baadhi ya wazee ili kujua ni kitu gani wakifanye dhidi ya mwanaume huyu aliyekua mjini Dar es salaam.
“Mi nadhani tukamfungishe ndoa tu huko huko Mjini kilazima”
Alishauri Mzee mmoja wao kwenye kikao hiko
“kwani hilo litawezekana wazee wenzangu?”
“litawezekana kabisa”
“shwain sana huyu mtoto, juzi Sikuzani kanipigia simu kuwa mumewe hajarudi siku mbili, sisi wazee tulichaguliwa wanawake kwanini isiwe yeye,”
“hiyo kazi niachie Mimi kesho nitamtafuta Mshenga ili tuandae nae safari, atake asitake lazima ndoa ifanyike tucheze segere!”
Baada ya kikao hiko kuisha majira ya saa kumi za jioni kila Mzee alielekea kwake ili kujiandaa na siku nyingine, ilikua ni lazima Adrian amuoe Sikuzani na ndiyo ivyo walivyokubaliana kwa kila mmoja wao.

**
Mapenzi ya Jaqlin na Adrian yalizidi sasa,siku hiyo asubuhi na mapema Adrian alidamka akiwa mwenye furaha sana na kujiandaa ili aende ofisini kwake kuwahi kikao, alitafuta koti lake la suti na kunyonga tai juu ya shati jeupe kisha kuvaa suruali yake nyeusi iliyombana kidogo yaani modo,

alivyohakikisha kila kitu kipo sawa, alivuta droo ili atoe funguo zake za gari, alishtuka sana baada ya kuzikosa, na kumgeukia Sikuzani aliyekua kitandani anakoroma.
“Sikuzani funguo zangu za gari ziko wapi?”
“mmmh..”
Aliitikia Sikuzani huku akifikicha macho yake na kupiga miayo.
“Funguo zangu za gari niliziweka humu kwenye droo ziko wapi?”
“kwani unaendesha gari namimi, kawaulize Malaya zako huko unapolalaga”
“usiniharibie siku wewe mwanamke naona hunijui vizuri, asubuhi hii, kwa ustaarabu naomba funguo zangu za gari”
“sijui zilipo,achana na mimi”
“sawa wacha tuone”
Adrian tayari alikereka ilibidi ashushe ngazi mpaka seblen kuangalia funguo za gari nyingine lakini hakuziona vile vile na kurudi tena gorofani chumbani kwake,
hakutaka kuongea chochote alianza kufungua fungua makabati ili aziangalie lakini hakuziona na kumgeukia tena Sikuzani.
“Sikuzani, nigee funguo zangu nachelewa kwenye kikao”
“sina”
“unasema?”
“nimesema sina”
Kama kawaida ya hasira zake alitabasamu kwanza,
Hapo hapo alimvaa kama simba na kumvuta mpaka chini sakafuni, kilichofuata hapo ni makofi na mateke, hakuwa yeye tena alikua amekasirika sana kupita maelezo mpaka macho yake kubadilika rangi, alimvuta na kumsukumiza juu ya meza iliyokua na flat scrin, hakuishia hapo alivua mkanda na kuanza kumchapa kila sehemu ya mwili wake.
“Leo nakuuwa mbwa wewe, DIGIDIGI na leoleo unaondoka shenzi”
Adrian alizidi kufoka huku akiendelea kumtandika mikanda ya hasira,alimuinua na kumtandika kofi zito lililompeleka mpaka chini sakafuni chali.
“funguo ziko wapi?”
“funguo fungu.. funguo zipo zipo kwenye ndani ya chupi zangu kabatini”
“yaani ile michupi yako inayo nuka umeweka funguo zangu?”
Kipondo kilizidi kuendelea Sikuzani alizidi kupiga kelele za maumivu na kuamua kutaja ni wapi alipoficha funguo za Adrian za gari ili asiweze kutoka kwenda popote pale, mwenyewe alinyoosha mpaka kabatini na kutoa chu** zake kisha kumpa Adrian funguo zake.
“Pumbavu, Leo nikirudi nisikukute,”
Kifua chake kilipanda juu na kushuka chini kwa hasira sana akiwa amesimama wima huku Sikuzani akiwa amekaaa chini kitako amechoka analia kwa maumivu ya kipondo alichopokea sekunde chache zilizopita.

Ilibidi aingie tena bafuni kujimwagia maji na kubadili nguo zake,alichukua funguo za gari lakini alivyofika mlangoni alionekana kama amesahau kitu na kurudi tena chumbani!.
“nimekwambia hivi nikirudi nisikukute humu ndani kwangu, maana nitakuuwa nikuzike humu humu ndani,”
Baada ya kutoa maelezo hayo alitembea mpaka kwenye uwanja mkubwa nje na kuingia ndani ya gari na kuondoka zake, Kitendo cha kuongea na Jaqlin kwenye simu kilimfanya asahau yote yalitokea asubuhi yake.
Kila mfanyakazi alimshangaa jinsi alivyokua mwenye furaha hata mwili wake kuongezeka kidogo, hawakuelewa nyuma ya pazia kuwa kuna mwanamke ambaye anaitwa Jaqlin anayempa furaha kila siku.

Siku hiyo alitoka mapema sana ofisini baada ya kikao kuisha na kuwasha gari lake mpaka faya katika showroom ya magari, alitoa simu yake mfukoni na kumtafuta Jaqlin hewani.
“Nambie Baby wangu”
Kitendo cha Jaqlin kupokea tu alitoa sauti ya puani, alimpenda sana Adrian kupita kiasi hata pengine kujuta ni kwanini alikua akimzungusha kwa siku nyingi sana.
“nikwambie kitu mpenzi”
“umeanza Baba, niambie”
“chukua taxi njoo kariakoo faya, ukifika nambie”
“jamani kuna nini?”
“njoo mpenzi, fuata nyuki ule asali usiulize maswali”
“Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Sawa bwana nyuki nakuja unipe hiyo asali mpenzi”
“baby sasa hivi”
“okay”
Ndani ya akili ya Jaqlin hakuelewa ni kitu gani ameitiwa lakini aliamini ni jambo zuri sababu alimpenda sana Adrian muda wote alitabasamu, aliingia bafuni na kujimwagia maji haraka haraka na kutafuta Taxi.


Safari ilianza mara moja kutokana na hakukua na foleni, ndani ya dakika arobaini alikua tayari yuko faya na kumtafuta Adrian hewani, hazikupita hata dakika tano AUDI nyeusi ilikua mbele yake kisha Adrian kushuka na kumlipa dereva taxi,
“tunaenda wapi Love?”
“subiri utapaona”
Safari yao ilikomea kwenye showroom ya magari na wote kushuka, ndani ya akili ya Jaqlin alikua na mengi ya kuuliza baada ya kuona magari mapya yamepaki mbele yake lakini alibaki kimnya bila kusema lolote.
“Chagua gari Jaqlin wangu, sitaki uteseke wakati mimi nipo hai angali nina uwezo wa kukufanya uishi kama Malkia hapa Duniani, Nakupenda sana, nimeamua kukutafutia usafiri ili uwe unawahi darasani mke wangu, naomba usikatae hii zawadi tafadhali”
Jaqlin hakutaka kuyaamini yale yaliyokua yakisemwa, alikumbuka mara ya kwanza alivyokataa gari kutoka kwa Adrian, alijikuta anamrukia na kumkumbatia kisha kumnyonya mdomo kwa furaha zote bila aibu.
“baby Thank you, I cant belive this. Sijui niseme nini,”
“nakupenda sana, naomba uwe mke wangu”
Yalikua ni mapenzi ya dhati, wote walishikana mikono na kuanza kutembezwa na muuza magari aliyekua hapo kisha wote kukoma kwenye gari kubwa aina ya NISSAN MURANO ya rangi ya bluu.
“baby naona hii gari itakufaa”
“noo hili kubwa sitoiweza, nataka kigari kidogo”
“chukua hili gari, nataka kila mtu ajue kuwa wewe sio mtu wa mchezo, wanaume wakuogope”
Jaqlin hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali zawadi aliyochaguliwa, baada ya kupatana bei walienda mpaka bank ya karibu ya hapo ili kutoa pesa ili wamlipe muuza magari!,
“nitakuja kesho kulichukua , naomba nikupe pesa kidogo ili ufanye usajili kabisa T.R.A”
“sawa kaka,Ahsante karibuni tena”
Njia nzima walikua wenye furaha sana, Jaqlin hakuamini kuwa maisha yake yanaenda kuwa maraisi mno,aliona ni kama yupo ndotoni anaota na atashtuka muda mchache hata kwa Adrian ndivyo alivyofikiria ivyo,
“mwakani ukimaliza chuo nataka nikuvalishe pete ya uchumba, kisha nije kwenu Arusha nijitambulishe nikuoe uwe wangu tujenge familia!”
“Baby nitafurahi sana, natamani iwe hata kesho”
“itafika tu”
Walinyoosha mpaka PPF tower ndani ya ofisi ya Adrian na kuketi wote,

Martha alivyowaona alibenua mdomo wake kwa wivu. Ofisi nzima walishajua teyari huyo ndiye mke wa bosi wao, walivyomuona tu walimpa Heshima zote na kumsalimia, Adrian hakua msiri juu ya mwanamke huyu anayempenda alimuonesha kila aina ya miradi yake na kila mali zake karibia zote huku akimtambulisha kwa baadhi ya marafiki zake,
alimuamini kupita kitu chochote kile chini ya jua la Mungu, aliamini kuwa Jaqlin ndiye ubavu wake, kama yeye ni Adam basi jaqlin ni Eva!.
“baby nikushauri kitu?”
“niambie mpenzi”
“fungua tawi lingine la hii ofisi yako, mimi naamini hapa umekodi na siku yoyote mwenye jengo anaweza akaliuza then ukapata shida”
Lilikua ni wazo jipya kutoka kwa Jaqlin hata yeye liilimuingia akilini sana,na ndo hapo alipoamini kuwa ndiye mwanamke wa maisha yake, waliongea mengi juu ya kutanua ofisi na kufungua miradi mingine mingi.
Jioni ilipofika waliingia ndani ya gari na kunyoosha mpaka Tegeta nyumbani kwa Adrian.
“Adrian nime misi penzi lako lakini”
“sasa sindo tunafika nyumbani, hata mimi nimekumisi ujue”
“sasa na Yule mkeo?”
“hayupo nishamtimua asubuhi ya leo”
Kimti alifungua geti kisha adrian kupaki gari na kumfungulia Jaqlin mlango kama afanyavyo, walishikana mikono mpaka kuingia ndani sablen.

Ghafla Adrian alishtuka baada ya kuona Lundo la wazee wametanda mbele yake juu ya masofa, alivyoangalia kushoto alimuona Sikuzani akiwa na bandeji kichwani kutokana na kipondo alichompa asubuhi hiyo.

Alishusha pumzi chini na kumsalimu baba yake Mzazi aliyekua na hasira amebinua mdomo wake kwa gubu.
“shikamoo Mz…”
“shika mwenyewe!,Kwanini ume mpiga mwenzako?”
Hilo ndilo swali la kwanza kuliuliza.
“Lakini mzee….”
“kelele Funga huo mdomo Goi goi wewe,”
Katika hali ya kushangaza Sikuzani alisimama kwa hasira na kumtandika kofi zito Jaqlin la shavu na kumfanya Adrian ageuke kwa hasira, hakuelewa ni kitu gani amfanye sikuzani ambaye kampiga mwanamke anayempenda na kumtunza kama kiini cha yai au mboni ya jicho lake…

 Ni bora umpige au kumtukana kuliko kupiga tunda alilolipanda yeye tena kwa tabu sana,hakuweza kuzuia hasira zake baada ya kumuona Jaqlin mwanamke anayempenda kuliko kitu chochote kile ulimwenguni kapigwa kofi zito tena mawili na kumfanya adondoke chini mbele ya jopo la wazee,

kama mwanaume mwenye mapenzi ya kweli ilikua ni lazima achukue maamuzi magumu tena bila kujifikiria ili kutetea penzi lake, na ndo hapo alipoudaka mkono wa Sikuzani na kumvuta kwake, hakujifikiria alikivuta kichwa chake nyuma kwa nguvu na kumpiga nacho puani na kumtandika makofi mawili ya mashavu, alimvuta vizuri na kumshika blauzi yake na kuzidi kumshushia makofi yasiyokua na idadi kamili.

Wazee waliokuwa wameketi hata wao walishtuka na kumsogelea Adrian wakijaribu kumtoa sababu waliamini wangemuacha angeuwa na kufungwa. Hata wao hawakutegemea kuona hali hiyo kama ingetokea mbele yao.
“Adrian tulia nitakupa radhi, Tulia”
Alifoka Baba Yake Mzazi.
“Mzee niachie, niachie nimfunze adabu”
“tulia nakwambia Baba yako nimesema”
Mwili mzima ulimtetemeka kwa hasira huku jasho la hasira likimtoka isingekuwa heshima ya wazee waliokuja au kuwepo mbele yake wenda wangepelekewa maiti ya Sikuzani Mkoani Mbeya.
Haikuwa kazi rahisi kumtuliza Adrian ambaye teyari alijawa na ghadhabu sana.
“sisi tumekuja hapa kwa kitu kimoja tukuozeshe huyu binti Sikuzani na tuondoke zetu,”
Aliongea Mzee mmoja wao aliyekua na nywele nyeupe kichwani kwa kujiamini kana kwamba ndiye mwenye shughuli,
“Unasema?”
Aliuliza Adrian akiwa amekunja uso wake kwa hasira huku mkono wake wa kuume akiwa na Jaqlin analia machozi,hakuelewa ni kitu gani awajibu wazee hawa waliokua mbele yake.
“pumbavu, umetutia aibu mshenzi wewe,ni lazima umuoe Sikuzani sisi wazee wako tulichaguliwa wanawake, wewe unaleta habari za kisasa hapa, Mzee Katapila, anza kazi yako!”
Alifoka Mzee Mwangenya baba yake mzazi na Adrian kwa hasira sana huku akitema chembe chembe za mate mdomoni kutokana na mapengo aliyokuwa nayo.
“naomba mtoke kwangu sasa hivi”
“unasemaje Adrian?”
“hapa ni kwangu, swala la kuoa ni maamuzi yangu, mambo ya kuozeshana ni mambo ya kizamani,kama hamna kingine kilichowaleta naomba muwende,tena sasa hivi, Mzee Naomba unisamehe kwa haya ninayo sema, swala ni kwamba sitomuoa Sikuzani na kama unataka kiwanja chako chukua nitabomoa nyumba yangu”
Aliongea Adrian kwa hasira na kusimama, katika maneno aliyokua anaongea hakuna hata moja lililokua na mzaha ndani yake, aliona akiwaendekeza wazee hao watampanda kichwani na itakula kwake, alishapenda sasa,hakuwa tayari kuachana na Jaqlin ili awaridhishe wazazi wake nayeye kubaki na maumivu moyoni.

Wazee waliofunga safari kutoka Mkoani Mbeya kuja kumfungisha Ndoa Adrian walitizamana kisha kutikisa vichwa vyao, maneno yaliyomtoka Adrian waliyatafsiri kama ni utovu wa nidhamu.
“kisa una ishi mjini ndio unatuona sisi hatufai, Mimi ndiyo Baba yako”
“sawa wewe ni baba yangu ila swala la mimi kunilazimisha kuoa sitoweza hilo naomba ulitambue Mzee wangu, fanya lolote lile”
Hayo ndiyo Maneno yaliyokua yakimtoka mwanaume huyu tena akiongea na wazee wake, ukweli ni kwamba hata kama Angewekewa bastola kichwani amuowe sikuzani asingekubali.
“sasa sisi tunaenda ila mimi sio baba yako tena, na ulaaniwe”
“Hata Mungu anaangalia Mzee,Ahsante”
Wazee wote walisimama wakiwa wamekilaaani kitendo cha Adrian alichokifanya mbele yao,walijizoa zoa jioni hio hio na kuondoka zao na Sikuzani na kumfanya Adrian ashushe pumzi ndefu sana.
“Pole mpenzi wangu”
Alimgeukia Jaqlin na kumkumbatia.
**
Jaqlin alizidi kutesa chuoni na usafiri alionunuliwa na mpenzi wake Adrian, wanaume waliomuona walishindwa kumsogelea walimuogopa kama ukoma, kutokana na kumuona sasa ni matawi ya juu hata baadhi ya marafiki zake walianza kumtenga kutokana na wivu waliomuonea, Licha ya kutengwa na baadhi ya marafiki zake lakini hakujali ili mradi anakula, anavaa na hakuna anayemlipia ada, alifurahi sana kuwa na Adrian, kila siku alijuta ni kwanini alikua akimcheleweshea kumpa jibu lake na kuamini kuwa alikuwa akikosa raha za dunia.kila walipoenda chuo basi Fetty alikua pembeni kushoto kwenye gari, safari ya kwenda chuoni mpaka kufika Hostel ilikua ni kama kuweka kikombe cha uji wa mtama mdomoni, usafiri wa dala dala uligeuka na kuwa historia kwake.
“Fetty, sijui kwanini nilikua nakataa kuwa na huyu mwanaume jamani, anajua ku kea,Guess what”
“nini tena?”
“uwezi amini kitandani yupo vizuri kuliko mwanaume yoyote Yule niliyewahi kuwa nae”
“wacha we”
“ndio nakwambia sasa, yaani sijawahi kumchoka,”
“hongera mwaya”
“Ahsante!”
“kanitumia laki moja sasa hivi nataka jioni ya leo tukale”
Mazungumzo hayo yalifanyika wakiwa ndani ya gari wanarudi Hostel baada ya kutoka chuoni, Jaqlin hakuweza kuzungumza maneno mawili bila kutaja jina Adrian hata siku moja.

Kweli alituzwa na mwanaume huyo kama kinda la ndege. Bado Natu hakukubali swala hilo litokee hakusemeshana na Jaqlin kila wakipishana walipigana vikumbo milangoni, kitendo cha Jaqlin kuwa na mahusiano na Adrian kilimkera sana wivu ulimpanda kupindukia ilikua ni lazima amfunze adabu Jaqlin kisa Adrian,
hapo ndipo walipounda kikundi cha wanawake sita walichokiita Nyongo ya mamba, mkuu wa kikundi hiko alikua Natu, kilianza kama masihala kisha baadaye kukuwa na kufikia takribani wanawake kumi na tano, wanawake wote walimchukia sana Jaqlin kwa ujumla na kutangaza vita nae za waziwazi na kuanza kupanga mikakati ya kumfunza adabu. siku hiyo ya jumamosi hostel waliamua kuitana ili wafanye kikao,
“sasa sikiliza Batuli,namba ya Adrian hii hapa fanya juu chini mtongoze najua wewe mwanamke huwezi kushindwa,akitokea amekubali sisi tutajua cha kufanya”
“wewe tengua kauli sio akitokea amekubali, atakubali tu umenisahau nini, nani ananipita kwa uzuri hapa chuoni?”
“ha ha ha ha ha ha ha ha halloo haloo”
“ndio ivyo, nakwambia ukweli, huoni jicho hili embu ona shepu hii”
Mwanamke aliyeitwa Batuli alisimama na kujizungusha zungusha mbele ya wenzake, ni kweli alijaaliwa kuwa na makalio makubwa yaliyobeba mapaja manene, Mungu alimpa macho makubwa ya kusinzia wanaume wa chuoni hapo walimbatiza jina la Batamzinga kutokana na mwendo wake ulioendana na makalio yake. Na ndiyo hiko kigezo walichotumia kikundi cha nyongo ya mamba kumkaribisha kwa mikono yao miwili,walijua atafaa katika kazi yao.
***
“Ahhh aaah shhhss Adr…..ian Ahhhhshhhs”
Ilikua ni miguno ya puani ikitokea ndani chumbani juu ya kitanda kikubwa sana, kitendo cha Jaqlin kuwekwa ukutani huku Adrian akiwa amembeba juu juu huku miguu ya Jaqlin ikiwa kwenye mikono ya Adrian. Kama Adrian asingekua na nguvu za miguu basi angedondoka lakini aliweza kuhimili mikiki yote mpaka wote wanamaliza mzunguko wa kwanza Adrian alikua amesimama bado, kisha kunyonyana midomo yao.
Hakika Jaqlin hakuwahi kujuta kumfahamu mwanaume huyu tangu aanze kufanya naye mapenzi,hakutegemea kama kuna wanaume watundu na wenye uwezo wa kumiliki mchezo kwa masaa mengi.Aliwalaani wanaume wote aliowahi kutembea nao kabla ya kumfahamu Adrian.
“Hivi Baby ulikua wapi muda wote?”
“nilikua sijazaliwa”
Jaqlin alimpiga mpenzi wake kikofi cha kiuchokozi kifuani huku akideka ni baaya ya kumaliza kufanya mapenzi, walikua kitandani wamejifunika, Jaqlin akiwa kifuani mwa Adrian.
“kwenda zako”
Alisema Jaqlin kwa sauti ya mahaba
“sina maana hiyo Love, nina maana kwanini hatukujuana mapema?”
“hujui baby, si ulikua unanibania mwenyewe”
“lakini kweli ningejua kama kitandani upo hivi wala nisingekukataa na kukusumbua kiasi kile”
“sio mbaya huwezi jua Mungu alikuepusha na nini, gari umepaki ndani au nje?”
“nimepaki ndani”
“okay, ngoja basi nikaoge niende kazini kuna cheki yangu imetoka leo,Leo twende Meeda sinza tukale nyama choma, jiandae jioni ntakuja kukupitia hostel”
Wote walisimama na kuingia bafuni kujimwagia maji, na kilichoendelea huko ni kuvunja amri ya sita.
***
“Unasema?, nani Mzee anaumwa sana?, tatizo nini, Duu sawa leoleo naanza safari ya kuja huko poa poa Salumu”
Habari mbaya zilimtisha Adrian za baba yake kuumwa sana mpaka kushindwa kuongea na ndiye waliyemuhitaji aende Mkoani Mbeya, hakua na jisni ya kufanya alimtafuta Jaqlin hewani ili kumpa habari za safari lakini bahati mbaya hakuwa hewani, ilibidi siku hiyo hiyo awashe gari na kwenda mkoani Mbeya.
Alivyohakikisha kila kitu kimeenda sawa ofisini kwake. Aliingia ndani ya gari na kuliondosha mpaka nyumbani kwake Tegeta ili apange nguo zake na kuchukua baadhi ya vitu muhimu.
Japokua alikua na ugomvi mkubwa sana na baba yake lakini hakupaswa kumuacha ateseke na maradhi ilikua ni lazima aende kjijini kwao Mbeya akatoe msaada. Sababu yeye ndiye walikua wakimtegemea katika familia yake na ukoo,mzima ki ujumla.
Alikagua gari kila kitu na kuliwasha tayari kwa safari ya kuelekea mkoani Mbeya mchana huo wa saa saba.


 Ni kati kati ya usiku wa saa nane ndipo Adrian alipaki gari yake nje ya nyumba ya wazazi wake baada ya safari ndefu iliyomchukua masaa nane akiwa anaendesha gari mpaka kuwasili Mkoani Mbeya Mwakaleli,ni simu ya kuumwa kwa Baba yake ndiyo iliyomshtua na kumfanya afunge safari kwenda kumjulia hali,

aliyakumbuka mambo mengi yaliyopita mpaka kugombana na Baba yake kisa kuchaguliwa mwanamke afunge naye ndoa wakati yeye alikua ana mchumba tayari, haikuwa rahisi kukubali jambo hilo!.
Alishuka na kuanza kutembea kwa hatua chache kisha kugonga geti kubwa la uwani, kwa kuwa walikuwa wana jua ujio wake, baadhi ya ndugu walikuwa wapo macho ili kumsubiri Adrian kwa hamu.

Aliwasalimia wote aliowakuta seblen na kumkumbatia Mama yake Mzazi aliyekua ameketi mwenyewe ana huzuni mwingi!.
“Vipi hali ya mzee?”
“sio nzuri sio nzuri Baba”
“Nini zaidi?”
“Hata sielewi mwanangu lakini hataki hata kukuona, ana sema umemdharau sana na wewe sio mwanae, Mwanangu Baba yako amekasirika sana”
“Lakini Mama!, unanishauri nifanye nini?”
“Naelewa anachofanya sio kitu kizuri lakini inakubidi tu ufanye anachotaka”
Hata Mama yake mzazi alishindwa kuamua, kitendo alichoambiwa yaliyotokea mjini Dar es salaam hata yeye alishindwa kuelewa ni kitu gani kilicho mpata Adrian, kitendo cha Mme wake Mzee Mwangenya kumwambia kuwa alitukanwa na kufukuzwa kama mbwa kilimgusa sana.
Kwa hatua za taratibu alitembea mpaka chumba alichokua amelala Mume wake anaumwa na kumkuta amelala tayari. Ilibidi amuache mpaka asubuhi ya kesho yake ili waweze kuongea.Siku hiyo hawakulala, wote walikesha wakizungumzia hali ya Mzee Mwangenya.

Asubuhi ya kesho yake kulivyopambazuka tu ndugu na jamaa walianza kufika ili kumjulia hali MZEE Mwangenya walishajua ujio wa Adrian na kuzidi kukusanyika,
Baadhi ya wazee walivyomuona walisonya na kumchukulia ni kijana mtovu wa nidhamu na kuanza kunong’onezana huku wakimnyooshea vidole. Kitendo kilichotokea Dar es salaam ndiko kilichowafanya wazee hao wazidi kumchukia na kumtenga.
“Adrian Baba yako ameamka njoo umuone”
Alisema Mama yake kisha Adrian kusimama akiongozana na Mama yake,
“Shikamoo Mzee”
Adrian alimsalimia baba yake lakini badala ya Baba yake kuitikia salamu aligeuza shingo yake upande wa pili kuashiria kuwa hakua na haja na salamu hiyo.
“Mwanao amekuja kukuona, na amekubali kukupeleka hospitali”
“Achaaa nif..e tu kuliko huy..o kuni.peleka hospi..tali,sitaki kumuona atoke,namimi namfukuza Kwangu, aondoke,nilimuomba msaada wake?”
“Lakini mzee, naomba unisamehe nimekuja kwa amani”
“Nimesma sitaki kukuona si unataka mimi nife ndiyo ufurahi!”
“sijasema ivyo Baba angu”
“Toka”
Bado alizidi kumbembeleza baba yake aweze kumsamehe siku mbili mfululizo bila mafanikio yoyote yale huku hali ya mzee huyo ikizidi kuwa mbaya sana kadri masaa yanavyozidi kwenda,

dalili zilioneha kuwa endapo asipopatiwa matibabu basi angepoteza maisha yake. Adrian hakutaka kupoteza uhai wa baba yake nando hapo alipokubali kufunga ndoa na sikuzani mwanamke waliomchagulia wazazi wake ili awe ndiye mke wake hapo baadaye.

Siku hiyo hiyo Mzee Mwangenya alibebwa mkuku mkuku mpaka hospitali ya wilaya Mwakaleli kwa ajili ya matibabu huku gharama zote zikiwa juu ya Mtoto wake Adrian.
Hospitalini hakukaa hata wiki moja hali yake ilirudi kama awali na afya yake kumrudia tena. Hakuna kilichokuwa kina suburiwa hapo zaidi ya ndoa kubwa ambayo Mzee huyo alishaanza kuwaalika wazee wenzake kwa ajili ya harusi itakayo fungwa miezi miwili baadaye,
Walimkabidhi Sikuzani arudi nae Mkoani Dar es salaam siku hiyo alipotaka kurudi,kweli wazee hawa walikua wanamaanisha hawakua na masihala hata kidogo. Siku hiyo asubuhi ya saa kumi na mbili Adrian alikua teyari kawasha gari akipewa Baraka zote na wazee wake kwa uamuzi aliouchukua, japo alitabasamu lakini ilikua tofauti ndani ya moyo wake, Muda wote alimuwaza Jaqiln ni kitu gani amueleze ili aelewe, aliwaza mengi sana pengine kujuta ni kwanini alienda Mbeya, Licha ya yote hakutaka kusema kitu cha aina yoyote ile wala kupinga.
“Safari njema Mwanangu sisi tutakuja huko wiki ijayo ili tuandae taratibu za harusi”
“sawa Mzee”
“Huu mchele gunia zima ukajisosomole na mkamwana huyo”
“Hakuna shida Mzee mbaki salama”
Alifunga mkanda wa siti yake kisha taratibu kuliondosha gari huku kushoto kwake akiwa ameketi sikuzani.
Walizidi kusonga mbele, mpaka usiku unaingia ndipo walipofika Boko Adrian akiwa hoi bin taaban amechoka sana, dakika thelathini tu zilitosha kufika nyumbani kwake Tegeta,
wote walishuka na kusaidiwa na mlinzi wa getini kimti kushusha mizigo ndani ya gari.
Alivyofika alijimwagia maji na kujitupa kitandani kulala.
Asubuhi ya saa nne ndipo alipokurupuka kitandani mtu wa kwanza kumuwaza ni Mpenzi wake Jaqlin, ilikua ni lazima amwambie mambo yanayoendelea ili ajue ni kitu gani akifanye. Alikosa raha kabisa hata yakunywa chai,
Akili yake ilivurugika kupita maelezo yaliyojitosheleza, kitendo cha kuchaguliwa mke ndiko kilichomchanganya sana, mambo mengi waliyohaidiana na Jaqlin hakuamini kama yanaenda kuvurugika, alishaamua kukubaliana na wazazi wake ili awafurahishe lakini katika mtima wake hakupendezwa kabisa.
Aliwasha gari moja kwa moja mpaka Mabibo Hostel, alivyoona gari ya Jaqlin Nissan Murano imepaki nje alijua yupo, hapo ndipo aliposhuka na kupandisha ngazi za hostel mpaka mlangoni kwa Jaqlin kisha kugonga!.
“Adrian”
Aliita Jaqlin akiwa ameyatoa macho yake haamini kile alichokiona mbele yake!.
“Ndio mimi mpenzi”
Adrian alitabasamu bila kuonesha hali yoyote ya uchangamfu Jaqlin alilijua hilo,alijua ni lazima kutakuwa kuna tatizo kubwa, kupitia macho ya Adrian aligundua kuna tatizo sababu alimzoea akiwa katika hali ya furaha wakiwa wote. Ni kweli Adrian alikua ana kitu kikubwa kinachomsumbua ndani ya mtima wake, wazazi wake kumchagulia mwanamke, kwa kuwa anampenda Jaqlin ilibidi amueleze ukweli bila kumficha kitu cha aina yoyote ile.Aliingia ndani na Fetty kuwapisha ili wawili hao wapate faragha ya kuongea mambo yao.
“Nimetoka Mbeya Jana”
“ndio naelewa Darling niliona meseji yako,Baba keshapona?”
“ndio amepona”
“kuna nini lakini mbona upo ivyo?”
“Jaqlin”
“Abee”
“Nakupenda sana, na unalijua hilo”
“Naelewa, hata mimi nakupenda love”
“Nilivyofika Mbeya mzee alikua ana umwa sana, hakutaka kuniona hata kidogo nilivyotaka kumpeleka hospitali aligoma,madai kuwa mimi nilimuonesha dharau, tulizozana sana kuhusu hilo, nikamuelewesha hakukubali baadaye alikubali kwa sharti moja tu nikubali kuwa na sikuzani, kwakua sikutaka kumpoteza nikakubali kishingo upande ili apatiwe matibabu…..”
“kwaio ulikubali Sikuzani awe mke wako?”
“Ndio mpenzi”
“Basi usiendelee nishaelewa Adrian,Mimi ni mtu mzima naomba uwasikilize wazazi wako nina amini mimi hawanipendi na hata ikitokea tukifunga ndoa itakua kazi bure”
“usiseme ivyo Mpenzi”
“sasa unataka niseme nini Adrian, unataka niseme nini, naelewa unanipenda lakini sina jinsi naomba tuachane,japo kua nakupenda lakini naomba unielewe wasikilize wazazi wako nakuomba tafadhali”
Maneno hayo yalimtoka Jaqlin huku machozi yakimlenga machoni aliongea kwa uchungu sana.

Habari alizoambiwa zilipenya na kuunguza moyo wake.Katika ulimwengu wa mapenzi alishajua kuwa Adrian ndiye mume wake wa MAISHA na sasa ndoto zake zina enda kuzimika na kupeperuka na kujiona pengine ni mwanamke mwenye mkosi katika mapenzi. Ni kweli alimpenda sana mwanaume huyo kuliko kitu chochote kile,alikumbuka mambo mengi sana yaliyo pita ambayo waliyafanya na Adrian na leo hii anamueleza kuwa anakubali kuwa na Sikuzani.
Lakini hakutaka kujialumu sana alijua wenda ni mipango ya Mungu na Adrian hakua Mume aliyepangiwa na Mungu kwani ndiye yeye pekee huchagua.
“Adrian kama Mungu ali..apaanga tukutane tutakuta..a tu please nenda tu”
Jaqlin alilia mfululizo bila kunyamaza na kumkabidhi Adrian funguo zake za gari.
“Jaquee”
“Noo. Nenda Adrian nenda tu”
Kila mtu aliguswa ndani ya moyo wake.
Na hapo ndipo ukawa mwisho wa mapenzi yao japo ilikua ni vigumu kwa kila mtu kumsahau mwenzake.
****

Siku zilizidi kusogea na kukatika huku Sikuzani akizidi kupendeza sasa, Adrian ilibidi tu nguvu zake aziweke kwa mwanamke huyo na kumpeleka kwenye maduka ya nguo ili aweze kuendana na jiji,ni kweli wiki tatu zilivyoisha Sikuzani alijua kuvaa vizuri na kuanza kupendeza na kuanza kunukia marashi, Adrian alimtafutia mpaka Dereva endapo akitaka kwenda sehemu yoyote ile.

Maisha ya Sikuzani yalikua yakiserereka na kuwa maraisi akila vyakula vizuri vya mjini akiwa na Adrian mwanaume mwenye mali na pesa nyingi sana,
kila sehemu aliyotaka kwenda basi dereva alipigiwa simu na kumchukua mpaka anapotaka kwenda, taratibu alianza kuzoeana na majirani zake.
“Sikuzani unaweza kuniazima Laki mbili mwanangu anaumwa nitakurudishia, wiki ijayo”
“sawa hakuna tabu kesho asubuhi nitakupatia”
Usiku wa siku hiyo alivyomwambia Adrian kuwa ana shida na pesa alipatiwa bila kuulizwa kitu chochote,

aliliendea droo la pesa na kutoa pesa izo taslimu na kesho yake kulivyokucha alimtafuta Mama Sophia ili amkabidhi pesa alizoziomba.
Kijijini Mwakaleli teyari kilivunjwa kikao cha kwanza cha harusi, Sikuzani aliwapigia simu kuwaabia kuwa ni jinsi gani anaishi vizuri na Adrian,wazee walifurahi sana.
“Charles naomba nipeleke mjini sasa hivi”
“sawa Mama”
Dereva siku hiyo alifika asubuhi na kuwasha gari mpaka kariakoo sokoni kwa ajili ya kununua vitu vya kupika vya wiki nzima kisha kumrudisha sikuzani mpaka nyumbani,walisaidiana kushusha mizigo wote mpaka ndani na baadhi ilibidi iingie chumbani, Charles alisubiri nje ya mlango lakini aliitwa na sikuzani bosi wake ndani chumbani akiwa na hofu sana.
“Charles naomba univue hii cheni”
Sikuzani aligeuka huku Nyuma akiwepo Charles anamvua mkufu wa dhahabu uliokuwa shingoni mwa bosi wake huku akiwa anatetemeka sana, ila baadaye mambo yalibadilika Sikuzani alivua sketi aliyokua ameivaa na kubaki na nguo ya ndani, Charles alivyotaka kuondoka alishikwa mkono.
“Lakini Mama mimi siwezi”
“huwezi nini?”
“hapana siwezi mimi natoka”
“Nitapiga kelele unataka kunibaka”
Kauli hiyo ilimtisha sana Charles alijua nini maana ya kesi ya ubakaji endapo ikifikishwa mahakamani, hakua na jinsi zaidi ya kumshuhudia Sikuzani akivua nguo zake zote na kubaki kama alivyozaliwa…


***

Charles dereva aliyeajiriwa na Adrian kwa kazi ya kumuendesha Mke wake mtarajiwa Sikuzani, anajikuta yupo katika kibarua kizito sana, hakuelewa kama mambo yangekua magumu mno kwa upande wake.
Ni kweli alifanya kazi kwa moyo wote sababu ndiyo hiko kibarua alichokitegemea kuwapeleka watoto alikuwa nao shuleni na kuwalipia ada na kuyaendesha maisha yake kiujumla, alilipwa pesa nzuri sana na bosi wake Adrian pengine ilizidi na kazi hiyo ya udereva anayofanya alimuheshimu kupita maelezo.

Kwa mara ya kwanza alidhani wenda ni bahati Mbaya, mke wa bosi wake alionesha mitego mingi ya kumfanya anase na aweze kufanya naye mapenzi, alijitahidi sana kuyashinda majaribu kwani aliamini kuwa ni changamoto za kazi yake,Sikuzani alijitahidi sana kumvuta Charles kila kukicha akitumia mbinu tofauti, mara kadhaa kujifunua maungo yake wakiwemo ndani ya gari ili Charles anase lakini hakufanikiwa,
Kutokana na kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kulimfanya apate miyemko ndani ya mwili wake, Hakuridhishwa na Adrian na ikitokea wakifanya mapenzi basi bahati mbaya sana tena ni mara moja kwa Wiki,ilikua ni lazima apate mwanaume wa karibu ili kukidhi haja yake ya kimwili.
Na ndiyo hiyo siku alifanikiwa kumnasa Charles chumbani akimtishia kupiga kelele za kumbaka endapo akikataa kumridhisha kimwili!,
Alishavua nguo zake zote tayari na kubaki mtupu, kisha kutembea mpaka mlangoni na kuufunga na ufunguo,
“Charles!”
Aliita sikuzani na kumsogelea kisha kuanza kumnyonya mdomo wake. Jasho jembamba lilimtoka Charles huku akipata kigugumizi cha ghafla, hakuelewa ni kitu gani akifanye,damu ilishaanza kumuenda kasi kupita kawaida, pepo mchafu alishamuingia teyari mwilini na kufanya aanze kuonesha ushirikiano na kusahau kuwa akifumaniwa basi kibarua chake kingeota nyasi na kurudi katika umaskinialiokua nao.

Alimvuta sikuzani na kuweka ubosi pembeni kisha kuanza kunyonyana midomo yao huku taratibu sikuzani akitoa shati la Charles kisha baadae suruali na wote kubaki kama walivyozaliwa.
Walishikana shikana kisha baadaye kuanza kuvunja amri ya sita hapo hapo kitandani.Na huo ndiyo ukawa mwanzo wa mapenzi yao kuanza. Adrian hakuwahi kumuhisi Charles dereva wake juu ya yeye hata siku moja atakuja kuwa na mahusiano na Sikuzani alimuamini sana.
Alivyosafiri kwenda Oman kikazi huku nyuma aliwaacha Charles na Sikuzani wawe huru na mapenzi yao.
Mapenzi yaliwakolea ikafika kipindi walikuwa wakitoka wote na kwenda kumbi za starehe mbali mbali wakitumia magari ya Adrian,
“Charles, simpendi hata kidogo Adrian”
Alisema siku hiyo Sikuzani wakiwa ndani chumbani na Charles baada ya kutoka kufanya mapenzi tena chumbani mwa Adrian.
“mimi mwenyewe nishakolea kwako Dia”
“sasa tufanyaje?”
“nakusikiliza wewe Mpenzi”
“sasa subiri anioe, akishanioa tu najua izi mali zote zitakua zangu pia kisha tutamuuwa”
Ni kweli Sikuzani alishabadilika alishaonja raha za jiji hakupiga tena simu kijijini kwao wala kuwajulia hali wazazi wake na wa Adrian kama alivyokua akifanya hapo siku za nyuma alivyofika jijini Dar es salaam.

Mjini kulikua kuzuri alishaanza kuvaa nguo fupi na sehemu za mapaja yake kuonekana.
Marafiki wa mjini aliowapata ndiyo walianza kumbadilisha taratibu sana kisha baadaye kuwa kama wao.
Ndoa peke yake ndiyo alikua akiisubiria na baada ya hapo Amuuwe Adrian kisha yeye atanue na mali zote ziwe chini yake, aliamini hilo linge fanyika kama yeye angekua mke halali wa ndoa.
“sikuzani,Mimi mwenzio nishamuuwa Mume wangu unaona navyopendeza naenda napotaka naendesha magari, hawa wanaume sio wa kuwaamini, yaani ukishaolewa tu wala usikubali kwanza kuzaa naye”
Mama Prisca alimshauri Sikuzani siku hiyo wakiwa disco.
“Nitafanya ivyo shoga wala usijali, Mimi ndiyo Sikuzani Mtoto wa mjini,sikuja na gari la mikaa”
“tunywe tulewe”
Jiji lilimpeleka vibaya mno, kila kiwanja cha starehe alikua hakosi,yeye nyuma Charles Mbele wakizidi kutumia pesa bila kuhesabu, maisha yalimnyookea na kuwa mazuri.

Kila alipopigiwa simu na wazazi wa Adrian aliwajibu majibu mabaya tena ya mkato hata wakati mwingine kuwatukana kabisa, alishasahau kuwa bila wao asingefika mjini ni kweli ‘kunguru hafugiki’ hata wao walishindwa kuelewa na kusogeza siku ya harusi mbele ili kujua nini tatizo!.
“Mbona mnakuwa kama watoto nyie wapuuzi nini,sasa mnataka niwapigie simu kila siku kuwajulia hali kwani sina kazi nyingine za kufanya?”
“lakini mwanangu mbona umekuwa ivyo,?”
“nimekuwaje embu niache kwanza wewe Mama sawa, nina mambo mengi ya kufanya umenielewa,huku mjini mambo yamekuwa mengi sana,”
Ivyo ndivyo Alivyowajibu sikuzani kila walipojaribu kumpigia simu yake.

Siku hiyo hiyo walishindwa kuvumilia walimtuma mtoto dukani akanunue vocha ili wamtafute Adrian hewani aliyekuwa Oman nje ya Tanzania,ili wamuulize ni kitu gani kinaendelea kati yake na Sikuzani.
“Shikamoo Baba”
Alisalimia Adrian upande wa pili baada ya kupokea simu.
“Marahaba Mwanangu za majukumu?”
“huku Salama Mungu anasaidia vipi ule mzigo mliupata?”
“Mzigo upi mwanangu?”
“nilituma Pesa juzi nilimwambia Sikuzani awatumie”
“Hapana, hapana hatujapata,kwani utarudi lini mwanangu kutoka huko maana kuna mambo tunahitaji kuongea mimi nawewe kuhusu Sikuzani”
“unasemaje Mzee sikusikii vizuri, naomba uongeze sauti kidogo”
“nasema hivi mwanangu, nahitaji tuongee kidogo kuhusu Sikuzani unarudi lini?”
“Mzee naomba nipigie baadae sikusikii vizuri alafu nipo kwenye kelele pia, nikitulia nitakutafuta”
“Sawa Mwanangu”
Mzee Mwangenya alipata ghadhabu sana hakuelewa ni kitu gani akifanye, mambo yalimwendea kinyume ilikua ni lazima amueleze Adrian mambo yanayotokea ikiwezekana apande basi kesho yake asubuhi aende Mjini Dar es salaam!,
“Aiseee”
Alisonya kisha kumfuata mke wake aliyekua chumbani.
“Naomba nipangie nguo zangu kesho niende Dar es salaam”
“kuna nini tena ulimpata Adrian?”
“hatukuelewana vizuri lazima niende Mjini kesho,kuna mambo mabaya yanatokea sitotaka kuyafumbia macho, nimeoteshwa kuna kitu kibaya sana kitatokea hapo mbeleni”
Alisema Mzee Mwangenya akiwa amekasirika sana kupita kiasi huku akiachia misonyo.
Picha iliyomjia kichwani haikuwa nzuri kabisa,Sikuzani alibadilika ghafla tena kwa kipindi kichache alichokua amekaa Mjini na kumfanya azidi kuchanganyikiwa.
**
Kila siku ilikua ni lazima wafanye Ngono wakiiburudisha miili yao walishasahau sasa kuwa wanaiba na mambo yao kuyaanika wazi wazi.Mlinzi wa getini kimti alishawafuma mara nyingi seblen wakifanya mapenzi lakini alitishiwa kuwa angepoteza kibarua chake endapo Atafungua kinywa chake kumueleza mtu wa aina yoyote ile.
“ole wako ufungue bakuli lako useme ulichokiona utarudi kijijini ukacheze na ngedere”
“sawa Bosi, sawa sitothubutu kufungua mdomo wangu haki ya Mungu tena”
Alisema Sikuzani akiwa juu ya kochi na Charles wanapigana madenda huku wakishikana shikana, Kimti hakutegemea kukutana na Charles akifanya mambo hayo na bosi wake aliogopa sana alijua kuwa ndiyo mwisho wa kibarua chake,ilibidi tu siri hiyo aiweke ndani ya koromeo lake kuogopa kufukuzwa kazi.


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

0 comments:

Post a Comment

BLOG