Search This Blog

Sunday, May 31, 2020

MAHABA NIUE SEHEMU YA 1/10



MAHABA NIUE
MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)
AGE…(18+)
WatsApp…+255718 862176
SEHEMU YA 1 KATI YA 10
*******
 *******

 mwanga ulioanza kupenya katika dirisha na kufanya miale ya jua ipite kati kati ya uwazi wa pazia
lili fanya Ramsey afumbue macho na kugundua tayari kumekucha.
kilicho mshangaza kabisa ni saa yake ya mezani hata ilipo lia hakuweza kuisikia kuto kana na uchovu mwingi.

aliinuka kiuvivu na kuvuta taulo ambapo pembeni alichukua ndoo yenye maji na kutoka nayo nje.na kuwa pita wapangaji wenzake ambao walikua akina mama wawili wana osha vyombo nje pale kwenye sink

"mmh huyu mkaka tangu aamie hapa,sija wahi hata kusikia sauti yake"

aliongea mama huyo kwa sauti ya chini huku akiwa ana mwongelesha mwenzake.

"hata mimi mwenzangu kauzu kama nini, au subiri Mama khadija mimi nita muanza subiri atoke bafuni."
"huna dogo ngoja mumeo akusikie"
"kwani si kujuana tu"

Urefu wa wastani wa Ramsey uliyo beba kifua chake vizuri na kufanya kiji gawe ulizidisha uta nashati sio ivyo tu hata macho yake makubwa ndo kabisa yalikua ugonjwa kwa jinsia ya kike.

baada ya kumaliza kuoga alibeba ndoo yake mkononi na kutoka bafuni akiwa pita wakina mama wale bila kuwa semesha.

"Kaka habari yako?"
"safi"
alijibu Ramsey tena kiufupi huku akiendelea kutembea akiwaacha wakina mama wale wabaki kuishangaa tatoo ya mnyama aina ya simba mgongoni kwake..

aliji andaa haraka haraka huku aki chomekea shati lake vizuri na mwishowe aka jipulizia marashi tayari kwa safari.

alifungua mlango na kutoka nje ambapo aliita bajaji impelekee karikoo.

"BABY UPO WAPI NIME KUMISI SANA NJOO OM NAKUOMBA JAMANI"
ulikua ni ujumbe mfupi uliyo someka juu ya kioo cha simu ya Ramsey baada ya kuusoma ujumbe uo aliweka simu mfukoni..

ila aliitoa tena baada ya kuita alivyo iangalia aliipokea na kuiweka sikioni.

"Ram upo wapi?"
"nipo naenda job"
"njoo mpenzi wangu"
"si nime kwambia naenda job Doreen"
"mi nita kulipa basi njoo bana. jamaa kasha ondoka"
"aya nakuja basi nakuja sasa hivi"

"oyaaa geuza tuelekee mikocheni"
"pesa ina ongezeka lakini"
"wewe twende hakuna shida"
"mikocheni ipi?"
"Kwa walioba"

kweli dereva huyo wa bajaji aligeuza na safari ya mikocheni kuanza..
takribani dakika Arobaini wali kua tayari wapo Mikocheni. Ramsey alishuka na kumpa dereva yule wa bajaji ela yake.

Kwa kua aliiijua vizuri nyumba ya Doreen aliingia moja kwa moja getini na kumkuta Doreen akiwa na kanga moja tu. Weupe wa mwana mke huyo wa kinyasa hasa na umbo lake lililo jigawa vizuri lili mfanya Ramsey asisi mke mwili.
bila kuuliza chochote Doreen alimrukia Ramsey mdomoni na kuanza kumpa denda.
Ramsey haku fanya makosa kwa kutumia mkono wake wa kulia alianza kumpapasa Doreen kuanzia kwenye masikio na taratibu kuanza kushuka.
alianza kumnyonya shingo na kumfanya Doreen aanze kupiga kelele za raha.
kwa nguvu alimbemba Doreen na kumlaza juu ya kochi huku akifakamia chuchu zake ambazo alianza kuzi lamba kiufundi aki tumia ulimi.
"aaaaaah mmmmh Raaaam"

miguno ya raha ilianza kumtoka Doreen huku akiitolea sauti hiyo puani.

Kwa upande wa mwana mke huyo nayeye haku taka kushindwa alichukua mkono wake na kuanza kuishika kombola ya Ramsey na kumfanya Azidi kupata moto ya kuya nyonya maziwa ya Doreen..
Doreen alifungua zipu na kuiweka kombola ya Ramsey mdomoni huku akiilamba kama koni taratibu sana.Pata shika lile liliendelea kila mtu akiji tahidi kumuonesha mwenzake nani zaidi.
taratibu Doreen alianza kumvua shati na mwishowe kanga ile ika tolewa na wote kubaki kama walivyo zaliwa.

Ramsey aliinama taratibu mpaka chumvini na kuutoa ulimi wake taratibu huku aki anza kulamba mgodi wa Doreen ambao kwa mbali ulianza kutoa madini na kuanza kuteleza uki toa maji maji kwa mbali kuashiria kwamba upo tayari kuchimbwa ila hakutaka kuwa na papara hata kidogo aliendelea kuulamba huku Doreen akimshika na kumkandamiza ndani ya mgodi.

Taratibu Ramsey alipanda huku aki mlamba na safari hii kufikia kitovu alifika juu huku mkono mmoja ukiwa bado kwenye mgodi huo ambao ulikua ume anza kutoa utepe.na kuteleza teleza.

"Ramsey ingiza uta niua"
"hauwezi kufa ila cha moto uta kiona"
"please Ra ....mssey ingiza"

Doreen alivyoona asikilizwi ili bidi achukue Mashine ya ramsey ya kuchimbia Mgodi na kuiingizia kwenye mgodi wake huku akianza kukizungusha kiuno taratibu na kutoa miguno ya raha...

Ramsey haku taka papara alianza taratibu kujibu masha mbulizi huku akikatika mithili ya msanii FALLY IPUPA na kuzidi kumpagawisha Doreen.
"aaaah Raaam R....am ivyo ivyo .. Raaam aaaah mmmmh"
Ram alijitoa kwake na kumuweka mkao mwingine watoto wa mjini huuita Mbuzi kagoma.,
alikuja nyuma yake huku Doreen akiwa ameshika kochi na Ramsey kuiweka mikono juu ya kiuno cha mrembo huyo na kuendelea na zoezi lile.

mechi ilizidi kwenda aliye anza kufika ni Doreen na papo hapo Ramsey nayeye akamaliza ila ana zuiwa baada ya kutaka kuunganisha two in one.
"Ram nime choka tafadhali. Ram nakupenda sana"

Doreen aliongea akiwa juu ya sofa hilo na kumwangalia Ram machoni,
"hata mimi mbona nakupenda sana Dory"
"Mwongo Ram na Esta je?"
"Mambo ya esta yame fuata nini sasa, wewe mbona una mume?"
"hata kama .mume wangu huyu msen**** hajui chochote yaani sijui kwanini nime kubali kuolewa nalo. bora unge nioa wewe. "
"aaah toka hapa.. Mi nataka kuondoka niwahi dukani"
"nita pita baadae dukani kwako, nisubiri hapo"

Doreen ali simama na kumpa denda Ramsey huku akiondoka na kumkonyeza.
"vipi nikupige kingine'"?
"aaah tulia Ram"
"hahaha naku tania"

baada ya kuingia chumbani alitoka na noti za elfu kumi .kumi na kumkabidhi Ramsey.
"Laki moja izo usi toe toe macho,uta kula Lunch sawa baby"
"Poa baby. i love you"

Ramsey alivaa nguo zake vizuri na kutoka alivyofika nje aliwasha simu yake na kukuta ujumbe ulitoka kwa esta.
"WE MWANAUME UPO WAPI?NA KWANINI UME ZIMA SIMU NIPO DUKANI KWAKO NAKUSIBIRI"
alisonya na kufungua sms nyingine kutoka kwa Lilian Muhando.
"BABE NIPO CLASS NIKITOKA TU I WILL COME TO YOUR PLACE nataka leo unitie mpaka kesho asubuhi home tayari nimeaga"

aliweka simu mfukoni haraka haraka na kuta futa bajaji ambayo ili mpeleka mpka k.koo katika duka lake la nguo lilipo mtaa wa Agrey.
Ambapo alivyo fika alimkuta Esta Zuberi amenuna sana kuto kana na kukaa muda sana bila Ramsey kutokea.

" sasa prosper mbona huku mpa shemeji yako soda?"
ili bidi aulize kwa msaidizi wake wa dukani hapo.aliye itwa prosper

"hivi baby nani aliye kwambia nataka soda hapa. ume niudhi sana yaani.. kama ninge taka soda ninge kunywa hapo DDC"
Esta ali dakia na kujibu

"simu ili zima chaji"
"alafu sasa ika jaaje?"
"nili chaj kwa rafiki yangu hata ivyo umeme jana uli katika Esta mpnz wangu embu njoo huku kwa ndani tuongee"

Esta aliji kuta ana legea na kumfuata Ramsey ndani ya kichumba cha kubadili nguo.

bila kupoteza muda Ramsey alimvuta Esta mpka uku tani na kuanza kumpa ulimi esta aliupokea kiufundi na kuanza kuba dilishana mate kama makinda ya njiwa.
Esta alitumia mkono mmoja na kufungua zipu ya Ramsey na kuanza kuichezea chezea mashine na kuichua taratibu ambapo ilikua tayari ime tuna kwa masha mbulizi.

Ramsey alianza kumnyonya shingo Esta ali fanya kusudi sababu alijua hapo ndipo udhaifu wake ulipo pilika pilika zilianza ila ana muona Prosper ana kuja kwa nyuma ambapo esta alishindwa kumuona na kumpa ishara kuwa Doreen ame fika na anataka kuingia.
Moyo wa Ramsey

ulianza kwenda mbio na kusi tisha shughuli ambayo ana mfanyia esta amabae alikua tayari kasha fumba macho akihisi raha.

"Ramsey Nini tena jamani?"
"Hakuna kitu. najisikia vibaya tumbo tumbo.lina uma"
"basi nimalizie"
"aaaaah, Esta"

Akili ya Ramsey ilizidi kufanya kazi ila ili shindwa kuto kana na Esta kukaza na kutaka amaliziwe mechi yake.


esta alimshika shati Ramsey na kumvutia mdomoni huku akitoa ulimi wake na kumpa Ramsey Alioupokea ila alimshika na kuji toa pembeni.

"esta nielewe basi mbona ivyo lakini. mbona una kua kama mtoto mdogo kwani mimi si nipo naumwa tumbo nime kwambia"
"siku elewi tumbo gani la ghafla?, twende hospitali basi, UNA HARA au?"
Ramsey alisonya na kumkazia macho Esta kwa hasira.
"Embu niache"

Ramsey alitoka nje na kumkuta Doreen akiwa ana msubiri
"mbona una hema ivyo juu juu Baby?"
"nili kua stoo humo ndani"

pale pale Esta alitokea na kumshika kiuno kwa nyuma Ramsey makusudi huku akimnyali Doreen na kumpandisha juu chini.

"subiri basi niongee na mteja Esta"

aliongea Ramsey na kumgeukia.
"aya nibusu kwanza niondoke"
"mambo gani tena hayo sasa una leta mbona una kua wa ajabu?"
Esta kuona vile ali mfuata Ramsey na kumpa busu la mdomoni kwa upande wa Ramsey ali kerwa ila alitoa tabasamu la uongo.
Esta aliaga na kuondoka zake.

katika vitendo vyote Katika maisha yake kile kitendo kili mkera sana Doreen mpka rangi ika badilika na kuwa mwekundu sana kuliko maelezo.

"Doreen"
"una shida gani?, ndo stoo kule ulikua?"
"laki..."
"lakini nini.achana na mimi usini tafute tena, na unikome mwenda wazimu wewe. huna haya"

Doreen aliondoka pale pale akiwaacha Ramsey na prosper wakimwangalia kwa macho makalio aliyo yatingisha kwa nyuma.

"Hahahahaha ujue Ramsey una nichekesha unajua mwanangu"
"kwanini sasa?"
"yaani sija wahi kuona uki bembeleza demu"
"aaaah sina time iyo ndugu yangu. ila yule Doreen namkubali huwa ananitoa vibaya mno"
"vipi esta anajua kuwa una piga mzigo?"
"hajui weee akijua yule ata fanya sana fujo yule esta hana akili vizuri. ana akili mbili. yaani juzi juzi hapa kam-mwagia demu fulani hivi bia"
"haaa ili kuaje?"
"si alini kuta naongea na huyo demu. nili kua na mtia voko pale karibu na home kwenye ile baa kulupu huyu hapa nika ishiwa pozi bila kuuliza kamm-mwagia bia ile kwenye macho nika sema leo ndo leo"
"hahahahahahaahaha hahahahaha"

Prosper alicheka sana mpka akawa ana taka kudondoka chini
"una cheka ??yaani hapo nili kua naomba Mungu asi anze fujo huoni nili vyo kua nime tulia nilivyo kua na Doreen"

walipiga stori nyingi ilivyo fika jioni wali funga duka na safari hii Ramsey alielekea kituoni Big bon kuta futa gari za Ubungo sababu huko ndipo alipo panga.

pilika pilika za kupanda gari ali baha tika kupanda gari na kupata siti ambapo pembeni yake alikaa msichana mweupe huku akiwa amevalia miwani nyeusi aki onekana yuko bize kuchat.

"Dada samahani,hivi hili ni basi la Ubungo?"
aliuliza maku sudi Ramsey ili kumuanza. ila dada yule ali muangalia kwa kitambo kidogo.
"ndio, vipi kwani?"
"lina pita Usalama?"
"ndio lina pita. kwani ulikua una elekea wapi?"
"hapana basi. una itwa nani dada angu?"
"naitwa Upendo."
"upendo? upendo nani?"
"upendo Mrangu"
"una fanyia wapi kazi?"
"eeeeh kaka mbona maswali mengi kwani vipi?"
"sio ivyo ujue napenda tu nijue kwani vibaya"
"nipo ustawi nasoma"
"aaaah kuna rafiki angu ana soma pale. una mjua Dedi?"
"Dedi yupi.. Dedi Mwita?"
"huyo huyo yupo yule dogo"?
"yupo kajaa tele"
"nipatie namba zako ili nimpate"
"mmmh labda unipe zako nika mpe"

kweli Ramsey alitoa namba alikua hana uhakika kama ange tafutwa.

gari lili fika mwisho kabla haja fika nyumbani Lilian ali mpigia na kumwambia kua tayari yupo nyumbani ana msubiri.

baada ya kufika nyumbani kweli ali mkuta Lilian Yupo mlangoni waliingia wote ndani na mtoto Lilian moja kwa moja kurukia mdomo Ramsey haku taka kusubiri japo alikua na uchovu nayeye alijibu na kuanza kucheza na ulimi wake mdomoni mwa Lilian.

ila alivyo angalia pembeni alikuta mlango hauja fungwa na macho yake kugongana na mama jirani mpangaji huku mama huyo aki gandisha macho yake juu ya mashine iliyo simama na kutunisha suruali aliyo vaa.

"mmmh"

Mama huyo aliguna huku akimwangalia Ramsey bado juu ya mashine ile.


"samahani"

mama huyo aliongea ila Ramsey alimpuuzia na kurudi ndani akiendelea na shughuli pevu aliyo iacha kwa mtoto Lilian.

alimfuata moja kwa moja na kuanza kumnyonya chuchu zake zilizo simama wengi huziita chuchu saa sita.
alianza kuzilamba huku mkono mmoja wa Ramsey ukiwa ikuluni mwa Lilian na kufanya mtoto huyo aanze kuhema juu juu kama ana tafuta pumzi baaada ya kuishiwa akiwa chini ya maji.

hakuishia hapo Ramsey alitumia kidole chake kimoja akisugua sugua ikulu ya binti huyo kana kwamba ana ipaka mafuta alipaka mate kidogo juu ya kidole na kuendelea na zoezi lile .
alianza kumnyonya masikio moja baada ya lingine.

kweli katika michezo hii Ramsey alikua hodari sana kuliko maelezo.
Kipindi hiko Lilian Mhando alikua tayari kasha fumba macho akiji hisi yupo dunia nyingine yenye raha zake.

Ramsey alili jua hilo na sasa hivi alishuka ikulu na kuanza kudeki bahari akitumia ulimi kiufundi.

"aaaaaah Raaa...m Baby. ba....by aaaaah don't st....op aaaaashhhh aaaaaaah"

miguno hiyo aliitoa Lilian tena kwa sauti ya juu na kumlazimu Ramsey amzibe mdomo lakini haiku saidia hata kidogo.

vurugu mechi tayari ilianza na Ramsey kuingiza mashine ndani ya ikulu ya Lili ambayo s Ramsey husifia ina joto kali sana .

mechi ilianza na mpira kuanza kuchezwa pale pale.
Ramsey alimbinua Lili na kumu weka kifo cha Mende na kuanza na shughuli pata shika ile ilianza upya kana kwamba ndo kwanza wame anza mchezo huo ambao hupendwa sana Duniani kote.

huku na kule tayari staili ili badilishwa na safari hii uli kua ni mwendo wa kibata ambapo Ramsey alikua amelala wima juu ya Lilian na wote wakiwa wame jinyoosha huku akizidi kuendelea na mashambulizi yale.

baada ya dakika chache kila mtu alikua ame choka ame pumzika baada ya kuvunja mayai ya bata.

"baby alafu nili taka nisahau, fungua ile pochi yangu kuna zawadi yako"
"Zawadi yangu?"
Ramsey aliuliza huku aki simama kutoka kitandani.
"baby yaani bado dude lako lime simama tu?"
"Ndio mimi mwana ume wa shoka nenda kaoge kwanza alafu uki rudi mambo yanaanza"
"mmmh baby"
"bado nina mzuka ujue Lili"

Ramsey aliongea huku aki fungua pochi ya Lilian ambapo ndani yake alikuta shati la drafti na perfume kubwa iliyo andikwa nje DOLBY
"aisee bonge la shati. hili nalivaa kesho. asante mpenzi wangu na perfume ni noma"

"hahahaha lifue kwanza. ivi una jua Ramsey mimi nakupenda sana.Linge kua neno lingine la kukwambia ningesema yaani hapa nimeaga home naenda kwenye msiba"

"aaaah hata mimi nakupenda mno"
"alafu Love simu yako iko wapi?"
"haina chaji nime izima "
"ichaji bana Love"
"achana nayo kaoge basi kwanza"

Lilian alisi mama na kuvaa kanga moja ambayo aliipandisha mpaka juu na kufunika maziwa yake.

alitoka nje na kuufunga mlango haraka haraka Ramsey aliwasha simu yake na kukuta meseji mfulululizo ila alitulia baada ya kukuta meseji ya Doriin

"RAMSEY NAKUPENDA SANA NAOMBA UNISAMEHE KWA NILIYO FANYA JANA PALE KAZINI KWAKO ZILIKUA NI HASIRA ZILE. PSE BABY WANGU NIPO CHINI YA MIGUU YAKO."

alifungua tena ujumbe mwingine kutoka kwa prosper .

alizima simu baada ya kusikia Lilian ana kuja na haraka haraka anaamua kuji tupa kitandani huku akifumba macho.

"ina maana baby umelala?"
"aaaah usingizi ulitaka kuni pitia hapa"
"amka bana "

Lilian kwa kudeka alimkalia Ramsey kwa juu yake kutokana na mwili wa Lili kuwa mdogo haiku mpa shida Ramsey.

Alianza kumshika shika Ramsey kifua chake huku moja kwa moja kushuka kwenye Mashine ya Ramsey

ambapo wakati huo tayari ili kua ime wamba wima kama namba moja alianza uchokozi baaadae tayari Ramsey alianza kujibu masha mbulizi patashika ilianza huku na kule kila mtu akijaribu kujifanya fundi katika mechi hiyo.
baada ya dakika kadhaa mechii ili kua ime isha na wote kulala.

Ramsey kama kawaida alikua ana jianda kuelekea kazini aliva vizuri na kupendeza ila ana shtuka baaada ya kumkuta Mama wa jirani yupo na kanga moja nje akiwa ana fagia fagia huku aki mtingishia makalio.

"MIMI NDIO SAIZI YAKO HAO WENGINE VIMEO"

yali kua ni maneno ya kanga aliyo vaa mama huyo.
Ramsey alikohoa kidogo na kusi mama dirishani kwake huku aki chungulia.

"Lilian uki maliza kila kitu weka funguo juu ya mlango"
"poa baby nita ondoka muda si mrefu"
"ukiwa una ondoka nipigie simu"
"sawa"

Ramsey alitoka nje na kumuita dereva wake wa Bajaji huku akiwa ana tafakari maneno ya kanga ile.

baada ya dakika kumi tayari alikua amefika karikoo na kumkuta Prosper yupo na wateja ili bidi amdakie nayeye kumsaidia wateja wale.

Mama mmoja aliingia pale pale akiwa na binti yake na kuhitaji nguo.

"Kaka natafuta mashati fulani hivi ya drafti yame ingia sasa hivi yaani drafti yake vibox vidogo vidogo"

"Ya kike ya kiume?"
"niki pata ya kike ita kua vizuri"
"basi subiri kidogo"
Ramsey ali zunguka zunguka ndani ya Duka hilo na kurudi la shati.
"sio haya kuna mengine hivi .. enhee lile pale"
"hili"
"linalo fuata.. hilo hilo. una uzaje?"
"una taka mangapi?"
"matano naomba"
"nita kufanyia kwa ishirini na tano"
"Edna shika funguo kani letee pochi yangu ndani ya gari"

Binti aliye kuja nae ali fungua mlango huo wa kioo na kutoka nje.
"wapi nita jaribu?"
"ingia humo ndani"
Mama huyo aliingia ndani na mashati akienda kuja ribisha ila baada muda fulani ali muita Ramsey amfuate kule alipo..

wakati huo Mama huyo ali kua amebakia na Blazia ya juu huku aki jaribu kupitisha mkono wa nguo
"
"hili shati huna kubwa lake?"
"hilo ndo kubwa ngoja niku saidie"

Ramsey alimsogelea mama yule akija ribu kumvalisha shati lile vizuri huku kwa jicho la wizi akiwa ana chungulia maziwa ya yule mama kwa bahati mbaya ana jikuta ana mgusa maziwa ila mama yule alitulia kitendo kili mshangaza sana Ramsey.
alirudia tena zoezi lile ila mama yule aligeuka na kumwangalia usoni.
"samahani Mama bahati mbaya"
"usijali"
Mama yule alijibu huku akizidi kumwangalia Ramsey kwa macho malegevu.


Ramsey nayeye alizidi kumkazia macho huku akiupeleka mkono wake taratibu juu ya kiuno cha Mama huyo

"griii griiiii"

Simu ya Ramsey iliita na kumshtua ambapo baada ya kuitoa anakumbana na namba ngeni.
ambapo baada kuitoa alikuta mama yule anaanza kuondoka na kitendo kile kumkera.
aliweka simu sikioni kwa jazba SANA
.
"we nani?"
"mimi Upendo."
"upendo gani mimi siku jui"
"tuli kutana kwenye basi juz..."
"embu subiri nita kuta futa baadae sasa hivi nipo bize"

aliongea Ramsey kwa jazba na kukata simu ile alitoka mbio mbio nje na kuona gari la mama yule lina ishia kwa mbali sana liki tokomea.

kitendo kile ali kilaani sana kwa kitendo cha upendo kupiga na kufanya ndege wake apeperuke. alita mani ampigie simu Upendo amtukane ila aliachana nae.

wali baki na Prosper waki uza duka la nguo na ili pofika jioni Ramsey aliaga na kuanza safari ya kurudi kwake Kimara huku kichwani aki mtafakari mama yule wa mchana.

ghafla mawazo yali mjia na kumkumbuka Upendo ambapo alichukua simu yake na kuanza kuta futa namba zili zompigia mchana baada ya kuridhika aliiweka simu sikioni na kuiruhusu iende.

"Mambo vipi Upendo"?
"una taka nini?"
"mbona una kua mkali sasa jamani?"
"we ni yule upendo Mrangu?"
"ndo mimi vipi kwani?"
"una jua nili dhani upendo mwingine sama hani sana. upo wapi ?"
"Nipo k.koo"
"Maeneo gani?"
"nipo huku msimbazi"
"nakuja hapo nipo huko huko pia"

Ramsey kusikia vile ali kata simu na haraka haraka kuanza kumta futa mrembo huyo ambapo baada ya kumuona alimuomba wakae kidogo kwenye mgahawa ili waweze kidogo kupata japo juice.

kweli bila kipingamizi Upendo mrangu alijikuta kanasa kwenye moja ya mtego wa Ramsey na kuku bali.

"naomba niletee juice ya passion na sambusa mbili"

aliongea upendo na baada ya hapo dada yule muudumu ali mgeukia Ramsey na kumsikiliza kile anacho taka.
"Mimi nipe fanta orange"
"huli chochote.:?
alihoji Upendo.
"hapana sili nisha kula mchana nime shiba kweli yaani"

kweli baada ya muda mfupi vitu walivyo agiza vili kua tayari vipo mezani.

"Hivi upendo unaishi wapi?"
"Naishi hostel tu za pale sinza. alafu nili taka kusahau Dedi simwoni chuo siku izi"
"achana na izo habari za Dedi tuongelee mambo yetu hapa."
"okay poa. hivi una jishughulisha na nini Ram?"
"kwanini una niuliza ivyo?"
"nataka tu nijue kwani vibaya kujua?"
"sio vibaya any way biashara tu za nguo nina duka la nguo hapo mbele"
"umeoa?"
"hapana"
"una mchumba?"
"yaani kiufupi nipo single sina demu"
"kwanini sasa wame isha au?:"
"aaaah stress tu nyie hamna maana kabisa nyie watoto wa kike"
"hahahahaha sio wote bwana"

Upendo alicheka huku akimpiga kikofi kidogo begani
'ungejua wewe navyokutamani wala usingecheka'

Ramsey aliji semea mwenyewe kichwani huku akiendelea na soda.
.
"sasa upendo maliza basi iyo sambusa twende kwangu ukapaone alafu nita kurudisha hostel kwenu"
"mmmmh akuuu"
"aku ndo nini sasa. nakurudisha usijali kwa hilo"
"kweli?"
"niamini Upendo"
"ila uwahi kuni rudisha"

Ramsey kusikia mtoto yule kaku balia alivuta fundo refu la soda aki tumia mrija huku aki simama.
" Dada sikia nifungie kuku nusu chap chap na chips hapo, alafu kata na ela yako kabisa"

aliongea Ramsey huku akitoa noti mbili za elfu kumi na kumkabidhi muhu dumu ambapo baadae aliletewa mfuko wenye chakula na kumpa Upendo.

" asante sana leo bajeti ya kula umeni save sana"

'izo chips sio bure bure'

Ramsey alimwangalia Upendo kwa jicho la wizi huku akiji semea maneno hayo kichwani.

Upendo alivyo kua mbele yake alipata nafasi ya kumkagua vizuri kiuno chake kilicho jipinda kama dondora alimwangalia vizuri tako lake lilivyo panda juu kidogo kama breki ya piki piki aina ya baja na kumeza mate mazito.

"mbona una niangalia sana ivyo Ramsey"?
"naangalia ulivyo umbika. mtoto mashallah"
"hahahaa embu acha matusi yako bwana"
"kweli tena nakwambia. embu tuchukue bajaji Upendo"
"ahaa afadhali maana nili kua nafikiria iyo foleni"

kweli bajaji ile iliitwa na wote kuingia ndani na bajaji kuelekea Ubungo ambapo njia nzima Ramsey alikua ana waza jinsi gani ata kavyo enda kumla ufuta mtoto upendo wa ustawi wa jamii.

"Leo lazima akaadisie"
Ramsey aliji kuta ana ropoka kwa sauti akiwa ame jisahau na kumfanya Upendo amgeukie.

"mbona una ongea mwenyewe?"
"hakuna kitu?"
"hakuna kitu wakati nime sikia una ongea peke yako?"
"aaaa kuna vitu vina nichanganya usijali wala nini"

Bajaji ile ilizidi kuchanja mbunga Huku Ramsey akiomba Mungu ifike haraka.

baada ya dakika kadhaa wali fika maeneo ya Ubungo na wote kushuka.
alitoa pesa ya bajaji na kumkabidhi dereva huyo.

mwendo wa miguu ulianza na tayari wali fika nyumba aliyo panga Ramsey na kuku mbuka funguo Lili ali muambia aweke juu ya mlango asubuhi alivyo kua ana toka. kweli alipapasa juu ya mlango na kuzi kuta.

alifungua mlango huku aki mtanguliza Upendo ndani.

"karibu hapa ndo geto"
"mmmh asante pazuri sana"
"aaah kawaida mbona"
"pazuri sana"

Ramsey aliwasha tv na kutoka nje alivyo rudi alirudi bila shati na kumfanya Upendo abaki kuangalia kifua chake kilicho jigawa vizuri.

Ramsey alimsogelea Upendo karibu na kukaa pembeni yake .
taratibu alianza kumshika shingo ila upendo aligoma baada ya kuutoa mkono ule wa Ramsey shingoni.
ila baadae Ramsey anaanza kumto masa chuchu na kufanya upendo aanze kurembua macho huku akihema juu juuu na mwenyewe kuanza kumsogelea Ramsey...


Kwa akili ya haraka haraka Ramsey alijua chuchu zile ndo udhaifu wa Pendo na kuzidi kuendelea kuzitomasa kila pendo alipo taka kumtoa mkono ana jikuta ndo ana zidi kulegea kabisa mpaka alipo jitupa mwenyewe kitandani juu kwa juu Ramsey alimuendea mdomoni na kuanza kuomba denda ambapo kwa Pendo hakua na ujanja wowote ule juu ya Ramsey huku akianza kutoa miguno ya raha na mwenyewe kuanza kumvua shati Ramsey.

Alishusha mkono wake mpaka chini ya ikulu ya Pendo na kusita kidogo.

"nini hiki?"
"pedi"
"sasa mbona huku sema muda wote?"
"mmmh"

pendo alibaki tu akiguna huku bado akiwa amelegeza macho yake sana
.
"nakuuliza mbona huku sema muda wote huo?"
"Kusema nini?"
"kua upo kwenye siku zako?"
"Alafu sikiliza kwani tuliadiana nini?,alafu sogea kule kwanza"

pale pale pendo aliba dilika baada ya kama kumbu kumbu kumjia vizuri na kuanza kustaajabu kwa kile alicho fanyiwa muda mfupi uliopita.

"mbona siku elewi?"
"mpuuuzi nini wewe uni elewi nini?,nataka niondoke"
"uende wapi tena?"
"kwani hapa ndo napoishi?"
"wacha basi nikupeleke"
"staki. nitaenda mwenyewe"

kweli pendo alionekana kumaanisha kile anachosema maana alikua tayari kasha simama akita futa viatu vyake huku Ramsey akiwa bado yupo kitandani ana mwangalia na kushindwa kuelewa nini kimempata Pendo.

"sasa na chips zako izo?"
"kula mwenyewe mimi sili tena"

Pendo aliondoka na kubamiza mlango kwa nguvu na kufanya usikike kwa nguvu..

"uta nivunjia mlango.,alafu mademu wengine bwana aaaaah"

Ramsey aliiuendea ule mfuko wa chips na kuanza kula taratibu na wale kuku ndani ya mfuko. baada ya hapo aliingia bafuni kuoga na kuji tupa kitandani huku akitafakari mambo atakayo fanya kesho yake..

aliwasha feni na kuzima taa na hapo hapo usingizi kumchukua.

kilicho mshtua asubuhi ni simu yake ya mkononi ambayo mara ya kwanza iliita ila aliipuuzia kutokana na usingizi mzito bado aliokua nao ila iliita tena.

alivyo ichukua alisoma juu ya kiiooo cha simu na kuona jina ESTER aliiangalia kwa kitambo na kuipokea.

"Mbona asubuhi asubuhi ivyo?"
aliingea Ramsey kwa sauti ya usingizi.

"nina shida na ela"
"sasa ndo upige asubuhi kiasi hiko ?"
"nina shida na ela mpenzi wangu?"
"kiasi gani?"
"nina shida na Elfu sabini"
"ngoja basi jioni"

ki ukweli katika upande wa kugharamia wasichana Ramsey hakuona hatari na ndo hiko kili changia sana apendwe na wasichana hakua mbahili hasa pale ana pomtaka mtoto wa kike yupo radhi atumie pesa yoyote ile ili apate kile anacho kitaka.

"hapo ndo ninapo kupendea baby. alafu baby wewe handsome"
"hahahaha Umeanza sasa, ...leo ijumaa una jua nita wahi kufunga duka. wik end isha-anza"
"kwaio leo wapi tuna enda?"
"siendi popote leo nita baki geto kufua"
"basi nita kupigia baby baadae mwaa mwaaa"

baada ya mazungumzo hayo simu ili katwa na Ramsey kusimama kitandani alichukua mswaki na kuvaa taulo lake huku mkononi akiwa amebeba ndoo ya maji.

alimpita Mama mmoja bila kumsalimia na kuelekea bafuni .

baada ya kutoka bafuni kuoga ana rudi ndani ila anashtuka hasa baada ya kukuta mlango wake upo wazi wakati aliufunga wakati anapo enda bafuni kuoga.

"samahani kaka nili kua nataka unisaidie na pasi"

aliongea Mama huyo akiwa ndani chumbani mwa Ramsey huku akiwa amesimama mbele yake na kanga moja .

"pasi ipo hapo"
"asante. hivi kaka jina lako nani?"
"Ramsey wewe je?"
"Mama Khadija, au niite tu Mwavua"
"nafurahi kuku fahamu"
"hakuna tabu."

Mama khadija alibeba pasi ile na kuanza kuufuata mlango taratibu ila alipo fika alifunga nayeye kubaki ndani na kumrudia Ramsey ambapo alimrukia mdomoni na kuanza kumpa ulimi hakuchelewa Ramsey nayeye aliupokea kwa ufundi na Mama Khadija kuanza kuuuzungusha ulimi ule ndani ya mdomo wa Ramsey na kuanza kubadilishana mate .

Mkono wa Ramsey uli tua juu ya makalio ya Mama khadija yaliyokua

makubwa makubwa aliyashika vizuri huku akishuka chini. na kuzidi kutathimini jinsi makalio hayo yalivyo jigawa vizuri sana.

alicho fanya Ramsey ni kuvuta kanga ile na kudondoka chini na kumfanya Mama Khadija kubaki kama alivyo zaliwa maana alikua mtupu macho ya Ramsey yali ganda juu ya shanga za Mama khadija ambazo zili kua zime jipanga vizuri.

Mama khadija haku taka kushindwa nayeye alilipa baada ya kumtoa taulo na moja moja kufa kamia Mashine ya Ramsey na kupiga magoti huku akiiweeka mdomoni.

"una mtalimbo mzuri sana"

Mama khadija aliongea uku akiuweka mdomoni mtalimbo huo ambapo wakati huo ulikua ume simama wima kama mti mkavu.
Ramsey alibaki akitoa miguno huku akitaka kama kudondoka ila aliji kaza ili asije kuabika.

Mama khadija alishuka chini kwenye kengele za Ramsey huku akiendelea kuchua Mtamlimbo huo.

baada ya hapo alimtupa Ramsey kitandani.

Ramsey siku iyo haku taka kufanya lolote alibaki tu kumwangalia ili ajue na kuusoma vizuri mchezo wa Mama Khadija.

alipanda kifuani kwa Ramsey na kuanza kunyonya manyonyo ya Ramsey juu ya vichuchu hapo ndipo Ramsey alinza kupata stimu na ndo ndipo ugonjwa wake ulipo ambapo mademu wengi alio wahi kulala nao wachache hufanya mchezo huo. alitaka kuinua shingo ila alitulizwa na kurudishwa kitandani pale na kujua kua mama huyo ataki mchezo hata kidogo .
aliise-ti mashine ya Ramsey na

kuitumbukiza ndani ya ikulu yake ambapo baada ya kuikalia akiwa juu alianza kuka tika taratibu na kuzungusha kiuno ki ukweli Ramsey siku iyo alikua ame patikana kiuno kile kilizungushwa taratibu sana.

huku mama huyo akianza kutoa miguno ya raha na kumfanya afumbe macho yake huku akiwa juu ya Ramsey huku na kule mama Khadija alizidisha kasi hii ni baaada ya Ramsey kuanza kumshika shika maziwa.

Mama yule tayari alianza kuhisi raha baada ya kumaliza mechi.

alichomoka ghafla kwa Ramsey na kushika mtalimbo wa Ramsey na kuuchua baadae shaba zilianza kuruka huku ziki mrukia Mama Khadija juu ya maziwa yake.

"Mmmmh ume jitahidi. kumbe una uweza mchezo. alafu nanii zako za moto izo"

Mama khadija aliongea huku akipanguza maziwa yake akitumia kanga yake.

"naweza vipi wakati mimi siku fanya chochote kile?"
"Nina maana kwamba ange kua mwingine ange shamaliza mapema na mimi ninge ishia njiani, wacha mi niondoke Umesema una itwa Ramsey?"
"Ndio naitwa Ramsey.mmh una mauno wewe Mama"
"usijali Mimi ndo mtoto wa pwani"
"Aaaaah "

Ramsey alijikuta anaongea na kumpiga kalio la Mama Khadija lililo kua kubwa na laini kama sponji.

"baadae basi Laaziz"
Mama khadija alitoka akifurahi huku akichungulia usalama wa nje na kutoka.

ilimbidi Ramsey aoge tena haraka haraka na kurudi kuvaa ambapo baada ya hapo aliji pulizia marashi na kufunga mlango wake.

alichukua bajaji na kuelekea k.koo ambapo alifika na kuendelea na mauzo ya duka akiwa na prosper .

baadae ana kumbuka na kwenda TIGO pesa na kumtumia Ester pesa aliyo hitaji ili baadae asi msumbue.

"oya prosper funga leo mapema twende hapo DDC tukale bata kidogo"
"aaaah kweli haina noma"

"Alafu uta nipa mahesabu ya mwisho huu yanendaje niagize mzigo mwingine wa nguo"
"poa poa nita kupa nita kupa"

jioni jioni ili pofika Ramsey na prosper wali toka na kuelekea ndani ya baa iliyopo maeneo ya hapo k.koo na kutafuta sehemu iliyo jificha.
muhu dumu alikuja na kuwa sikiliza.
"nipe CHUI CHUI na bapa la konyagi"
aliongea Ramsey
"nipe castle light mimi"
Prosper nayeye aliagiza
"pesa"
"leta vinywaji"
"no kaka pesa kwanza"

Ramsey alitoa wallet na kumkabidhi noti ya elfu kumi.

"Nita futie mtu wa jikoni aje hapa"

Ramsey alitoa maagizo hayo na dakika chache mtu wa jikoni kuja huku akiwa sikiliza.

wali agiza Mbuzi choma kilo mbili huku taratibu wakianza kunywa pombe.

waliendelea kunywa pombe zile ila Ramsey alibaki kugandisha shingo baada ya kuona gari ya kifahari aina ya BMW X5 ikiwa imeegeshwa na kutaka kujua atakae shuka ndani ya gari hiyo nyeusi.

aligandisha kwa kitambo na kumuona Mwanamke mmoja mweupe sana mwenye ngozi ya kung'aa akishuka ndani ya gari hiyo huku akiwa amevalia vitu vya gharama sana ziki wemo

cheni nyingi za dhahabu huku mkononi akiwa na vicheni vingine vya dhahabu vingi na kushuka .

urefu wa mama yule uliendana na shepu aliyo valia kimini uliendana na mguu mnene wa bia.
alikua ni mwana mke mwenye uwezo mkubwa kifedha kwa harakaharaka.

alibinya rimoti ya gari na gari kuji funga huku liki washa taa kadhaa na mama huyo kuingia ndani ya baa hiyo akitembea kwa madaha sana.

"Duuuu prosper una muona yule Mama"
"namuona"
"Mi namfuata"
"hahahaha Ramsey kausha bana humuwezi"
"embu niangalie mimi. najiamini tulia hapa nisubiri potelea mbali hata niki sikia sauti yake nita furahi"

Ramsey aliinuka kweny kiti kile na kuanza kumfuata mama yule aliye kua ameshuka kweny gari la kifahari.

kitu kingine ambacho kilicho kua kina mfanya apate mademu ni ujasiri aliokua nao hakua na kitu kuogopa mtoto wa kike katika maisha yake.

"Anti anti. ndio wewe samahani kidogo"

Ramsey aliita huku akizidi kumsogelea Mama yule

"sijui naku fananisha au?"
"inawezekana YOU NEVER KNOW"
""tusha wahi kuonana mahali kuna biashara tusha wahi kufanya"
"mmmh mi ni mfanya biashara ndio inawezekana cause huwa nina meet na watu wengi ndani na nje ya nchi"
"ofisi yako iko wapi?"
"posta"
"enheeeee basi yaah nisha kumbuka tayari. sasa nipatie business card yako kuna biashara nataka tufanye tena"
"okay well wait kidogo"
Mama yule alifungua pochi yake na kumpa kadi yenye namba za simu
"asante sana"

Ramsey alita basamu na kumgeukia prosper ambae alikua ana mwangalia akiwa mbali na kumpa ishara ya dole gumba kuashiria kuwa kila kitu kimeenda sawa.

ALirudi na kukaa kwenye meza na prosper ambapo hapo tayari nyama choma ilikua mezani walianza kula huku wakinywa na bia taratibu huku stori zikiendeleana tayari ilikua ime timu saa mbili usiku
.
"hivi Ramsey?"
"nambie"
"ao mademu una otembea nao kaka una kumbuka CONDOM?"
"condom natumia ila ina tegemea na demu mwenyewe.ila mara nyingi huwa natumia. alafu badilisha stori tule nyama hapa"
"okay haina noma'"

waliendelea kula nyama zile ila Ramsey anatoa simu yake mfukoni baada ya kuita ila anaganda juu ya kioo cha simu kwa muda kidogo akiwa haamini mtu anaye mpigia aliiangalia kioo cha simu kiliandikwa EYMER KWAY.

aliipokea huku akitabasamu na kuiweka sikioni.
"kway kway vipi mwanangu ndo umeingia nini?"
"ndo nipo eapot sasa hivi"

uliongea upande wa pili wa simu iyo

"karibu Tanzania ndugu yangu nipo DDC hapa nakula vyombo"
"upo DDC ?, agiza kreti nyingine mbili za bia hapo nakuja na shemeji yako sasa hivi..naenda kumchukua home"
"poa poa mwana njoo kaka nita furahi sana"

wali kata simu na Ramsey kuonekana kufurahi sana.

"huyu mwanangu sana anaitwa Eymer Kway aisee yaani hapa akija hapa hatu toki sasa hivi? "
"ame tokea wapi kwani?"
"Uganda uganda ndo ameingia leo"

"kwaio ndo tuna msubiri"
"ata kuja we uta mwona"

Ramsey aliendelea kunywa pombe huku akiwa na furaha sana.

tayari ALTEZA nyeusi iliegeshwa pembeni ya baa hiyo na mtu aliye shuka kwenye gari hiyo alielekea moja kwa moja kwenye meza aliyo kaa Ramsey.
"Kwaaaay ayayayayaya ndugu yangu"

Ramsey aliropoka kwa nguvu na kumkombatia rafiki yake huyo huku akimpiga piga mgongoni na kufurahi huku wakizidi kuvutana vutana mikono

"Ramsey jembe langu vipi lakini?"
"safi tu.. huyo ndo nani tena?"

Ramsey ili bidi ahoji alivyo muona msichana amesimama nyuma ya Kway.

"huyu shemeji yako anaitwa Joylah,
Joylah meet my Friend Ramsey"
"nashukuru kuku fahamu shemeji Yangu Joylah mimi ndo Ramsey au Ramsoooo wana niita"

Joyla ali tabasamu kusikia vile na kufanya vishimo yaani dimpoz ziingie ndani na kuzidisha uzuri wake.

"Kway shemeji mzuri"
"kausha basi Ramsey nili kwambia uagize kreti za bia ziko wapi?"
"Mi nili jua uli kua una zingua"
"we mshamba nini, nipo sirious bana nataka leo tule gambe mpaka asubuhi"

Kweli Kway alimaanisha alicho fanya alimuita muudumu na kumwambia aweke kreti mbili pembeni yao.
"pesa kaka"
"nita kupa"
"nipe sasa hivi"
"bei gani?"
"kreti mbili elfu themanini"
Pale pale Kway alitoa wallet na kumu hesabia Ela muhudumu yule huku akimkabidhi pesa zile.
"Ila kway hii sehemu si salama unajua"
"si salama kivipi?"
"kuna kua kuna fujo sana vibaka usiku huu"

Kway alimuangalia Ramsey kwa kitambo na kupandisha tisheti yake juu kidogo na kufanya Ramsey atoe macho baada ya kuona bastola ndogo pembeni ya kiuno cha Kway ambapo baadae alifunika na tishert

"kaka una nitisha mambo yako sio madogo"
"hapa amani ipo nipo kamili gado "
"stori vipi ivi bado una tunga?"
"ndio natunga namalizia kitabu kina choitwa MAHABA NIUE niko na jamaa mmoja ana itwa SUNDAY J MUNA . facebook tafuta page story za KWAY utajua mengi.Mpigie simu shem aje basi"
"ahaaa okay poa"

Ramsey aliji fikiria kwa kitambo ampigie simu nani na kumkumbuka Monalisa msichana mwenye asili ya kiarabu kwa mbali .

huyo ndiye hupenda kuwaonesha marafiki zake wengi katika matukio kama hayo sababu moja tu msichana huyo hujua sana kupangilia nguo.

"Love njoo DDC hapa ,ndio kariakoo chukua hata taxi. eeeeh ndio pale pa siku ile .. sasa hivi mke wangu oga chap chap.. nakusubiri nakupenda pia"

Ramsey alikata simu na kumgeukia Joylah
"shemeji vipi mbona kimnya?"
"Amna mbona nipo tu"
"upo ndio ila husemi kitu"
"nasikiliza tu maongezi yenu shemeji"

"baby leo hunywi?"
Ramsey aliuliza baada ya kumuona Joylah hanywi.
"okay subiri. nishajua dawa yako. muuhudumu embu njoo mara moja"
"naam kaka"
"leta Catton mbili za reds weka hapa juu ya makreti"
"Lakini Lav"
"Noo muhudumu leta haraka"

Pombe zili letwa na wote kuanza kunywa huku Prosper akiwa tayari chakali.

Ramsey aliba ki akishangaa hasa alipo muona Esta kwa mbali ana kuja haku taka kuamini alijua wenda pombe zime mpanda kichwani ila ana fikicha macho na kumuona tayari keshafika mezani.
'huyu demu nani kamuita tena'?

aliongea kimoyo moyo Ramsey na tayari Esta alifika meza ile aliyo kaa Ramsey na kuvuta kiti.

"ume juaje nipo hapa?"

Aliuliza Ramsey huku akiweka tabasamu la uongo.

Kway aligeuka na kumuona Msichana yule na kujua ndiye aliye pigiwa simu muda mfupi na Ramsey.

"shemeji karibu vuta bia hapo tunywe"
"Asante glass iko wapi?"

Glass ili letwa pale na Esta kumimina bia ile kwenye glass.

Ramsey jasho lilianza kumtoka hasa kwa mbali alivyo muona Monalisa ana kuja meza ile walipo. alicho fanya alisimama na kuelekea chooni akikwepa balaa litakalo mkuta pale na kujua kivyovyote angewa gonganisha wasichana hao.

aliwaaga na kuwaambia kua ana elekea chooni

"Ram Ram.."
Monalisa aliita huku akiwa kwa mbali aligeuza shingo kwa Esta na kukuta akimuangalia kwa macho makali sana.

"nisubiri pale nakuja"

alitoa agizo ilo na Monalisa kwenda kukaa meza aaliyo kua amekaa Ramsey na akina Esta.

"OYA KAKA MTOE ESTA KWENYE IYO MEZA FANYA JUU CHINI ATAHARIBU SHUGHULI"
ulikua ni ujumbe wa meseji ambao Ramsey aliuandika akimtumia prosper.

"HILI ZALI UKIKIMBIA HAPA NDO UTAARIBU WEWE NJOO MIMI NITAJUA CHA KUFANYA"
"HUYO ESTA MIMI NAMUELEWA "
"KAKA WEWE NJOO"
"OKAY POA"

ili mbidi Ramsey apige moyo konde na kurudi mezani na kukaa akiwa kimnya sana na kutoweza kuongea maana alijua akiongea chochote ata julikana

"baby mbona kimya"?

tayari Esta alianza na kumfanya Monalisa akae kimya asikilize ata kacho jibu Ramsey.

"Fresh tu kwani vipi?"
"huyu nani?"
"esta siki...."
Prosper alidakia alivyosikia swali lile ili kumsubaisha
"sija kuuliza wewe funga bakuli lako"
"huyo nani Ram?"
"anaitwa Monalisa"
"kwani vipi?"
ilibidi Monalisa nayeye aliulize alivyoona mambo yabapoenda sio.
"nawewe nyamaza"
"ninyamaze ? we umevurugwa nini?"
"nani kavurugwa?"

Tayari Esta na Monalisa walianza kupandishiana maneno kwa sauti ya juu.

Ramsey alivyoona ivyo ili bidi ainuke na kuelekea msalani ili kuepuka balaa lile ambalo moto wake asingeweza kuuzima haraka.

ila alipo fika msalani anaganda baada ya kumuona msichana mmoja ametoka maeneo ya chooni huku akiwa na kimini aliji kuta akimshangaa sana kutokana na pombe alizokua nazo kichwani aliji kuta nayeye anaingia choo hiko cha kike aki mfuata msichana yule.
alimshika kiuno na kufanya msichana yule aruke kidogo ila Ramsey alimtuliza baada ya kumvuta shingo yake na kuanza kumpa denda huku akizidi kumsogeza ukutani.

alichukua mkono wake na kupandisha sketi ambapo alikutana na chupi na kuisogeza pembeni huku zoezi la kuchezea ikulu ya msichana huyo kuanza . msichana huyo alianza kutoa miguno huku akizidisha kumpiga denda Ramsey na taratibu kuanza kumvua tshirt Ramsey..

"Baby,khaaa !!"

Esta aliita baada ya kutokea nyuma yake na kumfanya Ramsey ashtuke huku akimshangaa Esta baada ya kuwafumania



Msichana yule ambae aliyetoka kupigwa denda na Ram aliona aibu na kuanza kuvuta vuta sketi chini na kutaka kutoka ila ana zuiwa na Esta na pale pale Esta kumpiga Kofi lililompata vizuri juu ya shavu na kumfanya dada yule ashike shavu lake na kuinamana chini kutokana na kofi lile kumuingia.

"Esta una mpiga msic.....puupuuu"

Ramsey nayeye alipokea makofi ya usoni bila kutegemea kutoka kwa Esta.
"Msen***** nini.! una taka kusema nini ?, Una jifanya malaya si ndio"?

"sio ivyo baby wangu"
"Mimi sio baby wako tena twende huku nika malizane na yule kahaba wako uniambie mimi na yule nani una taka ubaki nae"

Kweli esta alimvuta mkono Ramsey kwa nguvu huku

wakimuacha msichana yule akilia chooni baada ya kupokea kofi kali kutoka kwa Esta.

Ramsey alivutwa msobe msobe mpka kwenye ile meza waliyo kua wame kaa mara ya kwanza.

" wewe kahaba wa kike. huyu hapa baasha ako. una sema una mpenda sema akusikie"

Esta aliongea kwa Jazba huku akipigapiga mguu mmoja chini na kumuangalia Monalisa huku akisubiri jibu.

"Ram mbona siku elewi lakini, huyu nani mbona ana nitukana hivi"?

Ki ukweli Ramsey hakua na cha kuongea alikua kama amewekewa uji wa mtama mdomoni aliji kuta mdomo una kua mzito na kubaki kuwaangalia wote wawili.

"Lakini esta sasa si ukae chini tuya malize hapa"
Aliongea prosper kwa sauti ya chini nayeye kusimama

"nawewe fala nyamaza wewe mnafki sana wewe. Huna lolote una jua alicho kua anakifanya huko bafuni?,Fala sana wewe tena una bahati nakuheshimu hapa kuna wageni leo ningeanza nawewe matako"

Safari hii Esta alipaza sauti na watu wa baa ile kuanza kugeuka na kumuangalia anavyo ropoka.

"Ramsey nambie ukweli kama unan....."

Mona lisa aliongea ila alikatishwa uko-fi aliorusha Esta na kumpata Monalisa na kumfanya ayumbe yumbe na kufakamia meza ile iliyo kua na vinywaji na bia kuanza kumwagika.

Monalisa nayeye hakuku bali nayeye alirusha kofi na kulijibu ambalo lili mfikia pia Esta juu ya shavu.

purukushani ile ilianza makofi kuanza kurushwa huku na kule

"Esta tulia kuwa mstaarabu"
"Hakuna cha ustaarabu hapa..niache Ramsey nimuoneshe huyo kahaba wako."

Esta haku ridhika aliona chupa ya bia na kuishika ambapo aliirusha kwa nguvu usawa wa Monalisa kwa bahati nzuri Mona lisa aliiona na kuinama kidogo ambapo ilipita na moja kwa moja na kutua kichwani kwa JOYLAH demu wake kway na kumpasukia kichwani.

Joylah alidondoka chini pale pale na damu kuanza kuruka.
Kitendo cha Kway kugeuka nyuma hakuamini baada ya kumuona demu wake yupo chini anavuja damu kichwani.

Esta alichukua chupa nyingine na kuirusha tena na kugonga ukutani.

"baby.. Love..we mwanamke una ona ulicho kifanya"?

Kway aliongea akiwa chini huku akimgeukia Esta na kumshika Joylah na kuzuia damu isitoke kichwani kwa Joylah.

kweli furaha yote ilianza kutoweka hakuna mtu aliye msikiliza mwenzake tena wakati huo

"nawewe usinizingue hapa msen**** nini wewe?"

Esta alimjibu kway na kumtukana huku akiendelea na timbwili lile bila kujali kilicho tokea.

"unasemaje?"

Kway aliinuka kwa hasira ili kumfuata Esta ampige. ila anazuiwa na Ramsey baada ya kushikwa mikono kwa nyuma na Ramsey

"kway kausha mpeleke Uyo demu hospitali achana na huyu Esta muwaishe hospitali"

Kway haraka haraka alimbeba Joylah na kumuingiza ndani ya Gari alilo kuja nalo na safari ya kwenda hospitali kuanza.

Ramsey alijitahidi kuwatuliza mademu wale na kumvuta kwa nguvu Esta pembeni.
alita futa bajaji na kuondoka na Esta mpaka nyumbani kwake Ubungo.

Ramsey alifungua mlango wa chumbani kwake na kuingia ndani huku Esta akifuatia nyuma.

"Ungeniacha nimuone..."
Esta alishindwa

kumalizia anacho taka kusema hii ni baada ya Ramsey kumvuta kwake na kumpa denda huku akiingiza mkono ndani ya ikulu ya Esta ambapo alijua ndipo udhaifu wake ulipo.

"mmmmh aaah"

Esta alitoa miguno na kusahau kila kitu.
Ramsey haku fanya makosa aliendelea kucheza na lips za Esta huku akiiipapasa ikulu iyo ya Esta na kumfanya mwenyewe aaanze kuvua nguo tena bila kuvuliwa maana alianza kusikia utamu kupita maelezo.

Ramsey aliingiza kidole ndani ya ikulu na kuanza kukizungusha kiustadi vizuri kana kwamba ana chokonoa dafu au koroma.

baada ya nguo za Esta kuwa pembeni moja kwa moja Ramsey alishusha kichwa chake na kuanza kudeki bahari ambapo alipo kua anadeki mkono mmoja ulikua juu ya ziwa la esta akishika shika chuchu za esta.

"Aaaaah Raa...am aaaaah mmmmh aaaah R....aam mmmmh aaaaah n....ak...uf....a aaaah hap..o h..a..po"

Ramsey haku taka kutoka chumvini aliendelea kudeki bahari akitumia ulimi wake vizuri na kwa ustadi sana.

Safari hii esta tayari alianza kuji kunja kunja huku akimshika Ramsey kichwa na kumkandamizia kwa sana kwenye ikulu yake .

baada ya sekunde chache Esta tayari aliiibana miguu yake na kumwangalia Ramsey machoni ambapo Ramsey ndo kwanza ajaanza mechi.

Alicho fanya Esta nayeye haku taka kuonekana mzembe alichukua mashine ya Ramsey na kuanza kuichua taratibu

alianza kumpasha Ramsey alivyoona tayari aliikalia kwa juu na kuanza kuzungusha kiuno chake.

Ramsey alimtupa kwa chini nayeye kuwa kwa juu ambapo aliuweka mguu wa esta wima nayeye kupiga magoti huku akiingiza mashine ndani ya ikulu ya Esta na pata shika kuanza.

ilikua kila baada ya sekunde Ramsey ana badilisha mikao mwishowe ana aamua kumuweka Esta CHUMA MCHICHA .
na iyo ndio staili ambayo esta huipenda kelele zilizidi sana ndani ya chumba hiko huku Esta akizidi kuzungusha kiuno chake .

Ramsey alimpiga kalio kwa kutumia ukofi uku mechi iki zidi kuendelea.

"baby ivyo ivyo aaaaah aaaaah aaaaaah mmmmmh"

Esta alitoa miguno ya hapa na pale huku akizidi kukata mauno yale ambapo ili fanya Ramsey aongeze kasi ya kuendelea na mchezo huo. shaba za Ramsey zili toka na kuji tupa kitandani.

"baby leo kati ya siku zote leo mchezo ume umiliki vizuri ujue nime piga tatu,"
Aliongea Esta akiwa juu ya kifua cha Ramsey
"una taka kingine. alafu mimi moja tu nime piga"
"Ndio najua., ila baby kilicho tokea pale baa sija kipenda. haki Amungu nita ua mtu.na shukuru Mungu ile chupa ile ime mkosa. yule kahaba wako, maskini ya Mungu ika mpata dada wa watu"
"Yaishe hayo Esta mi nakupenda una jua ndo maana nika muacha yule, "
"Hata kama unge niacha mimi pale nisinge kubali. mpka kingeeleweka."
"aya basi tulale au niku pige cha mwisho?"
"aaah Ram uta niua baby,"

Kutokana na Uchovu na pombe Esta aliji kuta analala muda ule ule juu ya kifua cha Ramsey na wote usingizi kuwapitia.

kilicho washtua asubuhi ilikua ni mlango uliogongwa hodi.

Ramsey alisimama na kuvaa taulo.

aliufungua Mlango na kukutana na mama Khadija mlangoni akiwa na kanga ambapo bila kuuliza aliingia ndani ya chumba cha Ramsey na macho kwa macho kuku tana na Esta ambae alikua amejifunika shuka kitandani.

"Wewe nani?"

Esta aliuliza baada ya kumuona Mama huyo kaingia mule ndani.


Mama kiukweli kilicho mpeleka mule ndani ili kua apate penzi la Ramsey alilopewa siku iliyo pita.

ila alivyo ingia mule hakutegemea aka jikuta ana tafuta kitu ambacho hakieleweki .

"Dada habari yako?"
ilibidi azuke akimsalimia esta.
"nime kuuliza wewe nani?"
"naishi hapa chumba cha pili"
"sija kuuliza una ishi wapi?"
"Naitwa Mama khadija nim..."
"Mama khadija"
ili bidi Ramsey amuite na mama yule kumgeukia .
"kiatu unacho kitafuta cha huyo Mumeo tangu jana nime kwambia hakipo hutaki kunielewa"

ilibidi Ramsey azuge vile maana alimjua Esta hana dogo na yasingeweza kuisha pale.

"sasa mimi ana nisumbua nakosa raha,naomba uni angalizie angalizie"

Mama khadija aliongea huku akiuendea mlango na kuondoka ila alijua nini maana ya Ramsey ilikua ni kuzuga
.
"baby mi sipendi"
"sasa hupendi nini Esta?"
"Hayo mazoea mpka vyumbani ana ingia ingia tu kama chooni alafu sasa na kanga moja , na una niambia ana tafuta kiatu. kiatu gani hiko. kwanini asinge subiri mpaka mchana. Huyo mama sio bure, mna takana"

"Mimi baby sijui , sasa kwanini ume shindwa kumuuliza alivyo kuwepo?"
"wewe sindo uliji fanya kudakia dakia na kihere here chako. alafu nikiongea oooh baby mkorofi oooh Esta mkorofi"
"yaishe basi wewe nenda kaoge basi jamani."

Esta alisimama na kuji funga shuka alichukua Taulo la Ramsey na kutoka nje kuelekea bafuni.

'ona jini kisirani kaingia kwenye utamu wa penzi langu,....kwani wivu ninao na roho yangu ina umia'

Alikua ni Mama Khadija akiimba nyimbo iyo ya DIAMOND ambayo ili lenga kabisa yaliyo tokea asubuhi ya siku iyo.

Ramsey ali sikia na kujua kivyovyote vile ana imbiwa yeye.

Esta alivyo rudi nayeye alichukua taulo na kuingia bafuni na kuanza kuji mwagia maji,
ilaa baada ya kuji paka sabuni ana hisi kama kuna mtu ndani ya bafu lile na kuku mbuka haja funga mlango na loki.

ivyo anaa mua kutoa sabuni machoni ili aka ufunge mlango ule.
kidogo apige kelele mule maana haku tegemea kama Mama Khadija angeweza kuingia bafuni mule akiwa na ile kanga moja.
"una taka nini humu bafuni?"
Aliuliza Ramsey huku aki toa toa na maji mapovu ya sabuni machoni.

"Ujui nacho taka. nataka hili hapa"

Mama Khadija ali ongea huku akishika dude la Ramsey.
"sasa humu sio mahala pake"
"maala pake wapi wakati ume leta kidemu chako mule ndani"

Mama Khadija ali mbana ukutani Ramsey na kuanza kuichua mashine yake huku akimpa denda. huku aki zidi mashambulizi ya kuichua Mashine ile na kuanza kunyonya chuchu za Ramsey na kumfanya Ramsey apate moto huku Mnara wake ukisimama uki tafuta netwok ili uweze kudaka mawimbi ya satelite

Safari hii Ramsey haku taka kuwa mzembe alimuinua mguu mmoja juu na kuanza kupekecha ikulu ya Mama Khadija kwa ustadi wa hali ya juu huku aki mnyonya shingo alishuka mpaka kwenye maziwa ya Mama Khadija na kuanza kuya lamba huku akiya tomasa tomasa alipaka mate kidole na kuki rudisha tena juu ya kiarage wengi ukiita kisimi .

na kumfanya Mama Khadija aanze kupiga ukelele wa raha na kuji sahau kuwa yupo bafuni.

Kwa kutumia nguvu Ramsey ali muinua Mama huyo na kuichukua miguu yake na kuizungusha kwenye kiuno chake huku akiweka sawa ukutani na pale pale kuset mitambo.

aliingiza Mashine ndani ya ikulu na mchezo kuanza ambapo alianza kumsugua mama huyo kila pande ya ikulu kana kwamba ana piga mswaki,

alipiga kila upande huku wakipeana denda Mama huyo alikua kama ana mashetani ya ki kwao sababu alikua aki katika sana ila Ramsey haku taka amruhusu amili ki uwanja siku iyo.

Yeye ndiye aliye taka awe fundi siku iyo wala sio vinginevyo.
Ali mshusha pale uku tani na kumwambia ashike ukuta kweli Mama khadija alitiii kuushika ukuta ule wa bafuni na Ramsey kuanza masha mbulizi upya.
"Ye....s ye...s ivyo. ivyoo aaaaah aaaah aaaah."

Ramsey alizidi kuendelea na mashambulizi yale na kuinua mguu mmoja wa kushoto wa Mama khadija na kumfananisha kama mbwa anae kojoa.

aliinua mguu ulee huku mchezo ule kuendelea kimnya kimnya.

Pata shika ile iliendelea mpka Mama khadija alivyoomba denda huku akimgeukia Ramsey alimpiga denda la nguvu huku akimkombatia kwa nguvu Ramsey alijua nini maana yake nayeye alizidisha kasi ya mashambulizi na kuji kuta mechi wana toka sare.

"Ramsey kumbe una shughuli?"
Mama khadija aliongea na kuokota kanga yake chini.
"Aaah mimi sijui kitu"
"wapi wewe. mchana uwahi kurudi mwaa mwaa"
'mbona kazi ninayo'
Ramsey aliongea kimoyo moyo huku akitikisa kichwa .

Mama khadija alimpiga busu la mdomo na kunyata akifungua mlango akitoka nje bafuni mule.

Ramsey aliji mwagia maji tena upya na kutoka nje ambapo alimkuta Esta amekaa juu ya kitanda.

"Kuoga gani muda wote huo?"
"Nili kua najisugua"
"muongo niambie ukweli"
"aya nili kua napiga NYETO bafuni"
"Upige nyeto vipi wakati mimi nipo?"
"nani ame kwambia mtu anapiga nyeto akiwa na demu. Nyeto starehe ya mtu namimi leo nime amua kufanya iyo starehe. raha jipe mwenyewe."
" mmmh..sasa nipe nguo zako basi niku fulie leo alafu baadae niondoke zangu. Kwani leo una toka?"
"Ndio natoka naenda kwanza hospitali kumcheki demu wa Kway alafu napitia kwenye ofisi fulani hivi. nipasie hilo shati jeupe na suruali nyeusi maana naenda kwenye ofisi ya Raisi leo"
"hahahahaha baby muongo eti ofisi ya Raisi,Una jua hata ina fanananaje?"
"Hivi una nichukulia poa eeeh?"

Ramsey aliongea huku akipaka nywele zake mafuta vizuri na kuingia kwenye sanduku aki tafuta nguo ata kayo vaa siku iyo.

alivyo ridhika alimrushia Esta na kumwambia azipige pasi
"Alfu baby uta msalimia Kway mpe pole sana"
"nita mwambia niachie mimi"

Esta taratibu alianza kupasi nguo zile na zilivyokua vizuri alimkabidhi Ramsey .

Alivaa suruali ile na kuchomekea na shati lake vizuri sana ambalo lili mbana sawa sawia.
na kuvaa moka. ki ukweli alipendeza sana siku iyo kama mkurugenzi au Hafisa wa bank kuu

"Kumbe baby ukivaa ivyo una pendeza eeeh?"
"Duuu kweli leo nime pendeza"

Alichukua moka na kuivaa mguuni. bila kusahau marashi aliji pulizia na kujiweka tena sawa.

"Funguo uta weka pale kwa siku zote"
"poa..sasa unywi chai?"
"nita chelewa nita kunywa huko napoenda"

Alitoka nje na kuangaliana na Mama khadija
"umependeza sana wapi iyo?"
"Naenda Mwenge mara moja"

Ramsey alijibu huku akiendelea kuondoka alipo fika mbele kidogo alitoa wallet yake na kuonekana kama aki tafuta kitu baada ya kukiona alitoa. ilikua ni business kadi iliyo abdikwa NISSAN SALES AND BUYING.

aliyo pewa na Mama yule siku ile pale baa DDC
.
aliangalia vizuri namba zile na kuziingiza kwenye simu ali hakikisha vizuri kama ndo zenyewe na kuzipiga.

"Halloo naongea na meneja wa kampuni ya NISSAN?"
Aliongea Ramsey huku akiwa hana uhakika
"Yes ndio mimi sijui niku saidie nini?"
Ili kua ni sauti ya Mwanamke ambayo kweli alitambua niyule yule mwana mke aliye kutana nae. uzuri wa Mama yule na mguu wa bia vili mjia kichwani .
Ramsey ali kaa kitambo huku aki suuza koo.
"Mimi nai..."

Simu ya Ramsey ilikata pale pale alivyo angalia vocha alijikuta hana salio. na kuanza kuta futa duka ila kabla haja fika dukani simu iliita tena na kuona ile ile namba aliyo ipigia.

"samahani naona sijui mtandao una sumbua"

Alizuga Ramsey il hali alijua kuwa hana salio.
"ANY WAY usijali ulikua una semaje?"
"Mimi niyule kijana tuliye kutana DDC pale jana, nili kua na biashara nili kwambia."
"kijana yupi. ? nina kutana na watu chungu mzima. una biashara gani kwani?"
"nina uza dhahabu kwaio nina weza nika kuona tuka ongea vizuri"
"NO PROBLEM. you can come(hakuna tatizo,unaweza ukaja)"
"wapi sasa nita kupata?"
"njoo posta mpya sawa. ukivuka yale mataa pale kona mkono wako wa kulia uta ona jengo lime andikwa NISSAN uki fika hapo just call me"

Maagizo hayo Ramsey yali muingia vizuri na kuta futa bajaji.

ali mtafuta Kway na kutaka kujua mambo yalivyo enda hospitali.
"Ana endelea fresh, sema ameshonwa nyuzi saba kaka kichwani"

uliongea upande wa pili wa simu.
"Kway pole sana ndugu yangu nisa mee mimi"
"naelewa usijali mambo kama yale hutokea ila siku nyingine niki kuita usiliniletee mademu waswaili swaili"
"Mi nita kuja hapo hospitali baadae"
"Haina noma Ramsey"

Ramsey ali kata simu huku akiwaza jinsi gani ya kwenda kumuingia mama huyo wakati hata dhahabu zenyewe hana.

Bajaji ilizidi kukata upepo na tayari kufika kwenye mataa ali simama na kumpa pesa dereva huyo huku akilitazama jengo lile lili andikwa NISSAN,

alivuka bara bara na kutoa simu yake aki mtafuta Mwanamke yule.
akimwambia kuwa yupo nje baada ya sekunde chache Mama yule alifika

alianza kumtathmini weupe wa Mama yule huku akiiangalia miguu yake na paja lake jeupe sana ambalo alivalia kimini na kumeza mate.

"aaaah nisha kukumbuka karibu sana"
Mama yule aliongea na kumkaribisha ofisini kwake ambapo wali pita mpka kwenye chumba kidogo ofisini.

Na mwana mke yule kumkaribisha kiti.
ila kabla hajaanza kuongea kitu Simu ya mezani iliita na Mwanamke yule kuweka mkonga Sikioni.

"Sema Moses., nini una sema? siwezi kupokea iyo millioni mbili yako yaani nakudai milioni kumi na saba una nipa millioni mbili.ARE YOU NORMAL ?. Nime sema sitaki i cant, Kama huwezi rudisha gari hiyo, ndo nime shasema usilete mazoea yako, rudisha ndio kama huwezi .. ndio haita wezekana atleast million nane labda."

Mwana mke huyo aliweka mkonga wa simu na kushusha pumzi kabla haja kaa sawa simu yake ya mkononi iliita na kuitoa ili kua ni GALAXY s5 simu ya kisasa na ya gharama sana.

"sema Blandina, nitakupigia baadae sasa hivi nina mgeni, Nitumie kwenye account yangu eeeh ndio million tisa okay hakuna tabu"

Ramsey ali baki bado kumshangaa Mwanamke huyo aki mtathimini na kufikiria amuanze vipi.
"Samahani kaka, kwa kuku weka"

Aliongea Mama huyo huku akimwangalia Ramsey.
"bila samahani najua ni mambo ya kiofisi naitwa Ramsey"
"oooh niite Josephine"

Josephine aliongea huku akibonyeza bonyeza lap top yake.

aliendelea kubonyeza laptop ile huku akionekana kuwa makini sana.


*******
ENDELEA KUSOMA HADITHI NA SIMULIZI ZA MTUNZI….EMMANUEL F.KWAY(THE STORY MASTER)

5 comments:

BLOG